17
Reenvisioning, Reimagining and Renewing 2020 2021 FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS

FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

  • Upload
    others

  • View
    1

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Reenvisioning, Reimagining and Renewing

2020 –2021FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS

Page 2: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Ujumbe toka kwa msimamizi 2

bodi ya elimu ya kaunti ya Fayette 3kanuni za muongozo wetu 4kurudi shuleni 5mtindo ya mafundisho 6 Kufanya maamuzi 8Ratiba ya saa 9Rudi shuleni 10NTI 2DL: Tofauti ya kujifunza kwa umbali 11Teknologia 12Chuo cha Kujifunza Mtandaoni cha FCPS dhidi ya Mafundisho Yasiyo ya Kawaida 13itifaki ya afya na usalama 14Lishe ya mtoto 16Usafirishaji 17Siku ya kawaida ya shule 18Msaada wa mwanafunzi na familia 20Shuguli za shule 22maswali yanayo ulizwa mara kwa mara 23Sherera za serikali juu ya kufungua tena 24 wana memba wa vikosi vya wafanyakazi wa kutazama upya kufikiria upya na kufanya upya 26

YAliyomo – Ukurasa

Page 3: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Ujio wa COVID-19 umebadilisha sana mazingira ambayo tunafanya kazi, lakini

haukubadilisha maadili yetu ya msingi. Afya na usalama wa wanafunzi na wafanyakazi wetu imekuwa kila wakati kipaumbele cha juu katika shule za uma za kaunti ya Fayette, na janga kubwa hili limeangazia tu umuhimu wa kutunza mwenzako kuliko yote.

Baada ya kujulikana kwamba hatungeweza rudi shuleni masika iliyo pita, tumewakusanya baadhi ya wanafunzi, familia, waalimu, wakuu wa shule na viongozi wa wilaya kuanza kukuza mipango kuhusu mwaka wa shule wa 2020-2021. Timu hii imefanya kazi bila kuchoka tangu hivo, ku kaa kujiendeleza mara kwa mara kutoa mwongoza wa serikali, ikisukuma kila mmoja kufikiria umakini na ubunifu, na kutowa habari maalamu inayo patikana kutoka kwa maafisa wa umma, wanasayansi, na watafiti wa kielimu.

Waka kabiliaana na swali la kwamba mwaka wa shule wa 2020-2021 utafanana vipi kupitia lens ya imana za msingi zinazo ongoza uamuzi wote wa tarafa: wanafunzi kwanza. Ushindi uko darasani. Uongozi, kujenga uwezo, kushiriki uwajibikaji na kushirikiana wa watokeo ni funguo za mafanikio. Familia ni washirika wetu. Inachukua jamii nzima kuhakikisha mafanikio ya shule zetu za umma.

Shule ya mapema hadi darasa la 12 kwa muda mrefu imelenga “R’s tatu.” Kikosi cha kazi kimeendelea kuzingatia kwamba pamoja na furukuta ambayo R’s tatu zikawa kutazama upya kufikiria upya na kufanya upya. Kazi yao imekuwa Changamoto na ngumu kwani wamejadili na kutathmini mifano kadhaa inayo wezekana kwa shule kufungua upya, kuzingatia jukumu kwa maagizo ya shule, vifaa, saada wa wanafunzi, ushiriki wa familia, shughuli za ziada nje masomo na shughuli za mitaala, madarasa, usafirishaji, huduma ya chakula, kusafisha, afya na itifaki ya uchunguzi, rasilimali ya wafanyakazi na mawasiliano.

FCPS imechunguza wezekano la mafundisho ya ana kwa ana, kujifunza kwa umbali ao kwa karibu, na mchanganyiko wa njia zote mbili. Tumesikiliza sauti za wanafunzi wetu, wafanyikazi na familia, tukikusanya maoni kuhusu majibu ya wilaya masika ilio pita, na pembejeo kuhusu mazingira juu yam waka ujao wa shule.

Mwishoni, tunatambua kwamba hakuna mpango wa kufundishia binafsi kushughulikia mahitaji binafsi ya wanafunzi wetu, kuboresha wasiwasi binafsi ya wafanyikazi wetu, kujibu hali binafsi ya familia zetu, na kuunga mkono mafanikio ya pamoja ya jamii yetu. Hakuna kitu muhimu Zaidi ya maisha ya wanafunzi wetu, wafanyikazi na familia , na kila uamuzi ambao hauanzi na kutambua asili ya umaji maje ya COVID-19 utaangukia. Mpangilio ambao unaonekana kuwa salama siku moja unaweza kuwa hatari siku nyingine, kulinga na kupanda na kushuka kwa kesi ndani ya jamii, inchi na taifa letu.

Kwa lengo hilo, tumetengeneza mpango ambao hutoa chaguzi kwa ma familia na uwepesi kwa shule na viongozi wa wilaya kujibu haraka kama hali ya COVID-19 inabadilika kwa kila kipimo kinacho chukuliwa, utambuzi ulio fanywa ao mafanikio ya kisayansi yakitangazwa. Njia yetu inapeana kipaumbele kwa afya, usalama, kuongeza fursa kwa mafundisho ya kibinafsi, kuingiza mazoezi bora ili kupunguza kuenea kwa virusi, kutoa uwepesi wakuboresha mabadiliko ya hali na janga. Pia inajibu na inaheshimu hali binafsi wana kabiliwa wanafunzi, ma familia na wafanyikazi.

Lengo la hati ni kushiriki mawazo yetu bora kwa wakati huu, pamoja na muhtasari wa itifaki za usalama itakao tekelezwa wakati wafanyikazi na wanafunzi wanarudi chuoni, na chaguzi la mafundisho mbalimbali itapatikana kwa wanafunzi wetu. Mazingira haya yako kwenye msingi wa habari zinazo patikana kwa sasa. Tuta endelea kurekebisha, kupanua na kuboresha mpango wetu si kwamba tu mbele yam waka wa shule kuanza, bali pia baada ya masomo kuanza. Kama gonjwa linabadilika, ndivyo pia wilaya yetu.

Kila uamuzi tunafanya itakuwa kwa mujibu wa mahitaji kutoka serikali kuu, tarafa na viongozi wa mitaa pamoja na vituo vya kuzibiti na kuzuia magonjwa (CDC), ofisi ya gavana wa Kentucky, idara ya afya ya umma ya Kentucky, idara ya elimu ya Kentucky na idara ya afya ya kaunti ya Lexington-fayette.

Shule za umma za kaunti ya Fayette inakumbatia jukumu la kuelimisha na kuunda fursa kwa kila mwanafunzi na hatuta teleza kwa kujitolea kwetu kwa usawa na ubora.

Wilaya yetu imeonyesha mara kwa mara kile kinacho wezekana wakati familia zetu, wafanyikazi na jamii wakifanya kazi kwa pamoja na changamoto hii sio tofauti. Tunaomba kwendelea kusaidia na kushirikiana tunapo tekeleza mpango kamili utakao kidhi mahitaji ya familia zetu, wanafunzi na wafanyikazi.

Mshiriki wenu,

Manny Caulk

Msimamizi wa shule za umma za kaunti ya fayette

Ujumbe kutoka kwa Msimamizi Bodi ya Elimu ya Kaunti ya Fayette

Manny Caulk, Msimamizi wa shule za umma za kaunti ya fayette

Stephanie Spires, Mwenyekiti

Raymond Daniels, Makamu mwenyekiti

Daryl Love

Christy Morris

Tyler Murphy

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 32 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 4: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Kufungua tena shule kwa usalama katikati ya ugonjwa itabidi wilaya yetu kutekeleza mazoea kamili ya kuzuia yenye nguvu za kusaidia na kuimarisha hatua za kupunguza, tukijua kuwa kufunga kwa muda kunaweza kuwa muhimu.

Mazoezi ya kinga ni pamoja na:

Hatua za kukabiliana zimejengwa kwenye hayo mazoezi, lakini pia pamoja na: Sharti la barakoa.

Kutekeleza hatuwa zaa kupanuliwa kwa kotokaribiana kwa watu.

Kuanzisha usafi wa ziada na itifaki ya kuuwa vidudu.

Kupima joto na kucunguza dalili kwa wafanyikazi na wanafunzi.

Kuweka vituo vya kusafisha mikono.

Sharti ya kutumia maji ya chupa badala ya maji ya chemchemi.

Kuzuia fursa ya kufikia majengo.

Hata pamoja na hatua bora za kukinga na kuzuia zilizopo, inaweza kuwa muhimu kuanzisha kufunga kwa muda. maamuzi kuhusu mfano wa mafundisho sahihi itakuwa juu ya kuenea kwa COVID-19 katika jamii na viwango vya maambukizi katika kaunti ya Fayette.

Kurudi chuoni

Misheni ya shule za umma za kaunti ya Fayette ni kuunda jamii inayoshirikiana kwa kuhakikisha kwamba wanafunzi

wote wafanikiwe kwa viwango vya juu na kuhitimu kwa matayarisho ya kufaulu katika jamii ya kimataifa.

R3 kanuni za muongozo wa think tank:

tutaweka mbele usalama na ustawi wa wanafunzi wetu, wafanyikazi na ma jamaa.1tutahakikisha fursa ya kufikia na usawa kwa wanafunzi wote.2tutatengeneza mpango ambao hautatoa tu matukio kadhaa kwa msaada wa kuendelea bali tena elimu ya kufikiria upya ndani ya Wilaya yetu.

3Tutatoa maagizo ya ubora wa juu na msaada wa kimakusudi kwa wanafunzi na ma familia bila kujali mfano wa kufundishia.

4Tutafanya kazi kwa kushirikiana, kwa uthabiti, na kwa nia moja.5

Kanuni za Mwongozo wetu

Kuanzisha na kudumisha mawasiliano na idara ya afya ya Lexington-Fayette.

Kushiriki katika harakati za kufuatilia kama ilivyo elekezwa na idara ya afya ya Lexington-Fayette.

Kukuza elimu na uhamasishaji kuhusu COVID-19, ambayo ni pamoja na kuchapisha ishara ndani ya madarasa, njia za ukumbi kuhusu dalili na hatua za kuzuia.

Kukuza itifaki kwa wanafunzi ao wafanyikazi ambao wanahisi ugonjwa ao dalili wakiwa shuleni.

Kufanya malazi kwa wale wenye kuwa kwa hatari kubwa kwa kugonjwa sana.

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 54 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 5: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Kwa maneno ya mwandishi Judson Moore, “ubora wa kila mpango muhimu Zaidi ni kuwa mwepesi kwa mabadiliko.” Kukabiliwa na hali ya ugonjwa wa COVID-19 inayo badilika kira wakati,mtindo

wowote wa maelekezo mmja pekee utakuwa na upungufu. Badala ya mbinu ya namba moja inafaa wote, shule za umma za Fayette kaunti imetengeneza chaguo mbili ambazo familia zinaweza kuchagua kutoka kwa orodha inayo patikana kwenye mtindo wa kufundishia ambao viongozi wa wilaya wata sambaza kama inavyo faa kuhakikisha ili kuendeleza mafanikio na usalama wa wanafunzi na wanyikazi.

“Ubora wa kila mpango muhimu Zaidi ni kuwa mwepesi kwa mabadiliko.

Mtindo wakufundishia

CHAGUO LA 1:

Mtindo rahisiShule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki zao. Wakati tunaweza kurudi salama kwa maagizo ya uso kwa uso na hatua sahihi za kuzuia na kupunguza, tumeazimia kufanya hivyo.tukijua ya kuwa Wilaya yetu ita hitaji kujibu nimbly kwa asili ya maji ya ugonjwa huu, “mtindo rahisi” wetu unaipatia shule na viongozi wa wilaya busara ya kutekeleza mojawapo wa usanidi tatu za mafundisho sahihi sana kulingana na viwango vya sasa vya kueneza COVID-19 katika jamii. Chini ya mpango huu, wanafunzi wanaweza kuhudhuriya shuleni binafsi, kushiriki katika mafunfisho yasiyo ya jadi, ao kugawanywa katika vikundi vidogo ambavyo vinabadilishana katika kuwepo binafsi na kujifunza kwa umbali ili kuongeza kukaa mbali kwa mtu na mwingine. Afya ya umma itaamua mtindo salama Zaidi wa kujifunza, kwa msingiwa sayansi, ushahidi na hali ya mazingira.

CHAGUO LA 2:

Academy ya mafundisho ya halisiShule za umma za kaunti ya Fayette itatoa chaguo la mafundisho ya kawida kabisa kwa familia zitakazo taka. Wanafunzi walio jiandikisha kwa academy ya mafundisho ya halisi watapokea mafundisho kila siku na kuwasiliana na waalimu kwa ratiba ilio wekwa. Mahudhurio ya kila siku kwa darasa la mkondoni itakuwa ni sharti, kama vile ushiriki wa kila siku wa mgao. Kiwango cha matarajio na uwajibikaji utafanana na ule wa darasa la jadi, lakini itafanyika kwenye mkondoni.

Chaguo hili halipaswi kufananishwa na mafundisho yasio ya jadi ambayo yatatumiwa kwa kufunga kwa mda mfupi kuhusu mazingira ya afya ya umma. Pakiti ya makaratasi haitatumiwa kwenye academy ya mafundisho ya halisi.

AO

AO AO

Mtindo wa 3: Mafundisho yasiyo ya JadiVipindi, kufunga kwa mda mfupi yaweza kuwa muhimu kwa mapendekezo ya afya ya umma kwamva kesi za COVID-19 zinapaswa fukuzwa katika jamii yetu. Chini ya mazingira kama haya, kufundisha na kujifunza itafanyika kupitia mafundisho yasiyo ya jadi ao NTI. Shule za kaunti ya Fayette imetekeleza NTI kwa mara ya kwanza april 2020, ikiwa na mda mfupi sana wa kupanga na kuandaa. Ikiwa ni lazima kubadilisha kwenye NTI kwa siku za usoni, uzoefu wa kujifunza kwa umbwali wa wanafunzi itakuwa tofauti sana. Kamati ndogo ya shule ya R3 task force imefanya kazi kubwa kuhakikisha kwamba “NTI 2DL: Tofauti ya Kujifunza kwa umbali” itakuwa yenye kuhusika sana, yenye nguvu na mara kwa mara inatekelezwa kwenye shule zote kwa kila kiwango cha darasa. Hatua zilizo chukuliwa ni pamoja na kununua mtaal wa kushiriki mkondoni, kuchagua jukwaa thabidi la kujifunza kwa kawaida, na kuwekeza kwa teknologia ya 1 kwa 1 ya Wilaya nzima. Waalimu toka wilaya watapokea maendeleo ya kitaalamu makubwa kabla ya siku ya kwanza ya shule.

Mtindo wa 2: Mafundisho ya MsetoWakati hatua za kuimarisha kutosogeleana kwa watu zitahitajika, wanafunzi watakuwa nanafanya mabadiliko kati yay a kujifunza shuleni na kujifunza wakiwa nyumbani. Chini ya mtindo huu, wanafunzi watagawanywa kwenye vikundi viwili ao Zaidi ili kuunda darasa dogo na kupunguza idadi ya wanafunzi ndani ya jingo kwa wakati mmoja. Hii inaweza fanyika kulingana kiwango cha darasa, anuani ya nyumbani ao usanidi mwingine. Wanafunzi watabadilisha kujifunza wakiwa shuleni na nyumbani, pamoja na vikundi vitakavyo hudhuriya shule kwa msingi wa kubadilishana. Wakati wanafunzi hawatakuwa shuleni kibinafsi, watakuwa wakijifunza wakiwa nyumbani, wakishiriki fursa ya miradi ya kujifunza na mgawo mingine inayo husiana. Kila juhudi litafanyika kuhakikisha kwamba wanafunzi kutoka nyumba moja wafuate ratiba moja ya kubadilishana. Wanafunzi wenye mahitaji binafsi yakujifunza ambayo inawalzimisha kujifunza Zaidi wakiwa shuleni watafikiriwa.

Mtindo wa 1: Mafundisho ya AsiliWakati mazingira itakubali, shule za umma za Fayette kaunti itatoa mafundisho ya asili kwenye vyuo kwa wanafunzi wote. Wakati mtindo huu utafanya kazi, wanafunzi watarejea chuoni na madarasa kwenye ratiba ya kawaida na kupokea mafundisho kutoka kwa waalima wao binafsi. Utaratibu muhimu wa afya na usalama utatekelezwa ili kukidhi miongozo ya serikali ya juu, state na maafisa wa afya wa hapa ili kupunguza hatari ya uambukizaji.

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 76 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 6: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

MTINDO YA KUFUNDISHIA Tunachaguaje?

Kiwango cha kueneza kwa jamii(kama imedhamiriwa na state na maafisa wa afya wa hapa)

Chini/ bila kuenea

Ndogo/kuenea kadirifu

Kuenea mno

Mtindo wa 1: Traditional

SchoolMafundindisho ya mtu binafsi pamoja na mazoezi ya kuzuia,

mchakato na itifaki.

Mtindo wa 2: Mafundisho ya

msetoKutekeleza ubadilishaji wa

ratiba kwa wanafunzi kati ya kujifunza ukiwepo binafsi na

kujifunza kwa umbali.

Mtindo wa 3: Mafundisho yasiyo ya

jadiKutekeleza kujifunza kwa umbali

kuliko lengwa ao kupitisha kujifunza kwa umbali shule ao wilaya mzima

kama inahitajika. Chaguzi ni pamoja na kufunga mahali panapo lengwa ili

patengwe na kuua vidudu mahali palipo ambukizwa, kufunga kwa mda mfupi

kuruhusu kusafisha kwa kina jingo lote, ao kuendelea kufunga angalau siku 14.

Academy ya mafundisho ya halisi

Wanafunzi walio jiandikisha kwenye academy ya mafundisho ya halisi watapokea mafundisho kila siku na mawasiliano ya waalimu wao kwa ratiba ilio wekwa. Kuhudhuriya masomo

mkondoni itakuwa sharti, kama itakavyo kuwa kushiriki kwenye mgao kila siku.

Jibu(Kama imedhamiriwa na PCPS kw kushauriyana na idara ya afya ya lexington kaunti ya fayette)

Mtindo wa kufundishia(kama imedhamiriwa na FCPS)

Mtindo Rahisi

Maamuzi kuhusu mtindo sahihi wa mafundisho utakuwa kwenye msingi wa kuenezwa kwa COVID-19 katika jamii na viwango vya maambukizi ndani ya kaunti ya fayette.

Ratiba ya saa

R3 kamati ilio anzishwa na kuanza kazi

Mei 2020

R3 think Tank ilio wekwa

April 2020

Utafiti kwa mfanyikazi re: mwaka wa shule wa 2020-2021

Julai 8-9, 2020

Uwasilishaji wa bodi ya elimu

Julai 23, 2020

Utafiti kwa familia re: mwaka wa masomo wa 2020-2021

Julai 1-12, 2020

Msimamizi wa taasisi ya uongozi

Julai 14-16, 2020

Utafiti kwa mwanafunzi, familia na mfanyikazi: jibu

kwa FCPS COVID-19

Juni 12-30, 2020

Siku ya kwanza ya waalimu

Agusto 10, 2020

Siku ya kwanza shule

Agusto 26, 2020

Academy ya mafundisho ya halisi

habari ya kujifunza kwa familia itanza

Agosto 3, 2020

Chaguo la 1

Chaguo la 2

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 98 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 7: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Kurejea shuleni NTI 2DL: Tofauti ya kujifunza kwa umbaliKuanza agusto 3, 2020 familia watapokea habari kuhusu FCPS academy ya mafundisho ya halisi

ili iwasaidie kuamua kuandikisha watoto wao kulingana na mahitaji yao. Wale wanao chagua FCPS academy ya mafundisho halisi watajitolea angalau kwa kipindi cha kwanza.

Waalimu na wafanyikazi watarudi shuleni mnamo agusto 10, 2020 kupokea mafunzo ya kiutaalamu na kuanza kupanga kuhusu mwaka wa shule wa 2020-2021.

Siku rasmi ya shule kwa wanafunzi wote itakuwa juma tano agusto 26, 2020. Hii ni nyuma kuliko siku za kwaida za masomo ya wilaya kuanza, lakini mabadiliko haya yanaturusu kuchukuwa fursa ya kumudu vyepesi katika sharia ya jimbo kuwa na mwaka mfupi wa masomo, ambao unaweza kudhibisha kuwa muhimu ikiwa vipindi vya kufunga vitahitajika. Tunatarajia mwisho wa mwaka wa shule wa 2020-2021 itakuwa mei 13, 2021.

Wakati COVID-19 imefunga masoma mwezi mechi mwaka 2020, waalimu na ma familia walikuwa na mda mfupi wa kupanga na kukabiliana na mtazamo wa mashaka shule zitafunga

kwa muda kiasi gani. Licha ya juhudi ilio tumiwa ili wanafunzi waendelee kushiriki majifunzo, mafundisho yasio ya jada (NTI) imedhibitika kuwa mbadala ya kuwa darasani, lakina kama Maya Angelou maarufu aliandika “nilifanya wakati huo kile nilijua jinsi ya kukifanya.” Waalimu, wakuu wa mashule na viongozi wa wilaya tangu mwezi mei wametumia ma saa bila idadi ku hakikisha kwamba utekelezaji ujao wa NTI uwepo.

Hii ndio familia zinaweza kutarajia kutoka NTI 2DL: Tofauti ya kujifunza kwa umbali:Maamzi kuhusu ikiwa tutatoa

mafundisho ya kibinafsi chuoni, mafundisho yasio ya jadi, ao mtindo wa mseto itakuwa kwenye msingi wa sababu za afya ya umma kama viwango vya zibitisho vya kesi za COVID-19 ndani ya jamii yetu ao kuwemo hatari ndani ya jamii ya shule.

Kwa ushirikiano na idara ya afya ya Lexington-Fayette kaunti tutafikiria mitindo ya kufundishia takriban kila wiki sita kulingana na mabadiliko ya mazingira ya afya ya umma na utekelezaji wa uzoefu, isipo kuwa suala linalo ibuka ambalo litahita mabadiliko mara moja.

Mazingira ya afya ya umma itaangaliwa upya karibu na siku zifuatazo:

• Wiki ya septemba 28 hadi octoba 2, 2020

• Wiki ya novemba 2 hadi 6, 2020

• Mapumziko ya msimu wa baridi

• Wiki ya februari. 8 hadi 12, 2021

• Mapumziko ya spring

Miundo:shule zitatumia jukwaa la kawaida (mfumo wa usimamizi wa kujifunza) kutoa mafundisho: ama google classroom ao Canvas.

shule zitaunda a master “NTI 2DL ratiba ambayo itakuwa inatekelezwa mara kwa mara (kila siku, kila wiki na kadhalika).

shule zitatekeleza itifaki mawasiliano thabiti toka shule

hadi nyumbani.

Uzoefu wa kujifunza:Waalimu watatilia maanane juu ya njia mpya ya kujifunza naukuaji kwa kila mwanafunzi.

Waalimu watagundua mafundisho ambayo haikukamilika kwa kugundua mapengo na kuamua mahitaji binafsi ili angoze kasi.

Wanafunzi watakuwa na fursa ya kufikia kwa kujifunza kwenye daraja linalo faa kutoka kwa mpango wa mtaala wa dijitali na mtaala ulioboreshwa na wilaya.

Teachers will provide strong instruction by implementing a distance learning framework that includes synchronous direct instruction and asynchronous guided learning to differentiate learning and facilitate deep engagement.

Waalimu watatoa mafundisho ya nguvu kwa kutekeleza mfumo wa kujifunza kwa umbali pamoja na mafundisho ya moja kwa moja yenye kufanana na mafundisho ya kuongoza yenye kufanana ili kutofautisha na kurahisisha ushirika wa kina.

Waalimu watasimamia tathmini itakayo endelea pamoja na majibu ya wakati unao faa.

Uwajibikaji:Waalimu watakuwa na matarajio ya kimasomo ya hali ya juu kwa wanafunzi wote.

Kujifunza wa mwanafunzi kutakuwa kunakaguliwa kwa msingi unao endelea.

Familia zitapokea nyaraka za mara kwa marana ripoti ya kushiriki kwa mwanafunzi, mastery ya mwanafunzi na alama.

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 1110 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 8: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Mafundisho Yasiyo ya Kawaida

Chuo cha Kujifunza Mtandaoni cha FCPS

Huu ni mpango was majifunzo mkondoni ambayo wanafunzi hushiriki badala ya kuwa chuoni kibinafsi. Inafuata kalenda sawa na wilaya na imeweka masaa kwa wanafunzi kuhudhuria mikutano mkondoni na kushiriki katika madarasa kwenye mtandao. Mda wa majifunzo wa kila siku ni sawa na mda wa masomo shuleni.

Ni wanafunzi waliojiunga na Chuo cha Kujifunza Mtandaoni cha FCPS tu ndio wanaohudhuria programu hii. Kujiandikisha ni kwa angalau muhula wa miezi sita.

Wanafunzi wanapewa waalimu walioteuliwa wa Chuo cha Kujifunza Mtandaoni ambao hutoa mafunzo, kazi, na alama.

Mtaala huu ni wa mtandao na kila wanafunzi hujifunza somo na moduli za kila kozi kwa hatua zake. Mtaala utaeneza viwango vya elimu vya Kentucky Academic Standards.

Ni njia nyingine ya ufundishaji isiyo ya kawaida ya kuwa kibinafsi katika darasa inayotumiwa ili kuendelea kufundisha na kujifunza wakati shule au wilaya haziwezi kufunguliwa kwa sababu ya hali kama ya hali ya hewa mbaya au ugonjwa ulioenea.

Inawezekana, kutokana na dhamana ya hali, kwa wakati wowote wa mwaka wa shule, wanafunzi wamoja au wote wa FCPS washiriki Mafundisho yasiyo ya Kawaida (NTI).

Siku za NTI zikiitajika, waalimu wote wa FCPS watatoa maagizo kwa wanafunzi wao. Mwalimu wa darasa la mwanafunzi ndiye pia mwalimu wake wakati wa NTI.

Mtaala ni sawa na mafundisho ya shuleni. Waalimu watatoa masomo kwa njia mbali mbali kama vile: video, simu za video, na moja kwa moja mkondoni. Wanafunzi wanaweza kuwa wanafanya kazi kwenye miradi au kujifunza kwa kujitegemea.

Wanafunzi waliojiunga na Chuo cha Kujifunza Mtandaoni cha FCPS wanaweza kushiriki katika riadha na shughuli za ziada za mitaala katika shule ya eneo lao la mahudhurio.

Wanafunzi hushiriki katika riadha na shughuli za ziada za mitaala katika shule ambayo wameandikishwa.

Ufafanuzi

Wanafunzi

Waalimu

Mtaala na Mafundisho

Wanariadha naShughuli za ziada

za mitaala

FCPS academy ya mafundisho ya halisi vs. mafundisho yasiyo ya jadiMnamo mwaka wa shule wa 2020-2021, shule za umma za kaunti ya Fayette itatoa fursa ya

kuandikisha watoto wao kwene academy ya mafundisho ya halisi. Hiii itakuwa kabisa mpango wa kujisimamia pekee ambao utahudumia wanafunzi toka wilaya yote, tofauti na mafundisho ya isiyo ya jadi(NTI), ambayo itatumiwa kwa mda mfupi wa kufunga. Kinyume, academy ya mafundisha ya halisi imeboreshwa kwa kutumiwa kwa muda mrefu, kamavile semesta ao mwaka wa shuletena ni linganisho ni linganisho mbadala na mafundusho ya kibinafsi.

TeknolojiaShule zaa umma za kaunti ya Fayette inaamini kwamba kila mwanafunzi anahitaji fursa ya teknolojia kwa kila mafundisho halisi, ya umbali ao ya mseto ili afanikiwe. Tunaamini pia fursa kwa vifaa vya dijitali inahweza kuhamasisha mafundisho ya kibinafsi. Kwasababu hiyo tunawekeza ili Kamba twende kikaamilifu moja kwa moja kwa shule zote za wilaya kila mwanafunzi awe na kifaa cha rununu. Kwanzia agosti 2020 chrombook itapatikana kwa kila mwanafunzi. FCPS itaendelea kutoa hotspots kwa ma familia ambayo hayana mtandao. Hii itasaidia kila mwanafunzi kuwa na fursa ya kufikia rasilimamali za kidijitali ambazo ni zamaana kusaidia mwanafunzi kufanikiwa wakati wa magonjwa ya COVID-19.

Kila vifaa vyakutumia mtandao vitakavyo tolewa na wilaya vitachujwa. Ili ku hakikisha kwamba brandwith hio iko tayari kwa mafundisho na pia wanafunzi wetu wanalindwa, fursa na huduma kwa tuvoti zingine zitazimwa.hii ni pamoja na nexflix, Disey+, Spotify ao huduma zingine za michezo.

Kuomba chrombookKila shule litakuza na kutekeleza mpango wa kugawa chrombooks kwa wanafunzi wao kwa mwanzo wa mwaka wa shule. Shule zitawasiliana moja kwa moja na ma familia kuhus mpingo. Mara moja shule ikianza, tafadhali wasiliana na shule mahali mtoto wako ameandikishwa ikiwa itahitaki kifaa.

Kuomba fursa kwenye mtandaoHotspots ita sambazwa kupitia vituo vya huduma yetu ya rasilimali ya familia na huduma ya vijana na kila hotspot inaweza saidia wanafunzi wengi katika familia. Ikiwa familia yako haina fursa kwa mtandao, tafadhali wasiliana kituo cha huduma ya rasilimali ya familia na vijana kwenye shule la mtoto wako.

Matarajio ya mwanafunzi na familiaVifaa na hotspots ambavyo vimepewa wanafunzi vinasalia kuwa mali ya sule za umma za kaunti ya Fayette. Wanafunzi na ma familia wanatarajiwa kutunza vifaa, Kamba ya ku chaji na hotspots kuvilinda kutokana na uharibifu. Chrombook inapaswa iwekwe moto kila usiku ili iwe tayari kutumiwa siku unayo fuata. Ukiwa mkondoni, kila mwanafunzi anatarajiwa kufanya mazoezi yakuwa raia mzuri wa dijitali. Wakati wa mafundisho ya mseto ao mafundisho ya jadi, vifaa vinapaswa pelekwa shuleni kila siku. Kama kuna itilafu kwa kifaa, mwanafunzi ao familia anapaswa kupiga simu kwa desk ya usaidizi or kuripoti tatizo hilo kwa shule lao.

Desk ya usaidizi kwa mwanafunzu na familia

Wanafunzi na familia ambao wanakabiliana na matatizo ya kiufundi kwa vifaa ao hotspots walizo babidhiwa na wilaya munaweza kupata usaidizi kutoka kwa desk ya usaidizi wa mwanafunzi na familia

Phone: 859-381-4410

Masaa ya majira ya moto Juma pili – ijumaa 8 asubuhi hadi 6 jioni

Masaa yam waka wa shule (Kuanzia agosti 24, 2020) Juma pili – ijumaa 8 asubuhi hadi 8 usiku

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 1312 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 9: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Kujitolea kwa familiaFamilia ambazo zinatuma watoto wao shuleni wataulizwa kushuhudia kwamba mtoto wao hana homa na kama hajaonyesha dalili zozote za COVID-19 kwa masaa 48 zilizo pita.

Maswali ya uchunguzi wa afyaWafanyikazi na wanafunzi watajaza orodha ya maswali ya afya, pamoja na uchunguzi wa ustawi kila siku.

Kupima JotoWale wote watangia majengo ya shule za umma za kaunti ya Fayette wata pimwa joto zao.

Kikomo cha kuingia na fursa ya kufikiaVidokozo vya kuingiliza vitakuwa havikubaliwi na fursa ya kuingia shuleni itakuwa tu kwa wanafunzi na wafanyikazi kadili iwezekanavyo.mpango maalum ao shughuli za kualika wageni kwenye mjengo wa shule haitakubaliwa.

Umbalimbali wa KijamiiNafasi itakuwa inaongezeka katika jengo na ndani ya madarasa. Mpangilio wa darasa na michakato ya kuingia na kutoka shuleni itarekebishwa ili kudumisha umbalimbali wa watu. Sakafu zitawekwa alama kuonyesha umbalimbali wa usalama.

Maeneo ya KutengwaShule zitakuwa na eneo lililoteuliwa kwa kutenga na kuchunguza wanafunzi wagonjwa hadi mtoto atakapochukuliwa na mzazi, mlezi, au mtu aliyepewa ruhusa. Wanafunzi walio na dalili za ugonjwa wa kuambukiza hawataruhusiwa darasani.

Kuosha Mkono

Kila siku, kutakuwa na wakati nyingi za kunawa mikono, na vile vile kabla na baada ya

kula.

Kingo za UsoWanafunzi wote tangu darasa la 1 hadi 12, isipokuwa wale ambao wana msamaha wa matibabu, lazima wavae barakoa au kingo za uso wakati wanapozunguka ndani ya jengo la shule au wakati wameketi bila umbalimbali wa futi 6. Wafanyakazi wote watavaa barakoa. Barakoa zitatolewa kwa wanafunzi wowote au wafanyakazi ambao hawana moja.

Vifaa vya Kinga ya Kibinafsi (PPE)Shule za Umma za Kaunti ya Fayette zimenunua barakoa na vifaa vingine vya kinga ya kibinafsi ili kuhakikisha kuwa wanafunzi na wafanyakazi

wote wamejikinga ipasavyo.

Hakuna Kushirikisha Vifaa Wanafunzi wote watapata vifaa vya kibinafsi ili kuepuka kutumia vifaa vimoja.

Mafunzo

Wanafunzi na wafanyakazi watapata mafunzo juu ya mazoea ya kuzuia COVID-19, pamoja na umbalimbali wa kijamii na matumizi ya barakoa au kinga ya uso. Ishara na mawasiliano yanayoendelea yatasaidia na kuimarisha

mafunzo.

Kitakasa mikonoVitakasa mikono vitakuwepo, na vituo vya kusafisha mikono katika viingilio vya ujenzi, katika eneo za ushirika na katika madarasa.

KusafishaItifaki za usafishaji na utakasaji wa zaidi zitatekelezwa katika vyumba vyote vya madarasa, shule, vifaa na mabasi ya FCPS. Vifaa vya usafishaji tayari vipo kwenye hisa ili kuhakikisha vipo wakati

wote.

Kupunguza Msongamano katika UkandaRatiba za shule zitarekebishwa ili kupunguza msongamano katika ukumbi. Hatua ni kama vile kuchelewesha nyakati za kengele au waalimu kuhama kutoka darasa moja kwenda darasa lingine badala ya wanafunzi kubadili madarasa.

IsharaIshara zinazowakumbusha wanafunzi umuhimu wa itifaki za usalama zitaonyeshwa katika jengo lote.

Wakati wa kuwa NjeWakati wowote inapowezekana, juhudi zitafanywa ili majifunzo ifanywe nje. Saa za mapumziko tofauti zitafanyika ili kuhakikisha “umbalimbali wa kijamii.” Vifaa vya michezo katika uwanja havitatumika.

Itifaki ya afya na usalama

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 1514 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 10: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Wasafiri WachacheFamilia zote ambazo zinaweza kusafirisha watoto wao kwenda shuleni zinatiwa moyo sana kufanya hivyo ili kupunguza idadi ya wanafunzi kwenye kila basi.

Kupima Joto ya MwiliMabasi ambayo ina wachunguzi watapima hali ya joto ya mwili wa wanafunzi wanapopanda basi. Wanafunzi wenye homa watakaa katika sehemu iliyo teuliwa na wanapata matibabu shuleni. Ikiwa hakuna wachunguzi wa basi, basi wanafunzi watapimwa joto ya mwili na wafanyakazi wa shule wanapowasili shuleni.

Kingo za UsoWanafunzi wote katika darasa la 1 hadi 12, isipokuwa wale ambao wana msamaha wa matibabu, lazima kuvaa barakoa au kingo la uso kwenye basi. Wale ambao hawawezi kuvaa barakoa au kingo la uso, wataketi katika sehemu iliyoteuliwa. Wafanyakazi wote watavaa barakoa au kingo la uso.

Mikono SafiMpako wa kusafisha mikono utatolewa kwenye basi wakati wanafunzi wanaingia na kutoka.

Sehemu zilizotengwaWanafunzi ambao wana sababu ya kimatibabu au ni wachanga sana kuvaa barakoa watapewa viti vya sehemu ya mbele ya basi.

Umbalimbali wa KijamiiWanafunzi watakaa mbali iwezekanavyo moja kwa mwengine kwenye basi ili kukuza umbalimbali wa kijamii.

Kutii Asubuhi, mabasi yatapakiwa kutoka nyuma kwenda mbele, na kupakuliwa kutoka mbele kwenda nyuma. Wanafunzi watapewa viti kamili alasiri.

Kusafisha BasiMabasi yatasafishwa ka kemikali kwa kila safari na mwisho wa siku.

Sisitiza Kuosha Mikono Tutahakikisha wanafunzi wote huosha mikono yao kabla na baada ya huduma ya chakula.

Usafisaji wa Eneo kwa KemikaliTutasafisha eneo kwa kemikali mara kwa mara.

Hakuna Kushiriki ChakulaTutaondoa meza za kushirikiana na wanafunzi wanaoshiriki chakula.

Kagua Mipango ya Mzio wa ChakulaKabla ya shule kufunguliwa, walimu na viongozi wa shule watahakiki mzio wa chakula, mipango 504 (ya walio na shida za kijamii, kihisia na kitabia), na IEP (Mpango wa Elimu ya Mtu Binafsi) ili kuhakikisha kuwa malazi yanatolewa.

Nyakua na Nenda Chakula cha AsubuhiChakula cha asubuhi cha wanafunzi kitakuwa cha kuchukua na kuenenda darasani wakati wa kuingia shuleni.

Huduma ya Chakula cha MchanaChakula cha Mchana kitakuwa kiwekwa pamoja, katika vyombo plastiki vya kutumia na kutupa. Vituo vya chakula cha kujiwekea vitaondolewa.

Kulingana na ShuleKugawa chakula, sehemu ya kulia na “umbalimbali wa kijamii” vitafanya na wasimamizi wa mkahawa na wakuu wa shule kulingana na kila shule, majengo yake na idadi ya wanafunzi. Kutakuwepo mistari ya kuhudumia, vituo vya kuchukulia au uwasilishaji wa chakula, na wanafunzi watakula kwenye mikahawa, ukumbi wa mazoezi, au darasani.

Umbalimbali wa KijamiiWanafunzi watatengana futi sita wakati wanapokea na kula chakula, ishara na alama kwenye sakafu zitasaidia kuonyesha wafanyikazi na wanafunzi matarajio.

Sheria za Usalama na Vifaa vya Kinga ya KibinafsiWafanyikazi wa lishe ya watoto hufuata taratibu za kawaida za kiusalama kuhusu usalama wa chakula na Taratibu za usalama za COVID-19 (kama vile: kuvaa barakoa [au kingo la uso], umbali wa kijamii, kingo la plexiglass, na usafishaji zaidi wa sehemu na maeneo ya mawasiliano kwa

kemikali).

Kuwa na UrahisiFCPS imeandaa mipango ya dharura ya kuhakikisha huduma ya chakula inaendelea wakati wa kusoma kwa umbali na wakati shule zimefungwa.

Lishe ya WatotoUsafiri

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 1716 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 11: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Siku ya Shule ya Kawaida

Dhamana ya Familia ya Afya ya WanafunziKabla ya wanafunzi kuondoka nyumbani, familia zitathibitisha kwamba mtoto wao hana homa na hajapata dalili za COVID-19 kwa masaa 48.

Kituo cha BasiWanafunzi watalinda umbalimbali wa kijamii kwenye kituo cha mabasi.

Barakoa au Kingo la UsoWanafunzi toka darasa la 1 hadi 12 lazima wavae barakoa mbele ya kupanda basi.

Umbalimbali wa KijamiiWanafunzi watatengana futi sita kwa mstari, katika ukanda, katika maeneo ya kawaida na madarasani kama iwezekanavyo.

Kupima joto ya MwiliIkiwa basi ina mchunguzaji, uchunguzi wa joto ya mwili utafanyika kabla ya kuingia basi.

Mikono SafiWanafunzi watasafisha mikono wakati wanapanda basi.

Kuanza Nyuma Kuenda MbeleWanafunzi watapakia basi kuanza nyuma kuenda mbele.

Chakula cha mchanaOsha mikono kabla ya chakula cha mchana, hakuna kugusa chakula, chakula cha mchana kitakuwa kwenye pakiti, umbalimbali wa kijamii, keti kwa kiti ulichopewa, osha mikono baada ya chakula cha mchana.

Basi SafiMabasi yatasafishwa kabla ya kufika shuleni.

Uchunguzi wa AfyaWanafunzi watapimwa joto ya mwili wao kabla ya kuingia kwenye jengo la shule, isipokuwa wanapofika kwenye basi iliyo na mchunguzaji ambaye alikamilisha uchunguzi.

KutawanyaWanafunzi watakaa kwa umbalimbali kama iwezekanavyo kwenye basi ili kulinda umbalimbali wa kijamii.

Kufika salamaWanafunzi watashuka kwenye basi kutoka mbele kwenda nyuma.

Kitakasa mikonoKutakasa vituo kwenye mlango wa shule na katika jengo lote.

Nafasi ya UsalamaWanafunzi wataketi darasani wakiwa na meza zilizowekwa mbalimbali zaidi, na wote wakiangalia mwelekeo mmoja.

Angalia Kwenye SakafuSakafu zitakuwa na alama za umbalimbali wa kijamii.

Nyakua Chakula Cha Asubuhi na EnendaMwanafunzi anachukua chakula cha asubuhi njiani kwenda darasani.

Kuondoka kwa shuleTaratibu za kuondolewa zitapangwa ili kuepuka wanafunzi wengi kuondoka kwa wakati moja.

Nenda kwenye basiSafisha mikono, viti ulivyopewa, henenda nyumbani.

ChapaChapa za ukuta za kusisitiza itifaki za usalama zitaonyeshwa katika jengo lote.

MabadilikoIdadi katika ukanda itapunguzwa na ratiba za utumizi wa bafu italeta umbalimbali wa kijamii.

Uanz

e ha

pa

Chunguza Barakoa au Kingo ya UsoIsipokuwa kwa yule amekatazwa kimatibabu, wanafunzi wa darasa la 1 - 12 lazima wamevae barakoa kwa kuingia shuleni.

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 1918 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 12: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Msaada wa Wanafunzi na Katika Shule za Umma za Kaunti ya Fayette, tumejitowa kumhudumia mtoto mzima. Tunatambua kuwa ili wanafunzi kufanikiwa kielimu, mahitaji yao ya msingi yanapaswa kutimizwa. Miongoni ni mahali salama ya kuishi, upatikanaji wa chakula, matibabu ya mwili na meno, huduma za afya ya akili, na mahitaji mengine. Karibu wanafunzi 6 juu ya 10 katika wilaya yetu wanastahili chakula cha bure au kilicho punguzwa beyi. Na sasa tangu ujio wa COVID-19, hali ya uchumi imezidi kuwa mbaya kwa watu wengi katika jamii ya Lexington.

Tangu Machi 16 hadi Mei 27, 2020, Shule za Umma za Kaunti ya Fayette zilitoa chakula 365,939 kwa watoto na vijana, zilifanya mawasiliano 27,030 ya afya ya akili na watoto na vijana, ziligawa mikoba ya mgongoni 27,700 iliojaa chakula, vifaa vya kusafisha, na bidhaa za usafi kwa wanafunzi na familia, na zilitoa rasilimali za teknolojia katika mfumo wa kompyuta ndogo na kompyuta za paja 19,658 na maeneo 433 ya mtandao.

Tunapotazamia mwaka wa shule 2020-2021, mipango tayari imeandaliwa, sio tu kuhakikisha mwendelezo wa huduma, bali pia kuongeza misaada yetu.

Kwa kuomba msaada, tafadhali piga simu ku shule ya mtoto wako au ku ofisi ya wilaya ku nambari 859-381-4100. Fomu ya ombi ya msaada mkondoni inaandaliwa na itapatikana ku fcps.net/gethelp.

Mtandao wa Kujifunza FamiliaTimu yetu ya wilaya inafanya kazi kukuza mahali ambapo familia zinaweza kwenda kupata rasilimali iliyoundwa ili kuwasaidia kuunga mkono mafanikio ya kitaaluma, kihemko na kijamii ya watoto wao. Tunataka kuhakikisha kuwa shule zote zina vifaa muhimu vya kutoa mawasiliano ya wakati unaofaa, sahihi na thabiti na familia na duka hili la hatua moja ya mawasiliano na familia litakuwa rasilimali bora.

Ikizinduliwa, jukwaa litatoa fursa za kujifunza kwa kufukia kiwango moja, kama vile, na zaidi ya:

• Msaada wa Teknolojia ya Familia

• Mafundisho

• Tovuti

• Karatasi za Maswali

• Kuomba Kujifunza

• Video za Mazoezi Bora

• Orodha za Kuangalia Familia

• Fomu ya Kupakuliwa

• Msaada unaotegemea wavuti kwa Mafunzo ya Kiisimu na Kijamaa

Timu za Ushirikiano wa Familia na JamiiShule kadhaa zimejaribu mkakati huu kwa mafanikio makubwa. Tutapanua mfano huu kuanzisha timu za ushiriki wa familia zinazohusika shuleni katika kila shule ili kujenga uhusiano wa kimakusudi na familia na kutoa msaada unaofaa kwa kukuza familia zenye afya na zenye mafanikio.

Kusudi ni kusaidia shule bora kushirikisha familia katika elimu ya watoto wao kwa kuwawezesha na kuwapa sauti na fursa ya kutetea watoto wao. Timu pia zitawasiliana na familia mara kwa mara kwa “ukaguzi wa afya” ili kuona jinsi mambo yanavyokwenda, pata mafunzo juu ya njia na majibu ya kiwewe na kufanya kazi na familia kupata utoshelevu kupitia mafunzo ya kazi, maendeleo ya kielimu na rufaa ya wakala.

KukabiliKwa kushirikiana na PTA ya Wilaya ya 16, wilaya pia imezindua mazungumzo ya mkondoni kwa familia inayoitwa “Face It” (Kukabili).

Siku ya Alhamisi jioni mara moja au mbili kwa mwezi, programu hii ya mtandao inaenda hai katika lugha ya Kiingereza na Kihispania ili kuungana na kuhusisha familia katika mazungumzo ya njia mbili kuhusu swala lote linaloitajika. Msaada huu wa mtandaoni inaonyesha habari muhimu na rasilimali zinazopatikana na imeundwa kusaidia familia kukabiliana na changamoto, mafadhaiko, na wasiwasi wa janga la COVID-19.

Majifunzo ya Kiisiya ya KijamiiKama sehemu ya Mpango kamili wa Pointi 10 za Uwekezaji wa Usalama za wilaya, Mtaala wa Kijifunzaji ya Kiisiya ya Kijamii uliisha chaguliwa tayari kwa shule za msingi, shule za kati na shule za upili. Juhudi hizi zimeendelea wakati wa kufungwa kwa shule na utekelezaji wa mtaala huu utaendelea kama ilivyopangwa kwa mwaka wa shule 2020-2021.

Msaada wa Afya ya AkiliHaidhuru wanafunzi wanajifunza shuleni, au kupitia Ufundishaji Usio wa Kawaida, au wawe wanapokea Elimu mtandaoni, Shule za Umma za Kaunti ya Fayette zitatoa msaada rahisi. Wataalamu wetu wa Afya ya Akili ya Wilaya, Wafanyikazi wa Jamii wa Shule, Washauri wa Shule, na Wataalam wa Mwongozo wa Watoto watapatikana kutoa huduma za moja kwa moja zinazohusiana na mahitaji ya kitaaluma, kijamii, kihemko na kiakili.

Mahitaji ya kimsingiVituo vya Rasilimali za Familia na Vijana vitabaki wazi na tayari kusaidia familia zinazokabiliwa na ukosefu wa chakula, wa utulivu nyumbani, au mahitaji mengine ya msingi.

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 2120 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 13: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Utamlinda mtoto wangu salama vipi?Mazungumzo yetu na maandalizi kwa mwaka wa shule 2020-2021 yamewekea mkazo maswala ya afya na usalama, ambayo ni kipaumbele chetu katika kujiandaa kuwakaribisha wanafunzi, waalimu, wasimamizi na wafanyikazi katika majengo yetu. Ijapokuwa kurudi kwetu shuleni kutaonekana kuwa tofauti kulinga na hatua mpya za kiafya na usalama zilizoko, dhamira yetu ya kuhakikisha wanafunzi wote wanakuwa na mazingira ya majifunzo yaliyo salama, mazuri, ya kuvutia na ya kufurahisha, bado ni hiyo hiyo. Tunatoa kipaumbele hatua za kiafya na usalama kama vile sabuni na dawa za kuosha mikono, barakoa au kingo za uso, na umbalimbali wa watu ili kupunguza hatari ya kueneza virusi. Sisi ni nyeti kwa wasiwasi wa kiafya ya wanafunzi wetu na familia na tutatoa chaguo mbalimbali kwa wale ambao hawako tayari kurudi chuoni.

Je! mwanafunzi au mfanyakazi anapimwa na akiwa na COVID-19?Shule za Umma za Kaunti ya Fayette zitatumika na Idara ya Afya ya Kaunti ya Lexington-Fayette kuamua hatua zinazofuata na itafuata mwongozo wote juu ya utaftaji wa mawasiliano, kufungwa, upimaji na kuwekwa kando kwa wagonjwa. Mwitikio wa kesi ya mtu mmoja utategemea sana mazingira yanayozunguka kisa hicho na mawasiliano mtu huyo alikuwa nayo wakati wa mpangilio wa shule.

Jinsi gani au kwa nini mutaamua kufunga darasa au shule?Wafuasi wetu wa wilaya wanafuatilia mwenendo mara kadhaa kwa siku na watafanya kazi kwa kushirikiana na Idara ya Afya ya Kaunti ya Lexington ili kufahamu maendeleo kuhusu kesi, utaftaji, na hospitali ambazo zinaweza kuhitaji mabadiliko katika hali ya uendeshaji wa shule. FCPS itakuwa tayari kubadilisha kwa Mafundisho Yasiyo ya Jadi ikiwa kuna kuongezeka kwa uenezi wa COVID-19.

Ninawezaje kumandikisha mtoto wangu katika shule ya mtandaoni?Familia zitaweza kuchagua upendeleo wa mtindo wa kufundishia kwa kipindi cha usajili. Upendeleo uliochaguliwa utakuwa kwa muhula mzima. Walakini, ikiwa familia inahitaji kubadilisha uteuzi wake, kutakuwa na mchakato wa kufanya hivyo.

Maswali yanayoulizwa

Maulizo ya ziada (FAQ) yatatumwa kwenye wavuti ya

fcps.net katika wiki zijazo.

Shughuli za ShuleMakusanyiko ya shule, mikutano ya Pep, safari za uwanja, na shughuli zingine zinazoongeza uzoefu wa shule kwa wanafunzi ni fursa pia ambazo huleta watu wengi mahali pamoja. Kwa sababu ya asili ya janga la COVID-19, Shule za Umma za Kaunti ya Fayette zitafuata mwongozo wote wa serikali kuu na serikali ya mitaa kuhusu mipaka ya kusanyiko kubwa.

Mpaka kutangazwa vinginevyo:

• Shule haziwezi kufanya makusanyiko, mikutano ya Pep au mikutano mingine ya ndani.

• Hakuna safari za uwanja zitaruhusiwa.

SHUGHULI ZA ZAIDI YA MITAALAMiongozo ya Usalama Inayohitajika:

Ushiriki wa wanafunzi katika riadha na shughuli za ziada ya mitaala / kuambatana na mitaala lazima ziwe kwa mujibu wa “Shule za Umma za Kaunti ya Fayette Kurudi Kwenye Miongozo” (“Fayette County Public Schools Return to Play Guidelines”) ambazo zilibadilishwa kutoka kwa maagizo kutoka Shirika la Wanariadha wa Shule ya Upili ya Kentucky (KHSAA) na Shirika la Waelimishaji wa Muziki wa Kentucky (KMEA). FCPS itafuatilia mwongozo na madadiliko yote.

Shughuli

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 2322 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 14: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Maitaji ya Serkali ya Kufungua Tena

M namo Machi 16, Idara ya Elimu ya Kentucky, kwa kushirikiana na Ofisi ya Gavana, ilitangaza kuunda kwa Kikosi cha Kazi cha Kuendeleza Elimu ambacho kusudi lake

ni kuanzisha miongozo ya kuanza tena mafundisho ya darasani mnamo msimu huu wa joto. Inaongozwa na Lieutenant Gavana Jacqueline Coleman, ambaye pia ni Katibu wa Elimu na Maendeleo ya Wafanyakazi. Kikundi hicho kina wawakilishi kutoka vyama vya ushirika, vya elimu ya Kentucky, mashirika ya washirika wa elimu na kikundi cha wabunge wane wa vyama vyote viwili vya siasa.

Mnamo Juni 24, kikosi cha kazi kilitoa “Mwongozo Kuhusu Matarajio ya Usalama na Mazoea Bora ya Shule za Kentucky (K-12)” (“Guidelines on Safety Expectations and Best Practices for Kentucky Schools (K-12)”) ambazo ziliendelezwa na pembejeo kutoka ofisi ya Gavana, Idara ya Afya ya Umma, Idara ya Elimu ya Kentucky, Baraza la Elimu na Maendeleo ya Wafanyakazi na Baraza la Huduma za afya na familia.

Waraka wa #HealthyAtSchool (#AfyaShuleni) huongoza wilaya za shule za mitaa kuendeleza “mipango rahisi ya kushughulikia mahudhurio ya shule, kufungwa kwa shule, na mpito kwa mifano ya kujifunza kwa mbali. Usalama wa wanafunzi na wafanyakazi wote, tukikuza mazingira bora ya kujifunza, ni muhimu. “staff, while promoting the best possible learning environment, is necessary.”

Zaidi ya hati ya Juni 24, wilaya za shule katika mahali pote katika jimbo zinalazimishwa kufuata hati za mwongozo 16 zilizotolewa na Idara ya Elimu ya Kentucky:

COVID-19 Mazingatio kwa ajili ya Kufungua Shule Upya Mwongozo wa Awali wa Wilaya na Shule (Mei 15, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Ajili ya Kufungua Shule Upya Kusaidia Afya ya Mwanafunzi na Wafanyakazi (Mei 26, 2020)

COVID-19 Mazingatio ya Kufungua Shule Upya Kutathmini Utayari wa Wanafunzi kwa Masomo (Juni 1, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya Kuingia Kitaaluma, Hatua ya Kwanza: Kuandika Mtaala wa Marekebisho (Juni 1, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya-Mbinu Mbadala za Kubuni Mikakati (Juni 8, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya-Mwongozo wa Kufungwa kwa Shule kama Tukio la Mara kwa Mara (Juni 15, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya-Huduma za Chakula- Mipango ya Chakula Shuleni ya USDA (Juni 22, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya-Usafiri wa Wanafunzi (Juni 25, 2020)

COVID-19 Mwongozo-Mpango wa Kufungua Upya Maabara ya CTE ya Sekondari wakati wa msimo wa Joto wa 2020 (Juni 29, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya: Vifaa na Logistiki (Juni 29, 2020)

COVID-19 Mazingatio ya Kufungua Shule Upya-Afya na Usalama Mahali pa Kazi (Julai 6, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya- Kuingia Upya Kitaaluma, Hatua ya Pili: Kurizisha Maitaji ya Kitaalamu ya Wanafunzi (Julai 13, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya-Wanafunzi wa Kipekee na wanafunzi wa Shule ya Mapema (Julai 20, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya-Ushiriki wa Kila Siku na Mafundisho Yasiyo ya Kawaida (NTI) (Julai 20, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya-Majifunzo ya Kuongezea na Kukokotwa kwa Mwaka wa Masomo (Julai 20, 2020)

COVID-19 Mazingatio kwa Kufungua Shule Upya-Mwongozo wa Likizo ya Kazi ya Wafanyakazi wa Shule ya Wilaya, Mwaka wa Shule 2020-2021 (Julai 21, 2020)

Umbalimbali wa Kijamii

Uchunguzi, Kuondolewa kwa Shule & Kufuatilia

Mawasiliano

Vifaa vya Kinga ya kibinafsi, kama vile Barakoa au Kingo la

Uso la Kitambaa

Mambo ya Usafi, Mazingira, na Viwanda

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 2524 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 15: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Timu ya UongoziLori Bowen, Mkurugenzi wa Wanafunzi wa Kiingereza na wenye vipawa na wenye talanta

Katina Brown, Kitamaduni Msikivu cha Kufundisha na Kocha wa Kujifunza

Brad Daniel, Msimamizi wa mamboya Njia

Sherri Heise, Mkurugenzi wa ushirika wa Litala ya Tathmini

Rhoman James, Muusika wa Miradi Maalum

BJ Martin, Mkurugenzi wa Msingi wa Kufundisha na Kujifunza

Dedeeh Massey, Mtaalam Salama Shuleni

Soraya Matthews, Mkurugenzi wa Sekondari wa Kufundisha na Kujifunza

Lisa Smith, Mkuu wa Shule za Msingi

Stephanie Spires, Bodi ya Halmashauri ya Wilaya ya Fayette, Mwakilishi wa Wazazi na Jumuiya

Veda Stewart, Ushirikiano wa Familia na Jamii

Killian Timoney, Mkurugenzi wa Operesheni za mimea

Chris Young, Mkurugenzi Msaidizi wa Wafanyikazi wa Wanafunzi

Kamati ya MasomoKuongeza KasiTyson Barrett, Mwanfunzi, Frederick Douglass High

Lori Bowen, Mkurugenzi wa Wanafunzi wa Kiingereza na wenye vipawa na wenye talanta

April Deener, Mwalimu, Edythe J. Hayes Middle

Katie Farrington, Mwalimu, Bryan Station High and Picadome Elementary

Natalee Feese, Mtaalam wa Ufundishaji wa hesabu

Twanjua Jones, Mkuu, Morton Middle

Chris Long, Mwalimu, Tates Creek High

Kiongozi wa Timu: Schuronda Morton,Mkuu wa WafanyikaziKiongozi Msaidizi: Kate McAnelly, Afisa Mkuu wa Masomo

3R: Ono Mpya, Fikra Mpya, na Upya wa WanaKikosi cha Kazi Tunatowa shukurani kwa wanafunzi, wafanyakazi, wazazi na wanajamii ambao wametoa

wakati wao na talanta kwa kujitolea kutafiti, kutathmini na kuendeleza mipango ambayo haitahakikisha tu ufunguzi salama wa mwaka wa shule wa 2020-2021, bali pia utaanzisha msingi wa mafanikio ya baadaye ya wanafunzi na familia tunazotumikia.

Kristy Marsh, Mwalimu, Wellington Elementary

Nicole Mitchell, Kocha was MTSS

Lisa Smith, Mkuu wa Shule za Msingi

Kara Traub, Mwalimu, Harrison Elementary

TathminiKristina Bauer, Mwalimu, Tates Creek Middle

Sherri Heise, Mkurugenzi Mshirika wa Litala ya Tathmini

Chad Higgins, Mwalimu, Yates Elementary

Dave Hoskins, Mkuu, Edythe J. Jayes Middle

Jan Perkins, Mwalimu, Frederick Douglas High

Brooke Stinson, Mtaalam wa Uboreshaji wa Kuendelea wa Kimsingi

Julie Wright, Mkuu wa Mpito wa Shule za Kati

Instruction Design and DeliveryMalik Alleyne-Jones, Mtaalam wa Maombi ya Suluhisho

Brinlee Bowen, Mwanafunzi, Frederick Douglass High

Katina Brown, Kitamaduni Msikivu cha Kufundisha na Kocha wa Kujifunza

Penny Christian, Mwenye Kiti, PTA ya Wilayi ya 16

Amanda Dennis, Mkurugenzi wa Elimu Maalum

Marty Dixon, Mtaalam wa Ufundi wa Sekondari Sanaa ya Ufundi

Ashley Durham, Mwalimu, RISE Girls STEM Academy

Claudette Edie, Mwalimu, Leestown Middle

Kim Fisher, Mwalimu, STEAM Academy

Jennifer Hutchison, Mkuu, Picadome Elementary

BJ Martin, Mkurugenzi wa Msingi wa Kufundisha na Kujifunza

Soraya Matthews, Mkurugenzi wa Sekondari wa Kufundisha na Kujifunza

Ryan McQuerry, Mtaalam wa Maombi ya Suluhisho

Sandy Owens, Mtaalam wa Rasilimali za Taaluma

Austen Gerughty, Mwalimu, Mary Todd Elementary

Chad Peavler, Mwalimu, Winburn Middle

Paula Setser-Kissick, Mkufunzi wa Mafundisho ya Dijiti ya Wilaya

Kamati ya Msaada wa Wanafunzimasomo ya kihemko ya kijamii

Christian Adair, Mtaalam wa Kuelimisha Wavulana wa Rangi

Doug Adams,Mkurugenzi wa Muda wa Huduma za Msaada wa Wanafunzi

Temicula Allen, Mfanyakazi wa Jamii, Tates Creek High

Clarissa Bell, Mwakilishi wa Familia na Jamii

Jordan Bentley, Mtaalam wa Afya ya Akili ya Wilaya, Wellington Elementary

Cornel Carter, Kocha wa Maadili, Cardinal Valley Elementary

Tricia Crowe, Rasilimali ya Rasilimali za shule ya mapema

Serena Culbertson, Mfanyakazi wa Jamii, Winburn Middle School

JerRicas Gentry, Mwalimu, Booker T.Washington na Yates Elementaries

Katie Havelda, Mtaalam wa Afya ya Akili ya Wilaya, Rosa Parks Elementary

Carl Hayden, Mkuu wa Mgawo Maalum

Lanisha Hostler, Mkuu wa Chuo cha Uongozi, Kituo cha Bryan High

Ragan Knuckles, Uingiliaji Mzuri wa Maadili na Mkufunzi wa Msaada

Lori Lazzaro, Mtaalam wa Mwongozo wa watoto, Arlington Elementary

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 2726 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 16: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

Mackenzie Leachman, Uingiliaji Mzuri wa Maadili na Mkufunzi wa Msaada

Lindsay Mattingly, Ushirikiano wa Familia na Jamii ya wilaya

Dedeeh Massey, Mtaalam Salama Shuleni

Antonio Melton, Mshauri wa Miongozo Frederick Douglass High

Raine Minichan, Mratibu wa muda wa Huduma za Afya ya Akili na Ushauri

Sara Pickering, Uingiliaji Mzuri wa Maadili na Mkufunzi wa Msaada

Jaclyn Ruebsam, Mtaalam wa Afya ya Akili ya Wilaya, Rosa Parks and Wellington elementaries

Mark Schmidt, Uingiliaji Mzuri wa Maadili na Mkufunzi wa Msaada

Adrienne Thacker, Mwakilishi wa Mzazi na Jumuiya

Faith Thompson, Mkuu wa Shule za Msingi

Katie Washington, Mtaalam wa Afya ya Akili ya Wilaya Booker T. Washington Elementary

Karma Wilson, Uingiliaji Mzuri wa Maadili na Mkufunzi wa Msaada

Msaada wa FamiliaDoug Adams, Mkurugenzi wa Muda wa Huduma za Msaada wa Wanafunzi

Caroline Ford, Mratibu wa Kituo cha Rasilimali za Familia, Northern Elementary

Shamiah Ford, Mkuu, Coventry Oak Elementary

Carl Hayden, Mkuu wa Mgawo Maalum

Lisa Hillenbrand, Mtaalam wa Rasilimali za Wanafunzi wa Kiingereza

James Hodge, Kiti cha huduma ya elimu ya wasio na makao kamili

TC Johnson, Mratibu wa Kituo cha Huduma ya Vijana, Winburn Middle

Erin Manna, Mwalimu, Morton Middle

Miranda Scully, Mratibu wa Familia na Jamii

Shericka Smith, Mratibu wa Muda wa Huduma za Afya ya Akili na Wafanyikazi wa Jamii

Veda Stewart, Ushirikiano wa Familia na Jamii Kwa lengo la wilaya

Mizari Suarez, Mratibu wa Kituo cha Rasilimali za Familia

Faith Thompson, Mkuu wa Shule za Msingi

Marisol Valles, afisa uhusiano wa jamii, Bryan Station High

Kinga ya ziadaDoug Adams, Mkurugenzi wa Muda wa Huduma za Msaada wa Wanafunzi

Joe Gibson, Mkuu, Leestown Middle

Carl Hayden, Mkuu wa Mgawo Maalum

Bill Kite, Mwalimu, Henry Clay High

Bryne Jacobs, Mkuu, Lafayette High School

Rhoman James, Mfanyakazi Mwanafunzi wa Miradi Maalum

Carrie Paul, Mkuu, tates Creek Elementary

Beth Randolph, Mkuu, SCAPA

Nick Runyon, Mwenye kiti wa programu ya majifunzo nenye kufuatana na utaalam wa mtu

Rob Sayre, Mkurugenzi wa riadha wa wilaya

Faith Thompson,Mkuu wa Shule za Msingi

(Task Force Members List Continued...)

Kamati ya UendeshajiLishe ya MtotoDoug Adams, Mkurugenzi wa Muda wa Msaada wa Wanafunzi

Michelle Coker, Mkurugenzi wa Lishe ya watoto

Gary Cremeans, United Way of the Bluegrass

Jonathan Kohn, United Way of the Bluegrass

Christy Morris, Bodi ya Mwanachama wa Elimu, Mzazi na Mwakilishi wa Jumuiya

Meredith Ramage, Mkuu, Northern Elementary

Lisa Smith, Mkuu wa Shule za Msingi

Darryl Thompson, Afisa wa Usawa

Myron Thompson, Afisa Mkuu wa Uendeshaji

Kalenda na Ratiba ya shuleHeather Bell, Mkuu wa Shule za Msingi

Robert Crawford, Mkuu, Maxwell Elementary

Jennifer Dyar, Mkurugenzi wa Rasilimali Watu

Steve Hill, Mkurugenzi wa Wafanyikazi wa Wanafunzi

Andria Jackson, Mwakilishi wa Familia na Jamii

Allison Marcum, Msaidizi wa Utawala, Bryan Station High

Dedeeh Massey, Uingiliaji Mzuri wa Maadili na Mkufunzi wa Msaada

James McMillin, Mkuu wa Shule za Msingi

Betsy Rains, Mkuu, Paul laurence Dunbar High

Eric Thornsbury, Mkuu, tates Creek Middle

John White, Afisa mkuu wa Fedha

Julie Wright, Mkuu wa Muda wa Shule za Kati

Operesheni na Usalama wa ShuleAmy Boatman, Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi

Joe Gibson, Mkuu, Leestown Middle

Paul Gregoire, msimamizi wa mahali, Bryan Station High

Steve Hill, Mkurugenzi wa Wafanyikazi wa Wanafunzi

Alex Hunt, Mwalimu, Picadome Elementary

Jennifer Hutchison, Mkuu, Picadome Elementary

Joe Isaacs, Mkurugenzi wa Usimamizi wa Hatari, Usalama na Ulinzi

Bryne Jacobs, Mkuu, Lafayette High

Rob Sayre, Mkurugenzi wa riadha wa wilaya

Martin Schafer, Mkuu, Idara ya Polisi ya FCPS

Shericka Smith, Mratibu wa Muda wa Huduma za Afya ya Akili na Wafanyikazi wa Jamii

Robin Steiner, Mkuu, Dixie Elementary

Winn Stephens, Mwakilishi wa Mzazi na Jumuiya

Killian Timoney, Mkurugenzi wa Operesheni ya kiwanda

UsafiriRachel Baker, Mkurugenzi wa Ushirika wa Shule za Sekondari

Heather Bell, Mkuu wa Shule za Msingi

Brad Daniel, Msimamizi wa Njia

Marcus Dobbs, Mkurugenzi wa Usafirishaji

Mike Hale, Mkuu, Winburn Middle

James Hodge, Kiti cha huduma ya elimu ya wasio na makao kamili

Marty Mills, Mkuu, Tates Creek High

Michael Price, Mkuu, Breckinridge Elementary

Vee Pryor, Meneja wa Programu Maalum

Martin Schafer, Mkuu, Idara ya Polisi ya FCPS

Whitney Stevenson, Mkurugenzi-Mshirika wa elimu ya watoto wachanga

Reenvisioning, Reimagining and Renewing 2928 Fayette County Public Schools : 2020 – 2021

Page 17: FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS 2020 –2021Mtindo rahisi Shule za umma za kaunti ya Fayette inaamini kuwa wanafunzi hujifunza zaidi wakati wakiwa darasani pamoja na waalimu na marafiki

INSTAGRAM

FAYETTE COUNTY PUBLIC SCHOOLS

701 E MAIN ST, LEXINGTON, KY 40502 (859) 381-4100 | www.fcps.net