View
8
Download
0
Category
Preview:
Citation preview
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA
MAFUNZO YA AMALI
MHE. RIZIKI PEMBE JUMA (MBM)
KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA
MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/19
Mei, 2018
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2018/2019 ii
YALIYOMO
UTANGULIZI.................................................. 1
MIRADI YA SEKTA YA ELIMU…………………………. 3
VIPAUMBELE VYA WIZARA KWA MWAKA WA
FEDHA WA 2017/18…………………………………………
4
UTEKELEZAJI WA KAZI ZA WIZARA KWA MWAKA
2017/18…………………………………………….
5
MUUNDO WA PROGRAMU………………………………. 5
MAELEZO YA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU…….. 6
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA SEKONDARI… 7
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI……… 11
PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU……………….. 16
Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu……………………… 16
Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti………………… 18
Huduma ya Sayansi na Teknolojia……………………………. 20
Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu…………………………. 21
Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu………………………… 23
PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI…………………………………….
25
Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali………………………. 25
Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima……….. 28
PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU
Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia………………..
31
Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu…………………… 33
Huduma ya Ukaguzi wa Elimu………………………………... 35
Huduma za Maktaba…………………………………………... 36
Huduma ya Urajisi wa Elimu………………………………….. 38
Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha…... 40
Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika
Elimu…………………………………………………
41
Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli……. 43
PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI …... 45
Programu ndogo ya Uongozi Kiujumla………………………. 45
Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango, Sera na 47
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2018/2019 iii
Utafiti …………………………………………………………
Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Elimu
Pemba……….
48
MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2018/19
KATIKA MFUMO WA PROGRAMU…………………….
49
Vipaumbele……………………………………………………. 49
Miradi mitano ya Sekta ya Elimu……………………………... 52
Maelezo ya Programu za Elimu……………………………….. 53
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA SEKONDARI….. 53
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA JUU………………. 54
Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu…………………….... 54
Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti…………………. 55
Huduma ya Sayansi na Teknolojia…………………………….. 56
Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu………………………….. 56
Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu………………………….. 57
PROGRAMU YA TATU: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI…………………………………….
58
Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali………………………. 58
Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima……… 58
PROGRAMU YA NNE: UBORA WA ELIMU
Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia…………………..
59
Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu…………………....... 60
Huduma ya Ukaguzi wa Elimu………………………………...... 60
Huduma za Maktaba…………………………………………….. 61
Huduma ya Urajisi wa Elimu…………………………………… 61
Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha…….. 62
Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika
Elimu…………………………………………………..................
63
Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli………. 63
PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI ……… 64
Programu ndogo ya Uongozi Kiujumla……………………….. 64
Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango, Sera na
Utafiti……………………………………………………………..
65
Programu ndogo ya kuratibu shughuli za elimu Pemba………..... 65
MGAWANYO WA FEDHA KWA PROGRAMU…………. 66
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA SEKONDARI … 66
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2018/2019 iv
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA JUU………………… 66
PROGRAMU YA TATU: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI………………………………………
66
PROGRAMU YA NNE: UBORA WA ELIMU…………… 66
PROGRAMU YA TANO: UTAWALA NA UONGOZI …….. 67
JUMLA YA GHARAMA ZA WIZARA YA ELIMU NA
MAFUNZO YA AMALI………………………………………..
68
SHUKURANI……………………………………………………. 68
KIAMBATISHO…………………………………………………. 70
1
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
AMALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO KWA
MWAKA WA FEDHA 2018/19
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwa Baraza lako
Tukufu liingie katika Kamati ili niweze kutoa maelezo ya
makadirio ya mapato na matumizi ya Fedha ya Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Amali kwa mwaka 2018/19.
2. Mheshimiwa Spika, Awali ya yote, napenda kumshukuru
Mwenyezi Mungu kwa rehema zake kwa kutujaalia uhai, afya
njema na akatuwezesha kukutana katika kikao hiki cha Bajeti
kwa kipindi cha pili cha ya Uongozi imara wa Mheshimiwa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dkt. Ali Mohammed Shein. Namuomba Mwenyezi Mungu
anipe uwezo na ufasaha wa kuiwasilisha hotuba hii ya
makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yangu. Pia
namuomba Mwenyezi Mungu atujaalie wasaa wajumbe wote
wa kuijadili kwa kina na hatimaye Baraza lako tukufu liweze
kuipitisha kwa kauli moja Bajeti ya Wizara yangu.
3. Mheshimiwa Spika, pili, kwa nafasi ya pekee nampongeza
Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kwa uongozi wake bora,
usimamizi mzuri na moyo thabiti katika kuimarisha huduma
za jamii kwa wananchi wake ikiwemo huduma ya elimu.
Ninampongeza kwa dhati kwa kutangaza rasmi kufuta
michango inayotolewa na wazazi katika skuli za sekondari za
Serikali kuanzia Julai 2018. Utekelezaji wa agizo hilo
umeanza siku ya tarehe 19 Mei, 2018 ambapo Mheshimiwa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
alizindua utoaji wa ruzuku kwa wanafunzi wote 112,358
walioko katika skuli za sekondari za Serikali ambapo kila
skuli itaingiziwa katika akaunti yake TSh. 32,000/= kwa kila
2
mwanafunzi kwa mwaka. Uongozi wa Wizara unamshukuru
sana Mheshimiwa Rais wetu kwa ushauri na miongozo
anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu.
Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa
Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi,
kwa utendaji wake mzuri, ushirikiano na michango yake
katika kuiendeleza sekta ya elimu.
4. Mheshimiwa Spika, Pia, nachukua fursa hii kukupongeza
wewe binafsi, Naibu Spika pamoja na Mwenyeviti wa Baraza
kwa mashirikiano na miongozo yenu mizuri inayopelekea
kupata ufanisi katika utendaji wetu na kuleta maendeleo ya
Taifa letu. Namuomba Mwenyezi Mungu akuzidishieni
hekima, busara uadilifu na umahiri katika kuliongoza Baraza
hili tukufu.
5. Mheshimiwa Spika, Naomba Shukurani za dhati ziwafikie
wajumbe wote wa Baraza lako Tukufu na hasa Wajumbe wa
Kamati ya Ustawi wa Jamii chini ya uongozi mahiri wa
Mheshimiwa Dkt. Mwinyihaji Makame kwa miongozo,
ushauri na maelekezo ya kimaendeleo wanayotupatia katika
utekelezaji wa shughuli zetu mbalimbali wanapotembelea
katika taasisi za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali.
6. Mheshimiwa Spika, Nitakuwa mchoyo wa fadhila
nisipomshukuru Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya
Amali Mheshimiwa Mmanga Mjengo Mjawiri kwa juhudi
zake katika utendaji na mashirikiano makubwa katika
utekelezaji wa majukumu tuliyopangiwa. Namuomba
Mwenyezi Mungu atuzidishie mashirikiano, imani, uadilifu,
ujasiri na maarifa mazuri katika kuyakabili majukumu yetu
na kuliongoza Taifa letu katika maendeleo endelevu. Aidha,
nawapongeza watendaji wote wa Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Amali wakiwemo Katibu Mkuu, Manaibu Katibu
Wakuu, Wakurugenzi, maafisa wa ngazi mbalimbali wa
Wizara, Mikoa na Wilaya na Kamati zetu za Skuli ambazo
3
kwa pamoja zinashiriki katika kuleta maendeleo ya elimu.
Pia, nazipongeza Bodi za Mashirika na Taasisi za Elimu kwa
michango na ushauri mbali mbali wanaotupatia. Aidha,
nawashukuru sana walimu, wazazi na wanafunzi na wadau
wote wa elimu kwa kushiriki kikamilifu katika harakati za
utoaji na upatikanaji wa huduma ya elimu bora kwa watoto
na vijana wetu. Mola awazidishie moyo wa imani na upendo
ili watoto na vijana wetu waendelee kufaidika na kupata
elimu katika kiwango chenye ubora.
7. Mheshimiwa Spika, Mwisho nawashukuru sana watendaji
wa Wizara ya Fedha na Mipango kwa ushirikiano wao ambao
umechangia katika kuimarisha huduma za elimu katika
mwaka 2017/18. Nimatumaini yetu kuwa ushirikiano huo
utaimarika katika utekelezaji wa shughuli za Sekta ya Elimu
kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa huduma ya elimu
katika Taifa letu kwa kupitia kauli mbiu yetu ya “Elimu
Bora Kwanza”.
8. Mheshimiwa Spika, sasa naomba nitoe maelezo ya
utekelezaji wa kazi kwa mwaka wa fedha wa 2017/18.
MIRADI YA SEKTA YA ELIMU
9. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2017/2018,
Wizara ilitekeleza kazi zake kupitia miradi mikuu mitano,
ifuatayo: -
1. Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi
2. Uimarishaji wa Elimu ya Msingi
3. Uimarishaji wa Elimu ya Lazima
4. Uimarishaji wa Elimu Mbadala na Amali
5. Miundombinu katika elimu
4
VIPAUMBELE VYA WIZARA KWA MWAKA WA
FEDHA WA 2017/18
10. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha wa 2017/18,
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ilitekeleza kazi zake
kupitia vipaumbele vifuatavyo: -
Kukamilisha Mpango Mkuu wa Elimu kwa kipindi cha
miaka mitano (2017/18 – 2021/22) pamoja na mfumo wa
Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Mpango wa Elimu ikiwemo
MKUZA III.
Kuipitia na kuifanyia marekebisho Sheria ya Elimu ili
iendane na Dira ya 2020, malengo ya Sera ya Elimu ya
Zanzibar ya mwaka 2006, MKUZA III na Malengo ya
Kimataifa ya Maendeleo Endelevu. Pia, kuikamilisha
Sheria ya Ukaguzi wa Elimu, Sera ya TEHAMA katika
elimu, Sera ya Mafunzo ya Ualimu kazini na ya Elimu
Mjumuisho.
Kuliimarisha Baraza la Mitihani kwa kuufanyia mapitio
na kuandaa mfumo mpya wa upimaji na tathmini katika
elimu.
Kuajiri wafanyakazi 700 wakiwemo walimu 258 wa
Sayansi, wakutubi 200 na Watunza Maabara 200, Maafisa
42 wa fani mbalimbali. Pamoja na kuwapatia mafunzo
walimu wa maandalizi, wa msingi, wa mbadala na wa
sekondari kwa mujibu wa mahitaji.
Kuimarisha miundombinu ya elimu kwa kujenga Maabara
na Maktaba katika skuli 23; skuli 14 Unguja na 9 Pemba.
Kukamilisha madarasa 200 ya maandalizi na msingi
yaliyoanzishwa na wananchi, kukarabati vyoo na
madarasa na kujenga madarasa mapya 48 katika skuli
sita; nne Unguja na mbili Pemba.
Kuanzisha utoaji wa ruzuku kwa skuli kwa ajili ya
kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Skuli (Capitation
5
grants) kwa skuli za msingi zenye madarasa ya tano na
sita na skuli za sekondari zenye kidato cha kwanza na cha
pili. Pia kuzipatia skuli za sekondari vitabu, vifaa vya
maabara, vya ufundi na kompyuta.
Kupunguza msongamano wa wanafunzi katika madarasa
kwa kujenga skuli mbili za maandalizi, mbili za msingi na
10 za ghorofa za sekondari pamoja na kuzipatia samani.
Kuwapatia vifaa wanafunzi wenye mahitaji maalum na
mafunzo kwa walimu wanaosomesha madarasa ya
mjumuisho na kuwapatia chakula wanafunzi wote wa
maandalizi na wa skuli 10 za msingi.
Kukamilisha ujenzi wa vituo viwili vya Mafunzo ya
Amali, Daya kwa Pemba na Makunduchi kwa Unguja na
kukamilisha ujenzi wa majengo ya kufundishia katika
Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume na Taasisi ya
Maendeleo ya Utalii ya Maruhubi na kujenga viwanja 11
vya michezo katika skuli 11.
UTEKELEZAJI WA KAZI ZA WIZARA KWA
MWAKA 2017/18
11. Mheshimiwa Spika, sasa naomba kuwasilisha utekelezaji wa
mpango wa maendeleo ya elimu kwa mwaka 2017/18 kwa
kupitia programu sita za Wizara yangu.
MUUNDO WA PROGRAMU 12. Mheshimiwa Spika, programu kuu za Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Amali ni hizi zifuatazo: -
Programu ya 1: Elimu ya Maandalizi na Msingi
Programu ya 2: Elimu ya Sekondari.
Programu ya 3: Elimu ya Juu
Programu ya 4: Elimu Mbadala na Mafunzo ya Amali
Programu ya 5: Ubora wa Elimu
Programu ya 6: Uongozi na Utawala
6
MAELEZO YA UTEKELEZAJI KWA PROGRAMU
13. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2017/18 Wizara
ilitekeleza kazi zake kupitia Programu nilizoziainisha hapo
juu kwa kuzingatia makubaliano ya maendeleo ya elimu ya
Kitaifa na Kimataifa ikiwemo Dira ya Taifa ya Maendeleo ya
Zanzibar kwa mwaka 2020, lengo la MKUZA III la
kuzingatia usawa katika kutoa elimu bora pamoja na
vipaumbele vya Wizara.
14. Mheshimiwa Spika, Programu hizo zilitekelezwa kwa
mashirikiano na ya karibu kati ya Serikali, Jamii na washirika
wa maendeleo wa ndani na nje ya Zanzibar. Programu zote
hizo zilitengewa jumla ya TSh. 197,290,176,000/= kati ya
fedha hizo, TSh. 136,812,200,000/= zilipangwa kutumika
kwa kazi za kawaida na TSh. 60,477,976,000/= kwa kazi za
maendeleo. Kati ya fedha za maendeleo, TSh.
5,908,000,000/= ni mchango wa SMZ na TSh.
54,569,976,000/= ni mchango wa wahisani. Miongoni mwa
fedha za wahisani TSh. 40,125,733,000/= ni mkopo kutoka
Benki ya Kiarabu (Badea), Benki ya Maendeleo ya Afrika
(ADB) na Benki ya Dunia (WB).
15. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.
146,029,587,836/= sawa na asilimia 74 ya makadirio
zilipatikana. Kati ya fedha hizo, TSh. 122,655,597,509/= za
SMZ kwa matumizi ya kawaida sawa na asilimia 89.6
zilipatikana. Kwa upande wa fedha za maendeleo, jumla ya
TSh. 18,921,977,527/= za wahisani sawa na asilimia 35 ya
makadirio ya fedha za wahisani zilipatikana na TSh.
4,452,012,800 /= za Serikali sawa na asilimia 75 zilipatikana.
Utekelezaji halisi wa Programu za Wizara yangu ni kama
ifuatavyo: -
7
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA
MAANDALIZI NA MSINGI
16. Mheshimiwa Spika, Programu hii inahusika na kusimamia
utoaji wa elimu ya maandalizi na msingi kwa wanafunzi
wenye umri kati ya miaka minne na kumi na nne. Idara
inasimamia Madrasa na Vyuo vya Kur-ani pamoja na vituo
324 vya Tucheze Tujifunze (TuTu). Vituo 152 vipo Unguja
na 172 vipo Pemba. Programu hii Kitaifa inatekelezwa kwa
mashirikiano kati ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara
Maalumu, wananchi pamoja na washirika wa maendeleo
wakiwemo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, Global
Partnership for Education (GPE), Table for Two (TfT) ya
Japan, Shirika la Maendeleo ya Elimu na Watoto Duniani
(UNICEF), Ofisi ya Mufti na Jumuiya ya Zanzibar Madrasa
Early Childhood Program (ZMECP).
17. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha wa 2017/18,
programu hii ilitengewa jumla ya TSh. 70,724,571,000/=.
Kati ya hizo TSh. 50,606,740,000/= kwa kazi za kawaida na
TSh. 20,117,831,000/= kwa kazi za maendeleo. Kati ya fedha
hizo, TSh. 19,842,831,000/= kutoka GPE na UNICEF na
TSh. 275,000,000/= za SMZ. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla
ya TSh. 11,702,360,291/= za wafadhili sawa na asilimia 59
na TSh. 38,816,494,893/= za SMZ sawa na asilimia 76.7
zilipatikana.
18. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa programu hii ni
kama hivi ifuatavyo: -
i). Ujenzi wa Skuli ya Mbuyumaji na Sharifumsa
umekamilika. Aidha, jumla ya madarasa 187 kati ya
200 yaliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi
yamekamilika kwa kiwango uezekaji na kupiga
plasta, hatua ya kupaka rangi inaendelea. Wizara
inaendelea na kazi za kuezeka wa madarasa 6 katika
skuli za Mgenihaji na Chunga. Pia, Ujenzi huu
8
unajumuisha pia vyumba 23 vikiwemo vyumba vya
walimu, maabara, vyumba vya kompyuta na vyoo.
ii). Ujenzi wa Skuli ya Msingi ya Fuoni Mambosasa
unaendelea na umefikia asilimia 85.
iii). Ujenzi wa Skuli mpya ya Ngadu, Mkumbuu
unaendelea kwa ujenzi wa kuta.
iv). Jumla ya wanafunzi 44,397 wapya wameandikishwa
kuanza darasa la kwanza kwa mwaka 2018,
wakiwemo wanawake 22,071 na wanaume 22,326.
Jadweli namba 15 linatoa ufafanuzi zaidi.
v). Mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu 300 wa
madrasa juu ya kutumia njia bora na rafiki za
ufundishaji kwa wanafunzi yamefanyika katika
wilaya zote za Unguja na Pemba. Pia, Idara
imewajengea uwezo walimu 230 wa vyuo vya Kur-
ani juu ya umuhimu wa kutumia mtaala wa namna
moja kwa vyuo vyote vya Unguja na Pemba. Aidha,
Idara ilifanya ufuatiliaji katika vyuo 1,500 vya Kur-
ani ili kutoa ushauri kwa walimu na kusaidia kutatua
changamoto zinazowakabili.
vi). Mikutano ya kuwahamasisha wanajamii 1,100
(Unguja 700 na Pemba 400) imefanyika. Miongoni
mwa washiriki hao ni Masheha, viongozi wa dini,
watu maarufu, Maafisa elimu wilaya na mikoa yote
ya Unguja na Pemba, wenyeviti wa kamati za skuli
na walimu wakuu kuielimisha jamii umuhimu wa
kuimarisha mazingira rafiki ya watoto, kusimamia
elimu ya watoto, uandikishaji wa watoto waliofikia
umri wa miaka minne kuanza elimu ya maandalizi na
miaka sita kwa elimu ya msingi pamoja na
kuwaepusha na ajira za watoto na kuwakinga na
udhalilishaji. Aidha, uhamasishaji kama huo
ulifanyika kupitia Televisheni na Redio mbali mbali
nchini.
vii). Huduma ya chakula kwa skuli kumi za msingi
imeendelea kutolewa. Skuli hizo ni Kijini, Kidagoni,
9
Mbuyutende, Mfurumatonga, Kigunda kwa
Kaskazini ‘A’ na Mgonjoni Kaskazini ‘B’ kwa
Unguja na Skuli ya Kinowe, Mgogoni, Mkia wa
ngombe kwa Wilaya ya Micheweni na Makangale ya
Wete kwa Pemba. Hii inatekelezwa kwa
mashirikiano kati ya Wizara na Shirika la Maendeleo
ya Watoto “Partnership for Child Development”
(PCD) la Uingereza pamoja na “Table for Two”
(TfT) ya Japan. Aidha, Wizara imeshirikiana na
Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi
kupitia ufadhili wa PCD na TfT imetoa mafunzo ya
kuanzisha bustani za mboga mboga katika maeneo ya
skuli zinzotekeleza mradi ili kuongeza lishe kwa
watoto. Bustani za majaribio zimeanzishwa katika
skuli ya Kigunda Unguja na Makangale Pemba.
Bustani hizo kwa awamu ya kwanza zimetoa mavuno
ya tungule wastani wa kilo 600 katika skuli ya
Kigunda na Butternuts (aina ya Maboga) 250 katika
skuli ya Makangale.
viii). Jumla ya madaftari 737,000 ya kuandikia wanafunzi,
madaftari 3,500 ya mahudhurio na chaki boksi 2,500
yamesambazwa katika skuli 313 msingi za Unguja na
Pemba pamoja na manila kwa skuli za maandalizi
ikiwa ni utekelezaji wa mpango wa Serikali wa
kuzisaidia skuli baada ya kufutwa kwa michango ya
lazima ya wazazi katika ngazi ya Elimu ya
Maandalizi na Msingi. Pia, Idara ilizisaidia vifaa
skuli tano mpya za maandalizi vikiwemo makabati,
picha za viongozi, mabusati, sahani, vikombe, vifaa
vya usafi na vifaa vya kuandikia. Skuli hizo ni
Kiombamvua, Chutama, Binguni, Ndijani
Mwembepunda na Sharifumsa.
ix). Wafanyakazi 45 (30 Unguja na 15 Pemba)
wamejengewa uwezo juu ya usimamizi wa kazi,
kuandaa mpango mkakati, utafiti wa vitendo (Action
10
Research), Sheria na Kanuni za Utumishi, usimamizi
wa kazi, ufuatiliaji na tathmini na uongozi.
x). Wizara imewajengea uwezo wa ufundishaji walimu
200 ili kuweza kumudu kufundisha madarasa yenye
idadi kubwa ya wanafunzi. Vile vile, mafunzo kama
hayo yametolewa kwa walimu wakuu 250 juu ya
mbinu za kumudu Uongozi na Usimamizi wa kazi na
majukumu yao kwa Unguja na Pemba.
xi). Viongozi 286 (Unguja 174 na Pemba 112) wa
serikali za wanafunzi wamepatiwa mafunzo na
kusimamiwa katika utekelezaji wa majukumu yao.
Viongozi hawa wanatoa ushirikiano mzuri kwa
walimu katika uendeshaji, utunzaji wa mazingira ya
skuli na kuchangia katika kuleta maendeleo ya
taaluma.
xii). Wizara kwa kushirikiana na NGO ya “International
Education and Sports Consultancy” imetoa mafunzo
ya miezi sita ya lugha ya Kiingereza na mbinu bora
za kufundishia kwa walimu 64 wa msingi hasa
wanaofundisha madarasa ya nne na tano. Aidha,
kupitia mashirikiano na Kampuni ya Colgate, Idara
imewajengea uwezo walimu 200 wa skuli za msingi
juu ya afya ya kinywa na meno na utamaduni wa
kunawa mikono. Walimu hao wataitumia taaluma
waliyoipata kutoa elimu hiyo kwa wanafunzi na
jamii. Kampuni hii imewapatia wanafunzi zawadi ya
dawa za meno na misuaki.
xiii). Wizara kwa kushirikiana na UNICEF imeandaa
mikutano ya kupanga mikakati ya uanzishaji wa
vituo vya TuTu na wadau 48 katika wilaya ya
Magharibi ‘A’ na ‘B’ na Chakechake Pemba na
kufungua vituo 25 vipya vya TuTu katika Wilaya
hizo.
xiv). Idara, kwa kushirikiana na Jumuiya isiyo ya
kiserikali ya KUKUA, imewajengea uwezo
wanafunzi na walimu 825 kutoka skuli 16 za Mkoa
11
wa Kusini katika vijiji vya Jozani, Kitogani,
Jambiani, Paje na Bwejuu juu ya usalama barabarani
na kujikinga na ajali. Pia Idara imeshirikiana na
Kampuni ya “Penny Royal” inawapatia mafunzo ya
lugha ya Kiingereza na njia bora za kufundishia kwa
walimu 30 wa skuli za Kijini na Mbuyutende za
Wilaya ya Kaskazini ‘A’ pamoja na kuanzisha
programu ya masomo ya ziada kwa wanafunzi wa
darasa la tano na la sita wa skuli hizo.
Matokeo ya Muda Mfupi;
i. Jumla ya wanafunzi 272,686 wameandikishwa katika
vyuo 2,251 vya Kur-ani vyenye jumla ya walimu
9,269.
ii. Jumla ya watoto 72,151 ambao ni sawa na asilimia
69.4 wameandikishwa katika ngazi ya elimu ya
maandalizi, wakiwemo wanawake 36,648 na
wanaume 35,503 katika mwaka 2018/19. Hii ni sawa
na ongezeko la asilimia 3.7 ikilinganishwa na asilimia
66.1 ya uandikishaji ya mwaka 2017/18. Aidha, Jumla
ya watoto 49,442 waliopata elimu ya maandalizi
ambao ni sawa na asilimia 58.8 wameandikishwa
kuanza Darasa la Kwanza katika mwaka wa 2018.
Jadweli namba 15 linatoa mchanganuo kiwilaya.
iii. Jumla ya wanafunzi 276,858 wameandikishwa katika
ngazi ya elimu ya msingi kwa mwaka 2018/19 ambao
ni sawa na asilimia 116.5. Kati ya hao, wanawake ni
137,618 sawa na asilimia 116.3 na wanaume ni
139,240 sawa na asilimia 116.8. Jadweli namba 14
linatoa ufafanuzi zaidi.
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI.
19. Mheshimiwa Spika, Programu hii inalenga kutoa na
kuimarisha elimu ya sekondari. Kwa mwaka 2017/18
programu hii imetekelezwa kwa pamoja kati ya Serikali na
wafadhili wa ndani na nje ya nchi. Jumla ya TSh.
12
63,496,813,000/= zilipangwa kutumika, kati ya fedha hizo,
TSh. 35,982,715,000/= ni kwa kazi za kawaida na TSh.
27,514,098,000/= kwa miradi ya maendeleo zikiwemo
2,033,000,000/= za SMZ. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya
TSh. 27,414,994,282/= zilipatikana sawa na asilimia 43. Kati
ya hizo, TSh. 8,258,250,506/= sawa na asilimia 30 kwa kazi
za maendeleo. Kati ya fedha hizo za maendeleo, TSh.
6,225,250,506/= za wafadhili kutoka BADEA, OPEC, Benki
ya Dunia na Good Neighbour sawa na asilimia 24.4 na TSh.
2,033,000,000/= kutoka Serikalini sawa na asilimia 100
zilipatikana.
20. Mheshimiwa Spika, Programu hii ilitekeleza shughuli
zifuatazo: -
i). Jumla ya kompyuta nane (8) zimenunuliwa na
kugaiwa katika skuli za sekondari za Regeza
Mwendo, Makoba, Kibele, Machui, Kianga,
Mtopepo, Kidagoni na Bambi.
ii). Vifaa vya maabara na kemikali vimenunuliwa na
kusambazwa katika skuli zote za sekondari zenye
kidato cha nne na kidato cha sita kwa Unguja na
Pemba.
iii). Vitabu vya wanafunzi vya Sayansi vimenunuliwa na
kusambazwa katika skuli 14 za sekondari zenye
madarasa ya sayansi na vitabu vya Fasihi ya
Kiswahili na ya Kiingereza kwa skuli tisa zenye
masomo ya sanaa vimesambazwa katika skuli zenye
kidato cha tano na sita za Unguja na Pemba. Skuli
zilizopatiwa vitabu vya sayansi ni pamoja na Skuli
ya Sekondari ya SUZA, Lumumba, Ben bella,
Mpendae, Tumekuja, Kiembe samaki “A”, Kwarara,
Biashara ya Mombasa, Haile selassie, Chasasa,
Madungu, Fidel Castro, Utaani na Mohamed Juma
Pindua. Skuli zilizopatiwa vitabu vya Fasihi ni
Utaani, CCK Pemba, Uweleni, Mchanga Mdogo,
13
Kiponda, Hamamni, M/Kwerekwe ‘C’, Jang’ombe
na Faraja.
iv). Jumla ya wanafunzi 1,719 wamefanya mitihani ya
kumalizia kidato cha sita kuanzia tarehe 7/5 hadi
24/5/2018. Kati yao 1,542 kutoka skuli za Serikali
na 177 ni wa skuli za binafsi. Aidha wanafunzi 2,564
wamefaulu mtihani wa kidato cha nne uliofanyika
Oktoba, 2017 na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha
tano katika skuli mbali mbali za Serikali. Kati ya
wanafunzi hao, wanafunzi 829 wa fani ya sanaa
wakiwemo wanawake 388 na wanaume 441,
wanafunzi 1,604 wa sayansi kati yao 761 wanawake
na 843 wanaume, wanafunzi 131 wa fani ya biashara
na kompyuta wakiwemo wanawake 62 na 69
wanaume.
v). Muongozo wa uendeshaji wa taratibu za kuzipatia
skuli ruzuku umekamilika. Mafunzo ya muongozo
wa matumizi ya fedha za ruzuku za skuli (school
grant manual) yametolewa. Jumla ya washiriki 1,280,
wakiwemo walimu wakuu, wenyeviti wa kamati za
skuli na walimu wahusika wa ghala wameshiriki.
Utoaji wa fedha za ruzuku umezinduliwa rasmi na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein
katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani,
Kikwajuni tarehe 19 Mei, 2018.
vi). Vifaa kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu wa
uoni vimenunuliwa. Vifaa hivyo ni mashine za
kuandikia nukta nundu, kompyuta, fimbo nyeupe
kwa skuli za sekondari ya Jambiani na Umoja Uzini.
vii). Jumla ya TSh. 77,100,000/= za gharama zimelipwa
za mitihani ya Taifa kwa wanafunzi wa kidato cha
sita iliyofanyika Mei, 2018 na TSh. 740,850,000/=
kwa mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika
Novemba, 2017.
14
viii). Mikataba ya ujenzi wa skuli mbili mpya, maabara na
maktaba katika skuli 23 na madarasa 48 katika skuli
sita imekamilika na imewasilishwa kwa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupata ushauri wa
kisheria.
ix). Ujenzi wa skuli tisa (9) za ghorofa unaendelea katika
maeneo ya Mwembeshauri (asilimia 20), Bububu
(20%), Kinuni (42%), Fuoni (24%), Chumbuni
(23%), Wara (17%), Micheweni (35%), Kizimbani
(17%) na Mwambe (17%), ujenzi wa skuli ya
Bwefum unaendelea na umefikia asilimia 90, ujenzi
wa skuli ya Kibuteni unaendelea na umefikia asilimia
70 na ujenzi wa jengo jipya la ghorofa ndani ya skuli
ya Sekondari ya Biashara umefikia asilimia 50.
x). Wizara imelifanyia matengenezo na kuweka tiles na
makabati darasa la uchoraji katika skuli ya sekondari
ya Mwanakwerekwe ‘C’, darasa la “home
economies” katika Skuli ya Ben Bella na kulifanyia
matengezo darasa litumike kama maabara katika
Skuli ya Mtoni Kidatu pamoja na kusaidia ujenzi wa
ukuta katika Skuli ya Sekondari ya Mpendae.
xi). Huduma za dakhalia zimeimarishwa kwa
kutengeneza vitanda, kununua magodoro 117,
kuweka vitasa vya makabati, kupaka rangi pamoja na
kulifanyia matengenezo jiko katika dakhalia ya
wanawake ya Mazizini.
xii). Zabuni kwa ajili ya ukarabati wa Skuli ya Sekondari
ya Lumumba imetangazwa na tathmini imefanyika.
Taratibu za kutiliana saini mkataba na mzabuni
aliyeshinda zinaendelea.
xiii). Jumla ya walimu wapya 282 walioajiriwa na
kupangiwa kazi katika Mikoa mitatu ya Unguja na
75 kwa mikoa miwili ya Pemba walipatiwa mafunzo
elekezi ya siku tatu kwa lengo la kuwajengea uelewa
wa taratibu na majukumu katika kazi yao. Kati ya
15
waajiriwa hao, 51 ni walimu wa sayansi na 306 ni wa
sanaa.
xiv). Jumla ya Maliwali Wakuu 225 wa Serikali za
wanafunzi walipatiwa mafunzo ya uongozi. Mafunzo
haya yamejumuisha wanafunzi wa Wilaya sita za
Unguja, Wilaya hizo ni Wilaya ya Mjini, Magharibi
“A”, Magharibi “B”, Kaskazini “A”, Kaskazini “B”,
Kusini na Kati.
xv). Jumla ya wanafunzi kumi (10), sita kutoka Unguja na
na wanne kutoka Pemba walifuatana na maafisa
wawili mmoja kutoka Pemba na mmoja kutoka
Unguja walipelekwa katika skuli za Mama Salma
Kikwetwe. Kati yao watano wamepelekwa Skuli ya
Sekondari ya WAMA NAKAYAMA iliyopo katika
Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Rufiji na wanafunzi tano
wamepelekwa skuli ya sekondari ya WAMA
SHARAF iliyopo Mkoa wa Lindi katika Wilaya ya
Lindi.
xvi). Vifaa vya michezo zikiwemo “Track suit” 300, koni
90, televisheni mbili, kompyuta mpakato mbili,
projekta mbili, DVD mbili na redio 10 vimegaiwa
katika skuli nane za sekondari zenye kufundishwa
somo la michezo. Skuli hizo ni Mwanakwerekwe ‘A’
na ‘C’, Haile selassie, Hamamni, Mwembeladu,
Jambiani, Ndijani na Mkwajuni. Aidha, Idara imetoa
kopi 112 za vitabu visaidizi vya kufundishia somo la
michezo kwa skuli za sekondari zinafundisha somo
hilo.
Matokeo ya muda mfupi.
i. Jumla ya wanafunzi 122,323 sawa na asilimia 85.6
wameandikishwa ngazi za elimu ya sekondari ya
awali (kidato 1 – 4). Wanafunzi 10,987 sawa na
asilimia 9 wanasoma katika skuli za binafsi. Kati yao,
wanafunzi 70,037 ni wa kidato cha 1 na cha 2
(wanaume ni 33,365 na wanawake 36,672).
16
Wanafunzi 52,286 wanasoma kidato cha 3 na cha 4
wakiwemo wanawake 30,632 na wanaume 21,654.
Jadweli namba 20 na 21 yanatoa ufafanuzi zaidi.
ii. Jumla ya wanafunzi 4,590 wameandikishwa katika
ngazi ya elimu ya sekondari ya juu katika skuli za
Serikali na za binafsi. Wanafunzi 2,675 ni wa kidato
cha 5 (wanawake 1,316 na wanaume 1,359) na
wanafunzi 1,915 wa kidato cha 6. Kati yao, wanawake
1,002 na wanaume 913. Jadweli namba 22 linafafanua
zaidi.
PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU
21. Mheshimiwa Spika, Madhumuni ya programu hii ni kutoa
elimu itakayomuwezesha muhitimu kujiajiri au kuajiriwa.
Programu hii ina programu ndogo moja ambayo ni mafunzo
ya ualimu na maeneo manne ya huduma, ikiwemo Huduma
ya Uratibu wa Elimu ya Juu, Huduma ya Mikopo ya Elimu ya
Juu, Huduma ya Sayansi na Teknolojia na Huduma ya Elimu
ya Juu, Ushauri na Utafiti. Utekelezaji wa programu hii ni
kama ifuatavyo: -
Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu
22. Mheshimiwa Spika, programu hii ndogo ilitengewa jumla ya
TSh. 1,861,075,000/= za SMZ kwa kuendelea kutoa mafunzo
ya ualimu katika ngazi ya Stashahada. Hadi kufikia Mei,
2018, jumla ya TSh. 1,497,284,828/= zilipatikana sawa na
asilimia 80.4.
23. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa programu hii
ndogo ni kama hivi ifuatavyo: -
i). Jumla ya walimu 750 wanaofundisha madarasa ya
tano na sita, walifuatiliwa juu ya matumizi ya
mafunzo waliyoyapata katika ufundishaji wa
masomo ya Sayansi, Hesabati na Kiingereza chini ya
miradi ya ZABEIP na GPE. Mafunzo hayo yalilenga
juu ya mbinu sahihi za ufundishaji, maudhui ya mada
17
husika pamoja na matumizi ya lugha ya Kiingereza
wakati wa kufundisha.
ii). Jumla ya moduli 260 za mafunzo ya Jiografia na
TEHAMA kwa walimu wa madarasa ya 5 na 6
zimechapwa na kusambazwa katika vituo vya
walimu kwa ajili ya mafunzo kwa walimu husika.
iii). Mikutano miwili ya wakuu wa vyuo ilifanyika,
mmoja katika Chuo cha Kiislamu Kiuyu Pemba na
mwengine Chuo cha Kiislamu Mazizini Unguja.
Ajenda kuu zilizozungumzwa ni pamoja na udahili
wa wanafunzi wapya, mikakati ya ufundishaji na
kurejesha mafunzo ya cheti cha ualimu kitakacho
pimwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA)
pamoja na utayarishaji wa mtaala wa masomo ya
Dini na Kiarabu kwa wanafunzi wa stashahada ya
Ualimu.
iv). Jumla ya moduli 1,950 za masomo ya Kiswahili,
Kiingereza, Dini, Sayansi ya Mazingira, Elimu na
Hisabati za mafunzo ya Elimu Masafa zimechapwa
na kusambazwa katika vituo vya walimu kwa
matumizi.
v). Kwa kushirikiana na Baraza la Mitihani la Zanzibar,
Idara imeandaa mitihani ya masomo sita yakiwemo
ya Kiswahili, Kiingereza, Dini, Sayansi ya
Mazingira, Elimu na Hisabati ya Elimu masafa kwa
ngazi cheti cha ualimu daraja la III B iliyofanyika
katika vituo vyote vya walimu vya Unguja na Pemba.
vi). Jumla ya ziara 719 za ufuatiliaji wa matumizi ya
Mihutasari katika skuli zilifanyika na katika mambo
yalibainika ni baadhi ya walimu kutomaliza
mihutasari kwa wakati, baadhi yao kutokufika skuli
kwa wakati, uhaba wa vitendea kazi na ushiriki
mdogo wa wanafunzi katika masomo.
vii). Wafanyakazi 3 walipatiwa mafunzo, 2 kwa kiwango
cha cheti na 1 kwa kiwango cha stashahada.
18
viii). Jumla ya wafanyakazi 62 wakiwemo waratibu,
washauri wa kitaifa na washauri wa kanda
walipatiwa mafunzo juu ya mbinu bora na mikakati
ya ufuatiliaji katika skuli.
ix). Walimu 650 wa Sanaa wanaofundisha masomo ya
Sayansi na Hisabati wa ngazi ya sekondari ya awali
(Kidato cha Kwanza na cha Pili) wanapatiwa
mafunzo ya kuwajengea uwezo juu ya kufundisha
masomo hayo kwa ufanisi zaidi. Mafunzo hayo
yatachukua muda wa miaka miwili katika vituo vya
walimu vya Unguja na Pemba.
Matokeo ya muda mfupi i. Jumla ya wanafunzi 683 wakiwemo wanaume 154 na
wanawake 529 wanasomea Ualimu katika Chuo cha
Kiislamu Mazizini Unguja. Pia, walimu 326 katika Chuo
cha Kiislamu Kiuyu, kati yao wanaume ni 94 na
wanawake 232 wanasomea Ualimu kwa ngazi ya Cheti
cha Maandalizi, Stashahada ya Dini na Kiarabu,
Stashahada ya Sayansi Jamii, Stashahada ya Elimu ya
Msingi kwa Unguja na Pemba na Cheti cha Elimu
Mjumuisho kwa Unguja.
ii. Jumla ya walimu 580 wamejiunga na mafunzo ya ualimu
wa cheti daraja la IIIA kwa njia ya Elimu Masafa.
Walimu 393 kutoka Unguja (15 wanaume na 378
wanawake) na 202 kutoka Pemba (19 wanaume na 183
wanawake).
Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti
Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2017/18, Huduma ya
Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti ina lengo la kuwaandaa
wanafunzi kuingia katika fani za kitaalamu na ajira. Huduma
hii inatolewa katika Vyuo vikuu vitatu vya Zanzibar; Chuo
Kikuu cha Taifa (SUZA), Chuo cha Kumbukumbu ya
19
Abdulrahman Al-Sumait cha Chukwani na Chuo Kikuu cha
Zanzibar Tunguu.
24. Mheshimiwa Spika, ngazi hii ya elimu ina jumla ya
wanafunzi 8,528 wanaosoma katika vyuo vikuu hivi vitatu.
Kati ya wanafunzi hao, wanawake 4,940 na wanaume 3,588.
Kwa mwaka wa fedha wa 2017/18, Chuo Kikuu cha Taifa
cha Zanzibar (SUZA) kilitengewa ruzuku ya TSh.
10,000,000,000/=. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.
8,454,786,197/= zimepatikana, ambazo ni sawa na asilimia
85.
25. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa huduma hii ni
kama hivi ifuatavyo: -
i). Ujenzi wa ukumbi wa mkutano wa Dkt. Ali
Mohamed Shein katika Kampasi ya Tunguu
umekamilika. Ukumbi huu una uwezo wa kuchukua
watu 3,000 kwa wakati mmoja.
ii). Ujenzi wa maabara ya kusomea kwa kutumia maiti
(Cadaver room) umekamilika na maabara hiyo
imeanza kutumika.
iii). Wafanyakazi 15 wameajiriwa, kati ya hao, wamo
wakutubi watatu, watunza maabara wawili,
wataalamu wa Afya watatu, katibu muhtasi wawili,
Afisa utafiti, Afisa masjala, Afisa viwango, Afisa
rasilimali watu na Mhudumu.
iv). Wafayakazi 77 ambao wapo masomoni wamelipiwa
ada. Kati ya hao, 36 ngazi ya Shahada ya Uzamivu,
26 Shahada ya Uzamili, 8 Shahada ya Kwanza na 7
wa ngazi ya Stashahada.
Matokeo ya muda mfupi;
i. Jumla ya wanafunzi 4,465 wameandikishwa katika
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA). Kati
yao, wanawake ni 2,542 na wanaume ni 1,923.
20
Majadweli namba 26 (a) – (f) yanatowa ufafanuzi
zaidi.
ii. Jumla ya wanafunzi 969 wakiwemo 634 wanawake na
wanaume 335 wameandikishwa katika Chuo cha
Kumbukumbu ya Abdulrahman Al-Sumait cha
Chukwani. Jadweli namba 27 linatoa ufafanuzi zaidi.
iii. Jumla ya wanafunzi 3,094 wameandikishwa katika
Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu, kati yao
wanawake ni 1,764 na 1330 wanaume. Jadweli namba
28 linatoa ufafanuzi zaidi.
26. Mheshimiwa Spika, Huduma ya Sayansi na Teknolojia
ina madhumuni ya kuimarisha elimu ya sayansi na teknolojia.
Shughuli za huduma hii zinatekelezwa na Taasisi ya Karume
ya Sayansi na Teknolojia. Kwa mwaka 2017/18, Taasisi hii
ilitengewa ruzuku ya TSh. 1,348,600,000. Hadi kufikia Mei,
2018, jumla ya TSh. 1,210,531,990/= za SMZ zilipatikana
ambazo ni sawa na asilimia 89.7.
27. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa huduma hii kwa
mwaka 2017/18 ni kama hivi ifuatavyo: -
i) Wanafunzi wapya 511, wanaume 446 na wanawake
65 kwa fani zote za Taasisi wamesajiliwa.
ii) Wafanyakazi wapya 10, kati yao 6 kada ya wakufunzi
na 4 kada za uendeshaji wameajiriwa.
iii) Mafunzo yote kwa ngazi ya stashahada hadi shahada
ya kwanza yameendelea kutolewa.
iv) Vifaa vya kisasa vya kufundishia na kujifunzia
vimenunuliwa vikiwemo vifaa vya kuyeyushia
chuma, vifaa vya mazoezi ya vitendo kwa wanafunzi
wa kompyuta, mafriji, umeme, mawasiliano ya habari
pamoja na samani kompyuta 60
v) Mafunzo mapya ya kuiendeleza Taasisi na ya
kuisaidia jamii kwa kutumia Sayansi na Teknolojia
yameanzishwa. Mafunzo hayo ni ya kutumia nishati
mbadala na mafuta na gesi.
21
Matokeo ya muda Mfupi
Jumla ya wanafunzi 1,387 wakiwemo wanawake 255 na
wanaume 1,132 wanaendelea na masomo katika fani
mbalimbali zikiwemo, Shahada ya urubani na uhandisi wa
ndege, Stashahada ya uhandisi wa umeme, teknolojia ya
habari mawasiliano na biashara, Stashahada ya Mafunzo ya
Hisabati na Sayansi kwa walimu wa skuli za msingi,
Stashahada mafunzo ya Ualimu wa vituo vya amali,
Stashahada ya usimamizi wa maabara na Cheti kwa mafunzo
ya Amali (VETA). Jadweli namba 29 linatoa ufafanuzi zaidi.
Huduma ya Mikopo ya Elimu Juu
28. Mheshimiwa Spika, huduma nyengine katika programu hii
ni Mikopo ya Elimu ya Juu yenye dhamana ya kuwapatia
mikopo vijana wanaoendelea na masomo ya elimu ya juu
katika fani mbalimbali. Huduma hii inatekelezwa na Bodi ya
Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar. Kwa mwaka wa fedha
2017/2018 jumla ya TSh. 10,203,700,000/= za ruzuku kutoa
Serikalini zilitengwa kwa ajili ya kutoa mikopo kwa
wanafunzi 2,721 wapya na wanaoendelea na Elimu ya Juu.
Hadi kufikia Mei 2018, jumla ya TSh. 10,133,863,350/= za
fedha ya bajeti zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 99.3
ya makadirio.
29. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa programu hii ni
kama ifuatavyo: -
i) Jumla ya wanafunzi 2,582 kati ya hao 1,461 ni
wanafunzi wapya walioteuliwa mwaka 2018 na 1,121
ni wanafunzi wanaoendelea na masomo katika vyuo
vikuu vya ndani na vya nje ya Tanzania. Idadi ya
wanafunzi wapya imeongezeka kwa asilimia 40.6,
kutoka 594 wa mwaka 2017 na kufikia 1,461 mwaka
2018. Ongezeko hili limetokana na kuongezeka kwa
ruzuku ya Serikali kutoka TSh. Billioni 6.12 hadi
Billioni 10.2.
22
ii) Wanafunzi 65 wamepatiwa ufadhili wa masomo
katika vyuo vya nje ya Tanzania kwa udhamini wa
nchi na washirika mbali mbali wa maendeleo, kati ya
wanafunzi hao “Islamic Development Bank”
imefadhili wanafunzi 3, Jamhuri ya Watu wa China
40, Ufalme wa Oman nafasi 6 na Serikali ya Sudan
wanafunzi 16.
iii) Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia BMEJZ
imetoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi
waliofanya vizuri zaidi na kupata daraja la kwanza
katika mitihani ya Kidato cha Sita ambao wamejiunga
na vyuo vya Tanzania. Jumla ya wanafunzi 15
wamepatiwa ufadhili kamili wa kuendelea na masomo
yao. Lengo na ufadhili huo ni kuwaenzi, kuthamini
juhudi za vijana hao kimasomo, na kuwajengea uwezo
ili wawe wataalamu wazuri wa baadae kwa ajili ya
kulijenga Taifa lao.
iv) Jumla ya wanafunzi 95 wapya na wanaoendelea na
masomo yao wamepatiwa ufadhili katika vyuo vikuu
vya Zanzibar. Kati ya hao, wanafunzi 70 katika Chuo
Kikuu cha Zanzibar Tunguu kupitia ufadhili wa
Jumuiya ya Darul- Imaan na wanafunzi 25 wa Chuo
Cha Kumbukumbu ya Abdulrahman bin Sumeit cha
Chukwani wanaofadhiliwa na Jumuiya ya “African
Muslim Agency”.
v) Jumla ya wanafunzi 436 wanatarajiwa kuhitimu
masomo yao mwaka 2017/18. Kati ya hao, wanafunzi
74 kutoka vyuo vya Tanzania Bara, 314 vyuo vya
Zanzibar na 48 vyuo vya nje ya Tanzania. Aidha, kati
ya wahitimu hao, 403 ni wa shahada ya kwanza na 33
shahada ya pili na tatu. Jadweli namba 25 (a) na (b)
yanatoa ufafanuzi zaidi.
30. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia mwezi Mei, 2018, jumla ya
Shilingi 1,262,000,000/= zimekusanywa kutoka kwa
wadaiwa wa Bodi sawa na asilimia 84.1 ya lengo
23
lililowekwa. Matarajio ni kukusanya Shilingi billioni 1.5
ifikapo mwezi wa Juni 2018. Juhudi mbalimbali
zinachukuliwa na BMEJZ ili kuhakikisha wadaiwa wote
wanarejesha mikopo yao kwa wakati.
31. Mheshimiwa Spika, Bodi inaendelea na utaratibu wa
kuwapatia fursa za masomo ya muda mrefu na muda mfupi
watendaji wake ikiwa ni kuwapa motisha na kuwajengea
uwezo wa kiutendaji. Kwa mwaka wa fedha 2017/18
watendaji watatu wamepatiwa mafunzo ya muda mrefu
ambapo wawili wamesomea Shahada ya Pili katika fani ya
Usimamizi wa Biashara katika Chuo Kikuu cha Zanzibar na
mmoja amehitimu Shahada ya Pili ya Sheria katika Chuo cha
Bagamoyo. Jumla ya Watendaji wanane (wanaume watano na
wanawake watatu) wa BMEJZ wamefaidika na mpango huu
wa mafunzo ya muda mrefu kazini na kuhitimu masomo yao.
32. Mheshimiwa Spika, Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu
ina jukumu la kusimamia na kutathmini maendeleo ya elimu
ya juu. Huduma hii inatekelezwa na Kitengo cha Uratibu wa
Elimu ya Juu. Kitengo hiki kilitengewa ruzuku ya TSh.
40,000,000/= kutoka Serikalini. Utekelezaji halisi ni huduma
hii ni kama ifuatavyo: -
i) Ufuatilia na tathmini ya utendaji wa Taasisi 23 za
Elimu ya Juu kwa Unguja na Pemba umefanyika.
ii) Nafasi za masomo kwa ufadhili wa nchi za China,
India, New Zealand, Sudani, Jumuiya ya Madola,
Misri na Mwalimu Nyerere African Union
zimetangazwa. Nafasi hizo zilijumuisha fani za
Udaktari, Uchumi, Uhandisi, Uuguzi Ualimu,
Uandishi wa habari, Uongozi, Kilimo na Sayansi ya
Mazingira kwa viwango vya Shahada ya Kwanza, ya
Pili na ya Tatu. Jumla ya waombaji 73 kati yao
wanaume 46 na wanawake 27 waliwasilisha maombi
yao.
24
iii) Warsha ya siku mbili ilifanyika tarehe 12 na 13 Mei,
2018 kwa lengo la kuwajengea uwezo na
kuwakumbushia umuhimu wa kutoa elimu kwa vijana
wa kujiunga na vyuo vinavyotambulika na
vilivyosajiliwa na Taasisi zinazohusika na usajili wa
Taasisi za Elimu ya Juu. Viongozi 26 kutoka Wizara
ya Elimu, Baraza la Elimu ya Ufundi (NACTE) kanda
ya Zanzibar, viongozi wa shirikisho la Vyuo Vikuu
Zanzibar (ZAHILFE) na wa Mamlaka ya Mafunzo ya
Amali Zanzibar walihudhuria.
iv) Jumla ya wahitimu 10 waliorudi kutoka masomoni
wameingizwa katika kumbukumbu za Wizara na
elimu na miongozo yametolewa kwa wanafunzi wa
elimu ya sekondari ya juu (Kidato cha 5 na 6)
kuhusiana na umuhimu wa kupata uwiano wa ufaulu
katika masomo yao wanapohitaji kuendelea na
masomo ya elimu ya juu.
Matokeo ya muda mfupi;
i. Jumla ya waombaji sita walifanikiwa kupata nafasi ya
masomo nje ya Tanzania. Kati ya hao, watatu
wanasomea Shahada ya Uzamili katika fani ya mmoja
Ufamasia, mmoja Sheria na mmoja Uhandisi wa
Usafirishaji wa Baharini nchini Indonesia. Mmoja
nchini anasomea Shahada ya Kwanza katika fani ya
Udaktari Misri na wawili wapo nchini China
wanachukua Shahada ya Uzamili katika fani za
Udaktari na Udaktari wa magonjwa ya moyo. Majibu
ya maombi kwa nchi nyengine bado hayajatoka.
ii. Jumla ya wanafunzi 10 waliripoti kutoka masomoni
wakiwemo wanaume saba na wanawake watatu ili
kupatiwa barua ya kupeleka Tume ya Utumishi kwa
ajili ya kupatiwa ajira.
25
PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI
33. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
elimu ya mafunzo ya amali na elimu mbadala kwa wanafunzi
kulingana na mahitaji ya soko la ajira. Programu hii ina
programu ndogo mbili; Mafunzo ya Amali na Elimu Mbadala
na Watu Wazima. Programu hii inatekelezwa kwa pamoja
kati ya Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima na
Mamlaka ya Mafunzo ya Amali.
Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali
34. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2017/18, programu hii
ndogo ilikuwa na madhumuni ya kutoa elimu
itakayowawezesha vijana kujiajiri ili kujikwamua na
umasikini ilitengewa ruzuku ya TSh. 5,497,300,000/= kwa
kazi za kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.
4,833,014,536/= kutoka Serikalini zilipatikana ambazo ni
sawa na asilimia 87.9.
35. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi kwa programu hii ni
kama hivi ifuatavyo: -
i) Kukamilisha ujenzi wa jengo jipya la Taasisi ya
Karume ya Sayansi na Teknolojia lenye madarasa 18,
maabara na karakana 4. Jengo hili jipya limeondoa
tatizo la madarasa, ofisi na maabara. Samani kwa
matumizi ya darasani na ofisini zimenunuliwa na
kusambazwa katika Taasisi ya Karume ya Sayansi na
Teknolojia.
ii) Ujenzi wa vituo viwili vya mafunzo ya amali
vilivyopo Makunduchi Unguja na Daya kwa Pemba
unaendelea. Ujenzi umefikia asilimia 20 kwa
Makunduchi na asilimia 5 kwa Daya. Mkataba wa
Mshauri Elekezi wa mradi huu Kampuni ya NewTech
ya Sudan ulimalizika Januari 2018 na Wizara
haikuongeza muda wa mkataba na kampuni hiyo ya
26
ushauri elekezi kutokana na ucheleweshaji mkubwa
wa utekelezaji wa kazi.
iii) Ujenzi wa jengo la kufundishia katika Taasisi ya
Maendeleo ya Utalii Maruhubi unaendelea umefikia
asilimia 70 ya kukamilika kwake. Zabuni kwa ajili
ununuzi wa samani na vifaa vyengine vya kufundishia
na kujifunzia zimetangazwa, zimefunguliwa na
zimefanyiwa tathmini.
iv) Mamlaka ya Mafunzo ya Amali imeweza kujitangaza
kupitia vyombo vya habari vya Serikali na vya binafsi
ikiwemo Redio, Televisheni na Magazeti ya Zanzibar
na Tanzania bara, kuchapisha kalenda 300,
vipeperushi 2,000 na kununua fulana 300 pamoja na
kufanya mahafali kwa vituo vitatu.
v) Juma la Mamlaka ya Mafunzo ya Amali
limeadhimishwa kuanzia tarehe 9 hadi 15/03/2018.
vi) Mikutano miwili kwa kila kituo kwa wajumbe wa
kamati za skuli na viongozi wa serikali na wanafunzi
katika skuli za mjini na vijijini imefanyika.
vii) Programu za michezo kwa vituo vya Mafunzo ya
Amali vya Serikali na vya binafsi vya Unguja na
Pemba zimeanzishwa.
viii) Vifaa vya kufundishia na kujifunzia fani zote
zinazotolewa katika vituo vya Mwanakwerekwe,
Mkokotoni na Vitongoji vikiwemo mbao, vitambaa,
nondo, gesi, saruji na rangi vimenunuliwa na
kusambazwa. Aidha, Mamlaka imevifanyia ukarabati
vyarahani 100 vya vituo hivyo vitatu na kununua
kompyuta 100 za kujifunzia wanafunzi.
ix) Ukarabati wa dakhalia za Mkokotoni na Vitongoji wa
madarasa matano katika Kituo cha Mwanakwerekwe
umefanyika. Aidha, ujenzi wa uzio wa kuzunguuka
Kituo cha Mwanakwerekwe umekamilika na awamu
ya kwanza ya ujenzi wa uzio wa kuzunguka Kituo cha
Mkokotoni na Vitongoji imeanza.
27
x) Ujenzi wa banda la madarasa matatu linalokusudiwa
kufundishia “Agro-processing” umekamilika na jumla
ya viti 120 kwa ajili ya madarasa hayo vimenunuliwa.
xi) Mamlaka imeendelea kuratibu upatikanaji wa huduma
ya chakula (milo mitatu kwa siku) kwa wanafunzi 346
wanaoishi katika dakhalia za Vitongoji na Mkokotoni.
xii) Pia, Mamlaka imesimamia ufanyaji wa mtihani wa
Taifa kwa wahitimu wa Mamlaka ya Mafunzo ya
Amali. Aidha, Mamlaka imewajengea uwezo wa
kujiajiri wahitimu kupitia vikundi vyao. Jumla ya
vikundi 11 vya wahitimu vilivyopatiwa mikopo
vimepatiwa mafunzo ya namna ya kujiendesha kwa
faida na vikundi vyengine viwili vinasubiri idhini ya
Bodi viweze kupatiwa mikopo.
xiii) Mamlaka imetayarisha mwongozo wa utoaji wa
ufadhili kwa vituo vya binafsi kwa lengo la kuweka
utaratibu mzuri wa kutoa ufadhili wa miradi ya
maendeleo kwa vituo hivyo.
xiv) Utafiti wa mahitaji ya fani zinazohitajika katika soko
la ajira umefanyika ili kupitia na kurekebisha mitaala
iliyopo na kutengeneza mipya itakayoendana na
mahitaji ya soko. Jumla ya fani kumi na mbili
zilifanyiwa utafiti huo kwa Unguja na Pemba.
xv) Katika kuimarisha utendaji na ufuatiliaji wa kazi za
ofisi na vituo, Mamlaka imenunua gari moja na
imeweka mitambo ya CCTV kwa lengo la kuimarisha
ulinzi katika Kituo cha Mafunzo ya Amali cha
Mkokotoni.
Matokeo ya muda mfupi;
i) Jumla ya wahitimu 816 kati ya… sawa na asilimia
98.2 ya watahiniwa wamefaulu mtihani huo. Kati yao,
wanawake ni 367 sawa na asilimia 44.9 na wanaume
ni 432 sawa na asilimia 52.9.
ii) Jumla ya vituo 14 vya binafsi vimefanyiwa
ufuatiliaji na kupatiwa usajili. Vituo hivyo vinatoa
28
mafunzo ya amali katika fani ya Ushoni, Kompyuta,
TEHAMA, huduma za mahoteli, Upishi, mapambo,
Ufundi bomba, Utalii na Uuzaji wa tiketi za ndege.
Matokeo ya muda mfupi;
i. Jumla ya wanafunzi 1,132 wameandikishwa katika
vituo vitatu vya Mafunzo ya Amali vya Serikali
Unguja na Pemba, kati yao 410 wanawake na 722 ni
wanaume. Vijana hao wanajifunza fani za Useremala,
Ushoni, Uhunzi, Upishi, Uchoraji na Uandishi wa
alama, Uashi, Ufundi bomba, Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano, Huduma za Chakula na Vinywaji,
Elektroniki, Ufundi magari, Ufundi mifereji na
Ufundi Viyoyozi.
ii. Jumla ya vijana 96 wakiwemo wanawake 28
wamehitimu masomo yao ya daraja la tatu kwa
mwaka 2018. Jadweli namba 40 (a) linatoa ufafanuzi
zaidi.
Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima 36. Mheshimiwa Spika, Programu hii inatekelezwa na Idara ya
Elimu Mbadala na Watu Wazima na ina lengo la kupunguza
kiwango cha wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu
miongoni mwa wanajamii. Kwa mwaka wa fedha 2017/18,
programu hii ilitengewa jumla ya TSh. 11,653,757,000/=.
Kati ya hizo, TSh. 807,710,000/= ni kwa kazi za kawaida na
TSh. 10,846,047,000/= ni kwa kazi za maendeleo. Kati ya
fedha za maendeleo TSh. 1,600,000,000/= ni mchango wa
SMZ na 9,246,047,000/= za wahisani. Hadi kufikia Mei,
2018, jumla ya TSh. 688,908,014/= kwa kazi za kawaida
zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 85.3 na TSh.
1,138,379,530/= za maendeleo zilipatikana sawa na asilimia
10.5.
37. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa shughuli za
programu hii ndogo ni kama ifuatavyo: -
29
i) Madarasa 55 mapya ya kisomo kwa Unguja na Pemba
yamefunguliwa. Idadi ya madarasa ya kisomo
imefikia 481 mwaka 2018 kutoka 426 mwaka 2017.
Aidha, jumla ya wanakisomo 7,504 wa kisomo cha
Watu Wazima wamefanyiwa upimaji katika hatua
zote nne za kisomo. Pia wanafunzi 444 wa hatua ya
nne wamekombolewa kupitia upimaji huo.
ii) Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima
yamefanyika. Uzinduzi wa juma hili ulifanyika Pemba
na kilele chake kilifanyika Unguja katika Wilaya ya
Magharibi A.
iii) Jumla ya vikundi 115 (77 Unguja 38 Pemba)
vimeendelezwa, Kati ya hivyo, vikundi 11 vipya
vimeongezeka. Vikundi hivi vina jumla ya wanachama
2455, lengo lake kuu ni kuwawezesha wanawake kwa
kuwapunguzia utegemezi na umasikini wa kipato.
iv) Mafunzo ya ujasiriamali, uongozi na uhifadhi wa fedha
yametolewa kwa wanavikundi 40 vya kinamama katika
madarasa ya kisomo. Pia, vikundi 12 vilipatiwa nyenzo
za kutendea kazi ikiwemo Majiko, Vyarahani na
Mabeseni.
v) Mafunzo ya Kilimo na ufugaji wa nyuki yametolewa
kwa wanafunzi 24 wa darasa la Elimu Mbadala katika
skuli ya Mgonjoni ili waweze kujikwamua kimaisha.
vi) Mafunzo elekezi kwa walimu 40 wa madarasa ya
Elimu Mbadala, walimu 30 wa madarasa ya Kisomo na
wakutubi 12.
vii) Mikutano 4 ya uhamasishaji wa program ya Elimu
Mbadala imefanyika. Jumla ya washiriki 200
walipatiwa uelewa wa program hiyo Unguja na Pemba
viii) Ukarabati wa kulipaka rangi sehemu za ndani jengo
la Kituo cha Elimu Mbadala Rahaleoumefanyika.
ix) Mafunzo ya uchoraji na upambaji maharusi yameanza
kutolewa katika kituo cha Elimu Mbadala Rahaleo.
30
x) Jumla ya wanafunzi 1,966 wamesajiliwa wakiwemo
wanaume 1,036 na wanawake 930 katika vituo vya
kujiendeleza kwa Unguja na Pemba.
xi) Jumla ya wanafunzi 91 (wanawake 80 na wanaume 11)
walioshindwa kuendelea na masomo yao baada ya
mtihani wa kidato cha pili na cha nne wameandikishwa
katika Kituo cha Sayansi Kimu Forodhani kusomea
fani ya Upishi, Ushoni, Kudarizi na Kufuma. Aidha
Programu ya kuwawezesha vijana kimaisha
inayojulikana kwa jina la YELP inaendelea kutoa
mafunzo ya Lugha, Ujasiriamali, Umeme na Utunzaji
wa nyumba kwa vijana 123 (wanawake 42 na
wanaume 81).
xii) Utafiti mdogo kuhusu utoro wa wanafunzi katika skuli
za mwambao umefanyika katika vijiji vinne. Vijiji
hivyo ni Jambiani, Uroa na Matemwe kwa Unguja na
Tumbe kwa Pemba. Utafiti huo umebaini kuwa vijana
wanaotoroka skuli wamejiingiza katika shughuli za
kilimo, uvuvi na utalii.
xiii) Jumla ya vipindi 20 vya elimu mbadala na watu
wazima vya kuhamasisha jamii juu ya progaramu
zinatolewa na Idara ya Elimu ya Mbadala na Watu
Wazima vimerushwa hewani kupitia shirika la
utangazaji la Zanzibar. Lengo la vipindi hivyo ni
kuongeza ushiriki wa wanafunzi katika vituo ili
wajikomboe na changamoto za kijamii.
Matokeo ya muda mfupi;
i). Jumla ya wanakisomo 8,371 wameandikishwa
wakiwemo wanawake 7,388 na wanaume 983.
ii). Jumla ya wanafunzi 642 wenye umri wa miaka 9
hadi 14 waliokuwa nje ya skuli wameandikishwa
katika madarasa ya Elimu Mbadala. Kati ya
wanafunzi hao 333 wa Unguja na 309 Pemba. Kati
yao, wanawake 178 na wanaume 464.
31
iii). Jumla ya wanafunzi 576 wenye umri kati ya miaka
15 hadi 22 wameandikishwa katika Kituo cha Elimu
Mbadala Rahaleo Unguja na Kituo cha Wingwi
Pemba. Kati yao, wanawake 142 na wanaume 434.
Vijana hawa pamoja na masomo ya kawaida pia
wanasomea fani mbali mbali zikiwemo Umeme,
Ushoni, Upishi, Useremala, Udobi, Mafunzo ya
Kompyuta na Utunzaji Nyumba.
iv). Jumla ya wanafunzi 3,936 wamefanya mtihani wa
faragha wa Kidatu cha Nne. Kati ya hao, wanafunzi
2,240 ambao ni sawa na asilimia 56.9 ya watahiniwa
wote wamefaulu. Aidha, wanafunzi 618
wanaojiendeleza kidato cha sita wakiwemo
wanawake 235 na wanaume 383 walifanya mtihani
wa faragha wa Unguja na Pemba. Kati yao,
wanafunzi 458 sawa na asilimia 74.1 ya watahiniwa
wote wamefaulu.
v). Jumla ya wahitimu 65 wakiwemo wanawake 54 na
wanaume 11 wa Kituo cha Sayansi Kimu wamejiajiri
na wengine wameajiriwa mahotelini.
PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU
38. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina lengo la kutoa elimu
bora kwa ngazi zote za elimu, ina jumla ya programu ndogo
tatu na maeneo matano ya kutoa huduma kama yafuatayo: -
Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia
39. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
kutayarisha mitaala ya elimu na vifaa vya kufundishia na
kujifunzia kwa ngazi za maandalizi, msingi, sekondari na
mafunzo ya Ualimu. Shughuli za utowaji wa huduma hii
zinatekelezwa na Taasisi ya Elimu Zanzibar iliyoanzishwa
32
rasmi kwa Sheria namba 4 ya mwaka 2016. Kwa mwaka wa
fedha 2017/18, Taasisi ilitengewa ruzuku ya TSh.
91,300,000/- kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018
jumla ya Tsh 86,450,000/= sawa na asilimia 95 zilipatikana.
Utekelezaji halisi ni kama ifuatavyo: -
i) Rasimu za hadidu rejea na miundo ya paneli za kitaifa
za mitaala ikiwemo paneli ya Utafiti (Research
Panels), Kozi (Course Panels) na za Masomo (Subject
Panels) zimeandaliwa. Aidha, paneli za masomo
zitakuwa kwa ngazi tatu yaani Kitaifa, Klasta na Skuli.
ii) Mikutano minne imefanyika na Walimu Wakuu wa
skuli za maandalizi, msingi, na sekondari za Serikali
Unguja na Pemba. Mikutano hio imezungumzia namna
ya uendeshaji wa paneli za masomo katika ngazi ya
skuli. Idadi ya skuli zilizoshiriki ni 439 zikiwemo 244
kutoka Unguja na 195 kutoka Pemba
iii) Ufuatiliaji wa utekelezaji wa mitaala katika skuli 158
za Zanzibar zikiwemo skuli 102 Unguja na 56 Pemba
umefanyika. Zoezi hili lilizishirikisha skuli 58 za
binafsi zikiwemo 38 za Unguja na 20 Pemba.
iv) Rasimu ya awali ya Mtaala wa Stashahada ya Ualimu
kwa masomo ya Dini na Kiarabu kwa ngazi ya
sekondari imetayarishwa pamoja na rasimu ya awali ya
muongozo wa kutathmini vitabu na vifaa vya
kufundishia somo hilo.
v) Taasisi ya Elimu ilishirikiana na USAID kupitia mradi
wa Tusome Pamoja katika kutayarisha vitabu vya aina
34 vikiwemo vitabu 16 vya habari za kweli (non-
fiction books) na vitabu 10 vyenye habari za kubuni
(fiction books) kwa darasa la tatu na la nne, Miongozo
sita ya walimu ya kufundishia somo la Kiswahili kwa
darasa la kwanza na la pili, Muongozo mmoja wa
Muwezeshaji na Muongozo mmoja wa mwalimu kwa
ajili ya somo la Hisabati darasa la kwanza na la pili.
vi) Taasisi kwa kushirikiana na Idara ya Elimu Mbadala
na Watu Wazima imesimamia uchapishaji wa vitabu
33
19,800 vya wanafunzi wa Programu ya Elimu Mbadala
na vitabu 700 vya walimu. Kati ya hivyo, vitabu 3,080
vya somo la Kiswahili, 3,080 somo la Dini ya
Kiislamu, 3,080 somo la Kiingereza, 3,080 somo la
Hisabati na 3,080 somo la Kompyuta. Aidha, vitabu
5,100 vya fani ya Umeme, Upishi, Ushoni, Useremala,
Kilimo, Ufugaji, Utunzaji nyumba na Udobi
vimechapishwa 850 kwa kila somo. Vitabu vyote
hivyo vimechapishwa kupitia mradi wa Elimu Mbadala
na Amali wa Awamu ya Pili kwa lengo la kutoa
taaluma hizo kwa ufanisi na kuleta mafanikio kwa
wanafunzi wa vituo vya elimu mbadala.
vii) Rasimu za Mpango Mkakati, Muundo wa Taasisi,
Muundo wa Utumishi wa Taasisi na Mkataba wa
Utoaji wa Huduma kwa Umma zimetayarishwa.
Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu
40. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kupima na kutathmini utekelezaji wa utoaji wa elimu.
Shughuli za huduma hii zinatekelezwa na Baraza la Mitihani
la Zanzibar. Kwa mwaka wa 2017/18 huduma ya Upimaji na
Tathmini ilitengewa ruzuku na Serikali ya TSh.
4,298,400,000/=. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.
4,302,166,470/= zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia
100.1. Utekelezaji halisi wa shughuli za huduma ya Upimaji
na Tathmini ni kama ifuatavyo: -
i). Kuanza matayarisho ya kumpata Mshauri elekezi wa
kuimarisha mfumo wa Upimaji na Tathmini wa
Baraza la Mitihani kupitia Mradi wa Benki ya Dunia
unaolenga Kuimarisha mfumo wa mitihani Zanzibar.
ii). Jumla ya wanafunzi 40,206 (wanawake 20,260 na
wanaume 19,946) wa darasa la nne walisajiliwa
kufanya mtihani wa kuwapima maendeleo yao
kitaaluma katika ngazi ya elimu ya msingi chini
(darasa la kwanza hadi la nne) na uwezo wao wa
34
kuendelea na darasa la elimu ya msingi juu (darasa la
tano). Wanafunzi halisi waliofanya mtihani huu ni
37,139 sawa na asilimia 92.4 ya walioandikishwa
wakiwemo wanawake 19,068 na wanaume 18,071.
iii). Jumla ya wanafunzi 32,379 wa darasa la sita ambao
ni sawa na asilimia 94 ya waliosajiliwa walifanya
mtihani wa kumaliza elimu ya msingi. Kati ya
wanafunzi hao, wanawake walikuwa ni 17,421 na
wanaume 14,958. Miongoni mwao, wanafunzi 1,387
sawa na asilimia 4.45 walifaulu kuendelea na
madarasa ya Michepuo na 138 sawa na asilimia 0.4
walifaulu kuingia madarasa Vipawa Maalumu.
iv). Jumla ya wanafunzi 46,580 sawa na asilimia 94 kati
ya wanafunzi 49,515 waliosajiliwa walifanya mtihani
wa kumaliza Kidato cha pili, wakiwemo wanawake
26,061 na wanaume 20,519.
v). Baraza la Mitihani limewasajili jumla ya walimu
wanafunzi 238 watakaofanya mitihani ya kumalizia
masomo yao ya Stashahada ya Ualimu wa ngazi ya
Msingi na ngazi ya Sekondari katika Vyuo vya
Kiislamu vya Mazizini (201) Unguja na Kiuyu,
Pemba (37). Kati yao, 197 wanawake na 41
wanaume wakiwemo 179 wa Stashahada ya Msingi
na 59 wa Stashahada ya Sekondari. Mitihani hio
itaanza mwishoni mwa Mwezi wa Mei, 2018.
vi). Ripoti ya tathmini ya mitihani na uchambuzi wa
taarifa unaendelea kutayarishwa. Taarifa hio
itawasilishwa kwa wadau wa elimu kiwilaya ili
kuzifahamu changamoto zinazowakabili watoto
katika kujibu mitihani na mafanikio yaliyopatikana.
Matokeo ya Muda Mfupi;
i. Jumla ya wanafunzi waliofaulu mtihani wa Darasa la
nne ni 26,448 sawa na asilimia 71.21. Kati ya hao,
wanawake ni 14,764 sawa na asilimia 39.8 na
35
wanaume 11,684 sawa na asilimia ya watahiniwa
wote.
ii. Wanafunzi waliofaulu mtihani wa kumaliza Darasa
la sita ni 31,145 ambao ni sawa na asilimia 96.19
(wanawake 17,127 sawa na asilimia 52.89 na
wanaume 14,018 ni sawa na asilimia 43.29 ya
watahiniwa wote).
iii. Wanafunzi 34,458 kati ya waliofanya mtihani wa
kumaliza Kidato cha Pili ambao ni sawa na asilimia
73.9 wamefaulu kuendelea na masomo yao ya Kidato
cha 3 (wanawake ni 20,793 na wanaume ni 13,665).
Huduma ya Ukaguzi wa Elimu
Mheshimiwa Spika, utoaji wa huduma hii una madhumuni
ya kusimamia ubora wa elimu itolewayo kwa kuhakikisha
kuwa elimu hiyo inafuata sera, sheria, miongozo na taratibu
za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali zilizoelekezwa
kufuatwa na taasisi inayotoa elimu. Shughuli za huduma hii
zinatekelezwa na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu. Kwa
mwaka wa fedha 2017/18, programu hii imepangiwa ruzuku
ya TSh. 120,000,000/= kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia
Mei, 2018, jumla ya TSh. 110,000,000/= sawa na asilimia 92
zilipatikana. Utekelezaji halisi ni kama ifuatavyo: -
i). Jumla ya skuli 725 za Unguja na Pemba sawa na
asilimia 140% ya makadirio ya skuli zilizopangwa
kukaguliwa zilikaguliwa. Hili ni ongezeko la asilimia
84% kulinganisha na skuli zilizokaguliwa katika
mwaka 2017/18. Ongezeko hili limetokana na
kuanzishwa kwa ukaguzi wa kikanda. Aidha, skuli
60 zilikaguliwa kwa ajili ya kupatiwa usajili.
ii). Walimu 42 wamepewa barua za kuwaonya na
kuwataka warekebishe mwenendo wao wa utendaji.
Walimu wengine 128 waliobainika kuwa na kasoro
katika mbinu za ufundishaji wa mada
36
wanazozifundisha wamepatiwa ushauri na maelekezo
kutoka kwa wakaguzi.
iii). Rasimu ya Sheria ya Ukaguzi wa Elimu na Rasimu
ya awali ya mfumo mpya wa Ukaguzi wa Elimu
umekamilika na umewasilishwa katika Kamati ya
Makatibu Wakuu.
Matokeo ya Muda Mfupi
Jumla ya skuli 499 zimekaguliwa kupitia aina tofauti za
ukaguzi. Skuli 48 zilifanyiwa ukaguzi mkuu, skuli 250
zilifanyiwa ukaguzi wa kushtukiza, skuli 109 zilifanyiwa
ukaguzi wa masomo na skuli 92 zilifanyiwa ukaguzi wa
ufuatiliaji,
Huduma za Maktaba 41. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
fursa ya kutumia vitabu na nyenzo nyengine za taaluma kwa
watoto, wanafunzi wa ngazi zote na watu wote. Shughuli za
huduma hii zinatekelezwa na Shirika la Huduma za Maktaba
Zanzibar kwa mashirikiano na mashirika ya Books for Africa,
Book Aid International, Sida, GPE na Children International.
Kwa mwaka wa fedha 2017/18, programu hii ilipangiwa
kutumia ruzuku ya TSh. 469,400,000/= kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia Mei, 2018 jumla ya Tsh. 454,133,865/= sawa na
asilimia 96.7 zilipatikana. Utekelezaji halisi wa shughuli za
Programu hii ni kama ifuatavyo: -
i). Shirika kwa kushirikiana na Shirika la “Book Aid
International” la Uingereza limeimarisha huduma za
maktaba ya watoto kwa kufanya matengenezo
makubwa yaliyojumuisha upakaji wa rangi ukutani,
uchoraji wa picha za ukutani, kuweka mazulia na
mito, rafu za kuwekea vitabu, viti, meza, vifaa vya
kuchezea watoto (educative games), CD, televisheni
37
pamoja na kuingiza vitabu vipya ili kuwavutia
watoto na watumiaji wengine wa maktaba.
ii). Jumla ya vitabu 29,470 vya msaada kutoka Shirika la
“Book Aid International” la Uingereza vimegaiwa
katika taasisi 142 za elimu. Taasisi hizo ni skuli 89
za msingi zimepatiwa vitabu 22,069 na skuli 49 za
sekondari zimepatiwa vitabu 6,829 zikiwemo skuli
34 za mkoa wa Mjini Magharibi, skuli 38 Mkoa wa
Kaskazini Unguja, skuli 32 Mkoa wa Kusini Unguja,
Skuli 30 Mkoa wa Kaskazini Pemba na skuli 8 Mkoa
wa kusini Pemba. Aidha, mgao huo pia ulihusisha
Chuo cha SUZA na Chuo cha Kumbukumbu ya
Abdulrahman Al Sumeit vilipatiwa vitabu 332.
Aidha, Kituo cha walimu cha Dunga na Kituo cha
Walimu cha Taifa cha Beit El Raas vimepatiwa
vitabu 240.
iii). Jumla ya programu 52 za watoto; 28 za ndani na 24
za nje maktaba zetu. Jumla ya watoto 2,914
wameshiriki katika programu hizo Unguja na Pemba.
iv). Siku ya Kimataifa ya kujua kusoma na kuandika
(International Literacy Day) imeadhimishwa katika
eneo la skuli ya Mahonda, Wilaya ya Kaskazini “B”
Unguja. Jumla ya watu 655 walishiriki wakiwemo
wanafunzi 550 na raia 105.
Matokeo ya Muda Mfupi
i. Jumla ya wanachama wapya 547 walisajiliwa katika
Maktaba kuu. Kati ya hao, wanachama 337 kwa
Unguja wakiwemo wanaume 146, wanawake 184 na
57 ni watoto na wanachama 210 kwa Pemba ambapo
71 wanaume, 89 wanawake na watoto 50).
ii. Idadi ya watumiaji wa maktaba imefikia 31,441
wakiwemo wanaume 10,070, wanawake 9,018 na
watoto 12,353 kwa Unguja na Pemba.
38
Huduma ya Urajisi wa Elimu
42. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuhakikisha Sheria, Sera na taratibu za Wizara zinafuatwa
katika skuli za Serikali na za binafsi. Huduma hii pia inatoa
leseni kwa walimu na kuzisajili skuli za Serikali na za binafsi.
Shughuli za huduma hii zinatekelezwa na Ofisi ya Mrajisi wa
Elimu. Kwa mwaka wa fedha 2017/18, programu hii
ilipangiwa kutumia jumla ya TSh. 90,000,000/= kwa kazi za
kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.
90,000,000/= ambazo ni sawa na asilimia 100 zilipatikana.
43. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa huduma hii ni
kama hivi ifuatavyo: -
i). Vikao viwili vya Baraza la Elimu vilijadili
maendeleo ya elimu vimefanyika. Aidha, wajumbe
wa Baraza walipata nafasi ya kukutana na
Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohammed Shein kwa
kujadili mafanikio na changamoto za Baraza
sambamba na kujua mwelekeo wa Baraza la Elimu
kwa kuzingatia Mpango Mkuu wa Elimu, Dira 2020
na utekelezaji wa Mkuza III pamoja na Ilani ya
Chama cha Mapinduzi.
ii). Wajumbe wa Bodi za Elimu za Mikoa na Wilaya
walifanya ziara katika skuli za Mikoa na Wilaya zao
kwa lengo la kuangalia ufanisi na changamoto
zinazozikabili skuli zao.
iii). Ukaguzi wa usajili wa skuli za Serikali na za binafsi,
leseni za walimu pamoja na mambo mengine
yanayohusiana na Sera, Kanuni na Sheria za
uendeshaji wa skuli umefanyika. Jumla ya skuli 280
za binafsi zimekaguliwa (205 za Unguja na 75 za
Pemba).
iv). Jumla ya walimu 900 wamepatiwa leseni za
kusomeshea. Kati ya hao, walimu 754 wamesomea
kazi ya ualimu na 146 hawajasomea.
39
v). Jumla ya maombi sita ya usajili wa vyuo vya binafsi
vyenye lengo la kutoa mafunzo ya Ualimu katika
ngazi ya Cheti na Stashahada yamepokelewa na
yamefanyiwa upembuzi yakinifu.
vi). Matukio mbalimbali ya udhalilishaji yaliyoripotiwa
katika Ofisi ya Mrajis wa Elimu zikiwemo kesi 15 za
ujauzito kwa wanafunzi yamechukuliwa hatua. Kati
ya kesi hizo, kesi 10 zilijadiliwa na kuripotiwa kwa
Kamanda wa Polisi katika Mikoa husika. Kwa
mujibu wa Sheria namba 4 ya Kuwalinda Wari na
Watoto wa Mzazi Mmoja ya mwaka 2005 wanafunzi
hao wameruhusiwa kuendelea na masomo yao.
Aidha, kesi 16 za ndoa kwa wanafunzi zimeripotiwa.
Kwa mujibu wa Sheria ya Elimu namba 6 ya mwaka
1982 kifungu 20(3) wanafunzi hawa hawaruhusiwi
kuendelea na masomo yao ya elimu ya lazima.
Matokeo ya muda mfupi
i. Jumla ya walimu 1,100 wa skuli za Serikali na za
binafsi wamehakikiwa na kupatiwa leseni zao za
kufundishia (945 LTT na 155 LUT)
ii. Jumla ya skuli 45 (skuli 15 zikiwemo tisa za
sekondari, nne za maandalizi na msingi na mbili za
msingi za Serikali na 30 za binafsi) zimekamilisha
taratibu na kupatiwa usajili.
iii. Chuo kimoja cha Mafunzo ya Ualimu cha binafsi
kimepatiwa usajili wa kutoa mafunzo ya Ualimu
ngazi ya cheti na stashahada katika Chuo Kikuu cha
Kumbukumbu ya Abdulrahman Al Sumait cha
Chukwani baada ya kukidhi vigezo vilivyowekwa.
iv. Jumla ya kesi 68 za udhalilishaji zikiwemo 22 za
ujauzito (7 Pemba na 15 Unguja), kesi 16 za ndoa (3
Unguja na 13 Pemba), 30 ubakaji na ulawiti (27
Unguja na 3 Pemba) zimeripotiwa na kufanyiwa kazi
kwa mujibu wa sheria.
40
Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za
Maisha
44. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina jukumu la kuhakikisha
upatikanaji wa elimu kwa watoto wote wakiwemo wenye
mahitaji maalum. Programu hii inatekelezwa na Kitengo cha
Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha. Kwa mwaka 2017/18
programu hii ilitengewa TSh. 40,000,000/=. Utekelezaji halisi
wa shughuli za programu hii ndogo ni kama hivi ifuatavyo: -
i). Wizara kwa Shirika la Maendeleo ya Watoto Duniani
(UNICEF) imejenga ‘ramps’ katika skuli 50 (30
Unguja na 20 Pemba) kwa lengo la kusaidia kuweka
mazingira rafiki kwa watoto wote katika maeneo ya
watu wenye ulemavu wa viungo kupata fursa sawa
ya kuyatumia mazingira hayo.
ii). Wizara kwa kushirikiana na “Norwegian Association
for the Disabled” (NAD) imetoa mafunzo ya
usimamiaji wa elimu mjumuisho kwa walimu 124
(66 Unguja na 58 Pemba) kutoka skuli 8 (4 Unguja
na 4 Pemba) za majaribio ya pili ya elimu
mjumuisho.
iii). Mafunzo ya Mpango Binafsi wa Elimu wa mtoto
(Individual Education Plan) yametolewa kwa
Washauri wa Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha
wa Vituo vya Walimu na Wasaidizi wao, Wakufunzi
30 (12 wanaume na 18 wanawake) ili kuwajengea
uwezo wa kushughulika na Elimu ya Ukuaji wa
Mapema wa Mtoto (ECD). Lengo ni kuwawezesha
kuwatambua na kuwasaidia wanafunzi wenye
mahitaji maalumu pamoja na kutoa mafunzo hayo
kwa walimu wote wa skuli 8 za majaribio.
iv). Mafunzo ya maandishi ya nukta nundu kwa walimu
19 (10 Unguja na 9 Pemba) yametolewa.
v). Mpango wa kuendesha mafunzo ya nidhamu
endelevu kwa walimu wote wa Unguja na Pemba
umeandaliwa. Kitengo kimeanza kutoa mafunzo
41
hayo kwa walimu 1,539 (818wanawake na 721
wanaume). Kati ya hao 630 (309 wanawake na 321
wanawake) wa skuli 37 za Wilaya ya Kusini na 909
(509 wanawake na 400 wanawake) wa skuli 57 za
Wilaya ya Kaskazini ‘A’.
vi). Mafunzo ya kugundua na kujiepusha na vitendo vya
liwati yametolewa kwa wanafunzi 2,670, wakiwemo
wanawake 1,279 na wanaume 1,391 wa Darasa la
kwanza hadi la tatu kutoka skuli 25 za Wilaya ya
Mjini na Kaskazini… Unguja. Aidha, mafunzo ya
jinsia yametolewa kwa walimu 47 (wanaume 35 na
wanawake 22) wa skuli za maandalizi, msingi na
sekondari ili waweze kuwaelimisha wanafunzi wao
jinsi ya kuwa na tahadhari, kujilinda na kujiepusha
na vitendo vya udhalilishaji vilivyokithiri katika
jamii zetu.
vii). Mafunzo juu ya Virusi vya UKIMWI (VVU) na
UKIMWI yametolewa kwa walimu 12 wa skuli nne
za sekondari na kwa maafisa afya wanane kutoka
katika vituo vinne vya Afya Unguja.
viii). wanafunzi 254 katika skuli nne (skuli mbili za
Wilaya ya Kusini, moja Kaskazini… na moja ya
Wilaya ya Mjini) wamewajengea uwezo katika
masuala yanayohusiana na VVU/UKIMWI ili
waweze kujenga tabia na kukuza mwenendo
utakaowazuia kuambukizwa VVU pamoja na
kupinga unyanyapaa na ubaguzi kwa watu wanaoishi
na VVU.
Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano katika Elimu 45. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuifanya teknolojia ya habari na mawasiliano itumike katika
ngazi ya utawala, kujifunza na kufundishia, kuimarisha
huduma ya mawasiliano, kutunza usalama wa taarifa na
katika maisha ya kila siku. Shughuli za programu hii
42
zinatekelezwa na Idara ya Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano Katika Elimu. Kwa mwaka 2017/18, programu
hii ilipangiwa kutumia jumla ya TSh. 6,074,270,000/= kwa
kazi za kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.
474,248,878/= zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 75.2.
46. Mheshimiwa Spika, maelezo ya utekelezaji halisi wa
programu hii ndogo ni kama hivi ifuatavyo: -
i). Kuendelea kurusha hewani vipindi vya Elimu ya
Maandalizi ambapo vituo 324 vya Elimu ya Unguja
na Pemba vinaendelea kufaidika na programu hiyo.
Aidha, Programu 14 za video zinazotoa elimu ya
sayansi kwa mada zenye changamoto ya ufundishaji
kwa wanafunzi wa darasa la 5 na 6 na vipindi 18 vya
redio na 18 vya Televisheni vinavyotoa mafunzo ya
Kiingereza kupitia programu ya “Happy Talk”
vimetayarishwa. Vipindi hivi ni kwa ajili ya
wanafunzi na wale wote ambao wanahitaji
kujiendeleza kupitia lugha ya Kiingereza chao.
ii). Taasisi saba za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Amali zimeunganishwa na Mkonga wa Taifa. Taasisi
hizo ni Chuo cha Kiislam Mazizini, Chuo cha
Karume cha Sayansi na Teknolojia, Makao makuu ya
Wizara Mazizini, Ofisi Kuu ya Elimu Pemba, Chuo
Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA), Baraza la
Mitihani na Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.
Pia, Taasisi 82 za WEMA zimefanyiwa upembuzi
yakinifu kwa kuunganishwa na Mkonga wa
Mawasiliano wa Taifa.
iii). Matayarisho ya kuandaa mifumo ya kielektroniki ya
utoaji wa huduma za elimu yanaendelea. Miongoni
mwa mifumo hiyo ni mfumo wa utoaji taaluma kwa
njia ya mtandao (e-learning plateform), mfumo wa
utunzaji wa kumbukumu za masjala na mwenendo
wa mafaili na usalama ujulikanao kwa jina la “file
tracking system”, mfumo wa uchambuzi wa upimaji
43
na matokeo (School Assessment System) na mfumo
wa taarifa za kielimu (Education Management
Information System).
Matokeo ya muda mfupi;
i. Jumla ya walimu 243 wanaosomesha Somo la
TEHAMA katika madarasa ya Elimu ya Msingi juu
(Darasa la Tano na la Sita) wamepatiwa mafunzo ya
TEHAMA ili kuimarisha uwezo wao wa kufundisha
somo hilo. Aidha, watumishi 78 wa kada mbalimbali
wa Wizara ya Elimu wamepatiwa mafunzo ya awali
ya kuitumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
katika majukumu yao ya kila siku.
ii. Jumla ya walimu 16 wa ngazi ya Maandalizi, Msingi
na Sekondari wamepatiwa mafunzo ya uandishi wa
programu za Redio na Video za kitaaluma kwa
masomo ya ngazi ya Msingi na Sekondari na
wanafunzi 15 wa Sekondari wamepatiwa mafunzo ya
uandishi wa programu za redio na video, utumiaji wa
vifaa vya studio za Redio na Televisheni pamoja na
mbinu za kuhariri programu hizo.
Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli
47. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kumuandaa mwanafunzi kimwili, kiafya na kiakili katika
kujifunza kwa kupitia michezo. Shughuli za programu hii
zinatekelezwa na Idara ya Michezo na Utamaduni katika
elimu. Kwa mwaka wa fedha 2017/18, programu hii
imepangiwa kutumia jumla ya TSh. 374,552,000/= kwa kazi
za kawaida. Hadi mwezi Mei, 2018, jumla ya TSh.
379,602,180/= sawa na asilimia 101.3 zilipatikana.
48. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa programu hii ni kama
hivi ifuatavyo: -
i). Jumla ya skuli 100 zimepatiwa vifaa vya michezo
kupitia mpango wa Sports 55. Vifaa hivyo ni vya
44
michezo ya riadha, mpira wa miguu, mpira wa
kikapu na mpira wa pete.
ii). Jumla ya walimu 300 wamepatiwa mafunzo ya
uendeshaji na usimamizi wa mpira wa miguu, riadha,
mpira wa kikapu, mpira wa wavu na mpira wa pete
kupitia mpango wa Sports 55.
iii). Tamasha la Elimu bila Malipo kuanzia ngazi ya
wilaya hadi Taifa limefanyika kwa ufanisi mwezi wa
Septemba, 2017 na kuongeza hamasa na ushiriki wa
wanafunzi katika michezo na sanaa.
iv). Mashindano ya mchezo wa mbio za nyika
yamefanyika mwezi wa Julai na timu maalumu ya
wachezaji 40 wenye vipaji imeundwa na
kuendelezwa.
v). Mikakati na matamasha ya ushajishaji wa uzalendo,
nidhamu na kuwajenga wanafunzi katika na maadili
mema pamoja na kuwafahamisha wanafunzi historia
ya nchi yetu yamefanyika katika kila Mkoa kupitia
mpango mahususi wa ‘Nchi yetu ni Urithi wetu’.
vi). Wanafunzi 100 kutoka skuli za msingi na sekondari
wameshiriki katika kuandaa na kuwasilisha kazi za
sanaa katika Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibari
lililoratibiwa na iliyokuwa Wizara ya Habari, Utalii,
Utamaduni na Michezo.
vii). Ujenzi wa kiwanja cha michezo katika skuli ya
Regezamwendo umeanza na hatua inayofuata ni ya
kuweka zege.
viii). Bonanza maalumu la michezo ya wanafunzi wenye
ulemavu limefanyika katika uwanja wa Amani na
wanafunzi wameonesha uwezo na vipaji vyao.
Matokeo ya muda mfupi;
i. Jumla ya wanafunzi 130 wenye vipaji vya michezo
kutoka skuli mbalimbali wameibuliwa na
wanaendelezwa ili washiriki Michezo ya
45
UMISSETA itakayofanyika mwezi Juni, 2018
Tanzania Bara.
ii. Jumla ya walimu 475 wamebobea katika michezo ya
ya riadha, mpira wa pete, mpira wa miguu, mpira wa
meza na mpira wa wavu. Walimu hawa
wanawafundisha mbinu na sharia za michezo
wanafunzi wetu katika skuli za msingi na sekondari.
PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI
49. Mheshimiwa Spika, programu hii madhumuni yake
makubwa ni kuhakikisha nyenzo zilizo bora zinapatikana na
zinatumika kwa kuimarisha utoaji na upatikanaji wa elimu.
Programu hii ina programu ndogo tatu; Programu ya Uongozi
Kiujumla, Programu ya Uratibu wa Shughuli za Mipango,
Sera na Utafiti na Programu ya Uratibu wa Shughuli za Elimu
Pemba. Utekelezaji wa programu hii ni kama ifuatavyo: -
Programu ndogo ya Uongozi Kiujumla
50. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya kutoa
ufanisi wa Uongozi na utawala wa rasilimali za Wizara.
Shughuli za programu hii ndogo zinatekelezwa na Idara ya
Utumishi na Uendeshaji. Kwa mwaka wa fedha 2017/18,
programu hii ilipangiwa jumla ya TSh. 6,766,490,000/=. Hadi
kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh. 6,002,603,257/=
zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 89. Utekelezaji wa
kazi za programu hii ni kama ifuatavyo: -
i) Idara imeratibu upatikanaji wa ajira 1,006 kwa
Unguja na Pemba baada ya kupata kibali cha uajiri
kutoka Tume ya Utumishi Serikalini. Kati ya
waajiriwa hao, walimu 11 ni wa Shahada ya kwanza
ya Sayansi, 367 Shahada ya Sanaa, 177 Stashahada ya
Sanaa, 168 walimu wa Cheti daraja la IIIA na
wafanyakazi watano wa kada nyengine kwa Unguja.
Kwa upande wa Pemba, walioajiriwa ni 278
wakiwemo sita wa Shahada ya Kwanza Sayansi, 96
46
wa Shahada ya Kwanza Sanaa, 120 wa Stashahada
Sanaa na 56 wa Cheti daraja la IIIA. Aidha, Wizara
yangu imeshawasilisha maombi mapya ya ajira kwa
kujaza nafasi 254 za wafanyakazi waliostaafu na
waliofariki mwaka 2017/18. Kati ya wafanyakazi hao,
144 wa Unguja na 110 kwa Pemba.
ii) Marekebisho ya mishahara ya walimu wenye uzoefu
wa kazi kwa zaidi ya miaka 30 yamefanyika. Jumla ya
walimu 335 wa Unguja na 479 wa Pemba
wamehusika na marekebisho hayo. Aidha, Idara
imelipa malimbikizo kwa wafanyakazi hao yenye
thamani ya TSh. 574,369,140/= kwa upande wa
walimu wa Pemba na TSh. 375,690,920 kwa upande
walimu wa Unguja. Vile vile, jumla ya wafanyakazi
1,704 Unguja waliopewa likizo wamelipwa posho la
likizo lenye thamani ya TSh. 170,400,000/= na TSh.
165,900,000/= kwa wafanyakazi 1,659 wa upande wa
Pemba.
iii) Jumla ya wafanyakazi 604 (356 Unguja na 248
Pemba) walipatiwa fursa ya kujiunga na masomo
katika vyuo mbalimbali vya ndani na nje ya nchi
katika ngazi tofauti baada ya kukamilisha masharti ya
kiutumishi na ya vyuo husika. Kati yao, wafanyakazi
15 wa Shahada ya Uzamivu (PhD), 99 Shahada ya
uzamili, 79 Shahada ya Kwanza, 386 Stashahada, 16
Cheti na 09 wa Kozi za muda mfupi.
iv) jumla ya wafanyakazi 195 walistaafu kazi kwa mujibu
wa sheria, wafanyakazi watano waliacha kazi kwa
hiari, 32 wamefariki dunia, Mwenyezi Mungu
awalaze mahali pema peponi Amin. Aidha,
wafanyakazi 18 walipewa uhamisho kwenda
kuendelea na kazi katika Wizara na Taasisi
mbalimbali za Serikali na wafanyakazi 15
wamechukua likizo bila ya malipo.
v) Wafanyakazi 722 Unguja na 618 Pemba wamepatiwa
mikopo ya fedha taslim, vifaa vya ujenzi, vipando na
47
vifaa vya matumizi ya nyumbani. Wafanyakazi hawa
wote walifaidika na mikopo yenye thamani ya TSh.
2,935,473,068/= kwa Unguja na Tsh 2,682,289,765/=
kwa Pemba. Wizara iliwadhamini wafanya kazi hao.
Matokeo ya muda mfupi;
Jumla ya wafanyakazi 15,535 (10,059 wanawake na 4,427
wanaume), wafanyakazi 11,769 wapo Unguja (8,142
wanawake na 2,883 wanaume). Kwa upande wa Pemba wapo
wafanyakazi 3,766 (wanawake 1,544 na wanaume ni 1,917
kati ya wafanyakazi wote 14,486 ni wa kada ya ualimu na
1,049 ni wafanyakazi wasiokuwa wa kada ya ualimu.
Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango,
Sera na Utafiti
51. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya
kufanikisha na kuratibu Mipango, Sera na Utafiti katika
Wizara. Programu hii ndogo inatekelezwa na Idara ya
Mipango, Sera na Utafiti na ilipangiwa kutumia jumla ya
TSh. 5,616,739,000/= kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia
Mei, 2018, jumla ya TSh. 5,239,767,889/= zilipatikana
ambazo ni sawa na asilimia 93.
52. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa programu hii ni
kama hivi ifuatavyo: -
i). Mpango Mkuu wa elimu wa miaka mitano (2017 –
2021) umekamilika na kuwasilishwa kwa wadau
mbalimbali wa ndani na nje ya Zanzibar. Jumla ya
wadau 917 wamefikiwa wakiwemo Watendaji wa
WEMA, Maafisa Elimu wa Wilaya na Mikoa,
Walimu Wakuu na Wasaidizi Wao, Wenyeviti wa
Kamati za Skuli na baadhi ya Wajumbe wa Kamati
za skuli kwa Unguja na Pemba.
ii). Matokeo ya utafiti wa SACMEQ IV yamewasilishwa
kwa walimu wa skuli za msingi kwa Wilaya ya
Mjini, Kati, na Kaskazini B kwa Unguja na Wilaya
48
ya Micheweni na Mkoani kwa Pemba. Matokeo ya
utafiti huu yanaonesha kuwa kiwango cha wanafunzi
katika kusoma na kuhesabu kimepanda ukilinganisha
na matokeo ya Utafiti wa SACMEQ III mwaka 2007.
iii). Mapitio ya Sera ya elimu (2006) na Sheria ya Elimu
(1982) yamefanyika ili ziendane na Mpango Mkuu
wa Elimu (2017 - 2021), Dira ya 2020, MKUZA III
na Mipango mbalimbali ya maendeleo ya Elimu
Duniani.
iv). Mafunzo juu ya majukumu ya kamati za skuli kwa
wajumbe wa Kamati za skuli 44 za Wilaya ya
Kaskazini ‘B’ na Kusini kwa Unguja na skuli 49 za
Wilaya ya Chakechake na skuli 21 za Mkoani kwa
Pemba yametolewa. Majukumu hayo ni pamoja na
kusimamia uandikishaji wa wanafunzi, kusimamia
maendeleo ya wanafunzi na kuidhinisha matumizi ya
fedha za skuli pamoja na kusimamia mapato.
v). Zoezi la utafiti wa watoto walio nje ya mfumo wa
elimu “out of school children” linaloendeshwa na
Taasisi ya “Oxford Policy Management” ya
Uingereza kwa mashirikiano na Ofisi ya Mtakwimu
Mkuu wa Serikali, Shirika la UNICEF na Jumuiya ya
“Milele Zanzibar Foundation” umekamilika.
Matokeo ya utafiti huo unaonesha kuwa jumla ya
wanafunzi kati ya 140,000 na 150,000 bado wako nje
ya mfumo wa elimu.
Programu ndogo ya kuratibu shughuli za elimu Pemba 53. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuratibu na kusimamia shughuli zote za elimu kwa upande
wa Pemba. Msimamizi Mkuu wa shughuli za programu hii ni
Afisa Mdhamini wa Wizara yangu kupitia katika Divisheni
ya Idara ya Uendeshaji na Utumishi Pemba. Programu hii
ndogo ilipangiwa jumla ya TSh. 4,046,861,000/= kwa kazi za
kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.
3,743,539,883/= zilip atikana sawa na asilimia 92 ambazo
49
zilitumika katika kusimamia na kufuatilia shughuli na
programu za elimu Pemba. Ufuatiliaji huu umeonesha
changamoto na mafanikio mbalimbali ya elimu Pemba.
Baadhi ya mafanikio ni kuhamasika kwa wananchi katika
unadikishaji wa watoto skuli. Hali hii imepelekea kuongezeka
kwa uandikishaji katika ngazi zote za elimu. Aidha, uhaba wa
walimu hasa kwa wilaya ya Micheweni ni miongoni mwa
changamoto zilizojitokeza ambapo Wizara inaendelea na
hatua za kutatua changamoto hiyo.
MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2018/19
KATIKA MFUMO WA PROGRAMU
54. Mheshimiwa Spika, baada ya kutoa taarifa ya utekelezaji wa
bajeti kwa mwaka wa fedha 2018/19 naomba sasa niwasilishe
vipaumbele vya Wizara na kisha makadirio ya mapato na
matumizi kwa mwaka 2018/19.
Vipaumbele
55. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2018/19,
vipaumbele vya sekta ya elimu ni: -
i). Kufidia michango ya wazee katika ngazi ya elimu ya
Sekondari kwa kuwapatia wanafunzi mabuku ya
kuandikia na vifaa vyengine vya kusomeshea na
kujifunzia vikiwemo chaki, vitabu vya kiada na ziada
na vifaa vya maabara.
ii). Kuimarisha miundombinu na mazingira ya
kufundishia na kujifunzia kwa kukamilisha ujenzi wa
madarasa 140 yaliyoanzishwa na wananchi, kujenga
madarasa mapya 50, kukamilisha ujenzi wa skuli 11
na kuanza ujenzi wa skuli tano mpya katika maeneo
ya Mwanakwerekwe, Wingwi, Kwarara, Mlilile na
Ngadu. Pia Wizara itaanza ujenzi wa maabara katika
skuli 23 na madarasa 48 mapya katika skuli sita za
sekondari Unguja (4) na Pemba (2) pamoja na
ununuzi wa samani zake.
50
iii). Kuanza ukarabati mkubwa katika skuli ya Sekondari
ya Haile-Sellasie na Uzini, na ukarabati mdogo
katika skuli 20 za Unguja na Pemba.
iv). Kukamilisha ukarabati wa skuli za sekondari za
Lumumba na Madungu.
v). Kukamilisha ujenzi wa skuli mpya ya sekondari ya
Kibuteni na skuli ya msingi ya Pangawe.
vi). Kuimarisha mfumo wa Ukaguzi wa Elimu, Mfumo
wa Mitihani na Mfumo wa Takwimu.
vii). Kuchapisha Sera ya Elimu ya Mwaka 2006
iliyofanyiwa mapitio na kuiwasilisha wa wadau.
viii). Kufanya utafiti wa tathmini ya ubora wa elimu ya
msingi (SAECMEQ V)
ix). Kuendelea na ujenzi wa vituo vya mafunzo Amali
vya Makunduchi na Daya.
x). Kuimarisha huduma za dakhalia zote za Unguja na
Pemba kwa kuzipatia usafiri (kwa dahalia mbili) na
kusaidia gharama za chakula kwa wanafunzi wote
wanaokaa dahalia.
xi). Kuwajengea walimu uwezo wa kufundisha masomo
ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza.
xii). Kuajiri walimu 499 wenye sifa za kufundisha ngazi
ya elimu ya Sekondari.
xiii). Kutoa fedha za ruzuku kwa skuli zote za sekondari
na Ruzuku ya Ufaulu kwa skuli za msingi na
sekondari zitakazoongeza asilimia ya ufaulu katika
masomo ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza.
xiv). Kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika
ufundishaji
xv). Kuendelea kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu
ya juu na kukusanya marejesho ya mikopo kutoka
kwa wahitimu wa ngazi hiyo.
xvi). Kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mipango ya
maendeleo ya elimu.
51
xvii). Kuimarisha ukumbi wa mahafali wa Chuo Kikuu cha
Taifa cha Zanzibar kwa kuupatia vifaa vya
mawalisiliano na sauti.
xviii). Kuimarisha michezo katika kuinua kipaji kwa
kutekeleza mipango ya “Sports 55”
xix). Kushirikiana na Wizara Ya Nchi Ofisi ya Rais,
Tawala za Mikoa, Serikali za mitaa na Idara
Maalumu katika utekelezaji wa ugatuzi wa elimu
katika ngazi za elimu ya maandalizi na msingi.
56. Mheshimiwa Spika, Naomba sasa, kuwasilisha mpango wa
maendeleo ya elimu kwa mwaka wa fedha wa 2018/19 kwa
mfumo wa programu kama hivi ifuatavyo: -
57. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali itaendelea kutekeleza
malengo yake yaliyozingatia Dira 2020, MKUZA III, Sera ya
Elimu, Mpango Mkuu wa Elimu (2017 – 2021), vipaumbele
vya Wizara kwa mwaka 2018/19 pamoja na mikakati
mengine ya Kitaifa na Kimataifa yenye lengo la kuimarisha
utoaji wa Elimu. Wizara pia, itaendelea kushirikiana na sekta
nyengine zinazotoa huduma za jamii ikiwemo Wizara ya
Afya, Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira na Wizara
ya Kazi, Uwezeshaji na Maendeleo ya Wazee, Wanawake na
Watoto, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa,
Serikali za Mitaa na Idara Maalumu na washirika mbalimbali
wa maendeleo, mashirika yasiyo ya Serikali na wananchi.
58. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha wa 2018/2019,
Wizara yangu itatekeleza miradi mitano ya maendeleo kupitia
programu tano badala ya programu sita kama ilivyokuwa kwa
mwaka 2017/2018. Hii ni kutokana ni kugatuliwa kwa
Programu ya Maandalizi na Msingi ambayo itatekelezwa
kupitia Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa,
Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.
52
59. Mheshimiwa Spika, Katika kusaidia utekelezaji wa
programu hiyo iliyogatuliwa, Wizara imegatua wafanyakazi
wote wa Idara ya Maandalizi na Msingi, Bajeti ya shughuli
zilizopangwa kutekelezwa kwa mwaka 2018/2019 pamoja na
walimu wote wa skuli za maandalizi na msingi na wafanya
kazi wengine watahamishiwa katika serikali za mitaa. Jumla
ya TSh. 55,259,299,000/- zimetengwa na zimehamishiwa
katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa,
Serikali za Mitaa na Idara Maalumu kwa ajili ya utekelezaji
wa Programu ya Maandalizi na Msingi. Mambo Makuu
yaliyogatuliwa ni usimamizi na uendeshaji wa skuli za
maandalizi na msingi na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Amali itaendelea kutunga na kusimamia, sera na Mipango,
mashirikiano ya kimataifa, Ukaguzi wa Elimu, utungaji wa
mitaala na vifaa vya kufundishia, utungaji na utoaji wa
matokeo ya mitihani.
60. Mheshimiwa Spika, Programu tano za Wizara zitatekelezwa
kwa mashirikiano kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
na washirika wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi. Jumla
ya TSh. 179,605,900,000/= zitahitajika, kati ya hizo TSh.
102,054,299,000/= ni za SMZ ambapo TZS 5,890,000,000/=
ni za miradi ya maendeleo na TZS 77,551,601,000/= ni
kutoka kwa wahisani ambapo TSh. 14,452,101,000/= ni za
ruzuku kutoka GPE, UNICEF, USAID, Table for Two (TfT),
Shirika la “Good Neighbour” la Korea, Jamhuri ya Watu wa
China, NORAD na “Milele Zanzibar Foundation” na TSh.
63,099,500,000/= ni mkopo kutoka Benki ya Dunia, Benki ya
Kiarabu kwa Maendeleo ya Afrika (BADEA), Benki ya
Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Mfuko wa OPEC. Jadweli
Nam. 49 litatoa ufafanuzi Zaidi. Miradi mitano na Programu
tano zitakazotekelezwa ni kama ifuatavyo: -
Miradi mitano ya Sekta ya Elimu
i). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi
ii). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Msingi
53
iii). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Lazima
iv). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu Mbadala na Amali.
v). Mradi wa Uimarishaji wa Miundombinu katika elimu
Programu tano za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Programu ya 1: Elimu ya Sekondari.
Programu ya 2: Elimu ya Juu
Programu ya 3: Elimu Mbadala na Mafunzo ya Amali
Programu ya 4: Ubora wa Elimu
Programu ya 5: Uongozi na Utawala
MAELEZO YA PROGRAMU ZA ELIMU
61. Mheshimiwa Spika, yafuatayo ni maelezo ya programu za
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali yanayohusisha
Madhumuni, Matokeo ya muda mfupi, Viashiria na Shabaha
za utekelezaji kwa kila programu.
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA SEKONDARI
62. Mheshimiwa Spika, Programu ya Elimu ya Sekondari
madhumuni yake makubwa ni kumtayarisha mwanafunzi
aweze kuendelea na masomo katika ngazi za juu zaidi.
Matokeo ya muda mfupi;
Kutoa Elimu ya Sekondari.
Viashiria vya matokeo;
Uwiyano wa wanafunzi wanaomaliza elimu ya
lazima,
Uwiano halisi wa uandikishaji wa wanafunzi katika
ngazi ya kidato cha nne na cha sita,
Uwiyano wa idadi ya walimu kwa nyumba za
wafanyakazi katika maeneo yasiyofikika kirahisi
Uwiyano wa wanafunzi kwa madarasa.
54
Shabaha za utekelezaji;
Kuongeza kiwango halisi cha uandikishaji wanafunzi
wa sekondari ya awali (Kidato cha 1 – 4) kutoka
asilimia 85.6 katika mwaka 2018 hadi kufikia
asilimia 87 ifikapo mwaka 2019.
Kiwango cha mpito kutoka kidato cha pili kwenda
cha tatu kuongezeka kutoka asilimia 74 mwaka 2017
hadi kufikia asilimia 78 ifikapo mwaka 2018.
Kiwango cha mpito kutoka kidato cha nne kwenda
cha tano kuongezeka kutoka asilimia 67.3 mwaka
2017 hadi asilimia 70 ifikapo mwaka 2018.
Kiwango cha mpito kutoka kidato cha sita kuendelea
na elimu ya juu kuongezeka kutoka asilimia 92.8
mwaka 2017/18 hadi asilimia 94 ifikapo mwaka
2018/19.
63. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Elimu ya Sekondari. Kwa mwaka wa fedha
2018/19, programu hii imepangiwa jumla ya TSh.
95,587,550,000/=
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA JUU
64. Mheshimiwa Spika, programu hii madhumuni yake ni kutoa
elimu itakayomuwezesha muhitimu kujiajiri au kuajiriwa.
Programu hii ina programu ndogo moja na maeneo madogo
manne ambayo ni: -
Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu
65. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya
kuwawezesha wanafunzi kuwa wabunifu, wataalamu na
wenye uwezo wa kuongoza ili kukuza ubora wa elimu.
Matokeo ya muda mfupi;
Elimu ya Diploma ya Ualimu kutolewa
55
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wote walioandikishwa vyuo vya
ualimu.
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza kiwango cha asilimia ya walimu wenye
sifa kutoka 99 mwaka 2017 hadi kufikia asilimia
99.5 mwaka 2018
66. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Mafunzo ya Ualimu. Kwa mwaka wa fedha
2018/19, programu hii imepangiwa jumla ya TSh.
1,396,183,000/=
Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti
67. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
kumtayarisha mwanafunzi kuingia katika fani za kitaalamu na
ajira.
Matokeo ya muda mfupi;
Kiwango cha elimu ya Stashahada, Shahada ya
kwanza, Shahada ya pili na Shahada ya tatu
kutolewa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wanaomaliza ngazi ya
Astashahada na Stashahada.
Idadi ya wanafunzi wanaomaliza ngazi ya Shahada
ya kwanza, ya Uzamili na ya Uzamivu.
Idadi ya tafiti zinazofanywa.
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza idadi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu kutoka
5,252 mwaka 2017/18 hadi kufikia 6,000 mwaka
2018/19
56
68. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA). Kwa mwaka
wa fedha 2018/19, huduma hii imepangiwa ruzuku ya TSh.
11,060,200,000/=
Huduma ya Elimu ya Sayansi na Teknolojia
69. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
kuimarisha elimu ya sayansi na teknolojia.
Matokeo ya muda mfupi;
Kuimarisha ufundishaji na kujifunza Sayansi,
Hisabati na Teknolojia
Elimu ya Ufundi kuimarishwa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wahitimu katika Taasisi,
Uwiyano wa wanafunzi kwa madarasa.
70. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia. Kwa mwaka
wa fedha 2018/19, programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh.
1,631,500,000/=
Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu
71. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya kutoa
mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya Juu.
Matokeo ya muda mfupi;
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutolewa.
Fedha zilizokopeshwa kwa wanafunzi kurejeshwa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wanaopokea mikopo
Idadi ya wanafunzi wanaorudisha mikopo.
Shabaha za Utekelezaji;
57
Kuongeza utowaji wa mikopo kwa wanafunzi kutoka
asilimia 25 ya waombaji mwaka 2017/18 hadi
kufikia asilimia 40 ifikapo mwaka 2018/19
Kuongeza makusanyo ya marejesho ya mikopo
kutoka TSh. 1,500,000,000. /= ya mwaka 2017/18 na
kufikia TSh. 2,300,000,000/= mwaka 2018/19.
72. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu. Kwa mwaka wa fedha
2018/19, programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh.
11,775,900,000/=
Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu
73. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
usimamizi na tathmini ya elimu ya juu.
Matokeo ya muda mfupi;
Tathmini katika vyuo vinavyotoa elimu ya juu
kufanyika.
Wahitimu waliomaliza masomo ya elimu ya juu
kuratibiwa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wanaoendelea na masomo ya
elimu ya juu kijinsia.
Idadi ya wahitimu wa elimu ya juu kijinsia.
74. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Kitengo cha Uratibu wa Elimu ya Juu. Kwa mwaka wa
fedha 2018/19, programu hii imepangiwa jumla ya TSh.
40,000,000/=
58
PROGRAMU YA TATU: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI
75. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake ni kutoa
elimu ya mafunzo ya amali kwa mwanafuzi kulingana na
mahitaji ya soko la ajira. Programu hii ina programu ndogo
ndogo mbili kama ifuatavyo;
Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali
76. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
elimu itakayowawezesha vijana kujiajiri ili kujikwamua na
umasikini.
Matokeo ya muda mfupi;
Mafunzo ya Amali na ufundi kutolewa.
Viashiria vya matokeo;
Ukosefu wa ajira kwa vijana kupungua
Idadi ya wanafunzi wanaomaliza mafunzo ya amali
kuongezeka.
77. Mheshimiwa Spika, shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali. Kwa mwaka wa fedha
2018/19, Mamlaka imetengewa ruzuku ya TSh.
6,621,600,000/=.
Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima 78. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kupunguza kiwango cha kutojua kusoma, kuandika na
kuhesabu miongoni mwa wanajamii.
Matokeo ya muda mfupi;
Elimu mbadala na ya watu wazima kutolewa.
Viashiria vya matokeo;
59
Kiwango cha kujua kusoma, kuandika na kuhesabu
kwa watu wazima,
Idadi ya watu wazima wanaoshiriki katika madarasa
ya wanakisomo,
Idadi ya vijana waliojiunga na madarasa na vituo vya
elimu mbadala,
Idadi ya wanakisomo walioanzisha vikundi vya
ushirika
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza kiwango cha kujua kusoma na kuandika
kutoka asilimia 84 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia
90 ifikapo mwaka 2020.
79. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima. Kwa mwaka
wa fedha 2018/19, programu hii imetengewa jumla ya TSh.
17,918,426,000/=.
PROGRAMU YA NNE: UBORA WA ELIMU
80. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
elimu bora kwa ngazi zote za elimu. Ina programu ndogo tatu
na maeneo matano ya kutoa huduma kama yafuatayo;
Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia
81. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
kutayarisha mitaala ya elimu na vifaa vya kufundishia na
kujifunzia kwa ngazi za elimu ya maandalizi, msingi,
sekondari na mafunzo ya Ualimu.
Matokeo ya muda mfupi;
Mitaala ya Elimu na vifaa vya kufundishia na
kujifunzia kwa ngazi zote kutayarishwa.
60
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya Mitaala na vifaa vya kufundishia na
kujifunzia vilivyotayarishwa na kusambazwa katika
skuli.
82. Mheshimiwa Spika, Shughuli za utowaji wa huduma hii
zinatekelezwa na Taasisi ya Elimu Zanzibar. Kwa mwaka wa
fedha 2018/19, Taasisi imetengewa ruzuku ya TSh.
329,200,000/=
Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu
83. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kupima na kutathmini utekelezaji wa utoaji wa elimu.
Matokeo ya muda mfupi;
Malengo ya elimu kupimwa.
Viashiria vya matokeo;
Asilimia ya wanafunzi na kiwango cha mpito katika
ngazi za darasa la nne, darasa la sita, kidato cha pili,
kidato cha nne na cha sita.
84. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Baraza la Mitihani la Zanzibar. Kwa mwaka wa fedha
2018/19, programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh.
4,672,500,000/=.
Huduma ya Ukaguzi wa Elimu
85. Mheshimiwa Spika, utoaji wa huduma hii una madhumuni
ya kusimamia utoaji wa elimu unaofuata mtaala na
kuhakikisha ufanisi na ubora wa elimu inayotolewa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya skuli zilizokaguliwa
61
Idadi ya ripoti za ukaguzi zilizowasilishwa
86. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu. Kwa mwaka wa fedha
2018/19, programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh.
428,700,000/=.
Huduma za Maktaba
87. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
fursa ya kutumia vitabu na vyanzo vyengine vya taaluma kwa
wananchi.
Matokeo ya muda mfupi;
Kutoa nafasi kwa wanafunzi na watu wengine ya
kupata taarifa mbalimbali kupitia maktaba.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya watu wanaotumia maktaba
Idadi ya vitabu, CDs, magazeti na majarida yaliyopo
katika maktaba.
Idadi ya skuli zenye maktaba kamili.
88. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Shirika la Huduma za Maktaba Zanzibar. Kwa mwaka wa
fedha 2018/19, programu hii imepangiwa kutumia ruzuku ya
TSh. 845,100,000 /=.
Huduma ya Urajisi wa Elimu 89. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuhakikisha Sheria, Sera na taratibu za Wizara zinafuatwa.
Pia kutoa leseni kwa walimu na kusajili skuli za Serikali na
za binafsi.
62
Matokeo ya muda mfupi;
Skuli za Serikali na binafsi zenye viwango bora
kusajiliwa
Leseni za walimu kutolewa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya leseni za walimu zilizotolewa.
Idadi ya skuli zilizosajiliwa.
Sheria ya Elimu iliyopitiwa na kurekebishwa.
Idadi ya wanafunzi waliopata ujauzito na kurejea
masomoni baada ya kujifungua.
Idadi ya kesi za ndoa kwa wanafunzi zilizofuatiliwa
na kutolewa uamuzi.
90. Mheshimiwa Spika, Shughuli za utowaji wa huduma hii
zinatekelezwa na Ofisi ya Mrajisi wa Elimu. Kwa mwaka wa
fedha 2018/19, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya
TSh. 190,400,000/=.
Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za
Maisha
91. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
elimu kwa wote wakiwemo watoto wenye mahitaji maalum.
Matokeo ya muda mfupi;
Vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa watoto
wenye mahitaji maalum kutolewa
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi na walimu katika Elimu
Mjumuisho.
92. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha. Kwa
63
mwaka wa fedha 2018/19, Kitengo kimepangiwa kutumia
jumla ya TSh. 75,000,000/=.
Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano (TEHAMA) 93. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuifanya teknolojia ya habari na mawasiliano itumike katika
kujifunza, kufundisha, ngazi ya utawala na katika maisha ya
kila siku.
Matokeo ya muda mfupi;
Walimu na wanafunzi wanapatiwa mafunzo juu ya
matumizi ya Teknolojia ya kisasa.
Viashiria vya utekelezaji;
Idadi ya walimu wenye ujuzi wa Teknolojia ya
Habari na Mawasiliano,
Idadi ya vifaa vya Teknolojia ya Habari na
mawasiliano katika skuli na Wizara
Idadi ya Taasisi za elimu zilizounganishwa na
mkonga wa Taifa.
Mafunzo ya matumizi ya kompyuta kutolewa
kuanzia katika skuli za msingi.
94. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Katika
Elimu. Katika mwaka wa fedha 2018/19, programu hii
imepangiwa kutumia jumla ya TSh. 532,685,000/=.
Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli
95. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kumuandaa mwanafunzi kimwili, kiafya na kiakili katika
kujifunza kwa kupitia michezo.
64
Matokeo ya muda mfupi;
Kuinua taaluma ya michezo katika skuli.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya walimu wenye taaluma ya michezo
Idadi ya skuli zenye viwanja vya michezo
Idadi ya skuli zenye vifaa vya michezo
Idadi ya wanafunzi wenye vipaji vya michezo
96. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Michezo na Utamaduni katika Elimu. Kwa
mwaka wa fedha wa 2018/19, programu hii imepangiwa
kutumia jumla ya TSh. 650,043,000/=.
PROGRAMU YA TANO: UTAWALA NA UONGOZI
97. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake
makubwa ni kuhakikisha nyenzo zilizo bora zinapatikana na
zinatumika kwa kuimarisha utoaji wa elimu. Programu hii ina
programu ndogo tatu kama zifuatavyo: -
Programu ndogo ya Uongozi kiujumla
98. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya kutoa
ufanisi wa Uongozi na Utawala wa rasilimali za Wizara.
Matokeo ya muda mfupi;
Kupatikana kwa Ufanisi katika utoaji wa huduma,
Uongozi na Utawala wa Rasilimali za Wizara.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wafanyakazi wanaoajiriwa na kustaafu,
Mafunzo yanayotolewa kwa wafanyakazi.
65
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza ufanisi katika kutoa huduma kwa
wafanyakazi na upatikanaji wa nyenzo za kufanyia
kazi.
99. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Utumishi na Uendeshaji. Kwa mwaka wa fedha
2018/19, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.
7,241,104,000/=.
Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango,
Sera na Utafiti
100. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya
kufanikisha na kuratibu Mipango, Sera na Utafiti katika
Wizara.
Matokeo ya muda mfupi;
Kupatikana kwa sera na mipango ya Wizara, kufanya utafiti
na kufanya ufuatiliaji na tathmini.
Viashiria vya matokeo;
Idadi za tafiti zilizofanywa
Ripoti za utekelezaji na ripoti za tathmini.
101. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Mipango, Sera na Utafiti. Kwa mwaka wa fedha
2018/19, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.
4,048,980,000/=
Programu ndogo ya kuratibu shughuli za Elimu Pemba 102. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya
kuratibu na kusimamia shughuli zote za elimu kwa upande
wa Pemba. Matokeo ya muda mfupi na shabaha za
utekelezaji zinazotumika ni kama zile zilizoelezwa katika
programu za hapo juu.
66
103. Mheshimiwa Spika, msimamizi wa shughuli za programu hii
ni Afisa Mdhamini wa Wizara yangu kupitia katika Divisheni
ya Idara ya Uendeshaji na Utumishi Pemba.
104. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2018/19,
programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.
2,611,928,000/=.
MGAWANYO WA FEDHA KWA PROGRAMU
105. Mheshimiwa Spika, Sehemu hii inaonesha mgawanyo wa
fedha kwa Programu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Amali yenye kuzingatia gharama za Idara/Vitengo/Taasisi
zilizomo katika programu husika.
Programu ya Kwanza: ELIMU YA SEKONDARI
Idara Husika: Idara ya Elimu ya Sekondari
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 95,587,550,000/=
zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya
fedha hizo, TSh. 40,415,050,000/= ni kwa kazi za kawaida na
TSh. 55,172,500,000/= kwa kazi za maendeleo.
Programu ya Pili: ELIMU YA JUU Taasisi Husika: Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
(SUZA), Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia,
Mafunzo ya Ualimu, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu na
Kitengo cha Uratibu wa Elimu wa Juu.
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 26,970,583,000/=
zimepangwa kwa kufanikisha programu hii kwa kazi za
kawaida.
Programu ya Tatu: ELIMU MBADALA NA MAFUNZO
YA AMALI
Idara Husika: Mamlaka ya mafunzo ya Amali pamoja na
Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima.
67
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 24,540,026,000/=
zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya
fedha hizo, TSh. 7,553,026,000/= ni kwa kazi za kawaida na
TSh. 16,987,000,000/= kwa kazi za maendeleo.
Programu ya Nne: UBORA WA ELIMU
Idara Husika: Taasisi ya Elimu ya Zanzibar, Baraza la
Mitihani la Zanzibar, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu,
Kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha, Shirika la
Huduma za Maktaba Zanzibar, Idara ya Teknolojia ya Habari
na Mawasiliano Katika Elimu, Ofisi ya Mrajisi wa Elimu,
Idara ya Michezo na Utamaduni Katika Skuli.
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 7,723,628,000/=
zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii kwa kazi
za kawaida.
Programu ya Tano: UONGOZI NA UTAWALA
Idara Husika: Idara ya Utumishi na Uendeshaji, Idara ya
Mipango, Sera na Utafiti na Ofisi ya Elimu Pemba.
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 13,902,012,000/=
zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii kwa kazi
za kawaida.
106. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2017/18 Wizara
ya Elimu na Mafunzo ya Amali ilikadiriwa kukusanya
mapato ya jumla ya TSh. 143,093,000/=. Hadi kufikia Aprili,
2018 Wizara yangu imefanikiwa kukusanya jumla ya TSh.
63,119,400/= sawa na asilimia 44.1 na zimewasilishwa
Hazina. Fedha hizo ni makusanyo ya malipo ya leseni za
walimu na ada za usajili wa skuli za binafsi zinazotoa Elimu
ya Maandalizi, Msingi na Sekondari.
68
JUMLA YA GHARAMA ZA WIZARA YA ELIMU NA
MAFUNZO YA AMALI 107. Mheshimiwa Spika, gharama kwa programu zote sita za
Wizara ni TSh. 179,605,900,000/= sawa na bajeti yote ya
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali inayotumia programu
iliyoainishwa Barazani. Kati ya fedha hizo, TSh.
96,164,299,000/= zimetengwa kwa kazi za kawaida na TSh.
83,441,600,000/= kwa kazi za maendeleo. Kati ya fedha za
maendeleo, TSh. 5,890,000,000/= ni mchango wa SMZ na
TSh. 77,551,600,000/= ni mchango wa Wahisani.
SHUKURANI 108. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii kutoa
shukurani za dhati kwa washirika wote wa sekta ya elimu
wakiwemo wananchi, washirika wa maendeleo na mashirika
ya misaada ya kimataifa kwa kutuunga mkono katika
jitihada zetu za kuendeleza elimu. Tunatoa shukurani zetu
za pekee kwa Serikali ya Sweden, Marekani, Oman na
Serikali ya Watu wa China, Serikali ya India na Iran. Pia,
napenda kuyashukuru mashirika mbalimbali ya kimataifa
yakiwemo, Sida, USAID, KOICA, UNESCO, UNICEF,
ILO, VSO, OPEC Fund, GPE, Good Neighbours, na “Table
for Two”. Shukurani zetu za dhati kwa Aga Khan
Foundation, Benki ya Dunia, Benki ya Kiarabu kwa
Maendeleo ya Afrika na Benki ya Maendeleo ya Afrika.
Napenda pia, kuyashukuru mashirika yasio ya kiserikali
yakiwemo Milele Zanzibar Foundation, Jumuiya ya
“Madrasa Early Childhood Education Program”, NFU,
FAWE, “Save the Children Fund”, “Book Aid
International”, kampuni ya SHA na Bakhresa, na ZAPDD.
Vile Vile napenda kuyashukuru makampuni na mashirika
mbalimbali ya kifedha ya kiwemo ZTE, Benki ya watu wa
Zanzibar, CRDB, Barclays, NBC, NMB, Postal Bank
Tanzania, ZANTEL, SACCOSS mbalimbali na Tigo kwa
misaada yao katika sekta yetu ya elimu na kwa wafanyakazi
kwa ujumla. Shukurani za pekee ziziendee Kamati zetu za
69
Skuli na Halmashauri zetu za Wilaya kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika kuchangia maendeleo ya elimu
Zanzibar.
109. Mwisho, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa
viongozi wenzangu kuanzia wewe Mheshimiwa Spika na
wajumbe wa Baraza lako Tukufu kwa ushirikiano mkubwa
walionipa na kwa namna watakavyoichangia hotuba yangu
hii. Nasema ahsanteni sana.
110. Mheshimiwa Spika, sasa naliomba Baraza lako Tukufu
liidhinishe makadirio ya matumizi ya Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Amali ya jumla ya TSh. 179,605,900,000/= kwa
mwaka wa fedha 2018/19, ili kuiwezesha Wizara yangu
kutekeleza majukumu yake.
Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.
70
KIAMBATISHO
(Takwimu za Maendeleo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Kwa Kipindi cha 2014- 2018 na Hali Halisi ya Elimu na
Mafunzo ya Amali kwa Mwaka 2017/18)
71
JADWELI NAM. 1
2015 SERIKALI BINAFSI JUMLA
SKULI ZA MAANDALIZI 279 277 289 328 31 316 347
SKULI ZA MSINGI (DAR I - VII) 250 260 285 299 240 117 357
SKULI ZA MSINGI/KATI 'A' (DAR I - KID 2) 50 49 46 41 30 8 38
SKULI ZA MSINGI/KATI 'B' (DAR I - KID 4) 57 57 61 67 16 38 54
SKULI ZA MSINGI/SEKOND.(DAR I - KID 6) 2 4 2 5 0 9 9
SKULI ZA KATI 'A' FORM 1 - FORM 2 2 4 2 3 3 0 3
SKULI ZA SEKOND. FORM 1 - FORM 4 107 122 134 117 130 5 135
SKULI ZA SEKOND. YA JUU (FORM 1 - 6) 13 11 21 13 10 1 11
SKULI ZA MCHEPUO WA KIFARANSA 1 1 1 1 1 0 1
SKULI ZA MCHEPUO WA UFUNDI 3 3 3 2 2 0 2
SKULI ZA MCHEPUO WA BIASHARA 4 1 2 1 1 0 1
SKULI ZA MCHEPUO WA KIISLAMU 2 2 2 1 2 0 2
SKULI ZA MCHEPUO WA SAYANSI JAMII 5 3 6 2 1 0 1
SKULI ZA MCHEPUO WA SAYANSI 8 4 9 10 7 0 7
SKULI ZA MCHEPUO WA KOMPYUTA 2 1 1 1 1 0 1
SKULI ZA MCHEPUO WA MICHEZO 0 0 0 0 2 0 2
VITUO VYA MAFUNZO YA AMALI 3 3 3 3 2 0 2
VYUO VYA UALIMU 3 3 3 2 2 0 2
TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA 1 1 1 1 1 0 1
CHUO KIKUU CHA TAIFA Z'BAR (SUZA) 1 1 1 1 1 0 1
CHUO KIKUU CHA SUMAIT - CHUKWANI 1 1 1 1 0 1 1
CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR 1 1 1 1 0 1 1
JUMLA 795 809 874 900 483 496 979
2018
UKUAJI WA IDADI NA AINA ZA VITUO VYA ELIMU VILIVYOSAJILIWA, 2014 - 2018
AINA ZA VITUO 2014 2016 2017
72
JADWELI NAM. 2(a)
*ONGEZEKO
KWA
MWAKA %
95,818 94,848 103,950
4 - 5(Ulezi) 4 - 5(Ulezi) 4 - 5(Ulezi)
241,718 239,284 237,634
6 - 11(Msingi) 6 - 11(Msingi) 6 - 11(Msingi)
85,744 84,871 76,060
12 - 13(Kid 1-2) 12 - 13(Kid 1-2) 12 - 13(Kid 1-2)
327,462 324,155 369,993
6 - 15(Dar1-Kid2) 6 - 15(Dar1-Kid2) 6 - 15(Dar1-Kid2)
69,369 68,666 66,780
14 - 15 (Kid 3 - 4) 14 - 15 (Kid 3 - 4) 14 - 15 (Kid 3 - 4)
396,831 392,821 369,993
6 - 15 (Dar1-Kid4) 6 - 15 (Dar1-Kid4) 6 - 15 (Dar1-Kid4)
* Kuanzia mwaka 2016 umri wa watoto wa kwenda skuli katika ngazi tafauti za elimu umefuata sera mpya ya elimu ya mwaka 2006 ilivyoagiza
UKUAJI WA IDADI YA WATOTO WA UMRI WA KWENDA SKULI KWA MWAKA, 2014 - 2018
UMRI WA NGAZI YA ELIMU 2014 2015 2016* 2017* 2018*
246,741 265,591
338,322
59,463
566,910
73,428 72,731
320,169
4 - 6 (Ulezi)
125,687 135,965
-10.6
60,184
398,506
-4.2
7 - 13 (Msingi)
14 - 15 (KIidato 1 - Kidato 2)
7 - 15 (Darasa 1-Kidato 2)
16 - 17 (Kidato 3 - 4)
-0.8
0.7
2.7
2.2
7 - 17 (Msingi/Kati "B")(Darasa 1-Kidato 4)
73
JADWELI NAM. 2(b)
SERIKALI BINAFSI JUMLA
Maandalizi 46880 41687 55731 62720 30898 41253 72151 11.38Msingi (Darasa I - VI/VII) 252938 261212 249143 256048 246190 30668 276858 2.28Kati 'A' (Kidato 1 - 2 Bila ya Mchepuo) 48912 52876 80423 81246 61982 5675 67657 8.45Kati 'B' (Kidato 3 - 4 Bila ya Mchepuo) 25769 26392 28656 31828 43793 5231 49024 17.44Sekondari ya Juu (Kidato 5 - 6) 1959 2640 3848 3643 3984 606 4590 23.72Vipawa vya Juu (Kidato 1 - 4) 974 1049 1027 563 585 0 585 -11.97Mchepuo wa Sayansi (Kidato 1 - 4) 1331 1086 1464 1580 2033 0 2033 11.17Mchepuo wa Ufundi (Kidato 1 - 4) 380 375 361 362 378 0 378 -0.13Mchepuo wa Kifaransa (Kidato 1 - 4) 163 153 190 189 197 0 197 4.85Mchepuo wa Kiislamu (Kidato 1 - 4) 433 367 428 409 414 0 414 -1.12Mchepuo wa Biashara (Kidato 1 - 4) 451 503 361 585 568 0 568 5.94Mchepuo wa Kompyuta (Kidato1 - 4) 477 548 470 452 447 0 447 -1.61Mchepuo wa Sayansi Jamii (Kidato 1 - 4) 935 936 870 591 354 81 435 -17.41Mchepuo wa Wanawake (Kidato 1- 4) 514 640 915 715 0 0 0 -100.00Ufundi Sanifu 282 315 308 545 522 0 522 16.64Ualimu (Benjamin Mkapa) Diploma 194 228 123 0 0 0 0 -100.00Ualimu (Kiislamu) Diploma - Kiuyu + Mazizini 603 556 809 395 841 0 841 8.67Lugha - Diploma (SUZA) 411 273 368 166 116 0 116 -27.11Cheti - Kompyuta (SUZA) 60 36 42 40 23 0 23 -21.31Diploma - Kompyuta (SUZA) 69 52 33 35 138 0 138 18.92Shahada - Kompyuta (SUZA) 51 67 71 110 52 0 52 0.49Diploma - Sayansi ya Ualimu (SUZA) 102 131 65 181 91 0 91 -2.81Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar - SUZA 2078 1979 2346 2420 4045 0 4045 18.12Chuo Kikuu Cha SUMAIT - Chukwani 1880 1917 1684 1506 0 969 969 -15.27Chuo Kikuu Cha Zanzibar 2080 1915 2719 2579 0 3094 3094 10.44
Jumla 389,926 397,933 432,455 448,908 397,651 87,577 485,228 5.62
UKUAJI WA UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI KATIKA NGAZI MBALI MBALI, 2014 - 2018
NGAZI YA ELIMU
2018
2014 2015
ONGEZEKO
KWA
MWAKA %2016 2017
74
JADWELI NAM. 2(c)
UMRI WA NGAZI YA ELIMU 2014 2015 2016 2017 2018
Maandalizi 30.9 30.7 58.2 66.1 69.4
Msingi 102.5 98.4 103.1 106.9 116.5
Kati 'A' (Kid 1 - Kid 2)* 71.1 76.3 97.6 98.6 92.1
Kati 'B' (Kidato 3 - 4)* 46.7 47.7 45.6 50.5 64.3
Msingi na Kati 'A' (Dar.I - Kid.2)* 95.3 93.6 101.6 104.7 110.6
Msingi na Kati 'B' (Dar.I - Kid.4)* 87.6 86.5 91.9 95.3 90.2
*Pamoja na Michepuo
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI (GROSS LEVEL ENROLMENT RATIO)
KATIKA NGAZI MBALI MBALI ZA ELIMU, 2014 - 2018
75
JADWELI NAM. 3
WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA
Darasa I 21129 42848 21728 44189 25510 52587 25218 51389 25646 53114 3521 6926 29167 60040 8.39 8.80
Darasa II 20343 40996 20364 41316 21337 43313 23931 48708 21232 43255 3072 6086 24304 49341 4.55 4.74
Darasa III 19484 38867 20083 40134 20547 41499 20945 42157 21312 42951 2753 5413 24065 48364 5.42 5.62
Darasa IV 18121 36245 19139 38218 19726 39391 19869 40055 19102 38712 2268 4555 21370 43267 4.21 4.53
Darasa V 16581 32370 18273 36093 19326 38523 19629 39030 17538 34799 1975 3937 19513 38736 4.15 4.59
Darasa VI 16236 32461 15795 29793 17310 33491 18165 34709 17289 33359 1910 3751 19199 37110 4.28 3.40
Darasa VII 15094 29151 15844 31469 178 339 0 0 0 0 0 0 0 0 0.00 0.00
Kid. I (Michepuo) 722 1465 678 1296 999 1587 593 948 792 1325 20 20 812 1345 2.98 -2.11
Kid I (Wengine) 14286 27032 14783 28555 28886 55642 17624 34711 16101 30861 1494 2841 17595 33702 5.35 5.67
Kid.2 (Michepuo) 688 1532 654 1351 894 1698 964 1566 607 1014 21 21 628 1035 -2.26 -9.34
Kid. 2 (Wengine) 11799 21880 13211 24321 13175 24781 25462 46535 16131 31121 1506 2834 17637 33955 10.57 11.61
Kid. 3 (Michepuo) 553 1075 588 1259 768 1499 803 1568 1125 1804 21 21 1146 1825 19.98 14.15
Kid. 3 (Wengine) 7622 13293 7519 13534 9091 15749 9577 16652 17867 30098 1707 3177 19574 33275 26.59 25.78
Kid. 4 (Michepuo) 489 909 553 1037 712 1489 693 1364 726 1418 19 19 745 1437 11.10 12.13
Kid. 4 (Wengine) 7385 12476 7357 12858 7335 12907 8903 15176 8025 13695 1142 2054 9167 15749 5.55 6.00
Kid 5 na NTA 4 747 1794 1112 2064 892 2007 1267 2370 1217 2580 220 371 1437 2951 17.77 13.25
NTA 5 16 85 16 83 31 96 98 142 86 196 0 0 86 196 52.26 23.23
Kid 6 na NTA 6 603 1213 408 815 999 2053 821 1666 910 1838 134 225 1044 2063 14.71 14.20
Jumla 171898 335692 178105 348385 187716 368651 194562 378746 185706 362140 21783 42251 207489 404391 4.82 4.76
UKUAJI WA IDADI YA WANAFUNZI KATIKA MADARASA, 2014 - 2018
MADARASASERIKALI BINAFSI2014 2016
ONGEZEKOKWA MWAKA (%)
20182015 JUMLA2017
76
JADWELI NAM. 4
WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA % WASIOSOMEA WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA %WASIOSOMEA WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA %WASIOSOMEA
2014 9832 129 9961 1.3 1225 407 1632 24.9 11057 536 11593 4.6
2015 9942 89 10031 0.9 1441 354 1795 19.7 11383 443 11826 3.7
2016 9857 93 9950 0.9 1638 405 2043 19.8 11495 498 11993 4.2
2017 10187 87 10274 0.8 1865 401 2266 17.7 12052 488 12540 3.9
2018 10674 59 10733 0.5 2108 319 2427 13.1 12782 378 13160 2.9
Takwimu hizi hazijumuishi Walimu wa Chuo cha Karume na Skuli za Maandalizi
UKUAJI WA IDADI YA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA SEKONDARI
JUMLA
(DARASA LA 1 - KIDATO 6) 2014 - 2018 SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI
MWAKA
SKULI ZA BINAFSISKULI ZA SERIKALI
77
JADWELI NAM. 5
IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA
WANAFUNZI WALIMU WALIMU WANAFUNZI WALIMU WALIMU WANAFUNZI WALIMU WALIMU
2014 282,773 9,961 28 22,348 1,632 13 297,330 11,418 26
2015 318,955 10,031 28 29,226 1,795 14 305,121 11,593 26
2016 335,080 9,950 34 33,226 2,043 16 368,306 11,993 31
2017 341,870 10,274 33 35,970 2,266 16 377,840 12,540 30
2018 361631 10,733 34 42,251 2,427 17 403,882 13,160 31
UKUAJI WA WANAFUNZI NA WALIMU (PUPIL TEACHER RATIO)
KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR. 1 - KID. 6) 2014 - 2018
SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI
MWAKA
SKULI ZA SERIKALI SKULI ZA BINAFSI JUMLA
78
JADWELI NAM. 6a(i)
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
2013 8662 10660 19322 4805 6678 11483 55.5 62.6 59.4
2014 10119 11825 21944 6373 8011 14384 63.0 67.7 65.5
2015 10820 13231 24051 6950 9794 16744 64.2 74.0 69.6
2016 11673 13414 25087 7497 10084 17581 64.2 75.2 70.1
2017 20514 26056 46570 13670 20791 34461 66.6 79.8 74.0
MATOKEO YA MITIHANI WA KIDATO CHA 2, 2013- 2017
MWAKA
WATAHINIWA WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
79
JADWELI NAM 6a(ii)
STD VI STD VII
1 Kaskazini B Mjini Wete Chake Chake Mjini Mjini
2 Mjini Magharibi Chake-chake Mkoani Magharibi 'B' Magharibi 'B'
3 Mkoani Chake Chake Kati Mjini Chake Chake Chake Chake
4 Micheweni Micheweni Mjini Kati Wete Magharibi 'A'
5 Wete Wete Kusini Wete Magharibi 'A' Wete
6 Chake chake Kati Magharibi Magharibi "A" Micheweni Micheweni
7 Kati Mkoani Micheweni Kaskazini "B" Kati Kaskazini 'B'
8 Kusini Kaskazini A Mkoani Micheweni Kaskazini 'A' Kati
9 Kaskazini A Kusini Kaskazini B Kaskazini "A" Mkoani Kaskazini 'A'
10 Magharibi Kaskazini B Kaskazini A Magharibi "B" Kaskazini 'B' Mkoani
11 - - - Kusini Kusini Kusini
NAFASI
NAFASI ZA WILAYA KATIKA MATOKEO YA MTIHANI
WA KIDATO CHA PILI (2013 - 2017)
20172013 2014 2015 2016
80
JADWELI NAM. 6a(iii)
STD VI STD VII
1 Madungu Sekondari Madungu A Sek Madungu A Fidel Castro Fidel Castro Fidel Castro
2 Upenja Chambani Mauwani Lumumba Lumumba Lumumba
3 Muembe Makumbi Kisiwani Mahonda Madungu "B" Tumekuja S.O.S Hermann
4 Piki Jendele Shengejuu Zanzibar Ccommercial Tumekuja Chasasa 'B'
5 Kusini Makangale Pandani Mikunguni Ben-bella Laureat International
6 Mwambe Jongowe Kangani Ben-bella Mikunguni Mahad Istiqama
7 Jongowe Muyuni Uroa Chasasa Kiembesamaki Islamic Ben-bella
8 Matemwe Vikunguni Hurumzi Tumekuja Mahad Istiqama Sunni Madressa
9 Mizingani Cheju Mfenesini S.O.S Hermann Zanzibar Commercial Francis Maria
10 Ukongoroni Mfurumatonga Maendeleo High-view International Chasasa 'B' J.K.U
WA KIDATO CHA PILI (2013 - 2017)
NAFASI ZA SKULI KUMI BORA KATIKA MATOKEO YA MTIHANI
20172016201520142013NAFASI
81
JADWELI NAM. 6(b)(i)
JUMLA JUMLA
DIV.I-IV DIV. I-IV
2013 5542 74 283 637 2587 3581 1.3 5.1 11.5 46.7 64.6
2014 5267 57 326 614 2170 3167 1.08 6.19 11.66 41.20 60.1
2015 5188 46 260 697 2839 3842 0.89 5.01 13.43 54.72 74.1
2016 6207 145 450 891 2954 4440 2.34 7.25 14.35 47.59 71.5
2017 6905 85 433 849 3429 4796 1.23 6.27 12.30 49.66 69.5
DIV. II DIV. III DIV. IV
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2013 - 2017 WAVULANA
MWAKA WATAHINIWA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV DIV. I
82
JADWELI NAM. 6(b)(ii)
JUMLA JUMLA
DIV. I-IV DIV. I - IV
2013 6662 56 251 652 3570 4529 0.8 3.8 9.8 53.6 68.0
2014 7545 52 301 681 3512 4546 0.69 3.99 9.03 46.55 60.3
2015 7020 14 185 658 4191 5048 0.20 2.64 9.37 59.70 71.9
2016 7835 97 411 995 4150 5653 1.24 5.25 12.70 52.97 72.2
2017 9541 70 370 907 4930 6277 0.73 3.88 9.51 51.67 65.8
DIV. II DIV. III DIV. IV
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2013 - 2017. WASICHANA
MWAKA WATAHINIWA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
DIV.I DIV.II DIV.III DIV.IV DIV. I
83
JADWELI NAM. 6(b)(iii)
JUMLA JUMLA
DIV. I - IV DIV. I - IV
2013 12204 130 534 1289 6157 8110 1.065 4.376 10.56 50.45 66.454
2014 12812 109 627 1295 5682 7713 0.851 4.894 10.11 44.35 60.201
2015 12208 60 445 1355 7030 8890 1.054 6.658 16.85 75.44 72.821
2016 14042 242 861 1886 7104 10093 1.723 6.132 13.43 50.59 71.877
2017 16446 155 803 1756 8359 11073 1.471 4.883 10.68 50.83 67.329
DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2013 - 2017
JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA
MWAKA WATAHINIWA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
DIV.I DIV.II DIV. III DIV. IV
84
JADWELI NAM. 6(c)(i)
JUMLA JUMLA
DIV. I - IV DIV. I - IV
2012/13 1010 1 20 529 222 772 0.1 2.0 52.4 22.0 76.4
2013/14 586 26 98 295 129 548 4.4 16.7 50.3 22.0 93.5
2014/15 358 41 98 164 41 344 11.5 27.4 45.8 11.5 96.1
2015/16 985 33 213 515 130 891 3.4 21.6 52.3 13.2 90.5
2016/17 777 43 188 370 79 680 5.5 24.2 47.6 10.2 87.5
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2012/13 - 2016/17 WAVULANA
MWAKA WATAHINIWA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
DIV.I DIV. II DIV. III DIV.IV DIV.I DIV. II DIV. III DIV. IV
85
JADWELI NAM. 6(c)(ii)
JUMLA JUMLA
DIV. I - IV DIV. I - IV
2012/13 1057 0 20 595 249 864 0.0 1.9 56.3 23.6 81.7
2013/14 573 25 96 334 104 559 4.4 16.8 58.3 18.2 97.6
2014/15 315 58 95 126 33 312 18.4 30.2 40.0 10.5 99.0
2015/16 978 17 164 612 128 921 1.7 16.8 62.6 13.1 94.2
2016/17 727 45 167 425 78 715 6.2 23.0 58.5 10.7 98.3
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2012/13 - 2016/17 WASICHANA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
MWAKA WATAHINIWA DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IVDIV. IV DIV. I DIV. II DIV. III
86
JADWELI NAM. 6(c)(iii)
JUMLA JUMLA
DIV. I - IV DIV. I - IV
2012/13 2067 1 40 1124 471 1636 0.05 1.9 54.4 22.8 79.1
2013/14 1159 51 194 629 233 1107 4.4 16.7 54.3 20.1 95.5
2014/15 673 99 193 290 74 656 14.7 28.7 43.1 11.0 97.5
2015/16 1963 50 377 1127 258 1812 2.5 19.2 57.4 13.1 92.3
2016/17 1504 88 355 795 157 1395 5.9 23.6 52.9 10.4 92.8
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2012/13 - 2016/17
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA
MWAKA WATAHINIWA DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IVDIV. III DIV.IV DIV.I DIV. II
87
JADWELI NAM. 6(d)
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
51 65 10 11 203 260 145 196
19.6% 16.9% 71.4% 75%
20 82 17 11 213 276 161 219
(85.0%) (13.4%) (75.6%) (79.4%)
2014/15 21 93 20 59 208 264 185 236
(95.2%) (63.4%) (88.9%) (89.4%)
27 91 254 321
(84.4%) (82.7%) (81.1%) (82.3%)
32 80 144 175
(84.2%) (76.9%) (70.9%) (71.4%)
2016/17 38 104 203 245
2015/16 32 110 313 390
2013/14
2012/13
UALIMU DIPLOMA
MATOKEO YA MITIHANI MINGINE YA TAIFA YA TANZANIA 2012/13 - 2016/17
MWAKA WATAHINIWA
FTC / DIPLOMA YA UFUNDI NTA 6
WALIOFAULU WALIOFAULUWATAHINIWA
88
JADWELI NAM. 7
W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU %
MJINI 1321 517 39.1 1321 517 39.1 1155 443 38.4 1017 392 38.5 1111 618 55.6
MAGHARIBI 'A' & 'B' 1136 475 41.8 1127 475 42.1 1355 685 50.6 1071 559 52.2 1198 736 61.4
KASKAZINI 'A' 405 177 43.7 405 177 43.7 299 128 42.8 210 74 35.2 199 110 55.3
KASKAZINI 'B' 129 48 37.2 129 48 37.2 157 80 51.0 111 46 41.4 95 53 55.8
KATI 370 142 38.4 370 142 38.4 477 230 48.2 337 170 50.4 387 220 56.8
KUSINI 142 61 43.0 142 61 43.0 142 72 50.7 118 57 48.3 139 61 43.9
MICHEWENI 185 72 38.9 185 72 38.9 101 21 20.8 121 39 32.2 97 43 44.3
WETE 470 210 44.7 470 210 44.7 260 99 38.1 374 141 37.7 303 159 52.5
CHAKE CHAKE 337 121 35.9 337 121 35.9 278 118 42.4 299 123 41.1 273 168 61.5
MKOANI 172 68 39.5 172 68 39.5 163 64 39.3 129 65 50.4 98 70 71.4
ZANZIBAR 4667 1891 40.5 4658 1891 40.6 4387 1940 44.2 3787 1666 44.0 3900 2238 57.4
WILAYA2016
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA KIDATO CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR, 2013- 2017
20172013 2014 2015
89
JADWELI NAM. 8
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA,
KIDATO CHA 6, VITUO VYA ZANZIBAR, 2012/2013 - 2016/2017
JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA
2014/2015 2015/2016
KITUO
2012/2013 2013/2014 2016/2017
Lumumba 109 43 39.45 108 43 39.81 56 31 55.36 57 30 52.63 82 41 50.00
F/Castro 8 4 50.00 8 4 50.00 8 3 37.50 - - - 14 3 21.43
Ben-Bella 104 23 22.12 113 23 20.35 19 17 89.47 19 16 84.21 44 35 79.55
Zanzibar Comm. 15 5 33.33 15 5 33.33 5 2 40.00 5 2 40.00 12 9 75.00
Utaani 32 13 40.63 32 13 40.63 2 1 50.00 2 1 50.00 13 11 84.62
Shamiani 41 11 26.83 41 11 26.83 14 13 92.86 14 13 92.86 17 17 100.00
Pemba Islamic 19 4 21.05 17 16 94.12 2 2 100.00 2 2 100.00 7 7 100.00
Hamamni 14 4 28.57 14 4 28.57 0 0 - - - - 26 19 73.08
Uweleni 23 6 26.09 23 6 26.09 0 0 - - - - 5 5 100.00
CCK 36 8 22.22 33 8 24.24 0 0 - - - - - - 0.00
KIMA C
HA KUFAU
LU (%)
WATA
HINIW
A
WALIO
FAULU
WALIO
FAULU
KIMA C
HA KUFAU
LU (%)
KIMA C
HA KUFAU
LU (%)
KIMA C
HA KUFAU
LU (%)
WATA
HINIW
A
WATA
HINIW
AKITUO
WATA
HINIW
A
WALIO
FAULU
WATA
HINIW
A
WALIO
FAULU
WALIO
FAULU
KIMA C
HA KUFAU
LU (%)
90
JADWELI NAM.8 Iinaendelea
Kiponda 35 15 42.86 31 11 35.48 13 13 100.00 13 13 100.00 35 30 85.71
Al - Falah 23 8 34.78 14 8 57.14 0 0 0.00 - - - - - 0.00
Nyuki JWTZ 14 7 50.00 12 7 58.33 0 0 0.00 - - - 28 26 92.86
Mbarali 39 8 20.51 14 1 7.14 0 0 0.00 - - - - - 0.00
Mkwajuni 36 12 33.33 25 5 20.00 8 7 87.50 8 7 87.50 - - 0.00
M/kwe 'C' 79 13 16.46 55 17 30.91 24 21 87.50 25 21 84.00 37 25 67.57
Philter F.School 39 10 25.64 0 0 0.00 0 0 0.00 - - - - - 0.00
AL HARAMAIN 62 38 61.29 45 24 53.33 0 0 0.00 - - - 74 59 79.73
Haile Selassie 36 11 30.56 33 11 33.33 6 5 83.33 7 5 71.43 - - 0.00
Mchangamdogo 41 13 31.71 0 0 0.00 11 7 0.00 11 7 63.64 37 33 89.19
K/Samaki 6 2 33.33 24 8 33.33 21 11 52.38 21 11 52.38 24 17 70.83
HIGH VIEW 0 0 0.00 0 0 0.00 0 0 0.00 - - - - - 0.00
Tumekuja - - 0.00 - - 0.00 - - 0.00 - - - 17 9 52.94
Mazizini Islamic - - 0.00 - - 0.00 - - 0.00 - - - 11 5 45.45
Azania - - 0.00 - - 0.00 - - 0.00 - - - 38 25 65.79
Jabal Hiraa - - 0.00 - - 0.00 - - 0.00 - - - 82 75 91.46
Chasasa 15 7 46.67
Jumla 653 213 32.62 644 220 34.16 644 220 34.16 184 128 69.57 618 458 74.11
91
JADWELI NAM. 9
(TSH.000,000)
PATO LA
TAIFA KAWAIDA MAENDELEO JUMLA KAWAIDA MAENDELEO JUMLA PLT SERIKALI
2013/14 1,442,800 376,492 65,900 442,392 80,200 5,350 85,550 5.9 19.3
2014/15 2,133,500 431,404 51,880 483,284 96,827 2,900 99,727 4.7 20.6
2015/16 2,308,000 446,490 65,000 511,490 98,990 1,550 100,540 4.4 19.7
2016/17 2,628,000 382,330 43,790 426,120 78,444 13,750 92,194 3.5 21.6
2017/18 3,101,000 457,104 219,759 676,863 116,106 19,996 136,102 4.4 20.1Chanzo Cha Takwimu za Pato la Taifa na Matumizi ya Maendeleo ya Serikali 2017.
Hotuba ya Waziri wa Fedha na Uchumi, Kuhusu Mpango wa Maendeleo na Makadiro ya Mapato na
Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2016/2017, Mei 2017
MATUMIZI YA ELIMU KWA ULINGANISHO NA MATUMIZI
YA SERIKALI NA PATO LA TAIFA 2013/14 - 2017/18
MWAKA
MATUMIZI YA SERIKALI MATUMIZI YA ELIMU MGAO WA ELIMU (%) KWA
92
JADWELI NAM. 10 (a)
RUZUKU MKOPO RUZUKU MKOPO
0000P001 Uimarishaji wa Elimu ya
Maandalizi 75,000,000 5,400,500,000 5,475,500,000 75,000,000 12,940,000 87,940,000 0.24 100
0000P002 Uimarishaji wa Elimu ya Msingi
200,000,000 14,442,331,000 14,642,331,000 200,000,000 11,470,911,283 11,470,911,283 0.79
0000P003 Uimarishaji wa Elimu ya Lazima
2,033,000,000 25,481,098,000 27,514,098,000 2,033,000,000 4,066,318,097 5,457,318,097 15.96 100.00
0000P004 Uimarishaji wa Elimu mbadala na
Amali 1,600,000,000 9,246,047,000 10,846,047,000 144,012,800 859,890,290 979,903,090 0.09 9.00
00000P005 Kupanga na kusimamia kazi za
Wizara 2,000,000,000 2,000,000,000 2,000,000,000 2,000,000,000 - 100
JUMLA 5,908,000,000 19,842,831,000 34,727,145,000 60,477,976,000 4,452,012,800 11,483,851,283 4,926,208,387 19,996,072,470 30.07 75.36
SMZ
%
UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO KWA SERIKALI NA WAHISANI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018
KASMA MRADI
MAKAMDIRIO KWA MWAKA KILICHOPATIKANA JULAI - MEI 2018
MCHANGO WA
SMZ
MAKADIRIO YA MISADAJUMLA MCHANGO WA
SMZ
MAKADIRIO YA MISADAJUMLA RUZUKU /
MIKOPO
93
JADWELI NAM. 10 (b)
KASMA PROGRAMU BAJETI KILICHOPATIKANA %
Matumizi ya kawaida 1,141,640,000 2,706,489,048 237.1%
Mshahara 49,465,100,000 35,835,005,845 72.4%
Maendeleo (SMZ) 275,000,000 275,000,000 100.0%
Maendeleo - (Muhisani) 19,842,831,000 11,702,360,291 59.0%
Jumla ndogo 70,724,571,000 50,518,855,184 71.4%
Matumizi ya kawaida 3,875,735,000 3,348,734,996 86.4%
Mshahara 32,106,980,000 15,808,008,780 49.2%
Maendeleo (SMZ) 2,033,000,000 2,033,000,000 100.0%
Maendeleo - (Muhisani) 25,481,098,000 6,225,250,506 24.4%
Jumla ndogo 63,496,813,000 27,414,994,282 43.2%
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALIRIPOTI YA UPATIKANAJI WA FEDHA KWA PROGRAMU NA PROGRAMU NDOGO KWA
KIPINDI CHA JULAI 2017 HADI APRILI 2018
P01/S01
ELIMU YA MAANDALIZI NA MSINGI
P02/S01
ELIMU YA SEKONDARI
94
Matumizi ya kawaida 217,000,000 185,710,693 85.6%
Mshahara 1,609,075,000 1,311,574,135 81.5%
Mshahara 10,000,000,000 8,454,786,197 84.5%
Ruzuku 300,000,000 270,000,000 90.0%
Mshahara 1,048,600,000 940,531,990 89.7%
Ruzuku 10,000,000,000 9,960,047,780 99.6%
Mshahara 203,700,000 173,815,570 85.3%
Ruzuku 35,000,000 34,000,000 97.1%
Jumla ndogo 23,413,375,000 21,330,466,365 91.1%
Jadweli nam. 10(b) linaendelea
P03/S01
ELIMU YA JUU
MAFUNZO YA UALIMU
CHUO KIKUU CHA TAIFA
TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
BODI YA MIKOPO
CHUO CHA KIISLAMU
95
Matumizi ya kawaida 251,813,000 227,787,794 90.5%
Mshahara 555,897,000 461,120,220 83.0%
Maendeleo (SMZ) 1,600,000,000 144,012,800 9.0%
Maendeleo - (Muhisani) 9,246,047,000 994,366,730 10.8%
Ruzuku 4,415,200,000 3,827,033,100 86.7%
Mshahara 1,082,100,000 1,005,981,436 93.0%
Jumla ndogo 17,151,057,000 6,660,302,080 38.8%
Jadweli nam. 10(b) linaendelea
P04/S01
ELIMU MBADALA
P04/S02
MAFUNZO YA AMALI
96
Ruzuku 91,300,000 86,450,000 94.7%
Ruzuku 4,058,400,000 4,035,805,000 99.4%
Mshahara 240,000,000 266,361,470 111.0%
Ruzuku 120,000,000 110,000,000 91.7%
Ruzuku 217,180,000 217,180,000 100.0%
Mshahara 157,372,000 162,422,180 103.2%
Ruzuku 90,000,000 90,000,000 100.0%
Ruzuku 150,000,000 148,484,900 99.0%
Mshahara 319,400,000 305,648,965 95.7%
Ruzuku 393,650,000 263,649,213 67.0%
Mshahara 236,968,000 210,599,665 88.9%
Jumla ndogo 6,074,270,000 5,896,601,393 97.1%
Matumizi ya kawaida 3,764,155,000 2,867,032,772 76.2%
Mshahara 3,002,335,000 3,135,570,485 104.4%
Jumla ndogo 6,766,490,000 6,002,603,257 88.7%
Jadweli nam. 10(b) linaendelea
P05/S01
UBORA WA ELIMU
TAASISI YA ELIMU
BARAZA LA MITIHANI
OFISI YA MKAGUZI MKUU WA ELIMU
MICHEZO NA UTAMADUNI MASKULINI
BARAZA LA ELIMU
P06/S01
UTUMISHI NA UENDESHAJI
HUDUMA ZA MAKTABA
TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO
97
Matumizi ya kawaida 2,970,824,000 2,856,823,434 96.2%
Mshahara 645,915,000 382,944,455 59.3%
Maendeleo (SMZ) 2,000,000,000 2,000,000,000 100.0%
Jumla ndogo 5,616,739,000 5,239,767,889 93.3%
Matumizi ya kawaida 2,529,604,000 2,484,859,050 98.2%
Mshahara 1,487,257,000 20,461,838,335 1375.8%
Ruzuku 30,000,000 19,300,000 64.3%
Jumla ndogo 4,046,861,000 22,965,997,385 567.5%
Jumla ndogo ya programu 16,430,090,000 34,208,368,531 208.2%
Jumla kuu 197,290,176,000 146,029,587,835 74.0%
Jumla ya Mishahara 89,266,899,000 77,769,084,100 87.1%
Jumla ya Ruzuku ya Mishahara 12,893,800,000 11,147,125,628 86.5%
Jumla ya Matumizi ya Kawaida 15,361,601,000 15,158,267,000 98.7%
Jumla ya Ruzuku 19,289,900,000 18,581,120,780 96.3%
Jumla ya Maendeleo (SMZ) 5,908,000,000 4,452,012,800 75.4%
Jumla ya Maendeleo (WAHISANI) 54,569,976,000 18,921,977,527 34.7%
Jumla Kuu 197,290,176,000 146,029,587,835 74.0%
Jadweli nam. 10(b) linaendelea
P06/S02
MIPANGO, SERA NA UTAFITI
P06/S03
KURATIBU SHUGHULI ZA ELIMU PEMBA
98
JADWELI NAM. 11(a)
NA SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
1 Kiyanga 3 0 0 0 SMZ/Wananchi
2 Kijichi 3 2 1 0 SMZ/Wananchi
3 Mbuzini 3 1 0 0 SMZ/Wananchi
4 Mfenesini 2 2 1 0 SMZ/Wananchi
5 Kama 3 0 0 SMZ/Wananchi
6 SharifuMsa 4 1 0 0 SMZ/Wananchi
JUMLA 18 6 2
1 Tomondo 4 2 0 0 SMZ/Wananchi
2 Chunga 2 0 2 0 SMZ/Wananchi
3 Kibondeni 2 2 0 0 SMZ/Wananchi
4 Kombeni 4 0 0 0 SMZ/Wananchi
5 Kijito Upele 3 0 0 0 Wananchi/SMZ
JUMLA 15 4 2
1 Pale 4 0 0 0 SMZ/Wananchi
2 Gamba 2 0 0 0 SMZ/Wananchi
3 Pangeni 5 0 0 0 SMZ/Wananchi
4 Kandwi 5 2 1 0 SMZ/Wananchi
JUMLA 16 2 1
MADARASA YALIYOKAMILIKA
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
WILAYA YA MAGHARIBI 'B'
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
99
100
Jadweli 11(a) linaendelea
1 Mangapwani 5 0 0 0 SMZ/Wananchi
2 Kinduni 4 0 0 0 SMZ/Wananchi
3 Mgambo 6 0 0 0 SMZ/Wananchi
4 Pangatupu 5 0 0 - SMZ/Wananchi
JUMLA 20 0 0 0
1 Miwani 5 0 0 0 SMZ/Wananchi
2 Ng'ambwa 4 0 0 0 SMZ/Wananchi
3 Bungi 4 0 0 0 SMZ/Wananchi
4 Pongwe Mwera 5 0 0 0 SMZ/Wananchi
7 Mgeni Haji 4 0 0 0 SMZ/Wananchi
8 Mpapa 3 0 0 0 SMZ/Wananchi
9 Pagali 4 0 0 0 SMZ/Wananchi
10 Machuwi 3 0 0 0 SMZ/Wananchi
11 Tunguu 5 0 0 0 SMZ/Wananchi
12 Ghana 4 0 0 0 SMZ/Wananchi
13 Kikungwi 3 0 0 0 SMZ/Wananchi
JUMLA 44 0 0 0
1 M/Mdogo Sek 3 - - - SMZ
2 Minungwini Msingi 2 - - - SMZ
3 Minungwini Sekondari 3 - - - SMZ
4 Chasasa 3 1 - - SMZ
5 Mkote 5 - - - SMZ
Jumla 16 1 0 -
WILAYA YA WETE
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
WILAYA YA KATI
101
Jadweli 11(a) linaendelea
1 CCK 6 1 1 Vvyoo 11 SMZ
2 Karume 9 - - - SMZ
3 Kinowe 2 1 - - SMZ
4 Konde 3 - - - SMZ
5 Mtemani 9 - - - SMZ
JUMLA 29 2 1
1 Wesha 3 - - - SMZ
2 Michakaini 3 - - - SMZ
3 Chanjamjawiri 5 - - - SMZ
4 Vitongoji Msingi 6 - - - SMZ
5 Vitongoji Sek 5 1 1 - SMZ
JUMLA 22 1 1
1 Michenzani Msingi 4 - - - SMZ
2 Michenzani Sek 4 - - - SMZ
3 Shidi 2 1 - - SMZ
4 Wambaa 2 - - - SMZ
5 Kengeja Msingi 2 1 1 Vyoo 2 na vyumba 2 SMZ
6 Kengeja Sek 4 - - - SMZ
7 Mtagani 4 1 1 - SMZ
8 Minazini 3 - - - SMZ
JUMLA 25 3 2
JUMLA KUU 205 19 9 0
WILAYA YA MICHWENI
WILAYA YA MKOANI
WILAYA YA CHAKE:
102
Jadweli 11(b)
MADARASA YALIYOKWISHA EZEKWA LAKINI KAZI ZA UPIGAJI
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
1 Mwachealale 4 0 0 0 Wananchi
2 Fuoni 4 1 0 0 Wananchi/SMZJUMLA 8 1 0 0
WILAYA YA WETE SMZ
1 Maand. Shengejuu 3 - - 0 SMZ
2 Kangagani Maand 4 SMZ
3 Kiungoni Ms 8 1 1 0 SMZ
JUMLA: 15 1 1 0
1 Mkiang'ombe 4 - - - SMZ
2 Mjini Wingwi 5 - - - SMZ
3 Konde 2 - - - SMZ
4 Chimba 4 1 1 Vyoo 6 SMZ
5 Tumbe Sek 2 - - - SMZ
JUMLA 17 1 1
1 Mgelema 5 1 1 - SMZ
2 Furaha 4 - - - SMZ
3 Mavungwa 3 1 1 Vyoo 6 SMZ
4 Wawi Ms 5 - - - SMZ
JUMLA 17 2 2
1 Chambani Sek 2 - - - SMZ
2 Chokocho 4 1 1 Sehemu ya wazi SMZ
JUMLA 6 1 1
JUMLA KUU 63 6 5 0
WILAYA YA MAGHARIBI B
WILAYA YA MICHEWENI
WILAYA YA MKOANI
WILAYA YA CHAKE
PLASTA NA SAKAFU HAZIJAKAMILIKA
103
Jadweli 11(c)
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
WILAYA YA MJINI
1 Muembe Makumbi 0 0 1 Chumba cha Mkutano Wananchi
JUMLA 0 0 1 1
1 Chuwini 2 0 0 0 Wananchi
2 Mbuzini 3 0 0 0 Wananchi
JUMLA 5 0 0 0
1 Kisauni 2 0 0 0 Wananchi
2 Tomondo 3 0 0 0 Wananchi
3 TC K/Samaki Ukumbi wa Mikutano 1 Wananchi
4 Biashara 3 0 0 0 Wananchi
JUMLA 8 0 0 1
1 Gamba 5 0 0 0 Wananchi
2 Matemwe Sekondari Maabara 1 Wananchi
3 Kivunge maandalizi 3 0 0 Wananchi
4 Kidoti 4 0 0 Maabara 1 na Maktaba 1 Wananchi
5 Potoa 0 0 0 Jiko 1 Wananchi
6 Nungwi 0 0 0 Chumba cha Mitihani 1 na Maktaba 1
JUMLA 12 0 0 6
1 Makoba (maandalizi) 2 1 0 Chumba cha Mikutano 1 Wananchi
2 Makoba sekondari 2 0 0 Chumba cha Mitihani 1 Wananchi
3 Matetema 3 0 1 0 Wananchi
4 Mahonda sekondari 0 0 0 Chumba cha Mikutano 1 Wananchi
JUMLA 7 1 1 3
1 Charawe 4 0 0Chumba cha Mitihani 1, Maabara 1 na
Maktaba 1 Wananchi
2 Ukongoroni 4 1
Chumba cha Mitihani 1, Maabara 1 na
Maktaba 1 Wananchi
3 dunga Kiembeni 4 0 0 Chumba cha Mtihani 1 Wananchi
4 Ndijani sekondari 4 0 0 0 Wananchi
JUMLA 16 1 0 7 Wananchi
MADARASA YALIYOFIKIA HATUA YA KUEZEKWA
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
WILAYA YA MAGHARIBI 'B'
WILAYA YA KASKAZINI A
WILAYA YA KASKAZINI B
WILAYA YA KATI
104
Jadweli 11(c) linaendelea
1 Kibuteni 3 2 0 0 Wananchi
JUMLA 3 2 0 0
1 Jadida Msingi 2 1 - Maabara kompyuta Wananchi/SMZ
2 Piki Msingi 5 - - - Wananchi/SMZ
3 Gando Sek. 0 1 5 - Wananchi/SMZ
4 Bwagamoyo Msingi 5 - 0 Vyoo 2 na Ukumbi Wananchi/SMZ
5 Mitiulaya 0 0 0 Hall 1
6 Bopwe Msingi 4 1 - - Wananchi/SMZ
JUMLA 16 3 0 4
1 Msuka Sek 5 1 1 Hall, Staff, Choo 1 Wananchi/SMZ
2 Tumbe Sek 4 1 - - Wananchi/SMZ
3 Haroun Msingi 4 1 - - Wananchi/SMZ
4 Simai Msingi 5 - - - Wananchi/SMZ
5 Tumbe Msingi 4 - - - Wananchi/SMZ
6 Micheweni ms 7 0 - - Wananchi/SMZ
7 Konde Maand. - - - Ukumbi
8 Sizini Msingi 5 - - - Wananchi/SMZ
JUMLA 34 3 1 4
1 Nga'mbwa Ms 1 1 0 SMZ / Wananchi
2 Ng'ambwa Sek 2 - - Chumba cha walimu SMZ / Wananchi
3 Kichuwani 2 1 1 Vyoo 8 SMZ / Wananchi
4 Chanjamjawiri 1 1 SMZ / Wananchi
JUMLA: 5 3 2
1 Mtuhaliwa 3 - - - SMZ / Wananchi
2 Kangani Sek 4 - 0 0 SMZ / Wananchi
3 Chambani Msingi 2 1 - 0 SMZ / Wananchi
4 Chambani Sek 3 1 - Ukumbi SMZ / Wananchi
5 Kengeja Sek 2 - - Ukumbi SMZ / Wananchi
6 K/Panza Sek 1 1 SMZ / Wananchi
7 Mwambe Sek - 1 1 - SMZ / Wananchi
8 Tasini 4 0 0 - SMZ / Wananchi
9 Uweleni 0 0 0 Jengo la ghorofa
10 Ukutini Msingi 4 1 - - SMZ / Wananchi
JUMLA 23 5 1 3
JUMLA KUU 129 18 6 29
WILAYA YA MKOANI
WILAYA YA CHAKE
WILAYA YA KUSINI
WILAYA YA WETE
WILAYA YA MICHEWENI
105
Jadweli 11(d)i
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
1 Jang'ombe Msingi 3 0 0 0 SMZ
JUMLA 3 0 0 0
1 Welezo 3 0 0 0 Wananchi
2 Kama 1 0 0 0 Wananchi
JUMLA 4 0 0 0
Ndijani Miseweni 4 0 0 0 Wananchi
JUMLA 4 0 0 0
1 Uwondwe Sekondari 3 - - - Wananchi/SMZ
2 Mjananza 4 - - - Wananchi/SMZ
3 Jadida 13 2 1 Vyoo 12 Wananchi/SMZ
4 Minungwini 3 - - 0
5 Limbani 4 - - Chumba cha Kompyuta, labrary,
Maabara.
Wananchi/SMZ
6 Piki 6 - - - Wananchi/SMZ
JUMLA 33 2 1 3
MADARASA AMBAYO YAMO KATIKA HATUA ZA UJENZI WA KUTA NA NGUZO
WILAYA YA MJINI
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
WILAYA YA KATI
WILAYA YA WETE
106
Jadweli 11(d)i linaendelea
1 Simai 4 - 0 - Wananchi/SMZ
2 Shumba 6 - - Vyoo 2 Wananchi/SMZ
3 Kipangani 4 - - - Wananchi/SMZ
JUMLA 20 1 1 -
1 Shungi 4 - - 0 SMZ/ Wananchi
2 Pondeani - - - Ukumbi SMZ/ Wananchi
JUMLA: 4 0 0 1
1 Tasini 2 1 1 Chumba cha walimu SMZ / Wananchi
2 Mwambe Shamiani 4 - - - SMZ / Wananchi
4 Ngwachani Msingi 4 - - - SMZ/ Wananchi
5 Wambaa Sek. 4 - - - SMZ/ Wananchi
7 Chwaka 5 - - - SMZ/ Wananchi
8 Kukuu 3 1 - - SMZ Wananchi
9 Mkanyageni Sek 5 - - - SMZ Wananchi
10 Mizingani 2 0 0 Ukumbi SMZ Wananchi
11 Michenzani Sek 3 1 - Chumba cha Walimu SMZ/ Wananchi
JUMLA 32 3 35 3
JUMLA KUU 100 6 37 7
WILAYA YA MICHEWENI
WILAYA YA MKOANI
WILAYA YA CHAKE
107
Jadweli 11(d)ii
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
1 Uvinje 6 - - 0 SMZ / Wananchi
2 Chwale 4 1 - - SMZ / Wananchi
3 Mjananza 4 - - - SMZ / Wananchi
4 Kangagani Ms 4 - - - SMZ / Wananchi
5 Kangagani Sek 5 - - - SMZ / Wananchi
6 Kifundi 4 1 1 - SMZ / Wananchi
27 2 1 0
1 Micheweni 2 - - 0 SMZ / Wananchi
2 Mjini Wingwi 4 - - 0 SMZ / Wananchi
JUMLA: 6 0 0 0
1 Chanjaani 2 - - - SMZ / Wananchi
2 Furaha 4 - - - SMZ / Wananchi
JUMLA 6 - - 0
JUMLA KUU 39 2 1 0
JUMLA
WILAYA YA WETE
WILAYA YA MICHEWENI
WILAYA YA CHAKE
MADARASA AMBAYO YAMO KATIKA HATUA ZA UKUSANYAJI WA VIFAA
108
Nam SKULI MFADHILI
1 Mbuyu Maji SMZ
2 Fuoni Pangawe SMZ/PRC
3 Mlilile SMZ
4 Fuoni Sekondari OPEC
5 Kinuni Sekondari OPEC
6 Chumbuni Sekondari OPEC
7 Bububu Sekondari OPEC
8 Mwembesauri Sekondari OPEC
9 Kizimbani Sekondari OPEC
10 Micheweni Sekondari OPEC
11 Wara Sekondari OPEC
12 Mwambe Sekondari OPEC
13 Kibuteni SMZ/BADEA
14 Chuo cha Utalii Maruhubi SMZ/ADB
15 Jengo Jipya Taasisi ya Karume SMZ/ADB
16 Chuo cha Mafunzo ya Amali Makunduchi SMZ/ADB
17 Chuo cha Mafunzo ya Amali Daya SMZ/ADB
Jadweli 11(d)iii
UJENZI WA VYUO/SKULI MPYA
109
Jadweli 12(a)
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
1 Migombani Msingi 8 2 0 Vyoo SMZ/Wananchi
2 Jang'ombe Msingi 6 0 0 0 SMZ
WILAYA YA MAGHARIBI 'B'
1 Fuoni Sekondari 5 MILELE
Pale Msingi na Sekondari 7 1 0 0 Milele Foundation
WILAYA YA WETE
1 Maand. Jadida Vyoo 10
2 Maand. M/Ulaya Vyoo 2
WILAYA YA MKOANI
1 Chokocho 3 1 1 SMZ
WILAYA YA CHAKE
1 Ndagoni Vyoo 6
2 Furaha 2 - - -
Jumla: 31 4 1
SKULI AMBAZO UKARABATI UMEFANYIKA
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
WILAYA YA MJINI
110
SKULI AMBAZO UKARABATI UNAENDELEA
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
1 Langoni Msingi 3 2 0 0 SMZ/Wizara ya Fedha
2 Langoni Sekondari 4 0 0 0 SMZ/Wizara ya Fedha
Pale 4 0 0 0 MILELE
1 Mwera Msingi 3 0 0 0 SMZ/Halmashauri
1 Cheju 4 2 SMZ/Wananchi
1 Tumbe 4 - - - Action AID
WILAYA YA CHAKE
1 Madungu Sekondari 12 2 2 Vyoo 12, Lab
WILAYA YA MICHEWENI
Jadweli 12(b)
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
WILAYA YA KATI
WILAYA YA KUSINI
111
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MAELEZO
1 Mikunguni 4 2 0 Karakana Paa/kuta/madirisha/
milango
2 Mbadala Karakana Paa/kuta/sakafu
3 Kidonge Chekundu 16 0 0 0
1 Kiembe Samaki Msingi 6 0 0 0 Paa
2 Kwerekwe F & H 7 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
3 Kwerekwe D & G 8 2 0 0 Paa/sakafu
4 Mwera Msingi 6 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
5 Mtopepo B 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
6 Mfenesini sekondari 5 1 0 0 Paa/kuta/sakafu
7 Kizimbani 4 1 0 0 Paa/kuta/sakafu
1 Bwefum 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
Jadweli 12(c)
WILAYA YA MJINI
SKULI AMBAZO UKARABATI UKO KATIKA HATUA ZA MAANDALIZI
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
WILAYA YA MAGHARIBI 'B'
112
Kinyasini Msingi 4 0 0 0 Paa
Kivunge Maandalizi 3 1 1 vyoo Paa/kuta/sakafu
Bumbwini Msingi 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
Makoba Sekondari 4 0 0 0 kuta/sakafu
Donge Msingi 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
Pale Msingi 4 0 0 0 kuta/sakafu
Kajengwa 4 1
Uzini Msingi 6 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
Ghana 9 1 0
Chumba cha walimu
na maktaba
Kizimkazi 3 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
Muyuni 4 1 0 0 Paa/kuta/sakafu
1 Bwagamoyo 5 1 1 0 SMZ
1 Tironi 8 1 1 Jengo la Utawala,
Maktaba, Maabara
SMZ
Jadweli 12 (c) linaendelea
WILAYA YA WETE
WILAYA YA MKOANI
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
WILAYA YA KATI
WILAYA YA KUSINI
113
JADWELI NAM. 13 (a)
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 6,892 6,914 13806 1827 1867 3694 2867 3082 5949 4694 4949 9643 68.1 71.6 69.8
Magharibi 'A' 6,474 6,307 12781 1649 1598 3247 2508 2701 5209 4157 4299 8456 64.2 68.2 66.2
Magharibi 'B' 7,738 7,539 15277 1528 1481 3009 4221 4263 8484 5749 5744 11493 74.3 76.2 75.2
Kaskazini 'A' 3,892 3,903 7795 1606 1775 3381 1759 1895 3654 3365 3670 7035 86.5 94.0 90.3
Kaskazini 'B' 3,168 3,041 6209 691 788 1479 1235 1293 2528 1926 2081 4007 60.8 68.4 64.5
Kati 2,766 2,683 5449 1441 1419 2860 658 731 1389 2099 2150 4249 75.9 80.1 78.0
Kusini 1,254 1,271 2525 547 514 1061 588 617 1205 1135 1131 2266 90.5 89.0 89.7
Micheweni 5,285 5,156 10441 1132 1197 2329 2527 2599 5126 3659 3796 7455 69.2 73.6 71.4
Wete 5,037 4,999 10036 1950 1997 3947 903 978 1881 2853 2975 5828 56.6 59.5 58.1
Chake Chake 4,764 4,768 9532 1528 1635 3163 976 911 1887 2504 2546 5050 52.6 53.4 53.0
Mkoani 5,132 4,967 10099 1381 1347 2728 1981 1960 3941 3362 3307 6669 65.5 66.6 66.0
Jumla 52402 51548 103950 15280 15618 30898 20223 21030 41253 35503 36648 72151 67.8 71.1 69.4
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI WA WATOTO KATIKA SKULI ZA MAANDALIZI, MACHI - 2018
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI WA
SKULI ZA SERIKALI SKULI ZA BINAFSI
JUMLA SKULI ZA KIMA CHA
MIAKA 4 - 5 SERIKALI NA BINAFSI UANDIKISHAJI (%)
114
JADWELI NAM. 13 (b)
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
MJINI 4 956 983 1939 14 871 884 1755 0 0 0 0
MAGHARIBI 'A' 1 81 85 166 22 1491 1423 2914 1 77 90 167
MAGHARIBI 'B' 0 0 0 0 22 1455 1409 2864 2 73 72 145
KASKAZINI 'A' 5 585 683 1268 16 824 890 1714 7 197 202 399
KASKAZINI 'B' 1 76 92 168 15 431 525 956 4 184 171 355
KATI 5 330 334 664 12 683 674 1357 10 428 411 839
KUSINI 4 395 353 748 4 130 129 259 1 22 32 54
MICHEWENI 5 462 521 983 18 670 676 1346 1 0 0 0
WETE 2 211 221 432 24 1327 1325 2652 6 412 451 863
CHAKE 2 215 259 474 25 1288 1348 2636 1 25 28 53
MKOANI 2 122 142 264 29 1177 1144 2321 2 82 61 143
JUMLA 31 3433 3673 7106 201 10347 10427 20774 35 1500 1518 3018
UANDIKISHAJI WA WATOTO WA MAANDALIZI WANAOSOMA KATIKA SKULI
ZA SERIKALI ZA MAANDALIZI, MSINGI NA MSINGI NA KATI, KIWILAYA MACHI - 2018
WILAYA
MAANDALIZI MSINGI MSINGI NA KATI
IDADI
YA
SKULI
IDADI YA WANAFUNZI IDADI
YA
SKULI
IDADI YA WANAFUNZI IDADI
YA
SKULI
IDADI YA WANAFUNZI
115
JADWELI NAM 13 ( c )
WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA
MJINI 67 2867 3082 5949 0 0 0 0
MAGHARIBI 'A' 55 2121 2270 4391 11 387 431 818
MAGHARIBI 'B' 91 3994 4028 8022 10 227 235 462
KASKAZINI 'A' 11 453 467 920 67 1306 1428 2734
KASKAZINI 'B' 12 518 559 1077 48 717 734 1451
KATI 17 658 731 1389 0 0 0 0
KUSINI 14 588 617 1205 0 0 0 0
MICHEWENI 7 346 314 660 88 2181 2285 4466
WETE 19 903 978 1881 0 0 0 0
CHAKE 14 711 665 1376 12 265 246 511
MKOANI 9 449 376 825 66 1532 1584 3116
JUMLA 316 13608 14087 27695 302 6615 6943 13558
Angalia: RISE - Radio Instruction to Strengthen Education
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI NGAZI YA MAANDALIZI KATIKA
VITUO/SKULI ZA BINAFSI, KIWILAYA MACHI - 2018
WILAYA
SKULI VITUO (RISE)
IDADI YA
SKULI
IDADI YA WANAFUNZI IDADI
YA
VITUO
IDADI YA WANAFUNZI
116
JADWELI NAM. 14
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 16,838 17,120 33958 12032 12195 24227 3728 3771 7499 15760 15966 31726 93.6 93.3 93.4
Magharibi 'A' 15,192 15,161 30353 16488 17279 33767 2684 2630 5314 19172 19909 39081 126.2 131.3 128.8
Magharibi 'B' 18,243 18,423 36666 15933 16348 32281 6119 6552 12671 22052 22900 44952 120.9 124.3 122.6
Kaskazini 'A' 9,898 9,754 19652 10866 11057 21923 191 209 400 11057 11266 22323 111.7 115.5 113.6
Kaskazini 'B' 7,524 7,628 15152 6612 6237 12849 222 253 475 6834 6490 13324 90.8 85.1 87.9
Kati 6,619 6,409 13028 8510 8125 16635 441 476 917 8951 8601 17552 135.2 134.2 134.7
Kusini 3,191 2,887 6078 3677 3347 7024 185 178 363 3862 3525 7387 121.0 122.1 121.5
Micheweni 11,329 10,806 22135 10868 10426 21294 197 179 376 11065 10605 21670 97.7 98.1 97.9
Wete 10,798 10,700 21498 13761 13154 26915 334 264 598 14095 13418 27513 130.5 125.4 128.0
Chake Chake 9,561 9,770 19331 11860 11425 23285 822 795 1617 12682 12220 24902 132.6 125.1 128.8
Mkoani 10,061 9,722 19783 13464 12526 25990 246 192 438 13710 12718 26428 136.3 130.8 133.6
Jumla 119254 118380 237634 124071 122119 246190 15169 15499 30668 139240 137618 276858 116.8 116.3 116.5
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI (DARASA LA I - VI), MACHI - 2018
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI WA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI ASILIMIA YA
MIAKA 6 - 11 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI
117
JADWELI NAM. 15
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 1294 1313 2607 763 740 1503 2057 2053 4110 62.9 64.0 63.4
Magharibi 'A' 1727 1826 3553 1492 1528 3020 3219 3354 6573 53.7 54.4 54.1
Magharibi 'B' 1782 1939 3721 1009 894 1903 2791 2833 5624 63.8 68.4 66.2
Kaskazini 'A' 1091 1138 2229 1101 1071 2172 2192 2209 4401 49.8 51.5 50.6
Kaskazini 'B' 796 754 1550 463 407 870 1259 1161 2420 63.2 64.9 64.0
Kati 1251 1171 2422 378 303 681 1629 1474 3103 76.8 79.4 78.1
Kusini 673 624 1297 86 60 146 759 684 1443 88.7 91.2 89.9
Micheweni 1422 1284 2706 1298 1115 2413 2720 2399 5119 52.3 53.5 52.9
Wete 1455 1364 2819 1578 1431 3009 3033 2795 5828 48.0 48.8 48.4
Chake Chake 1389 1338 2727 1189 1019 2208 2578 2357 4935 53.9 56.8 55.3
Mkoani 1678 1754 3432 1326 1128 2454 3004 2882 5886 55.9 60.9 58.3
Jumla 14558 14505 29063 10683 9696 20379 25241 24201 49442 57.7 59.9 58.8
WALIOPITIA MAANDALIZI WASIOPITIA MAANDALIZI JUMLA
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI KATIKA DARASA LA KWANZA, SKULI ZA SERIKALI - 2018
WILAYA
WATOTO WALIOANDIKISHWA
% YA WALIOPITIA MAANDALIZI
118 JADWELI NAM. 16
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 5,687 5,812 11499 5043 5603 10646 532 633 1165 5575 6236 11811 98.0 107.3 102.7
Magharibi 'A' 4,621 4,829 9450 3964 4235 8199 484 443 927 4448 4678 9126 96.3 96.9 96.6
Magharibi 'B' 5,469 5,933 11402 4222 4484 8706 1088 1430 2518 5310 5914 11224 97.1 99.7 98.4
Kaskazini 'A' 2,995 3,097 6092 2474 3073 5547 0 0 0 2474 3073 5547 82.6 99.2 91.1
Kaskazini 'B' 2,344 2,228 4572 1554 1638 3192 20 9 29 1574 1647 3221 67.2 73.9 70.5
Kati 1,961 1,990 3951 2380 2418 4798 92 99 191 2472 2517 4989 126.1 126.5 126.3
Kusini 937 884 1821 1230 1115 2345 38 39 77 1268 1154 2422 135.3 130.5 133.0
Micheweni 3,554 3,378 6932 1694 2067 3761 25 28 53 1719 2095 3814 48.4 62.0 55.0
Wete 3,683 3,587 7270 2935 3254 6189 128 99 227 3063 3353 6416 83.2 93.5 88.3
Chake-Chake 3,274 3,295 6569 2559 2850 5409 268 261 529 2827 3111 5938 86.3 94.4 90.4
Mkoani 3,370 3,132 6502 2635 2894 5529 0 0 0 2635 2894 5529 78.2 92.4 85.0
Jumla 37895 38165 76060 30690 33631 64321 2675 3041 5716 33365 36672 70037 88.0 96.1 92.1
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA KATI (KIDATO 1 - 2), MACHI - 2018
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI WA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA KATI (KIDATO 1 - 2) ASILIMIA YA
MIAKA 12 - 13 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI
119
JADWELI NAM. 17
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 11 2288 3151 5439 1179 1599 2778 3467 4750 8217
Magharibi 'A' 11 1448 2072 3520 694 1020 1714 2142 3092 5234
Magharibi 'B' 13 1741 2562 4303 605 1004 1609 2346 3566 5912
Kaskazini 'A' 16 1176 1679 2855 583 850 1433 1759 2529 4288
Kaskazini 'B' 8 418 848 1266 225 408 633 643 1256 1899
Kati 20 745 1333 2078 427 629 1056 1172 1962 3134
Kusini 9 437 606 1043 191 244 435 628 850 1478
Micheweni 10 881 1072 1953 303 364 667 1184 1436 2620
Wete 24 1278 1783 3061 484 658 1142 1762 2441 4203
Chake-chake 18 941 1449 2390 453 622 1075 1394 2071 3465
Mkoani 21 878 1312 2190 526 627 1153 1404 1939 3343
JUMLA 161 12231 17867 30098 5670 8025 13695 17901 25892 43793
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA 3 NA 4 WA MIKONDO YA KAWAIDA
(ISIYOKUWA MICHEPUO) KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI MACHI - 2018
KIDATO 3 KIDATO 4
WILAYA
JUMLA KUUIDADI YA
SKULI
120
JADWELI NAM. 18
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
SUNNI 31 59 90 37 29 66 68 88 156MEMON ACADEMY 18 30 48 13 21 34 31 51 82AL - RIYAMI ACADEMY 27 15 42 13 17 30 40 32 72BILAL ISLAMIC SEMINARY 37 79 116 17 35 52 54 114 168SUN CITY 17 20 37 20 21 41 37 41 78GLORIUS ACADEMY 84 19 103 32 40 72 116 59 175STONE TOWN INTERNATIONAL 4 4 8 5 4 9 9 8 17ENGLISH SPEAKING INT. SCHOOL 18 23 41 14 16 30 32 39 71MADRASAT HUDA 9 10 19 5 6 11 14 16 30ST. MONICA 9 7 16 3 4 7 12 11 23SUFA 14 20 34 6 19 25 20 39 59LAUREATE 44 66 110 27 32 59 71 98 169HIFADHI 15 20 35 7 16 23 22 36 58FEZA 27 25 52 24 14 38 51 39 90MOMBASA CENTRAL 1 4 5 6 16 22 7 20 27SOS 44 55 99 19 31 50 63 86 149MBARALI PREPARATORY 37 34 71 25 32 57 62 66 128ZANZIBAR PROGRESSIVE 21 18 39 9 15 24 30 33 63INTERNATIONAL SCHOOL 6 8 14 2 3 5 8 11 19NYUKI 76 52 128 44 55 99 120 107 227HIGH VIEW 35 49 84 39 46 85 74 95 169AL - FALAH 58 59 117 39 40 79 97 99 196MWERA 3 11 14 0 0 0 3 11 14TRIFONIA 53 56 109 21 25 46 74 81 155FRANCIS MARIA LBERMAN 22 38 60 24 12 36 46 50 96
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA 3 NA 4 WA MIKONDO YA KAWAIDA SKULI ZA BINAFSI, 2018
SKULI
KIDATO 3 KIDATO 4 JUMLA KUU
121
JADWELI NAM. 18 linaendelea
ROYAL INTERNATIONAL 8 5 13 8 7 15 16 12 28RAUDHA ACADEMY 52 59 111 17 27 44 69 86 155PHILTER FEDERAL 10 19 29 24 21 45 34 40 74MNEMONIC 32 27 59 74 72 146 106 99 205AL HARAMAYN 34 32 66 0 0 0 34 32 66JKU SEC. SCHOOL 100 80 180 87 102 189 187 182 369BEIT-RAS 38 65 103 14 27 41 52 92 144S .S.P. 37 24 61 43 50 93 80 74 154AL IHSAN 0 64 64 0 66 66 0 130 130AL - MUBARAK 16 18 34 12 22 34 28 40 68SHAMUSLEY ACADEMIC 8 4 12 0 0 0 8 4 12JUBA ISLAMIC SCHOOL 7 13 20 5 6 11 12 19 31CHARITY BWEJUU 27 15 42 11 7 18 38 22 60FARUK AKTAS 17 11 28 14 14 28 31 25 56BRILLIANT ACADEMY 80 93 173 0 0 0 80 93 173HIGH PERFOMANCE 15 9 24 16 20 36 31 29 60KARIBU SCHOOL 6 6 12 0 0 0 6 6 12WILLEY 18 8 26 7 13 20 25 21 46AL QUWIYYI 10 11 21 10 10 20 20 21 41MAHAD ISTIQAMA 45 54 99 23 24 47 68 78 146UNIQUE LEARNING 8 8 16 10 12 22 18 20 38MOUNTAIN HILL 7 2 9 0 0 0 7 2 9AMBASHA ISLAMIC 22 24 46 0 0 0 22 24 46WETE ISLAMIC 19 23 42 21 27 48 40 50 90CONNECTING CONNECTION 55 51 106 26 29 55 81 80 161FARAHEDY 19 30 49 12 13 25 31 43 74AMIN ISLAMIC 13 15 28 10 8 18 23 23 46ISTIQAMA MKANJUNI 12 18 30 5 8 13 17 26 43ALKHAMIS CAMP 34 70 104 12 8 20 46 78 124JUMLA 1459 1639 3098 912 1142 2054 2371 2781 5152
122
JADWELI NAM. 19
WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA
Kiembesamaki 39 53 28 57 51 102 29 46 147 258
Kiuyu 12 41 14 28 35 57 14 30 75 156
51 94 42 85 86 159 43 76 222 414
Kifaransa Kiponda 28 45 21 42 53 74 27 36 129 197
Maarifa ya nyumbani Ben Bella 50 50 50 50 48 48 0 0 148 148
Skuli ya Biashara 34 54 23 43 28 49 22 54 107 200
Kiembesamaki 0 0 0 0 50 108 13 35 63 143
Chasasa 18 26 12 17 8 25 14 36 52 104
52 80 35 60 86 182 49 125 222 447
Skuli ya Biashara 42 48 25 37 47 89 20 47 134 221
Ben Bella 50 50 56 56 82 82 49 49 237 237
Chasasa 13 38 8 19 4 20 6 33 31 110
105 136 89 112 133 191 75 129 402 568
Mikunguni 27 73 24 53 37 49 23 48 111 223
Kengeja 12 59 6 31 25 32 5 33 48 155
39 132 30 84 62 81 28 81 159 378
Lumumba 74 117 34 56 85 168 51 115 244 456
F/Castro 19 50 16 25 10 37 6 17 51 129
93 167 50 81 95 205 57 132 295 585
Jumla Ndogo
Kiislam
Jumla Ndogo
Jumla Ndogo
Jumla Ndogo
Vipawa vya juu
Jumla Ndogo
Ufundi
Biashara
Kompyuta
UANDIKISHAJI KATIKA AINA MBALI MBALI ZA MICHEPUO - 2018
MCHEPUO
KIDATO 1 KIDATO 2 KIDATO 3 KIDATO 4 JUMLA KUU
SKULI
123
JADWELI NAM. 19 LINAENDELEA
Vikokotoni 0 0 0 0 0 0 82 195 82 195
Chasasa 0 0 0 0 0 0 7 41 7 41
Kiembesamaki 0 0 0 0 0 0 61 118 61 118
0 0 0 0 0 0 150 354 150 354
Utaani 41 41 25 25 57 57 28 28 151 151
Madungu 33 51 27 41 51 88 23 38 134 218
Chasasa 0 0 15 28 28 59 16 49 59 136
Wete 0 0 0 0 0 0 9 36 9 36
F/Castro 34 67 14 45 71 101 33 58 152 271
Mikindani 45 78 42 85 50 74 32 52 169 289
Ben Bella 58 58 54 54 63 63 100 100 275 275
Kiembesamaki 27 57 22 47 20 49 0 0 69 153
Tumekuja 47 118 54 100 86 162 56 124 243 504
285 470 253 425 426 653 297 485 1261 2033
Haile Selassi 65 101 22 38 123 174 0 0 210 313
M/Kwe 'C' 24 50 15 37 13 37 0 0 52 124
89 151 37 75 136 211 0 0 262 437
792 1325 607 1014 1125 1804 726 1418 3250 5561
Sayansi ya jamii Al -Ihsani 20 20 21 21 21 21 19 19 81 81
20 20 21 21 21 21 19 19 81 81
812 1345 628 1035 1146 1825 745 1437 3331 5642JUMLA KUU
JUMLA (BINAFSI)
JUMLA (SERIKALI)
Jumla Ndogo
Jumla Ndogo
Sayansi jamii
Sayansi
Michezo
Jumla Ndogo
124
JADWELI NAM. 20
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
KIDATO CHA 1 14760 16101 30861 533 792 1325 15293 16893 32186
KIDATO CHA 2 14990 16131 31121 407 607 1014 15397 16738 32135
KIDATO CHA 3 12231 17867 30098 679 1125 1804 12910 18992 31902
KIDATO CHA 4 5670 8025 13695 692 726 1418 6362 8751 15113
JUMLA 47651 58124 105775 2311 3250 5561 49962 61374 111336
KIDATO CHA 1 1347 1494 2841 0 20 20 1347 1514 2861
KIDATO CHA 2 1328 1506 2834 0 21 21 1328 1527 2855
KIDATO CHA 3 1470 1707 3177 0 21 21 1470 1728 3198
KIDATO CHA 4 912 1142 2054 0 19 19 912 1161 2073
JUMLA 5057 5849 10906 0 81 81 5057 5930 10987
JUMLA KUU 52708 63973 116681 2311 3331 5642 55019 67304 122323
2. SKULI ZA BINAFSI
1. SKULI ZA SERIKALI
UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI (KIDATO 1 - 4), MACHI - 2018
ELIMU YA KATI ELIMU YA MICHEPUO JUMLA
DARASA
125
JADWELI NAM. 21
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 10725 11229 21954 9032 11318 20350 952 1170 2122 9984 12488 22472 93.1 111.2 102.4
Magharibi 'A' 8480 8873 17353 6150 7409 13559 843 845 1688 6993 8254 15247 82.5 93.0 87.9
Magharibi 'B' 10168 11113 21281 6948 8404 15352 2291 2936 5227 9239 11340 20579 90.9 102.0 96.7
Kaskazini 'A' 5580 5912 11492 4233 5602 9835 0 0 0 4233 5602 9835 75.9 94.8 85.6
Kaskazini 'B' 4293 4300 8593 2197 2894 5091 38 29 67 2235 2923 5158 52.1 68.0 60.0
Kati 3862 3798 7660 3552 4380 7932 160 177 337 3712 4557 8269 96.1 120.0 108.0
Kusini 1797 1705 3502 1858 1965 3823 76 61 137 1934 2026 3960 107.6 118.8 113.1
Micheweni 6678 6377 13055 2916 3552 6468 41 28 69 2957 3580 6537 44.3 56.1 50.1
Wete 6831 6497 13328 4904 5872 10776 190 173 363 5094 6045 11139 74.6 93.0 83.6
Chake-Chake 6131 6181 12312 4098 5115 9213 466 511 977 4564 5626 10190 74.4 91.0 82.8
Mkoani 6361 5949 12310 4074 4863 8937 0 0 0 4074 4863 8937 64.0 81.7 72.6
Jumla 70906 71934 142840 49962 61374 111336 5057 5930 10987 55019 67304 122323 77.6 93.6 85.6
BINAFSI JUMLA
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI ( KIDATO 1 - 4) MACHI - 2018
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI ASILIMIA YA
WA MIAKA 12 - 15 SERIKALI UANDIKISHAJI
UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI (KIDATO 1-4)
126
JADWELI NAM. 22
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
Lumumba 78 217 41 120 119 337
Ben - Bella 94 94 107 107 201 201
Hamamni 119 186 113 157 232 343
Kiembe Samaki 'A' Islamic 129 237 40 105 169 342
Biashara Mombasa 40 89 14 40 54 129
Mwanakwerekwe 'C' 72 119 114 153 186 272
Mpendae 87 184 46 114 133 298
Tumekuja 105 263 30 115 135 378
Kiponda 13 67 16 48 29 115
Haile Selassie 69 145 0 0 69 145
Faraja 27 77 84 174 111 251
Jang'ombe 29 47 27 42 56 89
Chuo cha Kiislamu (Pemba) 15 71 11 39 26 110
Madungu 70 110 30 65 100 175
Shamiani 17 58 34 59 51 117
UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA ELIMU YA SEKONDARI YA JUU 2018
SKULI
KIDATO CHA 5 KIDATO CHA 6 JUMLA
127
Fidel-Castro 56 141 57 123 113 264
Chasasa 30 105 39 98 69 203
Utaani 'A' 30 30 21 40 51 70
Uweleni 7 18 15 32 22 50
Moh'd J. Pindua 16 51 0 0 16 51
M/Mdogo 11 20 2 24 13 44
JUMLA SERIKALI 1114 2329 841 1655 1955 3984
SUZA 21 62 27 55 48 117
SOS 46 80 36 53 82 133
Al Ihsaan 52 52 34 34 86 86
Nyuki 9 19 2 18 11 37
Philter 6 12 8 2 14 14
Al-Haramayn 14 24 12 22 26 46
Feza 28 49 29 51 57 100
Mnemonic 2 11 0 0 2 11
SSP 10 15 0 0 10 15
High View 14 22 13 25 27 47
JUMLA BINAFSI 202 346 161 260 363 606
JUMLA KUU 1316 2675 1002 1915 2318 4590
JADWELI NAM. 22 linaendelea
128 JADWELI NAM. 23
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 22525 22932 45457 17075 17798 34873 4260 4404 8664 21335 22202 43537 94.7 96.8 95.8
Magharibi 'A' 19813 19990 39803 20452 21514 41966 3168 3073 6241 23620 24587 48207 119.2 123.0 121.1
Magharibi 'B' 23712 24356 48068 20155 20832 40987 7207 7982 15189 27362 28814 56176 115.4 118.3 116.9
Kaskazini 'A' 12893 12851 25744 13340 14130 27470 191 209 400 13531 14339 27870 104.9 111.6 108.3
Kaskazini 'B' 9868 9856 19724 8166 7875 16041 242 262 504 8408 8137 16545 85.2 82.6 83.9
Kati 8580 8399 16979 10890 10543 21433 533 575 1108 11423 11118 22541 133.1 132.4 132.8
Kusini 4128 3771 7899 4907 4462 9369 223 217 440 5130 4679 9809 124.3 124.1 124.2
Micheweni 14883 14184 29067 12562 12493 25055 222 207 429 12784 12700 25484 85.9 89.5 87.7
Wete 14481 14287 28768 16696 16408 33104 462 363 825 17158 16771 33929 118.5 117.4 117.9
Chake-Chake 12835 13065 25900 14419 14275 28694 1090 1056 2146 15509 15331 30840 120.8 117.3 119.1
Mkoani 13431 12854 26285 16099 15420 31519 246 192 438 16345 15612 31957 121.7 121.5 121.6
Jumla 157149 156545 313694 154761 155750 310511 17844 18540 36384 172605 174290 346895 109.8 111.3 110.6
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DARASA I - KIDATO 2) - 2018
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DARASA LA 1 - KIDATO 2) ASILIMIA YA
WA MIAKA 6 - 13 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI
129
JADWELI NAM. 24
DAKHALIA WAVULANA WASICHANA JUMLA
1 Mbweni A 120 72 192
2 Mbweni B 20 0 20
3 Mazizini 0 74 74
4 Fidel-Castro 366 302 668
5 Utaani 192 287 479
6 Kengeja Ufundi 110 50 160
7 C.C.K (Kiuyu) 232 302 534
8 Pindua 189 189 378
9 Chuo cha Ufundi - Mkokotoni 163 67 230
10 Chuo cha Ufundi - Vitongoji 85 37 122
Jumla 1477 1380 2857
IDADI YA WANAFUNZI WANAOKAA DAKHALIA, 2018
130
JADWELI NAM. 25(a)
M F T M F T M F T M F T
VYUO VYA TANZANIA BARA
1 Al-Makhtoum College of Engineering and Technology 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
2 Ardhi University (ARU) 0 4 4 0 0 0 0 0 0 0 4 4
3 Arusha Technical College 1 1 2 0 0 0 0 0 0 1 1 2
4 Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS) - Bugando 2 1 3 0 0 0 0 0 0 2 1 3
5 Centre for Foreign Relations 10 9 19 0 0 0 0 0 0 10 9 19
6 College of Business Education (CBE) - Dar es salaam campus 12 10 22 0 0 0 0 0 0 12 10 22
7 College of Business Education (CBE) - Dodoma campus 1 1 2 0 0 0 0 0 0 1 1 2
8 Community Development Training Institute (CDTI) 2 1 3 0 0 0 0 0 0 2 1 3
9 Dar es Salaam Institute of Technology 24 8 32 1 0 1 0 0 0 25 8 33
10 Dar es salaam Maritime Institute (DMI) 3 0 3 0 0 0 0 0 0 3 0 3
11 Eastern Africa Statistical Training Centre 4 3 7 1 0 1 0 0 0 5 3 8
12 Hubert Kairuki Memorial University 3 7 10 0 1 1 0 0 0 3 8 11
13 International Medical and Technological University (IMTU) 10 5 15 0 0 0 0 0 0 10 5 15
14 Institute of Accountancy Arusha 2 1 3 2 0 2 0 0 0 4 1 5
15 Institute of Finance Management 19 10 29 1 0 1 0 0 0 20 10 30
16 Institute of Procurement and supply 0 3 3 0 0 0 0 0 0 0 3 3
17 Institute of Rural Development Planning 9 13 22 0 0 0 0 0 0 9 13 22
18 Institute of Social Works 4 4 8 0 0 0 0 0 0 4 4 8
19 Institute of Tax Administration 3 5 8 0 0 0 0 0 0 3 5 8
20 Jordan University College 0 0 0 2 2 4 0 0 0 2 2 4
WANAFUNZI WALIOKO MASOMONI CHINI YA UDHAMINI ZHELB KATIKA VYUO MBALI MBALI
TANZANIA NA NJE YA TANAZANIA MWAKA 2017-2018
JINA LA CHUO
SHAHADA YA
KWANZA
SHAHADA YA
UZAMILI
SHAHADA YA
UZAMIVUJUMLA KUU
Na.
131
Jadweli nam. 25(a) linaendelea
21 Kampala International University - Tanzania 25 23 48 0 1 1 0 0 0 25 24 49
22 Kilimanjaro Christian Medacal University College (KCMC) 1 0 1 0 1 1 1 0 1 2 1 3
23 Mbeya University of Science and Technology 8 2 10 0 0 0 0 0 0 8 2 10
24 Moshi Cooperative University (MoCU) 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1
25 Mt. Meru University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1
26 Muhimbili University of Health and Allied Sciences 1 2 3 8 1 9 0 0 0 9 3 12
27 Muslimu University of Morogoro 6 4 10 0 0 0 0 0 0 6 4 10
28 Mwalimu Nyerere Memorial Academy 15 15 30 0 0 0 0 0 0 15 15 30
29 Mwenge Catholic University 2 2 4 0 1 1 0 0 0 2 3 5
30 Mzumbe University 12 7 19 2 0 2 0 0 0 14 7 21
31 National Institute of Transport 14 5 19 0 0 0 1 0 1 15 5 20
32 Nelson Mandela African Institute of Science and Technology 0 0 0 1 1 2 0 0 0 1 1 2
33 Open University of Tanzania - Dar es Salaam Centre 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
34 Ruaha Catholic University (RUCU) 2 0 2 0 0 0 0 0 0 2 0 2
35 Sebastian Kolowa Memorial University (SEKOMU) 2 3 5 0 0 0 0 0 0 2 3 5
36 Sokoine University of Agriculture 2 4 6 1 0 1 0 0 0 3 4 7
37 St. Augustine University of Tanzania 0 1 0 1 1 0 1 2 0 2
38 St Johns University of Tanzania (SJUT) 6 1 7 0 0 0 1 0 1 7 1 8
39St. Joseph College of Health and Allied Sciences (SJCHAS) - Dar
es Salaam2 1 3 0 0 0 0 0 0 2 1 3
40St. Joseph College of Engineering and Technology (SJCET) - Dar
es Salaam9 4 13 0 0 0 0 0 0 9 4 13
132
Jadweli nam. 25(a) linaendelea
41 Stefano Moshi Memorial Univerity College 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1
42 Tanzania Institute of Accountancy (TIA) - Dar es Salaam Campus 8 8 16 0 0 0 0 0 0 8 8 16
43 Tanzania Institute of Accountancy (TIA) - Mbeya Campus 2 0 2 0 0 0 0 0 0 2 0 2
44 Teofilo Kisanji University (TEKU) 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1
45 Tumaini University Dar es Salaam College (TUDARCO) 0 2 2 0 0 0 0 0 0 0 2 2
46 University of Arusha 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1
47 University of Bagamoyo (UoB) 1 1 2 0 0 0 0 0 0 1 1 2
48 University of Dar es Salaam (UDSM) 14 5 19 9 3 12 0 0 0 23 8 31
49 University of Dodoma (UDOM) 33 7 40 11 7 18 2 1 3 46 15 61
50 University of Iringa 4 2 6 3 3 6 4 0 4 11 5 16
JUMLA NDOGO 280 189 469 43 21 64 10 1 11 333 211 544
50 Abdulrahman Al-Sumait Memorial University 63 54 117 0 0 0 0 0 0 63 54 117
51 Karume Institute of Science and Techmology - KIST 10 1 11 0 0 0 0 0 0 10 1 11
52 Open University of Tanzania - Pemba Centre 11 8 19 1 2 3 0 1 1 12 11 23
53 Open University of Tanzania - Zanzibar Centre 34 18 52 8 9 17 2 3 5 44 30 74
54 The State University of Zanzibar (SUZA) 224 278 502 7 8 15 3 2 5 234 288 522
55 Zanzibar Institute of Finance and Administration (ZIFA) 102 133 235 0 0 0 0 0 0 102 133 235
56 Zanzibar University (ZU) 361 493 854 6 9 15 0 0 0 367 502 869
805 985 1790 22 28 50 5 6 11 832 1019 1851
1,085 1,174 2,259 65 49 114 15 7 22 1,165 1,230 2,395
JUMLA NDOGO
JUMLA KUU (WANAFUNZI VYUO VYA NDANI)
VYUO VYA ZANZIBAR
133
Jadweli nam. 25(a) linaendelea
VYUO VYA NJE YA NCHI
57 Changsha Medical University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
58 China Pharmaceutical University 2 0 2 0 0 0 0 0 0 2 0 2
59 China University of Mining Technology 0 1 1 0 0 0 0 0 0 1 1 1
60 China University of Petroleum (Huadong) 1 2 3 0 0 0 0 0 0 3 2 3
61 Fujian Medical College 5 7 12 0 0 0 0 0 0 12 7 12
62 Hebei University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 1 1 1
63 Hebei North University 0 2 2 0 0 0 0 0 0 2 2 2
64 Huazhong University of Science and Technology 4 1 5 0 0 0 1 0 1 5 1 6
65 Shenyang Medical College 1 1 2 0 0 0 0 0 0 2 1 2
66 University of Electronic Science and Technology of China 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
67 Wenzhou Medical University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
68 Xian Jiaotong University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 1 1 1
69 Xian Shiyou University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
70 Yichun University 5 10 15 0 0 0 0 0 0 15 10 15
71 Zhejiang University of Media and Communication 16 16 32 0 0 0 0 0 0 32 16 32
72 Zunyi Normal College 6 9 15 0 0 0 0 0 0 15 9 15
INDIA
73 Animaster Academy 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
74 Aditya Bangalore Institute of Pharmacy 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1
75 JSS University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
76 National Law School of University of India 0 0 0 0 0 0 1 0 1 1 0 1
CHINA
134
Jadweli nam. 25(a) linaendelea
MALAYSIA
77 Elite International University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
78 UCSI University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
79 University Putra Malaysia 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
RUSSIA
80 Saratov State Universty 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
81 Tambov State Universty 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
SUDAN
82 International University of Africa 61 47 108 0 0 0 0 0 0 61 47 108
UKRAINE
83 Kharkov National Medical University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1
84 Sumy State University 4 0 4 0 0 0 0 0 0 4 0 4
UNITED KINGDOM
85 University of Strathclyde 0 0 0 1 0 1 0 0 0 1 0 1
TURKEY
86 Eastern Meditarranean University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1
UGANDA
87 Kabale University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1
88 Kampala International University - Uganda 1 2 3 0 2 2 1 0 1 2 4 6
89 Ernest Cook Ultrasound Research and Education Institute (ECUREI) 4 0 4 0 0 0 0 0 0 4 0 4
90 Islamic University in Uganda (IUIU) 1 1 2 0 0 0 0 0 0 1 1 2
91 Uganda Institute of Allied Heath and Management Sciences -
Mulago1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1
92 OMAN SCHOLARSHIPS 10 5 15 0 0 0 0 0 0 10 5 15
93 IDB SCHOLARSHIPS 10 10 20 0 0 0 0 0 0 10 10 20
94 Ras Al-Khaymah 0 2 2 0 0 0 0 0 0 0 2 2
143 122 265 1 2 3 3 0 3 147 124 271
1,228 1,296 2,524 66 51 117 18 7 25 1,312 1,354 2,666
JUMLA YA WANAFUNZI WA VYUO VYA NJE
JUMLA KUU YA WANAFUNZI WA VYUO VYA NDANI NA NJE YA NCHI
135
NCHI W'ME W'KE JUMLA
1 MALAYSIA 3 1 4
2 CHINA 96 55 151
3 UKRAIN 4 1 5
4 URUSI 2 0 2
5 SUDAN 61 47 108
6 OMAN 10 5 15
9 TURKEY 0 1 1
11 UGANDA 8 6 14
12 INDIA 3 1 4
13 RAS AL-KHAYMAH 0 2 2
14 IDB 10 10 20
15 MISRI 0 1 1
16 ALGERIA 7 1 8
17 INDONESIA 2 1 3
18 CUBA 1 3 4
JUMLA 207 135 342
WANAFUNZI WALIOKO MASOMONI KATIKA VYUO
MBALI MBALI NJE YA TANZANIA MWAKA 2017/2018
JADWELI NAM. 25(b)
136
JADWELI NAM. 26(a)
CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA)-MAIN CAMPUS
M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke W'ke Jumla
Shahada ya Uzamivu - Kiswahili 4 9 - - - - 6 5 6 1 15 31
Shahada ya Uzamili - Kiswahili - - 3 2 1 1 7 3 - - 6 17
Shahada ya Uzamili – Kemia - - 3 2 5 5 2 2 - - 9 19
Shahada ya Uzamili- Mabadiliko Tabia
ya Nchi
14 11 - - - - - - - - 11 25
Shahada ya Uzamili – Sayansi ya
Mazingira
- - 2 1 4 3 10 8 12 28
Shahada ya Uzamili - Elimu ya Vijana,
Jinsia ana Utawala
6 6 - - - - - - - - 6 12
Shahada ya Uzamili - Elimu ya
Kiswahili kwa Wageni
2 9 - - - - - - - - 9 11
Shahada ya Ualimu - Sayansi 57 65 15 20 36 22 - - - - 107 215
Shahada ya Ualimu – Sanaa 35 47 56 77 69 154 - - - - 278 438
Shahada ya Ualimu- IT - - - 13 10 4 - - - - 17 27
Shahada ya Sayansi – Kompyuta 11 3 18 3 10 7 - - - - 13 52
Shahada ya Habari na Mawasiliano 28 20 32 22 29 18 - - - - 60 149
Shahada ya Sanaa – Utalii - - 22 19 12 22 - - - - 41 75
JUMLA
UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018
MWAKA 5
AINA YA PROGARAMU
MWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 MWAKA 4
137
Jadweli nam. 26(a) linaendelea
Shahada ya Sanaa- Jografia na
Mazingira
21 15 10 15 8 16 - - - - 46 85
Shahada ya Sayansi ya Afya na
Mazingira
21 21 16 14 21 43 - - - - 78 136
Shahada ya Udaktari 15 16 7 9 31 27 22 34 14 20 106 195
Shahada ya Sanaa- Historia - - - - 7 4 - - - - 4 11
Shahada ya Lugha- Kiswahili 4 5 1 27 6 70 - - - - 102 113
Stashahada ya Sanaa- Elimu 11 8 4 6 - 3 - - - - 17 32
Stashahada ya Lugha- Elimu 4 37 17 58 - - - - - - 95 116
Stashahada ya Sayansi- Elimu 9 13 40 29 - - - - - - 42 91
Stashahada ya Kazi za Jamii 3 16 17 49 - - - - - - 65 85
Stashahada ya Elimu – Michezo 9 10 9 10 - - - - - - 20 38
Stashahada ya IT 19 10 58 51 - - - - - - 61 138
Stashahada ya Sayansi ya Kompyuta 7 3 16 12 - - - - - - 15 38
Stashshada ya Utalii na Urithi 10 4 9 11 - - - - - - 15 34
Stashahada ya Ukutubi - - 1 32 - - - - - - 32 33
Stashahada ya Elimu Mjumuisho 5 30 4 46 - - - - - - 76 85
Stashahada ya Elimu ya Awali - 28 - 46 - - - - - - 74 74
Cheti cha Teknolojia ya Kompyuta 16 7 - - - - - - - - 7 23
Pre - Diploma Science 25 30 - - - - - - - - 30 55
JUMLA 336 423 360 574 249 399 47 52 20 21 1,469 2,481
138
JADWELI NAM. 26(b)
NCHI WALIZOTOKA WANAFUNZI WAVULANA WASICHANA JUMLA
Uingereza - 2 2
Marekani 7 28 35
Ujerumani 3 6 9
Sudan 5 - 5
Sweden - 1 1
Kenya - 1 1
MALVIS ISLAND 1 0 1
Japan 0 1 1
Nigeria 2 0 2
Qatar 1 0 1
Switzerland - 1 1
Denmark - 1 1
China 1 0 1
Australia 1 1 2
Ageria 1 - 1
Saudi Arabia 1 - 1
Ufaransa - 3 3
JUMLA 23 45 68
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIGENI KATIKA SKULI
YA KISWAHILI NA LUGHA ZA KIGENI - MACHI, 2018
139
JADWELI NAM. 26(c)
M’meW’ke M’meW’ke M’meW’ke M’meW’ke
Stashahada ya Uuguzi na Ukunga 7 50 25 60 13 42 45 152 197
Stashahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira 17 11 10 5 21 21 48 37 85
stashahada ya Sayansi ya Mabaara 28 25 51 25 29 14 108 64 172
Stashahada ya Sayansi ya Famasia 24 39 34 36 22 26 80 101 181
Stashahada ya Afya Kinywa na Meno 14 4 10 7 6 10 30 21 51
Stashahada ya Afya ya Tabibu 28 32 50 44 35 25 113 101 214
Stashahada ya Fisiotherapia 6 21 12 6 5 13 23 40 63
JUMLA 124 182 192 183 131 151 447 516 963
UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018
SCHOOL OF HEALTH AND MEDICAL STUDIES
AINA YA PROGARAMU
MWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 JUMLA
JUMLA
140
M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke
Shahada ya Uongozi wa Fedha na Uhasibu 28 36 16 26 24 30 68 92 160
Shahada ya Manunuzi na Ugamvi 1 7 7 13 12 15 20 35 55
Shahada ya Tehama na Uhasibu 21 18 19 16 20 5 60 39 99
Shahada Banki na Fedha 6 11 1 15 5 11 12 37 49
Stashahada Manunuzi na Ugavi 2 5 5 13 - - 7 18 25
Stashahada ya Tehama na Uhasibu 32 30 41 32 - - 73 62 135
Stashahada ya Uongozi wa Fedha 40 51 34 57 - - 74 108 182
Cheti cha Uongozi Fedha 35 52 - - - - 35 52 87
JUMLA 165 210 123 172 61 61 349 443 792
JADWELI NAM. 26(d)
UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018
SCHOOL OF BUSINESS
AINA YA PROGARAMU
MWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 JUMLA
JUMLA
141
JADWELI NAM. 26(e)
M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke
Stashahada ya Ukarimu na Uongozi wa Utalii 13 2 34 19 - - 47 21 68
Stashahada ya Teknologia ya Habari na Uhasibu 0 0 13 15 - - 13 15 28
Cheti cha Ukaribishaji Wageni 11 15 - - - - 11 15 26
Cheti cha Huduma ya Chakula na Vinywaji 7 3 - - - - 7 3 10
Cheti cha Upishi 8 11 - - - - 8 11 19
Cheti cha Utunzaji Hotel - 2 - - - - 0 2 2
Cheti cha Uongozaji Watalii 6 2 - - - - 6 2 8
JUMLA 45 35 47 34 0 0 92 69 161
UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018
INSTITUTE OF TOURISM DEVELOPMENT
AINA YA PROGARAMU
MWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 JUMLA
JUMLA
142
JADWELI NAM. 26(f)
SUZA Main Campus 1012 1469 2481
School of Kiswahili and Foreign Language 23 45 68
School of Health and Medical Science 447 516 963
School of Business 349 443 792
Institute of Tourism 92 69 161
JUMLA 1923 2542 4465
W'ME W'KE
MUHTASARI WA UANDIKISHAJI CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR
(SUZA), 2018
JUMLATAASISI
143
JADWELI NAM. 27
CHUO KIKUU CHA SUMAIT - CHUKWANI
W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke
Shahada ya Sayansi ya Ualimu 27 22 20 15 33 15 80 52 132
Shahada ya 'Sanaa' ya Ualimu 33 42 44 107 51 78 128 227 355
Shahada ya sayansi ya kompyuta 0 0 4 0 1 0 5 0 5
Shahada ya Sanaa ya Ushauri Nasaha 0 0 9 27 10 21 19 48 67
Shahada ya Teknohama 0 0 3 2 0 1 3 3 6
Stashahada ya Sayansi- Ualimu 9 7 31 59 - - 40 66 106
Stashahada ya Sanaa-Ualimu 1 8 26 119 - - 27 127 154
Stashahada ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano 7 34 12 20 - - 19 54 73
Cheti cha Ualimu 3 8 0 0 - - 3 8 11
Cheti cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano 11 49 0 0 - - 11 49 60
JUMLA 91 170 149 349 95 115 335 634 969
JUMLA
KUU
UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018
JUMLA
AINA YA PROGRAMU
Mwaka 1 Mwaka 2 Mwaka 3
144
JADWELI NAM. 28
W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke
Shahada ya Uzamivu ya Sheria-Haki za Binadamu - - 1 - - - - - 1 0 1
Shahada ya Uzamili Sayansi ya Uchumi na Fedha 10 3 19 24 - - - - 29 27 56
Shahada ya Uzamili Utawala wa Uma 8 10 8 9 - - - - 16 19 35
Shahada ya Uzamili ya Sheria 2 2 1 4 - - - - 3 6 9
shahada ya Uzamili Uongozi wa Biashara 7 11 11 9 - - - - 18 20 38
Shahada ya Uhasibu na Fedha 26 27 48 51 30 31 - - 104 109 213
Shahada ya Manunuzi na Matunzo 11 22 35 43 24 30 - - 70 95 165
Shahada ya Masoko (marketing) 2 12 2 11 6 8 - - 10 31 41
Shahada ya Teknolojia ya Habari na Biashara (BBIT) 16 11 37 22 31 26 - - 84 59 143
Shahada ya Uhusiano wa Kimataifa na Diplomasia 24 10 66 37 16 31 - - 106 78 184
Shahada ya Uchumi 6 20 33 35 46 51 - - 85 106 191
Shahada ya Islamic Banking 0 0 8 8 - 5 - - 8 13 21
Shahada ya Lungha na Ualimu 8 9 18 41 15 46 - - 41 96 137
Shahada ya Utawala wa Umma 0 0 6 1 15 7 - - 21 8 29
Shahada ya Teknolojia ya Habari na Ualimu 11 8 24 43 23 49 - - 58 100 158
Shahada ya (Social Work) 7 18 21 58 14 38 - - 42 114 156
Shahada ya Sheria 9 14 26 19 10 10 12 6 57 49 106
Shahada ya Uhandisi wa Kompyuta na Teknolojia ya
Habari 0 0 7 2 10 2 9 9 26 13 39
Shahada ya Uhandisi wa Mawasiliano 0 0 11 4 14 2 5 4 30 10 40
Shahada ya Uuguzi 7 14 20 44 12 28 34 43 73 129 202
Shahada ya Sayansi ya Habari (Information Science) 9 17 14 42 5 24 - - 28 83 111
Stashada ya Teknolojia ya Habari 27 23 20 16 - - 28 83 75 122 197
Stashahada ya Maendeleo ya Jamii - - 24 42 - - 47 39 71 81 152
Stashahada ya Islamic Banking 4 7 7 15 - - 24 42 35 64 99
Stashahad ya Manunizi na Matunzo - - - - 11 22 11 22 33
Stashahada ya Uongozi wa Biashara 14 15 37 50 - - - - 51 65 116
Stashahada ya Sheria 22 16 17 19 - - 51 65
Stashahada ya Uchumi na Fedha - - - - - - - - -
Stashahada ya Ukunga na Uuguzi 75 104 12 41 - - - - - - -
Stashahada ya Udaktari - - - - - - - - - -
JUMLA 305 373 533 690 271 388 221 313 1,330 1764 3,094
UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018
CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR
AINA YA PROGRAMU
Mwaka 1 Mwaka 2 Mwaka 3 Mwaka 4 JUMLA JUMLA
KUU
145
JADWELI NAM. 29
FANI WANAUME WANAWAKE JUMLA
Civil Engineering and Transportation NTA - 4 23 5 28
Civil Engineering and Transportation NTA - 5 22 9 31
Civil Engineering and Transportation NTA - 6 13 10 23
Mechanical and Automotive Engineering NTA - 4 12 1 13
Mechanical and Automotive Engineering NTA - 5 9 2 11
Mechanical and Automotive Engineering NTA - 6 19 6 25
Electrical Engineering NTA - 4 25 5 30
Electrical Engineering NTA - 5 26 9 35
Electrical Engineering NTA - 6 20 4 24
Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 4 13 2 15
Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 5 8 7 15
Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 6 8 4 12
Computer engineering - NTA - 4 5 3 8
Computer engineering - NTA - 5 6 4 10
Computer engineering- NTA - 6 3 2 5
ICT Certificate-NTA- 4 20 8 28
ICT Diploma I-NTA- 5 16 8 24
ICT Diploma II-NTA- 6 7 3 10
Vocational Technical Teacher (VTT)-NTA-4 0 0 0
Vocational Technical Teacher (VTT)-NTA-5 15 18 33
Vocational Technical Teacher (VTT)-NTA-6 16 13 29
Teacher for Primary Education-NTA-4 5 58 63
Teacher for Primary Education-NTA-5 8 29 37
Teacher for Primary Education-NTA-6 0 0 0
Laboratory Engineering 0 0 0
Bachelor Degree in Aircraft Maintanance Engineering and Pilot Studies 12 1 13
JUMLA NTA 4 103 82 185
JUMLA NTA 5 110 86 196
JUMLA NTA 6 86 42 128
DEGREE 12 1 13
JUMLA KUU 311 211 522
Angalia:
NTA = National Technical Award
UANDIKISHAJI KATIKA TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
MACHI - 2018
146
JADWELI NAM. 30(a)
W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE
Stashahada ya Ualimu-Sayansi Msingi 47 84 4 24 51 108 159
Stashahada ya Ualimu-Sanaa Msingi 6 40 14 74 20 114 134
Stashahada ya Ualimu-Masomo ya Kiislamu 5 14 9 21 14 35 49
Elimu Mjumuisho 1 8 - - 1 8 9
ECD 5 82 - - 5 82 87
Pre-Diploma 38 143 - - 38 143 181
Jumla 102 371 27 119 129 490 619
JUMLA KUUDARAJA ZA MASOMO
IDADI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA KIISLAMU MAZIZINI UNGUJA, MACHI - 2018
MWAKA WA KWANZA MWAKA WA PILI JUMLA
147
JADWELI NAM. 30(b)
DARAJA ZA MASOMO WANAUME WANAWAKE JUMLA
Wanafunzi wa Kidato cha 1 29 12 41
Wanafunzi wa Kidato cha 2 14 14 28
Wanafunzi wa Kidato cha 3 22 35 57
Wanafunzi wa Kidato cha 4 16 14 30
Wanafunzi wa Kidato cha 5 56 15 71
Wanafunzi wa Kidato cha 6 28 11 39
Stashahada ya Ualimu (Mwaka 1) 59 131 190
Stashahada ya Ualimu (Mwaka 2) 7 25 32
Jumla 231 257 488
IDADI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA KIISLAMU KIUYU PEMBA, MACHI - 2018
148
JADWELI NAM. 31
WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA
Mjini 1834 2070 3904 1695 2016 3711 92.4 97.4 95.1
Magharibi 'A' 1943 2227 4170 1768 2158 3926 91.0 96.9 94.1
Magharibi 'B' 2170 2475 4645 2045 2440 4485 94.2 98.6 96.6
Kaskazini 'A' 1006 1317 2323 951 1294 2245 94.5 98.3 96.6
Kaskazini 'B' 663 766 1429 611 751 1362 92.2 98.0 95.3
Kati 1024 1165 2189 897 1148 2045 87.6 98.5 93.4
Kusini 499 429 928 451 418 869 90.4 97.4 93.6
Micheweni 901 1214 2115 888 1204 2092 98.6 99.2 98.9
Wete 1392 1597 2989 1347 1585 2932 96.8 99.2 98.1
Chake-Chake 1125 1425 2550 1050 1410 2460 93.3 98.9 96.5
Mkoani 1185 1425 2610 1099 1395 2494 92.7 97.9 95.6
Private 1216 1311 2527 1216 1308 2524 100.0 99.8 99.9
Jumla 14958 17421 32379 14018 17127 31145 93.7 98.3 96.2
MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA VI KWA 2017 NA
WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2018
WILAYA
WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA
149
JADWELI NAM. 32 (a)
WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA
Mjini 1517 2074 3591 943 1714 2657 62.2 82.6 74.0
Magharibi 'A' 912 1362 2274 571 1060 1631 62.6 77.8 71.7
Magharibi 'B' 1516 1857 3373 1029 1548 2577 67.9 83.4 76.4
Kaskazini 'A' 481 987 1468 329 717 1046 68.4 72.6 71.3
Kaskazini 'B' 345 560 905 169 386 555 49.0 68.9 61.3
Kati 535 833 1368 249 650 899 46.5 78.0 65.7
Kusini 448 495 943 183 311 494 40.8 62.8 52.4
Micheweni 398 660 1058 296 469 765 74.4 71.1 72.3
Wete 678 1103 1781 471 888 1359 69.5 80.5 76.3
Chake-Chake 581 964 1545 350 737 1087 60.2 76.5 70.4
Mkoani 566 890 1456 342 598 940 60.4 67.2 64.6
Private 541 583 1124 516 572 1088 95.4 98.1 96.8
Jumla 8518 12368 20886 5448 9650 15098 64.0 78.0 72.3
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA PILI (STD VI)- 2017 NA
WILAYA
WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA
WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2018
150
JADWELI NAM. 32 (b)
WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA
Mjini 1802 2151 3953 1188 1838 3026 65.9 85.4 76.5
Magharibi 'A' 1393 1478 2871 971 1213 2184 69.7 82.1 76.1
Magharibi 'B' 1684 1843 3527 1041 1416 2457 61.8 76.8 69.7
Kaskazini 'A' 826 1184 2010 656 936 1592 79.4 79.1 79.2
Kaskazini 'B' 487 592 1079 301 506 807 61.8 85.5 74.8
Kati 751 846 1597 436 686 1122 58.1 81.1 70.3
Kusini 402 410 812 229 304 533 57.0 74.1 65.6
Micheweni 851 904 1755 632 710 1342 74.3 78.5 76.5
Wete 1092 1251 2343 780 1056 1836 71.4 84.4 78.4
Chake-Chake 958 1023 1981 645 831 1476 67.3 81.2 74.5
Mkoani 896 1095 1991 515 749 1264 57.5 68.4 63.5
Private 854 911 1765 828 896 1724 97.0 98.4 97.7
Jumla 11996 13688 25684 8222 11141 19363 68.5 81.4 75.4
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA PILI (STD VII)- 2017 NA
WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2018
WILAYA
WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA
151
JADWELI NAM. 33(a)i
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA TZ ZNZ
WILAYA YA MJINI
1 Lumumba 39 106 6 17 22 57 10 28 1 3 39 105 100.0 99.1 122 1
2 Mikunguni 11 45 0 3 3 11 3 13 5 18 11 45 100.0 100.0 329 8
3 Kiponda 20 36 2 4 13 23 3 7 2 2 20 36 100.0 100.0 38* 2
4 Tumekuja 57 120 2 6 15 38 26 43 14 33 57 120 100.0 100.0 329 14
5 Jang'ombe 92 161 1 1 0 1 5 11 52 91 58 104 63.0 64.6 2791 82
6 Haileselassie 205 380 0 0 0 6 12 33 105 192 117 231 57.1 60.8 2852 102
7 Vikokotoni 145 294 2 7 0 0 15 30 52 104 69 141 47.6 48.0 453 24
8 Faraja 174 268 6 9 0 0 1 8 107 169 114 186 65.5 69.4 2802 84
9 Forordhani 37 63 0 0 0 0 4 5 23 41 27 46 73.0 73.0 2611 62
10 Ben-Bella 99 99 4 4 42 42 39 39 14 14 99 99 100.0 100.0 260 8
11 Kidongo Chekundu 186 315 0 0 0 0 9 19 121 201 130 220 69.9 69.8 2712 71
12 Kwamtipura 263 425 0 0 1 2 8 22 151 242 160 266 60.8 62.6 2789 81
13 Hurumzi 83 122 0 0 3 5 17 26 56 82 76 113 91.6 92.6 1170 27
14 Hamamni 161 321 0 1 6 14 25 41 89 182 120 238 74.5 74.1 1965 34
15 Mpendae 177 302 0 0 3 4 6 20 121 195 130 219 73.4 72.5 2460 48
16 Chumbuni 158 273 0 0 0 0 7 16 76 140 83 156 52.5 57.1 2888 107
17 Nyerere 120 199 0 0 0 0 10 17 87 126 97 143 80.8 71.9 2557 54
18 Mwembeladu 139 251 0 0 0 0 14 19 69 132 83 151 59.7 60.2 2814 88
Jumla 2166 3780 23 52 108 203 214 397 1145 1967 1490 2619 68.8 69.3
Nam.
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA SERIKALI - 2017
KIMA CHA UFAULU NATIJAWATAHINIWA JUMLA
SKULI
DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV
152
Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
1 Mtoni Kigomeni 85 135 0 0 0 1 2 3 48 83 50 87 58.8 64.4 2830 94
2 Mfenesini 67 119 0 0 0 0 6 11 40 72 46 83 68.7 69.7 2616 60
3 Bububu 296 475 0 0 0 0 9 14 187 299 196 313 66.2 65.9 2836 97
4 Langoni 36 65 0 0 0 0 0 0 10 21 10 21 27.8 32.3 3036 145
5 Regeza Mwendo 96 210 0 0 0 2 1 6 50 111 51 119 53.1 56.7 2917 112
6 Mtopepo 118 164 0 0 0 0 7 7 79 105 86 112 72.9 68.3 2540 51
7 Chuini 109 177 0 0 0 0 5 10 55 86 60 96 55.0 54.2 2946 121
8 Mwenge 52 83 0 0 0 0 0 0 13 24 13 24 25.0 28.9 3037 145
9 Mikindani Dole 20 39 1 1 6 14 9 15 4 9 20 39 100.0 100.0 90* 5
10 Kianga 30 64 0 0 0 0 0 2 12 32 12 34 40.0 53.1 2940 120
Jumla 909 1531 1 1 6 17 39 68 498 842 544 928 567.526 593.632
1 Mwanakwerekwe 'A' 123 177 0 0 0 0 14 21 63 92 77 113 62.6 63.8 2590 57
2 Kiembe Samaki "A" 24 50 0 1 6 17 10 21 3 8 19 47 79.2 94.0 320 12
3 Chukwani 39 64 0 0 3 3 7 11 28 44 38 58 97.4 90.6 1357 29
4 Kinuni 136 191 0 0 1 3 3 6 81 114 85 123 62.5 64.4 2774 80
5 Kisauni 38 70 0 0 0 0 3 7 21 44 24 51 63.2 72.9 2507 50
6 Fuoni 159 257 0 0 0 2 9 12 86 140 95 154 59.7 59.9 2826 93
7 Mwanakwerekwe 'C' 375 602 0 0 0 1 20 36 236 371 256 408 68.3 67.8 2736 74
8 Zanzibar commercial 32 101 0 6 8 27 15 39 9 29 32 101 100.0 100.0 311 11
9 Maungani 23 45 0 0 0 0 0 2 11 22 11 24 47.8 53.3 2965 125
10 Kiembesamaki 194 345 0 0 0 1 9 14 105 211 114 226 58.8 65.5 2831 2831
11 Kombeni 40 74 0 0 0 0 0 4 27 52 27 56 67.5 75.7 2670 64
12 Bwefum 18 38 0 0 0 0 1 1 10 16 11 17 61.1 44.7 1996 49
Jumla 1201 2014 0 7 18 54 91 174 680 1143 789 1378 65.7 68.4
WALAYA YA MAGHARIBI 'B'
153
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
1 Tumbatu 36 83 0 0 0 1 2 6 18 43 20 50 55.6 60.2 2795 83
2 Mkwajuni 125 195 0 0 0 0 3 10 56 85 59 95 47.2 48.7 2986 131
3 Chaani 80 137 0 0 0 1 3 9 46 77 49 87 61.3 63.5 2746 76
4 Fukuchani 25 38 0 0 0 0 0 2 21 30 21 32 84.0 84.2 1349 31
5 Jongowe 17 41 0 0 0 0 0 1 14 32 14 33 82.4 80.5 2700 69
6 Potoa 48 66 0 0 0 1 3 7 33 43 36 51 75.0 77.3 2325 44
7 Kidoti 35 63 0 0 0 4 2 6 29 43 31 53 88.6 84.1 1479 32
8 Mapinduzi 22 35 0 0 0 0 0 1 6 9 6 10 27.3 28.6 1728 54
9 Pale 21 42 0 0 0 1 4 7 13 25 17 33 81.0 78.6 1885 33
10 Kinyasini 68 94 0 0 0 0 3 5 19 27 22 32 32.4 34.0 3024 141
11 Gamba 37 66 0 0 0 0 2 3 27 45 29 48 78.4 72.7 2720 44
12 Pwani Mchangani 34 56 0 0 0 0 0 0 5 10 5 10 14.7 17.9 3038 141
13 Mlimani Matemwe 13 29 0 0 0 1 1 0 6 15 7 16 53.8 55.2 1541 39
14 Kijini 15 24 0 0 0 0 0 0 4 7 4 7 26.7 29.2 1731 56
15 Nungwi 47 69 0 0 3 4 3 12 34 43 40 59 85.1 85.5 1269 28
16 Mwanda 32 60 0 0 0 0 0 1 23 45 23 46 71.9 76.7 2765 79
17 Matemwe 11 28 0 0 0 0 0 0 8 14 8 14 72.7 50.0 1639 41
JUMLA 666 1126 0 0 3 13 26 70 362 593 383 662 57.5 58.8
Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea
154
1 Donge 67 80 0 0 0 0 2 2 37 40 39 42 58.2 52.5 2976 127
2 Mahonda 89 142 0 0 0 1 0 9 44 58 44 68 49.4 47.9 2955 122
3 Fujoni 36 59 0 0 0 0 4 4 24 36 28 40 77.8 67.8 2748 77
4 Bumbwini 56 97 0 0 0 0 0 0 24 50 24 50 42.9 51.5 2983 130
5 Makoba 47 71 0 0 0 0 2 3 23 33 25 36 53.2 50.7 2982 129
6 Upenja 27 50 0 0 0 0 0 3 11 20 11 23 40.7 46.0 2981 128
7 Kitope 21 43 0 0 0 0 0 0 12 27 12 27 57.1 62.8 2902 109
JUMLA 343 542 0 0 0 1 8 21 175 264 183 286 53.4 52.8
Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
155
Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea
1 Mpapa 26 37 0 0 0 0 2 2 21 27 23 29 88.5 78.4 1456 35
2 Uroa 47 82 0 0 0 1 1 5 35 52 36 58 76.6 70.7 2681 65
3 Ubago 22 48 0 0 0 1 3 5 11 19 14 25 63.6 52.1 2448 100
4 Ndijani 40 67 0 0 1 1 0 3 34 54 35 58 87.5 86.6 2280 42
5 Mwera 71 115 0 0 0 0 1 3 13 25 14 28 19.7 24.3 2759 74
6 Dunga 65 99 0 0 0 0 0 3 37 57 37 60 56.9 60.6 2856 103
7 Unguja Ukuu 42 70 0 0 0 0 1 3 22 36 23 39 54.8 55.7 2939 119
8 Ukongoroni 15 23 0 0 0 0 0 0 13 21 13 21 86.7 91.3 1285 29
9 Kiboje 48 72 1 1 0 1 2 5 31 42 34 49 70.8 68.1 2577 56
10 Bambi 16 38 0 0 0 0 0 1 12 27 12 28 75.0 73.7 1519 38
11 Machui 26 44 0 0 0 0 0 2 21 34 21 36 80.8 81.8 2454 47
12 Charawe 6 12 0 0 0 0 0 1 3 6 3 7 50.0 58.3 1585 40
13 Jendele 24 41 0 0 0 0 1 2 21 31 22 33 91.7 80.5 2548 53
14 Kibele 38 66 0 0 0 0 1 3 19 39 20 42 52.6 63.6 2921 114
15 Jumbi 48 80 0 0 0 1 1 5 32 49 33 55 68.8 68.8 2663 63
16 Umbuji 19 26 1 1 0 0 3 1 16 22 20 24 105.3 92.3 716 24
17 Chwaka 20 37 0 0 0 1 1 2 16 31 17 34 85.0 91.9 1100 27
18 Umoja Uzini 64 93 0 0 1 1 3 6 38 56 42 63 65.6 67.7 2734 75
JUMLA 637 1050 2 2 2 7 20 52 395 628 377 626 59.2 59.6
WILAYA YA KATI
156
Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea
1 Paje 22 42 0 0 0 1 0 1 15 27 15 29 68.2 69.0 2698 68
2 Makunduchi 75 131 0 0 0 2 2 4 36 70 38 76 50.7 58.0 2867 104
3 Mtule 18 48 0 0 0 0 0 0 7 19 7 19 38.9 39.6 3030 143
4 Jambiani 35 62 0 0 0 3 0 4 17 30 17 37 48.6 59.7 2716 72
5 Kusini 29 55 0 0 0 0 0 0 4 7 4 7 13.8 12.7 3039 148
6 Mtende 19 37 0 0 0 0 0 1 4 10 4 11 21.1 29.7 1730 55
7 K/Dimbani 21 29 0 0 1 1 0 0 8 11 9 12 42.9 41.4 1701 50
8 Bwejuu 30 47 0 0 0 0 2 3 16 25 18 28 60.0 59.6 2876 105
9 Kizimkazi 9 19 0 0 0 1 0 2 7 14 7 17 77.8 89.5 964 26
10 Muyuni 32 48 0 0 0 0 2 3 23 30 25 33 78.1 68.8 2684 66
JUMLA 290 518 0 0 1 8 6 18 137 243 144 269 49.7 51.9
WILAYA YA KUSINI
157
Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea
1 Pemba Islamic 15 35 0 0 2 8 6 14 7 13 15 35 100.0 100.0 151 13
2 Tumbe 29 62 0 0 0 1 2 5 22 45 24 51 82.8 82.3 32300 43
3 Wingwi 71 130 0 0 0 0 1 5 36 72 37 77 52.1 36.0 2920 113
4 Shumba 24 40 0 0 0 0 1 2 14 24 15 26 62.5 65.0 2821 92
5 Kinyasini 22 31 0 0 0 0 1 1 9 11 10 12 45.5 38.7 1718 51
6 Mgogoni 13 21 0 0 0 0 0 0 5 7 5 7 38.5 33.3
7 Konde 55 99 0 0 0 1 3 8 22 41 25 50 45.5 50.5 2924 93
8 Micheweni 36 84 0 1 2 3 3 6 22 45 27 55 75.0 65.5 1816 37
9 Msuka 28 43 0 0 1 1 2 6 16 23 19 30 67.9 69.8 2379 46
10 Makangale 22 43 0 0 0 0 0 1 9 23 9 24 40.9 55.8 2967
11 Chwaka Tumbe 31 57 0 0 0 0 0 2 17 32 17 34 54.8 59.6 2838 118
12 Kiuyu 21 40 0 0 0 0 1 4 12 22 13 26 61.9 65.0 2569 55
13 Kinowe 41 62 0 0 0 0 0 0 25 39 25 39 61.0 62.9 2959 123
JUMLA 408 747 0 1 5 14 20 54 216 397 241 466 59.1 62.4
WILAYA YA MICHEWENI
158
Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea
1 Utaani 103 103 0 0 2 2 15 15 79 79 96 96 93.2 93.2 1472 31
2 M/Mdogo 76 152 0 0 0 0 2 6 45 93 47 99 61.8 65.1 2849 101
3 Chasasa 67 166 0 0 8 29 28 64 29 71 65 164 97.0 98.8 500 23
4 Ole 38 52 0 0 0 0 0 3 16 26 16 29 42.1 55.8 2937 117
5 Minungwini 54 73 0 0 0 1 1 1 29 42 30 44 55.6 60.3 2878 106
6 Pandani 37 67 0 0 0 1 1 3 21 36 22 40 59.5 59.7 2820 91
7 Wete Secondary 22 36 0 0 0 0 1 4 12 19 13 23 59.1 63.9 1492 37*
8 Piki 30 51 0 0 0 0 2 4 17 27 19 31 63.3 60.8 2806 86
9 Kangagani 42 62 0 0 0 0 0 2 17 27 17 29 40.5 46.8 2995 133
10 Gando 38 65 0 1 0 2 0 2 21 36 21 41 55.3 63.1 2688 67
11 Kojani 18 33 0 0 1 2 0 4 6 13 7 19 38.9 57.6 1451 34
12 Makongeni 6 19 0 0 0 1 0 2 0 8 0 11 0.0 57.9 1471 36
13 Uondwe 36 61 0 0 0 0 1 1 20 30 21 31 58.3 50.8 3005 134
14 Shengejuu 36 53 0 0 1 1 2 3 14 28 17 32 47.2 60.4 2835 37
15 Kizimbani 54 98 0 0 0 2 0 6 33 57 33 65 61.1 66.3 2657 61
16 Limbani 33 72 0 0 0 1 0 0 19 48 19 49 57.6 68.1 2818 90
17 Mitiulaya 56 94 0 0 0 0 0 2 38 58 38 60 67.9 63.8 2914 111
18 Fundo 12 17 0 0 0 0 0 0 2 6 2 6 16.7 35.3 1725 53*
19 M/Takao 25 36 0 0 0 0 2 4 15 22 17 26 68.0 72.2 1405 33
20 Chwale 19 42 0 0 0 2 0 2 7 18 7 22 36.8 52.4 2843 99
21 Ukunjwi 13 21 0 0 0 1 0 2 0 8 0 11 0.0 52.4 1691 47
22 Kijumbani 10 18 0 0 0 0 1 1 7 12 8 13 80.0 72.2 1526
JUMLA 825 1391 0 1 12 45 56 131 447 764 515 941 62.4 67.6
WILAYA YA WETE
159
Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea
1 F/Castro 50 100 9 13 19 48 21 38 1 0 50 99 100.0 99.0 141 3
2 Shamiani 103 171 0 0 2 3 6 13 52 77 60 93 58.3 54.4 2839 98
3 Ch/Mjawiri 27 52 0 0 0 0 3 6 19 37 22 43 81.5 82.7 2121 36
4 Vitongoji 29 49 0 0 0 1 1 5 20 31 21 37 72.4 75.5 2335 45
5 Dr Omar Ali Juma 67 118 0 0 1 4 2 6 9 19 12 29 17.9 24.6 2543 52
6 Pujini 40 63 0 0 0 0 2 3 17 34 19 37 47.5 58.7 2892 108
7 Wesha 35 58 0 0 0 0 0 1 17 25 17 26 48.6 44.8 3011 137
8 Kilindi 19 36 0 0 0 0 0 0 10 21 10 21 52.6 58.3 1654 45
9 Furaha 8 22 0 0 0 0 0 0 10 14 10 14 125.0 63.6 1652 43
10 Ziwani 25 48 0 0 0 0 0 1 11 24 11 25 44.0 52.1 2992 132
11 Kwale 8 17 0 0 0 3 0 1 7 12 7 16 87.5 94.1 384 22
12 Pondeani 28 47 0 0 0 0 4 4 14 27 18 31 64.3 66.0 2810 87
13 Ng'mbwa 57 100 0 0 0 0 0 2 25 46 25 48 43.9 48.0 3008 135
14 Uwandani 17 35 0 0 1 2 0 1 7 13 8 16 47.1 45.7 1650 42
15 Madungu 63 111 1 4 9 17 26 51 24 36 60 108 95.2 97.3 420 19
16 Mbuzini 32 52 0 0 0 0 1 2 19 29 20 31 62.5 59.6 2909 110
17 Vikunguni 31 40 0 0 0 0 4 5 21 28 25 33 80.6 82.5 2216 38
JUMLA 639 1119 10 17 32 78 70 139 283 473 395 707 61.8 63.2
WILAYA YA CHAKE
160
Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea
1 Kengeja Tech. 11 48 0 1 3 12 0 14 8 21 11 48 100.0 100.0 458
2 Kiwani 29 41 0 0 0 0 0 0 15 21 15 21 51.7 51.2 3009 136
3 Mkanyageni 35 53 0 0 0 0 1 2 12 21 13 23 37.1 43.4 3012 139
4 M/Ngwachani 34 58 0 0 0 0 1 2 27 38 28 40 82.4 69.0 2710 70
5 Kangani 43 74 0 0 0 0 0 2 30 47 30 49 69.8 66.2 2804 85
6 Uweleni 76 143 0 0 1 3 5 10 56 106 62 119 81.6 83.2 2236 39
7 Kengeja Sec. 37 61 0 0 0 0 2 4 22 33 24 37 64.9 60.7 2816 89
8 Kisiwa Panza 18 30 0 0 0 0 0 0 6 12 6 12 33.3 40.0 1721 52
9 Mtambile 42 63 0 0 1 3 5 6 21 37 27 46 64.3 73.0 2264
10 Wambaa 28 56 0 0 0 0 1 3 11 24 12 27 42.9 48.2 2964 124
11 Mizingani 26 49 0 0 0 0 0 1 4 15 4 16 15.4 32.7 3029 142
12 Mwambe 29 50 0 0 0 0 2 7 20 33 22 40 75.9 80.0 2252 40
13 Makombeni 15 26 0 0 0 0 1 2 7 11 8 13 53.3 50.0 1651 44
14 Mauwani 26 50 0 0 0 0 1 7 23 36 24 43 92.3 86.0 2145 37
15 Mtangani 12 29 0 0 0 0 0 1 6 21 6 22 50.0 75.9 1423 33
16 Makoongwe 13 17 0 0 0 0 0 0 8 9 8 9 61.5 52.9 1019 40
17 Chokocho 27 42 0 0 0 1 1 2 1 6 2 9 7.4 21.4 3032 144
18 Ukutini 21 41 0 0 0 0 0 1 8 19 8 20 38.1 48.8 3013 138
19 Michenzani 28 56 0 0 0 1 1 3 9 23 10 27 35.7 48.2 2930 116
20 Chambani 22 40 0 0 0 0 0 0 11 19 11 19 50.0 47.5 3023 140
JUMLA 572 1027 0 1 5 20 21 67 305 552 320 621 55.9 60.5
JUMLA KUU 8656 14845 36 82 192 460 571 1191 4643 7866 5381 9503 62.2 64.0
WILAYA YA MKOANI
161
JADWELI NAM. 33a (ii)
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA TZ ZNZ
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
1 Sunni Madressa 35 60 2 2 12 20 17 30 4 8 35 60 100.0 100.0 276 9
2 Sun City 22 58 0 0 0 0 1 6 14 32 15 38 68.2 65.5 2596 59
3 Glorious 46 67 5 9 23 35 16 21 2 2 46 67 100.0 100.0 143 4
4 Bilali 31 52 0 0 8 15 18 28 5 9 31 52 100.0 100.0 326 13
7 English Speaking 18 29 0 0 1 5 8 12 9 12 18 29 100.0 100.0 145 12
8 Stone town 6 10 0 0 0 1 4 6 2 3 6 10 100.0 100.0 161 13
9 Al Riyami 15 27 0 0 1 4 2 6 12 17 15 27 100.0 100.0 256 18
10 Ndame 17 38 0 0 0 0 1 4 8 13 9 17 52.9 44.7 1670 46
Jumla 190 341 7 11 45 80 67 113 56 66 175 270 92.1 79.2
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
1 Beit el ras 15 26 0 2 1 4 5 11 8 9 14 26 93.3 100.0 128 11
2 JKU 28 62 0 0 2 8 15 34 11 20 28 62 100.0 100.0 432 20
Jumla 43 88 0 2 3 12 20 45 19 29 42 88 97.7 100.0
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA BINAFSI - 2017
SKULI
WATAHINIWA DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV JUMLA KIMA CHA UFAULU NATIJA
162
Jadweli Nam. 33(a)ii Linaendelea
1 Laureate 37 57 4 12 8 19 12 20 1 4 25 55 67.6 96.5 139 2
2 Francis Maria 34 66 1 3 20 42 11 18 2 3 11 66 32.4 100.0 162 6
3 SOS 37 55 5 8 13 23 18 22 1 2 37 55 100.0 100.0 166 7
4 Al Ihsaan 69 69 3 3 21 21 32 32 13 13 69 69 100.0 100.0 304 10
5 Al Falah 33 56 2 4 7 12 13 21 11 19 33 56 100.0 100.0 388 17
6 Alharamyn 19 32 0 0 2 3 15 22 2 7 19 32 100.0 100.0 127 10
7 Mnemonic 35 97 0 0 1 7 18 48 15 27 34 82 97.1 84.5 467 22
8 SSP 20 41 0 0 3 3 5 6 11 29 19 38 95.0 92.7 977 26
9 Filter Fideral 22 48 0 0 0 0 1 9 18 35 19 44 86.4 91.7 1460 30
10 Mbarali Preparatory 30 58 0 0 1 3 2 3 22 41 25 47 83.3 81.0 2143 37
11 FEZA Zanzibar 11 21 3 9 5 7 3 4 0 1 11 21 100.0 100.0 18 1
12 Raudha 22 36 1 1 7 15 13 19 1 1 22 36 100.0 100.0 71 3
13 Trifonia 17 33 0 1 6 10 7 16 3 5 16 32 94.1 97.0 88 4
14 Al hidaya 6 12 0 1 1 4 3 4 2 3 6 12 100.0 100.0 93 6
15 Hifadhi 8 15 0 0 2 4 3 8 3 3 8 15 100.0 100.0 105 7
16 Memon 19 39 0 0 5 6 6 13 8 20 19 39 100.0 100.0 211 14
17 Al mubarak 15 20 1 1 3 3 4 5 7 11 15 20 100.0 100.0 216 17
18 Zanzibar Progressive 18 25 1 1 2 2 2 7 12 14 17 24 94.4 96.0 311 20
19 Mombasa Central 6 16 0 0 0 0 4 8 1 7 5 15 83.3 93.8 329 21
20 Juba 2 5 0 0 0 0 1 2 1 3 2 5 100.0 100.0 405 23
21 High Perfomance 8 32 0 0 0 0 1 2 5 24 6 26 75.0 81.3 1321 30
22 Nyuki 30 51 0 1 2 3 8 12 18 33 28 49 93.3 96.1 19*
23 High view 44 66 3 4 8 13 18 25 13 20 42 62 95.5 93.9 350 14
24 Sufa 7 18 0 0 2 4 0 7 5 6 7 17 100.0 94.4 126 10
25 Royal 13 24 0 2 1 5 6 8 6 9 13 24 100.0 100.0 126
Jumla 562 992 24 51 120 209 206 341 181 340 508 941 90.4 94.9
WALAYA YA MAGHARIBI 'B'
163
Jadweli Nam. 33(a)ii Linaendelea
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
1 Unique Learning 2 8 0 0 0 2 2 3 0 2 2 7 100.0 87.5 116 8
JUMLA 2 8 0 0 0 2 2 3 0 2 2 7 100.0 87.5
1 Mahad Istiqama 24 52 3 8 7 26 13 17 1 1 24 52 100.0 100.0 1456 5
JUMLA 24 52 3 8 7 26 13 17 1 1 24 52 100.0 100.0
1 Bwejuu Charity 9 16 0 0 0 1 0 0 7 13 7 14 77.8 87.5 1135 28
JUMLA 9 16 0 0 0 1 0 0 7 13 7 14 77.8 87.5
1 Wete Islamic 11 20 0 0 0 4 4 6 7 10 11 20 100.0 100.0 215 16
JUMLA 11 20 0 0 0 4 4 6 7 10 11 20 100.0 100.0
1 Connecting Continents 26 49 0 1 2 8 20 30 4 10 26 49 100.0 100.0 141 16
2 Amini 7 13 0 0 0 0 3 7 4 6 7 13 100.0 100.0 307 19
3 Farahedy 11 22 0 0 1 1 1 3 8 16 10 20 90.9 90.9 853 25
JUMLA 44 84 0 1 3 9 24 40 16 32 43 82 97.7 97.6
JUMLA KUU 885 1601 34 73 178 343 336 565 287 493 812 1474 91.8 92.1
WILAYA YA KUSINI
WILAYA YA WETE
WILAYA YA CHAKE
WILAYA YA KATI
164
JADWELI NAM. 33(b)i
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
1 Lumumba 39 106 39 105 100.0 99.1 38 102 0 0 38 102 97.4 100.0
2 Mikunguni 11 45 11 45 100.0 100.0 0 0 6 27 6 27 54.5 60.0
3 Kiponda 20 36 20 36 100.0 100.0 18 34 0 0 18 34 90.0 94.4
4 Tumekuja 57 120 57 120 100.0 100.0 43 87 0 0 43 87 75.4 72.5
5 Jang'ombe 92 161 58 104 63.0 64.6 6 13 0 0 6 13 10.3 12.5
6 Haile Selassie 205 380 117 231 57.1 60.8 12 39 0 0 12 39 10.3 16.9
7 Vikokotoni 145 294 69 141 47.6 48.0 17 37 0 0 17 37 24.6 26.2
8 Faraja 174 268 114 186 65.5 69.4 7 17 0 0 7 17 6.1 9.1
9 Forodhani 37 63 27 46 73.0 73.0 4 5 0 0 4 5 14.8 10.9
10 Benbella 99 99 99 99 100.0 100.0 85 85 0 0 85 85 85.9 85.9
11 Kidongochekundu 186 315 130 220 69.9 69.8 9 19 0 0 9 19 6.9 8.6
12 Kwamtipura 263 425 160 266 60.8 62.6 9 24 0 0 9 24 5.6 9.0
13 Hurumzi 83 122 76 113 91.6 92.6 20 31 0 0 20 31 26.3 27.4
14 Hamamni 161 321 120 238 74.5 74.1 31 56 0 0 31 56 25.8 23.5
15 Mpendae 177 302 130 219 73.4 72.5 9 24 0 0 9 24 6.9 11.0
16 Chumbuni 158 273 83 156 52.5 57.1 7 16 0 0 7 16 8.4 10.3
17 Nyerere 120 199 97 143 80.8 71.9 10 17 0 0 10 17 10.3 11.9
18 Mwembeladu 139 251 83 151 59.7 60.2 14 19 0 0 14 19 16.9 12.6
JUMLA 2166 3780 1490 2619 68.8 69.3 339 625 6 27 345 652 23.2 24.9
SKULI
WALIOFANYA
WALIOFAULU
KIMA CHA
WILAYA YA MJINI
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA SERIKALI - 2017
IDADI YA WANAOENDELEA NA MASOMO
FTCMTIHANI KUFAULU (%) CHA 5 KIDATO CHA 5 + FTC KUENDELEA
KIDATO JUMLA YA ASILIMIA YA
165
1 Mtoni Kigomeni 85 135 50 87 58.8 64.4 2 4 0 0 2 4 4.0 4.6
2 Mfenesini 67 119 46 83 68.7 69.7 6 11 0 0 6 11 13.0 13.3
3 Bububu 296 475 196 313 66.2 65.9 9 14 0 0 9 14 4.6 4.5
4 Langoni 36 65 10 21 27.8 32.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
5 Regeza Mwendo 96 210 51 119 53.1 56.7 1 8 0 0 1 8 2.0 6.7
6 Mtopepo 118 164 86 112 72.9 68.3 7 7 0 0 7 7 8.1 6.3
7 Chuini 109 177 60 96 55.0 54.2 5 10 0 0 5 10 8.3 10.4
8 Mwenge 52 83 13 24 25.0 28.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
9 Mikindani Dole 20 39 20 39 100.0 100.0 16 30 0 0 16 30 80.0 76.9
10 Kianga 30 64 12 34 40.0 53.1 0 2 0 0 0 2 0.0 5.9
JUMLA 909 1531 544 928 59.8 60.6 46 86 6 27 46 86 8.5 9.3
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
166
1 Mwanakwerekwe 'A' 123 177 77 113 62.6 63.8 14 21 0 0 14 21 18.2 18.6
2 Kiembe Samaki "A" 24 50 19 47 79.2 94.0 16 39 0 0 16 39 84.2 83.0
3 Chukwani 39 64 38 58 97.4 90.6 10 14 0 0 10 14 26.3 24.1
4 Kinuni 136 191 85 123 62.5 64.4 4 9 0 0 4 9 4.7 7.3
5 Kisauni 38 70 24 51 63.2 72.9 3 7 0 0 3 7 12.5 13.7
6 Fuoni 159 257 95 154 59.7 59.9 9 14 0 0 9 14 9.5 9.1
7 Mwanakwerekwe 'C' 375 602 256 408 68.3 67.8 20 37 0 0 20 37 7.8 9.1
8 Zanzibar commercial 32 101 32 101 100.0 100.0 23 72 0 0 23 72 71.9 71.3
9 Maungani 23 45 11 24 47.8 53.3 0 2 0 0 0 2 0.0 8.3
10 Kiembesamaki 194 345 114 226 58.8 65.5 9 15 0 0 9 15 7.9 6.6
11 Kombeni 40 74 27 56 67.5 75.7 0 4 0 0 0 4 0.0 7.1
12 Bwefum 18 38 11 17 61.1 44.7 1 1 0 0 1 1 9.1 5.9
Jumla 1201 2014 789 1378 30.0 68.4 109 235 0 0 109 235 13.8 17.1
WALAYA YA MAGHARIBI 'B'
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
167
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
1 Tumbatu 36 83 20 50 55.6 60.2 2 7 0 0 2 7 10.0 14.0
2 Mkwajuni 125 195 59 95 47.2 48.7 3 10 0 0 3 10 5.1 10.5
3 Chaani 80 137 49 87 61.3 63.5 3 10 0 0 3 10 6.1 11.5
4 Fukuchani 25 38 21 32 84.0 84.2 0 2 0 0 0 2 0.0 6.3
5 Jongowe 17 41 14 33 82.4 80.5 0 1 0 0 0 1 0.0 3.0
6 Potoa 48 66 36 51 75.0 77.3 3 8 0 0 3 8 8.3 15.7
7 Kidoti 35 63 31 53 88.6 84.1 2 10 0 0 2 10 6.5 18.9
8 Mapinduzi 22 35 6 10 27.3 28.6 0 1 0 0 0 1 0.0 10.0
9 Pale 21 42 17 33 81.0 78.6 4 8 0 0 4 8 23.5 24.2
10 Kinyasini 68 94 22 32 32.4 34.0 3 5 0 0 3 5 13.6 15.6
11 Gamba 37 66 29 48 78.4 72.7 2 3 0 0 2 3 6.9 6.3
12 Pwani Mchangani 34 56 5 10 14.7 17.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
13 Mlimani Matemwe 13 29 7 16 53.8 55.2 1 1 0 0 1 1 14.3 6.3
14 Kijini 15 24 4 7 26.7 29.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
15 Nungwi 47 69 40 59 85.1 85.5 6 16 0 0 6 16 15.0 27.1
16 Mwanda 32 60 23 46 71.9 76.7 0 1 0 0 0 1 0.0 2.2
17 Matemwe 11 28 8 14 72.7 50.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
JUMLA 666 1126 312 531 46.8 47.2 29 83 0 0 29 83 9.3 15.6
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
168
1 Donge 67 80 39 42 58.2 52.5 2 2 0 0 2 2 5.1 4.8
2 Mahonda 89 142 44 68 49.4 47.9 0 10 0 0 0 10 0.0 14.7
3 Fujoni 36 59 28 40 77.8 67.8 4 4 0 0 4 4 14.3 10.0
4 Bumbwini 56 97 24 50 42.9 51.5 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
5 Makoba 47 71 25 36 53.2 50.7 2 3 0 0 2 3 8.0 8.3
6 Upenja 27 50 11 23 40.7 46.0 0 3 0 0 0 3 0.0 13.0
7 Kitope 21 43 12 27 57.1 62.8 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
JUMLA 343 542 183 286 53.4 52.8 8 22 0 0 8 22 4.4 7.7
WILAYA KASKAZINI 'B'
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
169
1 Mpapa 26 37 23 29 88.5 78.4 2 2 0 0 2 2 8.7 6.9
2 Uroa 47 82 36 58 76.6 70.7 1 6 0 0 1 6 2.8 10.3
3 Ubago 22 48 14 25 63.6 52.1 3 6 0 0 3 6 21.4 24.0
4 Ndijani 40 67 35 58 87.5 86.6 1 4 0 0 1 4 2.9 6.9
5 Mwera 71 115 14 28 19.7 24.3 1 3 0 0 1 3 7.1 10.7
6 Dunga 65 99 37 60 56.9 60.6 0 3 0 0 0 3 0.0 5.0
7 Unguja Ukuu 42 70 23 39 54.8 55.7 1 3 0 0 1 3 4.3 7.7
8 Ukongoroni 15 23 13 21 86.7 91.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
9 Kiboje 48 72 34 49 70.8 68.1 3 7 0 0 3 7 8.8 14.3
10 Bambi 16 38 12 28 75.0 73.7 0 1 0 0 0 1 0.0 3.6
11 Machui 26 44 21 36 0.0 81.8 0 2 0 0 0 2 0.0 5.6
12 Charawe 6 12 3 7 50.0 58.3 0 1 0 0 0 1 0.0 14.3
13 Jendele 24 41 22 33 91.7 80.5 1 2 0 0 1 2 4.5 6.1
14 Kibele 38 66 20 42 52.6 63.6 1 3 0 0 1 3 5.0 7.1
15 Jumbi 48 80 33 55 68.8 68.8 1 6 0 0 1 6 3.0 10.9
16 Umbuji 19 26 20 24 105.3 92.3 4 2 0 0 4 2 20.0 8.3
17 Chwaka 20 37 17 34 85.0 91.9 1 3 0 0 1 3 5.9 8.8
18 Umoja Uzini 64 93 42 63 65.6 67.7 4 7 0 0 4 7 9.5 11.1
JUMLA 637 1050 419 689 65.8 65.6 24 61 0 0 24 61 5.7 8.9
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
WILAYA YA KATI
170
1 Paje 22 42 15 29 68.2 69.0 0 2 0 0 0 2 0.0 6.9
2 Makunduchi 75 131 38 76 50.7 58.0 2 6 0 0 2 6 5.3 7.9
3 Mtule 18 48 7 19 38.9 39.6 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
4 Jambiani 35 62 17 37 48.6 59.7 0 7 0 0 0 7 0.0 18.9
5 Kusini 29 55 4 7 13.8 12.7 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
6 Mtende 19 37 4 11 21.1 29.7 0 1 0 0 0 1 0.0 9.1
7 K/Dimbani 21 29 9 12 42.9 41.4 1 1 0 0 1 1 11.1 8.3
8 Bwejuu 30 47 18 28 60.0 59.6 2 3 0 0 2 3 11.1 10.7
9 Kizimkazi 9 19 7 17 77.8 89.5 0 3 0 0 0 3 0.0 17.6
10 Muyuni 32 48 25 33 78.1 68.8 2 3 0 0 2 3 8.0 9.1
JUMLA 290 518 144 269 49.7 51.9 7 26 0 0 7 26 4.9 9.7
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
WILAYA YA KUSINI
171
1 Pemba Islamic 15 35 15 35 100.0 100.0 8 22 0 0 8 22 53.3 62.9
2 Tumbe 29 62 24 51 82.8 82.3 2 6 0 0 2 6 8.3 11.8
3 Wingwi 71 130 37 77 52.1 59.2 1 5 0 0 1 5 2.7 6.5
4 Shumba 24 40 15 26 62.5 65.0 1 2 0 0 1 2 6.7 7.7
5 Kinyasini 22 31 10 12 45.5 38.7 1 1 0 0 1 1 10.0 8.3
6 Mgogoni 13 21 5 7 38.5 33.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
7 Konde 55 99 25 50 45.5 50.5 3 9 0 0 3 9 12.0 18.0
8 Micheweni 36 84 27 55 75.0 65.5 5 10 0 0 5 10 18.5 18.2
9 Msuka 28 43 19 30 67.9 69.8 3 7 0 0 3 7 15.8 23.3
10 Makangale 22 43 9 24 40.9 55.8 0 1 0 0 0 1 0.0 4.2
11 Chwaka Tumbe 31 57 17 34 54.8 59.6 0 2 0 0 0 2 0.0 5.9
12 Kiuyu 21 40 13 26 61.9 65.0 1 4 0 0 1 4 7.7 15.4
13 Kinowe 41 62 25 39 61.0 62.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
JUMLA 408 747 241 466 59.1 62.4 25 69 0 0 25 69 10.4 14.8
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
WILAYA YA MICHEWENI
172
1 Utaani 103 103 96 96 93.2 93.2 17 17 0 0 17 17 17.7 17.7
2 M/Mdogo 76 152 47 99 61.8 65.1 2 6 0 0 2 6 4.3 6.1
3 Chasasa 67 166 65 164 97.0 98.8 36 93 0 0 36 93 55.4 56.7
4 Ole 38 52 16 29 42.1 55.8 0 3 0 0 0 3 0.0 10.3
5 Minungwini 54 73 30 44 55.6 60.3 1 2 0 0 1 2 3.3 4.5
6 Pandani 37 67 22 40 59.5 59.7 1 4 0 0 1 4 4.5 10.0
7 Wete Secondary 22 36 13 23 59.1 63.9 1 4 0 0 1 4 7.7 17.4
8 Piki 30 51 19 31 63.3 60.8 2 4 0 0 2 4 10.5 12.9
9 Kangagani 42 62 17 29 40.5 46.8 0 2 0 0 0 2 0.0 6.9
10 Gando 38 65 21 41 55.3 63.1 0 5 0 0 0 5 0.0 12.2
11 Kojani 18 33 7 19 38.9 57.6 1 6 0 0 1 6 14.3 31.6
12 Makongeni 6 19 0 11 0.0 57.9 0 3 0 0 0 3 0.0 27.3
13 Uondwe 36 61 21 31 58.3 50.8 1 1 0 0 1 1 4.8 3.2
14 Shengejuu 36 53 17 32 47.2 60.4 3 4 0 0 3 4 17.6 12.5
15 Kizimbani 54 98 33 65 61.1 66.3 0 8 0 0 0 8 0.0 12.3
16 Limbani 33 72 19 49 57.6 68.1 0 1 0 0 0 1 0.0 2.0
17 Mitiulaya 56 94 38 60 67.9 63.8 0 2 0 0 0 2 0.0 3.3
18 Fundo 12 17 2 6 16.7 35.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
19 M/Takao 25 36 17 26 68.0 72.2 2 4 0 0 2 4 11.8 15.4
20 Chwale 19 42 7 22 36.8 52.4 0 4 0 0 0 4 0.0 18.2
21 Ukunjwi 13 21 0 11 0.0 52.4 0 3 0 0 0 3 0.0 27.3
22 Kijumbani 10 18 8 13 80.0 72.2 1 1 0 0 1 1 12.5 7.7
JUMLA 825 1391 515 941 62.4 67.6 68 177 0 0 68 177 13.2 18.8
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
WILAYA YA WETE
173
1 F/Castro 50 100 50 99 100.0 99.0 49 99 0 0 49 99 98.0 100.0
2 Shamiani 103 171 60 93 58.3 54.4 8 16 0 0 8 16 13.3 17.2
3 Ch/Mjawiri 27 52 22 43 81.5 82.7 3 6 0 0 3 6 13.6 14.0
4 Vitongoji 29 49 21 37 72.4 75.5 1 6 0 0 1 6 4.8 16.2
5 Dr Omar Ali Juma 67 118 12 29 17.9 24.6 3 10 0 1 3 11 25.0 37.9
6 Pujini 40 63 19 37 47.5 58.7 2 3 0 0 2 3 10.5 8.1
7 Wesha 35 58 17 26 48.6 44.8 0 1 0 0 0 1 0.0 3.8
8 Kilindi 19 36 10 21 52.6 58.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
9 Furaha 8 22 10 14 125.0 63.6 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
10 Ziwani 25 48 11 25 44.0 52.1 0 1 0 0 0 1 0.0 4.0
11 Kwale 8 17 7 16 87.5 94.1 0 4 0 0 0 4 0.0 25.0
12 Pondeani 28 47 18 31 64.3 66.0 4 4 0 0 4 4 22.2 12.9
13 Ng'mbwa 57 100 25 48 43.9 48.0 0 2 0 0 0 2 0.0 4.2
14 Uwandani 17 35 8 16 47.1 45.7 1 3 0 0 1 3 12.5 18.8
15 Madungu 63 111 60 108 95.2 97.3 36 72 0 0 36 72 60.0 66.7
16 Mbuzini 32 52 20 31 62.5 59.6 1 2 0 0 1 2 5.0 6.5
17 Vikunguni 31 40 25 33 80.6 82.5 4 5 0 0 4 5 16.0 15.2
JUMLA 639 1119 395 707 61.8 63.2 112 234 0 1 112 235 28.4 33.2
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
WILAYA YA CHAKE
174
1 Kengeja Tech. 11 48 11 48 100.0 100.0 0 0 1 8 1 8 9.1 16.7
2 Kiwani 29 41 15 21 51.7 51.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
3 Mkanyageni 35 53 13 23 37.1 43.4 1 2 0 0 1 2 7.7 8.7
4 M/Ngwachani 34 58 28 40 82.4 69.0 1 2 0 0 1 2 3.6 5.0
5 Kangani 43 74 30 49 69.8 66.2 0 2 0 0 0 2 0.0 4.1
6 Uweleni 76 143 62 119 81.6 83.2 6 13 0 0 6 13 9.7 10.9
7 Kengeja Sec. 37 61 24 37 64.9 60.7 2 4 0 0 2 4 8.3 10.8
8 Kisiwa Panza 18 30 6 12 33.3 40.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
9 Mtambile 42 63 27 46 64.3 73.0 6 9 0 0 6 9 22.2 19.6
10 Wambaa 28 56 12 27 42.9 48.2 1 3 0 0 1 3 8.3 11.1
11 Mizingani 26 49 4 16 15.4 32.7 0 1 0 0 0 1 0.0 6.3
12 Mwambe 29 50 22 40 75.9 80.0 2 7 0 0 2 7 9.1 17.5
13 Makombeni 15 26 8 13 53.3 50.0 1 2 0 0 1 2 12.5 15.4
14 Mauwani 26 50 24 43 92.3 86.0 1 7 0 0 1 7 4.2 16.3
15 Mtangani 12 29 6 22 50.0 75.9 0 1 0 0 0 1 0.0 4.5
16 Makoongwe 13 17 8 9 61.5 52.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
17 Chokocho 27 42 2 9 7.4 21.4 1 3 0 0 1 3 50.0 33.3
18 Ukutini 21 41 8 20 38.1 48.8 0 1 0 0 0 1 0.0 5.0
19 Michenzani 28 56 10 27 35.7 48.2 1 4 0 0 1 4 10.0 14.8
20 Chambani 22 40 11 19 50.0 47.5 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
JUMLA 572 1027 331 640 57.9 62.3 23 61 1 8 24 69 7.3 10.8
JUMLA KUU 8656 14845 5363 9454 61.96 63.68 790 1679 13 63 797 1715 14.9 18.1
Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea
WILAYA YA MKOANI
175
JADWELI NAM. 33(b)ii
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
1 Sunni Madressa 35 60 35 60 100.0 100.0 31 52 0 0 31 52 88.6 86.7
2 Sun City 22 58 15 38 68.2 65.5 1 6 0 0 1 6 6.7 15.8
3 Glorious 46 67 46 67 100.0 100.0 44 65 0 0 44 65 95.7 97.0
4 Bilali 31 52 31 52 100.0 100.0 26 43 0 0 26 43 83.9 82.7
6 English Speaking 18 29 18 29 100.0 100.0 9 17 0 0 9 17 50.0 58.6
7 Stone town 6 10 6 10 100.0 100.0 4 7 0 0 4 7 66.7 70.0
8 Al Riyami 15 27 15 27 100.0 100.0 3 10 0 0 3 10 20.0 37.0
9 Ndame 17 38 9 17 52.9 44.7 1 4 0 0 1 4 11.1 23.5
JUMLA 190 341 175 300 92.1 88.0 119 204 0 0 119 204 68.0 68.0
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
1 Beit El Ras 15 26 14 26 93.3 100.0 6 17 0 0 6 17 42.9 65.4
2 JKU 28 62 28 62 100.0 100.0 17 42 0 0 17 42 60.7 67.7
JUMLA 43 88 42 88 97.7 100.0 23 59 0 0 23 59 54.8 67.0
Nam WILAYA YA MJINI
JUMLA YA
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE SKULI ZA BINAFSI - 2017
SKULI
WALIOFANYA
WALIOFAULU
KIMA CHA
IDADI YA WANAOENDELEA NA MASOMO
KIDATO
FTC
ASILIMIA YA
KUENDELEAMTIHANI KUFAULU (%) CHA 5 KIDATO CHA 5 + FTC
176
Jadweli Nam 33(b)ii linaendelea
WILAYA YA MAGHARIBI 'B'
1 Laureate 37 57 25 55 67.6 96.5 24 51 0 0 24 51 96.0 92.7
2 Francis Maria 34 66 11 66 32.4 100.0 32 63 0 0 32 63 290.9 95.5
3 SOS 37 55 37 55 100.0 100.0 36 53 0 0 36 53 97.3 96.4
4 Al Ihsaan 69 69 69 69 100.0 100.0 56 56 0 0 56 56 81.2 81.2
6 Al Falah 33 56 33 56 100.0 100.0 22 37 0 0 22 37 66.7 66.1
7 Alharamyn 19 32 19 32 100.0 100.0 17 25 0 0 17 25 89.5 78.1
8 Mnemonic 35 97 34 82 97.1 84.5 19 55 0 0 19 55 55.9 67.1
9 SSP 20 41 19 38 95.0 92.7 8 9 0 0 8 9 42.1 23.7
10 Filter Fideral 22 48 19 44 86.4 91.7 1 9 0 0 1 9 5.3 20.5
11 Mbarali Preparatory 30 58 25 47 83.3 81.0 3 6 0 0 3 6 12.0 12.8
12 FEZA Zanzibar 11 21 11 21 100.0 100.0 11 20 0 0 11 20 100.0 95.2
13 Raudha 22 36 22 36 100.0 100.0 21 35 0 0 21 35 95.5 97.2
14 Trifonia 17 33 16 32 94.1 97.0 13 27 0 0 13 27 81.3 84.4
15 Al hidaya 6 12 6 12 100.0 100.0 4 9 0 0 4 9 66.7 75.0
16 Hifadhi 8 15 8 15 100.0 100.0 5 12 0 0 5 12 62.5 80.0
18 Memon 19 39 19 39 100.0 100.0 11 19 0 0 11 19 57.9 48.7
19 Al mubarak 15 20 15 20 100.0 100.0 8 9 0 0 8 9 53.3 45.0
20 Zanzibar Progressive 18 25 17 24 94.4 96.0 5 10 0 0 5 10 29.4 41.7
21 Mombasa Central 6 16 5 15 83.3 93.8 4 8 0 0 4 8 80.0 53.3
22 Juba 2 5 2 5 100.0 100.0 1 2 0 0 1 2 50.0 40.0
23 High Perfomance 8 32 6 26 75.0 81.3 1 2 0 0 1 2 16.7 7.7
24 Nyuki 30 51 28 49 93.3 96.1 10 16 0 0 10 16 35.7 32.7
25 High view 44 66 42 62 95.5 93.9 29 42 0 0 29 42 69.0 67.7
26 Sufa 7 18 7 17 100.0 94.4 2 11 0 0 2 11 28.6 64.7
27 Royal 13 24 13 24 100.0 100.0 7 15 0 0 7 15 53.8 62.5
JUMLA 562 992 508 941 90.4 94.9 350 601 0 0 350 601 68.9 63.9
177
Jadweli Nam 33(b)ii linaendelea
1 Unique learning 2 8 2 7 100.0 87.5 2 5 0 0 2 5 100.0 71.4
JUMLA 2 8 2 7 100.0 87.5 2 5 0 0 2 5 100.0 71.4
1 Mahad Istiqama 24 52 24 52 100.0 100.0 23 51 0 0 23 51 95.8 98.1
JUMLA 24 52 24 52 100.0 100.0 23 51 0 0 23 51 95.8 98.1
1 Bwejuu Charity 9 16 7 14 0.0 87.5 0 1 0 0 0 1 0.0 7.1
JUMLA 9 16 7 14 0.0 87.5 0 1 0 0 0 1 0.0 7.1
1 Wete Islamic 11 20 11 20 0.0 0.0 4 10 0 0 4 10 36.4 50.0
JUMLA 11 20 11 20 0.0 0.0 4 10 0 0 4 10 36.4 50.0
1 Connecting Continents 26 49 26 49 100.0 100.0 22 39 0 0 22 39 84.6 79.6
2 Amini 7 13 7 13 100.0 100.0 3 7 0 0 3 7 42.9 53.8
3 Farahedy 11 22 10 20 90.9 90.9 2 4 0 0 2 4 20.0 20.0
JUMLA 44 84 43 82 97.7 97.6 27 50 0 0 27 50 62.8 61.0
JUMLA KUU 885 1601 812 1504 91.8 93.9 548 981 0 0 548 981 67.5 65.2
WILAYA YA KUSINI
WILAYA YA KATI
WILAYA YA KASKAZINI B
WILAYA YA WETE
WILAYA YA CHAKE CHAKE
178
JADWELI NAM. 34
WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA TZ ZNZ
BEN BELLA 108 108 1 1 9 9 71 71 20 20 101 101 445 17
AL-IHSAN 41 41 1 1 6 6 23 23 5 5 35 35 441 16
CHASASA 28 76 0 1 3 10 18 43 3 9 24 63 447 18
FARAJA 35 54 0 0 12 16 21 3 2 3 35 52 370 9
FIDEL CASTRO 29 93 1 1 4 26 23 55 1 10 20 92 388 10
HAMAMNI 33 87 0 0 6 15 25 61 1 6 32 82 423 13
JANG'OMBE* 1 8 0 1 1 1 14 17 6 8 21 27 139 5
KIEMBE SAMAKI 52 120 0 0 3 7 33 60 7 23 26 90 449 19
KIPONDA 16 40 1 2 7 15 7 21 0 1 15 39 245 6
LUMUMBA 47 139 2 13 14 37 27 66 3 13 46 129 363 7
MADUNGU 21 45 1 1 4 8 12 31 4 5 21 45 406 11
MPENDAE 19 82 0 1 4 12 13 52 2 9 19 74 430 14
MWANAKWEREKWE 'C' 40 62 1 1 11 15 24 41 4 5 22 40 367 8
NYUKI* 3 16 0 1 2 9 1 5 0 0 3 15 75 1
PEMBA ISLAMIC* 12 29 0 0 1 8 10 20 1 1 12 29 111 2
PHILTER FEDERAL* 11 18 0 0 2 5 9 12 0 1 11 18 116 3
SHAMIANI 15 31 3 4 3 12 9 14 0 0 15 30 203 4
SOS 39 68 18 29 17 32 4 6 0 1 39 68 19 1
SUZA 23 48 6 14 16 29 1 5 0 0 23 48 38 2
TUMEKUJA 51 134 0 2 8 24 29 79 12 22 49 127 434 15
UTAANI 17 38 2 4 7 15 7 16 1 2 17 37 227 5
UWELENI* 6 11 0 0 0 2 5 8 0 1 5 11 135 4
VIKOKOTONI 54 105 0 0 14 19 37 74 3 8 54 101 417 12
ZNZ. COMMERCIAL 26 51 8 11 13 23 2 12 3 4 26 50 110 3
JUMLA 727 1504 45 88 167 355 425 795 78 157 671 1403
* Skuli zenye wanafunzi chini ya 30
NATIJA
WALIOFAULU
WATAHINIWASKULI
MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA 6
(A - LEVEL), MWAKA 2016/2017
JUMLADIV. IVDIV. IIIDIV. IIDIV. I
179
JADWELI NO. 35
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
MJINI 22 21 22 360 439 189 225 114 130 31 44 26 40 360 439
MAGHARIBI 'A' 16 10 16 240 250 135 132 44 46 33 38 9 11 221 227
MAGHARIBI 'B' 22 11 22 254 281 24 148 61 68 46 47 19 20 150 283
KASKAZINI ' A' 107 67 107 1760 1969 724 812 558 609 299 337 97 106 1678 1864
KASKAZINI ' B' 59 32 59 712 945 213 339 181 206 114 125 47 58 555 728
KATI 26 17 26 249 342 73 108 77 105 63 76 36 46 249 335
KUSINI 5 2 5 69 71 1 12 14 14 14 14 10 10 39 50
MICHEWENI 58 42 58 1166 1349 474 563 268 292 151 171 56 63 949 1089
WETE 62 52 62 1205 1292 592 625 321 342 181 191 58 66 1152 1224
CHAKE-CHAKE 33 24 33 569 674 197 216 100 121 85 99 74 82 456 518
MKOANI 54 34 54 990 1209 407 513 260 304 174 213 119 138 960 1168
JUMLA 464 312 464 7574 8821 3029 3693 1998 2237 1191 1355 551 640 6769 7925
UANDIKISHAJI WA WANAKISOMO KIWILAYA, MACHI -2018
IDADI YA WALIMU
IDADI YA WANAKISOMO
WA KUJIANDIKISHA
WILAYA MADARASA
WANAKISOMO WALIOMO MADARASANI
JUMLAHATUA I HATUA II HATUA III HATUA IV
180
JADWELI NAM. 36
JINA LA
KITUO W'ME W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA
FARAJA 3 6 9 - - - 1 13 20 1 14 33 - - - - - - 2 27 53
MIKUNGUNI 0 14 14 - - - 2 52 106 1 30 54 - - - - - - 3 82 160
MWEMBELADU 3 10 13 - - - 1 24 54 2 27 65 - - - - - - 3 51 119
HAILE-SELASSIE 2 8 10 - - - 1 32 51 1 21 36 - - - - - - 2 53 87
LUMUMBA 4 20 24 - - - 3 81 153 1 21 40 - - - - - - 4 102 193
HAMAMNI 2 10 12 - - - 1 12 30 1 14 51 - - - - - - 2 26 81
KIJANGWANI 0 6 6 - - - 2 5 8 1 4 6 - - - - - - 3 9 14
KWAALAMSHA 0 4 4 - - - - - - - - - - - - 1 17 35 1 17 35
KAJIFICHENI 2 2 4 - - - 1 13 21 1 7 13 - - - - - - 2 20 34
HAMAMNI-LUMUMBA 0 4 4 - - - 1 14 20 1 11 24 - - - - - - 2 25 44
LUMUMBA 'A' LEVEL 0 4 4 - - - - - - - - - - - - 1 8 15 1 8 15
KIDONGOCHEKUNDU 1 2 3 - - - 1 11 18 1 4 10 - - - - - - 2 15 28
MBADALA-RAHALEO 3 2 5 - - - - - - - - - 1 12 42 - - - 1 12 42
JUMLA 20 92 112 0 0 0 14 257 481 11 153 332 1 12 42 2 25 50 28 447 905
YELP
UANDIKISHAJI KATIKA VITUO VYA KUJIENDELEZA KWA MWEZI, MACHI - 2018
WALIMU UFUNDI Q - TEST FORM IV JUMLAFORM VI
WILAYA YA MJINI
181
Jadweli 36 inaendelea
WILAYA YA MAGH. 'A'
J.K.U 0 7 7 - - - - - - 1 9 20 - - - - - - 1 9 20
REGEZAMWENDA 1 8 9 - - - 2 18 41 1 2 19 - - - - - - 3 20 60
JUMLA 1 15 16 0 0 0 2 18 41 2 11 39 0 0 0 0 0 0 4 29 80
BIASHARA 1 4 5 - - - 1 6 18 1 3 11 - - - - - - 2 9 29
NYUKI 0 4 4 - - - 1 3 5 1 5 8 - - - - - - 2 8 13
FUONI 1 4 5 - - - 1 10 26 - - - - - - - - - 1 10 26
SSP 0 3 3 - - - 1 12 30 - - - - - - - - - 1 12 30
KIEMBESAMAKI 2 6 8 - - - 2 21 55 1 17 50 - - - - - - 3 38 105
MBARALI 1 3 4 - - - - - - 1 6 10 - - - - - - 1 6 10
AL-IHSAAN 0 4 4 - - - - - - 1 5 5 - - - - - - 1 5 5
JUMLA 5 28 33 0 0 0 6 52 134 5 36 84 - - - - - - 11 88 218
KINYASINI 1 4 5 - - - 1 7 17 1 16 25 - - - - - - 2 23 42
JUMLA 1 4 5 0 0 0 1 7 17 1 16 25 0 0 0 0 0 0 2 23 42
FUJONI 1 2 3 - - - 1 7 12 1 3 10 - - - - - - 2 10 22
MAKOBA 0 2 2 - - - - - - 1 1 3 - - - - - - 1 1 3
JUMLA 1 4 5 0 0 0 1 7 12 2 4 13 0 0 0 0 0 0 3 11 25
WILAYA YA MAGH. 'B'
WILAYA YA KASK.'A'
WILAYA YA KASK.'B'
182
Jadweli 36 inaendelea
UBAGO 0 6 6 - - - 2 3 10 1 21 33 - - - - - - 3 24 43
CHWAKA 3 5 8 - - - 1 12 25 1 7 14 - - - - - - 2 19 39
KIBELE 0 3 3 - - - - - - 1 11 20 - - - - - - 1 11 20
UZI 0 2 2 - - - - - - 1 5 8 - - - - - - 1 5 8
JUMLA 3 16 19 0 0 0 3 15 35 4 44 75 0 0 0 0 0 0 7 59 110
Jadweli 36 inaendelea
MAKUNDUCHI 2 8 10 - - - 2 12 35 - - - - - - - - - 2 12 35
JUMLA 2 8 10 0 0 0 2 12 35 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 12 35
MICHEWENI 0 11 11 - - - 2 2 7 1 4 20 - - - - - - 3 6 27
C.C.K SEK 0 9 9 - - - 3 64 128 2 40 70 - - - 1 5 15 6 109 213
WINGWI 0 5 5 - - - 2 24 41 1 16 22 - - - - - - 3 40 63
KONDE 0 5 5 1 5 8 1 8 12 - - - - - - 2 13 20
KINOWE 0 5 5 - - - 1 4 10 1 3 12 - - - - - 2 7 22
JUMLA 0 35 35 0 0 0 9 99 194 6 71 136 0 0 0 1 5 15 16 175 345
UTAANI 1 9 10 - - - 2 16 35 1 3 14 - - - - - - 3 19 49
MCHANGAMDOGO 1 4 5 - - - 2 32 61 - - - - - - 2 32 61
BENJAMIN KONGWE 2 2 4 - - - - - - - - - 2 30 81 - - - 2 30 81
JUMLA 4 15 19 0 0 0 4 48 96 1 3 14 2 30 81 0 0 0 7 81 191
WILAYA YA KATI
WILAYA YA KUSINI
WILAYA YA MICHEWENI
WILAYA YA WETE
183
Jadweli 36 inaendelea
FIDEL CASTRO 0 5 5 - - - 1 4 10 1 1 3 - - - - - - 2 5 13
SHAMIANI 0 6 6 - - - 1 24 42 1 8 16 - - - - - - 2 32 58
JUMLA 0 11 11 0 0 0 2 28 52 2 9 19 0 0 0 0 0 0 4 37 71
MWAMBE 3 11 14 - - - - - - 1 9 20 - - - - - - 1 9 20
WAMBAA 2 10 12 - - - 1 1 3 1 1 4 - - - - - - 2 2 7
CHAMBANI 2 3 5 - - - - - - 1 2 4 - - - - - - 1 2 4
UWELENI 2 3 5 - - - 1 1 11 - - - - - - 1 1 11
JUMLA 9 27 36 0 0 0 1 1 3 3 12 28 0 0 0 0 0 0 5 14 42
JUMLA LA KUU 45 240 285 0 0 0 43 526 1059 35 348 726 3 42 123 3 30 65 89 947 1984
WILAYA YA CHAKE
WILAYA YA MKOANI
184
JADWELI NAM. 37(a)
IDADI % IDADI %
WILAYA YA MJINI
1 LUMUMBA 169 4 2.37 99 58.58
2 TUMEKUJA 14 0 0.00 14 100.00
3 BENBELLA 14 0 0.00 9 64.29
4 MIKUNGUNI 57 0 0.00 26 45.61
5 HAMAMNI 30 1 3.33 7 23.33
6 HAILE-SELASSIE 56 0 0.00 21 37.50
7 KIDONGOCHEKUNDU 14 0 0.00 11 78.57
8 KIPONDA 13 0 0.00 8 61.54
9 JANG'OMBE 12 1 8.33 6 50.00
10 FARAJA 39 2 5.13 24 61.54
11 BILAL-ISLAMIC 70 2 2.86 50 71.43
12 CHUMBUNI 16 0 0.00 9 56.25
13 MWEMBELADU 59 0 0.00 17 28.81
14 MEMON 3 0 0.00 2 66.67
15 SUNCITY 16 0 0.00 11 68.75
16 NYERERE 8 0 0.00 4 50.00
JUMLA 590 10 1.69 318 53.90
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO
WALIOFAULU CREDITS
CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2017, WAVULANA TU
NAM. KITUO
WALIOFANYA WOTE WALIOFAULU"3" AU ZAIDI
185
Jadweli 37(a) inaendelea
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
1 BUBUBU 31 0 0.00 15 48.39
2 LANGONI 10 0 0.00 6 60.00
3 MTOPEPO 24 0 0.00 7 29.17
4 REGEZA MWENDO 15 0 0.00 5 33.33
5 MWENGE 5 0 0.00 2 40.00
6 CHUINI 14 0 0.00 5 35.71
7 ROYAL SEC. SCHOOL 8 0 0.00 6 75.00
8 J.K.U 46 0 0.00 22 47.83
9 MIKINDANI 5 0 0.00 3 60.00
10 MTONI KIGOMENI 10 0 0.00 7 70.00
JUMLA 168 0 0.0 78 46.43
186
Jadweli 37(a) inaendelea
1 AL-IHSAN 0 0 0.00 0 0.00
2 NYUKI JWTZ 43 0 0.00 28 65.12
3 MWANAKWEREKWE 'A' 14 0 0.00 9 64.29
4 MWANAKWEREKWE 'C' 21 1 4.76 12 57.14
5 FUONI 9 0 0.00 7 77.78
6 CHUKWANI 8 0 0.00 5 62.50
7 KOMBENI 13 0 0.00 5 38.46
8 KISAUNI 6 0 0.00 3 50.00
9 KINUNI 19 0 0.00 5 26.32
10 ZANZIBAR COMMERCIAL 57 1 1.75 26 45.61
11 ZANZIBAR PROGERESSIVE 12 0 0.00 7 58.33
12 AL-FALAH 56 0 0.00 43 76.79
13 PHILTER FEDERAL 26 0 0.00 15 57.69
14 MBARALI PREPARATORY 62 0 0.00 36 58.06
15 SSP HIGH SCHOOL 50 0 0.00 31 62.00
16 AZANIA 32 1 3.13 27 84.38
17 RAUDHA 9 0 0.00 9 100.00
JUMLA 437 3 0.69 268 61.33
WILAYA YA MAGHARIBI 'B'
187
Jadweli 37(a) inaendelea
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
1 MKWAJUNI 14 0 0.00 5 35.71
2 TUMBATU 6 0 0.00 3 50.00
3 JONGOWE 6 0 0.00 2 33.33
4 CHAANI 12 0 0.00 9 75.00
5 KIDOTI 6 0 0.00 4 66.67
6 KINYASINI 29 1 3.45 14 48.28
7 PALE 3 0 0.00 3 100.00
8 POTOA 8 0 0.00 5 62.50
9 GAMBA 6 0 0.00 2 33.33
10 MATEMWE 4 0 0.00 2 50.00
11 FUKUCHANI 3 0 0.00 2 66.67
JUMLA 97 1 1.03 51 52.58
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
1 DONGE 4 0 0.00 2 50.00
2 MAHONDA 3 0 0.00 0 0.00
3 MFENESINI 13 0 0.00 11 84.62
4 FUJONI 12 0 0.00 5 0.00
5 BUMBWINI 2 0 0.00 1 50.00
6 KITOPE 9 0 0.00 5 55.56
7 MAKOBA 3 0 0.00 1 33.33
8 MUANDA 2 0 0.00 1 50.00
JUMLA 48 0 0.00 26 54.17
188
Jadweli 37(a) inaendelea
WILAYA YA KATI
1 NDIJANI 10 0 0.00 6 60.00
2 UROA 2 1 50.00 2 100.00
3 UNGUJA UKUU 0 0 0.00 0 0.00
4 DUNGA 34 1 2.94 26 76.47
5 MWERA 27 0 0.00 15 55.56
6 BAMBI 6 0 0.00 2 0.00
7 CHWAKA 38 0 0.00 22 57.89
8 KIBELE 21 1 4.76 12 57.14
9 MACHUI 5 1 20.00 4 80.00
10 JENDELE 4 0 0.00 3 75.00
11 UBAGO 43 1 2.33 16 37.21
12 UMOJA UZINI 3 0 0.00 3 100.00
JUMLA 193 5 2.59 111 57.51
WILAYA YA KUSINI
1 MAKUNDUCHI 17 0 0.00 5 29.41
2 KITOGANI 9 0 0.00 4 44.44
3 JAMBIANI 9 0 0.00 2 22.22
4 CHARAWE 4 0 0.00 1 25.00
5 MUYUNI 19 0 0.00 9 47.37
6 KUSINI 17 0 0.00 8 47.06
7 BWEJUU CHARITY 4 0 0.00 2 50.00
8 PAJE 3 0 0.00 3 100.00
JUMLA 82 0 0.00 34 41.46
189
Jadweli 37(a) inaendelea
WILAYA YA MICHEWENI
1 KONDE 7 0 0.00 2 28.57
2 WINGWI SEC. SCHOOL 14 0 0.00 5 35.71
3 MICHEWENI 12 0 0.00 8 66.67
4 TUMBE 13 0 0.00 4 30.77
5 SHUMBA VYAMBONI 16 0 0.00 8 50.00
6 KINOWE 8 0 0.00 6 75.00
7 CHWAKA TUMBE 3 0 0.00 3 100.00
JUMLA 73 0 0.00 36 49.32
1 UTAANI 16 0 0.00 8 50.00
2 MCHANGAMDOGO 33 0 0.00 15 45.45
3 PANDANI 12 0 0.00 7 58.33
4 OLE 0 0 0.00 0 0.00
5 PEMBA ISLAMIC 10 0 0.00 4 40.00
6 MINUNGWINI 6 0 0.00 4 66.67
7 UONDWE 8 0 0.00 3 37.50
8 SHENGEJUU 3 0 0.00 1 33.33
9 KINYASINI PEMBA 1 0 0.00 1 100.00
10 KIZIMBANI 4 0 0.00 2 50.00
11 MITI ULAYA 10 0 0.00 6 60.00
12 KIUYU 21 0 0.00 9 42.86
13 MZAMBARAU TAKAO 6 0 0.00 5 83.33
14 CHASASA 14 0 0.00 8 57.14
15 KANGAGANI 3 0 0.00 2 66.67
16 GANDO 9 0 0.00 7 77.78
JUMLA 156 0 0.00 82 52.56
WILAYA YA WETE
190
Jadweli 37(a) inaendelea
WILAYA YA CHAKE-CHAKE
1 FIDEL-CASTRO 50 0 0.00 41 82.00
2 SHAMIANI 15 0 0.00 7 46.67
3 CHANJA MJAWIRI 7 0 0.00 4 57.14
4 NGWACHANI 4 0 0.00 3 75.00
5 VITONGOJI 3 0 0.00 0 0.00
6 PUJINI 1 0 0.00 0 0.00
7 PIKI 1 0 0.00 0 0.00
8 KILINDI 6 0 0.00 4 66.67
9 WESHA 6 0 0.00 5 83.33
10 CHWALE 2 0 0.00 0 0.00
11 FURAHA 4 0 0.00 2 50.00
12 PONDEANI 5 0 0.00 1 20.00
13 ZIWANI PEMBA 2 0 0.00 2 100.00
14 VIKUNGUNI 2 0 0.00 1 50.00
15 MBUZINI PEMBA 8 0 0.00 4 50.00
16 NGAMBWA 13 0 0.00 5 38.46
17 DR.OMAR ALI JUMA 12 0 0.00 9 75.00
18 MADUNGU 19 0 0.00 11 57.89
JUMLA 160 0 0.00 99 61.88
191
Jadweli 37(a) inaendelea
WILAYA YA MKOANI
1 KANGANI 5 0 0.00 2 40.00
2 UWELENI 9 0 0.00 7 77.78
3 KENGEJA TECH COLLEGE 4 0 0.00 3 75.00
4 MKANYAGENI 2 0 0.00 1 50.00
5 MTAMBILE 8 0 0.00 6 75.00
6 KENGEJA SEC 0 0 0.00 0 0.00
7 WAMBAA 11 0 0.00 10 90.91
8 MIZINGANI 2 0 0.00 1 50.00
9 MWAMBE 7 0 0.00 5 71.43
10 MAKOMBENI 2 0 0.00 1 50.00
11 MAUWANI 0 0 0.00 0 0.00
12 CHAMBANI 4 0 0.00 4 100.00
JUMLA 54 0 0.00 40 74.07
JUMLA KUU 2058 19 0.92 1143 55.54
192
JADWELI NAM. 37(b)
IDADI % IDADI %
1 LUMUMBA 118 0 0.00 68 57.63
2 TUMEKUJA 16 0 0.00 9 56.25
3 BENBELLA 39 2 5.13 33 84.62
4 MIKUNGUNI 39 0 0.00 16 41.03
5 HAMAMNI 27 0 0.00 8 29.63
6 HAILE-SELASSIE 38 0 0.00 16 42.11
7 KIDONGOCHEKUNDU 18 0 0.00 15 83.33
8 KIPONDA 12 0 0.00 6 50.00
9 JANG'OMBE 10 0 0.00 7 70.00
10 FARAJA 34 0 0.00 16 47.06
11 BILAL-ISLAMIC 89 0 0.00 64 71.91
12 CHUMBUNI 15 0 0.00 10 66.67
13 MWEMBELADU 37 0 0.00 14 37.84
14 MEMON 3 0 0.00 1 33.33
15 SUNCITY 13 0 0.00 6 46.15
16 NYERERE 13 0 0.00 11 84.62
JUMLA 521 2 0.38 300 57.58
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO
WALIOFAULU CREDITS
NAM. KITUO
WALIOFANYA WOTE WALIOFAULU"3" AU ZAIDI
CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2017, WASICHANA TU
WILAYA YA MJINI
193
Jadweli 37(b) inaendelea
1 BUBUBU 39 0 0.00 26 66.67
2 LANGONI 9 0 0.00 4 44.44
3 MTOPEPO 12 0 0.00 5 41.67
4 REGEZA MWENDO 14 0 0.00 7 50.00
5 MWENGE 7 0 0.00 1 14.29
6 CHUINI 10 0 0.00 8 80.00
7 ROYAL SEC. SCHOOL 10 0 0.00 5 50.00
8 J.K.U 52 1 1.92 39 75.00
9 MIKINDANI 3 0 0.00 2 66.67
10 MTONI KIGOMENI 5 0 0.00 0 0.00
JUMLA 161 1 1.9 97 60.25
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
194
Jadweli 37(b) inaendelea
1 AL-IHSAN 31 0 0.00 24 77.42
2 NYUKI JWTZ 34 0 0.00 23 67.65
3 MWANAKWEREKWE 'A' 11 0 0.00 9 81.82
4 MWANAKWEREKWE 'C' 27 0 0.00 17 62.96
5 FUONI 12 0 0.00 7 58.33
6 CHUKWANI 9 0 0.00 7 77.78
7 KOMBENI 17 0 0.00 11 64.71
8 KISAUNI 2 0 0.00 2 100.00
9 KINUNI 13 1 7.69 7 53.85
10 ZANZIBAR COMMERCIAL 34 1 2.94 18 52.94
11 ZANZIBAR PROGERESSIVE 8 0 0.00 5 62.50
12 AL-FALAH 68 0 0.00 56 82.35
13 PHILTER FEDERAL 29 1 3.45 13 44.83
14 MBARALI PREPARATORY 35 0 0.00 24 68.57
15 SSP HIGH SCHOOL 51 0 0.00 27 52.94
16 AZANIA 27 1 3.70 20 74.07
17 RAUDHA 24 3 12.50 23 95.83
JUMLA 432 7 1.62 293 67.82
WILAYA YA MAGHARIBI 'B'
195
Jadweli 37(b) inaendelea
1 MKWAJUNI 10 0 0.00 6 60.00
2 TUMBATU 3 0 0.00 1 33.33
3 JONGOWE 20 0 0.00 14 70.00
4 CHAANI 7 0 0.00 5 71.43
5 KIDOTI 16 0 0.00 11 68.75
6 KINYASINI 23 0 0.00 12 52.17
7 PALE 0 0 0.00 0 0.00
8 POTOA 7 0 0.00 2 28.57
9 GAMBA 9 0 0.00 4 44.44
10 MATEMWE 0 0 0.00 0 0.00
11 FUKUCHANI 7 0 0.00 4 57.14
JUMLA 102 0 0.00 59 57.84
1 DONGE 3 0 0.00 2 66.67
2 MAHONDA 4 0 0.00 3 75.00
3 MFENESINI 24 1 4.17 14 58.33
4 FUJONI 5 0 0.00 3 0.00
5 BUMBWINI 0 0 0.00 0 0.00
6 KITOPE 6 0 0.00 4 66.67
7 MAKOBA 0 0 0.00 0 0.00
8 MUANDA 5 0 0.00 1 20.00
JUMLA 47 1 2.13 27 57.45
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
196
Jadweli 37(b) inaendelea
1 NDIJANI 6 0 0.00 5 83.33
2 UROA 2 0 0.00 1 50.00
3 UNGUJA UKUU 6 0 0.00 3 50.00
4 DUNGA 30 0 0.00 20 66.67
5 MWERA 12 0 0.00 10 83.33
6 BAMBI 3 0 0.00 1 0.00
7 CHWAKA 72 0 0.00 31 43.06
8 KIBELE 31 0 0.00 18 58.06
9 MACHUI 7 0 0.00 4 57.14
10 JENDELE 3 0 0.00 0 0.00
11 UBAGO 15 0 0.00 10 66.67
12 UMOJA UZINI 7 0 0.00 6 85.71
JUMLA 194 0 0.00 109 56.19
WILAYA YA KATI
197
Jadweli 37(b) inaendelea
WILAYA YA KUSINI
1 MAKUNDUCHI 10 0 0.00 5 50.00
2 KITOGANI 5 0 0.00 2 40.00
3 JAMBIANI 10 0 0.00 1 10.00
4 CHARAWE 5 0 0.00 2 40.00
5 MUYUNI 8 0 0.00 2 25.00
6 KUSINI 2 0 0.00 2 100.00
7 BWEJUU CHARITY 12 0 0.00 8 66.67
8 PAJE 5 0 0.00 5 100.00
JUMLA 57 0 0.00 27 47.37
1 KONDE 5 0 0.00 1 20.00
2 WINGWI SEC. SCHOOL 9 0 0.00 4 44.44
3 MICHEWENI 4 0 0.00 1 25.00
4 TUMBE 0 0 0.00 0 0.00
5 SHUMBA VYAMBONI 3 0 0.00 0 0.00
6 KINOWE 2 0 0.00 0 0.00
7 CHWAKA TUMBE 1 0 0.00 1 100.00
JUMLA 24 0 0.00 7 29.17
WILAYA YA MICHEWENI
198
Jadweli 37(b) inaendelea
1 UTAANI 47 0 0.00 23 48.94
2 MCHANGAMDOGO 26 0 0.00 14 53.85
3 PANDANI 2 0 0.00 2 100.00
4 OLE 1 0 0.00 0 0.00
5 PEMBA ISLAMIC 18 0 0.00 11 61.11
6 MINUNGWINI 0 0 0.00 0 0.00
7 UONDWE 4 0 0.00 3 75.00
8 SHENGEJUU 2 0 0.00 2 100.00
9 KINYASINI PEMBA 0 0 0.00 0 0.00
10 KIZIMBANI 2 0 0.00 1 50.00
11 MITI ULAYA 10 0 0.00 4 40.00
12 KIUYU 3 0 0.00 2 66.67
13 MZAMBARAU TAKAO 5 0 0.00 4 80.00
14 CHASASA 23 0 0.00 9 39.13
15 KANGAGANI 1 0 0.00 1 100.00
16 GANDO 3 0 0.00 1 33.33
JUMLA 147 0 0.00 77 52.38
WILAYA YA WETE
199
Jadweli 37(b) inaendelea
1 FIDEL-CASTRO 37 0 0.00 27 72.97
2 SHAMIANI 13 0 0.00 4 30.77
3 CHANJA MJAWIRI 2 0 0.00 0 0.00
4 NGWACHANI 1 0 0.00 1 100.00
5 VITONGOJI 3 0 0.00 0 0.00
6 PUJINI 1 0 0.00 1 100.00
7 PIKI 3 0 0.00 3 100.00
8 KILINDI 1 0 0.00 1 100.00
9 WESHA 5 0 0.00 3 60.00
10 CHWALE 1 0 0.00 1 100.00
11 FURAHA 0 0 0.00 0 0.00
12 PONDEANI 7 0 0.00 6 85.71
13 ZIWANI PEMBA 4 0 0.00 1 25.00
14 VIKUNGUNI 0 0 0.00 0 0.00
15 MBUZINI PEMBA 5 0 0.00 3 60.00
16 NGAMBWA 7 0 0.00 1 14.29
17 DR.OMAR ALI JUMA 3 0 0.00 1 33.33
18 MADUNGU 20 0 0.00 16 80.00
JUMLA 113 0 0.00 69 61.06
WILAYA YA CHAKE-CHAKE
200
Jadweli 37(b) inaendelea
1 KANGANI 4 0 0.00 2 50.00
2 UWELENI 4 0 0.00 2 50.00
3 KENGEJA TECH COLLEGE 3 0 0.00 3 100.00
4 MKANYAGENI 2 0 0.00 1 50.00
5 MTAMBILE 1 0 0.00 0 0.00
6 KENGEJA SEC 8 0 0.00 7 87.50
7 WAMBAA 10 0 0.00 6 60.00
8 MIZINGANI 4 0 0.00 4 100.00
9 MWAMBE 1 0 0.00 1 100.00
10 MAKOMBENI 0 0 0.00 0 0.00
11 MAUWANI 6 0 0.00 4 66.67
12 CHAMBANI 1 0 0.00 0 0.00
JUMLA 44 0 0.00 30 68.18
JUMLA KUU 1842 11 0.60 1095 59.45
WILAYA YA MKOANI
201
JADWELI NAM. 37(c)
IDADI % IDADI %
1 LUMUMBA 287 4 1.39 167 58.19
2 TUMEKUJA 30 0 0.00 23 76.67
3 BENBELLA 53 2 3.77 42 79.25
4 MIKUNGUNI 96 0 0.00 42 43.75
5 HAMAMNI 57 1 1.75 15 26.32
6 HAILE-SELASSIE 94 0 0.00 37 39.36
7 KIDONGOCHEKUNDU 32 0 0.00 26 81.25
8 KIPONDA 25 0 0.00 14 56.00
9 JANG'OMBE 22 1 4.55 13 59.09
10 FARAJA 73 2 2.74 40 54.79
11 BILAL-ISLAMIC 159 2 1.26 114 71.70
12 CHUMBUNI 31 0 0.00 19 61.29
13 MWEMBELADU 96 0 0.00 31 32.29
14 MEMON 6 0 0.00 3 50.00
15 SUNCITY 29 0 0.00 17 58.62
16 NYERERE 21 0 0.00 15 71.43
JUMLA 1111 12 1.08 618 55.63
WILAYA YA MJINI
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO
WALIOFAULU CREDITS
NAM. KITUO
WALIOFANYA WOTE WALIOFAULU"3" AU ZAIDI
CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2017, WAVULANA NA WASICHANA
202
Jadweli 37(c) inaendelea
1 BUBUBU 70 0 0.00 41 58.57
2 LANGONI 19 0 0.00 10 52.63
3 MTOPEPO 36 0 0.00 12 33.33
4 REGEZA MWENDO 29 0 0.00 12 41.38
5 MWENGE 12 0 0.00 3 25.00
6 CHUINI 24 0 0.00 13 54.17
7 ROYAL SEC. SCHOOL 18 0 0.00 11 61.11
8 J.K.U 98 1 1.02 61 62.24
9 MIKINDANI 8 0 0.00 5 62.50
10 MTONI KIGOMENI 15 0 0.00 7 46.67
JUMLA 329 1 1.0 175 53.19
WILAYA YA MAGHARIBI 'A'
203
Jadweli 37(c) inaendelea
1 AL-IHSAN 31 0 0.00 24 77.42
2 NYUKI JWTZ 77 0 0.00 51 66.23
3 MWANAKWEREKWE 'A' 25 0 0.00 18 72.00
4 MWANAKWEREKWE 'C' 48 1 2.08 29 60.42
5 FUONI 21 0 0.00 14 66.67
6 CHUKWANI 17 0 0.00 12 70.59
7 KOMBENI 30 0 0.00 16 53.33
8 KISAUNI 8 0 0.00 5 62.50
9 KINUNI 32 1 3.13 12 37.50
10 ZANZIBAR COMMERCIAL 91 2 2.20 44 48.35
11 ZANZIBAR PROGERESSIVE 20 0 0.00 12 60.00
12 AL-FALAH 124 0 0.00 99 79.84
13 PHILTER FEDERAL 55 1 1.82 28 50.91
14 MBARALI PREPARATORY 97 0 0.00 60 61.86
15 SSP HIGH SCHOOL 101 0 0.00 58 57.43
16 AZANIA 59 2 3.39 47 79.66
17 RAUDHA 33 3 9.09 32 96.97
JUMLA 869 10 1.15 561 64.56
WILAYA YA MAGHARIBI 'B'
204
Jadweli 37(c) inaendelea
1 MKWAJUNI 24 0 0.00 11 45.83
2 TUMBATU 9 0 0.00 4 44.44
3 JONGOWE 26 0 0.00 16 61.54
4 CHAANI 19 0 0.00 14 73.68
5 KIDOTI 22 0 0.00 15 68.18
6 KINYASINI 52 1 1.92 26 50.00
7 PALE 3 0 0.00 3 0.00
8 POTOA 15 0 0.00 7 46.67
9 GAMBA 15 0 0.00 6 40.00
10 MATEMWE 4 0 0.00 2 0.00
11 FUKUCHANI 10 0 0.00 6 60.00
JUMLA 199 1 0.50 110 55.28
1 DONGE 7 0 0.00 4 57.14
2 MAHONDA 7 0 0.00 3 42.86
3 MFENESINI 37 1 2.70 25 67.57
4 FUJONI 17 0 0.00 8 0.00
5 BUMBWINI 2 0 0.00 1 0.00
6 KITOPE 15 0 0.00 9 60.00
7 MAKOBA 3 0 0.00 1 0.00
8 MUANDA 7 0 0.00 2 28.57
JUMLA 95 1 1.05 53 55.79
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
205
Jadweli 37(c) inaendelea
1 NDIJANI 16 0 0.00 11 68.75
2 UROA 4 1 25.00 3 75.00
3 UNGUJA UKUU 6 0 0.00 3 50.00
4 DUNGA 64 1 1.56 46 71.88
5 MWERA 39 0 0.00 25 64.10
6 BAMBI 9 0 0.00 3 0.00
7 CHWAKA 110 0 0.00 53 48.18
8 KIBELE 52 1 1.92 30 57.69
9 MACHUI 12 1 8.33 8 66.67
10 JENDELE 7 0 0.00 3 42.86
11 UBAGO 58 1 1.72 26 44.83
12 UMOJA UZINI 10 0 0.00 9 90.00
JUMLA 387 5 1.29 220 56.85
WILAYA YA KATI
206
Jadweli 37(c) inaendelea
1 MAKUNDUCHI 27 0 0.00 10 37.04
2 KITOGANI 14 0 0.00 6 42.86
3 JAMBIANI 19 0 0.00 3 15.79
4 CHARAWE 9 0 0.00 3 33.33
5 MUYUNI 27 0 0.00 11 40.74
6 KUSINI 19 0 0.00 10 52.63
7 BWEJUU CHARITY 16 0 0.00 10 62.50
8 PAJE 8 0 0.00 8 100.00
JUMLA 139 0 0.00 61 43.88
1 KONDE 12 0 0.00 3 25.00
2 WINGWI SEC. SCHOOL 23 0 0.00 9 39.13
3 MICHEWENI 16 0 0.00 9 56.25
4 TUMBE 13 0 0.00 4 0.00
5 SHUMBA VYAMBONI 19 0 0.00 8 42.11
6 KINOWE 10 0 0.00 6 60.00
7 CHWAKA TUMBE 4 0 0.00 4 100.00
JUMLA 97 0 0.00 43 44.33
WILAYA YA KUSINI
WILAYA YA MICHEWENI
207
Jadweli 37(c) inaendelea
1 UTAANI 63 0 0.00 31 49.21
2 MCHANGAMDOGO 59 0 0.00 29 49.15
3 PANDANI 14 0 0.00 9 64.29
4 OLE 1 0 0.00 0 0.00
5 PEMBA ISLAMIC 28 0 0.00 15 53.57
6 MINUNGWINI 6 0 0.00 4 0.00
7 UONDWE 12 0 0.00 6 50.00
8 SHENGEJUU 5 0 0.00 3 60.00
9 KINYASINI PEMBA 1 0 0.00 1 0.00
10 KIZIMBANI 6 0 0.00 3 50.00
11 MITI ULAYA 20 0 0.00 10 50.00
12 KIUYU 24 0 0.00 11 45.83
13 MZAMBARAU TAKAO 11 0 0.00 9 81.82
14 CHASASA 37 0 0.00 17 45.95
15 KANGAGANI 4 0 0.00 3 75.00
16 GANDO 12 0 0.00 8 66.67
JUMLA 303 0 0.00 159 52.48
WILAYA YA WETE
208
Jadweli 37(c) inaendelea
1 FIDEL-CASTRO 87 0 0.00 68 78.16
2 SHAMIANI 28 0 0.00 11 39.29
3 CHANJA MJAWIRI 9 0 0.00 4 44.44
4 NGWACHANI 5 0 0.00 4 80.00
5 VITONGOJI 6 0 0.00 0 0.00
6 PUJINI 2 0 0.00 1 50.00
7 PIKI 4 0 0.00 3 75.00
8 KILINDI 7 0 0.00 5 71.43
9 WESHA 11 0 0.00 8 72.73
10 CHWALE 3 0 0.00 1 33.33
11 FURAHA 4 0 0.00 2 0.00
12 PONDEANI 12 0 0.00 7 58.33
13 ZIWANI PEMBA 6 0 0.00 3 50.00
14 VIKUNGUNI 2 0 0.00 1 0.00
15 MBUZINI PEMBA 13 0 0.00 7 53.85
16 NGAMBWA 20 0 0.00 6 30.00
17 DR.OMAR ALI JUMA 15 0 0.00 10 66.67
18 MADUNGU 39 0 0.00 27 69.23
JUMLA 273 0 0.00 168 61.54
WILAYA YA CHAKE-CHAKE
209
Jadweli 37(c) inaendelea
1 KANGANI 9 0 0.00 4 44.44
2 UWELENI 13 0 0.00 9 69.23
3 KENGEJA TECH COLLEGE 7 0 0.00 6 85.71
4 MKANYAGENI 4 0 0.00 2 50.00
5 MTAMBILE 9 0 0.00 6 66.67
6 KENGEJA SEC 8 0 0.00 7 87.50
7 WAMBAA 21 0 0.00 16 76.19
8 MIZINGANI 6 0 0.00 5 83.33
9 MWAMBE 8 0 0.00 6 75.00
10 MAKOMBENI 2 0 0.00 1 0.00
11 MAUWANI 6 0 0.00 4 66.67
12 CHAMBANI 5 0 0.00 4 80.00
JUMLA 98 0 0.00 70 71.43
JUMLA KUU 3900 30 0.77 2238 57.38
WILAYA YA MKOANI
210
JADWELI NAM. 38(a)
IDADI % IDADI %
Lumumba 49 7 14.29 23 46.94
Ben - Bella 17 3 17.65 14 82.35
Hamamni 12 2 16.67 8 66.67
Kiponda 22 6 27.27 18 81.82
Zanzibar Commercial 7 0 0.00 4 57.14
Kiembe samaki 14 2 14.29 12 85.71
Mwanakwerekwe C 25 6 24.00 16 64.00
Tumekuja 12 1 8.33 5 41.67
Mazizini islamic 9 1 11.11 3 33.33
Azania 33 7 21.21 22 66.67
Al-haramayn 48 24 50.00 38 79.17
Jabal Hiraa 50 33 66.00 46 92.00
Nyuki JWTZ 19 8 42.11 17 89.47
Fidel-Castro 8 1 12.50 2 25.00
Chasasa 15 1 6.67 7 46.67
Utaani 6 3 50.00 5 83.33
Shamiani 10 6 60.00 10 100.00
Mchangamdogo 19 6 31.58 18 94.74
Uweleni 3 0 0.00 3 100.00
Pemba Islamic 5 3 60.00 5 100.00
Jumla 383 120 31.33 276 72.06
MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO
CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2016/2017 - WAVULANA TU
WATAHINIWAKITUO
WALIOFAULU
P2 + S1 AU ZAIDI
WOTE
WALIOFAULU
211
JADWELI NAM. 38(b)
IDADI % IDADI %
Lumumba 33 3 9.09 18 54.55
Ben - Bella 27 1 3.70 21 77.78
Hamamni 14 1 7.14 11 78.57
Kiponda 13 1 7.69 12 92.31
Zanzibar Commercial 5 2 40.00 5 100.00
Kiembe samaki 10 1 10.00 5 50.00
Mwanakwerekwe C 12 2 16.67 9 75.00
Tumekuja 5 0 0.00 4 80.00
Mazizini islamic 2 0 0.00 2 100.00
Azania 5 0 0.00 3 60.00
Al-haramayn 26 17 65.38 21 80.77
Jabal Hiraa 32 25 78.13 29 90.63
Nyuki JWTZ 9 8 88.89 9 100.00
Fidel-Castro 6 0 0.00 1 16.67
Chasasa 0 0 0.00 0 0.00
Utaani 7 1 14.29 6 85.71
Shamiani 7 2 28.57 7 100.00
Mchangamdogo 18 1 5.56 15 83.33
Uweleni 2 0 0.00 2 100.00
Pemba Islamic 2 0 0.00 2 100.00
Jumla 235 65 27.66 182 77.45
MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO
CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2016/2017 - WASICHANA TU
KITUO WATAHINIWA
WALIOFAULU WOTE
P2 + S1 AU ZAIDI WALIOFAULU
212
JADWELI NAM. 38(c)
IDADI % IDADI %
Lumumba 82 10 12.20 41 50.00
Ben - Bella 44 4 9.09 35 79.55
Hamamni 26 3 11.54 19 73.08
Kiponda 35 7 20.00 30 85.71
Zanzibar Commercial 12 2 16.67 9 75.00
Kiembe samaki 24 3 12.50 17 70.83
Mwanakwerekwe C 37 8 21.62 25 67.57
Tumekuja 17 1 5.88 9 52.94
Mazizini islamic 11 1 9.09 5 45.45
Azania 38 7 18.42 25 65.79
Al-haramayn 74 41 55.41 59 79.73
Jabal Hiraa 82 58 70.73 75 91.46
Nyuki JWTZ 28 16 57.14 26 92.86
Fidel-Castro 14 1 7.14 3 21.43
Chasasa 15 1 0.00 7 0.00
Utaani 13 4 30.77 11 84.62
Shamiani 17 8 47.06 17 100.00
Mchangamdogo 37 7 18.92 33 89.19
Uweleni 5 0 0.00 5 100.00
Pemba Islamic 7 3 42.86 7 100.00
Jumla 618 185 29.94 458 74.11
MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO
WALIOFAULU WOTE
CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2016/2017 - WAVULANA NA WASICHANA
KITUO WATAHINIWA
P2 + S1 AU ZAIDI WALIOFAULU
213
JADWELI NAM. 39a
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
CHUMBUNI 0 0 1 1 0 0 1 1 0 2 2 4
M/SHAURI 1 4 0 0 2 3 1 3 0 0 4 10
MUUNGANO 0 0 1 3 0 0 1 1 0 0 2 4
NYERERE 3 13 0 4 0 1 0 0 0 0 3 18
K/CHEKUNDU 'B' 3 4 3 6 3 5 0 0 0 1 9 16
DARAJANI 0 0 2 3 0 1 0 2 0 0 2 6
KILIMAHEWA 2 3 0 0 1 2 0 3 0 2 3 10
FUONI 1 3 1 5 0 1 0 0 2 4 4 13
K/SAMAKI 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
MTOPEPO 'B' 2 5 0 2 1 2 0 0 0 0 3 9
M/KWEREKWE 'B' 0 0 0 1 0 2 0 0 0 0 0 3
KINDUNI 0 5 0 2 0 0 0 0 0 0 0 7
KINYASINI 0 3 0 2 0 4 0 3 0 0 0 12
MKWAJUNI 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
KIBENI 0 0 0 4 0 3 0 7 0 0 14
JUMLA 12 40 8 33 7 24 3 20 2 9 32 126
KITUO
IDADI YA WANAFUNZI WALIOFAULU ELIMU MBADALA NA
KUJIUNGA KATIKA MADARASA YA KAWAIDA, UNGUJA - 2018
JUMLA
E/MBADALA
RAHALEOIII IV V VI
214
JADWELI NAM. 39b
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
NG'OMBENI 0 1 0 0 0 4 3 4 0 0 0 0 3 9
KENGEJA 0 0 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4
SH/MUAMBE 0 0 0 2 0 10 0 3 0 0 0 0 0 15
PUJINI MSINGI 0 0 0 8 0 0 0 1 0 7 0 0 0 16
UWANDANI 0 1 0 2 0 0 1 1 1 4 0 0 2 8
MATALE MSINGI 0 0 0 0 0 3 0 1 0 1 0 0 0 5
GOMBANI 2 2 7 17 0 0 0 0 0 0 0 0 9 19
MTONI 0 0 0 0 23 34 0 0 0 0 0 0 23 34
SHUMBA MJINI 1 1 0 0 0 2 1 1 0 0 0 0 2 4
MICHEWENI 8 19 0 4 0 0 0 0 0 1 0 0 8 24
JUMLA 11 24 7 37 23 53 5 11 1 13 0 0 47 138
JUMLA
KITUO
II III IV V VI
E/MBADALA
WINGWI
IDADI YA WANAFUNZI WALIOFAULU ELIMU MBADALA NA
KUJIUNGA KATIKA MADARASA YA KAWAIDA, PEMBA - 2018
215
W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE
1Useremala 10 0 4 0 1 0 0 0 0 0 0 0 20 0 13 0 5 0
2Ushoni 2 34 1 33 0 16 3 19 0 8 2 26 5 39 5 38 0 12
3Uchoraji/Uandishi 2 7 1 7 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
4Mafriji 8 1 8 0 0 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
5Electronic 11 0 5 0 0 0 0 0 9 0 0 0 18 2 16 0 10 0
6Uwashi 6 0 1 0 1 0 25 0 12 1 14 0 0 0 0 0 0 0
7Ufundi bomba 25 0 3 1 7 1 30 1 15 7 15 4 0 0 0 0 0 0
8Magari 37 0 15 0 8 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
9Uhunzi 9 0 5 0 2 0 20 0 8 8 7 0 0 0 0 0 0 0
10Upishi 15 18 8 16 2 3 10 7 4 5 7 2 0 0 0 0 0 0
11Kilimo 0 7 0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
12 Teknolojia mawasiliano 4 12 1 8 0 0 0 0 0 0 0 0 17 22 11 17 2 7
13Huduma za mahoteli 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
14Ufundi magari 19 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
15Umeme wa Majumbani 45 0 22 1 12 1 25 5 18 3 25 2 21 1 22 0 0 0
JUMLA 193 79 78 69 33 26 117 32 66 32 70 34 81 64 67 55 17 19
MWAKA II I
MWANAKWEREKWE
JADWELI NAM. 40(a)
MKOKOTONI
MWAKA I MWAKA II MWAKA II I
IDADI YA WANAFUNZI KATIKA VITUO VYA AMALI, MACHI - 2018
Nam FANI
MWAKA I MWAKA II MWAKA II I
VITONGOJI
MWAKA I MWAKA II
216
IDADI YA JUMLA YA
VITUO WANAKISOMO
Mjini Sayansi Kimu 8 187 218
Magharibi 'A' Sayansi Kimu 4 154 155
Magharibi 'B' Sayansi Kimu 3 143 148
Sayansi Kimu 11 239 239
Uchongaji 1 - 13
Kaskazini 'B' Sayansi Kimu 7 166 166
Kati Sayansi Kimu 4 187 187
Kusini Sayansi Kimu 2 163 163
Micheweni Sayansi Kimu 8 230 230
Wete Sayansi Kimu 8 122 133
Chake-Chake Sayansi Kimu 5 79 90
Mkoani Sayansi Kimu 8 192 211
69 1862 1953
JADWELI NAM. 40(b)
Kaskazini 'A'
JUMLA
WANAWAKE
VITUO VYA KAZI ZA AMALI, 2018
WILAYA AINA YA KITUO
217
JADWELI 41
W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE
Ufundi wa Magari 0 37 0 15 0 8 0 60 60
Majokufu na vipoza hewa 1 8 0 8 0 4 1 20 21
Ushoni 34 2 33 1 16 0 83 3 86
Uchoraji na Mapambo 7 2 7 1 5 0 19 3 22
Welding 0 9 0 5 0 2 0 16 16
Useremala 0 10 0 4 0 1 0 15 15
Upishi 18 15 16 8 3 2 37 25 62
Huduma za chakula. 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Uashi 0 6 0 1 0 1 0 8 8
Electronics 0 11 0 5 0 0 0 16 16
Umeme wa magari 0 19 0 4 0 0 0 23 23
Umeme wa majumbani 0 45 1 22 1 12 0 79
Kilimo 7 0 3 0 0 0 10 0 10
Ufundi bomba 0 25 1 3 1 7 2 35 37
ICT 12 4 8 1 0 0 20 5 25
JUMLA 79 193 69 78 26 37 174 308 482
Umeme 5 25 3 18 2 25 10 68 78
Ushoni 19 3 8 0 26 3 53 6 59
Ufundi bomba 1 30 7 15 4 15 12 60 72
upishi 7 10 5 8 2 7 14 25 39
Uashi 0 25 1 12 0 14 1 51 52
Welding 0 20 0 8 0 7 0 35 35
JUMLA 32 113 24 61 34 71 90 245 335
Ushoni 39 5 38 5 12 0 89 10 99
Electronics 2 18 0 16 0 10 2 44 46
ICT 22 17 17 11 7 2 46 30 76
Useremala 0 20 0 13 0 5 0 38 38
Umeme 1 21 0 22 0 0 1 43 44
JUMLA 64 81 55 67 19 17 138 165 303
MK
OK
OTO
NI
VIT
ON
GO
JIM
/KW
EREK
WE
WALIOJIUNGA NA VYUO VYA MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI 2017 -2018
KIT
UO
FANILEVEL I LEVEL II LEVEL III JUMLA JUMLA
KUU
218
JADWELI NAM. 42
Mjini 4 67 71 20 18 38 0 11 11 18 0 18 42 96 138
Magharibi 'A' 1 55 56 22 27 49 1 8 9 14 1 15 38 91 129
Magharibi 'B' 0 91 91 22 36 58 2 26 28 13 4 17 37 157 194
Kaskazini 'A' 5 11 16 23 3 26 8 0 8 16 0 16 52 14 66
Kaskazini 'B' 1 12 13 19 4 23 4 1 5 8 1 9 32 18 50
Kati 5 17 22 21 4 25 15 1 16 14 0 14 55 22 77
Kusini 4 14 18 12 1 13 4 1 5 8 0 8 28 16 44
Micheweni 5 8 13 18 0 18 1 1 2 10 1 11 34 10 44
Wete 2 19 21 26 2 28 8 1 9 18 1 19 54 23 77
Chake-Chake 2 14 16 25 5 30 1 5 6 20 2 22 48 26 74
Mkoani 2 9 11 31 2 33 2 0 2 20 1 20 55 12 67
Jumla 31 317 348 239 102 341 46 55 101 159 11 169 475 485 960
IDADI YA SKULI ZA MAANDALIZI, MSINGI, MSINGI NA KATI
NA SEKONDARI ZILIZOSAJILIWA KIWILAYA, MACHI - 2018
MAANDALIZI MSINGI TU MSINGI NA KATI JUMLA
WILAYA SERIKALIBINAFSISERIKALI JUMLABINAFSI SERIKALI SERIKALIBINAFSI JUMLA
SEKONDARI TU
SERIKALI BINAFSI JUMLAJUMLA BINAFSIJUMLA
219
JADWELI NAM. 43(a)
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
Mjini 8 8 471 502 1 5 1 1 515 614 476 755 1472 1885
Magharibi 'A' 2 3 233 270 4 5 1 2 475 549 355 486 1070 1315
Magharibi 'B' 36 44 306 353 8 9 15 19 461 547 394 576 1220 1548
Kaskazini 'A' 1 5 162 276 4 6 0 1 212 395 115 311 494 994
Kaskazini 'B' 21 22 166 229 1 1 0 1 173 246 85 195 446 694
Kati 2 2 151 242 2 4 1 2 253 416 146 313 555 979
Kusini 0 0 84 148 0 1 0 0 58 114 29 91 171 354
Micheweni 4 7 60 128 3 8 1 1 98 194 31 168 197 506
Wete 6 14 162 254 1 5 0 1 180 301 102 277 451 852
Chake-Chake 4 5 214 273 5 9 1 2 185 279 129 247 538 815
Mkoani 6 13 133 222 5 10 3 4 136 278 77 205 360 732
Jumla 90 123 2142 2897 34 63 23 34 2746 3933 1939 3624 6974 10674
IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WA MSINGI NA
SEKONDARI ( DAR. I - KID. 6 ) WALIOSOMEA KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA
KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2018
DIGRII NA ZAIDI JUMLAKID. 6 DIPLOMAFTC
WILAYA
CHINI YA KID 4 KID. 4
220
JADWELI NAM. 43b)
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
Mjini 0 0 0 3 0 0 0 2 0 4 0 0 0 9
Magharibi 'A' 0 0 0 1 0 1 0 0 0 0 0 2 0 4
Magharibi 'B' 1 1 1 1 1 1 0 0 0 0 2 9 5 12
Kaskazini 'A' 0 0 1 3 1 1 0 1 0 1 0 0 2 6
Kaskazini 'B' 0 0 0 1 0 3 0 0 0 1 0 0 0 5
Kati 0 0 2 7 0 1 0 2 0 0 0 0 2 10
Kusini 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Micheweni 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1
Wete 0 0 0 0 0 3 1 1 0 0 0 1 1 5
Chake-Chake 2 2 0 1 1 2 0 0 0 0 0 0 3 5
Mkoani 0 1 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 2
Jumla 3 5 4 17 3 12 1 7 0 6 2 12 13 59
IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WA MSINGI NA
SEKONDARI ( DAR. I - KID. 6 ) WASIOSOMEA KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA
KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2018
CHINI YA KID 4 KID. 4 FTC DIPLOMA DIGRII NA ZAIDIKID.6 JUMLA
WILAYA
221
JADWELI NAM. 43(c)
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J"LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
Mjini 8 8 471 505 1 5 1 3 515 618 476 755 1472 1894
Magharibi 'A' 2 3 233 271 4 6 1 2 475 549 355 488 1070 1319
Magharibi 'B' 37 45 307 354 9 10 15 19 461 547 396 585 1225 1560
Kaskazini 'A' 1 5 163 279 5 7 0 2 212 396 115 311 496 1000
Kaskazini 'B' 21 22 166 230 1 4 0 1 173 247 85 195 446 699
Kati 2 2 153 249 2 5 1 4 253 416 146 313 557 989
Kusini 0 0 84 148 0 1 0 0 58 114 29 91 171 354
Micheweni 4 8 60 128 3 8 1 1 98 194 31 168 197 507
Wete 6 14 162 254 1 8 1 2 180 301 102 278 452 857
Chake-Chake 6 7 214 274 6 11 1 2 185 279 129 247 541 820
Mkoani 6 14 133 222 5 10 3 5 136 278 77 205 360 734
Jumla 93 128 2146 2914 37 75 24 41 2746 3939 1941 3636 6987 10733
KID. 4 KID. 6
IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WOTE WA MSINGI NA
SEKONDARI, ( DARASA 1 - KIDATO 6 ) WASIOSOMEA NA WALIOSOMEA KWA
UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2018
JUMLAFTC DIPLOMA
WILAYA
DIGRII NA ZAIDICHINI YA KID.4
222
JADWELI NAM. 43d)
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
Mjini 100 100 100 99 100 100 100 33 100 99 100 100 100 100
Magharibi 'A' 100 100 100 100 100 83 100 100 100 100 100 100 100 100
Magharibi 'B' 97 98 100 100 89 90 100 100 100 100 99 98 100 99
Kaskazini 'A' 100 100 99 99 80 86 0 50 100 100 100 100 100 99
Kaskazini 'B' 100 100 100 100 0 25 0 0 100 100 100 100 100 99
Kati 100 100 99 97 100 80 0 50 100 100 100 100 100 99
Kusini 0 0 100 100 0 100 0 0 100 100 100 100 100 100
Micheweni 100 88 100 100 0 100 100 100 100 100 100 100 100 100
Wete 100 100 100 100 100 63 0 50 100 100 100 100 100 99
Chake-Chake 67 71 100 100 83 82 100 100 100 100 100 100 99 99
Mkoani 100 93 100 100 100 100 0 80 100 100 100 100 100 100
Jumla 97 96 100 99 92 84 96 83 100 100 100 100 100 99
JUMLA
( DAR. 1 - KID. 6 ) WALIOSOMEA KATI YA WALIMU WOTE WA SKULI
ASILIMIA ZA WALIMU MBALI MBALI WA MSINGI NA SEKONDARI
WILAYA
CHINI YA KID 4 KID. 4 KID. 6 FTC
ZA SERIKALI, KIWILAYA, MACHI - 2018
DIGRII NA ZAIDIDIPLOMA
223
JADWELI NAM. 44a)
MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA
(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA
(DAR.I - KID 2) KUSOMEA) KIMOJA MM0JA MASOMO
Mjini 43537 507 829 86 53 1.64
Magharibi 'A' 48207 531 747 91 65 1.41
Magharibi 'B' 56176 946 1031 59 54 1.09
Kaskazini 'A' 27870 492 610 57 46 1.24
Kaskazini 'B' 16545 269 375 62 44 1.39
Kati 22541 461 467 49 48 1.01
Kusini 9809 217 210 45 47 0.97
Micheweni 25484 284 462 90 55 1.63
Wete 33929 534 722 64 47 1.35
Chake-Chake 30840 427 603 72 51 1.41
Mkoani 31957 423 590 76 54 1.39
Jumla 346895 5091 6646 68 52 1.31
UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI
(DAR 1 - KID. 2) KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI, MACHI - 2018
UANDIKISHAJI
MIKONDOWILAYA
224
JADWELI NAM. 44(b)
MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA
(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA
(DAR 1 -KIDATO 2) KUSOMEA) KIMOJA MMOJA MASOMO
Mjini 34873 419 646 83 54 1.54
Magharibi 'A' 41966 299 498 140 84 1.67
Magharibi 'B' 40987 404 528 101 78 1.31
Kaskazini 'A' 27470 468 595 59 46 1.27
Kaskazini 'B' 16041 254 354 63 45 1.39
Kati 21433 425 421 50 51 0.99
Kusini 9369 203 196 46 48 0.97
Micheweni 25055 273 451 92 56 1.65
Wete 33104 503 691 66 48 1.37
Chake-Chake 28694 356 532 81 54 1.49
Mkoani 31519 408 575 77 55 1.41
Jumla 310511 4012 5487 77 57 1.37
UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI
(DAR I - KID 2) KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2018
WILAYA
UANDIKISHAJI
MIKONDO
225
JADWELI NAM. 44(c)
MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA
(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA
(DAR 1 -KIDATO 2) KUSOMEA) KIMOJA MMOJA MASOMO
Mjini 8664 88 183 98 47 2.08
Magharibi 'A' 6241 232 249 27 25 1.07
Magharibi 'B' 15189 542 503 28 30 0.93
Kaskazini 'A' 400 24 15 17 27 0.63
Kaskazini 'B' 504 15 21 34 24 1.40
Kati 1108 36 46 31 24 1.28
Kusini 440 14 14 31 31 1.00
Micheweni 429 11 11 39 39 1.00
Wete 825 31 31 27 27 1.00
Chake-Chake 2146 71 71 30 30 1.00
Mkoani 438 15 15 29 29 1.00
Jumla 36384 1079 1159 34 31 1.07
WILAYA
UANDIKISHAJI
MIKONDO
UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI
NA KATI KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA BINAFSI, MACHI - 2018
226
JADWELI NAM. 45(a)
UANDIKISHAJI
WA WANAFUNZI
(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA
Mjini 56395 2291 122 2413 25 462 23
Magharibi 'B' 54445 1716 41 1757 32 1328 31
Magharibi 'A' 66787 2533 117 2650 26 571 25
Kaskazini 'A' 32158 1013 22 1035 32 1462 31
Kaskazini 'B' 18482 713 7 720 26 2640 26
Kati 25868 1041 16 1057 25 1617 24
Kusini 11347 372 2 374 31 5674 30
Micheweni 28317 519 4 523 55 7079 54
Wete 38969 895 19 914 44 2051 43
Chake-Chake 35648 936 26 962 38 1371 37
Mkoani 35466 753 2 755 47 17733 47
Jumla 403882 12782 378 13160 32 1068 31
UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)
KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI - MACHI, 2018
IDADI YA WANAFUNZI
KWA MWALIMU MMOJA
WILAYA
IDADI YA WALIMU
227
JADWELI NAM. 45b)
UANDIKISHAJI WA
WANAFUNZI
(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA
Mjini 46734 1885 9 1894 25 5193 25
Magharibi 'A' 47443 1315 4 1319 36 11861 36
Magharibi 'B' 48380 1548 12 1560 31 4032 31
Kaskazini 'A' 31758 994 6 1000 32 5293 32
Kaskazini 'B' 17940 694 5 699 26 3588 26
Kati 24567 979 10 989 25 2457 25
Kusini 10847 354 0 354 31 0 31
Micheweni 27872 506 1 507 55 27872 55
Wete 38008 852 5 857 45 7602 44
Chake-Chake 33054 815 5 820 41 6611 40
Mkoani 35028 732 2 734 48 17514 48
Jumla 361631 10674 59 10733 34 6129 34
IDADI YA WANAFUNZI KWA
UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)
KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI - MACHI, 2018
WILAYA
IDADI YA WALIMU MWALIMU MMOJA
228
JADWELI NAM. 45(c)
UANDIKISHAJI
WA WANAFUNZI
(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA
Mjini 9661 406 113 519 24 85 19
Magharibi 'A' 7002 401 37 438 17 189 16
Magharibi 'B' 18407 985 105 1090 19 175 17
Kaskazini 'A' 400 19 16 35 21 25 11
Kaskazini 'B' 542 19 2 21 29 271 26
Kati 1301 62 6 68 21 217 19
Kusini 500 18 2 20 28 250 25
Micheweni 445 13 3 16 34 148 28
Wete 961 43 14 57 22 69 17
Chake-Chake 2594 121 21 142 21 124 18
Mkoani 438 21 0 21 21 0 21
Jumla 42251 2108 319 2427 20 132 17
KWA MWALIMU MMOJAIDADI YA WALIMU
UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)
KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA BINAFSI - MACHI, 2017
WILAYA
IDADI YA WANAFUNZI
229
KASMA MRADI MCHANGO WA MAKADIRIO YA MISAADA MAKADIRIO
SMZ RUZUKU MKOPO JUMLA
0000P001 Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi - 1,927,750,000 - 1,927,750,000
0000P002 Uimarishaji wa Elimu ya Msingi 790,000,000 8,164,350,000 - 8,954,350,000
0000P003 Uimarishaji wa Elimu ya Lazima 3,100,000,000 - 52,072,500,000 55,172,500,000
0000P004 Uimarishaji wa Elimu mbadala na Amali 1,600,000,000 - 15,387,000,000 16,987,000,000
0000P005 Kupanga na kusimamia kazi za wizara 400,000,000 - - 400,000,000
GRAND TOTAL 5,890,000,000 10,092,100,000 67,459,500,000 83,441,600,000
JADWELI NAM.46
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
MAKADIRIO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019
230
JADWELI NAM. 47
KASMA CHANZO CHA MAPATO MAKADIRIO 2017/18FEDHA ZILIZOKUSANYWA
HADI MACHI 2018%
142200 USAJILI WA SKULI BINAFSI 77,000,000.00 60,202,300.00 78.2
142201 LESENI ZA WALIMU 66,093,000.00 13,832,800.00 20.9
JUMLA 143,093,000.00 74,035,100.00 51.7
MAKADIRIO NA MAKUSANYO YA MAPATO YA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
231
JADWELI NAM. 48
KASMA CHANZO CHA MAPATO MAKISIO YA
MAPATO
142200 USAJILI WA SKULI BINAFSI 55,000,000.00
142201 LESENI ZA WALIMU 49,095,000.00
JUMLA 104,095,000.00
MAKADIRIO YA MAKUSANYO YA MAPATO KWA MWAKA 2018/2019
232
JADWELI NAM. 49
SMZ WAHISANI JUMLA
1 Maandalizi na Msingi - - 790,000,000 10,092,100,000 10,882,100,000 10,882,100,000
2 Elimu ya Sekondari 32,821,597,000 7,593,453,000 3,100,000,000 52,072,500,000 55,172,500,000 95,587,550,000
Mafunzo ya Ualimu 1,024,411,000 371,772,000 - - - 1,396,183,000
Chuo Kikuu cha Taifa 10,460,200,000 600,000,000 - - - 11,060,200,000
Karume 1,216,500,000 415,000,000 - - - 1,631,500,000
Bodi ya Mkopo 220,200,000 11,555,700,000 - - - 11,775,900,000
Chuo cha Kiislamu 1,006,800,000 100,000,000 - - - 1,106,800,000
Jumla ndogo 13,928,111,000 13,042,472,000 26,970,583,000
Elimu Mbadala 486,483,000 444,943,000 1,600,000,000 15,387,000,000 16,987,000,000 17,918,426,000
Elimu ya Amali 1,250,100,000 5,371,500,000 - - - 6,621,600,000
Jumla ndogo 1,736,583,000 5,816,443,000 1,600,000,000 15,387,000,000 16,987,000,000 24,540,026,000
Taasisi ya Elimu 233,300,000 95,900,000 - - - 329,200,000
Baraza la Mitihani 411,200,000 4,261,300,000 - - - 4,672,500,000
Ukaguzi wa Elimu 302,700,000 126,000,000 - - - 428,700,000
Michezo katika Elimu 194,602,000 455,441,000 - - - 650,043,000
Baraza la Elimu 90,300,000 100,100,000 - - - 190,400,000
Huduma za Maktaba 395,100,000 450,000,000 - - - 845,100,000
Teknolojia ya Habari na Mawasiliano 243,408,000 289,278,000 - - - 532,686,000
Elimu Mjumuisho 75,000,000 - - - 75,000,000
Jumla ndogo 1,870,610,000 5,853,019,000 - - - 7,723,629,000
Utawala na Uendeshaji 4,797,194,000 2,443,910,000 - - - 7,241,104,000
Mipango, Sera na Utafiti 510,645,000 3,138,335,000 400,000,000 - 400,000,000 4,048,980,000
Uratibu wa shughuli za Elimu Pemba 1,520,359,000 1,091,569,000 - - - 2,611,928,000
Jumla ndogo 6,828,198,000 6,673,814,000 400,000,000 - 400,000,000 13,902,012,000
Jumla kuu 57,185,099,000 38,979,201,000 5,890,000,000 77,551,600,000 83,441,600,000 179,605,900,000
6 Uratibu wa shughuli za Wizara
MAKISIO YA MATUMIZI YA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
KWA PROGRAMU MWAKA 2018/2019
3 Elimu ya Juu
Ubora wa Elimu
NAM. PROGRAMU MSHAHARAMATUMIZI YA
KAWAIDA
BAJETI YA MAENDELEO JUMLA KWA
PROGRAM
4
5
Recommended