16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1133 RAMADHAN 1435, IJUMAA , JULAI 11-17Ma, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz facebook: [email protected] Soma Uk.6 Afichua siri ya wimbi la Jihad Makamanda waishi Tel Aviv, New York Ahimiza Waislam kutumia akili, kufikiri Uislamu neema kubwa Zanzibar lakini... Yafujwa kupisha ukafiri, usekula Nguvu ielekezwe katika kusoma MMOJA wa watuhumiwa wa kadhia ya Waislamu Wilayani Kilindi, Ustadhi Rajabu Omari Mtana, hajulikani alipo huku ikidaiwa kuwa ameuwawa baada ya kuchukuliwa na viongozi wa Kijiji cha Lulago. Habari hizo zimelifikia Gazeti hili baada ya kuripoti taarifa ya Waislamu 70 Ustadh kadhia ya Kilindi atekwa, apigwa, apotea Inadhaniwa kauliwa kulipiza kisasi Polisi wakana kujua japo wamepewa taarifa Lakini Mahakama yaripoti kupotea kwake Na Bakari Mwakangwale Inaendelea Uk. 3 Naim Nabil. Katika Alama na Vitakatifu vya Allah ambavyo Ameonya visivunjiwe heshima, bali vitukuzwe, vingi sana vinapatikana Makka na Madina (Al-Maaidah:2, Al- Hajj:30). Umeshaziona Alama Zake Allah na kujikurubisha kwake? Makafiri wanaichukia sana Hijja; hivyo waislamu tuipende sana. Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/065 7606708. (11) "AL-HAJJ" NI KIPENZI CHA ALLAH! HAFLA ya Waislamu Zanzibar.

An Nuur 1133

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: An Nuur 1133

ISSN 0856 - 3861 Na. 1133 RAMADHAN 1435, IJUMAA , JULAI 11-17Ma, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz facebook: [email protected]

Soma Uk.6

Afichua siri ya wimbi la JihadMakamanda waishi Tel Aviv, New YorkAhimiza Waislam kutumia akili, kufikiri

Uislamu neema kubwa Zanzibar lakini...

Yafujwa kupisha ukafiri, usekulaNguvu ielekezwe katika kusoma

MMOJA wa watuhumiwa wa kadhia ya Waislamu Wilayani Kilindi, Ustadhi Rajabu Omari Mtana, hajulikani alipo huku ikidaiwa kuwa ameuwawa baada ya kuchukuliwa na viongozi wa Kijiji cha Lulago.

Habari hizo zimelifikia Gazeti hili baada ya kuripoti taarifa ya Waislamu 70

Ustadh kadhia ya Kilindi atekwa, apigwa, apotea Inadhaniwa kaul iwa kulipiza kisasi Polisi wakana kujua japo wamepewa taarifa Lakini Mahakama yaripoti kupotea kwakeNa Bakari Mwakangwale

Inaendelea Uk. 3

Naim Nabil.

Katika Alama na Vitakatifu vya Allah ambavyo Ameonya visivunjiwe heshima, bali vitukuzwe, vingi sana vinapatikana Makka na Madina (Al-Maaidah:2, Al-Hajj:30). Umeshaziona Alama Zake

Allah na kujikurubisha kwake? Makafiri wanaichukia sana Hijja; hivyo waislamu tuipende sana. Karibuni Ahlu Sunna

wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola

4,500. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022;

Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708.

(11) "AL-HAJJ" NI KIPENZI CHA ALLAH!

HAFLA ya Waislamu Zanzibar.

Page 2: An Nuur 1133

2 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri

SIFA zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote. Na sala na salam zimfikie Bwana wetu Muhammad (s.a.w).

L e o t u m e k u s u d i a kuzungumzia juu ya falsafa ya mwezi mtukufu w a R a m a d h a n i k w a kifupi, kwani kwa hakika falsafa yake ni kubwa na iliyosheheni mambo mengi sana.

P i a t u n a f a h a m u kwamba watu wengi kwa namna moja au nyingine wangetaka kujua japo kwa ufahamu tu wa wastani, k w a n i n i m w e z i w a Ramadhani ni wakati wa ibada kubwa na mashuhuri s a n a k wa Wa i s l a m u ulimwenguni kote.

Mwezi huu ambao ni maarufu sana, Waislamu huwa katika ibada ya funga, lengo kuu likiwa ni kujenga utamaduni wa kumcha Mwenyezi Mungu ipasavyo katika maisha yetu.

Tu k i a n z a n a n e n o R a m a d h a n i , k wa n i n i mwezi huu ukaitwa wa Ramadhani. Baadhi ya wanazuoni wamesema neno Ramadhan lina maana na mafunzo maalum. Kwa kuzingatia maana hiyo, wapo waliokuja n a h o j a m b a l i m b a l i zinazoshabihiana kuhusu mwezi huu wa funga kuitwa Ramadhani.

Wa p o wa l i o a n d i k a kwamba Ramadhan ni moja ya majina matukufu ya Mwenyezi Mungu. Jina ambalo limechaguliwa maalum kwa ajili ya mwezi wa swaumu na huenda n d i o m a a n a u k a i t wa n a k u j u l i k a n a k a m a “Shahrullah”, yaani mwezi wa Mwenyezi Mungu.

Wengine wameona kuwa ilivyokuwa Ramadhan na Radhaa, maana yake ni kuyeyusha na kuunguza na kwa sababu ya kufanya ibada na kutotenda maovu katika mwezi huo wa Ramadhani; dhambi zote huyeyuka, huungua na kusafishika.

H i v y o m w e z i h u o ukapewa jina hilo kwa mnasaba huo.

Moja ya hadithi za

Tuifahamu falsafa ya RamadhaniM t u m e M u h a m m a d (S.A.W) ambayo imetaja faida ya Swaumu kuwa ni kuyeyusha na kuunguza madhambi na vyote vilivyo haramu katika mwili wa mwanadamu, hapa huenda a l i k u wa a n a k u s u d i a dhambi zote ambazo zinahusiana na siha ya mwili wa mwanadamu.

Moja ya kazi za swaumu ni kusafisha dhambi na kwa sababu viungo vya mwili wa mwanadamu kama vile masikio, macho na mdomo hupelekea na huvutika na matamanio m b a l i m b a l i a m b a y o katika mwezi mtukufu wa Ramadhani hudhibitiwa.

Imam Jafary Swadiq (A.S) amesema, “Ikiwa unafunga Swaumu, basi ni lazima ufunge masikio, macho na viungo vyote kutotenda dhambi na vitendo viovu.”

Hizo ni baadhi tu ya fafanuzi za Wanazuoni kuhusu Mwezi huu kuitwa Ramadhani.

Mwezi wa Ramadhani ndio wakat i ambapo imeteremshwa ndani yake Qur’an kuwa mwongozo kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi.” Suratul-Baqarah aya ya 185.

Wa t u w a n a p a s w a kufahamu kwamba kwa hakika, Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ni madrasa au ni chuo chenye falsafa na ujumbe mzito kwa Waislam.

Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan ni shule ya kiroho, shule ya fikra, na ni shule ya nafsi . Ramadhan ni muhula kamili wa kukabiliana pamoja na kurekebisha yale mapungufu ya uanadamu.

Ramadhani ni mahsusi kwa a j i l i ya kuchuja ule uchafu na vumbi vinavyojichanganya katika mawazo ya mwanadamu na kuzivamia fikra zake kipindi chote cha miezi kumi na moja anayoishi akiwa pamoja na jamii.

M w e n y e z i M u n g u a n a t u f a h a m u s i s i wanadamu viumbe vyake kuwa, anapoishi katika jamii kwa muda wa mwaka m m o j a , h u va m i a a u

huvamiwa ndani yake na kila aina ya mazingira na hukabiliana au hukabiliwa na kila aina ya fikra. Aidha hujaribu au hujaribiwa na kila aina ya jaribio na kupambana na kila aina ya pambano katika maisha ya kila siku.

Kutokana na hayo akili ya mwanadamu, moyo wa k e n a h i s i a z a k e , huvamiwa na kila aina ya vumbi na uchafu wa kijamii kutokana na migogoro na migongano mbalimbali ya kijamii iliyopo kila mahali, yote hayo humkabi l i kila mwanadamu katika maisha yake ya kila siku hapa duniani.

Pia mwanadamu ni mtu aliyeumbwa akiwa na silika (Instincts) mbalimbali pamoja na ile hali ya moyo wake kupenda na kutamani kitu. Athari hizi humteka na kumzidi nguvu mwanadamu ndani ya kipindi cha mwaka mmoja.

Mfano wa silika hizo ni kama vile za kimwili, za kinafsi na tamaa na zile za hofu na mashaka.

Aidha tufahamu kuwa kwa kawaida mwanadamu amebeba nafs i yenye kuamrisha maovu ambayo humuongoza kuelekea katika maasi na machafu na hatimae kumuweka mbali na Mola wake.

Hivyo mwanadamu ndani ya mwaka mzima, anaweza kuathiriwa na changamoto hizi, kwakuwa ni sehemu ya uwepo wake.

Tufahamu tu kwamba k i b i n a d a m u k a t i k a mazingira ya namna hii, awe imara na mwerevu, hatokosa kuathirika kwa namna moja au nyingine na hali hiyo kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya fikra zenye sumu katika maingiliano ya kijamii.

M a t o k e o y a k e n i kwamba utafika wakati mwanadamu atajielekeza z a i d i k a t i k a m a m b o ya k i m a a d a a m b a y o yatamfanya awe mbali na Mwenyezi Mungu (s.w).

Tunamaanisha kwamba mwingiliano huu wa kijamii mara nyingi husababisha kupotoka mwanadamu huyu, akiwa ni mwenye kuhisi au kutaka, akiwa ni mwenye kuchukia, au kutamani.

Hivyo, mwanadamu huyu anayeishi katika jamii iliyo katika hali kama hii, anatakiwa kuwa na kitu kitakacho muhifadhi, au kinga imara itakayoweza

kumuhifadhi ili asiweze kuwa chini ya adha hizi na misukosuko hii, ambayo hupenda kumuongoza mwanadamu kuelekea njia isiyokuwa sahihi, ambayo ni njia ya upotokaji na uasi.

K w a m a a n a h i y o , M w e n y e z i M u n g u akatuletea mwezi Mtukufu wa Ramadhan, kinga ya kipekee na ngome imara inayoweza kumhifadhi na kumuokoa mwanadamu asikumbwe na janga la upotokaji wala kuguswa na uchafu wa ki jamii unaopatikana katika jamii zetu, zilizojaa upotokaji na uovu wa kila aina.

Ramadhani humzindua aliyejisahau, aliyepotoka ndani ya mwaka. Ndio maana unakuja kila mwaka ili kuleta kumbukumbu k w a m w a n a d a m u (Muis lamu) kutotoka kwenye ucha Mungu katika kila kipindi cha miaka 12.

Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, unazidhibiti s i l ika za mwandamu na kuziwekea mipaka, ili asiweze kupotoka na kwenda kinyume na njia sahihi i l iyowekwa na Uislam hata baada ya kwisha kwake.

Tuseme pia kwamba m w e z i m t u k u f u w a Ramadhan unachukuliwa k u w a n i m w e z i w a k u t a f a k a r i z a i d i n a kuf ik i r ia , pamoja na kuikagua nafs i yako. Mwezi unaotoa uhakika wa toba kwa wenye kutubia na kuwa watu wasafi kabisa. Kama ambavyo ni mwezi unaompa mwanadamu uhakika wa mwogozo kuelekea katika njia sahihi na ya haki. Nayo ni Qur’an Tukufu.

A i d h a t u f a h a m u kwamba mwezi huu unatoa m a f u n z o m e n g i k wa wanadamu. Mojawapo ni kuleta umoja na usawa kati ya maskini na tajiri. Katika Hadithi kutoka kwa Ibn Hisha’m bin Al-Hakam amesema kwamba alimuuliza Abdillah Al-swaadiq (a.s) kuhusiana na sababu ya kuwepo kwa swaumu. Imam Swadiq (a.s) akasema: Kwa hakika M we z i M u n g u ( s . w ) amefaradhisha swaumu ili kwa swaumu hiyo, tajiri aweze kuwa sawa na maskini. Na hii ni kwa sababu kusingekuwepo swaumu, basi ni hakika tajiri asingeweza kuhisi wala kuguswa machungu ya njaa. Kwa maana hiyo ingelikuwa ni vigumu

k w a k e k u m h u r u m i a masikini, kwa kuwa yeye kwa utajiri wake hajui hali ya umasikini na tabu zake vinafananaje.

Maana tajiri kila kitu ak i takacho , bas i ana uwezo wa kukipata, lakini masikini hawezi kupata kila kitu anachokihitajia na kukitamani, maisha yake mara nyingi huwa ni ya tabu, shida na njaa.

Kwa maana hiyo kupitia Ramadhani, Mwenyezi Mungu (s.w) analinganisha baina ya waja wake na kumuonjesha tajiri njaa pamoja na kiu, ili awe na huruma kwa aliye dhaifu na mnyonge,na amhurumie mwenye maisha ya shinda na njaa (Masikini).

A i d h a t u n a e l e z wa k wa m b a R a m a d h a n i huleta afya kwa mfungaji. M t u m e M u h a m m a d (s.a.w) amesema ꞋꞋfungeni mtapata afyaꞋꞋ. Saumu i n a i m a r i s h a a f ya ya mfungaji kwa njia nyingi. Mojawapo ni pale mtu anapopunguza ulaji kwa kufunga na matokeo yake mwili wake unatumia chakula kilichohifadhiwa mwilini katika kipindi cha kula mchana.

H i v y o , m f u n g a j i anatara j iwa kuwa na u z i t o n a u n e n e w a kiwango kinachotakiwa. Pia, kiwango cha mafuta mwili aina ya cholesterol kitakuwa katika kiwango kizuri.

Tu n a w e z a k u s e m a kwamba Ramadhani ni mwezi wa kujikurubisha zaidi kwa Allah (sw) ili kumfanya Muislamu awe salama kimaisha hapa duniani na kesho kwa Mola wake. Mwezi Mtukufu unaompa Muislamu nafasi zaidi ya kuchuma thawabu zinazopatikana ndani yake.

N i M w e z i a m b a o i m e s i s i t i z w a s a n a kuisoma Qur’an, ili kupata mwongozo.

Aidha ndani ya mwezi huu Muislamu anakuwa na nafasi ya kipekee ya kuomba dua mbalimbali i l i k u s a m e h e w a a u k u r u z u k i w a k w a a n a c h o k i o m b a . S o t e tunajua kwamba Muislamu akiwa na swaumu, basi hata na dua yake kupokelewa kwa wepesi zaidi.

Ramadhani ni mwalimu m z u r i wa k u m f a n ya Muislamu kujenga tabia ya nzuri, kusamehe, kufanya ihsani, kuendeleza udugu na kupendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (s.w).

Page 3: An Nuur 1133

3 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Habari

Ustadh kadhia ya Kilindi atekwa, apigwa, apoteaInatoka Uk. 1k u f u t i wa m a s h i t a k a yaliyokuwa yakiwakabili kutokana na operesheni maalumu iliyofanyika Wilayani Kilindi, Mkoani Tanga.

Ta a r i f a z i n a e l e z a kwamba tukio hilo la kutoweka kwa Ustadh Ra jabu Omar Mtana , limetokea takribani miezi miwili iliyopita, Kiji j i kwake Lulago.

Chanzo cha habar i kimepasha kuwa Ust. R a j a b u , a l i k u w a n i mtuhumiwa wa mwanzo kukamatwa akidaiwa kukataa kulipa ushuru wa zao la hiliki, na kukamatwa kwake ndio kukapelekea kadhi zote zile kuibuka Wilayani Kilindi.

“Lakini wakati hayo yakiendelea huko katika vijiji mbalimbali chini ya Askari Polisi, yeye alikuwa yupo rumande, n a a l i p o p e l e k w a Mahakamani, alisomewa shitaka la kumjeruhi Askari Mgambo”. Kilisema chanzo hicho kutoka Kijijini hapo.

I m e e l e z w a k u w a inavyodhaniwa ni kwamba ndugu wa Askari Mgambo aliyeuwawa na Askari Mgambo waliomchukua U s t . R a j a b u , a k i w a nyumbani kwa dada yake ndio waliolipiza kisasi kwa kusababisha kifo cha ndugu yao.

Taarifa hizo zimeeleza k w a m b a , n d u g u n a jamaa wa Ust. Rajabu, w a k i s h i r i k i a n a n a Waislamu, waliripoti tukio hilo kuanzia ngazi ya chini ya Polisi na hata kulifikisha kwa RCO, lakini mpaka sasa ni mwezi na zaidi hakuna juhudi zozote zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi.

Gazeti hili lilipomuuliza Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Tanga, juu ya tukio hilo, alisema hana taarifa hizo huku akitaka kujua ametoweka akiwa wapi, na alipoelezwa kuwa taarifa hizo zimefikishwa ngazi ya chini ya Polisi, a k a s i s i t i z a k w a m b a bado hazijamfikia huku akiwataka jamaa wa Ust. Rajabu, kumfikishia taarifa hizo kwake moja kwa moja.

“ H a m n a t a a r i f a z a namna hiyo kwangu, sina taarifa za mshitakiwa aliyekamatwa na kupotea, i l a h a o w a l i o k u p a taarifa wakinif ikishia nitazifuatilia nijue ukweli wake.” Alisema Kamanda Kostantin Masawe.

A k i z u n g u m z a n a gazeti hi l i mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo

alisema, kuna uwezekano mkubwa Ust. Rajabu, kuwa ameuwawa kutokana na kipigo alichokipata siku aliyokamatwa.

“Wasiwas i wa Ust . R a j a b u , k u u wa wa n i mkubwa kwa sababu, k i p i g o a l i c h o p i g w a alipokamatwa na kama hakupata tiba sidhani kama yupo hai lakini pia baada ya kufanya jitihada za kumsaka sehemu zote na mpaka sasa hajapatikana k u n a u w e z e k a n o mkubwa huenda wakawa wamemuua na kumfukia wanapojua wao”.

Alisema mtoa taarifa huyo kwa mashariti ya kutotajwa jina lake gazetini.

A l i s e m a , b a a d a ya kupotea, taarifa zilifika M a h a k a m a n i , l a k i n i cha a jabu Mahakama haijaonyesha msimamo wa kutaka mtuhumiwa huyo awepo Mahakamani au kumsumbua mdhamini wake kama inavyokuwa ikiwa mtuhumiwa hafiki Mahakamani.

K wa u p a n d e wa k e akielezea mazingira ya k u t o w e k a k w a U s t . Rajabu, Ust. Ramadhani Chambuso, alisema baada ya kupata dhamana, miezi miwil i i l iyopita , Ust . Rajabu, alirudi Kijijini kwao Lulago.

A l i s e m a , t a a r i f a walizonazo ni kwamba alipofika hapo Mwenyekiti wa Usalama na Mwenyekiti wa Kijiji pamoja na Mgambo walimkamata, wakamsachi

kisha walichukua pesa zake kiasi cha shilingi 17,000/- na simu yake ya mkononi.

U s t . C h a m b u s o , alisema baada ya hapo walimwachia, na hapo Bw. Rajabu, alikwenda nyumbani kwa dada yake, kusalimia ambapo majira ya saa nne usiku ndipo alipovamiwa akiwa hapo na kuchukul iwa kwa kipigo kikali.

“Wakati anachukuliwa pale hakuchukuliwa hivi hivi bali alichukuliwa kwa kipigo kikali kwa kutumia magongo na fimbo chini ya Mwenyekiti wa Ulinzi wa usalama wa Kijiji, kiongozi wa Mgambo, Mwenyekiti wa Kijiji pamoja na Mgambo wapatao watatu na alikuwa akipiga mayowe akiomba msaada bila mafanikio”. Alisema Ust. Chambuso.

A l i s e m a , h u k u wakimpiga walitokomea naye kusiko julikana na ndugu kwa muda huo hawakuweza kufanya lolote kwani waliofika na kumchukua walikuwa ni viongozi wa Kijiji na timu ya usalama wa Kijiji wakiambatana askar i Mgambo.

U s t . C h a m b u s o , alisema siku iliyofuata wa l i k a m a t wa n d u g u wa Ust. Rajabu, mdogo w a k e , d a d a y a k e , p a m o j a n a s h e m e j i yake wakishutumiwa

kumuhifadhi mtu ambaye wao hawamtaki Kijini hapo, ambapo walifikishwa katika ofisi ya Mtendaji Kata.

Hata hivyo waliachiwa kwa kutozwa kiasi fulani cha pesa.

Alisema, baada ya wao k u t o k a h a wa k u we z a kuelewa tena hatima ya ndugu yao (Ust. Rajabu) hivyo iliwalazimu kuanza kutoa taarifa hizo kwa ndugu na jamaa sehemu mbalimbali ikiwa ni juhudi za kumtafuta.

H a t a h i v y o U s t . Chambuso, alisema baada ya Waislamu kupata taarifa hizo, waliingia msituni na katika vijiji vyote vya jirani na sehemu mbalimbali kwa lengo la kumsaka usiku na mchana, bila mafanikio yoyote.

“Baada ya juhudi hizo kutozaa matunda, ndugu na Waislamu hao walikwenda kutoa taarifa katika kituo cha Polisi Songe, ambapo alidai kuwa uongozi wa kituo hicho uliwapa majibu kuwa ‘usalama wa mtu ni wa mtu mwenyewe, kama mwenyewe kajipeleka na kauwawa shauri yake”. A l i s e m a , a k i n u k u u maelezo ya afisa mmoja wa Polisi kituoni hapo.

Pamoja na majibu hayo, alisema hawakukata tamaa, bali walipeleka taarifa hizo kwa Mkuu wa Wilaya,

akadai pia hakuna juhudi au ushirikiano uliotolewa kutokana na kupotea kwa Ust. Rajabu.

H a t a h i v y o , U s t . Chambuso, alisema mwezi uliopita walipeleka taarifa hizo kwa RCO, ambaye naye aliwaahidi kuwa atafuatilia tukio hilo na kuwafahamisha, lakini hadi sasa alidai hakuna taarifa yoyote waliyopewa.

Wakili wa Waislamu hao Bw. Hassan Kilule, alipoulizwa juu ya mteja wa k e h u y o , a l i s e m a k u n a m a w i l i a i d h a ameuwawa au yupo hai amefichwa sehemu na hao waliomchukua siku chache baada ya kupata dhamana.

Alipoulizwa kwa nini awe na wasiwasi katika maeneo hayo mawili , Wakili Kilule, akasisitiza kwamba wasiwasi wa kuuliwa ni mkubwa kwa sababu haonekani pamoja na juhudi ya ndugu zake wakisaidiana na Waislamu kumsaka katika maeneo a m b a y o w a n a i m a n i w a n g e m p a t a l a k i n i hawajafanikiwa kumuona, wala kuwapo na taarifa zake zozote.

Alisema, dhana hiyo ni kubwa zaidi kwani akadia kwa bahati mbaya ndugu zake wengine ndio hao ambao mpaka sasa wapo ndani wakituhumiwa kwa kesi ya mauaji ya askari Magambo.

Wakili Kilule, alisema k a t i k a m w e n d e l e z o wa kesi inayomkabili, siku ya kwanza kurudi M a h a k a m a n i b a a d a ya k ut owek a k wak e , mwendesha mashitaka ndie aliyetoa taarifa ya kupotea kwa mtuhumiwa mbele ya hakimu, kwa kuwa taarifa zake zilifikishwa kituo cha Polisi.

“Siku ambayo ilotajwa kesi yake mwendesha mashitaka mwenyewe ndie a l iye toa taar i fa kwamba inasemekana mtuhumiwa Rajabu Omari Mtana , ametekwa na watu wasiojulikana hivyo hayupo Mahakamani”.

Alisema Wakili Kilule, akinukuu maelezo ya mwendesha Mashataka.

Alisema, yeye kama Wakili Ust. Rajabu, kisheria anashindwa kulibana Jeshi la Polisi au Mahakama k u t o k a n a n a k u w a mtuhumiwa, mteja wake huyo hajapotea mikononi mwa Polisi au Mahakama.

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangu.

Page 4: An Nuur 1133

4 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Habari

WITO umetolewa kwa Shule za Kiislamu nchini kulipa kipaumbele somo la Qur an kwa kwasomesha na kuwahifadhisha vijana wa Kiislamu ili waweze kubobea katika fani mbalimbali wakiwa na elimu ya Qur an.

Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Taasisi ya The Islamic Foundation ya Mjini Morogoro, Ustadhi Aref Nahd, akiongea n a Wa i s l a m u k a t i k a Mashindano, ya kuhifadhi Qur an yaliyofanyika k a t i k a U k u m b i w a Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam, Jumatatu wiki hii.

Ust. Nahd, alisema, ipo haja kwa shule za Kiislamu kulipa kipaumbe somo la Qur an kwa lengo la kuwaandaa vijana wa Ki i s lamu ku ja kuwa

Shule za Kiislamu zitiliemkazo somo la Qur’an-Aref

Na Bakari Mwakangwale

watendaji wanaofanya kazi kwa kuzingat ia mafunzo ya Qur an.

“ L e n g o l a k u z i i t a Shule zetu za Kiislamu ni lazima msingi wake katika masomo uwe ni Qur an, kijana wa Kiislamu akitoka pale na kuendelea kimasomo mwisho wa siku aje kuwa Injinia au Dakatari na wakati huo huo awe Imamu, na zaidi awe ni mtendaji s a f i a k i o n g o z wa n a mafundisho ya Qur an”. Alisema Ust. Nahd.

Ust. Nahd, alisema ili kujipa changamoto katika

kuliti l ia mkazo somo hilo, ni vyema Shule za Kiislamu zikajiunga katika utaratibu wa mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur an, na kwamba jambo hilo lisiwe la hiyari ili kuleta ustawi wa jamii ya Kiislamu na kuifundisha Qur an.

Alisema, nje ya hivyo itakuwa hakuna maana kuziita Shule za Kiislamu, ikiwa watoto wanatoka k a t i k a S h u l e h i z o hawajui kuitafsiri Qur an kinadharia na kimatendo, akasema ikiwa kuna Shule ya Ki is lamu ambayo

haitilii mkazo somo la Qur an ni bora ifungwe.

Ust. Nahd, akatoa wito kuundwa kwa kamati itakayozikutanisha Shule zote za Kiislamu kwa lengo la kukumbushana juu ya umuhimu wa suala hilo, ili Shule za Kiislamu ziwe ni sehemu ya kuandaa vijana si tu wawe mahalifa bali pia wawe viongozi wanaoongeza kwa utashi wa Qur an katika jamii kwa ujumla.

Kwa upande mwingine Ust. Nahd, aliwataka wazazi kuunga mkono m p a n g o h u o w a

kuhifadhisha watoto wao Qur an wakiwa mashuleni na kutoa ushirikiano kwa kutoa michango ili kuweza kufikia malengo hayo.

“Tusipo unga mkono sisi Waislamu wenyewe suala hili hakuna mtu kutoka nje ya Dini hii atakayekuja kutuunga mkono au kutukumbusha umuhimu wa kuwarithisha watoto elimu ya Qur an, hili ni jukumu leto sote.” Alisema Ust. Nahd.

Aidha , a l i toa wi to pia kwa waandaaji wa mashindano hayo kutanua wigo wa mashindano h a y o i l i s i k u z i j a z o yashirikishe Shule zote za Kiislamu Tanzania, badala ya Dar es Salaam tu, ili kuleta changamoto zaidi na kujenga umoja na mshikamano kupitia utaratibu huo miongoni mwa Waislamu nchini.

ZAIDI ya watu 75 wanatajwa kuuliwa k u t o k a n a n a mashambulizi ya Israel yanayoendelea Gaza.

Katika waliouliwa ni watoto ambapo Israel imekaririwa ikisema k u w a i t a e n d e l e z a mashambulizi ya anga na ik ib id i ku ing ia ardhini.

Taarifa za Wizara ya Afya katika Gaza z i n a a r i f u k u w a za id i ya watu 550 w a m e s h a j e r u h i w a t o k a I s r a e l i a n z e mashambulizi yake.

M a e n e o yaliyoshambuliwa sana na ndege za Israel ni Gaza City, Beit Hanoun n a K h a n Yo u n i s . Kumefanyika zaidi ya mashambulio 500 hadi sasa.

Kwa upande wake Israel inadai kuwa imeshambul iwa na Hamas kwa matoketi 200 yaliyovurumishwa na kutua ndani ya Israel.

K u e n d e l e a k w a mashambul io haya ambapo mamia ya watoto na watu wasio

Israel yaendelea kufanya uharamia Gaza, yauwa 75na hatia wanauliwa na kujeruhiwa, imeelezwa kuwa ni kielelezo cha ukatili wa Israel na jeuri ya kutokujali kabisa haki za binadamu na sheria za kimataifa.

H i i n i m o j a y a m a a n g a m i z i y a n a y o l e t w a n a mashambulio ya Israel, huko Gaza. Hili lilikuwa shambulio katika Gaza City, Julai 9, 2014.

" G a z a h a k u n a vita kwa maana ya majeshi ya pande mbili yanayopigana kama inavyodaiwa kuwa. Gaza kuna kuadhibiwa jumla jamala Wapalestina. Ni uuwaji wa kikatili, ni mashambulizi ya kikatili dhidi ya Wapalestina”, anasema Dr. Mona El-Farra, kutoka Gaza akihudumia majeruhi.

R A I A wa Pa l e s t i n a wakiomboleza maiti za ndugu zao waliouliwa na majeshi ya Israel huko Gaza.

Pichani juu mtoto akiwa ajeruhiwa vibaya katika mashambulizi hayo.

Page 5: An Nuur 1133

5 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Habari za Kimataifa

ni machafuko ya kisiasa.P o l i s i w a K e n y a

walisema mashambulio ya hivi karibuni yalisababisha watu 21 kufariki dunia, wakati Shirika la Msalaba Mwekundu lilithibitisha watu 22 kufariki dunia. Kwa upande wake, al-Shabaab ilidai kuwaua watu wapatao 43.

" W a j a h i d i n a w a n a t e k e l e z a m a s h a m b u l i o yaliyopangiliwa vizuri huko Kenya , mahal i a m b a p o M u n g u a m e r u h u s u a d u i kupata hasara kubwa," a l inukul iwa akisema msemaji wa al-Shabaab Al i Mohamud Rage , akidai kwamba shambulio hilo lilikuwa la kujibu kuendelea kuwepo kwa jeshi la Kenya nchini S o m a l i a n a k u wa u a Maulamaa wa Kiislamu huko Mombasa.

"Hatuwezi kuhitimisha kimamlaka kama ni al-Shabaab wanaohusika, Baraza la Jamhuri ya M o m b a s a ( M R C ) a u wahal i fu wa ndani , " Kamishina wa Kaunti ya Lamu, uchunguzi unaendelea", Miiri Njenga aliimbia Sabahi.

K a m i s h n a h u y o aliongeza kudai kuwa, w a t u w a l i o h o j i w a walisema walikuwa kundi la mashambuliaji wapatao 40 hadi 50, walimpiga risasi na kumuua ofisa wa polisi aliyekuwa zamu katika kituo cha polisi cha Lamu kabla ya kuwaachia mahabusu waliokuwa kituoni hapo.

Bw. Njenga alithibitisha kwamba wale waliouawa katika shambulio hilo, wa l ikuwa wanaume, kufuatia mfululizo wa mauaji kama hayo huko Mpeketoni. Alisema ofisi za serikali, Kanisa na lori vilichomwa moto.

Rose Ngilani, mwenye umri wa miaka 55 mmiliki wa duka la vileo huko Hindi, alieleza namna washambuliaji wanne wa l i v y o i n g i a k a t i k a nyumba yake iliyoezekwa kwa nyasi Jumamosi jioni na kumuuliza alipo mume wake, ambapo aliwajibu kuwa alikuwa mjane.

Ngilani alisema baada ya kuthibitisha kwamba a l i k u wa p e k e ya k e , washambuliaji walichoma nyasi za nyumba yake na kusema kwa sauti kwamba,

Wakenya zaidi wauawa Lamu na Tana RiverWavulana wanatoroshwa Hasira, hofu zaongezeka

Na Julius Kithuure, Nairobi

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

Kenya itaendelea kupata taabu hadi itakapojiondoa Somalia.

H a t a h j i v y o Ngilani alihoji namna w a s h a m b u l i a j i w a n a v y o w e z a kushambulia na kisha k u o n d o k a p a s i p o kukamatwa au kuuawa.

J i r a n i wa N g i l a n i , Rhoda Karoki, mwenye miaka 42, muuza samaki, alisema alitarajia sehemu yote ya kaunti ya Lamu kujaa askari wa usalama wakitafuta wauaji ambao walifanya mauaji ya mwezi uliopita.

"Ni j insi gani watu wenye silaha walivaa sare za kijeshi [wenye] bunduki za kisasa na mapanga wa n a s a b a b i s h a h o f u katika kaunti mbili tofauti na hakuna hata mmoja aliyeuawa au kukamatwa ?" alihoji.

K a r o k i a n a s e m a anahofia nchi inaingia katika wakati wa hatari, akishangaa namna maofisa katika kituo cha polisi cha Gamba walivyoshindwa kwa urahisi.

Kamanda wa polisi wa Kaunti ya Lamu, Ephantus Kiura, akizungumzia kuhusu kushambuliwa Kituo cha Polisi cha Gamba ambako polisi na raia nane waliuawa, alisema baadhi ya wafungwa pia waliachiwa lakini kwa sababu za kiusalama hawawezi kuwataja majina yao, idadi yao na aina ya makosa yao.

B w . K i u r a a l i s e m a p o l i s i p i a wa l i k u wa wanachunguza uhalisi wa ujumbe wa Kiswahili na Kiingereza ulioandikwa kwenye ubao katika kituo cha polisi.

I n a e l e z w a k u w a u l i a c h w a u j u m b e unaoshukiwa kuandikwa na washambuliaji, ambao una sehemu iliyosomeka, " M R C - m m e l a l a . Waislamu, ardhi yenu inachukuliwa. Amkeni na mpigane."

Pia ulijumuisha hisia za kumpendelea kiongozi wa upinzani Raila Odinga na uliposema "Uhuru chini".

"Wanaposema ni MRC bila ya kutoa ushahidi w o w o t e t h a b i t i a u kuwakamata wanachama w a k e , w a k a t i k w a upande mwingine al-Shabaab inadai kuhusika,

UKIWA umepita mwezi mmoja tangu yatokee mauaji katika eneo la j i rani la Mpeketoni yaliyopoteza maisha ya watu 61. Idadi kubwa ya watu wameanza kuhama mji wa Hindi, karibu na eneo la Lamu, Pwani ya Kenya kufuatia mji huo kushambuliwa mwishoni mwa wiki ambapo watu 29 wameuliwa.

I n a a r i f i w a k u w a wakazi wa eneo hi lo sasa wanawatorosha wavulana na wanaume, kwa sababu ya hofu kuwa wao ndio wanalengwa na washambuliaji wanapofika kutekeleza mashambulizi yao.

B a a d h i ya wa k a z i wanahamia maeneo ya Mpeketoni na Malindi kutafuta hifadhi.

Wengi wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuwapa ulinzi wa kutosha, kwani siku moja kabla ya mashambulizi, walikuwa w a m e h a k i k i s h i w a usalama wao ingawa kesho yake mashambulizi yakawakuta.

M k u u w a K a u n t i ya Lamu, Miiri Njiri , a m e i o m b a s e r i k a l i kupeleka wanajeshi wa KDF pamoja na polisi wa kupambana na ghasia katika eneo zima la Lamu ili kulinda usalama wa wananchi.

M a k a m u wa R a i s , William Ruto, ametoa amr i ya saa 48 kwa M a a f i s a Wa k u u w a Usalama wa Pwani ya K e n y a k u w a k a m a t a washambuliaji waliofanya mauaji hayo mwishoni mwa wiki.

Polisi kwa upande wao nao wanalilaumu kundi la MRC linalotaka eneo la Pwani kujitenga na Kenya licha ya Al Shabaab kukiri kufanya mashambulizi hayo.

Hata hivyo katika siku za hivi karibuni, Serikali imekuwa ikidai kuwa m a s h a m b u l i z i h a y o yanachochewa kisiasa wala hayakutekelezwa na

kundi la Al Shabaab tofauti na ilivyokuwa awali tangu shambulio la Westgate.

Wakazi wa Lamu na Tana River nchini Kenya wamekimbia makazi yao baada ya mashambulio yaliyoanza tena mwishomi mwa wiki kusababisha vifo vya watu wapatao 21, nyumba za makazi na biashara zilichomwa moto huku watu wengi w a k i s h a n g a a j i n s i v i k o s i v ya u s a l a m a v i n a v y o s h i n d w a kuchukua hatua za haraka.

Wakazi wa Kaunti ya Lamu walikimbia makazi yao Jumapili ya Julai 6, siku moja baadaye kufuatia wanaume kiasi cha 50 wenye silaha nzito waliposhambulia Lamu na Tana River na kuua watu wapatao 21.

S h a m b u l i o h i l o l i m e e l e z wa k u wa n i sawa na mashambulio ya mwezi uliopita huko Mpeketoni na vijiji vya

jirani, wakati kikundi cha wanaume takribani 40 hadi 50 wenye silaha nzito, waliposhambulia mji wa Hindi, Lamu, Jumamosi Juni 5 Juni majira ya saa 5:00 usiku, kabla ya kuondoka na boti kuelekea mji wa Gamba katika Kaunti ya Tana River.

Hindi iko kilometa t a k r i b a n i 1 5 k u t o k a Mpeketoni, wakati Gamba iko kilometa takribani 70 kutoka katika mji huo, ambao ni kitovu cha mashambulio ya Juni 15 na 16 ambayo yalisababisha watu 65 kufariki dunia. A i d h a J u n i 2 4 wa t u wapatao 11 waliuliwa katika kaunti ya Lamu kijiji cha Witu.

Bado kuna mkanganyo juu ya nani alihusika na mashambulio hayo, huku al-Shabaab ikidai kuhusika na serikali ya Kenya ikisema uchunguzi "unaendelea" na Rais Uhuru Kenyatta akisisitiza kuwa si ugaidi Inaendelea Uk. 12

Page 6: An Nuur 1133

6 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Habari

I M E E L E Z WA k u w a Uislamu ni neema kubwa waliyojaaliwa nayo watu wa Zanzibar , lakini inafujwa.

Kwa mujibu wa taarifa na uchambuzi uliotolewa k a t i k a m i t a n d a o ya kijamii, ile kuwa Zanzibar ni Waislamu kwa zaidi ya asilimia 95 ni jambo kubwa ambalo lingeifanya Zanzibar kuwa tofauti kabisa na Tanganyika au nchi nyingine yoyote isiyokuwa ya Kiislamu.

Hii ni kwa sababu k u wa U i s l a m u n d i o unaofundisha ubinadamu, ndio Dini ya kweli na mfumo sahihi wa maisha.

H a t a h i v y o , inavyoelekea k idogo kidogo watu wanautupa Uislamu wakibaki na Uislamu wa majina na mavazi, huku kitabia, akhlaq na mwenendo m z i m a wa k i m a i s h a wakiwa hawana tofauti yoyote na jamii zisizo za Kiislamu.

I k a e l e z w a k u w a imekuwa ni jambo la kusikitisha kuwa wakati Uislamu ndio ulioupa ulimwengu ustaarabu na maendeleo makubwa yakiwemo ya elimu na uchumi, watu hivi sasa wa n a u t u p a U i s l a m u na kuparamia ukafiri, usekula , ub epar i na kila nadharia inayokuja wakidhani ndio maendeleo kumbe wanajiangamiza.

Hali ya vijana kuiga tabia mbovu za watalii na kila kinachotoka Ulaya, imeelezwa kuwa ni alama ya Waislamu Zanzibar kufirisika kiimani na kutupa dini yao, hali i n a y o a s h i r i a k u w a zile juhudi za zamani kuhakikisha kuwa watu wanakuwa Waislamu kwa kujua, hivi sasa zimetupwa.

Kinachotokea hivi sasa ni kuwa watu wanabaki Waislamu wa kuzaliwa na hakuna juhudi yoyote inayochukuliwa kusoma na kufahamu.

Lakini hayo yakijiri, kasi ya kuingia itikadi n y i n g i n e u k i w e m o Ukristo na umagharibi nayo inaongezeka hali inayotishia mustakbali wa Uislamu.

“ N d u g u Wa i s l a m u w e z a n g u , w a n a w a Zanzibar, katika kitu tutakachokuja kujuta na kujijutia hapa dunian na huko Akhera mbele ya Allah, ni kutujalia Zanzibar ni miongoni mwa nchi yenye asilimia 99% ya wananchi wake kuwa ni waumini wa dini ya Kiislamu.”

A n a s e m a mwanamtandao mmoja akitahadharisha kuwa a n a c h o o n a n i w a t u kupuuza neema hiyo na

Uislamu neema kubwa Zanzibar lakini...Na Mwandishi Wetu

kuacha itikadi nyingine zikichanua.

Wakati huko nyuma v i t e n d o v ya u h a l i f u ukiwemo udokozi, wizi, ujambazi na umalaya; i l i k u wa s i v i t u v ya kutajika Zanzibar, hivi sasa umeingia mpaka ujambazi wa kutumia silaha pamoja na biashara ya ‘uchangudoa’.

“ H i y o n i m o j a ya m a t u n d a ya k u t u p a Uislamu na kuacha ukafiri kuchukua nafasi.”

Anasema mwananchi mmoja ambaye anasema kuwa, lau Wazanzibari wangekuwa na mwamko wa kidini japo asilimia ishirini tu ya ule mwamko walio nao katika siasa, basi Zanzibar wangeishi kwa amani ya kweli na kubarikiwa kwa kila aina ya neema.

Lakini wameitupa dini na kuona kuwa siasa za CCM na CUF ndio zitawavusha hapa duniani huku wakisahau Akhera yao.

M c h a m b u z i h u y o akasema kuwa lengo sio kuwataka Wazanzibari kuacha siasa, lakini ni siasa gani, na nini nafasi ya Dini yao katika siasa hizo.

“ L a u t u n a s i m a m a kama Waislamu na kama Wazanzibari , hakuna wa kutuchezea, lakini tunapos imama kama CCM na CUF tunafanywa k a m a m wa n a s e s e r e , tumekubali kugawanya na kutofautiana hata katika yale mambo ya msingi ya kinchi, kama hili la Katiba

Mpya kwamba kuwe na serikali tatu au mbili.” Aliongeza.

Wa k a t i h u o h u o , i m e s i s i t i z w a k u w a hakuna kitu cha kumletea binadamu ukombozi na maendeleo zaidi ya elimu.

Na kwa sababu hiyo Wazanzibari wakatakiwa kushikamana na amri ya “Iqra”, ambayo ndiyo aya ya kwanza na amri ya kwanza kupewa Mtume (s.a.w).

Hayo yamebainishwa katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao huko Kengeja, Pemba.

K a t i k a h a f l a h i y o iliyofanyika hivi karibuni katika skuli ya Kengeja, Afisa Mdhamini Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Pemba, Mh. Amran Massoud Amrani akikabidhi zawadi hizo alisisitiza kuwa katika

utoaji wa elimu kusiwe na ubaguzi baina ya watoto wakike na wa kiume.

AFISA huyo ameitika jamii kuelekeza nguvu zao kuwapatia watoto wao elimu, na wasiharakishe k u wa o z a wa t o t o wa kike wakati fursa elimu zikiwepo.

Zawadi zilizotolewa ni sare za skuli pamoja na fedha taslimu kwa wanafunzi wa skuli hiyo wa l i o f a u l u n g a z i ya michepuo na wale wa kuingia darasa la kumi na tatu mwaka 2013/2014.

Pongezi za kipekee alipewa Dr. Omar Dadi Shajak ambaye ni mzaliwa wa Kengeja kwa kutoa mchango mkubwa katika k u e n d e l e z a K e n g e j a kielimu ikiwepo kufadhili program ya kuwaweka wanafunzi katika kambi za kujisomea.

“ W a t u k a m a D k Omar Dadi, ndio hawa wakuthaminiwa maana wamekuwa wakielekeza n g u v u k w e n y e j ambo ambalo Al lah amelizungumza sana la elimu’’, alisema mgeni rasmi katika hafla hiyo.

Mapema mwenyekiti wa kamati ya skuli ya sekondari ya Kengeja Hassan Abdalla, amesema juhudi zilioonyeshwa na wanafunzi hao zisiishie hapo na wajipange ili wafike vyuo vikuu.

N a y e m r a t i b u w a hafla hiyo, Khamis Juma Salim alisema uamuzi uliochukuliwa na Dr. Omar Dadi Shajaki wa kutoa gharama zake za kuwaweka kambini wanafunzi hao, unafaa kuungwa mkono na kila mmoja.

Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh.TUNAPENDA KUWAFAHAMISHA WAISLAMU WOTE KUWA INSHAALLAH MASIKU

KUMI (10) YOTE YA MWISHO WA MWEZI HUU WA RAMADHANI TUMEANDAA ITIKAF ITAKAYOFANYIKA BAGAMOYO KUANZIA TAREHE 18 / 07 /2014 SAWA NA MWEZI 20 RAMADHANI 1435.

MADA KUHUSU ‘ILMU AKHIRUZAMANI (ISLAMIC ESCHATOLOGY) ITAHUDHURISHWA KWA MUDA WA SIKU ZOTE 10.

I. ‘ILMU AKHIRU ZAMAN (ELIMU KUHUSU NYAKATI ZA MWISHO ZA KUMALIZIKA DUNIA).

a. MJUE MASIHI DAJJAL JINSI FITINA ZAKE ZINAVOZIDI KUTUGAWA NA KUTUANGAMIZA WAISLAM NA NI LINI NA KWA NAMNA GANI ATAJITOKEZA HADHARANI.

b. WAJUE YA’AJUJ NA MA’AJUJ NA JINSI WANAVYOENDELEA KUFANYA UHARIBIFU DUNIANI KOTE HASA KATIKA ARDHI ZA WAISLAM.

c. NAMNA GANI YA KUJIKINGA NA FITNAH ZA MASIHI DAJJAL

d. VIPI TUTASALIMIKA NA VITA YA TATU YA DUNIA (NUCLEAR WAR) AMBAYO INATAZAMIWA KUTOKEA HIVI KARIBUNI NA AMBAYO ITAGHARIMU MAISHA WA WATU WENGI SANA DUNIANI.

KWA MAELEZO ZAIDI YA NAMNA YA KUSHIRIKI ITIKAF HII PAMOJA NA GHARAMA ZOTE ZA SAFARI, FTARI NA DAKU FIKA MASJID IHSAN URAFIKI (NYUMA YA SOKO LA MITUMBA,BIG BROTHER) ULIZIA USTADH HAMZA AU PIGA SIMU NAMBA 0714750521 AU UST RASHID 0715351602.

TAFADHALI TOA TAARIFA MAPEMA IWAPO UMETIA NIA YA KUSHIRIKI.WABILLAH TAWFIQ

ITIKAF BAGAMOYO

Page 7: An Nuur 1133

7 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Makala

MWENYEZI Mungu ameumba vitu viwili viwili hapa duniani. Katika viwili hivyo, kuna vile ambavyo v i n a k u b a l i a n a n a kuhitajiana, na vile ambavyo vinagongana na kusuguana.

Mwenyezi Mungu Mt u k u f u a me u mb a wanaume na wanawake, usiku na mchana, maji na moto, joto na baridi. Vyote hivyo viko katika jozi. Halikadhalika, haki na batili pia zimewekwa katika mfumo huo.

Haki na batili siku z o t e z i n a p i n g a n a na zitaendelea kuwa katika mgongano na m s u g u a n o m i l e l e . Wapiganiaji wa haki na wale wanaopigania batili nao wako katika msuguano, kama misingi wanayopigania ilivyo. Wanapingana kama ncha za Kusini na Kaskazini. Kamwe hazikubaliani na haz iwezi kukaa p a m o j a . U k i o n a madhalimu wanaishi kwa raha mustarehe na wadhulumiwa, basi ujue kuna tatizo upande wa wadhulumiwa.

Shetani ndiye mfalme na mshika beramu wa batili akiwa na wafuasi wake, wakati Mitume wa Mwenyezi Mungu ndiyo washika bendera ya haki wakiwa na wafuasi wao. Mitume wa Mwenyezi Mungu, r e h e m a n a a m a n i juu yao, waliamriwa kusimamisha haki hapa duniani kwa kumuabudu Mwenyezi Mungu asiye na mshirika.

W a k a t i S h e t a n i aki jar ibu kuvuruga haki hapa duniani , a k i m s h i r i k i s h a M w e n y e z i M u n g u kwa njia mbalimbali, M w e n y e z i M u n g u mwenyewe anasema hivi:

" N a n a m n a h i i

Msuguano wa haki na batili ni sunna ya Allah!Said Rajab. t u m e m f a n y i a k i l a

Nabii maadui, (nao ni) mashetani katika watu na (mashetani katika) majini. Baadhi yao wanawafunulia we n z i wa o m a n e n o ya kupambapamba ili kuwadanganya" Qur (6:112)

Msuguano baina ya haki na batili utakuwepo t u k u p i t i a s u r a mbalimbali. Iwe hila, malumbano, ghasia na hata vita. Kutetea haki na kunyanyua Kalima ya Mwenyezi Mungu siyo mchezo. Hila nyingi sana zimetumika kuondoa hamasa ya kupigania d i n i ya M we n ye z i Mungu katika nyoyo za Waislamu. Waislamu wanauchukulia wajibu huo kwa wepesi tu, wakati ni jambo la kufa na kupona! Wengine wanaogopa changamoto z i n a z o l e t w a n a mapambano ya kudai haki.

Watu wako tayari kupigania utaifa wao, n c h i z a o , u j a m a a , ukomunisti, demokrasia na Itikadi zao nyingine, hata kufikia kiwango cha mapambano ya silaha. Wanajiona wana haki ya kuanzisha vita, ili kuhami misingi yao wanayoiamini. Lakini cha ajabu, Waislamu wanaonekana hawana haki hiyo na baadhi yao wamekubaliana na hilo! Kuna wengine w a n a j a r i b u h a t a kuzimua msuguano wa kimaumbile uliopo kati ya haki na batili kwa maslahi ya kidunia tu!

Wakati Mtume wa M w e n y e z i M u n g u alipopata pigo kubwa na kushindwa vi ta vya Uhud, Masahaba walihuzunika sana na kukata tamaa. Walifikia h a t u a ya k u a m i n i kwamba wamekwisha, hasa kufuatia taarifa k w a m b a M t u m e ameuawa! Pigo kubwa

kweli! Lakini Mwenyezi Mungu akawafanya waelewe kuhusu watu waliopita kabla yao, ambao walipambana bega kwa bega pamoja na Mitume wao.

Watu hao walivuka mitihani mizito mno. Pamoja na kwamba Mitume wao waliuawa, l a k i n i m a p a m b a n o katika njia ya Mwenyezi Mungu bado yaliendelea. M w e n y e z i M u n g u Mtukufu anasema hivi:

"Na Manabii wangapi walipigana na maadui; na pamoja nao kulikuwa na watakatifu wengi. Hawakulegea kwa yale yaliyowasibu katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala hawakudhoofika wala hawakudhalilika.Na Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao subira" Qur (3:146)

Aya hizo za Mwenyezi M u n g u z i n a t u p a ufahamu wa kutosha kuhusu njia walizopita Mitume. Na njia hizo bado zinatumiwa na k i z a z i m a d h u b u t i ambacho kimeshikilia sawa sawa mis ingi iliyowekwa na Manabii wa Mwenyezi Mungu. Ni njia ndefu yenye miiba kuelekea pepo ya Mwenyezi Mungu:

" J e ! M n a d h a n i mtaingia Peponi, hali M w e n y e z i M u n g u hajawapambanua wale waliopigania dini ya M w e n y e z i M u n g u m i o n g o n i m w e n u , n a k u wa p a m b a n u a waliofanya subira?" Qur (3:142)

Vita vingapi, Mtume na Masahaba wake walipigana, ili kuihami d i n i ya M we n ye z i Mungu na kuifanya kauli ya Allah kuwa juu hapa duniani? Mitihani mingapi walikabiliana n a y o ? L a k i n i walifanya subira na kamwe hawakuacha m a p a m b a n o . K w a sababu walifahamu k w a m b a M a k a f i r i hawataacha kupanga mbinu za kuushambulia Uislamu:

"Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila yao" Qur (2:120)

Makafiri wanatumia mbinu za hali ya juu sana kuushambulia Uislamu. Wanatumia nguvu zote, ngumu na laini, kuhakikisha k w a m b a U i s l a m u haufurukuti duniani. Katika nchi zetu hizi, bado wanatumia nguvu laini (soft power), kama

propaganda chafu , mafundisho potofu ya d i n i , k u t u k u z a umagharibi, mitaala ya dini mseto na kadhalika, lengo likiwa kufubaza akili za Waislamu ili wasijitambue na kuweza kupigania dini yao.

Katika nchi ambazo mwamko wa Kiislamu uko juu zaidi kama Iraq, Misri, Afghanistan, S o m a l i a , Pa k i s t a n , Yemen na kadhalika, mara nyingi hutumia nguvu ngumu (hard power), ili kukandamiza m w a m k o h u o w a Kiislamu. Ndiyo maana unaona wanatumia majeshi na silaha kali dhidi ya Waislamu.

Kwa hiyo, mtu yeyote anayedhani kwamba haki inaweza kuungana na batili, basi maana yake anapingana na Sunna ya Mwenyezi Mungu. Anapinga ukweli wa kimaumbile na hatima yake ni kupata matatizo. Na kwa Waislamu, ni lazima kumfuata Mtume na Masahaba wake, i l i kupata mafunzo ya kupigania dini ya M we n ye z i M u n g u . Tusiogope msuguano uliopo kati ya haki na batili, Uislamu na ukafiri, hilo ni jambo la kimaumbile.

AL-MARHUUM Sheikh Ilunga Hassan Kapungu akiwaaidhi Waislamu katika moja ya makongamano yake aliyoyafanya wakati wa uhai wake jijini Dar.

Page 8: An Nuur 1133

8 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Makala

Afichua siri ya wimbi la JihadI M E F I C H U L I W A k u wa j a n g a k u b wa l i n a w a n y e m e l e a Wa i s l a m u kut o ka na na kutumiwa katika kufanikisha mradi wa Kizayuni uliofumwa vyema huku wenyewe wakidhani wanapigania Uislamu.

Akifichua ulaghai huo, aliyewahi kuwa mmoja wa makamanda wa Al Qaidah na wanamgambo wa Kiislamu Misri, Nabeel Naim, amesema kuwa viongozi wa vikundi vinavyodai kupigana Jihad Iraq na Syria, ni watumishi wa CIA ambao wanafanya kazi ya kuwatosa vijana na wapiganaji wa Kiislamu wakidhani wanapigania kusimamisha Khilafah.

Amesema, wapiganaji hao wakishamaliza kazi, mal ipo yao i t akuwa kifo kama walivyouliwa wapiganaji wengi baada ya vita ya Afghanistan na waliosalia hadi sasa wanasota Guantanamo.

Akifanya mahojiano na televisheni moja ya Lebanon, Lebanese al-Mayadeen TV Lebanon, Nabeel Naim, amesema kuwa kinachofanyika Syria na Iraq ni proxy war ya Wamarekani , lakini vijana wa Kiislamu k w a u p u m b a f u t u wanadhani wanapigania kusimamisha Shariah.

Akitoa ushahidi wa madai yake alisema kuwa kiongozi wa ISIS (Islamic State of Iraq and Syria), Abu Bakr Baghdadi, ni kachero wa CIA na kwamba alipewa mamilioni ya dola kukusanya na kutoa mafunzo kwa vijana wa Kiislamu ambao ndio wanaopigana hivi sasa Syria na Iraq.

A l i s e m a N a b e e l katika mahojiano hayo k u w a b a a d a y a A l Baghdadi kushikiliwa na Wamarekani, aliachiwa na kupewa kazi ya kuunda kikosi cha wapiganaji wa Kiislamu huko Jordan w a k u f u n z i w a k i w a Marines (wanajeshi wa Marekani) na silaha zote zikitoka Marekani.

Na Mwandishi Wetu

WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.

RAIS Barack Obama wa Marekani.

Taarifa zinaonyesha kuwa wakati Marekani ilipovamia Iraq, Baghdadi ni katika watu wa serikali ya Iraq waliokamatwa na kushikiliwa katika kambi za kijeshi za Marekani.

Akifafanua na kutilia nguvu madai yake anasema kuwa hata yeye aliwahi kutumiwa kutoa mafunzo ya wapiganaji 120 akipewa mamia ya maelfu ya dola, vyakula, vinywaji na silaha kwa ajili ya ‘mujahidina’.

A n a s e m a , w a k a t i anatumiwa na Marekani k u t o a m a f u n z o k wa mujahidina wa kupigana kwa niaba ya Marekani dhidi ya Mrusi, walikuwa wakitibiwa katika hospitali za Kuwait, moja wapo ikiwa Kuwaiti Crescent Hospital.

Hospitali hiyo ni kubwa yenye vitanda vya kulaza wagonjwa zaidi ya 120, huduma mbalimbali na madakitari bingwa wa kila aina.

Akaongeza kuwa wakati huo Saudi Arabia ilitumika kutoa fedha, vyakula na huduma nyingine kupitia taasisi inayojulikana kwa jina la International Islamic R e l i e f O r g a n i z a t i o n , ikisimamiwa na makachero wa S a u d i a a k i we m o Sulaiman Bin Abdul Aziz.

“I’m one of the people who took more than a thousand free air tickets from the International Islamic Relief Organization. It was paying

our expenses while we were in the Afghani Jihad, bring weapons , ammuni t i on , training, food, drinks.. all of this we were getting from the Islamic Relief Org.. It was Saudi Intelligence and Prince Sulaiman Bin Abdul Aziz was in charge of it.”

A l i s e m a N a i m akimaanisha kuwa taasisi hii ya Kiislamu kutoka Saudi Arabia ilitumika kupitisha masurufu kutoka Marekani/CIA kwenda kwa Mujahidina, kwa hiyo kwa vile hii ilikuwa taasisi ya kukusanya Zakkah na Sadaka na kisha kutoa misaada kwa Waislamu ikiwemo kujenga Misikiti; Waislamu waliona kwamba kilichokuwa kikifanywa ni jambo la Kiislamu.

Alisema, wakati ule akiwa mmoja wa viongozi wa Islamic Jihad, Misri, aliingia mkenge, lakini al ikuja j i l iwaza kuwa wakat i u le wal ikuwa wakipambana na kafiri Mrusi aliyevamia nchi ya Kiislamu.

Hata hivyo anasema, wengi wa wapiganaj i waliuliwa baada ya vita na wengi kutoswa katika magereza mbalimbali ikiwemo Guantanamo.

Akasisitiza kuwa hata hawa wanaotumika hivi sasa Syria na Iraq, hatma yao itakuwa hiyo hiyo.

Akijibu swali kwamba wakati ule wao walitumika kupigana kwa niaba ya

Marekani dhidi ya Urusi, hivi sasa CIA wanatafuta nini katika kuandaa na kuwasaidia ‘mujahidina’ wanaopigana Syria na Iraq, alisema kuwa hiyo ni kutekeleza mkakati wa Kizayuni na kibeberu unaolenga kuanzisha vita Mashariki ya Kati ambayo yaweza kuchukua hata miaka 100.

Alisema, kati ya mwaka 1982 na 1984 aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Henry Kissinger alitoa waraka ul iopewa kichwa cha habari:

“The 100 Years War”, na alipoulizwa vita hiyo itakayochukua miaka mia itatokea wapi akasema, “Middle East when we ignite the war between the Sunnah and the Shiites.”

Akimaanisha kuwa vita hiyo itaibukia Mashariki ya Kati wakati mabeberu watakapofanikiwa kulipua vita baina ya Sunni na Shia.

A k a s i s i t i z a k u w a inachofanya ISIS hivi sasa, ama kwa kujua au kwa ujinga, ni kulipua vita hiyo na hivyo kutekeleza na kukamilisha mkakati wa kina Henry Kissinger.

Kwa hiyo kwa mujibu wa Nabeel, wanachofanya ISIS, ni kuwasha moto wa vita ya Wasuni na Washia, kama ilivyopangwa na mabeberu na akasisitiza kuwa katika hao wanaojiita mujahidina, hawajawahi kuuwa Mmarekani wala Myahudi hata mmoja. Wanauwa Waislamu na kulipua misikiti.

Wanalipua msikiti na vituo vitakatifu vya Shia huku wengine wakilipua misikiti ya Sunni…”and this is of course an American plot, and I tell you ISIS didn’t kill a single American.”

Katika kufafanua zaidi akasema kuwa katika k u we k a m i k a k a t i ya kiutekelezaji, mwaka 1996 Binyamin Netenyahu na Dick Chenney, waliibuka n a m k a k a t i u l i o i t wa “Clean Break plan (PNAC ) wa kuzivuruga nchi za Kiislamu kwa kutumia wapiganaji wa Kiislamu, w e n y e w e wa k i wa i t a

“radical groups”. Taari fa , the “Clean

Break” report, ni waraka wa kisera ulioandaliwa na wataalamu wa Israel kwa maelekezo ya Waziri Mkuu, B inyamin Netanyahu ik i lenga mikakat i ya kuihakikishia usalama Israel. Ni katika waraka huo ilielekezwa kuwa ni lazima Saddam Hussein aondolewe madarakani na nchi za Iraq na Syria, zisambaratishwe kupitia proxy warfare kwa kutumia visingizio mbalimbali.

Kwa upande mwingine anasema kuwa juhudi zinazoonekana katika nchi mbalimbali kutafuta wapiganaji wa Kiislamu ni kutimiza malengo ya kile kinachojulikana kama Fouth-Generation.

Chini ya mpango huo, mmoja wa waasisi wake Bernard Lewis, anasema k u wa h a wa t a k i t e n a kupeleka askari kupigana katika nchi wanayoilenga k a m a w a l i v y o f a n y a Vietnam na Afghanistan.

Bali watakachofanya ni kutafuta watu wa kupigana kwa niaba yao (na katika Mashariki ya Kati wa kufanya kazi hiyo ni Waislamu waliojazwa imani kuwa wanapigana Jihad).

A n a s e m a B e r n a r d L e w i s k w a m b a w a o watakachofanya ni kutafuta mawakala (agents) wa kushika silaha kupigana halikadhalika mawakala wa kuwapumbaza na kuwatia ujinga walengwa wadhani kuwa wanapigana vita yao, ukweli utapotoshwa huku tukiwapatia silaha na fedha.

Nabeel anasema kuwa anawasikitikia wapiganaji wa Kiislamu wanaopigana k w a m o y o m m o j a wakidhani wapo katika Jihad, lakini wakubwa zao wanajua kuwa wapo kazini kumtumikia kafiri.

Anatoa mfano akisema kuwa Kamanda Mkuu wa kikosi cha kupambana na Bashar Assad wa Syria, Issam Hatt i to , haishi Beirut, Riyadh wala Cairo, bali anaishi Tel Aviv, Israel.

Kamanda mwingine ni Ahmad Assi al-Jarba. Huyu naye haishi Riyadh, Cairo wala Tehran. Bali amekuwa kama Balozi asiyekuwa na makazi maalum. Huranda

Inaendelea Uk.10

Page 9: An Nuur 1133

9 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Makala

PROFESA Issa Shivji ametoa nasaha ambazo kama zitazingatiwa, zitakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania katika kukabiliana na njama na mikakati ya mabeberu. Prof. Shivji amesema kuwa k a t i k a m a m b o y a msingi tunayotakiwa kuzingatia, ni kutambua kuwa ubeberu hauna dini, kabila, taifa wala rangi. Kinachotizamwa ni masilahi ya kibeberu. Prof. Shivji ameyasema hayo kwa munasaba wa mapambano ya Wa p a l e s t i n a d h i n i ya Israel. Akasisitiza k u wa m a p a m b a n o y a W a p a l e s t i n a n i m a p a m b a n o y a u k o m b o z i . N i mapambano dhidi ya ubeberu kwa sababu I s r a e l i m e f a n y w a kama ndio egemeo muhimu la kusimamia masilahi ya mabeberu hasa kwa Mashariki ya Kati na hata Afrika. Kwamba hayawakuti y a n a y o w a k u t a Wa p a l e s t i n a k w a sababu ya dini yao au Uarabu wao.

Nasaha hizi za Profesa Shivji alizozitoa hivi karibuni katika hafla maalum ya Kamat i ya Mshikamano wa Palestina na Tanzania,

Ubeberu wazidi kustawi kwa damu ya Waislamu

Jihad, kusimamisha Khilafah yafanywa chamboProf. Shivji atoa nasaha kwa wenye kuzingatia

Profesa Issa Shivji

Na Omar Msangi ni za muhimu sana katika mazingira yetu k wa s a b a b u wa p o watu wanaodandia p r o p a g a n d a z a mabeberu juu ya kitisho cha ugaidi nchini na kule Kenya kwa mtizamo wa kidini. Lile lengo la kibeberu la kuleta Sheria ya Kupambana na ugaidi na lile lengo la kuleta AFRICOM hawalioni, w a o w a n a d h a n i w a t a k a o u m i a n i Waislamu, ni suala la, na shauri zao, Waislamu. Hawajui kuwa huo ni mlango tu umetumiwa wa kuingilia. Na kwa anayetaka kujua ukweli wala si jambo gumu kujua. Rejea harakati za mabeberu kule Amerika ya Kusini, Nicaragua, Pa n a m a , C h i l e , E l Salvador, Cuba, Haiti, Guatemala, Ecuador n.k; kule ni Wakristo watupu (wengi wao wakiwa Wakatoliki), lakini mamia ya maelfu ya watu wamehiliki kutokana na njama za mabeberu. Kule kulikuwa na vikosi vya mauwaji na mateso kama ambavyo hivi leo wanavyotuambia kuwa kuna Al Qaida, Al Shabab na Boko H a r a m a . ( Ta z a m a Operation Northwoods, Operation Dirty Trick, Operation Mongoose, Bay of Pigs Invasion (Invasión

de Bahía de Cochinos).Zipo taarifa kwamba

kuna picha ya maiti y a k i j a n a m m o j a ji jini Mwanza ikiwa imevalishwa kombati ( n g u o z a k i j e s h i ) ilitupwa nje ya nyumba anakoishi ikiwa na maneno-“Mwenzetu Kapata Shahad.” Lengo la kutupwa picha hiyo na watu wasiojulikana, ni kutoa taarifa ya kifo cha kijana huyo kwa familia yake na kwamba kijana huyo kafa akipigana ‘Jihad’. Kafa Shaheed. Inasemekana kuwa kijana huyo alitoweka nyumbani muda mrefu na taarifa hiyo ya picha inachukuliwa kwamba ni ufahamisho kuwa kijana huyo alikuwa Somalia akipigana Jihad akiwa upande wa Al Shabab.

Nianze kwa kukiri kuwa s ina uhakika iwapo taarifa hizi ni za kweli au ni katika zilezile taarifa za sadiki u k i p e n d a . L a k i n i vyovyote itakavyokuwa, zina umuhimu wake. M u h i m u h a p a s i o kuwa ni kweli kijana huyo aliuliwa akiwa katika Jihad au la, wala m u h i m u s i o k u wa alifanikiwa kuingia Somalia na kupigana upande wa Al Shabab au la; bali muhimu hapa ni kile kilichokusudiwa k a t i k a k u s a m b a z a taarifa hizo. Somalia k u n a e n d e l e a v i t a ambayo inavyoonekana mabeberu walioianzisha hawataki imal iz ike kwa siku za karibuni. K w a h i y o l a z i m a

kufanywe kila mkakati wa kuidumisha na moja ya mikakati hiyo ni kupata wapiganaji. N a i n a v y o o n e k a n a propaganda kama hiyo h u e n d a i k a t u m i k a kat ika nchi ny ingi z e n y e W a i s l a m u kuwajengea dhana kuwa wanakwenda kupigana Jihad Somalia, kumbe ni ili wakadumishe proxy war ya mabeberu. Kama ilivyokwisha kuelezwa awali na kwa ushahidi wa wazi, mkakati na njia ya pili ya kudumisha vita hiyo ili Wasomali/Waislamu waendelee kuuwana wenyewe k w a w e n y e w e , n i kuhakikisha kuwa jeshi la Somalia halikosi silaha halikadhalika Al Shabab hawakosi silaha pia. Lakini wote hao hakuna anayepewa usaidizi wa kuweza kumshinda mwenzake. Ikionekana Al Shabab wanataka kuzidi nguvu, jeshi la serikali/Amisom, wanaongezewa makali. K a m a n i A M I S O M (African Union Mission to Somalia) au Jeshi la Kenya wanaonekana k u w a s a f i s h a A l Shabab, hapo AMISOM watalegeza makali yao na nguvu kupelekwa kwa Al Shabab. Huu ndio mchezo kama ulivyokuwa ukichezwa wakati Iraq ikipigana na Iran.

K w a u p a n d e mwingine mabeberu h a w a t a k i v i t a y a Somalia imalizike kwa sababu kwa kutumia kizingizio cha ugaidi wa Al Shabab wanataka

kuzivuruga nchi za ukanda huu wa Afrika Mashariki. Zinaweza kufanyika juhudi za makusudi kupandikiza ugaidi na kusingiziwa kuwa hao ni Al Shabab. Kitisho kikawa kikubwa nchi ikaingia katika vurugu na mauwaji k a m a i n a v y o t o k e a K e n y a h i v i s a s a , mabeberu wakapata sababu ya kuingia na kukita utando wao wa kikachero na kijeshi. Kwa hiyo unaposikia propaganda za magaidi n a t a h a d h a r i z a mashambulizi ya kigaidi au watu wakihimiza ‘Jihad’ ya kujiunga na Al Shabab Somalia, ujue hao ni katika mawakala w a m a b e b e r u w a kupandikiza vurugu na mauwaji katika nchi na kulifanya eneo hili liwe la machafuko kujenga uhalali wa mabeberu kuingia na AFRICOM y a o . Z i k i s a m b a a taarifa kwamba kuna vijana wa Kitanzania wanafanikiwa kuingia na kupigana Somalia na zikafanywa ziaminike, s a s a l i k i f a n y i k a shambulio na kuuwa watu kama ilivyotokea Westgate Nairobi, ni rahisi sasa kusema kuwa hao ni Al Shabab, tawi la Tanzania na ikaaminika. Na hilo ndio lengo la kusambaza picha kama ile ya maiti ya kijana wa Mwanza na kudai kuwa kapata ‘Shahada Somalia’. Hapo ukifanya uchunguzi wa kina unaweza kugundua k u wa ya w e z e k a n a k a b i s a v i j a n a h a o walipigwa propaganda wakawekwa mahali ndani ya nchi au hata wakavushwa mpaka na

Inaendelea Uk. 11

Page 10: An Nuur 1133

10 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014MAKALA

Afichua siri ya wimbi la JihadInatoka Uk. 8baina ya New York, Paris na London, gharama zikilipwa na waajiri wake mabeberu.

Akitoa mfano j ins i a m b a v y o h i v i l e o Waislamu wanatumiwa k i j i n g a k u t e k e l e z a matakwa na maslahi ya kikafiri alitoa mfano wa kesi inayomkabili aliyekuwa Rais wa Misri, M o h a m m a d M o r s i , ambaye moja ya mashitaka yanayomkabili ni kuwa ak iwa Rais , a l ikuwa akifanya mawasiliano na adui na gaidi Ayman Zawahri.

H i i n i k e s i y a kutegeshewa ambapo mmoja wa makachero wa Misri aliyemtaja kwa jina la Issam Haddad alikutana na Rais Obama akiwa na timu ya CIA mnamo tarehe 28 Desemba 2012, katika Ikulu ya Marekan, White House.

Katika kikao hicho kachero huyo wa serikali ya Misri alipewa kazi ya kumnukuu Morsi akiongea na Ayman Zawahir.

Na kweli makachero w a k a s u k a m i p a n g o ambapo ilipigwa simu i k i o n e k a n a k u t o k a kwa Zawahir na Morsi akaipokea akire jesha sa lamu ya Assa laam alaikum na kubadilishana maneno mawili matatu huku makachero wa serikali yake wakimrekodi.

Ni mkanda huo ambao hivi sasa unatumiwa katika mashitaka kuwa Morsi ni aduni wa taifa la Misri.

Taarifa za kurekodiwa M o h a m m e d M o r s i ziliripotiwa na televisheni-Channel 2 of Egyptian TV, na taarifa zilizotolewa na General Gamal, mmoja wa majenerali wa ngazi za juu kabisa za Idara ya Usalama ya Misri.

U j i n g a m w i n g i n e unakuja pale ambapo watu hata ile misingi ya fikihi ya Kiislamu hawajui. Kama nguruwe ni haramu na kila chake ni haramu. Sasa haiwezi kuwa kusoma fisikia, kemia na jiografia pamoja na hesabu ikawa haramu, halafu unapanda ndege, gari au meli vipandwa v i l i v y o t e n g e n e z w a kutokana na elimu hizo au unavaa kanzu na suruali iliyotengenezwa kwa pamba ambayo bila k u wa n a wa t a a l a m u wa f is ikia , kemia na mahesabu na wahandisi isingewezekana.

U j i n g a m w i n g i n e a l ioe leza n i huu wa

kuparamia boti la mauwaji ya watu wasio na hatia na kuyaita kuwa ni Jihad. Hivi karibuni kumefanyika mauwaji ya kutisha kule Nigeria ambapo watu wenye silaha wanadaiwa kuvamia mitaa na nyumba na kuuwa watu ovyo. Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, wanaofanya mauwaji hayo ni Boko Haram.

Sher ia gani ka t ika U i s l a m u i n a r u h u s u kuvamia na kuuwa watu ovyo? Jihad gani ya kuteka wasichana na wanawake kama tunavyoambiwa k u w a B o k o H a r a m wameteka wasichana wa shule zaidi ya 200 kwa zaidi ya miezi minne sasa hawajulikani walipo!

Kiongoz i huyo wa z a m a n i w a I s l a m i c J ihad anasema kuwa baadhi ya Wais lamu wamekuwa wapumbafu wasiotumia hata chembe ya akili waliyopewa. Watu wanavamia na kuuwa watu wasio na hatia, kulipua maduka na kuharibu mali za watu, na wanaamini kuwa wanafanya Jihad. Anasisitiza kuwa huyo ni ujinga uliopea kwa sababu hata mtu aliyesoma elimu ya Kiislamu kwa kiwango k i n a c h o w e z a k u w a eilumu ya msingi atajua kuwa hakuna kitu kama hicho katika dini. Lakini akasema watu wamekuwa wa mapokeo anaambiwa na kuliparamia jambo hapo hapo bila ya kuhoji.

A n a c h o z u n g u m z i a Nabeel, ni kama hivi i n a v y o t o k e a K e n ya /

Nigeria ambapo watu wenye silaha wanavamia mtaa na kuuwa watu au wanalipua hoteli na kuuwa watu, hiyo haiwezi kuwa Jihad kwa namna yoyote. Lakini kwa ujinga w a t u w a t a k o k o t w a na bila kutumia akili wanaparamia upotofu huo.

Wakati jambo lipo wazi kuwa kinachofanyika ni mikakati na njama za mabeberu kuzivuruga nchi hizo kwa kupandikiza kitisho cha ugaidi na mauwaji ya wenyewe kwa wenyewe, baadhi ya watu kwa upumbafu tu na kwa uvivu wa kufikiri, wao hiyo ni Jihad.

Katika mlolongo wa yanayoi twa mauwaj i ya Boko Haram, hivi karibuni imeripotiwa kutoka Maiduguri kuwa Boko Haram wamekuwa wakivamia mi taa na kuuwa makumi kwa mamia ya watu. Katika tukio moja, walivamia vituo vya Polisi, soko, maduka na makazi ya watu katika Jimbo la Borno na kuuwa watu huku soko na maduka yakiharibiwa kabisa.

Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, mnamo Julai 1, 2014 Boko Haram walivamia tena soko moja kule Maiduguri na kuuwa watu 15.

Katika tukio jingine, watu 48 waliuliwa katika v i j i j i v ya S h a wa n a Alagarno, huku nyumba

kadhaa zikiteketezwa kwa moto.

Kwa mtu yeyote ambaye amesoma Uislamu japo kwa kiwango cha mtoto wa chekechea, hawezi kudai kuwa hiyo ni Jihad. Huo ni uharamia. Ni mauwaji na ufisadi katika ardhi. Kwa wajuzi na watafiti wa mambo, hizo ni njama za mabeberu kuivuruga Nigeria.

Lakini kwa upande mwingine ni kuwa hawa ni Boko Haram ambao tunaambiwa kuwa kuanza kwao walianza na kupinga elimu ya shule wakidai kuwa hiyo ni elimu ya Wa z u n g u , e l i m u ya kikafikri.

H u o n d i o u j i n g a m w i n g i n e anaouzungumzia Nabeel. Anasema kuwa ujinga miongoni mwa Waislamu umekuwa mkubwa mno na kwamba hivi sasa yapo mambo mawil i yatawaangamiza: moja ni ujinga wa kuona kila kitu ni haramu na pili ni huo ujinga wa kutoswa katika Jihad bandia ya kupigania maslahi ya mabeberu.

Anasema, hivi sasa wameibuka watu ambao kila kitu kwao ni haramu. Atasema kusoma kemia, fizikia, jiografia au elimu ya viumbe ni haramu. Hoja ni kuwa hiyo ni elimu ya Wazungu, makafiri na hivyo ni ukafiri kuisoma.

Ujinga unaanzia hapo kwa sababu ukizungumzia

kwa mfano el imu ya viumbe, yaani biology, unaongelea elimu ya kujua jinsi Allah alivyoumba wanyama na miili yao i n a v y o f a n y a k a z i (zoology) na kwa upande mwingine ni elimu ya mimea (botany).

Kwa maana hiyo, elimu juu ya Allah alivyoumba viumbe hai na vinavyoishi, kuzaliana na kufanya kazi , i l ikujua namna ya kuvitumia, haiwezi kuwa elimu ya Kizungu, Ulaya, Asia au Afrika wala haiwezi kuwa elimu ya kikafiri. Na Allah amesema wazi katika Qur’an kuwa amewaumbia binadamu vyote vilivyo katika dunia. Utavi tumia vipi b i la kuvisoma na kuvifanyia utafiti kuvijua na faida zinazopatikana ndani yake?

Ni hivyo hivyo kwa j i o g r a f i a a m b a y o n i kungalia maumbile ya dunia na vilivyomo au kemia na fizikia ambayo ni elimu ya sayansi ya maumbile ya ulimwengu na vilivyomo na kanuni zake. Haiwezi kuwa elimu za kikafiri wala ya Kizungu wakati kinachosomwa ni maumbile ya viumbwa vya Allah. Hata ukisoma Kiingereza, Kifaransa, Kichina, haiwezi kuwa ukafiri kwa sababu hizi ni lugha zilizoletwa na Allah mwenyewe na anasema katika Qur’an kuwa lugha na rangi za watu ni moja ya Alama za kuwepo kwake Allah (SWT). Sasa haiwezi kusoma Alama za Allah ikawa ukafiri.

H a t a h i v y o l a k u s i k i t i s h a n i k u wa wakati Qur’an inawaita Waislamu kuwa ni watu wenye akili, walioelimika, lak in i utakuta kuwa wapo wajinga ambao watakumbwa na kuzolewa na kauli za mawakala (agents) wa ile mikakati ya Clean Break plan (PNAC ) na Fourt-Generation.

Amesema kweli Martin Luther King, Jr.:”Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity”:

Kwamba hakuna kitu hatari katika ulimwengu huu kama ujinga wa dhati kabisa.

Mtu anakuwa mjinga wa k u t u p wa , l a k i n i anaamini kuwa katika hali ile ya ujinga alio nao, ndio itakiwavyo kuwa.

MOJA ya maeneo yaliyoathirika na mashambulizi ya Boko Haram nchini Nigeria.

Page 11: An Nuur 1133

11 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Makala

Ubeberu wazidi kustawi kwa damu ya Waislamu

Inatoka Uk. 8kuingizwa nchi yoyote, wakavishwa kombati, wakauliwa na picha zao kurejeshwa nchini kama mashujaa wa Kiislamu-M a s h a h e e d . H i l o mabeberu hawashindwi kufanya wakitaka lao. Na kama ilivyokuwa k w a A l Q a i d a h waliokuwa wakipigana Afghanistan dhidi ya Mrusi walivyokuwa w a k i w e z e s h w a n a mabeberu ik iwa ni pamoja na kupewa u s a i d i z i k u t o k a watokako na kufika K a b u l , h u w e z i kupi ta Kenya hadi Somal ia ukapigana bila ya kuwezeshwa n a m a w a k a l a w a n a o t u m i w a n a mabeberu. We utabaki kusema kuwa mlihonga askari wa mpakani mkapita, lakini wajuzi na wenye kutumia akili watajua kuwa ‘hata huko kuhonga’ ni katika mikakati i l i mjione wajan ja na hakuna anayewatumia.

Wa k a t i i l i p o a n z a vita vya Syria kiasi miaka miwili iliyopita, n i l i a n d i k a m a k a l a kadhaa nikieleza kuwa pale hakuna Jihad, bali ni proxy war ya mabeberu na kwamba kikubwa kitakachofanyika pale ni kupandikiza chuki na mauwaji baina ya Waislamu Sunni na Shia. Nilisema kuwa w a l e w a n a o j i i t a wapiganaji wa Kiislamu (Mujahidina) ni watu w a n a o t u m i w a n a mabeberu kufanikisha malengo ya kibeberu, huku wao wakidhani kuwa watafanikiwa kusimamisha Khilafah Syria. Lakini nilisema pia kuwa katika wapiganaji wale, wapo wapiganaji wa Kiislamu ambao kwa yakini kabisa wanaona wapo katika Jihad, lakini viongozi wao wanajua kuwa wanafanya kazi ya mabeberu. Kosa la wapiganaji hawa wa chini (foot soldiers) itakuwa kutokutumia aki l i na kuparamia mabehewa wasiyoelewa y a n a k o t o k a w a l a madereva wake.

Baada ya kuandika m a k a l a z i l e w a t u kadhaa walinipinga tena kwa ukali wengi wakipotosha na kudai

k w a m b a n a p i n g a Jihad wakati msingi wa j ambo lenyewe i l i k u wa k u f a f a n u a kinachoendelea Syria na sio dhana ya Jihad na umuhimu wake katika Uislamu. Katika wa l i o n i j i b u , wa p o waliosema kuwa kama kuna wanaotumiwa katika yale makundi yanayopigana Syria, basi itakuwa ni wale The National Coalition for Syrian Revolution and Opposition Forces, F r e e S y r i a n A r m y na Syrian National Council (SNC). Hata hivyo nikasisitiza kuwa wote hao iwe ni Free Syrian Army, Al Nusrah Front (wapiganaji wa Kiislamu) au Islamic State of Iraq and al-S h a m ( I S I S ) , w o t e wanatumiwa na vita hiyo haitazaa Khilafah wala kuwa na manufaa yoyote na ummmah wa Kiislamu ila hasara.

Katika wale vinara wa vi ta Syria , ISIS w a k i u n g a n a n a wapiganaji wengine wa Kisunni, hivi sasa wameelekeza nguvu zao Iraq wakiwa na lengo la kusimamisha Khilafah Iraq na Syria ndio maana wanajiita Islamic State of Iraq and Syria. Hata hivyo rekodi zinaonyesha kuwa hawa ISIS walipewa mafunzo na kuwezeshwa na mabeberu (Marekani/NATO) na taarifa zaidi z i n a o n ye s h a k u wa mafunzo ya ki jeshi yal i fanyika Jordan. Lengo kuu la kuundwa kikosi hiki na kupewa nguvu za kuingia Iraq n a k u t e k a s e h e m u kubwa ya nchi hiyo, ni kuleta machafuko na mapigano kati ya Washia na Wasuni ili hat imaye ipat ikane sababu ya kuigawa nchi hiyo kama ilivyokuwa kwa Sudan. Huu sio mpango wa leo, bali ni mpango wa Kizayuni

wa miaka mingi ambao u l iku ja kukar i r iwa upya na al iyekuwa Wa z i r i wa M a m b o ya Nje wa Marekani Bi Condoleezza Rice m w a k a 2 0 0 6 p a l e a l i p o z u n g u m z i a mkakati wa Mashariki ya Kati Mpya. Chini ya mkakati huo, Iraq itagawanywa na kuwa nchi tatu: Nchi ya wa-Kurd, Sunni Arab na Shiite Arab.

Kauli na mkakati huo ulirudiwa tena mwaka huo huo na Seneta Joseph Biden aliposema kuwa ni lazima Iraq ya sasa igawanywe mapande matatu na kwamba ile kuondoa majeshi ya Marekani kule Iraq mwaka 2008 ilikuwa ni sehemu ya mkakati huo. Na hiyo ilikuwa kutoa nafasi na muda kwa Wasuni na Shia kupambana kisha beberu anaingia kama msuluhishi. Na ilibainishwa wazi kuwa watu wepesi kutumiwa watakuwa Wasunni a m b a o w a t a t a k a kusimamisha Khilafah na ambao hawapo tayari kuwa chini ya Serikali ya Iraq inayoongozwa na Waziri Mkuu Shia.

“ I r a q s h o u l d b e divided into three largely autonomous regions -- Kurd, Sunni Arab and Shiite Arab -- with a weaker central government in Baghdad.”

Alinukuliwa Seneta Biden katika makala i l i y o c h a p i s h wa n a gazeti la The New York Times, kama aliongea katika Kamati ya Seneti ya M a m b o ya N j e (Senate Foreign Affairs Committee.) Joseph Robinette "Joe" Biden, Jr seneta, alikuwa Seneta wa Jimbo la Delaware, h a d i a l i p o j i u z u l u alipoingia White House 2009, kama Makamo wa Rais wa Rais Obama.

Angalia pia taarifa

ya Shirika la Habari la Reuters ya 05/01/2006 chini ya kichwa cha habari: “Sen. Biden: Iraq Should Be Divided Into 3 Regions.”

Kuundwa kwa ISIS na kusaidiwa kupata u s h i n d i i n a o u p a t a hivi sasa Iraq ni katika kufanikisha mpango h u u . N d i o m a a n a utekaji wa miji wa ISIS umekuwa ukiambatana na propaganda katika vyombo vya habari k u w a w a n a f a n y a mauwaji ya kikatili dhidi ya Washia. Yote hii ni katika kuamsha hasira za Washia. Na kweli vijana na wapiganaji wengi wa kujitolea wamejiunga na jeshi la serikali ili kupambana na Wasuni hao ISIS. Mapambano yakikolea , hao hao walioyaasisi watakuwa na mapendekezo na maazimio ya kutaka k u g a w a n c h i h i i

ikielezwa kuwa ndiyo njia pekee ya kuleta amani. Ukishaigawa Iraq mapande yenye serikali zilizobuniwa na mabeberu, ni wazi haitakuwa imara tena. H a p o u n a k u wa n a uhakika kuwa hakuna nchi katika Mashariki ya Kati ya kukabiliana na Israel- Mayahudi wanabaki wakitamba. Lakini pia kuwaimarisha ISIS ni kutafuta namna ya k u wa t u m i a p i a kumaliza kazi Syria.

Masikini! Waislamu watakuwa wamemwaga damu yao wakidhani wanapigania kusimama k wa K h i l a f a h I r a q n a S y r i a , k u m b e wanawafanyia kazi M a b e b e r u - h u k u w e n y e w e w a k i w a wanastarehe na kunywa mvinyo wakisubir i mavuno yaliyotokana na damu na roho za Wa i s l a m u . M a m b o haya yapo wazi sana, na sidhani i takuwa ni kizingizio mbele y a A l l a h k w a m b a tulikuwa hatujui wakati tuki j iangamiza kwa mikono yetu wenyewe. Kwani hatuna akili?

Uongozi wa Al Madrasatul Fadhakir iliyopo Hondogo Kibamba Makuka, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam,

wanawaomba Waislamu ndani na nje ya jiji la Dar es Salaam kuwasaidia kufanikisha

ujenzi wa Madrasa katika uwanja wao uliotolewa wakfu miaka saba iliyopita.Kwa sasa wanafunzi wanasoma Qur’an

chini ya mti.Yeyote atakayejaaliwa kwa maelezo

zaidi piga simu 0717 649313 Ust. Anuary Stephano.

Msaada wa Ujenzi wa Madrasa

Page 12: An Nuur 1133

12 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Mashairi/Makala

Ewe ndugu Mhariri, leo kwako narejeaDunia kwetu bahari, sote tunaogeleaUsichoke kuhariri, atakulipa jaliaSote ni wapiti njia

Kifo hakizoeleki, Ilunga katanguliaKaenda kwa mmiliki, wa akhera na duniaKamwe tusije hamaki, kwanini amerejeaSote ni wapiti njia

Sote ni wapiti njia, Amani, Mushi sawiaKwa Mola amerejea, Naye Amanzi sikiaAhadi ikitimia, hakuna cha kuzuiaSote ni wapiti njia.

Kifo hakina mganga, mauti tungetibiaMlangoni kikigonga, nyumbani kitaingiaKatuondoka Ilunga, kwa Mola amerejeaSote ni wapiti njia.

Tumkumbuke Kileo, Abdrahamani piaKassim Juma si leo, sote tumeshuhudiaKigoma Malima siyo, leo wangesimuliaSote ni wapiti njia

Mwanaye Abubakar, Mwaipopo karejeaMlitupasha habari, kifo kilipotokeaNi kusini mwa bahari, Afrika nasikiaSote ni wapiti njia.

Hongera walomini, kifo ni chake JaliaYalotokea jirani, ni somo kulirejeaKuuliwa waumini, Mola atawalipiaSote ni wapiti njia.

Masare S.R (Mrambowa) 0713 616313

Kifo hakizoeleki

N D U G U M h a r i r i , naomba uniweke japo kando kabisa ya gazeti lako tukufu la Annuur, i li niweze kusema machache kuhusiana na mwezi huu Mtukufu w a R a m a d h a n i pamoja ada mbaya ya baadhi ya Waislamu ya kumuabudu Allah mwezi wa Ramadhani tu.

K w a n z a k a b i s a t u n a p a s w a kumshukuru Allah kwa kutupa tawfik na umri wa kuweza kukutana na Ramadhani nyingine.

M o j a y a a d a ambayo haipendezi ni ile inayofanywa na baadhi ya Waislamu ambao ukifika mwezi wa Ramadhani, basi humuabudu Allah kwa hima na bidii kubwa n a h a t a w e n g i n e

Ramadhani na waswalihina wa msimuNa Salum Bendera kuacha ada zao chafu

za vimada (michepuko kwa lugha ya leo) na ulevi na kuamua kufunga Ramadhani na kufanya ibada kwa bidii ya hali ya juu na hata kutekeleza sunna zote.

H a wa u k i wa o n a unaweza kujiridhisha moyoni na kusema M a s h a l l a h k w e l i watu wanabadilika, Alhamdulilahi fulani asali siku hizi. Lakini cha kus ik i t i sha n i k wa m b a , m a r a t u mwezi wa Ramadhani unapomalizika, basi waswalihina hawa wa msimu wa Ramadhani hurejea katika matendo yao machafu.

Sasa la ku j iu l iza je, kuna Mungu wa Ramadhani tu? Au kuswali ni katika msimu wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani tu? Je kuwa na kimada ni haramu

k a t i k a m w e z i w a Ramadhani lakini katika miezi mingine yajuzu? Hali kadhalika kunywa pombe kunaruhusiwa katika miezi isiyokuwa ya Ramadhani?

K w a h a k i k a w a s w a l i h i n a w a msimu wa Ramadhani wanapaswa kutambua kwamba, Ramadhani ni chuo na wakiona w a m e r e j e a k a t i k a u c h a f u w a o w a zamani, basi watambue kwamba, wamefe l i vibaya mtihani wa chuo hiki maridhawa.

Tuitumie Ramadhani kubadilisha mienendo yetu. Kama unaweza kuacha machafu hayo kwa muda wa mwezi m m o j a , k w a n i n i usiendeleze mwenendo huu na hivyo kupata ujira mnono?

T u b a d i l i k e . Nawatakia funga njema nyote.

Nibtadi kwa salamu, kwanza kukusalimuni, Salamu alaikumu, wafungaji Ramadhani, Maamkizi adhimu, kwa bashasha itikeni, Swaumu bila ya swala, kutimu lengo muhali.

Ramadhani na Swaumu, na wengine ikhiwani, Lengo la yangu nudhumu, nyote kukukumbusheni, Risala hii kawimu, vyema izingatieni, Swaumu bila ya swala, kutimu lengo muhali.

Vyote swala na swaumu, kafaradhisha MANANI,Si sawa kuvikasimu, wafungaji Ramadhani,Kwavyo inatulazimu, kuvipa sawa uzani,Swaumu bila ya swala, kutimu lengo muhali.

Swala tano kuzikimu, nguzo thaniya ya dini,Na Ramadhani kusumu, nguzo arba ya dini,Kwa zote sawa tudumu, kujenga jengo la dini,Swaumu bila ya swala, kutimu lengo muhali. Kulikoni kuadhimu, swaumu ya Ramadhani,Na kisha kuzihujumu, swala tano mwake ndani,Kwa wa swala uhujumu, lengo la funga shakani,Swaumu bila ya swala, kutimu lengo muhali. Swala pamwe na swaumu, ni pacha ziso tengani,Si leo tangu kadimu, ni zenye utangamani,Kwa sisi kuzikasimu, hivi twatarajiani?Swaumu bila ya swala, kutimu lengo muhali.

Ibada kuzikasimu, hizi ebu tuacheni,Zote kuzitaadhimu, katuamuru MANANI,Kwa lengo kuweza timu, pamoja tuziungeni,Swaumu bila ya swala, kutimu lengo muhali.

ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

SWAUMU BILA YA SWALA ! Wakenya zaidi wauawa Lamu na Tana RiverInatoka Uk. 5i n a w a f a n y a w a t u k u c h a n g a n y i k i w a kuishi kwa kukisia," mkazi mmoja aliiambia Sabahi.

K w a u p a n d e wake, Msaidizi wa Inspekta Jenerali wa Polisi Grace Kaindi, aliwaambia waandishi J u m a p i l i k w a m b a shambulio lilifanywa n a w a n a c h a m a w a M R C a m b a o waligawanyika katika makundi mawili. Hata hivyo, alikataa kujibu maswali kuhusu kama al-Shabaab inaweza kuwa imehusika katika mashambulio hayo.

N a y e M b u n g e wa Kaunti ya Lamu anayewakilisha Hindi Abdul Kassim, alisema kwamba haikubaliki kuona mji wake ulikuwa katika kuzingirwa kwa takribani saa tatu licha ya kuwa kilometa 15 tu kutoka kambi ya Ki tengo cha Ki tuo Kikuu cha Polisi cha Nyangoro.

"Kwa nini hawakujibu

s i m u z a k u t a k a usaidizi?.

"Kambi hii ipo kwa ajili ya kushughulikia hali ya kutokuwepo salama katika mkoa h u u , k a m a h a i f a i basi shughuli zake zinapaswa kupitiwa u p ya . Vi n g i n e v y o kwa kuwepo kwake, k u n a wa p a wa k a z i mawazo ya uongo k u h u s u u s a l a m a . " Alisema Mbunge huyo.

Kufuatia kukithiri kwa mashambul iz i h a y o , i m e e l e z w a kuwa hata uchimi wa wakazi wa eneo hilo na Mombasa unashuka.

J o h n M w a k a , mwenye miaka 40 , mvuvi huko Lamu Mashariki , a l isema tangu mashambulio yaanze mwezi uliopita, a m e k u wa a k i h o f i a u s a l a m a wa k e n a anavua wakat i wa mchana tu.

Amesema alikuwa akivua kilogramu 500 za samaki [kila usiku] ambazo aliziuza katika hoteli za eneo hilo na kwa wachuuzi wadogo

wadogo wa samaki, lakini hoteli zilizo nyingi kwa sasa zimefungwa au zinakuwa na watu wa c h a c h e s a n a n a wachuuzi wa samaki hawataki tena samaki kwa kuwa hawana mahali pa kuwauza.

A m e e l e z a k u w a Uchumi wa Lamu uko katika hatari ya kushuka isipokuwa tu kama serikali itaboresha hali ya usalama mara moja na kwamba, watumishi wa usalama wamefanya maisha yawe magumu kwa kuweka amri ya kutotoka nje.

A g a t h a K a d z o , m h u d u m u k a t i k a kisiwa cha Kiwayu huko Lamu, hajafanya kazi tangu Mei.

"Watalii wa kigeni hawaji huku tena, bila wao, hakuna kazi kwa ajili yetu." Alisema.

Mashambuliz i ya mara kwa mara na kudorora kwa hali ya usalama katika eneo la Pwani, ni changamoto kubwa kwa sekta ya utalii ambayo imepata pigo kubwa.

Page 13: An Nuur 1133

13 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Makala

MWEZI Mtukufu w a R a m a d h a n i umeingia. Kufunga mwezi wa Ramadhani ni faradhi na ni nguzo ya Kiislamu. Allah (SW) anasema:

“Enyi mlioamini i m e f a r a d h i s h w a kwenu kufunga kama walivyofaradhishwa waliokuwa kabla yenu i l i mpate kumcha Allah (S.W). (Baqarah 183).

Amesimulia Abuu H u r a y r a ( R A ) , a m e s e m a M t u m e (SAW):

“A t a k a y e k u l a siku moja tu, katika Ramadhani bila ya udhuru wala maradhi hatoweza kui l ipa funga hiyo hata kama atafunga maisha.”

H a d i t h i h i i n i dhaifu, lakini ni sahihi Mawquuf ameitoa Bukhari kwa Isnad yenye kuning’inia ameisahihisha bn Khuzaymah.

K a t i k a h a d i t h i hiyo kilichothibiti ni kwamba, hayo si maneno ya Mtume (SAW) bali ni maneno ya Masahaba, kwani Abdalla bn Masuud (RA) ana msimamo huo kwamba mtu a k i a c h a k u f u n g a s i k u m o j a t u ya Ramadhani, hawezi kupata fadhila zake hata kama atafunga maisha, na hoja hiyo ameikubali bn Munir.

L a k i n i w a m e k w e n d a Shaabiyu na Qatada n a M a u l a m a a wengine kwamba alipe siku moja tu. Lakini lililo dhaihiri ni kwamba hata akiilipa ataondosha wajibu tu, lakini hatopata fadhila sawa na za Ramadhani.

Kwa hivyo kufunga

Shime Waislamu tufunge kwa dhatiMussa Ame Mussa ni faradhi na watu

wengi hufunga, ila wanakosa kutekeleza m a s h a r t i y a k e . Ukifunga usisengenye, u s i t u k a n e , us igombane wala u s i t u m i e v i u n g o vyako kwa haramu, viungo vyote vifunge.

Na tunda la funga n i u c h a M u n g u , yaani hali ya kuacha makatazo na kufuata m a a m r i s h o y o t e . Somo kubwa la funga ni kujizoeza kutenda mema hata baada ya Ramadhani kwisha. Lakini hili limekuwa halifikiwi na walio wengi.

Waislamu wengi wamekuwa wakiswali mwezi wa Ramadhani t u , i k i m a l i z i k a Ramadhani tu watu h a w a s w a l i t e n a . Wengine hu j i s t i r i R a m a d h a n i n a ikimalizaka hutembea u c h i , k wa h i v y o lile lengo la funga halifikiwi kwa wengi wa n a o f u n g a i l a wanalolipata ni kukaa na njaa na kiu.

Ieleweke kwamba swala, zaka, hija na funga ni nguzo za Kiislamu baada ya s h a h a d a , k w a n i Uislamu umesimama juu ya nguzo tano basi anaeacha nguzo moja katika nguzo hizo aelewe kwamba amevunja Uislamu wa k e m w e n y e w e a k h e r a a s i j e akamlaumu mtu.

M A K ATA Z O N D A N I YA FUNGA

A n a y e f u n g a anatakiwa ajiepushe na kusema uongo kusengenya, kutukana na kueneza uongo. A m e s i m u l i a A b i i Hurayra (RA) kwamba Allah (SWT) anasema:

” K i l a a m a l i ya mwanaadamu ni yake, ila funga hakika funga

ni yangu na mimi ndiye nitayelipa, na funga ni ngome basi siku atakapofunga mtu asitukane, wala a s i s e m e m a n e n o y a k i j i n g a , n a akikuchokoza mtu au akitaka kukupiga mwambie nimefunga” …(SB 1904 SM 1151).

A m e s i m u l i a Abii Hurayra (RA), a m e s e m a M t u m e (SAW) mtu asiyeacha kusema uongo na kuufanyia kazi uongo Allah (SW) hana haja kwa mtu huyo katika kuacha chakula chake na kinywaji chake. (SB. 1903 T707 D2362 Mj1689).

A m e s i m u l i a Abii Hurayra (RA) “Huenda mfungaji a s i p a t e c h o c h o t e katika funga yake ila kukaa na njaa na huenda anayekesha usiku asipate chochote ila machovu” (Mj 1690 A 7 6 3 9 . A m e s e m a Hakim ni sahihi kwa sharti za Bukhari).

K u t o k a k w a Kaab bn Ujrah (RA) amesema, amesema M t u m e ( S AW ) “ karibieni mimbari n a t u k a i k a r i b i a , alipopanda kidaraja

cha kwanza akasema “ Amin’’ alipopanda k i d a r a j a c h a p i l i akasema “Amin” na alipopanda kidaraja cha tatu akasema “Amin” alipoteremka tukasema ewe Mtume wa Allah (SW) leo t u m e s i k i a k wa k o m a m b o a m b a y o hatujayasikia kabla, akasema hakika Jibryl (AS) aliniteremkia na akaniambia, “awekwe m b a l i n a r e h m a aliyeidiriki Ramadhani n a a s i s a m e h e w e , n ikasema “Amin” nilipopanda kidaraja cha p i l i ak asema “ a w e k w e m b a l i na rehma ambaye umetajwa wewe na asikusalie, nikasema “Amin” nilipopanda k idara ja cha ta tu akasema “awekwe m b a l i n a r e h m a aliyewadiriki wazee wake wote au mmoja w a o , w a k o n g w e n a a s i s a m e h e w e , (kwa kutowasaidia) n ikasema “Amin” ( A m e i p o k e a n a I b n H i b b a n n a wameisahihisha).

Inakatazwa kufunga katika safari yenye shida na taabu kiasi k w a m b a f u n g a

i t a m l e t e a t a a b u , amesimulia Jabir (RA) alikuwa Mtume (SAW) safarini akamuona mtu amezunguukwa na watu wanampa kivuli akauliza ana n i n i ? wa k a s e m a amefunga, akasema si ucha Mungu kufunga katika safari” (SB1946 SM1115).

Katika makatazo k we n ye f u n g a n i kufululiza kufunga u k a wa h u f u n g u i , k w a n i k u f a n y a hivyo utakikosesha kiwiliwili haki zake na watu wako utawaudhi kwa funga ya maisha. Amesimulia Abdillahi b n A m r u ( R A ) kwamba, i l imfikia habari Mtume (SAW) k w a m b a m i m i nafululiza kufunga na ninasimama usiku siku zote, akasema ” f u n g a n a k u l a , simama usiku na siku nyengine lala, hakika macho yako yana haki na nafsi yako na watu wako wana haki”. Na mwisho aliruhusiwa kufunga siku moja na kula mchana siku moja, na alisema Mtume (SAW)” hana funga anayefunga maisha” (SB1977 SM1159) .

Page 14: An Nuur 1133

14 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014Makala

M K U R U G E N Z I Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Bw. A b d u l wa k i l i H a j i H a f i d h , a m e s e m a , Mfuko huo unatarajia kupunguza mafao ya kiinua mgongo kwa w a n a c h a m a w a k e w e n y e m i s h a h a r a mikubwa, baada ya kubainika michango yao hailingani na mafao wanayolipwa.

M p a n g o h u o u t a w a a t h i r i z a i d i v i o n g o z i walioteuliwa na Rais, wakiwemo Mawaziri wanaoendeleza michago yao ya utumishi kabla ya uteuzi wao wa ngazi ya siasa.

A k i z u n g u m z a katika uzinduzi wa bodi mpya ya sita ya Z S S F , M k u r u g e n z i Mtendaji wa Mfuko huo Bw. Abdulwakili Haji Hafidh, amesema w a n a c h a m a w a mfuko wanaostaafu w a n a l i p w a m a f a o makubwa yasiolingana na michango yao, hasa w e n y e m i s h a h a r a mikubwa.

A l i s e m a m f u k o u m e a n d a a m a p e n d e k e z o y a kuifanyia marekebisho s h e r i a y a m f u k o , itakayotoa uwamuzi mgumu wa kupunguza mafao ya wanachama w e n y e m i s h a h a r a mikubwa ili kuufanya m f u k o h u o k u w a endelevu.

“Haya tunasema ni maamuzi magumu ya kuyapunguza mafao yale tunayoona kwamba ni makubwa kuliko hali halisi ya michango yao…hali itakayohatarisha ‘sustainability’ ya mfuko wetu.

“ We n z e t u we n ye m i s h a h a r a ya j u u u t a k u t a m i c h a n g o yao inakuwa midogo kuliko kiinua mgongo wanachokipata, mfano hai mwenzetu mmoja hapa kat i yetu s is i

ZSSF kupunguza mafao ya vigogoNa Juma Abdallah Ali viongozi, amechangia

kama 60,000,000 lakini u k i a n g a l i a m a f a o atakayopata ni milioni 2 4 3 ’ ’ . A l i f a f a n u a Mkurugenzi huyo.

Bw. Haji amesema ulipaji wa mafao ya mfuko unaongezeka kila mwaka ambapo hadi kufikia Mei mwaka huu, zaidi ya shilingi bilioni saba zimelipwa mafao mbalimbali na Julai mwaka huu zitatumika zaidi ya shilingi bilioni nane, ambazo ni malipo ya mafao yanayopita lengo lililowekwa na mfuko.

Alieleza kuwa tafiti zilizofanywa mwaka 2002, 2005, 2010, 2012 hadi 2013, wataalamu wametoa mapendekezo y a k u f a n y i w a marekebisho sheria ya mfuko huo, hasa vipengele vya michango.

Bw. Hafidh alisema k u t o k a n a n a t a f i t i h i z o , i p o h a j a ya kufanywa marekebisho na kiwamba, tayari mapendekezo (proposal) yamepelekwa Wizara ya Fedha Zanzibar na inafikiria kuwa karibuni hivi itajadiliwa katika vikao vya Makatibu Wakuu.

K w a m u j i b u w a Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Mussa Khamis, mapendekezo hayo yatawasilishwa katika kikao kijacho cha Baraza la Wawakilishi cha Oktoba mwaka huu.

A i d h a H a f i d h amesema mfuko huo unaondelea na ujenzi wa mnara wa kumbukumbu y a m i a k a 5 0 y a Mapinduzi Zanzibar eneo la Michenzani ikiwa sehemu ya uwekezaji pia unatarajia kujenga hoteli ya kibiashara na maduka makubwa ‘shooping mall’ katika eneo hilo.

Alisema mfuko huo pia unatarajia kuwekeza ujenzi wa dahalia na nyumba za gharama nafuu kwa ushirikiano na kampuni moja ya Afrika Kusini eneo la Tunguu, wilaya ya Kati.

P i a m f u k o h u o unatarajiwa kuanza ujenzi wa nyumba za kisasa eneo la Mbweni, nje kidogo ya m j i wa Z a n z i b a r z i t a k a z o u z w a k w a wanachama wa mfuko na kuwekeza hisa katika baadhi ya benki ziliopo Zanzibar, zenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 148.

A k i z i n d u a b o d i hiyo Waziri wa Fedha Zanzibar Omar Yussuf Mzee, amesema michango inayotolewa na mafao wanayolipwa wanachama wa mfuko huo, hauwezi kuendelea kwa miaka ijayo.

A m e s e m a W i z a r a imeandaa rasimu ya sheria ya kubadilisha baadhi ya vifungu na kupendekeza vingine, ili mfuko huo uwe endelevu.

Waziri Mzee amevitaja baadhi ya vifungu hivyo kuwa ni kuhusu mfumo wa uchangiaji na ulipaji wa mafao, kuweka muda wa kuchangia na kunufaika na mafao badala ya miaka mitano ya sasa pamoja na kuongezwa kima cha michango kutoka asilimia tano ya mwanachama na asilimia 10 ya mwajiri.

Alisema ili mfuko huo uwe endelevu, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi

l i m e o m b w a k u u n g a mkono mapendekezo ya marekebisho ya sheria ya mfuko huo wa ZSSF iliyotungwa mwaka 1998, yatakapowasilishwa kwa wajumbe hao kujadiiwa.

“ L e o u n a c h a n g i a kidogo unachukua mafao makubwa tena makubwa mara tano zaidi, lakini kwa sababu sheria ndio i l iyopo hatuwalaumu wao…sheria inatakiwa irekebishwe, itaibadilisha ‘formula’ hii’’. Alisisitiza Waziri Mzee.

A i d h a a m e i t a k a Bodi hiyo mpya chini ya Mwenyekit i wake Dk. Suleiman Rashid Mohammed, kuwekeza ka t ika miradi yenye tija, ikiwemo ujenzi wa maduka makubwa eneo la Darajani na Michenzani.

A l i s e m a m f u k o huo hauna fedha na z i l i z o k u w e p o n i z a w a n a c h a m a h i v y o uwekezaji wa mairadi hiyo utausaidia mfuko kuwalipa fedha zao kwa wakati.

Aliongeza kusema kuwa si vizuri mtu anastaafu utumishi, anapewa barua kwamba amemaliza muda wake wa kufanya kazi, anakaa miezi sita hajapata mafao yake.

Wa z i r i M z e e p i a ameutaka mfuko huo kutekeleza sher ia ya ulipaji wa mafao ya uzazi hata kwa kiwango kidogo kutokana na kuwepo idadi kubwa ya wanachama wanaojifungua, lakini hawapati msaada wowote wa ZSSF .

Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko Dk. Suleiman Rashid Mohammed, ameahidi kuyapatia ufumbuzi matat izo yanayoukabili mfuko h u o n a k w a m b a atatumia uzowefu wake wa uwekezaji kusaidia mfuko huo kuwekeza miradi yenye faida.

Al isema chini ya uongozi wake, mfuko huo hautaiachia serikali kubeba mzigo mkubwa wa mfuko na utajitahidi k u l i p a m a f a o y a wanachama kwa wakati.

M f u k o w a Z S S F ulianzishwa mwaka 1998 ambapo hadi sasa una zaidi ya wanachama 70,000 na mali ya kiasi ya s h i l i n g i b i l i o n i 150 na kulipa mafao yanayokadiriwa kufikia shilingi bilioni saba hadi kufikia Mei mwaka huu.

(Zanzibar Islamic News's Blog)

MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Bw. Abdulwakili Haji Hafidh Akizungumza katika uzinduzi wa bodi mpya ya sita ya ZSSF hivi karibuni.

Page 15: An Nuur 1133

15 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014LISHE

Na Mujahidi Mwinyimvua

Kw a m u j i b u w a mafunzo ya Mtume Muhammad (s.a.w),

mfungaji anatakiwa afungue kwa tende, maji au maziwa, halafu aswali magharibi na baada ya hapo aendelee kula . Ture jea hadi thi ifuatayo ili kuthibitisha hoja yetu ya hapo juu: Anas (r.a) ameeleza kuwa Mtume (s.a.w.) alikuwa akifungua kwa tende mbichi zilizokomaa (fresh) kabla ya kuswali (Magharibi), kama hizi hazi kuwepo alifungua kwa tende zilizowiva na kukauka (mbivu), na kama hizi hazikuwepo alikunywa mafunda machache ya maji (Tirmidh na Abu Daud).

Wito wa Mwenyezi MunguMwenyezi Mungu kwa

kupi t ia Qur’an tukufu a n a wa t a k a wa n a d a m u wote bila kujali dini zao kufanya utafiti, kutafakari na kujifunza zaidi kuhusu chakula kama anavyosema katika aya zifuatazo: "Hebu mwanadamu na atazame chakula chake. Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu. Te n a t u k a i p a s u a p a s u a ardhi. Kisha Tukaotesha humo chembe chembe. Na mizabibu na mboga. Na mizeituni na mitende. Na mabustani, yenye miti iliyosongana. Na matunda na malisho, Kwa ajili ya kukustarehesheni nyinyi na wanyama wenu. (Surat Abasa: 80: 24-32)" (80.24).

Tunaweza kukitazama c h a k u l a i k i w e m o tende katika muktadha mbalimbali ikiwemo chakula kilivyothibitisha kuwepo kwa nguvu isiyokuwa na mfano inayodhibiti uhai (huu ni mtazamo wa kitauhidi). Tu k i a c h a k u k i t a z a m a chakula katika muktadha wa Tauhi id , tunaweza kukitazama chakula katika mitazamo mingine. Mtazamo mmoja unaoendana na mada yetu, ni kukitazama chakula katika virutubisho (nutrients) vilivyomo ambavyo ndivyo vinarutubisha mwili wa mwanadamu.

Hata hivyo, tukumbuke kuwa habari ya tende ni kubwa kuanzia historia ya zao hilo, nchi zinazolima zao hilo zama hizi, Qur’an inavyosema kuhusu tende, Bi Mariamu (mama yake Yesu -A.S-) a l ivyokula tende wakati anajifungua, virutubisho vilivyomo ndani ya tende, manufaa ya tende kama chakula na dawa na kadhalika.

Ahadi ya Mwenyezi MunguTukumbuke ni ahadi

yake Mwenyezi Mungu aliyoisema katika Qur’an

Faida ya kufuturu kwa tende

kuwa atawaonyesha watu ushahidi wa kuwepo kwake, ukweli wa Uislamu, Mitume yake, Qur’an, Kiyama na m a m b o m e n g i n e k w a k u t u m i a m w a n a d a m u mwenyewe na mazingira yanayomzunguka, zikiwemo tende.

R e j e a Q u r ’ a n : ‘Tutawaonyesha ishara zetu katika upeo wa mbali na katika nafsi zao wenyewe mpaka iwabainikie kwamba haya ni kweli. Je! Haikutoshi kwamba Mola wako Mlezi kuwa Yeye ni Shahidi wa kila kitu (Surat Fuss'ilat/H'a Mim Sajdah: 41.53). Hivi sasa watalaamu wanathibitisha kuwa tende zikiliwa na mama mjamzito anayekaribia k u j i f u n g u a z i n a s a i d i a kupunguza maumivu ya kujifungua.

Kufuturu kwa tendeKufuturu kwa tende ni

jambo lenye faida kubwa kama alivyohimiza Mtume (s.a.w). Maendeleo ya sayansi yanatusaidia kuongeza ufahamu wetu unaosema kuwa, tende ni chakula na ni tunda lenye thamani kubwa sana kwa binadamu. Ukweli huu ni kwa sasabu zifuatazo.

Tende ina asilimia 60 mpaka 70 ya sukari aina ya glucose na fructose. Mtu akila tende aina hii ya sukari inanyonywa na utumbo na kuunguzwa na seli na hatimaye inatoa nguvu kwa haraka. Kwa mfungaji swaum, nguvu hii humpa furaha na akili yake inatuama kwa haraka. Ndio kusema haifai kufuturu kwa vyakula vigumu kama vile hindi la kuchoma au ugali. Tende pia ina vitamini aina ya C kiasi cha gramu 3 na kiasi kidogo cha vitamini B-complex. Tende zikiwa

hazijawiva sana na mbichi (fresh) ndio zina vitamini nyingi zaidi. Aina hii ndiyo aliyokuwa anaitumia sana Mtume wetu (s.a.w). Vitamini mbal imbal i huwezesha mwili kuwa na kinga ya kupambana na maradhi. Pia baadhi ya vitamini zinasaidia kuimarisha mbegu za kiume na kuongeza uwezekano wa kutunga mimba. Yaani mbegu za kiume zinasafirishwa kwenda katika nyumba ya uzazi kwa msaada wa baadhi ya vitamini.

Vilevili, tende ina kiasi fulani cha maji (15% au zaidi) inategemea ilivyoandaliwa. Maji yana kazi kubwa sana mwilini. Baadhi ya kazi hizo ni kupoza mwili na kuwezesha kazi mbalimbali zinazotaka mazingira ya umajimaji kufanyika kwa ufanisi. Tende ina protini kiasi cha asilimia 2.5 na madini asilimia 2.1 (Calcium, Phosphorus, Chuma). Protini ni muhimu kwa ukuaji na ukarabati wa mwili na viungo vilivyo ndani yake. Madini yanasaidia kulinda mwili. Tende ina kiasi kidogo cha mafuta (0.4%) ili kukidhi haja ya mwili na haina aina mbaya ya mafuta inayoitwa cholesterol.

Mafuta yana kazi nyingi mwilini, zikiwemo kutoa nguvu na kutengeneza vitu fulani.

Cholesterol pia ina kazi muhimu kat ika mwil i , kinacho takiwa mafuta hayo yasiwe mengi. Yakiwa m e n g i ya n a s a b a b i s h a maradhi kama vile ya moyo, kiharusi (stroke), unene na presha. Zaidi ya neema hizo alizoumba Allah, tende ina nyuzi nyuzi za kilishe (dietary fibres) kiasi cha asilimia 3.9%. Nyuzi nyuzi hizi zinafaida kubwa katika

mwili wa mwanadamu. Kwanza zinanyonya sumu kutoka tumboni na kuitoa nje pamoja na kinyesi. Pili, zinasaidia mtu kupata choo kikubwa mara kwa mara hivyo ananusurika na tatizo la kukosa choo na ugonjwa wa kansa ya utumbo.

Kwa upande wa faida ya tende kama dawa kwa ufupi ni kuwa, tende inasaidia kuondoa tatizo la tumbo kuuma. Hii ni kwa sababu tende inazuia vijidudu vya maradhi kukua ndani ya utumbo na pia inasaidia kukua kwa bacteria wazuri ndani ya utumbo. Kwa maneno mengine, ndani ya u t u m b o k u n a w e z a kuzaliana aina mbili ya vijidudu aina ya bacteria, wale wazuri na wale wabaya. Hata h ivyo, i fahamike kuwa mtu akinywa maji machafu, yasiyochemshwa au kuwekwa dawa za kuua vijidudu, asitegemee kuwa tende itamsaidia. Tende haitaweza kufanya kazi hiyo, sababu umeipe mzigo mkubwa. Tende ikitiwa katika maji usiku kucha (saa 12) na isuguwe ndani ya maji hayo halafu kunywa ni asbabu ya Allah kukunusuru na maradhi ya moyo. Wakati huo huli nyama nyekundu (ngo’mbe, mbuzi, kondoo, n.k) kwa wingi. Kula nyama nyeupe kama vile samaki na kuku ndio inatakiwa.

Gazeti la Daily Times la Uingereza la taerehe 12.10.2005 liliripoti kuwa samaki wanasaidia kurudisha a k i l i z a wa z e e a m b a o wanapoteza kumbukumbu. P ia inafahamika kuwa samaki na ndizi ni mlo bora kwa kujenga akili za watoto.

Tende zinaongeza nguvuZaidi ya hayo, tende

inaimarisha nguvu za kiume na hivyo kuleta maelewano ndani ya familia. Tende kiasi cha kiganja kimoja u k i z i l o we k a n d a n i ya maziwa (fresh) ya mbuzi kwa usiku mmoja (overnight) na halafu zisage tende humo humo ndani ya maziwa (toa mbegu). Ongeza unga kidogo wa cardamom utengeneze na asal i k idogo kat ika mchanganjiko huo, nguvu za kiume zitaimarika na mbegu za uzazi zitakuwa na afya ya kuchangia mimba kushika kwa idhini yake Mwenyezi Mungu. Si vizuri kutumia madawa ya dukani. Kama huna budi kuzitumia lazima upate maelekezo ya daktari.

Tukumbuke zama siku hizi kuna kuna biashara kubwa ya dawa za kukuza makalio, mapaja (hips), matiti na viungo vya uzazi vya kiume. Kwa hiyo, bila kuwaoana madaktari waaminifu, kuna hatari kubwa ya kupata dawa ambazo zitapoteza kabisa nguvu zako za kiume au kike. Muhimu fanya uchaguzi wa vyakula na fanya mazoezi ya viungo. Pia pata muda wa kupumzika.

H a t a h i v y o , k u h u s u tende pia tuzingatie ushauri ufuatao: Tende zinanasa vumbi na uchafu mwingine. Kwa hiyo, nunua tende safi iliyofungwa vizuri na kama una wasiwasi nayo, ioshe na maji safi kabla ya kuila. Kwa wagonjwa wa kisukari wasitumie tende, asali, miwa, juisi zenye sukari au vyakula vingine vyenye sukari bila ya kupata maelekezo ya daktari.

Kwa kuzingatia manufaa yapatikanayo ndani ya tende ni vizuri kwa kutumia mlango wa kiasi kuona msingi wa kuandaa mlo wa futari unaofaa. Kwanza mlo wa futari tunaokula baada ya kukata saumu na kuswali Magharibi uwe laini na uandaliwe na vyakula ambavyo ni rahisi kusagwa tumboni. Pili, vyakula hivyo viwe vitamu kutokana na sukari ya vyakula vyenyewe. Mfano wa vyakula hivyo ni ndizi zilizoiva na kupikwa, viazi, maharage, mihogo na vingine mithili ya hivyo. Vyakula vya futari (na vingine) visiwekwe chumvi nyingi wala mafuta mengi. Kama mafuta, watu watumie yanayotokana na mimea. Mboga za majani na matunda (au juisi asili) ni muhimu wakati wa kula futari.

Ikumbukwe kuwa juisi bora ni ile ya kuandaliwa bila kuwekwa chemikali. Pia, tusiwe na tabia mbaya ya kula sana. Allah anatukataza kwa kusema: “...Na kuleni (vizuri) na kunyweni (vizuri). Lakini msipite kiasi tu. Hakika yeye (Mwenyezi Mungu) hawapendi wapitao kiasi.” (Qur’an; 7:31).

Simu: 0655 654900.

Page 16: An Nuur 1133

16 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 201416 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR16 RAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 11-17, 2014

Soma Gazeti la AN-NNUR

kila Ijumaa

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuiondoa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) ni kuitafutia majanga Zanzibar.

Maalim Seif ameyasema hayo akihoj iwa kat ika k i p i n d i m a a l u m a c h a Dk 45, kinachorushwa na Televisheni ya ITV, Jumatatu wiki hii, ambapo pia alizungumzia masuala mbalimbali yahusuyo siasa kwa ujumla.

Akizungumzia suala la Serikali ya Umoja wa Kitaifa, Maalim Seif, alisema Serikali hiyo imeleta mafanikio makubwa na hakuna njia n y i n g i n e ya k u i f a n ya Zanzibar iwe katika utulivu uliopo sasa isipokuwa ni kudumisha Serikali hiyo.

“Hakuna njia nyingine itakayoicha Zanzibar salama ikiwa nje ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa, ukisema uiondoe ni dhahiri kufanya hivyo inakuwa ni kuwatafutia majanga makubwa Zanzibar na Wazanzibar wake”. Alisema Maalim Seif.

Maalim Seif, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, alipoulizwa hatma ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUKI), kufuatia baadhi ya watu kutaka isiwepo, alisema Serikali hiyo itaendelea kuwapo kwa sababu Katiba ya Zanzibar inasema lazima mfumo wa utawala wa Zanzibar uwe na ushirikiano.

Alisema, utakapo ikataa Serikali hiyo ni lazima urudi kwa wananchi ambao ndio watakao amua kuiondosha au kuendelea kuwepo lakini si tu kwa matamanio ya watu wachache.

Maalim Seif al isema kiutendaji katika ngazi ya viongozi wa juu wa Kitaifa wanafanya kazi vizuri kwa masikilizano na majadiliano mazuri kabisa na kupeana heshima kubwa, bila kujali utashi wa kivyama, zaidi wanaangali maslahi ya Wazanzibar.

Alisema, hata katika Baraza la Mapinduzi, pia kuna ushirikiano mzuru tu hakuna tabia ya kuonyesha uchama kwamba huyu C U F a u C C M , w o t e wanazungumza agenda kama zilivyo kwa maslahi

Na Bakari Mwakangwale ya Wazanzibar.Makamu huyo wa Kwanza

wa rais alisema, katika hilo matitizo yanaanzia ngazi ya Mkoa, Wilaya na Shehia kwa sababu mazoea yanachangia na inawalazimu kutoa elimu kwa viongozi hao ili waweze kuelewa mfumo wanaoenda nao sasa.

Maalim Seifu alimpongeza Rais Mohammed Shein, a k i m u e l e z e a k wa m b a amekuwa akijitahidi mara kwa mara kutoa el imu juu ya Umoja huo kila anapozungumza na viongozi wa ngazi mbalimbali, pamoja na kwamba ndani ya Chama chake wapo baadhi ya watu wanadai hawaitaki Serikali hii.

“Kwa ujumla viongozi wa K i t a i f a t u n a f a n ya juhudi kuhakikisha hilo linafahamika tumeweza k u f a n y a s e m i n a n a Mawaziri, Makatibu Wakuu wa Wizara pamoja na Wakuu wa Mikoa. Katika semina hizo kuna wengine ni wepesi kufahamu lakini wengine bado wanahitaji kupata mbinu nyingine na ushawishi mkubwa ili waweze kuelewa umuhimu wa Serikali hii, kwa sababu ni jambo jipya”. Alisema Maalim Seif.

Al i sema, wameweza k u i p a t a S e r i k a l i h i y o kutokana na kuwa na nia n jema waliyokuwa nayo yeye (Maalim Seif ) na Rais mstaafu, Amani Karume, baada ya kuona hatuwezi kuendelea na hali ile iliyokuwepo, ambayo i n g e k u w a i n a r i s i s h a v izazi vyao magomvi , chuki na uhasama hivyo wa k a r i d h i a n a wa p a t e maridhiano kwa ustawi wa Zanzibar yao.

“Tukakaa tukazungumza kwa kuonyeshana nia njema na tukaweza kuwashawishi Wazanzibar kupitia kura ya maoni wakaamua kwamba tunahitaji Serikali ya Umoja wa Kitaifa, ambayo itazika mambo yote yal i tokea nyuma.” Alisema Maalim Seif.

Hivyo, alisema kupitia n j i a h i y o w a m e w e z a kuwaunganisha Wazanzibar kwa kiasi kikubwa chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa na zile hasama zilizoingia hadi Misikitini za kusema huyu CUF na huyu ni CCM, zimetoweka na maingiliano ya jamii ni mazuri kabisa.

Akizungumzia suala la Bunge la Katiba na hatima yake kutokana na mvutano baina ya Wabunge wa CCM na wa Upinzani, alisema endapo suala hilo halitotafutiwa ufumbuzi haraka katika kipindi hiki cha kuelekea katika Bunge la Katiba, na isipo patikana Katiba mpya wa kulaumiwa ni Chama Cha Mapinduzi (CCM).

A k i f a f a n u a a l i s e m a , pamoja na kuwa inasemekana waliotoka nje ya Bunge sio wao (CCM), lakini ifahamike kuwa CCM wameacha ajenda na kuanza kuzungumzia ubaguzi hata kufikia hatua ya kuwaeleza wenzao hawana haki katika nchi hii.

“ U n a p o a n z a k u l e t a maneno ambayo yanaashiria uchochezi, ubaguzi unadhani wale wengine watafanya nini, ama wajibu, na ukijibu maana yake mnalipasua Taifa, hivyo wale (UKAWA) wakaona kama hali ni hivyo wawaachie wenyewe wajadili kuliko kuendelea kuwemo na kuhalalisha yasio maoni ya wananchi.” Alisema Maalim Seif.

Maalim Seif , a l isema ikiwa CCM na Serikal i yake wataendelea, kugoma kujadili rasimu ya Katiba ni

juu yao kwani alisema hata yule Mkenya, alipohutubia Bunge la Katiba aliweka wazi kwamba, baada ya Serikali ya Kenya kuibua mivutano mwisho wa siku ilizaa machafuko nchini mwao.

“ H a t u t a k i Ta n z a n i a yatokee hayo kwa sababu Katiba ni maridhiano, wala isiletwe hoja kwamba wao ni wengi kitu muhimu ni hoja, wapinzani pamoja na uchache wao wanajenga hoja zenye maana kabisa kuliko zile za CCM za kufundishwa.” Alisema.

Maalim Seif , alisema hata Rais Kikwete, katika hotuba zake za mwanzo alitahadharisha hilo, kwamba katika kuijadili rasimu ya Katiba sio kuangalia suala la wingi bali ni suala la hoja na maridhiano ndio msingi mkuu wa Katiba itakayoridhiwa na wadau wote.

Aidha, akielezea kuibuka kwa mvutano unaohatarisha upatikanaji wa Katiba mpya, Maalim Seif, alidai Rais Kikwete, amechangia kwa kiasi kikubwa kulikoroga suala la mjadala wa Katiba mpya Bungeni baada ya kuingiza utashi wa chama

chake badala ya maslahi ya Taifa.

“ K u m b u k a alipozungumza na Baraza l a v y a m a v y a S i a s a , alizungumza vizuri sana kama mkuu wa nchi, lakini al ipokwenda kufungua Bunge Maalum la Katiba, akajisahau kwamba yeye ni Rais wa Watanzania w o t e , a k a c h u k u a msimamo wa Chama Chake .” Al iba in isha Maalim Seif.

A k i s h a u r i n i n i kifanyike ili imani ya kupatikana kwa Katiba huru irudi kwa Watanzania, Makamu huyo wa Rais, alisema inategemea na Rais Kikwete mwenyewe kama atatafakari kwa kina, kwani ukiwa kiongozi makosa lazima ufanye kwa kuwa hakuna aliyemkamilifu.

Akitoa maoni yake kuhusu Ukawa kuwa nje ya Bunge la Katiba, na msimamo wao wa kutorudi Bungeni Maalima Seif, alisema umoja huo h a u j a s e m a k wa m b a hautorudi Bungeni, bali wamesema watarudi pindi wakihakikishiwa kujadiliwa ras imu ya Ja j i Joseph Warioba, ambayo ni maoni ya wananchi.

MFANYABIASHARA wa muhogo na majimbi, akitoa bei ya bidhaa hizo wakati Maalim Seif alipofanya zaira ya kutembelea soko la Mwanakwerekwe hivi karibuni.

Kuondoa SUK ni kuiingiza Zanzibar katika majanga