20
ISSN 0856 - 3861 Na. 1187 SHAWWAL 1436, IJUMAA , JULAI 24-30, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST Hakuna kitu kinachowaliza wenye akili zaidi kuliko vipi kuokoka na Moto na kupata Pepo! Hijja inakusafisha na madhambi yote na kukuhakikishia Pepo ndani ya siku tano! Hakuna matumizi bora ya rasilmali kuliko kutumia katika Hijja. Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437. Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010. (18) KUPATA PEPO KWA SIKU TANO! MMOJA kati ya watu waliotajwa na Jeshi la Polisi, kuwa ni wahusika wa uvamizi wa kituo cha Polisi Sitakishari, Ukonga Jiji Dar es Salaam, Zahaq Rashid Ngai, amekanusha vikali kuhusika na tukio hilo. Akiongea na waandishi wa habari Jumanne wiki hii Jijini Dar es Salaam, Zahaki amesema amestushwa na taarifa hizo kuwa yeye ni mmoja wa watu waliovamia kituo cha Polisi Sitakishari. Sitakishari yazua ‘Shari’ Aliyepinga mauwaji Mwembechai asakwa Ni Zahaki Rashid. Alifukuzwa Polisi 1998 Asema, anamkabidhi Kova kwa Allah (SWT) Huyu ndiye wa kumpa kura yako Mpime ujasiri wake kutoka Chattanooga… Hadi Sitakishari na “Pseudo-al Shabaab” Asiwe na chuki mithili ya mchungaji Graham Wala kuwabambikia ugaidi Masheikh, Waislam Na Bakari Mwakangwale Inaendelea Uk. 3 KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum DSM, Seleman Kova.

ANNUUR 1187.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ANNUUR 1187.pdf

ISSN 0856 - 3861 Na. 1187 SHAWWAL 1436, IJUMAA , JULAI 24-30, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST

Hakuna kitu kinachowaliza wenye akili zaidi kuliko vipi kuokoka na Moto na kupata Pepo! Hijja inakusafisha na madhambi yote na kukuhakikishia Pepo ndani ya siku tano! Hakuna matumizi bora ya rasilmali kuliko kutumia katika Hijja. Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010.

(18) KUPATA PEPO KWA SIKU TANO!

MMOJA kat i ya watu waliotajwa na Jeshi la Polisi, kuwa ni wahusika wa uvamizi wa kituo cha Polisi Sitakishari, Ukonga Jiji Dar es Salaam, Zahaq Rashid Ngai, amekanusha vikali kuhusika na tukio hilo.

Akiongea na waandishi wa habari Jumanne wiki hii Jijini Dar es Salaam, Zahaki amesema amestushwa na taarifa hizo kuwa yeye ni mmoja wa watu waliovamia kituo cha Polisi Sitakishari.

Sitakishari yazua ‘Shari’Aliyepinga mauwaji Mwembechai asakwaNi Zahaki Rashid. Alifukuzwa Polisi 1998Asema, anamkabidhi Kova kwa Allah (SWT)

Huyu ndiye wa kumpa kura yako

Mpime ujasiri wake kutoka Chattanooga…Hadi Sitakishari na “Pseudo-al Shabaab”Asiwe na chuki mithili ya mchungaji Graham Wala kuwabambikia ugaidi Masheikh, Waislam

Na Bakari Mwakangwale

Inaendelea Uk. 3

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum DSM,

Seleman Kova.

Page 2: ANNUUR 1187.pdf

2 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Makala

HIVI karibuni Jeshi l a P o l i s i n c h i n i limetangaza donge nono la shilingi milioni 50 kwa atakayetoa taarifa za kufanikisha kukamatwa watuhumiwa wa tukio la Sitakishari. Waliotajwa kuwa wanatafutwa ni Abdulazizi Abdulrashid au Ustaadhi Abdulaziz, mkazi wa Dar es Salaam, Shaban Mtumbuka au Amir Shaban Ndobe, H a n n a f i K a p e l a k wa j i n a m a a r u f u Mkamba au Shekhe Hannafi, Hassan Issa (Dk. Shujaa), Zahaq Ngai (Mtu Mzima), Abubakar Ngindo (Abu Muhammad) na Khamis Ramadhan.

Awali Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, alisema kuwa wamefan ik iwa kukamata baadhi ya silaha zilizoporwa halikadhalika baadhi ya watuhumiwa akiwataja kuwa ni Abbas H a s h i m ( m k a z i w a Mbagala), Yassin (mkazi wa Kitunda Kivule) na Said (mkazi wa Kivule, Kijiji cha Mandimkongo Mkuranga), waliofariki baada ya kujer uhiwa wakipambana na polisi. Wa t u h u m i w a w a l i o mikononi mwa Polisi ni Ramadhani Ulatule (15), mkazi wa Kijiji cha Mandimkongo Mkuranga na Omary Amour (24), m k a z i w a M b a g a l a

Katika hili la ‘Sitakishari’…

Kamanda Kova, tusisahau uzoefu wa Mau Mau, Kenya

Bado akina Generali Frank Kitson wapoKatika kutekeleza lao, watavaa vilemba na…Bendera za al-Shabaab hata ndevu bandia

Kimbangulile.Wakati tukipongeza

juhudi hizi za polisi , kuna haja ya kulitafiti na kulitizama kwa undani zaidi tukio hi l i , hasa kutokana na ukubwa wake na jinsi lilivyovuka mipaka ya ujambazi wa kawaida.

Awali kabla ya tukio h i l i , k u l i w a h i t e n a kuvamiwa vituo vya polisi na kuporwa silaha. Na kil ichofuatia kuamkia lile tukio la Amboni, ni taarifa zilizodaiwa kutoka kwa ‘kamanda’ wa wateka vituo hivyo akidai kuwa walifanya hivyo ili kupata silaha za kufanyia Jihad.

Mambo hayakuishia hapo, lakini yakafuatia matukio ya madai kuwa kuna watu walikamatwa huko Morogoro wakiwa na milipuko huku wakiwa na ‘maandishi’ ya Kiarabu na bendera ya Al Shabaab. Ukiyaunganisha yote haya, haitakuwa imekhalifu k awa i d a y a m a m b o kuwa na wasiwasi kuwa huenda kuna mchezo mchafu unachezwa hapa ambao hauja ju l ikana mapana na marefu yake. Na hili linapata nguvu tukizingatia zama hizi tulizo nazo za ‘ugaidi’ na yanayoandamana na biashara hiyo ya mabeberu.

A l i y e k u w a M k u u wa Pol is i Uingereza, Lord Stevens, aliwahi kunukuliwa akisema kuwa wengi wa wanaodaiwa kuwa ni magaidi, wanafanya

kazi na Idara za Usalama. Akifafanua alisema kuwa wakati akiwa Kamanda wa Polisi, zaidi ya watu 210 waliokuwa wamekamatwa kwa tuhuma za ugaidi kule Northern Ireland, basi ni watatu (3) tu ndio waliokuwa hawafanyi kazi na Polisi au makachero wa MI5 na Jeshi la Uingereza. Alichoeleza kamanda huyo wa polisi, Uingereza n i k u wa wa l i o k u wa wakidaiwa kuwa ni magaidi wa Irish Republican Army (IRA) ambao walikuwa wakifanya mashambulizi ya k ig a id i wak i l ipua mabomu na kuuwa watu wasio na hatia, walikuwa wakitumwa kazi na ‘UK security services’. (Tazama makala: Most terrorists work for the security services. 2. Angalia pia: Half of all the top IRA men 'worked for security services')

Kwa mujibu wa taarifa ya M Bennett, (Asia Times, June 2003) makachero wa M16 walikuwa wakiandaa m p a k a m a j a m b a z i na kuwatuma kazi ya kupora na kuuwa watu, wasingiziwe IRN. Aidha anaripoti kuwa Novemba 1982, iliwahi kufikishwa kesi mahakamani kule Marekani ya tuhuma za kusaf i r isha s i laha kuwapelekea magaidi wa IRA, lakini watuhumiwa watano katika kesi hiyo wakaachiwa hur u na kesi kufutwa baada ya kufichuliwa kuwa ‘biashara hiyo ya magendo’ ya silaha kwa IRA iliidhinishwa na Idara za Usalama.

Lakini pia anakumbusha kuwa mwaka 2006 gazeti la Guardian liliripoti jinsi makachero wa Uingereza walivyokuwa wakipanga na kutekeleza mashambulizi katika vituo vya jeshi katika miaka ya 1990. Na kwamba makAchero hao ndio waanzilishi wa hiki kinachoitwa sasa kuwa ni ugaidi wa Al Qaida wa kushambul ia kwa kujitoa muhanga katika gari liliojazwa mabomu. Kwa mujibu wa gazeti h i lo, makachero hao wa Uingereza walikuwa wakikamata watu na kuwapakia katika magari

waliyoyajaza mabomu na kuwaamuru kuyaendesha na kug onga nyumba a u s h a b a h a y oy o t e inayotakiwa.

Ugaidi huu wa kupanga na mchezo huu wa kutumia ‘pseudo-gangs’, ndio pia Waingereza walioutumia wakati wakitawala Kenya na iliyokuwa Rhodesia. Katika Rhodesia, walikuwa wakitumia magaidi hao wa kupanga kushambulia makan i s a na kuuwa maaskofu, mapadiri na watawa, kisha husingizia kuwa ni wapigania uhuru. Kwa upande wa Kenya, ilipoanza harakati za Mau Mau, wakoloni hao chini ya kamanda Frank Kitson, waliunda ‘Pseudo Mau Mau’ ambao waliuwa watu na kufanya vitendo vingi vya kigaidi wakisingizia kuwa ni Mau Mau halisi.

Makundi haya ya ‘Mau Mau bandia’ yalijumuisha ‘Waswahili’ watiifu kwa Wazungu, kwa maana ya vibaraka pamoja na askari wa Kizungu. Wale wal iokuwa Wazungu, walivaa nywele bandia za Kiafrika na kujipaka ‘masizi’ (rangi nyeusi) waonekane Waafrika. Lakini pia wakichukua n g u o z i l i z o z o e l e k a kuvaliwa na Mau Mau, hasa wakizichukua katika maiti wa Mau Mau wanaouliwa.

“They used wigs, often obtained from the hair of dead terrorists. So they would not give away their group, Europeans had to learn to squat, eat, take snuff, and in general act as genuine Mau Mau. To get the proper look and smell they wore captured Mau Mau clothing, and did not wash. Each white in a pseudo group had a cover man or bodyguard, whose primary job was to draw attention away from him.”

H i v y o n d i o tunavyoambiwa namna ‘wakoloni’ hawa mabeberu wanavyotuchezea akili. (Tazama: The UK's General Frank Kitson refers to the 'pseudo gang'. (General Frank Kitson: Trail Blazing Fake Terrorism. Angalia pia: The use of Pseudo Gangs against the Mau Mau-By Leroy Thompson.)

Yamesemwa mengi juu ya ‘vijana wanaokamatwa Misikitini’ wakiwa na bendera za Al Shabaab na milipuko mpaka yanatujia haya ya kuwasaka akina “Ustadh Fulani” kwa tukio la Sitakishari.

Ipo kawaida mgonjwa a k i t i b i w a h o s p i t a l i hapati nafuu na vipimo havionyeshi kuwa ana ugonjwa wa kueleweka, huwa watu wanajaribu dawa za kienyeji au ‘Tiba mbadala’.

Hili la kutizama mbinu c h a f u z a w a k o l o n i waliotuletea biashara hii ya ‘ugaidi’, ni zaidi ya tiba mbadala. Wenyewe wameandika vitabu na wanaendelea kuandika j insi wanavyotufanya wajinga na kutuchezea akili ili kufanikisha yao.

Katika jitihada hizi za Kamanda wetu Suleiman Kova na Jeshi zima la Polisi, kuna haja ya kuangalia haya wanayotuambia akina Frank Kitson kuwa walitufanyia kule Kenya na Zimbabwe.

Kama waliweza kuvaa nguo za maiti ya Mau Mau wakati wa ukoloni wa kutuvamia na kutukalia, hawash indwi , kuvaa kilemba cha Al Shabaab na kubeba bendera ya IS, wakati huu wa ukoloni mambo leo na utandawazi. Kama waliweza kuunda ‘Pseudo Mau Mau’ wakati wakitucharaza mijeledi ku fanya kaz i ka t i ka mashamba ya pamba na kahawa, hawatashindwa k u u n d a ‘ p s e u d o a l Shabaab’ katika ukoloni huu mpya wa ‘global hegemony’.

Na tujue kuwa kama ambavyo kila alipokuwa ‘Mzungu Mau Mau Feki’ kulikuwa na ‘Mkenya Mau Mau Feki’, yaweza kuwa hapa napo wakawepo ‘Waswahili Majambazi na a l -Shabaab Fek i ’ wa k i t uh a n g a i sh a n a matukio kama haya ya Sitakishari kama ngazi ya kuendea walikofikishwa Nigeria na Kenya. Mungu atunusuru.

Page 3: ANNUUR 1187.pdf

3 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

Habari

Sitakishari yazua ‘Shari’Inatoka Uk. 1

“Naomba ieleweke wazi kwamba, sihusiki kwa namna yoyote ile na tukio la ujambazi u l iofanywa ka t ika k i tuo cha Polisi cha Sitakishari.” Amesema Zahaq.

Akitangaza kukamatwa kwa baadhi ya watuhumiwa wa tukio la Sitakishari, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova alitaja orodha ya watuhumiwa ambao bado wanatafutwa.

Akawataja watuhumiwa hao kuwa ni Abdulazizi Abdulrashid au Ustaadhi Abdulaziz, mkazi wa Dar es Salaam, Shaban Mtumbuka au Amir Shaban Ndobe, Hannafi Kapela kwa j ina maarufu Mkamba au Shekhe Hannafi, Hassan Issa (Dk. Shujaa), Zahaq Ngai (Mtu Mzima), Abubakar Ngindo (Abu Muhammad) na Khamis Ramadhan.

H a t a h i v y o , Z a h a k i anasisitiza kuwa hahusiki kwa namna yoyote na ni jambo la kushangaza, yeye kujumuishwa katika tuhuma hizo na haelewi zina lengo gani kwake, familia yake na jamii inayo mzunguka.

Jumatano wiki hii An nuur, iliwasilina na Wakili Rashid Kilindo, ambaye ni wakili wa Zahaq, na kueleza kwamba, alimshauri (Zahaq), aambatane na familia yake akaripoti kwa Kamishna wa Polisi, Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Suleiman Kova.

Wakili Kilindo, alisema Zahaq, alitekeleza ushauri huo ambapo Jumatano ya wiki hii, alifika ofisini kwa Kamanda Kova, na kusema kwamba familia yake ilimtaarifu kuwa (Zahaq) atakuwa na mahojiano na Jeshi la Polisi yatakayo chukua masaa manne.

“Kwa sasa sina maelezo zaidi ya hayo, labada tuwasiliane baadae naweza kuwa na majibu kamili juu ya suala hili.” Alisema Wakili Kilindo.

H a t a h i v y o , h a b a r i tulizozipata wakati tunakwenda mitamboni jana, zilifahamishwa kuwa Zahaki alikuwa bado anashikiliwa na Polisi baada ya kwenda mweyewe juzi Jumatano kuripoti.

Awal i Zahaki , a l ie leza kuwa anadhani historia yake nd io inayo muhukumu , baada ya kufukuzwa kazi akiwa mwajiriwa wa Jeshi la Polisi, kutokana na sababu ya kufukuzwa kwake kufanywa kama rejea dhidi ya dhulma za Waislamu nchini.

Kwamba, huenda hali hiyo inalichukiza Jeshi la Polisi au Serikali na kumtafutia sababu za kumtia hatiani.

Zahaq Rashid, alikuwa ni mwajiriwa wa Jeshi la Polisi, katika miaka ya tisini, na mwaka 1998, alifukuzwa kazi na Jeshi la Polisi, baada ya kutofautiana na uongozi kuhusiana na sakata la mauaji ya Waislamu Mwambechai, Jijini Dar es Salaam.

Taarifa za Zahaki juu ya kadhia hiyo kutofautiana na makamanda wake katika kadhia ya Mwembechai, zilielezwa kwa kina katika kitabu cha ‘Muslims and The State’ kilicho andikwa na Profesa Hamza Mustafa Njozi.

Z a h a q , a m e j i k u t a anajumuishwa katika kundi ambalo limetajwa na Jeshi la Polisi kuwa ni la watu ambao wamegundulika kuwa na tabia

ya kuvamia vituo vya Polisi kuuwa askari na kupora katika taasisi za fedha.

Tukio hilo la kufukuzwa kwake kazi limekuwa rejea katika madai mbalimbali ya Waislamu katika kudhihirisha d h u l m a wa n a z o f a n y i wa Waislamu nchini, mathalani kat ika vipindi vyake vya ‘Mwangaza kwa Jamii’ Radio Iman, kwa nyakati tofauti imekuwa ikitumia maelezo ya tukio hilo kama kielelezo cha dhulma dhidi ya Waislamu nchini.

Naye Al-Marhum, Sheikh Ilunga Hassan Kapungu, katika mihadhara yake aliyozunguka nchi nzima kuelezea ‘Mfumo Kristo’ na dhulma wafanyiwazo Waislamu, pia alitumia tukio

hilo katika kuelezea madhila dhidi ya Waislamu Tanzania.

“Na mwaka jana (2014) mwanahistoria Mohammed Said, aliliweka tukio hili katika mtandao wa ‘Google’ ambapo ukiandika Zahaq Rashid, unapata taarifa zote za kadhia ya kufukuzwa kwangu kazi na Jeshi la Polisi.” Alisema Zahaq.

“(Huenda) kurudiwarudiwa kwa maelezo yangu (juu ya kufukuzwa kazi polisi na kadhia ya Mwembechai), kulilikasirisha Jeshi la Polisi na (labda) hapo makamio dhidi yangu yakaanza.”

Zahaki akitoa maelezo kwa wandishi wa habari na kuonyesha kutojua hasa ni kwa nini polisi wakamjumuisha katika tuhuma hizo nzito,

a n a s e m a , h a t m a y a k e anamwachia Mwenyezi Mungu, muweza na mjuzi wa yote aliye mlinzi kwa waja wake.

“La muhimu hapa ni kuacha taarifa sahihi ili nyuma yangu ndugu zangu katika imani na jamii kwa ujumla iepuke katika kuninasibisha na tukio lile la Sitakishari.”

“(Lakini muhimu zaidi),… nalirejesha jambo hili kwa Allah (SW) kwa ajili ya hukumu yake pale tutakapo simamishwa mbele Yake, mimi na hawa wanaonizulia uongo.”

Amesema Zahaq katika kumalizia taarifa yake akiwa na uso wa masikitiko na huzuni, machozi yak imlenga lega akishitakia ‘dhulma’ hii kwa Mola wake.

VIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Znzibar, Sheikh Farid Had na Mselem Ally, wametuma salam za Eid-El-fitri, wakiwataka Waislamu n c h i n i k u e n d e l e a kupigania haki zao.

Masheikh hao pamoja na Wa i s l amu weng ine waliopo katika Gereza la Segerea, Jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na tuhuma za Ugaidi, wametuma salamu hizo mapema wiki hii, baada ya An uur, kuwatembelea katika gereza hilo.

Pamo j a na kwamba M a s h e i k h h a o wa m o gerezani kwa muda mrefu sasa, lakini wanaonekana ni wenye afya imara na nuru huku wakiashiria kuwa wapo kida’awa zaidi, kutokana na mazungumzo yao mbele ya Mwandishi wa habari hizi.

Sheikh Mselem Ally, alisema wakati Waislamu w a m e m a l i z a m f u n g o wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani na kuelekea katika Sherehe za Eid, wasiache kudai, kupigania na kusimamia haki zao za msingi pale inapobidi.

“Wais lamu was iache kusimamia haki palipo na haki, wapiganie haki zao ambazo wanaona ni haki zao za msingi na ni wajibu wao kuzipata, hili ndilo la msingi ninalo wausia Waislamu kwa kuzingatia kuwa wanatoka

Salam za Eid kutoka gerezani SegereaNa Bakari Mwakangwale katika Ibada ya Ramadhani

na kusheherekea Eid.” Alisema Shkh Mselem.

Hata hivyo, akasema anawanas ih i Wais lamu wanaopigania haki zao kuwa makini kwani akadia wapo baadhi ya viongozi katika utawala (Serikalini) wana nia mbaya. Hawapendi kuona Waislamu wanapata haki zao za msingi kama raia wa nchi hii.

Hata hivyo alisema, hiyo haina maana kuwa wawe waoga katika kudai haki zao bali wapambane kwa hoja ilimradi wakiamini wanacho kifanya ni kwa ajili ya kuondoa na kupinga dhulma na si vinginevyo na kamwe wasirudi nyuma katika kuitafuta haki mpaka mwisho.

“Wanapokuwa wanafanya mambo yao wasifanye kwa kuogopa mtu, wafanye kwa sababu ni haki yao lakini tu wasikengeuke misingi ya Uislamu wafanye kwa ajili ya Allah (s.w) wakiwa katika msingi huo wasirudi nyuma katika kusimamia haki zao mpaka pale Allah (s.w) atakapo huku”. Alisema Shkh Mselem.

Aidha Shkh. Mselem, aliwashukuru Waislamu kwa kujitokeza katika kesi yao kila inapotajwa (Kisutu) lakini pia kwa kuwatembelea Gerezani (Segerea) na kuwapatia mahi ta j i mbal imbl i ya kimalazi pasi ya kuhofia tuhuma walizopewa.

Kwa upande wake Sheikh Farid Had, alielekeza salamu zake za Eid, kwa Maimamu akiwataka kuwaelimisha na kuwahimiza waumini wao kujiandikisha kwa wingi katika daftari la kupigia kura kisha kujitokeza kwa wingi kuchagua viongozi wao akisema kuwa hiyo ndio njia pekee ya kuweza kuchagua viongozi waadilifu.

“Lakini pia Masheikh na Maimamu wanatakiwa wawaelekeze pia ni kiongozi gani na mwenye sifa zipi anayefaa kuungwa mkono na Waislamu ambae ataweza kuwatendea haki Watanzania pasi ya kuwabagua kiitikadi”. Alisema Shkh. Had.

Alisema, hana hakika kama mimbari za Misikiti zimetumika kwa kuwajenga Waislamu katika ummoja wakati huu wakielekea katika uchaguzi Mkuu.

Akasema, kitu kikubwa wanachotakiwa kuzingatia Maimamu na Masheikh kwanza ni kuhamasisha mshikamano na umoja wa kweli.

“Mimbari za Misikiti kama zimetumika au zitatumika kuwaelimisha Waislamu vizuri, ina maana kwamba Waislamu wataingia katika uchaguzi huku wakijua nini wanafanya katika kuwapata viongozi waadilifu kuanzia ngazi ya Udiwani, Ubunge, Uwakilishi pamoja na Rais pia”. Alisema.

Kwa upande mwingine

Shkh. Had, alisema pamoja na kwamba wamo gerezani kama mahabusu ndani ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani , wameweza kupata muda muafaka wa kumlilia Allah (s.w) hususan katika visimamo vya usiku kuanzia mwanzo wa mwezi wa Ramadhani, bila tabu yoyote.

“Kisimamo cha usiku tunakifanya kama kawaida tena kwa utulivu kabisa na dua tunazifanya sana tu lakini na Waislamu huko waendelee kumlilia Allah i l i a tupe haki zetu na atulipie kwa haya madhila tunayofanyiwa Waislamu humu nchini.”

Alisema Sheikh Farid na kuhitimisha kwa kuwahimiza Waislamu kudumisha amani n a upendo m iong on i mwao na miongoni mwa Watanzania kwa ujumla.

SHEIKH Farid Hadd.

Page 4: ANNUUR 1187.pdf

4 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015HABARI

SHIRIKA la habari la ABNA limeripoti k u w a m a e l f u y a watu walikusanyika S r e b r e n i c a n c h i n i B o s n i a J u m a m o s i iliyopita Julai 11, 2015 kukumbuka mauwaji ya kimbari dhidi ya Waislamu yaliyofanyika miaka 20 iliyopita.

N i s i k u y a k u w a k u m b u k a wanaume na wavulana wa K i i s l a m u 8 , 0 0 0 waliouliwa na wanajeshi wa Kiserbia wa Bosnia katika mji wa Srebrenica 1995.

M a u w a j i h a y o baadae yalitambulika na mahakama mbili za kimataifa kama mauwaji ya halaiki na hilaki.

Vi o n g o z i k a d h a a wamehudhuria katika kumbukumbu hiyo, akiwemo Waziri Mkuu wa Serbia Aleksandar V u c i c , a m b a y e amelazimika kukimbia maombolezo hayo baada ya watu waliokuwa na h a m a s a k u m r u s h i a mawe.

Serbia i l iwasaidia wanajeshi Wakiserbia wa Bosnia katika vita vya kidini vya mwaka 1992 hadi 1995 nchini Bosnia.

Vita hivyo baina ya Wakristo wa Serbia wa madhehebu ya Orthodox na Waislamu wa Bosnia n a Wa k a t o l i k i w a Croatia vilisababisha zaidi ya vifo 100,000 na kuwapotezea makazi mamilioni ya watu, vita ambavyo serikali na nchi nyingi zilikuwa dhidi ya Waislamu.

Kutokana na kuwa na hasira kali, Jumamosi iliyopita ya Julai 11, 2015 katika kumbukumbu ya mauaji ya Srebrenica ya Waislamu wa Bosnia miaka 20 iliopita, watu walikosa uvumilivu pale walipomrushia mawe, chupa za maji na vitu vingine Waziri Mkuu wa Serbia Aleksander Vucic, aliyekuwa amehudhuria katika kumbukumbu hiyo.

Msaidizi wa Waziri Mkuu huyo Suzana Vasilijevic, ameliambia

Kumbukumbu ya mauaji ya Waislamu BosniaWaombolezaji wamfukuza Waziri Mkuu

Shirika la Habari la AP kwamba miwani ya Waziri Mkuu huyo i m e v u n j i k a wa k a t i alipopigwa jiwe la uso.

Vasilijevic alisema a l ikuwa nyuma ya Vucic wakati umma wa watu ulipovunja uzio na kuanza kuwageukia.

M a e l f u y a w a t u w a l i k u w a wamekusanyika kwa ajili ya kumbukumbu hiyo ya miaka ya 20 ya mauaji mabaya kabisa kuwahi kushuhudiwa barani Ulaya tangu m a a n g a m i z i y a K i ya h u d i , a m b a p o wanaume na wavulana wa Ki i s lamu 8 ,000 waliuawa katika mji wa mashariki wa Bosnia wa Srebrenica.

B a a d h i y a w a t u m a s h u h u r i w a l i o h u d h u r i a kumbukumbu hiyo w a l i t o a w i t o k w a jumuia ya kimataifa kutoruhusu tena kuzuka kwa mauaji hayo ya kinyama, waliyoyaita kuwa ni mauaj i ya kimbari yaliyofanywa na Wakristo dhidi ya Waislamu.

Waheshimiwa kadhaa wa kigeni waliohudhuria kumbukumbu hiyo ya mauaji ya Waislamu wa Bosnia yaliofanywa na vikosi vya Serbia a k i w e m o R a i s w a zamani wa Marekani Bill

Clinton, Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu, Binti Mfalme Anne wa Uingereza na Malkia Noor wa Jordan.

Vucic ambaye aliwahi kuwa mwanasiasa wa sera kali za kizalendo, alikwenda kuiwakilisha n c h i y a k e k a t i k a kumbukumbu hiyo kwa kile kinachoonekana kama n i i shara ya u s u l u h i s h i , l a k i n i imebidi aondoke kwenye kumbukumbu hiyo baada ya kushambuliwa.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Serbia Ivica Dacic, alisema shambulio hilo kwa Vucic lilikuwa ni shambulio kwa Serbia.

Waziri huyo alisema katika taarifa kuwa kitendo cha Wazir i Mkuu huyo wa Serbia kuamuwa kuwainamia waadhirika, ameonyesha kitendo cha uungwana.

A l i s e m a h a y o n i m a t o k e o m e n g i n e mabaya ya kuingiza siasa suala hilo, jambo ambalo limesababisha kuzuka kwa mgawanyiko mpya na chuki badala ya upatanishi.

W a k a t i V u c i c a l i p o i n g i a k u we k a maua kwenye kaburi alizomewa na maelfu ya watu.

Kuna waliomrushia kiatu, mawe, chupa za maji na vitu vyenginevyo n a w a l i n z i w a k e

walijaribu kumhami kwa kutumia mikoba, miamvuli na kuonyesha juu sialaha zao.

Ilibidi Vucic na walinzi wake wakimbie kwenye umma uliowakimbiza.

B a a d h i w a waombolezaji walikuwa na mabango yenye kunukuu maneno ya Wazir i Mkuu huyo aliyoyatoa wakati wa vita :

"Kwa kila Mserbia mmoja atakayeuawa tutawauwa Wabosnia 100."

Serbia na Waserbia wa Bosnia wamekuwa wakikanusha kuwa muajia hayo kuwa ni ya kimbari na kudai kuwa idadi ya mauaji imeongezwa chumvi.

"Ni huzunika kwamba imechukuwa muda mrefu kuungana kuzuia umwagaji damu huo "

Alisema hayo Rais wa zamani wa Marekani Bill Cinton, ambaye alikuwa madarakani wakati mauaji hayo yakitokea na ni utawala w a k e u l i o o n g o z a m a s h a m b u l i z i y a anga dhidi ya maeneo yaliokuwa yakishikiliwa na Waserbia.

H a t u a h i y o n d i o iliokomesha vita vya Bosnia na kufikiwa kwa makubaliano ya amani yaliosimamiwa

na Marekani.Wakati wa vita hivyo

vya mwaka 1992-1995, U m o j a wa M a t a i f a ul i l i tangza eneo la Srebrenica kuwa eneo salama kwa raia, lakini hapo Julai 11 mwaka 1995 vikosi vya Serbia vililiteka eneo hilo la Waislamu.

Wa n a u m e 1 5 , 0 0 0 walijaribu kukimbilia m i s i t u n i k u e l e k e a k w e n y e m a e n e o yanayoshiki l iwa na vikosi vya serikali wakati wengine waliungana na wanawake na watoto wa mji huo kutafuta hifadhi katika kambi ya vikosi vya Umoja wa Mataifa kutoka Uholanzi.

Vikosi vya Uholanzi v i l i v y o z i d i w a n g u v u v i l i k u w a vikiangalia tu wakati wanajeshi wa Serbia wa l i p o wa c h u k u wa wanaume 2,000 kwa ajili ya kuwauwa na baadae kuwasaka na kuwauwa wengine 6,000 misituni.

Umoja wa Mataifa ulikiri kushindwa kwake kuwalinda watu wa mji huo na Bert Koenders, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uholanzi alisema katika kumbukumbu hiyo kwamba, serikali ya Uholanzi inabeba d h a m a n a k w a yaliyotokea na kwamba U m o j a wa M a t a i f a lazima uimarishe vikosi vyake kipindi cha usoni.

Vita vya Bosnia vya mwaka 1992 -1995 kati ya Waserbia Wakristo wa m a d h e h e b u ya Orthodox dhidi ya Waislamu wa Bosnia na Wakatoliki wa Croatia vilisababisha zaidi ya watu 100,000 kuuawa na wengine mamilioni kupoteza makazi yao.

Waserbia waliokuwa wakitaka kuendelea k u b a k i a k a t i k a Yogoslavia iliyoongozwa na Serbia, walipambana dhidi ya kujitenga kwa Bosnia na Croatia kutoka shirikisho lao la zamani. (abna).

MAELFU ya watu walikusanyika Srebrenica nchini Bosnia Jumamosi iliyopita Julai 11, 2015 kukumbuka mauwaji ya kimbari dhidi ya Waislamu yaliyofanyika miaka 20 iliyopita.

Page 5: ANNUUR 1187.pdf

5 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

Habari za Kimataifa

SERIKALI ya Marekani i m e wa s i l i s h a r a s m i katika Bunge la Congress mapendekezo ya nyuklia yaliyofikiwa wiki iliyopita k a t i ya Ja m h u r i ya Kiislamu ya Iran na nchi za kundi la 5+1 na kutoa wito kwa Bunge hilo kuidhinisha makubaliano hayo.

Congress itakuwa na siku 60 za kupitia na kupigia ku ra makuba l i ano ya Vienna, ingawa Rais Obama ametangaza wazi kwamba atapiga veto maamuzi yoyote ya Bunge hilo yatakayolenga kukwamisha utekelezaji huo.

Waziri Mkuu wa utawala wa Israel ameitaka Congress ya Marekani kuyakataa makubaliano hayo. Hata hivyo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, amemjibu Netanyahu kwa njia isiyo ya moja kwa moja, akisema wanaopinga makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na 5+1 wanaishi katika ulimwengu wa ndoto.

Obama aikabidhi Congress mapatano ya nyuklia ya Iran

Huku hayo yakijiri na katika kile kinachoonekana kama hatua za awali za nchi za Ulaya kujipanga kurudisha uwekezaji nchini Iran, Waziri wa Uchumi wa Ujerumani, Sigmar

Gabriel tayari amewasili mjini Tehran, akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa wanabiashara ambapo anatarajiwa kukutana na viongozi mbalimbali na wanabiashara wakubwa nchini humo.

RAIS Barack Obama wa Marekani.

S H I R I K A l i s i l o l a s e r i k a l i l a G l o b a l W i t n e s s l i n a l o p a m b a n a na ufisadi, vita na uharibifu wa maliasili, l i m e t o a r i p o t i likikosoa kuendezwa kwa biashara ya mbao na magogo ya miti i l iyokatwa kat ika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Shirika hilo lisilo la serikali limeyatuhumu makampuni ya Ufaransa, China na Lebanon kuwa yanahusika na ufisadi wa kifedha.

Ripoti ya shirika hilo imesema Makampuni hayo yanakidhi mahitaji ya kifedha ya makundi ya wanamgambo kwa a j i l i ya kuendeleza

Wafaransa wadaiwa kufanya biashara haramu CARWahusishwa kuwafadhili wanamgambo

vita vya ndani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa kuendelea kununua magogo ya miti inayokatwa nchini humo.

Ripoti hiyo inasema, b a a d a y a k u a n z a vita vya ndani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, biashara ya almasi kutoka nchini humo ilipigwa marufuku lakini biashara ya mbao na miti inayokatwa nchini humo bado inaendelea.

K u w e p o k w a makampuni ya Kifaransa ka t ika b iashara ya miti na mbao katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kunafanyika wakati Rais Francois Hollande wa Ufaransa siku zote amekuwa akidai kuwa, askari wa nchi yake

wamepelekwa nchini humo kwa lengo la kulinda wananchi mbele ya makundi ya waasi.

M wez i Desemba mwaka 2013 askari wa Ufaransa walitumwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa madai ya kwenda kul inda maisha ya wakimbizi waliokimbia makazi yao kutokana na mapigano ya ya kuwania kuhodhi mamlaka mjini Bangui.

Mapigano hayo kati ya waasi wa Kikristo wa Anti Balaka dhidi ya wale wa Seleka yalibadilika na kuwa mapigano ya kidini na waathirika wengi wa machafuko h a y o w a m e k u w a raia Kiislamu walio wachache nchini humo.

Hata hivyo uingiliaji

kati wa Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya K a t i h a u k u s a i d i a kukomesha mauaji ya jamii ya Waislamu nchini humo.

H a l i h i y o p i a ilililalamikiwa ikidaiwa kuwa pamoja na hatua ya Ufaransa ya kupeleka jeshi kwa ajili ya kuleta utulivu nchini humo, lakini jeshi lake lilikuwa likiwapendelea waasi wa Kikristo jambo ambalo l i l izidisha chuki na hasira ya Waafrika dhidi ya Paris na kutonesha tena madonda ya siasa za kikoloni za nchi hiyo barani Afrika.

Baadae Rais Francois Hollande al is is i t iza kuwa atapunguza idadi ya askari wa Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati katika miezi ijayo hadi kufikia askari 900 au 600 na kwamba, nchi

JUMUIYA ya Kiarabu ya Kutetea Haki za B i n a d a m u y e n y e makao yake mj in i London Uingereza, imekosoa kimya cha jamii ya kimatai fa mbele ya ukandamizaji u n a o f a n y w a n a vyombo vya usalama vya Misri dhidi ya w a t u w a n a o f a n y a maandamano ya amani.

Jumuiya hiyo imesema kimya hicho ni sawa na kuiruhusu serikali ya Misri kudumisha ukandamizaji n a maua j i dh id i y a wapinzani.

Taarifa iliyotolewa na jumuiya hiyo imeitaka j a m i i y a k i m a t a i f a kutekeleza majukumu yake na kuilazimisha serikali ya

Misri yakemewa ukiukwaji wa haki za binadamu

Misri kurekebisha faili lake la haki za binadamu, kusitisha mauaji ya raia na kuunda kamati ya uchunguzi wa mauaji yanayoendelea kufanyika nchini huyo dhidi ya watu wasio na hatia.

Taarifa hiyo imetolewa baada ya askari usalama wa Misri kushambulia watu waliokuwa wamekamilisha Swala ya Eidul Fitri Ijumaa iliyopita katika miji ya Cairo na Giza na kuua raia wasiopungua sita.

Takwimu zilizotolewa na Jumuiya ya Kiarabu ya Haki za Binadamu zinasema raia wasiopungua 61 wa Misri wameuawa katika mashambulizi ya askari wa usalama tangu mwanazoni mwa mwaka huu wa 2015.(irib)

hiyo itakabidhi jukumu la kulinda maisha ya raia kwa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa.

Aidha kutolewa tena ripoti inayowatuhumu askari wa Ufaransa kuwa waliwabaka na kuwana j i s i wa to to wadogo katika Jamhuri ya Af r ika ya K a t i kumeamsha tena chuki na hasira barani Afrika.

Shir ika la Global Witness limesisitzia k u w a f e d h a inayopatikana kutokana na biashara haramu ya mbao inayofanywa na makampuni ya Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, inatumika katika kugharamia vita.

Imeonekana kwamba ni kwa sababu hiyo, ndiyo maana mashirika ya habar i yakau i ta mgogoro wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kuwa ni zaidi ya migogoro wa kawaida.

Page 6: ANNUUR 1187.pdf

6 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015Makala/Tangazo

Fethullah-Gulen

“Na katika wao kuna w a s i y o j u w a k u s o m a , hawakijui kitabu, isipokuwa matamaniwa tu, na hawakuwa isipokuwa wanadhania tu”. [Al-Baqarah 78]

Aya hii inachora sura ya baadhi ya wasomi walivyoghafilika wakati h u o a m b a o n y o y o zao zilifungamana, na dhana na matamaniwa kuhusiana na ulimwengu wa kufikirika, badala ya

Mafundisho ya Qur’an: Al Baqara 78kufungamana na hakika za dini (kama ilivyo hivi sasa vile vile). Na kwa hakika ni kwamba sisi tunaona katika misingi ya Umarx na ukomunisti na ubepari matamaniwa haya ambayo ni namna ya kuikimbia dini na kwenda kwenye ulimwengu wa kufikirika na kutabirika. Na jambo lenye kuumiza n i kwamba h i s to r i a inajirudia yenyewe katika maudhui ya matahaniwa h ay a . Wa m e k we n d a k a t i k a j a m b o h i l i Manaswara juu ya njia ya Mayahudi kama ambavyo hawakuzingazinga baadhi ya Waislamu. Vile vile katika kufuata nyayo za watu hawa, ndiyo Waislamu leo wanakwenda ovyo. Wanazunguka mfano wa wale waliyotangulia – katika mapito na duara ya matumaini ambayo

Qur’an tukufu imeyapa jina la “Al-Amani” yaani, matamaniwa, na hali ya ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa ni ushahidi mkubwa sana juu ya jambo hili, kwani imekuja hadithi kutoka kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.) amesema:

“Kwa hakika mtazifuata t a r a t i b u z a w a l e yaliyokuwa kabla yenu

shubiri kwa shubiri na dhiraa kwa dhiraa hata kama wangeingia katika shimo la yuvu mngeingia, tukasema: Ee Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Mayahudi na Manaswara? Akasema: ni akina nani kama si hao?”

Na tamko: “Al-amani ni uwingi wa “umniya” na lina kuja kwa maana ya matamaniwa na mawazo ambayo hakuwezekani kuyahakikisha kat ika uha l i s i a n a p amo j a n a k w a m b a h a y o m a t a m a n i w a h u w a yakachanganyika na hali ya kufikirika isipokuwa h ayo y a n a m a a n i s h a makadirio na nadharia ambazo hazikuwezekana kupatikana kwake. Pamoja na kwamba baadhi yake huenda kukaonekana kuwezekana kupatikana k w a k e , i s i p o k u w a

kwamba mambo hayo mara nyingi yanakuwa ni mambo ya mawazo na kufikirika tu. Yanabakia y a m e f u n g a m a n a n a mawazo. Hakuwezekani kufikilia kwenye lengo lenye kutazamiwa. Kwa sababu hiyo yamekuwa matamaniwa hayo ni utabiri na mawazo yenye kudanganya kwa yule mwenye kutamani na masikitiko yenye kuuwa jamii.

Watakapokuwa wasomi katika jamii yoyote hawana uwezo juu ya muono uliyo sahihi, na juu ya usomaji wa mambo uliyosahihi, watakapokuwa wale nusu ya wasomi na makundi ya watu yaliyoghafilika na yenye kuwa kuwaghafilisha watu wengine yanakwenda mbio nyuma ya mangati yanayofanana na mawazo na matamaniwa kama haya, maana ya hilo ni kwamba jamii hii imehukumiwa kutumbukia katika nyavu za mambo yasiyowezekana na imemalizwa.

KIRINJIKO ISLAMIC ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOLP.O. Box 62, SAME Tel: 027 – 2758180, 0784 – 296424 TANZANIA

OMBI LA UJENZI WA MSIKITI

Jengo la utawala la Shule ya msingi ya Kiislamu Kirinjiko

Na simamisheni Sala na toeni Zaka; na kheri mtakazozitanguliza, kwa ajili ya Nafsi zenu, mtazikuta kwa Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu anayaona (yote) mnayoyafanya.Kwa muda mrefu sasa watoto wa Shule ya Msingi ya Kiislamu, Kirinjiko, wamekuwa wakiswali katika msikiti wa jirani zao Kirinjiko Islamic Secondary School kwa swala za Ijumaa. Ama kwa swala tano za kila siku, wamekuwa wakiswali katika jengo la maktaba.Kutokana na kukuwa shule na kuhitajika jengo hilo kwa shughuli tu za kimaktaba pekee, Shule sasa inahitaji kuwa na Msikiti wake. Zaidi ni kwamba, hata katika swala za Ijumaa, inawabidi watoto kutembea masafa kiasi kufika msikiti wa sekondari.Ni kwa sababu hiyo, uongozi wa Shule ya msingi ya Kiislamu Kirinjiko unawaomba Waislamu kutoa sadaka zao kufanikisha ujenzi wa Msikiti huo. Kwa wale ambao watapenda kuwasilisha sadaka zao kupitia Benk, akaunti ya shule ni Kirinjiko Islamic English Medium Primary School ac. No 40510004846 (NMB Bank) au 005120109700001 (Amana Bank). ‘Pay in Slip’ ikionesha kuwa ni mchango kwa ajili ya msikiti, itumwe kwa Mwalimu Mkuu SLB 62 SAME.

Kwa mawasiliano zaidi, tumia simu namba 0655 697 075, 0767 697 075 na 0758 989 477.

Page 7: ANNUUR 1187.pdf

7 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015TANGAZO

BISMILLAHI RAHMANI RAHIIM

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE KIRINJIKO ISLAMIC TEACHERS’ COLLEGE

(NA.YA USAJILI WA NACTE-REG/TLF/078

P.O. Box 62, Same – Kilimanjaro, Mob: 0657 705 878

NAFASI ZA DIPLOMA YA UALIMU WA SHULE ZA MSINGI 2015/2016

Waislamu Kote Nchini Mnatangaziwa Nafasi za Mafunzo ya Diploma ya Ualimu wa Shule za

Msingi katika Chuo cha Ualimu Kirinjiko Islamic kilichopo Same Mkoani Kilimanjaro.

Chuo kimepata usajili kamili wa NACTE na kinaendeshwa kwa misingi na maadili ya Kiislamu.

A: SIFA ZA MWOMBAJI: 1. Awe Muislamu na;

2. Amehitimu kidato cha nne (CSEE) na kufaulu kwa kiwango cha Division I-III au GPA.1.6,

AU

3. Mwenye cheti cha Grade IIIA, AU

4. Mwenye cheti (NVA level 4) cha kozi yoyote kutoka katika chuo kinachotambulika na NACTE au VETA na ufaulu wa “D” nne katika mtihani wa kidato cha nne (CSEE).

B: NAMNA YA KUOMBA: 1. Mwombaji anatakiwa kujaza fomu ya maombi AU

2. Kuomba kwa njia ya mtandao (Online Application) kupitia Tovuti ya

NACTE(www.nacte.go.tz).

TANBIHI: Atakayeomba kwa njia ya fomu, hatatakiwa kuomba kupitia njia ya mtandao wa

NACTE.

D: ADA YA MAOMBI:

Waislamu Kote Nchini Mnatangaziwa Nafasi za Mafunzo ya Diploma ya Ualimu wa Shule za Msingi katika Chuo cha Ualimu Kirinjiko Islamic kilichopo Same Mkoani Kilimanjaro.

Chuo kimepata usajili kamili wa NACTE na kinaendeshwa kwa misingi na maadili ya Kiislamu.

A: SIFA ZA MWOMBAJI: 1. Awe Muislamu na; 2. Amehitimu kidato cha nne (CSEE) na kufaulu kwa kiwango cha Division

I-III au GPA.1.6, AU 3. Mwenye cheti cha Grade IIIA, AU4. Mwenye cheti (NVA level 4) cha kozi yoyote kutoka katika chuo

kinachotambulika na NACTE au VETA na ufaulu wa “D” nne katika mtihani wa kidato cha nne (CSEE).

B: NAMNA YA KUOMBA:1. Mwombaji anatakiwa kujaza fomu ya maombi AU2. Kuomba kwa njia ya mtandao (Online Application) kupitia Tovuti ya

NACTE(www.nacte.go.tz). TANBIHI: Atakayeomba kwa njia ya fomu, hatatakiwa kuomba kupitia

njia ya mtandao wa NACTE.

D: ADA YA MAOMBI:Ada ya maombi ya NACTE ni shilingi elfu ishirini (20,000/=) tu.C: MWISHO WA KURUDISHA FOMU:Mwisho wa kurudisha fomu za maombi ni tarehe 15/08/2015.

Fomu za Maombi zinapatikana chuoni Kirinjiko Islamic Teachers’ college na katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

Arusha: Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640

Kilimanjaro: Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.

Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075, Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054. Ugweno – Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

Tanga: Twalut Islamic Centre – Mabovu Darajani : 0715 894111 Uongofu Bookshop: 0784 982525, Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008. Mandia Shop - Lushoto: 0782257533. Handeni –Mafiga -0782 105735/0657093983

Mwanza Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.Ofisi ya Islamic Education Panel – Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362

Musoma Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa

Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623

Shinyanga Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426 Kahama ofisi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040

Dar es Salaam: Ubungo Islamic High School : 0756584625/ 0657350172 Ofisi ya Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Ya kin : 0655144474/0787119531

Morogoro Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.

Dodoma Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/071

Singida: Ofisi ya Islamic Education. Panel – karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.

Manyara: Ofisi ya Islamic Ed. Panel – Masjid Rahma: 0784491196

Kigoma: Msikiti wa Mwandiga: 0714717727 Kibondo – Islamic Nursery School: 0766406669. Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.

Lindi Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653

705627. Mtwara: Amana Islamic S.S: 0715

465158/ 0787 231007. Songea: Kwa Kawanga Karibu na

Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772. Mkuzo Islamic High School :0717 348375.

Mbeya: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini – 0785425319. Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.

Rukwa :Sumbawanga:Jengo la Haji Said –Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.

Tabora: Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342

Nzega: Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.

Iringa: Madrastun – Najah: 0714 522 122.

Pemba: Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.

Unguja : Madrasatul – Fallah: 0777125074. PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba

Mafia: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.

Kwa maelezo zaidi piga simu: 0787 188964, 0784 267762 na 0654 613080

Page 8: ANNUUR 1187.pdf

8 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015Makala

MAWINGU ni shemu muhimu sana ya maisha y e t u . M a k a l a m b i l i mfululizo nitajaribu katika makala ya mwanzo kuelezea mawingu yalivyoelezwa katika Qur’an na makala ya pili nini kinachochangiwa na mawingu katika maisha yetu.

“A u n i k a m a m v u a kubwa itokayo mbinguni, ina giza na radi na umeme; wakawa wakitia vidole vyao masikioni mwao kwa ajili ya mingurumo, kwa kuogopa kufa. Na Mwenyezi Mungu amewazunguka makafiri.” ( 2:19)

“ N a t u k a k u t i l i e n i k ivul i kwa mawingu na tukakuteremshieni Manna na Salwa; tukakwambieni: Kulen i v i tu v izur i h iv i tulivyo kuruzukuni. Nao hawakutudhulumu Sisi, lakini walikuwa wanajidhulumu nafsi zao.” (2:57).

“Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na

Aya za Quran zinazoelezea mawinguNa Ben Rijal kukh i ta l i f i ana us iku na

m c h a n a , n a m a r i k e b u ambazo hupita baharini kwa viwafaavyo watu, na maji anayo yateremsha Mwenyezi Mungu kutoka mbinguni, na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake, na akaeneza humo kila aina ya wanyama; na katika mabadiliko ya pepo, na mawingu yanayo amrishwa kupita baina ya mbingu na ardhi, bila shaka zimo Ishara kwa watu wanao zingatia.” (2:164)

“Je wanangoja mpaka Mwenyezi Mungu awajie katika vivuli vya mawingu pamoja na Malaika, na hukumu iwe imekwisha tolewa? Na kwa Mwenyezi Mungu ndio hurejeshwa mashauri yote.” (2:210)

“Na Yeye ndiye anayepeleka pepo (za kuvuma) kuwa ni bishara kabla ya kufika rehema yake. Hata hizo pepo zinapo beba mawingu mazito tunayachunga mpaka kwenye nchi iliyo kufa. Kisha tunateremsha kwayo maji, ndio kama hivyo tukatolesha

kila aina ya matunda. Basi hali kadhaalika tunavyo wafufua wafu, ili mpate kukumbuka”. (7:57)

“Na tuliwagawanya katika makabila kumi na mbili, mataifa mbali mbali. Na tulimfunulia Musa walipo muomba maji watu wake kumwambia : Lipige hilo jiwe kwa fimbo yako. Mara zikatibuka humo chemchem kumi na mbili, na kila watu wakajua mahali pao pa kunywea. Na tukawafunika kivul i kwa mawingu, na tukawateremshia Manna na Salwa. Tukawaambia: Kuleni vizuri hivi tulivyo kuruzukuni. Wala hawakutu- dhulumu Sisi, bali wamejidhulumu wenyewe.” (7:160)

“ Ye y e n d i y e a n a y e kuonyesheni umeme kwa khofu na tamaa, na huyaleta mawingu mazito.” (13:12).

“Au ni kama giza katika bahari kuu, iliyo funikwa na mawimbi juu ya mawimbi, na juu yake yapo mawingu. Giza juu ya giza. Akiutoa mtu mkono wake anakaribia asiuone. Na ambaye Mwenyezi

Mungu hakumjaalia kuwa na nuru hawi na nuru.” (24:40.)

“ H u o n i y a k w a m b a Mwenyezi Mungu huyasukuma mawingu, kisha huyaambatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona mvua ikitoka kati yake. Na huteremsha kutoka juu kwenye milima ya mawingu mvua ya mawe, akamsibu nayo amtakaye na akamuepusha nayo amtakaye. Hukurubia mmetuko wa umeme wake kupofua macho.” (24:43).

“Na siku zitapo funguka mbingu kwa mawingu, na wateremshwe Malaika kwa wingi.” (25:25).

“N a un a i o n a m i l i m a unaidhania imetulia; nayo inakwenda kama mwendo wa mawingu. Huo ndio ufundi wa Mwenyezi Mungu aliyetengeneza vilivyo kila kitu. Hakika Yeye anazo khabari za yote myatendayo.” (27:88.)

“Mwenyezi Mungu ndiye anayezituma pepo zikayatimua mawingu, kisha akayatandaza mbinguni kama apendavyo. Na akayafanya mapande mapande, basi ukaiona mvua inatoka

ndani yake. Anapo wafikishia awatakao katika waja wake, mara hao huwa na furaha.” (30:48).

“Na Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma Pepo ziyatimue mawingu, nasi tukayafikisha kwenye nchi iliyokufa, tukaifufua ardhi baada ya kufa kwake. Ndivyo kama hivyo kutakavyo kuwa kufufuliwa.” (35:9).

“Basi walipo liona wingu likielekea kwenye mabonde yao, walisema: Wingu hili la kutunyeshea mvua! Kumbe sivyo, haya ni hayo mliyo yahimiza, upepo ambao ndani yake imo adhabu chungu!” (46:24).

“Na hata wangeona pande linatoka mbinguni linaanguka wangesema: Ni mawingu yaliyo bebana. (52:44)”.

“Je ! Ni nyiny i mnayo yateremsha kutoka mawinguni au n i S i s i nd io wenye kuyateremsha?” (56:69).

“Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,” (78:14). ( I n a e n d e l e a w i k i i j a yo Inshaallah)

JAMBO kubwa la mtu kushukuru kwa muumba wake, hakuna kama kupata umri mrefu ambao unakuwa umo kwenye siha nzuri pamoja na akili timamu. K atika maisha, wengi wetu kutokana na kukosa zile taaluma za kuweka kumbukumbu kwenye maandishi, matokeo yake h u s h i n d wa k u a n d i k a yaliotutokea na matokeo yake hukurupuka pale linapotokea jambo kisha ukaliunganisha na siku zilizopita kwa kulisimulia na kuishia hivyo.

Nimeku la chumvi na nimekamilisha zaidi ya miongo 6 ya maisha namshukuru Mungu. Maisha yangu katika umri wangu nimeona mengi kama Waswahili wasemavyo kuishi kwingi kuona mengi na nitaongezea neno nalo sio kuona mengi tu na hata kupatwa na mengi.

Hii leo nitayaelezea kati ya hayo ya kuona mengi yaliomo kwenye siku za skukuu namna tulivokuwa tukiipokea na jazanda ya sikukuu katika miaka ya 50 na 60 tulivokua tukisheherekea.

Sikukuu ya mfungo mosi na sikukuu ya mfungo tatu, hizi ni sikukuu ambazo sio sikukuu katika Uislamu tu, bali zimekua ni sehemu ya mila yetu ya watu wa visiwani hata tukaja na msemo usemao Mkaidi hafaidi ila siku ya Eid, huku ni kusema kuwa Eid imeingia

Sikukuu ninayoikumbukaNa Hamza Z. Rijal

ndani ya maisha na utamaduni wa Mzanzibari.

Mara nyingi hasa sikukuu ya mfungo mosi , wazee huj i taar isha kuhakikisha kuwa mwanawe anapata nguo mpya na atajipiga mtu kwa kadri ya uwezo wake ahakikishe mwanawe anapata nguo mpya katika kipindi hicho, chembelecho sahib yangu aliofika kunambia kuwa katika maisha yake ya utotoni alikua akivaa nguo mpya mara mbili kwa mwaka, pale skuli inapofunguliwa hutakiwa avae sare mpya na katika siku za sikukuu. Wazee wakijitahidi katika siku nne za kusheherekea sikukuu kuhakikisha kila siku ya Mungu mwana atapata nguo mpya iwe ya mkono shilling au mavazi ya kina John White na Teralini, Lasi au hata Van Husen shati la bei ghali ukilivaa unaonekan ni kantika enhe.

Kuishehrekea s ikukuu ilikuwa ni moja kwa nchi nzima, mwezi unapoandama ikiwa wengi wetu tulikua hujikusanya pale Forodhani na mmoja kati yetu akauwona na huku askari mpiga mzinga akiwa na darubini yake akauwona, tena hapo unahakikishwa na kupelekwa salamu kwa mfalme na kutolewa amri mizinga ishirini na moja kupigwa. Kila mzinga ukipigwa huwa ni furaha hasa watoto utawasikia eeeh na huko Ng’ambo

majumbani utasikia vigeregere vimeshamiri na watu kutoka nje kukumbatiana na kuanza kupeyana salamu za Eid, Laidina wengine huja na kejeli sina jina wala sina pesa. Laidina wengine watakuja na jawabu Minal faizina, Awam bada awam, sininaa baada sinina.

Baada hapo tena akina mama huanza kupindua masufuria kwa maandalizi, visheti, mkate wa mayai, maandazi, mkate wa kusukuma ingawa jina linapotea siku hizi ni chapatti, keki, mchuzi wa asubuhi alkhasir maandalizi kutoka magharibi hadi usiku wa manane.

Ifikapo asubuhi huelekea kusali sala ya Eid ambayo nyakati hizo idadi ya visiwa hivi ilikuwa haizidi watu laki tatu, kwa hio misikiti iliokuwa ikisaliwa Eid ni michache kabisa. Baada ya kusali Eid, hapo tena watu wakipeyana mikono. Baada ya hapo wengi wa watu wakipendelea kwenda kuwakumbuka waliotangulia kwenye haki na kuwaombea, kisha huwenda nyumba kwa nyumba kwa jamaa waliomhusu kisha humalizia kwa marafiki na inapofika milango ya saa nne au tano, ndio mtu hufika nyumbani kwake na sisi ilikuwa kufika makwetu. Hapo tena huwa pameandaliwa kikweli na huliwa mlo wa furaha, hata wasio kunywa chai ya maziwa

siku hio chai ya mkandaa au istighan huwekwa pembeni.

Baada ya chai kina sisi watoto hukaa na mzee akawa anatoa hikaya za siku zao, mara utasikia hodi, utampokea mmoja wa rafiki wa mzee mtamkaribisha na kuandaliwa iwe vileja, kisheti, keki na kahawa na mazungumzo yenye kufurahisha yasiokua ya siasa wala maisha magumu. A n a p o o n d o k a a l i o k u j a kukupeni mkono wa Eid, husomwa dua na kupakana mafuta mazuri na kuagana. Yanaendelea hayo, ingia toka hadi inapofika sala ya adhuhuri. Baada ya sala tena utakuta mzee akiwa mama kwako mke kwa babako ameandaa maakulati itakua pilau na sharbati wala sio juice. Sharbati ni rangi la podari ya Portelo au machungwa inaongezewa na sukari au shira na arki na kuwekwa na barafu kila mtu atapewa gilasi moja na hakuna nyongeza. Hata wazee walikua na vipimo ambavyo nyumba zilikuwa na nidhamu yake ikiwa leo hayo hayapo.

Bada ya mlo watu hupumzika hadi Alasiri kisha hapo husali na vijana kuelekea Mnazi Mmoja, raha, raha iliyoje Mnazi Mmoja unaingia na shilling moja yako na kama umekua na shilling 5, basi unaiona dunia yote ipo mikononi mwako. Watoto siku hizo

wakipendana na wakionyesha mapenzi makubwa ambayo y a k i w a c h u k u a h a d i wanavyokuwa watu wazima. Mie binafsi darasani mwetu tulikua watu 6 tukifwatana pamoja kwenda Mnazi Mmoja na saa nyengine ukakuta na wenzenu wengine mkaungana nao.

Mnazi Mmoja kwenye uwanja wa furaha na burdani ukiwa na Shillingi mmoja tu utafurahi, Karagosi pesa nne, Zarina Pesa nne, kisha kwenye beni pesa nne, umepanda pembea pesa nne, umebakiwa na nusu shillingi, chauro, baajia na maji ya sharbati umebakiwa na pesa nane. Hapo unaangalia n i n i u f a n y e . U n a w e z a kuzibakisha kwa siku ya pili au ukaimalizia kwa kula pamba na genderi hapo shillingi ndio itakua imekhitimika. Unarudi nyumbani na chauro na bajia na genderi na kuwageia wenzako. Almuradi skukuu nzima umestarehe na kuiona ya furaha kabisa.

Mnazi Mmoja kul ikua na michezo ya ki la a ina ya kufurahisha. Ul iokua ukinivutia ni Karagosi anaitwa katika njia za katuni, anaitwa “karagosi?” anaitika “eeenh” hujambo atajibu “sijambo” kisha karagosi na mkewe vituko moto mmoja na mke wa karagosi mwisho atapigwa rungu nasi sote tufurahi eeeeeh. Na kwa utamu wa karagosi, unaweza kuingia mara ya pili ule utamu na akili yako kuhangaishwa yule karagosi

Inaendelea Uk. 12

Page 9: ANNUUR 1187.pdf

9 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015Makala

Gazeti muhimu nchini Marekani, New York Times, liliripoti mwaka 2012 tabia ya Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) ya kutengeneza mashambulio ya kigaidi ili kukamata watu kwa kutaka sifa katika vyombo vya habari - na mwaka uliofuata, familia ya watuhumiwa wa tukio kama hilo jijini Boston (jimbo la Massachusetts), wakadai kuwa vijana wao wawili waliongozwa kila hatua hadi kukamatwa, na FBI.

Aprili 21, 2013 (LD)

Mwez i Apr i l i 2012 , g a z e t i l a N e w Yo r k Times lilichapisha makala yenye kichwa cha habari 'Mipang o ya ug a id i - iliyotungwa na FBI,' ambako inafichuliwa kuwa mengi kati ya mashambulio ya kustusha ya kigaidi ambayo yalisambaratishwa na FBI, ilikuwa katika hali halisi ni ya kutunga kuanzia mwanzo hadi mwisho na FBI yenyewe. Makala hiyo inasema:

“Marekani imeponea chupu chupu kutokana na mashambulio makubwa ya kigaidi katika miaka ya karibuni ---- au ndiyo ilivyoonekana. Gaidi wa kujitolea mhanga alikamatwa akielekea jengo la Bunge la Marekani (Congress); m p a n g o w a k u l i p i a masinagogi (ya Wayahudi) na kupiga makombora ya Stinger dhidi ya ndege za kijeshi, ulibuniwa na watu

Huyu ndiye wa kumpa kura yakoNa Omar Msangi Mpime ujasiri wake kutoka Chattanooga…

Hadi Sitakishari na “Pseudo-al Shabaab”W A K A T I h u k u t u n a z u n g u m z i a tukio la Sitakishari, k u l e M a r e k a n i wanahangaishwa na shambulio lililoitwa la kigaidi la Chattanooga, Tennessee. Katika tukio hilo la siku ya Alhamisi iliyopita ilidaiwa kuwa, Muhammad Youssef A b d u l a z e e z ( 2 4 ) Mmarekani mwenye asili ya Kuwait, alivamia kituo cha mafunzo ya kijeshi (military recruiting station), Chattanooga na kuuwa askari wanne. Polisi wanadai kuwa kijana huyo naye aliuliwa na askari.

Bila shaka unaweza kukisia jinsi vichwa vya habari vilivyopata karamu na kusherehekea kusikia j ina la “Muhammad” likihusishwa na kuuliwa Marines wanne! Na wakati bado ngoma ya Fox News, CNN, na wengine ikirindima, akajitokeza Mchung a j i Frank l in Graham akiitaka serikali ya Marekani iwatimue Wais lamu na i funge mipaka yake na kuzuiya kabisa Visa kwa Muislamu yoyote kuingia Marekani.

M c h u n g a j i h u y o anasema kuwa Waislamu wanaishambulia Marekani, ndani na nje. Marekani inakabiliwa na kitisho cha ‘Islam’. Inapigwa na Waislamu ambao kwa kufanya mauwaji (dhidi ya Wakristo) ndio wanaona wanaitumikia Dini yao na Muhammad wao. Na kisha anasema na kutoa hoja kuwa kama wakati wa Vita Kuu ya Pili, Marekani iliwazuiya Wajapan na Wajer umani ku ing ia Marekani , kuna haja kwa Bunge la Congress kupitisha sheria ya kupiga mar ufuku Wais l amu k u i n g i a M a r e k a n i . (Tazama: Franklin Graham Wants to Shut US Borders to

New York Times: FBI inatunga mipango ya ugaidi

(kadhaa) huko Newburgh, jimbo la New York, na wazo la kuchekesha la kurusha ndege zilizosheheni vifaa vya kulipua ipige Makao Makuu ya Jeshi la Marekani (Pentag on) na jumba hilo la Bunge, ulibuniwa Massachusetts.”

Lakini misisimko yote hiyo iliwezeshwa na FBI, ambao mawakala wake wa kificho na wapasha habari wanajifanya magaidi wanaotia kombora feki, vifaa vya milipuko aina ya C-4, fulana na kujitolea mhanga (kwa kulipua bomu) na mafunzo ya hapa na pale. Watuhumiwa walifanya waliloambiwa kwa ujinga tu hadi walipokamatwa.

Taarifa hiyo iliainisha p ia kuwa mipango ya mashambulizi ya kutungwa, halafu ikagunduliwa, huko Portland (jimbo la Oregon) mwaka 2010, ilifikia hatua ya kuwa na gari dogo la mizigo lenye galoni 55 za 'vifaa visivyoshika moto,' kofia za kawaida za kuvaa katika maeneo ya milipuko na bomu lisiloweza kulipuka ambalo lilipandikizwa kando ya kundi halisi la maelfu ya watu wakati wa tamasha la kila mwaka la kuwasha taa mti wa Krismasi.

Waka t i mwanafunz i wa C h u o K i k u u ch a Oregon, Mohamed Osman Mohamed, a l ipofikir ia kutumia bomu la gar i dogo kushambulia hafla

hiyo ya kuwasha taa mti wa Krismasi huko Portland, FBI walitoa gari dogo la mizigo lenye madumu sita ya ujazo wa galoni 55 za kifaa kisichoshika moto, kofia za kawaida katika milipuko, waya wa kulipulia na galoni moja ya dizeli kufanya gari (dogo la mizigo) litoe harufu ya kukaribia kuwaka moto. Wakala wa kificho wa FBI akaendesha gari hilo huku Bw. Mohamed akiwa katika kiti cha abiria. Kulifanya bomu lilipuke mwanafunzi huyo aliingiza namba katika simu ya mkononi na badala ya kupata sauti ya mlipuko akapata sauti ya mkwamo wa vifaa, au injini.

• K w e l i , k i f a a k i l i c h o k o s e k a n a kinachotenganisha Portland na Boston ilikuwa ni uamuzi wa FBI wa nini kujazwe katika madumu ya galoni 55.(Kwa maelezo zaidi kuhusu matukio mengine ya FBI, angalia: 'Historia ya FBI ya kuwapa 'watuhumiwa wa ugaidi' milipuko halisi.'-: FBI's History of Handing "Terror Suspects" Live Explosives. Tazama pia: FBI Responsible for Most Terror Plots on U.S. Soil - F.B.I. - Domestic Terrrorism. The New York Times points out that two-thirds of the most frightening post-9/11 plans for attacks on American soil were stings orchestrated by government age.)

Muslims)M a n e n o h a y a y a

M ch u n g a j i G r a h a m yana uzito na athari kwa sababu ya propaganda iliyokwishatangulizwa toka Septemba 11 kwamba hii ni ‘Crusade’.

Hata hivyo, ukiacha h ayo y a M ch u n g a j i F r a n k l i n G r a h a m ,

Wamarekani wenye akili zao wanalitumia tukio hili la Chattanooga kama ushahidi na kielelezo k ing ine kuth ib i t i sha kuwa kinachoitwa ugaidi na vita dhidi ya ugaidi ni dhihaka, mchezo wa kuigiza na mzaha mtupu (Fraud, hoax, joke). Wengi waliolichambua tukio hili

wamebaini ‘mashimo’ mengi kujenga hoja zao, lakini hapa tutizame mfano mmoja tu. Mahali lilipotokea tukio hili, ni eneo ambalo hata askari wanaohudumu hapo, hawaruhusiwi kuingia na silaha (weapon fr ee zone). Lakini unaambiwa Muhammad yeye kapita,

tokea lango kuu kwenye ulinzi na ukaguzi mkali, kapita mpaka ndani na kisha kuwashambulia askari na bunduki yake kubwa. Sio fimbo wala kisu alichoficha ndani ya koti au suruali! Picha za awali zinakuonyesha mlango wa kiyoo wenye matobo yanayodaiwa kuwa ya risasi kutoka bunduki ya Muhammad Youssef Abdulazeez. Nyuma ya huo mlango anaonyeshwa mtu anayedaiwa kuwa ni Muhammad Youssef Abdulazeez. Anapita k a t i k a m l a n g o h u o ambao una tangazo/Bango kwa maandishi makubwa: “Marufuku kupita na silaha” (Gun Free Zone). Sasa watu wanahoji, Muhammad Youssef Abdulazeez aliingiaje na bunduki mpaka hapo ndani wakati hicho ni kituo chenye ulinzi mkali kiasi hata askari wa hapo hawaruhusiwi kubeba silaha na kuna mitambo ya kisasa ya kutambua chochote a l ichobeba ki la anayeingia hapo Chattanooga Military R e s e r v e C e n t e r s , Tennessee?

Akijibu alipoulizwa swali hilo, Afisa mmoja wa FBI katika mkutano na wandishi wa habari, aliishia kusema, “I don’t Know the answer.” Kisha katika kufafanua na kukiri kuwa katika kituo hicho haruhusiwi kuingia mtu na silaha akasema:

“It is a Federal property typically someone can not bring a weapon into federal property unless AUTHORISED to do so.”

Kwamba katika eneo hilo na maeneo mengine yoyote ambayo ni “Federal Property”, haruhusiwi mtu kupenya na silaha na kwa maana hiyo ulinzi ni mkali mno. Akaongeza kusema kuwa, ukiona mtu kaingia na silaha, basi kapewa kibali maalum na

Inaendelea Uk. 10Inaendelea Uk. 11

Page 10: ANNUUR 1187.pdf

10 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

Makala

K A T I K A t a a r i f a ya habari ya BBC Asubuhi ya Jumanne wiki hii, kumesemwa mambo m a k u b w a m a w i l i y a m u h i m u s a n a kuyaz inga t ia . Moja i l ikuwa n i kaul i ya mmoja wa wanafunzi wa Garissa alipohojiwa juu ya ulioitwa ugaidi uliofanywa na Al Shabaab ambapo ilidaiwa kuwa wanafunzi 148 waliuliwa. Kijana huyo alisema, ‘tunaambiwa tunauliwa na Al Shabaab, lakini hakuna Al Shabaab anatoka Somalia kuja kuuwa hapa. Tunauliwa na (Wakenya) wenzetu wa hapa hapa.

Pi l i n i i l e kau l i ya Waziri wa Usalama wa Ndani wa Kenya Meja Jenerali Mstaafu Joseph Ole Nkaisery. Huyu yeye kwa namna yake ni kama alikuwa akielezea manufaa waliyopata baada ya kuwa wanapigwa na magaidi. Alisema kuwa kwa kupigwa

Huyu ndiye wa kumpa kura yakoMpime ujasiri wake kutoka Chattanooga…Hadi Sitakishari na “Pseudo-al Shabaab”

mamlaka husika.Ni kwa nini ‘gaidi’

huyu aonyeshwe aifanya tukio katika kituo chenye ulinzi mkali kiasi hicho? Ni kama kule Sitakishari. Kwa mwananchi wa kawaida, ukizungumzia kituo cha Polisi Sitakishari, Magomeni, Urafiki, Kawe n.k , anaweza as ione tofauti. Lakini wajuzi na wenye kazi zao wanajua. Sasa ikifikia mahali kituo kama cha Sitakishari kinatekwa na ‘majambazi’ au hata ukisema magaidi (pseudo- gangs), hizo ni sa lamu z i to. Lazima utishike kwamba hakuna salama tena. Ni ‘mchezo’ wa kucheza na saikolojia za wananchi na walengwa wengine. Inaposemwa magaidi, basi mtambue kuwa ni watu hatari sana. Wana uwezo mkubwa kushinda hata jeshi lenu na polisi wenu!

Ni kutokana na utata kama huu wa Chattanooga,

m c h a m b u z i m m o j a katika moja ya video “Chattanooga Shooting HOAX - Fake Crying Crisis Actor”, anasema usanii na mzaha kama huu hufanyika ili kupandikiza chuki dhidi ya Waislamu na kuipaka matope Dini yao na Mtume wao. Akaongeza kwa kusema kuwa, kama lengo ni ‘Crusade’, kama lengo

ni kutangaza Ukristo, basi wafanye kama Yesu a l ivyoagiza na kama Biblia inavyofundisha. Wawapende majirani zao, wawapende Waislamu na wawaonyeshe upendo wa Kikristo, watawavuta Wa i s l amu kuupenda Ukristo. Sio kwa njia hii ya kutengeneza ‘hoaxes’ na ‘false flag terror attacks’ na kuuwa watu wasio na hatia.

Wakati kule Marekani kila inapodaiwa kuwa kuna tukio la ugaidi wahusika ni akina Muhammad Youssef Abdulazeez. Na wenye majina kama hayo, mapema wiki hii Jeshi la Polisi lilitangaza kukamata baadhi ya watuhumiwa wa tukio la Sitakishari. Wote waliotajwa na ambao bado wanatafutwa, ndio hao hao wenye majina ya Ustaz Abdulazeez na Sheikh Hannafi. .

Wakati jeshi la Polisi likisisitiza kuwa watu hao

Tusikimbilie kuingia katika jahazi inayozama baharini

huko, hivi sasa wanapata misaada ya utaalam wa kikachero na kijeshi kutoka taifa kubwa la Marekani lenye ujuzi mkubwa wa

kupambana na magaidi. Kama huu ndio mtizamo wa serikali ya Kenya, ni Msiba! Tusitumbukie huko.

Hivi karibuni Waziri

huyo alinukuliwa na Kituo cha Televisheni cha KTN akisema kuwa wamefanikiwa kukamata ‘wagaidi’ zaidi ya 48, wawili wakiwa ni kutoka Tanzania ambao waliingia Kenya wakitaka kutafuta wasichana wa kuwaingiza katika Al Shabaab. Akasema, hiyo ni kuonyesha kuwa karibuni watawamaliza ‘wagaidi’.

Kauli ya Waziri huyo inafuatia ile ya Rais Uhuru Kenyatta aliyesema kuwa serikali yake itafaulu katika vita dhidi ya ugaidi. Lakini wakati Rais Uhuru akiyasema hayo, kufuatia tukio la ugaidi Garissa, Waziri Joseph Ole Nkaisery aliwekwa Kiti Moto na Kamati ya Ulinzi ya Bunge ambapo alijikuta

akiwa hana majibu akibaki ku j i k anyag a . Kwanza Waziri huyo alikiri kuwa walikuwa na taarifa za ki-intelijensia kuwa Al Shabaab wa t a p i g a . A k a u l i z wa i l i kuwa j e was i chukue hatua. Pili, akadai kuwa wale magaidi wanne tu (4) waliweza kuwaendesha kindumbwendumbwe kikosi cha Jeshi la Kenya (Kenya Difence Force-KDF) ndio maana i l ichukua muda mrefu hadi ikafikia kuuliwa watu 148. Kauli hiyo ilizua maswali mengi na zogo kutoka kwa wajumbe wa kamati hiyo wakisema kuwa si jambo lenye kuingia akilini ‘Al Shabaab 4’ tu waweze kushinda nguvu kikosi cha KDF kilichokuwa na zaidi ya askari 100 na vifaa vizito ya kijeshi. Ndio yale yale ya ‘Muhammad’ kule Chattanooga. Kukoleza kitisho kuwa magaidi watu hatari. Lakini pia wakahoji, ilikuwaje ikachukua muda mrefu hadi kufika vikosi

Inaendelea Uk. 11

Inaendelea Uk. 11

Meja Jenerali Mstaafu Joseph Ole Nkaisery.

Inatoka Uk. 9

M u h a m m a d Yo u s s e f Abdulazeez.

Page 11: ANNUUR 1187.pdf

11 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 201511 AN-NUURMakala

Inaendelea Uk. 13

Huyu ndiye wa kumpa kura yakoInatoka Uk. 10ni majambazi, wameonyesha pia wasiwasi kuwa ujambazi huo umefikia kiwango cha kufananishwa na ugaidi. Hata hivyo, wakasema kuwa bado ni mapema mno kusema lolote kwa sababu bado wanafanya uchunguzi kwani hata kama ni ugaidi, inabidi kujua nini lengo la ugaidi huo. Wanaofanya wanataka nini.

Katika hali ya kawaida, inakuwa vigumu kuamini kuwa majambazi wa kawaida wanatafuta zana za kufanyia kazi kwa kuvamia vituo vya polisi. Katika hali ya kawaida, inakuwa tabu sana kuamini kuwa majambazi ya kawaida ya kuiba pesa na vitu vya thamani, wanakuwa na haja ya kuwa na shehena ya silaha, labda iwe magege ya madawa ya kulevya (Narco gangs) kama yale ya kule Colombia, Panama na Guatemala. Majambazi hawaundi jeshi, hawawi na gahala la silaha (armoury). Ila tukitizama mchezo wa Boko Haram, ulivyoanza, tunahitaji kuwa makini na

Tusikimbilie kuingia katika jahazi inayozama baharini

Inatoka Uk. 10maalum wakati ndege na helkopta za kijeshi na polisi zipo. Hayo ni maswali ambayo haikuwa wepesi kwa Waziri Ole Nkaisery kutoa majibu yenye kueleweka.

Na hapa ndio anatakiwa Waziri huyo kufahamu kuwa Vita dhidi ya ugaidi, haitakiwi kumalizika. Ni vita endelevu. Ndio maana wakati Kenya wanalia na Al Shabaab kule Garissa, hao Marekani anaojivunia Waziri Ole Nkaisery Nkaisery kuwa sasa wamekuwa makamanda wakufunzi na wataalamu wao wapendwa kat ika masuala ya kupambana na ugaidi, nao wanalia na akina Muhammad Yousuuf wa

IS, tena wanapenya mpaka kwenye ngome zao za kijeshi ambapo hakur uhusiwi kuingia na silaha.

Ugaidi ni Mzaha na vita ya kudumu

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta hivi karibuni amesema kuwa serikali yake itashinda vita dhidi ya magaidi . Aliyasema hayo wakati akifungua mkutano wa kimataifa uliofanyika Nairobi hivi karibuni ukizungumzia mbinu za kupambana na ugaidi. Kauli hiyo ya Rais Kenyatta ilifuatiwa na ile ya Waziri wake wa Usalama wa Ndani Joseph Ole Nkaisery ambaye kwa kutumia tukio la kukamatwa

alioita magaidi 48 wakiwemo Watanzania wawili, alisema kuwa wanafanya vyema katika vita hiyo na akatamba kuwa karibuni watakuwa wamewakomesha magaidi.

Mwandishi wa habari za utafiti Seymour Hersh (Pu l i t z e r P r i z e -w inn i n g journalist) katika makala yake “The Redirection: Is the Administration’s new policy benefiting our enemies in the war on terrorism?”, anaeleza j i n s i m a b e b e r u k w a kushirikiana na Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu walivyounda makundi ya kigaidi, ikiwemo Al-Qaida na kuyafadhili ili yawafanyie kazi (proxy war) dhidi ya Iran,

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Inaendelea Uk. 12

kujifunza. Katika hali ya kawaida, akili inapata uzito kuamini kuwa jambazi wa kawaida ‘pekee’, anaweza kufanya yale ya Sitakishari.

Lakini pia tukubaliane kuwa ‘Ustadh’ na ‘Sheikh’ wa kweli au Muislamu tu wa kawaida, hawezi kuwa na moyo mgumu wa kufanya mauwaji

kama yale Sitakishari.Kwa hiyo, Polisi wetu

wanaposema kuwa bado wanafanya uchunguzi , ni kwel i . Kunahita j ika

uchunguzi wa kina na makini sana maana tukio hili la Sitakishari, linatusukuma tufikie mahali na sisi tuimbe wimbo ule ule wa wanaoimba Fox News na CNN juu ya akina Muhammad Youssef Abdulazeez, wa Chattanooga, Tennessee.

Tunapoelekea katika uchaguzi mkuu, na hasa katika kutizama nafasi ya kiongozi mkuu wa nchi, kuna haja ya kupima nani kati yao anaweza kuwa na uoni, ufahamu na ujasiri wa kusema “The War On Ter r or Is a Fraud, Joke, Hoax, Lies” Nani kati yao mwenye macho ya kuona hiki kiwingu cha “pseudo-gangs” tunaotangaziwa kuwa ni magaidi wa Al Shabaab, Al Qaida, Boko Haram na wengine kama hao, wanaoweza kuwa ndio wanaotuletea mabalaa kama lile la Sitakishari!

K a m a t u n a w e z a kumtambua mgombea mwenye sifa hizo, basi huyo ndiye wa kumpa kura na huyo ndiye anayeweza kuivusha Tanzania salama.

New York Times: FBI inatunga mipango ya ugaidiInatoka Uk. 9

Makala hiyo ya New York Times inaendelea, ikielezea jinsi FBI inavyowachagua walengwa wake: “Kwa kawa ida , wafua t i l i a j i wanawalenga watuhumiwa kwa kile wanachoongea - kuzungumza na mpasha habari nje ya msikiti , kuchangia kwa hasira katika mtandao, barua pepe na watu wenye siasa kali nchi za mbali - halafu kuwavuta kuwa na uhusiano na wapasha habari, ambao mara nyingi tu ni watu waliopatikana na hatia mahakamani, ili wapate unafuu (katika hukumu), au na mawakala wa FBI wanaojifanya ni washirika wa Al Qaeda au makundi mengine.”

Makala hiyo inaonyesha jinsi baadhi ya walengwa “ w a n a v y o k u w a n a

mashaka, hawana utaalamu wa j a m b o h u s i k a n a hawalijali, kama vile ni mtu hohehahe anayetaka kupata sifa kwa jambo fulani ambalo mpasha habari au wakala wa kificho anajitahidi kumvuta agundue anachokihitaji.”

Kinachostua, gazeti la New York Times linaripoti kinachoonekana kuwa ni kumshawishi mlengwa katika kufanya tukio la kigaidi ambako bila hivyo kamwe asingelifikiria:

"A l i kuwa ana t a fu t a majibu ndani ya imani yake ya Kiislamu," alisema wakili wake Clinton W. Calhoun I I I , ambaye ameka t a rufaa kuhusu mteja wake kupatikana na hatia.

"Na huyu mpasha habari, nadhan i , a l iup ind i sha utafutaji huo kwa njia ya udangany i fu mkubwa, akamwe l ekeza v ibaya Cromitie katika utafutaji

wake na kuipeleka nia yake katika utumiaji nguvu."

Mwaka mmoja baada ya makala hiyo ya New York Times iandikwe, msafara wa wakimbiaji mbio za nyika wa Boston ulishambuliwa kwa milipuko, ikaua watu watatu na kujeruhi wengine wengi. Watuhumiwa wa tukio hilo, Tamerlan Tsarnaev na nduguye Dzohkar Tsarnaev, wakatangazwa na FBI siku moja baada ya kufutwa kwa utatanishi mkutano na waandishi wa habari na wasiwasi uliotanda kuhusu usalama wa mahakama moja ya shirikisho (serikali kuu nchini Marekani) ambako ilisemakana mtuhumiwa (wa jambo fulani) alikuwa analetwa.

)Utatanishi wa ilichokuwa inafanya FBI unaweza kufafanuliwa kwa tukio kwamba angalau mmoja kati

Page 12: ANNUUR 1187.pdf

12 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 201512 MAKALA

Ndugu Mhariri,Kwa muda mrefu sasa, Waislamu wa Tanzania tumekuwa tukilalamika juu ya mfumo uliopo wa serikali yetu. Ubaguzi u n a o f a n y w a n a serikali katika nyanja mbali mbali kama vile, elimu, ajira na mengine mfano wa hayo. Malalamiko h a y a y a m e k u w a y a k i f a n y i k a k wa n a m n a t o f a u t i , i l imradi kufikisha ujumbe kwa serikali iweze kuona japo haya. Makongamano, maandamano, khutba za Ijumaa, ni baadhi y a n j i a a m b a z o hutumiwa, zikiwa na shabaha ya kuizindua serikali kuwa kuna raia wanalalamika, hawaridhiki na mambo yanavyokwenda. Basi angalau wasikilizwe.

Hata hivyo, pamoja na jitihada zote hizo,

Tusichoke kupigania hakihakuna kinachofanyika, si kusikilizwa wala hali kubadilika. Hili linaweza kuwafik isha mahal i Wais lamu wakakata tamaa. Na hapa ndipo zilipo nasaha zangu. Tusikate tamaa. La muhimu ni kukaa kitako na kufanya tathmini iwapo tunakwenda sawa au kuna mahali tunakosea.

Tujiimarishe kielimu, k i i m a n i , k u t i z a m a vipaumbele vyetu na kutia nia thabit i ya kupigania haki zetu za kidini na kijamii kwa ajili ya Allah. Tuweke m a s i l a h i b i n a f s i pembeni, bali tutizame Ummah unataka nini.

M a a d h a l i tumesimama kat ika hak i , t u s i t e t e r eke , tusikate tamaa wala kuogopa muda wa kuwa tunamtegemea Allah SWT.

Wabillah TawfiiqJuma Jumanne

Sikukuu ninayoikumbukaInatoka Uk. 8a n a v y o c h e z e s h w a . Kwenye Zarina sina la kusema. Juu ya starehe zo t e h i zo, wa to to mwisho wao kuweko v iwanja vya Mnaz i Mmoja, ni iliapo honi. Ikilia, yaani saa kumi na mbili na nusu, watu wazima nao huf ika Mnazi Mmoja kuanzia bada ya sala ya Magharibi na wao kujiburudisha. Skukuu ikiwa ni furaha tupu kuanzia kwa wazee hadi watoto.

Jee leo? Hayasemeki wala hayana mshiko kwani Mswahili kapoteza ule utamaduni aliokuwa nao aliounganisha na Uis l amu. Nimeta j a Mswahil i kwa kuwa mua s i s i wa E l imu Z a n z i b a r L . W. H o l l i n g s w o r t h , alimueleza Mswahili n i Y u l e a i s h i y e katika mwambao na anazungumza Kiswahili kama ni lugha yake ya mwanzo. Kwa hio Mswahi l i u tampata Unguja, Pemba, Kilwa, Bag amoyo, Tang a , Lamu, Mombasa n.k. Waswahi l i uendapo k a t i k a m i j i y a o , utawakuta mienendo yao ni ya aina moja. Haya nikutokana kuwa Mswahili kajiunganisha m a i s h a y a k e yo t e tangu anazaliwa mpaka

anakufa na Uislamu.L e o M s w a h i l i

inakupa tabu kumuona k a m a n i M s wa h i l i kwa kuwa kajitupa na kajipoteza katika ule utamaduni aliokuwa nao na kujinasibisha na wale ambao yeye akijetenganisha nao. Nimetembea Skukuu k a t i k a m a e n e o mbalimbali kisiwani Ungu j a n ika j i u l i z a masuala pomoni: hapa ndipo tulipojifikisha? Hesh ima t aadh ima h a k u n a . W a t o t o wadogo wamevishwa nguo zilizokuwa sizo! Hio Mnaz i Mmoja imekuwa sio. Ina vitu na vishawishi nikajiuliza, jee katika maeneo mengine ya Mswahili hali ikoje? Jawabu itanambia bila shaka kama ninavyolia k w a n g u , n a h u k o kwengine ni hivyo hivyo. Wazee tushikamane na yale masomo tulioyapata katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Inabidi t u y a e n d e l e z e , s i o Ramadhani imekwisha na ibada na unyenyekevu ikiwa pamoja na Taqwa yamemalizika.

Kweli siku zimepita na zikishakupita hazirudi t ena . Jee z i t a r ud i ? Twaenda wapi? Mswahili anapotea au anajipoteza? Akishajipoteza yupo wa kumuongoza? Jawabu ipo kwako.

Inatoka Uk. 11

New York Times: FBI inatunga mipango ya ugaidiya watuhumiwa wa mlipuko wa Boston alikuwa ameonekana na wape le lez i wa Russia mwaka 2011 k u l e t a wa s i wa s i , a m b a o b a a d a y a hapo waliiarifu FBI kuchunguza jambo h i l o . F B I k w e l i i l imhoji Tamerlan Tsarnaev, jamaa zake kadhaa, na kufanya uchunguzi kuhusu maisha yake ya awali, mazungumzo yake ya simu, na anachofanya k a t i k a m i t andao. Yote hiyo mwishowe ilielezwa Aprili 19, 2013 katika taarifa rasmi inayoonekana katika mtandao wa FBI.gov:

Watu hao wawili w a n a o a m i n i k a kuhusika na milipuko ya mbio za nyika za Boston, wameelezwa kuwa ni Tamerlan Tsarnaev, ambaye alifariki, na Dzhokar Tsarnaev, ambaye a l ikamatwa. Watu h a w a w a w i l i n i ndugu na wanaishi M a s s a c h u s e t t s , Tamerlan Tsarnaev al ikuwa mkazi wa kisheria wa kudumu na Dzhokar Tsarnaev amepata uraia wa Marekani. Mashitaka hayajafunguliwa dhidi ya Dzohkar Tsarnaev na anadhaniwa kuwa hana hatia.

T a m e r l a n T s a r n a e v, u m r i miaka 26, mwanzoni alitambuliwa kama m t u h u m i w a w a kwanza, akiwa amevaa kofia nyeusi. Dzhokar A. Tsarnaev. umri miaka 19, alifahamika kama mtuhumiwa wa pili, akiwa amevaa kofia nyeupe. Wote walizaliwa Kyrgyzstan.

Mara FBI ilipopata utambulisho wa ndugu hao wawili, ilipitia kumbukumbu zake na kugundua kuwa mapema mwaka 2011, serikali moja ya nje iliiomba FBI taarifa kuhusu Tamer lan Tsarnaev. Ombi hilo lilieleza kuwa lilikuwa linatokana na taarifa kuwa alikuwa mfuasi wa Uislamu wa siasa k a l i n a muumin i

h a l i s i , n a k u w a alikuwa amebadilika s ana t angu 2010 akiwa anajitayarisha kuondoka Marekani k u s a f i r i k w e n d a kwenye j imbo l a nchi hiyo kujiunga na vikundi kadhaa ambavyo havikutajwa.

K u i t i k i a o m b i hilo la mwaka 2011, FBI ilipekua hifadhi za taarifa za serikali y a M a r e k a n i n a taarifa nyingine na kutafuta vitu kama mawasiliano mabaya ya simu, uwezekano wa kutumia vituo v y a m i t a n d a o v inavyohus ika na kueneza ukereketwa, uhusiano na watu wa n a o e n d a n a n a m w e l e k e o h u o , historia ya usafir i wao na mipango, na historia ya elimu yao. FBI pia ilimhoji Tamerlan Tsarnaev na jamaa zake. FBI haikukuta shughuli zozote za uga idi , za ndani au nje ya Marekani, na matokeo hayo yalitolewa kwa serikali hiyo ya nje kipindi cha kiangazi, 2011. FBI iliomba lakini haikupata taarifa za id i kutoka kwa serikali hiyo ya nje.

Ilichokuwa inafanya FBI kilielekea kuwa na utata zaidi wakati shirika la utangazaji la CBS (Columbia Broadcasting Sysems) lilipotoa taarifa kuwa m w a n z o n i F B I ilikana kuwa iliwahi kuwasiliana mapema na kina Tsarnaev. Katika habari hiyo, "CBS News : FBI i l imhoji Tamerlan Tsarnaev miaka miwili iliyopita," CBS ilidai:

CBS News ilisema kuwa licha ya kuwa FBI mwanzoni ilikana kuwa iliwasiliana na Tsarnaev, mama wa ndugu yake alisema kuwa walikuwa na mahojiano na kijarida cha Russia Today.

Mahojiano hayo na Russ ia Today, katika makala yenye kichwa cha habari "Walipangwa: FBI iliwafuatilia kwa miaka kadhaa," mama wa Tsarnaev ndiye alisema hivyo, na habari hiyo

ilisema kuhusu mama wa watuhumiwa:

Lakini wasiwasi wake mkubwa zaidi kuhusu kes i h iyo ni mawasiliano na ufuatiliaji wa muda wote wa FBI ambao anasema familia yake i l ikuwa imewekwa chini yake kwa miaka kadhaa. Anashangaa kuwa wakati walikuwa wakali kiasi hicho kwa familia nzima, FBI hawakuwa na wazo kuwa vijana hao eti walikuwa wanapanga shambulio la kigaidi.

Alisema kuhusu FBI kuieleza Russia Today:

" W a l i k u w a wanakuja nyumbani (kwetu), na walikuwa wanazungumza na mimi .. . . walikuwa wananiambia kuwa (Tamerlan) alikuwa kiongozi wa siasa k a l i n a k u w a w a n a m w o g o p a . Waliniambia kuwa h a b a r i z o z o t e a n a z o z i p a t a anaz ipa ta ku toka mitandao ya siasa kali, wanamdhibiti, wanadhibiti kila hatua anayotembea, na sasa wanasema h i l i n i tukio la kigaidi! Hata siku moja hii haiwezi kuwa kweli, wanangu hawajatenda kosa!”

Isitoshe, mjomba wa wa t u h u m i wa , R u s l a n T s a r n i , aliiambia NBC News katika makala iliyoitwa "Mjomba: Waelekezaji wa l imke reke t i sha m t u h u m i w a w a ulipuaji wa Boston," huyo mwenye umri wa miaka 26, mkubwa zaidi. "Naamini kwa nguvu kuwa walikuwa t u v i b a r a k a n a watekelezaji wa kitu kilichowazidi nguvu."

"Kwa uhakikika k u l i k u w a n a w a e l e k e z a j i . Nilishtuka niliposikia maneno yake, misemo aliyotumia, ambako katika kila neno la pili anaingiza maneno ya Mungu. Nahoji anafanya nini kupata riziki (na) alidai kuwa ataweka kila kitu kwa mapenzi ya Mungu. I l ikuwa n i jambo l i l i l on i f adha i sha . A l i n i i t a

'aliyechanganyikiwa,' n i l i p o a n z a kumwambia, uwe na faida kwako wewe mwenyewe na kwa familia yako na labda u t a k u w a n a c h a kugawana na watu waliobaki.

Ha ikuwa iman i halisi, ilikuwa kitu maalum, na kinaitwa, k u k e r e k e t i s h w a . N i k u t o j u a anachokizungumzia. Anatumia maneno mradi tu ayatumie na haelewi maana yake.

Labda, hawa vijana waw i l i wa l i k u wa wanatafuta jambo (kubwa) la kufuata, a m b a l o " m p a s h a habar i au waka la kificho aliwasaidia kwa ustadi mkubwa kufikia."

N i w a z i s a s a , inahakikiwa na FBI yenyewe, katika taarifa rasmi inayopatikana katika ukurasa wao wa mtandao, kuwa ni kweli waliwasiliana na mtuhumiwa na familia yake. FBI pia ina madai kuwa "haikuona shughuli yoyote ya ugaidi, ndani au nje," lakini lazima kulikuwa na ushahidi wa angalau "mazungumzo tu - k u t o a wa z o k wa mpashaji nje ya msikiti, kuchangia kwa hasira ktika mitandao, barua pepe na wakereketwa nchi za mbali."

F B I i n a k a t a a kufafanua kuhusu suala hili, kuwafanya hata waandishi wa habari wa vyombo vya habari vikubwa (vilivyo karibu zaidi na dola) kuuliza maswali muhimu. Makala ya Bus iness Ins ider, "FBI inahitaji kueleza kwanini ilishindwa kufuatilia mtuhumiwa wa ulipuaji wa Boston l icha ya tahadhari kutolewa mapema," i n a u l i z a m a s wa l i yafuatayo:

K w a k u w a kulikuwa na tahadhari h a l i s i , k w a n i n i FBI haikuendelea kumfuatilia Tsarnaev?

K w a n i n i F B I h a i k u f u a t i l i a n a serikali hiyo ya nje pale i l iposhindwa kupata taarifa za ziada

Inaendelea Uk. 13

Page 13: ANNUUR 1187.pdf

13 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

MAKALA

Tusikimbilie kuingia katika jahazi inayozama baharini

Inatoka Uk. 11Syria, na Hizbullah katika Lebanon. Sasa inapokuwa kwamba makundi haya yanaundwa kwa ajili ya kutimiza malengo fulani, wewe unaposema kuwa utambana na kuwashinda magaidi wa sampuli hii,

halafu wanaokupa msaada na mbinu katika kupambana nao ni hao hao waliowaunda n a w a n a o e n d e l e a kuwafadhili na kuwafanya waendelee kuwepo, utakuwa unajidanganya unapotamba kuwa utashinda katika vita hiyo.

Kutokana na aliyosema Seymour Hersh na kutokana na matukio mbalimbali ambayo yanakuwa na sura ya kuwa ni usanii, kwa maana kuwa ni matukio ya kupangwa, wachambuzi wengi wamefikia mahali pa kusema kuwa ugaidi na vita dhidi ya ugaidi ni mzaha, ni udanganyifu, ni uwongo na ni vita ambayo haikusudiwi imalizike. (Kwa mfano tu tazama: Mainstream Media Lies & Propaganda: War On Terror Is A Fraud & Mind Control – By Joe Biggs. Tazama pia: The "War On Terror" Is A Fraud - It Is Not Meant To Be Won, It Is Meant To Be Continuous.)

Mara tu baada ya tukio la Septemba 11, kuliibuliwa tukio jingine lililovuma sana likipewa anuwani ya 'Detroit Sleeper Cell'. Katika kesi hii, ilidaiwa kuwa vijana wanne wa Kiislamu, Farouk Ali-Haimoud, Ahmed Hannan, Karim Koubriti, na Abdel Ilah Elmardoudi, walikuwa

wamepanga kulipua jengo la Disneyland Park, (Disneyland) lililopo Disneyland Resort, Anaheim, California. Kisa eti walionekana wakichukua picha za video za jengo hilo na kwamba walikuwa wametengeneza mchoro w akuja kulilipua. Akaletwa mahakamani mtu aliyeitwa Youssef Hmimssa akidai kuwa aliwashuhudia watu hao wakipanga mikakati ya kufanya ug a id i na kwamba tayari walikuwa na michoro ya namna watakavyoshambulia.

Akitangaza tukio hilo, Mwansher ia Mkuu wa Marekani (Attorney General), John Ashcroft, akatamba akisema kuwa hayo yalikuwa ni mafanikio mabukwa katika vita dhidi ya ugaidi. Baadae akaongeza akisema kuwa kwa jinsi vijana hao walivyokuwa ni magaidi hatari, huenda walikuwa wanaujua hata ule mpango wa shambulio la kigaidi la Septemba 11. Hiyo ni baada

ya FBI kuibuka na michoro waliyodaiwa kuwa ni ramani za kambi za kijeshi na viwanja vya ndege za kijeshi za Marekani ambapo viojana hao walipanga kushambulia. Ilidaiwa kuwa michoro hiyo ilikuwa ikielezea jinsi watakavyoingiza silaha zao katika kyushambulia.

Kwa upande wa Rais B u s h , n ay e a l i t a m b a akiwasifu FBI kwa kuepusha shambulio baya la kigaidi akiwaelezea vijana hao kuwa ni“sleeper operational combat cell” na kusisitiza kuwa serikali yake itawafuata magaidi mmoja baada ya mmoja mpaka iwamalize ili kuhakikisha usalama wa watu wa Marekani.

Hata h ivyo, baadae hakimu aliyesikiliza kesi hiyo, alifuta hukumu yake ya awali akisema kuwa vijana hao hawakuwa na hatia na kwamba taarifa zote zilizoletwa mahakamani zilikuwa urongo mtupu.

GEORGE W. Bush, Rais wa zamani wa Marekani. Inaendelea Uk. 17

New York Times: FBI inatunga mipango ya ugaidiInatoka Uk. 12ilizoomba?

Ni mara ngapi tahadhari inatolewa na serikali ya nje kuhusu mtu mmoja kama hivi?

FBI inapata maelfu ya tahadhari kama hizo?

Nin i k i l i f anya FBI kumsafisha Tsarnaev - na FBI itabadilisha nini kukwepa kufanya kosa hilo tena?

FBI itafanya uchunguzi wa kina kuhusu kilichotokea?

Jibu la maswali haya linaweza kusaidia kujibu kilichotokea kati ya 2011 wakati FBI i l ipodaiwa kufunga suala hilo, na u l i pua j i mabomu wa 2013 - pamoja na kujibu kama ndugu hao Tsarnaev walikuwa ni sehemu ya mtego mwingine wa FBI. Labda tuhuma hizo zinaweza kuonekana hazina msingi, hatimaye, licha ya FBI kutengeneza mashambulizi ya kigaidi, waliyazuia kabla hayafanyika.

Lak in i anga lau kwa operesheni moja ya kificho, mwaka 1993, ilifanyika

kwa madhara makubwa. Mawakala wa FBI, kwa mujibu wa gazeti la New York Times, wal ikuwa wanawasimamia walipuaji waliolipua kifaa na kuua watu s i ta na kujer uhi wengine wengi katika Kituo cha Biashara cha Kimataifa. Katika makala, "Mikanda ya sauti inaonyesha pendekezo la kuzuia bomu lililotumika katika ulipuaji wa kituo cha biashara," gazeti hilo lilisema:

“Maofisa wa usalama w a l i a m b i w a k u w a magaidi wanatengeneza bomu ambalo mwishowe litatumika kulipua Kituo cha Kimataifa cha Biashara, na walikuwa wanapanga kuwazuia wapanga njama kwa kuweka kwa siri 'unga' au 'poda' inayotumika katika milipuko, mpashaji alisema baada ya mlipuko.”

“Mpashaji huyo alikuwa a w a s a i d i e w a l i p u a j i kutengeneza bomu na kutoa

unga/poda hiyo feki, lakini mpango huo ukafutwa na msimamizi wa FBI ambaye alikuwa na mawazo mengine ni jinsi gani mpashaji huyo, Emad A. Salem, atatumiwa.” Mpashaji alisema.

Maelezo haya, ambayo y a m e t o l e w a k a t i k a mtiririko wa mamia ya saa za mikanda ambayo Bw. Salem alikuwa akirekodi kwa siri kuhusu mazungumzo y a ke n a m a o f i s a wa u s a l a m a , i n a o n y e s h a kuwa mamlaka zilikuwa na uwezo mkubwa zaidi ya ilivyokuwa inafahamika kuzuia ulipuaji wa jengo refu zaidi la jiji la New York. Februari 26 (1993). Mlipuko huo uliwaacha watu sita wamekufa, zaidi ya 1000 wamejeruhiwa na uharibifu wa thamani zaidi ya dola nusu bilioni.

Katika hali hiyo, FBI inaweza kuondolewa kama mtuhumiwa wa kwanza au mshirika katika ulipuaji

wa Boston? Na hivi siyo ujuha wa karne kuikubalia FBI kuchunguza uhalifu ambao wanaweza kuwa wamechukua nafasi muhimu kwake?

Kilichoinua tuhuma zaidi, ni uamuzi wa kutomsomea mtuhumiwa a l i y ebak i haki zake za Miranda (za kutokuongea bila kuwepo wakili wake). Wakati Rais Barack Obama, Wizara ya Sheria na maseneta wa upinzani (Republican) John McCain na Lindsey Graham wanasema kuwa ukiukwaji huo kwa kina wa sheria za Marekani, unahitajiwa kwa ajili ya "usalama," inaelekea kuwa n ia n i kuf in ika kombe kwa njia yoyote ile mwanaharamu apite!

Na kama miaka 10 ya vita, utesaji na kuzuiwa muda mrefu bila kufikishwa mahakamani, na kuundwa na kupanuliwa kwa Idara ya Usalama wa Ndani, Kikosi Kazi cha Pamoja

cha Kuzuia Ugaidi cha FBI, Uwakala wa Usalama wa Nchi, na idara nyingine za serikali kuu havikuweza kuzuia ulipuaji wa Boston, kwa nini Rais, Wizara ya Sheria, na maseneta wawili wa Republican, wanaamini kuzuia haki za mtuhumiwa kutafanya kwa njia yoyote ile Marekani iwe salama zaidi?

Swali zuri zaidi ni, kwanini sisi wananchi tunaendelea kuwaachia wafanye maamuzi haya?

( K w a w a n a o j u a Kiingereza soma mwenyewe uchambuzi huu uliopewa jina: NYT: FBI Hatches Ter ror P lots -By Tony Cartalucci-the article first appeared on Land Destroyer Report at LandDestroyer.blogspot.com . Angalia pia Alex Jones’s analysis on the FBI involvement in the Boston Marathon bombing, and the FBI’s histor y of entrapping unwitting patsies. Tafsiri hii ya Kiswahili imefanywa na Anil Kija)

Page 14: ANNUUR 1187.pdf

14 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

MAKALA

1. Kifo cha ami yake Mtume SAW na mkewe Bibi Khadija kilitokea mwaka gani wa Hijra? Jawabu: 10 AH

2. Ulikuwa mwaka gani wa Hijria wakati Mtume SAW alimuamrisha Syd Ali bin Abi Talib kwenda Yemen kuwalingania Waislamu na kuweza kusilimisha kabila kubwa la nchi hiyo? Jawabu: 10 AH

3. Mwaka gani wa Hijria ukiwa ni tarehe 17 Ramadhani aliuwawa Syd Ali bin Abi Talib. Jawabu: 40 AH

4. Mwaka gani Hijria aliofariki Bibi Aisha mke wa Mtume SAW. Jawabu: 58

5. Mtume SAW aliwatuma Khalid bin Walid, Amr bin Al-as na Saad bin Ziad RA kuyaangamiza masanamu ya Jawabu: Al-Uzza, Suwah na Manat.

6. Quran kwa mara ya kwanza Mtume SAW aliteremshiwa katika Pango la …………….Jawabu: Hira

7. Nani walikuwa kati ya waandishi wa Wahyi katika Masahaba? Jawabu: Abubakar, Umar, Ali, Zaid Harith, Abdalla Masud.

8. Zaid bin Harith ametajwa katika Quran aya ipi? Jawabu: 33:379. Mtume SAW alipokea Wahyi akiwa Madina kwa muda gani?

Jawabu: 1010. Wataje waliotafsiri Quran kwa Kiengereza wa mwanzo.

Jawabu: Abdalla Yusuff na Pickthall

MAJIBU YA CHEMSHA BONGO NAMBA: 15

Na Ben Rijal

Na Ben Rijal

ALHAMDULILLAH. Wakushukuriwa ni

Allah SW kutuwezesha k u k a m i l i s h a m f u n g o wa mwezi mtukufu wa R a m a d h a n i , m w e z i ambao athari zake zote za Kiislamu zilidhihirika waziwazi tokea kwa mtu mmoja mmoja hadi jamii nzima kuweza kujionyesha katika hali ya ucha Mungu kwa kutendeana wema, kufanya ibada, kusoma Qur’an kwa wingi na mengi katika mambo ya kheri.

Mwezi wa Ramadhani unafwatiwa na mwezi wa Mfungo mosi (Shawal) mwezi ambao una matokeo mengi yaliopata kutokea wakati wa Mtume SAW. Nitajaribu kuyanukuu baadhi ya matokeo

Matokeo ya mwezi wa Shawalhayo yaliotokea katika miaka tofauti katika uhai wa Mtume SAW i l i kuweza kupata mafunzo na kutufanya kutosita kufanya Taqwa.

Tokeo la mwanzo-Banu Kaynukaa

Mayahudi ni watu ambao wana hila na mbinu za kila aina, katika khiyana yao ya mwanzo kuwafanyia Waislamu ni pale walipokhalifu mkataba wa l iopeyana na Mtume SAW. Mtume SAW baada ya kurejea katika vita vya Badr ambavyo vilileta ushindi mkubwa kwa Wa i s l amu alilolifanya baada ya vita hivyo nikuwaendea Mayahudi na kuwataka kutofanya ugomvi wa l a v i t a na Wa i s l amu kama walivyokubalina nao a l i p o h a m i a M a d i n a n a akawatahadharisha kuwa watapokhalifu waliowekeyana, yatakuja kuwakuta kama yaliowakuta Makureshi wa Makka.

Mtume SAW aliwakusanya Mayahudi katika soko la Kaynukaa na kuwambia “Enyi Mayahudi nakutahadharisheni kutokana na yale yaliowafika Makureshi katika vita vya Badr. Musilimu kwani hakika mnajuwa ya kuwa mimi ni

mjumbe wa haki niliyetumwa kwa wote, na mnayaona hata kwenye kitabu chenu cha Tawrat yametajwa yale ambayo nayawalingania waja.”

Baada ya kuwambia maneno hayo Mayahudi wakajibu kwa ujeuri kwa kusema:

“Ewe Muhammad, hivi

wewe unatuona sisi ni kama hao jamaa zako Makureshi? Usifikiri kuwa umepata ushindi kwa watu wasiojuwa kupigana na utapata ushindi kama huu kwetu, tunakuapia ya kuwa kama utapigana nasi, utatujuwa kama sisi ni watu tena ni watu wa aina gani?”

Jawabu iliyotolewa ilijaa kiburi na yenye kujinata, Mtume SAW alirejea Madina pasi kuchukua hatua yoyote ile na huku akisubiri amri kutoka kwa Allah.

Siku zikapita na siku moja likatokea tokeo la bibi mmoja

H P A U A Z A 15 25 31 12 9

I I B M B A B S T 22 U 10

R C U A D I D U U 15 I E A K B R A D A I O 18 M T

S T A R L H L O U 22 S U Y H K Y L A A U H 87 A O I A A U A R Y Y M 1 F P O L R I M I U U V 55 C U

P L A O A T S I S P C A

Y K L P S H U U P O A S

10 AH 40 AH I S U E F E 58 AH N 10 AH 8 AH

E W E G D T F 33:37 33:78 42:5 A S

Fatilia kuandama kwa MweziLeo Ijumaa ni tarehe 8 Shawal 1436 AH

sawa na tarehe 24 Julai 2015.Mwezi unategemewa kuandama kwa

Mfungo Pili tarehe 16 August. Kutokea leo hadi kufikia Mfungo Pili tumebakisha siku 22.

TOKEO la pili lilotokea katika mwezi wa Shawal ni vita vya Uhud. Ilikuwa ada ya Waarabu wanaposhindwa kwenye vita kutaka kulipiza kisasi na haya yanaonekana u n a p o a n g a l i a n a m n a walivyoshindwa Makureshi katika vita vya Badr na kupata aibu, walijizatiti kupigana na Waislamu kwa mara nyengine ikiwa ni vita vya Uhud.

Uhud ni mlima ulioko meli 3 Kaskazini ya Madina. Mahali hapa ndipo palipopiganwa vita hivyo vinavyoitwa vita vya Uhud ambavyo ndivyo vita vya pili vikubwa Waislamu kupigana baada ya vita vya Badr.

Makureshi walishindwa kat ika vi ta vya Badr na wakapata aibu kubwa, hata wakaazimia kulipa kisasi mara watakapopata nguvu tu, walipopata nguvu Makureshi wal i toka Makka kwenda kuishambulia Madina wakiwa na jeshi la watu baina ya 3,000 na wengine wanasema walikuwa watu 7,000. Katika hao walikuwa wenye kuvaa nguo za chuma. Pamoja na Makureshi 3,000 waliongezeka

Vita vya Uhudwatu 70 katika kabila la Aus ambao walikuwa wakiuchukia mno Uislamu, hata wakahama mji wao wa Madina wakenda kukaa Makka.

Kila jamadari mkubwa wa Kikureshi alikwenda vitani pamoja na mkewe, ili apate kumtia nguvu na hamasa kuweza kupigana kwa vizuri. Wakawa wanawake wote waliohudhuria vita hivi upande wa Makureshi idadi yao ilikuwa ni wanawake 15. Miongoni mwa majadari wa Kikureshi siku walioshiriki vita hivyo ni Khalid bin Walid, Amr bin Al As, Ikrima bin Abu Jahl na Safwan bin Umayya ambao wote mwisho wao walisilimu wakawa Majamadar i wa Waislamu. Jeshi hili lilichukaa farasi 200 wa kupigana na ngamia 3,000 wa kuwapanda.

Mtume hakusikia habari ya hao Makureshi kuwa wamejiandaa na kulipiza kisasi ila walipokuwa wamekwisha kukar ibia Madina ndipo akaelewa kuwa mashambulizi ya vita yapo njiani. Akafanya shauri upesi upesi akatoka na watu 1,000 kwenda kukutana na hilo jeshi la Kikureshi lenye watu 3,000 na zaidi.

Walitoka jioni ya Ijumaa mwezi 11 Mfunguo mosi (Shawal) mwaka wa 3 A.H sawa na mwezi wa January 625 CE, na walipofika kwenye jabali la Uhud walitua kulingoja jeshi la Makureshi. Usiku wake jeshi la Kikureshi liliwasili na likakabiliana na jeshi la Waislamu, baadaye wakapeana muda wasitishe vita kisha wapigane mchana.

Alfajiri ilipoingia Mtume alisali jamaa na watu wake wote 1,000, ndani ya sala Waislamu 300 walikimbia pamoja na mkubwa wao aliyekuwa akiitwa Abdalla bin Ubay bin Salul. Huyu Abdalla alikuwa Mwislamu wa uwongo na nyuma yake alikuwa na chungu ya watu waliokuwa wakijidhihirisha mbele ya Mtume kuwa wao ni Waislamu kumbe ni wanafiki. Ijapokuwa Mtume na Masahaba zake wakubwa walikuwa wakiwajua, lakini walifanya kama kwamba hawawajui, wakiwacheza shere na wakiwabeza huku wenyewe hawana habari. Baada yake Mtume alibaki na watu 700 akiwa tayari kulikabili jeshi la watu 3,000.

Inaendelea Uk. 15

Inaendelea Uk. 15

Page 15: ANNUUR 1187.pdf

15 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

MAKALA

UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIFACHEMSHA BONGO NAMBA: 16Weka duara kwenye jawabulio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.

Masuala:1. Wataje wanawake 4 ambao watakuwa ni wanawake wa Peponi waliojulikana wakiwa bado wahai.2.Majina mengine ya Qur’an.3.Sura ngapi katika Qu’ran.4.Mtume yupi katajwa sana katika Qu’ran?5.Sahaba yupi aliomshauri Khalifa Syd Abubakar aikusanye Quran, iwe katika kitabu kimoaj?6.Sahaba yupi alikusanya Qura’an katika mfumo huu tuliokuwa nao Sasa?7.Ukifunga mwezi wa Ramadhani na ukafwatisha siku sita za Shawal utakuwa sawa umefunga?8.Msikiti ulio mkongwe kuliko yote.9.Ameangamia pamoja na mikono yake miwili. Ni nani huyo?10.Tafsiri zinazojulikana za Quran kwa lugha kutoka Kiarabu kwenda lugha mbalimbali ni ngapi? 103, 250, 1,000

1. Mabaki ya Quran yaliopindukia miaka 1,370 yamepatikana na wasomi wa Chuo Kikuu cha Birmingham. Soma zaidi: http://www.bbc.com/news/business-33436021

2. Shaka Senzangakhona au Shaka Zulu alikuwa kiongozi maarufu wa utawala wa Wazulu. Alizaliwa mwaka wa 1787 katika mji wa KwaZulu-Natal, nchini Afrika ya Kusini.

3. Mjue Mfalme wa Wafalme Mansa Mussa wa Mali anaokadiriwa kuishi 1280-1337 (http://www.hyperhistory.com/online_n2/people_n2/ppersons5_n2/musa.html) na (http://www.blackpast.org/gah/musa-mansa-1280-1337)

4. Muasisi wa Himaya wa nchi ya Mali ni Sundiata Keita, kazaliwa 1217 – c. 1255 (http://www.britannica.com/biography/Sundiata)

5. Vita vya Majimaji vilipiganwa kuanzia mwaka 1905-1907 katika harakati za kumuondoa Mkoloni Mjerumani, Waislamu walitoa mchango mkubwa katika vita hivi (http://journals.cambridge.org/action/displayAbstract?fromPage=online&aid=2788580)

6. Harakati za wapiganaji wa Mau Mau nchini Kenya zilianza mwaka wa 1952-1960 (http://www.bbc.com/news/uk-12997138) na (https://markcurtis.wordpress.com/2007/02/12/the-mau-mau-war-in-kenya-1952-60/)

7. Wanaharakati wa FLN ndio walipambana na mkoloni wa Kifaransa nchini Algeria kuwang’oa Wafaransa (http://www.historytoday.com/martin-evans/french-resistance-and-algerian-war)

8. Harakati za kuung’oa utawala wa Kiengereza nchini Misri ulianza 1919 zaidi piga mbizi(http://nvdatabase.swarthmore.edu/content/egyptians-campaign-independence-1919-1922) na (https://en.wikipedia.org/wiki/Egyptian_Revolution_of_1919)

9. Franz Fanon mwanaharakati na daktari wa akili kutoka Martinique aliwasaidia wanaharakati wa Algeria katika kumng’oa Mkoloni Mfaransa, pata orodha ya vitabu vyake na maandiko yake: https://www.questia.com/library/philosophy/20th-and-21st-century-philosophy/political-philosophy-20th-and-21st-centuries/frantz-fanon) na (http://www.goodreads.com/author/list/37728.Frantz_Fanon)

10. Facing Mount Kenya na Jomo Kenyatta (http://home.uchicago.edu/aabbott/barbpapers/barbkenya.pdf) na https://www.foreignaffairs.com/reviews/capsule-review/1997-09-01/facing-mount-kenya-tribal-life-gikuyu

Jee Unajua?

F K N K F M U A M A

U I O H A A T L W B

R T O A T R H Q A U

Q A R D M Y M Q K L

A A H I A A A B A A

A B U J A M N A J H

N Z D A S B Y K U A

114 I A P Y A U A M B

260 K N O A U M A R A

103 R M U S S A L A L

Matokeo ya mwezi wa ShawalInatoka Uk. 14wa Kiislamu aliokwenda kukidhi haja zake sokoni lilokuwa na wauzaji wake walio wengi wakiwa Mayahudi, bibi huyu alijistiri kwa nikabu, akiwa amekaa nje ya duka la Sonara la Myahudi, watu hawo wakatafuta njia ya kumfedhehesha Muislamu huyo kwa kumvua nikabu yake, yule bibi hakukubali, baada ya hapo katika kufanya hila sonara akafunga ncha ya kanzu ya bibi huyo wa Kiislamu sehemu ya mgongoni pasi na b ib i huyo kue lewa , alipoinuka akiwa hajui a l i yofany iwa akawa nguo yake imemvuka na yupo utupu mbele za watu na huku kundi la Mayahudi wakimcheka na kumdhihaki. Bibi huyu kuona hayo alipiga kelele akiomba msaada. Hapo akatokea Muislamu mmoja baada ya kujua k a d h i a i l i v yo t o ke a

akamuua huyo Sonara na Mayahudi kwa upande wao wakajumuika na kumuua Muislamu huyo. Hapo tena ukaanza ugomvi baina ya pande m b i l a u p a n d e w a Waislamu na upande wa Mayahudi,. Tukeo hili lilitokezea katika nusu ya mwezi wa Shawal mwaka wa Pili mara tu Waislamu kurudi katika vita vya Badr.

Hii ndio i l iokuwa khiyana ya mwanzo kutoka kwa Mayahudi k a t i k a t a r e k h e y a K i i s l amu baada y a kuwepo mkataba wa amani baina ya pande mbili na kisha Mayahudi kukiuka mkataba huo.

Kutokana na tukio hilo, Mtume SAW akaamua kutoka na Masahaba kwenda kuwazunguka Mayahudi ambao baada ya kuelewa walilolifanya kuwa walikhalifu miadi, walikwenda wakajiweka katika ngome yao kwa

kujihami na huku khofu kuwajaa kwa kujua nguvu ya Waislamu ilivyokuwa. Ila kibri na jeuri ndio i l iowafanya kuanza kutoelewana na Waislamu na kukiuka makubaliano waliowekeyana.

Mtume na kikosi cha Masahaba wal ibakia k u w a z u n g u k a k w a kipindi kirefu mwishowe M a y a h u d i w a k a w a hawana jinsi, wakatoka katika ngome yao na huku wamejisalimisha. Mtume SAW kutokana na kuelewa vitimbi vyao na kujua kuwa wataendelea kuleta chokochoko, alichukua uamuzi wa kuwafukuza Mayahudi katika mji wa Madina wauhame wasiukae tena na kuwa huru kwenda watakapo. Wengi wao walielekea Sham.

B a a d h i y a Wais lamu wa l ikuwa na mafungamano na Mayahudi, kutokana na hali hio wakayatengua m a f u n g a m a n o

wal iokuwa nayo na Mayahudi na kukir i kuwa wa takuwa na Allah na Mtume SAW i s i p o k u wa m n a f i k i m k u b w a A b d a l l a h b i n S a l u l a m b a y e aliwaombea wasifukuzwe l ak in i Mtume SAW h a k u m s i k i l i z a n a zikashuka aya zenye kukemea wale wote wanaowafanya Mayahudi na Manasara ni vipenzi kwani kwa kufanya hivyo watakua kati yao.

“Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni m a r a f i k i . Wa o n i marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhu lumu , (Surat Al- Maida 5:51).”

H i l i n i t okeo l a m w a n z o k w e n y e tarekehe ya Kiislamu lilotokea katika mwezi wa Shawal.

Vita vya UhudInatoka Uk. 14Mtume a l i chagua

watu 50 akawaweka kwenye nj ia za huo m l i m a w a U h u d , ili jeshi la Makureshi lisiwajie kwa nyuma, wakawa wamo katikati. Akaweekea mkubwa wao aliyekuwa akiitwa Bwana Abdalla bin Jubary na akawaamrisha kamwe was iondoke maha l i pao hata wakiwaona wenziwao wameshinda au wameshindwa. Hawana ruhusa kuondoka ila watapoletewa mjumbe kutoka kwa Mtume S AW k u wa a m r i s h a hivyo. Baada ya kwisha kuamrisha haya, Mtume a l i m ch a g u a B wa n a Mus ’ab b in Umer y akamate bendera ya Waislamu, awe Jamadari mkubwa apiganishe. Huyu ndiye yule mwalimu wa awali aliyepelekwa Madina kufund isha watu dini , baada ya hapo zikajipanga safu za Waislamu, tayari kutiana mikononi na Makureshi.

Waarabu walikuwa hawapigani i la huku mmoja wao kanyanyua bendera . Ik ianguka chin i wala as i tokee mtu wa kuiokota hapo t e n a h u t a w a n y i k a wakakimbia.

Makureshi walikuwa na dasturi ya kuwaachia kabila la Bani Abdid Dar kushika bendera yao wakati wa vita, isipokuwa wenyewe Bani Abdid Dar wakiridhia kupewa mtu mwingine, kwa kuwa hapana kwao aliye shujaa na moyo mgumu kuliko wao. Kwa hivyo ndiyo maana Mtume SAW akampa bendera mtu aliye katika ukoo wa bani Abdid Dar akiwa ni Mus’ab bin Umery.

Baada ya hapo vita v ikashamir i na mtu wa kwanza kuuwawa k a t i k a M a k u r e s h i alitoka kabila la Abdid Dar akiwa ni Talha bin Abi Talha aliyekuwa kakamata bendera, mara tu alipoanguka chini ndugu yake Uthman bin Abi Talha akainyanyua akawa anapiganisha k a m a i l i v y o k u w a akifanya kaka yake. Hakuchukuwa muda na yeye akauwawa, akaruka ndugu yao wa tatu Abu Said bin Abi Talha akaikamata kupiganisha kama wa l ivyo fanya kaka zake, naye kwa

upande wake yakamfika yale yale yaliyowapata ndugu zake. Ikwa watu wa kabila la Bani Abdid D a r w a n a m a l i z i k a kushika bendera na kila a ikamatayo huul iwa ikawa hakuna aliotayri kushika bendera mpaka alipotokea mwanamke mmoja ajuliknaye kwa jina la Amra bin Alqama Al Harithiyya akaikamata bendera akapiganisha, l a k i n i h a k u ch u k u a muda aliuawa; kama walivyouwawa wenziwe. Baada ya hapa hakuinuka y o y o t e k u i o k o t a bendera ila Makureshi wal ikimbizana mbio kama kundi la mbuzi l e n y e k u f u n g u l i wa zizini wakawa Waislamu w a n a w a f u a t a k w a kuwaua na kukusanya w a l i v y o v i a c h a n a walivyovitupa.

Wale Masahaba 50 ambao Mtume SAW aliwawaweka kwenye njia za mlima wa Uhud ili baadhi ya jeshi la Kikureshi lisiwajie kwa n y u m a k u w a va m i a walipowaona wenzao wanalifukuza mbio jeshi

kubwa la Kikureshi, na wao waliteremka mbio ili wawemo katika kukusanya ngawira . Mkubwa wao aliwakataza sana na akawakumbusha maagizo waliopewa na Mtume SAW, hawakutaka kumsikiliza na kiongozi huyo alibaki na watu 11 tu kati ya watu 50. Hilo lilikuwa kosa kubwa na Jamadari Khalid bin Walid na Jamadari Ikrima bin Abu Jahl kuona Waislamu wameondoka k a t i k a s e h e m u waliokuwepo kwenye jabali waliwaendea na kuanza kuwashambulia hapo ukaingia mtafaruku kwenye ma jesh i ya Wa i s l a m u y a s i j u e yanafanya nini; ikawa wanapigwa mbele na nyuma wakafa wengi kati yao.

Katika mtaharuki huo, alizuka shujaa mmoja wa Kikureshi akampiga upanga Mus’ab b in U m e r y a k i d h a n i a kuwa kamuua Mtume, Mus ’ ab b in Umeyr alikuwa amemshabihi sana Mtume kwa hiyo yule shujaa aliyemwua a l i y a k i n i s h a k u w a kamwua Mtume, akaanza kupiga makelele kuelezea k u wa a m e s h a mu u a

Inaendelea Uk. 16

Page 16: ANNUUR 1187.pdf

16 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

MAKALA

Vita vya UhudInatoka Uk. 15Mtume. Habari hii ilitapakaa upesi kama moto kichakani. Makureshi walifurahi furaha is iyokuwa na mfano; na Waislamu wakafa nyoyo, wakababaika wakarukwa na akili, wasijue la kufanya ni lipi? Baadhi yao walikwenda mbio mpaka Madina na baadhi waliendelea kupigana bila ya nidhamu, waliobaki kila moja akipigana nafsi yake na huku anatafuta njia apenye ende kwani waliyakinisha kuwa Mtume amekwisha kufa hawana tena pakushika.

Watu wawili watatu tu ndio waliopata bahati kuwa na Mtume wakati ulipopigwa ukelele wa kuonyesha kuwa Mtume ameuawa , wa tu hawa walijitahidi wawezavyo kumlinda Mtume asidhuriwe; lakini wapi aliumia sana; na mwisho wake akaanguka shimoni asiweze kupanda kwa machofu aliyokuwa nayo. Sahaba Talha akashuka ndani ya shimo akamweka Mtume mabegani mwake akainuka naye, ukingoni mwa hilo shimo alisimama Syd Ali bin Abi Talib akanyoosha mikono yake ili kumvuta nje Mtume. Bwana Talha alipoinuka naye tu mara Syd Ali aliweza kumvuta nje akamtoa salama Mtume SAW katika shimo.

Mtume SAW alipotoka nje ya shimo aliona idadi ya wale Masahaba waliokuwa wakipigana nafsi zao kwa bahati nzuri walikutana na wenziwao waliokuwa pamoja na Mtume, wakawapa haba r i kuwa Mtume hajafa wakafarajika na kuwa na furaha. Masahaba waliokusanyika kuwa karibu na Mtume SAW ni wanaume 14 na wanawake 8. Kikundi hiki kidogo cha Masahaba k i l i j i t a h i d i wawe z av yo kumhami Mtume SAW huku Makureshi kuchachamaa k u r e j e a n a k u o n g e z a mashambulizi kumuwa Mtume SAW, mmoja katika Makureshi hao ni Ubaya bin Khalaf ndugu yake Umayya bin Khalaf, aliyekuwa akimdhili Sahaba Bilal, mtu huyo alikuja juu ya farasi wake upanga wazi na mwili wake wote umefunikwa na nguo za chuma huku anasema; “Niachieni n i mwue Muhammad .” Masahaba wal iokuwa na Mtume SAW wakati huo walifadhaika wakajipanga kila upande kumzuia Kureshi huyo asimfikie Mtume hapo tena Mtume aliazima kijambia kimoja kidogo kwa mmoja katika Masahaba zake; halafu akawambia Masahaba wake “Jitengeni niachieni mimi mwenyewe peke yangu!” Masahaba wakajitenga Mtume akajiwinda barabara anamngoja afike sawa yake, alipomkaribia

Mtume alimsukumia kile kijambia akamchoma nacho k w e n y e s h i n g o n a f a s i iliyokuwa haikufunikwa kwa nguo za chuma katika mwili wa yule Kureshi. Kuchomwa tu kwa kijambia hicho mara yule Qureshi aligeuza farasi wake akarejea kwa wenzake na huku anapepesuka juu ya yule farasi na anakaribia kusinukia kwa maumivu anayoyaona. A k a w a f i k i a w e n z a k e anahema pumzi juu juu na huku anasema “Muhammad kaniua, Muhammad kaniua” huku anaonyesha mahali a l i p o ch o m wa k wa k i l e kijambia.

Wenzake wakamcheka sana, wakamwambia; “Hutujapata kukuona kuwa mwoga siku yoyote ile isiokuwa leo, mara ngapi tumepata kukuona ukichomwa mishare mwilini mwako na huku unaendelea kupigana, leo huna chochote ila mkwaruzo wa kijambia, nawe unapapat ika kama kuku aliyekatwa kichwa?” Yule shujaa akajibu; “Hamjui uchungu wake; huu mkwaruzo wa jambia la Muhammad Wal lahi lau ungegawiwa uchungu huu ninaouona, akapewa k idogo k idogo kila mtu ulimwenguni, wote hawa wangelihisi uchungu wake na wakafa. Muhammad alinambia kuwa ataniua basi hapana shaka kuwa nitakufa Muhammad hasemi kitu ila huwa tu.” Kabla hakufika kwao Makka huyu shujaa wa Kikureshi alikata roho njiani katika mtaa uanoitwa Sarif.

Mtume hakupata kumwua mtu yoyote kwa mkono wake ila huyu Ubay bin Khalaf, sababu ya kumwua mwenyewe kwa mkono wake ni kuwa Mtume siku mmoja alikuwa akitembea katika mji wa Makka, njiani alimkuta huyu Ubay bin Khalaf amesimama a n a m l i s h a f a r a s i wa ke ngano, Ubay akamwambia Mtume; “Unamwona farasi huyu ninayemlisha ngano? Nitapokuona nje ya Makka nitakuua, nami niko juu yake.” Mtume akamwambia; “Insha’Allah mimi ndiye n i takayekuua nawe uko juu yake.” Basi ikawa kama alivyosema Mtume SAW.

Baada ya Mtume kupiga yule Ubay bin Khalaf, Makureshi walianzisha mapigano tena kutaka kumua Mtume SAW lakini wale Masahaba aliokuwa nao wal ikuwa mstari wa mbele kumkinga, Masahaba hawa walipigana kwa ushujaa mkubwa usiopata kuonekana; hata wengine walipatwa na

vilema vibaya vibaya ambavyo viliwaganda maishani mwao. Katika purukushani hizi za kutaka kumua Mtume SAW ali j itokeza Utba bin Abi Waqqas ndugu yake Jamadari mkuu wa Kiislamu Saad bin Abi Waqqas akampiga Mtume kwenye mdomo wake wa chini kwa upande wa kulia jiwe hilo likampasua mdomo na l ikamvunja baadhi ya meno, muda si muda Kureshi mwengine alikuwa akiitwa Abdalla bin Shihab Az Zuhry jamaa yake Mtume kwa upande wa mama yake alimvurumishia Mtume pandikizi la j iwe likampiga usoni likampasua uso na ukawa unamiminika damu kama mfereji.

Mtume alibaki na kovu na alikufa na kovu usoni ili iwe ushahidi wa mambo yaliyomkuta kwa makafiri wa Kikureshi. Masahaba wachache walipomwona Mtume katika hali hi i walisikit ika sana wakamtaka awapize Mtume akawajibu “Mimi sikuletwa ulimwenguni kuja kuapiza, nimeletwa kuwaombea viumbe Maghufira na Rehema.”

Baada ya hapo akaomba kwa Mola wake nakusema “Ewe Mwenyzi Mungu, nakuomba utoe katika migongo yao, vijana watukufu, wasimame kwa jitihada zao zote kuinusuru hii Dini, kama wanavyoisimamia wazee wao kuipinga.”

Mwenyezi Mungu aliikubai dua hii ya Mtume akajaalia wengi katika hao kuzaa watoto waliousimamia Uislamu katika kuutangaza kwa ilimu.

Makuresh i wa l ipoona panga zao haziwezi kumfikilia Mtume hata chembe, kwa kuwa kazungukwa na watu wake kila upande, walichafuka kumpopoa kwa mawe, baada ya kupasuliwa uso, kinywa na kuvunjwa jino yaliendelea mawe yao kumjia kama mvua, hata mwisho wake likamjia jiwe likampondea pondea kofia yake ya chuma aliyokuwa kaivaa, na vyuma viwili vya hiyo kofia vikamzama shavuni, damu ikamzidi kumtoka Mtume hata akafanya kizunguzungu na kuanguka chini taabani, Masahaba wale wakajikaza wakamtaka Mtume aondoke ende pamoja nao kwenye pango la jabali wapumzike. Mtume akataka kujiinua, lakini asiweze. Sahaba Talha akambeba akampandisha kwenye hilo pango, akapumzika hapo kidogo baada ya kupumzika kidogo aliinuka Sahaba Abu Ubeyda akamchomoa Mtume hiyo misumari miwili iliyokuwa imezama mashavuni.

Alipokuwa pangoni Mtume SAW alitokea Bibi Fatma, Bibi Aysha na Mabibi wengine wa Kisahaba ambao walisikia kuwa Mtume kauawa, lakini walipofika walimkuta Mtume yuhai wakafurahi sana, bibi Fatma akaunguza vipande vya majamvi akapata jivu akambandika nalo Mtume katika majaraha yake ya usoni.

I k i w a M a k u r e s h i w a m e j i k u s a n y a t a y a r i kuondoka, mara ikasikia sauti ya Abu Sufyan inanadi inasema; “Muhammad yu hai au amekufa? Muhammad yu hai au amekufa?” Mtume akawambia Masahaba zake wasimjibu. Mara ikanadi tena ikasema; “Abubakr yu hai au amekufa? Abubakr yu hai au amekufa? Pakawa jii vilevile pasipatikane jawabu. Ikanadi mara ya tatu sauti ikasema; Umar yu hai au amekufa? Umar yu hai au amekufa?” Ilivyokuwa jii vilevile, Abu Sufyan akasema; “Wallahi hawa wote wamekwisha kufa.” Sayyidna Umar hakustahamili kusikia haya, alinyanyua sauti akajibu “Wote hao unaowataja wahai, wapo tayari kukutana nawe na majeshi yako kila wakati.” Abu Sufyan akasema; “Katukuka leo Mungu mkubwa wetu Huball, katukuka Mungu mkubwa Hubal l , v i ta ni mapokezano siku ya hawa na siku ya wale na siku hii yetu ya leo ni kwa ile siku yenu ya Badr. Enyi Waislamu, mtaona katika maiti wenu watu waliokatwakatwa vipande vipande. Mimi sikuamrisha watu wangu kufanya hayo wala s ikuwakataza, wala hayakuni furah i sha hayo wala hayakunichukiza. Sasa tunakupeni habari ya kuwa tunakutakeni tena mwaka wa pili mwezi wa Shaaban katika mtaa wa Badr.” Mtume akamwamrisha Sayyidna Umar amjibu; “Tayari, tutakutana hapo.” Tena akainuka Hind mke wa Abu Sufyan akaimba nyimbo zake akiwa yupo juu ya jabali, baada ya hayo yote kisha Abu Sufyan akaamrisha watu wake washike njia wende zao Makka baada ya kuwazika maiti wao 23.

B a a d a y a M a k u r e s h i kwenda zao Mtume SAW na Masahaba zake walishuka kwenda kutazama maiti wao mashahidi. Wakaona kuwa watu 74 wamekufa Mashahidi walikuwa wamekatwa vipande v ipande, mikono mbal i ,

miguu mbali, vichwa mbali, na viungo vingine, katika walikuwa wamekatwa vibaya sana al ikuwa Hamza bin Abdul Muttalib baba yake mdogo Mtume SAW na shujaa mkubwa anayepigiwa mfano na Waislamu wote.

Mtume alihuzunika sana kwa kumwona baba yake mdogo huyu katika hali hiyo akaapa akasema; “Insha Allah na miye nikiwashinda Makureshi mara ya pili nitawakata watu 70 kwa baba yangu mdogo mmoja huyu.” Pale pale ikashuka Suratul Nahl.

“Na mkilipiza, basi lipizeni sawa na vile mlivyo adhibiwa. Na ikiwa mtasubiri, basi hakika hivyo ni bora zaidi kwa wanao subiri.” (Suratul Nahl 16:126)

“Na subiri. Na kusubiri kwako kusiwe ila kwa sababu ya Mwenyezi Mungu tu. Wala usiwahuzunikie;wala usiwe katika dhiki kwa hila wanazo zifanya.” (Suratul Nahl 16: 127)

“Hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na wenye kumcha, na watendao mema.” (Suratul Nahl 16:128).

Baada ya hapo Mtume SAW akawamrisha Masahaba zake warudi Madina nao wakarudi na kulala kwa usiku mmoja tu wakiwa na majeraha makali na walipoamka akawamrisha wale walopambana jana yake watoke tena kuelekea vitani. Masahaba wakatii amri na wakatoka wakiwa wapo taabani na majeraha makali mwilini mwao wakafika sehemu nje ya Madina kwa masafa ya kilomita 4 na kuwataka waweke kambi na kuwasha moto mkubwa. Akapita Maabad Al Khuzai akashuhudia hali hio, akenda kuwapa taarifa Makureshi ambao walikuwa wanasheherekea ushindi na kufanya mpango wakwenda k u w a m a l i z a Wa i s l a m u huko Madina. Abu Sufyan akamuu l i z a Maabad na kumdadisi Maabad kutaka kujua nguvu waliokuwa nayo Waislamu, alipofahamishwa moto uliowashwa na kujuwa kuwa ulikuwa ni unaonekana kwa masafa marefu, hio ilimaanisha kuwa Waislamu walikuwa ni wengi. Kutokana na hayo, Makureshi wakaona ni sawa kungojea mwaka unaofwata na hakuna haja ya kwenda kuwavamia tena.

Vita hivi vina mafunzo makubwa na nimevielezea kwa mukhtasar kuonyesha kuwa ni moja kati ya matokeo yaliotokea katika mwezi wa Shawal. (Inaendelea wiki ijayo Inshaallah).

Page 17: ANNUUR 1187.pdf

17 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

MAKALA

Tusikimbilie kuingia katika jahazi inayozama baharini

Inatoka Uk. 13Ilikuja kugundulika kuwa aliandaliwa muhalifu mmoja Youssef Hmimssa akapewa ‘Dili’ kuwa atoe ushahidi wa uwongo kuwa vijana hao walipanga kufanya shambulio hilo ili aachiwe h u r u . ( Ta z a m a : N e w York Times revisits 'Detroit Sleeper Cell' terrorism case in retrospective video.)

Kutokana na jinsi tukio hilo l i l ivyoifedhehesha serikali, Idara ya FBI na Mahakama, mamlaka husika zilibidi kufunika kombe m wa n a h a r a mu a p i t e , kwa kuibua hoja kuwa watamchunguza na ikibidi kumshitaki mwendesha m a s h i t a k a R i c h a r d Conve r t i no, n a wo te waliohusika na kesi hii kwa kuleta ushahidi wa kuzua na kuipotezea muda na fedha mahakama na idara zingine. (Tazama: Detroit 'Sleeper Cell' Prosecutor Faces Probe-By Peter Slevin, Washington Post, Sunday, November 20, 2005)

Akizungumzia uamuzi wake wa kufuta hukumu yake ya awali, aliyekuwa msaidizi wa Mwanasheria wa Marekani (assistant U.S. Attorney), Keith Corbett, alisema kuwa kilichojitokeza katika kesi hiyo ni kuwa y a l i kuwa y ak i t a fu twa maboya “boogeyman”, ya kuwabambika ugaidi. Kwa upande wake Jaji Gerald E. Rosen aliishutumu serikali, polisi na FBI kwa kuunda vitu vya kuzua kuidanganya mahakama akisema kuwa huko ni kutenda kinyume cha katiba na ubaya ulioje kwa se r ika l i kuwa ya mwanzo kutenda kinyume na katiba na sheria za nchi!

Akizungumzia kesi hiyo, mwandishi Ron Hansen (The Detroit News) akasema kuwa, tukio zima lilikuwa usanii mtupu. Ziliandaliwa kanda na picha za video ionekane kana kwamba ni mipango ya kigaidi, lakini yalikuwa mambo ya kuzua tu. Naye Mwanasheria William Swor aliyekuwa akiwatetea watuhumiwa akasisitiza akisema kuwa zilizodaiwa kuwa ramani za vituo vya kijeshi na uwanja wa ndege na namna u t a k av yo s h a m b u l i wa , ilikuwa urongo mtupu.

Ni kutokana na matukio kama haya, ambayo kwa Marekani sasa yamekuwa mengi, na kutokana na tafiti za wasomi wa vyuo vikuu

juu ya matukio yanayodaiwa kuwa ni mashambulizi ya kigaidi, Profesa David Cole ambaye ni Profesa wa Sheria katika Chuo Kikuu cha Georgetown anasema katika matukio yote hayo, hakuna la kweli hata moja. Yote ya kupandikiza.

M w a n d i s h i n a mwanahistoria, mwandishi wa kitabu, “9/11 Synthetic Terror Made in USA”, yeye anasema kuwa kinachoitwa ugaidi hivi leo ni mbinu ya kisiasa ya kudhibiti watu kama walivyofanya Wakoloni wa Kiingereza walivyokuwa w a k i t a w a l a K e n y a . Anasema, ili kukabiliana na Mau Mau, Kamanda Brigedia Generali Sir Frank Kitson, aliunda magenge ya mauwaj i na uga id i ambayo yalikuwa yakiuwa watu halafu hudaiwa kuwa ni Mau Mau wamefanya. Anasema, ukitaka kujua mbinu hiyo soma kitabu “Law Intensity Operations-Subversion Insurgency & Peace keeping” alichoandika Frank mwenyewe.

Kwa hiyo, unaposikia Al-Qaida, Al Shabaab wa kweli, basi yapo na magenge aliyoita Pseudo- Gangs, Pseudo- Al Shabaab, Pseudo- Boko

Brigedia Generali Sir Frank Kitson.

Haram, Pseudo- Al Qaida na Pseudo- IS, ambao wa t a k u wa wa n a f a n y a mauwaji na uharamia wa kila aina na kusingiziwa watu wengine. Na kwa sasa hivi Webster G. Tarpley anasema, magenge yote

haya ya uwongo (pseudo), y a m e e l e ke z wa k a t i k a kuwabamiza Waislamu na Waarabu. Kwa hiyo, kwa vile ni ‘pseudo’, we kadiri utakavyosema unapambana n a o k u w a d h i b i t i a u k u wa m a l i z a , u t a b a k i

tu unaumiza watu wako ambao kwa kule Marekani wamepewa jina la “FBI Dupes”. Kwa maana watu wanaoghilibiwa na kutumiwa bila kujijua au kwa ujinga. Wale ‘Pseudo’, wenyewe kamwe hawakamatwi . Hata kama wakikamatwa, wataingia polisi au gerezani mlango wa mbele na kutokea mlango wa nyuma.

Katika kuelezea zaidi na kutoa tahadhari juu ya haya makundi ya ‘Pseudo-Al Shabaab’, Pseodo-Al Qaida’ na wengine, inaelezwa kuwa wanaweza wakapenyezwa watu wa nje wakapewa vibali vya kuishi na hawa wakawa ndio wafadhi l i , watoa mafunzo na waendesha makundi haya bandia. Na ni katika nukta hii, pengine ni muhimu nchi zetu hizi zikawa makini kuhakikisha kuwa mis i tu yake ipo sa lama. Kule Niger ia , wanazungumzia msitu wa Sambisa ul ivyotumika. Sasa tusidhanie hayo ni ya Nigeria tu.

Ipo tahadhar i moja ambayo imetolewa na jeshi la Polisi. Kwamba viongozi wa Misikiti wachukue tahadhari misikiti yao isiwe vituo vya kufanyia mazoezi au kuweka silaha. Pengine Waislamu wanaweza kujiuliza, kwa nini Waislamu? Au hata wakaja na hoja kuwa yapo makanisa ambapo waumini wake wanafanya mazoezi ya karate lakini, hawapewi tahadhari hii.

U k i ch u k u l i a k a t i k a mtizamo chanya, tahadhari hii ya Polisi ni sahihi kwa sababu moja kuu: Matukio yote yaliyodaiwa kuwa ya kigaidi , yamehusishwa na Misikiti na Waislamu. Hakuna kanisa. Na katika yale matukio ya kupandikizwa, inaonyesha kuwa watu wanafuatwa Misikitini na kutoswa kwa hoja kuwa wanakwenda kupigana Jihad, iwe ni Somalia, Syria au kwingineko. Kwa namna hiyo, wakijitokeza vijana wakajifua na kujitangaza kuwa wao ni wana-Jihad, tayar i ishakuwa balaa . Watapachikwa ugaidi.

Labda sasa tumalize kwa kujiuliza, kwanini haya yote ya usanii wa ugaidi? Sawa, “War on Terror is a fraud”, ni mzaha, lakini kwanini? Ili iwe nini?

H i v i m a j u z i R a i s Mohammed Buhari wa

Profesa Noam Chomsky. Inaendelea Uk. 19

Page 18: ANNUUR 1187.pdf

18 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

MAKALA

TAREHE 17/07/2015 siku ya Alhamisi, k a t i k a k i p i n d i

cha Ramadhan Kareem kilichorushwa na kituo cha Televishen ya Channel Ten na kinachoendeshwa na Sheikh Muhammad Idd (Abuu Idd), iliwekwa mada iliyosomeka Muandamo M m o j a D u n i a n i Haiwezekani – 2.

Katika mada hiyo, wageni waalikwa alikuwa Sheikh Alhad Mussa Salum ambaye ni Shekhe wa BAKWATA Mkoa wa Dar es Salaam na Sheikh Khamisi Mataka. Lengo la Makala h i i s i kujadili munaqasha uliokuwa ukiendelea, bali nitachukua m a e l e z o m a c h a c h e yaliyosemwa na Sheikh Alhad kuhusu nani asikilizwe rasmi na Serikali katika kutangaza mwezi.

I t a k u m b u k w a k u w a katika kumi la kati kama si la Mwisho, katika kipindi hicho hicho na mwendeshaji huyo huyo, alialikwa Sheikh Sheral, katika kuzungumzia mwezi wa Kimataifa. Kwa namna mjadala ulivyokuwa ukiendeshwa na maswali ya mwendeshaji, imetafsiriwa kuwa Sheikh Sherali alikuwa anafanyiwa mchezo kama si kejeli kwa aliyoyasema na yale yaliyotokea katika kipindi hiki cha ‘vigogo wa BAKWATA’. Kama nilivyosema hapo awali kuwa lengo si kuingia katika mwezi wa Kimataifa au Kitaifa, bali ni kuwatahadharisha Waislamu wa nchi hii juu ya Kauli angamizi aliyoisema Sheikh Alhad.

Ninaiita ni kauli angamizi k w a k u w a n i n a a m i n i kama kweli ikitekelezwa, i t a t u r u d i s h a n y u m a . Tukumbuke kile kilichotokea mwaka 1968, mwaka ambao baada ya Waislamu wachache na wenye tamaa ya madaraka kutumiwa na serikali kuivunja taasisi iliyokuwa na mafanikio ya kidini, kielimu, kiuchumi na huduma za kijamii, East Africa Muslim Welfare Society (EAMWS). Ilitumika rungu la dola kupiga marufuku taasisi hiyo.

Ture j ee ka t ika mada yetu, katika kipindi hicho cha Ramadhan Kareem, M w e n d e s h a j i S h e i k h Muhammad Idd aliuliza swali kisha akamtaka Sheikh Alhadi ajibu. Alitaka kujua ni kwa nini chombo kimoja cha habari hapa nchini ambacho alikitaja kwa jina, namna kilivyosajiliwa

Kauli ya Sheikh Alhad haikustahikiNa Abuu Sumayyah

Makimumashekhe mbalimbali katika mikusanyiko ya mashindano ya kuhifadhi Qur’an na kudai kuwa ni ishara nzuri. Ni sahihi, lakini kipimo alichotumia sicho. Ametumia mita kupima nyama ya g’ombe buchani! Ule ni mkusanyiko, hata mpita njia asiye alikwa anakuwepo. Hata CCM, CUF na Chadema wakikutana katika tukio la kijamii, hupeana furaha na bashasha, lakini kila mmoja akiwa katika jukwaa lake ni mpate umpatae!

Kwa hiyo, kwa kauli kama hizi za kuwaendesha Waislamu Kidekteta, hazikubaliki hata k idogo. Wais lamu wana muongozo sahaihi usio na mashaka. Je, imeshindikana mwafaka hadi kukimbilia serikalini? Ifikie hatua sasa Waislamu wasiburuzwe kwa manufaa ya kuj ipachika madaraka ya usemaji.

Aliwahi kusema Mh Zitto Zuberi Kabwe bungeni , ilikuwa tarehe 6 Mei,2013 kwamba “…sta t e/do l a ihakikishe inajiondoa kwenye shughuli za uendeshaji wa mambo ya kidini. Ijiondoe kabisa. Kwa mfano kuna lawama ya muda mrefu sana ya Waislamu kuhusu BAKWATA. Waislamu miaka mingi toka mwaka 1969 wakati serikali imeunda BAKWATA wana l a l am ika . Leo h i i serikali ikitaka kuzungumza na Waislamu inafanya nini? Inaenda kuwaita BAKWATA. H awa n a l e g i t i m a c y y a Waislamu. Hamtaweza ku-adress masuala ya Waislamu. Lakini ni rahisi sana kuweza kuongea na CCT kwa sababu CCT ni chombo ambacho kina uhuru wake. Kwa hiyo Serikali ijiondoe kwenye uendeshaji wa shughuli za kidini. Hapa ndipo tutakapoweza kuhakikisha kwamba tunakuwa na nchi moja nchi ambayo ina Amani”

Mwisho kabisa kumbukeni maneno ya Mtume S.A.W na yazingatieni:

A b u - D h a r r i ( r . a ) amesimulia kuwa alimuomba Mtume (s.a.w) amchague kuwa Gavana wa nchi Fulani. Mtume (s.a.w) kusikia ombi hili alitingisha bega lake na akasema: “Ee Abu Dharri! Wewe ni dhaifu na madaraka haya ni amana. Siku ya Qiyama hili litakuwa ndio chanzo cha aibu na fedheha. Lakini watasalimika wale watakao chukua madaraka hayo (kazi hiyo) na wakayaendesha kama inavyostahiki (Muslim).

Ta m b u e n i m m e j i p a uchunga, mtaulizwa kwa hao mliowachunga mliwaongoza kwa mwongozo upi?

(Mwandi sh i wa makala anapatikana kupitia [email protected])

SHEIKH wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa

na mamlaka husika TCRA imekuwa ni tofauti na namna k inavyofanya . Kimej ipa jukumu lingine la kutangaza mwez i , j ee n iny i kama BAKWATA kwa taasisi hizi huwa zinapopitia kwenu mnazipa jukumu hilo? Na nini kifanyike i l i kiache ‘kuwapotosha’ Waislamu maana kina walisha Waislamu mchana wa Ramadhan i jambo ambalo ni haram. Sijui unasemaje SheIkh?

Katika kulitolea majibu swali hilo, Sheikh Alhad alikanusha jambo hilo, kisha akasema Serikali haina tatizo bali wao (BAKWATA) ndio wana tatizo, na tatizo lao ni kwamba hawajawaambia Serikali kwamba sasa jukumu hil i la kutangaza mwezi hapa nchini lipo chini ya BA K WATA s i Ta a s i s i nyingine.

“Mimi niseme tu kwamba, hili halipo. Kwa sababu lau lingekuwepo, wajua tuna vyombo vingi sana, maana kwanini vyombo vingine havifanyi kazi hiyo mpaka Baraza (BAKWATA) tu liseme, ila vyombo hivyo tu viwili au kimoja ndio vinafanya kinyume na Baraza (BAKWATA). Lakini kuna redio nyingi na Tv nyingi zinaheshimu taratibu, kwamba hapa kuna chombo kikuu cha Waislamu kinasemaje? Wanaheshimu. Lakini mimi niseme, tufike mahala hili jambo liishe. Na mimi hapa naona kwamba Serikali haina tatizo, tatizo tunalo sisi BAKWATA. Kwa sababu serikali haiambiwi katika sura hii ambayo tunaizungumza sisi. Hatujasema kuiambia serikali juu ya kadhia hii. Ha tu j a sema . Kwa h i yo tukiendelea kulalamika tu kwenye vyombo, wanatusikilza na mwakani watatusikiliza, lakini kuna hatua gani sasa sisi kama Baraza (BAKWATA) tumeamua, tunaandika kwa mamlaka husika juu ya moja…mbili…tatu..Kwa hiyo tatizo lipo kwetu sisi wenyewe hatujaamua kufanya. Kwa hiyo ifike mahala sasa tufanye.”

Katika uchambuzi wa maelezo hayo, ni kwamba sasa ifike mahala serikali i a m b i w e k u w a w e n y e mamlaka ya kutangaza mwezi ni BAKWATA na Serikali iunge mkono hilo, na TCRA iwakumbushe wenye chombo husika kuwa ninyi hilo jukumu mlilojipa la kutangaza mwezi si lenu. Ninyi ni chombo cha habari. Katika kutetea msimamo huo, mwendeshaji wa kipindi Sheikh Muhammad Idd, yeye a l isema kama wakiachiwa hawa kuendelea

na tabia yao hii, litazuka kundi lingine, litatangaza sisi tunataka mapumziko, lingine litapita na kutangaza kesho si Idd. Hali ya Amani haitakuwa nzuri na serikali itaingia katika lawama ya kuviacha hivi vikundi kujipa ‘umufti’ na ‘ukadhi’. Kwa hiyo ni bora vifungiwe kazi hiyo mapema.

Naam, h i yo n i kau l i inayotoka katika kinywa cha mtendaji mwenye sauti ndani ya BAKWATA, na Sheikh Mkuu wa Mkoa. Kama nilivyosema, kumbukumbu haijafutika, ilitumika njia hii hii kuizima nguvu ya EAMWS. Sasa inataka kujirudia. Nini itakuwa hatma ya ummah wa Kiislamu Tanzania?

Hata hivyo, baada ya maelezo hayo, mwendesha kipindi al itoa fursa kwa wa t a z ama j i kuchang i a . Kwa mtazamo wangu, haki ha ikutendeka hasa kwa Watazamaji ambao walitaka kumkosoa Alhad kwa kauli hiyo. Lakini simu zao zilikatwa, kwa wale ambao walitoa pongezi kwa kuuzindua u m m a h k u e p u k a n a n a ‘upotevu’ wao walipewa fursa ya kujimwaga. Walijitokeza wachangiaji wawili kutoka Rwanda na Burundi, wakiuliza wao katika nchi zao Mamufti wao wamewatangazia Eidul- Fitr ni Ijumaa yaani tarehe 17/7/2015. Na katika Channel ya NBS ya Uganda, Mufti wa nchi hiyo ametangaza siku hiyo hiyo. Sasa inakuwaje Tanzania kunakuwa na mkanganyiko wakati ni majirani? Swali hilo lilijibiwa kwa swali kwamba unatakiwa umuulize Mufti wako, yeye mwezi ameuona wapi? Subahhanallah!! Kwa hiyo mtu wa kule mpakani Kagera, Kasulu Kigoma yeye afanyeje? Mpaka wa Uganda/Burundi umemzuia! Mwezi haujaonekana katika ardhi ya Tanzania!

N i r u d i k a t i k a k a u l i angamizi ya Alhadi. Hoja ya msingi s i kukimbil ia Serikalini, bali ni kuitatua kwa maridhiano baina ya pande mbili zinazotofautiana katika kadhia hii. Ukikimbilia serikalini unazidisha tatizo kwa sababu hili ni suala la kiimani na ibada.

U k i j i p a m a m l a k a y a kuwa wewe ndiye msemaji wa Waislamu wakati huna ridhaa na Waislamu wengi hapa nchini, unatwanga maji ndani ya kinu! Watu hawaikatai BAKWATA kwa ushabiki, wana hoja zao za msingi.

Na pengine niwashauri Masheikh zangu, dunia sasa hivi ni kijiji na elimu na tekinolojia imeenda mbali sana. Wakija na fat’wa zile zile za kutumia ‘kibaba cha Iraq’ katika zama hizi za kilogram na kilometa, watapata tabu sana. Leo unaweza kuambiwa mwezi utapatwa mwaka kesho tarehe fulani na eneo fulani ndio kutakuwa na kiza, na inakuwa hivyo hivyo. Na hiyo yote ni kutokana na neema ya elimu Allah aliyowafunulia waja wake. Sasa leo Muislamu akiona katika TV taarifa za uhakika kuwa mwezi umeonekana Burundi, Sudan na Uganda, kwa nini akusubiri wewe Sheikh wa Bakwata asifunge au kuswali! Hakuna pointi yoyote katika dunia hii ambapo watu wanatofautiana kwa kwa siu nzima kwa maana ya masaa 24. Kwa hiyo mtakachotofautiana ni muda wa kuanza na kumaliza siku. Hoja ya msingi, iwe kuthibiti kuandama mwezi, sio Mufti wako au Bakwata wanasemaje.

Hapo awali Kaimu Mufti wa BAKWATA She ikh Abubaka r B in Zube i r , amekaririwa na vyombo vya habari akiahidi kuwaunganisha Waislamu wote kuwa kitu kimoja. Amepima umoja wa Waislamu kwa kuwakutanisha

Page 19: ANNUUR 1187.pdf

19 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

HABARI

Inatoka Uk. 17

Tusikimbilie kuingia katika jahazi inayozama baharini

Nigeria alikuwa Marekani. White House ikamsifu sana kuwa ana mipango madhubuti ya kupambana na magaidi wa Boko Haram na hivyo kuahidiwa kuwa atapata misaada kutoka Washington ili kufanikisha mikakati hiyo. Lakini hata Rais aliyeondoka Goodluck Jonathan alikuwa akipewa misaada pia. Lakini haikusaidia kitu.

Kwa hiyo la kufahamu hapo ni kuwa kinachokusudiwa sio kupewa misaada kumaliza tatizo. Agenda ni nyingine kabisa. Akizungumzia agenda hiyo, Joe Biggs ambaye alikuwa mwana jesh i a l i yep ig ana Afghanistan na Iraq anasema kuwa yote hayo yanayosemwa ya kupambana na ugaidi ni uwongo, bali ugaidi unapaliliwa kwa manufaa ya raslimali na kudhibiti watu na mataifa mengine. Naye Aaron Russo (mtengeza j i wa F i l amu: America: Freedom to Fascism) anasema, kinachotakiwa ni kuwatia watu utumwani. Wawe watumishi wa kinachoitwa ‘ Wo r l d G o v e r n m e n t ” ambayo ndiyo kiini cha hiki kinachoitwa utandawazi. Ndio kile alichosema Profesa Noam Chomsky, “World Hegemony” (America's Quest for Global Dominance.)

Kupitia ugaidi, unawatisha watu. Watu wal iowekwa katika hali ya kitisho, rahisi kuwadhibiti na kuwakokota kokote unakotaka na vyovyote utakavyo. Kupitia, ugaidi inapatikana fursa na kisingizio cha kusambaza majeshi na vituo vya kijeshi katika nchi mbalimbali. Ukisharuhusu pol i s i wako, makachero wako na jeshi la nchi liwe linasimamiwa na wanaodaiwa kuwa wataalamu kutoka nchi za mabeberru, ndio umekamatwa. Hupo huru tena. Wewe ni wa kufuata maagizo tu.

Aaron Russo anaongeza k u s e m a k u w a k a t i k a kukamilisha huu mkakati wa kusimika “World Government” ambayo itakuwa na “Total Control” juu ya watu ulimwenguni kote, zaidi ya kusambaza makucha ya kijeshi, watadhibiti pia pesa. Huuzi wala kununua bila ya kibali chao. Na mwanzo wake ndio huu kuundiwa zinazoitwa sheria za kudhibiti pesa zisije zikatumika kufadhili ugaidi.

Wa n a j u a w a o n d i o wanaofadhili hizo ‘Pseudo-gangs’, lakini ili wadhibiti kila kitu, watakuja na kisingizio kuwa kuna watu wanafadhili ugaidi na sisi tunapelekeshwa tunaamini hivyo bila kujua kuwa tunapelekwa kwenye “total control”.

Kama Webster Tarpley, naye Russo anasisitiza juu ya watu kuwa makini na hizi pseudo-

gangs. Hawa wanaweza kuwa watu mnaoletewa mkawapa viza za kuishi au wakapitishwa kienyeji, wakawekewa mikakati ya kulindwa wakafanya kazi ya kuwaundia Boko Haram na makundi kama hayo. Hao wakishafanya kazi yao vizuri, mtabaki mnatesa na kuuwa watu wenu, lakini ‘magaidi’ wataendelea kudunda na kutamba wakichukua ushuru wa roho za watu wasio na hatia kila baada ya muda ili kuendeleza kitisho. Na hiyo ni ili msije mkaona mmefika maha l i hamuhi ta j i t ena ulinzi wa ‘jamaa’ kuwalinda (kuwadhibiti).

Kwa hiyo, kile alichosema Waziri Joseph Ole Nkaisery akiona kuwa ni mafanikio huku akishukuru, ndio hasa k inachotak iwa . Kup i t i a pseudo-Al Shabaab, Kenya imetishika, ‘busara’ imetumika wamepatiwa ATPU, mazoezi ya pamoja ya ki jeshi na ku le tewa wataa lamu wa kikachero na jeshi. Njia tu ya kupita kufanikisha Global Dominance

PICHA juu na chini, Kamanda Kova akionyesha fedha na silaha alizodai wamekamatwa nazo watuhumiwa wa tukio la Sitakishari.

Page 20: ANNUUR 1187.pdf

20 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 201520 MAKALA AN-NUUR

20

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Tanzania Muslim Hajj Trust, uandikishaji unaendelea, gharama za Hijja ni US Dollar 4400, tarehe za Safari ni: 11 na 13 Septemba, kurudi 7 Oktoba, 2015.

Wahi kujiandikisha sasaKwa mawasiliano:+255 2221815770786 3838200713 764636

Safari ya Hijja Hijiria 1436

+255 222 1823700754 261910; 0717 0000650784 272723website-www.hajjtrust.or.tz

E-mail:[email protected] 1436, IJUMAA JULAI 24-30, 2015

RAIS Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Amani Abeid Kar ume ameyataka mataifa ya Afrika kuwatumia viongozi wa dini wenye wafuasi wengi katika kutatua migogoro katika nchi zao.

Karume amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa Kimataifa wa siku mbili juu ya kukuza amani na maendeleo endelevu unaofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort nje kidogo ya mji wa Zanzibar na kuhuduriwa na Viongozi kadhaa wastaafu Barani Afrika wakiwemo pia wafanyabiashara maarufu.

“Wananchi wengi huwa wanawasiki l iza viongozi wao wa kidini, kwa hivyo panapotokea migogoro, viongozi wa dini wana nafasi nzuri ya kutatua migogoro na kusaidia kuondosha matatizo katika nchi zetu, hasa kwa kuzingatia wale viongozi ambao wana wafuasi wengi bila ya shaka wanapowaeleza wafuasi wao kutoshiriki katika vurugu, nchi zinaweza kuwa na Amani kwa kuwatumia wao”, alisema Karume.

A m e s e m a , i w a p o makundi hayo yatatumika vyema, yanaweza kupunguza migogoro na kuonya kuwa hatua hiyo haipaswi kuchelewa kusubiri hadi migogoro hiyo iwe ya kitaifa na kuachiwa ikishapea ndio itafutiwe ufumbuzi.

Mwenyekiti huyo alisema Mataifa ya Bara la Afrika b a d o y a n a wa j i b u wa kuendelea kushirikiana katika kukabiliana na changamoto zinazowakabili wananchi wake hasa wakimbizi.

Karume alisema ushirikiano huo uende sambamba na ushirikishwaji wa makundi ya Kidini yanayoonekana kuwa na nguvu katika Jamii jambo ambalo yakitumika vyema yanaweza kuwaongoza wafuasi wake kujiepusha na vishawishi vinavyozaa migogoro ya kisiasa na kikabila.

Aliwaambia wajumbe wa mkutano huo wa Amani na Maendeleo endelevu alishauri kuundwa kwa kamati za mitaa zitakazosaidia kutoa miongozo mizuri kwa ajili ya kukabiliana mapema na changamoto zitakazoibuka kwenye maeneo

Viongozi wa dini muhimu kudumisha amani ya nchi

Asema Rais Mstaafu Amani KarumeWana wafuasi wengi, wanasikilizwa

Salma Alghaithiyyah, Zanzibar

yanayowazunguuka. Akielezea chanzo kikuu

cha migogoro katika nchi za Afrika Dk Karume alisema matatizo mengi yanayotokea ndani ya nchi hususan za Afrika ni kutokana na kuwania madaraka, uongozi mbovu na usiozingatia haki uadilifu na uwazi.

Aidha Karume alizipongeza taasisi zilizofanikisha mkutano huo, ikiwemo Global Peace Foundation, Jumuiya ya Afrika Mshariki (EAC), EGARD, S e r i k a l i y a M a p i n d u z i ya Zanzibar pamoja na ZAYEDESA kwa kufanikiwa kufanya mkutano huo na kuwakutanisha watu kutoka mataifa mbali mbali kukaa pamoja na kujadiliana masuala muhimu ya nchi.

Akisoma hutuba ya Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein, ambaye hakuwepo nchini, Makamo wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi alisema wakati umefika sasa kwa Dunia kujikita zaidi katika

kukabiliana na migogoro isiyokwisha kwenye baadhi ya Mataifa inayozaa makundi ya wakimbizi kutokana na vita vinavyosababishwa na ukabila na mfumo mbaya wa siasa.

Al isema, ta t izo h i lo huzalisha wanawake wajane na watoto yatima na kuwafanya kukosa haki zao za msingi za kibinaadamu katika kuishi maisha ya salama na furaha ndani ya nchi zao.

D r . S h e i n a m b a e Hotuba yake ilisomwa kwa niaba yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Dunia imekuwa ikishuhudia ongezeko kubwa la akina Mama na Watoto walemavu wasio na hatia hasa katika Bara la Afrika wanaoendelea kuteseka kwenye kambi za wakimbizi kutokana na Nchi zao kukosa utulivu wa Kisiasa uliosababishwa na mapigano yasiyokwisha.

Alisema mfumko huu wa wakimbizi usipotafutiwa

m b i nu z a k u d h i b i t i wa mapema kwa kuandaliwa mazungumzo ya kusaka suluhu kati ya makundi yanayohitilafiana kutatua matatizo yanayojitokeza, upo uwezekano mkubwa wa kuzalisha utitiri wa umasikini kwenye mataifa yaliyokumbwa na vita.

Rais wa Zanzibar alizitolea mfano Nchi zilizokumbwa na vita vya muda mrefu za Sudan, Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Burundi na Somalia ambazo Wananch i wao waliokimbia vita hivi sasa wengi kati yao wanaishi vilema pamoja na kukumbwa na umaskini uliopindukia mpaka.

“Migogoro hii ya kivita na Kikabila isiyokwisha hivi sasa tayari imeshazalisha upweke kwa baadhi ya familia, umaskini, ulemavu na kubwa zaidi watoto wa wakimbizi hao kukosa haki yao ya msingi ya kupatiwa Taaluma “. Alisema Dr. Shein.

Dk Shein aliipongeza

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),Taasisi ya Global Peace Foundation (GPF), Zayedesa, Cloud Media pamoja na IGAD kwa ubunifu wao wa kuandaa Mkutano huo wa Kimataifa na kupendekeza kufanyika Zanzibar uliolenga kutafuta mbinu za kuleta suluhu Kutokana na mizozo ya Kis iasa na Kikab i l a inayoendelea katika baadhi ya Mataifa ya Afrika.

Alisema kitendo cha Taasisi hizo kuamua Mkutano wao wa kukuza amani na Maendeleo endelevu kuufanyia Visiwani hapa umeipatia heshima kubwa Zanzibar katika ramani ya Dunia na kutoa matumini kwamba mkutano huo utatoa mwanga kwa viongozi wa Mataifa ya Bara la Afrika.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashar ik i Dk. R ichard Zezibera alisema Zanzibar itaendelea kuheshimika kama kituo cha Taaluma katika masuala ya kukabiliana na migogoro ya kisiasa na kikabila Duniani.

Dk. Richard al isema Jamii ya Kimataifa ilikuwa ikishuhudia jinsi Visiwa vya Zanzibar vilivyokuwa kiungo muhimu cha mawasiliano na kuwa kituo kikuu cha Biashara katika Karne ya 18 ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki.

Katibu Mkuu huyo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki alizipongeza Taasisi za Global Peace Foundation, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na IGAD kwa juhudi zao zilizopelekea kufanikisha maandalizi ya Mkutano huo wa Kimataifa wa Amani na Maendeleo Endelevu.

Wakitoa Salamu zao kwenye Mkutano huo baadhi ya Viongozi wastaafu wa Mataifa ya Afrika walisema b a d o N c h i z a A f r i k a zinapaswa kutatua matatizo yao wenyewe kwa kwenyewe kwa kutumia v ikao vya usuluhishi watakavyoviunda.

Viongozi hao wastaafu wakiongozwa na Rais Mstaafu wa Zambia Bwana Rupiah Banda walisema kwamba wakati umefika kwa Wananchi wa Mataifa ya Bara hi l i kutambua kwamba chanzo cha umasikini uliokithiri ka t i ka baadh i ya Nch i hizo ni migogoro ya vita inayosababishwa na siasa chafu na kuendeza na ukabila.

RAIS mstaafu Amani Karume akiwa na Maalim Seif katika moja ya hafla za kidini Zanzibar.