252
ABU HURAIRA Kimeandikwa na: Sayyid Abdulhusain Sharafuddin al-Musawi Kimetarjumiwa na: Ramadhani S.K. Shemahimbo Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page A

Abu Huraira

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Kitabu hiki kinazungumzia maisha na wasifu wa sahaba machachari wa Mtukufu Mtume SAW na jinsi alivyoitumia nafasi hii pamoja na fursa alizozipata.

Citation preview

Page 1: Abu Huraira

ABU

HURAIRA

Kimeandikwa na:Sayyid Abdulhusain Sharafuddin al-Musawi

Kimetarjumiwa na:Ramadhani S.K. Shemahimbo

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page A

Page 2: Abu Huraira

B

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page B

Page 3: Abu Huraira

©Haki ya kunakili imehifadhiwa na:AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 978 - 9987 - 512 - 98 - 0

Kimeandikwa na:Sayyid Abdulhusain Sharafuddin al-Musawi

Kimetarjumiwa na :Ramadhani S.K Shemahimbo

Kimepangwa katika Kompyuta na:Hajat Pili Rajab

Kimehaririwa na:Hemedi Lubumba (Abu Batul)

Toleo la kwanza: April,2011Nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah Foundation

S.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640

Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]

Tovuti: www.alitrah.orgKatika mtandao: www.alitrah.info

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page C

Page 4: Abu Huraira

YaliyomoUtangulizi …………………………….......................................................2Abu Huraira ……………………………..................................................16Jina Lake na Nasaba Yake ……………....................................................17Maisha Yake Kifamilia, Kuwa Mwislamu na Usahaba Wake naMtume…………………...........................................................................19Wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).......................................................20Katika Zama za Makhalifa Wawili wa Kwanza ………….......................25Katika Zama za Uthman ……………………………………...................27Katika Zama za Ali (a.s.) …………………………….............................31Katika Zama za Mu’awiyah ………………………….............................34Kuzishukuru Fadhila za Bani Umayyah ………………………..............32Wingi wa Hadith Zake …………………………………..........................55

Allah amemuumba Adam kwa Sura Zake ……………………................55

Maelezo……....……………….................................................................59

Jahannam Haitajaa Mpaka Mwenyezi Mungu Aweke Mguu WakeHumo.........................................................................................................65

Mwenyezi Mungu Hushuka Hadi Kwenye Uwingu wa Chini KilaUsiku.........................................................................................................66

Suleiman Avunja Fat’wa ya Baba Yake Daudi ……….....……................67

Suleiman Anakwenda Kulala na Wanawake Mia Moja kwa UsikuMmoja.......................................................................................................73

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page D

Page 5: Abu Huraira

E

Abu Huraira

Musa Ampiga Kofi Malaika Wa Mauti …………………………............75Jiwe Lakimbia na Nguo za Musa ………………………………….........77Watu Wakimbilia kwa Mitume Wakitarajia Uombezi Wao ……….........80Shaka Juu ya Mitume, Kumshutumu Lut, ...............................................85Nzige wa Dhahabu Wamuangukia Ayub …………………......................91Kumshutumu Musa kwa Kuchoma Kijiji cha Mchwa …………............92Mtume Asahau Sehemu Mbili za Swala ………………………..............94Mtume Muhammad Ajeruhi, Achapa Viboko,..........................................99 Shetani Aja Kuvuruga Swala ya Mtume ……………………................107Mtume Aikosa Swala ya Al-Fajr (swala ya Asubuhi) …………............119Ng’ombe na Mbwa Mwitu Waongea kwa Kiarabu Fasaha ……............126Kumfanya Abu Bakr Kiongozi wa Hijja ……………………................128Malaika Wazungumza na Umar ……………………………….............148Mirathi ya Mtume ni kwa Ajili ya Sadaka ……….................................149Abu Talib Akataa Kutamka Shahada ……….........................................156Mtume Alionya Kabila Lake ………………….......................................158Watu wa Abyssinia (Ethiopia) Wacheza Ndani ya Msikiti ……….........159Ubatilishaji Kabla ya Wakati wa Kutumika ……………......................160Kufanya Jambo Katika Kipinde Kisichoaminika ………………...........160Umma Uligeuzwa Kuwa Panya ………………………….....................162Wanaikataa Hadithi Yake Hivyo Anabadili Mawazo Yake ………........162Hadith Mbili Zinazopingana …………………………………...............164Watoto Waliozaliwa Punde Wazungumzia Kuhusu Ghaib ……….........165Shetani Aiba kwa Ajili ya Watoto Wake Wenye Njaa …………............166Mama Yake Awa Muislam kwa Du’a ya Mtume ………………...........168Mtumishi wa Abu Huraira ……………………………..........................172Hadithi ya Kubuni Juu ya Sadaka ……………………………...............174

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page E

Page 6: Abu Huraira

F

Abu Huraira

Hekaya Nyingine Kuhusu Matokeo Mazuri ya Uaminifu …….............174Hekaya ya Tatu Kuhusu Matokeo Mazuri ya Shukurani ……...............176Hadithi Nyingine Kama Hiyo Iliyotangulia ………...............................178Mwenyezi Mungu Anamsamehe Asiyeamini Kupindukia ……….........179Mwenyezi Mungu Anamsamehe Mwenye Dhambi Milele ……............181Musnad Yake ni Kama Mursal Yake ……………………………..........187Kujifanya Kwake Amehudhuria Baadhi ya Matukio …………….........190Waislam wa Mwanzoni Wazikataa Riwaya Zake ………………...........195Malalamiko Yake Juu ya Wenye Kumshutumu …………………..........206Kuziangalia Tabia na Sifa Zake …………………..................................217Vichekesho Vyake ………………………………...................................221Kifo Chake na Kizazi Chake …………………………..........................225Hitimisho ………………………………................................................227

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page F

Page 7: Abu Huraira

NENO LA MCHAPISHAJI

Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiingerezakiitwacho, Abu Huraira, kilichoandikwa na Sayyid AbdulhusainSharafuddin al-Musawi.

Kitabu hiki kinazungumzia maisha na wasifu wa sahaba machachari waMtukufu Mtume SAW na jinsi alivyoitumia nafasi hii pamoja na fursa ali-zozipata.

Mwandishi wa kitabu hiki amefanya utafiti wa kina juu ya maisha ya saha-ba huyu kwa sababu moja kubwa aliyoisema, ambayo ni umaarufu wakekatika wingi wa hadithi alizosimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume SAWmbali ya kweli kwamba aliishi naye kwa muda mfupi sana ukilinganishana masahaba wengine. Hii ndio sababu kubwa iliyomfanya mwandishihuyu afanye utafiti juu ya sahaba huyu ili kujua undani wake. Ni muhimukumjua mtu kama huyu kwani aliyosimulia kutoka kwa Mtukufu MtumeSAW ni mengi sana yakiwemo ya ukweli na kusingizia, na ya kuongoza nakupotosha.

Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana , hususan wakati huu wamaendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote, ambapo uwongo, nganoza kale na upotoshaji wa historia ni mambo ambayo hayana nafasi tenakatika akili za watu.

Kutokana na ukweli huo, Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeamuakukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumuni yakeyaleyale ya kuwahudumia Waislamu, hususan wazungumzaji waKiswahili.

G

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page G

Page 8: Abu Huraira

Tunamshukuru ndugu yetu, Ramadhan S. K. Shemahimbo kwa kukubalijukumu hili la kukitarjumi kitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wotewalioshiriki kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwakitabu hiki.

Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitakuwa ni changamoto kubwakwa wasomaji wetu.

Mchapishaji:Al-Itrah FoundationS. L. P. 19701, Dar-es-Salaam

H

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page H

Page 9: Abu Huraira

I

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page I

Page 10: Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 1

Page 11: Abu Huraira

2

Abu Huraira

UtanguliziKwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa

Rehema Mwenye Kurehemu

Huu ni uchunguzi na mapitio ya wasifu wa mmoja wa masahaba waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Amesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) Hadithi nyingi sana mpaka akavuka mipaka yote, na vitabu vyaHadith vya Sunni vimesimulia Hadith kutoka kwake mpaka zikavukamipaka pia. Hatukuwa na njia yoyote mbele ya idadi hii kubwa ya Hadithzilizosimuliwa na bwana huyu (Abu Huraira) ila kutafuta juu ya vyanzovyao kwa sababu zimeshughulisha maisha yetu ya kidini na kiakili mojakwa moja; vinginevyo tungeweza kuziachilia mbali na kuvitupilia mbalivyanzo vyake na kuangalia mambo mengine muhimu zaidi.

Idadi hii kubwa ya riwaya zilizosimuliwa na bwana huyu zilienea kwenyematawi na mizizi ya dini zimewafanya mafaqihi wa Sunni kuzitegemeasana katika kushughulika na hukumu na Shari’ah ya Mwenyezi Mungu.

Halikuwa jambo la ajabu kwao, kwani wao walifikiria kwamba masahabawote walikuwa wakweli na waadilifu. Na kwa vile hapakuwa na ushahidiwa kulithibitisha hilo, hatukuwa na namna nyingine isipokuwa kufanyautafiti juu ya bwana huyu na riwaya zake ili kupata uhakika kuhusu kilekilichohusiana na matawi na mizizi ya sheria zilizowekwa na MwenyeziMungu. Hili limetufanya tuwajibike kuchunguza na kuangalia kwa makiniwasifu wa mtu huyu (Abu Huraira) na Hadith zake. Nimekwenda mbalisana katika uchunguzi huu mpaka ukweli ukajitokeza katika kitabu hiki najua la uhakika likaangaza, namshukuru Mwenyezi Mungu kwa hilo.

Na kuhusu Abu Huraira mwenyewe, tutakufanya uone historia ya maishayake na falsafa yake kama vile ilivyo hasa. Na kuhusu riwaya zake,tumezichunguza kwa uangalifu sana kuhusu wingi na ubora wake nahaikuwezekana kwetu sisi, namuapa Mwenyezi Mungu, isipokuwakuzikataa kama wenzake walivyozikataa wakati wa siku zake. Utayasoma

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 2

Page 12: Abu Huraira

3

Abu Huraira

hayo kwa kirefu mahali pake katika kitabu hiki, Insha’allah.

Hivi iliwezekana kwa mtu mwenye busara kuikubali idadi hii kubwa yariwaya zilizosimuliwa na mtu huyu, ambazo zilikuwa nyingi zaidi kulikozote zilizosimuliwa na makhalifa wane, wake tisa wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na Bani Hashim wote, wanawake kwa wanaume?

Je, anaweza mtu asiye na elimu, baadae akawa Mwislam na kwa hiyokipindi cha muda wa usahaba wake na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwana uwezo wa kutambua kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Hadithnyingi kiasi hicho, kiasi kwamba wale Waislam wa mwanzoni na jamaazake Mkutufu Mtume (s.a.w.w.) hawakuweza kuzitambua?

Busara kubwa na vigezo vya kisayansi haviwezi kukubali wingi wa marid-hawa na maajabu yaliyosimuliwa na mtu huyu.

Sunna katika falsafa yake, utaratibu na mielekeo yake ina tabia maalumambayo watu wenye busara, watu wenye akili timamu na mabingwa walugha wanaielewa wazi. Wakati wanaposikia au kusoma jambo fulani laSunna, wao wanaliona dhahiri kutokana na akili zao za kawaida na vigezo.Wanaviona vipengele vyake na dalili zake wazi wazi pia bila ya shaka walakulitilia wasiwasi.

Sunna ilikuwa ni ya juu zaidi kuliko kuwa na magugu yenye miiba,ambayo kwayo Abu Huraira amechoma zile akili nzuri na amejeruhi vilevigezo vya kisayansi kabla hajazigeuza au kuzibadili zile Shariah Tukufuna kumkosea Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na umma wake.

Kwa kifupi, Sunna ilikuwa ni utaratibu wa Uislam na maisha, ambayokutokana nayo, maisha lazima yawe ya mfano hasa katika maadili, imani,mahusiano ya kijamii, elimu na fasihi. Hivyo haikuwa ni busara kuwakimya kuhusu uingiliaji huu wa kuhuzunisha katika dhati ya Uislam,ambayo imetoa mwito juu ya kuwa huru kutokana na imani za kipumbavuna imani za ushirikina ambazo akili imezikataa kwa uwazi kabisa. Hivyo

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 3

Page 13: Abu Huraira

4

Abu Huraira

ilikuwa ni muhimu kabisa kuvisafisha vitabu vya Hadith kwa kuondoariwaya nyingi zilizosimuliwa na mtu huyu ambazo akili haizikubali.

Nasema kwamba naweza nikaziona baadhi ya nyuso zikijikunja, nanyingine zikinywea na kujitanibu nami. Zinaweza kufanya hivyo, kwasababu ya urithi, malezi na mazingira, kujihadhari kutokana na ukweliuliong’arishwa na utafiti, tofauti na walivyodhani kwamba masahaba wotewalikuwa waadilifu na wakweli bila kuyajaribu matendo yao na simulizizao kulingana na kigezo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alichokiweka kwaumma wake. Kwa sababu usahaba kwa maoni yao ulikuwa ni utakatifu nayeyote aliyekimbilia huko hawezi kushutumiwa na lolote lile alilolifanya.Hili lilikuwa halikubaliki, na ni dhidi ya ushahidi na liko mbali kabisa naukweli.

Kwa kweli usahaba ulikuwa ni sifa kubwa sana lakini haukuwafanya masa-haba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuwa maasum wasiotenda makosa.Miongoni mwa masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walikuwepowatakatifu, wanyofu na wakweli, kadhalika na wasiojulikana. Piawalikuwepo wanafiki, waliofanya makosa na uhalifu. Qur’ani tukufuimetamka wazi: “….. na miongoni mwa watu wa Madina pia ni wakai-di katika unafiki; wewe huwatambui, Sisi tunawatambua hao.”(9:101). Hivyo tunaweza kuwategemea wale masahaba wakweli nakufanya utafiti ili kuwa na hakika kuhusu wale wasiofahamika, ambapowale wenye hatia na wahalifu hawana thamani, wao wala riwaya zao.

Haya ndio maoni yetu kuhusu yoyote yule anayesimulia Hadith ya Mtume.Qur’ani na Sunna ndio vilikuwa mwongozo wetu.1 Hatukuwasamehe1 Lakini Sunni walikwenda mbali zaidi kwa kuweka uzingo mtakatifu kumzungu-ka yeyote anayeitwa sahaba mpaka wakawa wamekithiri. Walimwamini kilammoja, mwema na muovu. Waliwafuata kibubusa watumwa walioachwa huru(ambao Mtukufu Mtume (s) aliwaacha huru alipoiteka Makka) na kila mmojaalimsikia au kumuona Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Walimkatalia yeyote aliye-wapinga hao kupita mipaka yote. Rejea uk. 11-15 na uk. 23 katika kitabu chetu“Majibu ya Musa Jarallah.” (Answers of Musa Jarallah).

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 4

Page 14: Abu Huraira

5

Abu Huraira

kamwe waongo hata kama wao walikuwa wanaitwa masahaba kwa sababuilikuwa ni kukosa uaminifu kwa Mwenyezi Mungu, Mtume Wake na kwaumma. Ilitosha kwetu sisi kutegemea juu ya fiqhi, unyofu na ukweli wamasahaba mashuhuri wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Ahlul-Bayt wake,ambao yeye (s.a.w.w.) aliamuru kuwa na hadhi sawa na Qur’ani na kuwamfano kwa ajili ya wenye hekima.

Matokeo yake, tumekubaliana, hata kama tulikuwa na tofauti kwa namnafulani hapo mwanzoni, kwamba Sunni waliwaheshimu Abu Huraira,Samara bin Jundub, al-Mughira, Mu’awiyah, Amr ibn Al-Aas, Marwan binHakam na wanaofanana na hao, kwa sababu wao (Sunni) waliwatukuzaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na wale waliokuwa miongoni mwa masahabawake. Wakati huo huo, tuliwalaumu kwa kumtukuza tu Mtukufu Mtume naSunna yake kama mtu tu aliyekuwa tayari kupokea, ambaye alielewamaana ya utukufu na umashuhuri.

Bila shaka, baada ya hilo, yule ambaye alimkanusha yeyote aliyehusishakwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) jambo lisiloaminika, alistahilikumheshimu Mtume na alistahili kuwa katika ile njia ambayo MtukufuMtume (s.a.w.w.) aliipendelea juu ya umma wake. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alionya kwamba watakuwepo waongo wengi watakaozushauongo wakati wa kusimulia Hadith zisizo sahihi na aliwaonya waongo haokuja kuwepo katika Moto wa Jahannam.

Hapa ninauchapisha uchunguzi huu katika kitabu (Abu Huraira) kwa ajilitu ya kuonyesha ukweli na kuitakasa Sunna na upachikwaji wake kwaMtume maarufu aliyetakasika, ambaye kamwe hazungumzi kwa mata-manio yake 53:3, kuwa muaminifu kwa ajili ya ukweli katika fikra njemana mnyofu katika kufikiri na kuwa mwadilifu kwa ajili ya haki kulinganana misingi ya kisayansi na kiakili, ambayo inakataa kumheshimu muongoanayezusha uongo mwingi na kuupachika kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)na kuondolewa kwenye shutuma kwa sababu tu kwamba alikuwa mmojawa masahaba wa Mtume. Tunakataa kuzikubali kijinga jinga riwaya zili-

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 5

Page 15: Abu Huraira

6

Abu Huraira

zosimuliwa na mtu huyu kuhusiana na Sunna ya Mtume, ambayo ilikuwana stahiki kubwa ya kuheshimiwa kwa sababu ilikuwa ni ujumbe waMtukufu Mtume kwa ulimwengu wote hadi Siku ya Kiyama.

Mtu yeyote asije kukunja uso wala kuhuzunika wakati tunapowasilishakitabu kwa uchunguzi adilifu, kwani tunaheshimu fikra huru na hatutakikuishusha chini ya nguvu kandamizi na kisha kuzungukwa na ukuta wauwongo wa utukufu bandia “….. ndipo ukingo wa ukuta wenye mlangoutapigwa kati yao, ndani yake kuna rehema na upande wake wa njekuna adhabu.” (57:13)

Hatutaki uso wowote kujikunja au mtu yoyote kuhuzunika, lakini kwakweli tunataka kila mtu aliyeko chini ya wingu jeusi la Hadithi mbaya, zili-zomfikia baada ya kupita zama baada ya zama, aweze kuwa huru kutokanana ushabiki au ushupavu na asome kitabu hiki kwa makini zaidi;

“Ambao husikiliza kauli (nyingi) kisha wakafuata zilizo nzuri zaidi.Hao ndio aliowaongoza Mwenyezi Mungu, na hao ndio wenye akili.”(39:18)

Hatukusudii kwa kitabu hiki, namuapa Mwenyezi Mungu, kuuvunja umojabaina ya madhehebu mbalimbali za Waislam, ambao sasa utakuwa wenyekushughulika katika siku hizi za mwamko, bali kuuimarisha umoja nauhuru wa maoni na imani kuwekwa katika njia iliyo sahihi.

Heshima ya kiakili ndio heshima bora zaidi ambayo watu wenye busarawote wanaitafuta hata kama ikiwagharimu fedha nyingi au maisha yao kwasababu ni njia kuelekea kwenye utukufu na daraja kwa ajili ya umoja.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 6

Page 16: Abu Huraira

7

Abu Huraira

Lakini endapo mmoja wa ndugu zetu muislam atageuzia mbali uso wakekwa dharau, namuomba kiasi tu ayasikilize maelezo haya rahisi na kishaatoe ushauri wake. Insha’allah atatukuta sisi tumedhamiria zaidi kuimar-isha umoja baina ya Waislam licha ya miiba na ugumu vinavyochoma akiliya kuganda kwenye dhamiri.

Hapa tutazungumza kuhusu mawazo mbalimbali tofauti; baadhi yao yal-ishughulika na akili na uwezo wake na upeo, baadhi yaligusa imani katikamielekeo na maana zake, baadhi yaligusa mienendo ya tabia, mengineyalikuwa pinzani yakikanusha kila mojawapo, mengine yalikuwa mbali namisingi ya kielimu yaliyofikiwa kutokana na asili ya kidini na mengi yaoyalikuwa ni kuwasifu mno Bani Umayyah au kwa maoni ya jamii kwa sikuhizo, na mengine yalikuwa ni dhana na wendawazimu. Lakini yote hayoyalikuwa mbali kabisa na haki.

Moja ya maajabu ya Abu Huraira ni kwamba malaika wa mauti alikuwaakiwajia watu waziwazi, lakini alipokuja kwa Nabii Musa (a.s.) ilikuchukua roho yake, Musa alimpiga na kumng’oa jicho lake. Baada yatukio hili, malaika wa mauti akawa anawaendea watu bila kuonekana!

Ajabu nyingine moja ya Abu Huraira ilikuwa ni yale mashindano kati yaMusa na jiwe. Musa (a.s.) aliweka nguo zake juu ya jiwe ili aoge baharinimbali na watu. Jiwe hilo likakimbia pamoja na nguo za Musa (a.s.) nakumlazimisha alifukuze akiwa uchi kama alivyozaliwa mbele ya wana waIsraili ili kukanusha minong’ono inayosema kwamba Musa (a.s.) alikuwaana henia. Kwamba Musa (a.s.) alilifukuza jiwe hilo huku akipigamakelele: “Ewe jiwe, nguo zangu. Ewe jiwe, nguo zangu.” Jiwe likasima-ma baada ya kukamilisha kazi yake. Kwamba Musa (a.s.) akaanza kulipi-ga jiwe hilo kwa fimbo yake vikali sana mpaka ikaweka alama juu ya jiwehilo. Kulikuwa na alama sita au saba juu ya jiwe hilo.

Jambo la kichekesho kabisa katika riwaya hii lilikuwa ni kule kusita kwaAbu Huraira kuhusu ile idadi ya makovu au alama juu ya jiwe hilo, kwa

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 7

Page 17: Abu Huraira

8

Abu Huraira

sababu ya uchamungu uliowekwa juu yake wa kutokusimulia Hadithisipokuwa pale anapokuwa na uhakika kana kwamba alikuwa na uhakikawa mwanga wa jua!

Na; wale nzige wa dhahabu waliokuwa wakimuangukia Nabii Ayub wakatialipokuwa anaoga na kwamba alianza kuwakusanya katika nguo zake.

Na; watoto wawili wachanga waliozaliwa punde wakiongea kwa busara namantiki kuhusu ghaibu ambako hakukuwa na sababu ya kuvunja kanuni zaasili.

Na; ng’ombe na mbwa mwitu wanaoongea kiarabu fasaha na kuonyeshakwamba walikuwa na mantiki, hekima na elimu kuhusu ghaibu ambakohakuna sababu yoyote ya changamoto na miujiza. Abu Huraira aliisimuliaHadith hii kuonyesha ubora wa khalifa wa kwanza na wa pili.

Na ushirikina mwingine wa ajabu: kwamba shetani alikuja kwenye makaziya Abu Huraira usiku kwa siku tatu mfululizo kuja kuiba chakula kwa ajiliya wanawe wenye njaa.

Na: kwamba taifa moja la Wana Israil lilipotea na baada ya kuwatafutawaliwakuta wamegeuka panya. Ushahidi ulikuwa ni kwamba palewalipopewa maziwa ya ngamia hawakuyanywa na walipopewa maziwa yakondoo waliyanywa.

Na: kwamba yeye (Abu Huraira) alikuwa pamoja na al-Ala’ wakiwa najeshi la wapiganaji wapatao elfu nne. Walifika kwenye ghuba moja ambayoilikuwa haijawahi kuvukwa hapo kabla yao na haitakuja kuvukwa baadayao. Al-Ala’ alikamata hatamu za farasi wake na akatembea juu ya maji!Jeshi hilo lilimfuata bila ya unyayo, kiatu au kwato kuloa maji!

Na: riwaya yake kuhusu shanta yake, ambayo ilikuwa na tende chachekiasi, ambazo alilisha nazo jeshi zima wakati tende zikabakia kama

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 8

Page 18: Abu Huraira

9

Abu Huraira

zilivyokuwa. Alikuwa akiishi na shanta hii kwa kipindi chote cha MtukufuMtume (s.a.w.w.), Abu Bakr, Umar na Uthman mpaka ilipoibiwa wakatiwa mapinduzi dhidi ya Uthman.

Na: riwaya yake kuhusu Nabii Daudi (a.s.), ambaye alimaliza kusomaQur’ani Tukufu katika muda mfupi kabisa. Aliamuru farasi wake awekwematandiko na kabla hajatandikwa matandiko hayo, yeye akawa amemalizakuisoma Qur’ani yote. Je hiyo si kama mtu anayesema: Aliiweka duniayote ndani ya yai?

Katika baadhi ya riwaya zake, yeye ameshughulika na Mwenyezi MunguMutukufu. Ubunifu wake umetengeneza maumbile kadhaa kwa ajili yaMwenyezi Mungu. Hayo yaepuke mbali na Yeye! Amesema kwambaMungu alimuumba Adam kwa sura Yake Mwenyewe. Alikuwa na dhiraasitini za urefu na dhiraa sabini za upana. Abu Huraira amepanua sana kati-ka riwaya hii. Wakati fulani alisema: Kama mmoja wenu amegombana namwenzie, aepuke kulenga usoni kwa sababu Mwenyezi Mungu amemuum-ba Adam kulingana na umbile Lake Mwenyewe. Wakati mwingine alise-ma: Adam ameumbwa kulingana na umbo la Mwingi wa Fadhila.

Mtu huyu alipumbazwa na ubunifu wake wa kuchora picha kama hiyo kwaajili ya Mwenyezi Mungu na Adam kwa maelezo na maelekezo mahiri,ambayo kama tutayahusisha na Uislam, tutaona mambo mengi ya ajabuyatakayotufanya tucheke na kulia kwa wakati mmoja huo huo.

Alisimulia Hadith nyingine akisema kwamba Mwenyezi Mungu atautokeaumma huu mnamo Siku ya Kiyama katika umbile tofauti na lile wanaloli-jua na atasema: Mimi Ndiye mungu wenu. Wao watasema: Munguaepushilie mbali! Sisi hatutaondoka hapa mpaka atakapotujia Mungu wetu.Kama akija hapa sisi tutamtambua. Kisha Mungu atakuja kwa sura wanay-oifahamu na atasema: Mimi ni Mungu wenu. Wao watasema: Wewe niMungu wetu. Kisha watamfuata.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 9

Page 19: Abu Huraira

10

Abu Huraira

Yeye Abu Huraira aliisimulia hii katika hekaya ndefu yenye giza iliyojaaubunifu, ikimuonyesha Mungu katika maumbile tofauti, akijigeuza sura,akija na kuondoka katika matendo ya uigizaji na mizaha, majadiliano nahila. Riwaya hii ilimdhihaki Mwenyezi Mungu kwa namna ambayo sio tuinayopingana na imani ya Kiislam na misingi ya kawaida tu ya uadilifu balipia ile adabu bora kabisa kama tukikubali – Mungu aepushilie mbali –wazo la mfano mwema, naliwe mbali na Mwenyezi Mungu Mtukufu.

Na Hadithi yake kwamba Jahannam haitajaa mpaka Mwenyezi Munguatakapoweka mguu wake ndani yake! Katika moja ya maajabu yakekuonyesha kwamba Jahannam itajivunia kuwa na watu madhalimu nakiburi, wakati ambapo Pepo itakuwa nyonge kwa kuwa na watu masikinina waliokanganyikiwa.

Na riwaya yake kwamba Mwenyezi Mungu huwa anashuka hadi kwenyeuwingu wa chini kabisa kila usiku na kusema: “Nani atakayeniomba ilinimkidhie ombi lake?” Na nyingine nyingi kama hizo ambazo zilikuwandio chanzo cha kumpa mwili Mwenyezi Mungu kuanza katika zama zautata wa mawazo mengi, na kwa sababu yake kwamba namna nyingi zauasi na makosa kujitokeza.

* * * * *

Abu Huraira alisimulia Hadith nyingi kuhusu mitume (a.s.). Aliwaelezeakwa namna yoyote ile alivyotaka yeye. Katika moja ya Hadith hizo,alisimulia hofu za Siku ya Kiyama. Watu watakimbilia kwa Adam kishakwa Nuh, kisha kwa Ibrahim kisha kwa Musa halafu kwa Isa (a.s.) katikaghasia zisizo na maana, kwani mitume hawa (kama alivyojifaragua AbuHuraira) wamezuiwa kufanya uombezi na Mwenyezi Mungu, ambayealikasirika sana juu yao (hapo kabla) kwa kiwango ambacho Yeyehajakasirika kama hivyo kabla ya hapo, wala hatakuja kukasirika baada yahapo, kwa sababu wao (hao Manabii) walikuwa wametenda makosa (yaliy-

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 10

Page 20: Abu Huraira

11

Abu Huraira

obuniwa na fikra za Abu Huraira). Abu Huraira hakupata njia yoyote yakumpendelea Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) isipokuwakuwashushia hadhi mitume wengine (amani iwe juu yao wote).

Vilevile riwaya yake alipohusisha mashaka kwa Nabii Ibrahim (a.s.)wakati anaposema (akinukuu Qur’ani tukufu): “Na (kumbukeni)Ibrahim aliposema: Mola Wangu! Nionyeshe namna unavyofufuawafu…..” (2:260) ambamo Abu Huraira alimfanya Nabii Muhammadkuwa mwenye sababu ya kuwa na shaka kuliko Ibrahim na akamfanyaNabii Yusuf kuwa mbora zaidi kuliko Mtukufu Mtume Muhammad(s.a.w.w.) kwani yeye alikuwa na subira. Alimlaumu Nabii Lut pale ana-posema:

“Akasema: Laiti ningekuwa na nguvu juu yenu, au nategemea kwenyenguzo yenye nguvu.” (11:80).

Na Hadith yake ambayo ilionyesha kwamba Nabii Suleiman alivunjahukmu ya baba yake ambayo ilihusu mtoto ambaye akina mama wawiliwalidai kila mmoja wao kuwa ni wake, na Nabii Daudi akahukumu kwam-ba mtoto huyo alikuwa ni wa yule mwanamke mtu mzima. Suleimanakasema: “Nileteeni kisu ili nimkate mtoto huyu katika nusu mbili, kilamama mmoja achukue nusu moja.” Yule mama wa umri mdogo akalia:“Usifanye hivyo tafadhali.” Hivyo akaamua kwamba mtoto huyo ni wake.Ile tofauti kati ya manabii wawili kuhusu hukumu ya Mwenyezi Munguilikuwa haikutegemewa kwa mujibu wa Sharia ya Kiislam. Jambo la ajabusana katika imani hii potovu ilikuwa kwamba Abu Huraira alisema kwam-ba yeye hajawahi kusikia juu ya sikkiin (kisu) katika maisha yake ambapowalikuwa wakikiita midya.

Na riwaya yake kwamba Nabii Suleiman alisema: “Mimi nitakwendakulala na wanawake mia moja usiku huu ambao kwamba kila mmoja

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 11

Page 21: Abu Huraira

12

Abu Huraira

atazaa mtoto wa kiume, ambaye atapigana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu.”Malaika akamtaka aseme Insha’allah. Yeye hakusema hivyo. Hivyo haku-na yeyote kati ya wake zake hao aliyezaa mtoto wa kiume isipokuwammoja tu, ambaye alizaa nusu binadamu!

Na Hadithi nyingine kuhusu mdudu chungu ambaye alimuuma Nabii Musa(a.s.). Musa akawaamuru wafuasi wake kuteketeza kijiji cha wadudu chun-gu hao. Kisha Mwenyezi Mungu akamtia msukumo: “Kwa sababu yamdudu chungu aliyekuuma wewe, umeunguza taifa zima ambalo lilim-tukuza Mwenyezi Mungu!”

Na Hadith yake kuhusu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) kwamba aliwadhu-ru, kuwakashifu, kuwalaani na kuwachapa viboko watu wasio na hatia kwasababu tu ya hasira, kwa hiyo kuwadhuru kwake, kuwakashifu, kuwalaanina kuwachapa viboko kutakuwa ni ungamo kwa ajili ya dhambi zao.

Kama hiyo ilihusishwa na Firauni, hiyo itakuwa ni aibu juu yake. Ni vipikuhusu Mtume wetu maaasum! Baadhi ya watu walilaaniwa na MtukufuMtume na hawakustahili msamaha, je Abu Huraira atatulazimisha sisikuwapenda na kuwaheshimu hao kama watu waadilifu? Ni vigezo vipisahihi baada ya kigezo hiki cha kichekesho cha Abu Huraira?

Katika Hadith nyingine yeye amesema kwamba shetani alikuja kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuvuruga swala zake. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimkaba shetani na akataka kumfunga kwenye nguzokuwaruhusu watu wamtazame akiwa amefungwa, lakini alikumbuka usemiwa Nabii Suleiman (a.s.): “Akasema: Mola Wangu; nisamehe na unipeufalme, asiupate yeyote baada yangu, bila shaka Wewe ndiye Mpaji.”(38:35), na kisha akamuacha huru.

Na riwaya yake inayosema kwamba Mtume Muhammad (s.a.w.w.) alikuwaamelala na akaikosa swala ya al-Fajr.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 12

Page 22: Abu Huraira

13

Abu Huraira

Na nyingine nyingi, ambazo zimefungua milango ya kusema kwambamitume (a.s.) hawakuwa Maasum na waliweza kufanya makosa. Hiihaikubaliki kwani inafuta ile maana halisi na asili ya utume.

* * * * *Kulikuwa na aina nyingine ya Hadith zake inayokuonyesha kupingana kwauwazi kabisa. Zitazame Hadith mbili za Abu Salama, ambazo amezisikiakutoka kwa Abu Huraira kuhusu maambukizi. Alikataa katika ile Hadith yakwanza na akaithibitisha katika ile ya pili. Abu Salama alimuuliza: “Jehukusema kwamba hakuna maambukizi?” Abu Huraira akaikataa Hadithyake ya kwanza na akaanza kubwabwaja kwa ki-Abyssinia.

Angalia Hadith yake kuhusu Nabii Suleiman (a.s.) na wake zake. Wakatimwingine alisema kwamba wao walikuwa mia moja. Wakati mwinginetena akasema walikuwa tisini, sabini na sitini. Yote hayo yametajwa katikavitabu vya Hadith.

Kama utaiona Hadith yake kuhusu kuhama, utaona wazi kwamba alikuwani mtumishi masikini mwenye njaa na mtembea pekupeku. Alimhudumiahuyu na yule kwa ajili ya mlo. Yeye aliwezaje kuwa na mtumishi, ambayealizungumzia kuhusu yeye huyo huko Sham1 (Damascus)? Yeye alisema(wakati wa utawala wa Muawiyah): “Nilipokuja kukutana na MtukufuMtume (s.a.w.w.) mtumishi wangu akanitoroka humo njiani. Wakatinilipokuwa na Mtukufu Mtume nikimtembelea, mtumishi wangu akaingia,na Mtume akaniambia: “Huyu ni mtumishi wako?” Mimi nikasema:“Ndio, nimemuacha huru kwa ajili ya Mwenyezi Mungu.”

Angalia riwaya zake anazozungumzia kuhusu yeye mwenyewe wakatialipokuwa akiishi kwenye makazi ya Suffa.2 Utaona kwamba alikuwa1 Hivi sasa ni Syria, Jordan, Palestina na Lebanoni2 Makazi yaliyotengenezwa pembeni ya msikiti kwa ajili ya watu mafukara namasikini kuishi humo.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 13

Page 23: Abu Huraira

14

Abu Huraira

mmoja wa wakazi mafukara walioishi humo. Aliishi ndani ya makazi hayopamoja na kipindi cha uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Yalikuwa ndiomakazi yake mchana na usiku, kwani alikuwa hana ukoo wala nyumbahapo Madina. Alijivisha mwenyewe na kipande cha nguo ya sufi, ambachochawa walikuwa wakitambaa humo. Alikifunga kipande hicho kwenyeshingo kufikia kwenye miguu yake. Alikikusanya kwa mikono yake ilikuficha sehemu zake za siri zisionekane. Njaa ilimwangusha na kukosafahamu baina ya mimbari na chumba cha msikiti huo. Hivyo ni wapialikopata nyumba aliyojisingizia katika siku za mwisho za uhai wake?Ilikuwa ni sehemu ya riwaya aliyoisimulia huko Damascus kuhusu yeyemwenyewe na mama yake ambaye alikuja kuwa Mwislam kwa MtukufuMtume (s.a.w.w.), na Mtume kumuombea mama huyo na mwanawe, kamaalivyosema yeye.

Angalia malalamiko yake dhidi ya wale waliozikataa riwaya zake.Utayaona yakipingana na kutokuwa na thamani kiasi kwamba usikivuunayakataa kwa upuuzi wake na akili zinayakataa kwa kukosa kwakemaana. Ushahidi wa Abu Huraira dhidi ya wale walioshutumu riwaya zakeulikuwa ni riwaya iliyosimuliwa na yeye mwenyewe akisema kwambawakati mmoja alitandaza nguo yake mbele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Mtukufu Mtume akaanza kutoa elimu kwa mikono yake na kuiwekakwenye nguo hiyo huku akisema kumwambia Abu Huraira: “Ikusanye nakuiunganisha kifuani kwako.” Abu Huraira aliikusanya kifuani kwake naakawa huru kutokana na kusahau; kwa hiyo yeye alikuwa ndiye sahababora kabisa katika kuihifadhi Sunna kichwani mwake na mwenye kuitam-bua sana.

Ni ushahidi wa kidhihaka kiasi gani ambao uliwahudumia wapinzani wakekuliko kumhudumia yeye mwenyewe! Ulithibitisha kwamba kile wali-chokihusisha kwake kilikuwa ni sahihi kwamba yeye alisimulia Hadithkulingana na hasira zake bila ya kujua alichokuwa akikisema. Lakini hatu-na wa kuhukumu kati yetu isipokuwa Allah.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 14

Page 24: Abu Huraira

15

Abu Huraira

Ilikuwa inatosha kwetu sisi kwamba yeye alisimulia Hadith bila ya kuonana kusikia halafu akajifanya kwamba aliona na kusikia. Hapa ni mfanommojawapo:

Abu Huraira anasema kwamba siku moja aliingia nyumbani kwa Ruqayya,binti ya Mtukufu Mtume na mkewe Uthman. Yeye Ruqayya alikuwaameshika chanuo mkononi mwake. Akasema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alikuwa hapa na ameondoka muda mchache uliopita. Nilizichana nywelezake.”

Ni uhakika kwamba Ruqayya alifariki katika mwaka wa tatu wa Hijiriabaada ya vita vya Badr na Abu Huraira alikuja Madina na kuwa Mwislamkatika mwaka wa saba Hijiria, baada ya vita vya Khaybar. Hivyo ni wapiangeweza kukutana na Ruqayya na chanuo lake?

* * * * *

Huu hapa ni mfano wa Hadith zake, ambazo zilikuwa mbali kabisa namisingi ya kielimu ya Uislam. Yeye amesema: “Mtume Muhammad(s.a.w.w.) alitutuma sisi kwenye kazi na akasema: “Kama mtamuonafulani na fulani (aliwataja kwa majina) wachomeni wote kwa moto.”Tulipokuwa tunataka kuondoka alisema: “Nilikuwa nimewaagiza kuwa-choma moto watu wale wawili, lakini ni Mwenyezi Mungu peke Yakeatakayewaadhibu watu kwa moto, hivyo kama mkiwaono basi wauweni.”Ulikuwa ni ubatilishaji wa jambo kabla ya wakati wake haujafikiwa.Lilikuwa haliwezekani kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.

Alikuwa na Hadith nyingi zisizosadikika na za ubunifu. Tulitaja sita kati yahizo mwishoni mwa Hadith zake arobaini mwishoni mwa kitabu hiki kuwamfano wa hizo nyingine.

* * * * *

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 15

Page 25: Abu Huraira

16

Abu Huraira

Aliwasifu sana Bani Umayyah na wasaidizi wao kitumwa mno. Na alisifumaoni ya umma katika siku zile sana kupita kiasi. Tulizitaja baadhi yaHadith zake kuhusiana na hili katika milango inayofuata. Unawezaukazichunguza kwa uadilifu bila upendeleo kuona kwamba alikuwamwenye njaa na alikuwa anataka kujaza tumbo lake kupitia uzushaji waHadith kwa ajili ya hili na lile. Alikuwa anataka kuridhisha udhanifu wake,udhanifu wa mtu ambaye alinyimwa furaha za maisha ya kawaida. Yeye,baada ya hapo, alikiri kwamba alikuwa mahali pa usalama katika umriambao ulimdharaulisha na kumshindisha na njaa na kisha akatupwakwenye zama ambazo zilikidhi njaa yake kiasi tu cha kuzusha Hadith.Baada ya hapo, je tunaweza kumuamini yeye na kumtegemea kamaushahidi? Je tuweke akili zetu na imani chini ya miguu yake bila ya kufikiriwala kutafakari?

Kama hilo lilikuwa ni sahihi kulingana na akili na Shari’ah, basi ngoja AbuHuraira na wafuasi wake waende kwenye sehemu yao takatifu ambayoimesimamishwa na siasa na kuwekwa katikati ya Hadithi na urithi kadhaa.

Na kama Hadithi na urithi vilikuwa ni chanzo cha utenganisho au chombocha kutokukubaliana, ngoja viwe hivyo hadi jua litakapochomoza. –“…..Sitaki ila kutengeneza ninavyoweza na sipati kuwezeshwa hayaila kwa Mwenyezi Mungu, kwake ninategemea na kwake ninaelekea.”(11:88)

ABU HURAIRA

Alisimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Hadithi za ziada – nyin-gi mno. Vitabu Sita vya Hadith vya Sunni na vitabu vyao vyingine vilivy-obakia vimesimulia kutoka kwake Hadithi nyingi mno. Mbele ya idadi hiikubwa ya Hadith, hatukuwa na jinsi ila kuchunguza juu ya vyanzo vyake,kwa sababu zilihusu maisha yetu ya kidini na kiakili. Vinginevyotungezigeuzia mgongo kuzipuuza hizo na msimuliaji wake na kushughuli-ka na jambo jingine lenye umuhimu zaidi.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:45 AM Page 16

Page 26: Abu Huraira

17

Abu Huraira

Lakini Hadithi hizi nyingi zisizo na idadi zilienea kwenye matawi na miz-izi ya dini ambazo ziliwafanya Sunni wote wa madhehebu manne naAsharia na wahadhiri wao kuziamini na kizitegemea wakati wana-poshughulika na Shari’ah (Fiqh). Hivyo hapakuwa na njia isipokuwakutafiti juu ya msimuliaji mwenyewe na riwaya zake ili kuwa na hakikajuu ya kanuni za Mwenyezi Mungu na Shari’ah Yake.

JINA LAKE NA NASABA YAKE *

Abu Huraira alikuwa haeleweki wazi katika nasaba na familia. Watuwalikuwa wanatofautiana sana kuhusu jina lake na lile la baba yake. Jinalake lilikuwa halifahamiki katika zama za kabla ya Uislam na zama zaUislam.3 Alikuwa akijulikana kwa jina lake la ukoo. Alikuwa anatokana naDouss. Ni kabila la Yemen lililoshuka kutokana na Douss bin Adnan binAbdullah bin Zahran bin Ka’b bin al-Harith bin Ka’b bin Malik bin an-Nazhr bin al-Azd bin al-Ghouth.

Ilisemekana4 kwamba jina la baba yake lilikuwa Umayr na alikuwa mtoto

*Kwa jina la Allah, Mwingi wa rehma Mwenye kurehemu, na amani iwe juu yawaja Wake wateule. Abdul-Husein bin Sharafud-Din al-Musawi al-Aamily,anayetegemea radhi na msamaha wa Mwenyezi Mungu anasema: Huu niufafanuzi uliojumuisha rejea za kitabu hiki. Hatukuacha hata kidogo isipokuwatumerejea kwenye chanzo chake. Tunategemea watafiti kukirejelea. Ninawasilishakitabu hiki kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu akifanye kiwechenye manufaa kwa wengine.3 Hili lilitajwa hasa na Abu Umar bin Abdul-Birr katika wasifu wa Abu Hurairakatika kitabu chake kiitwacho Al-Isti’ab. Kama ukisoma kuhusu wasifu wake kati-ka vitabu vingine kama Al-Isaba, Usudul-Ghaba, Tabaqat ya Ibn Sa’ad na vingineutaona kwamba ukoo na nasaba hazikufahamika wazi.4 Na Muhammad bin Hisham bin as-Sa’ib al-Kalbi aliyetajwa kwenye Tabaqat yaIbn Sa’d katika wasifu wa Abu Huraira na kuthibitishwa na Abu Ahmed ad-Dimyati kama ilivyo katika al-Isaba ya Ibn Hajar katika wasifu wa Abu Huraira.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 17

Page 27: Abu Huraira

18

Abu Huraira

wa Aamir bin Abd Thi ash-Shara bin Tareef bin Ghiyath bin Abu Sa’b binHanayya bin Sa’d bin Tha’laba bin Sulaym bin Fahm bin Ghanam binDouss. Mama yake alikuwa ni Umayma bint Sufayh bin al-Harith binShabi bin Abu Sa’b bin Hunayya bin Sa’d bin Tha’laba bin Sulaym binFahm bin Ghanam bin Douss.5

Alipewa jina la kiukoo la Abu Huraira kwa sababu ya paka mdogoaliyekuwa amempenda sana.6 Pengine ilikuwa ni kwa sababu ya mapenziyake juu ya paka wake huyo kwamba alisimulia Hadith kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema: “Mwanamke ataingia motoni kwa sababu yapaka. Alimfunga. Yeye hakumlisha wala hakumuacha ajilishe kwa waduduwa ardhini.”7 Bibi Aisha, mke wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliikanushaHadith hii kama utakavyosoma katika sehemu yake ya kitabu hiki,Insha’allah.

5 Kama ilivyokuwa imetajwa na Ibn Sa’d katika Tabaqat yake uk. 52, Sehemu ya2 Juz. 4

6 Ibn Qutayba ad-Daynouri ametaja katika kitabu chake al-Ma’arif, uk. 93 kwam-ba Abu Huraira amesema: “Niliitwa Abu Huraira kwa sababu ya paka mdogo (kwaKiarabu Hirra maana yake paka na huraira maana yake paka mdogo wa jikoni)niliyekuwa nikicheza naye.” Ibn Sa’d katika Tabaqat yake, katika wasifu wa AbuHuraira ameeleza kwamba Abu Huraira amesema: “Nilichunga kondoo nanilikuwa na paka mdogo. Usiku ulipoingia nilimuweka juu ya mti na asubuhi nil-imshusha na kucheza naye, hivyo wakaniita Abu Huraira.” Yeyote aliyeandikuakuhusu wasifu wa Abu Huraira alilitaja hilo au jambo kama hilo. Alidumishamapenzi kwa paka wake na kucheza naye katika siku za Uislam mpaka MtukufuMtume Muhammad (s.a.w.w.) akamuona akimuweka paka wake ndani ya mkonoya nguo yake. Hili lilitajwa na al-Fayrooz Abadi katika kitabu chake, Al-Qamuusal-Muhiit, makala juu ya hirra.

7 Imesimuliwa na Bukhari katika Sahih yake Jz. 2, uk. 149 na pia Ahmad bin

Hanbal katika Musnad yake Jz. 2, uk. 261.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 18

Page 28: Abu Huraira

19

Abu Huraira

MAISHA YAKE YA AWALI, KUWA MWISLAM NA USAHABA WAKE NA MTUKUFU MTUME

(S.A.W.W.)Alizaliwa nchini Yemen na kukulia huko hadi alipopitisha umri wa miakathelathini.8 Alikuwa mjinga sana kiasi kwamba alikuwa hana hata chembeya umaizi, wala hata utambuzi japo kidogo. Alikuwa masikini aliyesa-hauliwa na zama, yatima aliyekumbwa na ufukara, akimtumikia huyu nayule, mwanaume au mwanamke kiasi cha kupata kujaza tumbo lake,9miguu pekupeku, bila ya nguo, alipambana na fedheha hii, akifarijiwa nahali yake.

Lakini pale Mwenyezi Mungu alipothibitisha kazi ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) hapo Madina baada ya vita vya Badr, Uhud na Ahzaab na kad-halika, hapakuwa na njia ya kuingia kwa masikini huyu aliyechanganyiki-wa bali ile ya Uislam. Alihama kwenda kumtembelea Mtukufu MtumeMuhammad (s.a.w.w.) baada ya vita vya Khaybar katika mwaka wa sabawa Hijiria kwa mujibu wa wanahistoria wote.

Na kuhusu usahaba na Mtume, huo ulikuwa ni miaka mitatu kama alivy-otangaza mwenyewe katika moja ya riwaya zake zilizosimuliwa na al-Bukhari.10

8 Nilikuja kutoka Yemen wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa Khaybar.Wakati huo nilikuwa na umri wa zaidi ya miaka thelathini.9 Abu Huraira alizungumza kuhusu yeye mwenyewe na akasema kama ilivyota-jwa katika wasifu wake ndani ya Isaba, Hilyatul-Awliya, na vitabu vinginevyo:“Nilikuwa mtumishi wa Ibn Affan na binti ya Ghazwan. Niliongoza hamali laowakati walipopanda na niliwahudumia waliposhuka kwa ajili ya chakula tu nipatekuishi.”10 Ndani ya Sahih Bukhari yake, Jz. 2, uk.182. Pia imeelezwa katika wasifu waAbu Huraira katika Issaba na Tabaqat.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 19

Page 29: Abu Huraira

20

Abu Huraira

WAKATI WA ZAMA ZA MTUKUFUMTUME (S.A.W.W.)

Wakati Abu Huraira aliposilimu na kuwa Mwislam, alijiunga na mafukarawa Suffa ambao kama Abul-Fida alivyoeleza katika kitabu chake Taarikhal-Mukhtassar (Historia fupi), walikuwa ni masikini wasiokuwa na makaziwala ndugu. Walilala hapo msikitini na waliishi humo wakati wa MtukufuMtume (s.a.w.w.). Suffa ndio ilikuwa makazi yao, hivyo walijulikana kwajina la Ahlus-Suffa. Wakati Mtume alipokuwa anapata chakula chake chajioni, alikuwa anawakaribisha baadhi yao kula pamoja naye na aliwapele-ka wengine kwenda kula na masahaba zake. Mmoja wa wakazi maarufusana wa Suffa alikuwa ni Abu Huraira.11

Abu Nu’aim al-Isfahani amesema katika kitabu chake Hilyatul-Awliyah.Jz. 1, uk. 376 kwamba Abu Huraira alikuwa ndiye mkazi maarufu sana waSuffa. Aliishi humo wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na haku-toka humo. Yeye alikuwa ndio mwanzilishi wa Suffa.

Alizungumza kuhusu yeye mwenyewe kwamba alikuwa mmoja wamafukara wakazi wa Suffa katika Hadith ndefu iliyosimuliwa na al-Bukhari.12

Abu Huraira amesema kama ilivyo katika Sahih Bukhari, Jz. 1, uk. 60:“Niliwaona sabini kati ya wakazi wa Suffa,13 hakuna hata mmoja kati yao

11 Rejea kwenye Sura ya (Siku za mwisho za uhai wa Mtume) katika kutajamajina ya masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)12 Sahih Bukhari, Jz. 1, uk. 113 Hawa sabini kati ya wakazi wa Suffa waliuawa kishahidi mnamo siku ya kisi-ma cha Ma’ouna kabla Abu Huraira hajawa Mwislam. Ilikuwa ni kama riwayayake wakati aliposema: “Niliingia nyumbani kwa Ruqayya na alikuwa na chanuomkononi mwake ….. ambapo alikuwa amekwisha kufariki kabla ya yeye kujaMadina.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 20

Page 30: Abu Huraira

21

Abu Huraira

aliyekuwa na mavazi mwilini mwake. Walikuwa na ama msuli au kipandecha nguo kilichofungwa kwenye shingo zao, vingine vilifikia nusu yamiguu yao na vingine vilifikia visiginoni, ambavyo walivikusanya ilikuficha sehemu zao za siri zisionekane.

Al-Bukhari amesimulia Hadith nyingine riwaya nyingine ndefu14 kwambaAbu Huraira alisema kwamba alijiweka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kwa ajili ya kupata kula tu.

Na nyingine iliyosimuliwa na Ibnul-Musayyab na Abu Slama kwamba AbuHuraira alisema kwamba: “Nilikaa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa ajiliya kupata kula tu.”15

Katika riwaya nyingine, yeye alijizungumzia mwenyewe:16 “Nilikuwammoja wa wakazi wa Suffa. Wakati mmoja nilikuwa nimefunga. Nikauguamaradhi ya tumbo. Nikaenda kujisaidia haja na niliporudi nikakuta kwam-ba chakula kimekwisha kuliwa. Matajiri wa ki-Quraishi walikuwa wakile-ta chakula kwa wakazi wa Suffa. Nikasema: Niende kwa nani?Nikaambiwa niende kwa Umar ibn al-Khattab. Nikaenda kwake.Nilimkuta akishughulika na kumtukuza Mwenyezi Mungu baada ya swala.Nilisubiri hadi alipomaliza. Nikamwambia: Nisomee Qur’ani kidogo naunipatie chakula. Alisoma baadhi ya aya za Sura al-Imraan. Aliingia ndanina akaniacha mimi hapo mlangoni. Alichelewa. Nilidhania kwambaatabadili tu nguo zake kisha aniletee chakula. Hakukuwa na lolote katikahilo. Nilitoka kwenda kukutana na Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.).Nilikwenda naye hadi tukafika nyumbani kwake. Alimwita mtumishi wakemweusi17 na akamwambia: “Hebu tuletee lile bakuli.” Alituletea bakuli14 Sahih Bukhari, Jz. 1, uk. 24. Ilisimuliwa na wengine pia kama Abu Nu’aimkatika kitabu chake Hilyatul-Awliyyah15 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 116 Hilyatul-Awliya’ ya Abu Nu’aim, Jz. 1, uk. 37817 Tulikuwa hatujui kamwe wala kuwahi kusikia kwamba kulikuwa na mtumishimweusi nyumbani kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 21

Page 31: Abu Huraira

22

Abu Huraira

lililokuwa na chakula kidogo kilicholiwa na kubakishwa pembeni mwabakuli hilo. Nilifikiria ni shayiri. Nilikula mpaka nikashiba kabisa.”

Mara kwa mara alikuwa akijieleza yeye mwenyewe kwa kusema: “Naapakwa jina la Allah, ambaye hakuna mungu isipokuwa Yeye, kwamba nililalachini kwenye sakafu na kuweka jiwe tumboni mwangu kwa sababu yanjaa. Wakati fulani nilikaa kwenye njia yao, mbayo kwayo hao (masahabawa Mtume) walitoka nayo kutoka msikitini. Abu Bakr alipita karibu yangu.Nilimuuliza juu ya aya fulani ya Qur’ani ili tu anipatie chakula. Aliondokazake bila kunipa chochote. Halafu Umar akapita karibu yangu na nika-muomba vivyo hivyo. Aliondoka zake bila kunipa chakula chochote. Kishaakapita Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) karibu yangu. Alitabasamu palealiponiona mimi na akajua kilichokuwa akilini mwangu. Yeye akasema:“Abu Hirr.” Nikaitika, “Naam niko hapa.” Yeye akasema: “Nifuate.”Akatangulia nami nikamfuata. Aliingia ndani ya nyumba yake naakaniruhusu nami niingie humo. Tulikuta kikombe cha maziwa. Akauliza:“Maziwa haya yametoka wapi? Watu wa nyumbani humo wakasema: “Nizawadi kutoka kwa mtu mmoja.” Yeye akasema: “Abu Hirr, nendaukawakaribishe wakazi wa Suffa waje hapa.”

Walikuwa ni wageni wa Uislam. Walikuwa hawana ndugu wa kuishi nao.Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa amepata sadaka, alizitumasadaka zote kwao na pale alipopata zawadi aliigawana nao. Nikawa nime-vurugikiwa. Nilidhania mimi nilikuwa na ubora zaidi ya wale watu waSuffa kupata kinywaji kutokana na maziwa haya. Nilifikiria kwambaendapo wangefika, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angeniamuru kuwapa mazi-wa hayo. Hivyo mimi nitapata nini kutokana na maziwa haya? Ilinilazimukumtii Mtukufu Mtume. Nilikwenda na nikawakaribisha. Walikuja nawakaomba ruhusa. Wakaruhusiwa kuingia ndani na kukaa kwenye nafasizao. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Abu Hirr, chukua hichokikombe cha maziwa na uwape wanywe.” Nilikichukua kikombe chamaziwa na nikaanza kuwapa mmoja baada ya mwingine na wote wakany-wa wakatosheka hadi nikafikia kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 22

Page 32: Abu Huraira

23

Abu Huraira

Akakichukua kikombe hicho, akatabasamu na kusema: “Abu Hirr, hakunamwingine aliyebakia isipokuwa mimi na wewe.” Mimi nikasema: “Hilo nisawa.” Yeye akasema: “Kaa chini na unywe.” Nilikaa chini na kikanywa.Alinitaka niendelee kunywa, nami nikanywa. Bado aliendelea kunitakaninywe hadi nikasema: “Ninaapa kwa jina la Allah, ambaye amekutumawewe kwa haki, kwamba siwezi kunywa zaidi ya hapo.” Yeye akasema:“Hebu nionjeshe.” Nilimpa kile kikombe. Alimtukuza na kumshukuruMwenyezi Mungu, na akanywa yale yaliyobakia.’” 18

Pia ilisimuliwa katika Sahih Bukhari, Jz. 4, uk. 175 kwamba Abu Hurairaalisema: “Nilizimia mara kwa mara katikati ya mimbari ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) na chumba cha bibi Aisha. Wale waliokuja waliwekamiguu yao kwenye shingo yangu wakifikiri kwamba nilikuwa na kichaa.Lakini sikuwa na kichaa. Ilikuwa ni kwa sababu ya njaa tu.”

Thujjanahayn (mwenye mbawa mbili) Ja’far bin Abi Talib alikuwamwenye hisani sana, mwenye huruma sana na mtoaji wa sadaka kwamasikini. Yeye mara kwa mara alimlisha Abu Huraira alipokuwa na njaa.Hivyo Abu Huraira alimuunga mkono na kumchukulia kama mbora wawatu baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama ilivyotajwa ndani ya al-Issaba (wasifu wa Ja’far).

Al-Bukhari amesimulia19 kwamba Abu Huraira amesema: “Watu wanase-18 Hadithi hii imesimuliwa ndani ya Sahih Bukhari katika sehemu nyingi zakitabu hicho, ambayo aliichukulia kuwa kama mmoja wa miujiza ya utume – kamailikuwa ni kweli. Hatujui ni kwa nini haikusimuliwa na mwingine mbali na AbuHuraira, angalau na mmoja wa wale ambao walishirika na Abu Huraira katika kun-ywa maziwa hayo. Je, kulikuwa na umuhimu wowote wa changamoto hiyo naukosa kifani wake? Hivi ilikuwa ni lazima kuvunja zile kanuni za asili? Miujizahaikujitokeza isipokuwa kulipokuwa na muhimu kwa ajili hiyo, ingawa tunakubaliukosa kifani wa Mwenyezi Mungu na manabii Wake. Ni dhahiri kwamba riwayahii ilibuniwa na Abu Huraira ili kujipendekeza kwa watu wa kawaida hasa baadaya kufariki kwa masahaba mashuhuri na wale ambao Abu Huraira aliogopwa nao.19 Sahih Bukhari, Jz. 2, uk.197. Imesimuliwa pia na Abu Nu’aim katika Hilyatul-Awliyyah’ Jz. 1, uk.117

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 23

Page 33: Abu Huraira

24

Abu Huraira

ma Abu Huraira amesimulia Hadith nyingi sana ambazo Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) anaweza kuwa hakuzisema. Nilikaa na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kiasi cha kukidhi njaa yangu tu. Sikula ama chakula kizuri walakuvaa nguo mpya. Sikuhudumiwa na mtu yoyote. Niliminya tumbo langukwenye ardhi kwa sababu ya njaa. Niliwaomba baadhi ya watu kunisomeaaya za Qur’ani, ambazo nilikuwa tayari ninazijua, ili huendawakanikaribisha kwa ajili ya chakula. Mbora zaidi kwa ajili ya masikinialikuwa ni Ja’far bin Abi Talib. Yeye alituchukua sisi kwenda kutupatiachakula chochote kilichopatikana ndani ya nyumba yake.20

Al-Baghawi ameitaja riwaya iliyosimuliwa na al-Maqbari21kwamba AbuHuraira amesema: Ja’far ibn Abu Talib aliwapenda sana masikini na alikaanao. Aliwahudumia nao walimtumikia yeye. Alizungumza nao na wao wal-izungumza naye. Kwa hiyo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimwita baba wamasikini.22

At-Tirmidhi na Nassa’i wamesimulia kwamba Abu Huraira amesema:“Hakuna yeyote ambaye alivaa viatu, na akaendesha hamali na kutembeajuu ya ardhi, aliyekuwa bora kuliko Ja’far bin Abu Talib baada ya MtukufuMtume Muhammad (s.a.w.w.).”23

20 Ibn Abd Rabbug al-Andalussi amesimulia katika kitabu chake al-Aqd al-Fariid,Jz. 1, kwamba Abu Huraira amesema: “Siku moja nilimfuata Ja’far bin Abi Talibna nilikuwa na njaa. Alipofika nyumbani kwake aligeuka na kuniona. Aliniombaniingie ndani. Mimi nikaingia. Alifikiri kwa muda kiasi lakini hakupata kitu cho-chote cha kula isipokuwa mfuko uliokuwa na kiasi cha siagi. Aliiteremsha kutokajuu ya rafu na akaufungua katikati yetu. Tulianza kulamba kilichokuwemo ndaniyake wakati akiwa anaghani shairi fulani: Mwenyezi Mungu hajataka kutoka kwamtu zaidi ya uwezo wake na mkono hautoi kwa ukarimu sana isipokuwa kile uli-chonacho (mkono huo). 21 Rejea al-Issaba ya Ibn Hajar (wasifu wa Ja’far).22 Imesimuliwa pia na Abu Nu’aim katika kitabu chake Hilyatul-Awliyyah, Jz. 1,uk.117 ikisimuliwa na Maqbari kutoka kwa Abu Huraira.23 Imesimuliwa pia na Ibn Abdul-Birr katika kitabu chake al-Isti’ab.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 24

Page 34: Abu Huraira

25

Abu Huraira

Suffa yalikuwa ndio makazi ya Abu Huraira, usiku na mchana.Hakuyaacha hayo na kwenda mahali pengine hadi Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alipoyaacha maisha haya ya kidunia yenye kusahaulika harakana akajiunga na masahaba wakarimu. Kabla ya hapo Abu Hurairahakuweza kupata chochote cha kushibisha tumbo lake bila kukaa njianikuwazuia wapita njia kulalamikia njaa yake. Hakuna jambo kubwalililovutia nadhari yake. Hakutajwa ama katika vita au katika amani. Ndio!Imesimuliwa kwamba alikimbia kutoka kwenye jeshi katika vita vyaMu’ta.24

Alijifanya kuwa yeye ni mmoja kati ya wajumbe waliotumwa Makka naMtukufu Mtume (s.a.w.w.) pamoja na Imam Ali kubeba ile Surat al-Bara’ana kwamba alikuwa anatangaza katika siku ya Hijja kubwa mpaka sautiyake ikawa na mikwaruzo. Alikuwa na Hadith mbili zinazopingana kuhusuhilo. Utakuja kuziona katika mlango wake maalum ndani ya kitabu hiki,Insha’allah.

Alijisingizia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimfanya kuwa nashughuli maalum ya kuhifadhi Zaka ya Ramadhani, hayo utayaona katikaHadith ndefu.25

ZAMA ZA MAKHALIFAWAWILI WA MWANZO

Tumezichunguza zama za Makhalifa wawili wa mwanzo, Abu Bakr naUmar bin al-Khattab, na tukadadisi ni nini kilichotokea katika siku zaolakini hatukupata kitu chochote cha maana cha kusema kuhusu AbuHuraira isipokuwa kwamba Umar alimtuma kwenda Bahrain mnamomwaka wa ishirini na moja hijiria.26 Mnamo mwaka wa ishirini na tatu24 Rejea al-Mustadrak, Jz. 3, uk. 42 utakuta kwamba Abu Huraira alishutumiwajuu ya hilo na hakujua aseme nini.25 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 2926 Wakati pale Walii, al-Ala’ bin al-Hadhrami, ambaye aliteuliwa na MtukufuMtume (s.a.w.w.) Abu Bakr na Umar alipofariki.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 25

Page 35: Abu Huraira

26

Abu Huraira

Khalifa Umar alimuengua na kumteua Uthman bin Abdul-Aass ath-Thaqafi.27 Khalifa huyo sio tu alimuengua yeye Abu Huraira bali piaaliokoa kutoka kwake dirham elfu kumi kwa ajili ya hazina ya umma,akishutumu kwamba aliziiba ambapo zilikuwa ni mali wa Waislam.Lilikuwa ni suala maarufu sana. Ibn Abd Rabbih al-Maliki alisimulia ndaniya kitabu chake al-Aqd al-Fariid, katika kurasa zake mwanzoni za Juzuuya kwanza, kwamba Khalifa Umar alimwitisha Abu Huraira nakumwambia: “Unajua vizuri kabisa kwamba nilikuwa nimekuteua kamaGavana wa Bahrain na ulikuwa pekupeku bila viatu, na sasa inanijiamasikioni mwangu kwamba umenunua farasi kwa gharama ya dinari elfumoja na mia sita.” Abu Huraira akasema: “Tulikuwa na farasi ambao wal-izaana na zawadi zilikusanyika.” Khalifa akasema: “Nimefanyia mahesabumapato yako na maisha yako na nikagundua kwamba ni zaidi ya kilichochako na unapaswa kurudisha ziada hiyo.” Abu Huraira akasema: “Huwezikufanya hivyo.” Umar akasema: “Ndio, ninaweza na nitakupiga mgongo-ni kwako.” Kisha Umar akasimama na kumchapa kwa fimbo yake 28

mpaka akamjeruhi na akamwambia: “Lipa hizo fedha na kuzirudishamahali pake.” Abu Huraira akasema: “Nisamehe kwa ajili ya MwenyeziMungu.” Umar akasema: “Hilo litakuwa kama ilikuwa ni halali na kwam-ba umezirudisha kwa utiifu. Umetoka kwenye sehemu ya mbali Bahrain nakodi za watu ili kuziweka mifukoni mwako na sio kwa ajili ya Allah walakwa ajili ya Waislam? Umayma amekuzaa wewe kwa ajili ya kuchungapunda tu.”29

Ibn Abd Rabbi amesimulia kwamba Abu Huraira amesema: “Wakati Umaraliponiuzulu mimi huko Bahrain, yeye aliniambia: “Ewe adui waMwenyezi Mungu na adui wa Qur’ani Yake, hivi umeiba mali ya27 Ilisimuliwa katika Ta’rikh Ibn Athiir na wengineo wakati wa kuzungumziakuhusu matukio ya mwaka wa 23AH.28 Kichanga kikavu cha tende (kisichokuwa na tende) alichokuwa akitumiakukikamata mkononi mwake kama fimbo.29 Ni methali. Umayma lilikukwa ni jina la mama yake. Maneno haya ya khalifayalikuwa ni matusi mabaya sana.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 26

Page 36: Abu Huraira

27

Abu Huraira

Waislam?” Abu Huraira akasema: “Mimi sio adui wa Mwenyezi Munguwala wa Qur’ani Yake, bali mimi ni adui wa maadui zako. Mimi sikuibamali ya Waislam.” Umar akasema: “Basi ni vipi ulivyopata dinari elfukumi?” Yeye akasema: “Tulikuwa na kiasi cha farasi waliozaa, zawadiambazo zilikusanyika na hisa zilizoongezeka.” “Umar alizichukua fedhahizo kutoka kwangu, lakini pale niliposwali sala ya al-Fajr, nilimuombaMwenyezi Mungu anisamehe.’”

Riwaya hii imesimuliwa na Ibn Abil Hadiid katika kitabu Sharh Nahjul-Balaghah, Jz. 3, uk. 104, chapa ya Misri, na imetajwa pia na Ibn Sa’d kati-ka kitabu chake at-Tabaqat al-Kubra (wasifu wa Abu Huraira), Jz. 4, uk.90, iliyosimuliwa na Muhammad bin Siiriin kwamba Abu Huraira amese-ma: “Umar aliniambia, ‘Ewe adui wa Mwenyezi Mungu na adui waQur’ani Yake, je umeiba mali ya Waislam ….. na kadhalika.” Ibn Hajarameisimulia riwaya hii katika al-Issaba lakini aliirekebisha na kuipamba nakubadili ukweli kwa namna iliyotofautiana na wengine wote ili kutakasaumaarufu wa Abu Huraira. Lakini alisahau kwamba aliharibu jina la yulemtu, ambaye alimpiga Abu Huraira mgongoni na kuchukua fedha zake nakumuuzulu kwenye cheo chake.

ZAMA ZA KHALIFA UTHMAN

Abu Huraira alikuwa mwaminifu sana kwa ajili ya familia ya Abul-Aass naBani Umayyah wote wakati Uthman alipokuwa Khalifa. Aliungana naMarwan bin al-Hakam na wakajipendekeza kwa ukoo wa Abu Mu’iit, kwahiyo yeye akawa mtu maarufu haswa baada ya kuzingirwa kwa nyumba yaUthman wakati wa mapinduzi dhidi yake kwa sababu kwamba AbuHuraira alikuwa pamoja naye ndani ya nyumba hiyo. Hivyo akapatakuchanua baada ya kufifia, na umaarufu baada ya kutoeleweka.

Alipata fursa wakati wa maasi, ya kupenyeza ndani ya nyumba ya Uthmanna akawafanyia upendeleo familia ya Abul-Aass na Bani Umayyahwengine ambayo kwamba ikampa mvuto mkubwa juu yao na wasaidiziwao na ukaja kuiimarisha dola yao baadae. Hivyo wakalifuta lile vumbi la

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 27

Page 37: Abu Huraira

28

Abu Huraira

kutojulikana kwake na wakamsifia na kuweza kujulikana sana. Ingawawalijua kwamba hakupenyeza kwenye nyumba ili kuwa miongoni mwawaliozingirwa mpaka khalifa alipowaamuru wafuasi wake kuwa kimya nakuacha kupigana.

Khalifa alifanya hivyo kwa ajili tu ya kuhifadhi damu yake na damu yawafuasi wake. Abu Huraira alifahamu vyema kwamba wale waasihawakumtaka yeyote isipokuwa Uthman na Marwan tu. Hilo lilimtia moyowa kuwa miongoni mwa waliozingirwa.

Alakulihali, bwana huyo aliitwaa fursa hiyo, mpango wake ulifanikiwasana, na bidhaa (Hadith) zake zikauzika na kununuliwa sana. Kuanzia hapoBani Umayyah na wafuasi wao walisikiliza riwaya zake kwa makini sanana wakajitahidi kiasi walivyoweza kuzitawanya na kuzieneza. Wakati huohuo alisimulia Hadith kulingana na matakwa yao. Kwa mfano, alisimuliakwamba Mtume Muhammad (s.a.w.w.) alisema: “Kila mtume alikuwa narafiki mwandani, na wangu mimi ni Uthman.”30

Vile vile amesema: “Nimemsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisemakwamba: ‘Uthman ni mwenye haya sana, hivyo malaika wanaona hayambele yake.”31

Pia alisema kwamba Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) amesema:“Kila Mtume anaye mkazi mwenzie huko peponi. Mkazi mwenzangu hukopeponi ni Uthman.”32

30 Watu wote wenye akili timamu walikubaliana kwamba Hadith hii haikuwa yakweli, bali marafiki wa Abu Huraira walimtoa kwenye uongo huu kwa kumlaumuIs’haq bin Najii’ al-Balti ambaye alikuwa mmoja wa wasimuliaji wa Hadith hii.Adh-Dhahabi ameitaja Hadith hii kwenye kitabu chake Mizan al-Itdalakithibitisha kwamba ilikuwa sio ya kweli.31 Ibn Kathiir katika kitabu chake al-Bidaya wan-Nihaya, Jz. 7, uk. 20332 Riwaya hiyo kwa kauli moja, ilikuwa ya uongo. Bali marafiki wa Abu Hurairawaliigeuzia lawama hiyo kwa Uthman bin Khalid bin Umar bin Abdillah binWaliid bin Uthman bin Affan ambaye alikuwa mmoja wa sanad ya wasimulizi wariwaya hii. Adh-Dhahabi ameikataa riwaya hii kwenye kitabu chake al-Mizan al-Itdal.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 28

Page 38: Abu Huraira

29

Abu Huraira

Abu Huraira vile vile amesimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)amesema: “Jibril alinijia na kuniambia: Mwenyezi Mungu anakuamurukumuoza Uthman na Umm Kulthum (mwana wa kambo wa Mtume) kwamahari sawa na ile ya Ruqaiyya (binti wa kambo mwingine wa Mtume.”33

Abu Huraira amesema: “Wakati mmoja niliingia nyumbani kwa Ruqayyah,binti ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na mke wa Uthman. Alikuwa na kitanamkononi mwake. Yeye akasema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa hapana ameondoka muda mfupi tu uliopita. Nilikuwa ninazichana nywele zake.Yeye akaniuliza: “Unafikiriaje juu ya Abu Abdillah (Uthman)?” Miminikasema: “Yeye ni mzuri tu.” Yeye akasema: “Mtukuze kwa sababu yeyendiye anayefanana sana na mimi katika maadili miongoni mwa masahabawangu.”

Anaweza akaibadilisha Hadith kama alivyofanya kwa Hadith ya MtukufuMtume (s.a.w.w.): “Kutakuwa na maasi na kutoelewana baada yangu.”Wakasema: “Unatuamuru sisi tufanye nini basi?” Yeye (s.a.w.w.) akasema,huku akimuashiria kwa kidole Imam Ali: “Kuweni upande wa amir huyuna masahaba zake.” Lakini Abu Huraira alipendendelea kujipendekezakwa familia ya Abul-Aas, Abu Mu’iit na Abu Sufyan, kwa hiyo akaigeuza

33 Ibn Munda ameisimulia Hadith hii na akasema kwamba ni dhaifu na imes-imuliwa na Uthman bin Khalid al-Uthmani peke yake. Ibn Hajar al-Asqalani kati-ka kitabu chake, al-Isaba, Jz. 4, (wasifu wa Umm Khulthum) akasema ni dhaifu nahaikusimuliwa ila na Uthman bin Khalid al-Uthmani pekee.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 29

Page 39: Abu Huraira

30

Abu Huraira

Hadith hii kwa Uthman (badala ya Ali)34 na badala yake wakamzawadiakwa upendeleo wake huo. 34 Kwa sababu hii, al-Hakim ndani ya kitabu chake al-Mustadrak, Jz. 3, uk. 99 ameitajaHadith hii chini ya mada ya ‘sifa za Uthman.’ Lakini ukweli ulikuwa kwamba isimuliwekatika sifa za Ali, kama ilivyokuwa Hadith ya Mtukufu Mtume: (Kutakuwa na mgawanyikona kutoelewana miongoni mwa watu, hivyo huyu na wafuasi wake watakuwa upande wahaki. Alimnyooshea kidole Ali). Imesimuliwa na at-Tabarani katika kitabu chake Kanzul-Ummal, kutoka kwa Ka’b bin Ajra, Hadith namba 2635, Jz. 6. Na Hadith ya MtukufuMtume: (Kutakuwa na maasi baada yangu (baada ya kifo changu). Hivyo kuweni upandewa Ali ibn Abu Talib, kwa sababu yeye alikuwa wa kwanza kuniamini mimi (katika Uislam)na yeye atakuwa wa kwanza kupeana mikono na mimi katika Siku ya Kiyama. Yeye ndiyemkweli mkubwa na ndiye mpambanuzi wa umma huu). Ilikuwa imetajwa na Abu AhmadIbn Munda na wengine, kutoka kwa Abu Layla al-Ghifari. Imesimuliwa pia na Ibn Abdul-Birr katika Isti’aab, ibn Hajar katika Isaba na wengine (katika wasifu wa Abu Layla). NaHadithi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa Ammar bin Yassir: “Ewe Ammar, kamaukimuona Ali akipita kwenye bonde na watu wote waliobakia wakipita kwenye bondejingine, mfuate Ali na uwaache hao watu wengine kwa sababu hatakuongoza kwenyemajaliwa mabaya wala hatakutoa kwenye njia ya mwongozo sahihi.” Imesimuliwa na al-Daylamy katika kitabu chake Kanzul-Ummal, Jz. 6, uk. 155, Hadith namba 259 iliyosimuli-wa na Ammar na Abu Ayyub. Na vile vile Hadith ya Mtukufu Mtume: “Oh, Abu Rafi’,litakuwepo baada ya kifo changu kundi la watu litakalopigana na Ali. Wajibu utakuwa nikuwapiga.” Imetajwa na at-Tabarani katika Kanzul-Ummal, Jz. 6, Hadith namba 2589 kuto-ka kwa Muhammad bin Ubaydillah bin Abu Rafi’ kutoka kwa baba yake, kutoka kwa babuyake. Kuna Hadithi nyingi kama hizi lakini hatuwezi kuzitaja zote hapa. Inatutosha sisiHadith ya Mtukufu Mtume: “Kuna mtu miongoni mwenu atapigana kwa ajili ya tafsiri yaQur’ani kama mimi nilivyopigana kwa ajili ya kushuka kwake.” Watu walilitazamia hilo,miongoni mwao alikuwa ni Abu Bakr na Umar. Abu Bakr akasema: “Je ni mimi? MtukufuMtume akasema: Hapana. Umar akasema: Je ni mimi? Mtukufu Mtume akasema: Hapana.Bali ni yule anayerekebisha viatu.” Ilitajwa na al-Hakim katika al-Mustadrak yake Jz. 3,uk.122 akisema kwamba ilikuwa ni Hadith sahihi kwa mujibu wa al-Bukhari na Muslim.Imesimuliwa pia na Thalabi katika kitabu chake, Talkhiis na Ahmad katika Musnad, Jz. 3,uk. 33 kutoka kwa Abu Sa’id na Abu Nua’im katika kitabu chake Hilyatul-Awliyyah, Jz. 1,uk. 67 (katika wasifu wa Ali), na Abu Ya’ala katika Sunan yake, na Sa’id bin Mansuur kati-ka Kanz, Jz. 6, uk. 155, Hadith namba 2585. Hadith inayozungumzia umuhimu wa kupi-gana na watu wenye hiana, wasaliti (Vita vya Ngamia) na maharamia (Vita vya Siffiin) nawakanaji waasi (Khawariji) zilithibitishwa na kila moja ikiihakikisha nyingine. Hadith zaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) zinazozungumzia maasi baada ya kifo chake zilikuwa zinajiru-dia na zilikuwa za kuashiria ubashiri wa Muhammad (s.a.w.w.). Zilikuwa za wazi katikakuhimiza kumfuata Imam Ali (a.s.). Ile Hadith iliyosimuliwa na al-Hakim kutoka kwa AbuHuraira ilikuwa ni mojawapo. Kilichothibitisha hivyo kilikuwa kwamba Mtume (s.a.w.w.)hakumuita yeyote kabisa kwa jina la ‘Amiir’ isipokuwa Ali. Na hapa ni Hadith ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) kwa Anass: “Wa kwanza atakayeingia kupitia mlango huu, huyo niAmiirul-Mu’miniin (Jemadari wa waumini) na bwana wa walezi …………...” Hii ilisimuli-wa na al-Isfahani katika kitabu chake Hilyatul-Awliyyah, Jz.1, (wasifu wa Ali). MtukufuMtume (s.a.w.w.) aliwaamuru masahaba zake kumwita Ali kwa jina la Amirul-Mu’miniinwakati wanapomsalimia yeye. Hili lilithibitishwa na riwaya nyingi zilizosimuliwa na kizazicha Mtume (s.a.w.w.).

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 30

Page 40: Abu Huraira

31

Abu Huraira

WAKATI WA ZAMA ZA ALI (A.S.)

Sauti ya Abu Huraira ilififia na kushuka chini wakati wa utawala wa Ali(a.s.). Alizingwa katika utusitusi wa kutotambulika tena na alikuwa akari-bie kurudi kwenye hali yake ya awali. Alimgeuka Imam Ali na wala haku-jaribu kumuunga mkono. Kwa kweli mwisho wa safari yake ulikuwakwenye mikono ya maadui wa Imam Ali (a.s.).

Wakati mmoja Mu’awiya alimtuma Abu Huraira na an-Nu’man bin Bashiirwakiwa Damascus, kwenda kwa Imam Ali (a.s.) kumuomba awapelekewauaji wa Uthman kwa Mu’awiya ili apate kuwaadhibu kwa kumuua kwaoUthman. Kwa kufanya hivi, alichotaka Mu’awiya ni kwamba watakaporu-di Damascus watamtoa yeye lawamani na kumtupia lawama zote ImamAli, ingawa alijua kwamba Imam Ali hatawapeleka kwake hao wauaji waUthman. Hivyo alitaka kuwafanya Abu Huraira na an-Nu’man kuwaushahidi mbele ya watu wa Damascus na kuwaonyesha kwamba yeyeMu’awiya alikuwa anayo sababu ya kupigana na Imam Ali (a.s.).

Mu’awiya aliwaambia Abu Huraira na an-Nu’man: “Nendeni kwa Ali namkamwambie atuletee wale wauji wa Uthman kwani yeye amewahifadhi.Kama akifanya hivyo, hakutakuwa na vita kati yetu na yeye. Kamaakikataa, ninyi mtakuwa mashahidi dhidi yake. Halafu mtajitokeza mbeleya watu na kuwaelezea juu ya hilo.” Walikwenda kwa Imam Ali (a.s.). AbuHuraira akamwambia: “Oh, Abul-Hasan,35 Mwenyezi Mungu amekupasifa na heshima katika Uislam, kwani wewe ni binamu yake MtukufuMtume (s.a.w.w.). Na binamu yako Mu’awiya ametutuma kwako akikuom-ba kitu cha kutuliza vita hivi na kumaliza uhasama kati yenu, ambacho nikuwatuma wauaji wa binamu yake Uthman kwake ili akawauwe naMwenyezi Mungu awasuluhisheni. Hivyo umma utakuwa salamakutokana na maasi na kutoelewana.” Kisha an-Nu’man naye akasema

35 Moja ya majina ya Imam Ali (a.s.).

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 31

Page 41: Abu Huraira

32

Abu Huraira

maneno kama hayo. Imam Ali (a.s.) akawaambia: “Hebu tusizungumze juuya hilo. Oh, Nu’man, nieleze kuhusu wewe mwenyewe. Wewe ndiyembora wa watu wako Ansari katika kuongoza?” Yeye akasema: “Hapana.”Imam Ali (a.s.) akasema: “Watu wako wote wamenifuata mimi isipokuwawapotofu watatu au wane kati yao. Je, wewe ni mmojawapo kati yawapotofu hao?” an-Nu’man akasema: “Kwa hakika nimekuja ili niwepamoja na wewe na kubakia kwako, lakini Mu’awiya amenituma nijekukuambia hivyo. Nilitumaini kwamba hiyo itakuwa ni sababu ya kujakukutana na wewe na nilitegemea kwamba Mwenyezi Mungu atawasu-luhisheni. Kama wewe unaona vinginevyo mbali na hilo, basi miminitakuwa na wewe na sitaondoka na kukuacha..”

Wanahistoria wamesema kwamba Imam Ali (a.s.) hakuzungumza hataneno moja na Abu Huraira. Yeye aliondoka kwenda Damascus nakumwambia Mu’awiya kuhusu yale yaliyotokea. Mu’awiya alimuamuruawaelezee watu kuhusu hilo. Yeye alifanya hivyo, na alifanya mambomengi mengine yaliyomridhisha Mu’awiya. An-Nu’man alikaa na ImamAli na kisha akatorokea Damascus na akawaambia watu wa huko kuhusuyaliyotokea …………mpaka mwisho wa kadhia hii.36

36 Kadhia hii imesimuliwa na Ibrahim bin Hilal ath-Thaqafi katika kitabu chakeal-Gharat na Ibn Abil-Hadiid katika Nahjul-Balaghah, Jz. 1, uk. 213. Yuleanayetaka kujua maelezo yake arejee humo, ili kuona nia za Mu’awiya na maten-do ya kasoro za an-Nu’man katika kadhia hii. Imam Ali (a.s.) alimgeuzia mgongoAbu Huraira na hakuzungumza naye kwa sababu aliona kwamba Abu Hurairaalikuwa mtu duni kwamba alijipendekeza kwa Mu’awiya na kuuza imani yakekwake kwa ajili ya maisha mafupi tu ya dunia. Imam Ali (a.s.) alijua ni nini lengola Mu’awiya kwa kuwatuma watu hawa wawili, hivyo hakuwajibu kwa kukubaliau kukataa. Kwa kweli aliyageuzia mgongo madai yao na akaongea na Nu’mankuhusu jambo jingine kabisa. Hili lilionyesha sera yake iliyofungamana kikamili-fu.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 32

Page 42: Abu Huraira

Wakati mambo yalipokuwa mabaya na vita vikaanza, hofu ilimwingia AbuHuraira moyoni na kufanya miguu yake itetemeke. Mwanzoni mwa maasiyale hakufikiria kwamba Imam Ali (a.s.) angeshinda vita hivyo, hivyo yeyealinywea mpaka chini na akaanza kuwatia unyonge wengine ili wasimsai-die Imam Ali kwa kuwaambia Hadith za uongo kwa siri. Moja ya Hadithizake wakati huo ilikuwa kwamba alisema: “Nimemsikia Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akisema: ‘Kutakuwa na maasi; aliyekaa atakuwa ni bora kulikoaliyesimama na aliyesimama atakuwa ni bora kuliko anayetembea naanayetembea atakuwa ni bora kuliko anayekimbia. Yeyote atakayepatahifadhi naaikimbilie.”37

Abu Huraira alibakia kama alivyokuwa hadi ma-Khawariji walipoasi dhidiya Imam Ali (a.s.) na Mu’awiya alipokuwa amepata nguvu zaidi. AliikaliaMisri na akamuua Gavana wake, ambaye aliteuliwa na Imam Ali (a.s.).Alianza kuharibu na kufanya mashambulizi dhidi ya dola ya Imam Ali(a.s.). Alimtuma Bissr bin Arta’a pamoja na jeshi la wapiganaji elfu tatukwenda Hijazi na Yemen akiteketeza na kuharibu huko. Waliua, kuchomana kuwakatakata watu kikatili kabisa. Walizikufuru sheria za MwenyeziMungu. Walivunja hadhi za wanawake na kuwateka vijana wadogo wakiume na wasichana wa Waislam huko ili kushusha sura ya historia.

Baada ya ukatili na maovu yote hayo, Bissr alilazimisha kwa nguvu heshi-ma kwa Mu’awiya kutoka kwa watu wa Hijazi na Yemen.38 Kisha AbuHuraira akasambaza yaliyokuwa yamefichika moyoni mwake kwa Bissr

33

Abu Huraira

37 Imesimuliwa na Ahmad bin Hambali katika Musnad yake Jz. 2, uk. 282.Ilikuwa sio sahihi, kwa sababu Allah anasema: “Na endapo makundi mawili yawaumini yakigombana, suluhisheni baina yao; bali kama kundi mojawapolitadhulumu jingine. basi lipigeni lile lenye kudhulumu hadi lirejee kwenyeamri ya Allah …..” 49:938 Rejea Nahj al-Hamiidi, Jz. 1, uk. 116-121 kwa ajili ya maelezo zaidi.Wanahistoria wote, ambao waliandika juu ya matukio ya mwaka wa 40 hijiriawamelitaja tukio hili lililofanywa na Mu’awiya. Ni maarufu kama vita vya Harrana at-Taff vya mwanawe Yaziid.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 33

Page 43: Abu Huraira

bin Arta’a. Bissr akaona kwamba huyu ni mkweli kwa Mu’awiya namwaminifu katika kuchukua utii kwa Mu’awiya kutoka kwa watu. Bissrakamteua Abu Huraira kuwa Gavana wa Madina wakati alipoondoka,baada ya kuwaamuru watu kumtii yeye. Aliongoza watu katika swala naakadhani amekuwa ndiye Gavana halisi wa Madina mpaka Jariya binQudama as-Sa’id alipokuja Madina pamoja na mashujaa wa koo bora wap-atao elfu mbili waliotumwa na Imam Ali (a.s.). Abu Huraira alikuwaanawaongoza watu katika kuswali. Akakimbia. Jariya akasema:39 “Kamaningemkuta Abu Sannour,40 basi ningemuua.

Wakati Jariya akiwa yupo huko Hijazi, alikuja kujua kwamba Imam Ali(a.s.) alikuwa ameuawa kishahidi. Alichukua utii kwa Imam Hasan ibn Aliibn Abi Talib (a.s.) na akarudi mjini Kufah. Abu Huraira akarudi Madinaakiongoza katika swala41 na akawa na nguvu sana mpaka Mu’awiyaalipotawala.

WAKATI WA ZAMA ZA MU’AWIYA

Abu Huraira aliishi katika siku bora za maisha yake wakati wa utawala waMu’awiya. Mu’awiya aliyatimiza matumaini mengi ya bwana huyu, hivyoalisimulia Hadith kwa namna Mu’awiya alivyotaka. Aliwasimulia waturiwaya za kushangaza kuhusu sifa za Mu’awiya na wengineo.

34

Abu Huraira

39 Imesimuliwa na Ibrahim bin Hilal ath-Thaqafi katika kitabu chake al-Gharatna Ibn Abil Hadiid katika Sharh Nahjul-Balaghah, Jz. 1, uk. 128.

40 Kwa Kiarabu neno Sannour maana yake ni paka. Jariya alimaanisha AbuHuraira.

41 Imesimuliwa na Ibnul-Athiir katika kitabu chake, Tariikh al-Kamil, Jz. 3, uk.153.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 34

Page 44: Abu Huraira

Hadithi za kubuni zilivuka mipaka katika dola ya Mu’awiya kulingana namtandao wake wa habari ulivyotaka na sera zake zilihitaji kuwachukiaBani Hashim. Dola ya Mu’awiya ilikuwa na waongo wazushi wengi wak-isimulia Hadith za Mtume kama vile Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alivyokuwa ameonya hapo kabla juu ya Hadith kama hizo. Waliendeleasana katika ubunifu wa Hadith kulingana na kile walichopewa msukumokwacho na watawala. Wa kwanza wao alikuwa ni Abu Huraira.Aliwasimulia watu Hadith za kuchukiza sana akizungumzia kuhusu sifa zaMu’awiya. Moja ya Hadith hizo ilisimuliwa na Ibn Asakir kwa njia mbili,Ibn Adiy kwa njia mbili, Muhammad ibn Aa’ith katika njia ya tano,Muhammad bin Abd as-Samarqandi katika njia ya sita, Muhammad binMubarak as-Souri katika njia ya saba na al-Khatiib al-Baghdad katika njiaya nane kwamba Abu Huraira amesema: “Nilimsikia Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akisema: “Mwenyezi Mungu ameaminisha mwongozo Wakekwa watu watatu; mimi, Jibril na Mu’awiya!” Na nyingine iliyosimuliwana al-Khatiib al-Baghdad kwamba Abu Huraira amesema: “MtukufuMtume (s.a.w.w.) alimpa Mu’awiya mshale na akamwambia: “Chukuamshale huu ukae nao mpaka utakapokutana nami huko Peponi!”

Nyingine ilisimuliwa na Abul-Abbas al-Waliid bin Ahmad az-Zouzanikatika kitabu chake, Shajaratul-Aql, katika njia mbili kwamba Abu Hurairaalisema: “Nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Kutakuwa naKuba la lulu nyeupe lenye milango minne kwa ajili ya Abu Bakr. Upepowa rehma unavuma kupitia humo. Nje yake kuna msamaha wa MwenyeziMungu na ndani mwake ni radhi za Mwenyezi Mungu. Anapokuwa nahamu na Mwenyezi Mungu, mlango hufunguka ili amuangalie MwenyeziMungu kupitia hapo.” Nyingine imesimuliwa na Ibn Habban kwamba AbuHuraira amesema: “Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipotoka nje yapango kuelekea Madina, Abu Bakr alishikilia kikuku cha farasi wake.Yeye akasema: “Oh, Abu Bakr, je nikupashe habari njema? Katika Siku yaUfufuo, Mwenyezi Mungu atajitokeza kwa viumbe Wake kwa jumla naatatokeza kwako wewe kwa siri!”

35

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 35

Page 45: Abu Huraira

Na kile kilichoelezwa na Ibn Habban kwamba Abu Huraira alisema:“Wakati Jibril alipokuwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Abu Bakr alipitakaribu yao. Jibril akasema: Huyu ni Abu Bakr. Mtukufu Mtume akasema:Ewe Jibril, wewe unamfahamu yeye? Jibril akasema: Yeye ni maarufuzaidi huko peponi kuliko alivyo hapa duniani. Malaika wanamwita mtam-buzi wa Quraishi. Yeye ni waziri wako katika uhai wako na ndiye Khalifabaada ya kifo chako.” Hadith nyingine imesimuliwa na Khatiib al-Baghdadi kwamba Abu Huraira amesema: “Mtume Muhammad (a.s.w.w.)amesema: Malaika walisherehekea wakati wa kuzaliwa kwa Abu Bakr.Mwenyezi Mungu aliangalia kwenye Bustani ya Aden na akasema: Naapakwa utukufu na ukuu wangu kwamba sitamwingiza yeyote ndani ya hiiisipokuwa yule atakayempenda huyu mtoto aliyezaliwa hivi punde.”

Na nyingine iliyotajwa na Ibn Adiy kwamba Abu Huraira amesema:“Nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: wakati nilipopanda juumbinguni (mi’raaj), katika kila mbingu niliyopita niliona kwamba ime-andikwa; Muhammad ni Nabii wa Allah, Abu Bakr ni ……” 42 Abul-Faajibn al-Jawzi amesimulia Hadith kwamba Abu Huraira amesema: “MtukufuMtume (s.a.w.w.) aliniambia kwamba wakati mmoja Pepo na Jahannamzilitambiana kwa fakhari. Jahannam ikasema kuiambia Pepo: Mimi ni borakuliko wewe kwani ninao wale Mafirauni, madhalimu, wafalme na vizazivyao. Mwenyezi Mungu aliipa msukumo Pepo kusema: Mimi ni borakuliko wewe kwa sababu Mwenyezi Mungu alinipamba mimi kwa ajili yaAbu Bakr.”

Na nyingine iliyotajwa na al-Khatiib kwamba Abu Huraira alikuwa ame-sema: “Siku moja Mtukufu Mtume (a.s.w.w.) alitoka nje akiwa amemuege-mea Ali Ibn Abi Talib. Wao wakakutana na Abu Bakr na Umar. MtukufuMtume akamwambia Ali (a.s.): Je, wewe unawapenda hawa watu wawili?Ali akasema: Ndio, ninawapenda. Mtukufu Mtume akamwambia Ali:Wapende hawa ili uweze kuingia Peponi!”

36

Abu Huraira

42 Imesimuliwa pia na al-Khatiib katika kitabu chake Ta’rikh Baghdad, Jz. 5,uk.445.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 36

Page 46: Abu Huraira

Hadith nyingine ni ile iliyosimuliwa na al-Khatiib al-Baghdad katikakitabu chake cha historia, Ta’rikh Baghdad na Ibn Shahin katika Sunanyake kwa njia mbili kwamba Abu Huraira amesema: “Nilimsikia MtukufuMtume (s.a.w.w.) akisema kwamba: “Kuna malaika themanini elfu katikambingu ya chini wanaomuomba Mwenyezi Mungu kumsamehe yeyoteanayempenda Abu Bakr na Umar, na uwingu wa pili malaika themaninielfu wanaomlaani kila anayemchukia Abu Bakr na Umar.”

Nyingine ni iliyosimuliwa na al-Khatiib kwamba Abu Huraira amesema:“Nimemsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: Mwenyezi Mungu anaomalaika elfu sabini huko mbinguni wakimlaani kila anayemkashifu AbuBakr na Umar.” Hadithi zote hizi sio sahihi. Wote waliozisimulia Hadithhizi wametamka kwa pamoja kwamba zilikuwa ni batili.

As-Suyuti amezipanga Hadith zote zilizobuniwa kulingana na nyororo zaoza wasimuliaji na maelezo yao katika kitabu chake, al-La’ali al-Massnuu’a. Lakini wao wakati wote walimtetea Abu Huraira kwakuwalaumu wale wengine ambao wamesimulia kutoka kwa Abu Hurairakwa mujibu wa maoni yao kwamba kila Mwislam aliyemuona MtukufuMtume (s.a.w.w.) au aliyesimulia kutoka kwake alikuwa sio aliyesalimikakutokana na makosa – maasum!

Walifanya hivyo hivyo kwa kile udhanifu wa Abu Huraira ulichokibuni,kama Hadith yake: “Nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: Huyuni Jibril akiniambia kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwamba yeyoteanayempenda Abu Bakr na Umar ni mchamungu na yeyote anayewachukiani mnafiki mlaghai.”43

37

Abu Huraira

43 Hadith hii imeonekana kwamba sio sahihi kwa makubaliano ya pamoja. Adh-Dhahabi ameisimulia Hadith hii katika kitabu chake, Mizanul-I’tdal (katika wasi-fu wa Ibrahim bin Malik al-Ansari) na amesema kwamba hiyo haikuwa sahihi.Kila mmoja alitumia ubatilifu kupingana na haki, yeye bila shaka angeshindwa.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 37

Page 47: Abu Huraira

Abu Huraira amesema: Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: MwenyeziMungu ameniumba mimi kwa nuru Yake, na amemuumba Abu Bakr kwanuru yangu mimi na kisha akamuumba Umar kwa nuru ya Abu Bakr naakauumba umma wangu kwa nuru ya Umar. Umar ndio taa ya watu waPeponi.” 44 Vile vile alisema: “Nilimsikia Mtukufu Mtume akisema: AbuBakr na Umar ndio wabora wa Waislam wa mwanzo na wa mwisho.” 45

Na Hadith yake: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: Masahaba wanguni sawa na nyota. Yeyote atakayewafuata hao ataongozwa.”46 Na Hadithiyake: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: Kulikuwa na Sura katikaBiblia inayonielezea mimi na masahaba zangu; Abu Bakr, Umar, Uthmanna Ali ….. kama punje ya mbegu inayochomoza chipukizi lake …..” 47 Nanyingine nyingi kiasi kwamba alifanya udhanifu wake kwenda hapa napale katika kubuni. Vitabu vya Hadith vya al-Bukhari na Muslim48 vinaHadith nyingi mno za aina hiyo.

38

Abu Huraira

44 Hadith hii vile vile ilionekana si Sahihi kwa makubaliano ya pamoja. Dhahabiameisimulia kwenye kitabu Mizanul-I’tdal (wasifu wa Ahmad Samarqandi). Rejeahicho ili kuona kwamba haikuwa sahihi na kwamba ilipingana na Qur’ani. Nawalishindwa wale waliotaka kuficha ukweli wa wazi kwa batili isiyo na haya.45 Huu ni kama ule ubatilishaji namna mbili zilizopita. Dhahabi ameisimulia kati-ka Mizanul-I’tdal (wasifu wa Jairuun bin Waqid) na akasema sio sahihi, ni batili.46 Adh-Dhahabi ameisimulia Hadith hii katika chake cha Mizanul-I’tdal (katikawasifu wa Kadhi Ja’far bin Abdul-Wahid

47 Imetajwa na adh-Dhahabi katika Mizanul-I’tdal yake (kwenye wasifu wa

Muhammad bin Musa bin Atta ad-Damyatti) lakini wakati wote waliwalaumu

watu wengine waliosimulia kutoka kwa Abu Huraira! Hadith hii ilijumuisha na

aya ya Qur’ani; 48:29.

48 Muslim hapa ni jina la mmoja wa waliokusanya Hadith hizo katika kitabuchake, Sahih Muslim.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 38

Page 48: Abu Huraira

FADHILA ZA BANI UMAYYAH

Utazigundua kirahisi zawadi za Bani Umayyah kwa mtu huyu kama uki-fikiria juu ya hali zake mbili; moja kabla ya utawala wao ambapo alikuwaduni sana na mtwana, akiangalia chawa wanaotambaa kwenye nguozake,49 na hali yake nyingine wakati wa utawala wao ambapo walimtoakwenye tope la umasikini na kumvisha nguo za hariri.50 Walimfanyaafunge nguo zake kwa hariri na walimvisha nguo za katani nyembamba.51

Walimjengea kasri huko al-Aqiiq.52 Walimzunguka kwa hisani zao nawakamfunika kwa zawadi zao. Walieneza utajo wake na kutangaza jinalake. Walimfanya kuwa Gavana wa Madina, ule mji wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.)53 na kumuoza yeye, wakati wa utawala wake, kwa Bissra binti

39

Abu Huraira

49 Haya yalichukuliwa kutoka kwenye Hadith ya Abu Huraira: Nilichukua nguokutoka mgongoni kwangu na nikaitandaza kati yangu na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) huku nikiwa nikiwaangalia chawa waliokuwa wanatambaa juu yake …..Ilisimuliwa na Abu Nu’aim katika Hilyatul-Awliyah, Jz. 1, uk.381 50 Ibn Sa’d ameisimulia katika kitabu chake Tabaqat (kwenye wasifu wa AbuHuraira) kutoka kwa Wahab bin Kaysan, Qatada na al-Mughiira kwamba AbuHuraira alikuwa akivaa nguo za hariri.51 Al-Bukhari katika Sahih yake Jz. 4, uk. 175, amesimulia kwamba Muhammadbin Siriin amesema: Tulikuwa kwa Abu Huraira na alikuwa amevaa nguo za kitaninyembamba.52 Alifariki ndani ya Kasri hili kama ilivyotajwa na Ibn Hajar katika al-Isaba, IbnQutayba katika al-Ma’arif na Ibn Sa’d katika Tabaqat.53 Imetajwa na Imam Ahmad katika Musnad yake, Jz. 2, uk. 430, ikiwa imes-imuliwa na Muhammad bin Ziyad, Ibn Qutayba katika al-Ma’arif yake kutokakwa Abu Rafi’ na Imam Abu Ja’far al-Iskafi katika kitabu chake, Sharh an-Nahjal-Hamiid, Jz. 1, uk. 359, toleo la Misri.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 39

Page 49: Abu Huraira

Ghazwan bin Jabir bin Wahab al-Maziniya, dada wa Utba bin Ghazwan54

na hakuweza kuota juu ya hilo au fikra zake zisingeweza kufikiri juu yahilo, kwa sababu alijitahidi kumtumikia yeye (Bissra) akiwa miguu mitupubila viatu, kwa ajili ya chakula tu.

Mudharib bin Jiz’ amesema:55 “Nilikuwa natembea wakati wa usiku, nakulikuwa na mtu anatamka kwa mshangao: ‘Allahu Akbar’ mimi nikamfu-ata. Niligundua kwamba alikuwa ni Abu Huraira. Nikasema: ‘Hiki ni nini?’Akasema: ‘Mimi ninamshukuru Mwenyezi Mungu. Nilikuwa nimeajiriwana Bissra binti Ghazwan kwa ajili tu ya chakula changu. Niliongozamahamali yao walipokuwa wamepanda na kuwahudumia waliposhuka, nasasa nimekuwa mume wake. Sasa mimi ninapanda, na ninaposhuka yeyeananihudumia. Kabla ya hapo, wakati alipofika kwenye uwanda au bonde,alishuka na kusema: ‘Sitaondoka mpaka unitengenezee uji.’ Sasa mimininapofika kwenye maeneo yale yale ninamwambia: ‘Sitaondoka mpakaunitengenezee uji.’”56

Mara kwa mara alikuwa akisema, wakati wa ugavana wake wa Madina:“Nilikulia kama yatima. Wakati nilipohamia nilikuwa masikini. Niliajiriwa

40

Abu Huraira

54 Yeye (Utba) alikuwa mshirika wa kabila la Abd Shams. Khalifa Umar (r.a)alimfanya yeye kuwa kiongozi wakati wa ushindi wa Waislam. Alianzisha mji waBasra na akawa ndiye Gavana. Aliteka nchi nyingi na alikuwa mmoja wa masaha-ba maarufu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na mmoja wa mashujaa. Alifarikiwakati wa utawala wa Umar. Lakini Abu Huraira alimuoa dada yake baada yamuda mrefu tangu kifo chake. Ibn Hajar al-Asqalani katika kitabu chake, al-Isabaalimtaja Bissra na Hadith ya Abu Huraira pamoja naye. Alisema kwamba yeye,Bissra, alikuwa amemuajiri Abu Huraira wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume,halafu akaja akaoana naye pale Marwan alipomkabidhi ugavana wa Madina kati-ka kipindi cha Mu’awiya.55 Imesimuliwa na Abul-Abbas as-Sarraj katika Ta’rikh na Ibn Hajar katikaIsaba yake (wasifu wa Abu Huraira).56 Imesimuliwa na Abu Khuzayma na Ibn Hajar katika kitabu chake al-Isaba.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 40

Page 50: Abu Huraira

na Bissra binti Ghazwan kwa ajili ya chakula changu tu. Niliongozamahamali yao walipopanda kusafiri na kuwahudumia wakati waliposhukachini na sasa Mwenyezi Mungu amenioza mimi kwake. Shukurani kwaMwenyezi Mungu, aliyeifanya dini kama msingi na akamfanya AbuHuraira kuwa imam.”57

Wakati mmoja yeye alisema: “Niliajiriwa na Bissra binti Ghazwan kwaajili ya mlo wangu tu. Aliniamuru nipande wimawima na kutembea peku-peku. Baada ya hapo Mwenyezi Mungu akamfanya yeye kuwa mkewangu. Nilimuamuru yeye kupanda wima na kutembea pekupeku.”58

Siku moja aliwaongoza watu katika swala na pale alipomaliza akasemakwa sauti kubwa: “Shukrani ni zake Mwenyezi Mungu, aliyefanya dinikuwa msingi na akamfanya Abu Huraira kuwa imam baada ya kwambaalikuwa ni mtumishi kwa ajili ya Bissra binti Ghazwan kwa ajili ya mlowake na hamali kwa ajili ya kupanda.”59

Siku moja alipanda kwenye mimbari ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) naakasema: “Ashukuriwe Mwenyezi Mungu, ambaye amenifanya miminiweze kula chakula kizuri, kuvaa nguo za hariri na kunioza mimi kwaBissra binti Ghazwan baada ya mimi kuwa mtumishi wake kwa ajili yamalipo ya mlo wangu. Bissra alinifanya nibebe mizigo yake na kishanikamfanya yeye anibebee mizigo yangu mimi.”60

41

Abu Huraira

57 Tabaqat cha Ibn Sa’d, sehemu ya pili, Jz. 4, uk. 53. 58 Rejea kwenye Tabaqat ya Ibn Sa’d, sehemu ya pili ya Juz. 4, uk. 53.

59 Rejea Hilyatul-Awliya’ ya Abu Nu’aim, Jz.1, uk. 37960 Rejea Hilyatul-Awliya’ ya Abu Nu’aim, Jz.1, uk. 384.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 41

Page 51: Abu Huraira

KUSHUKURU FADHILA ZA BANI UMAYYAH

Bani Umayyah walimtumikisha Abu Huraira kama mtumwa kwa fadhilazao. Walijitwalia usikivu wake, uoni na moyo wake na kumfanya yeyekuwa muelekevu kwao. Hivyo alikuwa ndio njia ya mawasiliano ya serazao. Alibadilika kulingana na uelekeo wao. Wakati mwingine alitungaHadith zikionyesha sifa na ubora wao, na wakati mwingine akibuni Hadithkuonyesha ubora wa wale makhalifa wawili, Abu Bakr na Umar kulinganana matakwa ya Mu’awiya na kundi lake la kidhalimu. Kwani walikuwa namalengo ya kisiasa dhidi ya Imam Ali na kizazi cha Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) ambayo yasingeweza kufikiwa kama walivyofikiria – isipokuwakwa kuwafadhilisha makhalifa wale wawili. Hivyo alijitokeza kubuniHadith ambazo tumetaja baadhi yake hapo kabla.

Kuna Hadith nyingi sana ambazo hatukuzitaja, kwa mfano, ile Hadithkuhusu kumfanya Abu Bakr kuwa Amiri wa Hijja katika mwaka wa tisahijiria, mwaka ambao ilishuka Sura al-Bara’a kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), na ile Hadith inayosema kwamba malaika walizungumza naUmar.

Sera za Bani Umayyah za kuwatweza Bani Hashim zilihitajia kuthibitish-wa na kuenezwa kwa Hadith hizi mbili kwa kiasi Mu’awiya na wasaidiziwake walivyoweza. Walifanya kwa kila njia waliyoweza mpaka vitabuvyote vya Hadith Sahih vya Sunni vikazisimulia kama Hadith sahihi.

Abu Huraira wakati mwingine alizikatakata Hadith kuhusu Imam Ali ilikubadili maana zake, kama riwaya yake: “Nilimsikia Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akisema: Jua halikuwahi kuzuiwa au kurudishwa kwa ajili yamtu yeyote isipokuwa Nabii Yusha’ bin Nuun alipokuwa anatembeakuelekea Jerusalemu wakati wa usiku.”61

42

Abu Huraira

61 al-Khatiib katika Ta’rikh Baghdad, Jz. 7, uk. 35, na Jz. 9, uk. 99

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 42

Page 52: Abu Huraira

Na Hadith yake hii: “Wakati aya ya Qur’ani: “Na uwaonye jamaa zakowa karibu” 26:214 ilipoteremshwa, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisimamana akasema: Enyi maquraishi…..” Abu Huraira ameikata Hadith hiyo nahakuelezea maelezo yote ili kuibadili kulingana na sera za Bani Umayyahzilivyotaka. Hatuna jingine ila kusema tu kwamba, hakuna uwezoisipokuwa kwa Mwenyezi Mungu!

Na Hadith yake; “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: Warithi wanguhawatarithi kile ambacho nitakuwa nimekiacha nyuma yangu.” Nanyingine: “Mtume Muhammad (s.a.w.w.) alimwambia ammi yake AbuTalib: ‘Sema: hapana mungu isipokuwa Allah …….’ mpaka MwenyeziMungu akashusha wahyi kwa Mtume: “Kwa hakika wewe huwezikumuongoza umpendaye …..” 28:56, na Hadith nyingi tu za kuzusha.Walikuwa wakimtweza Imam Ali (a.s.) na familia ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

Imam Abu Ja’far al-Iskafi vile vile amesema:62 “Mu’awiya alikuwa ame-walazimisha masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na baadhi ya warithiwa masahaba hao kusimulia Hadith kuhusu Imam Ali za kumkashifu nakumkana yeye. Aliwapa hao mahongo kwa kazi hiyo. Hivyo walibuniHadith zilizomridhisha yeye. Miongoni mwao alikuwa ni Abu Huraira,Amr ibn al-Aass na al-Mughiira bin Shu’ba. Miongoni mwa tabi’inalikuwa ni Urwa bin az-Zubeir …..”

Abu Ja’far al-Iskafi huyu huyu pia anasema:63 “Wakati Abu Hurairaalipokwenda Iraqi pamoja na Mu’awiya katika mwaka wa ‘Jama’a’, alik-wenda kwenye msikiti wa al-Kufa. Alipoona kwamba watu wengiwalikuwa wamekuja kumlaki, alipiga magoti na akapiga kichwa chakekwa mkono wake mara nyingi tu na kusema: “Enyi watu wa Iraqi,mnaweza mkasema kwamba ninabuni Hadith juu ya Mwenyezi Mungu na

43

Abu Huraira

62 Sharh Nahj al-Balaghah al-Hamiid, Jz. 1, uk. 358.63 Sharh Nahj al-Balaghah al-Hamiid, Jz. 1, uk. 359.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 43

Page 53: Abu Huraira

Mtume Wake (s.a.w.w.) ili niwe katika moto wa Jahannam. Wallahi ninaa-pa kwamba nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema kwamba: “KilaNabii ana mahali patakatifu. Patakatifu pangu mimi ni Madina. Yeyoteanayefanya uharibifu hapo Madina atalaaniwa na Mwenyezi Mungu,malaika na watu wote.” Ninaapa Wallahi kwamba Ali amefanya uharibifuhapo Madina!” Mu’awiya alipomsikia akisema hivyo, yeye alimthibitisha,na akamzawadia yeye na kumfanya Gavana wa Madina.” 64

Wakati mwingine alitunga Hadith zinazowalinda wanafiki wa ki-BaniUmayyah, ambao Mwenyezi Mungu na Mtume Wake walikuwa wame-walaani ili kuilinda dini na umma kutokana na unafiki na uharibifu wao.Lakini Abu Huraira alijipendekeza kwa Marwan na Mu’awiya na wasaidiziwao kwa kusema: “Nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “EweAllah, Muhammad ni binadamu tu. Huwa anakasirika kama wanadamuwengine wote. Kila mu’min ambaye nimemdhuru, kumtukana au kumpigaviboko, Wewe unaweza kuyafanya hayo kuwa ni sababu ya kumsamehe nakumsogeza karibu Yako katika Siku ya Kiyama.”

Marwan na wanawe walijaribu wawezavyo kuieneza Hadith hii kwa njianyingi mpaka vitabu vya Hadith vya Sunni (Sihah, Sunan na Masanid)vikaisimulia kama Hadith sahihi. Jukumu la Marwan na wanawe lakumwinua Abu Huraira kufikia kiwango cha hali ya juu na kumfadhilisha

44

Abu Huraira

64 Sufyan ath-Thawri ameisimulia kutoka kwa Abdur-Rahman bin Qassim kuto-ka kwa Umar bin Abdul-Ghaffar kwamba wakati Abu Huraira alipofika Kufapamoja na Mu’awiya, alikaa kwenye lango la Kinda wakati wa usiku na watuwakakaa kumzunguka yeye. Siku moja kijana mmoja wa Kufa – anaweza akawani al-Asbagh bin Nabata – alifika na akamwambia: “Oh, Abu Huraira, ninakuuliza,Wallahi kama ulimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akimwambia Imam Ali ibn AbiTalib: “Ewe Allah, muunge mkono yule atakayemuunga mkono Ali na uwe aduikwa yule anayempinga huyu.” Abu Huraira akasema: “Ndio, nilisikia.” Yulekijana akasema: “Wallahi naapa, kwamba wewe umewaunga mkono maadui zakena kuwapinga wafuasi wake.” Kisha kijana huyo akaondoka.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 44

Page 54: Abu Huraira

yeye kuliko wengine wote katika kuhifadhi, uangalifu na uchaji, lilikuwalimepata nguvu ya athari hadi leo hii. Walikuwa wamefanya mambo mengiya kuwakinaisha watu waamini kwamba Abu Huraira alikuwa wa kutege-mewa na mchamungu.

Jambo mojawapo ni kwamba Marwan alijifanya kwamba alikuwaamemkalisha karani wake katika sehemu ya faragha ambayo asingewezakuonwa na mtu yoyote yule na akamwita Abu Huraira aingie hapo. Alianzakumuuliza Abu Huraira kuhusu mambo mengi. Alimuuliza maswali mengisana. Abu Huraira alijibu kwa Hadith za Mtukufu Mtume na yule karani,ambaye jina lake lilikuwa Zu’ayza’a alikuwa akiandika bila kumfanyayeyote amtambue. Aliandika Hadith nyingi sana. Marwan akangojea kwatakriban mwaka mzima na kisha akamwita Abu Huraira na akamuulizamaswali yaleyale. Yeye alijibu kwa majibu yale yale, hakuzidisha walakupunguza neno. Marwan na karani wake wakaueneza uongo huu mion-goni mwa watu wa Damascus na kufikia kila mahali mpaka hatimaye al-Hakim akauandika kwenye kitabu chake, al-Mustadrak al-Hakiim, Jz. 3,uk. 510.

Na kwamba wakati Marwan alipotaka kuwaleta mashujaa na wapiganajiwake ili kuwazuia Bani Hashim wasimzike Imam Hasan (a.s.) karibu nakaburi la babu yake, Mtume Muhammad (s.a.w.w.), walikubaliana kabla naAbu Huraira kwamba aje ampinge sana Marwan na kumlaumu sana mbeleya watu, ili kuwahadaa na kuwafanya watambue kwamba Abu Hurairaalikuwa mtu mkweli sana. Kwamba hakumuogopa mtu yoyote isipokuwaMwenyezi Mungu na Mtume Wake na kwamba hakuna yoyote ambayeangeweza kusimama dhidi yake pindi atakapokuwa amekasirika kwa ajiliya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.

Pale Abu Huraira alipofanya upinzani huu, Marwan alionyesha hasirazake. Pakawa na mabishano ya uongo na ghadhabu bandia kati yao. AbuHuraira akapinga kwa nguvu sana dhidi ya Marwan kuthibitisha kwambayeye Abu Huraira alikuwa na nafasi maalum kwa Mtukufu Mtume

45

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 45

Page 55: Abu Huraira

(s.a.w.w.) ambayo hakuna sahaba yoyote au jamaa wa Mtume aliyekuwanayo kwamba alikuwa na uwezo wa kupokea na kuhifadhi kutoka kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambao kwa huo aliwazidi hata waislam wamwanzo kama Umar, Uthman, Ali, Talha, Zubeir na wengineo. Aliendeleazaidi katika kuelezea mwelekeo wake, ambao uliweka juu yake hadhi zahali ya juu za wale masahaba wa karibu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Hivyo mabishano kati yao yakaisha na Marwan akakubali kunyweakwenye nafasi kubwa ya Abu Huraira katika Uislam na hadhi yake ya ujuzikatika Sunna. Yote hayo yalitendeka mbele ya watu. Mpango waoukafanikiwa na Marwan aliweza kumtumia Abu Huraira kama nyenzo yakupigana na Imam Hasan, Imam Husein, baba yao na watoto wao (a.s.).Ilikuwa ni propaganda iliyofanikiwa sana kwa ajili ya sera zao.

“Basi adhabu itawathibitikia wanaoandika kitabu kwa mikono yao,kisha wakasema: Hiki kimetoka kwa Mwenyezi Mungu, ili wakiuzekwa thamani ndogo, basi adhabu kali kwa yale waliyoyaandika kwamikono yao na ole wao kwa yake wanayoyachuma.” 2:79

WINGI WA HADITH ZAKE

Wale wote waliokusanya Hadith wamekubaliana kwa kauli moja kwambaAbu Huraira amesimulia Hadith nyingi zaidi kuliko mtu mwingine yeyoteyule.65 Walizihesabu riwaya zake na kuzikuta kwamba zilikuwa jumla yariwaya elfu tano na mia tatu na sabini na nne. Katika Sahih al-Bukhari peke

46

Abu Huraira

65 Rejea kwenye mstari wa mwisho wa ukurasa wa 240 wa Juz. 4 ya kitabu al-Isaba cha Ibn Hajar ambao umejuisha na kitabu cha al-Isti’ab katika pambizozake.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 46

Page 56: Abu Huraira

yake alikuwa na Hadith mia nne na arobaini na sita.66

Tumegundua kwamba yale yote yaliyosimuliwa na makhalifa wanne, yak-ilinganishwa na Hadith za Abu Huraira yalikuwa pungufu zaidi kwa asil-imia ishirini na saba. Abu Bakr amesimulia Hadith mia moja na arobainina mbili.67 Umar alikuwa amesimulia Hadith mia tano na thelathini nasaba.68 Yote ambayo Uthman alikuwa ameyasimulia yalikuwa ni Hadithmia moja na arobaini na sita.69 Na Hadith mia tano na themanini na sitazilisimuliwa kutoka kwa Ali.70 Hivyo jumla ni Hadith 1411, ambazoukizilinganisha na Hadith za Abu Huraira utauona uwiano uko kamatulivyosema hasa.

47

Abu Huraira

66 Rejea kwenye kitabu cha al-Qastalani, Irshad al-Sari, Jz. 1, uk. 212, maelezoya Hadith ya kwanza ya Abu Huraira iliyoandikwa na al-Bukhari katika Sahihyake, utakuta kwamba Abu Huraira amesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) Hadith 5,374 na kwamba katika hiyo Sahihi al-Bukhari alikuwa naHadith 446. Ibn Hazim katika al-Milal wan-Nihal, Jz. 4, uk. 138 amesema kwam-ba Abu Huraira amesimulia Hadith 5374.67 Ilisimuliwa na Suyuti katika Ta’rikh al-Khulafa’ (historia ya makhalifa), na an-Nawawi katika Tadh’hiib, Ibn Hazim katika al-Milal wan-Nihal, Jz. 4, uk. 137 naadh-Dhahabi katika kitabu chake, Mizanul-Itidal, ambaya amesema kwambaHadithi za kweli za Abu Bakr zilikuwa chini ya Hadith ishirini.

68 as-Suyuti amesema katika kitabu chake Ta’rikh al-Khulafa’ kwamba Hadith zaUmar zilikuwa mia tano na thelathini na tisa. Ibn Hazim amesimulia katika kitabuchake al-Milal wan-Nihal, Jz. 4, uk. 138 idadi hiyo hiyo na akasema kwambaHadith za kweli za Umar zilikuwa takriban Hadith hamsini.

69 Jalalud-Din as-Suyuti katika kitabu chake Ta’rikh al-Khulafa’.

70 as-Suyuti; Ta’rikh al-Khulafa’ (kwenye wasifu wa Imam Ali). Ibn Hazim ndaniya kitabu chake al-Milal wan-Nihal, Jz. 4, uk.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 47

Page 57: Abu Huraira

Hebu mtu yoyote mwenye busara afikirie juu ya Abu Huraira, kipindichake kifupi cha kuwa Mwislam, kutofahamika vizuri kwake, kutokuwa naelimu kwake na yote yanayoweza kumfanya awe duni, halafu fikiria juu yamakhalifa wanne, haki yao ya utangulizi katika Uislam, mahudhurio yaowakati wa utungaji wa kanuni za Shariah, ujasiri wao kwa miaka hamsinina mbili; katika miaka ishirini na tatu kati ya hiyo wao walikuwa kwenyeutumishi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na ishirini na tisa yake walitawalaumma na wakatawala nchi zingine. Waliziteka nchi za Kasra na Kaizari(Ceaser). Walijenga miji na nchi kadhaa, wakaeneza Uislam nawakatangaza hukumu za Shariah na Sunna. Sasa itawezekana vipi kwaAbu Huraira peke yake, kusimulia mara nyingi, kwa kiasi kamawalivyosimulia juu ya Hadith za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Vile vile Abu Huraira hakuwa kama A’isha, ingawa naye amesimuliaHadith nyingi sana. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa amemuoa miakakumi kabla Abu Huraira kuja kuwa Mwislam.71Yeye A’isha alikuwa kati-ka nyumba ambayo ufunuo wa Mwenyezi Mungu ulikuwa ukishuka kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na mahali pa kuja na kuondoka pa Jibril naMikaili (a.s.) kwa miaka kumi na nne. Yeye alifariki muda mfupi kabla yakifo cha Abu Huraira.72

Ni tofauti kubwa kiasi gani iliyokuwepo kati ya usahaba huo wa watuwawili hawa na upeo wao! Upeo wake A’isha ulishindana na usikiaji wakena moyo wake ulizidi masikio yake. Alikuwa madhubuti sana. Hakuna

48

Abu Huraira

71 Ibn Abdil-Birr amesema katika kitabu chake, al-Isti’aab, kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alimuoa A’isha katika mwaka wa kumi wa utume – miaka mitatukabla ya kuhajiri – hivyo ndoa ya A’isha ilikuwa ilikuwa kabla Abu Huraira kuwaMuislam katika mwaka wa saba wa hijiria.72 A’isha alifariki katika mwaka wa hamsini na saba hijiria kabla ya kifo cha AbuHuraira katika muda mfupi baadae. Abu Huraira alimswalia A’isha swala ya maiti– kwa amri ya al-Waliid bin Utba bin Abu Sufyan, ambaye alikuwa amefanywaamiir wa Madina na ammi yake Mu’awiya. Alitaka kumuenzi Abu Huraira kwavile A’isha alizikwa ndani ya Baqii’.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 48

Page 58: Abu Huraira

lolote lililomtokea isipokuwa alilitungia shairi kulihusu. Urwa amesemakwamba hakuwahi kuona mtu yeyote mwenye elimu katika fiqhi, madawaau ushairi kuliko A’isha. Masruuq amesema kwamba amewaona baadhi yamasahaba maarufu wakimuuliza A’isha juu ya wajibati za kidini.

Alilazimishwa kueneza riwaya zake kiasi kwamba aliwatuma wapiga mbiuwake kwenye nchi mbalimbali na aliongoza lile jeshi kubwa kwendaBasra. Na licha ya yote hayo, Hadith zake zilikuwa elfu mbili mia mbili nakumi.73 Hivyo Hadith zake zilikuwa chache kwa zaidi ya nusu ya zile zaAbu Huraira.

Kama ukijumlisha Hadith za A’isha na zile za Umm Salama (mke waMtukufu Mtume), ambaye alifariki baada ya kifo cha Abu Huraira kwakupita muda mrefu, za wakeze wengine Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), zaImam Hasan, Imam Husein, Bibi Fatimah (binti ya Mtukufu Mtume) nazile za Makhalifa wanne unakuta kwamba zote kwa pamoja zilikuwa pun-gufu ya Hadith za Abu Huraira. Hili lilikuwa ni jambo la hatari sana! Hebungoja wale wenye busara walifikirie hili.

Licha ya hayo, Abu Huraira alisingizia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimfahamisha yeye peke yake juu ya Hadith kadhaa ambazo hatazifichuakwa mtu yeyote yule. Aliziweka na kuzihifadhi ndani ya dhamira yake nakuzizika ndani ya kifua chake. Na kama unavyojua kwamba Abu Hurairaalikuwa na kifua chenye ngome nzito kabisa na dhamiri ya ajabu! Hivyoyeye alisema: “Mimi nimehifadhi kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)vyombo viwili. Ninaeneza kile cha kwanza, lakini kama nitaeneza hichokingine, koo hili linaweza kukatwa.”74

Yeye alisema: “Kama ningewaambia yale yote ninayoyajua, watu wan-genirushia mabaki ya vyombo vya udongo na kusema: Abu Huraira nimwendawazimu.”

49

Abu Huraira

73 Ibn Hazim katika kitabu chake, al-Milal wan-Nihal, Jz. 4, uk. 13874 Sahih al-Bukhari, Jz. 1, uk. 24

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 49

Page 59: Abu Huraira

Alisema: “Kama ningewaambia yote niliyokuwa nayo kifuani mwangu,mngenitupia kinyesi.” Alisema: “Wanasema kwamba Abu Huraira ames-imulia Hadith nyingi sana. Ninaapa Wallahi kwamba kama ningewaambiayote yale niliyoyasikia, basi mngenirushia kilima cha kinyesi na kamwehamngezungumza nami tena.”75

Alisema: “Nimehifadhi kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) baadhi yaHadith ambazo mimi sikuzisimulia juu yake kwenu. Kamaningekusimulieni juu yake hizo, basi mngenirushia mawe.”76

Yeye alisema: “Mimi nimehifadhi kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)mifuko mitano ya Hadith. Nimesimulia juu ya miwili kati yao, na kamaningesimulia juu ya wa tatu ninyi mngenirushia mawe.”77

Abu Huraira hakuwa mrithi mstahiki wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walakhalifa baada yake kiasi cha kumpendelea kuliko wengine na kumwambiasiri na elimu ambazo hakuweza kumwambia mwingine yeyote kati yamasahaba zake wa karibu au ndugu zake.

Kulikuwa na maana gani ya kumweleza siri hizo wakati ambapo yeyealikuwa ni mtu dhaifu mwenye uchoyo ambao ulimzuia yeye kusema cho-chote kuhusu siri hizo isipokuwa kwamba angerushiwa mawe, kinyesi natakataka au kwamba koo lake lingekatwa?

50

Abu Huraira

75 Hadith tatu zilizopita zilisimuliwa na Ibn Sa’d katika kitabu chake Tabaqat, Jz.4, uk. 57.76 al-Hakim katika al-Mustadrak, Jz. 3, uk. 509, adh-Dhahabi katika Talkhiis. Nihadhi kubwa kiasi gani aliyokuwa nayo Abu Huraira! Alisema: …..mngenirushia mawe, mapande ya vyombo vya udongo, kilima cha kinyesi. Naaliposema kuhusu yeye mwenyewe ………. waliokuwa wanakuja waliwekanyayo zao juu ya shingo yangu ………. na alipozungumzia tumbo lake, chawana mambo yake mengine.77 Abu Nua’im katika Hilyatul-Awliya’ uk. 381 (wasifu wa Abu Huraira).

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 50

Page 60: Abu Huraira

Hivi isingekuwa bora kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuelezea siri hizikwa ajili ya wale makhalifa wa baada yake, ambao waliwaongoza watukwa nia moja na ambao mataifa yaliwakubali na shingo za waarabu nawasiokuwa waarabu zilinywea na kutii? Wao walikuwa ni wabora kulikoAbu Huraira katika kufanya hivyo. Kama wao wangekuwa nazo siri hizo,wangezieneza kwenye nchi zote kama miali ya jua. Liepushiliwe mbali laMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuweza kufanya jambo lisilo na faida. Hiviyeye angeweza kumwaminisha Abu Huraira siri zake ili zipotee vivi hivibila faida yoyote? Na kwani Abu Huraira alikuwa ni nani kuweza kuteuli-wa pekee kutokana na Waislam wote wa mwanzo?

“Waliotangulia ndio waliotangulia, hao ndio watakaokaribishwa.”(56:10-11)

Abu Huraira mara kwa mara alikuwa akisema: “Abu Huraira huwa hawe-ki siri wala huwa haandiki.”78 Hadithi hii ilikuwa inakubalianaje na Hadithyake hii: “Nimehifadhi kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) vyomboviwili. Nimeeneza kimojawapo. Kama ningeeneza hicho kingine, koo hililingekatwa,” na zile riwaya nyingine zenye maana hiyo hiyo kwamba ali-tunza siri?

Hebu tuwaulize wale wanaofanya utafiti juu ya zile siri ambazo MtukufuMtume (s.a.w.w.) aliziaminisha kwa Abu Huraira na kwamba Abu Hurairaalifanya siri kujilinda yeye mwenyewe au kuweka hadhi yake. Je, siri hizozilikuwa za namna ya siri ambazo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliziaminishakwa mlinzi wake Imam Ali (a.s.)? Je, zilihusu ukhalifa na makhalifa baadayake? Je, zilikuwa za namna nyingine? Kama zilikuwa za namna ile yakwanza, kwa nini Abu Huraira azigeuke na kupingana nazo moja kwamoja? Maoni yake yangekuwa sawa na maoni ya Waislam wengine kwaniyeye alikuwa ni mtu mmoja miongoni mwa wengine. Lakini kama siri hizozilikuwa za namna nyingine, yeye asingeweza kujizuia kusimulia Hadithi

51

Abu Huraira

78 Ibn Sa’d katika Tabaqat, Jz. 2, uk. 119

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 51

Page 61: Abu Huraira

za kuchukiza na kufedhehesha!

Je yeye hakusimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipitiwa na usin-gizi na akakosa swala ya al-Fajr? Na kwamba Shetani alimjia yeye Mtumena kuvuruga swala zake? Je, hakusimulia kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) wakati mmoja alisahau na akaswali swala ya rakaa mbili badalaya rakaa nne na wakati walipomuuliza watu: Je, ulisahau au umeiwekeaswala hii masharti? Yeye alijibu: Sikusahau wala sikuweka shuruti.

Hakusimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alidhuru, kutukana,kulaani na kuwachapa viboko watu wasio na hatia kwa sababu tu alipand-wa na hasira? Je, hakuhusisha kwa mitume (s.a.) mambo chungu nzimaambayo yalikuwa hayawezekani kwa wao kuyafanya kwa mujibu wa she-ria au busara? Alisimulia kwamba Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.)alisema: “Sisi ni wabora kuliko Ibrahim kuweza kuwa na shaka.”Alisimulia vilevile kwamba imani juu ya Allah ya Nabii Lut ilikuwa hainauhakika.

Hakuwakashifu manabii Adam, Nuh, Ibrahim, Musa na Isa ambao ni lazi-ma waheshimiwe na kuenziwa? Je, hakuhusisha kwa Nabii Musa kwambaalimpiga malaika wa mauti na kumng’oa jicho lake? Na kwamba wakatimmoja nabii Musa (a.s.) alikimbia akiwa uchi mbele ya Bani Israili, ambaowalimuona sehemu zake za siri?

Je, hakusimulia kwamba Nabii Suleiman, mwana wa Daudi alivunja amriya baba yake? Na kwamba alikataa kusema Insha’allah, hivyo amali yakeikaanguka?

Je, hakuhusisha kwa Mwenyezi Mungu mambo ambayo yasingewezakukubaliwa na Sharia ama mantiki? Alisema kwamba Jahannam haitajaampaka Mwenyezi Mungu atakapoweka mguu wake ndani yake. Katikariwaya yake juu ya Siku ya Kiyama, yeye alisema kwamba MwenyeziMungu atawajia watu kwa sura tofauti na ile wanayoifahamu akiwaambia:

52

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 52

Page 62: Abu Huraira

“Mimi ni Mola wenu.” Wao watasema: “Mwenyezi Mungu aepushiliembali!” Kisha anawajia kwa sura ile wanayoitambua! Wao watasema:“Wewe ni mungu wetu.” Abu Huraira amesema kwamba Adam aliumbwakwa umbo la Mhisani Wake (Allah)! Na kwamba Mwenyezi Munguamemuumba Adam kwa umbo kama Lake. Alikuwa na urefu wa dhiraasitini na upana wa dhiraa saba.

Utayaona mengi mengi ya maajabu yake kwenye mlango ufuatao ambayoyanasababisha kukatwa kwa koo, hivyo kwa nini amezisimulia kirahisihivyo? Kwa kweli amesimulia riwaya hizo kana kwamba amewafanyiawatu upendeleo fulani. Amesimulia itikadi za kidhana lakini hakuna mtualiyemrushia jiwe, kinyesi au taka kwani ilikuwa wazi kwa yeyote aliyem-fahamu. Tunateswa na watu madhalimu na tunakuwa hatuna wa kumkim-bilia isipokuwa Mwenyezi Mungu

Tungependa kuvuta usikivu wa wale watafiti wenye busara kwamba AbuHuraira amesema:79 “Hakuna aliyesimulia Hadith kutoka kwa MtukufuMtume (s.a.w.w.) zaidi kuliko nilivyosimulia mimi, isipokuwa Abdullahibn Amr bin al-Aas kwa sababu yeye aliziandika na mimi sikuandika.”

Alikiri kwamba Abdulla bin Amr alisimulia Hadith nyingi zaidi kulikoyeye alivyosimulia. Tulifanya utafiti juu ya riwaya za Abdullah na kugun-dua kwamba hazikuwa zaidi ya mia saba.80 Kwa hiyo zilikuwa chini yamoja ya saba ukizilinganisha na riwaya za Abu Huraira.

Watafiti hao walichanganyikiwa sana jinsi ya kumtetea Abu Huraira kati-ka kukinzana kwake. Lakini Ibn Hajar al-Qastalani na sheikh Zakariya al-

53

Abu Huraira

79 Riwaya iliyosimuliwa na Wahab bin Munabbih kutoka kwa ndugu yakeHumam kutoka kwa Abu Huaraira na kutajwa katika Sahih al-Bukhari, Jz. 1, uk.2280 al-Qastalani katika kitabu Irshad as-Sari fii Sharh Sahih al-Bukhari, Jz.1, uk.373

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 53

Page 63: Abu Huraira

Ansari wao walipata kisingizio wakati walipoielezea Hadith hii katikavitabu vyao81 kwamba Abdullah bin Amr bin al-Aas aliishi nchini Misri,na wale waliokwenda Misri walikuwa wachache sana kwa hiyo alisimuliachache tu ya Hadith zake, wakati ambapo Abu Huraira aliishi Madinaambapo palikuwa ndio mafikio ya Waislamu kutoka kila mahali, hivyoriwaya zake yeye zilikuwa nyingi mno.

Simulizi ya Abu Huraira ilikuwa wazi sana kuvunja kisingizio hiki. Yeyealikubali kwamba hakuna aliyesimulia Hadith nyingi kutoka kwa MtukufuMtume (s.a.w.w.) kuliko alizosimulia isipokuwa Abdullah bin Amr bin al-Aas. Mtu huyu, mwenyewe, alikiri kwamba riwaya za Abdullah zilikuwani nyingi kuliko za kwake yeye, hivyo hapakuwa na njia kwa kisingiziohiki cha wasimulizi hawa wawili.

Nafasi kubwa na heshima aliyokuwa nayo Abdullah bin Amr huko Misrivilikuwa ni sababu nzuri za kumfanya yeye asimulie Hadith zake nyingi.Hakukuwa na mtu mwingine zaidi yake yeye huko Misri ambaye watuwalimjua sana, isipokuwa baadhi ya masahaba wachache sana au wasafiri.Kwani alikuwa ndiye bingwa pekee katika Qur’ani, Shari’ah na Sunnaambaye watu walimkimbilia. Ni tofauti kubwa kiasi gani kati ya nafasiyake huko Misri na ile ya Abu Huraira hapo Madina! Kwani Abdullahalikuwa na cheo cha Faqihi mnyofu na sifa ya mtoto wa mshindi mkuukatika nyoyo za wamisri, ambapo Abu Huraira huko Madina alikuwa nimmojawapo tu wa maelfu ya masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Wajumbe waliotembelea Madina walikwenda kwa wale masahabamashuhuri na maarufu, ambao Abu Huraira alikuwa sio mmoja wao. Navilevile alishutumiwa kwa kusimulia Hadith nyingi mno kupindukia kuto-ka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Watu wa Madina mara nyingi walim-laumu kwa kusema: “Kwa nini muhajirun na Ansari hawakusimulia Hadithnyingi kama zake.”

54

Abu Huraira

81 al-Qastalani katika kitabu Irshad as-Sari na Zakariya katika Tuhfatul-Bari.Vilichapishwa kwa pamoja katika Juzuu kumi na mbili. Utakikuta kisingizio hikikatika Juzuu ya 1, uk. 373

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 54

Page 64: Abu Huraira

Nafasi yake hapo Madina isingeweza kumfanya asimulie Hadith nyingihivyo. Ilikuwa haiaminiki kwamba riwaya zake ni nyingi kuliko riwaya zaAbdullah, hasa baada ya kukiri kwake kwamba riwaya za Abdullahzilikuwa ni nyingi kuliko riwaya zake. Kwa nyongeza ni kwamba Abdullahbin Amr aliishi muda mrefu kiasi baada ya kifo cha Abu Huraira.82 Kwakweli Abu Huraira alikiri juu ya hilo mwanzoni baada ya kifo cha MtukufuMtume (s.a.w.w.) ambapo alikuwa hajazidi katika kusimulia Hadith.Alizidi kusimulia zaidi wakati wa utawala wa Mu’awiya ambapohapakuwa na Abu Bakr, Umar Ali wala yeyote kati ya masahaba mashuhuriambao Abu Huraira aliwaogopa.

UBORA WA HADITH ZAKE

Hekima ya umaizi mzuri haikubali nyingi ya mtindo wa Hadith za AbuHuraira, na kigezo cha kisayansi na akili hakitoi ruhusa juu ya kuzikubaliHadith hizo. Hapa ni Hadith zake arobaini zikiwekwa mbele yako. Hebutafakari juu ya hizo pamoja na ufafanuzi wetu kwa hekima na busara nakwa uadilifu bila upendeleo, na kisha unaweza kutoa maoni yako.

1. Allah alimuumba Adam kwa Sura Yake Mwenyewe:

Masheikh wawili, al-Bukhari na Muslim83 wametaja riwaya iliyosimuliwana Abdur-Razaq kutoka kwa Ma’mar kutoka kwa Humam bin Munabbihkwamba Abu Huraira alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema:

55

Abu Huraira

82 Abu Huraira alifariki, kama ilivyoelezwa ndani ya al-Isaba ya Ibn Hajar,mnamo mwaka wa hamsini na saba au hamsini na nane hijiria na pia imesemekanakwamba ni mwaka wa hamsini na tisa. Abdullah yeye alifariki kwa mujibu wachanzo hicho hicho, mnamo mwaka wa sitini na tano, au sitini na nane au wa siti-ni na tisa hijiria. Al-Qaysarani amesema katika kitabu chake Rijal-as-Sahihaynkwamba yeye alifariki mwaka wa tisini na mbili. Allah ndiye ajuaye zaidi.

83 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz.4, uk. 57, Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 481 na MusnadAhmad, Jz.2, uk. 315.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 55

Page 65: Abu Huraira

“Mwenyezi Mungu alimuumba Adam kama sura Yake Mwenyewe katikaurefu wa dhiraa sitini.” Ahmad ameongeza84 katika njia nyingine kutokakwa Sa’id bin al-Musayyab kwamba Abu Huraira alisema: “….. na upanawa dhiraa saba. Wakati Mwenyezi Mungu alipomaliza kumuumba,alimwambia: Nenda ukawasalimie wale Malaika waliokaa pale na usikiewatakavyokusalimia. Itakuwa ni salam yako na ya kizazi chako. Adamalikwenda na akawaambia: As-salaam Alaykum (amani iwe juu yenu).Wao wakasema: As-Salaamu alayk wa rahmatullah. Wao waliongeza – warahmatullah – na rehma ya Allah. Kila mmoja aliyeingia Peponi alikuwakama Adam katika dhiraa sitini urefu. Wanadamu wakaanza kukua kwaupungufu hadi siku hizi.”

Hii isingeweza kamwe kuhusishwa na Nabii Muhammad (s.a.w.w.) au yey-ote kati ya manabii wengine wala kwa walinzi wao. Huenda Abu Hurairaalijifunza hilo kutoka kwa Wayahudi kupitia rafiki yake Ka’bul-Ahbar aumwingine yoyote. Muktadha wa Hadith hii ni sawasawa kabisa na kifungucha ishirini na saba cha Maandiko ya Waebrania (wayahudi) – Agano laKale. Haya hapa ni maandishi yenyewe kama yalivyo: “Mungu alimuum-ba mwanadamu kwa umbo Lake Mwenyewe. Kama umbo la Mungualimuumba. Mwanaume na mwanamke aliwaumba.”

Ametukuka Mwenyezi Mungu zaidi ya kuweza kumwelezea Yeye kwakufikiria, kumwekea mipaka na kumfananisha. Mwenyezi Munguatukuzwe na wamepotea wale waliomhusisha na hayo. Wanawezawakaitafsiri Hadithi hiyo kwa kuhusisha kiwakilishi nomini hicho ‘umbolake’ kwa Adam mwenyewe sio kwa Mwenyezi Mungu. Kisha maanaingekuwa kwamba Mwenyezi Mungu alimuumba Adam huko Peponi kati-ka umbo lilelile aliloshuka nalo duniani. Kwamba Mwenyezi Mungualimkamilisha kwa wakati mmoja na akamfanya mwenye dhiraa sitiniurefu na dhiraa saba upana, umbo lilelile ambalo kizazi chake kililiona, nahakubadilika kutoka hatua moja kwenda nyingine. Adam hakuwa ni mbeguna kisha akawa bonge la damu halafu pande la nyama, na kisha mifupa iliy-

56

Abu Huraira

84 Irshad as-Sari, Jz. 7, uk. 90.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 56

Page 66: Abu Huraira

ofunikwa na nyama, kisha kijusi, halafu kichanga kinachonyonya kishamtoto aliyeachishwa ziwa na kisha kijana halafu hatimae mtu mzimamwenye urefu na upana wa kawaida.

Hili ndilo ambalo wanaloweza kusema wale wanaomtukuza MwenyeziMungu na kukana kumhusisha na mwili katika kuitafsiri Hadith hii. Lakiniilisimuliwa na Abu Huraira kwa maneno haya: “Adam aliumbwa kwakulingana na umbo la Mhisani (Allah).”85 Abu Huraira alikuwa na Hadithnyingine inayosema: “Nabii Musa (a.s.) alipiga jiwe kwa fimbo yake kwaajili ya wana wa Israili na maji yakabubujika. Akawaambia: ‘Kunywenimaji enyi punda.’Ndipo Mwenyezi Mungu akamfunilia: ‘Unakusudiakuwafananisha binadamu niliowaumba kulingana na umbo Langu kuwasawa na punda.” 86

Hili liliwatahayarisha wale wanaomtetea Abu Huraira na kuwafanyawashindwe kwenye kiwakilishi nomino hiki wakitafuta tafsiri ya namnanyingine. Waliitafsiri Hadith ya Abu Huraira: “Mwenyezi Mungualimuumba Adam kulingana na umbo Lake” na “Adam alikuwa ameumb-wa kulingana na umbo la Mwingi wa rehema,” na katika Hadith yakekuhusu Nabii Musa (a.s.): “Nimewaumba kulingana na umbo Langu”kwamba Mwenyezi Mungu alimuumba Adam na kizazi chake kulinganana sifa za Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu yu hai, Mwenye kusikia,kuona, Muongeaji, Mtambuzi, Mwenye kupenda na kuchukia. Hivyo Yeyeamezitoa sifa hizi kwa Adam na kizazi chake.

57

Abu Huraira

85 Al-Qastalani ameisimulia Hadith hii katika kitabu chake, Irshad as-Sari, Jz. 10,uk. 491 na akasema kwamba kiwakilishi nomino ‘yake’ katika Hadith ya AbuHuraira (Mwenyezi Mungu alimuumba Adam kulingana na umbo Lake …..) kil-iashiria kwa Mwenyezi Mungu na sio kwa Adam.

86 Ibn Qutayba ameisimulia riwaya hii katika kitabu chake (Tafsiri ya Hadithmbalimbali) uk. 280, na akaifanya kama ushahidi kwamba kiwakilishi nomino‘yake’ katika Hadith ya Abu Huraira: “Mwenyezi Mungu alimuumba Adam kulin-gana na umbo Lake” imeashiria kwa Mwenyezi Mungu na sio kwa Adam.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 57

Page 67: Abu Huraira

Waliangukia kwenye kile walichokikimbia, kwa sababu sifa za MwenyeziMungu ziko mbali sana na ufananishwaji. Hili linakubalika kwa kauli mojamiongoni mwa wale ambao wanaamini juu ya uvukaji mipaka waMwenyezi Mungu. Hususan pale tunaposema kwamba sifa Zake ni YeyeMwenyewe na kwamba Yeye ndio Kweli kama ilivyowekwa katika kanunizetu za fiqhi.

Abu Huraira alikithiri katika Hadithi hii. Wakati mwingine aliisimuliakama ilivyo hapo juu na wakati mwingine alisema: “Kama mmoja wenuatagombana na mwenzie mwingine, basi naauepuke uso kwa sababuMwenyezi Mungu alimuumba Adam kulingana na umbo Lake.”87 Wakatimwingine alisema: “Kama mmoja wenu atampiga mwenzie, basi aepukekupiga uso na asiseme: “Mwenyezi Mungu auharibu uso wako na uso wayoyote anayefanana na wewe, kwa sababu Mwenyezi Mungu alimuumbaAdam kulingana na umbo Lake.”88

Ni dhahiri kwamba aliifunga njia mbele ya watetezi wake kurejea kwenyeyoyote kati ya tafsiri mbili hizo. Kiwakilishi nomino ‘lake’ katika “…..kulingana na umbo lake” kisingeweza kurejea kwa Adam katika yoyotekati ya Hadith mbili hizo, bali ni lazima kirejee kwa Mwenyezi Mungu ilikusahihisha maana ya Hadith hizo. Mtu anaweza akahalalisha ukatazaji wakupiga au kuharibu uso.89 Kumuumba Adam kiumbe hai, anayesikia,

58

Abu Huraira

87 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 39788 Imesimuliwa na al-Bukhari katika al-Adab al-Mufrad na katika MusnadAhmad, Jz. 2. uk. 43489 Natamani Abu Huraira angehalalisha kukataza kupiba uso kwa ajili ya unyetina uzuri wake na kwamba una viungo muhimu; masikio macho, pua, kinywa,midomo, meno, nyusi, uliojitokeza na mengineyo, kwa sababu ufahamu mwingi nikwa hivyo. Kupiga uso kunaweza kuvidhuru viungo hivyo na kuviacha vime-dorora au kubadili hali ya uso na hiyo itakuwa sura mbaya kwa sababu uso ni wadhahiri na hauwezi kufunikwa. Lakini Abu Huraira alipendelea kupotosha ukwelihata kama wafuasi wake walijua au laa. Hatuna wa kumkimbilia isipokuwaMwenyezi Mungu tu!

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 58

Page 68: Abu Huraira

anayeona, anayeongea, anayetambua mwenye kuhiari na kutohiari haku-fanyi kuwa ni lazima kuuhifadhi uso kuliko viungo vingine. KutafsiriHadith zote mbili kwa mujibu wa yoyote kati ya tafsiri hizi kulikuwa batili.Kwa kweli Hadith hizi mbili zilikuwa hazina maana, isipokuwa zilimaan-isha uso wa mwanadamu kwani ulifanana na uso wa Mwenyezi Mungu.Utukufu ni Wake Mwenyezi Mungu, Aliye juu, Mwenye enzi!

Hivyo watafiti wa Sunni ambao waliamini juu ya kupinduka mipaka kwaMwenyezi Mungu walichanganyikiwa kuhusu maana ya Hadith hizi nawakakimbilia kwa Mwenyezi Mungu, Aliye Mtambuzi zaidi.90

Maelezo:Kwanza: Kama Adam alikuwa na urefu wa dhiraa sitini, hivyo angekuwa,kwa mujibu wa mlingano wa viungo vyake, na upana wa dhiraa kumi nasaba. Kama upana wake ulikuwa dhiraa saba, urefu wake lazima uwe dhi-raa ishirini na nne na nusu, kwa sababu upana wa binadamu wa kawaida nisawa na mbili ya saba ya urefu wake. Kwa nini Abu Huraira aseme kwam-ba Adam alikuwa na urefu wa dhiraa sitini na upana wa dhiraa saba? Je,Adam alikuwa na umbile lisilolingana na umbo lisilo na sura kamili? Kwahakika hivyo sivyo! Mwenyezi Mungu amesema:

59

Abu Huraira

90 Imam an-Nawawi amesem: Baadhi ya mafaqihi walijiepusha kutokana nakutafsiri Hadith zote hizi na wakasema: Tunaamini kwamba zilikuwa za kweli namaana yake ya neno kwa neno haikukusudiwa. Zinaweza kuwa na maana inay-ofaa. Yeye alisema: Haya yalikuwa ni maoni ya watangulizi wa Sunni, ambayoyalikuwa ya tahadhari zaidi na salama zaidi ….. Rejea Sharh Sahih Muslim,ambayo imechapwa katika pambizo za Sharh Sahih al-Bukhari, Jz. 12, uk.18. Al-Qastalani amesimulia kitu kama hicho katika kitabu chake, al-Irshad as-Sari, Jz.10, uk. 491, kisha akasema: ….. na hii ni salama zaidi. Hii inaonyesha kwambawao waliamini kwamba Hadith hizi zilikuwa ni sahihi na za kweli. MwenyeziMungu aepushilie mbali! “….. na bila shaka nyumba iliyo mbovu zaidi ninyumba ya buibui, laiti wangejua.” 29:41

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 59

Page 69: Abu Huraira

“Hakika tumemuumba mwanadamu katika umbile lililo bora kabisa”(95:4)

Pili: Maamkuzi ya Kiislam yalitungwa ulipofika Uislam. NabiiMuhammad (s.a.w.w.) amesema: “Wayahudi hawakukuoneeni wivu katikajambo lolote kwa kiasi kikubwa kama walivyokuoneeni wivu juu yamaamkizi yenu (salamu).”91 Kama salaam hizo hazikuhusu umma huu tu,Wayahudi wasingeuonea wivu. Ni vipi Abu Huraira amesema: “WakatiMwenyezi Mungu alipokuwa amemuumba Adam, alimwambia: Nendaukawasalimie wale Malaika na usikilize watakavyokusalimia, kwa sababuni salamu zako wewe na kizazi chako.” Ni nini watakachokisema watafitiwenye busara kuhusu Hadith hii? Na watasema nini kuhusu Hadith yakekwamba watu walianza kupungua katika ukuaji katika kimo kuanzia hapohadi leo hii?

2. Kumuona Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama katika maumbile(sura) mbalimbali:

Wale masheikh wawili; Bukhari na Muslim, wametaja kwamba AbuHuraira alisema kwamba: “Watu fulani waliuliza: “Ewe Mtume waMwenyezi Mungu, je tutaweza kumuona Mola Wetu Siku ya Kiyama?”Yeye akasema: “Je, mnaweza kukosa uwezo wa kuliona jua wakati haku-na mawingu?” Wao wakajibu: “Hapana, ewe Mtume wa MwenyeziMungu.” Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Je, mtashindwa kuuona mwezikamili wakati pakiwa hakuna mawingu?” Wao wakasema: “Hapana, eweMjumbe wa Mwenyezi Mungu.” Yeye Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Basimtamuona Mwenyezi Mungu kama hivyo katika Siku ya Kiyama.Mwenyezi Mungu atawakusanya watu na kusema: “Yeyote aliyeabudu kitukingine basi naakifuate.” Kisha walioabudu jua watalifuata hilo jua, yey-

60

Abu Huraira

91 Rejea kitabu cha al-Qastalani, Irshad as-Sari, Jz. 10, uk. 492.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 60

Page 70: Abu Huraira

ote aliyeabudu mwezi, huyo ataufuata mwezi na aliyewaabudu madhalimunaye atawafuata hao madhalimu. Umma huu utabakia na wanafiki wake.Mwenyezi Mungu atawajia na umbile tofauti na lile walilolijua na kusema:“Mimi ndimi Mola Wenu.” Wao watasema: “Mungu aepushilie mbali!hatutaondoka hapa mpaka Mola wetu atakapotujia. Kama atafika hapa sisitutamtambua.” Kisha Mwenyezi Mungu atawajia katika sura na umbilewanalolijua na kusema: “Mimi ni Mola wenu.” Wao watasema: “Ndio,Wewe ndiwe Mola wetu.” Na watamfuata Yeye. Kisha ataumba daraja laJahannam. Mimi ndiye wa kwanza kulivuka. Mitume wengine wataomba:“Ewe Mola Wetu, tuokoe, tuokoe!”

Daraja hilo lina vigoe (ndoano) kama miba ya sa’dan.92 “Je, mmeionaSa’dan?” Wakasema: “Ndio tumeiona.” Vigoe hivyo viko kama miba yasa’dan, bali hakuna yeyote anayejua umashuhuri wake vigoe hivyo uki-acha Mwenyezi Mungu peke Yake. Vinawanyakua watu kulingana namatendo yao. Baadhi yao wataangamizwa, na baadhi wataangushwa kishawataokolewa. Mwenyezi Mungu atakapomaliza kuhukumu miongoni mwawatu Wake na akataka kumwokoa yeyote amtakaye kati yao kutokana naJahannam, yule aliyeshuhudia kwamba hapana mola isipokuwa MwenyeziMungu, atawaamuru malaika kuwatoa ndani ya Moto wa Jahannam.Watajulikana kwa alama zao za kusujudu (ndani ya swala). MwenyeziMungu utauharamisha moto wa Jahannam kuchoma zile alama zao za saji-da za mwanadamu. Malaika watawatoa nje ya Jahannam na hali wameun-gua. Maji yanayoitwa maji ya uzima yatamwagwa juu yao nao watakuakama mbegu iliyoko kwenye ardhi yenye mbolea na rutuba. Kuna mtuatakayeuelekea Moto wa Jahannam na kusema: “Ewe Mola Wangu, upepowa Moto umeniumiza na miale yake imenichoma. Ugeuzie uso wangumbali na Jahannam.”

Ataendelea kumuomba Mwenyezi Mungu mpaka Mwenyezi Mungu atase-ma: “Kama nikifanya hivyo, wewe utaniomba kitu kingine tena.” Yeye

61

Abu Huraira

92 Aina ya mbaruti unaopatikana huko Uarabuni.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 61

Page 71: Abu Huraira

atasema: “Ninaapa kwa utukufu Wako kwamba mimi sitakuomba kitukingine tena.” Mwenyezi Mungu ataugeuza uso wake mbali na Jahannam.Kisha atasema: “Ewe Mola Wangu, nielekeze kwenda Peponi.” MwenyeziMungu atasema: “Hukusema wewe kwamba hutaniomba kitu kinginetena? Ole wako, ewe mwanadamu! Wewe ni mlaghai kiasi gani!” Badoataendelea kumuomba mpaka Mwenyezi Mungu atasema: “Kama niki-fanya hivyo, wewe utaniomba kitu kingine tena.” Yeye atasema: “Ninaapakwa utukufu Wako kwamba mimi sitakuomba kitu kingine tena.”Atamuahidi Mwenyezi Mungu kwa viapo vingi sana kwamba hatamuom-ba jambo jingine zaidi ya hilo. Mwenyezi Mungu atamsogeza karibu nalango la Peponi. Atapoona yale yaliyomo ndani ya pepo atakuwa mkimyakwa muda kiasi fulani halafu atasema: “Ewe Mola wangu, niruhusu niingiePeponi.” Mwenyezi Mungu atasema: “Je, hukuahidi kutokuniomba jambojingine zaidi ya lile. Ole wako, ewe mwanadamu! Wewe ni msaliti kiasigani!” Yeye atasema: “Ewe Mola wangu, usinifanye mimi kuwa mnyongezaidi kati ya watu Wako.” Ataendelea kumuomba Mwenyezi Mungu,mpaka Mwenyezi Mungu atacheka!! Wakati Mwenyezi Mungu anapom-cheka, Yeye atamruhusu kuingia Peponi. Anapokwisha kuingia Peponi,ataambiwa aombe kile anachokitaka. Ataomba. Kisha ataambiwa aombetena, ataomba mpaka atajikuta haoni cha kuomba tena. Mwenyezi Munguatasema: “Yote haya ni kwa ajili yako na mengine zaidi kama hayo.”

Muslim ameisimulia Hadith hii kwa njia nyingine93 kwamba Abu Hurairaamesema: “Mwenyezi Mungu atakuja kwa umma huu ambao una watuwachamungu na mafisadi katika Siku ya Ufufuo katika sura tofauti na ilewaliyoiona kabla, atawaambia: “Mimi ni Mola Wenu.” Wao watasema:“Mungu aepushilie mbali!” Yeye atasema: “Je, kuna alama maalum katiyenu na Yeye ambayo kwayo ninyi mnamtambua Yeye?” Wao watasema:“Ndio, ipo alama.” Kisha Yeye ataufunua mguu. Yoyote aliyesujudu kwaimani thabiti na uaminifu (katika maisha yake ya duniani) kwa ajili yaAllah, Mwenyezi Mungu atamruhusu kusujudu, na yule aliyesujudu kwaunafiki na riya, Mwenyezi Mungu ataufanya mgongo wake kuwa tabaka

62

Abu Huraira

93 Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 88.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 62

Page 72: Abu Huraira

moja kiasi kwamba kila anapotaka kusujudu, anaangukia mgongo wake.Halafu watainua vichwa vyao na kuona kwamba Mwenyezi Mungu ame-badilika na kuwa kwenye sura Yake ile ambayo waliiona wakati wa mwan-zo. Yeye atasema: “Mimi ndimi Mola Wenu.” Wao watasema: “Ndio, haki-ka Wewe Ndiwe.” Mwenyezi Mungu ataweka daraja juu ya Jahannam …..na kadhalika.” Ilikuwa ni Hadithi ndefu lakini Bukhari ameifupisha wakatialipofasiri Suratun-Nun ndani ya Sahih yake, Jz. 2, uk. 138. Maneno yaHadithi hiyo ni kama yafuatayo: “Mimi (Abu Huraira) nimemsikia Mtume(s.a.w.w.) akisema: “Mola Wetu hufunua mguu Wake na kila mu’min,mwanamume na mwanamke, atasujudu mbele Yake, wakati yule aliyesu-judu kwa unafiki na riya katika uhai wa duniani atataka kusujudu lakiniatakuwa hawezi kwa sababu mgongo wake utakuwa kama tabaka moja.”

Ni Hadith ya ovyo sana. Napenda kuwauliza wasomi na wenye elimu kamainakubalika kwao kwamba Mwenyezi Mungu anaweza kuwa na suratofauti tofauti, ambazo watu wanazikataa baadhi yake na kuzitambua baad-hi! Je, Mwenyezi Mungu anao mguu wa kuwa alama maalum inay-owaelekeza watu kumtambua Yeye? Kwa nini iwe ni huo mguu na siokiungo kinginecho? Inawezekana kumhusisha Mwenyezi Mungu nakucheka au kuja na kwenda katika kusogea huku na kule? Kwa hakika hai-wezekani! Naapa kwa Yule ambaye amemtuma (Muhammad) kwa haki….. “Nabii miongoni mwao anayewasomea aya Zake na kuwatakasa,na kuwafundisha Kitabu na Hekma, ingawa kabla ya hapo wao kwahakika walikuwa katika upotovu wa wazi.” (3:164).

NENO KUHUSU KUMUONA ALLAH

Masunni wanakubaliana kwa pamoja kwamba kumuona Mwenyezi Mungukwa macho kunawezekana katika uhai wa duniani na wa kesho Akhera, nawanakubaliana kwamba kwa hakika itakuja kutokea katika maisha yaAkhera. Waumini watamuona Allah katika Siku ya Kiyama kwa machoyao, lakini makafiri hawatamuona kamwe.Wengi wao walifikiri kwambakumuona Allah hakutatokea katika uhai wa duniani. Baadhi yao wanaweza

63

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 63

Page 73: Abu Huraira

wakasema itawezekana. Wale walioamini katika kubadilika mwili kwaAllah wamesema kwamba watamuona Mwenyezi Mungu katika Siku yaKiyama kwa muunganiko wa mionzi kati ya macho yao na mwili Wake!!,kumuangalia kama vile wanavyoangaliana wao kwa wao. Watakuwahawana mashaka juu ya hilo kama walivyokuwa hawana shaka juu ya juana mwezi kamili wakati kulipokuwa hakuna mawingu angani, hiyo ni kwamujibu wa Hadithi ya Abu Huraira. Wao, wale wanaoamini Mungu kuwana mwili, wamezihalifu kanuni za kiakili na desturi na wakavunjamakubaliano ya umma na wakaisaliti dini yao na mahitajio muhimu yaUislamu. Hivyo hatuna neno nao.

Na kuhusu wale wengine wa Ash’ari, ambao waliamini juu ya kuvukamipaka kwa Mwenyezi Mungu, wao walisema kumuona MwenyeziMungu kulikuwa ni uwezo ambao Allah atawapa waumini kwa umahususikuwafanya wamuone Yeye, sio kwa muunganisho wa mionzi kati yamuonaji na Yeye, wala kwa kumuelekea Yeye, wala kwa kumwekea mipa-ka, wala … wala … Haitakuwa kama uoanaji wa kawaida wa wanadamu.Utakuwa ni uonaji maalum unaoanguka kutoka kwa waumini juu yaMwenyezi Mungu. Utakuwa hauna mipaka, wala mabadiliko, wala mojakati ya mielekeo sita.

Hili haliwezekani na wala haliwezi kufikiriwa, isipokuwa labda MwenyeziMungu awape waumini katika maisha ya Akhera uoni mwingine ambaowenye mielekeo tofauti na hii ya uoni katika uhai wa dunia hii, kwa namnaambayo uoni wa macho utakuwa kama uoni wa kiroho (umaizi wa kiakili).Hili liko mbali sana na chanzo au sababu ya kutoelewana kati yetu.Pengine kutoelewana kati yetu ni kwa sababu ya matumizi ya manenoyenyewe.

64

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 64

Page 74: Abu Huraira

3. Jahannam Haitajaa Mpaka Mwenyezi Mungu Aweke Mguu WakeNdani Yake:

Wale masheikh wawili; Bukhari na Muslim, wameitaja Hadith mojailiyosimuliwa na Abdul-Razak kutoka kwa Ma’mar, kutoka kwa Humamkwamba Abu Huraira alisema: “Pepo na Jahannam zilizozana kuhusu kilamoja ilichokuwa nacho. Jahannam ikasema: “Nimependelewa kwa kuwana wale watu wenye kiburi na madhalimu.” Pepo ikasema: “Vipi kuhusumimi kwamba nimewaweka wale watu masikini na wanyonge.”Allah aka-iambia Pepo: “Wewe ni huruma Yangu, ambayo ninampa yeyote nim-takaye.” Kisha Allah akaiambia Jahannam: “Wewe ni chombo changu chamateso, ambacho ninamuadhibia nacho yeyote nimtakaye.” Kila kimojalazima kijazwe. Lakini Jahannam haitajaa mpaka Mwenyezi Munguatakapoweka mguu Wake ndani yake na kusema: “Inatosha, inatosha.”Kisha inajaa na baadhi ya sehemu zake kujiunga na zingine.’”94

Kwa kiasi chochote Abu Huraira alivyokuwa tajiri zaidi, alizidi kuwampumbavu zaidi.95 Yeye aliona kwamba Jahannam ni kubwa sana kiasicha kutoweza kujazwa watu wasio watiifu na Mwenyezi Mungu akasemakwamba Yeye ataijaza:

“Akasema: Ni haki, na ndiyo haki niisemayo. Lazima nitaijazaJahannam wewe na kwa wale wote wenye kukufuata miongonimwao.” (38:84-85).

Hivyo Abu Huraira akasimama mbele ya mambo hayo mawili, akiwaamechanganyikiwa akitafakari jinsi ya kusulihisha kati yao, hadi akapataufumbuzi kuhusu tatizo hilo kwamba Mwenyezi Mungu ataweka mguu

65

Abu Huraira

94 Sahih Bukhari, Jz. 3, uk. 127, Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 482, Musnad Ahmad,Jz. 2, uk. 314.95 Methali.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 65

Page 75: Abu Huraira

Wake ndani ya Jahannam, kwa sababu, kwa mujibu wa maoni ya AbuHuraira, mguu wa Mwenyezi Mungu lazima uwe mkubwa kulikoJahannam kwa ukubwa au upana wowote Jahannam itakaokuwa nao. Nakwa vile Abu Huraira alikuwa mjanja na mwerevu sana hivyo hakuna chaajabu katika kukusanya kati ya makinzano hayo mawili. Lakini kamaangetafakari juu ya usemi wa Mwenyezi Mungu: “Akasema: Ni haki, nandiyo haki niisemayo. Lazima nitaijaza Jahannam wewe na kwa walewote wenye kukufuata miongoni mwao.” (38:84-85), ulimi wake unge-fungika na angeondoka huku akiyumba na nguo yake chafu, kwa sababuaya hiyo imetamka kwamba Jahannam itajazwa na yeye na watu kamayeye, mashetani na wale waliowafuata miongoni mwa watu.

Aidha, Hadith hii haiwezekani kwa mujibu wa mantiki na sharia. Je,Mwislam yeyote anayemtukuza Mwenyezi Mungu anaamini kwambaMwenyezi Mungu anao mguu? Mtu yeyote mwenye akili timamu anawezakuamini kwamba Mwenyezi Mungu ataweka mguu wake kwenye Moto waJahannam ili ijae? Nini neno la hekima juu ya hilo? Je mazungumzo hayayana umuhimu wowote? Ni kwa lugha gani Pepo na Jahannam zina-zozana? Ni kwa kutumia hisia za aina gani wanazoweza kuwatambua waleambao wanaingia ndani yao? Kuna neema gani ambazo wenye kiburi namadhalimu walizokuwa nazo ambazo Jahannam inajivunia wakati ambapowanateseka? Na je, Pepo inafikiria kwamba wale walioingia ndani yake nimafukara na masikini ilihali ni wale ambao Mwenyezi Mungu anawapen-delea? Wao ni mitume, wakweli, mashahidi na watu waadilifu. Mimi sid-hani kwamba Pepo na Jahannam ni wajinga kiasi hicho, wapumbavu nawapungufu wa akili hivyo.

4. Mwenyezi Mungu anashuka kila usiku kuja kwenye uwingu wa wachini kabisa:

Masheikh hao wawili wameitaja Hadith iliyosimuliwa na Ibn Shihab kuto-ka kwa Abu Abdullah al-Agharr na Abu Salama bin Abdur-Rahman kwam-ba Abu Huraira alisema: “Mola Wetu hushuka kuja uwingu wa chini kabisa

66

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 66

Page 76: Abu Huraira

kwenye theluthi ya mwisho ya kila usiku na kusema: “Mtu yeyote naan-iombe nimpatie kile anachokitaka.”96

Yeye ametukuka na yuko mbali sana na kushuka na kupanda, kuja nakwenda, kusogea huku na huko na matukio mengineyo. Hadith hii na ziletatu za kabla zilikuwa ni chanzo cha mifano katika Uislam kwa vile ili-tokea katika kipindi cha utata wa kiakili. Uasi wa kidini mwingi namikengeuko ilijitokeza kutoka kwa Mahambali, hususan Ibn Taymiya,ambaye alipanda mimbari ya msikiti wa Bani Umayyah huko Damascuskatika Ijumaa moja akihutubia. Alisema kupitia uasi wake wa kidini:“Mwenyezi Mungu anashuka hadi kwenye uwingu wa dunia kila usikukama ninavyoshuka sasa hivi.” Akashuka kitato kimoja cha mimbari ilikuwaonyesha jinsi Mwenyezi Mungu anavyoshuka katika mwenendo hal-isi kutoka juu hadi chini. Faqihi mmoja wa ki-Maliki aliyeitwa Ibn Zahraalipingana naye na akayakanusha yale aliyokuwa ameyasema. Wale watundani ya msikiti walikimbilia kwa yule faqihi wa kimaliki wakampiga kwamikono na viatu kwa nguvu sana mpaka kilemba chake kikadondoka chini.Wakambeba kumpeleka kwa yule kadhi wa kihanbali huko Damascus,ambaye aliitwa Izzuddiin bin Muslim. Yeye aliamuru awekwe gerezani naakamuadhibu baada ya hapo. … na kadhalika.97

5. Suleiman anaivunja hukmu ya baba yake Daudi:

Wale masheikh wawili98 wameitaja Hadith iliyosimuliwa na Abu Hurairakwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Kulikuwepo na wanawake

67

Abu Huraira

96 Sahih Bukhari, Jz. 4, uk. 68 na Jz. 1, uk. 136. Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 283,Musnad Ahmad Hambal, Jz. 2, uk. 258 97 Mvumbuzi Ibn Battouta alihudhuria tukio hili na akasimulia alilolionakwenye katika kitabu chake, Rihla (Usafiri), Jz. 1, uk. 57.98 Sahih Bukhari, Jz. 2, uk. 166. Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 57. Musnad AhmadHanbali, Jz. 2, uk. 322.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 67

Page 77: Abu Huraira

wawili na watoto wao wawili. Mbwa mwitu akaja na akamnyakua mmojawa watoto hao. Wale wanawake wakazozana kila mmoja akijidai mtotoaliyeliwa na yule mbwa mwitu ni wa mwenzie. Walikwenda kwa NabiiDaudi ili wakaamuliwe naye kati yao. Alihukumu kwamba yule mtotoaliyebakia hai ni wa yule mwanamke mtu mzima. Wakaenda kwa NabiiSuleiman, mtoto wa Nabii Daudi, na wakamwelezea kile kisa. Yeye akase-ma: “Nileteeni kisu (sikkeen kwa kiarabu) ili nimkate huyu mtoto katikanusu mbili, nimpatie kila mmoja nusu moja.” Yule mwanamke kijanaakalia na kusema: “Tafadhali usifanye hivyo, Mwenyezi Mungu atakuwana huruma juu yako. Huyo ni wa mwanamke huyo hapo.” Nabii Suleimanalihukumu kwamba mtoto yule alikuwa wa yule mwanamke kijana’” AbuHuraira akasema: “Namuapa Mwenyezi Mungu kwamba nilikuwa sijasikiakuhusu sikkiin (kisu) kabla ya hapo. Tulikiita midya (kisu).”

Tunayo maelezo kuhusu Hadith hii:Kwanza: Daudi (a.s.) alikuwa ni nabii, ambaye Mwenyezi Mungu alikuwaamemteua na kumtuma kuongoza watu wake na akamkabidhi kutawala juuya ardhi kwa haki. Mwenyezi Mungu alisema: “Ewe Daudi! Hakikatumekujaalia kuwa khalifa ardhini, basi uwahukumu watu kwahaki….. (38:26) Mwenyezi Mungu amemsifu ndani ya Qur’ani Tukufukwa kusema: “….. na umkumbuke mja wetu Daudi, mwenye nguvu,kwa hakika yeye alikuwa mwelekevu sana. Hakika sisi tuliitiisha mil-ima pamoja naye, ikitukuza jioni na asubuhi. Na (pia) ndege walioku-sanywa, wote walikuwa wanyenyekevu kwake. Na tukautia nguvuufalme wake na tukampa hekima na akili ya kukata hukumu.(38;17:20). Na kwa hakika alikuwa mbele yetu mwenye cheo chakukaribiana na mahala pazuri.” (38:40) “….. Na kwa hakika tume-wafadhilisha baadhi ya manabii kuliko wengine, na Daudi tulimpaZaburi.” (17:55). Mwenyezi Mungu alikuwa amempendelea Nabii Daudi(a.s.) kwa kumpa kitabu cha Zaburi. Alikuwa maasum, hususan katikahukmu na utawala kwa mujibu wa kile alichokisema Mwenyezi Mungundani ya Qur’ani: “….. na wasiohukumu kwa yale aliyoyateremshaMwenyezi Mungu, basi hao ndio madhalimu.” (5:45).

68

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 68

Page 78: Abu Huraira

Huyu mwana, Suleiman, alikuwa ndiye mrithi wa elimu ya baba yake,Daudi, hekima na utawala. Yeye pia alikuwa nabii maasum. Hivyo kwanini avunje hukmu ya baba yake ambapo alijua kwamba baba yake ni nabiimaasum? Ikiwa siku hizi, mufti mwenye sharti na sifa zote za kuhukumu,akahukumu baina ya watu wawili, basi itakuwa wajibu kwa mamufti wotekuheshimu uhalali wa fat’wa isipokuwa labda wakijua kwa uhakika kabisakwamba ni ya makosa. Lakini miongoni mwa mitume, makosa yalikuwahayawezekani kupatikana kwa sababu wote walikuwa ni maasum. Hivyoilikuwa haiwezekani kwa Suleiman, ambaye alikuwa mtume, kuvunjafat’wa ya baba yake, ambaye Mwenyezi Mungu alikukwa amemfanyanabii na mtawala. Kuvunja kwake fat’wa ya baba yake kulimaanishakukana utashi wa Mwenyezi Mungu na kukosa adabu na uchamungumbele ya baba yake.

Pili: Tofauti kati ya fat’wa za manabii wawili hawa zilikuwa zinaelewekawazi, kwa mujibu wa Hadith hii. Ina maana kwamba mmoja wao alikuwaamekosea. Hili lilikuwa haliwezekani juu ya manabii hawa hasa kwa vilewalikuwa wanahukumu kulingana na sheria ya Mwenyezi Mungu. YeyeMwenyezi Mungu anasema: “….. na wasiohukumu kwa yale aliyoy-ateremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio waasi.” (5:47)

Tatu: Hadith inaonyesha kwamba nabii Daudi alihukumu kwamba mtotoalikuwa ni wa yule mama mtu mzima bila ya ushahidi wowote kwa sababutu alikuwa mkubwa zaidi. Hukumu kama hizi hazikuja ila kutoka kwa watuwajinga wasio na elimu, ambao hawakujua chochote kuhusu vigezo vyasheria na kanuni za mashitaka. Utukufu uwe kwake Mwenyezi Mungu namanabii Wake.

Nne: Suleiman alihukumu kwamba mtoto alikuwa wa yule bi-mdogo kwasababu tu alihofia juu ya mtoto yule kukatwa kwa kile kisu. Huu haukuwaushahidi wa kutosha kwa nabii Suleiman kuweza kuhukumu kulingana naohuo, hususan baada ya huyo bi-mdogo kukiri kwamba mtoto alikuwa wayule mwanamke mwingine, na pia baada ya hukumu ya baba yake.

69

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 69

Page 79: Abu Huraira

Tano: Nawashangaa, Wallahi, wale walioamuamini Abu Huraira pale ali-posema: “Naapa kwa Mwenyezi Mungu kwamba mimi nilikuwa sijasikiajuu ya sikkiin (kisu) kabla ya hapo. Tulikuwa hatukiiti kwa jina jingineisipokuwa la midya.” Jina la sikkiin lilikuwa maarufu sana miongoni mwaWaarabu, na sidhani kwamba kulikuwa na yeyote ambaye alikuwa haelewimaana yake. Kwa kweli, wengi wa watu wa kawaida walikuwa hawaijuihiyo midya. Hivi Abu Huraira hakusoma au kusikia Mwenyezi Munguakisema ndani ya Surat Yusuf:99 “….. akampa kila mmoja wao kisu(sikkiin) …” (12:31).

Yeye mwenyewe hakuwahi kusimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema: “Yeye, yule ambaye alifanywa hakimu kwa ajili ya watu, kanakwamba alichinjwa bila ya (sikkiin) kisu.” 100

Angalizo: Abu Huraira alidhani kwamba nabii Daudi na Suleiman “walipokata huku-mu juu ya shamba” 21:78 walikuwa wanapingika katika hukumu zao hivyoikawa rahisi kwake kubuni Hadith ile ya udhanifu ambamo hakujua kwam-ba wote walikuwa sahihi na kwamba hukumu na elimu zao vyote ni kuto-ka kwa Mwenyezi Mungu.

70

Abu Huraira

99 Surat Yusuf ilishushwa kwa Mtukufu Mtume, Muhammad (s.a.w.w.) hukoMakka isipokuwa kwa aya nne ambazo zilishuka Madina, aya tatu za mwanzopamoja na ya nne: “Kwa hakika katika Yusuf na ndugu zake yako mazingatiomengi kwa wenye kuuliza.” (12:7). Na Abu Huraira alisilimu miaka saba baadaya kushuka kwa sura hii, ambayo imekuwa ikisomwa na Waislam usiku namchana, na aliwasikia wakiisoma ndani ya swala zao mara nyingi tu.

100 Imesimuliwa na Imam Ahmad Hanbal katika Musnad yake, Jz. 2, uk. 230kwamba ilisimuliwa na Muhammad bin Ja’far kutoka kwa Shu’ba kutoka kwa al-Ala kutoka kwa Abu Huraira.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 70

Page 80: Abu Huraira

Kesi yenyewe ilikuwa kwamba kondoo kadhaa waliingia kwenye shambala mizabibu, ambalo vishada101 vya mizabibu yake vilikuwa vime-chomoza, na wakala shamba hilo wakati wa usiku. Mtunza shamba la miz-abibu na mchunga kondoo wakaenda kwa nabii Daudi (a.s.) ili aamue katiyao. Yeye aliona, kwa mujibu wa sheria aliyoshushiwa na MwenyeziMungu, kwamba alipaswa kuhukumu kwamba yule mtunza shamba lamizabibu alistahili achukue wale kondoo kwa sababu thamani ya kondoowale ilikuwa sawa na thamani ya hasara iliyoingia kwenye shamba la miz-abibu. Pale alipotaka kutamka hukumu yake, Mwenyezi Mungu aliibatil-isha kwa kumshushia Suleiman, ambaye alikuwa ni mshirika na baba yakekatika utume, kwamba hukumu katika kesi hii ilikuwa ni kuwatoa kondookwa mtunza mizabibu ili atumie kutokana na maziwa na sufi yake, na kuli-toa shamba la mizabibu kwa mchunga kondoo ili alirekebishe kamalilivyokuwa mwanzo, kisha baada ya hapo kila mmoja wao atachukua kili-cho mali yake.

Mwenyezi Mungu alifanya kwa hukumu hii, matumizi kwa ajili ya mtun-za shamba la mizabibu kutokana na kondoo kwa kufidia hasara iliy-opatikana bila kumiliki kondoo hao na akamfanya mchunga kondookufanya kazi katika shamba la mizabibu ili kulirudisha katika hali yake yaawali.

Wakati Mwenyezi Mungu alipomuelekeza Suleiman juu ya hilo, yeye alil-itoa hilo kwa baba yake. Baba yake akamtaka kwa msisitizo kufanya kileMwenyezi Mungu alichomshushia yeye juu yake.

Huu ni mukhtasari wa yale yaliyotokea baina yao. Hapakuwa na ukinzanoau kutokukubaliana kama sharia zingine zozote mbili za kiungu, ambazomojawapo hubatilisha nyingine.

71

Abu Huraira

101 Kama ilivyosimuliwa kutoka kwa Imam Abu Ja’far al-Baqir na Imam AbuAbdillah as-Sadiq (a.s.)

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 71

Page 81: Abu Huraira

Haya hapa ni maneno ya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka zaidi, ambayoyanalifafanua jambo hili:

“Na Daudi na Suleiman walipokata hukumu juu ya shamba, walipol-isha humo mbuzi wa watu usiku, nasi kwa hukumu yao tulikuwamashahidi. Hivyo tukamfahamisha Suleiman,102 na kila mmojatukampa hekima na elimu, na tulifanya milima na ndege kuwa pamo-ja na Daudi imnyenyekee na imtakase Mwenyezi Mungu, na sisitulikuwa ndio wenye kufanya.” (21:78-79)

Yaangalie maneno ya Mwenyezi Mungu: “….. na kila mmoja tukampahekima na elimu …..,” utakuta kwamba wote wawili walikuwa sahihi, kwasababu ile elimu na hukumu ya kila mmoja wao vilitoka kwa MwenyeziMungu Azza wa Jallah.

Lakini Abu Huraira ilidhania kuwa ni rahisi kuwalaumu manabii haokwamba wanaweza kuhukumu kimakosa kama mamufti wengine wakawaida.

“Na (mayahudi) hawakupa heshima Mwenyezi Mungu kamaanavyostahiki kuheshimiwa,” 6:91, pale walipojipa uhuru wao wenyewewa kuhukumu kwa mujibu wa fikira zao wenyewe dhidi ya manabii,ambao walikuwa wasila baina ya Mwenyezi Mungu na waja Wake.Walidhani kwamba hao mitume wanaweza kuhukumu kinyume hata kati-

72

Abu Huraira

102 Yaani: Tulimuelekeza Suleiman hukumu hii na kwamba ilikuwa ibatilishe ilehukumu tuliyokuwa tumemuelekeza Daudi hapo kabla.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 72

Page 82: Abu Huraira

ka kanuni na hukumu za kisheria, ambazo zilikuwa bila shaka yoyote,zimeteremshwa kwao kutoka kwa Mwenyezi Mungu; “….. na wasio-hukumu kwa yale aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndiomakafiri.” (5:44)

Kama utambuzi ungerejea akilini mwao, wangejua kwamba wale manabiihawakutoa uamuzi na hukumu kulingana na mawazo yao binafsi kwasababu wangeyajua hayo kwa wahyi. Hili liliwezekana kwa mujitahidi waumma kwa sababu lilikuwa ndio bora wanachoweza kukifanya. Lakinililikuwa haliwezekani kwa mitume kwa sababu lilikuwa mara nyingilikielekezwa kwenye maoni ya mtu binafsi.

Kama hao manabii wangehukumu kwa kulingana na mawazo yao, basiingekuwa inawezekana kwa mujitahidi wengine kuwakosoa. Hapo basi ileheshima ya utume na manabii ingepotea. Hivi mujitahidi yeyote mwamini-fu anaweza kuthubutu kumkosoa Nabii Muhammad (s.a.w.w.) na kukiukahukumu yake? Kwa hakika hapana! Kwa kauli moja hiyo ni kufuru!Qur’ani Tukufu inatamka wazi kwamba Mtume Muhammad (s.a.w.w.)alikuwa akitenda kulingana na wahyi; “….. wala hazungumzi kwa mata-manio yake, bali ni wahyi ambao unateremshwa kwake.” 53:3-4. Nahivyo ndivyo walivyofanya mitume na manabii wote (amani iwe juu yao).

6. Suleiman analala na wanawake mia moja katika usiku mmoja:

Wale masheikh wawili, Bukhari na Muslim, wameitaja Hadith kwambaAbu Huraira amesema: “Nabii Muhammad (s.a.w.w.) amesema: Suleimanbin Daudi alisema: “Nitakwenda kulala na wanawake mia moja usiku waleo. Kila mwanamke atazaa mtoto wa kiume ambaye atapigana katika njiaya Mwenyezi Mungu. Malaika akamwambia: Sema Insha’allah. Yeyehakusema hivyo na akaenda kulala nao. Hakuna aliyezaa isipokuwa mmojatu, ambaye alizaa kiumbe nusu ya binadamu. Kama angesema Insha’allah,asingevunja kiapo chake na haja yake ingetimia.”Vilevile tunayo maelezo kuhusu Hadith hii:

73

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 73

Page 83: Abu Huraira

Kwanza: Nguvu ya kibinadamu haiwezi kumudu kulala na wanawake miamoja kwa usiku mmoja, kwa kiasi chochote cha nguvu mtu atakachokuwanacho. Hili ni kinyume na kanuni za maumbile na haliwezi kutokea hatakidogo.

Pili: Haikuwezekana kwa Nabii Suleiman (a.s.) kukiuka mapenzi yaMwenyezi Mungu, hasa baada ya tahadhari iliyotolewa kwake na Malaika.Ni nini kilichomzuia kusema Insha’allah? Yeye hakuwa ni Mtume ambayeMwenyezi Mungu amemtuma kuwaongoza watu katika njia ya Allah?Walikuwa ni wajinga walioupa mgongo utashi wa Mwenyezi Mungu nakupuuza kwamba mambo yote yapo mikononi Mwake Yeye! Mitumewalikuwa mbali kabisa na ukosa dhamira wa wajinga. Walikuwa mbalikabisa na waliyofikiria wapungufu wa akili.

Tatu: Abu Huraira alichanganyikiwa kuhusu idadi ya wake za Suleiman.Wakati fulani alisema walikuwa mia moja,103 na wakati mwingine alisemawalikuwa tisini,104 wakati mwingine sabini,105 wakati mwingine sitini.106

Hadith zote hizi zimesimuliwa ndani ya vitabu vya Bukhari, Muslim naAhmad Hanbali. Sijui watasema nini wale wanaomtetea mtu huyu! Jewatasema kwamba Suleiman alifanya hivi mara nyingi na wake zake hao?Hivyo walikuwa mia moja mara ya kwanza na tisini mara ya pili na sabiniau sitini katika mara zingine. Na kila mara Malaika alimtahadharisha laki-ni yeye hakusema Insha’allah. Sidhani kwamba watasema hivyo.Ingekuwa bora kwao kusema: Mpasuko ulikuwa mpana kwa mshona-vira-ka kuweza kuurekebisha.107 Muongo huwa hana kumbukumbu nzuri.108

74

Abu Huraira

103 Sahih Bukhari, Jz. 3, uk. 176. Musnad Ahmad, Jz. 2, uk. 229 na uk. 270.104 Sahih Bukhari, Jz. 4, uk. 107105 Sahih Bukhari, Jz. 2, uk.165106 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 23. Katika mlango huohuo Muslim amesimuliaHadith iliyosimuliwa na Abu Huraira kutoka kwenye njia nyingine kwambawalikuwa sabini na nyingine iliyosimuliwa naye kwa njia ya tatu kwambawalikuwa tisini.107 Methali108 Methali

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 74

Page 84: Abu Huraira

7. Musa ampiga kibao Malaika wa Mauti:Masheikh hao wawili; Bukhari na Muslim wametaja Hadith kwamba AbuHuraira amesema: “Mtume Muhammad (s.a.w.w.) amesema: Malaika wamauti alikuja kwa nabii Musa na akamwambia: Itikia mwito wa MolaWako! Musa akamchapa kibao malaika wa mauti kwenye jicho lake naakaling’oa. Malaika wa mauti akarudi kwa Allah swt. na akamwambia:Umenituma kwa mmoja wa waja Wako ambaye hakutaka kufa.Amening’oa jicho langu. Allah akamrekebishia jicho lake na akamwambia:Rudi kwa mja Wangu na umwambie: Kama unataka kuishi zaidi, uwekemkono wako juu ya mgongo wa dume la ng’ombe na uone ni kiasi gani chanywele kitanasa kwenye mkono wako. Basi utaishi kwa kila unywelemwaka mmoja.”109

Ahmad bin Hambali ameisimulia Hadith hii katika Musnad yake, Jz. 2, uk.315 kwamba Abu Huraira amesema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amese-ma: Malaika wa Mauti alikuwa akiwatokea watu waziwazi. Alikuja kwanabii Musa (a.s.). Nabii Musa akampiga usoni mpaka akamng’oa jicholake …..” Ibn Jariir at-Tabari katika kitabu chake, Tariikh al-Umam wal-Muluuk (historia ya mataifa na wafalme) Juzuu ya kwanza amesimuliakwamba Abu Huraira amesema: “Malaika wa Mauti alikuwa akiwatokeawatu waziwazi mpaka pale alipokuja kwa Nabii Musa. Nabii Musa alimpi-ga mpaka akamng’oa jicho lake …..” na mwisho wa riwaya akasemakwamba “Malaika wa mauti akaanza kuwajia watu kwa kificho baada yakifo cha Musa (a.s.).”110

75

Abu Huraira

109 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 309, Sahih Bukhari, Jz. 2, uk. 163 na Jz. 1, uk. 158

110 Kama malaika wa mauti alikuwa akiwajia watu waziwazi hilo lingeenea sanamiongoni mwa wote, kama miale ya jua la mchana. Kwa nini wasimulizi na wanahistoria wa mataifa mengine wakazikosa habari kama zilikuwa na ukweli wowote?Kwa nini ubunifu wa visa vya uongo na hekaya wasivinjari kwenye msisimkohuu? Je, waliiacha heshima ya jambo hilo kwa ajili ya Abu Huraira?

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 75

Page 85: Abu Huraira

Unagundua wazi kwamba Hadithi hii ina mambo mengi, ambayo hayawezikuhusishwa na Mwenyezi Mungu kamwe, Mitume Wake wala malaikaZake. Hivi inafaa kwa Mwenyezi Mungu kuchagua miongoni mwa watuWake, mmoja ambaye anashambulia kama madhalimu hata kwa malaikawa Allah kwa sababu ya hasira na anayefanya kama wenye majivuno waasiau kuchukia kifo kwa kiasi cha wajinga wasiojua kitu? Hivi hilo lili-wezekana kwa Musa (a.s.) ambaye Mwenyezi Mungu alimpendelea kwakuongea naye na akamfanya mmoja wa manabii bora? Alichukiaje kifowakati ambapo alitamani kukutana na Mwenyezi Mungu na kuwa karibuNaye? Ni kosa gani la malaika wa mauti, ambaye alikuwa si chochote balimjumbe wa Mwenyezi Mungu kwake yeye, mpaka ampige na kumng’oajicho lake? Hivi ilistahili kwa manabii wakubwa kuwakashifu na kuwapi-ga malaika, ambao walitumwa na Mwenyezi Mungu kuwajulisha juu yakazi na amri za Mwenyezi Mungu? Mwenyezi Mungu na mitume na malai-ka Zake wawe mbali juu ya hilo! Kwa nini sisi tuliwakana wakaazi wa ar-Rass, ma-Farao, Abu Jahl na wengine kama wao na kuwalaani mchana nausiku? Haikuwa ni kwa sababu waliikosea mitume wakati walipowajia nakazi na amri za Mwenyezi Mungu? Kwa vipi basi tunayahusisha yayohayokwa mitume hao? Mungu aepushilie mbali! Hiyo ni kashfa kubwa kiasigani!

Inafahamika vyema zaidi kwamba uwezo wa wanadamu kwa pamoja, aukwa kweli, uwezo wa viumbe wote tangu mwanzo wa kuumbwa hadi Sikuya Kiyama hauwezi kusimama dhidi ya uwezo wa malaika wa mauti.Ilikuwaje rahisi kwa nabii Musa kumpiga yeye? Je, malaika huyo haku-jitetea ingawa alikuwa na uwezo wa kumuua Musa, hususan kwa vilealiamriwa na Mwenyezi Mungu kufanya hivyo? Na ni lini malaika huyoalipokuwa na jicho la kung’olewa? Na usisahau kwamba malaika huyoalipoteza haki yake kwa ajili ya kichapo hicho na hilo jicho lililong’olewa.Hakuamrishwa na Mwenyezi Mungu kulipiza kisasi juu ya Musa (a.s.),ambaye kwenye Taurati yake Allah amesema: “Kwamba uhai ni kwauhai, na jicho kwa jicho, na pua kwa pua, na sikio kwa sikio, na jinokwa jino, na (kwamba) kuna kisasi juu ya majeraha,” wala Allah

76

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:46 AM Page 76

Page 86: Abu Huraira

hakumlaumu nabii Musa (a.s.) bali alimheshimu yeye kwa kumpa fursa yakuchagua kati ya kufa au kuishi kwa miaka mingi mingine kwa kiasi chanywele za dume la ng’ombe zitakazonasa kwenye kiganja chake chamkono.

Ninaapa kwa hadhi ya haki na heshima ya uadilifu na kwa kuwa kwao juumbali na ubatili na uongo, kwamba mtu huyu amewatwisha watetezi wakekile wasichoweza kukibeba na amewachosha kwa Hadithi zake ambazovichwa vyao havikuweza kuendana nazo, hasa ile Hadith yake: “Malaikawa mauti alikuwa akiwajia watu waziwazi kabla ya kifo cha nabii Musa(a.s.) lakini akawajia kwa kificho baada ya kifo chake Musa (a.s.)”Mwenyezi Mungu atuokoe kutokana na ulegevu wa akili na upuuzi wauzungumzaji na utendaji. Hakuna uwezo isipokuwa kutoka kwa MwenyeziMungu, aliye juu na Mtukufu wa Enzi.

8. Jiwe lakimbia na nguo za Musa (a.s.):

Masheikh hao wawili wamesimulia kwamba Abu Huraira amesema:“Mtume Muhammad (s.a.w.w.) amesema: “Wana wa Israili walikuwawakioga uchi. Waliangaliana kwenye sehemu zao za siri. Musa (a.s.) alio-ga peke yake. Wao wakasema: ‘Wallahi hakuna kinachomzuia Musa kuoganasi isipokuwa ni kwamba amekuwa na henia.’ Wakati mmoja Musa (a.s.)alikwenda kuoga. Aliweka nguo zake juu ya jiwe. Jiwe hilo lilikimbiapamoja na nguo za Musa. Nabii Musa (a.s.) alilifukuza jiwe hilo akipigakelele: “Ewe jiwe, nguo zangu! Wee jiwe wee, nguo zangu!” Waisrailiwakamuangalia Musa kwenye sehemu zake za siri na wakasema kwambaMusa alikuwa hana tatizo lolote, alikuwa sawasawa tu. Baada ya hapo jiwehilo likasimama. Musa akachukua nguo zake na akaanza kulipiga jiwe hilo.Naapa kwa jina la Mwenyezi Mungu kwamba jiwe hilo lilipata kovusita.’”111

77

Abu Huraira

111 Tumeieleza Hadith hii kwa mujibu wa Sahih Muslim, Jz. 2, uk.308. Bukhariameisimulia katika Sahih yake Jz. 1, uk. 42 na Jz. 2, uk. 162. Ilisimuliwa naAhmad Hanbal katika Musnad kwa njia nyingi kutoka kwa Abu Huraira katika Jz.2, uk. 315.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 77

Page 87: Abu Huraira

Al-Bukhari na Muslim wamesimulia katika Sahih zao kwamba AbuHuraira alisema kwamba ilikuwa ni kwa tukio hili ambalo MwenyeziMungu amelizungumzia katika maneno Yake:

“Enyi mlioamini, msiwe kama wale waliomtaabisha Musa, lakiniMwenyezi Mungu alimtakasa na yale waliyoyasema, naye alikuwa nimwenye heshima mbele ya Mwenyezi Mungu.” (33:69)

Unaweza kuona kutokuwezekana kulikokuwepo katika Hadith hii. Ilikuwahaiwezekani kumkashifu Nabii Musa (a.s.), ambaye alikuwa na heshima yakuongea na Allah swt., kwa kufunua sehemu zake za siri mbele ya watu,kwa sababu hilo lingemdhalilisha na kushusha hadhi yake, hususanwalipomuona akikimbia kulifukuza jiwe ambalo lilikuwa halioni walakusikia, na huku akipiga ukelele: “Ewe jiwe, nguo zangu! Ewe jiwe, nguozangu!” Kisha kusimama mbele ya jiwe hilo mbele ya watu akiwa uchi nakulipiga huku watu hao wakiangalia sehemu zake za siri kana kwambaalikuwa kichaa!

Kama jambo hilo lingekuwa la kweli, Mwenyezi Mungu angelifanya.Hivyo kwa nini Musa awe na hasira na kuliadhibu jiwe hilo, ambalo lililaz-imika kufanya hivyo kwa sababu halina akili wala la kuhiari? Kulikuwa nafaida gani katika kulipiga jiwe ambalo lilikuwa halina hisia?

Kukimbia kwa jiwe hilo pamoja na nguo za Musa kusingempa yeye kisin-gizio chochote cha kujidhalilisha mwenyewe kwa kufunua sehemu zake zasiri mbele ya watu. Angeweza kukaa mahali pake hapo mpaka mtu amle-tee nguo zake au kitu chochote cha kumsitiri kama mtu yeyote mwenyeakili timamu ambavyo angefanya kama jambo kama hilo lingemtokea.

78

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 78

Page 88: Abu Huraira

Kukimbia huko kwa jiwe kulikuwa ni muujiza na jambo lisilo la kawaida.Lisingetokea isipokuwa kama kulikuwa na jambo la kusababisha chang-amoto au kuthibitisha jambo kubwa muhimu sana, kama kule kusogea kwamti kwa ajili ya Mtume Muhammad (s.a.w.w.) huko Makka, wakatimakafiri walipopendekeza kwa Mtume kuusogeza. Mwenyezi Mungu ali-ufanya mti huo kusogea kutoka mahali pake kwenda mahali pengine ilikuthibitisha utume wa Muhammad na kuhakikisha kazi ya ujumbe wake.Ilikuwa wazi kwamba suala la Musa kuoga ndani ya bahari halikuhitajimuujiza au changamoto, hususan pale ambapo ingesababisha kashfa kwaajili ya Nabii huyo mbele ya watu kwa namna ambayo, yeyote ambayeangemuona au kusikia kuhusu hilo angemdhihaki na kumfanyia mzaha.Kwani kuthibitisha kwamba yeye hakuwa na henia hakukuwa na umuhimusana kiasi kwamba kulihitaji kumdhalilisha Nabii huyo au kumshushiahadhi yake, wala haikuwa ni moja ya mambo muhimu yaliyohitaji muu-jiza. Ingeweza kujulikana vyema kwa wake zake, ambao wangeweza basikueleza ukweli wa hali ya mambo.

Hebu natuchukulie dhana ya kwamba alikuwa na henia, hilo lilikuwa naubaya gani? Nabii Shu’aib alipata upofu na nabii Ayubu alikuwa mgonjwakwa miaka arobaini. Manabii wote waliwahi kuugua na kufariki. Haikuwani dosari au udhaifu kwamba waliugua magonjwa hasa pale yalipokuwahayakujulikana kwa watu kama henia. Haikuwezekana kwa wao kuwa najambo linalosibu akili zao au ukarimu wao, au jambo lolote linalowezakuwasababisha watu kukaa mbali nao au kuwafanyia mizaha na maskhara.Kwa kweli hiyo henia haikuwa ya namna hiyo. – Haikusimuliwa na mtumwingine yeyote kwamba Musa alikuwa na henia isipokuwa Abu Hurairapeke yake!

Lakini lile tukio ambalo Mwenyezi Mungu amelizungumzia ndani yaQur’ani kwa kusema kwamba: “Enyi mlioamini! msiwe kama walewaliomuudhi Musa, lakini Mwenyezi Mungu akamtakasa na yalewaliyoyasema, …..” 33:69, lilikuwa, kama lilivyosimuliwa na Imam Alina Ibn Abbas, kuhusu suala la kwamba wana wa Israili walimshutumu

79

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 79

Page 89: Abu Huraira

Musa kwa kumuua Harun. Lilisemekana pia kwamba lilikuwa ni kuhusulile suala la Malaya, ambaye Qaarun alimshawishi kumshutumu Musakuwa alikuwa na uhusiano mbaya na yeye lakini Mwenyezi Mungu akam-toa kwenye shutuma hizo ambapo yeye mwenyewe, malaya huyo alisemaukweli. Na ilisemekana kwamba walimsononesha kwa kumhusisha nauchawi, kusema uongo na wendawazimu walipoona ile miujiza yake.

Nawashangaa Bukhari na Muslim kwamba waliongeza Hadith hizi kwenyesifa za Musa! Hivi kule kumpiga malaika na kumng’oa jicho kulikuwa nisifa? Kule kukimbia mbele za watu uchi kulikuwa ni heshima? Ujinga huuulikuwa na maana gani? Nabii Musa alikuwa mbali sana na hayo. Ilitoshakwa yeye kile ambacho Qur’ani imetamka kuhusu sifa zake na nafasi yakeya heshima na hadhi yake.

9. Watu wanakimbilia kwa Mitume wakitarajia shufaa (maombezi)zao:

Masheikh hawa wawili wamesimulia riwaya ndefu ya Abu Huraira akise-ma kwamba: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: Katika hiyo Siku yaUfufuo Mwenyezi Mungu atawakusanya watu wote, wa mwanzo wao nawa mwisho wao katika sehemu moja. Muitaji ataweza kuwaona wote, nawao wote wataweza kumsikia yeye. Jua litashuka karibu zaidi. Watuwatashindwa kuvumilia huzuni na hofu zao. Watasemezana wenyewe kwawenyewe: “Hivi huoni hiyo huzuni uliyomo ndani yake? Hutafuti mtu wakukuombea shufaa kwa Mwenyezi Mungu?” Watamwendea Adam (a.s.) nakumwambia: “Wewe ndiye baba wa wanadamu wote, Mwenyezi Mungualikuumba kwa mikono yake na akakupulizia ndani yako baadhi ya neemaZake. Aliwaamuru malaika kusujudu mbele yako na wakasujudu. Tafadhalituombee shufaa kwa Mola Wako. Wewe huoni hali tuliyomo?” Adamatasema: “Mola Wangu amekasirika sana leo kwa kiasi ambacho hajawahikukasirika kabla, wala hatakasirika kama hivyo tena baadaye. Alinikatazakula kutoka kwenye mti ule nami nikawa sikumtii Yeye. Mimi, mimi, mimimwenyewe! Nendeni kwa mwengine badala yangu. Nendeni kwa Nuh.”

80

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 80

Page 90: Abu Huraira

Wanakwenda kwa Nuh (a.s.) na kumwambia: “Ewe Nuh, wewe ulikuwandiye nabii wa kwanza kwa watu wa duniani. Mwenyezi Mungu alikuitawewe mja mwenye shukurani. Tafadhali tuombee shufaa kwa Mola Wako.Huoni hali tuliyokuwa nayo?” Nuh atasema: “Mola Wangu amekasirikasana leo kwa kiasi ambacho hajawahi kukasirika kabla, wala hatakasirikakama hivyo tena baada ya leo kwa sababu, wakati mmoja niliwalaani watuwangu. Nitabakia mwenyewe, mwenyewe, mimi mwenyewe! Nendenikwa mwingine mbali ya mimi. Nendeni kwa Ibrahim.” Watakwenda kwaIbrahim (a.s.) na kumwambia: “Ewe Ibrahim, wewe ni Nabii wa MwenyeziMungu na rafiki yake wa kweli miongoni mwa watu wote wa duniani,tafadhali tuombee shufaa kwa Mola Wako. Huoni hali tuliyonayo?” Yeyeatasema: “Mola Wangu amekasirika sana leo kwa kiasi ambacho hajawahikukasirika kabla, wala hatakasirika kama hivyo tena baada ya leo. Miminilisema uongo mara tatu. Nitabakia mimi mwenyewe, mwenyewe, mimimwenyewe! Nendeni kwa mwingine badala yangu mimi. Nendeni kwaMusa.”

Watakwenda kwa Nabii Musa (a.s.) na kumwambia: “Ewe Musa, wewe ninabii wa Allah swt. Alikupendelea wewe kwa ujumbe wake na akaongeanawe peke yako miongoni mwa watu wote; tafadhali tuombee shufaa kwaMola Wako. Hivi hutuoni ni hali gani tuliyonayo?” Musa atasema: “MolaWangu amekasirika sana leo kwa kiasi ambacho hajawahi kukasirikakabla, wala hatakasirika kama hivyo tena baada ya leo. Mimi niliua mtummoja, ambaye sikuwa nimeamriwa kumuua. Mimi nitabaki mwenyewe,mwenyewe, mwenyewe. Nendeni kwa mtu mwingine badala yangu.Nendeni kwa Isa.” Watamwendea Isa (a.s.) na kumwambia: “Ewe Isa,wewe ni nabii wa Allah na neno Lake, ambalo alimfikishia Bikira Mariamna roho kutoka Kwake. Wewe uliongea na watu ukiwa bado kwenye susula utoto wako; tafadhali tuombee shufaa kwa Mola Wako. Je, huioni halituliyonayo?” Isa (a.s.) atasema: “Mola Wangu amekasirika sana leo kwakiasi ambacho hajawahi kukasirika kabla, wala hatakasirika kama hivyotena baada ya leo. (Abu Huraira hakutaja kosa lake) Mimi nitabakimwenyewe tu., mwenyewe, mwenyewe. Nendeni kwa Muhammad.”

81

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 81

Page 91: Abu Huraira

Watakwenda kwa Mtukufu Muhammad (s.a.w.w.) na kumwambia: “EweMuhammad, wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na ni wa mwisho katiya mitume Wake. Mwenyezi Mungu alikusamehe makosa yako yote.Tafadhali tuombee shufaa kwa Mola Wako. Hutuoni tuko katika hali ganihii?” Ndipo mimi (Muhammad) nitakapokwenda kwenye mbingu na kusu-judu mbele ya Mola Wangu. Allah atanipa fursa ya kumtukuza nakumshukuru Yeye kwa namna ambayo hakuna hata mmoja aliyewahikupewa kabla yangu. Halafu itasemwa: “Ewe Muhammad, nyanyua kich-wa chako na uombe chochote unachotaka, hicho wewe utapewa nauombezi (kushufaiya), uombezi wako utakubaliwa.” Mimi nitasema: “EweMola Wangu, umma wangu! Ewe Mola wangu, umma wangu!” Hapoitanadiwa: “Ewe Muhammad, waingize watu miongoni mwa umma wako,wale ambao hawataadhibiwa, kwenye lango la kulia na watashirikianamilango mingine na watu wengine.”112

Abu Huraira katika riwaya hii, amethubutu kwa ufidhuli kabisakuwakashifu na kuwadhalilisha manabii, ambao Mwenyezi Mungu ame-wateua kueneza ujumbe Wake miongoni mwa watu Wake, kwa namnaambayo kwamba shari’ah tukufu na Sunna vinaikataa kabisa. Sunnailikuwa na namna au njia ya kuwatukuza mitume ambayo ilizifanya nyoyokujaa staha takatifu na heshima na nyuso kunyenyekea kwao. Ilikuwa niSunna ya Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) na Qur’ani yake tukufuambavyo vilieneza utukufu wa sifa za manabii hawa (a.s.) kote duniani, juuya ardhi, ndani ya bahari na kuyagubika masikio ya zama zote kwa kuwasi-fia wao. Yote ambayo mataifa waliyajua kuhusu manabii hawa watukufu,ambayo yalifanya macho kunyenyekea mbele yao, na umaarufu ambao uli-fanya tamaa za makuu kunywea na kushusha mbawa zao kidhalili mbeleyao, yalikuwa ni kwa sifa za Qur’ani na Sunna ya Muhammad (s.a.w.w.).Bila ya ile Sunna iliyotakasika ya Nabii Muhammad (s.a.w.w.) na Qur’anitukufu, hakuna yeyote katika vizazi vya baadae ambaye angejua chochote

82

Abu Huraira

112 Maelezo haya ni kwa mujibu wa Sahih Bukhari, Jz. 3, uk. 100. Ilisimuliwa naMuslim katika Sahih yake Jz. 1, uk. 97 na Ahmad Hanbali katika Musnad yake Jz.2.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 82

Page 92: Abu Huraira

83

Abu Huraira

kuhusu manabii hawa (a.s.) pale ambapo hapakuwa na ushahidi maalum autaarifa za kweli au riwaya yenye maana kamili kuhusu wao. Hivyo NabiiMuhammad alihifadhi historia ya mitume na mataifa na akakamilisha kwaSunna na Qur’ani zile sifa tukufu na maadili bora na tabia njema. Alienezazile sharia tukufu na mifumo ya hikma ambayo ilishushwa kwake kutokakwa Mwenyezi Mungu, ambazo zingehakikisha furaha ya maisha yakidunia na yale ya Akhera. Vyote, Qur’ani na Sunna vilikusanya sayansi,hekima, siasa, hadhi ya maisha ya dunia na ya akhera na kuihifadhi lughaya Kiarabu mpaka Siku ya Kiyama.

Riwaya hii ya Abu Huraira, pamoja na mbwabwajo na upuuzi wake,ilikuwa ya ajabu na ya tofauti kabisa na maneno ya Mtukufu MtumeMuhammad (s.a.w.w.) na inayopingana kabisa na Sunna. Lilikuwa nijambo la mbali kabisa na Mtume wetu kuhusisha yale yaliyomo katikaHadith hii ya kipuuzi isiyo na muonjo wala maana. Adam alikuwa mbalikabisa na utovu wa utii kwa kufanya kosa ambalo lilimfanya Allahkumkasirikia sana hivyo. Allah alimkataza kuusogelea mti ili kumtukuzana kumuongoza yeye. Utukufu uwe juu ya Nuh. Yeye asingewezakuwalaani watu wowote isipokuwa maadui wa Allah ili kujiweka karibu naMola Wake. Ibrahim alikuwa mwaminifu sana kiasi cha kutoweza kusemauwongo! Kamwe hakufanya jambo lililomkasirisha Mwenyezi Mungu juuyake. Musa hakuua mtu yoyote, ambaye Mwenyezi Mungu angekasirikakwa ajili yake mtu huyo, bali alimuua mtu ambaye hakuwa na utukufuwala thamani. Allah, aliyetukuka zaidi asingewafanyia mitume Wake balikwa huruma na upendo kama alivyosema: “Hakuna malipo ya ihsani ilakwa ihsani.” 55:60. Mitume walikuwa mashuhuri kuliko kufikiri juu yaMola Wao kwamba aliwakasirikia sana kiasi kwamba hatakuja kukasirikatena kama hivyo sio kabla ya hapo wala baada ya hapo. Vilevile NabiiMuhammad asingeeleza lolote juu yao bali sifa na utukufu.

Ni vipi watu watashauriana na kuwasiliana katika Siku ya Kiyama? Waowapo kama Allah anavyosema:

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 83

Page 93: Abu Huraira

84

Abu Huraira

“….. kila mwanamke anyonyeshaye atamsahau amnyonyeshaye, nakila mwenye mimba ataizaa mimba yake, na utawaona watu kamawamelewa, kumbe hawakulewa, lakini ni adhabu ya MwenyeziMungu iliyo kali.” 22:2, na

“Siku ambayo mtu atamkimbia nduguye, na mama yake, na mkewena watoto wake. Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa najambo litakalomtosha.” 80:34-37.

Watawezaje, katika hali ngumu kama hiyo, kwenda kwa manabii, ambaowakati huo wako juu ya A’araf (sehemu kati ya Pepo na Jahannam)? Ninini kitakachowazuia kwenda kwa Nabii Muhammad tangu safari yamwanzo kabisa? Je, yeye sio mwenye hadhi tukufu, cheo cha juu kabisa nashufaa yake yenye kukubalika? Hakuna hata mmoja, hapo, anayempuuzayeye. Kwa nini Adam au Nuh au Ibrahim au Musa wasiwashauri kwendakwa Muhammad moja kwa moja? Hawezi yeyote kati ya manabii haokuwaliwaza wale watu masikini pale mwanzoni wanapowaomba shufaa auuombezi wao? Hivi manabii hao hawaijui nafasi tukufu ya MtumeMuhammad katika siku hiyo au wanapendelea kuongeza mateso na usum-bufu wa waumini hao wanyonge wanaotafuta msaada?

Tunaweza kumuuliza Abu Huraira kuhusu watu hao masikini: je wana-tokana na umati wa Muhammad au kutoka kwenye umma mwingineo?Kama wanatoka kwenye umma wa Muhammad, nini kitakachowazuiakumwendea yeye tangu mwanzoni na kumuomba uombezi? Na kamawanatoka kwenye umma mwingine, kwa kweli hataweza kuzivunja juhudizao na kuwakatisha tamaa kwa huruma zote hizo alizojaaliwa kupewa naAllah swt. na akamfanya yeye kuwa njia ya uombezi wa shufaa kati Yakena watu Wake. Kwa hakika hatawaangusha hao kwa vile yeye ndiye matu-

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 84

Page 94: Abu Huraira

85

Abu Huraira

maini ya wahitaji na amani kwa wenye hofu. Anawajibu wale wenye hajakwa fadhila zake na kuwatosheleza wenye kiu wanaomba kabla ya mwang-wi wa sauti zao kurudi.

10. Mashaka ya Manabii, kumshutumu Lut, kumpendelea Yusufkuliko Muhammad katika subira:

Masheikh hao wawili wamesimulia kwamba Abu Huraira amesema:“Mtume Muhammad (s.a.w.w.) amesema: “Tunastahili mashaka kulikoIbrahim pale aliposema (kama ilivyo katika Qur’ani): “Na Ibrahim ali-posema: Mola wangu! Nionyeshe jinsi unavyofufua wafu,akamwambia: Je huamini? Akasema: Kwa nini, ninaamini, lakini niili moyo wangu utulie…..” 2:260.

Mwenyezi Mungu awe na huruma juu ya Lut; amekimbilia kwenye msaa-da wenye nguvu. Kama ningekaa gerezani kwa muda mrefu kama Yusufalivyokaa, ningemwitikia mlinganiaji.113

Hadith hii ilikuwa haiwezekani kwa sababu fulani fulani:

Kwanza: Hadith hii ilishuhudilia kwamba Ibrahim alikuwa na mashakalakini Mwenyezi Mungu akasema:

“Na hakika tulimpa Ibrahim mwongozo wake zamani na tulikuwatukimjua.” 21:51 na

113 Rejea Sahih al-Bukhari Jz. 2, uk.158, Sahih Muslim, Jz. 1, uk.71 na MusnadAhmad Jz. 2.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 85

Page 95: Abu Huraira

86

Abu Huraira

“Na hivyo tukamwonyesha Ibrahim ufalme wa mbinguni na ardhi, naili awe miongoni mwa wenye yakini.” 6:75.

Kuwa na yakini ndio kiwango cha hali ya juu cha elimu. Yule ambaye anayakini juu ya jambo hawezi kuwa na shaka kuhusu hilo. Mantiki yenyeweinakataa kwamba manabii, wote kabisa, walikuwa na mashaka kuhusumambo. Ilikuwa ni dhahiri kabisa.

Na kwa kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na Ibrahim aliposema: Molawangu! Nionyeshe jinsi unavyofufua wafu, …..” 2:260 inaweza kuwa namaana kwamba Ibrahim alimuomba Mola wake kuhusu ni vipi anavyowa-pa uhai wafu na sio kule kuwapa uhai kwenyewe. Hili lisingewezekanaisipokuwa kama kutoa uhai kwa wafu kulikuwa na uhakika kwake.

Hii ni kusema; kutumia vipi katika swali kuna maana ya kuulizia kuhusuhali ya kitu kilichokuwepo na kinachojulikana kwa muulizaji na mwenyekuulizwa. Kwa mfano: Vipi hali ya Zayd? ina maana kwamba je, hajam-bo ama anaumwa? Na Zayd alianya vipi? ina maana je, alifanya vizuri auvibaya? Na kwa hiyo kusema kwake: “Mola wangu! Nionyeshe jinsiunavyofufua wafu,” hakukuwa chochote ila ni ombi la kuonyeshwa nivipi kile ambacho alikuwa na hakika nacho – kutoa uhai kwa wafu – kinge-fanyika.

Lakini kwa sababu kwamba mtu aliyekuwa haijui ile hadhi ya hali ya juuya Ibrahim angeweza kufikiri kwamba ombi hili la Ibrahim limekujakutokana na shaka juu ya uwezao wa Mwenyezi Mungu wa kuwahuishawafu, Mwenyezi Mungu alitaka kuiondoa dhana hii, hivyo akamwambia:“Nini! na kwa hiyo wewe huamini? Yeye akasema: “Hapana, naamini”kwa maana ya kusema: “Mimi ninaamini juu ya uwezo wa kuhuisha wafu,

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 86

Page 96: Abu Huraira

87

bali niliomba ili kutuliza moyo wangu wakati nitakapoona jinsi wafuwatakavyokuwa hai tena baada ya viungo vyao kutengana ndani ya mak-aburi yao, ndani ya mapango, ndani ya matumbo ya wanyama wakali nakatika maeneo ya kufariki kwao ndani ya majangwa au ndani ya bahari.”Kana kwamba alikuwa na shauku ya kuona jinsi hivyo itakavyotokeahivyo akasema “ili moyo wangu utulie,” ambayo ilikuwa na maana yakupoza kiu yake kwa kuliona hilo likitendeka.

Hii ndio ilikuwa maana ya aya hii. Yeyote atakayehusisha mashaka kwaIbrahim juu ya uwezo wa Mwenyezi Mungu, kwa hakika huyo atakuwaamepotoka.

Pili: Ilikuwa dhahiri kutokana na kauli yake: “Tunastahili zaidi kulikoIbrahim katika mashaka,” kwamba Mtukufu Muhammad, pamoja namitume wote, walikuwa katika mashaka na walistahili zaidi kuliko Ibrahimkatika hilo.

Tuchukulie kwamba yeye hakuwa na maana ya manabii wote, bali hasa ali-maanisha yeye mwenyewe binafsi. Muktadha wa maneno hayo ulikuwawazi kabisa kuonyesha Nabii Muhammad (s.a.w.w.) alikuwa anastahilizaidi kuwa na mashaka kuliko Nabii Ibrahim. Utukufu kwa MwenyeziMungu! Hii ilikuwa ni kashfa kubwa sana! Kigezo cha ijma, akili na des-turi kilithibitisha ubatili wa Hadith hii.

Hatujui, Wallahi naapa, kuwa ni kwa nini Mtume Muhammad (s.a.w.w.)alikuwa anastahili zaidi kuwa na mashaka kuliko Ibrahim, licha ya yaleyote aliyomjaalia Mwenyezi Mungu yeye, ambayo hakuwajaalia mitumewengine wote wala malaika yeyote!

Msaidizi na mlinzi wa Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.), Imam Ali(a.s.), ambaye alikuwa ndio lango la jiji la elimu la Mtume na ambayealikuwa kama alivyokuwa Harun kwa Musa isipokuwa kwamba hakunamtume baada ya Muhammad amesema: “Kama pazia baina yangu na

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 87

Page 97: Abu Huraira

88

Abu Huraira

Mwenyezi Mungu lingeondolewa, isingeongezeka yakini yangu kulikonilivyo na yakini juu ya Allah swt.114 Hiyo ilikuwa ni kusema kwambaimani yake juu ya Allah ilikuwa ya kiwango cha hali ya juu na isin-geongezeka kwa sababu yeye, kwa kweli, alimjua Allah vizuri sana naalikuwa na yakini sana kuhusu Yeye na uwezo na mamlaka Yake. Hivyondivyo alivyokuwa Imam Ali, je ni vipi kuhusu bwana wa manabii na wamwisho wa mitume wote (amani iwe juu yao wote)!

Tatu: Katika kauli yake: “Mwenyezi Mungu awe na huruma juu ya Lut,alikimbilia kwenye msaada ulio na nguvu,” alimlaumu Lut na kumshutu-mu kwa kutokujiamini juu ya Mwenyezi Mungu ambapo, kwa kweli, Lutalitaka kuwachochea kabila lake na jamaa na ndugu zake na kushinda kwausaidizi wake kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kuwaamrisha watu kufanyamema na kuwakataza kufanya vitendo viovu. Mtukufu Mtume Muhammad(s.a.w.w.) asingeweza kumlaumu Lut au kukanusha kauli yake. MtukufuMtume (s.a.w.w.) asingeweza kumfikiria Lut jingine badala ya alilostahikikama nabii mtukufu, bali alionya kwamba watakuwepo waongo wengiwenye kubuni Hadith!

Nne: Katika maneno yake: “Kama ningekaa gerezani kwa muda mrefukama vile alivyokaa Yusuf, mimi ningemwitika mlinganiaji,” yeye alim-fadhilisha kwa uwazi kabisa, nabii Yusuf juu ya Mtume Muhammad. Hiiilipingana na ijma, vitabu vya Hadith na kile kilichothubutu kuwa muhimumiongoni mwa Waislam.

Kama ukisema kwamba Nabii Muhammad alikuwa mnyonge kutamanibusara, subira na hekima za Nabii Yusuf katika kuthibitisha ukosa hatia114 Kauli hii ya Imam Ali ilikuwa maarufu. Al-Busiriy, yule mshairi, ameitajakwenye shairi lake: Waziri wa binamu yake katika matendo mashuhuri. Angekuwa na furaha kama waziri angekuwa ndugu. Kuondolewa kwa pazia hakukuongeza kwenye yakini yake chochote. Ilikuwa ni jua bila ya kifunikacho.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 88

Page 98: Abu Huraira

wake hadi ukweli ulipotokea na akaachiwa huru kutoka gerezani, sisitutasema kwamba hilo lisingewezekana hivyo hata katika udhaifu, kwasababu kama angejaribiwa kwa mtihani kama huo wa Nabii Yusuf, yeyeangekuwa na busara na subira zaidi kuudhihirisha ukweli. Nikutowezekana kiasi gani kulikokuwa kwa Mtume kumwitika mlinganiajikwa kumlingania kutoka gerezani tu na kuipoteza ile hekima ambayo ali-ipendelea Yusuf alipomwambia mtumishi wa mfalme pale alipomwachahuru kutoka gerezani, kama anavyosema Mwenyezi Mungu: “….. Rudikwa bwana wako na ukamuulize limekuwaje shauri la wanawake walewaliokata mikono yao, bila shaka Mola Wangu anazijua sana hila zao.(Mfalme) Akasema: Mlikuwa na kusudi gani mlipomtamani Yusufkinyume cha matamanio yake? Wakasema: Hasha lillahi, sisi hatuku-jua ubaya wowote kwake. Mke wa mfalme akasema: Sasa haki imed-hihirika, mimi ndiye niliyemtamani kinyume na nafsi yake, na bilashaka yeye ni miongoni mwa wakweli.” (Yuusuf; 50-51)

Yeye hakutoka gerezani mpaka ukosa hatia wake ukang’ara kama jualisilokuwa na mawingu. Hivyo Yusuf alikuwa na busara na subira kiasikwamba hakujaribu kutoka gerezani haraka mapema mpaka alipopata ali-chokuwa akikitaka.

Zaidi kuliko yote hayo, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa mwenyebusara, subira, mpole, imara, mwenye dhamiri, hekima na maasum katikavitendo vyake vyote na maneno. Alikuwa ni yeye ambaye, kama wangewe-ka jua kwenye mkono wake wa kulia na mwezi kwenye mkono wa kushotoili aitelekeze kazi na ujumbe wake kamwe asingefanya hivyo.

Ingekuwa vyema na bora kwa Abu Huraira kusema: Kama NabiiMuhammad angekaa gerezani mara nyingi kwa kipindi kama alichokaaYusuf, yeye kamwe asingemuomba mtu yeyote kumtoa gerezani humokama Yusuf alivyofanya wakati ule, “Na (Yusuf) akamwambia yulealiyemdhania kuwa ataokoka katika wawili hawa: Unikumbukembeke ya bwana wako …..” 12:42. Hiyo ilikuwa ni kusema kwamba:

89

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 89

Page 99: Abu Huraira

kaelezee maadili na tabia zangu kwa mfalme na umweleze kuhusu kisachangu kwamba aweze kuwa na huruma juu yangu na kunitoa kwenye tati-zo hili, “….. lakini shetani akamsahaulisha kumtaja kwa bwana wake,12:42, yaani kwamba shetani alimfanya mtu yule kusahau kumtaja Yusufmbele ya mfalme “hivyo Yusuf akakaa gerezani kwa miaka michache.”12:42. Ule usahaulifu wa yule mtu na kukaa kwa Yusuf gerezani kwa kiasicha miaka kulikuwa ni onyo kwake. Alikuwa asiombe bali huruma yaMwenyezi Mungu. Hilo lilisemwa na Mtukufu Mtume Muhammad(s.a.w.w.) kama hivyo.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alifikwa na makubwa zaidi kuliko hayo matati-zo ya Yusuf kuwa gerezani na mabaya zaidi kuliko yote yale ambayo famil-ia ya Nabii Yaqub (a.s.) iliyapata. Kamwe hakuwahi kuwa mnyonge aukusalimu amri. Hakumuomba yeyote isipokuwa Mwenyezi Mungu. Yeyepamoja na kabila lake lote (la Bani Hashim) walifungiwa katika korongokwa miaka. Walikuwa katika dhiki kubwa kabisa. Yeye, ukoo wake nawaumini, wote walinyanyaswa sana kiasi kwamba hakuna nabii yeyote wakabla yake aliyeteseka kiasi hicho kama yeye. Washirikina waliwaghasiyeye na ukoo wake kwa kiasi walivyoweza. Hapa ni baadhi ya kauli zaMwenyezi Mungu:

“Na walipokufanyia hila wale waliokufuru ili wakufunge au wakuueau wakutoe …..” 8:30, na “Kama hamtamsaidia, basi MwenyeziMungu amekwisha msaidia (Mtume Wake) walipomfukuza walewaliokufuru, naye akiwa wa pili kati ya wawili walipokuwa katikapango, alipomwambia swahibu wake: Usihuzunike, hakika MwenyeziMungu yupo pamoja nasi, hivyo Mwenyezi Mungu akamteremshiautulivu juu yake, na akamsaidia kwa majeshi msiyoyaona …..” 9:40,na “Na bila shaka Mwenyezi Mungu alikusaidieni katika (vita vya)Badri hali ninyi mlikuwa wachache …..” 3:123, na “(Kumbukeni)mlipokuwa mkikimbia mbio wala hamkumtazama yeyote, na haliMtume akiwaiteni nyuma yenu, Kisha akakupeni (Mwenyezi Mungu)dhiki juu ya dhiki ….. 3:153, na “Walipokujieni kutoka juu yenu na

90

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 90

Page 100: Abu Huraira

kutoka chini yenu, na macho yaliponywea na nyoyo zikapanda kooni,nanyi mkaanza kumdhania Mwenyezi Mungu dhana mbalimbali.Hapo waumini walijaribiwa na wakateremshwa kwa tetemeko kali.”33:10-11, na “….. na siku ya Hunain, ambapo wingi wenu ulipokufu-rahisheni, lakini haukukufaeni chochote, na ardhi ikawa finyu juuyenu ingawa ilikuwa yenye wasaa, kisha mkakimbia mkirudi nyuma.Kisha Mwenyezi Mungu akateremsha utulivu wake juu ya Mtumewake na juu ya waumini, …..” 9:25-26, kwa nyongeza ya hali zakenyingine za ukarimu, ambamo alikutana na mazito mengi, lakini katikayote hayo yeye alikuwa imara kuliko milima. Alikabiliana na matatizohayo kwa moyo mkuu na nafsi iliyotulia, hivyo yalitoweka mbele ya akiliyake pana na tabia tulivu. Hakumuomba yeyote isipokuwa MwenyeziMungu kumtoa kwenye huzuni na wasiwasi. Aliendesha mambo yake kwasubira na kutegemea juu ya Allah. Hivyo vilikuwa wapi dhamira yake,subira, hekima na busara zinazofanana na zile za Yusuf, Yaqub, Is’haq,Ibrahim na waliobaki katika manabii (amani iwe juu yao wote)?

11. Nzige wa Dhahabu waanguka juu ya Ayyub (a.s.):

Masheikh wawili wamesimulia kwa njia nyingi Hadith115 kwamba AbuHuraira amesema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: Wakati Ayyub(a.s.) alipokuwa anaoga ndani ya bahari akiwa uchi, nzige wa dhahabuwalianguka juu yake. Alianza kuwakusanya kwenye nguo zake. Molawake akamwambia: “Je, Mimi nisingeweza kukufanya usiwe na haja naohawa?” Yeye akasema: “Ndio, kwa Utukufu Wako, lakini nilihitaji barakaZako.”

Hakuna yeyote aliyeiamini Hadithi hii isipokuwa wale wasio na umaiziwala akili. Kuumba nzige wa dhahabu kulikuwa ni muujiza na jambo lisi-lo la kawaida. Mwenyezi Mungu hakutaka kufanya hivyo isipokuwa paleambapo palikuwa na lazima. Kwa mfano, kama kuthibitisha utume

91

Abu Huraira

115 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 1, uk. 42 na Jz. 2, uk. 160

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 91

Page 101: Abu Huraira

kulitegemea juu ya muujiza, Mwenyezi Mungu angeufanya ili kuwaushahidi kwa ajili ya utume na ujumbe wenyewe. Mwenyezi Munguasingeumba nzige wa dhahabu bure bure tu kumuangukia Ayyub (a.s.)wakati alipokuwa akioga uchi peke yake.

Kama walimuangukia juu yake na akaanza kuwakusanya kwenye nguozake, hicho kingekuwa ni kitendo cha maana. Ingekuwa ni zawadi kutokakwa Mwenyezi Mungu, ambayo amempendelea kwayo, na ni lazimaishukuriwe kwa kuikubali kwa heshima na sio kuigeuzia mgongo kidharau,kwa sababu kuikatalia mbali kungekuwa ni utovu wa shukurani, tabiaambayo mitume walikuwa mbali sana nayo.

Kama manabii walilimbikiza mali, wangeitumia kwa ajili ya MwenyeziMungu ili kupata radhi Zake. Wangeitumia kwa kutekelezea mipango yaoya kimabadiliko. Mwenyezi Mungu alikuwa anatambua nia zao hivyoYeye asingeweza kamwe kuwalaumu kwa kukusanya mali.

12. Kumlaumu Musa kwa kuchoma kijiji cha chunguchungu:

Masheikh wawili hao, Bukhari na Muslim, wamesimulia kwamba AbuHuraira amesema: “Mtume Muhammad (s.a.w.w.) amesema: Mdudu chun-gu alimfinya mmoja wa manabii (Musa kama ilivyosimuliwa naTirmidhi).116 Akaamuru kichomwe kijiji cha wadudu chungu na kika-chomwa. Mwenyezi Mungu akamshushia: “Kwa nini umechoma moja yataifa linalomtukuza Mwenyezi Mungu, ati kwa sababu tu kwamba mduduchungu amekufinya?”117

Abu Huraira aliwapenda sana manabii. Alichanganyikiwa kuhusu kilasuala la ajabu ajabu ambalo lilivimbisha macho na kuziba masikio.Manabii walikuwa na subira ndefu, mioyo mikuu na hadhi ya hali ya juu

92

Abu Huraira

116 Rejea Irshad as-Sari cha al-Qastalani, Jz. 6, uk. 288117 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 2, uk. 114; Sahih Muslim Jz. 2, uk.267; al-Adab chaAbu Dawud; an-Nasai cha Ibn Majah na Musnad Ahmad.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 92

Page 102: Abu Huraira

kuliko alivyosimulia mpungufu wa akili huyu.

Mlinzi wa Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.), Imam Ali ibn Abi Talib(a.s.) alisema katika moja ya hotuba zake: “Naapa kwa jina na Allah, kamaningepewa zile dola saba na kila kilichokua chini ya mbingu zao ilikumuasi kwa kunyakua ganda moja la punje ya shayiri kinywani mwamdudu chungu nisingeweza kufanya hivyo kamwe. Maisha haya ya duniakwangu mimi ni duni sana kuliko jani lililoko kinywani mwa nzigeanayelitafuna. Ali ana haja gani na furaha ya mpito na starehe yenyekuisha?”

Ingawa Imam Ali (a.s.) hakuwa mtume, bali mlinzi mkweli, suala lake hilililiwakilisha umaasumu wa mitume dhidi ya yale ambayo wasio na elimu,wajinga waliyowahusisha nayo. Mwenyezi Mungu hajawahi kuchagua,kwa ajili ya ujumbe wake, mtu yeyote ambaye asingeweza kuwa mbali nashutuma hizo. Sifa zote ni za Allah na Aliyetukuka ni Yeye juu ya wanay-oyasema wapumbavu!

Wallahi sijui wale watetezi wa Hadith hii watasema nini kuhusu nabiihuyu, ambaye aliteketeza wadudu chungu kwa moto, licha ya MtumeMuhammad (s.a.w.w.) kusema: “Hakuna anayeadhibu kwa Motoisipokuwa ni Mwenyezi Mungu peke Yake.”118 Walikubaliana kwa kaulimoja kwamba kuchoma moto kumekatazwa kwa wanyama hai isipokuwapale ambapo mwanadamu mmoja amemfanya mtu mwingine kufa kwakumchoma moto, basi mlezi wa yule mtu aliyekufa anayo haki ya kum-choma yule mchomaji wa marehemu.

Abu Dawud ameisimulia Hadith ya kweli kwamba Ibn Abbas amesemakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikataza kuua mdudu chungu, nyuki ,na kipwe.

93

Abu Huraira

118 Sharh Sahih Muslim, Jz. 11, uk. 6 cha an-Nawawi kilichochapishwa pembe-zoni mwa Sharh Sahih Bukhari

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 93

Page 103: Abu Huraira

13. Mtume Asahau Rakaa Mbili za Swala:Masheikh hao wawili wamesimulia Hadith kwamba Abu Huraira amese-ma: “Mtume Muhammad (s.a.w.w.) aliswali swala moja ya mchana,nafikiri ilikuwa ni swala ya Asr,119 kwa rakaa mbili badala ya nne naakaimalizia hivyo. Kisha akasimama mbele ya kipande cha ubao kili-chokuwa mbele ya msikiti na akaweka mkono wake juu yake.120

Miongoni mwa watu waliokuwemo msikitini humo alikuwa ni Abu Bakrna Umar, lakini waliogopa kumuuliza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuhusuhilo. Watu hao waliokuwa na haraka waliondoka msikitini hapo na waka-jiuliza kama swala hiyo ilikuwa imepunguzwa. Mtu mmoja ambayeMtume alimwita kwa jina la Dhul-Yadayn akamuuliza Mtukufu Mtume(s.a.w.w.): “Je, ulisahau au uliipunguza hii swala?” Mtukufu Mtume akase-ma: “Sikusahau wala swala haikupunguzwa.” Dhul-Yadayn akasema:“Ndio, wewe ulisahau.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akaswali rakaanyingine mbili, akatoa salaam (mwisho wa swala), na akasema AllahuAkbar, na akasujudu kwa ajili ya sahau hiyo.

Hadith hiyo ilikuwa sio ya kweli kwa sababu nyingi tu:Kwanza: Ilikuwa haiwezekani kwamba kusahau huku kulikuja kutokakwa mtu ambaye aliiendea swala kwa moyo na nafsi. Ilikuja kutoka kwayule ambaye hakuwa makini katika swala. Na mitume walikuwa mbalisana na usahaulifu na walikuwa watukufu sana kuweza kukashifiwa nawalaghai. Hatujakuta kwamba usahaulifu kama huo ulitokea kwa mtumeyeyote ule, hususan yule bwana wa mitume na wa mwisho wao (s.a.w.w.),amani iwe juu yao wote.

94

Abu Huraira

119 Ni kiasi gani Abu Huraira alivyokuwa na hekima na tahadhari! Huoni kwam-ba hakuamua kwa uhakika kwamba ilikuwa ni swala ya Alasiri na hakuthibitishamakisio yake!

120 Uchamungu wa Abu Huraira ulimfanya ataje hata kile kipande cha ubao nakwamba Mtume aliweka mkono wake juu yake, ambacho hakikuwa na uhusianowowote na maudhui ya Hadith hiyo, lakini, ila tu alikuwa na tahadhari katikakutoa maelezo!

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 94

Page 104: Abu Huraira

Naapa kwa bwana wa Mitume (s.a.w.w.) kwamba kama usahaulifu kamahuo ungepatikana kutoka kwangu, aibu na tahayari vingenizonga na wenyekuswali nyuma yangu wangenifanya kichekesho mimi na ibada yangu,hivyo ni vipi kuhusu hao mitume, ambao Mwenyezi Mungu amewateuakuwa mifano bora kwa walimwengu!

Pili: Mtume Muhammad (s.a.w.w.) alisema: “Sikusahau na wala swala hai-japunguzwa.” Sasa ingekuwaje kwa yeye, baada ya hayo, kutamka nakukubali kwamba alisahau? Hebu tuchukulie kwamba hakuwa maasumkatika kusahau, lakini alikuwa maasum katika kutokuwa mkaidi na kukosahikma katika Hadith zake kama zilikuwa zinapingana na ukweli. Hilililikuwa na uhakika kwa waislam wote.

Tatu: Abu Huraira alichanganyikiwa katika Hadith yake hii na riwayazake zilikuwa tofauti. Wakati mwingine alisema: “Mtume Muhammad(s.a.w.w.) alituongoza katika moja ya swala mchana; ama ni swala yaAdhuhuri au Alasiri.” Alikuwa na mashaka kati ya swala hizo. Na katikawakati mwingine tena akasema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alituongozakatika swala ya Alasiri,” kana kwamba alikuwa na hakika. Mara ya tatuyeye akasema: “Nilipokuwa ninaswali swala ya Adhuhuri pamoja naMtukufu Mtume …..” Hadith hizi zimo ndani ya Sahih al-Bukhari naSahih Muslim. Wale waliozielezea Sahih hizi walichanganyikiwa kwa kiasikwamba waliingia katika kuathirika na wakajichukulia juu yao wenyewekile wasichoweza kuhimili ili kutetea Hadith hizi kama walivyofanyawalipokana maoni ya az-Zuhri pale alipothibitisha kwamba Dhul-Yadaynna Dhush-Shamalayn walikuwa ni mtu mmoja tu.

Nne: Hadith imeonyesha kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliondokakwenye sehemu yake ya kuswalia, akasimama na akaweka mkono wakekwenye kipande cha ubao mbele ya msikiti. Wale watu wenye harakawaliondoka pale msikitini na kusema: “Je, hii swala imepunguzwa?” Dhul-Yadayn akamwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Je, ulisahau auumepunguza swala?” Mtukufu Mtume akasema: “Sikusahau na wala

95

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 95

Page 105: Abu Huraira

sikupunguza swala.” Yeye akamwambia Mtukufu Mtume: “Ndio, weweulisahau.” Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akawaambia masahaba zake:“Je huyu alikuwa sahihi?” Masahaba hao wakasema: “Ndio, alikuwa sahi-hi.” Nyingine iliyosimuliwa na Abu Huraira kwamba Mtume aliingiakwenye chumba cha msikiti na halafu akatoka nje halafu watu wakarejea.Yote hayo yalibatilisha swala hiyo, kwa sababu kwa mujibu wa Shari’ah yakiislam, swala ni ibada yenye kuendelea mfululizo, ambayo haiwezikukatishwa. Hivyo, ni vipi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angeweza kutege-mea juu ya rakaa zake mbili za mwanzo na kuja kuzikamilisha kwa rakaanyingine mbili ili kuzifanya ziwe nne, ile idadi sahihi ya rakaa za Adhuhuriau Alasiri?

Tano: Dhul-Yadayn, ambaye alitajwa katika Hadith hii, alikuwa ndiyehuyo huyo Dhush-Shamalayn,121 Ibn Abd Amr, mshirika wa kabila laZuhra. Majina yote mawili yalihusika na mtu mmoja. Aliuawa kishahidikatika vita vya Badr. Hilo lilithibitishwa na kiongozi wa kabila la Zuhra,na mbora wa wale waliojua vizuri zaidi kuhusu washirika wao,Muhammad bin Muslim az-Zuhri, kama ilivyoelezwa na Ibn Abdul-Birrkatika kitabu chake al-Isti’ab, Ibn Hajar katika kitabu chake al-Issaba, kati-ka Sharh Sahih Bukhari na Sharh Sahih Muslim. Vile vile hilo lilithibitish-wa na Sufyan ath-Thawri na Abu Haniifa pale walipoichukulia Hadith hiyokuwa sio sahihi na wakatoa fat’wa za kuipinga.122 An-Nassa’i alitamkakatika riwaya yake kwamba Dhul-Yadayn na Dhush-Shamalayn ibn Amrni majina yaliyomhusu mtu mmoja huyohuyo. Yeye alisema:123 …..

96

Abu Huraira

121 Jina lake lilikuwa ni Umar au Amr kama ilivyotajwa ndani ya kitabu cha IbnHajar, al-Isaba.122 Rejea kitabu cha an-Nawawi, Sharh Sahih Muslim, Jz. 4, uk. 235 iliyochap-wa pembezoni mwa kitabu al-Irshad as-Sari cha al-Qastalani na Zakariyya al-Ansari katika kitabu at-Tuhfa.123 Rejea kitabu cha al-Qastalani, al-Irshad as-Sari Jz. 3,uk.267

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 96

Page 106: Abu Huraira

Dhush-Shamalayn ibn Amr alimwambia (Mtume): “Je, uliipunguza swalaau wewe ulisahau?” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Ni nini ali-chokisema Dhul-Yadayn?” Kwa hiyo alithibitisha kwamba Dhush-Shamalayn ndiye huyo huyo Dhul-Yadayn. Dhahiri zaidi kuliko hilo ni ileHadith iliyosimuliwa na Ahmad bin Hanbal,124 kutoka kwa Abu Salamabin Abdur Rahma na Abu Bakr bin Abu Khaythama kwamba Abu Hurairaalisema: “Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) aliswali swala yaAdhuhuri ama Alasiri kwa rakaa mbili na akaikamilisha kwa salam (tasli-im) akisema Assalaam Alaykum. Dhush-Shamalayn bin Abd Amr, yulemshirika wa kabila la Zuhra akamwambia Mtume: “Je, ulipunguza swalaau ulikuwa umesahau?” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Nini ali-chokisema Dhul-Yadayn?” Wao wakasema: “Yeye alikuwa sahihi.”

Abu Musa alisimulia Hadith kutoka kwa Ja’far al-Mustaghfiri125 kutokakwa Muhammad ibn Kathiir, kutoka kwa al-Awza’ii, kutoka kwa az-Zuhri,kutoka kwa Sa’iid bin al-Mussayab, Abu Salama na Ubaidullah binAbdullah kwamba Abu Huraira alisema: “Mtume alimaliza swala baada yarakaa mbili badala ya nne. Abd Amr126 bin Nadhla ambaye alitoka kwenyekabila la Khuza’a na mshirika wa kabila la Zuhra alisimama naakamwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Je, uliipunguza swala amaulisahau?” ….. kujumlisha maneno ya Mtume, ‘Je Dhush-Shamalaynalikuwa yu mkweli?’

Riwaya zote hizi zilionyesha wazi kwamba Dhul-Yadayn aliyetajwa katikaHadith ya Abu Huraira alikuwa ni Dhush-Shamalayn ibn Abd Amr, yulemshirika wa kabila la Zuhra. Hakuna shaka kwamba Dhush-Shamalaynaliyetajwa hapo juu aliuawa katika vita vya Badr zaidi ya miaka mitanokabla Abu Huraira hajawa Mwislam. Muuaji wake alikuwa ni Usamah aj-

97

Abu Huraira

124 Ndani ya Musnad yake, Jz. 20, uk. 271 na uk. 284.125 Al-Issaba ya Ibn Hajar, Jz. 20, uk. 271 na 284 126 Kama ilivyosimuliwa katika al-Issaba. Tazama alisema kwamba jina la

Dhush-Shamalayn lilikuwa ni Abd Amr.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 97

Page 107: Abu Huraira

Jasmi. Ibn Abd Birr pamoja na wanahistoria wote wamesema hivyo. Kwahivyo, ingewezekana vipi kwa Abu Huraira kukutana naye katika swalamoja nyuma ya Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.)?!

Baadhi ya wale ambao walimtetea Abu Huraira walithibitisha kwambasahaba anaweza akasimulia kuhusu jambo ambalo hakulihudhuria, amakwa kulisikia kuhusu hilo kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) au kuto-ka kwa sahaba mwingine. Aidha kifo cha Dhul-Yadayn miaka mitano kablaya Abu Huraira kuwa Mwislam kusingemzuia yeye kusimulia Hadith hiyo.

Utetezi huu kwa hakika ulikuwa sio sahihi. Abu Huraira alijifanya kwam-ba yeye alikuwa amehudhuria swala hiyo, na hilo limethibitishwa na walewote waliosimulia Hadithi hii. Al-Bukhari ameisimulia Hadith hii ndani yaSahih yake, Jz. 1, uk. 145 kutoka kwa Adam bin Shu’ba kutoka kwa Sa’dbin Ibrahim kwamba Abu Huraira alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ali-tuongoza sisi katika swala ya Dhuhri au Asri ….. na kadhalika.”Muslim ameisimulia katika Sahih yake, Jz. 1, uk. 215 kwamba Muhammadbin Siriin alisema: “Nilimsikia Abu Huraira akisema: Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alituongoza sisi katika moja ya swala za mchana, ama Dhuhri auAsri ….. na kadhalika.”

Imam at-Tahawi alichanganyikiwa kuhusu Hadithi hii. Yeye alisemakwamba ilikuwa ni Hadith ya kweli, ingawa alikuwa na uhakika kwambaDhul-Yadayn alikuwa ndiye Dhush-Shamalayn mwenyewe, yule mshirikawa kabila la Zuhra, ambaye aliuawa kishahidi katika vita vya Badr miakamitano kabla Abu Huraira hajawa Mwislam, hivyo ilikuwa haiwezekanikwa wao kuwa pamoja katika swala moja. Kwa hiyo alilazimika kuitafsiriHadithi ya Abu Huraira127 kama ifuatavyo: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alituongoza sisi katika swala (kimajazi) kwamba alikuwa na maana kwam-ba: aliwaongoza Waislam katika swala.”Jibu la utete wao wa kisingizio lilikuwa kwamba Abu Huraira alithibitisha

98

Abu Huraira

127 Rejea kitabu cha al-Qastalani, al-Irshad as-Sari, Jz. 3, uk. 266.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 98

Page 108: Abu Huraira

kuhudhuria kwake kwa hakika kwa namna ambayo haingeweza kutafsiri-wa hivi na vile, hapa na pale. Muslim amesimulia Hadith katika Sahihyake, Jz. 1, uk. 216 kwamba Abu Huraira alisema: “Nilipokuwa nikiswaliswala ya Dhuhri pamoja na Mtume Muhammad (s.a.w.w.), yeye alimalizaswala hiyo baada ya rakaa mbili ….. na kadhalika.” Ni vipi kuhusu Hadithihii? Ilikuwa inawezekana kweli kutafuta kisingizio cha kuitetea hii? Kwakweli hapana sivyo! Lakini tulisumbuliwa na wale ambao kamwehawatafakari! Hatuna makimbilio ila ni kwa Mwenyezi Mungu tu!

14. Mtume Muhammad aliwadhuru, aliwachapa, aliwatukana nakuwalaani watu wasio na hatia:

Masheikh hawa wawili wamesimulia kwamba Abu Huraira alisema:“Mtume Muhammad (s.a.w.w.) amesema: ‘Ewe Allah, Muhammad si cho-chote bali ni mwanadamu. Huwa anachukia kama wanadamu wengine.Nilikuwa na ahadi nawe kwamba Wewe hutaivunja ahadi hiyo. Kilamuumini nitakayemuudhi, kumchapa, kumtukana au kumlaani fanya iweni fidia kwa makosa yake na sababu ya kumfanya awe karibu naWewe.”128

Haiyumkini kwa Nabii Muhammad na manabii wengine wote kumuudhi,kumchapa, kumtukana na kumlaani mtu yeyote ambaye hakustahili hilowakiwa wametulia au wamekasirika. Kwa kweli wao manabii kamwehawakukasirika vivi hivi ila kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Utukufu uwejuu ya Allah. Yeye ameepukana mbali na kutuma mitume ambaowangeweza kusukumwa na hasira na kuwachapa, kuwatukana, kuwalaanina kuwadhuru watu wasio na hatia. Mitume waliepukana mbali na kilamaneno au vitendo vinavyoweza kupingana na umaasum wao au yaleambayo yasingemfaa ntu mwenye hekima na busara.Wachamungu na wapujufu, waumini na makafiri walijua vizuri kwamba

99

Abu Huraira

128 Imesimuliwa na Muslim ndani ya Sahih yake, Jz. 2, uk. 392, Sahih al-BukhariJz. 4, uk. 71 na Musnad Ahmad Jz. 2, uk. 243.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 99

Page 109: Abu Huraira

kuuudhi, kuchapa, kutukana na kulaani mtu asiye hatia ilikuwa ni dhulmambaya na uhalifu wa wazi, ambao waumini wameukana. Sasa ni vipiitawezekana kwa bwana wa mitume kufanya hivyo? Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amesema:129 “Kumtukana Mwislam ni kosa.” Abu Huraira ame-sema:130 “Ilisemwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Ewe Mjumbe waMwenyezi Mungu, uwalaani wanafiki.” Yeye (s.a.w.w.) akasema: “Mimisikutumwa na Allah kuwa mwenye kulaani bali kuwa rehma kwa watu.”Hapo ni kwamba alikuwa pamoja na wanafiki, ni vipi atakuwa pamoja nawaumini wasio na hatia? Yeye (s.a.w.w.) amesema:131 “Wenye kulaanihawatakuwa waombezi ama mashahidi mnamo Siku ya Kiyama.”Abdullah bin Amr amesema:132 “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakuwa mko-rofi au ayari, asiye muaminifu.” Yeye (s.a.w.w) alisema: “Wabora wenu niwale wenye maadili mema.” Anas bin Malik amesema:133 “MtukufuMtume hakuwa mkorofi, mwenye kulaani au mtukanaji.” Abu Dharr134

alimwambia ndugu yake pale aliposikia kuhusu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)“Panda kipando hadi kwenye bonde na ujaribu kusikia kutoka kwake.”Wakati ndugu yake aliporejea alimwambia: “Nimemuona akitoa amri kwatabia tukufu za kiungwana kabisa.”

Abdullah bin Amr amesema: “Niliandika kila kile nilichokisikia kutokakwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ili kuweza kukihifadhi. Baadhi ya maku-raishi wakanikataza kufanya hivyo na wakasema: “Unaandika kila kituanachosema Mtukufu Mtume ambapo anaongea akiwa ametulia au akiwana hasira? Mimi nilimwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuhusu hilo.

100

Abu Huraira

129 Imesimuliwa katika Sahih Bukhari Jz. 4, uk. 39130 Rejea Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 393.131 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 393.132 Sahih al-Bukhari Jz. 4, uk. 38.133 Sahih al-Bukhari Jz. 4, uk. 39134 Sahih al-Bukhari Jz. 4, uk. 38

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 100

Page 110: Abu Huraira

Alielekeza kidole chake mdomoni kwake na akasema: “Andika! Naapakwa Yule ambaye nafsi yangu iko mikononi Mwake kwamba hakuna kina-chotoka hapa (kinywani) isipokuwa ukweli.” Amr bin Shu’ayb amesemakwamba baba yake alisema kwamba babu yake alisema: “Je niandike kilaninachokisikia kutoka kwako.?” Yeye (s.a.w.w.) akasema: “Ndio, fanyahivyo.” Nikasema: “Ukiwa umetulia au umechukia?” Yeye akasema:“Ndio, kwa sababu mimi siongei kabisa isipokuwa ukweli tu.”135

Mtu mmoja alimuuliza Aisha (mke wa Mtukufu Mtume) kuhusu maadiliya Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.). Yeye akamwambia: “Je, ume-soma Qur’ani?” Yule mtu akajibu: “Ndiyo, nimesoma.” Aisha akasema:“Qur’ani ndio maadili yake.” Ni kauli safi ya namna gani hii ambayokwamba alionyesha ufasaha wake na elimu juu ya maadili hasa ya MtukufuMtume (s.a.w.w.). Haishangazi! Yeye alimuona, akiwa pamoja na Qur’animbele ya macho yake (s.a.w.w.), akiigiza kwa vitendo mwongozo wake,akitafuta mwanga ndani ya elimu za Qur’ani hiyo, akifanya ibada kwamujibu wa amri zake na makatazo, akifanywa kuwa na tabia njema kwaelimuadili ya Qur’ani, akiwajibika kwa ajili ya hekima ya Qur’ani, akifu-atilia athari zake na kuzifuatilia Sura zake. Unaweza kuyaona maadiliyake katika maneno haya ya Mwenyezi Mungu:

“Na wale wanaowaudhi wanaume waumini na wanawake wauminipasipo wao kufanya kosa lolote, bila shaka wamebeba dhulma kubwana dhambi zilizo dhahiri.” (33:58) “Na wale wanaojiepusha na mad-hambi makubwa na mambo mabaya na wanapokasirika wanasame-he.” (42:37). “….. na wenye kuzuia ghadhabu na wenye kuwasamehewatu, na Mwenyezi Mungu hupenda wafanyao wema.” (3:134) “…..na wajinga na wakisema nao, wao husema: Amani.” (25:63).“Shikamana na kusamehe na amrisha mema na wapuuze wajinga.”(7:199) “….. zuia mabaya kwa yaliyo mema zaidi, na mara yuleambaye baina yako na yeye pana uadui atakuwa kama rafiki mkub-

101

Abu Huraira

135 Rejea kitabu cha Ibn Abdul-Birr, Jami’ Bayan al-Ilm, uk. 36.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 101

Page 111: Abu Huraira

wa.” (41:34) “….. na mtasema na watu kwa wema…..” (2:83): “….. najiepusheni na usemi wa uongo.” (22:30).

“….. wala msiruke mipaka. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendiwarukao mipaka.” (5:87) “Na tuna nini hata tusimtegemee MwenyeziMungu na hali ametuonyesha njia zetu? Na lazima tutayavumiliamnayotuudhi nayo, basi kwa Mwenyezi Mungu wategemee wenyekutegemea.” (14:12) “….. na bila shaka mtasikia udhia mwingi kuto-ka kwa wale waliopewa Kitabu kabla yenu na wale walioshiriki. Naikiwa mtasubiri na mkamcha Mungu basi hakika hayo ni katikamambo ya kuazimia.” (3:186) “Na uinamishe bawa lako kwa yuleanayekufuata katika wale walioamini.” (26:215) “Basi kwa sababu yarehema za Mwenyezi Mungu umekuwa laini kwao na kama ungekuwamkali na mshupavu wa moyo wangekukimbia. Basi wasamehe nauwaombee msamaha na ushauriane nao katika mambo, na unapoaz-imia basi mtegemee Mwenyezi Mungu …..” (3:159).

Haya yalikuwa ndio maadili ya Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) nauhusiano wake na waumini na wengineo mbali na waumini. Yeye alisema:“Binadamu hasa ni yule ambaye anaweza kujidhibiti mwenyewe paleanapopandwa na hasira.”136 “Yule ambaye hana huruma atanyimwaustawi.”137 “Kama huruma itaongezwa juu ya jambo, hilo litakuwa zurisana, lakini inapokosekana kwenye jambo, basi huwa baya sana.”138

“Mwenyezi Mungu ni mpole, anapenda upole na anawalipa watu kwaupole wao kile ambacho halipi kwa ukatili au kwa jambo lingine lolote.139“Mwislam halisi hasa ni yule ambaye watu wako salama kutokana na ulimiwake na mkono wake.”140 Inatutosha sisi ile kauli ya Mwenyezi Munguakimwambia Mtume Muhammad (s.a.w.w.): “Na bila shaka una tabia

102

Abu Huraira

136 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 396.137 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 390.138 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 390.139 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 390.140 Sahih al-Bukhari Jz. 1, uk. 6

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 102

Page 112: Abu Huraira

njema, tukufu.” (68:4). Baada ya hayo, itawezekana vipi kwa MtumeMuhammad (s.a.w.w.) kulaani, kutukana, kuchapa na kudhuru watu wasiona hatia, eti kwa sababu tu alipandwa na hasira? Mwenyezi Mungu alie-pushilie mbali hilo! “Hawakumuadhimisha Mwenyezi Mungu kamaanavyostahiki kuadhimishwa. …..” (22:74) “….. lakini subira ninjema, na Mwenyezi Mungu ndiye aombwaye msaada juu ya hayamnayoyasema. (12:18).

Kwa kweli Hadith hii ilibuniwa katika kipindi cha utawala wa Mu’awiyah.Abu Huraira alisifu sana Mu’awiyah na familia ya Abul-Aas na BaniUmayyah waliobakia kwa Hadith hii na kuziweka kando Hadith nyingineambazo kwazo ilithibitishwa kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwaamewalaani idadi kadhaa ya wanafiki na madhalimu wa ki-Bani Umayyah,ambao waliwazuia watu katika njia ya Allah na kujaribu kuifanya imepo-toka, na kuwatambulisha hao kwa fedheha ya milele na kuwafanya watuwajue kwamba walikuwa mbali sana na Allah na Mtume wake. HivyoUislam na umma uweze kuwa salama kutokana na unafiki wao na uharib-ifu. Lilikuwa ni karipio kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) kwa ajili yaMwenyezi Mungu, Kitabu Chake, viongozi na Waislam wa kawaida.

Wakati mmoja Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwahi kuona katika ndotokwamba familia ya al-Hakam bin Abul-Aass walikuwa wakirukarukakwenye mimbari yake kama manyani na kuwazuia watu na kuwarudishanyuma. Baada ya hapo hakuwahi kuonekana akitabasamu hadi alipofarikidunia.141 Mwenyezi Mungu alimshushia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aya yaQur’ani, ambayo ilisomwa na Waislam usiku na mchana, ikizungumzakuhusu hilo: “….. Na hatukuifanya ndoto ile tuliyokuonyesha ila kwakuwajaribu watu, na pia ule mti uliolaaniwa katika Qur’ani. Natunawahadharisha laini haiwazidishii ila uasi mkubwa.” (17:60). Huomti uliolaaniwa, ambao umetajwa ndani ya Qur’ani ulikuwa ni familia yaUmayyah. Mwenyezi Mungu alimfahamisha Mtume (s.a.w.w) kwambawao watakuja kuchukua nafasi yake, kuwaua kizazi chake na kuuharibu

103

Abu Huraira

141 al-Mustadrak al-Hakiim, Jz. 4, uk. 480

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 103

Page 113: Abu Huraira

umma. Kwa sababu ya hilo, yeye hakuonekana akitabasamu hadi alipoji-unga na Mwenyezi Aliye juu Zaidi – Allah swt. Ilikuwa ni moja ya isharaza utume wake na Uislam. Kulikuwa na Hadith nyingi za kweli na sahihi,hususan kutoka kwa Maimam Maasumina zinazozungumzia kadhia hii.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitangaza habari ya wanafiki hawa kwamba:

“Yule atakayeangamia ataangamia kwa ushahidi wa wazi, na yuleatakayeishi ataishi kwa ushahidi wa wazi – na hakuna lililo wajibu kwaNabii bali uwasilishaji wa dhahiri na wazi wa ujumbe wenyewe.”

Wakati mmoja al-Hakam bin Abul-Aass aliomba ruhusa ya kukutana naMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mtume alimtambua yeye mwenyewe na sautiyake pia. Yeye (s.a.w.w.) akasema:142 “Mruhusuni aingie ndani! Laana iwejuu yake na juu ya kila mmoja katika kizazi chake isipokuwa walio wau-mini143 miongoni mwao na ni wachache kiasi gani watakavyokuwa!Wataheshimika katika maisha ya dunia na kisha duni kabisa katika Akhera.Wao wamejaa hila na udanganyifu. Wamepewa kila kitu katika maishahaya lakini hawatakuwa na fungu japo chembe la wema katika Akhera.”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema:144 “Kama familia ya Abul-Aasswatafikia wanaume thelathini, watagawana mali ya Waislam miongonimwao, na kuwafanya watu kuwa watumwa wao na kuichafua dini ya

104

Abu Huraira

142 al-Mustadrak al-Hakiim, Jz. 4, uk. 481143 Maskini muumini huyu hakuwa na nafasi, kwa mujibu wa Hadith ya AbuHuraira, ya kuwa karibu na Allah au kupata sehemu ya huruma, ambapo Mtume(s.a.w.w.) alimtoa katika laana hii, ambapo watetezi wa Abu Huraira walipende-lea kwamba asingetolewa na walitegemea kama Mtume alikuwa amewalaaniwao na baba zao kuwa toba kwa ajili ya dhambi zao na sababu ya kuwafanyawawe karibu na Allah swt.144 Rejea Mustadrak al-Hakiim, Jz. 4, uk. 480

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 104

Page 114: Abu Huraira

Mwenyezi Mungu kulingana na maslahi yao.” Vile vile amesema(s.a.w.w.): “Kama Bani Umayyah watafikia wanaume arobainiwatawafanya watu kuwa watumwa, na watachukua mali ya Waislam kamamali yao na kuibadilisha Qur’ani ili isimamie maslahi yao.”145

Kama kila mmoja alijaaliwa kupata kuzaliwa mtoto, walimpeleka kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ili apate kumuombea. Wakati Marwan bin al-Hakam alipozaliwa, walimpeleka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mtume(s.a.w.w.) akasema: “Mtoeni nje huyu mjusi na mtoto wa mjusi, mlaaniwana mtoto wa aliyelaaniwa.”146

Naye Aisha (mke wa Mtukufu Mtume) amesema: “Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimlaani baba yake Marwan na hapo Marwan mwenyewealikuwa hajazaliwa bado. Hivyo Marwan alijumuishwa katika laana yaMwenyezi Mungu.”147

Ash-Shi’bi amesema kwamba Abdullah ibn Zubeir alisema: “MtukufuMtume (s.a.w.w.) alimlaani al-Hakam, baba yake Marwan, pamoja nawanawe.”148

Vitabu vya Hadith vimesimulia riwaya hizi zenye kujirudia rudia nanyingine mfano wa hizo. Vimethibitisha kwamba Bani Umayyah walikuwawamelaaniwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Al-Hakiim ameitaja katikakitabu chake al-Mustadrak, katika mlango wa al-Fittan wal-Malahim(uhaini na ushupavu) riwaya za kutosha za namna hii, ambazo zilikuwa niujumbe mzuri kwa wenye busara kutafakari juu yake. Alihitimisha mlangohuo kwa kusema: “Hebu watafiti juu ya haki wajue kwamba sikusimuliakatika mlango huu, theluthi moja nzima ya yale yaliyosimuliwa kuhusuhili. Uhaini wa kwanza kabisa katika umma huu ulikuwa ni uchochezi wa

105

Abu Huraira

145 Mustadrak al-Hakiim, Jz. 4, uk. 479146 Mustadrak al-Hakiim, Jz. 4, uk. 479147 Mustadrak al-Hakiim, Jz. 4, uk. 481148 Mustadrak al-Hakiim, Jz. 4, uk. 481

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 105

Page 115: Abu Huraira

Bani Umayyah. Sikuweza kukikamilisha kitabu hiki bila kuwatajawao.”149

Hili lilitosha kuthibitisha kile tulichokisema kwamba wao walibuni Hadithhii na nyingine kama hii ili kuziweka kando zile laana zilizotolewa naMtukufu Mtume (s.a.w.w.) juu yao. Lakini kwa bahati mbaya umma uli-wapendelea wale wanafiki waliolaaniwa dhidi ya kumpendelea Mtumewao bila ya wao kujitambua, pale walipoutetea ushirikina huu wa kuhifad-hi umaarufu wa wale waliolaaniwa. Hawakujali kabisa kwamba wao wal-ifanya makosa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Umma haukuwa na sababu ya kulinda hadhi ya wale ambao MtukufuMtume (s.a.w.w.) alikuwa amewalaani na kuwahamisha kwa kuwafukuzakwa kutokana na udhalimu wao. Umma ulipoteza, kwa kufanya hivyo, yalemanufaa au faida ambayo Mtume aliwatakia kwa kuwalaani na kuwa-fukuza wale wanafiki, ambao walibiringisha yale mawe katika usiku wa al-Aqaba ili kumpagawisha Mtume na kumtupa chini wakati alipokuwaakirejea kutoka kwenye vita vya Tabuuk. Ilikuwa ni kisa kirefu cha kweli,ambamo ilielezwa kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwalaani katikawakati huo.150

Ilikuwa ni ajabu sana kwa Waislam kuwatetea watu wale, ambao walis-ababisha machungu mengi sana kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na walio-jaribu kwa uwezo wao wote kulipiza kisasi! Walimdhuru yeye na waliid-

106

Abu Huraira

149 Mustadrak al-Hakiim, Jz. 4, uk. 481 – Ilikuwa ni wazi kutokana na hotubayake kwamba alikuwa na hofu na watu wa kawaida (Ummah wa ki-Sunni)kuikataa Hadith hii aliyoitaja, lakini akawaomba radhi kwamba hakuwezakukamilisha kitabu chake bila ya kuwataja. Ndipo nikajua kile alichomaanishayule mshairi mmoja aliposema: “Waislam hawakuwa ummah wa Muhammad,bali walikuwa ummah wa maadui zake.”

150 Rejea Musnad Ahmad Hanbal, Jz. 2.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 106

Page 116: Abu Huraira

huru familia yake baada ya kifo chake.151 Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ali-walaani na kuwaondoa kwenye neema ya Allah na kuwafanya wauminiwawaepuke kwa sababu ya kile walichokitenda na ambacho wangewezakufanya baadae, na wasiwafanya wao kuwa karibu na Mwenyezi Mungukama hao waharibifu walivyosema.

15. Shetani aja kukatiza Swala za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.):

Masheikh hao wawili, Bukhari na Muslim, wamesimulia kwamba AbuHuraira alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitekeleza moja ya swala

107

Abu Huraira

151 Az-Zubayr ibn Bukar alitaja kisa kilichotokea Damascus baina ya ImamHasan (a.s.) na wapinzani wake; Mu’awiyah, ndugu yake Utba, Ibn Aass, IbnUqba na ibn Shu’ba. Mabishano kati yao yalikuwa ni makali sana. Jambo ambalokwamba Imam Hasan alikuwa amesema wakati huo lilikuwa: “Mnajua wazikabisa kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa amemlaani Abu Sufyan (babayake Mu’awiyah) kwa namna saba ambazo hamuwezi kuzikanusha.” Alizitajanamna zote, moja baada ya nyingine kisha akamwambia Amr bin Aass: “Wewe nawatu wote hawa mnajua kwamba mlimdhihaki Mtukufu Mtume kwa beti sabini zamashairi na Mtume akasema: Ewe Allah! Wewe unajua kwamba mimi sisemiushairi, na sitafanya hivyo. Oh, Allah, mlaani huyu kwa kila herufi ya shairi lakelaana elfu moja, hivyo kuna laana zisizo na idadi kutoka kwa Mwenyezi Mungujuu yenu.” Rejea Sharh Nahjul-Balaghah ya al-Hamiidi, Jz. 2, uk. 104, at-Tabrasikatika kitabu chake, al-Ihtijaj, al-Majlisi katika Bihar yake, na wengine, Sunni naShi’ah. Muslim amesimulia katika Sahih yake Jz. 2, uk. 392 kwamba ibn Abbasamesema: “Mtume alinituma nimuite Mu’awiyah aje kwake. Nilirudi nakumwambia Mtukufu Mtume: Mu’awiyah anakula. Mtume akasema: Nendakamwite! Nilirudi nikasema: Anakula. Mtume akasema: Mwenyezi Mungu asil-ishibisha tumbo lake!” Ndani ya vitabu vyetu (vya ki-Shi’ah) kuhusu riwaya hiiilisimuliwa kwamba ibn Abbas alisema kwamba hapo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimlaani Mu’awiyah. Lililothibitisha hilo ni kwamba Muslim aliisimulia riwayahii katika Sahih yake, lakini waliigeuza Hadith hiyo ili kulinda heshima ya wanafi-ki hao.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 107

Page 117: Abu Huraira

zake na akasema: ‘Shetani alinijia na akajaribu kiasi alivyoweza ilikukatisha swala yangu. Allah alinisaidia mimi na kwamba niliweza kumk-aba. Nilitaka kumfunga kwenye nguzo ili muweze kumuona wakati waasubuhi, lakini nikakumbuka kauli ya Suleiman:

“Akasema: Mola Wangu! nisamehe na unipe ufalme, asiupate yeyotebaada yangu, bila shaka Wewe ndiye Mpaji.” 38:35. 152

Manabii walikuwa mbali sana na hilo na walijitenga nalo kwa sababulilipingana na umaasum wao na liliharibu hadhi na cheo chao cha hali yajuu. Mungu aepushilie mbali hilo! Hivi shetani angeweza kugombana namanabii au kuwasumbua au hata kulifikiria hilo? Mwenyezi Mungu alise-ma kumwambia Shetani:

“Hakika (kuhusu) waja Wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao,isipokuwa yule mwenye kukufuata katika wapotovu.” 15:42

Waislam wote walijua kwamba shetani alichanganyikiwa kwa kuzaliwaMtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.), kushangazwa kwa kuteuliwakwake kuwa Mtume, akafadhaishwa na hijra, akawa mbumbumbu kwakuinukia kwake pamoja na ujumbe, akayeyuka kama chumvi katika majikwa muongozo wake, sheria na mifumo yake, aliruka kama mwonzi kuto-ka kwenye ibada yake, ambamo Mwenyezi Mungu alikuwa amewekakanuni na siri ambazo ziliifanya (swala/ibada) kumzuia kutokana na kuten-da maovu na matendo ya kuchukiza.

108

Abu Huraira

152 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 1, uk. 143; Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 204 na MusnadAhmad, Jz. 2, uk.298

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 108

Page 118: Abu Huraira

Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliposimama kwa ajili ya swala, ali-achana na kila kitu na kuugeuzia moyo wake kutoka kwenye kila jambombali na Mwenyezi Mungu. Alisimamisha swala yake kwa moyo mtulivukatika utumwa kwenye Upweke Wake, Mmoja na wa Pekee. Pale alipoan-za swala yake kwa Allahu-Akbar, angeomba ulinzi wa Allah kutokana naShetani kabla ya kusoma aya za Qur’ani kwa kutii kauli ya MwenyeziMungu:

“Na unapotaka kusoma Qur’ani, basi jikinge kwa Mwenyezi Mungukutokana na Shetani afukuzwaye.” 16:98

Kwa kweli, pale alipoomba ulinzi wa Allah kutokana na Shetani,Mwenyezi Mungu humpatia ulinzi huo. Shetani alilijua vyema jambo hilihata kama hao wenye upungufu wa akili watalipuuza hilo!

Abu Huraira alisimulia Hadith153 akisema kwamba kama shetani akisikiaAdhana kutoka kwa Mwislam yeyote, angekimbia kwa woga na angetoamashuzi kwa hofu. Hivyo angewezaje shetani kuthubutu kusogelea karibuna Mtume, ambaye alikuwa mtiifu kwa Allah, alisimama mbele Yake kwaswala ya uaminifu na kuomba hifadhi Yake? Ni vipi ambavyo shetani ali-itafsiri swala ya Mtukufu Mtume? Kwa nini hakukimbia kwa woga nakutoa mashuzi kwake? Ni kiasi gani ambavyo hili lilikuwa haliwezekani!Mwenyezi Mungu amesema:

109

Abu Huraira

153 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 1, uk. 78; na Sahih Muslim, Jz. 1, uk.153

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 109

Page 119: Abu Huraira

“Hakika yeye (shetani) hana mamlaka juu ya wale walioamini nawanaomtegemea Mola wao. Nguvu yake iko juu ya wale wanaomfanyakiongozi na wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu. 16:99-100.

Kama ukisema: “Unasemaje kuhusu aya hii ya Qur’ani:

“Na kama shetani akikushawishi kwa tash’wishi, basi jikinge kwaMwenyezi Mungu, bila shaka Yeye ni Mwenye kusikia na Mwenyekujua.” 41:36.

Sisi tunasema: “Mwenyezi Mungu, aliye Mtukufu alikuwa amemfundishakipenzi Chake Muhammad maadili, ambayo kwayo Yeye alimfadhilishakwenye ulimwengu wote kwamba kila Nabii, Malaika, shetani nawanadamu wameukiri upole wake na wamesalimu amri kwenye maadiliyake. Hakukuwa na amri ndani ya Qur’ani isipokuwa yeye aliitii, na haku-na katazo lolote isipokuwa alikubaliana nalo, au kanuni isipokuwa aliizin-gatia akilini. Qur’ani ilikuwa mbele ya macho yake. Aliyaandama malen-go yake na kuzifuata Sura zake. Hiyo aya hapo juu ilihusu upole wake namaadili yake, na vile vile aya zilizokuwa kabla ya hiyo katika Sura hiyohiyo: “….. Zuia mabaya kwa yaliyo mema zaidi, na mara yule ambayebaina yako na yeye pana uadui atakuwa kama rafiki mkubwa. Nahakuna atakayepewa (jambo hili) ila wale wanaosubiri, wala hawat-apewa ila wenye bahati kubwa.” 41:34-35

Haya yalikuwa ndio bora ya maadili ambayo Mwenyezi Mungu alikuwaamemfundisha mja na mtume Wake (s.a.w.w.). Yeye, kwa kweli, alikuwahivyo tangu mwanzo wa ujumbe wake wakati aliposema, huku damu ikich-irizika kwenye uso wake na ndevu zake: “Ewe Mola! waongoze watuwangu kwani hawaujui ukweli,” mpaka pale mpiga mbiu wake alipopigambiu mnamo siku ya Fat’hu – ushindi, wakati wa kutekwa Makka, na

110

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 110

Page 120: Abu Huraira

alikuwa katika siku zake za mwisho za uhai wake kwamba yeyoteatakayeingia kwenye nyumba ya Abu Sufyan atakuwa yuko salama.

Mwenyezi Mungu alikuwa amezisawazisha njia zote za kumfanya MtumeWake kuyahimili maadili haya, ambayo yalifanya shingo kuinama kwautukufu wa mwenendo wake na heshima ya tabia zake. Mwenyezi Munguhakumfanya tu aweze kuhimili maadili haya, lakini pia alimuacha nayokwa muda mrefu mpaka akafikia kiwangocha hadhi ya hali ya juu sana nakuwa na bahati na maadili haya. Hivyo Yeye amesema: “Na hakunaatakayepewa (jambo hili) ila wale wanaosubiri, wala hawatapewa ilawenye bahati kubwa.” 41:35. Kisha Mwenyezi Mungu akamuonyakutokana na uchochezi wa hasira, ambazo Mwenyezi Mungu aliwaumbabinadamu pamoja nazo, na ghadhabu za moyo wakati mtu anapoudhishwana adui yake. Allah aliita hali hiyo kuwa ni kichochezi au muingilio washetani, kiistiari, ili kumfanya Mtume kuiepuka na kuwa mbali nayo.Hivyo Allah akasema: “Na kama shetani akikushawishi kwa tash’wishi,basi jikinge kwa Mwenyezi Mungu, bila shaka Yeye ni Mwenyekusikia na Mwenye kujua.” 41:36. Ilikuwa na maana kwamba kamaushawishi wa hasira, ambao unaweza kuwa kama uchochezi wa kishetani,unaweza kukufanya wewe usitulie au kuwa na wasiwasi, basi wewe utafutehifadhi kwa Mwenyezi Mungu. Katika jambo hilo hilo kulikuwa na kauliya Mwenyezi Mungu: “Shikamana na kusamehe na amrisha mema nawapuuze wajinga. Na kama wasiwasi wa shetani ukikusumbua, basijikinge kwa Mwenyezi Mungu kwa sababu yeye ndiye Asikiaye,Ajuaye.” 7:199-200. Mwenyezi Mungu alitaka kumuweka mbali kipenzichake kutokana na kukabiliana na wajinga, ambao waliona ushahidi lakiniwaliukana na wakazidi sana katika ukafiri wao, hivyo Yeye akamuamurukuwaepuka na kuwapuuza hao. Na kwa uangalifu zaidi katika kumuelim-isha na kumfadhilisha Mtukufu Mtume juu ya wanadamu wote. MwenyeziMungu alimuonya asiweke kinyongo chochote au chuki moyoni mwakewakati wajinga watakapomshambulia na ujinga wao na lugha chafu.Mwenyezi Mungu aliita hisia hii ya kawaida kama kishawishi aukichochezi cha shetani kiistiari, ili kumfanya Mtume Wake kuikwepa na

111

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 111

Page 121: Abu Huraira

kuiepuka, kwa sababu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakuepuka kitu chochotezaidi ya kumuepuka kwake shetani na vitendo ambavyo vilikuwa kama vyashetani. Mwenyezi Mungu alitaka, kwa kutamka aya hii, kumwambiaMtume kuwa na subira mbele ya wajinga na sio kuwa na hasira nao.

Sasa ilikuwa wapi maana hii kutoka kwenye kile alichokisema AbuHuraira kwamba Shetani alimshambulia Mtume na kuvuruga swala yake,ambayo ilikuwa haikubaliki kwa mujibu wa akili na mazingatio ya kides-turi?

Kama ungesema: Vipi kuhusu aya hizi za Qur’ani: “Na hatukumtumakabla yako Mtume wala Nabii ila anaposoma, shetai alitia fitina maso-mo yake. Lakini Mwenyezi Mungu huondoa anayoyatia shetani, kishaMwenyezi Mungu huzimakinisha aya Zake, na Mwenyezi Mungu niMjuzi, Mwenye hekima. Ili alifanye lile analotia shetani kuwa ni fitnakwa wale wenye maradhi nyoyoni mwao na ambao nyoyo zao ningumu, na bila shaka madhalimu wamo katika uhalifu wa mbali. Naili wajue wale waliopewa elimu kwamba hiyo ni haki iliyotoka kwaMola wako …..” 22:52-54.

Ilikuwa ikifahamika vema, kama umuhimu wa Uislam, kwamba MtumeMuhammad (s.a.w.w.) pamoja na manabii wengine wote wasingetumainiajambo lolote ambalo Mwenyezi Mungu hakubaliani nalo. Mitume wotewalikuwa wameepukana mbali sana na jambo lolote ambalo halimridhishiMwenyezi Mungu na ambalo lilikuwa haliwanufaishi watu.

Mtume Muhammad alitumaini kwamba kila mtu, mahali popote duniani,kuamini na kuwa mtiifu kwa Mwenyezi Mungu. Shetani, kwa hila zake navishawishi aliyavuruga matumaini haya na akawashawishi watu kama AbuLahabi (ami yake Mtume) na Abu Jahal, ambao walishikiliwa na yeye, nakuwaelekeza mbali kabisa na kile alichowatumainia Mtume kupata memaya dunia hii na ya Akhera. Lakini shetani aliwashawishi mpaka wakampi-ga vita Mtume ili kumuondoa kabisa.

112

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 112

Page 122: Abu Huraira

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitegemea kwa kila mtu ambaye alikuwaMwislam kuwa mwaminifu kwa Mwenyezi Mungu, Qur’ani yake, Mtumewake na kwa watu wote kwa namna ambayo undani wake utakuwa kamaudhahiri wake na uwazi wake wake kama usiri wake. Shetani aliwa-chombeza baadhi ya watu na kuwachanganya akili zao kwa kuyaharibumategemeo haya matukufu, hivyo wakawa wanafiki.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimtegemea kila mmoja katika umma wakekuiga utaratibu wake ulionyooka, na sio kukengeuka kutoka kwenye Sunnayake tukufu. Yote aliyotegemea ni kwamba umma wote ungekubaliana namwongozo na kuendeshwa kwa mujibu wa amri na makatazo yake nakwamba hakuna wawili kati yao watakaogombana. Lakini shetani ali-wanong’oneza uovu na kuwadanganya wao kuwa mbali na Sunna. Hivyoumma huo huo mmoja ukagawanyika katika matapo mengi chungu nzima.Shetani mdanganyifu aliyelaaniwa alijaribu kwa uwezo wake wotekuharibu yote Mtume aliyoyategemea kwa ajili ya watu na akawafanyawale ambao wameshawishika naye kugeukia mbali na Mtukufu Mtume namatumaini yake.

Wale wote waliodanganyika na uwongo wa shetani walikuwa wengi mno.Yeye shetani aliandaa mitego na njama zake juu yao na akasimama tayarikuwaonyesha ukweli kwa vishawishi vyake, kuwa ni uongo na uongokuwa ni kweli. Alitumia kila ujanja kuvuruga matumaini ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) na kuwaelekeza watu mbali na yeye.

Yote hayo yalimsumbua Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kumfanya awe nawasiwasi na wakati wote kuwahofia watu kutokana na udanganyifu washetani. Aliogopa kwamba maasi na udanyanyifu vitaweza kuushindaukweli. Kwa sababu ya hilo, Mwenyezi Mungu alimliwaza na kumtulizakwa kumfunulia:

113

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 113

Page 123: Abu Huraira

“Na hatukumtuma kabla yako Mtume wala Nabii ila anaposoma,shetani alitia fitina masomo yake. Lakini Mwenyezi Mungu huondoaanayoyatia shetani, kisha Mwenyezi Mungu huzimakinisha aya Zake,na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi, Mwenye hekima.” 22:52.

Ilimaanisha kwamba kila Nabii alipotumainia matakwa kwa ajili ya manu-faa binafsi ama ya jumla, shetani angeyaharibu matamanio yake kwakuwashawishi na kuwadanganya watu kuwaweka mbali na Mitume naujumbe na kazi zao. Mitume wote walitumaini kwamba watu wote kilamahali juu ya ardhi wawe watiifu kwa Mwenyezi Mungu. Walitegemeakwamba waumini watakuwa na uaminifu halisi kwa Allah. Matamanio yaobora yalikuwa kwamba wazione kaumu zao zikikubaliana na miongozoyao na kusiwe na japo wawili wao wanaohitilafiana. Lakini shetanialiyapinga matamanio yao kwa kuwadanganya watu na kugeuza ukweli wamambo. Hivyo kaumu ya Musa iligawanyika matapo sabini na moja,kaumu ya Isa ikagawanyika matapo sabini na mbili na kadhalika vivyohivyo kwa kauma za Manabii wengine waliobaki. Oh, Muhammad, usiwena wasiwasi sana kuhusu kushindwa kwa matumaini yako matukufu kwamara nyingi na shetani kwa sababu matumaini ya Manabii waliotanguliayalikabiliana na majaaliwa kama hayo. Kwa hiyo wewe na wao mko sawakatika suala hili.

“Ndio desturi (Yetu) juu ya wale tuliowatuma kabla yako katikamitume wetu, wala hutapata mabadiliko katika desturi Yetu.” 17:77.

114

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 114

Page 124: Abu Huraira

Kwa vile Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) alihofia kwamba maasiya shetani yanaweza yakashinda ukweli na haki, Mwenyezi Munguakamhakikishia usalama pale aliposema: “Lakini Mwenyezi Munguhuondoa anayoyatia shetani, katika matumaini yako na matumaini yamitume waliopita kabla yako. Lakini Mwenyezi Mungu alimuashiriakwamba ile haki, ambayo yeye na manabii waliopita waliileta kutoka kwaMola wao itatawala. Mwenyezi Mungu amesema: “Kisha Allah anaimar-isha mawasiliano yake” na “Mwenyezi Mungu ataidhihirisha hakikwamba ni haki kwa maneno yake japo waovu wachukie” 10:82 na“….. Basi lile povu litapita kama takataka, lakini vile vinavyowafaawatu vinakaa katika ardhi. Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu anavyopi-ga mifano.” 13:17

Mwenyezi Mungu alimtaka Mtume kuwa na uhakika kwamba manabiiwatashinda na shetani atashindwa. Amesema: “Na Mwenyezi Mungu niMwenye kujua, Mwenye hekima.” Aliutambua uaminifu wa Mitume(a.s.) katika matamanio yao, kwa hiyo Yeye aliwasaidia kwa Roho Tukufuna akawaweka katika nafasi zao za kuheshimika na aliujua uadui waShetani kwa Mwenyezi Mungu na Mitume Wake. Kwa hakika MwenyeziMungu atamdhalilisha shetani kwa vitendo vyake viovu kutokana na heki-ma kwamba awatukuze wale wanaostahiki heshima, na kuwadhalilishawale wanaostahili kuaibishwa kwani hekima ilikuwa ni kuweka mambokatika hali na nafasi zao stahilifu.

Mwenyezi Mungu alitaka kuwatofautisha wale waovu na wema miongonimwa watu Wake kwa hiyo aliwatahini kupitia shetani: “Yeye ataifanya ileminong’ono ya shetani kuwa ni mtihani kwa wale ambao nyoyonimwao kuna maradhi” kwa sababu ya unafiki “na wale ambao nyoyo zaoni ngumu” ambazo hazikulainika kwa kumtaja Allah na yale aliyoy-ateremsha kwa sababu nyoyo zao zilitawaliwa na ukafiri ambao shetani ali-washawishi nao na akawaweka mbali na imani na muongozo, “na kwahakika wale madhalimu” miongoni mwa wanafiki na makafiri “wamokwenye upinzani mkubwa” kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.

115

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 115

Page 125: Abu Huraira

Macho yao hayakuiona haki, masikio yao yakawa viziwi na nyoyo zaozilikaliwa na shetani. Walitoa milio kila wakati palipokuwa na muovumwenye kutoa milio (kama ya kunguru). “Na kwamba wale ambaowamepewa elimu waweze kujua” juu ya Upweke wa Allah, Hekima Yakena kutuma kwake Mitume “kwamba ni ukweli kutoka kwa Mola Wakohivyo waweze kuuamini” bila ya kutoa mazingatio yoyote kwa shetani aukwenye kutishia na kupoteza kwake.

Pale Mwenyezi Mungu alipowajaribu watu ili kutofautisha kati ya waovuna wema, nyoyo za wale waovu (wenye mioyo migumu) zikawa ngumuzaidi na waumini wakawa na nguvu zaidi katika imani zao na uhakika.Mwenyezi Mungu akasema:

“Je, watu wanadhani wataachwa waseme tumeamini, nao wasijaribi-we? Na bila shaka tuliwajaribu wale walikuwa kabla yao, na kwahakika Mwenyezi Mungu atawatambulisha wale waongo.” 29:2-3,

“Hakuwa Mwenyezi Mungu Mwenye kuwaacha waumini katika halimliyonayo mpaka apambanue wabaya na wazuri.” 3:179

“Na ili Mwenyezi Mungu awatakase walioamini na awaangamizemakafiri.” 3:141.Sio ajabu kwamba Mwenyezi Mungu atawajaribu watu kwa mateso nahuzuni mbali mbali ili kupata sababu ya kuwapa thawabu au kuwaadhibu.Mwenyezi Mungu anasema: “….. Basi Mwenyezi Mungu ndiye hojaikomeshayo, na kama angependa angewaongozeni nyote.” 6:149 na“….. ili aangamiaye aangamie kwa dalili dhahiri na asalimike wakusalimika kwa dalili dhahiri…..” 8:42

116

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 116

Page 126: Abu Huraira

Ngoja turudi kwenye aya hiyo hiyo “Na hatukutuma kabla yako Mtumewala Nabii ila anapotamani, shetani alitia fitina matamanio yake.”Haikuwa na maana kwamba shetani alitia fitina yake katika moyo waMtume (Mungu aepushilie mbali!) bali ilimaanisha kwamba shetani alitiafitina yake katika yale matakwa ya Mtume kwa kuyaharibu ili kuwafanyawafuasi wake, yeye shetani, ambao wanatoa milio pamoja naye, wageuziemigongo kile Mtume alichotarajia ili kwamba hayo matumaini yakeyasitimie.

Hii hasa ndio ilikuwa maana ya aya hiyo, ambayo iligonga akili, ingawahakuna hata mmoja kati ya wafasiri au mwingine yeyote kama ninavyojua– ambaye ameielezea. Ninashangaa ni vipi wameikosa hii ambapo ilikuwandio yenye kufaa zaidi kwa Qur’ani, kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w.) nakwa manabii wengine wote (amani iwe juu yao). Haiwezi kufasiriwa kwanamna nyingine yoyote mbali na hiyo hata kidogo.154

Hebu turudi kwenye ile Hadith ya Abu Huraira: “Mtukufu Mtumealitekeleza moja ya swala zake na akasema: Shetani amenijia akijaribu kwajuhudi zake zote kuivuruga swala yangu. Mwenyezi Mungu akanisaidiakiasi nikaweza kumkaba. Nilitaka nimfunge kwenye nguzo ili muwezekumuona wakati wa asubuhi, lakini nikakumbuka kauli ya Suleimani:“Akasema: Mola Wangu! nisamehe na unipe ufalme, asiupate yeyotebaada yangu…..” 38:35.

Ningependa kuwauliza hawa masheikh wawili, ambao waliiheshimu nakuitetea Hadithi ya Abu Huraira; je huyo shetani alikuwa umbile la kimwiliambalo lingeweza kufungwa kwenye nguzo kama mfungwa aliyekamatwaili aonwe na watu wakati wa asubuhi? Sidhani kwamba yeyote anawezakusema hivyo.

Kilichomhimiza Abu Huraira kusema hivyo kilikuwa ni kushindwa kwaakili yake kuielewa maana ya Qur’ani. Alidhani kwamba baadhi ya aya za

117

Abu Huraira

154 Niliielezea tafsiri hii katika gazeti la al-Irfan, toleo la 31, uk.113 na kurasazinazofuatia.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 117

Page 127: Abu Huraira

Qur’ani zilihisi mambo kama hayo pale aliposikia kauli ya MwenyeziMungu akizungumza kuhusu Suleiman (a.s.): “Basi tukamtishia upepoukaenda polepole kwa amri yake kule anakotaka kufika. Namashetani (pia tukamtiishia) kila ajengaye na azamiaye. Na wenginewafungwao minyororoni.” 38:36-38. Yeye alidhani walikuwa wame-fungwa kwenye minyororo kama wanadamu. Hakuelewa kwamba wali-fungwa kwa mujibu wa ulimwengu wao wa kishetani kwa minyororo inay-oendana na hali yao ya kishetani ili kuwazuia wao kutokana nakuangamiza ambapo hakuna hata mmoja wa wanadamu aliyewezakuwaona.

Abu Huraira amesema katika riwaya yake kwamba Mtume Muhammad(s.a.w.w.) alimuachia huru shetani huyo kwa sababu alikuwa amechukiakuwa na ufalme kama ule wa Suleimani (a.s.).

Abu Huraira alisahau kwamba Mwenyezi Mungu alikuwa amempaSuleiman ufalme ambamo alitiisha kwa ajili yake upepo, ambao ulifanyasafari ya mwezi mzima wakati wa asubuhi na safari ya mwezi mzimawakati wa jioni. Mwenyezi Mungu alitengeneza chemchemi ya shaba iliy-oyeyushwa kumiminika kwa ajili ya Suleiman, na “miongoni mwa Majiniwalikuwepo wale ambao walifanya kazi mbele yake kwa amri ya MolaWake; na yeyote aliyekiuka amri yetu kutoka miongoni mwao, tulim-fanya aonje adhabu ya kuungua.” Majini walimjengea Suleiman ngomekadhaa, sanaa za uchongaji, mabakuli na vyungu vya kupikia. MwenyeziMungu alikuwa amempa Suleiman (a.s.) ambacho hakumpa MtumeMuhammad (s.a.w.w.). Hata kama Mtume Muhammad alimfunga shetaniwa Abu Huraira, asingeweza kuwa sawa na Suleiman katika ufalme wake,kwani Suleiman alikuwa na kioja cha upepo, kumiminika kwa shaba iliy-oyeyushwa na kufanya kazi kwa wale majini. Uthibitisho alioutoa AbuHuraira ulikuwa batili na Hadith yake ilikuwa ya uongo. Mtukufu Mtumeasingeweza kamwe kuchanganyikiwa na akili au kubumbuaza hisia.Mtume (s.a.w.w.) alitegea mantiki katika hoja zake na katika kila jambo.Aliifanya mantiki kuwa ndio muamuzi kati ya haki na batili na alifanyauthamini wa ushahidi mbalimbali kuwa kwa mujibu wa Qur’ani tukufu,

118

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 118

Page 128: Abu Huraira

ambayo alituamuru kuifuata: “Je anayekwwenda kufudifudi kwa uso wake ni mwongofu zaidi auanayekwenda sawasawa katika njia iliyonyooka?

16. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anaikosa swala ya Asubuhi (Fajr):

Masheikh hawa wawili wamesimulia kwamba155 Abu Huraira alisema:“Tulisafiri wakati wa usiku pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) natukachelewesha sana wakati wa kulala. Hatukuamka mpaka jua lika-chomoza. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Kila mmoja naaongozekipando chake na tuondoke hapa. Ilikuwa ni mahali palipohudhuriwa naShetani.” Tukafanya hivyo. Kisha akaomba maji ya kufanyia udhuu.Akafanya sijida mbili halafu akaiswali swala hiyo asubuhi kabisa.’”

Mwongozo wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ulikuwa mbali kabisa na Hadithkama hii. Mwenyezi Mungu amesema: Ewe Iliyejifunika nguo, simamausiku ila kidogo. Nusu yake au ipunguze kidogo. Au izidishe na uisomeQur’ani kwa vizuri.” Mpaka pale aliposema: “Kwa hakika Mola Wakoanajua kwamba wewe husimama kumuabudu karibu na theluthi mbiliza usiku, na wakati mwingine nusu yake…..” 73:20 Mwenyezi Mungualizungumza na Mtume katika kauli nyingine: “Simamisha swala jualinapopinduka mpaka giza la usiku, na kusoma Qur’ani alfajiri.Hakika (kusoma) Qur’ani alfajiri kunashuhudiwa.156 Na katika usikuamka (kusoma Qur’ani) kwa kutahajudi kwayo, ni ibada zaidi kwako.

119

Abu Huraira

155 Hii imenukuliwa kutoka kwenye Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 254156 Mwenyezi Mungu aliifanya aya hii kuonyesha nyakati za swala. Dhuhr naAsri kuswaliwa katika muda wa kuanzia mchana hadi jua linapozama, lakini swalaya Dhuhr ilikuwa iwe kabla ya Al-Asr. Na swala za Magharibi na Isha kuswaliwakuanzia wakati jua linapozama hadi giza la usiku wa manane lakini Magharibiitangulie kabla ya Isha. Mwenyezi Mungu pia akaitaja swala ya al-Fajr katika ayahiyo kutangaza kwamba swala hizo zilikuwa ni wajibu na kutamka nyakati zakuziswali.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 119

Page 129: Abu Huraira

Huenda Mola wako akakuinua cheo kinachosifika.” 17:78-79.Mwenyezi Mungu alimtaka Mtume wakati wa usiku zaidi kuliko zile swalatano ambazo zilikuwa ni wajibu kwa Waislam wote, wakati ambapo ileswala ya usiku ilikuwa ni wajibu kwa Mtume peke yake. MwenyeziMungu amesema: “Na umtegemee Mwenye nguvu, Mwenye rehema.Ambaye anakuona unaposimama. Na mageuko yako miongoni mwawale wanaosujudu.” 26:217-219. Ilikuwa na maana kwamba MwenyeziMungu alikuona wakati uliposimama kumuabudu Yeye wakati wa usikupale ambapo hapakuwa na yeyote anayekuona wewe isipokuwa Yeye, naakaona mishuhuliko yako miongoni mwa waumini wakati ulipowaongozakatika kutekeleza swala. Vile vile Mwenyezi Mungu amesemaakimwambia yeye Mtume (s.a.w.w.): “….. na mtukuze Mola wako kwakumsifu kabla ya kuchomoza jua na kabla ya kuchwa. Na katika usikumtukuze na baada ya kusujudu (katika swala).” 50:39-40.

Yeye aliswali usiku mzima na alining’iniza kifua chake kwa kamba ili asip-itiwe na usingizi.157 Aliendelea kusimama, kukaa, kusujudu mpaka miguuyake ikavimba.158 Kisha Jibril akamwambia (kutoka kwa Allah):

“Jichunge hali yako mwenyewe. Inapaswa kuangaliwa na wewe.” Kishaakamfunulia: “Taha. Hatukukuteremshia Qur’ani ili upate mashaka.Bali iwe mawaidha kwa mwenye kunyenyekea.” 20:1-3. Aya ilikuwa namaana kwamba: Hatukuteremsha Qur’ani juu yako ili kukuchosha wewekwa kufanya ibada, bali tuliiteremsha ili iwe ni ukumbusho kwa yuleanayemuogopa Mwenyezi Mungu. Kwa hiyo jichunge mwenyewe na usi-jitwishe mwenyewe zaidi kwa yale usiyoweza kubeba.Bukhari aliweka milango ya kipekee ndani ya Sahih yake kwa ajili ya

120

Abu Huraira

157 Kama ilivyosimuliwa katika Majma’ul-Bayan, katika maelezo ya aya ya Taha.Ilisimuliwa na Qatada.

158 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 1, uk.135; Rejea al-Kashshaf, wakati akitafsiri ayaya Taha.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 120

Page 130: Abu Huraira

swala ya usiku ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), sijida zake ndefu katikaswala hiyo ya usiku na kusimama kwake mpaka miguu yake ikavimba nanyayo zake kupasuka.

Hivyo ndivyo alivyojizoesha mwenyewe kufanya wakati wa usiku. Je nivipi kuhusu zile swala tano za wajibu, ambazo zilikuwa mojawapo yamisingi, ambayo juu yake Uislam umesimamia? Je, yeye angelala na kupit-wa na swala? Mungu aepushilie mbali! Na hilo lilikuwa mbali sana nakinyume na Mtume (s.a.w.w.) ambaye aliwasomea watu:

“Zilindeni swala, na haswa swala tukufu ya usiku (wustwa) na sima-meni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kwa kunyenyekea.” 2:238 na ali-wavuta watu: “Hakika wamefuzu wenye kuamini. Ambao niwanyenyekevu katika swala zao.” 23:1-2,

na amewaelezea waumini: “Na ambao swala zao wanazihifadhi. Haondio warithi. Ambao watairithi Pepo ya Firdausi, wao humo watakaamilele.” 23:9-11, na akawalingania watu: “….. basi simamisheni swala.Hakika swala kwa wenye kuamini ni faradhi iliyo na wakati maalum.”4:103, na aliwafanya watu wote wasikie: “Hakika amekwisha kufaulualiyejitakasa. Na akakumbuka jina la Mola wake na akaswali.” 87:14-15.

Qur’ani imejaa aya kama hizi ambazo Mtukufu Mtume (s.aw.w.) aliwa-fundisha watu hekima zake na hotuba nzuri. Ni mara ngapi ambapoMtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwachoma walegevu kwa: “Basi ole waowanaoswali. Ambao wanapuuza swala zao. Ambao wao hujionyesha.”

107:4-6, na aliwafichua wanafiki wakati Mwenyezi Mungu alipomfunuliayeye kuhusu tabia zao: “….. wala hawafiki kwenye swala ila kwa uvivu,wala hawatoi ila huwa wamechukia.” 9:54, na alimshutumu mtu ambayealilala na hakuswali swala ya usiku mpaka ikafika asubuhi kwa kusema:“Shetani alitengeneza maji kwenye sikio lake.”159

121

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 121

Page 131: Abu Huraira

Ilikuwa ni sitiari kiasi gani kuhusu wale ambao walijizoesha kulala bila yakuswali ile swala ya usiku na ilikuwa ni balagha kiasi gani kutoka:“Mjumbe aliyeheshimika. Mwenye nguvu, mwenye nafasi ya hadhi kwaMola wa Milki, mmoja wa kutiiwa, na mkweli kwenye amana.”

Lilikuwa ni neno gumu kiasi gani, ambalo lingewafanya waumini kuhofiana kutolala kamwe bila ya kuswali swala ya usiku kama wangejifikiriavizuri juu ya nafsi zao wenyewe. Wale wachamungu na wapujufu, waumi-ni na makafiri walijua na kushuhudia kwamba Mtume Muhammad(s.a.w.w.) alikuwa ndiye wa kwanza aliyetekeleza kanuni zake na alikuwandiye mfanya ibada bora aliyetimiza kanuni zake kwa uaminifu.Aliuelimisha umma wake kwa vitendo vyake zaidi kuliko kwa manenoyake. Asingemlaumu yule ambaye alilala bila kuswali swala ya usiku kwaukali sana, kama yeye mwenyewe alilala mbele ya masahaba zake naakaikosa swala ya al-Fajr. Utukufu uwe kwa Mwenyezi Mungu! Hiiilikuwa ni kashfa kubwa kiasi gani!

Abu Huraira mwenyewe alisimulia160 kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema: “Shetani hufunga mafundo matatu kwenye ukosi wa kila mmojawenu wakati anapolala. Endapo ataamka na kumtaja Allah, basi fundomoja hufunguka. Kama atafanya udhuu, lile fundo la pili litafunguka naiwapo ataswali na fundo la tatu litafunguka. Halafu atakuwa mchangamfuna mwenye mwelekeo mzuri, vinginevyo atakuwa mvivu na mwenyemwelekeo mbaya.”

Riwaya hii ilikuwa na sitiari ya kibalagha kama ile iliyopita. Mtume

122

Abu Huraira

159 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 1 uk. 136160 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 1, uk. 136. Ilikuwa ni ajabu ya Bukhari ya kiasi ganikwamba alisimulia riwaya hii katika kitabu chake, na vile vile ile riwaya inay-ozungumzia kuhusu kule kulala kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kupitwa naswala ya al-Fajr! Pia rejea kwenye Musnad Ahmad, Jz.2, uk. 153.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 122

Page 132: Abu Huraira

(s.a.w.w.) alitaka kuuonya umma wake kutokana na Shetani na kuwa-chochea kumtii Mwenyezi Mungu. Kama Abu Huraira alikuwa mkwelikatika riwaya hii, lazima atakuwa muongo pale aliposimulia ile riwaya yakulala kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kupitwa na swala ya al-Fajr.

Abu Huraira alisimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema:“Hakuna swala ambayo ni ngumu sana kwa wanafiki kuliko ile ya al-Fajrna Isha. Kama wangejua swala mbili hizi zina nini ndani yake, watakujakuziswali hata kwa kutambaa. Nilikuwa karibu nimuamuru Muadhinikufanya Iqamah ya swala na kisha kumuagiza mtu kuongoza watu katikaswala na ningechukua mwenge kuwatishia nao watu ambao hawajajakuswali bado.”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwahimiza watu kuswali, alitilia umakinizaidi kwa swala ya al-Fajr na aliwatishia wale ambao hawakuja kuswaliswala hiyo kwa kuwachoma kwa moto. Baada ya yote hayo, je ilikuwainaaminika na kukubalika kwamba yeye mwenyewe alilala na hakuswaliswala hiyo? Kwa hakika ni hapana!

Mwenyezi Mungu anaweza kuwa na huruma kwa Abdallah bin Rawaha,yule sahaba aliyeuawa kishahidi, pale aliposema:161

“Miongoni mwetu alikuwepo Mtukufu Mtume.Akisoma Kitabu Kitukufu wakati alfajiri ilipoanza kutoa mionziyake.

Alitufanya sisi tuone mwongozo baada ya upovu wetu, Hivyo nyoyo zetu zikamuamini yeye kwamba kila alichokisemakingetokea.

Aliutumia usiku wake mbali na kitanda chake,

123

Abu Huraira

161 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 1, uk. 138.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 123

Page 133: Abu Huraira

wakati wengine walikuwa kwenye usingizi mzito.”

Hebu turudi kwenye riwaya yenyewe ili tuelezee kile kilichobakiakuikanusha.

Kwanza: Wao (mafaqihi na waandishi wa vitabu vya Hadith) wamesemakwamba moyo wa Mtume (hisia) hazikulala hata pale macho yake yali-posinzia. Sahih zao zimelitamka hilo wazi wazi.162

Hii ilikuwa ni moja ya ishara za utume na Uislam, kwa hiyo haikustahilikwa yeye kulala na kuikosa swala ya al-Fajr, kwa sababu endapo machoyake yalisinzia, moyo wake ungekuwa makini kwenye wajibati zake.

Wakati mmoja aliswali swala ya usiku na akaenda kulala kabla ya kuswaliswala ya witri. Mmoja wa wake zake akamwambia: “Ewe Mtume waMwenyezi Mungu, unalala kabla hujaswali swala ya witri?” Yeye akase-ma: “Macho yangu yanalala lakini moyo wangu haulali.”163 Alikuwa namaana kwamba alikuwa na uhakika kwamba hatapitwa na swala ya witrikwa sababu alikuwa anaipenda sana na moyo wake ulikuwa makini juuyake japokuwa macho yake yalikuwa yanalala. Kama alikuwa hivyo kwaswala ya witri, vipi yeye kuhusu wakati alipolala kabla ya swala ya al-Fajr?

Pili: Abu Huraira alitamka, kama ilivyosimuliwa na Sahih Muslim, Jz. 1,uk. 254 kwamba kadhia hii ilitokea kwa Mtukufu Mtume wakati wa kure-jea kwake kutoka kwenye vita vya Khaybar. Ni vipi Abu Huraira amejidaikwamba alikuwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati huo? Abu Huraira

124

Abu Huraira

162 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 1, uk. 179163 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 2, uk.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 124

Page 134: Abu Huraira

alisilimu na kuwa Mwislam baada ya vita hivi kama wanahistoria walivy-oeleza kwa makubaliano ya kauli moja.164

Tatu: Abu Huraira amesema katika riwaya moja: Mtukukfu Mtume(s.a.w.w.) amesema: “Hebu kila mmoja wenu amuongoze mnyama (kipan-do) wake. Mahali hapa pamehudhuriwa na shetani.” Na sisi tukafanyahivyo. Ilikuwa inajulikana vizuri kabisa kwamba Shetani kamwehakumkaribia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na watu wote walijua vemavilevile kwamba Abu Huraira alikuwa ni masikini sana na hakuwa hata nachochote cha kushibisha tumbo lake lenye njaa kwacho, hivyo ni kutokawapi alikopata mnyama wa kipando wa kumuongoza njia kama alivyose-ma: Na sisi tukafanya hivyo!?

Nne: Abu Huraira amesema: “….. halafu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)akaomba maji ya kuchukulia udhuu. Alisujudu mara mbili na kishaakaswali swala ya Subhi”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ameswali swala ya asubuhi kufidia au kwa kad-haa ya al-Fajr ambayo aliikosa (kwa mujibu wa Abu Huraira), lakini haku-

125

Abu Huraira

164 Abu Huraira alisema katika siku za mwisho za uhai wake: “Mimi na wachachekutoka katika kabila langu tulikuja Madina kukiri Uislam wetu wakati MtukufuMtume (s.a.w.w.) alikuwa ameondoka kwenda Khaybar na kumteua Siba’ binArafat al-Ghifari kama mwandamizi wake hapo Madina. Tuliswali swala ya al-Fajr pamoja naye. Alitugawia chakula na pesa. Tuliondoka hadi tukamkutaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) pale alipoishinda Khaybar. Mtume alizungumza naWaislam kushirikiana nasi katika mafungu yao.” Riwaya hii haikusimuliwa na mtumwingine yeyote isipokuwa Abu Huraira lakini ummah (Sunni) waliitegea hiyo,kama walivyofanya wakati wote kwa Hadith za Abu Huraira, na wamethibitishakuwepo Khaybar kwa Abu Huraira pamoja na Mtume (s.a.w.w.) bila ya ushahidiwowote wa kweli. kwa mujibu wa mmoja wa Maimam wetu Ma’sum, Abu Hurairaalikuja Madina na akawa Muislam baada ya kurudi kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kutoka Khaybar.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 125

Page 135: Abu Huraira

jua zile sijida mbili Mtukufu Mtume alizifanya kwa sababu gani nazilikuwa ni nini! An-Nawawi ameziruka hizo wakati alipoielezea Hadithhii.

Tano: Ilikuwa ni kawaida kwa majeshi na viongozi kuwa na walinzi wakuwalinda wakati walipotaka kulala, hususan kama alikuwepo mfalme aumtu maarufu miongoni mwao. Na kuhusu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), yeyealikuwa na maadui wengi. Walikuwepo wanafiki wengi ndani ya jeshi lake,ambao walikuwa wakisubiria kujilipizia wenyewe juu ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Yeye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) asingejitofautisha mwenyewekutokana na viongozi ili kujilinda yeye mwenyewe na jeshi lake. Alikuwahawezi kulala, pamoja na masahaba wake katika jangwa lile lililozingirwana maadui zake miongoni mwa washirikina na wayahudi wakaidi,isipokuwa pakiwa na walinzi wa kuwalinda. Je asingetoa mazingatio kwasuala hili muhimu, ambapo alikuwa ndiye bwana wa watu wenye busarakabla ya kuwa bwana wa Mitume? Hivyo je, wale walinzi walikuwawamelala pia kama walivyolala waadhini? Kwa hakika hapana! lakiniilikuwa ni waongo, wale ambao Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa ame-onya dhidi yao!

Sita: Katika usiku ule, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa pamoja na jeshila wapiganaji elfu moja na mia sita; Miongoni mwao wakiwemo mashujaabora mia mbili. Haingewezekana kwamba wote walikuwa wamelala nakwamba hakuna aliyekuwa macho hata mmoja. Hebu tuchukulie kwambahawakuamka wao wenyewe, je hawakuamshwa na milio na sauti za kwatoza farasi mia mbili zinazopiga juu ardhini wanaotaka majani yao wakati waasubuhi? Ni unyongevu kiasi gani waliokuwa nao wote, watu na farasi!Inaweza kuwa ni moja ya miujiza ya Abu Huraira!

17. Ng’ombe na mbwa wa mwitu waongea kwa kiarabu fasaha:

Masheikh hao wawili wamesimulia kwamba Abu Huraira amesema:“Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) aliswali swala ya al-Fajr, akaja

126

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 126

Page 136: Abu Huraira

mbele ya watu akasema: “Wakati mmoja alikuwepo mtu anamuongozang’ombe wake. Alimswaga na kumpiga. Yule ng’ombe akasema: Sisihatukuumbwa ili tupigwe bali kwa ajili ya kulima kwa plau!” Watuwakasema: “Alhamdulillah! ng’ombe anazungumza!” Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akasema: “Sisi tunaliamini hilo; mimi, Abu Bakr na Umar,ingawa hao wote hawapo hapa. Vilevile alikuwapo mtu anayechunga kon-doo wake. Mbwamwitu akaja akamchukua mmoja wao. Yule mtu akamfu-ata yule mbwamwitu na akamuokoa yule kondoo. Yule mbwamwituakamwambia yule mtu: “Umemuokoa kutoka kwangu mimi!, ni naniatakayemuokoa kama atakuja simba siku moja na kumchukua, wakatiambapo hapatakuwa na mchunga mwingine juu yake isipokuwa mimi?”Watu wakasema: “Alhamdulillah, mbwamwitu naye anaongea?” MtukufuMtume (s.a.w.w.) akasema: “Sisi tunaliamini hilo; mimi, Abu Bakr naUmar, ingawa hao wote hawapo hapa.165

Abu Huraira alikuwa anapenda sana vituko na mambo ya ajabu. Alikuwana vicheko sana wakati alipokuwa akizungumza mambo yasiyo ya kawai-da, kama kule kukimbia kwa jiwe pamoja na nguo za Musa (a.s.), au paleMusa alipompiga kofi malaika wa mauti na kumng’oa jicho lake, kudon-doka kwa nzige wa dhahabu juu ya nabii Ayub na mfano wa yasiy-owezekana yake kama hayo.Na hapa ameelezea juu ya ng’ombe na mbwa mwitu anayeongea, ambaowaliongea kwa kiarabu fasaha kuonyesha kwamba walikuwa na akili, ujuzina hekima. Alizungumzia juu ya jambo ambalo kwa hakika halikuwahikutokea na wala halitakuja kutokea kamwe hata kidogo. Kanuni za kawai-da ambazo Mwenyezi Mungu ameziweka kwa kila kile alichokiumba zili-fanya hili kuwa haliwezekani isipokuwa kama kungekuwa na ulazima wamuujiza wa kuwa ishara ya kuthibitisha utume wa mmojawapo wa mitumeYake ama jambo linalohusiana na Mwenyezi Mungu. Suala la yule mtuambaye alimuongoza ng’ombe wake kwenye shamba na kumswaga, hilo

127

Abu Huraira

165 Rejea Sahih Bukhari, Jz. 2, uk. 171 na 190; Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 316 nakurasa zinazofuatia, na Musnad Ahmad, Jz. 2, uk. 246

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 127

Page 137: Abu Huraira

halikuhitaji changamoto yoyote au muujiza ambao kwamba Allah ange-vunja kanuni za maumbile kwa ajili yake. Vivyo hivyo ndio ilikuwa kwamchunga kondoo, pale mbwamwitu alipovamia kondoo wake. Hadith hiiilikuwa sio ya kweli kabisa, kwani Allah asingefanya miujiza bure bure tu.

Abu Bakr na Umar hawakuwa wenye kuhitaji sifa kama hiyo. Kwa kwelikama wangemsikia akiisimulia hiyo, wangeweza kumuadhibu yeye. Lakinialimtaja Abu Bakr na Umar ili kutimiza mwelekeo wake wa vioja, nawakati huo huo kutembea kwenye kivuli chao kwani alijua hakunaatakayekataa yale aliyoyasema, vinginevyo angeshutumiwa kwakuwakashifu makhalifa hao wawili; Abu Bakr na Umar.

18. Kumfanya Abu Bakr kiongozi (Amiir) wa Hijja:

Masheikh hawa wawili wamesimulia kwamba Hamiid bin Abdur-Rahmanbin Awf amesema kwamba Abu Huraira alimwambia kwamba Abu Bakralimtuma yeye Abu Huraira wakati wa hijja ambayo Mtume (s.a.w.w.)alimfanya Abu Bakr kuwa Amiir mwaka mmoja kabla ya Hijja ya Muago(Hijja ya mwisho kabla ya kufariki Mtume), pamoja na baadhi ya watukatika Siku ya Kafara (kuchinja) kuwajulisha watu kwamba washirikinahawataruhusiwa kuja kuhiji na kwamba hakuna mtu yoyote atakayetufu al-Ka’ba akiwa uchi baada ya mwaka huo.166

Bukhari amesimulia Hadith nyingine kutoka kwa Hamiid kwamba AbuHuraira amesema: “Abu Bakr alinituma miongoni mwa kundi la wapigambiu kwenda Mina katika Siku ya Kuchinja kwenda kuwatangazia watukwamba hakuna mushrikina watakaoruhusiwa kuja kuhiji na hakuna mtuatakayetufu al-Ka’ba akiwa uchi baada ya mwaka huo. Halafu MtukufuMtume (s.a.w.w.) akamtuma Ali (a.s.) nyuma yetu kwenda kuwasomeaSurat al-Bara’a. Ali alitangaza pamoja nasi kwa watu hapo Mina katikaSiku ya Kuchinja (kutoa kafara).167

128

Abu Huraira

166 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 1, uk. 192 na Sahih Muslim, Jz. 1, uk.517167 Sahih al-Bukhari, Jz. 3, uk. 90

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 128

Page 138: Abu Huraira

Haishangazi iwapo kama sera ya Bani Umayyah ndio iliyolazimisha juu yaAbu Huraira na Hamiid, Hadith hii ya uwongo, na vilevile haitoshangazaiwapo kama wote wawili walijitolea kwa hiari kufanya hivyo.

Kwa kweli Abu Huraira alikwenda Damascus, makao makuu ya BaniUmayyah, akifanya biashara ya kuuza bidhaa zake (Hadith), ambazo zili-pata soko na kununuliwa vizuri sana huko. Propaganda dhidi ya Imam Alina kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ilikuwa ndio biashara bora yenyemapato ya faida kwa wale wajuvi, walaghai huko.

Hamiid alitengenezwa kwa mikono ya Mu’awiyah kubeba Hadith kamahizi. Alijifanya kama mchamungu na mwenye kujizuia. Alipendelea sanakusikia kutoka kwa maadui wa Imam Ali (a.s.).168 Yeye alikuwa kamawale maadui wakali wa ki-Bani Umayyah wa Imam Ali (a.s.). Huyuhakuwa ni jambo la kushangaza kwa sababu yeye alikuwa ni mtoto wao.Mama yake alikuwa Ummu Kulthuum bint Aqaba bin Abu Mu’it Thakwanbin Umayyah bin Abd Shams. Alikuwa ni dada yake Waliid bin Aqaba.Bibi yake alikuwa ndiye mama wa Uthman bin Affan. Jina lake lilikuwa niArwa bint Kurayz bin Rabii’a bin Habiib bin Abd Shams. Baba yake,Abdur-Rahman alikuwa mpinzani dhidi ya Imam Ali (a.s.). Hivyo hais-hangazi kwamba Abu Huraira na Hamiid walikubaliana kueneza uzushihuu, ambao mamluki wao waliuhamishia kila mahali haraka haraka kulikokasi ya upepo.

Ni nini kilichoibatilisha riwaya hii kwamba Abu Huraira (kabla haja-neemeka na starehe za Bani Umayyah) amesema: “Nilikuwa miongonimwa ujumbe ambao Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliutuma pamoja na ImamAli (a.s.) kwenda kutangaza Surat al-Bara’a.” Mwanawe, al-Muharriralimuuliza: “Mlijulisha juu ya nini?” Yeye akasema: “Hakuna atakayeingiaPeponi isipokuwa waumini, hakuna mushrikina watakaokuja kuhiji baadaya mwaka huu, hakuna mtu atakayezunguka (kutufu) al-Ka’aba akiwa uchi

129

Abu Huraira

168 Alisimulia kutoka kwa Mu’awiyah, an-Nu’man bin Bashiir, al-Mughiira binShu’ba, Abdullah bin Zubeir, Marwan na wengine kama hao. Riwaya zake zil-isimuliwa na Bukhari na Muslim.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 129

Page 139: Abu Huraira

na yeyote ambaye ana mkataba na Mtukufu Mtume utakuwa na thamanikwa muda wa miezi minne.169 nililia kwa hilo mpaka sauti yangu ikakau-ka na kuwa na mikwaruzo.”

Hii ilikuwa ndio riwaya yake sahihi iliyosimuliwa katika vitabu vyawanahistoria na vya wale walioikusanya Hadith hiyo. Hakumtaja AbuBakr. Alisema kwamba wale mahujaji, ambao Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)aliwatuma kwenda Makka walikuwa chini ya uongozi wa Imam Ali (a.s.)Uamiir huo huo ambao Abu Huraira aliupachika kwa Abu Bakr.

Kama Abu Huraira alitumwa na Mtukufu Mtume pamoja na Imam Ali, niniitakuwa maana ya usemi wake: “Abu Bakr alinituma mimi pamoja nawapiga mbiu wengine katika Siku ya Kuchinja ya hijja ile,” na usemi wakemwingine: “Halafu Mtume akamtuma Ali kutufuata nyuma yetu na

130

Abu Huraira

169 Mafaqih wameikanusha Hadith hii (utakuwa na thamani kwa muda wa mieziminne) kwa sababu kile kilichojumuika katika hotuba ya Imam Ali (a.s.) katikasiku hiyo (mushrikina yeyote ambaye ana mkataba na Mtukufu Mtume utadumuhadi mwisho wa muda wake, kwa kiasi chochote muda wake utakavyokuwa, naambaye ana mkataba usio na mpaka wa kukoma, huo utakuwa na thamani kwamuda wa miezi minne). Ilikuwa dhahiri kwamba Abu Huraira hakuhudhuriakwenye msimu huo wa hijja kuweza kujua ni nini walichokitangaza. Ilikuwa nikawaida kwake, kwa sababu mara nyingi alijifanya kusingizia kuhudhuria yalematukio aliyoyazungumzia, lakini kwa kweli hakuyahudhuria, kwa hiyoaliyasimulia kiuongo uongo.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 130

Page 140: Abu Huraira

kutangaza pamoja nasi?” Haikuwa chochote ila kupingana kwao.170

“Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, laki-ni Mwenyezi Mungu amekataa isipokuwa kuitimiza nuru yak,ijapokuwa makafiri wanachukia.” 9:32.

Inshallah nitanyoosha ukweli wa Hadith hii mbele yenu katika baadhi yavipengele:

Kwanza: Ni kuweka sawa ule uhalisia wa kazi yenyewe “kutumwa pamo-ja na Surat al-Bara’a” kwa mukhtasari: Wakati Surat al-Bara’a ilipoterem-ka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimtuma Abu Bakr kwenda kuisomakatika siku ya hijja kubwa mbele ya wote waliohudhuria na kutangazampango wa Allah swt. na Mtume Wake kutoka kwenye makubaliano bainaya Waislam na washirikina, hakuna mshirikina atakayeruhusiwa kufikakwenye al-Ka’ba, hakuna hata mtu mmoja atakayeingia Peponi ila waumi-ni tu na hakuna mtu atakayeruhusiwa kuizunguka Kaaba akiwa uchi.

Wakati Abu Bakr alipokwenda na sura ya Bara’a, kabla ya kufika mbali,Mwenyezi Mungu akamfunulia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba haku-na yeyote atakayetekeleza jukumu hilo la mbinguni isipokuwa ni yeyemwenyewe Mtume au mtu atokanaye na familia yake. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimuita Imam Ali (a.s.) na akamuamuru kumfuata Abu Bakr nakuichukua al-Bara’a kutoka kwake, halafu yeye aende Makka ilikutekeleza jukumu hilo yeye mwenyewe. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimpa mamlaka kamili Imam Ali ya kuwa kiongozi (Amiir) wa hijja kati-

131

Abu Huraira

170 Kupingana kati ya riwaya mbili hizo kulikuwa dhahiri kuhusu mtumaji waAbu Huraira na wapiga mbiu wengine, mahali pa kutuma; Madina au Makkah natarehe ya kutuma; iwapo kama ni ile Siku ya Kuchinja yenyewe au kabla yake.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 131

Page 141: Abu Huraira

ka mwaka ule171 na kumuachia Abu Bakr uhuru wa kuamua ama kurudiMadina au kuendelea pamoja na mahujaji. Imam Ali alimpanda ngamiajike wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliyeitwa al-Adhba’ na akatoka kumfu-ata Abu Bakr. Abu Bakr akamuulia Imam Ali: “Kwa nini umekuja, eweAbul-Hasan? Imam Ali akasema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ameniamu-ru mimi kuzichukua aya za al-Bara’a kutoka kwako na niende kubatilishamkataba wa makubaliano na washirikina.172 Uko huru kurudi Madina aukufuatana na mimi.” Yeye akasema: “Nitarejea kwake.” Ali akaendaMakka pamoja na mahujaji wa Madina. Abu Bakr akaelekea kurudiMadina. Alimwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Uliniamini mimi najambo ambalo nilishikwa na shauku nalo, lakini pale nilipokwenda kuli-

132

Abu Huraira

171 Rejea kwenye kitabu cha at-Tabarsi, Majma’ul-Bayan, Jz. 3, uk. 3.172 Kama ukisema: kwa nini Mtukufu Mtume alimuamuru Abu Bakr kwenda naal-Bara’a kubatilisha makubaliano ya washirikina katika siku ya Hijja na kishaakamuuzulu kabla ya wakati wa Hijja kufika? Je, hiyo haikuwa ni namna ya kufu-ta jambo kabla ya kufika kwa wakati wa kulitekeleza, ambalo lilikuwa hali-wezekani kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake? Kwa hakika hapana! MtukufuMtume (s.a.w.w.) alimtuma Abu Bakr na kisha akamuamuru kurudi na akamtumaAli badala yake, kuongezea kwa Ali (a.s.) ubora ambao usingekuwa kama angem-tuma Ali tangu mwanzo. Jambo kama hilo lilitokea kwa Ibrahim. MwenyeziMungu alimuamuru kumchinja mwanawe. Pale alipojaribu kufanya hivyo,Mwenyezi Mungu alimfunulia: “Kwa hakika umeonyesha ukweli wa ile ndoto;hakika hivyo ndivyo tunavyowalipa watendao mema,” na alimfidia mwanawekwa kafara na hakumwachia amchinje mwanawe kwa vile Ibrahim hakuamriwahasa na Mwenyezi Mungu kumchinja mwanawe bali kujaribu kufanya hivyo ilikuonyesha watu ubora wa Ibrahim na mwanawe na hapakuwa na ubatilishajiwowote katika jambo hili.Ilikuwa vivyo hivyo wakati Mtukufu Mtume alipomtuma Abu Bakr kwenda kuite-ka Khaybar halafu akamtuma Umar, lakini wote walirudi bila ushindi, walishind-wa. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Kesho nitakabidhi bendera kwa mtuambaye anampenda Allah na Mtume Wake na wao wanampenda yeye. Anashindakwa msaada wa Mwenyezi Mungu.” Aliikabidhi bendera hiyo kwa Ali (a.s.) na Aliakaiteka Khaybar. Ubora wa Ali ulionekana vizuri zaidi kuliko kama angetumwatangu mwanzo. Yalikuwepo mambo mengi kama haya.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:47 AM Page 132

Page 142: Abu Huraira

tenda uliagiza mimi nirudi. Je, Mwenyezi Mungu ameteremsha jambololote kuhusu mimi?” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Hapana, laki-ni Jibril (a.s.) ameniambia kutoka kwa Allah kwamba hakuna yeyoteangeweza kutekeleza jukumu hili la ki-Ungu ukiacha mimi mwenyewe aumtu kutoka kwenye familia yangu. Ali anatokana na mimi na hivyo yeyeatalifanya badala yangu.” Riwaya zenye maana hii zilisimuliwa kwa wingina Maimam maasumin.173

Pili: Baadhi ya yale ambayo yameelezwa na ummas (wa Masunni) yame-thibitisha yale tuliyoyaeleza hapo juu. Hapa ni riwaya ya Abu Bakr kamaushahidi wa wazi. Yeye amesema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alinitumana Surat al-Bara’a kwenda Makka kutangaza kwamba hakuna mshirikinaatakayeruhusiwa kuja hijja baada ya mwaka huu, hakuna hata mtuatakayezunguka al-Ka’ba akiwa uchi, hakuna atakayeingia Peponiisipokuwa waumini, yeyote aliyekuwa mapatano na Mtukufu Mtume,yatakuwa na hai mpaka wakati wa tarehe yake na kwamba MwenyeziMungu na Mtume Wake wameachana na washirikina. Nilikuwa nimeon-doka kwa muda wa siku tatu kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)akamwambia Ali: “Mfuate Abu Bakr na mwambie arejee kwangu. IchukueBara’a kutoka kwake na uende ukaitangaze.” Niliporudi kwa MtukufuMtume huko Madina, nililia na kumwambia: “Je kumetokea jambo lolotekuhusu mimi?” Yeye akasema: “Hakuna ila jema tu lililotokea kuhusuwewe. Lakini niliamriwa kwamba hakuna mtu ambaye angetekelezamajukumu yangu ya kimungu isipokuwa mimi mwenyewe au mtu wafamilia yangu.” Hii ndio ilikuwa riwaya ya Abu Bakr.174 Je unadhanikwamba kulia kwake na mhemko kuliendana vema na kule kumfanyaAmiir wa hijja au kwa kule kuenguliwa kutokana na hilo?Hivyo ndivyo ilivyokuwa riwaya ya Imam Ali175 pale aliposema: “Wakatiaya kumi za Bara’a zilipokuwa zimeshuka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),alimwita Abu Bakr na kumtuma kwenda kuwasomea watu wa Makka.

133

Abu Huraira

173 Rejea kwenye Tafsiir ya Ali bin Ibrahim pale alipokuwa akitafsiri SuratTawba (Bara’a) na Sheikh al-Mufiid katika Irshad yake.174 Rejea kwenye Musnad Ahmad, Jz. 1, uk. 2175 Musnad Ahmad, Jz. 1, uk. 151

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 133

Page 143: Abu Huraira

Halafu akaagiza niitwe mimi na akasema: “Mfuate Abu Bakr. Popoteutakapomkuta, chukua kitabu kutoka kwake na uende ukakisome kwa watuwa Makka. Mimi nilimkuta na nikakichukua kitabu hicho kutoka kwake.Yeye alirudi kwa Mtukufu Mtume na akamwambia: “Ewe Mjumbe waMwenyezi Mungu, kuna jambo lolote lililofunuliwa kuhusu mimi?”Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Hapana, lakini Jibril amenijia nakuniambia kwamba hakuna mtu yoyote atakayewajulisha juu ya ufunuohuo isipokuwa mimi mwenyewe au mtu atokanaye na mimi.”

Imam Ali (a.s.) amesema katika riwaya nyingine:176 “Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimtuma Abu Bakr na Bara’a kwa watu wa Makka halafu akan-ituma mimi kumfuata yeye na akaniambia: “Chukua kitabu kutoka kwaAbu Bakr na uende Makka.” Nilimkuta na nikachukua hicho kitabu kuto-ka kwake. Yeye akarudi kwa huzuni kwenda Madina. Alimuuliza MtukufuMtume: “Je kuna lolote lililoshuka kuhusu mimi?” Mtume (s.a.w.w.)akasema: “Hapana, lakini nimeamrishwa kwamba nitajulisha mimi kuhusuhilo au mtu kutoka kwenye familia yangu.” Hadith nyingine iliyosimuliwana Ibn Abbas, ambaye alilalamika kuhusu maadui wa Imam Ali na akaan-za kuzungumza kwa kirefu kuhusu sifa na ubora wa Imam Ali (a.s.) na haliya kumfadhilisha yeye juu ya umma wote baada ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Yeye alisema:177 “….. kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akam-tuma Abu Bakr na Surat-Tawba (Bara’a) na baadae akamtuma Ali kumfu-ata na kuichukua kutoka kwake. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema:“Hakuna mtu yeyote atakayekwenda nayo isipokuwa mtu ambaye ana-tokana na mimi, nami natokana na yeye.”

Wapinzani wa Ali walikubali kushindwa na Ibn Abbas. Kama Abu Bakralikuwa ndiye Amiir wa hijja mwaka ule wasingekubali kushindwa na IbnAbbas. Walikuta ushahidi wake ni wenye msimamo, kwa hiyo walijiweka

134

Abu Huraira

176 Imesimuliwa na an-Nissa’i katika kitabu chake al-Khasa’is al-Alawiyah, uk.20, Imam Ahmad bin Hambal na wengineo177 Rejea kitabu cha al-Hakiim, Mustadrakul-Hakiim, Jz.3, uk. 32, Thalabi kati-ka al-Talkhiis al-Mustadrak, an-Nassai katika al-Khassais al-Alawiyah uk. 6 naMusnad Ahmad, Jz. 1, uk. 331

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 134

Page 144: Abu Huraira

chini yake (kwa kuridhia). Ibn Abbas wakati mmoja alisema: “Nilikuwaninatembea na Umar sehemu fulani ndani ya Madina wakati aliponiambia:“Ewe Ibn Abbas, mimi nadhani swahiba wako (Imam Ali) amekosewa.”Nilidhani kwamba nisingeliachia hilo lipite vivi hivi. Mimi nikamwambia:“Ewe Amirul-muuminin, mrudishieni haki yake.” Aliondoa mkono wakekutoka kwenye mkono wangu na akaondoka huku akinung’unika kwamuda kidogo halafu akanyamaza. Mimi nikamfuata. Yeye akasema: “EweIbn Abbas, nadhani walimnyima (ukhalifa) kwa sababu walimuona kuwabado ni mdogo sana.” Mimi nikasema: “Ninaapa kwamba MwenyeziMungu na Mtume Wake hawakumuona yeye kuwa ni mdogo sana wakatiwalipomuamuru yeye kuchukua Surat al-Bara’a kutoka kwa swahibawako.” Hapo yeye akaondoka kwa haraka haraka.”178

135

Abu Huraira

178 Ilisimuliwa na az-Zubair bin Bukaar bin Abdullah bin Mus’ab bin Thabit binAbdullah bin az-Zubair bin al-Awwam katika kitabu chake, al-Muwaffaqiyyat,ambacho alikiandika kwa ajili ya al-Muwaffaq bi-llah, mwana wa Mutawakkil,khalifa wa Bani Abbas. Ilikuwa ni siri ya Mwenyezi Mungu ambayo ilikuwa hai-wezi kufichika, na Nuru Yake ambayo kamwe haiwezi kuzimwa kwamba az-Zubair bin Bukaar mwenyewe aliisimulia Hadith kama hiyo katika kitabu chake.Ibn Bukaar alikuwa anafahamika kwa uadui wake na Imam Ali (a.s.) na BaniHashim. Yeye ambaye alitakiwa na mmoja wa Bani Hashim kuapia katikati yakaburu tukufu na mimbari ya Mtukufu Mtume na akaapia kwa uongo, kwa hiyoMwenyezi Mungu akamuadhibu kwa ukoma. Aliwatukana ma-Alawiyah (kizazicha Imam Ali) na babu yao, Imam Ali (a.s.). Wao wakaazimia kumuua. Yeyeakakimbilia kwa ammi yake Mus’ab bin Abdullah bin Mus’ab na akamsihiamuombe al-Mu’tassim, khalifa wa Bani Abbas kumlinda lakini ammi yakehakumjibu kwa sababu yeye ammi yake hakuwa kama yeye katika uadui wakekwa Alawiyah (hii ilisimuliwa na Ibn Athiir katika kitabu chake, Tariikh al-Kamil- wasifu wa al-Mu’tassim). Baba yake, Bukaar alikuwa ni adui mkubwa wa Imamar-Ridhaa (a.s.). Imam ar-Ridhaa alimuomba Allah dhidi yake. Alianguka kutokakwenye kasri yake na akavunja shingo yake. Babu yake, Abdullah bin Mus’ab ali-toa fat’wa kwa Harun ar-Rashid, khalifa wa Bani Abbas, kumuua Yahya binAbdullah bin al-Hasan. Alimwambia ar-Rashid: “Oh, Amirul-muminina, muuwehuyo na mimi nitakuwa mwenye kuwajibika kwa ajili yake.” Ar-Rashid akasema:“Yeye ana mkataba na mimi wa kumlinda yeye.” Akasema: “Hastahili mkatabahuo.” Aliivuta ile hati ya mkataba kwa nguvu kutoka kwa Yahya na akaichana kwamikono yake. Ulikuwa ni uhasama waliourithi, mmoja baada ya mwingine, kuto-ka kwa babu yao Abdullah bin Zubair hadi ukamfikia az-Zubair bin Bukaar,ambao kwawo alipata upendeleo wa karibu na Mutawakkil kwa kumchagua kum-fundisha mwanawe al-Muwaffiq. al-Mutawakkil aliamuru apewe dirham elfukumi, makabati kumi ya nguo na nyumbu kumi wa kubeba mizigo yake kwenyeSamarra. Alimuelimisha mwanawe Muwaffaq na akamwandikia kitabu chake al-Muwaffaqiyyat, ambacho kilikuwa ni kitabu kizuri ajabu ambacho tumenukuusana ndani yake katika kitabu hiki na vitabu vinginevyo.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 135

Page 145: Abu Huraira

Aling’ara kiasi gani wakati alipomzidi khalifa kwa hoja hii fasaha.Hakumpa khalifa njia yoyote ya kujibu, hivyo aligeuka na kuondoka hara-ka. Kama swahiba wake alikuwa ndiye Amiir katika msimu ule wa hijja,kama alivyodai Abu Huraira, yeye asingeondoka haraka isipokuwa nikwamba aliujua ukweli, kwa sababu yeye alikuwa pamoja na Abu Bakrwakati alipoondoka kuelekea Makka pamoja na Sura ya Bara’a na pale ali-porudi bila kukamilisha kazi hiyo. Hivyo yeye alijua kila kitu kuhusu kad-hia ile kuliko mtu mwingine yeyote.

Wakati mmoja Hasan al-Basri aliulizwa kuhusu Imam Ali (a.s.). Yeyeakasema: “Niseme nini kuhusu yeye, ambaye alikuwa na sifa nne; kuk-abidhiwa al-Bara’a, pili ile Hadith ya Mtukufu Mtume kuhusu yeye katikavita vya Tabuuk, tatu Hadithi ya Mtume kuwaambia Waislam:“Nimewaachieni vizito viwili; Kitabu cha Mwenyezi Mungu Qur’ani nawatu wa nyumba yangu ahlul-Bayt,” na ya nne kwamba yeye wakati wotealikuwa ni kiongozi na hajaongozwa na mtu yeyote kamwe, wakatiambapo wale wengine (Abu Bakr, Umar ….. n.k) waliongozwa na vion-gozi (katika jeshi).179

Ilikuwa inafahamika wazi kwamba al-Hasan al-Basr alikuwa muaminifukwa Abu Bakr na alijitolea mwenyewe kueneza sifa na ubora wake. KamaAbu Bakr alikuwa ndiye Amir wa hijja katika mwaka ule wa Surat al-Bara’a, yeye al-Basr asingelificha hilo na asingeshuhudilia kwa Ali kwam-ba kamwe hakuongozwa na mtu yeyote, na asingeeleza kwamba Abu Bakraliongozwa na wengine. Kama ukiichunguza hotuba yake utajua kwambaalitambua kule kukabidhiwa al-Bara’a na akajua kwamba ni uboraunaomhusu Ali na hakukuwa na mwingine zaidi yake aliyestahiki vyemakwa sifa hiyo.

Wakati masahaba walipokuwa wakimtukuza Imam Ali (a.s.) hapo Madinawakati wa utawala wa Abu Bakr na Umar, walikuwa wakiitaja sifa hiikama moja ya ubora wake na hakuna aliyebishana nao kuhusu hilo.

136

Abu Huraira

179 Rejea Sharh an-Nahj al-Hamiid, Jz. 1, uk. 369.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 136

Page 146: Abu Huraira

Sa’d bin Abi Waqqas amesema:180 “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimtumaAbu Bakr na Sura ya Bara’a. Alipokuwa amekwisha kupita sehemu ya njia,Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamtuma Ali kumfuatia na akaichukue kwen-da nayo Makka. Abu Bakr akakosa utulivu na raha. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akasema: “Hakuna mtu yeyote wa kutekeleza wajibat zangu zaki-mbinguni ukiacha mimi mwenyewe au mtu kutoka kwenye familiayangu.”

Anass bin Malik alisema:181 “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimtuma AbuBakr na sura ya Bara’a, kisha baadae akamwita na kumwambia: “Hakunamtu wa kuiwasilisha hii isipokuwa mtu wa familia yangu.” Yeye (s.a.w.w.)akamwita Ali (a.s.) na akaikabidhi kwake.

Jamii bin Umayr al-Laythi alimuuliza Abdullah bin Umar kuhusu ImamAli (a.s.). Ibn Umar akamkaripia na kusema: “Hii ni nyumba ya Mtume(s.a.w.w.) ndani ya msikiti na hii ni nyumba ya Ali (a.s.). Wakati mmojaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimtuma Abu Bakr na Umar182 pamoja naSurat al-Bara’a kwenda Makka. Walipokuwa wako njiani kuelekea Makka,mpanda kipando akaja. Waliuliza alikuwa ni nani. Yeye akasema: “Mimi niAli. Ewe Abu Bakr, nipatie mimi hicho kitabu ambacho unacho.” Abu Bakrakasema: “Kuna tatizo lolote kuhusu mimi?” Ali akasema: “Sidhani ilawema tu.” Ali akachukua kitabu hicho na akaelekea Makka. Abu Bakr na

137

Abu Huraira

180 Rejea kitabu cha an-Nassai, al-Khassa’is al-Alawiyah, uk. 20 na MusnadAhmad Hanbal.

181 al-Khassa’is al-Alawiyah, uk. 20 na Musnad Ahmad Hanbal, Jz.3, uk.216

182 Umar alikuwa rafiki ya Abu Bakr wakati huo. Alikuwa miongoni mwa masa-haba mia tatu ambao waliondoka na Abu Bakr. Lakini Umar alikuwa mwenzi wakaribu sana wa Abu Bakr, kwa hiyo yeye alirejea Madina pamoja naye. Masahabahao, baada ya kurejea Abu Bakr, walijiunga na Ali, ambaye aliwaongoza kamaAmiir wao kwenda Makkah. Wote walishuhudia kwamba Abu Bakr alirejeaMadina kwa unyonge.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 137

Page 147: Abu Huraira

Umar wakarejea Madina na wakamuuliza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.):“Kuna nini kilichotokea kuhusu sisi?” Mtume (s.a.w.w.) akasema:“Hakuna kilichotokea kuhusu ninyi isipokuwa wema tu, bali ilishukakwangu kwamba hakuna yeyote atakayetekeleza wajibu wangu wa ki-mbinguni isipokuwa mimi mwenyewe au mtu atokanaye na familiayangu.”

Vitabu vya Hadith vimeeleza wazi kwamba Abu Bakr alirejea Madinaakiwa mnyonge na alikuwa na hofu kwamba kuna kilichofunuliwa kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuhusu yeye. Hili halikustahili kwambaalikuwa ndiye Amir wa msimu ule wa hijja. Lakini zile propaganda dhidiya Imam Ali (A.s.) zilikuwa na nguvu sana kiasi kwamba zilileta athariwakati wa kuanza kwa Uislam.

Tatu:

Kufutwa kwa mkataba na washirikina kulileta matokeo makubwa kwaWaislam. Vile vile kulimletea Imam Ali utukufu na umaarufu karibu nawaarabu wote, wakati Mwenyezi Mungu na Mtume Wake walipofanyakazi hii, hususan baada ya kurudishwa kwa Abu Bakr. Sifa nyingine nyin-gi zilithibitisha kwamba Imam Ali (a.s.) alikuwa ndiye mbora wa umma nawa karibu sana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akiwa hai au amekufa.

Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipoufuta mkataba wa washirikina,akawazuia kuja kuhiji na kuja Makka, na akatangaza kwamba Pepoimezuiwa juu yao, dini ilikamilika na hali ya Waislam ikawa bora na yenyenguvu kuliko hapo kabla kamwe. Waislam walipata heshima na utukufu.Ghadhabu za washirikina zilinyamazishwa na shingo zao zikasalimu amrikwa Waislam. Hivyo dini ikawa yote ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu,utukufu uwe juu Yake.Mwenyezi Mungu alipenda yote hayo yatimizwe na mja Wake na mlinziwa Mtume Wake, Ali ibn Abu Talib (a.s.) ili kumtukuza yeye, kuonyeshaubora wake, na kukuza umashuhuri wake, ili kutangaza umuhimu wake,kusafisha njia ya kumdhaminisha na cheo cha ukhalifa baada ya Mtukufu

138

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 138

Page 148: Abu Huraira

Mtume (s.a.w.w.) na kutangaza kiutendaji rasmi katika mwaka unaofuatiakwamba yeye atakuwa ndiye Khalifa baada ya Mtume (s.a.w.w.)183

Umashuhuri wa Ali (a.s.) ulienea miongoni mwa waarabu kama mwangawa asubuhi, kwani kufutwa kwa mkataba wowote, kwa mujibu wa kanunizao, kulikuwa kufanywe na chifu (kiongozi mkuu), ambaye alifikiamakubaliano ya mkataba huo, na hakuna yeyote mbali na yeye anayewezakufanya hivyo isipokuwa yule ambaye angemuwakilisha yeye auatakayekuwa mrithi wake, ambaye lazima awe jasiri na mwenye nguvu,ambaye hajapatwa na makosa na hakuwa na mashaka katika maamuzi yakeau alipovunja au kuzithibitisha hukumu (fat’wa).

Ni kipi kitakachokuongoza kwenye chote kile kilichokuwa ni maneno yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa Imam Ali pale alipomtuma kuichukua al-Bara’a kutoka kwa Abu Bakr: “Ama niende nayo mimi au uende wewe.”Imam Ali akasema: “Kama ni lazima iwe, basi mimi nitakwenda.”Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Anza kwenda. Allah atauimarishaulimi wako na kuuongoza moyo wako.”184

Ilikuwa ni dhahiri kabisa kwamba kazi hiyo, ambayo isingeweza kufany-wa na yeyote isipokuwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) au mtu kama yeye(kwa cheo) ilikuwa ni kazi muhimu sana ambayo Ali alipata ushindi kwakuikamilisha. Aliushinda wakati, hakuna yeyote ambaye angeweza kum-tangulia yeye na hakuna yeyote atakayesimama naye au kukitarajia cheochake.Yoyote yule ambaye amechunguza vizuri kule kurudishwa kwa Abu Bakrkutoka kwenye kazi hiyo, atakuwa ameuona ukweli dhahiri. Ilikuwa nikusema kwamba, Mtukufu Mtume aliithibitisha sababu pale aliposema:“Jibril amenijia na kuniambia: “Hakuna mtu yeyote wa kutekeleza kazi

139

Abu Huraira

183 Kubatilishwa kwa mkataba wa washirikina kulikuwa katika mwaka wa tisahijiria na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimtangaza Imam Ali kuwa Khalifa baadayake katika mwaka wa kumi hijiria, wakati alipokuwa akirejea kutoka kwenyehijja yake ya mwisho.184 Rejea Musnad Ahmad, Jz. 1, uk. 150

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 139

Page 149: Abu Huraira

yako tukufu ya ki-mbinguni isipokuwa wewe mwenyewe au mtu kutokakwenye familia yako.” Katika matini ya kiarabu alisema “LAN” ambayoina maana kwamba “kamwe haiwi.” Maana ya Hadith hii ni “Hakuna mtuyeyote kabisa wa kufanya lolote – katika kazi ya ki-mbingu – badala yakoisipokuwa mtu kutoka kwenye familia yako.”

Kama utasema kwamba Hadith hii itakuwa inahusiana na kazi hii tu hasana sio kwa kazi nyingine kwa jumla; sisi tunasema kwamba hii haikuwaHadithi pekee yenye maana hii tu basi. Zilikuwepo nyingi mfano wa hii.

Katika siku ya Arafa ya hijja ya muago (ya mwisho ya Mtukufu Mtume),Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kutokea juu ya mgongo wa ngamia jike wake,alijaribu kuvuta nadhari ya mahujaji ili kuwajulisha juu ya kimbilio lao ilikukamilisha kazi ya ujumbe wake. Yeye aliwaita kwa sauti kubwa. Wotewalimgeukia kwa macho na masikio yao na nyoyo zao pia. Akasema: “Alianatokana na mimi, na mimi natokana na Ali. Hakuna mtu hata mmojaatakayebeba kazi zangu isipokuwa mimi mwenyewe na Ali.”185

Ni kukabidhi gani huko, ambako kulikuwa kwepesi kwa ulimi lakini kuz-ito kwa kipimo. Kulimpa Ali (a.s.) mamlaka kutekeleza kazi za MtukufuMtume mwenyewe na kumfanya yeye kukabidhiwa siri za MtukufuMtume (s.a.w.w.) kama Haruun alivyokuwa kwa Musa (a.s.), bali tukwamba yeye Ali hakuwa nabii ila waziri na mlezi, ambaye aliendeshamambo kama mtume wake na akahukumu baina ya watu badala yake.

Hicho kilikuwa ni kilele ambacho Mwenyezi Mungu na Mtume Wakehawakumruhusu yeyote isipokuwa Ali kukipanda: “….. basi rudishamacho yako nyuma, je unaona kosa? Tena rudisha macho mara kwamara, mtazamo wako utarudia hali ya kuhangaika na kuchoka.”

140

Abu Huraira

185 Rejea Sunan Ibn Maja, Jz. 1, uk. 92. Ilisimuliwa na at-Tirmidhi na an-Nassai.Ilikuwa ni Hadith ya 2531 katika uk. 153, Jz. 6 ya Kanzul-Ummal. Ilisimuliwakatika Musnad Ahmad Jz. 4, uk. 164.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 140

Page 150: Abu Huraira

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimnyanyua Imam Ali (a.s.) kwenye kiwangocha juu zaidi kuliko kiwango cha umma. Alichanganya nyama yake nanyama ya Ali, damu yake mwenyewe na damu ya Ali na kusikia, kuonakwake, moyo na nafsi yake pamoja na vyake yeye mwenyewe pale ali-posema: “Ali anatokana na mimi, na mimi natokana na Ali.” Hili haliku-tosha juu yake hadi aliposema: “Hakuna mtu yoyote wa kubeba kazi zanguisipokuwa mimi mwenyewe au Ali.” Aliweka kila kitu katika Hadith hii naakawafanya watu waelewe kile alichokusudia kusema. Haikuwa ni ajabukwa hilo, kwani Mwenyezi Mungu amesema: “Na kwa hakika tuliwach-agua kwa ujuzi kuliko walimwengu. Na tukawapa katika mambo(yetu) ambayo ndani yake mna neema zilizo dhahiri.” 44:32-33.

Hebu wenye busara wauchunguze mkataba huu vizuri ili kujua kwambahaukuwa na tofauti katika umuhimu na zile Hadith za siku ya GhadiirKhum. Kule kubeba kazi za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambako kulihusi-ka na Mtume mwenyewe na Ali tu na kulizuiwa kwa mtu mwingine yoy-ote kuzifanya, kwenyewe tu kulikuwa ni utekelezaji wa sheria usiokuwa namakosa kama kule kutokuwa na makosa kwa Qur’ani tukufu. Hivyoilikuwa ni sababu ya dhahiri kwamba umma ulipaswa kutii kama walivy-otii amri za Qur’ani tukufu.

Hili lilithibishwa na Hadith ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Ali yukopamoja na Qur’ani, na Qur’ani iko pamoja na Ali. Kamwe havitengani.”186

Na Hadith yake: “Rehema ziwe juu ya Ali! Ewe Allah, igeuzie haki kwaAli popote atakapogeukia.”187 Na Hadithi nyingi kama hizo, ambazozimetangaza umaasum wa Imam Ali (a.s.). “Mola wetu! Tumeyaaminiuliyoyateremsha, na tumemfuata mtume, basi tuandike pamoja nawenye kushuhudia.” 3:53.

Nne: Maadui wa Ali (a.s.), ambao walimkosea na wakajaribu kumharibia

141

Abu Huraira

186 Imesimuliwa na al-Hakiim katika al-Mustadrak, Jz. 3, uk. 124187 al-Mustadrakul-Hakiim, Jz. 3, uk. 124

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 141

Page 151: Abu Huraira

jina lake, na pia Abu Huraira, aliyewasifu maadui wa Ali, wotewameibadilisha Hadith hii na kuugeuzia ubora wake mbali na yeye.

Maadui zake miongoni mwa washirikina na wapinzani wake, ambaowalivunja utiifu kwenye utawala wake na wakapigana naye katika vita vyaNgamia, wale ambao waliasi dhidi ya utawala wake pale walipopigananaye katika vita vya Sifiin na Makhaariji, ambao waliritadi kwenye njia yasawa ya Uislam, wote kwa pamoja walijaribu kufanya hivyo. Maadui zake,hususan wale wenye nguvu za utawala kama vile Mu’awiyah na wafuasiwake waliwatumia mamluki wao kuzigeuza sifa na ubora wa Imam Alikwa kiasi walivyoweza, au mamluki hao walijipendekeza kwa BaniUmayyah kwa kufanya hivyo. Ali hakuwa na hatia na wao hawatawezakusamehewa kamwe, kwani Mwenyezi Mungu alimtukuza Ali kwa sifahizi kubwa kwa sababu alifikia nafasi ya juu sana karibu na MwenyeziMungu kwa imani na jihadi yake. Hawakuweza kustahimilia ule utukufuna heshima ya Ali na zile sifa alizokuwa nazo, uaminifu wake kwaMwenyezi Mungu, kwa Mtume na kwa umma, shaksia yake, maadili yake,udugu wake na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), mke wake na kizazi chake, kwahiyo walijitahidi kwa uwezo wao wote kumharibia jina lake na kugeuzamaadili yake yote. Nge wa husuda alitambaa kwenye nyoyo za wanafiki.Watoto wa yule mla-maini188 walishika nafasi ya juu kabisa ya chuki kwaAli (a.s.). Hawakuiacha fursa yoyote ya kupigana naye, kumdhalilisha nakuwachochea watu dhidi yake. Waliendeleza hila zao, wakavunja utiifuwao kwake, wakamnyima utawala wake wa haki na wakakiua kizazichake. Waligeuza migongo yao kwa kile alichowaamuru Mtukufu Mtume,kuwapenda na kuwatii.

Walichokitenda dhidi yake kiliijaza nafasi na kuifunika dunia. Yote hayohayakuwaridhisha wao mpaka wakatangaza laana juu yake, kama yalematamshi ya (Iqama) kukimu swala.

142

Abu Huraira

188 Alikuwa ni Hind, mke wa Abu Sufyan na mama yake Mu’awiyah. Alipasuakifua cha Hamza, ammi yake Mtume, alipokuwa ameuawa katika vita vya Uhudna akala ini lake.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 142

Page 152: Abu Huraira

Je, hawakuipotosha Sunna tukufu pale walipochana kila kitu kilichohusikana kumfadhilisha Imam Ali (a.s.)? Waliamua bila ushahidi wowote kwam-ba zile Hadith sahihi zilikuwa ni za uwongo. Walizitafsiri zile zilizokuwawazi kwa kulingana na matakwa yao. Waliwashutumu wasimuliaji kuwa niwenye kuleta upinzani. Waliigeuza sehemu kubwa ya Sunna na kubadilizile maana halali za Hadith kama vile Abu Huraira alivyoeleza katikaHadith hii pale aliposema: “Abu Bakr alinituma mimi ….. kisha akamtu-ma Ali nyuma yetu kwenda kutangaza pamoja nasi …..” kana kwamba Alikatika msimu ule wa hijja alikuwa kama mmojawapo tu wa watangazajiwaliotumwa na Abu Bakr kutangaza pamoja na Abu Huraira.

Halikuwa ni jambo la kushangaza kwa Abu Huraira kwa ushupavu wakekatika kubuni Hadith na kuzielekeza zikiwa zimepambwa kwa mapamboambayo wengi waliyapenda na ile sera ya kawaida ikakubalika nazikaenezwa kwa propaganda ya uongo.

Je hakuhamisha ubora kutoka kwa Ali kwenda kwa Abu Bakr kwa kuipen-deza serikali na kuwafanya watu wampende kwa kuzua kilichowafurahishawao? Ni kitendo gani alichofanya! Aliinyamazisha midomo kuongeamaneno ya haki kwa kuhofia umma usije kupanga njama dhidi yao naserikali kulipiza kisasi. Na ni nini tena baada ya hapo? Abu Huraira alita-ka kwa Hadith hii kufagilia mbali kile cheo cha heshima ambachoMwenyezi Mungu na Mtume Wake walikichagua kwa ajili ya Ali (a.s.)katika msimu ule wa hijja. Alielekea kusema:

1. Kazi ambayo Ali (a.s.) aliyokwenda kufanya, ilikuwa ni kwa amri yaAbu Bakr, ambaye alikuwa ndiye Amiir wa hijja kama Abu Huraira alivy-ojidai kusema. Kwamba Imam Ali (a.s.) hakukidhi kutekeleza kazi hiyo,hivyo Abu Bakr akamtuma Abu Huraira pamoja na baadhi wenye nguvu nawagumu kama yeye Abu Huraira kuchukua uangalifu zaidi kuhusu kazihiyo.

143

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 143

Page 153: Abu Huraira

2. Ali (a.s.) hakuwa na kitu zaidi ya waliyokuwa nayo Abu Huraira nakundi lake ambao walitumwa na Abu Bakr katika kazi hiyo, kwa sababuwao walifanya vile vile kama alivyofanya yeye Ali (a.s.).

Ilikuwa inatosha kuikanusha Hadith hii kwamba Mwenyezi Mungualimuona Abu Bakr hakufaa kwa ajili ya kazi ile. Alimfunulia MtukufuMtume (s.a.w.w.) kumrudisha na kuchagua mmoja wa watu wawili pekeewenye uwezo wa kufanya kazi hii; ama Mtume mwenyewe au mlinzi wakeAli.

Abu Huraira, kabla hajaajiriwa kuwahudumia Bani Umayyah katika prop-aganda yao, alisimulia juu ya tukio hili bila ya kueleza kwamba Abu Bakralikuwa ndiye Amiir au hata kumtaja kabisa. Alijifanya kwamba yeye nawale wapiga mbiu wengine walikuwa pamoja na Ali. Rejea kwenye Hadithhii iliyotajwa hapo juu.

Hatuziamini Hadith zake zote, wala kwamba alitangaza katika Siku yakutoa Kafara, au kwamba alihudhuria kamwe kwenye msimu huo wa hijja.Namuapa Mwenyezi Mungu kwamba hatuamini katika chochote ali-chosimulia.

Tano: Ile propaganda ya kisiasa, wakati wa utawala wa Bani Umayyah, ili-tenda jinai kubwa dhidi Hadith za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mbali na yaleyaliyozushwa na kubuniwa na mamluki wao kwa kuwapendeza haowatawala na jinsi walivyojaribu kwa nguvu zote kuifanya ile Hadith yaHamiid iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira kuifanya iwe ya kweli.

Kubuni Hadith ilikuwa ni hila nzuri sana ya wenye kujipendekeza iliwaishi kwayo. Wale wenye kusifu walikuwa na ustadi wa kupamba nakutangaza biashara zao (Hadith) ambazo hakuna aliyezihisi kwa wakati uleisipokuwa wale watambuzi nao walikuwa ni wachache kiasi gani! Nyumaya wale wenye kusifu walikuwepo mamluki wa wale ambao walikusanyana kuandika Sunna na Hadith, wadanganyifu wenye weledi, wanafiki

144

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 144

Page 154: Abu Huraira

ambao walijifanya kuwa wachamungu na wenye kujinyima kama Hamiidbin Abdur-Rahman, Muhammad bin Ka’b al-Qardhi na wengine kama hao,machifu wa makabila katika miji na masheikh wa koo katika jangwa,ambao wakati wowote waliposikia chochote kutoka kwa wale wenyekujipendekeza, walikieneza miongoni mwa umma na mikusanyiko ya zilenchi zilizotekwa hivi punde, walioelezwa kutoka juu ya mimbari,wakazitegemea kama kisingizio na wakazichukulia kama sharia. Walewaumini wenye kuaminika hawakuwa na cha kufanya bali kunyamazakimya mbele ya wale mamluki wanaojipendekeza, ambao walilindwa nawatawala.

Endapo wale masikini waliulizwa kuhusu kile wale waongo walichozushamiongoni mwa Hadith, hususan zile zilizozungumzia kuhusu ubora waAbu Bakr na Umar, wangewaogopa watu ambao waliwafuata watawalakibubusa, kama wangesema kweli. Wao wangewaogopa wale wadangany-ifu na wale wanaodanganywa pia. Hivyo ukweli mwingi ulipotea na uasimwingi uliwekwa kama misingi ya sharia. Uasi huu, wa Hamiid na AbuHuraira ulikuwa ndio bahati kubwa kwa wenye nguvu dhidi ya familia yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Walibuni Hadith nyingi nyingine zenye maanahiyo hiyo na wakahusisha mojawapo kwa Imam Ali (a.s.) mwenyewe, yapili kwa ammi yake Abdullah Ibn Abbas, ya tatu kwa sahaba wake Jabirbin Abdullah al-Ansari na ya nne kwa mjukuu wake, mrithi wa elimu yake,Imam Muhammad al-Baqir (a.s.). Ilikuwa ni njama ambayo maadui wa Aliwaliitumia na waliiendeleza katika kuwadhalilisha Bani Hashim bilakuwaacha watu na umma kwa jumla kujua ukweli. Watu waliokuja baadayao walizikusanya Hadith hizo kama zilivyokuwa na wakaziandika vyakupendeza sana. Walichukulia kile walichokikusanya kama Hadith zakweli bila kuzingatia hata kidogo.

Mdhaifu wa sanadi ya wapokezi wa ile Hadith, ambayo ilihusishwa kwaImam Ali ulikuwa ni Abu Zar’a Wahab bin Rashid. Alikuwa na chuki sanajuu ya Imam Ali. Aliutwaa uhasama huo kwa Bani Hashim kutoka kwamwalimu wake, Abu Yaziid Yunus bin Yaziid bin an-Najjad al-Ibli, huria

145

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 145

Page 155: Abu Huraira

wa Mu’awiyah.189

Mdhaifu wa sanadi ya wapokezi wa ile Hadith, ambayo ilihusishwa kwaIbn Abbas alikuwa ni Abul Qassim Muqsim bin Majza’a. Yeye alitangazauadui wake kwa Imam Ali (a.s.). Al-Hakiim alifikiria kwamba mtu huyualikuwa ni mmoja wa watu wasimulizi wa Hadith wa Bukhari na alisimu-lia riwaya zake za kubuni zilizohusishwa kwa ibn Abbas katika al-Mustadrak yake.190 Muqsim hakuwa mwaminifu kama al-Bukhari alivy-oeleza katika kitabu chake. Adh-Dhahabi katika kitabu chake al-Mizanul-I’tidal amenukuu kutoka kwa al-Bukhari na Ibn Hazim kwamba bwanahuyu hakuwa mkweli. Ibn Sa’d amesema katika Tabaqat 191 yake kwam-ba alikuwa amekithiri katika usimuliaji wa Hadith na alikuwa sio mkweliwa kuaminika.

Kwa sababu hakuwa mkweli, Bukhari na Muslim hawakusimulia Hadithzake isipokuwa moja tu iliyosimuliwa na Bukhari kwamba Abdul Kariimbin Malik alisema kwamba alikukwa amemsikia Muqsim akisema: “IbnAbbas amesema: ‘Wale ambao hawakwenda kupigana katika vita vya Badrna wale ambao walipigana hawawezi kamwe kuchukuliwa kuwa wakosawa.’”

al-Bukhari hakusimulia lolote katika Sahih yake isipokuwa riwaya hii tu yaMuqsim, akithibitisha kwamba alikuwa sio mkweli. Alisimulia Hadith hiikwa vile ilikuwa haina fat’wa yoyote ya kisheria mbali na kwamba

146

Abu Huraira

189 Abu Nasr al-Kalabathi, Abu Bakr al-Isbahani na Abul Fadhl ash-Shaybani,ambaye alikuwa akijulikana kama Ibnul Qaysarani alisimulia katika vitabu vyakekwamba Yunus bin Yaziid alikuwa ni mtumwa aliyeachwa huru na Mu’awiyah.Rejea kwenye kitabu cha Ibnul Qaysarani uk. 485. Yunus huyu huyu alisimuliakwamba Abu Talib hakuwa mu’min wakati alipofariki. Rejea Sahih Muslim, Jz. 1,uk. 30.190 al-Mustadrakul-Hakiim, Jz. 3, uk. 51191 Tabaqat, Jz. 5, uk. 346

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 146

Page 156: Abu Huraira

haikusemwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)

Mdhaifu wa ile Hadith, ambayo ilihusishwa kwa Jabir ulikuwa ni AbuSalih is’haq bin Najiid al-Malti. Yeye alikuwa mwenye kuchukiza, muovu,mwingi wa uongo. Alikuwa jasiri sana katika kuzua Hadith kama ilivy-oelezwa na wote walioandika kuhusu watu wa Hadith.

Mdhaifu wa ile Hadith iliyohusishwa kwa Imam Muhammad al-Baqir(a.s.) alikuwa ni Muhammad ibn Ish’aq ambaye alisimulia Hadith hiyokatika kitabu chake cha wasifu, ambayo aliijaza uasi wa kidini na maajabuambayo hayawezi kuaminika.

Kwa njia yoyote ile, ilikuwa ni rahisi kuzikanusha Hadith hizi za kuzush-wa kwani zilikuwa duni kama wasimulizi wake. Maelezo yake yalikuwadhaifu na yenye kupingana na ukweli wa wale ambao zilikuwa zimehu-sishwa kwao. Kwa kweli zilikuwa zinapingana na riwaya zilizosimuliwana Abu Bakr, Ali, ibn Abbas, ibn Umar, Saad na Anass ambazo tulizisimu-lia katika hoja ya pili ya mlango huu. Haikulingana na tabia ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) ambaye hakuwahi kamwe kumteua mtu yeyote kumsi-mamia Ali katika wakati wa uhai wake, bali Ali wakati wote alikuwa ndiyejemadari na mshika bendera katika vita vyote vya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Ilikuwa ni tofauti kwa wengine kama vile Abu Bakr, Umar nawengineo ambao walikuwa chini ya uongozi (ukamanda) wa kijana wamiaka kumi na nane, Usamah bin Ziyad wakati Mtukufu Mtume alipokuwaanaondoka kwenda kwenye ulimwengu bora. Katika vita vya Dhat as-Salassil, wao Abu Bakr na Umar walikuwa chini ya ukamanda wa Amr binAass.192

Na kuhusu Ali, yeye hakusimamiwa na kamanda yoyote katika uhai waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mtukufu Mtume hakumtuma yeye na jeshi la

147

Abu Huraira

192 Rejea kwenye al-Mustadrakul-Hakiim, Jz. 3, uk. 43 na Talkhiis ya ath-Thaalabi.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 147

Page 157: Abu Huraira

Usamah wala na jeshi la Amr bin Aass au jeshi lolote lile la Abu Bakr naUmar wakati alipowatuma Khaybar. Wakati wao waliporejea, yeye(s.a.w.w.) alimpeleka Ali na wote hao walikuwa chini ya ukamanda wa Ali(a.s.) mpaka pale alipoiteka Khaybar. Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alipomtuma Khaliid bin al-Walid kwenda Yemen pamoja na jeshi, naakamtuma Ali pamoja na jeshi jingine, aliwaambia wote kwamba, endapowatakutana, basi Ali atakuwa ndie kamanda wa majeshi yote mawili, nakama watatengana tena, hapo kila mmoja atakuwa kamanda wa jeshilake.193

19. Malaika wazungumza na Umar:

Al-Bukhari amesimulia194 kwamba Abu Huraira alisema: “MtukufuMtume (s.a.w.w.) amesema: “Baadhi ya watu kati ya Bani Israili, ambaowaliishi kabla yenu, walizungumzishwa na Malaika ingawa waohawakuwa mitume. Kama kuna mtu yoyote katika umma wangu ambayeni kama wao, basi atakuwa ni Umar.”195

Bukhari alisimulia Hadith nyingine196 kutoka kwa Abu Huraira kwambaalisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Walikuwepo watu miongo-ni mwa umma ambao waliishi kabla yenu, ambao walisemeshwa naMalaika. Kama umma wangu unaye mtu kama hao, basi atakuwa niUmar.”

Ilikuwa ni Hadith ya kuzushwa ambayo Abu Huraira alikuwa ameibunipamoja na maneno ya kuipamba miaka mingi baada ya kifo cha Umar.Ilijitokeza kama vile tu ile sera ya watu wa tabaka la juu walivyotaka, naumma kwa wakati ule ulijikongoja pamoja nayo kwa furaha. Ile sera ya

148

Abu Huraira

193 Rejea Musnad Ahmad Hanbal, Jz. 5, uk. 356194 Ndani ya Sahih al-Bukhari yake, Jz. 2, uk.194195 Rejea kitabu cha al-Qastalani, Irshaad as-Sari, Jz. 7, uk. 349196 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 171.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 148

Page 158: Abu Huraira

kihasama ya Bani Umayyah dhidi ya Imam Ali (a.s.) na Bani Hashim ili-hitajia kumkweza Abu Bakr na Umar hadi kwenye nafasi ya mitume nawatawa maasum. Umma ulikuwa na hamasa sana kwa ushindi uliopatikanakatika vipindi vya utawala vya makhalifa wawili hao, Abu Bakr na Umar,hivyo Abu Huraira aliwafurahisha wote; mtawala na watu wanaotawaliwakwa Hadith hii na zinazofanana nayo, kwa hiyo alipata nafasi ya upendeleowa karibu na watawala na miongoni mwa umma. Kama Abu Hurairaangezisimulia Hadith hizi katika wakati wa uhai wa Umar, fimbo ya khal-ifa ingepata sehemu yake ya kuchapa kutoka mgongoni kwake, lakininafasi ilikuwa huru kwa yeye kuzungumza chochote alichokitaka. Ilikuwainafahamika vyema kwa wale watambuzi na wenye hekima kwamba waleambao Malaika waliongea nao walikuwa ama ni mitume au mawasii wamitume, ambao wote walikuwa ni maasum. Malaika hao walizungumza namitume ana kwa ana lakini kuhusu mawasii wao, Mwenyezi Mungu ali-wazindua na ukweli huo kana kwamba Malaika waliongea nao, lakini kwakweli hapakuwa na mzungumzaji pale.

Hakuna shaka kwamba Umar alipata hadhi ya juu sana katika Uislam naalifanya vyema kwa ajili ya umma, lakini yeye hakuwa mtume walahakuwa wasii maasum, hivyo Malaika wasingezungumza naye.

Zaidi ya hayo ni kwamba utendaji wa Umar wakati wa uhai wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) na baada ya kufariki kwake haukustahiki yeyekusemeshwa na Malaika hata kidogo.

20. Urithi wa Mtume ni kwa ajili ya sadaka:

Masheikh hao wawili wamesimulia kwamba197 Abu Huraira alisemakwamba: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Warithi wangu hawa-paswi kugawana hata dinari yangu moja miongoni mwao. Kile nilichoki-acha mimi, baada ya kutoa matumizi ya wake zangu na watumishi wangu,

149

Abu Huraira

197 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 125, na Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 74

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 149

Page 159: Abu Huraira

chote ni kwa ajili ya sadaka.”

Hadith hii ilisimuliwa na Abu Bakr peke yake tu. Aliitumia kama kisin-gizio cha kumzuia Fatima az-Zahra, binti ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),kupata urithi wake baada ya kifo cha baba yake. Masheikh hawa wawili nawengineo wamesimulia kwamba Aisha (mke wa Mtukufu Mtume) amese-ma:198 “Fatima binti ya Mtukufu Mtume alituma kwa Abu Bakr akimuom-ba mirathi ya baba yake. Abu Bakr akasema: “Mtume amesema: Sisi hatu-achi urathi. Kile tunachokiacha sisi kinatakiwa kiwe kwa ajili ya sada-ka.’”199 Abu Bakr alikataa kumpatia chochote katika urithi wa baba yake.Fatima alimkasirikia sana Abu Bakr. Alimsusa yeye na hakuzungumzanaye hadi alipofariki dunia. Yeye Fatima aliishi kwa miezi sita baada yakufariki baba yake. Wakati alipofariki, mume wake alimzika wakati wausiku (kama alivyotaka katika wasia wake) na Abu Bakr hakumsalia swalaya jeneza Bibi Fatima (a.s.).

Ndio, yeye alikasirika sana. Alivaa hijabu yake na akatoka nyumbanikwake pamoja na wanawake wenzie. Mwendo wake ulikuwa sawa sawa tukama ule wa baba yake, hadi alipofika kwa Abu Bakr, ambaye alikuwamiongoni mwa mkusanyiko wa Muhajiriina, Ansari na wengineo.Waliweka pazia baina yake na wao. Alipiga kite na akawafanya wotewaliohudhuria kulia machozi. Hadhara hiyo ilitingishika. Alisubiri kidogohadi kupiga kwikwi kwao na hisia zikatulia. Alianza hotuba yake kwakumtukuza na kumshukuru Mwenyezi Mungu. Aliendelea na hotuba yakeambayo ilifanya macho ya watu yashindwe kuona na nyoyo zikasalimuamri. Angeweza kuwarudisha kwenye njia ya haki lakini siasa zilifunikakila kitu wakati huo!

150

Abu Huraira

198 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 3, uk. 37, Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 72 na MusnadAhmad Hanbal, Jz. 1, uk. 6 199 Hadith hii ilikanushwa na Bibi Fatima (a.s.) na Maimam ma’sumin wote (a.s.)

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 150

Page 160: Abu Huraira

Yule ambaye alisikia hotuba yake aliyoitoa siku ile,200 ataweza kujuakwamba walikuwepo kati yake yeye na watu,201 Abu Bakr na Umar.

151

Abu Huraira

200 Rejea kitabu cha at-Tabari, al-Ihtijaj na Bihar al-Anwar. Baadhi ya wanahis-toria wa Sunni wameielezea hotuba hii katika vitabu vyao kama vile Abu BakrAhmad bin Abdul Aziz aj-Jawhari katika kitabu chake, Kitab as-Saqifa naFadak. Rejea Nahjul-al-Hamiid, Jz. 4, uk. 87, uk. 93, na uk.94.201 Alimwambia Abu Bakr, wakati alipokataa kumpa mirathi ya baba yake: “Oh,Abu Bakr, kama wewe ukifariki ni nani atakayekurithi?” Abu Bakr akasema:“Wanangu wa kiume na familia yangu.” Bibi Fatima akasema: “Basi ni kwa niniwewe umerithi mirathi ya Mtume badala ya kizazi chake na familia yake?” Yeyeakasema: “La sikufanya hivyo, ewe binti ya Mtume.” Bi. Fatima akasema: “Ndio,kwa hakika umefanya hivyo. Umeichukua Fadak (eneo kubwa lililopandwamimea), ambayo ilikuwa mali binafsi ya Mkutufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe naukatunyima sisi kile ambacho Allah amekifunua (wahyi) toka mbinguni kuwa nichetu.” Rejea kitabu cha Abu Bakr bin Abdul Aziz, Kitab as-Saqifa na Fadak, Jz.4, uk. 87. Ilisimuliwa pia katika ukurasa wa 82, kwamba wakati Fatima alipo-muomba Abu Bakr urithi wake, yeye alimwambia: “Nilimsikia Mtukufu Mtumeakisema: “Mtume hawarithishi.” Lakini mimi ninamsaidia yeyote yule ambayeMtukufu Mtume alikuwa akimsaidia na ninatumia kwa yeyote ambaye Mtumealikuwa akitumia juu yake.” Bibi Fatima akasema: “Oh, Abu Bakr, binti zakowewe warithi mali yako lakini binti ya Mtume asimrithi baba yake?” Yeye akase-ma: “Hivyo ndivyo ilivyo.” Ahmad pia ameisimulia Hadith kama hiyo ndani yaMusnad yake Jz. 1, uk. 10, Jawhari ameisimulia katika Kitab as-Saqifa na Fadak,Jz. 4, uk. 81, riwaya iliyosimuliwa na Umm Hani bint Abu Talib kwamba Fatimaalimwambia Abu Bakr: “Kama wewe ukifariki, ni nani atakayekurithi?” Yeye ali-jibu: “Kizazi na familia yangu.” Fatima akasema: “Basi kwa nini wewe unamrithiMtume badala yetu sisi?” Yeye akasema: “Oh, ewe binti ya Mtume wa MwenyeziMungu, baba yako wewe hakuacha kitu chochote.” Akasema: “Ndio aliacha.Lilikuwa ni lile fungu ambalo Mwenyezi Mungu alitutengea sisi (kwa mujibu waQur’ani) na likawa mali yetu, ambayo sasa imo mikononi mwako.” Abu Bakrakamwambia: “Mimi nilimsikia Mtukufu Mtume akisema: “Kama Fadak ni njiaya riziki aliyotupa sisi Mwenyezi Mungu na nitakapofariki itakuwa ni kwa ajili yaWaislamu.” Kulikuwa na hotuba nyingine ya Bibi Fatima kuhusu ukhalifailiyosimuliwa na Jawhari katika Kitab as-Saqifa na Fadak, Jz. 4, uk.87 kwambaFatima bint al-Husein alisema: “Wakati Fatima, binti ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alipokuwa mgonjwa sana, wanawake wa Muhajiriina na Ansari waliku-sanyika kumzunguka yeye na wakamuuliza: “Una hali gani, ewe binti ya Mtume?”Yeye akasema: “Nimeyajutia maisha yenu maovu na kuwachukia wanaume wenu…….” Ilisimuliwa pia na Imam Abul-Fadhl Ahmed bin Abu Tahir ndani ya kitabuchake, Balaghat an-Nissa’ uk. 23, al-Majlisi ndani ya Biharul-Anwar na at-Tabarsindani ya al-Ihtijaj yake.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 151

Page 161: Abu Huraira

Alithibitisha haki zake kwa ushahidi wa wazi uliotolewa kwa mujibu waQur’ani tukufu ambao haukuweza kukatalika.

Yeye, Bibi Fatima alisema: “Je, mligeuzia migongo yenu kwa makusudikwenye Kitabu cha Allah, ambaye amesema: “Na Suleiman alikuwamrithi wa Daudi. (27:16) na akasema wakati alipokuwa akizungumzakuhusu Zakaria: “….. basi nipe mrithi kutoka kwako. Atakayenirithi naawarithi ukoo wa Yaakub na umfanye, ewe Mola Wangu, awe mwenyekuridhisha.” (19:5-6) “….. na ndugu wa nasaba wana haki zaidi waokwa wao katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu …..” (8:75) “MwenyeziMungu anawausia kuhusu watoto wenu, mwanaume apate sawa nafungu la wanawake wawili …..” (4:11) Na akasema tena:“Mmelazimishwa mmoja wenu anapofikiwa na mauti, kama akiachamali, kuwausia wazazi wawili na jamaa kwa uadilifu, ni wajibu kwawamchao Mungu.” (2:180).

Kisha akasema: “Je, Mwenyezi Mungu alikufanyeni ninyi kuwa mahususikwa aya ya Qur’ani na akamuondoa baba yangu? Wewe unao utambuzizaidi wa Qur’ani kuliko baba yangu na binamu yangu Ali? Au unasemakwamba: wale wa dini mbili tofauti hawapaswi kurithiana wao kwa wao?”

Alihojiana nao kwa kutoa ushahidi kutoka kwenye Qur’ani tukufu, ambaoulithibitisha wazi kwamba mitume waliwarithisha watoto na vizazi vyaokupitia zile aya kuhusu Daudi na Zakaria. Alikuwa haswa ana ufahamuzaidi wa msingi wa Qur’ani, kuliko wale ambao walikuja wakiwawamechelewa baadae kabisa, baada ya kushuka kwa Qur’ani na wak-ageuza ile maana ya mirathi kutoka kwenye rasilimali kwenda kwenyeubashiri na busara bila ya ushahidi wowote ule. Walicheza tu na ile maanahalisi ya maneno! Kama hiyo ilikuwa ni kweli, Abu Bakr na wale wote

152

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 152

Page 162: Abu Huraira

waliokuwa wamehudhuria pale wangekosa kukubaliana naye kuhusuhilo.202 Kulikuwepo na baadhi ya ushahidi unaothibitisha kurithi rasilimalikwa mitume kama ilivyosimuliwa na Allamal-Huda katika kitabu chake,ash-Shafi.203

153

Abu Huraira

202 Hawakupingana naye kuhusu urithi wa Mtume (iwapo ilikuwa ama elimu nahekima mbali na rasilimali) au kitu kingine chochote. Walimnyang’anya tu mirathiyake, ambapo Abu Bakr alisema: “Oh, ewe binti ya Mtume, Mwenyezi Munguhakuumba yoyote mpendwa kwangu kuliko baba yako, Mtume Muhammad(s.a.w.w.). Nilitamani mbingu ingeanguka juu ya ardhi wakati baba yako alipo-fariki. Naapa Wallahi, kwamba kama Aisha (binti ya Abu Bakr) angekuwamwenye haja ni bora kwangu kuliko wewe kuwa mwenye shida. Hivi mimininawapa (watu) weupe na wekundu haki zao halafu nikunyime wewe haki yako,ambapo wewe ni binti ya Mtume? Mali hii haikuwa mali binafsi ya Mtume baliilikuwa ni ya Waislam. Aliitumia kwa ajili ya Allah. Alipofariki mimi nikawandiye mwenye wajibu kwayo.” Yeye Bi. Fatima akasema: “Sitazungumza nawewe baada ya sasa.” Abu Bakr akasema: “Lakini mimi sitakutelekeza.” Yeyeakasema: “Nitaomba kwa Allah dhidi yako.” Akasema: “Mimi nitakuombeaMungu.” Kabla hajafariki, Fatima aliagiza kwamba Abu Bakr asije akaswaliajeneza lake. Rejea Kitab as-Saqifa na Fadak, Jz. 4, uk. 80, utakuta kwamba yeyehakupingana naye kuhusu maana ya mirathi wakati alipotaja zile aya mbili zaDaudi na Zakariah, lakini alisingizia kwamba mali ile haikuwa mali binafsi yaMtume. Fatima hakuridhika kwani yeye alikuwa ndiye mtambuzi bora wa mamboya baba yake. Bali hakuna nguvu ila kwa Allah, Mwenye Enzi, Mtukufu. 203 Allamal-Huda alifikiria kwamba Zakaria alihofia juu ya binamu zake kurithimali yake, kwa vile alikuwa hana mtoto wa kiume, na walikuwa waovu na mafisa-di. Ilikuwa haiwezekani kwamba wanaweza wakawa manabii au wachamunguwenye hekima kwamba alihofia wangerithi hadhi yake ya elimu, hekima nautume, bali alikuwa akihofia watarithi mali yake na kuitumia katika uharibifu nauovu wao, kwa hiyo alimuomba Mola wake kumpatia kijana ambaye atakuwamwenye kufaa kurithi mali yake kuliko binamu zake hao waovu. Allamal-Hudapia alifikiria kwamba wakati Zakariah alipomuomba Mola wake kumfanya mrithiwake anayeridhisha hilo lilimaanisha kurithi mali yake. Kama Zakariah alimaan-isha urithi wa utume, ingekuwa haileti maana kumuomba Mwenyezi Mungu kum-fanya mwanawe awe mwenye kuridhisha sawa kabisa kama kusema: “Ewe Allah,tuletee mtume na umfanye awe mwaminifu na sio muongo.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 153

Page 163: Abu Huraira

Kisha alihojiana nao akithibitisha haki yake ya kurithi kwa kuwaonyeshaaya nyingine za Qur’ani kuhusu mirathi. Kama yeye alikuwa ni tofauti nawatu wengine kuhusu jambo hili, basi baba yake, (s.a.w.w.) na mume wake(a.s.) wangemueleza yeye kwa uwazi kabisa na wasingemuacha alazimikekujitokeza kama mjinga asiyejua kitu katika kudai kile ambacho hakus-tahiki na kujiaibisha mwenyewe na hadhi yake kwa kubishana bila ushahi-di wowote kiasi kwamba ingeishia kwenye uadui. Ilikuwa haiwezekanikwa Mtukufu Mtume na wasii wake kufanya hivyo.

Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) alimpenda sana binti yake Fatimaaz-Zahra’ na alimjali sana zaidi kuliko aina ya baba wengine na watotowao. Alimkumbatia wema wake mkunjufu na alikuwa tayari kabisa kuji-tolea muhanga mwenyewe binafsi hasa kwa ajili yake.204 Alifurahia sanakuwa naye karibu. Alikuwa na uangalifu mwingi katika kumlea nakumkuza kwa maadili na hadhi ya hali ya juu kabisa. Alifanya juhudi zoteziwezekanazo kumuelimisha yeye. Alimlisha na kumjaza elimu yaMwenyezi Mungu na Shari’ah hadi akafikia kileleni mwa kila wema nakila utukufu wa tabia. Hata hivyo, angeweza kulifanya ni siri lile lililohusuwajibu wake wa kisheria? Mungu aepushilie mbali hilo! Angewezajekufanya hivyo na kumuacha apambane na yote yale yaliyomkuta baada yakifo chake kwa sababu ya mirathi hiyo? Kwa hakika hilo ni hapana!Alikuwa mbali sana nalo hilo.

Je, mume wake, yule mwenza na ndugu yake Mtume (s.a.w.w.) aliipuuzaHadith hii licha ya elimu yake kubwa na hikma na kwamba yeye alikuwandiye Mwislam wa kwanza, binamu yake Mtume na mkwe wake, licha yahadhi yake, cheo cha juu, uwasii na ile heshima maalum aliyokuwa nayoMtukufu Mtume juu yake? Kwa nini iwe Mtume aliifanya ni siri na asi-ifichue kwa Imam Ali (a.s.), ambaye alikuwa na sifa zote hizo na tabia

154

Abu Huraira

204. Wakati mmoja Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) zzzlimtaja yeye na akasema: "Babayake anajitoa muhanga mwenyewe kwa ajili yake." Alilirudia hilo mara tatu kati-ka Hadith iliyosimuliwa na Ahmad bin Hanbal na Ibn Hajar katika kitabu chake,as-Sawa'iq al-Muhriqah, uk. 109.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 154

Page 164: Abu Huraira

tukufu ambazo hakuna mwingine yeyote awaye aliyekuwa nazo? Vipikuhusu hao Bani Hashim wote, ambao hawakuwahi kamwe kuisikiaHadith hii, mpaka wakaja kushangazwa kwa kuisikia baada ya kufarikikwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)? Kwa nini hata wake za Mtume hawaku-jua chochote kuhusu Hadith hii ambapo walimwendea Uthman na kumtu-ma akawaombee kuhusu mafungu yao kutoka kwenye mirathi ya Mtume(s.a.w.w.)?205 Iliwezekana vipi kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kumwambia mtu ambaye alikuwa hahusiki kwa chochote kile katikamirathi yake, kuhusu mirathi hiyo na asiwaambie warithi wake halisi?Tabia ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) haikuwa hivyo. Yeye alizitangaza amriza Allah kwa ukweli na uaminifu kabisa. Haikuwahi kusemekana kamwekwamba yeye alizificha kanuni za kisheria sirini. Aliwatendea kabila lakena jamaa zake kwa upole na taadhima kabisa.

Kulikuwa bado kuna neno alilolisema Fatima (a.s.) ambalo lilivuta mioyoya watu na kupandisha hasira zao kwa hali ya juu kabisa. Ilikuwa ni kulekusema kwake kuwa: “au unataka kusema kwamba wale wa dini mbilitofauti hawapaswi kurithiana wao kwa wao?” Hilo lilikuwa ni kusemakwamba: wakati uliponizuia urithi wa baba yangu juu yangu, ulitaka kuse-ma kwamba mimi sikuwa kwenye dini ya baba yangu (sio Mwislam) nakama ungelithibitisha hilo, ungekuwa na kisingizio cha kisheria chakunizuia mimi kumrithi baba yangu. Sisi hatuombi ila hukumu yaMwenyezi Mungu!

Hata hivyo, Fatima (a.s.) alishindwa kupata urithi wake kwa sababu yaHadith hii, ambayo ni khalifa peke yake aliyeisimulia. Haikusimuliwa namtu mwingine yoyote mbali na yeye. Inaweza ikasemwa kwambailisimuliwa na Malik bin Auss bin al-Hadthan.206

155

Abu Huraira

205 Rejea Kitab as-Saqifa na Fadak cha Abu Bakr aj-Jawhari na pia kwenyeSharh an-Nahj al-Hamiid, Jz. 4, uk. 83.206 Rejea kwenye an-Nahj al-Hamiid, Jz. 4, uk. 91

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 155

Page 165: Abu Huraira

Ilisemekana kwamba Ali na al-Abbas 207 walikwenda kwa Umar wakatiwa ukhalifa wake ili kuhukumu baina yao. Uthman, Abdur-Rahman, az-Zubair na Sa’d208 walikuwa pamoja na khalifa. Khalifa akawaambia:“Hivi mnajua kwamba Mtukufu Mtume alisema: ‘sisi mitume haturithiwi.Kile tunachokiacha baada yetu kinatakiwa kiwe ni sadaka.’” Wale walio-hudhuria pale walilazimika kumwamini yeye. Halikuwezekana kwaoisipokuwa kukubali riwaya za makhalifa hao wawili, hasusan kwa wakatiule.

Na kuhusu Abu Huraira, yeye alikuwa si chochote cha kutajwa siku hizo.Hakuna yoyote aliyemsikiliza wala kumjali. Zaidi ya hayo, alishutumiwakwa lafudhi yake mbaya. Hakuthubutu, akiwa na watu wale mashuhuri,kusimulia Hadith yoyote. Kwa kweli, hakujiona yeye mwenyewe kustahilikujiunga na wale ambao khalifa aliwaamini na kuwasikiliza, kwa hiyohakusema neno lolote kuhusu jambo hili kwa wakati mpaka hawa masaha-ba wakubwa walipokufa, na nchi kama Sham, Misri, Afrika, Iraq, Persia,India na nchi nyinginezo zilipotekwa na watu wake wakawa Waislamu.Waislamu waliingia kwenye zama mpya. Kisha Bani Umayyah walimsifiaAbu Huraira na kulinyanyua jina na utajo wake. Walimvua vazi lake lauvunguvungu wa kutofahamika na wakamfanya achanue baada ya kufifiakwake. Ikawa sasa ni rahisi kwake kusema chochote alichotaka. Hivyoakaanza kuueleza umma juu ya nini kilichowafanya wao wampende nakushikamana naye. Hivyo aliwafurahisha watawala na umma kwa Hadithhii ambayo ilimuongezea hadhi khalifa wao mpendwa miongoni mwaumma.

21. Abu Talib akataa kutamka Shahada:

Abu Huraira amesema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimwambia ami yakeAbu Talib: “Sema kwamba hakuna mungu isipokuwa Allah na mimi

156

Abu Huraira

207 Ami yao Mtukufu Mtume na Ali (a.s.)208 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 124

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 156

Page 166: Abu Huraira

nitakuja kulishuhudia hilo kwa ajili yako katika Siku ya Kiyama.” Amiyake akasema: “Ningelisema hilo ili kukuliwaza wewe lakini nilihofiakwamba Maquraishi wangenilaumu na kusema kwamba alilifanya hilokwa sababu ya kukosa uvumilivu.” Hivyo Allah akamshushia MtumeWake aya hii: “Kwa hakika wewe huwezi kumuongoza umpendaye,lakini Mwenyezi Mungu humuongoza amtakaye, …..” (28:56)

Abu Huraira amesema mahali pengine: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimwambia ami yake wakati alipokuwa anafariki: “Sema kwamba hakunamungu isipokuwa Allah nami nitalishuhudia kwa ajili yako Siku yaKiyama.” Ami yake alikataa kusema hivyo. Kwa hiyo Allahakamteremshia Mtume Wake (s.a.w.w.): “Kwa hakika wewe huwezikumuongoza umpendaye, lakini Mwenyezi Mungu humuongozaamtakaye, …..”209

Abu Talib, Mwenyezi Mungu awe na huruma juu yake, alifarika katikamwaka wa kumi wa utume wa Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.),yaani miaka mitatu kabla ya hijra. Ilisemekana pia kwamba alifariki kati-ka mwaka wa tisa au wa nane. Hivyo alifariki miaka kumi kabla AbuHuraira hajafika Hijaz. Basi ni vipi Abu Huraira awakute Mtukufu Mtumena ami yake wakati wakiwa wanazungumza kuhusu hicho alichokisimuliakana kwamba aliwaona kwa macho yake na kuwasikia kwa masikio yake?Bali alikuwa mmoja wa wale ambao imani na akili zao hazikuwaongozeandimi zao!

Hadith hii ilikuwa ni moja kati ya zile nyingi ambazo zilibuniwa na mam-luki kuwapendeza maadui wa Ali (a.s.) na kizazi chake. Dola ya BaniUmayyah ilijaribu kila kilichowezekana kuieneza. Kulikuwa na vitabuvingi vilivyoandikwa na wanachuoni kukanusha riwaya hii na kuthibitishaimani ya Abu Talib kwa ushahidi wa dhahiri. Yeyote yule anayetaka kujuaukweli wa uaminifu wa Abu Talib na uchamungu wake, yeye ambaye ni

157

Abu Huraira

SS209 Rejea Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 31

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 157

Page 167: Abu Huraira

ami yake Mtume, ambaye aliwajibika juu ya Mtukufu Mtume tangu utotowake (s.a.w.w.), akamlea na kumkuza, akamhifadhi na kumlinda yeye, basiarejee kwenye vitabu hivyo.210

Abu Talib alisema katika moja ya mashairi yake:

“Ewe Allah, kuwa Wewe ni shahid,Nimeamini katika ujumbe wa Muhammad.211

22. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alionya kabila lake:

Masheikh wawili hawa212 wamesimulia kwamba Abu Huraira alisema:“Wakati Mwenyezi Mungu alipomshushia Mtukufu Mtume: “Na uwaonyejamaa zako wa karibu.” (26:214) alisimama na akasema: “Enyi watu waQuraishi, mimi sibadiliki kwa ajili yenu karibu na Mwenyezi Mungu (kati-ka Siku ya Kiyama). Enyi wana wa Abd al-Manafi, sibadiliki kwa ajiliyenu mbele ya Mwenyezi Mungu. Oh, Abbas, sibadiliki kwa ajili yakombele ya Mwenyezi Mungu. Oh, Safiyya, sibadiliki kwa ajili yako mbeleya Mwenyezi Mungu. Oh, Fatima binti Muhammad, omba chochote kati-ka mali yangu bali sitabadilika kwa ajili yako mbele ya MwenyeziMungu.”213

158

Abu Huraira

210 Rejea ‘al-Hujja ala ath-Thahib ila Takfiir Abu Talib’ cha Imam Shamsud-DiinAbu Ali Fakhar bin Sharif Ma’d al-Musawi na ‘Sheikh al-Abtah’ cha SayyidMuhammad Ali Sharafud-Diin al-Musawi.211 Abu Talib alikuwa na ushairi mwingi unaoonyesha imani yake.212 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 86, Sahih Muslim na Musnad Ahmad.213 Quraishi lilikuwa ni kabila kubwa lililokuwa likiisha mjini Makka. AbdManaf alikuwa ni mmoja wa babu zake Mtukufu Mtume. Abbas alikuwa ami yake.Safiyya alikuwa ni shangazi yake na Fatima alikuwa ni binti yake Muhammad(s.a.w.w.)

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 158

Page 168: Abu Huraira

Aya hii ya Qur’ani ilishushwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwanzonikabisa mwa Uislam na kabla haujaenea mjini Makka, ambapo Abu Hurairaalikuwa bado yuko Yemen. Alikuja Hijaz miaka ishirini baada ya kushukakwa aya hii. Ameikata Hadith hiyo na kuigeuza kama kawaida kulinganana sera za Bani Umayyah na masharti ya propaganda yao dhidi ya ImamAli na Bani Hashim. Wakati aya hii iliposhuka kwa Mtume (s.a.w.w.) yeyealiwakusanya jamaa zake, miongoni mwao wakiwemo ami zake, AbuTalib, Hamza, al-Abbas (Mwenyezi Mungu awe radhi nao) na Abu Lahabi(laana juu yake) na akawataka wamuamini Mwenyezi Mungu. Yeye ali-waambia: “Ni yupi kati yenu atakayenisaidia kutekeleza kazi yangu hii naawe ndugu yangu, waziri wangu, mlinzi, mrithi na mwandamizi (khalifa)wangu?” Ali, ambaye alikuwa ndio mdogo kabisa kati yao wakati huoalisema: “Mimi nitakuwa waziri wako katika kutekeleza kazi yako hiyo.”Mtukufu Mtume aliishika shingo ya Ali na akasema: “Huyu ni nduguyangu, waziri, mlinzi, mrithi na khalifa wangu kwenu. Msikilizeni namumtii.”214

23. Wahabeshi wacheza ndani ya msikiti:

al-Bukhari amesimulia kwamba Abu Huraira amesema: “WakatiWahabeshi walipokuwa wakicheza na singe zao mbele ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) ndani ya msikiti, Umar aliingia na akaanza kuwarushiachangarawe. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamwambia Umar: “waachewaendelee kufanya hivyo.”215

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa mbali sana na mchezo na juu zaidikuliko utovu wa adabu na purukushani. Yeye alijua vizuri sana, zaidikuliko mtu yoyote yule, juu ya yale matendo yaliyokatazwa. Asingewezakamwe kuwaruhusu watu wasiojua kucheza ndani ya Msikiti mbele yake.Alikuwa na shughuli wakati wote na majukumu ya ki-Mungu. Hakuwa na

159

Abu Huraira

214 Rejea kwenye al-Muraj’at ya Sharafud-Diin al-Musawi.215 Ndani ya Sahih al-Bukhari Jz. 2, uk. 120

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 159

Page 169: Abu Huraira

muda wa kutumia kwa mchezo au upuuzi. Alikuwa mbali zaidi nakuruhusu msikiti wake mtukufu kuwa wa mchezo na upuuzi. “ ….. ni nenokubwa litokalo katika vinywa vyao, hawasemi ila uongo tu.” (18:5)

24. Kubatilisha kabla ya wakati wa utekelezaji:

al-Bukhari amesimulia kwamba Abu Huraira alisema: “Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alitutuma sisi katika msafara na akatuambia: “Kama mkiwaona(hao watu wawili), wachomeni kwa moto!” Kisha wakati tunakaribiakuondoka akatuambia: “Niliwaamrisheni kuwachoma (watu wale wawili)kwa moto, lakini hakuna wa kutesa kwa moto isipokuwa MwenyeziMungu. Hivyo kama mkiwapata hao basi wauweni wote.”

Hadith hii haikuwa sahihi kwa sababu ilionyesha kubatilishwa kwa amrikabla ya kuitekeleza. Ilikuwa haiwezekani kwa Mwenyezi Mungu naMtume wake kufanya hivyo. Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliposema– wachomeni kwa moto – ilifunuliwa kwake na Mwenyezi Mungu: “Walahazungumzi kwa matamanio yake, bali ni wahyi ulioteremshwa.”(53:3-4), hivyo pale Mtume alipoibatilisha (kwa mujibu wa wahyi waMwenyezi Mungu) kabla ya kuitekeleza hilo lingeonyesha kutokujua kwaMwenyezi Mungu! Allah aepushilie mbali hilo! Utukufu ni wa Kwake,Aliye juu Mwenye Enzi.”

25. Kufanya jambo katika kipindi kisichoaminika:

al-Bukhari ameeleza kwamba Abu Huraira amesema: “Mtukufu Mtume(s.a..w.w.) amesema: “Qur’ani tukufu ilirahisishwa kwa nabii Daudi.Aliamuru watu wake kutandika mnyama wake wa kipando na alimalizakusoma Qur’ani kabla hawajamaliza kumtandika mnyama huyo.”216

Ilikuwa haiwezekani kwa njia mbili;Kwanza: Qur’ani iliteremshwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w.) na

160

Abu Huraira

216 Sahih al-Bukhari Jz. 3, uk. 101 na Jz. 2, uk. 164

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 160

Page 170: Abu Huraira

haikushushwa kabla ya hapo. Ni vipi aliisoma nabii Daudi? Watetezi waAbu Huraira walihalalisha hilo kwa kusema yeye kwa kusema Qur’ani ali-maanisha Zaburi na Taurati kwa sababu vitabu hivyo vilikuwa ni muujizakama ilivyokuwa Qur’ani.

Waliitafsiri riwaya ya Abu Huraira kama walivyotaka na sio kamamwenyewe alivyomaanisha. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mtambuzi zaidi!

Pili: Huo muda wa kumtandika mnyama huyo wa kipando ulikuwa mfupisana kwa Daudi kuweza kusoma hiyo Qur’ani, iwapo alimaanisha Qur’aniya Muhammad au hiyo Zaburi na Taurati. Ni dhahiri kwamba akilihaikubali mambo haya yasiyowezekana.

Hivyo ilikuwa ni upuuzi kile al-Qastalani alichokisimulia kuhusiana na hiliwakati aliposema: “Hadith hii imethibitisha kwamba Mwenyezi Mungualifupisha wakati kwa ye yote aliyemtaka kati ya watu wake kama alivy-ofupisha umbali kwa ajili yao. An-Nawawi amesema: “Baadhi ya watuwaliisoma Qur’ani yote mara nne wakati wa usiku na mara nne wakati wamchana. Nilikuwa nimemuona Abut-Tahir huko Jerusalem katika mwakawa mia nane na sitini na saba hijiria na nilikuwa nimesikia wakati huokwamba alikuwa akiisoma Qur’ani yote zaidi ya mara kumi ndani ya usikuna wakati wa mchana. Sheikhul-Islam al-Burhan bin Abu Shariif alini-ambia kwamba Abut-Tahir alikuwa ameisoma Qur’ani mara kumi na tanondani ya mchana na usiku. Hili ni jambo ambalo hatuwezi kulielewaisipokuwa kwa kulirudisha kwenye upaji na uwezo wa ki-Mungu.”

Kamwe halitawezekana isipokuwa pale tutakapoweza kuiweka duniandani ya yai. Watu wenye akili na busara wanajua vema kwamba kuminyamuda na umbali ni jambo lisilo na kweli ni njozi. Hebu chukulia kwambahilo lingekuwa kweli. Lilikuwa na faida gani basi? Lingeweza kusababishamatatizo mengi tu.

161

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 161

Page 171: Abu Huraira

Kama angezungumzia kuhusu kuibana hotuba, hiyo ingeweza kuwa yakufaa zaidi ingawaje ingekuwa ni ndoto. Hadith hii haingeweza kuchukuli-wa kama muujiza kwa ajili ya Nabii Daudi (a.s.) kwa sababu miujizailikuwa ni mambo ya ajabu lakini alichokizungumzia Abu Huraira katikaHadith hii kilikuwa kilichokosa mantiki zaidi kabisa.

26. Umma uligeuzwa kabisa na kuwa mapanya:

Masheikh wawili hawa walisimulia kwamba Abu Huraira alisema:“Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Umma wa wana wa Israili ulikuwaumepotea na hawakujua ni nini walichokuwa wamekifanya. Nafikiriwaligeuzwa na kuwa panya, kwa sababu wakati panya walipopewa mazi-wa ya ngamia hawakuyanywa na walipopewa maziwa ya kondoowaliyanywa.”

Ulikuwa ni upuuzi kiasi gani ambao hata watu wapumbavu wangewezakuubeza, labda kama wangekuwa wendawazimu. Lakini masheikh hawawawili walimwamini punguani huyu na wakasimulia vichekesho vyakekama ushahidi. Kama yale aliyoyasema hayakuaibisha Uislam, tungewekakamba yake kwenye shingo yake na tukamuacha ale majani kwa uhurukabisa pamoja na wengine kama yeye. lakini tulilazimika kuitetea ileSunna isiyo na makosa kwa uwezekano wowote ambao tungeweza, kwasababu itikadi hizi za kidhana zilikuwa ndio mapungufu mabaya kabisayaliyouumiza Uislamu.

27. Wanaikataa Hadith yake, hivyo anabadili mawazo:

Muslim amesimulia kwamba Abdul-Malik bin Abu Bakr amesema kwam-ba Abu Bakr alisema: “Nilimsikia Abu Huraira akisimulia katika riwayazake:217 “Yeyote ambaye alikuwa hana tohara wakati ilipoingia al-Fajr,

162

Abu Huraira

217 Alimbeza yeye wakati alipomchukulia yeye kama mhadithiaji, ambayealipokea pesa kwa ajili ya kusimulia hekaya.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 162

Page 172: Abu Huraira

alikuwa asifunge.” Nilimuelezea Abdul-Rahman juu ya hilo naye aka-muuliza baba yake. Baba yake alilikanusha hilo. Abdul-Rahman na mimitukaenda kwa Aisha na Umm Salama (wake za Mtume). Abdul-Rahmanakawauliza na akaniambia mimi kwamba: “Wote wawili wamesemakwamba Mtukufu Mtume alikuwa hana tohara asubuhi moja bila ya kuotana kunajisika218 na alifunga. Halafu tukaenda kwa Marwan ambayealikuwa Gavana wa Madina aliyewekwa na Mu’awiyah. Abdul-Rahmanalimwambia Marwan hilo. Marwan akasema: “Nakuombeni muende kwaAbu Huraira akakanushe riwaya yake.”219 Tulikwenda kwa Abu Huraira.Abdul-Rahman akamweleza hilo. Yeye akasema: “Wao (wake za Mtume)wamesema hivyo?” akasema: “Ndio, walisema hivyo.” Abu Hurairaakasema: “Wao walijua zaidi kuliko mimi. Niliisikia hiyo kutoka kwa al-Fadhl na wala sikuisikia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).” Alibadilimawazo yake na kuihusisha Hadith hiyo na al-Fadhl.220

Ilikuwa ni hakika kwamba al-Fadhl alifariki wakati wa utawala wa AbuBakr221 na suala hili lilijitokeza wakati wa utawala wa Mu’awiyah. Hivyoilikuwa ni rahisi kwa Abu Huraira kusema kwamba alikuwa ameisikiakutoka kwa al-Fadhl na sio kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kamaal-Fadhl angekuwa yuko hai, Abu Huraira asingethubutu kusema hivyo.

163

Abu Huraira

218 Mtukufu Mtume alikuwa mkamilifu kabisa, aliyeheshimiwa na kutukuzwakuliko walivyofikiri wao. Alikuwa mbali sana na ukosa tohara na ndoto za kuna-jisika nazo hususan wakati wa siku za kufunga. Mitume wote hawakuwa na ndotokama hizo. Walitukuka na walikuwa maasum. 219 Marwan alitaka kuweka heshima ya Abu Huraira kabla habari hizo hazijaeneana kumsababishia kashfa.220 Rejea kwenye Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 412221 Hili lilikuwa ni sahihi ingawa ilisemekana kwamba alifariki wakati wautawala wa Umar. Vyovyote iwavyo, yeye alifariki kabla ya suala hili kutokea.Rejea kwenye wasifu wa al-Fadhl ndani ya Isti’ab, Issaba, Usudul-Ghaba,Tabaqat Ibn Sa’d na vitabu vinginevyo.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 163

Page 173: Abu Huraira

28. Hadith mbili zinazopingana:

Al-Bukhari amehadithia riwaya222 iliyosimuliwa na Abu Salama kwambaAbu Huraira alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‘Hakunamaambukizi, hakuna Safar223 na hakuna Hama.224” Mmoja wa mabeduialimuuliza Mtume (s.a.w.w.): ‘Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu,ngamia wetu wanatembea juu ya mchanga kama swala, lakini wanakuwa-je, wakati wanapochanganyika na ngamia wenye upele na wao wanakuwana upele?’ Mtukufu Mtume akauliza: ‘Basi ni nani aliyemuambukiza huyowa kwanza?’”

Moja kwa moja baada ya Hadith hii, al-Bukhari alisimulia Hadith nyinginekutoka kwa Abu Salama kwamba yeye alimsikia Abu Huraira akisema:“Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Hakuna mgonjwa anayepaswakuchanganyika na wenye afya njema.” Abu Salama akamwambia AbuHuraira: “Wewe hukusimulia kwamba hakuna maambukizi.” Yeye aliikanaHadithi yake ya kwanza225 na akaanza kunung’unika kwa ki-Abyssinia.’”226

164

Abu Huraira

222 Rejea kwenye Sahih al-Bukhari, Jz. 4, uk. 15; na Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 258223 Pengine alikataa kile waarabu walichofikiria kwamba katika mwezi huu waSafar mabalaa mengi hutokea, hususan katika Jumatano yake ya mwisho.224 Ndege, ambaye Waarabu wa kabla ya Uislamu walisingizia kwamba nafsi aumifupa ya wafu iligeuka kuwa ndege huyo. Uislamu ulikanusha ushirikina huu.Inaweza kusemekana pia kwamba Hama alikuwa ni bundi, ambaye waliona daliliya bahati mbaya ndani yake, na wakati Uislamu ulipokuja ulilikanusha hilo.225 Hofu ilikuja kuwa kubwa kwa mshonaji kufanya marekebisho (methali). Nivipi watetezi wa Abu Huraira watakavyozitafsiri Hadith hizi mbili ili kuepukamgongano uliopo baina yao?226 Alinung’unika kwa ki-Abyssinia kwani Kiarabu chake kilishindwa baada yakuwa amechanganyikiwa asijue la kusema.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 164

Page 174: Abu Huraira

Hii wakati wote imekuwa ndio hali ya wale wanaotembea katika njiambili!

“Hili ni tangazo liwafikie watu (wote) liwaonye, na wapate kujua yeyeni Mwenyezi Mungu Mmoja tu, na ili wenye akili wakumbuke.”(14:52)

29. Watoto wawili waliozaliwa na kuongea kuhusu Ghaib:

Masheikh hao wawili wameandika227 Hadith kutoka kwa Abu Hurairakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Kulikuwa na Myahudimmoja aliyeitwa kwa jina la Jurayj. Wakati alipokuwa anaswali, mamayake alikuja na kumwita. Alijiambia mwenyewe: “Sasa nimjibu yeye auniendelee na swala yangu?” Mama yake akasema: “Oh, Allah, usimfanyeafariki mpaka atakapokutana na wale makahaba.” Siku moja wakati Jurayjalipokuwa ndani ya makao yake ya utawa, kahaba mmoja alikujakumshawishi. Yeye alikataa kumkubalia. Kahaba huyo akaenda kwamchunga kondoo na akafanya mapenzi naye. Alizaa mtoto wa kiume naakasingizia kwamba alikuwa ni mtoto wa Jurayj. Watu wakamjia Jurayj,wakabomoa nyumba yake ya utawa, wakamuangusha na kumdhalilisha.Yeye akachukua wudhuu,228 akaswali kisha akaja kwa yule mtoto aliyeza-liwa. Alimuuliza yule mtoto: “Baba yako ni nani?” Yule mtoto mchangaakajibu akasema: “Baba yangu ni yule mchunga kondoo.” Watuwakamwambia Jurayj: “Tutakujengea nyumba yako ya utawa kwa dha-

165

Abu Huraira

227 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 49; Jz. 1, uk. 143 na Sahih Muslim, Jz. 2,uk. 377.228 Hivi Abu Huraira hakujua kwamba wudhuu haukuwa umepitishwa kama she-ria kabla ya Uislamu?

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 165

Page 175: Abu Huraira

habu.” Yeye akasema: “Si kwa chochote isipokuwa udongo wa ufinyanzi.”Wakati mwanamke wa kiyahudi alipokuwa anamnyonyesha mwanawe,mtu mmoja akiwa kwenye kipando chake alipita karibu naye. Mama huyoakasema: “Oh Allah, mfanye mwanangu awe kama yeye.” Yule mtoto ali-acha titi la mama yake na akasogea karibu na yule mtu na akasema: “OhAllah, usinifanye niwe kama yeye.” Kisha akarudi kuendelea kunyonyaziwa la mama yake. (Abu Huraira akasema: kana kwamba nilikuwanamuona Mtukufu Mtume akinyonya kidole chake!). Halafu yule mamaakapita karibu na mwanamke mfungwa. Akasema: “Oh Allah, usimfanyemwanangu kuwa kama mwanamke huyu mfungwa.” Yule mtoto akaachaziwa la mama yake na akasema: “Oh Allah, nifanye niwe kama yeye(mwanamke) huyu.” Mama yule akamuuliza mwanawe: “Kwa nini ume-fanya hivyo?” Mtoto akasema: “Yule mtu mwenye kipando alikuwa nimmoja wa madhalimu, lakini kuhusu yule mfungwa wa kike, watu walise-ma: “Zainabu ameiba,” lakini yeye hakuiba.”

Jurayj hakuwa mtume wala hata mmojawapo wa hao watoto wawili.Hapakuwa na sababu yoyote ya kutokea kwa miujiza hapo.Walichokifanya watoto hao wawili kilikuwa kinyume na maumbile “…..ndilo umbile Mwenyezi Mungu alilowaumbia watu. Hakuna mabadi-liko katika maumbile ya viumbe wa Mwenyezi Mungu, hiyo ndiyo diniiliyo ya haki lakini watu wengi hawajui.” (30:30)

30. Shetani aiba kwa ajili ya wanawe wenye njaa:

Al-Bukhari amehadithia kwamba Abu Huraira alisema: “MtumeMuhammad (s.a.w.w.) aliniaminisha na uwekaji wa zaka za Ramadhani.Mtu mmoja alikuja (nyumbani kwangu) na akaanza kukusanya baadhi yachakula (cha zaka). nilimkamata na nikasema: “Wallahi nitakupeleka kwaMtukufu Mtume.” Yeye akasema: “Mimi nina shida sana na nina watoto.”Mimi nikamwacha huru. Asubuhi yake Mtume akaniambia: “Mtu wakouliyemkamata alifanya nini jana usiku?” Nikasema: “Alinilalamikiakwamba alikuwa na shida sana na kwamba alikuwa na watoto wenye njaa.

166

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 166

Page 176: Abu Huraira

Nilimuonea huruma nikamuacha huru.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akase-ma: “Yeye alikuambia uongo. Atakuja tena.” Nilimuangalia kwa tahadhari.Alikuja tena na akaanza kukusanya chakula. Nilimkamata na nikasemakwamba nitampeleka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Yeye akasema:“Mimi nina shida na ninao watoto. Niachie niende na sitarudi tena.”Asubuhi yake Mtume akaniambia: “Mateka wako alifanya nini janausiku?” Nikasema: “Alinilalamikia kwamba alikuwa na shida na alikuwana watoto. Nikamhurumia na nikamuacha huru.” Yeye, Mtume (s.a.w.w.)akasema: “Huyo alikuambia maneno ya uongo. Atarudi tena huyo.”Nilimchunga katika usiku wa tatu yake. Yeye akaja tena na akaanza kuku-sanya chakula. Mimi nikamkamata na nikamwambia kwamba nitampelekakwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Yeye akasema: “Ngoja nikufundishemaneno fulani ambayo Mwenyezi Mungu atakunufaisha kwayo. Wakatiunapokwenda kulala, soma Qur’ani ayat al-Kursi. Utalindwa na Malaikana Shetani hatakusogelea mpaka asubuhi.” Nikamwacha huru. Asubuhiyake Mtume akaniuliza: “Mateka wako amefanya nini usiku wa jana?”Mimi nikamweleza yale yote yaliyotokea usiku.Yeye akasema: “Hivi una-jua uliongea na nani kwa mikesha yote mitatu iliyopita?” Mimi nikasema:“Hapana, simjui ni nani.” Yeye akasema: “Huyo alikuwa ni Shetani.”

Huu ulikuwa ni ushirikina ambao hakuna ambaye angeuamini isipokuwayule ambaye akili yake ilikuwa likizo au ana ugonjwa wa akili. AbuHuraira alitumbukia kwenye shimo refu na Hadithi hii. Pale alipomuoneahuruma yule mwizi ina maana kwamba alimuamini. Katika kumwaminimwizi, Abu Huraira aliikataa ile Hadith ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) vilealipomwambia yeye: “Huyo amesema uongo” mara tatu.

Abu Huraira alianguka mpaka chini kwenye upande ule mwingine palealipoapa kwa jina la Allah kwamba angempeleka mwizi huyo kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) lakini akavunja kiapo chake na akawa na huru-ma juu ya mwizi huyo na akamwacha huru kwa mara ya kwanza, ya pili naya tatu. Hivi kuvunja kiapo kwa mujibu wa mawazo ya Abu Hurairakulikuwa kunaruhusiwa?

167

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 167

Page 177: Abu Huraira

Kulikuwa na mweleka wa tatu ambao haungeweza kusameheka. AbuHuraira alikuwa haruhusiwi kutoa kitu kutoka kwenye zaka bali aliamin-ishwa kuichunga tu kama alivyosema mwanzoni mwa riwaya yenyewe.229

Hivyo ni vipi alimruhusu mwizi huyo kutwaa kutoka kwenye zaka? Je,ilikuwa inaruhusiwa kwa mdhamini kuvunja hazina yake mara tatu mful-ulizo? Baada ya uvunjaji huu, je anaweza kuelezewa kuwa ni mwenyekuaminika?

Ni riwaya za ajabu kiasi gani ambazo Abu Huraira ametusimulia kuhusuShetani! Wakati mmoja alisema kwamba alikuja kuiba chakula kwa ajili yawatoto wake. Katika wakati mwingine amesema kwamba angekimbia namashuzi yake iwapo angesikia Adhana. Katika mara ya tatu alisema kwam-ba Shetani alikuwa amefungwa kwenye nguzo ndani ya msikiti ili aonwena watu wote, na riwaya nyingine nyingi, ambazo watu wenye akili tima-mu na busara zao wangeweza kudharau kuzisikiliza. TunamuombaMwenyezi Mungu atuepushe na unyongevu wa akili!

31. Mama yake Awa Mwislam kwa dua ya Mtume (s.a.w.w.):

Muslim amesimulia230 kwamba Abu Huraira alisema: “Nilikuwa nikim-lingania mama yangu ili awe Mwislam wakati alipokuwa mshirikina. Sikumoja nilipokuwa ninamlingania juu ya hilo, yeye akamkashifu MtukufuMtume (s.a.w.w.). Mimi nilikwenda kwa Mtukufu Mtume na nilikuwaninalia. Nilimwambia: “Mama yangu amekukashifu wewe. Tafadhalimuombee kwa Mwenyezi Mungu.” Yeye akasema: “Ewe Allah, tafadhalimuongoze mama yake Abu Huraira.” Nikatoka nje nikiwa mwenye furahatele. Nilipofika nyumbani nilikuta mlango umefungwa. Mama yanguakasikia shindo za miguu yangu. Yeye akasema: “Bakia hapo hapo ulipo,ewe Abu Huraira.” Nilisikia sauti ya mmiminiko wa maji. Alioga na

168

Abu Huraira

229 Rejea al-Irshad as-Sari ya Qastalani, Jz. 5, uk. 231230 Katika Sahih yake, Jz. 2, uk. 357; Musnad Ahmad Hanbal, Jz. 2, uk. 319; IbnSa’d katika Tabaqat, Jz. 4, uk. 54 na Ibn Hajar katika kitabu chake, al-Issaba.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 168

Page 178: Abu Huraira

akavaa nguo zake na ushungi wa hijab na kisha akafungua mlango.Akasema: “Nashuhudia kwamba hakuna mungu isipokuwa MwenyeziMungu na kwamba Muhammad ni mja na Mtume Wake.” Nilirudi kwaMtume (s.a.w.w.) na nilikuwa ninalia kwa sababu ya furaha. NilimwambiaMtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Furahia! Mwenyezi Mungu amejibu duayako. Amemuongoza mama yangu.” Mtume (s.a.w.w.) alimtukuzaMwenyezi Mungu. Mimi nikamwambia: “Ewe Mjumbe wa Allah niombeekwa Mwenyezi Mungu anifanye nipendeke mimi na mama yangu kwawaumini na sisi tuwapende pia.” Yeye Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Oh,Allah mpendezeshe mja wako huyu na mama yake kwa waumini nauwapendezeshe waumini kwao hawa.” Hivyo kila muumini, ambaye alin-isikia au kuniona mimi alinipenda.”

Tunayo maelezo kiasi kuhusu Hadith hii:Kwanza: Hadith hii haikuwa imesimuliwa kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na mtu mwingine isipokuwa Abu Huraira peke yake. Hivyo ni yakuchukuliwa kama nyinginezo zinazofanana nayo.

Pili: Kama mama yake alikuwa ni mshirikina, alisisitiza ushirikina naukafiri, akakataa kuwa Mwislam na akamkashifu Mtukufu Mtume kilaalipolinganiwa kuwa Mwislam, hivyo ni kwa nini alihama kutoka Yemen,mahali alipozaliwa na nchi yake, kuja Madina, nchi ya Uislam na makaomakuu ya Mtukufu Mtume na wasaidizi wake? Kwa nini asikae, kamaalivyokuwa mwanzo, ndani ya nchi yake na masanamu yake kama watuwengine wa Yemen kwa wakati ule? Ni vipi watetezi wa Abu Hurairawatakavyojibu swali hili? Hivi wanajua lolote kuhusu kuhama kwake,kuwa kwake Mwislam na mambo mengine kuhusu yeye yaliyotajwa namtu mwingine mbali na Abu Huraira? Kama wanalo lolote kuhusu yeye,hebu nawatuelekeze kwenye hilo. Mimi, Wallahi sikuona yeyote kati yamasahaba aliyemtaja yeye isipokuwa khalifa Umar wakati alipomuon-dosha kutoka kwenye falme ya Bahrain. Yeye alimwambia: “Umaymaalikuchukua wewe kwa sababu ya kuchunga punda tu.” Hili halikuonyeshalolote zaidi ya kujua jina lake mama huyo. Wanahistoria wamemtaja kwa

169

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 169

Page 179: Abu Huraira

mujibu wa kile Abu Huraira alichokisema kuhusu yeye na hakunamwingine tena.

Tatu: Abu Huraira alikuwa mmoja wa wakazi masikini kabisa wa Suffa.Aliomba watu kwenye mitaa kumpatia cha kutafuna ili kumuweka hai.Umemsikia yeye alipozungumza kuhusu yeye mwenyewe wakati wautawala wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba mara kwa mara alikuwaakizimia kati ya mimbari ya Mtume na chumba cha Aisha na wageniwaliokuja pale waliweka miguu yao juu ya shingo yake wakidhania kwam-ba alikuwa mwendawazimu lakini hakuwa na wendawazimu chochote.Ilikuwa ni kwa sababu ya njaa. Umemsikia kukiri kwake kuhusu yeyemwenyewe na wakazi wengine wote wa Suffa. Walikuwa hawana nduguwala nyumba. Walikuwa wakilala ndani ya msikiti huo. Hiyo baraza(Suffa) ya msikiti huo ilikuwa ndio nyumbani mwao wakati wa mchana nausiku. Abu Huraira alikuwa ndiye maarufu sana kati ya wale walioishihapo Suffa. Kwa kweli yeye alikuwa ndiye muanzishaji wa Suffa. Hivyonyumba hiyo aliipata kutoka wapi, ambayo ameizungumzia juu yake ndaniya Hadith hii?

Nne: Kama kile alichokisema Abu Huraira ndani ya riwaya hii kilikuwa nicha kweli, ingekuwa ni moja ya dalili za utume na Uislamu ambamoMwenyezi Mungu alijibu dua ya Mtukufu Mtume mara moja na kumuon-goza mama yake Abu Huraira na akamgeuza yeye kutoka kwenye kuwamwingi wa kufuru na kupotoka na kuwa mtiifu mwaminifu.231

Dalili na miujiza ya utume huo ilikuwa maarufu sana na ilienea. Masahabawote waliisimulia. Kwa nini waligeuzia migongo yao mbali na dalili hiikiasi kwamba hakuna aliyeisimulia isipokuwa Abu Huraira?

Tano: Kama ilikuwa kweli kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuom-ba Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Abu Huraira na mama yake kuwapen-

170

Abu Huraira

231 Abu Huraira alisema kwamba mama yake alioga na kuvaa nguo zake nahijab, kisha akafungua mlango.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 170

Page 180: Abu Huraira

dezesha kwa waumini na kuwapendezesha waumini kwao wao, familia yaMtume, ambao walikuwa ndio mabwana wa waumini na viongozi waumma na dini, na wao wangempenda yeye. Kama ilikuwa hivyo basi kwanini wale Maimam kumi na mbili na mafaqihi wa wafuasi wao wal-imshusha hadhi na hawakuwa na habari kabisa na riwaya zake? Hawakutoamazingatio yoyote kwenye riwaya zake. Imam Ali (a.s.) alisema:232

“Muongo kabisa wa watu, au alisema: muongo kabisa wa watu walio haini Abu Huraira ad-Doussi.”

Kama Abu Huraira alikuwa akipendwa na waumini na wao walipendwa nayeye, basi Umar wakati alipokuwa akimwondosha kutoka falme yaBahrain asingesema kumwambia: “Ewe adui wa Allah na adui wa Qur’aniYake, wewe uliiba mali ya Waislamu ….. na kadhalika.” Ni vipi adui waMwenyezi Mungu apendwe na waumini na wao wapendeze kwake?Wakati mmoja Umar alimpiga kwenye kifua chake233 ambapo aliangukachini. Wakati mwingine alimpiga kwa fimbo yake mpaka akamjeruhimgongo wake na akachukua kutoka kwake dinari elfu kumi alizokuwaameziiba kutoka kwenye hazina ya Waislamu. Alimpiga yeye kwa mara yatatu wakati alipomwambia:234 “Umesimulia Hadith nyingi za MtukufuMtume (s.a.w.w.) na nadhani umebuni na kusema uongo mwingi.” Sikumoja Umar alimwambia kwa hasira: “Inakubidi uache kusimulia Hadithlaa sivyo nitakufukuza na kukuhamishia kwenye nchi ya Yemen au nchi yamanyani.”235

Kulikuwa na matukio mengi mengine ambayo yalitokea kati ya AbuHuraira na Abdullah ibn Abbas na kati yake yeye na Aisha na wengine

171

Abu Huraira

232 Kulikuwa na riwaya nyingi sana zilizosimuliwa na Maimam Ma’sumin zenyemaana hiyo hiyo. Rejea kwenye Sharh an-Nahjul-Balaghah ya Abu Ja’far al-Askafi, Jz. 1, uk. 360233 Rejea Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 334234 Rejea kwenye Sharh an-Nahj al-Hamiid, Jz. 1, uk. 360235 Rejea kitabu Kanzul-Ummal cha ibn Assakir, Jz. 5, uk.239

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 171

Page 181: Abu Huraira

ambayo hayakuonyesha dalili zozote za upendo.

Ndio, kulikuwa na mapenzi baina yake na familia ya Abul Aass, AbuMu’iit na Abu Sufyan. Hadith zake zilimpendezesha kwao kwani walipatalile lengo lao walilokuwa wakilitafuta kwa muda mrefu ndani ya Hadithhizo la kueneza propaganda zao za uongo. Walichopendelea kwake ni zilefadhila na zawadi zao. Walimstawisha baada ya kififia kwake na wakam-fanya maarufu baada ya utusitusi wa kutojulikana kwake. Marwan bin al-Hakam mara kwa mara alimteua kama naibu wake kila alipoondokaMadina.236 Alimuoza kwa Bisra binti Ghazwan ambaye alikuwa hawezihata kumuangalia mpaka hapo Bani Umayyah walipofanya hilo lakumuoza. Alipougua kabla ya kufariki kwake, Marwan alimtembelea marakwa mara, akimzawadia na kumuombea apone na apate afya njema.Wakati Abu Huraira alipofariki, Marwan alikuwa mstari wa mbele katikamazishi yake. Mtoto wa Uthman alibeba jeneza lake mpaka walipofikaBaqii. al-Waliid bin Utbah bin Abu Sufyan aliongoza swala ya maiti naakatuma mjumbe kwa ami yake, Mu’awiyah akimuelezea juu ya kifo chaAbu Huraira. Mu’awiyah aliamuru kulipwa kwa warithi wa Abu Hurairadinari elfu kumi na kuwatunza kwa wema. Uliona matunzo na fadhila zaBani Umayyah kwa Abu Huraira na utii wake wa kutumikia. Je, waowalikuwa ndio waumini ambao Mwenyezi Mungu aliwapendezesha kwakena kumpendezesha yeye kwao kwa mujibu ya istilahi yake?

32. Mtumishi wa Abu Huraira:

Al-Bukhari amesimulia kwamba Abu Huraira alikuwa amesema: “Wakatinilipokuja kutoka Yemen kuja kukutana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)hapa Madina, nilijisemea humo njiani: Ni usiku mrefu wenye matatizokiasi gani huu! Lakini nilikuwa nimeokolewa kutoka kwenye nchi yaukafiri. Mtumishi wangu alitoroka humo njiani mwangu kuja Madina.

172

Abu Huraira

236 Rejea kwenye Tabaqat ya Ibn Sa’d; al-Ma’arif ya ibn Qutayba na MusnadAhmad

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 172

Page 182: Abu Huraira

Nilifika kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na nikamtolea heshima zangukwake. Wakati nilipokuwa na Mtume, mtumishi wangu akatokea. MtukufuMtume (s.a.w.w.) akaniambia: “Oh, Abu Huraira, huyu ni mtumishi wako.”Mimi nikasema: “Nilimuacha huru kwa ajili ya Mwenyezi Mungu.”

Abu Huraira alichanganya akili za watu na kushangaza hisia! Alisemakwamba alikua kama yatima na pale alipohama alikuwa masikini sana.Aliajiriwa na fulani bin fulani kwa ajili ya chakula tu. Aliongoza vipandovyao walipokuwa wamepanda na aliwatumikia pale waliposhuka. Baadaya hapo alifanya kuwa alikuwa na mtumishi wakati alipohama na kishaakamwacha huru kwa ajili ya Allah! Ni wazi kwamba alihadithia riwaya hiikatika siku zake za mwisho za uhai wake alipokuwa anafurahia starehe zafadhila za Bani Umayyah. Hivyo alisahau vile alivyokuwa wakati wakuhama kwake, baada na kabla yake pale alipokuwa anakufa njaa, mikonomitupu, mwenye kuhuzunisha na mwenye kusononeka. Matumbo yakeyaliunguruma na utumbo wake ulikoroma. Alitupwa barabarani akitege-mea juu ya ini lake kwa sababu ya njaa, akiwaomba wapita njia kupatakitafunwa ili kumfanya apate kuishi. Yeye mwenyewe amewahi kusema:“Naapa kwa Allah, ambaye hapana mungu isipokuwa Yeye, nilikuwanikitegemea maini yangu kwa sababu ya njaa. Niliweka jiwe juu ya tumbolangu ….. na kadhalika.” Alisema katika riwaya nyingine: “Nilikuwanikizimia mara kwa mara kati ya mimbari ya Mtume na nyumba ya Aisha.Waliokuwa wakija waliweka miguu yao juu ya shingo yangu wakidhanimimi ni mwendawazimu. Lakini nilikuwa sina wazimu chochote, baliilikuwa ni njaa tu.” Nyingi nyingine ya Hadith zake, ambazo zilionyeshakwamba alikuwa hajali aibu na kwamba kudharauliwa kulikuwa haku-muumi yeye. Chote alichokuwa akikitaka tu kilikuwa ni kushibisha tumbolake tupu. Hivyo ni kutoka wapi huko alikopata mtumishi ambapo alikuwakatika hali hii ya umasikini kama hii?

Kama tukimuuliza Abu Huraira kwamba ni vipi Mtume alivyomfahamumtumishi wake wakati tu alipoingia ndani, tutamtahayarisha bwana mkub-wa huyo kwani Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakumjua mtumishi huyo

173

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 173

Page 183: Abu Huraira

kabla! Pengine Abu Huraira alikuwa na ukuu na utukufu ambao ulimfanyaawe na uwezo wa kumfunulia Mtukufu Mtume kuhusu yeye na mtumishiwake!

33. Hadith ya kudhaniwa kuhusu sadaka:

Muslim amesimulia kwamba Abu Huraira alisema: “Mtume Muhammad(s.a.w.w.) amesema: “Wakati mtu mmoja alipokuwa jangwani, alisikiasauti katika moja ya mawingu ikisema: “Nenda ukanyweshe lile shamba layule bwana (ikamwita kwa jina).” Wingu hilo likasogea na likaenda kun-yesha kwenye shamba la bwana yule. Kulikuwa na mtu ndani ya shambahilo akitiririsha maji na chepe lake. Akamuuliza yeye kuhusu jina lake.Akajibu kwa jina lilelile alilolisikia kwenye lile wingu. Yule mkulima aka-muuliza yule mtu: “Kwa nini unaulizia juu ya jina langu?” Akasema:“Nilisikia sauti katika lile wingu. Ililiamuru wingu hilo kunyesha juu yashamba lako na ikataja jina lako. Je, unaweza kuniambia unafanya nini nashamba lako hili?” Yeye akasema: “Mimi ninangoja mpaka miti yangu itoematunda, halafu ninatoa thuluthi yake kama sadaka.”237

Hili lilikuwa haliwezekani kutokea kwani lilikuwa kinyume na kanuni zamaumbile. Abu Huraira aliibuni kama hekaya akidhamiria kurejeleakwenye matokeo mazuri ya sadaka. Aliihusisha kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kama alivyozoea kufanya na Hadith zake za kubuni. Hivyo hatu-na wa kukimbilia ila kwa Mwenyezi Mungu.

34. Hekaya nyingine kuhusu matokeo mazuri ya uaminifu:

Al-Bukhari amesimulia kwamba Abu Huraira alisema: “MtumeMuhammad (s.a.w.w.) amesema: “Myahudi mmoja alimuomba mtu mmojajuu ya watu wake kumkopesha dinari elfu moja. Alimtaka alete mashahidiwake kuja kulishuhudia hilo. Yeye akasema: “Mwenyezi Mungu anatosha

174

Abu Huraira

237 Rejea Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 533

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 174

Page 184: Abu Huraira

kuwa shahidi.” Akamuomba alete mdhamini wake. Yeye akasema: “Allahni mdhamini tosha.” Alimpa fedha hizo ziwe zimelipwa katika tarehemaalum. Mkopaji huyo alisafiri kwa bahari. Baada ya kumaliza kazi yakealijaribu kutafuta meli ili arudi na ili aweze kulipa fedha hiyo kwamwenyewe lakini hakupata meli yoyote. Alichukua kipande cha kigogo naakakichimba shimo. Aliweka dirham elfu moja hizo pamoja na barua ndaniya kipande hicho cha kigogo. Akakiziba na akaja nacho hadi baharini. Yeyeakasema: “Ewe Mwenyezi Mungu, Wewe unajua kwamba nimekopadirham elfu moja kutoka kwa bwana yule. Alinitaka nimletee mdhamini.Mimi nilisema kwamba Mwenyezi Mungu alikuwa ni mdhamini tosha nayeye akanikubalia. Alinitaka shahidi mimi nikasema Mwenyezi Mungualikuwa shahidi tosha naye akakubali. Nimejaribu kiasi cha uwezo wangukupata meli ili niende nikamlipe fedha zake lakini sikuweza kupata meliyoyote. Sasa Wewe ndio mhazini wangu.” Akazitupa fedha hizo baharinina akaondoka. Mkopeshaji alikwenda baharini akitegemea kwambakunaweza kutokeza meli itakayoleta fedha zake. Aliona kipande chakigogo ndani ya maji. Akakichukua kwenda nacho nyumbani kama kuni.Alipokichanja aliona zile fedha na barua.”238 Hadith hii iko mbali sanakutokana na mazingatio yoyote yale.

Sio Shari’ah au akili ambayo ingeruhusu kutupa fedha dirham elfu mojabaharini. Haitaweza kufikiriwa kwamba ni maarifa kama fedha hizozisingemfikia mwenyewe. Watu wenye hekima walichukulia utendaji huukama upumbavu au wendawazimu na huyo mfanyaji ni lazima awe chiniya katazo. Kama jambo hili lilitokea kwa wayahudi ama taifa lolote lile,Mtume Muhammad (s.a.w.w.) asingeweza kulielezea hilo bila maelezoyoyote kwa ajili ya kutowahimiza waumini wa umma wake kutolifanyakama hilo. Hata hivyo, ilikuwa ni muhali kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kusema kama hivyo lakini Abu Huraira alilisema hilo kama zile riwaya zakubuni na akaihusisha kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kiasi cha kuuza bid-haa zake (Hadith) vizuri.

175

Abu Huraira

238 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 26

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 175

Page 185: Abu Huraira

35. Hekaya ya tatu kuhusu matokeo mazuri ya shukurani:

Al-Bukhari amesimulia riwaya kutoka kwa Abu Huraira kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema: “Kulikuwa na wayahudi watatu. Mmojaalikuwa mkoma, mwingine alikuwa na upara na yule wa tatu alikuwa nikipofu. Mwenyezi Mungu alitaka kuwajaribu. Alituma Malaika kwao.Malaika alimwendea yule mwenye ukoma na akamuuliza: “Ni nini una-chokipenda zaidi?” Yeye akasema: “Rangi safi na ngozi nzuri. Watu hawa-nipendi.” Malaika akampigapiga kiupendo (pat) na akawa amepona.Alipewa rangi nzuri na ngozi ya kupendeza. Malaika akamuuliza: “Ni uta-jiri gani unaoupenda?” Yeye akasema: “Ngamia.” Akapewa ngamia jikemwenye mimba, ambaye alikuwa karibu na kuzaa. Malaika akasema:“Mwenyezi Mungu ataibariki kwa ajili yako.”

Akaenda kwa yule mwenye upara na akamuuliza: “Ni nini unachokipendazaidi?” Yeye akajibu: “Nywele nzuri. Watu wananichukia.” Malaikaakampigapiga kimapenzi na akawa amepewa nywele nzuri. Malaika aka-muuliza: “Ni utajiri upi unaoupendelea?” Yeye akasema: “Ng’ombe.”Akampa ng’ombe mwenye mimba na akasema: “Mwenyezi Mungu atam-bariki kwa ajili yako.”

Akaja kwa yule kipofu na akamuuliza: “Ni nini unachokipendelea zaidi?”Yeye akasema: “Kupata uoni wangu tena.” Malaika akampigapiga kwaupendo na Mwenyezi Mungu akamjaalia kuona. Malaika akamuuliza: “Niutajiri gani unaopendelea zaidi?” Yeye akajibu: “Kondoo.” Akampatiakondoo jike. Yule ngamia jike, ng’ombe na kondoo jike wakazaliana. Yulemtu wa kwanza akawa na bonde la ngamia. Yule wa pili akawa na bondela ng’ombe wengi na yule wa tatu akawa na bonde la kondoo.

Malaika yule akamjia yule mtu mwenye ukoma katika umbile kama la yulemwenye ukoma kabla hajapona na akamwambia: “Mimi ni masikini,nimepoteza kila kitu changu safarini mwangu na sina mtu wa kunisaidiaisipokuwa Mwenyezi Mungu na wewe. Nakuomba, kwa Yeye ambaye

176

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 176

Page 186: Abu Huraira

alikupa rangi nzuri, ngozi safi na utajiri, unipatie ngamia wa kupandakwenye safari yangu.” Yule mtu akasema kwamba alikuwa na mahitajimengi sana na akakataa kumpatia huyo ngamia. Malaika akasema:“Nadhani mimi ninakufahamu wewe. Hivi wewe hukuwa mkoma namasikini na kwamba watu walikuwa wakikuchukia wewe? HalafuMwenyezi Mungu akakujaalia neema zote hizi.?” Yule mtu akasema:“Nimerithi yote haya kutoka kwa mababu zangu.” Yule Malaika akasema:“Kama umesema uongo, basi Mwenyezi Mungu akurudishe kwenye haliuliyokuwa nayo hapo kabla.”

Akaja kwa yule aliyekuwa na upara katika umbile kama alilokuwa nalowakati alipokuwa na upara na masikini na akamuomba kama vilevile alivy-omuomba yule mwenye ukoma. Yeye naye akatoa majibu yale yale.Malaika yule akasema: “Kama umesema uongo, Mwenyezi Mungu aku-rudishe kama ulivyokuwa mwanzo kabla ya hapa.”

Kisha akaja kwa yule kipofu katika hali kama aliyokuwa nayo wakatialipokuwa kipofu na masikini na akamwambia: “Mimi ni masikini na mpi-tanjia. Sina kitu chochote, na hakuna mtu wa kunisaidia isipokuwaMwenyezi Mungu na wewe. Ninakuomba, kwa Yeye, ambaye alikurud-ishia uoni wako, unipe kondoo jike ili anifae katika safari yangu.” Yulebwana akasema: “Mimi nilikuwa kipofu na Mwenyezi Mungu akanirud-ishia kuona kwangu. Nilikuwa masikini na Mungu akanifanya kuwa tajiri.Unaweza kuchukua chochote kile unachotaka. Wallahi, mimi sitakuzuiakuchukua chochote kwa ajili ya Allah.” Yule Malaika akasema: “Miminimekujaribuni nyote. Mwenyezi Mungu amekuwa radhi na wewe lakinihakuridhika na wale marafiki zako wawili.”

Riwaya hii ni moja ya nguo za Abu Huraira ambayo aliidarizi na kuinak-ishi. Ilionekana kama mchezo wa kuigiza kizahania wa kisasa, ambaowachezaji wake wanaucheza katika kumbi zao siku hizi. Alitaka kuonye-sha tu, kwa riwaya hii, yale matokeo ya kuwa na shukurani na kutokuwana shukurani.

177

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 177

Page 187: Abu Huraira

36. Riwaya nyingine ya kubuni kuhusu dhulma:

Masheikh hao wawili wamesimulia riwaya kutoka kwa Abu Hurairakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Mwanamke mmoja aliin-gizwa Jahannam kwa sababu ya paka. Alimfungia ndani paka huyo, nahakumpatia chakula wala kumuacha aede kujitafutia mwenyewe waduduwa kula.”

Riwaya hii ilikataliwa na Aisha, mke wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Yeyealimwambia Abu Huraira: “Muumini ana heshima kubwa mbele yaMwenyezi Mungu kuliko kuteswa kwa moto kwa ajili ya paka.Unaposimulia Hadithi za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) fikiria vizuri jinsiutakavyosimulia.”239

37. Hadithi ya tano ya kubuni:

Al-Bukhari ameitaja Hadith iliyosimuliwa na Abu Huraira kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Kahaba mmoja alimuona mbwaakitweta kisimani. Alikuwa karibu ya kufariki kwa kiu. Kahaba huyoakavua kiatu chake kimoja, akakifunga na kitambaa chake cha ushungi naakamchotea yule mbwa maji kutoka kisimani humo. Mwenyezi Munguakamsamehe dhambi zake kwa kufanya hivyo.”

38. Hadithi nyingine kama hiyo iliyopita:

Al-Bukhari alisimulia Hadith kutoka kwa Abu Huraira kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) amesema: “Wakati mtu mmoja alipokuwa anatembeanjiani, alijisikia kiu sana. Aliona kisima na akashuka kwenda kunywa maji.Wakati alipokuwa anatoka, alimuona mbwa akihema kana kwambaamekula ardhi kwa sababu ya kiu. Yule mtu akashuka, akajaza kiatu chakemaji, akakikamata kiatu chake kwa midomo yake na akamfanya mbwahuyo kunywa maji. Alimshukuru Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu

178

Abu Huraira

239 Rejea al-Irshad as-Sari, Jz. 7, uk. 84.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 178

Page 188: Abu Huraira

akamsamehe madhambi yake kwa ajili ya hilo.”240

Hadithi hii na ile iliyotangulia zilitoka kwenye ubunifu wa Abu Hurairakuonyesha matokeo mazuri ya huruma na upole.

39. Allah anamsamehe kafiri aliyekithiri:

Muslim amesimulia kwamba Ma’mar alisema: “Az-Zuhri aliniambia:“Nikuhadithie juu ya riwaya mbili za kustaajabisha?241 Hamiid bin Abdur-Rahman aliniambia kwamba Abu Huraira alisema: “Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amesema: “Mtu mmoja alikithiri katika kutenda madhambi.Alipokuwa karibu ya kufariki, aliwaamuru wanawe: “Kama nikifariki,mnapaswa kunichoma, kuniponda na kunitawanya baharini katika sikuyenye upepo mkali. Kama Mungu wangu akinikamata mimi242, Yeye atan-itesa kwa kiwango ambacho hajamtesa kwacho mtu mwingine yeyotekama mimi.” Wanawe walifanya kile alichowaagiza kufanya. Allah aka-iambia ardhi: “Toa kile ulichokibeba!” Mtu huyo alirudishwa kamaalivyokuwa kabla ya kifo chake. Mwenyezi Mungu akamuuliza: “Kwa niniulifanya hivyo?” Yeye akasema: “Nilikuwa nikikuhofia Wewe, MunguWangu.” Kisha Mwenyezi Mungu akamsamehe madhambi yake. Hamiidaliniambia vilevile kwamba Abu Huraira alisema: “Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amesema: “Mwanamke mmoja aliingizwa katika Moto waJahannam kwa sababu ya paka. Alimfunga paka huyo na hakumlisha walakumuacha ajilishe mwenyewe kwa kula wadudu.”243

179

Abu Huraira

240 al-Irshad as-Sari, Jz. 2, uk. 150241 Az-Zuhri alikuwa na haki ya kushangazwa na Hadith mbili hizi. Wote wenyehekima wangeshangazwa nazo hizo!242 Angalia kwamba alikuwa haamini kwamba Mwenyezi Mungu alikuwa nauwezo wa kumfufua yeye baada ya kutekeleza wasia wake huo. Hivyo alikufurujuu ya hilo. 243 Rejea Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 444

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 179

Page 189: Abu Huraira

Kama mwanamke huyo aliyemfunga paka huyo alikuwa ni muumini, kamaAisha alivyosema, angekuwa ni mwenye kuheshimika zaidi mbele yaMwenyezi Mungu kuliko kuteswa kwenye Moto wa Jahannam kwa sababuya paka. Kama alikuwa ni kafiri, angekuwa ndani ya Jahannam kwa ajiliya ukafiri wake.

Na kuhusu mfanya madhambi aliyekithiri, yeye hakustahili msamaha.Yeye hakuvuka mipaka tu katika kufanya madhambi maishani mwake, balipia aling’ang’ania katika ukafiri wake hata wakati akiwa yu karibu nakufariki kwamba alikuwa amekata tamaa juu ya huruma za MwenyeziMungu. Alidhani Mwenyezi Mungu hatakuwa na uwezo wa kumfufuayeye kama wangemchoma na kutawanya majivu yake. Hivyo alikuwa nikafiri. Na kafiri kamwe hatastahili msamaha hata kidogo.

Mtindo wa Hadith hii ulikuwa kama mtindo ule wa Hadithi za kubuniwa.Hadith ilielekea kuonyesha kwamba mwanadamu hapaswi kukata tamaadhidi ya rehma za Mwenyezi Mungu hata kama akiwa amekithiri katikakutenda madhambi na asidhani kwamba anaweza kuwa salama kutokanana mateso Yake hata kama angekuwa muumini. Mambo haya mawilihayakuhitaji kuonyeshwa kwa ngano hizi za Abu Huraira. Yalithibitishwawazi na Qur’ani tukufu: “ ….. na wala msikate tamaa katika rehema yaMwenyezi Mungu. Hakika hakati tamaa ya rehema za MwenyeziMungu isipokuwa watu makafiri. (12:87); “Je, wamesalimika kuad-hibiwa na Mwenyezi Mungu? Hawaaminishi adhabu ya MwenyeziMungu ila watu (ambao watakuwa) wenye hasara.” (7:99). Qur’anitukufu na Sunna zilikuwa juu sana ya Hadith hii na mtindo wake.

Tuseme kwamba ule wasia wa yule mtenda dhambi aliyekithiri ulikuwa wakweli na ulikuwa ndio sababu ya madhambi yake kusamehewa naMwenyezi Mungu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) asingeisimulia hiyo bila yamaelezo yoyote! Angewatia moyo watenda madhambi waliokithiri waumma wake kuendeleza madhambi yao. Hili kwa kweli lilikuwa hali-wezekani kwa Mtume kulifanya.

180

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 180

Page 190: Abu Huraira

40. Allah anamsamehe mwenye dhambi milele:

Abu Huraira alisema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Mtummoja alitenda dhambi na akamuomba Mwenyezi Mungu amsamehe.Mwenyezi Mungu akasema: “Mja wangu ametenda dhambi na kishaakatambua kwamba anaye Mungu, ambaye anasamehe dhambi na kuad-hibu kwa ajili ya dhambi.” Akatenda dhambi tena na akamuombaMwenyezi Mungu amsamehe. Mwenyezi Mungu akasema: “Mja wanguametenda dhambi na kisha akatambua kwamba anaye Mungu, ambayeanasamehe dhambi na kuadhibu kwa ajili ya dhambi.” Na kisha akafanyadhambi tena na kumuomba Mwenyezi Mungu amsamehe. MwenyeziMungu akasema: “Mja wangu ametenda dhambi na kisha akatambuakwamba anaye Mungu, ambaye anasamehe dhambi na kuadhibu kwa ajiliya dhambi. Fanya lolote ulitakalo, Mimi nimekwisha kukusamehe”244

Hii ilikuwa ni kama zile Hadith zilizotangulia kwa maana na mtindo.Ilikuwa imesukwa kwa mikono ya Abu Huraira kwa nyuzi za ubunifu wakekuwa kama hekaya za mabibi vikongwe na wahadithiaji. Alielekea kusemakwamba msamaha wa Allah ulikuwa hauna mipaka. Jambo hili lilikuwalimethibitishwa wazi na Qur’ani tukufu, Sunna, akili na ijma ya umma,kwa kweli pamoja na ijma ya mataifa na dini zote. Ilikuwa ni moja yamambo muhimu ya Uislamu na dini nyinginezo. Halikuhitajia hekaya zaAbu Huraira kulithibitisha hilo.

Mwenyezi Mungu alikuwa hana huruma kwa mtu yoyote kama akitendayale ambayo Yeye Mwenyezi Mungu aliyakataza. Amesema: “Na kamaangelizua juu yetu baadhi ya maneno, lazima tungemshika kwamkono wa kulia. Kisha kwa hakika tungelimkata mshipa mkubwa wamoyo, na hapana mmoja wenu ambaye angeweza kutuzuia naye.”(69:44-47). Baada ya hayo, ni vipi Mwenyezi Mungu angeweza kumpaheshima huyu mtu mwenye dhambi, ambaye alivunja toba yake mara nyin-

181

Abu Huraira

244 Rejea Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 445

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 181

Page 191: Abu Huraira

gi na kisha amwambie: Fanya lolote unalolitaka. Mimi nimekwishakukusamehe? Ni kwa lipi ambalo muumini huyu dhaifu alistahili heshimaya Allah ambayo hakuna hata mmoja kati ya mitume, manabii au wakweli(sidiqiin) aliyeipata?

Ni hekaya ngapi kama hizo ambazo Abu Huraira amewaambia hao mad-halimu ili kurahisiha uhalifu na dhambi zao. Yeye amesema: “Malaika wamauti alikuja kwa mtu aliyekaribia kufariki. Hakukuta lolote (tendo) jemalake yeye. Aliufungua moyo wake lakini hakukuta chochote ndani yake.

Akafungua mataya yake na akakuta kwamba ulimi wake ulikuwa ume-nasa kwenye taya lake pamoja na usemi wa – hapana mungu isipokuwaAllah. Mwenyezi Mungu akamsamehe kwa ajili ya hilo tu.”245

Moja ya upuuzi wa Abu Huraira ulikuwa ni kusema kwake: “Iqama kwaajili ya swala ilitamkwa na wenye kuswali wakasimama katika safu kwaajili ya kuswali. Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliposimama katikakisomo chake kuongoza swala hiyo, akakumbuka kwamba alikuwa hanatohara.”246

Utukufu uwe juu ya Mtume! Yeye alikuwa tohara nyakati zake zote.Alikuwa wakati wote ana wudhuu wake. Mitume wote walikuwa Maasumna mbali kabisa na huyu punguani alichoropoka. Kama hicho alichokisemakingehusishwa kwa waumini wakweli na waaminifu, mbali na kwa man-abii, kingeweza kuwadhalilisha, hivyo ni vipi kuhusu Mitume (a.s.)?

Alisimulia riwaya akizungumzia kuhusu kukataza kumpendelea MtumeMuhammad juu ya nabii Musa.247 Katika nyingine alisema: “Yeyoteatakayesema kwamba Mtume Muhammad (s.a.w.w.) ni bora kuliko nabii

182

Abu Huraira

245 Rejea kitabu cha historia, Tariikh Baghdad cha Khatiib al-Baghdadi, Jz. 9,uk. 125246 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz.1, uk. 41247 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 40

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 182

Page 192: Abu Huraira

Yunus bin Metti (Jonah) huyo atakuwa amesema uongo.”248

Umma ulikubaliana kwa pamoja kwamba Mtukufu Mtume Muhammad(s.a.w.w.) alifadhilishwa juu ya mitume wote wengine. Hilo lilithibitishwakwa ushahidi mwingi wa wazi na kuchukuliwa kama moja ya mambo yalazima katika Uislamu.

Alisimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Hakuna hatammoja atakayeingia Peponi kwa ajili ya matendo yake.” Wakasema:“Wala hata wewe, Mjumbe wa Allah?” Yeye akasema: “Wala mimipia.”249

Riwaya hii ilikuwa ni ya kutupiliwa mbali kwa sababu ilipingana naQur’ani. Mwenyezi Mungu amesema: “Hakika haya ni malipo yenu, najuhudi zenu zimekubaliwa.” (76:22)

Alisimulia kwamba250 Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “HakunaMtume yeyote aliyetumwa na Mwenyezi Mungu isipokuwa kwambaalichunga kondoo.” Riwaya hii bila shaka yoyote ilikuwa batili.

Na Hadith yake251 kwamba Nabii Ibrahim (a.s.) alitahiriwa kwa tezo252

wakati alipokuwa na umri wa miaka themanini.

Vile vile alisimulia Hadith253 kwamba Nabii Isa - Yesu (a.s.) alimuona mtummoja akiiba. Yeye akamwambia : “Je, umeiba kitu.” Yule mwizi akase-ma: “Hapana, sikuiba. Naapa kwa Yeye Mungu mmoja.” Nabii Isaakamwamini na hakuamini macho yake.Abu Huraira alisimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema:

183

Abu Huraira

248 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 82249 Sahih al-Bukhari, Jz. 4, uk. 6250 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 22251 Sahih al-Bukhari, Jz. 4, uk. 65252 Anaweza kurithi tezo hii kutoka kwa babu yake Nuh, ambaye aliitumia kwakutengenezea Safina yake!253 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 168

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 183

Page 193: Abu Huraira

“Wakati Mwenyezi Mungu alipomuumba Adam, alimpambaja pambajakwenye mgongo wake. Wanadamu wote Allah atakaowaumba mpaka Sikuya Kiyama watatoka kwenye mgongo wa Adam kama chembechembe.Kisha Mwenyezi Mungu akaweka kati ya macho ya kila mmoja wao nuruinayong’ara. Mwenyezi Mungu akawaonyesha kwa Adam. Akauliza:“Hawa ni kina nani Mola Wangu?” Allah akasema: “Hawa ni kizazichako.” Adam akamuona mmoja ambaye alipenda ile nuru baina ya machoyake. Akamuuliza Mwenyezi Mungu yule alikuwa ni nani. MwenyeziMungu akasema: “Huyo ni mwanao Daudi.” Adam akauliza: “Umri wakeumeukadiria kuwa wa urefu gani?” Mwenyezi Mungu akasema: “Miakasitini.” Adam akasema: “Chukua miaka arobaini kutoka kwenye umriwangu na uiongeze kwenye umri wake uwe wa miaka mia moja.”Mwenyezi Mungu akasema: “Hiyo itaandikwa, na kufungwa kabisa nahaitabadilishwa kamwe.” Wakati Malaika wa mauti alipokuja kwa NabiiAdam (a.s.) kuchukua roho yake, Adam akasema: “Bado kuna miakaarobaini ya umri wangu.” Malaika akasema: “Wewe hukuitoa hiyo kwamwanao Daudi?” Adam akakana, hivyo na kizazi chake pia kikakana vilevile.”254

Ilikuwa ni kama ile riwaya yake kuhusu Adam na Musa (a.s.) pale walipo-bishana, kana kwamba walikuwa ni muumini wa falsafa ya jaala na kadara.Alionyesha kwamba Adam alimshinda Musa kwa nyudhuru nyingi sanaambazo hazikuwastahili Mitume, ambao lazima watukuzwe.

Ni upendo kiasi gani aliokuwa nao juu ya matukio ya ajabu na yasiyokuwaya kawaida. Kwa nyongeza juu ya yale uliyosoma katika kurasa zilizopita,hapa kuna Hadith mbili za kumalizia mlango huu:Ya kwanza: Yeye alisema kwamba wakati mmoja alikuwa pamoja na al-Ala’ bin al-Hadhrami walipokuwa wametumwa kwenda Bahrain pamojana jeshi la watu elfu nne. Walitoka mpaka walipofika ghuba fulani katikabahari, ambayo hakuna mtu aliyewahi kuiingi ndani yake kabla yao na

184

Abu Huraira

254 Rejea Mustadrak al-Hakiim, Jz. 2, uk. 325; na Talkhiis al-Mustadrak ya ath-Thalabi.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 184

Page 194: Abu Huraira

wala hakuna atakayeingia baada yao. Al-Ala’ alikamata kwenye hatamu zafarasi wake na akatembea juu ya maji hayo. Jeshi likamfuata yeye. Naapakwa jina la Mwenyezi Mungu kwamba hakuna mguu wetu wala kwato yavipando vyetu ambayo ililowa maji.”255 - Kama hii ilikuwa ni kweli,ingesimuliwa na kila mmoja aliyekuwa kwenye jeshi hilo, ambaowalikuwa ni watu elfu nne. Kwa nini ilisimuliwa na Abu Huraira peke yaketu?

Ya pili: Yeye alisema: “Mimi nilikumbwa na balaa tatu wakati nilipoingiakwenye Uislamu ambayo sijawahi kukumbwa na kama hiyo hapo kabla;kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambaye nilikuwa sahaba wake, maua-ji ya Uthman na shanta (havesack).” Wakauliza: “Shanta ilikuwa ni kitugani?” Nikasema: “Tulikuwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika safari.Yeye aliniuliza mimi: “Je, kuna chochote kwako?” Nikasema: “Tende kiasikwenye shanta.” Alinituma niilete. Aliishika na kuomba. Akaniambianiwakaribishe watu kumi kati ya waliokuwepo. Nikafanya hivyo. Walikulahata wakashiba. Halafu nikawakaribisha kumi wengine na kuendelea vivyohivyo mpaka jeshi lote likala katika tende hizo. Shanta hilo lilikuwa badolina tende. Mtume (s.a.w.w.) akaniambia: “Kama unataka kuchukua kiasikutoka kwenye shanta hilo ingiza mkono wako ndani yake na usilipindue.”Nimekuwa nikila kutoka kwenye shanta hili muda wote katika muda wauhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Abu Bakr, Umar na Uthman. WakatiUthman alipouliwa, shanta hilo likaibiwa. Je niwaeleze ni kiasi gani nili-chokuwa nimekula kutoka kwenye shanta hilo? Nimekula kutoka kwenyeshanta hilo zaidi ya wasaq256 mia mbili.” Hakuna shaka kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alilisha idadi kubwa ya

185

Abu Huraira

255 Ilisimuliwa na Abu Bakr bin Muhammad al-Waliid al-Fihri at-Taroushi,ambaye alijulikana kama ibn Randa. Ad-Dimyari ameinukuu hii kutoka kwakekatika kitabu chake, Hayat al-Haywan (maisha ya wanyama). Ilisimuliwa pia kati-ka al-Istii’ab na Issaba.256 Wasaq ni kipimo cha ujazo kilichotumiwa na waarabu kwa wakati ule. Wasaqmia mbili zilikuwa ni takriban sawa na kilo thelathini na tano.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 185

Page 195: Abu Huraira

watu kwa chakula kichache katika nyingi ya siku zake zilizobarikiwa. Hiyoilikuwa ni moja ya dalili za utume wake na ujumbe wake. Lakini Hadithhii ilibuniwa hasa na Abu Huraira ili kugusa hisia za makundi ya BaniUmayyah na kundi la wafuasi wao ambao walikuwa bado watiifu kwa shatila Uthman na vidole vya mke wake wakilia na kupiga mayowe. Alifanyahivyo ili kuchochea fadhila zao na kuomba misaada na sadaka zao. Ilikuwani moja ya njia zake za kushangaza katika kuwafurahisha na kuwapen-dezesha Bani Umayyah na kuomba fadhila zao.

Kilichothibitisha kwamba ilikuwa imebuniwa na Abu Huraira kilikuwakwamba alibadilika badilika katika Hadith hii kama kinyonga. AliisimuliaHadith hii katika njia nyingi mbalimbali, kama ilivyojulikana wazi kwawatafiti, ambao walichunguza vitabu vya Sunna na Hadith.257

Abu Huraira alikuwa na gunia zima lililokuwa na hili shanta na vituvingine. Lilikuwa ni mfuko wake wa elimu. Alichota kutoka humo cho-chote, wakati wowote na vyovyote alivyotaka. Angeweza mara kwa marakuulizwa: “Ulilisikia hili kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?” Yeyealijibu: “Hapana, linatoka kwenye gunia la Abu Huraira.” 258

Kitabu hiki hakitaweza kubeba maajabu yote ya Abu Huraira.Tulichokitaja kati ya hayo kilikuwa kinatosha kuwa kama ushahidi wakuthibitisha kile tulichokikusudia. Shukrani zote anastahiki MwenyeziMungu.

186

Abu Huraira

257 Hadith hii ilisimuliwa na Ahmad bin Hanbal kwa njia mbili na Abu Bakr al-Bayhaqi naya kwa njia mbili. Ilisimuliwa pia na wengineo kwa njia tofauti zenyeukinzano mwingi. Rejea kwa Ibn Kathiir, ambaye alizitaja nyingi ya tofauti hizokatika kitabu chake, al-Bidaya wan-Nihaya, Jz. 6, uk. 116.258 Sahih al-Bukhari, Jz. 3, uk. 189

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 186

Page 196: Abu Huraira

MUSNAD YAKE NI KAMA MURSAL259 YAKE

Abu Huraira alikuwa akihusisha kwa Mtukufu Mtume kile alichokisikiajuu ya Hadith za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kutoka kwa mtu yoyote kanakwamba yeye mwenyewe alikuwa amezisikia kutoka kwa Mtukufu Mtumemoja kwa moja, bila ya kutafuta ushahidi wowote wa uhakika.

Kama ulikuwa una mashaka juu ya hilo, tafadhali hebu angalia usemiwake: “Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) alimwambia ami yake AbuTalib: “Sema hapana mungu isipokuwa Allah. Nitalishuhudia hilo kwa ajiliyako katika Siku ya Kiyama.” Ami yake akasema: “Ninahofia kwambaMaquraishi wanaweza kunilaumu kwa hilo.”260

Ilikuwa ni hakika kwa wote kwamba Abu Talib alikuwa amefariki miakakumi kabla ya Abu Huraira kuja Hijaz. Hivyo ni vipi aliweza kuwasikia(Mtume na ami yake) wakiongea pamoja pale aliposimulia Hadith hii kati-ka namna ambayo ni kana kwamba aliwaona kwa macho yake nakuwasikia kwa masikio yake?

Alisema: “Wakati Mwenyezi Mungu alipomshushia Mtume (s.a.w.w.):“Na uwaonye watu wako wa karibu.”, alisimama na kusema: “Enyi watuwa Quraishi, sitabadilisha kwa ajili yenu mbele ya Mwenyezi Mungumnamo Siku ya Kiyama.”261

187

Abu Huraira

259 Musnad: Riwaya ambayo imesimuliwa na sanad ya kweli inayofahamikavizuri ya wasimulizi. Mursal: Riwaya ambayo imesimuliwa na wasimulizi wasio-julikana au bila ya kutaja wasimuliaji wenyewe.260 Ilisimuliwa na Muslim katika Sahih yake, Jz. 1, uk. 31.261 Ilisimuliwa na Bukhari katika Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 86, katika SahihMuslim na Musnad Ahmad. Tuliitaja katika mlango uliopita na kuitolea maelezojuu yake.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 187

Page 197: Abu Huraira

Mafaqihi wote na wanachuoni wamekubaliana kwa pamoja kwamba hiiaya ya Qur’ani iliteremshwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwanzonimwa ujumbe wa Uislam na kabla ya kuutangaza mjini Makka, ambapoAbu Huraira alikuwa bado anaabudu masanamu huko Yemen. AlikujaHijaz miaka ishirini na tano baada ya kushuka kwa aya hii. AmeisimuliaHadith hii kana kwamba alikuwa mmojawapo wa waliohudhuria kumuonaMtume (s.a.w.w.) kwa macho yake akisimama na kumsikia kwa masikioyake wakati akiwaonya watu wa kabila lake.

Amesema: “Mtume (s.a.w.w.) aliomba ndani ya swala yake akisema: “OhAllah, muokoe Salama bin Hisham, muokoe al-Waliid, muokoe Ayyash binAbu Rabii’a. O Allah, waokoe wale waumini wanaoonewa (ambao wal-izuiwa na washirikina ili wasihame pamoja na wale wengine kutokaMakka kwenda Madina).262

Hili lilitokea miaka saba kabla Abu Huraira hajaja Hijaz na kuwaMwislam. Aliisimulia kana kwamba alikuwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)wakati alipokuwa anaswali.

Amesema: “Abu Jahl amesema: “Je, Muhammad anamsujudia Munguwake miongoni mwenu?” Ikasemwa: “Ndio.”263

Kama Abu Jahl kweli alikuwa amesema hivyo, itakuwa ni miaka ishirinikabla Abu Huraira hajafika kutoka Yemen na akawa Mwislam. Alisimuliakana kwamba alisikia na kuona yaliyotokea.

Alikuwa wapi kutoka kwenye mapambano ya ar-Rajii’ na kiongozi wakeAassim bin Thabit al-Ansari, ambaye aliuawa katika pambano hilo,kuweza kulielezea kana kwamba aliona kila kitu?”264 Mapambano hayayalitokea katika mwaka wa nne hijiria, miaka mitatu kabla Abu Huraira

188

Abu Huraira

262 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 105263 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 117264 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 117

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 188

Page 198: Abu Huraira

hajafika Hijazi na kuwa Mwislam.Mtu yeyote ambaye alichunguza mwenendo wa Abu Huraira katikakusimulia Hadith, angaweza kujua kwamba alikuwa kama vile tutulivyosema. Hadith hizi chache zilikuwa zinatosha kuthibitisha hilo.Ahmad Amiin aliligundua hilo na akasema kuhusu Abu Huraira: “Ilielekeakwamba hakusimulia kile alichokuwa amekisikia kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) tu, bali alisimulia hata aliyokuwa ameelezwa na watuwengine.265

Abu Huraira mwenyewe alikiri kwamba wakati aliposimulia kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Yeyote ambaye alikuwa hana tohara(mwenye janaba) wakati wa alfajiri kuchomoza, alikuwa hapaswi kufun-ga.” Aisha na Umm Salama waliikanusha riwaya hiyo. Alimshutumu al-Fadhl bin al-Abbas, ambaye alikuwa amekwisha kufariki wakati huo,266

kuwa ndiye aliyelisema hilo. Alisema kwamba alikuwa ameisikia kutokakwa al-Fadhl na kwamba hakuisikia kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Hata hivyo alikiri, iwapo ilikuwa kweli au uongo, kwamba ali-ihusisha kwa Mtukufu Mtume yale aliyokuwa ameyasikia kutoka kwawatu wengine.

Kama utasema: Kwani kuna nini endapo kama ataihusisha na MtukufuMtume ile aliyoisikia kutoka kwa mtu mwingine? Sisi tunasema: Hilo sineno, lakini Hadith hiyo isichukuliwe kama ni Hadith sahihi labda kamasanadi yote ya wasimuliaji itajulikana na kuthibitishwa kwamba wote niwaaminika. Hiyo ina maana ya kusema kwamba uaminifu wa msimuliajilazima uthibitishwe kama sharti la Hadith hiyo kuwa ya kweli. Hadithihiyo lazima isichukuliwe kuwa ya kweli kama msimuliaji alikuwa haju-likani.

Kwa neno moja, nyingi ya Hadith za Abu Huraira zilikuwa kwa namna

189

Abu Huraira

265 Fajrul-Islam (Kuchomoza kwa Uislam), uk. 262.266 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 1, uk. 225.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:48 AM Page 189

Page 199: Abu Huraira

ambayo haikuweza kutegemewa. Zilichanganyika na Hadith zake za kweliambapo ilitufanya sisi kuziepuka zote kwa mujibu wa kanuni ya mashakana tahadhari.

KUJIFANYA KWAKE AMEHUDHURIABAADHI YA MATUKIO

Bwana huyu ametulazimisha kumtilia mashaka. Alijifanya kwambaalikuwa amehudhuria baadhi ya matukio ambayo hakuwahi kamwekufanya hivyo.

Alisema: “Wakati mmoja niliingia ndani ya nyumba ya Ruqayya, bintiyake Mtume na mkewe Uthman. Alikuwa ameshika kitana mkononimwake. Akasema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ameondoka hapa kitambokidogo kilichopita. Nilimchana nywele zake. Yeye akaniambia:“Unamuonaje Abu Abdillah (Uthman)?” Nikasema: “Yeye ni mzuri tu.”Akaniambia: “Mfanyie hisani! Yeye ndiye anayefanana sana na mimi kati-ka maadili.” Ilisimuliwa na al-Hakiim,267 ambaye alisema: Hadith hii inasanadi ya kweli ya wasimulizi lakini maneno yake sio ya kweli, kwasababu Ruqayya alikuwa amefariki katika mwaka wa tatu hijiria wakati wavita vya Badr, ambapo Abu Huraira alikuja na akawa Mwislamu baada yavita vya Khaybar.”

Adh-Dhahabi ameisimulia Hadith hii katika kitabu chake, Talkhiiss al-Mustadrak na akasema: “Ilikuwa ni kweli kwa upande wa wasimuliajiwake, lakini maneno yake yalikataliwa kwani Ruqayya alifariki wakati wavita vya Badr ambapo Abu Huraira alikuwa Mwislam wakati wa vita vyaKhaybar.”

190

Abu Huraira

267 Rejea al-Mustadrak al-Hakiim, Jz. 4, uk. 48

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 190

Page 200: Abu Huraira

Abu Huraira amesema: “Mtume (s.a.w.w.) alituongoza katika swala yaDhuhri au al’Asri na aliimalizia swala hiyo kwa rakaa mbili (badala yanne). Dhul-Yadayn akamuuliza: “Je, umeipunguza swala hii au umesa-hau?” – Dhul-Yadayn aliuawa kwenye vita vya Badr miaka kadhaa kablaAbu Huraira kuwa Mwislamu.

Ni mara ngapi yeye amejigamba: “Tuliiteka Khaybar lakini hatukupatadhahabu au fedha. Tulipata kondoo, ng’ombe, ngamia, bidhaa na nyum-ba.”268 Alisema hivyo ingawa hakushiriki kamwe katika vita hivyo.Alikuja kuwa Mwislamu baada ya Waislamu walipokuwa wamekwishaite-ka Khaybar na vita vilikuwa vimekwisha tayari. Hivyo, wale walioielezeaHadith hii, walichanganyikiwa walipofikia kule kusema kwake – tuliitekaKhaybar. Waliihalalisha kwa kusema kwamba Abu Huraira aliisimuliakiistiari. Alizungumzia Waislamu wenzake.269

Alisema: “Tulipigana pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) huko Khaybar.Mtume alimwambia mtu mmoja, ambaye alijifanya kuwa ni Mwislamukwamba yeye atakuwa Motoni. Wakati mapigano yalipoanza, yule mtualipigana kijasiri sana mpaka akawa na majeraha mengi sana. Baadhi yawatu walikuwa karibu watilie mashaka maneno ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Mtu huyo aliugulia maumivu ya majeraha yake. Alichomoabaadhi ya mishale kutoka kwenye zaka lake na akajiuwa kwa kuitumiahiyo.”270

Tunayo maelezo namna mbili kuhusu Hadith hii:Ya kwanza: Alijifanya kwamba alishiriki katika vita hivyo pamoja naMtukufu Mtume (s.a.w.w.), na imethibitishwa kwamba yeye hakuwepo

191

Abu Huraira

268 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 3, uk. 37.269 Rejea al-Irshad as-Sari, Jz. 8, uk. 154 na Tuhfatul Bari ambavyovilichapishwa pamoja kama kitabu kimoja. Hayo ameyasema as-Sindi katikamaelezo yake juu ya Hadith hiyo katika pambizo ya Sahih al-Bukhari.270 Sahih al-Bukhari, Jz. 3, uk.34 na Jz. 2, uk. 120.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 191

Page 201: Abu Huraira

pale. Wale ambao walitoa maoni juu ya Hadith hii, walikujakuchanganyikiwa na wakahalalisha kwamba Abu Huraira alisema kiistiarikwa sababu alikuja kutoka Yemen baada ya vita vya Khaybar kama vilealivyosema al-Qastalani.271

Ya pili: Huyo mtu ambaye alijiuwa mwenyewe, alikuwa ni yule mnafikiQazman bin al-Harith, mshirika wa kabila la Zafar. Yeye alipigana kwaajili ya kutaka umaarufu. Suala lake ambalo Abu Huraira amelitaja,lilikuwa ni maarufu sana.272 Aliuawa katika vita vya Uhud miaka mingikabla Abu Huraira kuja Hijaz na kuwa Mwislam. Abu Huraira alikuwahana uhakika kuhusu yeye, kwa hiyo alivuruga kila kitu.

Abu Huraira amesema: “Nimewaona wakazi sabini wa makao ya Suffakwamba hakuna hata mmoja kati yao aliyekuwa na nguo mwilinimwake.”273 Hao sabini wote waliuawa kishahidi katika mapambano yakisima cha Ma’una. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alihuzunika sana kwa ajiliyao. Aliomba dhidi ya wauwaji wao kwa muda wa mwezi mzima.Mapambano haya yalitokea katika mwaka wa nne hijiria, miaka kadhaakabla ya Abu Huraira kufika toka Yemen. Sasa ni vipi kwamba yeye ali-waona hao? Al-Qastalani amesema kwamba hao sabini, ambao AbuHuraira aliwaona walikuwa ni wengine mbali na wale waliouawa.Mwenyezi Mungu ndiye Mtambuzi zaidi!

192

Abu Huraira

271 Katika kitabu chake, al-Irshad as-Sari, Jz. 6, uk. 322.272 Ilisimuliwa na al-Waqiidi, ibn Iss-haq, ibn Hajar katika Issaba yake nawengineo. Huyu Qazman alipigana kijasiri katika vita vya Uhud dhidi yawashirikina mpaka Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akaambiwa: “Hakuna hata mmojawetu aliyefanya kama alivyofanya yeye.” Mtukufu Mtume akasema: “Hatahivyo, yeye atakuwa ndani ya Jahannam.” Alijeruhiwa vibaya sana. Alisimikaupanga wake ardhini, akakandamiza kifua chake juu yake na kujiuwamwenyewe. Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 101.273 Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 60.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 192

Page 202: Abu Huraira

Baada ya kukagua na kuchunguza kuhusu Abu Huraira, tuliona kwamba,mara kwa mara alisimulia Hadith za Mtume, ambazo hakuzisikia kutokakwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na mara nyingi alieleza kuhusu matukioambayo hakuwahi kuyahudhuria au alijifanya kwamba alikuwa amehud-huria. Angependezewa na jambo alilolisikia kutoka wa Ka’bul-Ahbar274

au mtu mwingine na alilisimulia kana kwamba alilisikia kutoka kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama alivyofanya kwenye Hadith hii:“Mwenyezi Mungu alimuumba Adam kulingana na sura yake Mwenyewekatika dhiraa sitini urefu na dhiraa sabini upana.” Yote hayo yaliwafanyawaumini kuepukana na riwaya zake.

Ninashangaa kwa nini wale waliokusanya Hadith walijaza vitabu vyao naHadith zilizosimuliwa na mtu huyu bila ya kuzingatia maajabu yake navioja vyake au bila ya kuona utungaji na ubunifu wake! Kama umechun-guza Sahih hizi mbili za Bukhari na Muslim, ungestaajabu juu ya usham-ba wa masheikh hawa wawili. Hapa ni mfano wa kuthibitisha ukweli huu:

Muslim amesimulia katika Sahih yake (mlango wa sifa za Abu Sufyan)riwaya kutoka kwa Akrima bin Ammar al-Ijli al-Yamami kwambaWaislamu hawakumuangalia Abu Sufyan na hawakukaa pamoja naye.Alimwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Oh, Mjumbe wa Allah nakuom-ba kwa ajili ya kunipatia mambo matatu.” Mtukufu Mtume akasema:“Ndio, nitafanya hivyo.” Yeye akasema: “Ninaye mbora na mzuri zaidimiongoni mwa Waarabu, binti yangu Ummu Habiiba. Nitamuoza yeyekwako.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Ndio.” Yeye akasema:

193

Abu Huraira

274 Myahudi ambaye baadae alikuja kuwa Muislamu

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 193

Page 203: Abu Huraira

“Mwanangu Mu’awiyah, mfanye awe karani wako.” Mtukufu Mtumeakasema: “Ndio.” Yeye akasema: “ na uniamuru nipigane na makafiri kamanilivyokuwa nikipigana na Waislamu.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akase-ma: “Ndio.”275

Ilisimuliwa na Muslim peke yake pale alipozungumzia kuhusu sifa za AbuSufyan! Ilichukuliwa kwa kauli ya pamoja kwamba ni batili. Abu Sufyanalisilimu kwa nguvu baada ya kutekwa Makka. Kabla ya hapo yeyealikuwa ni adui mkubwa wa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake (s.a.w.w.).

Na kuhusu binti yake Ummu Habiiba, ambaye jina lake lilikuwa ni Ramla,yeye alikuwa Mwislam kabla ya hijra. Alikuwa ni mmojawapo waWaislam waaminifu. Alikuwa miongoni mwa wale ambao walihamiaAbyssinia akimtoroka baba yake na watu wao. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimuoa wakati baba yake akiwa amekithiri katika ukafiri wake naamekithiri katika kupigana vita dhidi ya Mtume (s.a.w.w.). Wakati AbuSufyan aliposikia kwamba Mtume amemuoa binti yake, alisema: “Yulemkaidi hataweza kushindwa.” Alikuja Madina akitafuta kuongeza mudawa makubaliano na Mtukufu Mtume ya kusitisha vita. Alikwenda nyum-bani kwa binti yake. Alipotaka kuketi chini, Ummu Habiiba, binti yake,akakunja tandiko lake. Abu Sufyan akasema: “Unanizuia mimi kuketi

194

Abu Huraira

275 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 361. Ilikuwa sio Hadith ya kweli iliyobuniwa naAkrima al-Yamami kama ilivyokuwa imethibitishwa na ibn Hazim. Adh-Dhahabiamesema katika kitabu chake Mizan al-I’tidal kwamba Akrima al-Yamami alibuniHadith iliyokataliwa iliyosimuliwa ndani ya Sahih Muslim kuhusu yale mambomatatu ambayo Abu Sufyan alimuomba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ampatie.Riwaya nyingine ya uongo iliyosimuliwa na Akrima kwamba Mtume (s.a.w.w.)alisema: “Abu Bakr ndiye mbora wa watu.” Ilisimuliwa na ibn Adiy katika kitabuchake, al-Kamiil, ambacho kilikuwa ni kitabu bora kati ya vitabu katika kubain-isha wale waliobuni Hadith. Hayo yalisemwa na adh-Dhahabi katikaMizan yake

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 194

Page 204: Abu Huraira

kwenye tandiko lako?” Yeye akamjibu: “Ndio, ninakuzuia. Hili ni tandikola Mtume na wewe ni kafiri uliye najisi.” Wengi wa wanahistoria wamey-ataja maneno haya wakati walipozungumza juu ya Ummu Habiiba.276

Shukrani ziwe kwa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya muongozo Wake.Ashukuriwe Mwenyezi Mungu ambaye ametufanya sisi tuweze kubainishahaki. Rehma na amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu ya Muhammad,Mtume na kiongozi wetu.

WAISLAM WA MWANZONI KABISAWANAZIKATAA RIWAYA ZAKE

Watu walikataa na kukanusha kukithiri kwa Abu Huraira katika kusimuliaHadith wakati wa uhai wake. Alipindukia mipaka yote na alikuwa na mtin-do wa kipekee ambao uliwafanya watu wamtilie mashaka na kuzishukuriwaya zake. Waliikataa idadi na ubora wa Hadith zake na wakamshutumuwaziwazi.

Yeye mwenyewe amesema: “Watu wanasema Abu Huraira anasimuliaHadith nyingi. Mwenyezi Mungu ndiye hakimu kesho Akhera. Wanasemakwamba kwa nini Muhajiriin na Ansari hawasimulii kama anavyosimuliayeye …..”

Alikiri kwamba vyote, wingi na ubora wa Hadith zake unastahili kukatali-wa, kwa hiyo yeye aliwatishia watu kwa uchungu sana wakati aliposema:“Mwenyezi Mungu ndiye hakimu kesho Akhera.” Alionyesha mwishonimwa Hadith hii kwamba labda akilazimika kwa mujibu wa wajibu wakewa kisheria, yeye hatasimulia chochote kamwe kwa vile walikuwawanamshuku. Akasema: “Isipokuwa kwamba aya hizi mbili: “Hakikawale wanaoficha tuliyoyateremsha katika dalili zilizo wazi na muon-gozo, baada ya sisi kuzibainisha kwa watu Kitabuni, hao hulaaniwa naMwenyezi Mungu na hulaaniwa na wenye kulaani. Ila wale waliotubu

195

Abu Huraira

276 Sharh ya an-Nawawi iliyochapwa pambizoni mwa Irshad as-Sari na Tuhfatul-Bari, Jz. 11, uk. 360

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 195

Page 205: Abu Huraira

na kusahihisha na kuweka wazi, basi hao nitawakubalia, na Mimi niMwelekevu sana, Mwenye kurehemu.” (2:159-160), zilikuwamo ndaniya Qur’ani, vinginevyo mimi nisingewaambieni kitu chochote kamwe.”277

Ilikuwa wazi kuthibitisha kile tulichokisema sisi.

Nyingine iliyo wazi zaidi ni ile iliyosimuliwa na Abu Raziin278 kwambayeye alisema: “Abu Huraira alitujia sisi, akapiga kifuani kwake kwamkono wake na akasema: “Ninyi mnasema kwamba Abu Huraira anahu-sisha uongo kwa Mtume ili kwamba muwe mmeongoka na kwamba miminitapotoka.”

Wakati alipokuja Iraqi pamoja na Mu’awiyah na akauona ule mkusanyikomkubwa, wa watu waliokuja kumlaki, yeye alipiga magoti na akaanzakupiga upara wake ili kuvuta nadhira zao. Walipokusanyika kumzungukayeye, akasema: “Enyi watu wa Iraqi, mnajifanya kwamba mimi ninahu-sisha uongo kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ili nijichome mwenyewe kati-ka Jahannam? ….. na akaanza kumkashifu Imam Ali ili kuwapendeza BaniUmayyah.279

Kilichotosheleza jambo hili ni kwamba wale ambao walizikataa Hadithzake na kumshutumu walikuwa ni wale miongoni mwa masahabamashuhuri. Ahmad Amiin amesema280 kuhusu Abu Huraira: “Masahabamara nyingi walimshutumu kwa kule kukithiri kwake katika kusimuliaHadith na wakamshuku (kuwa ni mwongo) kulingana na alichokisimuliaMuslim katika Sahih yake.” Kisha akataja Hadith mbili kutoka kwenyeSahih Muslim zinazoonyesha kumshutumu na kumtilia shaka yeye.Mustafa Sadiq ar-Rafi’i amesema kuhusu hili: “Aliyezidi sana katikakusimulia Hadith miongoni mwa masahaba alikuwa ni Abu Huraira.

196

Abu Huraira

277 Imesimuliwa na al-Bukhari na Muslim katika Sahih zao. Tutalizungumziahili pamoja na maelezo katika Mlango unaofuata, Insha’allah.278 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 217.279 Rejea an-Nahj al-Hamiid cha Abu Ja’far al-Iskafi, Jz. 1, uk. 359.280 Katika kitabu chake, Farjul Islam, uk. 262.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 196

Page 206: Abu Huraira

Usahaba wake na Mtume ulikuwa wa miaka mitatu tu, kwa hiyo Umar,Uthman, Ali na Aisha walizikataa Hadith zake na kumtilia shaka yeye.Alikuwa ni msimuliaji wa kwanza katika historia ya Uislamu kutiliwamashaka (kushutumiwa kwa kubuni). Aisha alikuwa ndiye wa mstari wambele kabisa kati ya wale waliozikanusha Hadith zake.281”

An-Nazzam amesema: “Umar, Uthman, Ali na Aisha walimuona AbuHuraira kama ni muongo.”282

Ibn Qutayba amesema: “An-Nazzam alimshutumu Abu Huraira kwakulaumiwa kwake kwa uongo na Umar, Uthman, Ali na Aisha kwambaAbu Huraira amesuhubiana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa miakamitatu tu, lakini alisimulia kutoka kwake Hadith nyingi mno, ambazozilikuwa zaidi ya zile zilizosimuliwa na yoyote kati ya masahaba wa kwan-za na waliotangulia, ambao walimshuku yeye na kukataa ukithirishajiwake.283 Wao wamesema: “Imekuwaje wewe peke yako kuyasikia yotehayo? Ni nani aliyeyasikia pamoja na wewe?” Aisha alikuwa ndiye aliyezi-di kabisa katika kuzikataa Hadith zake kwani yeye alibakia hai kwa mudamrefu, ambamo Abu Huraira alisimulia Hadith zake. Umar pia alizidi sanakuwa dhidi ya wasimulizi waliokithiri, au wale walioeleza juu ya fat’wa zakisheria bila ya ushahidi ….. mpaka mwisho wa Hadith yake, ambayoilithibitisha kile alichokisema an-Nazzam. Alifanya hivyo kwa nguvu zotebila ya kumjali yeye kwa ajili ya haki, wakati wote alizungumza kwa uadil-ifu na uwazi kabisa!

Na kwa kile ibn Qutayba alichosingizia kwamba: “Masahaba walinyweawakati Abu Huraira alipowaeleza kuhusu cheo chake maalum karibu naMtukufu Mtume,” kilikuwa ni ujinga na bure tu. Masahaba mashuhuri wal-imjua vizuri na hawakuhitaji mtu yoyote kuwatambulisha kwake. Kamawangekuwa na chembe ya heshima kwake yeye, wasingemshutumu

197

Abu Huraira

281 Rejea kwenye kitabu chake, al-Adab al-Arab, Jz. 1, uk. 282.282 Rejea Ta’wiil Mukhtalif al-Hadith cha ibn Qutayba, uk. 27.283 Ibn Qutayba alitaka kumkana an-Nazzam, lakini bila kujijua aliithibitishariwaya yake na kuongezea kwenye orodha yake ya wakataaji wale masahaba wotewa mwanzo

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 197

Page 207: Abu Huraira

kamwe na kumuona kama muongo. Uliiona simulizi284 yake kwambaalikuwa akianguka chini hali ya kuzimia (wakati wa uhai wa Mtume) bainaya mimbari na chumba cha Aisha. Wageni wakija walikuwa wakiwekamiguu yao kwenye shingo yake wakidhania kwamba alikuwa ni kichaa.Hivi hilo lilistahili heshima na hadhi?

Kwa kifupi, ilithubutu kwamba masahaba wote wakweli walimtilia shakana kuzikataa Hadith zake. Lakini walipokwenda dunia njema ya akhera, nawale waliokuja baada yao wakaamua kwamba masahaba wote kwa jumlawalikuwa waadilifu na wema na wakakataza kuwashutumu. Walilifanyahilo kama ni hukmu ya kisheria (fat’wa) na hivyo wakazifungia akili zao,wakang’oa macho yao, wakaweka vifuniko kwenye nyoyo zao na wakazi-ba masikio yao. Watu wakawa: “Ni viziwi, mabubu na vipovu na hivyohawatarejea.” (2:18)

Utukufu ni juu ya Maimam Maasum ambapo waliwaweka masahaba, kilammojawao, mahali pao wanapostahili, ambamo wao wenyewe tayariwalikwisha kuwemo humo.285

Hivyo mawazo yao kuhusu Abu Huraira hayakuwa tofauti na alichokiwazaAli, Umar, Uthman na Aisha. Mashia, tangu enzi za Ali mpaka siku hiziwameshikilia kwenye njia ya Maimam wao.

198

Abu Huraira

.284 Mwanzoni kabisa mwa kitabu hiki.285 Ahmad Amiin alisema katika kitabu chake, Fajrul Islam uk. 259: “Ilielikeakwamba masahaba wenyewe walishutumiana wao kwa wao na kumpendeleammoja juu ya mwingine wakati wa zama zao. Kama mtu alisimulia Hadithangeulizwa juu ya ushahidi wake. Wakati mmoja Abu Huraira alisimulila Hadith,ambapo ibn Abbas aliikanusha, na akasimulia Hadith nyingine ambayo Aisha ali-ikanusha. Fatima binti Qays alisimulia Hadith kutoka kwa mume wake ambayoUmar aliikanusha na akasema: “Je, tunaacha Kitabu cha Mola Wetu na Sunna yaMtume wetu kwa ajili ya riwaya ya mwanamke? Hatujui kama ni ya kweli auuongo, yeye hukumbuka na kusahau! Aisha pia aliikanusha na akamwambiaFatima huyo: “Wewe humuogopi Mwenyezi Mungu!” Yalikuwapo masuala mengikama hayo.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 198

Page 208: Abu Huraira

Mu’tazila wote wanaweza wakawa na maoni hayohayo. Imam Abu Ja’faral-Iskafi amesema: “Abu Huraira alikuwa ameambukizwa katika akili yakekwa mujibu wa masheikh wetu. Hadithi zake zilikanushwa na wao. Wakatimmoja Umar alimpiga na kusema: “Umekithiri katika Hadith zako.Unaweza kuwa muongo unayehusisha uongo kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).” Sufyan ath-Thawri amesimulia kutoka kwa Mansuur kwambaIbrahim at-Taymi alisema: “Hawakutegemea juu ya Hadith za AbuHuraira, isipokuwa zile ambazo zilikuwa ni kuhusu Pepo na Jahannam.”Abuu Usama alisimulia kwamba al-A’mash alisema: “Ibrahim alikuwamkweli katika kusimulia Hadith. Nilikuwa nikimuonyesha kila nilichok-isikia katika Hadith. Siku moja nilimletea Hadith fulani zilizosimuliwa naAbu Salih kutoka kwa Abu Huraira. Yeye aliniambia: “Niache mbali naAbu Huraira! Walizitupilia mbali nyingi ya Hadith zake.” Imesimuliwakwamba Imam Ali (a.s.) alisema: “Mtu muongo asiyeaminika kabisa (aualisema wa walio hai), ambaye anahusisha uongo kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) ni Abu Huraira ad-Doussi.”

Abu Yusuf alisimulia kwamba alikuwa amemwambia Abu Haniifa:“Baadhi ya Hadith zinazotufikia sisi zinapingana na analojia – mwenendowetu. Tufanye nini nazo hizo?” Yeye akasema: “Kama zimesimuliwa nawatu wakweli basi tutazitegemea na kuacha maoni yetu pembeni.” Miminikasema: “Unasemaje juu ya Abu Bakr na Umar?” Akasema: “Wao haowalikuwa wakweli.” Nikasema: “Je Ali na Uthman?” Akasema: “Na waowalikuwa hivyo.” Aliponiona ninawataja hao masahaba, yeye akasema:“Masahaba wote walikuwa wema na waadilifu isipokuwa baadhi yawachache.” Aliwataja baadhi, na kati ya hao walikuwemo Abu Huraira naAnas bin Malik.

Imam Abu Hanifa na wafuasi wake waliziweka pembeni Hadith za AbuHuraira kama zingepingana na mwenendo wao, kama walivyofanya kwaHadith yake kuhusu yule ‘missrat’.286 Abu Huraira alisimulia kwamba

199

Abu Huraira

286 Ni ng’ombe, kondoo jike au ngamia jike ambaye hakukamuliwa kwa sikukadhaa ili kufanya maziwa yabakie kwenye kiwele chake kwa ajili ya kumdan-ganya mnunuzi kwamba alikuwa anatoa maziwa mengi.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 199

Page 209: Abu Huraira

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Msiyafungie maziwa kwenye viwelevya kondoo au ngamia wenu. Yoyote yule atakayemnunua atakuwa na uch-aguzi baada ya kuwakamua, ama kuwaweka kama amekubali au kuwarud-isha kwa wafugaji wenyewe pamoja na kipimo maalum (takriban kilo 3)cha tende.” Wao hawakuizingatia Hadith hii na wakasema: “Abu Hurairaalikuwa sio faqih na Hadith yake ilipingana na mwenendo wetu moja kwamoja. Kumkamua mnyama kulionekana kama ni kukiuka haki zamwingine, ambapo lazima zifidiwe kwa thamani kama hiyo, lakini kipimohicho cha tende hakiwi ni kimojawapo.287

Tulijua kwamba Abu Haniifa na wafuasi wake walidhani kwamba swalainaweza kubatilika kwa aina yoyote ya mazungumzo, ambayo yalikuwa siosehemu ya swala ama kwa kusahau au kwa kufikiria kwamba labda swalaimekwisha. Fiqhi ya kihanafiya ilikuwa wazi kuhusu jambo hili. Kadhalikahilo ndio lilikuwa wazo la Sufyan ath-Thawri. Hivyo riwaya hiyo ya AbuHuraira ilikuwa haina thamani miongoni mwao, wakati aliposema kwam-ba wakati mmoja Mtukufu Mtume alisahau na kumaliza swala baada yarakaa mbili badala ya nne kisha akaacha kisomo chake na akaingia chum-bani kwake. Aliporudi, aliulizwa: “Je, ulipunguza swala au ulisahau?”Yeye akasema: “Swala haikupunguzwa na mimi sikuwa nimesahau.”Wakasema: “Ndio ulisahau.” Na baada ya mabishano baina yake na wao,yeye aliwaamini na akaimalizia swala kwa rakaa mbili nyingine. Kishaakaleta sajida ya kusahau. Kwa mujibu wa Hadith hii, Malilk, Shafi’i,Ahmad na al-Awza’ei walitoa fat’wa kwamba kuongea (maneno ambayosio sehemu ya swala) kwa mtu, ambaye amesahau kwamba alikuwaanaswali au alifikiri kwamba alikuwa amemaliza swala yake, hayatabatil-isha swala yake. Lakini Abu Hanifa, ambaye hakuzingatia kabisa riwaya zaAbu Huraira, yeye alisema kwamba kuongea wakati wa swala kungeifanyaiwe batili.288

200

Abu Huraira

287 Rejea Fajrul-Islam cha Ahmad Amiin, uk. 263.288 Rejea Sharh Sahih Muslim ya an-Nawawi, Jz. 4, uk. 234

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 200

Page 210: Abu Huraira

Natumalizie mlango huu kwa baadhi ya matukio yaliyotokea kati Ya AbuHuraira na baadhi ya masahaba ili kukuonyesha wewe walimchukulia kwanamna gani.

Abu Huraira alisema: “Wakati riwaya yangu ilipotajwa kwa Umar, yeyealiniita mimi na kusema: “Wewe ulikuwa pamoja nasi siku ile paletulipokuwa ndani ya nyumba ya yule bwana?” Nikasema: “Ndio, nilikuwe-po, wakati Mtukufu Mtume aliposema: “Yeyote atakayehusisha Hadith yauongo kwangu mimi, mahali pake kwa yakini patakuwa ndani ya moto waJahannam.”289

Hii inathibitisha kwamba hakusimulia kamwe Hadith mbele ya Umar, walahakuwa mmoja wa wale ambao Umar aliwaona na kuwasikia wakisimuliaHadith. Kwa kweli Umar aliisikia Hadith hii kutoka kwa watu naakamshutumu kwa kusema uwongo. Alimuita na akamtahadharisha namoto wa Jahannam endapo atadanganya.

Siku moja Umar alimkemea kwa kusema:290 “Ama uache kusimuliaHadith au nitakuhamishia kwenye ardhi ya Douss291 au ardhi ya manyani.Siku moja Umar alimkasirikia sana kwa kupindukia mipaka kwake katikakusimulia Hadith. Alimpiga kwa fimbo yake na kumkaripia kwa kusema:“Umekithiri na riwaya zako na mimi nadhani umehusisha Hadith za uongokwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).”

Umar alimfukuza kutoka kwenye falme ya Bahrain baada ya kuwa amem-piga mpaka akamjeruhi. Alirejesha kutoka kwake dinari elfu kumi kwenyehazina ya umma. Alimkaripia kwa maneno makali. Wakati wa enzi yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) Umar aliwahi kumpiga mpaka akaangukia

201

Abu Huraira

289 Ilisimuliwa na Musaddad katika Musnad yake, na ibn Hajar katika Issabayake.290 Rejea kwenye Kanzul-Ummal ya Ibn Asakir, Jz. 5, uk. 239.291 Mahali pa kuzaliwa pa Abu Huraira.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 201

Page 211: Abu Huraira

mgongo wake hadi ardhini.292

Wakati Imam Ali alipokuwa amezisikia riwaya za Abu Huraira, yeye alise-ma: “Aliye muongo kabisa miongoni mwa watu (au alisema) wa walio haikuhusu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni Abu Huraira ad-Doussi.”

Abu Huraira mara kwa mara alisema: “Mwandani wangu aliniambia.”“Nilimuona mwandani wangu.” “Mwandani wangu, Mtukufu Mtumealiniambia.” Ali (a.s.) akalisikia hilo. Alimwambia Abu Huraira: “Ni liniMtukufu Mtume amekuwa mwandani wako, ewe Abu Huraira?” Imam Ali(a.s.) aliyakanusha maneno ya Abu Huraira kwa sababu alikuwa hamuami-ni.293 Ni dhahiri Ali alikuwa sahihi kwani (yeye yupo na Qur’ani naQur’ani iko pamoja naye. Viwili hivyo havitatengana mpaka vifike kwenyehaudhi ya Mtukufu Mtume katika Siku ya Kiyama).294

Aisha alimwita Abu Huraira baada ya kuwa amesikia Hadith zake.Alimwambia: “Ni Hadith gani hizo, ambazo tunazisikia kwambaumezisimulia kuwa ni za Mtukufu Mtume? Hivi wewe umesikia menginembali na tuliyoyasikia sisi, au umeona zaidi kuliko tuliyoona sisi?” Yeyeakasema: “Mama, kioo na wanja (kuhl) vilikushughulisha sana mbali naMtukufu Mtume (s.a.w.w.)”295

Abu Huraira alisimulia riwaya akisema kwamba mwanamke, mbwa napunda296 wanabatilisha swala. Aisha aliikanusha hiyo na kusema:“Nilimuona Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akiswali wakati nikipita kati yake

202

Abu Huraira

292 Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 34.293 Ibn Qutayba amesema hayo katika kitabu chake, Ta’wiil Mukhtalif al-Hadith,uk. 52.294 Imesimuliwa na al-Hakiim katika Mustadrak yake, at-Tabari katika Awsatyake na ibn Asakir katika Kanzul-Ummal yake, Jz. 6, uk. 153.295 Rejea al-Mustadrak ya al-Hakiim, Jz. 3, uk. 509 na adh-Dhahabi katikaTalkhiis al-Mustadrak. Bila shaka Aisha alikataa kisingizio chake.296 Kama wangekuwa mbele ya mtu wakati anaposwali (kwa mujibu wa AbuHuraira).

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 202

Page 212: Abu Huraira

na kibla.”

Alisimulia Hadith kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikataza kutembeana kiatu kimoja. Wakati Aisha alipolisikia hilo, alitembea na kiatu kimojana akasema kwamba yeye angepingana na Abu Huraira.

Alisimulia kwamba: “Yeyote ambaye alikuwa hana tohara (mwenye jana-ba) ilipochomoza al-Fajr, alikuwa asifunge.” Wakati Aisha na Hafsa wali-posikia waliikanusha hiyo, yeye akaifuta Hadith yake hiyo na akaombamsamaha kwamba hakuwa ameisikia kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) bali alikuwa ameisikia kwa al-Fadhl bin Abbas, ambaye alikuwaamefariki kwa wakati huo.297

Wakati mmoja watu wawili walikuja kwa Aisha na wakasema: “AbuHuraira amesimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Ndegembaya (kisirani) hakuna ila kwa wanawake na vipando.” Aisha alitaharukisana na akasema: “Naapa kwa Yule ambaye aliiteremsha Qur’ani kwaAbul-Qasim Muhammad kwamba huyo ambaye ameieleza Hadith hiialikuwa ni muongo.”298

Siku moja alikaa kando ya chumba cha Aisha akisimulia Hadith kuhusuMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Yeye Aisha alikuwa akishughulika na kum-tukuza Mwenyezi Mungu. Wakati alipomaliza, alisema: “Ni ajabu iliyoje!Abu Huraira anakaa pembeni ya chumba changu akihusisha Hadith kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kunifanya mimi nisikie hayo. Nilikuwa nik-ishughulika na kumtukuza Mwenyezi Mungu. Kama ningempataningekanusha Hadith zake.”299

203

Abu Huraira

297 Riwaya hizi tatu (kuhusu mwanamke, mbwa na punda; kutembea na kiatukimoja na hii) zilisimuliwa katika Ta’wiil Mukhtalif al-Hadith ya ibn Qutayba.298 Ta’wiil Mukhtalif al-Hadith, uk. 126.299 Rejea kwenye Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 358 na 538.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 203

Page 213: Abu Huraira

Alisimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Wakati wowotemmoja wenu anapoamka kutoka usingizini, naaoshe mikono yake. Hajuimikono yake ilikuwa wapi wakati wa usiku mzima.” Aisha aliikataahiyo300 na akasema: “Tunafanya vipi na hiyi ‘mihrass’301?”

Alisimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Yoyote anayebe-ba jeneza analazimika kuchukua wudhuu.” Ibn Abbas aliikanusha naakasema: “Kubeba vipande vikavu vya mbao hakuhitajii wudhuu.”302

Abdullah bin Umar alisimulia Hadith akisema: “Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) aliamuru kuuawa kwa mbwa isipokuwa wale mbwa wanaowin-da na mbwa wa ng’ombe.” Wakamwambia ibn Umar kwamba Abu Hurairaamewaongeza mbwa wa mashambani. Hakulijali hilo na akasema: “AbuHuraira analo shamba.” Alimshutumu kwa kuongeza mbwa wa masham-bani kwenye Hadith ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ili kuendelea kumwekambwa wake na shamba.303

Abu Huraira alisimulia Hadith kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amese-ma: “Yeyote anayeweka mbwa mbali na mbwa-muwindaji, mbwa wang’ombe au mbwa wa shamba, Mwenyezi Mungu atachukua karati mojakutoka kwenye ustahili wake.” Wakati walipoitaja Hadith ya Abu Hurairambele ya ibn Umar, yeye akasema: “Mwenyezi Mungu amhurumie AbuHuraira. Alikuwa ana shamba.” Alimshutumu kwa kuongeza kwake hilokwenye Hadith hiyo kwa ajili ya manufaa yake. Salim bin Abdullah bin

204

Abu Huraira

300 Rejea Fajrul Islam ya Ahmad Amiin, uk. 259. Aisha aliikanusha Hadith hii

kwa sababu hakumuamini yeye lakini kisingizio chake kuhusu hiyo ‘mihrass’

kilikuwa hakina mantiki.301 ‘Mihrass’ ni jiwe moja kubwa lililokuwa na shimo lililojazwa maji kwa ajili

ya kuoga. Lilikuwa ni zito sana. 302 Ilisimuliwa na Ahmad Amiin katika kitabu chake Fajrul Islam, uk. 259.303 Rejea Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 625.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 204

Page 214: Abu Huraira

Umar pia alimshutumu kwa hilo, katika Hadith iliyosimuliwa naMuslim.304

Ibn Umar hakuiamini riwaya ya Abu Huraira juu ya nungunungu na badoaliendelea kuitilia mashaka kuhusu Hadith hiyo.

Ibn Umar alimsikia Abu Huraira akisimulia: “Yeyote aliyefuatilia mazishi,huyo atapata karati moja ya tendo jema,” yeye hakumuamini, na akasemakwamba Abu Huraira alikuwa amekithiri kwa Hadith zake. Alimtuma mtummoja kwa Aisha akamuuliza kuhusu riwaya hiyo. Pale Aishaalipoithibitisha riwaya hiyo ndipo yeye akaiamini.305

Wakati Aamir bin Shurayh bin Hani aliposikia Abu Huraira akisimulia:“Yeyote anayependa kukutana na Mwenyezi Mungu swt. MwenyeziMungu anapenda kukutana naye na yoyote anayechukia kukutana naMwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu naye huchukia kukutana naye,”yeye hakumuamini mpaka alipomuuliza Aisha. Aisha aliisimulia na kum-tolea maelezo juu yake.306

Kama tungetaja mambo yote, ambayo masahaba walikanusha riwaya zaAbu Huraira na kuzithibitisha kwamba ni za uongo, tungekuwa tunapotezawakati wetu bure, lakini hayo yangetosha kuthibitisha yale tuliyotakakuyasema.

Ilitosha kwamba Umar, Uthman, Ali na Aisha walizikataa na kuzikanushaHadith zake. Iliamuliwa na sharia ya Kiislamu kupenda kushutumu (saha-ba) kuliko kuhalalisha kile alichoshutumiwa nacho panapokuwa na upin-zani. Lakini katika suala hili hapakuwa na upinzani hata kidogo kwasababu hisia peke yake hazikupinga ukanushaji wa wale watu mashuhuri.

205

Abu Huraira

304 Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 626.305 Sahih Muslim, Jz. 1, uk. 349; al-Hakiim katika Mustadrak, Jz. 3, uk. 510amesimulia kitu kama hicho.306 Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 422

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 205

Page 215: Abu Huraira

Na kuhusu kuwachukulia masahaba wote kama waaminifu na wema,hapakuwa na ushahidi wa kulithibitisha hilo. Hao masahaba wenyewehawakujua lolote kuhusu jambo hilo. Kama tukichukulia hivyo, itatumikakwa wale wasiojulikana na sio kwa yule ambaye Umar, Uthman, Ali naAisha walimuona kama muongo na kuwa na mapungufu mengi ambayoyalithibitishwa kwa ushahidi mwingi tu.

Sisi, Mashia tuna fikra ya wastani kuhusu masahaba, ambayo tunaielezakwa kina katika kitabu chetu “Answers of Musa Jarallah.” Yoyote anayeta-ka kujua kuhusu hilo naarejee kwenye kitabu hicho.

MALALAMIKO YAKE DHIDI YAWANAOMSHUTUMU

Abu Huraira alilalamika dhidi ya wale ambao walimshutumu yeye kwakupindukia kwake katika kusimulia Hadith kwa kusema: “Wanasemakwamba Abu Huraira anasimulia Hadith nyingi mno! Mwenyezi Mungundiye hakimu wetu katika Siku ya Kiyama! Wanasema kwa niniMuhajirina na Ansari hawasimulii (Hadith za Mtume) kwa wingi kamayeye anavyofanya. Ndugu zangu Muhajirina walikuwa wameshikwa namishughuliko ya sokoni na ndugu zangu Ansari walikuwa wakishughulikakatika mabustani yao (ya mitende), ambapo mimi nilikuwa masikini niliye-jiweka karibu na Mtume kwa ajili ya kula. Hivyo nilikuwa mhudhuriajiwakati wao walikuwa hawapo na mimi nilifahamu ambapo wao walisa-hau.”

Wakati mmoja Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Kama mmoja wenuatasambaza nguo yake mpaka nitakapomaliza hotuba yangu, kisha akaiku-sanya kifuani mwake, yeye hatasahau kamwe kitu chochote katika manenoyangu. Mimi nilikusanya nguo yangu, ambayo nilikuwa sina nyinginezaidi ya hiyo (mwilini) mpaka Mtukufu Mtume alipomaliza hotuba yake,kisha nikaikusanya kifuani mwangu. Naapa kwa Yule ambaye amemtuma

206

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 206

Page 216: Abu Huraira

Mtume wake kwa haki kwamba kamwe sikusahau chochote kati yamaneno yake hadi leo. Wallahi isipokuwa tu kwamba kuna aya mbili ndaniya Qur’ani:

“Hakika wale wanaoficha tuliyoyateremsha katika dalili zilizo wazi namuongozo, baada ya sisi kuzibainisha kwa watu Kitabuni, haohulaaniwa na Mwenyezi Mungu na hulaaniwa na wenye kulaani. Ilawale waliotubu na kusahihisha na kuweka wazi, basi haonitawakubalia, na Mimi ni Mwelekevu sana, Mwenye kurehemu.”(2:159-160),

zilikuwamo ndani ya Qur’ani, vinginevyo mimi nisingewaambieni kituchochote kamwe.”

Kwa vyovyote Abu Huraira alivyokuwa tajiri zaidi, alizidi kuwa mjin-ga.307 Yeye alitaka kuwaridhisha washutumu wake, ambao walimshutumukwa idadi yake kubwa na ubora wa Hadith zake, hivyo alisimulia Hadithhii ili kujitetea mwenyewe na kulalamika dhidi yao, lakini ni utetezi wakipuuzi kiasi gani alioufanya! Kwa kweli yeye, bila kutambua, aliwapawapinzani wake ushahidi dhidi yake mwenyewe, ambao ulithibitishakwamba kile walichomhusisha nacho kilikuwa ni cha kweli. Naapa kwaheshima ya ukweli na ya wasema kweli kwamba sijaona miongoni mwayote yale ambayo wabunifu wamekifanya, Hadith baridi zaidi au iliyombali zaidi na ukweli kuliko hii. Nisingetaja wala kuzungumzia kuhusu

207

Abu Huraira

307 Methali.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 207

Page 217: Abu Huraira

Hadith hii isipokuwa kwa vile masheikh hawa wawili na wengine kamawao wameitaja kwenye Sahih zao kwa furaha kabisa na kiibada kabisakwenye mawazo yao kuhusu masahaba. Kwa hilo walipinga ule ushahidiwa kiakili na kidesturi na wamepinga mawazo na fikra za Waislam waawali mashuhuri kabisa. Tunayo maelezo kiasi kuhusu ubatili wa riwayahii:

Kwanza: Abu Huraira alisingizia kwamba Muhajirina walikuwa mbali naMtume (s.a.w.w.) kwa sababu walikuwa wakishughulika kufanya biasharamasokoni na Ansari walikuwa wakifanya kazi katika mabustani yao.Aliwasukuma Waislamu wote wa mwanzoni wa Muhajirina na Ansari kwafimbo moja. Kulikuwa na thamani yoyote kwa ajili ya kusema kwakeMuhajirina wote walikuwa mashughuli na biashara masokoni baada yamaneno ya Mwenyezi Mungu: “Watu ambao haiwashughulishibiashara wala kuuza katika kumkumbuka Mwenyezi Mungu …..”(24:37). Kile kilichopingana na Qur’ani kilistahili chochote mbali nakutupiliwa mbali? Na Abu Huraira alikuwa ni nani kuwa mhudhuriajiwakati masahaba wa karibu kabisa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walikuwambali naye? Na ni nini alichokihifadhi ambapo wao wamekisahau?Alilisema hilo kwa mwezi mzima bila ya aibu au woga kwani aliyasemahayo kwenye kipindi cha wakati wa Mu’awiyah, ambapo kulikuwa haku-na Umar, Uthman, Ali, Talha, az-Zubair, Salman, Ammar, al-Miqdadi, AbuDharr au wengine kama hao. “….. ni neno kubwa litokalo katika viny-wa vyao, hawasemi ila uongo tu.” (18:5). Neno lake lilikuwa mbali naukweli kiasi gani! Watu wote walikuwa wanaijua nafasi ya Ali kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), udugu wa karibu na heshima maalum.Alimuweka mapajani mwake wakati alipokuwa mtoto mdogo, alimkumba-tia kifuani mwake, nyama yake safi halisi iligusana na nyama yake Ali,alivuta harufu ya manukato yake, Mtume alitafuna na kumuwekeamdomoni kwake. Hakuwahi kamwe kumpata na uongo wowote katikamaneno yake wala kosa katika vitendo vyake. Mwenyezi Mungu alimuun-ganisha kwa Mtume (s.a.w.w.) mkuu wa malaika Zake wote tangualipoacha kunyonya ili amuongoze katika uungwana na maadili ya hali ya

208

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 208

Page 218: Abu Huraira

juu ya ulimwengu huu. Ali alimfuata Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kamamtoto wa ngamia anayenyonya anavyomfuata mama yake. Mtume alipan-disha bendera ya maadili kwa ajili ya Ali (a.s.) kila siku. Alimuamuru Alikumuigiza yeye. Ali alikuwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) pamoja naKhadijatul-Kubra, mkewe Mtume kwenye pango la Hirra’ wakiiona nuruya Jibril na ujumbe wake na kuvuta harufu ya manukato ya utume. Baadaya hapo alikuja kuwa lango la mji wa elimu ya Mtume, hakimu bora waumma, hifadhi ya siri za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na mlinzi wake, mrithiwa utawala wake, muondoaji wa huzuni zake, adhimu zaidi kati ya masa-haba zake na aliyekuwa na elimu ya Kitabu. Baada ya yote hayo, hivi Alialisahau katika Sunna kile ambacho Abu Huraira alikihifadhi, au aliwekasiri kile Abu Huraira alichokitangaza? “….. utukufu ni Wako, huu niuongo mkubwa.” (24:16)

Kwa kweli ni wachache tu kati ya Muhajirin waliokuwa wakishughulikakatika masoko. Kwa nini wale ambao hawakuwa na shughuli yoyote nabiashara au uuzaji kama vile Abu Dharr, al-Miqdad, Ammar, na wale sabi-ni wenzake Abu Huraira katika makazi ya suffa, ambao walikuwa hawananguo za kufunika miili yao isipokuwa kipande cha nguo kilichofungwakwenye shingo zao ….. kama yeye mwenyewe alivyowaelezea, wote haowasisimulie Hadith nyingi sana kama yeye? Kwa kweli jumla ya Hadithzao zote zilikuwa ni chache kuliko zake.

Vivyo hivyo kwa Ansari. Sio kwamba wote walikuwa na mabustani narasilimali kama Abu Huraira alivyosingizia. Mmoja wa hao, ambayehakuwa na milki yoyote alikuwa ni Salman Farsi, ambaye Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kuhusu yeye alisema: “Salman ni mmoja wetu, sisi watu wafamilia ya Mtume.” Yeye vilevile alisema: “Kama dini ingekuwa kwenyekilimia (thurea), Salman angeweza kuipata.” Aisha alisema: “Salmanalikuwa na mkutano na Mtume (s.a.w.w.) kila usiku ambao alikaa nayezaidi kuliko tulivyokaa sisi.” Ali (a.s.) alisema: “Salman al-Farsi alikuwani kama yule bwana wa hekima Luqman. Yeye alikuwa amezifahamuelimu za zama za mwanzoni na zijazo. Yeye ni bahari ya elimu ambayo

209

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 209

Page 219: Abu Huraira

haitafifia kamwe.” Ka’bul Ahbar alisema: “Salman amejazwa na elimu nahekima.” Hii ilikuwa ni mbali na sifa nyingine zilizotajwa kuhusu yeye.Watu walijua vema kwamba Abuu Ayyub al-Ansari aliishi kwa rizikiambayo hakuna chochote kilichomtoa kwenye elimu na ibada. Kadhalikakwa akina Abu Sa’iid al-Khudri, Abu Fudhala al-Ansari na mafaqihiwengine mashuhuri wa ki-Ansari.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakutumia muda wake katika vurugu na ghasia.Alipanga nyakati zake, mchana na usiku kulingana na kazi iliyotakikanakwa wakati huo. Ni dhahiri kwamba aliweka wakati maalum kwa ajili yakuhutubia na kufundisha Waislamu kuhusu dini yao na maisha, ambakokusingepingana kamwe na nyakati zao za kazi au shughuli masokoni.Muhajirina na Ansari walishikamana na hadhara hizi za heshima naMtukufu Mtume na walikuwa makini zaidi katika kujua na kujifunzakuliko hawa mapunguani walivyoropoka.

Pili: Kama kile Abu Huraira alichosingizia kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alikuwa amewaambia masahaba zake: “Kama yoyote kati yenuatatandaza nguo yake mpaka nitakapomaliza hotuba yangu na kishaakaikusanya kifuani mwake, huyo kamwe hatakuja kusahau chochote katiya maneno yangu hata kidogo” kilikuwa ni kweli, masahaba wotewangeshindana katika kufanya hivyo. Wangepata wema mkubwa bila yakujitahidi na kupata elimu ya milele bila ya kutumia pesa. Sasa ni kipi kili-chowazuia kujishindia hilo na ni nini kilichowakwamisha katika kutandazanguo zao kwa ajili ya hilo? Ni vipi wangeipoteza fursa kubwa kama hiyo?Hivi walikuwa ni wapuuzi kiasi hicho kuweza kukataa kile ambachoMtume (s.a.w.w.) aliwakaribisha kwacho? Kwa kweli ni hapana! Waowalikuwa ni masahaba zake waaminifu, ambao walijitahidi katika kumtiiyeye katika kila alichokisema.Tatu: Kama yale aliyoyasema Abu Huraira yalikuwa ni kweli, masahabawangejutia sana kile walichokipoteza cha wema mkubwa na elimu nyingi

210

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 210

Page 220: Abu Huraira

kupita kiasi. Masikitiko yao makubwa kuhusu kile walichokikosa kwakutotandaza nguo zao mbele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambachokilikuwa hakina gharama wala kuchokesha, yangeenea miongoni mwawatu na kusimuliwa katika vitabu na kwamba wangelaumiana wenyewekwa wenyewe kuhusu uchaguzi wao mbaya katika kuacha jambo muhimukama hilo. Angalau kwa kiasi fulani wangemuonea wivu Abu Huraira,ambaye alikuwa na nguo moja tu ambapo wao walivaa nguo mbili au tatu,yeye akajipatia wema huo peke yake. Hapakuwa na chochote cha namnahiyo hata kidogo. Abu Huraira alikuwa ameichomoa Hadith hiyo kutokakwenye mkoba wake mwenyewe.

Nne: Kama yale aliyoyasema Abu Huraira yalikuwa ni kweli, yanges-imuliwa na masahaba wengine ambao Mtume (s.a.w.w.) aliwakaribishakwa ajili ya jambo hilo, kwa kweli kama ilikuwa hivyo, masahaba haowangeichukulia kama ni dalili mojawapo ya utume na kama ushahidi wadini yenyewe. Ingekuwa maarufu kama jua la mchana. Ilielekea kwambajua la Abu Huraira liliwaka usiku wa manane wakati watu walipokuwawamelala, kwa hiyo hakuna mwingine zaidi ya yeye aliyesimulia hilo!

Tano: Kulikuwa na tofauti nyingi katika riwaya zake kuhusu kadhia hii.Wakati mmoja alisema kama ilivyosimuliwa na al-A’raj:308 “Siku mojaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kuwaambia masahaba zake: “Kamayeyote kati yenu atatandaza nguo yake mpaka nitakaapomaliza hotubayangu na kisha akaikusanya kifuani mwake, kamwe huyo hatasahau cho-

211

Abu Huraira

308 Rejea Sahih al-Bukhari, Jz. 2, uk. 34; na Sahih Muslim, Jz. 2, uk. 375. Al-Bukri amesimulia katika Sahih yake Jz. 2, uk. 1 riwaya kutoka kwa Sa’id bin al-Musayyab kutoka kwa Abu Salama kwamba Abu Huraira alisema: “MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema katika moja ya Hadith zake: “Hakuna mmoja kati yenuatakayetandaza nguo yake mpaka nimalize hotuba yangu kisha aikusanye kifuanimwake isipokuwa atayatambua yote nitakayoyasema.” Nilitandaza nguo yanguniliyokuwa nimevaa mpaka akamaliza hotuba yake. Kisha nikaikusanya kifuanimwangu. Sikusahau kamwe kitu chochote kati ya hotuba yake ile.”

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 211

Page 221: Abu Huraira

chote kati ya hotuba yangu.” Mimi nilitandaza nguo yangu, ambayonilikuwa sina nyingine mwilini zaidi ya hiyo, mpaka Mtume akamalizahotuba yake. Nikaikusanya kifuani mwangu. Naapa kwa Yule ambayealimtuma Mtume kwa haki kwamba kamwe sikusahau chochote kati yahotuba ile ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Wakati mwingine yeye alisema, kama ilivyosimuliwa na al-Maqbari:309

“Nikasema: ‘Ewe Mjumbe wa Allah, mimi wakati mwingine husahau yaleninayoyasikia kutoka kwako.’ Yeye akasema: ‘Tandaza nguo yako!’Alichota kwa mikono yake elimu na akaiweka kwenye nguo yangu kishaakasema: ‘Ikusanye kifuani mwako.” Nikafanya hivyo. Sikusahau cho-chote baada ya hapo hata kidogo.’”

Unaona kwamba Hadithi hiyo kwa mujibu wa riwaya ya kwanzailiyosimuliwa na al-A’raj ilikuwa ni baina ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) namasahaba zake, na kwamba alikuwa ni Mtume aliyewaambia watandazenguo zao akiwahofia wao kutokana na kusahau, ambapo kulingana nariwaya ya pili iliyosimuliwa na al-Maqbari ilikuwa ni kati ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) na Abu Huraira tu basi, na kwamba Abu Hurairaalimuomba Mtume huku akilalamikia kusahau kwake.

Riwaya ya kwanza iliyosimuliwa na al-A’raj ilikuwa ikionyesha kwamba(bila kusahau) ilihusu ile hotuba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika ulemuda maalum tu kwani alisema (yale maneno ya Mtume), ambapo katikariwaya ya pili iliyosimuliwa na al-Maqbari, yeye aliifanya ya jumlajumla.Hiyo ilikuwa ni kusema kwamba yeye asingesahau chochote hata kidogo.

Alisema: “Sikuwahi kamwe kusahau chochote baada ya hapo hata kido-go.” Wale ambao waliielezea Hadith hii walichanganyikiwa na hawakujuajinsi ya kuihalalisha hiyo mpaka ibn Hajar akaamua katika kitabu chake

212

Abu Huraira

309 Rejea kwenye Sahih al-Bukhari, Jz. 1, uk. 24

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 212

Page 222: Abu Huraira

kwamba suala hili lilitokea mara mbili;310 mara moja ile bila kusahau ili-husu yale maongezi maalum ya Mtume (s.a.w.w.), na ile bila kusahaunyingine ilihusu wote, ima Hadith zile zilizotangulia au zijazo za MtukufuMtume (s.a.w.w.).311

Muslim ameisimulia katika njia ya tatu kutoka kwa Yunus, kutoka kwaibnul-Musayyab kwamba Abu Huraira alisema: “….. Mimi sikusahaukamwe, baada ya siku ile, chochote kile ambacho Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alichoniambia.” Riwaya hii ni ya jumla zaidi kuliko ile ya al-A’raj na ya kufaa zaidi kwa hilo kuliko ile riwaya ya Maqbari.

Ibn Sa’d katika Tabaqat yake amesimulia Hadith kutoka kwa Amr binMardas bin Abdur-Rahman al-Jundi kwamba Abu Huraira alisema:“Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliniambia nitandaze nguo yangu. Miminikafanya hivyo. Yeye alinizungumza kutwa nzima. Kisha nikaikusanyanguo yangu kifuani mwangu. Sikusahau kitu chochote kati ya yale aliy-oniambia.” Kule kusema kwake kutwa nzima hakukutajwa katika riwayazile nyingine zote isipokuwa katika hii moja iliyosimuliwa na al-Jundi.

Abu Ya’la ameisimulia kutoka kwa Abu Salama katika njia tofauti kabisana njia zote za Hadith hii. Alisimulia kwamba Abu Huraira alikuwa amek-wenda kumtembelea Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati alipokuwamgonjwa. Alimsalimia Mtume, wakati yeye Mtume akiwa ameegemeakwenye kifua cha Ali (a.s.) na mkono wa Ali ukiwa juu ya kifua chaMtume (s.a.w.w.) akimkumbatia na miguu ya Mtume ikiwa imenyooshwa.Mtume (s.a.w.w.) akamwambia: “Oh, Abu Huraira, sogea karibu yangu.”Yeye akasogea. Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamwambia:“Nisogelee.” Akasogea. Kisha akamwambia: “Nisogelee.” Alisogea mpaka

213

Abu Huraira

310 Rejea kwenye Irshad as-Sari ya Qastalani, Jz. 1, uk. 380311 Kama suala hili lilitokea mara moja badala ya mara mbili, ingeenea kamamwanga. Sasa kwa nini masahaba wasiichukulie kwa makini kiasi kwamba haku-na hata mmoja wao aliyeisimulia isipokuwa Abu Huraira?

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 213

Page 223: Abu Huraira

vidole vyake vikagusana na vidole vya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mtumeakamwambia akae chini. Yeye akakaa. Mtume akamwambia: “Nisogezeencha ya nguo yako.” Abu Huraira akatandaza nguo yake na akaisogezeakwa Mtume. Mtume (s.a.w.w.) akamwambia: “Oh Abu Huraira, napen-dekeza kwako baadhi ya vitendo kwamba wewe si wa kuondoka madhaliungali hai, unapaswa kuoga kila asubuhi ya siku ya Ijumaa, usiongee ovyo,usifanye mchezo usio na maana, kufunga siku tatu kila mwezi kwa sababuni sawa na kufunga kwa umri mzima, na swala ya al-Fajr, usiiache hiyohata kama utaswali usiku mzima kwa sababu imejaa mema tele.” Mtumealisema hivyo mara tatu. Kisha akamwambia akusanye nguo yake kwakemwenyewe. Yeye aliikusanya nguo yake hiyo kifuani mwake.312

Abu Ya’la amesimulia kutoka kwa al-Waliid bin Jamii’ kwamba AbuHuraira alisema: “Nililalamika kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) juu yaudhaifu wa kuhifadhi kwangu. Yeye akaniambia: “Fungua nguo yako.”Mimi nikaifungua. Kisha akasema: “Ikusanye kifuani mwako.” Nikafanyahivyo. Baada ya hapo sikusahau Hadith yoyote kamwe.”

Abu Ya’la amesimulia kutoka kwa Yunus bin Ubayd kutoka kwa al-Hasanal-Basri kwamba Abu Huraira alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alise-ma: “Nani atachukua neno moja au mawili au matatu, kisha ayafungekwenye nguo yake ajifunze na kisha ayafundishe kwa wengine?” Miminikatandaza nguo yangu mbele yake wakati alipokuwa anaongea, kishanikaikusanya. Nataraji kwamba sikusahau neno hata moja kati ya yalealiyokuwa ameyasema.

Ahmad alisimulia Hadith, kiasi fulani kama ile iliyosimuliwa na al-Mubarak bin Fudhala kutoka kwa Abu Huraira.

Abu Nu’aim amesimulia kutoka kwa Abdullah bin Abu Yahya kutoka kwaSa’id bin Abu Hind kutoka kwa Abu Huraira kwamba Mtukufu Mtume

214

Abu Huraira

312 Rejea kitabu cha ibn Hajar, al-Issaba, (wasifu wa Abu Huraira).

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 214

Page 224: Abu Huraira

(s.a.w.w.) alimwambia: Oh Abu Huraira, huniulizi kuhusu neema, ambazowenzako wananiuliza kuzihusu hizo!” Mimi nikasema: “Nakuomba uni-fundishe kile ambacho Mwenyezi Mungu amekufundisha wewe.” Nilivuanguo yangu na nikaitandaza kati yangu na yeye. Chawa walikuwawanatambaa juu ya nguo hiyo. Yeye alinizungumzia mpaka nikaielewahotuba yake. Aliniambia: “Ikusanye kwako.” Baada ya hapo sikusahauhata herufi kutoka katika yale aliyokuwa ameniambia.”

Yeyote aliyeichunguza Hadith hii katika njia zake tofauti za usimuliajiangeweza kuiona iko tofauti katika maneno ya maana zake. Maneno yakeau maana zilikuwa tofauti na zilipingana, kwani kwa hakika Hadithyenyewe ilikuwa ovyo ovyo tu. Shukurani ziwe kwa Mwenyezi Mungukwa ajili ya hilo.

Sita: Yeye alisema: “Nilitandaza nguo yangu, ambayo nilikuwa sinanyingine zaidi ya hiyo mwilini mwangu.” Hii ilionyesha kwamba sehemuzake za siri zingeweza kutokeza. Al-Qastalani na Zakariyya al-Ansari wali-itafsiri Hadith yake ili kutafuta udhuru kwa ajili yake. Wao walisemakwamba yeye alitandaza sehemu ya nguo yake ili sehemu zake za sirizisionekane.

Saba: Simulizi hii ilionekana kama hekaya za uongo. Utukufu uwe kwaMwenyezi Mungu! Asingeweza kuacha upayukaji huu uchanganyike namiujiza ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hakuna hata mmoja kati ya watu wahekima na busara ambaye angeamini ujinga huu. Miujiza ya Mtume(s.a.w.w.) iliwapumbaza watu wenye akili sana na iliwashinda madhalimukwa utaratibu mzuri na njia ya wastani ya miujiza hiyo.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aligongagonga kwenye kifua cha Ali na akase-ma, wakati alipomtuma kwenda Yemen kama hakimu: “O Allah, muon-gozee moyo wake na muelekezee ulimi wake.” Ali (a.s.) akasema: “NaapaWallahi kwamba kwa hakika sikuwahi kusita kamwe katika hukumu niliy-otoa baina ya watu wawili wowote wale baada ya hapo.”

215

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 215

Page 225: Abu Huraira

Wakati ile aya ya Qur’ani tukufu: “Ili tuifanye ni ukumbusho kwenu, nasikio lisikialo lipate kusikia.” (69:12) iliposhuka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), yeye alisema kumwambia Ali (a.s.): “Nilimuomba MwenyeziMungu alifanye kuwa ni sikio lako.”313 Ali (a.s.) alisema: “Sikuwahi kusa-hau chochote kile baada ya hilo, ingawaje nilikuwa sijasahau kabla yahapo.”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)314 amesema katika siku ya (vita vya) Khaybarwakati alipokabidhi bendera kwa Ali: “Eh, Mwenyezi Mungu, mlinde naumuokoe kutokana na joto na baridi.” Ali amesema: “Baada ya hayosikuteseka kwa joto wala baridi.” Yeye alivaa nguo nyepesi wakati wa bari-di ya kipupwe na nguo nzito wakati wa kiangazi kuthibitisha hilo na kuvu-ta nadhari ya mara kwa mara kwenye miujiza ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

Wakati Jabir alipolalamika kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba babayake alikuwa anadaiwa, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikwenda pamojanaye hadi kwenye uga wake wa kupuria nafaka. Alitembea kuzunguka ulemrundikano wa matunda na akamuomba Mwenyezi Mungu neema zake.Akakaa karibu nao. Wale wakopeshaji wakaja na wakachukua madeni yaokutoka kwenye mrundikano huo. Kile kilichobakia katika rundo hilo kil-imtosheleza Jabir na familia yake! Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alipotaka kumfanyia mtu hisani, alimuomba Mwenyezi Mungu kwa ajiliyake na alipotaka kumdhuru mtu (ambaye amestahili hilo) alimuombaMwenyezi Mungu dhidi yake kama alivyofanya kwa Mu’awiyah. Alisema:“Ewe Mwenyezi Mungu, usilijaalie kushiba tumbo lake!” Na vivyo hivyoalifanya kwa al-Hakam bin Abul-Aass. Lakini hakuna mtu aliyethubutukusema kwamba Mtume alifanya kitu chochote katika hayo ambayo Abu

216

Abu Huraira

313 Imesimuliwa na az-Zamakhshari katika kitabu chake, Kashshaf; na ath-Tha’labi katika Tafsiir yake na ar-Razi na wengineo.314 Ilisimuliwa na Ahmad bin Hanbal katika Musnad yake, ibn Abu Shayba na ibnJariij. Rejea kwenye Muntakhab Kanzul Ummal, Jz. 5, uk. 44.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 216

Page 226: Abu Huraira

Huraira aliyoeleza. Kwa sababu hekima yake, ambayo ilimulika nakuangaza njia kwa ajili ya macho yaliyopotoka na akasafisha njia hiyo kwaalama za muongozo ilikuwa mbali sana juu ya hilo.

KUZITUPIA MACHO SIFA ZAKE

Tulizifuatilia Hadith zake zinazozungumzia juu ya sifa za Abu Huraira natumegundua kwamba chanzo pekee cha Hadithi hizo, katika kila hali,kilikuwa ni Abu Huraira mwenyewe.

Ibn Abdul Birr amesema katika kitabu chake, al-Issti’ab: “Abu Hurairaalisilimu na kuwa Mwislam katika mwaka wa vita vya Khaybar. Alishirikikatika vita hivyo pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kisha akaambat-ana na Mtume (s.a.w.w.) akitafuta elimu. Aliridhika kwa kutokuwa nakingine chochote isipokuwa chakula chake. Mkono wake ulikuwamkononi mwa Mtume (s.a.w.w.). Alikwenda pamoja naye popote palealipokwenda. Alikuwa wa mbele kabisa miongoni mwa masahaba katikakuhifadhi Hadith za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Alihudhuria na MtukufuMtume yale ambayo Muhajirina na Ansari hawakuyahudhuria kwa sababuhao Muhajirina walikuwa wakishughulika na biashara na Ansari wal-ishughulika katika kufanya kazi kwenye mabustani yao. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alishuhudia kwamba Abu Huraira aliweka umakini sana kwenyeelimu na Hadith. Wakati mmoja alimwambia Mtume (s.a.w.w.): “Ninasikiamengi kutoka kwako na ninahofia kwamba huenda nikasahau baadhiyake.” Mtukufu Mtume akamwambia atandaze nguo yake. Yeye akafanyahivyo. Mtume akamwaga kwa wingi (!) kwenye nguo yake naakamwambia aikusanye kwenye kifua chake. Abu Huraira amesema:“Niliikusanya kwangu. Kamwe sikusahau kitu chochote baada ya hapohata kidogo.”

Sifa hizi zilinakiliwa kutoka kwenye riwaya za Abu Huraira mwenyewe,ambamo aliongea kuhusu yeye mwenyewe. Hatukupata chanzo kingine

217

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 217

Page 227: Abu Huraira

cha sifa hizi mbali na Abu Huraira mwenyewe. Kadhalika hivyo ndivyoilivyokuwa kwa sifa nyingine zilizomwaga juu yake bila kustahili.

Kuwa kwake Mwislamu katika mwaka wa Khaybar kulikuwa ni kweli kwasababu hilo lilisimuliwa na wengine zaidi ya yeye mwenyewe, lakinikwamba aliwahi kushiriki katika vita hivyo pamoja na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) hilo halikusimuliwa na mwingine yoyote isipokuwa yeyemwenyewe.

Na kuhusu aliyoyasema kwamba aliambatana sana na Mtukufu Mtumekwa ajili ya elimu na kusoma sio kwa chochote zaidi ya kushibisha tumbolake, kwamba mkono wake ulikuwa mkononi mwa Mtume (s.a.w.w.) nakwamba alikwenda naye popote alipokwenda Mtume (s.a.w.w.), mamboyote haya yalisingiziwa na yeye mwenyewe pale aliposema: “NilifikaMadina wakati Mtume akiwa yuko Khaybar. Nilikuwa na umri wa zaidi yamiaka sitini wakati huo. Nilijiambatanisha naye hadi alipofariki.Nilikwenda naye kwenye nyumba za wake zake.315 Nilimtumikia, nimepi-gana pamoja naye na nilikwenda Hijja316 pamoja naye. Mimi nilikuwandiye mtambuzi zaidi wa Hadith zake. Wallahi baadhi ya masahaba ambaowalikuwa na Mtukufu Mtume kwa muda mrefu kabla yangu waliniulizamimi kuhusu Hadith zake kwani walijua nilivyokaa karibu naye. Miongonimwao alikuwemo Umar, Uthman, Ali, Talha, az-Zubayr …..” Wenye akiliwataweza kushangaa kuthubutu kwa mtu huyu kusimulia Hadith kamahizo, ambazo zilikuwa sio sahihi wala sio za kweli. Lakini wakati walipo-jua ukweli kwamba hakusimulia Hadith hizi na nyingine kama hizo wakati

218

Abu Huraira

315 Je, maadili ya hali ya juu ya Mtume huyu mashuhuri yaliruhusu hivyo, nakwa hiyo akachanganyika na wake zake kirahisi hivyo kama alivyosema fidhulihuyu?316 Kwa Kiarabu, kitenzi saidizi alichotumia kilikuwa na maana ya mfululizo,ambacho kilimaanisha kwamba alikuwa akienda hija na Mtume (s.a.w.w.) kilamwaka. Ulikuwa ni uongo wa dhahiri kwa sababu baada ya hijra Mtume haku-fanya hija isipokuwa mara moja tu, ambayo ilikuwa ni ile hija ya muago.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 218

Page 228: Abu Huraira

wa masahaba wakubwa bali alithubutu kuzisimulia wakati baada ya wengiwa masahaba hao kuwa wamekwisha kufariki na nchi za Sham, Iraq,Afrika na Uajemi zilikuwa zimetekwa na huko masahaba wakawa wame-sambaa hapa na pale, na kwamba wale Waislamu wapya wa zile nchi zili-zotekwa walikuwa hawajui chochote kuhusu nini kilichotokea wakati wauhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), walimpuuza.

Basi yeye pamoja na waongo wengine walijikuta wakiwa katika dunianyingine ambayo ilikuwa haijui chochote kuhusu zama za mwanzo zaUislamu. Walikuta kwamba dunia yao mpya iliwaamini na waliwasikilizakwa heshima kuu kwani walikuwa ni kumbukumbu ya masahaba waMtume, ambao waliaminishwa na Sunna na kwamba walipaswa kui-tangaza. Zaidi ya hayo, dola ya Bani Umayyah ilifanya kila ililowezavizuri kabisa kuwaunga mkono na kuwasaidia. Hivyo walikuwa na fursakubwa sana ya kusema kila walichotaka cha maajabu na viroja, ambavyovilikuwa havikubiliki kisharia na kiakili. Walisimulia Hadith za kipum-bavu na za ovyo kwa ajili ya manufaa yao na kutumikia sera ya madiktetamadhalimu, ambao waliitumia dini ya Mwenyezi Mungu kama njia yakutekelezea malengo yao binafsi na waliwafanya watu kama watumwawao. Waligawana mali ya Waislamu miongoni mwao wenyewe kanakwamba ilikuwa ni urithi wao. Waongo wale walijitolea kwa waonevuwasio na haki ambao, kwa kufidia hilo, waliwazawadia kwa njia zote zastarehe na walijaribu wawezavyo kuwasaidia hususan katika zama zaMu’awiyah. Wale waongo walikuwa ndio wasaidizi wao wakuu, wasema-ji na wapelelezi wa dola ya Umayyah: “Basi adhabu itawathibitikia walewanaoandika kitabu kwa mikono yao, kisha wakasema: Hiki kimeto-ka kwa Mwenyezi Mungu …..” (2:79).

Nashangaa Wallahi kwa al-Bukhari, Muslim, Ahmad na wengineo, ambaowalikuwa na busara na utaalamu mkubwa, kuongozwa kijinga kabisa nakile ambacho Abu Huraira na waongo wenzie walikiropoka. Je wanawezawakajua ni lini Ali, Umar, Uthman, Talha, az-Zubayr na hao wenginekwamba ni lini walimuuliza Abu Huraira? Je, walimuuliza katika hali

219

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 219

Page 229: Abu Huraira

wakiwa macho kabisa au katika usingizi au katika ulimwengu wa zahania?Je, walimuuliza kuhusu Hadith zipi? Ni nani aliyehadithia hivyo isipokuwaAbu Huraira mwenyewe? Ni yupi miongoni mwa wanahistoria au waan-dishi wa vitabu vya Hadith au vya wasifu ambaye amesema kwamba hawamasahaba wakubwa wamesimulia hata riwaya moja tu317 kutoka kwa AbuHuraira? Ni lini wao walizijali riwaya zake? Sisi hatukuona kwamba yeyealiwahi kusimulia Hadith yoyote mbele yao. Wala hakuthubutu kufanyahivyo. Mara nyingi wao walimuacha na kuzikanusha riwaya zake kamailivyoelezwa katika kurasa zilizotangulia.

Sasa hebu turudi nyuma kwenye kile Abdul Birr alichokisema kuhusu AbuHuraira.

Kusema kwake kwamba “Abu Huraira alikuwa ndiye mbora kati ya masa-haba katika kuhifadhi Hadith za Mtukufu Mtume” kilinakiliwa kutokakwenye riwaya ya Abu Huraira, ambamo alisema: “Mimi nilikuwa mtam-buzi zaidi wa Hadith zake.”

Kusema kwake kwamba “alihudhuria mikutano ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), ambayo Muhajirina na Ansari hawakuhudhuria” kulikaririwakutoka kwenye riwaya ya Abu Huraira ambamo alikuwa amezungumziakuhusu kutandaza nguo yake mbele ya Mtukufu Mtume kama tulivyotan-gulia kusema kabla, pamoja na maelezo yetu.

Kusema kwake kwamba “Mtume alishuhudia kwamba yeye alizingatiakwa makini sana kwenye elimu na Hadith” kulinukuliwa toka kwa AbuHuraira akisema: “Nilisema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, ni yupi

220

Abu Huraira

317 Al-Hakiim, katika wasifu wa Abu Huraira, aliwahesabu wale ambao wal-isimulia Hadith kutoka kwa Abu Huraira. Walikuwa ni masahaba ishirini na nane,Ali, Umar, Utuman, Talha na az-Zubayr walikuwa hawamo miongoni mwao. Haowengine waliosimulia kutoka kwake, walisimulia mambo kuhusu Pepo naJahannam au maadili na elimu. Hakuna hata mmoja kati yao aliyesimulia angalauhata riwaya moja kuhusu hukmu za kisheria na wajibat.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 220

Page 230: Abu Huraira

mwenye furaha sana katika kupata uombezi wako? Yeye akasema:“Nilidhani kwamba hakuna atakayeniuliza juu ya jambo hili la thamanizaidi yako wewe nilipokuona ukitoa usikivu sana kwenye Hadith.318

Miongoni mwa sifa zake, ambazo wale walioandika juu ya wasifu wakewamezizungumizia kwa kirefu, ilikuwa ni lile shanta lake, ambalo kutokahumo alikuwa amekula zaidi ya wasaq319 mia mbili za tende, ile yamtumwa wake aliyetoroka, ambaye alikuwa amemuacha huru kwa ajili yaMwenyezi Mungu, kuweka kwake vyombo viwili vya elimu ambavyoalieneza kimoja na kingine akakifanya siri, ile dua ya Mtukufu Mtume juuya mama yake, kutembea kwake juu ya maji mpaka akaivuka ghuba bilaya kulowa, na nyingi ya riwaya zake za kuchekesha na za huzuni kwawakati huohuo! Mwenyezi Mungu awe pamoja nasi katika kushuhudiayote hayo!

SHERE ZAKE ZA KUCHEKESHA

Imam Ahmad bin Hanbal amesimulia320 Hadith kuhusu Abu Huraira kuto-ka kwa Muhammad bin Ziyad akisema: “Marwan, ambaye alikuwa Waliiwa Madina wakati wa utawala wa Mu’awiyah, wakati mwingine alimteuaAbu Huraira kuwa naibu wake wakati alipoondoka Madina. Abu Hurairaaliipiga ardhi kwa miguu yake akisema: “Pisha njia! Pisha njia! Amiiramekuja.” Aliashiria kwake yeye mwenyewe.

221

Abu Huraira

318 Ilisimuliwa na al-Bukhari katika Sahih yake na Ibn Hajar katika al-Issabaambapo Abu Huraira amesema: “Nilifuatana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamiaka mitatu. Hakuna aliyekuwa bora zaidi yangu katika kuzielewa Hadith.”319 Wasaq ilikuwa ni kipimo cha ujazo miongoni mwa Waarabu. Wasaq miambili zilikuwa ni takriban kilo elfu thelathi na tano.320 Musnad Ahmad, Jz. 2, uk. 43.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 221

Page 231: Abu Huraira

Ibn Qutayba ad-Daynuuri amesimulia katika kitabu chake, al-Ma’arif, uk.94 kwamba Abu Rafi’i alisema: “Marwan wakati mwingine alimteua AbuHuraira kuwa Amiir wa Madina (wakati yeye mwenyewe aliposafiri).Alipanda kwenye punda mwenye matandiko mgongoni mwake naufumwele wa mtende juu ya kichwa chake. Alipokutana na mtu yoyote,yeye alisema: “Safisha njia! Amiir amekuja.” Aliweza kupita wakatimwingine watoto wanacheza wakati wa usiku. Ghafla aliruka hadi katimiongoni mwao na kudunda dunda ardhi kwa miguu yake …..”321

Abu Na’iim amesimulia katika Hilyatul Awliya, Jz. 1, uk. 382 kwambaTha’laba bin Abu Malik al-Qardhi alisema: “Siku moja Abu Huraira,ambaye alikuwa kwa wakati huo ndiye Amiir aliyeteuliwa na Marwan,alipita katikati ya soko akiwa amebeba mzigo wa kuni. Alisema: “Safishanjia kwa ajili ya Amiir, Oh ibn Abu Malik!” Mimi nikasema: “Hivivinatosha.” Yeye akasema: “Safisha njia kwa ajili ya Amiir pamoja namzigo juu yake.”

Abu Na’iim vilevile amesimulia Hadith kutoka kwa Ahmad bin Hanbalkutoka kwa Uthman ash-Shahhan kwamba Farqad as-Sabkhi alisema:“Abu Huraira alikwenda kuzunguka Ka’ba akisema: “Ole kwa tumbolangu! Kama nikilishibisha litakinahi, na kama nikiliacha na njaa litani-aibisha.”

Ilisimuliwa na Rabii-ul Abrar kwamba Abu Huraira alisema: “Oh Allah,nijaalie meno yenye kusaga, tumbo lenye kumeng’enya na njia ya nyumayenye kutawanya.”

Vile vile imesimuliwa na Rabii-ul Abrar kwamba Abu Huraira alipendasana ‘madhiira’ (aina ya supu iliyopikwa pamoja na mtindi). Aliila pamo-ja na Mu’awiyah lakini wakati wa swala ulipowadia, yeye aliswali swalahiyo nyuma ya Imam Ali (a.s.). Alipoulizwa kuhusu hilo, yeye akasema:

222

Abu Huraira

321 Ilisimuliwa na ibn Sa’d katika Tabaqat Jz. 4, uk. 60.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 222

Page 232: Abu Huraira

“Madhiira ya Mu’awiyah ilikuwa inanenepesha sana lakini swala nyumaya Ali ilikuwa ni bora zaidi.” Hivyo alipachikwa jina la sheikh al-Madhiira.322

Abu Uthman an-Nahdi alisema kwamba wakati mmoja Abu Hurairaalikuwa katika safari pamoja na watu wengine. Walisimama kwa ajili yamapumziko. Walipoandaa chakula, walimtuma mmojawao kwendakumkaribisha Abu Huraira mahali alipokuwa anaswali. Yeye akasemakwamba alikuwa amefunga. Walipokuwa wanakaribia kumaliza kula yeyeakaja akajiunga na kuanza kula. Walimuangalia yule mwenzao waliyekuwawamemtuma kumwita Abu Huraira. Akasema: “Kwa nini mnaniangalia?Naapa kwamba yeye alisema kuwa amefunga.” Abu Huraira akasema:“Amesema kweli. Nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema:“Kufunga mwezi wa Ramadhani na kisha siku tatu za kila mwezi, hiyo nisawa na kufunga kwa umri mzima.” Nilifunga zile siku tatu za mwanzo wamwezi. Nimefunga kwa ajili ya kurudia funga na nimefungulia kwa mujibuwa uwepesishaji wa Allah.”323

Al-Bukhari amesimulia kwamba324 Muhammad bin Siriin alisema:“Tulikuwa pamoja na Abu Huraira (ndani ya nyumba fulani). Alikuwa

223

Abu Huraira

322 Kwa mujibu wa riwaya hii ilielekea kwamba yeye alihudhuria vita vya Siffin(baina ya Ali na Mu’awiyah) na kwamba alizifurahisha pande zote mbili ili asijeakajizuia mwenyewe kurudi kwenye upande ulioshinda. Nimeona karibu naSiffiin, kati ya Iraq na Syria, sehemu takatifu inayoitwa Abu Huraira. Zaidi ya mtummoja waliniambia kwamba Abu Huraira katika baadhi ya siku za vita vya Siffiin,aliswali swala zake pamoja na jeshi la Imam Ali na alikula chakula na jeshi laMu’awiyah. Lakini vita vilipoanza, yeye alikimbilia mlimani. Wakati alipoulizwakuhusu hilo, yeye alisema: “Ali ni mtambuzi zaidi, na chakula cha Mu’awiyahkinanenepesha, na kule mlimani ni salama zaidi.”323 Rejea kitabu cha Abu Na’iim, Hilyatul-Awliya’ Jz. 1, uk. 385.324 Sahih al-Bukhari, Jz. 4, uk. 157, ilisimuliwa pia na Abu Na’iim katikaHilyatul-Awliya’ Jz. 1. uk. 379.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 223

Page 233: Abu Huraira

amevalia nguo mbili za kitani zilizotariziwa. Alipenga pua zake kwa nguohizo na akasema: “Umashuhuri gani! Abu Huraira anasafisha pua zake kwakitani. Nakumbuka pale nilipoanguka chini kwa kuzimia kati ya mimbariya Mtume na chumba cha Aisha. Wageni waliokuja waliweka miguu yaokwenye shingo yangu wakidhania mimi ni mwendawazimu. Lakinihaikuwa ni uwendawazimu. Ilikuwa ni kwa sababu ya njaa.”

Ibnul-Athiir amesema katika kitabu chake, al-Bidayah wan-Nihayahkwamba Abu Huraira alicheza mchezo wa sida (cider), ambao ulikuwa nimchezo wa Kiajemi unaochezwa na watoto.

Ibn Mandhuur katika kitabu chake Lissan al-Arab, ameongeza kwenye hilokama katika riwaya ya Yahya bin Kathiir: “Hiyo sida (cider) ni Shetanimdogo. Anamaanisha kwamba ni jambo la kishetani.”325

Ad-Dimyeri amesema katika kitabu chake, Hayat al-Haywan (maisha yawanyama) kuhusu sataranji (chesi): “As-Sa’luuki amesimulia kwambaAmir wa waumini Umar bin Khattab, Abul-Bissr na Abu Hurairawaliruhusu kucheza sataranji. Ilikuwa ni maarufu katika vitabu vya Fiqhkwamba Abu Huraira alicheza mchezo wa saratanji. Al-Aajuri amesimuliakwamba Abu Huraira alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema:“Kama ukipita karibu na wale wanaocheza Azlam, saratanji na dadu – yotemichezo ya kamari – hao usiwasalimie.”326

224

Abu Huraira

325 Rejea kwenye al-Lissan al-Arab, Jz. 6, uk. 30.326 ad-Dimyeri aliwashuku wasimulizi wa riwaya hii na akakanusha alichokise-ma Sawli kwamba Imam Zainul-Abidiin aliruhusu mchezo wa saratanji. Ilikuwani hakika kwamba Maimam ma’sum wote walikataza kucheza saratanji. Kadhalikaalifanya hivyo Malik bin Anass, Ahmad Hanbal na Abu Haniifa.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 224

Page 234: Abu Huraira

KIFO CHAKE NA KIZAZI CHAKE

Alifariki dunia kwenye kasri yake huko al-Aqiiq.327 Alibebwa kupelekwaMadina na watoto wa Uthman bin Affan mpaka walipofika makaburi ya al-Baqii’ kama namna ya shukurani badala ya fikra zake nzuri kuhusu babayao.328 al-Waliid bin Utbah bin Abu Sufyan, ambaye alikuwa ndiye Amiirwa Madina wakati huo, aliswalia jeneza sala ya maiti badala ya Marwanambaye alikuwa amefukuzwa.329 Al-Waliid alijitokeza kuswalia jenezahilo, licha ya kwamba ibn Umar, Abu Sa’id al-Khudri na masahabawengine walikuwepo hapo, kumuenzi Abu Huraira kwa malipo ya hudumazake kubwa alizotoa kwa ajili ya Bani Umayyah.

Al-Waliid alimtumia ami yake Mu’awiyah barua akimuelezea juu ya kifocha Abu Huraira. Mu’awiyah alimwandikia mpwa wake: “Tafuta warithiwake na uwalipe dinari elfu kumi. Wafanyie hisani na wafanye wastarehekaribu na wewe kwa sababu Abu Huraira alimuunga mkono Uthman naalikuwa pamoja naye ndani ya nyumba yake wakati alipouliwa.”

Alifariki mnamo mwaka wa hamsini na saba ama (ilisemekana) hamsini nanane au hamsini na tisa hijiria. Yeye alikuwa na umri wa miaka sabini nanane.

Na kuhusu kizazi chake, kama tulivyojua, alikuwa na kijana aliyeitwa al-Muharrir na binti. Al-Maharrir alikuwa na kijana aliyeitwa Na’iim, ambayealisimulia kwamba babu yake Abu Huraira alikuwa ana uzi ambao ulikuwana mafundo elfu mbili. Alikuwa halali mpaka alipokuwa amemtukuza

225

Abu Huraira

327 Ilisimuliwa na Ibn Hajar ndani ya al-Issaba, ibn Abdul Birr katika al-Isstii’ab, ibnul-Hakiim katika al-Mustadrak na wanahistoria wengine.328 Rejea kwenye kitabu cha ibn Sa’d, Tabaqat, Jz. 4, uk. 63 329 Rejea al-Isstii’ab, Issaba, Tabaqat na al-Mustadrak (kwenye wasifu wa AbuHuraira)

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 225

Page 235: Abu Huraira

Mwenyezi Mungu kwa uzi wake wenye mafundo elfu mbili.330

Na’iim pia alisimulia kutoka kwa babu yake kwamba mtu mmojaalimuuliza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Unanishauri nifanye biasharanacho?” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimwambia: “Shughulika na nguo!Kwa sababu mfanyabiashara wa nguo anawapendea watu kuwa wakatiwote katika hali nzuri na utajiri.”

Ibn Sa’d amemtaja al-Maharrir katika Tabaqat yake na amesema kwambaalisimulila Hadith chache na kwamba alifariki wakati wa utawala wa Umarbin Abdul-Aziz.

226

Abu Huraira

330 Rejea Hilyatul Awliya’ Jz. 1, uk. 380 na 383.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 226

Page 236: Abu Huraira

HITIMISHO

Natuhitimishe kitabu chetu kwa maneno mawili ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) aliyokuwa ameyasema kwa hekima kubwa kama ushahidi wakuthibitisha ule mkengeuko wa wale wapotokaji ili kuwaonya watukutokana nao.

Neno la kwanza: lilimhusu Abu Huraira, ar-Rahhal bin Anwa na al-Furatbin Hayyan. Wakati mmoja walipokuwa wanatoka nje ya mkutano waMtukufu Mtume (s.a.w.w.), yeye alisema kuwahusu wao: “Kiu ya mmojawenu katika Jahannam ni kubwa zaidi kuliko ya mwingine. Ana akili yakihaini.”331

Abu Huraira na al-Furat mara kwa mara walikuwa wakisema hilo kwambahawakuwa wakijihisi kuwa salama mpaka ar-Rahhal alipofanya usaliti naakauawa pamoja na yule muongo Musaylama.

Kana kwamba wao (Abu Huraira na al-Furat) walijaribu kuyatafsirimaneno ya Mtukufu Mtume kumhusu mmoja wao tu kwa vile ar-Rahhalaliasi baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Wamevuruga uleukweli wa Hadith hiyo ya Mtume ambapo yeye aliifanya ya jumla kwao.Ilikuwa ni kama yale maneno ya Mwenyezi Mungu: “Je mmoja wenuanapenda kuwa na bustani ya mitende na mizabibu …..” (2:266), “…..mmoja wao anapenda apewe umri wa miaka elfu moja …..” (2:96),“Na anapoambiwa mmojawao yale aliyompigia mfano MwenyeziMungu …..” (43:17), “Na mmoja wao anapopewa habari ya (kuzaliwamtoto) wa kike, uso wake huwa mweusi, naye amejaa chuki.” (16:58).Na mifano mingine mingi ndani ya Qur’ani, Sunna na mazungumzo ya

227

Abu Huraira

331 Rejea al-Issaba na al-Issti’ab (wasifu wa Furat). Vile vile ilisimuliwa nawanahistoria wengine.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 227

Page 237: Abu Huraira

Waarabu. Waarabu walisema katika kuwasifia: “Mkono wa mmoja waounanyesha dhahabu. Moyo wa mmoja wao umefurika huruma,” na walise-ma katika kuwabeza: “Uso wa mmoja wao ni alama ya ufidhuli. Na moyowa mmoja wao ni mgumu kuliko mawe.” Kwa hiyo maneno ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) hayakumhusu mtu mmoja wao mahususi bali yaliwahusuwote watatu. Huu ulikuwa ndio ukweli wa Hadith hiyo.

Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angetaka kumuashiria mmoja hasa katiya watatu hao, basi angeonyesha wazi kwa kumtaja jina lake au mwelekeounaopambanua na asingesema Hadith iliyovurugika, ambalo lilikuwa hali-wezekani kwa Mtukufu Mtume, kwa sababu wale wasiokuwa na hatiawangekosewa. Hivyo kama alijulikana kwamba mmoja wao alikuwa mhai-ni na kwamba atakuwa katika moto wa Jahannam bila ya kujua hasaalikuwa ni yupi, basi watatu hao wote wangeshiriki katika hukmu hiyo.Baada ya hayo haikuwa ni kuwaamini au kutegemea riwaya zao au ushahi-di wao, na ilifaa kutowakabidhi lolote kati ya mambo ya Waislamu.Wangekuwa wamekataliwa kwenye haki za raia, na umma ulipaswakuwaepuka katika lolote lile lililohusu ukweli na uadilifu kwa mujibu wakanuni za Kiislamu kuhusiana na mashaka. Huo ulikuwa ni ushahidi toshawa kuwakataa wote watatu.

Ni dhahiri kabisa kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angemuelezea wazikabisa huyo msaliti, ambaye atakuwa ndani ya Jahannam, na asingewaachawale wasio na hatia kuteswa na ubashiri wake alimuradi walikuwawanaishi pamoja na mawazo mabaya ya watu kuhusu wao. Kwa hakikaasingefanya hivyo, isipokuwa ni kwamba wote watatu hao walikuwa nisawasawa.

Kama utasema: Inawezekana Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimlenga ar-Rahhal kwa kusema jambo fulani au aliashiria kwake yeye na kwamba hilolikawa halikujulikana kwetu.

228

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 228

Page 238: Abu Huraira

Sisi tunasema: Kama kungekuwa na jambo kama hilo, lisingeweza kuto-julikana kwa Abu Huraira na al-Furat, ambao hawakupata jambo lolote lakuwafanya wajihisi kuwa salama isipokuwa pale ar-Rahhal aliporitadindipo wakasujudu kumshukuru Allah. Baada ya hilo walikuwa mara kwamara wakisema kwamba walikuwa hawajihisi salama mpaka pale ar-Rahhal alipofanya hivyo.332

Kama utasema: Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliyasema hayo kwa ujumlakabla ar-Rahhal hajaasi na kujiunga na Musaylama Muongo na akawaameuliwa pamoja naye. Hivyo baada ya ar-Rahhal kufanya hivyo, ilikujakuwa wazi kwamba ni yeye mwenyewe, ambaye alimaanishwa na Mtumekwa Hadith hii bila ya hao wengine wawili.

Sisi tunasema: Ilieleweka kutoka kwenye maneno ya Mtukufu Mtume:“….. mmoja wenu …..” kwamba yaliwahusu wote bila kubagua kamatulivyoeleza hapo kabla na tukanukuu mifano kama hiyo kutoka kwenyeQur’ani tukufu. Yalikuwa hayahusiani chochote na kuasi kwa ar-Rahhalkwani alikuwa mbaya hata kabla ya hapo. Kadhalika na hao marafiki zakewawili.

Pili: Ilikuwa haiwezekani kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuficha ukweliwakati ulipokuwa unatakiwa au kuuchelewesha mpaka muda wake upite.Wakati katika suala hili ulihusika kwenye muda ule ule wa kutamkwa nenohili na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Ikiwa mmoja wapo yoyote kati ya hawawatatu alistahiki heshima au kustahiwa kokote, Mtume angemtangaza yulemsaliti kati yao kwa jina. Kwa kweli tangu waingie kwenye Uislamuwalikuwa wakitiliwa mashaka kwenye riwaya zao, ushahidi na kila kitukingine. Kama ilikuwa sio lazima kuwakataa wote watatu, MtukufuMtume (s.a.w.w.) angeonyesha jina la mmoja wao kabla hajafariki.Asingeliacha suala la kuasi kwa ar-Rahhal kufafanua Hadith yake!

229

Abu Huraira

332 Kusujudu kwao na kusema kama maneno hayo kulisimuliwa katika al-Isstii’ab, al-Issaba na katika vitabu vingine vya historia.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 229

Page 239: Abu Huraira

Tatu: al-Furat bin Hayyan alikuwa ni mpelelezi kwa ajili ya washirikina najicho la Abu Sufyan la kumchunguzia Mtume na Waislam. WakatiWaislamu walipotaka kumuua kwa mujibu wa maagizo ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) yeye alitangaza kuwa ni Mwislamu ili kuokoa maishayake. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema:333 “Kuna baadhi yenu, mimininawazawadia kubakia ni Waislamu. Mmoja wao ni al-Furat bin Hayyan.”Hivyo na yeye pia alikuwa ni mbaya kama ar-Rahhal. Kwa hivyotutawezaje kuamua kwamba yeye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika Hadithyake alimrejelea ar-Rahhal na sio al-Furat, ambaye alikuwa Mwislamukwa ajili ya kuokoa maisha yake tu, au Abu Huraira, ambaye alijikatiatiketi yake ya kwenda Jahannam kabla ya marafiki zake hao wawili kwamujibu wa Hadith ya Mtume: “Yeyote atakayehusisha Hadith ya kubuni namimi, huyo atakalia nafasi yake katika Jahannam.”

Neno la pili: Hili lilimhusu Abu Huraira, Samara bin Jundub al-Fazari naAbu Mahthuura al-Jumahi, ambao Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) siku mojaaliwaonya kwa kusema: “Wa mwisho wenu kufariki atakuwa ndani yaJahannam.”334

Ilikuwa ni mbinu ya hekima ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuwaondoawashirikina katika kushiriki katika mambo ya Waislamu. Kwa vile Mtumealijua ukweli uliofichika wa wale watu watatu, hivyo alitaka kudukizandani ya akili za umma wake yale mashaka juu yao ili kuwaepuka ili wasi-je wamwaminisha mmoja wao na shughuli ambayo ilikuwa ifanywe namuumini mwaminifu. Yeye alisema kwamba mmoja wao, ambaye alikuwa

230

Abu Huraira

333 Rejea al-Isstii’ab na al-Issaba. al-Hakiim katika al-Mustadrak, Jz. 4, uk. 366amesimulia kwamba al-Furat alikuwa ni mpelelezi na mshirika wa Abu Sufyan.Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliamuru kuuawa kwake. Alipita karibu na baadhi yaAnsari na akasema: “Mimi ni Muislamu.” Wakamwambia Mtume kwamba yeyeamesema kuwa ni Muislamu. Mtume akasema: “Kuna baadhi yenu tunawapelekakwenye imani yao ya kujisingizia. Mmoja wao ni al-Furat bin Hayyan.”334 Rejea al-Issaba na al-Istii’ab (wasifu wa Samara bin Jundub).

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 230

Page 240: Abu Huraira

afariki wa mwisho kabisa atakuwa katika Jahannam bila kumuanishammoja maalum kati ya watatu hao. Siku zikapita, usiku na mchana naHadith hiyo ikabakia kama ilivyo bila ufafanuzi au nyongeza mpakaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipoungana na Mpendwa wake Aliyetukukahuko katika dunia njema na bora. Hivyo umma ulipaswa kuwaacha wotekatika nafasi yoyote inayowahusu waumini na kuwanyima zile haki kwamujibu wa kanuni ya kidesturi na kiakili kuhusu mashaka. Kama watuwatatu hawa hawakuwa wote sawa katika suala hili, Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kwa hakika angembainisha mmoja wao.

Kama wewe utasema: kunaweza kukawa na ubainishaji kuhusu mmojawao lakini ulikuwa haukufahamika kwetu sisi kwa sababu ya kipindi kire-fu.

Sisi tunasema: Kama kweli ilikuwa hivyo, wasingekuwa wote watatuwanahofia kutokana na onyo hilo.335 Hakukuwa na tofauti yoyote katikasuala hili ikiwa hakukuwa na ufafanuzi wowote au kuwa limejulikana.Watu wote watatu walichangia hukmu hiyohiyo ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), kwa hiyo ilikuwa itumike kwa yoyote kati yao.

Kama ukisema kwamba: Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alilisema hilo kwaujumla kabla ya yule wa kwanza na wapili hawajafariki. Baada ya vifovyao ilikuja kuwa wazi kwamba yeye yule ambaye alibakia baada yao,alikuwa ndiye aliyekusudiwa kuwa ndani ya Jahannam. Hivyo hapakuwana tatizo lolote.

Sisi kwanza tunasema: ulijua vyema kama sisi tulivyosema kabla kwam-ba ilikuwa haiwezekani kwa mitume kuficha ukweli pale unapohitajika aukuuchelewesha mpaka muda wake ukapita. Ulijua vile vile kwamba wakatiwake ulihusika na muda ule ule wa kutamkwa kwa onyo hili. Kama mmoja

231

Abu Huraira

335 Kama ilivyokuwa wazi kwa wale waliokagua mambo yao hao kuhusiana nahili ndani ya vitabu vya wanahistoria.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 231

Page 241: Abu Huraira

wa watu watatu hawa alikuwa mkweli na wa kustahika, Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) angelionyesha hilo kwa kuainisha mmoja wao ili kutowakoseawale wasio na hatia. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa mbali sana na haliya kumzuia mtu haki yake, au kumhuzunisha mtu ambaye alikuwa hanahatia na hakustahili kuaibishwa, na akamuacha akiwa ameaibika mpakaalipokufa bila ya kujua kutokuwa na hatia kwake isipokuwa kama alikufa,kwa mujibu wa udhaniaji batili huu, kabla ya hao wenzake wawili.

Pili: Sisi, Wallahi, tulijaribu kwa uwezo wetu wote katika kutafiti nakuchunguza ili kujua ni nani alikuwa wa mwisho wao katika kufariki laki-ni hatukuweza kwa sababu riwaya kuhusu tarehe za vifo vyao zilitatiza nazinapingana.336

Tatu: Tabia tukufu na maadili bora ya hali ya juu ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), ambaye (alisononeka wakati waumini walipatwa na huzuni,mwenye huruma sana kwa ajili yao na alikuwa mpole juu yao),337 asinge-wakabili wale ambao alikuwa akiwaheshimu, kwa maneno makali kamahayo: “wa mwisho wenu kufariki atakuwa ndani ya Jahannam.” Ilikuwahaiwezekani kwa yeye, ambaye alikuwa na uadilifu wa hali ya juu,kumshitusha mtu, ambaye hakustahili kushitushwa kwa maneno kamahaya “kiu kali kabisa kwa mmoja wenu ndani ya Jahannam.” Kama mmojawa watu wale watatu alikuwa mwema, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) asinge-muingiza katika mshituko huu mkali na ufidhili wa kikatili, lakini wahyi

232

Abu Huraira

336 Mmoja wa wanahistoria alisema kwamba Samara alikuwa amefariki mnamomwaka wa hamsini na saba hijiria na Abu Huraira alifariki mwaka wa hamsini natisa. Hii ilipingana na nyingine inayosema kwamba Abu Huraira alifariki mwakawa hamsini saba hijiria na kadhalika kwa riwaya za wanahistoria waliobaki.Lakini inayoelekea zaidi kati ya riwaya ilionyesha kwamba wote watatu walifari-ka katika mwaka wa hamsini na tisa hijiria bila kuanisha miezi au tarehe za vifovyao.

337 Kama Mwenyezi Mungu alivyomueleza ndani ya Qur’ani Tukufu.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 232

Page 242: Abu Huraira

ulimlazimu yeye kufanya hivyo kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na kwaumma kwa sababu “Wala hasemi kwa matamanio ya nafsi yake,hayakuwa bali ni wahyi uliofunuliwa.” (53:3-4).

Ilikuwa inatosha kwa Abu Huraira kuwemo kwenye aibu yake hiyo,ambayo Hadith za Mtume zimemuingiza humo. Hebu fanya uamuzi wewemwenyewe wakati unapoona madhambi yalilyofanywa na Samara;kukithiri kwake kunakotisha katika kumwaga damu za Waislamu,338 kuuzapombe waziwazi hadharani,339 kumkosea al-Ansari, kutokumtii MtukufuMtume wakati alipomwita ili kusuluhisha baina yake na mtu mwinginekatika suala lililotokea kati yao kuhusu mtende wa Samara, ambao ulikuwandani ya nyumba ya mtu huyo. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuahidikwamba atakuja kupata mmoja huko Peponi badala ya ule lakini alikataakatika namna ambayo ilionyesha kwamba yeye hakuwa muumini.340

Wakati mmoja alijeruhi kichwa cha ngamia jike wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kwa usodai na dharau, licha ya matendo yake mabaya mengi.

Na kuhusu Abu Mahthuura, yeye alikuwa mmoja wa watumwa walioach-wa huru na mmoja wa wale ambao Mtukufu Mtume aliwazawadia nakuwavutia kwenye Uislamu ili kuweza kuwa salama kutokana na njamazao dhidi ya Waislamu. Alikuja kuwa Mwislamu baada ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alipoiteka Makka na baada ya kuwa amerudi kutoka kwenye vitavya Hunayn kwa ushindi kabisa dhidi ya kabila kubwa la Hawazin. Kwawakati ule hapakuwa na mtu ambaye alikuwa akichukiwa sana na AbuMahthuura zaidi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na maamrisho yake.Alikuwa mara kwa mara akimkejeli mpigambiu wa Mtume (s.a.w.w.)ambaye alikuwa akiadhini, na akamuigiza kwa sauti kubwa katika namnaya dhihaka. Lakini zile pesa za fedha (masilva) ambazo Mtume alikuwa

233

Abu Huraira

338 Rejea Sharh an-Nahj al-Hamiid, Jz. 1, uk. 363 ili kuona maelezo zaidi juuya hilo. Rejea Tariikh Tabari, matukio ya mwaka wa hamsini hijiria na mlangowa nane wa kitabu chetu al-Fusuul al-Muhimma.339 Rejea Musnad Ahmad, Jz. 1, uk. 25340 Rejea Sharh Nahjul-Balaghah ya Ibn Abil-Hadiid, Jz. 1, uk. 363.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 233

Page 243: Abu Huraira

akimpatia, pamoja na ngawira za Hunayn, ambazo Mtume alizawadiawatumwa walioachwa huru wa maadui zake, ambao walipigana dhidi yakena maadili yake mema yaliyomkumbatia yeyote aliyetangaza shahadambili, pamoja na ukali wake kwa wale ambao hawakutoa shahada hizo,yote hayo yaliwafanya Waarabu kuwa Waislamu makundi kwa makundi.Na kwa hiyo Abu Mahthuura na wengine kama yeye walilazimika kusil-imu bila hiari. Yeye hakuhamia Madina mpaka alipofariki mjini Makka.Mwenyezi Mungu alizijua vyema nia alizokuwa amezificha bwana huyu!

Neno moja limebakia ambalo lililsemwa na Ibn Abdul-Birr kuhusu onyohili linalowahusu watu watatu hawa. Amesema katika kitabu chake al-Issti’ab kuhusu Samara bin Jundub: “Alifia Basra katika enzi za utawalawa Mu’awiyah mnamo mwaka wa hamsini na nane hijiria. Aliangukiakwenye chungu kilichojaa maji moto, ambacho alikuwa akae juu yakekama matibabu kwa sababu alikuwa anaugua kutokana na pepopundambaya na akafariki. Hilo liliweka mpaka wa maneno ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) pale alipomwambia yeye, Abu Huraira na wa tatu pamoja nao:“Wa mwisho kufariki kati yenu atakuwa katika moto wa Jahannam.”

Ilikuwa ni tafsiri ya ajabu, ambayo matini ya maneno hayo haikuwa namaana hiyo. Hakuna hata mtu mmoja aliyeielewa kwa namna hii hata haowatu watatu wenyewe, ambao walilengwa na Hadith hii, hawakutilia shakamaana yake, kwa hiyo kila mmoja wao alitamani, kama ilivyokuwaimeelezwa na wanahistoria, kwamba angefariki kabla ya wenzake haowawili. Haikuwa na uhakika kwamba Samara alifariki baada ya hao waw-ili. Ibn Abdul-Birr amesema kwamba yeye alifariki mwaka wa hamsini nanane hijiria, ambapo Abu Huraira kwa mujibu wa riwaya za al-Waqidi, ibnNumayr, ibn Ubayd, Ibnul-Athiir na wengineo, yeye alifariki mwaka wahamsini na tisa hijiria ambao na Abu Mahthuura pia alifariki. Ilisemekanapia kwamba Abu Mahthuura alifariki mwaka wa sabini na tisa. Ibnul-Kalbiamesema kwamba Abu Mahthuura alifariki baada ya Samara. Hivyo uha-lalishaji wa Ibn Abdul-Birr kuhusu Hadith hii ulikuwa si chochote baliupuuzi mtupu.

234

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 234

Page 244: Abu Huraira

Hili lilikuwa ndio la mwisho katika yale tuliyotaka kuyasema ili kuiwekawazi Sunna tukufu kutokana na dosari hizi za kufedhehesha zilizohusish-wa kwenye kiini cha Uislamu na moyo wake mkuu. Shukrani kwaMwenyezi Mungu, ambaye ametufanya sisi tufanikiwe kuifanya kazi hiindogo, ambayo tunamuomba Mwenyezi Mungu iwe yenye manufaa kwaajili ya waumini na kuifanya pia iwe kumbukumbu katika Siku ya Kiyama.

Rehema na amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu ya Bwana na Mwisho waMitume, Muhammad (s.a.w.w.) na kizazi chake na masahaba zake wema.

Kitabu hiki kilikamilishwa katika mji wa Suur. Lebanoni, mnamo siku yaAlhamisi, mwezi ishirini na tatu Ramadhani,1362A.H. sawa na tareheishirini na tatu ya Septemba, 1943, na mwandishi ambaye anatarajia rehe-ma za Mwenyezi Mungu, Abdul Husein bin sharif Yusuf bin sharif Jawadbin sharif Isma’iil bin Muhammad bin Muhammad bin Sharafud-Diin,ambaye jina lake hasa lilikuwa ni Ibrahim bin Zainul-Abidiin bin AliNuurud-Din bin Nuurud-Diin Ali bin Izziddiin al-Hussayn bin Muhammadbin al-Husayn bin Ali bin Muhammad bin Tajuddiin, ambaye alikuwamaarufu kama Abul Hasan bin Muhammad, ambaye jina lake la ukoolilikuwa Shamsuddiin bin Abdullah, ambaye jina lake la ukoo lilikuwaJalaluddiin bin Ahmad bin Hamza bin Sa’dullah bin Hamza bin Abus-Sa’adat Muhammad bin Abu Muhammad Abdullah, mkuu wa machifu waTalibiti katika Baghdad,341 bin Abul Harith Muhammad bin Abul HasanAli, ambaye alikuwa maarufu kama ibnul-Daylamiyya, bin Abu TahirAbdullah bin Abul Hasan Muhammad al-Muhaddith bin Abut-Tayyib Tahirbin al-Husein al-Qat’ei bin Musa Abu Sibha bin Ibrahim al-Murtadha binImam al-Kadhiim bin Imam as-Sadiq bin Imam al-Baqir bin Imam Zainul-Abidiin bin Imam Abu Abdillah al-Husein, Bwana wa mashahidi, mjukuuwa Mtukufu Mtume na mwana wa Amirul-Mu’minin, bwana wa mawasii,Ali bin Abi Talib. Rehma na amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yaMtukufu Mtume na kizazi chake (a.s.).

235

Abu Huraira

341 Waliokuwa na uhusiano na kizazi cha Abi Talib.

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 235

Page 245: Abu Huraira

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NAAL-ITRAH FOUNDATION

1. Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thalathini

2. Uharamisho wa Riba3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili5. Hekaya za Bahlul6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)8. Hijab vazi Bora9. Ukweli wa Shia Ithnaashari10. Madhambi Makuu11. Mbingu imenikirimu12. Abdallah Ibn Saba13. Khadijatul Kubra14. Utumwa15. Umakini katika Swala16. Misingi ya Maarifa17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia18. Bilal wa Afrika19. Abudharr20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu21. Salman Farsi22. Ammar Yasir23. Qur'an na Hadithi24. Elimu ya Nafsi25. Yajue Madhehebu ya Shia

236

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 236

Page 246: Abu Huraira

26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur'an Tukufu27. Al-Wahda28. Ponyo kutoka katika Qur'an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii30. Mashukio ya Akhera31. Al Amali32. Dua Indal Ahlul Bayt33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna.34. Haki za wanawake katika Uislamu35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake36. Amateka Na Aba'Khalifa37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)38. Adhana.39 Upendo katika Ukristo na Uislamu40. Nyuma yaho naje kuyoboka41. Amavu n’amavuko by’ubushiya42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya46. Kusujudu juu ya udongo47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s)48. Tarawehe49. Malumbano baina ya Sunni na Shia50. Kupunguza Swala safarini51. Kufungua safarini52. Umaasumu wa Manabii53. Qur’an inatoa changamoto54. as-Salaatu Khayrun Mina -'n Nawm55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl

237

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 237

Page 247: Abu Huraira

57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mitume

Muhammad (s)61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili63. Kuzuru Makaburi64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita70. Tujifunze Misingi Ya Dini71. Sala ni Nguzo ya Dini72. Mikesha Ya Peshawar73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu74. Ubora wa Imam 'Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia

iliyonyooka75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake76. Liqaa-u-llaah77. Muhammad (s) Mtume wa Allah78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi?80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 82. Urejeo (al-Raja’a )83. Mazingira84. Utokezo (al - Badau) 85. Sadaka yenye kuendelea

238

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 238

Page 248: Abu Huraira

86. Msahafu wa Imam Ali87. Uislamu na dhana88. Mtoto mwema89. Adabu za Sokoni90. Johari za hekima kwa vijana91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu94. Tawasali95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia96. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu97. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi98. Swala ya maiti na kumlilia maiti99. Shiya na Hadithi (kinyarwanda)100. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu101. Hadithi ya Thaqalain102 Fatima al-Zahra103. Tabaruku104. Sunan an-Nabii105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza)106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili)107. Mahdi katika sunna108. Kusalia Nabii (s.a.w)109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza110. Ujumbe - Sehemu ya Pili111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu112. Ujumbe - Sehemu ya Nne

239

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 239

Page 249: Abu Huraira

113. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa114. Iduwa ya Kumayili115. Maarifa ya Kiislamu.116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu119. Ukweli uliopotea sehmu ya Nne120. Ukweli uliopotea sehmu ya Tano121. Johari zenye hekima kwa vijana122. Safari ya kuifuata Nuru123. Idil Ghadiri124. Myahudi wa Kimataifa125. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi126. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza127. Visa vya kweli sehemu ya Pili128. Muhadhara wa Maulamaa129. Mwanadamu na Mustakabali wake130. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Kwanza131. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Pili132. Khairul Bariyyah133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi134. Vijana ni Hazina ya Uislamu.135. Yafaayo kijamii136. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu137. Taqiyya138. Vikao vya furaha

240

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 240

Page 250: Abu Huraira

139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje?140. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Kwanza141. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Pili142. Azadari-Kuhuzunika na Kuomboleza143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah144. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu145. Kuonekana kwa Allah146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt

(Sehemu ya Kwanza)147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili)148. Ndugu na Jirani149. Ushia ndani ya Usunni150. Maswali na Majibu151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No1153 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 2154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 3155. Abu Huraira

241

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 241

Page 251: Abu Huraira

BACK COVERHuu ni uchunguzi na mapitio ya wasifu wa mmoja wa masahaba waMtukufu Mtume SAW.. Abu Huraira amesimulia kutoka kwa MtukufuMtume SAW hadithi nyingi sana mpaka akavuka mipaka yote, na vitabuvya hadithi vya Sunni vimesimulia hadithi kutoka kwake mpaka vikavukamipaka pia. Hatukuwa na njia yoyote mbele ya idadi hii kubwa ya hadithizilizosimuliwa na Abu Huraira ila kutafuta juu ya vyanzo vyao, kwasababu zimeshughulisha maisha yetu ya kidini na kiakili moja kwa moja;vinginevyo tungeweza kuziachilia mbali na kuvitupilia mbali vyanzovyake na kuangalia mambo mengine muhimu zaidi.

Idadi hii kubwa ya riwaya zilizosimuliwa na bwana huyu zilienea kwenyematawi na mizizi ya dini na kuwapelekea mafakihi wa Sunni kuzitegemeasana katika kushughulika na hukumu na sharia za Mwenyezi Mungu.

Ungana na mwandishi wa kitabu hiki ili upate kumjua sahaba huyumachachari wa Mtukufu Mtume s.a.w na jinsi alivyoitumia nafasi hiipamoja na fursa alizozipata.

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah FoundationS.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]: www.alitrah.orgKatika mtandao: www.alitrah.info

242

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:49 AM Page 242

Page 252: Abu Huraira

243

Abu Huraira

Abu huraira check Lubumba.qxd 7/1/2011 10:50 AM Page 243