126

Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

  • Upload
    others

  • View
    51

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

Dua za

Mwezi wa RaMaDhan

Kimekusanywa na: Tayyiba Publishers – Canada

Kimetarjumiwa na: Ustadh Haji Hemedi Lubumba Selemani

na Al-Haj Ramadhani S. K. Shemahimbo

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 1 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 2: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

© haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION

iSBn: 978 – 9987 – 17 – 035 – 7

Kimekusanywa na: Tayyiba Publishers - Canada

Barua Pepe: [email protected]

Kimetarjumiwa na: Ustadh Haji Hemedi Lubumba Selemani

na Al Hajj Ramadhani S. K. Shemahimbo

Toleo la Kwanza: June, 2016 nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation

S.L.P. 19701 Dar es Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2110640 / 2127555 Barua Pepe: [email protected]

Tovuti: www.alitrah.info

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 2 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 3: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

YaliYoMo

Neno la Mchapishaji ....................................................................... 1

Dua katika Mwezi wa Ramadhani Tukufu ...................................... 3

Dua Uuonapo Mwezi Mwandamo Wa Ramadhani ......................... 5

Dua Za Usiku wa Ramadhani ......................................................... 8

Dua ya Kwanza ............................................................................... 8

Dua ya Pili ..................................................................................... 12

Maelezo Mafupi Juu Ya Dua Ya Al-Iftitah: ................................... 15

Kumtukuza Mwenyezi Mungu: ................................................... 16

Msisitizo Juu Ya Upweke (Tawhiid) Wa Allah: ........................... 16

Ukarimu Wa Mwenyezi Mungu: .................................................. 16

Mahusiano Ya Allah Na Wanadamu: ........................................... 17

Kumswalia Mtukufu Mtume (Salawat): ...................................... 17

Rehma Na Amani Juu Ya Ma’sumiin: .......................................... 18

Jukumu La Imam Wa Kumi Na Mbili (A.S.): .............................. 15

Dua Ya Tatu ................................................................................... 20

Dua Ya Nne : Dua Al-Iftitah ......................................................... 22

Dua Ya Tano .................................................................................. 55

Dua Ya Sita.................................................................................... 60

Dua Ya Saba .................................................................................. 63

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 3 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 4: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

Dua Ya Sahri (DAKU) .................................................................. 64

Ziyara Al-Waritha ......................................................................... 68

Ziyara Ya Ali Akbar (A.S.) ............................................................ 74

Ziyara Ya Wahanga Wote .............................................................. 75

Ziyara Ya Abul-Fadhli Abbas (A.S.) ............................................. 78

Dua Baada Ya Ziyara .................................................................... 80

Dua Za Kila Siku Ya Ramadhani .................................................. 83

Mwezi Mosi: ................................................................................. 83

Mwezi Pili: ................................................................................... 84

Mwezi Tatu: ................................................................................. 84

Mwezi Nne: .................................................................................. 85

Mwezi Tano: ................................................................................ 86

Mwezi Sita: .................................................................................. 87

Mwezi Saba: ................................................................................. 87

Mwezi Nane: ................................................................................ 88

Mwezi Tisa: .................................................................................. 89

Mwezi Kumi: ............................................................................... 89

Mwezi Kumi Na Moja: ................................................................ 90

Mwezi Kumi Na Mbili: ................................................................ 91

Mwezi Kumi Na Tatu: .................................................................. 92

Mwezi Kumi Na Nne: .................................................................. 92

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 4 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 5: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

Mwezi Kumi Na Tano: ................................................................. 93

Mwezi Kumi Na Sita: .................................................................. 94

Mwezi Kumi Na Saba: ................................................................. 94

Mwezi Kumi Na Nane: ................................................................ 95

Mwezi Kumi Na Tisa: .................................................................. 96

Mwezi Ishirini: ............................................................................. 96

Mwezi Ishirini Na Moja: .............................................................. 97

Mwezi Ishirini Na Mbili: ............................................................. 98

Mwezi Ishirini Na Tatu: ............................................................... 99

Mwezi Ishirini Na Nne: ............................................................... 99

Mwezi Ishirini Na Tano: ............................................................ 100

Mwezi Ishirini Na Sita: .............................................................. 101

Mwezi Ishirini Na Saba: ............................................................ 101

Mwezi Ishirini Na Nane: ............................................................ 102

Mwezi Ishirini Na Tisa: ............................................................. 103

Mwezi Thelathini: ...................................................................... 104

Dua Ya Mikesha Kumi Ya Mwisho ............................................. 105

Kithirisha Maneno Haya: ........................................................... 111

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Ishirini Na Moja ................................ 112

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Ishirini Na Mbili ................................ 116

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Ishirini Na Tatu .................................. 121

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 5 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 6: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

vi

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Ishirini Na Nne .................................. 125

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Ishirini Na Tano ................................. 130

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Ishirini Na Sita .................................. 134

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Ishirini Na Saba ................................. 138

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Ishirini Na Nane ................................ 143

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Ishirini Na Tisa .................................. 147

Dua Ya Usiku Wa Mwezi Thelathini ........................................... 151

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 6 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 7: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

1

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

حيم ن الر حم ه الربسم الل

neno la MchaPiShaji

Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha dua (Kiarabu/Kingereza) kwa jina la A Manual of Ramadhan

Devotion. Sisi tumekiita, Du’a za Mwezi wa Ramadhani.

Kitabu hiki ni mkusanyiko wa dua maarufu zinazosomwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Jambo bora kabisa ambalo muumini anaweza kuomba wakati wa mwezi huu ni maghfira na msamaha kutokana na dhambi zake zilizopita. Nyingi ya dua maalumu kwa mwezi wa Ramadhani ni za kuomba msamaha wa mzigo mkubwa wa dhambi ambao mtu ameubeba.

Ramadhani ni nafasi nzuri sana aliyopewa yeye kufanya madhambi yake yafutwe na kujipatia cheo cha juu mbele ya macho ya Mwenyezi Mungu.

Kutokana na umuhimu wa dua hizi, tumeamua kukichapi-sha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili, kwa lengo letu lile lile la kuwahudumia ndugu zetu Waislamu wazungumzaji wa Kiswahili.

Tunamshukuru ndugu yetu Ustadh Al Haji Hemedi Lubumba Selemani na Al Haji Ramadhani S. K. Shemahimbo, kwa kukubali jukumu hili la kukitarjumi kitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wote walioshiriki katika kusahi hisha na kukipitia hadi kufanikisha kuchapishwa kwake. Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitaku-wa ni chenye manufaa kwa wasomaji wetu na kuzidisha upeo wao wa ibada na elimu katika dini.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 1 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 8: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

2

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ShuKRani MaaluMu

Wachapishaji wa kwanza wa kitabu hiki katika lugha ya Kiarabu / Kiingereza ni:

Tayyiba Publishers canada

Barua pepe: [email protected]

Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation inaishukuru sana Taasisi hii kwa kutukubalia tuki tarjumi kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili. Tunamuomba Allah ‘Azza wa Jalla awazidishie kila la kheri wazidi kuendeleza kazi hii ya tablighi ulimwenguni kote -Amin.

Mchapishaji:

alitrah Foundation.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 2 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 9: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

3

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

حيم ن الر حم ه الربسم الل

Dua KaTiKa Mwezi wa RaMaDhani TuKuFu

Mwezi wa Ramadhani ni fursa iliyotolewa na Muumba Mwenye huruma kwa ajili ya waja wake kujikurubisha karibu Naye,

kuomba msamaha kwa ajili ya dhambi zao, na ukidhiwaji wa haja zao. Ndani ya Qur’ani Tukufu, katikati ya mjadala muhimu juu ya mwezi wa Ramadhani, Aya ifuatayo, ambayo ni dhahiri kwamba haina uhusiano wa moja kwa moja na Ramadhani, imeingizwa: “na waja wangu watakapokuuliza juu yangu basi hakika mimi nipo karibu, nayaitika maombi ya muombaji anaponiomba, basi waniitikie na waniamini, ili wapate kuongoka. (2:186)

Wafasiri wanakubaliana kwamba hii ni Aya yenye nguvu sana kati ya Aya zote juu ya uhusiano wa ki-ungu na binadamu. Aya yote imesima ma katika kiwakilishi nomino cha umoja (singular) nafsi ya kwanza, ambayo imerudiwa mara saba. Ni uthibitisho wa ule uhu-siano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t).

Kwamba Aya kama hii ni lazima ijumuishwa miongoni mwa Aya zina zozungumzia umuhimu wa mwezi wa Ramadhani, na baadhi ya kanuni zake (tazama 2:182-7), ni dalili ya dhima muhimu ya Dua katika mwezi wa Ramadhani. Kujizuia kutokana na kukidhi mata-manio ya kimwili kuna chochea kuongezeka kwa imani ya kiroho, na kunasababisha mwelekeo juu Swala na ibada kwa jumla.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 3 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 10: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

4

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Waumini hujihisi kuwa karibu na Mwenyezi Mungu, na Mun-gu huwakumbusha kwamba na Yeye pia yuko karibu, na atayajibu maombi na Dua zao. Masiku (mikesha) ya mwezi wa Ramadha-ni hutumika kwa kukesha katika swala na Dua kwa wingi. Hata wale waumini ambao kwa kawaida hawana muda mwingi kwa ajili ya Dua, wanajaribu kufanya hivyo katika mwezi huu. Hii ni kwa sababu ya msisi tizo wa utukufu wa mwezi huu, na ile ahadi ya thawabu za ziada, na vilevile ule uhakikishiwaji wa majibu ma-zuri ya mafanikio. Anasema Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “…..fanya maombi ukiwa umenyanyua mikono yako juu ….. kwani hizi ndio nyakati bora zaidi, ambazo kwamba Mwenyezi Mungu Mtukufu anawaangalia waja wake kwa huruma, anajibu Dua zao kama wakiomba, anaitika kama wanamwita, anatoa kama wakiomba na anawakubalia kama wakimsihi ….. (hadithi ya Mtume anapoukari-bisha mwezi wa Ramadhani).

Jambo bora kabisa ambalo muumini anaweza kuomba waka-ti wa mwezi huu ni maghfira, msamaha juu ya dhambi zake zi-lizopita. Nyingi ya Dua maalum kwa mwezi wa Ramadhani ni za kuomba msamaha wa mzigo mkubwa wa dhambi ambao mtu ameubeba. Ramadhani ni nafasi nzuri sana aliyopewa yeye kufan-ya madhambi yake yafutwe, na kujipatia cheo cha juu mbele ya macho ya Mwenyezi Mungu. Hivyo watu wengi wanasame hewa katika mwezi huu kiasi kwamba ni wale wasio na bahati tu am-bao wanakoseshwa. Mtukufu Mtume anasema katika hadithi hiyo hiyo: “Hakika mwenye majuto ni yule ambaye anakosa msamaha wa Mwenyezi Mungu katika mwezi huu mashuhuri.” Mambo men-gine ya kuomba ni pamoja na kukidhiwa haja, kuondolewa mateso, na mafanikio katika akhera.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 4 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 11: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

5

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua uuonaPo Mwezi MwanDaMo wa RaMaDhani

Mwenyezi Mungu ameagiza kwamba Waislamu watumie mwendo wa mwezi ili kutambua upitaji wa miezi na miaka. Wakati wale Waislamu wa mwanzo walipoulizwa juu ya mwezi mpya (mwanda-mo), Mwenyezi Mungu akashusha Aya isemayo: Mwenyezi Mungu asema:

اس ل هي مواقيت للنة ق

هل

ك عن ال

ون

ليسأ

حج }189{وال

“wanakuuliza juu ya miezi: Sema : hivyo ni (vipimo asilia) vya nyakati kwa ajili ya

(mfumo wa maisha ya) watu na hijja .(2:189)

Mwezi mwandamo wa Ramadhani ni makhsusi kwa Waislamu.

Unatangaza kuanza kwa mwezi mtukufu huo na kuanza kwa reh-ma na neema zinazohusiana na Ramadhani. Kwa mujibu wa Mtuku-fu Mtume (s.a.w.w.) yeyote yule anayeuona mwezi mwandamo wa Ramadhani ana paswa kusoma Dua ifuatayo.*

حيم ن الر حم ه الربسم الل

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 5 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 12: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

6

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ين عال

ك هللا رب ال ي ورب رب

Mlezi wangu na Mlezi wako ni allah, Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe.

يمان

من وال ينا بال

ه عل

هل

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! uandamishe kwetu kwa amani na imani.

مسال

مة وال

ال والس

Kwa salama na unyenyekevu.

ر�ضىحب وت

ى ما ت

سارعة إل

وال

na kwa kuharakisha kuyaendea yale uyapendayo na kuyaridhia.

اا هذ

هرن

نا في ش

هم بارك ل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Tupe baraka ndani ya mwezi wetu huu.

هيره وعون

نا خ

وارزق

Turuzuku kheri yake na msaada wake.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 6 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 13: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

7

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

تهه وفتن

ئ

ه وبال ر

ه وش ا ضر عن

واصرف

na tuepushie madhara yake, shari yake, balaa lake na mtihani wake.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 7 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 14: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

8

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua za uSiKu wa RaMaDhani

Kila usiku wa mwezi wa Ramadhani ni wakati wa kumwabudu Allah (s.w.t.). kwa kumuomba na kutaka msamaha Wake.

Mwenyezi Mungu ana jua kwamba wanadamu wana uwezekano wa kutenda dhambi, na wanahi taji fursa na wasaa wa kutubia na ku-jirekebisha.

Hivyo mwezi wa Ramadhani ni msimu wa Dua na kuomba maghufira ambapo Waislamu wanajivua mizigo ya dhambi. Dua zinazofuata zimefundishwa na Ma’sumiin (a.s.) na zinatuonyesha sisi namna ya kutafuta msamaha na Huruma za Allah katika mwezi huu.

Dua Ya Kwanza

Baada ya kumtukuza Mwenyezi Mungu, Dua inayofuata inaelezea ubora wa mwezi wa Ramadhani, na sifa zake bainifu. Wenye kuabudu na wenye kuomba wanapata upendeleo maalumu ikiwa wataomba ndani ya mwezi huu. Dua hii imependekezwa pia baada ya Swala za wajibu.

حيم ن الر حم ه الربسم الل

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 8 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 15: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

9

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يا علي يا عظيمewe uliye juu! ewe Mwenye uwezo!

فور يا رحيميا غ

ewe Msamehevu! ewe Mrehemevu!

عظيمب ال ت الر

نأ

wewe ni Mola Mlezi uliye na uwezo,

يئ

له شمث

يس ك

ذي ل

لا

ambaye hakuna yeyote mfano wake,

بصيرميع ال وهو الس

na Yeye ni Msikivu, Mjuzi.

مته رمته وك

هر عظ

ا ش

وهذ

huu ni mwezi ulioutukuza na kuupa heshima,

هور ى الشته عل

ل ض

ته وف

ف ر

وش

ulioupa sharafu na ubora kuliko miezi mingine,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 9 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 16: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

10

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يرضت صيامه عل

ذي ف

هر ال

وهو الش

nao ni mwezi ambao umefaradhisha funga juu yangu,

قرءانت فيه ال

زل

نذي أ

هر رمضان ال

وهو ش

nao ni mwezi wa Ramadhan ambao ndani yake umeteremsha Qur’an,

انفرق

هدى وال

ن ال نات م اس وبي هدى للن

ili kuwa mwongozo kwa watu, na dalili zilizo wazi za mwongozo na upambanuzi.

درق

ال

ة

يل

ت فيه ل

وجعل

ndani yake umeweka laylatul-Qadri,

هر

ف شل من أ

يرا

تها خ

وجعل

na ukaufanya kuwa bora kuliko miezi elfu.

يك يمن عل

ن ول

ا ال

يا ذ

ف

ewe Mwenye fadhila na wala hakuna yeyote mwenye kukufadhili,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 10 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 17: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

11

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يهمن عل

ار فيمن ت بتي من الن

ي بفكاك رق

من عل

nifanyie fadhila kwa kuniepusha na moto. niwe miongoni mwa wale uwafanyiao fadhila,

احمين رحم الر برحمتك يا ا

ة جن

ني ال

دخل

وأ

na niingize Peponi kwa rehema zako ewe Mbora wa wenye kurehemu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 11 6/16/2016 4:29:21 PM

Page 18: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

12

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya Pili

(Kwa ajili ya kila usiku wa Ramadhani na kwa nyakati zote):

Moja ya taratibu za Dua ni kuwaombea wengine, kuwakumbuka wale ambao wana shida.

Ni kitendo kisicho na ubinafsi, kuonyesha ubinadamu na ku-wafikiria wengine. Mwenyezi Mungu anampenda sana yule mtu anayewaombea wengine kwanza, halafu ndipo ajiombee yeye mwe-nyewe. Imam wa sita (a.s.) anasema: “Wakati Mwislamu anapomu-ombea ndugu yake, (nyongeza katika) riziki inatolewa kwake kwa wingi, mateso husukumiliwa mbali na yeye, na malaika wanam-wambia: “Utapata nawe pia kama hayo hayo.”

Watu wengi duniani kote wanapatwa na matatizo yasiyoelezeka. Dhulma na uonevu vimeenea katika nchi nyingi. Ni kidogo sana tunachoweza kufanya ili kuyaondoa mateso hayo.

Hata hivyo, tunaweza angalau kuwaombea kwa kweli ya dhati, tukitegemea kwamba Mwenyezi Mungu atawasaidia kwani anao uwezo juu ya kila kitu. Na sisi vilevile tuna muomba Allah (s.w.t.), atatupatie nia na uwezo wa kuwasaidia wengine kwa njia yoyote tutakayoweza.

حيم ن الر حم ه الربسم الل

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 12 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 19: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

13

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

د ل محما د و ى محم

ي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mpe rehema Muhammad na aali Muhammad.

رور قبور السهل ال

ى ا

دخل عل

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! wape furaha watu wa makaburini.

قيرل ف

ن ك

غ

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mtajirishe kila fakiri.

ل جائعبع ك

ش

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mshibishe kila mwenye njaa.

ل عريانس ك

هم اك

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mvishe kila aliye tupu.

ل مدينض دين ك

هم اق

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mlipie deni kila mwenye deni.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 13 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 20: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

14

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

روبل مك

رج عن ك

هم ف

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mfariji kila mwenye matatizo.

ريبل غ

هم رد ك

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrejeshe nyumbani kila mgeni.

سيرل ا

ك ك

هم ف

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mwachie huru kila mateka.

سلمين مور ال

اسد من ا

ل ف

صلح ك

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! Sahihisha kila lisilo sawa miongoni mwa mambo ya waisila mu.

ل مريضف ك

ش

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mponye kila mgonjwa.

ا بغناكقرن

هم سد ف

لل

ا

ewe Mungu wangu! ziba ufakiri wetu kwa utajiri wako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 14 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 21: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

15

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ر سؤء حالنا بحسن حالكيهم غ

لل

ا

ewe Mungu wangu! Badili ubaya wa hali yetu kwa uzuri wa hali Yako.

فقرننا من ال

ين واغ ا الد ض عن

هم اق

لل

ا

ewe Mungu wangu! Tulipie deni na tusaidie dhidi ya ufakiri.

ديريئ ق

ل ش

ى ك

ك عل إن

hakika wewe ni Mwenye uwezo juu ya kila kitu.

Maelezo MaFuPi juu Ya Dua Ya al- iFTiTah:

Dua al-Iftitah ilifundishwa na Imam wetu wa kumi na mbili (a.s.) kwa ajili ya Mashia kusoma kila usiku wakati wa mwezi wa Ramadhani. Dua hii ni bora sana kwa ajili ya kujenga mwelekeo wa mwanadamu kwa Mola Wake kwa vile inazungumzia vipengele vingi vya udhaifu wa binadamu, na neema za Allah. Dua hii inaweza kugawanyika ka-tika sehemu mbili:

1. Uhusiano wa binadamu na Mwenyezi Mungu.

2. Viongozi wa ki-Ungu watakatifu.

Sehemu ya kwanza ya Dua hii inaelezea sifa mbalimbali za Mwenyezi Mungu, na inadhihirisha hali ya huruma na upendo wa Mwenyezi Mungu juu ya wanadamu. Sehemu hii ya Dua inaweza kugawanywa zaidi katika vifungu vifuatavyo:

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 15 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 22: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

16

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

KuMTuKuza MwenYezi Mungu:

Kama ilivyo taratibu ya Dua, Dua hii ya al-Iftitah inaanza na kum-sifu na kumtukuza Mwenyezi Mungu. Hii sio kwa sababu kwamba Mwenyezi Mungu anahitajia kusifiwa kabla ya Yeye kujibu Dua zetu, bali ni kumkumbusha muombaji juu ya yule Muweza wa yote anayeongea naye, na hatimaye kuweka hofu juu ya Allah katika nyoyo ambazo mara nyingi zinakuwa hazizingatii.

Uanzaji wa Dua hii unamuweka muombaji katikati ya matumai-ni na hofu, mtazamo bora wakati unapoomba. Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa huru ma, lakini pia ni mkali wa kuadhibu. Binadamu wasiwe wenye kukata tamaa, wala wasijiamini sana bali wadumu katika Njia Yake.

MSiSiTizo juu Ya uPweKe (TawhiiD) wa allah:

Mwenyezi Mungu hana mshirika wala mtoto, na anayo mamlaka kamili na udhibiti usiogawanyi ka, juu ya viumbe. Wakazi wa angani na mbinguni wanamtegemea Yeye. Hii ni kuimarisha utegemeaji wa muombaji juu ya Mwenyezi Mungu, kwani hakuna mwingine tena anayeweza kumgeukia.

uKaRiMu wa MwenYezi Mungu:

Hazina za Mwenyezi Mungu hazifilisi ki wala haziishi, na wakati wote zinatolewa kwa ukarimu juu ya viumbe Wake. Shida za binad-amu ni nyingi mno, na kwa kuuwacha wazi mlango wa Du’a, Mwe-nyezi Mungu amewapa ufunguo wa kwenye hazina Zake. Milango Yake wakati wote iko wazi, na hakuna maombi yoyote Kwake ya-nayokataliwa bila ya majibu fulani.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 16 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 23: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

17

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Lakini mara nyingi mwanadamu ni mtovu wa shukurani, na wakati wote ni mlafi. Anategemea kwamba Du’a zake siku zote zi-tajibiwa mara moja. Wakati kuridhika kama huko hakupatikani, yeye anageuka, badala ya kujikumbusha yeye mwenyewe juu ya neema zote anazozifaidi.

MahuSiano Ya allah na wanaDaMu:

Ni uhusiano wa ajabu kweli kweli! Ingawa ni mwanadamu anayem-hitaji Allah, na anapaswa kujitahidi kumuelekea Yeye; ni Mwenyezi Mungu anayemualika na kumhimiza yeye kuja, ambaye anaonyesha upendo na huruma na anaendelea kumpendelea kwa njia nyingi.

Kama anavyosema Imam wa nne katika Dua ya Abu Hamza Thumali: “Shukurani zimwendee Allah ambaye huniitikia mimi pale ninapomwita, ingawa mimi ninasitasita pale anaponiita, na sifa ni kwa juu Yake Allah ambaye hunipa mimi wakati ninapomuomba, ingawa mimi ni bakhili pale anaponiomba.” Hii inafaa kuitafakari kwa wale wanaomdha nia Mwenyezi Mungu kwamba ni bwana wa kidhalimu anayeweka sheria juu ya wanaadamu.

Sehemu hii ya Dua ni somo bora sana katika mtazamo wa Ki-islam wa sifa za Mwenyezi Mungu. Mola wa Uislam ni mwenye upendo, Mungu mwenye huruma anayewatendea wanadamu kwa ubora zaidi kuliko wanavyostahili. Msingi wa uhusiano kati ya Mwenyezi Mungu na mwanadamu ni upendo wa Muumba juu ya viumbe Wake. Ni juu ya mwanadamu kuupekua moyo wake kwa ajili ya mwitiko wa kutendeana. Sehemu ya pili ya Du’a hii inamta-kia rehema na amani Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Ma’asuumin wote, na halafu inazungumzia jukumu la Imam wa kumi na mbili (a.s.).

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 17 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 24: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

18

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

KuMSwalia MTuKuFu MTuMe (SalawaT):

Baada ya imani juu ya Mwenyezi Mungu, sehemu muhimu ya dini inayofuata ni imani juu ya wale aliowatuma. Hivyo baada ya kukiri Ukuu na Upole wa Muumba, Du’a hii inatufundisha sisi kuwakiri wale viongozi wa Ki-Ungu watukufu kama viongozi wetu kuelekea kwa Allah (s.w.t.) Rehma na amani zina tumwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama ishara ya mapenzi na shuku rani kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kutambua kwamba yeye ni binadamu na anahitaji hu-ruma na neema kutoka kwa Allah. Inaimarisha vilevile ukumbusho kwa Mtume (s.a.w.w.) na msukumo wa kuifuata njia yake.

RehMa na aMani juu Ya Ma’SuMiin:

Baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) warithi waandamizi wake wa-nakumbukwa na kuombewa. Hawa ndio viongozi halisi wa umma wa Kiislam ambao waliteuliwa na Mwenyezi Mungu. Imani juu yao, na upendo kwao ni sehemu muhimu ya imani ya ki-Shi’a.

juKuMu la iMaM wa KuMi na MBili (a.S.):

Katika kila zama Mwenyezi Mungu huwa anaye mwakilishi Wake ambaye anawaongoza viumbe Wake kwenye kusimamisha haki na uadilifu katika ardhi. Huyo Imam wa Kumi na mbili ndiye kiongozi wa zama zetu hizi, ambaye atakuja kudhihiri na dini ya Mwenyezi Mungu itashinda (dini zote) duniani.

Sehemu ya mwisho ya Dua al-Iftitah inazungumzia kuhusu kuja kwake, kuwaandaa waumini juu ya kusimama kwa utawala wa Allah unaotarajiwa juu ya ardhi. Kuomba msaada na ushindi kwa ajili ya Imam wa Kumi na mbili kunatukumbusha sisi kwamba tunamngojea yeye, na tunahitaji kujiandaa kwa ajili ya kuja kwake. Tunakuwa tu-natambua wajibu wetu katika wakati wa kughibu (kufichika) kwake,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 18 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 25: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

19

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

na umuhimu wa kujifundisha sisi wenyewe kama wasaidizi wake. Tunaomba kwa ajili ya ndoto ya mwisho ya Mwislam, hali ambayo dini ya Mwenyezi Mungu inapata umuhimu mkubwa, na ukafiri na unafiki vinadhalilishwa.

Dua al-Iftitah inatukumbusha sisi kwamba imani na vitendo vy-ote ni muhimu na vya lazima ili kuwa muumini halisi na wa kweli. Imani juu ya Mwenyezi Mungu inafungamana na kuufanyia kazi ujumbe Wake ulioku ja na Mtume Wake, na kusimamisha dini Yake duniani. Wakati ambapo hilo linaweza kufanyika tu kupitia kwa Imam, sisi tunapaswa kufanya kazi na kuomba kwa ajili ya kudhihiri kwake. Wanadamu wanaweza kufaidi uadilifu na amani halisi, na kutimizwa kwa haja zao, chini ya kiongozi huyo Mtukufu.

Dua al-Iftitah sio maombi tu kwa ajili ya shida na haja zetu, bali ni ufundishaji wa mizizi ya imani, na upangaji kwa ajili ya namna ya maisha. Inabakia kwetu sisi kuandaa jedwali la maisha yetu wakati tunapoisoma du’a hii nzuri katika kila usiku wa Ramadhani.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 19 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 26: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

20

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya TaTu

Dua hii Kwa Kawaida husomwa Kabla Ya Dua al-iftitah

Hii ni Du’a fupi lakini yenye manufaa makubwa sana. Ndani yake tuna muomba kwamba Mwenyezi Mungu atujaalie fursa

ya kwenda Hijja, na kwamba atusamehe dhambi zetu. Kuhiji kwe-nye nyumba ya Allah (s.w.t.) ni tendo kubwa sana la ibada na tamaa kuu ya kila Muislam. Imam Ali (a.s.) anasema kuhusu hujaji: “Yule anayekwenda Hijja na Umra ni mgeni wa Mwenyezi Mungu, na ni haki juu ya Mwenyezi Mungu kwamba amheshimu mgeni Wake, na anaonyesha mapenzi Yake kwake kupitia msamaha (wa dhambi).”

حيم حمن الر بسم هللا الر

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

د آل محم د و ى محمي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mpe rehema Muhammad na aali za Muhammad.

قرآنت فيه ال

زل

نذي ا

هر رمضان ال

هم رب ش

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mola Mlezi wa mwezi wa Ramadhan, ambao ndani yake uliteremsha Qur’an,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 20 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 27: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

21

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يام ى عبادك فيه الصرضت عل

تواف

na humo ukafaradhisha funga kwa waja wako.

د آل محم د و ى محمي عل

صل

Mpe rehema Muhammad na aali za Muhammad.

حرامني حج بيتك ال

وارزق

niruzuku kwenda kuhiji nyumba yako tukufu,

ل عاما وفي ك

في عامي هذ

ndani ya mwaka huu na kila mwaka.

امعظ

وب ال

نك الذ

فر لي تل

واغ

nisamehe dhambi hizo kubwa.

يرك فرها غ

يغ

ه ل إن

ف

Kwa hakika hakuna yeyote asiye wewe awezaye kuzisamehe,

م

يا رحمن يا عالewe Mwingi wa rehema uliye Mjuzi mno.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 21 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 28: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

22

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya nne : Dua al-iFTiTah

حيم حمن الر بسم هللا الرKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema,

Mwenye kurehemu.

د آل محم د و ى محمي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mpe rehema Muhammad na aali Muhammad.

ناء بحمدكتتح الث

ف

ي ا

هم إن

لل

ا

ewe Mungu wangu! hakika mimi naanza kukutukuza kwa hamdi Yako,

ك واب بمن د للص ت مسدنوأ

nawe ni Mwenye kuelekeza kwenye usahihi kwa wema wako.

عفو احمين في موضع ال رحم الر

ت ا

نك أ ن

نت أ

يق

وأ

حمة والر

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 22 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 29: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

23

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

nina yakini kuwa hakika wewe ndiye Mbora wa warehemevu pale pana postahiki msamaha na rehema.

قمة ال والنك ن

عاقبين في موضع ال

د ال

ش

وا

lakini ni mkali wa adhabu pale panapostahiki onyo na adhabu.

مةعظ

كبرياء وال

رين في موضع ال تجب

م ال

عظ

وا

na ni mwenye nguvu kuliko majabari pale panapostahiki kiburi na nguvu.

تكلت لي في دعائك ومسئ

ذن

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! umenipa idhini ya kusoma dua na kukuomba,

اسمع يا سميع مدحتيف

hivyo sikiliza utukuzo wangu ewe Msikivu!

جب يا رحيم دعوتيوا

nijibu ombi langu ewe Mrehemevu!

رتيفور عث

قل يا غ

وا

Samehe makosa yangu ewe Msamehevu!

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 23 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 30: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

24

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

جتها رد ف

ربة ق

م يا الهي من ك

ك

ف

Matatizo mangapi ewe Mungu wangu umeyafariji,

فتها

شد ك

وهموم ق

na tabu ngapi umeziondoa,

تها لق

د ا

رة ق

وعث

Makosa mangapi umeyaondoa,

رتها

شد ن

ورحمة ق

Rehema ngapi umezieneza,

تهاك

ك

د ف

ء ق

ة بال

ق

وحل

na milolongo mingapi ya balaa umeitawanya.

دا

ول

ل و

صاحبة

خذ م يت

ذي ل

ه ال

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu ambaye hana mke wala mtoto.

كل ريك في ال

ه ش

م يكن ل

ول

hana mshirika katika ufalme,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 24 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 31: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

25

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

بيرا

ك

ره ت ب

ل وك

ه ولي من الذ

م يكن ل

ول

hana msaidizi kwa udhalili, hivyo mtukuze mno.

ها لى جميع نعمه ك

ها عل

له بجميع محامده ك

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu kwa yote anayostahili kusifiwa juu ya neema Zake zote.

مرهه في أ

منازع ل

كه ول

ه في مل

مضاد ل

ه ل

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu asiye na mkabala katika ufalme wake, wala mpinzani katika

amri Yake.

ه بيه ل

ش

قه ول

له في خ

ريك ل

ش

ذي ل

ه ال

حمد لل

لا

متهفي عظ

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu ambaye hana mshirika katika kuumba Kwake, wala mwenza katika

utukufu wake.

ق امره وحمدهلخ

فا�ضي في ال

ه ال

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu mwenye kueneza miongozo kwa viumbe.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 25 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 32: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

26

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

رم مجدهك

اهر بال

الظ

na utukufu wake uko dhahiri kwa uzuri wa ukarimu wake.

جود يدهباسط بال

ال

Mwenye kufumbua mkono wake kwa ukarimu wake.

زائنهنقص خ

تذي ل

لا

ambaye hazina Yake haipunguki.

رما وك

جودا

اء إل

عط

ال

رة

ثزيده ك

ت

ول

wala wingi wa utoaji hauzidishi ila ukarimu.

اب وهعزيز ال

ه هو ال إن

hakika Yeye ni Mwenye uwezo na Mtoaji.

ثير من ك

ليال

ك ق

لسئ

ي أ

هم إن

لل

ا

ewe Mungu wangu! hakika mimi nakuomba kichache toka kwenye kingi,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 26 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 33: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

27

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يه عظيمةمع حاجة بي إل

japokuwa haja yangu kwacho ni kubwa.

ثيرديم وهو عندي ك

وغناك عنه ق

na kutokukihitaji Kwako ni kwa kudumu, nacho kwangu ni kingi,

يك سهل يسيروهو عل

na kwako ni chepesi na rahisi.

بينهم إن عفوك عن ذ

لل

ا

ewe Mungu wangu! hakika msamaha wako wa dhambi zangu,

تيطيئ

جاوزك عن خ

وت

na usamehevu wako makosa yangu,

مي لوصفحك عن ظ

usamehevu wako wa dhulma yangu,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 27 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 34: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

28

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

بيح عمليى ق

رك عل

وست

na sitara Yako juu ya ubaya wa amali yangu,

ثير جرميمك عن ك

وحل

na upole wako dhidi ya wingi wa makosa yangu,

اي وعمديط

ان من خ

عند ما ك

Pindi nikukoseapo kwa bahati mbaya na makusudi,

ستوجبه منك ا

ك ما ل

لسئ

ن ا

معني في ا

ط

ا

Yamenitamanisha nikuombe yale nisiyopaswa kutoka kwako.

تني من رحمتكذي رزق

لا

ambayo umeniruzuku toka kwenye rehema zako,

درتك ريتني من ق

وا

na umenionyesha toka kwenye uwezo wako,

تني من اجابتكف وعر

na umenitambulisha toka kwenye majibu Yako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 28 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 35: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

29

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

دعوك آمناصرت ا

ف

hivyo nimekuwa nikikuita huku nikiwa ni mwenye amani,

نساك مستا

لسئ

وا

na nikukuomba huku nikiwa sina upweke.

وجال

ائفا ول خ

ل

Sina khofu wala woga,

يكصدت فيه ال

يك فيما ق

عل

امدل

Bali nina imani juu Yako kuhusu yale niliyokusudia Kwako.

يكي عتبت بجهلي عل عن

أبط

إن ا

ف

likawiyapo (jibu) hukulalamikia kwa ujinga wangu juu Yako,

ير ليي هو خ عن

أبط

ذي ا

عل ال

ول

na huenda ulilolikawiza kwa ajili yangu ndio kheri kwangu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 29 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 36: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

30

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

مور مك بعاقبة ال

لعل

Kwa kuwa wewe ndiye Mjuzi wa matokeo ya baadaye.

يئيم منك عل

ى عبد ل

صبر عل

ريما ا

ر مولى ك

م ا

لف

Sijamwona bwana mkarimu mwenye kumvumilia mja muovu kushinda wewe ulivyo juu yangu.

ي عنكول

أدعوني ف

ك ت ي إن يا رب

ewe Mola wangu Mlezi! hakika wewe waniita, nami nakukimbia.

يكض إل بغ

تي وا

ب إل تحب

وت

unaonyesha huba kwangu, nami naonyesha chuki kwako.

بل منك ق

ا

ال

ي ف

د إل تود

وت

unaonyesha mapenzi kwa ajili yangu lakini sikubali,

يكل عل و

ط ن لي الت

أك

Kana kwamba nina nguvu juu Yako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 30 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 37: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

31

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

حمة لي الك من الرم يمنعك ذ

لف

lakini hayo yote hayajakuzuia kunipa rehema zako

يلحسان إل

وا

na ihsani Yako.

رمكي بجودك وك

ل عل فض والت

wala kunifanyia fadhila kwa ukarimu wako na wema wako.

جاهل ارحم عبدك ال

ف

Basi mrehemu mja wako mjinga.

يه بفضل احسانكوجد عل

Mkirimu kwa fadhila za ihsani Yako.

ريمك جواد ك إن

hakika wewe ni Mkarimu, Mwema.

كفل

ك مجري ال

ل ه مالك ال

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu, Mmiliki wa ufalme, Mwendeshaji wa meli,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 31 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 38: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

32

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

لصباحالق ا

ياح ف ر الر

مسخ

Mpelekaji wa pepo, Mletaji wa machweo,

ين عال

ين رب ال ان الد دي

Mamlaka ya siku ya malipo na Mola Mlezi wa viumbe.

مهمه بعد عل

ى حل

ه عل

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu kwa ustahmilivu wake baada ya elimu Yake.

درتهى عفوه بعد ق

ه عل

حمد لل

لو ا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu kwa msamaha wake baada ya uwezo wake.

ضبهاته في غ

نول ا

ى ط

ه عل

حمد لل

لو ا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu kwa urefu wa subira Yake ana poghadhibika,

ى ما يريدادر عل

وهو ق

na Yeye ni Mwenye uwezo juu ya lile alitakalo.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 32 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 39: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

33

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

قلخ

الق ال

ه خ

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu Muumba wa viumbe,

لصباحالق ا

زق ف باسط الر

Mtoaji wa riziki, Mletaji wa machweo,

رامك

ل وال

جال

ذي ال

Mwenye utukufu na heshima,

عامن

فضل وال

وال

Mwenye fadhila na neema.

يرى

الذي بعد ف

لا

ambaye kajiweka mbali hawezi kuonekana,

جوى هد الن

شرب ف

وق

ambaye yu karibu ashuhudia siri.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 33 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 40: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

34

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ىعال

بارك وت

ت

ametakasika na kutukuka jina lake.

هه منازع يعادل

يس ل

ذي ل

ه ال

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu, ambaye hana mpinzani anayelingana naye,

هاكل

بيه يش

ش

ول

wala shabihi wa namna Yake,

هير يعاضده ظ

ول

wala msaidizi ampaye nguvu.

اء عزل

ته ا هر بعز

ق

Kwa nguvu zake kuwatenza nguvu wababe,

ماءعظ

مته ال

واضع لعظ

وت

na kwa utukufu wake wamenyenyekea wakuu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 34 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 41: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

35

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

اء

غ بقدرته ما يشبل

ف

Hivyo kwa uwezo Wake akayafikia ayatakayo.

اديهنذي يجيبني حين ا

ه ال

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu, ambaye hunijibu nimwitapo,

عصيها ا

نل عورة وأ

ي ك

ر عل

ويست

husitiri kila aibu yangu ilihali mimi namuasi,

جازيه ا

ال

ي ف

عل

عمة م الن

ويعظ

huongeza neema kwangu na wala simlipi.

انيعط

د ا

ة ق

م من موهبة هنيئ

ك

ف

Kwani ni hiba ngapi tulivu amenipa.

فانيد ك

ة ق

وف

وعظيمة مخ

Ni makubwa mangapi ya kukhofisha ameniondolea.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 35 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 42: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

36

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

رانيد ا

ة ق

وبهجة مونق

ni furaha ngapi changamfu amenionyesha.

يه حامدا

ني عل

ثاف

hivyo namtukuza kwa kumsifu,

حا ره مسبك

ذ

وا

na ninamtaja kwa kumsabihi.

يهتك حجابه

ذي له ال

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu, ambaye pazia Yake hairaruriwi.

ه يرد سائل

ق بابه ول

ل يغ

ول

wala mlango wake haufungwi, wala muombaji Kwake hanyimwi.

هب آمل ي

يخ

ول

wala matumaini yake hayafelishwi.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 36 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 43: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

37

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ائفينخ

ذي يؤمن ال

ه ال

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu, ambaye huwapa amani wenye hofu.

الحين ي الص وينجhuwaokoa waja wema.

ستضعفين ع ال

ويرف

Huwanyanyua waliodhoofishwa.

برينستك

ويضع ال

huwafedhehesha wenye viburi.

رين آخ

لف

ا ويستخ

وك

ويهلك مل

huwaangamiza wafalme, na (sehemu zao) huwaweka wengine.

ارين جباصم ال

ه ق

حمد لل

لو ا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu. Mwenye kuwafutilia mbali majabari,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 37 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 44: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

38

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ين المبير الظ

Mwenye kuwaangamiza madhalimu,

هاربينمدرك ال

Mwenye kuwafikia wanaomkimbia,

ين الال الظ

ك

ن

Mtoa adhabu kwa madhalimu,

ستصرخين صريخ ال

Msaidizi wa wenye kulia kwa ukelele wakiomba msaada.

البينموضع حاجات الط

na kwake yeye ndiko kwenye mahitaji ya watafutaji,

ؤمنين معتمد ال

na Yeye ndiye tegemeo la waumini.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 38 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 45: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

39

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

انهاماء وسك رعد الس

يته ت

ش

ذي من خ

ه ال

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu, ambaye kwa kumwogopa Yeye mbingu na wakazi wake hutikisika,

ارها رض وعم ال

رجف

وت

na milima na wakazi wake hugwaya,

مراتهاسبح في غ بحار ومن ي

موج ال

وت

na bahari hufanya mawimbi ikiwa na waogeleaji wake.

ن أ

و ل

ا لنهتدي ل ن

ا وما ك

ا لهذ

ذي هدان

ه ال

حمد لل

لا

ا هللاهدان

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu, ambaye ametuongoza kwenye hili, na tusingeweza kuongoka

lau Mwenyezi Mungu asingetuongoza.

قلم يخ

ق ول

لذي يخ

ه ال

حمد لل

لا

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu, ambaye huumba na hajaumbwa,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 39 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 46: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

40

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يرزق

ويرزق ولhuruzuku na wala hapewi riziki,

عم يط

عم ول

ويط

hulisha na wala halishwi,

حياء ل

ويميت ا

Huwafisha walio hai,

ىوت

ويحيي ال

huwapa uhai walio wafu,

يموت

وهو حي لYeye ni hai asiyekufa,

يرخ

بيده ال

Kheri iko mkononi mwake.

ديريئ ق

ل ش

ى ك

وهو عل

na Yeye ni Muweza wa kila kitu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 40 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 47: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

41

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

د ى محمي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad.

عبدك ورسولك

Mja wako na Mtume wako,

ك وحبيبك مينك وصفيوأ

Mwaminifu Kwako, mteule wako na hababi wako,

قكليرتك من خ

وخ

chaguo lako bora kati ya viumbe wako,

تكغ رسال

وحافظ سرك ومبل

Muhifadhi wa siri Yako na mfikishaji wa ujumbe wako,

مل ك

جمل وا

حسن وا

ضل وا

ف

ا

aliye mbora zaidi, mwema zaidi, mzuri mno, mkamilifu zaidi,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 41 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 48: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

42

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

رثك

سنى وا

هر وا

ط

يب وا

ط

مى وا

نى وا

زك

وا

Takasifu zaidi, itukuzwayo zaidi, tukufu mno na safi mno,

ىمت عل

ت وسل

ن حن

مت وت رح

ت وت

يت وبارك

ما صل

هلبيائك ورسلك وصفوتك وا

نن عبادك وا حد م

ا

قكليك من خ

رامة عل

ك

ال

Kushinda ile uliyemrehemu, kumbariki, kumhurumia na kumtakia rehma yeyote miongoni mwa waja wako, Manabii wako, Mitume wako, wateule wako na we-nye heshima Kwako miongoni mwa viumbe wako.

ؤمنين مير ال

ى علي أ

ي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu ali jemedari wa waumini,

ين عال

وو�ضي رسول رب ال

wasii wa Mtume wa Mola Mlezi wa viumbe.

ك عبدك ووليMja wako na kipenzi chako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 42 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 49: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

43

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

قكلى خ

تك عل خي رسولك وحج

وا

Binamu wa Mtume wako na hoja Yako juu ya viumbe wako.

عظيمنبأ ال

برى وال

ك

وآيتك ال

alama Yako kubwa na habari kuu.

اهرةة الط

يق د ى الص

ي عل

وصل

na mrehemu mkweli, mtoharifu,

ين عال

دة نساء ال هراء سي اطمة الز

ف

Fatima zahra, Bibi mbora kushinda wanawake wote wa ulimwengu.

حمة ى الرى سبط

ي عل

وصل

warehemu wajukuu wawili wa rehema,

هدىواماماي ال

na maimamu wa uongofu,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 43 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 50: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

44

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ة جنهل ال

باب ا

دي ش حسين سي

حسن وال

لا

hasan na husein, Mabwana wawili wa vijana wa Peponi.

سلمين ، ة ال ئم

ى أ

ي عل

وصل

warehemu maimamu wa waislamu:

حسينعلي بن ال

ali bin husein,

د بن علي ومحمMuhammad bin ali,

د وجعفر بن محمjafar bin Muhammad,

ومو�ضى بن جعفرMusa bin jafar,

وعلي بن مو�ضىali bin Musa,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 44 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 51: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

45

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

د بن علي ومحمMuhammad bin ali,

د وعلي بن محمali bin Muhammad,

حسن بن عليوال

hasan bin ali,

هدي هادي ال

ف ال

لخ

وال

mrithi na mwongozaji, Mahdi

ى عبادكتك عل حج

hoja wako juu ya waja wako,

دك

منائك في بالوأ

na waaminifu katika nchi Yako.

دائمة

ثيرة

ك

وة

صل

warehemu rehema nyingi za kudumu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 45 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 52: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

46

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

مرك ى ولي ا

ي عل

هم وصل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu mwangalizi wa jambo lako,

ل مؤ ائم ال

ق

ال

Mwakilishi mwenye kutarajiwa,

رنتظ

عدل ال

وال

na mwadilifu mwenye kungojewa.

بين رق تك ال

ئك

ه بمال وحف

Mzungushie Malaika wako walio wa karibu,

قدسده بروح ال ي

وأ

Msaidie kwa Raho mtakatifu,

ين عال

يا رب ال

ewe Mola Mlezi wa viumbe.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 46 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 53: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

47

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

اعي إلى كتابك ه الدهم اجعل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mfanye awe mlinganizi kwenye Kitabu chako,

ائم بدينكوالق

na msimamizi wa dini Yako,

بلهذين من ق

فت ال

لما استخ

رض ك

ل

لفه في ا

استخ

Mfanye Khalifa ardhini kama ulivyowafanya makhalifa wale wa kabla yake.

ضيتهذي ارت

ه دينه ال

ن ل

مك

Mwimarishie dini yake uliyoiridhia.

منا

وفه ا

ه من بعد خ

بدل

ا

Mpe amani baada ya khofu.

يئا

رك بك ش

يش

يعبدك ل

akuabudu bila kukushirikisha na chochote.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 47 6/16/2016 4:29:22 PM

Page 54: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

48

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

عزز بهه وا عز

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mpe nguvu na kupitia yeye wape wengine nguvu,

تصر بهصره وان

وان

Msaidie na kupitia yeye wasaidie wengine.

عزيزا

صرا

صره ن

وان

Msaidie msaada uliotukuka.

يسيرا

تحا

ه ف

تح ل

واف

Mpe ushindi kirahisi.

صيرا

ن

انا

ط

ك سل

دن

ه من ل

واجعل ل

Mpe mamlaka saidizi kutoka Kwako.

ك بي ن

ة هر به دينك وسن

ظ

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! Kupitia yeye idhihirishe dini Yako na Sunna ya nabii wako,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 48 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 55: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

49

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ن حد م ا

ة

اف

حق مخ

فى ب�ضيء من ال

يستخ

ى ل حت

قلخ

ال

Mpaka sehemu yoyote ya haki isifichikane kwa kumwogopa yeyoye kati ya viumbe.

ريمةة ك

يك في دول

ب إل

رغ

ا ن هم إن

لل

ا

ewe Mungu wangu! hakika sisi tuna hamu mno na dola ya heshima toka Kwako,

ه هل

م وا

لسال

عز بها ا

ت

ambayo kwayo uislamu na watu wake utapata nguvu,

ههل

فاق وا ذل بها الن

وت

Na unafiki na watu wake utadhalilika.

اعتكعاة إلى ط نا فيها من الد

جعل

وت

utujalie humo tuwe walinganizi kwenye utii wako,

ى سبيلكادة إل

ق

وال

na viongozi kwenye njia Yako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 49 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 56: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

50

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

خرة

يا والن الد

رامة

نا بها ك

رزق

وت

uturuzuku kwayo heshima ya Dunia na akhera.

ناهل حم

حق ف

تنا من ال

ف هم ما عر

لل

ا

ewe Mungu wangu! haki uliyotuelimisha tusaidie tuitekeleze,

ناهغ

بل

ا عنه ف

صرن

وما ق

Na tuliyoipuuzia tujaalie tuifikie.

عب به صدعنا

نا واشعث

م به ش

لهم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! Kupitia yeye tusuluhishie mambo yetu na unganisha makun di yetu.

تنار به قل

ثنا وك

تق

ق به ف

وارت

weka pamoja mtengano wetu na kithirisha uchache wetu.

نان به عائل

تنا واغ

عزز به ذل

وا

upe heshima udhalili wetu na tajirisha familia zetu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 50 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 57: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

51

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

اقرن

رمنا واجبر به ف

ض به عن مغ

واق

Mlipie deni mdaiwa wetu na ondoa ufakiri wetu.

ار به عسرن تنا ويس

لوسد به خ

ziba pengo la mahitaji yetu na rahisisha mazito yetu.

اسرن

ك به ا

ض به وجوهنا وف وبي

zing’arishe nyoyo zetu na wape uhuru mateka wetu.

اجز به مواعيدن

ننا وا

بت

لجح به ط

نوا

Tufanikishie maombi yetu na tutimizie ahadi yetu.

ناعطنا به سؤل

نا وا

واستجب به دعوت

Tujibu dua yetu na tupe maombi yetu.

نايا والخرة آمال

ن نا به من الد

غ

وبل

Tutimizie matarajio yetu duniani na akhera.

بتناوق رغ

عطنا به ف

وا

na utupe zaidi ya mategemeo yetu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 51 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 58: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

52

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

عطين وسع ال

سؤولين وا

ير ال

يا خ

ewe mbora wa waombwaji na mkuu wa watoaji.

وبنال ق

يظ

هب به غ

ذ

ا وا

ف به صدورن

اش

Kupitia yeye viponye vifua vyetu na ondoa vinyongo vya nyoyo zetu,

نكحق بإذ

فيه من ال

تلف

ا اخ

ا به ل

واهدن

Tuongoze kwa idhini Yako kwenye haki waliyotofautiana,

ى صراط مستقيماء إل

ش

ك تهدي من ت إن

hakika wewe humwongoza umtakaye kwenye njia nyoofu.

ان ك وعدو ى عدو

ا به عل

صرن

وان

na kupitia yeye tusaidie dhidi ya adui wako na adui wetu.

حق آمينه ال

إل

ewe Mungu wa haki, amin.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 52 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 59: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

53

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يه وآلهك عل

وات

نا صل بي

قد ن

يك ف

و إل

ك

ش

ا ن هم إن

لل

ا

ewe Mungu wangu! hakika sisi tunakushtakia kutoweka kwa Mtume wetu, rehema

zako ziwe juu yake na juu ya kizazi chake,

ان عدو

رة

ثنا وك ولي

يبة

وغ

ghaiba ya walii wetu na uwingi wa maadui zetu,

ن بنافت

ال

ة ا وشد

عددن

ة

وقل

uchache wa idadi yetu na ukali wa fitina kwetu,

ينامان عل اهر الز

ظ

وت

na ushindi wa zama dhidi yetu.

د وآله ى محمصل عل

ف

hivyo mrehemu Muhammad na kizazi chake,

هل عج

لك بفتح منك ت

ى ذ

ا عل عن

وا

na tusaidie katika hilo kwa ushindi wa haraka toka Kwako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 53 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 60: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

54

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

شفهك

وبضر ت

na kwa kutuondolea madhara,

ه عزصر ت

ون

Kwa msaada uupao nguvu,

هرهظ

ان حق ت

ط

وسل

Kwa mamlaka ya haki uidhihirishayo,

ناهال جل

ورحمة منك ت

Kwa rehema utupazo heshima kwazo toka Kwako,

بسناهالوعافية منك ت

na kwa afya utuvalishayo toka Kwako.

احمين رحم الربرحمتك يا ا

Kwa rehema zako ewe mbora wa warehemevu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 54 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 61: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

55

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya Tano

Dua hii inazungumzia starehe za Peponi na adhabu za ndani ya Jahannam. Kuamini juu ya Akhera ndio mzizi wa mwisho

muhimu wa dini na Dua hii ni ufuatiliaji unaostahili wa Dua al-Ifti-tah ambayo inazungumzia juu ya misingi mingine ya Imani.

Thawabu na mateso yanayowangojea wanadamu yanaelezewa kwa kina ganaga kwa ajili ya muumini kuweza kuyabaini hayo. Haitoshi tu kibusara kuamini juu ya Akhera. Kama vile tu inavyo-pendekezwa mtu kujifikiria anavyokufa ili aweze kujiandaa kwa kifo kwa uhakika, ni muhimu vilevile kujifikiria mtu kwam ba yuko Peponi au Jahannam kwa ajili ya uimarishaji wa imani juu ya Akhera.

حيم حمن الر بسم هللا الرKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa kurehemu.

د د وآل محم ى محمي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad, na aali Muhammad.

نادخل

االحين ف هم برحمتك في الص

لل

ا

ewe Mungu wangu! Kwa rehema zako tujumuishe na wachamungu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 55 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 62: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

56

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

عنارف

اين ف ي

وفي عل

Tunyanyue tuwe pamoja na wenye heshima.

اسقناسبيل ف

س من معين من عين سل

أوبك

Tunyweshe kwa kikombe cha maji toka chemchem ya Salsabili.

جنا زوعين برحمتك ف

حور ال

ومن ال

Kwa rehema zako tuozeshe hurulaini.

دمناخ

انون ف

ؤ مك

ؤل

هم ل ن

أدين ك

لخ

دان ال

ول

ومن ال

Tupe wahudumu miongoni mwa wavulana wasiochakaa walio kama lulu zilizofichwa.

عمناط

اير ف

ط

حوم ال

ة ول جن

ومن ثمار ال

Tulishe matunda ya Peponi na nyama za ndege.

بسنالاستبرق ف

حرير وال

ندس وال ومن ثياب الس

na tuvishe nguo za hariri nzito na laini.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 56 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 63: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

57

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

حرامدر وحج بيتك ال

ق

ال

ة

يل

ول

Tuwafikishe tuipate Laylatul-Qadri, Tuhiji nyumba Yako tukufu.

ناق ل

وف

في سبيلك ف

تال

وق

Tuuwawe katika njia Yako.

نااستجب ل

ة ف

لسئ

عاء وال وصالح الد

na utujibu dua na maombi mema.

ارحمناقيامة ف

خرين يوم ال

لين وال و

ل

ا جمعت ا

وإذ

uturehemu utakapowakusanya wa zamani na wa mwisho siku ya Kiyama.

ناتب ل

اك

ار ف من الن

ة

وبرائ

Tuandikie tuepukane na moto.

نالغ

ت

ال

م ف وفي جهن

usituzamishe ndani ya jahannam.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 57 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 64: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

58

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

بتلنا ت

ال

ابك وهوانك ف

وفي عذ

na usitujaribu ndani ya adhabu Yako na udhalili wako.

عمناط

ت

ال

ريع ف وم والض

ق ومن الز

usitulishe mti wa zaquum wala wa Dharii.

ناجعل

ت

ال

ياطين ف ومع الش

usituweke pamoja na mashetani.

ببناك

ت

ال

ى وجوهنا ف

ار عل وفي الن

usiziangushie nyuso zetu juu ya moto.

بسنال ت

ال

طران ف

ق

ار وسرابيل ال ومن ثياب الن

usituvishe nguo za moto na kanzu zenye lami.

ل سوءومن ك

na kila kwenye baya tuepushe.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 58 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 65: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

59

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

تن أ

ه إل

إل

يا ل

ewe ambaye hapana Mungu wa haki ila wewe.

نا نجت ف

ن أ

ه إل

إل

بحق ل

Tuokoe kwa utukufu wa tamko ‘hapana Mungu wa haki ila wewe’.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 59 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 66: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

60

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya SiTa

حيم حمن الر بسم هللا الرKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema,

Mwenye kurehemu.

د د وآل محم ى محمي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali za Muhammad.

ر دق

ق�ضي وت

جعل فيما ت

ن ت

ك أ

لسئ

ي ا

هم إن

لل

ا

ewe Mungu wangu! hakika mimi nakuomba uweke katika yale unayopitisha na kukadiria,

حكيممر ال

ل

حتوم في ا

مر ال

ل

من ا

Miongoni mwa mambo ya uhakika yenye hekima,

ل يبد

يرد ول

ذي لضاء ال

ق

من ال

Toka kwenye pitisho lisilokataliwa wala kubadilishwa.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 60 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 67: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

61

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

حراماج بيتك ال تبني من حج

ك

ن ت

أ

uniandike miongoni mwa mahujaji wa nyumba Yako tukufu,

ور سعيهمك

ش

هم ال برور حج

ال

ambao hijja yao imekubaliwa, juhudi zao zimeth-aminiwa,

اتهمئ ر عن سي ف

ك وبهم ال

نفور ذ

غ ال

Dhambi zao wamesamehewa na makosa yao yamefut-wa.

ر دق

ق�ضي وت

جعل فيما ت

ن ت

وأ

na uweke katika yale unayopitisha na kukadiria,

ير وعافيةطيل عمري في خ

ن ت

أ

Kwamba umri wangu urefuke katika kheri na afya,

ع في رزقي وسوت

na riziki yangu ipanuke.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 61 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 68: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

62

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

تصر به لدينكنن ت ني مم

جعل

وت

niweke miongoni mwa wale ambao, kupitia kwao unaipa ushindi Dini Yako.

يريبدل بي غ

ست

ت

ول

na wala usimweke mwingine badala yangu.

احمين رحم الريا ا

ewe mbora wa warehemevu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 62 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 69: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

63

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya SaBa

حيم حمن الر بسم هللا الر

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

ريمك

ل وجهك ال

بجال

عوذ

أ

najikinga kupitia utukufu wa heshima Yako kuu,

هر رمضان

ي ش �ضي عنن ينق

أ

usimalizike mwezi wa Ramadhani,

تي هذهيل

فجر من ل

ع ال

لو يط

أ

au kuchomoza alfajiri ya usiku wangu huu,

يهبني عل

عذ

ب ت

نو ذ

أ

بعة

ك قبلي ت

ول

na wewe Kwangu una la kufuatilia au dhambi utakayoniadhibu kwa ajili yake.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 63 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 70: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

64

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya SahRi (DaKu)

Hii ni Dua moja nzuri sana. Lugha yake ya kishairi na ujumbe wake unao gusa moyo unafanya iwe ni Dua nzuri sana. Rehema

ya Mwenyezi Mungu inayozunguka kila kitu inafananishwa na uku-bwa mpana sana wa bahari, ambapo wenye haja na shida ni wasafiri katika meli wakingojea kuvuka.

Unyenyekevu ni sehemu muhimu sana ya taratibu na adabu za Dua.

Utambuzi wa dhambi zake mtu na mapungufu mengine kunafaa sana kwa muombaji. Hili linaelezwa kwa ufupi na uwazi katika Dua ifuatayo:

حيم حمن الر بسم هللا الرKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema,

Mwenye kurehemu.

د د وآل محم ى محمي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mwenyezi Mungu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

ون ببابكائل الس

ف

إلهي وق

ewe Mungu wangu! waombaji wamesimama mlangoni Kwako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 64 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 71: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

65

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

راء بجنابكفق

ال

ذ

ول

Mafukara wamekimbilia kwenye heshima Yako.

ى ساحل بحر جودك ساكين عل

ال

فت سفينة

ووق

رمكوك

Safina ya masikini imesimama kwenye mwambao wa bahari ya ukarimu wako na wema wako.

ى ساحة رحمتك ونعمتكجواز إل

يرجون ال

wanataraji kuvuka kwenda kwenye uwanja wa rehema zako na neema zako.

ريف إل هر الش ا الشرحم في هذ

ت

نت ل

إلهي إن ك

ك في صيامه وقيامهص ل

لخ

ن ا

ل

ewe Mungu wangu! ukiwa humhurumii ndani ya mwezi huu mtukufu ila mwenye ikhlasi kwako katika

funga yake na Swala yake,

امهوبه وآث

نرق في بحر ذ

ا غ

ر إذ ص

ق نب ال

مذ

من لل

ف

Basi ni nani atamhurumia mwenye dhambi mzembe anapozama kwenye bahari ya dhambi zake na makosa

yake!?

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 65 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 72: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

66

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

عاصينمن لل

طيعين ف

ال

رحم إل

ت

نت ل

إلهي إن ك

ewe Mola wangu! ukiwa huwahurumii ila watiifu, basi ni nani atawahu rumia waasi!?

رين صمق

من لل

عاملين، ف

من ال

قبل إل

ت

نت ل

وإن ك

na ukiwa hupokei ila kutoka kwa wenye matendo ma-zuri, Basi ni nani atawahurumia wenye kuzembea!?

ائمون إلهي ربح الصewe Mungu wangu! wenye Swaumu wamefaulu,

لصون ،خ

جى ال

ائمون ون

ق

از ال

وف

wenye kusimama kwa ajili ya Swala wamefuzu, na wenye ikhlaswi wameokoka.

نبونذ حن عبيدك ال

ون

na sisi ni waja wako wenye dhambi,

ارحمنا برحمتكف

hivyo turehemu kwa rehema zako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 66 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 73: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

67

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ريمار بعفوك يا ك واعتقنا من الن

na tutoe motoni kwa msamaha wako ewe Mkarimu.

احمين رحم الريا ا

ewe mbora wa warehemevu.

اهرينآله الط د و ى هللا على محم

وصل

na mrehemu Muhammad na aali zake watoharifu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 67 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 74: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

68

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ziYaRa al-waRiTha

فـوة هللا آدم صـ

يك يا وارث

م عـل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mrithi wa adam mteule wa Mwenyezi Mungu!

بــي هللاـوح ن

ن

يك يا وارث

م عـل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mrithi wa nuh nabii wa Mwenyezi Mungu!

ل هللاليـ

ـم خ

إبـراهيـ

ا وارث

يك يـ

م عـل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mrithi wa ibrahim kipenzi cha Mwenyezi Mungu!

ـليم هللا موســى ك

يك يا وارث

م عـل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mrithi wa Musa aliyesema na Mwenyezi Mungu!

�ضى روح هللا عـيـ

ا وارث

يك يـ

م عـل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mrithi wa isa roho wa Mwenyezi Mungu!

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 68 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 75: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

69

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

بـيب هللاد حـ

مـ

حـ

مـ

يك يا وارث

م عـل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mrithi wa Muhammad kipenzi cha Mwenyezi Mungu!

ؤمنين ولي هللامير ال

ا

ا وارث

يك يـ

م عـل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mrithi wa jemedari wa waumini walii wa Mwenyezi Mungu!

فـىصـطـ

ـلـد ا حـم

ن مـ

يك يابـ

م عـل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mwana wa Muhammad al-Mustafa!

ـضـىرت

يك يابـن عـلي ال

م عـل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mwana wa ali al-Murtadha!

هراء الزاطـمة

يك يابـن ف

م عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mwana wa Fatima zahraa!

بـرىك

ال

ديجة

يك يابـن خ

م عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mwana wa Khadija al- Kubra!

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 69 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 76: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

70

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ـوروت

ـر ال

وت

اره وال

ار هللا وابـن ث

يك يا ث

م عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe ambaye kisasi chake kitalipizwa na Mwenyezi Mungu. na mwana wa

ambaye kisasi chake kitalipizwa na yeye! na aliye wa pekee kwake.

اة

ك يت الز

وآت

ة

ال مت الص

ق

د ا

ك ق ن

ـهد ا

ش

ا

nakiri kuwa hakika wewe umesimamisha Swala na umetoa zaka.

رنك

عروف ونهيت عـن ال

مرت بـال

وا

umeamrisha mema na kukataza mabaya.

يقـيناك ال

تى ا ه حـت

عـت هللا ورسـول

طـ

وا

na umemtii Mwenyezi Mungu na Mtume wake mpaka yakini ilipokufika.

تـك تـل

ق

ة م

عـن هللا ا

ـلف

Mwenyezi Mungu aulani umma uliokuua.

متكل ظ

ة م

عن هللا ا

ول

Mwenyezi Mungu aulani umma uliokudhulumu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 70 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 77: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

71

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

رضيت بـهلك ف

سمعت بـذ

ة م

عن هللا ا

ول

Mwenyezi Mungu aulani umma uliosikia hayo kisha ukayaridhia.

با عبد هللاي يا ا

يا مول

ewe bwana wangu! ewe abu abdillah!

ة امخ ب الش

صال

ورا في ال

نت ن

ك ك ن

هد ا

ش

ا

رة هط

رحـام ال

وال

nakiri kuwa hakika wewe ulikuwa nuru kwenye mifupa ya migongo ya juu na matumbo ya uzazi

yaliyo tohara.

جـاسـهانا بـ

ة جـاهلي

ـسـك ال ـنج

م ت

ل

ujahiliya haujakuchafua kwa uchafu wake.

يابـها ات ثـ همبـسك من مدل

ـلم ت

ول

wala giza halikukufunika kwa shuka lake.

ؤمنين ان ال

رك

ين وا ك من دعائم الد ن

ـهد أ

ش

وا

nakiri kuwa hakika wewe unatokana na nguzo za dini na viongozi wa waumini.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 71 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 78: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

72

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ضـي قـي الر بر التمـام ال

ك ال ن

هد ا

ش

وا

nakiri kuwa hakika wewe ni imam mwema, mchamungu mwenye kuridhiwa.

هدي لهادي ا

لكي ا الز

Mtakasifu, kiongozi muongozaji kwa haki.

قـوى التلمة

دك ك

من ول

ة ئم

ن ال

ـهد ا

ش

وا

nakiri kuwa hakika Maimamu toka kwenye kizazi chako ni neno la ucha mungu,

ى ـق

الوث

روة

عـ

هدى وال

م ال

عـال

وا

alama za uongofu, shikio imara,

يـان هل الد

ى ا

عـل

ة حـج

وال

na hoja juu ya watu wa duniani.

هه ورسـل

يائ بـ

نته وا

ئك

ـهد هللا ومـال

ش

وا

namshuhudisha Mwenyezi Mungu na malaika wake, Manabii wake na Mitume wake,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 72 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 79: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

73

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

مـم مؤمن وبـايابـك

ي بـك

نا

Kuwa hakika mimi ni mwenye kuwaamini nyinyi, na ni mwenye yakini na kurudi kwenu,

واتيم عمليرائع ديني وخ

ش

موقن بـ

Sheria za dini yangu, na matokeo ya matendo yangu.

م م سل

بك

لبي لق

لوق

Moyo wangu ni wenye kujisalimisha kwenye nyoyo zenu.

بـع ـم متمرك

مري ل

وا

na mambo yangu ni yenye kufuata mambo yenu.

م يك

وات هللا عل

صل

Rehema za Mwenyezi Mungu ziwe juu yenu,

مجـسـامك

ى ا

م وعل

جـسـادك

ى ا

م وعل

رواحـك

ى ا

وعل

na juu ya roho zenu, miili yenu, na viwiliwili vyenu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 73 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 80: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

74

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

مائبـك

ى غـ

م وعل

ـاهدك

ى ش

وعل

juu ya anayeonekana na asiyeonekana,

ـمى بــاطـنـك

م وعـل

ـاهرك

ى ظ

وعـل

aliye dhahiri na asiye dhahiri.

ziYaRa Ya ali aKBaR (a.S.)

يك يابــن رسـول هللام عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mwana wa Mtume wa Mwenyezi Mungu!

بـي هللايك يابـن ن

م عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mwana wa nabii wa Mwenyezi Mungu!

ؤمنين مير ال

يـك يابـن ا

م عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mwana wa jemedari wa waumini!

ـهيد حسـين الشيك يابـن ال

م عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mwana wa husein shahidi!

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 74 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 81: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

75

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ـهيد هيد وابـن الش ها الش ييك ا

م عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe shahidi na mwana wa shahidi !

ومـلظ

وم وابـن ال

ـلظ

ـها ال ي

يك ا

م عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe uliyedhulumiwa mwana wa aliyedhulumiwa!

تـك تـل

ق

ة م

عن هللا ا

ل

Mwenyezi Mungu aulani umma uliokuua.

متـكل ظ

ة م

عن هللا ا

ول

Mwenyezi Mungu aulani umma uliokudhulumu.

رضيت بـهلك ف

سـمعت بـذ

ة م

عن هللا ا

ول

Mwenyezi Mungu aulani umma uliosikia hayo kisha ukayaridhia.

ziYaRa Ya wahanga woTe

هائ

حـبـ

ولياء هللا وا

م يا ا

يك

لم عـ

ال الس

amani iwe juu yenu enyi mawalii wa Mwenyezi Mungu na vipenzi Vyake!

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 75 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 82: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

76

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

هائ ود

صـفياء هللا وا

م يا ا

يك

م عل

ال الس

amani iwe juu yenu enyi wateule wa Mwenyezi Mungu na vipenzi Vyake!

صـار دين هللانم يا ا

يك

م عل

ال الس

amani iwe juu yenu enyi wasaidizi wa dini ya Mwenyezi Mungu!

ـصـار رسول هللانم يا ا

يك

م عـل

ال الس

amani iwe juu yenu enyi wasaidizi wa Mtume wa Mwenyezi Mungu!

ؤمنـين مير ال

ـصـار ا

نم يـا ا

يـك

م عـل

ال الس

amani iwe juu yenu enyi wasaidizi wa jemedari wa waumini!

دة هراء سي الزـاطمة

ـصـار ف

نم يا ا

يك

م عـل

ال الس

ين عـال

نساء ال

amani iwe juu yenu enyi wasaidizi wa Fatima, Bibi mbora kushinda wanawake wote wa ulimwengu!

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 76 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 83: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

77

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

حسن بـن عـلي لد ا بـي محم

ـصـار ا

نم يا ا

يك

م عل

ال الس

اصح ولي النلا

amani iwe juu yenu enyi wasaidizi wa abu Muham-mad hasan ibnu ali, walii mtakasifu na mnasihi!

بـي عبـد هللاصار ا

نم يا ا

يك

م عل

ال الس

amani iwe juu yenu enyi wasaidizi wa abu abdillah!

ي متم وا

نبـي ا

ا بـ

Baba yangu na mama yangu ni fidia kwenu.

تـي فـيها دفنـتمرض ال

ابت ال

طبـتم وط

Hakika mmesafika na imesafika ardhi mliyozikwa.

عـظـيما

ـوزا

م ف

زت

وف

na mmefuza kufuzu kukubwa mno.

موز معك

ف

ام ف

نت معك

يتني ك

يا ل

ف

natamani laiti ningelikuwa pamoja nanyi nikafuzu pamoja nanyi.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 77 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 84: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

78

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ziYaRa Ya aBul-FaDhli aBBaS (a.S.)

مير اس ابن أ عب

فضل ال

با ال

يك يا أ

م عل

ال الس

ؤمنين ال

amani iwe juu yako ewe abul-Fadhli abbas! Mwana wa jemedari wa wau mini!

ين وصيد ال يك يا ابن سي

م عل

ال الس

amani iwe juu yako ewe mwana wa bwana wa mawasii!

دمهم ق

و أ

ما

وم إسال

ق

ل ال و

يك يا ابن أ

م عل

ال الس

إيمانا

amani iwe juu yako ewe mwana wa wa kwanza kuwa mwisilamu, na wa mwanzo kuamini.

مسال

ى ال

حوطهم عل

ه و أ

ومهم بدين الل

ق

و أ

aliye imara mno kwenye dini ya Mwenyezi Mungu na mjuzi mno juu ya uisilamu.

خيكه و لرسوله و ل

صحت لل

د ن

ق

هد ل

ش

أ

nakiri kuwa umetoa nasaha kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, Mtume wake na kaka yako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 78 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 85: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

79

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

وا�ضي خ ال

نعم ال

ف

ni uzuri ulioje kwa wewe kuwa ndugu mfariji!

تك تل

ق

ة م

ه أ

عن الل

لف

Mwenyezi Mungu aulani umma uliokuuwa.

متكل ظ

ة م

ه أ

عن الل

ول

Mwenyezi Mungu aulani umma uliokudhulumu.

حارم ت منك ال

استحل

ة م

ه أ

عن الل

و ل

Mwenyezi Mungu aulani umma uliohalalisha haramu dhidi yako,

مسال

ال

ت حرمة

تهك

و ان

na ukavunja heshima ya uisilamu.

اصر حامي الن جاهد ال

ابر ال نعم الص

ف

ni uzuri ulioje kwa wewe kuwa mvumilivu, Mpiganaji, muhami na msai dizi,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 79 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 86: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

80

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ه اعة ربى ط

جيب إل

خيه ال

افع عن أ خ الد

و ال

ndugu mtetezi kwa ndugu yake na mtiifu kwa Mola wake,

يره هد فيه غ

اغب فيما ز الرMwenye kupendelea yale waliyoyapa mgongo

wengine,

جميل ناء ال

جزيل و الث

واب ال

من الث

Kuanzia thawabu njema hadi sifa jamili.

ات ه بدرجة آبائك في جنك( الل

حق

لأك )ف

حق

لو أ

عيم النMwenyezi Mungu akuweke kwenye daraja la baba

zako ndani ya pepo yenye neema.

Dua BaaDa Ya ziYaRa

وابك في ث

بة

وليائك رغ

ضت لزيارة أ عر

ي ت

هم إن

الل

ewe Mungu wangu! nimekusudia mwenyewe kuwazuru mawalii wako kwa ajili ya kutamani tha-

wabu zako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 80 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 87: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

81

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

فرتك و جزيل إحسانك غو رجاء ل

na kutaraji msamaha wako na ihsani Yako njema.

اهريند و آله الط ى محم

ي عل

صل

ن ت

ك أ

لسأ

أف

hivyo nakuomba mrehemu Muhammad na aali zake watoharifu.

جعل رزقي بهم دارا

ن ت

و أ

na kupitia kwao ifanye maridhawa riziki yangu.

ارا

و عي�ضي بهم ق

Fanya maisha yangu yawe yenye kupendeza.

ة

و زيارتي بهم مقبول

ziyara yangu ikubalike.

بة ي

و حياتي بهم ط

na maisha yangu yawe ya kufurahisha.

مين رك درجني إدراج ال

و أ

niweke pamoja na wale wenye kuheshimiwa.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 81 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 88: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

82

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ائك حباهد أ

لب من زيارة مش

ن ينق ني مم

و اجعل

nijalie niwe miongoni mwa wale wanaorudi toka ku-zuru

makaburi ya wapenzi wako,

منجحا

مفلحا

huku wakiwa ni wenye kufaulu na kufuzu.

وبنفران الذ

د استوجب غ

ق

ambao wamewajibika kusamehewa dhambi,

روبك

ال

ف

ش

عيوب و ك

ر ال

و ست

Kusitiriwa aibu na kuondolewa matatizo.

فرة .غ هل ال

قوى و أ هل الت

ك أ إن

hakika wewe ni mwenye kupokea uchamungu na kumiliki msamaha.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 82 6/16/2016 4:29:23 PM

Page 89: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

83

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua za Kila SiKu Ya RaMaDhani

Mwezi MoSi:

ائمين هم اجعل صيامي فيه صيام الصلل

ا

ewe Mungu wangu! ijalie funga yangu katika mwezi huu iwe ni funga ya wenye kufunga kwa dhati.

ائمينق

وقيامي فيه قيام ال

na kisimamo changu cha ibada kiwe ni kisimamo cha wenye kusimama kwa ibada ya dhati.

افلينغ

ومة ال

ي فيه عن ن ه ب

ون

niepushe na usingizi wa wavivu,

ين عال

وهب لي جرمي فيه يا إله ال

Samehe dhambi zangu humo ewe Mola wa viumbe.

جرمين عن ال

ي يا عافيا عن

واعف

na uniafu ewe mwenye kuwasamehe wakosaji.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 83 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 90: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

84

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Mwezi Pili:

ى مرضاتكبني فيه إل ر

هم ق

لل

ا

ewe Mungu wangu! nikurubishe kwenye radhi ndani ya mwezi huu.

قماتكطك ون

بني فيه من سخ وجن

niepushe na hasira zako na maangamizo Yako ndani ya mwezi huu.

ياتكة ا

قني فيه لقرآئ

ووف

Na uniwafikishe niweze kukisoma Kitabu Chako.

احمين رحم الربرحمتك يا ا

Kwa rehema zako ewe mbora wa warehemevu.

Mwezi TaTu:

نبيه هن والت ني فيه الذ

هم ارزق

لل

ا

ewe Mungu wangu! niruzuku uelevu na uzinduko,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 84 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 91: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

85

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

موية فاهة والت وباعدني فيه من السniepushe na ubaradhuli na upumbavu,

زل فيهنير ت

ل خ

من ك

صيبا

واجعل لي ن

na niwezeshe kupata fungu la kila kheri itakayoshuka,

جودين جود ال

بجودك يا ا

Kwa ukarimu wako ewe mbora wa wakarimu.

Mwezi nne:

مركامة ا

ى اق

ني فيه عل و

هم ق

لل

ا

ewe Mungu wangu! nipe nguvu za kuniwezesha kutekeleza amri zako.

رك ذك

وة

ني فيه حال

ذق

وا

nionjeshe humu utamu wa utajo wako.

رمكرك بك

ك

داء ش

وزعني فيه ل

وا

niwezeshe kutekeleza wajibu wa kukushukuru kwa neema zako.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 85 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 92: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

86

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ركني فيه بحفظك وست

واحفظ

na nihifadhi humu katika ulinzi wako na sitara Yako.

اظرين بصر النيا أ

ewe mwenye kuona zaidi ya waoni.

Mwezi Tano:

فرينستغ

ني فيه من ال

هم اجعل

لل

ا

ewe Mungu wangu! nijalie ndani ya mwezi huu niwe miongoni mwa wanaoom ba maghofira.

انتينق

الحين ال ني فيه من عبادك الص

واجعل

nijalie niwe miongoni mwa waja wako wema wanyenyekevu.

بين رق وليائك ال

ني فيه من أ

واجعل

na nijaalie niwe miongoni mwa mawalii wako wa karibu.

احمين رحم الرتك يا ا

ف

برأ

Kwa huruma Yako ewe mbora wa wenye huruma.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 86 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 93: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

87

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Mwezi SiTa:

ض معصيتك ني فيه لتعرلذ

خ

ت

هم ل

لل

ا

ewe Mungu wangu! usinitelekeze kwa kukuasi.

قمتكضربني بسياط ن

ت

ول

wala usinipige kwa mjeledi wa adhabu Yako.

طكوزحزحني فيه من موجبات سخ

niepushe na mambo yote yawezayo kuniwajibishia hasira zako.

اغبين بة الرياديك يا منتهى رغ

ك وا بمن

Kwa ukarimu wako na baraka zako ewe uliye raghba ya wenye raghba.

Mwezi SaBa:

ى صيامه وقيامهعني فيه عل

هم ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! nisaidie niweze kuufunga na kusimama kwa ajili ya ibada.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 87 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 94: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

88

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

امهبني فيه من هفواته وآث وجن

niepushe na matelezo na madhambi.

رك بدوامهني فيه ذك

وارزق

na niruzuku nidumu katika utajo wako.

ين ضل

بتوفيقك يا هادي ال

Kwa tawfiki Yako ewe Mwongozaji wa waliopotea.

Mwezi nane:

يتام ال

ني فيه رحمة

هم ارزق

لل

ا

ewe Mungu wangu! niruzuku hali ya kuwaonea huruma mayatima,

م

ال اء الس

شعام وإف

عام الط

وإط

Kulisha vyakula, kutoa salamu, na kusuhubiana na watu wema.

ملين

الجأ

كرام يا مل

ال

وصحبة

Kwa utajiri wako ewe kimbilio la wenye matarajio.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 88 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 95: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

89

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Mwezi TiSa:

واسعة من رحمتك ال

صيبا

هم اجعل لي فيه ن

لل

ا

ewe Mungu wangu! nijalie nilipate fungu la rehema zako pana.

اطعة واهدني فيه لبراهينك الس

uniongoze kwenye buruhani zako zing’arazo.

جامعةى مرضاتك ال

بناصيتي إل

ذ

وخ

na nishike mkono kuelekea kwenye radhi zako kuu.

تاقين

ش مل ال

تك يا أ بمحب

Kwa mahaba Yako ewe uliye matarajio ya wenye shauku.

Mwezi KuMi:

يكلين عل

توك

ني فيه من ال

هم اجعل

لل

ا

ewe Mungu wangu! nijalie niwe miongoni mwa wenye kukutegemea.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 89 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 96: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

90

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ديكفائزين ل

ني فيه من ال

واجعل

nijalie niwe miongoni mwa wenye kufuzu mbele Yako.

يكبين إل ر

ق ني فيه من ال

واجعل

na nijalie niwe miongoni mwa wenye ukuruba Kwako.

البين الط

اية

بإحسانك يا غ

Kwa ihsani Yako ewe uliye lengo la waombaji.

Mwezi KuMi na Moja:

حسان

ي فيه الب إل هم حب

لل

ا

ewe Mungu wangu! nijalie nipende sana kutenda mema.

عصيانفسوق وال

ي فيه ال

ه إل ر

وك

na niwezeshe kuchukia kutenda uovu na uasi.

يران والنط

خ ي فيه الس

م عل وحر

na niepushe na hasira zako na moto.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 90 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 97: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

91

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ستغثين ال

بعونك يا غياث

Kwa msaada wako ewe uliye nusra ya watakao nusra.

Mwezi KuMi na MBili:

عفافر وال

ت ي فيه بالس ن هم زي

لل

ا

ewe Mungu wangu! nipambe kwa sitara na utawa.

عفافقنوع وال

رني فيه بلباس ال

واست

nipambe kwa vazi la ukinaifu na utoshekevu.

صافن

عدل وال

ى ال

ني فيه عل

واحمل

nielekeze kwenye uadilifu na insafu.

اف

خ

ل ما ا

ي فيه من ك وآمن

Na nisalimishe dhidi ya kila ninachohofia.

ائفينخ

ال

بعصمتك يا عصمة

Kwa kinga Yako ewe uliye kinga ya wenye hofu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 91 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 98: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

92

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Mwezi KuMi na TaTu:

ارذ

ق س وال

ن رني فيه من الد ه

هم ط

لل

ا

ewe Mungu wangu! nitakase dhidi ya taka na uchafu.

دارق ائنات ال

ى ك

رني فيه عل وصب

nipe subira juu ya matukio ya kadari zako.

برار ى وصحبة ال

ق قني فيه للت

ووف

Na niafikishe kwenye uchaji na kusuhubiana na watu wema.

ساكين عين ال

ة ر

بعونك يا ق

Kwa msaada wako ewe kiburudisho cha walio masikini.

Mwezi KuMi na nne:

راتعث

ني فيه بال

اخذ

ؤ

ت

هم ل

لل

ا

ewe Mungu wangu! usinihukumu kwa yale niliyojikwaa.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 92 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 99: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

93

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

هفواتايا وال

ط

خ

ني فيه من ال

قل

وا

niepushe na makosa na matelezo.

اتف

يا وال

بال

لل

رضا

ني فيه غ

جعل

ت

ول

na wala usinifanye shabaha la balaa na maafa.

سلمين تك يا عز ال بعز

Kwa utukufu wako ewe uliye utukufu wa waislamu.

Mwezi KuMi na Tano:

اشعينخ

ال

اعة

ني فيه ط

هم ارزق

لل

ا

ewe Mungu wangu! niruzuku utiifu wa wenye unyenyekevu.

بتينخ

ابة ال

رح فيه صدري بان

واش

na kikunjue kifua changu kwa toba ya wenye kujisalimisha.

ائفينخ

مان ال

مانك يا ا

با

Kwa amani Yako ewe uliye amani ya wenye hofu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 93 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 100: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

94

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Mwezi KuMi na SiTa:

برار ة ال

ق

واف

فني فيه ل

هم وق

لل

ا

Ewe Mungu wangu! Niafikishe niafikiane na watu wema.

رار

ش ال

ة

ق

بني فيه مراف وجن

Niepushe kurafikiana na waovu.

رارق

ى دار ال

وآوني فيه برحمتك إل

na uniweke kwa rehema zako kwenye nyumba ya utulivu.

ين عال

تك يا إله ال بالهي

Kwa utukufu wako ewe Mungu! wa viumbe.

Mwezi KuMi na SaBa:

عمال

لهم اهدني فيه لصالح ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! niongoze kwenye amali njema.

مال

حوائج والض لي فيه ال

واق

na nitekelezee haja zangu na matarajio yangu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 94 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 101: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

95

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

الؤ فسير والس ى الت

يحتاج إل

يا من ل

ewe usiyehitaji ufafanuzi na kuuliza.

ين عال

بما في صدور ال

يا عالا

ewe Mjuzi wa yale yaliyomo vifuani mwa viumbe.

اهريند وآله الط ى محم

صل عل

Mrehemu Muhammad na aali zake watoharifu.

Mwezi KuMi na nane:

سحارهات ا

ي فيه لبرك ه ب

هم ن

لل

ا

ewe Mungu wangu! nizindue ili nipate baraka za masiku yake.

وارهنبي بضياء ا

لر فيه ق و

ون

ung’arishe moyo wangu kwa mwangaza wa nuru zake.

ارهباع آث

ى ات

عضائي إل

ل ا

بك

ذ

وخ

na vishike mkono viungo vyangu vyote vifuate athari zake.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 95 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 102: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

96

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

عارفينوب ال

لر ق بنورك يا منو

Kwa nuru Yako ewe Mwangazi wa nyoyo za wakujuao.

Mwezi KuMi na TiSa:

اتهي من برك

ر فيه حظ

ـهم وف

لل

ا

ewe Mungu wangu! niongezee fungu langu la baraka za mwezi huu.

يراتهى خ

ل سبيلي ال وسه

Nisahilishie njia ya kuzifikia kheri zake.

بول حسناتهحرمني ق

ول ت

wala usininyime kabuli ya mema yake.

بين حق ال

ى ال

إل

يا هاديا

ewe uongozaye kwenye haki iliyo wazi.

Mwezi iShiRini:

جنانبواب ال

تح لي فيه ا

ـهم اف

لل

ا

ewe Mungu wangu! nifungulie milango ya Peponi.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 96 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 103: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

97

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يران بواب النلق عني فيه ا

غ

وا

unifungie milango ya moto.

قرآنوة ال

قني فيه لتال

ووف

Na niafikishe niweze kuisoma Qur’an.

ؤمنين وب ال

لكينة فى ق زل الس

يا من

ewe Mwenye kutia utulivu nyoyoni mwa waumini.

Mwezi iShiRini na Moja:

ى مرضاتك دليال

ـهم اجعل لى فيه ال

لل

ا

Ewe Mungu wangu! Niwekee mwongozo wa kufikia radhi zako.

ي سبيال

ان فيه عل

يط جعل للش

ت

ول

usimpe shetani nafasi juu yangu.

ومقيال

زل

لى من

ة جن

واجعل ال

na ifanye Pepo iwe ndiyo mashukio yangu na mapumziko.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 97 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 104: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

98

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

البين ا�ضي حوائج الط

يا ق

ewe mwenye kukidhi haja za wakuombao.

Mwezi iShiRini na MBili:

ضلكبواب ف

تح لى فيه ا

ـهم اف

لل

ا

ewe Mungu wangu! nifungulie milango ya fadhila zako.

اتكي فيه برك

زل عل

نوا

niteremshie baraka zako.

وجبات مرضاتكقني فيه ل

ووف

Niafikishe nitende viwajibishi vya radhi Zako.

اتك ي فيه بحبوحات جن سكنوا

na unipe makazi kwenye maliwazo ya Pepo Yako.

ين رضط

يا مجيب دعوة ال

ewe Mwitika wa maombi ya wenye dhiki.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 98 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 105: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

99

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Mwezi iShiRini na TaTu:

وبنني فيه من الذ

سل

ـهم اغ

لل

ا

Ewe Mungu wangu! Nisafishe dhidi ya madhambi.

عيوبرني فيه من ال ه

وط

nitakase na aibu.

وبقل

بي فيه بتقوى ال

لوامتحن ق

na uonjeshe moyo wangu uchaji wa kweli.

نبينذ رات ال

يا مقيل عث

ewe Msamehevu wa matelezo ya wenye dhambi.

Mwezi iShiRini na nne:

ك فيه ما يرضيكلسأ

ي ا

ـهم ان

لل

ا

ewe Mungu wangu! nakuomba yale yanayokuridhisha.

ا يؤذيك بك ممعوذ

وا

na ninajikinga Kwako na yale yanayokuudhi.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 99 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 106: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

100

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

عصيك ا

طيعك ول

ن ا

وفيق فيه ل ك الت

لسأ

وا

Na ninakuomba uniwafikishe niweze kukutii na wala nisikuasi.

ائلين يا جواد السewe uliye mkarimu kwa waombao.

Mwezi iShiRini na Tano:

وليائك ل

ا ني فيه محب

ـهم اجعل

لل

ا

ewe Mungu wangu! nijalie niwe mwenye kuwapenda mawalii wako.

عدائك ل

ومعاديا

Mwenye kuwachukia maadui zako.

بيائكنم ا

ات

ة خ بسن

نا

مست

na mwenye kufuata mwenendo wa hitimisho la Mitume wako.

ين بيوب الن

ليا عاصم ق

ewe mwenye kuzitakasa nyoyo za Mitume.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 100 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 107: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

101

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Mwezi iShiRini na SiTa:ورا

ك

ـهم اجعل سعيي فيه مش

لل

ا

ewe Mungu wangu! jalia juhudi zangu ziwe ni zenye kuthaminiwa.

فورا

بي فيه مغ

نوذ

Dhambi zangu ziwe ni zenye kusamehewa.

وعملي فيه مقبول

na amali zangu ziwe ni zenye kukubaliwa.

وعيبي فيه مستورا

na aibu zangu ziwe ni zenye kusitiriwa.

امعين سمع السيا ا

ewe Mbora wa wasikivu.

Mwezi iShiRini na SaBa:

درق

ة ال

يل

ضل ل

ني فيه ف

ـهم ارزق

لل

ا

ewe Mungu wangu! niruzuku fadhila za usiku wa laylatul-Qadri.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 101 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 108: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

102

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يسرى ال

عسر ال

موري فيه من ال

ر ا وصي

humo uyageuze mambo yangu mazito yawe mepesi.

بل معاذيريواق

zikubali nyudhuru zangu.

وزرب وال

ن عني الذ

وحط

na uniondolee mzigo wa dhambi.

الحين بعباده الصيا رؤوفا

ewe uliye Mpole kwa waja wema.

Mwezi iShiRini na nane:

وافل ي فيه من الن ر حظ

ـهم وف

لل

ا

ewe Mungu wangu! niongezee fungu langu la ibada za ziada ndani ya mwezi huu.

سائل رمني فيه باحضار ال

ك

وا

nikirimu kwa kuweza kuhudhurisha maombi.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 102 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 109: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

103

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

وسائليك من بين ال

تى ال

رب فيه وسيل

وق

Nisogezee njia miongoni mwa njia za kukufikia.

ين لح حـاح ال

ه ال

لغ

يش

يا من ل

ewe ambaye hushughulishwi na mahimizo ya wahimizao.

Mwezi iShiRini na TiSa:

حمة ني فيه بالر

شـهم غ

لل

ا

ewe Mungu wangu! nifunike kwa rehema zako.

عصمة

وفيق وال ني فيه الت

وارزق

Niruzuku tawfiki na hifadhi.

همة ياهب التبي من غ

لر ق ه

وط

na utakase moyo wangu dhidi ya giza la shaka.

ؤمنين بعباده ال

يا رحيما

ewe uliye Mrehemevu kwa waja wake waumini.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 103 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 110: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

104

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Mwezi ThelaThini:

بولق

ر وال

ك ـهم اجعل صيامى فيه بالش

لل

ا

ewe Mungu wangu! ijalie Saumu yangu iwe ni yenye kukubaliwa na kuthami niwa.

سول ، رضاه ويرضاه الرى ما ت

عل

Yenye kulingana na yale uyaridhiayo na ayaridhiayo Mtume.

صول روعه بال

ف

مة

محك

na ambayo matawi yake yameshikana madhubuti na shina.

اهرين د وآله الط ا محم

دن بحق سي

Kwa haki ya bwana wetu Muhammad na aali zake watoharifu.

ين عال

حمد هلل رب ال

وال

na kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa viumbe.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 104 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 111: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

105

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya MiKeSha KuMi Ya MwiSho

Vile mwezi wa Ramadhani unapoingia hatua yake ya mwisho, waumini wanatambua kwamba zile neema zilizotolewa ndani

ya mwezi huu zinafikia mwisho.

Wanaombea kwamba mwezi huo usingekwisha bila ya wao kusamehewa na kujibiwa.

Dua hii ina namna ya haraka ndani yake, kana kwamba mwito wa mwisho usio na matumaini kabla ya mwezi huo unaponyoka zake.

حيم حمن الر بسم هللا الر

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

د د وآل محم ى محمي عل

هم صل

لل

ا

ewe allah! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

زلن ت في كتابك ال

لك ق ـهم ان

لل

ا

ewe Mungu wangu! hakika wewe umesema ndani ya Kitabu chako ulichokite remsha:

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 105 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 112: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

106

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

اس قرآن هدى للنزل فيه ال

نذي ا

هر رمضان ال

ش

فرقانهدى وال

نات من ال وبي

“ni mwezi wa Ramadhani ambao humo iliteremshwa Qur’an kuwa mwon gozo kwa watu, na dalili zilizo

wazi za mwongozo na upambanuzi.”

ت فيه من زل

نهر رمضان بما ا

ش

مت حرمة

عظ

ف

قرآنال

ukaitukuza heshima ya mwezi wa Ramadhani kwa sababu ya ile Qur’ani uliyoiteremsha humo,

در ق

ة ال

يل

صصته بل

وخ

ukaufanya makhsusi kwa usiku wa laylatul-Qadri,

هر

ف شل من ا

يرا

تها خ

وجعل

nao ukaufanya ni bora kuliko miezi elfu.

ضتق

د ان

هر رمضان ق

يام ش

ـهم وهذه ا

لل

ا

ewe Mungu wangu! hivi sasa siku za Mwezi wa Ramadhani zimekwisha,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 106 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 113: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

107

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

مت صرد ت

ياليه ق

ول

na nyusiku zake zimetuacha,

م به منيعل

ت ا

نى ما ا

د صرت يا الـهي منه ال

وق

nawe ewe Mola wangu wajua zaidi kuliko mimi ni hadhi gani niliyofikia humo.

جمعينق ا

لخ

ح�ضى لعدده من ال

وا

nawe ndiye uwezaye kuhesabu idadi yake kuliko viumbe wote.

بون رق تك ال

ئك

ك به مال

لك بما سأ

لسأ

اف

nakuomba kupitia yale waliyokuomba malaika wako wakuruba,

الحون ون، وعبادك الصرسل

ك ال

بياؤ

نوا

Manabii wako wajumbe na waja wako wema,

د د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ا

umrehemu Muhammad na aali Muhammad.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 107 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 114: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

108

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ار بتي من النفك رق

وأن ت

na uniepushe na moto,

برحمتكة جن

ني ال

دخل

وت

na uniingize Peponi kwa rehema zako.

رمكل علي بعفوك وك تفض

ن ت

وا

na unifanyie fadhila kwa msamaha wako na ukarimu wako.

ستجيب دعائيبي و ت ر

ق

ل ت ب

تق

ت

Kubali kujikurubisha Kwangu na jibu dua yangu.

وفخ

من يوم ال

ي بال

من عل

وت

nikirimu kwa kunipa amani siku yenye khofu,

قيامةه ليوم ال

عددت

ل هول ا

من ك

Dhidi ya kila lenye kutisha uliloliandaa kwa ajili ya siku ya Kiyama.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 108 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 115: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

109

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ريمك

بوجهك ال

عوذ

الـهي وا

ewe Mola wangu! najilinda kupitia heshima Yako tukufu,

عظيملك ال

وبجال

na utukufu wako wenye nguvu,

ياليههر رمضان ول

ام ش ي

�ضي ا

ن ينق

ا

zisiishe siku za mwezi wa Ramadhani na nyusiku zake,

ني بهاخذ

ؤ

ب ت

نو ذ

ا

بعة

ك قبلي ت

ول

Bila kunisamehe haki au dhambi utakayoniadhibu kwayo.

فرها ليغ

م ت

ي ل ها من

قتصن ت

ريد ا

ت

ة

طيئ

و خ

ا

au kosa utakalolipiza kwangu bado haujanisamehe.

دي دي سي دي سي سيBwana wangu, Bwana wangu, Bwana wangu,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 109 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 116: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

110

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

تن ا الـه إل

ك يا ل

لسأ

أ

nakuomba ewe ambaye hapana Mungu wa haki ila wewe,

تن ا الـه إل

ل

اذ

Kwani hakuna Mola wa haki ila wewe.

ي رضا دد عن

ازهر ف ا الش

نت رضيت عني في هذ

ان ك

ikiwa umeniridhia ndani ya mwezi huu basi niongezee ridhaa Yako.

ي ارض عنلن ف

من ا

ي ف ن رضيت عن

ك

م ت

وان ل

na ikiwa hujaniridhia basi tokea sasa niridhie.

احمين رحم الريا ا

ewe Mbora wa warehemevu.

حد يا صمديا هللا يا ا

ewe allah, ewe Mmoja wa pekee, ewe Mwenye kukusudiwa.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 110 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 117: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

111

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

دم يول

م يلد ول

يا من ل

ewe ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa.

حد ا

فوا

ه ك

ن ل

م يك

ول

wala hana yeyote anayefanana naye.

KiThiRiSha Maneno haYa:

م

ال يه السحديد لداود عل

ن ال ي

يا مل

ewe uliyelainisha chuma kwa ajili ya Daud, amani iwe juu yake.

يه وب عل ي

ام عن ا

عظ

رب ال

ك

الضر وال

اشف

يا ك

م

ال الس

ewe uliyeondoa madhara na shida kubwa kwa ayyub, amani iwe juu yake.

الم يه السيا مفرج هم يعقوب عل

ewe uliyemfariji Yakub, amani iwe juu yake.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 111 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 118: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

112

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

الم يه الس عل

م يوسف

س غ يا منف

ewe uliyemuondolea simanzi Yusuf, amani iwe juu yake.

د د وآل محم ى محمصل عل

Mrehemu Muhammad na aali wa Muhammad,

جمعينيهم أ

ي عل

صل

ن ت

ه أ

هل

ت أ

نما أ

ك

Kama unavyostahili kuwarehemu wote.

ههل

ا أ

نفعل بي ما أ

ت

ه ول

هل

ت أ

نعل بي ما أ

واف

nifanyie yale unayostahiki, wala usinifanyie yale ninayostahili.

Dua Ya uSiKu wa Mwezi iShiRini na Moja

حيم حمن الر بسم هللا الرKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema,

Mwenye kurehemu.

د آل محم د و ى محمي عل

هم صل

لل

ا

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 112 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 119: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

113

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

هار يل في النيا مولج الل

ewe Mwenye kuutia usiku katika mchana

يلهار في الل ومولج الن

na Mwenye kuutia mchana katika usiku.

ت ي حي من ال

رج ال

يامخ

ewe Mwenye kukitoa kilicho hai toka kwenye kilicho maiti

حيت من ال ي

رج ال

ومخ

na Mwenye kukitoa kilicho maiti toka kwenye kilicho hai.

ير حساباء بغ

يا رازق من يش

ewe Mwenye kumruzuku umtakaye bila kipimo.

يا هللا يا رحمـن ewe allah, ewe Mwingi wa rehema.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 113 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 120: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

114

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يا هللا يا رحيمewe allah, ewe Mrehemevu.

يا هللا يا هللا يا هللاewe allah, ewe allah, ewe allah.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء

ل وال

una majina mazuri, na mifano bora, hadhi na neema.

د د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسا

ا

nakuomba umrehemu Muhammad na aali Muham-mad,

عداء ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na uliweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri.

هداء وروحي مع الشRoho yangu pamoja na wahanga wema.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 114 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 121: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

115

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ين ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu.

فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بيلباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo kwayo utaugusa moyo wangu.

ي ك عن هب الش يذ

وايمانا

na imani itakayoniondolea shaka.

سمت ليرضيني بما ق

ت

na uniridhie kwa kile ulichogawa kwa ajili yangu.

خرة حسنة

في ال و

يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

حريقار ال اب الن

وقنا عذ

na utuepushe na moto uchomao.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 115 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 122: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

116

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ركك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako,

ابهن

يك وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako, kurejea Kwako,

دا وآل محم

دا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad,

مال يهم الس

يه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

Dua Ya uSiKu wa Mwezi iShiRini na MBili

حيم حمن الر بسم هللا الر

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 116 6/16/2016 4:29:24 PM

Page 123: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

117

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

د آل محم د و ى محمهم صل عل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

يلهار من الل يا سالخ الن

ewe Mwenye kuutoa mchana toka kwenye usiku,

لمونحن مظ

ا ن

اذ

ف

Na hatimaye ghafla tunakuwa kwenye giza.

ها بتقديرك رستق

مس ل ومجري الش

na Mwenye kulipeleka jua kwenye kituo chake kwa uwezo wako.

يا عزيز يا عليمewe Mwenye nguvu, ewe Mjuzi.

ديمق

عرجون ال

ال

ى عاد ك مر منازل حت

ق

ر ال د

ومق

na Mwenye kuupimia mwezi vituo mpaka ukarudia kuwa kama kole la mtende kuukuu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 117 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 124: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

118

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

بة،ل رغ

ور، ومنتهى ك

ل ن

ور ك

يا ن

ewe nuru ya kila nuru na kilele cha kila raghba.

ل نعمة، لي ك وو

na Mmiliki wa kila neema.

يا هللا يا رحمـن،ewe allah! ewe Mwingi wa rehema.

وس، ديا هللا يا ق

ewe allah, ewe Mtakatifu.

ردحد يا واحد، يا ف

يا ا

ewe mmoja, ewe wa pekee, ewe mpweke.

يا هللا يا هللا يا هللاewe allah, ewe allah, ewe allah.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء،

ل وال

una majina mazuri, na mifano bora, hadhi na neema.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 118 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 125: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

119

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

د د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسأ

ا

nakuomba mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

عداء، ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na uliweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri.

هداء، وروحي مع الشRoho yangu pamoja na wahanga wema.

ين، ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu.

،فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بي،لباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo kwayo utaugusa moyo wangu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 119 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 126: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

120

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ك عني، هب الش يذ

وايمانا

na imani itakayoniondolea shaka.

سمت لي،رضيني بما ق

ت

na unifanye niridhike na kile ulichogawa kwa ajili yangu.

خرة حسنة

وفى ال

يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

حريق،ار ال اب الن

وقنا عذ

na utuepushe na moto uchomao.

رك ك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako.

ابة

ن

يك وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako, kurejea Kwako.

د وآل محمدا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 120 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 127: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

121

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

م

ال يهم السيه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

Dua Ya uSiKu wa Mwezi iShiRini na TaTu

حيم حمن الر بسم هللا الر

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

د آل محم د و ى محمهم صل عل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

درق

ة ال

يل

يا رب ل

ewe Mola Mlezi wa usiku wa laylatil-Qadri.

هر،

ف شل من ا

يرا

ها خ

وجاعل

na uliyeufanya kuwa mbora kuliko miezi elfu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 121 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 128: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

122

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

بحار،جبال وال

هار، وال يل والن

ورب الل

Mola Mlezi wa usiku na mchana, milima na mabahari,

ماء، رض والس وار، وال

ن م وال

لوالظ

giza na nuru, ardhi na mbingu.

ر، يا بارئ يا مصوewe Muumbaji, ewe Msanifu maumbo.

ان، ان يا من يا حنewe mwenye huba, ewe mwenye huruma.

يا هللا يا رحمن،ewe allah, ewe Mwingi wa rehema.

وم ييا هللا يا ق

ewe allah, ewe Mwenye kusimamia mambo.

يا هللا يا بديعewe allah, ewe Muumbaji.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 122 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 129: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

123

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يا هللا يا هللا يا هللاewe allah, ewe allah, ewe allah.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء،

ل وال

una majina mazuri, na mifano bora, hadhi na neema.

د، د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسا

ا

nakuomba mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

عداء، ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na uliweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri.

هداء وروحي مع الشRoho yangu pamoja na wahanga wema.

ين، ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 123 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 130: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

124

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

،فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بيلباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo kwayo utaugusa moyo wangu.

ك عني، يذهب الشوايمانا

na imani itakayoniondolea shaka.

سمت لي،رضيني بما ق

ت

na uniridhie kwa kile ulichogawa kwa ajili yangu.

،خرة حسنة

وفي ال

يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

حريق،ار ال اب الن

وقنا عذ

na utuepushe na moto uchomao.

رك ك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 124 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 131: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

125

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ابة

ن

يك وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako, kurejea Kwako,

د وآل محمدا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل والت

وبة والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad,

م

ال يهم السيه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

Dua Ya uSiKu wa Mwezi iShiRini na nne

حيم حمن الر بسم هللا الرKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema,

Mwenye kurehemu.

د د وآل محم ى محمي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

،نا

يل سك

صباح، وجاعل الل

الق ال

يا ف

ewe Mpasuaji wa asubuhi na Mwenye kuufanya usiku uwe kitulizo,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 125 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 132: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

126

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

،مر حسبانا

ق

مس وال والش

na jua na mwezi kwa ajili ya hesabu.

يا عزيز يا عليمewe Mtukufu Mjuzi,

ول،ن والط

ا ال

يا ذ

ewe Mwenye ukarimu na uwezo,

حول، ة وال قو

وال

nguvu na ujanja,

عام، ن

فضل وال

وال

Fadhila na neema,

رام،ك

ل وال

جال

وال

utukufu na uungwana.

يا هللا يا رحمنewe allah, ewe Mwingi wa rehema.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 126 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 133: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

127

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ر،رد يا وت

يا هللا يا ف

ewe allah, ewe wa pekee, ewe Mmoja.

اهر يا باطن،يا هللا يا ظ

ewe allah, ewe uliye dhahiri, ewe uliye wa siri.

ت،ن ا الـه إل

يا حي ل

ewe hai, hakuna Mola wa haki ila wewe.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء،

ل وال

una majina mazuri, na mifano bora, hadhi na neema.

د، د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسا

ا

nakuomba umrehemu Muhammad na aali Muhammad,

عداء، ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na uliweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 127 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 134: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

128

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

هداء، وروحي مع الش

Roho yangu pamoja na wahanga wema,

ين، ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu

،فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بي،لباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo itaugusa moyo wangu.

ي، ك عنهب بالش

يذ

وايمانا

na imani itakayoniondolea shaka.

سمت لي،رضيني بما ق

ت

na unifanye niridhike na kile ulichogawa kwa ajili yangu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 128 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 135: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

129

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

وفي الخرة حسنه، يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

ار اب النوقنا عذ

na utuepushe na moto uchomao.

ركك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako,

ابة

ن

يك، وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako, kurejea Kwako,

د وآل محمدا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل وبة والت والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad,

م

ال يهم السيه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 129 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 136: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

130

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya uSiKu wa Mwezi iShiRini na Tano

حيم حمن الر بسم هللا الرKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema,

Mwenye Kurehemu.

د آل محم د و ى محمهم صل عل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

،هار معاشا ، والن

يل لباسا

يا جاعل الل

ewe uliyeufanya usiku vazi na mchana maisha,

،ادا

وت

جبال ا

، وال

رض مهادا

وال

ardhi tandiko na milima vigingi.

اهر يا هللا يا ق

ewe allah, ewe Kahari,

ار يا هللا يا جبewe allah, ewe jabari.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 130 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 137: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

131

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يا هللا يا سميعewe allah, ewe Msikivu.

ريب يا هللا يا ق

ewe allah, ewe uliye karibu.

يا هللا يا مجيبewe allah, ewe Mwenye kujibu.

يا هللا يا هللا يا هللاewe allah, ewe allah, ewe allah.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء،

ل

والuna majina mazu ri, na mifano bora, hadhi na neema.

د، د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسا

ا

nakuomba mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 131 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 138: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

132

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

عداء، ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na liweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri,

هداء، وروحي مع الش

Roho yangu pamoja na wahanga wema,

ين، ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu,

،فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بي،لباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo itaugusa moyo wangu.

ي، ك عن هب الش يذ

وايمانا

na imani itakayoniondolea shaka.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 132 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 139: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

133

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

سمت لي،رضيني بما ق

وت

na uniridhie kwa kile ulichogawa kwa ajili yangu.

خرة حسنة

وفي ال

يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

حريق،ار ال اب الن

وقنا عذ

na utuepushe na moto uchomao.

ركك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako,

ابة

ن

يك وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako na kurejea Kwako,

د وآل محمدا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad.

م

ال يهم السيه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 133 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 140: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

134

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya uSiKu wa Mwezi iShiRini na SiTa

حيم حمن الر بسم هللا الرKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema,

Mwenye kurehemu.

د آل محم د و ى محمهم صل عل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

هار آيتين، يل والنيا جاعل الل

ewe uliyefanya usiku na mchana kuwa alama mbili.

هار مبصرة الن

يل وجعل آية

الل

يا من محا آية

ewe uliyefuta alama ya mchana na ukafanya alama ya usiku ni yenye kuangaza,

، منه ورضوانا

ضال

وا ف

لتبتغ

ili humo mtafute fadhila na radhi.

،فصيال

ل �ضيء ت

ل ك يا مفص

ewe uliyetenganisha kila kitu peke yake.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 134 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 141: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

135

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يا ماجد يا وهاب،Ewe Mwenye kusifika kwa uzuri, ewe Mpaji.

يا هللا يا جواد،ewe allah, ewe Mkarimu.

يا هللا يا هللا يا هللاewe allah, ewe allah, ewe allah.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء،

ل

والuna majina mazuri, na mifano bora, hadhi na neema.

د، د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسا

ا

nakuomba mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

عدآء، ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na liweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 135 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 142: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

136

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

هداء وروحي مع الش

Roho yangu pamoja na wahanga wema,

ين، ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu,

،فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بيلباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo kwayo utaugusa moyo wangu.

ك عني، يذهب الشوايمانا

na imani itakayoniondolea shaka.

سمت لي،رضيني بما ق

وت

na niridhie kwa kile ulichogawa kwa ajili yangu.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 136 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 143: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

137

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

،خرة حسنة

وفي ال

يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

حريق،ار ال اب الن

وقنا عذ

na tuepushe na moto uchomao.

ركك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako na shukrani Yako,

ابة

ن

يك وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako, kurejea Kwako,

د وآل محمدا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad.

م

ال يهم السيه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 137 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 144: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

138

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya uSiKu wa Mwezi iShiRini na SaBa

حيم حمن الر بسم هللا الر

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

د د وآل محم ى محمي عل

هم صل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

،ته ساكنا

جعل

ت ل

و شئ

ل ول

يا ماد الظ

ewe Mwenye kukiongeza kivuli, na lau ungetaka basi ungekifanya kision gezeke.

يه دليال

مس عل ت الش

وجعل

umelifanya jua kuwa dalili juu yake,

، يسيرا

بضا

يك ق

بضته ال

م ق

ث

Kisha ukakichukua Kwako kwa wepesi kabisa.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 138 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 145: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

139

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ء،

ل

كبرياء والول وال

جود والط

ا ال

يا ذ

ewe Mwenye ukarimu na nguvu, heshima na neema.

هادة يب والشغ

ت عالم ال

ن ا الـه إل

ل

hapana Mungu wa haki ila wewe Mjuzi wa yasiyoonekana na yanayoo nekana.

حمن الرحيم، الرMwingi wa rehema Mwenye kurehemu.

وس دت يا ق

ن ا إله إل

ل

hapana Mungu wa haki ila wewe, ewe Mtakatifu.

م يا مؤمن

يا سالewe Mwenye salama, ewe Mtoaji wa amani.

يا مهيمن يا عزيزewe Mwangalizi, ewe Mwenye nguvu.

ر يا جبار يا متكبewe jabari, ewe Mkubwa.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 139 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 146: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

140

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

الق يا هللا يا خ

ewe allah, ewe Muumbaji.

ر، يا بارئ يا مصوewe Mtengenezaji, ewe Msanifu wa umbo.

يا هللا يا هللا يا هللا ewe allah, ewe allah, ewe allah.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء،

ل

والuna majina mazuri, na mifano bora, hadhi na neema.

د، د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسا

ا

nakuomba mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

عداء، ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na liweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 140 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 147: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

141

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

هداء، وروحي مع الشRoho yangu pamoja na wahanga wema,

ين، ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu,

،فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بي،لباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo kwayo utaugusa moyo wangu.

ي، ك عن هب الش يذ

وايمانا

na imani itakayoniondolea shaka,

سمت لي،رضيني بما ق

وت

na niridhie kwa kile ulichogawa kwa ajili yangu.

خرة حسنة

وفي ال

يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 141 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 148: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

142

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

حريق،ار ال اب الن

وقنا عذ

na tuepushe na moto uchomao.

رك ك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako,

ركك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako,

ابة

ن

يك وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako, kurejea Kwako,

د وآل محمدا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad.

م

ال يهم السيه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 142 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 149: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

143

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

Dua Ya uSiKu wa Mwezi iShiRini na nane

حيم حمن الر بسم هللا الر

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

د آل محم د و ى محمهم صل عل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

هواء،يل في ال

ازن الل

يا خ

ewe uliye uhifadhi usiku katika anga,

ماء، ور في الس ازن النوخ

na uliyehifadhi nuru katika mbingu,

نه باذ

رض إل

ى ال

ع عل

ق

ن ت

ماء أ ومانع الس

na uliyezuia mbingu isiidondokee ardhi ila kwa idhini Yake,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 143 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 150: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

144

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

،

زولن ت

وحابسهما ا

na Mwenye kuzishika zisitoweke.

فور يا دائم،يا عليم يا عظيم، يا غ

ewe Mjuzi, ewe Mtukufu, ewe Msamehevu, ewe wa daima.

قبور، من في ال

، يا باعث

يا هللا يا وارث

ewe allah, ewe Mrithi, ewe Mwenye kuwafufua waliyomo makaburini.

يا هللا يا هللا يا هللاewe allah, ewe allah, ewe allah.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء،

ل

والuna majina mazuri, na mifano bora, hadhi na neema.

د، د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسا

ا

nakuomba mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 144 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 151: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

145

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

عدآء، ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na liweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri,

هداء، وروحي مع الش

Roho yangu pamoja na wahanga wema,

ين، ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu,

،فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بي،لباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo kwayo itaugusa moyo wangu,

ي، ك عن هب الش يذ

وايمانا

na imani itakayoniondolea shaka,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 145 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 152: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

146

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

سمت لي،رضيني بما ق

وت

na nifanye niridhike na kile ulichogawa kwa ajili yangu.

خرة حسنة

وفي ال

يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

حريق،ار ال اب الن

وقنا عذ

na tuepushe na moto uchomao.

رك ك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako,

ابة

ن

يك وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako, kurejea Kwako,

د وآل محمدا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 146 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 153: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

147

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

م

ال يهم السيه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

Dua Ya uSiKu wa Mwezi iShiRini na TiSa

حيم حمن الر بسم هللا الرKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema,

Mwenye kurehemu.

د آل محم د و ى محمهم صل عل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

هار، ى النيل عل

ر الل و

يا مك

ewe Mwenye kuukunja usiku juu ya mchana,

يل،ى الل

هار عل ر الن و

ومك

na Mwenye kuukunja mchana juu ya usiku.

يا عليم يا حكيم ewe Mjuzi Mwenye hekima.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 147 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 154: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

148

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

رباب يا رب ال

ewe Mola Mlezi wa walezi.

د السادات، وسي

ewe Bwana wa mabwana.

ت ن ا اله إل

ل

hakuna Mungu wa haki ila wewe.

وريد،ي من حبل ال

رب ال

ق

يا ا

ewe uliye karibu nami kuliko mshipa wa moyo.

يا هللا يا هللا يا هللا

ewe allah, ewe allah, ewe allah.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء،

ل

وال

una majina mazuri, na mifano bora, hadhi na neema.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 148 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 155: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

149

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

د، د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسا

ا

nakuomba mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

عداء، ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na liweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri,

هداء، وروحي مع الشRoho yangu pamoja na wahanga wema,

ين، ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu,

،فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بي،لباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo kwayo utaugusa moyo wangu,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 149 6/16/2016 4:29:25 PM

Page 156: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

150

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ي، ك عن هب الش يذ

وايمانا

na imani itakayoniondolea shaka,

سمت لي،رضيني بما ق

وت

na nifanye niridhike kwa kile ulichogawa kwa ajili yangu.

خرة حسنة

وفي ال

يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

حريق،ار ال اب الن

وقنا عذ

na tuepushe na moto uchomao.

رك ك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako,

ابة

ن

يك وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako, kurejea Kwako,

د وآل محمدا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 150 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 157: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

151

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

م

ال يهم السيه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

Dua Ya uSiKu wa Mwezi ThelaThini

حيم حمن الر بسم هللا الر

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

د آل محم د و ى محمهم صل عل

لل

ا

ewe Mungu wangu! Mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

ه،ريك ل

ش

حمد هلل ل

ال

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu asiye na mshirika yeyote.

رم وجههبغي لك

ما ين

حمد هلل ك

ال

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu kama inavyo-pasa kwa utukufu wa heshima Yake,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 151 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 158: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

152

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ه،هل

ما هو ا

وعز جالله وك

na nguvu ya utukufu wake, na kama anavyostahiki.

قدس،ور ال

ور يا ن

وس يا ن د

يا ق

ewe Mtukufu, ewe nuru, ewe nuru ya utukufu.

سبيح،وح يا منتهى الت يا سب

ewe Mtukuka, ewe kilele cha utukuzo.

حمة، اعل الريا رحمـن يا ف

ewe Mwingi wa rehema, ewe Mtendaji wa rehema.

بير، يا هللا يا عليم يا ك

ewe allah, ewe Mjuzi, ewe Mkubwa.

يا جليل،

طيفيا هللا يا ل

ewe allah, ewe Mpole, ewe jalili.

يا هللا يا سميع يا بصير،ewe allah, ewe Msikivu, ewe Mwenye kuona.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 152 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 159: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

153

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

يا هللا يا هللا يا هللاewe allah, ewe allah, ewe allah.

كبرياء يا، وال

عل

ال ال

مث

حسنى، وال

سماء ال

ك ال

ل

ء،

ل

والuna majina mazuri, na mifano bora, hadhi na neema.

د، د وآل محم ى محمي عل

صل

ن ت

ك ا

لسا

ا

nakuomba mrehemu Muhammad na aali Muhammad.

عداء، ة في السيل

جعل اسمي في هذه الل

ن ت

وا

na liweke jina langu usiku huu katika watu wenye kheri,

هداء، وروحي مع الشRoho yangu pamoja na wahanga wema,

ين، ي واحساني في عل

Matendo yangu ndani ya daftari la watukufu,

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 153 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 160: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

154

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

،فورة

واساءتي مغ

na makosa yangu yafutwe.

بي،لباشر به ق

ت

ن تهب لي يقينا

وا

nakuomba unipe yakini ambayo kwayo utaugusa moyo wangu,

ي، ك عن هب الش يذ

وايمانا

na imani itakayoniondolea shaka,

سمت لي،رضيني بما ق

وت

na niridhie kwa kile ulichogawa kwa ajili yangu.

خرة حسنة

وفي ال

يا حسنة

ن وآتنا في الد

Tupe wema duniani na akhera.

حريق،ار ال اب الن

وقنا عذ

na utuepushe na moto uchomao.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 154 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 161: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

155

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

ركك

رك وش

ني فيها ذك

وارزق

niruzuku humo utajo wako, shukrani Yako,

ابة

ن

يك وال

ال

بة

غ والر

Raghba ya kuelekea Kwako, kurejea Kwako,

د وآل محمدا ه محم

قت ل

ا وف

وفيق ل والت

Na tawfiki katika yale uliyomwafikisha Muhammad na aali Muhammad,

م

ال يهم السيه وعل

عل

amani iwe juu yake na juu yao.

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 155 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 162: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

156

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

oRoDha Ya ViTaBu ViliVYo chaPiShwa na al-iTRah FounDaTion

1. i) Qur’ani Tukufu – Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili ii) Qur’an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini2. Uharamisho wa Riba3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili5. Hekaya za Bahlul6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (a.s.)8. Hijab vazi Bora9. Ukweli wa Shia Ithnaashari10. Madhambi Makuu11. Mbingu imenikirimu12. Abdallah Ibn Saba13. Khadijatul Kubra14. Utumwa15. Umakini katika Swala16. Misingi ya Maarifa17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia18. Bilal wa Afrika19. Abudhar20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu21. Salman Farsi22. Ammar Yasir23. Qur’an na Hadithi24. Elimu ya Nafsi25. Yajue Madhehebu ya Shia

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 156 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 163: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

157

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur’an Tukufu27. Al-Wahda28. Ponyo kutoka katika Qur’an 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii30. Mashukio ya Akhera31. Al Amali32. Dua kwa Mujibu wa Ahlulbayt (a.s)33. Udhuu kwa Mtazamo wa Qur’ani na Sunna34. Haki za wanawake katika Uislamu35. Mwenyezi Mungu na sifa zake36. Kumswalia Mtume (s)37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)38. Adhana39. Upendo katika Ukristo na Uislamu40. Qur’ani na Kuhifadhiwa Kwake41. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya Sala Mbili44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya46. Kusujudu juu ya udongo47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s)48. Tarawehe49. Malumbano baina ya Sunni na Shia50. Kupunguza Swala safarini51. Kufungua safarini52. Umaasumu wa Manabii53. Qur’an Yatoa Changamoto54. as-Salaatu Khayrun Mina -’n Nawm55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 157 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 164: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

158

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mtume Muhammad (s)61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili63. Kuzuru Makaburi64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita70. Tujifunze Misingi Ya Dini71. Sala ni Nguzo ya Dini72. Mikesha Ya Peshawar73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu74. Ubora wa Imam ‘Ali na Ushia ndio njia iliyonyooka75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake76. Liqaa-u-llaah77. Muhammad (s) Mtume wa Allah78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi?80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s)82. Urejeo (al-Raj’ah)83. Mazingira84. Utokezo (al - Badau) 85. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi86. Swala ya maiti na kumlilia maiti87. Uislamu na Uwingi wa Dini

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 158 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 165: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

159

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

88. Mtoto mwema89. Adabu za Sokoni Na Njiani90. Johari za hekima kwa vijana91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu94. Tawasali (AT- TAWASSUL)95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia96. Hukumu za Mgonjwa97. Sadaka yenye kuendelea98. Msahafu wa Imam Ali99. Maimamu wa Ahlul Bait – Ujumbe na Jihadi100. Idi Al-Ghadir101. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu102. Hukumu zinazomuhusu mkuu wa kazi na Mfanyakazi103. Huduma ya Afya katika Uislamu104. Sunna za Nabii Muhammad (saww)105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza)106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili)107. Shahiid Mfiadini108. Mwanamke Na Sharia109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza110. Ujumbe - Sehemu ya Pili111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu112. Ujumbe - Sehemu ya Nne113. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu114. Hadithi ya Thaqalain115. Ndoa ya Mutaa116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 159 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 166: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

160

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

119. Ukweli uliopotea sehemu ya Nne120. Ukweli uliopotea sehemu ya Tano121. Mkutano wa Maulamaa wa Baghdad122. Safari ya kuifuata Nuru123. Fatima al-Zahra124. Myahudi wa Kimataifa125. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi126. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza127. Visa vya kweli sehemu ya Pili128. Elimu ya Ghaibu ya Maimamu129. Mwanadamu na Mustakabali wake130. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza)131. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili)132. Khairul l’Bariyyah133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi134. Vijana ni Hazina ya Uislamu135. Adhana ni Ndoto au ni Wahyi?136. Tabaruku137. Saada Kamili – Kitabu cha Kiada cha Maadili138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje?140. Visa vya wachamungu141. Falsafa ya Dini142. Kuhuzunika na Kuomboleza143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah144. Mjadala wa Kiitikadi145. Kuonekana kwa Allah146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza)147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili)148. Ndugu na Jirani149. Ushia ndani ya Usunni

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 160 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 167: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

161

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

150. Maswali na Majibu151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 1153. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 2154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 3155. Abu Huraira156. Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti.157. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Kwanza158. Mazingatio kutoka kaitka Qur’an - Sehemu ya Pili159. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya kwanza160. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya Pili161. Shia na Qur’ani – Majibu na Maelezo162. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s)163. Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani164. Elimu ya Tiba za Kiislamu - Matibabu ya Maimamu165. Uislamu Safi166. Majlisi za Imam Husein Majumbani167. Je, Kufunga Mikono168. Uislam wa Shia169. Amali za Makka170. Amali za Madina171. Asili ya Madhehebu katika Uislamu172. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi173. Ukweli uliofichika katika neno la Allah174. Uislamu na Mifumo ya Uchumi175. Umoja wa Kiislamu na Furaha176. Mas’ala ya Kifiqhi177. Jifunze kusoma Qur’ani178. as-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah179. Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana180. Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 161 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 168: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

162

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

181. Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na Ramadhani)182. Uadilifu katika Uislamu183. Mahdi katika Sunna184. Maswali Ya Uchunguzi Kuhusu Uislam185. Kazi na Bidii ni njia ya maendeleo186. Abu Talib – Jabali Imara la Imani187. Ujenzi na Utakaso wa Nafsi188. Vijana na Matarajio ya Baadaye189. Historia maana na lengo la Usalafi190. Ushia – Hoja na Majibu191. Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww) 192. Maombolezo – Msiba wa Bwana wa Mashahidi (a.s.)193. Shahidi kwa Ajili ya Ubinadamu194. Takwa195. Upotoshaji Dhahiri katika (Turathi) Hazina ya Kiislamu196. Amirul Muuminina (as) na Makhalifa197. Tawheed Na Shirki 198. Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa AbuBakr199. Adabu za vikao na mazungumzo200. Hija ya Kuaga201. Uwazi baina ya Maslahi na Vikwazo202. Fadhila za watukufu watano katika Sahih Sita203. Mdahalo baina ya Mwanachuoni waKisunni na Kishia (Al- Muraja’aat)204. Utawala na Uendeshaji katika Sera ya Imam Ali (as)205. Imam Husain ni Mfumo wa Marekebisho na Mageuzi206. Mtazamo kuhusu msuguano wa Kimadhehebu207. Nchi na Uraia – Haki na wajibu kwa Taifa208. Mtazamo wa Ibn Taymiyyah juu ya Imam Ali (as)209. Uongozi wa Kidini – Maelekezo na Utekelezaji wa Kijamii210. Maadili ya Ashura211. Mshumaa – Shahidi na Kifo cha Kishahidi

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 162 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 169: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

163

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

212. Mizani ya Hekima – Hadithi za Ahlul Bait (as) – Sehemu ya Kwanza213. Imam Ali na Mambo ya Umma214. Imam Ali na Mfumo wa Usawa215. Uimamu na Tamko la Kutawazwa216. Mfumo wa Wilaya217. Vipi Tutaishinda Hofu?218. Kumswalia Mtume ni Ufunguo wa Utatuzi wa Matatizo219. Maeneo ya Umma na Mali Zake220. Nahju ‘L-Balagha– Majmua ya Khutba, Amri, Barua, Risala,

Mawaidha na Semi za Amirul-Muuminin Ali bin Abu Talib (a.s.)221. Mukhtar – Shujaa aliyelipiza kisasi dhidi ya wauaji

wa Imam Husein (as) hapo Karbala222. Mazingatio Katika Swala223. Imam Hasan na Mfumo wa Kujenga Jamii224. Vyakula Na Vinywaji225. Kuelewa Rehema ya Mwenyezi Mungu226. Imam Mahdi na Bishara ya Matumaini 227. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu228. Shia Na Sahaba - Majibu na Maelezo229. Majanga Na Jukumu la Jamii230. Shia Na Hadith - Majibu na Maelezo231. Upotofu Ndani ya Kitabu cha Mitaala kwa Shule za Sekondari 232. Ugaidi Wa Kifikra Katika Medani Ya Kidini 233. Yafaayo kijamii234. Uswalihina Dhahiri Na Batini Yake235. Mkakati wa Kupambana na Ufakiri236. Mwanamke Katika Harakati Za Mageuzi237. Jihadi238. Hija Katika Maneno Na Ujumbe Wa Imam Khomeini (R.A)239. Tiba Ya Maradhi Ya Kimaadili240. Yusuf Mkweli

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 163 6/16/2016 4:29:26 PM

Page 170: Dua za Mwezi wa RaMaDhan - alitrah.co.tzsiano wa karibu sana baina ya mwanadamu na Muumba wake, na uhakikisho kwamba yeye atasikilizwa pale atakapokuwa anamuom-ba Yeye (s.w.t). Kwamba

164

Dua za Mwezi wa RaMaDhan

241. Taqiyya Kwa Mujibu Wa Sheria Ya KIISLAMU242. Imam Mahdi (A.S) Imam Wa Zama Hizi Na Kiongozi Wa Dunia243. Talaka Tatu244. Safari Ya Kuelekea Kwa Mwenyezi Mungu245. Hotuba Za Kiislamu Juu Ya Haki Za Binadamu 246. Mashairi Ya Kijamii247. Ngano Ya Kwamba Qur’ani Imebadilishwa248. Wito Kwa Waumini: “Enyi Mlioamini”249. Imam Husain (a.s) ni Utu na Kadhia250. Imam Husain ni Kielelezo cha Kujitoa Muhanga na Fidia251. Imam Mahdi ni Tumaini la Mataifa252. Kuchagua Mchumba253. Mazungumzo ya Umoja – Ukosoaji na Usahihishaji254. Utamaduni wa Mwamko wa Kijamii255. Hekima za kina za Swala256. Kanuni za Sharia za Kiislamu257. Utamaduni kufuatana na Qur’ani na Utekelezaji wa Kivitendo

(Sehemu ya Kwanza)258. Kauli sahihi zaidi katika kufafanua Hadithi

17_16_Ramadan Dua_16_June_2016.indd 164 6/16/2016 4:29:26 PM