124
Dibaji Hatimaye! Mtu anayeshiriki wasiwasi wangu juu ya uvuvi wa nafsi ulio wa tokea kale! Kwa muda mrefu, nimekuwa nikimtafuta shujaa kati ya watu anayejali zaidi juu ya maagizo yake Mwokozi kuliko semi za jamii. Kwa kizazi kimepita, marekani ya kiinjilisti imehadaiwa na wale wajiitao wataalamu ambao wametushawishi kuwa uvuvi wa nafsi umepitwa na wakati katika Ukristo wa ulimwengu halisi wa sasa.Matokeo yake ni, kanisa la karne 20 limeondokea ukubwa wa kiroho kama kale amabapo halina maono, uongozi, na halina mpangilio wowote wa kulitimiza lile Agizo Kuu. Hadi hivi sasa, David Wood‘s Sababu ya Yerusalemu kinapindua mawazo yaliyo kinyume ya miaka ya 70, 80, na 90 na kubomoa kila pingamizi kuwa pekee na iliyoandikika: Ifanye tu. Kwa kweli, moyo wake David haumruhusu kulifanya lingine lote. Niamini, kuna saa katika uungu zinazozidi kusonga hata wakati huu usomapo maneno haya. Kwa hivyo soma, jifunze na uige. Lichukue neno langu kwa hili, maisha yako hayatakuwa vile mara tena. Dibaji Daktari David Gibbs Raisi, Chama cha sheria cha Ukristo. 9 Ndivyo hivi alivyo na mzigo mkuu kwa ajili ya waliopotea. Sababu ya Yerusalemu hakitupi tu sisi hisia za umisheni, bali pia vifaa vya nguvu vinavyohitajika kujenga huduma itekelezayo ya uvuvi wa nafsi. Hapa kunayo orodha yenye hatua-hatua ambayo Mkristo yeyote anaweza kufuata na kanisa lolote linaweza kutumia kwa faida yake. Na Sababu ya Yerusalemu haliachi nje hali ya kuwepo na haraka. Hili laweza kusikika kama lisilo na huruma, bali pia nazo saa. 8

Dibajikiroho kama kale amabapo halina maono, uongozi, na halina mpangilio wowote wa kulitimiza lile Agizo Kuu. ... bali pia ni kanuni ya Kibibilia. Ikiwa tutazingatia kweli ambazo

  • Upload
    others

  • View
    10

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Dibaji

Hatimaye! Mtu anayeshiriki wasiwasi wangu juu ya uvuvi wa nafsi ulio wa tokea kale!

Kwa muda mrefu, nimekuwa nikimtafuta shujaa kati ya watu

anayejali zaidi juu ya maagizo yake Mwokozi kuliko semi za

jamii. Kwa kizazi kimepita, marekani ya kiinjilisti imehadaiwa na

wale wajiitao wataalamu ambao wametushawishi kuwa uvuvi wa

nafsi umepitwa na wakati katika Ukristo wa ulimwengu halisi wa

sasa.‖

Matokeo yake ni, kanisa la karne 20 limeondokea ukubwa wa

kiroho kama kale amabapo halina maono, uongozi, na halina

mpangilio wowote wa kulitimiza lile Agizo Kuu.

Hadi hivi sasa, David Wood‘s Sababu ya Yerusalemu kinapindua

mawazo yaliyo kinyume ya miaka ya 70, 80, na 90 na

kubomoa kila pingamizi kuwa pekee na iliyoandikika: Ifanye

tu. Kwa kweli, moyo wake David haumruhusu kulifanya

lingine lote. Niamini, kuna saa katika uungu zinazozidi kusonga hata wakati huu usomapo maneno haya. Kwa hivyo soma, jifunze na uige. Lichukue neno langu kwa hili, maisha yako hayatakuwa vile mara tena.

Dibaji

- Daktari David Gibbs

Raisi, Chama cha sheria cha Ukristo.

9

Ndivyo hivi alivyo na mzigo mkuu kwa ajili ya waliopotea. Sababu ya Yerusalemu hakitupi tu sisi hisia za umisheni, bali pia

vifaa vya nguvu vinavyohitajika kujenga huduma itekelezayo ya

uvuvi wa nafsi. Hapa kunayo orodha yenye hatua-hatua ambayo

Mkristo yeyote anaweza kufuata na kanisa lolote linaweza kutumia

kwa faida yake. Na Sababu ya Yerusalemu haliachi nje hali ya

kuwepo na haraka. Hili laweza kusikika kama lisilo na huruma,

bali pia nazo saa. 8

Dibaji

Mahali Fulani kwenye njia, wazo kuu lilipotezwa. Wakati wa siku zile 40 kati ya ufufuo na kupaa kwake, Aliwapa wanafunzi wake mashauri jinsi ya kulijenga kanisa na kuuvua ulimwengu.

Kimsingi alisema, -- Enendeni … Mvue … Mbatize

… Mfundishe.‖ Kizazi cha kwanza cha Wakristo waliovua nafsi hawengeweza kujizuia, walikuwa karibu kuupindua ulimwengu juu chini, lakini kwenye karne ya 20, swala la – uvuvi wa nafsi lilikuwa limetengwa kabisa hadi kanisa likawa limefungwa katika msisimuko na ushindi uliojulikana na hao Wakristo wa kwanza. Makanisa yalikuwa yamerembeshwa na mbinu na kuwa na hakika katika simulizi zingine hata kupoteza tazamio la awali lake Mungu. Katika huduma yake David Wood, tunaamini yakuwa ni wakati tena wa kurejesha uvuvi wa nafsi. Mungu hajaahirisha Agizo lake Kuu. Yeye yu kila mahali akitafuta watumishi waminifu watakao ushinda ulimwengu na wala sio kushindwa nao. Tunaamini kama jinsi vile ujumbe wake haujabadilika, ndivyo vile na mtindo wake pia. Zaidi, ikiwa tungetekeleza mtindo wa hatua-nne alizofunza Yesu, pangekuwa na na ufufuo mwingi katika miji yetu hadi ifanane na Yerusalemu ili ya karne ya kwanza tena. Hii ndio sababu uvuvi wa nafsi ni kiini cha lolote tunalolifanya katika Huduma ya David Wood, na ndio sababu ni lengo letu la kuufanya uwe neno la mwongozo kwa makanisa kotekote

Dibaji

11

Tangu mwaka wa 1900, nambari ya makanisa Marekani ikilinganishwa na wingi wa watu yamepungua kwa asilimia 43%. Leo, asilimia 44% ya watu ni wale wasiokuwa wa kanisa lolote. Kuna uwiano? Kweli kabisa, ikiwa tutakubali kuwa makanisa yetu yameondoshwa kutoka kwa mwendeo wa kibibilia wa kuwavua wengine kwake Bwana. Kwa muda wa karne chache ambazo zimepita, pamekuwa na mfumo wa ujanja katika jamii (na hata kati ya maeneo ya Kikristo) ambapo wasiovua nafsi wameubadili uvuvi wa nafsi. Ilijadiliwa yakuwa sura ya uvuvi wa nafsi, imepitwa na wakati, kuishiwa, nay a kale kwa hali ya utumizi wake. Wapingao walitumia semi kami vile ― shimo za vifungo,‖ ― ugeuzi wa lifini,‖ na ― uamini wa uepesi.‖ uajibikaji wa ubinafsi na kuhusika katika uvuvi wa nafsi ukawa haba. Nambari za makanisa yakachagua kufafanua uvuvi wa nafsi kutoka kwa hali ya ushahidi wa kimya wakitumia semi kama vile uinjilisti wa tabia za maisha na mtindo wa mtafutaji mwenye kujihisi. Kwa hakika, kimsingi uvuvi wa nafsi uligeuzwa kutoka mfumo wa Mungu hadi kilichokuwa kwanza mbone ya jicho lake sasa kinaitwa ― kuchuma matunda mabichi.‖ na ndio sababu makanisa yanavuna kwenye mashamba yasiozaa.

Mtindo wake Mungu Hapa pana wazo la kushangaza: ― Mmisheni,‖ ― umisheni,‖ na ― Agizo kuu‖ hayajatajwa kwenye Mandiko. Lakini uvuvi wa nafsi umetajwa.

Sababu ya Yerusalemu

12

Sio tu kwamba ni neno la Kibibilia, bali pia ni kanuni

ya Kibibilia.

Ikiwa tutazingatia kweli ambazo zisizotajwa waziwazi katika Neno, mbona tuipuuze amri iliyopeanwa mara tano na Yesu katika Injili na kwenye Kitabu cha Matendo? Amri hii inachangia kweli zote zilizokusudiwa katika semi zote za Bibilia na kwenye mtindo kuanzia kuzijenga kanisa za mtaa hadi kuuvua ulimwengu – wa siku zetu.

Uvuvi wa nafsi umekuwa ndilo lililo la karibu mno kwa moyo wa Mwokozi wetu, na ikiwa ulimwengu bado utafikiwa, itafanywa na Wakristo waendao, wavuao, wabatizao na wafunzao. Katika kitabu cha Matendo kunao mtindo wa uvuvi wa nafsi kwa kila kanisa, iwe ni katika karne ya kwanza au ya ya 21. Tazama uone jinsi vile kanisa la kwanza lilivyo kua kutoka washirika 120 (Matendo 1:15) hadi 3,000 (2:41) hadi wanaume 5,000 (4:4) hadi kuwa umati (4:32). Idadi kubwa ya wasomi wa Bibilia wanaamini kuwa watu 120,000 (karibu nusu wa wakaaji wa Yesusalemu) walifikiwa kwa ajili yake Kristo kwa kati ya muda wa miaka miwili tangu Agizo Kuu!

Hao Wakristo wa kale walijua kuwa uduma yenye nguvu ya uvuvi wa nafsi ilikuwa ya muhimu kwa kujenga – au kujenga tena – kanisa, na walifuata maneno matatu mepesi ya ukuzi:

13

Kuongezeka maradufu. Unamfunza mfuasi wako kuwafunza wafuasi wake kuvua wengine kwake Kristo.

Nyongeza. Unamvua mtu kwake Kristo na kufanya nyongeza ya jina lake kwenye Kitabu cha Uzima cha Mwanakondoo.

Kupiga Mara.Unamfunza mfuasi wako kuwavua wengine kwake Kristo.

Mtindo huu wa kulikuza kanisa hauwezi igwa na njia

nyingine au ufafanuzi. Hauwezi kuwavua wengine

usipokuwa umevuliwa, na huwezi kuwafundisha

wengine hadi uwe umefundishwa. Kwa ufupi, Yesu

alitufundisha kadri miaka 2,000 imepita jinsi ya

kuifanya kazi hii. Twaweza kuirekebisha hiyo?

Mapenzi ya Mungu, ndilo kusudi letu.

Ikiwa watu watayajumuisha maisha yako katika sentesi moja, watayasemaje? Yanaweza husisha uvuvi wa nafsi? Tunapoianza karne hii mpya, ni lengo letu kurejesha uvuvi wa nafsi kwa shina la Kibibilia pale ulipotoka – njia yake Mungu. Tunamkubali Bwana wetu katika Neno lake aliposema, - …Na mwenye hekima huvuta roho za watu – (Mithali 11:30b). Ungane nasi leo katika kuwafikia a kwa kuwafundisha wengi iwezekanavyo.

14

Utangulizi

Sababu Ya Yerusalemu.

Mojawapo ya maswali muhimu ya kuhusu Bibilia yanaepukwa kwa majibu ya kale yenye usalama. Swali: ―Ni vipi kanisa la Yerusalemu liliweza kufikia asilimia 50% ya eneo lao kwa ajili ya Kristo na kukua kwa kiwango kisichosemezeka?‖ Jibu la kale, la salama: ―kwenye mwanzo wa jambo lolote jipya Mungu alifanyalo, Yeye hutenda katika njia isiyo ya kawaida ili kututolea mfumo.‖ Kama ilivyo na majibu ya namna hii, kunaukosekano wa kilicho cha ukweli. Hata hivyo, madhara yake ni makuu kwa Wakristo! Tofauti ni kuwa Mungu alifanya jambo katika Yerusalemu lililokuwa la siku hiyo tu. Au, ikiwa kuwa, lililofanyika Yerusalemu sio la siku zetu hizi. Ama, kuharibu zaidi, hatutakiwi kutarajia matokeo kama hayo au asilimia yoyote kama ile. Majibu haya ni matokeo ya huduma zilizoridhika na kubadilika kwa mkazo wa mamlaka ya bibilia hadi kwa mbinu na mawazo ya kisasa. Yeyote na atazame - harakati za kukua kwa kanisa kwenye

miongo michache imepita aone wingi wa mawazo. Mengi yake

ni ya kuchanganya kwa sababu yanazingatia tu tamaduni za

Marekani bila msingi wowote wa kibiblia. Wataalam wengi hata

wanatoa mbinu zinazopingana.

Ni nini haswa kilichofanyika Yerusalemu? Wale 120 waminifu

walifanyika tu kwa mbinu tofauti? Je, grafi, chapisho,

kongamano, semina, uthibiti wa takwimu na mengineo kama

Utangulizi

15

haya yalisababisha mbinu kufanikiwa na tena

isifanikiwe tena? Je, Mungu alifanya jambo maalum la

wakati mmoja la onyesho liwezalo kurejelewa na wala

kamwe haliwezi kurudiwa?

Siamini kati ya lolote ambalo limetajwa hapa juu. Kwa

hivyo basi, ilikuwa ni nini?

Ni nini kilikuwa kiungo hicho maalum, ukiniuliza?

Ninaiita ― Sababu ya Yerusalemu. Sababu ya

Yerusalemu, ikielezwa ni: kundi la walioamini

walisikiliza mbinu aliyoifunza Yesu na mara moja

wakaitii.

Utekelezaji wa mbinu hii ya hatua nne (Agizo kuu) ni

uvuvi wa nafsi ulio wa Kibiblia. Hapa pana dhana

itiayo changamoto: Wakristo waliokuwa katika

kanisa hilo la mwanzo hawakujalishwa na kukua

kwa kanisa – lengo lao lilikuwa la kuwa na utiifu

kwa Mwokozi wetu na kwa Lile Agizo Kuu.

Ikiwa kanisa la mtaa litalenga uvuviwa nafsi wa Kibiblia, kukua kutajishughulikia kwenyewa!! Jukumu letu ni utiifu. Ni Mungu aletaye ongezeko. Fikiri juu ya ni lipi litafanyika katika kanisa lolote lenye watu 20, 40, hata 100 waliofunzwa kuwa wavuvi wa nafsi ambao mara kwa mara huenda, wanawavua watu kwake Kristo, wanawaleta wafuasi wao wabatizwe na hatimaye wanawafunza kufanya kwa mwingine lilo hilo lililowatendekea. Pangekuwa na mlipuko!! Hii ni hasa kilichotendeka Yerusalem.

Sababu ya Yerusalemu Swali ni hili ― Nitawezaje kuanzisha hili katika kanisa langu?‖

ni kama kimitambo? Limebuniwa kwenye maono? Ni kutekeleza

mipango? La, jibu ni MZIGO – kuwa umevunjika juu ya

waliopotea. Kuvunjika huku lazima kuanzie nyumbani na

kupanuka duniani kote.

Elewa hili: MZIGO huleta SHAUKU.

SHAUKU huamua MAONO. MAONO hujenga MIKAKATI amabayo kisha ITALENGA SHAUKU letu. Mzigo wetu lazima uwe kwa ulimwengu! Hili sio chaguo. Kumtii na kumtukuza Bwana wetu kunalitegemea, sawa na vile maelekeo ya milele ya maelfu nafsi za thamani. Kila kitu ambacho huduma ya David Wood inafanya kinalenga kazi hii. Hapa swali si kwamba uvuvi wa nafsi unatenda kazi au la, bali ni kuwa tunafanya! Letu sio kuhoji nguvu zake Mungu asiye na kipimo, bali kutumia pasipo kipimo nguvu alizotupa Mungu. Kwa maneno mengine, uvuvi wa nafsi sio chaguo. Haijawahi kuwa hivyo katika huduma ya David Woods.

Tangia kubuniwa kwetu katika mwaka wa 1984, tumewahubiria zaidi ya watu milioni moja na robo moja yao wakifanya aina Fulani ya uamuzi kwa Kristo, ikihusisha zaidi ya nafsi 130,000 za thamani zikiokolewa. Huwa tunatumia mpango huu huu, uliojaribiwa na wa kweli kwa hali zote za uvuvi wa nafsi. Na huwa unafanya kazi! Bila shaka, kama wavuvi wa nafsi, hatuwi mbali sana na wakosoaji wetu. Mpango wa uvuvi wa nafsi kwa ulimwengu ufanyao kazi? Tunaweje kujua kwamba hayo ni mapenzi ya Mungu kwa kila mtu aaminiye? Rahisi, tuyaendee mamlaka ya

mwisho – Neno lake. Kwanza soma mifano tatu ya Luka 15 na uniambie kuwa hauvutiwi na jinsi vile Mungu ananuia kuruka mioyoni mwetu na kupanua kuelewa kwetu juu ya kuhusika kwake kuu juu ya wasiookoka. Mungu anampenda kila mtu ambaye hajaokoka anayekufa na kwenda kwa Jehanamu ya mwenye dhambi. Bahati mbaya, kwa kujawa na mengi ya maisha haya, Wakristo wananaswa na wankosa kufahamu tamanio Lake kuu kwa wenye kupotea kuja kuokolewa. Linalofuata, soma ushuhuda wake Paulo kwenye 1st Timotheo 1:15 - Next, read Paul‘s testimony in 1 Timothy 1:15: ―Ni neno la kuaminiwa, tena lastahili kukubalika kabisa, ya kwamba Yesu Kristo alikuja ulimwenguni awaokoe wenye dhambi.‖ Sasa fikiria juu ya maneno yake Bwana wetu katika Luka

19:10 – Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na

kuokoa kile kilichopotea..‖ Ikiwa ilisababisha Bwana Yesu

kuwatafuta watu ambao hawajaokoka, bila shaka wewe nami

twatakiwa kufanya vivyo hivyo. Hebu nirudie hivi. Sababu ya msingi ya Yesu ni ili watu waliopotea wasiende kuzimu na mbinguni kujazwe na waliokombolewa. - Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi watubu,‖ (Mathayo. 9:13). Yesu anasema kuwa amekuja ili watu wajione katika hali yao ya kupotea na kutambua haja yao ya Mwokozi. Chukua muda mfupi kurejelea Agizo Kuu. Linapatikana katika Injili zote na katika Matendo 1. Usikawahi lisahau neno hilo - agizo‖ halijapenwa kwa wamisheni tu waendapo ngambo. Ni jukumu la la kila mmoja aliyezaliwa tena akawa Mwana wake Mungu. Tunatakiwa kwenda kwa ulimwengu wote na kuihubiri Injili kwa kila kiumbe. Na ulimwengu umezunguka sehemu zisizofikika za dunia … sawa na vile jirani wa upande mwingine wa mpaka wa barabara.

Sababu ya Yerusalemu

18

Sasa chukua muda mwingine kufikiria juu ya nguvu zake Yesu. Katika miongo yangu mitatu ya kuihubiri Injili na kushughulika na watu kwa hali ya mmoja-kwa-mmoja, ukweli moja ambao sijawahi poteza maono ni ule wa nguvu za Neno la Mungu.kwa hili ninamanisha kuwa Neno la Mungu linauwezo wa kufanya kazi ambayo Roho Mtakatifu alidai itafanywa. Yesu anatuhakikishia yakwamba – nimepewa mamlaka

yote.‖ sio nguvu kiasi au kipimo cha mamlaka, bali

mamlaka yote. Mungu hatatuambia tulifanye lolote

ambalo hajatuimarisha. Ikiwa anazo nguvu zote, basi

anao uwezo wa kutusaidia kukamilisha lilo

analotuambia.

Wakati mwingine huwa ninawambia watu yakuwa

Shetani ni mwenye nguvu, bali Mungu ni mwenye

nguvu zaidi. Yeye ndiye mwenye nguvu. Kwa maana

Yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye

katika ulimwengu. Kwa hivyo yeyote aliyejitoa kwa

maisha ya Kikristo anaweza kuyaishi maisha ya uvuvi

wa nafsi yenye ushindi. Kulinganisha, mtu ataniambia

― nimelemewa na dhambi mno siwezi kuwa mvuvi wa

nafsi.‖

La, ni wewe utakayechagua kushindwa na hiyo

dhambi. Tena, mtu huyu anabishana, - Sina nguvu za

kuwa mvuvi wa nafsi. La, ni wewe unayechagua

kutokuchukua mamlaka ambayo umetolewa bure.

Utangulizi

Na kisha, katika kukata tamaa, huyo mtu kwa uzito wa

maneno – sijui jinsi ya kumwongoza mtu kwa Kristo!‖

Hilo, rafiki mpendwa, ndio sababu kuu ya kitabu hiki.

Zaidi ya vingine vyote, Sababu ya Yerusalemu ni

kitabu cha kazi. Kwa Mkristo aliye na tamaa ya

kutumiwa na Mungu kama mvuvi wa nafsi aliye nga’ngari, hapa ni mwongozo wako. Na kwa sababu ni

kitabu cha kazi, kimeundwa kwa matumizi. Andika-

andika pembezoni . zikunje ncha za pembeni mwa

kurasa. Kirejelee mara kwa mara hadi wino ufutike. Ni chombo – ni chombo kilichoundwa kukusaidia kuweka

Sababu ya Yerusalemu kutoka kwa mfano wa wakristo

wale wa zama uwemo kwenye maisha yako.

Hili linaleta vipengele vya kipekee vya kitabu hiki.

Kwa mwisho wa kila somo kuna idara iitwayo -

sanduku la vifaa.‖ Hizi ni kanuni za ni mikono kazini,

kunja mashati, weka kofia kando kwa ajili ya mahitaji

yako ya uvuvi wa nafsi. Zitumie. Zirejeshe. Pata

kingine. Hazitavunjika, bali zitarekebisha wasiwasi

zilizopo. Kwa hakika, kwa muda mchache mwendo

wako wa uvuvi wa nafsi pamoja naye Bwana

utabadilika milele.

Basi hebu tuanze!

19

Sababu ya Yerusalemu

20 21

Sura 1

Yote ni kuhusu mtazamo.

Petro alikuwa amefanya usiku kutwa bali akatoka utupu. Utafikiri kuwa katika ziwa lenye maji joto, urefu wa maili 14 na upana wa maili 9 angepata anagalau samaki mmoja! Lakini ilikuwa ni asubuhi na wafanyakazi walikuwa wamechoka, wakilalamikia bahati yao mbaya walipokuwa wanaosha nyavu zao. Kisha Yesu akawa na uwezo wa wa kuwaambia wazitupe nyavu zao katika mahali Fulani. Sasa mtu yeyote amabaye alijua chochote kuhusu uvuvi katika hali hii ya kitropiki alijua kwamba pendekezo lake Yesu limepakana na ujinga. Wao wenyewe walikuwa tayari katika eneo bora – mwisho wa kaskazini mwa mto Yordani. Sehemu tu nyingine isio na watu ya kufanikiwa ingekuwa mle ndani kuendako chini mwa ziwa. Kando na hiyo, Petro alijua tabia na hawa samaki. Besides, Peter knew the habits of these fish. Hauwawekei mzigo wakati wa mchana. Na kama wangemsikiliza Yesu, ingewalazimu kuziosha nyavu zao mara tena

Sababu ya Yerusalemu

22 Kwa hivyo, kwa nini hata kufikiria kumsikiliza seremala atokaye Nazareti isiyo na ziwa kukuambia kuhusu kutega samaki. Ilihitaji kuchukua hatua kubwa ya imani kumtii Yesu, bali hivyo ndivyo ilivyokuwa desturi ake Petro. Alikuwa mwanafunzi wa kwanza kuamini na kumfuata Yesu, na alitii hapa. Kwa muda tu nyavu zao zikafurika na pato lao na mashua zao mbili zikaanza kuzama kwa sababu ya uzito! Muda na muda tena huu huwa ndio mfano wake Mungu, sio tu katika Biblia bali pia kwenye maisha yetu ya binafsi. Ikiwa tungemtii Mungu tu, pato letu lingekuwa la kiangani. Kimsingi, inarudia mtazamo. Yeyote aliye na kasoro kkatika mtazamo wake hawezi kuwa mvuvi wa nafsi mwenye ufanisi. Lakini tukimtii Mungu na kujizoeza mbinu zake, tunaweza wavuta ndani walio karibu nasi. Ili kuweza kuwa na maisha yazaao ya uvuvi wa nafsi, kunayo masomo tano muhimu inabidi tushike kabla ya kutoka na kwenda kule nje. Kila moja inahusisha mtazamo.

Somo 1

Daima Fuatilia Kujitolea Kwa Juu.

Wakati wa mahojiano ya undani, kocha wa kulipwa mwenye ufanisi mwingi alifichua mpangilio wa mazoezi yake ya kila siku: Kuamka saa 6:00 kwa ya mazoezi, kukimbia maili nne, kula chakula chepesi muda wote wa siku ya mazoezi, kufanya mazoezi tena na kwenda kulala mapema. Maoni yake ya mwisho ndio yaliyotoa mwanga zaidi: - nahitaji 110% kutoka kwa wachezaji wangu, lakini huwa ninapeana mwenyewe

Yote ni kuhusu Mtazamo

23

Kuona roho ya aina hii katika uvuvi wa nafsi! Mcheza kinanda kwenye tamasha hufanya mazoezi hadi vidole vyake vinaugua na mgongo wake kuuma. Mcheza basibali hugongagonga mpira kwa masaa mengi. Yule wa kiungo cha nyuma hujizoesha hadi mguzo wa chini uwe wa muhimu. Na kila mmoja wetu anajua hadithi za wafanya biashara wa kiume na kike wenye mafanikio waliotenda kazi kwa masaa mengi ajabu – mara nyingi kwa kujitolea kukubwa. Kujitolea huku kulistahili? Iwe kulistahili au la, watu hawa walitaka sana hadi kufuatilia kwa akili-moja. Mfano huu wa kujitolea ni wa lazima ikiwa malengo ya juu yataafikiwa. Neno hapa ni kujitolea. Fikiria kwamba medali za Olimpiki huwa kwa kawaida hazishindwi na wanamichezo bora, lakini ni wale wanaotumia masaa mengi ya ajabu katika mazoezi. Siri yao ni kujitolea kabisa. Huwa inawafanya waamke kila asubuhi. Kwa hakika, Mkristo kamwe hatauliza – Je uvuvi wa nafsi wastahili hivi? Tunajua wastahili hivi. Ni kwamba tu, hitaji kwa ajili ya mafanikio katika uvuvi wa nafsi ni kujitolea. Ninakumbushwa alilolisema Yesu katika Mathayo 4:19. - Nifuateni nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu. Hii sio amri tu, lakini ni ahadi. Amri ni – Nifuateni. Ahadi ni – nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu. Ahadi pia ina mchakato. Tunafanyika wavuvi wema wa nafsi wiki baada ya wiki, mwezi baada ya mwezi. Vipi? Kupitia kujitoa kuwa mvuvi wa nafsi aliye bora. Maneno – Nitawafanya kuwa – ni ya sasa hivi yaletao kazi. Hiyo inamaana kuwa Yule anayemfauta Kristo anaendelea kufanyika mvuvi wa nafsi gangari.

Sababu ya Yerusalemu

24 Kama jinsi mwana michezo hufanya maozezi siku kwa siku,

mwezi kwa mwezi ili kuuongeza ufanisi wake, ndivyo yapaswa mvuvi wa nafsi ajiandae kupitia uchunguzi, maombi, uvuvi wa nafsi, uchunguzi zaidi, maombi zaidi, uvuvi wa nafsi zaidi na hivyo ivyo. Kupitia kwa kujitolea kwa namna hii huja mafanikio katika uvuvi wa nafsi. Unaweza kanusha kuwa sio rahisi kuvua nafsi. Ni ngumu. Inachukua muda na jitihada. Yote ni kweli, lakini ni kippi kilicho cha thamani ya kudumu kisicho chukua muda na jitihada na, ndio, hata kujinyima kwa kiwango? You might interject that it‘s not easy to win souls. It‘s hard. It takes time and effort. All true, but what of lasting value doesn‘t take time and effort and, yes, even occasional sacrifice? Uwezo wetu wa kuyafikia malengo yetu ni moja kwa moja na mtazamo wetu. Ni kwa ajili ya nini unataka kuyatumia maisha yako? Mungu atusaidie ili tuwe wakfu kwa hii kuu ya maisha ya Ukristo. Ndio, rafiki yangu, ni ya faida hiyo. Kujitoa kukubwa – nafsi nyingi. Kujitolea kidogo – nafsi chache. Hakuna kujitolea – hakuna nafsi. Nikisubiri kunyolewa nywele, nilitembea hadi kwenye eneo la kupakiwa viatu rangi na kunena na huyu mzee. Baada ya muda mfupi, nikamuliza waziwazi, - unampango wa kumpokea Kristo kama Mwokozi wako siku moja, sivyo?‖ akainamisha kichwa chake chini kidogo na akanuguna, - Naam, natumaini hivyo.‖ - Kile ninachomanisha ni, hupangi kufa bila ya ya Kristo na kuishi milele katika Kuzimu ukiwa umetenganishwa naye. Ni kweli

hivyo?‖ akanitazama na kusema, - La, nimekuwa nikipanga jinsi nitakavyojua vile nitakwenda mbinguni. Na sijawahi jua.‖ Sema juu ya mwongozo wake Roho Mtakatifu! Nikayapitia mandiko pamoja naye na kwa dakika chache tukainamisha vichwa vyetu kwa maombi. Kwa furaha akampokea Kristo kama Mwokozi. Baadaye, nilipokuwa nikitoka kwa kinyozi, akanisi-

Yote ni kuhusu Mtazamo

25 mamisha na kusema, - Asante kwa kunizungumzia kuhusu Yesu! ‖ Na je kama singekuwa? Kuna watu kila pahali wanaomsubiri mtu atakayewambia kuhusu Yesu. Ninafikiri juu ya kijana mmoja wa miaka 27 kule Seattle, ameoa, mwenye mtoto mdogo, kiongozi wa bendi kubwa ya muziki na aliyekuwa mtumizi kila siku wa heroni yenye gharama ya dola 500. Muda usio mwingi uliopita, alijipiga risasi kichwani ndani ya ukumbi wa nyumba yake yenye thamani ya dola milioni moja. Mkewe na marafiki wakasema kuwa wote walikuwa wanajaribu kumsaidia. Mmoja wao akawaambia wanahabari, - Kila wakati alikuwa na sihiri juu ya kifo, kwa sababu alisema hana lolote aliloliona nzuri kwa ajili yake maishani haya.‖ Ni la kusikitisha. Mkristo ni lazima awe amejitolea kwa uvuvi wa nafsi ili kuweza kuivua mioyo mara kwa mara. Hakuna mbadala kwa aina hii ya dhamira. Kwa dhamira si maanishi uamini yakuwa Wakristo wengine watawavua wengine, lakini wewe uufanyie kazi mara kwa mara. Hakuna lolote linaloweza kuchukua mali pa kuendeleza. Talanta haiwezi. Makanisa yetu yamejawa na watu wenye talanta ambao kamwe hawamvui yeyote kwake Kristo. Ukuu wa fikra hauwezi. Wala elimu. Ni dhamira tu imtoao mtu kutoka kwa kuamini hadi kwa kutenda. Yeyote amewahi kufanya kazi ya uvuvi wa nafsi anajua ni vipi ilivyo kutofanya – unavyojihisi bila ya kushuhudia au kuwa kwa matembezi. Dhamira humwondoa mtu kutoka kwa eneo la kutawaliwa na hisia hadi pale matendo ndio yanaamua hisia. Tofauti kati ya maeneo haya mawili hujulikana kama matokeo.

Sababu ya Yerusalemu

26

Miaka kadhaa iliyopita, niliweka dhamira ya kumfundisha mwanamume mmoja katika uvuvi wa nafsi. Nyongeza ya ya kumfunza, tulikuwa tukiondoka kwa uvuvi wa nafsi wa masaa matatu kila Jumatatu jioni.

Wakati wa jumatatu moja, nilikuwa nimechoka kwa ajili ya kungoza vikao kadhaa vya mafunzo na mengine yaliyokuwa yakija. Nilikuwa nimefunza bila kukoma kila jioni kwa majuma kadhaa. Kwa uaminifu, nilifikiri kumuita, tuahirishe na nikae nyumbani angalau kwa usiku mmoja.

Hata hivyo, niliweza kuvaa na kwenda nyumbani mwake na kumpata yakuwa yu mgonjwa na hangeweza kwenda! Tena, mawazo yangu ya asili yakawa kuwa nirudi nyumbani. Kama singelikuwa mtiifu? Bali niliweka dhamira, na nikaondoka peke yangu. Nyumba ya kwanza niliyoitembelea ikawa ya watu sita wa familia moja waliokuwa wametembelea kanisa siku iliyokuwa imepita. Wakanikaribisha na kuniambia kuwa walikuwa wanamsubiri mtu yeyote aje. Kabla sijafikia swala kuhusu wokovu, mume wa ile nyumba akaniambia kuwa – tumekuwa tukijadiliana kuhusu swali uliloliuliza jana pale kanisani – je ikiwa utakufa, unao uhakika asilimia 100% kuwa utakwenda mbinguni? Mhubiri, unaweza kutuambia jinsi tunaweza kuwa nao huo uhakika?‖

Nikausahau uchovu wangu. Na wote sita wakampokea Kristo. Hatimaye familia hii yote ikabatizwa na kujiunga na kanisa. Mara tena, ingelikuwa aje kama sikuenda? Kama Petro, ningelitoa vijisababu vingi vya kweli, haswa lile la uchovu. Lakini Petro anatuonyesha mfano ulio bora. Mtii Mungu na nyavu zako zitajazwa. Yote ni kuhusu mtazamo.

Yote ni kuhusu Mtazamo

Sanduku la vifaa 27

Shauku.

Palilia shauku kwa maisha na kazi yako. Mara nyingi huwa ninaulizwa kuhusu ujaisri katika kushuhudia. Huwa ninajibu kwamba shauku ndio funguo. Bila yake, matarajio huporomoka, dhamira huoza, na kujiamini binafsi kunavunjika. Watu watahisi wakati umekumbwa na matatizo yako. Ni nani hutaka kuwa karibu – hata kupenda – mtu aliyesongwa na hisia hasi? Mtazamo huamua imani na shauku ni imani yetu ikiwa katika matendo. “Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako;” (Mhubiri 9:10). “Mtu aliyetia mkono wake kulima, kasha akaangalia nyuma, hafai kwa ufalme wa Mungu” (Luka 9:62). “Siku hii ndio aliyoifanya Bwana, Tutashangilia na kuifurahia,” (Zaburi 118:24). Baada ya kukamilisha kampeni, nilikuwa nasubiri kupanda ndege kwenda Chicago. Mwanamume akanitazama, nami nikamwambia, - Habari za asubuhi. Ni siku maridadi hii, sivyo? (kila mara huwa ninamzungumzia yeyote anitazamaye macho kwa macho). Mwanamume yule akanungunguna kwa utaratibu, - Unaendeleaje? – Vyema sana! Nikamjibu. Akakoroma. Piga wazo ni nani niliyekuwa nimeketi naye kwenye ndege! Hatimaye tulipongoa nanga, akakoroma, ― Jinsi gani yeyote aweza kuwa nayo furaha asubuhi na mapema hivi? ‖ Naam, nikamjibu, - kunayo mistari minne katika Biblia inayomsaidia mtu kufahamu jibu la swali hilo. Naweza ishiriki hiyo pamoja nawe? Akaichukulia hali

Sababu ya Yerusalemu.

28

yake na hatimaye akakubali. Katika muda wa dakika chache zilizofuatia, nikawa na fursa ya kumwongoza kwake Kristo. Palilia shauku …. inaambukiza!

Somo 2

Ondosha Uoga.

―Nikimkabidhi mtu huyu Injili, nitaaibika.‖ ―Na wakiniona kama mpagawa mwingine wa kidini, kama vile Jim Jones?‖ ―Sidhanii kuwa naweza kumvua mtu huyu kwake Kristo; yeye ni daktari na mwerevu sana.‖ Baada ya kuwemo katika huduma kwa miaka 30, nimeshawishika kabisa kuwa Shetani huwaweka baadhi yetu kutoka kwa uvuvi wa nafsi kwa sababu ya uoga. Kwa kweli, nitakuwa na ujasiri zaidi. Bila shaka yoyote, kizuizi kikuu cha watu kutofanya uvuvi wa nafsi ni uoga – uoga wa kugeukwa, uoga wa kuulizwa swali ambalo hatutaweza kujibu, uoga wa kushindwa, uoga wa kukataliwa, na wa kutofanya kazi hiyo vyema.

Mara nyingi uoga huu huwa ni wa kibinafsi. Unapanga wakati kutoka kwa mipango iliyopo mingi ili uende nje kwa matembezi. Unawapanga watarajiwa wako, unajua wanapokaa na kuendesha kwao dakika 20, unaipata barabara ya kwao, kisha nyumaba yao, unabisha na kukaribishwa. Baada ya maongeo ya ufunguzi, unaliingilia swala na kufanya vyema kwa kuikabibidhi Injili – ila

Yote ni kuhusu mtazamo

29

tu kusikia – jibu la, sio sasa au sina haja.

Tumeambiwa kuwa ni jukumu letu kushuhudia hata kama

mtu Yule atakuwa na jibu la hasi, lakini huwa inaondosha

raha kutoka kwa hali kama ile. Hata kama mtu Yule

anamkataa Mungu, sio wewe, haikusaidii kugeukia kona ya

shauku.

Kwanza kabisa, wacha niseme yakuwa hauko peke yako. Kila

mmoja wetu huupitia muda wa hisia za hasi wakati

tunatakiwa kuikabidhi injili kwa mtu fulani.

Nilimaliza kampeni ya wiki moja sehemu za ufuo wa

magharibi na nikawa najiandaa kwa safari ya masaa manne

kwa ndege kurudi Detroit kwa ajili ya mikutano yangu

mingine wakati tulifahamishwa kuwa tutacheleweshwa kwa

muda wa masaa mawili kwa sababu ya tishio la bomu.

Hatimaye tulipongoa nanga, kila mmoja bado alikuwa nayo

wasiwasi.

Dakika chache baada ya kupaa, nikaanza kufikiri kuwa huu

vile ulivyokuwa muda mwema wa kushuhudia. Nikawa na

mawazo chungu nzima yenye hasi, lakini nikaomba na

kumuliza Mungu anitie nguvu. (walikumbuka neno hilo?)

nikatembea kiti hadi kingine, na kukutana na watu wa aina

mbali mbali. Baada ya muda wa maongeo tu ya kawaida

kuhusiana na kisa hicho tulichokuwa tumekipitia, nikaanza

kushuhudia. Masaa manne baadaye, wachache walikuwa

wamemkataa Kristo, lakini watano wakampokea awe

Mwokozi. Ili kuwa mvua nafsi aliye thabiti, unahitaji

kuuepuka uoga – uoga wa kuanza – wa kuishughulikia nafsi

yake. Hivyo hebu tuchukue dakika chache na tuchunguze

Sababu ya Yerusalemu.

30

namna tatu za uoga utakazofikia. Kwanza ni uoga wa kukataliwa. Haya mawazo hutoka kwake Shetani. Mtu huyu anamkataa Mungu, na wala sio wewe. Na hata kama mtu huyu atamkataa Kristo, itakuwa na uzito mkuu. Mungu atakubariki kwa uaminifu wako na mbegu ya injili itakuwa imepandwa ndani ya moyo wa huyu asiyeamini. Umekuwa uzoefu wangu kuwa kukataliwa humfunza mtu awe na makali zaidi katika mbinu za uvuvi wa nafsi. Ni sharti uwe na funzo hili ili ukue na kukomaa kwa aina ya mvuvi wa nafsi unayestahili kuwa. Kwa maneno mengine, kila wakati ukishughulikia mtarajiwa ambaye ana hasi, inakuacha nayo nafasi ya kuikabidhi injili hata vyema zaidi. Unakua katika uwezo wako wa kuwashughulikia watu, na vile vile kuwa na mazoezi katika mpango wako. Hata kama haumvui mtu kwake Bwana (lakini utavua mara nyingi), changamoto ya aina hii itakupa mazoezi zaidi.

Nimeona kwa mara nyingi wakati unakaa thabiti na kushikilia mpango shwari wa Injili, pingamizi ya mtu zinakuwa hafifu, na hatimaye Neno linapata makao katika moyo wake. Kila mara ukumbuke yakuwa mtu Yule anayo haja na wewe uko nayo nafasi tukufu ya kuikabidhi Injili kwa mtu Yule mfanya biashara safarini mwake. Jibu lake lilikuwa mbovu. Nikaendelea na uthabiti, ila kwa wema. Hakuipokea ile Injili lakini niliondoka nikiwa nimeridhika kwa kuweza kukabidhi mpango rahisi wa Injili.

Muda mfupi baadaye, nikawa kwenye ndege nyingine na

kuanza kuikabidhi Injili kwa ulaini kwa mwanamume aliyekuwa ameketi kando yangu. Katika muda mchahe

akaitika kwa kuinamisha kichwa chake na kumpokea Kristo kama Mwokozi pale katika safari. Singeweza kujizuia kufikiri

jinsi vile Roho Mtakatifu alikuwa ameniandaa kumvua mtu

Yote ni kuhusu mtazamo.

31

huyu wa pili kupitia kwa yale niliyojifunza kwa

kumshughulikia mtu yule wa kwanza.

Huwa hatupotezi ― na haijalishi jibu la mtu yule. Kunazo

nafasi tele katika uvuvi wa nafsi. Hata kama mtu

atakugeuka, unayo nafasi ya kujifunza, na zaid ya yote,

unamtukuza Bwana kwa kuwa shahidi aliye mwaminifu.

Uoga wa kawaida wa pili, ni ule wa kutoweza au pengine

kukosa kujiamini. Kwa mfano, Wakristo wengi

hawatamshuhudia mtu ambaye wanafikiria hawawezi

kumvua. Kwa hivyo wengi kamwe hawatamshuhudia

yeyote kwa sababu wanafikiri hawawezi kumvua yeyote.

Wengine hujiepusha na nafasi za kuwashuhudia watu

wenye utalamu kama vile madaktari au mawakili kwa

sababu wameshawishika kuwa hawatafaulu. Katika uvuvi

wa nafsi ni muhimu sana kutokuwa na mtazomo huu.

Baada ya yote, katika Mithali 23:7, Bibilia inasema juu ya

mwanadamu – maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo

alivyo.‖ Kumbuka yakuwa Mungu hatakuamuru ulifanye jambo

ambalo Hana uwezo wa kukwandaa kulitenda. Hii ndiyo

sababu mvuvi wa nafsi anao uhakika wa ajabu kuwa

anaweza kushuhudia na kumvua mtu kwa wakati wowote.

― Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu

(Wafilipi 4:13). Na ni la muhimu kuelewa kuwa mtazamo

wetu unatokana moja kwa moja na patio la hali ya kale.

Unaposhuhudia na kuvua wengine, imani na ujasiri wako

katika Mungu, Biblia, na kwako wewe mwenyewe

huongezeka.Miaka kadhaa imepita nilikuwa na rafiki

Sababu ya Yerusalemu.

32 mpendwa, wakili ambaye hakuwa ameokoka. Nilikuwa na mawazo yaliyo ya kawaida – ya kukosa ujasiri kuhusiana na kushuhudia. – Hawezi fikika … ni msomi sana … atanikimbia. Lakini mwishowe, nikaamua kumwendea bila ya kuyajali matokeo. Nikaita ofisini mwake na kuuteua wakati naye wa dakika 30 hadi 45 katika wakati wake. Siku chache baadaye, nikaingia ofisini mwake na kumtazama, nikimwita kwa jina lake la kwanza na kisha kumjulisha mzigo uliokuwa moyoni mwangu wa kuzungumza naye mambo yake Mungu. Akatabasamu na kusema kuwa angefurahi sana kuyazungumza haya mambo pamoja nami. Nikaanza kumwendea hatua kwa hatua kwa zile pointi 13, na dakika 20 baadaye nikamuliza kama angeinamisha kichwa chake kwa ombi. Akafnya hivyo nami nikawa na furaha ya kumwongoza kwake Bwana. Baada ya yeye kuokoka, niakaanza kumpa mistari kadhaa ya kumpa msingi katika njia zake Mungu. Nilipomaliza kuzungumza na kuwa tayari kuondoka, akaniambia, - David, nimekuwa nikitaka kuongea na wewe kuhusu haya kwa miezi kadhaa, lakini nikawa nafikiri itaudhuru uhusiano wetu.‖ Hadi hivi leo, huwa ninacheka kidogo ninapofikiri jinsi Shetani alivyokuwa ameutumia uoga kwa upande wangu na wake katika kumweka mwanamume huyu mbali kutoka kwa Mwokozi. Wazo hilo linatupeleka kwa uoga wa kawaida wa namna ya tatu. Wavuvi wengi wa nafsi wameonywa na watu eti wasimshuhudie mtu fulani kwa sababu – utafanya apotee.‖

Hawa washauri ni wa kweli kwa sababu wanahofu kuwa ukimshuhudia rafiki au mshiriki wa familia yao, itamfanya mtu huyo awe mgumu zaidi kwa lolote linalohusiana na kanisa au Injili.

Yote ni kuhusu mtazamo.

33 Hata uwe halali vipi wasiwasi huo, kosa kuu ni kuwa: Mtu yule kamwe hataweza kuokoka isipokuwa tuwalete chini ya Injili. Ikiwa yeyote hajaokoka, utawafukuza uwapeleke wapi? Hawatakwenda jehanamu #1 au jehanamu #3! Ikiwa wamepotea, tayari wamekimbia mbali wawezavyo. Ninaamini kwa moyo wote kuwa Neno lake Mungu, pamoja nayo huduma yake Roho Mtakatifu, ndilo hudhihaki, hushawishi, na kumvuta mtu aliyepotea kwake Kristo. Mvuvi wa nafsi mwenye huruma kwa kawaida humvutia mtu hali chanya, hata kama mtu huyo atamkataa Bwana. Mara kwa mara nimekuwa na fikra hili kwa kuhusu watu ambao nimetaka kuvua. Kwa kawaida, ni Shetani anajitahidi kunitisha mimi kama mvuvi wa nafsi kwa kusababisha uoga unaomaliza ujasiri au imani. Ni wazi kuwa, hatupaswi kamwe kwenda kwa mtu ili – kumfinyilia chini au kuwambia jambo moja au mawili tu. Kiburi kitamfanya mtu awaye yote atukimbie. Lakini kamwe hatutakiwi kuogopa wakati tunapeana mpango wa Injili kutoka kwa moyo wa huruma na wenye kujali. Jumapili moja asubuhi wakati wa mara yangu ya kwanza katika Carolina ya Kusini, tuliweza kuwa na msichana mchanga na mrembo aliyekuja mbele na kumpokea Kristo kama Mwokozi. Alikuwa nayo furaha tele lakini katika kuongea naye baada ya ibada, machozi yakajaa machoni mwake. – Mchungaji, tafadhali usimtembelee mume wangu. Itamfukuzia juu ya kanisa. Ujue alilelewa kama Mormon. Nikamwahidi kuwa ningefanya juhudi yangu yote kuupata urafiki waki na kumkabidhi Injili kwa huruma nyingi iwezekanavyo. Wiki iliyofuatia niliwapitia na kumpata yule mwanamume mchanga. Shetani alikuwa amechora picha nzuri ya jinsi vile

Sababu ya Yerusalemu.

34

. angekuwa mwanamume mwenye kiburi, mgumu na mbaya. Hata hivyo, nilipokutana naye, nilimwona kuwa wa kupongezwa na mpole. Nikamtajia pale mlangoni yakuwa nilikuwa Mchungaji wa kanisa ambalo mke wake alikuwa amehudhuria jumapili iliyopita. Nikamuliza kama niweze kuingia na kuwa naye kwa muda mfupi ili tuweze kujuana. Akanikaribisha mle ndani. Baada ya kuupata urafiki wake, nikauanza mpango uleule nimeutumia kwa miaka mingi. Nilipofikia mahali pa kumuuliza, - Naweza chukua muda mfupi nikuonyeshe jinsi unaweza kuwa nao uhakika kuwa unakwenda Mbinguni, ‖ akasema, - Mke wangu nami tumekuwa tukiliongea hili tangu aliporejea kutoka kanisani siku ya Jumapili asubuhi.‖ dakika chache baadaye, nikawa na fursa ya kumwongoza mwanamume huyu kwa kuujua wokovu wake Bwana! Jumapili iliyofuatia, wote wawili wakaja kanisani, wakatembea mbele ya madhabahu, na kumfuata Bwana katika ubatizo wa waumini.The next Sunday, they both came to church, walked the aisle, and followed the Lord in believer‘s baptism. Tangu hivyo amekuwa mtumishi wa maajabu wake Bwana na ni rafiki wangu katika huduma yangu.

Kumbuka: yaweza kuwa hatutawavua wote kwa Kristo. Lakini hakuna yeyote aliye na mawazo mema hufukuzika wakati u mvuvi wa nafsi aliye na huruma na atoae wasilisho wazi la Injili.

Wakati moja nilikuwa katika ofisi ya mchungaji nikimsikiza daktari wa madawa akitoa maelezo ya maeneo ambayo watu wanapaswa wahusike ili kusiadia kuzuia uavyaji mimba. Kwa madakika tu nikawa nimejua kuwa yeye ni Mkatoliki aliye mwenye moyo wa huruma.

Nilitaka kumshuhudia na nikaenda kufanya hivyo. Haikuwa rahisi. Nikafikiri, - yeye yupo hapa kwa sababu nyingineo na atanikiri visivyo ikiwa nitamkabidhi Kristo kwake. Tena nikafikiri, - Huwezi mshughulikia, yeye ni daktari. Baada ya kugawanya Injili naye, nikafikiri, - Usimsukume afanye uamuzi; utamkwaza. Mshukuru Bwana kwa kuwa nimejifunza kwamba hizi zote ni tazamo ha

Yote ni kuhusu mtazamo.

35

hasi kutoka kwa Shetani. Daktari alisikiza na kujibu kama mtoto – bila kusitasita, bila mapingano. Dakika chache baadaye, akainamisha kichwa chake na kumpokea Kristo kama Mwokozi. Kisha akataja kuwa kunao wengine waliokuwa wamemwambia anahitaji kuokoka, bali hakuna yeyote aliyekuwa amemuliza ampokee Kristo! Mara nyingi huwa nashangaa pengine walifikiri kuwa hawezi vutika. Kila mara utazame uoga wako pale mlangoni. Tunaye Mwokozi atoshaye na anayeweza kukutana na kutimiza matarajio yetu.

Sanduku la vifaa

Madhanio

Kwa sababu adui mkuu wa mvua nafsi ni uoga, kwa kawaida utaanza kuyadhania mambo kwa kumfikiri mtarajiwa kwa sababu ya msingi wa kushughulikia watu katika eneo hili. Ni maumbile yake binadamu. Mara nyingi nimewasikia watu wakisema kuwa walianza kuongea na mtu kuhusu nafsi yake lakini wakadhani moja kwa moja, -Yeye tayari ameokoka, au - Hayuko tayari kuokoka. Mara kadha huwa naskia, - nikishughulikia yeye, nitamkwaza, na hata pia – Pengine aliokoka wakati alipokuwa mchanga.‖

Sababu ya Yerusalemu

36

Kwa bahati mabaya, hata mvuvi wa nafsi halisi anaweza ruhusu dhana ya mambo mabaya. Hii ndio sababu kunayo mambo tatu sawa ya kudhania unaposhuhudia.‖. ona yakuwa kila dhana iliyo sawa inafuatiwa na neno la muhimu sana – kwa hivyo.‖ Kwanza, dhania kwamba kila mtu amepotea. Kwa hivyo, kamwe usimulize mtarajiwa wako kama ameshawahi kuokoka na kamwe usianze kumshughulikia kwa msimamo wa kwamba yeye aweza kuwa Mkristo. Badala yake, mwongoze kwa mahali ambapo utashiriki Injili pamoja naye. Pili, daima uwe na dhana kuwa mtarajiwa wako yumo na hamu ya kuisikia Injili. Kwa hivyo, mjie mamlaka na uchangamfu, sio kwa mwenendo wa hafifu na wa kuomba msamaha. Usingwe na uoga wakati unapoukabidhi ujumbe huu mtamu wa injili. Moyo wa mtu ulioandaliwa naye Roho Mtakatifu u na hamu ya kujua tiba ya Mungu kwa dhambi. Tatu, daima kuwa nayo dhana kuwa mtarajiwa wako atamkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi. Kwa hivyo, usisite kumuliza mtu huyu kuinamisha kichwa chake na kumpokea Bwana wakati u sawa. Dhania mambo yaliyo sawa nao uoga hautadhoofisha jitihada zako.

Somo 3

Ni Lipi Litanifanya Niendelee?

Unakumbuka wakati wa maisha ya Daudi alipopoteza kila kitu alichokuwa nacho, hata uaminifu wa wanaume wake? Soma tena 1st Samueli 30. Daudi na kikosi chake walikuwa mbali na kambi yao kwa kipindi cha muda usiojulikana. Hatimaye walirudi Ziklag

Yote ni kuhusu mtazamo.

37 kupata tu kuwa vitu vyao vimeharibiwa na faimilia zao kutekwa nyara. Hakuna kilichobaki ila tu uchungu wa kikosi chake. Hata wakaongea juu ya kumuua! Jibu lake Daudi lilikuwa lipi? Alijipa moyo katika Bwana! (Na, ndio, aliwafuatia Waamaleki na kuipata familia na mali zake). Kunao Waamaleki wanakufanyia kazi maishani mwako? Hebu tuseme kuwa unao motisha wa hali ya juu wa kuweza kuifanya kazi ya Uvuvi wa nafsi. Huwa unaondoka kwenda kwa matembezi angalau siku moja ya kila juma. Unalibeba agano lako jipya kila wakati. Huwa mara kwa mara unapeana vipeperusi vya Injili au kuvivweka mahali vitakapopatikana. Huwa unatazamia wakati wa uvuvi wa nafsi kwa hamu na uchangamfu. Lakini baada ya muda ile furaha inaondoka. Kushuhudia kunakuwa sasa kuwa kibarua. Unataka kuwafikia wengine na unapata furaha watu wanapookoka, lakini baadhi ya msisimuko umeondoka. Tofauti na Daudi, hakuna chenye kishindo kimekufanya ugeuke; pengine ni kuvuja kidogo tu katika kujitolea kwako. Karibu sana kwa ulimwengu halisi! Kila mvua nafsi hukumbana na hili. Kwa hakika, katika uzoefu wangu duniani kote, sijamjua mvua nafsi mwenye mafanikio amabaye hajakuwa na hisia kama hizi na kulishughulikia eneo hili la muhimu sana la maisha ya Kikristo. Kwa hivyo likubali, ishi nalo, lakini ulishughulikie. Wakati mwingine katika kushughulikia hisia hizi, shida yetu kubwa ni ukosefu wa ufahamu. Tunahisi kwamba ni sisi wenyewe tu tunaopitia pambano hili. Hii hutoa ukosefu wa usalama wa kiroho.

Sababu ya Yerusalemu.

38 unataka kuujua ukweli? Wewe si salama, wewe ni windo kubwa. Afanyaye kazi ya vuvi wa nafsi huwa ni windo kuu lake Shetani. Ikiwa anaweza kukuzuia, kukusababishia uwe na mashaka, au kukufanya ukae na kujiuzulu, basi askari mwingine wa Mungu amepokonywa silaha zake. Hebu turudie: Kila Mkristo ambaye amewahi fanya kazi ya uvuvi wa nafsi anajua kuwa shetani ataenda kwa kiwango cha kukithiri ili kumzuia, kumpunguzia kasi, au kuzigeuza bidii zake. Ibilisi husimama pembeni na kufurahia wakati Mkristo mwingine yumo kwenye hatihati za kutokuwa na ufanisi. Rafiki, vita vikuu vyake Shetani dhidi yako vimo katika akili zako. Na kushindwa ni hakika ikiwa haujajitayarisha akilini na rohoni. Hivyo uelewe yakuwa kuvunja moyo ni mojawapo ya silaha yenye nguvu aitumiae dhidi yako. Hakuna anayesazwa, na haijalishi unajisikia vipi, hauhusiki kwa kuvunjika moyo kuliko wengine. Mara nyingi ni rahisi kusahau kuwa – kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho,‖ (Waefeso 6:12). Naukumbuka msemo wa kale wakati nikiwa kwenye chuo: - kuna njia tatu za kuhakikisha kuwa kamwe hauhisi mashambulio ya Shetani. Usiwe na chochote, usiwe yeyote, na usifanye lolote. Inasimamisha wazo kuwa mtu wa kwanza ambaye shatani angetaka kusimamisha, ni Mkristo aliye kwenye shughuli katika biashara yake Mwokozi.

Hii ni kweli haswa mvua nafsi mwenye jitihada kwani uvuvi wa nafsi ndio iliyo biashara kuu katika maisha ya Mkristo. Ndio msingi wa Agizo Kuu na ni ndilo la karibu mno kwenye moyo wa Mwokozi wetu. Kwa hivyo, upinzani mzito wa Shetani utaelekezwa kwake mvuvi wa nafsi. Kuvunjika moyo kwa mvuvi wa nafsi kunaweza pia kuwa kwa hali

Yote ni kuhusu mtazamo.

39 ya kujikataa mwenyewe. Ikiwa utaikabidhi Injili na ukutane na -LA- kubwa isiyotikisika, ni rahisi mno kujisikia umekataliwa au kupuuzwa. Hisia zinaanza kujizua kama vile, - nimepena kabidhi mbaya, au – siwalaumu kwa kutonijibu. Pengine – sikufanya bora au sikufanya itakikanavyo.‖ ni ukweli ni kuwa, sisi sote tunayonafsi ya kukua kama wavuvi wa nafsi. Bali wewe hauwajibiki binafsi kwa uamuzi mtu mwingine aufanyao wa kukubali au kukataa ile Injili umemkabidhi. Weka mbele mawazoni mwako ahadi ya Mungu kwa Isaya: ― ndivyo litakavyo kuwa neno langu, litokalo katika kinywa change; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale nilyolituma.‖ (Isaya 55:11). Mtu anayekukataa, hakukatai wewe; anamkataa Mungu. Hebu nifichue wakati wangu mbaya katika uzoefu wa uvuvi wa nafsi. Miaka mingi imepita nilipokuwa mchungaji kule Grand Rapids, Michigan, nilimchukua mvuvi wa nafsi wa mara ya kwanza kutoka kwa kanisa pamoja nami. Kwa asili, nilitaka mtarajiwa mzuri na kwa hivyo nikachagua nyumba ya mwanamke aliyekuwa ametembea kanisani asubuhi jumapili iliyokuwa imepita. Tulipoubisha mlango wake, ukafunguliwa mara moja na yule mwanamke mwenye sura nzuri iliyojaa tabasamu. Nikajitambulisha na mwenzangu na kuuliza kama tungeweza kuingia kumtembelea kwa muda mchache. Alipokuwa anatufungulia mlango ili tuingie, mumewe, amabaye alikuwa mwenye kimo sawa na tingatinga akaja mlangoni kwa mayowe ya

Sababu ya Yerusalemu

40

matusi kuhusu makanisa, wahubiri, Mungu na vinginevyo. Akatutishia kutuchapa sisi sote wawili ikiwa hatutaondoka. Akamvuta mke wake mle ndani na kuufunga mlango.

Tukaamua, katika hali hiyo, ni vyema kuondoka na tulipokuwa tukielekea barabarani tukaisikia sauti ile ya utulivu ya Yule mwanamke ikiitana kwenye mlango wa pembeni, - tafadhali, nahitaji kuongea na wewe.‖ kabla hatujamjibu, mume wake akamvuta ndani tena, akatuamuru tutoke kwa mali yake na kuugonganisha mlango.

Kwa hakika sikuwa na wazo lolote nimwambie nini Yule mvua nafsi wa mara yake ya kwanza. Nilijaribu kumwambia kuwa wote hawakuwa wa namna hii, lakini sina uhakika kuwa aliniamini.

Kisha usiku ule, yule mume akiwa kwa ghadhabu za ulevi, alichukua bunduki yake na kujaribu kumpiga risasi mkewe. Alifanikiwa kumpiga na kuutoa mkono wake. Siku mbili baadaye, nikamtembelea hospitalini na akaweza kumpokea Kristo kama Mwokozi. Mwisho wa hadithi? bado.

Kwa miaka miwili, yyule mwanamke hakukoma kumwombea mumewe, hata ijapokuwa alikuwa amemwacha na hawakuwa na mawasiliano yoyote. Kisha Jumapili moja jioni nikiwa dakika kumi katika mwanzo wa mahubiri yangu kanisani, mwanamume mmoja asiye-nyoa akaingia na kuketi. Wakati tulioanza kutoa mwaliko akatembea mbele - na hakuyaondoa kamwe macho kutoka

kwangu wakati wote huu. Akampokea Kristo, na wakati badaye nilipomtambulisha hadharani, Yule mwanamke aliyeupoteza mkono wake akaja mbele akilia, - Asante Mungu mume wangu ameokoka!‖

Yote ni kuhusu mtazamo.

41

Baada ya ibada akanijia – Ndugu Wood, ningeutoa mkono wangu tena ili kumwona mume wangu akiokoka! Kama palikuwemo na matembezi yenye kuvunja moyoni hapo mwanzoni kwa mvua nafsi, yalikuwa ni yetu. Lakini huwezi kujua ni lini au ni vipi Mungu atazitumia jitihada zako. Kile tunachokijua ni kuwa ni mapenzi yake Mungu kwa Mvuvi wa nafsi kurejea kutoka kwa kazi yake na shangwe (Zaburi 126:6). Swali dhahiri ni vipi. Ni vipi nitauweka moyo wa shangwe? Ni kwa jinsi gani nitafurahi na nisfanyike wa kuanguka kando kwa ajili ya kuvunjika moyo? Njia moja bora ni kutoruhusu furaha, yako kujengwa juu ya matukio, lakini bali juu ya msamaha wake Mungu, wokovu wako na pendo lake kuu kwako. Usikawi pitwa na kuzaliwa mara ya pili. Wakati wa kukaa pale Ohio, nikiwa napita karibu na meza hoteli karani akasema – unakaa mwenye furaha sana.‖ ― Ndio ninayo, ‖ nikamjibu, ― nimekwisha kuwaona watu kadhaa wakimruhusu Bwana Yesu awabadilishe maisha yao na kuwapa mwanzo mpya.‖ Akakiinua kichwa chake. – Hivyo ni vizuri, akasema, - Nahitaji kurudi tena kanisani.‖ Nikaikaribia meza yake na kusema, - unajua, mtu anaweza suluhisha mambo yake na Mungu wakati wowote katika mahali popote. Hebu ni kwonyeshe ninamanisha nini.‖ nikaifungua Biblia yangu, na dakika chache badaye akawa amevuliwa kwake Bwana. Kwa kweli, nilikaa muda wa dakika 40 bila tatizo kuu (ambapo ulikuwa ni mujiza kivyake) kumweka kwenye msingi wa Bibilia na kushirikiana pamoja naye.

Sababu ya Yerusalemu

42

Hakuna lingine hunihamashisha zaidi kuwavua waliopotea kama kuona wengine wakimpokea Kristo. Nimebahatika kuliko wengi kwa kuwa nimeona hesabu za watu wakimpokea Kristo katika mikutano kila wiki kote kote nchini. Mwanamume kule Oklahoma alinijia baada ya ibada ya Jumapili jioni na kunielezea jinsi alivyokwenda nyumbani baada ya ibada ya kuabudu asubuhi na akamwongoza dada yake kwake Kristo. Kwa nini basi? Kwa sababu alipowaona watu 28 wakimpokea Kristo asubuhi hiyo, alijua kuwa dada yake angeokoka pia.

Kila mvua wa nafsi anatakiwa ajue ni nini hamasisho lake kwa kushuhudia mara kwa mara na kuwavua wengine kwake Kristo. Ni nini ambacho hukuhamasisha wewe kuikabidhi Injili kwa wengine? Natumai kuwa ni kwa ajili ya furaha uliyonayo katika Bwana na kwa roho wa kuufurahia wokovu wa wengine.

Sanduku la vifaa.

Kueneza

Hakuna Mkristo anayeshambuliwa mara kwa mara kama mvuvi wa nafsi. No Christian is as constantly under attack as the soul winner. Baada ya yote, yeye ndiye anaye shambulia kwa kweli zile lango za kuzimu ili kuwansua waume na wake kutoka kwenda kuzimu milele bila ya Kristo. Shetani hatapigana tu ili kumzuia Yule mtu aliyepotea asisikie, kujibu, kuitikia na kuipokea Injili, bali atapigana na Mkristo ili kumweka mbali na kuikabidhi Injili mara kwa mara.

Ni kinena kutoka kwa uzoefu, kifaa unachohitaji zaidi kwa wakati kama huu kujieneza. Jitumbukize katika Neno na katika maombi. Inasikika ya kawaida mno? Lifanye hata hivyo; kwa jinsi hii:-

Yote ni kuhusu mtazamo.

43

* Kuwa nayo furaha katika kuisoma Biblia na maombi. Hizi ni muhimu ikiwa Mkristo atakua na kudumisha mzigo wa wale ambao wamepotea. Tafakari juu ya ukweli wa Jehanamu. Soma vifungu vya Bibilia vinavyofundisha kuhusu Jehanamu – mateso yake, kutenganishwa na Mungu na wakati wake. Wote waendao huko wamepotea. Hakuna matumaini, hakuna msamaha, hakuna nafasi ya pili. Hii inaweza kukusaidia kuendelea kushuhudia kwa mtazamo sahihi.

* Rejelea Kalvary na ukuu wote wa wokovu. Fikiria juu

ya dhamani ya malipo aliyofanya Yesu. Kumbuka tofauti iliyofanywa katika maisha yako na jinsi gani maisha ya wengine yamebadilishwa, maboma kuletwa pamoja na watu kuongozwa kwa matumaini.

* Kuwa mwenye huruma. Biblia inatuambia katika Yuda

22 tuwe na huruma kwa maana hii huleta tofauti. Mwombee mtu kwa jina na uuone uso wake unapoomba. Elewa maisha ya milele yatakuwa aje kwake ikiwa atakufa usiku wa leo. Fanya nakala ya watu ambao hautaki wafe na waende Jehanamu. Sasa muulize Mungu akusaidie kumfikia mmoja wao na umtaje kwa jina.

Nikirejea nyumbani kutoka kwa mkutano, nilichukua muda mfupi kuondoka kutoka kwa nakala nilizokuwa ninaandika na kuwatazama watu kila pahali katika kituo cha ndege watakao kuwa jehanamu ikiwa hawatafikiwa. Nilimgeukia mwanamume aliyekuwa kando yangu na nikamuliza kituo chake cha mwisho ni kipi. – Boston, akanijibu. Kabla

Sababu ya Yerusalemu.

44

Sijafafanua swali langu, akaniuliza ni nini hicho nilikuwa ninaandika. ― Makala ya dini ya kuwasaidia Wakristo kuwaonyesha marafiki zao jinsi ya kujua watakwenda Mbinguni.‖ Pasipo kusubiri jibu, nikaendelea, - Naweza chukua dakika na nikuonyeshe jinsi ifanyavyo kazi?‖

― Sawa,‖ akajibu.

Nikaitoa Agano yangu Jipya na nikamuongoza kwake Kristo. Nikawashuhudia watu wengine watatu na kupeana vipeperushi kadha vya Injili. Mwanamke mmoja akaniambia kuwa yeye ni Mkristo lakini hajawahi kamwe kumwongoza mtu yeyote kwake Kristo. Hilo, aliniahidi, litabadilika.

Hakuna lolote linalofanikiwa kama mafanikio. Ijapokuwa nimesahau ni nani aliyeyatamka hayo, huwa inanisaidia kukumbuka yakuwa uhalisi wa kulitenda jambo huongoza kwa ushiriki mkuu, msisimuko na kushughulika.

* Fikiria 1st Wakorintho 10:13: - Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu.‖ kila mvuvi wa nafsi wa kila kizazi na kila hatua ya ukomavu amekumbana na pandashuka. Ikiwa tutasalia waminifu na wenye ufanisi, tunaweza tambua hili na kulishughulikia.

Kumbuka: INi kawaida kwa kila Mkristo aliye mvuvi wa nafsi kupoteza furaha ile yake ya mwanzona kujaribiwa kujiuzulu. Kuwa tofauti. Kuwa tofauti kutaleta tofauti yote.

Yote ni kuhusu mtazamo.

Somo 4 45

Wakati Wote Kuwa Mtu.

Nilikuwa nao mkutano nje ya Washington, DC. Nikawa nimemaliza kufunza kongamano la uvuvi wa nafsi hiyo asubuhi na nikawa nimewapa hao watu ule mpango mzuri ufanyao kazi wa pointi – 13. Tukiwa kwene mamkuli ya mchana pamoja na mchungaji, tukatulia katika mazungumzo kuhusu uvuvi wa nafsi wa kutoka nyumba hadi nyingine. Nikapendekeza twende baada ya chakula cha mchana. Muda baadaye tukasimama kwenye nyumba za maendeleo ya makazi na kuanza kubisha milango. Kwa mlango wa pili, Yule mwanamke akafungua mlango kiasi. - Habari za alasiri,‖ Nikaanza kwa uzuri. - Naitwa

David Wood na huyu ni Mchungaji _______, kutoka

kanisa la ________ , lililo hapa chini mwa barabara.

Tumepitia ili kukualika kwa mikutano yetu ya ufufuo

na kukuzungumzia kuhusu Bwana.‖ - Sina haja,‖ akasema kwa sauti kuu huku akianza kuufunga mlango. Nikaunyosha mkono wangu kuushika mlango kwa muda. – Mama, ningependa kuomba radhi.‖ - Kwa ajili ya nini?‖ Akasitasita. - Kwa ajili ya Mkristo aliyekudhi au kukutenda vibaya pasipo sababu yoyote. Yaweza kuwa alikuwa mtu wa familia yako au mtu Fulani uliyekutana naye mle nje, lakini mtu amekuambia juu ya Bwana na kasha akakukwaza kiwango hadi hutaki kusikia tena juu yake. Niko sawa?‖ Akatingisha kichwa.

Sababu ya Yerusalemu.

46

Nikaendelea, - Ninasikitika kabisa kuwa hili lilitendeka kwa sababu

limekuharibia nafasi yako ya kujua jinsi maisha yanavyo kuwa ya

ajabu ukiwa naye Bwana.‖ Kwa hilo, akaufungua tena mlango na kutuomba tuingie.

Dakika chache badaye, akakinamisha kichwa chake na kumpokea

Kristo. Jioni hiyo alikuja kwa ibada yetu na kutembea mbele kufanya

wazi uamuzi wake hadharani. Sitawahi sahau maoni yake kwangu

wakati wa kufunga ibada, - Mhubiri, asate kwa kuzijali hisia zangu.‖

Hali ya aina hii mara nyingi mwisho wake huwa si mwema. Watu

wengi ambao wamekwazwa, hujeruhiwa kwa kiwango kuwa kutajwa

kwa Bibilia, dini au Mungu huwa wanakimbia mbio.

Hakuna aliyemgumu kumvua kama mtu yule aliyejeruhiwa na mvuvi

nafsi mwingine. Siwezi anza kuhesabu ni mara ngapi nilipoanza

kumshughulikia mtu kuhusu maisha ya milele na kabla nianze

mpango, wananizuia kabisa – kawaida mara nyingi kwa hasira.

Unaweza fikiri kuwa mvuvi wa nafsi hatawahi kamwe kujaribu

kuvua aliyepotea na akose kuwa mwema. Uzoefu wangu unanifunza

tofauti. Nikiwa Mkristo mchanga kwenye mkutano wa uvuvi wa

nafsi, nakala yangu ya kwanza niliyonakili, - Kuwa mwema.‖ tokea

wakati huo huwa ninaweka juhudi kuwaendea watarajiwa kwa utu,

heshima na fadhili.

Wakati mwingine huwa tunadhani kuwa njia bora ya kuvutia mtu

kwa Injili ni kwa kuwa mkali na halisi. Hata hivyo, kinyume ni

ukweli. Kwa kweli, jambo lililo mbaya ambalo mvuvi wa nafsi

anaweza kufanya ni kutomchukua mtu katika upendo na tabia ya

Kikristo. Namkumbuka Mwinjilisti Carl Hatch akisema, wavuvi wa

nafsi ni lazima wawapende watu.

Yote ni kuhusu mtazamo.

47

Wakati mmoja wa Januari niliwatazama aina mbali mbali

za watu wakimpokea Kristo: daktari mkuu wa upasuaji wa

ubongo kwenye jimbo hilo, profesa aliyeongoza idara ya

mitambo, mamake mhubiri (alikuwa amemwombea kwa

miaka 21), mama mchanga wa dhehebu la kiorthodoksi la

Kiyahudi, na mwanamke mkiri wa dhehebu la Mashahidi

wa Yehova. Wote walikuja kwake Bwana kwa sababu mtu

fulani alijali kiwango cha kuwaleta kwenye mojawapo ya

mikutano yangu. Kwa sababu ya upendo, fadhili, huruma

na heshima, urafiki ulibuniwa uliowezesha mtu huyu

ambaye hajaokoka kuwa na heshima ya kutosha kwa mvuvi

wa nafsi na kuhudhuria mkutano na kuusikia ujumbe wa

Injili.

Ni mara ngapi tumewaona jamaa na marafiki ambao

hawangefikiwa kwa sababu ya pito mbaya walilokuwa

wamelipata! Mara nyingi watu ambao hawajaokoka huwa

ni wema lakini wanakuwa baridi na wangumu Injili

inapotajwa kwa sababu ya Mkristo ambaye alikosa kuwa na

wema na pendo wakati wa kukabidhi kwake. Kwenye

mamkuli ya mchana miaka kadha imepita, nilimsikia

mchungaji mmoja wa kanisa kubwa akisema, - nataka niwe

mwangalifu mno kuwa kila mshiriki wa kanisa langu

anayetoka kuvua nafsi amefunzwa ili wasikwaze watu wa

mji wetu. Hatuna watarajiwa wa kutosha hata pawe na

yeyote wa kukwaza!‖

Naamini hii ni mojawapo wa tabia za kweli na za msingi

katika maendeleo ya mvuvi wa nafsi mkuu. Unaona kuwa,

watu wengi huwa hawampokei Kristo wanapokabidhiwa

mara ya kwanza. Wakati mwingine inachukua miezi au

miaka kabla wajibu. Ikiwa wazo lako kwa uvuvi wa nafsi

Sababu ya Yerusalemu.

48

ni jambo linalo husisha kukabidhi mara moja na kumkwaza mtu huyo ikiwa hata sema ndio, basi uko kwa shida. Unaposoma kupitia kwa Injili, hutakosa kuona na kuvutiwa na jinsi Yesu alikutana na watu pahali walipokuwa katika uhalisi wa maisha yao. As you read through the Gospels, you can‘t help but be impressed with how Jesus met people where they were in every realm of life.

Kwa kila mtu aliyekutana naye, alionyesha huruma, upendo, wema na unyenyekevu katika kuwasilisha ukweli mkuu wa Baba Yake. Nikodemo. Mwanamke kisimani. Mfarisayo. Mwandishi mwenye kutaka kujua. Kijana mwenye mali nyingi. Petro na Andrea. Mathayo. Simoni mzelote. Zakayo. Yesu alijizoeza uvuvi wa kibinafsi wa nafsi mara kwa mara na kuwavua watu wa kila aina kutoka kwa kila eneo la maisha.

Neno kuwa mtu ni neno ambalo nimelitumia mara nyingi katika mafunzo ya uvuviwa nafsi ili kusiadia watu kujifunza kuwa kuwa wenyewe, kumtuliza mtu ambaye wanamkabidhia Injili na kuonwa kuwa wao ni watu halisi na sio kama mashini.

Kinyume cha kuwa mtu ni kuwa mngumu – mtu aliye na mwonekano wa dini anayedhihirisha kitu tofauti kando na lile ambalo Kristo amelifanya maishani mwake. Ufafanuzi halisi kutoka kwa yule ambaye hajaokoka ni kuwa hawataki lolote linalohusiana na dini ya aina hiyo. Huwa inawaacha wakiwa wangumu na wenye wasiwasi pia.

Ni muhimu sana kuwa mvuvi wa nafsi ajifunze kutabasamu na ikiwezekana, amsaidie mtu huyo mwingine kuhusika katka mazungumzo kabla hajaingia katika swala la injili.

Wakati mmoja nilikuwa nayo nafasi ya kutoka na kuhusika katika uvuvi wa nafsi wa kutoka kwa mlango hadi mwingine pamoja na kijana mmoja niliyekuwa ninamfunza. Hatimaye, ikawa ni fursa yake ya kuwasalimu watu na kuikabidhi Injili. Punde tu yule mwanamke alipoujibu mlango, mara moja kijana akalitaja jina lake, jina langu na

Yote ni kuhusu mtazamo.

49

na yakuwa tunatembea kutoka kwa kanisa lililoko mtaani. Pasipo kuchukua muda wa kupumua akaendelea - Ikiwa utakufa usiku huu, unajua kwa hakika kuwa utakwenda Mbinguni?‖ Yule mwanamke akaponea, akatoa jibu la chini na kupeana sehemu kiasi cha msingi wa dini yake. Yule kijana akapokea jibu lake, na kumwalika kwa mkutano wetu katika eneo hilo, na akawa anaondoka kuuwendea mwathiriwa wake wa pili na hapo nikachukua hatua moja kusonga mbele na kuutoa mkono wangu na kumsalimu. Akatabasamu na kujibu. Nikamuliza kichwa cha kitabu alichokuwa anakisoma. Akaniambia kichwa chake na yakuwa mara nyingi alikuwemo nyumbani wakati kama huu wa siku. Kasha tena akazindua maelezo kadhaa kuhusu maisha yake na ya watoto wake. Maongeo yetu yalihusisha utotoni mwake, msingi wake wa dini, maisha yake ya ndoa na hata uzuri wa siku hio. Kisha nikampa ushuhuda wangu na kwa urahisi nikarudia lile swali ambalo rafiki yangu alikuwa amemuliza. Mara hii akainamisha shavu lake na kugugumiza, ― Naam, sina uhakika 100%, zaidi kama 90%.‖ Nikamuliza kama ningemwonyesha namna ya kupata hiyo asilimia 10% nyingine. Akakubali. Muda mfupi baadaye, akakiinamisha kichwa chake na kumpokea Bwana. Naamini tofauti katika wavuvi wengi wa nafsi wa kuweza kuwavua watuu kwake Kristo na kukua katika kutumiwa na Mungu inatokana na wao kuwa rafiki na kama watu – kumtuliza Yule mtu na kumfanya ajihisi kwamba upo pahali yeye alipo.

Sababu ya Yerusalemu.

50 Bado, ninafahamu kuwa ndugu na dada wa watawakwaza wengine.

Mitego miwili huja kwa mawazo yangu na ni ombi langu yakuwa

ujifunze kutoka kwa makosa haya. Mtego wa kwanza ndio mbaya

zaidi, na hutokea wakati mtu anapouliza swali kuhusu mafundisho,

sheria au madhehebu na mvuvi wa nafsi anajikubalia kuondoka

kutoka kwa mkondo. Majibizano yanatokea. Kutokea hapo, kila

jambo linakuwa halina maana. Kulingana na Bibilia, mtarajiwa

hawezi kuzielewa kweli zingine hadi aelewe ukweli wa wokovu.

Mvua nafsi anaweza bishana na awe mshindi, bali uhakika ni kuwa

anashinda majibizano na kuipoteza nafsi.

Katika kufunza uvuvi wa nafsi, swali ambalo huwa ninapendekeza

liweze kuulizwa ni hili, - wewe huwa unahudhuria kanisa lipi?

Uhakika ni kuwa jibu litakuwa Mormoni, Mkatoliki, Mbatisti au sina

kanisa lolote. Ni swali la muhimu kuuliza … lakini lenye hatari

kubwa.

Nilikuwa wakati mmoja nimetoka kwenda kwa uvuvi wa nafsi

pamoja na mtu mwingine wakati mtarajiwa alposema kuwa alilelewa

kama Mmomorni. Mwenzangu kwa mara moja akanza kukosoa

kanisa la Mormoni na kwa ukali akaelezea kuhusu makosa ya

mafundisho yao. Vita vya maneno vikaibuka na hakuna lolote

lilitimizwa katika kuikabidhi Injili.

Mara nyingi huwa nina funza kuwa unaweza kusema lililo la hasi bila

ya kujali wametoka kwa msingi wa dini gani. Ikiwa ni Walutheri,

pongeza milango yao miekundu ambayo makanisa mengi ya

Kilutheri huwa wako nayo. Ikiwa ni Mmormoni, pongeza jinsi

ambavyo kwaya yao huimba. Ikiwa si wa dini yoyote, unaweza

kusema, - Hio ni vyema! Kwa sasa huna lolote la kugeuza

ulilojifunza.

Yote ni kuhusu mtazamo.

51

Miaka kadhaa imepita nilipokuwa katika mkutano, nilikuwa kwenye matembezi pamoja na mchungaji kwa watu watarajiwa. Nilikuwa nimekusudia kwamba nitakuwa mvua nafsi kwenye nyumba iliyo fuatia. Bada ya kubisha na kukarishwa ndani, nikauliza swali la ufunguzi, - wewe ni wa kanisa gani? – Akajibu, - Mashahidi wa Yehova; na kasha akaendelea, nadhani sasa unataka kunikosoa? – La, nikasema, - Kwa hakika, Mashahidi wa Yehoya huweka watuWengi kwenye aibu katika bidii ya kupeleka ujumbe wao.‖ Akatabasamu na kuniomba niendelee. Dakika chache badaye, baada ya kuikabidhi Injili kwa makini, akainamisha kichwa na kumpokea Kristo. Baadaye alitoa maoni, - mara nyingi nimekuwa nikijiuliza watu kama nyinyi mliamini nini kuhusu Bibilia, lakini sikuweza kujadiliana na mtu yeyote. Kila wakati nilipojaribu, iliishia katika mabishano.‖ Uvuvi wa nafsi ni wa kusisimua. Ndio mwisho wa juu wa onyesho la huruma la Mkristo. Ni kimo cha utiifu katika maisha ya Ukristo na ni kujali kwa ajili ya ulimwengu ambako Wakristo wengi huwa kamwe hawapati kufurahia. Unapoenda nao mpango wa Mungu wa wokovu, kumbuka yakuwa wale unao patina nao wanaweza kuwa na misingi tofauti tofauti. Usiwakosoe, usiwapitie juu, na usiwavunje mioyo. Ni mara chache huwa wanakutana na yeyote aliye mwenye wema, huruma, kuelewa, asiyetafuta yake mwenyewe na kwa dhati anayetaka kumnufaidi Yule mtu mwingine. Ikiwa mtarajiwa hawezi kumwona Yesu katika wewe, kamwe hataweza kusikiliza unachomwambia kuhusu Yesu. Napenda kuweka mawazoni lile ambalo rafiki yangu mwinjilisti husema – Watu waliopotea hawaisomi Biblia, lakini huwa wanawasoma watu wanaoisoma Bibilia.

Sababu ya Yerusalemu.

52

Anguko linguine la kujiepusha ni lile la kuwa sugu. Sio ufuatilivu, ambao ni wa Bibilia, lakini aina ile ya ufuatilivu unaotafsiriwa kuwa wa kufuata au kusumbua mtu kuhusu hali yao ya kiroho. Mvua nafsi hapotezi nafasi kumwambia mtu yule kuwa anaelekea kuzimu asipompokea Krsito na ni vyema ageuke kutoka kwa njia zake ovu au Mungu atamwadhibu.

Hii sio njia ya pendo ya kuukabidhi mpango wa wokovu wa ajabu wake Mungu. Sio ajabu watu hawataki lolote linahusiana na Injili, na hata zaidi mtu Yule mwenye kuikabidhi! Hata mimi vile vile sipendi kusumbuliwa!

Kwa kuwa mwangalifu juu ya hisia za mtarajiwa sio tu jambo la ungwana, bali pia la muhimu ikiwa tutakuwa wavuvi wa nafsi ambao Mungu anataka tuwe.

Sanduku la vifaa.

Unyeti.

Mvuvi wa nafsi atataka kila mara kuboresha na kujifunza juu ya namna ya kukutana na watu mahali walipo. Kwa hivyo kumbuka funguo hili muhimu la uinjilisti wa dhati. Kila wakati unapomshughulikia mtu na kwa sababu yoyote ile akose kuipokea Injili, mwache akiwa na hisia nzuri kukuhusu na kuhusu lile ulilokuwa unalisema.

Wakati wake Mungu haupaswi kutiliwa shaka. Yawezekana Mungu anakutumia kama mpanzi wa mbebu (1st Wakorintho 3:5 – 8) na atamleta wakuvuna katika maisha ya mtu huyo wakati mwingine ujao. Kuwa na mfano wa neema Kristo alivyokuwa. Ikiwa huwezi kumvua mtu, mwache ili mvua nafsi ajaye aweze.

Yote ni kuhusu mtazamo.

53

Somo 5

Mtazamo Wake Mungu

Kuhusu Wale Wamepotea.

Pengine linalopuuzwa kuzingatiwa na mvuvi wa nafsi ni mtazamo wake Mungu. Unakumbuka mfano katika Luka 15 kuhusu kondoo aliyepotea? Kati ya mistari ya hadithi hii, Yesu anauliza kila mmoja wetu kufanya hesabu yake ya kiroho ni wapi msititizo wetu ulipo, haswa katika huduma yetu. Hapa kunaye mtu aliye na kondoo 100 na anampoteza tu mmoja. Here is a man who has 100 sheep and loses only one. Hiyo ni takwinu nzuri. Lakini alikuwa anajalishwa sana hata akawaacha wale 99 na kwenda kumtafuta yule aliyepotea. Sititizo lake lilikuwa wapi? Kwa wale waliokuwa salama au kwa yule moja aliyekuwa amepotea? Tazama uone alipowaacha wale 99. Nikfikiria kuwa alimshawishi mchungaji mwingine aliye rafiki kumwangalilia hawa. Lakini hakufanya hivyo. Wala pia hakuajiri mbwa wa kuchunga. Aliwaacha wale 99 katika nyikani. Laonekana kama tendo la kukosa uajibikaji, lakini huo sio mtazamo. Mungu anataka kutuonyesha mkazo anaouweka juu ya mtu mmoja ambaye hajaokoka.

Sababu ya Yerusalemu.

54 La kuhuzunisha Wakristo wengi wanapendezwa na hali kama ilivyo. Huo sio mtazamo wa neno lake Mungu. Mkazo wa mandiko ni twende na kumpata kila mtu ambaye hajaokoka na kumkabidhi Injili. Hubiri wokovu, ithamini damu, wache wajue jinsi kuzimu kulivyo moto na muda ulio wakuwa huko, na kasha watambulishie ajabu za Mbinguni na neema ya ukombozi Mungu alioufanya uwezekane kupitia kwa Mwanawe Cha kushangaza, mfano huu pia unaomba hesabu ya wakati wetu. Muda ndio pengine kiungo katika maisha ambacho kila mtu ako nacho kwa kiwango cha wingi na kw sawa. Tunaweza kuwa na majukumu tofauti tofauti lakini sisi sote tunao mgawo sawa wa wakati. Tutautumia kwa namna gani? Tuko na shughuli nyingi hata tusiweze kwenda kwa uvuvi wa nafsi lakini tunao wakti wa kukuiona kipindi cha runinga? Umesawahi jaribu kumtuliza mtu ambaye kwa ghafla anatambua kuwa anao mtu wa jamaa yake katika kuzimu? Miaka kadhaa imepita, nilianza kusoma kila ujumbe ambao ningeupata uliokuwa umeandikwa naye Daktari John R. Rice. Alikuwa na ushawishi mwingi mno katika maisha yangu na nilikuwa nataka kutafuta msititizo wake, kujua moyo wake ulikuwa kwa lipi. Nilipozisoma jumbe zake, nilipata mara tena na tena falsafa moja ya maisha yake huyu mwanamume iliyoendelea kushikamana nami kunizungumzia moyoni: hakuna kazi iliyo kuu wakati nafsi ya mtu imo hatarini. Mungu alimtumia Daktari Rice kwa kiwango hicho alichomtumia kwa sababu moto uliokuwa unawaka wa huruma moyoni mwake ni wakuwaona watu wakiokoka. Niliwahi ongea na mtu mmoja aliyeanzisha huduma ya vijana katika mwaka 1942. Kuna uwezekano huwa anawaleta wengi kwa wokovu katika huduma hiyo kama mtu mwingine nimjuaye.nilimuliza kwa nini bado yuatumiwa na Mungu. Nini ilikuwa kanuni ya msingi wa huduma yake? Akasema, - kutoka siku ya kwanza, nia yangu juu ya

Yote ni kuhusu mtazamo

55 kila kitu ninachokifanya limekuwa la kuwaona vijana wakiokoka. Huyaona mambo jinsi Mungu ayaonavyo. Na kile ambacho wavuvi wakuu wa nafsi huona ni zaidi ya uinjilisti wa kitabia. Ndio, tunahitaji kuishi maisha safi na tuwe wakilishi wema wa Yesu Kristo, lakini watu hawatatusonga na kutusihi wakitaka kuokoka kwa kuyatazama maisha yetu. Tunafaa kutoka na kuipeleka Injili kwa ulimwengu. Lakini kunalo jambo bora unatakiwa kutambua. Kushuhudia kunaweza kukugharimu. Ili kuweza kushuhudia itakubidi kuacha nje mambo Fulani; pengine ni runinga, mlo, kiasi cha usingizi. In order to witness you may have to leave out some things, perhaps TV, a meal, some sleep. Dhamira kabisa kwa Bwana ni pale anayatangulia mambo mengine yote. Mungu hataki mabaki, bali dhamira kamilifu. Kwa maneno mengine, usjiuzulu katika kujaribu kuwafanya watu waokoke. Katika sura inayofuata, tutakupeleka undani kwa sanaa ya uvuvi wa nafsi. Unapoendelea nasi utagundua kwa upesi mambo mawili tunayoyategemea. Kwanza ni maombi. Neno lake Mungu linasema, - kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,‖ (Yakobo 5:16). Nimeshawishika kuwa nafsi zinavuliwa kwa sababu mtu fulani aliomba. Na ili kuomba kwa ufanisi, mvuvi wa nafsi anahitajika kuwa na kiasi cha msingi wa ujuzi wa maombi. Katika kuomba kuna kuungama, dua, sifa (au kuabudu Mungu), maombezi, na neno linenwalo la imani. Kila eneo ni la muhimu na lazima litumiwe.

Mkristo hawezi kuendelea sana katika maombi bila ya kuelewa nafasi ya eneo la kuungama – kukubalina na

Sababu ya Yerusalemu

56

alisemalo Mungu juu ya dhambi. Kuungama huongoza kwa toba na humwacha mvuvi wa nafsi akiwa msafi, na wamanufaa kwa Baba wa Mbinguni. Dua pengine ndio eneo linalotumiwa sana la maombi. Haja dhahiri inaletwa mbele zake Mungu. Mvuvi wa nafsi yapaswa awe na orodha ya maombi yenye majina ya waliopotea wale ambao kwa kila siku anawafanyia dua kwake Mungu. Inaonekana ajabu kuhusisha sifa kuabudu kama sehemu ya maisha ya maombi ya mvuvi wa afsi. Lakini hili ni la msingi. Tunamtambua Mungu kuwa yeye ni nani na ni lipi analolifanya. Kumbuka kuwa mlinzi wa jela la Filipi alikuja kwake Kristo (Matendo 16:30) kama matokeo ya moja kwa moja ya sifa kwa upande wao Paulo na Sila.

Maombezi ni sehemu hiyo ya muhimu katika maombi ambapo mvuvi wa nafsi huliona haja na kuliombea. Hili humwongoza kujitambulisha na haja hiyo na kasha kujitoa kuungana na Mungu ili kusaidia kukutana na hio haja. Bila ya maombezi Ukristo wote ungekaa tu katika kiwango cha wale hukaa tu bila ya kutenda lolote ilhali ulimwengu unaishia kwenda Jehanamu. Labda hii inasaidia kuelezea ni kwa nini kiwango chini ya 5% cha wale wanaookoka kamwe hawafanyi lolote ili kusaidia kuvua nafsi moja ambayo imepotea katika maishani mwao.

Wakati mwingine katika sala, tunachochewa kupitia kwa neno linalosemwa la imani. Tafadhali soma kwa makini Mariko 11: 22 – 24. Ni katika hatua hii tunasimama imara katika sala hadi aliyepotea aokoke. Hapa kuna ukweli mkuu katika sala. Wengi wameokoka kwa sababu Mkristo alisimama wima kwa kuudai wokovu wao.

Wakati fulani nilikuwa na mkutano kule Louisiana. Usiku mmoja nikatoa changa moto kwa watu wawe wa kupondeka-mioyo kwa ajili ya waliopotea na wamue kutokata tama hadi wamjie Kristo.

Yote ni kuhusu mtazamo

57

Baada ya ibada, mwanamke mmoja aliondoka na kusafiri

masaa matano hadi Texas. Hakurejea hadi usiku wa tatu.

Mungu alikuwa ameuponda moyo wake kwa ajili ya jamaa

zake waliokuwa wamepotea. Alikuwa amewajali kwa mikaka

mingi; hata hivyo, wakati wa ibaada akajawa na mzigo.

Akaliona jukumu lake.

Usiku mbili baadaye, akiwa amelala tu kidogo, akarudi

kwenye ibaada na akasimama kutoa ushuhuda kwamba watu

11 wa jamaa zake walokuwa wamepotea walikuwa wamemjia

Kristo! Kisha akafanya ijulikane kuwa aliwapigia simu baadhi

ya rafiki zake na walikuwa wameomba pasipo kukoma hadi

aliporejea.

Unapoanza kuwa hodari katika maombi, ili mwisho

waliopotea waweze kuokolewa, tazama kwa makini 1st

Timotheo 2:1-4. Kati ya kweli zinginezo kuu katika kifungu

hichi, ona kuwa Mungu – amabaye hutaka watu wote

waokolewe.

Tendo la pili ambalo mvuvi nafsi halisi anatakiwa kuchua ni

kulikariri Neno lake Mungu. Kwa nini, unauliza, ambapo kila

mara unalo Agano Jipya na vipeperushi vya Injili nawe? Kwa

sababu kutakuwa nao wakati ambapo hutaweza kutumia vifaa

ambavyo vimeandikika. Utahitaji kujua kutoka mpango wa

Injili kama jinsi umewekwa katika Neno lake Mungu. Miaka

kadhaa imepita nilikuwa kwenye matembezi ya kawaida ya

wingi wote wa kanisa siku ya Alhamisi jioni. Mwenzangu

alikuwa mwanafunzi wa kipindi cha wiki 13. Katika jioni hii,

tulimtembelea mwanamume ambaye hakutaka lolote

linalohusiana na Bibilia. Sijui kama nilikuwa nimemwona mtu

kama yeye. Alinieleza msingi wa kanisa lake na hakujua kwa

hakika kuwa atakwenda Mbinguni.

Sababu ya Yerusalemu.

58

Kisha akapayuka – Sitaki kumwona mtu yeyote

anakifungua kitabu hicho katika nyumba yangu! ‖

Mwenzangu akiwa anaangalia kwa woga, nikamuliza tena

kama nigemwonyesha kutoka kwa Bibilia jinsi angejua

kwa uhakika. Hakukubalia. Nikimwomba Mungu

msaada, nikampendekezea anikubalie mimi nimweleze tu

njia. Kwa msangao wangu akaniambia, - Ndio, mradi tu

hukitumii kitabu hicho!‖

Ninamwongoza kupitia kwa mpango wangu bila ya kutaja

mistari yoyote au kusema yakuwa imetoka kwa Bibilia.

Dakika chache baadaye akasema, - I lead him through my

plan without citing verses or even saying it was from the

Bible. Several minutes later he said, ― Napata hio sasa.

Ulijifunza wapi hayo?‖ ― Naweza kukuonyesha?‖

Nikamuliza. Aliposema ndio, nikafungua Agano langu

Jipya, nakukaa karibu naye, na kuupitia ule mpango tena,

msitari kwa msitari. When he said yes, I opened my New

Testament, sat beside him, and went through the plan

again, verse by verse. Kwa aibu alitamka, - Ningekuwa

nimeangalia hayo kitambo.‖ Dakika chache baadaye

akaokoka.A few minutes later he was saved.

Mark Twain alisifika kwa kusema, - Huhitaji kukariri

chochote unachoweza kutazama katika kitabu. Najua

angalau tofauti ya moja! Kukariri Mandiko mara kwa

mara ni sehemu ya muhimu kwa maisha ya kila mtu.

Haswa katika uvuvi wa nafsi, tunahitajika kuliweka Neno

lake Mungu ndani katika mioyo yetu. Kamwe haujui ni

lini utalihitaji peke.

Yote ni kuhusu mtazamo.

Sanduku la vifaa. 59

Njia Ya Warumi

Unapojipata katika hali ambapo, kwa sababu yoyote ile, Bibilia haipatikani, tumia lile linaloliita Njia ya Warumi. Mistari hii minne kutoka kwa kitabu cha Warumi (3:23, 6:23, 5:8 na 10:13) huwakilisha injili kwa udogo. Ikariri hii na uone ikifanya kazi.

Sababu ya Yerusalemu.

60

Sura ya 2

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati.

Yesu alikuwa njiani akienda Yerusalemu akiandamwa na umati wa watu waliokuwa wamenaswa na hisia tofauti. Wengine walikuwa wamevutwa na miujiza yake; wengine walitafuta haki kwa miegemeo yao ya kisiasa. Pengine palikuwemo kiasi kichache cha watazamaji wa hamu pia. Mahali fulani kwenye mwendo, Yesu aliugeukia ule umati na katika tabia yake yenye uaminifu akawambia, kwa hali, wahesabu gharama. Hakutaka wafuasi ambao dhamira yao ilikuwa na kutembea kama ziwa la Galilaya. Aliwatamani wavuvi wa watu. Kisha akawasimulia hadithi ya mjenzi aliyeanza shamba la kujenga mnara katika shamba la mizabibu wa kuchungia wale ambao wangeiba mazao. Lakini walifanya hesabu mbaya ya gharama ya ujenzi na ule mradi ukasimama nusu kujengwa nay ale mazao pasi kuvunwa. Kuwa na mipango katika maisha ya Ukristo ni la muhimu sana. Ndio, huwa kuna nafasi ya kufaragua, lakini hata naye Mungu anao mpango Mkuu kwa ulimwengu na kwa mwanadamu.

61

Sababu ya Yerusalemu.

62

Hata hivyo nina wasiwasi wakristo wengi huuendea uvuvi wa nafsi pasipo kuhesabu gharama: mpango. Nia nzuri zinapanguliwa kwa sababu moja au nyingine na matokeo yake ni dhamira zilizokamilka nusu zisizo na kusudi ila kuleta tu dharau. Hii ndio sababu sura hii inashughulikia mikakati ya mipango kwa ajili kuwa na matokeo yenye mikakati. Lolote la maana litatimizwa tu kupitia mipango. Ndivyo ilivyo katika uvuvi wa nafsi. Mtu asiyepanga kwenda, asiye na wakati wa mara kwa mara wa kwenda, asiye na matarajio ya kwenda, kamwe hataishia kwenda. Hakuna mbadala kwa ajili ya mipango. Maisha ya Kikristo yaliyojengwa nusu kisha yakatekelezwa ni mashtaka ya kutisha.

Somo 6

Usimamizi Wa Muda Wa Kiroho.

Kesho asubuhi, benki yako inakuwekeas $86,400 katika akaunti yako bila masharti yoyote. Utumie pesa kwa njia yoyote upendayo. Lililoko ni kuwa chochote usichotumia siku hiyo hakitabebwa mbele. Asubuhi inayofuatia bennki inakuwekea $86,400 zingine. Masharti yale yale yanafanya kazi ila kwa toleo moja: Kwa wakati fulani, benki itaahirisha zoezi lake la ukarimu na kutaifisha sehemu yoyote haijatumika. Hitimisho lako? Kutumia kwa vyovyote kila dola kila siku.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

63

Kila mmoja wetu ana aina hiyo ya akaunti kwa sababu kila asubuhi Mungu hutukopesha sekunde 86,400 — hizi hutengeneza muda ambao unaweza kuwekezwa katika milele au kupotezwa kwa mambo yasiyo na maana. Masaa ambayo yanaweza kutolewa kufanya kitu kizuri au kwa kitu kilcho bora zaidi. Wakati ndio mwamuzi aliye mkuu kwa Wakristo. Wengi hudhani kuwa wavuvi wakuu wa nafsi – wawe wainjilisti au wahubiri – walifanikiwa kwa kuwa walikuwa na nafasi au wakati tele. Hiyo ni imani isiyo. Ni kweli, tunaweza kuwa hatuna uwezo sawa au asili, bali tunao muda sawa kila siku, na mafanikio ya maisha na kushindwa kunapimwa katika utumizi wa masaa yetu. Sio ajabu Neno lake Mungu linatufundisha kutembea na hekima kati yao wale walio nje, mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu - (Waefeso 5:15, 16). Wale walio nje ni wale amabao hawajaokoka. – Kuukomboa inahusu utumizi bora wa hali au talanta. Kwa maneno mengine, ni kufanya matumizi kwa kila wakati kuwafikia wasiokoka, na kuwa na hekima na muda wako kwa sababu ni mchache. Utumizi sahihi wa wakati wako ni wa muimu kwa kila eneo la ukuaji wa Kikristo, lakini hasa hivyo katika uvuvi wa nafsi. Wakati mwingine mambo yaliyo rahisi sana sisi kuyapuuza ni yaliyo madogo au majukumu yasiyo ya muhimu yale, katika hali halisi, Sometimes the easiest things for us to neglect are the seemingly small or unimportant tasks that, in reality, husababisha mafanikio makubwa ya maisha. Hivyo ilivyo katika uvuvi wa nafsi. Muda mwingi tunakosa kutambua kuwa, kama tutatumiwa na Bwana katika jitihada hii kubwa ni lazima

Sababu ya Yerusalemu.

64

tuutenge muda wa kawaida ili kwenda kwa uvuvi wa nafsi.

Hiyo ndiyo kanuni yetu ya kwanza katika somo hili: Weka wakati wa kwenda. Nia nzuri hazihesabiki. Kwenda. Fanya tu. Kanisa la hapo kwanza halikusubiri hali ziwe nzuri. Walichukua hatua na wakaja karibu na kuuvua ulimwengu wa wakati huo kwa Kristo. Hebu tuwe waaminifu kweli kweli. Ikiwa tunakithamini kitu, tutautenga muda. Kwa nini basi isiwe ka uvuvi wa mioyo? Ikiwa utayasikiliza mahubiri au usome mandiko ya wavuvi wakuu wa nafsi wa kale na waliopo, utagundua kuwa wanasihi uuweke kando muda kutoka kwa ratiba ya shughuli zako nyingi ili uende kwa uvuvi wa nafsi.

Je hii inakuweka chini ya sheria? La hasha. Si huwa tunahubiri na kufunza kuwa kila mtu anatakiwa aisome Bibilia kila siku, aombe kila siku, na alipe zaka kila wiki? Ni tangu lini uvuvi wa nafsi ukawa amri iliyo duni? Bibilia inasema, - Enendeni ulimwenguni mwote mkaihubiri Injili.‖

Kabla sijaingia uinjilisti wa wakati-wote, nilichunga kanisa kwa muda wa zaidi ya miaka 19. Bila ya kukoma nilihimiza kila Mkristo kuenda kwa uvuvi wa mioyo wakati wa matembezi ya kanisa ya kila wiki. Tulifadhili klabu cha uvuvi wanafsi (Operesheni Twende) kilichoenda mara tatu kwa wiki. Walimu wa shule za Jumapili walipaswa kutembea masaa matatu kwa wiki na wafanyi kazi wa mabasi walitakiwa waingize manne! Si kumchunga yeyote ambaye alifanyika mhubiri, aliyejenga darasa kubwa la shule ya Jumapili, au akafanya kazi yenye ufanisi ya kubeba na basi ambaye hakuwa amejitolea kuyatimiza mambo haya ya msingi.

Kwa kweli, nitazindisha kusema kuwa Wakristo wa kweli

walio na moyo uliopondeka kwa kuwavua waliopotea

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

65

Watapindua ratiba zao ili kuweza kuwa nao muda wa kuwavua wengine kwake Kristo. Ni wakati gani ulio bora wa kwenda? Kuna viegezo vingi mno vya kuweza kutoa jawabu moja kamili, lakini hebu niwasihi kuutenga muda wa wakati sawa kila wiki. Ujaribu wakati wa alasiri, jioni ama hata siku nzima. Fikiria kwenda na mpango wa matembezi ya kanisa lako ya kila wiki (ikiwa kanisa lako halina mpango uliowekwa, liko taabani!) usiache lolote liingilie muda wako wa uvuvi wa nafsi. Kuna faida kadhaa kwa kuweza kuwa na wakati hakika wa kwenda. Msingi wa zaidi ya yote ni kuwa kama huna muda wa kwenda, uwekano ni kuwa hutakwenda wakati wowote. Hayo ndiyo maumbile yake mwanadamu. Pia utakuwa na baki lote la wiki kuweza kuomba kwa ajili watu utakao waona wakati huo moja. Utajenga kasi ya kiroho. Huwa nimetenga muda hakika wa kwenda kwa matembezi ya kibinafsi ya uvi wa nafsi na ninao muda wa pili ninaoutoa kwa wale ninaofunza. Huwa ninajaribu nisiondoke kutoka kwa huu wajibu nah ii ndio sababu. Miaka kadhaa imepita nilikuwa nao muda uliokuwa umetengwa kando kwa ajili ya mwanamume katika kanisa letu amabye nilikuwa ninamfunza katika uvuvi wa nafsi wa kibinafsi. Ulikuwa ni mojawapo ni ule usiku ambapo mambo huwa hayaendi shwari. Kwanza kabisa, hakika sikuwa nasikia kutoka na kwenda. Wakati nilipofika kwa nyumba ya mwenzangu, nikampata akiwa mgonjwa hata asiweze kuja. Kwa hivyo nikaenda peke yangu na kubisha milango ya nyumba tatu. Hakuna aliyekuwepo nyumbani kwa hizo tatu. Sasa kwa kweli nilikuwa nimekata tama na nikamuliza Mungu amlete mtu kwenye mapito yangu aliyekuwa anamhitaji Kristo.

Sababu ya Yerusalemu.

66

Nikawaona vijana watatu kwa gari lao nje ya duka la bidhaa. Nikasimamisha gari kando yao na kuwaulizia njia ya barabara iliyo katika maeneo hayo. Wakati walinielekeza, Nikaufuata mwongozo wake Bwana. ― kwa kuwa mumekuwa wema hivi kunipa maelekezi ya niendako, naomba kama ingekuwa sawa nikiwapa maelekezi?‖ ― Ya wapi?‖ mmoja akataka kujua. Nikajibu kwamba sehemu kubwa ya maisha yangu ilikuwa imetumika kuwapa watu njia sahihi kwa watu wengi iwezekanavyo kwa jinsi ya kujua kwa hakika watakwenda Mbinguni. Katika muda mchache uliofuatia, wawili kati ya hao watatu wakampokea Kristo na wakatokea kuwa washiriki wenye bidii wa idara ya vijana wa kanisa letu. Mara nyingi huwa ninafikiri juu ya hao vijana watatu na jinsi vile singeweza kuwavua wawili wao kama sikuwa nimeuweka wakati hakika wa kwenda – na kuushikilia. Tena, hii ni hatua ya muhimu. Mojawapo ya kizuizi kikuu katika uvuvi wa nafsi ni muda. Ikiwa hutapanga lisaa na kulichunga kwa makini, hutaweza kufuatilia. Uvuvi wako wa nafsi utakuwa wa panda shuka, kuwa na kutokuwa, na mara utahisi kushindwa tu. Usikubalie chochote kuuiba wakati huu. Kumbuka: Nyakati hizi ni za uovu. Kwa wakati huu unaweza kuinua hatua ya halali: Na kama

siskii kwenda? Si mimi ni shahidi asiyefaa? Nami pia ninalo

swali. Unajihisi mgonjwa au ni kutojali? Sio kukuhukumu,

ila ni kuwa tu wazi. Mojawapo ya nyakati zenye kufaulu za uvuvi wa nafsi ni ule muda ambao sikutaka kwenda au nilifikiri sina wakati wa kwenda. Lakini kwa sababu

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

67

Wakati nilikuwa mchanga katika huduma na kama uchungaji wangu wakwanza, nilikuwa nimemwahidi mmoja wa wanaume kijana katika kanisa kuwa nitakwenda naye siku ya Jumatatu jioni. Muda ulitumika kwa njia yake basin a mlango-hadi-mlango. Kwenye mlango wa tano, tulikumkuta mwanamume amabaye alikuwa amelitembelea kanisa letu hapo awali. Mara kwa mara alikuwa anawatuma watoto wake kupitia kwa

huduma yetu ya basi, nay eye na mke wake walikuwa wameahidi watakuwa wanahudhuri siku za Jumapili. Baada ya dakika chache akampokea Kristo na Jumapili iliyofuatia akatembea mbele kwenye madhabahu. Kwa kipindi cha muda mfupi, akawa mfanya kazi kwenye basi aliye wa bidii na mvuvi wa nafsi. Miaka michache baadaye, nikapokea simu nyakati za usiku. Palikuwa pametokea ajali na huyu mwanamume alikuwa sasa mbinguni. Ulikuwa muda wa mchanganyiko mtamu-chungu.nilikuwa nimempoteza rafiki, ila nilikuwa na kumbukumbu za mwanamume aliyeangaza furaha juu ya wokovu wake, kukua kwake katika Bwana, hamu yake kwa uvuvi wa nafsi; mwanamume aliyeyalia machozi kwa ajili ya watoto wa njia yake ya basi. Mara nyingi nimekuwa na fursa ya kuwaona watu wakija kwake Bwana wakati kwa kweli sikuwa na haja yake. Kama Wakristo, hatupaswi kuishi kulingana na hisia zetu. Hisia hubadilika, uchovu hupita. Kando yake, kule nje furaha yake Bwana ndiyo iliyo kuu kuliko kinginecho. Hivyo unapaswa kwenda hata wakati hujihisi? Msititizo, ndio! Wakati nijaribiwapo kuondoka kwa ahadi ya uvuvi wa nafsi, huwa ninatazama nyuma kwa nyakati ambapo sikuhisi kwenda bali nikakwenda. Kwa uhalisi nayakumbuka matukio haya:

Sababu ya Yerusalemu.

68 * Kumvua mume mlevi alibadili badaye kuwa mvuvi bora wa

nafsi ambaye nishajua.

* Mwanamume na mke wake walioleta wageni wengi zaidi kanisani kuliko mwingine awaye yote kwa sherehe za siku yetu kuu.

* Mwanamume ambaye amefanyika kuwa rafiki wangu

wa karibu sana.

* Watu kadhaa waliofanyika baraka ya kifedha kwa kazi

yake Mungu na kwa huduma

* Mwanamume kijana ambaye sasa analichunga kanisa.

Kwa hakika, Wakristo wengi wamenishukuru kwa kuwahimiza wao kwenda kwa uvuvi wa nafsi kila wiki kwa wakati wa mara kwa mara, na huwa wanautaja wakati walipoanza kukua katika Bwana.

Ikiwa kanuni ya kwanza ni ile ya akila mara ufanye wakati, basi ya pili ni kila mara uchukue wakati. Kunao ujanja hapa unao tenda kazi hapa kwa sababu mara nyingi Wakristo, katika bidii yao ya kuwa na ufahamu wa ratiba, husahau kubakia na ufahamu wa nafsi. Na mimi ndiye wa kwanza kukubali kuwa huwa ninayo hii shida.

Kufahamu vipaumbele ni ngumu kwa sababu huwa tunaolewa na ratiba ili tuweze kuwa na wakati wa kwenda kwa uvuvi wa nafsi, lakini tunakosa kumvua yeyote kwa sababu tumegeuka kutoka kwa kusudi hadi kwa mbinu. Mbinu ni njema, lakini hazitakiwi kuyaondoa macho yetu kutoka kwa kusudi, ambalo ni kuvua nafsi.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

69

Niliingia kituo cha ndege cha Nashville nikienda kwa mkutano katika mji wa Kansas. Kama kawaida, nilikuwa nakimbizana na wakati. Nikwa kwenye taminali, nikakutana na Wailliam na baada ya muda wa maongeo ya kawaida nikajua natakiwa kumkabidhi Injili. Lakini nini kuhusu muda? Ndege yangu ilikuwa tu na dakika chache ipae. Niliufuata moyo wangu na kumkabidhi William njia ya wokovu. Akautoa moyo wake kwa muda wa madakika, kwa furaha akinishukuru kwa ajili ya kumshuhudia. Nikakimbia kwenye lango na kutambua nilikuwa nimechelewa kwa sekunde 52! Ndege ilikuwa imejaa, injini zinaguruma, na hakuna mtu mwingine angeingia. Baada ya muda wa kuuliza, wana-ndege wakanielekeza kwa wapinzani wao waliokuwa na ndege ya kupaa kwenda mjini Kansas katika muda wa dakika 15. Nikaharakisha kwenda langoni na kama jinsi Mungu alivyokuwa amepanga, palikuwa nayo nafasi. Ndege ilitua St. Louis kuchukua wasafiri zaidi na mmoja wao alikuwa kijana aliyeketi karibu nami. Akanitazama na kusema, - sitakiwi kuwa kwenye hii ndege.‖ ― Hata mimi pia, nikamjibu. – Ni ndege ipi uliyotakiwa kuwa ndani?‖ Akaanza kueleza hadithi yake kuhusu nyumbani kwao kulikovunjika. Mamake alikuwa anaishi Texas na babake mjini Kansas. Hakuwa amemwona baba yake kwa muda wa miaka mitatu. Alikuwa amesisimuka, bali alikuwa na mchanganyiko wa hisia. Alipoteza tiketi yake akiwa njiani kwenda kwenye kituo cha ndege na hivyo kuikosa ndege yake ya awali. Watu wa ndege wakampeana kwa ndege hii ambapo alikuwa ameketi karibu nami. Nilimsikiliza kwa kimya na kisha kusema, - Ninajua ni kwa nini sisi sote tulizikosa ndege zetu. – Unajua? Akaniuliza.

Sababu ya Yerusalemu

70 - Ndio. Ninaamini yakuwa Mungu alitaka ukutane na mtu amabye

atakuonyesha jinsi unavyoweza kwa hakika kuwa utakwenda Mbinguni wakati utakapokufa.‖

Mahali fulani mle angani, huyo kijana akampokea Kristo na nikawa na muda tukufu wa kuyajibu maswali yake yote. Lakini Mwokozi wetu anahisi muda wa utukufu namana gani! Kama sikuwa nimeuchukua muda wa kumvua William kule Nashville, singeikosa ndege yangu, na singeweza kupatana na huyu wa miaka 15. Hata nilifika mjini Kansas dakika 10 kabla ya ndege yangu ya awali!

Muda ndio unaohusisha uvuvi wa nafsi. Kila nafsi iliyopotea itatumia milele jehanamu. Ni lazima tuuchunge wakati wetu, lakini pia tuiname kidogo ili kuivua nafsi kwake Kristo. Uwe kwenye shughuli, lakini sio shughuli sana ya kukosa kuikabidhi Injili kwa yeyote wakati wowote wakati nafasi ipatikanapo.

Hii ni ngumu ninaelewa. Je, umewahi zama kwenye ratiba yako na kasha kumsikia Roho Mtakatifu akikupa msukumo umwone au umzungumzie mtu? Pengine uliitikia, ― Nitachelewa ikiwa nitafanya.‖ Au, ― Sidhani kuwa naweza shughulikia mgeuko mwingine. ‖

Uaminifu ni, kila mmoja wetu huwa na hisia hizi. Lakini kuwa na uaminifu zaidi, kama kila mmoja angelijbu mwongozo wa Mungu katika mwanga chanya, tungekuwa na mwamsho katika Marekani kwa usiku mmoja. Hii itaanza na wewe. Mungu alileta hili kwangu nikiwa kwa chumba cha malazi kule North Carolina. Ilikuwa Jumapili jioni. Ilikuwa siku njema mkiwa na watu wengi waliokuwa wameokoka, na jioni hiyo nikahubiri kuhusu kupondeka kwa ajili ya walipotea. Mungu alibariki kwa kuwa robo tatu ya mkutano waliitikia mwito wa mwaliko. Ulikuwa wakati spesheli wa kuwa na uamsho wa kweli. Katika kuihitimisha ibada, nililifanya jambo ambalo silifanyi mara nyingi. Niliwauliza Wakristo wasimame na kuahidi kumtafuta mtu ambaye amepotea

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

71

na kumkabidhi Injili kwa njia ya kueleweka.Roho wa uzuri alitawali kwani karibu asilimia 90% ya umati huo walisimama miguuni mwao. Baada ya kurudi chumbani mwangu Mungu alinielekeza kwa jambo lilo hilo. Nilipiga magoti kwa maombi na kuahidi Mungu yakuwa ningegeuka kutoka kwa lolote wiki hiyo ili kumkabidhi Kristo kwa nafsi ambayo imepotea. Nilikuwa na shughuli nyingi mno katika muda wa siku mbili zilizofuatia lakini hata hivyo nilimkabidhi Kristo kwa awatu watano, watu wa hao walimpokea Yeye kama Bwana. Kwa kila mojawapo wa hali hizi nilikuwezo nazo shughuli, lakini niliuchukua wakati. Hadi hivi leo siwezi kukumbuka lolote nililokuwa ninalifanya nikawa mwenye shughuli, lakini naweza kukumbuka kila moja ya hizi nafsi safi na furaha iliyofuatia wokovu wao. Fikiri juu ya wingi wa watu tunaopatana ano kila siku. Mara nyingi huwa tumo kwenye ratiba na kawaida tunawapita watu hawa wanamhitaji Mwokozi mno na wako kusikiliza kwa wakati huo. Kwa kweli huwa tumo kwa ratiba yetu ya kawaida tuliojiwekea isiyo turuhusu kubadilika kuwa na fahamu za nafsi. Baada ya kukutana na baadhi ya marafiki wapendwa wakristo kwa ushirika na kupanga, Niliendesha hadi mji mwingine ambapo nilikuwa ninahubiri siku ifuatayo. Usiku sana, nilisimama kwenye kituo cha malazi ili nilale kwa masaa machache. Asubuhi yake, nikaondoka dakika 30 baadaye kuliko vile nilivyokuwa nimepanga. Nikiharakisha kwenye korido, nikawaona wanawake wawili na kuwambia,

Sababu ya Yerusalemu

72

Asanteni kwa kuandaa viumba safi. Ni msaada mkubwa kwa watu kama sisi tunao safari sana.‖ mmoja wa hao wanawake akajibu tabasamu langu kwa , - Hiyo ni sawa.‖ Kwa wakati huo nilikuwa kwenye mwisho wa ukumbi na tayari

kuingia garini kwa ajili ahadi yangu muhimu kwa huduma. By then

I was at the end of the hall and ready to hop into the van for my

very important ministry commitment. Mara hapo, nikausikia

mwito wake Roho Mtakatifu usiokosa ukiniita nishuhudie. ―

Lakini tayari nimo kwenye mlango na tayari kupanda kwenye gari ,

‖ Nikapingana. ― Kando na hilo, ‖ nikasema, ― Wamekwenda

kwenye chumba kingine kufanya usafi.‖

Kwa hivi nikapanda kwenye gari. Lakini baada ya kuwa na wazo la

pili na hata la tatu, nikarudia hatua zangu, nikawapata wale

wanawake, na nikawauliza kama naweza kuwa na muda mchache

wa wakati wao.

― Wadada, nikaanza, ― Ninajua mko na shughuli nyingi lakini

nataka nichukue muda mfupi nishiriki nanyi jambo amabalo

limeyabadilisha maisha yangu. Nikawatolea ushuhuda wangu na

kisha nikawauliza kama ikiwa watakufa usiku wa leo wanjua kwa

hakika watakwenda mbinguni. Hakuna aliyejibu isipokuwa

kutingisha kichwa upande hadi upande. – hebu nichukue muda

mwingine na niwaonyeshe jinsi mnavyoweza kuwa na uhakika.

Baada ya muda mfupi kila mmoja wao alikuwa amempokea Kristo.

Niliporejelea teuzi langu, nilitambua kuwa ilichukua chini ya

dakika 30 kurudi kwa hao wanawake na kuwaongoza kwa wokovu.

Wakati nilipotafakari visingizio vyangu, singeweza kujizuia

kufahamu kuwa ratiba niliyokuwa ninafuata kuitimiza ilikuwa

yangu – na wala sio yake Mungu. Hii ndiyo sababu ninaamini

yakuwa mara nyingi, tutakuwa nao wakati wa kuikabidhi Injili na

hatimaye tukamilishe iliyo ajenda yetu.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

Sanduku la vifaa. 73

Nia-Yenye-Lengo.

Unakumbuka msemo wa zama za unyongofu, ― Ndugu, unaweza niazima hela?‖ Nahisi msemo uo wa karne yetu mpya na ijayo itakuwa, - Ndugu, unaweza niazima muda?‖ Inashangaza vipi kwa fujo wakristo tulivyo na wakati wetu. Kufahamu kuwa maisha ni mafupi itakusaidia kuutumia wakti wako vyema. Soma tena Zaburi 90:12 na kisha ujiulize ni vipi utafanya kufanikisha hesabu ya siku zako. Hatua zipi utachukua ili kuwa mvuvi bora wa nafsi? Napendekeza kuwa na mfumo unaoonyesha malengo yango kwa muda uliowekwa. Kwa mfano, kuwa na lengo la mwaka mzima na la wiki. Ikiwa utaweka lengo la kuwapifikia watu 50 kwa mwaka, basi omba, tembea na ufanye lengo la kumfikia mtu mmoja kila wiki.

Somo 7

Kuwa Tayari Kiroho.

Bibilia inaelezea maisha ya Kikristo kuwa kama vita, vita vinavyoendelea ambapo sisi ni askari katika huduma kwake Mfalme. Wasomi watajadili ikiwa ushindi huwa unawaendea wale wenye kipaji, lakini najua huwa ni kwa wale walio tayari kiroho. Hivyo ni kweli katika uvuvi wa nafsi kwa sababu kamwe hatushiriki kikamilifu katika vita vya kiroho kuliko wakati wa kudai nafsi kwa ajili ya Mfalme wetu

Sababu ya Yerusalemu

74

Hata hivyo inashangaza ni wangapi wetu wanaofanya vita bila mandalizi ya mapema. Wakristo wengi huchukulia maandalizi ya kiroho kwa mzaha. Wanaviingia vita hivi pasipo kusoma Bibilia kila siku, maombi, au kutafuta nguvu zake Mungu, na kisha wanastaajabu mbona wanashindwa. Uvuvi wa nafsi ndivyo vita vikuu vya kiroho vinavyoshindaniwa katika milango ya kuzimu kinyume cha Ibilisi mwenyewe na majeshi yake yote. Hii ndiyo sababu mvuvi mwema wa nafsi ni askari mwema. Daima ako tayari, daima ana silaha, na daima ako tahadhari. Katika maazimio aina tatu yake Paulo kwenye Warumi 1:14 – 16, aliufungua moyo wake na kupeana picha halisi ya kile kilichomwandaa na kumpa motisha kwa kazi kuu iliyo kuwa mbele yake. Hizi azimio tatu zikiwa zinawakilisha muungano usioshindwa kwa mvua nafsi wa siku za leo, huwa penda ile ya katikati: – Niko tayari.‖ Katika maisha yetu huwa tuko tayari kwa karamu, sherehe za michezo, mikutano, kamati, mafunzo ya Bibilia na maozezi ya muziki, lakini ni wachache wetu tu wamejiandaa vilivyo kutimiza kazi iliyo kuu ya kanisa la mtaa – kuvua marafiki, majirani, na miji kwake Kristo. Kujiandaa kiroho kunategemea mambo mengi, lakini naamini ujao wa Roho Mtakatifu ndilo sharti la muhimu. Chukua muda mbele za Bwana na umuulize akupe nguvu katika maisha yako. Ni fadhila yenye Baraka namna ipi kujua kuwa tunapokwenda kwa uvuvi wa nafsi tunafanya katika nguvu zake Bwana wetu wa thamani. Pili, unahitaji mpango wa msingi.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

75

Kwa mpango ninamaanisha mbinu ya hatua-kwa-hatua ambapo unaingia kwenye swala, unakabidhi hadithi, kuwaongoza watu kwake Kristo na kuwaweka kwenye msingi wa kanisa la mtaa. Nimeshawishika ya kuwa mamia ya Wakristo wanataka kuivua mioyo mara kwa mara lakini hawafanyi kwa sababu hawajafunzwa kamwe na kwa hivyo wanakosa mpango. Hivi majuzi nilikuwa na fursa malum ya kufunza uvuvi wa nafsi kwa kikundi kikubwa katika kanisa la mtaa wakati wa mwamko wa siku-tatu. Mwitiko ulikuwa wa kufana. Baadhi walijitolea kwa mpango wiki hiyo ilhali wengine walivua nafsi yao ya kwanza wakati huo wa mkutano. Mtu baada ya mtu alikuja kwangu na kuelezea shukrani kuhusu kupokea mpango ufanyao kazi ambao ungesaidia kuvua marafiki na jamaa zao. Wengine hata walishtuka kuwa kamwe hapo mbeleni hawakuwa wamepewa mpango. Mpango huwa unakupa ujasiri na uhakika. Wakati uko nje ukishuhudia kuhusu Mungu, Shetani atajaza mawazo yako maswali na pingamizi. Kwa kweli unavamia ngome ya kuzimu wakati unapojaribu kumvua mtu kwake Kristo ambaye atapotea milele asipompokea Mwokozi. Vita hivi kwa hakika vimo katika mawazo. Kila aina ya wazo litakujia wakati unaongea na mtu ambaye hajaokoka: Je yeye yuko tayari? Ni nini kitakachofanyika baadaye? Nimehitimu kweli kuwa mvuvi wa nafsi? Kila muvi wa nafsi awezaye ni lzima awe na mpango mzuri ufanyao kazi ili kumpa ujasiri. Miezi kadha imepita nilikutana na mfanya biashara katiak kituo cha ndege, na nilipoanza kumshuhudia nikakumbana, - sina haja katika mtu kuniambia kuhusu dini.‖ kwa hivyo nikishiriki naye kuwa nilipata fursa ya kufundisha uvuvi wa nafsi kote nchini na kuwapa watu kile ninachoita mpango

Sababu ya Yerusalemu

76

ufanyao kazi kwenye uvuvi wa nafsi wa pointi-13 Nikamuliza kama ingekuwa sawa nikimwonyeshampango huo ili aweze kuukosoa. Hamu yake ikasisimuliwa na akakubali. Nikaanza kwa utaratibu na katikati mwa mpango, nilipokuwa ninamkabidhi hadithi ya Injili, nikaanza kuona msisimuko ule ukijaa zaidi machoni mwake. Dakika chache baadaye, akakiiinamisha kichwa chake na kumpokea Yesu Kristo. Kisha akauliza kama naweza kumfunza huo mpango ili aweze kurejea nyumbani na kuukabidhi kwa familia yake.

Eneo la tatu la maandalizi ni uangalifu wa kuvurugwa — mambo

ambayo huizima shauku yaku kwa uvuvi wa nafsi na kuanza

kukupunguza au kusababisha uachane kabisa. Hizi ― geuzo za kiroho

‖ zaweza kuja kwa mificho mbali mbali:

* Wakristo wengine hujiuzulu kwa sababu walichaguliwa kwa ofisi ya

kanisa kama vile shemasi au mwalimu wa shule ya jumapili. Mara

ghafla wanapatwa na shughuli nyingi wamo chini ya shinikizo kubwa

mno kuyatenda yote mawili. Dhania ni eneo gani linalochaguliwa na ni

lipi linalopuuzwa. Ikiwa mtu anaweza kufanya jambo moja, wacha

liwe uvuvi wa nafsi!

*Wakati mwingine pesa humzuia mvuvi wa nafsi. Mambo yanakazika, matoleo yanashuka, na madeni yanazidi.tunafanya nini? Tunakoma kwa uvuvi wa nafsi na kukuza – huduma tandavu – kitu kilicho uwishwa‖ hata hivyo ni wapi imeandikwa kuwa pesa zinahitajika ili kufanya matembezi?

Kumbuka mwingiliano wa Paulo kwa Kijana Timotheo: - uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, ‖ (2nd Timotheo 4:2). Wakati ambamo wafuasi wake Bwana walihitaji pesa ya kodi, Aliwatuma kwenda kuvua samaki.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

77

* Wakati mwingine huwa kuna mabadiliko makubwa ya ratiba, haswa nyumbani. Shifti tofauti ya kikazi, mabadiliko muhimu katika umri au maendeleo ya watoto au ugaonjwa unaovunja utaratibu yanaweza kutuondoa kutoka kwa mfuatilio. Shetani hajali ni nini, yeye hukutaka tu uache. * Vurugo lingine lijulikanalo na linaloongezeka ni dhana kuwa maisha ya kuabudu na ya huduma ya Kikristo yapaswa kujengwa juu ya hisia. Tufanye lolote liwezekanalo lililo nzuri kujenga uzoefu na hisia katika maisha yetu. Bila kuacha, wakati Wakristo wanatenda linalo sikika kuwa nzuri, wanajitofautisha na dunia hii. Wanapenda kungaa lakini hawaondoshwi.

Kiegezo kinachofanya uvuvi wa nafsi kuwa ni mwepesi ― Kwenda.‖ kila kanisa lina idadi ya watu waliokuwa wakienda kwa uvuvi wa nafsi lakini sasa hawaendi, na kila kuzo, warsha, kanda, vitabu, shirika, na pesa katika ulimwengu ni bure ikiwa hawaendi kwa uvuvi wa nafsi. Kanisa na kale lilienda kila siku ― katika hekalu na katika kila nyumba, ‖ (Matendo 5:42). Paulo aliyajenga makanisa kwa kufundisha ― hadharani na kutoka kwa nyumba hadi kwa nyumba. ‖ (Matendo 20:20). Ni makanisa mangapi yanayoanza kwa kuwafikia watu wote, kuwalika marafiki, kuwaleta majirani, kuzunguka kwenye maeneo ya makaazi, kuwavua wapendwa wao na kwenda angalao mara moja kwa juma kwa uvuvi wa nafsi? Mambo yamebadilika kweli!

Sababu ya Yerusalemu

78

Nilikuwa naye mchungaji mpendwa katika mkutano mzuri.

Mahudhurio yalikuwa ya juu, wengi walikuwa wanaokoka, na

Mungu alikuwa anawabariki wengi. Hata hivo, alionekana kuwa

chini mno na akawa hana furaha katika uso wake. Baada ya ibada

ya jioni nikamuliza aende kwa uvuvi wa nafsi siku iliyofuatia.

Tulifanya hivyo na Mungu akatubariki na wanandoa wawili

waliompokea Kristo. Baada ya masaa machache, mtu huyu

mpendwa wa Mungu akatabasamu na kushiriki furaha aliyopata

kwa kwenda sote pamoja. Hapo akaanza kuufungua moyo wake

kuhusu tatizo Fulani na jinsi tatizo hilo moja lilikuwa limeugeza

mkondo kutoka kwa uvuvi wa nafsi wa mara kwa mara.

Je, hii ni kweli kwa wewe? Fikiria ukweli mkubwa: Mahitaji yake

mtu hayajabadilika; ni mvuvi wa nafsi ambaye amebadilika.

Mashamba ni meupe kwa mavuno leo kuliko hapo awali. Chochote

kimekuleta chini, yeyote amekukatisha tama, haja haijabadilika.

Kuzimu kungali moto, dhambi ingali mbovu. Hatimaye, kipengele muhimu kwa mandalizi ya kiroho ni kuwa

zana zinazofaa. Huwa ninaulizwa kila mara katika mikutano ya

uvuvi wa nafsi kuhusu zana ambazo mvua nafsi anatakiwa

kuchukua? Rahisi. Agano Jipya, vipeperushi (vingine juu ya wokovu na vingine vinavyoelezea juu ya masuala unayoweza

kuyapitia), vipeperushi vya kanisa vya kuwasaidia watu waweze

kufahamu juu ya huduma hii ya kanisa la mtaa, kadi tupu au

daftari, na kalamu au penseli. Baadhi ya zana hizi chaguo zilizo dhahiri. Ni nani angetaka kwenda bila ya neno lake Mungu? Ni

kama kuwa bila ya sare. Wacha kalamu nyumbani na hutaweza

kunakiri jina na au nambari ya simu. Ni maisha ya milele yataonyesha thamani iliyokuwa ya

vipeperushi vya Injili. Ijapokuwa kamwe sijapatana na Mkristo

aliyekuwa dhidi yavyo, nimepatana na wengi wasiovitumia kamwe

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

Ni aibu iliyoje! Tunapaswa kuwa na zoea la kuacha na

kutoa vipeperusi vya Injili. Ikiwa itabidi uacha nakala kwa

mtu, fikiria juu ya thamana ya kuiacha kwenye kipeperusi.

Nimewavua watu wengi kwa kutumia kipeperusi na kisha

kushinikisha uamuzi wao kwa kuiandika taarehe kwenye

kifunikizo.

Kwenye ndege nikielekea kwa mkutano kule Louisiana,

nilimsikia msafiri akimwambia mtumishi, ― sioni

chochote chenye uchangamsho ambacho naweza kusoma.‖

Baada ya Yule mtumishi kuondoka, nilipita kwake na

kusema, ― Wacha nikupe hili somo fupi la Shule ya

Jumapili. ‖ (Hivyo ndivyo ninavyokiita kipeperusi

hadharani). ― Kinaelezea mtu jinsi ya kujua anakwenda

mbinguni. Ndilo jambo la kusisimua ambalo nilijualo.‖

Baada yake kukisoma, nikasongea kwenye kiti

kilichopakana. ― Naweza kukuonyesha mistari kadhaa

ambayo ilinisaidia sana kuutuliza uhusiano wangu naye

Mungu?‖ ― Sawa, ‖ akanijibu. Dakika chache baadaye

akamtumaini Kristo. Kasha tena nikatumia kipeperusi

kingine, Agano langu Jipya, karatasi na kalamu kuandikia

anwani yake ili kumfuatilia. Huwa pia ninabeba kitabu maalum cha nakala, na

ninapendekeza kwako ufanye vivyo-ivyo. Inanisaidia

kuweka watarajiwa wangu na matokeo. Kumbuka: ISio

jukumu la kanisa kukupa watarajiwa wa kuvuliwa nafsi. Tunahitaji kujifunza kuwakusanya hawa sisi wenyewe.

Kwa miaka mingi nilitimiza hilo kwa kutumia kitabu

kidogo cha nakala kuandikia watarajiwa wote. Niliweka

tarehe kwa yeyote niliyekuwa nimemuandika mara tu nilipomtembelea mtu huyo. Kisha, nilipomwongoza mtu

kwa Kristo, niliandika jina lao na tarehe katika sehemu ya

Halleluyah kwenye nyuma ya kitabu.

79

Sababu ya Yerusalemu

80

Nakumbuka kuwa wakati mmoja nilikuwa njiani kumchukua

mwanafunzi wangu na mwenzangu wa uvuviwa nafsi kwa ajili ya masaa machache ya matembezi ya - mle nje. Kabla ya kuwasili kwake nyumbani nilikirejelea kitabu changu cha watarajiwa. Kwa mshangao wangu palikuwa na jina la mwanamume ambaye sikuwa nimemtembelea kwa muda wa zaidi ya miezi sita – kwa namna Fulani nilikuwa ninampita. Nikaamua yakuwa huu ndio sasa wakati wa kumwona tena. Tulipofika nyumbani kwake, tulipata kuwa yeye na mke wake walikuwa kwenye vita vibaya. Alikuwa amelewa na mwenye hasira. Akanitambua na kusema, - nafikiria mke wangu amekupigia simu nakukuita.‖

― La, ‖ nikamjibu. ― Kitu katika gari langu kiliniambia nikuje.‖

Akashangaa na kuuliza apewe maelezo.

Nikamwambia aje nje kwenye gari langu nami ningemwonyesha.

Mara tu akiwa pale, nikakitoa kitabu change cha watarajiwa na kumwonyesha mahali pale nilipokuwa nimenakili jina lake awali. Ninakuomba radhi, ‖ nikasema. ― nilipaswa niwe nimekuja kukuona mapema kidogo nap engine shida iliyopo jioni hii ya leo kamwe haingekuwa imetokea.‖ akakiinamisha kichwa chake kwa kiasi nami nikaendelea. – Hebu nikuonyeshe ni kwa nini.‖ Kisha nikampitisha kwenye njia ya Warumi naye akampokea Kristo hapo hapo kwenye gari. Tukaingia ndani na kumwambia mke wake na dakika chache baadaye, naye pia, akampokea Bwana! Nimeshawishika yakuwa hatungeweza kuwavua wanandoa hawa kwake Bwana kama singekuwa nimeweka kitabu cha rekodi sahihi ya watarajiwa.

Nimeona pia vitabu hivi vikitumika kwa njia isiyo ya kawaida! Wakati nilipokuwa nikilichunga kanisa kule Carolina ya Kusini, nilikuwa katika matembezi pamoja na mwalimu mmoja wa shule yetu ya Kikristo. Tulikuwa tumewaona watu kadha wa kadha na Mungu alikuwa ametubariki kwa njia za ajabu. Tukafika kwa mlango wa mwisho hiyo alasiri na mwanamke mchanga akaujibu.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

81

Alikuwa ametembea Jumapili iliyokuwa imepita. Nikajitambulisha pamoja na mwenzangu. Akasitasita kutukaribisha mle ndani na kasha akatueleza, - Hii ni siku ya mwaka wa tisa wa kuzaliwa wa binti yangu. Mumetupata tukiwa katikati mwa sherehe yake.‖ Bila ya kupoteza muda, mwenzangu akauliza, - kunaye mtu yeyote ameshawahi peana somo la Bibiia kwenye sherehe hii?‖ Yule mwanamke akasema la. Kisha akatoa kitabu tupu kutoka kwa mfuko wake na kuuliza, - Wafikiri kuwa ingestahili kupitia somo rahisi la Bibilia na hao watoto?‖ Akakubali na baada ya sisi kutambulishwa, rafiki yangu akakichukua kile kitabu tupu na kuanza kupitia maelezo ya hatua kwa hatua. Wakati alipouliza watu waviinamishe vichwa vyao, sita wakajibu, akiwepo yule mama aliyekuwa ametusalimu. Sipendekezi yeyote aenende umabali huo, lakini kwa wakati huo, kitabu kipya kabisa cha nakala kilikuwa kifaa chema kilichotumiwa. Mwenzangu alikuwa amejiandaa.

Sanduku la vifaa

Husika Zaidi Kwa Uvuvi wa Nafsi

Nimegundua kwamba Wakristo ambao wamezoea kutumia kauli moja katika kuelezea maeneo yao ya utumishi kwa watu wageni, huweka wazi milango mingi ya nafasi za kuwaongoza wengine kwake Kristo. Mara nyingi, watu huwa wanauliza lile ambalo huwa unalifanya maishani, na kama umo kwenye huduma watapanua kujua ni ya aina ipi.

Sababu ya Yerusalemu

82 Kila mara huwa ninajaribu kujibu swali kwa kumpa yule mtu mandhari ya huduma yangu kabla sijatoa maelezo: ― Tunahusika zaidi katika kuwasidia watu wajue kwa hakika kuwa wakifa watakwenda Mbinguni.‖ Watu wengine hujibu kwa kusema kuwa hilo ni jambo amabalo limekuwa moyoni mwao kwa muda mrefu. Au huniuliza nitembelee rafiki au watu wa jamii nishiriki nao ushuhuda wangu. Wengine hata huniuliza niwape vielekezo vya jinsi wanaweza kuwaongoza wengine kwake Kristo. Nilikuwa nimeketi nje ya chumba cha malazi nikimsubiri mchungaji anichukue twende kwa ibada ya jioni. Nikawasikia wanaume wawili wakijadiliana jinsi vile walivyopenda kumsikiliza mchungaji mmoja wa mtaa. Nikauliza, - Mnahusika katika huduma ya mtaa?‖ Wakasema walikuwa sehemu ya kataba la kuwafunza walimu wa shule za Jumapili na kasha kuniuliza ikiwa nilipendezwa na shule za Jumapili! Nikasema kuwa nilikuwa kwa huduma kwa miaka kadhaa na kutambua umuhimu wa kuwa na shule nzuri ya bibilia ya Jumapili. ― Ni sehemu gani ya huduma unayohusika?‖ mmoja akaniuliza. ― Tunahusika zaidi katika kuwasidia watu wajue kwa hakika kuwa wakifa watakwenda Mbinguni ,‖ Nikamjibu. ― Hiyo inapendeza,‖ akasema, ― Mwanangu wa kiume wa umri wa miaka 12 amekuwa akiniuliza swali hilo kwa muda sasa. Unafikiri unaweza kuwa na muda uzungumze naye kuhusu hilo?‖ ― Bila shaka.‖ akamwita mwanawe kutoka kwa mkahawa na kumkaisha pale kitini. Yule kijana alikuwa msikivu sana na kwa dakika chache nikamwongoza kwake Bwana. Wanaume wote

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

83

Wawili wakasisimuka mno na wakataka kujua zaidi jinsi ya kumvua

mtu aliyepotea kwake Yesu. Kuza ― kuendeleza kuu.‖ Kutafungua

milango mingi.

Somo la 8

Matarajio

Kampuni ya mauzo au kampuni la soko haliwezi kamwe kuwa na mafanikio bila ya orodha ya matarajio. Bado Wakristo wengi – na makanisa – hayana lolote. Ulimwengu wa kidunia unafanya kazi ya kutimiza orodha kwa ajili moja, twahitaji kwa ajili ya lingine. Lakini wote wana nia ya kitu kimoja tu — watu. Inakuwa ya kuvunja moyo sana kwa wavuvi wa nafsi wanapoutenga muda wao wa kwenda nje na kasha wawe hawana matarajio. Wavuvi wa nafsi walio na watarajiwa wazuri huwa na wenye dhambi wa kuzuru, huuweka moyo uliovunjika juu ya mahitaji ya waliopotea, hutathmini orodha yao kila siku, na huona maisha yao ya maombi yakiongezeka kwa kiwango wanapowadai waliopotea kwa ajili yake Mwokozi. Swali moja ambalo huwa ninaulizwa kila mara na viongozi wa Kikristo amabao wanawafunza wavuvi wa nafsi ni, ― Unawapataje watarajiwa wa kutosha kwa wavuvi wako wa nafsi?‖ Huwa ninajizuia kusikika mterevu kwa sababu ningetaka kusema, ― Unawezaje kuishiwa na watarajiwa? Wamo kila pande ulimo.‖ Mwanzoni mwangu katika uzofu wa uvuvi wa nafsi, nilijipatia – pito jipya‖ orodha ya makampuni ya shirika. Haya yalikuwa majina na anwani za wageni katika eneo waliohitaji huduma za kimsingi.

Sababu ya Yerusalemu

84

Niliwatumia barua ukaribisho na kasha kuwafuatilia kwa matembezi. Nilihakikisha pia wageni wetu kanisani wametambuliwa katika kila ibada na kuulizwa kujaza kadi ya usajili. Tuliufutia mwongozo huu wakati wa matembezi yetu ya mara kwa mara kila jioni.

Pia, tazama majina kwa karatasi ya wale waliopatwa na vifo au majanga katika familia zao. Hawa huwa kwa kawaida wako wazi kwa Injili. Wakati wa mfululizo wa mikutano katika kanisa moja nzuri la uvuvi wa nafsi, nilikujiwa na mchungaji aliyeniambia kuwa ameishiwa na watarajiwa. Silika langu la mbele lilikuwa la kumpa kitabu cha nambari za simu za mji ule — kwa tabasamu. Usiku huo baada ya ibada nilipeana vipande vya karatasi na kuuliza watu wapeane majina, anwani na nambari za simu za watu ambao wangependa mchungaji atembelee. Kisha katibu wa kanisa akachapisha kadi za matembezi na siku iliyofuatia, Yule mchungaji, mimi na makundi mengine tukaondoka na kwenda. Watu kumi na moja wakaokoka siku hiyo, na wengine wengi zaidi katika wiki zilizofuatia!

Kunao ukweli wa kiroho unaotenda kazi hapa, na ni kanuni inayotumiwa na ulimwengu wa kidunia, pia: Marejeo. Watu wa mauzo kutoka kwa makampuni makuu huwapata watarajio wao bora kutoka kwa marejeo. Wateja wao ambao wameridhika huwatolea majina ya marafiki na wengine wanaojuana nao wanaohitaji bidhaa iyo hiyo. Muda mrefu uliopita niligundua kitu. Hakuna aliye mwenye furaha kuu kama mtu yule amabye tu amempokea Kristo kama Mwokozi. Na kwa sababu Yule mwongofu anayotamaa ya kuona jamaa na marafiki wakiushiriki wokovu ule, huwa ninaanza kumuliza yule mtu niliyemleta kwa Kristo, ― Unao marafiki, majirani au watu wa jamii ambao ungependa kuona wakimpokea Kristo kama jinsi umefanya? Kwa hakika ninaamini kuwa biashara zimo mbele yetu katika eneo hili. Wengi wetu tumekutana na mtu akituuzia bidhaa na kisha

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

85

kuulizia majina ya marafiki watano au zaidi wanaoweza hitaji kunufaika kutoka kwa bidhaa hii. Kwa maneno mengine, umenunua tu kitu, unaamini kuwa ni kizuri, na sasa ni watu wangapi unaowajua amabao wangenufaika kutokana na bidhaa hii? Najua haina undani sana, lakini hili ni kweli katika uvuvi wa nafsi. Mtu huyu amekwisha kuokoka tu. Anajua uharaka mkubwa wakulitatua swala hili la kiroho. Katika Nyanja yake ushawishi kunao idadi ya watu wanaomhitaji Yesu pia. Daima tumeita hawa marafiki na jamaa za mwongofu shimo la samaki. Hiyo ni, tayari tumekuwa na uwezo wa kupata nafsi moja ya thamani na hivyo ni lazima pawe na wengine katika sehemu ile. Ni ajabu kila mara kwangu kuona jinsi Yesu kila wakati alivyowaambia wale ambao aliowaguza maisha yao waende na kuwaambia marafiki na watu wa jamaa zao ― Yale mambo mazuri Mungu amewafanyia.‖ Pia hii ndio kanuni katika Mariko 5:19. Wazimu wa kule kwa Wagerasi aliamrishwa na Bwana ― aende nyumbani, kwa rafiki zake, na awambie ni jinsi gani mambo makuu aliyokutendea Bwana.‖ Daktari Bill Rice, mwinjilisti wa ajabu katika miongo kadha iliyopita, alikuwa akiwauliza waongofu wawambie marafiki watano na washiriki wa familia juu ya uamuzi wao wa kumtumaini Kristo. Baada ya kupata orodha imara kutoka kwa mwongofu, huwa ninamuliza anisaidie kuupanga wakati amabapo ingestahili kutemebelea wale watu walio kwenye ile orodha.

Sababu ya Yerusalemu

86

Pia huwa ninamuliza mtu huyu andamane nami na kunisaidia

kunitambulisha. Hili huwa linatimiza malengo mawili: Huyu

Mkristo mpya anakua katika neema kwa kuwaona wengine wakija

kwake Bwana na anakua katika ujasiri anapojifunza jinsi ya

kufanyika kuwa mvuvi wa nafsi.

Nilikuwa ninaongoza klabu cha wiki 13 cha uvuvi wa nafsi ambapo

mimi na mwenzangu tulikwenda kwa nyumba ya mwanamke

Mkristo. Yeye tayari alikuwa mshiriki wa kanisa na hivyo kusudi

letu lilikuwa juu ya mume wake. Tukawa na fadhila ya kumvua

kwake Kristo.

Kisha tukaulizia juu ya washiriki wengine wa familia na kupata orodha kamili. Tukarudi tena wiki iliyofuatia kukutana mwanao wa kiume. Akaufanya uamuzi wake wakati tu alopokuwa anataka kusajiliwa katika jeshi. Kisha tukarudi Jumamosi asubuhi na kukutana na binti yao aliyeolewa na kumvua yeye na mumewe kwa Bwana. Kwa safari nne tulirudi na kuwavua watu kadhaa kwake Kristo. Kwenye mwisho wa majuma hayo 13, tuliona idadi ya watu 17 wakiokoka kwa sababu ya orodha ya mtu huyu mmoja.

Miaka mingi iliyopita, mvuvi mwenzangu mwingine wa nafsi pamoja nami tulipata fadhila ya kumtembelea mwanamume aliyeitwa Jack, ambaye tulimwongoza kwake Kristo. Kisha tukamuliza kuhusu marafiki zake na jamaa na kuishia kuwa na orodha nyingine kamili. Juu ya majuma matatu yaliyofuatia, wanne kutoka kwa familia yake ya karibu wakaokoka pamoja na marafiki zake watatu. Kwa hakika, ilikuwa ni kabla ya miezi mitatu tulipoyapitia yale majina yote na ikawa inatubidi turudie kuhesabu nambari ya watu wale waliokuwa wameokoka! Pamoja, orodha ya watarajiwa wetu ikazidi kukua kwa marejeo yaliopeanwa na marafiki na watu wa jamaa zake Jack. (kwa kukujuza, Jack huwa kila mara yupo kanisani na nje kwenye matembezi ya uvuvi wa nafsi

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

87

akiwaongoza watu kwake Kristo kupitia ushuhuda wake mwenyewe). Tena, makanisa yanapotakiwa kuweka rekodi zilizo sahihi juu ya kila mtu anayeitembelea ibada yoyote, sio jukumu la kanisa kusambazia wavuvi wa nafsi watarajiwa. Katika eneo lolote la uuzaji, ni sehemu muhimu katika kuwafundisha watu wa uuzaji jinsi ya kujifanyia watarajiwa wao wenyewe. Sambamba na marejeo, njia ya pili ya kupata mwongozo ni kupitia njia ya kale ya kuibisha milango. Alongside referrals, a second great way to secure leads is through old-fashioned knocking on doors. Daima nimepata yakuwa matembezi ya mlango-hadi-mlango yanazawadia wakati katika huduma bora ya Ukristo. Kwa kweli, nahisi kuwa matembezi ya mlango-hadi-mlango ni amri na wala sio chaguo. Bibilia inaifanya kuwa sehemu ya muhimu katika ushahidi wa kibinafsi. ― Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu, wakiumega mkate nyumba kwa nyumba, ‖ (Matendo 2:46). Je, hili lilileta matokeo? Tazama msitari unaofuata: ― Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.‖ Tazama pia ushuhuda wake Paulo na ukumbusho wake kwa wazee wa huko Efeso. ― Yakuwa sikujiepusha … bali naliwafundisha waziwazi, na nyumba kwa nyumba,‖ (Matendo 20:20). Kunao Wakristo wengi watakao watembelea watarajiwa na kujitolea kuwavua marafiki na majirani. Lakini ni wachache sana wanaotembelea mlango-hadi-mlango. Hili linahuzunisha kwa kuwa kazi ya mlango-hadi-mlango ni ya kufurahisha, kuchangamsha, na inatuza. Inajenga ukakamavu na ujasiri na inaufuata mfano wa Ukristo wa Agano Jipya.

Sababu ya Yerusalemu

88

Na kama mtu mmoja alivyoona, inagharama nafuu kuliko kuendesha gari mjini kote kwa masaa mengi! Kwa kawaida, matembezi ya mlango-hadi-mlango sio hakikisho ufanisi wa uvuvi wa nafsi wa papo kwa hapo, lakini ni mwanzo ya kujuliwa unaoacha mlango wazi kwa matembezi ya siku zijazo utakapokuja na kusema ― unanikumbuka?‖ Unakaribishwa tena nyumbani mwao na baada ya muda wa ushirika, unaikabidhi Injili.

Unapo karibia nyumba iliyo baridi, kuwa navyo vipeperushi vya kutosha vinavyoelezea juu ya kanisa lako na mipango inayotolewa kwa ajili ya kila umri. Pia vilevile, kuwa na kitabu ndogo cha nakala pamoja na kalamu tayari. Wakati mtu anapoujibu mlango, jitambulishe, litaje kanisa unalotoka, useme kuwa unataka kuacha maelezo kuhusu kanisa, na kasha uombe ruhusa la kuingia ndani. Hakikisha kuwa unawazuru wale watu kwa dakika chache. Tafuta kujua wanatoka wapi, wamekuwa hapo kwa muda gani, wanafanya kazi wapi, umri wa watoto wao na jambo walipendalo, na kama huwa wanahudhuria kanisa mara kwa mara. Wakati Fulani mapema, uwaulize majina yao na kasha uyatumie katika mazungumzo. Hata watarajiwa walio wagumu vipi huwa wanafurahia kuyasikia majina yao.

Unapoongea na watarajiwa, taja eneo la kanisa lako kwa mara nyingi ili waweze kuwa na ufahamu wa mahali lilipo. Waachie nakala za kusoma na mwaliko murwa kanisani mwako, na uwalike kuwabeba ikiwa itahitajika. Ziara yako iwe nzuri na fupi. Ukiwa katika gari, uandike habari zilizo za muhimu kwa ajili ya kurudi kwako.

Watu wengine hufikiri unatakiwa kumsukuma mtu ili aufanye uamuzi kwa Kristo wakati wa mkutano wenu wa kwanza. Ndio, ikiwa kunayohamu kuu kwake au ikiwa utauhisi mwongozo wake Roho Mtakatifu. Lakini mara nyingi haiwi hivyo. Utawapata watu

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

89

wakijizuia na kuwa rasmi mara ya kwanza. Lakini

unapokosa kuwasukuma kutakusaidia kuingia kwao mara

hiyo nyingine.

Tuseme wakatae kukukaribisha ndani? Basi kutoka pale

malangoni, iongoze shughuli yako kwa uzuri kama yule

anayeketi chini kunywa kikombe cha kahawa. Na tena,

ikiwa Roho atakuongoza, uutambulishe mpango wa

wokovu. Waombe ruhusa la kuingia ndani baada yao

kukuambia uwaonyeshe jinsi ya kuokoka.

Tuseme hawatakuruhusu uwashughulikie hata kidogo?

Basi uondoke kwa upole. Liandike jina na anwani kwa

kadi na uongeze kwenye orodha yako ya watarajiwa

utakaporejea kwenye gari. Kisha urudi humo mara nyingi

inavyohitajika, jenga urafiki, waongoze kwake Kristo, na

uwalete kanisani. Kwa lolote ulifanyalo, usikate tamaa.

Mwanamume mmoja mpendwa alitembea kanisani

nililokuwa ninachunga. Wiki moja badaye nikatembea

nyumbani kwake na kumwongoza kwake Bwana.

Nilimuliza ni kwa nini alitembea. Jibu lake likawa la

mwangaza. ― Mtu fulani alikuja mlangoni mwangu wiki

iliyopita. Sikumruhusu aingie ndani. Akanitolea vitabu

vya kanisa, lakini sikukubali. Kwa hivyo mwanamume

huyo akiviacha nyuma ya stima pale nje. Nilivisahau hadi

badaye wiki hiyo. Katikakati ya tatizo lenye kunisumbua,

nikavichukua vitabu vile na kuamua kuwa kanisani

Jumapili.‖ Uzoefu wangu umekuwa, kwa matembezi ya muda wa

masaa mawili yasio na matiso, ninapata kuwa na

watarajiwa watatu au wanne wazuri.

Sababu ya Yerusalemu

90 wakati mmoja, mwanafunzi nami tulikwenda na kuibisha milango 15. Niliwapata watarajiwa 5 wazuri wa kuita kwa wiki lijalo na pia nikawa na furaha ya kukutana na mwanamume ambaye alikuwa akimzuru mtarajiwa wetu mmoja. Alikuwa ni baba ya mwanamke aliyekuwa kwenye orodha yetu na tukagundua yakuwa bintiye na mwana-mkwe hawakuwa na kanisa la kuita nyumbani katika eneo hilo. Tuliweza kupata maelezo yaliyohitajika kwa ajili ya matembezi ya baadaye na wakati wa mazungumzo yetu kuhusu watoto wake, tukaweza kumshuhudia na kumwona akifanyika mwana wake Mungu. Baada ya uzoefu wa uvuvi wa nafsi, After soul winning experiences, ninayo imani imara kuwa matembezi ya mlango-hadi-mlango yanayo ufanisi mkuu. Mkristo yeyote anayezoea kwa uaminifu mbinu hii ataweza kutazama nyuma na kuona shuhuda za ajabu na hadithi za maisha yaliyobadilika. Hizi ni kumbukumbu amabazo haziwezi kulinganishwa na popote. Hata Mtume Paulo alitazama nyuma na kufurahi juu ya eneo hili la huduma yake – (Matendo 20:20). Matembezi ya mlango-hadi-mlango pia huleta usoni mojawapo ya maeneo nyeti ya msingi ya uvuvi wa nafsi: jinsi ya kuhitimisha mtarajiwa wako. Ni kwa jinsi gani unaweza kuamua ikiwa mtu huyu ameokoka au amepotea? Tunasema hii ni kumchunguza mtarajiwa. Hili ni la muhimu kwa sababu ukiamua kuwa watu wameokoka na kwa hali halisi sivyo, haujapoteza tu nafasi ya kugawanya Injili lakini mtu huyu anabakia bila ya tumaini la milele. Siamini kuwa watu wanalo kusudi la udanganyifu wanapofikiri – au wanaposema – kuwa wameokoka, ni kwamba tu wamepata msamiati wa kidini ulio mzuri kutosha kuyaodosha maswali yetu.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

91

Suala nyeti linazuka wakati watu wanapata vyema kujihami kuhusu msingi wao, haswa tunapothubutu – kuilainisha theolojia yao. Nakumbuka kuwa nikiwa Mkristo mchanga, moyo wangu ulijawa na mzigo kwa ajili ya uvuvi wa nafsi kwamba ikawa nilitoa changamoto kwa kila tamko alilolifanya mtarajiwa ikiwa halikulingana na Bibilia. Nilihisi kuwa nilihitajika kumwambia mtu huyo lile ambalo Bibilia ilifundisha kuhusiana na somo fulani ili kwamba mtu huyo afanyike Mkristo.

Bila shaka, hilo halikuwa sahihi wala la kibibilia. Bibilia inatufunza katika 1st Wakorintho 2:14a ― basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei (hayaelewi) mambo ya Roho wa Mungu.‖ kwa hivyo, ili mtu aweze kupata mafundisho yake – ongofu – ni lazima kwanza afanyike kuwa Mkristo. Labda unajadiliana na mtarajiwa kuhusu msingi wake wa kanisa au uhudhurio. Anaweza jibu kuwa alilelewa katika nyumba la Kimormoni, kama Shahidi wa Yehova, au katika kanisa la kiliberali au dini. Msukumo wako wa kwanza unaweza kuwa kumwambia ni nini kilicho kibaya na msingi wake. Unaweza kumkwaza, pengine muingie katika hoja kali, na kamwe usiwe na fursa ya kugawana Injili naye. Kumbuka kuwa mtu hujibu kulingana na msingi, uzoefu wa kiroho, au kukosa ufahamu wa Kibibilia. Tunatakiwa kushinda nafsi kwa ajili ya Kristo, na sio pointi za mjadala wa kidini. Hii ndio sababu iliyo ya muhimu kumhitimisha mtarajiwa … tosha. bainisha kama mtu huyu ameokoka au la. Usikosoe au kushinikiza. Amua tu kama mtu huyu anaelekea mbinguni au kuzimu.

Sababu ya Yerusalemu

94

Kimsingi, hatua yangu ya kwanza ni kuuliza juu ya msingi wa kanisa na kasha kusema kitu chanya, ikifuatiwa na ushuhuda wangu mwenyewe. Kisha ninatoa swali langu kuu ― Ikiwa utakufa usiku huu wa leo, unajua kwa uhakika kwamba utakwenda mbinguni? ‖ Ikiwa watajibu kwa namna kama, ― Siamini mtu anaweza kujua kwa uhakika, ‖ unajua kuwa yule mtu hajaokoka. Kasha nitauliza, ― Naweza kuchukua muda tu nishiriki nawe mistari michacje iliyonisaidia kujua kwa uhakika? ‖

Kunazo njia nyinginezo nyingi nimepata watu kunijibia swali langu

juu ya ― mbinguni‖. Wakati mwingine ni fikra-dhana tu ―

Natumainia.‖ Kwa kawaida mimi husema, ― je, ni kweli? ‖ Na kisha

ninaendelea na ushuhuda wangu. Pia nimekuwa na watu

walioniambia, ― nimefanya vizuri sana kama vile nijuavyo, ‖ au ―

kila mara nimemwamini Yesu na huwa nataka kufanya vizuri

niwezavyo.‖ Jibu lako? ― Ninaelewa, ‖ na kisha uendelee kwa, ―

Naweza chukua muda tu na nikuonyeshe jinsi unaweza kujua kwa

uhakika? ‖ Ikiwa mtarajiwa atasema, ― Naamini nataka, ‖ Huwa

natabasamu na kumjibu, ― Ni vizuri! Niambie kuihusu.‖ wakati jibu

la kwanza haliridhishi kwa kukupa jibu la ndio au la, endelea kuuliza

maswali hadi pale utakuwa na ufahamu sahihi wa hali ya kiroho ya

yule mtu.

Baada ya ujumbe ambao idadi ya watu waliokoka na wengine wengi

walipokea urejesho wa maisha yao kuishi kwa kukua katika Ukristo,

mwanamke mmoja mpendwa alinikujia. ― Niombee, akasema, ―

Nataka kweli kumpa Mungu vyangu vyote. Wazo langu la kwanza

lilikuwa niseme, ― Mungu akubariki, na kasha nimhimize yeye kama

Mkristo. Badala yake nilimtazama na kusema, - ni vizuri sana kuwa

unataka kuishi kwa ajili yake Mungu. Niambie, unaouhakika kamili

yakuwa umeokoka? Ikiwa unaweza kufa usiku huu wa leo, unaweza

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

93 kujua yakuwa utakwenda mbinguni? Akaanza kulia na kukubali kuwa hakuwa na uhakika. Nikashiriki Neno pamoja naye na muda mchache baadaye akaokoka. Pointi yangu? Ningekuwa nimedhania kutokana na tamko lake la kwanza yakuwa ameokoka na niwe nimemzidishia kuchanganyikiwa kwake kwa kiroho. Badala yake, nilitaka kuhakikisha kwa busara kwa sababu nilijua kuwa maisha yake ya milele yalikuwa hatarini. Nikisafiri kutoka Akron hadi Nashville, nilikuwa nimeketi kando ya mwanamke mkongwe wa miaka 82. Wakati nilipoifungua Bibilia yangu akasema, ― Wewe lazima uwe mtumishi.‖ Kisha akaendelea kuniambia jinsi yeye na mume wake (amabaye alikuwa amekufa kwa muda wa miezi michache tu) walivyokuwa wamesaidia kulijenga kanisa lao la mtaa, dhamini juhudi za wamisheni, na kujitoa kwa wingi katika miradi mingi. Lilikuwa jaribu la kiasili kuweza kudhania alikuwa Mkristo, lakini nilipomuliza kama alikuwa na uhakika wa 100% kuhusu mbinguni, akashtuka! Kwa kweli, lilikuwa la kuuvunja moyo kuyaona machozi machoni mwake. Baada ya dakika chache, alikuwa nao uhakika wa 100%.

Sanduku la vifaa

Panga Mikutano!

Niliubisha mlango nikiwa nayo matarajio makuu kuliko kawaida. Ilikuwa Jumatatu jioni, saa moja kamili. Frank akanifungulia mlango na kusema, ― kuja ndani Muhubiri, tumekuwa tukikutarajia.‖ niliweza kunusa harufu ya kahawa ikiiva na mke wake Frank alikuwa ameandaa vinywaji juu ya meza. Watoto wao wawili wakaniamkua na kasha kwenda katika vyumba vyao ili wakasome.tukapeana habari za utaratibu – kuhusu nyumbani, familia – na kasha nikamgeukia Frank na kumwambia, - nimekuja jioni ya

Sababu ya Yerusalemu

94 leo nikiwa na mzigo moyoni mwangu wa kukuonyesha kutoka kwa Bibilia jinsi unavyoweza kujua kwa hakika kuhusu mbinguni.‖

Frank akatikisa. Alijua ni kwa nini nilikuwa pale. Betty tayari alikuwa Mkristo na walikuwa wametembelea kanisa kwa mara kadhaa. Baada ya dakika chache Frank akampokea Kristo.

Je, hili lasikika kuwa nzuri hata lisionekane kuwa la kweli? Lilitendeka sawa tu hivyo. Nilikuwa nimeizuru nyumba yake Frank kwa mpango.

Frank alikuwa dereva wa lori za masafa ya mbali. Niliwaita wiki iliyokuwa imepita na kujua angekuwa anarudi nyumbani Jumapili adhuhuri na hivyo nikaweka mpango wa kuwa nao Jumatatu jioni. Jumapili jioni, nikawaita tena kuudhibitisha huo mpango.

Kwa hakika sisi hatuwezi kufanya mbinu hii kwa kila hali ya uvuvi wa nafsi lakini nimeshawishika yakuwa huwa inafanya kazi kuliko vile isivyo. Fikiria juu yake. Mtarajiwa huwa nyumbani kila mara, ameyanaglia maslahi ya watoto wake kwa wakati, hakuna tatizo la runinga, anajua ni kwa nini unakuja, na Roho Mtakatifu amekuwa na wakati wa kujibu baadhi ya pingamizi zake. Anaweza kuwa hata ametayarisha viburudisho!

Kwa kweli, mwenzangu mmoja katika uchungaji aliniambia kuwa wote katika watarajiwa wake aliopanga nao wakati wa mkutano, anagalau 50% walikuja kwake Bwana!

Huu ndio utaratibu ufanyao kazi. Mwite mtarajiwa wako. Mwambie jinsi ulivyo furahia kumwona hivi majuzi, pengine kanisani, dukani, au akiwa na rafikiye. Ikiwa alitembelea kanisani, unaweza kusema, - Huwa tunapenda kurejesha tembeleo kwa kutembelea nyumbani. Ni ipi inaweza kuwa jioni bora na wewe, Jumanne au Alhamisi?

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

95 Ni nadra sana watakukataza. Kwa kweli, watu wengi wanavutiwa na mwito kama huo na huwa wanataka kujua kuhusu matembezi hayo mapema kabla ya wakati. Jizoeze uvuvi wa nafsi kwa kila njia, lakini kwa kila njia jaribu kwa kupanga mikutano.

Somo 9

Mwangalie Huyo Mtu Mwingine

Nilikuwa naondoka nyumbani nikiwa na mke wangu pamoja na mwana wetu wa kiume kuelekea kwenye kituo cha ndege. Tukasimama kwenye karakana moja ya mtaa ili kumchukua fundi ambaye angeunda gari letu wakati tulikuwa nje ya mji. Mlikuwa na mambo mengi mno akilini mwetu, na bado nikaanza kufikiri juu ya nafasi ya kumzungumzia huyu mwanamume kuhusu Kristo tulipokuwa tunaelekea kwenye uwanjan mwa ndege. Ndani ya muda mfupi, tukalisamimisha gari kando na kumwongoza kwake Kristo. Baadaye nikawa nawaza. Tuseme nilifanya maandalizi yote ya kuhubiri, niongoze mkutano, nishughulikie kuijenga huduma, na niwe sikumvua mtu huyu kwake Bwana? Si hayo ndiyo maisha ya Ukristo — huduma yangu — yote inahusu? Kipengele muhimu cha kuwavua watu mara kwa mara kwake Kristo ni kila wakati kuwa tayari kuwavua wale tunaokutana nao — wale amba mioyo yao imekwisha kuandaliwa naye Roho Mtakatifu. Huwa inaonekana kuwa mara nyingi tunaamini kuwa wakati pekee wa kushuhudia ni ule wa mara kwa mara wakati wa matembezi ya jioni ya kanisa lote. Ijapokuwa huu ni wakati wa fursa murwa, kunazo nafasi nyingine tele ambazo tunaweza kuwavua watu kwake Bwana. Tunahitajika tu kuwatafuta watu kwa uangalifu.

Sababu ya Yerusalemu

96

Mara nyingi huwa tunakosa kuliona lililo dhahiri; na ni rahisi sana kufanya hivyo. Tunaondoka kwenda tukiwa na kadi ya mtarajiwa, kumtafuta mtu kupitia kwa anwani. Kwenye wakati huu, tunakutana na kuwapita watu kadhaa, tukiwaulizia njia au kuingia kwenye milango kimakosa. Nimeshawishika kuwa, Mungu huwaleta watu hawa katika mapito yetu kwa sababu ya haja yao ya Mwokozi. Na pengine kamwe huwa hatuipati ile anwani!

Ni wangapi ambao tumepatana nao katika mwezi umepita na hatukuwaachia ushuhuda wa wokovu wake Mungu? Anayeuza petrol kituoni, karani kwenye duka la vyakula, kijana wa kuuza gazeti, mchuuzi wa vyombo vya ufundi, muuguzi, rafiki wa mwenzio katika nyumba ya mtu uliyeenda kumzuru, na hata mgonjwa kitandani ulipokosea wakati wa kumzuru mtu hospitalini. Awe ni nani, na mamia yaw engine wengi kama hao, yawezekana kuwa wewe ndiwe tu Mkristo watakayepatana naye.

Wakati wa mkutano wa ufufuo kule Alabama, nilikwenda kwenye duka moja mtaani ili kununua matunda. Nikiwa nasubiri pale kwenye foleni, nikamkabidhi karani kipeperushi cha Injili na kusema, ― hebu nikupe somo fupi la shule ya Jumapili linalojibu swali la muhimu mno humu duniani.‖

― Ni swali lipi hilo? ‖ akaniuliza.

― Jinsi mtu anaweza kujua kwa hakika atakwenda mbinguni.‖ Sura yake ikabadilika.

― Waweza kunionyesha hilo? ‖ ― Bila shaka.‖

Kisha akawaashiria wateja wake waweze kusubiri, na ndani ya muda mchache akawa Mkristo. Jioni hiyo akahudhuria mkutano wetu wa ufufuo na kuufanya uamuzi wake wazi

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

97

hadharani na kujiwasilisha kwa ubatizo. Nikiwa naingoja ndege yangu kule Chicago, niliamua kupeana vipeperushi kwa wale waliokuwa wakisubiri foleni kwenye kituo cha kukagua usalama. Nikiwa natembea kwenda chini, mwanamke mchanga akaniuliza, ― Je, wewe ni mtu dini? ‖ ― Kwa nini wauliza? ‖ Akaondoka kwenye foleni na kushiriki nami moja ya hadithi yenye kuhuzunisha mno nishawahi kusikia kuhusu ndoa na maisha yaliyovunjika. ― Bwana, namhitaji mtu wa kuniombea.‖ Tukaketi na nikaanza kuishiriki Habari Njema naye. Akampokea Kristo na kisha kunishukuru sana sana kwa ajili ya kuonyesha kujali. Nilikuwa ninaondoka Pennsylvania kuelekea Virginia Magharibi ili kuwa nao kampeni wakati ambapo nilimwona mwanamke mkongwe akitaambika kupanda ngazi akiwa na mkoba wake mdogo. Nikampa usaidizi wangu na mazungumzo yakaanza. Yakaendelea hadi kwenye kupaa hadi alipotambua kuwa ameutawala ule mkutano. Karibu aione haya, akanigeukia na kuniuliza swali lisilo la kawaida sana: ― Huwa unafurahia kufanya nini? ‖

― Huwa ninafurahia kuwaambia watu jinsi

wanavyoweza kuwa na uhakika watakwenda mbinguni

wakati watakapo kufa.‖ Akashangazwa, lakini

akatabasamu. ― Lazima uwe wewe ni mhubiri.‖

Nikatikiza kichwa.

― Daima huwa ninawaza kuhusu swala hilo na

kujiuliza kama ninaweza kujua kwa hakika.‖

Sababu ya Yerusalemu

98

Katika dakika chache zilizofuatia, nikamwongoza kupitia njia ya

Maandiko na kwa ujuzi wa wokovu wake Bwana wetu

Kila moja ya mikutano hii ya kiajali ilitukia wakati nilipokuwa

nimeliangazia jambo linguine katika huduma yangu. Lakini kwa sababu nilikuwa wazi kwake huyo mtu mwingine, nikaweza

kuongoza kila mmoja wao kwake Bwana. Ni kweli, sio kila

mmoja ataokoka. Wengi hawatakubali kuipokea kipeperushi au

hata neno kuhusu hali ya nafsi zao. Uvuvi wa nafsi ni kazi, ni vita. Jehanamu yote inataka kutufanya tujiuzulu. Lakini

hatutaruhusu lolote lituzuie sisi kuweza kuwa shahidi pekee kwa

mtu fulani. Tunaweza kuwapita watu wengi wa thamani walio na

njaa.

Wakati mwingi watu wale ambao tunawavua kwa Kristo huwa sio

wale tuliolenga kutembelea. Kila mvuvi wa nafsi anao uzoefu wa

kumtembelea mtarajiwa au kumfuatilia Mkristo mpya na kasha

kukutana na rafikiye au jirani katika nyumba. Ni lazima

tujikumbushe kuwa huyu mtu mgeni ni mstahili mzuri wa ufalme.

Nilikuwa ninaongoza kampeni ya kanisa moja la mtaa iliowavutia

umati mwingi, ikiwemo wengi walioyajia madhabahu. Alasiri

moja mchungaji nami tukatoka kwenda kwa uvuvi wa nafsi

pamoja. Tulipotembea kwanza ni kwenye ghorofa na hakuna

yeyote aliyejibu. Kwa muda tu mwanamke wa mlango jirani

akatuelezea kutokuwako kwao. Tukamshukuru, tukanena

machache yalio ya kawaida, na kasha tukamwongoza kwake

Bwana. Kwenye matembezi yetu ya pili tulikuwa tukiongea na

wanandoa wakati vijana wawili walipoingia mle chumbani na

kisha wakaomba radhi ya kuondoka. Nikafuata na kutambua

walikuwa wane. Katika dakika chache watatu kati yao

wakaokoka.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

99

kisha tukawa tumetembelea mwanamke nje kwake wakati kijana wa kiume alipita pale njiani, akaongea naye, na kusema kuwa alikuwa amekuja nyumbani mapema kwa sababu ya joto. Nikatembea alipo na kuanza kuzungumza naye na akampokea Bwana. Maoni yake yakawa, - Sasa nimejua ni kwa nini ilikuwa nije nyumbani mapema.‖ Wakati moja nilikwenda kwa uvuvi wa nafsi na mshiriki wa kanisa katika jimbo la kaskazini. Swali langu la kwanza lilikuwa, ― Umepnga nani tutakayemtembelea? ‖ ― Nahofia kwamba sina

mtarajiwa yeyote mzuri, ‖ akajinibu.

Nikamuliza kama anao watu wowote aliowavua kwa Kristo lakini

hawajakuwa wakija kanisani. ― Wengi, ‖ akasema. Kwa hivyo

nikamuliza anipeleke kwa wengi hao iwezekanavyo katika muda

uliowekwa. Kwa ziara yetu ya kwanza tukaingia katika nyumba ya mwanamke aliyekuwa ameokoka kwa mwezi mmoja. Tukawalika kwa ibada yetu maalum. Nikatazama tazama na kuona kuwa palikuwa na wanawake wengine wawili amabao hawakujihusisha kwa mazungumzo. Baada ya kujitambulisha, nikauliza kama sote tungekaa pamoja tujadiliane kuhusu huo mkutano, kanisa na uamuzi amabao mwenyeji wetu alikuwa ameufanya mwezi umepita. Nikawageukia wanawake hao wawili na kuanza kuwashuhudia. Dakika chache baadaye wote wawili wakaviinamisha vichwa vyao na kumpokea Kristo. Kasha tukatembelea nyumba ya kijana mdogo aliyekuwa ameokoka na kukutana na rafiki yake mwenye umri wa miaka 11. Mwenzangu akamchukua yule mvulana kando nami na Yule kijana tulipotembelea barabarani kukutana na baadhi ya rafiki zake. Vijana wawili wakampokea Kristo. Kwa muda wa masaa matatu, watu saba wakamtumainia Kristo kwa ajili tu ya kuwazuru watu waliokuwa wameokoka hivi karibuni.

Sababu ya Yerusalemu

100

Na ile ujue, watatu kati yao walikuja kanisani jioni hiyo na kutembea mbele ya madhabahu katika ushahidi wa hadhara. Huwa nimeshika sheria tatu akilini wakati ninaangalia mle nje kwa ajili ya mtu mwingine:

1. Tambua kuwa kila mwanadamu atayaishi maisha ya milele

mahali fulani.

2. Aibu na hofu zinaweza kutufanya tuzungumzie juu ya dini

lakini kamwe tusishinikize wokovu wa mtu binafsi. Elewa kuwa ni haki yako kupeana Injili na ile ya – kumkabili mtu aliye na haja ya wokovu. Mara nyingi Yesu aliwageukia wale aliokuwa tu amewasamehe au kuwaponya na tu kuwambia – Nenda ukawambie….‖

3. Mwamini Mungu kwa uwezo Roho Mtakatifu. Udai

ukamilifu Wake kabla hujaondoka na kisha baada ya kufanya kukabidhi.

Wakati wa kampeni kuu kwenye eneo, pia asubuhi nilikuwa nikifunza vikao vya uvuvi wa nafsi na kasha kujishughulisha kwa masaa mawili ya kushuhudia kibinafsi. Nafsi nyingi za thamani zilikuwa zikiokolewa kila siku.

Asubuhi moja mwenzangu pamoja nami tulikuwa tunatembelea ujirani na kumwona mwanamume akiwa ameketi nje kwake. Nikageuka na kurudi nyuma. Ikiwa utawavuta watu kwake Kristo basi watakiwa ukutane na watu!

Tukatoka nje ya gari na kujitambulisha, na kumuliza kama anajua mahali lilipo kanisa. Nikagundua kuwa alikuwa mfanya kazi wa ujenzi na alikuwa anasubiri baadhi ya vifaa viwasili.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

101

Nikampa brosha, kuongea naye juu ya ufufuo wetu, na kisha kumtolea ushuhuda wangu. Wakati ambapo nilimuliza kama anakwenda mbinguni, alitazama chini na kusema hakujua. Nikamtembeza kupitia kwa vifungu vya Agano langu Jipya na dakika chache baadaye akampokea Kristo. Tulikutana na mtu geni kabisa, tukamkabidhi Injili, na kumvua kwake Bwana. Kasha akanishukuru kwa kugeuka na kuuchukua muda wa kuja kuongea naye. Nilitembelea kampuni moja ya ujenzi pamoja na mchungaji mmoja wa mtaa na akanitambulisha kwa watu kadhaa. Mmoja wa makatibu akamgeukia mfanya kazi wa ujenzi na kusema, ― Don amekuwa akituambia kuwa angetaka kuja kwa mkutano wa ufufuo anagalau kwa usiku mmoja.‖ Nikampa Don mwaliko maalum kwa ibada pamoja na kipeperushi cha Injili. Akanitazama kwa kina na kusema, ― Nimekuwa nikifikiri juu ya haja yangu kwa Bwana na kuyarejesha maisha yangu kwa njia. Wakati kama huo ni kawaida kwa Mkristo kufikiri kuhusu shughuli ya ofisi na jinsi ingekuwa vyema kwa mtu huyu kuja kanisani na aisikie Injili. Au labda unafikiri mtu Yule ni heshima tu anaonyesha. Hata hivyo, Mkristo yatakiwa aichukue nafasi ile. ― Don, itakuwa ni sawa ikiwa nitachukua muda mfupi sasa niongee nawe kuhusu mambo yake Mungu? Akasema ndio, na meneja akatukubalia tuwe na dakika chache peke yetu katika ofisi mahali ambapo niliweza kumwongoza Don kwake Bwana. Kasha yeye akatoka nje na kusema kwa kila moja, ― Nimempokea tu Kristo kama Mwokozi wangu. Nimeokoka. Nikifa sasa hivi nitakwenda mbinguni.‖

Sababu ya Yerusalemu

102

Hili lilileta mguzo mkubwa mle ofisini. Kwa jioni chache zilizofuatia kila mmoja kutoka kwa chumba hicho cha kampuni hiyo ya ujenzi alikuwepo kwenye mkutano wa ufufuo na wengine wawili wakaokoka. Don pia akatembea mbele ya madhabahu. Mara nyingi huwa tunawapita watu ambao mioyo yao imevunjika, wanaomhitaji Yesu, lakini hawajui jinsi ya kuielezea haja hii. Fikiria hilo. Mamia za watu wanasubiri tu, wakitazama, Hundreds of people are just waiting, looking, na hamu, wanahitaji, lakini wanaweza kusema na mwandishi wa Zaburi, ― Hakuna mtu aliyeijali nafsi yangu.‖ Hebu kamwe wasije wakasema hivyo kutuhusu. Nakusihi ufanye juhudi yako kwa kumshuhudia yeyote kwa wakati wowote katika mahali popote. Kuna karibio la muhimu linalo andamana hapa-kwa-hapa na kanuni ya kumwangalia mtu huyo mwingine. There is an important corollary that goes hand-in-hand with the principle of looking for the other person. Wakati wote iwezekanavyo, nenda ukashuhudie ukiandamana na mtu wa pili. Kwanza, ni Kibibilia:

* Katika 2nd Timotheo 2:2, Bibilia inasema kuwa mambo yale tuliyojifunza tuyakabidhi ― watu waaminifu, watakaofaa kuwafundisha na wengine.‖

* Katika Marko 6 Yesu aliwatuma wale 12 wakahubiri na kifanya kazi ya huduma. Tazama uone kuwa kwenye msitari wa 7, aliwatuma nje wawili kwa wawili.

* Wakati Yesu alikuwa akijiandaa kuingia Yerusalemu kwa lile tuitalo kujikabidhi rasmi, Yeye, He, ― aliwatuma wawili katika wanafunzi wake, ‖ (Marko 11:1) nao wakaiandaa njia.

* Katika Luka 10, Yesu aliwatuma wale 70 kwa utumishi. Msitari wa 1 unasema yakuwa Yeye ― akawatuma wawili wawili wamtangulie kwenda kila mji na kila mahali alipokusudia kwenda Yeye mwenyewe.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

103

* Katika Mhubiri 4:9, Bibilia inasema, ― Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; Maana wapata ijara njema kwa kazi yao.‖

Wakati nikiwa na mkutano katika eneo nililokuwa nimechunga kanisa kwa miaka 13, nilipata simu usiku sana kutoka kwa kijana wa kiume. Alikuwa ameokokea kwenye kanisa nililokuwa nikilichunga na nikawa na fursa ya kumfundisha kuwa mvuvi wa nafsi na pia mhudumu kwenye basi. Katikati mwa maongeo yetu akaanza kulia. Kasha akanielezea alikuwa ametoka kuhudhuria mazishi ya baba yake. ― Asante mhubiri kwa kunifunza kuwa mvuvi wa nafsi. Naukumbuka usiku amabao wewe nami tulikwenda pamoja kwa nyumba ya baba yangu na kumvua kwake Kristo. Yeye yuko mbinguni kwa sababu ya uvuvi wa nafsi. Nataka ujue kuwa hakuna wiki ambayo kamwe siendi nje na kujaribu kwa bidii kuwa na uvuviwa nafsi wa pekee.‖ Kushuhudia wawili-kwa-wawili sio tu wa Kibibilia lakini pia wa vitendo. Kila mchungaji na kiongozi wa Kikristo anajua umuhimu wa kugawa majukumu kwa watu wenye wasaidizi ili kukamirisha miradi kwa haraka na kwa namna bora zaidi. Kwa nguvu vipi ninavyoliamini hili? Ninamhofia mtu Yule wa kawaida anayekwenda kwa uvuvi wa nafsi peke yake kwa masaa matatu, kawaida huanza kama amechelewa, asimame kwenye mkahawa wa mandazi kwa saa moja unusu na kuja nyumbani huku akiwa amedhoofika, amekata tamaa na mwenye kushindwa. Hata hivyo, mtu yuleyule anayemchukua mwenzake au mwanafunzi kawaida huanza kwa wakati, huvumilia kwa masaa matatu, hudai uwezo wake Mungu juu ya maisha yake wakati anaposhuhudia na kujitahidi aone mtu

Sababu ya Yerusalemu

104

fulani ameokoka na hata kama hakuna sababu nyingineo aweze kumhimiza mwenzake. Yeyote ambaye haendi nje kwa uvuvi wa nafsi kila mwisho wa juma au kumfunza mtu mwingine kwa njia ya wawili-kwa-wawili ako na shughuli tele. Panahitajika pawe na mabadiliko ya ratiba. Aidha, mtu aendaye nje akiwa peke yake anapoteza nafasi ya kuwa Baraka kubwa kwa ndugu Mkristo ambaye atazaa na kuziongeza juhudi alizo nazo mvuvi wa nafsi katika maisha yake mwenyewe.

Aidha, mtu wa pili anaweza ujibu mlango, angalia mtoto, jibu simu, au alishughulikie tatizo lolote lizukapo. Mtu wa pili husikiza kwa makini mno na kamwe haingilii wakati mvuvi yule wa nafsi anapomshughulikia mtu.

Kusema kweli, unatakiwa uamue kabla kuwa nni nani atakayeshughulika na mtarajiwa, na ni nani atakayekuwa mtu wa pili. Wakati ambapo mnaingia nyumbani mle, wote wawili mwastahili muwe na ubinadamu na kujiunga na mazungumzo, lakini mvuvi wa nafsi anapouanza mpango, mtu wa pili yatakikana awe kimya. Kama kunao usumbufu wowote kama vile watoto, wanyama, au simu, mtu wa pili anaweza kushughulikia hayo na kumwacha mvuvi wa nafsi bila kutatizwa.

Wiki kadhaa zilizopita nilikuwa nikitembea na mchungaji wakati nikiongoza kampeni mtaani. Alipoikaribia nyumba akasema, ― Ndugu Wood, mwanamume huyu anahitaji kuokoka, lakini mwanawe wa kiume wa miaka minne ni tisho.‖ tukaamua mimi ndiye nitakayevua nafsi naye awe mtu wa pili.

Mara tu tulipoingia kwenye nyumba na kuanza kuongea., nikaona lile mchungaji alilomanisha. Yule mvulana akaleta vito vya michezo, paka, kitabu – kwa jumla nyumba yote! Akaongea kwa sauti kuu na kwa mara nyingi kama tulivyofanya. Baada ya dakika chache, nikamuliza Yule mwanamume ikiwa ninaweza kumwonyesha kutoka kwa Bibilia jinsi ya kuwa na uhakika wa wokovu. Mara moja Yule mwenzangu akapendekeza kuwa yeye na Yule mtoto wakachezee katika chumba kile kingine. Akaamka, akibeba vito na vinginevyo

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

105

vyote, na pakawa haoana kusumbuliwa-sumbuliwa tena. Dakika chache baadaye nilikuwa nimemwonyesha Yule mwanamume waziwazi jinsi angeweza kumpokea Kristo kama Mwokozi. Yule mvulana akakimbia chumbani mle na kupasa sauti

akisema, ― Baba, ninafurahia kuwa umefanyika Mkristo!‖ Hivi karibuni mmoja wa wavuvi wa nafsi kanisani mwetu pamoja nami tulikuwa kwenye matembezi. Tulipoikaribia nyumba moja, nikasema jambo ambalo huwa sio kawaida kwangu kulisema. ― Kwa nini usiwe mvuvi wa nafsi jioni hii? Nitakuwa mtu wa pili.‖ Tukamtembelea kijana ambaye alikuwa amehudhuria ibada ya Pasaka wakati wa asubuhi. Tukakutana katikati mwa nyumba yao. Mwenzangu akaanza mazungumzo naye ilhali nami nikaketi na kuwa kwa maombi. Katikati mwa kule kukabidhi, babake akaingia mle chumbani. We visited a teenager who had attended Easter morning services. We met in the breezeway of his home. My partner engaged in conversation while I sat and prayed. In the middle of the presentation the dad stepped into the room. Nikamwendea mara na dakika chache baadaye, Yule kijana akampokea Kristo. Nikamwendea mzazi na kijana mwingine wa kiume naye mwenzangu akafanyika kuwa mtu wa pili. Katikati mwa kukabidhi kwangu, pakawa na mtu kwenye mlango. Kwa kuwa macho, mwenzangu akaamka na kupotelea nje. Baada ya kumvua baba na Yule kijana kwa Kristo (mama alikuwa yeye ni Mkristo) nikarejea pale katikati mwa nyumba na kumwona mwenzangu akishughulikia vijana wane wa kiume. Nikahisi kuwa wawili kati hao wavulana walikuwa tatizo na nikawachukua kando na dakika chache baadaye, vijana wengine wawili wakawa wamempokea Kristo. Tukitoka nyumabani mle baada ya saa moja na nusu, mwenzangu akawa akirejelea yale yaliyokuwa yametendeka. Kila mmoja wetu alikuwa amekuwa

Sababu ya Yerusalemu

106 Mvuvi wa nafsi na pia kuwa mtu wa pili. Tulibadilshana

majukumu kila wakati. Katika mwisho wa matembezi, nafsi tano za thamani zilikuwa zimeokoka, washilisho wazi la Injili lilikuwa limetolewa, na kuwekwa msingi kwa waumini kulikuwa kumefanyika — yote bila ya usumbufu.

Sanduku la vifaa

Uhifadhi Wa Rekodi

Hakuna chochote katika maisha husonga mbele pasipo na ufahamu wa nini kilichotokea. Daima huwa nimepata katika huduma kuwa wale ambao wako dhidi ya rekodi, idadi na takwimu ni wale ambao hawahitaji kuweka yoyote.

Kusoma kupitia kwa Maandiko, huwa ninashangazwa na

jinsi Mungu alivohusisha nambari: wamafunzi 12, 120

katika chumba cha juu, 3,000 waliokoka katika siku ya

Pentekoste. Mtu Fulani alisema yakuwa Mungu

alipendezwa sana na hesabu hadi akakiita hivyo kitabu

kimoja cha Bibilia!

Kanuni mbili za tabia za Mandiko katika uvuvi wa nafsi ni wajibu na uwajibikaji. Watu ni lazima wajue kinachotarajiwa kutoka kwao na ni lazima watoe hesabu wa jinsi walivyotimiliza kazi hiyo.

Hii ndiyo sababu ninakusihi uweke rekodi ya kila wiki ya hesabu kwa masaa unayokwenda kwa uvuvi wa nafsi, ya watu unaowavua kwake Kristo, wale wanofanya iwe wazi katika kanisa lako la mtaa, na nambari ya wale wanaofuata katika ubatizo.

Mipango Yenye Mikakati Kwa Matokeo Ya Mikakati

107

Weka rekodi au kila mtu unayemvua katika sehemu

ya nyuma ya Agano lako Jipya la uvuvi wa nafsi.

Pamoja na jina, tarehe, kukiri hadharani na ubatizo.

Andika pia namabri za simu kwa ajili ya kufuatilia.

Wakati moja mke wa nyumba mwenye umri wa

makamu alijitambulisha kwenye mkutano. Akasema,

― Ndugu Wood, huwa ninaandika chini katika

Agano langu Jipya jina la kila mtu ninayemvua

kwake Kristo. Usiku wa jana kwenye matembezi

nilikuwa nayo furaha ya kumwongoza Shahidi wa

Yehova kwake Bwana. Nikandika herufi JW kwa jina

lake huyu mwanamke katika Agano langu Jipya.‖

Itakuwaje chanzo kutia moyo huu uwekaji wake wa rekodi utakavyokuwa tarehe Fulani wakati ujao —labda atakapokuwa anaupitia muda mgumu. Mchungaji moja miongoni mwa marafiki zangu kutoka Carolina Kusini alisema kuwa wakati mmoja aliongoza vizazi vitatu vya familia moja kwake Bwana — mwanzo na mara ya mwisho ilipomfanyikia. Ni hadithi iliyoje atasimulia anapopitia nukuu hiyo katika Bibilia. Kumbuka: Mungu pia huhifadhi rekodi. Je, kunayo orodha kuu kuliko Kitabu cha Uzima cha Mwanakondoo?

Sababu ya Yerusalemu

108

Sura ya 3

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Kisima kilikuwa nje ya mji kando na njia kuu. Wanawake, na mara kadhaa wanaume walikuja mara mbili kwa siku ili kuchota mgao wao wa maji. Lakini hakuna aliyekuja wakati wa adhuhuri…isipokuwa huyu mwanamke. Pengine kwa sababu ya sifa yake. Kisha akakutana naye. Alikuwa ni Myahudi, naye Msamaria. Sio kwamba alinena naye, bali alifanya hivyo hadharani na kumwomba hisani! Mwanamke hakuelewa mwelekeo wa maswali yake bali alihisi mazungumzo yalikuwa yakimrudilia. Akajaribu ficho la kidini, ambalo Yesu aliliepusha. Mwishowe, hitaji lake la Mungu lilikuwa dhahiri hata bila pingamizi akampokea Yeye na akakimbia kuwambia wengine. Yesu kamwe hakupata maji naye mwanamke kamwe hakuutoa mtungi wake wa maji. Sidhani kunao mfano mkuu wa jinsi ya kuishuhudia nafsi iliyopotea kuliko kisa hiki cha Yohana 4. Yesu aliviepuka vizuizi vyote ili kumfikia mwanake huyu na wakati alijibu kwa sababu mbaya, kwa upole Akamrejesha nyuma kwa masuala yaliyo ya muhimu.

109

Sababu ya Yerusalemu

Yeye kamwe hakufuatia mitego yake ya kitheolojia au malalamiko ya tangu kale ya Wasamaria, lakini aliendelesha kulenga haja yake ya wokovu. Alimbainia hali yake kwa wema naye akajibu kutoka kwa hali yake ya kukuwa na ukosefu wa kiroho. Kasha ushahidi wake binafsi ulivutia sana hata watu wa mji wakamuliza Yesu akae, ambapo alifanya kwa masaa 48 zaidi.

Wakati Wakristo wanapokaa pamoja na kuanza kuongea kuhusu uvuvi wa nafsi, haiwi muda mrefu kabla mtu fulani kuniuliza, ― ni haja gani iliyo dhahiri inayowakabili Wakristo wanaoshuhudia siku ya leo?‖ Mada nyingi hufurika akilini mwangu, lakini suala moja kuu linaloonekana kuzuia Wakristo wengi wanaomanisha vyema kutoka kuwaongoza watu waliopotea kwake Mwokozi. Kwa kweli, eneo hili moja limekosa kueleweka kabisa hata limekuwa tatizo katika kuifanya kazi ya uinjilisti wa kibinafsi kutoka kwa mimbari na vile kutoka kwa mlango hadi mlango.

Shida ipi? Wakristo wengi humtegemea Yule aliyepotea ajue jinsi ya kuokoka, badala ya kwa makini na kwa kuendelesha kumwongoza huyo mtu kwake Kristo. Hebu tulikubali hili. Katika juhudi zetu za uvuvi wetu wa nafsi wa kibinafsi, tunajaribu kuwaelekeza watu katika njia ilio sahihi ila tu kuwaona wakifuata njia ya uongo. Tunawashinikiza ila tu kuona wakichanganyikiwa na msingi wao au kwa jambo tulilolisema. Tunajaribu kumpendekeza Yesu kwa watu ni kama Yeye ni mojawapo wa chaguo kadhaa

Ni mara ngapi nimemwona mtu akija mbele katika ibada kwa ajili ya wokovu au kwa urejesho wa maisha na kisha kukutana na mtenda kazi wa binafsi aliyepotoshwa na mwenye shauku anauliza, - kwa nini umekuja? Au, - Umeshawahi fanya hili hapo awali?

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Ni mara ngapi nimona mtu katika nyumba akija hadi kwenye kiwango cha kumpokea Kristo na kasha kupindukia suala linalougeuza mkutano kabisa! La kusikitisha, nimeshawishika kuwa wingi wa kuchanganyikiwa huku kunasababishwa na mbinu yake mvuvi wa nafsi. Kabla ya kukutana na mwanamke kisimani, Yesu alikutana na mvua samaki aliyeitwa Petro. Kwa kweli, ilikuwa ni Andrea aliyemwongoza ndugu yake maarufu amwelekee Bwana. Katika Yohana 1:42 Bibilia inasema Andrea ndiye aliyemleta kwa Yesu. Andrea hakumuliza Petro kama anaijua njia, na wala hakumwambia juu ya Yesu na kumwacha na kasha kumwacha ajiamulie jinsi ya kufika huko. Andrea alichukua ushukani na akahakikisha kuwa Petro asiokoka amefika kwake Mwokozi. Hiyo ndiyo kazi yetu, na ndilo lengo la sura hii muhimur. Katika Yakobo 5:20, kunayo maneno yanayoelezea kazi yake mvuvi wa nafsi: ― …yeye amrejezaye mwenye dhambi hata atoke kwenye njia ya upotevu, ataokoa roho na mauti….‖ Mwenye dhambi lazima arejezwe au aongozwe, na sio aachwe peke ama aachwe ajirejeze yeye mwenyewe. Narudia: Mwenye dhambi ni lazima arejezwe na mvua nafsi. Hii ndio kazi yetu, agizo letu.

Nilikuwa nikihubiri katika kampeni ambapo uhudhurio ulikuwa juu na nafsi zilikuwa zikiokolewa. Usiku mmoja mwanamke mmoja akanyosha mkono akihitaji aombewe ili aokoke.kisha nikawauliza wote waliokuwa wamenyosha mikono yao wanitazame. Akanya hivyo. Nikawauliza waje mbele na wamruhusu mtu awaonyeshe kutoka kwa Bibilia jinsi ya kuokolewa. Akafanya hivyo. Mmoja wa wanawake kutoka kwa kanisa akakwenda naye hadi kwenye chumba cha maombi.

Sababu ya Yerusalemu

Baada ya ibada nilikwenda ili kuzungumza na yule mwanamke. Nikadhihirisha furaha kwa wokovu wake, lakini aliinamisha tu kichwa chake kiasi. ― Alifanya hivyo miaka miwili iliyopita, ‖ yule mfanya kazi akaelezea, ― na wakati alipojiunga na kanisa alibatizwa.‖

Nikamgeukia huyu mwanamke mzuri na kuuliza, ― Ulikuja usiku wa leo ili uokoke, sivyo? ‖ ― Ndio.‖

― Ungependa kujua kwa uhakika kwamba utaenda mbinguni? ‖ ― Ndio.‖

― Basi hivi ndivyo unavyoweza kujua.‖ nikampitisha kupitia kwa vifungu muhimu vya Bibilia na kumwongoza kwake Bwana. Wakati ambapo nilimuliza ni lini aliokoka, akasema, ― Sasa hivi, Right now, hapa hivi, leo! ‖

Rafiki, tuwaongoze watu kwake Kristo, na hivi ndivyo jinsi ya kuifanya!

Somo la 10

Ni Kazi Ya Nani Hata Hivyo?

Ninalo tatizo na wavua nafsi waliochanganyikiwa wanaohisi kuwa ni jukumu lao la kuwa Roho Mtakatifu. Hebu nielezee. Katika 2nd Wakorintho 5:18-20, kunayo semo mbili kubwa zinazoelezea nafasi yake Mkristo katika uvuvi wa Nafsi. Kwanza, kila mmoja wetu amepewa huduma ya upatanisho. Ni tadhila kiasi ipi kuweza kuwaleta watu kwa pamoja na Mungu. Hii ndio sababu tunaitwa mabalozi wake Kristo. Ni kazi yetu kama Wakristo kuipena Injili kwa yeyote, mahali popote, wakati wowote kama jinsi tulivyo na uwezo.

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Pili, ni Roho Mtakatifu anayeuchukua ujumbe na kudhihaki moyo na ni Mungu anayepeana ongezeko — sio sisi. Mkristo yeyote wazi amabaye amefanya kazi ya uvuvi wa nafsi, wakati moja au mwingine ameshawahi rudi nyuma kutoka kuikabidhi Injili kwa sababu yeye alihisi yakuwa Yule mtarajiwa hakuwa tayari. Au, baada ya Injili kukabidhiwa, Yule mtu hakuulizwa ampokee Kristo kwa sababu ― moyo wake haukuonekana ukiwa umetayarishwa.‖

Kama hatuwi makini, tutayapitia maisha yetu tukiwapima watu kwa msingi wa iwapo tunahisi wako tayari kiroho kuisikilza Injili au kumpokea Kristo kama Mwokozi. Onyo: Ikiwa uvuvi wetu wa nafsi utaanza kuchukua mkondo huu, tunageuka wakaguzi war oho badala ya wapanzi wa mbegu. Tunajaribu kuzalisha majibu badala ya kumruhusu Mungu adhihaki na kulitumia Neno Lake.

Nimejuana na Wakristo ambao huniambia kuwa wao huhisi wakiongozwa kuzalisha dhihaka katika msikiaji. Au wanahisi kusimamisha ikiwa hawaoni ishara za toba. Wengine husema ukabidhi wao haukuwa wa kutosha au mtu huyu alilisema tu ombi ili kujikwamua kutoka kwao. Sio ajabu kunao wavua nafsi wengi mno waliochanganyikiwa na hata zaidi watu wengi ambao hawajaokoka waliochanganyikiwa! Kuruhusiwa, huku ― kudhihakiwa kwaonekana na kusikika kuwa kwa kiroho, lakini mwishowe wewe unafanya kuwa Roho Mtakatifu. Aidha, unakosa utiifu katika kuutoa ujumbe wa upatanisho na kutofaulu kama mabalozi wake Kristo. Kila mvuvi wa nafsi atakiwa awe nayo hekima ya kufikiria maombini dhana hii na kuacha Roho Mtakatifu aiweke katika mioyo yao.

Sababu ya Yerusalemu

Lakini, unauliza, But, you ask, nini ikiwa mtarajiwa akifanya uamuzi na awe hajamaanisha? Hapa ndipo tena unakwenda kwa kuwa Roho Mtakatifu. Ni lazima tuelewe kuwa watu wanaweza kutupumbaza kimakusudi. Hatuwi bila makosa. Tunaweaza kuwa nao wasiwasi, lakini kwa hakika hakuna lolote tunaloweza kufanya ili kuibadili hali hiyo. Ndiyo, kunao wale watakaochukua mkao huu. Wengi wa wasiookoka ambao tunafursa ya kushughulikia na

wanaokataa kumpokea Kristo huwa wako kweli na wanalohitaji ni mtu wa kuwapenda na kuwafunza. Nimekuwa na hafla tatu, kwa ufahamu wangu, ambapo watu wamempokea Kristo katika ibada ya umma na kasha baadaye wakanijia na kuniambia yakuwa nilikuwa kwa nyumba zao, kuwakabidhi Injili, na hata wakainamisha vichwa vyao. Wakasema walikuwa wamelionba onbi la mwenye dhambi pamoja nami, tu badaye kudhihaki na kucheka baada yangu kuondoka. Bila shaka, sikulijua hili. Niliamini kuwa hao watu walikuwa wa ukweli kama watu wote wengine.

Nilikuwa katika jimbo moja la kaskazini wakati wa ibada ya kati mwa juma na mwisho wake, mwanamke wa umri wa makamu akatokea mbele ili kumpokea Kristo. Kasha baadaye akashiriki hadithi yake. Alikuwa amehudhuria kanisa ambalo nilichunga kule Grand Rapids, Michigan kabla sijaingilia uinjilist wa muda wote. Wakati nilipomtembela baadaye wiki hiyo na kuikabidhi Injili kwake na kwa wanaume wengine kadhaa ambao walikuwa kwenye trela pamoja naye. Akasema kuwa, ― Nililiomba ombi ili tu kukuondosha kwetu jioni hiyo.‖

Akaendelea kusema kuwa baada yangu kuondoka, yeye na wale wanaume walibaki wakicheka jinsi vile ilivyokuwa rahisi kujikwamua kutoka kwangu. Wazo langu la mbele lingekuwa kwamba mpango wangu haukuwa mkamilifu au

Karibu Na Kwa Kibinafsi

au sikuwa na unyeti wa kutosha kuweza kueleweka. Lakini ukweli ulibakia kuwa mimi ni wa kuipanda mbegu na kumruhusu Mungu alete ongezoko. Yule mwanamke akendelea na hadithi yake. ― Tokea usiku ule hadi sasa (miaka 4 baadaye) sijaweza kuondoa haja yangu ya Kristo kutoka kwa mawazo yangu. Nilisoma gazetini mahali ungekuwa na ndio nikakuja.‖ Inabidi nirudie kuwa huyu mtu hangepata usingizi au kulitatua swala hili. Ilikuwa hangeweza kusubiri kuisikia Injili mara tena na kuyafanya mambo yake kuwa sawa kwa Mungu. Unaona, kazi yangu ni kuikabidhi Injili na kuwapa watu nafasi ya kusema ndio. Hata kama mtu atafanya kukiri kusiko kwa kweli kimakusudi, Roho Mtakatifu hutumia hili kudhihaki zaidi kwenye nafsi zao. Wokovu ni wake Bwana. Yeye huwa ni mwaminifu kwa Neno Lake na Neno Lake huwa halimrudii bure. Tena, mvua nafsi lazima aelewe — na kutumaini —yakuwa ni kazi ya Neno lake Mungu chini ya huduma yake Roho Mtakatifu inayoleta mwenye dhambi aliyepotea kwa ujuzi wa wokovu wake Kristo. Kwa hivyo msingi wa muhimu ni kuhakikisha umemkabidhi Kristo kwa kuendelea, huruma na wema hata kama hapo awali ulikuwa umekataliwa. Kumbuka: Hasi zaweza kugeuzwa kuwa fursa. Nimewaongoza watu wengi kwa Kristo kwa kuwapa vipeperushi. Wakati mtu hangeniruhusu kwa wazi nimkabidhi Yesu, niliwapa tu kipeperushi na kuwaelezea yaliyomo. Kwa hafla kadha, niliwaona wakija kwake Kristo. Wakati mwingine nimekuwa na watu walionikataa kabisa na hivyo kwao ningesema, ― hebu tuufunge wakati wetu kwa maombi. Kasha ninaomba mpango wa wokovu kwao na wengine wakasema ndio.

Sababu ya Yerusalemu

Mara moja nilimshuhudia mtu kiziwi. Mwanzoni palikuwa na kizuizi kikubwa lakini nikachukua karatasi na kuanza kuandika nakala kwake na kumwongoza kwa Kristo kwa kumwandikia mpango wa Injili.

Kwa tukio linguine, kanisa la mtaa lilikuwa limefanya bidii kuongeza maradufu uhudhurio wao wa Jumapili asubuhi na watu wengi wazima waliokoka wakati wa mwaliko. Mmoja alikuwa mwanamume aliyeitwa Pedro. Kwa wakati huo Pedro alikuwa naye rafiki ambaye hakuelewa Kiingereza.

Nilikuwa nashangazwa ni nini alichokuwa akifikiria wakati wa ibada. Karibuni nilipata kujua! Siku iliyofuata Pedro akaniita na kuniuliza kama ningekuja na kumwona rafiki yake Jose. Nilipata fursa ya kipekee ya kumakabidhia Kristo na Pedro akafanya utafsri katika Kihispania. Jose akampokea Bwana kwa sababu alikuwa akisubiria tu kuokoka.

Kama wavuvi wa nafsi tunaangukia mtego wa kuamini tunatakiwa kuwa werevu wa kutosha, wa haraka ya kutosha au wajanja wa kutosha wa kuongelesha mtu ili kuwavuta kwa imani. La! Ni Roho Mtakatifu anayehukumu, Neno la Mungu ndilo mbegu, naye mvuvi wa nafsi ndiye atapanyaye mbegu.

Hata wale wanaodhaniwa hawewezi kufikiwa wanaweza kuvuliwa. Nilikuwa naongoza mkutano kule CaroIina ya Kusini wakati mmoja wa wanawake wa kanisa aliponiuliza nimtembelee baba yake. ― Ameshughulikiwa na kila mtu,‖ akanionya. ― Ni mgumu.‖

Wazo langu la kwanza lilikuwa la kusema la. Sawa kama wewe, ninazo hisia kama vile, ataupigisha mlango usoni mwangu. Au, amewafanya wote waogope walioongea naye. Au, ikiwa ameshughulikwa awali hivi, basi bila shaka hana haja ya kuokoka na huu utakuwa kuupoteza wakati. Lakini

Karibu Na Kwa Kibinafsi

nikamgeukia Yule mfanyikazi kando yangu na kupendekeza twende adhuhuri ifuatayo. Wakati tulipofika tulimkuta ameketi nje ya ua lake. Tukaongea kuhusu masuala mbalimbali yaliompendeza, na nikawa natarajia anisimamishe kwa wakati wowote. Kwa mshangao wangu, akawa mwema sana na akafurahia kuendelea na mazungumzo. Kwa muda mchache nikaingia kwa suala lililo tuleta na kumuliza kama alikuwa na uhakika kuhusu mbinguni. Wakati aliposema hana uhakika, nikamuliza kama naweza kuchukua muda mfupi na kumwonyesha jinsi ya kufanyika Mkristo.

― Bila shaka,‖ akajibu. Nikamwongoza kwake Bwana na jioni hiyo akahudhuria ibada yetu na kutembea madhabahuni. Baadaye nikamuliza ni kwa nini hakuwa amempokea Kristo mapema. Kamwe sitawahi lisahau jibu lake: ― Watu wengi wamenizungumzia kuhusu kuokoka, lakini hakuna amewahi kunionyesha vipi.‖ Je, siniajabu sana jinsi watu wachache wanavyofahamu jinsi ya kuokoka? Nadhani imekuwa hivyo kila wakati. Mfumo wa kawaida unaoendelea kupitia kwa mahubiri ya wahubiri wote wakuu wa ufufuo ni kuwa dini imeufanya wokovu uwe mgumu hata ni wachache mno wanouelewa. Watu wengi waliopotea wanamini tu kwamba ni kundi ndogo na maalum la waliofunzwa wanaweza elewa uzima wa milele unahusu nini. Hili linatakiwa limsisimue Mkristo anayetaka kuzivua nafsi. Hutakiwi uwe mhitimu wa chuo cha Bibilia au msomi wa theolojia. Hakuna karama maalum zinazohitajika. Hakuna kosi katika kunena mbele za umma inayohitajika. Kwa kweli, wakati mwingine watu walio na yote haya yalimo hapa juu huwavua walio wachache sana kwake Kristo. Mtu aliye na moyo uliopondeka anayetoa maelezo rahisi na mepesi ya

Sababu ya Yerusalemu

Kueleweka kwa kawaida huona watu wengi wakija kwa Kristo. Kwa bahati mbaya, tunautumia muda mwingi kuongea na watu kuhusu dini na kwa ujumla kuwacha na njia tu mpya ya kulitazama suala ambalo wamechanganyikiwa. Mvuvi mzuri wa nafsi lzima ajizoeze na kujifunza kushughulika na watu kuhusu nafsi zao. Mara nyingi watazungumza kuhusu masuala kadhaa lakini kwa uhakika wanajalishwa na kuyafanya mambo sawasawa naye Mungu.

Wakati nikisafiri kwa mkutano wa wa mzungumzo, nilisimama kwa mkutano wa mapema wa kiamsha kinywa upande wa mashariki mwa Tennessee. Msichana wa kuuza akaiona Bibilia yangu na akataka kujua kama anaweza kuniuliza swali. Ulikuwa mmoja wa wakati nilipokuwa na shughuli sana na sikuwa nao wakati mwingi wa kupoteza, lakini singeruhusu jambo lolote lisimame katika njia ya iliyo biashara kuu duniani!

Nikakubali na akaja na suala maarufu la kijamii. Baada ya neno moja au mawili, nikamtazama na kumwambia, ―

Naamini swala halisi ulilonalo ni nitajauaje kwa hakika nitaenda mbinguni, sivyo?‖ Akakiinamisha kichwa chake na kuitika, ndio. Nikachukua dakika chache zaidi na kuelezea jinsi angeokoka na akampokea Kristo. Nimeliona hilo kuwa la kawaida sana. Watu wengi wazuri wanataka kujua jinsi ya kwenda mbinguni lakini hawajui hawajui namna ya kuuliza maswali yafaayo. Kila mara ni jukumu lake mvuvi wa nafsi kuweza kusikiliza suala halisi lililo ndani ya swali.

Uvuvi wa nafsi sio kufanya hila, kusukuma, au kuwalazimisha watu wampokee Kristo. Ni kutumia wasilisho lakueleweka la Injili na kumwacha Roho Mtakatifu awe na uhuru wa kufanya kazi kupitia ushahidi wetu.

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Sanduku la Vifaa

Urahisi

― Nina hofia kuwa swali linaweza kuulizwa lililo ngumu kwa mimi kuweza kujibu, kwa hivyo ninaogopa kuwa kikwazo kwa yule mtu ninayemshuhudia…‖ hivyo akaandika mwanamke mmoja wa thamani kule Iowa anayempenda Bwana na anao mzigo wa kuwavua wenye dhambi. Sijui kama nimeshawahi ona tamko moja linalojumuisha uoga uliomo kati ya Wakristo wengi wanaonijia na maswali kuhusu uvuvi wa nafsi wa binafsi. Kuwaongoza watu kwake Kristo huwa ni furaha. Ni kazi ituzayo mno ambayo Mkristo anaweza kuifanya. Na bado ni lazima tutambue yakwamba Shetani atatumia kila hila na vitisho ili kutuweka mbali kutoka kwa hii jitihada ya kiroho. Ili kuweza kuondoa hofu hii fikiria juu ya neno moja: urahisi. Kila mara kumbuka kuwa wewe ni mvuvi wa nafsi. Kazi yako ni kumwongoza mtu kwa Kristo. Haupo pale ili kuyajibu maswali ya Bibilia au kuyanyosha maisha yao au miegemeo yao ya kidini. Mambo hayo yote yahitaji kufanywa lakini huja baada ya wokovu na sio kabla. Tazama mpangilio wa 1st Wakorintho 2:14: ― Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu: maana kwake huyo ni upuzi: wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.‖

Sababu ya Yerusalemu

Mtu lazima awe ameokoka ili aweze kuwa wa kiroho, anahitaji kuokoka kabla ya kuwa mwanafunzi. Hebu Roho Mtakatifu afanye kazi ya kuinua uzito; wewe weka tu urahisi. Kumbuka ufupisho wa neno la kijeshi KISS? Liweke Liwe Rahisi Kiujinga! Naomba kwa heshima tubadilishe iwe Liweke Liwe Rahisi Kuokoa?

Somo la 11

Wakati Umo Kizingitini Halisi!

Umebisha tu kwenye mlango na mara moja unajutia. Unajua kwa hakika kuwa Yule mtu ni Mumormoni. Au atalichukia kanisa. Au yeye hana nia ya Mungu. Chochote walicho, umeshawishika hutaweza kushughulikia. Unapanga njama ya kutoroka…wakati mlango unafunguliwa. Kama naweza kupendekeza jambo moja la msingi, ni kuwa uwashughulikie watu wote kwa njia sawa bila ya kujali wao ni nani. Kabidhiana Kristo na wokovu vizuri. Mtumaini Roho Mtakatifu aifanye kazi yake na umruhusu mtu yule ajibu kwa uamuzi.

Hebu sasa nipendekeze jambo lingine: jifunze mpango mzuri wa wokovu, uufanyie kazi, na uutumie mara nyingi hadi ukuwe mvua nafsi ngangari. Daktari R. A. Torrey alitumiwa zaidi na Mungu; kwanza kwa kufanya kazi na D. L. Moody, na kisha kwa kujitegemea katika kuwafundisha watu jinsi-ya kuwavua marafiki zao na majirani kwake Kristo. Mojawapo ya kauli yake kubwa ilikuwa – Panga kufanikiwa.

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Mara tu baada ya kujifunza mpango mzuri wa uvuvi wa nafsi, uwe wazi mwanzoni mwa mazungumzo yako kuwaendea watu kwa utofauti hadi utakapoupata mpango wako wa kawaida. Kuwa mwepesi wa kubadilika. Mkute mtu mahali alipo na kasha kwa utaratibu uyalete mazungumzo hadi mahali pale unapoweza kuufuata mpango wako. Mtumaini Roho Mtakatifu kwa mwelekeo. Nilikuwa kwenye ndege na kuwa na mazungumzo kuhusu mpira wa miguu na mtu aliyekuwa kando yangu. Baada ya dakika moja nikamuliza, ― Unafanya kazi gani?‖ kwa kawaida hili huwa linamfanya mtu ajibu kwa ukarimu. Kweli tosha, baada ya kuniambia kazi yake na kuzungumza kuihusu, akaniuliza na yangu. Nikasema, ― Mimi ni mhubiri.‖ Akaanza kufunguka kwa hadithi ya huzuni kuhusu nyumba yake na matatizo na kisha kuniuliza kama ningeweza kuiombea familia yake. Nikasema ndio lakini nikaongezea, ― Kwanza, naomba kama naweza kukuonyesha mistari kadha kutoka kwa Bibilia itakayokusaidia kujua mahali uko kwa Mungu kama mume na kama baba.‖ akaitikia ndio na katika muda wa dakika chache akampokea Kristo na nikaiombea familia yake. Ni furaha iliyoje ya kumweka kwa msingi wa mambo yake Mungu na kisha kumwona akirejea kwa familia yake akiwa mume na baba aliyeokoka.. Lakini nilikuwa nao mpango. Unaweza kuwa kwamba ulianzia na mpira wa miguu lakini ukamalizikia kwake Kristo. Katika vipindi vichache vijavyo hebu tukujengee mpango. Kwanza, hebu turudi pale nje ya ua na kwa mtu Yule anayeujibu mlango. Mgawe mtu yule kwa makundi mawili: wale wametangamana nawe awali au na kanisa, na wale ambao bado.

Sababu ya Yerusalemu

Hebu tulichukue kundi la kwanza. Ninaubisha mlango wao nikiwa tu na kipeperushi na brosha ya kanisa mkononi mwangu. Lengo ni kumweka matarajiwa awe vizuri kabla ya kuikabidhi Injili. Hii inamanisha kuwafurahisha kwa maongeo ya mapema — kuwa kibinadamu — lakini pia kujaribu kuwatuliza kimwili. Kwa kawaida utazuru ndani ya nyumba lakini wakati mwingi pale nje uani ndipo palipo mweko kamilifu.

Wakati mtu anapoujibu mlango, huwa ninarudi hatua nyuma, tabasamu, na kusema, ― Jambo, Mimi ni David Wood kutoka Heritage Baptist Church. Naamini ulitutembelea asubuhi ya Jumapili hii iliyopita.‖ Kwa kawaida mtu Yule (tuseme kuwa ni mwanamume) atakitingisha kichwa chake au kutabasamu kwa kukubaliana. Huwa ninajaribu kumwamkua mkononi na kutaja jinsi tulivyofurahia kwa yeye kutembea. Kwa busara pia huwa ninamuliza jina lake na kulitumia kwa haraka niwezavyo. ― Tulitaka kuwa na nafasi kukurejeshea matembezi yako, Yohana, lakini natumai kuwa hatukukupata kwa wakati ulio mbaya.‖

Kwa sasa ni rahisi kwake kusema, ― Hakuna tatizo, kujeni ndani.‖ Katika hali halisi, wale ninaokuta hujibu kwa namna hii. Kwa hafla zile ambazo matembezi hayatakubalika (na mara nyingi nimegundua hii kuwa mwitiko wa ukweli), weka mpango nao wa kuja tena baadaye. Katka mfano wa pili — mtu ambaye hajawahi tangamana na kanisa lako — kimsingi, utaratibu bado ni sawa. Huwa nia kipeperushi, na mbinu ya uaminifu. Kauli yangu ya ufunguzi itakuwa na swali la kujibu. Ninabisha, mtu anajibu, ninachukua hatua nyuma, tabasamu, na kusema, ― Mim ni David Wood. Ninatembea leo kutoka kwa kanisa

Karibu Na Kwa Kibinafsi

la Heritage Baptist na kuwapa watu maelezo kuhusu huduma yetu. Nauliza, unajua kanisa letu liko wapi?

Wapeleka pole pole kutoka kwa nyumba yao hadi kanisani. Waulize maswali kama vile ― Unajua mahali shule ya upili ilipo?‖ (Jibu.) ― Vyema, ingia tu kulia pale na uende….‖ Weka maoni juu ya mitaa mingine au alama. Cheka ikiwezekana lakini bila shaka kuwa na tabasamu. Kuwa na furaha, uwe chanya. Toa pongezi juu ya nyumba au yadi. Wape brosha na kipeperushi na swali lingine: ― Kama vile nilivyokwambia, jina langu ni David Wood. Ulisema lako ni nani?‖ Msalimie kwa mkono na hapo umeanza matembezi yenye urafiki. Sasa utaendelea kulingana na hali na kwa jinsi alivyojibu. Pengine utakaribishwa ndani. Pengine anajibu lakini anataka kuwa na umbali wake. Mwachie vitabu vya kusoma na umpe mwaliko wa kuihudhuria ibada. Bado hujamwongoza kwa Bwana, lakini umepata mtarajiwa mzuri wa baadaye. Kama kabisa hashirikiani na kuufungua mlango wake inchi sita tu na kukuambia uondoke, kubaliana naye — kwa sasa. Kumbuka somo letu la awali? Amemkataa Mungu, sio wewe. Mwachie vitabu vya kusoma ikiwezekana na ujaze maelezo yoyote kwenye kadi yako au katika kitabu chako. Mwombee na umtembelee wiki inayofuata. Hebu tukome kwa muda. Ni ukweli usiopingwa wa uvuvi wa nafsi kuwa mara kwa mara utakumbana na mtarajiwa mwenye uhasama. Unapopatana na nafsi isyokubali, zipinge tama zako zote za asili. Kamwe usijadili. Kamwe usimweke kwa kujihami. Kamwe usijitokeze kama aliye haki zaidi. Kamwe usiwe mjeuri. Kamwe usimwegemee. Kwa nini? Kwa sababu hata kama kuamukuliwa kulikuwa kubaya, unataka mkeka wa ukaribisho uwepo pale kwa ajili ya mvuvi wa nafsi atakayefuata.

Sababu ya Yerusalemu

Mara nyingi mtarajiwa ni mchokozi kwa sababu Mkristo mwingine alimkwaza. Mkristo huyo mwingine yuawezekana pia alikuwa na nia bora, lakini mbinu yake ikaharibu ule mpango. Usiache hili litokee kwako.

Turudi kwa wale watarajiwa walio bora: mwaka jana nilipokuwa nikitembea mlango-hadi-mlango mjini Pennsylvania, babu Mkristo akatukaribisha ndani. Alikuwa ametembea kutoka nje ya jimbo na akawa akiwachunga watoto. Akashiriki jinsi alivyokuwa akiomba kwa ajili ya mwanawe na binti-mkwe. Tukauweka wakati wa kurudi na hatimaye tukawavua wote kwa Kristo. Wakati mwingine ziara baridi ni mwitiko wa kurejea.

Tena, utaratibu ni sawa. ― Jambo, mimi ni David Wood kutoka

kwa kanisa la Heritage Baptist. Rakiki yako, Marko Brown,

aliniuliza kama naweza kukutembelea kwa dakika chache

nikiwepo kwenye eneo. Anakuwazia mengi sana na alinitaka

nikuachie vitabu kutoka kwa kanisa letu. Kwa hiyo nilitaka

nipitie ili nikukute na nipate kukujua binafsi.‖ Mtarajiwa wetu

pengine kwa kidogo kwanza anajiepusha, lakini atatulia

unapoingia nyumbani mwake na kuwa na ziara ya kirafiki.

Miaka kadhaa ya nyuma nilikuwa na nafasi ya kumtembelea mwanamume ambaye alikuwa ametembea kanisani mwetu jumapili iliokuwa imepita. Nilifuata utaratibu wangu na akasema, ― Kwa hakika nilifurahia kutembea kwangu kanisani mwenu lakini nilikuwa nikitembea mara tu hiyo moja kama pendeleo kwa rafiki.‖ ― Kwa hakika ninafurahi kuwa ulikuja,‖ nikamjibu. Kila mara ninapenda kupata jibu la mtu kwa huduma yetu. Hii huwa inatusaidia kwa maandalizi yetu ya kuifanikisha huduma.‖ Baada ya dakika au mbili za maswali kuhusu ibada na kupata majibu yake, nikageuza suala hadi kwa maisha, biashara, nyumba na familia yake. Dakika chache

Karibu Na Kwa Kibinafsi

baadaye nikamwongoza kwake Kristo. Kisha akanipeleka katika chumba hicho kingine na kunijulisha kwa mke wake na marafiki wawili. Akamtazama mke wake na kusema, ― nimefanyika Mkristo.‖ Upesi, nikachukua nafasi ile na kukabidhi Injili kwake na kwa wale marafiki. Yeye alikuwa ameokoka na alikuwa akimwombea mumewe kwa muda. Lakini nikaweza kuwaongoza wale marafiki kwa Kristo. Basi hebu nikome kwa mara ya pili. Shetani atajaribu kukulazimisha uwe Mkristo kimya, iwe ni kutokana na hofu au aibu. Usiyasikilize yale mawazo. Ondoa macho yako kutoka kwa hisia zako na kwenye haja ya waliopotea. Haijalishi ni nzuri vipi ile sababu ya kutoshiriki Yesu na wengine, inabakia ukweli kuwa kila mtu ambaye hajaokoka anayo haki ya kumjua Mungu. Ni kwa nini ninataja hili sasa? Ninataka kusititiza umuhimu wa lile unalolifanya wakati umesimama pale uani ukihisi pweke. Nilikuwa nimekamilisha mkutano wa Jumanne jioni na mchungaji akaniweka kwenye chumba cha malazi. Baada ya kuwa ndani kwa dakika, nikamua kutazama duka la kahawa nipate andazi. Niliokuwa nimeketi kibandani, nikawasikia vijana wanne wa kiume waliokuwa kando yangu wakijisifu kuhusu maeneo ya dhambi walizokuwa wakiishia. Walifanya mzaha kuihusu na kujigamba juu ya watu waovu waliokuwa wamekutana nao. Baada ya dakika chache nikasimama na kuwauliza kama ningeweza kujiunga nao. – Bila shaka, mmoja akasema, akiwa ameshtuka.

Sababu ya Yerusalemu

Nikachukua kiti kwenye mwisho kibanda na kusema, ― singeweza kujizuia lakini nikasikia mkiongea juu ya watu tofauti waliowathiri katika maisha yenu. Naweza kuwaambia juu ya mtu mmoja aliyeleta tofauti kubwa katika maisha yangu? ‖

Mwingine wa wale vijana kwa haraka akajibu, ― bila shaka.‖ Akawageukia marafiki zake na kusema, ― Ni mzee kutuliko. Hili litakuwa nzuri! ‖ Nikatabasamu na kuanza kuwambia juu ya mtu Fulani aliyenitambulisha kwake Yesu wakati nilipokuwa na miaka 19. Waliketi na kusikiliza kwa hamu mno. Baada ya dakika au mbili mmoja wao akasema, ― Nimesikia juu yake Yesu lakini sina wazo kuwa Yeye ni nani. Waweza kuniambia?‖

Kwa muda wa saa moja nikawatambulisha hawa wanaume wanne kwa Yesu. Walisisimuka na watatu wao wakampokea Kristo. Baada ya dakika zingine chache zaidi wakanishukuru kwa kuwazungumzia. Nilitoka kwa ule mkahawa kwa mpumuo na mpumbuazo. Lifikirie! Hapa Marekani kijana anakiri kuwa hamjui Yesu ni nani! Wale wengine kamwe hawajawahi kuwa na mtu wa kuwaelezea jinsi wanaweza kuokoka! Ukweli uletao uchungu ni kuwa watu wachache mno waliopata fursa ya kukutana na Mkristo ambaye hataona aibu ya kuwaambia kuhusu Yesu. Inakadiriwa kuwa zaidi ya 96% ya wakazi wa nchi yetu kamwe hawajawahi kukutana na mvuvi wa nafsi ana kwa ana! Rafiki, wakati huo mwingine unapousubiri huo mlango ufunguliwe, fikiria kwamba waweza kuwa utamshughulikia mmoja wa hao 96%!

Sanduku la vifaa

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Kubadilika

Yesu alitumia mashua ya uvuvi kama miambari. Mitume

walihubiri mle nje. Yohana Wesley alihubiri akaiwa juu ya kaburi la baba yake.

Paulo alisimama juu ya mlima wa Mars huku kukiwa na mahekalu na sanamu za wafalsafa wa Kigiriki. Filipo aliivua nafsi kwa kulikalia gari la farasi kule jangwani. Yohana McNeil alivuliwa kwake Yesu akiwa katika ofisi ya idara ya kituo cha reli kule Scotland mahali alipokuwa akifanya kazi. Moody aliokoka akiwa kwenye duka la viatu. Mtume Mathayo alikuwa katika ofisi yake ya utoza ushuru. Pointi yangu ni hii, kutakuwa na wakati ambapo hutakuwa

ukiibisha milango lakini bado unaweza kuutumia mpango wako. Maeneo yasiyostahili lakini mbinu ileile. Jifunze kutulia na

rahisi kubadilika. Katika chumba cha maongeo hotelini, nilikutana na

mwanamke aakiwa namkono wake kwenye kombeo. ― Natumai mkono wako unapona bila maumivu mengi, ‖ Nikauliza. ― Na furahi kuwa haukuvutwa utoke nje ya tundu lake,‖

akanijibu. ― Hilo ni neno nzuri,‖ Nikamjibu. ― Nimemaliza tu

kusoma jinsi katika kusulubiwa kwake Yesu hakuna mfupa wake hata mmoja uliotolewa kabisa kutoka kwa tundu lake.‖

Akashangazwa mno. ― Sikulijua hilo.‖ Kutoka kwa hatua hiyo, nikawa na nafasi ya kuligeuza swala liwe lake Kristo na kusulubiwa. Akamkubali Bwana, ― Kama ilichukua mimi kuliumiza bega langu ili kujifunza lile ambalo Yesu alinifanyia, ninafurahi kiasi kwamba nilijeruhiwa! ‖

Sababu ya Yerusalemu

Rafiki mpendwa, uwe rahisi kubadilika na uwe wewe. Roho Mtakatifu atakuleta wewe mahali unatakiwa kuwa.

Somo la 12

Mbinu Ya Mvua Nafsi

Muda si muda hufika wakati wa wasiwasi ambamo mvua nafsi yumo katika nyumba ya mtarajiwa, amemaliza kufanya mazungumzo mwanga, na sasa yuko tayari kuikabidhi Injili. Sasa nini? Mchungaji mpendwa aliniambia kuwa tatizo lake kubwa anapofanya kazi na wengine juu ya uvuvi wa nafsi ni kuwafanya kwa uhakika wamkabidhi Kristo mara tu waingiapo mle nyumbani.

Ikiwa utaivua nafsi ni kwa kuingia kwenye swala. Naliita hili kutupa nyavu. Na kama vile mvuvi yeyote atakuambia, kunayo njia sahihi na njia mbaya. Nimeona kuwa maswali matatu rahisi lakini yatendayo kazi huigeuza hoja kutoka kwa kidunia hadi kiroho bila ya kikwazo chote.

Hatua 1: Msingi wa kanisa lako ni upi? Swali hili hufanya kazi ya kugeuza mazungumzo yawe ya namna ya kiroho. usiwe hasi kwa jibu lake. Wakati nilikuwa mchanga katika imani, kila mara nilifikiri kuwa natakiwa kuwasaidia watu kuelewa kuwa wamo katika vikundi vibaya vya kidini kabla mimi sijakamilisha kuikabidhi Injili. Bado huwa naugua nikumbukapo baadhi ya jitihada hizi zangu za kale! La, bila kujali asili yake ya kanisa, daima jaribu kuwa kuliseam jambo chanya.

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Kupitia kwa uzoefu, nimejua kuwa huu ndio wakati ulio bora wa kutoa ushuhuda wako binafsi. Amri kuu iliyo kwenye Mandiko ni kwenda na ― uwambie mambo makuu ambayo Mungu amekutendea.‖ ushuhuda wa binafsi unahitaji makini kutoka kwa mwenye kusikiliza. Ni jambo moja kwa mtu kukuambia jinsi ya kuupunguza uzito na kuwa mwembamba, na lingine kumtazama, kuona tofauti, na kumsikia akishuhudia, ― Hivi ndivyo nilivyofanya.‖ Na ndivyo ilivyo na wokovu. Ushuhuda wako binafsi ni kifaa chenye nguvu nyingi katika mikono yake Roho Mtakatifu. Katika kuwafunza wavuvi wa nafsi, huwa ninawahitaji wandike ushuhuda wao na wajifunze kupeana wazi na kwa urahsi. Ninapendekeza uwekwe chini kiwango cha sekunde 45 hadi 60 na usiwe zaidi ya dakika mbili. Unatakiwa uwe mwepesi mno kuweza kumpeleka mtu kutoka mahali walipo sasa hadi pale ungetaka wawe kwa muda mchache. Ikiwa mtu yumo katika mazingira ya kale ya ufu wa kidini, ushuhuda wako unaweza kuanza na jinsi ulivyokuwa wa kidini kabla haujaokoka na jinsi ambavyo haukuwa na uhakika wa mbinguni hadi pale mtu alipokuonyesha kutoka kwa Bibilia jinsi ya kuokoka. Hili hutenda mambo mawili. Inawaruhusu kujitambulisha na wewe unapozungumzia zamani zako za kuwa wa dini, iliyokuwa utupu, na inajenga njaa katika wao ya kuona mtu mwingine alikufunza nini. Kwa ukweli, wamekuwa wakijua kuwa dini yao ni tupu. Sasa wamekutana na mtu fulani ambaye amelipata jibu na yuko tayari kulishiriki nao. Hivyo uanze kwa karibu iwezekanavyo na pahali alipo mtarajiwa wako kidini. Uwe rahisi, mnyoofu, na mwenye huruma. Usivutie umakini kwa wewe mwenyewe.

Sababu ya Yerusalemu

Ushuhuda wako binafsi unawakilisha hali iliyokuletea wokovu wako. Inapaswa ihusishe asili yako ya kanisa, wakati ulipotambua kuwa wewe ni mwenye dhambi, jinsi Injili ilivyofanywa wazi kwako, na ni lini ulipompokea wewe binafsi. Huu ndio ushuhuda wangu uliofupishwa: Nililelewa katika

kanisa la Kibatisti, nilikuwa nimebatizwa, na kujiunga na

kanisa katika umri wa miaka kumi na miwili.Nikiwa na miaka

kumi na tisa, nikahudhuria ibada ya jioni kwenye kanisa

lihubirio Injili ambapo baada ya ibada, mtu Fulani akanipeleka

nje tukanywe Pepsi na akaniuliza kuhusu mbinguni. Nilikataa kumzungumzia mtu huyo kuhusu suala hilo. Lakini kwenye wiki chache zilizofuatia, nikiwa nimelala kitandani, nikayarejelea maneno yake kuhusu haja yangu kwa Kristo na ukweli kuwa nikifa singekuwa na uhakika wa mbinguni. Nikarudi kwa mtu huyo, nikaisikia Injili hatua-kwa-hatua, na nikaokoka.

Siwezi kukuambia ni jinsi mara ngapi utoaji wa rahisi namna hiyo unaweza kubadilisha maisha. Miaka kadhaa imepita nilikuwa na mume na mke katika nyumba yao. Katika ushuhuda wangu nikashiriki jinsi vile mtu Fulani alivyoifungua Bibilia na kunionyesha pointi-hadi-pointi jinsi ningejua kuwa nimeokoka na kuwa wa kwenda mbinguni. Kabla sijawauliza kama wao walijua kwa hakika, Yule mwanamume akanikatisha na kuniuliza, ― Waweza kutuonyesha lile alilokuonyesha?‖ nikatabasamu na kuwapitisha kupitia kwa vifungu kadhaa vya Maandiko na dakika chache baadaye wote wawili wakaokoka.

Nikiwa naongoza kampeni katika jimbo la kaskazini, nilikuwa nikitembelea katika eneo la jamii pamoja na mfanya kazi wa kanisa. Tukasimama kumwona mwanamume aliyekuwa akifyeka nyasi katika yadi yake. Akazimisha mashine yake na

Karibu Na Kwa Kibinafsi

kusimama pale akiongea nasi. Baada ya dakika chache nikasema, ― Niambie ulilelewa kwenye kanisa gani.‖ ― Methodisti.‖ nikamwambia kuwa khabari na maandiko yake John Wesley (mwanzilishi) na nikaendelea kuutoa ushuhuda wangu. Akanisimamishia kati na kusema, ― Ni hivyo tu ilivyotendeka kwangu! Nilijiunga na kanisa lakini hakuna mtu aliyewahi kuichukua Bibilia na kunionyesha jinsi ninavyoweza kujua nitakwenda mbinguni! ‖ Nikamuliza kama ninaweza kuchukua muda mfupi ili

kufanya hivyo. Tukasongea kwenye kivuli, tukaketi kwenye

viti vya uani, na nikawa nayo fursa ya kumwongoza kwake

Bwana.

Katika matukio mengi, ushuhuda wangu umekuwa kiegezo muhimu cha kutumiwa naye Roho Mtakatifu. Kumbuka ataleta kudhihaki. Wajibu wako ni kuingia kwenye suala, wasilisha Injili wazi, na umpe mtu yule nafasi ya kumpokea Kristo. Wakati mwingine ushuhuda wako ndio tu unaohitajika kwa sababu mtu Yule yuko wazi kabisa kuisikilza ile Injili. Lakini kama wao sivyo, basi ushuhuda wako utatumika kama daraja kwa swali nambari ya pili.

Hatua ya 2: Ikiwa utakufa sasa hivi, unajua kwa hakika utakwenda mbinguni? Yote unayojaribu kutafuta ni kama yeye amepotea au la. Kamwe usiingie kwenye majadiliano, hasa juu ya tofauti kati ya matendo na neema! Mimi ndimi wa kwanza kukubali kuwa moja ya matatizo yazidio sana katika kuwaongoza baadhi ya watu kwa Kristo ni utegemezi wao juu ya matendo yao. Kila mvuvi wa nafsi anafahamu kukatisha tamaa ya kujaribu kumshudia

Sababu ya Yerusalemu

Mtarajiwa mwema ila tu kukumbana na ukuta wa matumaini ya kidini yaliyojengwa juu ya msingi asili ya kanisa, ubatizo, matendo mema, kuwasaidia wengine, au mazingira ya familia.

Shauku yetu ya kumsaidia mtu Yule kuuelewa wokovu wa Kibibilia ndio unaobadili juhudi zetu za uvuvi wa nafsi ziwe za kurekebisha kuelewa kidni kwa mtu huyo. Labda tunazidisha uzo letu, kukanyanga baadhi ya hisia, na kuugeuza mada iwe suala la funzo au kanisa. Ni kawaida tahathari kujitokeza toka kwa kila pande. Wakati nilipokuwa nigewapa watarajiwa mafunzo kamili ya Bibilia kutoka kwa Waefeso 2:8-9 na ni kwa nini matendo hayawezi kuokoa!

Ushauri wangu? Tafuna uondoe miguu katika meza ya matendo — lakini ufanye hivyo kwa upole. Mwonyeshe Yule mtu kwa nini Kristo ni jibu. Fanyia kazi mpango wako hadi pale unaweza kuondoa matumaini ya uongo juu ya wokovu katika njia iliyo wazi nay a kueleweka. Naamini njia iliyo rahisi ya kufanya hivyo ni kwa kukusanya takwimu kutoka kwa mazungumzo ya awali na mtu huyo. Kwa mfano, wasikilize wakizungumza juu ya msingi wao wa kiroho, tambua majibu wanayotoa, na inakuwa dhahiri kuwa wanalitumainia jambo linguine kando na damu iliyomwagika yake Yesu kwa ajili ya msamaha wa dhambi zao.

Mchungaji mmoja nami tulikuwa tunamtembelea mwanamume mzee Mkatoliki. Akatuhakikishia kuwa alikuwa nao uzoefu wa kidini. Akazungumzia jinsi ambavyo alikuwa ameguzwa na kuombewa na mtu fulani kwa ugonjwa katika miaka ya thelathini. Akatuhakikishia kuwa Mungu lazima awe anampenda na kuwa karibu naye au sivyo hangekuwa ameponywa. Kama katika hatua hii ningeanza kujadili juu ya uponyaji wa Mungu au kukabiliana naye katika suala hili la uzoefu wake, ningemkasirisha na kukosa kulitimiza lingine lote. Mimi niliihifadhi tu habari hii.

Karibu Na Kwa Kibinafsi

― Bwana, ikiwa tutamruhusu mtu kutuombea na kasha tupone kimwili, unafikiri inaondosha dhambi zetu na kutupeleka papohapo mbinguni?‖ Akauinamisha uso wake na kusema, ― La, sidhani

hivyo. nikaendeIea na ile hadithi ya ajabu ya mambo ambayo Yesu aliyafanya msalabani na dakika chache baadaye akampokea Kristo. Katika hitimisho la ziara yetu mtu yule akasema, ― Asanteni kwa kuja. Naamini Mungu aliwatuma kwangu. Sijui kama nimewahi kumsikia mtu akielezea kwa njia hiyo.‖ ni furaha iliyokuwaje kumwona akija kwake Kristo na na kuacha kuweka tumaini lake la milele juu ya jambo fulani la uongo wa kidini lililopita. Nimeona kuwa baada ya kufundisha idadi kubwa ya Wakristo katika uvuvi wa nafsi wa kibinafsi, bado wengi huwa nao muda mgumu wa kuamini kuwa Neno la Mungu linauwezo wa kuifanya kazi bila hoja na bishano zetu. La kusikitisha, Wakristo wengi hujiingiza katika kiasi kikubwa cha makabiliano na yule mtarajiwa na hatimaye kuibuka washindi wa hoja lakini wanaipoteza ile nafsi. Kila mvuvi wa nafsi wa kweli ni lazima akumbuke

kuwa Injili ndiyo iliyo ― kilipuzi chake Mungu. Kwa

kweli, ― kilipuzi ni neno la Kigiriki linalomaanisha ―

nguvu.‖ Neno lake Mungu linauwezo kabisa wa

kushawishi, kudhihaki, na kuwavuta waliopotea kwa

Mwokozi. Hivyo ni kwa nini siwezisititiza vya kutosha

ujiepushe na mabishano na ujiepushe na makabiliano

kwa ajili ya kuwa nayo nafasi ya kuwapa tu watu

nafasi ya mpango wa ajabu wa Injili. Mpango huo

unahusisha swali letu la tatu la ufunguzi:

Sababu ya Yerusalemu

Hatua ya 3: Naweza kuchukua dakika chache kukuonyesha jinsi unavyoweza kuwa na uhakika (kuhusu kwenda mbinguni)? Wakti ninapouliza hili, ninaufikia mfukoni mwa koti langu, na kutoa Agano langu Jipya, na kuifungua kwenye kitabu cha Warumi. Unamkumbuka Daktari Torrey? Ninatarajia la ― ndiyo.‖ Najiandaa kufanikiwa.

Hivi karibuni, nilikuwa nikibadili ndege kule Pittsburgh. Ilikuwa 5:30 na kwa sababu nilikuwazo na dakika 90 za kungoja nikaelekea kwenye mkahawa. Kibanda kimoja kilikuwa kinapatikana na mara tu nikiuweka mkoba wangu chini, nikatambua kuwa mwanamume mwingine alikuwa anaelekea kwa kikao hicho kimoja. Nikapendekeza tukae pamoja naye akakubali. Tukazungumza kwa dakika, kuagiza chakula, na kasha nikauliza tuombe. Alishangazwa, lakini akakubali. Tulipoanza kula akasema, ― Babangu alikuwa akiomba kabla ya kila mlo.‖

Ilikuwa ni kawaida kumuuliza swali langu la kwanza naye akasema Mkatoliki. Nikamtolea ushuhuda wangu, nikajua hakuwa hana uhakika wa mbinguni, na kasha nikaendelea. Baada ya dakika chache akawa nao uhakika! Kama unavyoweza kuona, ni kama vile mpira ugagaavyo chini ya kilima. Mara baada ya kuanza na swali la kwanza, wewe unasikiliza tu jibu na kasha unasonga kwa swali la pili na la tatu. Lakini uwe mwangalifu: Usiuangukie mtego wa kuliondokea suala!

Hivi karibuni nilikuwa nasafiri kwa ndege kutoka Detroit hadi Baltimore kuuanza mkutano. Nikiwa ningali kwenye ndege, nikawa naifungua Bibilia mpya. Nikawa naifunguafungua kwa sehemu mbalimbali ili nisije nikavunja muunganiko wakati nitakapokuwa ninahubiri kutoka kwake asubuhi ijayo. Mwanamume upande mwingine njia akauliza kama ilikuwa

Bibilia. ― Ndio. Nikajibu na kupatilia ili aweze kuikagua

Karibu Na Kwa Kibinafsi

(Huwa ninapenda kufanya hivi wakati watu wanatambua kuwa ninasoma au kuitumia Bibilia). Akaitazama kwa kuipitia ndani kwa muda mfupi na kunipa tena huku akisema asante. Nikamtazama na kusema, ― niulize, ulilelewa kwa kanisa lipi? ‖ Akanitazama na kasha kuyatupa macho yak echini kiasi na kusema, ― Methodisti.‖ Nikaanza kupitia kwenye mpango wangu lakini kabla nifanye ukabidhi wazi wa Injili akashiriki nami kuwa baba yake alikuwa amefariki na alikuwa akienda Baltimore ili kuhusika katika mazishi. Akasema linashangaza kuwa ninamuliza maswali ya hali ya kidini wakati anakwenda kwa mazishi ya baba yake. Katika muda mfupi nikawa nayo fursa ya kumwongoza kwake Kristo. Onyesho langu? Wakati wote nimegundua kuwa mbinu sahihi haitamkwaza mtarajiwa na itaufungua mlango wa kuweza kuikabidhi Injili kwa wazi.

Sanduku la vifaa

Kuona Kwa Karibu

Kunao wakati wa kuwa na upana wa mawazo, lakini huu sio huo wakati! Wakati unapopitia kwenye hatua tatu za mwanzo kama jinsi ilivyoainishwa hapo juu, nakuhimiza ukae kwenye njia. Unapomwongoza mtu kwake Kristo na swali liulizwe, mtazame na kusema, ― Nawe fanya hivi? Hebu niliweke hilo swali kando kwa dakika kwanza na nikuonyesha hili (onyesha Bibilia). Baada ya kumaliza, nitakusaidia kulijibu swali lako. Je, hiyo ni sawa?‖

Sababu ya Yerusalemu

Kamwe sijakuwa na yeyote aliyelikataa ombi hili na, bila shaka, ikiwa kamwe ikiwa hawaleti swali lao tena, hata nami! Bila kumkwaza yule mtu, unamsaidia kuelewa kuwa wokovu huja kwanza. Baadaye anaweza kuanza kukua kuwa na maswali yake kujibiwa kuhusu Bibilia. Wakati niktembea na na mmoja wa wanaume wetu niliyekuwa nikifunza, tulikuja kwa nyumba moja mabayo mwenyewe alisema, ― Nimekuwa na maswali mengi sana juu ya Bibilia, nimechanganyiwa sana.‖ Kasha nikasema jambo ambalo kamwe sijawahi kulitamka kabla au tangu wakati wa uvuvi wa nafsi, na ninafikiri litakusaidia kuelewa umuhimu wa kuingia kwenye mpango na kukaa kwa njia. Bila ya kutumia hatua za kwanza tatu ambazo kawaida huwa ninatumia wakati wa kumwongoza mtu ka Kristo, nilimtazama na kumwambia, ― Ni yapi baadhi ya maswali yako na matatizo ya Bibilia?‖ Akaleta baadhi ya maswali rahisi sana lakini yaliyo ya maswali ya kawaida watu huwa nayo. Baada yake kumaliza, nikatoa Agano langu Jipya kutoka mfukoni mwangu. ― Bwana, naweza fanya hivi? Hebu nikuonyeshe mistari kadhaa kutoka kwa Bibilia iliyo wazi na itakusaidia wewe kuelewa majibu ya matatizo tofauti uliyo nayo kuhusu Bibilia.‖ Akasema ni sawa na dakika chache baadaye akakiinamisha kichwa chake na kumpokea Krsito, ― Unajua, maswali hayo mengine yote hayakuwa ya umuhimu wowotel!‖ Kaa kwa njia. Mpango wako wa uvuvi wa nafsi unatosha kuwapa watu maarifa yote wanayoyahitaji ili kuokoka.

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Somo la 13

Ujumbe Wa Mvuvi Wa Nafsi

Je, umewahi kusikia msemo, ― Huwezi kumfanya mtu aokoke kabla hujamfanya apotee?‖ Ni wa kweli, na hebu nielezee. Mtu ni lazima ajue kuwa yeye ni mwenye dhambi, lakini inaenda ndani zaidi. Mtu ambaye amepotea ni lazima aone hakuna jambo analoweza kulifanya ili kuisaidia hali au msimamo wake mbele za Mungu. Ikiwa Mungu hakuingilia kati ili kuutoa wokovu kabisa na kwa Yeye mwenyewe, angeachwa bila ya matumaini chini ya hukumu ya dhambi yake, bila kujali nini yeye anajua au kuelewa. Basi hebu tudhanie kuwa licha ya majibu ya kibibilia kutoka kwa mtu kwa majibu yako, licha ya uzoefu katika maisha yake, wewe unatambua kuwa mtarajiwa hajaokoka. Umempeleka (tena tudhanie ni mwanamume) kupitia kwa hatua za kwanza tatu bila ya kumsahihisha au kumpinga nap pengine kauli yako ya mwisho kwake ikawa, Yohana hilo ni nzuri. Naweza kuchukua dakika na kushiriki nawe baadhi ya mistari iliyonisaidia kuanzisha wokovu wangu?‖ karibu sasa umpeleke kwa lile linaloliita Njia ya Warumi kwa sababu mistari minne dhati inatoka kwa kitabu cha Warumi. Na kwa ajili ya mwendelezo, hebu tuzip hizi hatua 4 hadi 7 ili kuonyesha jinsi

Sababu ya Yerusalemu

zinajenga juu ya maswali matatu uliyoyauliza katika somo lililopita.

Hatua ya 4: Mfundishe kuwa yeye ni mwenye dhambi. ― Kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wake Mungu‖ (Warumi 3:23). Kumbuka maneno ― kumfundisha.‖ Mara nyingi kukabidhi kwetu huwa ni kwa upesi sana na kujawa na Maandiko moto-moto hata inakuwa mwongofu mtarajiwa anachanganyikiwa. Msaidie kuelewa kwamba ― wote wamefanya dhambi inakuhusu wewe pia. Wakati wewe unajihusisha, anajisika kuwa hajadunishwa.

Kila mara huwa ninaelezea kwa watu kuwa kabla niokoke, nilikuwa ninahisi kuna wenye dhambi wakubwa na wenye dhambi wadogo. Nilikuwa mwenye dhambi, lakini sio mbaya kama wale wengine. Kasha ninawasidia kuona kwamba katika macho yake Mungu hakuna tofauti yoyote. Hapa kuna pointi iliyo ya muhimu: Ni muhimu kuwa na yule mtu akikubali kuwa Bibilia ni sahihi na kuwa ametenda dhambi dhidi yake Mungu.

Hatua ya 5: Eelezea jinsi anavyokwenda kuzimu kwa sababu ya dhambi yake. ― Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti…‖ (Warumi 6:23). Mshahara ni kile tunachokipata kwa kile tunachokifanya. Huwa ninaonyesha hivyo kwa mfanyakazi kulipwa kwa ajili ya masaa mengi ya kufanya kazi. Amepokea malipo yake. Sasa ninauliza kwa mapitio, ni wangapi wetu ambao ni wenye dhambi. ― Sisi sote,‖ anajibu (natumai!). kasha ninaelezea kuwa mauti ya

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Warumi 6:23 sio tu ile ya kimwili lakini pia ya ni mauti ya kiroho au milele katika jehanamu ukiwa umetenganshwa na Mungu milele yote. Ni muhimu kwamba wenye dhambi waelewe hukumu inayokuja yake Mungu na hali yake ya sasa anayoishi katika hukumu hadi yeye aokolewe. Miaka iliyopita nilikuwa nafanya mkutano wa ufufuo katika jimbo la kusini na nikamtembelea mwanamume ambaye hakuwa wakati wa la haja ya Mungu. Nikapitia kwenye hatua tatu za kwanza na kumuliza kama naweza kumwonyesha jinsi ya kuwa na uhakika. akajibu, ― sina haja sana.‖ wakati nilipoendelea zaidi, mwishowe akasema, ― Naam, endelea. nitasikiliza.‖ nikaanza kumfundisha kuwa yeye ni mwenye dhambi na mshahara wa dhambi ni mauti. Roho wake Mungu alitembea sana moyoni mwake hadi kuwa machozi yakaonekana machoni mwake. Dakika chache baadaye akaokoka. Wakati mwingine mtu anahisi kuwa pengine yeye ni mtu mzuri ambaye amefanya dhambi chache lakini hakuna kitu kibaya mno, na kwamba yeye ni wa dini tosha kufikiri mambo yako sawa kati yake na Mungu. Hapo ndipo ninasema, ― Waza jambo pamoja nami. Nimekuonyesha mambo mawili muhimu kutoka kwa Neno lake Mungu: Tuko wote wenye dhambi na tunaenda sote jehanamu. Hebu tujifanye kwa muda tu kwamba hayo ndiyo yote tu Bibilia isemayo. Siyo, lakini hebu tujifanye tu. Tuseme kwamba hayo tu ndiyo yaliyomo.‖ Ninaifunga Bibilia yangu na kuiweka kando.

Sababu ya Yerusalemu

Ninamgeukia mwenzangu na kusema, - Ninauhakika hutaki kwenda jehanamu wakati utakapokufa. Ninamgeukia mtarajiwa. - Na ninauhakika hutaki. Lakini kwa bahati mbaya kila mmoja wetu analo tatizo moja: Tuko bila ya matumaini.‖ Ninaendelesha mtazamo wangu. ― Hebu tuseme sisi watatu tutaunda mpango wa kutusamehea dhambi zetu. Labda tujiunge na kanisa. Unafikirije? ‖ Mtarajiwa pengine atatoa jibu hasi. Bill (mwenzangu kwenye uvuvi wa nafsi) anasema, ― Hebu tubatizwe.‖ Nina yavuta mabega na kumgeukia mtarajiwa. ― Unafikiri aje?‖ (Tena jibu hasi). Kasha ninamtazama na kusema, ― Unajua, mojawapo ya masula maarufu zaidi ambayo watu huleta huonekana kuwa, - hebu tugeuze maisha na kuahidi Mungu kuwa kamwe hatutatenda dhambi tena.‘inawezekana sisi kuliweka neno letu? La, hata kama tungeweza, na nini juu ya dhambi ambazo tumezitenda tayari?‖ Kwa sasa mtu huyu anatambua kuwa hakuna kitu kabisa anachoweza kukifanya ili kuisamehe dhambi yake. Amepotea na bila ya matumaini, na yuko tayari kujibu kwa pendo lake Mungu. ― Yohana (mtarajiwa), ninasema, ― Mtu hangeweza kamwe kujisamehe yeye mwenyewe au kufanya mpango wa kutosha. Lakini Mungu alifanya. Na tunaweza kumshukuru kwamba hapa sipo Bibilia inapoishia lakini ndipo mpango wake wa wokovu unaanzia. Mungu alijua kukosa matumaini kwetu na alitupenda sisi kuingilia kati

Karibu Na Kwa Kibinafsi

na kutengeneza huu mpango wa ajabu kwa ajili yetu. Hebu nikuonyeshe. Kasha ninaendeIea na hatua zangu mbili zinazofuata. Nilikuwa kwenye ndege nikitoka Cincinnati kuelekea Richmond na nikaanza kumshuhudia mwanamume aliyekuwa wa umri wa miaka ya kati ya 40. Alipokea kwa uepesi hata nikaamua kuipita mfano wa hapa juu na kwenda moja kwa moja kwa Injili. Baada ya vichwa vyetu kuinamishwa kwa ombi nikamuliza ampokee Kristo naye akajibu, ― Mimi tayari ni mshiriki wa kanisa na Ninaamini katika Mungu.‖ Niliona kosa langu. Nikamuliza anitazame tena. ― nitakuuliza ujifanye …. Nikaendelea na lile nililokuwa nimepaswa kulifanya kwanza. Dakika chache baadaye tukaviinamisha vichwa vyetu tena na akampokea Kristo. Ni kumbusho kwangu la kumsaidia mtarajiwa wangu kujiona amepotea kabla sijajaribu kumfanya aokokolewe!

Hatua ya 6: Mfundishe kwamba Yesu alilipa adhabu kwa ajili ya dhambi yake juu ya msalaba. ― Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu tulipokuwa tungali wenye dhambi (Romans 5:8). Msaidie kuona kwamba Yesu alikufa kwa nafasi yake kama mbadala. Kwa hali zote — mwenye dhambi — apaswa afe, kwa kuhukumiwa, na ateseke jehanamu. Lakini Mungu mwenye rehema alimtuma Mwana wake afe — ahukumiwe kuteseka kuzimu kwa ajili ya kila mtu azaliwaye. Hapa ndipo mwenye dhambi anaanza kuuona

Sababu ya Yerusalemu

upendo wake Mungu.

Hatua ya 7: Mfunze kwamba ikiwa ataamini (Warumi 5:8) na kumpokea Kristo, basi Mungu atamwokoa. ― Kwa kuwa kila atakayeliitia jina la Bwana ataokoka (Warumi 10:13). Mwenye dhambi ni lazima aone umuhimu wa kuliamini tukio la Injili na lazima aitike kibinafsi kwa kumpokea Mwokozi ili kuzaliwa katika familia ya Mungu. Kwa maneno mengine, mwenye dhambi sasa anafahamu nini anatakiwa kufanya ili kuokolewa.

Mchungaji moja pamoja nami tulikuwa kwenye matembezi alasiri moja na tukaingia kwa nyumba ya mwanamume amabye alikuwa ametembea mara ya kwanza Jumapili iliyokuwa imepita. Mmoja wa rafiki zake alikuwepo pale pia. Baada ya maongeo machache ya kawaida, nikaingia kwa suala la kumhitaji Kristo. Wakati nilipoliuliza swali, ― ikiwa utakufa sasa hivi, unao uhakika kuwa utaenda mbinguni?‖ Yule raifiki akajibu, ― Siamini kuwa kuna kuzimu.

Jibu langu la kwanza lilikuwa kutaka kumthibitishia kwamba kuna kuzimu. Lakini kama nilivyosema hapo awali, Ninaamini kuwasilisha wazi Injili ndio njia bora zaidi ya kumshawishi na kumdhihaki mwenye dhambi ambaye amepotea. Kwa hivyo nikatabasamu tu na kusema, ― Kunao watu wengi wanaoona sawa na hivyo.‖ Kisha nikaliuliza swali, ― Naweza kuchukua muda na nikuonyeshe jinsi unavyoweza kujua kwa hakika kuwa unaenda mbinguni?

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Wanaume wote wawili wakakubali nami nikapitia mkabiidhi wazi wa Injili nikitumia mjio wa Njia ya Warumi. Dakika chache baadaye, wanaume wote wawili wakaviinamisha vichwa vyao na kumpokea Kristo. Siwezi kuelezea ila tu kusema kwamba huwa ninashangazwa wakati wote kuwa Injili ni nguvu za Mungu ziletazo wokovu kwa mtu aminiye.‖ Nilikwenda kwa matembezi pamoja na kanisa moja la mtaa ambalo mimi ni mshirika wake na nikawa na fursa ya kuwaongoza watu watatu kwake Bwana. Mwanamke mmoja kijana alilelewa Mbatisti, akabatizwa na kuwa mshirika. Akahisi kuwa amefanya vya kutosha, lakini akawa bado hana uhakika wa mbinguni. Kwa hivyo nikarejelea Njia yangu ya Warumi hadi akaelewa kusudi halisi la Kalvari na kifo cha Mwokozi. Tena, kuwa macho kwa huo mtego wa kuyajibu

maswali yasiyo ambatana na kuvua nafsi

zilizopotea kwa Kristo. Jukumu lako la kwanza

kabisa ni la kumvua mtu kwake Bwana. Wokovu

hutangulia maelezo katika mambo yake Mungu.

Kando na hilo, mtu ambaye amepotea ni lazima

aokoke kabla kukua.

Njiani nikielekea kwa ufufuo, nilipitwa kwenye barabara kuu na pikipiki. Lakini muda tu aliponipita, akabiringika mara kadhaa barabarani! Nikasimama na kushangazwa kuwa aliamka na

Sababu ya Yerusalemu

kujipanguza akiwa na majeraha madogo mno. Baada ya kumsaidia kuiondoa pikipiki kutoka kwa barabara kuu, nikambeba hadi kwenye mji uliofuata. Tukabadilishana maongeo ya kawaida na kasha nikaanza kumkabidhi injili. Alisimamisha pingamizi nyingi na kuleta masuala ambayo kwa urahisi yangeniondoa mawazo kutoka jukumu la msingi. Wakati nilipomuliza kama alikuwa na uhakika wa mbinguni, akajibu kuwa hakuna mbinguni.‖

― Basi nina uhakika kuwa hujui kama utakwenda mbinguni ukifa.‖ Wakati nilipomuliza kama naweza kuchukua muda ili nimwonyeshe jinsi anaweza kuwa na uhakika, akasema, ― Utanionyeshaje jinsi nitakwenda mahali ambapo mimi siamini kuko?‖

― Niachie mimi hilo.‖ Wakati nilipomwonyesha kuwa yeye ni mwenye

dhambi, alijibu, ― Dhambi ni kitu kidogo.‖ ―Unaweza kuwa mwenye dhambi mdogo lakini

ungali umefanya dhambi dhidi yake Mungu. Dhambi inagharama ya milele — Kuzimu.‖

― Nilisema siamini katika kuzimu.‖ Nikamhakikishia kwamba muda tu atakapokufa, kuzimu hakutapunguza joto lake kwa sababu ya ukosefu wake wa imani. Akafikiria upya msimamo wake na dakika chache baadaye akaokoka. Akakiri kwa hatua hiyo kwamba alijua kila wakati kulikuwa na kitu kwa dini. Jaribu langu katika kumshughulikia kijana huyu lilikuwa la kumthibitishia juu ya mbinguni, kuzimu, n.k. Na kama ilivyogeuka, kazi ya ukombozi wa Kalari ilijibu maswali yote ya hizi pingamizi na kijana

Karibu Na Kwa Kibinafsi

akalifanya mbele za umma katika kanisa nzuri la msingi na akabatizwa wiki iliyofuatia.

Sanduku la vifaa

Marudio

Na kuhusu kifaa kidogo kwa somo hili? Wakati unamsomea mtu Bibilia, kila mara isome aya mara mbili. Mara ya kwanza anaisikia, anasikiliza.

Somo la 14

Kuvuta Wavu

Wengi wetu huwa tunaungusha mpira baada ya hatua

ya saba. Kwa nini? Kwa sababu huwa

tunamwonyesha jinsi ya kuokoka lakini hatuutoi

mwaliko! Imesemwa juu ya wahubiri katika miambari kwamba ujumbe afathali ulio na mwaliko mkuu ni wenye ufanisi mwingi kuliko ujumbe mkuu wenye mwaliko hafifu. Vivyo hivyo kwa uvuvi wa nafsi. Tunatakiwa kuwaongoza watu kwake Kristo, sio tu kufanya ukabidhi na kuondoka. Kwa kweli, Bibilia inatufundisha kuwalazimisha au kuwashawisi. Hili kamwe haliwezi kufanyika kwa ufanisi bila ya mwaliko mzuri. Ikipeanwa, katika hali zingine mwenye dhambi hatakuwa tayari kumpokea Kristo, lakini tangu hatuwezi kujua ni nini kinachoe-

Sababu ya Yerusalemu

-ndelea ndani ya moyo wake, tunapaswa kujitahidi kuuvuta wavu na kuona kama yeye yuko tayari. Istilahi ― kuvuuta wavu ni neno la kale la mvuvi kumanisha kufikisha samaki. Kwa kuvuta wavu ninamanisha kumwongoza mtu kwa Kristo baada ya kumwonyesha Injili. Ni katika hatua hii tunafahamu jukumu na fursa yetu ya kuwa mvuvi wa samaki, na kwa kuwa kweli tunawaongoza wengine kwa Yesu. Nimeshawishika kuwa nafsi nyingi za thamani zinaweza kuvutwa ikiwa tu wafanya kazi wa kibinafsi wanaweza kuvuta wavu. Katika majaribio yangu ya kwanza ya uvuvi wa nafsi, niliachilia watarajiwa wengi sana waponyoke kwa sababu sikujua mengi kuhusu kuvuta wavu. Wakristo wengi wako na ujasiri wa kiasi wakati inafikia kuzungumza juu ya suala la wokovu, lakini kwa kweli wanakoma bila kumpa mtu yule nafasi ya kumpokea Kristo. Ni lazima kuwe na wakati ambapo imani inajitokeza na kupokea zawadi iliyopatikana kwa sabau ya Kalvari. Nilipokea barua kutoka kwa mwanamume katika Florida ya kusini ambaye alisema alivua nafsi kadhaa kwa Bwana lakini alikuwa na wakati mgumu wa kuwafikisha kwa hatua ya uamuzi.‖ Watu wengi wanajua jinsi ya kuingia kwa suala na jinsi ya kuonyesha mtu kutoka kwa Bibilia inamaanisha nini kuokoka. Wengi hawajui nini cha kufanya ili kuwa na mtu kumpokea Kristo. Mara kwa mara huwa tunaikabidhi Injili na kuwalika watu waje kanisani na ― kumpa Mungu nafasi ya kukuokoa.‖ Au tunawauliza wafikirie juu ya lile tumewakabidhi lakini hatuwahimizi kufanyisha imani katika Bwana. Badala yake, tunatoa tumai hafifu, ― natumaini utampokea Kristo, ‖ Na tunawaondokea tukitarajia kuwa siku moja

Karibu Na Kwa Kibinafsi

ataweza kuokoka. Baadhi ya Wakristo wapenzi huwa na hofu hata kusikia hasi, hadi kwa karibu kiwango cha kusema, ― Unauhakika hutaki kuokoka, sivyo? La! Mtarajiwa anahitaji kutenda juu ya lile ambalo amejifunza. Katika maneno mengine, mvuvi wa nafsi ni lazima amsaidie mwenye dhambi awe na usahihi wa lile Kristo amefanya kwa ajili yake pale msalabani. Watu wengi hawajakuja kwa Krsito kwa sababu hakuna yeyote amewaongoza. Wiki chache zimepita nilikuwa kwenye ndege nikisafiri kwa mji mwingine kuanza kampeni. Nikaketi karibu na mwanamke kijana aliyekuwa amesisimuka kuwa anakwenda nyumbani kuwaona wazazi wake. Baada ya kuuliza kuhusu asili ya kanisa na kumpa ushuhuda wangu, nikamuliza kama anao uhakika wa 100% ataenda mbinguni. Akajibu kuwa hana. Nikamuliza kama naweza kuchukua muda nimwonyeshe jinsi anaweza kujua kwa hakika. Akanitazama na kusema, tayari ninajua.‖ Nimelipokea jibu hili mara nyingi na, kwa kweli, baadhi ya watu hawana wazo lolote ya kile kinachohitajika ili kwamba waokoke. Kwa hivyo baada ya kusititiza nishiriki baadhi ya mistari naye, naye akaendelea kutangaza kuwa anajua kwa kweli ni nini kinachomanisha ili kuwa Mkristo. Kasha nikamuliza ikiwa anaweza kuchukua muda mfupi na anielezee jinsi mtu anaweza kujua kwa hakika atakwenda mbinguni. Akasema kwa hakika na akaanza kunielezea Injili waziwazi kuliko vile nimewahi kusikia kwa mwingine yeyote! Hatimaye nikamvuta katika wavu. ― Hivyo ni vyema. Sasa hebu tuvinamishe vichwa vyetu pamoja kwa ombi ninapoliongoza. Akakubali, akaomba, na kumpokea Yesu.

Sababu ya Yerusalemu

Akanitazama akiwa na machozi katika macho yake na kunishukuru kwa kumsaidia katika suala hili. Akashiriki nami hesabu ya Wakristo wa kweli waliomwelezea Injili mara nyingi. Sikuweza kujizuia lakini nikaliacha zoezi hilo la Baraka nikishangaa ikiwa hangeokoka mapema kama mmoja wa Wakristo waliojua namna ya kuielezea Injili wangekuwa wamemsongesha hatua zaidi na kumwongoza kwa Kristo. Alihitajika kutenda juu ya ujuzi wake wa Andiko.

Hatua ya 8: Mara unapoishiriki Injili, mfanye akiinamishe kichwa chake wakati unapoomba. Uliza ruhusa la kuomba na uwe na hakika kumwambia kuwa utaomba. Mara nyingi mwendeo wangu huwa, ― vile hili lilivyo la muhimu, Yohana, hebu tuinamishe vichwa vyetu ninapongoza kwa ombi.‖ Wacha ombi lako liwe rahisi. Huu sio wakati wa kuomba dunia nzima lakini wa kumuliza Bwana amsaidie mtu huyu papo hapo ampokee Kristo. Usiseme amina. Wakti vichwa vingali vimeinamishwa, utamuliza ampokee Kristo. Swali nzuri la kutumia ni, ― Yohana, ikiwa Bwana atakupokea sasa hivi jinsi ulivyo (na atakupokea), utampokea Yeye sasa hivi kama Mwokozi wako? ‖ Itabidi utazame kwa muda wakati huu kwa sababu mara nyingi mtu huwa anatingiza kichwa badala ya kusema ndio. Baada ya yeye kudhihirisha atampokea Kristo useme, ― Hivyo ni vizuri sana.‖

Hatua ya 9: Sasa vichwa vikiwa vimeinamishwa umulize arudie kwa sauti hatua-kwa-hatua ombi la mwenye dhambi ili kumpokea Kristo kama Mwokozi wake. Mwongoze pole pole.

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Wakati wa mkutano wa kampeni, nilikwenda kwa matembezi yangu ya kawaida nikiwa na mchungaji wa maa. Tukaja nyumbani mwa mwanamume ambaye wengi katika jamii walikuwa wanamwombea. Nikawa nimepitia kwenye kukabidhi kwangu na katika hatua hii alipoanza kupeana sababu za kwa nini hajaokoka. Nikasikiliza na kasha kuuliza ikiwa tungeweza kuinamisha vichwa vyetu wakti nikiomba. Akatoa sababu nyingine. Nikauliza tena. Hatimaye akasema, ― Kweli unataka kuomba, sivyo? ‖

― Ndio.― Haya, sawa.‖

Dakika chache baadaye akampokea Kristo na akaja kwenye ibada usiku huo kuifanya imani yake wazi mbele za umma. Ninaamini imara kuwa kama nigejibu kwa mojawapo wa sababu zake na kukosa kuwa thabiti katika kumfanya akiinamishe kichwa chake kwa ombi, singeweza kumshinda kwake Bwana.

Hatua ya 10: Baada yake kuomba na kumpokea Kristo kama Mwokozi (vichwa vikiwa bado vimeinamishwa), ninatafuta thibitisho — kwa ajili yetu wote. Naweza kusema, ― Nataka kujifanya kuwa hakuna yeyote mwingine hapa ila wewe. Yesu amaesimama hapa, akikutazama. Akuulize kama kweli umemanisha wakati umemwomba akuokoe. Ikiwa ni hivyo, basi nataka uushike mkono wangu. Ushike mkono wangu kama jisni ungeushika Wake. Ni furaha iliyoje kwa hatua hii kuushika mkono wa mtu ambaye ameamua na amekwisha tu kumpokea Kristo!

Hatua ya 11: Mkono wake ukiwa kwa wako, omaba tena ukimshukuru Mungu kwa wokovu wake na kwa kuwa

Sababu ya Yerusalemu

amempokea Kristo. Sasa unaweza kusema amina na ufurahie pamoja naye! Pointi mbili zahitaji kuthibitishwa. Moja, kila wakati wafanye wainamishe vichwa vyao. Ni hali inayoonyesha heshima kwa Mungu na pia inatumika kama kinga dhidi ya dunia iliyo nje.

Nilikuwa ninazungumza na mtu aliyeniingilia (kwa uzuri) kwa kila hatua ya kukabidhi kwangu. Alishinda kusema, ― Hivi ndivyo ninavyofikiri.‖ nikampitisha Njia ya Warumi na kila mara akasema, ― Ndio, lakini….‖ Hatimaye nikamuliza kama tungeweza kuviinamisha vichwa vyetu na niongoze kwa ombi. Akaokoka! Mara tu vichwa vyetu vilipoinamishwa, akaacha kutazama kandokando, akaacha kuongea, na akakaa tu pale akisubiri kuongozwa kwake Bwana!

Pointi ya pili ni karibu sawia nay a kwanza: Ondoa pingamizi. Shetani hajiondoi kwa urahisi kutoka mtu tunayekabidhia. Wakati mwingine atatumia pingamizi kama kifaa cha kumfanya mtu asisikilize ukabidhi wazi wa Injili. Njia moja ya kuondoa pingamizi ni kwa kuwa na ufahamu wa jukumu mwanzoni na kuweka hatua kabla ya kuanza. Katika 1 Samueli 9:27, Samueli alitaka kumtawaza Sauli awe mfalme juu ya Israeli lakini mtumishi wa Sauli alikuwepo pale. Samueli akamwambia Sauli, ― Mwambie mtumishi atangulie, (naye akatangulia), bali wewe simama hapa sasa, ili nikuambie neno la Mungu.‖

Wakati mwingine kuinamisha kwa kichwa kunatosha. Nilikuwa ninamwongoza mwanamume mpendwa kwake Kristo katika nyumba yake. Mlikuwemo na watoto wachanga, televisheni, wanyama wa nyumbani — waijua hiyo hadithi. Palikuwepo na utata hata ikawa vigumu mimi kuweza kusubiri kutoa mwaliko. Kwa hivyo nikauliza ruhusa niombe na pia nikauliza kama ingekuwa vyema kuizimazima ile televisheni.

Karibu Na Kwa Kibinafsi

― Hakuna shida‖ akajibu. ― Mke wako anaweza kuwachunga watoto katika kile chumba kingine?‖ ― Bila shaka. Dakika chache baadaye, tukawa chumbani peke yetu na akampokea Kristo.

Hapa ni vidokezo zaidi: 1. Angalia ni wapi umeketi kulingana na engine

unapoingia nyumbani mwao. Ni bora kuchagua kiti upande pili na wale utakowakabidhia Injili. Ni mara ngapi tunakuta tukijaribu kuwaongoza watu kwa Kristo pakiwa na mtu kando yetu au nyingine au hata nyuma yetu? Huwa inatuacha na ukosefu wa ujasiri na kutokujua kama Yule mtu ako makini. Kaa pale utakapoona macho kwa macho. Pia, tafuta kiti kilicho umbali na televisheni au pingamizi nyingine kama hiyo.

2. Tembea na mtu wa pili ambaye amefunzwa Yule aliye tayari kushughulikia pingamizi yoyote. Sio swali la kama kutakuwa nayo? Lakini, patakapokuwa na moja? Inaweza kuwa simu, mtu, mnyama wa nyumbani, mtoto, au sufuria ya chai lakini mwenzako anatakiwa awe tayari na mwenye ujuzi wa kushughulikia hizi wakati nawe uwe huru kuikabidhi Injili kwa uwazi.

Niliingia nyumbani mwa familia ambayo ilikuwa imetembelea kanisa letu Jumapili na kukiona kiti kilichofanana na chake baba. Nikapewa hicho, lakini nikauliza kama mume wa nyumba kawaida hukalia hapo. Kijana akasema ndio na kuwa atakuwa nyumbani katika muda dakika 15.

Sababu ya Yerusalemu

Nikasema tukiweke kiti kwa ajili yake. Nikachagua kiti cha kukulia na kukisongeza kwenye sembule pale ningeketi na kumtazama kila mmoja, na vilevile kiti chake baba. Wakati aliwasili, aliketi mahali pake pa kawaida.

Kwa sababu nilingojea, sikusumbuliwa wakati aliwasili na nyumba yote ilikuwa tayari kwa mimi kuikabidhi Injili. Dakika chache baadaye, mama, baba, na vijana wawili wavulana wakampokea Kristo.

Sanduku la vifaa

Kutengwa

Sehemu ya hekima ni kuhisi hisia za wengine wakati wako kati ya marafiki na familia. Yeyote ambaye amewahi kushuhudia kwa watu wengi amewahi kuwa na muda wa kuona mtarajiwa akiwa na haya, kuaibika, au hata kukasirika kwa sababu ya shinikizo kutoka kwa wengine.

Tumia dakika zako chache za kwanza kwenye matembezi yako kuamua ikiwa unapaswa kumtenganisha mtarajiwa wako kutoka kwa mchumba wake au wengine. Ikiwa hutafanya, mara nyingi hawatasikiliza. Mbaya zaidi, anaweza kuwa muasi au awe na mabishano kwa sababu ya uwepo wa wengine.

Kunazo njia nyingi zinazokubalika kwa kuliepuka hili. Muulize mwenzako awe na wengine wakati wewe nawe unajiingiza jikoni ― kuzungumza jambo kwa siri na yeye. Unaweza kumuliza akuonyeshe kitu Fulani cha kuvutia kwenye gereji na pale umkabidhie Kristo. Au unaweza tembea naye uani.

Karibu Na Kwa Kibinafsi

Wakati mmoja mwanamke mpendwa aliniuliza nimtembelee mume wake ambaye hakuwa ameokoka na nijaribu kumwongoza kwake Kristo. Kwa kawaida huwa ninatembea na mtu mwingine, lakini wakati huu nilikwenda peke yangu. Mara tu tulipoketi, akaanza kunena, ― Nataka umsikilize Mchungaji Wood. Mhubiri, Bill ni mtu mzuri lakini anahitaji kuwa sawa na Mungu. Wakati nikishiriki baadhi za ukweli za Bibilia, angeongezea, ― Bill nimekuwa nikikuambia hilo.‖ Na akaendelea na kuendelea. Alimanisha vyema, lakini singeweza kumshughulikia mbele ya uwepo wake. Kwa dakika, nikamgeukia na kusema, ― Hebu tuingie katika chumba hicho kingine. Kuna jambo ningependa kuzungumza nawe kwa siri.‖ Yule mke akatuacha peke yetu na kwa dakika chache akampokea Kristo. Siamini kuwa angeokoka ikiwa tungeendelea kukaa katika chumba hicho cha kwanza.

Sababu ya Yerusalemu

Sura ya 4

Kuhifadhi Kile Umekamata

Nilikuwa ninahubiri wakati wa mkutano wa hadhara wa Jumapili asubuhi wakati mwanamume wa umri wa makamu alipoingia katika mkutano wa ufufuo bila ya mwaliko na bila ya kuandamana na yeyote. Wakati wa kuhitimisha ibada, yeye pamoja na wengine wakaja mbele ili kumpokea Kristo na wakasalimiwa na wafanya kazi washiriki wa kanisa. Kama ilivyo tabia yangu, ninapenda kuzungumza na waumini wapya kama vile iwezekanavyo na nikaweka mawazoni kumtafuta. Wakati nilipomwona umbali mfupi kutoka nami, nilijua jambo halikuwa sawa. Nilimchukua kando na kutumia muda wa dakika 10 pamoja naye. Wakati nilimwacha, alikuwa anang’aa! Usiku huo akarudi tena na akabatizwa. Alihudhuria kila ibada ya kampeni, akikua kwa mapana na marefu. Ni nini ilikuwa shida yake? Kitu ambacho mvuvi wa nafsi asiye na uzoefu hawezi kutambua na kitu ambacho kinaweza kuwa kigumu sana kwa muumini mpya kupata. Yule mtu alikuwa mkweli katika ukiri wa imani

Sababu ya Yerusalemu

yake lakini akawa hana uhakika wa wokovu. Hakuwa amewekewa msingi. Pengine umeusikia msemo ― kuwa na msingi katika umeme. Wakati kitu kimewekwa msingi huwa kina fanya muunganiko wa umeme kwenye ardi na kuepuka hatari. Hivyo ni sawa kiroho. Nimeshawishika kuwa Wakristo wengi wachanga katika Kristo hukweta katika kukua kwao kwa sababu hawajawekwa mara moja kwenye msingi baada ya uongofu wao.

Kuna kukutana kwa kuvutia katika Matendo 19 kwenye kuleta uvumi mwingi wa kitheolojia. Lakini hilo kando, kunao ukweli wa kimsingi uliopo. Katika Efeso, Paulo alikutana na waumini ambao kamwe hawakupita huduma ya Yohana Mbatizaji. Imani yao haikuwa imekamilika katika kuwa walikuwa wamegeuka kutoka kwa dhambi zao lakini sio kwake Yesu. Paulo alinyosha mambo na wtu hawa wakaokolewa, lakini huwa najiuliza waliteseka kwa muda gani kwa sababu hakuna mtu alikuwa amewaweka katika msingi wa imani. Kuweka kwenye msingi wa kiroho kunahusisha kanuni tatu: kupeana uhakika wa wokovu, kuhimiza kukiri kwa imani hadharani, na kumfunza muumini kushuhudia kwa wengine. Ikikwa tutafuatilia malengo haya, Yohana 15:16 inatufunza yakuwa Mungu hatukuzwi tu kwa sababu tunazaa maunda (tunavua nafsi) lakini kwa sababu tunda letu linadumu pia.‖ Hilo ni neno la kushangaza. Kwa uhalisi linamaanisha ― ivisha.‖ Katika maneno mengine, Mungu anataka tuwavue watu kwake Kristo na kasha tuhakikishe wamekomaa katika kuwa waume na wnawake aliokusudia wawe. Hii ndio sababu mvuvi wa nafsi mwenye uzoefu pia ni mtaalamu wa kuvua samaki. Anajua namna, lini, na wapi kwa kutega, na ni ndoano ipi inayofanya kazi chini ya hali gani

Kuhifadhi Kile Umekamata

Hajiingizi kwa taabu hii yote ili kuitupa samaki tena katika maji. Huhifadhi anachokishika — ndio sababu tosha yumo katika biashara hii!

Somo la 15

Ushirika Wenye Heri

Kila mvuvi wa nafsi hutaka kuona waongofu wake wakikua mara mja katika neema. Ndiyo maana mojawapo wa muda ulio mgumu ni wakati ambapo muumini mpya anajikwa kwenye lango la kuanzia. Wakati mwingine wanaliomba ombi la mwenye dhambi, wanatazama kwa tabasamu, na kusema, ― Nafikiri nimeokoka.‖ Wakati mwingine wanakunjamana uso na kusema, ― Sina uhakika kabisa.‖ Kutakuwa pia na nyakati mwongofu atakuja kwako siku mbili baadaye na kushiriki kuudhika kwake juu ya jambo amabalo limefanyika — uwezekano wa dhambi amefanya. Moyo wake umo chini na anasema, ― Nadhani sikumaanisha vilivyo usiku uliopita.‖ Je, yule mtu ameupoteza wokovu wake? La hasha! Wokovu umo juu ya Neno la Mungu, sio hisia au hali. Kumbuka yakuwa mavuno ni ya Bwana na anaweza kuhifadhi kile anachokiokoa. Kila mara yaache matokeo na Mungu. Kisha je, ulimsukuma sana ulipomwendea? Unatakiwa kukawia katika kushuhudia kwako? La, na kwa sasa unajua kama jinsi wokovu haumo juu ya hisia, ndivyo ilivyo uvuvi wa nafsi; ni utiifu kwa agizo. Ninajua baadhi ya vifaa vingine vichache vinavyotumika kwa ufanisi na shetani vinavyowavunja moyo wanalai, wahubiri, na hata makanisa

Sababu ya Yerusalemu

Kwa wakati huu. Kamwe usimkubalie ibilisi akusimamishe kutoka kwa huduma hii ya ajabu kwa sababu ya uvunjaji moyo. Lakini ni nini ambacho kingetendeka? Idadi yote ya mambo, na yote yangekuwa nje ya uthibiti wako. Mumini yeyote mpya hatimaye atatenda dhambi, pengine kwenye eneo ambalo amekuwa akipigana nalo. Wakati ifanyikapo atakuwa na maswali ya uzoefu wake. Kumbuka, pia, kila muumini huleta matatizo ya kibinafsi katika maisha yake mapya ya Kikristo — mume, mke, watoto, kazi, fedha, n.k. Mara tu wakiokoka, ukuaji wao utazuiliwa kwa sababu mawazo yao yanondolewa kutoka kwa dhamira yao mpya kwa Kristo na wanajaribu ikiwezekana kuweka haya yote pamoja.

Sababu nyingine ni kwamba wengi wa hawa wtu hawana msingi imara wa asili ya kanisa, hawana uzoefu wa mafundisho, na hawana mafunzo ya uzoefu wa kuyaishi maisha ya Ukristo.

Kwa hivyo ni kwa jinsi gani tutakabiliana na changamoto hii? Njia bora ya kusaidia ni kwa kumpa mumini mpya uhakika mara moja. Uhakika wa wokovu wao wa mara moja. Ni jambo moja kumfunza muumini mpya katika kweli kuu za Neno na kumwona akikua. Na ni jambo linguine kwa muumini huyo kujua kwa hakika kwamba ameokoka hata tu baada ya dakika 15 baada ya yeye kumpokea Kristo. Mojawapo wa maneno makuu katika Bibilia ni ― Kujua.‖ Kuna msititizo kuhusu mambo hakika ambayo Mungu anataka tujue. Hakuwezi kuwa na usalama au ujasiri katika maisha ya Ukristo na bila shaka hakuna ukuaji na maendeleo bila msingi na ufahamu imara wa wokovu wa mtu binafsi. Waraka mdogo wa ajabu wa 1 Yohana umejazwa na neno – Mjue. Mungu

Kuhifadhi Kile Umekamata

Kwa kweli Mungu anataka muumini ajue anakwenda mbinguni wakati akifa. Huwa ninawakumbusha wafanyi kazi wa kanisa kwamba wokovu wa mtu binafsi sio mchakato wa kukua. Ni tendo la mujiza wa Mungu la papo hapo linalotukia wakati mtu anaiweka imani katika Mwokozi aliyesulubiwa. Na ndivyo ilivyo na uhakika. Mumini mpya ni lazima afikie ufahamu wa papo-hapo ya ukweli kwamba anaweza jua kwa hakika kuwa yeye ni mshiriki wa familia ya Mungu. Ni muhimu jinsi iyo. Nakumbuka muda usio mrefu sana nilimwongoza mume na mke kwa Bwana. Hali wakiwa wamefurahishwa na imani yao mpya, walidhihirisha kuwa inabidi watimize kubaliano walilokuwa nalo awali. Nikujua umuhimu wa kupeana uhakika wa wokovu, nikauliza kama naweza kuchukua nao dakika zingine chache. Niliwashawishi kwamba jambo la muhimu sana nililotaka kushiriki nao kutoka kwa Bibilia. Wakasitisha, wakapiga simu na kuupanga upya mkutano wao kwa sababu nilitilia umuhimu mwingi wa kuwaweka katika msingi imara wa imani. Jioni iliyofuatia wakaja kanisani, wakafanya ungamo lao hadharani, na hatimaye wakabatizwa. Ninaamini ni kwa sababu walipokea uhakika wa wokovu wao mara moja. Katika kupelekana na somo letu la awali, nikubalie niliite hili:

Hatua ya 12: Mpe uhakika wa wokovu ili aweze kupata ujasiri anaouhitaji kukua Mkristo ambaye amekomaa na Mkristo mwenye ufanisi. Mara tu anapompokea Kristo huwa ninauliza, ― Je, wewe ni mzuri katika kukariri? ― Sio mzuri sana, ndilo huwa jibu la kawaida.

Sababu ya Yerusalemu

Natoa kipeperushi kutoka kwa mfuko na kusema, ― nitakuliza ukariri msitari mmoja tu: Warumi 10:13. Kwa kuwa kila atakayeliitia jina la Bwana ataokoka. Ninautia mvirongo pale kwenye kipeperushi, ninamkabidhi, na kunukuu tena wakati anautazama. Kisha ninaongezea, ― Hebu tudhanie kuwa tumo katika shule ya Jumapili. Je, neno kila linamanisha nini?

― Nadhania wote,‖ kwa kawaida atajibu.

Usiendelee zaidi hadi uwe na hakika anaelewa kuwa ― kila‖ linamaanisha hivyo tu: yeyote — yeye, wewe, wote. Onesha kwamba ameliitia jina la Bwana na kwa hivyo inamhusu yeye.

― Je, ulimanisha ombi lako? ‖ Ninaendelea. ― Ndio.‖ ― Utazame mstari tena. Je Bibilia inasema, anaweza

kuokoka? ‖ ― La, inasema ‘ataokoka‘‖ ― Hiyo ni kweli. Neno linalozungumza ni ‘ataokoka. ‘‖

Kasha msaidie aone kuwa huu msitari ni wa ahadi ya jua-hivyo kutoka moja kwa moja kwa Mungu, na wala sio kutoka kwa kanisa au kwa mhubiri. ― Ni nini lililo dhahiri Mungu alisema atafanya kwa wale watakaomwitia? ‖

― Yakuwa atawaokoa.‖

― Sawa sawa, kulingana na Bibilia wewe ni mtu ameokoka au wewe ni mtu ambaye amepotea? ‖

― Nimeokoka.‖

― Hiyo ni kweli. Na bibilia inasema watu ambao wameokoka huenda wapi wakati wanapokufa? ‖

― Mbinguni, ‖ yeye anasema kwa furaha.

― Hiyo ni sawa. Kwa hivyo kulingana na Bibilia, ikiwa utakufa sasa hivi, utakwenda wapi? ‖ - Mbinguni. Wakati mwingi huwa kunatabasamu kubwa na machozi tele unapoanza kuona uhakika ukianza kuja katika macho na usoni. Kisha ninauliza, - kwa nini? – Kwa sababu nimeokoka

Kuhifadhi Kile Umekamata

Kisha ninakamilisha kwa kumsaidia kuelewa ya kwamba kila mmoja, nikihusishwa mimi pia, tumeokolewa kwa kufanya kile ambacho Neno la Mungu limesema tulifanye. Ndipo anaweza sasa kukua katika furaha kubwa tuliyo nayo katika Mwokozi. Nilimwongoza mwanamke mkongwe kwake Bwana aliyeniambia katika mwanzo wa mazungumzo yetu kwamba alikuwa akienda kitandani kulala kila usiku akiwa na woga wa kufa na kwenda kuzimu. Baada ya yeye kumpokea Kristo, nilimpa uhakika wa wokovu. Kamwe sitasahau furaha iliyojitokeza kupitia kwa uso wake alipopata amani ya kujua kuwa mbinguni ni makao yake ya milele. Usiku uliofuatia baada ya ibada ya ufufuo alikuja kwangu na kusema, ― Niliingia kitandani na kwa mara ya kwanza nikamshukuru Mungu kuwa sina hofu ya kwenda kulala.‖ Eneo lingine sawia utakalohitaji kulishughulikia ni wasiwasi wa ― Nini hufanyika ninapotenda dhambi?‖ na jinsi huo udhaifu bado hauhusiani na uhakika. Kwa bahati mbaya, eneo hili huwa linawakalia Wakristo wengi wapya kwa sababu mara nyingi mvuvi wa nafsi alikosa kutambua umuhimu wake. Tunamwona mtu akiokoka usiku wa Jumanne na kutoa ahadi ya kuhudhuria kanisa Jumapili inayokuja. Lakini hajitokezi. Kwa nini? Kwa sababu mara nyingi jambo fulani lilimtendekea kati ya hizo siku tano na akajihoji ukweli wake au hata pia wokovu wake. Kwa hakika hatuwezi kumtarajia Mkristo mpya alishughulikie suala la dhambi kama hana msingi.

Sababu ya Yerusalemu

Mara nyingi ninatangulia na swali, ― Je, unafikiri utatenda dhambi tena?‖ La kushangaza, Mkristo mpya wa kawaida atasema hapana — fikra zinazodhirisha ni kwa nini hesabu kiasi ya waumini wapya huwa wanajikwaa muda tu baada ya kukiri kwao na ni kwa nini wanahitaji kuwekwa msingi! Lakini kwa kawaida huwa ninapata jibu, ― Ndiyo, nafikiri nitafanya.‖

Kwa kawaida huwa ninashiriki kutoka kwa 1 Yohana 1:8 na 10:

― Ikiwa tutasema hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, na

ukweli haumo kwetu…. Ikiwa tutasema hatujatenda dhambi,

tunamfanya Yey kuwa mwongo, na Neno lake halimo kwetu.‖

Wanaanza kuona kwamba kila mmoja atatenda dhambi na kuwa mtu aliye mkalifu tu, aliyewahi tembea duniani ni Bwana Yesu Kristo. Kwa hivyo ninawafunza vitu kadha kwa mpangilio: Yeyote anayedai kuwa ameokoka na anasema kamwe hafanyi dhambi anajidanganya mwenyewe (8), anapungukiwa na ukweli (8), anamwita Mungu mwongo (10), na analikosa Neno la Mungu (10). Ninafuatilia na 2:1 na kumwonyesha yakuwa watu ambao wameokoka watatenda dhambi hata kama sio mapenzi yake Mungu tunatenda hivyo. Zaidi ya hayo, kabla tuokoke Yesu alikuwa hakiku wetu; sasa yeye ni mtetezi wetu (wakili) na hajawahi shindwa na kesi! Unapotenda dhambi, iungame mara moja. ― Ikiwa tutaziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote‖ (1:9). Huwa hasa ninasititiza msamaha wa familia yake Mungu na kutakaswa.

Kama kando, wakati mwingi Wakatoliki wa Kiroma wanaokuja kwake Kristo huwa wanayofuraha ya kipekee wanapotambua kuwa kuungama hakufanywi kila wakati kwa ajili ya wokovu lakini badala yake ni fursa ya mwana wake Mungu kuweka hali

Kuhifadhi Kile Umekamata

yake ikiwa safi kwa ajili ya Mwokozi. Wakati mmoja nilimwongoza mwanamke wa dini sana kwake Bwana, lakini hata baada ya kukiri kwake akabakia baridi na hasi. Nikaendelea na kanuni ya uhakika; akautambua ukweli wa Bibilia, lakini bado hakudhihirisha furaha yoyote. Kisha nikamfundisha ni nini anatakiwa kufanya atakapotenda dhambi. Pakawa na badiliko la ghafla kwenye sura yake, furaha ikajaa nafsini mwake, na akalia, ― Sasa nimeona! Sasa nimona! Yesu amesamehe dhambi zangu zote! Niko katika familia!

Sanduku la vifaa

Mkanda Wa Kufungia Bomba

Kutokana na uzoefu wangu wa kuwa mtu wa mkono, ninaweza shuhudia tabia za uokozi wa maisha na wingi wa matumizi ulio tu wa mkanda wa kufungia mabomba. Inaonekana kurekebisha chochote ninachofunguanisha! Kunena kiroho, sanduku la vifaa la mvuvi wa nafsi latakiwa liwe na mkanda huu — kitu ambacho kinamsaidia muumini kushikamana na imani. Ninapendekeza kanuni tano rahisi zifuatazo unapomwongoza muumini kupitia kwenye eneo la uhakika:

Sababu ya Yerusalemu

* Jitenge na mawazo au semi hasi — zako au zake.

* Amini kuwa kile unachofanya na kusema ni cha haki.

* Tumia muda wa kutosha. Kamwe pasiwe na haraka

wakati maisha ya milele yamo hatarini.

* Onyesha umuhimu wa kila kitu unachokisema kwa

kurejelea kwenye Bibilia.

* Elezea kila kitu vizuri. Inazuia uchungu mwingi njiani.

Somo la 16

Nini Kimetendekea Vumbi La Mbao?

Ninapozunguka-zunguka nchini, huwa ninajaribu kumuliza kila mchungaji ninayekutana naye, ― tatizo lako kuu huwa ni lipi baada ya uvuvi wa nafsi? ‖ Ni la kuvutia kutambua kuwa 90% ya wao husema: kuwaleta watu katika kanisa na madhabahuni mara tu umewavua kwake Kristo. Kanisa moja linalotumia progaramu ya huduma yetu ya

uvuvi wa nafsi wa mkufunzi na mwanafunzi (Operesheni

Twende) limewavua watu 1,600 kwa Kristo na kuwa na

watu 644 waliotembea madhabahuni kuufanya wazi mbele

za umma — au karibu 39%. (hii ni karibu sana na hesabu

yangu ya kibinafsi. Nimeona karibu 40% ya wale

niwewavua kwake Bwana wakitembea madhabahuni na

kufanya wazi mbele za umma).

Kuhifadhi Kile Umekamata

Kwa hao 644 waliotangaza mbele za umma, 466 walimfuata Bwana katika ubatizo — karibu 72%. Bibilia imemwahidi mvuvi wa nafsi anayeipanda mbegu ya dhamani akiwa na moyo uliopondeka yakuwa atarejea kutoka kwa kazi yake na furaha na kuleta miganda yake (Psalm 126:6). Kwa hiyo ni kawaida tu kutarajia kuwaona waongofu wetu wakifanya ungamo la imani mbele za umma, kumfuata Bwana kwa ubatizo, na kukua katika neema. Katika Matendo 4:27, Bwana aliliongeza kanisa kila siku kwa waliokuwa wakiokolewa. Uvuvi wa nafsi katika Agano Jipya sio tu jambo la kwenda kule nje na kuwafanya watu wampokee Kristo. Watu waliovuliwa walitarajiwa waje kanisani na waongezwe kwenye ushirika wa kanisa hilo. Katika Mathayo 28:18, sehemu moja ya Agizo Kuu la Bwana ni la kuwaona watu wakibatizwa mara tu wanapookoka. Katika maneno mengine, sio tu kuwa ni sawa bali ni muhimu zaidi Kibibilia yakwamba mvuvi wa nafsi awe na kusudi kuwa waumini wake waje kanisani, watangaze mbele za umma, na wafuatie kwa ubatizo wa waaminio.

Kwa hivyo mbona hawaji? Mithali 23:7 hudhihirisha umuhimu wa mtazamo wa kibibilia: ― Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.‖ Kamwe, hakuna yeyote hukamilisha jambo asiloliamini katika moyo wake. Nimesikia ikisemwa, ― vile ulivyo hunena kwa sauti kubwa hata siwezi kusikia ni nini unachongea.‖ Katika maneno mengine, ungamo la nje bila kumiliki kwa ndani ni tupu kabisa. Huu ni ukweli sawia katika eneo la uvuvi wa nafsi wa kibinafsi. Kwa bahati mbaya, Wakristo wengi huwa na onyesho hili aina mpya ya lugha ya mwili wa kiroho. Ikiwa hatuamini kuwa ni sawa kwa muumini kuja kanisani, atembee mbele

Sababu ya Yerusalemu

madhabahuni, na amfuate Bwana katika ubatizo, basi kamwe hatutawasiliana naye na haijalishi maneno yetu yanaongeaje.

Ni kiasi sawa na mtu ambaye ana hofu wa mbwa au farasi. Hahitajiki kuinena lugha yao kwa sababu Yule mnyama huichukua kupitia kwa lugha ya mwili wao isionenwa ya hisia. Hivyo ndivyo ilivyo na kushughulika na muumini mpya. Ni lazima ushawishike kwamba aje kwenye madhabahu, afanye ungamo wazi la imani mbele za umma, abatizwe, na kisha aanze kukua kuwa mvua nafsi gangari. Kwa hivyo hatua yetu ya mwisho inakuwa:

Hatua ya 13: Mwongoze kufanya ungamo la imani yake katika nyumba ya kanisa. Ikiwa uvuvi wetu wa nafsi ni uterezi tu hivi hata hatuna tamaa ya kuwaona watu wakifanya lolote la kupita wao kumpokea Kristo, basi hatutakuwa na watu wengi watakaokuja kanisani. Kwa upande mwingine, kama tunayoshawishi kuu kwamba mwongofu anahitaji zaidi, kama jinsi watoto wetu wahitajivyo usalama wa nyumba zetu, basi idadi ya wale wanaokuja kanisani itakuwa kwa kasi.

Miaka kadha iliyopita, nilipata nafasi ya kumwongoza mwanamume kwa Kristo na nikamfuatilia kuhusu umuhimu way yeye kufanya ungamo la imani yake wazi mbele katika kanisa la mtaa. Baada ya dakika chache akatamka hivi:

― Ikiwa unafikiri ni muhimu hivi, basi nitalifanya.‖ Kamwe sijawahi weza kuliondokea jibu hilo. Mwamko wangu wa kwanza ulikuwa anatakiwa alifanye kwa ajili yake Bwana, lakini kasha nikaanza kufahamu kuwa, kama mvuvi wa nafsi nilikuwa mwakilishi wake Bwana na mwenye wajibu wa kumsaidia mwanamume huyo ajue ni nini Mungu anahitaji afanye. Jamaa akabatizwa na kuanza kukua kataika nzuri la uvuvi wa nafsi.

Kuhifadhi Kile Umekamata

Kwa sababu muumini mpya kawaida hatafanya ungamo la wazi mbele za umma isipokuwa awe amepewa magizo kwa utaratibu, hebu nikulize hivi: je, unaamini hatua ya 13 ni sawa? Anahitaji kuwa mshirika mwema wa kanisa linaloamini Bibilia? Ikiwa jibu lako ni hafifu au hauhisi kuwa hatua ya 13 ni ya umuhimu kama hatua zingine 12, basi kamwe hutawahi kuona matokeo mazuri katika eneo hili. Lakini ikiwa unaamini kuwa hatua hii ya mwisho ni ya muhimu na unataka kuwaleta waumini madhabahuni, kuna mbinu kadhaa kwa utumizi wako.

* Mfanye amwahidi Mungu kuwa atafanya ungamo la wazi mbele za umma. Muelezee hiyo inamanisha nini, na anaweza kufanya hivyo kwenye ibada ijayo. Ikiwa ataelewa ahadi yake ni kwake Bwana na wala sio kwako, inaongeza nguvu na kusudi.

* Mwite Jumamosi na ujue jinsi anavyoendelea.

Utaweza kukuza urafiki na uweze kumsaidia ikiwa ako na tatizo. Pengine hata umpitie umwone.

* Mchukue Jumapili asubuhi — hakikisha kuwa

umezungumzia hili pamoja naye! Mwambie utamtabulisha kwa wengine mle kanisani na kwamba utamwonyesha ni wapi liliko darasa lake la Jumapili asubuhi. Ikiwa anayo familia, utamsaidia kila moja aweze kujua atakikanapo kuenda. Hii inaongezea nguvu ahadi yake. Inaonyesha pia yakwamba unamjali. (Hata nimekuwa na wale niliowavua wakija kwangu kunichukua!)

Sababu ya Yerusalemu

* Kaa kando yake katika ibada. Ikiwa hili haliwezekani kwa sababu ya jukumu lako katika ibada, basi mwombe mvua nafsi mwingine akae pamoja naye, san asana mtu anaelewa kuwa huyu ameokoka tu na yupo hapa ili kufanya ungamo lake wazi mbele za umma.

* Tembea naye mbele madhabahuni wakati wa mwaliko.

Mgeukie na umwambie kuwa huu ndio wakati wa kuufanya uamuzi wake wazi mbele za umma.

Wazo la mwisho: Mara nyingine muumini haji kanisani. Usikate tamaa naye. Kwenda tu kwake wakati wawiki na umpe mwaliko tena. Wakati mwingi, juhudi za mara ya pili ndizo tu zinazohitajika.

Wakati bado nilikuwa mchungaji, nilimwongoza mwanamume kwake Bwana na ahadi yake ya kuja kanisani Jumapili ilikuwa ya upesi na imara. Isitoshe, Ijumaa akanipigia simu kuniuliza kama anaweza kuja akiliendesha gari lake.

― Kwa nini?‖ Nikasitasita.

―Nimemwongoza rafiki yangu kwa Kristo na nitakwenda kumchukua pia.‖ Nikafikiri kuhusu hilo kwa muda mfupi na kasha nikamuliza aje anichukue na mimi baada ya kumchukua rafiki yake. Nikamwelezea kuwa ninataka kukutana na mtu huyu. Hofu zangu zikawa bila msingi. Jumapili wote wawili walikuja na wakawa wamesisimuka kuhusu Bwana. Ilikuwa dhahiri kwamba Yule rafiki alikuwa ameokoka pia. Wote wawili waliketi kando ya mvuvi wetu mmoja wa nafsi na wakatembea kwenye madhabahu.

Kuhifadhi Kile Umekamata

Wakati nilipoanza kuvua nafsi niliutumia muda wangu mwingi kwenye hatua 1-11. Matokeo yake ni kwamba ni wachache tu wa waumini wangu waliotokea mbele ya madhabahu. Sasa baada ya kuwa mvuvi wa nafsi kwa miaka kadhaa, huwa ninautumia muda mwingi juu ya hatua 12 na 13 kama ninavyofanya juu 1-11. Matokeo? Idadi ya waumini wangu kanisani imeongezeka kwa kasi. Hatua ya ina kinakaribia moja — moja ambayo imejaa changamoto. Jinsi gani unaweza kumfanya mtu abatizwe? Nimekujiwa na watu wengi wakitafuta usaidizi katika eneo hili. Kwanza, hebu tuanzishe ukweli kwamba ni jambo la Kibibilia la kufanya. Ubatizo sio jambo la ziada, ni sehemu ya muhimu mno katika uvuvi wa nafsi na ya kanisa la mtaa. Muumini anabatizwa katika ushirika wa kusanyiko la waiaminio-Bibilia wa Agano Jipya. Hatujaikamilisha kazi yetu hadi tumwone mtu akiokoka, akibatizwa, na akifundishwa. Swali kuu ni, ni wakati gani wa kushinikiza kuwe na ahadi? Ninaona nyakati mbili zinazokubalika za kumwongoza mtu kwa ufahamu wa: nyumbani wakati umemwongoza kwake Kristo na kanisani baada ya kuikiri imani mbele za umma. Bila shaka, kama na eneo linguine katika uvuvi wa nafsi, ni lazima uwe nao mpango. Bila nao, mchafuko utatawala na lililo lako bora kamwe halitatokea. Kwa hivyo kuwa tayari kuichagua njia mara tu mtu anapookoka kwa sababu kukua kwake kiroho ndio ulio umuhimu mkuu kwako. Lakini pia tumaini kuwa Bwana atakupa hekima. Ninaamini neno muhimu ni - sahihi.‖ ikiwa mtu anatoka kwenye msingi tofauti kabisa, inaweza kuwa sahihi kumpa uhakika wa wokovu na halafu kushinikiza akiri mbele za umma wakati wa ibada ijayo.

Sababu ya Yerusalemu

Mara tu akiwa madhabahuni, watenda kazi wa kanisa wanaweza jadiliana naye kwa makini juu ya ubatzo. Lakini ikiwa atauliza swali juu ya ubatizo baada yaw wewe kumvua na aonekane amefunguka kwa hilo wakati huo, usisite.

Wakati nilipomwongoza mfanyi biashara wa kampuni ya malori kwake Bwana, nilimtajia umuhimu wa kufanya hivyo mbele za umma. Alionekana kusitasita na kisha akaongezea, ― Sitaki kujiunga na kanisa sasa.‖ Nikatingiza na kufahamu huu haukuwa wakati mzuri wa kumtajia juu ya ubatizo. Alikuja jumapili iliyofuatia, ijapokuwa alitembea mbele madhabahuni na kuongea na mfanya kazi. Mfanya kzi alikuwa makini na kuandika kwenye kadi ya maamuzi yakuwa mtu huyu alikuwa nayo maswali mazito kuhusu kubatizwa.

Nilirudi nyumbani kwake wiki iliyofuatia na kujibu kila moja ya maswali yake. Aliporidhika, hakukubali tu kubatizwa bali pia akadhihirisha kuwa nao mzigo wa kuiona familia yake ikiokoka. Nikamhimiza awalike wote waje wauone ubatizo wake. Akafuatilia hilo na saba wakaokoka kati muda wa wiki mbili kwa sababu ya uaminifu wake katika ubatizo wa waumini.

Sanduku la vifaa

Kufuatilia

Ndiyo, ni kifaa cha ajabu, lakini ni moja ya kile kimefanya kazi kwangu wakati na tena katika eneo la kukiri mbele za umma. Kwenye mkutano wa kampeni nilikutana na mwanamke mpendwa ambaye sikuwa nimemwona kwa muda wa miaka saba. Baada ya ibada tukashiriki na nikagundua alikuwa mwalimu mkuu wa shule ya Kikristo iliyokuwa inakua. Akanitambulishia watoto wake wawili kwa maelezo,

Kuhifadhi Kile Umekamata

― Kama si kwa ajili ya mwanamume huyu, mama

hangekuwa akimtumikia Mungu leo.‖ Nilinyenyekeshwa

lakini singeweza kujizuia ila kumsifu Mungu rohoni

mangu kwa kusema yote ilikuwa ya thamani.

Ni nini kilikuwa cha thamani? Kufuatilia. Ikiwa utamvua mtu nje ya mji kama jinsi huwa nina fanya mara kwa mara, chukua jina lao, anwani, nambari ya simu na uwaandikie barua ya himizo. Peana jina lao kwa mchungaji wa kanisa nzuri linaloamini Bibilia katika eneo lao (wajulishe ni nini ambacho umefanya). Tuma kitabu cha kufuatilia na uwafanye wakuandikie wakishiriki nawe ni nini kinachoendelea katika maisha yao. Mwanamume ambaye singeweza kufahamu alinikujia baada ya kampeni. ― Je unanikumbuka? Ulinivua kwa Bwana kwenye jumba la onyesho ya Chrysler miaka nane iliyopita.‖ Akashiriki jinsi nilivyompendekezea kanisa na kumtumia nyenzo za kufuatilia. Alikwenda kwa hilo kanisa, akabatizwa, akajiunga nalo, na sasa alikuwa akiwavua wengine! Hebu fikiria kama wanandoa wangeleta mtoto duniani na kisha wamtupilie mbali. Hivyo ni sawa nasi. Mungu atakubariki ikiwa bila ya ubinafsi utaitunza familia yake.

Somo la 17

Usiongeze, Zidisha

Miaka mingi imepita mimi na familia yangu tulialikwa kwa chakula cha mchana siku ya Jumapili na shemasi mmoja wa kanisa. Baada ya chakula kitamu tukawa tunashiriki kwenye ukumbi wakati kijana mvulana alipo-

Sababu ya Yerusalemu

kuja kutembelea mtoto mmoja wa shemasi. Tukakutana na

baada ya muda mfupi wa maongeo ya kawaida nikaanza

kumkabidhia Kristo. Akasikilza kwa makini, Mungu

akauandaa moyo wake, na kwa furaha akaokolewa.

Nikamweka kwenye msingi katika imani yake mpya na

akaahidi kuja kanisani jioni hiyo na kufanya wokovu wake

ujulike na umma. Nilisisimuka mno.

Jioni ikafika, lakini kijana hayupo. Nilivunjika moyo. Mawazo yangu yalikuwa kama vile yako huwa mara nyingi. Je, alimaanisha kweli? Alikuwa wa ukweli? Pengine nitaacha kuwashughulikia watu hapo kwa hapo. Na zaidi, na zaidi. Mbaya zaidi, kila jitihada za kufuatilia huyu kijana zikazaa matokeo tu sawia — bure. Sasa nimewahi kuwa hapo mbeleni. Kupitia kwa miaka

mingi nimeona mifano mingi ya wale waliompokea Kristo

na kasha kutoka kwa dhihirisho la papo hapo la sura ya nje,

ikaonekana kuwa hawako wa kweli. Nikajikumbusha kuwa

kwa miezi au miaka baadaye katika hali tofauti pengine

nitampata mtu huyo akikua katika neema. Hatimaye,

nikajikosoa kuwa ni maisha tu ya milele yatakayodhihirisha

kwa kikamilifu ushawishi tulio nao juu ya wengine. Katika kesi hii haikunibidi ningojee muda huo wote.

Miaka chache baadaye nikiwa nahubiri mkutano wa ufufuo kule Chattanooga, nilialikwa niongee katika kanisa la chuo kikuu cha Tennessee Temple. Baada ya ibada, mwanamume kijana akatembea hadi nilipo na kuniuliza swali lilo hilo la aibu tangia kale, ― Daktari Wood, unanikumbuka?‖

Sikukumbuka. Akasema jina lake na bado sikukumbuka! Kasha akaniambia hadithi yake. ― Ulipatana nami kwa nyumba ya Bwana Ezell. Ukaniongoza kwa Kristo. Baba yangu hakuniruhusu nihudhurie kanisa lako. Nikaanza

Keeping What You

Kuhifadhi Kile Umekamata

Kuisoma Bibilia yangu na kukua. Baada ya shule ya upili, nikajiunga na hapa. Mungu ameniita kuhubiri. Nitakuwa nawaongoza wengine kwake Kristo. Karibu nipige shangwe! Sio tu kwa ajili ya vile maisha yake yalikuwa yamegeuzwa, bali kwa sababu mojawapo wa furaha kuu ya uvuvi wa kibinafsi wa nafsi ni kuzidisha — kumfunza mtu mwingine kuwavua marafiki wao na wapendwa wao kwake Kristo. Ikiwa nitayaishi maisha yangu yote nikiwavua watu kwake Kristo mara kwa mara iwezekanavyo, wakati maisha yangu yatakamilika nitakuwa na matokeo kamili ya juhudi zangu. Lakini ikiwa nitayatumia maisha yangu nikiwavua watu na kuwafunza kuwavua marafiki na wapendwa wao kwake Kristo, wakati maisha yangu yatakwisha, nitakuwa nimejizidisha mara nyingi kupitia juu ya juhudi na taabu za wengine. Hii haimanishi kukomesha uvuvi wa kibinafsi wa nafsi na

juhudi zako zote za kuwafunza wengine. Inamanisha

kufuata taratibu wazi za Kibibilia za Agizo Jipya au za 2

Timotheo 2:2. Kwa kweli, huwa ninaulizwa mara kwa

mara, ― Ni nini ninaweza kununua kinachoelezea mbinu

bora kwa kanisa la mtaa kutumia katika uvuvi wa nafsi na

kuufikia mji wake kwa ajili yake Kristo?‖ Ninasema

itakuwa vigumu kukiboresha kitabu cha Matendo. Ambayo inanileta kwa swali lingine maarufu. ― Daktari Wood, je unafikiri kuna jambo linalokosekana katika mbinu ya uvuvi wa nafsi wa siku za leo?‖ ― Ndiyo, karibu theluthi moja ya Bibilia!‖ ninaelezea kwamba kama Wakristo tunafanya kazi ya kuwavua wengine na kujitahidi kuona wakibatizwa, lakini kasha tunauacha utaratibu ukome. Tumeiacha nje hatua ya tatu katika Agano Kuu kuhusu kuwafanya wanafunzi kutoka

Sababu ya Yerusalemu

kwa mataifa yote. Kama tungezingtia kanuni hii ya Kibibilia, tunaweza kuona ufufuo wa Kitabu cha Matendo ukipita juu ya nchi. Kanisa letu la kule Grand Rapids, Michigan lilibarikiwa na maelfu kadhaa ya waumini kwa muda wa miaka chache. Mmoja alikuwa mwanamume mpendwa niliyekuwa nimemwongoza kwake Bwana miaka tano au sita mbeleni. ― Daktari Wood, ningependa ukutane na wawili wa wajukuu wako.‖ Tangazo hili lilileta tabasamu usoni mwangu, kwa kuwa mke wangu mpendwa nami tulikuwa tumefanyika babu na nyanya kwa mara ya kwanza. Mwanamume huyu akanitambulisha kwa marafiki wawili alokuwa amewavua kwa Kristo. Hili ndilo lilkuwa zoezi la Agano Jipya!

Ni kwa jinsi gani tunaweza kuingiza roho hii leo ili kuweka huduma yetu ya uvuvi wa nafsi kutoka kulainika au hata kuzimika kabisa? Rahisi. Wafunze waumini wako kuwavua waumini wengine. Ninapendekeza mpango wenye hatua mbili.

Katika sura hizi zote, nimewahimiza Wakristo waende kwa uvuvi wa nafsi wakiwa wawili-kwa-wawili. Na mojawapo wa sababu ni kuwa unaweza kumchukua mtu pamoja nawe ambaye unaweza kumkuza awe mvuvi wa nafsi gangari. Kwa maneno mengine, jizidishe kupitia kwa maisha ya wengine. Mwongoze Mkristo asiye na uzoefu katika kufanya ahadi ya hakika ya kufunzwa uvuvi wa nafsi. Kasha mfunze mpango wako utendao kazi. Uuandike katika Bibilia yake ili aweze kufuata kwa urahisi. Mchukue pamoja nawe kwa matembezi na umwache atazame. Wacha ajue malengo yako na umwelezee ni nini ulilolifanya katika hali fulani. Kwa wiki chache, utakuwa umejizalisha na utaanza kuhisi moja ya furaha kuu katika uvuvi wa nafsi.

Tuseme kuwa kila kanisa lingepanga kuwa na wavuvi wa nafsi wakiutumia wakati unaofaa pamoja na Wakristo wote kule

Kuhifadhi Kile Umekamata

uwandani na katika mashauri ya kibinafsi. Ndani ya miaka kadha kila kusanyiko linaweza kuwa na wavuvi wa nafsi ngangari 40 hadi 50 (au zaidi) kule nje uwandani kila wiki wakiwavua hata wengi kwake Bwana. Madhabahu yetu yangekuwa na kazi na maji yetu ya ubatizo yakitingika! Wakati mmoja nilimwongoza mwanamume kwa Kristo na kutumia karibu dakika 30 pamoja naye, nikimweka katika msingi wa uhakika. Akaenda nyumbani, akaichukua Bibilia yake na kumwelezea mkewe mambo. Baadaye usiku huo akamwita mchungaji wake na kusema, ― Nimemwokoa mke wangu.‖ Tulijua kile alichomanisha na tukafurahia kuwa hata kabla hajafanya kukiri mbele za umma alikuwa mwenye shughuli kuwavua wengine! Mwache mwanafunzi wako awashuhudie watu na umsaidie anapovua nafsi yake ya kwanza. Katikati ya miaka ya 70, nilimwongoza mwanamume kwa Kristo aliyekuja kanisani Jumapili iliyofuatia na akabatizwa. Nikamuliza kama angependa kwenda kwa uvuvi wa nafsi pamoja nami na aniwache nimfundishe. Alijawa na furaha kubwa na kwa muda wa majuma kadhaa yaliyofuatia tulitembea pamoja naye. Nilimpa mistari kadha aweze kukariri, nikamfunza mpango wa pointi-13, nikamwacha aone nikiingia katika nyumba, akaniona nikiikabidhi Injili, na akawaona wengine wengi wakija kwake Kristo. Baada ya karibu wiki tano nikamwambia sasa ni zamu yake. Katika matembezi yetu ya kwanza akaikabidhi Injili kwa mwenye umri wa miaka 16. Alikuwa amepondeka kabisa na kwa hiari akampokea Yesu. Kamwe sitasahau furaha amabayo mwanafunzi wangu alihisi katika kumvua muumini wake wa kwanza. Leo hii, mwanamume huyu anamiliki biashara yenye ufanisi, mara kwa mara anawavua wengine kwake Bwana, na anafundisha darasa la watu wazima kwenye shule ya Jumapili katika kanisa linalokua.

Sababu ya Yerusalemu

Pia amewafunza wengine wengi kwenda nje na kuwavua marafiki wao katika namna ile ile. Wakati mwingine mwanafunzi wako atakwama. Mmoja wa mwenzangu alipatwa na tatizo ndogo: kila wakati nilipomuliza aongoze, angekataa. Angeingia akiwa ameazimia, lakini dakika chache baadaye anageuka na kusema mbele ya ile familia, ― Mchungaji, zungumza jioni ya leo.‖

Hatimaye, nikawa na wazo. Tukaenda kwa matembezi na kamwe sikumuliza ajiandae. Tukaingia kwa nyumba ya familia ambayo ilikuwa imetembea kanisani Jumapili iliyo kuwa imepita. Kwa bahati mbaya ni mume tu aliyekuwako nyumbani, wengine walikuwa wamekwenda dukani. Baada ya mazungumzo nikamuliza kama akifa alikuwa na uhakika wa mbinguni. ― Hapana, ‖ akajibu, na kuongezea, ― Hata singeweza kulijibu swali hilo kanisani Jumapili iliyopita.‖

Mara moja, nikautegua mtego wangu. ― Ikiwa Dave (mwenzangu) anaweza kuichukua Bibilia yake na akuonyeshe, hiyo inaweza kuwa sawa? ‖ Maskini Dave hakuwa na chaguo wakati huu, lakini akamalizia kwa kuiongoza nafsi yake ya kwanza kwake Bwana! Kwa kweli, Dave alijawa na shauku. Akamchukua Yule mwanamume Jumapili iliyofuatia, na kukaa kando yake, na kutembea naye mbele madhabahuni. Baadaye, mmoja wa watu wa kwanza ambao Dave alifunza katika uvuvi wa nafsi alikuwa mwanamume huyo.

Kwa kawaida wanafunzi wangu― hupepea peke yao baada ya wiki tano hivi. Kwa hilo ninamanisha huwa wako tayari kuchukua mwongozo na kuivua nafsi yao ya kwanza kwake Bwana wakati nami ninakuwa mtu wa pili. Lakini huwa haitokei hivyo kila wakati.

Kuhifadhi Kile Umekamata

Nilikuwa na mwenzangu ambaye baada ya wiki nane hakuwa bado amemwongoza yeyote kwake Bwana. Alikuwa na hamu kubwa na kuwa na wasiwasi dhidi ya juhudi zangu za kumhakikishia yakuwa ni ratiba ya Mungu na atazituza jitihada zote. Kwenye wiki ya tisa tulitembea kwa masaa matatu. Alikuwa akiendesha gari na ghafla akaingia kwenye kituo cha mafuta. ― Mhubiri, ninajua huwa unatufunza tununue mafuta yetu mapema ili pasiwe na upotezaji wa wakati, lakini ninaelekea kuishiwa!‖ ― Ni sawa,‖ Nikampembeleza. Mhudumu akakuja na kuuliza ikiwa anaweza kuwa wa usaidizi wowote. ― Tunahitaji mafuta ili tuweze kwenda kuwasaidia watu wapate jibu la swali lililo la muhimu zaidi la Bibilia watawahi kuliuliza!‖ Akasema mwanafunzi wangu. Mhudumu akauliza, ― Na hilo ni swali gani?‖ bila ya kusitasita mwanafunzi wangu akasema, ― Yakuwa wakifa usiku wa leo, watakuwa na hakika la mbinguni heaven?‖ ― Hilo ni swali nzuri.‖ Kijana akatoka nje ya gari, Agano Jipya mkononi na akamwongoza yule mtu kwake Bwana! Kasha akasema, ― Wewe ndiwe wakwanza kabisa kwa mimi kuvua!‖ Kisha akaendelea kumtabulisah muumini wake mpya kwa yeyote aliye kuwa karibu, ikiwa ni pamoja nami! Tulipokuwa tukiondoka, akatulia tu kiasi na kusema, ― Hivyo sivyo kabisa ulivyo nifunza, lakini imetenda kazi.‖ Na ili ujue, mhudumu huyo alikuja kanisani Jumapili na kuufanya wazi mbele za umma.

Sababu ya Yerusalemu

Hebu tusitishe ili kusititiza jinsi ya kuleta mageuzi ya uvuvi wa nafsi katika maisha yako. Kwanza, ikiwa kamwe hujawahi mvua yeyote kwake Bwana, mtafute mwenzako wa uvuvi wa nafsi aliye na uzoefu. Muulize awekeze muda katika wewe, na kasha haraka iwezekanavyo uivue nafsi yako ya kwanza na ukae kwa mpango wakoPili, ikiwa tayari wewe ni mvuvi wa nafsi mwenye uzoefu, mtafute yeyote asiyenao na umfunze ili aweze kuwa kama wewe. Niamini, itayabadilisha maisha yake na yako milele.

Sanduku la vifaa

Jumuiko La Nia

Hebu tuseme wewe ni mvuvi wa nafsi mwenye uzoefu mwingi anayeweza kuvua nafsi 1,000 kwake Bwana kila saa. Hao ni waumini wapya 24,000 kila siku kawa maisha yako yote. Inawezekana uwe na uwezo wa kuuvua ulimwengu.

Lakini, unateta, huwezi kuvua nafsi 1,000 kila saa. Hata hivyo, ni nini kinaweza kufanyika ikiwa utamchukua muumini mpya, umfunze kwa mwaka mzima na kasha ninyi wote mwondoke na kumvua mtu mwingine na kumfunza kwa mwaka mzima, na vivyo hivyo? Kwa chini ya miaka 40 unaweza kuuvua ulimwengu wote! Umesikia juu ya jumuiko la nia, iwe ni kwenye kadi za mikopo au rehani. Inaweza fanya kazi kwa wema pia.

Sura ya 5

Uvuvi Wa Nafsi Mahali Pa Umma Wakati mwanamke kisimani alipouacha mtungi wake wa machi ili kuwambia wengine kuhusu Yesu, Bwana wetu aliwashauri wanafunzi wake wayatame mashamba yanayowazunguka. Yalikuwa meupe kwa mavuno, yamejawa na fursa. Katika hali halisi wale 12 hawakuwa waangalie mbali zaidi na wao wenyewe. Kama na mwanamke aliyekuwa ameondoka tu, walikuwa wakishughulikia mambo yao ya kawaida walipokutana na Bwana. Simony na Andrea walikuwa wakitupa nyavu katika (Andrea alikuwa pia mwanafunzi chini ya Yohana Mbatizaji). Yakobo na Yohana walikuwa wakizitengeneza nyavu zao. Mathayo alikuwa kwenye dawati yake. Nathanieli akiwaza chini ya mti. Baadaye, Nikodemo alikuwa gizani. Mwivi alikuwa msalabani. Paulo alikuwa kwenye njia kuu. Mkushi alikuwa katika gari la farasi. Mlinzi wa gereza la Filipi alikuwa kwenye sehemu ya ndani zaidi ya jela lake akitafakari kujiua.

Sababu ya Yerusalemu

Uhakika ni kuwa wasioamini wanaweza kuikumbatia Injili inapokabidhiwa wakiwa mahali popote katika maisha yao — wakati wowote, mahali popote. Na, kwa ukweli, katika watu wote ambao nimewahi kuwashuhudia, kamwe sijawahi kukumbana na hali ambayo haikuwa ya kuvutia. Hili linapaswa kutuhimiza sisi sote kama wavuvi wa nafsi. Hii ndio kwa nini Sura ya 5 ni ya mwondoko-mmoja kutoka kwa muundo wetu uliowekwa. Nia yangu ni kufuatilia masomo yetu yenye kusisimua katika sura nne za kwanza kwa kushiriki kutoka kwa uzoefu wangu mimi mwenyewe, mabadiliko ya hali halisi ya maisha katika hali ya kawaida na isiyo ya kawaida.

Kila mtu utakayekutana naye kwenye kurasa chache zijazo ni wa kweli. Na kila mmoja alikuwa akifanya kitu kingine wakati alipokutana na Mwokozi. Ninauita uvuvi wa nafsi wa mahali pa umma na inaweza kutokea nawe.

Alikuwa akisomea uchungaji Niliingia ndege asubuhi moja mapema kwenda mjini Kansas

ili kuanza kampeni. Hali ya anga ilikuwa yenye mawingu na kuchelewesha kupaa kwa ndege, kwa hivyo nikaitoa Bibilia yangu na kuanza kuufanyia kazi ujumbe. Mmoja wa wahudumu wa ndege akaja na kusema, ― Hicho ni kitabu cha kuvutia unachokisoma.‖

Nikatabasamu na kusema, ― Ndiyo, ni cha kuvutia. Je huwa unakijifunza sana?‖

Nitakubali kuwa jibu lake lilinipata bila mtarajio. ― Ndiyo, kwa kweli, sasa ni katika shule nikisoma niwe mchungaji wa Kilutherani.‖ Nilijua kuwa ninazo dakika chache tu za kushuhudia wakati ndege ilikuwa imezuiliwa kwa hivyo nikajaribu kuingia kwa suala la wokovu. ― Sitawahi kamwe kusahau baadhi ya nyakati kuu nilizokuwa nazo katika Chuo cha Bibilia.‖ Bila ya kusitasita

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

nikaendelea, ― Nilimpokea Kristo kama Mwokozi wangu nikiwa na umri wa miaka 19 na kwenda mara moja kwa Chuo. Niambie, ulikuwa na umri gani ulipookoka? ‖

Akaendelea kunipa jibu ambalo nilikuwa nimelisikia mara nyingi mbeleni. Kanisa lake halikuwa linatumia maneno kama hayo. Amekuwa Mkristo kila wakati – alikuwa anaendelea kukua katika wokovu wake. Na hivyo ivyo.

Nikatabasamu na kutingiza kichwa, nikifahamu umuhimu wa kukaa kwenye mkondo. Kulikuwa nayo mambo mengi sana aliyoyasema yaliyokuwa nje ya Bibilia. Ingekuwa rahisi kiasi gani kumpinga kwa kila hatua kwa Mandiko. Lakini nilijua jukumu langu la kwanza lilikuwa la kumvua kwake Krist.

Kisha akasema kitu ambacho kamwe sikukwa nimesikia hapo mbeleni. ― Hatua yangu ya hivi karibuni katika neema ya Mungu ya wokovu imekuwa wakati nimeujibu wito wa Mungu wa kuhubiri.‖ Ni jinsi gani watu wanaweza kuchanganyikiwa na kuwa vipofu kiroho wakati hakuna mafunzo na mahubiri wazi ya Neno thamani lake Mungu. Nilitakaje kulipinga tamko hili! Hata hivyo, nikasubiri hadi amalize na nikauanza mpango wangu. Sikuhitajika kumuliza asili yake ya kanisa. ― Hebu nikuambie jinsi nilivyokuja kwake Kristo.‖ Akawa na hamu na kunisikiliza kwa makini. Baada ya kuutoa ushuhuda wangu, nikauliza kwa upole, ― Ikiwa utakufa sasa hivi, unao uhakika kabisa utakwenda mbinguni?‖

Mara tena akasema kanisa lao halikuuendea wokovu kwa njia hiyo, na tena nikajua inanibidi nikae kwenye mkondo. ― Hebu tusahau juu ya kanisa kwa muda — Baptisti na Lutherani. Naweza chukua muda mfupi na nishiriki nawe baadhi ya mistari ya Bibilia iliyonisaidia kujua hakika ninaenda mbinguni?‖

Sababu ya Yerusalemu

― Sawa.‖

Nikauanza mpango wangu kwa uepesi na kwa papo kwa hapo kama nilikuwa na mtu ambaye amepotea. Nikasitiiza tena na tena yakuwa wokovu ni wa hapo kwa hapo, sio mpango wa malipo ya pole pole wa kazi chache njema na matendo. Kisha nikauliza kama tungeweza vichwa vyetu kwa neno fupi la ombi; tukafanya na katika dakika chache akampokea Kristo.

― Hii inaweka utafiti wangu kwa uchungaji katika

mwanga mpya, akasema. ― Ndiyo, unahitaji kuifanya Bibilia iwe mwongozo

wako katika jinsi ya kumtumikia Mungu kama vile jinsi ya kumjua Yeye.‖ Ilikuwa furaha aje kumweka kwa msingi na kumwelekeza kwa mchungaji mzuri katika eneo hilo amabaye angemsaidia kukua na kufahamu mafundisho ya Bibilia.

Yeye pia, alikuwa kwenye ndege Ilikuwa Jumamosi maridadi katika Julai na nilikuwa ninaichukua ndege kutoka Chattanooga hadi Greensboro kuanza kampeni. Baada ya kubadilisha ndege kule Charlotte, Nikaufungua mkoba wangu na kuanza kupekuapekua vitu vilvyohitaji kipau-mbele. Nilikuwa na kazi chungu nzima ya kufanya siku hiyo na kwa hakika nilikuwa nimebebwa na mambo yangu mwenyewe.

Umebebwa kiasi gani? Sikuwa nimemwona mwanamke kijana kando yangu hadi aliyeyapata mawazo yangu kwa kutoa maoni juu ya hati katika mkoba wangu. Wakati nikimjibu swali lake kuhusu hati hiyo, singeweza kujizuia kuona hamu yake katika Bibilia yangu. ― Ni lazima uwe na hamu katika mambo ya kiroho.‖

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Akatabasamu kiasi na kutingiza kichwa. Kasha nikamuliza swali la kwanza katika mpango wangu. ― Ni ipi asili ya kanisa lako?‖ Alisema huwa anahudhuria kanisa la AME kule Greensboro wakati akiwa mjini. Alikuwa mhudumu wa ndege kwenye likizo na akirudi nyumbani baada ya siku mbili za kuwa kazi. Nikamtolea ushuhuda wangu na kumuliza kama angekufa, angekuwa nao uhakika wa mbinguni? Akasema anaamini katika Mungu na bila shaka alitumaini kuwa hilo lilituliza suala hilo.

― naweza kuchukua muda nikuonyeshe jinsi unaweza kujua kwa hakika?‖ Alikuwa na furaha sana kwa mimi kufanya hivyo na ndani ya dakika chache akampokea Kristo. Ilikuwa ni safari fupi ya ndege na nilikuwa nayo mambo kadhaa yaliyotaka sana mawazo yangu. Karibu niache kushughulika na hatua mbili za mwisho — kupeana uhakika na kuhimiza juu ya kukiri mbele za umma. Nikaamua kuwa ukuaji

wake wa kiroho na utiifu wangu kwa Agizo Kuu yalikuwa ya umuhimu kuliko kazi kwa ivyo nikazitumia dakika zingine kadhaa nikizipitia hatua hizo. Akawa na furaha kubwa, na kwa kuwa kanisa ambalo nilikuwa nihubiri siku ilyofuatia lilikuwa maili 30 kutoka Greensboro, nikamhimiza aufanye uamuzi wake wazi mble za umma katika ambalo kawaida huwa anahudhuria. Akaahidi kufanya hivyo. Kwa muda wa dakika chache ndege yetu ikatua na tukatengana. Siku iliyofuatia iliona ufunguzi mkubwa sana wa mkutano katika kanisa. Baada ya ibada ya asubuhi mchungaji, mke wake, na mimi tukaendesha gari hadi Greensboro ili kula chakula cha mchana. Pale nikasikia kuguzwa kwenye bega langu na nikashangaa kumwona Yule mwanamke kijana niliyekuwa naye siku iliyokuwa imepita akiwa na kicheko kuu.

Sababu ya Yerusalemu

Alikuwa amevalia mavazi ya ― twende mkutano wa

Jumapili na alinitaka nikutane na baadhi ya marafiki zake.

Nikafanya hivyo na kuwa na nafasi ya furaha ya kusikia

akiishiriki imani yake pamoja na marafiki waliokuwa

wamemwona akifanya ungamo la Kristo mbele za umma

katika kanisa lao. Niliondoka kwenye chakula cha mchana nikiwa nimeshawishika zaidi ya sana juu ya umuhimu wa kumfuatilia muumini wako inavyostahili.

Alikuwa mwendo wa mbali Nikiwa kati ya safari za ndege kule uwanjani mwa kwenye kituo cha Detroit, nilipiga simu kumuita mfanya biashara tuliejuana wa zamani katika Grand Rapids. Katibu wake akajibu, kisha yeye akawa kwenye simu na baada ya dakika kadhaa tukaufanya tena upya urafiki wetu. Baada ya muda wa kusemezana jambo na jinsi imepita muda, nikamwambia alikuwa moyoni mwangu jioni iliyokuwa imepita na yakwamba nilikuwa nimemwombea. Kisha nikamwomba anikubalie dakika 15 za muda wake, nikisema lilikuwa jambo la muhimu sana lakini ikiwa hakuwa nao muda sasa, nigempigia simu tena baadaye. Akanihakikishia yakwamba kama lilikuwa la muhimu sana hivi kwangu, bila shaka angekuwa nao wakati wa kuzungumza sasa hivi. Nikaifungua Bibilia yangu pale katika ukanda wa uwanja wa ndege na kuanza kuishiriki Injili. Ningeweza kusikia alikuwa anajibu kwa njia chanya na hatimaye nikamwongoza kwake Bwana. Singeweza kujizuia ila kufikiri kuwa hii ndiyo iliyokuwa njia bora zaidi ya utumizi wa AT&T! Baada ya kumpa uhakika wa waokovu na kumwekea msingi wa imani ameipata mpya, nikachukua safari ya ndege yangu ya pili.

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Katika mingi ya mikutano yetu huwa niutenga wakati moja maalum kwa umuhimu kwa Wakristo kuweza kupondeka juu ya waliopotea — wawaone marafiki, majaa, majirani na wengine wao wakimpokea Kristo. Daima huwa ninawahimiza watengeneze nakala ya watu ambao Mungu amewawekea moyoni. Kwa kweli, kawaida huwa ninachukua dakika tatu au nne kwenye mwisho wa ibada ili waweze kuyaandika haya majina. Kila mara nimepata kuuona huu ukiwa muda wa faida sana. Lakini haitakiwi kukomea hapo. Katika wiki na miezi baada ya kampeni, hawa watu lazima wafanye kazi ya kuwaleta hawa wenye majina kwake Kristo. Huyu mfanya biashara alikuwa kwenye nakala yangu na katika kesi yake, uhalisi wa umbali ulitofautishwa na kupigiwa kwa simu tu. Hii inaleta hatua inayohusiana. Mara kwa mara huwa ninakutana na ushuhuda wa wokovu ambao ni wa kuchekesha na bado wa kufundishia. Mwanamke akipitia kwenye program yetu ya Operesheni Twende walikwenda nyumbani kutoka kwa kipindi cha mafundisho na kumuuliza mume wake kama angefanya mazoezi ya mpango wa uvuvi wa nafsi naye. Mume alikuwa tayari kusaidia na akakuwa ― mtarajiwa.‖ Siku iliyofuatia alikuwa kazini akizungumza na kitengo kimoja cha ofisi zake kule Richmond. Alimjua katibu wa pale vyema kabisa na ilikuwa ni kawaida kwa katibu kutoa maoni wakati wa mazungumzo, ― Kuna jambo linalokosekana maishani mwangu.‖ ― Ninajua ni nini,‖ akajibu. ― Unamhitaji Yesu Kristo

maishani mwako. Hebu nikuambie jinsi unavyoweza

kumpokea.‖ Akamkumbuka mke wake akimshughulikia siku

iliyokuwa imepita na akaanza kutoka hatua ya kwanza. Hata hivyo, yote angeweza kukumbuka ni hatua za kwanza tatu!

Akasema atampigia simu tena asubuhi. Akaenda nyumbani

Sababu ya Yerusalemu

Na kuziandika hatua zote 13 na kuzifanyia mazoezi. Siku iliyofuatia akamwita katibu tena na kumwongoza kwake Kristo kupitia kwa simu! Hiyo Jumapili akahudhuria kanisa nzuri linahubiri Bibilia na akatokea mbele wakati wa mwisho wa ibada.

Alikuwa kwenye kiwanda cha dobi Hata mwinjilisti inabidi azifue nguo zake aagalau mara moja kwa wiki! Kwa hivyo wakati wa kampeni ya siku sita kule Ohio, niliamua siku ya Jumanne kuuifanya hiyo safari ya mara moja kwa wiki kwenye kiwanda cha dobi.

Kwa kawaida huwa ninaziwacha nguo katka mashini ya kufulia au ya kukausha na kurudi wakati zimemaliza, lakini kwa siku hii nikaamua kuendelea na kusoma kwangu. Nilikuwa nimeanza tu wakati mwanamume kijana alipoingia na kuanzana na mzigo wa manguo. Mara moja nikawa na hamu ya kumvua kwa Kristo, lakini sikuwa na hakika jinsi ya kuanza. Tabia yangu ni kuutumia mpango sawa ila kwa tofauti chache tu kidogo, lakini huwa kila mara huwa natafuta patano moja. Kasha nikafikiri, ― Ni nini liwezalo kuwa la asili kama kuuliza eneo ilipo mashini ya kukausha? ‖ Nikamkaribia na kumuliza, ― Je unaishi katika eneo hili? ‖ ― Ndiyo.‖ Nikamwambia sikuwa wa mjini humo na nilihitaji kujua eneo la mashini ya kukausha iliyo karibu. Akanipa maelekezi ya wazi, lakini nikazidi kuuliza maswali mengi kuhusu mabarabara tulipozidi kuendelea. (Nimegundua hii kuwa ni njia bora ya – kuvunja kimya kati ya mtu).

Kasha nikazungumzia juu ya mkutano niliokuwa ninauongoza na kumwalika aje kanisani. Akaanza kunielezea kuhusu kanisa ambalo yeye ni mshiriki nami nikamjibu jinsi ilivyo vizuri kwenda kanisani.

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

on how good it was to go to church. Pili nikamuliza kuhusu asili yake ya kanisa.

― Mbaptisti, ‖ akanijibu. Nikafuatilia kwa ushuhuda wangu na kukaa kwenye mpango. Katika muda mfupi akakiinamisha kichwa chake na kumpokea Kristo. Kwa sote wawili tulikuwa na muda wa kutosha kabla nguo zetu kuwa tayari, nilikuwa na nafasi kubwa ya kuwekea msingi na kumpa uhakika wa waokovu. Kukutana na huyu jamaa kulitilia nguvu imani yangu kuwa Wakristo wengi huzikosa fursa nyingi za kuwavua watu kwake Kristo katika maeneo ya umma na na yasiyo ya kawaida. Na ili ujue, kwa kweli nilihitaji sana maelekezi kwenye mashini ya kukausha!

Alikuwa mgeni Ni mara ngapi wewe umekwenda kumtembelea mtarajiwa na kupata kuwa kuna wageni katika nyumba? Wakati mwingine ni washiriki wa familia kutoka nje ya jimbo au marafiki tu waliokuja kutembea saa za jioni. Hili linauwezo wa hali isiyo stadi na tulivu. Kwa sababu yetu ya kukosa maandalizi tunaondoka nyumbani mle tukiwa tumeipoteza fursa nzuri ya kuishiriki Injili. Kumbuka: Mungu hapatwi na ajali. hawa watu ni wa umuhimu — wote wenyeji na wageni. Ikiwa wakati huo haufai — ikiwa wamo katika kukula chakula, kwa mfano — omba radhi na ufanye makubaliano ya kurudi tena baadaye. Wakati mwingi wageni wametembea tu na muda si muda, mvuvi wa nafsi mwenye uzoefu hatajiunga tu nao lakini pia atayageuza mazungumzo yaelekee kwa masuala ya kiroho. Naye atafanya hivyo bila kumwaibisha mtu yeyote.

Sababu ya Yerusalemu

Wakati nikiwa ninauongoza kampeni katika kanisa kubwa kule Massachusetts, mchungaji pamoja nami tulitumia Jumamosi moja tukivua nafsi. Akauliza kama anaweza kuitembelea nyumba ambamo alikuwa mwenyewe amemvua mke na watoto lakini mume bado alikuwa anauhitaji wokovu.

Wakati tulipofika, mara moja tukakaribishwa ndani, lakini tukamkosa mume kwa dakika 30. Hata hivyo, mke alikuwa na mgeni kutoka Maine kusini ambaye alikuwa amekuja kutembea pamoja na vijana wake wawili. Ilikuwa ni alasiri yenye joto na tuliketi kwenye meza tukinywa chai na kuongea kuhusu kanisa, yale ambayo Mungu alikuwa ameyafanya maishani mwetu, na what God had done in our lives, na mengine yenye masrahi ya kiroho.

Nikamgeukia yule mwanamke aliyekuwa ametembea na kumuliza ni kanisa gani alilokuwa amelelewa. Alikuwa amelelewa Mkatoliki lakini alikuwa amejiunga na kanisa la Kipentekoste. Sababu yake? Alikuwa amapoteza ujasiri wake katika kanisa la Katoliki na ukuhani kwa jumla.

― Hebu nichukue dakika na nishiriki nawe kile

kilichotendeka katika maisha yangu,‖ nikasema, na nikafuatisha ushuhuda wangu na swali langu la msingi kuhusu mbinguni. Akasema hakujua kwa hakika, na tulipoongea zaidi, akaomba na wote watatu wakaja kwa ke Bwana. Mwanamke wa ile nyumba alijawa na machozi, akiufurahia wokovu wa marafiki zake na kutuambia amekuwa akiwaombea kwa miaka mingi.

Kwa lile ambalo kwa kawaida lingekuwa matembezi ambapo mvuvi mwingine wa nafsi angejiomba radhi kwa sababu mtu mwingine alikuwa amekuja kutembea, sisi tulikuwa na fursa ya kuzivua nafsi tatu. Kuitembelea nyumba ya mtarajiwa ambapo wageni tayari wamo hukupa

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

wewe nafasi nzuri ya kuikkabidhi Injili kwa watu kadhaa kwa wakati mmoja. Hili halizindishi tu nafasi ya kuikabidhi Injili lakni pia linazidisha uwezekano wa kuwavua wengi zaidi kwake Bwana. Na hujui kamwe kama hawa watu watawahi kuisikia Injili tena.

Alikuwa anangojea hisia Ni mara ngapi umelisikia jibu hili kutoka kwa mtarajiwa? ― Najua nahitaji kuokoka, lakini sina hisia.‖ Wakati ninapowashauri wavuvi wa nafsi, huwa ninajaribu kuwekeza dhana nne kuhusu hisia.

1. Fahamu kuwa hisia kila mara hufuatia matendo. Bila kujali hatua ni ipi, hisia zinazoandamana kila mara hufuatilia na wala kamwe haitangulii. Wakati tunapokubali kuwa tunatakiwa kulifanya jambo ambalo limepuuzwa, na kisha kuchukua hatua juu yake, huwa pana hisia nzuri inayofuatia. Lakini tunatenda kwanza.

2. Hisia za kila mtu zitatofautiana juu ya tendo lilo. Na kwa sababu hakuna watu wawili wanaweza kuwa na hisia sawa, si jambo la busara kutarajia hisia fulani. Tunapaswa tu kutaka kufanya jambo lililo nzuri (kuokoka) bila ya kujali ni hisia ipi tutakayoipata.

3. Ni muhimu kutambua kuwa matarajio ya mmoja

juu ya tukio hilo huwa ni ya ukuu zaidi kuliko hisia halisi iliyopatikana. Pengine likizo yako ya mwisho ilikuwa na hamu lakini haikuleta kwa

Sababu ya Yerusalemu

maisha matarjio hayo. Mtarajiwa anayeahirisha wokovu kwa kutarajia hisia — pengine kwa sababu ya uzoefu wa mtu mwingine — tayari ametilia chumvi hisia za ukweli na kuweka mbali uamuzi ulio wa muhimu.

4. Jambo lililo la muhimu sana katika maisha ni kutenda lililo la kweli na sio kutafuta hisia itakayofuata au ikose kufuata. Motisha wa maisha kamwe haupaswi kujengwa juu ya matarajio ya hisia.

Nakumbuka nikimtembelea mtu ambaye alikuwa kwa orodha kadhaa za watu za maombi. Nikaupitia mpango wangu hatua-kwa-hatua. Hakusikiza tu bali pia alishirikiana kabisa. Wakati nilipomuliza akiinamishe kichwa chake na ampokee Kristo akasema, ― Najua natakiwa kufanya hivi lakini sinazo hisia.‖

Wakati huo, ijapokuwa vichwa vyetu vilikuwa vimeinamishwa, nikauweka mkono wangu begani mwake na kusema, ― Nitazame kwa muda na hebu nikuelezee mambo machache kuhusu hisia ambayo ni ya muhimu sana kwa wewe kufahamu.‖ Kwa makini nikamfundisha kanuni nne zilizomo hapa juu, na niliweza kuona anazifahamu.

― Hebu tuviinamishe vichwa vyetu tena,‖ Nikarudia na kuanza kwenye hatua ile ile na kuliuliza swali lilelile. Nikamkumbusha kuwa ni matendo — lililo jambo la kweli kufanya. Hisia haikuwa ya muhimu lakini tendo lake litaleta msamaha wa dhambi na wokovu.

Alisita kwa muda na kasha akasema anamtaka Kristo awe Mwokozi wake. Ilikuwa ni furaha iliyoje ya kumwongoza kwake Kristo na kumsikia akinieleza yakuwa alihisi vyema na pia amefahamu ni jambo nzuri kulifanya bila ya kujali alihisi

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

namna gani. Rafiki, mshauri mtarajiwa wako alifanye jambo lililo nzuri kwa sababu Mungu aliamuru yeye alifanye. Mungu kila mara ataishughulikia baraka ikiwa tutayafanya yaliyo mazuri.

Alikuwa kwenye matembezi Mmoja wa washiriki wa kanisa letu alimleta Tim kama mgeni wa mara ya kwanza aone matembezi yalihusu nini. Tulikuwa karibu watu 100 jioni hiyo ya Alhamisi na tulikwenda wawili-kwa-wawili. Nikarudi karibu saa 9:15 na nikataka kufuatilia mtazamo wake Tim. Nikamuliza rafiki yangu jinsi jioni hiyo imekwenda.

― nimekuwa vizuri. Tumekwenda kwa nyumba kadhaa amabapo hapkuwa na yeyote, na kasha kwa zingine kadhaa ambapo watu aidha waliokoka au hawakunikubali niikabidhi Injili. Nilitumai kuwa Tim angekuwa na fursa ya kuniona nikimshughulikia mtu. Kuwa kamwe sikuwa nimekutana naye Tim, nikaamua kufanya zoezi kwa lile huwa ninalifunza kila mara kuhusiana na uvuvi wa nafsi: Kamwe usidhanie kuwa mtu ameokoka. Nikamuliza kuhusu asili yake ya kanisa na wokovu wake. Muda si muda tukatambua hali ya nafsi yake na mara moja kumwongoza kupitia kwa mpango na kwa Mwokozi. Baadaye rafiki yangu akanivuta kando. ― Muhubiri, nimejifunza somo la muhimu sana usiku wa leo.‖ Akamuliza Tim amsamehe kwa kukosa kuhakikisha juu ya wokovu wake, lakini Tim alikuwa nayo furaha na kushukuru yakwamba rafiki yake alijali vyakutosha hata kumleta kanisani! Somo kwa kila mmoja wetu? Kamwe usiudhanie wokovu wa watu tu kwa sababu ya hali ya mazingira yao wakati huo.

Sababu ya Yerusalemu

Walikuwa kwenye mlango Kakake Sue aliniuliza kama naweza kumtembelea Sue na nijaribu kumpa Injili kwa vyovyote. Akaongeza, ― Yeye kamwe huwa hamrusu yeyote nyumbani mwake. Ni mgumu sana kwa dini na kwa Injili.‖ nilifanya kile ambacho wengi wetu hufanya — nilijaribu kutafuta sababu ya kutokwenda au kumpitisha kwa mtu mwingine. Mwishowe nikajitoa kwenda.

Alhamisi, mwenzangu pamoja nami tukafika mle

nyumbani na kuomba. ― na hebu tuwe wa kweli naye,‖

mwenzangu akaniambia. Tukabisha na kushangazwa na

uharaka aliofungua mlango nao. Nikajitambulisha na

kusema, ― Sue, ndugu yako alituuliza tupitie hapa

tukutembelee. Tumetoka (jina la kanisa na eneo lake)

na tunajua umeapa kutomruhusu yeyote ndani. Lakini,

kwa kweli, tupo hapa kwa sababu tunampenda Bwana

na tunakupenda. Kwa dhati, tungetaka kutumia dakika

chache pamoja nawe na kushiriki mambo machache

kutoka kwa Bibilia yale tunayaona yanaweza kusaidia

na yenye furaha kwako ukiyajua. Tunaweza fikia

muafaka?

Usituruhusu ndani, lakini hebu tuzungumze nawe kwa dakika chache hapa hapa tu mlangoni.‖ Akakubalia niendelee na mpango wangu. Niliweza kuona alikuwa na hamu kweli na nikapunguza mwendo kiasi ili kumwezesha kuelewa. Hata pia aliuliza maswali machache. Baada ya muda akakiinamisha kichwa chake na kumpokea Bwana. Mara tu akatualika ndani. Nikapinga. – Sue, sisi kwa

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

hakika hatutaki kukudhulumu.‖

― Njooni ndani, hamna shida. Niliktumia karibu dakika 30 nikimpa uhakika wa wokovu na kumweka katika msingi wa imani. Siku nne baadaye ikawa ni Baraka kuu kumwona yeye kanisani na akija mbele ya madhabahu. Ni vizuri kila wakati kuingia katika nyumba kabla kumshughulikia mtu kuhusu haja yao ya Kristo, na kwa kawaida baada ya dakika ya kujitambulisha pale mlangoni na tajo fupi la yakuwa mnatembea kutoka kwa kanisa, watu wengi watawakaribisha ndani. Haikuwa hivyo na hali yake Sue…au na Tom… Nilikuwa nimepewa jina lake na mshiriki wa kanisa ambaye alikuwa na mzigo wa wokovu wake. Baada ya kuipata nyumba, nikabisha kwa sauti na vizuri. Mwanamume wa umri wa kadri akaufungua mlango. ― Naweza kukusaidia? ‖ Akauliza kwa ukali. ― Mimi ni Daudi Wood na huyu ni mwenzangu. Tunatembea kutoka kwa kanisa la Harbor Baptist. Unajua hilo liko wapi? ‖ ― Hapana.‖ Kabla ajibu kwa neno linguine, nikamwongoza barabara kwa barabara na kumalizia na, ― Tom, rafiki yako (jina) alituuliza tupitie hapa na tukupe maelezo machache kuhusu kanisa. Tulikuwa kwenye eneo hili na nikasimama kwa ajili hiyo.‖ Kikomo changu kilikuwa cha makusudi na kifupi kwa tumaini kuwa angetukaribisha ndani. Hakufanya hivyo. ― Tom, tunaweza kuja ndani na kukaa nawe kwa dakika? ‖ ― Tuna kanisa letu na niko na shughuli usiku huu.‖

Sababu ya Yerusalemu

― Bila shaka ninaelewa hilo na hivyo nitasimama tu hapa na nikupe maelezo machache yakutazama kwa wakati mwingine.‖ Nikatoa broshua ya kanisa na kipeperushi kutoka mfukoni mwangu na kumpitishia. ― Hiyo ni sawa? ‖ ― Ndiyo.‖

― Tom, asili yako ya kanisa ni gani? ‖ Kisha nikauanza mpango wangu. Nikamtolea ushuhuda wangu na kuongoza kwa swali la kama yeye anao uhakika wa wokovu.

― La.‖

Nikamuliza kama naweza kumwonyesha, na nilipokuwa ninauliza nikawa nalitoa Agano langu Jipya.

― Sawa sawa.‖

Katika dakika chache hakuwa tu ameokoka lakini akakatiza maongeo yangu juu ya uhakika ili kutukaribisha ndani! Kasha tukakutana na mke wake mpendwa na kumwongoza kwake Kristo. Wote wawili walikuja kanisani Jumapili na kutembea kwenye madhabahu.

Walikuwa sehemu ya mwaliko Mojawapo wa nafasi nzuri ya kuona nafsi zenye thani zikivuliwa kwake Kristo ni wakati wa mwaliko kwa Injili katika kanisa nzuri, linalohubiri-Bibilia na livualo nafsi. Lifikirie hili. Watu huja kanisani ili wasikie kutoka kwa Mungu, muhubiri amehubiri kwa uaminifu chini ya nguvu zake Roho Mtakatifu, watu wameinamisha vichwa vyao ili kuomba, na mioyo yao imeshughulikiwa naye Roho Mtakatifu. Hakuwezi kuwa na hali nyingine bora kuliko hii ya watu kuokolewa.

Kwa kweli, nafikiri watu wengi wanataka kuokoka lakini hawana wengine pale wa kuwasaidia. Kwa sababu fulani, hii ni fursa inayokosa kuonwa na Wakristo ambao kwa ukweli huwa wanataka kuwaona watu wakiokoka.

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Je, kunayo njia nzuri ya kuwaendea watu na/au kwenda nao mbele wakati wa mwaliko? Bila shaka. Ni wazo nzuri kuwaweka kimpango wavuvi wakomavu wa nafsi kotekote kati ya kusanyiko la kanisa. Wakati mwaliko unatolewa, wanaweza kuwaona na kuwaendea watarjiwa walio karibu, pengine kuwaguza begani na kusema, ― nitaenda nawe mbele na kusimama kando yako.‖ labda kumvuta mkono kwa upole inweza kuwa himizo la kuwaongoza mbele kwenye madhabahu. Kama mtu atakataa, wacha wawe. Kamwe, usiwahi kuwaiibisha, ijapokuwa kwa kweli naweza kusema kuwa katika mikutano yote ambayo mimi mwenyewe nilitoa mwito huu, hakuna mtu amewahi kuudhiwa. Kwa mkutano wa kufunga kule Maryland, tulikuwa na maamuzi 250, na nikawahimiza watu hawa waende kwa marafiki zao na jamaa na wafanye msimamo kwa ajili ya Mungu. Baada ya ibada nikawa na watu wawili wa kuvutia walionikujia. Mwanamume mmoja akaniambia kupitia kwa machozi, ― Mwanamkwe wangu ambaye nimekuwa nikimwombea kwa uaminifu miaka mitatu ameokoka usiku wa leo.‖ mwanamke akasema, ― Mamangu-mkwe aliye na umri wa miaka 82 amempokea Kristo usiku wa leo.‖ Yeye, pia, alikuwa analia kwa sababu amekuwa akimwombea mamake-mkwe kwa miaka 30! Watu wote wawili walikuja kwake Bwana kwa sababu wapendwa wao waliwakujia wakati wa mwaliko na kuwahimiza wakwende pale mbele.

Alikuwa katika mgahawa Wakati wowote niko katika mgahawa, kituo cha petrol, hoteli, au mahali sawa kama na pale pa umma, huwa kila wakati ninatafuta kile ninachokiita mlango ulio wazi. Onyesho la haja. Kauli inayoweka mazungumzo kwenye msingi wa kiroho.

Sababu ya Yerusalemu

Wakati ninapoupata mlango huo, ninaufungua wazi zaidi kwa kauli kama ile, ― Unajua, nimegundua kuwa jambo la ajabu ambalo mtu anaweza kulijua katika maisha ni kuwa atakwenda mbinguni wakati atakapokufa.‖ Wakati mwingine ninakuwa na ukakamavu zaidi wa kuwauliza ruhusa niwaonyeshe jinsi wanavyoweza kujua kwa hakika.

Kama nitapokea jibu chanya, ninawambia jiinsi hiyo. Ninaelezea kwa haraka sana ni nini inamanisha na kuokoka. Baadhi ya Wakristo wanasema kuwa hii si nzuri kwa sababu hauna muda wakuketi na kufanya kabidhio refu. Hata hivyo, wakati moyo umeandaliwa naye Roho Mtakatifu na mambo mengine yametendeka katika maisha ya huyo mtu, wanahitaji tu mtu wa kuwaelezea Injili.

Hatimaye, usiwe na hofu ya kuomba hadharani.

Ni wazi kwamba hutaki hutaki kumwaibisha mtu unayemshughulikia, lakini unaweza kuinamisha kichwa chako na kuwaongoza kwake Bwana. Nilikuwa kule Pontiac, Michigan Holiday Inn nikila kiamsha kinywa na kukisoma kitabu wakati mvulana wa buss alipoingia na kutembea kwenye meza yangu na kusimama karibu sana. Alikuwa akisoma taji la jarida. Nikasongeza kitabu karibu naye na kusema, ― hakika ni vizuri kuwa baadhi ya watu huandika mambo kuhusiana na Mungu, mbinguni, na jinsi maisha yetu yanaweza kuwa sawa, si ndivyo? ‖

― Kwa hakika, ndiyo.‖

― Huwa unahamu katika mambo ya kiroho? ‖

Akasema yeye ni mwanafunzi wa chuo akifanya kazi kupitia shule na amekuwa akiwa na mawazo mengi hivi karibuni kuhusu uhusiano wake na Mungu. Nikamuliza asimame kando pamoja nami na nichukue muda nimwambie jinsi anavyoweza kujua mambo kweli yako sawa kati yake na Mungu. Nikamw -

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

ongoza kupitia Njia ya Warumi na kumuliza kama ingekuwa sawa kuviinnamisha vichwa vetu kwa muda, na kumhakikishia kuwa sitamwaibisha. Akaomba na kumpokea Kristo na akakosa maneno tosha ya kunishukuru — kwa kumjali na uenye busara wangu.

Alikuwa kwenye nyumba ya mazishi Nyingine ya nafasi kubwa Wakristo walio nayo ya kuwavua wapendwa wao na marafiki kwake Kristo ni wakati wao wako nyeti kwa kifo, dhambi, au matatizo. Wakati mwingine tunakuwa nayo haya, kwa kufikiria kuwa tukishuhudia wakati kama huu hatuko na heshima au tunachukulia faida isiyo ya haki kwa hali hiyo. Hali si hiyo. Mara nyingi familia nzima ina vuliwa kwa sababu ya kifo cha mpendwa wao. Miaka iliyopita, mwanamke alimpokea Kristo chini ya mahubiri yangu. Alikuwa mwaminifu sana na kutembea naye Bwana. Ijapokuwa mume wake alimtendea wema ila tu hakutaka lolote na Mungu. Kwa kweli, katika miaka miwili alikuja kanisani mara moja tu — katika Sikukuu ya Mama. Nilimtembelea mara kadhaa na kumshuhudia lakini bila ya jibu. Hata hivyo, tuliweza kujuana vyema na kila mara alikuwa mzuri. ― Mhubiri, ‖ angesema, ― Siko tayari, sio kwa sasa. Hili silo langu.‖ Kasha nikapata neno baba yake amefariki. Nikagundua babake alikuwa mshiriki wa kanisa na pengine ameokoka. Mazishi yalikuwa umbali wa maili 70. Usiku kabla ya ibada nikakwenda mpaka kwenye nyumba ya mazishi nikijua familia ingetembea hapo jioni hiyo. Katika dakika chache, Bob akatembea ndani pamoja na familia, machozi machoni mwake, na akasimama mbele ya jeneza. Nikatembea kwake

Sababu ya Yerusalemu

na kuuweka mkono wangu begani mwake katika kumtuliza. Akanishukuru kwa kuja.

― Bob, nimefahamu babako alikuwa ameokoka, hiyo ni kweli? ― Ndiyo.‖

― Itakuwa sawa ikiwa tutaketi chini kwa dakika na

nikuonyeshe kutoka kwa Bibilia kinachotendeka wakati mtu ambaye ameokoka anapokufa? ‖

― Unaweza? ‖

Nafasi hainikubalii kuziandika ahadi za thamani na za ajabu nilizozishiriki naye Bob. Nilihakikisha pia ameelewa kwamba kuna mahali pengine ambapo watu ambao wamepotea hukaa milele yote wakati wanakufa. ― Bob, hii ndiyo ni kwamba ni muhimu umpokee Kristo. Kama

kamwe utamwona baba yako tena, itakuwa iwe ni mbinguni.‖

Akalia kwa kimya. Nikaichukua Bibilia yangu na mara nyingine

nikaishiriki Injili. Mara hii tukaviinamisha vichwa vyetu na

akaweza kuokoka…na washiriki wawili wa familia yake. Nilikuwa

karibu kupepea zile maili 70 nikirudi nyumbani! Bob alikuja

kanisani, akabatizwa, na akaanza kukua katika mambo yake

Mungu.

Alikuwa anaitazama televisheni Swali ninalorudiliwa sana na wavuvi wa nafsi ni hili, ― wakati ninapoingia katika nyumba, nitafanyaje ili televisheni iweze kuzimwa?‖ Rafiki, wakati mwingine unaweza na wakati mwingine hauwezi kwa hivyo uwe umejiandaa kwa njia yoyote hiyo na ufanye ubora wako wote chini ya hali hizo. Katika tukio moja la hivi karibuni kwa ukweli nilipatana na hali hizi zote mbili.

Jerry alitembelea kanisa letu Jumapili na kadi yake ya mtarajiwa ikawa imemwandika kama Mlutherani. Wakati tulipomtembelea alikuwa msikivu sana na akatualika ndani.

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Televisheni ilikuwa imewakishwa, hivyo nikaketi mahali ambapo itambidi atazama mbali nayo hadi kwangu. Baada ya maongeo ya kawaida nikauanza mpango, ingawa televisheni ilikuwa inaudhi kidogo, nikaushiriki ushuhuda wangu na kumuliza kama akifa analo hakikisho la wokovu. Akajibu kuwa ni eneo la maisha yake ambalo kamwe hajawahi suluhisha. Kwa hatua hii nikauliza televisheni ipunguzwe. Watu wengi husema, ― Hapa wacha niizime. Jerry hakuizima. Alisema kuwa yumo katikati mwa kipindi chake akipendacho. Nikamuliza kama ingekuwa vyema ningoje kipindi hicho kikamilike. ― Oh, hapana, nitasikilza kwote.‖ Nilihisi hisia za Bwana za kuendelea kumshughulikia kana kwamba televisheni imezimwa. Nilipokuwa nikienda hatua-kwa-hatua, alizidi kuitazama televisheni kasha ananitazama. Alikuwa na hamu halisi ya Neno lake Mungu. Tukafikia kwa hatua ya kuviinamisha vichwa vyetu na hatimaye akasema, ― Mhubiri, nafikiri ni wakati wa kuizima televisheni.‖

Kwa moyo nikakubaliana na katika muda mfupi akampokea Kristo.

Alikuwa hospitalini Wakristo wengi hujihisi si stadi kuhusu kwenda katika hospitali, kumtembelea mgonjwa, na kujaribu kumwongoza kwake Bwana. Hata hivyo ni mojawapo wa nafasi zilizo kubwa kwa mvuvi wa nafsi. Hebu lifikirie. Wamesimamishwa kutoka kwa shughuli zao, tayari wamefikiria juu ya kifo na maisha ya milele, wako wazi kwa masomo ya Bibilia na maombi, na kwa kawaida watampokea mtu atakayekuwa na wakati wa kuwatembelea.

Sababu ya Yerusalemu

Ni wakati mzuri aje wa kuwatambulisha kwa Yule aliye suluhisho la kila tatizo lao? Hakika, hisia zetu za upungufu huja kutoka kwa mazingira. Baada ya yote, ni nani huwa ameridhika akiwa hospitalini? Kimsingi umeingilia tu bahari la uepe au kuweka na kama hautoselei katika moja ratiba tawala, utashuku kuwa kila mmoja anakutazama lakini utakuwa na furaha kuu wakati wa kuondoka! Niamini, haiwi hivyo. Hata wale walio kwenye mamlaka huwashukuru wengine wanowatambua kuwa rafiki kwa kuwatembelea. Wanatambua kuwa pia kwamba sehemu halisi ya kupona kimwili inahusisha mtazamo wa mgonjwa, ambayo kwa kawaida huimarishwa na wageni. Kwa athiri, hospitali ni moja ya uwanja rahisi wa mavuno kama tu tutauwendea kwa ujasiri.

Wakristo wanapaswa kuwa chanya na wachangamfu wakati wanatembelea hospitali. Ongea na watu. Chukua nafasi kuwatembelea wagonjwa wasio katika ajenda yako. Wapongeze wauguzi walio mamlakani. Hata kuwazungumzia wagonjwa walio katika kumbi yaweza kufungua milango ya uvuvi wa nafsi.

Kwa kawaida huwa ninafuata utaratibu huo. Ninaingia chumbani na kujitambulisha, na kasha natumia muda mchache kupata kumjua mgonjwa, kushiriki kujali kwangu juu ya maslahi yao.

Wakati ninapo watembelea marafiki katika hospitali huwa ninapenda mistari kadhaa na kuwa na neno fupi la maombi pamoja nao. Lakini kila mara huwa ninawauliza ruhusa na ni nadra sana yeyote kukataa. Ninaifungua Bibilia yangu kwenye Warumi na

kusema, ― Mistari nitakayoisoma inahusu suala la ajabu la jinsi mtu anaweza kujua kwa hakika anakwenda mbinguni wakati anapokufa.‖ Ninaendelea, kuwafanya waombe pamoja nami, na mara nyingi ninawaongoza kwake Kristo. Mpito huu ni wa asili na kutuza, na mara nyingi huwa nashangaa kama mtu hawezi kutembelea hospitali wakati wote na kuwavua watu kwa Kristo.

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Mchungaji wa kule Ohio aliniuliza nimtembelee baba ya mshirika wa kanisa aliyekuwa hospitalini. Alikuwa na msimamo wa asili ya Kikatoliki,watu kadhaa walikuwa wamejaribu kumshuhudia, na hakuna aliyefika kwa msingi wa kwanza katika mbinu zao. Nilikuwa nako kusitasita — sote huwa hivi: Huyu jamaa atakuwa mgumu. Kila mtu amejaribu, ni wema gani uliopo wa mimi kwenda? Lakini nikaenda. Mguu wake ulikuwa umekatwa chini ya goti na alikuwa anafanyishwa mazoezi ya ukarabati wa kimwili. Nikatumia muda mfupi kushiriki kujali kwangu na kasha nikauliza nisome Bibilia. Hakuna shida. Nilipokuwa ninapitia kwenye mpango, nikaliona chozi kubwa machoni mwake na Joe akaokaoka kwa uajabu. Mkutano wa usiku huo ulipata msukumo kwa njia ya ajabu kwa kuwa watu wa kanisa walikuwa wamemwmbea kwa muda sasa. Baadaye nilirudi tena kumwona Joe na nikampa kitabu cha kufuatilia. Mara moja akawampokevu, akizungumza nami na wengine kuhusu wokovu wake. Niliondoka hospitalini nikitaka kushiriki na wengi iwezekenavyo juu ya mlango mkubwa wa nafasi tuliofunguliwa katika mahospitali kote kote Marekani. Nilikuwa na mwanamke katika wadi ya faragha na pasia mapazia yamefungwa. Nikamwongoza kupitia kwa mpango na hadi kwake Bwana. Baada ya yeye kumpokea Kristo, sauti hafifu ikalia kutoka kwa kitanda kilchokuwa kinafuata, ― unaweza kuomba nami pia? ‖ Mwanamume huyu alikuwa anakufa kwa ajili ya saratani

na nikawa na fursa ya kumwongoza kwake Mwokozi.

Niliporudi wiki moja baadaye, nikapata amekufa.

Sababu ya Yerusalemu

Rafiki, uvuvi wa nafsi katika hospitali ni wa muhinu sana na wa kutuza. Tumia masaa kadhaa wiki hii kule na uone kama hutakubaliana.

Alikuwa akiondoka kwenye madhabahu Nilikuwa nimemaliza kuleta ujumbe wa wokovu kwa ajili ya ufunguzi wa mkutano wa hadhara. Watu wengi wakaitikia na kadhaa wakakuja wakiwa na hamu ya kumpokea Kristo. Mwanamume mmoja alikuwa amepondeka kiwango cha kutoa machozi. Baada ya mwaliko kukamilika na watu wakawa wameshughulikwa, mchungaji akaanza kuyasoma majina ya watu waliokuwa wamekuja mbele. Pakawa na muda wa kufurahia.

Nikaona jina moja limesomwa kwa ajili ya urejesho, na sio wokovu. Huwa ninaona hili kwa mikutano mingi na nikamweka mawazoni mwanamume huyu aliyetajwa. Baada ya ibada, nikakutana na mtu huyu na kumuliza, ― Je, ulimpokea Yesu kama Mwokozi wako leo? ‖

Akakiinamisha kichwa chake kidogo na kusema, ― Nahitaji kufanaya hivyo. Nataka kuwa Mkristo siku moja.‖ Nikaichukua Bibilia yangu na dakika chache baadaye

nikamwongoza kwake Kristo. Swali dhahiri ni, mbona

huyo mtu hakuongozwa kwa Yesu pale kwenye

madhabahu? Katika jibu kunakaa mojawapo wa udhaifu

uliyo mkuu sio tu katika uinjilisti bali pia katika ibada

nyingi za madhabahu yetu: Wafanya kazi waweza kidogo

kuwa wametishika na kijumla kumwacha mtarajiwa

aongoze badala yao kuongoza. Matokeo yake ni kuwa na

mtu aliyechanganyikiwa (asiyejua haja yake ya kiroho)

kwa kweli akimwambia mfanya kazi aliyefunzwa jinsi ya

kuifanya kazi yake.

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Mambo manne yafanyayo ibada ya mwaliko kuwa nzuri:

1. Mchungaji anautoa mwaliko.

2. Mwamkuaji (kwa kawaida mwanamume kwenye upembe

mwa chumba) ako makini kwa mtarajiwa ambaye ameitika kwa mwaliko na anajitoa kutembea hadi mbele pamoja naye.

3. Mvuvi wa nafsi amefunzwa kumpokea mtarajiwa kutoka

kwa mwamkuaji na kumwongoza hadi kwenye chumba cha faragha. Hii inamaanisha kuwa wavuvi wote wa nafsi huja mbele mara tu kifungu cha kwanza cha mwaliko kinapotolewa.

4. Katibu wa madhabahuni (mwanamke moja au wawili

wakiwa wameketi kwenye kiti cha mbele) hujaza maelezo kwenye kadi ya uamuzi baada ya mvuvi wa nafsi kumrejesha yule mtu na kuelezea uamuzi alioufanya.

Ni muhimu kwamba mvuvi wa nafsi kamwe asimulize mtarajiwa ni kwa nini amekuja. Mtarajiwa hajui haswa jinsi ya kujibu kwa hilo na mara nyingi atapeana jibu linalomfanya mvuvi wa nafsi afikirie yeye tayari ameokoka. Swali bora zaidi ni, ― Umekuja kumpokea Yesu Kristo kama Mwokozi wako — si ni kweli? ‖ Kufanya tu marekkebisho mepesi juu ya jinsi ya kumwamkua mtarajiwa inaweza kuleta tofauti kubwa mno katika kumshughulikia. Mvuvi wa nafsi hahitaji kumvua mtu Yule ni kama yeye yumo kwenye matembezi. Tabasamu tu na useme, ― Nimefurahi umekuja kumpokea Kristo.

Sababu ya Yerusalemu

Kuna mambo manne ambayo unahitaji kujua ili kuwa Mkristo.‖ Kwa hatua hii anaweza kurejelea za kwanza tatu: yeye ni mwenye dhambi, anakwenda kuzimu, na Yesu alilipa gharama ya dhambi. Kasha ufungue Bibilia yako kwa Warumi 10:13 na umwonyeshe haja yake ya kumpokea Kristo kibinafsi kama Mwokozi. Muinamishe vichwa vyenu kwa pamoja na umwongoze kwake Kristo.

Alikuwa kwa ziara yake ya 10 Hapo lilikuwa — tena. Kadi ya mtarajiwa iliyokuwa tayari imerekodi ziara tisa rasmi — mbili zikiwemo zangu — nab ado hakuna kuokoka. Nilibishana na mawazo ya kawaida: ― niliutoa usiku wangu ili nije kwa matembezi ya kanisa lote, ‖ ― Angalau napaswa kumpata mtarajiwa mpya, ― itafaidi nini kumtembelea mwanamume huyu tena? Pengine nitakuwa ninaupoteza wakati wangu.‖ Inasikia kawaida?

Baada ya ushirikiano na maombi kanisani, mwenzangu pamoja nami tukaondoka ili kumwona mwanamume huyu tena. Mara tu tulipoondoka mwenzangu akasema, ― Muhubiri, ninaweza kuwa hasi kidogo kumtembelea mtu kwa mara ya 10. Najua wewe sivyo. Hebu uniambie, ni mbinu gani utakayoitumia? ‖

― Kila mara utumie mpango ule ule, ‖ Nikamjibu, ―

tofauti tu ni kuwa, unatakiwa kuanza baada ya hatua ya kwanza au ya pili baada ya ufunguzi. Hutamchukulia kama mtu mgeni kabisa.‖ Dakika chache baadaye, tukaubisha mlango.

― Muhubiri, ninyi watu mmenitembelea zaidi ya vile mimi nimelitembelea kanisa! ‖ Nikatabasamu na kujibu, ― Inadhihirisha kuwa wewe ni mmoja wa watu wetu tuwapendao. Tunaweza kuingia ndani na kukutembelea kwa dakika? ‖ ― Ndiyo, lakini sina muda wa kuwa na mafunzo ya Bibilia.

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

― Joe, hebu nishiriki nawe jinsi nilivyofanyika Mkristo.‖ Alikuwa ameusikia ushuhuda wangu mara mbili hapo mbeleni, lakini nikafikiria kuwa hapo ni pahali pazuri pa kuanzia kuzungumza naye kuhusu haja yake ya Kristo. Baada ya kumpa ushuhuda wangu nikasema, ― Joe, ulishiriki nami hapo mbeleni ukweli kuwa hauna uhakika wa asilimia 100 kwamba ukifa utakwenda mbinguni. Hebu nichukue dakika moja nikuonyeshe jinsi unaweza kuwa na hakika.‖

― Sawa, mradi tu isiwe ni funzo refu la Bibilia.‖ Kwa utaratibu nikapitia kwenye Njia ya Warumi, nikihakikisha kuwa ameielewa kila hatua. Dakika chache baadaye tukaviinamisha vichwa vyetu na akaokoka! Niliondoka na kushiriki na mwenzangu wa uvuvi wa nafsi jinsi vile haiaminiki kuwa mtu ataweza kuisikiliza hadithi ile ile ya ajabu mara tena na tena na kuiitikia hiyo ni kama ilikuwa mara yake ya kwanza. Kisha nikakumbuka jinsi ambavyo Mungu amekuwa mvumilivu kwangu mimi hadi pale nilipompokea Mwana Wake mpendwa kama Mwokozi wangu. Kwa hivyo ushauri wangu ni, uwe wa kuendelea. Rudi tena hadi aitikie.kamwe usichokeshwe na mtu. Sio kuupoteza muda hata kama ni mara ya kumi.

Walikuwa wa jamaa Watu wa jamaa na marafiki wa karibu huwa mara nyingi ndiyo watarajiwa wangumu kuvua kwa Kristo, lakini hakuna Mkristo atakaye kuwa na mzigo wa waliopotea kama hapondeki juu ya wapendwa wake yeye mwenyewe. Mungu anataka waokoke na wanaweza kuvuliwa. Kwa kawaida huwa ninazifuata sheria nne:

1. Usiwadunishe juu ya dhambi yao. Kuwaambia kuwa hawapaswi kulewa, kuvuta sigara, n.k kutakuwa tu kujenga kizuizi kati yako na wao.

Sababu ya Yerusalemu

2. Waache wamwone Yesu katika wewe. Usijikwatue, lakini uishi kwa lile unalolikiri.

3. Watendee mambo mema. Wasaidie na uwatumikie.

4. Wavue jinsi tu kama vile wale watu wengine.

Nimekuwa nayo furaha ya kuwaongoza wapendwa wangu kadahaa kwake Mwokozi. Nakumbuka haswa wakati babu na nyanya wangu wapendwa walipookoka. Nilikuwa nao mzigo mkubwa juu yao hata kwamba nikaondoka kwenye chuo cha Bibilia mwishoni mwa wiki pamoja na mke wangu na kuendesha gari kwa masaa tisa ili tu kuzungumza nao kuhusu Mwokozi. Baada ya saa moja nyanyangu akasema, ― David, hakika ninyo furaha yakwamba umekuja.‖

― Nyanya, naweza kuchukua dakika chache na nikuambie sababu halisi ya mimi kuwa hapa? ‖ ― Bila shaka.‖ Nikawaambia wote wawili jinsi nilvyookoka na kuwauliza kama naweza kushiriki mistari kadhaa kutoka kwa Bibilia iliyonisaidia. Wakakubali. Dakika chache baadaye wakaviinamisha vichwa vyao, na katika machozi wote wakaokoka. Miaka chache baadaye nikahubiri kwa mazishi ya wao wote wawili. Ni furaha iliyoje kwangu kujua sasa hivi kuwa wako mbinguni pamoja na Mwokozi wao. Kama watu wale wengine, watu wa jamaa kwa kawaida wanamsubiri mtu aliye na mzigo na atakaye ushiriki mpango wa Injili tukufu.

Alikuwa kazini

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Wavuvi waengi wa nafsi wanaamini kuwavua wafanyakazi wenzao ni vingumu kuliko vile kuwashuhudia watu wageni. Wakristo wengine wanataka kuwavua watu lakini wanahisi kazini sio mahali panapotakiwa. Ni mahali pa ― umma sana‖ kuwa hawana ustadi na kuishia kujiaibisha au marafiki zao na kamwe huwa hawajaribu tena. Wengine wana wasiwasi kuhusu kuishi chini ya darubini. Wafanya kazi wenzetu wanatuona kila siku, na ikiwa hatuna uangalifu tunaweza kuharibu masaa mengi ya kuhubiri kwa dakika tu tano za tendo lisilofaa. Upande chanya ni kuwa kila wakati tunapoivua nafsi ya thamani mle kazini, huwa tunafanya iwe rahisi kuwavua wengine katika mazingira hayo hayo. Fikiria juu ya furaha uonapo maofisaa wako wote au kundi limeokoka na kuishi kwa ajili yake Bwana. Kuwavua marafiki pale kazini kunawezekana, lakini ni lazima kuenedwe kwa njia sahihi.

Yajaribu mapendekezo haya:

1. Daima kuwa mchangamfu na mwenye furaha. Usiyafanye

kuwa makuu matatizo yako. Hebu wengine waione furaha

yake Bwana na ushindi unaotokana kwa kumtumikia

Bwana.

2. Fanya sehemu ya kazi yako. Usiwe mvivu. Uwe wa msaada

na mwaminifu. Mkristo mzembe ni aibisho kwa jina lake

Kristo. Mheshimu mwajiri wako na mamlaka yake.

3. Jihadhari na kujiinua-kwa- haki. Mtazamo ― mimi ni bora

kuliko watu wengine ‖ au ― nafurahia mimi sio kama

wewe, utafukuza, na sio kuwavuta watu kwake Kristo. 4. Amua kuwa utawavua wengine kwa wakati wako, na wala

sio kwa wakati wa kampuni. Utumie wakati wako wa mapumziko, wakati wa chakula cha mchana, kabla au baada

Sababu ya Yerusalemu

ya kazi, au ufanye mpango wa kwenda kwake nyumbani. Kushuhudia wakati wa kazi kunaweza tafsiriwa na mwajiri wako kama kuuibia wakati, na ni mojawapo wa sababu waajiri huwa hawataki watu ― wakiongea dini mle kazini.

Rafiki mzuri alikuja kwangu, akiwa na mzigo kuhusu mtu katika ofisi yake. Nikampendekezea afuate hizo sheria nne lakini alikuwa bado anayoaibu kiasi. Kwa hivyo nikapanga tuwe na kiamsha kinywa sisi sote watatu kabla ya wakati wao ya kazi. Baada ya kukutana na kuagiza, nilfanya tamka nyepesi la ufunguzi. ― Joe, rafiki yako amekuwa akitaka kushiriki jambo nawe ambalo limeyageuza maisha yake. Je, hilo litakuwa sawa? ‖

― Sawa.‖

Kwa dakika, rafiki yangu Mkrsito mpendwa alisitasita na kugugumiza. Lakini akapena ushuhuda wake, akagawana Injili, na kumvua Joe kwake Kristo. Katika wiki kadhaa zilizofuatia, tisa kati ya marafiki zao kule kwa ofisi wakaokoka — wote kupitia kwa kiamsha kinywa.

Wazo la mwisho: Jaribu kushuhudia ukiwa peke yako ili rafiki zako wasihisi haya au hata kukukasirikia. Kila kazi na hali huwa ni tofauti, lakini kama tutaomba, fikiri, na kulifanyia kazi, tunaweza kuwa makini na pindi zifaazo kwa uvuvi wa nafsi. Nilikuwa nimemtembelea ofisini mwa mfanya biashara na wakati tulipokuwa tunazungumza, wanaume wawili wakakuja kumwona kuhusiana na bidhaa. Baada yao kuwa peke kwa muda wakarudi na yule rafiki wangu akasema, ― Daktari Wood, mwanamume huyu alifanyika Mkristo wiki mbili zimepita. Nikampongeza lakini nikatazama kuwa rafiki yake alikinamisha kichwa chake na kutazama kwenye sakafu.

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Hamu yangu ilikuwa mara moja nianze kushughulika naye kuhusu haja yake ya Kristo. Hata hivyo, nikaanza kumuliza Bwana anipe hekima ya kuweka wakati ambao ninaweza kuongea naye. Rafiki yangu alikwenda kwa ofisi nyingine kutafuta maelezo juu ya bidhaa waliokuja kuiona. Akamchukua Yule mgeni mwingine pamoja naye. Nikamgeukia Yule mwanamume ambaye hajaokoka na kumuliza kama tunaweza kuongea faraghani kwa muda mfupi wakati hao wengine walipokuwa wamekwenda kutafuta maelezo. Tukaingia kwenye ofisi iliyokuwa wazi na kuanza kuzungumza. Dakika chache baadaye, yeye naye pia, akaokoka Wakati mwingine Wakristo hushiriki nami yakwamba huwa wako peke yao mahali pao pa kazi. Jibu langu? vizuri! Ni mmoja tu anayehitajika. Hatimaye uinjilisti wote ni wa mmoja kwa mmoja, au ― kuvuliwa na mmoja.‖ Ninaye rafiki kule Indianapolis aliyewavua zaidi ya wafanyakazi-

weza 50 kwake Bwana wakati aliposajiliwa katika kipindi chetu

cha wiki 13 cha Operesheni Twende! Kwenye tukio moja, Paulo

alisikia kuna mtu aliyetoka kwenye jingo kwenda kujiua. Mara

moja Paulo akawauliza wafanya kazi wenzake waungane naye

katika maombi kwa mtu huyu. Alipokuwa anaomba, baadhi

waliinamisha vichwa vyao kwa heshima ilhali wengine

walitazama tu wanashangaa. Paulo alikuwa shahidi kwa wengi wa

watu hawa na walikuwa wamempa heshima sana. Kwa mshangao

wa kila mmoja, dakika chache baadaye, Yule mtu mwenye

mpango wa kujiua akarudi na kusema hakujua tu ageukie wapi.

Paulo akarukia ndani. ― Ninajua unachokihitaji.‖ Akamchukua

kando na kumwongoza kwake Kristo.

Kama rafiki Paul, una Nyanja ya ushawishi iwe ni nyumbani, shuleni, au kazini. Kwa kweli, kuna msingi-kisima katika nchi yetu ya kushuhudia pale

Sababu ya Yerusalemu

kazini — waume na wake wanaotumiwa na Mungu katika njia zisizoaminika, karibu kama mtindo wa Ukristo wa Kitabu cha Matendo. Hebu fikiria kama kila mfanyakazi Mkristo angeweka uamuzi wa kuinjilisha eneo lake la ushawishi. Kunaweza kuwa na ufufuo kwa mara moja na bila shaka kamwe usiweze kuwa na jambo lenye umuhimu la kuyawekeza maisha yako.

Walikuwa wamesema “la” Mtu yeyote anayefanya kazi ya uvuvi wa nafsi anajua sio kitambo sana kabla upokee jibu la hasi. Kwa kweli, hofu ya kusikia ― la, huwaweka Wakristo wengi wamanishao vyema kutoka kwa wapendwa wao na marafiki. Wanahofu watakosea: ― alikataa kwa sababu nilifanya jambo mbaya. Au, ― Mtu mwingine angeweza kumvua kwake Kristo.‖ hata, ― kwa sababu yangu atapotea milele.‖ Hebu niondoshe hizo hisia kabisa kwa kukuambia kuwa kila kabidhio hutoa ukweli wa Neno la Mungu chini ya uwezo wa Roho Mtakatifu. Wewe ni mjumbe. Unamwakilisha mtu mwingine — Mfalme ajaye. Ikiwa watamkataa, mapambano ya mtu Yule hayako nawe lakini na Mungu. Hujakosea kwa lolote.

Kwa kweli, kosa ambalo wavuvi wa nafsi wengi hufanya ni la kuingia kwa mabishano na mtarajiwa. ― Nitamlainisha ili angalau aweze kuusikia ukweli!‖ Yote hili lifanyalo ni kumzima kutoka kwa Injili, kanisa, Wakristo na muhimu zaidi kutoka kwa Mwokozi.

Wakati jibu hasi lijapo (na yaweza kuja kwa hatua yoyote katika kabidhio lako), weka tu hizi kweli katika mawazo:

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma 1. Mtarajiwa hakukatai wewe, lakini Mungu. Anaweza

kuwa mwema na mpokevu kama ninyi wawili mngekuwa mnajadiliana juu ya michezo au familia.

2. Kuna tofauti kati ya kuliinjilisti eneo na kuwavua

watu wote katika eneo hilo kwake Kristo.

Tunapaswa kulipeleka Neno nje kwa watu wote.

Hata kama hawataupokea ujumbe wetu, sisi bado

tutaikabidhi Injili katika uwazi na kwa nguvu zake

Roho Mtakatifu. Ni Mungu ambaye huleta

ongezeko.

3. Hapana kila mara huwa sio ― hapana. Wakati mwingi mtarajiwa atajibu kwa chanya ikiwa atapewa muda wa kuwaza kwa makini juu ya lile unalomuuliza alifanye. Itikio la upendo kwa jibu la ― hapana, kwa mara nyingi humsaidia mvuvi wa nafsi atakayerudi baadaye, au wewe. Wakati mtu anapolikataa Neno, ifunge tu Bibilia yako, umshukuru kwa kusikiliza, uwe mwema, na uondoke. Fanya kumkuko la hili na urudi tena na kujaribu kumvua.

Swali linalojitokeza hapa ni lile la kuendelea. Ninakubali kuwa ni msitari mwembamba, na nimefuatilia sheria rahisi kwa muda mwingi wa maisha yangu: Dundisha mpira mara tatu. Wakati mtarajiwa yu hasi katika hatua yoyote, hesabu hilo kama dundo la kwanza. Chukua hatua nyuma, tulia, na useme, ― Hili ndilo ninalomaanisha.‖Jibu lile lile? Midundo miwili. Uliza mara ya tatu. Bado ni hapana? Kisha funga ukabidhi wako, onyesha adabu, na umwache kwa ajili ya mvuvi wa nafsi atakayefuata.

Sababu ya Yerusalemu

Nilikuwa ninamshuhudia mtu kwenye ndege na kumuliza kama ninaweza kumwonyesha kutoka kwa Bibilia jinsi angejua anaenda mbinguni.

― Sina haja kwa hilo hivi sasa.‖ (Ruko moja). Tukazungumza kwa muda na nikasema, ― Sijaribu kufanya Mbatisti, Mmethodisti, au mshirika wa kanisa kutoka kwako. Ningetaka tu kukuonyesha jinsi ya kufanyika Mkristo.‖

Tena la. (Ruko la pili).

Nikamwambia kwa uzuri yakuwa ningependa kumwonyesha mistari minne rahisi iliyonisaidia mimi kujua kwa hakika kuhusu mbinguni na ni wapi nitaishi milele. Akakoma kwa hatua hii na kisha akasema niendelee. Baada ya dakika chache, akampokea Kristo. Wakati mmoja nilimtembelea mtu kule Michigan na nikaingia kwenye hatua 3 ya hatua zetu 13 za mpango wakati aliposema hapana.

― Sijaribu kufanya Mbaptisti kutoka kwako. Ningependa tu kushiriki nawe mistari kadhaa kutoka kwa Bibilia iliyonisaidia kujua kwa hakika kuwa ninaenda mbinguni.‖

― La.‖

― Roy, kila mmoja anapaswa awe nayo fursa ya kuelewa wazi kutoka kwa Bibilia ni nini maana ya kujua kwa hakika. Kwa nini usiniache nichukue muda na nikuonyeshe kutoka kwa Neno la Mungu?

― La, sio kwa wakati huu.‖

Nilikuwa nimempa nafasi tatu za kusema ndiyo. Kwa hatua hii nikaifunga Bibilia yangu na kuegemea nyuma, nikaongea kwa kawaida, nikamwalika kanisani, na kuondoka. Wiki moja baadaye, nikarejea kwa tembezi lingine. Hakuna chochote kilichofanyika. Wiki ya tatu? Matokeo hayo hayo. Kwenye tembezi la nne akasema, - Mhubiri, nadhania utaendelea kunitembelea hadi pale nitakapokuruhusu jambo

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

kutoka kwa hiyo Bibilia.‖ ― Ndiyo.‖

― Haya, endelea, nitasikiliza.‖ Kwa wakati huu nilikuwa nimejifanyizia rafiki na nikamwonyesha kutoka kwa Mandiko jinsi ya kuokoka. Dakika chache baadaye tukaomba pamoja na akampokea Kristo. ― La, haikuwi kila wakati ― la.‖ Katika ndege nilizungumza na mwanamume aliyekataa mara tatu. Nikamshukuru kwa muda wake na nilipokuwa naketi vyema kwenye kiti change, mwanamume aliyekuwa nyuma yangu aliponiuliza kama naweza kuchukua dakika nimwonyeshe. Bila shaka! Nikasongea nyuma kando yake na nikamwongoza kwake Bwana. Hilo halifanyiki kila mara, lakini unapopata ― La na uibebe kwa namna chanya kamwe hutajua itasababisha lipi. Kila mvuvi wa nafsi anapaswa awe na jibu la fikra ya kabla kwa kukataa kwa mtarajiwa kama sehemu ya mpango wake. Wakati wa matembezi ya hospitalini, nilikumbana na mwanamume aliyekuwa anasubiri upasuaji mkuu. Nikamuliza ampokee Kristo, lakini akakataa. Nikarudi hatua nyuma na kuuliza tena. ― Sikuulizi wewe uwe Mbaptisti au ujiunge na kanisa.‖ La.

― Keith, unausubiri upasuaji mkuu. Watu wanaomba uupite na upate tena nguvu zako, lakini hakuna yeyote ajuaye ikiwa tunayo dakika nyingine moja au siku. Kama tu vile daktari atakavyo yatunza mahitaji yako ya kimwili kwa ubora awezavyo, ninakuuliza tu umwache Yesu ayatunze mahitaji yako ya kiroho. atakuokoa, akusamehe dhambi yako, na akuandae kwa ajili ya mbinguni. Keith, kwa nini usimwache Bwana Yesu akuokoe sasa hivi? ‖

Sababu ya Yerusalemu

Akafanya. Keith kamwe hakuweza kutoka kwenye operesheni na leo yuko katika utukufu.

Walitatizwa Umeshawahi kuwa katikati ya mpango, mtarajiwa wako alikuwa anaamua kumpokea Kristo, na mume wake anaingia, mke wake au watotot wake? Kile kinachofanyika baadaye kinategemea nia yetu. Ikiwa

tutakasirishwa au kukuza roho ya manuguniko, pengine

tutampoteza Yule mtarajiwa na ushuhuda wetu. Ikiwa tutaona

aibu, kuwa unyonge, kuificha Bibilia yetu, na kuchomoka nje ya

mlango.

Mbona usilitazame kwa namna tofauti? Shetani kila mara atatuma vitatizo. Badala ya kuwa na wasiwasi au kukasirika, karibisha lile katizo kama nafasi ya kumvua mtu mwingine kwa Kristo. Simama na ukutane na yule mtu. Zungumza kwa upole na usiwe na aibu. Elezea kile unachokifanya. ― nimetoka tu kumuliza Sam swali lililo la muhimu sana: Ikiwa atakufa, amehakikishiwa mbinguni? Wakati umeingia, nilikuwa ninamwonyesha kutoka kwa Neno la Mungu jinsi anavyoweza kujua kwa hakika.‖

Kwa sasa muulize ajiunge nanyi. Anaweza au akose. Ikiwa atajiunga, kila mara rudilia kwenye mwanzo wa mpango wa Injili na uanze upya. Kurejelea hakutamdhuru Yule mtu uliyekuwa unamshughulikia. Katika njia hii unaweza ukawavua wote mtarajiwa na mwenye kuingilia.

Kule Grand Rapids, nilikuwa nimetembelea wanandoa wa mara yao ya kwanza na nikawa katika mpango wangu wakati kijana rafiki wa familia hii alipokuja kutembea. Nikamuliza mwenzangu kama anaweza kwenda kule nje na kutumia muda kukutana na huyu kijana mwanamume. Bila shaka nilimtaka

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

ajitahidi kumvua kwake Kristo. Dakika chache baadaye, wakaingia vijana wengine wawili wa familia kupitia mlango tofauti. Nikausitisha mpango na kuchukua dakika kuwajua hawa watu wachanga. Nikawalika wajiunge nasi na wakafanya hivyo. Wote wazazi na watoto wakampokea Kristo. Baada ya muda mfupi tukatoka nje na mwenzangu akawa amewakusanya vijana wengine watatu wa ujirani. Wote watatu walikuwa wamempokea Kristo! Wakati mwingine kule Michigan, nilikuwa ninamwongoza kijana wa kiume kupitia kwa mpango wa wokovu wakati babake aliingia ndani akiwa na mtazamo ― Ni nini huyu anafanya kuongea na mvulana wangu‖. Nikajitambulisha, nikazifuata hatua zilizo hapa juu, na nikawa na baba kujiunga nasi. Nikiwa tu nimeanza mama naye akaingia na nikafuata mtindo uleule na kumhusisha. Mara tu alipoketi, marafiki wawili wa Yule kijana wakabisha na kuingia ndani. Tena nikasitisha na kuwahusisha. Wakati nilipourejelea mpango ule wa wokovu kwa mara ya tatu Yule kijana wa mwanzo akasema, ― Angalao nimesikia vyakutosha sasa kuweza kuelewa! Katka muda mfupi waote watano wakampokea Kristo. Lile amabalo lingekuwa janga likawa baraka.

Walikuwa wanapinga Mojawapo wa sababu Wakristo wengi hawamkabidhi Kristo mara kwa mara ni kuwa na uoga wa msingi kuwa mtu atawauliza swali ambalo hawawezi kujibu. Tafadhali ufahamu kuwa kila mmoja anayo maswali na mambo kwenye akili zao. Kwa hivyo badala ya kukasirika, unda njia za kushulikia haya.

Sababu ya Yerusalemu

Shauri bora ni kujifunza kukaa kwenye mkondo. Weka kando swali hadi mwisho wa kukabidhi na uulize ruhusa la kuendelea na lile ambalo limeanzishwa. Nimeona kuwa njia kuu ya kujibu pingamizi kabla hata hazijaulizwa ni kufanya hivyo kwa uerevu kupitia kwa ushuhuda wako.

Wakati ninaposhiriki ushuhuda wangu na mtarajiwa na nifike mahali ambapo mtu aliniuliza kama ninajua kwa hakika ninaenda mbinguni, huwa ninamwambia msikilizaji wangu: ― kwanza, sikufikiria ilikuwa shughuli yake kuniuliza hilo swali. Pili, Two, kwa kweli sikujua kama mtu angejua kwa hakika. Na, tatu, kwa ukweli, nilikuwa mwerevu wakati nikiwa na umri wa miaka 19.‖

Hizo kauli tatu kwa kawaida huwa zinamvua mtarajiwa na kuondosha pingamizi. Kile umefanya ni kuondoa pingamizi yake ya kusitasita kuitikia na pia pingamizi zake. Ni lazima basi akuache uendelee au anakubali yeye ni mwerevu au anakuwa mjeuri. Katika hali halisi, umejipanga kwa upande wake. Anakuona kuwa wakati moja ulikuwa mahali alipo na sasa jambo la busara kwake yeye akusikilize.

Nilikuwa nakimbia maili kadhaa wakati niliwakuta vijana kadha wakicheza mpira wa kikapu kwenye uwanja wazi. Nikawauliza kama ninaweza kujiunga nao. Baada ya mchezo mgumu tukawa tumehema na tukataka kupumzika. Nikautumia wakati huu kuwauliza wao huhudhuria kanisa gani. Wachache wao wakajivuta na kushangaa huyu jamaa wa kidini atasema nini tena. Mara moja nikaingia kwa ushuhuda wangu na kusema, ― Hebuni niwambie nilifikiri nini kuhusu hilo wakati nilikuwa na umri wa miaka 19.‖ nikahusisha mambo matatu yaliyopo hapa juu. Dakika chache baadaye sisi sote tulikuwa kwa upande moja,

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

tukifahamu kuwa tunamhitaji mtu wa kutuonyesha ukweli wa Bibilia. Nikafuata kupitia kwa mpango na watatu wao wakampokea Kristo. Ni kawaida kwa watu kushuku kuwa mtu anaingilia na wao kuwa na gala la pingamizi. Kauli hizi tatu kwa kawaida zitaufunga mlango wa pingamizi.

Alikuwa wa dini Ilikuwa usiku sana kwenye duka na karani alikuwa peke yake. Nikamuliza maswali machache mepesi na akanitajia kuwa kwa kawaida yeye huifanya kazi ya shifti ya usiku. Nikamwambia sababu yangu kuwa mjini na kisha nikamuliza kuhusu asili yake ya kanisa. Alikuwa amelelewa Mbaptisti, lakini hakuwa amekwenda kanisani kwa muda mrefu. Kwa kumsikiliza, nikahisi kwamba hakuwa ameokoka na uwezekano kwamba alikuwa na tamaa ya kuwa wa dini lakini akawa hajui chochote kuhusu Mwokozi. Nikamtolea ushuhuda wangu na kumuliza kama alijua kwa hakika. ― Nadhani nitakwenda (mbinguni),‖ akajibu. ― Nimefanya lile ambalo Yesu anataka nilifanye ilikuwa Mkristo.‖ Badala ya kuchimbua zaidi na kunyosha matatizo yake, nikamuliza kama ingekuwa sawa sawa nikimuonyesha mistari kadha iliyonisaidia. Katika madakika akampokea Bwana. Wakati unapohisi kuwa mtu amepotea, hata kama watapeana majibu chanya, usijiingize kwa mgogoro wa maneno. Tazama uone kuwa sikumuliza karani kama nimuonyeshe jinsi ya kuwa na uhakika lakini kama ingekuwa sawa sawa nimuonyeshe mistari iliyo nisaidia mimi kujua kwa uhakika. Pia huwa ninajaribu kuweka sentesi zangu ili Yule mtu aone kuwa niliona kutoka kwa Bibilia kuwa hakuna jambo lolote ningejifanyia ili kujisaidia.

Sababu ya Yerusalemu

Hili linawaondolea wasiwasi na kukupa nafasi ya kuishiriki Injili kama vile wangekuwa wamekuliza jinsi ya kufanyika Mkristo.

Alikuwa kafiri Wakati watu wanadai kuwa wao ni kafiri, kamwe huwezi kujua kama wao ni wakanamungu, wanamageuko, au watu tu walio na shida ya kuiamini Bibilia. Kwa ujumla, huwa ninawainisha wasioamini katika vikundi viwili: wale walio wagumu, watofauti, wenye kuudhi na wale ambao wana nia ya dhati katika Injili lakini bali wana maeneo halisi ya kutoamini au maswali katika maisha yao.

Yote tuwezayo kufanya na kundi hili la kwanza ni kujaribu kuwa wakarimu zaidi na kuipeleka Injili kwao. Kama watakataa, uwaombee tu na kuikabidhi Injili kwa mtu mwingine. Lakini kwa kundi la pili unaweza kuikabidhi Injili na kuona nafsi zikija kwake Kristo. Kimsingi kuna nguvu za kiroho zinazowavuta wasioamini kwake Bwana, kuiponda mioyo yao, na kuwafanya waitike ikiwa wanataka kufanya hivyo. Kwanza ni za Neno la Mungu. Ya pili ni nguvu za Roho Mtakatifu. Kila mmoja wetu kama wavuvi wa nafsi ni lazima tukumbuke kwamba ni muhimu kuanzisha na kuendelesha wakilisho wazi la Injili kwa watu hawa.

Kawaida huwa ninaweka kando eneo la kutoamini la mtu Yule na kuwauliza kama wataniruhusu niwakabidhie Injili. Kwa kufanya hivi, ninajiepusha na mgongano au badilishano la falsafa ndefu isomfaidi yeyote. Huwa nataka kukabidhi kitu kimoja tu kiwezacho kuleta tofauti

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Neno lake Mungu. Baada ya kukabidhi kwa uwazi Injili, ninauvuta wavu juu ya asiyeamini kwa njia hiyo hiyo ninaweza kufanya na mtu mwingine. Nilikutana na kijana msomi wa kiume ambaye alikuwa anahudhuria kanisa kwa muda sasa. Alisikiza mahubiri na hata kuonyesha kujali kupitia kwa mtazamo wa uso wake. Hata hivyo, mchungaji na wengine wakaniambia juu ya kujitoa kwake ndani sana kwa mageuzi. Kwa sababu hiyo, wakasema, kuna uwezekano hawezi kufikiwa. Kadhaa walikuwa wameongea naye mara nyingi, lakini mageuzi kila mara ikawa kizuizi kilichositisha mazungumzo yote ya kiroho. Baada ya ibada nikaketi chini naye na kupitia katika mpango wangu. Alikuwa ametoka kwa msingi tofauti wa kidini na kusikiliza ushuhuda wangu na nia ya kweli. ― Nina uhakika wengine wamekwisha kukuambia juu ya msingi wangu katika mageuzi na jinsi hili limekuwa tatizo halisi, akasema.

― Unaweza kuniruhusu nilichukue suala lote hli la mageuzi na kuliweka kando kwanza?‖ Nikamuuliza. ― Halafu niichukue Bibilia na nikuonyeshe kile unachohitaji kujua kwa uhakika.‖ nikaenda hatua-kwa-hatua na akaokoka. Baadaye akaleta suala la mageuzi lakini kwa maarifa yake mapya ya Kristo aliweza kuona ukweli. Niliondoka kwa mkabidhi huo kwa ushawishi halisi kuwa kuna watu wengi walio na njaa na kuchanganyikiwa wanaomhitaji mtu wa kuwaonyesha njia. Usiache kutoamini kwa mtu kukuzuie kumkabidhia Yesu. Kumbuka: Sote tulikuwa makafiri wakati mmoja.

Sababu ya Yerusalemu

Alikuwa asiyekubali ― Siiamini Bibilia na, kando na hayo, jinsi gani unajua

kuna Mungu?‖ Jinsi gani unaweza kukabiliana na mtu wa aina hiyo? Jibu ni rahisi na la kushangaza. Kwanza, usionyeshe kuwa umeshtuka au kukasirishwa. Chukulia kwa mpito kwa sababu utalisikia hili mara nyingi. Tabasamu na utulie. Usionyeshe hasira au kumfanya mtu yule ahisi kuwa unamhukumu. Kisha mulize kama hata hivyo, unaweza kuikabidhi Injili. Hili litamshangaza mtarajiwa kwa sababu alitarajia ukimbie au kujadili mantiki naye.

Mambo mawili ya kukumbuka ni nguvu za KUSHAWISHI zake Roho Mtakatifu na nguvu za KUTHIBITISHA zake Roho Mtakatifu. Hakuna tofauti ni nani utakaye mshughulikia. Kama hawatalisikiza Neno la Mungu na kuitika kwake Roho Mtakatifu, hawatamkubali Kristo.

Je, unakumbuka kile ambacho Abrahamu alimwambia yule mwanamume tajiri katika kuzimu? Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu (Luka 16:31). Kama mtu hatavutwa na huduma ya Roho Mtakatifu kupitia kwa Neno lake Mungu, hatashawishiwa na mantiki ya daktari mwenye shahada ya theolojia kutoka kwa seminari. Nilikwenda kutembea na walei kutoka kwa kanisa na tukakumbana na mwanamume aliyejibu kwa, ― Siamini katika mbinguni au kuzimu.‖ Mwenzangu kasha akaanza kujaribu kumshawishi kuwa kuna kuzimu, na kuwa alihitimu kwenda huko, na uwezekano ni kuwa ni hivi karibuni! Hali ikawa ya wasiwasi sana. Baada ya muda mfupi nikamtazama Yule mwanamume na kusema, - Itakuwa sawa kama nitakuonyesha kutoka kwa Bibilia jinsi unaweza kwenda mbinguni, ikiwa kweli kunayo mbinguni?

Uvuvi wa Nafsi Mahali Pa Umma

Kama sivyo, unalo nini la kupoteza? ‖ akakubali; Nikamwongoza kupitia kwa Njia ya Warumi, naye akaokoka. Kamwe tena hakutaja kutoamini kwake na aidha mimi sikutaja. Alikuja kanisani usiku huo na uliofuata na akatokea madhabahuni. Sio wote wasioamini watakukubalia uendelee, lakini kama tutakuwa waaminifu kuipanda mbegu ya Neno lake Mungu, itaweza kuifanya kazi yake timilifu.

Sababu ya Yerusalemu

Sura ya 6

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe

Maisha Yako

Kama unataka kuhusika kwa utafiti wa kuvutia wa Bibilia, chunguza maswali yaliyo ulizwa na Yesu. Wakati mwingine Yeye ni mwalimu mkuu. Kila neno analoliongea ni picha ya ugunduzi wa binafsi anapochochea na kuvurutavuruta mioyo inayotafuta katika hali halisi ya ukweli wa Mungu. Na kisha kuna wakati ambamo Yeye ni bwana wa kukabiliana. Kila neno analoliongea ni mashitaka ya maisha ya ungamo na imani ya unafiki. Moja ya maswali yake yajulikanayo yako karibu na mwisho wa Mahubiri yake juu ya mlima anapoliuliza swali liuguzao moyo, ― Na kwa nini mnaniita Bwana, Bwana, walakini hamyatendi nisemayo?‖ (Luka 6:46). Umati ulikuwa unamfuata Yesu na kupeana tu huduma ya midomo, lakini alijua ni nini kilichokuwa katika mioyo ya watu. Kama tu utambuavyo mti kwa matunda yake, unachunguza imani kwa matendo. Mitaani inaitwa – kutembea kwa matendo. Unachokifanya hudhihirisha wewe u nani.

Sababu ya Yerusalemu

Kulikuwa na uvungu kwa ― waumini waliomfuata Yesu na kama ilivyokuwa tabia yake, alitaka ukweli. Katika athari, alikuwa akisema, ― Kunalo dhihirisho moja tu la upendo wako kwa Mungu: utiifu. Kuna dhihirisho moja la uaminifu wako kwa Mungu: kutenda. Ikiwa unampenda na una ukweli kuhusu imani yako, kwa nini haulifanyi jambo lile linalompendeza? Au weka kwa njia nyingine, kwa nini unalifanya jambo linalo muumiza?

Bibilia iwazi kabisa kuhusu kushuhudia kwa mtu binafsi. Uvuvi wa nafsi humtii Bwana na huufanya moyo wake ufurahi. Sio tu kuwa nafsi iliyopotea inaokolewa lakini mvuvi wa nafsi anatiwa moyo na nguvu, na Bwana wetu anaheshimiwa kwa kuwa mtoto wake anatembea kwa utiifu.

Kwa bahati mbaya natuhumu kuwa moyo wa Bwana wetu unahuzunishwa na watotot wa siku za leo ambao bado hawatii funzo la Kimandiko la kuuvua ulimwengu uliopotea kwake Kristo. Hili ni suala la kibinafsi na kila mwana wa Mungu lazima ajizoeze kujitoa kila siku kwa utiifu. Bibilia kwa uwazi inaamuru: “Basi enendeni, na kuyafunza mataifa yote...”

(Mathayo 28:19). “…Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe” - (Marko 16:15). “…Enenda zako nyumbani kwako, kwa watu wa kwenu, kawahubiri ni mambo gani makuu aliyokutendea Bwana…” - (Marko 5:19).

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

“…na mwenye hekima huvuta roho za watu wise” (Mithali 11:30). “…Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu” - (Mathayo 4:19). Mkristo aidha atakuwa mvuvi wa watu au mwenye hatia ya dhambi ya kutomfuata Yesu. Ikiwa atamfuata Bwana wetu, atavua nafsi na, kama vile mitume, awavute wasiookoka kupitia kwa nyavu ya Injili. Wanaume wote wakuu waliotumiwa naye Mungu walikuwa nao mzigo kuhusu eneo hili la utiifu wa Ukristo: John Wesley alisema, ― Unayo biashara moja tu duniani — kuokoa nafsi.‖ L.R. Scarborough alisema, ― kazi iliyokuu zaidi Mungu amemwekea Mkristo ni ya kuziongoza nafsi zilizopotea kwake Yesu.‖ Daktari Curtis Hutson aliandika, ― Mbadala pekee kwa uvuvi wa nafsi ni kukosa utiifu.‖ Kama Mkristo na muhubiri wa Injili, ninao ushuhuda kuwa shughuli hii ya uvuvi wa nafsi wa kibinafsi inahitaji umakini wa mara kwa mara. Ni lazima tuwe makini kwa mwongozo wake Roho Mtakatifu na haja ya moyo wetu kuyatii Maandiko. Wakati moja wa kampeni zangu, nilikuwa nautumia muda na Bwana mapema asubuhi na nikahisi kuitwa niutumie wakati maalum siku hiyo katika uvuvi wa nafsi. Nikamwita mchungaji na kuupanga wakati wa kwenda. Nyumba ya pili tulioitembelea walikuwa wanaishi wanandoa waliotembea kanisani Jumapili. Nilifuata mpango wangu na wote wawili wakampokea Bwana. Baadaye wakasema kuwa ni asubuhi tu hiyo walikuwa wamezungumza kuhusu ibada ya Jumapili na kujiuliza ni jinsi gani mtu anaweza kujua kwa uhakika atakwenda mbinguni!

Sababu ya Yerusalemu

Tulipoondoka, sikuweza kujizuia lakini nikatafakari juu ya ukweli mkuu wa uvuvi wa nafsi ambao Mungu amenifunza tena na tean: Uvuvi wa nafsi sio kushinda, kuhadaa, au kuwasukuma aliye mgumu lakini ni kwenda tu. Ikiwa nitakwenda na kukabidhi mpango, sio kila mtu atakaye okoka lakini wengi wataokoka. Wajibu wangu ni kuenda nikiwa na kujali halisi kwa waliopotea. Mungu atapeana ongezeko (Zaburi 126:5-6).

Kila Mkristo anapaswa awe anafanya kazi kwa bidii ili kuipeleka Injili kwa kila mtu yeye awezaye. Tayari tumeelezea jinsi unapaswa kuwa na wakati wa mara kwa mara kila wiki wa matembezi. Hata hivyo inatakiwa iwe kwa mwana wa Mungu zaidi ya kwenda tu kwa masaa matatu au manne kila wiki. Inatakiwa kwa kweli yawe maisha ya kila mwanafunzi wake Bwana. Mwito wa Agizo Kuu ni dhamira ya kijumla na wala sio masaa machache ya hapa na pale.

Kwa mfano: 1. Kila wakati kuwa tayari kupeana vipeperushi, vitabu,

na kanda. Wengi wamevuliwa kwa sababu Mkristo alikuwa tayari na kitu cha kusoma ambacho kingeendelesha ushawishi wake Roho Mtakatifu.

2. Kikamilifu unga mkono wamisionari na miradi ya

umisheni kupitia kwa kanisa lako la mtaa. Toa, ombea na lea maono ya duniani kote.

3. Unga mkono Redio za Kikristo na runinga. Zaka inaenda kwa kanisa la mtaa, lakini kiasi cha ziada chaweza kwa makini kutumiwa kwa mipango ambayo kwa uwazi inatangaza Injili.

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

4. Walete watu ambao wamepotea kanisani na kwa ufufuo. Katika mikutano yetu mingi, idadi za watu huokoka mwanzoni, kati, na katika kila mwisho wa kila wiki. Na bila kukosa, kila mwongofu alikuwa ameletwa na Mkristo mpendwa.

5. Wakti wa mwaliko, ombea wale ambao wamepotea. Kuwa tayari kumzungumzia mtarajiwa na kumsaidia atokee mbele wakati wa mwaliko. Watafute wale wanaouitikia mwaliko kwa chanya. Nimeuona wongofu mkubwa wakati Wakristo huwa makinifu kwake Roho Mtakatifu.

Wakati mwingi huwa tunahisi kuwa mtu ana nia ya kuokoka lakini vijisababu vyetu vinatuzuia. Kamwe usipuuzekupeana Injili kwa wale wana moyo ulio na nia ya kutaka. Nilikuwa dukani na nikasema na karani katika daftari ya pesa, ― Hii ni siku maridadi. Mshukuru Bwana kwa jua (kulikuwa kumenyesha kwa siku kadhaa). Nilipokuwa nikiondoka, sauti ya mwanamume nyuma yangu ikasema, ― Jua linaangaza leo. Nina furaha mambo kadhaa huja kinyume cha yale yote mabaya.‖ ― Unajua, nikamgeukia upesi na kumjibu, ― Kuna mengi katka Bibilia kuhusu suala hilo.‖

― Kunayo? ‖

― Hebu nichukue muda mfupi na nikuonyeshe jinsi ya kuwa tayari kwa matukio kama hayo.‖ Nikamwongoza kupitia kwa Njia ya Warumi na katika mikono ya Mwokozi wetu.

Somo la 18

Kumbuka Shamba

Sababu ya Yerusalemu

Mtu fulani aaliniambia, ― Tatizo langu katika uvuvi wa nafsi ni kwamba sina watarjiwa.‖ Nafikiri mtazamo wake sio sahihi. Alitaka wengine wamwendee wakiwa na tamaa ya kutaka kile alicho nacho. Wakati akisubiri, mamia au hata maelfu wanaweza kufa kwa sababu hawakusikia Injili ikikabidhiwa kwa njia iliyo wazi. Katika Mathayo 13, Yesu alifanya wazi kuwa shamba lililo tayari kwa mavuno ni ulimwengu. Hata

katika jamii ambamo uovu unajaa, neema itajaa zaidi kwa sababu haja ilivyo nyingi, ndivyo lilivyo kuu hitaji la jibu, na kimsingi ni ubinafsi kwetu kukosa kushiriki Injili na wale tunaopatana nao kila siku. Kuna mavuno yaliyo tayari wakati wote ikiwa tutachukua muda wa ziada kutazama chini zaidi na kuona ni wapi watu kwa kweli wataishi.

Nilikuwa nabadilishana ndege kule Pittsburgh wakati nilimwona mwanamke mchanga ameketi katika eneo la kungoja akiwa peke yake, machozi yakitiririka cini usoni mwake. Ilinibidi nihusike. ― Nikubalie, mimi ni Mkristo. Naweza kukusaidia kwa kushirikiana nawe mistari kadhaa na kuwa na ombi?‖ (Hii huwa ndio mbinu nzuri kwa wale walio na masaibu).

Akaufungua moyo wake kuhusu migogoro iliyo katika maisha yake, na ilikuwa ya kupendeza wakati alihitimisha, ― Nina furahia kukutana na Mkristo. Tukazungumza na nikawa nayo furaha ya kumwongoza kwake Bwana.

Unapokumba shamba, uwe makini kwa vikundi viwili vya watu ambao huwa wanapuuzwa: watoto na wataaluma. Zisome Injili na uone jinsi ambavyo Neno la Mungu linavyotaja watoto wakiwa karibu na Bwana wetu, hata katika mifano kwa watu wazima. Huwa ninashangazwa na jinsi watoto wanapenda kukaa karibu na wale wanao

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

wapenda. Na bado tunaweka maslahi madogo ya kuiongoza mioyo hii ya thamani kwake Bwana. Kila utafiti unaonyesha kuwa miaka nane ndio umri ulio bora wa kumpokea Bwana, na hata kama wengine wanaweza kuvuliwa mapema kuliko hapo, wazazi na wavuvi wa nafsi huwa hofu ya ya kuzishughulikia nafsi changa kiasi hiki. ― Alielewa kweli?‖ ― Je, mtoto wa miaka minne au mitano anaweza kuoka kweli?‖ Nakumbuka wakati mtoto wetu wa kwanza, Faith Ann, alikuwa na miaka mitatu na akaanza kuonyesha hamu katika kumtumaini Bwana. Mama yake nami tuliongea kuhusu hili na kujiuliza jinsi ya kuendelea. Wiki iliyofuatia nilikuwa kule Michigan nikiongoza mkutano na kushirikiana na baadhi ya watu wakati nilipolileta suala hilo. Shemashi moja mchaji Mungu akanitazama na kunipa shauri nzuri. ― Unahitaji kulitazama kwa njia hii, akaanza. ― Ikiwa mtoto ni mkubwa vya kutosha kuweza kuokoka na anaelewa kwamba wokovu unahusu nini nawe ukatae kumwongoza kwa Kristo naye kwamba afe, fikiria juu ya matokeo. Kwa upande mwingine ikiwa utamwongoza kwake Kristo naye awe haelewi kabisa, Mungu atakuwa mwaminifu kumsaidia yule mtoto kuletwa chini ya dhihaki kwa baadaye. Ilikuwa vigumu kusubiri nifike nyumbani na kumwongoza mtoto wetu wa kwanza kwa ujuzi wa wokovu wake Bwana, na tukawa na wakati wa uzoefu kama huo na kila mmoja wa watoto wetu walipokuwa wachanga. Nilikuwa ninaungoza mkutano kule Pennsylvania wakati baada ya ibada niliulizwa nimtembelee mtoto wa miaka minne katika hospitali amabaye alikuwa amepata majeraha mabaya kutokana na ajali mbaya wiki chache

Sababu ya Yerusalemu

ambazo zilikuwa zimepita. Tuliingia kwenye hospitali karibu 9:30 siku ya Jumapili jioni na kumtembelea Kevin, wazazi wake Wakristo, na nyanyake. Nikaanza kumzungumzia Kevin kuhusu Bwana. Ilikuwa ni rahisi sana kumsaidia yeye kuelewa hata kwamaba bado sijui kama nimewahi kuwa na mtu mzima akijibu kwa kutaka hivyo. Kwa dakika chache Kevin akampokea Kristo na hapakuwa jicho limekauka katika chumba kile.

Wakati ninapokutana na vijana kama Kevin huwa mara mwingi ninashangaa ikiwa atakuwa mkubwa awe D.L. Moody mwingine. Ilikuwa ni mwalimu asiyena ufahamu mwingi wa shule ya Jumapili ambaye aliacha ushawishi wa kudumu juu ya Daktari Jack Hyles alipomshika mapjani mwake akiwa na umri mdogo sana na kumwambia Yesu anampenda. Hadithi sawia na hiyo inaweza kusemwa kuhusu pia Daktari Lee Roberson.

Hakuna awezaye kwa kupima vyakutosha ushawishi hawa watu watatu waliokuwa nao juu ya taifa letu na kwa ulimwengu wote kwa ajili ya Kristo. Baadhi ya watu hawakuona nafasi iliyokuwa mbele zao; mtu mwingine aliona mvulana mdogo katika shule ya Jumapili aliyehitaji Kristo; Mungu aliona uwezo mkubwa kwa sababu ya Kristo.

Wakati wa kampeni ya siku-sita, nilikuwa nayo nafasi ya kuzuru madarasa kadhaa ya shule za Jumapili na kutumia dakika 30 hivi katika kila darasa nikitazama mwingiliano wa kusisimua kati ya mwalimu na mwanafunzi. Nikiwa natembea kutoka ukumbini hadi kwenye chumba kilichofuata, nilikutana na Jake mwenye umri wa miaka 10 amabaye alikuwa ameamua kuliepuka darasa na kungojea kanisa la watoto. Alisema kuwa alipenda shule ya Jumapili, lakini hakuwa anapendezwa na mambo ya Mungu siku hiyo. Nikamchukua kando, nakuwa na maongeo marefu pamoja naye, na kumwongoza kwake Yesu. Aliporejea kwa darasa alilopangiwa, akatembea mpaka kwa mwalimu wake na kutangaza, ― Nimempokea tu Yesu!‖

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

Niliondoka nikishangaa kama kwamba ujasiri huo ulikuwa dalili ya D.L. Moody mwingine. Kuvurutwa sana? Hapana, sidhanii hivyo. Mvuvi wa nafsi, mwalimu wa shule ya Jumapili, au mfanya kazi wa basi aliyefunzwa anapaswa kila wakati awe macho nafsi change zilizo na hamu kote katika kanisa na kotekote katika jamii. Kamwe haujui ni nini kitakachotokea katika miaka 20 au 30 ijayo. Je, umewahi kuona jinsi ilivyo rahisi kumwendea mtoto au mtu mwenye umaskini mwingi kuliko vile ilivyo kumzungumzia mtu aliyemashuhuri kuliko wewe? Huwa tunataka kushughulikia wale ambao wanatutolea upinzani mdogo, wale ambao hawana uwekano wa kutukataa, na wale ambao wanatuangalia kuwa sisi ni nani. Ingawa tunapaswa kuwavua walio wadogo na walio nyanyaswa, hatupaswi kumtenga mkurugenzi wa benki, daktari, au mwanasheria. Hiyo ndiyo maana kundi la pili la watu ninalolipigania ni mwanamume au mke mtaalam — Watu amabao waweza kuwa wamepotea au kuwa wameokoka kama mtu mwingine yeyote. Mojawapo wa ukweli mkuu wa Bibilia ni kuwa Yesu kamwe hakuweka kiwango au ubaguzi wa aina yoyote. Wakati aliposema kuwa Mungu aliupenda ulimwengu, Alimaanisha kuwa Mungu alitaka kila mmoja ahubiriwe — toka kwa mjane na peni yake hadi kwa Nikodemo mwenye uwezo. Kwa bahati mbaya, wengi wetu huweka juhudi nyingi kwa kiwango kimoja cha watu, na ni kawaida sio wale wataalam au wale niwaitao ― wa juu na uwezo.‖ Nilikutana na mwanamume wa Kiyahudi aliyemiliki kituo cha biashara za magari na alikuwa tu ameokoka. Akanitazama akiwa na machozi na kusema, ― Namshukuru Mungu mtu alijali vya kutosha na kunibeba mimi kama watu wengine.‖

Sababu ya Yerusalemu

Ni shetani anaye tushawishi kwamba tunahitaji kuikabidhi Injili kwa makundi fulani la watu. Lakini kama vile Mungu hana upendeleo kwa watu, wala pia nasi hatutakiwi kuwa.

Ni ipi njia bora ya kuwavua watu wa kitaaluma? Sheria tatu rahisi:

1. Mwombee mtu yule kwa jina.

2. Ikumbuke amri ya kwenda. Weka mpangokatika

nyumba yako, chakula cha mchana, au pale kazini. Kwa kawaida wao huwa na ratiba kali kuliko sisi na unapaswa kuzifikiria shughuli zao.

3. Enenda pia mlango-hadi kwa-mlango katika mitaa ya

watu wenye taaluma. Huwa ninashangazwa na wingi wa watarajiwa wakati hili linafanywa kwa usahihi.

Na uhakikishe kuwafuatilia hawa watarajiwa. Unaweza shangazwa na kiasi wanachofurahia urafiki wako. Watu wengi wanawafuatia wenye taaluma kwa ajili ya kile watapata kutoka kwao. Wakati mwenye taaluma anapatana na mtu amabaye kwa dhati anamjali, anayempenda, na anayetaka kumfanyia wema, wao huzidiwa na mapenzi na watakaa na kusikiliza uwazi wa kukabidhiwa kwa Injili.

Ninaamini kuna idadi kuu ya wataaluma wa kiume na kike wanaotafuta mtu anayewajali vya kutosha kwa kuuchukua muda wa kumkabidhi Kristo kwao. Nilikuwa nasafiri kuitia Dallas na nikaishia kuwa na saa moja na dakika ishirini za kungojea. Nikatembea ukandani karibu na lango hilo langu lingine, nikitafuta viti vilivyo bure ili niweze kuifanya kazi. Nilipoanza kuandika makala

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

Mwanamume wa umri wa kadri akaketi umbali wa viti viwili bila ya mtu mwingine yote katika sehemu hiyo nzima! Mwanzoni nikajiuliza mbona hakunipa faragha yangu. Kasha nikaanza kufikiri juu ya fursa nzuri ya kuikabidhi Injili penye mazingira bila ya kuingiliwa. Nikamtazama na kutoa oni tu la kawaida kuhusu hali ya anga. Akajibu kwa hali ya chanya na kuzungumzia kuhusu maeneo mengi. Kasha nikamuliza juu ya msingi wa kanisa lake. Mkatoliki. Nikauanza mpango wangu na dakika chache baadaye nikamvua kwake Bwana. Baada ya yeye kushiriki jinsi alivyofikiri kuhusu kufanyika Mkristo kwa matukio kadhaa, lakini hakujua jinsi ya kuliendea. Yeye alikuwa daktari akifundisha katika chuo kikuu. Kwa wakati nikafikiria juu ya iwapo ningeuchua msimamo huo kama ningeijua taaluma yake muda kabla. Lakini nikaondoka kutoka kwa uzoefu huo nikiwa na kujiamnini upya kuwa Injili ina nguvu tu sawa kwa wale wa hali ya juu kama tu na kwa wale wa hali ya chini. Kwa tabia nzuri na mbinu ya uaminifu tunaweza kuwavua wenye taaluma kwake Bwana.

Sanduku la vifaa

Uharaka

Kuna maneno kadhaa au kirai ambayo ni muhimu kwa Mkristo ambaye anataka kuwa mvuvi wa nafsi mwenye ufanisi: ― maombi,‖ ― vipeperushi ― tayari ― mpango ― ujao wa Roho Mtakatifu ― kuupanga wakati wa mara kwa mara, na – ipeleke Injili kwa wote kwa vyo

Sababu ya Yerusalemu

vyote. Lakini hakuna neno moja linalobeba umuhimu mwingi kama neno - sasa.‖ Hayo maneno mengine hakuna yanayojalisha kama hatuchukui hatua sasa. Uvuvi wa nafsi unabeba hisia kuu ya uharaka. ―… Tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.‖ (2nd Wakorintho 6:2). ―… tena wamsikieje pasipo muhubiri? - (Warumi 10:14). Kuishi chini ya hisia hii ya uharaka ni ya kusisimua nay a kuzawadia. Nilikuwa kule Carolina ya kaskazini na kama nipendavyo maji, nikapita kando ya safu za mashua za uvuvi. Nikaona duka mpya ya kuuza vyakula freshi vya ziwani na nikawatazma wakiandaa samaki kwa ajili ya kuuzia umma. Mwanamume aliyekuwa pale sakafuni akaanza kunielezea jinsi ya kutayarisha samaki safi kwa ajili kuwatia kwenye barafu kwa matumizi ya baadaye. Akasema amekuwa akifanya kazi hiyo tangu utotoni, nami nikamjibu nimekuwa nikifanya hilo kwa namna ya kiroho tangu nikiwa na miaka 19.

― nitakuwa mhubiri wako. Unazungumzia kuhusu kuvua

samaki kwa Yesu sivyo? ‖ ― Ndiyo.‖ ― Lakini nini kilifanya uanze ukiwa na miaka 19? ‖

― Ni wakati nilipompokea Kristo kama Mwokozi wangu.‖

Nikauanza mpango wangu na kwa muda akaokoka. Akanitazama na kutabasamu, ― Naam, umempata mwingine! ‖

Somo la 19

Kaa Ukihusika Katika Uvuvi wa Nafsi

Kama tutakuwa waminifu kwetu wenyewe, tutakubali kuna wakati ambamo tunajaribiwa kuwavua wengine wakati tu rahisi kwetu au italifaidi kanisa. Je, mtu huyu atakuja kanisani mwangu?

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

atakuja kanisani mwangu? Naweza kumsajiri kwa darasa langu la shule ya Jumapili? Je, nitaweza kumwona tena baada ya usiku huu wa leo? Kama hatuwi wangalifu, tutaishia kuwa na uzoefu wa uvuvi wa nafsi wakati tu tunafikiria kuona matokeo au faida ya tarakimu. Je, na watu waliomo kwenye vituo vya ndege au madukani? Vijana, maskini, wafungwa, wagonjwa, wasio na elimu, na waliosahaulika kwenye miji yetu? Tunalotakiwa kuimarisha ni kuwa macho dhidi ya tabia za kuwashuhudia wale tu ambao tunafikiri tunaweza wafunza na kuwaleta kanisani mwetu. Kwa kufanya hivim tunasahau kuhusu dhambi na jehanamu. Lazaro wa Luka 16 hakuwa na thamani sana kwa mwanzisho wa dini wakati wa nyakati zake, lakini Abrahamu na Mungu walimfikiria vitofauti. Miaka iliyopita kule Carolina ya Kusini, mfanyi kazi wa basi

aliniuliza kama ninaweza kutembea naye. ― Mchungaji,

nataka uitembelee familia katika kao la lori. Ni eneo lenye

umaskini na ni wachafu kiasi. Mume anaweza laani. Ikiwa

watakuja kanisani hawataweka pesa zozote kwenye kapu. Wana watoto sita na hakuna mtu amewahi kamwe kuongea nao kuhusu Yesu.‖ Sikuwa na tatizo kwa sababu thamani ya nafsi moja, sita au zaidi ni ya thamani kuhatarishia familia nyingine inayo abudia katika kanisa linaloihubiri Bibilia. Na kweli kabisa mume alitoka mbio akitulaani kutoka kwa ile lori chafu kwa kuisumbua familia yake. Wakati alipotulia, mwenzangu alimpeleka kando na kuanza kuongea naye kuhusu lile lori.

Nikaingia ndani na kuikuta ile familia. ― Mume wako aweza kuwa hataki mje kanisani, lakini naweza chukua muda na nifunze somo la Bibilia kuhusu Yesu sasa hivi?

Sababu ya Yerusalemu

Walikuwa wasikizaji watakao na kufikia mwisho wa somo, wote saba wakawa wamekuja kwake Bwana. Yule mume akatokea muda tu na kudhihaki uauzi wao. Siku chache baadaye, lile lori likashika moto na kila mmoja ndani yake akayapoteza maisha yao. Naashukuriwe Mungu kwa wokovu wake wa ajabu na kwa ajili ya mfanya kazi wa basi mpenzi aliyejalishwa kuhusu waliosahaulika wa mji wake.

Kukaa ukihusika katika uvuvi wa nafsi wakati mwingine kunakuhitaji uenende kinyume cha mambo — hata kinyume cha mambo ya kidini. Kuna dhana hatari iliyo hai katika nchi yetu na hata katika baadhi ya makanisa yetu. Kuinuka kwa uinjilisti wa maisha na kuchanganyanyikiwa juu ya toba na imani imesababisha baadhi ya Wakristo wawe ― wakaguzi wa udongo badala ya kuwa ― watapanyaji wa

mbegu.‖

Baadhi ya Wakristo wanafanya mwito wa hukumu ambao sio wao kuufanya. Kama, kwa maoni yao, mtu hayupo tayari kwa Injili au haonyeshi mojawapo wa dalili, hawashiriki nao ile Habari Njema. Hata Wakristo hawa wawe na maana njema vipi, wamesahau kweli mbili zilizo za muhimu sana za kiroho.

Kwanza, wamesahau kuhusu kuzimu. Lazima kuwepo kwa kuzimu halisi kuiingie mwendesho wa Mkristo anapovua nafsi? Kabisa! Kamwe usisahau kuwa unapovua nafsi unaziokoa kutoka kuzimu.

zaburi 9:17 inasema, ― Wadhalimu watarejea kuzimu, Naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.‖ Mioyo yetu yapaswa kuchochewa tunapotambua hatma ya kutisha kwa nafsiiliopotea bila ya Yesu. Tunapaswa kuwa na huruma tele kwa wenye dhambi waliopotea kama vile tuivyo kwa mtu anayezama kwa kumtupia kamba. Ni heshima nay a madili kutaka kumwokoa mtu kutoka kwa mateso ya milele kwenye ziwa la moto.

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

Kabla ya kisa chake Lazaro palikuwa na hadithi yake mtu tajiri (Luka 12) aliyehudumia mahitaji yake ya kimwili lakini akaisahau nafsi yake. Mungu alitangaza, ―Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako.‖ Ni upumbavu kuishi maisha ya miaka chache duniani na kusahau milele. Nilikuwa kwenye kituo cha mazungumzo ya subuhi kule Pennsylvania pale nilipokutana na mwanamume aliyepigana vita vya Vietnam na kuupoteza mguu wake kwa Agent Orange. Alizungumza juu ya uaminifu wake kwa Marekani na juu ya kanuni kuu amabazo ilijengwa juu yake. Niliumwa nilipofikiri juu ya kuumia kwake kwa sababu ya kujitolea kwake. Tukinywa kahawa, tuliongea juu ya vita na nikasubiri hadi niweze kuupata ujasiri wake kabla ya kumuliza juu ya msingi wake wa kidini. Alikuwa Mkatoliki. Nikampa ushuhuda wangu na kuendelea na mpango. Kamwe sitawahi kusahau mtazamo katika macho yake aliposema, ― Hili ni suala amabalo limekuwa kwenye moyo wangu kila wakati kwa muda wa miaka kadhaa ambayo imepita..‖ Ilikuwa furaha aje kumwongoza kwake Bwana! Usiku huo akaja kwa mkutano wetu wa kampeni nna kuutoa ushuhuda wake. Alitoa kauli ambayo hukaa nami: ― Nitapitia tena hayo yote ambayo nimeyapitia mara kadhaa ili tu kuwa na furaha ya kulipata jibu kwa swali linalohusu mimi kuishi milele yote mbinguni.‖ Akahitimisha, ― Asante Mungu kwa kuwa siendi kuzimu nitakapokufa!‖ Kama kutakuwa na ufufuo sawia katika maisha yaw engine, makanisa, na jamaa — ufufuo utakao dumu — basi tunahitaji kurudia mahubiri na mafundisho wazi ya Bibilia juu ya kuzimu na ukweli kuwa Mungu ataadhibu dhambi.

Sababu ya Yerusalemu

Kila mvuvi wa nafsi anahitaji kumsaidia mtarajiwa kuelewa kwamba kuna jehanamu ambayo ni adhabu ya kuishi katika dhambi na kumkataa Mungu. Wakati mwingine katika kukabidhi kwetu huwa ni kama wimbo, ambapo inaweza mwacha mtarajiwa wa wastani akihisi kuwa wokovu ni pendekezo chukua-ukitaka au usipotaka-wacha.

Mwanamume kwenye hospitali aliniambia, ― Siamini katika mbingu au jehanamu.‖

― Bwana, ikiwa uko sahihi, ni nini kitakacho tendeka kwako utakapo kufa? ‖

― Unarudia mavumbini ya ardi au jambo kama hilo.‖ ― Ikiwa Bibilia ni sahihi na kunayo mbingu na

jehanamu, ni nini kitakacho tendeka kwako? ‖ ― Nadhani nitakwenda kuzimu.‖

Nikapendekeza kuwa anikubalie nishiriki naye mistari kadha juu ya suala hilo. Baada ya hatua chache katika mpango wangu, ningeweza kuona sura yake ikibadilika na dalili za kuvunjika zikionekana. Hatimaye akampokea Bwana na kusema, ― Nafikiri mahali Fulani katika zamani zangu nilisikia kuhusu ubaya wa jehanamu.‖ Kwa kweli, sikukaa sana katika suala hilo kabla hajafahamu kabisa kile ambacho Bibilia inachofundisha.

Ushauri wangu ni kuwa usilitupetupe tamshi la jehanamu ovyo, lakini ufundishe kuwa adhabu ya dhambi ni mauti. Kama wa wavuvi wa nafsi, tunahitaji kueleza kabisa kuwa maradhi ya kiroho ya mauti hiyo ni maisha ya milele katka jehanamu kwa kutenganishwa na Mungu.

Ukweli mwingine mkuu ambao watakao-kuwa wavuvi wa nafsi husahau ni ule niuiato ― kuvuliwa na mmoja.‖ katika uchambuzi wa mwisho, uvuvi wa nafsi ni kuvua nafsi moja-kwa-moja. Yesu alimvua mwanamke kisimani na pengine Nikodemo. Yohana Mbatizaji alimvua Andrea

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

aliyemvua Petro na vivyo hivyo. Ndiyo sababu nilichukulia suala na matamsi yake mwanamke akutane nami mwanzoni mwa sura hii. Wakristo wengi sana hukaa tu bure na kuingojea fursa iliyo kuu zaidi ili wautumie wakati vilvyo ilhali mtu aliye kando yao anakufa na kwenda jehanamu. Ni fursa gani kubwa zaidi wanayoingojea? Uinjilisti wa tabia hujaribu kuumwagia maji uvuvi wa nafsi wa Agano Jipya kwa kuuita wa mkabiliano ― Changamoto ni kuishi maisha kwa njia ambayo wanaume na wanawake watavutwa kwetu kwa ajili ya wokovu.‖ Hapana, rafiki. Yote mahubiri na uvuvi wa nafsi ni makabiliano. Kama vikosi vya kisasa vya mauzo wangetekeleza mauzo ya kwa tabia, kila shirika la Marekani lingefirisika katika miezi mitatu! Nahofia huwa tunasubiri kwa sababu tumekuwa wavivu. Tunaweza kusema tunasubiri kwa sababu hatuwezi kufuatilia. Au hatuwezi kufunza. Au mtu yule anataka kujadili theolojia. Tunasubiri na wageni, marafiki na familia waenda kuzimu. Huwa inasemwa kuwa, ― Ni afadhali niwe na wawili wa 100 kuliko mmoja wa mmoja.‖ Kwa moyo wote nakubaliana. Nikiondoka chumbani mwa malazi kwenda uwanjani mwa ndege, nilimwona mwanamke mfanyakazi. Moyo wangu ukaongozwa nimshuhudie, lakini nikawa na mawazo yaliyo ya kawaida ya hasi. Kwa kweli nilikuwa nazo shughuli zaidi, tayari nimechelewa, sijawahi kutana namtu huyu, hataitikia, na hakuna wakati wa kutosha wa dhihaki halisi. Lakini nilifuatlia na kumwongoza kwa Kristo. Kasha akanifuata hadi kwenye gari, akinishukuru kwa kuuchukua wakati na kumwambia juu ya Yesu. Hapakuwa na umati, ila mwanamke mmoja tu. Hakuna wakati wa mafunzo ila tu kumpa msingi katika Neno. Lakini nililipeana jina lake kwa mchungaji wa kanisa la mtaa. Sitamwona Akikua, lakini

Sababu ya Yerusalemu

najua atakua. Alivuliwa na mmoja. Wakati mwingine si mwafaka kushuhudia, lakini bado waweza kuwa mtapanyi-wa-mbegu. Wakati nikizuru mlano-hadi-mlango pamoja na mwanafunzi, tulikutana na mume aliyekataa kuruhusu tuingie. Nilifanya vyema niwezavyo kuwa na urafiki, lakini alikuwa mgumu. Hatukuingia ndani, hatukushuhudia.

Nikauliza kama ningeacha vitabu vya kusoma. ― Ina ujumbe wa ajabu amabao waweza kuwa baraka kwaka kwa wakati fulani.‖

― Nadhani hiyo inaweza kuwa sawa, ‖ akasema.

Nikampa kipeperushi kilichokuwa na nambari zetu za simu na kumuliza kama tunaweza kuomba kabla ya kuondoka. Tena akakubali. Ombi langu lilijumuisha mpango rahisi wa Injili na nikamuliza kama angependa kuitikia.

―Hapana.‖

Tukaondoka usiku mbili akaniita usiku sana. Akaomba radhi kwa ajili ya tabia yake na kuniuliza kama ingewezekana kwangu kuweza kuonana naye baadaye kwenye wiki. Tukauweka mkutano na kuingia ndani kwa hali iliyokuwa ya urafiki. Jioni hiyo yeye, mke wake, na watoto wao wawili wakampokea Kristo.

Baadaye akasema, ― Ombi lako lilikwama katika mawazo yangu usiku uliopita na singeweza kujizuia lakini nikasoma vile vitabu ulivyotupatia.‖ Tena nikatambua jinsi kazi yangu ilivyo ni kuwa mtiifu kama mtumishi na mtapanyi wa mbegu, sio kama mkaguzi-wa-udongo.

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

Sanduku la vifaa

Mbadala

Je, kunazo njia za kukaa ukihusika katika uvuvi wa nafsi zaidi tu ya kwenda nje mara kwa mara? Hakika, kuwa na ufahamu-wa- nafsi tu kila wakati na kutambua mbadala sio badilisho la matembezi ya mara kwa mara. Lakini, tena, ni busara kuwa na mbadala au chaguzi mkononi wakati umo kwa uvuvi wa nafsi. Hapa ni nizipendazo:

1. Kila wakati beba vipeperushi nawe na uviache kila mahali.

2. Andika kila nikiitacho barua za ninakupenda. Iandike kwa

umpendaye au rafiki na uwambie jinsi unavyowafikiri na kupitia kwa mabarua uwakabidhie Injili.

3. Mpigie mtarajiwa simu

4. Uwe mvua nafsi kwenye madhabahu. Mojawapo wa eneo

lenye udhaifu katika makanisa ni kutokuwa na wafanya kazi wa kutosha waliofundishwa kwenye madhabahu.

5. Mwalike rafiki ahudhurie ibada. Nafikiri watu wengi

wanavutwa na rafiki anayejalishwa kwa kuwaombea na kuwaleta kwa ibada.

Huwa ninapenda kuongea na watu baada ya ibada. Wakati mmoja mwanamume moja alipita karibu amabye sura yake ilidhihirisha kuwa Mungu alikuwa ameunenea moyo wake. Tukajitambulishana na nikasema, - Mungu amekuwa mwema

Sababu ya Yerusalemu

Kwetu jioni hii ya leo. Ninashukuru amenena na mioyo yetu sote.‖

― Kwa hakika amefanya vivyo, ‖ akanijibu. Niliingia ndani ya moyo wake. ― Wewe mwenyewe umempokea Yesu? Unauhakika 100% juu ya mbinguni? ‖

― Hilo ndilo linalonisumbua.‖ Ilikuwaje furaha ya kumwongoza kwa wokovu! Amini usiamini, hilo ndilo ninalokutana nalo kila wakati, na huwa inauvunja moyo wa muhubiri yeyote wa Bibilia anapofikiri kuwa mtu Fulani ameiskiza Injili na kasha anaondoka kutoka kwa ibada aidha kupitia kwa kuchanganyikiwa au kwa kukataa kumpokea Kristo kama Mwokozi. Usiku baada ya usiku ninayo fursa ya kuwahubiria mamia ya mamia ya watu kote Marekani katika mikutano ya ufufuo. Namshukuru Mungu watu wengi humpokea Kristo, lakini ni vigumu ibada kupita wakati simwoni mtu ambaye moyo wake umeshughulikiwa naye Roho Mtakatifu. Wanaweza kuinua mkono wao kwa ombi na kulia, nab ado wataukataa mvuto wake Roho Mtakatifu.

Hapo ndipo mvuvi wa nafsi anaweza kutumia moja ya ― mbadala wake. Huyo mtarajiwa anaweza bado kuja kwa Kristo hata baada ya ibada ikiwa Mkristo anaufahamu wa kinachoendelea ndani ya moyo wa mtu huyo. Mara nyingi mtu atainua mkono wake kwa ombi lakini hataitika hadharani. Nenda kwake na useme, ― singejizuia kuona kuwa Mungu alikuwa anazungumza na moyo wako asubuhi hii ya leo.

Naweza chukua muda na nikuelezee?‖ wakati mwingine kuacha nakala wakati wa mwaliko kunaufungua mlango. Ikiwa atasema ndiyo, mnaweza bakia kwenye kiti. Ikiwa tayari ameokoka, umejifanyia rafiki kwa kuuombea mzigo

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

Muda mwingi utapata kuwa wanamhitaji Kristo. Wakati wa kapeni kule Missouri, nilimwona mtu karibu umbali wa theluthi mbili kule nyuma alikuwa chini ya dhihaka lakini hakutaka kujibu. Baada ya ibada nikamuliza kama tunaweza kuzungumza. ― Singeweza kujizuia lakini niliona kuwa Mungu alikuwa anaunenea moyo wako kuhusu haja yako kwa Kristo. Je, itakuwa sawa ikiwa mmoja wa wanaume wa kanisa ataketi faraghani na akuelezee jinsi unaweza kujua kwa uhakika kuhusu mbinguni? ‖ Akaitika kupitia kwa machozi yake na nikaelekeza mmoja wa wavua nafsi wetu aendelee. Baadaye Yule mwanamume akanipata na kusema, ― Singeweza kumjia Kristo ikiwa hukunijia jinsi ulivyofanya.‖ Uvuvi wa nafsi ni mtazamo. Ni maisha yaliyojitoa kuangalia, kutazama, na kuwaona watu wanoatuzunguka ambao wanahaja iliyo ya uhakika kwa Mwokozi. Hata hivyo, neno la tahadhari lafaa. Kwa wakati usipo fanya Nahisi ni wazo nzuri kwa Mkristo tu kuzunguka katika jengo baada ya ibada na kuwakaribia watu ukiwambia wanahitaji kuokoka. Ijapokuwa moyo wake huyo mvuvi wa nafsi ni mwororo, hatupaswi kamwe kumfanya mtarajiwa afikirie tunatafuta kila pahali kwenye jengo mtu wa tutakayerukia.

Somo la 20

Endelea Kujifunza

Mwenzangu pamoja nami tulikuwa tukitembea mlango hadi kwa mlango na mwanamke kijana akaujibu mlango akisema hakuwa nao wakati wa kuzungumza. Nikawapongeza watoto wake na kumwambia yeye kuwa tutachukua tu dakika

Sababu ya Yerusalemu

chache kumtembelea na tulikuwa na mambo ya kusisimua sana kuhusu kanisa ya kumwachia. Akakubali, lakini mara tu nilipofikia mpango mume wake akaingia. Nikaifunga Bibilia na kutumia dakika chache naye. Nikamuliza ajiunge nasi, lakini alikuwa na jukumu la kutimiza. Nilikuwa tu nimerejelea mpango wakati binti wao mdogo alipoingia ndani na kuvuta nguo ya mkononi ya mamake, kabisa akatusimamisha. Nikapendekeza kuwa mwenzangu amsomee hadithi katika chumba hicho

kingine, na kila mmoja akaonekana kufurahia. Nikaendelea kutoka mahali nilipokuwa nimeachia na kwa muda wa madakika huyu mwanamke mchanga akampokea Kristo. Alifurahi zaidi. Siwezi kumkumbuka yeyote akiyauliza maswali zaidi baada ya kuokoka!

Tulipoondoka, mwenzangu akasema, ― Singeweza kumvuta.‖

― Kwa nini?‖

Akashiriki mambo matatu ambayo kwa kawaida huwa

yangemzuia:

Hakuwa nao wakati, mume wake aliingilia, na yule mtoto alituzuia. Ilibidi niweke kikomo kwa ukweli wake. Aliusikia mvuto wa Roho Mtakatifu, lakini akawa amejiandaa kuondokea. Hitimisho langu kwa rafiki yangu, kama sisi sote, alihitaji kuendelea kujifunza sanaa kamilifu na sayansi ya uvuvi wa nafsi ili aweze kuwa tayari kwa changamoto yoyote. Yeye nami hatukuwa katika mazingira yenye uhasama na kwa hivyo, kutokuwa na uhakika wa kuendelea na suala. Nimehusika na watu wanaoishi katika dhambi ya wazi. ― Je, umeshawahi kupanga kuwa Mkristo?‖ Ninauliza. Kwa kawaida wao husema ndio na hapo ndipo huwa ninaitoa Bibilia yangu.

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

Au nimekutana nao watu ambao wanajigamba kuhusu yale wamemfanyia Mungu, au tu juu ya wema wao wenyewe. ― Sawa, Ninasema. ― ikiwa utakufa na usimame langoni mwa minguni na Yesu akulize ni kwa nini anatakiwa kukuruhusu uingie, utajibu vipi‖ Baada yao kutatizika kwa muda ninaitoa Bibilia yangu na kuingia kwenye mpango. Katika tukio moja nilikutana na mtu mmoja aliyejigamba kuhusu ujuzi wake wa Bibilia lakini akisema hataki jambo lolote linalohusu Mungu. Nikampa Bibilia yangu na kusema, ― Tuonyeshe jinsi tunavyoweza kufika mbinguni.‖ Akasema kuwa hajui na hivyo nikaitumia Bibilia yangu na kumpeleka pale. Wazo nzima la uvuvi wa nafsi ni la kuleta pamoja mwenye dhambi na Kristo. Nafikiri tutashtuka ikiwa tutagundua ni watu wangapi tunaotangamana nao katika maisha yetu ya kila siku walio na njaa ya kiroho. Nakumbuka mstari ulioku wake Daktari. John R. Rice:

Nawezaje kukutana naye bila ya wapendwa wangu? Nawezaje kutabasamu nikijua wao wamepotea? Wakati nimwonapo Yesu juu katika utukufu,

Bila ya nafsi alizozinunua kwa gharama kuu.

Nilikutana na wanaume watatu katika eneo la umma na baada ya maongeo mafupi ya kawaida mmoja wao akaniuliza, ― Unafanya nini kwa maisha?‖ ― Mimi ni muijilisti.‖ ―Basi unajua jambo kuhusu dini.‖ ―Naam,‖ Nikajibu, ― Nimejifunza jambo moja la muhimu kuhusu dini.‖ ― Na hiyo ni nini?‖ ― Kamwe dini haimpeleki mtu mbinguni.‖

Sababu ya Yerusalemu

― Basi ni nini?‖ Hilo liliniongoza katika mpango wangu na ndani ya dakika chache mulizaji akawa amempokea Kristo. Hao wengine hawakukubali, lakini walikuwa wapole. Wakati mwingine nilikuwa naunganishwa kwa usafiri wa ndege na nikakaa kati ya wanaume wawili waliongeleshana na kujaza mazungumzo yao kwa maneno ya uchafu. Baada ya dakika, nikaweka tray ya katikati chini, na kuwekelea Bibilia yangu juu yake, na kuanza kuisoma. Mmoja wa wanaume akajibu, ― Natumai hatukukukwaza.‖

― Hiyo ni ajabu. Nilihofia nilikuwa nikiwakwaza,‖

Nikasema. ― Jinsi gani?‖

― nilitaka kushiriki nanyi mistari kadhaa nawe pamoja na

rafiki yako lakini sikujua jinsi ya kulijia suala hilo bila ya kuwakwaza.‖

Akacheka. ― Hiyo ni sawa. Sidhani jambo lolote humkwaza George na mimi.‖ Nikaendelea kupitia kwa mpango wangu wa Njia ya Warumi na mwanamume yule akampokea Kristo. George hakukubali, lakini alikuwa mpole. Na hakukuwa na matusi tena ndani ya ndege. Tena, tofauti kati ya visa hivyo na karibu kukosa kwenye nyumba ya Yule mwanake mchanga pengine inaweza husishwa na uzoefu. Ninajaribu kamwe nisikome kujifunza kuhusu uvuvi wa nafsi. Kama kunayo mawazo mawili ninaweza kutoa tunapokifunga kitabu hiki, yangekuwa katika maeneo haya:

Kwanza, ongeza ufahamu wako halisi wa kazi ya uvuvi wa nafsi. Soma, tazama, ufunguke kwa mawazo mapya ambayo yataimarisha maeneo yako dhaifu. Zijue mbinu za mashindano — adui wa nafsi.

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

Kumbuka masomo yetu ya awali: kuwa na mpango, kariri maandiko, rudia ufunguzi na kufunga, fanya migeuko, kaa kwa njia, na ufanye mazoezi, mazoezi na mazoezi! Mwanamke alikuja kwangu baada ya mkutano wa kampeni na kusema, ― Nimesisimuka sana! Ni lazima nikwambie jambo! ‖ Alikuwa amewashuhudia kwa marafiki, kuleta kadhaa kwa kanisa, na kuombea wokovu wao. Lakini hakuwa kamwe amevua yeyote kwa Kristo. ― Niliutumia mpango wako na kuvua nafsi yangu ya kwanza kwake Kristo! ‖ Nakumbuka jinsi Daktari Jack Hyles alivyonifunza mpango wa kuvua nafsi katika Agosti mwaka wa 1965. Nilitoka na kuvua nafsi yangu ya kwanza majira hayo na sasa naweza kufahamu msisimuko wa huyo mwanamke kwa kuwasidia wengine wawaongoze watu kwa Kristo. Bado inabaki hata kwangu mchakato kamwe usioisha wa kujifunza taluma yako. Pili, Athiriwa na wavuvi wakuu wa nafsi wa wakati wote. Kila Mkristo amo katika hali ya kufanyika, kukua, au kupungua katika kila eneo la kimo cha kiroho. Mtu mmoja alisema kwa usahihi kuwa mwaka mmoja kutoka sasa kila mmoja atakuwa jumla ya hesabu ya wale anaojihusisha nao, kile wanachokisoma, na kile wanachokisikiliza. Hii ni kweli katika eneo la uvuvi wa nafsi wa binafsi kama na ilivyo katika eneo lingine la maisha ya Ukristo. Tunahitaji kusoma, kukaa karibu na kuwasikiliza wavuvi wakuu wa nafsi. Katika maisha yangu, Dr. John R. Rice, Dr. Jack Hyles, Dr. Curtis Hutson, Dr. Bob Gray, na wengine wengi wamekuwa na athari ya moja kwa moja ya kibinafsi kwa huduma yangu. Wengine wamekuwa na ushawishi wa moja kwa moja kupitia kwa kusoma, ikiwa ni pamoja na vile Dr. Bob Jones, Hyman Appleman,

Sababu ya Yerusalemu

Charles Finney, D.L. Moody, na Billy Sunday. Swali moja ninaloulizwa mara nyingi ni jinsi ninavyodumu kwalo, au jinsi gane sikati tamaa? Jibu lipo katika kuathiriwa na watu walio sahihi, kulisoma neno lake Mungu, kusikiza jumbe za wavuvi wakuu wa nafsi, na kushirikiana na wale wanaomfanyia Mungu jambo.

Waebrania 10:24 inafanya kazi kwa njia zote mbili: ― Tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana kati upendo na kazi nzuri.‖ Uwe chanya kwa maisha ya wengine. Chochea, himiza, and wasisimue kwa matendo mema. Pia ni jukumu lako kuhakikisha kuwa unadhibiti kwa makini wale unaowaruhusu wakuhimize katika maisha ya Ukristo. Hakikisha kuwa ni mtu tabia halisi ya kiroho aliye na moyo unaopondeka kwa waliopotea.

Wakati wa kampeni ya Jumapili asubuhi, uhudhurio ulikuwa umeonezeka maradufu. Watu miamoja na nane walijibu hadharani na 45 wakaokolewa. Usiku huo mwanamume akaja kwangu na kukiri, ― ni miaka imepita tangu nilipolia chozi juu ya mtu aokoke. Asubuhi ya leo Mungu aliuvunja moyo wangu. Nahitaji kurudia uvuvi wa nafsi. Natakiwa nifanye nini?‖ Nikampendekezea jibu la hapo juu na kuongeza, ― Wavute

wewe mwenyewe na uwaweke chini ya Injili.‖

Usiku uliofuatia akafika na marafike wanne. Baada ya ibada wawili aliokuwa amewavua wakati wa mchana wakaja mbele. Kisha akaanza kuomba kwenye madhabahu kwa muda mfupi, akarejea kitini mwake, na akamleta Yule wa tatu pia. Yule wa nne hakukubali kuja. Baada ya ibada akamleta aliyebakia kwangu na kuuliza kama naweza kumzungumzia rafiki yake kuhusu Kristo. Nilifurahia kufanya na juhudi zangu zikawa na ufanisi.

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

Nikamuliza ni nini kilichofanya awendee hawa wanne. Akanionyesha kitabu na kanda zilizokuwa mezani. ― Baada ya kuongea nawe jana jioni, nilinunua kanda yako juu ya huruma. Niliisikiliza na kuangukia magotini mwangu. Kasha nikafanya orodha ya marafiki zangu waliokuwa wamepotea na hawa wanne walikuwa wa kwanza kwenye orodha.‖ Usiku huo nilirudi chumbani mwa malazi nikiwa nayo furaha na unyenyekevu. Nikatazama toleo kuukuu la Sword Book la mwaka wa 1945 lililoitwa, ― Jinsi ya kuwa na ufufuo.‖ Nilikuwa nikisoma kitabu hicho kama mtu mwenye njaa sana kwa siku nyingi. Mungu alikuwa ameuchochea moyo wangu kupitia kwa wavuvi wa nafsi wakuu wa hapo kale na sasa nilikuwa nimempa changamoto huyu mtu mpendwa kwa kufanya vivyo.

Sanduku la vifaa

Hitimisha Watarajiwa Wako

Kifaa cha mwisho tutakacho kizungumzia kweli ni mojawapo ya zile za muhimu zaidi kutafuna. Kama tulivyojifunza katika sura ya kwanza, kamwe hatupaswi kuudhania wokovu wa mtu. Hata kwa mvuvi wa nafsi aliye mzuri ni moja ya makosa yaliyo rahisi sana kufanya. Watu wengi sana wanajua lugha lakini sio Mwokozi. Wala haidhaniwi kuwa kwamba kwenye siku ya hukumu, watu wengi waliokufa wakifikiri kuwa wako sawa na Mungu watapata kuwa kinyume. Wakati mwingine nawasikia wavuvi wa nafsi wakisema wanahofia kuwa mtu atakwazika ikiwa tayari ni Mkristo nasi tunajaribu kumshuhudia. Hiyo sio kweli.

Sababu ya Yerusalemu

Kinyume chake, itakuwa chanzo cha kutia moyo kwa Yule mtu kushiriki ushuhuda wao na kuona kuwa Mkristo mwingine kutoka kwa kanisa nzuri alikuwa anapendezwa na kulifanya jambo nzuri.

Wakati nikiwa na tembea na mchungaji wa mtaa, nilikutana na mwanamke akifanya kazi nyumbani mwake. Akazungumzia juu ya jinsi mumewe alivyompokea Kristo, kifo chake, na jinsi alivyo mbinguni. Kasha akataja pendo lake kwa kanisa la mtaa, Bibilia, na hata furaha za kutoa zaka. Naweza kusema kwamba ikiwa nilikuwa nimeshawahi shawishika kuwa mtu ameokoka kwa sababu ya maneno yao huyu angekuwa mmoja.

Lakini kwa sababu ya imani yangu ya ndani ya kuwa kamwe usidhanie, nikamtolea ushuhuda wangu, nikielezea kuhusu kuwa mtu wa dini na kutokuwa na uhakika wa 100% juu ya mbinguni. Wakati nilifikia swali kama alikuwa ameokoka, jibu lake likawa ― wokovu ni mojawapo wa suala ambalo sijawahi tatua.‖ Tukaingia zaidi katika mpango na kumwongoza yeye kwake Bwana.

Katika mji mwingine mchungaji mmoja nami tulikutana na mtu mwenye urafiki aliyesema kuwa asili yake ya kanisa ilikuwa Kibaptisti lakini alikuwa ameliondokea kanisa.‖ Tukaisikia hadithi yake ya kutisha jinsi vile dhambi yake ilikuwa imemgharimu kazi yake, afya, na familia. Nikampa ushuhuda wangu na kumuliza maswali.

― Oh, mimi nimeokoka.‖

― Ni lini ulipompokea Kristo?‖

Akaniambia jinsi vile AA alimpa kuwa na heshima mpya kwa ajili ya Mungu na wa yaliyo mema. Nikaufanya uamuzi katika hatua hiyo yakuwa hajaokoka na nikaendela na mpango. Nilikuwa niko sawa kwa sababu dakika chache baadaye alimpokea Bwana.

Fanya Uvuvi wa Nafsi Yawe Maisha Yako

Mvuvi wa nafsi anatakiwa aamue ikiwa mtarajiwa ameokoka au amepotea. Hii sio kumhukumu mtu lakini kuelewa kuwa hatuwezi kumwongoza mtu kwake Kristo ikiwa hatujui kama kuna haja. Watu wengi watasema kuwa wameamua kugeuka, kujiunga na kanisa, kubadilisha muenendo na sisi kimakosa tunaamini kuwa wamempokea Kristo. Na mtu kutoka AA mara ninaaza kushiriki hadithi ya ajabu ya Injili. Nilijua kama tayari ameokoka, ataniambia baadaye nami ningeweza kumsaidia kuelewa msingi wa kibibilia wa wokovu wake. Lakini kama amepotea ningemwongoza kwake Kristo. Aidha kwa njia yote, rafiki yangu, kama kuna shaka yoyote, huwa tuko salama kama wavuvi wa nafsi kuendelea ni kama yule mtu amepotea.

Muhtasari

Wakristo wa hapo kale wangeweka kliniki. Kanisa

lao lilikua kutoka washiriki 120 (Matendo 1:15) hadi

3,000 (2:41) hadi 5,000 (4:4) hadi kwa wingi (4:32).

Wasomi wengi wa Bibilia wanaamini kuwa watu

120,000 (karibu nusu ya idadi ya wakazi wa

Yerusalemu) walifikiwa kwa ajili ya Kristo kati ya

miaka miwili baada ya kifo chake Bwana wetu. Aina

hii hesabu inazingatiwa akilini upesi! Na

zinadhihirisha wazi kabisa kuwa Wakristo wale wa

kwanza hawakukaa tu, kutumainia ubora, na

kuridhishwa na matokeo.

Sababu ya Yerusalemu

Walielewa uhakika wa Yerusalemu — kuwa Mungu alipeana mpango na yote waliotakiwa kufanya ni kutii! Hiyo ndiyo iliyokuwa siri ya idadi kubwa ya ajabu kuokolewa! Walijua kuwa uvuviwa nafsi hutoa ukuaji wa kanisa. Kwa kweli, waligundua kwamba afya ya kiroho ya kanisailikuwa moja sawia na kujitolea kwake kwa uvuvi wa nafsi.

Uvuvi wa nafsi ni suala la mfupa-na-mshipa hapa kwetu katika huduma za David Wood, na ndio sababu tunaomba kuwa Makanisa na Wakristo ujumla wafikirie upya mbinu zao za uvuvi wa nafsi.

Mojawapo ya tokeo dhara lisilotazamwa katika maendelezi yetu ya kiroho ni kuwa tumewaruhusu wataalamu wengi watafsri upya uvuvi wa nafsi kutoka kwa muundo wake wa kale (Agizo Kuu). Matokeo yake, ni makanisa mengi leo pia yanaishi chini ya uwezo wao wa kiroho. Ujumbe wao ni ovyo ovyo na kufikia kwao kunadidimia.

Hiyo ndiyo sababu tunataka kitabu hiki cha kianda kiwafanye Wakristo walio na haja katika kuufanya uvuvi wa nafsi kuwa wa manufaa tena. Sio kuuvumbua upya tena uvuvi wa nafsi, lakini kuupata upya tena na kuruhusu ujenge upya Ukristo wa karne ya 21. Ni wakati wa Wakristo wote kila mahali kutimiza uwezo wa Agizo Kuu.

Mswada wa Mwandishi

Kuandika kitabu hiki kumekuwa uzoefu mtamu kwangu. Umakinifu wako na kuhusika ushiriki wako wa kupitia kwa kurasa 200 na zaidi kunanitia moyo, na ninatumaini uliyachukua maneno yangu ya mapema: Kitabu hiki kimeundwa kwa ajili ya matumizi ya vitendo. Vifaa ni lazima vitumiwe ili kuwa na ufanisi. Kwa muda na kwa mazoezi, natumaini kuwa mbinu zako za uvuvi wa nafsi zitakuwa asili yako ya pili. Najua utafanya ubora wako wote, kama ninavyojua ufanisi utakao upata utabadilisha maisha yako ya kiroho milele. Maisha ya milele, bila shaka ndiyo yaliyo hatarini. Licha ya maendeleo katika teknolojia na mabadiliko katika jamii, Agizo Kuu inabakia pasipo kugeuka. Pengine zaidi ndiyo isiyopitwa na wakati nay a kina katika amri zote za Mandiko. Kwa hivyo ninakuhimiza uende, uwavute, uwabatize, na uwafundishe watu wote, na ninamatumaini ya dhati kuwa nitakutana nawe mahali fulani ndani ya pande za miisho ya dunia yetu ambayo yaweza kuokolewa!

Ni mimi wako kwa ajili ya Nafsi,

David.

Kuhusu Mwandishi

David Wood ni

mwinjilisti wa kimataifa

na mwanzilishi wa

huduma za David Wood

zilizomo

Columbia, SC.

Baada ya kuanzisha

makanisa mawili yenye

shari za uvuvi wa nafsi

na yaliokuwa kwa

umaarufu wa kitaifa,

Wood alijitosa kwa

uinjilisti. Leo, Wood anahubiri kwa kadri ya kampeni arobaini

kila mwaka katika Marekani, pamoja na kuongoza

angalau kampeni moja ya kigeni kila mwaka. Kwa

zaidi ya 130,000 wamempokea Kristo hadharani katika

kuitika mwito wa Injili katika mikutano hii. Vitabu

vyake, video na vifaa vya mafunzo vimeweza

kutafsiriwa katika lugha kadhaa na vinatumiwa

kuwafunza wavuvi wa nafsi kote duniani. Huduma yake David Wood ilianzisha Taasisi ya

mkurugenzi wa uvuvi wa nafsi wa kitaifa (SWDI)

katika mwaka 1998, Januari, amabayo imewafundisha

mamia ya wakurugenzi wa uvuvi wa nafsi kwenye

makanisa ya mitaa, ambao, kwa zamu, wameanzisha

huduma zenye ufanisi za kufikia jamii zao. Kuzidisha,

kupitia Additionally, kupitia kwa mpango wa taasisi,

Wood alizindua Operesheni Asia 2000, akampeni ya

hatua-tatu amabayo imewafunza maelfu za wachungaji

wa taifa kotekote Asia ya kusini mashariki. Matokeo za

juhudi hii kubwa imekuwa mamia ya makanisa

kuanzishwa na maelfu kuvutwa kwake Kristo kutumia

mbinu na vifaa vya SWDI. Kama mnenaji wa kuhimiza anayetambulika, Wood

amejito kwa mwenendo wa maisha ya uvuvi wa nafsi

na kubadilishana kanuni hii na wengine. Ni imani kuwa

uvuvi wa nafsi kama dhana ilitupiliwa mbali wakati wa

miaka ya themanini lakini imejitokeza tena katika

miaka ya tisini na itapanuliwa zaidi katika millennia

mpya. Ombi lake ni kwamba Mungu atakitumia kitabu

hiki kama kichocheo katika kuzalisha harakati za uvuvi

wa nafsi katika karne ya 21.

Huduma za David Wood

3514 Bush River Rd

Columbia, SC 29210

803-401-5752

[email protected]

www.dwministries.org