39
ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy 1 www.firqatunnajia.com ar-Radd al-Jawaab Mwandishi: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy Kimefupishwa na kufasiriwa na: Firqatunnajia.com

ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

  • Upload
    dinhbao

  • View
    334

  • Download
    9

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

1

www.firqatunnajia.com

ar-Radd al-Jawaab

Mwandishi:

´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy

Kimefupishwa na kufasiriwa na:

Firqatunnajia.com

Page 2: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

2

www.firqatunnajia.com

Barua Ya Ibn Jibriyn Kwa Ahmad an-Najmiy ........................................................................................ 3

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 1 ............................................................................................. 5

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 2 ............................................................................................. 7

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 3 ........................................................................................... 12

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 4 ........................................................................................... 14

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 5 ........................................................................................... 20

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 6 ........................................................................................... 22

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 7 ........................................................................................... 25

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 8 ........................................................................................... 26

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 9 ........................................................................................... 29

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 10 ......................................................................................... 31

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 11 ......................................................................................... 33

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 12 ......................................................................................... 35

´Allaamah al-Fawzaan kuhusu kitabu ambacho Ibn Jibriyn alikuwa hataki kichapishwe ........... 38

Page 3: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

3

www.firqatunnajia.com

Barua Ya Ibn Jibriyn Kwa Ahmad an-Najmiy

[Baada ya salaam za kidugu na utangulizi...

Nimepata kitabu chako "al-Mawrid al-´Adhb az-Zulaal intuqida ´alaa ba´dhw-il-

Manaahij ad-Da´wiyyah min al-´Aqaa´id wal-A´maal". Nilifurahishwa na kichwa

cha khabari hichi chenye kuvutia ambacho kilinifanya kutaka kusoma kitabu

chote. Mwanzoni nilifikiri kuwa ni maudhui yenye faida kuhusiana na

kulingania katika Tawhiyd na mifumo ya Da´wah.

Nilipofika kwenye mlango wa tisa, nilikutana na kitu ambacho sikukitarajia

kutoka kwa mtu kama wewe. Inahusiana na kumsema vibaya Hasan al-Bannaa.

Unamshambulia na kufasiri maneno yake kimakosa.

Miaka kumi iliyopita nilipata khabari kuhusu mtu huyu kutoka kwa wanachuoni

waheshimiwa kama Shaykh ´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy, Shaykh ´Abdur-Rahmaan

ad-Dawsaariy, Shaykh ´Abdullaah bin Humayd, Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin Baaz

na watu mfano wao. Walichunguza kisa chake na kumpa udhuru kwa makosa

aliyotumbukiaemo. Walikuta maneno yake yanaashiria kuwa alikuwa ni mtu

mwenye Ikhlaasw na mpwekeshaji. Allaah Amenufaisha watu kwa ulinganizi

wake na Amewaongoza watu wengi kupitia kwake. Nyakati zote anasifiwa

katika vikao na vitabu vyake vinasomwa.

Lakini tokea miaka saba ya nyuma ndugu wengi wamemshambulia na

kumpokonya haki yake. Haieleweki kabisa. Kuna vitabu vinavyojulikana

ambavyo ni vibaya zaidi kuliko vitabu vyake. Kuna walinganizi, walio hai maiti,

waliopinda zaidi kuliko yeye.

Page 4: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

4

www.firqatunnajia.com

Hivyo basi, mimi ninakunasihi, ee Shaykh, kuchunga ulimi wako na

kumzungumza vibaya mtu huyu ambaye Allaah Amewanufaisha na

Kuwaongoza wengi kupitia yeye. Usichapishe kitabu hiki ambacho kitakuja

kukupa tetesi mbaya na kukufanya kusema vibaya heshima ya ndugu yako

Muislamu.

Nasikitika siwezi kukutumia nuskha [uliyonitumia] kwa sababu nimeiwekea

taaliki ambayo sitaki ije kuonekana. Allaah Akitujaalia kuweza kukutana,

ninatumai majadiliano ya kimdomo.

´Abdulaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Jibriyn

Mwanachama wa Daar-ul-Iftaa´ wad-Da´wah wal-Irshaad.

Page 5: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

5

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 1

[Baada ya salaam za kidugu na utangulizi...

Unasema kwenye barua yako:

"Nimepata kitabu chako "al-Mawrid al-´Adhb az-Zulaal intuqida ´alaa ba´dhw-il-

Manaahij ad-Da´wiyyah min al-´Aqaa´id wal-A´maal". Nilifurahishwa na kichwa

cha khabari hichi chenye kuvutia ambacho kilinifanya kutaka kusoma kitabu

chote. Mwanzoni nilifikiri kuwa ni maudhui yenye faida kuhusiana na

kulingania katika Tawhiyd na mifumo ya Da´wah.

Nilipofika kwenye mlango wa tisa, nilikutana na kitu ambacho sikukitarajia

kutoka kwa mtu kama wewe. Inahusiana na kumsema vibaya Hasan al-Bannaa.

Unamshambulia na kufasiri maneno yake kimakosa."

Nilisikitika pindi niliposoma barua yako na vipi inaweza kutoka kwa mtu kama

wewe ulie na elimu na nafasi kama ulonayo.

Lau ungeliendelea kusoma na kuona kama nimesema haki au batili. Ikiwa ni

haki, basi nitakuwa nimetekeleza kutokana na kauli ya Mtume (Swalla Allaahu

´alayhi wa sallam):

"Mnusuru ndugu yako sawa akiwa ni mwenye kudhulumu au mwenye

kudhulumiwa." Kukasemwa: "Tunajua anavyonusuriwa mwenye kudhulumiwa,

vipi ananusuriwa ikiwa ni mwenye kudhulumu?" Akasema: "Mzuie na

dhulumu yake."

Na ikiwa nimesema batili, basi utanisaidia kwa kunionyesha haki kwa dalili na

hoja. Niko tayari kupokea hilo kutoka kwako. Nitakushukuru kwa hilo na

kukuombea du´aa kwa kuwa utakuwa umeniokoa kutokana na dhambi na

dhuluma ambayo nitakuwa nimetumbukiamo. Hata hivyo nina sharti. Ninataka

Page 6: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

6

www.firqatunnajia.com

uje na ukosoaji uliofafanulia ulio na hoja na dalili za wazi kabisa zenye

kubainisha kosa langu.

Ama kufika tu kwenye mlango wa tisa kisha unaacha kusoma na kunishambulia

tu pasina dalili yoyote, hili ni jambo ambalo sikukubalii. Sintoafikiana na wewe

kabisa.

Page 7: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

7

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 2

Unasema:

"Nilifurahishwa na kichwa cha khabari hichi chenye kuvutia ambacho kilinifanya

kutaka kusoma kitabu chote. Mwanzoni nilifikiri kuwa ni maudhui yenye faida

kuhusiana na kulingania katika Tawhiyd na mifumo ya Da´wah.

Nilipofika kwenye mlango wa tisa, nilikutana na kitu ambacho sikukitarajia

kutoka kwa mtu kama wewe. Inahusiana na kumsema vibaya Hasan al-Bannaa."

1- Allaah Anajua fika ya kwamba sikusudii kuvunja heshima ya yeyote, si Hasan

al-Bannaa wala mtu mwingine. Ninajua kuwa haki zitachukuliwa siku ya

Qiyaamah kwa matendo mema na mabaya.

2- Unajua kuwa kutaja kasoro za mtu inajuzu ikiwa kuna faida ya kufanya hivo.

Ni miongoni mwa usengenyaji unaojuzu. Dalili ya hilo ni maneno ya Mtume

(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwambia Faatwimah bint Qays wakati

alipokuja na kumuomba ushauri (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wa kuolewa

na nani. Akamwambia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

"Ama Mu´aawiyah ni mtu taabani hana mali. Ama Abu Jahm ni mtu anawapiga

wanawake. Olewa na Usaamah bin Zayd."

3- Unajua kuwa Muhaddithuun wamezungumzia juu ya wapokezi kwenye

minyororo kwa njia yenye kupelekea mapokezi yao kurudishwa au

kudhoofishwa. Wamesema fulani ni mwongo, mzushi, hifdhi dhaifu, anakosea

sana, mghafilikaji na kadhalika. Wamefanya hivo kwa nasaha kwa ajili ya Allaah,

Mtume Wake, waislamu na kuilinda Sunnah ya Mtume wa Allaah (Swalla

Allaahu ´alayhi wa sallam) ili kusiingizwe ndani yake yasiyokuwemo.

4- Wewe mwenyewe umesema kwenye kitabu chako "Akhbaar-ul-Aahaad" (uk.

30):

Page 8: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

8

www.firqatunnajia.com

"Inatakiwa kuchunguza hali za wapokezi na kutafiti nafasi zao katika Hadiyth na

upeo wao. Wanachuoni wamezungumza juu yao kwa ajili ya kutoa nasaha kwa

Ummah kwa vile wamejivisha jukumu la kufikisha sehemu ya dini ilio na

hukumu. Wamekhusisha aina hii [kuwa inajuzu] kwa makatazo ya kijumla ya

kusengenya kutokana na faida inayopatikana kwa Ummah."

Hili ni sahihi kabisa.

5- Jifikirie ni kitu gani kilichonifanya mimi kumraddi mtu huyu ambaye amekufa

pindi nilipokuwa mtoto. Hakumwaga damu yangu. Hakuvunja heshima yangu.

Hakuchukua mali yangu. Ni kitu gani kimechonifanya mimi kutahadharisha juu

yake ilihali hakunifanya lolote? Ikiwa nimemsema vibaya bila ya yeye kunifanya

chochote na bila ya maslahi ya kidini yanayopatikana, basi mimi nimemdhulumu

na Allaah Atachukua haki yangu na kumpa yeye.

6- Leo tumewekwa katika mtihani na mifumo mbali mbali ya ki-Da´wah.

Imetoka nje ya nchi yetu. Inachukulia usahali wa shirki kubwa. Wanachukulia

usahali wa Tawhiyd na Bid´ah. Miongoni mwa mifumo hiyo muhimu na ilioenea

sana kwa kueneza ufisadi na uharibifu mkubwa ni mfumo wa al-Ikhwaan al-

Muslimuun. Wanasafisha akili za vijana wanaolelewa humo. Wanawafanya

kuwa watu wa mapinduzi, Takfiyriyyuun, maigaidi na Khawaarij. Kuna dalili

nyingi juu ya hilo. Katika dalili zilizo muhimu zaidi ni kukubali kwa wahalifu

waliolipua ´Ulayyaa ar-Riyaadh kama ´Abdul-´Aziyz al-Mu´thim na marafiki

zake. Hili ndio limelonifanya kuandika juu yake na chama chake kabla ya

kutokea ulipuaji huu.

7- Umeandika:

"Nilipofika kwenye mlango wa tisa, nilikutana na kitu ambacho sikukitarajia

kutoka kwa mtu kama wewe. Inahusiana na kumsema vibaya Hasan al-Bannaa.

Unamshambulia na kufasiri maneno yake kimakosa."

Page 9: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

9

www.firqatunnajia.com

a) Lau ungelisoma kitabu chote kwa inswafu, basi ungelijua kuwa nilichofanya ni

mimi kubainisha tu jinsi mfumo huu na muasisi wake anavotumbukia kwenye

makosa yanayoenda kinyume na Shari´ah ya Kiislamu na ´Aqiydah ya Salaf.

Yeye ndiye ambaye amesema, na kaka yake amekubali na kujifakharisha kwa

hilo na ni jambo limeenea katika vitabu vya mapote:

"Ee Allaah! Sema na uache uwepo na yale yaliyomo. Ikiwa umeelewa, basi

utaona kuwa hakuna aliyepo isipokuwa Allaah, si maalum wala jumla."1

Ikiwa wewe unaonelea kuwa nimeyafasiri maneno yake kimakosa, ninakuomba

unifasirie wewe maneno yake haya kwa njia inayokubalika Kishari´ah na kiakili

pasina kuingia kwenye Wahdat-ul-Wujuud.

b) Vilevile yeye ndiye alikuwa akiimba:

"Ee Allaah, swalia nuru (yaani Mtume) Ulioifanya kuja kwa walimwengu na

inayoangazia kwa jua na mwezi. Mpenzi huyu (yaani Mtume) amehudhuria

pamoja na wapenzi wake na amemsamehe kila mmoja kwa yaliyopitika."

Nifasirie matamshi haya kwa njia ambayo haina shirki kubwa pindi anaposema:

"Mpenzi huyu (yaani Mtume) amehudhuria pamoja na wapenzi wake na

amemsamehe kila mmoja kwa yaliyopitika."?

Unaweza kunifasiria matamshi haya kwa njia isiyokuwa ya kumzulia uongo

Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na uongo wa Suufiyyah pindi

wanaposema kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anahudhuria

sherehe zao za uzushi wakati wanaposherehekea kuzaliwa kwa Mtume

[Maulidi]?

1 Hasan al-Bannaa bi Aqlaam Talaamiydhih wa Mu´aaswiriyh,uk 70-71.

Page 10: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

10

www.firqatunnajia.com

c) Unaweza kunifasiria kumsifu kwake al-Marghaniy ambaye alikuwa

anajulikana kwa Wahdat-ul-Wujuud kwa tafsiri anayoiridhia Allaah, Mtume

Wake na waumini pasina kuridhia Wahdat-ul-Wujuud na kuwasifu wenye nayo?

d) Unaweza kunifasiria maneno yake "Kati yetu sisi na mayahudi hakuna uadui

wa kidini" kwa tafsiri anayoiridhia Allaah, Mtume Wake na waumini isiyokuwa

ya kupakana mafuta na mayahudi na manaswara na kumsemea uongo Allaah,

Mtume Wake na Uislamu?

e) Unaweza kunifasiria muhadhara wake kwenye kaburi la Zaynab katika

mnasaba wa kusherehekea mwaka mpya wa Kiislamu bila ya kutaja shirki na

kukataza hilo pamoja na kwamba anaona jinsi watu wanavolizunguka kaburi na

kuliomba kitu ambacho hakiombwi isipokuwa kutoka kwa Allaah Pekee?

Nifasirie muhadhara huo kwa tafsiri anayoiridhia Allaah, Mtume Wake na

waumini pasina kuridhia shirki kubwa na kujijuzishia na mfumo wake?

f) Unaweza kunifasiria kwenda kwake kwenye kaburi la ad-Dasuuqiy na Sanjar

kwa umbali wa kilomita 40 kwenda na kurudi kwa tafsiri anayoiridhia Allaah,

Mtume Wake na waumini bila ya matembezi ya kishirki au ya kizushi?

g) Unaweza kunifasiria njama zake za kufanya Ahl-us-Sunnah na Raafidhwah

wakaribiane kwa tafsiri anayoiridhia Allaah, Mtume Wake na waumini pasina

ujinga wa Bid´ah na upotevu wa Raafidhwah, au kuchukulia usahali upotevu

wao, na kwa hivyo kuitoa fidia ´Aqiydah ya Kiislamu kwa ajili ya kuwaridhisha

Raafidhwah?

h) Unaweza kunifasiria kujigonga kwake anaposema kuwa Da´wah yake ni

Salafiyyah, njia yake ni ya ki-Sunnah na uhakika wake ni Suufiyyah? Je, ni jambo

linalowezekana Suufiyyah ikawa pamoja na Salafiyyah na Suufiyyah na Sunnah?

Ni kama mfano wa kukutanisha moto na maji!

Page 11: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

11

www.firqatunnajia.com

i) Unaweza kunifasiria nguzo kumi ambazo utiifu wake na usikivu [bay´ah]

umejengwa juu yake kwa tafsiri anayoiridhia Allaah, Mtume Wake na waumini

pasina kuleta Da´wah ilio na Shari´ah mpya?

j) Unaweza kunifasiria maneno yake anaposema kuwa madhehebu ya Salaf wote

katika Sifa ni Tafwiydh kwa tafsiri anayoiridhia Allaah, Mtume Wake na

waumini bila ya ujinga juu ya madhehebu ya Salaf katika Sifa, au kuwasemea

uongo, kwa vile tunajua kuwa Salaf wanaamini maana pasina kujua namna

yake?

Ukinifasiria maneno haya kwa tafsiri isiyopingana na Shari´ah na lugha,

ninastahiki maneno yako pale ulipoandika kuwa nimefasiri maneno yake

kimakosa. Ukishindwa kufanya hivo, itabainika kuwa umenizulia uongo.

Utambue kuwa sintokuomba haki yangu isipokuwa mbele ya Allaah siku ya

Qiyaamah. Hata hivyo nataka tumuweke Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah

bin Baaz, Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aal ash-Shaykh, Shaykh Swaalih

bin Fawzaan al-Fawzaan, Shaykh ´Abdullaah al-Ghudayyaan na Shaykh Swaalih

al-Atram kati yako wewe na mimi ili wasome mlango wa tisa kuanzia mwanzo

wake mpaka mwisho. Wakiona kuwa nimefasiri maneno ya al-Bannaa kimakosa,

basi wanihukumu. Na wakiona kuwa mtu ambaye amesema hivo ndio

amenidhulumu na kunisemea uongo, basi wamhukumu.

Page 12: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

12

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 3

Umeandika kwenye barua yako:

"Nilipofika kwenye mlango wa tisa, nilikutana na kitu ambacho sikukitarajia

kutoka kwa mtu kama wewe."

Je, waonelea kuwa nimemuasi Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi

wa sallam) na kwenda kinyume na Shari´ah ya Kiislamu pindi nilipobainisha

haki? Si Allaah ndiye alichukua ahadi kutoka kwa watu wa Kitabu ya kubainisha

haki na wasiifiche. Si ahadi hiyo hiyo iliyochukuliwa kwetu? Si Mtume (Swalla

Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye aliomba kutoka kwa Maswahabah zake (Swalla

Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati walipokuwa wanataka kumpa kiapo cha

usikivu na utiifu katika Hadiyth ambayo imepokelewa na ´Ubadah bin as-

Swaamit:

"... na tuzungumze haki popote tulipo pasina kuchelea lawama za mwenye

kulaumu."?

Allaah (´Azza wa Jalla) hakuwalaani wale wanaoficha haki wakati (Jalla wa

´Alaa) Aliposema:

عنون و ي لع ن هم الل ه ي لع ن هم أول ئك الكت اب ف للن اس ب ي ن اه م ا ب عد من و الد ى الب ين ات من أ نز لن ا م ا ي كتمون ال ذين إن الل

"Hakika wale wanaoficha yale Tuliyoyateremsha katika hoja bayana na uongofu baada ya kuwa Tumeyabainisha kwa watu katika Kitabu, hao Anawalaani Allaah na wanalaaniwa na kila mwenye kulaani."2

2 02:159

Page 13: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

13

www.firqatunnajia.com

Si jambo la wajibu kwa wanachuoni kuwaraddi wale wenye kwenda kinyume na

Shari´ah na hukumu zake? Wakighafilika nalo, basi wameghafilikia wajibu

uliofaradhishwa. Baadhi wakifanya hivo, haiwawajibikii wengine. Hata hivyo

wanatakiwa kumuombea du´aa kwa kubainisha haki na kumshukuru baada ya

kumshukuru Allaah badala ya kumtuhumu na kumjengea dhana mbaya.

Salaf siwalijisalimisha na jambo hili? Je, hawakutekeleza wajibu huu? Waliandika

vitabu visivyohesabika kuwaraddi Ahl-ul-Bid´ah tokea wakati wa Taabi´uun

mpaka hii leo na bado wanafanya hivo.

Ee Shaykh! Hukuandika vitabu viwili ukiwaraddi Ahl-ul-Bid´ah? Kitabu

"Khabaar-ul-Aahaad" ambapo umewaraddi Mu´tazilah na wale wenye

kuwafuata na kitabu "al-Faaiq fiy ar-Radd ´alaa man baddal al-Haqaaiq".

Ninaapa kwa Allaah ya kwamba ninampenda mtu anayeitetea dini na kumraddi

yule anayeingiza ndani kisichokuwemo.

Pamoja na hivyo sijui ni kwa nini baadhi ya Mashaykh - Allaah Awaongoze -

wanapinda katika haki na kumkemea yule mwenye kutekeleza wajibu huu na

kumzingatia kuwa ni mchokozi na mwenye kudhulumu. Lau mtu angelisema

kitu cha ubinafsi juu yao, basi dunia nzima ingelisimama. Lakini wakati ambapo

dini inatumiwa vibaya, haina neno! Je, namna hii ndivyo tumevoshikamana

kiuadilifu na dini? Namna hii ndivyo tunavotekeleza wajibu wake? Au hii ni njia

ya kuikandamiza dini na kupuuzia haki zake na kuacha mafundisho yake

yakapotea hewani? Hili ni khaswa pale ambapo itakuwa inahusiana na misingi

ya dini, kanuni zake na misingi yake inatumiwa vibaya na besi ya Tawhiyd

inayovunjwa na shirki kubwa na Sunnah inayovunjwa na Bid´ah na haki

inayovunjwa na batili. Unaonelea tunyamazie mambo kama hayo? Ninaapa kwa

Allaah hatuwezi. Mmoja wenu ni lazima afanye faradhi hii. Mwenye kufanya

hilo analipwa ujira na thawabu nyingi na Allaah.

Page 14: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

14

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 4

Umeandika kwenye barua yako:

"Miaka kumi iliyopita nilipata khabari kuhusu mtu huyu kutoka kwa

wanachuoni waheshimiwa kama Shaykh ´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy, Shaykh

´Abdur-Rahmaan ad-Dawsaariy, Shaykh ´Abdullaah bin Humayd, Shaykh

´Abdul-´Aziyz bin Baaz na watu mfano wao. Walichunguza kisa chake... "

Mosi ni kuwa uliwauliza Mashaykh hawa kabla ya kujua hali yake.

Pili pengine ilikuwa hivo pale ambapo mtu alikuwa tu na uelewa wa kijumla juu

ya ulinganizi wake. Ni kitu ambacho watu wengi wamedanganyika nacho

mpaka hii leo. Hawajui mfumo huu vizuri kwa vile walikuwa hawajausoma.

Tatu walikuwa kimya kwa sababu walikuwa hawajui makosa yake. Katika hali

hii mtu anatakiwa kunyamaza.

Nne makosa mengi ya mfumo wake yamejitokeza na yule aliyehifadhi ni hoja juu

ya yule ambaye hakuhifadhi. Hii ni kanuni inayojulikana kwa Muhaddithuun na

ni wajibu kuitendea kazi katika hali kama hii.

Tano Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz bado yuhai. Ni jambo

lisilokuwa na shaka anajua waliyomo. Aliulizwa swali lifuatalo:

"al-Ikhwaan al-Muslimuun wameingia Saudi Arabia tangu muda kidogo.

Wamekuwa ni wenye bidii kati ya wanafunzi. Unasemaje juu ya harakati hizi na

ni kiasi gani imeafikiana na mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah?"

Akajibu:

"al-Ikhwaan al-Muslimuun wamekosolewa na wanachuoni wakubwa kwa kuwa

hawatilii umuhimu kulingania katika Tawhiyd na kukemea shirki na Bid´ah.

Wana njia maalum ambazo nafasi zake zinafanya kutolingania kwa Allaah na

Page 15: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

15

www.firqatunnajia.com

´Aqiydah sahihi walio nayo Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. al-Ikhwaan al-

Muslimuun wanatakiwa kutilia umuhimu wa kulingania kwa mujibu wa

ulinganizi wa Salafiyyah na kulingania kwa Allaah na kukataza kuabudu

makaburi, kuwategemea maiti, kuwataka msaada maiti kama al-Husayan, al-

Badawiy au wengine. Hili ndio linalotakikana kufikisha."3

Mpendwa ndugu Muislamu! Umesikia alivojibu Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin Baaz?

Ni kwa nini husemi aliyosema kuhusu ulinganizi wa al-Ikhwaan al-Muslimuun

na yale yanayoenda kinyume na mfumo wa Salaf?

Kuhusiana na Mashaykh wengine uliyowataja mbali na Shaykh ´Abdul-´Aziyz,

basi wamedanganyika kama wewe ikiwa kama ni kweli wametaja athari zake

nzuri. Lakini yanayodhihiri kwenye maneno yako ni kwamba wewe ni mwenye

kukinaika juu ya kwamba alikuwa na athari nzuri. Ndio maana nina maswali

kadhaa ya kukuuliza ambayo nilikuwa nataka unijibu kwa ukweli:

1- Je, ni katika athari zake nzuri kunyamazia kwake shirki ambayo ilikuwa

inafanywa na watu kwenye makaburi Misri pasina kukataza hilo?

2- Je, ni katika athari zake nzuri kuasisi kwake chama ambacho amekiacha baada

yake kikafarikanisha Ummah?

3- Je, ni katika athari zake nzuri kuita katika ukhaliyfah badala ya Tawhiyd

iliyolinganiwa na Mitume?

4- Je, ni katika athari zake nzuri kuwafanya watu wakawachukia watawala na

wanachuoni kuzipindua nchi zilizoko sasa ili, kama wanavodai, waanzishe

khilaafah?

3 al-Majallah/ash-Shaykh Ibn Baaz: Lastu muta´asswiban…

Page 16: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

16

www.firqatunnajia.com

5- Je, ni katika athari zake nzuri kupekua kasoro za watawala na wanachuoni,

jambo ambalo linafanywa na wafuasi wake, na kudai ya kwamba hawastahiki

kuwa na uongozi na kwamba wanachuoni ni wenye kuwapaka tu mafuta?

6- Je, ni katika athari zake nzuri kuwadanganya watu na kuwaacha wakalingania

katika Uislamu ilihali ni wajinga?

7- Je, ni katika athari zake nzuri kujiwajibishia yeye mwenyewe kiapo cha utiifu

na usikivu na kuwaacha watawala?

8- Je, ni katika athari zake nzuri kuhamasisha Shiy´ah na Ahl-us-Sunnah kuwa na

ukaribu? Hii ina maana ya kila kundi liache baadhi ya I´tiqaad zake ili kati yao

wawe na ukaribu.

9- Je, ni katika athari zake nzuri kudai kwake ya kwamba Salaf walikuwa

hawajui ni nini maana ya Sifa za Allaah?

10- Je, ni katika athari zake nzuri kusema kuwa hakuna uadui wowote wa kidini

kati yetu sisi na mayahudi? Hii ina maana ya kwamba mayahudi ni ndugu zetu.

11- Je, ni katika athari zake nzuri kusema kwamba twashirikiana kwa yale

tunayoafikiana na kupeana udhuru kati yetu kwa yale tunayotofautiana? Hii ina

maana ya kuacha kuamrisha mema na kukataza maovu ambako Allaah

Amewasifu kwa ajili yake waumini na kuwatapa kwalo:

ي ر كنتم عروف ت مرون للن اس أخرج ت أم ة خ بلل ه و ت ؤمنون المنك ر ع ن و ت ن ه ون بلم

"Mmekuwa Ummah bora kabisa uliotolewa [mfano] kwa watu: mnaamrisha mema na mnakataza maovu na mnamwamini Allaah."4

4 03:110

Page 17: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

17

www.firqatunnajia.com

12- Je, ni katika athari zake nzuri kukusanya I´tiqaad zote kama Ahl-us-Sunnah,

Shiy´ah, Suufiyyah, Jahmiyyah, Mu´tazilah na kadhalika na kudai ya kwamba

wote ni ndugu kwa sababu wote wanashuhudia ya kwamba hapana mola

mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni

Mtume wa Allaah hata kama watakuwa wanavunja Shahaadah hii?

13- Je, ni katika athari zake nzuri kuhuisha Bid´ah kama ya Maulidi na mfano

wake?

14- Je, ni katika athari zake nzuri kusema kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi

wa sallam) anahudhuria sherehe zao na kuwabariki na kuwasamehe madhambi

yao?

15- Je, ni katika athari zake nzuri alivokuwa amekolea katika Suufiyyah,

kuipenda na kuwaunga kwake mkono?

16- Je, ni katika athari zake nzuri kuukomeka Uislamu kwenye nukta ishirini na

kufanya hayo ni Shari´ah kwa wafuasi wake?

17- Je, ni katika athari zake nzuri kufanya bay´ah kuwa na masharti kumi

yanayokosa msingi katika Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume Wake (Swalla

Allaahu ´alayhi wa sallam)?

18- Je, ni katika athari zake nzuri pindi alipofanya utiifu kuwa ni moja katika

sharti na kusema:

"Ninachokusudia kwa utiifu ni kujisalimisha na maamrisho na kuyatekeleza

kwa khiyari katika kipindi kizito na chepesi. Hilo ni kwa sababu ngazi za

Da´wah hii ni tatu... Ngazi ya pili ni ya malezi. Hapa ndipo kulipo muundo wa

Da´wah kutokana na Suufiyyah iliosafi inapokuja katika kiroho na kijeshi

inapokuja katika kuitendea kazi."?5 5 Majmuu´-ur-Rasaa-il/at-Ta´aaliym, uk. 268.

Page 18: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

18

www.firqatunnajia.com

Pamoja na kwamba ni wajibu kumsikiliza na kumtii mtawala pale

kunapotimizwa masharti mawili:

1. Kitendo kiwe kinajuzu. Hakuna utiifu katika kumuasi Allaah.

2. Mja awe anaweza kitendo hicho.

19- Je, ni katika athari zake nzuri kuhudhuria kaburi la Zaynab katika mnasaba

wa mwaka mpya wa Kiislamu bila ya kutaja shirki hata moja iliyopo hapo? Bali

uhakika wa mambo ni kwamba alikuwa akiwaamrisha wahudhuriaji kujisafisha

wao wenyewe na nafsi zao kutokamana na chuki na nia mbaya.

20- Je, ni katika athari zake nzuri kuwaacha manaswara wa Misri kuingia katika

shirika lake na kuinusuru Da´wah yake? Kuna yeyote katika wanaolingania

katika dini ya Allaah alofanya kitu kama hicho?

21- Je, ni katika athari zake nzuri kufanya sherehe kwa ajili ya Muhammad

´Uthmaan al-Marghaniy ambaye alikuwa anajulikana kuamini Wahdat-ul-

Wujuud? Amemsifu na kusema kwenye sherehe hiyo:

"Sisi, al-Ikhwaan, tuna mapenzi masafi na heshima kubwa kwa kiongozi

Marghaniyyah."

22- Je, ni katika athari zake nzuri kwenda katika sherehe ya usiku tarehe moja

Rabiy´-ul-Awwaal na kubaki huko mpaka tarehe kumi na mbili na kuimba kwa

nyimbo zilizo na shirki kubwa:

"Ee Allaah, swalia nuru (yaani Mtume) Ulioifanya kuja kwa walimwengu na

inayoangazia kwa jua na mwezi. Mpenzi huyu (yaani Mtume) amehudhuria

pamoja na wapenzi wake na amemsamehe kila mmoja kwa yaliyopitika."

23- Je, ni katika athari zake nzuri kutembea kwake masaa matatu kwenda na

kurudi kutembelea makaburi ya waonaji kutoka Hassaafiyyah na Shaadhiliyyah?

Page 19: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

19

www.firqatunnajia.com

Endapo kuna ambaye atasema kuwa matembezi yake yalikuwa ya Sunnah, hivyo

nitasema kuwa haijuzu kusafiri kuyaendea makaburi.

24- Je, ni katika athari zake nzuri kuimba nyimbo zilizo na Wahdat-ul-Wujuud

wazi wazi:

"Ee Allaah! Sema na uache uwepo na yale yaliyomo. Ikiwa umeelewa, basi

utaona kuwa hakuna aliyepo isipokuwa Allaah, si maalum wala jumla."?

25- Je, ni katika athari zake nzuri kuonelea kuwa kutawassul kupitia jaha ya watu

wema, ambayo ndio moja ya sababu kubwa ya shirki, ni jambo dogo tu ambalo

halitakiwi kutiliwa umuhimu kiasi hicho?

Ee Shaykh! Ninakuuliza kama mambo haya yanaafikiana na dini au hapana?

Heshima ya Hasan al-Bannaa ina umuhimu mkubwa wa kulindwa kuliko dini?

Mtu mwenye kuwabainishia watu haki na kutetea ´Aqiydah anazingatiwa kuwa

ni mkoseaji na alofanya jarima? Anastahiki kukatazwa na kulaumiwa na

kutoshauriwa kuchapisha kitabu?

Page 20: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

20

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 5

Umeandika kwenye barua yako:

"Walichunguza kisa chake na kumpa udhuru kwa makosa aliyotumbukiaemo."

1- Ni makosa yepi anayotakiwa kupewa udhuru? Si ni makosa madogo madogo

yanayotokamana na Ijtihaad? Je, makosa ya al-Bannaa ni mdogo ili aweze

kupewa udhuru? Je, al-Bannaa alikuwa ni Mujtahid mwenye haki juu ya hilo? Ni

wanachuoni wepi alisoma elimu ya Kishari´ah kwao?

2- Wanachuoni wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wamekubaliana juu ya kwamba

hakuna kupewa udhuru katika makosa ya ki-´Aqiydah. Vitabu visivyoweza

kuheasabika ambavyo ambavyo vimewaraddi watu wa Bid´ah, kuanzia wakati

wa Taabi´uun mpaka hii leo, vinatolea ushahidi juu ya hilo.

3- Mashaykh uliyowataja ni katika Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Lau wangelijua

kuwa al-Bannaa alikosea katika mambo ya kimsingi na ´Aqiydah, basi

wasingelimpa udhuru.

4- Kusema ya kwamba walimpa udhuru haya ni madai yako tu. Kama una

linalothibitisha hilo, basi onyesha. Hili unaweza kulikwepa kwa [kuleta] wale

ambao wameshafariki. Ama Shaykh ´Abdul-´Aziyz, yupo na unajulikana

msimamo wake juu ya watu hawa. Yeye ndio kiongozi na kiigizo chetu. Tunajua

kuwa anaraddi kila kosa analosikia na kulijua pasina kujali linatoka kwa nani.

Anaraddi hata kwa kosa katika mambo madogo madogo. Ameraddi makosa

yasiyohesabika. Ninaweza kumwandikia na kumuuliza kama ni kweli kwamba

fulani anadai kuwa unampa udhuru Hasan al-Bannaa kwenye makosa ya ki-

´Aqiydah.

5- Lau tutachukulia kuwa ni kweli kuna mwanachuoni anayempa udhuru

kwenye makosa yake ya ki-´Aqiydah, basi udhuru wake unazingatiwa kuwa ni

wenye kwenda kinyume na mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.

Page 21: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

21

www.firqatunnajia.com

6- Anayempa udhuru anasema kuwa mtu asimraddi? Ikiwa anaema hivo, basi

amewasaidia watu wa Bid´ah wenye kueneza ufisadi katika ardhi.

Page 22: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

22

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 6

Unasema kwenye barua yako:

"Walikuta maneno yake yanaashiria kuwa alikuwa ni mtu mwenye Ikhlaasw na

mpwekeshaji."

Kusema kuwa alikuwa na Ikhlaasw au hapana hili ni jambo analojijua Allaah peke

yake. Ikhlaasw ni kitendo kilichojificha na hakuna akijuae isipokuwa Allaah

Pekee. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema katika Hadiyth

Swahiyh:

"Hakika ya kila kitendo kinategemea na nia na kila mtu atalipwa kwa kile

alichonuia."

Abu Muusaa amepokea ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)

amesema:

"Yule mwenye kupigana ili neno la Allaah liweze kuwa juu, huyo ndiye

anapigana katika njia ya Allaah."

Ahmad amepokea kupitia Ibn Mas´uud ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla

Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

"Allaah ndiye mwenye kujua zaidi ni nia ipi alokuwa nayo yule mwenye

kuuliwa kati ya safu mbili."

Vilevile umesema:

"... alikuwa mpwekeshaji."

Huu ni ushuhuda na mapendekezo yako ambayo Allaah atakuja kukuuliza juu

yake. Ilikuwa ni wajibu kwako kujifikiria kabla ya kuzungumza namna hiyo.

Hivi kweli umetia mapendekezo haya nafasi inayostahiki? Mimi sielewi kama

wewe hutambui kuwa al-Bannaa alitumbukia kwenye shirki na kwamba alikuwa

Page 23: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

23

www.firqatunnajia.com

na anasa na washirikina na shirki zao na kuwachagua kuwa wanachama katika

mfumo wake. Pamoja na yote hayo alikuwa akisema kwenye sherehe ya mazalio

ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

"Mpenzi huyu (yaani Mtume) amedhuhuria pamoja na wapenzi wake na

amemsamehe kila mmoja kwa yaliyopitika."

Bi maana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anahudhuria sherehe zao

na kuwabariki na kuwasamehe madhambi yao. Ee Shaykh! Hii ni shirki au

hapana? Mtu anayezungumza na kuimba hivi ni mpwekeshaji? Mtu mwenye

kuahidi kiapo cha utiifu na usikivu Hassaafiyyah na Shaadhiliyyah anahesabika

kuwa ni mpwekeshaji? Je, unajua kuwa Suufiyyah ni wapwekeshaji na

wanalingania katika Tawhiyd au ni washirikina na wanalingania katika shirki na

Bid´ah? Unajua kuwa Suufiyyah imejengwa juu ya shirki na imechanganyika na

shirki na Bid´ah? Unajua kuwa Hasan al-Bannaa alikuwa akienda kila Ijumaa

kilomita 20 kwenye makaburi ya waonaji wa Suufiyyah, kama ad-Dasuuqiy na

Sanjar, na kilomita 20 kurudi? Mpwekeshaji hufanya hivo?

Ee Shaykh! Mche Allaah na tambua kuwa umeisononesha Tawhiyd yako na

kuitukana Shahaadah yako kwa kusema kuwa washirikina na watu wa Bid´ah ni

wapwekeshaji. Tubu kwa Allaah na urejee Kwake kabla haijachelewa.

Mtu aliyekuwa akilingania katika Uislamu na akimpwekesha Allaah ilikuwa ni

Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) na wale waliopita

katika njia yake miongoni mwa wanachuoni na viongozi katika wakati wake na

wakati wa Muhammad bin Su´uud mpaka hii leo.

Mtu aliyekuwa akilingania katika Uislamu na akimpwekesha Allaah ilikuwa ni

Shaykh ´Abdullaah bin Muhammad al-Qar´aawiy aliyeeneza Tawhiyd kusini

kwa msaada wa mfalme ´Abdul-´Aziyz.

Page 24: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

24

www.firqatunnajia.com

Ee Shaykh! Ninakuuliza kwa jina la Allaah; lau muulizaji angelikuuliza juu ya

mtu mwenye kwenda kuanzia tarehe moja Rabiy´-ul-Awwaal mpaka tarehe

kumi na mbili na kuimba kwa nyimbo zilizo na yafuatayo:

"Mpenzi huyu (yaani Mtume) amehudhuria pamoja na wapenzi wake na

amemsamehe kila mmoja kwa yaliyopitika."

Ungelimhukumu kwa shirki au Tawhiyd6? Ungelijibu nini?

Vipi ungelijibu lau ungeliulizwa juu ya mtu mwenye kutembea kilomita 20 kwa

wiki ili kutembelea makaburi ya Suufiyyah na kimomita 20 kurudi? Je,

ungelisema kuwa ni Sunniy au ni mtu wa Bid´ah? Je, ungelisema kuwa ni

mpwekeshaji au ni mshirikina7?

Ee Shaykh! Mche Allaah na rejea katika usawa. Tubu kwa Allaah kwani hakika

anaikubali Tawbah. Usiwapoteze watu, na khaswa wanafunzi, kwa kuwatetea

watu wa Bid´ah.

6 Sisemi kuwa Hasan al-Bannaa alikufa akiwa kafiri kwa vile sijui alivokufa. Hata hivyo ninasema kuwa

haijuzu kumsifu kuwa ni Muwahhid - mtu mwenye kumuabudu Allaah Pekee [mpwekeshahi] - wakati

imepothibiti kuwa alitumbukia kwenye yale yaliyopokelewa kutoka kwa wafuasi na wanusuraji wake.

7 Hapa ninahukumu maneno, au kitendo, yanayotoka kwa mtu huyu na ambayo yamethibitishwa kuwa

ni shirki kubwa. Ama kuhusu mtu huyu kwa dhati yake, sionelei kuwa ni kafiri kutokana na shirki yake

kwa vile sijui alikufa kwa hali gani.

Page 25: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

25

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 7

Unasema kwenye barua yako:

"Allaah Amewanufaisha na Kuwaongoza wengi kupitia yeye."

Wamenufaishwa kivipi? Je, ni manufaa kuwa na anasa na shirki kubwa na

kuwanyamazia watu wa Bid´ah na makhurafi?

Je, ni manufaa kutokataza maovu na badala yake kutendea kazi kanuni iliyounda

Hasan al-Bannaa:

"Twashirikiana kwa yale tunayoafikiana na kupeana udhuru kati yetu kwa yale

tunayotofautiana."

Je, ni manufaa kuita katika khilaafah na kuacha kulingania katika Tawhiyd

ambayo ndio njia ya Mitume?

Je, ni manufaa kuita katika mapinduzi ya nchi zilizoko sasa hata kama kutakuwa

nchi za Kiislamu zinazohukumu kwa Shari´ah ya Allaah na kusimamisha adhabu

ya Kiislamu?

Da´wah ya al-Ikhwaan al-Muslimuun imewaharibu vijana na haikuwanufaisha

lolote na kuwafisidi pasina kuwaboresha.

Page 26: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

26

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 8

Unasema kwenye barua yako:

"Nyakati zote anasifiwa katika vikao na vitabu vyake vinasomwa."

Je, hii ni hoja kwa mimi kusifu mfumo wake? Je, hii ni hoja kwa mtu anayemsifu

bila ya kujua makosa makubwa yanayopatikana kwenye mfumo wake? Hii sio

hoja ya kwamba mfumo wake ni sahihi. Wewe mwenyewe unajua ndani ya nafsi

yako kuwa hii sio hoja na kwamba wamemsifu pindi walipokuwa

wamedanganyika na muonekano wa kijumla wa mfumo wake. Wakati walipojua

yalio nayo, wakaukemea kwa haki zote.

Ee Allaah! Hakika wewe unajua kuwa sikusudii kumjeruhi wala kumtukana

yeyote. Ninacholenga tu ni kubainisha haki na kuwatahadharisha vijana juu ya

mifumo ilio na Bid´ah na upotevu. Tunawazindua tu juu ya makosa yaliyo

kwenye mifumo ili wasije kudanganyika nayo na wakajiunga nao na matokeo

yake wakaja kupotea wao na wakawapoteza wengine.

Kuhusiana na kwamba wamempokonya haki yake, sio sahihi kabisa. Wao

wamesema tu yaliyopokelewa kutoka kwake kutoka kwenye vyanzo sahihi,

majina ya vitabu vyake na namba za kurasa. Je, wamempokonya haki yake pindi

waliponukuu maneno hayo ili kuwakinaisha vijana ya kwamba huo ni mfumo

wa kimakosa kwa sababu uko na haki na batili? Wewe mwenyewe utapendelea

kunywa nini lau uko na kinywaji kilichochanganyika na uchafu na kinywaji

kingine ni kisafi na hakina uchafu? Hivyo watakuwa wamempokonya haki yake?

Lengo la kuumbwa mbingu, ardhi na kutumwa Mitume na kuteremshwa vitabu

ni ili kuhakikisha haki na kuivunja batili. Hali kadhalika kuamrisha mema na

kukataza maovu. Ikiwa juu ya ardhi hakuna yeyote mwenye kuamrisha mema na

kukataza maovu, hakika kuna ghadhabu. Kukiwepo ghadhabu, basi adhabu ya

Allaah ndio itashuka. Allaah (Ta´ala) Amesema:

Page 27: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

27

www.firqatunnajia.com

م أ خر جن ا ع ل يهم الق ول و ق ع و إذ ا انوا الن اس أ ن تك لمهم ال رض من د اب ة ل تن ا ك يوقنون ل بي

"Na itakapowaangukia kauli [kwa uwazi wake] Tutawatolea mnyama atembeaye katika ardhi atakayewasemezesha [aseme] kwamba watu walikuwa hawana yakini na alama Zetu."8

Qataadah amesema:

"Itapowaangukia kauli maana yake watapofikwa na ghadhabu."

Ibn ´Umar na Abu Sa´iyd al-Khudriy wamesema:

"Pale ambapo hawatoamrishana mema na kukatazana maovu, basi ghadhabu

itawawajibikia."

´Abdullaah bin Mas´uud amesema:

"Wataangukiwa na kauli kwa kufa kwa wanachuoni, elimu kupotea na Qur-aan

kunyanyuliwa."

Hili linapata kubainisha ya kwamba kuamrisha mema na kukataza maovu ni

kinga dhidi ya kuteremka kwa adhabu na ghadhabu za Allaah (´Azza wa Jalla)

juu ya waja Wake.

Miongoni mwa kuamrisha mema na kukataza maovu ni pamoja na kuraddi

makosa ya ki-´Aqiydah pasina kujali ni ya nani. Je, wataka watu wa Haki

wanyamazie hilo pasina kulibainisha na kulichuja na uchafu na yasiyostahiki?

Hili kamwe - Allaah Akitaka - halitopitika maadamu Hadiyth na haki ina

wanaume wake.

8 27:82

Page 28: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

28

www.firqatunnajia.com

Page 29: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

29

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 9

Umeandika kwenye barua yako:

"Kuna vitabu vinavyojulikana ambavyo ni vibaya zaidi kuliko vitabu vyake.

Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye."

Himdi zote ni za Allaah ambaye amekufanya ukatamka haki pasina wewe

kutambua hilo. Umekubali mwenyewe kuwa kuna shari kwenye vitabu vyake na

upindaji kwenye mfumo wake. Maneno yako yameshabihiana na kujigonga kwa

Ahl-ul-Bid´ah. Hivyo basi, kuwa mwangalifu!

Pili ni wajibu kwa wanachuoni kuwabainishia watu haki kwa kadri na

wawezavyo.

Tatu mfumo huu umetutia kwenye mitihani kwenye majumba yetu. Umeharibu

akili za wana wetu. Wamekuwa tena hawamtambui baba yake, rafiki yake

mwenye kumjali na mwalimu wake mwenye kulea. Hawaamini nasaha za

wanasihiaji wala ukosoaji wa wakosoaji ikiwa mtu si kutoka kwenye kundi lao.

Wanafanana na wale ambao Allaah Amesema juu yao:

دين كم ت بع لم ن إل ت ؤمنوا و ل

“Na wala msimwamini isipokuwa yule anayefuata dini yenu."9

Watu hawa walisema:

"Msimwamini yeyote isipokuwa yule ambaye yuko katika pote lenu."

Hili liliwajibisha matahadharisho juu ya mfumo huu, muasisi wake na matawi

yake kama Suruuriyyah na Qutbiyyah. Hili limewajibisha ukhusishaji huu kwa

9 03:73

Page 30: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

30

www.firqatunnajia.com

vile mfumo huu umeenea katika mji wetu wote na kuharibu akili za vijana wetu.

Imewageuza kuwa wapinduaji Takfiyriyyuun na magaidi. Ndio maana sio ajabu

wanafunzi Salafiyyuun kukataza mfumo huu na kuonyesha makosa yake ili

kuhakikisha haki na kuwanasihi viumbe ili kujikurubisha kwa Allaah (Ta´ala) na

kupigana vita katika njia Yake:

ع م ل أ حس ن م ن أ جر نضيع ل إن الص ال ات و ع ملوا آم نوا ال ذين إن

"Hakika wale walioamini na wakatenda mema, hakika Sisi Hatupotezi ujira wa anayetenda ‘amali nzuri."10

10 18:30

Page 31: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

31

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 10

Unasema kwenye barua yako:

"Kuna vitabu vinavyojulikana ambavyo ni vibaya zaidi kuliko vitabu vyake.

Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye."

Nimeshakubainishia sababu ya yote hayo na kwamba Salafiyyuun

hawakunyamazia batili na himdi zote ni Zake Allaah. Siku zote wameraddi

makundi ya batili kadri na wanavoweza.

Leo ni khaswa Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz ambaye amefanya

hivo. Baada ya hapo ni baraza na Kibaar-ul-´Ulamaa´. Yule mwenye kupitia

kurasa za Fataawaa za Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin Baaz, basi ataona ni Ruduud

ngapi alizowapiga watu wa batili. Hali kadhalika baraza la Kibaar-ul-´Ulamaa´.

Maneno yako "Lakini tokea miaka saba ya nyuma ndugu wengi

wamemshambulia na kumpokonya haki yake. Haieleweki kabisa. Kuna vitabu

vinavyojulikana ambavyo ni vibaya zaidi kuliko vitabu vyake. Kuna walinganizi,

walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye" haina maana hakuwaraddi. Haya

ni maneno yasiyostahiki. Wanachuoni hawahoji namna hii. Hoja zao kwa yale

wanayoyathibitisha na kupinga yale wanayopinga inakuwa kwa Qur-aan na

Sunnah kwa ufahamu wa Salaf.

Ee ndugu mpendwa! Ikiwa unaona kuwa ni mashambulizi kwa Hasan al-Bannaa

na mfumo wake na wafuasi wake mtu akimraddi na wafuasi wake wanaotendea

kazi Suufiyyah na shirki na kuzusha Bid´ah na kuweka katika Shari´ah mambo

ambayo hayakuweka Allaah katika Kitabu Chake wala Mtume Wake (Swalla

Allaahu ´alayhi wa sallam) kwenye Sunnah zake, hatuwezi kukuongoza. Pamoja

na hivyo tunatakiwa kukwombea kwa Allaah (´Azza wa Jalla) akuondoshe

kwenye fikira yako hii ya ajabu na ufahamu wako wenye kubabaisha ambao

umekufanya ukachanganya mambo. Wakati huo huo tunachelea fikira hizi

kukufanya ukaingia ndani ya Aayah:

Page 32: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

32

www.firqatunnajia.com

بيل غ ي ر و ي ت بع الد ى ل ه ت ب ي م ا ب عد من الر سول يش اقق و م ن ن م و نصله ت و ل م ا ن و له المؤمني س م صري ا و س اء ت ج ه

"Na atakayempinga Mtume baada ya kuwa umeshambainikia uongofu na akaifuata njia isiyokuwa ya Waumini, Tutamgeuza alikogeukia na [baada ya hapo] Tutamuingiza [Moto wa] Jahannam - Na uovu ulioje marudio ya mwisho!"11

Utambue kwamba kuwa na mapenzi na kuwatetea watu wa batili sio katika njia

ya waumini sawa ikiwa ni washirikina au watu wa Bid´ah waliotoka katika

Uislamu au ambao hawakutoka. Ninakunasihi, ee ndugu yangu, na kumuomba

Allaah Akurejeshe katika haki na kuinusuru. Tunamuomba Allaah Akupe umaizi

na akuondoshee pazia.

Hii ni nasaha yangu kwako. Ni nasaha vilevile kwa kila mtu Salafiy anayekutakia

kheri na kuchelea juu yako fikira zako hizi za ajabu na ufahamu wenye

kubabaisha.

11 04:115

Page 33: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

33

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 11

Umesema kwenye barua yako:

"Hivyo basi, mimi ninakunasihi, ee Shaykh, kuchunga ulimi wako na

kumzungumza vibaya mtu huyu ambaye Allaah Amenufisha kupitia kwake."

Hii ni nasaha nzuri lau ingeliweka mahala pake stahiki. Ni zawadi yenye

thamani kwa yule anayetaka kuihifadhi dini yake. Lakini unaninasihi nisitoe

nasaha. Je, hii ni nasaha? Hii ni njia ya kurudisha kheri na kukimbiza katika njia

ya Allaah.

Mche Allaah, ee Shaykh ´Abdullaah, na rejea katika haki. Ninaapa kwa Allaah ya

kwamba sina chembe ya shaka kwa niliyofanya. Bali uhakika wa mambo

naonelea kuwa ni wajibu wangu. Ninajua mengi ya kutosha juu ya mtu huyu na

mfumo wake ili inistahikie kuwanasihi wengine na kubainisha ni makosa yepi

yanayopatikana katika mfumo huu. Ninafanya hivo ikiwa ni nasaha kwa

wanafunzi walodanganyika nao na ili kutekeleza haki ya Allaah kutetea Uislamu

na Tawhiyd kama ambavo alivofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).

Ni kipi kilicho na haki zaidi kutetewa? Tawhiyd na ´Aqiydah sahihi, ´Aqiydah ya

Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah, au heshima ya Hasan al-Bannaa. Allaah

Hakuamrisha kuwapiga vita washirikina na makafiri kwa ajili ya ´Aqiydah

sahihi? Allaah (Ta´ala) Amesema:

ن ة ت كون ل ح ت و ق اتلوهم ين و ي كون فت لل ه الد

"Na piganeni nao mpaka kusiweko fitina na Dini iwe kwa ajili ya Allaah Pekee."12

12 02:193

Page 34: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

34

www.firqatunnajia.com

Fitina imefasiriwa kuwa ni shirki. Allaah hakuhalalisha kuchukua uhai wa

makafiri na wanawake na watoto wao kuwafanya watumwa na mali zao

kuzifanya ni ngawira kwa waislamu kwa ajili ya ´Aqiydah?

Je, haki ya mtu imeharamishwa kuvunjwa akifanya shirki kubwa na kukubaliana

na matendo yao na akazusha katika dini Bid´ah na akaweka Shari´ah mambo

yasokuwepo? Imeharamishwa kuvunjwa ikiwa mtu anataka kuwabainshia watu

waliodanganywa na mtu huyu haki na mfumo wake?

Ninaapa kwa Allaah ya kwamba wajibu nilio nao mimi, wewe na wanafunzi

wengine wote, ni kuinusuru dini kutangulizwe juu ya mambo mengine yote

katika ardhi ili kumtii Allaah, kutimiza haki Yake, kuinusuru dini Yake na

kuihifadhi ´Aqiydah ya waislamu.

Page 35: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

35

www.firqatunnajia.com

Ahmad an-Najmiy anamjibu Ibn Jibriyn 12

Unasema kwenye barua yako:

"Usichapishe kitabu hiki ambacho kitakuja kukupa tetesi mbaya na kukufanya

kusema vibaya heshima ya ndugu yako Muislamu."

Mosi ninachukulia kuwa unawazuia watu na njia ya Allaah kwa kufanya hivi.

Ninazingatia kuwa kitabu hiki ni miongoni mwa vitabu vyangu bora kabisa.

Humo nimeinusuru haki na kuitetea Tawhiyd na ´Aqiydah ya Kiislamu. Ninataji

nimefanya hivo hali ya kuwa ni mwenye kumtakasia nia Allaah na nimetekeleza

haki Yake na kuitetea dini Yake. Hata hivyo sisemi kuwa mimi sina mapungufu

na makosa.

Pili ninaonelea kuwa kwa kufanya hivi unaiacha haki na kuwanusuru na

kuwasaidia watu wa batili. Inatosheleza kule tu kutangamana na dini na watu

wake kimakosa. Allaah Amesema juu ya watu hawa:

المسلمي من إن ن و ق ال ص ال ا و ع مل الل ه إل د ع ا م ن ق ول أ حس ن و م ن

"Na nani mwenye kauli nzuri zaidi kuliko yule anayelingania [watu] kwa Allaah na akatenda mema, na akasema: “Hakika mimi ni miongoni mwa Waislamu?"”13

Tatu nimesikia kuwa baadhi ya Hizbiyyuun wananunua vitabu vingi vikubwa

ambavyo vimetahadharisha mfumo wao kisha wanavichoma moto. Kuna tofauti

gani kati ya kuchoma kitabu baada ya kuwa kimeshachapishwa na kunasihi

kisichapishwe?

13 41:33

Page 36: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

36

www.firqatunnajia.com

Nne ninaonelea kuwa unajiingiza kwenye jambo lisilokuhusu ili kuzuia kheri.

Hadiyth tukufu inasema:

"Moja ya sifa nzuri za Muislamu ni kuachana na yale yasiyomuhusu.”

Tano kitabu kitachapishwa na kuenezwa ili kuthibitisha Tawhiyd na kukataza

shirki, kuthibitisha Sunnah na kukataza Bid´ah, kuthibitisha haki na kukataza

batili. Lililo la wajibu kwako badala yake unatakiwa kuharakisha kukichapa ili

kuinusuru Tawhiyd, Sunnah na haki. Pamoja na hivyo umefanya kinyume kabisa

na kuomba kisichapishwe. Kwa hivyo umewanusuru kidhuluma Ahl-ul-Bid´ah

na Hizbiyyah dhidi ya Ahl-ut-Tawhiyd was-Sunnah na wale wenye kuwafuata

Salaf. Mtake Allaah msamaha na utubie Kwake kabla haijachelewa. Hatokufaa

fulani wala fulani. Kitachokufaa ni kusimama kwa haki na kuinusuru na watu

wake.

Kuhusiana na kwamba unachelea kikichapishwa kukaeneza tetesi mbaya juu

yangu, basi utambue kuwa tetesi mbaya inakuwa kwa kuinusuru batili,

kuizungumza au kuitendea kazi. Namshukuru Allaah kuona sikufanya makosa

wala sikuwanusuru watu wa batili mpaka tetesi mbaya iweze kuenea kwa

waumini ambao ndio mashahidi wa Allaah juu ya ardhi. Pamoja na hivyo

nimetenda haki na kuinusuru haki na ninataraji thawabu kutoka kwa Allaah kwa

hilo. Ama kuhusu watu wa batili, sijali watavyoonelea.

Ninamuomba Allaah mtukufu, Mola wa ´Arshi kubwa, Anikinge na shari zao na

Alinde na kampeni zao. Nitachapisha kitabu na kukieneza - Allaah Akitaka na

ninamtegemea Allaah ambaye Yeye ndiye aliye na usimamizi kwa walimwengu

wote.

Swalah na salaam zimwendee Mtume wetu Muhammad, ahli zake na

Maswahabah zake

Ahmad bin Yahyaa Muhammad Shubayr an-Najmiy

Page 37: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

37

www.firqatunnajia.com

Page 38: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

38

www.firqatunnajia.com

´Allaamah al-Fawzaan kuhusu kitabu ambacho Ibn Jibriyn

alikuwa hataki kichapishwe

Kwa muheshimiwa Shaykh na ndugu mtukufu Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy -

Allaah amuhifadhi na ampe mafanikio. Aamiyn.

as-Salaam ´alaykum wa Rahmatullaahi wa Barakaatuh

Ama ba´d:

Nimesoma kitabu chako chenye thamani "al-Mawrid al-´Adhb az-Zulaal" na

kuona kuwa ni chenye thamani na faida. Ni kitabu muhimu sana kwa leo

ambapo kuna makundi na mapote mengi ambayo kwa masikitiko makubwa

yanajinasibisha na Da´wah ya Uislamu. Hata hivyo ni jambo lenye kujulikana ya

kwamba katika Uislamu kuna kundi na mfumo mmoja tu.

Kundi lenyewe ni la Ahl-us-Sunnah na mfumo ni wa Mtume (Swalla Allaahu

´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake. Namna hiyo ndivyo alivowasifu

Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pindi alipotaja makundi na mapote

yenye kwenda kinyume:

"Ni wale wenye kufuata yale niliyomo mimi hii leo na Maswahabah zangu."

Sisi hatuna isipokuwa kundi limoja ambalo ni kundi la Ahl-us-Sunnah wal-

Jamaa´ah, mfumo mmoja ambao ni mfumo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi

wa sallam) na Imaam mmoja ambaye ni Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu

´alayhi wa sallam). Hatuyatambui makundi mengine yote, mifumo na kiongozi.

Page 39: ar-Radd al-Jawaab Ahmad an-Najmiy - Firqatu Nnajia | …firqatunnajia.com/wp-content/uploads/2016/10/ar-Radd-al...Kuna walinganizi, walio hai maiti, waliopinda zaidi kuliko yeye. ar-Radd

ar-Radd al-Jawaab

Ahmad an-Najmiy

39

www.firqatunnajia.com

Kitabu chenu - Allaah akuhifadhi - ni chenye kutosheleza kwa kubainisha haki

na kuraddi batili katika maudhui haya14. Allaah akujaze kheri kwa kazi nzuri

ulioifanya ya kuweka haki wazi na kuraddi batili.

Swalah na salaam zimwendee Mtume wetu Muhammad, ahli zake na

Maswahabah zake.

Ndugu yenu katika Uislamu: Swaalih bin Fawzaan bin ´Abdillaah al-Fawzaan

1414/11/2715

14 Miongoni mwa kubanisha haki na kuraddi batili katika kitabu hiki ni pamoja vilevile na Radd ya

´Allaamah an-Najmiy kwa ´Aa´idh al-Qarniy, Hasan al-Bannaa, Qutbiyyah na al-Ikhwaan al-Muslimuun.

15 al-Mawrid al-´Adhb az-Zulaal, uk. 14-15