499
VIAMBATISHO 1 ٠ خ ػؤك٣ خ وق طFIMBO YA MUSA INAYAMEZA WANAYOYAZUSHA JUZUU YA NNE KUHUSU KUONEKANA AU KUTOONEKANA KWA ALLAH Juma Muhammad Al-Mazrui

Fimbo ya Musa

Embed Size (px)

DESCRIPTION

FIMBO YA MUSA INAYAMEZA WANAYOYAZUSHA JUZUU YA NNE KUHUSU KUONEKANA AU KUTOONEKANA KWA ALLAH

Citation preview

Page 1: Fimbo ya Musa

VIAMBATISHO 1

ػخ ٠ طوق خ ٣ؤك

FIMBO YA MUSA INAYAMEZA WANAYOYAZUSHA

JUZUU YA NNE KUHUSU KUONEKANA AU KUTOONEKANA KWA ALLAH

Juma Muhammad Al-Mazrui

Page 2: Fimbo ya Musa

2

YALIYOMO

MAUDHUI UKURASA

DIBAJI

UTANGULIZI………………….. SOMENI: MUSIDANGANYWE………………….

ASILI YA ITIKADI YA KUMUONA ALLAH…………………….

TAFAUTI ZA UMMA JUU YA SUALA LA KUONEKANA KWA ALLAH…….

ASILI YA UPOTOFU……………………..

JAWABU NA MAELEZO…………….

SURA YA KWANZA UCHAMBUZI YAKINIFU JUU YA ELIMU YA HADITHI…………….

KUYAJADILI MAELEZO HAYO YA MAFUTA………….

KUTAFAUTIANA KWA AHLU SUNNA KATIKA RIWAYA ZA ITIKADI….

RIWAYA ZA WATU WA TAJSIM…………………………

RIWAYA ZA KUPONDA MADHEHEBU FULANI……………….

AL-JARHU WA AL-TA‟ADIL……………………………………………………….

MINHAJ YA MASAHABA KATIKA KUZICHUNGUZA HADITHI……….

MANENO YA WANAVYUONI…………………………….

MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU…………………………….

KIFUNGU CHA PILI CHA KUJADILIWA…………………..

KUYAJADILI MANENO HAYA……………..

TANBIHI……………………………………..

MASHARTI YA USAHIHI WA HADITHI……………………

MAELEZO YETU JUU YA MANENO HAYO………………….

MAELEZO ZAIDI KUHUSU USAHIHI NA UDHAIFU WA HADITHI………

TANBIHI………………………………………………………………. HADITHI ZENYE SANAD SAHIHI LAKINI MUTUN DHAIFU………..

HADITHI ZA KUTUNGA NA KUPENYA KWA HADITHI ZA

KIISRAILI…………

NJIA YA MAZINDIKI YA KUTUNGA HADITHI……………………..

NJIA YA AHLUL-KITABI YA KUTUNGA HADITHI……………..

MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU…………………………….

SURA YA PILI…………………… KUHUSU HADITHI MUTAWAATIR ……………

HOJA YAO YA MAFUTA…………………..

JAWABU………………………………….

NUKTA YA PILI YA MAFUTA …………………………….

JAWABU………………………………………………………………………

NUKULU ZA AL-IMAMU AL-KHALILI AL-MUFASSIR………………………

NUKULU ZA IMAMU AL-SUNNA, AL-QANNUBI………………

MAFUTA NA MAANA YA HADITHI MUTAWATIR………………..

Page 3: Fimbo ya Musa

3 JAWABU……………………………………………………………

SHARTI YA KWANZA……………………………………………….

SHARTI YA PILI……………………………………………………….

MFANO WA KWANZA……………………………………………………..

SURA YA TATU……………. HOJA ZA KIAKILI ZA WATHIBITISHAO KUONEKANA ALLAH……..

UWONGO WA DR. „ALI AL-FAQIHI …………………..

TUNAREJEA KATIKA FALSAFA YA KUWEPO NDIO SHARTI PEKEE YA..

KUONEKANA…………….

SURA YA NNE………… HOJA ZA KIMAANDIKO KWAMBA KUMUONA ALLAH NI JAMBO

LENYWE

KUWEZEKANA........................................................................................................

DALILI ZA KIMAANDIKO………………………………..

KIFUNGU CHA PILI CHA MAELEZO

YAO………………………………………

SURA YA TANO………………………………. SABABU YA KUTOONEKANA KWA ALLAH HAPA DUNIANI………….

SURA YA SITA…………………. HOJA ZA KIMAANDISHI ZA WENYE ITIKADI YA KUMUONA

ALLAH……..

(KUNA) NYUSO SIKU HIO ZITANG‟ARA***KWA MOLA WAKE TU

NDIKO ZITAKAKOTAZAMA……………………………………….

MAANA YA NENO NADHAR………………………

MADAI YAO JUU YA NENO NADHAR NA JAWABU YA AHLU AL-

HAQQI………

QARINA YA KWANZA: NENO NADHAR LINAPOKUWA HALIKUFUATANA

NA HERUFI YOYOTE………………………………………………..

QARINA YA PILI………………………

QARINA YA TATU………………………………………

TANBIHI………………………………………

QARINA YA NNE……………………..

MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU…………………………….

SURA YA SABA…………………………………………… RIWAYA ZILIZOKUJA KUIFASIRI AYA HIO KUWA MAANA YAKE NI

KUMUONA ALLAH…………………………………………

KUYAJADILI MANENO YA KASIM MAFUTA KUHUSIANA NA MAUDHUI

HII…..

KUYAJADILI MANENO HAYO…………………………………….

JARIBIO LA KWANZA LA KUIPOTOSHA HOJA

HII…………………………………

JAWABU………………………………………

ANAENDELEA KASIM MAFUTA……………………………………….

JAWABU………………………………………

Page 4: Fimbo ya Musa

4 ANAENDELEA KASIM MAFUTA……………………………………….

JAWABU………………………………………

ANAENDELEA KASIM MAFUTA……………………………………….

JAWABU………………………………………

ANAENDELEA KASIM MAFUTA……………………………………….

JAWABU………………………………………

HADITHI ZA KUONEKANA KWA ALLAH………

HADITHI YA IBN „UMAR………………

TAKHRIJ YA HADITHI HIO………………….

WALIOITOLEA HOJA HADITHI HIO………………………………..

SANAD YA HADITHI HIO…………………………………………….

RIWAYA ZA MAIMAMU KATIKA TAABI‟IIN…………….

RIWAYA YA KWANZA…………………………..

SANAD YA RIWAYA……………………………………………

RIWAYA YA PILI……………………………….

SANAD YA RIWAYA HIO……………………………………..

RIWAYA YA TATU……………

SANAD NA MATN KWA UFUPI

HOJA ZA WALIOIFASIRI AYA HIO KUWA MAANA YAKE NI KUNGOJEA

REHEMA YA ALLAH…………………………

MUQABALA WA KIBALAGHA…………………………

KANUNI YA PILI YA KILUGHA KUMTANGULIZA MTENDWA BADALA

YA MTENDA……….

TANBIHI………………………..

RIWAYA ZA MAIMAMU…………………………

RIWAYA YA MUJAHID……………….

ALIYEIPOKEA NA WALIOITAJA RIWAYA HIO

SANAD YA RIWAYA HIO………………

RIWAYA YA ABU SALIH……………………

SURA YA NANE…………………………………. HOJA YA PILI

AYA: WALE WALIOTENDA MEMA WATAPATA MEMA (YA MATENDO

YAO) NA ZIADA…………………….

HADITHI YA SUHAIB KWA NJIA YA HAMMAD BIN SALAMA………

TAKHRIJ YA HADITHI HIO……………………….

WALIOITOLEA HOJA HADITHI HIO…………………………

MAELEZO KUHUSU SANAD HIO YA HAMMAD BIN SALAMA……….

MAANA YA ZIADA……………………………..

FANI YA BALAGHA YATOA JAWABU……………………………..

KHILAFU ZA AL-SALAF JUU YA TAFSIRI YA AYA HIO…………

RIWAYA YA KWANZA INASEMA: ZIADA NI CHUMBA CHA LULU….

RIWAYA PILI: ZIADA NI KUZIDISHWA THAWABU MOJA KWA KUMI…

RIWAYA TATU: ZIADA NI VIPAWA VYA DUNIA………………………

MUKHTASAR WA HAYA NI KUWA:……………………………………

RIWAYA HII KATIKA SANAD YAKE KUNA HAMMAD BIN SALAMA..

Page 5: Fimbo ya Musa

5 HAMMAD BIN SALAMA …………………………………..

JAWABU YA KASIM MAFUTA KUHUSU HAMMAD BIN SALAMA…

JAWABU…………………………………..

NUKTA YA PILI:…………………………………………..

JAWABU……………………………………………

ANAENDELEA IBN MAFUTA KWA KUSEMA:………………….

JAWABU…………………………………………

ANAENDELEA IBN MAFUTA KWA KUSEMA:………………….

JAWABU…………………………………………

ANAENDELEA SHEIKH MAFUTA: ……………………………….

JAWABU………………………………

TANBIHI………………………………….

NJIA YA PILI:-……………………………………..

JAWABU…………………………………….

NJIA YA TATU:-……………………………..

JAWABU……………………………………….

ANAENDELEA SHEIKH MAFUTA KWA KUSEMA:…………….

JAWABU……………………………………..

HADITHI DHAIFU NA ZA KUTUNGA ZA HAMMAD BIN SALAMA

KUTOKA KWA THABIT AL-BUNANI…………………………………..

HADITHI YA KWANZA……………………………………….

HADITHI YA PILI………………………….

HADITHI YA TATU…………….

HADITHI YA NNE……………

HADITHI YA TANO ………………………

HADITHI YA SITA……………………………

HAMMAD KENDA KINYUME NA WAPOKEZI WENGI ZAIDI NA

WALIOTHIQA ZAIDI……………………….

TAKHRIJ YA HADITHI HIZO…………………………

TANBIHI………………………………….

HOJA NYENGINE KUHUSU RIWAYA YA HAMMAD BIN SALAMA…

MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU………………………………………….

SURA YA TISA: DALILI YAO NYENGINE: AYA NYENGINE KUHUSU

ZIADA WATAYOPEWA WATU WA PEPONI…………………………….

RIWAYA YA KWANZA………………………………………………..

SANAD YA RIWAYA HII…………………………………………………

RIWAYA YA YA PILI: RIWAYA YA KUMUONA MWENYEZI MUNGU

KILA IJUMAA…………………………………………………..

SANAD YA RIWAYA……………………………………..

TAKHRIJ YA HADITHI HIO………………………

TANBIHI……………………………………………..

MGONGANO BAINA YA RIWAYA………………

MATN YA RIWAYA…………………………….

SANAD YA RIWAYA……………………………

MUKHTASARI…………………………

Page 6: Fimbo ya Musa

6

SURA YA KUMI: KUKIRI KWA BAADHI YA WANAVYUONI WA

KISUNI

MANENO YA AL-IMAMU MUHAMMAD RASHID RIDHA

MANENO YA IBN HAJAR

MANENO YA IBN ASHUR

AL-JASAS AL-RAZI AKANUSHA KUONEKANA KWA MWENYEZI

MUNGU…………………………………………………

MANENO YA AL-SAYYID AL-SAQQAAF…………………………………….

MANENO YA AL-UKHT „AZZA BINT MUHAMMAD AL-MISRIYYA

SURA YA KUMI NA MOJA: KUHUSU HADITHI ZA

KUONEKANA KWA ALLAH……………………………………….

HADITHI YA KWANZA: HADITHI YA KUMUONA ALLAH KAMA

MUNAVYOUONA MWEZI…………………………………………………….

SANAD YA HADITHI HIO………………………

MAJIBU YA MAFUTA……………………………

JAWABU…………………………………………………………

SUALA LA PILI: QAIS ANA HADITHI MUNKAR…………………………

JAWABU…………………………………………………….

MAANA YA PILI YA NENO MUNKAR…………………………………

JAWABU…………………………………….

MAANA YA NENO MUNKAR KATIKA MATUMIZI YA AL-IMAMU AHMAD

BIN HANBAL…………………………………………..

TUKIRUDI KWA IBN HAJAR ………………………..

NJIA YA PILI YA JAWABU YA MAFUTA……………………………..

JAWABU ……………………………………………………………..

NJIA TATU ZA HADITHI YA QAIS…………………………………

HADITHI YA KWANZA……………………………………………

NJIA YA PILI…………………………………………………………

MJADALA JUU YA NJIA MBILI HIZI…………………………………..

RIWAYA KAMILI NA MATN YAKE

ILIVYO…………………………………………

MJADALA BAINA YA SH. AL-KHALILI NA WAWANAVYUONI WENYE

ITIKADI……….

YA KUMUONA MWENYEZI MUNGU JUU YA HADITHI HII………

HADITHI HIO KATIKA MASIMULIZI YA AL-IMAMU ALBUKHARI

UFAHAMU MBAYA JUU YA HADITHI HII

MAJIBU YETU

JAWABU

TAFSIRI ZA WANAVYUONI KUHUSU MANENO LA TUDHAAMMUNA NA

LA TUDHAARRUUNA

NJIA YA TATU NA YA NNE ALIOITOLEA HOJA MAFUTA

JAWABU………………………….

MATN YA RIWAYA HIZI………………………………

HADITHI YA PILI………………………………..

JAWABU

Page 7: Fimbo ya Musa

7 NJIA YA PILI

JAWABU

NJIA YA TATU

JAWABU

NJIA YA NNE

JAWABU

NJIA YA TANO

JAWABU

MAELEZO YA UJUMLA KUHUSU RIWAYA HIZO

JAWABU NA MAELEZO

TUKIRUDI KWA IBN MAFUTA

JAWABU

MWISHO WA SEHEMU YA KWANZA

SURA YA KUMI NA MBILI: HOJA ZA KUTOONEKANA KWA

ALLAH HOJA ZA KIAKILI

JAWABU

JAWABU YA KASIM MAFUTA…………………………………….

JAWABU…………………………………………………………………

HOJA ZA KIMAANDIKO

UPINZANI

KUDIRIKI NA KUONA NI VITU VIWILI TAFAUTI!

JAWABU NA MAELEZO

NENO IDRAK KATIKA QUR-AN

NENO IDRAK KATIKA HADITHI

NENO IDRAK KATIKA LUGHA YA KIARABU

UPINZANI WA AL-IMAMU AL-RAZI JUU YA RIWAYA YA „AISHA NA

JAWABU YA AL-IMAMU AL-KHALILI AL-MUFASSIR

KUZIJADILI DALILI ZA WALIOSEMA KUWA KUDIRIKI

MAANA YAKE NI KUKIZUNGUKA KITU

HOJA YAO YA PILI: KUTODIRIKIWA ALLAH NI DUNIANI TU

MAJIBU YA KASIM MAFUTA

JAWABU NA MAELEZO

MIFANO YA RIWAYA ZENYE KUGONGANA NA TAFSIRI YA

QUR-AN ILIOJENGEKA JUU YA FANI ZA LUGHA

HOJA YA PILI YA KASIMA MAFUTA

JAWABU NA MAELEZO

JAWABU YA TATU YA KASIM MAFUTA

JAWABU NA MAELEZO

NJIA YA NNE YA JAWABU YA MAFUTA

JAWABU NA MAELEZO

NJIA YA TANO YA JAWABU YA MAFUTA

JAWABU NA MAELEZO

UPINZANI WA TATU WANAVYUONI

UPINZANI WA NNE WA WANAVYUONI

Page 8: Fimbo ya Musa

8 UPINZANI WA TANO WA WANAVYUONI

UPINZANI WA SITA WA WANAVYUONI

MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU

SURA YA KUMI NA TATU: KUHUSU AYA: طح٢

(HUTONIONA) UPINZANI WA KWANZA WA KASIM MAFUTA…………….

JAWABU NA MAELEZO ………………………………………………..

KASIM MAFUTA ANAENDELEA NA UPINZANI WAKE ………….

ANAENDELEA KASIM MAFUTA…………………………….

UPINZANI WA TATU WANAVYUONI……………………………

UPINZANI WA NNE WA WANAVYUONI ………………………..

UPINZANI WA TANO WA WANAVYUONI ……………………

UPINZANI WA SITA WA WANAVYUONI…………………..

MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU ………………………

JAWABU ………………………………………………….

UPINZANI WA PILI WA KASIM MAFUTA………………………

JAWABU

JAWABU NA MAELEZO

HADITHI YA IBN ABI „ASIM

MATN YA HADITHI

SANAD YA HADITHI

TAKHRI YA HADITHI HIO

UZUSHI WA AL-ALBANI

TUNARUDI KATIKA MAUDHUI YA ASILI

TURUDI KATIKA MANENO YA WANAVYUONI

MADAI YA AL-ZAMALKANI NA JAWABU YA AL-KHALILI

MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU

SURA YA KUMI NA NNE: KUHUSU AYA: “NA HAIWI KAMWE

KWA MTU KUWA ALLAH ASEME NAYE”…………………………….. UPINZANI WA KASIM MAFUTA……………………………….

JAWABU NA MAELEZO……………………………………….

SURA YA KUMI NA TANO: KUHUSU HADITHI: “NA HAKUNA

KINACHOZUIA BAINA YA WATU NA KUMTAZAMA MOLA WAO

ISIPOKUWA LILE VAZI LA KIBRI

CHAKE”…………………………………………

MANENO YA MAFUTA KUHUSU HADITHI HIO

JAWABU

MADAI MENGINE YA KASIM MAFUTA

JAWABU

MUKHTASARI WA UJUMLA

KHATIMA

Page 9: Fimbo ya Musa

9

ر هللا حك حك٤

ا ستغجهن أفبغذاب صباح اهىذرن ي فسا زو بساحت فإذا

ل ح د لل ي ح ٤ خ ؼ خه ؼ ح ظ ش ز ل ٤ و ي ػ ػ ل ا ح أ , ٤ خ ٠ حظ ل ا ال هللا أ ي

ى ٢ حخل٤ ل ي ك أ ل أ ي ي ز ح ػ ي ٤ ل ؾ ر ٤ ه و ه

ـ ر هللا ق ش حل ق ش خ حل ى أ ش خ ح ز ل ٠ آ ػ ٤ ػ ٠ هللا ش ح

DIBAJI

Baada ya kumshukuru Allah na kumtakia rehema Mtume wake (s.a.w.),

Masahaba wake, wake zake na waliowema katika watu wa nyumba yake

tukufu, ningependa kukumbushana nawe ndugu msomaji kwamba maudhui

ya msingi ya mjadala huu ni: “je Allah ataonekana huko akhera au

hatoonekana?” Pamoja na hayo, katika juzuu tatu zilizotangulia tulilazimika

kutoa ufafanuzi wa maudhui mbali mbali1 ili kuweza kuweka wazi

msimamo wetu na kusafisha shubuhati za Kiwahabi kwa ujumla na za

Kasim bin Mafuta hususan.

Kitabu hiki ni juzuu ya nne katika mfululizo wa juzuu za kitabu chetu

Fimbo Ya Musa tulichokiandika ili kujibu hoja au – kwa usahihi zaidi –

kujibu shubuhati za Kasim Mafuta. Tutakigawa kitabu hiki katika sura kumi

na tano, ambazo mukhtasari wake utakuwa mwishoni mwa kitabu hiki. Na

kwa ujumla ni kuwa maudhui za kitabu hiki zinagawika katika sehemu tatu

kuu:

1) Kuhusu suala la elimu ya Hadithi.

2) Kuzijadili hoja za wenye itikadi ya kumuona Allah.

3) Kuzijadili hoja za wenye itikadi ya kutomuona Allah.

Pamoja na hayo, tumeweka utangulizi ambao umezungumzia kuhusu

chanzo cha itikadi ya kumuona Allah na tafauti na migongano iliopo baina

ya watu wenye itikadi hio ya kumuona Allah. Kama vile ambavyo

tumebainisha katika utangulizi kwamba itikadi ya kumuona Allah imezaa

itikadi nyengine nyingi batili. Hayo yote utayasoma humu in shaa Allah

kwa ushahidi ulio wazi kabisa.

Juma Al-Mazrui

1 - Juzuu ya kwanza imetoka, na ya nne ndio hii; ya pili na ya tatu bado hazijatoka.

Page 10: Fimbo ya Musa

10

UTANGULIZI SOMENI: MUSIDANGANYWE

Mawahabi wanadai kuwa wao wako katika haki na kwamba wao ndiwo

wenye kufuata Qur-ani, Sunna, na ufahamu wa Al-Salaf Al-Salih

(watangulizi wema)!2 Kwa mantiki hii, basi wao – katika itikadi zao –

watakuwa wana ushahidi madhubuti kabisa usiotikiswa na hoja yoyote ile.

Sasa cha ajabu ni kuwaona watu hawa kuwa wana tabia ya popo:

wanaogopa nuru! Popo hutoka usiku tu kwenye kiza: mchana kwenye

muangaza hatoki: anauogopa. Ninachota kukisema hapa ni kuwa viongozi

wa Kiwahabi huko Tanzania wanawakataza wafuasi wao wasisome vitabu

vyangu! Hilo si kwamba limefanywa katika vitabu vya Juma tu, bali hio

ndio sera ya Kiwahabi na Maimamu wao wote waliotangulia. Mutakumbuka

kwamba katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki, nilitoa ushahidi mwingi wa

namna Mawahabi na Maimamu wao watangulizi walivyokuwa wakiwazuia

na kuwakimbiza wafuasi wao wasisome vitabu vya madhehebu mengine

wala wasisikilize maneno ya Waislamu wengine. Kama mulivyojionea

wenyewe maelezo yetu huko yenye ushahidi wa wazi kabisa kwamba

Sheikh Ibn Baz kakimbia mjadala wa wazi na Sheikh Al-Khalili! Sasa ikiwa

wao wana hoja sahih, basi wasiogope kusoma vitabu vya mtu yoyote yule

kwani batili ni lazima itatoweka mbele ya hoja za haki.

Yenye kumuhusu Sh. Bin Baz na mengineo, tumeyaelezea kwa ushahidi

katika juzuu ya kwanza. Je: vipi juu ya yale yenye kuvihusu vitabu vya Al-

Faqir Juma Al-Mazrui? Hapa kuna visa vitatu:

Mosi: mmoja wa vijana wetu alikwenda kupeleka kitabu changu katika

moja ya maduka ya vitabu ya Kiwahabi. Muuzaji alipoona tu kwamba

kitabu kimeandikwa na Juma Al-Mazrui, alikataa kukichukua,

akamwambia: “sisi vitabu vya huyu hatuchukui”. Anaeleza kijana wetu

huyo kwamba “Mawahabi wanapeana tahadhari maalumu juu ya vitabu

vyako”. Mimi nawambia kwamba wasipeane tahadhari, bali wasome vitabu

vya madhehebu zote na watazame hoja sahihi washikane nazo. Huo ndio

Uislamu. Imenifikia kwamba Sheikh wetu Sh. Seif Al-Ghafri naye

alipokwenda Mwanza au Tabora3 akaulizwa kuhusu kitabu Fimbo Ya Musa

cha Juma Al-Mazrui. Akasema: “musisome vitabu vyake yule: hana

2 - Ni haki yao kudai hivyo, na kila mtu ana haki ya kudai hivyo.

3 - Nimesahau kidogo.

Page 11: Fimbo ya Musa

11

elimu”.4 Je ni kweli kwamba tatizo la Juma Al-Mazrui la kutokuwa na elimu

ndilo lililomfanya Al-Ghafri awazuie wafuasi wao au kulikuwa na ajenda

nyengine hapo?

Pili: Nilipoandika kitabu Ushahidi Uliowekwa Wazi, nilijibiwa na kamati ya

Masjid Al-Sunna ya Kikwajuni Zanzibar. Nami pia nikawajibu katika kitabu

nilichokiita Jawabu Yetu. Kijana mmoja wa Kiwahabi akaichukua jawabu

hio niliojibiwa akampelekea kijana wetu wa Kiibadhi, akamwambia:

“tazama jawabu hii aliojibiwa Juma”. Kijana wetu akamuuliza Wahabi:

“wewe kitabu Ushahidi Uliowekwa Wazi cha Sh. Juma5 umekisoma?”

Wahabi akajibu: “Ata sikukisoma”. Kijana wetu akamuuliza tena: “je

jawabu ya Sh. Juma juu ya kitabu hiki ulichonipa umeisoma?” Wahabi

akajibu: “sikuisoma”! Kijana wetu akamwambia: “sasa vipi utajua hoja

zenye nguvu na dhaifu? Mimi nimevisoma vitabu vyote vitatu hivi, na

nimeona kuwa hawakujibu kitu”. Kwa hivyo, huu ndio msiba wa Mawahabi

– kufuata matamanio: si kutafuta hoja.

Tatu: Baada ya kuandika kitabu changu Fimbo Ya Musa juzuu ya kwanza.

Mmoja wa vijana wa Tabora waliochukuliwa na mkumbo wa Kiwahabi

alikikalia kitako kitabu hicho akakisoma vizuri. Huyu tunampa heko kwa

kutafuta ukweli. Akakubaliana na maelezo na ushahidi tulioutoa, na

akanipigia simu, haidhuru alikuwa na baadhi ya masuali yake ambayo

katika kitabu hicho hayakuelezwa yeye alitaka yaelezwe.6 Cha muhimu ni

kuwa, kwa habari ilionifikia ni kuwa kijana huyo alikuwa akimwambia

ndugu yake: “hiki kitu kakieleza Sh. Juma kwa uwazi kabisa: kiko wazi”.

Lakini ndugu-mtu akawa hataki hata kukitazama! Sasa cha kujiuliza ni

kuwa mtu huyu anapinga kitu asichokijua? Basi hivi ndivyo zilivyo akili za

Mawahabi wote: hawakusalimika na akili hio isipokuwa wachache tu. Ndio

maana huko Suudia vitabu vya Kiibadhi vinapigwa vita: haviingii. Mmoja

wa Mamufti wao wa zamani alitoa fat-wa kuwa vitabu vya Kiibadhi

vipigwe moto! Soma kitabu Laftu Al-Intibah cha Sheikh Muhammad Al-

„Utbi uone madhila na maudhi alioyapata alipokuwa akisoma Saudia miaka

4 - Cha kustaajabisha ni kuwa Al-Ghafri mwenyewe kakikiri kwamba Fimbo Ya Musa

kimeandikwa kwa mfumo wa kielimu wa hali ya juu! Halafu kageuka kifudifudi

akawazuia wafuasi wake wasikisome! 5 - Yeye kaniita Sheikh wala mimi si Sheikh: mimi ni mwanafunzi katika wanafunzi

wadogo. Lakini labda alitaka kunipa heshima. Allah amlipe kheri. 6 - Masuali hayo mahala pake ni juzuu ya pili in shaa Allah.

Page 12: Fimbo ya Musa

12

ya zamani,7 si kwa sababu ya uibadhi wake tu, bali pia kwa sababu ana

vitabu vya Kiibadhi!

Sasa baada ya hayo, soma mkasa uliomtokea Sh. Khalid Yasin na

Mawahabi wa Saudia.

SH. KHALID YASIN NA MAWAHABI WA SAUDIA

Sh. Khalid Yasin ni Mmarekani mweusi aliyesilimu na kufanya kazi kubwa

sana ya da‟awa. Yeye ni mtu ambaye amekwenda sana Saudia na amekaa na

wanavyuoni wakubwa wengi wa huko akiwemo Sheikh Ibn Baz ambaye

alikaa nyumbani kwake mwenyewe.

Miezi si mingi iliopita alibahatika kutembelea Oman na kufanya mihadhara

na pia kuwatembelea wanavyuoni wa Oman akiwemo Sheikh Al-Khalili.

Jambo la kwanza aliloliona ni tafauti kubwa iliopo baina ya Sheikh Al-

Khalili na wanavyuoni wa Saudia. Alisema kwamba Sheikh huyu yuko

tafauti sana na Masheikh wale: huyu yeye anazungumza kila kitu – mambo

ya Uingereza, ya Marekani, ya nchi hii na ile na matukio tafauti ya dunia,

wakati wale wanazungumzia mambo ya fiq-hi na itikadi tu.

Cha muhimu ni kuwa baada ya kuhitimisha ziara yake nchini Oman,

alikwenda Saudia na akawasimulia walimu wake wa huko kuhusu ziara

yake ya Oman. Basi hapo kiama kilisimama, wakamwambia: “wale ni kama

Mashia, wale ni Khawarij”. Yeye akawauliza: “je nyinyi mumekwenda

Oman na kukaa na wanavyuoni wao?” Jawabu: “Laa! Hatukwenda;

hatujakaa nao!” Suli: “je mumesoma vitabu vyao?” Jawabu: “Laa:

hatujasoma!”. Akawambia: “sasa nyinyi munapinga kitu musichokijua? Je

hii si dhulma? Mimi nimekaa nao na nimesoma vitabu vyao na naona ni

watu wazuri sana, wala hakuna tatizo lolote”. Hapo mkubwa wao alimwita

Sh. Khalid Yasin pembeni akamwambia: “mimi kwanza naomba radhi kwa

haya nilioyasema na ninataka niende Oman na ninataka kuonana na

wanavyuoni wao hususan Sh. Al-Khalili”.

Kwa hivyo, huu ndio msiba wa Mawahabi: wanapinga kitu wasichokijua, na

hata ikiwa wanakijua basi wamekijua ujuzi wa kimakosa kwani

wamekisoma kutoka katika vitabu vya wapinzani na aghlabu yao – kama si

waote – si waadilifu au hawaujui uhakika na misingi ya Kiibadhi.

7 - Siku hizi Ibadhi hawampokei kamwe, na wakimjua wanamfukuza. Binafsi nawajua

Ibadhi watatu waliofukuzwa masomo kwa sababu ya uibadhi wao! Huu ni msiba mkubwa

kwa Waislamu!

Page 13: Fimbo ya Musa

13

Kwa hivyo, sisi wito wetu ni kuwa watu wasome vitabu vya madhehebu

zote na watazame chenye hoja sahihi wakichukue na chenye hoja dhaifu au

kisichokuwa na hoja wakiache. Huu ndio Uislamu na huku ndiko kufuata

Qur-ani na Sunna. Anasema Allah:

با اهطاغ ي اهبصر فبصر عباداهذن اجت ه ابا إه اهه أ ا غبد اهذن ستىغن **ت أن ها األهباب ي أ ن ه أ ي اهه دا ن اهذن ه أ تبغن أحس و ف ……اهك

Wale ambao wamejiepusha na kuabudu masanamu na wakarejea kwa

Allah basi hao bishara njema ni zao. Basi wape habari njema waja

wangu**Wale ambao husikiliza kauli (tafauti), wakafuata ilio nzuri

yao, hao ndiwo ambao Allah kawaongoza na hao ndiwo wenye akili.8

8 - Sura 39, Aya 17.

Page 14: Fimbo ya Musa

14

ASILI YA ITIKADI YA KUMUONA ALLAH

Mwenye kulichunguza vyema suala zima la itikadi ya kuonekana kwa

Allah, basi anagundua kwamba dhana hio ilizaliwa tangu zama za

Masahaba. Sababu za kuzaliwa kwa dhana hio, ni mbili:

1) Athari za Ahu Al-Kitab waliosilimu.

2) Ufahamu mbaya wa Aya za Qur-an.

Ama kuhusu suala la mwanzo, utakumbuka kwamba Mayahudi walijenga

itikadi ya kumuona Allah tangu zama za Nabii Musa (a.s.). Na kwa hivyo

walimshikilia kwamba awaoneshe Allah wazi wazi:

إذ قهتي ا ىس هن ر ج ؤىن هن حت ر اهه

Na kumbukeni wakati mulipomwambia Musa kwamba

hatutokuamini hadi tutapomuona Allah wazi wazi).9

Itikadi hio haikuishia katika zama za Nabii Musa (a.s.) tu, bali kilicho wazi

kabisa ni kuwa Mayahudi waliiendeleza itikadi hio hadi zama za Mtume

(s.a.w.). Miongoni mwa vyenye kuthibitisha hilo ni kile kisa

kilichosimuliwa kuhusu tukio la mkutano wa Ibn Abbaas na Ka‟abu Al-

Ahbar, Myahudi aliyesilimu na akawa anasimulia riwaya zao za Kiisraili.

Wamesimulia wapokezi wa Hadithi kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar akisema:

ر٤ لي ٠ كآ لي ط٤ ٠ ط٤ال ا هللا ه إ٣ظ

Hakika Allah kakugawa kuonekana kwake na maneno yake baina ya

Muhammad na Musa: Muhammad akamuona mara mbili na Musa

akazungumza naye mara mbili.10

Katika riwaya ya Al-Tirmidhi katika Al-Sunan,11

na Ibn Khuzaima katika

Al-Tawhid,12

tunapata kwamba Ibn „Abbaas alikutana na Ka‟abu Al-Ahbar

huko „Arafa. Ibn „Abbaas akamuuliza Ka‟abu kuhusu kitu fulani; Ka‟abu

akapiga takbiri kubwa ilioje mpaka milima ikarejesha sauti, kisha ndio

akasema maneno hayo tulioyanukuu ya kuwa Muhammad kamuona Allah

na Musa kazungumza naye.

9 - Sura 2, Aya 55.

10 - Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Al-Sunna j. 3, uk. 500, riwaya na. 867. Ibn

Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 496, riwaya na. 21. Is-haaq bin Raahwaih Al-Musnad riwaya

na. 1421. Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 286, riwaya na. 548. 11

- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 3278.

12 - Ibn Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 561, riwaya na. 328.

Page 15: Fimbo ya Musa

15

Riwaya hii ya Al-Tirmidhi, inasema kwamba Masruq – baada ya kuyasikia

hayo – alikwenda kwa Al-Sayyida „Aisha (r.a.) kumuuliza: “ivo kweli

Muhammad kamuona Mola wake”. „Aisha alistaajabu sana! Na Masruq –

kama zinavyoeleza riwaya nyengine – akatoa hoja kwa Aya: آ ر خل ك ن و ي ز ٤ ,(Na kwa hakika alimuona katika upeo wa macho ulio safi) ح

13 na

Aya: آ و ي ش أ ه (Na kwa hakika alimuona mara ya pili).14

Lakini

Al-Sayyida „Aisha (r.a.) akambainishia kwamba huyo aliyeonekana hapo ni

Jibril (a.s.), na kwamba yeye (Al-Sayyida „Aisha) kamuuliza Mtume (s.a.w.)

na akamjibu hivyo.15

Kwa hali yoyote ile iwayo, tukijaalia kuwa riwa hio ni thabiti au ni ya

kufinyanga, basi cha kufahamu ni kuwa hayo ni maneno ya Ka‟abu Al-

Ahbar, Yahudi aliyesilimu, ambaye – bila shaka – aliathirika na riwaya zao

za kutunga na zilizotokana na kitendo chao cha kuipotosha Taurati. Kilicho

muhimu hapa ni kuwa: je Ibn Abbaas naye alisema kuwa Mtume (s.a.w.),

alimuona Mola wake kwa macho ya kichwa chake? Hilo utalifahamu katika

sehemu inayofuata in shaa Allah. Lakini kilicho muhimu zaidi ni kuwa

riwaya hizi zinathibitisha kile tulichokieleza kwamba mbegu za itikadi ya

kumuona Allah zilipandwa na Mayahudi waliosilimu wakitegemea

masimulizi ya Taurati yao iliopotoshwa.

Jambo la pili ambalo lilizaa itikadi ya kumuona Allah, ni ufahamu mbaya

wa maandiko. Umejionea mwenyewe hapo nyuma kidogo na utazidi

kujionea huko mbele in shaa Allah kwamba Masruq kajenga hoja yake ya

kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa kutumia Aya: ز ٤ آ ر خل ك ن ح و ي

(Na kwa hakika alimuona katika upeo wa macho ulio safi),16

na Aya:

آ و ي ش أ ه (Na kwa hakika alimuona mara ya pili).17

Ufahamu huo

si kwamba ulikuwa ni wa Masruq peke yake, bali hata Ibn Abbaas eti naye

kazielewa Aya hizo hivyo!18

Lakini wakati kumekuwa na ufahamu huo wa

Aya, tunamkuta Mtume (s.a.w.) mwenywe – kama ulivyoona – kazifasiri

Aya hizo vyenginevyo. Na si hivyo tu, bali Mtume (s.a.w.) kabainisha

kwamba yeye alichokiona ni nuru: si Allah.19

Jambo hili linathibitisha nukta

ya pili kwamba si kuwepo kwa wito wa Mayahudi tu ndiko kulikozaa itikadi

13

- Sura 81, Aya 23. 14

- Sura 53, Aya 13. 15

- Maelezo zaidi juu ya riwaya hii yatakuja baadae katika sehemu zake in shaa Allah. 16

- Sura 81, Aya 23. 17

- Sura 53, Aya 13. 18

- Hivyo ndivyo riwaya nyingi zinavyotongoa, lakini ninasema labda yeye asiwe Ibn

Abbaas! Mtu ambaye alikuwa na elimu asio na kifani na bingwa wa tafsiri, lakini hapa

tunajaalia tu. 19

- Tutainukuu riwaya tukifika sehemu zake in shaa Allah.

Page 16: Fimbo ya Musa

16

ya “tutamuona Allah”, bali ufahamu mbaya wa Aya za Qur-ani pia

ulichangia mchango mkubwa katika hilo. Sasa kama umelielewa hilo la

watu kuzielewa vibaya Aya hizo zisemazo: “kamuona mara ya pili”….

“kamuona katika upeo wa macho”, basi usione ajabu kwamba wako

walio au wataoielewa vibaya Aya: “Nyuso siku hio zitang‟ara***Kwa

Mola wake tu ni zenye kutazama”. Na kama utajua kwamba tafsiri hio

iliopokewa kutoka kwa Ibn Abbaas haikuthibiti kutoka kwake, kama Mzee

wa Uislamu anavyosema,20

lakini pamoja na yote hayo tafsiri hio

imepokewa kutoka kwake katika riwaya kadha wa kadha, basi usione ajabu

utapojua kwamba riwaya nyengine ziundwe ili kuifasiri Aya “Nyuso siku

hio zitang‟ara***Kwa Mola wake tu ni zenye kutazama”, kuwa maana

yake ni kumuona Allah. Na hakuna chenye kubainisha hilo kuliko ukweli

kwamba kila fani inayotumika katika kuifasiri Qur-ani, basi inatoa jawabu

tafauti na riwaya hizo – na hio ndio moja ya alama za riwaya za kutunga.

TAFAUTI ZA UMMA JUU YA SUALA LA

KUONEKANA KWA ALLAH

Umma wa Kiislamu umetafautiana juu ya suala la kuonekana au

kutoonekana kwa Allah. Wakasema baadhi yao kwamba Allah haonekani

duniani wala akhera. Wenye kauli hii ni Ahlu Al-Haqqi wa Al-Istiqama

(Ibadhi), Shi‟a, Zaidia, Mu‟atazila, Al-Jahmiyya na wachache katika

wanavyuoni wa Kisunni.21

Na wengine wakasema kuwa Allah anaonekana.

Hawa ni jumhur ya madhehebu za Kisunni – Al-Maturidiyya, Al-

Ash‟ariyya, Al-Dhahiriyya na Al-Hashwiyya. Nao wametafautiana katika

suala hili juu ya vipengele tafauti:

MOSI: je Allah ataonekana akhera tu au hata duniani anaonekana? Jumhur

(majority) yao wanaona kuwa Allah anaonekana akhera tu: si duniani.

Wengine – wachache – wakasema kuwa bali hata duniani pia Allah

anaonekana. Na hawa nao wakatafautiana tena: je wenye kumuona Allah au

kumuona Allah duniani ni haki mahususi kwa ajili ya Mtume (s.a.w.) au

20

- Tutayanukuu baadae maelezo yake in shaa Allah. 21

- Ukweli kwamba waliokubaliana katika kauli ya kutoonekana Allah, ni Jahamia, Shia,

Muutazilah, ndiko kunakowafanya Mawahabi waushike uzi huu dhaifu kwa kuwahujumu

Ahlu Al-Haqqi Wa Al-Istiqaama. Lakini cha kuelewa ni kuwa kundi fulani ni limepotea

haina maana kuwa kila msimamo wake ni upotovu. Kwa hivyo kuirudisha haki kwa sababu

kaisema fulani aliyepotea, uhakika wake ni kuidhulumu haki. Basi mwenye kuifuata njia

hiyo ya kuirejesha haki kwa sababu kaisema fulani inatosha kumtoa mtu katika njia ya haki.

Na kwa hivyo kuwaponda Maibadhi kuwa wamekubaliana na Majahamia na Mashia katika

itikadi hii ya kutoonekana kwa Alla hakuzingatiwi kwa wale wenye kuitafuta haki.

Page 17: Fimbo ya Musa

17

Waumini pia wanaweza kumuona? Wako wengi waliodai kuwa hii ni haki

mahususi kwa Mtume (s.a.w.): pasina Waumini. Miongoni mwa wenye

kauli hii ni Al-Alusi na Al-Imamu Al-Nawawi. Anasema Al-Alusi:

ل حإ٣ش ……...حي٤خ ٢ــــإ٣ش كــح ظخ ك٢ أ طد ٠ ػ٤ حال خ ح ……

حي٤خ ٢ ــح٢ كــــــــــطح٢ ك٢ ح٣٥ش طح٢ أض رخم ػ٠ حلخش ل ط طوخ كؼ٠

ا ح حلي٣غـــــطح٢ طوخ ل ك٢ حي٤خ ل ك٢ ح٥هس ؼ طوخ ك٠ال ػ أ ٣ حؼ٠

حء غ ػي ـــػ٤ أ ر ٤ش حإل ٠ هللاـــرخ ق كػخ هكخ أ ــو

ؤط ػ٤ حالس ـري أ ـحهظخ ٠ هللا طؼخ٠ ػ٤ ش ك٢ـــــــحؼن ؼ حل

..…حال أ ؤس أػيخ س

…..Na (Hadithi) hii iko wazi kwamba ombi la Musa lilihusiana na

kumuona Allah duniani….si (kwamba kaomba) kumuona Allah moja kwa

moja (duniani na akhera). Basi maana ya: “hutoniona” katika Aya hio ni

“hutoniona” nawe umebakia katika hali hii: si “hutoniona” duniani moja

kwa moja, ukiachilia mbali (kuwa maana yake ni) “hutoniona” moja kwa

moja duniani na akhera.22

Na‟aam! Hakika ya Hadithi hii (tulioitaja hapo

ya kuwa Allah haonekani isipokuwa peponi huko akhera, ni Hadithi ya

ujumla ambayo) imehusishwa na Hadithi sahihi zilizopokewa kutoka kwa

Mtume (s.a.w.) na kutoka kwa Masahaba kwamba Mtume (s.a.w.)

kamuona Mola wake usiku wa miraji pasina kuzimia. Na labda hekima ya

kumuhusisha Mtume (s.a.w.) kwa hilo ni kuwa maumbile ya Mtume

(s.a.w.) ni maumbile yaliokamilika na yenye sura ilio sawa zaidi.23

Ama Al-Imamu Al-Nawawi yeye kasema katika Sherehe yake juu ya Sahihu

Muslim baada ya maelezo kuhusiana na Aya: وي آ ش أه (na kwa

hakika kamuona mara ya pili):24

٠ أ ــهللا ٠ هللا ػ٤ أ ر رؼ٤كخلخ أ ححؿق ػي أؼ حؼخء أ

ح خ ل ٣زـ٠ أ ٣ظي ك٤ .……ر ػزخ ؿ٤ خ طوي ح٤ش حلحء لي٣غ ــــ

Natija (ya yote hayo yaliotangulia) ni kuwa chenye uzito kwa wanavyuoni

wengi zaidi ni kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Mola wake kwa macho yake

mawili yalio kichwani mwake usiku wa israa, kwa ushahidi wa Hadithi ya

Ibn „Abbaas na wengine katika yale yaliotangulia….hili ni miongoni mwa

mambo ambayo hayatakiwi kutiliwa shaka….25

Na anasema katika fatawa zake:

ل٤ق ـــــ حــح ٠ أــ٤ش حلحء رؼ٤ــــأ ٠ هللا ػ٤ ر زلخ طؼخ٠

22

- Al-Alusi hapa atia itikadi yake ya kuwa Allah aonekana duniani! 23

- Al-Alusi Ruh Al-Ma‟aani j. 9, uk. 49-50. 24

- Sura 53, Aya 13. 25

- Al-Nawawi Sharhu Muslim j. 2, uk. 287.

Page 18: Fimbo ya Musa

18

ح١ هخ حر ػزخ أؼ حلخرش......

Na Mtume (s.a.w.) alimuona Mola wake Mtukufu usiku wa israa kwa

macho yake mawili yalio kichwani mwake. Hiki ndicho kilicho sahihi

ambacho kimesemwa na Ibn „Abbaas na Masahaba wengi zaidi…26

Bali kauli hio, ndio ilionukuliwa kutoka kwa Al-Imamu Al-Ash‟ari na

wengi katika wafuasi wake. Wanasema washereheshaji wa kitabu

Jawharatu Al-Tawhiid baada ya kuelezea suala hilo la Mtume (s.a.w.)

kumuona Allah:

ي هخ رخإ٣ش ح٤ن أر حل حلؼ١ ؼ٤ أطزخػ

Vivyo hivyo kasema Al-Imamu Abu Al-Hasan Al-Ash‟ari pamoja na

wengi katika wafuasi wake kuwa (Mtume s.a.w.) kamuona (Allah).27

Na ikanasibishwa kauli hio pia kwa Al-Imamu Ahmad bin Hanbal,28

Al-

Hasan Al-Basri na ikanukuliwa pia kutoka kwa Al-Mawardi.29

Kisha wenye kauli hio wakatafautiana tena katika nukta mbili:

a) Je Mtume (s.a.w.) alimuona Allah kwa macho yake au kwa moyo

wake?

b) Je kumuona kwake ilikuwa ni katika hali ya kuwa macho au

usingizini?

Wengine – kama ulivyoona maneno ya Al-Alusi na Al-Nawawi – wanasema

kuwa alimuona kwa macho yake ya kichwa chake: si kwa moyo. Na

wengine wanasema kuwa Allah alimchanganyia aina zote mbili za kuona –

kwa macho na moyo.30 Na Ibn Hajar akakufasiri kuona kwa moyo kuwa ni

kuona kweli kweli: si kuona kwa maana ya kumjua Allah tu, kwani kumjua

Allah, Mtume (s.a.w.) alikuwa anamjua tangu mwanzo.31

Na kwa hivyo,

wengine – kama Al-Wahidi – wamesema kuwa Allah aliumba macho katika

26

- Al-Imamu Al-Nawawi Al-Msailu Al-Manthura kilichopangwa na Sheikh „Alaau Al-Din

Al-„Attaar, uk. 17. 27

- „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 704. 28

- Lakini Ibn Taymiyya ana maelezo kidogo kuhusu hili. Tutayanukuu maelezo yake hapo

mbele in shaa Allah. 29

- „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 704. 30

- „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 705.

Tazama vizuri! Ukitazama kitabu hiki harakaharaka bali hata kwa utulivu basi utaona

kwamba haya ni maneno ya Al-Munawi. Lakini ukirejea kitabu cha Al-Munawi basi utaona

kwamba haya si maneno yake, bali maneno yake ni ya mwanzoni mwa msitari ambayo

hapa hatukuyanukuu. Na dhahir ya kauli hii imetegemea riwaya ya Al-Tabarani tutayoitaja

baadae. 31

- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 9, uk. 5653, maelezo ya Hadithi na. 4855.

Page 19: Fimbo ya Musa

19

moyo wake.32

Lakini udhaifu uliomo katika maelezo hayo ya Al-Hafidh Ibn

Hajar uko wazi. Na maneno hayo ya Ibn Hajar hayawachi kuwa ni yenye

kuhitaji mtazamo mwengine, kwani kama ilikuwa moyo ulimuona kweli

kweli basi nini hikma ya kuona kwa moyo kama yanavyoona macho ilhali

macho yapo na ndio kazi yake kuona: kwanini uoni wa kweli kweli

upelekwe kwenye moyo? Bali inavyojulikana ni kuwa moyo hauoni kweli

kweli, na kwa hivyo, yanapotumika maneno kuona kwa moyo basi

makusudio yake ni kujua ujuzi ulio sahihi.

Tegemeo la wenye kauli hio ya kuonekana kwa Allah duniani, ni riwaya

zilizonasibishwa kwa Ibn Abbaas zenye kusema kuwa Mtume (s.a.w.)

alimuona Mola wake katika usiku wa miraji. Riwaya hio imesimuliwa na

idadi si ndogo ya wapokezi kama: Al-Nasai katika Al-Kubra,33

Al-Tabarani

katika Al-Awsat34

na katika Al-Kabir,35

Al-Tirmidhi katika Al-

Sunan,36

Ahmad bin Hanbal katika Al-Musnad,37

Al-Bazzaar katika Al-Bahru

Al-Zakhaar,38

Ibn Abi Shayba katika Al-Musannaf,39

Al-Bayhaqi katika Al-

I‟itiqad40

na katika Al-Asmaau wa Al-Sifat,41

na wengine.42

32

- Wameinukuu katika Sharhu Jawharati Al-Twhid j. 2, uk 705. 33

- Al-Nsai Al-Kubra j. 10, uk. 276, Hadithi na. 11473-11475. 34

- Al-Tabarani Al-Awsat j. 6, uk. 50, Hadithi na. 5761. 35

- Al-Tabarani Al-Kabir j. 10, uk. 299, Hadithi na. 10727. J. 11, uk. 242, Hadithi na.

11619. J. 12, uk. 219, Hadithi na. 14921 . 36

- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 3278, lakini katika riwaya hii msemaji wa wazi wa

kumuona Allah ni Ka‟abu Al-Ahbar. Hadithi. Na. 3279. Hadithi. Na. 3280. Hadithi na.

3281, lakini katika Hadithi kasema: “kamuona kwa moyo wake”. 37

- Al-Imamu Ahmad Al-Musnad j. 1, uk. 736, Hadithi na. 2580. 38

- Al-Bazzaar Al-Bahru Al-Zakhaar j. 11, uk. 361, Hadithi na. 5185, lakini kuna maneno

kwamba Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa moyo wake. Sijui je maneno hayo ni ya Ibn

Abbaas au ni tafsiri ya Al-Bazzaar. Hili la pili linaelekea zaidi. Na kaisimulia pia katika

Hadithi na. 7165, kutoka kwa Anas bin Malik: “Muhammad kamuona Mola wake” bila ya

kusema “kwa moyo wake”. 39

- Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 7, uk. 445, Hadithi na. 165. 40

- Al-Bayhaqi Al-I‟itiqad uk. 304. 41

- Al-Bayhaqi Al-Asmaau wa Al-Sifat j. 2, uk. 353, Hadithi na. 926, lakini riwaya hii

inasema kamuona kwa moyo wake mara mbili. Hadithi na. 927-933-934, lakini nambari hii

ya mwisho Hadithi inatisha, kwani inasema kuwa Allah kaonekana katika bustani ya kijani,

mbele yake kuna vipepeo vya dhahabu kakaa juu ya kiti cha dhahabu kimebebwa na

Malaika wane: Malaika mmoja ana sura ya mtu na waliobakia wana sura za wanyama!

Hadithi na. 935-938, lakini nambari hii ya pili riwaya yake ni munkar kupita kiasi. Riwaya

yake inasema kuwa Mtume (s.a.w.) alimuona Allah naye (huyo Allah) ni kijana amrad

(hana manyoya wala ndevu) kavaa vazi la kijani! Na riwaya nyengine na. 942, inasema

kuwa Allah ni kijana ana nywele nyingi yuko katika nguo za rangi ya kijani katika tandiko

la dhahabu na kavaa viatu vya dhahabu. 42

- Lakini sanad zao ni zile zile.

Page 20: Fimbo ya Musa

20

Lakini riwaya hio ya Ibn Abbaas – bila hata kuhitaji kutazama uhakika wa

sanad yake – ni Hadithi inayopingika kwa njia nyingi baada ya kuitazama

matn yake. Tazama yafuatayo:

Mosi: ni kuwepo kwa Aya za Qur-ani ambazo zinakataa kwa uwazi suala la

kumuona Allah, kama Aya isemayo: األبصار ال تدرم “macho hayamdiriki

(hayamfikii)”,43

na Aya inayomjibu Musa kwa kusema: هن ترا “hutoniona”,

44 ambazo tutazielezea kwa urefu katika sehemu zake in shaa

Allah. Na kama utavyojionea kwamba haiwafai kitu kauli yao kuwa Aya:

“macho hayamdiriki”, haijakataa kumuona Allah bali inakataa

kumzunguka Allah! Hilo halikubaliki kabisa, na maelezo juu yake kwa

urefu utayaona ukifika sehemu yake in shaa Allah.

Pili: ni kuwa riwaya hizo za Ibn Abbaas zimeonesha kwa uwazi kwamba

kauli hio ni ufahamu wa Ibn Abbaas alivyoifahamu Aya isemayo: آ و ي ش أ ه (na kwa hakika kamuona mara nyengine).

45 Amesimulia Al-

Tabarani katika Al-Mu‟ajamu Al-Kabir na Al-Tirmidhi katika Al-Sunan – na

wengine - Hadithi isemayo:

ػ ػ ػ أر٢ ش ػ حر ػزخ : } وي آ ش أه { هخ : أ ر ػ ؿ

Kutoka kwa „Amri kutoka kwa Abi Salama kutoka kwa Ibn Abbaas

(kasema kuhusu Aya inayosema): “Na kwa hakika alimuona mara ya

pili”,46

kasema (Ibn „Abbaas): „alimuona Mola wake Mtukufu‟.47

Na inaelekea kwamba Masruuq, naye, alipotoa hoja kwa Aya hio mbele ya

Al-Sayyida „Aisha pamoja na Aya isemayo: باألفل اهىبن هكد رآ (na kwa

hakika alimuona katika upeo wa macho ulio safi), 48

alitegemea kauli hio

ya Ibn „Abbaas. Kwa hali yoyote ile iwayo, ufahamu huo wa Ibn Abbaas –

ikiwa umethibiti kutoka kwake, nami hilo silikubali – basi umejibiwa na

Bibi „Aisha katika Hadithi sahihi yenye kusema:

ي أػظ ــــم هخ ض ػي ػخثش ٢ هللا ػخ كوخض ػالع ط رحكيس كوػ

جخ كـضــ ػ أ ليح أ ر كوي أػظ ػ٠ هللا حل٣ش هخ ض ظ ٣ش ــػ٠ هللا حل

43

- Sura 6, Aya 103. 44

- Sura 7, Aya 143. 45

- Sura 53, Aya 13. 46

- Tumetoa marejeo kabla. 47

- Al-Tabarani Al-Mu‟ajamu Al-Kabir j. 10, uk. 299, Hadithi na. 10727. Al-Tirmidhi Al-

Sunan Hadithi na. Hadithi na 3202. 48

- Sura 81, Aya 23.

Page 21: Fimbo ya Musa

21

آ رخلكني ــــ ٣و هللا } وي آ ش أه { } وأطؼـ٢ ١ ل ـهض ٣خ أ حئ٤ حظ

خ أخ أ حلش ؤض حز٢ ٠ هللا ػ٤ ػ ـــــحز٤ { كوخض ػخثش ٢ هللا ػ

ي كوخ ي ؿز٣ ػ٤ حال أ ك٢ ط حظ٢ هن ػ٤خ ال ط٤ أ٣ظ هي ز٢

ي حلرخ ٣يى ـحخء كي ؿ خ ر٤ حخء حل أ طغ و طؼخ٠ } ل ط

حلرخ حط٤ق حوز٤ {

Kutoka kwa Masruq kasema: „nilikuwa kwa „Aisha (r.a.) akasema:

„mambo matatu atayelisema moja katika hayo basi huyo kamzulia Allah

uwongo mkubwa: atayedai kuwa Muhammad kamuona Mola wake basi

huyo kamzulia Allah uwongo mkubwa. (Masruq) akasema: „nilikuwa

nimeegemea nikakaa kitako nikamwambia é mama yangu! Ngojea:

usifanye haraka! Kwani Mwenyezi Mungu (subhanahu wa ta‟aala)

hakuesema: وي ح رخلكن حز٤ (Na kwa hakika alimuona katika upeo wa

macho uliosafi)49

Na kwahakika) وي ح ش أه.… .………..…………

amemuona mara nyengine).50

Akasema Bibi „Aisha mimi ndiye wa

kwanza katika umma huu niliyemuuliza Mtume (s.a.w.) kuhusu jambo

hilo, akasema huyo (niliyemuona) ni Jibril: sikumuona katika sura yake

aliyomuumba Mwenyezi Mungu (yaani sura yake ya kimalaika) ila mara

mbili. Nimemuona kashuka katika mbingu na mwili wake umezifunika

mbingu na ardhi. Kwani hujaisikia wewe kauli ya Allah (subhanahu wa

ta‟aala) aliposema: ل طي حلرخ ٣يى حلرخ حط٤ق حوز٤ (Macho

haya mdiriki (hayamfikii) Naye anayadiriki (anayafikia) Naye ni Mjuzi

wa yaliojificha na ni Mjuzi wa yaliyo dhahiri)?51

Hii ni jawabu ya Al-Sayyida „Aisha (r.a.) kwa Masruq kuhusiana na

maudhui hio. Pamoja na uwazi uliomo katika Hadith hii, lakini watetezi wa

rai ya kumuona Allah duniani hawakuwacha kuutetea msimamo wao hata

kwa hoja dhaifu kama nyumba ya buibui. Anasema Al-Imamu Al-Nawawi

akiyajadili maelezo hayo ya „Aisha:

ػ ح ػخثش ٠ هللا ػخ طق حإ٣ش رلي٣غ ػ هللا ٠ هللا ػ٤ خ

ؼخ ك٤ كي٣غ ط حخ حػظيص حلظزخ١ ح٣٥خص

Kisha „Aisha (r.a.) hakukataa kuonekana Allah (na Mtume s.a.w. usiku wa

miraji) kwa kutumia Hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.). Na lau alikuwa

nayo Hadithi basi angeliitaja, bali kategemea utoaji dalili wake mwenyewe

kutoka katika Aya…52

49

- Sura ya 81 Aya ya 23. 50

- Sura ya 53 Aya 13. 51

- Tumetaja baadhi ya walioipokea Hadithi hii katika sehemu inayozungumzia Aya

isemayo “Uoni haumfikii; naye anaufikia; naye ni mjuzi wa yaliojificha na ni mjuzi wa

yaliowazi”. 52

- Al-Nawawi Sharhu Muslim j. 2, uk. 287.

Page 22: Fimbo ya Musa

22

Hayo ni maneno ya Al-Imamu Al-Nawawi, nayo si maneno barabar! Bali

Ibn „Abbaas – ikiwa riwaya hio imethibiti kweli kutoka kwake – basi ndiye

ambaye kategemea utoaji dalili wake mwenyewe kutoka katika Aya kama

ulivyoona riwaya iliotangulia inavyosema. Ama „Aisha yeye katika riwaya

yake kuhusu Aya hizo alizozitolea hoja Ibn „Abbaas, kasema hivi: أخ أ

mimi ndiye wa kwanza katika uma huu“ حلش ؤض حز٢ ٠ هللا ػ٤

niliyemuuliza Mtume (s.a.w.)” kuhusu jambo hilo la kuwa je kweli yeye

kamuona Mola wake au hakumuona? Kwa hivyo, tafsiri ya „Aisha kuhusu

Aya alizozitegemea Ibn „Abbaas, ni tafsiri ya Mtume (s.a.w.) mwenyewe.

Bali maneno ya „Aisha yanakubaliana na Hadithi ziliokuja katika Al-Sahih

kama vile Hadithi yenye kusema: أ٠ أح (nuru, basi vipi mimi

nitaona)?53

Maneno haya kayasema Mtume (s.a.w.) kumjibu aliyemuuliza:

“je umemuona Mola wako ulipokwenda miraji?” Na katika riwaya ya pili:

nilichokiona mimi ni nuru”. Sasa ikiwa Al-Sayyida „Aisha (r.a.)“ أ٣ض ح

kamuuliza Mtume (s.a.) na akamjibu hivyo, vipi tena Al-Imamu Al-Nawawi

anasema kuwa „Aisha hakutegemea Hadithi, bali kategemea istimbat (utoaji

dalili wake mwenyewe kutoka katika Aya) na kwamba Ibn „Abbaas ndiye

aliyetegemea Hadithi?! Naona Al-Imamu Al-Nawawi mambo kayaweka

kinyumenyume!

Pili ni kuwa hio riwaya yenyewe ya Ibn „Abbaas haikuthibiti kwa sanad

sahihi. Na kwa hivyo, Ibn Taymiyya, kuhusu riwaya hio, kasema hivi:

خ أ ـأخ إ٣ش حز٢ طخع ػخثش حر ػزخ كوي رطخ حال ك٤ ك٢ ؿ٤ ح حغ ر٤

٤يخـــــأكي ٢ء حكي اخ ا١الم حإ٣ش اخ طو٤ حر ػزخ ػ ػ حإلخ ــحؼخرض ػ

ؼ٤ ك ٣ؼزض ل ػ حر ػزخ ل ػ أكي ر كز لخ ـرخلئحى أخ حظو٤٤ي رؤ آ ر

Ama Mtume (s.a.w.) kumuona Allah na kuvutana kwa „Aisha na Ibn

„Abbaas, hilo tumelieleza kwa urefu katika sehemu nyengine na

tumebainisha kwamba kilichothibiti kutoka kwa Ibn Abbaas kisha kutoka

kwa Al-Imamu Ahmad ni kitu kimoja nacho ni ama kulitumia neno kuona

moja kwa moja pasina kulifungamanisha na kitu; au kulitumia neno hilo

kwa kulifungamanisha na moyo (yaani Mtume s.a.w. kamuona Allah kwa

moyo wake). Ama kulifungamanisha na macho, ilipopokewa kuwa Mtume

(s.a.w.) kamuona Allah kwa macho yake, hilo halikuthibiti kutoka kwa Ibn

„Abbaas wala Ahmad na waliomfano wao.54

Hivyo ndivyo alivyosema Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya. Lakini –

chembelecho – vijana wa leo: “naona Mzee wa Uislamu kachanganya

madawa”, alitakiwa aseme: “hilo halikuthibiti kutoka kwa Ibn „Abbaas” si

53

- Yaani vipi nitaona kumuona Allah! 54

- Ibn Taymiyya Bughyatu Al-Murtaad uk. 470. Majmu‟a Al-Fatawa j. 2, uk. 212.

Page 23: Fimbo ya Musa

23

“hilo halikuthibiti kutoka kwa Ibn „Abbaas wala Ahmad na waliomfano wa

wao”, kwani mfano wa Ibn „Abbaas ni mtu kama Ibn „Umar, Ubaiy bin

Ka‟ab na Masahaba wengine. Ama mfano wa Al-Imamu Ahmad ni

wanavyuoni wakubwa na Maimamu waliokuja baadae, na hawa imepokewa

kutoka kwao bali wengi mno miongoni mwao akiwemo Al-Imamu Abu Al-

Hasan Al-Ash‟ari na baadhi ya wafuasi wake, wakisema kwa uwazi kuwa

Mtume (s.a.w.) kamuona Allah: “kwa macho ya kichwa chake”.

Ama tukirudi katika sanad ya riwaya ya Ibn Abbaas, tunakuta kwamba

riwaya hio haikuja kwa njia ambayo tunaweza kuitegemea. Moja ya njia

zake ni njia ya Muhammad bin „Amri bin Abi Salama katika masimulizi ya

Al-Tabarani katika Al-Kabir.55

Lakini Muhammad bin „Amri bin Abi

Salama si mpokezi wa kutegemewa, kwani Al-Khazraji anasema kuhusu

mpokezi huyo: “Hadithi zake ni za kufikiriwa”.56

Na akaisimulia tena Al-

Tabarani kutoka kwa „Ikrima kutoka kwa Ibn „Abbaas, lakini katika sanad

yake kuna Ibrahim bin Al-Hakam bin Abaan,57

naye ni dhaifu sana.

Anasema Ibn Ma‟iin: “si mwenye kuaminika….dhaifu..si lolote si

chochote”. Anasema Al-Nasai: “si mwenye kuaminika wala haandiki

Hadithi zake”. Anasema Abu Zur‟a: “si madhubuti: naye ni dhaifu”.

Wanasema Al-Juzajaani na Al-Azdi: “ni mwenye kuporomoka”. Anasema

„Abbaas bin „Abdil-„Adhim kuhusu Hadithi zake: “Hadithi hizi zilikuwa

katika vitabu vyake nazo ni mursala:58

hakuna ndani yake Ibn „Abbaas wala

Abu Huraira, yaani Hadithi za baba yake kutoka kwa „Ikrima”.59

Ninasema:

na Hadithi hii pia kaisimulia kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Ikrima,

kwa hivyo, kwa mujibu wa maelezo hayo ni kuwa Hadithi hii haitoki kwa

Ibn „Abbaas bali Ibrahim bin Al-Hakam kamchomeka Ibn Abbaas katika

sanad! Na kwa hivyo, Ibn „Adey kasema: “katika mabalaa yake ni yale

walioyasema kwamba alikuwa Hadithi mursala60

kutoka kwa baba yake

yeye akizifanya mausula”.61

Anasema Al-Daraqutni: “dhaifu”. Anasema Al-

Fasawi: “hawatafautiani kuwa yeye ni dhaifu”. Anasema Al-„Uqaili: “si

lolote si chochote wala si mwenye kuaminika”.62

55

- Tazama Al-Tabarani Al-Kabir j. 10, uk. 299, Hadithi na. 10727. Hadithi yenye kuifasiri

Ayaisemayo: “Na akamuona mara nyengine”. Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 7, uk. 445,

Hadithi na. 165. 56

- Al-Khazraji Al-Khulasa uk. 354. 57

- Tazama Al-Tabarani Al-Kabir j. 11, uk. 242, Hadithi na. 11619. 58

- Yaani zimesimuliwa kutoka kwa Mtume (s.a.w.) pasina kutajwa Sahaba yoyote yule. 59

- Yaani baadae yeye akazisimulia akaongeza sahaba katika wapokezi. 60

- Tumeielezea hapo nyuma. 61

- Akiziunganisha kwa kumuweka Sahaba ili sanad ionekane kuwa imekamatana:

haikukatika pahali. 62

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 100-101, tarjama na. 205.

Page 24: Fimbo ya Musa

24

Hadithi hio kaisimulia tena Al-Tabarani katika sehemu nyengine63

lakini

katika sanad yake kuna Mubarak bin Fadhala, naye wengine wanamuona

kuwa ni dhaifu kama vile Ibn Ma‟iin katika moja ya riwaya zake mbili, Al-

Nasai na wengine.64

Naye anaghushi sana na Hadithi yake katika sanad hii

ni mu‟an‟an. Na Mubarak bin Fadhala kaipokea Hadithi hio kutoka kwa

„Ali bin Zaid bin Jud‟aan naye ni dhaifu sana.65

Hadithi hio kaisimulia pia Al-Imamu Ahmad katika Al-Musnad,66

na Al-

Bayhaqi katika Al-Asmaau wa Al-Sifaat67

lakini katika sanad yake kuna

Hammad bin Salama naye ni dhaifu68

pia yumo Qatada bin Di‟aama naye ni

mwenye kughushi69

na Hadithi yake ni mu‟an‟an. Na riwaya ya Al-Bayhaqi

ina mambo mengi munkar sana! Riwaya yake yasema: أى ػ٤ أ٣ض ر٢ ؿؼيح

,nimemuona Mola wangu naye ni mwenye nywele mviringo (curl)“ كش ه٠حء

naye ni amrad (hana manyoya wala ndevu) kavaa vazi la kijani”. Na riwaya

nyengine yanena: ك٢ س خد أى ؿؼي “(nimemuona Allah) katika sura ya

kijana amrad (hana manyoya wala ndevu) na ni mwenye nywele mviringo

(curl), na riwaya nyengine yasema: ك٢ ه٠س ى ظ ئئ هي٤

“(nimemuona Allah) mbele yake kuna pazia la lulu miguu yake iko katika

(bustani) ya kijani! Hizi zote ni balaa zimo katika riwaya za Al-Bayhaqi

iliopokelewa kutoka kwa Hammad bin Salama!

Na akaipokea riwaya hio Al-Bazzaar katika Al-Bahru Al-Zakhaar,70

lakini

katika sanad yake kuna Mu‟awiya bin Hisham naye ni mkweli anakosea

sana.71

Na kwa hivyo, Al-Bazzaar asema:

٣ؾ ؿ٤ ؼخ٣ش ر خ ح ح ػ ل٤خ حؼ١ ػ حر ؿ ي أك ح حلي٣غ ل ؼ

Na Hadithi hii hatumjui yoyote yule aliyeisimulia kutoka kwa Sufyaan

kutoka kwa Ibn Juraij isipokuwa Mu‟awiya bin Hisham.72

Ninasema: na Sufyaan Al-Thauri, pamoja na uimamu wake, alikuwa

akighushi,73

na Ibn Juraij yeye ndiye kigogo wa kughushi na haghushi

63

- Al-Kabir j. 12, uk. 219, Hadithi na. 12941. 64

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 10, uk. 27-28, tarjama na. 50. 65

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 283-85, tarjama na. 545. 66

- Tumetoa marejeo kabla. 67

- Tumetoa Marejeo kabla. 68

- Maelezo yake ni marefu yatakuja in shaa Allah huko mbele. 69

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 315-319, tarjama na. 637. Tabaqaatu Al-

Mudallisin uk. 43, tarjama na. 92. 70

- J. 2, uk. 202, Hadithi na. 5185. 71

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 10, uk. 196-7, tarjama na. 403. 72

- J. 2, uk. 202, Hadithi na. 5185.

Page 25: Fimbo ya Musa

25

isipokuwa Hadithi alioisikia kutoka kwa wapokezi dhaifu,74

na Hadithi yao

hapa ni mu‟an‟an.

Na akaipokea tena Al-Bayhaqi katika Al-Asmaau wa Al-Sifaat, lakini ni

ndoto na ndani yake kaonekana Mungu naye ana nywele nyingi, sura ya

kijana, kavaa nguo ya kijani na kavaa viatu vya dhahabu! Lakini katika

sanad yake kuna Ahmad bin „Issa Al-Misri naye pamoja na kuwa ni

mpokezi wa Al-Bukhari na Muslim, lakini Ibn Ma‟iin alikuwa akiapa:

“kwamba ni mwongo”. Anasema Sa‟iid bin „Amri Al-Barda‟i: “sijapata

kuwaona watu wa Misr wakitia shaka kwamba yeye!75

Na (baada ya kusema

hivyo) akaashiria ulimi wake kana kwamba anasema uwongo”.76

Na pia

yumo ndani yake „Umara bin „Amir, naye pia huitwa „Umara bin „Umair.

Anasema Al-Dhahabi katika Al-Mizan na Ibn Hajar katika Lisanu Al-Mizan:

ؼلخء حظ٠ ك٢ ـــــــــــل ٣ؼف حزوخ١ ك٢ ح٠ػخس ر ػ٤ ػ أ حطل٤ رلي٣غ ح٣ش

أخ ػخس ر ػخ ػ أ حطل٤ ك كي٣غ حإ٣ش هخ ٣غ ػخس ػ ــــػوخص ر كز

.……٣ـظ حخظ ك٤ ك٤لظؾ ر ٢ لـــخ ط ـــحطل٤ ا

Umara bin „Umair anasimulia kutoka kwa Ummu Al-Tufail Hadithi ya

kumuona Allah, hajulikani (ni nani). Kamtaja Al-Bukhari katika kitabu Al-

Dhu‟afaa (kitabu cha wapokezi dhaifu). Mwisho wa kunukuu (maneno ya

Al-Dhahabi).77

Na katika kitabu Al-Thiqat cha Ibn Hibbaan, jina lake ni

„Umara bin „Amir kutoka kwa Ummu Al-Tufail akataja Hadithi ya

kumuona Allah, akasema (Ibn Hibbaan): „ni Hadithi munkar, „Umara

hakupata kusikia Hadithi kutoka kwa Ummu Al-Tufail78

na kwa hakika

nimemtaja (katika Hadithi hio) ili mtu asije akadanganyika akaitolea

hoja..79

Hadithi hio pia imesimuliwa na Ibn Abi „Asim katika kitabu alichokiita Al-

Sunna, lakini katika sanad yake kuna Asbaat bin Nasr na Simaak bin Harb,

73

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 102, tarjama na. 199. Tabaqaatu Al-Mudallisin

uk. 32, tarjama na. 51. 74

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 6, uk. 357, tarjama na. 758. Anasema Al-Daraqutni:

“Jiepushe na ghushi ya Ibn Juraij; alikuwa haghushi ila kitu alichokisikia kutoka kwa

(mpokezi) aliyejeruhiwa (dhaifu)”. 75

- Kaishia kusema hivyo tu, kisha akaashiria kwa kidole chake mdomoni mwake, yaani ni

“mwongo”. 76

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 56, tarjama na. 115. 77

- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 4, uk. 97, tarjama na. 6028. 78

- Katika Lisanu Al-Mizan cha Ibn Hajar kopi nilionayo kuna makosa ya chapa:

imeandikwa: “Umara hakupata kusikia Hadithi kutoka kwa Ummu Al-Fadhl”, nayo kama

unavyoona ni makosa hata kwa mujibu wa mtiririko wa maneno. Nimekirejea Al-Thiqat cha

Ibn Hibbaan j. 5, uk. 245, nikajua kuwa sahihi ni hivyo nilivyoandika. 79

- Ibn Hajar Lisanu Al-Mizan j. 4, uk. 278, tarjama na. 793.

Page 26: Fimbo ya Musa

26

nao ni madhaifu.80

Na akaisimulia tena kwa sanad nyengine, lakini ndani

yake yuko Salam bin Ja‟afar Al-Bakraawi, „Abbaas Al-„Ambari na Ibn

Shaahiin wamemkubali lakini Al-Azdi anasema: “matruk (Hadithi zake

zinaachwa)”. Na Hadithi yenyewe ina maneno munkar. Na akaipokea kwa

sanad nyengine lakini ndani yake kuna Muhammad bin „Amri bin Abi

Salama ambaye tumemuelezea kabla.

Hadithi hio imesimuliwa pia na Al-Lalakaai katika Sharhu Usuli I‟itiqaadi

Ahli Al-Sunna, kama inavyofuata:

ــــأهزخ لي ر أكي ر ، هخ : أهزخ أكي ر ؿؼل ر لي ر ، هخ : ػخ ػ

لي ر ػ٠٤ حـ١ ، هخ : ػخ أر ر ر لي ر خت ، هخ : هض لر٢ ػزي هللا:ــــــر

٤ــــليح أ ر؟ كوخ : ا٠ كي٣غ حلػ ػ ٣خى ر حل ذ : أ ــــــا٠ أ١ ٢ء ط

«حز٢ ٠ هللا ػ٤ ر روز أ» زخ هخ : ـــػ أر٢ حؼخ٤ش ػ حر ػ

Katwambia Muhammad bin Ahmad bin Sahl, kasema katwambia Ahmad

bin Ja‟afar bin Muhammad bin Salam kasema katuhadithia „Umar bin

Muhammad bin „Issa Al-Jawhari kasema katuhadithia Abu Bakr bin

Muhammad bin Hani kasema: „nilimwambia Abu Abdillahi (Al-Imamu

Ahmad bin Hanbal): „je wewe rai yako ni nini: kwamba Muhammad

kamuona Mola wake?‟ akasema: „mimi nakwenda na Hadithi ya Al-

A‟amash kutoka kwa Ziyad bin Al-Husain kutoka kwa Abu Al-„Aliya

kutoka kwa Ibn „Abbaas kasema: „Mtume (s.a.w.) kamuona Mola wake

kwa moyo wake‟.81

Lakini – kama unavyoona – riwaya hii inasema kuwa kamuona kwa moyo

wake,82

na kilicho sahihi ni kuwa kuona kwa mayo maana yake ni ma‟arifa

(kujua). Wala si kama alivyosema Ibn Hajar kwamba kujua tangu zamani

alikuwa akimjua Allah, kwa hivyo kuona huku ni kuona kwa kweli! Hilo si

sahihi, kwani yakini inazidi kwa kuzidi sababu zake; yakini tutayoipata

huko akhera au kuanzia kwenye mauti ni kubwa zaidi kuliko hii tulio nayo

leo, ndio maana mauti yenyewe katika Qur-ani yakaitwa yakini;83

na ndio

maana Ibrahim akamuomba Allah amuoneshe wafu wanavyofufuliwa, si

kwamba alikuwa haamini, lakini “ili moyo wake upate kutulia” kwa kupata

yakini zaidi. Lakini kwa hali yoyote ile, sanad ya riwaya hii pia si

madhubuti. Ahmad bin Ja‟afar bin Muhammad – dhahiri – ni yule

aliyemtaja Al-Hafidh katika Lisanu Al-Mizaan, naye dhahir – kama tarjama

80

- Hadithi hii tutaielezea huko mbele katika sehemu inayozungumzia Aya: “Macho

hayamfikii”, na tutatoa marejeo huko in shaa Allah. 81

- Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Al-Sunna j. 3, uk. 519, riwaya na. 916. 82

- Na hivi ndivyo alivyosimulia Muslim. 83

- Sura 15, Aya 99.

Page 27: Fimbo ya Musa

27

yake inavyoonesha – ni majhulul haal (hali yake haijulikani), hususan

ukizingatia kwamba Al-Khatib Al-Baghdadi kamtaja bila ya kumjeruhi wala

kumkubali.84

Pia yumo katika sanad hio „Umar bin Muhammad bin „Issa

Al-Jawhari, Al-Sadhaabi, naye ni mwenye kusimulia Hadithi munkar na za

kutunga.85

Hio ni sanad iliotuchukua mpaka kwa Al-Imamu Ahmad. Ama

Al-Imamu Ahmad mwenyewe, yeye katoa ushahidi kwa riwaya mu‟an‟ana

ya Al-A‟amash, na Al-A‟amash ni kigogo katika vigogo vya kughushi, na

kwa hivyo, riwaya mu‟an‟ana kutoka kwake haikubaliki.86

Kwa hali yoyote

ile, riwaya ya kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa moyo wake,

kaipokea Muslim pia kutoka kwa Ibn Abbaas, lakini hii bila shaka yoyote

ina hali tatu au moja katika tatu:

1) Ama iwe kuona kwa moyo ni kwa maana ya maarifa, kama

tulivyotangulia kueleza. Na hii ndio maana iliodhahir zaidi.

2) Ama iwe Ibn Abbaas kategemea riwaya za Ahlu-Kitab. Na riwaya

zao hazikubaliki zikienda kinyume na Qur-an na Sunna. Na Qur-ani

imeshasema kuwa: “Macho hayamfikii”, au “Uoni haumfikii”, na

Sunna ikasema: “Nilichokiona ni nuru”.

3) Au iwe kategemea ufahamu wake wa Aya isemayo: ىا مذب اهفؤاد ىا.(moyo haukukadhibisha yale alioyaona) رأ

87 Yaani yeye labda

kakufasiri kuona huko kuwa ni kuona kwa moyo, kwa maana

kwamba moyo ndio uliomuona Allah.88

Lakini ikiwa yeye kafasiri

hivi, basi tafsiri hii itakuwa ni tafsiri yake iliogongana na tafsiri ya

Mtume (s.a.w.) iliomo katika riwaya ya „Aisha kwamba kuona huko

ni kumuona Jibril.

84

- Ibn Hajar Lisanu Al-Mizan j. 1, uk. 144, tarjama na. 461. 85

- Ibn Hajar Lisanu Al-Mizan j. 4, uk. 325, tarjama na. 820. 86

- Tazama habari za Al-A‟amash katika Ibn Hajar Taqrib uk. 254, tarjama ya 2615,

Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk. 195, tarjama ya 386. Anasema Wahb bin Zam‟a Al-Mar-

wazi: “nimemsikia Ibn Mubarak anasema: „hakika wamezifisidi Hadithi za watu wa Al-

Kufa Abu Is-haq (Al-Sabi‟i) na Al-A‟amash wenu.” Na akasema: “Nimemsikia Mughirah

anasema: „Amewaangamiza watu wa Al-Kufa Abu Is-haq na Al-A‟amash wenu huyu”.

Anasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “Hadithi za Al-A‟amash zinagongana”. Anasema

Al-Dhahabi: “naye anaghushi, na huenda akaghushi kutoka kwa watu dhaifu”. Anasema

Ibn Al-Madini: “Al-A‟amash alikuwa akikosea sana katika Hadithi za hawa (wapokezi)

dhaifu.” Tazama Al-Dhahabi Al-Mizan j. 2, uk. 414, tarjama ya 3517. 87

- Sura 53, Aya 11. 88

- Kama ilivyo katika riwaya ya Al-Laalakai Sharhu Al-I‟itiqaad j. 3, uk. 518, riwaya na.

911. Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 2, uk. 353, Hadithi na. 926. Ibn Khuzaima Al-

Tawhid j. 1, uk. 295, Hadithi na. 283. Ibn Manda Al-Iman j. 2, uk. 759, Hadithi na. 754-

755-756. Muslim Sahihu Muslim Hadithi na. 285. Lakini riwaya nyengine za Muslim

zimebainisha kwamba makusudio ya Aya hio, ni kuwa Mtume (.a.w.) alimuona Jibril.

Hadithi na. 281.

Page 28: Fimbo ya Musa

28

Lakini kuhusiana na kuwepo kwa riwaya hio ya Ibn „Abbaas ambayo

imepingana na riwaya ya „Aisha, wenye itikadi ya kuwa Mtume (s.a.w.)

kamuona Allah wakaleta madai mengine hayana kichwa wala miguu.

Miongoni mwa madai ahayo ni:

1) „Aisha kakataa kuonekana kwa Allah, wakati Ibn „Abbaas

kathibitisha, na kuthibitisha kukigongana na kukataa

kunakotangulizwa ni kuthibitisha.

2) Ibn „Abbaas ni mjuzi zaidi kuliko „Aisha.

3) Haikuthibiti kuwa „Aisha kakataa kwani mpokezi kasema: “kutoka

kwa baadhi ya jamaa wa Abu Bakr” wala hakumtaja „Aisha!

4) Wakati Mtume (s.a.w.) alipokwenda miraji, „Aisha alikuwa bado

hajawa katika nyumba ya Mtume (s.a.w.), wala alikuwa bado

hajapambanua mambo hata akilisikia tukio; bali chenye uzito zaidi

ni kuwa alikuwa hajazaliwa kamwe.

5) Na kwa msingi huo, basi inawezekana kwamba „Aisha kayasema

hayo kwa ijtihadi yake!89

Lakini kama unavyoona kwamba madai hayo yote yanajibiwa na ukweli

kwamba riwaya ya „Aisha kaisimulia akiwa mtu mzima, na kasema kwamba

yeye kamuuliza Mtume (s.a.w.) na akamjibu hivyo; wakati Ibn „Abbaas

hakutegemea riwaya kutoka kwa Mtume (s.a.w.), bali alitegemea

alivyozifahamu yeye Aya, na ufahamu wake – tukijaalia kuwa riwaya za Ibn

„Abbaas ni sahihi90

– umekwenda kinyume na maelezo ya Mtume (s.a.w.).

Ama aliyedai kuwa haikuthibiti kuwa „Aisha kakataa kuwa Mtume (s.a.w.)

kamuona Allah, kwani mpokezi kasema: “kutoka kwa baadhi ya jamaa wa

Abu Bakr, wala hakumtaja „Aisha”! Ninasema: huyu labda kasoma usiku

kwa taa ya kibatari! Riwaya ya „Aisha iliomtaja kwa jina lake imejaa katika

vitabu vya Hadithi vinavyotegemewa tena hakuna khilafu juu ya usahihi

wake.91

Kwa hali yoyote ile iwayo:

1) Riwaya hio tulioinukuu mwisho hapo inazungumzia kumuona Allah

kwa moyo.

2) Riwaya hizo hata lau zitakuwa na sanad sahihi, basi haziwezi

kukubalika kwa sababu ya kugongana kwake na Qur-ani na Hadithi

sahihi zaidi.

89

- Nukta hizi tano utazipata katika maelezo ya kitabu Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2,

uk. 706-707. 90

- Nazidi kusisitiza kwamba mimi hapa najaalia tu, vyenginevyo siamini kabisa kwamba

Ibn Abbaas kasema kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa macho. Huu ni uzushi wa

wasimulizi wa riwaya. 91

- Tumeinukuu riwaya hio huko nyuma na tutainukuu tena huko mbele in shaa Allah

pamoja na kutoa marejeo.

Page 29: Fimbo ya Musa

29

3) Riwaya za Ibn „Abbaas zinaeleza kwamba yeye kasema hivyo kwa

kutegemea yeye mwenyewe alivyozifahamu Aya za Qur-ani.

4) Aya hizo Bibi „Aisha aliziulizia kwa Mtume (s.a.w.) mwenyewe, na

akajibiwa tafauti na ufahamu huo wa Ibn „Abbaas.

Na kwa hivyo, ndio maana Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya kuhusu suala

hili akasema kile tulichokinukuu kabla:

Ama Mtume (s.a.w.) kumuona Allah na kuvutana kwa „Aisha na Ibn

„Abbaas, hilo tumelieleza kwa urefu katika sehemu nyengine na

tumebainisha kwamba kilichothibiti kutoka kwa Ibn Abbaas kisha kutoka

kwa Al-Imamu Ahmad ni kitu kimoja nacho ni ama kulitumia neno kuona

moja kwa moja pasina kulifungamanisha na kitu; au kulitumia kwa

kulifungamanisha na moyo (yaani Mtume s.a.w. kamuona Allah kwa moyo

wake). Ama kulifungamanisha na macho, ilipopokewa kuwa Mtume

(s.a.w.) kamuona Allah kwa macho yake, lakini hilo halikuthibiti kutoka

kwa Ibn „Abbaas wala Ahmad na waliomfano wao.

Kwa hali yoyote ile iwayo, hio iliotangulia ni tafauti yao moja kuhusu

kuonekana kwa Allah, nayo ni tafauti yao kuhusu je Mtume (s.a.w.)

alimuona Mola wake au hakumuona, nayo tafauti hio ndani yake ina nukta

nyengine nyingi zenye mvutano.

PILI: jambo la pili lenye mvutano baina ya wenye itikadi ya kumuona

Allah lipo katika kauli kwamba Nabii Musa alikuwa akimuona Allah, lakini

alikuwa hajui kuwa ndiye Yeye!92

Ibn Batta – Imamu wa Mawahabi – naye

ni mwenye kauli hii, lakini yeye riwaya yake inabainisha kuwa Nabii Musa

baada ya kumuona Allah juu ya mti alimjua kuwa Yeye ni Allah!93

Kauli

hio pia imenukuliwa kutoka kwa Abu Bakr Al-Tayyib. Anasema Abu

Hayyan:

٤ حال أ هللا كي ػػ٤خ ر ٠ ػ حوخ٢ أر٢ ر ر حط٤ذ : أ ٠ ك٠

خ ؼوخ أ حـز أ ر كي خ ى ه

Na „Iyaadh bin Musa kasimulia kutoka kwa Al-Qadhi Abu Bakr Al-Tayyib

kwamba Musa (a.s.) alimuona Allah na kwa hivyo alianguka akazimia, na

kwamba mlima pia ulimuona Mola wake na kwa hivyo ulivurugika…94

92

- Tazama Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟aani j. 9, uk. 52. Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 5,

uk. 307, lakini yeye kawanukuu wenye kusema kuwa Musa alikuwa akimuona Allah pasina

kusema: “lakini alikuwa hajui kwamba aliyemuona ndiye Yeye”. 93

- Tazama Ibn Hajar Lisanu Al-Mizan j. 4 uk. 112-115. 94

- Tazama Abu Hayyaan Al-Bahru Al-Muhit j. 4, uk. 387.

Page 30: Fimbo ya Musa

30

Na kuna kauli pia kwamba mlima ulimuona Allah, kama ulivyoona maneno

ya Abu Bakr Al-Tayyib yaliotangulia ambayo tumeyanukuu kutoka kwa

Abu Hayyaan! Wanasema „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani:

ا ٤ ؼ٠ حظـ٢ ـز أ ظ رؼيخ خ لـرخ ػ، ر ا هن ك٤ حل٤خس حإ٣ش

كآ

Hakika maana ya kuwa Yeye aliudhihirikia mlima si maana yake kwamba

aliudhihirikia baada ya kuwa kajificha kutokana na huo mlima; bali maana

yake ni kuwa aliumba uhai ndani yake (huo mlima) na akaumba uwezo wa

kuona basi ukamuona..!95

Dhahir ni kuwa Ibn Al-Qayyim naye ni miongoni mwa wenye kauli hio,

kwani anasema katika kitabu Hadidi Al-Ar-waah:

حلىش ــــ أر٤ـــح ـــ )ر ـز ؿؼ ىخ كخ طـ٠(حؿ حخى ه زلخ طؼخ٠

خى ل ػحد ل ـــ ؿـــح إ٣ظ طزخى طؼخ٠ كب اح ؿخ ح ٣ظـ٠ ـز ح١ ـــــػ٠ ؿ

٣ ـــــحظ ٣ــــ٢ ىح ــــ٤ ك٤ق ٣ظغ أ ٣ظـىألز٤خث أ٤خث كــــوخد ػــــػ

ل كؤػ زلخ

Njia ya sita (yenye kuthibitisha kuwa Allah ataonekana) ni kauli yake

Allah aliposema: “Na Mola wake alipoudhihirikia mlima aliujaalia

ukavurugika”, na huu ni ushahidi wa wazi juu ya kujuzu kumuona Allah

Mtukufu, kwani ikiwa imejuzu Yeye kuudhihirikia mlima (ukamuona) nao

ni kitu kisicho na uhai wala hakipati thawabu wala adhabu, basi vipi

itazuilika asijidhihirishe kwa Manabii wake, na Mijumbe wake na Mawalii

wake huko kwenye nyumba ya kukirimiwa kwao na akawaonesha nafsi

yake….96

Sawa Imamu Shamsu Al-Din! Lakini nijuavyo mimi ni kuwa kanuni za

tafsiri zinaeleza kuwa qiyas hakitumiki katika itikadi, na kwa hivyo, hata lau

kweli mlima ulimuona kama utongoavyo weye – na hilo si kweli – basi hilo

lisingelifaa kufanyiwa qiyas, bali lingewachwa hapo hapo mlimani, hadi

papatikane andiko jengine la kumuingiza binadamu. Lakini hatimae, nasi

twasema kwamba yote hayo ni kinyume na Aya ambayo Allah alimjibu

Musa kwa kumwambia: “hutoniona”, na Aya: “uoni haumfikii”, kwani

Aya hio: “uoni haumfikii”, imetumia neno absar kumaanisha “uoni”, nalo

95

- „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 664. 96

- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 211.

Page 31: Fimbo ya Musa

31

neno hilo kama linavyobeba maana ya chombo cha kuonea (yaani jicho)

ndivyo linavyobeba maana ya nguvu ya kuonea (yaani uoni). Na hii ina

maana kwamba uoni wa aina yoyote ule, basi Yeye haumfikii, ni sawa tu

ukiwa uoni huo ni uoni wa jicho, au wa kiungo chengine au uoni wa chenye

uhai kama mtu au wa kisicho na uhai kama mlima – vyote hivyo vinaingia

katika maana ya neno absaar (uoni).

TATU: Watetezi wa itikadi ya kumuona Allah wametafautina tena kuhusu

Waumini wa kawaida: je nao pia wanaweza kumuona Allah! Wako

waliosema: “ndio”: Allah anaonakana pia na watu wema. Miongoni mwa

walionukuliwa wakisema hivyo ni Al-Taftaazaani.97

Anasema Al-Imamu

Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir: “Na wala hakuna aliyesema kuwa

kuonekana kwa Allah kumetokea hapa duniani isipokuwa wale Masufi

waliochupa mipaka”. Na mfano wake ni kauli ya Ibn Taymiyya aliposema:

kauli ya pili ni kauli ya baadhi ya mutakallimin

98 na baadhi ya wajinga wa

Kisufi kwamba (Allah) anaonekana duniani. Na hilo kalitaja Abu Talib Al-

Maki kutoka kwa baadhi ya Masufi na akawarudi, halkadhalika Al-Ash‟ari

kalisimulia hilo kutoka kwa kundi kubwa miongoni mwao (Masufi).99

Lakini „Abdul-Karim na Al-Kaylani wamenukuu maneno ya mwenye kitabu

Al-Siraj akisema:

kinyume na asiyekuwa yeye (asiyekuwa Mtume Muhammad s.a.w.)

miongoni mwa mawalii, hakika yao wanapolitumia – kwa ajili ya nafsi zao

– neno kumuona (Allah) na kumshuhudia pasina kulifungamanisha, basi

wanakusudia kujua…100

Ninasema: wala hakuna mgongano baina ya maelezo haya na yale

tulioyanukuu kutoka kwa Sheikh Al-Khalili na Ibn Taymiyya, kwani huyu

yeye anasema: “wanapolitumia neno kumuona (Allah) na kumshuhudia

pasina kulifungamanisha (na kitu)”, wakati dhahir ya Ibn Taymiyya na Al-

Khalili wanazungumzia kwamba baadhi ya Masufi husema kwa uwazi juu

ya kumuona Allah kwa macho. Lakini je kauli ya haki ni kuwa mtu wa

kawaida naye anaweza kumuona Allah au kauli ya haki ni kinyume ya

hivyo? Nadhani hili ni miongoni mwa yasiostahiki kujibiwa. Na kwa hivyo,

Ibn Taymiyya anasema:

97 - Al-Laalakaai Sharhu I‟itiqadi Ahli Al-Sunna j. 1, uk. 153.

98 - Wenye kuzungumzia mambo ya tawhid na itikadi kwa hoja za kiakili.

99 - Ibn Taymiyya Bughyatu Al-Murtaad uk. 472.

100 - „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 705.

Page 32: Fimbo ya Musa

32

ح خ هغ ـخػش حظوي٤ حظؤه٣ ؿ٢ ل كظ٠ أع خ ٣يػ٤ ئلء

حظ حال ح٣ ٣ـ إ٣ش هللا ك٢ حـش ٤ حؼكش رخش ــــخ ػي أ

ـــــأ ل ٣وغ؟ ك ٣ ك٢ هػخ ك٢ حي٤خ ه٤ خ ٣ؼك ر ٣وغ ك٢ حي٤خ

ح ـــش حش حـخػش ظلو ػ٠ أ هللا ل ٣ـــــ ٣و ٣ـ ي . ح ال كب أث

..… هخش . ـأكي رؼ٤ ك٢ حي٤خ ٣ظخػح ال ك٢ ز٤خ ٠ هللا ػ٤

Na haya ni miongoni mwa yaliowatokea kundi kubwa miongoni mwa

waliotangulia na waliokuja baadae, nalo ni kosa safi hadi yakafikia yale

wanayoyadai hawa kusababisha shaka kwa watu wa rai na kalam101

ambao

wanajuzisha kuonekana kwa Allah kwa ujumla. Na wala (watu hao)

hawana maarifa ya Sunna ambayo kwayo wanajua kwamba je (kuonekana

kwa Allah) kutatokea duniani au hakutokei? Basi miongoni mwao wako

ambao wanataja kauli mbili (kuhusiana na) kutokea (kuonekana kwa

Allah) duniani, na miongoni mwao wako wanaosema kuwa hilo (la

kumuona Allah duniani) linajuzu. Na huu wote ni upotovu, kwani

Maimamu wa Sunna na Jamaa wamekubaliana kwamba hakuna yoyote

yule atayemuona Allah kwa macho yake hapa duniani. Na wala (Maimamu

wa Sunna na Jamaa) hawakutafautiana isipokuwa kuhusu Mtume wetu

(s.a.w.) peke yake (je kamuona Allah au hakumuona)…..102

Lakini tukirudi katika maneno ya Ibn Taymiyya aliponena: “kwani

Maimamu wa Sunna na Jamaa wamekubaliana kwamba hakuna yoyote yule

atayemuona au aliyemuona Allah kwa macho yake hapa duniani”, tunakuta

kuna aina fulani ya kujigonga au ya propaganda zake za kawaida, kwani Ibn

Batta ni katika Maimamu Muhimu wa Sunna kwa Ibn Taymiyya na

Mawahabi, lakini pamoja na hayo yeye anaamini kuwa Nabii Musa

alimuona Allah juu ya mti! Bali kile alichokinukuu Ibn Taymiyya

mwenyewe katika sehemu hio hio kinamrudi. Kasema:

ؿي ـــــئلء ٣و ا ٠ آ ا حـز خ كـخر كخ ؿؼ حـز ىخ آ ح ٣

ك٢ ال أر٢ ١خذ ل

Na hawa miongoni mwao wako wenye kusema kuwa Musa alimuona

(Allah) na kwamba mlima ndio uliokuwa pazia lake, basi (Allah)

alipouvuruga (Musa) alimuona (Allah). Na haya yanapatikana katika

maelezo ya Abu Talib na walio mfano wake.103

Abu Talib huyu – dhahiri – ni Abu Talib Al-„Ushaari, naye ni mmoja wa

Maimamu watangulizi wa Mujassima,104

halkadhalika Ibn Batta. Sasa vipi

tena Ibn Taymiyya adai kuwa “na wala (Maimamu wa Sunna na Jamaa)

101 - Wenye kuzungumzia mambo ya itikadi na tawhidi kwa hoja za kiakili.

102 - Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 5, uk. 307-308.

103 - Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 5, uk. 307.

104 - Kama Ibn Taymiyya, Ibn Al-Qayyim na vijukuu vyao vya Kiwahabi.

Page 33: Fimbo ya Musa

33

hawakutafautiana isipokuwa kuhusu Mtume wetu (s.a.w.) peke yake (je

kamuona Allah au hakumuona)?” Lakini ikiwa watu hao wamekuwa na

itikadi hio nao ni viongozi watangulizi wa Kihanbali/Kiwahabi, suali la

kujiuliza ni kuwa je wao wataendelea kuwa Waislamu au watakuwa

wameshakufuru kwani mmoja ya viongozi wakuu wa Kihanbali/Kiwahabi

anena hivi: ػ أ ٣ ر ك٢ ىح حي٤خ؛ ك خك رخلل ػ ؿ

Na atayedai kuwa anamuona Mola wake duniani, basi huyo ni kafiri.

105

Na bila shaka yoyote ile, hakuna tafauti baina ya mwenye itikadi ya kuwa

“fulani kanmuona Mungu” na mwenye kusema: “miye nnamuona Mungu”:

wote wamethibitisha kitu kimoja – kuonekana kwa Mungu duniani.

NNE: ni kuwa je huko akhera ataonekana na Waumini tu au na wanafiki na

makafiri washirikina pia nao watamuona. Wengine wanasema: “makafiri na

wanafiki hawamuoni”. Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:

ل٤ق ــــؼ٤ق حـــخكوح حلش ح ــــأخ حلخ كال ٣ زلخ طؼخ٠ ه٤ ٣ح

حش أ حخكو٤ ل ٣ خ ل ٣ح رخه٢ حلخ رخطلخم حؼخء أـــــح١ ػ٤ ؿ

Ama makafiri wao hawatomuona Allah Mtukufu, na ikasemwa kuwa

watamuona wanafiki wa umma huu, nayo ni kauli dhaifu, na kilicho sahihi

ni kile walichokisema jumhur ya Ahlu Al-Sunna kwamba wanafiki

hawatomuona kama vile ambavyo makafiri hawatomuona kwa

makubaliano ya wanavyuoni.106

Hivyo ndivyo alivyotongoa Al-Imamu Al-Nawawi, lakini katika kudai

kwamba wanavyuoni wamekubaliana kwamba makafiri hawatomuona

Allah, kuna walakini, kwani mbali na kuwa kunagongana na dalili

walioitegemea, basi pia kunagongana na hali halisi ilivyo. Na kwa hivyo,

Ibn Al-Qayyim katika kitabu chake Haadi Al-Ar-waah kataja kauli tatu,

anasema:

٤خش ر ــ٢ ػخص حوــــؼخ٠ كـــكوي ىض حلكخى٣غ حل٤لش ح٣لش ػ٠ أ حخكو٤ ٣ ط

٣ذ ا خء هللاـــحو٤خش ٤ ري ػ هخ ك٢ حل٤ل٤ كي٣غ حظـ٢ ٣ ـحلخ أ٠٣خ

حؼخ٢ ٣ح ـــــ ل ٣ح ال حئأهح ل حش حكيخ أ ؼشــــــطؼخ٠ ك٢ حؤش ػال

حـــــــــذ ػ حلخ كال ٣ رؼي ي حؼخغ ٣ـــــؿ٤غ أ حهق ئ خك ػ ٣لظ

كي ٢ للخرأ حلهح حؼالػش ك٢ ذحلخ حخكو ى

105

- Al-Barbahari Sharhu Al-Sunna uk. 76. 106

- Al-Nawawi Sharhu Sahihi Muslim j. 3, uk. 441, sherehe ya Hadithi na. 1432.

Page 34: Fimbo ya Musa

34 Basi kwa hakika Hadithi sahihi za wazi zimeonesha kwamba wanafiki

watamuona Allah Mtukufu kwenye uwanja wa kiama bali hata makafiri

washirikina (kama Mayahudi na Wakiristo) nao pia (watamuona) kama

ilivyopokelewa katika Sahihi mbili (Sahihu Al-Bukhari na Sahihu Muslim),

katika ile Hadithi ya kujidhihirisha kwa Allah siku ya kiama na itakupitia

karibu in shaa Allah. Na katika mas-ala haya kuna kauli tatu za Ahlu Al-

Sunna: ya kwanza ni kuwa hawatomuona isipokuwa Waumini tu; ya pili ni

kuwa watamuona watu wote wa kisimamo (cha kiama) Waumini na

makafiri kisha atajificha kutokana na makafiri: hawatomuona (tena) baada

ya hapo; na ya tatu ni kuwa watamuona wanafiki pasina na makafiri

washirikina. Na kauli tatu hizo zimo (pia) katika madhehebu ya (Al-

Imamu) Ahmad nazo ndio kauli za wafuasi wake.107

Huo ni mgongano mwengine wa wazi uliomo si katika madhehebu tafauti

zenye itikadi ya kumuona Allah, bali pia ni mgongano uliomo katika

madhehebu moja yenye itikadi hio. Na mgongano huo umezaliwa na

mgongano wa itikadi na riwaya: itikidi ni kuwa kumuona Allah ndio malipo

bora yao kuliko yote, na kwa msingi huu huwezi kudai kuwa wanafiki na

makafiri watamuona; lakini riwaya – kama alivyotongoa Ibn Al-Qayyim –

zanena kinagaubaga kwamba makafiri na wanafiki pia watamuona! Suali:

kipi kitachowazuia hawa wasiingie peponi baada ya kuwa wameshajipatia

neema kubwa yao kuliko zote?! Hilo ni suali la kimaumbile kabisa. Je kuna

jawabu? Naam! Jawabu ipo. Ibn Khuzaima ajibu hivi:

ظ ك٢ ؿ ر ػ ؿ ١ــ رخــــف طـــــ كــــ٣ش حظلخ ل إ٣ش ٣ح رؼ إ

٣و هللا ػ ؿ أ ل٣ظ حئ٤ رخظ ا٠ ؿ ظ …… ..…حـال حإلح

كف ط

Watamuona baadhi yao kumuona kwa mtihani: si kumuona kwa kufurahi

na kusikia ladha katika kuutazama uso wa Mola wao Mtukufu Mwenye

utukufu na heshima. Na Allah atawahusisha watu wema tu miongoni mwa

Waumini kwa kuutazama uso wake mtazamo wa furaha na kujisikia

ladha!108

Lakini – kama unavyoona – maneno hayo ni maneno matupu: hayana dalili

ya mbali wala ya karibu, bali kilicho sahihi ni kusema kuwa Hadithi hio

walioitegemea imejigonga ikimaanisha kuwa hio ni Hadithi ya kutunga.

Kisha tazama wanavyomfanya Allah kuwa ni kitu kizuri cha kujistareheshea

kama vile senema! Anasema: “Na Allah atawahusisha watu wema tu

miongoni mwa Waumini kwa kuutazama uso wake mtazamo wa furaha na

kujisikia ladha”! Na Ibn Taymiyya naye akasema hivyo hivyo. Anasema:

107

- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 211-212. 108

- Ibn Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 20.

Page 35: Fimbo ya Musa

35

أ حال ــش ـــ ١خثلــحل حؼخ٢ : حؼ٤ ك٢ حيح ح٥هس أ٠٣خ ؼ حظ ا٤ ل خ ٣ػ

ي ، رـــف لــــل أ ل ؼ٤ ل س ال رخوم : حؤ حد ح

زلخ طؼخ٠ حس حؼ٤ حظخ ك٢ كظ حوخن

Msingi wa pili: neema za peponi pia kama vile kumtazama Yeye (Allah),

si kama linavyodai kundi la watu wa ilmu al-kalaam na waliomfano wao

kwamba hakuna neema wala ladha isipokuwa (mtu ajistareheshe) kwa

vilivyoumbwa tu kama vile kula, kunywa na wanawake na yalio mfano wa

hayo. (Sio hivyo) bali ladha (ya kweli kweli) na neema kamili iko katika

fungu lao (la kumtazama) Muumba (wao) Mtukufu….109

Na Ibn Al-Qayyim naye atongoa hivi:

…………………ك٤خ س حلرخ ا ٢ أهزض ... ٣خ س حلخع ك٤ ط

E utamu ulioje wa macho wakati (macho) yatapomuelekea**Na utamu wa

masikio ulioje wakati ataposema (nao)………………

طح اح أريص ك ؿخ ... ٣ ر هز حخ ٣ؼ

Macho yatamuona yatapoudhihirisha110

uzuri wa uso wake**Atastarehe111

kwa huo (uso) kabla ya maingiliano na atafurahi.112

Baada ya hayo, sasa naturudi katika kauli tatu za Ahlu Al-Sunna kuhusu

kuonekana kwa Allah huko akhera. Katika kitabu chake Al-Haqqu Al-

Daamigh, Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir, alilizungumzia

suala hili la kuwepo kwa mgongano huo tulioutaja, akasema:

ظ٠ ٣ ، كز٤خ ــــ ــــحوخث رإ٣ظ ك٢ ح٥هس ٠طر ي لهظالك ك٢ ٣

هللا رخ ػ٤ ٣ظ٠خء ؼخ ـــــؼش ٣ــحإ٣ش هخش رخئ٤ ا ٢ ؤـــأؼ ٣و ر

٣ػ ا٠ حلظيلؼ٤ حـش ظ٢٠ أ ـــػ٤خ رلي٣غ )ظ ر( غ أ ٣و ، ـي

٤خ لـــر حخكو ٣خ ك ٤،ـــحإ٣ش ظ ك٢ حهق ، أخ ؿ٤ هخش رخئ

..)ؿ٤حظ٢ ٣ؼك ســـــ ) طزو٠ حلش ك٤خ خكوخ ك٤ؤط٤ هللا طؼخ٠ ك٢

Na wenye kusema kuwa Allah ataonekana huko akhera, wanagongana vile

vile kwa kutafautiana kwao juu ya nani wataomuona na wakati gani

watamuona. Wakati wengi wao wanasema kuwa kumuona Allah ni

mahususi kwa Waumini kwani hio ni neema ambayo Allah atawaneemesha

109

- Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 1, uk. 35. 110

- Kwa maana: “yatapodhihirikiwa na uzuri wa uso wake”. 111

- Atastarehe yaani huyo mwenye kumuona Allah! 112

- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 10. Sijui je kasida hii ni utunzi wa Ibn Al-

Qayyim au yeye ananukuu tu.

Page 36: Fimbo ya Musa

36 nayo inanywea mbele yake neema ya pepo, basi tunawakuta wanakimbilia

kutoa ushahidi kwa Hadithi isemayo: “mutamuona Mola wenu”, pamoja na

kuwa Hadithi hii inamaanisha kuwa kuona huku kutakuwa katika

kisimamo na kwamba si mahususi kwa Waumini, bali na wanafiki pia

watashirikiana nao katika hilo, kwani miongoni mwa maneno yake

(Hadithi hio) ni: “na utabakia umma huu ndani yake kuna wanafiki wake,

atawajia Allah kwa sura pasina ile wanayoijua”………113

Kisha Sheikh akaendelea kutoa maelezo hadi akafikia kusema:

طؼخ٠ ٣ حو٤خش، ــكوي ىض حلكخى٣غ حل٤لش ػ٠ أ حخكو٤ ٣ : هخ حر حو٤

ك٢ كي٣غ حظـ٢ ٣ حو٤خش ، ػ هخ : ك٢ حؤش ػالػش أهح ر حلخ أ٠٣خ خ

: ل حش

.أكيخ : أ ل ٣ح ال حئ

.حهق ئ خك ، ػ ٣لظـذ ػ حلخ كال ٣ رؼي يحؼخ٢ : ٣ح ؿ٤غ أـ

. حؼخغ : ٣ح حخكوـ ى حلخ ، حلهح حؼالػش ك٢ ذ أكي ٢ للخر

ز ــــط٠خد أهح ؼزظ٢ حإ٣ش ك٢ حو٤٠ش كظ٠ أ ٣ -أ٣خ حوخة ح٣ -ح ط

حذ ظزخ٣ش ، خ٤ي ري خيح ى٤ال ػ٠ ؼق ا٠ اخ حكي أثظ أهحل ظؼخش

ظ ـــف كــــــظ ح حلهظالف ــــحوخػيس حظ٢ أح ػ٤خ ؼظوي ، ال كب حلن ل ٣ل

لم ــــــز كظـــأ ح ح٢١ ظو٤خ كخطزؼ ل طظزؼح ح ) : حظوخش لـظ يم هللا

).ر ػ ز٤

Na akasema Ibn Al-Qayyim: „kwa hakika Hadithi sahihi za wazi

zimeonesha kwamba wanafiki watamuona Allah Mtukufu kwenye uwanja

wa kiama bali hata makafiri washirikina (kama Mayahudi na Makiristo)

nao pia (watamuona) kama ilivyopokelewa katika Sahihi mbili (Sahihu Al-

Bukhari na Sahihu Muslim), katika ile Hadithi ya kujidhihirisha kwa Allah

siku ya kiama‟. Kisha Ibn Al-Qayyim akasema: Na katika mas-ala haya

kuna kauli tatu za Ahlu Al-Sunna:

Mosi: ni kuwa hawatomuona isipokuwa Waumini tu.

113

- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 29.

Page 37: Fimbo ya Musa

37 Pili: ni kuwa watamuona watu wote wa kisimamo (cha kiama) Waumini na

makafiri kisha atajificha kutokana na makafiri: hawatomuona (tena) baada

ya hapo.

Tatu: ni kuwa watamuona wanafiki pasina na makafiri washirikina. Na

kauli tatu hizo zimo (pia) katika madhehebu ya (Al-Imamu) Ahmad nazo

ndio kauli za wafuasi wake.114

Hayo ni maelezo ya Ibn Al-Qayyim na mfano wake ni maneno ya Ibn

Khuzaima katika kitabu chake alichokiita Al-Tawhid na Al-Fakhru Al-Razi

akakiita Kitabu Al-Shirk, anasema:

٣ظ ا٤ ؿ٤غ حئ٤ ٣ حو٤خ ر كخؿ ا ؿضر خد حز٤خ أ هللا ػ ؿ

.……أف حـ٤ش حؼطش حس لخص هخوخ ؿ

Mlango wa kutaja ubainisho kwamba Allah Mtukufu wanamtazama

Waumini wote siku ya kiama, wema na waovu hata zikiramba mchanga

pua115

za Al-Jahmiyya wenye kuzikataa, wenye kuzipinga sifa za Muumba

wetu.116

Kisha akasema:

ـأ ؿ٤غ أش حز٢ ٠ هللا ػ٤ ر كخؿ ئ خكو رؼ ر خد حز٤خ

٣ هللا ػ ؿ ٣ حو٤خش. ظخدــــأ ح

Mlango wa kutaja ubainisho kwamba umma mzima wa Mtume (s.a.w.),

wema, waovu, wanafiki na baadhi ya Ahlu Al-Kitab, (wote hao)

watamuona Allah Mtukufu siku ya kiama.117

Hivyo ndivyo walivyosema Maimamu hao, na hivyo ndivyo Sheikh Al-

Khalili alivyowanukuu, kama ulivyojionea mwenyewe. Lakini mmoja wa

waandishi wa Kiwahabi aitwae Dr. Ali Al-Faqihi akataka kuuficha ukweli

na – kama kawaida yake – akataka kuwadanganya watu. Anasema akijibu

maelezo hayo ya Sheikh Al-Khalili:

د وخة ح٣ أ ح حلـــــــــأخ خ حىػخ ػ٠ حؼزظ٤ إ٣ش حطحد، ك٤ظ٠ق

ــــخطخص، ح٣ ل ٣ظــــلخد حـــــــ أد طزؼ أ ؼ حئقــــــــــــح١ حطز

114

- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 211-212. Na katika kopi aliotumia Sheikh Al-

Khalili ni uk. 264. 115

- Hata wakidhalilika. 116

- Ibn Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 406. 117

- K.h.j. uk. 420.

Page 38: Fimbo ya Musa

38

وـــخ ٣ـــــل ٣ظ رخلخش حإلخف، ك٤ حظخد حش ك٢ اػزخص ػوخثي.ـــــر

كخئق .…........…ك٤خ أحء٣ظزؼ ٣وخل ك٢ ػوخثي حظ٢ـــــــ ــــػ ؿ٤

٤ش حظ٢ ك٤خ حوالف ر٤ــــ ك٢ حو٠ــــحو٢٤ أه ؿث٤ش ك٢ ع حإ٣ش، ٤ض ٢ حل

٤،ـــز٤ ػـــخطش حوخة، حظــ ــ أؿـــخ ـــــحق حوخل٤ ، ػ ٣ى حىى ػ٤

ك٤خ. حـخػش أ ٠طر ٣ذ ل حش

Ama kile alichokidai (Al-Khalili) dhidi ya wenye kuamini kumuona Allah

kwamba wamegongana, basi hilo litambainikia msomaji kwamba njia hii

alioifuata mwandishi huyu (Al-Khalili) ni njia ya wale aliowafuata katika

watu wa dhana za makosa na ambao hawafuati maandiko ya Qur-ani na

Sunna katika kuthibitisha itikadi zao. Wala hawatekelezi amana na

hawafanyi uadilifu katika yale wanayoyanukuu kutoka kwa wengine katika

wale wanaotafautiana nao katika itikadi zao ambazo wanafuata ndani yake

matamanio ya nafsi zao. Mwandishi Al-Khalili kachukua sehemu ndogo

katika maudhui ya kumuona Allah ambayo kwa asili si sehemu yenye

tafauti katika suala hili baina ya Al-Salaf na wenye kwenda kinyume

nao,118

kisha baada ya hapo anawarudi ili kuwakoseza wasomaji na

kuwachanganya, kisha anawanasibishia Ahlu Al-Sunna kwamba

wanajigonga ndani yake…119

Ndugu msomaji! Kama ulivyojionea katika juzuu ya kwanza ya kitabu chetu

hiki jinsi Dr. Ali Al-Faqihi huyu alivyokuwa mwongo mkubwa asiye na

haya– sema hivyo kwa mdomo mpana wala usimuogope isipokuwa Allah –

unajionea hapa jinsi anavyokikanusha kitu kilichopo mbele ya macho yake.

Sheikh Al-Khalili anazungumzia juu ya kugongana kwa kauli za wenye

kuamini kuonekana kwa Allah huko akhera. Kasema: حوخث رإ٣ظ ك٢ ح٥هس

,na wenye kusema kuwa Allah ataonekana huko akhera“ ٠طر ي

wanagongana vile vile”. Kisha akanukuu maneno ya wanavyuoni tafauti

akiwemo Ibn Al-Qayyim ambaye maneno yake yamenukuliwa na Sheikh

Al-Khalili kwa herufi zake moja moja bila kuongeza wala kupunguza hata

herufi moja. Maneno hayo ni kama ulivyoona kwamba Ibn Al-Qayyim

kasema:

٤غ ـــــح ل ٣ح ال حئ حؼخ٢ ٣ح ؿ هح ل حش حكيخأ ؼشــــــك٢ حؤش ػال

ح ــــــ رؼي ي حؼخغ ٣ــلخ كال ٣ـــ حـــذ ػــــهق ئ خك ػ ٣لظــــــأ ح

118

- Eti Mawahabi waliozaliwa juzi na Imamu wao aliyeishi karne ya saba ndio wafuasi wa

Al-Salaf; Ibadhi – kwa mfano – ambao Imamu wao kaishi na Masahaba wakubwa na

kusoma kwao wao ndio wenye kuwapinga Al-Salaf! Hizi ndio propaganda za Kiwahabi,

zimewapoteza wengi wasio na elimu. 119

- Al-Faqihi Al-Raddu Al-Qawim j. 1, uk. 52.

Page 39: Fimbo ya Musa

39

ح حؼالػش ك٢ ذ حكي ٢ للخرـــــــــــحخكو ى حلخ حله

Na katika mas-ala haya kuna kauli tatu za Ahlu Al-Sunna: ya kwanza ni

kuwa hawatomuona isipokuwa Waumini tu; ya pili ni kuwa watamuona

watu wote wa kisimamo (cha kiama) Waumini na makafiri kisha atajificha

kutokana na makafiri: hawatomuona (tena) baada ya hapo; na ya tatu ni

kuwa watamuona wanafiki pasina na makafiri washirikina. Na kauli tatu

hizo zimo (pia) katika madhehebu ya (Al-Imamu) Ahmad nazo ndizo kauli

za wafuasi wake.120

Haya! Kuna tafauti gani baina ya aliyoyasema Sheikh Al-Khalili pamoja na

kumnukuu Ibn Al-Qayyim na hayo yaliomo katika kitabu cha Ibn Al-

Qayyim na wengine. Sheikh anazungumzia kwamba wenye itikadi ya

kumuona Allah akhera:

1) Wanagongana.

2) Wana kauli tatu.

3) Wengine wanasema ataonekana na Waumini tu.

4) Wengine wanasema ataonekana na watu wote.

5) Wengine wanasema ataonekana na wanafiki tu pasina makafiri. Sasa tumuulize Al-Faqihi: je huu ni uwongo? Basi maimamu wako – akiwemo Ibn

Al-Qayyim – ndio waliousema uwongo huo.

Kisha baada ya hapo Al-Faqihi akasema:

٤خ ــك حؤش ل هالفـــــــــ «.إ٣ش حئ٤ ر ك٢ ؿخص حؼ٤» كخؤش خ ٢

اػزخطخـ٤ؼخ ػ٠ ه حكي ك٤خ ـــــ ؿــــــــــحد، ل أهح ظؼيىس، ر حئــــطـل ح

حظخد حش ـــخ ىص رخ ح

Mas-ala hapa ni haya: “Waumini kumuona Mola wao katika pepo ya

neema”. Hili halina tafauti ndani yake wala halina kugongana wala halina

kauli tafauti, bali Waumini wote wanafuata kauli moja ndani yake nayo ni

kuthibitishi (kumuona Allah) kama maandiko yalivyopokewa katika Qur-

ani na Sunna! 121

Nadhani ndugu msomaji unazidi kujionea jinsi Al-Faqihi anavyopotoa

maudhui baada ya kujua kwamba hana jawabu sahihi juu ya yale alioyasema

120

- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 211-212. 121

- Al-Faqihi Al-Raddu Al-Qawim j. 1, uk. 52.

Page 40: Fimbo ya Musa

40

Sheikh Al-Khalili. Sheikh Al-Khalili anasema kuwa wenye itikadi ya

kumuona Allah huko akhera wamegongana juu ya nani atamuona na wakati

gani ataonekana, na mgongano huu – kama ulivyoona – kaunukuu kwa

herufi zake kutoka kwa Ibn Al-Qayyim; Al-Faqihi anasema kwamba

maneno hayo si kweli, na kwamba “Waumini wamekubaliana kwamba

Allah ataonekana peponi!” Na hapa kawazuga watu mara mbili:

1) Sheikh hakudai kuwa tafauti hio baina ya wenye itikadi ya kumuona

Allah ni kuhusu kumuona Allah peponi – Al-Faqihi analazimisha

suala la “kumuona Allah peponi”.

2) Al-Faqihi kasema uwongo – kama kawaida yake – kwamba

Waumini wamekubaliana juu ya itikadi yake hio. Na huo ni uwongo,

bali sahihi ni kuwa wenye itikadi ya kumuona Allah tu ndio

waliokubaliana kuwa peponi watamuona!

Ndugu Muislamu! Huu ni mfano mdogo tu wa uwongo wa Dr. Ali Al-

Faqihi, uwongo wake na ghushi zake ni nyingi, hazina kiasi. Huyu mtu ni

mwongo asiye na haya wala junaha wa Allahu Al-Musta‟aan!

TANO: wakatafautiana kuhusu je watapomuona Allah atakuwa yuko

upande maalumu au hatokuwa kabisa na kitu sehemu? Anasema Ibn Hajar:

إ٣ش حؼ٤ خ ك٢ ــــخ كوخ ه ٣ل حث٢ حؼ رخلل طؼخ٠ رػزض حإ٣ش ك٢ ؼخأحهظق

ــــ ػـــــحث٤خص ػ٠ كن ه ك٢ كي٣غ حزخد خ ط حو حل أ ــ ــــؿ٤

إ٣ش ـــهخ رؼ٠ .…….…رؼ٠ ح ححى رخإ٣ش حؼ هخ....……… حـش ح٤ل٤ش

ق حؼ ح أهد ا٠ ححد حلــــع ق ػ حل ح أط ححئ لل

Na wenye kusema kuwa Allah ataonekana wakatafautiana kuhusu maana

yake (Hadithi hio isemayo kuwa mutamuona Mola wenu kama

munavyouona mwezi). Baadhi yao wakasema kwamba muonaji atapata

elimu ya kumjua Allah Mtukufu kwa uoni wa jicho kama ilivyo katika

vyenye kuonekana vyengine, na hili limekubaliana na kauli yake katika

Hadithi ya mlango huu: “kama munavyouona mwezi” isipokuwa hatokuwa

na upande (sehemu) wala hatokuwa na namna.. na wengine wakasema

kwamba makusudio ya kuona ni kujua…….na wengine wakasema

kwamba uoni wa Muumini wa kumuona Allah ni aina ya ugunduzi na ujuzi

isipokuwa ni wenye kukamilika zaidi na ulio wazi zaidi kuliko elimu (hii

tulionayo), na (kauli) hii ndio ilio karibu zaidi na usahihi kuliko (kauli)

ya mwanzo.122

Anasema Ibn Bataal katika nukulu ya Ibn Hajar:

122

- Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 15, uk. 9250, maelezo ya Hadithi na. 7434 na zinazofuatia.

Tazama pia Abu Hayyaan Al-Bahru Al-Muhit j. 1, uk. 371, maelezo ya Aya ya 55 ya Sura

ya 2.

Page 41: Fimbo ya Musa

41

خل ك خ أ خ ؿ ز ل ٣ خ ش أ ظ ل ح خ ػ ز ض خ ش ك ٢ ا ػ ز خص ح ـ خك ٢ ل ط ؼ ن

Hakuna walichokamatana nacho Mujassima katika kuthibitisha kuwa

(Allah) ana sehemu kwa sababu ya kile kilichothibiti kuwa ni mustahili

kwa Allah kuwa ni kiwiliwili au kuwa kaingia katika sehemu…123

Hio ni kauli yao moja nayo ni kauli ya Al-Ash‟ariyya (asilimia kubwa ya Sunni).

Lakini – kama ulivyoona katika juzuu ya mwanzo ya kitabu hiki – Ibn Al-Qayyim

kawaita wenye kauli hio kuwa ni Makhanithi! Anasema:

وخرش ،ــــــ ل ــ ؿ٤ زخ٣ش ث٢ حزأخ وخ٤ؼ كظخه٠ح كوخح: ر ٣ز ٣

كخض كل )٣ؼ٢ حـ٤ش( أهد ا٠ حؼو.....

…Ama makhanithi wao (Masuni Al-Asha‟ira); wao wamejigonga

wakasema anaonekana pasina mwenye kuonekana kuwa mbali na mwenye

kuona wala kuelekeana naye, basi madume wao (yaani Jahmiyya)

wamekuwa karibu zaidi kwa akili….124

Anaendelea:

هي لي ؿ حؼوالء حوخث٤ رؤ حإ٣ش طل وخ٤ؼ ٣و رخإ٣ش ٣ حؼ

ؿ٤ حؿش ث٢ زخ٣ش

Na makhanithi wao wanakiri kuwa Allah ataonekana lakini wanakanusha

kuwa yuko juu (kweli kweli). Na kwa hakika jumhuri ya wenye kutumia

akili wamewacheka hawa wenye kusema kuwa kuona kutapatikana bila ya

kuelekeana na mwenye kuonekana na kupambanuka naye….125

Anasema Dr. Ahmad Nasir Alu Hamad:

ل٢ حإ٣ش غ ح ح ؼظش ه رل٢ حـش ػ هللا طؼخ٠ ٣ ل٢ حـش

Lakini wao, pamoja na haya, wamesalimu amri mbele ya Mu‟tazila kwa

kukataa kwao kuwa Allah ana upande (sehemu), na kukanusha kuwa Allah

ana upande kunalazimisha kukataa kuonekana kwake…126

Anasema Al-Hijri: “na yamekuja maelezo ya kukataa kuwepo kwa upande

na sehemu – ambayo Dr. Alu Hamad anayazingatia kuwa ndio vyenye

kupelekea katika kuona – katika maandishi ya Al-Nasafi,127

Isma‟il Al-

123 - Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 15, uk. 9258, maelezo ya Hadithi na. 7434 na zinazofuatia. 124

- Ibn Al-Qayyim Al-Sawaa‟iqu Al-Mursala j. 4, uk. 1334-1335. 125

- Ibn Al-Qayyim Mukhtasaru Al-Sawaa‟iqi Al-Mursala uk. 172. 126

- Dr. Ahmad Nasir Ru-uyatu Allahi Ta‟aala uk. 122. Nukulu kutoka katika kitabu Al-

Mizanu Al-Qist cha „Ali Al-Hijri uk. 262. 127

- Al-Nasafi Al-Tafsir j. 4, uk. 315.

Page 42: Fimbo ya Musa

42

Barusawi,128

Abu Su‟uud,129

Ibn „Ashur,130

Al-Sinadi, 131

Al-

Mubaarakfuri,132

Ibn Bataal133

na Al-Qadhi „Iyaadh.134

SITA: ni tafauti yao juu ya kiungo gani ambacho kwacho Allah ataoneka?

Anasema Ibn Taymiyya:

ش ـــــهخ هخث ح كل حلى ا هللا ل ٣ رخلرخ ٣ون خ ٣ حو٤خش كخ

……خىش ؿ٤ كحخ كي رخ يى خ رظي حلخش

Na wasemaji wengine – miongoni mwao ni Dhirar na Hafs Al-Fard –

wakasema kwamba Allah haonekani kwa macho lakini (atachokifanya)

siku ya kiama ni kuwa atatuumbia hisia ya sita135

pasina hisia zetu hizi,

basi tutamdiriki kwazo na tutamdiriki Yeye yukoje kwa hisia hio!136

Hio ni kauli moja. Lakini wakati hawa wanena hivyo, wengi wao wasema

kuwa watamuona Allah kwa macho haya yaliomo kichwani. Anasema Ibn

Al-Qayyim:

لل أرخ ط هللا ؿس ... كال ح٤٠ ٣ـخخ ل ٢ طؤ

Na Allah ana (waja wenye) macho ambayo yatamuona wazi

wazi***Hayana kupunjika kutakoyaingia wala hayachoki (kumtazama).137

Anasema Al-Barbahari:

حإل٣خ رخإ٣ش ٣ حو٤خش ٣ هللا ػ ؿ رؤػ٤ إ

Na (katika itikadi ya Ahlu Al-Sunna) ni kuamini kumuona Allah siku ya

kiama kwa macho ya kichwani mwao..138

128

- Al-Barusi Ruhu Al-Bayaan j. 10, uk. 250. 129

- Abu Su‟uud Al-Tafsir j. 6, uk. 337. 130

- Ibn „Ashur Al-Tahriru wa Al-Tanwiir j. 6, uk. 252. 131

- Al-Sindi Al-Hashiya Alaa Sahihi Al-Bukhari j. 4, uk 287. 132

- Al-Mubaarakfuri Tuhfatu Al-Ahwadhi j. 7, uk. 233-234. 133

- Ibn Battaal kanukuliwa na Ibn Hajar katika Fat-hu Al-Bari j. 15, uk. 395. 134

- Tazama „Ali Al-Hijri Al-Mizanu Al-Qist uk. 263. 135

- Hisia ya sita leo imegunduliwa, labda hio itakuwa ni ya saba kama haikugunduliwa ya

saba kabla kiama. 136

- Ibn Taymiyya Bayanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 403. 137

- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 10. Kama nilivyosema sijui je kasida hii ni

utunzi wa Ibn Al-Qayyim au yeye ananukuu tu. 138

- Al-Barbahari Sharhu Al-Sunna uk. 63.

Page 43: Fimbo ya Musa

43

SABA: je wanawake nao watamuona au wao hawatomuona? Suala hili

kalinukuu Dr. Al-Tahhaan (Al-Mat-huun) katika muhadhara wake

aliouweka kufanya jaribio lenye kufeli la kutaka kuwajibi Ahlu Al-Haqqi

Wa Al-Istiqama juu ya suala la kuonekana kwa Allah. Na akanukuu maneno

ya Al-Imamu Al-Suyuti akisema: “wanawake hawatomuona”. Kisha Al-

Tahhaan akamkaripia Al-Suyuti kwa kusema hivyo, akimaanisha kuwa na

wanawake pia watamuona. Na hivyo, ndivyo alivyosema Ibn Taymiyya

katika Majmu‟a Al-Fatawa139

akifuatiwa na Abdul-Karim na Al-Kaylani

katika Sharhu Jawharati Al-Tawhid.140

Na kwa hivyo, mas-ala haya yana

kauli mbili – tafauti nyengine baina ya watetezi wa itikadi ya kumuona

Allah.141

NANE: je Allah anaonekana usingizini? Wengi wenye itikadi ya kumuona

Allah wanasema: “ndio”. Miongoni mwa hao ni Al-Alusi, bali yeye Al-

Alusi anasema kwamba kamuona Allah mara tatu usingizini!142

Na Ibn

Taymiyya akasema kuwa hio ndio kauli ya maulamaa wao na Al-Salaf

wote, bali – kama kawaida yake kuzua – akawazulia Masahaba pia kuwa

wanaitikadi hio.143

Na kwa ujumla ni kuwa hili ni suala ambalo

wametafautiana wenye itikadi ya kumuona Allah. Anasema Al-Shanqiti

baada ya maelezo:

٤ــكبح زخكغ حإ٣ش خ ػالػش أهخ: حو حل: حإ٣ش حله٣ش، خ أ ل هالف ر

ش.ــــ حــــالف ك٤خ لـــحو حؼخ٢: حإ٣ش ك٢ ح، خ حو اػزخطخ. حش ك٢أ

٠ هللا ػ٤ ر ٤ش حؼحؽ، خ حوالف ك٤خ ــحؤش حؼخؼش: إ٣ش ح

ل حش.

Na kwa hivyo, utafiti wa kuonekana kwa Allah hapa unagawika sehemu

tatu.144

Sehemu ya kwanza ni kuonekana huko akhera, na hili ndilo

tulilolielezea kwamba Ahlu Al-Sunna hawatafautiani katika kulithibitisha.

Sehemu ya pili: ni kumuona Allah usingizini. Na hili tumeeleza kwamba

Ahlu Al-Sunna wanatafautiana. Mas-ala ya tatu: ni suala la kuwa Mtume

(s.a.w.) kamuona Mola wake usiku wa miraji. Na hili tumeeleza kwamba

Ahlu Al-Sunna wanatafautiana.145

139

- J, 6, uk. 432. 140

- J. 2, uk. 696-697. 141

- Abdul-Rahim Al-Tahaan Muhadhara wake uliorikodiwa katika kaseti tatu alioutoa

Imarati. 142

- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟aani j. 9, uk. 52. 143

- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 402. J. 1, uk. 73. Majmu‟a Al-

Fatawa j. 2, uk. 212. 144

- Muhamad Hasan Al-Shanqiti Silsilatu Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 5, uk. 17. 145

- Muhammad Al-Hasan Al-Shanqiti Silsilatul Asmaai wa Al-Sifat uk. j. 5, uk. 17.

Page 44: Fimbo ya Musa

44

Anasema „Umar Al-„Id:

ض ــــــؤش: ٣ إ٣ش هللا خخ أ ل ٣ إ٣ظ خخ ؟ حـحد: حهظق حؼخء ك٤خ، ك٤

ـــرخزش لي ٠ هللا ػ٤ كوي ػزض أ أ ر ٠ هللا ػ٤ ٥كخى حخ، أخ

ل٤ق خخ ، هخ: ) أ٣ض ر٢ ك٢ أك س ( ح حلي٣غ ل٤ق، ح ليــــــــخ ك٢ ح

إ٣شـــــخء هخ: ا ٣ك حؼ ٠ هللا ػ٤ ، أخ خ ػيح كوالف ر٤ حؼخء ك٤.

هللا خخ

Mas-ala: je inawezekana kumuona Allah usingizini au haiwezekani

kumuona usingizini? Jawabu: wanavyuoni wametafautiana katika hilo: si

kwa mtu mmoja mmoja, ama kuhusu (Mtume) Muhammad (s.a.w.), yeye

imethibiti kuwa kamuona Mola wake kama ilivyo katika Al-Sahih,146

kasema: „nimemuona Mola wangu katika sura nzuri yao‟. Na Hadithi hii ni

sahihi. Huyu (Mtume) Muhammad (s.a.w.), ama asiyekuwa yeye kuna

tafauti za wanavyuoni. Miongoni mwao wako wale waliosema kuwa

inawezekana kumuona Allah usingizini.147

Bila kusahau kwamba asilimia kubwa ya wenye itikadi ya kumuona Allah

usingizini, wanasema kuwa yule uliyemuona si Allah mwenyewe, bali ni

mfano tu kwa kadiri ya imani ya mtu ilivyo, kama anavyoeleza Mzee wa

Uislamu148

na wengine katika vitabu vyao. Lakini wako wengine

wanaosema kwamba yule ni Allah mwenyewe!149

Hizo ni baadhi ya khilafu za wenye itikadi ya kumuona Allah kuhusu suala

hilo la kuonekana kwa Allah. Khilafu nyengine juu suala hilo kazitaja Ibn

Taymiyya, miongoni mwa hizo ni:

1) Je watamuona hali ya kuwa Yeye ni kiwiliwili chenye mipaka

kimewaelekea? Wengine wakasema “ndio”.150

Wengine – kama

inavyoeleweka – hawalikubali hilo.151

2) Je kumuona Allah kwa macho ni kumdiriki au ni kumuona tu pasina

kumdiriki – kauli mbili. 152

3) Je ataonekana waziwazi na kwa kumkabili. Wengine wakasema

“ndio”, wengine wakasema “sio”.153

146

- Sijui kakusudia Sahihi gani maana Hadithi hii haimo katika Sahihu Al-Bukhari wala

Sahihu Muslim! 147

- „Umar bin Su‟uud bin Fahd Al-„Id Shar-hu Laamiyyati Shaaikhil Islam Ibn Taymiyya j.

12, uk. 11. 148

- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 73. 149

- Tazama maelezo ya Khalid Al-Muslih Sharhu Lam‟atu Al-I‟itiqaad j. 7, uk. 16. 150

- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 403. 151

- Jumhuri ya Masuni hawakubaliani na hilo. 152

- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 403.

Page 45: Fimbo ya Musa

45

Sasa baada ya hayo, jiulize wewe: je mgongano huo unaashiria nini? Jawabu

ni kuwa: mgongano huo unaashiria kwamba wenye itikadi ya kumuona

Allah hawakukamatana na dalili sahihi katika Qur-ani na Sunna. Ama ni

kwa sababu dalili hizo zinapingwa na dalili zenye nguvu zaidi, jambo

ambalo liliwapelekea kutaka kuzifanyia ta-awili dalili zenye nguvu zaidi za

kutoonekana kwa Allah na badala yake kushikana na dalili dhaifu; au ni kwa

sababu dalili zao zenyewe zinagongana; au kwa sababu ya yote mawili.

ASILI YA UPOTOFU

Katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu nilisema haya yafuatayo:

Na chanzo cha kurudi nyuma umma wa Kiislamu ni kufisidika kwa itikadi

ya baadhi ya wafuasi wa Uislamu. Na hili alikwisha kulitabiri Mtume

(s.a.w.) aliposema maneno ambayo maana yake ni kuwa: „mutafuata nyayo

za waliokuwa kabla yenu mpaka lau kama watatumbukia katika shimo basi

mutatumbukia pamoja nao‟. Sasa ukirudi kutazama umma zilizopita

zilikuwa kila akiondoka Mtume wao basi baada ya muda hutokea watu

wakabadilisha mambo kidogo kidogo mpaka wakafikia ibada ya

masanamu. Na umma huu nao sasa umefika mbali katika kuitakidi mambo

ya upotovu. Na chanzo chake hasa ni itikadi mbili: moja ni kuamini kuwa

Mwenyezi Mungu ataonekana na la pili ni kuamini kuwa watu wataingia

motoni kwa kukoshwa dhambi zao tu: kisha wataingizwa katika pepo!

Lakini hili la kuwa watu wataingia motoni na kutoka hatutolizungumzia

humu: lina kitabu chake Mwenyezi Mungu akipenda. Lakini

nitakudokezea katika hili kitu kimoja halafu wewe iulize nafsi yako: ni kitu

gani kimewapelekea watu waseme maneno haya ambayo hayakubaliani na

utukufu wa Mwenyezi Mungu? Wenye kusema kuwa watu wataingia

motoni na kutoka wanasema hivi:

ي ٤ ػ ق و ٣ ي ػ ـ ٣ هللا

Mwenyezi Mungu anatekeleza ahadi yake njema, na anakwenda

kinyume na onyo lake!154

153

- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 403. Tanbihi: dhahir ni kuwa Ibn

Taymiyya anazinukuu kauli hizi kutoka katika kitabu Maqaalatu Al-Islamiyyiin cha Abu

Al-Hasan Al-Ash‟ari, lakini – kwa upande wa pili – naye ndio anazitolea hoja dhidi ya Al-

Fakhru Al-Razi. 154

- Sh. Salih bin „Abdil-„Aziz Itihaafu Al-Sail Bimaa Fii Al-Tahawiyya Minal Masail j. 42

uk. 16 (Al-Maktaba Al-Shamila), anasema Sheikh huyo:

…… ..ح هللا ل ٣ وق ػي، ن حؼ٤ رل٠ ..أخ ػ٤ي، كب ه ق ك٢ ك ي ٣ ظ و

Page 46: Fimbo ya Musa

46

Sasa sikiliza Mwenyezi Mungu mwenyewe anavyosema:

ح ظ ل ط و .ه خ ؼ ز ٤ي خ أ خ ر ظ ال ي ١ و ح خ ٣ ز ي ٤ي *** ػ ر خ ض ا ٤ ه ي ه ي ي ١

(Na) atasema (Mwenyezi Mungu) musigombane mbele yangu

na nilikwisha kukutangulizieni onyo (langu)**Kauli yangu

haibadilishwi kwangu na (wala) Mimi si mwenye

kuwadhulumu waja wangu.155

Hayo ndio nilioyanena katika kitabu Hoja Zenye Nguvu. Lakini Mafuta

akanijibu kama inavyofuata:

Ndugu Juma pia anadai kwamba miongoni mwa vyanzo vya upotevu ni

watu kuitakidi kuwa Allah ataonekana huko akhera kwa macho. Na

kadhalika kuitakidi kuwa waislamu waliomuasi Allah wataingia motoni

kisha watatolewa! Itikadi zote hizi ambazo ndugu Juma ameziita kuwa ni

vyanzo vya upotevu zimetajwa na Qur‟an na Sunna sahihi za Mtume –

swalla llaahu alayhi wasallam- na ndiyo itikadi ya Maswahaba wa Mtume

Muhammad –swalla llaahu alayhi wasallam- na wafuasi wao walio

wafuatia kwa wema.

Juma hakusema kwamba vyanzo vya upotevu ni:

Kutoshikamana na Qur‟an na Sunna,

Kumtii shetani na askari wake,

Kufuata matamanio ya nafsi,Ujinga,Kiburi,

Kufanya is‟rafu katika matumizi ya majazi ndani ya Qur‟an, na

kuzipotosha tafsiri za baadhi ya aya kwa madai kuwa kuna majazi.

Na nyinginezo miongoni mwa sababu zilizotajwa na Qur‟an au Sunna. Bali

yeye ameamua kutaja mambo hayo kuwa ndiyo vyanzo vya upotovu, na

hali ya kuwa yeye mwenyewe ana yakini kwamba hawezi kututhibitishia

kielimu kwamba itikadi hizo ni vyanzo vya upotevu kivipi?

Lakini ninazidi kuamini kuwa upofu ni upofu wa moyo ! Ee Mola wetu

tukinge na upofu wa macho na moyo –Aamin-.

Na kwa hivyo, Allah hendi kinyume na ahadi yake njema; ama ahadi yake mbaya (ya

kuwaadhibu watu) basi huenda akaenda kinyume nayo kwa mtu maalumu kwa sababu ya

fadhila zake na ukarimu wake! Jamani! Tazameni itikadi za watu hao! Ivo hawa wanafikiri

Allah asema uwongo?! Allah anachokisema ndio kakisema: hakuna makosa, wala

kigeugeu, wala uwongo wala kubadilisha usemi. 155

- Qur-an: 50, 28-29. Tazama Juma Al-Mazrui Hoja Zenye Nguvu uk. 17.

Page 47: Fimbo ya Musa

47 Ama kuhusu suala la majazi kuwepo kwake ndani ya Qur‟an au

kutokuwepo tutalitolea ufafanuzi kwa muhtasari katika sehemu hiyo

ifuatayo inshaallah:156

JAWABU NA MAELEZO

Kuhusu suala la majazi nimekujibu kwa urefu katika juzuu ya kwanza ya

kitabu hiki Fimbo Ya Musa, rejea huko ujikumbushe. Lakini kwa

mukhtasari ni kuwa je baadhi ya wanavyuoni wenu hawakusema kuwa:

1) Allah kamuumba Adam kwa sura yake? Na wengine wakazidisha:

“anafanana naye”?

2) Allah ana viungo vyote – taqriban – alivyonavyo binaadamu?

3) Allah atakwenda katika ardhi?

4) Daudi ataligusa goti la Allah?

5) Allah anaweka miguu yake juu ya kiti?

6) Kaegemeza mgongo wake kwenye mlima huku anaandika Taurati

kwa mkono wake?

Na mengi mengineo ambayo tumeyaeleza katika juzuu ya kwanza na

ambayo hatukuyaeleza. Sasa jiulize wewe nini chanzo cha kutumbukia

katika upotovu huo? Jawabu iko wazi kwamba, asili ya upotovu huo ni:

a) Kukanusha kwao kuwepo kwa majazi.

b) Kutegemea Hadithi Ahadi katika mambo ya itikadi. Hili tutalieleza

kwa urefu katika sehemu yake in shaa Allah.

Ama suali kwamba je itikadi ya kutoka motoni ni katika jumla ya sababu

zilizowapelekea watu kuingia katika upotovu? Hilo maelezo yake yatakuja

katika juzuu ya tatu ya kitabu hiki in shaa Allah.

Ama kuhusu je itikadi ya kumuona Allah ni katika jumla ya sababu

zilizowapelekea watu kuingia katika upotovu? Jawabu “ndio”, hio ni moja

ya sababu kuu za upotovu wa itikadi tafauti mbovu zilizozaliwa na itikadi

hio. Bila shaka ukiwa umeusoma na kuuzingatia utangulizi huu na ukawa

umeufahamu vyema basi huwezi kuukana ukweli huo. Chukua mifano

ifuatayo:

Mosi: Ibn Batta anasema:

Nabii Musa (a.s.) alimkuta mtu juu ya mti kavaa vazi la sufi na viatu vya

ngozi ya punda akasema naye (yaani yule mtu akasema na Nabii Musa a.s).

156

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 37-38.

Page 48: Fimbo ya Musa

48 Nabii Musa (a.s.) akasema: „Ni Muibrania gani huyu anayesema na mimi?‟

Yule mtu akajibu: “Mimi ni Mungu‟. 157

Suali: je kama si itikadi yake ya kuwa Allah anaonekana angeliweza

kuutamka upotovu huo?

Pili: Al-Alusi anasema:

Na wametaja baadhi yao kwamba Nabii Musa (a.s.) alikuwa anamuona

Mwenyezi Mungu Mtukufu, lakini alikuwa hajui kuwa aliyemuona ndiye

Yeye (Mwenyezi Mungu). Na kwa namna hii zinafasirika baadhi ya riwaya

zilizopondwa (yaani zilizokataliwa na baadhi yao, zenye kusema kuwa):

س ٢ ك هللا ض ٣ أ خد ز ح ٠ ؼ ر ٢ ك __ ذ ال ؼ __ س خى ٣ خ

Nimemuona Mola wangu katika sura ya kijana….na katika riwaya

nyengine kuna ziada (inayosema kwamba)….naye (Mwenyezi Mungu) ana

viatu viwili vya dhahabu!

Basi yatakaposihi (yatakapokuwa sahihi) yaliyosemwa na Mashekhe na

yalivyofahamisha maneno ya Al-Suyuti, mimi, namshukuru Mwenyezi

Mungu, nimemuona Mola wangu usingizini mara tatu. Na ilikuwa mara ya

tatu mwaka 1246 A.H. Nimemuona Mola Mtukufu naye ana nuru

anaelekea upande wa mashariki, akanisemesha maneno nimeyasahau

nilipoamka!158

Suali: je kama si itikadi yake kuwa Allah anaonekana angeliweza kuutamka

upotovu huo? Wapi kasikia kuwa:

a) Nabii Musa alimuona Allah, ilhali Qur-ani imesema kwa uwazi

kuwa hakumuona?

b) Mungu ana sura---ya kijana---avaa viatu?

Na ni kitu gani kilichomfanya kuiamini ndoto yake ya kuwa kamuona Allah

na akaamini kuwa Yeye ndiye Allah kama si itikadi yake ya kumuona Allah

aliokuwa nayo kabla ya kuota ndoto hio?

Tatu: wamesema baadhi yao: “mlima ulikuwa ukimuona Allah”. Suali: je

kama si itikadi ya kuwa Allah anaonekana wangeliweza kuutamka upotovu

huu?

Nne: “Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa macho yake”. Na wenye kauli hii

si wawili watatu katika umma huu bali ni wengi mno. Suali: je huku si

157

- Tazama Lisanu Al-Mizan cha Ibn Hajar j. 4 uk. 112-115. 158

- Al-Alusi Ruh Al-Maani j. 9 uk. 52.

Page 49: Fimbo ya Musa

49

kupotea? Na je kama si itikadi yao ya kuwa Allah anaonekana wangeliweza

kuutamka upotovu huu?

Tano: Miongoni mwa itikadi za wenye kumuona Allah – kwa mujibu wa

riwaya zao – ni kuwa “Allah atawajia watu kwa sura iliotafauti na ile

waliomuona mwanzo!”. Suali: mwanzo walimuona wapi? Katika riwaya ya

pili: “Allah atawajia watu kwa sura ilio ndogo na ile waliomuona mwanzo!”

Kwa hivyo, Mwenyezi Mungu abadilika! Mwenyezi Mungu ana sura kubwa

na ndogo?

Sita: Riwaya ya Kiwahabi inasema: “Mungu atakuwa katika daraja ya nne

katika daraja za jahannam” katika riwaya nyengine: “Allah yuko mbele na

viumbe wako nyuma wanamfuata mpaka wavuuke katika sirat!” Je kama si

itikadi yao ya kuwa watamuona Allah wangeliweza kuutamka upotovu huu?

Bwana Mafuta! Tazama jinsi itikadi ya kumuona Allah ilivyozaa silsila za

itikadi potofu!

Saba: anasema Ibn Taymiyya:

هللا ــــ أ ـــ٣ـ خ ػ٠ طغ ػس وخش كوخ هخثـــحهظلح ك٢ إ٣ش هللا طؼخ٠ رخإلر

خ أ ٣ رؼ وخ ك٢ حطهخص رخإلرخ ك٢ حي٤خ

Na (wenye itikadi ya kumuona Allah) wakatafautiana katika kumuona

Allah kwa macho kwa kauli kumi na tisa. Wengine wakasema inajuzu

kumuona Allah kwa macho hapa duniani, wala hatukanushi kwamba Yeye

ni baadhi ya tunaowakuta njiani (yaani Allah ni baadhi ya hawa watu

tunaowaona)!159

Sheikh Kasim upo? Watu wanaamini kuwa inawezekana ikawa hawa

tunaopigana nao vikumbo ndio Allah mwenyewe! Je huu si upotovu ni kitu

gani? Na je kama si itikadi yao kuwa Allah anaonekana wangeliweza

kuutamka upotovu huu?

Anaendelea Ibn Taymiyya:

أؿخ رؼ٠ ػ٤ حل ك٢ حلؿخ ألخد حل اح أح اخخ ٣ظل ٣يح ؼ

ا ك٤

Na wengine (katika hao wenye itikadi ya kumuona Allah) wakajuzisha

kuwa inamfalia (Allah) kuwa aingie katika viwiliwili, na watu wenye

itikadi hio ya kuwa Allah anaingia katika viumbe, basi wakimuona mtu

159

- Ibn Taymiyya Bayaanu Al-Talbis j. 1, uk. 402.

Page 50: Fimbo ya Musa

50 wanamtukuza kwani wao hawajui labda Mola wao yumo humo (ndani ya

mtu)!160

Sheikh sikiliza vyombo hivyo vilivyotokana na itikadi ya “tutamuolya161

Mungu!” Anaendelea Ibn Taymiyya kuwaelezea baadhi ya wenye itikadi ya

kumuona Allah, anasema:

٤ــأؿخ ؼ٤ أؿخ إ٣ظ ك٢ حي٤خ خكلظ الظ حط ا٣خ هخح ا حو

ـــــــــحي٤خ ح٥هس ا أحىح ي ك٢ ي ػ ألخد ٠ ك٢ ػ ٢ـــ٣ؼخو ك

خــــــــخح ٣و ا هللا طؼخ٠ ٣ ػ٠ هي حلػخ ك ــــألخد ػزيححكي ر ٣ي أ

ػ أك٠ آ أك

Na wengi katika wale waliojuzisha kumuona Allah katika dunia, basi

walijuzisha kwamba inajuzu kupeyana naye mikono na kugusana naye na

kutembeleana naye, na wakasema hakika ya wenye ikhlas basi

wanakumbatiana naye hapa duniani na akhera ikiwa watayataka hayo.

Hayo yamesimuliwa kutoka kwa wafuasi wa Mudhar na Kahmas na

yakasimuliwa kutoka kwa wafuasi wa „Abdil-Wahid bin Zaid kwamba

walikuwa wakisema: „hakika Allah Mtukufu anaonekana kwa kadiri ya

matendo, yule ambaye matendo yake ni bora zaidi basi naye humuona

Allah vizuri zaidi.162

Bwan-Kasimu wasikia mambo ayo? Mungu apeyana mikono na watu,

atembeleana nao, akumbatiana nao! Anaendelea Ibn Taymiyya kwa kusema:

هخض حز٣ش ا هللا ٣ون س ٣ حو٤خش ٣ ك٤خ ٣ هو خ

Na Al-Bakriyya wakasema: „Allah (siku ya kiama) ataumba sura

ataonekana ndani yake na atazungumza na viumbe kutoka katika sura

hio….163

Anaendelea Ibn Taymiyya kwa kusema:

حهظلح أ٠٣خ ك٢ د آه كوخ هخث ؿخ ليىح وخرال خ ك٢ خ ى خ

Na wakatafautiana vile vile katika aina nyengine, wakasema baadhi yao

kuwa tutamuona (Allah) hali ya kuwa ni kiwiliwili chenye mipaka

kimetuelekea katika baadhi ya sehemu pasina na sehemu nyengine!164

160 - K.h.j.

161 - Kuola au kuolya ni neno la Kipemba na maana yake ni kutazama. Lakini kuola

limesarifiwa kutokana na neno kuona; na kuona chimbuko lake ni neno la Kiarabu ػخ٣

„Ayana, na maana yake ni kuona kwa macho. 162

- K.h.j. 163

- K.h.j. uk. 403.

Page 51: Fimbo ya Musa

51

Je bwana Mafuta weye wakubaliana nayo hayo? Je huu si upotovu? Na nini

chanzo cha upotovu huo? Yalio katika vitabu vya makala na itikadi ni

mengi mno, lakini nadhani haya machache yanatosha kukujuilisha ukweli

tuliotangulia kuusema kwamba itikadi ya kumuona Allah imezaa itikadi

nyingi nyengine potofu na imewapoteza watu wengi.

Juma Muhammad Rashid Al-Mazrui

Tarehe: 18/Shaaban/1433

Sawa na: 8/7/2012.

164

- K.h.j. uk. 403.

Page 52: Fimbo ya Musa

52

SURA YA KWANZA UCHAMBUZI YAKINIFU JUU

YA ELIMU YA HADITHI

Sura ya kwanza ya kitabu Hoja Zenye Nguvu cha ndugu yetu Sheikh Kasim

Mafuta, ilikuwa na kichwa cha habari chenye kusema: “VIPI

TUTAMFAHAMU MOLA WETU NA WAPI TUICHUKUE IMANI YA

DINI YETU?”. Katika sehemu hio yenye kichwa hicho cha habari, Sheikh

Kasim alizungumzia mambo mawili muhimu:

1) Waislamu wengi hawajui vipi watamjua Mola wao, na kwamba njia

ya kumjua Mola wao ni kufahamu vile namna alivyojieleza Yeye

mwenyewe katika Qur-ani na kuelezwa na Mtume wake (s.a.w.)

katika Sunna zake. Makusudio ya maneno hayo ni kuwa iliposemwa,

kwa mfano, kuwa: “Mungu atatia mguu wake kwenye jahannam”

basi na sisi tuseme hivyo hivyo, yaani tuseme kuwa “Mungu ana

mguu wa kweli” na tuseme “Mungu atatia mguu wake kwenye

jahannam” tusilete ta-awil (interpretation) zetu, tukasema kwamba:

“Hapa haujakusudiwa mguu kweli” au “Hatotia mguu wake kweli

kweli katika jahannam”. Halkadhalika iliposemwa: “Mkono wa

Allah uko juu ya mikono yao”,165

basi na sisi tuthibitishe kuwa

Allah ana mkono wa kweli. Hili tumelizungumzia kwa urefu katika

juzuu ya kwanza ya kitabu hiki, na kwa ufupi ni kuwa madai yao

hayo yanawabomokea kwa Aya kadha wa kadha na Hadithi kadha

wa kadha ambapo tumeona kwamba haiwezekani kuzipitisha Aya

hizo na Hadithi hizo katika maana yake ya udhahiri. Kwa mfano,

Allah anasema: “Kila kitu kitaangamia isipokuwa uso

wake”166

….. “Popote utapoelekea kuna uso wa Allah”167

…..

“Naye (Allah) yuko pamoja nanyi popote pale mulipo”,168

na Aya

nyengine nyingi. Je Aya hizi Sheikh Kasim na watu wa skuli yake

wanazichukua kama zilivyo au wanazifanyia ta-awil

(interpretation)? Kama wanazifanyia ta-awil (interpretation), basi

yako wapi tena yale madai yao kwamba: “sisi tunasema vile vile

alivyosema Allah, bila ya ta-awil wala ta‟atil…”. Halkadhalika

Hadithi kama: “…(Mimi Allah) ninakuwa ndio masikio yao

165

- Sura 48, Aya 10. 166

- Sura 28, Aya 88. 167

- Sura 2, Aya 115. 168

- Sura 57, Aya 4.

Page 53: Fimbo ya Musa

53

wanayosikia kwayo; na mimi ninakuwa ndio macho yao

wanayoonea…”.. Na Hadithi: “Mimi (Allah) ndiye dahari” na

Hadithi: “Atayenijia anakwenda (kwa miguu mwendo wa kawaida)

mimi namjia hali ya kuwa ninakwenda mbio…”. Je katika Hadithi

hizi pia tusilete ta-awil?! Hayo tumeshayabainisha kwa urefu katika

juzuu ya kwanza, hatuna haja ya kuyakariri, hapa tunakumbushana

tu.

2) Jambo la pili lililomo katika sura hio ya mwanzo ya kitabu cha

ndugu yetu Sheikh Kasim Mafuta ni kuhimiza kuwafuata Al-Salaf

Al-Salih (Watangulizi wema) hususan Masahaba (r.a.). Hili nalo

tumelieleza katika juzuu ya pili ya kitabu hiki.169

Ama katika sura ya pili ya kitabu cha Sheikh Kasim, maudhui ilikuwa ni

suala la elimu ya Hadithi. Naye, baada ya kuweka kichwa cha habari hicho

hicho ambacho nimekiweka katika sura hii, alianza maneno yake kwa

kusema:

Kabla ya kuanza kuzitaja hoja na dalili wanazozitegemea Ahli sunna wal-

Jamaa juu ya kuonekana Allah kwa macho huko akhera, kwanza napenda

kuzungumzia suala linalofungamana na elimu ya istilahi ya upokezi wa

riwaya za hadithi za bwana Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- na

suala hili litakuwa katika nukta zifuatazo:

i) Kwanza, tufahamu kuwa mafundisho yote ya bwana Mtume - swalla

llaahu alayhi wasallam- ni wah‟yi (ufunuo) utokao kwa Allah, na

Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- hazungumzi kwa matashi wala

matamanio ya nafsi yake.

ii) Pili, mafundisho yote ya Mtume wetu Muhammad -swalla llaahu

alayhi wasallam- yamehifadhiwa katika vitabu vya maulamaa wa Ahlu

Sunna wal-Jamaa kwa ufanisi mkubwa mno kiasi ambacho hakuna

jambo lolote linalohitajika kubainisha itikadi au hukumu ya mambo ya

dini ya kiislamu isipokuwa jambo hilo limedhibitiwa kwa ufanisi wa

hali ya juu. iii) Tatu, katika kuhakikisha kuwa mafundisho hayo sahihi

ya dini ya kiislamu yanahifadhiwa na hayachanganyiki na upotofu

wowote, maulamaa wa Ahli Sunna wal Jamaa wameweka misingi

madhubuti juu ya usahihi wa mapokezi hayo ya riwaya za hadithi za

bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- na ukweli wa wapokezi

hao kama tulivyofundishwa na Qur‟an tukufu pale aliposema Allah:

ن ر ك خ خء ؿ ح ا آ ٣ خ ح ح٣ خ أ ٣ ز ب ك ظ ز ٤

169

- Juzuu ya pili na ya tatu nimezianza lakini sijazikamilisha: kwanza nimeona bora

kuikamilisha hii kwani ndio yenye kuhusiana na mjadala wetu wa asili.

Page 54: Fimbo ya Musa

54

Enyi mlioamini ! akikujilieni mwovu (fasiki) na

habari yoyote basi ichunguzeni.170

Kwa mujibu wa aya hii ni kwamba, si kila asemaye; amesema Mtume -

swalla llaahu alayhi wasallam- atakuwa msemaji huyo ni mkweli, na

atakayo yanukuu yatakuwa ni kweli maneno ya Mtume, bali ni lazima

uchunguzi wa kina ufanyike ili kujua usahihi wa habari hiyo aliyoileta na

udhaifu wake. Kwa sababu hiyo, maulamaa wa hadithi baada ya kufanya

utafiti wa kina pamoja na kutumia uzoefu wao wa muda mrefu, wakaweka

misingi madhubuti inayowahusu wapokezi wa hadithi. Pia wakaweka

kanuni maalumu kwa ajili ya udhibiti wa njia sahihi za kukubaliwa hadithi

na kurudishwa. Na pia yakatumika maneno ya kiistalahi ambayo yanaleta

maana maalumu na hayo yamejaa kwa wingi katika vitabu vyao. Kwa

mantiki hiyo, yoyote anayetaka kuzungumzia masuala yanayofungamana

na elimu ya hadithi; usahihi wake na udhaifu wake, hana budi kuzijua

kanuni hizo na maneno hayo ya kiistilahi. Na kama hatafanya hivyo, basi

lililobora kwake ni kunyamaza kuliko kusema, kwa sababu hatima yake ni

kupotosha watu kwa kuzisahihisha hadithi zisizo sahihi au kuzidhoofisha

hadithi zilizo sahihi na yote mawili ni balaa, hasa ukizingatia kwamba

maneno ya Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam- ni

sheria.171

KUYAJADILI MAELEZO HAYO YA MAFUTA

Kwa upande wangu, nitakuwa na maoni fulani juu ya maelezo hayo ya

Sheikh Kasim bin Mafuta. Kifungu (i) cha maneno yake, hakina tatizo

lolote na tunakubaliana 100%, ingawa tunaweza kutafautiana kuhusu je

Hadithi fulani ni kweli inatoka kwa Mtume (s.a.w.) au kasingiziwa tu?

Lakini tuna mtazamo tafauti kuhusu kifungu (ii), kisemacho:

Pili, mafundisho yote ya Mtume wetu Muhammad -swalla llaahu alayhi

wasallam- yamehifadhiwa katika vitabu vya maulamaa wa Ahlu Sunna

wal-Jamaa kwa ufanisi mkubwa mno kiasi ambacho hakuna jambo lolote

linalohitajika kubainisha itikadi au hukumu ya mambo ya dini ya kiislamu

isipokuwa jambo hilo limedhibitiwa kwa ufanisi wa hali ya juu.

Maneno haya yangelikuwa sahihi lau hao Ahlu Sunna wenyewe

walikubaliana juu ya usahihi wa riwaya za itikadi, na nyenginezo, zilizomo

katika vitabu vyao. Lakini Ahlu Sunna wote tangu zamani hadi leo hii

wanatafautina sana juu ya riwaya nyingi za itikadi hata zile zilizomo katika

170

- al Hujraat (49) aya 6. 171

- Kasim Mafuta, Hoja Zenye Nguvu uk. 6-7.

Page 55: Fimbo ya Musa

55

vitabu bora vyao kama vile Sahihu Al-Bukhari na Sahihu Muslim. Sasa

kama maulamaa wa Ahlu Sunna wanatafautiana tena sana kiasi cha

kukafirishana, basi vipi tena idaiwe kwamba mafundisho yote ya Mtume

(s.a.w.) yamehifadhiwa katika vitabu vyao kwa ufanisi mkubwa? Na

utakumbuka kwamba chanzo cha tafauti zao hizo mara nyingi ni tafauti zao

katika kuzisahihisha baadhi ya Hadithi hizo na kuzidhoofisha.

Pili ni kuwa, kama tunavyojua sote, katika vitabu vyote vya Ahlu Sunna vya

riwaya za Hadithi hakuna vitabu bora kuliko Sahihu Al-Bukhari na Sahihu

Muslim, na pamoja na yote hayo ndani yake ziko Hadithi dhaifu bali na

maudhui (za kutunga). Sasa huo ufanisi wa hali ya juu unaoudai ewe Sheikh

Kasim uko wapi?

Tatu: ni kuwa wanavyuoni wa Ahlu Sunna kama wanavyotafautiana katika

ufahamu wa mutun za Hadithi, vivyohivyo ndivyo wanavyotafautiana katika

kuwadhoofisha na kuwasahihisha baadhi ya wapokezi. Huenda wakati

mwengine mpokezi sahihi kwa Ibn Ma‟iin akawa ni dhaifu kwa Al-Imamu

Ahmad bin Hanbal; mpokezi sahihi kwa Al-Imamu Al-Shafi ni dhaifu kwa

Al-Bukhari, na bila shaka tafauti hii katika minhaj (methodology) ya

wapokezi inapelekea kutafautiana katika kuzikubali na kuzikataa baadhi ya

Hadithi. Na kwa ufupi ni kuwa ni vigumu kukuta itikadi ambayo, Ahlu

Sunna wote wamekubaliana isipokuwa kukubaliana kwao katika zile itikadi

za misingi mikuu ya itikadi ambayo umma umekubaliana. Kilichopo ni

kuwa kuna vifungu vya itikadi ambavyo, jumhur ya Masuni

wamekubaliana: ama kukubaliana kwa wote katika vipengele vyote vya

itikadi – ukitoa zile nguzo kuu zenye makubaliano ya umma – basi jambo

hilo ikiwa litakuwepo basi ni katika mas-ala machache mno. Tutataja

baadae nani na nani katika Ahlu Sunna hawakukubaliana na itikadi ya

kuonekana kwa Allah. Sasa, baada ya hayo, wacha nikubainishie kwa

ushahidi kidogo kuhusu nukta (points) zilizomo katika maelezo yangu haya.

Page 56: Fimbo ya Musa

56

KUTAFAUTIANA KWA AHLU SUNNA

KATIKA RIWAYA ZA ITIKADI

Sijui Sheikh Kasim alipotumia neno Ahlu Sunna aliwakusudia nani na nani?

Je alikusudia wale wenye kusema kuwa Mungu ana mkono, mguu, macho,

mgongo n.k., kweli kweli, au alikusudia madhehebu nne: Hanafi, Maliki,

Shafi na Hanbali. Na wengine huongeza madhehebu ya tano nayo ni

madhehebu ya Dhahiri.172

Mimi katika sehemu hii nitalitumia jina hilo

nikizikusudia madhehebu hizo nilizozitaja. Natuchukue mifano miwili

mitatu tu ya Hadithi ambazo aidha si sahihi yaani zimekosa udhibiti na

ufanisi au wameshindwa kukubaliana juu ya usahihi wake, jambo ambalo

pia linathibitisha kutokuwepo kwa udhibiti au ufanisi wa hali yajuu alioudai

Sheikh Kasim bin Mafuta.

Mosi: Hadithi isemayo:

خ هللا ل ٢ء هز... ل ٢ء ؿ٤...ل ٢ء ؼ

Allah alikuwepo wala hakukuwa na kitu chochote kabla yake…wala

hakukuwa na kitu chochote kisichokuwa Yeye…..wala hakuna kitu

chochote pamoja naye. 173

Utakumbuka kwamba Hadithi hii tuliinukuu katika juzuu ya kwanza ya

kitabu hiki na kubainisha kwamba Ibn Taymiyya – akifuatiwa na Ibn Abi

Al-‟Izz – kazikanusha lafdhi mbili za mwisho za Hadithi hio: lafdhi

isemayo: ...ل ٢ء ؿ٤ (wala hakukuwa na kitu chochote kisichokuwa

Yeye), na lafdhi isemayo: ل ٢ء ؼ (wala hakukuwa na kitu chochote

pamoja naye), na akaikubali lafdhi inayosema: خ هللا ل ٢ء هز (Allah

alikuwepo wala hakukuwa na kitu chochote kabla yake). Hoja yake ni kuwa

lafdhi hii ndio inayokubaliana na dua ya Mtume (s.a.w.) na kwamba lafdhi

nyengine zimepokelewa kimaana tu.174 Na Hadithi hii – kama unavyojua –

172

- Na pia ziko madhehebu nyengine ambazo zikijiita kuwa ni Ahlu Al-Sunna zimetoweka

katika dahari. 173

- Ibn Taymiyya Naqudu Maratibi Al-Ijmaa‟i kilichochapishwa pamoja na Maratibu Al-

Ijmaa‟i cha Ibn Hazm uk. 304. Tumesema katika juzuu ya kwanza kwamba lafdhi

isemayo: ل ٢ء ؼ (wala hakuna kitu chochote pamoja naye), si lafdhi ya Al-Bukhari

tafauti na alivyodhania Ibn Taymiyya alipodai hivyo katika Majmu‟a Al-Fatawa j. 18, uk.

216, na katika Naqdu Maratibu Al-Ijmaa‟I kilicho pamoja na kitabu Maratibi Al-Ijmaa‟i

cha Ibn Hazm uk. 304. 174

- Ibn Taymiyya Naqudu Maratibi Al-Ijmaa‟i kilichochapishwa pamoja na Maratibu Al-

Ijmaa‟i cha Ibn Hazm uk. 304.

Page 57: Fimbo ya Musa

57

kaipokea Al-Bukhari katika Sahihu yake,175

kwa maana kwamba Al-

Bukhari anaona kuwa hii ni Hadithi sahihi. Sasa kama alivyosema Ibn

Taymiyya ni sahihi, huko kuzidhibiti Hadithi za itikadi kwa ufanisi wa hali

ya juu kuko wapi?

Lakini wakati Ibn Taymiyya amekuwa na msimamo huo kuhusu Hadithi

hio, wanavyuoni wengi wa Kisuni hawakukubaliana naye, ambapo wengine

wengi wamemrudi juu ya suala hilo.

Pili: Hadithi za kuja kwa Al-Mahdi Al-Muntadhar ambazo Ibn Taymiyya

kazikataa kwa sababu si Hadithi mutawaatir, anasema Ibn Taymiyya

kuhusu riwaya hizo:

حؼخ٢ أ ح أهزخ حلكآى ك٤ق ٣ؼزض ر أ حي٣ ح١ ل ٣ق حإل٣خ ال ر

Pili ni kuwa hii ni katika Habari Ahadi basi vipi utathibiti kwayo

msingi wa dini (itikadi) ambao imani haisihi ila kwa huo.176

Halkadhalika wakati Ibn Taymiyya amekuwa na msimamo huo kuhusu

Hadithi hizo za kuja kwa Al-Mahdi, basi wengine wamekuwa wakizikubali

riwaya hizo. Abu „Amri, Said bin „Uthmaan Al-Daani (371-444 H.),

kasimulia idadi ya riwaya arubaini na mbili (42) za kuja kwa Al-Mahdi Al-

Muntadhar,177

na miongoni mwa Hadithi hizo, ziko ambazo Al-Albani

kasema kuwa ni sahihi na nyengine ni hasan. Kwa mfano Hadithi na. 555,

katika kitabu cha Abu „Amri huyo, Al-Albani kaisema kuwa ni: “hasan

sahih kama alivyonena Al-Tirmidhi”,178

na pia tazama Hadithi na. 562 ya

kitabu hicho ambayo pia Al-Albani kasema kuwa ni sahihi.

175

- Tazama Sahihu Al-Bukhari Hadithi na. 3191,7418. Lakini lafdhi ya Al-Bukhari ni:

.٣ ٢ 176

- Ibn Taymiyya Minhaju Al-Sunna j. 2, uk. 133. Lakini ajabu ni kuwa Ibn Taymiyya na

Ibn Al-Qayyim wameziita Hadithi nyengine zenye njia chache zaidi – kama vile Hadithi za

kuonekana kwa Allah – kuwa ni Hadithi mutawatir. Utakumbuka kwamba Hadithi za kuja

kwa Al-Mahdi zina njia nyingi pengine nyingi zaidi kuliko Hadithi za kuonekana kwa

Allah. Anasema Sheikh Al-Mubarakfuri akimnukuu Al-Shaukani kwamba Hadithi

zinazohusu kuja kwa Al-Mahdi ambazo yeye kaziona ni Hadithi khamsini na riwaya

ishirini na nane, na kwamba hizo zimefika daraja ya mutawaatir. Tazama Tuhfatu Al-

Ahwadhi j. 6, uk. 402. Tazama pia Sharhu Sunani Abi Daud cha „Abdul-Muhsin j. 8, uk.

333. Na Adhiim Aabaad „Awnu Al-Ma‟abuud j. 11, uk. 308. 177

- Abu „Amri, Said bin „Uthmaan Al-Daani, Al-Sunan Al-Waarida Fii Al-Fitan uk. 251-

265, Hadithi na. 547-589. 178

- Tazama maelezo ya „Isa Al-‟Abushi ya kitabu hicho Al-Sunan Al-Waarida Fii Al-Fitan

uk. 255.

Page 58: Fimbo ya Musa

58

Tatu: Hadithi ya kuja kwa Al-Qahtaan. Hadithi hii kaipokea Al-Bukhari na

Muslim. Amesimulia Al-Imamu Al-Bukhari katika Sahihu yake179

kutoka

kwa Abu Huraira kutoka kwa Mtume (s.a.w.) na Al-Imamu Muslim katika

Sahihu yake,180

kutoka kwa Abu Huraira kutoka kwa Mtume (s.a.w.)

kasema: “Kiama hakitosimama ila atatokea mtu katika (kabila la) Qahtan

atawaendesha watu kwa fimbo yake”.181

Katika Sahihu Al-Bukhari Hadithi

hio iko pia katika nambari 3500. Katika nambari hii, Hadithi inaendelea

kwa kusema:

Alikuwa Muhammad bin Jubair bin Mut‟im anasimulia kwamba ilimfikia

Mu‟awiya – na mbele yake ulikuepo ujumbe wa Maquraishi – kwamba

Abdullah bin Amri bin Al-Aas anasimulia kwamba kutakuwa na mtawala

katika (kabila la) Qahtan, basi Mu‟awiya akaghadhibika, basi akasimama

akamsifu Allah kwa kile anachostahiki kusifiwa kwacho, kisha akasema:

„Amma ba‟ad (baada ya hayo) imenifikia kwamba (kuna) watu katika

nyinyi wanasimulia Hadithi hazimo kwenye kitabu cha Allah wala hazitoki

kwa Mtume (s.a.w.), basi hao ndio wajinga wenu, tahadharini na

matamanio ambayo huwapoteza watu wake (yaani huwapoteza watu

wenye matamanio hayo), hakika mimi nimemsikia Mtume (s.a.w.)

anasema: „Hakika ya jambo hili (la ukhalifa) liko kwa Maquraish,

hawafanyii uadui mtu yoyote ila Allah atamsunukiza kwa uso wake

kwenye moto, madamu wamesimamisha dini‟.

Hio ni Hadithi ambayo Mu‟awiya kaikataa na ambayo baadae ikasimuliwa

na wapokezi wakuu kama Al-Bukhari na Muslim na kukubaliwa na

wanavyuoni wa Ahlu Sunna, wakati Imamu mkuu wa Ahlu Sunna,

Mu‟awiya bin Abi Sufyaan, kaikanusha Hadithi hio kwa hoja kwamba

inagongana na Hadithi nyengine na kwamba maana ya Hadithi hio haimo

katika Qur-an.

Nne: Hadithi ya kijakazi aliyeulizwa na Mtume (s.a.w.): “…..Allah yuko

wapi? Akasema yuko mbinguni…”... Hadithi hii ni Shaadh (dhaifu), na

Maulamaa wengi wa Kisuni wameidhoofisha. Wakati Maulamaa wa

Kisunni wamekuwa na msimamo huo juu ya Hadithi hio, watu wa skuli ya

179

- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 7117. 180

- Muslim Al-Sahih Hadithi ya 60 - 2910, j. 9 katika Sharhu Al-Nawawiy uk. 168. 181

- Qahtan ni Warabu wenye asili ya Al-Yaman. Na hii haina maana kwamba mtu huyo ni

lazima awe mtu wa Al-Yaman au awe na uraia wan chi hio. Bali makusudio ni wale watu

wenye asili ya Al-Yaman katika historia ya Warabu. Hii ni kuwa Warabu wote walioko

duniani basi asili zao ni mbili tu: 1) Qahtan. Nao chimbuko lao ni Al-Yaman. Hawa ndio

asili mia kubwa ya Waarabu wa nchi tafauti za Kiarabu. 2) Adnan. Hawa ni Warabu wenye

asili ya Hijaz (Saudia).

Page 59: Fimbo ya Musa

59

tajsim wameikubali. Tazama maelezo yake kwa urefu katika Al-Tufaan Al-

Jaarif cha Imamu Al-Sunna Al-Qannubi.182

Tano: Hadithi “Mola wetu atafunua muundi wake wa mguu”.183

Anasema

Ibn Hajar katika Al-Fat-hu akimnukuu Al-Ismaa‟ili kwamba kasema:

“(lafdhi) muundi wake ni nakira (munkar)”.184

Wakati Al-Ismaa‟ili anena

hivyo, na huo ndio msimamo wa Jumhur ya Ahlu Sunna, utakuta kwamba

watu wa skuli ya tajsim wanaikubali riwaya hio au maana ya riwaya hio.

Sita: Hadithi ya kuchinjwa kwa mauti huko akhera: “Mauti yataletwa kwa

sura ya kondoo mzuri…..basi yatachinjwa”.185

Hadithi hii kaikanusha Al-

Suyuti na wengine kwa hoja kwamba mauti si kiwiliwili na wala hao watu

wa akhera hawajapata kuyaona mauti basi vipi waulizwe: “Je munayajua

haya” na wao wajibu: “Ndio hayo ni mauti”?186

Wakati Al-Suyuti na

wengine wamekuwa na msimamo huo juu ya Hadithi hio, basi kuna

wengine wengi ambao wameikubali Hadithi hio.

Saba: Hadithi “Watu wawili hawakusanyiki motoni mkusanyiko

utaomdhuru mmoja wao…”.187

Hadithi hii pamoja na kuwa kaipokea

Muslim lakini wengine wameikataa na wameona kuwa ni maqluub

(imegeuzwa).188

Nane: Hadithi ya Al-Badaa. Al-Imamu Al-Bukhari kapokea Hadithi kuhusu

watu watatu ambao Allah aliwapa mitihani, na ndani yake Hadithi hio kuna

maneno yasemayo: “ريح لل طؼخ٠ أ ٣زظ٤...” (Allah ilimbainikia au

alitamburikiwa189

kuwa awatie katika mitihani…).190

Hadithi hii inajenga

itikadi kwamba Allah inamjia fikra hii na ile na kwa hivyo wengine,

akiwemo Al-Albani, wameikataa. Anasema Al-Khattaabi: “Na wengine

wameisimulia kwa lafdhi ya “ريح لل...” (badaa li-Laahi) Allah ilimdhihirikia,

nalo ni kosa”. 191

Anasema Al-Albani:

182

- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya kwanza uk. 282. 183

- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi. 4919. 184

- Ibn Hajar Fat-hu Al-Baari j. 9, uk. 5726, maelezo ya Hadithi na. 4919. 185

- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 4730, Muslim Al-Sahih Hadithi na. 2849. 186

- Al-Suyuti Al-Haawi Lil-Fataawa j. 2, uk. 95-96. 187

- Muslim Al-Sahih Hadithi na. 1891. 188

- Tazama Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya pili, uk. 496. Al-Qadhi „Iyaadh Al-

Ikmaal j. 6, uk. 313. Al-Nawawi Sharhu Sahihi Muslim j. 13, uk. 37. 189

- Kukijua kitu baada ya kuwa mwanzo kilikufichikia. 190

- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 3464. 191

- Al-Khatabi A‟alaamu Al-Hadithi j. 3, uk. 1569.

Page 60: Fimbo ya Musa

60

Kauli yake – katika Hadithi ya mwenye mabalanga na mwenye upara na

kipofu inayofuatia katika na. 1471 – (aliposema): “ريح لل...” (badaa li-

Laahi) (Allah imembainikia au alitamburikiwa) badala ya kusema “أحى هللا”

(araada Allahu) (Allah alitaka), kwa hakika kulihusisha neno Al-Badaa

(kutamburikiwa au kubainikiwa au kudhihirikiwa) kwa Allah Mtukufu

haifai kama tutavyotoa maelezo huko, BASI VIPI ITAJUZU NA HIO NI

KATIKA ITIKADI ZA KIYAHUDI ALLAH AWALANI.192

Anaendelea Al-Albani: “Na la pili: ni kuwa kuihusisha Al-Badaa na Allah

ni muhali”.193

Hayo ni maneno ya Al-Albani kuhusu Hadithi hio ya itikadi

iliopokewa na Al-Bukhari katika Sahihu yake. Sasa ufanisi wa hali ya juu

uko wapi?!

Tisa: Hadithi isemayo: “Nuhusi iko katika mambo matatu: farasi,

mwanamke na nyumba”.194

Yaani kipandwa, mke na nyumba. Hadithi hii

wameikanusha wengi, na Bibi „Aisha (r.a.) alipoambiwa kwamba Abu

Huraira anaisimulia alisema:

Naapa kwa jina la yule aliyeteremsha Fur-qaan (Qur-an) kwa Abi Al-

Qaasim (Mtume s.a.w.) atayesimulia haya kutoka kwake basi huyo kasema

uwongo, bali Mtume (s.a.w.) alikuwa akisema: „Walikuwa watu wa zama

za ujahilia wakisema kwamba nuhusi iko katika mke, nyumba na

kipandwa…..195

Halkadhalika kaidhoofisha lafdhi hio ya Hadithi, Al-Albani na kuipa uzito

lafdhi nyengine ya Hadithi hio.196

Kumi: Hadithi ya Muslim inayomnukuu Mtume (s.a.w.) akimwambia mtu:

“….Baba yangu na baba yako wako motoni”.197

Hadithi hii wanavyuoni

wameikanusha tena kwa sababu zile zile ambazo kwazo sisi nasi

tuliikanusha Hadithi ya kulifasiri neno ziada kuwa maana yake ni kumuona

Allah. Moja ya sababu zao za kuikanusha Hadithi hio, ni kuwa katika sanad

yake kuna Hammad bin Salama, nayo – kama unavyoona – ndio moja ya

sababu zetu za kuikanusha Hadithi ya kulifasiri neno ziada kuwa maana

yake ni kumuona Allah. Pili ni kuwa Hammad bin Salama hapa kenda

192

-Al-Albani Mukhtasaru Sahihi Al-Bukhari j. 2, uk. 6. 193

- Al-Albani Al-Sahiha j. 7, sehemu ya tatu uk. 1478, Hadithi na. 3522. 194

- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 2859,5093. Muslim Al-Sahih Hadithi na. 2225. 195

- Abu Zur‟a Al-‟Iraaqi Tarhu Al-Tathriib j. 8, uk. 120. Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 6, uk. 77.

Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya pili uk. 466. 196

- Al-Albani Sahiha j. 2, uk. 443. 197

- Muslim Al-Sahih Hadithi na. 347 (203).

Page 61: Fimbo ya Musa

61

kinyume na mpokezi aliyeimara zaidi, nayo pia ndio sababu yetu ya pili ya

kuikanusha Hadithi ya kulifasiri neno ziada kuwa maana yake ni kumuona

Allah. Kwa ufupi ni kuwa, wameidhoofisha riwaya hio tulioitaja hapa

wanavyuoni kama: Al-Suyuti,198

Al-Kawthari199

na Abdullah Al-

Ghummari.200

Kumi na moja: Hadithi inayosema:

…..... ٤ ٠ هللا ػ هللا ي ر ؤ ٣ ظ خ ال ؿ أ ٤ ٠ هللا ػ هللا ك و خ

ذ ؼ ٢ ح و د ػ ……ك خ

…kwamba kulikuwa na mtu alikuwa akituhumiwa kwa (kufanya maovu)

na kijakazi cha Mtume (s.a.w.), basi Mtume (s.a.w.) akamwambia „Ali

nenda kaikate shingo yake…!201

Hadithi hii kaipokea Muslim nayo ni Hadithi yenye mushkeli wa wazi!

Vipi:

a) Mtume (s.a.w.) aamrishe kuuliwa mtu kwa sababu ya tuhuma tu?!

b) Aamrishe kuuliwa mtu kwa tuhuma ya kufanya maovu na kijakazi

chake, lakini asitoe amri kama hio kwa waliomtuhumu kipenzi

chake mwana wa kipenzi chake „Aisha bint Abi Bakr (r.a.)?!

Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir:

Ama madai ya baadhi ya washereheshaji wa Hadithi hii kwamba sababu ya Mtume

(s.a.w.) kutoa amri hio ni kuwa mtu huyo alikuwa mnafiki, ni madai yasio sahihi,

kwani:

a) Hio ni kauli isio na dalili yoyote.

b) Riwaya inathibitisha kinyume na hayo kwani imekuja kwa herufi Al-Fauu

ili kuyafungamanisha yale yalio kabla na yale yalio baada kwa

mfangamanisho wa kuonesha sababu. Maana ya haya ni kuwa tuhuma ndio

sababu ya amri hio ya kumuua mtu huyo.

c) Mtume (s.a.w.) hakuamrisha kuwaua wanafiki na lau aliamrisha kuwa

wauliwe basi angeliamrisha kuuliwa kwa „Abdillahi bin „Ubeiy.

d) Hadithi inasema kwamba baada ya Ali kupewa amri hio na kwenda kutaka

kumuua mtu huyo akamkuta mtuhumiwa hana kiume,202

Ali akarudi. Lau

unafiki ulikuwa ndio sababu, basi Ali asingelirudi baada ya kumkuta mtu

198

- Al-Suyuti Al-Haawi Lilfataawa j. 2, uk. 226-227. 199

- Al-Kawthari Al-Tanbiihu Wa Al-Raddu „Allaa Ahli Al-Ahwaa Wa Al-Bida‟i uk. 162. 200

- Al-Ghummari Al-Fawaaidu Al-Maqsuuda uk. 93. 201

- Muslim Sahihu Muslim uk. 1161, Hadithi na. 2771. 202

- Jamaa! Ivo huyu Ali alikuwa akichungulia watu?

Page 62: Fimbo ya Musa

62 huyo hivyo, kwani hakuna tafauti ya unafiki baina ya mwenye kiume na

asiyekuwa nacho.203

Baada ya hayo elewa kwamba Hadithi hio ni wahm (kosa) na uwezekano

mkubwa wa wahm huo ni kutoka kwa Hammad bin Salama kwani hio ni

riwaya yake.

Kumi na mbili: Hadithi inayosema:

٢ــ ر٤ـــــــػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ هخ ر٤خ أخ خث اح س كظ٠ اح ػكظ هؽ ؿ

٠ أىرخـــــر٤ كوخ كوض أ٣ هخ ا٠ حخ هللا هض خ ؤ هخ ا حطيح رؼيى ػ

ض أ٣ هخ ا٠ حخـــــر٢٤ ر٤ كوخ هػكظ هؽ ؿ حوو ػ اح س كظ٠ اح

ال ؼـــــ ـــــهللا هض خ ؤ هخ ا حطيح رؼيى ػ٠ أىرخ حوو كال أح ٣و

حؼ

Kutoka kwa Mtume (s.a.w.), kasema: „Wakati mimi nimelala204

kutahamaki kuna kundi mpaka nitapowajua (watu wa kundi hilo) basi

atatoka mtu baina yangu na wao atasema: „Njooni! Mimi nitauliza:

„Wapi?‟ Naye atajibu: „Wallahi motoni!‟ Nami: „Nitasema: kwani wana

nini hawa (nini habari yao)?‟ Naye atajibu: „Hawa walirtadi baada yako na

kurejea nyuma‟. Kisha kutahamaki kuna kundi jengine mpaka nitapowajua

(watu wa kundi hilo) basi atatoka mtu baina yangu na wao atasema:

„Njooni! Mimi nitauliza: „Wapi?‟ Naye atajibu: „Wallahi motoni!‟ Nami:

„Nitasema: kwani wana nini hawa (nini habari yao)?‟ Naye atajibu: „Hawa

walirtadi baada yako na kurejea nyuma‟. Basi sioneshwi yoyote yule

miongoni mwao atayeokoka isipokuwa (wachache) kama vile ngamia

wasio na mchunga.205

Hadithi hii kaisimulia Al-Bukhari nayo ni Hadithi yenye mushkeli mkubwa.

Tazama jinsi Hadithi inavyowafanya Masahaba wote kuwa ni watu wa

motoni isipokuwa wachache kama vile ngamia wasio na mchunga kwa

uchache wao! Suali la kujiuliza hapa ni kuwa: ni kwa kitu gani hasa

walichokifanya Masahaba hata ifikie hivyo? Makosa yote walioyafanya wao

basi waliokuja baada yao tukiwemo sisi sote na watu wa madhehebu zote

tumeyafanya na tunayafanya maradufu; wakati wema walioufanya wao sisi

203

- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Jawabu Kwa Mawahabi Wa Algeria uk. 2-3.

Tanbihi: 1) Jawabu hio si kitabu bali ni kama makala tu. 2) Jawabu hio haina jina rasmi,

hilo jina Jawabu Kwa Mawahabi Wa Algeria nimeiita mimi tu hapa ili kumrahishia

msomaji kufikia katika marejeo hayo akihitaji kufanya hivyo, kwani ukiitaja kwa jina hilo

kila mtu aliyeisoma anajua unakusudia maandiko gani. 204

- Katika riwaya ya pili: “Wakati nimesimama”. 205

- Yaani kwa kawaida ngamia waliopotea ambao hawana mchungaji ni kitu adimu,

aghlabu huwa ni wenye wachungaji wao. Basi Hadithi hii ndivyo inavyosema kwamba

Masahaba wote watakwenda motoni isipokuwa wachache!

Page 63: Fimbo ya Musa

63

na wengine wote hatukuufikia hata robo yake! Basi Hadithi hii na ilio

mfano wa hii ndio ambayo Shia wanawagonga nayo Mawahabi na watu wa

skuli nyengine. Na kwa bahati mbaya kuna watu wameshafundishwa

kwamba kila alichokipokea Al-Bukhari basi hicho kimevuuka daraja wala

usikihoji, basi watu wanapotolewa ushahidi kwa Hadithi hii hunyweya

kama “kuku-nkuchere” aliyemwagiwa maji, kwani hawawezi tena kudai

kuwa hii ni Hadithi ya kufinyanga madamu kaipokea Al-Bukhari! Cha

kujiuliza: ikiwa Hadithi hii ni sahihi basi zogo la kuwatukana Mashia kwa

kuwaponda kwao Masahaba isipokuwa wachache ni la nini tena, nao

wamesema kitu kilichomo katika vitabu vya Ahlu Sunna ambavyo

vimedhibitiwa kwa ufanisi wa hali ya juu?

Wala usijikalifu, ukanijibu kwamba makusudio ya Hadithi hio

inawazungumzia wale waliokuwa wanafiki au waliortadi na kurudi katika

shirki, kwani:

a) Kipengele kinachosema: “basi sioneshwi yoyote yule miongoni

mwao atayeokoka isipokuwa (wachache) kama vile ngamia wasio

na mchunga”, hakikubaliani na tafsiri hio. Na hii ni kwa sababu

wanafiki na waliortadi wote hawatookoka: haokoki hata mmoja:

hakuna haja ya kuwafanyia istithnaa (exception), ukasema

“isipokuwa wachache”.

b) Na kwa hivyo, kurtadi kulikotajwa hapa si lazima kuwe au si

kuratadi katika maana yake ya kisharia ya kuwacha dini ya Uislamu

na kwenda katika dini nyengine au kwenda kusikokuwa na dini

yoyote. Bali huko kunaingia hapa, na kinaingia pia kitendo cha

kuwacha mafunzo sahihi ya Uislamu hata kama unayaamini katika

itikadi yako kuwa ndio mafunzo ya haki.

Ninasema: wala usijeukanipinga kwa kutegemea kile alichokinena Ibn Hajar

kwamba makusudio ya “wataokoka” katika Hadithi hii ni wale waliokurubia

hodhi la Mtume (s.a.w.),206

kwani:

a) Hata kama Al-Bukhari kaitaja Hadithi hio katika mlango wa hodhi la

Mtume (s.a.w.), lakini maneno ya Hadithi hio hayazungumzii suala

la hodhi.

b) Hata ikiwa tutakubaliana kwamba Hadithi hio inawazungumzia wale

waliokuja katika hodhi, basi Hadithi nyengine za Al-Bukhari na

Muslim zimebainisha kwamba wataofukuzwa katika hodhi la Mtume

(s.a.w.) ni Masahaba wake ambao walizua na kubadilisha.207

Na kwa

206

- Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 13, uk. 7996, maelezo ya Hadithi na. 6587. 207

- Tazama Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na: 6576,6582,6583,6584,6585,6586. Muslim

Sahihu Muslim Hadithi na. 39_583 katika kitabu al-ttahara. Na mfano wa Hadithi hio ni

Page 64: Fimbo ya Musa

64

mantiki hii, Hadithi moja itakuwa imebainisha kwamba hao

watakuwa ni Masahaba; na ya pili imebainisha kwamba Masahaba

hao ni wote isipokuwa wachache!

c) Lakini la mwisho ni kuwa, hayo yote tukiwa tutakubaliana na Al-

Hafidh Ibn Hajar katika tafsiri yake hio, lakini pamoja na hayo

tunasema kwamba tafsiri hio ya Al-Hafidh si sahihi kwani Hadithi

inasema kuwa watu hao wamertadi na kurudi nyuma, yaani

wamebadilisha mwenendo sahihi wa Mtume (s.a.w.). Suali: sasa vipi

tena wachache katika hao waokoke, hususan ukizingatia kwamba

Hadithi inasema kuwa makundi hayo yatakwenda motoni?

Baada ya hayo, elewa ndugu msomaji kwamba Hadithi hio ni katika jumla

ya riwaya za kufinyanga zilizofinyangwa ama na mazindiki (wanafiki) au

kambi ya wapambe wa Ali wa kale. Vipi iwe hivyo kwamba Masahaba wote

watakwenda motoni ilhali Qur-ani inasema kuhusu Masahaba:

ح ط خء ر ٤ ك لخ ٠ ح حء ػ ي ؼ أ ٣ ح هللا ي ل ك ٠ ــــ ـ يح ٣ ز ظ ـ ال ـــؼخ

حخ هللا

Muhammad ni Mjumbe wa Allah na wale walio pamoja naye

(Masahaba) ni wakali kwa makafiri, wanahurumiana wao kwa wao,

utawaona ni wenye kurukuu na ni wenye kusujudu wanatafuta fadhila

za Mwenyezi Mungu na radhi zake.208

Na inasema:

هللا ال ك ٠ ٣ ز ظـ ح أ ٣خ ى ح ؿ أ ه ٣ ح ٣ خؿ حء ح ل و ــ ٣ حخ

هللا ه خى ح ج ي أ

(Mali hizo) wapewe mafakiri Muhajirina ambao wametolewa

majumbani mwao na mali zao WANATAFUTA FADHILA ZA

ALLAH NA RADHI (ZAKE) NA WANAMNUSURU ALLAH NA

MTUME WAKE, BASI HAO NDIO WAKWELI.209

Kisha Aya inayofuatia baada ya hapo ikawasifu Masahaba Ansari wa

Madina kwa sifa nyingi nzuri nzuri kama vile: imani, kuwapenda Muhajirin

kutokuwa na choyo n.k.

Hadithi na. 37 na 38 katika kitabu hicho hicho. Ibn Majah Al-Sunan Hadithi na. 4302, na

4306. Al-Rabii Al-Jaami‟u Al-Sahih Hadithi na. 43. 208

- Sura ya 48 Aya ya 29. 209

- Sura 59, Aya 8.

Page 65: Fimbo ya Musa

65

Sasa tazama Aya ya kwanza na Aya ya pili, utaona kwamba katika Aya ya

kwanza Allah kawasifu Masahaba kwa ujumla kuwa ni wenye kutafuta

radhi zake. Basi vipi watu wenye kusifiwa hivyo tena na Allah mwenyewe

baadae wawe wote ni watu wa motoni ila wawili watatu? Katika Aya ya pili,

Allah kawahusisha Muhajirina kuwa:

a) Ni wenye kutafuta fadhila za Allah na radhi zake.

b) Wenye kuinusuru dini ya Allah.

c) Hao ni wakweli.

Utaona kwamba wakati Allah anasema kwamba hao ni wakweli, Hadithi hio

inasema kwamba wote hao si wakweli isipokuwa wachache kama vile

ngamia wasio na wenyewe (yaani ni wachache sana)!

Kwa hivyo, tunasema kwamba hakuna haja ya mtu kunyweya anapotolewa

hoja kwa Hadithi hio ya kwamba Masahaba wote watakwenda motoni

isipokuwa wachache. Jawabu ni kuwa hio ni Hadithi maudhui (ya kutunga)

kwani haiingii akilini na ni kinyume na Qur-ani. Na kwa hivyo, ufanisi wa

hali ya juu alioudai Sh. Kasim bin Mafuta unatokana na propaganda zao tu

za Kiwahabi.

Kumi na tatu: Hadithi alioipokea Muslim isemayo:

و خع ر ـ د ك ر ٤ ػ ٢ ي ٤ـــــ ك ٤ش ه خ ػ حر ٤ؼ خ ػ ـــــــ ي ؿ ػ خ ا ي ـــــ ك ر ٤ ؼ

ك ـــا ر ٤ ح ـــــ ٤خ ػ ٢ أ ر ك ػ ي س ز ر ٤ ك ط و ض أ خ ح ه خ ٤خ ك ٣ي ر ػ ٢ ٣ ي ـــــــك ر

ا ـــ خ ؿ ك ه أ ٣ ي ر ـــــــ٠ ه خ خ ا ٤ ح ٤ ٣ ي ه و ي و ٤ض ٣ خ ٤ حك ؼ ٤ أ ٣ ض

٤ ٠ هللا ػ ـــ هللا ــــــ ٣ــؼ ض ك ــــ ل و ي و ٤ـــي ٤ ض ه ؼ ص ؿ ٣ ي ـــــؼ ض ٣ خ

خ ٣ ي ػ خ ٣ خ ي ح ك ؼ ٤ ح ٤ ـــه هللا أ ه ــ٠ هللا ػ ؼ ض ٣ خ حر ه خ هللا ٢ــــــ ٤

ص ز و ي ١ ح ٤ض ر ؼ ي ١ ػ ه ي ٢ ٢ ــــ هللا ـــ ض أ ػ ٤ ٠ــ ـــــــ هللا ػ

ػ ظ ي خ ك ك ح ك خه ز هللا ه خ ه خ ػ ٤ ل خ ل ك ال ط ـــ ــ٠ هللا ػ خ ـ ٣ ــــ ٤

أ ػ ــك ي هللا ٣ ش ك ل ي ح ش خ ر ٤ ٠ ه ػ خء ٣ ي ٤ز خ ر ط ػ ــــــ٤ خ ه ٤ ػ ـــ٠ ػ خ ـ ع أ ه خ

ــــــــ ر ؼ خ حخ ر٢ ي أ ل أ ٣ ٣ ؤ ط ٢ ي أ ٣ خ أ خ ر ى ك ٤ـــك ؤ ؿ ك ب أ خ ط خ ـ ــــــ٤ذ ػ و ٤

ظــأ خ ح ـــــــــ ك و ح ي ح خد هللا ك ٤ ظ ح ظ خد هللا ظ ـــ ر ٠ غ ػ ك ل خد هللا ـ ح ر

أ ه خ ػ ؿذ ك ٤ هللا ك ـــــ ر ٤ ظ ٢ أ هللا ك ٢ أ هللا ك ٢ـ ر ٤ ظ ٢ أ ر ٤ ظ ٢ أ ٢ أ

ر ٤ ظ ٢ ك و خ ٤ ـــــ ك خإ ٣ ي أ ٤ ٣ خ ر ٤ ظ ـ أ ر ٤ ظ أ خإ ه خ ر ٤ ظ أ

ر ٤ ظ أ ه ش ر ؼ ي ح ك ـــ ه خ ـــــي ـــ ـ ه خ و ٤ ػ آ ٢ ػ آ آ ل ؼ ؿ آ

ء ل ئ ه خ زخ ػ ؼ ه ش ه خ ي ح ك

“Katuhadithia Zuhair bin Harb na Shujaa bin Makhlad wote kutoka kwa

Ibn Ulayyah. Kasema Zuhair katuhadithia Ismail bin Ibrahim kanihadithia

Abu Hayyan kanihadithia Yazid bin Hayyan kasema: „Niliondoka mimi na

Husain (ك٤) bin Sabra na Umar bin Muslim kwenda kwa Zaid bin

Arqam. Tulipokaa naye, Husain akamwambia: „Ewe Zaid! Kwa hakika

umekuta kheri nyingi: umemuona Mtume (s.a.w.) na umesikia Hadithi

zake na umekwenda vitani pamoja naye, na ukasali nyuma yake: kwa

hakika umekuta kheri nyingi ewe Zaid! Tuhadithie ewe Zaid yale

Page 66: Fimbo ya Musa

66 ulioyasikia kutoka kwa Mtume (s.a.w.). Akasema (Zaid bin Arqam) ewe

mwana wa ndugu yangu! Wallahi, miaka yangu imekuwa mikubwa

(nimeshakonga), na umri wangu umekuwa mkongwe, na nimesahau baadhi

ya yale niliokuwa nimeyahifadhi, basi nitachokusimulieni kikubalini na

nisicho (kusimulieni) basi musinikalifishe. Kisha akasema: „Alisimama

Mtume (s.a.w.) siku moja pamoja nasi akahutubia katika (sehemu yenye)

maji yanayoitwa „Khumman‟ baina ya Maka na Madina. Basi akamuhimidi

Allah na kumsifu na akatoa mawaidha na kukumbusha. Kisha akasema:

„Baada ya hayo, Enyi watu! Hakika yangu mimi ni mtu (ambaye)

amekaribia kunijia Mjumbe wa Mola wangu nami nitaitika. NA MIMI

NAKUWACHIENI VIZITO VIWILI: CHA MWANZO CHAO NI

KITABU CHA ALLAH. Ndani yake kuna uongofu na nuru, basi

kishikeni Kitabu cha Allah na mushikamane nacho.‟ Basi akahimiza juu ya

(kushikamana na) Kitabu cha Allah na kuwataka (watu) wakipende. Kisha

akasema: „NA AHLU BAITII (WATU WA NYUMBA YANGU),

NAKUKUMBUSHENI ALLAH KUHUSU WATU WA NYUMBA

YANGU, NAKUKUMBUSHENI ALLAH KUHUSU WATU WA

NYUMBA YANGU, NAKUKUMBUSHENI ALLAH KUHUSU

WATU WA NYUMBA YANGU.‟ Akasema Husain (kumwambia Zaid

bin Arqam): „Kwani watu wa nyumba yake ni nani ewe Zaid: kwani wake

zake si watu wa nyumba yake (si Ahlu Al-bait)?‟ Akasema (Zaid bin

Arqam): „Wake zake ni AHLU BAITIHI (ni watu wa nyumba yake) lakini

watu wa nyumba yake ni wale walioharamishiwa sadaka baada yake.

Akasema ni nani hao? Akasema (hao) ni kizazi cha Ali, kizazi cha Aqiil,

kizazi cha Ja‟afar na kizazi cha Abbaas. Akasema (Husain): „Wote hawa

wameharamishiwa sadaka?‟ Akasema (Zaid bin Arqam): „Ndio‟ (wote

hawa wameharamishiwa sadaka)”.210

Tunauliza: ikiwa kuna ufanisi wa hali ya juu wa Hadithi za Ahlu Sunna

kama alivyodai Kasim Mafuta, basi nini kosa la Shia wakisema kwamba

tukamatane na Qur-ani na Ahlu Al-Bait ili tupate kuongoka, ilhali Hadithi

hii – tena imo katika kitabu bora Sahihu Muslim – yatongoa kinagaubaga

kwamba tumeachiwa Qur-ani na Ahlu Al-Bayt? Je huoni ndugu msomaji

kwamba kosa litakuwa ni la madhehebu nyengine zote kwa kuikataa kwao

Hadithi ya ufanisi wa hali ya juu?!

Lakini pamoja na hayo, elewa kwamba ukweli ni kuwa Hadithi hio ni yenye

mushkeli wa wazi kama tulivyoielezea kwa urefu katika kitabu chetu

Mezani ya Haki. Vyenginevyo, basi Mawahabi – kwa vile vitabu vyao vya

Hadithi vina ufanisi mkubwa – itawabidi sasa waache uwahabi wao na

waelekee kwa Ayatollah----.

210

- Tazama Muslim Sahihu Muslim katika Sharhu Al-Nawawiy ni j. 8, uk. 32, Hadithi na.

36- 2408, mlango kuhusu fadhila za Ali bin Abi Talib.

Page 67: Fimbo ya Musa

67

Hadithi ya kumi na nne:

و ــــك٢ ط حظ٢ أ أ س ك٤و أخر ك٤ طلػ ٣كؼ إ هي

رخ أض

Kisha watanyanyuwa vichwa vyao na kutahamaki (Mwenyezi

Mungu) ameshageuka katika sura ile ambayo walimuona mara ya

kwanza atawambia Mimi ni Mola wenu nao watasema (ndio)

Wewe ni Mola wetu.211

Hadithi hii imo katika kitabu bora kabisa katika vitabu vya Ahlu Al-Sunna –

Sahihu Muslim! Lakini – kama unavyojionea mwenyewe – matn yake iko

taabani kupita kiasi! Ni wazi kwamba huu ni utunzi wa Mayahudi au ni

utunzi wa mazindiki. Vyenginevyo Mtume (s.a.w.) hasemi uzushi huu

usiokubaliana kabisa na misingi ya itikadi ya Kiislamu, sema hivyo kwa

kinywa kipana wala usimuogope yoyote yule isipokuwa Jabari wa mbingu

na ardhi.

Hadithi ya kumi na tano:

ح ػ خ ػ ي ك ك ز ي ح ػ ٤ ٤ ش ػ ػ ر ل ٤ خ ػ خ ي ه خل ك أ ر ٢ ػ حر ػ ـــــخه ي و خ ح ـــ ر

ػ خثـــأ ر ٤ ش ــ ػ ك و خ ض ه خ ض ٤ ٠ هللا ػ ا ٠ حز ٢ ٤ ض ش ر ص خء ؿ ــ٣ خ

أ ر ٢ ك ؿ ك ٢ ٢ أ ٣ ل ش ـــهللا ا ٤ ٠ هللا ػ حز ٢ ٤ل ك و خ ك خ ى ه ــــ

ك ظ ز ز ٤ ؿ ؼ ٤ ق أ ه خ ض ٤ ؼ هللا ـ أ ـــ ٤ ه ي ـــــ ٠ هللا ػ ه خ

حى ػ ز ٤ ؿ ض أ ك ــــػ ـــ٢ ك ــــ ه ي خ ٣ؼ ك ـــ ي رــــي ح ٢ـي أ ر ٢ ػ ح٣ ش حر

٤ ٠ هللا ػ هللا ي ل ك ٠

Katuhadithia „Amru Al-Naqid na Ibn Abi „Umar wamesema katuhadithia

Suf-yaan bin „Uyaina kutoka kwa „Abdul-Rahman bin Qasim kutoka kwa

baba yake kutoka kwa „Aisha amesema: „alikuja Sahla bint Suhail kwa

Mtume (s.a.w.) akasema: „ewe Mjumbe wa Allah! Mimi naona katika uso

wa Abi Hudhaifa (kuna kuchukia) kwa sababu ya Salim kuingia ndani

(nilimo mimi), naye ni mtu aliyeshikamana naye‟. Mtume (s.a.w.)

akasema: „mnyonyeshe”! Akasema (Sahla bin Suhail): „vipi

nimnyonyeshe naye ni mtu mzima?‟ Mtume (s.a.w.) akatabasamu na

akasema: „mimi najua kwamba yeye ni mtu mzima‟. Amru kaongeza katika

riwaya yake kwamba: „naye (huyo Salim) alikuwa ni mtu aliyeshiriki

katika vita vya Badr‟. Na riwaya ya Ibn Abi „Umar inasema: „Mtume

(s.a.w.) akacheka‟.212

211

- Muslim Sahihu Muslim uk. 91-92, Hadithi na. 183. 212

- Muslim Al-Sahih Hadithi na. 1453, babu ridha‟ati al-kabir.

Page 68: Fimbo ya Musa

68

Riwaya hii pamoja na kuwa imo katika Sahihu Muslim lakini ni riwaya ya

kutunga bila shaka. Ivo weye bwana Mafuta unadhani kuwa inaelekea kuwa

Mtume (s.a.w.) ambaye kaharamisha kumpa mkono mwanamke asiye

maharimu na akasema kuwa ni bora mtu kugongomelewa misumari kuliko

kitendo hicho, ataweza kumwambia mwanamke, tena nken-gwa213

kuwa

amnyonyeshe jitu zima na midevu-ye? Nani katika sisi ataliridhia hilo kwa

mkewe hata Mtume (s.a.w.) amuamrishe mtu kulifanya? Mtume huyu ndiye

aliyeteremshiwa Aya kadha wa kadha za hijabu, leo arudi aje aamrishe kitu

hicho? Nami sioni tatizo la kisanad kuhusu Hadithi hii isipokuwa labda

imetokana na kuchanganyikiwa kwa Suf-yaan bin „Uyaina, kwani – pamoja

na ukuu wake, na uimamu wake – mwishoni hifdhi yake ilibadilika.214

Hio ni mifano michache ambayo inatoa picha ya wazi kwamba ufanisi

alioudai Bwana Kasim Mafuta haupo. Kilichopo ni kuwa wanavyuoni

wacha Mungu wenye kuutakia kheri umma huu walijitahidi sana

kuzichambua Hadithi, lakini je baada ya hayo walifaulu 100% katika

kuzichunga riwaya zao. Ukweli ni kuwa wanavyuoni hawakufaulu kiasi

hicho kwa sababu ambazo tutazieleza baadae. Na kwa hivyo, Al-Imamu Ibn

Kathir, akizungumzia utunzi wa Hadithi za uwongo uliotendeka katika

umma huu, ana hiki cha kutueleza. Anasema:

غ ي هد حؼي ؼض أكخى٣غ ؼ٤س ك٢ حلش، ل ٣ؼخ ال هللا ل هللا ػخ

...…ري، رلز

Na pamoja na hayo na (pamoja na kuwa umma huu) zama zake zipo karibu

(na Mtume wake ukilinganisha na umma wa Banii Israil, lakini)

zimetungwa Hadithi nyingi (za uwongo) katika umma huu ambazo hakuna

azijuae isipokuwa Allah na yule ambaye Allah amempa elimu ya hayo kila

mmoja kwa mujibu wa alivyo (ulivyo uwezo wake wa kielimu).215

Na anasema:

،ـــػي١ أ ح أؼخ أزخ حهظالم رؼ خىهظ، ٣ز ر ػ٠ حخ أ ى٣ـ

حز٢ ٠ هللا ـــــأكخى٣غ ػ-غ ؿالش هي ػخثخ كلخظخ أثظخ-خ حكظ ك٢ حلش

هش حللخظ حوخى ك٤،ك٤ق رؤش ر٢ احث٤ غ ١ حي، ػ٤ خ رخؼي هي،

ظ ذ هللا آ٣خط ر حو حؼ طزي٣ ػ ح طل٣ق ػخث

Na ninavyoona mimi ni kuwa (riwaya) hii na ilio mfano wa hii, ni katika

uzushi wa mazindiki wao (wanafiki wao) ambao wanawachanganya watu

213

- Yaani mke wa mtu. 214

- Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 235, tarjama na. 2451. 215

- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-Adhim j. 3, uk. 389, katika tafsiri ya Aya ya 46 ya

Suratu Al-‟Ankabuut (29).

Page 69: Fimbo ya Musa

69 kwa huo katika mambo ya dini yao, kama vile ambavyo katika umma huu

– pamoja na kuwa una wanavyuoni wakubwa na mahuffadh na maimamu

wenye utukufu – kumezuliwa Hadithi (za uwongo) kutoka kwa Mtume

(s.a.w.) pamoja na kuwa zama haziko mbali (na Mtume wake), basi

utakuwaje umma wa Banii Israil ambao masafa yake (na Mitume yake) ni

marefu na kuwepo kwa uchache wa wenye kuhifadhi na wachambuzi

miongoni mwao na kunywa kwao pombe, na wanavyuoni wao

wakayapotoa maneno (ya vitabu vyao) kutokana na mwahala mwake

sahihi na kuvibadilisha vitabu vya Allah na Aya zake….?216

Hayo ni maelezo ya Ibn Kathir nayo ni maelezo mazuri yalioje. Na kwa

hivyo, kilicho sahihi ni kuwa si kwamba riwaya ichukuliwe tu kwa sababu

imeitwa sahihi madamu umma haukukubaliana juu ya usahihi wake; au

ichukuliwe tu kwa sababu kaipokea Sunni, Shia au Ibadhi au fulani au

fulani, bali ni lazima kuwe na chungio sahihi la riwaya. Na chungio

alilolidhania Bwana Kasim bin Mafuta kuwa linatosha kuweka unga mbali

na makapi mbali, ukweli ni kuwa chungio hilo bado halitoshi kufanya kazi

hio, bali hilo ni chungio ambalo upande mmoja “lintoboka”. Tutatazama

baadae ufahamu wa Sheikh Kasim katika kuzichunga riwaya na tutashauru

njia iliokuwa madhubuti zaidi.

Sasa baada ya hayo – natutazame riwaya za wale ambao Sheikh Kasim

Mafuta anawaita kuwa ni Ahlu Sunna nao ni watu wa skuli ya tajsim.

RIWAYA ZA WATU WA TAJSIM

Hio ilotangulia ni mifano ya riwaya za kiitikadi zilizoko kwa Waislamu kwa

ujumla ambazo aghlabu yake ni zenye sanad sahihi lakini wanavyuoni au

baadhi yao wamezikataa kwa sababu ya kuwa mutuni (texts) zake ni

munkar. Bila kusahau kwamba baadhi ya riwaya hizo hawakukubaliana juu

ya udhaifu wake, kwa hali yoyote ile kuwepo kwa khilafu hizo kunaashiria

au kunaeleza kwamba wanavyuoni hao hawakukubaliana juu ya kuwepo

kwa ufanisi wa hali ya juu wa kudhibiti riwaya.

Ama tukija katika riwaya zilizosimuliwa au kukubaliwa na wale watu wa

skuli ya tajsim (wenye kuamini kuwa Allah ni kiwiliwili), basi tunakuta

ziko kwa wingi mno nazo bila shaka ni riwaya za kutungwa na maadui wa

Uislamu au zenye kutokana na israiliyyaat (riwaya za Kiyahudi na

216

- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-Adhim j. 4, uk. 198, katika tafsiri ya neno “Qaaf” ya

surat Qaaf.

Page 70: Fimbo ya Musa

70

Kinasara). Tumenukuu baadhi yake katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki.

Tumenukuu riwaya kama:

1) “Allah kamuumba Adam kwa Sura yake”. Riwaya hii

wametafautiana katika kuifasiri, lakini kama tulivyoeleza kwamba

riwaya hii haina njia ya kuifasiri ila tusema kuwa Adam ana sura ya

Allah! Hakuna njia nyengine ila tuseme hivyo, kwa mujibu wa

utaratibu wake wa kilugha217

hususan ukizingatia kwamba katika

masimulizi mengine riwaya hiyo inasema: “Allah kamuumba Adam

kwa sura ya Al-Rahman (Allah mwingi wa rehema)”.218

Na kama

ulivyoona kwamba katika umma huu tayari kuna watu ambao

wamekuwa na itikadi hio ya kwamba Adam ana sura ya Allah kwa

kutegemea riwaya hio.

2) Allah anabebwa na Malaika naye kakaa kitako juu ya „Arshi.

3) Allah anazidi uzito na kupungua.

4) Allah anakwenda kwa miguu.

5) Allah anakwenda mbio.

6) Allah atatia mguu wake motoni.

7) Allah anakaa katika tabaka ya nne ya jahannam.

8) Allah anaweka miguu yake juu ya kiti.

9) Allah atakaa juu ya „Arshi yake pamoja na Mtume (s.a.w.) siku ya

kiama!

Na mengi mengio ambayo tuliyanukuu katika juzuu ya kwamza ambayo

yamo katika riwaya ambazo utunzi wake ni jambo lilio wazi kabisa –

huhitaji kuwa mwanachuoni ili uligundue hilo. Na hapa tunaongeza mifano

mitatu kama inavyofuata:

هخ هخ ))كخ طـ٠ ر لز ؿؼ ىخ((ؿ ـــػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ ـــــ ك٢ ه ػ

.……ــــح ٣ؼـــ٢ أهؽ ١ف حو

Kutoka kwa Mtume (s.a.w., kwamba kasema) kuhusu kauli ya Allah

isemayo: “Basi Mola wake alipodhihiri katika mlima aliujalia

(kuvurugika) vipande vipande”,219

akasema (Anas bin Maalik, kwamba

Mtume s.a.w.) kasema: „Kama hivi, yaani (Allah) alitoa ncha (tu) ya kidole

chake cha ncha!220

217

- Rejea j. 1, uk. 151, ya kitabu hiki Fimbo Ya Musa ili uone maelezo yetu juu ya hilo. 218

- Tazama ukweli kwamba hata hoja za kilugha zilizomo katika Hadithi hio,

zinamaanisha kuwa Adam kaumbwa kwa sura ya Allah. 219

- Sura 7, Aya 143. 220

- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 269, Hadithi na. 500. Na mfano wake ni Hadithi na. 501-

503. Inawezekana ikawa makusudio ya riwaya hii ni kuwa Mtume (s.a.w.) ndiye aliyetoa

kidole chake cha ncha kumaanisha kuwa Allah kajichomoza sehemu ndogo kama vile

kidole cha ncha; na inawezekana ikawa makusudio ni kuwa Allah mwenyewe ndiye

Page 71: Fimbo ya Musa

71

Hadithi hii si kwamba inajenga itikadi ya tajsim tu, bali pia inaonesha kuwa

Allah ni mwenye taraakib (mijengeko) na ajzaau (migawanyiko na

vijisehemu) kwani kwa mujibu wa riwa hii, Allah ana:

1) Kidole cha ncha.

2) Kaidhihirisha baadhi tu ya sehemu ya kidole hicho.

Na juu ya yote hayo, mabwana wa Kiwahabi wanatwambia kuwa hii ni

Hadithi sahihi kama alivyosema muhakiki wa kitabu Al-Sunna Dr.

Muhammad bin Sa‟iid Al-Qahtaani.221

Kwa hali yoyote ile, Hadithi hii ni

balaa kubwa na balaa hili kwa mujibu wa sanad yake litakuwa limeletwa na

Hammad bin Salama222

ambaye tutamuelezea kwa urefu katika sehemu yake

maalumu.

Hadithi ya pili inasema:

الثش.ــــــػ ر حؼخ: أ١ حون أػظ ؟ هخ : حػ ػس ر حر٤ ، أ ؤ ػزي هللا ر

ح أل٢ ـــهوض ؟ هخ : ححػ٤ حي . هخ كز٢ حػ٤ ، كوخ : هخ: ـــخح

هفـــلر ؿ٣ؾ : خ ألخ أل٤ ؟ هخ : خ ل طل٠ ؼط . ح أل٤. هخ حر أ٣د: كوـض

٤٤ش ح ــــ٠ ، ك وطغ ، هي رـ٢ أ حر ػ ػ ح٣ ؿ ؿ٤ـــػ٠ ػزي هللا ر

ي خــ هـــق ي كؼزي هللا ر ػ ػ خ ر ػس ػ أر٤ ، ػ ػزي هللا ر ػ كب

هغ٣ خ آ ك٤خ ٣ظ ك٢ ظذ حلحث ، كخ ل ٣كؼ ا٠ حز٢ ػ٤ حال ٣لظــــــــ أ

يــهي ؿ ر٤ي طي حظذ ، ػ ل ٣ أ ٣ حي ححػخ أخء رؼ وهخط،

هللاـــك٢ حـ خ ٢ حػ٤ : ك٢ حلي٣غ حؼخرض ػ ػس، ػ ػخثش هخض : هخ

ح طوخ« . هوض حالثش » هللا ػ٤ : ٠

……Kutoka kwa „Ur-wa bin Al-Zubair (kasema) kwamba yeye alimuuliza

„Abdullahi bin „Amri bin Al-‟Aas: „Je ni viumbe gani wenye umbo kubwa

zaidi?‟ Akamwambia: „Ni Malaika‟. Akamuuliza: „Je wao wameumbwa

kutokana na nini?‟ Akamwambia: „Wameumbwa kutokana na nuru ya

dhiraa mbili na kifua.223

Kasema: „Basi akakunjua dhiraa zake mbili na

kusema: „Kuweni alfu alfu mbili (milioni mbili). Anasema Ibn Ayyuub:

„Nikamuuliza Ibn Juraij: „alfu alfu mbili (milioni mbili) ni nini?‟ Akajibu:

„Ni idadi isiohesabika‟. (Anasema Al-Bayhaqi): „Riwaya hii imeishia kwa

„Abdullahi bin „Amri na mpokezi wake ni mtu ambaye hakutajwa basi

sanad yake imekatika. Lakini pia imenifikia (riwaya hii) kwamba Ibn

aliyetoa kidole chake cha ncha, na maana zote hizo zimo katika riwaya nyengine ambazo

tumezinukuu huko mbele na zote ni uwongo wa kizindiki. 221

- Tama maelezo yake katika uk. 269 wa kitabu hicho. 222

- Kwani yumo katika sanad ya riwaya hio, naye ndiye mmoja wa wasimulizi wakuu wa

riwaya hizo. 223

- Yaani kutokana na nuru ya dhiraa mbili za Mungu na kifua cha Mungu kama

tulivonukuu katika juzuu ya kwanza. Kuhakikisha zaidi, tazama maelezo ya „Uthmaan Al-

Darimi anayomjibu Al-Marisi kuhusu riwaya hizi katika Al-Raddu „Alaa Al-Marisi j. 3, uk.

140-141.

Page 72: Fimbo ya Musa

72 „Uyaina kaipokea kutoka kwa Hisham bin „Ur-wa kutoka kwa baba yake

kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri. Ikiwa (haya) ni sahihi224

basi Abdullahi

bin „Amri alikuwa akisoma vitabu vya watu wa awali (Mayahudi na

Manasara), na kwa hivyo riwaya ambayo hakuihusisha na Mtume (s.a.w.)

inawezekana ikawa ni miongoni mwa alizozisoma katika vitabu hivyo.

(Anasema Al-Bayhaqi): “Kisha (elewa kwamba) si ajabu kwamba

makusudio ya kifua na dhiraa mbili kuwa ni majina ya baadhi ya viumbe

vyake, na ziko miongoni mwa nyota zenye kuitwa dhiraa‟ain (dhiraa

mbili). Na katika Hadithi thabiti kutoka kwa „Ur-wa kutoka kwa „Aisha

kasema kwamba Mtume (s.a.w.) kasema: „Malaika wameumbwa kutokana

na nuru‟, basi ni hivi tu bila ya kufungamanishwa na kitu (chochote kile: si

nuru ya dhiraa wala ya kifua).225

Hayo ndio maelezo ya Al-Bayhaqi, lakini pamoja na yote hayo, „Uthman

bin Sa‟id Al-Darimi, Imamu Adhimu wa Mawahabi na watangulizi wao,

kaikanusha vikali tafsiri hio alioitoa Al-Bayhaqi ambayo pia ndio tafsiri ya

Bishr Al-Marisi. Yaani Bishr Al-Marisi – na kama alivyoeleza Al-Bayhaqi –

anasema kuwa makusudio ya dhiraa mbili ni viumbe; wakati Al-Darimi hilo

kalikanusha akimaanisha kuwa ni dhiraa mbili za Allah!226

Hadithi ya tatu inasema:

خ ه٠٠ هللا هو حظو٠ غ اكي ؿ٤ ػ٠ حله

Allah alipomaliza kuumba kwake alilala chali akaweka mguu wake mmoja

juu ya mguu mwengine!227

Jamani! Huyu mungu wa Mawahabi kalala chali huku kapandanisha miguu!

Inaonesha alikuwa kachoka sana baada ya kuumba kwa hivyo akapumzika

kidogo! Hii ndio ambayo Mawahabi wanatwambia kuwa ni itakadi ya Al-

Salaf Al-Salih! Jamani! Hii ni itakadi ya Kiislamu, ukiwachilia mbali na

kuwa ni ya Al-Salaf Al-Salih? Tunawambia wale wanaofuata mkumbo tu

bila ya elimu wakidanganyika na propaganda za Kiwahabi za kukataa

maulidi na khitma na “kufuata Al-Salaf”, someni ili muujue uhakika wa

Kiwahabi: watakupelekeni kubaya sana. Hawa watu wamerithi itikadi za

224

- Pia Al-Darimi kaitaja riwaya hio kwa sanad hii: “Abu Usama kutoka Hisham bin „Ur-

wa kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri”. Tazama maelezo ya

„Uthmaan Al-Darimi anayomjibu Al-Marisi kuhusu riwaya hizi katika Al-Raddu „Alaa Al-

Marisi j. 3, uk. 140. 225

- Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 11, jalada la pili uk. 178-179, riwaya na. 744.

Na akaipokea Ibn Ahmad kwa ufupi katika Al-Sunna j. 2, uk. 475, riwaya na. 1084, uk.

510, riwaya na. 1195. 226

- Tazama maelezo ya „Uthmaan Al-Darimi Al-Raddu „Alaa Al-Marisi j. 3, uk. 140-141. 227

- Al-Darimi Al-Raddu „Alaa Bishri Al-Marisi j. 3, uk. 183.

Page 73: Fimbo ya Musa

73

mazindiki na Mayahudi! Nikikwambieni hivyo musijemukafiri nasema kwa

hamasa, chuki au kufyatua, bali hilo ni sahihi kabisa. Na ukipenda

kuhakikisha hilo tazama itikadi hio ya kupumzika kwa Mungu baada ya kazi

ya kuumba katika Bibilia iliopotolewa utakuta maneno haya:

Thus the heavens and the earth were finished and the hosts of them. And

on the seventh day God finished his work which he had done, and he

rested on the seventh day from his work which he had done..228

Namna hivi mbingu na ardhi zilimalizwa (kuumbwa) pamoja na vilivyomo

ndani yake. Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake ambayo aliifanya,

na akapumzika siku ya saba kutokana na kazi yake ambayo kaifanya..229

Hio ni riwaya ya Kiyahudi inasema kuwa Allah kapumzika baada ya

kuumba viumbe, nayo inakubaliana na riwaya ya Maimamu watangulizi wa

Kiwahabi, lakini wao wameongeza: “akalala chali na akaweka mguu wake

mmoja juu ya mwengine”! Je Sayyid Mafuta! Baada ya haya bado

utatudanganya kwamba kulikuwa na ufanisi mkubwa wa kuzidhibiti riwaya

katika vitabu vya uliowaita kuwa ni Ahlu Al-Sunna?!

RIWAYA ZA KUPONDA MADHEHEBU FULANI

Kama vile ambavyo vitabu, hususan vya Mawahabi na watangulizi wao,

vimejaa riwaya za kumshabihisha Allah na viumbe, halkadhalika vitabu

tafauti vimejaa riwaya za kuwaponda watu wa madhehebu nyengine. Hali

inazidi kuchukiza pale watu wanapotunga riwaya za namna hio kisha

wakazihusisha na Mtume (s.a.w.). Tazama mifano miwili mitatu:

٣وخ ــــــ٣ ك٢ أظ٠ ؿ “خي هخ هخ هللا ٠ هللا ػ٤ : ػ أ ر …

حؽ ــؿ ٣وخ أر ك٤لش أ ػ٠ أظ٠ ار٤، ٣ ك٢ أظ٠ لي ر اى٣

أظ٠ حؽ أظ٠

Kutoka kwa Anas bin Malika kasema: „kasema Mtume (s.a.w.):

„atakuweko mtu katika umma wangu anaitwa Moh‟d bin Idris (Yaani Al-

Imamu Al-Shafi) huyo ni mwenye madhara kwa umma wangu kuliko Iblis;

na atakuweko mtu aitwaye Abu Hanifa huyo ndiye taa ya umma wangu,

huyo ndiye taa ya umma wangu!‟ 230

Tazama watu hao wanavyomzulia uwongo Mtume wetu (s.a.w.)! Lakini

wakati riwaya hio ya kufinyanga inatwambia kwamba Abu Hanifa ni taa ya

228

- Genesis 2/ verse 1-3. 229

- Kutok Sura 2, Aya 1-3. 230

- Ibn Al-Jawzi Al-Mawdhu‟aat j. 2, uk. 48. Al-Suyuti, Tadrib Al-Rawi uk. 247.

Page 74: Fimbo ya Musa

74

Umma huu, riwaya nyengine iliomo katika kitabu Al-Sunna cha watangulizi

wa Kiwahabi inasema:

٣ؼ٢ أرخ ك٤لش كو اذ ا٠ حخك ٤خؼض ل٤خ حؼ١ ٣و هخ ٢ كخى ر أر٢

ػ ل٤خ حؼ١ هخ ؼض كخىح ٣و ..… طو ا حوآ وم كال طورخ ...... ا ـض

…………ك٤لش ٣و حوآ وم ه ٣خ خك ٣خ ي٣ن أل طؼـذ أرـ٢

…Nimemsikia Sufyaan Al-Thauri akisema: „Hammad bin Sulaiman

aliniambia: „Ondoka wende kwa huyu kafiri yaani Abu Hanifa…..‟.231

…… Kutoka kwa Sufyaan Al-Thauri kasema: „Nimemsikia Hammad bin

Sulaiman anasema: „Wewe hustaajabishwi na huyu Abu Hanifa! Eti

anasema kwamba Qur-ani imeumbwa. (Akasema Hammad kumwambia

Sufyaan): „Mwambie ewe kafiri, ewe zindiki (mnafiki).232

Halkdhalika kuna riwaya kama:

حوحؽ الد حخ

Khawarij ni mbwa wa motoni.233

Hadithi hii ni Hadithi ya kutunga bila shaka. Tutaielezea kwa urefu katika

kitabu chetu Khawaarij Baina Ya Ukweli Na Visa Vya Kutunga juzuu ya pili

in shaa Allah. Lakini kwa hapa nitakupa nukta mbili zenye kuonesha kuwa

hii ni Hadithi ya kutunga:

1) Jina Khawaarij halikuwepo kamwe wakati wa Mtume (s.a.w.), bali

lilizuka katika miaka ya 60+ baada ya kutokea harakati za Al-

Azaariqa. Bali Al-‟Aini, kama alivyonukuliwa na Sheikh Nasir Al-

Sabi‟i, yeye kakanusha kwamba jina Khawaarij lilikuwepo katika

zama za Hurqus bin Zuhair,234

basi vipi litakuwa jina hilo lilikuwepo

katika zama za Mtume (s.a.w.).

2) Yote yaliofanywa na wale wanaoitwa Khawaarij yamefanywa

maradufu na watu wa madhehebu nyengine. Kwa hivyo, ikiwa

kumekuwa na Hadithi hio kwamba wale ni mbwa wa motoni basi

231

- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 184, riwaya na. 239. 232

- Marejeo yaliotangulia uk. 185, riwaya na. 241. Riwaya kama hizi tumezinukuu kwa

wingi katika juzuu ya kwanza. 233

- Kaipokea Al-Humaidi Al-Musnad j. 2, uk. 404, Hadithi na. 908. „Abdul-Razzaaq Al-

Musannaf j. 10, riwaya na. 18663. Al-Tayaalisi Al-Musnad uk. 155, Hadithi na. 1136.

Ahmad bin Hanbal Al-Musnad j. 5, uk. 253,256. Abdullah bin Ahmad Al-Sunna Hadithi na.

1543,1542,1544. Al-Mar-wazi Al-Sunna uk. 22, Hadithi na. 55. Al-Tabarani Al-Kabir j. 8,

Hadithi na. 8033,8034,8035,8056….Al-Ajurri Al-Shari‟a uk. 33, 57. Tanbhihi: Takhrij hii

nilioitoa hapa nimeinukuu kutoka katika kitabu Al-Khawaarij Wa Al-Haqiqatu Al-Ghaaiba

cha Sheikh wetu Nasir Al-Saabi‟i uk. 397. Yako baadhi ya mambo kidogo nimeyaondoa ili

kuepusha kurefusha pasina faida kubwa. 234

- „Umdatu Al-Qaari j. 24, uk. 90. Yaani zama za watu wa Nahrawaan.

Page 75: Fimbo ya Musa

75

kipi kilichozuia wale waliofanya makubwa zaidi ya wao wasiwe

nguruwe wa motoni? Na kuna faida gani ya kuwahusisha watu hao

na hali hio mbaya ilhali kuna waliofanya maovu kuliko yao –

tukijaalia kuwa huo ubaya waliohusishwa nao ni kweli – lakini wale

waliofanya mabaya zaidi wasihusishwe na hali mbaya hio?!

Pia utakumbuka kwamba tuna Hadithi yenye kusema:

طلظم أظ٢ ػ٠ ػالع زؼ٤ كهش.…

…Na umma wangu utatafautiana makundi sabiini na tatu. 235

Katika kitabu chake Al-Salafiyya Al-Wahabiya, Al-Sayyid Al-Saqqaf

kaonesha kutokukubaliana kwake na riwaya hii. Hilo silo ninalotaka

kulieleza kwani ikiwa Hadithi hii ni sahihi – na ni sahihi236

– au si sahihi

kama alivyodai yeye, basi kwa hali yoyote ile matamshi haya ya Hadithi

hayaijeruhi madhehebu yoyote ile. Lakini cha kustaajabisha ni kile

alichokinukuu Al-Sayyid Al-Saqqaaf kwamba wengine wameichezea

Hadithi hio na baada ya maneno hayo yasemayo: “…na umma wangu

utatafautiana makundi sabiini na tatu” wakaongeza maneno yasemayo:

1) “Na kundi chafu lao ni Shia”.

2) Na wengine wakaongeza maneno yasemayo: “waovu wao ni wenye

kufanya qiyasi ya mambo kwa rai zao (yaani Mahanafi)”.

3) Na wengine wakaongeza maneno yasemayo: “wote wataingia peponi

isipokuwa Al-Qadariyya”.

4) Na wengine wakaongeza maneno yasemayo: “Isipokuwa

235

- Ibn Maja Al-Sunan Hadithi na. 3991,3992,3993. Al-Bauhaqi Al-Kubra j. uk. Hadithi

na. 21429. Al-Tabarani Al-Awsat j. 5, uk. 137, Hadithi na. 4886. Al-Mu‟ujamu Al-Saghir

uk. 267, Hadithi na. 711. Al-Mu‟ujamu Al-Kabiir j. 8, uk. 273, Hadithi na.

8051,8052,8053,8054,8055. 236

- Hadithi hio ni sahihi na sababu zote alizozitoa Al-Saqqaaf ili kuidhoofisha Hadithi hio,

hazikubaliki. Sababu ya kwanza ni kuwa sanad zake zote ni dhaifu. Lakini jawabu ni kuwa

Al-Imamu Al-Rabi‟u kaipokea kwa sanad sahihi kutoka kwa Abu „Ubaida kutoka kwa Jabir

bin Zaid kutoka kwa Ibn Abbaas. Sababu ya pili ni kuhusu matn ya Hadithi hio, nayo ni

kuwa makundi yaliomo katika umma huu ni zaidi ya sabiini na tatu, basi vipi Hadithi itadai

kuwepo kwa makundi sabiini na tatu tu. Lakini jawabu ni kuwa idadi hii hapa ٣ى ر حل

haijakusudiwa idadi yenyewe bali kilichokusudiwa ni wingi. Ni kama اخ أ٣ي ر حؼس

kusema: “omba mara elfu, lakini sikupi”. Hii haina maana kuwa kakusudia elfu na kwamba

ukiomba mara elfu mbili atakupa; bali kakusudia hata ukiomba mara zote basi hakupi. Na

hii ni kama Aya isemayo: هللا ل ـ ٣ س ك ٤ ز ؼ ـ ل ظ ط ا ل ـ ظ ل ط أ ل ـ ظ ح

(waombee msamaha au usiwaombee, hata ukiwaombea mara sabiini basi Allah

hatowasamehe). Hii haina maana kuwa mara sabiini ndio iliokusudiwa na kwamba

akizidisha sabiini msamaha utapatikana, bali maana ni kuwa hao hawatosamehewa hata

wakiombewa msamaha kiasi gani kwani wamemkufuru Allah na Mtume wake.

Page 76: Fimbo ya Musa

76

mazindiki”.

Tazama jinsi watu wanavyomzulia Mtume (s.a.w.) kwa msukumo wa

umadhehebu! Shia ndio wachafu wao kwa sababu ya kuwatukana

Masahaba, na yule aliyesema kuwa Mungu kaiumba nafsi yake kutoka

katika jasho la farasi yeye ni katika watu wema wao na ni katika Al-Salaf

Al-Salih! Kisha je Banu Umayya wao walikuwa hawawatukani Masahaba?

Kwa nini nao wasiwe “waovu wao”.

Hii ni mifano miwili mitatu ya jinsi gani hakukuwa na udhibiti wa riwaya na

kwamba riwaya za kutunga – hasa hasa katika mambo ya itikadi na siasa –

ziko kwa wingi mno na watu wanazitumia katika fiq-hi zao, itikadi zao,

mu‟amala wao, taarikh zao na da‟awa zao za kila siku. Kwa hivyo, madai

ya ufanisi wa hali ya juu si madai sahihi. Sitaki kurefusha sana kwani

riwaya za namna hii za kuwaponda watu wa madhehebu fulani na kuwasifu

watu wa madhehebu nyengine ambayo mtu anaifuata yeye ziko nyingi.

Baadhi yake kazitaja Ibn Al-Jawzi katika kitabu Al-Maudhu‟aat. Lakini cha

ajabu kwa Ibn Al-Jawzi ni kuwa yeye mwenyewe kafanya bidii kubwa ya

kukusanya na kuzikataa riwaya za namna hio, yaani riwaya za kutunga

katika kitabu chake hicho, kisha akarudi akatunga kitabu si kidogo

akakusanya riwaya tele za kutungiwa Al-Imamu Ahmad bin Hanbal na

akazikubali riwaya hizo! Na yeye mwenyewe huko akaeleza kwanini yeye

anamkubali zaidi Ahmad bin Hanbal pasina Maimamu wengine. Tumezitaja

baadhi ya riwaya hizo katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki.237

AL-JARHU WA AL-TA‟ADIL

Usisahau kwamba tuachokijadili hapa ni madai ya Kasim Mafuta ya

kuwepo kwa ufanisi wa hali ya juu katika kuzichunga Hadithi, na hayo

tulioyaeleza yanahusiana zaidi na mutun (texts) za Hadithi. Ama kwa

upande wa sanad, kama tunavyojua kwamba, usahihi wa Hadithi

unategemea pia hali ya wapokezi wake walivyo. Na njia rahisi zaidi ya

kuzijua hali za wapokezi ni kutazama maelezo ya wanavyuoni wakubwa wa

elimu ya wapokezi hususan wale waliokuwa wakiishi katika zama za

237

- Miongoni mwa hizo ni riwaya kama: “Alikufa mtu khanithi basi akaonekana usingizini

akasema: “Nimesamehewa; kazikwa Ahmad bin Hanbal basi watu wa makaburini

wamesamehewa”. Na riwaya kama: “Malaika wa mbingu ya saba mpaka kufikia mbingu ya

kwanza, wameshughulika na kufunga bendera ili kumpokea Ahmad bin Hanbal”. Na

nyengine nyingi, tumezinukuu katika juzuu ya kwanza.

Page 77: Fimbo ya Musa

77

masimulizi ya riwaya na hasa hasa wale ambao waliishi zama moja.238

Njia nyengine ya kuzijua hali za wapokezi ni kuzitazama riwaya za mpokezi

na kuzilinganisha na wapokezi wengine wenye kuaminika. Njia hii ni

ngumu kwa watu wa kawaida: ni lazima mtu aliyekuwa makini katika

kuzihifadhi Hadithi na kujua njia zake za mapokezi.

Sasa kama usahihi wa sanad unategemea pia hali ya wapokezi, basi elewa

kwamba suala la wapokezi nalo vile vile limekuwa na tafauti kubwa kwa

wanavyuoni. Na sababu kubwa ya tafauti hizo ni kasumba zao za

kimadhehebu ambapo mpokezi mwenye kuaminika huweza kujeruhiwa kwa

sababu ya itikadi yake na mpokezi dhaifu akakubalika kama ni thiqa

(mwenye kuaminika) kwa sababu ya itikadi yake. Na kama hili limetendeka

katika zama za masimulizi ya riwaya, basi elewa kwamba tatizo hili bado

linaendelea hadi leo hii katika zama za uchambuzi wa riwaya.

Katika miaka si chini ya mitatu nyuma niliingia katika maonyesho ya

vitabu. Nikaingia katika maktaba ya Kishia ili ninunue vitabu vya wapokezi

wa Kishia. Nikakikuta kitabu kimoja kikubwa sana kilichokusanya

wapokezi wengi. Kwanza nikakipekuwa. Lakini ikawa kila nikikipekuwa

sioni hata mpokezi mmoja aliyesemwa kuwa ni dhaifu. Nikamuuliza yule

muuzaji: “vipi kitabu hiki: mbona sioni mpokezi yoyote yule aliyesemwa

kuwa ni dhaifu?”. Akaniambia: “wamo, tazama huyu kaandikwa „Aammiy

(mtu wa ujumla au wa kawaida)”. Kumbe kwa mujibu wa Shia au

muandishi huyo wa Kishia „Aammiy ndiye mpokezi ambaye si mwenye

kuaminika.239

Sasa jiulize wewe: nini maana ya „Aammiy katika dhana hio

ya Kishia ya utaalamu wa wapokezi au fiq-hi ya Kishia kwa ujumla?

238

- Ingawa watu wengine wanaona kuwa kauli za waliokuja baadae katika kujeruhi ni bora

zaidi, kwani walioishi zama moja wakati mwengine hupigana vita na kujeruhiana kwa

mambo dhalili. Anasema Mash-hur bin Hasan katika utangulizi wake wa kitabu Majmuu‟a

Ajzaai Hadithiyya j. 2, uk. 55: “Maneno ya Aqraan (walio hirimu moja kwa zama na elimu.

Na katika elimu ya Hadithi ni wapokezi waliokaribiana kiumri na mapokezi)

wanapotuhumiana basi yanakunjwa wala hayasimuliwi, kwani kuishi zama moja ndio

chimbuko la kutafautiana”. Anasema Al-Dhahabi katika Al-Miizaan j. 1, uk. 111, tarjama

na. 438 katika tarjama ya Abu Nu‟aim: “Na maneno ya walio hirimu moja (kielimu na

zama) hayazingatiwi, hususan itapokudhihirikia kwamba (maneno hayo) yanatokana na

uadui au umadhehebu au husda. Na sina kumbukumbu kwamba kuna zama ambazo watu

wake wamesalimika na hayo…”. Lakini wengine wamebainisha kwamba hilo ni jambo

nadra: si aghlabu; na kwa hivyo wanavyuoni walioishi zama moja ndio hasa

wanaosikilizwa katika mlango huu. Tazama Al-Takhriij Wa Dirasatu Al-Asaaniid uk. 95.

Na Muhammad Khalif Salama Lisanu Al-Muhadithin j. 2, uk. 40. 239

- Tazama pi a kitabu Al-Raj‟a cha Sheikh Al-„Allama „Abdul-Latif Al-Baghdadi uk.

113.

Page 78: Fimbo ya Musa

78

„Aammiy yaani ni Sunni au ni kila asiyekuwa Shia!240

Kwa hivyo, kwa

mujibu wa kitabu hicho kila aliyekuwa si Shia huyo si mwenye kuaminika.

Na hili lingejuzu lau ilikuwa watu wa madhehebu nyengine kwao uwongo

ni halali yaani kwa mujibu wa misingi ya madhehebu zao uwongo ni halali

au watu wote wa madhehebu nyengine hawana uwezo wa kuhifadhi.

Lakini tatizo hilo si kwamba limeishia kwa Shia tu, wafuasi wa Banii

Umayya nao walikuwa na tatizo kama hilo. Anasema Ibn Sirin:

Walikuwa hawaulizi kuhusu sanad, basi ilipotokea fitna wakawa

wanasema tutajieni wapokezi wenu tuwatazame Ahlu Sunna tuchukue

Hadithi zao; na watu wa bidaa tusichukue kutoka kwao.241

Lakini je unawajua watu wa bidaa ni wepi na watu wa Sunna ni wepi? Watu

wa bidaa ni waliompinga Mu‟awiya na watu wa Sunna ni wafuasi wa

Mu‟awiya! Au watu wa bidaa ni waliompinga „Uthman na watu wa Sunna

ni baadhi ya waliompinga „Ali!

Anasema Sheikh Salih bin Ahmad Al-Busa‟idi katika research yake ya

kujipatia Shahada ya pili (Master Degree):

Imepokewa kutoka kwa Zaida bin Qudama kwamba alikuwa hamsimulii

(Hadithi) mtu yoyote mpaka wataposhuhudia watu waadilifu mbele yake

kwamba yeye ni katika Ahlu Sunna.242

Na akasema Hishaam bin „Ammar:

„Nimemkuta Shihaab bin Khiraash nami ni kijana akaniambia: „Ikiwa

madhehebu yako si qadari wala si murjiu basi nitakusimulia vyenginevyo

mimi sikusimulii……243

Na kwa muondoko huo wa kuwadhoofisha wapokezi kwa sababu ya itikadi

zao, basi utaposoma vitabu vya wapokezi utakuta ibara nyingi zisemazo

mpokezi huyu: “alikuwa na uwezo wa kuhifadhi lakini niliziwacha Hadithi

zake kwani alikuwa na rai ya Kikhawaarij, au rai ya Kiraafidha, au rai ya

Jahmiyya au Qadariyya n.k”, kama alivyosema Abu Daud kuhusu Al-Walid

bin Kathir Al-Makhzumi, kwa mfano, kwamba ni “Mwenye kuaminika

lakini alikuwa Ibadhi”.244

Na siasa hio ndio iliowafanya Abu Zur‟a Al-Razi

240

- Wengine wanasema Aammiy hasa, kwa mujibu wa Shia, ni Sunni. 241

- Abu Nu‟aim Al-Hilya j. 2, uk. 278. 242

- Al-Sakhaawi Fat-hu Al-Mughiith j. 2, uk. 135. Nukulu kutoka katika kitabu

Riwaayatul Hadith „Inda Al-Ibaadhiyya cha Sheikh Salih bin Ahmad Al-Busaidi uk. 160. 243

- Al-Sakhaawi Fat-hu Al-Mughiith j. 2, uk. 135. Al-Mizzi Tahdhibu Al-Kamaal j. 12, uk.

572. Nukulu kutoka katika kitabu Riwaayatul Hadith „Inda Al-Ibaadhiyya cha Sheikh Salih

bin Ahmad Al-Busaidi uk. 160. 244

- Al-Dhahabi Al-Mughni j. 2, uk. 724, tarjama na. 6882.

Page 79: Fimbo ya Musa

79

na Abu Hatim Al-Razi waziwache Hadithi za Al-Bukhari na wenzake kwa

sababu ya itikadi yao kwamba: “matamshi yetu tunaposoma Qur-ani, ni

kiumbe”. Lakini wakati unakuta ibara kama hizo katika vitabu vya

wapokezi, basi unakuta kwamba kilicho sahihi kwa wanavyuoni

muhaqqiqin ni kuwa mtu wa bidaa ikiwa bidaa yake haimtoi katika mila ya

Kiislamu245

basi riwaya zake zinakubalika akiwa anayo masharti mengine

ya usahihi wa riwaya. Sasa baada ya hayo, natutoe mifano miwili mitatu ya

jinsi gani watu wamejeruhiana kwa misingi ya tafauti za kiitikadi.246

Ukisoma tarjama (biography) ya tabi‟iy mkubwa, „Ikrima, utakuta kwamba

wakati kuna wengi mno waliomkubali, basi pia kuna waliomkataa kwa

sababu eti alikuwa Ibadhi247

au alikuwa Khawarij! Anasema Al-Dhahabi

kuhusu „Ikrima:

Ni mmoja wa vyombo vya elimu, lakini alisemwa vibaya kwa sababu ya

rai yake: si kwa sababu ya udhaifu wa hifdhi yake, basi alituhumiwa kuwa

alikuwa na rai ya Khawarij. Lakini kundi kubwa (la wanavyuoni)

wamesema kuwa ni mwenye kuaminika na Al-Bukhari kamtegemea; ama

Muslim yeye alimuepuka na akasimulia kidogo tu kutoka kwake (lakini

kasimulia kutoka kwake) akimfuatanisha na mpokezi mwengine; na Malik

kajiepusha naye na kujitenga naye isipokuwa katika Hadithi moja mbili.248

Hayo ni yaliosemwa kuhusu Ikrima. Ama ukisoma tarjama (biography) ya

Isma‟iil bin Sumei‟i utakuta maelezo haya:

Kasema Ahmad: „Alikuwa ni mwenye kuaminika lakini Zaaida kamuacha

kwa sababu ya madhehebu yake. …… Alikuwa na rai ya Khawaarij

niliandika (Hadithi) kutoka kwake kisha nikamuacha.249

Cha kujiuliza ni kuwa je ni Hadithi ngapi leo zilizomo katika Sahihu Al-

Bukhari na Sahihu Muslim na vitabu vinne vya Sunna na vyenginevyo

ambazo zimesimuliwa na hao walioitwa kuwa ni Khawaarij, na Mashia na

Qadariyya na wengine? Je Hadithi hizo tuzitoe na kuzitupa? Na sijui kama

ikiwa tutafanya hivyo basi tutabakiwa na robo ya Hadithi tulizonazo leo.

Anasema Ibn Hajar katika Tahdhibu Al-Tahdhib:

Na akasema Handhala bin Abi Sufyaan: „Tawus alikuwa akimkimbia

245

- Na wengine wakashurutisha kwamba asiwe mwenye kuilingania bidaa yake. 246

- Tumeona mifano ya Al-Bukhari, Muslim, Al-Karabisi, Abu Hanifa na wengine katika

juzuu ya kwanza ya kitabu hiki. 247

- Wengine wanasema kuwa „Ikrima hakuwa Ibadhi, bali ni Sufri. 248

- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 3, uk. 93, tarjama na. 5716. 249

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 266, tarjama na. 559.

Page 80: Fimbo ya Musa

80 Qataada. Na Qataada alikuwa akituhumiwa kuwa na (itikadi ya) qadariyya.

Na amesema „Ali bin Al-Madini: „nilimwambia Yahya bin Sa‟iid kwamba

„Abdul-Rahmaan anasema: „Muache kila aliye kiongozi wa bidaa ambaye

anailingania bidaa (yake)‟. Akasema: „utamfanyaje Qataada na Ibn Abi

Rawwaad na „Umar bin Dhar na akawataja watu wengi‟. Kisha Yahya

akasema: „ikiwa utawaacha watu wa aina hii, basi utawaacha watu

wengi..‟.250

Ninasema: tukirudi kwa „Ikrima na kujaalia kuwa kweli naye alikuwa ni

Khawarij au hakuwa Khawarij, basi ajabu ilioje ni madai ya wana-

madhehebu hao kuwa Khawarij ziachwe Hadithi zao kwa sababu ya itikadi

zao ilhali ulimwengu umeshuhudia kwamba Khawarij hawasemi uwongo

wala hawakutunga Hadithi! Wakati watu walevi wa nabiidh kama Waki‟u

kama tutavyoona huko mbele na waongo kama Ibn Batta, wao Hadithi zao

zichukuliwe!

Ama kuhusu mpokezi Isma‟iil bin Khalifa, utaona kwamba wengine

wamemkataa kwa sababu ya udhaifu, lakini „Abdul-Rahmaan (labda) bin

Mahdi alimkataa kwa sababu: “alikuwa akimtukana „Uthman”.251

Lakini

tujiulize ikiwa mpokezi huyu hakubaliki kwa sababu ya kumtukana

„Uthman, vipi kuhusu zile riwaya za waliokuwa wakimtukana „Ali? Vipi

riwaya za Qais bin Abi Hazim mwenye riwaya ya “kumuona Mungu kama

tunavyouona mwezi?” Utakumbuka kwamba Qais huyu naye katajwa kuwa

ni wenye kumtukana „Ali? Na ikiwa Mu‟awiya – kama alivyosimulia

Muslim252

– alikuwa akihimiza kumlaani „Ali na hilo likatekelezwa

kimatendo253

na likawa ni sunna kumlaani „Ali juu ya membari siku ya

ijumaa hata likaondoshwa na Imamu Muadilifu „Umar bin „Abdil-‟Aziiz

(r.a.),254

sasa vipi kuhusu riwaya za hawa Banii Umayya waliokuwa

wakimlaani „Ali na wakijiita wao kuwa ndio Ahlu Sunna Wal Jamaa‟a? Si

250

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 317, tarjama na. 637. 251

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 256, tarjama na. 545. 252

- Anasema „Aamir bin Sa‟ad bin Abi Waqqaas: أيش يعاية ت أتي سفيا سعذا فقال يا يعك أ

Mu‟awiya bin Abi Sufyaan alimuamuru Sa‟ad (bin Abi Waqqaas)“ تسة أتا انتشاب

akamwambia: “Ni kitu gani kinachokuzuia wewe usimtukane Abu Al-Turaab (Sayyidna

„Ali). Tazama Sahihu Muslim Hadithi na. 4420. 253

- Anasema Muslim:

ع سم ت سعذ قال استعم عهى انذية سجم ي آل يشا قال فذعا سم ت سعذ فأيش أ يشتى عهيا قال فأتى سم

فقال ن أيا إر أتيت فقم نع هللا أتا انتشاب فقال سم يا كا نعهي اسى أحة إني ي أتي انتشاب

Kutoka kwa Sahl bin Sa‟ad kasema mtu mmoja katika Banii Mar-waan alifanywa liwali

wa Madina. Basi akamwita Sahl bin Sa‟ad akamuamuru amtukane (Sayyidna) „Ali, basi

akakataa Sahl. Akamwambia: “Ama ukiwa umekataa (kumtukana kwa jina la Ali) basi

sema: “Allah amlani Abu Turaab (Al-Sayyid Ali). Akasema Sahl: “Ali hakuwa na jina

analolipenda zaidi kuliko Abu Turaab”. Tazama Muslim Sahihu Muslim Hadithi na. 4426. 254

- Tena kwa ushauri wa viongozi wa Kiibadhi.

Page 81: Fimbo ya Musa

81

Ibn Mahdi wala si Ahmad bin Hanbal wala si mwengine kaharamisha

kuzisimulia riwaya za Banii Umayya. Sasa uadilifu uko wapi? Ni wazi

kwamba suala la kuwakubali wapokezi na kutokuwakubali kwa kiasi

kikubwa limeathirika na msukumo wa rai za kimadhehebu. Ndio maana Al-

Imamu Ahmad akakataza kupokea Hadithi kutoka kwa Mahanafi kama

ilivyoelezwa kwamba:

ــ٤لش ٤ـــــككيػخ ػزي هللا ر أكي هخ ؤض أر٢ ػ أي ر ػ يم هخ ألخد أر٢

ػ ت ٣زـ٢ أ ٣

Katusimulia „Abdullah bin Ahmad kasema nimemuuliza baba yangu (Al-

Imamu Ahmad bin Hanbal) kuhusu Asad bin „Amri: je ni mkweli?

Akasema: „Wafuasi wa Abu Hanifa haitakiwi kusimuliwa chochote kutoka

kwao‟.255

Cha kujiuliza ni kuwa je kila mfuasi wa Abu Hanifa ni mwongo au hana

uwezo wa kuhifadhi hata Al-Imamu Ahmad akasema hivi? Na cha

kusikitisha zaidi ni kuwa baada ya kuwa kuna kundi la wapokezi ambao

wamekataliwa kwa sababu ya madhehebu zao japokuwa wenyewe walikuwa

ni wenye ucha Mungu na uwezo wa kuhifadhi; basi kuna kundi jengine

limekubalika kwa sababu ya madhehebu zao japokuwa walikuwa ni walevi,

waongo au madhaifu. Al-Imamu Ahmad bin Hanbal, kwa mfano,

anamkubali msimulizi mwenye kunywa nabiidh na nabiidh hata kama

kidogo hailevyi lakini nyingi inalevya. Ibn Abi Ya‟ala, Al-Khatib, Al-Mizzi,

Al-‟Aini na wengine wamesimulia riwaya isemayo:

لخد حش ل ر٤ش خض ك٤، ــــ أر ؿؼل حل٠٤ هق ر خ حزح، كوخ: خ أ

ي، كو٤: ٣خ أرخ ػزي هللا اــهللا حطز: هق ر خ ػي أك د حز٤. هخ حلخكع زش

، د أ ٣دــح ػ، هللا ػيخ حؼوش حل٤ ٣د؟ كوخ: هي حظ٠ ا٤خ ػ

Abu Ja‟afar Al-Nufaili alimtaja Khalef bin Hisham Al-Bazzaar, akasema:

„alikuwa ni katika watu wa Sunna lau si mtihani aliokuwa nao – kunywa

nabiidh. Amesema Al-Haafidh, Hibatu Al-Lahi Al-Tabari, Khalef bin

Hisham alitajwa mbele ya (Al-Imamu) Ahmad akaambiwa: ewe Abu

„Abdillah (Al-Imamu Ahmad)! Hakika ya huyu anakunywa (nabiidh).

Akajibu (Al-Imamu Ahmad, kwamba): „imetufikia habari hio kuhusu yeye,

lakini yeye Wallahi kwetu sisi ni mwenye kuaminika akinywa au

asinywe!256

Msimamo huo wa Al-Imamu Ahmad, umefuatwa na wanavyuoni wafuasi

255

- Al-‟Uqaili Al-Dhu‟afaau j. 1, uk. 23. 256

- Badru Al-Diin Al-‟Aini Maghaani Al-Akhyaar j. 1, uk. 295.

Page 82: Fimbo ya Musa

82

wa skuli yake waliokuja baadae. Al-Dhahabi kamkubali mpokezi mmoja

mwenye kunywa nabiidh kwa sababu anaafikiana naye, lakini kamkataa

mpokezi mwengine naye ni Bishr Al-Marisi si kwa sababu ya itikadi yake

tu, bali pia kwa sifa mbaya ya kunywa nabiidh! Anasema Al-Dhahabi

kuhusu Bishr Al-Marisi, mwanachoni wa Kihanafi: ،خ ؿ٤خ هي ػي حيش

Na alikuwa ni Jahmi (mfuasi wa Jahmu bin Saf-waan)..…خ ٣د حز٤257

ana heshima katika serikali na alikuwa akinywa nabiidh.258

Wakati Al-

Dhahabi hapa anamtia aibu Al-Marisi si kwa sababu ya ujahmiyya tu bali na

kwa kitendo chake cha kunywa nabiidh, tunamkuta Al-Dhahabi huyo huyo

– na wengine kwa maelfu – wanamkubali Waki‟u bin Al-Jarraah naye ni

mnywaji wa nabiidh vile vile. Anasema Al-Dhahabi katika Al-Siyar kuhusu

Wakii‟u:

٤ ٢ هللا ػ ٤ غ؟!ك ؼ أ ٣ غ، ؼ خ حإل ١ ٣ ك ش ح ح د ز ٤ خ ال خ ح ك غ

خ ، ك ــ ، ر ل ك ٢ ظ ؤ …… ، ح ز ٤ ٣ حظل ٢ ق ح ه ي

Allah amridhie Wakii‟u, na yuko wapi aliye mfano wa Wakii‟u? Na

pamoja na hayo alikuwa haachani na kunywa nabiidh ya Al-Kufa ambayo

(ukiinywa) nyingi yake inalevya, basi yeye alikuwa ni mwenye kuiletea ta-

awil (kwamba ni halali) katika kuinywa kwake………..na nabiidh hio

tulioitaja imethibiti kwamba imekatazwa (na Mtume s.a.w.) na kwamba

imeharamishwa….. 259

Kwa hivyo, ikiwa miongoni mwa masharti ya kukubalika kwa mpokezi ni

kuwa muadilifu na asiwe mwenye kufanya madhambi ya wazi, kwanini tena

Waki‟u akubalike na kusifiwa kwa sifa kemkem naye anakunywa nabiidh

yenye kulevya kwa mujibu wa maelezo ya Al-Dhahabi? Je ta-awil yake tu

inatosha kumtoa katika kutokukubalika? Kama yeye ta-awil yake inamtosha

kwa nini wengine isiwatoshe?

Hilo ni mosi nalo ni la kumkubali mpokezi au kumkataa kwa sababu ya

madhehebu yake. Pili ni kuwa kuna idadi kubwa ya wapokezi ambao

wamejeruhiana kwa sababu ya ugomvi wao katika mambo ya kawaida.

Mifano iko mingi mno katika vitabu vya wapokezi. Mfano mmoja ni

mpokezi aitwae Ahmad bin Salih Al-Misri ambaye katajwa kuwa ni

mpokezi thiqa (mwenye kuaminika). Lakini Al-Nasai kamkataa na kusema:

257

- Bishr Al-Marisi hakuwa mfuasi wa Jahm, bali alikuwa ni mwanachuoni wa Kihanafi

na labda alikuwa na rai chache za Kimu‟utazila. Lakini jahmi kwa mujibu wa Mahanbali na

vijukuu vyao vya Kiwahabi ni tusi analotukanwa kwalo kila asiyekubali kuwa Allah ana

viungo! 258

- Al-Dhahabi Siyaru Al-A‟alaam j. 10, uk. 201. 259

- Al-Dhahabi Siyaru Al-A‟alaam j. 9, uk. 143.

Page 83: Fimbo ya Musa

83

“si mwenye kuaminika”, na akanukuu maneno ya Ibn Ma‟iin akisema: „ni

mwongo‟. Lakini Ibn Hibbaan akabainisha kwamba Ahmad bin Salih

ambaye kaitwa mwongo na Ibn Ma‟iin ni Ahmad bin Salih Al-Shumuumi

ambaye alikuwa Makka akitunga Hadithi. Kwa hali yoyote ile, Al-Khalili

(si Mufti wa Oman) anasema kuwa wanavyuoni wamekubaliana kwamba

“maneno ya Al-Nasai dhidi yake (Ahmad bin Salih Al-Misri) ni upendeleo”.

Na sababu ya Al-Nasai kuyasema yote hayo, ni kuwa Ahmad bin Salih Al-

Misri alimfukuza Al-Nasai katika majlisi yake”.260

Na kwa hivyo, Al-

Hafidh Al-„Iraqi asema:

خ ق ي ر ك

ج ٢ ك ٢ أ خ ف *** خ ـ ح ال ى خ ر

Huenda maneno ya mwenye kumjeruhi mpokezi yakakataliwa**Kama vile

maneno ya Al-Nasai kuhusu Ahmad bin Salih.261

Kwa hivyo, kwa kuwa kuna Hadithi nyingi dhaifu bali za kutunga ndani ya

vitabu vinavyokubalika kabisa na watu wamezikubali na kuzitolea hoja

Hadithi hizo pamoja na udhaifu wake; na kwa sababu kuna tafauti baina ya

wanavyuoni wa Kisunni katika Hadithi nyingi zilizomo vitabuni mwao; na

kwa sababu kumekuwa na khilafu katika kuwakubali wapokezi na

kuwakataa; na kumekuwa na upendeleo wa wazi wa kuwakubali wapokezi

na kuwakataa kwa sababu za Kimadhehebu; basi tunasema kwamba ufanisi

wa hali ya juu alioudai Kasim Mafuta ni kuendeleza propaganda tu

zilizoanza kwa Imamu wake mkuu, Mu‟awiya mwanangwa wa bwana Abu

Sufyaan, na ukweli bado unabakia pale pale kwamba kila Hadithi, ikiwa ni

ya Al-Bukhari au ya Muslim; ya Shia, ya Sunni au ya Ibadhi; ni lazima

itazamwe kwa vipimo vyake vyote na ikiwa itapingana na qat‟iyyaat

(mambo ya yakini) ya kiakili au Aya za Qur-ani basi hio ni Hadithi ya

kutunga hata ikiwa imepokelewa na mtu mwenye elimu kiasi gani. Hii ndio

minhaj sahihi na ndio minhaj ya Masahaba (r.a). Soma maelezo yafuatayo

ili kulifahamu hilo vyema.

260

- Tazama maelezo hayo katika Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib 1, uk 34-36, tarjama na.

68. 261

- Al-Hafidh Al-Iraqi Al-Alfiyya uk. 122, babu ma‟arifati al-thiqaati wa al-dhu‟afaa‟i.

Page 84: Fimbo ya Musa

84

MINHAJ YA MASAHABA KATIKA

KUZICHUNGUZA HADITHI

Baada ya hayo, elewa kwamba minhaj (njia) ya Masahaba katika

kuzichunguza Hadithi haikuishia katika kutazama sanad tu, bali ilikuwa ni

kuzitazama mutun za Hadithi – je hazipingani na qat‟iyyaat (mambo ya

yakini) ya kiakili au Aya za Qur-ani? Al-Sayyida „Aisha (r.a.), kwa mfano,

aliikataa Hadithi inayosema: “Hakika ya maiti anaadhibiwa kwa sababu ya

kulia jamaa zake”. Al-Sayyida „Aisha (r.a.) aliikataa Hadithi hio kwa sababu

Mwenyezi Mungu anasema: “Wala (nafsi) haibebi mzigo wa (nafsi)

nyengine”.262

Umar bin Al-Khatab (r.a.), naye, aliikataa Hadithi ya Fatma bint Qais

kwamba: “Alipoachwa na mumewe talaka ya kutokurejea tena, basi Mtume

(s.a.w.) hakulazimisha tena kuwa apewe chakula na makazi”. Umar (r.a.)

alipoisikia kauli hio alisema: “Hatuachi Kitabu cha Mola wetu na Suna za

Mtume wetu kwa kauli ya mwanamke (ambaye) hatujui kama kahifadhi au

kasahau”.263

Al-Imamu Ali (k.w.) aliikataa Hadithi ya Ma‟aqil bin Sinan kuhusu hukumu

ya Ibn Mas‟ud kwa mwanamke aliyefiwa na mumewe. Akasema Al-Imamu

Ali: “Wallahi hatuachi Kitabu cha Mola wetu kwa maneno ya bedui

anayekojolea visigino vyake (hata kwenda chooni hajui)”.264

Hio ndio minhaj (methodology) ya Masahaba: walikuwa wakiipima Hadithi

kwa kipimo cha Qur-ani kwanza, ikiwa kuna mgongano basi walikuwa

wakitosheka na Qur-ani. Hayo waliyafanya Masahaba katika zama za awali

kabisa, katika jamii iliokuwa bora kabisa, katika zama zilizokuwa karibu na

Mtume (s.a.w.); katika jamii iliomuona Mtume (s.a.w.); na katika wakati

ambao uwongo ulikuwa haujulikani ulivyokaa; basi vipi sisi leo baada ya

262

- Tazama Sahihu Muslim Hadithi na. 928. Abu Dawud Al-Sunan Hadithi na. 3127. Na

wameitaja: Dr Wahbat Al-Zuhaili Usulu Al-Fiq-hi Al-Islami j. 1, uk. 466. Sheikh Al-

Mufasirin Al-‟Allaama Ahmad Al-Khalili Al-Fatawa kitabu 1, uk. 27. Nuru Al-Din Al-

Salimi Sharhu Tal‟ati Al-Shams j. 2, uk. 19. Na wako wengine walioiletea tafsiri Hadithi

hio na kuitoa katika mgongano, lakini hicho sicho ninachotaka kukieleza hapa: ninachotaka

kukieleza hapa ni hii minhaj (methodology au njia ya uchambuzi wa maandiko) kwa

Masahaba (r.a.). 263

- Tazama Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 1180. Na wameinukuu: Dr Wahbat Al-

Zuhaili Usulu Al-Fiq-hi Al-Islami j. 1, uk. 466. Sheikh Al-Mufasirin Al-‟Allaama Ahmad

Al-Khalili Al-Fatawa kitabu 1, uk. 27. Nuru Al-Din Al-Salimi Sharh Tal‟ati Al-Shams j. 2,

uk. 19. 264

- Tazama Dr Wahbat Al-Zuhaili Usulu Al-Fiq-Hi Al-Islami j. 1, uk. 447-8.

Page 85: Fimbo ya Musa

85

kuwa tuko mbali mno na zama za Mtume (s.a.w.); tumekuja baada ya

kutokea fitna nyingi baina ya Waislamu zilizopelekea kutokea kwa tatizo

kubwa la utunzi wa Hadithi za uwongo au kuzidisha na kupunguza katika

masimulizi ya Hadithi;265

tumekuja baada ya kujitokeza tatizo kubwa la

maadui wa Kiislamu kupandikiza Hadithi na itikadi batili: je sisi si

tunastahiki zaidi kuifuata minhaj (methodology) hio ya Masahaba ya

kuzipima mutun za Hadithi kwa kipimo cha mutun za Qur-ani kwanza? Au

je sisi si tunastahiki zaidi kuifahamu Qur-ani kwanza ili iwe ndio kipimo

cha kuifahamu matn ya Hadithi? Ninasema: kufanya hivyo si kuzikanusha

Hadithi bali ni jaribio la kuzitafuta Hadithi sahihi na hii ndio njia ya Ahlu

Al-Haqqi Wa Al-Istiqaama katika kuzielewa mutun za Hadithi na bila shaka

ndio njia ya Al-Salaf Al-Salih na ndio njia ya wanavyuoni wakubwa na ndio

njia yenye salama. Soma maelezo, ya wanavyuoni wa skuli kuu tatu za

Kiislamu, ambayo niliyaandika katika kitabu Mezani Ya Haki kuhusu njia

moja muhimu ya kuisoma matn ya Hadithi.

MANENO YA WANAVYUONI

Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili: “Basi riwaya zao hazivuuki

(daraja) ya kuwa Ahadi:266

hazina nguvu ya kuipinga Qur-ani”.267

Anasema Al-Imamu Nuru Al-Din Al-Salimi:

Basi tumejua – kutokana na hali ya Masahaba – kukikataa kila kilichokuwa

hivyo (kupingamana na andiko la wazi la Qur-ani au Hadithi

265

- Anasema Al-Zuhri: ػيخ زح ك٤ؿغ ا٤خ حػخ٣وؽ حلي٣غ “Hadithi hutoka kwetu

shubiri moja, ikirudi kutoka Iraki imekuwa dhiraa nzima”. Tazama Dr. Mustafa Al-Sibaa‟i

Al-Sunna Wa Makaanatuha uk. 96. Na kwa hivyo Al-Imamu Malik alikuwa akiita Iraki

kuwa ni “ىح ح٠د” nyumba ya kufua, yaani Hadithi zinafuliwa huko kama zinavyofuliwa

dhahabu na fedha! Tazama marejeo hayo hayo. Na kabla ya wawili hawa, basi Mkuu wao

na mbora wao Al-Sayyida „Aisha alisema kuhusu Hadithi ya Dhu Thudaiy – ikiwa Hadithi

hio itasihi – basi kasema hivi:

ي م ز ا ل ه خ ـ ٤ ج خ ٣ ؼ ل ٣ ال خ ا ٢ هللا ػ ٤ خ هللا ػ ك حم ٣ ؼ ح ذ أ ك ٤ هللا

٣غ ي ل ك ٢ ح ٤ ػ ٣ي ٣ ٤ ػ ر ٣

Allah amrehemu Ali (r.a.), hakika yake alikuwa haoni kitu chenye kumfurahisha isipokuwa

husema: “Allah na Mtume wake wamesema kweli”, basi watu wa Iraki wakawa

wanamzulia na wanamuongezea katika Hadithi. Tazama Ahmad Al-Musnad j. 1, uk. 267-

268, Hadithi na. 656. 266

- Hadithu Ahadi ni ile iliopokelewa na wapokezi wachache katika tabaka tatu za

mwanzo au moja ya tabaka hizo, nayo ni kila Hadithi ambayo haikufikia daraja ya

mutawatir. 267

- Sheikh Al-mufasirin Badru Al-din, Al-Khalili Al-Fatawa kitabu 1 uk. 27.

Page 86: Fimbo ya Musa

86 mutawatir)……na aliikataa „Aisha habari ya Abi Uthmaan katika

kuadhibiwa maiti kwa sababu ya kulia jamaa zake, na akamsomea (Aya

inayosema): „Wala (nafsi) haibebi mzigo wa (nafsi) nyengine.‟ Ikiwa

umeijua kanuni hii, basi ikatae kila Hadithi ambayo imekwenda kinyume

na dalili ya wazi (ya Qur-ani au Hadithi mutawatir). 268

Anasema Al-Imamu Al-Hujja Al-Qannubi:

Na ubainifu wa hayo ni kwamba umma umekubaliana kuikataa Hadithi

iliopingana na andiko la Qur-ani.269

…….Haya yote ni pale ambapo

(Hadithi hio) haikugongana na andiko la Kitabu (cha Allah)…….ama

ikigongana na kitu katika hayo wala isiwezekane kuvijumuisha kwa njia

yoyote ile basi (Hadithi hio) inahukumiwa kuwa ni ya kutunga.270

Anasema Al-Imamu Ja‟afar Al-Saadiq:

Na mukisimuliwa Hadithi ikiwa mutaipatia ushahidi ndani ya Qur-ani au

katika kauli ya Mtume (s.a.w., basi hivyo ndivyo inavyotakiwa),

vyenginevyo basi kilichokujieni ni bora zaidi.271

…………Kila kitu

kinarejeshwa katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna, na kila

Hadithi ambayo haiwafikiani na Kitabu cha Mwenyezi Mungu basi ni

upuuzi (mtupu).272

………Atayekwenda kinyume na Kitabu cha Allah na

Sunna za Muhammad, basi amekufuru.273

Anasema Al-‟Allaama Murtadha Mutahhari:

Kwa sababu Qur-ani ndio mezani na kipimo cha vyanzo (sources)

vyengine vyote. Hadithi na Sunna inatupasa tuzipime kwa kipimo cha Qur-

ani ili tuone ikiwa vinakubaliana na Qur-ani basi tuvikubali na

vyenginevyo (kama vinapingana) basi

tusivikubali.274

………………..Yaani kuzizingatia kwetu Hadithi za Al-Kafi

(kitabu cha Hadithi cha Kishia) kunategemea kiwango cha makubaliano

yake na Qur-ani na mafunzo yake (mafunzo ya Qur-ani). Na kwa sharti

kwamba pasiwe na tofauti baina yao (baina ya Qur-ani na Hadithi).

Alikuwa Mtume (s.a.a.w.) na Maimamu waliotakasika wanasema:

268

- Al-Imamu Al-Salimi Sharhu Tal‟ati Al-Sham j. 2, uk. 19. 269

- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Imamu Al-Rabi‟u Makanatuhu Wa Musnaduhu uk. 112. 270

- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Saif Al-Haad uk. 78-79. 271

- Al-Imamu Ja‟afar Al-Saadiq Al-Kafi j. 1, uk. 69. Nukulu kutoka katika kitabu Al-Tas-

hihu cha Al-Musawi. 272

- Al-Imamu Ja‟afar Al-Saadiq Al-Kafi j. 1, uk. 69. Nukulu kutoka katika kitabu Al-Tas-

hihu cha Al-Musawi. 273

- Al-Imamu Ja‟afar Al-Saadiq Al-Kafi j. 1, uk. 70. Nukulu kutoka katika kitabu Al-Tas-

hihu cha Al-Musawi. 274

- Murtadha Mutahhari Ja‟afar Saadiq Al-Khalili Ma‟arifatu Al-Qur-ani uk. 19.

Page 87: Fimbo ya Musa

87 „Zipimeni kauli zetu na Qur-ani, iliokuwa haikubaliani nayo katika hizo,

basi hakika yake ni ya kutunga na ya kuzua imenasibishwa kwetu.‟ Basi

sisi hatusemi chenye kuipinga Qur-ani.275

Anasema Al-Sayyid Saeed Akhtar Rizvi:

Lakini bado kuna Hadithi nyingi ambazo hazielezeki kwa njia yoyote. Na

wanavyuoni wetu bila kusita wamezikataa kwa sababu zinakwenda

kinyume na Qur-ani na Sunna na zinagongana na makubaliano ya

umma.276

Anasema Al-Imamu Abu Is-haaq Al-Shirazi Al-Shafi:

(Mpokezi) mwenye kuaminika akiisimulia Hadithi, basi inakataliwa kwa

moja katika mambo matano………… (moja ni kuwa) ikiwa itakwenda

kinyume na andiko la wazi la Qur-ani au Hadithi Mutawaatir.277

Anasema Al-Imamu Al-Khatib Al-Baghdadi: ”Haikubaliki Hadithi Ahadi

katika kugongana….na hukumu ya Qur-ani”.278

Anasema Al-Imamu Shamsu Al-Din Ibn Al-Qayyim: “Na Hadithi ya

kutunga ina alama zake……miongoni mwa hizo ni kwenda kinyume na

(andiko) la wazi la Qur-ani”. 279

Anasema Al-Imamu Ibn Kathir Al-Mufassir: “Inajulikana Hadithi ya

kutunga kwa mambo mengi…kama vile kwenda kinyume na kilichothibiti

katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu”.280

Anasema Al-Imamu Al-Hafidh Ibn Hajar:

Na miongoni mwa hizo (alama za Hadithi ya kutunga) zinachukuliwa

kutoka katika hali ya kilichopokewa (yaani matn ya Hadithi yenyewe)

kama kugongana na andiko la wazi la Qur-ani.281

Anasema Al-Imamu Al-Mufasir, Al-Sayyid Muhammad Rashid Ridha:

275

- Murtadha Mutahhari Ja‟afar Saadiq Al-Khalili Ma‟arifatu Al-Qur-ani uk. 19. 276

- Sayyid Saeed Akhtar Rizvi Wahabi‟s Fitnah Exposed uk. 49. 277

- Al-Imamu Abu Is‟haaq Al-Shirazi Al-Lluma‟u Fii Usuli Al-Fiq-hi uk. 78. 278

- Al-Khatib Al-Baghdadi Al-Kifaaya Fii Fanni Al-Riwaya uk. 432. 279

- Ibn Qayyim Al-Jawziyya Al-Manar Al-Munif uk. 43-44. 280

- Al-Imamu Ibn Kathir Ulumu Al-Hadith kilichotiwa maelezo na Ahmad Shaakir uk.

74. 281

- Al-Haafidh Ibn Hajar Nuzhatu Al-Nadhar uk. 120.

Page 88: Fimbo ya Musa

88 Na ikiwa miongoni mwa kasoro za Hadithi ambazo zinazuia kuiita Hadithi

kuwa ni sahihi, ni kule mpokezi kwenda kinyume na mpokezi mwengine

ambaye ni katika wapokezi wenye kuaminika (zaidi), basi (Hadithi)

kwenda kinyume na (andiko la) uhakika la Qur-ani ambayo ni mutawatir,

inastahiki zaidi kuondoshewa usahihi wake.282

Kwa hivyo, baada ya haya, utaona kuwa sisi tunashauru kwamba njia bora

ya kuzifahamu Hadithi ni kwanza kuifahamu Qur-an kwa mujibu wa fani

zake za tafsiri. Hapo ndipo utapokuwa bingwa wa kujua ػ حلي٣غ kasoro za

Hadithi. Na bila shaka atayeisoma Qur-ani kwa kuzijua fani za tafsiri au

hata kwa kuzionja tu na kusikia harufu yake kama hivi sisi, basi hawezi

kukubaliana na riwaya za kuonekana kwa Allah kwani tafsiri ya Qur-ani

iliojengeka katika fani za tafsiri haitoi mwanya huo kamwe.

MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU

Kwa hivyo, mukhtasari wa jawabu yangu kwa maneno ya Sheikh Kasim bin

Mafuta yasemayo:

Pili, mafundisho yote ya Mtume wetu Muhammad -swalla llaahu alayhi

wasallam- yamehifadhiwa katika vitabu vya maulamaa wa Ahlu Sunna

wal-Jamaa kwa ufanisi mkubwa mno kiasi ambacho hakuna jambo lolote

linalohitajika kubainisha itikadi au hukumu ya mambo ya dini ya kiislamu

isipokuwa jambo hilo limedhibitiwa kwa ufanisi wa hali ya juu,

ni kuwa:

1) Ufanisi huo alioudai yeye, haina maana kwamba hakuna Hadithi

dhaifu na za kutunga katika vitabu vya Hadithi hata vile ambavyo

vinategemewa sana kama Sahihu Al-Bukhari na Sahihu Muslim.

2) Wanavyuoni wa Kisuni wenyewe wanatafautiana katika vipengele

kadha wa kadha vya itikadi.

3) Mara nyingi unakuta kwamba chimbuko la tafauti zao hizo ni

kuzikubali na kuzikataa baadhi ya riwaya.

4) Wanavyuoni wa Kisuni wamezikataa baadhi ya riwaya za itikadi na

za matendo hata zile zilizopokewa na Al-Bukhari na Muslim.

5) Masuni na Maibadhi wote wameamua kutokuitendea kazi Hadithi

Al-Thaqalain alioipokea Muslim na Hadithi ya kuwa Masahaba wote

watakwenda motoni ila wachache alioipokea Al-Bukhari, isipokuwa

wale waliofasiri Hadithi hio kwa maana nyengine kama tulivyoeleza

kabla.

282

- Al-Sayyid Mohd Rashid Ridha Al-Manar j. 1, uk. 85-86.

Page 89: Fimbo ya Musa

89

6) Kuna idadi kubwa ya riwaya za Al-Bukhari na Muslim

zilizodhoofishwa na vigogo wa Kisuni kama Abu Zur‟a, Al-

Daraqutni na wengine, wakati riwaya hizo kwa Al-Bukhari na

Muslim ni sahihi. Bali hata Mu‟awiya, Sahaba, kaipinga riwaya

ambayo baadae Al-Bukhari na Muslim waliipokea. Naye hakuipinga

kwa sababu ya sanad yake ambapo ingewezekana kusema kwamba

labda baadae Al-Bukhari na Muslim waliigundua sanad sahihi

kuliko ile alioipinga Mu‟awiya; bali yeye aliipinga matn ya riwaya

hio.

7) Riwaya kadha wa kadha za Al-Bukhari na Muslim zimesimuliwa na

watu ambao kwa itikadi ya Kiwahabi/Kihanbali ni makafiri, kama

vile Qadariyya, Khawaarij munaowaita mbwa wa motoni, Murjia,

Shia, wenye itikadi za kijahmiyya na wengine ambao si Ahlu Sunna.

8) Na kwa hivyo:

a) Ufanisi wa hali ya juu haukufaulu 100%.

b) Na hii ina maana kwamba ni lazima riwaya zote zipimwe katika

sanad zake na mutun zake. Haitoshi kudai kwamba “Ahlu

Sunna, au Ibadhi au Shia au wengine wamedhibiti Hadithi kwa

ufanisi wa hali ya juu”.

Page 90: Fimbo ya Musa

90

KIFUNGU CHA PILI CHA KUJADILIWA

Anaendelea Sheikh Kasim bin Mafuta kwa kusema:

Tatu, katika kuhakikisha kuwa mafundisho hayo sahihi ya dini ya kiislamu

yanahifadhiwa na hayachanganyiki na upotofu wowote, maulamaa wa Ahli

Sunna wal Jamaa wameweka misingi madhubuti juu ya usahihi wa

mapokezi hayo ya riwaya za hadithi za bwana Mtume -swalla llaahu alayhi

wasallam- na ukweli wa wapokezi hao kama tulivyofundishwa na Qur‟an

tukufu pale aliposema Allah:

ح ن ر ز ب ك ظ ز ٤ ك خ خء ؿ ح ا آ ٣ خ ح ٣ خ أ ٣

Enyi mlioamini ! akikujilieni mwovu (fasiki) na habari yoyote

basi ichunguzeni.283

Kwa mujibu wa aya hii ni kwamba, si kila asemaye; amesema Mtume -

swalla llaahu alayhi wasallam- atakuwa msemaji huyo ni mkweli, na

atakayo yanukuu yatakuwa ni kweli maneno ya Mtume, bali ni lazima

uchunguzi wa kina ufanyike ili kujua usahihi wa habari hiyo aliyoileta na

udhaifu wake. Kwa sababu hiyo, maulamaa wa hadithi baada ya kufanya

utafiti wa kina pamoja na kutumia uzoefu wao wa muda mrefu, wakaweka

misingi madhubuti inayowahusu wapokezi wa hadithi. Pia wakaweka

kanuni maalumu kwa ajili ya udhibiti wa njia sahihi za kukubaliwa hadithi

na kurudishwa. Na pia yakatumika maneno ya kiistalahi ambayo yanaleta

maana maalumu na hayo yamejaa kwa wingi katika vitabu vyao. Kwa

mantiki hiyo, yoyote anayetaka kuzungumzia masuala yanayofungamana

na elimu ya hadithi; usahihi wake na udhaifu wake, hana budi kuzijua

kanuni hizo na maneno hayo ya kiistilahi. Na kama hatafanya hivyo, basi

lililobora kwake ni kunyamaza kuliko kusema, kwa sababu hatima yake ni

kupotosha watu kwa kuzisahihisha hadithi zisizo sahihi au kuzidhoofisha

hadithi zilizo sahihi na yote mawili ni balaa, hasa ukizingatia kwamba

maneno ya Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam- ni

sheria.284

283 - al Hujraat (49) aya 6.

284 - Kasim Mafuta, Hoja Zenye Nguvu uk. 6-7.

Page 91: Fimbo ya Musa

91

KUYAJADILI MANENO HAYA

Maneno haya – kama unavoona – kimsingi yanahusu sanad (wapokezi) za

Hadithi. Dhahiri inavyofahamika kutokana na maelezo hayo, ni kuwa kila

sanad yenye wapokezi walioitwa kuwa ni sahihi au wenye kuaminika basi

huo ndio udhibiti wenyewe wenye kupelekea kukubalika kwa Hadithi hio!

Lakini kuna mambo mawili muhimu ya kuyafahamu:

1) Kama vile ambavyo wanavyuoni wametafautiana juu ya mutun

(texts) za Hadithi, vivyo hivyo wanatafautiana juu ya wapokezi

wa Hadithi. Na ikiwa Abu Hatim na Abu Zur‟a

wamemdhoofisha Al-Bukhari na Ibn Manda akamsema kwamba

Al-Bukhari anaghushi, basi waliobakia watakuaje? Anasema

Abu Suhaib Al-Karmi katika maelezo yake marefu:

…pili hakuna yoyote katika wanavyuoni wa karne ya tatu na ya

nne aliyedai kwamba kila kilichomo katika Sahihi mbili hicho ni

sahihi………………….pamoja na kuwa tukizitazama Hadithi za

sahihi mbili na kauli za waliotangulia basi tunakuta idadi kubwa ya

Hadithi hizo zimepingwa, nao (hao waliozipinga) ni watu wenye

ufundi na elimu katika mambo haya kama vile: Yahya bin Sa‟iid

Al-Qattaan, „Abdul-Rahmaan bin Mahdi, „Ali bin Al-Madini,

Ahmad (bin Hanbal), Yahya bin Ma‟iin na wengine. Halkadhalika

lau tukizilinganisha Hadithi za sahihi mbili na maneno ya

wanavyuoni walioishi nao zama moja au waliokuja baadae basi

tungelikuta idadi si ndogo ya Hadithi hizi zinadhoofika kwa

mujibu wa masharti yao, mfano wa Abu Hatim, Abu Zur‟a, Al-

Nasai, Abu Daud, Ya‟aquub bin Sufyaan Al-Fasawi, Ya‟aquub bin

Abi Shaiba, Al-‟Uqaili, Ibn „Adei, Al-Azdi na wengine…….285

2) Pili ni kuwa: hakuna itifaki juu ya kila kanuni ya Hadithi.

Masharti ya Al-Bukhari katika kuikubali Hadithi, kwa mfano, si

masharti ya Muslim, jambo ambalo linapelekea Hadithi za huyu

kuwa ni dhaifu kwa yule. Sheikh Abu Suhaib tuliyemnukuu hapo

juu anatoa mfano wa tafauti ya Al-Bukhari na Muslim kuhusu

sharti ya wapokezi wawili kuishi zama moja: je hilo linatosha

kuthibitisha kuwa mpokezi mmoja kasikia riwaya kutoka kwa

mpokezi mwengine au ni lazima kuwe na andiko kwamba

wamekutana au aseme katika riwaya yake kwamba nimemsikia

fulani? Al-Bukhari na jumhur ya watu wa Hadithi wa awali na

wa baadae wamejenga kanuni (principle) kwamba kuishi zama

285 Abu Suhaib Al-Karmi Utangulizi Wa Musnad Ahmad uk. 326-337. Nukulu kutoka

katika kitabu Al-Tufan j. 3, uk. 163.

Page 92: Fimbo ya Musa

92

moja tu hakutoshi kuthibitisha kwamba mpokezi mmoja kaisikia

riwaya kutoka kwa mpokezi wa pili; wakati Muslim yeye kwake

kuishi zama moja kunatosha kuthibitisha kwamba mpokezi

mmoja kaisikia riwaya kwa mpokezi wa pili. Muslim – katika

Sahihi yake – kaijengea kanuni hii katika riwaya kadha wa kadha

alizozisimulia, nayo ni kanuni ilio kinyume na kanuni ya jumhur.

Anasema Abu Suhaib:

Kanuni hii peke yake basi inatosha kuzidhoofisha kiasi cha Hadithi

mia tano (500) za Muslim. ……….Kisha tazama wale

waliosimulia riwaya kwa wingi katika (kitabu Sahihi) Muslim

….kama Abu Al-Zubair, Abu Sufyaan, Mu‟awiya bin Salih, Suhail

bin Abi Salih, Al-‟Alaa bin „Abdil-Rahmaan kutoka kwa baba

yake, Hammad bin Salama, „Ikrima bin „Ammaar, Simaak bin

Harb, Ja‟afar bin Sulaiman….hawa kwa ujumla wao wana Hadithi

katika (Sahihu) Muslim ambazo ninavyodhani zinazidi mia tano

(500), na pamoja na hayo hao wote Al-Bukhari hatoi hoja kwa

Hadithi zao (kwa mujibu wake wapokezi hao ni dhaifu).286

Sitaki kurefusha sana kwani maudhui hii si fupi lakini mukhtasari huu

umeshatoa picha halisi ilivyo. Na umeona huko nyuma kwamba

kumekuwepo kwa kujeruhiana sana kwa misingi ya tafauti za kiitikadi na za

kimadhehebu na nyenginezo. Kwa ufupi, ni kuwa:

a) Madai ya Bwana Mafuta la kwamba Ahlu Sunna wameweza

kudhibiti riwaya za Hadithi na kuweza kuwajua wapokezi dhaifu

na sahihi si madai sahihi 100%. Ahlu Sunna wametafautiana sana

katika riwaya na wapokezi wake.

b) Madai kwamba Ahlu Sunna wameweza kuweka vidhibiti ambavyo

kwavyo imewezekana kupambanuka riwaya sahihi kutokana na

riwaya dhaifu kwa ufanisi wa hali ya juu, pia si madai sahihi.

Huyu Muslim kigogo wa Ahlu Sunna287

naye kakusanya Hadithi –

kama ulivyoona – si chini ya mia tano kwa kutegemea sharti

iliokinyume kabisa na sharti ya Al-Bukhari au sharti ya jumhur.

Hii ni kusema kwamba kwa mujibu wa Al-Bukhari na jumhur

Hadithi hizo zote za Muslim zilizojengeka juu ya sharti hio

hazikuthibiti. Ongeza na tafauti yao juu ya masharti ya kuwakubali

286

- K.h.j. 287

- Au – kwa mujibu wa misingi ya Kiwahabi na watangulizi wao – kigogo wa Ahli Al-

Bidaa (kigogo wa watu wa bidaa), kwani Muslim ni katika jumla ya watu waliokuwa

wakisema kwamba matamshi yao wanapoisoma Qur-ani ni kiumbe. Na kauli hii – kwa

viongozi wa Kiwahabi – ni kauli chafu ya bidaa! Tumeyaeleza hayo na kutoa marejeo

katika juzuu ya mwanzo ya kitabu hiki.

Page 93: Fimbo ya Musa

93

wapokezi fulani fulani utapata natija ya wazi ya kutokuwepo

ufanisi huo wa hali ya juu alioudai Bwana Mafuta.

TANBIHI

Tumetoa maelezo kuhusu tafauti ya Al-Bukhari na Muslim juu ya wapokezi

je kuishi kwao zama moja kunatosha kuonesha kuwa mpokezi mmoja

kapokea Hadithi kutoka kwa mwengine au ni lazima kuwe na ushahidi

kwamba wamekutana? Na tafauti hii inaihusu hadithun mu‟an‟an. Jumhuri

ya wanavyuoni wanasema hivyo, bali labda ni wanavyuoni wote. Lakini

nimesoma utafiti (research) wa Sheikh Al-Sharif Hatim bin „Aarif Al-

Awfi aliouita Ijmaa‟u Al-Muhaddithiin, naye ni Sheikh wa sasa wa Suudia,

yeye, kwa mukhtasari, anasema kwamba wanavyuoni walioinasibisha kauli

hio kwa Al-Bukhari wamekosea: ukweli ni kuwa Al-Bukhari hakuwa na

sharti hio. Kwa halili yoyote ile, ikiwa Al-Bukhari alikuwa na sharti hio au

hakuwa nayo, basi tayari sharti hio imeshatendewa kazi na wanavyuoni

wakubwa wa Kisuni wakati wanavyuoni wakubwa wengine hawakuitendea

kazi. Na hii ndio nukta (point) ninayoizungumzia.

Sasa baada ya kuyatazama yale alioyaandika Sheikh Kasim bin Mafuta

katika utangulizi wake wa sura hio ya pili ambayo inahusu elimu ya Hadithi,

na baada ya tanbihi hii, natutazame alioyaandika katika sura yenyewe.

Page 94: Fimbo ya Musa

94

MASHARTI YA USAHIHI WA HADITHI

Usisahau kwamba mjadala wetu tangu tumeanza sura ya kwanza ya kitabu

hiki ni kuhusu suala la elimu ya Hadithi ambalo Kasim Mafuta

kalizungumzia katika kitabu chake. Na sasa natutazame masharti ya usahihi

na udhaifu wa Hadithi kama ulivyoelezewa na Al-„Allama Kasim

mwanangwa wa Mafuta. Anasema Sh. Kasim bin Mafuta akitaja masharti

ya kukubalika Hadithi, kwamba ili Hadithi ikubalike basi ni lazima kuwe

na:

Uadilifu, ni lazima kila mpokezi wa hadithi za Mtume - swalla انعذانة (1

llaahu alayhi wasallam- awe ni mtu mwenye akili timamu,mwenye uwezo

wa kupambanua mambo hata kama ni mtoto mdogo, awe mkweli, mcha

mungu na wala asiwe mwongo, zenye

kuvunja heshima.

تاو انضثط (2 Hifdhi nzuri wala asiwe mwenye kufanya maasia kwa dhahiri

wala asiwe na tabia mbaya, mpokezi awe na uwezo wa kudhibiti maneno

aliyo yapokea, bila ya kubadilisha chochote katika maana yake,au kukosea

sana,au kubabaika kulikopetuka mipaka wakati wa kusimulia mapokezi

hayo.

Kuungana kwa sanadi (msururu wa wapokezi) kwa kuwa kila اتصال انسذ (3

mpokezi awe amepokea kutoka kwa aliye juu yake mpaka mwisho wake

(kwa huyo ambaye habari hiyo imenasibishwa kwake, ima bwana -Mtume

swalla llaahu alayhi wasallam- au swahaba n.k.

Isiwe habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni عذو انشزر (4

yenye kupingana na habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au

wengi zaidi kuliko yeye).

Wala isiwe na ila (kasoro iliyojificha) kama vile عذو انعهة انخفية انقاددحة (5

Idh‟tiraabu (mgongano baina ya wapokezi n.k) au kuwa ni habari

Maq‟luub (yenye kugeuzwa)

Katika masharti haya tuliyoyataja, yako ambayo likikosekana moja tu basi

hadithi haitakubaliwa,kama vile:

1-Kuwa mpokezi si muadilifu,kwa kuwa ni mwongo au asherati n.k.

2-Kupatikana kasoro kama vile mgongano katika sanadi (njia) au

mgongano wa maneno katika habari hiyo, kisha ikawa imeshindikana

kuziunganisha au kuipa nguvu njia moja juu ya nyingine.

Tanbihi:

Habari inaweza kuwa na njia nyingi, na katika njia hizo wakawepo

wapokezi wasio madhubuti kwa kuwa wanakosea kiasi, au silsila

(mtiririko) wa wapokezi haukuungana, kutokana na wingi wa njia hizo

Page 95: Fimbo ya Musa

95 habari hiyo itapata uzito na kuhesabiwa kuwa ni sahihi, na kwa lugha ya

kitaalamu huwa wanaiita “HASANUN-LIGHAIRIHI”.

Amesema Imamu An-Nawawiy:

ؼلخ آح اح آح كخ خ آه ؿ حل٤ حيم ح٣ كلع ٠ؼق ؼل خ خ ر

....آه ؿ رـ٤ج ح إلخ

“Bali ile hadithi ambayo imekuwa ni dhaifu kwa sababu ya udhaifu wa

mpokezi wake ambaye ni mkweli mwaminifu utaondoka (udhaifu huo)

kwa kuja kwake kupitia njia nyingine na itakuwa ni HASAN (sahihi)

Na vile vile ukiwa udhaifu wake ni kwa sababu ya Ir‟saal (atakaposema

Taabi‟I amesema Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam-) pia udhaifu huo

utaondoka kwa kuja (kupokewa) kwa njia nyingine…”.

Hivyo basi, inawezekana ukaifuatilia hadithi kisha ukazikuta takriban njia

zake zote zina udhaifu, hapo hutakiwi kuwa na pupa na kuanza kuihukumu

hadithi yote kuwa ni dhaifu, bali unatakiwa kuihukumu sanad husika tu, na

useme kwamba sanad ya hadithi hii ni dhaifu. Kwa sababu udhaifu wa

sanad moja tu, si ushahidi wa udhaifu wa hadithi yote yenye njia nyingi.

Na kama ukitaka kuihukumu hadithi yote kwa njia zake zote unatakiwa

ufanye kazi ya kuzikusanya sanad (njia) zote kisha ndiyo uichambue sanad

moja baada ya nyingine kwa kufuata kanuni na taratibu za elimu ya hadithi

(mustalahul-hadithi).

Na kama itakubainikia kuwa njia zote zina udhaifu, basi pia unatakiwa

kuangalia sababu za udhaifu wake. Je udhaifu wake ni mwepesi au mzito?

Kama ni mwepesi basi hadithi hiyo kwa kuzijumuisha njia zote hizo

itakuwa ni “Hasanun-Lighayrihi” (sahihi) na itafaa kuifanya kuwa ni hoja

ya kisheria, na wala haitohesabiwa kuwa ni dhaifu.

Hili ni jambo muhimu sana katika elimu ya hadithi kulifahamu

nakulizingatia, lakini ndugu Juma kwa makusudi hakuuzingatia utaratibu

huu kwenye kitabu chake “Hoja zenye Nguvu” kwa sababu anazozijua

mwenyewe, kwani yeye ndiye aliyesema hivi: “kitaalamu ikiwa hadithi

imepokewa na wapokezi wengine kabisa, lakini hadithi ni ile ile, basi

huambiwa kuwa hadithi hiyo ina shahidi”. Mwisho wa kunukuu. Tazama

“Hoja zenye Nguvu” ukurasa 70. Lakini huko mbele -Inshaallah-

utazigumdua sababu zilizomfanya ndugu Juma aupuuze utaratibu huu.288

288

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 7-10.

Page 96: Fimbo ya Musa

96

MAELEZO YETU JUU YA MANENO HAYO

Nukta ya kwanza yenye kuhusu uadilifu, haina mushkeli wowote,

isipokuwa tumeona huko nyuma kwamba kuna walevi wa nabiidh

ambao maimamu wa Kasim Mafuta wamewaita kuwa ni wenye

kukubalika katika mapokezi ya riwaya. Kama vile tulivyoona

kwamba mtu kama Ibn Batta naye pia ni mwenye kuaminika katika

ulimwengu wa riwaya za Kiwahabi!

Nukta ya pili: inasema:

تاو انضثط Hifdhi nzuri wala asiwe mwenye kufanya maasia kwa

dhahiri wala asiwe na tabia mbaya, mpokezi awe na uwezo wa

kudhibiti maneno aliyo yapokea, bila ya kubadilisha chochote

katika maana yake, au kukosea sana,au kubabaika kulikopetuka

mipaka wakati wa kusimulia mapokezi hayo.

Katika nukta hii, Sheikh mafuta umechanganya mambo! Cha kusikitisha

zaidi ni kuwa kitabu chake hiki kimepitiwa na mabingwa wenye kujua lugha

ya Waarabu, elimu ya Hadithi na elimu ya vitenda kazi! Unapozungumzia

تاو انضثط Hifdhi nzuri, basi maneno “Wala asiwe mwenye kufanya maasia

kwa dhahiri wala asiwe na tabia mbaya,” hayahusiani na kanuni hii, maneno

hayo yanahusiana na kanuni ya mwanzo ya “Uadilifu”.

Ama kuhusu kipengele chenye kusema: “Au kukosea sana,” tunauliza: je

katika kipengele hiki, mpokezi HAMMAD BIN SALAMA ambaye

umemtetea sana haingii?! Wewe hapa unakiri kwamba mpokezi akiwa

anakosea sana huyo Hadithi yake haiitwi kuwa ni sahihi, wakati Hammad

bin Salama alikuwa ni mwenye kukosea sana kama alivyosema Al-Imamu

Ahmad na wengine kama tutavyomuelezea kwa urefu tukifika katika

sehemu yake in shaa Allah, sasa vipi tena kule umeikubali riwaya yake nayo

ni kinyume na kanuni hii ulioichora hapa kwa kalamu yako mwenyewe?!

Nukta ya nne: inasema:

Isiwe habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni عذو انشزر

yenye kupingana na habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au

wengi zaidi kuliko yeye).

Hii ni kanuni nyengine ambayo wewe mwenyewe umekwenda kinyume

nayo katika Hadithi ya Hammad bin Salama ya tafsiri ya ziada iliotajwa

katika Aya ya Surat Yunus kuwa maana yake ni kumuona Allah. Hammad

Page 97: Fimbo ya Musa

97

bin Salama anasema kuwa Hadithi hio inatoka kwa Suhaib (sahaba) kutoka

kwa Mtume (s.a.w.), wakati Hadithi hio wameipokea watu kama:

1) Sulaiman bin Mughira.

2) Hammad bin Zaid, na huyu ni bora zaidi kuliko Hammad bin

Salama.

3) Hammad bin Waaqid.

4) Ma‟amar bin Rashid.

Hawa wote wameipokea riwaya hio kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka

kwa „Abdul-Rahmaan bin Abi Laila “maneno yake yeye” (si maneno ya

Mtume s.a.w.). Sasa vipi wewe hapa umekwenda kinyume na kanuni

ulioiandika kwa mkono wako?! Hawa wapokezi ambao ni wengi zaidi na

wengine ni madhubuti zaidi, kwanini uchukue riwaya shaadha na uwache

riwaya mahfudha?!

Nukta ya tano: inasema:

Wala isiwe na ila (kasoro iliyojificha) kama vile عذو انعهة انخفية انقاددحة

Idh‟tiraabu (mgongano baina ya wapokezi n.k) au kuwa ni habari

Maq‟luub (yenye kugeuzwa).

Ninasema: ni vyema kuitanua nukta hii ili na Hadithi yako ya Hammad bin

Salama nayo ikapata nafasi ya kuingia. Usisahau kwamba mpokezi thiqa

(mwenye kuaminika) lakini akawa na awhaam (makosa mengi) basi riwaya

yake aliyopwekeka nayo haiwezi kuwa hoja hususan akienda kinyume na

wengine. Hii pia ni illatun qaadiha (kasoro yenye kubomoa usahihi wa

Hadithi). Halkadhalika mpokezi thiqa (mwenye kuaminika) lakini akawa ni

mwenye kughushi na hadithi yake ikawa ni mu‟an‟an au muannan au njia

nyengine ambazo hazioneshi kuwa yeye kaisikia riwaya hio moja kwa moja

kutoka kwa Sheikh wake, hizo zote ni illal (kasoro zenye kubomoa usahihi

wa Hadithi).

Sasa baada ya haya wacha tuingie katika maudhui hii kwa ufafanuzi.

Natuanze kwa kuyatazama maelezo hayo ya Sheikh Mafuta kwa ujumla

yanalenga wapi na yana kasoro gani.

Page 98: Fimbo ya Musa

98

MAELEZO ZAIDI KUHUSU USAHIHI

NA UDHAIFU WA HADITHI

Kwa ujumla ni kuwa maelezo ya Sheikh Kasim Mafuta yanalenga kwamba

Hadithi itapotimiza masharti hayo alioyatoa yeye basi Hadithi hio inakuwa

ni sahihi na tayari izingatiwe na kutumika! Kama hivyo, ndivyo

alivyokusudia – na dhahir hayo ndio makusudio yake – basi hayo si maelezo

ya tahqiq ya kielimu, bali ni maelezo ambayo yanafanana sana na meneno

ya mwanafunzi ambaye hajafahamu undani wa elimu hizi!

Kwa ufupi ninachotaka kukieleza hapa ni kuwa kusihi kwa sanad tu, sio

kusihi kwa Hadithi yenyewe na hilo tumeligusia huko nyuma. Bali

wanavyuoni wamekubaliana kwamba kudhoofisha na kusahihisha ni mambo

mawili ya dhana tu: si ya hakika. Isipokuwa ikiwa riwaya imepingana na

Qur-an, Sunna mutawaatira au makubaliano ya umma, hapo kudhoofika

kwake inakuwa ni jambo la yakini. Kama umelielewa hilo, basi elewa

kwamba Hadithi ziko za namna nne kuu. Namna mbili, mtafiti hawezi

kuzigundua ila awe ni mwenye mambo matatu:

1) Kaifahamu vyema tafsiri ya Qur-ani.

2) Ana uwezo mzuri wa lugha ya Kiarabu.

3) Ni mwenye ufahamu mkali wa kufahamu mambo kwa undani. Na

hiki ni kipaji Allah humpa amtakaye Wallahu Dhul Fadhli Al-

‟Adhiim. Bila shaka kabisa kipaji hiki Mawahabi haikuwa bahati

yao.

Ama aina nne za Hadithi hizo ambazo mtafiti ni lazima azijue, ni

1) Hadithi ambazo sanad zake ni dhaifu, lakini maneno yake ni sahihi

kwa sababu ya kukubaliana na Aya za Qur-ani au mafunzo ya

ujumla ya Uislamu.

2) Hadithi ambazo sanad zake ni dhaifu na maneno yake ni munkar.

3) Hadithi ambazo sanad zake na maneno yake ni sahihi.

4) Hadithi ambazo sanad zake ni sahihi lakini maneno yake ni dhaifu.

Kwa hali hii, tunapozungumzia Hadithi sahihi si kwamba tunatazama sanad

tu, bali pia tunatazama na maneno ya Hadithi yenyewe – je hayako kinyume

na Aya ya Qur-an au tafsiri sahihi ya Aya iliojengeka juu ya minhaj (njia)

sahihi ya tafsiri kwa kufuata utaratibu wa lugha ya Kiarabu na kanuni

nyengine za tafsiri; au je haipingani na hoja za yakini za kiakili? Maelezo

alioyatoa ndugu yetu Sheikh Kasim bin Mafuta yote yametazama upande

mmoja – upande wa sanad. Na ndio maana Sheikh Kasim akasema:

Page 99: Fimbo ya Musa

99 Na muislamu yeyote mwenye imani ya kweli akifikiwa na habari yoyote

ambayo ni sahihi kutoka kwa Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- hana

budi kuikubali na kuusadiki ujumbe uliobebwa na hadithi hiyo na huo ndio

ukamilifu wa “Shahaadatu Anna Muhammadan Rasuulu-llahi” (kukiri

kwamba Muhammad ni Mjumbe wa Allah) nayo ni:

Kuyaamini yote aliyokuja nayo mjumbe huyo na kuyasadikisha yote

aliyoyaelezea kutoka kwa mola wake hata kama akili zetu duni

hazikubali, na kadhalika kumtii Mtukufu huyo kwa kutenda mema

aliyoyaamrisha na kuyaacha mabaya aliyoyakataza.289

Yaani, ilivyowazi kabisa katika maneno haya ya Mafuta ni kuwa, kilicho

muhimu ni usahihi wa sanad. Ndio maana Hadithi iliopingamana na akili

zetu alizoziita kuwa ni akili zetu duni akaikubali kuwa ni habari yoyote

ambayo ni sahihi, ilhali Hadithi ikigongana na akili ni jambo moja lenye

kubomoa usahihi wake kama walivyoeleza wajuzi. Sheikh Abu Is-haaq Al-

Shirazi katika katabu chake Al-Luma‟u,290

Ibn Al-Jawzi katika kitabu Al-

Maudhu‟aat,291

Al-Khatib Al-Baghdadi katika Al-Kifaya292

na wengine

wametaja sababu za kuikataa Hadithi yenye sanad sahihi na kwamba moja

ya sababu hizo ni Hadithi kwenda kinyume na akili.

Lakini kwa mfumo huo wa Kasim Mafuta na wenzake, ndio wameweza

kuzikumbatia riwaya nyingi zenye kumfananisha Allah na viumbe, bila

kuzingatia kwamba riwaya hizo ni kinyume na Qur-ani na ni kinyume na

akili.

Na hivyo nilivyokueleza ndivyo ilivyoelezwa na wataalamu:

1) Anasema Ibn Al-Jawzi: “Na huenda sanad yote ikawa ni ya

wapokezi wenye kuaminika, na Hadithi ikawa ni ya kutunga au

maqlub (imegeuzwa) na (ikawa) kumetendeka ghushi”.293

2) Anasema Ibn Al-Salah: “Na huenda ikasemwa kwamba Hadithi hii

sanad yake ni sahihi, ilhali (Hadithi yenyewe) haikusihi kwani ni

shaadh au ni yenye ila”.294

3) Anasema Al-Tibiy: “Hadithi sahihi au hasan; na huenda sanad

ikawa ni sahihi au ni hasan pasina matn (maneno) yake kwa sababu

ya kuwepo kwa shudhudh au ila”.295

289

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 100. 290

- Abu Is-haq Al-Luma‟u uk. 173. 291

- Ibn Al-Jawzi kanukuliwa na Al-Suyuti katika Tadribu Al-Rawi uk. 247. 292

- Al-Khatib Al-Kifaya uk. 432. 293

- Ibn Al-Jawzi Al-Mawdhu‟aat j. 1, uk. 99-100. 294

- Ibn Al-Salah Al-Muqaddima uk. 113.

Page 100: Fimbo ya Musa

100

4) Anasema Al-Nawawi: “Na huenda sanad ikawa ni sahihi au ni

hasan wala (Hadithi yenyewe) isiwe sahihi wala isiwe hasan kwa

sababu ya kuwa ni shaadh au ni yenye ila”.296

5) Anasema Ibn Taymiyya:

Na Hadithi ya thiqa (mpokezi mwenye kuaminika) huenda

ikawachwa itapojulikana kwamba kakosea, basi yule asiye na ujuzi

akadhania kwamba kila alichokisimulia mtu huyo wanakitolea

hoja wenye vitabu Al-Sihah, wala hali haiko

hivyo”.297

………Hadithi ngapi sahihi (sanad zake) zimeungana

(hazikukatika pahala) kisha ndani yake kunakuwa na ziada na

upungufu; na huenda likaongezeka tamko ambalo linaiziba maana

(ikawa haiko wazi).298

……………………..Nayo (Hadithi hio) ni

kinyume na Qur-ani ilivyosema pamoja na kwamba mabingwa wa

watu wa Hadithi wanathibitisha kwamba Hadithi hii ina

kasoro….na haya ndio yenye kuitwa maarifa ya kasoro za Hadithi;

isnad ya Hadithi dhahiri yake inakuwa nzuri lakini kwa kupitia

njia nyengine ikajulikana kwamba mpokezi wake kakosea

akairuf‟Aisha (akaihusisha na Mtume s.a.w.) nayo ni mawquuf

(inatoka kwa sahaba au aliye chini yake)……..299

6) Anasema Ibn Al-Qayyim:

Na imejulikana kwamba usahihi wa sanad ni sharti katika masharti

ya usahihi wa Hadithi; wala si kwamba (usahihi wa sanad)

unaifanya Hadithi ndio iwe sahihi…..300

…….Ama kauli yenu

kwamba sanad yake imesihi, basi hilo halitoi faida ya kuihukumu

kuwa ni sahihi; kwani usahihi wa sanad ni sharti (moja tu) au ni

sehemu ya sababu ya kuujua usahihi: si kwamba ndio kitu kamili

chenye kupelekea (kuujua usahihi wa Hadithi); basi usahihi wa

sanad tu haulazimishi kwamba Hadithi ndio sahihi…...301

7) Anasema Dr. Jamal bin Muhammad Al-Sayyid:

Mas-ala ya pili: kuhusu tafauti baina ya kauli yao (wanavyuoni)

wanaposema: “Hadithi sahihi” na wanaposema: “Isnad yake ni

sahihi”. Yametangulia (maelezo) katika mas-ala yalio kabla ya

295

- Al-Tibiy Al-Khulasa. Nukulu kutoka katika kitabu Al-Saifu Al-Haad cha Al-Qannubi

uk. 135. 296

- Al-Nawawi Al-Irshaad uk. 69. 297

- Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 18, uk. 31, faslu (Shartu Al-Bukhari Wa Muslim). 298

- K.h.j. uk. 34, faslu (Al-Ziyaada Wa Al-Nuqsaan Fii Al-Hadithi Sahihi Al-Ittisaal). 299

- K.h.j. uk. 19, faslu (Ikhtilafu Hawla Sihati Al-Hadith). 300

- Ibn Al-Qayyim Al-Furusiyya uk. 64. 301

- Ibn Al-Qayyim Tahdhibu Sunan Abi Dawud j. 1, uk. 112.

Page 101: Fimbo ya Musa

101 haya ubainifu (alioutoa) Ibn Al-Qayyim – rahimahu Allah –

kwamba hakuna ulazima wa kuambatana baina ya uthiqa

(kuaminika) wa wapokezi na usahihi wa sanad; na baina ya usahihi

wa Hadithi yenyewe. Ikiwa hilo limekubalika, basi inatakiwa

patafautishwe baina ya kusema kwao: “Hadithi sahihi” na baina ya

kusema kwao: “Isnad sahihi”.

Faida ya pili: kuhusu uaminifu wa mpokezi haumaanishi usahihi

wa kila alichokisimulia. Ikiwa Maimamu watamuhukumu mpokezi

kwamba ni mwenye kuaminika, je hilo linamaanisha usahihi wa

kila Hadithi alioisimulia?

8) Anasema Sheikh Al-Jibrin:

….Basi imekuwa mashuhuri kutoka kwao (wanavyuoni wa

Hadithi) kutafautisha katika usahihishaji (wa Hadithi) baina ya

usahihi wa sanad na usahihi wa matn, ambapo wanasema: “Isnad

yake ni sahihi” na wanaiita ya pili: “Hadithi sahihi...302

9) Anasema Ibn Jama‟a:

Kusema kwao: „Isnad hasan au isnad sahihi pasina kusema:

„Hadithi sahihi au hasan, kwani huenda sanad yake ikawa sahihi

au hasan pasina matn yake kwa sababu ya shudhudh au ila.303

10) Anasema Ibn Al-Mulaqqin:

Wanaposema kwamba Hadithi hii ina isnad hasan au sahihi pasina

kusema „Hadithi sahihi au hasan‟ ni kwa sababu huenda ikasemwa

kwamba Hadithi hii isnad yake ni sahihi ilhali (Hadithi yenyewe)

si sahihi kwa sababu ya kuwa kwake ni shaadh au yenye ila.304

11) Anasema Dr. Nuru Al-Din:

Mara nyingi hutokea katika maneno ya wanavyuoni wa Hadithi

kusema: “Hadithi hii isnad yake ni sahihi” au “Hasan” au “Sanad

sahihi” na yalio mfano wa hayo pasina kusema “Hadithi sahihi” au

“Hadithi hasan”, kwa sababu yale tulioyajua katika uchunguzi wa

kina wa wanavyuoni wa Hadithi ambao haukughafilika

kuichunguza matn na kutosheka na kuistadi sanad tu; basi hakuna

ulazima kwa wanavyuoni wa Hadithi baina ya usahihi wa sanad na

302

- Al-Jibrin Akhbaru Al-Ahaad Fii Al-Hadithi Al-Nabawiy uk. 44. 303

- Ibn Jamaa‟a Al-Manhal Al-Rawiyy uk. 37. 304

- Ibn Al-Mulaqqin Al-Muqni‟u j. 1, uk. 89.

Page 102: Fimbo ya Musa

102 usahihi wa matn; bali huenda sanad ikasihi wala isisihi matn kwa

sababu ya shudhudh na kasoro zenye kubomoa (usahihi wa

Hadithi).305

12) Anasema Al-San‟aani:

Elewa kwamba njia za watu wa elimu ya Hadithi ni kutoa hukumu

ya usahihi au kuwa ni hasan au udhaifu juu ya isnad tu pasina matn

ya Hadithi. Basi wao huwa wanasema: „Isnad hii ni sahihi ilhali

Hadithi si sahihi….kwani huenda isnad ikawa ni sahihi kwa

sababu ya kuwa wapokezi wake ni thiqa (wenye kuaminika) wala

Hadithi yenyewe haikusihi kwa sababu ya shudhudh au ila.306

13) Anasema Al-Qannubi baada ya kuzitaja baadhi ya nukulu hizo:

Na wamelieleza hilo pia Al-Bulqini, Al-‟Iraqi, Al-Hafidh Ibn

Hajar, Zakariyya Al-Ansari, Al-Sakhawi, Al-Suyuti, „Ali Al-Qari,

Al-Laknawi na wengineo.307

14) Katika Majallat ya Al-Manar kuna maelezo haya yafuatayo:

….Na kwa hakika maana ya kimakosa ya mutuni (maneno ya

Hadithi) huwabainikia wanavyuoni watafiti katika kuzisherehesha

na yale yaliomo ndani yake MIONGONI MWA MISINGI YA

DINI NA MATAWI YAKE NA MENGINEO;308

hata wakiwa

wao si miongoni mwa watu wa Hadithi katika istilahi, lakini wao

huwa wanarejea katika hayo katika misingi ya wanavyuoni wa

Hadithi kama vile wanaposema: “Hakika ya usahihi wa sanad

haumaanishi usahihi wa matn kwa uhakika na ulazima wa jambo

lenyewe”, na kauli yao wanaposema: “HAKIKA YA ALAMA

ZA KUTUNGWA KWA HADITHI (YA UWONGO) – HATA

IKIWA NA SANAD SAHIHI – NI PALE INAPOKUWA

KINYUME NA QUR-AN AMBAYO NI YA YAKINI, NA

KIMAANA NI (PALE ITAPOPINGA) KILA KITU CHA

YAKINI CHA KISHARIA…309

ambapo haiwezekani

kuzijumuisha baina yake, na kwa hivyo wamesema kwa uhakika

kwa kuikosoa Hadithi ya Abu Huraira alioipokea Muslim kuhusu

kuumbwa kwa mbingu na ardhi kwa muda wa siku saba…kwani ni

305

- Dr. Nuru Al-Din Manhaju Al-Naqdi Fii „Ulumi Al-Hadith uk. 274. 306

- Al-San‟aani Tawdhihu Al-Afkaar j. 1, uk. 234. 307

- Al-Qannubi Al-Saifu Al-Haad uk. 137, chapa ya tatu 1418 A.H. 308

- Haya yaliosemwa hapa ndio mambo muhimu yao ambayo mpekuzi wa Hadithi

anatakiwa ayaelewe; sio kuishia katika sanad tu. 309

- Huu ndio msingi mwengine wa kuzielewa Hadithi sahihi na batili.

Page 103: Fimbo ya Musa

103 kinyume na Aya za Qur-ani zilizowazi kwamba mbingu na ardhi

na yalio baina yake yameumbwa kwa muda wa siku sita.310

Sasa baada ya hayo, natutazame mifano miwili mitatu ya Hadithi ambazo

sanad zake ni sahihi lakini mutun zake zimekataliwa na wataalamu. Lakini

kabla ya hayo, natutoe tanbihi.

TANBIHI

Mtu anaweza kusema kwamba kwani Sheikh Kasim bin Mafuta si naye

kasema kwamba khabaru shaadh haikubaliki? Jawabu ni kuwa ndio kasema

lakini yeye maelezo yake kuhusu khabaru shaadh kayaelekeza zaidi au

kayaelekeza moja kwa moja katika sanad. Yeye kasema:

Isiwe habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni عذو انشزر

yenye kupingana na habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au

wengi zaidi kuliko yeye).

Kwa hivyo, yeye anachokizungumzia ni uimara wa wapokezi, kwamba

mpokezi imara ikiwa riwaya yake imegongana na mpokezi imara zaidi,

riwaya ya mpokezi imara itawachwa na itachukuliwa riwaya ya mpokezi

imara zaidi. Hayo ndio maelezo yake nayo ni maelezo sahihi. Lakini mimi

nimenukuu nukulu hizo za wanavyuoni na zilizo kabla ili kuonesha hilo na

pia ili kuonesha ulazima wa matn ya Hadithi kutokwenda kinyume na

qat‟iyyat (mambo ya yakini) hata ikiwa mpokezi aliyeipokea ni imara au ni

imara zaidi – matn itazamwe kwanza.

Halkadhalika mtu anaweza kusema, kwani Sheikh Kasim si kasema

kwamba Hadithi yenye ila haikubaliki? Jawabu ni kuwa kweli kasema

hivyo, lakini aghlabu ya maelezo yake pia kayaelekeza kwenye sanad. Na

yako maelezo mengine alioyaelekeza kwenye matn lakini yameishia katika

kitu kimoja maalum ambacho sicho nilichokusudia kukieleza hapa. Yeye

kasema:

Wala isiwe na ila (kasoro iliyojificha) kama vile عذو انعهة انخفية انقاددحة

Idh‟tiraabu (mgongano baina ya wapokezi n.k) au kuwa ni habari

Maq‟luub (yenye kugeuzwa). Katika masharti haya tuliyoyataja, yako

ambayo likikosekana moja tu basi hadithi haitakubaliwa,kama vile:

310

- Maqaalaatu Wa Fawaaidu Hadithiyya Fii Majallati Al-Manaar uk. 284. Tazama Al-

Maktaba Al-Shaamila. Tanbihi: asili ya nukulu hizi ni kutoka katika kitabu Al-Saifu Al-

Haad cha Al-Qannubi uk. 134-37, chapa ya tatu 1418 A.H, lakini nimeongeza ziada moja

mbili.

Page 104: Fimbo ya Musa

104 1-Kuwa mpokezi si muadilifu,kwa kuwa ni mwongo au asherati n.k.

2-Kupatikana kasoro kama vile mgongano katika sanadi (njia) au

mgongano wa maneno katika habari hiyo, kisha ikawa imeshindikana

kuziunganisha au kuipa nguvu njia moja juu ya nyingine.

Kwa hivyo, ila alioizungumzia yeye ni:

1) Mgongano baina ya wapokezi. Na zilizobakia kaziashiria kwa “n.k”..

2) Kugeuzwa. Nako kunaihusu sanad na matn.

Ama kuhusu matn yeye kasema: “…….au mgongano wa maneno katika

habari hiyo”. Kwa hivyo, yeye hapa anazungumzia mgongano wa Hadithi

na Hadithi nyengine. Wakati mimi nasisitiza mgongano wa Hadithi na Qur-

ani, hoja za kiakili zilizo wazi au mgongano wa Hadithi na chochote kile

katika misingi ya dini ya Kiislamu.

Baada ya hayo, sasa natutazame mifano miwili mitatu ya Hadithi ambazo

sanad zake ni sahihi lakini Hadithi zenyewe si sahihi.

HADITHI ZENYE SANAD SAHIHI

LAKINI MUTUN DHAIFU

Hadithi isemayo:

الس ح٤ حخ ؼ٠ ؼ٠

Sala ya usiku na mchana ni rakaa mbili mbili.311

Anasema Al-Hakim kuhusu Hadithi hii:

Hadithi hii haina kasoro katika isnad yake kwani katika wapokezi wake

hakuna yoyote yule isipokuwa ni mwenye kuaminika aliyethabiti, lakini

kulitaja (neno) mchana ndani yake ni kosa na maelezo juu yake ni

marefu.312

Hadithi isemayo:

ل طزظج٢ ػ٠ ك٤ي، كب ي كخط

311

- Wameipokea: Abu Dawud Al-Sunan uk. 227, Hadithi na. 1291. Ibn Maja Al-Sunan uk.

222, Hadithi na. 1322. Al-Bayhaqi Al-Sughra j. 1, uk. 317-318, Hadithi na. 729, na katika

Al-Kubra j. 4, uk. 43-44, Hadithi na. 4677,4688,4680. Al-Nasai Al-Kubra j. 4, uk. 263,

Hadithi na. 474. Al-Tabarani Al-Awsat j. 1, uk. 31, Hadithi na. 79, na katika Al-Saghir j. 1,

uk. 56, Hadithi na. 47. 312

- Al-Haakim Ma‟arifatu „Ulumi Al-Hadith uk. 106.

Page 105: Fimbo ya Musa

105

Usihuzunike juu ya kipenzi chako kwani hayo ni katika mema

yake.313

Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hii: “Wapokezi wake ni wenye

kuaminika lakini (Hadithi yenyewe) ni munkar”.314

Hadithi isemayo:

خ ػالػظخ ــخ، كخ ػ٠ هز أخ حر ػ، ػزي هللا ر ػ، خض أخ٤طك٢ خكذ ٢ ؿ٣ز

كوزخ أهخخ، ؼيخ “حح هز أظ ػز٤ي هللا “خ حز٢ ٠ هللا ػ٤ : حؼخ، كوخ

هي أريض أخإخ.

٣و حز٢:

ـــــغ لش اخى ر٤ ػ.ح ح ػؼخ ر ؼ٤ي حيح٢، كيػخ ٣ل٠٤ ر

..…حو

Alikufa mwenzangu hali ya kuwa ni mgeni tukawa tupo kaburini kwake

mimi na Ibn „Umar na „Abdullah bin „Amri, na sisi watu sote tulikuwa

tukiitwa “Al-‟Aas”. Basi Mtume (s.a.w.) akatwambia: “Teremkeni

kaburini kwake enyi ma-‟Abdulla (watatu). Basi tukamzika ndugu yetu na

tukatoka (kwenye kaburi) ilhali majina yetu yamebadilishwa (sasa kila

mmoja wetu akawa anaitwa „Abdullah).

Anasema Al-Dhahabi kuhusu riwaya hii:

Namna hivi ndivyo „Uthman bin Sa‟iid Al-Darimi alivyoisimulia:

“Katusimulia Yahya bin Bukair, kutoka kwake. Nayo (riwaya hii) pamoja

na usahihi wa isnad yake lakini ni kauli munkar.315

Hadithi isemayo:

خ خ ٣ أكي حلؤ ح

Ilipokuwa siku ya vita vya Uhud, Washirikina walirudi nyuma (wali

retreat)…316

313 - Ibn Maja Al-Sunan uk. 245, Hadithi na. 1451.

314 - Al-Dhahabi Tadhkiratu Al-Huffaadh j. 2, uk. 188, tarjama na. 709.

315 - Al-Dhahabi Al-Siyar j. 4, uk. 350, tarjama ya Abdullah bin „Umar bin Al-Khatab (r.a.),

nambari 267. 316

- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 3, uk. 26, riwya na. 4308.

Page 106: Fimbo ya Musa

106

Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hii:

Hawakuisimulia (Al-Bukhari na Muslim) kwa ajili ya „Ubaid naye ni

mwenye kuaminika. Na Hadithi hii pamoja na usafi wa isnad yake, ni

Hadithi munkar na nahofia ikawa ni ya kutunga.317

Hadithi isemayo:

ز ش ؼ ظ٠ أ ط ٠ ر ٢ ح ك ٤ ٠ هللا ػ هللا ط ن ر ٢ ح

Mtume (s.a.w.) aliondoka nami318

mpaka akanileta kwenye

Ka‟aaba.319

Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hio: “Isnad yake ni nadhifu (safi) na

matn yake ni munkar”.320

Hadithi isemayo:

٣خ ػ٢ أض ٤ي ك٢ حي٤خ ٤ي ك٢ ح٥هس

Ewe Ali (bin Abi Talib)! Wewe ni bwana wa duniani na akhera.321

Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hii:

Hii pamoja na kuwa wapokezi wake ni wenye kuaminika, lakini ni munkar

wala haiko mbali na kuwa ni Hadithi ya kutunga, vyenginevyo ni kwa kitu

gani ikawa „Abdul-Razzaq anaisimulia kwa siri wala hakuthubutu

kuitamka kwa uwazi mbele ya (Al-Imamu) Ahmad na Ibn Ma‟iin na kundi

kubwa (la wanavyuoni) waliokwenda kwake.322

Hadithi hii pia kaitaja Al-Albani katika Al-Dha‟iifa na baada ya maelezo

marefu akasema:

خ ك٢ ــــــؾ رـــــالخ ػوش لظـــــكخلص حؼش ك٢ ػزي ححم ل ، أ ك٢ ؼ ، : هض

، ــ ح ل ٣ل٢ حؼش طوخ ”حل٤ل٤“

Ninasema: kwa hivyo kasoro ikawa imeishia kwa „Abdul-Razzaq

mwenyewe au kwa Ma‟mar na wote wawili ni wenye kuaminika riwaya

317

- Al-Dhahabi Al-Talkhis j. 1, uk. 506-507. 318

- Aliyeondolewa katika riwaya hii ni Al-Imamu „Ali bin Abi Talib (k.w.). 319

- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 2, uk. 398, riwya na. 3387. 320

- Al-Dhahabi Al-Talkhis j. 2, uk. 366-367. 321

- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 3, uk. 138, riwya na. 4640. 322

- Al-Dhahabi Al-Talkhis j. 3, uk. 127-128.

Page 107: Fimbo ya Musa

107 zao zimetolewa hoja katika Sahihi mbili (Al-Bukhari na Muslim), lakini

hili haliiondoshi kasoro hio moja kwa moja…323

Ni wazi kwamba na Imamu wa Kasim Mafuta naye hakutoka nje ya

methodology (njia) ya wanavyuoni wa Hadithi juu ya maudhui hii: naye

anatambua ya kuwa usahihi wa sanad tu hautoshi kuikubali Hadithi.

Hadithi isemayo: س ز ٤ ي و ٢ أ ر خ ػ ض أ

Nilikuwa nikimnywesha Abu „Ubaida.324

Hadithi hio ina vipengele vingi na riwaya tafauti kazisimulia Ibn Hajar

katika Fat-hu Al-Bari na akataja riwaya ya Ibn Mardawayh kisha akasema:

“Nayo ni munkar pamoja na usafi wa sanad yake”.325

Hadithi isemayo:

ؼ ح١ ٣لؾ ػ أظ٢ ؼ أ ٠ خض طؼ طؤه ححء كػ........هخ حخ١:

هخ حر ػي١ ظو٤ حإلخى حظ

Mfano wa anayeufanyia hija umma wangu ni mfano wa mama yake Musa

alikuwa akimnyonyesha kisha anachukua ujira kutoka kwa Fir-‟awn.

Anasema Al-Munawi:

Ibn „Adey kasema (kuhusu Hadithi hii kwamba): “Isnad yake ni nyoofu,

lakini matn yake ni munkar”.326

Hadithi isemayo:

ؼ ح٣ ٣ـ أظ٢ ٣ؤه حـؼ

Mfano wa wale wanaokwenda vitani katika umma wangu na wanachukua

ujira……Anasema Al-Hafidh Al-‟Iraqi kuhusu Hadithi hii: “Isnad yake ni

nyoofu, lakini matn yake ni munkar.327

323

- Al-Albani Al-Dhaifa Hadithi na. 4894. 324

- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 5582. 325

- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 11, uk. 6712, katika sherehe ya Hadithi na. 5582. Tanbihi:

Riwaya ambayo kaidhoofisha Ibn Hajar sio hii ambayo tumeinukuu lafdhi yake hapa

kutoka kwa Al-Bukhari, bali ni riwaya kama hio lakini imepokewa na Ibn Mardawayh kwa

lafdhi nyengine za ziada. 326

- Al-Munawi Faydhu Al-Qadiir j. 2, uk 381, katika maelezo ya riwaya na. 1905. 327

- Al-Munawi Faydhu Al-Qadiir j. 5, uk 652, riwaya na. 8143.

Page 108: Fimbo ya Musa

108

Hadithi isemayo:

ح حؿل ؼخثش رض أر٢ ر حي٣ن ـلس حؿزش ظخس رخ١ش

E Allah! Msamehe „Aisha bint Abi Bakr Al-Siddiiq msamaha wa wajibu

wa nje na ndani.328

Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hii: “Ni munkar pamoja na uzuri wa

isnad yake”.329

Hadithi isemayo:

ك٢ أ ز٢ ز٤ آى ف ف ارح٤ برح٤ ػ٠٤ ؼ٠٤ ..……

….(Kuna ardhi saba na mbingu saba) katika kila ardhi kuna Mtume kama

Mtume wenu na Adam (kama Adam), na Nuh kama Nuh; na Ibrahim kama

Ibrahim; na „Isa kama „Isa.330

Al-Hakim ndiye msimulizi wa riwaya hii na akasema: “Isnad yake ni sahihi

lakini (Al-Bukhari na Muslim) hawakuisimulia”.331

Anasema Al-Suyuti:

Sijaacha kustaajabishwa na kitendo cha Al-Hakim cha kuisahihisha kwake

(Hadithi hii) mpaka nikamuona Al-Bayhaqi akisema: “Isnad yake ni sahihi

lakini Hadithi yenyewe ni shaadh (dhaifu) kabisa.332

Anasema Al-Dhahabi: “Hili ni balaa lenye kumfanya msikilizaji

aemewe…nalo ni katika lile la: “Sikiliza unyamaze”.333

Anasema Al-Qannubi:

Bali (riwaya hio) ni katika uwongo nawe sema hivyo kwa yakini kabisa

wala usimuogope yoyote isipokuwa Allah, na hayo ni kwa sababu ya

uwazi wa ubatili wake na kudhihiri kwa nakara yake nzito. Ama sanad

yake ni dhaifu na hii si sehemu ya kulibainisha hilo…..nayo ni miongoni

mwa zile (riwaya) ambazo ni wajibu kusema kwa uhakika kuwa ni uwongo

328

- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 4, uk. 13, riwya na. 6738. 329

- Al-Dhahabi Al-Talkhiis j. 4, uk. 11-12. 330

- Al-Hakim Al-Mustadrak Hadithi na. 3822. 331

- K.h.j. 332

- Al-Suyuti Tadribu Al-Rawi j. 1, uk. 233. 333

- Al-Dhahabi Al-‟Uluwwu uk. 61.

Page 109: Fimbo ya Musa

109 kwa mujibu wa dalili nyingi ambazo kazi hii ya haraka haraka haitoi nafasi

hio (ya kuzielezea).334

Hii ni mifano miwili mitatu ambayo itaweza kukupa picha ya uwazi

kwamba usahihi wa sanad tu sio unaoifanya Hadithi kuwa ikubalike

madamu itakuwa matn yake ni munkar. Mifano iko mingi, baadhi yake

kaitaja Imamu Al-Sunna Al-Qannubi katika Al-Saifu Al-Haadi,335

Al-Ra-ayu

Al-Mu‟atabar336

na katika Al-Tufaan Al-Jarif,337

na mifano mingine imo

katika vitabu tafauti vya wanavyuoni wa elimu ya Hadithi.

HADITHI ZA KUTUNGA NA KUPENYA

KWA HADITHI ZA KIISRAILI

Utunzi wa Hadithi za kumzulia Mtume (s.a.w.) ndio tatizo sugu

lililoupoteza umma huu. Ikiwa mara nyengine unaweza kuligundua hilo

kiurahisi kama ile mifano tulioitoa katika juzuu ya kwanza, basi wakati

mwengine ni lazima uwe mtu uliyejaaliwa kuwa na akili yenye kuchambua

na kupima pamoja na kuwa na vyombo vya fani za elimu zinazoweza

kukusaidia juu ya hilo.

Utunzi wa Hadithi unakuwa rahisi kuugundua pale ambapo Hadithi ya

kutunga iko kinyume kabisa na akili ya kila mtu. Kama vile riwaya

tulioinukuu kutoka kwa baadhi ya wanavyuoni watangulizi wa Kiwahabi

kwamba “Allah kaumba nafsi yake kutoka katika jasho la farasi”. Riwaya

kama hii huwa haihitaji elimu ya aina yoyote ile ili uigundue kuwa ni

riwaya ya uwongo.

Aina ya pili ya riwaya za kutunga, aghlabu yake zilitokana na mazindiki

(wanafiki) na watu wa Kitabu (Mayahudi na Makristo) waliosilimu na

wakawa wanasimulia riwaya zao za Kiisraili kutoka katika Taurati na Injili

ziliopotoshwa – kwa kuzidishwa na kupunguzwa.

334

- Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya kwanza uk. 302. 335

- Uk. 137-146, katika chapa ya tatu. 336

- Uk. 49-54. 337

- J. 3, sehemu ya kwanza uk. 292-302. Bila kusahau kwamba baadhi ya mifano ambayo

kaitaja Al-Imamu Al-Qannubi ndio hii tulioinukuu hapa, na tumeongezea mengine miwili

mitatu walioitaja wanavyuoni wengine. Mifano iliotajwa ni mingi na utafiti unafichua

mengi mengine ambayo hayakutajwa.

Page 110: Fimbo ya Musa

110

NJIA YA MAZINDIKI YA KUTUNGA HADITHI

Ama mazindiki, wao mara nyingi walikuwa wanatazama Aya fulani ya Qur-

ani ambayo inaweza kuunda shubuhati338

fulani kisha wanaitungia Aya hio

Hadithi ili kuipa nguvu shubuhati iliokuwemo katika Aya hio. Na namna

hivi, ziliweza kutungwa riwaya za kuonekana kwa Allah, kutoka motoni,

mungu-mwenye kiwiliwili n.k.

Jambo ambalo mara nyingi hukujuilisha utunzi wa riwaya hizo, ni kuwa

unapoitazama Aya na kuiweka katika mezani ya lugha ya Kiarabu utaikuta

inatoa maana tafauti kabisa na ile maana inayojengwa na Hadithi

iliohusishwa na Aya hio. Na bila shaka Hadithi sahihi haiwezi kwenda

kinyume na utaratibu wa lugha ya Kiarabu uliomo katika Aya. Na hii ndio

njia moja muhimu ya kuipima matn ya Hadithi – je haigongani na tafsiri ya

Aya iliojengeka juu ya misingi sahihi ya lugha au inapingana? Wakati

mwengine unaweza kuligundua hilo kwa vipimo vya kiakili au kwa kipimo

cha ile dhana sahihi (real concept) ya Allah mwenyewe alivyo. Mifano

miwili mitatu itaweka wazi makusudio.

Tuna Aya yenye kusema:

ر ل ط خء ح

Mbingu ni zenye kupasuka kwayo.339

Herufi al-baau (bee) iliomo katika neno bihi lililomo katika Aya hio ina ر

maana nyingi katika lugha ya Kiarabu, miongoni mwa hizo ni kuonesha

sababu kama ilivyo katika Hadithi ya Abu Dhar inayosema: ...حـشر ى٢ ػ٠ ػ اح ػ ر حؼزي ىه

Nioneshe kitendo ambacho mja akikitenda huingia peponi kwacho (kwa

sababu ya kitendo hicho).340

Herufi al-baau (bee) iliomo katika neno bihi lililomo katika Hadithi hii ر

lina maanisha sababu, na maana ni: “Nioneshe kitendo ambacho kwa sababu

yake mja huingia peponi”.

338 - Shubuhati maana yake ni kuwa kitu kinaelekea lakini sio makusudio kamwe.

339 - Sura 74, Aya 18.

340 - Al-Hakim Al-Mustadrak j. 1, uk. 132, Hadithi na. 212. Al-Bayhaqi Shu‟abu Al-Iman j.

3, uk. 203-204, Hadithi na. 3327.

Page 111: Fimbo ya Musa

111

Maana nyengine341

ya herufi hio al-baau (bee) ni kutumika kama ni chombo

cha wakati. Mfano huu umetumika katika Aya kama:

( ٤ ز ل ٤ ػ ظ ا 131 ) ر خ٤ و أ ك ال ط ؼ

Na hakika ya nyinyi munawapitia wakati asubuhi**Na kwa usiku, basi

hamufahamu!342

Utaona kwamba hapa herufi al-baau (bee) imetumika kumaanisha fii

ambayo kwa asili ni chombo cha wakatika na sehemu; na maana ya Aya hio

ni: “….Na katika nyakati za usiku (pia munapita), basi nyinyi

hamufahamu!”.

Sasa tukirudi katika Aya yetu isemayo: ر ل ط خء Mbingu ni zenye“ ح

kupasuka kwayo” basi utakuta kwamba watu wameichukua fursa hii na

kutaka kuonesha kwamba herufi al-baau (bee) iliomo katika Aya hio ina

maanisha sababu. Na kwa hivyo, maana ya Aya hio – kwa mujibu wao – ni:

“Mbingu ni zenye kupasuka kwa sababu yake”. Kisha dhamiri (pronoun

yaani neno yake) wakalinasibisha na Allah. Na maana ikawa: “Mbingu

zikapasuka kwa sababu yake Allah”.

Hayo yamesemwa ili kuthibitisha:

1) Itikadi kwamba Allah yuko mbinguni.

2) Itikadi ya kuwa Allah ni kiwiliwili kizito ambacho kwa sababu ya

uzito wake, basi mbingu zinapasuka.

Kisha baada ya kuwa watu wana itikadi hio, wakatunga Hadithi ili kuipa

nguvu shubuha hio. Lakini wamesahau watu hao kwamba lau Aya hio

iliokuwa na maana hio basi ingelikuwa hakuna faida katika kuihusisha

kwake na siku ya kiama, kwani ikiwa uzito wa Allah ndio uliozipasua

mbingu basi Allah siku zote yupo na mbingu siku zote zipo, kwanini

zisipasuke kwa uzito wake ila siku ya kiama?

Ama Hadithi ya kutunga iliohusishwa na Aya hio, ni Hadithi yenye kusema

kwamba maana ya Aya hio ni: حخء لط ر هخ ظ٠ء ر “Mbingu ni zenye

kupasuka kwa sababu yake”; kasema:(kuwa maana yake) ni zenye

kujaa kwaye”343

yaani Allah kajaa mbinguni. Na riwaya nyengine

341

- Na ziko maana nyengine nyingi za herufi hio. 342

- Sura 37, Aya 137-138. 343

- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 2, uk. 457, riwaya na. 1033. Al-‟Arsh Wa Maa Ruuwiya Fiihi

uk. 60, riwaya na. 18.

Page 112: Fimbo ya Musa

112

zikasema kuwa maana ya Aya hio ni: “Mbingu zimekuwa nzito sana kwa

sababu yake (Allah)”.344

Kwa mukhtasari, ni kuwa katika sehemu hii ninakusudia kuonesha njia

ambazo zimetumika katika kutunga Hadithi. Nazo ni kuwa watunzi

walikuwa wakitazama shubha iliomo katika Aya, kisha wao wanaitungia

Hadithi ili ionekane kuwa Mtume (s.a.w.) kaifasiri Aya hio hivyo. Na hiki

ndicho kilichotendeka katika Aya isemayo:

س خ خظ ر س *** ا ٠ خ ج ٣ ؿ

Nyuso siku hio zing‟ara***Kwa Mola wake tu zitakuwa zinatazama.

Shubha iliomo katika Aya hii, watu wameiundia Hadithi wakidai kuwa Aya

hii inatoa ushahidi wa kuonekana kwa Allah. Wakati ukitazama utaratibu

wake wa kilugha na ukweli wa kuwepo dalili nyengine za Qur-ani na

Hadithi, unapata natija ya wazi isio na mushkeli kwamba Aya hio maana

yake ni kungojea rehema ya Allah. Tutalizungumzia hilo katika sura ya pili

in shaa Allah.

NJIA YA AHLUL-KITABI YA

KUTUNGA HADITHI

Watu wa Kitabu (Ahlul-Kitab) hasa hasa Mayahudi, wao walikuwa

wakizipotoa Aya za vitabu vyao ili zikubaliane na matamanio ya nafsi zao,

na walikuwa wakiwazulia Mitume wa Mwenyezi Mungu mambo ambayo

hawakupa kuyasema. Ilipofika zama za Mtume Muhammad (s.a.w.),

wakawa wako miongoni mwao, kama vile „Abdillahi bin Salam na baadae

Ka‟abu Al-Ahbar, walioingia katika Uislamu. Hawa waliosilimu wakawa

wanawasimulia baadhi ya Masahaba yale yaliomo katika vitabu vyao

vilivyopotoshwa. Masahaba mashuhuri zaidi ambao wamepokea riwaya za

Kiyahudi ni „Abdullahi bin „Amri na Abu Huraira, na, kidogo, Ibn „Abbaas.

Ama kuhusu Abu Huraira, amepokea Al-Imamu Al-Rabi‟u bin Habib, 345 Al-

Tayaalisi,346

Al-Nasai347

na wengine,348

riwaya yenye kusema:

344

- K.h.j. riwaya na. 1034-1038. Riwaya na. 14 ya kitabu Al-‟Arsh Wa Maa Ruuwiya Fiihi

uk.59, inataja kwa uwazi kwamba kupasuka huko kwa mbingu ni kwa sababu ya Allah,

yaani – kama zilivyo riwaya nyengine – ni kwa sababu ya uzito wake. 345

- Al-Rabi‟u bin Habib Al-Jami‟u Al-Sahih j. 1, uk. 117, Hadithi na. 279. 346

- Al-Tayaalisi Al-Musnad j. 10, uk. 311, Hadithi na. 2363. 347

- Al-Nasai Al-Kubra j. 2, uk. 292, Hadithi na. 1766.

Page 113: Fimbo ya Musa

113

هللا ــــحس كيػظ ػـــحظ يػ٢ ػــض ؼ كلهؿض ا٠ حط كو٤ض ؼذ حلكزخ كـ

.……٠ هللا ػ٤ ـــ

Nilitoka kwenda Al-Tur. Hapo nilimkuta Ka‟abu Al-Ahbar nikakaa

pamoja naye akawa yeye ananisimulia yaliomo katika Taurati nami

namsimulia Hadithi za Mtume (s.a.w.)…..

Ni wazi, kwa mujibu wa riwaya hii, kwamba Abu Huraira, kwa kiasi fulani,

kapokea masimulizi ya Kiisraili, kwani Ka‟abu huyu ni Myahudi

aliyesilimu katika zama za „Umar.349

Na – kama unavyoona hapa – alikuwa

akimsimulia Abu Huraira kutoka katika Taurati. Na wakati huo Taurati

ilikuwa tayari imeshatiwa viraka sana kwa kuongezwa na kupunguzwa. Bila

kusahau kwamba Ibn Kathir anasema kwamba neno Taurati katika

masimulizi ya kale lilikuwa halihusishwi na Kitabu cha Nabii Musa tu, bali

pia vitabu vyengine vya Ahlul-Kitab vikiitwa Taurat. Anasema:

ـــ٢ ػي أػ ــــــق خح ٣طو حظحس ػ٠ ظذ أ حظخد كــ٤ؼ أ ؼ٤ح ح

أخ هللا ػ٠ ٠ هي ػزض خي ي حلي٣غ. حظ٢

Na ijulikane kwamba watangulizi wengi walikuwa wakilitumia jina Taurat

kuviita vitabu vya Ahlul-Kitab. Basi kwao jina hilo lina maana pana zaidi

ya ile Taurati alioiteremsha Allah kwa Musa, na ushahidi wa hayo

umethibiti katika Hadithi.350

Lakini jambo moja muhimu kulifahamu ni kuwa Abu Huraira (r.a.) – tafauti

na wanavyodhani majuha, mbilikimo wa elimu351

– hakuwa mtu mwenye

kadiri ndogo ya elimu na akili, bali ni katika jumla ya Masahaba wa Mtume

(s.a.w.) ambao Allah kawafungulia sana milango ya elimu. Na hili

linabainisha kwamba riwaya za Kiyahudi zilizonasibishwa kwa Mtume

(s.a.w.) kupitia katika njia ya Sahaba Abu Huraira (r.a.), hazikutokana na

kosa lake katika kuzisimulia, bali wapokezi ambao wamezipokea riwaya

hizo kutoka kwa Abu Huraira ndiwo waliofanya makosa ya kuzinasibisha

riwaya hizo kwa Mtume (s.a.w.) – Abu Huraira kazisimulia kutoka kwa

Ka‟abu Al-Ahbar, Myahudi aliyesilimu, wao wakasema: „kutoka kwa Abu

348

- Anasema mtiaji maelezo wa kitabu Al-Jami‟u Al-Sahih: kaipokea Ahmad bin Hanbal

Al-Musnad j. 2, uk. 292. Muslim Sahihu Muslim katikatabu cha Ijumaa. Al-Bukhari

katikatabu cha Ijumaa. Na wengine kawataja, hapa nawaacha. 349

- Wengine wanasema alisilimu katika zama za Abu Bakr na akahama katika zama za

„Umar kuja miji ya Hijaz na baadae akaenda Sham. 350

- Ibn Kathir Al-Bidaya Wa Al-Nihaya j. 2, uk. 398. 351

- Viko vijitu vijinga vinamponda Sahaba huyu Mtukufu bila ya elimu!

Page 114: Fimbo ya Musa

114

Huraira kutoka kwa Mtume (s.a.w.)! Katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki,

tulimnukuu Sheikh Al-Sayyid Al-Saqqaaf akisema:

Katika Siyaru Al-A‟alaam

352 na Al-Bidaaya wa Al-Nihaaya

353 kutoka kwa

Busr bin Sa‟iid (naye ni katika Matabiina wakubwa na ni msimulizi wa

wapokezi sita), alisema: „Muogopeni Allah, na chukueni hadhari katika

masimulizi ya Hadithi, Wallaahi naona tunakaa na Abu Huraira, basi

anatusimulia kutoka kwa Mtume (s.a.w.) na anatusimulia kutoka kwa

Ka‟abu Al-Ahbaar, kisha anaondoka, basi ninawasikia baadhi ya

waliokuwa pamoja na sisi wanaifanya Hadithi ya Mtume (s.a.w.) kuwa

inatoka kwa Ka‟abu na Hadithi ya Ka‟abu kuwa inatoka kwa Mtume

(s.a.w.).354

Kwa hivyo, makosa haya ambayo waliyafanya wapokezi katika masimulizi

ya Hadithi za Abu Huraira na wengine, kunatufanya sisi:

1) Tujiulize usahihi wa madai ya Kasim Mafuta kwamba Hadithi za

aliowaita kuwa ni Ahlu Al-Sunna zimedhibitiwa kwa ufanisi wa hali

ya juu!

2) Katika kuitafiti Hadithi tusiishie katika kutazama sanad tu; bali matn

(text) yake ni lazima ipimwe kwa kioo cha Qur-an, lugha ya Kiarabu

na hoja za yakini za kiakili.

352

- J. 2, uk. 606. 353

- J. 8, uk. 109. 354

- Nukulu kutoka kwa Al-Sayyid Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 73. Ninasema: na

Hadithi za kuonekana kwa Allah ni katika jumla ya masimulizi ya Ka‟ab na Mayahudi

wenzake ambazo watu wamezinasibisha na Mtume (s.a.w.).

Page 115: Fimbo ya Musa

115

MFANO WA HADITHI ZA KUTUNGWA NA

MAYAHUDI NA KUSIMULIWA

NA ABU HURAIRA

Amesimulia Al-Imamu Muslim katika Sahihu Muslim,355

Al-Imamu Ahmad

katika Al-Musnad,356

Al-Bayhaqi katika Al-Sunanu Al-Kubra,357

Al-Nasai

katika Al-Sunanu Al-Kubra,358

Al-Tabarani katika Al-Awsat,359

Ibn

Khuzaima katika Sahihu Ibn Khuzaima,360

Abu Ya‟ala katika Al-Musnad,361

na Ibn Hibbaan katika Al-Ihsan,362

kutoka kwa Abu Huraira kutoka kwa

Mtume (s.a.w.) Hadithi yenye kusema:

٣ ـ ن ح ه ي حل ك ٣ ز خ ـ خ ح ن ك ٤ ه ز ض ح ر ش ٣ حظ ؿ ن هللا ػ ػ ٤ ه ه حل ن ـــــــ

٣ ن ح ه ػ خء حؼال ٣ ر غ ك ٤ـــــح ر ؼ خء حل حد ٣ ـــــ خ حــــ و ـــي ح ه ـــ ٤ ـــ ن آى

ؼ ــــ ػ ي ح ر ؼ ال ح ؼ ش ـــ ٤ ـ ح ٣ ……

1) Allah aliumba udongo siku ya J/mosi.

2) Na ndani yake akaumba milima siku ya J/pili.

3) Na akaumba miti siku ya J/tatu.

4) Na akaumba tabu siku ya J/nne.

5) Na akaumba nuru siku ya J/tano.

6) Na akaeneza wanyama humo (ardhini) siku ya Alkhamisi.

7) Na akamuumba Adam (a.s.) baada ya laasiri ya siku ya Ijumaa.

Hii ni Hadithi iliosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira kutoka kwa Mtume

(s.a.w.), nayo – kama unavyoona – inatongoa kinyume na Qur-ani

inavyosema kwamba maumbile yote yalichukua siku sita. Qur-ani yasema:

اي اتاهذ خهل اهسى أ ىا ف ست ىا ب األرض

(Allah) Ambaye kaumba mbingu na ardhi pamoja na yalio baina yake

katika siku sita.363

355

- Muslim Al-Sahih uk. 1178, Hadithi na. 2789. 356

- Ahamad Al-Musnad j. 3, uk. 261, Hadithi na. 8323. 357

- Al-Bayhaqi Al-Kubra j. 13, uk. 188, Hadithi na. 18205. 358

- Al-Nasai Al-Kubra j. 10, uk. 20, Hadithi na. 10943. 359

- Al-Tabari Al-Awsat j. 3, uk. 303, Hadithi na. 3232. 360

- Ibn Khuzaima Sahihu Ibn Khuzaima j. 2, uk. 837-838, Hadithi na. 1731. 361

- Abu Ya‟ala Al-Musnad j. 4, uk. 460, 6125. 362

- Ibn Hibbaan Al-Ihsan j. 8, uk. 11, Hadithi na. 6128. 363

- Sura 25, Aya 59.

Page 116: Fimbo ya Musa

116

Wakati Qur-ani inasema hivyo kuwa maumbile yamechukua siku sita;

Hadithi yasema maumbile yamechukua siku saba, na Hadithi hio sanad

yake ni sahihi na imo katika vitabu vyenye kuaminika kikiwemo kitabu cha

Al-Imamu Muslim Sahihu Muslim! Ni wazi kwamba riwaya hii, Abu

Huraira kaipokea kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar na wasimulizi kimakosa

wakasema kuwa yatoka kwa Mtume (s.a.w.). Na hili ndilo walililosema

wanavyuoni wakubwa wakiwemo maimamu wa Kasim “ntotongwa” wa

Mafuta. Anasema Ibn Kathir kuhusu Hadithi hio:

وخ١ ؿ٤ـــــي٢٣ حزـــــ، هي ط ػ٤ ػ٢ ر حــــــــح حلي٣غ ؿحثذ ل٤ق

زخ،ــــــؼذ حلكـــــؼذ، أ أرخ ٣س اخ ؼ ال ــــؿؼ ال حكي حللخظ،

.……كـؼ كػخ خ حظز ػ٠ رؼ ححســـــــــا

Hii ni Hadithi ngeni katika Hadithi za Muslim, na „Ali bin

Al-Madini, Al-Bukhari na wengine wameisema (Hadithi

hii) na wakasema kuwa Hadithi hii ni maneno ya Ka‟abu

Al-Ahbar (si maneno ya Mtume s.a.w.) na kwamba Abu

Huraira kaisikia kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar, bali baadhi

ya wapokezi walitatanishwa wakaifanya kuwa ni Hadithi ya

Mtume (s.a.w.).364

Anasema Ibn Taymiyya:

هخص ك٢ حل٣خ حزؼش كب ح ــــن حوـــؼ هــــؼ خ ١ أ هللا هن حظرش ٣ حزض ؿ

أثش حلي٣غ ٤ل٠٤ ر ؼ٤ ػزيحك ر ي١ حزوخ١ ؿ٤ أ ؿ٢ ٤ــــحلي٣غ هي ر

ف حزوخ١ ك٢ طخ٣و حز٤ أ ال ؼذ حلكزخ ز٢ ر ـأ ٤ ك٢ ال ح

Mfano ni kama ule aliousimulia (Muslim) kwamba Allah

kaumba udongo siku ya J/mosi, na akakufanya kuumbwa

kwa viumbe kuwa ni siku saba. Hakika ya Hadithi hii

Maimamu wa Hadithi wameibainisha kama vile Yahya bin

Ma‟iin, Ibn Mahdi, Al-Bukhari na wengineo, kwamba hilo

ni kosa na kwamba hayo si maneno ya Mtume (s.a.w.), bali

Al-Bukhari kasema kwa uwazi katika kitabu Al-Taarikh Al-

Kabir kwamba hayo ni maneno ya Ka‟abu Al-

Ahbar……………365

Ibn Al-Qayyim, baada ya maelezo:

ك٢ ل٤ق …٣ز ح خ هغ ك٤ حـ٢ كي٣غ أر٢ ٣س هن هللا حظرش ٣ حزض

هغ حـ٢ ك٢ كؼ اخ ه ؼذ حلكزخ

364

- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-„Adhim j. 1, uk. 60. 365

- Ibn Taymiyya Al-Jawaabu Al-Sahih j. 2, uk. 443.

Page 117: Fimbo ya Musa

117

Na hili linafana na kosa lililoingia ndani yake katika Hadithi ya Abu

Huraira: „Allah kaumba udongo siku ya J/mosi, nayo imo katika Sahihu

Muslim, lakini kosa limetendeka katika kuifanya kuwa hio ni Hadithi ya

Mtume (s.a.w.), bali hiyo ni kauli ya Ka‟abu Al-Ahbar….366

Hio ni Hadithi moja – mifano iko zaidi – katika Hadithi za Abu Huraira

alizozisimulia kutoka kwa Ahlul-Kitabi na watu kimakosa wakasema kuwa

zatoka kwa Mtume (s.a.w.). Na jambo moja lenye kuthibitisha kwamba

riwaya hii asili yake ni masimulizi ya Ahlul-Kitabi, ni ukweli kwamba

riwaya hii – ingawa kuna tafauti kidogo – imesimuliwa kutoka kwa

„Abdillahi bin Salam,367

naye ni mmoja wa wanavyuoni wakuu wa Kiyahudi

waliosilimu.

ABDULLAHI BIN „AMRI

Ama kuhusu „Abdullahi bin „Amri, yeye ni maarufu kwa riwaya za

Kiyahudi. Na sababu ya hayo – mabali na kuwa yeye mwenyewe kapokea

riwaya kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar – ni kuwa katika vita vya Al-Yarmuk

alipata zaamilatain (ngamia wawili) waliobebeshwa vitabu vingi katika

vitabu vya Kiyahudi, akawa anavisoma vitabu hivyo na kusimulia yale

yaliomo ndani yake. Na kwa hivyo, zimetokea kutoka kwake riwaya nyingi

mbovu, munkar. Anasema Ibn Kathir kuhusu moja ya riwaya za „Abdullahi

bin „Amri yenye kusema:

هللا ٠ هللا ػ٤ ا٠ ح ك٤ ؿخرض كوخ: "ك٢ خ هللا حلخ٤ش ل خ ظ …

.....هللا لكهض خ ػ٠ حل ٣ػخ أ

Mtume (s.a.w.) alilitazama jua wakati lilipotua, akasema: „(linatua) ndani

ya moto mkali wa Allah lau si kuwa linazuiwa na amri ya Allah basi

lingeliunguza yote yaliomo ardhini. 368

Anasema Ibn Kathir kuhusu riwaya hio:

، ــــك٤ ؿحرش ك٤ ؿ ٣ كؼ ك٤ ظ هي ٣ هكخ ال ػزي هللا ر ػ

أػ.كب أخد ٣ ح٤ى حظ٤ ظذ حظوي٤ كخ ٣ليع خ هللا

Ndani yake kuna ajabu, na ndani yake kuna mtu kati yao ambaye

hakutajwa. Na kuifanya riwaya hii kuwa yatoka kwa Mtume (s.a.w.) ni

366

- Ibn Al-Qayyim Naqdu Al-Manqul uk. 78. 367

- Al-Bayhaqi Al-Kubra j. 13, uk. 188, Hadithi na. 18204. 368

- Ibn Kathir Al-Bidaya Wa Al-Nihaya j. 2, uk. 127.

Page 118: Fimbo ya Musa

118 jambo la kufikiriwa (si sahihi), na huenda ikawa ni riwaya mauqufa:

369 ni

katika maneno ya „Abdullahi bin „Amri, hakika yake alipata katika vita vya

Al-Yarmuk ngamia wawili waliobebeshwa vitabu katika vitabu vya

waliotangulia (Ahlul-Kitab), basi akawa anasimulia kutoka katika hivyo.370

Hio ni riwaya moja ambayo „Abdullahi bin „Amri kaisimulia kutoka katika

vitabu vya Ahlul-Kitab. Na miongoni mwa riwaya za Kiyahudi

zilizosimuliwa na „Abdullahi bin „Amri, ni riwaya yenye kusema:

: حالثش. هخ: ػ ػس ر حر٤، أ ؤ ػزي هللا ر ػ ر حؼخ: أ١ حون أػظ ؟ هخ

..حي . هخ كز٢ حػ٤ ، كوخ : ح أل٢ أل٤ . ؟ هخ : ححػ٤ خح هوض

Kutoka kwa „Ur-wa bin Al-Zubair kwamba yeye alimuuliza „Abdullahi bin

„Amri bin Al-„Asi: „je ni kiumbe gani aliye mkubwa?‟ Akasema:

„Malaika‟. Akamuuliza tena: „je Malaika wameumbwa kutokana na kitu

gani?‟ Akajibu: „kutokana na nuru ya dhiraa mbili na kifua.371

Akasema:

„akazikunjua dhiraa zake mbili‟. Akamwambia: „muwe kama nyinyi elfu

elfu mbili……..372

Riwaya hii kaipokea Al-Bayhaqi katika kitabu chake Al-Asmaau Wa Al-

Sifaat kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri. Kisha akasema Al-Bayhaqi:

ــــ٢ أ حرـــي رـه ح هف ػ٠ ػزي هللا ر ػ ح٣ ؿ ؿ٤ ٠ ، ك وطغ.

ؼزي هللا رــــق ي كـــكب خ ر ػس ، ػ أر٤ ، ػ ػزي هللا ر ػ. ػ٤٤ش ح ػ

حلحث، كخ ل ٣كؼ ا٠ حز٢ ػ٤ حال ٣لظ أ ٣ خ خ ٣ظ ك٢ ظذ هي ـــــــػ

آ ك٤خ هغ ر٤ي طي حظذ

Riwaya hii ni mauquufa373

iliosimuliwa kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri,

na aliyeisimulia ni mtu ambaye hakutajwa, basi ni riwaya ambayo sanad

yake imekatika. Na imenifikia kwamba Ibn „Uyaina kaipokea kutoka kwa

Hisham bin „Ur-wa kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Abdullahi bin

„Amri. Basi ikiwa hilo litasihi, basi „Abdullahi bin „Amri alikuwa akisoma

vitabu vya waliotangulia (Ahlul-Kitabi), basi Hadithi ambayo hakusema

kuwa inatoka kwa Mtume (s.a.w.) inawezekana ikawa ni katika jumla ya

alizoziona yeye katika vitabu hivyo alivyonavyo mikononi mwake. 374

369

- Yenye kutoka kwa Sahaba: haitoki kwa Mtume (s.a.w.). 370

- Ibn Kathir Al-Bidaya Wa Al-Nihaya j. 2, uk. 127. 371

- Kwa mujibu wa itikadi za Mujassima dhiraa mbili hizi ni dhiraa za Mungu na kifua cha

Mungu! Astaghfiru Allah! Huu ujuha we! 372

- Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 2, uk. 178-179, riwaya na. 744. 373

- Ni maneno ya Sahaba: si maneno ya Mtume (s.a.w.). 374

- Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 2, uk. 179, riwaya na. 744.

Page 119: Fimbo ya Musa

119

Ninasema: tukirudi katika maneno ya Al-Bayhaqi aliposema: “na

imenifikia kwamba Ibn „Uyaina kaipokea kutoka kwa Hisham bin „Ur-wa

kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri. Basi ikiwa hilo

litasihi……”, tukirudi katika maelezo hayo, tunasema kuwa „Uthman bin

Sa‟id Al-Darimi kasimulia kweli riwaya hio kwa sanad hio: “kutoka kwa

Abu Usama kutoka Hisham bin „Ur-wa kutoka kwa baba yake kutoka kwa

„Abdullahi bin „Amri”.375

Hapa – katika sanad ya Al-Darimi – kapungua

Sufyaan bin „Uyaina. Inawezekana ikawa kaanguka (hakutajwa) katika

kuinukuu riwaya yenyewe wakati wa kuisimulia au katika kuiandika.

IBN „ABBAAS

Ibn „Abbaas (r.a.) ni bahari ya elimu na ni mwanachuoni mkuu na mfasiri

mkuu wa umma, na ni mtu ambaye Allah kampa akili ilio nadra katika zama

zote. Hata hivyo, naye zimetokea kutoka kwake baadhi ya riwaya za

Kiisraili alizozipata kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar. Lakini – sawa na Abu

Huraira au zaidi ya Abu Huraira – Ibn Abbaas si kwamba yeye ndiye

aliyedai kuwa riwaya hizo zinatoka kwa Mtume (s.a.w.), bali tatizo lilikuwa

ni katika kutatizwa kwa baadhi ya wapokezi waliozipokea riwaya hizo

kutoka kwake ambapo walichanganya baina ya riwaya za Ibn „Abbaas

kutoka kwa Mtume (s.a.w.), na zile za Ibn „Abbaas kutoka kwa Ka‟abu Al-

Ahbar – riwaya za Ka‟abu wakaziita kuwa ni za Mtume (s.a.w.).

Mfano mmoja wa riwaya za namna hio ni riwaya iliosimuliwa kutoka kwa

Ibn „Abbaas kwamba Mtume (s.a.w.) kamuona Allah huko mbinguni! Ibn

„Abbaas si juha wa kusema uzushi huu, bali hayo ni maneno ya Ka‟abu Al-

Ahbar ambayo Ibn „Abbaas labda alipata kuyasema si kwa kuyakubali.

Miongoni mwa vyenye kuonesha hivyo, ni riwaya tulizozinukuu katika

utangulizi. Nimesema katika utangulizi:

Miongoni mwa vyenye kuthibitisha hilo ni kile kisa kilichosimuliwa

kuhusu tukio la mkutano wa Ibn „Abbaas na Ka‟abu Al-Ahbar, Myahudi

aliyesilimu na akawa anasimulia riwaya zao za Kiisraili. Wamesimulia

wapokezi wa Hadithi kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar akisema:

ر٤ لي ٠ كآ لي ط٤ ٠ ط٤ال ا هللا ه إ٣ظ

375

- „Uthman Al-Darimi Al-Raddu „Alaa Bishri Al-Marisi uk. 140.

Page 120: Fimbo ya Musa

120 Hakika Allah kakugawa kuonekana kwake na maneno yake baina

ya Muhammad na Musa: Muhammad akamuona mara mbili na

Musa akazungumza naye mara mbili.376

Katika riwaya ya Al-Tirmidhi katika Al-Sunan,377

na Ibn Khuzaima katika

Al-Tawhid,378

tunapata kwamba Ibn „Abbaas alikutana na Ka‟abu Al-

Ahbar huko „Arafa. Ibn „Abbaas akamuuliza Ka‟abu kuhusu kitu fulani;

Ka‟abu akapiga takbiri kubwa ilioje mpaka milima ikarejesha sauti, kisha

ndio akasema maneno hayo tulioyanukuu ya kuwa Muhammad kamuona

Allah na Musa kazungumza naye.

Na kwa hivyo, Al-Sayyid Al-Saqqaaf – kuhusu riwaya hio ya Ibn „Abbaas

ya kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Allah – anasema:

Mas-ala haya tumeyasherehesha mara nyingi kwamba Ibn „Abbaas

kainukuu (riwaya hio) kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbaar na haikuwa rai ya

Ibn „Abbaas kamwe. Basi baadae wakaja wasimulizi wa Hadithi

wakaihusisha riwaya hio na Ibn „Abbaas kuwa ni kauli yake, wala haikuwa

hivyo. Bali hio ni kauli ya Ka‟abu (Al-Ahbar) ambayo Ibn „Abbaas

aliisimulia tu kutoka kwake, wala si lazima kwamba na Ibn „Abbaas naye

awe ni mwenye rai hio kamwe……379

Kisha baada ya hapo Al-Saqqaaf akataja riwaya ya Ibn „Umar kwamba

alikwenda kwa Ibn „Abbaas na kutumiana naye ujumbe akimuuliza: „je

Muhammad kamuona Mola wake?‟ Ibn „Abbaas akamjibu: „kwamba

kamuona‟. Kisha Al-Sayyid Al-Saqqaaf – katika maelezo ya chini ya kitabu

chake – akasema:

Hadithi hii ni ya kutunga ya uwongo, na kwa ukamilifu wake, Hadithi hii

inasema: „Basi (Ibn „Umar) akamrejesha tena mjumbe wake (kwa Ibn

„Abbaas) na akamuuliza: „kamuona vipi?‟ Akajibu (Ibn „Abbaas kwamba):

„kamuona juu ya kiti cha dhahabu kimebebwa na Malaika wane: Malaika

kwa sura ya mtu, na Malaika mwengine kwa sura ya simba, na Malaika

mwengine kwa sura ya ng‟ombe dume, na Malaika mwengine kwa sura ya

nasr (eagle),380

(naye Allah) yupo katika bustani ya kijani mbele yake kuna

vipepeo vya dhahabu.381

376

- Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Al-Sunna j. 3, uk. 500, riwaya na. 867. Ibn

Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 496, riwaya na. 21. Is-haaq bin Raahwaih Al-Musnad riwaya

na. 1421. Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 286, riwaya na. 548. 377

- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 3278.

378 - Ibn Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 561, riwaya na. 328.

379 - Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 85, katika maelezo ya chini.

380 - Ndege mkubwa kama koho (yuko Pemba).

381 - Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 86, katika maelezo ya chini.

Page 121: Fimbo ya Musa

121

Hii ni mifano michache sana katika mambo mengi ambayo yalitiririka

kutoka kwa Ahlul-Kitab miongoni mwa itikadi zao mbovu zilizotokana na

upotoshaji wao wa vitabu vyao na utunzi wao wa riwaya za uwongo, na –

kwa bahati mbaya – hayo yakaingia katika umma huu wa Kiislamu kwa njia

za:

1) Ahlul-Kitabi waliosilimu.

2) Vitabu vilivyopatikana – kwa mizigo ya ngamia – kutoka Ahlul-

Kitabi.

3) Mazindiki (wanafiki) waliokuwa wakijifanya kuwa ni Waislamu ili

wapate kuchafua itikadi sahihi za Kiislamu.

Na kwa bahati mbaya ni kuwa:

1) Baadhi ya Masahaba walizisimulia riwaya zao.

2) Wapokezi waliokuja baadae walishindwa kuijua ni ipi riwaya ya

Mtume na ni ipi ni riwaya ya Ahlul-Kitabi. Riwaya ya Ka‟abu Al-

Ahbar na „Abdillahi bin Salam (Wayahudi waliosilimu) na wengine

zikaitwa kuwa ni riwaya za Mtume (s.a.w.). Na namna hivi ziliweza

kupenya fikra au riwaya za kumuona Allah na riwaya za kuingia

motoni na kutoka Wa Allahu Al-Musta‟aan!

Baada ya hayo, itakubainikia kwamba:

1) Kuna riwaya nyingi sana za kiitikadi ambazo zimo katika vitabu

muhimu ambazo kwa asili si riwaya za Mtume (s.a.w.).

2) Riwaya hizo au baadhi ya riwaya hizo zina sanad sahihi.

3) Njia ya kuzijua riwaya hizo ni:

a) Kuzipima na Qur-ani.

b) Hoja za yakini za kiakili.

c) Tafsiri sahihi ya Aya za Qur-ani kwa mujibu wa fani zake za

lugha ya Kiarabu na kanuni nyengine zenye kutumika katika

elimu ya tafsiri.

Page 122: Fimbo ya Musa

122

MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU

Mukhtasari wa yote nilioyajadili hapa ni kuwa:

a) Madai ya kwamba wanavyuoni wa Ahlu Sunna Wa Al-

Jamaa‟a wameweza kuzidhibiti Hadithi zote za itikadi au

Hadithi kwa ujumla kwa ufanisi wa hali ya juu, si madai

sahihi kwani:

b) Wao wenyewe wametafautiana sana katika Hadithi kadha wa

kadha za kiitikadi na nyenginezo.

c) Wametafautiana katika minhaj na baadhi ya masharti ya

kuzikubali Hadithi.

d) Wamezidhoofisha Hadithi nyingi, na udhoofishaji huo si

mara zote huwa umetokana na sanad ya Hadithi; bali mara

nyengine sanad inakuwa ni sahihi lakini matn inakuwa

dhaifu.

e) Kumekuwa na idadi si ndogo ya Hadithi za kutunga ambazo

zimetumiwa na watu wa madhehebu tafauti – za Kisunni na

zisizokuwa za Kisunni.

f) Kumekuwa na idadi si ndogo ya riwaya za Ahlul-Kitabi

zilizopenya katika umma kwa sababu ya uadui wa mazindiki

au makosa ya wapokezi.

g) Usahihi wa sanad tu haujamaanisha usahihi wa Hadithi

yenyewe. Kuna Hadithi nyingi ambazo sanad zake ni sahihi

lakini mutun (texts) zake ni za kutunga, na mifano tumetoa

kwa ushuhuda wa wanavyuoni wakuu wa Kisuni.

h) Na kwa hivyo, katika kuisoma matn ya Hadithi ni lazima

tuirejeshe Hadithi katika qat‟iyyaat (mambo ya yakini)

miongoni mwa hoja za kiakili za wazi; utaratibu wa lugha ya

Kiarabu na Aya za Qur-ani kwani Hadithi sahihi haiendi

kinyume na chochote katika hayo.

Page 123: Fimbo ya Musa

123

SURA YA PILI KUHUSU HADITHI MUTAWAATIR

Bila shaka yoyote ile, ufahamu sahihi wa maudhui ya kumuona au

kutokumuona Allah, unafungamana mfungamano wa lazima na ufahamu

sahihi wa suala zima la elimu ya Hadithi. Na nikisema elimu ya Hadithi

sikusudii ufahamu wa Kiwahabi kwamba “Hadhithi hii ni sahihi”,

ukimuliza: “kwanini”, atakwambia: “sanad yake ni sahihi”. Bali – kama

maelezo yaliotangulia yanavyobainisha – ninakusudia kuzifahamu sanad za

Hadithi pamoja na mutun zake, na kwamba ufahamu wa hili la pili ndio

muhimu zaidi. Na miongoni mwa masuala muhimu kuyafahamu kuhusiana

na maudhui hii, ni suala la Hadithi mutawatir. Na kabla ya kulieleza hilo,

kwanza natumnukuu Sheikh Kasim bin Mafuta. Anasema Sheikh Mafuta:

HOJA YAO YA NNE

Hoja yao ya nne, ni hadithi ya Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam-,

amesema Juma Al-Mazrui:

“Hadithi ambazo wamezitolea ushahidi wale wenye kukataa kuonekana

kwa Mwenyezi Mungu, ziko kama tatu, lakini inatosha hapa kunukuu moja

tu, kwani Qur‟an ndio msingi wa itikadi na tumethibitisha kwa aya za

Qur‟an kuwa Mwenyezi Mungu haonekani. Ama hadithi kwa mujibu wa

Jumhuri ya umma huwa haichukuliwi katika mambo ya itikadi ila ikiwa ni

mutawatir. Kwa hivyo ikiwa umelifahamu hili, utakuwa umefahamu

kwamba kutoa kwetu ushahidi kwa hadithi katika maudhui hii ni kwa

sababu hadithi hizi au hadithi hii ahadi imekubaliana na Qur‟an, kwa hivyo

katika hali hii inapata nguvu za Qur‟an. Mwisho wa kunukuu.382

MAJIBU YETU

Hapa kuna nukta mbili za kuzijadili:

Nukta ya kwanza:

Ni kuhusu kauli yake aliposema: “kwani Qur‟an ndio msingi wa itikadi..”.

Sisi tunasema: hata Sunna pia ni msingi wa itikadi kama vile Qur‟an,

amesema:

ح ظ ك خ ػ خ خ ك و ح خ آط خ

382

- Tazama ukurasa wa 319 wa kitabu chake “Hoja zenye Nguvu”.

Page 124: Fimbo ya Musa

124

Na anachokupeni Mtume chukueni, na anacho kukatazeni jiepusheni

nacho.383

Na miongoni mwa aliyotupa bwana Mtume –swalla llaahu alayhi

wasallam- ni mambo ya itikadi na sheria ya dini. Na yote hayo tunatakiwa

kuyakubali na kuyafanyia kazi bila yakukidharau chochote katika

mafundisho yake.384

JAWABU

Suala la kwanza linahusiana na pale niliposema kwamba Qur-ani ndio

msingi wa itikadi. Mafuta kwa ufahamu wake finyu akanijibu:

Sisi tunasema: hata Sunna pia ni msingi wa itikadi kama vile Qur‟an,

amesema:

ح ظ ك خ ػ خ خ ك و ح خ آط خ

Na anachokupeni Mtume chukueni, na anacho kukatazeni jiepusheni

nacho.385

Bwana Mafuta! Makusudio ya kuambiwa kuwa Qur-ani ndio msingi wa

itikadi: si kwamba Sunna hazitumiki katika itikadi, bali makusudio ni kuwa:

1) Itikadi yote msingi wake ni Qur-an.

2) Usahihi wa Hadithi unapimwa na Qur-an, na ii ndio njia moja kuu

katika njia za kuzipima mutun za Hadithi, kama tulivyonukuu

maneno ya wanavyuoni na Masahaba (r.a.) katika sura iliotangulia.

Na hii ni tafauti na Qur-ani ambayo haipimwi na Hadithi wala

chengine chochote kile. Hii ndio maana ya kuwa Qur-an ndio

msingi wa itikadi.

Anaendelea Kasim Mafuta:

Nukta ya pili:

Ni kuhusu kauli yake: “Ama hadithi kwa mujibu wa Jumhuri ya umma

huwa haichukuliwi katika mambo ya itikadi ila ikiwa ni mutawatir.”

Maneno haya, hayana ukweli hata kidogo, na wala hayakujengwa juu ya

383

- Suratul Hash‟ri (59) aya 7.

384

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 161-165. 385

- Suratul Hash‟ri (59) aya 7.

Page 125: Fimbo ya Musa

125 msingi wa kielimu, bali ni maneno porojo yaliyojaa ubabaishaji ndani

yake. Ushahidi wa hilo ni huu:

Kwanza ndugu Juma anataka kutuambia kwamba kauli ya maulamaa

wengi ni kuwa katika mambo ya itikadi hawazikubali ila hadithi

mutawatir. Na hali yakuwa mambo ni kinyume chake, na sijui aliposema

Jumhuri ya uma alikuwa anawakusudia kina nani? Kama makusudio yake

ni wanavyuoni wengi wa hadithi ambao ndiyo wataalamu wa fani hii,

maneno hayo si kweli. Na kama ni mkweli basi atuthibitishie hilo kwa data

za kielimu na si kwa maneno matupu. Na kama makusudio yake aliposema

“Jumhuri” ni mpaka wajinga ambao hawana utaalamu wowote katika fani

hii, hilo pia si kweli, na hata kama ni kweli msimamo na ufahamu wao si

hoja katika mambo ya kielimu. 386

JAWABU

Maneno hayo ya Mafuta yanazidi kunithibitishia kwamba mtu huyu hasomi

hata hivyo vitabu vyao! Maneno hayo akiwa atayasema mbele ya wenye

alimu basi watamcheka sana! Hapa maneno ya Mafuta yana nukta mbili

kuu:

1) Je ni kweli jumhur (majority) ya wanavyuoni wa umma wanasema

kwamba Hadithi Ahadi haitumiki katika itikadi au ni porojo tupu?

2) Je wanavyuoni hao ni wanavyuoni wa Hadithi au ni wajinga?

Jawabu ya suali la kwanza tutawaachia wanavyuoni wenyewe watujibie.

Anasema Al-Imamu Al-Ghazali alipokuwa akizungumzia masharti ya

Hadithi mutawatir:

…..…ػيى حوز٣ ٣و ا٠ خ خه كال ٣ل٤ي حؼ ا٠ خ خ ح١ ٣ل٤ي حؼ

.…ػكض ح كو هز ححكي ل ٣ل٤ي حؼ اح

Idadi ya watoaji khabari inagawika katika yenye upungufu (Ahadi), hii

huwa haitoi yakini (itikadi); na iliokamilika nayo ndio yenye kutoa yakini

(itikadi).387

………ukiwa umelifahamu hilo, basi elewa kwamba Hadithi

Ahadi haitoi yakini (itikadi).388

386

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 161. 387

- Al-Imamu Hujjatul-Islam Al-Ghazali Al-Mustasfaa uk. 107. 388

- Uk. 116. Tanbihi: tazama hapa kuna maneno nimeyaruka ili kufupisha. Miongoni mwa

maneno hayo, ni: أخ ه ح ػ٤ حال خ ػ لظ كال ٠٣ هز ححكي (Ama kauli ya

Mtume s.a.w. iliojulikana kuwa ni sahihi, basi hio haiitwi Hadithi Ahadi). Makusudio ya

Page 126: Fimbo ya Musa

126

Anasema Dr. Wahbat Al-Zuhaili:

هللا ٠ هللا ػ٤ أكخى طزؾ ػيى حظحط.......ش ح٥كخى: ٢ خ حخ ػ

طل٤ي حظ ل ح٤و٤ حطؤ٤ش، ٣ـذ حؼ رخ ل حلػظوخى ي ك٢ ػزطخ..... .كخ أخ

Sunna Al-Ahaadi (Hadithu Ahadi), nayo ni ile ambayo wameipokea mtu

mmoja mmoja kutoka kwa Mtume (s.a.w.) ambao hawakufika idadi ya

mutawatir…..na hukumu yake ni kuwa inaleta dhana tu: si yakini na

utulivu (wa moyo), na ni wajibu kuitendea kazi katika matendo tu (sala,

funga, hija nk.) si (kuitumia katika mambo ya) itikadi, kwa sababu kuna

shaka katika kuthibiti kwake (hatuna yakini je kweli Mtume s.a.w.

kaitamka au ni makosa ya wapokezi au ni uwongo wao).389

Anasema Al-Bazdawi:

ى حـــــ هز ٣٣ ححكي أ حلػخ كخػيح ل ػزس ؼيى ك٤ رؼي أ ٣.…

.……حظحط ح ٣ؿذ حؼ ل ٣ؿذ حؼ ٣و٤خ

Nayo (hio Hadithi Ahadi) ni kila riwaya inayosimuliwa na mtu

mmoja, wawili na kuendelea: hakuna mazingatio ya idadi ndani yake

badala ya kuwa si mash-hur wala si mutawatir (ni Ahadi). Na hii

inalazimisha matendo tu pasina na yakini (itikadi)……390

Anasema Al-Sarakhsi: كب هز ححكي ل ٣ؿذ ػ ح٤و٤ لكظخ حـ٢ حح١

….kwani Hadithi Ahadi haitoi elimu ya yakini (itikadi) kwani inawezekana

likawa ni kosa la mpokezi..391

Anasema Al-Subki akiwanukuu baadhi yao:

أخ ح٥كخى ٢ ل طل٤ي حوطغ اخ طل٤ي حظ

Na ama (Hadithi) Ahadi, nazo hazileti yakini bali zinaleta dhana….392

maneno hayo, ni kuwa maneno atayoyatamka Mtume (s.a.w.) basi ni sahihi tu, yaani mtu

aliye mbele ya Mtume (s.a.w.) akimwambia kitu basi hawezi kusema kuwa hio ni habari ya

mtu mmoja, kwani Mtume (s.a.w.) ni ma‟asum. Lakini kwa nukulu za watu wa kawaida

ambao si ma‟asumin, basi yakini haipatikani ila iwe khabari ni mutawaatir. 389

- Dr. Al-Zuhaili Usulu Al-Fiq-hi j. 1, uk. 436. 390

- Al-Bazdawi Al-Usul uk. 152. 391

- Al-Sarakhsi Al-Usul uk. 112. 392

- Al-Subki Al-Ibhaaj j. 2, uk. 42.

Page 127: Fimbo ya Musa

127

Anasema Al-Amir Al-San‟aani:

ز ــ٤غ هخ هـــكخ حو ك٤خ ٣ل٤ي حوز ح٥كخى١ ػالػش أهح أخ ا٤خ ك٢ ؿغ حـحغ ك

ـــكخو رؤ ل ٣ل٤ي حؼ ه………حكي ل ٣ل٤ي حؼ ال رو٣ش هخ حلؼ ل طوخ ـــــح

حـ أثش حل

Na natija ya kauli kuhusina na faida inayopatikana kutoka katika Hadithi

Ahadi ni kauli tatu ambazo kaziashiria katika kitabu Jam‟u Al-Jawami‟i

ambapo alisema: „Hadithi Ahadi haitoi yakini isipokuwa kwa qarina, lakini

walio wengi (wanasema) kwamba (haitoi yakini) moja kwa moja (hata

ikiwa kuna qarina) …….na kauli kwamba haitoi yakini ndio kauli ya

jumhur ya Maimamu wa usuli…..393

Anaendelea:

حظ٢ كـش ظ٤ش ح .…..هي ػكض أ ح٥كخى١ ل ٣ل٤ي ال حظ خ ػكض ال اح كلظ هحث

خ ل هالف ك٤

Na umejua kwamba Hadithi Ahadi haitoi isipokuwa dhana kama ulivyoona

isipokuwa ikiwa imezungukwa na qarina…na andiko la dhana hoja yake

(pia) ni ya dhana (si ya yakini) na hili halina tafauti ndani yake. 394

Anasema Al-Qarafi:

ػش حذ ٤س، حل: هز ح٥كخى ل ٣ل٤ي حؼ طوخ ر حظ، ػ٠ كخ، حؤش ك٤خ ػال

ألؼ٣.

Na kwa hali yoyote ile, mas-ala haya ndani yake yana kauli tatu

mashuhuri: mosi: Hadithi Ahadi haitoi yakini kamwe: bali inatoa

dhana tu, na HIO NDIO KAULI YA WENGI.395

Anasema Ibn „Ashur akiwanukuu Al-Baqillani na Ibn Al-„Arabi:

حؼخ٢ أ٠٣خ رخ١ ل هز ححكي ل ٣ل٤ي ال حظ

Na jambo la pili vile vile ni batili kwani Hadithi Ahadi haileti isipokuwa

dhana tu.396

Anasema Al-Fakhru Al-Razi:

393

- Al-Amir Al-San‟aani Ijaabatu Al-Sail uk. 102. 394

- Al-Amir Al-San‟aani Ijaabatu Al-Sail uk. 166. 395

- Al-Qarafi Sharhu Tanqihi Al-Fusul j. 2, uk 429. 396

- Ibn „Ashur Al-Tahriru Wa Al-Tanwir j. 1, uk. 137.

Page 128: Fimbo ya Musa

128

.…أ هز ححكي اح ى ػ٠ هالف حو٤خ ٣وز حؼخ٢ : أ ذ أر٢ ك٤لش

Jambo la pili ni kuwa madhehebu ya Abu Hanifa ni kuwa Hadithi Ahadi

ikenda kinyume na qiyasi basi haikubali….397

Anasema Al-Qushairi:

ذ حؼ ححكي ل ٣ؿ ز ..…ك٢ ح ىلش ػ٠ أ ه

Na katika hili kuna dalili kwamba habari ahadi haitoi yakini….398

Anasema Ibn Abi Ya‟alaa Al-Hanbali:

Ama Khabaru Ahadi (Hadith Ahadi) inawajibisha matendo kwa kile

kilichomo ndani yake na kuifuata hukumu ya matamshi yake; bila kusema

kuwa imethibiti kwa uhakika ( حوطغ رؼ٤ى )……na imesimuliwa kutoka

kwa baadhi ya wafuasi wake kwamba yeye anasema kwamba (Hadith

Ahadi) inatoa yakini; lakini mimi sijapata kuiona (kauli) hio kutoka katika

matamshi yake (mwenyewe) na sidhani kuwa anafuata (kauli) hio.399

NUKULU ZA AL-IMAMU AL-KHALILI

AL-MUFASSIR

Sheikh Al-Khalili katika kitabu chake Al-Haqqu Al-Damigh katunukulia kauli

zifuatazo:

(هخ حإلخخ حر حز٢ ك٢ ؿغ حـحغ حل٢ ك٢ ك )هز ححكي ل ٣ل٤ي حؼ ال رو٣ش

رص ي حف ػ٠ حص ، غ ه٣ش حزخء ، اك٠خ حل حؼ حؿ خ ك٢ اهزخ

).٤ي )طوخــــهخ )حلؼ ل( ٣ل ()

Wanasema Maimamu wawili Ibn Al-Subki katika Jam‟u Al-Jawami‟i na

Al-Mahalli katika Sherehe yake: „Hadithi Ahadi haitoi yakini ila kwa

qarina (kama vile mtu kutoa habari ya kufa mzee wake aliyekaribia kufa

pamoja na qarina ya kulia na kuleta sanda na jenenza)400

na wakasema

397

- Sasa vipi ikiwa itaenda kinyume na Qur-ani? Tazama Al-Fakhru Al-Razi Matihu Al-

Ghaib j. 1, uk. 187. 398

- Al-Qushairi Lataaifu Al-Isharaat j. 5, uk 38. 399

- Ibn Abi Ya‟ala Tabaqatu Al-Hanabila j. 2, 245-246. 400

- Maneno yaliomo katika breketi ni sherehe ya mshereheshaji. Hapo anakupa mfano wa

qarina ni kitu gani.

Page 129: Fimbo ya Musa

129 walio wengi zaidi kwamba haitoi yakini moja kwa moja (kukawa na

qarina kusiwe na qarina).401

Anaendelea:

– ٠ ر حوز ح٥كخى١ــــــ٣ؼ –حؼخغ ) : خ ()حظ٤قك٢ طو٤ق حر حلخؿذ ك

ــ٣ؿذ ػ٤ حظ اح حؿظغ ححث٢ حظ٢ خ ا خء هللا طؼخ٠ ، ٢ خك٤ش ؿد حؼ

ك٢ كخ٤ش حؼي )……………٣ي أ ل ٣ؿذ ح٤و٤ حؼو ……ل ل ٣ؿذ حؼ

حظلظخح٠ ػ٤خ أ ح ه حـ

ر حؼو خي رؤ هز ححكي حؼي ل ٣ؿذ :ػ هخ

………ح٤و٤ ، أ حكظخ حد هخث ا خ ؿكخ

Na katika kitabu Al-Tanqih cha Ibn Hajib pamoja na sherehe yake iitwayo

Al-Tawdhih (kuna maandiko yanayofuata): „na ya tatu – yaani Hadithi

Ahadi – inaleta dhana ikiwa itatimiza masharti ambayo tutayataja in shaa

Allah, nayo (masharti hayo) yanatosha kuwajibisha matendo (yanatosha

kuifanya Hadithi Ahadi itumike katika matendo), kwani haileti yakini

(itikadi)…..na akili inashuhudia kwamba (Hadithi Ahadi) haileti yakini

(haitumiki katika itikadi)402

…………………..na katika maelezo ya Al-

Sa‟ad Al-Taftazaani juu ya yake (vitabu viwili hivyo) ni kuwa HII NDIO

KAULI YA JUMHUR. Kisha akasema: „bali akili inashuhudia kuwa

habari ya mtu mmoja muadilifu (Hadithi Ahadi) haileti yakini na

uwezekano wa kuwa habari hio ni ya uwongo upo hata ikiwa uwezekano

huo umezidiwa uzito……403

Anaendelea:

ــــ أ حلـــ ؼـــحل“ : ك٢ كحطق حكص رف حؼزص لر ػزي ح خ

وز ؼخ ز٤خ ، ل ٣ل٤يــــــش حؼالػش ػ٠ أ هز ححكي ، ا ٣ ح ححكي حــــ حلث

ي حؼ لى ا٠ حظخهــــز ححكـــ أكخى ه .……ظق رخوحث أ ل ــــــــحؼ طوخ ، حء حك

ي٤ رظخه٤٠ ؿخث ر حهغ ، خ ــــــزخ حؼـــــي أ١ اه - هخػ -اح أهز ػيل رظخه٤٠

401

- Jam‟u Al-Jawami‟i cha Ibn Al-Subki kilichoshereheshwa na Jalalu Al-Din Al-Mahalli

pamoja na hashia ya Ibn Al-Qasim Al-„Abbaadi j. 3, uk. 215. Tanbihi: maneno (kukawa na

qarina kusiwe na qarina), ni maneno yangu ili kukuwekea wazi makusudio. 402

- Al-Tawdhih „Alaa Al-Tanqiih uk. 431-432, Hamish Al-Talwih cha Al-Sa‟ad. 403

-

Page 130: Fimbo ya Musa

130

).ل ٣ول٠ ػ٠ حظوة ك٢ حلخف ح حخ٤ي

Na katika kitabu Fawatihu Al-Rahmut Bi Sharhi Musallami Al-Thubut cha

Ibn „Abdil-Shakur kuna maelezo yafuatayo: “Waliowengi zaidi katika

watu wa usuli na miongoni mwao ni Maimamu watatu (wakuu wa

Kisunni), ni kuwa habari ya mtu mmoja (Hadithi Ahadi) ikiwa mmoja

huyo hakuwa Nabii Ma‟asum, basi haileti yakini (haitumiki katika itikadi),

ni sawa tu ikiwa kuna qarina au hakuna……lau habari ya mtu mmoja

yaleta yakini basi waadilifu wawili watapotoa habari tafauti kungelikuwa

na mgongano……na hilo yaani la waadilifu wawili kutoa habari zenye

kugongana linawezekana (likatokea) bali lipo limetokea halimfichikii yule

mwenye kuvisoma vitabu vya Al-Sihah na Al-Sunan na Al-Masaaniid.404

Anaendelea:

و٤يس ، كؼ٤ أـــــ أحى زظيع أ ٣يػ ا٠ حؼ “ هخ حإلخ لي ػزي ك٢ اكي كظخح

ؼ٤ش ـــو٤ش حزخ٤ش ، أ رخلىش حــــــويخص حؼـــ٣و٤ ػ٤خ حي٤ ح ا٠ ح٤و٤ اخ رخ

ي ، كب ــحظحطس، ل ٣ أ ٣ظو كي٣ؼخ كي٣غ ح٥كخى ى٤ال ػ٠ حؼو٤يس ، خ ه١

).حؼف ػي حلثش هخ١زش أ أكخى٣غ ح٥كخى ل طل٤ي ال حظ )ا حظ ل ٣ـ٢ حلن ٤جخ

Na akasema Al-Imamu Muhammad „Abduh katika moja ya fat-wa zake:

„lau mtu wa bidaa405

alitaka kulingania katika itikadi hii, basi inampasa

asimamishe dalili itayofikisha kwenye yakini, ama kwa vitangulizi vya

akili (kwa hoja za kiakili) au kwa dalili za mapokezi zilizo mutawatir wala

haiwezekani kuwa achukuwe Hadithi katika Hadithi Ahadi kuwa ndio

dalili ya itikadi hata ikiwa na sanad sahihi kiasi gani, kwani

kinachojulikana kwa Maimamu wote ni kuwa Hadithi Ahadi haileti

isipokuwa dhana tu (Na kwa hakika dhana haitoshelezi chochote

kutokana na haki).406

404

- Fawaatiihu Al-Rahmuut Bisharhi Musallami Al-Thubut Al-Matbu‟i bi-dhail Al-Mustas-

faa j. 2, uk. 121. 405

- Kama Kasim Mafuta, Seif Al-Ghafri na Maimamu wao – Ibn Taymiyya, Ibn Al-

Qayyim, Muhammad bin Abdil-Wahhaab, Al-Albani, Bin Baz na wengineo pamoja na

hizbu yao ya bidaa. 406

- Katika Fatawa za Al-Imami Muhammad „Abduh kazinukuu Al-Qasimi katika tafsiri ya

Suratu Al-Ahzab katika tafsiri yake Mahaasinu Al-Tanziil j. 13, uk. 4920.

Page 131: Fimbo ya Musa

131

NUKULU ZA AL-IMAMU AL-QANNUBI

Sheikh Al-Qannubi naye kawanukuu wanavyuoni wengi wa Kisuni ambao

wamesema kwa uwazi kwamba Hadithi Ahadi ni kitu cha dhana tu, na kwa

hivyo inatumika katika matendo tu pasina kutumika katika itikadi. Na

zifuatazo ni baadhi ya nukulu hizo:

Anasema Al-Qarafi:

حل٤ي ظ ل حوخح ححكي أ حؼي ك٢ هز ححكي هز حؼ ي Sehemu ya tano: kuhusu Habari ya mtu mmoja (Hadithi Ahadi) nayo ni

Hadithi inayosimuliwa na mtu mmoja muadilifu au waadilifu wengi

ambayo inaleta dhana (tu).407

Anasema Al-Imamu Abu Mansur Al-Baghdadi:

أهزخ ح٥كخى ظ٠ ق يخ خض ظخ ؿ٤ ل٤ش ك٢ حؼو خض ؿزش ؼ ى حؼ

Hadithi Ahadi zinapokuwa na sanad sahihi na ikawa mutun (texts au

maneno) ambayo kiakili si mustahili, basi zinawajibisha (kuzitumia katika)

matendo tu pasina yakini (itikadi). 408

Anasema Al-Isnawi:

٤ي حظ, حخعـــــــل ح٥كخى ا أكخىص كبخ طل .……أخ حش كخ٥كخى خ ل طل٤ي ال حظ

ي ـاخ أؿخ حظ ك٢ حخث حؼ٤ش ٢ حلع ى حؼ٤ش وحػي أ حي٣ ي هحػ

خ و حلزخ١ خف حزخ ػ حؼخء هخ١زشــ حلو, ـــأ

Na ama Sunna, zilizo Ahadi katika hizo basi hazileti isipokuwa

dhana409

…….kwani Hadithi Ahadi ikiwa zitaleta faida basi ni dhana, na

kwa hakika Mwenye sharia kajuzisha kuitumia dhana katika mambo ya

matendo tu nayo ni matawi pasina mambo ya yakini (itikadi) kama vile

407

- Al-Qarafi Tanqihu Al-Fusul Wa Sharhuh uk. 356. 408

- Al-Imamu Abu Mansur „Abdul-Qadir Al-Baghdadi Usulu Al-Din uk. 12. 409

- Al-Isnawi Nihayatu Al-Sul j. 1, uk. 22.

Page 132: Fimbo ya Musa

132 misingi ya dini halkadhalika misingi ya usuli al-fiq-hi

410 kama alivyonukuu

Al-Anbari mshereheshaji kutoka kwa Maulamaa wote.411

Anasema Ibn „Abdil-Barri:

...ح١ ػ٤ أؼ أ حؼ أ ٣ؿذ حؼ ى ....حهظق ألخرخ ؿ٤ ك٢ هز ححكي.....

حظ......حؼ ه حخكؼ٢ ؿ أ حلو

Wanavyuoni wetu wametafautiana na wengi (pia wametafautiana) kuhusu

Hadithi Ahadi ……na kinachofuatwa na waliowengi zaidi katika

Maulamaa ni kuwa (Hadithi Ahadi) inawajibisha matendo pasina yakini

(itikadi), nayo ni kauli ya Al-Shafi na jumhur ya watu wafiq-hi na rai….412

Anasema Al-Bayhaqi:

ح حؿ حلكظخ طى أ حظ ألخرخ حلكظـخؽ رؤهزخ ح٥كخى ك٢ لخص هللا طؼخ٠ ،

خ حلى خ أ ك٢ حظخد أ حإلؿخع ــاح ٣

Na kwa sababu ya muelekeo huu wa kubeba maana tafauti, basi wenye rai

katika wanavyuoni wetu wamewacha kutoa hoja kwa Hadithi Ahadi

KATIKA SIFA ZA ALLAH MTUKUFU (katika itikadi) ikiwa ile Hadithi

aliopwekeka nayo haikuwa na asili katika Qur-ani au makubaliano ya

umma.413

Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:

أخ هز ححكي ك خ ٣ؿي ك٤ ١ حظحط حء خ حح حكيح أ أؼ حهظق

حلخرش حظخرؼ٤ ك رؼي حليػ٤ـ٤ ــــخ٤ حـــكخ ػ٤ ؿ ــــــك٠ ك

ـش كـؾ حع ٣ حؼ رخ ٣ل٤يـــــهز ححكي حؼوش ك أ ـــحلوخء ألخد حل

حوخث٤ رلـ٤ش كي٣غ ح٥كخى ك٢ حؼو٤يس ػ هخ(: )ػ أى كـــــــــؾ…حظ ل ٣ل٤ي حؼ

حلهخ٣ خ ه حـ رخ١ش

410

- Yaani baadhi ya misingi ya usuli al-fiq-hi: si yote; vyenginevyo baadhi ya misingi yake

ni ya dhana tu: si ya yakini. 411

- K.h.j. uk. 349. 412

- Ibn „Abdil-Bar Al-Tamhid j. 1, uk. 7. 413

- Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat uk. 357.

Page 133: Fimbo ya Musa

133 Ama Hadithi Ahadi ni ile ambayo hayakupatikana ndani yake masharti ya

mutawatir ni sawa tu mpokezi wake akiwa mmoja au zaidi. Na

wakatafautiana katika hukumu yake, kinachofuatwa na jumuhur ya

Waislamu kuanzia MASAHABA na WAFUASI WA MASAHABA na

waliokuja baadae miongoni mwa wanavyuoni wa Hadithi na wanavyuoni

wa fiq-hi na watu wa elimu ya usuli ni kuwa Hadithi iliosimuliwa na

mpokezi mmoja mwenye kuaminika (Hadithi Ahadi) ni hoja katika hoja za

kisharia: inalazimisha kuifanyia kazi (katika matendo) na inaleta dhana

pasina kuleta yakini……(Kisha akataja hoja za wenye kutolea hoja kwa

Hadithi Ahadi katika itikadi, kisha akasema) 414

…….: Na kauli hizi zote ni

batili isipokuwa kauli ya jumhur.415

Anasema Al-Baji:

هخ لي ر ه٣ يحى: ..……...أخ هز ح٥كخى كخ ه ػ حظحط، ي ل ٣وغ ر حؼ

ػ٤ ؿ٤غ حلوخء.٣وغ حؼ روز ححكي، حل

Ama Hadithi Ahadi ni ile iliochini ya mutawatir na hio haipatikani yakini

kwayo…na Muhammad bin Khuwaiz Mindad akasema inapatikana yakini

kwayo, na kauli ya mwanzo ndio inayofuatwa na wanavyuoni wote wa fiq-

hi.416

Anasema Al-Khatib Al-Baghdadi:

هز ححكي ل ٣وز ك٢ ٢ء أرحد حي٣ حؤه ػ٠ حل٤ حؼ رخ حوطغ ػ٤خ

Hadithi Ahadi haikubaliki katika chochote miongoni mwa milango ya dini

ambayo inawawajibishia wenye kukalifishwa kuwa waijue na kuwa wakate

juu yake (wawe na yakini juu yake).417

Anasema Imamu Al-Haramain:

زض حل٣ش حلخرش ظزش حلي٣غ ا٠ أ هز ححكي حؼي ٣ؿذ حؼ ح ه ل ٣ول٠

١ ذ ي ػ٠

Wamesema Hashwiyya418

katika Mahanbali na waandishi wa Hadithi419

kwamba Hadithi Ahadi inaleta yakini, na huku ni kufedheheka ambako

kukujua kwake hakujifichi kwa mwenye akili.420

414

- Yalio katika breketi ni maneno yangu. 415

- Al-Imamu Al-Nawawi Sharhu Sahihi Muslim j. 1, uk. 131. 416

- Al-Baji Al-Ishara uk. 234. 417

- Al-Khatib Al-Baghdadi Al-Kifaya uk. 432. 418

- Kama Kasim Mafuta, Seif Al-Ghafri na Mawahabi wenzao popote walipo.

Page 134: Fimbo ya Musa

134

Anasema Al-Fakhru Al-Razi:

ي ـــــحؼـذ حل٣ش أ ٣و: حلظـخ رظؤ٣ ح٣٥خص حظخرش ؿ٤ ؿخث ل طؼ٤

زخ ـرخظ ك٢ حوآ ل ٣ـ ػ ٣ظ ك٢ حص هللا طؼخ٠ لخط رؤه حو ـــحظؤ٣ ظ

ح٥كخى غ أخ ك٢ ؿخ٣ش حزؼي ػ حوطغ ح٤و٤....

Na ajabu ya Hashwiyya kwamba wanasema: „kujishughulisha na kuziletea

ta-awil Aya zenye utata (mutashabihat) haifai kwani kuichagua maana hio

(uliosema) ni jambo la dhana tu na kusema kwa dhana katika Qur-ani

haijuzu. Kisha wao wanazungumzia mambo yanayoihusu Dhati ya Allah

na sifa zake kwa kutumia Hadithi Ahadi pamoja na kuwa ziko mbali mno

kutokana na uhakika na yakini….421

Anasema Abu Bakr Ibn „Asim katika Murtaqa Al-Wusul:

هز ححكي ظخ كال ***** رو حكي كخ ػال

Na Hadithi Ahadi dhana imepatika***Nayo ni yenye kunukuliwa na

mpokezi mmoja na kuendelea.

Anasema mshereheshaji:

ل ٣ل٤ي حؼ حكظلض ر حوحث خ ح٣ ػخىلذ حـ أ هز ححكي

Na madhehebu ya jumhur ni kuwa Hadithi Ahadi haileti yakini (itikadi)

hata ikizungukwa na qarain na mpokezi wake akawa ni muadilifu.422

Anasema Abu Al-Khatab Al-Hanbali:

٠ ــحح ؿخء حلي٣غ ػ حز٢ ك٢ ح٣ش حلػ : ) –كي أ١ أ –هز ححكي ل ٣وظ٢٠ حؼ هخ

٠ ر لـــــلل ػ٤ رخخى ل٤ق ك٤ ك أ ك ػض رخل حل ىض هللا طؼخ

كوي ػ٠ أ ل ٣وطغ ر هخ ؿــــ : هخ ) هخ ي٤ ـــــأي أ حز٢ ٠ هللا ػ

419

- Kawaita waandishi kwani watu wengi walionukuu Hadithi hawana fiq-hi na hawana

fahamu sahihi ya maandiko, kazi yao ni kuhifadhi na kufikisha. Ninasema: “wengi” kwa

maana si wote: si mtu kama Al-Bukhari ambaye alikuwa mwanachuoni wa uhakika. 420

- Imamu Al-Haramain Al-Burhaan j. 1, uk. 606. 421

- Al-Fakhru Al-Razi Asasu Al-Taqdis. Tazama pia kitabu chake chengine Al-Ma‟alim

uk. 138. 422

- Al-Wulaati Naylu Al-Sul uk. 57.

Page 135: Fimbo ya Musa

135

حؼخء

Habari ya mtu mmoja (Hadithi Ahadi) haileti yakini, kasema – yaani Al-

Imamu Ahmad – katika riwaya ya Al-Athram: „ikiwa Hadithi itapokewa

kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kwa sanad sahihi, na ikawa ndani yake kuna

hukumu au faradhi, basi mimi nitaitendea kazi hukumu hio na faradhi hio

na nitamuabudu Allah kwayo wala sishuhudii kuwa Mtume (s.a.w.)

kaisema hio‟. Kasema: (Tazama! Al-Imamu Ahamad) kasema kwa uwazi

kwamba yeye hakati kwa hio (hasemi kwa hakika na yakini kuwa Mtume

s.a.w. kaitamka Hadithi hio), na hivyo ndivyo walivyosema jumhur ya

wanavyuoni.423

Anasema Safiyyu Al-Din Al-Baghdadi Al-Hanbali:

ح٥كخى خ ٣ظحط، حؼ ل ٣ل ر ك٢ اكي حح٣ظ٤، ه حلؼ٣ ظؤه١ ألخرخ

Na Hadithi Ahadi ni ile ambayo haikuwa mutawatir, na yakini haipatikani

kwayo kwa mujibu wa moja ya riwaya mbili (zilizipokewa kutoka kwa Al-

Imamu Ahmad bin Hanbal), na hio ndio kauli ya waliowengi zaidi na wa

mwisho mwisho katika wanavyuoni wa madhehebu yetu (ya Kihanbali).424

Anasema Ibn Qudama Al-Hanbali:

ــػيح حظحط حهظلض حح٣ش ػ اخخ ك هللا ك٢ ك هزخ ح٥كخى ٢ خأحو حؼخ٢

ــــك أ ل ٣ل ر ه حلؼ٣ حظؤه٣ ألخرخ لخ ؼ حؼ روز ححكي

س أخ ل يم هز ؼ

Mgawanyiko wa pili ni Hadithi Ahadi nazo ni zile zisizo mutawatir.

Riwaya kutoka kwa imamu wetu (Al-Imamu Ahmad bin Hanbal), Allah

amrehemu zimetafautiana kuhusiana na kupatikana kwa yakini kutokana

na Hadithi Ahadi. Imepokelewa (kutoka kwake akisema) kwamba yakini

haipatikani (kwa Hadithi Ahadi), NAYO NDIO KAULI YA WALIO

WENGI ZAIDI katika wanavyuoni wetu, kwani sisi tunajua ujuzi wa

lazima kwamba hatuiamini kila habari tunayoisikia.425

Anasema Al-Tufi Al-Hanbali:

حط أ رؼ٠خ، ػ أكي ك٢ ك حؼ ر هل:ـــــي ١ حظـــحؼخ٢: ح٥كخى خ ػ

ه حلؼ٣.... ل، ـــحلظ

423

- Abu Al-Khatab Al-Hanbali Al-Tamhid j. 3, uk. 78. 424

- Safiyyu Al-Din Al-Baghdadi Al-Hanbali Qawaa‟idu Al-Usul uk. 16. 425

- Ibn Qudama Rawdhatu Al-Nadhir j. 1, uk. 260.

Page 136: Fimbo ya Musa

136 Ya pili ni Hadithi Ahadi nayo ni iliokosa masharti ya mutawatir au baadhi

ya masharti ya mutawatir; na kutoka kwa Al-Imamu Ahmad zimepokewa

kauli mbili kuhusu je Hadithi Ahadi inatoa yakini? Kilichowazi zaidi ni

kuwa haitoi yakini, nayo ndio kauli ya wengi zaidi.426

Anasema Al-Safaarini Al-Hanbali alipokuwa akizungumzia ta‟arifu

(definition) ya elimu ya tawhid na dalili zinazotakiwa katika elimu hio, na

kubainisha kwamba zinazotakiwa ni dalili za yakini, na akaishia kwa

kusema:

ظخ ح٤و٤ ؼي حلػظيحى رخظ ك٢ حلػظوخى٣خصحػظزح ك٢ أى

Na wakazingatia katika dalili zake ushahidi wa yakini tu kwa sababu ya

kutokuizingatia dhana katika mambo ya itikadi.427

Anasema Al-Qasimi:

حؼوخثي......أخ حلي٣غ كؼ٠ ك لظ ك آكخى، ح٥كخى ل ٣ئه رخ ك٢ رخد

Ama Hadithi hii, tukijaalia kuwa ni sahihi basi ni Hadithi Ahadi, na

Hadithi Ahadi haichukuliwi katika mlango wa itikadi.428

Anasema Al-Imamu Muhammad „Abduh:

خ ح ك ٢ آه ح غ ك ي ٣غ ح ٣و ش ك ٢ ك حط ذ خك ك خ : أ ي : أ ك خ ـ ٣ ٣غ ــــ ط و ي

ظ ؼ ن ر ؤ خى و آك خ ا ل ر خ ك ٤ ه ٣ش ل ٣ ئ ظ و خى ػ حل حل ـ ٤ ذ ح أ ظ و خى ١ ل ـــــحػ ٢ ل ط ؼ

د ـــح ٤ و ط ح خ ،ــك ٤ ٤ . حط ظ ٣غ ي ز خد ك ك ٢ ح ٤

Na aliyefuata njia hii kuhusu Hadithi ya kupanda (kwa Nabii Issa) na

kushuka (kwake) huko katika zama za mwisho kaitolea tafsiri mbili: moja

yao ni kuwa hii ni Hadithi Ahadi nayo inahusiana na jambo la itikadi

kwani hili ni jambo la ghaib, NA MAMBO YA ITIKADI

HAYACHUKULIWI ILA KWA NJIA YA YAKINI TU, kwani

426

- Al-Tufi Al-Bulbul Fii Usuli Al-Fiq-hi „Alaa Madh-habi Ahmad bin Hanbal j. 2, uk.

103. 427

- Al-Sifaarini Lawaaihu Al-Anwaari Al-Sunniyya j. 1, uk. 133, na Lawaami‟u Al-Anwaar

j. 1, uk. 5. 428

- Al-Qasimi Tafsiru Al-Qasimi katika tafsiri ya juzuu „Amma: tafsiri ya Suratu Al-Falaq

uk. 186. Tanbihi: mimi sikujua je maneno haya ni ya Al-Qasimi mwenyewe au ni maneno

ya Al-Imamu Muhammad „Abduh anayanukuu, kwani Al-Imamu Al-Qannubi kwanza

kaanza kunukuu maneno ya Al-Imam Muhammad „Abduh kisha ndio akayaleta maneno

haya, lakini dhahir ni kuwa haya ni maneno ya Al-Imam Muhammad na Al-Qasimi

anayanukuu.

Page 137: Fimbo ya Musa

137 kinachotakiwa ndani yake ni yakini, na katika mlango huu hakuna Hadithi

mutawatir…429

Hio ni mifano miwili mitatu aliotunukulia Al-Imamu Al-Qannubi. Kwa

urefu zaidi tazama vitabu vifuatavyo: Imamu Al-Haramain katika Al-

Waraqaat,430

Al-Zabidi katika Itihaafu Al-Sada,431

Abu Is-haq Al-Shirazi

katika Al-Tabsira432

na katika Al-Luma‟u,433

Ibn Al-Athir katika

Muqaddimatu Jaami‟u Al-Usul,434

Ibn Al-Hajib katika Muntaha Al-

Usul,435

Al-Imamu Al-Bukhari katika Al-Sahih,436

Al-Samarqandi Al-Hanafi

katika Mizanu Al-Usul,437

Al-Jassaas katika Al-Fusul Fii Al-Usul,438

Abu Al-

Qasim Al-Kalbi katika Taqribu Al-Wusul Ilaa „Ilmi Al-Usul,439

Ibn Burhan

katika Al-Wusul Ilaa Al-Usul,440

Safiyu Al-Din Al-Hindi katika Nihayatu Al-

Usul,441

Ibn Badran katika Nuzhatu Al-Khaatir Al-„Atir.442

Hayo ni maelezo ya baadhi ya wanavyuoni wa madhehebu nne za Kisuni, na

hilo ndilo ambalo Ahlu Al-Haqqi Wa Al-Istiqama (Ibadhi) wamekubaliana

juu yake. Tazama Shamsu Al-Usul443

na Tal‟atu Al-Shams444

vya Al-Imamu

Nuru Al-Din Al-Salimi, Al-Dalilu Wa Al-Burhan,445

cha Al-Imam Abu

Ya‟aqub Al-Warajiliani, Al-Saif Al-Haad cha Al-Imamu Al-Qannubi,446

Al-

429

- Tafsiru Al-Manar j. 3, uk. 317. 430

- Uk. 184. 431

- J. 2, uk. 105-106. 432

- Uk. 298. 433

- Uk. 72. 434

- J. 1, uk. 125. 435

- Uk. 71. 436

- J. 13, uk. 290 kwa mujibu wa Sherehe ya Fat-hu Al-Bari. Tanbihi: Al-Bukhari

hakusema kwa uwazi kwamba Hadithi Ahadi inatumika katika matendo tu pasina kutumika

katika itikadi, lakini kasema maneno yenye maana hio. Alichokisema yeye ni hiki:

متاب ها جاء في إجازج خثر الىاحد الصدوق في الأذان والصلاج والصىم والفرائض والأحكا“Mlango wa yaliokuja katika kuiruhusu Hadithi ya mpokezi mmoja mkweli (Hadithi

Ahadi) katika adhana, sala, funga, faridha na hukumu”. Wanavyuoni kadha wa kadha

wameelezea makusudio ya Al-Bukhari kusema hivyo kwamba ili ieleweke kwamba Hadithi

Ahadi inatumika katika matendo tu: pasina kutumika katika itikadi. 437

- J. 2, uk. 642-643. 438

- J. 3, uk. 53, uk. 93. 439

- Uk. 121. 440

- J. 2, uk. 172-174. 441

- J. 6, uk. 2801-2802. 442

- J. 1, uk. 261. 443

- Uk. 33. 444

- J. 2, uk. 15. 445

- J. 2, uk. 32. 446

- Uk. 57. Na kimsingi ni kuwa hio ndio maudhui ya kitabu hicho.

Page 138: Fimbo ya Musa

138

Haqqu Al-Damigh cha Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir,447

na kwa ufupi hio ndio kauli ya wanavyuoni wote wa Kiibadhi wala

hawakutafautiana juu ya hilo kama alivyoeleza Al-Imamu Al-Qannubi

katika Al-Saifu Al-Haad, anasema:

Na miongoni mwa wenye kauli hii ni wanavyuoni wetu wote, na

Mu‟tazila, na Zaidia, na jumhur ya Mahanafi, na Mashafi, na kundi kubwa

la Dhahiriyya nayo – kwa usahihi – ndio kauli ya Al-Imam Malik nayo

ndio inyofuatwa na wanavyuoni wa madhehebu yake, na ndio kauli ya

wanavyuoni wengi wa Kihanbal na ndio ilio mashuhuri kutoka kwa Al-

Imamu Ahmad……448

Bwana Mafuta hio ni sehemu ndogo mno katika maelfu ya kauli za

wanavyuoni wa Hadithi, fiq-hi, usuli, tafsiri na fani nyengine za elimu.

Umeona kwamba wanasema kwa uwazi kwamba:

1) Hadithi Ahadi haileti yakini.

2) Hadithi Ahadi ni jambo la dhana.

3) Hadithi Ahadi haitumiki katika itikadi.

4) Hio ndio kauli ya waliowengi.

5) Hio ndio kauli ya Maimamu watatu wakuu wa Kisunni.

6) Imamu wanne zimepokelewa kutoka kwake riwaya mbili.

7) Pamoja na hayo, kilicho mashuhuri kutoka kwake ni kauli ilio sawa

na Maimamu wengine.

8) Hio ndio kauli ya Jumhur ya umma.

Sasa kama wote hao hukuwaamini, basi jikumbushe yale alioyasema Ibn

Taymiyya, alipotongoa hivi:

كح حلع ٤ ك٢ ظخد هللا، ح حلي٣غ خ خ ك٤خ ك٤ ظحطح

Na lafdhi hii haimo katika Qur-ani; na Hadithi hii hata lau ilikuwa ni

andiko la wazi katika kile kilichotajwa, basi si mutawatir...449

Anaendelea Ibn Taymiyya:

حؼخ٢ أ ح أهزخ حلكآى ك٤ق ٣ؼزض ر أ حي٣ ح١ ل ٣ق حإل٣خ ال ر

447

- Uk. 62-66. Katika chapa ya Darul-Hikma London ni uk. 69-72. Tazama pia kitabu

chake Wasaqata Al-Qina‟u uk. 99, na uk. 154, Jawahiru Al-Tafsir j. 3, uk. 110. 448

- Uk. 8. 449

- Ibn Taymiyya Naqdu Maratibi Al-Ijma‟a uk. 304.

Page 139: Fimbo ya Musa

139 Pili ni kuwa hii ni katika khabari Ahadi basi vipi utathibiti kwayo msingi

wa dini (itikadi) ambao imani haisihi ila kwa huo.450

Hayo ni maneno ya Ibn Taymiyya.

Vipi Mafuta! Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya ni mjuzi wa Hadithi na

mengineo au ni mjinga wa mitaani? Je maimamu hao wanajua au ni watu

kama ivi mie? Ndugu msomaji nadhani sasa inazidi kukubainikia kwamba

huyu Mafuta hasomi: basi ni zogo tu. Labda Mafuta kaghururika na porojo

la Seif Al-Ghafri akidhania kuwa Al-Ghafri ni mkweli au ni mjuzi wa elimu

ya Hadithi. Al-Ghafri ni mjuzi wa kuponda watu, hio ndio fani yake: hakuna

yoyote anayemuingia hapo!

Hayo niliokupa ni mukhtasari, na ukitaka kujua hoja za kwa nini Hadithi

Ahadi haitumiki katika itikadi – hilo litachukua sehemu kubwa ya kitabu –

rejea kitabu Al-Saifu Al-Haadi cha Imamu Al-Sunna Wal Usul Wal Furu‟i

Al-„Allaama Al-Rabbaani Al-Qannubi, utakuta humo hoja zitazoupoza

moyo wako. Na kama unataka mjadala zaidi juu ya suala hili peke yake

andika jawabu yako nasi tuko tayari kukujibu kwa hoja na dalili za wazi in

shaa Allahu Ta‟aala.

Hio ni jawabu ya nukta ya kwanza ya maneno ya Mafuta, nayo ni maneno

yake yasemayo:

Ni kuhusu kauli yake: “Ama hadithi kwa mujibu wa Jumhuri ya umma

huwa haichukuliwi katika mambo ya itikadi ila ikiwa ni mutawatir.”

Maneno haya, hayana ukweli hata kidogo, na wala hayakujengwa juu ya

msingi wa kielimu, bali ni maneno porojo yaliyojaa ubabaishaji ndani

yake. Ushahidi wa hilo ni huu:

Kwanza ndugu Juma anataka kutuambia kwamba kauli ya maulamaa

wengi ni kuwa katika mambo ya itikadi hawazikubali ila hadithi

mutawatir. Na hali yakuwa mambo ni kinyume chake, na sijui aliposema

Jumhuri ya uma alikuwa anawakusudia kina nani? Kama makusudio yake

ni wanavyuoni wengi wa hadithi ambao ndiyo wataalamu wa fani hii,

maneno hayo si kweli. Na kama ni mkweli basi atuthibitishie hilo kwa data

za kielimu na si kwa maneno matupu. Na kama makusudio yake aliposema

“Jumhuri” ni mpaka wajinga ambao hawana utaalamu wowote katika fani

hii, hilo pia si kweli, na hata kama ni kweli msimamo na ufahamu wao si

hoja katika mambo ya kielimu. 451

450

- Ibn Taymiyya Minhaaju Al-Sunna j. 2, uk. 133. 451

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 161.

Page 140: Fimbo ya Musa

140

Nukta ya pili ni kuwa “je wanavyuoni hao ni wanavyuoni wa Hadithi au ni

wajinga”, nukta hii natarajia imeshajibika katika jawabu hio juu ya nukta ya

kwanza. Lakini hapa kuna kitu kimoja muhimu ambacho inaonekana kuwa

Mafuta ajingikiwa nacho, nacho ni kuwa wanavyuoni wa Hadithi kazi yao

mahususi ni kutwambia kuwa SANAD ya riwaya hii ni sahihi, au hasan, au

dhaifu, au maudhui n.k. Hii ndio kazi mahususi ya wanavyuoni wa Hadithi.

Ama yale yenye kuhusu:

1) Al-„Ilal fii Al-Mutun (kasoro zilizomo ndani texts yaani maneno

yenyewe).

2) Fiq-hi ya Hadithi.

Bwana Mafuta, wajuzi zaidi wa mambo hayo si wanavyuoni wa Hadithi,

bali ni wale waliokuwa mabingwa wa fiq-hi, tafsiri, usuli, lugha ya Waarabu

na mengineo; hao ndio mabingwa wa mambo hayo. Ndio maana ukaona

asilimia kubwa ya wenye itikadi ya tajsim na tashbih ni wale

waliojishughulisha na Hadithi ambao aghlabu yao hawakuwa mafakihi.

Kwa hivyo, je Hadithi hii sanad yake ni sahihi? Hilo tutawachia

wanavyuoni wa Hadithi. Je matn yake inakubalika? Hilo watalizongea

wanavyuoni wote na wajuzi wao wa hilo ni wanavyuoni wa tafsiri na fiq-hi?

Je Hadithi Ahadi tuitumie katika itikadi? Hili linawahusu wanavyuoni wote

hususan ukizingatia kwamba suala hili linaingia katika mambo ya:

d) Akili.

e) Ushahidi wa Hadithi.

f) Ushahidi wa Qur-ani.

g) Qawaaidu „Amma (kanuni za ujumla) za tafsiri.

h) Usulu Al-Fiq-hi.

Hilo ningependa ulielewe vyema. Vyenginevyo hata huyo Ibn Taymiyya na

Ibn Al-Qayyim hawakuwa wanavyuoni wa Hadithi.

MAFUTA NA MAANA YA HADITHI MUTAWATIR

Anaendelea Mafuta kwa kusema:

Pili, ni kuhusu maana ya mutawatir, Je anakusudia mutawatir kwa istilahi

ya wanavyuoni wa hadithi ambao ndiyo wataalamu wa fani hii? au

anakusudia hadithi mutawatir kwa istilahi yake yeye na kaumu yake?

Kama ni mutawatir kwa istilahi ya kitaalamu katika elimu ya hadithi, basi

hebu sikiliza kauli za wataalamu wa fani ya mambo ya hadithi

wanavyosema:

Amesema Imamu Al-Tahaawiy:

ف .”...كظحطس حإ٣ش ػ٠ حيحش ألخر ػ٤ هللا ٠ حز٢ ػ حلكخى٣غ أخ

Page 141: Fimbo ya Musa

141

حطلخ٣ش ؼو٤يس

“Na ama hadithi (zilizopokelewa) kutoka kwa Mtume –swalla llaahu

alayhi wasallam- na maswahaba zake zenye kuelezea kuonekana (Allah) ni

Mutawatir”.

Tazama Shar‟hul-Aqidati Tahaawiyah ukurasa wa 189-193

Amesema Imamu Ibn Kathir:

آػ٤ إلر حؼظ٤ حوآ ح٥كخى٣غ ك٠ ح٥هس حيح ك٠ – ؿ ػ – لل حئ٤ إ٣ش ػزظض هي

“Na limethibiti (suala la) waumini kumuona Allah –Azza Wajallahuko

akhera kwa hadithi sahihi kwa njia zilizo mutawatir (kwa njia nyingi

ambazo ni muhali kuwa wapokezi wake wameafikiana kutunga uwongo)

mbele za watu wa hadithi na haiwezekani kuzizuia wala kuzikataa”.452

1) Na kama lengo lake ni kwa maana ya kitaalamu, swali kwani mutawatir

ni watu wangapi? Na atajibu nini kuhusu riwaya zote hizi zilizo sahihi? Na

isitoshe wengi katika wataalamu wa fani hii wanaelezea kuwa hadithi hizi

zimekuja kwa wingi mno mpaka kufikia daraja hiyo ya mutawatir, na bila

shaka kauli za wataalamu wanapo lizungumzia jambo linalohusu fani zao

hupewa uzito wa aina yake, na wao ndiyo wanaotuambia kuwa hadithi za

kuthibitisha kuonekana Allah kwa macho ni mutawatir.

2) Hata hali halisi nayo pia inaiunga mkono rai hii kwa sababu hadithi hizo

zimepokewa kutoka kwa maswahaba hawa wafuatao:453

Na pia zimepokelewa kauli nyingi kutoka kwa Tabiina wengi (wanafunzi

wa maswahaba) kama vile:

17) Said Ibn al Musayyib. 18) Twaaus. 19) Mujaahid. 20) Ikrimah. 21)

Muhammad Ibn ka‟b al-Quradhiy. 22) Abul Aaliyah. 23) Hasan al Basriy.

24) Abdul-Rahmaan Ibn Abi Layla. 25)

Qataadah Al-Saduusiy. 26) Abu Is‟haq al-Sabi‟y. 27) Dhahaak Ibn

Muzahim, na wengineo.

Na ama katika maimamu wakubwa ni hawa wafuatao:

28) Imamu Malik Ibn Anas. 29) Al-Layth Ibn Sa‟ad. 30) Al-Awzaiy. 31)

Sufyan al-Thawriy. 32) Sufyan Ibn Uyaina. 33) Jarir Ibn Abdil Hamid. 34)

452

- Tazama Tafsiri ya Ibn Kathir juzuu ya 8 ukurasa 367.chapa ya Daaru Ibn hazmi,

Beirut-Lebanon. 453

- 1)Abu Bakar Siddiq.2)Aliy Ibn Abi Twalib.3)Ibn Mas‟oud.4) Muadh Ibnu Jabal. 5)

Abu Musa Al -Ash‟ariy. 6) Ibnu Abbaas.7) Ibnu Umar.8) Abu Umaamah. 9) Muawiyah.

10) Abu Hurayrah. 11) Jaabir. 12) Hudhaifah. 13) Anas Ibn Maalik.14) Ammaar Ibn

Yaasir. 15) Zayd Ibn Thabit. 16) Fadhala Ibn Ubayd. Na wengineo katika Maswahaba wa

bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam –Allah awe radhi nao wote-.

Page 142: Fimbo ya Musa

142 Abdullahi Ibn Mubarak. 35) Waki‟i. 36) Yazid Ibn Haroun. 37) Imamu

Shaafiy. 38) Abu Nuaym.39) Sulaiman Ibn Harbi. 40) Abdullahi Ibn

Wahbi. 41) Imamu Ahmad Ibn Hanbal. 42) Ibn Jarir al Twabariy. 43)

Imamu Abdul-Qadir al-Jaylaaniy. Na wengineo wengi ambao

hatukuwataja.454

JAWABU

Hayo ni maelezo ya Kasim Mafuta na yote yanazidi kuthibitisha kwamba

kijana bado hajasoma vitabu vya usuli na hajayafahamu vyema maneno ya

watu waliochopea katika fani za elimu. Hadithi mutawaatir Sheikh ina

masharti mengi ili iweze kuitwa mutawatir: si idadi ya wapokezi tu. Tazama

Hadithu Al-Thaqalain, imepokewa kwa sanad nyingi, lakini Al-Qannubi

alipoulizwa akasema: “ni Hadithi Ahadi”.455

Hadithi ya kupangusa miguu

katika kutia udhu, inasemekana kuwa imepokewa kutoka kwa Masahaba

thamanini, lakini Sheikh Al-Khalili alipoulizwa alisema: “ni Hadithi ahadi”.

Ukipenda kujua kwa urefu kuhusu masharti ya Hadithi mutawatir rejea

kitabu cha usuli kiitwacho Al-Ihkam cha Al-Amidi juu ya maudhui hio,

pamoja na vitabu vyengine utaweza kujua nini maana ya Hadithi

mutawaatir. Lakini hapa nakunukulia baadhi ya nilioyasema katika kitabu

changu Mezani Ya Haki kuhusu nini Hadithi mutawatir. Nilisema

yafuatayo:

TA-ARIFU ya Hadithi mutawatir ni:

1) “Ile ambayo wameinukuu wale ambao yakini inapatikana kwa sababu

ya ukweli wao, (na) kwa (sababu ya) kuwa (wao ni) kundi ambalo haliwezi

kukubaliana kusema uwongo”. 456

2) “Ni ile ambayo imepokewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.) na kikundi

ambacho kwa kawaida hakikubaliani kusema uwongo, katika zama tatu za

mwanzo: zama za Masahaba, Tabiina, na Tabii Tabiina”. 457

3) Na Ibn Hazm maneno yake ni marefu ukiyafupisha unapata sawa na

hayo yaliotangulia. Alielezea Hadithi mutawatir mpaka akasema: “Na

454

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 163-165. 455

- Naam! Kwani aghalabu ya wapokezi wake ni Mashia wenyewe, tena aghlabu kama si

wote ni watu wa mji moja – Al-Kufa ya Iraki. Katika hali hii Hadithi haiwezi kuwa

mutawatir hata ikipokewa na watu elfu, kwani shaka bado haijaondoka juu ya kuthibiti

kwake. 456

- Al-Suyuti Tadribu Al-Rawi uk. 454, katika sehemu anayozungumzia aina ya thalathini

(30) ya Hadithi. 457

- Dr. Wahbat Al-zuhaili Usulu Al-Fiq-hi Al-Islami j. 1, uk. 452.

Page 143: Fimbo ya Musa

143 inawezekana watu wengi wakakubaliana kusema uwongo ikiwa

watakusanyika na wakapenda (kitu) au wakaogopa (kitu)”. 458

4) “Ni ile ambayo imesimuliwa na kundi (la watu ambao) haiwezekani

kwa kawaida mfano wa hao (mfano wa watu kama hao) wakakubaliana

kusema uwongo, kutoka kwa kundi kama hilo (ambalo) haiwezekani (vile

vile) mfano wa wao (mfano wa watu kama hao) wakakubaliana kusema

uwongo”. 459

5) “Ni habari ya kundi (kubwa la wasimulizi) ambayo yenyewe inaleta

yakini”. 460

6) “Ni habari iliotolewa na idadi kubwa (ya wasimulizi) ambao ni muhali

(kwa idadi kama hio) kuafikiana kusema uwongo”. 461

7) “Wasimulizi wake wawe katika kila zama, ni watu ambao idadi yake

haihisabiki wala haiwezekani kuwa waafikiane katika kusema uwongo kwa

sababu ya wingi wao na uadilifu wao na kutafautika makazi yao”. 462

8) “Maana ya mutawatir – kwa muktadha wa maneno yake – ni ile

ambayo wasimulizi wake wanakuwa katika kila zama, ni watu ambao idadi

yake haihisabiki wala haiwezekani kuwa waafikiane katika kusema

uwongo kwa sababu ya wingi wao na uadilifu wao na kwa sababu makazi

yao (yako) mbali mbali…..hata lau walitoa habari idadi (kubwa sana)

isioisabika (lakini) kwa kitu ambacho inajuzu wakakubaliana kusema

uwongo kwa sababu ya (kuwa) na lengo (moja) katika malengo, basi haiwi

mutawatir”. 463

9) “Ni ile ambayo inaifanya nafsi itulie utulivu ambao kwao shaka

huondoka na hupatikana uhakika kwa ajili ya kuwa ni habari iliotolewa na

kundi (kubwa) haiwezekani (kwa kundi kama hilo) likubaliane kusema

uwongo”. 464

458

- Ibn Hazm Al-ihkaamu Fii Usuli Al-Ahkaam J. 1, uk. 102. katika sehemu ya Al-

Ikhbaaru „ani Allah. 459

- Nuru Al-din Al-Salimi Sharhu Tal‟ati Al-Shams j. 2, uk. 8. 460

- Sh. Mohd Al-Khudhari Usulu Al-Fiq-hi uk. 261. 461

- Al-Shanqiti Al-Mudhakirat uk. 119: nukulu kutoka katika maelezo ya kitabu Usulu

Al-Fiq-hi uk. 261 cha Sh. Mohd Al-Khudhari. 462

- Al-Imamu Al-Taftazani Sharhu Al-Talwihi „Alaa Al-Tawdhih j. 2, uk. 5. 463

- Al-Imamu Abdu-Llahi bin Mas‟ud Al-mahbubi, Al-Bukhari (Sadru Al-Sharia) Al-

Tnqihu Ma‟a Sharhihi Al-Musammaa Bi Al-Tawdhih j. 2, uk. 6. Kitabu hiki ni Sherehe ya

kitabu kilicho kabla yake, na kwa hivyo viko pamoja. 464

- Muhammad Ridha Al-Mudhaffir Usulu Al-Fiq-hi j. 2, uk. 67. Huyu ni mwanachuoni

wa Kishia.

Page 144: Fimbo ya Musa

144 10) “Na imeelezewa katika (Elimu ya) Mantiq kwamba ni habari ya kundi

(la watu) wengi (ambalo) ni muhali kwamba wao wakubaliane (kusema)

uwongo”. 465

11) “Na shuruti za tawatur ni wingi wa idadi, lakini hakuna mpaka wa kina

wa daraja ya wingi huo……kwa sababu hilo linaathirika kwa sababu

(factors) za kielimu na za kibinafsi….Ama sababu za kielimu miongoni

mwa hizo ni aina ya mashahidi kutokana na uaminifu na uhodari. Na

katika (sababu) hizo ni kutafautika mwenendo wao (watoaji habari hao) na

hali (circumstances) zao, kwa sababu kadiri wanavyokuwa mbali mbali na

wanavyotafautika (katika misimamo na mitazamo) inakuwa uwezekano

wa kushirikiana kwa pamoja – katika kuwa habari hii maalumu ni yenye

maslaha binafsi yenye kuwafanya watoaji habari hao wote (watoe habari

hio) – ……uko mbali”.466

12) “Na Hadithi Mutawatir ni ile ambayo wapokezi wa sanad yake katika

tabaka zote wamefikia mpaka wa wingi na kuenea ambapo inaaminiwa

kwa uhakika kutokukubaliana kwao kusema uwongo”. 467

13) Na wala riwaya ambazo kwazo yakini hupatikana hazina idadi

maalumu ya wenye kutoa habari hio, isipokuwa sisi tuna hakika kwamba

yakini haipatikani kwa habari inayotolewa na watu wachache na kwamba

hupatikana kwa habari ya wengi ikiwa watakuja mbali mbali hali ya kuwa

haiwezekani kuwa wakubaliane kwa kawaida…..468

Sasa – baada ya kuona taarifu (definitions) hizo za wanavyuoni wa

madhehebu tafauti – natuzitazame ta-arifu hizo tena kisha tuzigawe katika

vipengele vyake, na tutoe shuruti za Hadithi mutawatir. Na mimi hapa

natoa sharti mbili tu ambazo ndio muhimu.

SHARTI YA KWANZA

Idadi ya wapokezi iwe kubwa katika tabaka zote tatu:

1) Tabaka ya Masahaba.

465

- Mohd Baqir Al-Ssadr Durusu Fii Usuli Al-Fiq-hi sehemu ya 3 uk. 120. Huyu pia ni

mwanachuoni wa Kishia. 466

- Marejeo yaliotangulia kabla. Uk. 22. Na maneno kama hayo kayasema katika uk. 455

katika sehemu ya pili ya kitabu chake hicho. Na mfano wa maneno kama hayo kayasema

pia Ibn Hazm katika Al-Ihkam. 467

- Mohd Hadi Talkhisu Al-Tamhid j. 1, uk. 258. Na huyu pia ni mwanachuoni wa Kishia.

Naye – pamoja na huyo niliyemtaja kabla yake – wana maelezo marefu na mazuri kuhusu

maudhui hii. 468

- Al-Jassaas Al-Fusul Fii Al-Usul j. 3, uk. 53.

Page 145: Fimbo ya Musa

145 2) Tabaka ya Wafuasi wao.

3) Tabaka ya Wafuasi wa Wafuasi wa Masahaba.

Hivi ndivyo wanavyosema wanavyuoni. Wengine wamesema hivyo kwa

uwazi kama Dr. Al-zuhaili. 469

Tazama nukulu na. 2, na Al-Zarqani katika

Manahilu Al-„Irfaan470

kilichotiwa maelezo na Hani Al-Haj. Na mfano wa

hao ni Mohd Hadi, mwanachuoni wa Kishia, katika kitabu chake hicho

tulichokinukuu hapo nyuma. Na Mohd Ridha Al-Mudhaffir, mwanachuoni

wa Kishia pia, katika kitabu chake Usulu Al-Fiq-hi.471

Na wengine

wamesema hivyo kimaana kama Al-Imamu Al-Salimi (Ibadhi) na

wengineo ambao nukulu zao mumeziona humu.

SHARTI YA PILI

Iwe watu hao “KWA KAWAIDA HAIWEZEKANI KUWA

WAKUBALIANE KUSEMA UWONGO”. Sharti hii ikikosekana

inaifanya Hadithi isiwe mutawatir hata ikipokewa na watu elfu (1000),

kama ilivyo wazi katika maelezo ya wanavyuoni hao, na yaliowazi zaidi ni

maelezo na. 7 ya mwanachuoni wa Kihanafi na maelezo na. 10 ya

mwanachuoni wa Kishia. Na hili linatokea kila siku katika maisha ya

binaadamu, bali limesemwa kwamba lilitokea katika historia. Soma mifano

ya wazi ya kihistoria katika sehemu inayofata.

MFANO

Anatoa Al-Imamu Nur Al-Din Al-Salimi472

mfano wa tukio la Al-Sayyida

„Aisha (r.a.) na Al-Imamu Ali (k.w.) katika vita vya Jamal. 473

469

- Elewa kwamba kushurutisha idadi kubwa katika tabaka tatu hizo ni kwa sababu, baada

ya hapo Hadithi zilianza kutegemea maandishi. 470

- J. 1, uk. 149. 471

- J. 2, uk. 68. 472

- Al-Salimi Tal‟atu Al-Shams j. 2, uk. 8-9. 473

- Kuna baadhi ya watu wamelichukulia tokeo hili kwamba ni sababu kubwa ya

kumtukana Mama Mtakatifu, Mama wa Waumini, Al-Sayyida „Aisha (r.a.). Lakini watu

hawa hawakuihukumu kesi hii kwa uadilifu, kwani Al-Sayyida „Aisha (r.a.) alitubia na

kujuta kufanya hivyo. Kwa hivyo kama kajuta na kutubia, hakuna tena njia ya kulaumiwa.

Hivi ndivyo uadilifu unavyotutaka tuhukumu. Na sisi – Ahlu Al-Haqqi Wa Al-Istiqama –

Al-hamdu Lillahi, hatumuhukumu mtu yoyote kwa sababu yeye ni fulani, bali tunatazama

matendo yake kisha tunayapima kwa Qur-ani na Sunna. Na kwa msingi huo utakuta

tumewahukumu Masahaba wote kwa uadilifu. Tumemkubali Abu Bakar na Umar kwa

sababu ya sira zao nzuri ambazo Waislamu – Muhajirina na Ansar – waliziridhia.

Tumeukubali utawala wa Uthman katika miaka yake sita ya mwanzo, na miaka sita ya pili

akaharibu. Hapo hatukukubaliana naye kama vile Ali na Masahaba wengine ambavyo

hawakukubaliana naye: hatukutazama kuwa yeye ni Uthman, bali tulitazama matendo ya

Page 146: Fimbo ya Musa

146 Inasemekana – kama baadhi ya riwaya zinavyotongoa – kwamba Al-

Sayyida „Aisha (r.a.) alitoka katika jaribio la kuingia katika vita dhidi ya

Al-Imamu Ali. Alipofika sehemu inayoitwa Al-Haw-ab, Al-Sayyida „Aisha

akabwekewa na mbwa. Na katika uhai wake, Mtume (s.a.w.) alikwisha

kumpa Al-Sayyida „Aisha habari hio. Sasa tazama Abdullah bin Zubair na

kikundi chake cha jeshi la watu 40:474

walishuhudia kwamba sehemu hio

haikuwa Al-Haw-ab, bali ilikuwa Al-Jaw-ab: Hee kaigeuza Jimu ili

kuonesha kuwa wao na Al-Sayyida „Aisha hawakuwa na kosa katika vita

hivyo dhidi ya Ali. Hawa ni watu 41, wako katika zama bora kabisa, lakini

habari yao ni ya uwongo. Kwa hivyo Hadithi pia ikiwa kama hivi basi

haiitwi mutawatir hata ikisimuliwa na watu elfu (1000).

Na hii inaingiza wasimulizi wa Hadithi hio ikiwa ni watu wenye msimamo

mmoja juu ya mas-ala hayo au wenye maslahi katika mas-ala hayo kama

tulivyonukuu maelezo ya Al-Imamu Abdu-llahi bin Mas‟ud Al-Mahbubi,

Al-Bukhari, Al-Hanafi (Sadru Al-sharia) kutoka katika kitabu Al-Tanqihu

Uthman. Na habari za Uthman ni refu na kheri alizozifanya ni nyingi lakini bila shaka na

matatizo makubwa yalijitokeza katika kipindi chake na propaganda vile vile ni nyingi

lakini hakuna faida katika kuzungumzia habari zake: “Huo ni Umma umeshapita, wao

watapata walichokichuma na nyinyi mutapata mulichokichuma, wala hamutoulizwa

walioyatenda”. Sura ya 2 Aya ya 134 - 141. Na Ali naye alipochaguliwa akaendesha kwa

haki tulimuunga mkono. Na kwa hivyo hatukumuunga mkono Talha na Zubair

walipompiga vita kwani wao ndio waliokosea, wala hatukumuunga mkono Al-Sayyida

„Aisha katika vita hivi kwa sababu tu yeye ni mke wa Mtume (s.a.w.), ilhali hapa kakosea.

Lakini madamu katubia tunamtoa katika makosa, kwani toba iko wazi. Na Mua‟wiya naye

alipompiga vita Ali tulimuunga mkono Ali kwani Ali ndiye aliyekuwa katika haki. Ama

Ali alipokubali kufanya Sulhu na Mua‟wiya kinyume na Aya ya Qur-ani inavyosema, hapo

tulimuacha mkono kwani kenda kinyume na Qur-ani. Ali alipopigana na watu wa

Nahrawaan, tuliwaunga mkono watu wa Nahrawaan kwani Ali aliwapiga bila haki. Lakini

pamoja na hayo Ali tunamuombea dua kwa kusema: “Karrama Allahu Wajhahu,” kwani –

mbali na kuwa dua hii imepokewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.) – Ali pia alijuta kufanya

hivyo. Kwa hivyo msingi wetu si fulani ni nani bali katenda nini. Na hii haina maana

kwamba tuliyemkubali ndiye mtu wa peponi na tuliyemkataa ni mtu wa motoni, “laa” bali

sisi tunatakiwa tuhukumu dhahiri tu, ama ghaibu ni kazi ya Allah peke yake – nani

anastahiki pepo na nani anastahiki adhabu , hio si kazi ya kiumbe. Halkadhalika Banii

Umaya walipowaua wajukuu wa Mtume (s.a.w.) hatukukubaliana nao. Mua‟wiya

alipokuwa akimlani Ali katika membari hatukukubaliana naye, na kwa hivyo Mashekhe

wetu ndio waliotoka kumfuata Khalifa Muadilifu, Umar bin Abdil-Aziz kumtaka alikataze

jambo hilo, naye akafanya hivyo. Umar bin Abdul-Aziz aliposimamisha haki tulimkubali.

Hii ndio sera ya Ibadhi (Ahlu Al-Haqi Wa Al-Istiqama). Sisi hatumuhukumu mtu kwa kuwa

yeye ni fulani au kwa kufuata siasa mbovu za uwongo, bali haki ndio alama yetu. Anasema

Abu Bakr Al-Siddiq (r.a.) kuwambia Waomani: “Inakutosheni kauli ya Mtume (s.a.w.)

kuwa utukufu kwenu mpaka siku ya kiama”. Na anasema Mtume (s.a.w.) kumwambia

mjumbe wake: “Lau uliwaendea watu wa Oman basi wasingelikupiga wala

wasingelikutukana”. 474

- Katika riwaya ya Al-Baladhuri Al-Ansab j. 3, uk 24, walikuwa watu 50.

Page 147: Fimbo ya Musa

147 Ma‟a Sharhihi Al-Musammaa Bi Al-Tawdhih, na tukanukuu pia maneno

ya Masayyid, Maulamaa wa Kishia.

Kwa hivyo riwaya 25 alizozitaja Ibn Al-Qayyim katika kitabu-che Hadi

Al-Ar-waah ni Hadithi Ahadi kwani wapokezi wa riwaya hizi wote ni watu

wa itikadi moja. Si hivyo tu, bali aghlabu ya riwaya hizo zimesimuliwa na

Mujassima kama Ibn Khuzaima, Ibn Abi „Asim, Ibn Manda, Ibn Ahmad,

Ibn Batta na walio mfano wa hao, na zilizopokewa katika Al-Bukhari labda

ni Hadithi mbili na moja inagongana kupita kiasi na ya pili ina sanad

dhaifu, halkadhalika Muslim naye ni hivyo hivyo. Na nyengine kazinukuu

kutoka katika Al-Musnad cha Ahmad bin Hanbal, nacho ni kitabu

kilichochezewa kwa kuchomekwa Hadithi za uwongo kama alivyofanya

Abdul-„Aziz bin Al-Harith Al-Tamimi ambaye kasema Al-Dhahabi kuhusu

yeye:

Alikuwa katika viongozi wa Mahanbali na wakuu wa Wanavyuoni

wa Baghdad, lakini alijiudhi mwenyewe: na kutia Hadithi mbili

tatu katika kitabu cha Hadithi cha Al-Imamu Ahmad bin Hanbal

(yaani anatunga Hadithi halafu anaitia katika kitabu hicho

anamzulia uwongo Mtume s.a.w. na Al-Imamu Ahmad).475

Bali mpokezi mwenyewe wa Musnad cha Ahmad ni Abu Bakr Al-Qati‟iy

kutoka kwa „Abdillahi bin Ahmad, na Abu Bakr Al-Qati‟iy hata kama

alikuwa thiqa (mwenye kuaminika) lakini alichanganyikiwa mwishoni

mwa umri wake hata ikawa hajui chochote katika yale anayosomewa.

Anasema Al-Dhahabi: “Mkweli katika nafsi yake, anakubalika, alibadilika

kidogo”.476

Anasema Abu „Amri bin Al-Salah kutoka kwa Abu Al-Hasan

bin Al-Furat: “(Abu Bakr Al-Qati‟iy) alikasoroka mwishoni mwa umri

wake mpaka ikawa hajui anachosomewa”.477

Na Ibn Abi Al-Fawaris

akasema: “hakuwa mtu wa hivyo, yeye katika Musnad cha Ahmad ana

baadhi ya usul (Hadithi) ambazo zina nadhar (udhaifu)”.478

Bali kitabu chenyewe Al-Musnad cha Al-Imamu Ahmad hakukiandika

yeye: alikuwa akikusanya tu kopi za huyu na yule, bila hata kuzichuja na

kujua pofu na nzima. Anasema Al-Dhahabi:

٣ل ، ل طز، ل حػظ٠ رظ٣ز، ر خ ٣٣ ي وخ “حي “ح ظخد

475

-Al-Dhahabi Mizanu Al-I‟itidaal j. 3, uk. 338 tarjama na. 5092. 476

- Yeye kasema “kidogo” labda ni kwa sababu ni Hanbali mwenziwe, lakini wengine

kama utavyoona hapo wanasema “kachanganyikiwa sana”. 477

- Lakini Al-Dhahabi kamtetea kwamba huku tena ni kuvuuka mipaka. Lakini na watiaji

maelezo wa kitabu chake nao wakasema: “na kitendo cha Al-Dhahabi cha kuyakanusha

yale alioyasema Ibn Al-Furat ni jambo la ajabu”. Ninasema: “hio si ajabu madamu Abu

Bakr Al-Qati‟iy ni Hanbali”. 478

- Al-Dhahabi Mizanu Al-I‟itidaal j. 1, uk. 87-88, tarjama na.320.

Page 148: Fimbo ya Musa

148

أؿحءح، ٣ؤ: أ غ ح ك٢ ي كال، ح ك٢ ي كال

Na kitabu chake hiki Al-Musnad hakukitunga yeye wala hakukipanga yeye

wala hakukishughulikia kukisafisha (kuzitoa Hadithi dhaifu), bali alikuwa

anampokelesha mwanawe („Abdullah) kopi na juzuu (mbali mbali) na

anamuamuru kwamba hizi zieke katika Hadithi za (Sahaba) fulani na hizi

katika Hadithi za (Sahaba) fulani…479

Ama kitabu alichobandikwa nacho Al-Daraqutni Kitabu Al-Ru-uya ndicho

kilichokusanya riwaya nyingi za kuonekana kwa Allah, lakini kama

tulivyobainisha katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki,480

kitabu hicho chote

ni cha uzushi: kimeandikwa kisha watu wakamzulia Al-Daraqutni kuwa

kakiandika. Na hili peke yake linatosha kubainisha kwamba Hadithi hizo

zote ni za uwongo, vyenginevyo wasingelihitaji kutunga kitabu kizima

kilichokushanya mamia ya riwaya na kumbandika nacho mtu mwengine.

Kwa hivyo, tukirudi nyuma kidogo, tunamwambia bwana Mafuta kwamba

wingi wa wapokezi ni sharti moja ya Hadithi mutawaatir; wala haina maana

kwamba kila Hadithi yenye wapokezi wengi ni mutawatir kama

ulivyojionea mfano wa Ibn Al-Zubar na kundi lake la wato arubaini. Na kwa

hivyo, Hadithi za kuonekana kwa Allah ni Hadithi Ahadi kwani wapokezi ni

wale wale wenye itikadi hio, tena aghlabu yao ni watu wa skuli ya tajsim ya

mungu-mtu.

Ama nukulu ulizotunukulia kwamba fulani na fulani kasema kuwa Hadithi

hizo ni mutawaatir, basi elewa kwamba hio ndio ngoma ya watu wengi

katika lile walitakalo! Usisahau kwamba katika Shia kuna kiasi cha Hadithi

elfu mbili481

kwamba Qur-ani imepotolewa! Hio ni idadi ya tawaturun

qat‟iy yaqiini (mutawatir, ya uhakika ya yakini)! Je riwaya hizo tuzikubali

mbele ya Aya inayosema: “Hakika sisi ndio wenye kuiteremsha Qur-ani

na sisi ndio wenye kuihifadhi”.482

Na kwa hivyo Al-Saqqaf kamrudi Ibn

Al-Qayyim kwa madai yake hayo, akasema:

٢ آكخى ــــي حىػ٠ حر حو٤ خى أ حلكخى٣غ حيحش ػ٠ حإ٣ش هي طحطص!! ٤ ي: ر ه

لخف، ك٢ رش حلش ػ ــــ٢ ػيخ حإلحث٤خص ا خض ك٢ ح طؼ ك٤خــــ

...............................أؼخ..........زخ ػزي هللا ر ال أحرخ..........ــؼ ؼذ حلك

حص ػخص ر ؿ٤ؼخ...

479

- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 11, uk. 66, katika tarjama ya „Abdullah bin Ahmad, tarjama na.

2475. 480

- Tazama maelezo yetu katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki Fimbo ya Musa uk. 467. 481

- Kwanza nilidhania kwamba kuna Hadithi mia mbili; lakini baadae nimeona katika

baadhi ya maandiko kwamba riwaya zenye kunena hivyo ni kiasi cha elfu mbili…! 482

- Sura 15, Aya 9.

Page 149: Fimbo ya Musa

149

Na Ibn Al-Qayyim kadai huko (kwenye kitabu chake Haadi Al-Ar-waah)

kwamba Hadithi zenye kuonesha kuonekana kwa Allah ni mutawatir! Na

hali haikuwa hivyo: bali ni Ahadi na ni zenye kupondwa (hazifai), nazo

kwa mtazamo wetu ni katika riwaya za Kiisraili hata kama zimo katika

vitabu sahihi, ni riwaya zilizopenyezwa katika umma huu na watu kama

Ka‟abu Al-Ahbar, „Abdullahi bin Salam na walio mfano wa

hao.483

………………………na nyingi zake ni riwaya munkara (mbovu) na

za kutunga, bali zote.484

483

- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 5. 484

- Maneno haya ya pili hayamo katika text (maandiko) ya kitabu chake, bali yako katika

maelezo yake ya chini (footnotes).

Page 150: Fimbo ya Musa

150

SURA YA TATU HOJA ZA KIAKILI ZA WATHIBITISHAO

KUONEKANA ALLAH

Wenye itikadi ya kumuona Allah wanatoa hoja za aina mbili katika

kuthibitisha madai yao. Aina moja ni hoja zenye kuonesha kutokea kwa

kuonekana kwa Allah, yaani dalili zenye kuonesha kuwa hilo ni tukio

litalotokea. Hili tutalizungumzia katika sura inayofuatia in shaa Allah. Aina

ya pili ni hoja zenye kuonesha kwamba kumuona Allah ni jambo lenye

kuwezekana hata hapa duniani.485

Hili ndilo tutalolizungumzia hapa. Na

hoja zao katika hili la pili, sawa na wale wenye itikadi ya kutoonekana kwa

Allah, wamezigawa katika hoja za kiakili na hoja za kimaandishi. Hoja yao

kubwa ya kiakili ni kuwa Allah yupo na sharti pekee ya kuonekana kwa kitu

chochote kile basi ni kuwepo tu! Wanasema watunzi wa kitabu Sharhu

Jawharati Al-Tawhiid Fii „Aqiidati Ahli Al-Sunna Wa Al-Jamaa‟a:

ك٢ حي٤خ ح٥هس، ل زلخ ؿى، ؿى ٣ق أ ٣. –ػوال –كخإ٣ش ؿخثس

Basi kuonekana (kwa Allah) kunajuzu kiakili duniani na akhera kwani

Allah yupo na kila chenye kuwepo kinafaa kuonekana.486

Wanaendelea kwa kusema:

ؿىحص ك٢ حظلخشــى حص ػزص كو٤وش ، اخ ٣وخق خث حهخ حؼخء ا هللا ؿ

ؿى حص حؿذ أ ٣ ث٤خ خ أ حؿذ أ........….……………… كـخىػخ

خ٠ ؿى ــــــ.٣ظو حي٤ ك٢ أ طؼ.…………ع حؼ... ٣ ؼخ ل حإ٣ش

ػ٤ كخ ….......…حػظي ػ٤ أؼ حلؼ٣ش، طي ر حإلخؿى ٣ق أ ٣ ح خ

ػ٤ كخؼش حطوش……....…ػ٠ حليع ٣ق ؿى ك ٣ق ك٢ كو طؼخ٠ ا ٣ي

ذ حوـــــــحؿذ حؿى، كؿ )إ٣ش( حؿى ى حظ ا٠ حلؿخ حـح، هللا طؼخ٠

رلش إ٣ظ

Wanavyuoni wamesema kwamba Allah ni mwenye kuwepo na ni dhati

naye ana uthibiti na uhakika, lakini anatafautiana na vyenye kuwepo

vyengine katika ukweli kwamba Yeye ni muhali kuwa kuna siku fulani

485

- Yaani kuonekana kwa Allah hata hapa duniani inawezekana, lakini kumezuilika si kwa

sababu ya kutowezekana kuonekana, bali ni kwa sababu ya udhaifu wetu na kwa sababu

mwenye kwisha (kiumbe) hawezi kumuona mwenye kudumu (Allah). Na hii ni tafauti na

akhera ambako kiumbe naye atakuwa ni mwenye kudumu na atapewa uwezo na nguvu za

kuweza kumuona Allah! Lakini maneno haya – kama utavyoona – ni batili ilio wazi:

hayana ushahidi hata ulio dhaifu wala hayana hata shubuha. 486

- Sharhu Jawharati Al-Tawhiid Fii „Aqiidati Ahli Al-Sunna Wa Al-Jamaa‟a j. 2, uk. 638.

Page 151: Fimbo ya Musa

151 ndio alitokea……na kila kilichopo nacho ni dhati basi ni lazima kitakuwa

ni chenye kuonekana kama vile ambavyo kwamba ni wajibu kuwa Yeye

(Allah) awe ni mwenye kujulikana kwani kuona ni aina ya

kujulikana.487

…………………………….Na mukhtasari wa dalili hio ni

kuwa Yeye Allah (s.w.) yupo na kila kilichopo kinafaa kuonekana na hiki

ndicho walichokitegemea asilimia kubwa ya Ash‟ariyya na Al-Imamu

(Abu Al-Hasan Al-Ash‟ari) akashikana nacho488

…………….na kwa

msingi huo basi kila kinachomfalia yule aliyepo basi na Allah kinamfalia

ikiwa hakikuonesha kuwa kimezuka.489

……………….na kwa msingi huo

basi, sababu ya moja kwa moja ya kuonekana (kwa kitu) ni kuwepo pasina

kutazama viwiliwili na johari, na Allah Mtukufu yupo kuwepo kwa lazima

basi imekuwa ni wajibu kusema kuwa ataonekana.490

Anasema Al-Amidi:

ق ــــــــر٤خ حي٤ حؼو٢ ػ٠ ؿحخ رخهظخ أ حزخ١ زلخ ؿى، ؿى ٣

غ ػــظ ــــ ـــ ٣يـــ٣ق أ ٣، ؿى ٣ق أ ٣ ل حل أ ٣، كخزخ١

.ػيخ( هي طز٤ أ حؿى حؼش لش حإ٣ش)ؿىح

Na ubainifu wa dalili ya kiakili juu ya kujuzu kwake (kuonekana kwa

Allah) ni kuwa Allah Mtukufu yupo na kila kilichopo kinafaa kuonekana.

Basi Allah anafaa kuonekana. Na kule kuwa kila kilichopo kinafaa

kuonekana ni kwa sababu hukumu inaambatana na sababu yake491

(kwa

kuwepo na kutokuwepo) na imebainika kwamba kuwepo ndio sababu ya

usahihi wa kuonekana.492

Anasema Al-Sharastani:

١ ق أ ٣ كب حلق إ٣ش اخ حؿى حزخــأ ؿى ٣ ذ حلؼ١

طؼخ٠ ؿى ك٤ق أ ٣

Na miongoni mwa rai za (Al-Imamu Abu Al-Hasan) Al-Ash‟ari ni kuwa

kila kilichopo kinafaa kuonekana kwani chenye kusahihisha kuonekana

kwa kitu ni kuwepo tu, na Allah Mtukufu yupo basi inafaa kuwa

aonekane.493

487

- K.h.j. uk. 639-640. 488

- K.h.j. uk. 640. 489

- K.h.j. uk. 640. 490

- K.h.j. uk. 651. 491

- Naona Al-Amidi elimu ya usulil-fiq-hi na mantiki inamuhangaisha kichwa: anataka

kuileta mwahala si mwake! 492

- Al-Amidi Itihaafu Sadati Al-Muttaqiin j. 2, uk. 182. Nukulu kutoka katika kitabu

Sharhu Jawharatu Al-Tawhiid Fii „Aqiidati Ahli Al-Sunna Wa Al-Jamaa‟a j. 2, uk 652. 493

- Al-Shahrastani Al-Milal Wa Al-Nihal j. 1, uk. 112.

Page 152: Fimbo ya Musa

152

Anasema Al-Qaadhi „Iyaadh:

٠ حظلخظخ ل حظخػخ ، ا ؿى كإ٣ظ ؿخثس ؿ٤ ـــــــ٤ ك٢ حع ى٤ هخ١غ ػ

ظل٤ش.

Na katika sharia hakuna ushahidi wa yakini juu kuwa kuonekana kwake

(Allah hapa duniani) ni mustahili au kumezuilika, kwani kila kilichopo

kinafaa kuonekana: si mustahili.494

Anasema Sheikh „Isa bin „Abdillah:

حإ٣ش حل حؿى٣ش حل٠ش ؛ كخإ٣ش ك٢ حطخ ؿ حـــظ أـــى ل كال طـــــكب

ـلظخ أ ؿى٣ش ل٠ش ؛ ٢ حو٤خ رخل، حث٢ رـش ػــي٤ خ، ــــ١

١ ظق ح٥؛ ح ل ح ك٢ حي٤خ ، اح خض حإ٣ش س حزــــ. آهــــ ح ححث٢ ، هــ

هللا أكـــــــن رخ ؿش كب خ ح ل٠ ؿى ؛ خ ؿى ؿى

Kwa hakika kuonekana ni katika mambo ya kuwepo safi kabisa; kwani

kuonekana kwenyewe ni kuwepo, kwa hivyo hakuambatani na

kutokuwepo, na masharti ya usahihi (wa kuonekana) ni mambo ya kuwepo

tu, nayo ni: kuisimamisha dhati,495

kuwa chenye kuonekana kiko katika

sehemu kutokana na muonaji, na nguvu za macho. Na hii sharti ya mwisho

(ya nguvu za macho) kwa sasa haipo ndio maana ikawa hatumuoni (Allah)

hapa duniani. Na ikiwa kuonekana ni kuwepo tu katika maana zote za neno

kuwepo, basi Allah ndiye anayestahiki zaidi kuonekana kuliko vyote

vyenye kuwepo kwa sababu yeye kakamilika katika kuwepo kwake….496

Anasema Abdul-Rahmaan bin „Abdil-Rahmaan Al-Ahdal:

ـــ أ ـــ رخلرخ ـــ٠ ٣ـــخ ٣ي ىلش حلش لؿزخ ػ٤خ ػ٠ أ هللا زلخ طؼخ

أ ٣ حؼي ح لي ك٤ كخ خــؿ اخ ل٣ـــؿــــــى ؿخثــ أ ٣٣خ هللا ػ

ظل٤ أ ٣٣خ ل ػؿ . هللا زلخ طؼخ٠ ؿــىح خ ؿ٤

Na miongo mwa mambo yenye kutoa dalili ya wazi isio na vumbi kwamba

Allah – subhanahu wa ta‟aala – ataonekena kwa macho ni kuwa inajuzu

kwamba Allah atuoneshe kila kilichopo; bali kisichofaa kuonekana ni

kisichokuwepo, na hili halina shaka ndani yake. Na kwa sababu Allah –

494

- „Iyaadh Al-Shifaa j. 1, uk. 154. 495

- Maneno “kuisimamisha dhati”, wanayafasiri namna tafauti, lakini kwa hapa maana

yake ni kuwa kwa sababu kuona kwenyewe ni kitu chenye kuwepo basi atayeonekana ni

Allah mwenyewe si kitu chengine. Lakini ikajibiwa kwamba jua hatulioni lenyewe bali

tunaona muangaza wake. Kwa hivyo, falsafa ya kwamba kwa sababu kuona kwenyewe ni

kitu chenye kuwepo basi atayeonekana ni Allah mwenyewe si kitu chengine, si falsafa

sahihi. 496

- „Isa bin „Abdillah Al-Mathalu Al-A‟ala uk. 60.

Page 153: Fimbo ya Musa

153 subhanahu wa ta‟aala – yupo basi si mustahili kuwa atuoneshe nafsi yake

tumuone.497

Anasema Sh. „Abdul-Malik.

ى ث٢ ر٤خ يـــــــؿحي٤ ػ٠ ؿح حإ٣ش ػوال أ حد زلخ طؼخ٠ ؿى

٤خ ــ ا ثــــأخ حـح حلح خيح كب ث٢ حـ ؿح أل ٣ حـ

ػ...........حزخ١ زلخ طؼخ٠ ؿى كق أ ٣ ...... ؿىخ أ ٣ ؿى

ق ك٢ــــــل ٣لق حإ٣ش كخل حظل٤حليع ٣زت ػ ؿى زم رؼي حؼي حخرن

ػ٠ أ ؿى ق أ ٣ حؿـــى كي

Dalili ya kiakili yenye kuonesha kujuzu kumuona (Allah) Mtukufu, ni

kuwa Allah yupo na kila kilichopo kinaonekana. Na ubainifu wa hayo ni

kuwa sisi tunaiona johari na tunaziona rangi waziwazi zipo zimehudhuria.

Basi ikiwa johari inaonekana kwa sababu ni johari basi hilo linapelekea

kutoonekana kwa johari. Na ikiwa tunaziona (juhari na rangi) kwa sababu

ya kuwepo kwake, basi hii ina maana kwamba kila kilichopo tukione. Na

Allah Mtukufu yupo basi imekuwa ni sahihi kuwa naye

aonekane.498

………Kisha (elewa kwamba) kutokeza (kuumbwa) maana

yake ni kuwepo ambako kumetanguliwa na kutokuwepo. Na kutokuwepo

kulikotangulia hakuonekani, na kwa hivyo kuonekana kumeishia katika

kuwepo tu; na hilo likaonesha kwamba kila chenye kuwepo kinafaa

kuonekana.499

Hayo ndio maelezo ya wataalamu hao. Ama Mzee wa Uislamu, Ibn

Taymiyya, yeye kajikorogakoroga kama kawaida yake yeye na mwanafunzi

wake kujigonga katika mambo ya misingi! Yeye kaanza maneno yake vizuri

kwa kusema:

وخض ػ٤ حخػخص، ر ـــخ كـــ حىػـــي ل ل يػ٢ خ أ ؿى ٣ خ هخ

خ خ ل ٣ حل٤خء خ ٣ـــــ

Na sisi hatudai hapa kwamba kila kilichopo kinaonekana kama walivyodai

hivyo wengine basi wakapondwa. Bali vitu viko vyenye kuonekana na

visivyoonekana.500

Kisha baada ya hapo akasema:

ـــحلم ر٤خ ل ٣ أ ٣ أح ػي٤ش ل حإ٣ش أ ؿى١ ل ٣ظؼن رخؼي كال ٣

خ خ ؿى أ خ أكن رؤ ٣ خ …...……ال أح ؿى٣خ حـــــ١ ك٤

497

- „Abdul-Rahmaan bin „Abdil-Rahmaan Al-Ahdal Idhamu AL-Minna uk. 19. 498

- „Abdul Malik bin „Abdil Malik bin Yusuf Lam‟u Al-Adillah uk. 116. 499

- Abdul- Malik bin „Abdil Malik bin Yusuf Lam‟u Al-Adillah uk. 117. 500

- Ibn Taymiyya Minhaju Al-Sunna j. 1, uk. 217.

Page 154: Fimbo ya Musa

154

٤خء ــــ٤خء، ح٠ـــــرخإ٣ش ح٠خيس أكن ــــــؿىح، كخلؿخ حـ ٣ أ ٣ ك أـؼق

ش أ٠ رخؼي، حؿىـــــى حظــــــرخؿ أكـــــــــــن رخإ٣ش حظال ل حــــ أ٠

ك أكن رؤ ٣. أ حؿىحص ؿىح أرـــؼي حل٤خء ػ حؼــــــي ححؿذ حؿى

Na tafauti baina yake haiwezekani ikawa ni ya kutokuwepo kwani

kuonekana ni jambo la kuwepo hakuhusiani na kutokuwepo na kwa hivyo

haiwezi ikawa sharti yake (sharti ya kuonekana) isipokuwa iwe (sharti hio)

ni jambo lenye kuwepo………..na kila ambacho kuwepo kwake

kumekamilika basi hicho kinastahiki zaidi kuonekana; na kila ambacho

haiwezekani kuonekana basi kuwepo kwake kuna udhaifu zaidi; viwiliwili

vikavu (yaani visivyokuwa kama upepo, nuru n.k) ni vyepesi zaidi

kuonekana kuliko muangaza, na muangaza ni mwepesi zaidi kuonekana

kuliko kiza kwani nuru ndio inayostahiki zaidi kuwepo na kiza kinastahiki

zaidi kutokuwepo! Na yule ambaye kuwepo kwake ni wajib (yaani Allah)

ndiye mkamilifu wa kuwepo kuliko vyote vyenye kuwepo na ndiye aliye

mbali zaidi na kutokuwepo na kwa hivyo Yeye (Allah) anastahiki zaidi

kuwa aonekane!501

Hayo ndio maelezo ya Mzee wa Uislamu na akafuatiwa na Sheikh „Isa bin

„Abdillah kama tulivyomnukuu kabla. Lakini mimi sioni tafauti ya msingi

baina ya maelezo hayo ya Mzee wa Uislamu na maelezo ya wale

waliosema: “sharti pekee ya kuonekana ni kuwepo” isipokuwa kama vile

walivyosema Wapemba wenzangu: “Ni mbwa kumwita jibwa”.

Kwa ufupi ni kuwa Ibn Taymiyya yeye anakataa kwamba kuwepo tu ndio

sharti ya kuonekana; lakini anadai kuwa vyenye kuwepo viko vya aina

mbili:

a) Vile ambavyo kuwepo kwake kumekamilika.

b) Vile ambavyo kuwepo kwake kuna udhaifu.

Kisha akabainisha kwamba kila chenye kuwepo ikiwa kuwepo kwake

kumekamilika basi ndio uwezekano wa kukiona unavyokuwa mkubwa

zaidi. Kisha akatoa mfano wa viwiliwili, muangaza na kiza; na natija ni

kuwa Allah ataonekana kwani Yeye ndiye Mkamilifu wa kuwepo kuliko

vyengine vyote vyenye kuwepo!

Ninasema: hizi ni falsafa za Kiyunani ambazo hazina kichwa wala miguu,

kwani kuwepo kwa vitu vyote ni sawa – kuwepo ni jinsi moja, tafauti iko

katika dhati za vitu vyenyewe, nayo ama itakuwa ni tafauti ya dhati za vitu

hivyo au tafauti ya utukufu wa vitu hivyo au tafauti zote mbili kwa pamoja.

Na kwa hivyo, kuonekana na kutoonekana – kunapovihusu viumbe, basi –

kunatokana na udhaifu wa waonaji na nguvu zao za uoni, au kunatokana na

501

- K.h.j.

Page 155: Fimbo ya Musa

155

ukubwa na udogo wa vitu vyenye kuonekana au umbali na ukaribu wake:

hakuna kuwepo dhaifu na kuwepo kulikokamilika ikiwa tunazungumzia hali

ya kuwepo kwa viumbe.

Pili ni kuwa: ikiwa nuru (labda na Malaika na majini) hatuioni upesi upesi

kwa sababu ni yenye udhaifu wa kuwepo na viwiliwili ni rahisi kuviona

kwa sababu ya kukamilika katika kuwepo, na kwa hivyo Allah ataonekana

kwani kakamilika katika kuwepo; suali ni kuwa: kwani ukamilifu wa

kuwepo kwa Allah ni ukamilifu wa kiwiliwili (physically au hissiy) au ni

ukamilifu wa kiutukufu (spiritually au divinely)? Kwa hali yoyote ile, Allah

hafanani na kitu, Yeye si „Ardh (kitu chenye kufahamika kwa akili tu bila

kuonekana au kushikika kama vile uhuru, mapenzi n.k) wala si Jism

(kiwiliwili) hata ikajuzu kukufananisha kuwepo kwake na kuwepo kwa

viwiliwili na kuwepo kwa nuru.

Natija ya maneno ya Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya, ni kuwa Allah

anaweza kuonekana kwa sababu kuwepo kwake kumekamilika na kila

ambacho kuwepo kwake kumekamilika basi hicho kinafaa kuonekana. Na

bila shaka tafauti hii, tukijaalia kuwa ni sahihi, basi itavihusu viumbe: si

Muumba; ama Muumba, Yeye, kama ilivyo katika riwaya sahihi, sababu ya

kutoonekana kwake ni kibri chake. Na bila shaka kama ukamilifu wa

kuwepo ndio sababu ya kuonekana basi Allah yupo duniani na akhera

kwanini aonekane akhera tu ilhali kuwepo kwake ni kule kule hakubadiliki?

Ama tukirudi katika mifano alioitoa Mzee wa Uislamu kwamba viwiliwili

vikavu (nyumba, jiwe, milima, mtu, n.k), ni rahisi zaidi kuviona kuliko nuru

na muangaza. Tunasema: jambo hilo ikiwa linaweza likawa sahihi baadhi ya

wakati, basi si sahihi kila wakati na kwa hivyo haliundi kanuni imara.

Nyumba, kwa mfano, ni rahisi kuiona kuliko nuru wakati wa mchana wenye

jua na muangaza; lakini nuru ni rahisi kuiona kuliko nyumba katika usiku

wa kiza. Na kwa maelezo haya, itakubainikia kwamba ma‟aquul (logic) ya

Mzee wa Uislam ghaira ma‟aquul!

UWONGO WA DR. „ALI AL-FAQIHI

Sasa baada ya hayo, na baada ya nukulu hizo tulizozitoa, utakuwa umejua

ewe ndugu msomaji kwamba haifai kamwe kutegemea maneno ya

Mawahabi na nukulu zao ila baada ya kuzihakikisha. Wao daima ni watu

wanaopenda kughushi, kudai makubaliano ya umma au ya Al-Salaf au

Page 156: Fimbo ya Musa

156

kukanusha kitu ambacho kipo au kupotoa maana ya maandiko, n.k.502

Soma

– pamoja nami – yale yalioandikwa na Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili,

kisha soma jawabu aliojibiwa na Dr. Al-Faqihi. Sheikh Al-Khalili, kuhusu

maudhui hii, alisema hivi:

خث ــــــ هخح ا ــــن، ي أــــى حوـــػ٠ ؿ أخ حؼو٢ ك٤ظو ك٢ ه٤خ ؿى حلن

. رخ أ هللا ؿى أ٠٣خ كب إ٣ظ . ك٢ ؿح حإ٣ش ػ٤خ ظش حؿىحص

Ama (hoja zao) za kiakili, zinaishia katika kufanya qias cha kulinganisha

kwa kuwepo kwa Allah na kuwepo kwa viumbe; na hio ni kwa sababu wao

wamesema kwamba vyenye kuwepo vyengine vinashirikiana katika kujuzu

kuonekana; na kwa sababu Allah yupo basi Naye pia kuonekana kwakwe

kunawezekana.503

Hayo ndio alioyasema Sheikh Al-Khalili. Sasa jiulize wewe: je katika

nukulu hizo tulizozinukuu za wenye itikadi ya kumuona Allah maneno hayo

hayapo? Lakini, pamoja na hayo, Dr. Ali Al-Faqihi, katika kitabu chake

alichokiita Al-Raddu Al-Qawiim, amejibu hivi:

ؿ ٣ــــــإ٣ش هللا ػـــــــش حـخػش حؼزظ٤ أ ىػح ػ٠ أ ح:حـحد ػ٠ ي

ىـــ ٣و٤ ؿــــأ -ش أطزخػـــــــأػ٢ رخؼزظ٤ ق حل –حؼ٤ حو٤ــخش ك٢ ىح

ؼ ربكخ ـــــ طزــــــلخرش حظخرؼ٤ ـــػ٠ حق، ح حلن ػ٠ حون، د حكظحء

م كوي ل، ي ػ٤ طز٤ حوخن ـــــــحو ي، ل هخ حوخـــن ػــــ٠كخخ

أهؽ حإلخ حر ي ك٢ ظخد حظك٤ي ربخى...................رخوم ح١ زن ك.........

ـ حو٤خ ك٢. كي ل٣.............٤ حظك٤ي رخو٤خ....» ػ أر٢ ٣ق حوخ٢ أ هخ:

الـــحإل .. ٣و ٤ن..........حظك٤ي ل٣ؼف ال رؤخث، ل ٣ق ال رلخط................

ل٣وخ روو زلخ كب أػ رل رــــــــ٤، » حر ط٤٤ش ك٢ أ خش حؼو٤يس ححط٤ش:

ش ـــــــ أ حل طخذ حئق أ ٢٣ حكيح «. .……………………………

٠ـــــــرو٤خ هللا روو كظز ؿـــــــــىس، أهح للظش، طي أهح رؼ حـخػش هخ

ىػ حئق ػ٠ أ حش حـخػش. خخ ٤ــــــظز٤ وخة ٣ق

502

- Ndugu Muislamu! Tahadhari, tena tahadhari! Usije ukaona kitabu cha Kiwahabi

kinamjibu fulani au kinajadili kitu fulani ukakitegemea. Utapoona kitabu cha namna hio,

basi kwanza kitafute kitabu cha yule wanayemjibu ili ulinganishe. Na nakuahidi kwamba

utapofanya hivyo, basi utakuta ghushi nyingi na uwongo mwingi na upotoshaji mwingi

katika vitabu vya Kiwahabi. Na kama hawa Mawahabi ni wakweli basi wasingelivizuia

vitabu hivyo wanavyodai kuwa wanavijibu ili visiwafike watu. Mimi binafsi niliona ajabu

kubwa kwamba rafiki wa karibu sana wa Sheikh Kasim Mafuta aniagizie mimi huku Oman

kitabu ambacho rafiki yake Kasim Mafuta anacho na kakijibu. Sasa kwanini asimpe rafiki

yake ili akaweza kulinganisha kitabu changu na jawabu yake? Ninachoweza kusema ni

kuwa Alhamdu Lillahi mtu huyo baada ya kukisoma kitabu changu Hoja Zenye Nguvu na

kukilinganisha na jawabu ya Mafuta, alisema: “Mimi sikubaliani na Mafuta”. 503

- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Damigh uk. 33.

Page 157: Fimbo ya Musa

157 Na jawabu juu ya hayo (alioyasema Al-Khalili): ni kuwa madai yake juu

ya Ahlu Al-Sunna Wa Al-Jama‟a wenye kuthibitisha kuwa Allah Mtukufu

ataonekana siku ya kiama – na ninaowakusudia kuwa ni wenye

kuthibitisha (kuonekana kwa Allah) ni watangulizi wa umma huu na

wafuasi wao – kwamba wao wanafanya qiasi baina ya kuwepo kwa Allah

na kuwepo kwa viumbe, huo ni uongo na kuwazulia watangulizi miongoni

mwa masahaba na wafuasi wao na wenye kuwafuata! Na ni hasha kwa wao

kufanya hivyo, kwani atayefanya qiyas baina ya Allah na viumbe huyo

kakufuru, na huko ndiko kule kule kumfananisha Allah na viumbe ambako

hukumu yake tumeieleza kabla……Al-Imamu Ibn Manda amesimulia

katika kitabu chake Al-Tawhid kwa sanad yake kutoka kwa Abu Yusuf Al-

Qadhi akisema kwamba: „tawhid haithibiti kwa njia ya qiyas……..na kwa

hivyo, haijuzu kufanya qiyas katika tawhid na (Allah) hajulikani isipokuwa

kwa majina yake na hasifiwi isipokuwa kwa sifa

zake‟……………………na Sheikh Al-Islam Ibn Taymiyya, mwanzoni

mwa kitabu chake Al-‟Aqiitu Al-Wasatiyya, anasema: “Allah hafanyiwi

qiyas na viumbe vyake”.……………. na sisi tunamtaka mtunzi (wa kitabu

Al-Haqqu Al-Damigh, Sheikh Al-Khalili) atutajie mmoja tu katika Ahlu

Sunna Wa Al-Jamaa‟a aliyesema kwamba Allah anafanyiwa qiyas na

viumbe. Basi hivi vitabu vyao vipo, na kauli zao zimehifadhiwa na hizo

(zilizotangulia kutoka kwa Ibn Manda na Ibn Taymiyya) ni baadhi ya kauli

zao tumezitaja ili msomaji imbainikie uwongo wa madai ya mtunzi (wa

kitabu Al-Haqqu Al-Damigh, Al-Khalili) dhidi ya Ahlu Sunna (Mawahabi

na watangulizi wao).

Hio ndio jawabu ya Dr. Al-Faqihi kwa maneno ya Sheikh Al-Khalili. Nami

ninamwambia Al-Faqihi kwamba:

a) Kitabu Al-Haqqu Al-Daamigh cha Sheikh Al-Khalili hakukihusisha

na kuwajibu Mawahabi ambao wewe unawaita kuwa ni Ahlu Sunna

na kwamba wao ndio wafuasi wa Al-Salaf Al-Salih! Bali yeye

kajadili hoja za wenye kusema kuwa Allah ataonekana na hoja za

wenye kusema kuwa Allah haonekani.

b) Ikiwa Mawahabi wao hawasemi kuwa kuwepo ndio sharti pekee ya

kuonekana, basi wako wengi – pengine ni jumhuri ya wenye itikadi

ya kuonekana kwa Allah – wenye kusema hivyo: kwamba sharti

pekee ya kuonekana ni kuwepo na kwa sababu Allah yupo basi naye

ataonekana. Hayo tumeyathibitisha kwa nukulu zilizotangulia.

c) Ikiwa maneno ya Ibn Taymiyya tulioyanukuu kabla, hayamaanishi

kwamba kuwepo ndio sharti pekee ya kuonekana, basi bila ya shaka

maneno hayo yamesema kwa uwazi kwamba kukamilika kwa

kuwepo ndiko kwenye kutoa fursa kubwa zaidi ya kuonekana na

huku kama tulivyonena ni “mbwa kumwita jibwa”.

Page 158: Fimbo ya Musa

158

d) Dr. Al-Tahhan, naye ni Wahabi, amesema hivyo hivyo kwamba

sharti pekee ya kuonekana ni kuwepo. Na muhadhara wake huo,

Mawahabi waliufurahia na kuueneza kila mahala bila ya kumrudi.

Ama tukirudi tena katika maneno ya Dr. Al-Faqihi aliposema:

…(maneno yake Al-Khalili) kwamba wao (Ahlu Sunna) wanafanya qiasi

baina ya kuwepo kwa Allah na kuwepo kwa viumbe, huo ni uongo na ni

kuwazulia watangulizi miongoni mwa masahaba na wafuasi wao na wenye

kuwafuata. Na ni hasha kwa wao kufanya hivyo, kwani atayefanya qiyas

baina ya Allah na viumbe huyo kakufuru…..

Tunasema: ewe Duktur Al-Faqihi we! Elewa kwamba qiyas alichokielezea

Sheikh Al-Khalili kimesemwa na jumhur ya Masunni kama tulivyoelezea.

Na Mzee wa Uislamu kakiweka qiyas hicho katika mueko wa qiasu al-awla

kwamba kadiri kitu kinavyokamilika katika kuwepo ndivyo kinapotoa fursa

kubwa zaidi ya kuonekana na kwa kuwa Allah ndiye aliyemkamilifu katika

kuwepo basi Yeye ni awla kuwa aonekane. Hiki alichokisema Mzee wa

Uislamu nacho pia ni qiyas ambacho wataalamu wa usuli wanakiita kuwa ni

qiyasu al-awla. Sijui aina hii ya qiyas nayo inamtia mtu ukafirini au ni aina

nyengine tu za qiyas ndizo zenye kumtia mtu ukafirini? Ninasema: bali lau

tutajaribu kuzikusanya sehemu ambazo wanavyuoni wenu wa Kiwahabi

wamefanya aina mbali mbali za qiyas baina ya Allah na viumbe basi

tunaweza kukusanya majalada mengi ya kitabu.

Ama kuhusu qiyas al-awla, elewa ndugu msomaji kwamba pamoja na

kuwepo maelezo hayo tulioyanukuu kutoka kwa Mzee wa Uislamu, basi

vitabu vya Kiwahabi vinaeleza kwa uwazi kwamba hio ni kanuni ilioko

katika fiq-hi ya itikadi yao. Sasa sijui Dr. Ali Al-Faqihi anapinga nini?

Anasema Mzee wa Uislamu:

ـــخ “ه٤خ حل٠ “ح خض حط٣وش حز٣ش حل٤ش أ ٣ظؼ ك٢ حؼ حإلــــــــــــ٤ش

٠“ هخ هللا طؼخ٠ حل ػ ؼ .”لل ح

Na kwa hivyo, njia ya Mtume, ya Al-Salaf ni kutumia Qiyasu Al-Awla

katika elimu za itikadi kama Allah alivyosema kwamba: “Na Allah ana

mifano ilio bora zaidi”.

Anasema Dr. Isa bin Abdillah:

ححص حوي حو ، ؛ ػ هللا ظ ػ ٣ئ أ حش حـخػش رلش حؼ ٠ ػ ــــأ

حد ل ٣خه ؼ٤ظ رخث هو، ػ ػ٠ ي أىش ؼ٤س .… .................…أ

ؿظخ ه٤خ حل٠

Page 159: Fimbo ya Musa

159

Ahlu Sunna504

wanaamini kuwa Allah yuko juu. Yuko juu kwa dhati na

uwezo na nguvu. Na kwamba Yeye kaka kitako juu ya „Arsh hali ya kuwa

kapambanuka na viumbe vyake. Na kwamba Allah kuwa yuko juu

hakupingamani na kuwa Yeye yupo pamoja nasi……Nao (Ahlu Sunna)

wana ushahidi mwingi juu ya hayo, miongoni mwa ushahidi huo ni

QIYASU AL-AWLA.505

Anasema mtunzi wa kitabu kiitwacho Asmaau Allahi Al-Husna:

حل“هللا ػ ؿ ٣ـ ك٢ كو ه٤خ حل٢ ري٤ ه ٣ حؼ ٠ حل ػ ؼ ــــــ لل ح ٤

ؿىحص ـــــــ حـــأ خ أ ؼض يف ل ل و ك٤ ٣ زؼ كب حؼ“

..…حو٤ أ٠ ر حوهش حليػش كخد حوخن حي

Na Allah Mtukufu inajuzu kwake kufanyiwa qiyasu al-awla, kwa ushahidi

wa kauli yake Allah: “Allah ana ndiye mwenye sifa tukufu naye ni

mwenye nguvu mwenye hekima”.506

Kwa hakika inaeleweka kwamba

kila ukamilifu au sifa njema yenye kusifiwa isio na upungufu ambayo

baadhi ya viumbe husifika nayo basi Allah ni mwenye kustahiki zaidi

kusifiwa na sifa hio…507

Sasa natuwaache Madokta wa Kiwahabi wafikichane wenyewe kwa

wenyewe. Wengine wanasema kwamba kufanya Qiyas baina ya Allah na

viumbe ni ukafiri; na wengine wanasema kuwa hiyo ndio njia ya Ahlu

Sunna (Mawahabi).508

Hilo natuwaachie wenyewe, lakini mimi ningependa

kurudi katika maneno yasemayo kwamba kila sifa njema ilioko kwa kiumbe

basi Allah anayo kwa ukamilifu zaidi? Suali: je ni kila sifa au baadhi ya

sifa? Vipi kuhusu akili: Allah anayo zaidi! Kiumbe asiye na akili ni

mpungufu, na kila akiwa na akili kubwa ndio ukamilifu wake, je na Allah ni

hivyo hivyo?!

504

- Yaani Mawahabi. 505

- Dr. „Isa bin „Abdillah Al-Sa‟adi Al-Mathalu Al-A‟alaa uk. 59. 506

- Sura 16, 60. 507

- Lakini akili ni sifa njema kwa binaadamu, je Sheikh wa Uislamu utasema kuwa Allah

ana akili zaidi, kwa kutegemea msingi wako huo? 508

- Tena katika kitabu chake hicho, Dr. Al-Sa‟adi katoa mifano mingi ya qiyasu al-awla

kinachofanywa na wanavyuoni wao.

Page 160: Fimbo ya Musa

160

TUNAREJEA KATIKA FALSAFA YA KUWEPO

NDIO SHARTI PEKEE YA KUONEKANA

Baada ya hayo, sasa naturejee katika falsafa ya kuwa “kuwepo ndio sharti

pekee ya kuonekana”. Tunasema kwamba madai hayo yanabomolewa na

kile tunachoweza kukiita kuwa ni law of relativity (kanuni ya ulinganisho)

ya kuwepo kwa vitu kadha wakadha ambavyo havionekani. Utakumbuka

kwamba wale ambao hawakukubaliani na falsafa hio nao wana mengi

wanayoyaulizia je yapo au hayapo; je yanaonekana au hayaonekani. Lakini

kabla ya kunukuu masuali yao, kwanza natumtupie mpira Dr. Al-Fauzaan,

mmoja wa wanavyuoni wakuu wa Suudia, ili atujibie suali hilo. Ewe Duktur

wewe! Wanenaje weye kuhusu suala hili: je madai ya kuwa kila kilichopo ni

lazima kionekwe ni madai ya kweli?! Duktur anajibu:

د لل اؿخع حلش ػ٠ ؿى حـ، ئلءـ ؿلي ؿى حـ ك خك؛ ل

ـؿى ػ٠ أ١ ٢ء ٣ؼظي؟ خ ٣ؼظي ػ٠ ٢ء ال ل ل ٣، ح٣ أـــح

؟.أ طح لري ؿـــــــى

Na atayekanusha kuwepo kwa majini basi huyo ni kafiri kwani huyo

kamkadhibisha Allah na Mtume wake na makubaliano ya umma juu ya

kuwepo kwa majini. Na hawa waliokanusha kuwepo kwa majini

wanategemea nini? Hawana wanachokitegemea isipokuwa vile kuwa kwao

hawawaoni (hao majini). Na kwani kila kilichopo ni lazima ukione?

Kuna vitu vingi ambavyo huvioni navyo vipo, kwa mfano roho iliomo

ndani yako je unaiona? ……..na akili ipo lakini pamoja na hayo

huioni……….509

Baada ya hayo alioyaeleza Dr. Al-Fauzaa, tunawakuta wale ambao

hawakubaliani na falsafa ya “kila kilichopo chaonekwa” nao wana urodha

ya masuali kama hayo. Wanauliza:

1) Roho ipo. Je inaonekana?

2) Upepo upo. Je unaonekana?

3) Hisia zipo je zinaonekana:

4) Nia zipo. Je zinaonekana?

5) Umeme upo. Je unaonekana?

6) Akili ipo. Je inaonekana?

Utaona kwamba vitu vyote hivyo zinaonekana athari zake tu pasina

kuonekana kwa vitu vyenyewe. Kama umelielewa hilo, basi elewa kwamba

509

- Dr. Salih bin Fauzaan Al-Fawzaan, member katika bodi ya katika wanavyuoni wa kuu

wa saudia. Tazama kitabu chake Ighaathatu Al-Mustafiid Bishar-hi Kitaabi Al-Tauhiid uk.

25.

Page 161: Fimbo ya Musa

161

falsafa ya kwamba: “sharti pekee ya kuonekana ni kuwepo” ni falsafa isio

na msingi wowote ule, bali ni katika jaribio la kutaka kuilazimasha itikadi

tu.

Ama falsafa ya Ibn Taymiyya kwamba kuwepo kunagawika katika kuwepo

dhaifu na kuwepo kulikokamilika; na kwamba kadiri chenye kuwepo

kinavyokamilika katika kuwepo kwake ndivyo uwezekano wa kukiona

unavyopatikana. Tunauliza: je kukamilika huku kwa kuwepo

anakokukusudia yeye ni kukamilka kuwepo kwa mwili ukawa mwili huo ni

mkubwa zaidi ndiko kunakotoa fursa kubwa zaidi ya kuonekana; au

kunakotoa fursa hio ya kuonekana ni kuwepo kulikokamilika kiutukufu?

Kama ni ukubwa wa kimwili ndiko kunakotoa fursa kubwa zaidi ya

kuonekana, je Allah ana mwili mkubwa zaidi ndio maana akaweza

kuonekana? Tena: je mwili mkubwa zaidi huu atakuwa nao huko akhera

ndio maana tukaweza kumuona huko pasina hapa? Na kwa hivyo, je dhati

ya Allah inabadilika na kugeukageuka: inakuwa kubwa na ndogo?

Na ikiwa ni kukamilika kwa kuwepo kiutukufu ndiko kwenye kutoa fursa

kubwa zaidi ya kuonekana, je Fir‟awna ni mtukufu zaidi kuliko Malaika,

ndio maana tukamuona Fir‟awna lakini tusiwaone Malaika? Na je kinyesi ni

kitukufu zaidi kuliko vijidudu visiovyoonekana kwa macho? Au je kinyesi

ni kitukufu zaidi kuliko majini?

Tena, kwa mara ya pili, ikiwa ni kukamilika kwa kuwepo kiutukufu ndiko

kwenye kutoa fursa kubwa zaidi ya kuonekana. Tunauliza: je Allah

atakapoonekana huko akhera ndio tusema kwamba atakuwa kakamilika

zaidi kiutukufu kuliko hapa duniani ambapo hakuonekana? Kwa hivyo

ikiwa kwenu kule kuwepo kiutukufu ndiko kwenye kutoa fursa kubwa zaidi

ya kuonekana, basi Ibn Hajar anasema kwamba Allah ataondoa utukufu

wake huko akhera ili apate kuonekana! Na kwa mantiki hii ni kuwa kisicho

na ukamilifu ndicho chenye kuonekana. Sasa mwanenaje ewe “Ntotongwa

wa Mafuta”? Hebu kubalianeni kwanza: je kukamilika kwa utukufu ndiko

kunakopelekea katika kuonekana au kutokuwepo kwa utukufu ndiko

kwenye kupelekea katika kuonekana?

Nadhani falsafa hii ya Ibn Taymiyya, kama zilivyo falsafa zake nyingi, ni

falsafa ambayo hakuna mtu mwenye akili yake timamu atayekubaliana

nayo, labda wale ambao wanafuata tu kama vipofu: “Shehe wa Uisilamu

kantongoa”.

Mukhtasari wa sehemu hii ni kuwa:

Page 162: Fimbo ya Musa

162

1) Wenye itikadi ya kuonekana kwa Allah wanaijenga itikadi yao

hio juu ya hoja za kiakili na za kimaandishi.

2) Hoja ya kiakili inasema kuwa Allah yupo na kila kilichopo basi

hicho kinafaa kuonekana.

3) Wenye kusema kuwa Allah haonekani wakasema:

a) Hilo linawahusu viumbe, na kwamba kufanya hivyo ni

kufanya qias baina ya Muumba na viumbe na hilo ni batili.

b) Pamoja na hayo kuna idadi kubwa ya viumbe vilivyopo

ambavyo havionekani kama vile roho, akili na mengineo.

c) Kwa hivyo, hoja hio ya kiakili ni hoja batili.

Page 163: Fimbo ya Musa

163

SURA YA NNE

HOJA ZA KIMAANDIKO KWAMBA

KUMUONA ALLAH NI JAMBO LENYWE

KUWEZEKANA

DALILI ZA KIMAANDIKO

Huo uliotangulia ulikuwa ni mjadala juu ya hoja za kiakili walizozitegemea

watetezi wa itikadi ya kumuona Allah katika kuthibitisha kwamba kumuona

Allah ni kitu chenye kuwezekana. Ushahidi mwengine uliotegemewa na

watetezi wa itikadi ya kumuona Allah katika kuthibitisha falsafa ya

“inawezekana kumuona Allah”, umechukuliwa kutoka katika Aya isemayo:

همن اظر إه اهجبو فإن است ن قاو هن ترا ف تـقاو رب أر أظر إه فس ـكر ىما راخرفهىا تجه رب دما ههجبو جغه

E Mola wangu! Nioneshe nikutazame, akasema (Allah)

hutoniona lakini utazame mlima ukiwa utatulia mahala pake

basi nawe utaniona, basi Mola wako alipoudhihirikia mlima,510

aliujalia ukavurugika vurugika.511

Hio ndio Aya wanayoitegemea! Je ni kitu gani katika Aya hii chenye

kuthibitisha kuwepo kwa uwezekano wa kumuona Allah? Suali hilo

natuwaachie wenye itikadi ya kumuona Allah wenyewe watujibie. Anasema

Al-Alusi:

:اخ حإ٣ش ؿ٤ هالش حال ك٢ ي أ أ حش هخح: ا ح٣٥ش طي ػ٠

٠ { حن ، د أ ٤ش كب خ ــــــ خض ظلـــحل أ ٠ ػ٤ حال ؤخ رو : }

٢ــــحال ػخخ رخلظلخش كخؼخه ك٠ال ػ حز٢ طوخ ك٠ال ػ أ ٤ــ٠ ػـــ

ـــ ٣ ػخخ ري أ ٣ آكخى حؼظش كا لخ ل ٣طز،ـحؼ ل ٣ؤ ح

وـــــــحخ ل ٣ـ حز٢ حل٠، ػ٤ـــــــ١كخ ػ أػ رخلل طؼخ٠ خ ٣ـ

.رخـح حو ٤ـــــ، ك٤غ رط حو رخلظلخش طؼؿخ٣ش حـ حػش ري

510

- “Mola wako alipoudhihirikia mlima”, ni tafsiri ya neno kwa neno na tafsiri

iliokusudiwa hasa ni “utukufu wa Mola wako ulipodhihiri kwenye mlima”. 511

- Sura 7, Aya 143.

Page 164: Fimbo ya Musa

164

ـــــــ٣ش ػ٠ حظوح حـز ك٢ ل خ ػن ػ٠ ححؼخ٢ أ ك٤خ طؼ٤ن حإ

.

Na mukhtasari wa maneno katika hilo ni kuwa Ahlu Al-Sunna wamesema

kwamba Aya hio inaonesha kujuzu kuonekana kwa Allah kwa njia mbili:

Mosi: ni kuwa Musa (a.s.) aliomba kuwa amuone Allah pale aliposema: “E

Mola wangu! Nioneshe (nikutazame)”….lau kuonekana kwa Allah

lilikuwa ni jambo lisilowezekana, basi ikiwa Musa alikuwa akilijua hilo

kwamba haiwezekani kuwa Allah aonekane, basi mwenye akili yake

timamu ukiachilia mbali Nabii na ukiachilia mbali Nabii aliye katika daraja

ya ulil-„azmi basi hawezi kuomba kitu kilicho muhali (kisichowezekana).

Na kama Musa alikuwa hajui (kwamba hilo halijuzu) basi hii ina maana

kwamba mtu mmoja mmoja katika watu wa madhehebu ya Mu‟tazila na

wale waliopata sehemu ya elimu yao ni wenye kumjua zaidi Allah na kujua

zaidi nini kinamfalia na nini hakimfalii kuliko Nabii aliyeteuliwa. Na

kusema hivyo, ni kufikia katika kipeo cha ujinga na upumbavu. Na kwa

sababu kusema kuwa haiwezekani kumuona Allah ni kauli iliobatili, basi

ikathibiti kauli ya kuwa hilo ni lenye kujuzu.

Pili: ni kuwa katika Aya hio kuona kumefungamanishwa na kutulia kwa

mlima. Na kutulia kwa mlima ni kitu ambacho chenyewe kinawezekana,

na kitu chenye kufungamanishwa na kitu chenye kuwezekana basi nacho

pia huwa kinawezekana!512

Hayo ni maneno ya Sheikh Al-Alusi, na mfano wake ni maneno ya Ibn Al-

Qayyim katika Hadi Al-Ar-waah,513

„Abdul-Rahim na Muhammad Al-

Kaylani katika Sharhu Jawharati Al-Tawhid,514

Al-Shanqiti katika Adhwaau

Al-Bayaan,515

na wengine.516

Bila shaka Muislamu mwenye kutumia akili yake ya kimaumbile ilio safi:

haijaathiriwa na itikadi hii na ile, au yule ambaye anayatafiti mambo baada

ya kuitakasa vyema fikra yake kutokana na athari za kufuata kama kipofu,

basi anastaajabishwa sana na wanavyuoni hawa wenye kutoa ushahidi kwa

Aya hio! Natuzitazame hoja zao:

512

- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟ani j. 9, uk. 46. 513

- Uk. 210-211. Naye kawaita wenye itikadi tafauti na yake kuwa ni washirikina, wafuasi

wa majusi n.k. 514

- J. 2, uk. 663-670. 515

- J. 3, uk. 10. 516

- Hatuna haja ya kurefusha, hilo utalikuta katika tafsiri tafauti za wenye itikadi ya

kumuona Allah, kwani ndio moja katika hoja zao za kuthibitisha itikadi yao hio.

Page 165: Fimbo ya Musa

165

Hoja ya kwanza ni kuwa lau kuonekana kwa Allah ni jambo lisilowezekana,

basi Nabii Musa asingelimuomba Allah kuwa amuone, kwani yeye anajua

chenye kujuzu na kisichojuzu juu ya Allah. Lakini – bila kurefusha maudhui

– hoja hii imejibiwa kwamba Nabii Musa hakuomba kumuona Allah kwa

ajili yake mwenyewe, bali alitaka kuikata mizizi ya ushindani ya kaumu

yake ambao walikuwa wakimshikilia kwamba wanataka wamuone Allah na

kwamba wao hawatomuamini hadi hapo watapomuona Allah wazi wazi.

Haya yote yameelezwa katika Qur-ani na kitu bora cha kuifasiria Qur-ani ni

Qur-ani yenyewe. Anasema Allah:

ر ج تي تظرن إذ قهتي ا ىس هن ؤىن هن حت ر اهه أ فأخذتمي اهصاعك

Na (kumbukeni) muliposema: „ewe Musa hatutokuamini mpaka

tutapomuona Allah wazi wazi, basi yakakuchukueni mauti nanyi

munaona.517

Na anasema:

أمبرفكد سأها ىس ي اهصاعك فأخذت ر ج ا اهه يىن ذهن فكاها أر بظهى

Kwa hakika (Mayahudi) walimuomba Musa kubwa kuliko hilo,

wakasema: „tuoneshe Allah wazi wazi, basi mauti ya ghafla

yakawachukuwa kwa sababu ya dhulma yao (hio)…. 518

Aya hizi zinatoa ushahidi wa wazi kwamba walioomba kumuona Allah ni

kaumu ya Musa: si Musa mwenyewe. Na chenye kubainisha zaidi ukweli

huo, ni kuwa Allah katika Aya hizi kayaita maombi hayo kuwa:

1) Ni dhambi kubwa.

2) Dhulma.

3) Aliwateremshia adhabu kwa sababu ya kuomba hivyo.

Sasa sijui vipi mtu mwenye akili yake atadai kuwa Nabii Musa aliomba

kumuona Allah kwa ajili yake mwenyewe! Na chenye kubainisha zaidi ni

kuwa Nabii Musa baada ya kuzimia na baadae kuzinduka alitubia na

kusema:

همت ت أ ص ىارب ه ا ا بىا فغو اهسف هم أت ا إ ي ىن قبو

517

- Sura 2, Aya 55. 518

- Sura 4, Aya 153.

Page 166: Fimbo ya Musa

166

E Mola wangu! Lau ulitaka basi ungeliwaangamiza wao hapo mwanzo

pamoja na mimi, (basi) utatuangamiza kwa jambo lililofanya na

wajinga miongoni mwetu?519

Aya hii inasema kwa uwazi kwamba waliofanya hivyo yaani waliomba

kumuona Allah ni Sufahaa (wajinga). Je baada ya haya, kweli itawezekana

kusema kuwa Nabii Musa hasa ndiye aliyetaka kumuona Allah? Je

inawezekana kumjumuisha Nabii Musa pamoja na wajinga hao katika hilo?

Natarajia kuwa hili ni jambo lililo wazi kabisa kwa kila aitakae haki, lakini

tatizo la wenzetu ni kuwa waliifanya itikadi yao kuwa ndio msingi wa

kuzifasiria Aya badala ya kuzifanya Aya kuwa ndio msingi wa kuifasiri

Qur-ani na kwa hivyo Aya ndio zikazaa itikadi sahihi.

Lakini je – baada ya yote hayo yaliotangulia – wenye itikadi ya kumuona

Allah bado wana jawabu juu ya maelezo hayo nilioyatoa? Naam! Jawabu

wanayo: jawabu yao ni kuwa:

1) Lau Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah kwa ajili yake

mwenyewe, basi asingelikimbilia kuleta toba.

2) Asingelisema: “nioneshe nikutazame” bali angelisema “waonesha

wakuone”.

Hizo ni hoja zao mbili ambazo kazinukuu Al-Imamu Badru Al-Din Al-

Khalili Al-Mufassir katika Al-Haqqu Al-Damigh kisha akabainisha udhaifu

wake. Lakini kabla ya kunukuu jawabu yake wacha tumduse kidogo.

Ninasema: ama suala la kwanza – pamoja na jawabu ya Sh. Al-Khalili

ambayo tutainukuu baadae – kuhusu kutubia kwa Nabii Musa, hio ni hoja

dhidi yenu si hoja yenu! Suali ni kuwa je munakubali kuwa Musa alitubia

kwa sababu ya ombi hilo au hamukubali? Hoja yenu hapa inaeleza kuwa

munakubali? Je kama hio haikuwa dhambi kubwa au kwa uchache halikuwa

kosa angelitubia? Sasa, kwa ujumla, jawabu yetu ni kuwa tukijaalia kuwa

Musa (a.s.) hakumuomba kumuona Allah kwa ajili yake, basi hilo halina

mushkeli, lakini tukijaalia kuwa kamuomba kwa ajili ya nafsi yake kisha

apate adhabu kwa maombi yake hayo kisha atubie, je hili linaonesha kujuzu

kumuona Allah au linaonesha kuwa haijuzu? Kama inajuzu kwanini:

1) Apate adhabu?

2) Atubie. Je anatubia kwa kufanya kitu chenye kujuzu?

Ninasema: na hapa yanajibika madai ya Al-Alusi na Ibn Al-Qayyim na

wengine kwamba: “sasa hawa Mu‟utazila wenye kukataa kuonekana kwa

Allah wanamjua Allah zaidi kuliko Musa?” Jawabu ni laa: (sio): wao

hawamjui Allah zaidi kuliko Musa, lakini kupitia katika hayo yaliomtokea

Musa ndio wao wameweza kujua kwamba kumuona Allah haiwezekani.

519

- Sura 7, Aya 155.

Page 167: Fimbo ya Musa

167

Halafu nasi tukuulizeni: je nyinyi munamjua Allah zaidi kuliko Musa?

Jawabu yenu inajulikana kwamba: laa: (sio): sisi hatumjui Allah zaidi

kuliko Musa”. Haya! Kama ni hivyo, mbona nyinyi au jumhuri (majority)

ya nyinyi mwasema kuwa Allah haonekani duniani, halafu mwageuka

kifudifudi mukasema: “Musa alimuomba kumuona Allah yeye mwenyewe

kwa ajili yake, na huo ni ushahidi wa kujuzu kumuona Allah duniani”.

Suali: je Musa yeye alikuwa hajui kuwa Allah haonekani duniani na badala

yake mumejua nyinyi? Bila shaka hapa mutakuwa mumejizonga wenyewe,

na hii ndio natija ya kuzifasiri Aya tafsiri batili!

Ama madai ya pili kwamba lau kama Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah

kwa ajili yake mwenyewe, basi asingelisema: “nioneshe nikutazame” bali

angelisema “waonesha wakuone”. Ninasema: kusema waoneshe

wakutazame kungewezekana lau Musa alikuwa anaitakidi na ana hakika

kuwa Allah anaonekana. Ukiniambia: hata “nioneshe nikutazame” ni hivyo

hivyo, ni lugha yenye kuonesha kuwa Musa alikuwa na hakika kwamba

Allah ataonekana au anaweza kuonekana. Nitakujibu: “ha mbona

hemuona?” Kisha jawabu yako hio itakugeukia mwenyewe kwamba: je

Musa alikuwa hajui kinachojuzu kwa Allah na kisichojuzu, mbona jawabu

ya Allah kwake imekuja vyenginevyo, bali mbona wewe wasema na

kuitakidi vyenginevyo?

Sasa baada ya kudusa huku, wacha tuwaachie wenyewe wenye elimu zao,

watupe jawabu juu ya madai:

1) Lau Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah kwa ajili yake

mwenyewe, basi asingelikimbilia kuleta toba.

2) Asingelisema: “nioneshe nikutazame” bali angelisema “waonesha

wakuone”.

Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir:

Jawabu ya (madai) ya kwanza ni kuwa yeye Nabii Musa (a.s.) kakimbilia

kuleta toba kwa sababu kajihisi kuwa kajihusisha katika kile alichokiomba,

pamoja na kuwa nia yake ilikuwa nzuri Allah anaijua (kuwa ilikuwa nzuri),

lakini lilikuwa ni jambo lenye kuhitaji kuomba idhni ya Allah kwanza

kabla ya kuingia katika ombi kama hilo.

Na jawabu ya (dai la) pili la (kitendo cha Nabii Musa cha) kuyategemeza

(maombi hayo) katika nafsi yake (akasema ewe Mola wangu nioneshe

nikuone) pasina (kuyategemeza) kwao (akasema ewe Mola wangu

waoneshe wakuone), ni kuwa huko kunawakinaisha zaidi kwamba

kumuona Allah ni kitu kisichowezekana; watapojua kwamba yeye –

pamoja na daraja yake ya juu, na usafi wa moyo wake kutokana na yale

Page 168: Fimbo ya Musa

168 (madhambi) wanayoyajua kwamba wao walijichafua kwayo –

haikuwezekana kwake kumuona Allah, jambo ambalo walikuwa

wamelishikilia katika kuliomba, kwa hivyo, ikiwa kwake (Musa) hilo

halikuwezekana basi kwao wao ndio kabisa halitowezekana.

Na mukhtasari ni kuwa (Nabii) Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah kwa

kutumai kuwa hilo litakuwa, bali aliomba ili ombi lake liwe ni wasila

(njia) katika wasila za kukinaisha ambako alikuwa akikufanyia hima, na ili

liwe ni mpito katika mipito ya ulionganiaji aliokuwa akiusimamia. Na

mfano wake katika hilo ni mfano wa (Nabii) Ibrahim (a.s.) ambaye alisema

alipoona sayari na mwezi na jua: “Huyu ni Mola wangu”.520

Hakika yeye

– kwa yakini kabisa – hakukusudia kuzifanya (sayari hizo) kuwa ndio mola

wake, kwani akili ilio nzima haikubali kwa hali yoyote ile kuvifanya

viumbe kuwa ni Mungu, basi vipi akili za Manabii ambao wamelelewa

katika hifadhi ya Allah na Allah akawachagua wawe ndio vyombo vya

uongofu…… na inabainisha hivyo kauli ya Allah baada ya kukisimulia

kisa hicho, (Allah alisema): “Na hizo ni hoja zetu tulimpa Ibrahim juu

ya kaumu yake”. 521

Na ikiwa hii ndio njia ya kuyafasiri maneno ya (Nabii) Ibrahim (a.s.),

pamoja na kuwa hakuna andiko la wazi katika Qur-ani lenye kusema kuwa

kaumu yake walikuwa wakiabudu vitu hivi (jua, mwezi, seyari), basi

kulifasiri ombli la (Nabii) Musa la kuomba kumuona Allah kuwa

makusudio yake ilikuwa ni kuwanyamazisha watu wake kwa hoja, ni bora

zaidi kwa sababu ya kuwepo maandiko mengi yenye kuonesha kwamba

wao ndio waliomba kumuona Allah. Na ivo inaingia akilini kwamba iwe

Musa naye kaomba kitu kile kile ambacho walikiomba wao ilhali wao

kiliwapata kipigo kilichowapata kwa sababu ya kile walichokiomba (cha

kumuona Allah). Naapa kwa jina Allah, haikuwa kauli hio (ya kusema

kwamba Musa kaomba kile kile walichokiomba wao) isipokuwa ni

kumfananisha Musa na viisraili uchwara, na kumuondoa katika nafasi yake

ya juu ya utume ambayo Allah kamnyanyua na kumpeleka huko na

akamchagua kwa ajili yake, na badala yake (nyinyi mukawa ni wenye)

kumuweka katika tabaka za ujinga ambazo waliporomoka kuja katika hizo

watangulizi wa Mayahudi waliomba kumuona Allah basi neno la Allah

likawathibitikia kwa kustahiki udhalili wa dunia na adhabu ya akhera.522

520

- Sura 6, Aya 76-78. 521

- Sura 6, Aya 83. 522

- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir Al-Haqqu Al-Damigh uk.35-37.

Page 169: Fimbo ya Musa

169

KIFUNGU CHA PILI CHA MAELEZO YAO

Hayo yaliotangulia ni maelezo yetu kuhusu vifungu vyenye kusema:

1) Lau kama Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah kwa ajili yake

mwenyewe, basi asingelikimbilia kuleta toba.

2) Asingelisema: “nioneshe nikutazame” bali angelisema “waonesha

wakuone”.

Kifungu chengine cha madai yao kinasema:

Pili: ni kuwa katika Aya hio kuona kumefungamanishwa na kutulia kwa

mlima. Na kutulia kwa mlima ni kitu ambacho kinawezekana, na kitu

chenye kufungamanishwa na kitu chenye kuwezekana basi nacho pia huwa

kinawezekana.

Ninasema: natarajia kuwa hiizi ni miongoni mwa falsafa ambazo hazihitaji

hata kujibiwa! Aya iko wazi kabisa kwamba kutulia kwa mlima ndio alama

ya kujuzu au ya kutokea kumuona Allah. Mlima haukutulia, sasa hio hoja

iko wapi? Anasema Sheikh Al-Khalili:

Na ikajibiwa kwamba hakuna uwezekano baada ya kile kilichotokea cha

kuvurugika kwa mlima, na kubainika kwa hukumu ya Allah ndani yake

ambayo haiwezekani ikahukumiwa kinyume chake, kwani Allah maneno

yake hayabadiliki. Na alikwisha kujua katika elimu yake kwamba mlima

hautotulia, na wala alichokijua Allah hakitobadilika kikatokea kinyume na

ilivyo katika elimu yake. Bali hakika ya kutulia kwake (huo mlima)

lilikuwa ni jambo lenye kuwezekana kwa mujibu wa elimu fupi, yenye

mipaka ya viumbe523

kabla ya kuwabainikia wao – kwa sababu ya

kuvurugika kwake – kile kilichoko katika elimu ya Allah.524

Anachokisema Sheikh Al-Khalili ni kuwa kutulia kwa mlima kulikuwa

kunawezekana kwa mujibu wa elimu yetu sisi. Ama Allah Yeye

alikwishakujua kuwa hautotulia, na alivyojua Yeye ndio hivyo hivyo:

haibadiliki ikawa kinyume chake. Na sisi viumbe tumejua kuwa

haiwezekani kwa mlima huo kutulia baada ya Allah kuyasema alioyasema

na yakatokea yaliotokea.

Hatuna haja ya kurefusha jawabu juu ya hili, kwani kila mwenye akili yake

anaona kwamba hapa watetezi wa itikadi ya kumuona Allah hawakutoa hoja

ya msingi: mwote hawana hoja za msingi lakini mwengine munahitaji elimu

na mwengine akili ya kimaumbile yatosha kukuonesha pofu na nzima.

523

- Si katika elimu ya Allah: Allah alikwishajua kwamba hautotulia. 524

- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir Al-Haqqu Al-Damigh uk. 39.

Page 170: Fimbo ya Musa

170

SURA YA TANO SABABU YA KUTOONEKANA KWA

ALLAH HAPA DUNIANI

Kama ulivyoona kwamba jumhur ya wenye itikadi ya kuonekana kwa Allah

wanasema kwamba Allah ataonekana akhera tu pasina kuonekana hapa

duniani. Moja ya sababu wanazozitoa ni kuwa dunia ni mahala

panapokwisha na mwenyekwisha hawezi kumuona mwenye kubaki. Ama

akhera ni mahala pa kubakia na kwa hivyo kunanasibiana sana kuwa

Waumini wamuone Allah kwani nao huko ni vyenye kubaki! Anasema

Sheikh „Isa bin „Abdillah: ٣ إ٣ش حزخه٢ رخؼ٤ حلخ٤شهخح ………

…Basi wakasema (wanavyuoni hao waliokataa kuwa Mtume kamuona

Allah hapa duniani): “Na haiwezekani kumuona yule mwenye kubakia

(Allah) kwa jicho ambalo kuna siku litaangamia”.525

Anasema Sh. Muhammad bin Khalifa Al-Tamimi:

زؼ ػ٠ ي آهــــــ٤، طـــــ٣ رخؾ كــــف رؼ٠ رخإ٣ش رخؼ٤٤، حهظخ حر ؿ

هخض ١خثلش: ٣وغ ي لي٣غ أر٢ ... هخح: ٣……....… .… حظؤه٣

إ٣ش حزخه٢ رخؼ٤ حلخ٤ش...

Na baadhi yao wakasema kwa uwazi kuwa (Mtume s.a.w.) kamuona Allah

kwa macho yake mawili. Na hio ndio kauli alioichagua Ibn Jarir naye

alizidi kuitia chunvi, na akafuatiwa na wanavyuoni wengine katika

kuikubali kauli hio ………na wengine wakasema kuwa hilo halikutokea

kwa ushahidi wa Hadithi ya Abu Dhar. Basi wakasema (wanavyuoni hao

waliokataa kuonekana kwa Allah hapa duniani): „na haiwezekani kumuona

yule mwenye kubakia (Allah) kwa jicho ambalo kuna siku litaangamia”.526

Anasema Al-Tuweijri:

زخس, ك٤ق رح -ػ ؿ -إ٣ش هللا ــــــــي ـــحـز روط الرظ أ ٣خ حظطخع ح

كبح زض حلؿخ ٣ حو٤خش زوخء, زض وى, حكظض إ٣ش حوم حز٢٤ ح٠ؼ٤ق؟ لل

..حزخه٢ حيحث زلخ طؼخ٠

…Mlima huu pamoja na umadhubuti wake haukuweza kuhimili kumuona

Allah Mtukufu moja kwa moja. Basi vipi itakuwa huyu kiumbe mwepesi

525

- Abu Yusuf, Muhammad Zaaid Al-Qawlu Al-Aqwam j. 2, uk. 51. 526

- Muhammad bin Khalifa Al-Tamimi Ru-yatu Al-Nabiyyi (s.a.w.) Li Rabbih uk. 36.

Page 171: Fimbo ya Musa

171 dhaifu? E jamaa Allah ana shani we! Basi miili itapounganishwa siku ya

kiama kwa ajili ya kubakia basi itaunganishwa kwa ya kubakia milele,

basi hapo itaweza kumuona Allah mwenye kubakia (milele) mwenye

kudumu….527

Anasema Abu Hafs Al-Hanbali:

١ ك٢ حظذ هخح : ٣ إ٣ش حزخه٢ رخؼ٤ حلخ٤ش ، ح هخ طؼخ٠ ٠ ك٤خ

ح ٢ ك٢ » حإل٤ش : ٠ ، ا ل ٣ ٣خ ي خص ل ٣خر ال ط ي « .ال

Na wakasema (wanavyuoni wanaokataa kuonekana kwa Allah hapa

duniani): „na haiwezekani kumuona yule mwenye kubakia (Allah) kwa

jicho ambalo kuna siku litaangamia”. Na kwa sababu hio Allah

alimwambia Nabii Musa kwa mujibu wa yale yaliosimuliwa katika vitabu

vitukufu (vilivyotangulia):528

„Ewe Musa we! Mimi hanioni aliyehai ila

atakufa, wala kikavu isipokuwa kitabiringia!529

Hio ni moja ya sababu zinazoeleza kwanini hatumuoni Allah hapa duniani.

Ama sababu ya pili – kwa mujibu wa itikadi ya kumuona Allah huko akhera

tu pasina duniani – inaeleza kwamba katika dunia mtu ni dhaifu na kwa

hivyo hiwezekani kuwa amuone Allah! Anasema Sheikh Isa bin „Abdillah:

حإ٣ش حل حؿى٣ش حل٠ش؛ كخإ٣ش ك٢ حطخ ؿى ل ك ح ػــي٤ خ،كب ال طظ أ

ححث٢،ـش ــــلظخ أ ؿى٣ش ل٠ش ؛ ٢ حو٤خ رخل، حث٢ رـ ــــ١

١ ظق ح٥؛ ح ل ح ك٢ حي٤خ س حزــــ. آهــــ ح ..……هــ

Kwa hakika kuonekana ni katika mambo ya kuwepo safi kabisa; kwani

kuonekana kwenyewe ni kuwepo kwa hivyo hakuambatani na

kutokuwepo, na masharti ya usahihi (wa kuonekana) ni mambo ya kuwepo

tu, nayo ni: 1) kuisimamisha dhati,530

2) kuwa chenye kuonekana kiko

katika sehemu kutokana na muonaji, 3) nguvu za macho. Na hii sharti ya

mwisho (ya nguvu za macho) kwa sasa haipo ndio maana ikawa

hatumuoni (Allah) hapa duniani….531

527

- Hamed bin „Abdil-Muhsin Al-Tuweijri Sharhu Al-Fat-wa Al-Hamawiyya uk. 316. 528

- Nalo ni Agano la Kale, Kitabu cha Kutoka 33/1823. 529

- Abu Hafs Siraju Al-Din Al-Hanbali Tafsiru Al-Lubaab j. 10, uk. 233. Neno

alilolitumia ni hilo kitabiringia lakini kwa mujibu wa mtiririko wa maneno inaeleweka

kwamba makusudio ni kitavurugika. 530

- Yaani kuwepo kwa dhati ya kitu kilichosimamiwa na sifa fulani fulani. 531

- „Isa bin „Abdillah Al-Mathalu Al-A‟ala uk. 60.

Page 172: Fimbo ya Musa

172

Anasema „Abdullah bin Muhammad Al-Ghunaimaan:

٤جخ ــــــكخإ٣ش ك٢ حي٤خ ش ك٢ حؼو خ ؿ٤ حهؼش؛ ل ٠ ػ٤ حال ل ٣ؤ

٤غـطــغ ٠ؼق حز، أخ اح خ ٣ حو٤خش كبخ طظ هوظ طظ هح، ك٤ظ ظل٤ال ، ـــ

ؿ ػال أػ٠ حؼ٤، ك٢ أك٠ خ ٣ؼط٠ حئ، ح خخ إ٣ش هللا ؿ ػال، إ٣ـش هللا

هللا ٣خىس، أ١: ػ٠ خ ك٢ حـش.

Kumuona Allah hapa duniani kunawezekana kiakili lakini hakujawahi

kutokea, kwani (Nabii) Musa hawezi kuomba Allah kitu ambacho

hakiwezekani, lakini alizuiliwa kwa sababu ya udhaifu wa binaadamu,

ama itapofika siku ya kiama basi umbo lake litakamilika na nguvu zake

zitakamilika na hapo ataweza kumuona Allah Mtukufu.532

Na kumuona

Allah Mtukufu ndio neema kuu yao, basi hio ndio neema bora yao

watayopewa Waumini, na kwa sababu hii ndio maana Allah akaiita kuwa

ni nyongeza, yaani ni nyongeza ya zile neema zilizomo katika pepo.533

Hio ni sababu ya pili iliotolewa kueleza kwa nini sisi hatumuoni Allah hapa

duniani. Ama sababu ya tatu iliotolewa ni kuwa sisi hapa duniani tupo

katika sehemu ya kufanyiwa mitihani. Na kwa hivyo, kumuona Allah

haiwezekani mpaka ifike siku ya hesabu. Dhahir ya maneno haya

yanakusudiwa kwamba kumuona Allah hapa duniani kunakwenda kinyume

na hekima hio ya kuwafanyia waja mitihani; au huko kumuona Allah nako

ni katika jumla ya malipo ya amali njema ambayo hayawi isipokuwa huko

akhera. Anasema mtunzi wa kitabu Asmaau Allahi Al-Husna:

حـحء ل حي٤خ هوض الرظالء، أخ ح٥هس ك٢ ىح حلخد534 ك٤غ ٣ق ك٤خ حـطخء ٣كغ

ك٤خ حلـخد

(Allah haonekani duniani) kwani dunia imeumbwa kwa ajili ya mtihani,

ama akhera ni mahala pa hesabu na malipo ndipo atapoondoa kifuniko na

kunyanyua pazia (ili tumuone).535

Hizo ndio falsafa za wale wenye itikadi ya kumuona Allah huko akhera

katika kueleza kwanini Yeye haonekani hapa duniani. Lakini jambo la

kujiuliza ili uweze kupata jawabu sahihi juu ya falsafa hizo ni kuwa: je

kilichozuia kutoonekana kwa Allah hapa duniani ni sababu iliomo katika

532 - Yakhe! Mbona mwatuzuga? Tutaobadilika ni sisi viumbe si Allah: Allah yuko na

atakuwa vile vile alivyo. Na kubadilika kwa Mussa au kwa viumbe, Allah hakumdhuru kitu

wala hakumbadilishi sifa zake akawa sasa ni mwenye kuonekana badala ya kuwa si

mwenye kuonekana. 533

- „Abdullah bin Muhammad Al-Ghunaimaan Sharhu Al-‟Aqiidati Al-Wasatiyya j. 3, uk.

18. 534

ح حؼطق خض خهطش ألظخ ٤ظو٤ حؼ٠ - 535

- Asmaau Allahi Al-Husna j. 4, uk. 23.

Page 173: Fimbo ya Musa

173

viumbe au ni sababu iliomo katika Muumba? Na kwa hivyo, je udhaifu wetu

ndio sababu ya kutokumuona Allah au ni utukufu wake na kibri (ukuu)

chake ndicho kilichozuia kumuona? Kila atayeitafakari vyema Qur-ani

katika zile sehemu ambazo imekataa kuonekana kwa Allah, basi anaona

kwamba kuna vyenye kuashiria kwamba sababu ya kutoonekana kwa Allah

ni utukufu wake na kibri chake. Na hilo ndilo lililoelezwa katika Hadithi

kwa uwazi kabisa. Zingatia Aya isemayo:

و ش ر ظ خػ ح ط س ك ؤ ه خ هللا ؿ ح أ ي ك و خ ز ٠ أ ح ؤ ك و ي

Kwa hakika wao (Mayahudi) walimuomba Musa jambo

kubwa kuliko hilo wakasema tuoneshe Allah wazi wazi, basi

mauti yakawachukua kwa sababu ya udhalimu wao.536

Na Aya isemayo:

ــــ ز ـ ر ٠ ـ خ ط ح ٢ ك ف ط خ ك ظ و ح ك ب ز ـ ا ٠ ح حظ ح ٢ خ ط ؼ ى ؿ

٠ ـــــ ـــ ه ٤ ئ ح أ خ أ خ ي ط ز ض ا ٤ ي ز ل خ أ ك خم ه خ وخ ك ؼ

...Hutoniona (ewe Musa), lakini tazama kwenye mlima ukiwa utatulia

mahala pake basi nawe utaniona. Basi (utukufu wa) Mola wake

ulipodhihiri kwenye mlima aliujaalia ukavurugika vipande vipande na

Musa akaanguka akazimia, basi alipozinduka (Musa) alisema:

„Umetakasika (ewe Allah) mimi nimetubia kwako na mimi ni wa

mwanzo kuamini.537

Aya hizi zinaashiria (sisemi kwamba zinatongoa) kwamba kutoonekana kwa

Allah ni kwa sababu ya utukufu wake. Ndio maana katika Aya ya kwanza

tunaona kwamba Banuu Israaiil waliteremshiwa adhabu kutoka mbinguni

kwa sababu ya dhulma yao. Dhulma yenyewe ni kutaka wamuone Allah. Na

katika Aya ya pili, tunaona jinsi gani mlima ulivyovunjika vunjika baada ya

kuteremka hapo utukufu wa Allah na Nabii Musa alivyoanguka na kuzimia

na alipozindukana alianza kwa kutubia na kumtakasa Allah kwa kusema

subhaanak ikimaanisha kwamba kumuona Allah ni sifa pungufu

isionasibiana na utukufu wake. Yote haya yanaashiria kwamba kutoonekana

kwa Allah ni kwa sababu ya utukufu wake. Na hili ndilo ambalo limesemwa

kwa uwazi katika Hadithi isemayo:

خ خ ر٤ حو ر٤ أـــؿظخ ك٠ش ح٤ظخ خ ك٤خ ؿظخ ذ ح٤ظخ خ ك٤

536

Sura 4, Aya 153. 537

- Sura ya 7 Aya ya 143.

Page 174: Fimbo ya Musa

174

ال ىحء حز٣خء ػ٠ ؿ ك٢ ؿش ػي................ ظح ا ٠ ر٣

(Kuna) pepo mbili vyombo vyake na vilivyomo ndani yake vinatokana na

fedha, na (kuna) pepo mbili (nyengine) vyombo vyake na vilivyomo ndani

yake vinatokana na dhahabu. Na hakuna kinachozuia baina ya watu na

kumtazama Mola wao isipokuwa lile vazi la kibri (utukufu na ukuu) chake

lililopo katika dhati yake.538

Kwa hivyo, sababu ya kutoonekana kwa Allah ni vazi lake la kibri na

utukufu kama Aya zinavyoashiria na Hadithi inavyotongoa; ama sababu tatu

zilizotolewa na watetezi wa itikadi ya kumuona Allah ni sababu za kifalsafa

ya mwenye kutaka kuihalalisha itikadi aitakayo. Baada ya hayo, utaona

kwamba tumebakiwa na suali moja, nalo ni kuwa: ikiwa kibri na utukufu

ndio sababu mutlaq (ya moja kwa moja) ya duniani na akhera ya

kutoonekana kwa Allah: je kuna siku au wakati ambao Allah atalivua vazi

lake la kibri na utukufu ili iwezekane kumuona? Nadhani jawabu iko wazi

kwa kila:

a) Mwenye kutafakari.

b) Mwenye kujifungua pingu za umadhehebu.

c) Mwenye kukataa kubururwa kama gogo.

538

- Kapokea Al-Imamu Al-Bukhari na Al-Imamu Muslim katika j. 2 Hadithi na. 296, na

wote wameipokea kutoka kwa Abu Musa Al-Ash‟ari.

Page 175: Fimbo ya Musa

175

SURA YA SITA HOJA ZA KIMAANDISHI ZA WENYE

ITIKADI YA KUMUONA ALLAH

Baada ya kuona hoja za kiakili za wale wenye itikadi ya kumuona Allah

sasa natugeukie kwenye hoja zao za kimaandishi. Andiko la msingi katika

Qur-an wanalolitegemea wale wenye itikadi ya kumuona Allah ni Aya

inayosema:

ذ اضر ى ا اظرإ ***ج ه رب

(Kuna) nyuso siku hio zitang‟ara***Kwa Mola wake tu ndiko

zitakakotazama.539

Hoja yao katika Aya hii imegawika katika sehemu mbili:

1) Moja ni ushahidi wa kilugha uliomo ndani ya Aya yenyewe.

2) Pili ni riwaya zilizokuja kuifasiri Aya hii kuwa maana yake ni

kumuona Allah.

Ama maelezo juu ya nukta ya kwanza ni kuwa wao wanasema kwamba

neno nadhar – ambalo ndilo lililotumika katika Aya hio – maana yake ni

kutazama na linapokuja namna hii hali ya kuwa limefuatana na herufi ilaa –

kama ilivyo hapo katika Aya hio – basi huwa halina maana isipokuwa

kuona tu. Na kwa hivyo, maana ya Aya hizi si vyengine isipokuwa ni:

“Kuna nyuso siku hio zitang‟ara, huku zikimuona Mola wake”.

Anasema Al-Jawhari:

ظظس، كوي أهطؤ ل حؼد ؼ٠ ه: ا٠ رخ خظس رؼ٠ ص ا٠ ـل طو: ظ هخ: ا

، اخ طو ظص كالخ أ١ حظظط ه حلط٤جش: ح٢ء رؼ٠ حظظط

س ا ٣ خء خى ط ٢**هي ظ خ ١ ط ى ١خ رخ ك

ح ، ـكبح هض: ظص ا٤ ٣ ال رخؼ٤، اح هض: ظص ك٢ حل حكظ أ ٣ طل

ح رخوذ. ر طي

Na aliyesema kwamba kauli yake Allah: “Kwa Mola wake tu (nyoso

hizo) zinatazama” maana yake ni kuwa “nyuso hizo zitakuwa ni zenye

539

- Sura ya 75 Aya ya 22-23.

Page 176: Fimbo ya Musa

176 kungoja” basi huyo kakosea kwani Waarabu hawasemi: nadhartu ilaa

shay-in (nimekitazama kitu) kwa maana ya kuwa “nimekingojea”, bali wao

husema: nadhartu fulanan540

(nimemtazama fulani) wakimaanisha

“nimemngojea”. Na mfano wa hayo, ni pale mshairi aitwaye Al-Hutaia

aliposema:

Na nimekutazameni (nimekungojeni) kama wanavyongojea

ngamia wenye kutoka kwenye kunywa maji (na wakawa

wanasubiri zamu yao tena)***Kwa sababu ya kiu,541

(basi ukawa)

umerefuka mno kwayo mwendo mlaini na mwendo wa nguvu.

Basi ukiwa utasema: “nadhrtu ilaykum (ukaweka neno ilaa) basi haina

maana nyengine isipokuwa kutazama kwa jicho tu (yaani kuona) na

ukisema: nadhartu fii al-amri (nimetazama katika jambo hili) basi

inawezekana ikamaanisha kufikiri na kuzingatia kwa moyo.542

Anasema „Abdul Malik bin „Abdil Malik bin Yusuf:

٠ـ٣ظي ػ٠ ؿح حإ٣ش أخ ظ ك٢ حـخ ػيح هللا يهخ هل كوخ رو طؼخ

خس ا٠ رخ خظس حظ اح ػي١ د ا٠ حهظ٠٠ إ٣ش حز ؿ ٣ج

Na ushahidi juu ya kujuzu kumuona (Allah) na kwamba kumuona huko

kutakuwa katika pepo nayo ni ahadi ya Allah ilio ya kweli na ni kauli ya

haki itokayo kwake kwa ushahi wa kauli yake aliposema: “Nyuso siku

hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu ndio zinatazama”. Na neno nadharu

likifuatana na herufi ilaa basi maana yake ni kuona kwa macho….543

Anasema Ibn „Ujaiba:

حظػ٠ حلظظخ ل رخ، أ ؼحرخ، ل ٣ــــــــق هـــالكخ حلظؼظش؛ ـــك ظخــــــل

ي ا٠ حؿ، ، غ أ ل ٤٣ن حلظظخ« ا٠ » أ٠٣خ حظؼ رؼ٠ حلظظخ ل ٣ظؼي د ل ٣

ك٢ ىح حوح .

Na kulifasiri neno nadhar (hapa) kuwa maana yake ni kulingojea jambo la

Mola wake au thawabu zake haiwezekani kinyume na wanavyosema

Mu‟utazila, kwani neno kungojea hailitegemezwi na nyuso (haisemwi

kuwa uso unangojea). Pia neno nadhar linalotumika kwa maana ya

kungojea basi huwa haliambatani na herufi ilaa; vivyo hivyo haiwiyani

kuwa kule kwenye makazi ya utulivu kuwe bado kuna kungejea.544

540

- Bila ya kutia herufi ilaa. 541

- Neno wird hutumika kwa maana ya kiu kama ilivyo katika surat taaha, lakini asili

yake hasa ni kwenda kwenye maji kwa ajili ya kunywa kama alivyoeleza Al-Zamakhshari. 542

- Al-Jawhari Tahdhibu Al-Lugha j. 5, uk. 40. 543

- „Abdul Malik bin „Abdil Malik bin Yusuf Lam‟u Al-Adillah uk. 117. 544

- Ibn „Ujaiba Tafsiru Ibn „Ujaiba j. 6, uk. 463.

Page 177: Fimbo ya Musa

177

Anasema „Alaau-Diin Al-Khaazin:

حؿ اح ق رخظ ػي١ رب٠ ٣لظ ؿ٤ حإ٣ش ، أخ ه أظ ا٠ هللا ػ ا٤ي ػ٠

هللا ػ ك٠ي، ك٤ حظ ا٠ حؿـــ ٣لــــظ ظـــ حوذ اخ ٣ـــــ ك٠ ـــؼ٠ أطهغ

ـــكبحأي حظ ا٠ حؿ ٣لظ ظ حوـذ، ل حظظخ اح رط ا٠ حؿ،ح اح ٣ي

إ٣ش ال ا ن ي ػ٤ ... حؼ٤خ ٣زن زوخء ح

Na uso ukisemwa kuwa umetazama na ukafuatana na herufi ilaa basi huwa

hakuna maana nyengine isipokuwa ni kuona tu; ama kauli yake („Utbat bin

„Umair) aliposema Andhuru ilaa Allahi thumma ilayka (namtazama Allah

kisha nakutazama wewe) kwa maana kwamba natazamia fadhila za Allah

kisha ndio fadhila zako, basi linakuwa neno nadhar (kutazama)

lililotegemezwa na uso halibebi maana ya nadhar (kutazama) ya moyo;

bali hilo (la kusema: Andhuru ilaa Allahi thumma ilayka (namtazama Allah

kisha nakutazama wewe) linajuzu ikiwa neno nadhar halikutegemezwa na

uso. Ama neno nadharu (kutazama) likitegemezwa kwenye uso (ikasemwa

uso unamtazama) basi hili huwa halina maana ya kutazama kwa moyo

wala halina maana ya kungojea. Na ikiwa maana mbili hizo (ya kutazama

kwa moyo na ya kungojea) ni batili (hapa) basi hakuna maana nyengine

iliobakia isipokuwa maana ya kuona tu, hata ikiwa maana hio itakuwa ni

nzito juu yao (wenye itikadi ya kutoonekana kwa Allah).545

Anasema Al-Imamu Al-Fakhru Al-Razi:

: ٣و أزظش رلف ا٠ و طؼخ٠أل: أ حظ ححى رؼ٠ حلظظخ ؼ٤ ك٢ حوآ،

{ }حظخ ٣ { ……… و ظ ز ا ل ط ؤ ظ ٣ ………ه : } ظ ٣ { هللا { ح١ يػ٤ أ حظ حو رلف ا٠ حؼي١ ا٠ حؿ ٤ ال رؼ ا ل أ ٠ ـ٣ ؤ ط ٤

.…حإ٣ش

Mosi: ni kuwa neno nadhar lililokuja kwa maana ya kungojea limekuja

sana katika Qur-an, lakini kamwe halikupata kufuatana na herufi ilaa.

Mfano (wa neno nadhar lililokuja kwa maana ya kungojea) ni kama Aya

inayosema: undhuru-naa naqtabis min nuurikum (Tungojeni ili tuifuate

nuru yenu); na Aya isemayo: hal yandhuruna illaa ta-awilah (hakuna

wanachokingojea isipokuwa matokeo yake);546

na Aya isemayo: hal

yandhuruna illaa an ya-atiyahumu Allahu (hawana wanachokisubiri

isipokuwa kujiwa na Allah).547

Lakini sisi madai yetu ni kuwa neno

nadhar lililofuatana na herufi ilaa na ikawa limetegemezwa kwenye uso

basi hilo huwa halina maana isipokuwa ni kuona……548

Anasema Al-Baydhawi:

545 - Al-Khaazin Tafsiru Al-Khaazin j. 6, uk. 194. J. 7, uk. 185.

546 - Sura 7, Aya 53.

547 - Sura 2, Aya 210.

548 - Al-Imamu Al-Razi Al-Fakhru, Mafaatiihu Al-Ghaib j. 30, uk. 202.

Page 178: Fimbo ya Musa

178

ه٤ ظظس اؼخ ى رؤ حلظظخ ل ٣ي ا٠ حؿ طل٤ رخـش هالف حظخ

Na ikasemwa kwamba (maana ya Aya hio ni kuwa) nyuso hizo zitangojea

neema ya (Mola) wake, lakini ikajibiwa kwamba kungoja hakutegemezwi

na nyuso (haisemwi kuwa uso unangojea).549

Anasema Dr. Ali Al-Faqihi:

هقـــؼخ: حظـــــكب حظ ػيس حظؼخلص، رلذ الط طؼي٣ رل، كب ػي١ رل ك

ي١ رل٢ كؼخ: حظل }حظخ وظز {. و:ـحلظظخ، زخ،ـــــــ حلػظــــــــا ػ

ي١ رب٠ ك ححص حل{. صــح كـ٢ ـــو: }أ ٣ظ ؼخ٣شــــــــؼخ: حـــــا ػ

٤ق ا٠ حؿ ح١ ل حز؟أ احػ اح أػ{، ك٤ق : }حظح اـ٠ــرخلرخ، و

Kwa hakika neno nadhar lina matumizi mengi kwa mujibu wa nini

kimeungana nalo au haikuangana na kitu. Ikiwa halikuambatana na herufi

yoyote ile basi maana yake ni kusimama na kungojea kama ilivyo Aya

isemayo: undhuru-naa naqtabis min nuurikum (Tungojeni ili tuifuate

nuru yenu).550

Na likiwa neno hilo litaambatana na herufi fii basi maana

yake ni kutafakari kama ilivyo Aya isemayo: awalam yandhudhuruu fii

malakuti al-samaawaati wa al-ardhi (Basi wao hawatazami katika

ufalme wa mbinguni na ardhini).551

Na ikiwa neno nadhar litafuatana na

herufi ilaa basi maana yake ni kuona kwa macho kama ilivyo Aya

isemayo: undhuruu ilaa thamarihi idhaa ithmar (yatazameni matunda

yake unapozaa),552

basi vipi ikiwa neno hilo nadharu limetegemezwa na

uso ambapo ndio mahala pa kuonea?553

Anasema Safr bin „Abdil-Rahmaan:

ـ ح ش ح ش ٣ى ػ٤ هخح: أل : اخكش حظ ا ٠ حؿ ح١ ــي خ أه أ خػ ـــــ

.........حيحش ل حوحث اح طؼي حظ رب٠ ٣ ك٢ ؼ٠ .......كف ؿ ”ا٠“، ػ

ظص ا ٠ ح، ٣ؼ٢: أ٣ظ رخؼ٤ حل٤ش حؼكش. حلظظخ اخ أزق رؼ٠ حظ،

Kwa hivyo, Ahlu Al-Sunna Wa Al-Jama‟a walipoanza kuwarudi,

walisema: „kwanza kulitegemeza neno nadhar katika uso ambapo ndipo

mahala pake ni katika jumla ya qarina zenye kuonesha kwamba

kilichokusudiwa hapa ni maana ya uhakika (wa neno nadhar)....... kisha

herufi ilaa ni herufi ya kutia kisra.....na neno nadhar likifuatana na herufi

ilaa basi halina maana ya kungoja, bali linakuwa na maana ya kutazama.

549

- Al-Baydhawi Tafsiru Al-Baydhawi j. 5, uk. 350. 550

- Sura 57, Aya 13. 551

- Sura 7, Aya 185. 552

- Sura 6, Aya 99. 553

- Ali Al-Faqihi Al-Raddu Al-Qawiim j. 1, uk. 127.

Page 179: Fimbo ya Musa

179 Ukisema: nadhar-tu ilaa kadha, basi maana yake nimekiona kwa jicho

langu la hisia lenye kujulikana.554

Hayo ndio maelezo ya wenye itikadi ya kumuona Allah siku ya kiama

kuhusu muundiko wa kilugha wa neno nadhar uliomo katika Aya hio

isemayo: “(zipo) Nyuso siku hiyo ni zenye kung‟ara** Kwa Mola wake tu ni

zenye kutazama”. Maelezo hayo ndio alioyategemea Sheikh Kasim bin

Mafuta aliposema:

Miongoni mwa hoja za wenye kuthibitisha kuonekana Allah huko

akhera kwa macho ni pale aliposema Allah:

.خظس رخ ا٠***خس ٣ج ؿ

Zipo nyuso siku hiyo ni zenye kung‟ara* Ni zenye

kumwangalia (kumuona) Mola wake.555

Aya hii ni miongoni mwa hoja zilizowazi ambazo Ahlu-Sunna

wanazitegemea katika kuthibitisha kwamba watu wema watamuona Mola

wao huko akhera kwa macho yao. Na kuna hoja nyingi zinazoipa nguvu

hoja hii yenye kuthibitisha kuonekana Allah –Azza wajallah- huko akhera

kwa macho: kuna hoja za ndani na hoja za nje. Hoja za aina ya kwanza ni:-

Hoja za ndani, ni muweko wa neno hili katika upande wa kilugha, kwa

sababu limetumika neno “Naadhirah” ambalo limenyambuliwa kutokana

na asili ya neno “Nadharan”, na likawa neno hili limekuja baada ya herufi

“ILAA”, na kwa mujibu wa kanuni za lugha ya kiarabu linapokuwa neno

hili limekuja baada ya herufi hiyo maana yake ya asili ni kutazama kwa

macho. Na kwa bahati nzuri hata wale wenye kupinga kuonekana Allah

huko akhera wanakubaliana na sisi katika hilo, na ushahidi wa madai haya

ni kauli ya ndugu Juma M. Al-Mazrui aliposema katika ukurasa wa 53 wa

kitabu chake, pale alipokuwa akielezea maana za neno “AL-NADHARU”:

“Tukitazama maana ya neno hili: “ (al-nadharu) kupitia kiyoo cha Qur‟an

tunakuta ni:

1)Kutazama kikawaida kwa macho: NA HII NDIO MAANA YA MSINGI

YA NENO HILO…”.. Mwisho wa kunukuu.

Kama ndugu Juma anakubaliana na sisi kuwa neno “AL-NADHARU”

maana yake ya asili ni kutazama kwa macho, basi anatakiwa pia akubali

kwamba kwa mujibu wa kanuni za lugha ya kiarabu ambazo wataalamu

wote wa lugha hiyo wamekubaliana ni kuwa: maana ya kwanza

554

- Safr bin „Abdil-Rahmaan Sharhu „Aqiidati Al-Tahaawiya uk. 1726. 555

- Surat al-Qiyamah aya 22-23.

Page 180: Fimbo ya Musa

180 inayozingatiwa katika matumizi ya neno ni kulitumia neno katika maana

yake ya asili kwanza, kabla hatujakwenda katika maana nyingine.556

Kwa hivyo, mukhtasari wa yote hayo yaliotangulia katika kuielezea Aya hio

kilugha ni kuwa:

1) Neno nadhar lina matumizi mingi.

2) Maana ya msingi ni kutazama.

3) Maana nyingi hizo zinaeleweka kwa mujibu wa herufi gani

ilioambatana nayo au kwa kutokuwepo kwa herufi kabisa.

4) Kama halikuambatana na kitu, basi linamaanisha kusimama na

kungoja.

5) Likifuatana na herufi fii maana yake ni kutafakari na kuzingatia.

6) Likifuatana na herufi ilaa maana yake ni kuona kwa macho.

7) Na ikiwa litafuatana na herufi hio na likategemezwa kwenye uso

ikasemwa “nadhara al-wajhu uso unatazama” basi hapo ndio

imethibiti kabisa kwamba maana yake ni kuona tu kwani uso ndio

mahala pa kuonea.

Huo ndio mukhtasari wa maelezo yao ya kilugha yanayolihusu neno nadhar

katika Aya hio ya suratl-qiyaama. Nayo ni maelezo batili kama utavyoona

ufafanuzi wetu katika sehemu inayofuta.

MAANA YA NENO NADHAR

Baada ya maelezo hayo, yaliotangulia ndugu msomaji, elewa kwamba kuna

wanavyuoni wengine kadha wa kadha wa umma huu ambao

hawakukubaliana na maelezo hayo; na wao nao wametoa maelezo yalio

kinyume na hayo. Na ikiwa kuna waliodai hivi na waliodai vile, basi kwa

kawaida ni kuwa kila mmoja anaambiwa: “lete ushahidi wako juu ya

ulioyanena”.

Kwa kuanzia, natuitazame nukuu ambayo Sheikh Al-Khalili kainukuu

kutoka kwa baadhi ya wanavyuoni wa lugha. Anasema:

٣حى يـــــ، هـــــحظؤ حللحظ أ٠٣خ طو٤ذ حز٤س إلىحى ح٢ء إ٣ظ، هي ٣حى ر

هي خع حظ رؼ٠ حلظظخ.………رـــــــ حؼـــــكش حلخش رؼي حلل

Na neno Al-Nadharu maana yake ni kubiruza jicho ili ukifikie kitu na

kukiona, na huenda ikakusudiwa kwa neno hilo maana ya kutafakari na

kupekuwa; na huenda ikakusudiwa kwa neno hilo maana ya kujua

556

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 52-53.

Page 181: Fimbo ya Musa

181 kunakopatikana baada ya kupekuwa…..na (pia) imekuwa mashuhuri

kulitumia neno hilo Al-Nadhar kwa maana ya kungojea.557

Hivyo ndivyo ilivyo katika makamusi ya lugha, nayo ni maneno ambayo

yana ushahidi imara katika Qur-ani, Sunna na maneno ya Waarabu

wenyewe. Katika Qur-ani tunakuta maana ya kutazama ya neno hilo katika

Aya kama:

كظ ظس ك٠ حـ

Basi akatazama katika nyota.558

Neno nadhar liko katika maana yake ya asili ya kutazama. Nalo limefuatana

na herufi fii wala halina maana ya kutafakari, tafauti na walivyodai baadhi

ya watetezi wa itikadi ya kumuona Allah.

Pili: ni maana ya kuona au kujua, kama ilivyo katika kauli ya Mwenyezi

Mungu aliposema katika Qurani:

٣ ٣ظ حء خ هيض ٣يح

Siku ambayo mtu ataona yale yaliyotangulizwa na mikono yake.559

Tatu: maana nyengine ni kuzingatia na kutafakari, ikiwa baada ya kutazama

au bila ya kutazama, kama alivyosema Mwenyezi Mungu:

أك ٣ظح ا ٠ أخء كه ٤ق ر٤خخ

Basi je hawatazami mbingu juu yao namna tulivyozijenga?

(Yani je hawatafakari na kuzingatia?) 560

Na mfano wake ni Aya yenye kusema:

ا ٠ حإلر ٤ق هوضأكال ٣ظ

Basi je hawamtazami ngamia namna alivyoumbwa.561

Na Aya yenye kusema:

557

- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 42. 558

- Sura ya 37 Aya ya 88. 559

- Yani atakapoona malipo ya matendo yake. Sura ya 78 Aya 40. 560

- Surat ya 50 Aya ya 6.

561 - Yaani kutafakari kudra za uumbaji wa Mwenyezi Mungu juu ya ngamia. Sura ya 88

Aya ya 17.

Page 182: Fimbo ya Musa

182

ك٤ظ حإلخ هن

Basi naatazame binadamu kaumbwa kutokana na kitu gani.562

Nne: ni kungojea, kama ilivyo katika Aya nyingi, miongoni mwa hizo ni

pale Mwenyezi Mungu aliposema:

٣ ٣و حخكو حخكوخص ٣ آح حظخ وظز

Siku watakaposema wanafiki wanaume na wanafiki wanawake

kuwaambia Waumini tungojeni tuchukue nuru yenu.563

Na Aya yenye kusema:

خ ٣ظ ال ٤لش حكيس

Hawana wanachokingojea isipokuwa ukelele mmoja.564

Hizo ndio maana tafauti zilizomo katika neno hilo nadhar. Kama

umelielewa hilo, basi elewa kwamba kawaida za elimu ya tafsiri ya

maandiko ni kuwa neno likiwa na maana nyingi basi huwa ushahidi wake

umeporomoka ila kwa kuwepo ushahidi mwengine wenye kuipa uzito

maana moja iliokusudiwa katika maana nyingi hizo. Utakumbuka kwamba

katika vitabu vyetu tafauti tumetoa mfano wa neno la Kiarabu nalo ni

neno„ain ambalo lina maana nyingi, na tukatoa mfano wa neno la Kiswahili

nalo ni neno mto na kwamba ikiwa nitasema: “mto” kisha nikanyamaza,

basi huwezi kujua je ninakusudia mto wa maji au mto wa kulalilia. Lakini

nikisema “ninakwenda kwenye mto kukoga” basi hapo tayari umejua nini

nilichokikusudia. Neno kokoga ndio qarina ambayo imebainisha nini

makusudio yangu ya neno mto. Halkadhalika neno nadhar kwa sababu ni

neno lenye matumizi mingi, basi kunahitaji kuwe na qarina ambazo

zinabainisha nini makusudio yake. Hayo tumeyaeleza katika kitabu Hoja

Zenye Nguvu na tukatoa mifano hio kwa urefu zaidi.

Ukiwa utanena:

Lakini usisahau ewe Juma Al-Mazrui kwamba kanuni pia ni kuwa neno

halitolewi katika maana yake ya asili pasina sababu au pasina qarina, na

562

- Sura ya 86 Aya ya 5. Yaani naatafakari binaadamu katika maumbile yake. 563

- Sura ya 57 Aya 13.

564 - Sura ya 36 Aya ya 48:

Page 183: Fimbo ya Musa

183 maana ya asili ya neno hilo ni kutazama kwa macho, sasa kwanini wewe

umelitoa katika maana yake ya asili na kulipeleka katika maana nyengine?

Ukiniambia hivyo, nitakujibu kwa jawabu utayoiona humu kwa ufafanuzi

katika sehemu yake in shaa Allah. Ninasema: lakini tatizo ni kuwa wenye

itikadi ya kumuona Allah nao wanasema kuwa qarina katika Aya hiyo zipo

zenye kubainisha kuwa maana ya neno nadhar hapo ni kuona yaani ni

kumuona Allah. Qarina zenyewe ndizo hizo ambazo tumezinukuu kabla.

Nazo:

1) Kufuatana kwa neno hilo herufi ilaa.

2) Kutegemezwa neno hilo kwenye nyuso ikasemwa kwa “kuna nyuso

siku hio zitang‟aa**kwa Mola wake tu zitakuwa zinatazama.

Ama Sheikh Kasim bin Mafuta yeye, pamoja na kunijibu hivyo,565

pia

alinijibu kwamba kutazama kwa macho ndio maana ya msingi ya neno hilo

kama mimi mwenyewe nilivyokiri na kanuni ni kuwa maana ya msingi ya

neno ndio inayozingatiwa. Anasema Sheikh Kasim bin Mafuta:

Na kwa bahati nzuri hata wale wenye kupinga kuonekana Allah huko

akhera wanakubaliana na sisi katika hilo, na ushahidi wa madai haya ni

kauli ya ndugu Juma M. Al-Mazrui aliposema katika ukurasa wa 53 wa

kitabu chake, pale alipokuwa akielezea maana za neno “AL-NADHARU”:

“Tukitazama maana ya neno hili: “ (al-nadharu) kupitia kiyoo cha Qur‟an

tunakuta ni: 1)Kutazama kikawaida kwa macho: NA HII NDIO MAANA

YA MSINGI YA NENO HILO…”.. Mwisho wa kunukuu.

Kama ndugu Juma anakubaliana na sisi kuwa neno “AL-NADHARU”

maana yake ya asili ni kutazama kwa macho, basi anatakiwa pia akubali

kwamba kwa mujibu wa kanuni za lugha ya kiarabu ambazo wataalamu

wote wa lugha hiyo wamekubaliana ni kuwa: maana ya kwanza

inayozingatiwa katika matumizi ya neno ni kulitumia neno katika maana

yake ya asili kwanza, kabla hatujakwenda katika maana nyingine.566

Nami ninamjibu kwamba mimi nilivyosema ni hivi:

…..neno hili س naadhira (zenye kutazama), ambalo limetumika katika خظ

sura hii, lina maana nyingi katika lugha ya Kiarabu: yani ni pana zaidi

kimaana kuliko neno ru-uya حإ٣ش (kuona). Kwa sababu mtu anaweza

akasema, na ikakubalika katika lugha ya Kiarabu:

ص ظ أ ك ال ا ٠ ح

565

- Yaani hivyo, nilivyoifanyia mukhtasari jawabu yao katika kifungu (1) na kifungu (2). 566

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 53.

Page 184: Fimbo ya Musa

184 Nimeutazama mwezi lakini sikuuona.

567

Lakini hawezi akasema, bali haikubaliki kilugha wala kiakili, kusema:

ض ٣ أ أ ك ال ح

Nimeuona mwezi lakini sikuuona.568

Na tutakapotazama katika makamusi ya lugha ya Kiarabu, tutakuta

kwamba neno hili حظ “al-nnadharu” maana yake ni: “kugeza jicho

katika jaribio la kutaka kuona, ukaona au usione”. Kwa maana hii basi,

neno “kutazama” halimaanishi kuwa mtu lazima aone. Kama

ilivyomaanisha kauli ya Mwenyezi Mungu pale aliposema katika Kitabu

chake Kitukufu:

أظ ك٤ج طظ* ل أهد ا٤ ل طز

Na nyinyi wakati huo munatazama, na sisi tupo karibu zaidi

na yeye kuliko nyinyi lakini hamuoni.569

Zingatia hapa maana ya maneno haya “munatazama lakini hamuoni”.

Halafu tazama Aya nyengine inavyosema:

طح ٣ظ ا٤ي ل ٣ز

Na utawaona wanakutazama nao hawaoni.570

Baada ya maelezo hayo ambayo tuliyaeleza katika kitabu chetu Hoja Zenye

Nguvu, itakubainikia kwamba ninachokidai mimi ni kuwa maana ya asili ya

neno nadhar ni kutazama; wala sijadai kuwa mwenye kutazama ni lazima

567

- Mfano wake ni kama ilivyo katika Al-Haqqu Al-Daamigh cha Al-Imamu Badru Al-

Din Al-Khalili uk. 43-44. 568

- K.h.j. Nukulu ya kimaana. 569

- Sura 56 ya Aya ya 84-85. 570

- Sura ya 7 Aya ya 197. Wametafautiana hapa wanavyuoni wa tafsiri: wingi wao

wanasema kwamba kinachokusudiwa hapa kwa “wenye kutazama lakini hawaoni” ni

masanamu. Na tafsiri hii ndio inayofahamika kwa kutazama mtiririko wa maneno (context);

kwasababu Aya za nyuma zote zinazungumzia masanamu ya washirikina. Na kwa tafsiri hii

ndio Aya hii inatoa ushahidi wa kuwa kutazama si lazima kufatane na kuona kwasababu

masanamu hayaoni na Aya inasema kwamba yanatazama. Tafsiri ya pili ni kuwa wenye

kutazama hapa ni washirikina, na makusudio ni kuwa hawaoni kwa nyoyo zao. Hii ni tafsiri

ya wachache, na sio niliyokusudia kuitolea ushahidi hapa.

Page 185: Fimbo ya Musa

185

aone. Na hayo ni kwa mujibu wa inavyoelewa katika kawaida zetu na

ndivyo Aya hizo tulizozinukuu zinavyoeleza.

Tukirudi tena katika maelezo ya Sheikh Kasim Mafuta aliposema:

Kama ndugu Juma anakubaliana na sisi kuwa neno “AL-NADHARU”

maana yake ya asili ni kutazama kwa macho, basi anatakiwa pia akubali

kwamba kwa mujibu wa kanuni za lugha ya kiarabu ambazo wataalamu

wote wa lugha hiyo wamekubaliana ni kuwa: maana ya kwanza

inayozingatiwa katika matumizi ya neno ni kulitumia neno katika maana

yake ya asili kwanza, kabla hatujakwenda katika maana nyingine.

Ninasema: umenena vyema! Lakini hayo ni pale ambapo hakuna qarina.

Ama pakiwa na qarina ambayo imelitoa neno hilo kutoka katika maana

yake ya asili basi italazimu kulitoa katika maana yake ya asili na kulipeleka

katika maana nyengine ambayo imebainishwa na qarina hususan ikiwa

maana hio ya pili ni maana inayotumika sana kama linavyotumika sana

neno nadhar kumaanisha kungojea. Na utaona baadae ndugu msomaji

kwamba qarina zinaibainisha kwa uwazi kabisa kwamba maana ya neno

hilo katika Aya hio ni kungojea: si kuona. Ninasema tena: hata nyinyi

Sheikh Kasim bin Mafuta mumelitoa neno hilo kutoka katika maana yake ya

asili kwani maana yake ya asili si kuona bali ni kutazama ukaona usione.

Lakini mumelipeleka katika maana ya kuona kwa mujibu wa zile

mulizozidhania nyinyi kuwa ni qarina zenye kuianisha maana hio.

Mukhtasari wa nukta hii ya kwanza ni kuwa:

a) Neno nadhar lina maana nyingi.

b) Maana yake ya asili ni kutazama: ukaona au usione.

c) Kuianisha maana ya kuona au kungojea au nyenginezo

kunahitaji dalili nyengine.

d) Wenye itikadi ya kumuona Allah wametaja mambo kadha wa

kadha kuwa ndio qarina ambayo zimebainisha kwamba

makusudio ya neno hilo katika Aya hio ya 22-23 ya sura 75,

ni kuona yaani ni kumuona Allah.

e) Suali lililobakia ni: je madai yao walioyatoa yana uzito wa

kielimu? Soma jawabu inayofuata ili kuufikia ukweli juu ya

suala hili.

Page 186: Fimbo ya Musa

186

MADAI YAO NENO NADHAR NA JAWABU YA

AHLU AL-HAQQI

QARINA YA KWANZA

Ama tukirudi katika madai yao ya kwanza ya kwamba neno nadhar “likiwa

halikuambatana na herufi yoyote ile basi maana yake ni kusimama na

kungojea kama ilivyo katika Aya isemayo: undhuru-naa naqtabis min

nuurikum (Tungojeni ili tuifuate nuru yenu),571

haya si maelezo yenye

tahqiq za kielimu. Tunasema: neno nadhar limetumika katika Aya kadha

wa kadha bila ya kufungamanishwa na herufi yoyote ile na wala halikuleta

maana ya kusimama na kungojea. Bali huenda likaleta maana ya kuona au

kungoja au kutafakari au maana nyengine kwa mujibu wa qarina zilivyo.

Mifano miwili mitatu itabainisha maudhui. Anasema Allah:

ك٤ظ حإلخ هن

Basi naatazame binadamu kaumbwa kutokana na kitu gani.572

Neno nadhar katika Aya hii limetumika pasina kufuatana na herufi yoyote

ile, je maana ya Aya hii ni: “Binaadamu na asimame na kungoja kutokana

na kitu gani kaumbwa”? Au maana yake ni: “Basi binaadamu na atafakari

kaumbwa kutokana na nini?”

Anasema Allah: ػ ظ..……ا ك هي

Hakika yake alifikiri na akapima (vipi aitukane Qur-ani) -----kisha

akatazama (yaani akatafakari tena mara ya pili).573

Hapa neno nadhar limetumika bila ya kufuatanishwa na herufi yoyote ile,

nalo halikumaanisha kusimama na kungoja, bali limemaanisha kufikiri.

Anasema Allah:

خ ٣ظ ال ٤لش حكيس

571

- Sura 57, Aya 13. 572

- Sura ya 86 Aya ya 5. 573

- Sura ya 74 Aya ya 18 -21. Hizi ni habari ambazo Allah anazielezea kuhusu kafiri Al-

Walid bin Al-Mughira, ambaye alikuwa akitafakari namna gani ataitukana Qur-ani baada

ya kuwa haki imeshambainikia.

Page 187: Fimbo ya Musa

187

Hawana wanachokingojea isipokuwa ukelele mmoja.574

Je maana ya Aya hii ni: “Hawasimami na kungojea isipokuwa ukelele

mmoja?”575

Au maana yake ni kuwa “hawana wanachokingojea isipokuwa

ukelele mmoja?” Namna hivi utaona watu hawa wanavyofatuafyatua tu

Wallahu Al-Musta‟aan.!

QARINA YA PILI

Ama madai ya pili ni kwamba neno nadhar “likifuatana na herufi fii maana

yake ni kutafakari na kuzingatia”. Tunasema kwamba madai haya pia si

madai sahihi. Bali kutafakari na kuzingatia kunakopatikana kutokana na

neno hilo ni kwa sababu ya qarina nyengine pasina herufi fii. Na kama ni

hivyo kwamba neno nadhar “likifuatana na herufi fii maana yake ni

kutafakari na kuzingatia”, basi mutaifanyaje riwaya yenu munayoitegemea

ya kuthibitisha kuonekana kwa Allah – ta‟aala Allah „an dhaalik – huko

akhera? Riwaya yenu ya kufinyanga inasema:

٠ أ ى أ ا ه ش ٢ ل أ ٠ ك ظ ٣ ش ش ـ ح خ ٢ ك ظ ـــــ ٣ ش ٠ ك أ ا :

. ه ٤ ط ـــ ٣ ــ هللا ؿ س ه ال ط ػ خ خ ج ٣ ؿ : ر خ ٤ ز خ خ ه ،خء ل ح خ خ ر : ا ٠

س ه خظ ؿ ػ هللا ؿ ٢ ك ٣ ظ ط :خ

Hakika ya watu wa daraja ya chini kabisa katika pepo ni wale

watakaoutazama ufalme wao (masafa ya) miaka elfu mbili; na walio bora

wao ni wale watakaoitazama Dhati ya Mwenyezi Mungu kila siku mara

mbili. Kisha (Mtume baada ya kusema hayo) akasoma Aya (zinazosema):

“(kuna) Nyuso siku hio zitang‟ara”. Akasema: “kwa sababu ya weupe

wake na usafi wake”. “Kwa Mola wake ndiko zinakotazama”. Akasema:

zinatazama katika Dhati ya Mwenyezi Mungu Mtukufu Aliyetukuka kila

siku.576

Hadithi hii inasema kwamba Allah ataonekana huko peponi. Na katika

kuthibitisha hilo, imetumia neno nadhar likifuatana na herufi fii. Sasa kwa

mujibu wa falsafa zao za lugha ya Kiarabu, basi maana itakuwa si kumuona

Allah bali ni kumtafakari Allah asubuhi na jioni kwani neno nadhar katika

Hadithi hio limefuatana na herufi fii na linapokuja kwa mfumo huo – kwa

574 - Sura ya 36 Aya ya 48.

575 - Yaani ninachokikanusha ni ulazima wa kumaanisha neno hilo kwa maana mbili kwa

pamoja kwa sababu ya kutofuatana na herufi yoyote ile. Hapa neno hilo halikufuatana na

herufi yoyote ile, lakini limemaanisha maana moja tu ya kungojea. 576

- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29, uk. 120.

Page 188: Fimbo ya Musa

188

mujibu wao – basi huwa linamaanisha kutafakari! Ninasema: bali madai

hayo kwamba neno nadhar “likifuatana na herufi fii maana yake ni

kutafakari na kuzingatia” yanabomolewa na maandiko kadha wa kadha

ambayo ndani yake limetumika neno hilo likifuatana na herufi hio pasina

kumaanisha kutafakari wala kuzingatia. Kwa mfano Aya isemayo:

كظ ظس ك٠ حـ

Basi akatazama katika nyota.577

Hapa neno nadhar limefuatana na herufi fii, lakini maana ya Aya hii ni

kuwa Nabii Ibrahim: “Alitazama kwenye nyota”. Wala si maana yake kuwa

alizitafakari na kuzizingatia nyota.

Ama katika Hadithi, kuna riwaya kama:

ك ٣ ػ٤ حزـــ٢ ٠ أـغخ غ هللا ٠ هللا ػ٤ رو٤ز كخص ؿ

.…هللا ػ٤ كزح ٣ظ ك٢ ظخػ كؿيح ك٤ هح

Tulikuwa pamoja na Mtume (s.a.w.) huko Khaibar, basi akafa mtu wa

kabila la Ashja‟i, Mtume (s.a.w.) akakataa kumsalia, basi wakenda

kutazama katika mizigo yake wakakuta ndani yake kuna kharaz….578

Hadithi inasema: “wakenda kutazama katika mizigo yake”, neno

lililotumika hapa kumaanisha kutazama ni neno nadhar na limefuatana na

herufi fii. Je maana ya Hadithi hii ni: “walikwenda kuitafakari na kuizingatia

mizigo yake?” Au maana ni: “walikwenda kutazama kwa macho nini

kilichomo katika mizigo yake”.

Inasema riwaya nyengine:

٠ هللا ػ هللا ى ى ال س ط ٠ ح خ ه ٠ ، ك ـ ل ال س ح ك ٢ آ٣ ش ك ٢ ؿ ٤ ك ٢ ـــ ظ

و ح

Mtume (s.a.w.) alisitasita katika Aya fulani katika sala ya asubuhi,

alipomaliza kusali alizitazama nyuso za watu (waliokuwa wakisali nyuma

yake).579

Je maana ya maneno ؿ ك ٢ alizitazama nyuso za watu ni “alizitafakari ظ

na kuzizingatia nyuso za watu?” Au maana yake ni kuzitazama kwa macho?

577

- Sura ya 37 Aya ya 88. 578

- Al-Tabarani Al-Kabiir j. 5, uk. 230, Hadithi na. 5175. Kharaz maana yake ni mdungo,

kama tasbihi, shanga au kidani. 579

- Al-Haithami Bughyatu Al-Bahith j. 1, uk. 268, Hadithi na. 148.

Page 189: Fimbo ya Musa

189

Inasema riwaya nyengine:

ا هللا ظ ك٢ هد حؼزخى كؿي هذ لي ه٤ هد حؼزخى كخطلخ ل

Hakika ya Allah aliitazama mioyo ya waja, akaukuta moyo wa Muhammad

kuwa ndio bora wao, basi akamchagua.580

Jamani na huyu Allah naye anafikiri na kuzingatia? Hadithi inasema:

…………….... ا هللا ظ ك٢ هد حؼزخى Hakika ya Allah aliitazama mioyo ya

waja. Neno lililotumika kumaanisha kutazama hapa ni lile lile neno nadhar

na limeambatana na herufi ile ile fii.

Inasema riwaya nyengine:

ل آس ك ٠ ح ظ : أ ػ حر خك غ ػ .ػ

Kutoka kwa Nafi‟i kutoka kwa Ibn „Umar kwamba yeye alitazama kioo

naye ni mwenye kuhirimia.581

Je maana ya riwaya hii ni kuwa Ibn „Umar alikitafakari na kukizingatia kioo

naye alikuwa ni mwenye kuhirimia? Au maana yake ni kuwa alijitazama

kwenye kioo naye ni mwenye kuhirimia ikimaanisha kwamba kitendo hicho

hakibatilishi hijja na umra?! Baada ya nukulu hizi, sina budi kusema

kwamba imembainikia kila mwenye akili – licha ya mwenye elimu –

kwamba madai ya kuwa neno nadhar likifuatana na herufi fii linammanisha

“kufikiri na kuzingatia”, si madai sahihi. Tunasema: maana hizo zinaweza

kufahamika kutokana na qarina nyengine pasina herufi fii.

QARINA YA TATU

Ama madai ya tatu ni kuwa neno hilo nadhar likifuatana na herufi ilaa basi

maana yake ni kuona kwa macho tu: si nyengine. Na kwa msingi huu,

maana ya Aya yenye kusema: س خ خظ ر ا ٠ (Nyuso hizo) kwa Mola wake tu

zitakuwa zinatazama), basi ni kuwa nyuso hizo: “Zitakuwa ni zenye kumuona

Mola wake”, kwani neno nadhar hapa limefuatana na herufi ilaa. Na kwa hivyo,

herufi ilaa hapa ni qarina ilobainisha maana iliokusudiwa!

Nasi tunasema kwamba madai haya pia si sahihi na tumeshayajibu kwa

urefu katika kitabu Hoja Zenye Nguvu wala Kasim Mafuta hakuja na jawabu

580

- Al-Bazzaar Al-Bahru Al-Zakhaar j. 5, uk. 212, Hadithi na. 1816. Ibn Hajar Itrafu Al-

Musnad j. 4, uk. 136, Hadithi na. 5479. 581

- Al-Imamu Al-Shafi Al-Musnad uk. 365.

Page 190: Fimbo ya Musa

190

yoyote ile juu ya yale tulioyasema isipokuwa kukariri yale yale ambayo

tumeshayajibu. Katika kitabu Hoja Zenye Nguvu tulisema kwamba ushahidi

unaofuata – katika Qur-ani, Sunna, na lugha ya Waarabu – unabomoa madai

hayo. Ama katika Qur-ani, tuna Aya yenye kusema:

ا ح٣ ٣ظ رؼي هللا أ٣خ ػخ ه٤ال أجي ل هالم ك٢ ح٥هس ل ٣ هللا ل

٣ظ ا٤ ٣ حو٤خش

Hakika ya wale wanaouza ahadi ya Mwenyezi Mungu na viapo vyao

kwa thamani ndogo, basi hao hawana fungu huko akhera, na wala

Mwenyezi Mungu hatowasemesha, na wala hatowatazama siku ya

kiama.582

Katika maneno haya yanayosema: “Mwenyezi Mungu hatowatazama”

limetumika neno lile lile nadhara583

na limefuatana na herufi ile ile “٠ ”ا

“ilaa” ambayo watetezi wa itikadi ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu

wamesema kwamba likifuatana noyo halileti maana nyengine ila “kuona,”.

Suali ni kuwa je hapa katika Aya hii neno nadharu limemaanisha „kuona‟?

Ikiwa ndio basi tafsiri ya Aya hio itakuwa hivi:

Hakika ya wale ambao wanaouza ahadi ya Mwenyezi Mungu

na viapo vyao kwa thamani ndogo, basi hao hawana fungu

huko akhera, na wala Mwenyezi Mungu hatowasemesha, na

wala hatowaona siku ya kiama!

Hio ndio tafsiri ya Aya hio kwa mujibu wa kanuni ya kuchonga ya watetezi

wa itikadi ya kumuona Allah, kwa sababu Aya inasema “wala

hatowatazama” kama ilivyo katika sehemu hii ya Aya : “ ٤ ا ظ ٣ ل ” wa

laa yandhuru ilaa-yhim, kwa hivyo tafsiri na-iwe “wala hatowaona” badala

ya kufasiri “wala hatowatazama” kwa sababu sharti walizozitoa ili neno

nadharu lilete maana ya kuona tayari zimepatikana. Sasa Je ni kweli

Mwenyezi Mungu hatowaona watu waovu siku ya kiama?

582

- Sura ya 3 Aya ya 77. 583

- Katika maneno haya yanayosema: “Mwenyezi Mungu hatowatazama” limetumika

neno lile lile “ ظ ٣ ” “yandhuru” ambacho ni kitendo kilichopo cha neno “ ظ ”

“nadhara”. Kisha neno hilo likafuatana na herufi ile ile “ا ٠” “ilaa” ambayo watetezi wa

itikadi ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu wamesema kwamba likifuatana noyo halileti

maana nyengine ila “kuona,” kama ilivyo katika sehemu hii ya Aya inayosema: “ ظ ٣ ل

٤ ا ” (wala hatowatazama). Na hili neno “ “ “him” katika sehemu inayosema “ ٤ ا ”

“ilaihim” lisikubabaishe bure herufi ni ile ile “ ا ٠ ” “ilaa” hapa imechanganyishwa tu kwa

kutegemezwa na neno hili: “ ” “him” ambalo hapa ni mtendwa. Yaani Mwenyezi Mungu

hawatazami wao. Neno “ ” “him” maana yake ni „wao‟.

Page 191: Fimbo ya Musa

191

Aya nyengine inasema:

ا خ ػس كظس ا ٠ ٤س

Na akiwa (mwenye kudaiwa) ni mwenye (hali) nzito (hana

uwezo) , basi mgojeni mpaka awepesike (apate uwezo).584

Hapa neno lililotumika kumaanisha kungojea ni neno ni lile lile nadharu na

limefatana na herufi ile ile “٠ ilaa” na hakuna katika ulimwengu wa“ ”ا

Kislamu aliyesema kwamba hapa neno hilo maana yake ni kuona, bali wote

wanalifasiri neno: nadharu liliomo katika Aya hii kuwa maana yake ni

kungojea.

Hayo ni kwa upande wa Qur-ani. Ama kwa upande wa Hadithi za Mtume

(s.a.w.) ni Hadithi nyingi; moja katika hizo ni Hadithi inayosema:

٣ ٤ ا هللا ظ ٣ ء ال ٤ ه ر ػ ؿ ٤ و ح ش خ

Mwenye kuburura nguo yake kwa sababu ya kibri (chake tu) basi

Mwenyezi Mungu hatomtazama siku ya kiama.585

Katika Hadithi hii neno lililotumika ni lilelile nadharu na likafuatana na

herufi ile ile “ “٠ ا ilaa. Suali: je Mwenyezi Mungu hatomuona mtu huyo

siku ya kiama?

Ama katika lugha ya Kiarabu, ni kauli ya mshairi wa Mtume (s.a.w.), naye

ni Sahaba Hassan bin Thaabit, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi. Anasema

mshairi huyo:

ل ال ف ط ٢ ر خ

٣ ؤ ك **ا ٠ ح حص خظ ر ي ٣ ؿ

Nyuso siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu

alete ushindi.586

Katika ubeti huu wa shairi, neno lililotumika ni lilelile nadharu na

limefuatana na herufi ile ile “ا ٠” ilaa. Suali: je nyuso za Masahaba

zilimuona Mwenyezi Mungu siku hio ya vita vya Badri? Au maana yake

zilingojea na kutarajia ushindi kutoka kwa Mwenyezi Mungu?

584

- Sura ya 2 Aya ya 280. 585

- Al-Rabi‟u bin Habib Al-Jaami‟u Al-Sahih uk. 71. Al-Nawawi Riyaadhu Al-Salihin

uk. 248. 586

- Sheikh Al-Khalili Al-Haqu Al-Damigh uk. 46.

Page 192: Fimbo ya Musa

192

Anasema mshairi mwengine: ىي ىط٢ ؼخ حزل اح ظص ا٤ي ي

Na nilipokutazama wewe kwa sababu ya kuwa kwako ni mfalme**Na

bahari iko chini yako (kwa ukarimu) basi ulinizidishia neema.587

Mshairi anasema kwamba alipomtazama mfalme kwa sababu ya kuwa yeye

ni mfalme. Sasa sijui kwamba kuna mtu mwenye akili yake timamu

anayeweza kusema kwamba neno nadhar (kutazama) – nalo limefuatana na

herufi ilaa katika ubeti huu – maana yake ni kuona ili maana iwe: “na

nilipokuona kwa sababu wewe ni mfalme”.588

Bali maana ya ubeti huo ni:

“nilipokutarajia au nilipokungojea unipe ataya kwa sababu ya kuwa wewe

ni mfalme nawe ni mkarimu kuliko bahari”.

Anasema Al-Imamu Khalil bin Ahmad Al-Farahidi, mwanachuoni mkubwa

wa lugha:

خ أظ ا٠ هللا ػ ا٤ي أ١ أطهغ ك٠ هللا ػ ك٠ي ٣و حوخث ئ ٣ؿ : ا

Na mtu husema kumwambia mtu anayemtarajia: „Hakika mimi

ninamtazama Allah; kisha ninakutazama wewe‟. Yaani natarajia fadhila za

Allah kisha natarajia fadhila zako.589

Lakini Al-Imamu Al-Baydhawi amepinga kuwa neno nadhar katika ubeti

huu maana yake ni kungojea. Sababu yake ni kuwa kungojea hakufuatiwi na

kupewa ataya. Anasema:

رؼ٠ حئح كب حلظظخ ل ٣ظؼوذ حؼطخء .

(Neno nadhar hapa) maana yake ni kuomba kwani kungoja hakufuatiwi na

kupewa ataya! 590

Hivyo ndivyo alivyosema, nayo si maelezo madhubuti, kwani:

587

- Kaitaja Sheikh Al-Khalili katika Alhaqu Al-Damigh uk. 25. Al-Fakhru Al-Razi

Mafatihu Al-Ghaib j. 30, uk. 212. Abu Hayyaan Al-Bahru Al-Muhit j. 8, uk. 380. 588

- Isipokuwa ikisemwa kwamba maana ya maneno hayo ni: كخ ي خ (Hali ya kuwa

wewe ni mfalme). 589

- Al-Khalil bin Ahmad Al-Farahidi Al-„Ain j. 8, uk. 156. 590

- Al-Baydhawi Tafsiru Al-Baydhawi j. 5, uk. 350.

Page 193: Fimbo ya Musa

193

a) Neno nadhar hata kama lina maana nyingi, lakini haikupokewa

kuwa lina maana ya kuomba.

b) Sababu ya kungojea ataya ni kuwa mtoaji ni mfalme, kwa hivyo

mfalme kutoa ataya akawapa watu wake ni jambo linalojulikana,

hakuna haja ya kutangulia ombi.

c) Inawezekana ikiwa mwenye kungoja alikwisha kutanguliza ombi na

ikawa sasa anangojea na huku ana yakini ya kupata akitakacho

kwani muombwa ni mfalme na ni karimu.

d) La mwisho ni kuwa ikiwa ubeti huu hauna maana ya kungoja, basi

beti nyengine nyingi – bali na Aya ya Qur-ani pamoja na Hadithi –

zimemaanisha hivyo.

Anasema mshairi:

ححـ٢ ظ حلو٤ ا٠ ا٢ ا٤ي خ ػيص خظ

Mimi ni mwenye kukitazama (ni mwenye kukingojea) kile

ulichoniahidi**Kama masikini anavyomtazama (anavyomngojea) tajiri

mwenye hali nzuri.591

Nano nadhar hapa limekuja hali ya kuwa limefuatana na herufi ilaa: je neno

hilo hapa limemaanisha kuona? Au maana ni kuwa: “Mimi nakingojea kile

ulichoniahidi kama vile masikini anavyogojea msada wa tajiri?” Jamani!

Tazameni uzuri matumizi ya lugha ya Waarabu, sio mufuate tu kama

bendera kwa sababu: “madhehebu yangu insema” au “fulani kantongoa”.

Anasema mshairi:

ال ع ٤ ؾ ا ٠ ١ ـ ل ح خ *** ظ ـ ظ ال ث ن ٣ و ح

Viumbe wote wanangojea tunuko lake**kama Mahujaji wanavyongojea

mwezi muandamo uchomoze. 592

Anasema Ibn Mubarak – naye ni mtu muhimu katika ulimwengu wa

Kiwahabi – katika nukulu ya Ibn Kathir:

٣ؼ٢ حلخرش –ؼخ٣ش ػيخ لش ك أ٣خ ٣ظ ا٤ ح حطخ ػ٠ حو

591

- Sheikh Al-Mufassirin Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Damigh uk. 52. 592

- K.h.j.

Page 194: Fimbo ya Musa

194 Mu‟awiya kwetu ni mtihani! Tutayemuona anamtazama kwa dharau basi

sisi tutamtuhumu juu ya watu hao – yaani Masahaba.593

Ibn Mubara anayasema haya katika zama ambazo Mu‟awiya hayupo tena

duniani kwa zaidi ya karne. Sasa kama ni hivyo, nini maana ya kusema ٣ظ

?ambapo katumia neno nadhar likifuatana na herufi ilaa (anamtazama) ا٤

Je kakusudia atayemuona?

Humo katika maandiko hayo na mamiya yalio mfano wa hayo, limetumika

neno nadhar hali ya kuwa limefuatana na herufi ilaa wala halikumaanisha

kuona. Sasa kila mwenye akili na ajiulize: je baada ya ushahidi wote huo

bado kumebakia hoja sahihi ya kielimu kwamba neno nadhar likifuatana na

herufi ilaa maana yake ni kuona tu? Ninasema: bali neno nadharu

limetumika katika sehemu kadha wa kadha nalo limefuatana na herufi ilaa

bila ya kukusudiwa kuona, bali limekusudiwa kutafakari na kuzingatia.

Tazama Aya kama:

ا ٠ ١ ؼ خ خ حإل ظ ٤ ك

Basi binaadamu na atazame chakula chake.594

Aya hii inamtaka binaadamu atazame chakula chake na ndani yake

limetumika neno nadhar likifuatana na herufi ilaa wala halikukusudiwa

kutazama kwa macho, bali limekusudiwa kutazama kwa moyo yaani

kuzingatia. Na kwa sababu hio, Aya zinazofuatia zimesema:

زخ خء ز ز خ ح خ وخ ****أ و و خ حل زخ ****ػ خ ك ز ظ خ ك ٤ زخ ***ك ؤ ه ٠ زخ ػ ****

ال *** و خ ٣ ظ .

Hakika ya sisi tumemwaga maji mmwago wa kweli (tumeteremsha

mvua)**Kisha tukaipasua ardhi mipasuko mipasuko**Tukaotesha

humo mambo ya nafaka**Na mizabibu na mimea ya majani**Na

mizaituni na mitende.595

Na mfano wa Aya hio ni Aya yenye kusema:

ظ و ض أ ك ال ٣ ٤ ق ه ر ا ٠ حإل

593

- Ibn kathir Al-Bidaya Wa Al-Nihaya j. 8, uk. 148. 594

- Sura 86, Aya 5. 595

- Sura 80, Aya 25-29.

Page 195: Fimbo ya Musa

195

Basi hawamtazami ngamia namna alivyoumbwa. 596

Pamoja na kuwa neno nadhar katika Aya hii, limekuja hali ya kuwa

limeambatana na herufi ilaa, lakini maana iliokusudiwa si kuona kwa

macho, bali maana ni kuona kwa moyo yaani kuzingatia na kutafakari ajabu

ya ngamia. Na ajabu hii, huioni kwa kumuona ngamia na kumtazama kwa

macho tu, bali kwa kujua jinsi ilivyo tabia na kawaida yake.

TANBIHI

Ningependa kutoa tanbihi kwamba Al-Imamu Al-Fakhru Al-Razi alisema

maneno haya:

..…، ٣و أزظش رلف ا٠: أ حظ ححى رؼ٠ حلظظخ ؼ٤ ك٢ حوآحل

(Jawabu ni kuwa) mosi: ni kuwa neno nadhar lililokuja kwa maana ya

kungojea limetumika sana katika Qur-ani, lakini kamwe halikupata

kufuatana na herufi ilaa…597

Hayo ni maneno ya Al-Razi nayo ni maneno yenye makosa. Na inatosha

kumrudi kwa Aya yenye kusema:

ا خ ػس كظس ا ٠ ٤س

Na akiwa (mwenye kudaiwa) ni mwenye (hali) ngumu (hana uwezo),

basi naangoje mpaka awepesike (apate uwezo). 598

Hio hapo Aya ya Qur-ani limetumika ndani yake neno nadhar lililofuatana

na herufi ilaa na limeleta maana ya kungojea. Baada ya dalili hizo

tulizozitaja hapa, utaona kwamba madai yao muhimu zaidi kwamba neno

nadhar likifuatana na herufi ilaa – kama ilivyo katika Aya ya Surat Al-

Qiyaama – basi maana yake ni kuona, pia si madai sahihi, wala hayana

ushahidi kamwe, bali ushihidi uko kinyume na hivyo.

QARINA YA NNE

Dai la nne ni kuwa neno nadhar linapokuwa limetegemezwa katika uso

ikasemwa: wujuhun naadhira au wujuhun tandhuru (nyuso ni zenye

596

- Sura 88, Aya 17. 597

- Al-Imamu Al-Razi Al-Fakhru, Mafaatiihu Al-Ghaib j. 30, uk. 203. 598

- Sura ya 2 Aya ya 280.

Page 196: Fimbo ya Musa

196

kutazama au nyuso zinatazama), basi neno hilo inakuwa halileti maana

nyengine isipokuwa maana ya kuona tu kwani uso ni mahala pa kuonea si

mahala pa kungojea. Wanasema wenye falsafa hii: “na ikiwa neno hilo

nadhar litaegemezwa katika uso na likaambatana na herufi ilaa, basi hapo

ndio kabisa linakuwa halibebi maana yoyote ile isipokuwa kuona”.

Lakini Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili akajibu kwa maneno yenye

maana kwamba:

Na uso pia hauoni bali yanayoona ni macho, na kwa hivyo kusemwa kuwa

nyuso zitatazama pia ni majazi kwani haikupata kupokewa kamwe kutoka

kwa Waarabu wakisema: “nimemuona fulani kwa uso wangu”. Na kwa

hivyo, sisi tunazifasiri nyuso katika Aya hio kwa maana ya wenye nyuso

wenyewe yaani kwa maana ya watu wenyewe kwani hilo ndilo liliko

katika lugha ya Kiarabu kama ilivyo kauli yake Allah aliposema:

س ل ج ٣ ؿ س *** ظ ز ش خك س *** ز خ ؿ ٤ ػ ج ٣ ؿ س *** خ ه ظ و *ط

ج ي ** س أ ـ ل س ح ل ح

Nyoso siku hio ni zenye kung‟aa**Zitacheka na kuwa na furaha*Na

nyuso (nyengine) siku hio zitakuwa na vumbi**Zitafunikwa na kiza

totoro**Hao ndio makafiri waovu.599

Na anasema Allah:

ؼ ش خ ه ج ٣ ؿ ز ش ** ش خ خ ٤ ش ***ػ خ ٠ خح ك آ ٤ ش ***ط ٤ ػ و ٠ ط

Siku hio nyuso zitadhalilika**Zitakuwa ni zenye kufanya kazi

nzito**Zitauingia moto mkali**Zitanyweshwa kutoka katika

chemchem imoto. 600

Kisha Sheikh akatoa ushahidi wa lugha ya Waarabu wenyewe kwa mashairi

yao ambayo ndani yake limetumika neno nadhar likitegemezwa katika

nyuso na likifuatana na herufi ilaa bila ya kumaanisha kuona kwa macho.

Mfano wa hayo ni yale mashairi ya mshairi wa Mtume (s.a.w.), Hassaan bin

Thabt, aliposema: خظحص رخلالف ا٠ حك ٣ؤط٢ ؿ ٣ ري

Nyuso siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu alete

ushindi.601

599

- Sura 80, Aya 38-42. 600

- Sura 88, Aya 2-5.

Page 197: Fimbo ya Musa

197

Na mshairi mwengine akasema:

حلـخ ػ٠ ح خ ٤ ي ق حوالثن خظس ا٠ ؿ ر

Nyuso za watu wenye furaha wa Hijaz ziko katika matamanio

yake**Zinamtazama mfalme ambaye ndiye makimbilio ya viumbe.

Katika sehemu hizo, neno nadhar limetegemezwa katika nyuso na

limeambatana na herufi ilaa, lakini pamoja na hayo halikuleta maana ya

kuona. Kwa hivyo, madai yao hayo yamebainika kuwa si madai sahihi.

Ninasema: lakini kumekuwa na madai mengine yanayofanana na hayo

yaliotangulia. Madai yaliotangulia ni kuwa neno nadhar likitegemezwa

katika uso linakuwa na maana ya kuona hususan likiwa litaambatana na

herufi ilaa. Hayo ni madai ya kwanza, na jawabu yake umeiona. Madai ya

pili ni kuwa neno hilo likija katika mfumo huo, halimaanishi kungojea

kamwe. Anasema Al-Imamu Al-Baydhawi:

.……ه٤ ظظس اؼخ ى رؤ حلظظخ ل ٣ي ا٠ حؿ

Na ikasemwa kwamba (maana ya Aya hio ni kuwa) nyuso hizo zitangojea

neema ya (Mola) wake, lakini ikajibiwa kwamba kungoja hakutegemezwi

na nyuso (haisemwi kuwa uso unangojea).602

Hayo ndio maelezo ya Al-Imamu Al-Baydhawi nayo si maneno madhubuti

kwani yeye mwenyewe kazifasiri Aya za pili hivi: } س ر خ ج ٣ ؿ { (Na

nyuso siku hio zitakunjana): ي٣يس حؼز “(yaani) zitakuwa ni zenye

kukunjana sana…”.. } (yaani)“ طظهغ أرخرخ :Zinadhania (nyuso hizo)) } ط ظ

wenyewe wenye nyuso hizo wanatazamia): } س خه خ ك ر kufikwa na) } أ ٣ ل ؼ

janga lenye kuvunja uti wa mgongo).603

Kwa hivyo, ikiwa Al-Imamu Al-Baydhawi mwenyewe katika Aya za pili

kazifasiri nyuso kwa maana ya watu wenyewe, na hivyo ndivyo ilivyo, sasa

sijui ni nini kilichomzuia katika Aya za mwanzo asifasiri hivyo na Aya hizo

zote ziko katika siyaaq moja na qarina zinaonesha kwa uwazi kwamba

waliokusudiwa katika Aya zote hizo ni wenye nyuso wenyewe: si nyuso zao

tu.

601

- Sheikh Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 46. 602

- Al-Baydhawi Tafsiru Al-Baydhawi j. 5, uk. 350. 603

- K.h.j.

Page 198: Fimbo ya Musa

198

Ninasema: lakini mtu anaweza kudai kwamba katika Aya nyengine za Qur-

ani yametumika maneno nyuso zenye kung‟ara au zenye kutoa nuru na

nyuso zenye kiza kwa maana ya nyuso zenyewe pasina kukusudiwa watu

kamili kama zilivyo Aya hizi zinazofuata:

ط ز ؼ ٣ ح ح ه ك خ ي ا ٣ ر ؼ ط ل أ ؿ ىص ح ٣ خ ح ك ؤ ؿ ى ط ؿ خ ـ٤ حد ر

خ ي خ ه ك ٤ ش هللا ك ك ل ٢ ؿ ض حر ٤ ٠ ٣ خ ح أ * ل ط ظ

Siku ambayo nyuso zitang‟ara na nyuso nyengine zitapiga weusi, ama

wale ambao nyuso zao zitapiga weusi (basi wataambiwa) ivo nyinyi

mumekufuru badala ya kuamini kwenu, basi ionjeni adhabu kwa

sababu ya kukufuru kwenu**Na ama wale ambao nyuso zao

zitang‟aa, basi hao watakaa milele katika rehema ya Allah.604

Na Aya inayosema:

س ى ؿ ٠ هللا ح ػ ر ٣ ح ش ط و ٤ خ ح ٣

Na siku ya kiama utawaona wale waliomzulia Allah uwongo nyuso zao

zimepiga weusi. 605

Ni wazi katika Aya hizi kwamba zimekusudiwa nyuso zenyewe pasina watu

kamili kwa dalili kwamba katika Aya za kwanza Allah kasema: ٣ خ ح ك ؤ ؿ ىص ama wale ambao nyuso zao zitapiga) ح

weusi),……………………….. ض حر ٤ ٠ ٣ خ ح أ ؿ (Na ama wale ambao nyuso

zao zitang‟aa). Na katika Aya ya mwisho, Allah subhanahu wa ta‟aala kasema:

س ى ؿ ٠ هللا ح ػ ر ٣ ح utawaona wale waliomzulia Allah..……) ط

uwongo nyuso zao zimepiga weusi). Mtu anaweza kusema kwamba kanuni

ilio bora katika kuifasiri Qur-ani ni kuifungamanisha Aya moja na nyengine

ili Qur-ani iwe imejifasiri yenyewe kwa yenyewe. Na kwa hivyo, ni vyema

kuzifasiri nyuso zenye kung‟ara na nyuso zenye kukunjana zilizotajwa

katika suratul qiyaama kuwa maana yake ni nyuso zenyewe pasina watu

kamili. Ikiwa mtu atadai hivyo, nasi tutamjibu kwamba kanuni ulioitoa ni

sahihi lakini maelezo yako si madhubuti, kwani:

1) Kama vile ambavyo kuna Aya hizo ambazo zimeonesha kwamba

makusudio ya nyuso hizo zenye kung‟ara au zenye kutoa nuru na

nyuso zenye kiza ni nyuso zenyewe pasina kukusudiwa watu kamili,

vivyo hivyo kuna Aya nyengine ambazo yametumika ndani yake

maneno nyuso zenye kung‟ara au zenye kutoa nuru na nyuso zenye

kiza kwa maana ya watu wenyewe. Anasema Allah:

604

- Sura 3, Aya 106-107. 605

- Sura 39, Aya 60.

Page 199: Fimbo ya Musa

199

س ل ج ٣ ؿ س *** ظ ز ش خك س *** ز خ ؿ ٤ ػ ج ٣ ؿ س *** خ ه ظ و *ط

ج ي ** س أ ـ ل س ح ل ح

Nyoso siku hio ni zenye kung‟aa**Zitacheka na kuwa na furaha*Na

nyuso (nyengine) siku hio zitakuwa na vumbi**Zitafinikwa na kiza

totoro**Hao ndio makafiri waovu.606

Kilicho wazi kabisa katika Aya hizi ni kuwa, makusudio ya neno nyuso ni

watu wenyewe kama dalili ya siyaq inavyoonesha katika maneno yasemayo:

“zitacheka na kufurahi,” kwani ikiwa itadaiwa kuwa uso unacheka kwa

kuzingatia kuwa mdomo upo kwenye uso,607

basi elewa kwamba furaha na

bishara zinakuwa katika moyo, na kwa hivyo Aya hizo zimemalizikia kwa

kusema: “Hao ndio makafiri waovu”.

2) Pili ni kuwa qarina zilizomo katika Aya za suratul qiyaama

zinaonesha kwa uwazi kabisa kwamba makusudio ya nyuso

zilizotajwa ndani yake ni watu wenyewe si nyuso tu:

a) Aya hizo zimekuja katika siyaaq ya kuonesha kuwa nyuso

hizo zitaneemeka na nyengine zitapata adhabu. Na bila shaka

wataoneemeka na kupata adhabu ni watu wenyewe: si nyuso

zao tu. Usiseme kwamba na katika Aya inayosema: “Siku

ambayo nyuso zitang‟ara na nyuso nyengine zitapiga

weusi”, pia maelezo yake yamekuja katika siyaaq ya

kuonesha kuwa nyuso hizo zitaneemeka na nyengine zitapata

adhabu, kwani tunasema kwamba katika Aya hii kumetajwa

nyuso na watu wenye nyuso hizo, ikimaanisha kwamba hizi si

wale na kwa hivyo, makusudio ya nyuso hizo ni nyuso

zenyewe. Aya inasema: “Siku ambayo nyuso zitang‟ara na

nyuso nyengine zitapiga weusi, ama wale ambao nyuso zao

zitapiga weusi (basi wataambiwa) ivo nyinyi mumekufuru

badala ya kuamini kwenu, basi ionjeni adhabu kwa

sababu ya kukufuru kwenu**Na ama wale ambao nyuso

zao zitang‟aa, basi hao watakaa milele katika rehema ya

Alla”. Aya hizi, bila shaka, ni tafauti na Aya za suratul

qiyaama ambayo imeonesha kuwa nyuso zilizokusudiwa ni

watu wenyewe.

b) Qarina ya pili ambayo imeonesha kwamba makusudio ya

nyuso katika Aya hizo za suratul qiyaama ni watu wenyewe

606

- Sura 80, Aya 38-42. 607

- Nayo si kauli sahihi ila ikikusudiwa majazi kwani Waarabu bali binaadamu hawasemi

dhahika wajhuhu (uso wake umecheka). Ama yakiwa maneno hayo yatakusudiwa majazi

basi hilo linawezekana.

Page 200: Fimbo ya Musa

200

ni kuwa Aya ya pili – baada ya kuzitaja nyuso za waovu –

imesema: س خ ك خه ر ٣ ل ؼ أ zitakuwa (nyuso hizo) ط ظ

zinatazamia (au zitakuwa zinajua) kwamba zitafanyiwa

(adhabu) yenye kuuvunja uti wa mgongo). Ni wazi kwa

mujibu wa qarina hii kwamba makusudio ya nyuso katika

Aya hizi ni watu wenyewe, vyenginevyo nyuso tu

hazitazamii kutokewa na jambo wala hiziambiwi kuwa

zinajua kitu, bali wala hazina uti wa mgongo.

Baada ya hayo, utaona kwa uwazi ndugu msomaji ubatili wa madai yao

katika kulifasiri neno nadhar kilugha na kulitafautisha kwa maana mbali

mbali kwa mujibu wa herufi zinazoambatana nalo au kwa kutokuwepo

kabisa kwa herufi yoyote ile. Na kwa hivyo, tunasema kwamba zote zile

ambazo watetezi wa itikaidi ya kumuona Allah walizidhania kuwa ni qarina

zenye kubainisha kuwa neno nadhar katika Aya hio (ya 23 ya suratul

qiyaama) maana yake ni kuona, si qarina zenye kutoa ubainifu huo kamwe;

bali chanzo cha tafsiri hio ni Hadithi ya kutunga iliotungwa na kuhusishwa

na Aya hio kisha watu wakatafuta shubuhati zilizomo katika Aya hiyo na

kuzitegemea wakidhania kuwa hizo ni hoja sahihi za kilugha. Lakini haki

imebainika kwa kila aitakae Wa Lillahi Al-Hamdu.

Page 201: Fimbo ya Musa

201

MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU

1) Tulichokizungumzia hapa ni kauli ya Allah isemayo:

س خ ج ٣ ؿ س *** خ خظ ر ا ٠

(kuna) Nyuso siku hio zitang‟ara**Kwa Mola wake tu ni zenye

kutazama.

2) Aya hizi ndio ushahidi mkubwa wao wanaoutegemea wale wenye

itikadi ya kumuona Allah huko akhera.

3) Hoja yao katika Aya hizo ni kuwa:

a) Neno lililotumika katika Aya hio ni neno nadhar (kutazama).

b) Neno hilo japokuwa lina matumizi mingi lakini maana yake

ya msingi ni kutazama kwa macho.

Lakini jawabu ya hayo ni kuwa kimsingi neno nadhar maana yake ni

kubirua jicho ili uone (kutazama) ukaona usione, kwani mtu anaweza

kutazama lakini asione. Hilo ni mashuhuri katika kawaida zetu na ndivyo

inavyosema Aya: “Nanyi wakati huo munatazama lakini hamuoni”. Kwa

hivyo, atayedai kuwa neno hilo katika Aya hio maana yake ni kuona

itambidi atoe ushahidi mwengine. Na ushahidi walioutoa watetezi wa

kumuona Allah wote ni kinyume na ushahidi wa Qur-ani, Sunna na lugha ya

Kiarabu.

c) Neno hilo linaleta maana mbalimbali kwa mujibu wa herufi

ilizofuatana nazo au kwa kutokuwepo kwa herufi yoyote.

Lakini tumethibitisha kwamba madai hayo pia si sahihi. Tumeona kwamba

kuna sehemu tafauti katika Qur-ani na Hadithi ambamo neno hilo

limefuatana na herufi moja ile ile – fii au ilaa kwa mfano – na limeleta

maana tafauti – kila sehemu limeleta maana tafauti na nyengine, na neno ni

lile lile na herufi ni ile ile. Hilo tumelibainisha kwa dalili.

d) Kama halikufuatana na herufi yoyote ile, basi maana yake ni

kusimama na kungojea.

Lakini tumebainisha kuwa madai haya ni batili kwa mujibu wa ushahidi

mwingi wa Aya za Qur-an. Miongoni mwa hizo ni Aya isemayo: ك ا

Page 202: Fimbo ya Musa

202

ظ ....... ػ ه ي (Hakika yake alifikiri na akapima (vipi aitukane Qur-

ani) -----kisha akatazama (yaani akatafakari tena mara ya pili).608

Na

Aya: خ ٣ظ ال ٤لش حكيس (Hawana wanachokingojea isipokuwa ukelele

mmoja).609

e) Likifuatana na herufi fii basi linamaanisha kutafakari na

kuzingatia.

Hivyo, ndivyo walivyodai, lakini madai hayo pia hayana ukweli: neno hilo

limefuatana na herufi fii katika Aya kama: كظ ظس ك٠ حـ (Basi

akatazama katika nyota), na katika Hadithi: ا هللا ظ ك٢ هد حؼزخى (Hakika

ya Allah kaitazama mioyo ya waja) na Hadithi nyenginezo, wala

halikumaanisha kutafakari au kuzingatia.

f) Likifuatana na herufi ilaa basi maana zake nyengine zote

zinabatilika na inabakia maana yake moja tu nayo ni kuona

kwa macho. Neno hilo katika Aya hio tunayoizungumzia

limefuatiwa na herufi ilaa, na kwa hivyo maana yake ni

kuona tu yaani watu watamuona Allah.

Hio ndio hoja yao nyengine, lakini jawabu ni kuwa neno hilo limefuatana na

herufi ilaa katika Aya ya Qur-ani inayosema: ل ٣ هللا ل ٣ظ ا٤ ٣

na wala Mwenyezi Mungu hatowasemesha, na wala) حو٤خش

hatowatazama siku ya kiama), na katika Hadithi inayosema: ر ػ ؿ

٣ ٤ ا هللا ظ ٣ ء ال ٤ ه ٤ و ح ش خ “Mwenye kuburura nguo yake kwa sababu ya

kibri (chake tu) basi Mwenyezi Mungu hatomtazama siku ya kiama”, na

katika mashairi ya Waarabu: ل ال ف ط ٢ ر خ ٣ ؤ ك **ا ٠ ح حص خظ ر ي ٣ ؿ “Nyuso

siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu alete ushindi”, na

mwote humo halikumaanisha kuona.

g) Neno hilo katika Aya hizo limetegemezwa katika nyuso

yaani imesemwa kwamba nyuso zitatazama, na uso ni

mahala pa kuonea. Na katika hali kama hii vile vile huwezi

kulifasiri neno hilo kwa maana yake nyengine yoyote ile

isipokuwa kuona kwa macho. Hio ndio hoja yao nyengine!

608

- Sura ya 74 Aya ya 18 -21. Hizi ni habari ambazo Allah anazielezea kuhusu kafiri Al-

Walid bin Al-Mughira, ambaye alikuwa akitafakari namna gani ataitukana Qur-ani baada

ya kuwa haki imeshambainikia.

609 - Sura ya 36 Aya ya 48.

Page 203: Fimbo ya Musa

203

Lakini jawabu ni kuwa neno hilo limetumika hali ya kuwa limefuatana na

herufi hio ilaa na likategemezwa katika nyuso katika maneno ya Waarabu

wenyewe katika beti kadha wa kadha za mashairi nalo halikumaanisha

kuona. Mfano wa hayo ni mashairi ya Hasan bin Thabi aliposema:

خظحص رخلالف ا٠ حك ٣ؤط٢ ؿ ٣ ري

Nyuso siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu alete

ushindi.610

h) Neno hilo nadhar limetumika sana katika Qur-an

likimaanisha kungojea lakini hakuna hata sehemu moja

ambayo neno hilo limefuatana na herufi ilaa.

Hio ni hoja yao nyengine, lakini jawabu ni kuwa imekuja Aya yenye neno

hilo hali ya kuwa limefuatana na herufi ilaa nayo Aya hio imemaanisha

kungojea, kama ilivyo katika Aya ya Qur-ani inayosema: ا خ ػس

Na akiwa (mwenye kudaiwa) ni mwenye (hali) ngumu كظس ا ٠ ٤س

(hana uwezo), basi naangoje mpaka awepesike (apate uwezo). 611

610

- Sheikh Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 46. 611

- Sura ya 2 Aya ya 280.

Page 204: Fimbo ya Musa

204

SURA YA SABA

RIWAYA ZILIZOKUJA KUIFASIRI AYA HIO KUWA

MAANA YAKE NI KUMUONA ALLAH

KUYAJADILI MANENO YA KASIM MAFUTA

KUHUSIANA NA MAUDHUI HII.

Kabla ya kuanza kuzitazama riwaya zilizotegemewa katika kuifasiri Aya hio

kuwa maana yake ni kumuona Allah, kwanza ni vyema kutazama maelezo

ya Sheikh Kasim bin Mafuta juu ya suala hili. Sheikh Kasim bin Mafuta,

baada ya kutoa hoja zake za kwanza zinazotokana na muundiko wa lugha ya

Kiarabu, kama tulivyozijadili, aliendelea kwa kunena:

Hoja za aina ya pili ni:

Hoja za nje, nazo ni zile dalili ambazo zimekuja kwa wingi mno katika

Qur‟ani na Sunna, na kauli za maulamaa wakubwa katika Maswahaba, na

wanafunzi wao na maimamu waliokuja baada yao, kauli ambazo ni tafsiri

za aya hii na nyinginezo zinazosema kwamba Allah ataonekana kwa

macho akhera. Ama kuhusu dalili za Sunna tutazitaja hapo mbeleni –

Inshaallaah hapa tutaitaja kauli moja ya “Taabi‟yyun” (mwanafunzi wa

swahaba) ambaye ni Ikrimah bin Abdillahi –rahimahu llaahu-.

Amesema Imamu Al-Tabari katika kitabu chake Jaamiul-Bayaan:612

Ametusimulia Muhammad bin Mansour Al-Tusiy, na Ibrahimu bin Sa‟ad

Al-Jauhariy (wote wawili) wamesema; ametusimulia Aliy bin Al-Hasan

bin Shaqiq, amesema ametusilulia Al-Husain bin Waaqid kutoka kwa

Yazid Al-Nahwiy kutoka kwa Ikrimah (amesema kuhusu kauli ya Allah):

خظس رخ ا٠***خس ٣ج ؿ

Zipo nyuso siku hiyo zenye kung‟ara* Ni zenye kumwangalia

(kumuona) Mola wake”.613

Akasema Ikrimah: “Zitamtazama

Mola wake Mlezi”.

Bila shaka, tafsiri hii ya Ikrimah inaipanguvu hoja ya wale wanaosema

kwamba watu wema watamuona Mola wao huko akhera kwa macho yao,

na si rahisi kuwa haya ni mawazo yake binafsi, bali ni tafsiri ambayo

ameipokea kutoka kwa sheikh wake swahaba mtukufu Ibn Abbaas –

612

- Mashuhuri kwa jina la Tafsirul-Twabariy katika juzuu ya 29 ukurasa wa 228. 613

- Surat al-Qiyamah aya 22-23.

Page 205: Fimbo ya Musa

205 radhiyallahu an‟humaa- naye amemsikia bwana Mtume –swalla llaahu

alayhi wasallam- akitamka maneno hayo, na nina thubutu kusema hivi kwa

sababu ya maandiko mengine ambayo yamepokewa kutoka kwa bwana

Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- ambayo yanaipa nguvu kauli hii.

Pamoja na kuwa hoja hii iko wazi katika kuithibitisha itikadi hii sahihi ya

Ahli Sunna juu ya kuonekana Allah huko akhera kwa macho, lakini

wapinzani wa hoja hii hawakuwacha kuitilia mashaka tena kwa madai

ambayo ni dhaifu mno. Na haya yafuatayo ni baadhi ya madai yao

yanayoonekana yana uzito kidogo……614

KUYAJADILI MANENO HAYO

Jawabu juu ya madai hayo ya mwanachuoni Al-‟Allama Kasim bin Mafuta

ni katika nukta zifuatazo:

Mosi: ni kuwa maneno ya Ikrima au mwengine yoyote yule asiyekuwa

Mtume (s.a.w.) si hoja ya kisharia hususan pale ambapo kuna wengine

walio kama yeye ambao wameipinga tafsiri yake. Utakumbuka kwamba

Mujahid na wengine wameifasiri Aya hio kuwa maana yake ni “kuyangojea

malipo ya Mola wake”. Sasa ikiwa kanuni ya jumhur ni kuwa kauli ya

Sahaba si hoja ikiwa itapingwa na kauli ya Sahaba mwengine, basi vipi

kauli ya Ikrima iwe hoja ikiwa itapingwa na kauli ya Mujahid. Wala

usijenge hoja ya dhana tu kwamba:

…….na si rahisi kuwa (Ikrima) haya ni mawazo yake binafsi, bali ni tafsiri

ambayo ameipokea kutoka kwa sheikh wake swahaba mtukufu Ibn Abbaas

–radhiyallahu an‟humaa- naye amemsikia bwana Mtume –swalla llaahu

alayhi wasallam- akitamka maneno hayo, na nina thubutu kusema hivi kwa

sababu ya maandiko mengine ambayo yamepokewa kutoka kwa bwana

Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- ambayo yanaipa nguvu kauli hii.

Usifyatue tu namna hiyo ewe Ibn Mafuta, kwani na Mujahid pia ni

mwanafunzi wa Ibn Abbaas tena Imamu wako Ibn Taymiyya kamsifu zaidi

kwa elimu ya tafsiri kuliko Tabi‟iina wengine kama tulivyomnukuu katika

juzuu ya kwanza. Anasema Mzee wa Uuislamu:

Kama hukukuta tafsiri (ya Aya ya Qur-ani) katika Qur-ani wala katika

Sunna wala kutoka kwa Masahaba, basi Maimamu wengi wamerejea

katika hilo kwa kauli za Taabi‟iin kama Mujahid bin Jabr hakika yake

614

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 54-55.

Page 206: Fimbo ya Musa

206

alikuwa ni muujiza katika (elimu ya) tafsir.615

……………. “Ama tafsiri,

basi wajuzi wao ni watu wa Makka kwani ni wanafunzi wa Ibn

Abbaas kama vile Mujahid”.616

Halkadhalika usiniambie kwamba: “ninathubutu kusema hivi kwa sababu ya

maandiko mengine ambayo yamepokewa kutoka kwa bwana Mtume (s.a.w.)

ambayo yanaipa nguvu kauli hii” kwani kama vile ambavyo kuna Hadithi

isemayo: “Mutamuona Mola wenu kama munavyouona mwezi mdande”

ndivyo ambavyo kuna Hadithi isemayo: “Na hakuna kinachowazuiya watu

na kumuona Mola wao isipokuwa vazi lake la ukuu katika pepo ya adeni”.

Kwa hivyo, hoja hizi bado hazijaipa nguvu riwaya ya „Ikrima, kwani ikiwa

„Ikrima ni mwanafunzi wa Ibn Abbaas, basi na Mujahid naye “yuvivyo”;

ikiwa kuna Hadithi ya kumuona Allah; na Hadithi ya kutomuona Allah pia

ipo.

Pili: ni kuwa hata tukijaalia kuwa kuwa riwaya ya Ikrima ni sahihi – kama

unavyodai, nayo ni dhaifu – basi usahihi wake haukufikia usahihi wa riwaya

ya Mujahid.

Tatu: ni kuwa Ikrima inasemwa kuwa ni katika Khawaarij wengine

wanasema ni Ibadhi; wengine wanasema kuwa ni Najdi na wengine

wanasema kuwa ni Sufriy kama ilivyo katika Fat-hu Al-Bari na Tahdhibu

Al-Tahdhib vya Ibn Hajar na Al-Mizan cha Al-Dhahabi na vitabu vyengine.

Na wote hawa wameitwa kuwa ni Makhawarij – Ibadhi na Sufriyya. Sasa

wewe leo unamsifu „Ikrima kwa sababu unaitaka riwaya yake, umesahau

ulioyasema huko nyuma kuhusu uwongo wa Makhawarij! Nawe Ibn Mafuta

ukiwa utapewa riwaya ya Khawarij na riwaya ya Ahlu Sunna utaikubali ipi?

Ikrima ni Khawarij; riwaya yake inasema tutamuona Allah; Mujahid ni Ahlu

Sunna na riwaya yake inasema hatutomuona Allah. Je wataka riwaya ya

Khawarij au ya Ahlu Sunna? Ninasema: na ukweli kwamba „Ikrima alikuwa

na rai ya walioitwa kuwa ni Khawarij – ikiwa ni Ibadhi au Sufriyya – basi

kunaipa nguvu riwaya yake nyengine inayokataa kuonekana kwa Allah

kwani walioitwa Khawarij hawakuwa wakiamini kuonekana kwa Allah.

Nne: ni kuwa riwaya za „Ikrima juu ya maudhui hii zimegongana: wakati

kuna riwaya hio aliosema ndani yake kwamba maana ya Aya hio ni

615

- Ibn Taymiyya Al-Nukatu Al-Mutammima uk. 96 kwa tahqiq ya „Abdil-Mun‟im

Ibrahim. 616

- K.h.j. uk. 64.

Page 207: Fimbo ya Musa

207

kumuona Allah, basi riwaya yake ya pili iliopokewa na „Abd bin Humaid:

“imekanusha kumuona Allah”.617

Anasema Ibn Hajar:

Na inawezekana kuzijumuisha riwaya mbili hizo kwa kusema kuwa riwaya

yenye kukataa kuonekana kwa Allah, maana yake ni kuwa „Ikrima

kawakusudia wasiokuwa watu wa peponi.618

Ninasema: nayo tafsiri hio ya Al-Hafidh ni tafsiri ya kujikalifisha, kwani

riwaya nyengine iliokubalika kwa watetezi wa itikadi ya kumuona Allah

inasema kwamba na wanafiki wa umma huu pia nao watamuona Allah!

Tano – na ndio muhimu – ni kuwa sisi bado tunaendelea kudai kuwa riwaya

hio ya Ikrima haikuthibiti kwa sanad sahihi. Na jawabu yako uliotupa bado

haijatukinaisha. Hilo tutalijadili tukifika mahala pake.

Anaendelea Kasim Mafuta kwa kusema:

JARIBIO LA KWANZA LA KUIPOTOSHA HOJA HII

Katika kufanya jaribio la kuipotosha hoja hii inayozungumzia kuonekana

kwa Allah huko akhera ndugu Juma M. Al-Mazrui ameleta madai mengi

ambayo hayana msingi, na haya yafuatayo ni baadhi ya madai hayo:

1) Madai yake ya kwanza juu ya hoja hii ni kwamba, neno “Naadhirah”

amabalo limetumika katika sura hii lina maana pana zaidi, kuliko kuona.

Kwa sababu mtu anaweza kusema:

Nimeutazama mwezi lakini sikuuona. Kwa hiyo neno kutazama

halimaanishi kuwa lazima mtu aone. Tazama ukarasa wa 50 katika kitabu

chake. Akiwa na maana kwamba, hata hao watakao mtazama Mola wao

huko akhera kuna uwezekano wasimuone maana si lazima ukitazama ni

sharti uone!

2) Madai yake ya pili ni kuhusu neno hili (nadharu) lina maana nyingi

katika lugha ya kiarabu: haiwezekani kusema kwamba maana fulani ndio

iliokusudiwa ila kwa dalili na ushahidi. Na dalili ikiwa na maana nyingi

basi ushahidi wake ni batili ila ikipata uzito kwa dalili nyingine nje ya hiyo

au itapata uzito katika vifuatanishi vya maneno (context). Tazama ukurasa

wa 51,na 56 katika kitabu chake.

617

- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 15, uk. 9249, katika maelezo ya Hadithi na. 7434 na zilizo baada

yake. 618

- K.h.j.

Page 208: Fimbo ya Musa

208 3) Hadithi zote ambazo zimepokewa zenye kuifasiri aya hii kuwa maana yake

ni kumuona Mwenyezi Mungu ni hadithi batili na za uwongo!!!. Tazama

ukurasa wa 74-75 katika kitabu chake. 4) Akatoa dalili za kimaandishi

zinazopingana na aya hiyo –kwa mtazamo wake- kama vile kauli yake

Allah aliposema:

Macho hayamfikii naye anayafikia macho (yote).619

Na hadithi isemayo : “Na hakuna kinachozuia baina ya watu na

kumtazama Mola wao isipokuwa lile vazi la kibri chake…”.

MAJIBU YETU

Majibu yetu kuhusu madai yake ya kwanza, kwamba neno “naadhira” lina

maana pana kuliko kuona kwa sababu mtu anaweza kutazama lakini

asione, sisi tunasema hilo ni kweli, lakini neno “Naadhira” hapa

limetumika kwa maana ya kuona kwa sababu hizi zifuatazo:

i) Hivi unadhania kwamba siku ya Qiyamah nyuso zitang‟ara na kutoa

nuru kwa kumtazama wasiemuona? Unapomtazama unayempenda ambaye

una shauku ya kumuona halafu usimuone je hiyo ni starehe au adhabu? Je

kutakuwa na tofauti gani baina ya wema na waovu katika hilo? Makusudio

makubwa ya kumuona Allah huko akhera ni Takrima watakayokirimiwa

waja wema waliomuamini Mola huyo Mkarimu hapa duniani wakiwa

hawamuoni –Ewe Allah ! Turuzuku ladha ya kuuona uso wako mtukufu-

Aamin.620

JAWABU

Maneno yako katika kipengle cha kwanza uliposema: “Akiwa na maana

kwamba, hata hao watakaomtazama Mola wao huko akhera kuna

uwezekano wasimuone maana si lazima ukitazama ni sharti uone” si

maneno sahihi. Mimi sina maana hio: maana ninayoikusudia mimi ni kuwa

utapodai kuwa mwenye kutazama kaona basi unahitaji ushahidi mwengine

wa qarina ama katika siyaaq au sibaaq au mwengineo, kwani neno nadhar

(kutazama) maana yake si kuona bali maana yake ni kutazama tu ukaona

usione, na unapolitumia neno nadhar (kutazama) ukakusudia kuona basi

kunakuwa na qarina iliobainisha hivyo. Sasa mushkeli wetu ni kuwa qarina

zote mulizotupa nyinyi ambazo mulitegemea kuwa zimebainisha kuwa neno

nadhar katika Aya hio maana yake ni kuona si qarina kamwe licha ya kuwa

619

- Sura 6, Aya 103. 620

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 55-57.

Page 209: Fimbo ya Musa

209

si qarina zenye kuibainisha maana hio. Hayo tumeyabainisha huko nyuma

hatuna haja ya kuyarejea.

Ama kuhusu maelezo yako uliposema:

Hivi unadhania kwamba siku ya Qiyamah nyuso zitang‟ara na kutoa nuru

kwa kumtazama wasiemuona? Unapomtazama unayempenda ambaye una

shauku ya kumuona halafu usimuone je hiyo ni starehe au adhabu?

Ninasema: hoja hiyo inamlazimu yule ambaye kaifasiri Aya hio kuwa

maana yake ni kutazama kwa macho kama mulivyoifasiri nyinyi. Huyo

ndiye wakuulizwa: “Hivi wewe unadhania kwamba siku ya Qiyamah nyuso

zitang‟ara na kutoa nuru kwa kumtazama wasiemuona?” Ama sisi –

Walillahi Al-Hamdu – suali hilo halituhusu kwani sisi tunasema kuwa

maana ya Aya hio si kutazama kwa macho kamwe, bali maana yake ni

kuwa: “Nyuso zitan‟gaa huku zikingojea thawabu au rehema ya Mola

wake”, na tafsiri hii imepokewa kutoka kwa Al-Salaf Al-Salih kwa sanad

sahihi na qarina katika siyaaq zinaonesha kwa uwazi kuwa hio ndio maana

iliokusudiwa kama tutavyoeleza baadae in shaa Allah.

Lakini jawabu yetu ya nyongeza hapa ni kuwa: nyuso za watu wema siku ya

kiama hazitong‟aa kwasababu ya kumtazama Mola wao kama unavyodhania

bali ni kwa matendo yao mema. Na hili halitakiwi tutafautiane kamwe.

Lakini cha kustaajabisha ni kuwa wewe mwenyewe Sh. Mafuta umetoa

ushahidi wa kuonekana kwa Allah kwa kutumia Hadithi iliotongoa hivyo

karibu kwa uwazi kabisa. Ushahidi wa riwaya yenu ambayo

hamukuifahamu nyinyi wenyewe inayosema:

.....„watapoingia watu wa peponi katika pepo atanadi mwenye kunadi:

hakika ya nyinyi muna ahadi kwa Mwenyezi Mungu anataka

kukutekelezeeni‟. Watasema: „kwani hukuzing‟arisha nyuso zetu na

kutuokoa na moto na ukatuingiza peponi?‟ Kasema: „basi ataondoa pazia

basi naapa kwa jina la Allah hawajapewa kitu bora kuliko kumtazama

Yeye‟.

Kwa hivyo, riwaya yenu inaonesha wazi kuwa nyuso zilingarishwa kabla, si

kwa kumtazama Allah munayedai kuwa ataonekana ili nyuso zingare.

Kuweni makini; musifyatuefyatue tu.

Anaendelea Kasim Mafuta:

Page 210: Fimbo ya Musa

210 iii) Pia kuna ushahidi wa aya nyengine nyingi za Qur‟an kama aya

ya 26 katika surat Yunus na hadithi nyingi za Mtume –swalla

llaahu alayhi wasallam- ambazo zimefikia kiwango cha

“MUTAWAATIR” (Idadi kubwa ambayo ni muhali kuwa

wapokezi wake wameafikiana kutunga uwongo) hadithi zote

hizo zinaiunga mkono aya hii. Kwa mfano kauli yake bwana

Mtume –swalla llaahu alayhi wasallamaliposema:

ا ظ ر

Kwa hakika nyinyi mtamuona Mola wenu.

Hadithi hii ameipokea Imamu Al-Bukhari namba 7435, na maelezo yake

Inshaallah yatakuja huko mbeleni.

JAWABU

Na mimi pia nitaielezea Aya hio na Hadithi hio huko mbele na nitatoa

maelezo yako na jawabu yetu. Ama kuhusu Aya nyingi hizo

unazozizungumzia, sijui ni Aya gani hizo zilizosema kuwa watu watamuona

Allah? Aya hizo tumezielezea katika Hoja Zenye Nguvu, ukweli ni kuwa

hakuna ushahidi kamwe katika Aya hizo. Cha kuelewa ni kuwa itikadi ni

msingi wa dini; na kwa hivyo, haiwezi kujengwa ila katika andiko lililo

wazi kabisa: si andiko lenye maana dhanni (isio ya yakini) au andiko lenye

sanad dhanni, na huu ni msingi wa jumhur ya umma kama inavyoelezwa

katika vitabu vya usulil-fiq-hi.

Anaendelea Kasim Mafuta:

Ama kuhusu madai yake ya pili, ni pale aliposema:

“Neno hili (nadharu) lina maana nyingi katika lugha ya kiarabu:

haiwezekani kusema kwamba maana fulani ndio iliokusudiwa ila kwa

dalili na ushahidi”.

Sisi tunasema kwamba bado kauli hii ya Juma si hoja ya kuibatilisha

maana ya “kutazama” iliyobebwa na neno “naadhirah”, kwa sababu maana

hiyo ndiyo ya msingi na ya asili kama alivyokiri Juma. Na katika kanuni za

lugha ya kiarabu, mtu aliyeshikamana na maana ya asili ya neno hana

wajibu wa kuleta hoja wala dalili ili kuthibitisha kwanini ameshikamana na

maana ya asili, bali anayetakiwa kuleta hoja ni yule anayedai kinyume cha

asili, na wale wanaoitumia aya hii kuthibitisha kuonekana Allah, wao

wameshikamana na maana ya asili ya neno hili. Kwa hiyo wenye kuitakidi

kinyume chake na wakalitafsiri neno naadhirah kwa maana ya kungojea

Page 211: Fimbo ya Musa

211 badala ya maana ya asili kutazama wao ndio walio na wajibu wa kuleta

hoja kwa nini wameikimbia maana hii ya asili na wakaamua kwenda nje ya

asili bila ya hoja wala dalili yoyote yenye nguvu?

JAWABU

Kanuni ulioitaja ni sahihi, lakini “kuona” na “kungoja” si maana za asili za

neno nadhar. Kwa hivyo, sote mimi na wewe tunadaiwa dalili: tutoe dalili

kuthibitisha madai yetu. Nanyi mumetoa dalili zenu za kilugha kuthibitisha

madai yenu, lakini – kama ulivyoona mwenyewe – kwamba hoja zote

mulizozitoa zinakubomokeeni njiani, kwani ni kinyume na ushahidi wa

Qur-ani, Sunna na lugha ya Waarabu. Mukhtasari wa hoja zenu za kilugha

ni kuwa:

1) Neno nadhar ikifuatana na herufi ilaa maana yake ni kuona kwa

macho.

2) Na ikiwa litafuatana na herufi hio na likategemezwa kwenye uso

ikasemwa “nadhara al-wajhu uso umetazama” basi hapo ndio

imethibiti kabisa kwamba maana yake ni kuona tu kwani uso ndio

mahala pa kuonea.

Hivyo, kwa mukhtasar, ndivyo mulivyotongoa. Wakati wapinzani wenu

wamekujibuni kwa maandiko ya Aya kama:

…. شل ٣ هللا ل ٣ظ ا٤ ٣ حو٤خ

……. na wala Mwenyezi Mungu hatowasemesha, na wala

hatowatazama siku ya kiama.621

Na Aya kama: ا خ ػس كظس ا ٠ ٤س

Na akiwa (mwenye kudaiwa) ni mwenye (hali) nzito (hana uwezo) ,

basi mtazameni (mgojeni) mpaka awepesike (apate uwezo). 622

Na Hadithi kama:

٣ ٤ ا هللا ظ ٣ ء ال ٤ ه ر ػ ؿ ٤ و ح ش خ

621

- Sura ya 3 Aya ya 77. 622

- Sura ya 2 Aya ya 280.

Page 212: Fimbo ya Musa

212

Mwenye kuburura nguo yake kwa sababu ya kibri(chake tu) basi

Mwenyezi Mungu hatomtazama siku ya kiama. 623

Na beti kama:

ر ي ٣ ؿ ل ال ف ط ٢ ر خ

٣ ؤ ك **ا ٠ ح حص خظ

Nyuso siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu alete

ushindi.624

Utaona kwamba mwote humo katika maandiko hayo, limetumika neno

nadhar na limefuatana na herufi ilaa na mwengine limetegemezwa katika

nyuso. Je maana ya Aya hizo na Hadithi hio na ubeti huo ni kuona? Jamani!

Tunatazama kilichosemwa au tunamtazama aliyesema?

Anaendelea Sheikh Kasim Mafuta:

3- Madai yake ya tatu ni kwamba hadithi zote zilizokuja kuifasiri aya hii

kuwa maana yake ni kumuona Mwenyezi Mungu ni hadithi batili na za

uwongo! Kisha akaanza kuidhoofisha kauli ya Taabi‟i Ikrimah kwa

kusema: “Hadithi hii pia ni dhaifu! Na udhaifu wake ni kuwa katika

wapokezi wake yumo Husain bin Waqid naye ni dhaifu wanavyuoni wa

hadithi hawamkubali. Anasema Ibn Hajar Al-‟As‟qalaani katika

wanavyuoni wakubwa wa madhehebu ya Al-Shafi: “Al-Husain bin Waqid

Al-Maruzi, Abu Abdallah Al-Qadhi alikuwa mkweli lakini anasahau na

anakosea sana…”.. Mwisho wa kunukuu. Tazama ukurasa wa 67 katika

kitabu chake.

MAJIBU YETU

Hapa ndugu Juma ametumia uwongo na lengo lake ni kuwadanganya

wasio na taaluma ya kutosha katika mambo ya elimu ya hadithi. Hapa

ameidhoofisha kauli ya Taabi‟i Ikrimah kwa madai ya kuwa mpokezi wake

ambaye ni AL-Husain bin Waaqid anakosea sana! Jawabu yetu dhidi ya

maneno ya ndugu Juma yatakuwa kama

ifuatavyo:

623

- Al-Rabi‟u bin Habib Al-Jamii Al-Sahih uk. 71. Al-Nawawi Riadh Al-Salihin uk. 248. 624

- Sheikh Al-Khalili Alhaqu Al-Damigh uk. 46.

Page 213: Fimbo ya Musa

213 Kwa hakika mimi ninashangazwa sana na tabia hii ya kusema uwongo

anayoitumia ndugu Juma, kwa kweli mimi ninashangazwa sana na tabia

yake hii! Nikafikia kujiuliza inakuwaje mtu anaamua kuwadanganya watu

katika mambo ya dini?! Kweli mtu huyo atakua ana nia njema? Au ana

jambo jingine nyuma ya pazia? Na uwongo wake huo uko pale alipodai

kwamba Al-Husein bin Waaqid ni DHAIFU! Kisha akadai kuwa

WANAVYUONI WA HADITHI NAO HAWAMKUBALI!!! Halafu

maneno hayo akamsingizia Ibni Hajar kuwa ndiye aliyeyasema! Je ni kweli

Ibn Hajar amemdhoofisha mpokezi huyu? Hebu tuyatazame hayo maneno

ya Ibn Hajar kuhusu mpokezi huyu, yeyeanasema nini? Anasema Ibni

Hajar:

.”أخ ػوش حوخ٢ هللا ػزي أر ح١ حهي ر حل٤“

“AL-HUSAIN BIN WAQID AL-MAR‟WAZIY ABU ABDILLAHI

ALQADHIY

NI THIQA (mwadilifu mwenye kuhifadhi) na ANA MAKOSA”.

Tazama Al-Taq‟ribu tar‟jama namba1492.

Hayo ndiyo maneno ya Ibni Hajar Al-Asqalaniy kuhusu Al-Husain Ibn

Waaqid, sasa hebu tuanze kuyachambua kwa kuhoji: Je Ibn Hajar

amesema kuwa Husein ni THIQA (muadilifu mwenye uwezo mzuri wa

kuhifadhi) Au amesema kuwa Husein ni DHAIFU? Jawabu liko wazi

katika maneno yake hayo hapo nyuma, kwa hiyo Juma analazimika

kutueleza ni mahali gani Ibni Hajar amesema kuwa Husein ni dhaifu?

Huwenda Juma akawa ametatizika na kauli ya Ibn Hajar pale aliposema:

“ANA MAKOSA” yeye haraka haraka kwa sababu ya nia yake mbaya

akadhania kwamba kuwa makusudio ya Ibn Hajar ni kuwa Husein

“ANAKOSEA SANAA”! Na kama hiyo ndiyo sababu iliyomfanya ndugu

Juma aseme kuwa Husein ni dhaifu, je hakuiona kauli ya Ibni Hajar

aliyosema kuwa Husein ni THIQA kabla ya kusema anakosea?625

JAWABU

Kuhusu je riwaya ya Ikrima ni sahihi au si sahihi, hilo tutalizungumzia

mahala pake tukifika in shaa Allah. Ama kwa hapa Sheikh Kasim

ningependa kukusihi kwamba usiwe na tabia ya kukimbilia kuwaita watu

waongo mpaka uwe na nukta madhubuti kwani uwongo ni jarima kubwa na

kumwita mtu mwongo bila ya haki pia ni jarima kubwa. Hebu tazama uzuri

maneno yangu ambayo wewe mwenyewe pia umeyanukuu. Mimi nimesema

hivi:

625

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 58-59.

Page 214: Fimbo ya Musa

214 Hadithi hii pia ni dhaifu, na udhaifu wake ni kuwa katika wapokezi wake

yumo Husain bin Waqid naye ni dhaifu; wanavyuoni wa Hadithi

hawakumkubali.

Kwa hivyo, neno ni “dhaifu” na maneno “wanavyuoni wa Hadithi

hawakumkubali” yanaeleweka wazi kuwa ni maneno yangu: wala mimi

sijadai kuwa hayo ni maneno ya Ibn Hajar. Nadhani kila atayeyasoma

maneno hayo, basi hilo linambainikia kwa uwazi. Halafu baada ya kusema

hivyo, ndio nikanukuu maneno ya Ibn Hajar na wenzake nikasema hivi:

Anasema Ibn Hajar Al-‟Asqalaani: “Al-Husain Bin Waqid Al-Mar-wazi,

Abu Abdallah Al-Qadhi alikuwa mkweli lakini anasahau na kukosea

sana”.626

Na akasema katika Tahdhib AlTtahdhib: “amesema Ibn Hiban

kuwa (Al-Husain Bin Waqid) ni katika watu wema lakini wakati

mwengine hukosea katika Hadithi (zake)”. Na akasema Al-Imamu Ahmad

bin Hanbal: “katika Hadithi zake kuna ziada hata sielewi nini”. Na

akasema Al-Saji kuwa (Al-Husain Bin Waqid) ni mtu wa kufikiriwa, naye

ni mkweli lakini anasahau na kukosea sana”. 627

Na akasema Al-‟Uqaili

katika kitabu chake Dhuafaau Al-‟Uqaili “katusimulia Ahmad bin Asram

bin Khuzaima kasema: „nimemsikia Al-Imamu Ahmad bin Hanbal

alipotajiwa Hadithi iliopokewa kotoka kwa Ayub bin Naafi kutoka kwa Ibn

Umar kutoka kwa Mtume (s.a.w.), akauliza Al-Imamu Ahmad bin Hanbal:

„nani msimulizi wa Hadithi hii, akaambiwa Al-Husain bin Waqid, akasema

kwa mikono yake (akapangusa mikono yake na kuashiria) na akatikisa

kichwa chake kana kwamba hakumridhia‟.628

Sasa ili niwe mwongo, basi ni lazima uthibitishe kwamba kile nilichodai

kuwa nimekinukuu kutoka kwa Ibn Hajar hakimo katika vitabu vyake. Hapo

utakuwa umeweza kuthibitisha kuwa Juma ni mwongo. Lakini

nilichokisema mimi kiko mbali; na nilichokidai kwamba nimekinukuu

kutoka kwa Ibn Hajar na wengine kiko mbali na kimo katika kitabu hicho

nilichokinukuu, sasa uwongo uko wapi? Kwa maana kwamba tafsiri yangu

katika kuyaelewa maneno ya wanavyuoni iko mbali na nukulu zao ziko

mbali ambapo mtu anaweza kuyapima maneno yangu kwa nukulu za

wanavyuoni na akajua kwamba tafsiri yangu katika kuzielewa nukulu zao ni

sahihi au ni makosa. Na katika hali hii mtu huwa haitwi mwongo, bali akiwa

kasema kinyume na makusudio ya wanavyuoni aliowanukuu, basi

huambiwa: “Kayafasiri maneno ya wanavyuoni sivyo”.

626

- Tazama Taqribu Al-Tahdhib uk. 169 tarjama na.1358. 627

- J. 2, uk. 321. 628

- Al-‟Uqaili Al-Dhu‟afaau j. 1, uk. 251.

Page 215: Fimbo ya Musa

215

Kisha elewa kwamba mimi katika hilo au mfano wa hilo nimetanguliwa na

wakuu wetu kama vile Al-Albani ambaye amesema yafuatayo:

ــــز٢ لـــــهض : حل٤ ح اخ أهؽ حزوخ١ طؼ٤وخ ػ ا ك٤ ؼلخ ٤٣ح هي هخ ح

. “ػوش أخ “: “و٣ذ ـــحظ “. هخ حلخكع ك٢ “حظ أكي أكخى٣غ ”ح٠ؼلخء “ك٢

خء هللا طؼخ٠ هض : ك ك حلي٣غ ا

Ninasema: Al-Husain (bin Waaqid) huyu, Al-Bukhari kazipokea Hadithi

zake ta‟aaliqan (kwa kuiondosha sanad mwanzoni), kisha (elewa kwamba

huyu Husain) ndani yake kuna udhaifu kidogo na Al-Dhahabi mwenyewe

kasema katika kitabu Al-Dhu‟afaa‟i kwamba “(Al-Imamu Ahmad)

amezikanusha Hadithi zake nyingi)629

na Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema

katika kitabu Al-Taqriib kwamba (Al-Husain bin Waaqid ni) “ni mwenye

kuaminika, ana makosa mengi”. Ninasema: basi yeye in shaa Allah Hadithi

zake ni hasan.630

Bwana Kasim! Sijui umeyaelewa maneno hayo ya Imamu wako Al-Albani?

Al-Albani anasema kwamba Husain bin Waaqid “ana udhaifu kidogo” na

kwamba “Hadithi zake ni hasan in shaa Allah”. Kisha akatoa ushahidi wa

maneno yake hayo ya “udhaifu kidogo wa Husan bin Waaqid” kwa kile kile

nilichokitolea ushahidi mimi kwa maneno yangu, akamnukuu Ibn Hajar

akisema: أخػوش (ni mwenye kuaminika; ana makosa mengi). Sasa na sisi

tumuulize Al-Albani je nawe ni mwongo uliposema kwamba Al-Husain ana

udhaifu kidogo kisha ukatoa ushahidi kwa maneno hayo ya Ibn Hajar? Ni

wapi katika maneno hayo ya Ibn Hajar aliposema kwamba Husain bin

Waaqid: “ana udhaifu kidogo?”

Ukiniambia kwamba “aaa Al-Albani yeye amezistambat kauli hizo tafauti

za wanavyuoni kisha akatoa kutoka humo kanuni za Hadithi”. Ukiniambia

hivyo, nitakujibu kwamba huo sio mjadala wetu: mjadala wetu ni kusema

kwake kwamba Husain ni dhaifu kidogo kisha akautolea ushahidi usemi

wake huo kwa maneno hayo ya Ibn Hajar ilhali Ibn Hajar hakuyatamka

maneno hayo. Pili ni kuwa, ikiwa yeye alichokifahamu kutoka katika

maneno ya Ibn Hajar aliposema kuhusu Husain bin Waaqid kwamba ni: ػوش

ni “mwenye udhaifu ,(mwenye kuaminika; ana makosa mengi) أخ

kidogo, mwenye Hadithi hasan”; basi na sisi tulichokifahamu kutoka katika

msimamo wa Al-Imamu Ahmad wa kuzikataa Hadithi nyingi za Husain bin

Waaqid ni kuwa Husain ana udhaifu.

629

- Si lazima ziwe nyingi zaidi. 630

- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 6, uk. 272.

Page 216: Fimbo ya Musa

216

Lakini kwa hali yoyote ile, tunanamwambia Sheikh Kasim bin Mafuta

kwamba kama alikuwa anataka kutafuta waongo kwa mujibu wa minhaj

yake ya uchambuzi, basi asingelipata tabu bali angeliwakuta waongo tele

katika madhehebu yake ya Kiwahabi na Maimamu wao bali na hata yeye

mwenyewe angelijikuta pia yumo katika jumla ya waongo. Chukua kwa

mfano:

1) Ibn Taymiyya. Huyu tumeyanukuu maneno yake mengi yasio na

ukweli katika juzuu ya kwanza. Rejea huko ujikumbushe. Na kwa

hapa tazama maelezo ya mwanafunzi wake Sheikh Al-Albani.

Anasema Al-Albani kuhusu Hadithi: اح ٠ حإلخ هخػيح كح هؼىح

(…Imamu akisali kitako nanyi salini kitako…”., anasema Al-

Albani kuhusu Hadithi hio: “Na Sheikh Al-Islam Ibn Taymiyya

katika Majmu‟u Al-Fataawa631

kaihusisha (Hadithi hio) na

Muslim, nalo ni katika makosa yake Allah amrehemu. Na Al-

Hafidhi (Ibn Hajar)632

akamfuatishia (jawabu kwamba) ilioko kwa

Muslim ni Hadithi nyengine na kwa njia nyengine kutoka kwa

Jabir.633

2) Ibn Al-Qayyim. Halkadhalika kuhusu Ibn Al-Qayyim,

tumekunukulia maelezo yake mengi yasio na ukweli, na kwa hapa

jikumbushe maelezo yake alioyatoa kuhusu Hadithi refu ya kutunga

alioitaja katika kitabu chake Zadu Al-Ma‟aad. Baada ya kuinukuu

Hadithi hio, alisema:

خس حزس، خى١ ؿالظ كوخظ ػظظ ػ٠ أ هي هؽ ...ح كي٣غ ز٤ ؿ٤، ط

رخوز، هخر رخظ٤ حلو٤خى، ٣طؼ ح أثش أ....… ش ك٠ ظز، طو ح

حط أكـي ك٤، ل ك٠ أكي

Hadithi hii ni kubwa, tukufu unatangaza utukufu wake na ukuu wake

na adhama yake kwamba inatokana na Mtume

(s.a.w)………wameipokea Maimamu wa Hadithi katika vitabu vyao

na wakaikubali, na wakasalimu amri mbele ya (usahihi) wake na

kuifuata; wala hakuna yoyote aliyeiponda wala aliyemponda yoyote

katika wapokezi wake (Hadithi hio).634

Hivyo, ndivyo alivyosema Ibn Al-Qayyim. Pamoja na hayo, watiaji maelezo

wa kitabu chake hicho, Dr. „Umar Al-Farmaawi, Muhammad Al-Bayyumi

631

- J. 1, uk. 475-356. 632

- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 11, uk. 50. 633

- Al-Albani Sahihu Al-Adabi Al-Mufrad uk. 367, chapa 2, Daaru Al-Siddiq 1415 A.H. 634

- Ibn Al-Qayyim Zaadu Al-Ma‟aad j. 3, uk. 444.

Page 217: Fimbo ya Musa

217

na „Abdullah Al-Minshaawi, wanasema kwamba hio ni Hadithi: “Dhaifu….

katika sanad yake Dalham bin Al-As-wad na babu yake „Abdullahi bin

Haajib, kasema Al-Dhahabi kwamba hawajulikani”.635

Na akasema aliyetia

maelezo Kitabu Sunna cha Ibn Ahmad kuhusu Hadithi hio kwamba ni

“Dhaifu”.636

Sasa je Sheikh Mafuta na hapa pia utastaajabishwa na uwongo wa Ibn Al-

Qayyim aliposema: “wameipokea Maimamu wa Hadithi katika vitabu vyao

na wakaikubali, na wakasalimu amri mbele ya (usahihi) wake na kuifuata;

wala hakuna yoyote aliyeiponda wala aliyemponda yoyote katika

wapokezi wake (Hadithi hio)” au utawapima watu kwa mezani mbili

tafauti?

3) Muhammad bin „Abdil-Wahhab. Anasema Muqbil Al-Waada‟i

kuhusu Hadithi isemayo: “Muueni mchawi mwanamme na

mwanamke”. Anasema Al-Waada‟i kuhusu Hadithi hio:

Sheikh Muhammed bin „Abdil-Wahhab kaihusisha Hadithi hio na

Sahihu Al-Bukhaari kwa misingi kwamba ni sehemu ya Hadithi ya

Bajala huyu, wala (Hadithi hio) haimo katika (Sahihu) Al-

Bukhari………..637

Kwa hivyo, Sheikh Kasim kwa mujibu wa vipimo vyako vya uwongo na

kweli, Imamu wako, Mzee wa Uislamu kasema uwongo kwani kamsemea

Muslim kitu ambacho hakimo kitabuni mwake! Au yeye utampa udhuru

usiowapa wengine? Halkadhalika Maimamu wako wengine, Ibn Al-Qayyim

na Muhammad bin „Abdil-Wahhab, nao – kwa mujibu wa vipimo vyako vya

uwongo na kweli – nao pia wataingia katika kiganja cha mezani cha

waongo. Ninarudia tena: hayo yote ni kwa mujibu wa mezani yako ya

uwongo na ukweli: si kwa mujibu wa mezani yangu. Tutakuwa na maelezo

zaidi ya waongo na wakweli tukifika sehemu nyengine in shaa Allah.

Anaendelea Kasim Mafuta:

ii) Lau kama Husein angekuwa na makosa mengi ya kumfanya awe ni

dhaifu na asikubaliwe na wanavyuoni wa hadithi, kitaalamu ingesemwa

“Faahishul-ghalat” au “Kathirul-Khatai” au “Sayyiul-Hifdhi” lakini

maneno yaliyotumika hapo ni “Lahu Auhaam” (ana makosa) na hiyo si

635

- Tazama maelezo hayo katika Zaadu Al-Ma‟aad j. 3, uk. 444, maelezo ya chini. 636

- Dr. Muhammad Al-Qahtaani katika maelezo yake ya Al-Sunna cha Ibn Ahmad j. 2, uk.

485. 637

- Al-Waada‟i Al-Ta‟aliiq „Alaa Al-Tattabu‟i cha Al-Daraqutni uk. 292.

Page 218: Fimbo ya Musa

218 sababu ya kumhukumu mpokezi kuwa ni dhaifu, kwani ni nani asiyekosea

na kutatizika?

iii) Ndugu Juma yeye amesema ni “AL-MARUZI”! Na kutamka hivi si

sahihi, sahihi ni AL-MAR‟WAZIY , na hii pia ni ishara tosha kwamba

yeye si mtaalamu, na hayuko makini katika fani hii, maana makosa yake

katika jambo hili ni mengi mno kushinda hayo makosa anayomsingizia

nayo Husein Al-Mar‟waziy.

iv) Hebu tuwatazame maulamaa wa hadithi wanasema nini kuhusu

Husein? Je ni kweli hawamkubali kama anavyodai ndugu Juma? Au huo ni

uwongo wake alioubuni ili kuzihadaa akili za watu? Amesema Imamu Abu

Bakar Ahmad bin Muhammad Al-Ath‟ram; “Nilimuuliza Imamu Ahmad

bin Hanbal: unasema nini kuhusu Al- HUSAIN BIN WAQID? Akasema

“hana ubaya wowote kisha akamsifia sana”. Amesema Imamu Yah‟ya Ibn

Mai‟n: Husain ni “THIQA” (mwadilifu mwenye kuhifadhi vizuri).

Amesema Imamu Abu Zur‟a: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema

Imamu Al-Nasai: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema Imamu Abu

Daud: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema Imamu Ibn Sa‟d : Husain:

“alikuwa ni mwenye hadithi nzuri”. Amesema Imamu Ibn Hibbaan:

“alikuwa Husain ni miongoni mwa watu bora na mara nyingine hukosea

katika mapokezi”.638

Ndugu msomaji, kwa mujibu wa kauli hizi za maulamaa hawa wakubwa

wa hadithi, je ni kweli kwamba hawamkubali Husein kama anavyodai

ndugu Juma Al-Mazrui? Au Juma amekusudia kudanganya? Haya ni

machache katika mengi ya uwongo aliyoyajaza kwenye kitabu chake

alichokiita. 639

JAWABU

Vifungu hivi tutavijadili tutapoizungumzia riwaya ya „Ikrima katika sehemu

yake tukiifika in shaa Allah. Ama kuhusu “AL-MARUZI” na AL-

MAR‟WAZIY, na yalio mfano wa hayo, hayo tumeshayaelezea vya kutosha

katika juzuu ya kwanza: hatuna haja ya kuyakariri. Ama kuhusu utaalamu

wa Hadithi na mengineo, mimi si mtaalamu wa chochote: mimi ni mtu

ninayewapendelea watu wakijue kile nikijuacho tu. Mimi si mjuzi wa fani

638

- Tazama maelezo hayo yote katika vitabu vifuatavyo: Sualaatul-Ath‟rami ukurasa wa

61. Al-Jar‟hu wal-Ta‟adili juzuu ya 3 ukursa wa 306. Tah‟dhibul-Kamaal juzuu ya 6

ukurasa wa 493. Taarikhul-Duuriy juzuu ya 2 ukurasa wa 119. Taarikhu Abi Zur‟a ukurasa

wa 208. Tabaqaatu Ibn Sa‟d juzuu ya 7 ukurasa wa 371. Tah‟dhibul-Tah‟dhibi juzuu ya 1

ukurasa 543. Al-Taqribu, tarjama namba 1392. 639

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 60.

Page 219: Fimbo ya Musa

219

za elimu kama ulivyozama wewe, lakini usisahau tu kwamba ninao wajinga

wenzangu wengi katika fani hii ya kukosea kuyatamka majina, rejea katika

sura ya kwanza ya juzuu ya kwanza ya kitabu hiki ujikumbushe idadi ya

baadhi ya mambumbumbu wenzangu na jinsi walivyofanya makosa kama

na kuliko hayo! Kwa bahati mbaya wajinga hao wewe unawategemea kama

ni maimamu wako! Sasa wewe mwenyewe utakuwaje?

HADITHI ZA KUONEKANA KWA ALLAH

Baada ya kuyajadili maelezo ya Kasim Mafuta, sasa natuingie katika

maudhui yenyewe. Utakumbuka ndugu msomaji – kama uliwahi kukipitia

kitabu changu Hoja Zenye Nguvu – kwamba mbali na hoja za kilugha

tulizozijadili katika sehemu iliotangulia zenye kuzihusu Aya hizo: “Nyoso

siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu ni zenye kutazama”, watetezi wa

itikadi ya kumuona Allah pia walitoa hoja za kiriwaya kutoka kwa Mtume

(s.a.w.) na kutoka kwa tabi‟ina ambazo zimeifasiri Aya hio kuwa maana

yake ni kumuona Allah. Hata hivyo, Hadithi ilionasibishwa kwa Mtume

(s.a.w.) ni Hadithi moja tu. Hadithi moja hio – nayo ni Hadithi ya Ibn „Umar

kupitia kwa Thuwair bin Abi Faakhita – tumeielezea katika kitabu chetu na

kubainisha kuwa ni Hadithi ya uwongo kwa mujibu wa sanad na matn yake

zilivyo. Inavyoonesha ni kuwa Sheikh Kasim bin Mafuta kakubaliana na sisi

kwamba Hadithi hio ni ya uwongo, kwani katika jawabu yake alionijibu

hakuitolea hoja kamwe na badala yake akatoa hoja kwa riwaya ya „Ikrima.

Lau kama Sheikh Kasim bin Mafuta anaona kuwa Hadithi hio

ilionasibishwa kwa Mtume (s.a.w) ni sahihi, basi bila ya shaka

asingeliiwacha na kukimbilia kwa Ikrima. Hata hivyo, kwa kuwa kitabu hiki

ni zaidi ya jawabu, basi wacha tuzitazame riwaya hizo moja moja.

HADITHI YA IBN „UMAR

Hadithi hio inasema:

ر ٢ خ ػ ػ ي ك ه ـ ر أ ر ٤ ل ح ػ ي ك خ ر ذ ؼ خ ي و ح ه ح خ خ ا ػ ي ك ٣ ر ٤ حث ػ

ه ػ حر ػ ٣ ػ ه : خ خ هللا ٤ ػ ٠ هللا ٠ أ ى أ : ا ش ش ـ ح

ه ش ٢ ل أ ٠ ك ظ ٣ . ه ٤ ط ٣ هللا ؿ ٢ ك ظ ٣ ش ٠ ك أ : ا خ ال ط ػ خ

س خ ج ٣ ؿ ه ”: ر خ ٤ ز خ خ ه ،خء ل ح س “: خ خ خظ ر ه ”ا ٠ ٢ ك ٣ ظ ط “: خ

ؿ ػ هللا ؿ

Ametusimulia Ali bin Al-Husain bin Abjar, kasema: katusimlia Mus‟ab bin

Al-Miqdaam, kasema, katusimulia Israail bin Yunus kutoka kwa Thuwair

kutoka kwa Ibn „Umar, kasema : “ kasema Mtume (s.a.w) kuwa: „hakika

ya watu wa daraja ya chini kabisa katika pepo ni wale watakaotazama

Page 220: Fimbo ya Musa

220 ufalme wao (masafa ya) miaka elfu mbili; na wabora wao ni wale

watakaoitazama Dhati ya Mwenyezi Mungu kila siku mara mbili. Kisha

(Mtume baada ya kusema haya ) akasoma (Aya za 22-23 ya Suratu Al-

qiyama, zinazosema): “Kuna nyuso siku hio zitang‟aa”. Akasema: “kwa

sababu ya weupe wake na usafi wake”. “Kwa Mola wake ndiko

zinakotazama”. Akasema: zinatazama katika Dhati ya Mwenyezi Mungu

Mtukufu Aliyetukuka kila siku.

TAKHRIJ YA HADITHI

Riwaya hio kaipokea Imamu Al-Mufassirin Ibn Jarir Al-Tabari katika

Jaami‟u Al-Bayaan,640 Ibn Abi Shaiba katika Al-Musannaf,641

Al-Imamu

Ahmad bin Hanbal katika Al-Musnad,642

„Abdu bin Humaid katika Al-

Musnad,643

Abu Ya‟alaa katika Al-Musnad,644

Al-Baghawi katika Sharhu

Al-Sunna,645

Al-Hakim katika Al-Mustadrak,646

Al-Tirmidhi katika Al-

Sunan,647

Ibn Batta katika Al-Ibana,648

Ibn Mannda katika Al-Raddu „Alaa

Al-Jahmiyya,649

„Abdullah bin Ahmad katika Al-Sunna,650

Al-Ajurri katika

Shari‟a,651

Abu Shaikh katika Al-Adhama,652

Ibn Abi Al-Dunya katika

Sifatul Janna,653

na wengine.

WALIOITOLEA HOJA HADITHI HIO

Hadithi hio, baada ya kuwa imesimuliwa na wapokezi hao, wameijengea

hoja ya kuthibitisha kuonekana kwa Allah wanavyuoni kama: Ibn Kathir,654

Al-Tha‟alabi,655

Al-Tha‟aalibi,656

Al-Khaazin,657

Al-Tabari,658

Al-

640 - Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29, uk. 120.

641 - Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 7, uk. 34, Hadithi na. 34000.

642 - Ahmad Al-Musnad j. 2, uk.13 Hadithi na. 4623; uk. 64, Hadithi na. 5317.

643 - „Abdu bin Humaid Al-Musnad uk. 260, Hadithi na. 819.

644 - Abu Ya‟alaa Al-Musnad j. 10, uk. 96, Hadithi na. 5729.

645 - Al-Baghawi Sharhu Al-Sunna j. 7, uk. 497.

646 - Al-Hakim Al-Mustadrak j. 2, uk. 553, Hadithi na. 3880.

647 - Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 2476-3253.

648 - Ibn Batta Al-Ibaana j. 3, uk. 16.

649 - Ibn Manda Al-Raddu „Alaa Al-Jahmiyya uk. 54.

650 - „Abdullah bin Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 251, Hadithi na. 461.

651 - Al-Ajurri Al-Shari‟a j. 2, uk. 190.

652 - Abu Shaikh Al-‟Adhama j. 3, uk. 1111.

653 - Ibn Abi Al-Dunya Sifatul Janna uk. 35.

654 - Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhim j. 4, uk. 407.

655 - Al-Tha‟alabi Al-Kashfu WaAl-Bayaan j. 10, uk. 88.

656 - Al-Tha‟aalibi Al-Jawaahiru Al-Hisan j. 2, uk. 66.

657 - Al-Khaazin Tafsiru Al-Khaazin j. 6, uk. 195.

658 - Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 29, uk. 230.

Page 221: Fimbo ya Musa

221

Qurtubi,659

Al-Alusi,660

Al-Shaukaani,661

Al-Tuwaijri,662

Al-Laalakaai,663

„Ali Al-Faqihi,664

Ahmad bin Ibrahim bin Isa,665

Ibn Taymiyya,666

Ibn Al-

Qayyim,667

na wengine.

MATN YA HADITHI HIO

Lakini pamoja na yote hayo, ubatili wa Hadithi hio ni jambo lililo wazi. Na

hii, kama tulivyoelezea katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu, ni kwamba

kuna mgongano baina ya maelezo yaliomo katika Hadithi yenyewe, na Aya

ya Qur-ani iliotumika ili kuyapa ushahidi maelezo hayo. Mukhtasari wa

hayo ni kuwa, Hadithi inazungumzia kuwa watu huko peponi watamuona

Allah; hivyo ndivyo Hadithi inavyotongoa. Kisha Hadithi ikasisitiza itikadi

hio kwa Aya ya Qur-ani. Lakini cha ajabu ni kuwa ukitazama Hadithi na

Aya utaona kwamba kuna tafauti: Aya inazungumzia matukio yatayotukia

katika uwanja wa kiama; wakati Hadithi inazungumzia matukio ya peponi!

Na tunaambiwa kuwa haya ni maneno ya Mtume (s.a.w.)! Sasa vipi Mtume

(s.a.w.) azungumzie matukio yatayotukia peponi kisha ayatolee ushahidi

matukio hayo kwa Aya inayozungumzia matukio yatayojiri katika uwanja

wa kisimamo cha kiama kama hii si Hadithi ya kutunga!

SANAD YA HADITHI HIO

Ama kuhusu sanad ya Hadithi hio, basi ni balaa katika mabalaa makuu!

Katika sanad hio kuna Thuwair naye ni Thuwair bin Abi Faakhita. Anasema

Amru bin Ali: “Yahya na Abdul-Rahmaan walikuwa hawasimulii Hadithi

kutoka kwake”. Anasema Sufyaan Al-Thauri: “Thuwair ni katika nguzo za

uwongo”. Anasema Al-Duuri kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “(Thuwair ni)

Dhaifu”. Anasema Ibrahim Al-Juzajaani: “Hadithi zake ni dhaifu”. Anasema

Abu Zur‟a: “si madhubuti”. Anasema Abu Hatim: “dhaifu”. Anasema Al-

Nasai: “si mkweli”. Anasema Al-Daraqutni: “Hadithi zake zinawachwa”.

Anasema Al-Bukhari: “alikuwa Ibn „Uyeina akimtia kasoro”. Anasema Al-

Sakhtiyaani: “hakuwa mnyoofu”. Anasema Al-Haakim: “si madhubuti”.

659

- Al-Qurtubi Jaami‟u Li-Ahkaami Al-Qur-an j. 19, uk. 108. 660

- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟aani j. 29, uk. 145. 661

- Al-Shaukani Fat-hu Al-Qadiir j. 7, uk. 368. 662

- Humud Al-Tuwaijri Itihaafu Al-Jamaa‟a j. 3, uk. 308. 663

- Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Sunna j. 3, uk. 484. 664

- „Ali Al-Faqihi Al-Raddu Al-Qawiim j. 1, uk. 124. 665

- Ahmad bin Ibrahim bin Isa Sharhu Qasidati Ibn Al-Qayyim j. 2, uk. 482. 666

- Ibn Taymiyya Al-Istiqaama j. 2, uk. 108. Majmu‟a Al-Fataawa j. 6, uk. 424. 667

- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 226.

Page 222: Fimbo ya Musa

222

Anasema Ali bin Junaid: “Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Ibn

Hibbaan: “alikuwa akizibadilisha sanad mpaka akawa analeta katika Hadithi

zake vitu kama vya kutunga”. Anasema Al-Ajurri kutoka kwa Abu Daud:

“Ibn Mahdi kazikataa Hadithi zake”. Anasema Al-Juzajaani: “si mkweli”.

Na Al-‟Uqaili, Ibn Jarud na Abu Al-‟Arab Al-Saqali668

na wengineo

wamemtaja katika wapokezi dhaifu.669

Baada ya hayo, itakubainikia ndugu msomaji kwamba hii ni Hadithi ya

kutunga bila ya shaka yoyote, na hiki ndicho kinachothibitishwa na watu wa

tahqiiq na upekuzi. Anasema Al-Dhahabi kuhusu sanad hio akimjibu Al-

Hakim: “Bali yeye (Thuwair) Hadithi zake ni dhaifu sana”.670

Anasema Ibn

Hajar: “Na ndani yake (Hadithi hii) kuna udhaifu”.671

Na akasema:

“Wamekubaliana juu ya udhaifu wake (Thuwair)”.672

Anasema Ayman

Saalih Sha‟abaan: “Sanad yake ni dhaifu”.673

Anasema Al-Suyuti na Al-

Haythami: “Na katika sanad zao (zote) muna Thuwair bin Abi Faakhita,

naye wamekubaliana kwamba ni dhaifu”.674

Hadithi hio imedhoofishwa pia

na wanavyuoni kama: Shu‟aib Al-Arnaut,675

Muhaddithu Al-Qalami Wa Al-

Awraaq (Al-Albani),676

Ibn Rajab Al-Hanbali,677

Dr. Muhammad bin Sa‟id

Al-Qahtaani,678

Samiir Al-Zuhairi,679

na wengine.

668

- Katika vitabu vyengine kaandikwa Al-Siqali. 669

- Tazama Tahdhib Al-Tahdhib j. 2 uk. 32. 670

- Maelezo ya Al-Dhahabi katika Al-Talkhiis kayanukuu Mustafa „Abdil-Qadir katika

maelezo yake juu ya Al-Mustadrak cha Al-Hakim j. 2, uk. 553, Hadithi na. 3880. 671

- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 2, uk. 34. 672

- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 13, uk. 419. 673

- Jami‟u Al-Usul kilichohakikiwa na „Abdil Qaadir Al-Arnauut j. 10, uk. 532. 674

- Al-Suyuti Al-Jaami‟u Al-Kabiir uk. 7022. Al-Haythami Majma‟u Al-Zawaaid j. 10, uk.

741, Hadithi na. 18669. 675

- Shu‟aib Al-Arnaut Ta‟aliqihi „Alaa Musnad Ahmad Hadithi na. 4623. 676

- Al-Albani Sahihu Wa Dha‟iifu Al-Jaami‟i Al-Saghiir Wa Ziyaadaatih j. 1, uk. 331,

Hadithi na. 3305. Silsila Al-Dha‟iifa j. 4, uk. 450, Hadithi na 1985. 677

- Ibn Rajab Fat-hu Al-Bari j. 3, uk. 137. 678

- Al-Qahtaani Al-Sunna cha Ibn Ahmad j. 1, uk. 251, Hadithi na. 461. 679

- Al-Zuhairi Al-Tasdiiq Bi-Annadhar cha Al-Ajurri uk. 72.

Page 223: Fimbo ya Musa

223

RIWAYA ZA MAIMAMU KATIKA TAABI‟IIN

RIWAYA YA KWANZA

Riwaya ya kwanza inasema:

ػ ي ك ٤ خػ ا ر ي ل خ و ز ح ه ١ خ ه ى آخ ػ ي ك خ ػ ي ك خ ز خ ح ػ ى خ ؼ خ ٠ ــــط ه ٠ ك ل ح

) ج ٣ ؿ س ه ) خ خ ( ش : ك خ ر س ا ٠ ه ) خظ ا ظ ط خ ٠ ط خ أ ــ ن ـــك ن خ و ٠ ح

خ و خ ٠ ه ا ظ ط ٢

Ametusimulia Muhammad bin Ismail Al-Bukhari kasema: „ametusimulia

Adam kasema: „ametusimulia Al-Mubaarak kutoka kwa Al-Hasan

kuhusiana na kauli ya Mwenyezi Mungu inayosema: “Kuna nyuso siku

hio zitang‟aa” (akasema maana yake) zitapendeza. Na kauli ya Mwenyezi

Mungu inayosema: “kwa Mola wao ndiko zitakotazama,” kasema:

„zitamtazama Muumba, na ni haki yake zing‟ae nazo zinamtazama

Muumba wake”. 680

SANAD YA RIWAYA

Katika sanad ya riwaya hii yumo Mubarak (bin Fadhala) naye ni dhaifu,

tena anaghushi681

na Hadithi yake hapa ni mua‟na‟n.682

680

- Ibn Kathir Tafsiri Al-Quran Al-Adhim j. 4, uk. 407. Al-Tabari Jami‟u Al-Baya An j. 29,

uk. 119. 681

- Anasema Abdallah bin Ahmad mtoto wa Al-Imam Ahmad bin Hanbal: “aliulizwa baba

yangu kuhusu Mubarak na Al-Rabi‟u bin Subaih, akasema: „wamekaribiana sana, Mubarak

alikuwa akighushi”. Na akasema tena Abdallah mtoto wa Al-Imam Hanbal: “nimemuuliza

Ibn Ma‟iin kuhusu Mubarak, akasema: “Hadithi zake ni dhaifu; sawa sawa na Al-Rabi‟u

bin Subaih kwa udhaifu”. Anasema Abu Zur‟a: “alikuwa akighushi,” (yaani Mubarak).

Anasema Al-Ajurri kutoka kwa Abu Daud kasema: “na (Mubarak)” alikuwa akighushi”.

Na akasema tena: „alikuwa mkali wa kughushi”. Anasema Al-Nasai kwamba Mubarak ni

“Dhaifu”. Anasema Ibn Said kuwa Mubarak “amekufa mwaka 165 naye alikuwa dhaifu”.

Na akasema Ibn Hiban kuwa Mubarak “alikuwa akizikosea (Hadithi). Anasema Al-Saji

kuwa Mubarak “ndani yake kuna udhaifu”. Anasema „Uthman Al-Razi kuwa Mubarak

alikuwa “akighushi”. Tazama kitabu Tahdhib Al-Tahdhib j. 10 uk. 27. 682

- Hadithu mua‟na‟n ni Hadithi ambayo mpokezi wake hutumia neno: “An fulani ل ف ع

“Kutoka kwa fulani” nayo ni Hadithi dhaifu ikiwa itasimuliwa na mwenye kughushi.

Mubarak alikuwa ni mwenye kughushi, na hata asighushi, alikuwa dhaifu.

Page 224: Fimbo ya Musa

224

RIWAYA YA PILI

Riwaya ya pili inasema:

ر ٢ ػ ه ن ٤ ــ و ر ٤ ل ح ػ ي ك خ ؿ ( ش ـــــ ػ ػ ١ ـــل ح ي ٣ ٣ ػ ي حه ر ٤ ل خ ح

س ( ج ٣ خ خظ ر س ***ا ٠ ه خ ظ : ط خ ح ظ خ ر ا ٠

…….Ametusimulia Ali bin Al-Hasan bin Shaqiq kasema: „katusimulia Al-

Husain bin Waaqid kutoka kwa Yazid Al-Nahwi kutoka kwa „Ikrimah

kasema (kwamba kauli ya Mwenyezi Mungu inayosema): ؿ ج ٣

س س *** خ خظ خ ر ٠ ا (Kuna nyuso siku hio zitang‟aa” *** kwa Mola

wake (tu) ni zenye kutazama), maana yake: zitamtazama kweli kweli.683

SANAD YA HADITHI

Katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu tulisema kuwa riwaya hii ni dhaifu,

na udhaifu wake ni kuwa katika wapokezi wake yumo Husain Bin Waqid

naye ni dhaifu; wanavyuoni wa Hadithi hawakumkubali. Anasema Ibn

Hajar Al-Asqalaani: “Al-Husain bin Waqid Al-Mar-wazi, Abu Abdallah Al-

Qadhi alikuwa mkweli lakini anasahau na kukosea sana”. 684

Na akasema:

“amesema Ibn Hiban kuwa (Al-Husain bin Waqid) ni katika watu wema

lakini wakati mwengine hukosea katika Hadithi (zake)”. Na akasema Al-

Imamu Ahmad bin Hanbal: “katika Hadithi zake kuna ziada hata sielewi

nini”. Na akasema Al-Saji kuwa (Al-Husain bin Waqid) ni mtu wa

kufikiriwa, naye ni mkweli lakini anasahau na kukosea sana”. Na akasema

Al-„Uqaili katika kitabu chake Dhuafaau Al-„Uqailh:685

“katusimulia

Ahmad bin Asram bin Khuzaima kasema: „nimemsikia Al-Imamu Ahmad

bin Hanbal alipotajiwa Hadithi iliopokewa kotoka kwa Ayub bin Naafi

kutoka kwa Ibn Umar kutoka kwa Mtume (s.a.w.) , akauliza Al-Imamu

Ahmad bin Hanbal: „nani msimulizi wa Hadithi hii, akaambiwa Al-Husain

bin Waqid, akasema kwa mikono yake (akapangusa mikono yake na

kuashiria) na akatikisa kichwa chake kana kwamba hakumridhia”.686

Hayo kwa ujumla ndio maelezo nilioyatoa katika kitabu Hoja Zenye Nguvu.

Lakini nikapingwa na Sh. Kasim Mafuta kwa hoja ambazo baadhi yake

tumeshazijadili huko nyuma. Ama vipengele ambavyo hatukuvijadili katika

jawabu yake na ambavyo tuliahidi kuwa tutavijadili tutapoizungumzia

riwaya ya „Ikrima ni kama inavyofuata. Anasema Kasim bin Mafuta:

683 - Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29, uk. 119.

684 - Tazama Taqrib Al-Tahdhib uk. 169 tarjama na. 1358.

685 - J. 1, uk. 251.

686 - Ibn Hajar Tahdhib Al-Tahdhib j. 2, uk. 321.

Page 225: Fimbo ya Musa

225

1) Lau kama Husein angekuwa na makosa mengi ya kumfanya awe ni

dhaifu na asikubaliwe na wanavyuoni wa hadithi, kitaalamu

ingesemwa “Faahishul-ghalat” au “Kathirul-Khatai” au “Sayyiul-

Hifdhi” lakini maneno yaliyotumika hapo ni “Lahu Auhaam” (ana

makosa) na hiyo si sababu ya kumhukumu mpokezi kuwa ni dhaifu,

kwani ni nani asiyekosea na kutatizika?

2) Hebu tuwatazame maulamaa wa hadithi wanasema nini kuhusu

Husein? Je ni kweli hawamkubali kama anavyodai ndugu Juma? Au

huo ni uwongo wake alioubuni ili kuzihadaa akili za watu? Amesema

Imamu Abu Bakar Ahmad bin Muhammad Al-Ath‟ram; “Nilimuuliza

Imamu Ahmad bin Hanbal: unasema nini kuhusu Al- HUSAIN BIN

WAQID? Akasema “hana ubaya wowote kisha akamsifia sana”.

Amesema Imamu Yah‟ya Ibn Mai‟n: Husain ni “THIQA” (mwadilifu

mwenye kuhifadhi vizuri).

3) Amesema Imamu Abu Zur‟a: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema

Imamu Al-Nasai: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema Imamu

Abu Daud: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema Imamu Ibn Sa‟d :

Husain: “alikuwa ni mwenye hadithi nzuri”. Amesema Imamu Ibn

Hibbaan: “alikuwa Husain ni miongoni mwa watu bora na mara

nyingine hukosea katika mapokezi”.687

Ndugu msomaji, kwa mujibu wa kauli hizi za maulamaa hawa wakubwa

wa hadithi, je ni kweli kwamba hawamkubali Husein kama anavyodai

ndugu Juma Al-Mazrui? Au Juma amekusudia kudanganya? Haya ni

machache katika mengi ya uwongo aliyoyajaza kwenye kitabu chake

alichokiita.688

Hayo ndio maelezo ya Kasim “ntotongwa” wa Mafuta, nasi tunasema kuwa

Sheikh Kasim umethibitisha kwamba kuna wanavyuoni waliosema kuwa

Husain ni thiqa na wanavyuoni waliosema kuwa hana ubaya. Je madai yako

hayo yameweza kupindua yale nilioyasema kwamba:

1) Ibn Hajar Al-‟Asqalaani anasema: “Al-Husain Bin Waqid Al-Mar-wazi,

Abu Abdallah Al-Qadhi alikuwa mkweli lakini anasahau na kukosea

sana”.689

2) Amesema Ibn Hibbaan kuwa: “(Al-Husain Bin Waqid) ni katika watu

wema lakini wakati mwengine hukosea katika Hadithi (zake)”.

687

- Tazama maelezo hayo yote katika vitabu vifuatavyo: Sualaatul-Ath‟rami ukurasa wa

61. Al-Jar‟hu wal-Ta‟adili juzuu ya 3 ukursa wa 306. Tah‟dhibul-Kamaal juzuu ya 6

ukurasa wa 493. Taarikhul-Duuriy juzuu ya 2 ukurasa wa 119. Taarikhu Abi Zur‟a ukurasa

wa 208. Tabaqaatu Ibn Sa‟d juzuu ya 7 ukurasa wa 371. Tah‟dhibul-Tah‟dhibi juzuu ya 1

ukurasa 543. Al-Taqribu, tarjama namba 1392. 688

- Kasim bin Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 60. 689

- Tazama Taqribu Al-Tahdhib uk. 169 tarjama na.1358.

Page 226: Fimbo ya Musa

226 3) Anasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “katika Hadithi zake kuna ziada

hata sielewi ni nini, na (Ahmad) akapangusa mkono wake”………

“Hadithi zake hata sijui ni kitu gani” na kwamba Ahmad alizikanusha

riwaya zake nyingi.

4) Na akasema Al-Saji kuwa (Al-Husain Bin Waqid) ni mtu wa kufikiriwa,

naye ni mkweli lakini anasahau na kukosea”. 690

5) Na akasema Al-‟Uqaili katika kitabu chake Dhuafaau Al-‟Uqaili:

“katusimulia Ahmad bin Asram bin Khuzaima kasema: „nimemsikia Al-

Imamu Ahmad bin Hanbal alipotajiwa Hadithi iliopokewa kotoka kwa

Ayub bin Naafi kutoka kwa Ibn Umar kutoka kwa Mtume (s.a.w.),

akauliza Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: „nani msimulizi wa Hadithi hii,

akaambiwa Al-Husain bin Waqid, akasema kwa mikono yake (akapangusa

mikono yake na kuashiria) na akatikisa kichwa chake kana kwamba

hakumridhia‟.691

Je kwa mujibu wa maelezo haya, Al-Imamu Ahmad atakuwa kamkubali

Husain bin Waaqid au hakumkubali? Na kwanini Al-‟Uqaili amtaje Husain

bin Waaqid katika Al-Dhu‟afaau (kitabu cha wapokezi dhaifu). Kwa hivyo

kwa ufupi ni kuwa, kanuni ni kuwa maelezo ya wanavyuoni wa wapokezi

yanapogongana kwa kawaida yanaletewa tafsiri, vyenginevyo kanuni ya

jumhur ni kuwa حـف وي ػ٠ حظؼي٣ (kumjeruhi mpokezi ndiko

kunakotangulizwa pasina kutangulizwa kwa kukubaliwa kwake). Na bila

shaka maelezo ya wanavyuoni hao ukiyasoma kwa kuyajumuisha basi

utayakuta yako wazi kwamba:

1) Husain bin Waaqid ni thiqa (mwenye kuaminika) yaani ni يم ك٢

.(mkweli katika nafsi yake) ل

2) Dhaifu katika hifdhi yake.

3) Na hii ina maana kwamba riwaya zake zinafaa katika Al-Shawaahid

wal-mutaaba‟aat: si anapopwekeka na riwaya au kwenda kinyume

na mpokezi aliye thiqa zaidi. Utakumbuka kwamba riwaya nyengine

ya „Ikrima imekataa kuonekana kwa Allah nayo ni riwaya

iliosimuliwa na „Abdu bin Humaid kama alivyoeleza Al-Hafidh Ibn

Hajar katika Fat-hu Al-Bari. 692

Ama madai yako kwamba:

Lau kama Husein angekuwa na makosa mengi ya kumfanya awe ni dhaifu

na asikubaliwe na wanavyuoni wa hadithi, kitaalamu ingesemwa

690

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2, uk. 321-22. 691

- Al-‟Uqaili Al-Dhu‟afaau j. 1, uk. 251. 692

- Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 15, uk. 9249, katika maelezo ya Hadithi na. 7434 na

zinazofuata. Anasema: هي أهؽ ػزي ر ك٤ي ػ ػش ؿ آه اخ حإ٣ش (Na „Abdu bin

Humaid kapokea kwa njia nyengine kutoka kwa 'Ikrima kwamba kakanusha suala la

kuonekana kwa Allah).

Page 227: Fimbo ya Musa

227 “Faahishul-ghalat” au “Kathirul-Khatai” au “Sayyiul-Hifdhi” lakini

maneno yaliyotumika hapo ni “Lahu Auhaam” (ana makosa) na hiyo si

sababu ya kumhukumu mpokezi kuwa ni dhaifu, kwani ni nani asiyekosea

na kutatizika?

Maneno yako hayo yananikumbusha ile ile hoja ya Imamu wako Al-Albani

kuhusu Hammad bin Salama! Ninasema: mpokezi aliyesemwa kuwa ni

“Faahishul-ghalat” au “Kathirul-Khatai” ni mpokezi dhaifu sana na kwa

hivyo riwaya zake hazipandi daraja hata kwa kupokewa kwa njia nyengine

ilio kama hio au ilio dhaifu kidogo. Ama mpokezi “Sayyiul-Hifdhi”, huyu

yeye daraja yake ya udhaifu ni tafauti na wawili waliotangulia na kwa hivyo

Hadithi yake inaweza kutumika ikiwa itapata nguvu kwa riwaya nyengine. Bali

lafdhi “Sayyiul-Hifdhi”, wengine wameifanya sawa na lafdhi fiihi dha‟af (ndani

yake kuna udhaifu) na lafdhi layyin (si madhubuti) na lafdhi fiihi maqaal (ndani

yake kuna usemi huu na ule) n.k.693

Ama mpokezi mwenye awhaam naye ni mwenye kuaminika, huyu Hadithi

yake inaweza kukubalika katika shawaahid, au ikiwa riwaya yake

haikugongana na riwaya ya thiqa. Kwa maana kwamba Husain bin Waaqid

udhaifu wake si mkubwa, na kwa hivyo Imamu wako Al-Albani kasema:

kisha (elewa kwamba huyu Husain) ndani yake kuna udhaifu kidogo”

694

na Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema katika kitabu Al-Taqriib kwamba (Al-

Husain bin Waaqid ni) “ni mwenye kuaminika, ana makosa mengi.695

Hayo ni maelezo ya Al-Albani, pamoja na hayo, Al-Albani anaona kuwa

Hadithi za Husain inawezekana zikafikia daraja ya hasan. Na hili alilolidai

Al-Albani kama lilikuwa ni sahihi, basi Al-Imamu Ahmad asingeliziwacha

riwaya zake nyingi. Lakini tukijaalia kuwa hilo ni sahihi, basi kwa hapa

bado lisingeliweza kutenda kazi kwani riwaya za „Ikrima juu ya maudhui hii

zimejigonga: wakati kuna riwaya hio ya kumuona Allah; riwaya yake ya pili

inakanusha jambo hilo.

Kwa hali yoyote ile, bwana Kasim bin Mafuta, cha kuzingatia hapa ni hiki:

1) Maneno ya Ikrima ni rai yake: si hoja ya Kisharia.

2) Riwaya ya Ikrima haikufikia daraja ya usahihi.

3) Riwaya ya Mujahid imefikia daraja ya usahihi.

4) Tukijaalia kuwa riwaya ya Ikrima nayo pia ni Sahihi, basi Ikrima

kapingwa na Mujahid na Abu Salih katika kuifasiri Aya hio.

693

- Tazama Ali bin Naaif Ibn Hajar Wa Manhajuhu Fii Al-Taqriib uk. 9. 694

- Si lazima ziwe nyingi zaidi. 695

- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 6, uk. 272.

Page 228: Fimbo ya Musa

228

5) Mujahid si kwamba kasema kuwa maana ya Aya hio ni kuwa

Waumini watangojea malipo tu, bali kasema: “Hakuna yoyote katika

viumbe wake atayemuona”.696

RIWAYA YA TATU

Riwaya ya tatu inasema:

ي ز ػ ر هللا ي ز ػ ر ي ؼ ٢ ػ ي ك ه ل ح ي ز ػ ر ي خ خ ه ػ ي ك خ ه ك ح ـ ػ ر خ أ ػ ي ك خ ػ ش ك

ش ٤ ط ػ ؿ ه ٢ ك ٢ ك ؼ ح ر ط ؼ خ ٠: س ا ٠ خ ج س ه خـــــ ٣ خظ ا ٠ هللا ل ظ ـــــــــ : ٣ خ

ـــ ر أ ٢ ٤ ـــــــل ط خ ٣يى ــ: ل طي حلر ه ي . ك ر ٢ ٤ ل ر ظ ظ ػ ر خ

حلرخ.

Amenisimulia Sa‟ad bin Abdllah bin Abdil-Hakam, kasema: „katusimulia

Khalid bin „Abdul-Rahman, kasema: „katusimulia Abu Arfaja kutoka kwa

Atiya Al-awfi (kasema) kuhusiana na kauli ya Mwenyezi Mungu

(inayosema): “nyuso siku hio zitangaa***Zikitazama kwa Mola

wake”. Kasema: „watakuwa wanamtazama Mwenyezi Mungu uoni wao

hauwezi kumzunguka kwa ukubwa wake naye uoni wake unawazunguka.

Basi hii ndio maana ya pale Mwenyezi Mungu aliposema kuwa: “macho

hayamdiriki (hayamfikii) naye anayadiriki (anayafikia).697

SANAD NA MATN KWA UFUPI

Riwaya hii inajenga hisia ya kuwa Mwenyezi Mungu ni kiwiliwili kikubwa

sana ambacho uoni wa kiumbe hauwezi ukakizunguka kwa jinsi

kilivyokuwa kikubwa! Hii ndio hisia ya wazi ambayo inajengwa na riwaya

hii, kama yanavyoonesha maneno yasemayo: “uoni wa viumbe hauwezi

kumzunguka kwa sababu ya ukuu wake”. Na hii – bila shaka – kama

haikuwa ni tashbihi ya wazi basi haichi kuwa ni tashbihi dhimniy.

Ama kuhusu msimulizi wa riwaya hii utamkuta ni „Atiyya Al-‟Awfi. Naye

ima atakuwa anatoa tafsiri yake mwenyewe ya vipi kaifahamu Aya hio, au

awe anadai kuwa kainukuu riwaya hio kutoka kwa mtu mwengine. Ikiwa ni

tafsiri yake basi hakuna upinzani kwani huo ni uoni wake na uoni wake ni

sawa na uoni wa mujtahid yoyote yule. Ama ikiwa anadai au itadaiwa kuwa

yeye kaisimulia tafsiri hio kutoka kwa mwengine, na hilo ndilo lililodhahir

696

- Al-Rabi‟u bin Habib Al-Jami‟u Al-Sahih j. 3, uk.323, Hadithi na. 855. Ibn Jarir Al-

Tabari Jami‟u Al-Bayan j. 29, uk. 229. Riwaya ya Al-Tabari ina sanad dhaifu sana, lakini

kama unavyoona Al-Rabi‟u kaipokea riwaya hio kwa sanad nyengine. 697

- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29, uk 120.

Page 229: Fimbo ya Musa

229

hapa, basi hilo lingelikubalika lau „Atiyya alikuwa ni msimulizi sahihi.

Lakini yeye mwenye ni dhaifu na ni mwenye kughushi.

Anasema Al-Imamu Muslim: “alisema Ahmad – na alitajwa „Atiyya Al-

‟Awfi - „Hadithi zake ni dhaifu…..na Hushaim alikuwa akizidhoofisha

Hadithi zake‟. Anasema Abu Zur‟a kwamba „Atiyya ni “layyin”.698

Anasema Abu Haatim: “dhaifu”. Anasema Al-Juzajaani: “mwenye

kukengeuka”.699

Anasema Al-Nasai “dhaifu”. Anasema Abu Dawud: “si

mtu wa kutegemewa”. Anasema Al-Saaji: “si hoja”. Na „Atiyya huyu

alikuwa akisimulia riwaya za Al-Kalbi – na Al-Kalbi ni katika wasimulizi

waliotuhumiwa kwa uwongo – basi yeye akawa anamwita “Abu Sa‟id” ili

watu wafikirie kuwa anamkusudia Sahaba Abu Sa‟iid Al-Khudri.700

Anasema Ibn Hajar: “ni mfuasi maarufu wa Masahaba anahifdhidhaifu

mashuhuri kwa kughushi vibaya”.701

HOJA ZA WALIOIFASIRI AYA HIO KUWA

MAANA YAKE NI KUNGOJEA

REHEMA YA ALLAH

Baada ya hayo, ndugu msomaji, sasa tazama hoja za walioifasiri Aya hio

kuwa maana yake ni kungojea rehema ya Allah au kungojea malipo yake na

kuingia peponi. Kwa kuanzia ni vyema kuelewa kwamba Aya hio

inazungumzia mambo yatayotokea katika uwanja wa kiama kabla ya watu

wema kuingia peponi na waovu kuingia motoni. Kwa mantiki hii, ikiwa

tutadai kwamba maana ya Aya hio ni kumuona Allah, basi kwa uwazi

kabisa kutakuwa na mgongano baina ya Aya hio na:

a) Hadithi ya Ibn „Umar ambayo imekuja kuifasiri Aya hio kwa

kusema: “watu wa daraja ya juu katika pepo ni wale

wataomuona Allah kila siku mara mbili”. Hadithi hii – kama

698 - Mpokezi Layyin kwa mujibu wa walio wengi ni mpokezi mwenye udhaifu mdogo

sana. Ama kwa istilahi ya Ibn Hajar, layyin ni mpokezi mwenye Hadithi chache na ambaye

hakukuthibiti ndani yake kitu ambacho anaachwa kwa sababu yake, basi huyo Hadithi yake

inakuwa layyin akiwa atapwekeka nayo, na atakuwa maqbul (anakubalika) ikiwa Hadithi

hio wataipokea wapokezi wengine. Lakini – kwa hali yoyote ile – mpokezi mwenye sifa

kama hizi alizozitaja Ibn Hajar ni mpokezi majhul ikiwa wanafunzi wake au Maimamu

wakuu walioishi zama zake hawakusema kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika). 699

- Wengine huyafasiri maneno haya kuwa maana yake ni mwenye kukengeuka kutokana

na uadilifu akawa yeye kachupa mipaka; na wengine husema kuwa maana yake ni kuwa

kakengeuka kutokana na Sunna. 700

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 200-202, tarjama na. 417. 701

- Ibn Hajar Ta‟arifu Ahli Al-Taqdiis Bi Maraatibi Al-Mawsufiin Bi Al-Tadlis uk. 50,

tarjama na. 122.

Page 230: Fimbo ya Musa

230

unavyoona – inanena kwa uwazi kwamba maana ya Aya hio

ni kumuona Allah katika pepo.

b) Hadithi iliokuja kulifasiri neno ziada ililotajwa katika Surat

Yunus kuwa maana yake ni kumuona Allah, ambapo Hadithi

hio ya Suhaib pia nayo inasema kuwa kumuona Allah ni

baada ya kuingia peponi.

Nukta (a) iko wazi kabisa, kwani ikiwa Hadithi hio imekuja kutoa tafsiri ya

Aya ya hio: “kwa Mola wake tu (nyuso hizo) zitatazama”, basi natija ni

kuwa hakukuwa na mshikamano baina ya Aya hio na Hadithi kwani Hadithi

inasema kwa uwazi kwamba kumuona Allah huko kutakuwa peponi, wakati

Aya inazungumzia mambo yatayojiri katika kisimamo cha kiama kabla ya

wema kwenda peponi na waovu kwenda motoni.

Ama nukta (b), ubainifu wake ni kuwa Hadithi iliokuja kuifasiri ziada

iliotajwa katika Surat Yunus kuwa maana yake ni kumuona Allah inatoa

sharti kwamba ziada hio ya kumuona Allah itapatikana katika pepo baada

ya kuwa watu wameshaingia humo. Utakumbuka kwamba hadithi hio

inayohusiana na ziada iliotajwa katika Surat Yunus imekuja kwa mfumo wa

sharti kwa kutumia herufi اح idhaa (watapo), yaani watapoingi peponi hapo

ndipo hilo la kumuona Allah litapopatikana, ikimaanisha kwamba

kuonekana huko kwa Allah kutatokea baada ya kuingia kwao peponi; na hii

bila ya shaka inamaanisha kwamba kabla ya hapo hawatomuona Allah. Na

kwa hivyo, kutoa ushahidi wa kumuona Allah kwa kutumia Aya zenye

kuzungumzia matukio yatayotukia katika kisimamo cha kiama ni kinyume

na ushahidi uliomo katika riwaya hio iliokuja kulifasiri neno ziada lililomo

katika Surat Yunus.

Ukiniambia: “aaa hio hoja yako imejengeka katika mafhumu al-

mukhaalafa”, na hii ni kuwa Hadithi hizo zinaonesha kuwa watu

watamuona Allah wakiingia peponi, lakini hazijakataa kuwa watamuona pia

kabla ya hapo. Nitakujibu kwamba:

1) Ni kweli! Lakini:

a) Ni mafhumu sharti: nayo ni hoja sahihi pamoja na kuwa

haitumiki katika itikadi lakini hayo ni pale inapokosa chenye

kuipa nguvu. Ama kwa hapa yapo yenye kuipa nguvu kama

utavyoona katika maelezo (b) na (c). Naam! Kuna khilafu baina

ya wanavyuoni juu ya kuwa je ikikosekana shart na mashrut

Page 231: Fimbo ya Musa

231

nayo hukosekana au vipi?702

Lakini dalili za nguvu zinaonesha

hivyo kwamba ikikosekana shart na mashrut nayo hukosekana.

b) Hakuna dalili nyengine sahihi (na zote si sahihi) yenye

kutegemewa na watetezi wa itikadi ya kumuona Allah yenye

kunena kwa uwazi kwamba kumuona Allah huko kwenye

kudaiwa kutatokea katika kisimamo cha kiama.

c) Kwa hivyo, ikiwa hakuna ushahidi wenye kuthibitisha

kuonekana kwa Allah katika kisimamo cha kiama, na Hadithi

mbili tulizozinukuu kabla zimesema kuwa kuonekana kwa Allah

ni ndani ya pepo, basi ni wazi kwamba kuna mgongano baina ya

Hadithi hizo na Aya – yaani ikiwa tutadai kuwa Hadithi ya Ibn

„Umar ni tafsiri ya Aya hio – ambapo Hadithi zinasema kuwa

Allah ataonekana peponi wakati Aya inazungumzia mambo

yatayojiri katika kisimamo cha kiama.

2) Ni kuwa tunachokizungumzia sisi hapa ni kuwa kuifasiri Aya

isemayo: “Nyuso siku hio zitang‟ara**Kwa Mola wake tu ndiko

zitakotazama”, kuwa maana yake ni kumuona Allah peponi ni

kinyume na Aya yenyewe inavyoonesha: Aya inazungumzia mambo

ya kisimamo cha kiama, haiwezi kuwa ni dalili ya kumuona Allah

peponi. Kilichobaki ni kuwa ikiwa Aya hio haiwezi kuwa ni dalili

ya kumuona Allah peponi, je inaweza ikawa ni dalili ya kumuona

Allah katika kisimamo cha kiama? Hilo utalijua katika mjadala huu

in shaa Allah.

Ukiniambia: “aaa lakini neno idhaa ni dharfu ambayo mara nyengine

humaanisha wakati uliopita, na katika hali hii inakuwa ndani yake hakuna

maana ya sharti”. Nitakujibu: “kweli lakini maana hiyo inahitaji qarina

kwani ni kinyume na matumizi ya asili ya neno idhaa; neno idhaa kiasili ni

dharfu limaa yustaqbalu min al-zamaan yatadhammanu ma‟ana al-shart (ni

chombo chenye kuonesha wakati ujao na ndani yake kinabeba maana ya

sharti). Ninasema: bali – pamoja na hayo – qarina katika hadithi hio ni

kinyume na hivyo ulivyodai wewe.

Sasa kama umelielewa hilo, basi utakuwa umeelewa kwamba kuna

mgongano wa wazi baina ya Aya hio kwa upande mmoja; na hadithi ya Ibn

„Umar pamoja na hadithi ya ziada kwa upande wa pili, kwani wakati Aya

hio ya Suratul Qiyaama inadaiwa kuwa maana yake ni kumuona Allah, basi

kuonekana huko ni lazima kutakuwa kabla ya kuingia peponi; wakati

hadithi ya Ibn „Umar iliokuja kuifasiri Aya hio na hadithi ya ziada iliokuja

702

- Ibn Hajar Tabaqaatu Al-Mudallisin uk. 50.

Page 232: Fimbo ya Musa

232

kuifasiri Aya ya Surat Yunus zinaonesha kuwa kuonekana kwa Allah

hakuwi isipokuwa katika pepo!

Tumebakiwa na kutoa ushahidi wenye kuonesha kwamba Aya za Suratul

Qiyaama zinahusiana na kisimamo cha siku hio kabla ya waovu kwenda

kwenye adhabu na wema kwenda kwenye rehema ya Allah. Tunasema: ama

chenye kuonesha kuwa Aya hizo zinazungumzia mambo yanayojiri katika

kisimamo cha kiama ni:

1) ukweli kwamba sibaaq ya Aya zake inazungumzia mambo ya

qiyaama. Sura imeanza kwa kusema: “Naapa kwa siku ya

qiyaama”.703

Kisha zikafuata Aya kadha wa kadha zenye

kuzungumzia ufufuo na matukio ya kiama na mengineo kisha ndio

zikaja Aya zinazosema: س خ ج ٣ ؿ (Nyuso siku hio

zitang‟aa)** س خ خظ ر ا ٠ (Kwa Mola wake tu ni zenye kutazama).

Lafdhi idhin iliomo katika neno ج ٣ yaumai-idhin inaitwa: ط٣

tanwin ya kuifidia sentensi ilioondoshwa au sentensi ػ ػ حـش

zilizoondoshwa na ambazo zimetangulia kutajwa. Mukhtasari wa

sentesi hizo zilizoondoshwa unaingia chini ya maneno haya: “siku

ambayo yatatukia matukio hayo”. Na siku iliotajwa katika sibaaq ni

siku ya kiyama. Ni wazi, kwa maana hio, kwamba Aya hizo

zinazungumzia matukio ya siku ya kiama kama inavyoonesha sibaaq

yake hususan utapoifungamanisha na lafdhi hio idhin iliomo katika

neno ج ٣ yaumai-idhin (siku hio). Na hii ni kwa sababu kutumika

kwa neno yaumai-idhin (siku hio) kunatoa dalili ya wazi kwamba

inayozungumziwa ni siku moja maalumu. Na hii haiwezekani

ikafasiriwa vyengine ila tuseme ni siku ya kiama. Na kwa hivyo,

tukiwa tutadai kuwa makusudio ya neno yaumai-idhin (siku hio) ni

siku ya kuingia peponi basi, mbali na kuwa ni kinyume na ushahidi

wa siyaaq na sibaaq, maana pia haitonyooka. Na hii ni kwa sababu

kule kumuona Allah kila siku kunakodaiwa hakutopatikana katika

Aya hio, kwani neno yaumai-idhin (siku hio) halioneshi kuwepo

kwa hali ya kujikariri, bali linaonesha siku moja maalumu ambayo

imetangulia kutajwa.

2) Pili ni qarina katika siyaaq ya maneno yaliomo katika Aya za pili

ambazo zimeletwa kwa mfumo wa muqabala ili kuonesha maana

ilio kinyume na maana ya Aya za kwanza. Aya za pili zinasema:

س ر خ ج ٣ ؿ (Na nyuso nyengine siku hio zitakunjana)** ط ظ

س خ ك خه ر ٣ ل ؼ Zikitazamia (au zikijua) kwamba zitafanywa) أ

chenye kuivunja uti wa mgongo). Lau ilikuwa Aya hizi

hazizungumzii mambo yanayojiri katika uwanja wa kiama kabla ya

703

- Sura 75, Aya 1.

Page 233: Fimbo ya Musa

233

wema kwenda peponi na wabaya kwenda motoni, basi Aya

isingelisema: “ Zikitazamia (au zikijua) kwamba zitafanywaط ظ

chenye kuivunja uti wa mgongo)”, kwani hakuna haja ya kuwa

zitazamie kufikwa na balaa hilo baada ya kuwa jambo hilo

limeshawafikia. Ni wazi kwamba wao walikuwa wakitazamia kitu

ambacho kitatokea: si kilichokwisha kutokea. Na hili haliwezekani

kamwe ila ikiwa wanayatazamia hayo katika kisimamo cha kiama

kabla ya kwenda kwenye adhabu.

Ukiniambia “aa neno tadhunnu pia lina maana ya yakini, na maana ni kuwa

watakuwa na yakini kuwa watafikwa na adhabu. Na yakini hii haipatikani

ila baada ya kuingia motoni!” Ukiniambia hivyo, na sidhanii kwamba

utaniambia hivyo kwani hakuna aliyedai hivyo, nitakujibu kwamba:

a) hata tukilifasiri neno hilo kuwa maana yake ni yakini basi maana ni

kuwa watakuwa na yakini kwamba watafikwa na adhabu hio,

ikimaanisha kwamba bado adhabu hio bado haijawafika. Na hii ina

maana ile ile kwamba bado wapo katika kisimamo cha kiama.

b) Herufi an iliomo katika maneno yasemayo ٣ ل ؼ an yuf‟ala أ

inaikataa tafsiri yako hio, kwani herufi an inaingia katika kitendo

kinachokuja.704

Natija ya mjadala huu ni kuwa kama imethibiti kwamba Aya hio

inazungumzia matukio yatayotukia katika kisimamo cha kiama, basi

utakuwa umeelewa kwamba kuna mgongano mkubwa baina ya itikadi ya

kuonekana kwa Allah kwa kutumia ushahidi wa Aya hio ya Suratul

Qiyaama na kwa kutumia ushahidi unaopatikana katika Aya ya ziada iliomo

katika Surat Yunus, kwani Aya ya Suratul Qiyaama inawahusu watu wa

kisimamo cha kiama kabla ya kuingia peponi na motoni, wakati riwaya

iliokuja kulifasiri neno ziada lililomo katika Surat Yunus inasema kwamba

kuonekana kwa Allah ni baada ya kuingia peponi. Riwaya hio inasema:

هخ ))٣ أكح حل٠ ٣خىس((ػ ٤ذ ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ ك٢ ه ط ؼ خ ٠

ز٤ ـ هخح أ طــــحـش خى خى ا ػي هللا ػيح ٣٣ي أ ٣ـ حـش اح ىه أ

هللا ٣ؼطح ٤جخ أكذــــخد هخ كـــــحـش هخ ك٤ق حل طيهخ خــــؿخ طـخ ح

ا٤ حظ ا٤

……Kutoka kwa Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w. kasema) kuhusiana na

kauli ya Mwenyezi Mungu inayosema “wale waliofanya mema watapata

mema yao na ziada,” kasema (Mtume (s.a.w.): „watapoingia watu wa

peponi katika pepo atanadi mwenye kunadi: hakika ya nyinyi muna ahadi

kwa Mwenyezi Mungu anataka kukutekelezeeni‟. Watasema: „kwani

704

- Yaani ikifuatana na fi‟ilu mudhaariu.

Page 234: Fimbo ya Musa

234 hukuzing‟arisha nyuso zetu na kutuokoa na moto na ukatuingiza peponi?‟

Kasema: „basi ataondoa pazia basi naapa kwa jina la Allah hawajapewa

kitu bora kuliko kumtazama Yeye‟.705

Ndugu msomaji izingatie vizuri Hadithi hii. Hadithi inasema kwamba watu

wa peponi watapoingia peponi basi wataambiwa kwamba Allah ana ahadi

anataka kukutekelezeeni. Hii ina maana kwamba kabla ya hapo wakati wa

kutekelezwa kwa ahadi hio ulikuwa bado haujawadia. Kisha ikabainisha

kuwa ahadi yenyewe ni kumuona Allah. Kisha baada ya pazia kuondoshwa

na wakamuona basi waliona jambo ambalo hawajapewa kuliko hilo kwa

uzuri wake. Ni wazi kabisa kwamba hii ilikuwa ni mara ya mwanzo

kumuona Allah kwa mujibu wa riwaya hii, ndio maana mwenye kunadi

akasema kwamba sasa munataka kufikishiwa ile ahadi na wao wakaona kitu

ambacho hawajapata kupewa mfano wake. Lau walimuona kwenye

kisimamo cha kiama – kama zilivyofasiriwa Aya za Suratul Qiyaama – basi

maneno “basi naapa kwa jina la Allah hawajapewa kitu bora kuliko

kumtazama Yeye” yasingelikuwa na maana. Natija ni kuwa kuna

mgongano baina ya kutoa ushahidi wa kuonekana kwa Allah kwa kutumia

Aya za Suratul Qiyaama na Aya iliotaja ziada ililomo katika Surat Yunus,

kwani:

a) ile inahusiana na matukio yatayotukia katika kisimamo cha siku ya

kiama kabla ya wema kwenda peponi na waovu kwenda motoni.

b) hii imefasiriwa na riwaya yenye kuonesha kutukia kwa tukio la

kumuona Allah peponi baada ya wema kuingia humo.

MUQABALA WA KIBALAGHA

Miongoni mwa hoja za walioifasiri Aya ya Suratul Qiyaama kuwa maana

yake ni kungojea rehema ya Allah, ni qarina ya kuwepo kwa Muqabala

katika Aya za Sura hio. Muqabala ni neno la Kiarabu lenye kumaanisha

muelekeano. Lakini mara nyingi maana inayokusudiwa katika fani ya

balagha ya Kiarabu ni kumaanisha kinyume (opposite). Katika kitabu Hoja

Zenye Nguvu tulikuwa tumetoa mifano miwili mitatu ili kumrahisishia

msomaji wa kawaida kuweza kuifahamu maudhui hii kwa urahisi. Mifano

ambayo tuliitoa ni hii ifuatayo:

ػ٠ حئ٤***أػس ػ٠ حخك٣أش

705

- Al-Imamu Muslim Sahihu Muslim Bisharhi Al-Imami Al-Nawawi j. 2 uk. 297 Hadithi

na. 297.

Page 235: Fimbo ya Musa

235

Ni wapole kwa Waumini (wenzao)***Ni wakali kwa makafiri”. 706

Utaona hapa kwamba neno “wapole” linakabiliana na neno “wakali” nalo

ni kinyume chake; neno “Waumini” linakabiliana na neno “makafiri” nalo

ni kinyume chake. Na kwa ujumla maana ya kwanza ni kinyume na maana

ya pili.

Mfano wa pili ni Aya inayosema:

٣ل حط٤زخص****٣ل ػ٤ حوزخثغ.

Anawahalalishia mambo mazuri ** na anawaharamishia mambo

mabaya.707

Tazama jinsi maneno yalivyooana. Neno “anawahalalishia” linakabiliana

na neno “anawaharamishia” nalo ni kinyume chake; maneno “mambo

mazuri” yanakabiliana na maneno “mambo mabaya ,” nayo ni kunyume

chake: kila moja ni kinyume na mwenzake, na maana ya ujumla ni

kinyume – anawahalalishia mazuri na kuwaharamishia mabaya.

Mfano mwengine ni Aya:

٣ؿ كظ*** ٣وخك ػحر

Na wanatarajia rehema yake*** na wanaogopa adhabu yake.708

Tazama muowano wa maneno. Neno “wanatarajia” linakabiliana na neno

“wanaogopa” nalo ni kinyume chake709

na maneno “rehema yake”

yanakabiliana na maneno “adhabu yake” nayo ni kinyume chake.

Mfano mwengine:

كؤخ أػطخ حطو٠ يم رخل٠ ك٤ ٤

Ama yule atakayetoa na kumcha Mungu na akayasadiki yaliyo mema,

basi huyo tutamrahishia kwa kumpeleka kwenye wepesi.710

Halafu baada ya Mwenyezi Mungu kusema hivyo, akaleta Aya nyengine.

Sasa tazama jinsi maneno ya kwaza yanavyoowana na yapili:

706

- Sura ya 5 Aya ya 54. 707

- Sura ya 7 Aya 157. 708

- Sura ya 17 Aya ya 57. 709

- Kwani kutarajia ni kutazamia kheri; na kuogopa ni kutazamia shari. 710

- Sura ya 92 Aya ya 5-7 .

Page 236: Fimbo ya Musa

236

أخ رو حظـ٠ د رخل٠ ك٤ ؼ

Na ama yule atayefanya ubakhili na akafanya kibri na wakakanusha

yaliyo mema, tutamrahisia kwa kumpeleka kwenye uzito.711

Katika Aya hizo zote sehemu ya mwanzo ya Aya ni tofauti na sehemu

yake ya pili, nayo ni kinyume chake, na kila neno linaelekeana au

linakabilana na mwenzake kimaana. Huu ndio mukabala wa balagha ya

Kiarabu: yatapotajwa maneno fulani kisha yakaletwa mengine

yanayokabiliana na hayo yaliyotajwa mwanzo kimaana basi ni lazima

yawe maneno ya kwanza ni kinyume na maneno ya pili.

Na wakati mwengine huwa mukabala ni baina ya neno moja na jengine tu.

Hii kielimu huitwa حطزخم Attibaaq”. Kwa mfano:

٣ل٢ ٤٣ض

Anahuisha na anafesha.712

Mfano mwengine ni Aya kama:

حظخص***ا ٠ ح

Kutoka kwenye kiza***kwenda kwenye nuru.713

Mfano mwengine ni Aya:

خ ٣ظ١ حلػ٠ حز٤

Na hawawi sawa: kipofu na anayeona.714

Mfano mwengine ni Aya:

طلز أ٣وخظخ هى

Utawadhania kwamba wako macho nao wamelala.715

Katika Aya hizi zote, utaona kila panapotajwa neno moja au Aya moja au

kikundi kimoja cha Aya halafu pakatajwa mukabala wake basi ni lazima

neno hilo linakuwa kinyume ya lile lililotangulia. Hiki ndicho ambacho

wanavyuoni wa lugha ya Kiarabu wanachokiita حوخرش al-muqabala (yaani

muelekeano au kinyume) ikiwa kukabiliana huko ni baina ya maana na

711

- Sura ya 92 Aya ya 8-10. 712

- Sura ya 7 Aya ya 158. 713

- Sura ya 2 Aya ya 257. 714

- Sura ya 35 Aya ya 19. 715

- Sura ya 18 Aya ya 18.

Page 237: Fimbo ya Musa

237 maana nyengine; na huita حطزخم al-tibaaq ikiwa kukabiliana huko ni baina

ya neno moja na jengine.

Na wakati mwengine huwa neno moja haliowani kabisa na neno la pili

katika mukabala wake, yaani huwa halina maana iliokinyume na neno la

pili. Katika hali hii neno moja hufasiriwa kwa kuliletea maana inayooana

na mwenzake. Namna hii hutumika sana katika mithali خحـ . Kwa mfano:

كخظلزح حؼ٠ ػ٠ حي

Wakaona bora upofu kuliko uwongofu.716

Tazama neno “upofu” haliyowani na neno “uwongofu” kimaana, bali

kipofu kinyume chake ni mwenye kuona. Lakini hapa makusudio si kipofu

wa macho bali ni kipofu wa moyo naye ni mpotofu ambaye hapa

kafananishwa na kipofu kwa jinsi alivyokuwa hauoni uwongofu. Kwa

hivyo katika hali hii neno “upofu” ni lazima lifasiriwe, na katika

kufasiriwa huku ni lazima lifasiriwe tafsiri ambayo itaoana kimaana na

neno la pili nalo ni “uwongofu,” ili upatikane al-almuqabala au al-tibaq.

Na ili al-mukabala au al-tibaq upatikane hapa, basi ni lazima neno “upofu”

lifasiriwe kuwa maana yake ni “upotofu” ili liwiyane kimaana na neno

“uwongofu”. Kwa hivyo tafsiri itakuwa hivi: “wakaona bora upotofu

kuliko uwongofu”. Neno “upotofu” katika tafsiri hii linakabiliana na neno

“uwongofu” nalo ni kinyume chake. Namna hivi ndivyo ilivyo fani ya

balagha ya Kiarabu.

Hayo ndio nilioyanena katika kitabu Hoja Zenye Nguvu ikiwa kama ni

mifano itayomuwezesha msomaji wa kawaida kuyafahamu maudhui. Sasa

baada ya hayo tazama tafsiri zote mbili – tafsiri ya kuifasiri Aya hio kuwa ni

kumuona Allah na tafsiri ya kuifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kungojea

malipo yake – je ni tafsiri gani ambayo inakwenda sambamba na kanuni hio

ya muqabala? Nilisema:

….Hapa katika Suratul Qiyama kuna makundi mawili: kundi la watu

wema na kundi la watu wabaya : yanakabiliana kimaana. Aya inaanza kwa

kutaja habari za watu wema kwa kusema:

س ج ٣ ؿ س *** خ خ خظ ر ا ٠

(Kuna) nyuso siku hio zitang‟aa***Kwa Mola wake tu (zitakuwa)

zinatazama.717

716

- Sura 41, Aya 17. 717

- Sura 75, Aya 22.

Page 238: Fimbo ya Musa

238 Hili ni kundi la kwanza. Halafu zikaja habari za nyuso za watu waovu

ambazo kimaana zinakabiliana na hizo za mwanzo. Sasa tazama mukabala

baina ya kundi la kwanza na kundi la pili. Anasema Mwenwezi Mungu:

ؿ ٣ج رخس *** طظ أ ٣لؼ رخ كخهس

Na (kuna) nyuso siku hio zitakunjana***Zinatazamia kufikiwa na

balaa kubwa lenye kuikata uti wa migongo yao.718

Kwa hivyo, kama tutafasiri kuwa nyuso za watu wema zinamuona

Mwenyezi Mungu basi maana itakuwa hivi: “kuna nyuso siku hio

zinamuona Mwenyezi Mungu na kuna nyuso nyengine zinatazamia

kuteremkiwa na adhabu”. Tazama jinsi tafsiri ilivyokuwa haioani, na jinsi

mukabala wa balagha ya Kiarabu unavyopotea – nyuso za watu wema

zinamuona Mwenyezi Mungu wakati za watu wa baya zinatazamia

kuteremkiwa na adhabu! Tukiutafuta mukabala katika Aya hii na

kuuchambua katika tafsiri hii tutapata kuwa maneno “nyuso za watu

wema” yanakabiliana na maneno “nyuso za watu waovu” nayo ni kinyume

chake sawa sawa, lakini maneno “zinamuona Mwenyezi Mungu” katika

nyuso za watu wema hayakabiliani na maneno “zinatazamia kuteremkiwa

na adhabu” yaliyopo katika nyuso za watu wabaya. Tazama jinsi tafsiri hio

inavyopoteza mukabala jambo ambalo hata viumbe wenye elimu ya

balagha haliwapiti!

Kisha baada ya hapo, geuka uitazame tafsiri ya pili ya kuifasiri Aya hio

kuwa maana yake ni kungojea rehema ya Allah. Tazama jinsi mukabala

unavyopatikana ikiwa tutaifasiri Aya hio hivyo, ambapo tafsiri itakuwa

hivi: “kuna nyuso zinangojea rehema ya Mwenyezi Mungu” na “kuna

nyuso zinatazamia kuteremkiwa na adhabu”. Tazama jinsi tafsiri

inavyokuja sawa na maana zinavyokabiliana na mukabala unavyopatikana

baina ya maneno “zinangojea rehema” na maneno “zinatazamia adhabu”.

Hawa hawajaingia motoni na hawa hawajaingia peponi: bali hawa

wanatazamia adhabu na hawa wanatarajia rehema. Hii ni hoja ya kwanza

ya kilugha ambayo iko wazi kwa kipofu seuze mwenye macho; na kwa

mjinga sikwambii aliyesoma.

Hayo ndio maelezo ya Juma Mazrui katika kitabuche Hoja Zenye Nguvu.

Lakini Juma Mazrui akajibiwa na Sheikh Kasim bin Mafuta kwa maelezo

yafuatayo. Anasema Sheikh Kasim bin Mafuta:

Majibu yetu yatakua katika masuala mawili: Suala la kwanza ni kuhusu

Muqaabala, sisi tunasema kwamba: kuitafsiri aya hii kwa maana ya (انقاتهة)

kumuona Allah hakuupotezi muqaabala, bali muqaabala upo isipokuwa

718

- Sura 75, Aya 23.

Page 239: Fimbo ya Musa

239 Juma hakuutaka kwa sababu ni kinyume na itikadi yake, na yeye huwa

anatanguliza kwanza itikadi yake kisha mambo mengine yatapimwa na

anavyoitakidi, jambo likiafikiana na itikadi yake, hilo litakuwa ni zuri na

linafaa hata kama ni baya lisilofaa, na kama haliafikiani na itikadi yake

basi hilo ni baya na halifai hata kama ni mafundisho ya Mtume –swalla

llaahu alayhi wasallam-, na mpokezi anayekubalika ni yule anayepokea

riwaya ya kuipa nguvu itikadi yake hata kama ni dhaifu, na yule

anayepokea kinyume na itikadi yake huyo ni dhaifu, mwongo, na

anaghushi! Na umeshayaona pale alipomzulia Ibn Hajar ili amdhoofishe

mpokezi mkweli anaekubalika (Husein Al-Waqidiy) na Inshaallah hayo

utayaona kwa wingi huko mbeleni.

Sisi hapa tunasema kwamba: Nyuso za watu wema siku ya Qiyama

zitang‟ara. Kwa sababu watu wema watakua katika neema kubwa ya

kumuona Mola wao. Na nyuso za watu waovu zitajikunja. Kwa sababu

watu waovu watakua katika adhabu kali na huku wana yakini kwamba

watafikwa na adhabu kubwa kuliko hiyo. Kwa hiyo watu wema nyuso zao

zitatoa nuru. Na watu waovu nyuso zao zitakunjana. Watu wema watakua

katika neema kubwa. Na watu waovu watakua katika adhabu kali. Na huu

ndiyo Muqaabala wenyewe, ambao Juma hakuutaka kwa sababu

unapingana na itikadi yake ya kiibadhi. Imamu Al-Aluusiy katika tafsiri

yake “Ruhul-Ma‟aniy” juzuu ya 29 ukurasa wa 75 anaitilia nguvu hoja hii

kwa kusema:

ؿخ٣ش ح حؼش ؿخ٣ش ي زلخ حد ا٠ حظ وخرش ك٠ ر ٣لؼ خ أ ي طلو٤ن

....حوش

Na uthibitisho wa hilo ni kuwa yale wanayofanyiwa hao (waovu) ni

muqaabala wa kumtazama Mola –Sub‟haanah- kwa kuwa hilo ni ukomo

wa neema, na hili (wanalo fanyiwa waovu) ni ukomo wa mateso.719

Hayo ndio maelezo ya Sheikh Kasim Mafuta, nayo si maelezo madhubuti

kamwe, bali yametokana na ukaidi wake. Kwa kweli ni ajabu ilioje kwa mtu

huyu kusema:

….isipokuwa Juma hakuutaka kwa sababu ni kinyume na itikadi yake, na

yeye huwa anatanguliza kwanza itikadi yake kisha mambo mengine

yatapimwa na anavyoitakidi, jambo likiafikiana na itikadi yake, hilo

litakuwa ni zuri na linafaa hata kama ni baya lisilofaa, na kama haliafikiani

na itikadi yake basi hilo ni baya na halifai hata kama ni mafundisho ya

Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam-, na mpokezi anayekubalika ni yule

anayepokea riwaya ya kuipa nguvu itikadi yake hata kama ni dhaifu, na

719

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 63-64.

Page 240: Fimbo ya Musa

240 yule anayepokea kinyume na itikadi yake huyo ni dhaifu, mwongo, na

anaghushi!

Haya ni maneno ya ajabu sana kwa kila aliyekisoma kitabu cha Ibn Mafuta,

bali kwa kila atayeisoma jawabu hii alionijibu hapa! Kwa hakika, maneno

hayo ni maneno yenye kuafikiana 100% na msimamo wake na ndio maana

akasema kwamba Hadithi isemayo: “Hakuna chenye kuzuia watu na

kumtazama Mola wao isipokuwa vazi la kibri katika pepo ya adeni” inahusu

hapa duniani! Na hili haliko mbali na madai ya Imamu wake, Ibn

Taymiyya,720

akimuiga Al-Fakhru Al-Razi721

kwamba Aya inayosema:

“Macho hayamfikii (Allah)” inaonesha zaidi kuwa Allah ataonekana

kuliko kuonesha kuwa hatoonekana!

Kwa ufupi ni kuwa kuhusu suala mukabala, Sheikh Mafuta ananijibu hivi:

Sisi hapa tunasema kwamba: Nyuso za watu wema siku ya Qiyama

zitang‟ara. Kwa sababu watu wema watakua katika neema kubwa ya

kumuona Mola wao. Na nyuso za watu waovu zitajikunja. Kwa sababu

watu waovu watakua katika adhabu kali na huku wana yakini kwamba

watafikwa na adhabu kubwa kuliko hiyo. Kwa hiyo watu wema nyuso zao

zitatoa nuru. Na watu waovu nyuso zao zitakunjana. Watu wema watakua

katika neema kubwa. Na watu waovu watakua katika adhabu kali. Na huu

ndiyo Muqaabala wenyewe, ambao Juma hakuutaka kwa sababu

unapingana na itikadi yake ya kiibadhi. Imamu Al-Aluusiy katika tafsiri

yake “Ruhul-Ma‟aniy” juzuu ya 29 ukurasa wa 75 anaitilia nguvu hoja hii

kwa kusema:

Nami ninamwambia Sheikh Kasim bin Mafuta, huwezi kuifunika nuru ya

jua kwa kutumia handkerchief. Hapo katika Aya hizo kuna mambo mawili

ya kutazamwa:

1) Muqabala wenyewe ambao unathibitishwa na maana iliomo katika

Aya nzima, kwani muqabala ni kuelekeana maana moja na

nyengine.

2) Muqabala huo umeundika kwa jumla ya maneno yenyekukabiliana

kimaana na yenye kuwiyana.

a) Maneno yenye kukabiliana (yenye maana kinyume) ni neno

,(zenye kukunjana) رخس na neno (zenye kung‟aa) خس

yaani za kwanza zitakuwa nzuri kwa kutoa nuru; na za pili

zitakuwa mbaya kwa kutoa kiza na kukunjana.

720

- Tutatoa marejeo tukifika sehemu yake in shaa Allah 721

- Tutatoa marejeo tukifika sehemu yake in shaa Allah.

Page 241: Fimbo ya Musa

241

b) Maneno yenye kuwiyana kimaana ni neno خظس

(zinangojea), na neno طظ (zinatazamia).

Sasa ukirudi kuitazama hio tafsiri yenu na Al-Imamu Al-Alusi, basi utakuta

kwamba maana zilizomo katika maneno خظس naadhira na طظ tadhunnu,

basi zimetoweka: hazipo. Ubainifu wa hayo utaupata kwa kuitazama tafsiri

yenu na tafsiri yetu. Tunasema: muqabala uliopo katika Aya hizo, ni huu:

2) Nyuso za mwanzo zinangojea rehema.

3) Nyuso za pili zinatazamia adhabu.

Huu ndio mukabala uliokuwepo katika Aya hizo. Sasa ukitazama hapa

utaona kwamba:

a) maneno خظس naadhira na طظ tadhunnu yameingia katika tafsiri:

hayakutolewa kana kwamba vile Allah kayateremsha bure: hayana

maana.

b) Muwiyano wa maneno mawili hayo umepatika, yaani muiyano wa

neno kungojea na neno kutazamia.

c) Maana ya muqabala imepatikana, yaani hizi zinangojea rehema na

zile zinatazamia adhabu.

Ama tukirudi katika madai yenu kwamba “nyuso hizi ziko katika neema na

hizi ziko katika adhabu” basi utakuta ndani yake makosa kadha wa kadha ya

tafsiri. Tazama nukta zifuatazo:

a) Kupotea kwa maana ya neno nadhira na maana ya neno tadhunnu.

Iko wapi maana ya maneno hayo katika muqabala huo ulioutoa

wewe. Maneno hayo katika muqabala wako hayakuingia kamwe,

jambo ambalo linajionesha kwamba munajikalifu tu japokuwa

muyasemayo ni kinyume na kanuni za tafsiri!

b) Nyuso hizi zinang‟ara, na zile zimekunjana kwa ubaya na kupiga

kiza. Hapa mukabala wa kimaana upo tayari. Lakini nyuso hizi

zinamuona Allah na zile zinatarajia kufikwa na adhabu kali. Je

hapa muqabala uko wapi? Neno kuona kinyume chake si

kuadhibiwa wala halina uwiyano wa kimaana. Wakati kwa tafsiri ya

pili, neno zinangojea linawiyana kimaana na neno zinatazamia; na

neno rehema linawiyana neno adhabu.

Ama kile ulichokinukuu kutoka kwa Allama Al-Alusi pia si hoja, kwani

maneno ya wanavyuoni yanarejeshwa katika kanuni. Na alichokidai yeye –

nawe ukamuiga bila ya tahqiq – ni kuwa muqabala wa kumuona Allah ni

kule kuadhibiwa kwa waovu kwa kuzingatia kwamba kumuona Allah ndio

neema kubwa yao! Nasi tunaweza kuyajadili maneno hayo kwa kusema:

a) Alichokifanya Al-Alusi ni kujenga muqabala kwa njia ya ta-awil

(interpretation) na istinbaat (deduction or inference), kwani neno

Page 242: Fimbo ya Musa

242

kumuona Allah si kinyume chake kuadhibiwa wala hakuna uwiyano

wa kimaana baina ya maneno hayo. Yaani Al-Alusi kwanza kadai

kumuona Allah, kisha akatoa natija kwamba kumuona Allah ni

neema kubwa yao, kisha ndio akajenga muqabala kwamba neema

hii ni kinyume na adhabu ya waovu! Na bila shaka hili kwa

aliyeonja ladha ya wenye elimu ya tafsiri bali kwa aliyeinusa harufu

ya elimu hio basi hakubaliani nalo, kwani kama hawa watakuwa

katika neema kubwa yao basi muqabala ulitakiwa uwe kwamba na

wale watakuwa katika adhabu kubwa yao! Na bila shaka hakuna

anayedai kuwa kisimamo cha kiyama ndio adhabu kubwa yao

itayowafika waovu. Hata wewe ulisema: “Kwa sababu watu waovu

watakua katika adhabu kali na huku wana yakini kwamba watafikwa

na adhabu kubwa kuliko hiyo”. Na kwa hivyo, tafsiri yako na Al-

Alusi imepoteza muqabala kwa makadirio yoyote yale.Wakati sisi

tafsiri yetu imeleta muwiyano wa moja kwa moja kwani neno

kungoja lililomo katika Aya ya kwanza lina muwiyano wa moja kwa

moja na neno kutazamia lililomo katika Aya ya pili bila ya kuhitaji

ta-awil; kama vile ambavyo adhabu na rehema zina maana kinyume

na tafsiri ya ujumla imeleta muqabala baina ya Aya za kwanza na

Aya za pili.

b) Kama kumuona Allah ndio kipeo cha neema, kama alivyodai Al-

Alusi na wengine wengi, basi vipi tena na waovu na wanafiki nao

wamuone katika kisimamo hicho hicho cha kiama kama Hadithi

yenu inavyotongoa! Hadithi yanena:

كظ٠ اح ٣زو٠ ال خ ٣ؼزي هللا ر أ كخؿ حطخ د حؼخ٤ ك٢ أى٠ س

ك٤خ أ س حظ٢ أ

Mpaka ikiwa hapakubakia ila waliokuwa wakimuabudu Mwenyezi

Mungu tu katika watu wema na waovu basi atawajia Mola wa

ulimwengu mzima katika SURA NDOGO ZAIDI KULIKO ILE

WALIOMUONA KATIKA SURA HIO MARA YA KWANZA!

Na katika riwaya ya pili:

ك٤ؤط٤ هللا طزخى ط ؼ خ ٠ ك٢ س ؿ٤ س حظ٢ ٣ؼكــخ طزو٠ حلش ك٤خ خكوخ

أخ ر ك٤و ؼ رخلل ي ح خخ كظ٠ ٣ؤط٤خ رخ كبح ؿخء رخ ػكخ ك٤ؤط٤ كــــ٤و

هللا ك٢ س حظ٢ ٣ؼك ك٤و أخ ر ك٤و أض رخ ك٤ظزؼ

Na utabakia uma huu ndani yake wamo wanafiki wake. Atawajia

Mwenyezi Mungu Mtukufu Aliyetukuka kwa sura ambayo siyo (ile) sura

yake wanayoijua. Atawambia mimi Mola wenu. Watasema: „tunajilinda

kwa (jina la) Mwenyezi Mungu kutokana na wewe hapa hatuondoki (leo)

Page 243: Fimbo ya Musa

243 mpaka atujie Mola wetu, akija tutamjua! Basi atawajia Mwenyezi Mungu

Mtukufu kwa sura yake ambayo wanaijua, atawaambia Mimi Mola wenu.

Watasema: „Wewe (sasa) ndiye Mola wetu, watamfuata‟.722

Kwa hivyo, kwa mujibu wa riwaya hizi zilizosimuliwa na Al-Bukhari na

Muslim, nao ni katika mangwengwe wa Ahlu Al-Sunna, Allah si kwamba

ataonekana na watu wema tu, bali ataonekana na waovu na wanafiki pia!

Sasa hayo madai ya Al-Alusi na wengine wengi kwamba kumuona Allah

ndio kipeo cha neema ya watu wema au ndio neema kubwa yao bado

yatukuwa ni madai sahihi?

Kwa hivyo, mukhtasari wa mdai yetu hapa ni kuwa muqabala wa kibalagha

haupatikani ila kwa kuzifasiri Aya hizo hivi: “Nyuso siku hio

zitang‟aa**Zikingojea rehema ya Mola wake”. Na kwa tafsiri hii:

a) Neno خظس na neno طظ yatakuwa yameingia katika tafsiri.

b) Muwiyano wa maneno hayo utapatikana, ambapo nyuso hizi

zinangojea na zile zinatazamia.

c) Maana ya ujumla ya muqabala unapatikana moja kwa moja

bila ya kuzunguka na kutafuta ta-awil.

KANUNI YA PILI YA KILUGHA

KUMTANGULIZA MTENDWA

BADALA YA MTENDA

Kwa kawaida, katika lugha ya Kiarabu, ni kuwa mtenda hutajwa mwanzo na

mtendwa hutajwa mwisho. Lakini hutokezea wakati mwengine – kwa

sababu za kilugha – mtendwa akatajwa mwanzo kisha ndio akafuatia

mtenda. Sababu kuu ya kumtanguliza mtendwa ni kumaanisha kile

kinachoitwa katika fani ya lugha ya Kiarabu kuwa ni hasr. Maana ya hasr ni

kukifanya kitendo kuwa kinaishia kwa muhusika mmoja maalumu au

wahusika maalumu tu: au kinaishia katika hali fulani tu: hakivuuki kwenda

kwengine. Mifano miwili mitatu tulioitoa katika kitabu Hoja Zenye Nguvu

pamoja na nyongeza, ni:

ا٣خى ؼزي ***ا٣خى ظؼ٤

722

- Al-Imamu Muslim Sahih Muslim Bisharhi Al-Nawawi j. 2 uk. 298. Al-Imamu

Albukhari Sahih Al-Bukhari Hadithi na. 6573 na 7437.

Page 244: Fimbo ya Musa

244

Wewe tu ndio tunakuabudu * naWewe tu ndio tunakuomba

msada.723

Hapa kama ilivyo katika Aya ya Suratul Qiyama, mtendwa katangulia nayo

ni ile sehemu ya Aya inayosema: ا٣خى yaani “Wewe tu”. Huyu ndiye

mtendwa katika Aya hii. Kisha ndio akaja mtenda na kitendo chake ambayo

ndio ile sehemu ya Aya inayosema: ؼزي (tunakuabudu). Faida iliopatikana

hapa kwa sababu ya kutangulia huku kwa mtendwa na kuchelewa kwa

mtenda, ni kumaanisha kuwa Yeye tu (Mwenyezi Mungu) ndiye

tunayemuabudu: si mwengine yoyote. Na hii ndio ile maana ya kusema

kuwa katika utaratibu huu basi “mtenda huwa amehusishwa na kitu kimoja

tu: ikawa hafanyi cha pili”. Yaani Waislamu tunamuabudu Mwenyezi

Mungu mmoja tu: hatuna Mungu wa pili. Maana hii isingepatikana hapa lau

kama alitangulia mtenda . Namna hivi ndio ilivyo fani ya balagha (rhetoric)

ya Kiarabu.

Halkadhalika ikiwa kitatangulizwa kitu ambacho kwa asili kilitakiwa kije

mwisho basi huwa maana ni hio hio. Kwafano Mwenyezi Mungu anasema:

ا٤ ٣ى ػ حخػش

Kwake tu (Mwenyezi Mungu) ndio kunarejea ujuzi wa kiama.724

Asili ya Aya ni kusema:

ا٤ ػ حخػش٣ى

Unarejea kwake ujuzi wa Qiyama.725

Kwa hivyo, kwa kutangulizwa huku kwa kitu ambacho haki yake ni

kucheleweshwa; na kikacheleweshwa kitu ambacho haki yake ni

kutangulizwa, basi Aya hio isemayo: ا٤ ٣ى ػ حخػش Kwake (Mwenyezi

Mungu) ndio kunarejea ujuzi wa kiama, kumeweza kuleta maana ya hasr

ya kwamba elimu ya wakati wa kiama anaujua Allah peke yake: hakuna

mwengine yoyote yule anaoujua.

723

- Sura ya 1 Aya ya 5. 724

- Sura ya 41 Aya ya 47. 725

- Mfano tu: si Qur-ani.

Page 245: Fimbo ya Musa

245

Mfano mwengine ni Aya kama:

ؼ ؿ ٣ ا ٤

Na kwake Yeye tu watarejeshwa.

Asili ya Aya hii ilikuwa iwe ٣ؿؼ ا٤ (Na wanarejeshwa kwake). Lakini

kwa kitendo hiki cha kutangulizwa kitu ambacho asili yake ni kuwekwa

mwisho, basi Aya imeweza kuleta maana ya hasr. Na kwa hivyo, maana ya

Aya hio ni kuwa marejeo yetu ni kwa Allah tu huko akheri: si kwa

mwengine yoyote yule.

Mfano mwengine ni Aya:

حل ح ر ي ل خ ر ك و

Tukaizamisha – pamoja naye na nyumbaye – ardhi.726

Asili yake ni kusemwa: ح ي ر ر ل خ حل tukaizamisha ardhi pamoja) ك و

naye na nyumbaye). Lakini kusema hivi, kibalagha ni makosa kwani

kilugha mfumo huu unaonesha kuwa ardhi nzima ilizamishwa na hivi sivyo

ilivyokuwa. Ama kwa mujibu wa mfumo wa Aya yenyewe ulivyo wa

kutangulizwa kitu ambacho kwa asili kilitakiwa kikae mwisho, basi maana

ya hasr imepatikana na maana ni kuwa sehemu ya ardhi iliozamwishwa ni

ile ambayo alikuwa akikaa yeye tu huyo Qaarun. Namna hivi ndivyo ilivyo

balagha ya Kiarabu.

Sasa kama umelielewa hilo, basi elewa kwamba Aya ya Suratul Qiyama –

ambayo tafsiri yake tunaijadili hapa – nayo pia imekuja kwa mfumo kama

huo. Aya hio – kama ulivyoona – inasema: س خظ خ ر ٠ kwa Mola wake“ ا

tu (nyuso hizo) zinatazama”. Asili ya Aya hii ilikuwa iwe: خظس ا٠ رخ

(zinatazama kwa Mola wake). Kwa hivyo, ikiwa tutalifasiri neno

kutazama hapa kuwa mana yake ni kuona basi tafsiri haitokuwa sahihi:

itapingana na uhakika ulivyo, kwani tafsiri itabidi iwe hivi: “(nyuso hizo

zitakuwa) zinamuona Mola wake tu”: hazioni kitu chengine. Na hili ni

kinyume na ukweli wenyewe na ni tafauti na hali itavyokuwa: ukweli ni

kuwa watu huko kwenye kisimamo cha kiama na kwenye pepo wataonana

na wataona kheri walizoandaliwa katika pepo.

726

- Sura 28, Aya 81.

Page 246: Fimbo ya Musa

246

Ama tukiifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kungojea, basi maana itakuwa

imenyooka kabisa. Aya inasema: س خظ خ ر ٠ Tafsiri ni: “(nyuso hizo .ا

zitakuwa) zinangojea rehema ya Mola wake tu”. Tazama jinsi tafsiri

inavyokubali. Kwa sababu ni kweli watu wema katika kisimamo cha kiama

hawana chochote chengine wanachokingojea isipokuwa rehema (pepo) ya

Allah tu, baada ya kuwa wameshabashiriwa kwenye mauti, kaburini na

wakati wanapofufuliwa. Tazama jinsi tafsiri pamoja na utaalam wa lugha

ya Kiarabu unavyoowana na matukio. Hizi ni hoja za wazi kwa kila

“mwenye moyo (wa kufahamu) au kutega sikio naye akawa haadhiri”.

Hayo – pamoja na ubadilishaji kidogo na nyongeza kidogo – ndio

nilioyanena katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu. Lakini Sheikh Kasim

bin Mafuta akanijibu kama inavyofuata. Anasema:

Majibu ya maneno haya yatakuwa katika njia zifuatazo:

Njia ya kwanza:

Ninataka kumfahamisha ndugu Juma na wengineo kwamba: mas‟ala haya

huwa mahali pake ni katika elimu ya balagha sehemu ya “Il‟mul-Ma‟ani”

mlango wa “Al-Qasru”.

Kuna njia nyingi za “Al-Qasru” moja katika hizo ni hii ya kumtanguliza

mtendwa kabla ya mtenda, hili ni jambo ambalo linafahamika na wala

halina upinzani. Lakini jambo muhimu la kulijadili hapa, je matumizi ya

lugha kwa utaratibu huu hayaleti ila maana moja tu nayo ni: انحصررش

kumhusisha mtenda na kitu kimoja tu akawa hafanyi cha pili kama

anavyodai Juma? Au anapotangulizwa mtendwa juu ya mtenda kuna

malengo mengine kinyume na aliyoyataja Juma?

Sisi tunasema: naam, inawezekana akatangulizwa mtendwa kabla ya

mtenda kwa malengo mengine kinyume na aliyoyataja Juma. Inawezekana

kuwa Juma ameghafilika, au hilo hajui, au anajua lakini amekusudia

kupotosha. Kwa mfano; kuna uwezekano wa kutangulizwa mtendwa kwa

lengo la:

1-Kumpa umuhimu mtendwa (اإلتاو)

2- Kuchunga utaratibu wa utungo wa maneno. (سعاية انتاسة في ظاو انكلو)

Na malengo mengineyo ambayo wanavyuoni wa fani ya balagha

wameyaeleza kwa marefu na mapana kwenye vitabu vyao. Na yote

tuliyoyataja yana mifano tele kwenye Qur‟an na maneno ya waarabu.

Labda hapa tutoe mifano miwili mitatu:

Page 247: Fimbo ya Musa

247 Mfano wa kwanza; amesema Allah:

خ أ ى ػ ٣ خ ي ح ك ز ظ ل ٠ ك خ ؼ ٠ ح ي ػ ح

Na ama Thamudi tuliwaongoza, wakapenda upofu kuliko uwongofu.727

Neno “Thamudi” hapa ni mtendwa kwa mujibu wa Qiraa (kisomo) cha

baadhi ya wasomaji walipolisoma kwa Fat‟ha ya Dali. Hapo neno

“Thamudi” limetangulia na haki yake ilikua ni kuja baada ya mtenda, na

huyo mtenda ni dhamiri (pronoun) aliyoambatana na Fi‟ilu (kitendo) ي٣خ

“tuliwaongoza”. Kwa hiyo si makusudio ya aya hii kuuhusisha uwongofu

wa Allah kwa kabila la Thamudi tu, kwa sababu ya kuwa mtendwa

ametangulia, kwa sababu wapo watu wengine waliongozwa na Allah na

wao si katika kabila la Thamudi, bali makusudio ni kuonesha kwamba

mtendwa hapo amepewa umuhimu na kupatilizwa.

Mfano wa pili; amesema Allah:

ؼ خ حل خ و ه

Na wanyama hoa amekuumbieni.728

Pia si makusudio ya aya hii kwamba Allah ametuumbia wanyama hoa

pekee, bali hata wanyama pori pia amewaumba yeye.

Mfano wa tatu; amesema Allah:

ك ال ط و ٤ ظ ٤ خ ح ك ؤ

Basi Yatima usimwonee.729

Uonevu ni haramu kwa kila mtu, na si kwa yatima peke yake, na yaliyo

haramu kumfanyia yatima ni mengi na si uonevu pekee, kwa hivyo huwezi

kusema kwamba: haifai kumwonea yatima tu, kwa sababu mtendwa

ametangulizwa, la hasha! Bali hata wengine wasiokua yatima pia ni

haramu kuwaonea, pia huwezi kusema kwamba lililo haramu ni uonevu tu

kwa yatima, lakini uovu mwingine wowote usio kuwa uonevu unaweza

kumfanyia.

Kwa hiyo kitendo alichokifanya Juma si sahihi, kwa sababu yeye katika

maneno yake ameleta dhana ya kwamba utaratibu huu wa “kumtanguliza

mtendwa kabla ya mtenda” hauleti isipokuwa maana moja tu, nayo ni;

727

- Surat Fussilat (41) aya ya 17. 728

- Suratun Nah‟l (16) aya ya 5. 729

- Suratul-Dhuhaa (93) aya ya 9.

Page 248: Fimbo ya Musa

248 kumhusisha mtenda na kitu kimoja tu, na dhana hiyo si ya kweli kwa

maelezo tuliyo yatoa, na kwa maelezo hayo ndiyo unadhihirika ufahamu

finyu alio nao Juma katika mas‟ala haya ya kielimu. Pili, hadithi zilizo kuja

kuizungumzia itikadi hii zinaukata mzozo huu kwa kuifafanua aya hii na

nyinginezo, na kutuwekea wazi juu ya kuthibiti kwa jambo hili la

kuonekana Allah kwa macho huko akhera. Kwa hiyo hoja yetu hii bado

imesimama na Juma na kaumu yake hawakufaulu katika majaribio yao ya

kutaka kuiporomosha.730

Hayo ndio majibu ya Sheikh Kasim bin Mafuta nayo ni majibu ya ajabu!

Sijui ni kutokujua au ni kutokutaka? Ikiwa ni kutokujua, basi hatutochoka

kumfahamisha mpaka tuhakikishe kwamba sasa kajua; ikiwa ni kutokutaka,

basi sisi hatuna uwezo wa kumfanya atake. Kwa kuanzia natutazame

maneno yake alipouliza:

Kuna njia nyingi za “Al-Qasru” moja katika hizo ni hii ya kumtanguliza

mtendwa kabla ya mtenda, hili ni jambo ambalo linafahamika na wala

halina upinzani. Lakini jambo muhimu la kulijadili hapa, je matumizi ya

lugha kwa utaratibu huu hayaleti ila maana moja tu nayo ni: انحصش

kumhusisha mtenda na kitu kimoja tu akawa hafanyi cha pili kama

anavyodai Juma?

Tunasema: elewa ewe Sheikh Kasim bin Mafuta kwamba maana ya kwanza

na ya msingi inayopatikana katika utaratibu huo wa kilugha wa

kumtanguliza mtendwa pasina mtenda ni kumaanisha hasr au qasr

(kumhusisha mtenda na kitu kimoja tu pasina chengine). Hii ndio maana ya

kwanza ya kumtanguliza mtendwa pasina mtenda, na ndio maana

wanavyuoni huwa hawairuki maana hii na kwenda katika maana nyengine

ila ikiwa hii haiwezekani au ikiwa qarina zitaonesha vyenginevyo.

Utakumbuka kwamba kanuni ni kuwa haitakiwi kuiwacha maana ya kwanza

na ya msingi na ukakimbilia katika maana nyengine ilhali maana ya kwanza

na ya msingi inawezekana. Nadhani hii ni kanuni ambayo hatutafautiani

kwani hata wewe umeshalieleza hilo wakati ulipokuwa ukilielezea neno

nadhar. Ulisema:

…..wataalamu wote wa lugha hiyo wamekubaliana ni kuwa: maana ya

kwanza inayozingatiwa katika matumizi ya neno ni kulitumia neno katika

maana yake ya asili kwanza, kabla hatujakwenda katika maana nyingine.

Kwa hivyo, nahisi haitokuwa jambo la busara bali haitojuzu kuiruka maana

ya hasr na tukenda katika maana ya ihtimam ilhali maana ya hasr

inawezekana kwani hasr ndio maana ya kwanza inayopatikana katika

730

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 65-67.

Page 249: Fimbo ya Musa

249

mfumo huo wa kumtanguliza mtendwa kabla ya mtenda. Na maana

nyengine zinafuatia ikiwa maana hio haikuwezekana kama ilivyo kawaida

ya kutaamali na kanuni nyengine zote za lugha ya Kiarabu.

Ama kuhusu: “kuchunga utaratibu wa utungo wa maneno. ( سعاية انتاسة في

sijui kama Sheikh Kasim Mafuta kalisema hili taqliidan (kwa ,”(ظاو انكلو

kuiga) au tahqiqan (kwa kufanya uchunguzi). Kwa kuanzia ningependa

nikukumbushe hoja yako ulioitegemea katika suala la kukataa kwako

majazi. Ulisema ukiwanukuu wanavyuoni unaowafuata:

Tumewakubalia (AL-MUQADDIMATU AL-SUGH‟RAA) kwamba

majazi yamo katika lugha ya kiarabu, lakini hatuwakubalii

(ALMUQADDIMATUL-KUBRAA) kwamba kila kilichomo katika lugha

ya kiarabu kinafaa kuwemo ndani ya Qur‟an, bali sisi tunasema kinyume

chake, kwamba; kuna baadhi ya vitu vimo katika lugha ya kiarabu, lakini

havifai bali ni haramu kuitakidi kuwemo ndani ya Qur‟an.

Kwa hivyo, kama walivyodai wataalamu hawa ambao wewe umekubaliana

nao, na sisi tunasema kwamba ikiwa “kuchunga utaratibu wa utungo wa

maneno” tu unawezekana kuwemo katika lugha ya Waarabu katika mashairi

yao na nithaar (prose) zao, basi elewa kwamba haiwezekani katu kuwa

Allah aseme maneno au apange maneno bila ya kuleta faida maalumu: yaani

iwe Yeye kasema ili kutafuta vina tu! Bali ni wajibu wa kila Muislamu

aitakidi kwamba kila herufi moja ya Qur-ani; kila neno moja la Qur-an na

kila kilichomo katika Qur-ani basi kimewekwa kwa sababu maalumu ili

kilete maana maalumu. Kwa hivyo, ikiwa kanuni hio itakubalika katika

mashairi ya Waarabu kwa sababu binaadamu kusema kitu ambacho hakina

maana bali ni kwa ajili ya kuyapamba maneno yake tu, hicho kwa ujumla ni

kitu cha kawaida kipo kwa viumbe. Ama maneno ya Allah, ni lazima

tuitakidi kuwa chochote kilichotangulizwa ni kwa maana maalumu na

kilichowekwa mwisho ni kwa maana maalumu hata kama ikiwa utaratibu

wa tungo ni moja ya malengo hayo lakini si kweli kwamba utaratibu wa

tungo tu uwe ndio lengo pasina kuleta faida fulani au kuleta risala fulani.

Kwa hivyo, sisi hatukubaliani katu na wanavyuoni waliodai hivyo, bali

tunasema kwamba kila kilichomo katika Qur-ani; na mpangilio wote wa

Aya zake na maneno yake, basi unaleta maana maalumu: si kwa kutafuta

vina tu.

Ama mifano ya Aya ulioitoa, elewa ewe Sheikh Kasim bin Mafuta kwamba

yote hio sio inayozungumziwa katika elimu ya balagha ya kutangulizwa

kwa mtenda pasina mtenda. Mfano wa kwanza uliotoa ni Aya inayosema:

Page 250: Fimbo ya Musa

250

خ أ ى ػ ٣ خ ي ح ك ز ظ ل ٠ ك خ ؼ ٠ ح ي ػ ح

Na ama Thamudi tuliwaongoza, wakapenda upofu kuliko uwongofu.731

Kisha ukatoa maelezo:

Neno “Thamudi” hapa ni mtendwa kwa mujibu wa Qiraa (kisomo) cha

baadhi ya wasomaji walipolisoma kwa Fat‟ha ya Dali. Hapo neno

“Thamudi” limetangulia na haki yake ilikua ni kuja baada ya mtenda, na

huyo mtenda ni dhamiri (pronoun) aliyoambatana na Fi‟ilu (kitendo) ي٣خ

“tuliwaongoza”. Kwa hiyo si makusudio ya aya hii kuuhusisha uwongofu

wa Allah kwa kabila la Thamudi tu, kwa sababu ya kuwa mtendwa

ametangulia, kwa sababu wapo watu wengine waliongozwa na Allah na

wao si katika kabila la Thamudi, bali makusudio ni kuonesha kwamba

mtendwa hapo amepewa umuhimu na kupatilizwa.

Hivyo ndivyo ulivyonena! Nayo si maneno madhubuti, kwani neno Thamud

hapa kulitanguliza ni wajibu. Ivo wewe Sheikh Kasim bin Mafuta ulitarajia

kuwa Allah aseme: أخ كي٣خ ػى؟ Na amma tulimuongoza Thamuud? Hiki

ni Kiarabu cha nchi gani? Kwa ubainifu zaidi wa hayo ni kuwa baada ya

herufi Ammaa (yenye alifu yenye fat-ha) basi hakikai kitendo ila iwe kuna

harfu al-shart baina yao. Kinachofuatia baada ya herufi amma (ikiwa

hakuna herufi ya shart) ni jina: si kitendo. Na kwa sababu hio ndio maana

limewekwa jina Thamuud pasina kuwekwa kitendo hadaina. Na mifano hio

utaikuta kwa wingi katika Qur-ani, Sunna na Lugha ya Kiarabu. Anasema

Allah:

٣ خ ح ك ؤ آ ر ن ل ح أ ح ك ٤ ؼ ٣ خ ح أ ؼ ال ح حى هللا ر ح أ خ ح ك ٤ و ل

Ama wale walioamini, wao wanajua kwamba hio ni haki kutoka kwa

Mola wao; na ama wale waliokufuru, wao husema Allah anataka nini

kwa (kupiga) mfano huu?732

ـ ز ٢ ح خك خ٣ خ ي خ أ ك ح أ ر ه و ٢ ك ٤ خ ح٥ه أ ذ ك ٤

Enyi wafungwa wenzangu wawili, ama mmoja wenu atamnywesha

pombe bwana wake; na ama mwengine yeye atasulubiwa….733

خ ر ي ك ؤ ل خء ح ذ ؿ ل غ ك ٤ خ ٣ خ أ غ ك ٢ حل ك ٤ حخ

731

- Surat Fussilat (41) aya ya 17. 732

- Sura 2, Aya 26. 733

- Sura 12, Aya 41.

Page 251: Fimbo ya Musa

251

Ama povu linaondoka kwa kurembewa huko; ama kile chenye

kuwafaa watu basi kinakaa aridhini….734

ل ٤ ش خ ح أ ز ل ك ٢ ح ٣ ؼ ٤ خ خ ض .……ك ـ ال خ ح أ ٤ ئ ح أ ر خ خ ..……ك أ

ح ي ـ ح خ ٣ ش ك ي ك ٢ ح ٤ ٣ ظ ٤ ٤ ………ـ ال

Ama marekebu ilikuwa ni ya masikini wanafanya kazi

baharini……ama yule kijana, wazee wake wawili walikuwa ni

waumini……ama ukuta ulikuwa ni wa vijana wawili waumini katika

mji huo…..735

Anasema Ibn „Umar katika riwaya yake:

أخ حخ كب٢ أ٣ض حز٢ ٠ هللا ػ٤ ٣ظخ.......

Ama pembe mbili (pembe ya jiwe jeusi na pemba ya Yemen)

nilimuona Mtume akizishika……736

Na mfumo huo unaleta faida nyingi. Miongoni mwa hizo ni:

1) Kumaanisha sharti. Yaani yenyewe si harfu sharti (herufi yenye

kuonesha sharti) lakini ndani yake inabeba maana ya sharti.

2) Tafsil (kutoa ufafanuzi). Anasema Sheikh Ya‟iish bin „Ali akitoa

mifano ya tafsil:

...ل أ ٣وخ ٣ي ػخ ـخع ٣ أىص طل٤ خ حىػخ كبي طو ك٢ ؿحر: أخ

ػخ ـخع ك، أخ ٣ كل٤ ظ...

Ni kama vile kusemwa kwamba Zaidi ni mwanachuoni, shujaa,

karim. Nawe ukataka kuyafafanua hayo, basi utasema: “Ama kuwa

yeye ni mwanachuoni, shujaa, hilo linakubalika. Ama kuwa yeye

ni karimu hilo ni jambo la kufikiriwa.737

3) Tawkiid (kutilia mkazo).738

4) Takhfif fii al‟ibara (kuipunguza au kuiwepesisha ibara), kwani

ukisema: كؤخ ٣ي كوخث fa-ammaa Zaidun Faqaaim (ama Zaidi ni

mwenye kusimama), basi asili yake ni خ ٣ ٢ء ك٣ي هخث

734

- Sura 13, Aya 17. 735

- Sura 18, Aya 79-82. 736

- Sura 27, Aya 84. 737

- Al-‟Allaama Ya‟ish bin „Ali Sharhu Al-Mufassal j. 4, uk. 103-104. 738

- K.h.j.

Page 252: Fimbo ya Musa

252

mahma yakun min shay-in fa-Zaidu qaimun (vyovyote vile iwavyo,

basi Zaid ni mwenye kusimama).739

5) Chenye kueleweka kwamba kawaida yake ni kuondoshwa, basi

kinatakiwa kishughulishwe na kitu chengine.740

6) Kumueka yule aliyelazimishwa kutokumuonea, naye ni yatima,

katika nafasi ya chenye kulazimishwa kwa yakini, nacho ni kutukia

kwa kitu hapa duniani.741

TANBIHI

Tazama usije ukachanganya baina ya herufi أخ amma tulioielezea, na herufi

maa ya خ am na herufi أ amma ambayo ni mchanganyiko wa herufi أخ

kuulizia iliomo katika Aya inayosema: أخح ظ طؼ (Au mulikuwa

mukifanya nini).742

Halkadhalika usijeukachanganya baina ya herufi hio na

herufi أخ amma ambayo ni mchanganyiko wa herufi أ an na herufi خ maa

kama ilivyo katika ushairi wenye:

ز غ ح٠ ه٢ طؤ . . . كب ض ح ل خ حش أ أرخ ه

E baba ake Khurasha we, kwa sababu una wafuasi**Basi mie watu wangu

hawajalipo ni fisi!

Hizi tanbihi mbili ambazo kazitoa Mwanachuoni Ibn Hisham Al-Ansari

katika kitabu chake Mughni Al-Labib.743

739

- Tazama mfano kama huu katika maneno ya Sibawayh yalionukuliwa na Al-

Zamakhshari katika Al-Mufassal na Sherehe yake Sharhu Al-Mufassal j. 4, uk. 103. 740

- Kiarabu chake ni:

خ طؼف أ ك٤ خ حظ كك ٣زـ٢ أ ٣ـ ر٢ء

Yaani asili yake ni خ ٣ ٢ء ك٢ حي٤خ، كال طل ح٤ظ٤. yalipoondoshwa maneno yote

hayo, basi kikashughulishwa na kitu chengine nacho ni kumtanguliza mtendwa (yatima) na

kumchelewesha mtenda naye ni dhamiri (wewe). Inaonesha Kasim Mafuta yote haya

hayajui, anavamia tu! Anachokijua yeye: “huyu fasiki, yule mtu wa bidaa, yule khawarij,

n.k.”. 741

- Kiarabu chake ni:

حي٤خ حكال غ حو ػي حظ ح٤ظ٤ ل ح حوطؼ٢ ٢ء هع ح٢ء ك٢Yaani maana ya asili ni: خ ٣ ٢ء ك٢ حي٤خ، كال طل ح٤ظ٤ kitu chochote kile

kitachokuwa au vyovyote vile itavyokuwa, basi usijeukamuonea yatima.

742

- Sura 27, Aya 84. 743

- Uk. 64.

Page 253: Fimbo ya Musa

253

RIWAYA ZA MAIMAMU

Kama tulivyoeleza katika sura ya kwanza ya kitabu hiki kwamba miongoni

mwa mambo yenye kutujuilisha udhaifu au utunzi wa riwaya ni kwenda

kwake kinyume na tafsiri ya Qur-an ilijengeka juu ya kanuni za tafsiri za

lugha ya Kiarabu. Aya yoyote ile ikiwa imefasirika kwa tafsiri kadha kwa

mujibu wa kanuni sahihi za lugha ya Kiarabu, kisha ikaja riwaya ilio

kinyume na tafsiri hio iliojengeka juu ya mfumo sahihi wa lugha na

isiwezekane kuzijumuisha, basi elewa kwamba hio ni illa inayopelekea

kukataliwa kwa riwaya hio.

Tumeona katika sehemu iliotangulia kwamba kanuni ya kilugha ya

muqabala wa kibalagha na kanuni ya kumtanguliza mtendwa pasina mtenda

pamoja na hoja za kiakili zinawafikiana na tafsiri ya walioifasiri Aya hio

kuwa maana yake ni kungojea rehema ya Allah; na – kinyume chake –

kanuni hizo zinakwenda kinyume na tafsiri ya walioifasiri Aya hio kuwa

maana yake ni kumuona Allah. Tumeona pia kwamba watetezi wa itikadi ya

kumuona Allah wametoa hoja kwa baadhi ya riwaya za Maimamu

watangulizi kama vile Ikrima, Al-Hasan Al-Basri na „Atiyya Al-Awfi

kwamba wameifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kumuona Allah. Lakini

pia tumeona kwamba riwaya hizo hazikuthibiti kwa sanad inayoweza

kutegemewa. Sasa natutazame riwaya za tafsiri za Al-Salaf Al-Salih ambao

wameifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kungojea rehema au malipo ya

Allah.

Riwaya sahihi zinaonesha kwamba Al-Salaf Al-Salih waliifasiri Aya hii:

“Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zinatazama”, kuwa

maana yake ni kungojea malipo ya Allah. Anasema „Ali bin Naaif:

خس ا٠ رخ خظس((و ػ رؼ حظخرؼ٤ أ هللا ل ٣، كح ه رؤخ ))ؿ ٣ج

ـخي أر٢ خق...رخ خ و ػ طظظ ػحد

Imenukuliwa kutoka kwa baadhi ya Tabi‟iina (Wanafunzi wa Masahaba,

wakisema) kwamba Allah haonekani. Na wakaifasiri kauli yake Allah

isemayo: “Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zinatazama”,

kwamba (maana yake ni kuwa) zinangojea malipo ya Mola wake, kama

yalivyonukuliwa hayo kutoka kwa Mujahid na Abu Salih.744

Anasema Al-Mawardi:

744

- „Ali bin Naaif Al-Mufassal j. 3, uk. 14.

Page 254: Fimbo ya Musa

254

خ خظس { ك٤ ػالػش أهخ٣: ر } ا٠

أكيخ : طظ ا٠ رخ ك٢ حو٤خش ، هخ حل ػط٤ش حؼك٢ .

حؼخ٢ : ا٠ ػحد رخ ، هخ حر ػ ـخي .

حؼخغ : طظظ أ رخ ، هخ ػش .

(Kauli yake Allah aliposema): “Kwa Mola wake tu zinatazama”, ndani

yake kuna kauli tatu:

1) Zitamtazama Mola wake katika (kisimamo cha) kiama. Hii

ni kauli ya Al-Hasan (Al-Basri) na „Atiyya Al-‟Awfi.

2) (Zinangojea) malipo ya Mola wake. Hii ni kauli ya Ibn

„Umar na Mujahid.

3) Zinangojea amri ya Mola wake. Hii ni kauli ya „Ikrima.745

Hizo ni baadhi ya kauli walizozisema wanavyuoni wa Kisuni. Ama Ibadhi

wao wameipokea tafsiri hio kutoka kwa:

1) Ibn Abbaas.746

2) „Ali bin Abi Taalib.747

3) „Aisha.748

4) Muhammad bin Al-Munkadir.749

5) Mujahid.750

6) Ibrahim Al-Nakha‟i.751

7) Mak-huul.752

8) Al-Hasan Al-Basri.753

9) Sa‟id bin Jubair.754

10) Sa‟iid bin Al-Musayyib.755

11) „Ataau bin Yasaar.756

745

- Al-Mawaardi Al-Shafi (450) Al-Nukat Wal „Uyuun j. 4, uk. 357. 746

- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 321-322, riwaya na. 853. Uk. 323, riwaya na.

855. 747

- K.h.j. riwaya na. 854. 748

- K.h.j. riwaya na. 855. 749

- K.h.j. riwaya na. 855. 750

- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. 751

- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. 752

- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. 753

- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. Lakini yeye kasema kuwa

nyuso zitatazama ufalme wake na namna ya anavyoendesha mambo. 754

- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. Na akasema: “Na hakuna

yoyote atayemuona Allah”, yaani akhera kwani kayasema hayo baada ya kuifasiri Aya hio

ya Suratul Qiyama kuwa maana yake ni kusubiri malipo. 755

- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. Lakini yeye – katika

riwaya hii – hakutoa tafsiri isipokuwa kasema: “Hakika Allah haonekani na yoyote katika

viumbe wake”. Halkadhalika wamesema hivyo tu: Al-Dhahhaak bin Muzaahim, Abu Salih,

na „Ikrima.

Page 255: Fimbo ya Musa

255

12) Abu Salih. 757

13) „Ikrima.758

14) Al-Dhahhaak bin Muzaahim.759

15) Muhammad bin Ka‟ab.760

16) Ibn Shihaab Al-Zuhri.761

Lakini kwa hali yoyote ile, japo kuwa sisi tunamwambia Kasim Mafuta na

hizbu yake kwamba Ibadhi au Khawarij, kama wanavyowaita,

wakikusimulia riwaya basi ing‟ateni kwa magego, ؿحػ٠ح ػ٤خ رخ

(musiiwache) kwani wao hawajui uwongo ulivyokaa bali kwa sababu

riwaya zao ndio sahihi kushinda riwaya za watu wote kama

walivyoshuhudia wanavyuoni wenu akiwemo Mzee wa Uislamu Ibn

Taymiyya, lakini pamoja na yote hayo sisi hapa hatutozijadili riwaya hizo

zilizosimuliwa na Ibadhi, bali tutazitazama riwaya mbili tu zilizosimuliwa

kwa mapokezi ya Kisunni.

RIWAYA YA MUJAHID

Riwaya ya Mujahid inasema:

ؿـــيػخ أر ٣ذ هخ كــــــــيػخ ػـ ر ػزــك س ا ٠ ٤ي ػ ػ ـخي ) خ ج ٣

س ( هخ خ خظ ر طظظ حؼحد.

Ametusimulia Abu Kuraib kasema katusimulia Umar bin Ubaid kutoka

kwa Mansur kutoka kwa Mujahid: (kuhusu tafsiri ya Aya inayosema):

“Nyuso siku hio zitang‟aa zikitazama kwa Mola wake, kasema” (kwamba maana yake ni kuwa nyuso hizo zitakuwa) zinangojea malipo

kutoka kwake.762

756

- K.h.j. 757

- K.h.j. 758

- K.h.j. 759

- K.h.j.. 760

- K.h.j.. 761

- K.h.j. 762

- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29 uk. 120.

Page 256: Fimbo ya Musa

256

ALIYEIPOKEA NA WALIOITAJA RIWAYA HIO

Riwaya hio imesimuliwa na Al-Tabari,763 na ikatajwa na Al-Suyuti,764

Abu

Allaith Al-Samarqandi,765

Ibn Kathir,766

na wengine.

SANAD YA RIWAYA

Sanad ya riwaya hio ni:

٣ذ، هخ: ػخ ػ ر ػز٤ي، ػ ، ػ ـخي كيػخ أر

Katusimulia Abu Kuraib kasema, katuhadithia „Umar bin „Ubaid kutoka

kwa Mansur kutoka kwa Mujahid.

Na sanad ya pili ni:

ػخ ٤غ، ػ ل٤خ، ػ ، ػ ـخي

Katusimulia Wakii‟u kutoka kwa Sufyaan kutoka kwa Mansur

kutoka kwa Mujahid.

1) ABU KURAIB, mpokezi wa kwanza katika sanad ya kwanza, ni

Muhammad bin „Alaa bin Kuraib Al-Hamdani. Naye ni mwenye kuaminika.

Anasema Al-Hasan bin Sufyaan: “nimemsikia Ibn Numair akisema „hakuna

katika nchi ya Iraki mtu aliye mwingi wa Hadithi na mjuzi zaidi wa Hadithi

za mji wetu kuliko Abu Kuraib”. Anasema Ibn Abi Hatim: “aliulizwa baba

yangu kuhusu (Abu Kuraib) akasema “ni mkweli”. Anasema Abu Ali Al-

Naysaaburi: “nimemsikia Abu Abbaas bin „Uqda akimtanguliza (Abu

Kuraib) kwa uwezo wa kuhifadhi na ujuzi kuliko mashekhe wao wote”. Na

akasema Al-Nasai: “hana tatizo” na akasema tena: “muaminifu”. Na

akakubaliwa na Al-Imamu Ahmad bin Hanbal, Ibn Hibbaan na wegine

wengi bali hakuna aliye mjeruhi.767

Na Abu Kuraib kaipokea riwaya hio kutoka kwa:

763

- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29 uk. 120. 764

- Al-Suyuti Al-Durru Al-Manthuur j. 10, uk. 158. 765

- Abu Allaith Al-Samarqandi Bahru Al-‟Uluum j. 4, uk. 349. 766

- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-aani Al-‟Adhiim j. 4, uk. 407.

767 - Tazama kitabu Tahdhib Al-Tahdhib j. 9 uk. 342. Anasema Al-Imamu Ibn Hajar katika

kitabu chake Taqrib Al-Tahdhib uk. 500 tarjama na. 6204 kuwa (Abu Kuraib) ni “mkweli

na mwenye uwezo wa kuhifadhi”.

Page 257: Fimbo ya Musa

257

2) UMAR BIN UBAID, mpokezi wa pili, naye ni Umar bin Ubaid bin Abi

Umayya Al-Tanaafisi, Al-Hanafi, Al-Iyaadi. Naye ni mwenye kuaminika.

Anasema Ibn Sa‟ad: “ni mwenye kuaminika”. Anasema Abu Hatim: “ni

mkweli”. Anasema Al-Daraqutni: “Umar na Ali na Muhammad watoto wa

Ubaid ni wenye kuaminika na baba yao ni mwenye kuaminika na hivyo

hivyo kasema Al-Imam Ahmad bin Hanbal”. Anasema „Uthman Al-Darimi

kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “ni mwenye kuaminika”.768

Na Umar bin Ubaid kaipokea riwaya hio kutoka kwa:

3) MANSUR. Naye ni Mansur bin Al-Mu‟utamir. Naye ni mwenye

kuaminika. Anasema Al-Ajurri kutoka kwa Abu Dawud: “Mansur alikuwa

hapokei Hadithi ila itoke kwa watu waaminifu”. Na akasema Sufyaan:

“nilikuwa simsimulii Al-A‟amash Hadithi yoyote inayotoka kwa watu wa

Al-Kufa ila huikataa, nikimwambia inatoka kwa Mansur basi hunyamaza.

Na akasema Yahya: “hakuna yoyote aliyepokea Hadithi kutoka kwa

Mujahid na Ibrahim aliyekuwa thabiti kuliko Mansur”. Na akasema Ibn Abi

Hatim: “nilimuuliza baba yangu kuhusu Mansur, akasema kuwa ni:

“mwenye kuaminika”. Na akasema tena kuwa: “(Mansur) hachanganyishi

wala haghushi”.769

Na Mansur kaipokea riwaya hii kutoka kwa:

4) MUJAHID. Naye ni Mujahid bin Jabr. Ama Mujahid ni Imamu mkubwa

sana, mwingi wa elimu na tafsiri. Anasema Al-Imamu Ibn Hajar katika Al-

Taqrib: “Mujahid bin Jabr ni mwenye kuaminika, Imam wa tafsiri na (ni

Imamu) wa elimu”.770

Anasema Ibn Ma‟iin na Abu Zur‟a kuwa ni “mwenye

kuaminika”. Anasema Al-Thauri kutoka kwa Ibn Salama bin Kuheil:

“sijapata kuona mtu yoyote ambaye anataka radhi za Mwenyezi Mungu tu

kwa elimu yake kuliko Ataa, Taawus, na Mujahid”. Lakini pamoja na yote

hayo. Mujahid hakusalimika na jaraha. Al-Tirmidhi aripoti kwamba

“Mujahid ni maarufu kwa kughushi”.771

Kwa hali yoyote ile, hili

768

- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7 uk. 422. Anasema Ibn Hajar katika Taqribu Al-

Tahdhib uk. 415 tarjama na. 4945: “ni mkweli”. 769

- Tazama Tahdhib Al-Tahdhib j. 10 uk. 277. Na akasema Ibn Hajar kuwa Mansur ni:

“mwenye kuaminika, thabiti alikuwa haghushi “. Tazama Taqrib Al-Tahdhib uk. 547

tarjama na. 6908. 770

- Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib uk. 520 tarjama na. 6471. 771

- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 10 uk. 38-40, tarjama ya 68.

Page 258: Fimbo ya Musa

258

halidhurishi kitu, kwani hapa tunachukua tafsiri ya Mujahid mwenyewe, si

kwamba Mujahid anainukuu tafsiri hio kutoka kwa mtu.

Hio ni tafsiri ya Mujahid, naye kasifiwa na wanavyuoni wengi kwa elimu ya

tafsiri kama tulivyomnukuu Ibn Taymiyya akisema. Na tunaongeza hapa

maneno yake yafuatayo:

ػ٠ طل٤ ـخي ٣ؼظي أؼ حلثش خؼ١ حخكـؼ٢ أكي ر كز حزوخ١. هخ حؼـــ١

٤٤ش ػ ـــحر ػ اح ؿخءى حظل٤ ػ ـخي كلزي ر . حخكؼ٢ ك٢ ظز أؼ ح١ ٣و ػ

حر أر٢ ــــ٤ق ػــــــ ـخي ي حزوخ١ ك٢ ل٤ل ٣ؼظي ػ٠ ح

..Na Maimamu wengi kama vile Al-Thauri, Al-Shafi, Ahmad bin Hanbal

na Al-Bukhari wanategemea tafsiri ya Mujahid. Anasema Al-Thauri:

„ikikujia tafsiri kutoka kwa Mujahid basi hio inakutosha‟. Na (Al-Imamu)

Al-Shafi katika vitabu vyake mara nyingi zaidi hunukuu kutoka kwa Ibn

„Uyaina kutoka kwa Ibn Abi Najiih kutoka kwa Mujahid, halkadhalika Al-

Bukhari katika Sahihi yake huitegemea (sanad) hii.772

Hayo ni maelezo ya Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya kuhusu tafsiri ya

Mujahid. Lakini baada ya yote hayo, tunakuta kwamba jumhur ya

wanavyuoni wa ki-Sunni hawakuichukua tafsiri hii ya Mujahid ambayo

imethibiti kwa sanad sahihi na juu ya yote imekubaliana na kanuni za

kilugha, za kibalagha, na badala yake wakaelemea katika tafsiri

zilizosimuliwa kutoka kwa Maimamu wengine kwa sanad zenye udhaifu.

Lakini watetezi wa itikadi ya kumuona Allah wamekuwa na maelezo tafauti

juu ya hilo. Ali Naaif, mtafiti wa Kiwahabi, kwa mfano, anasema:

٠: } ا٠ رخ خظس {ـــأخ ح١ ػ ـخي ك٢ حؤش، خ و ػ طل٤ ه طؼخ

زي حز: ـهخ حر ػ “طل٤: ك٢ ر، ػي حؼخء ح، هخ حإلخ حو١ز٢ ـ أ١ طلىــــكـــ

ح ـــــ٣ ػي أ حؼ : أكيخ حلثش رخظؤ٣، كب ه٤ يــــــــخي ا خ أك “

ـــــ٢ طؤ٣ـــ٢ كــحؼخ -ػ٤ ؼ ػ٠ ٤ ٣ؼ٢ أ هللا زلخ ٣ـ ز٤ ٠ هللا -

غ ح ٤ حظ. حؼحد، ظــــــ} ؿ ٣ج خس * ا٠ رخ خظس { هخ: ؼخ طظ

٢ طل٤ــــــذ كـــل ٣ حإ٣ش، اخ ؿخ٣ش خ ك٤ أ - هللا ك -كال ٣ي ه ح ػ٠ أ

ظلخء ىلش ــح٣٥ــــش زخ وخلخ ذ أػزظخ، ل ٣ؼ٢ حظلخء ىلش ح٣٥ش ػي ػ٠ حإ٣ش ح

حله، ل ٤خ حلكخى٣غ حظ٢ رـض كي حظحط . ؿ٤خ حلىـــــــش

Ama kile kilichosimuliwa kutoka kwa Mujahid kuhusu suala hili na kile

kilichonukuliwa kutoka kwake katika kuifasiri Aya isemayo: “Kwa Mola

wake (nyuso hizo) ni zenye kutazama”, hio ni rai aliopwekeka nayo, na

wanavyuoni wameihisabu (rai hio) kuwa ni katika jumla ya mambo pweke.

Al-Imamu Al-Qurtubi kasema katika tafsiri yake: „Kasema Ibn „Abdil-

772

- Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 17, uk. 408.

Page 259: Fimbo ya Musa

259 Barri: „Mujahid pamoja na kuwa ni mmoja wa Maimamu wa tafsiri, lakini

ana kauli mbili zenye kuhamwa na wanavyuoni: moja yao ni hii, yaani

kusema kuwa Allah atamuweka Mtume wake (s.a.w.) juu ya kiti chake, na

yapili ni katika kuifasiri kwake Aya isemayo: “Nyuso siku hio

zitang‟aa**kwa Mola wake tu ni zenye kutazama”, akasema kuwa

(maana yake ni kuwa nyuso hizo zitakuwa) zinangojea malipo, wala si

maana yake kutazama (kwa macho).

Na pamoja na hayo, kauli yake hii haijaonesha kwamba yeye (Mujahid

r.a.) haitakidi kuonekana kwa Allah, bali upeo wa kilichomo ndani ya

(kauli) yake hio ni kuwa yeye kaifasiri Aya hio kinyume na tafsiri ya

waliothibitisha kuonekana kwa Allah. Na wala haina maana kwamba vile

kusema kwake kuwa Aya hio haina ushahidi huo kwamba na dalili

nyengine pia hazina ushahidi huo hususan Hadithi ambazo zimefika

kiwango cha mutawatir!.773

Hayo ni maelezo ya mtafiti huyo wa Kiwahabi, nayo yanatokana na kawaida

yao ya kutaka kuwagubika watu na kuuficha ukweli. Ama madai yake

kwamba hio ni rai ambayo kwamba kwapwekeka nayo Mujahid, hilo

umeshalifahamu kutokana na mengi yaliotangulia kwamba halina ukweli.

Lakini ni bora tumuachie Mzee wa Uislamu na watu wa skuli hio hio ya

Kiwahabi watujibie. Anasema Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya:

حظخرؼ٤ أ هللا ل ٣ كح ه: } ؿ ٣ج خس { } ا٠ رخـــــخ و ػ رؼـ

طظظ ػحد رخ خ و ػ ـخي أر٢ خق خظس { رؤخ

Na kama ilivyonukuliwa kutoka kwa baadhi ya wanafunzi wa Masahaba

kwamba Allah haonekani na wakaifasiri Aya isemayo: “Nyuso siku hio

zitang‟aa**kwa Mola wake tu ni zenye kutazama”, kwamba maana

yake ni (kuwa zitakuwa) zinangojea malipo ya Mola wake, kama

yalivyonukuliwa hayo kutoka kwa Mujahid na Abu Salih.774

Anasema Abu Maariya:

و )ا٠ رخ خظس ( طظظ ؼ خ ؿخء ػ رؼ حق )ـخي، أر٢ خق( أ هللا ل٣

ػحد رخ

Na mfano wake ni kile kilichopokewa kutoka kwa baadhi ya Al-Salaf

(Mujahid na Abu Salih) kwamba ALLAH HAONEKANI kwa sababu ya

773

- Ali bin Naaif Al-Mufassalu Fii Al-Raddi „Alaa Shubuhaati A‟adaai Al-Islam j. 2, uk.

180. 774

- Ibn Taymiyya Majumu‟a Al-Fatawa j. 20, uk. 34.

Page 260: Fimbo ya Musa

260 kauli yake “Kwa Mola wake tu zinatazama” (yaani) zinangojea malipo

ya Mola wake.775

Maelezo hayo yanatosha kuubainisha udhaifu wa madai ya Sheikh „Ali bin

Naif. Na kwa ujmla ni kuwa kama ulivyoona katika nukulu ya Al-Mawardi,

tafsiri hio na inayokurubiana na hio imesimuliwa kutoka kwa wanavyuoni

watangulizi zaidi ya wawili katika mapokezi ya Kisunni, na idadi ya

wasiopungua wanavyuoni kumi katika masimulizi ya Kiibadhi.

Ama madai ya Sheikh „Ali aliposema:

Na pamoja na hayo, kauli yake hii haijaonesha kwamba yeye (Mujahid

r.a.) haitakidi kuonekana kwa Allah, bali upeo wa kilichomo ndani ya

(kauli) yake hio ni kuwa yeye kaifasiri Aya hio kinyume na tafsiri ya

waliothibitisha kuonekana kwa Allah. Na wala haina maana kwamba vile

kusema kwake kuwa Aya hio haina ushahidi huo kwamba na dalili

nyengine pia hazina ushahidi huo hususan Hadithi ambazo zimefika

kiwango cha mutawatir!.

Tunasema: tumeona katika nukulu mbili zilizotangulia – ya Ibn Taymiyya

na Abu Maariya – wakisema: “na kama ilivyonukuliwa kutoka kwa baadhi

ya wanafunzi wa Masahaba kwamba Allah haonekani”…………. “na

mfano wake ni kile kilichopokewa kutoka kwa baadhi ya Al-Salaf (Mujahid

na Abu Salih) kwamba ALLAH HAONEKANI”. Ninasema: bali madai

hayo ya Sheikh „Ali bin Naif ni madai ya kufyatua tu, kwani kuwepo kwa

riwaya tu siko kunakoeleza kuwa riwaya hizo zinakubalika kwa

mwanachuoni fulani, kwa hivyo anayetaka kuthibitisha kuwa Mujahid

alikuwa akiitakidi kumuona Allah ni lazima alete riwaya sahihi kutoka kwa

Mujahid mwenyewe. Bali Ibn Jarir kapokea riwaya mbili – japo kuwa ni

dhaifu – kutoka kwa Mujahid akisema kwamba “haonekani na yoyote

miongoni mwa viumbe wake”.776

Lakini pamoja na udhaifu wa sanad mbili

hizo, katika riwaya nyengine zenye sanad sahihi, kama alivyosema Ibn

Hajar,777

Mujahid kasema katika riwaya hizo kwamba Aya: “Nyuso siku

hio zitan‟gaa**Kwa Mola wake tu zinatazama”, maana yake ni kuwa

zitakuwa zinasubiri malipo, na haya ndio maudhui ya hapa.

Na wako waliotoa hoja kwa kusema kwamba pamoja na kuwa watu hao (wa

kisimamo cha kiama) watakuwa wanangojea malipo ya Allah lakini

775

- Abu Maariya Taysiiru Al-‟Aziizi Al-Hamiid uk. 115. 776

- Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 24, uk. 72. 777

- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 15, uk. 9249, katika maelezo ya Hadithi na. 7434.

Page 261: Fimbo ya Musa

261

watakuwa wanamuona. Anasema muandishi wa kitabu kiitwacho Jawaabu

Ahli Al-Sunna Al-Nabawiyya:

س {، كوخح:.... خ خظ ر س ا ٠ خ ج ٣ ؿ كوخ: ا كؼ هللا ٣ حؼزخى ٣، اخ هخ: }

غ خ طظظ حؼحد، ٢ ط رخ. حؼحد رخ. كوخ: اخ اخ طظظ

….Basi tukasema: „kwani vitendo vya Allah, waja hawajaacha kuwa

wanaviona, lakini Yeye kasema: “Nyuso siku hio zitang‟aa**kwa Mola

wake tu ni zenye kutazama”. Basi wao wakasema: „kwa hakika (Aya hio

maana yake ni) kungojea malipo kutoka kwa Mola wake‟. Nasi tukajibu:

„kwamba pamoja na kungojea kwake malipo, pia (nyuso hizo) zitakuwa

zinamuona Mola wake‟.778

Hivyo ndivyo walivyojibu. Nasi tunasema kwamba huku ni kuchanganya

maudhui ili kuwachanganya watu! Maudhui yetu hapa ni kuhusua tafsiri ya

Aya moja maalumu: si kuhusu suala zima la kuonekana kwa Allah:

tunachokijadili hapa ni kuwa je Aya inayosema: “kwa Mola wake tu ni

zenye kutazama” maana yake ni kumuona Allah au ni kungojea rehema

yake? Hii ndio maudhui ya hapa. Ikiwa Allah ataonekana kwa mujibu wa

dalili nyengine, dalili hizo zinahitaji mjadala wake mbali, lakini kwa hapa

kinachotafutwa ni tafsiri ya Aya hio, na kwa hivyo tunapoijadili Aya hio

hususan, hakuna haja ya kuchanganya maudhui na kudai kwamba hata kama

watu watangojea rehema lakini pia watakuwa wanamuona.

RIWAYA YA ABU SALIH

Abu Salih ni mwanafunzi wa Abu Huraira na Ibn Abbaas. Yeye huyu pia

kaifasiri Aya hio: “Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu

zinatazama”, kuwa maana yake ni kungojea malipo ya Allah yaani

kungojea kuingia peponi. Anasimulia Ibn Abi Shaiba riwaya inayosema:

ش }ا : ك س { ه خ خ ج ٣ ؿ س {كيػخ أر ؼخ٣ش ػ اخػ٤ ػ أر٢ خق } خ خظ ر ٠

خ. ر حد حؼ ظ ظ : ط ه خ

Katusimulia Abu Mu‟awiya kutoka kwa Isma‟iil (bin Abi Khaalid) kutoka

kwa Abu Salih (kasema kuhusu Aya inayosema): “Nyuso siku hio

zitang‟aa”, kasema (Abu Salih): „zitakuwa nzuri‟; “Kwa Mola wake tu

zinatazama”, kasema: „zinasubiri malipo ya Mola wake‟.779

778

- Jawaabu Ahli Al-Sunna Al-Nabawiyya j. 2, uk. 21. Na asili ya maneno hayo ni kutoka

katika kitabu alichozuliwa Al-Imamu Ahmad bin Hanbal kiitwacho Al-Raddu „Alaa Al-

Zanaadiqa Wa Al-Jahmiyya uk. 33. 779

- Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 7, uk. 205, riwaya na. 35367.

Page 262: Fimbo ya Musa

262

Riwaya hio pia kaipokea Al-Tabari kwa sanad hii:

كيػ٢ أر حوطخد حلخ٢، هخ: ػخ خي، ػ ل٤خ، هخ: ػخ اخػ٤ ر أر٢ هخي، ػ أر٢

.…خق

Katusimulia Abu Al-Khatab Al-Hassaani kasema, katusimulia Malik

kutoka kwa Sufyaan kasema katusimilia Isma‟il bin Abi Khalid kutoka

kwa Abu Salih…780

Hii ni riwaya ya Abi Salih, ambayo Maimamu wengi wa Kisunni akiwemo

Ibn Hajar na Ibn Taymiyya wameithibitisha kutoka kwa Abi Salih. Hata

hivyo, sanad hii tulioitaja hapa ina udhaifu – japo kuwa si mkubwa – kwani

Malik naye ni Malik bin Su‟air – mpokezi wa pili wametafautiana juu yake.

Wakati Abu Zur‟a, Abu Hatim na Al-Daraqutni wanasema ni “mkweli”,

nayo ni lugha yenye kuashiria kwamba si imara sana, Abu Daud asema ni

dhaifu.781

Kwa hali yoyote ile iwayo, Ibadhi wameipokea riwaya hii kutoka

kwa Abi Salih kwa sanad nyengine kama tulivyotaja katika orodha hapo

nyuma. Na kwa hivyo, riwaya mbili hizi zinapeana nguvu na kukubalika.

780 - Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 24, uk. 73.

781 - Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 10. uk. 15, tarjama na. 20.

Page 263: Fimbo ya Musa

263

SURA YA NANE HOJA YA PILI

Hoja ya pili ya wenye itikadi ya kumuona Allah huko akhera ni Aya

inayosema:

س ٣ خى ٠ ل ح ح أ ك ٣

Wale waliotenda mema watapata mema (ya matendo yao) na ziada.782

Ushahidi wao katika Aya hii ni kuwa Mtume (s.a.w.) katika Hadithi yake

kalifasiri neno ziada lililotajwa katika Aya hio kuwa maana yake ni

kumuona Allah. Na inayofuata ndio Hadithi yenyewe:

ش ػ ػخرض حزخ٢ ػخى ر ــــكيػخ لي ر رخ كيػخ ػزي حك ر ي١ كيػخ ك

هخ ))٣ أكح حل٠ ٣خىس((٠ ــــحز٢ ٠ هللا ػ٤ ك٢ ه ط ؼ خ ٤ذ ػ

اح ىه أ حـــــش حـش خى خى ا ػي هللا ػيح ٣٣ي أ ٣ـ هخح أ طز٤

ذ ــــك٤ق حلـخد هخ كهللا ٣ؼطح ٤جخ أكؿخ طـخ حـــــــخ طيهخ حـش هخ

ا٤ ا٤ حظ

Ametusimulia Muhammad bin Bashar, katusimulia „Abdul-Rahman bin

Mahdi, katusimulia Hamad bin Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani

kutoka kwa Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kuhusiana na kauli ya

Mwenyezi Mungu inayosema „wale waliofanya mema watapata mema

yao na ziada,‟ kasema (Mtume (s.a.w.): „watapoingia watu wa peponi

katika pepo atanadi mwenye kunadi: „hakika ya nyinyi muna ahadi kwa

Mwenyezi Mungu anataka kukutekelezeeni‟. Watasema kwani

hukuzing‟arisha nyuso zetu na kutuokoa na moto na ukatuingiza peponi?

Kasema: „basi ataondoa pazia basi naapa kwa jina la Allah hawajapewa

kitu bora kuliko kumtazama Yeye‟.

TAKHRIJ YA HADITHI HIO

Hadithi hio kaipokea Al-Imamu Muslim,783 na akaipokea Al-Bazzaar

784

lakini katika riwaya yake hakuna maelezo ya wazi yenye kuonesha kuwa

hio ni tafsiri ya neno “ziada”, japo kuwa Aya yenye neno hilo kaitaja pia,

lakin hatimae akasema:

782 - Sura 10, Aya 26.

783 - Al-Imamu Muslim Sahihi Muslim Bisharhi Al-Imamu Al-Nawawi j. 2 uk. 297 Hadithi

na. 297. 784

- Al-Bazzaar Al-Bahru Al-Zakhaar j. 6, uk. 21, Hadithi na. 1844.

Page 264: Fimbo ya Musa

264

طؼخ٠ كي ه ) ل ٣ن ؿ هظ ل ش (ك٤ظـ٠ ر طزخى

Basi Allah Mtukufu Aliyetukuka atawadhihirikia, na hio ndio (maana ya)

kauli yake (Allah aliposema): “Na nyuso zao hazitofunikwa na kiza wala

unyonge”.785

Kisha akasema Al-Bazzaar:

حـ٤س ، كخى ر ٣ي ، ؼ ، ػ ػخرض ، ػ ػزي حك ر ح حلي٣غ ح ٤خ ر

وش خ ـــي٣غ اح ح حؼــــهخ كخى : ػ ػخرض ، ػ ػزي حك ، ػ ٤ذ حل أر٢ ٠٤،

كخى ر ش ه٤خ حخ أخث حلي٣غ اح حى، خ

Na Hadithi hii kaipokea Sulaiman bin Al-Mughira na Hammad bin Zaid na

Ma‟amar kutoka kwa Thabit kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila. Na

Hammad (bin Salama) yeye kasema (kuwa Hadithi hio) inatoka kwa

Thabit kutoka kwa „Abdil-Rahmaan kutoka kwa Suhaib. Na Hadithi

ikisimuliwa na mpokezi mwenye kuaminika basi Hadithi (inayozingatiwa)

ni yake ikiwa kazidisha. Na Hammad (bin Salama) alikuwa ni katika watu

bora na waaminifu!

Hadithi hio pia kaipokea Ibn Maajah,786

Al-Nasai,787

Abu Nu‟aim,788

Al-

Tabarani katika Al-Kabir789

na Al-Awsat na akasema: “Hadithi hii

hakuipokea kutoka kwa Thabit (Al-Bunani) isipokuwa Hammad bin

Salama”.790

Hadithi hio kaipokea pia Al-Tirmidhi katika Al-Sunan na

akasema:

ك س ٤ ـ ح ر خ ٤ ك ؼ ش خى ر ك ي خ أ ي ٣غ ا ح ك ٣غ ي ل ح ح ٣ ي خى ر

ػ خر ض ــــــػ أ ر ٢ ٤ ٠ ه ر ك ز ي ح ػ ز خ ٢ ػ ح

Hadithi hii Hammad bin Salama kaifanya marfu‟u (kainasibisha kwa

Mtume s.a.w.); ama Sulaiman bin Al-Mughira na Hammad bin Zaid, wao

wameisimulia Hadithi hii kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka kwa „Abdi-

Rahmaan bin Abi Laila ni maneno yake (yeye Abdul-Rahman: si

Hadithi ya Mtume s.a.w.).791

Hadithi hio pia kaisimulia Al-Baghawi,792

Ibn Hibbaan,793

Abu „Awaana,794

Ahmad,795

Al-Tayaalisi,796

Al-Shaashi,797

na wengine.798

785

- Sura 10, Aya 26. 786

- Ibn Maajah Al-Sunan Hadithi na. 183. 787

- Al-Nasai Al-Kubra j. 4, uk. 420, Hadithi na. 7766, j. 6, uk. 361, Hadithi na. 11234. 788

- Abu Nu‟aim Al-Mustakhraj „Alaa Sahihi Muslim j. 1, uk. 245, Hadithi na. 453. 789

- Al-Tabarani Al-Kabiir j. 8, uk. 39, Hadithi na. 73, 14. 790

- Al-Tabarani Al-Awsat j. 1, uk. 230, Hadithi na. 756. 791

- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 2475 792

- Al-Baghawi Shar-hu Sunna j. 8, uk. 450, Hadithi na. 4393.

Page 265: Fimbo ya Musa

265

Hadithi hio kaipokea pia Al-Tabarani katika Musnad Al-Shaamiyyin kwa

sanad inayofuata:

كيػخ حل ر حؼزخ حح١ ػخ لي ر ك٤ي ػخ ارح٤ حر حوظخ ػ حر ؿ٣ؾ

..…ػ ػطخء حوحخ٢ ػ ؼذ ر ػـس ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤

Katusimulia Al-Hasan bin „Abbaas Al-Raazi katusimulia

Muhammad bin Humaid katusimulia Ibrahim bin Al-Mukhtar kutoka

kwa Ibn Juraij kutoka kwa „Ataa Al-Khuraasani kutoka kwa Ka‟ab

bin „Ujra kutoka kwa Mtume (s.a.w.).799

Hivyo ndivyo alivyoisimulia, nayo ni sanad dhaifu ilioje. Anasema Al-

Salafi, mpekuzi wa Kiwahabi, katika maelezo yake juu ya sanad hio:

ح حر ؿ٣ ك٢ طل٤ لي ر ك٤ي ؼ٤ق حرح٤ ر حوظخ يم ؼ٤ق حللع

..……٣ظو٠ كي٣ؼ ح٣ش حر ك٤ي ػ ػطخء ٣غ ؼذ ر ػـس هخ حر كزخ

Na kaipokea Ibn Jarir katika tafsiri yake, lakini Muhammad bin Humaid ni

dhaifu na Ibrahim bin Al-Mukhtar ni mkweli lakini hifdhi yake ni dhaifu,

anasema Ibn Hibbaan: „Hadithi zake alizozipokea kutoka kwa Ibn Humaid

zinaepukwa; na „Ataa hakusikiapo (Hadithi) kutoka kwa Ka‟ab bin

„Ujra.800

Hivyo ndivyo alivyonena. Ninasema: na Ibn Juraij anaghushi vibaya sana na

Hadithi yake hapa ni mu‟an‟an. Anasema Al-Daraqutni: “Jiepushe na

ghushi ya Ibn Juraij; alikuwa haghushi ila kitu alichokisikia kutoka kwa

(mpokezi) aliyejeruhiwa (dhaifu)”.801

Na Hadithi kama hio kainukuu pia Al-Busairi na Al-Haithami kwa sanad

hizi:

793

- Ibn Hibbaan Sahihu Ibn Hibbaan j. 16, uk. 471, Hadithi na. 7441. 794

- Abu „Awaana Al-Musnad j. 1, uk. 136, Hadithi na. 411. 795

- Ahmad Al-Musnad Hadithi na. 18177. 796

- Al-Tayaalisi Al-Musnad Hadithi na. 1315. 797

- Al-Shashi Al-Musnad j. 2, uk. 387-388,389, Hadithi na. 988,989,990. 798

- Katika baadhi ya vitabu nimekuta takhirij ifuatayo ya Hadithi hio:

Ibn Manda Al-Imaan, Hannad bin Sariy Al-Zuhd, „Abdullah bin Ahmad Al-Sunna, Al-

Tabari Jami‟u Al-Bayaan, Ibn Abi „Aasim Al-Suuna, Ibn Khuzaima Ibn Khuzaima labda ni

katika Al-Sahih,, Al-Aajurri Al-Tasdiiq Binnadhar, Al-Laalakai Sharhu Usuuli Al-I‟itiqaad,

Al-Bayhaqiy Al-Ba‟athu wa Al-Nushuur. 799

- Tazama maelezo ya Al-Salafi katika Musnad Al-Shaamiyyin j. 3, uk. 302. 800

- Tazama maelezo ya Hamdi bin „Abdil-Majid Al-Salafi katika Musnad Al-Shaamiyyin j.

3, uk. 302. 801

- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 6, uk. 357, tarjama na. 758.

Page 266: Fimbo ya Musa

266

ؼ ٤ زخى ر ػ خ ػ ي , ك ز ل ح ى ر ح ػ خ ى ي ش : ك خ أ ر ٢ أ ي ر ل ع ر خ ل ح هخ خك غ ، ػ ، ػ

. ػ .……………حر ؼ خ ح ر ػ ز ي هللا ر ػ ، ػ ؿ ػ …….

Kasema Al-Harith bin Muhammad bin Abi Usama, katuhadithia Dawud

bin Muhabbar katuhadithia „Abbaad bin Kathir kutoka kwa Nafi‟i kutoka

kwa Ibn „Umar…………..na kutoka kwa mtu kutoka kwa „Abdullahi bin

„Amri bin Al-‟Aas…..802

Kisha Al-Busairi akasema: ز ل ح ى ر ح ؼ ق ى ٤ق ؛ ٠ ؼ خى ح ا (na isnad hii ni

dhaifu kwa sababu ya udhaifu wa Dawud bin Muhabbar). Ninasema: na

„Abbaad bin Kathir pia ni dhaifu sana. Ama sanad ya pili – kama

unavyoiona – inasema: “kutoka kwa mtu”, basi ni hivyo “kutoka kwa mtu”,

hajulikani ni nani! Kwa hivyo sanad hizi ni dhaifu.

Kwa hivyo, kwa ujumla ni kuwa sanad hizi hazina khilafu juu ya udhaifu

wake, tumebakiwa na maelezo kuhusu sanad ya kwanza ambayo katika

mapokezi yote njia yake ni: “kutoka kwa Hammad bin Salama kutoka kwa

Thabit Al-Bunani kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila kutoka kwa

Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.)…”...

WALIOITOLEA HOJA HADITHI HIO

Miongoni mwa walioitolea hoja Hadithi hio ya Hammad bin Salama ni Ibn

Taymiyya katika Majmuu‟a Al-Fataawa,803

Ibn Al-Qayyim katika Haadi

Al-Ar-waah,804

Ibn „Abdil-Barr katika Al-Tamhid,805

Al-Baghawi katika

Sharhu Al-Sunna,806

Ibn „Uthaimin katika Sharhu Riyadhi Al-Salihin,807

na

wengine wengi kama Ibn Rajab Al-Hanbali katika Fat-hu Al-Bari, Ibn Hajr

Al-„Asqalani katika Fat-hu Al-Bari. Na kwa ufupi hio ndio moja ya hoja

kuu za wenye itikadi ya kumuona Allah.

802 - Al-Busairi Ittihaafu Al-Khayara Al-Mahara j. 5, uk. 88. Al-Haithami Bughyatul

Baahith j. 2, uk. 648, Hadithi na. 622. 803

- Ibn Taymiyya Majmuu‟a Al-Fataawa j. 1, uk. 35. 804

- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah 212. 805

- Ibn „Abdil-Barr Al-Tamhid j. 7, uk. 157. 806

- Al-Baghawi katika Sharhu Al-Sunna j. 8, uk. 449. 807

- Ibn Uthaimin Sharhu Riyadhi Al-Salihin, j. 4, uk. 451.

Page 267: Fimbo ya Musa

267

MAELEZO KUHUSU SANAD HIO

YA HAMMAD BIN SALAMA

Riwaya hio ni miongoni mwa riwaya muhimu zao ambazo watetezi wa

itikadi ya kumuona Allah wameshikana nazo katika kuthibitisha itikadi hio.

Wasiokubaliana na suala la kuonekana kwa Allah wameipinga riwaya hio

kwa sababu kadha wa kadha. Baadhi yake ni hizi:

1) Neno ziada ambalo limetajwa katika Aya si maana yake kumuona

Allah.

2) Kanuni za kilugha, za kibalagha zinaipa uzito maana nyengine

kabisa pasina kuonekana Allah.

3) Wanavyuoni watangulizi kuanzia Masahaba na waliofuatia baadae

wametafautiana juu ya tafsiri ya neno ziada lililomo katika Aya hio.

4) Katika sanad ya Hadithi hio kuna mpokezi HAMMAD BIN

SALAMA, naye japokuwa ni mtu mwema lakini alikuwa akikosea

sana na kusahau sana na kwa hivyo katika masimulizi yake

kumekuwa na Hadithi munkar nyingi sana:

a) Hammad bin Salama kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi

katika masimulizi ya riwaya hio.

b) Hammad bin Salama kenda kinyume na watu waliokuwa ni

awthaq (wenye kuaminika zaidi) kuliko yeye.

Hizi ni nukta nne kwa sita ambazo ni lazima zitazamwe kwa mujibu wa

minhaj sahihi ikiwa tunataka kuufikia ukweli wa riwaya hio ya Hammad bin

Salama. Sasa baada ya hayo, wacha tuitazame nukta moja moja.

MAANA YA ZIADA

Nukta ya kwanza: ni kuhusu maana ya neno ziada lenyewe. Maandiko ya

kisharia kwa asili yana njia mbili kuu ya kuyafasiri:

1) Njia ya kilugha, yaani kulitazama neno je kilugha lina maana gani.

2) Njia ya dalili za nje nayo ni njia ya kutazama je kuna andiko jengine

lolote lile ambalo limetoa tafsiri kwa hili andiko ambalo ninalitafutia

tafsiri yake.

Hizo ndio njia muhimu zao. Lakini pia hutumika njia nyengine kama vile:

1) Hoja za kiakili.

2) Misingi ya ujumla ya Sharia.

3) Misingi ya ujumla ya itikadi.

Page 268: Fimbo ya Musa

268

Sasa tukija katika upande wa kilugha natarajia kwamba hatutotafautiana

kwamba neno ziada katika lugha ya Kiarabu halina maana ya kuona. Kwa

maana hii, anayetaka kuthibitisha kuwa neno hilo hapo katika Aya hio

limemaanisha kuona, basi itamlazimu awe na ushahidi wa Kisharia, yaani

Qur-ani au Hadithi sahihi. Na ninaposema kwamba neno hilo kilugha halina

maana ya kuona sikusudii kwamba haiwezekani kulifasiri hivyo ikiwa

kutakuwa na ushahidi unaokubalika kielimu, bali nakusudia kwamba asili

ya neno lenyewe halina maana ya kuona. Na kwa sababu hio, hakuna

mlimwengu yoyote yule utayemwambia kwamba nitakupa ziada akafahamu

kuwa utamuonesha kitu, bali atachokifahamu kutokana na maneno yako

hayo ni kuwa utampa nyongeza ya kitu kile kile ulichomuahidi kumpa;

kama umemuahidi Shilingi ishirini na ziada basi atatarajia kupewa Shilingi

ishirini na tano au thalathini. Kwa mantiki hii ni wazi kwamba ikiwa watu

wa peponi watalipwa wema na wema wenyewe ukafasiriwa kuwa ni pepo,

basi ni wazi kwamba ziada watayopewa ni ziada katika jinsi ya malipo yao

hayo hayo ya pepo. Hakuna kuwa malipo ya matendo yao yawe ni pepo

kisha ziada iwe ni kumuona Allah.

Lakini la msingi zaidi hapa ni kujiuliza kuwa vipi kitu bora iwe ndio ziada

na kitu kilichozidiwa ubora kiwe ndio malipo ya msingi! Utakumbuka

kwamba kumuona Allah ndio malipo bora zaidi kwa mujibu wa wenye

itikadi hio. Soma – ukipenda pamoja nami – maelezo ya Mzee wa Uislamu,

Ibn Taymiyya na wanafunzi wake. Anasema Mzee wa Uislamu:

رإ٣ظ ك٢ ح٥هس طو ػ٤ ل ٢ء ٣ؼط٤ ك٢ ح٥هس أكذ ا٤ حظ ا٤

Na kwa kumuona Yeye huko akhera, basi macho yao yatafurahi, na wala

hakuna kitu atachowapa huko akhera chenye kupendeza zaidi kwao kuliko

kumtazama Yeye (kumuona Allah).808

Anasema Dr. Baasim Faisal katika maelezo yake juu ya kitabu Usuulu Al-

Iman cha Muhammad „Abdil-Wahhaab:

ح حلي٣غ ٣ؼزض إ٣ش هللا زلخ طؼخ٠ ئ٤ ٣ حو٤خش ٢ أػظ ؼش هللا طؼط٠ ل

حـش

Hadithi hii inathibitisha kuwa Waumini watamuona Allah siku ya kiama,

nako (huko kumuona Allah) ndio neema kuu yao watayopewa watu wa

peponi.809

808

- Ibn Taymiyya Majmuu‟u Al-Fataawa j. 1, uk. 33. Na mfano wake ni uk. 35-36. 809

- Muhammad „Abdil-Wahhaab Usuulu Al-Imaan uk. 55.

Page 269: Fimbo ya Musa

269

Anasema „Abdul-Rahmaan bin Saalih Al-Mahmuud:

خ ى ــ ػو٤يس أ حش حـخػش أ ٣ؼزظ إ٣ش حئ٤ ر ػ ؿ ٣ حو٤خش،

.…ػ٠ ي حظخد حش حإلؿخع، ٣ئ أ إ٣ش هللا ػ ؿ ٢ أػظ ؼ٤ أ حـش

Miongoni mwa itikadi ya Ahlu Sunna Wal Jamaa‟a, ni kuwa wao

wanathibitisha (wanakubali) kuwa Waumini watamuona Mola wao

Mtukufu siku ya kiama kama Qur-ani na Sunna zilivyoonesha hivyo na

makubaliano!810

Na wanaamini kwamba kumuona Allah Mtukufu ndio

neema kuu ya watu wa peponi.811

Kwa hivyo, ikiwa kumuona Allah ndio neema kubwa yao ya watu wema,

basi masuala ya kimaumbile ni haya:

1) Vipi kumuona Allah kuwe ni ziada au ukipenda sema vipi kumuona

Allah kuwe ni bonus au kiinuamgongo ilhali ndio neema kuu yao?

2) Vipi makafiri na wanafiki nao wamuone kama inavyosema Hadithi

yenu iliosimuliwa na Al-Imamu Al-Bukhari na Al-Imamu Muslim

kama kweli kumuona Allah ndio neema kuu yao: kipi kitachowazuia

wasipate neema iliochini ya hio – neema ya pepo?

Kwa hivyo, kiujumla ni kuwa neno ziada lenyewe kilugha halina maana ya

kuona wala haliashirii hivyo kamwe si kwa mbali wala si kwa karibu. Bali

kilugha, neno hilo linamaanisha nyongeza, na mara nyingi ni kuwa

nyongeza inatokana na jinsi ya kitu kile kile cha msingi. Huo ni kwa upande

wa madluulu lafdhiy (dalili za matamshi ya neno) za neno hilo.

FANI YA BALAGHA YATOA JAWABU

Nukta ya pili ya kutazamwa hapa, inahusiana na balagha ya Aya hii. Tukija

katika upande wa kifani, fani ya balagha ya Kiarabu, basi utakuta kwamba

tafsiri bora ya Aya hio inayosema: س ٣ خى ٠ ل ح ح أ ك ٣ Wale waliotenda

mema watapata mema (ya matendo yao) na ziada, ni kuwa maana ya

ziada iliotajwa katika Aya hio ni moja katika mbili:

1) Kuyaongeza malipo ya watu, atayefanya jema moja akalipwa

thawabu kumi na zaidi kama Aya nyengine na Hadithi zilivyosema.

2) Au iwe ziada ni zile neema zinazowashukia watu wa peponi kila

wakati. Na tafsiri hii na ya kwanza haina mgongano, kwani

inawezekana ikawa moja ni ufafanuzi wa ya pili.

810

- Uwongo uwoo wankuwa waanza! Ha makubaliano ayo yantokea wapii jamaa! 811

- Abdul-Rahmaan bin Salih Sharhu Kitabi Lam‟a Al-I‟itiqaad j. 8, uk. 1.

Page 270: Fimbo ya Musa

270

Ufafanuzi wa nukta ya kwanza ni kuwa katika Aya hio na ilio baada yake

kuna muqaabala (maana kinyume yaani opposite) au muwiyano wa

kibalagha.812

Na kwa mujibu wa minhaj (methodology) sahihi ya tafsiri ni

kuwa muqaabala uliopo baina ya maandiko mawili au muwiyano wa

kimaana ni miongoni mwa qarina ambazo zinabainisha maana iliokusudiwa

katika andiko ambalo makusudio yake hayako wazi. Sasa ukirudi katika

Aya hio utakuta Aya hio inasema hivi:

س ٣ خى ٠ ل ح ح أ ك ٣

Wale waliotenda mema watapata mema (ya matendo yao) na ziada.

Kisha Aya hio kimaana ikakabiliwa na Aya inayofuatia yenye kusema:

خ ؼ ٤ج ش ر حء ٤ج خص ؿ ح ح ز ٣ ح

Na wale waliochuma mabaya basi malipo ya ubaya (wao) ni

ubaya ulio mfano wake (tu).

Kwa hivyo, kila ambaye ana ufahamu sahihi wa mfumo wa balagha ya

Kiarabu na ufahamu sahihi wa mfumo wa Aya za Qur-ani zilivyo, basi

inambainikia kwa uwazi kwamba ziada iliotajwa katika Aya ya kwanza ni

kuzidishwa kwa malipo ya matendo ya watu wema – aliyefanya moja

atalipwa thawabu zaidi ya moja. Na maana ni kuwa wale wamezidishiwa

thawabu zao: wamelipwa kumi kwa kitendo chao kimoja; na kinyume chake

au na kunasibiana kwake ni kuwa hawa hawakuzidishiwa dhambi zao:

dhambi moja kwa malipo yale yale tu ya dhambi yao moja. Na hapa maana

itakuwa imeoana na kufungamana vizuri baina ya Aya mbili.

Kisha ikiwa utaifatilia na kuizingatia Qur-an katika Aya zake nyengine, basi

ataona kwamba ziada hio imekuja kwa lafdhi nne:

1) Lafdhi ya ziada iliotajwa katika Aya hio, bila ya kubainisha aina

yake wala kiwango chake.

2) Lafdhi ya ziada hio kwa kutumiwa jina la khairu (kilichobora zaidi).

Hii imetajwa katika Aya ya Qur-ani inayosema:

آ ج ع ٣ ك خ ٤ ه ش ك ل خء ر خ ؿ …….

812

- Tumeshaeleza nini maana ya muqabala katika sehemu iliotangulia na kutoa mifano ya

Aya.

Page 271: Fimbo ya Musa

271

Atayekuja na jema moja basi atapata kilicho bora zaidi kuliko hilo

naye atakuwa katika amani kutokana na mfazaiko wa siku hio…..813

3) Lafdhi ilioifafanua ziada hio kuwa kimsingi ni kulipwa thawabu

kumi kwa jema moja. Hii ni katika Aya inayosema:

خء ؿ خ ؼ ا ل ـ ٤ج ش ك ال ٣ خء ر خ ؿ خ ؼ خ أ ػ ش ك ل .…ر خ

Atayekuja na jema moja basi atapata kumi yalio mfano wake, na

atayekuja na baya basi hatolipwa ila mfono wake (tu baya hilo).814

4) Lafdhi iliokuja kwa njia ya mithali ya tembe moja iliotoa mashuke

saba yenye tembe mia saba. Hii ni katika Aya inayosema:

ز ك ٢ خر ز غ ز ظ ض زش أ ك ؼ هللا ز ٤ ك ٢ ح أ ل و ٣ ٣ ح ؼ هللا زش خث ش ك ش

٤ غ ػ ح هللا خء ٣ ق خػ ٣ ٠

Mfano wa wale wenye kutoa mali zao katika njia ya Allah ni mfano wa

punje moja iliotoa mashuke saba; katika kila shuke kuna punje mia,

na Allah humuongezea amtakeye na Allah ni Mwenye wasaa; ni

Mjuzi.815

Kwa hivyo, ukiitazama Qur-ani kwa misingi yake ya fani za kilugha yaani

misingi ya kibalagha basi utaiona inatoa jawabu juu ya ziada iliokusudiwa

katika Aya hio, kwani Aya ya pili imekuja kwa mfumo wa muqaabala

(kinyume) na ikasema kwa uwazi kwamba: “Na malipo ya waliochuma

maovu basi malipo yao ni sawa na uovu wao tu”. Ikafahamika, kwa

mujibu wa muqabala huu, kwamba wale wataolipwa wema na ziada ni

kulipwa wema wa walioyafanya; na ziada ni kulipwa moja kwa kumi na

zaidi. Hii ni kanuni nyepesi kwa wenye kujua njia sahihi za kuyafasiri

maandiko.

Lakini, katika kitabu chake Hoja Zenye Nguvu, Sheikh Kasim Mafuta

akanijibu kwa majibu ambayo hayakuacha kuwa na tadlis (ghushi) kama

kawada ya Kasim Mafuta na watu wote wa madhehebu yake ya Kiwahabi.

Kwanza kabla ya kunijibu alinukuu maneno yangu yasemayo:

Na kwa kutazama hizo kauli nyengine tofauti zilizosemwa basi utaona

kuwa iliyokaribu na usahihi ni kauli ya Alqama bin Qais ambaye amesema

813

- Sura 27, Aya 89. 814

- Sura 6, Aya 160. 815

- Sura 2, Aya 261.

Page 272: Fimbo ya Musa

272 kwamba “ZIADA” hapa ni kuzidishwa matendo ya watu wema aliyefanya

moja akalipwa mara kumi ya wema wake...

Hayo ni maneno yangu ambayo Kasim Mafuta kayanukuu ili kuyatolea

jawabu.816

Kisha baada ya hapo akanijibu kama ifuatavyo:

MAJIBU YETU

Majibu yetu hapa ni kwa njia tatu:

Njia ya kwanza:

Kila Muislamu anatakiwa kuamini kwamba Allah ni mwingi wa fadhila

mwingi wa huruma kwa waja wake, amewakirimu waja wake kwa fadhila

nyingi hapa duniani, na ataendelea kuwakirimu zaidi huko akhera, atawapa

waja wake fadhila nyingi mpaka waridhike.

Kwa kuwa yamekuja maandiko tofauti ambayo yanaelezea kuwa watu

wema huko akhera watalipwa wema wao na ziada juu, tunatakiwa

kuyakubali maandiko yote sahihi yaliyo tufahamisha hivyo, na kufanya

hivyo si kuthibitisha mgongano baina ya maandiko hayo, ndiyo maana

akasema Imamu Ibn kathir katika kitabu chake cha tafsiri alipokua

akiitafsiri aya isemayo:

٣ ح ٠ أ ك ل س ح ٣ خى ل ن ٣ ؿ ل ه ظ ش ج ي خد أ ل ش أ ـ ح خ خ ي ك ٤ ه

“Na wale waliofanya mema watapata wema na ziada.Wala vumbi

halitawafunika nyuso zao, wala madhila.Hao ndio watu wa Peponi.Humo

watakaa milele”.

Akasema Ibn Kathir:

٣ خى س } :ه ٣خىس ؼق، زؼخثش ا٠ أؼخخ ػ رخلش حلػخ ػحد ط٠ؼ٤ق ٢ {

حـخ ك٢ هللا ٣ؼط٤ خ ٣ أ٠٣خ ي ػ٠ حو لخـــأه خ ػ، حخ حل

أػال ي أك٠ أػ٤، هس ٤غــؿ أػظ ٣خىس كب ح٣، ؿ ا٠ حظ

كظ. رل٠ ر رؼ، ٣ظلوخ ل أػط، خ

Na kauli yake (Allah): “ZIADA” ni kuzidishiwa malipo ya matendo; jema

moja utazidishiwa mema kumi mfano wake, mpaka ziada mia saba, na

zaidi ya hapo. Pia ziada itakusanya yale yote atakayowapa Allah huko

peponi: Makasri, Hurul-a‟in (wanawake wa peponi), radhi zake Allah, na

yale aliyowafichia miongoni mwa vitulizo vya jicho na (ZIADA) ILIYO

BORA KULIKO ZOTE, NA ILIYO JUU ZAIDI NI KUUTAZAMA USO

WAKE ALLAH ULIOMTUKUFU. Kwa sababu hiyo ndiyo ziada kubwa

816

- Tazama Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 91.

Page 273: Fimbo ya Musa

273 kuliko vitu vyote walivyopewa, na hawakustahiki kupata hilo kwa sababu

ya matendo yao, bali ni kwa fadhila zake (Allah ) na rehma zake”.

Mwisho wa kunukuu.817

Kwa mujibu wa maneno hayo ni kwamba watu watapata ziada nyingi, na

miongoni mwa ziada hizo ni: kwamba yule aliyefanya wema mmoja

atalipwa mara kumi ya wema wake, na hali kadhalika atafadhiliwa

kumuona mola wake -Jalla jalaaluh-, na kuyatafsiri maandiko kwa namna

hii ni kuitumia ile kanuni ya upatanisho (the juristic law of reconciliation

between the apparently conraditory texts) kanunni ya upatanisho baina ya

maandiko ambayo dhahiri yake yanagongana, kanuni ambayo ndugu Juma

pia ameikubali, na kuitumia kama alivyoielezea katika ukurasa wa 261

katika kitabu

chake.

Lakini kwa masikitiko makubwa kabisa, ameshindwa au hakutaka

kuifanyia kazi kanuni hiyo aliyoikubali mwenyewe na alipofika kwenye

maandiko haya yaliyokuja kuitafsiri aya hii akaitupilia mbali kwa sababu

haiendi sambamba na itikadi yake!

Njia ya pili:

Je, unajua ni kwanini ndugu yangu msomaji ndugu yetu Juma ameipa

nguvu kauli ya Alqama bin Qais? Ni kwa sababu riwaya hiyo ina nguvu

kuliko riwaya nyingine? Au ameipa nguvu kwa sababu inaafikiana na

msimamo wake batili?

Jawabu ni hili hapa:

Ndugu Juma ameipa nguvu kauli ya Alqama bin Qais si kwa sababu kuwa

ni sahihi na ina nguvu, bali ni kwa sababu inaafikiana na msimamo wake

batili. Na kama utaifanyia utafiti wa kielimu riwaya hiyo utaona kwamba

miongoni mwa wapokezi wake ni “IBN HUMAID” (jina lake kamili ni;

MUHAMMAD BIN HUMAID BIN HAYYAAN AL-TAMIMI AL-RAZI)

kama alivyoeleza Ibn Jarir al-Twabariy katika kitabu chake cha tafsiri

juzuu ya 11 ukurasa 125.

Ibn Humaid huyo huyo ndiye yule ambaye ndugu yetu Juma alimtia kasoro

na kuidhoofisha riwaya yake, kama alivyoelezea katika kitabu chake “Hoja

zenye Nguvu” ukurasa 123. Lakini hapa bwana Juma anaitaja riwaya yake

na anaipa nguvu!

817

- Tazama tafsirul Qur‟anil adhim juzuu 4 ukurasa chapa ya kwanza ya daaru Ibn Hazm

ya mwaka 1419=1998.

Page 274: Fimbo ya Musa

274 Hivi inakuwaje mpokezi mmoja huyo huyo ambaye ametuelezea kwa

vishindo kwamba ni dhaifu, mwongo !!! Mara ghafla anakuja kutubadilikia

na kutwambia kwamba riwaya yake ni sahihi tena ndiyo yenye nguvu !!! Je

hapo kuna uadilifu?!

Kauli ya Juma kuhusu Ibn Huamid:

Hebu ndugu msomaji ni kunakilie maneno ya Juma alipokuwa

akimuelezea Ibn Humaid, amesema Juma:

“Sanad hii ni dhaifu sana kwa sababu ina msururu wa wapokezi madhaifu

na waongo…”.

Kisha akasema:

1) IBN HUMAID na jina lake kamili ni MUHAMMAD BINHUMAID

BIN HAYAAN AL-TAMIMI AL-RAZI….amesema Is‟haq bin Mansur al-

kuusaj! Akisimulia kauli ya Ali bin Mihran juu ya MUHAMMAD BIN

HUMAID akisema kwamba; “sijapata kuona mtu (anayejifanya) jasiri juu

ya Mwenyezi Mungu (hamuogopi Mwenyezi Mungu) kuliko yeye alikuwa

akizichukua hadithi za watu kisha akizigeuza” Na akasema tena kuwa

“sijapata kuona mtu bingwa wa uwongo kuliko watu wawili: Sulaiman Al-

Shadhakuni na MUHAMMAD BIN HUMAID”.!!! Mwisho wa kunukuu.

Tazama katika ukurasa wa 122-123 katika kitabu chake “Hoja zenye

Nguvu”.

Haya ndugu msomaji bila shaka umejionea mwenyewe namna watuhawa

wanavyocheza karata tatu! Inakuaje mpokezi akipokea riwaya

inayopingana na msimamo wa kiibadhi hafai ni dhaifu, anaghushi,

muongo, na riwaya zake hazikubaliki, tena mpaka inafikia kiwango cha

kuwazulia baadhi ya maulamaa uongo ilimradi dau lifike pwani.

Lakini mpokezi huyo huyo akipokea riwaya ambazo zinaafikiana na

msimamo wa kiibadhi basi riwaya hizo hazina neno bali ndizo zenye

nguvu!!! Bila shaka ndugu msomaji mpaka hapa utakuwa umethibitisha

yale niliyokuambia huko nyuma kwamba: hawa watu wako katika kutetea

itikadi zao tu, tena si kwa uadilifu wala kwa hoja za kielimu, bali wako

tayari kuupindisha ukweli kwa mas‟lahi yao, mpokezi mkweli ni yule

anayepokea riwaya za kuwaunga mkono wao, ama yule anayepokea riwaya

kinyume na itikadi zao za kikhawariji basi huyo ni muongo,dhaifu,

anaghushi na tuhuma nyingi za uongo.

Nadhani ndugu msomaji umejionea mwenyewe, mpokezi mmoja huyo

huyo amepewa hukumu mbili tofauti! Huko nyuma riwaya yake ina nguvu,

lakini hapa ni muongo na hakuna muongo kama yeye!!! Siku zote mtu

unapofanya utafiti wa kielimu, kwa lengo la kuwafaidisha watu na utafiti

wako, basi ni lazima uwe na sifa kuu mbili:

1) Elimu ya kutosha juu ya jambo unalolifanyia utafiti.

Page 275: Fimbo ya Musa

275 2) Uwe mkweli na muaminifu katika utafiti wako.

Na sifa zote hizi Juma amezikosa, na kama mtu atakosa sifa moja kati ya

hizo mbili lazima kutapatikana upotoshaji wa haki na wala ukweli

hautakuwepo, sikwambii zikikosekana sifa zote mbili. Lakini hilo

halinishangazi sana kwa sababu hizo ndizo sera za Ahlul ah‟waa (watu

wanaofuata matamanio yao katika mambo ya dini).818

Hayo ndio majibu ya Kasim bin Mafuta juu ya kile alichokinukuu kutoka

katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu, nayo ni majibu yaliotokana na

ghushi zake Wa Allahu Al-Musta‟aan! Nami namwambia Sheikh Mafuta

kwamba maneno yako yote hayo pamoja na ulioyanukuu kutoka kwa Ibn

Kathir yamekosa tahqiq za kielimu. Ama kuhusu kauli ya Ibn Kathir

aliposema:

٣ خى س } :ه ؼق، زؼخثش ا٠ أؼخخ ػ رخلش خـــــحلػ ػحد ؼ٤قــــــط٠ ٢ــــ {

خـــــح ــــــــ حل ــــــ حو حـخ ك٢ هللا ٣ؼط٤ خ ٣ أ٠٣خ ي ػ٠ ٣خىس

أػال ي أك٠ أػ٤، هس أهلخ خ ػ، ٣،ـــــــــــــــح ــــــؿ ا٠ حظ

كظ. رل٠ ر رؼ، ٣ظلوخ ل ط،ــــــــــأػ خ غــــؿ٤ أػظ ٣خىس كب

Na kauli yake (Allah): “ZIADA” ni kuzidishiwa malipo ya matendo; jema

moja utazidishiwa mema kumi mfano wake, mpaka ziada mia saba, na

zaidi ya hapo. Pia ziada itakusanya yale yote atakayowapa Allah huko

peponi: Makasri, Hurul-a‟in (wanawake wa peponi), radhi zake Allah, na

yale aliyowafichia miongoni mwa vitulizo vya jicho na (ZIADA) ILIYO

BORA KULIKO ZOTE, NA ILIYO JUU ZAIDI NI KUUTAZAMA USO

WAKE ALLAH ULIOMTUKUFU. Kwa sababu hiyo ndiyo ziada kubwa

kuliko vitu vyote walivyopewa, na hawakustahiki kupata hilo kwa sababu

ya matendo yao, bali ni kwa fadhila zake (Allah ) na rehma zake”. Mwisho

wa kunukuu.

Ninasema: maelezo ya mwanzo yanayosema: “ni kuzidishiwa malipo ya

matendo; jema moja utazidishiwa mema kumi mfano wake, mpaka ziada

mia saba” maelezo haya ni maelezo sahihi kwani kama tulivyoeleza

kwamba qarina ya muqabala na qarina za nje zinaafikiana na tafsiri hio.

Halkadhalika maelezo yasemayo: “Pia ziada itakusanya yale yote

atakayowapa Allah huko peponi: Makasri, Hurul-a‟in (wanawake wa

peponi), radhi zake Allah”, ni maelezo ambayo kwa ujumla yanakubalika

kwani haya yote ni sehemu ya pepo na pepo ndio malipo ya watu wema na

kwa hivyo kusema kuwa ziada ni katika haya yaliotajwa ni kitu

kinachokubalika. Ama kumuona Allah si katika sehemu ya pepo kwani pepo

818

- Tazama Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 91-94.

Page 276: Fimbo ya Musa

276

ni kiumbe kilichoumbwa na Allah ili kuwastareheshea waja wake wema, na

kwa hivyo kukuingiza kumuona Allah kuwa ni katika jumla ya ziada ya

malipo ya pepo si sahihi hususan ukizingatia ukweli tulioutanguliza

kwamba kanuni za kilugha hazitoi tafsiri hio kamwe na ukweli kwamba

wanafiki na makafiri nao waliwahi kumuona Allah kule kwenye kisimamo

cha kiama!

Ama madai kwamba “na yale aliyowafichia miongoni mwa vitulizo vya

jicho na (ZIADA) ILIYO BORA KULIKO ZOTE, NA ILIYO JUU ZAIDI

NI KUUTAZAMA USO WAKE ALLAH ULIOMTUKUFU”, haya ni

madai ambayo msingi wake ni itikadi ya mtu anayoiitakidi: si kitu

kinachotokana na lafdhi ya ziada wala kinachotokana na minhaj

(methodology) ya tafsiri inayopatikana kutoka katika qarina ya Aya

yenyewe. Bali tumesema na tunakariri kwamba qarina ya muqabala uliopo

baina ya Aya mbili umebainisha nini tafsiri ya neno ziada, na tafsiri ilio

bora ni ile iliojengeka juu ya kanuni za kilugha hususan kanuni ambazo

zimetolewa kutoka katika Qur-an. Na utakumbuka kwamba huu ndio

mfumo wa Qur-ani katika sehemu zake zote ambapo kila inapotajwa maana

moja kisha ikatajwa maana ya pili katika muqabala basi maana ya pili ima

itakuwa na muwiyano au itakuwa ni kinyume na ile ya kwanza. Na hapa

hakuna muwiyano wala kinyume ili Aya mbili hizo zifasiriwe hivi: “Hawa

wametenda jema moja watalipwa moja lao na tisa za ziada; na hawa

wametenda baya moja nao hawatolipwa ila moja lao”. Na kwa tafsiri hii

utakuwa ule mfumo wa kilugha ambao unatumika sana katika Qur-an

umepatikana na tumeweza kuzitendea kazi Aya nyengine. Ama ziada kwa

maana ya kuona, asili yake haitokani na maana ya kilafdhi ya neno ziada;

wala haikuzaliwa na kanuni za kilugha za kibalagha; wala haikumaanishwa

na Aya nyengine; bali asili yake ni itikadi iliotokana na Hadithi dhaifu ya

Hammad bin Salama ambayo tutaielezea tukifika mahala pake.

Ama maelezo yako uliposema:

Kwa mujibu wa maneno hayo ni kwamba watu watapata ziada nyingi, na

miongoni mwa ziada hizo ni: kwamba yule aliyefanya wema mmoja

atalipwa mara kumi ya wema wake, na hali kadhalika atafadhiliwa

kumuona mola wake -Jalla jalaaluh-, na kuyatafsiri maandiko kwa namna

hii ni kuitumia ile kanuni ya upatanisho (the juristic law of reconciliation

between the apparently conraditory texts) kanunni ya upatanisho baina ya

maandiko ambayo dhahiri yake yanagongana, kanuni ambayo ndugu Juma

pia ameikubali, na kuitumia kama alivyoielezea katika ukurasa wa 261

katika kitabu

chake.

Page 277: Fimbo ya Musa

277 Lakini kwa masikitiko makubwa kabisa, ameshindwa au hakutaka

kuifanyia kazi kanuni hiyo aliyoikubali mwenyewe na alipofika kwenye

maandiko haya yaliyokuja kuitafsiri aya hii akaitupilia mbali kwa sababu

haiendi sambamba na itikadi yake!

Wee Kasim Mafuta wasema kitu kwa kujua au wafyatua tu? Wewe ndiye

unayeita watu wajinga! Hiki ndio kitabu kilichopitiwa na mjuzi wa usulul

fiq-hi, qawaa‟idul, fiq-hi na lugha ya Waarabu? Sheikh! Kanuni ya

upatanisho haihusu Aya kama “Wale waliotenda mema watapata mema

(ya matendo yao) na ziada” na Hadithi ya Hammad bin Salama ya

kumuona Allah; kanuni ya upatanisho baina ya maandiko inayahusu

maandiko ambayo dhahiri yake yanagongana. Hapa ulitakiwa udai kanuni

ya mubham na mufassal: useme kuwa neno ziada katika Aya ni mubhama

na Hadithi yako ya kufinyanga ni mufassal au ni mufassil. Haya yote

yanaonesha kuwa mtu huyu Kasim Mafuta ni mtu wa kufyatua na ubishi tu.

Kule katika elimu ya lugha katoa mifano kwa Aya zisizohusiana na

maudhui; na katika elimu ya Hadithi alipokuwa akizungumzia masharti ya

Hadithi sahihi na kuzungumzia suala la انضثط انتاو(uwezo kamili wa mpokezi

wa kudhibiti Hadithi) kasema kuwa mpokezi awe na “Hifdhi nzuri wala asiwe

mwenye kufanya maasia kwa dhahiri wala asiwe na tabia mbaya, mpokezi awe

na uwezo wa kudhibiti maneno aliyoyapokea, bila ya kubadilisha chochote katika

maana yake, au kukosea sana, au kubabaika kulikopetuka mipaka wakati wa

kusimulia mapokezi hayo”. Sasa maelezo “wala asiwe mwenye kufanya maasia

kwa dhahiri wala asiwe na tabia mbaya”, yana uhusiano gani na kanuni ya تاو

Hapa katika elimu ?(uwezo kamili wa mpokezi wa kudhibiti Hadithi)انضثط

ya Usulul-Fiq-hi anatuvurugia tena: anataja kanuni isiohusiana na maudhui!

Ama kuhusu jawabu yako ya pili ulioitoa baada ya kujenga suali lisemalo:

Je, unajua ni kwanini ndugu yangu msomaji ndugu yetu Juma ameipa

nguvu kauli ya Alqama bin Qais? Ni kwa sababu riwaya hiyo ina nguvu

kuliko riwaya nyingine? Au ameipa nguvu kwa sababu inaafikiana na

msimamo wake batili?

Hilo ndilo suali lako uliloliuliza, kisha ukatoa jawabu hio tulioinukuu.

Mukhtasari wake ni kuwa katika riwaya hio kuna Ibn Humaid naye ni

mwongo kama nilivyoeleza mimi mwenyewe katika kitabu changu. Lakini

maelezo yako hayo yametokana na ghushi zako kama kawaida yako kwani:

Mosi: ni kuwa kila aliyekisoma kitabu changu kwa makini basi anajua

kwamba mimi nilipoichagua kauli ya „Alqama, si kwa kutegemea riwaya

yake bali niliichagua kwa sababu ambazo nimezielezea katika kitabu changu

Page 278: Fimbo ya Musa

278

Hoja Zenye Nguvu na ambazo nimezitaja hapa, nazo ni sababu za kuwa

tafsiri hio ndio inayokubalika kwa misingi ya lugha ya kibalagha. Katika

kitabu Hoja Zenye Nguvu nilisema hivi:

…..na jambo jengine la kutazamwa katika tafsiri ya Aya hio: “Wale

waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada” ni mas-ala ya

kuwepo mukabala (the opposite) kama tulivyoeleza katika sehemu

tuliozungumzia Aya ya Surat Al-qiyama. Sasa ukitazama katika Aya hio

“Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada” utaona

kwamba inakabiliwa na Aya yenye kusema “Na wale waliochuma

mabaya basi malipo ya ubaya wao ni mfano wake”. Kwa hivyo, kwa

mukabala (muelekeano au kinyume) huu uliotajwa katika Aya ya mbele,

inatubainikia kwamba makusudio ya neno “ZIADA” si jengine bali ni

kuzidishwa matendo ya watu wema mara kumi: aliyefanya moja katika

mema atalipwa thawabu kumi kama ilivyokuja katika Aya nyengine. Na

kwa tafsiri hii utapatikana mukabala baina ya Aya ya 26 na Aya ya 27, na

maana itakuwa hivi: hawa wameongezewa moja kwa kumi na hawa

hawakuongezewa: moja kwa moja yao ile ile. Na – kama inavyoeleweka –

njia bora ya kuifasiri Qur-ani ni Qur-ani yenyewe. Sasa ukirudi kuitazama

ziada iliyotajwa katika Qur-ani, utakuta ni kuzidishwa thawabu: aliyefanya

jema moja hulipwa thawabu kumi, kama Allah anavyosema:

ػ أؼخخ ؿخء رخلش ك

Atakayekuja na jema moja basi atapata kumi mfano wake.819

Kwa hivyo, huu ndio msingi wangu wa kuikubali kauli hio iliosimuliwa

kutoka kwa „Alqama bin Qais: si kwamba kimsingi niliitegemea riwaya

yenyewe, bali nilitegemea misingi ya kilugha katika kuipa kwangu uzito

riwaya hio. Lakini katika tadlis (ghushi) za Kiwahabi zinazowakilishwa na

Kasim Mafuta na hizbu yake katika ulimwengu wa Kiswahili, aliishia

kuinukuu sehemu moja tu ya maelezo yangu na kuwacha sehemu nyengine

ili ionekane kuwa mimi kimsingi nilitegemea riwaya ya Alqama katika

kuichagua kwangu tafsiri hio. Ninasema: kimsingi mimi sikutegemea

riwaya hio hata kama nimeitaja.

Pili: Elewa Sheikh Kasim kwamba, suala la maarifa ya Hadithi ni pana sana,

wala haliishii katika kuijua sanad tu, bali kama tulivyoeleza katika sura ya

819

- Sura ya 6 Aya ya 160. Maelezo haya yana marekebisho kidogo kwani kitabu Hoja

Zenye Nguvu nilikuwa tayari ninakitayarisha kwa ajili ya chapa ya pili. Tazama maelezo

hayo katika uk. 116 wa kitabu changu Hoja Zenye Nguvu.

Page 279: Fimbo ya Musa

279

kwanza kwamba usahihi wa sanad ni sharti moja tu ya usahihi.

Halkadhalika udhaifu wa sanad si mara zote unamaanisha kuwa riwaya ni

ya uwongo. Ndio maana mara nyingi utakuta wanavyuoni wanasema

“riwaya hii sanad yake ni dhaifu, lakini maana yake ni sahihi”. Wanasema

hivyo, kwa sababu ama riwaya hio maana yake inakuwa imekubaliana na:

c) Qur-an.

d) Hadithi nyengine.

e) Au kanuni za kilugha au kanuni za ujumla za Sharia.

Kauli hio tulioinukuu kutoka kwa „Alqama bin Qais, inakubaliana bali ndio

inayokubaliana na kanuni ya kibalagha ya kuutazama muqaabala baina ya

maandiko, na pia inakubaliana na Aya nyengine za Qur-ani.

Tatu: ni kuwa riwaya ya Alqama bin Qais inasema: “ziada ni kuzidishwa

thawabu za matendo ya watu wema mara kumi”.820

Lakini je Alqama

kapwekeka na kauli hio? Tafsiri hio pia imepokewa kutoka kwa Al-Hasan.

Kaipokea Ibn Jarir kwa sanad sahihi.821

Nne: ni kuwa tafsiri hio kutoka kwa „Alqama hakupwekeka nayo Ibn Jarir

kutoka kwa Ibn Humaid, bali kaisimulia pia Ibn Abi Haatim kwa sanad hii:

“katusimulia Abu Bakr bin Abi Shaiba, katuhadithia „Ubaid bin Ya‟iish

katusimulia Muhammad bin Salt kutoka kwa Qais (bin Rabi‟i) kutoka kwa

Al-A‟amash kutoka kwa Abu Dhubyaan kutoka kwa Alqama bin Qais”.822

Na akaisimulia pia Sa‟iid bin Mansur kwa sanad hii: “Katusimulia Sa‟iid

kasema katusimulia Jarir kutoka kwa Qaabuus bin Abi Dhubyaan kutoka

kwa baba yake (Husain bin Jundub) kutoka kwa „Alqama”.823

Na kwa

sababu hio, tunamkuta Dr. Sa‟ad Alu-Humaid katika maelezo yake juu ya

kitabu cha Sa‟iid bin Mansuur anasema:

Katika sanad yake kuna Qaabuus, na yametangulia maelezo huko nyuma

kuhusu yeye, lakini hakupwekeka nayo bali kafuatiliwa na Al-A‟amash.

Basi riwaya yake inapata nguvu kwa mutaaba‟a huu (kufuatiwa huku),

820

- Ibn Jarir Jami‟u Al-Bayaan j. 11, 125. Lakini sanad hii ni dhaifu sana, kwani kuna Ibn

Humaid naye ni mwongo mkubwa. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 111 – 115,

tarjama ya 181. Naye kaipokea kutoka kwa Jarir bin Humaid, naye ni dhaifu, mwenye

kuchanganyikiwa. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2, uk. 65, tarjama na. 116. Naye

kaipokea kutoka kwa Qaabuus, naye ni Qaabuus bin Abi Dhibyaan, naye ni dhaifu.

Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 274, tarjama na. 555. 821

- Ibn Jarir Jami‟u Al-Bayaan j. 11, uk.126. 822

- Ibn Abi Haatim Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1946. 823

- Sunan Sa‟iid bin Mansur j. 5, uk. 312, riwaya na. 1060.

Page 280: Fimbo ya Musa

280 ikiwa riwaya hii imesalimika na ghushi ya Al-A‟amash, kwani yeye

hakusema kwa uwazi kwamba kaisikia.824

Kwa hali yoyote ile iwayo, ninachotaka kumwambia Sheikh Kasim bin

Mafuta hapa ni kuwa:

1) Riwaya hizi zote zilizokuja kuifasiri Aya hii “Wale waliofanya mema

watalipwa wema wao na ziada” ni riwaya ambazo hazikusihi kwa upande

wa sanad zake: sawa riwaya hii ya „Alqama au riwaya ya Hammad bin

Salama iliokuja kutwambia kwamba ziada hio maana yake ni kumuona

Allah. 2) Lakini riwaya hii ya „Alqama sanad yake haijambo zaidi kwa sababu

mutaaba‟a wake haujambo. 3) Mimi nimeipa nguvu riwaya hio ya „Alqama si kwa sababu ya riwaya

yenyewe, bali ni kwa sababu tafsiri inayopatikana katika riwaya hio ndio

inayokubaliana na kanuni ya kibalagha ya muqaabala baina ya Aya mbili –

Aya hio na ilio baada yake. Na hio ndio njia bora yao ya kuzijua „ilalu

(kasoro) za Hadithi; au kuujua usahihi wa mutun zake hata ikiwa zina

sanad dhaifu.

KHILAFU ZA AL-SALAF JUU YA

TAFSIRI YA AYA HIO

Nukta ya tatu: inayotujuilisha udhaifu wa Hadithi hio ya Suhaib kupitia

kwa Hammad bin Salama ni kuwa wanavyuoni wa Al-Salafu Al-Salih

(watangulizi wema) kuanzia Masahaba na wafuasi wao wametafautiana sana

juu ya tafsiri ya neno ziada lililomo katika Aya hio. Na zifuatazo ni kauli

zao zilizosimuliwa katika vitabu vya riwaya na tafsiri ukiitoa riawaya hio

inayosema kuwa ziada ni kumuona Allah.

RIWAYA YA KWANZA INASEMA: ZIADA NI

CHUMBA CHA LULU

ػ٢ ٢ ــ، ػ حل، ػ ػ٤خ، ػــــ٤ رــكيػخ ٣ل٠٤ ر ١لش هخ ، كيػخ ك٠

ئس حكيس خ أرؼشـــــــكش ئـــ، ؿ”ح٣خىس“أكح حل٠ ٣خىس( ، هخ: هللا ػ:)٣

.”ؿكخ أرحرخ ئئس حكيس“ك٢ ؼ٤ي ر أرحد.

Katusimulia Yahya bin Talha kasema katusimulia Fudhail bin „Iyaadh

kutoka kwa Mansuur kutoka kwa Alhakam (bin „Utaiba) kutoka kwa „Ali

(r.a.) (Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), kasema

824

- Maelezo ya Dr. Sa‟ad Alu-Humaid katika Sunan Sa‟iid bin Mansur j. 5, uk. 312,

riwaya na. 1060.

Page 281: Fimbo ya Musa

281 Ali: “Ziada ni chumba cha lulu moja kina milango minne.....na katika

Sunan Sa‟iid bin Mansur kuna nyongeza inayosema: “vyumba vyake na

milango yake inatokana na lulu moja.825

Riwaya hii imetiwa kasoro, nayo ni kukatika kwa sanad baina ya Alhakam

bin „Utaiba na Al-Imamu „Ali kwani Alhakam hakumuwahi „Ali. Lakini Al-

Imamu Al-Rabi‟u bin Habib kaisimulia tafsiri hio pia kutoka kwa Jaabir bin

Zaid kutoka kwa Ibn Abbaas,826

na hili linaifanya riwaya hio kuwa na uzito

wake.

RIWAYA PILI: ZIADA NI KUZIDISHWA

THAWABU MOJA KWA KUMI

حر ــــكيػ٢ لي ر ؼي هخ ، كيػ٢ أر٢ هخ ، كيػ٢ ػ٢ هخ ، كيػ٢ أر٢، ػ أر٤، ػ

٣ي (، ٣ :ــــػزخ، ه ٣ خ ي و:ــــــ)٣ أكح حل٠ ٣خىس( ، هخ: ؼ ه:)

خء ـــــــ٣ـ٣ رؼ، ٣٣ي ؿ ك٠. هخ:) خ ؼ خ أ ػ ش ك ل خء ـــ ؿ ــر خ

) ل ٣ ظ خ ؼ ا ل ـ ٤ج ش ك ال ٣ .ر خ

Katusimulia Muhammad bin Sa‟ad kasema kanisimulia baba yangu

kasema kanisimulia ami yangu kutoka kwa baba yake kutoka kwa Ibn

Abbaas (kuhusu) kauli yake (Allah aliposema): (Wale waliofanya mema

watalipwa wema wao na ziada), kasema hio ni sawa sawa na kauli yake

(aliposema): “Na kwetu sisi kuna ziada”. Akasema: atawalipa kwa

sababu ya matendo yao na atawazidishia katika fadhila zake. Na akasema:

“Atayekuja na jema moja basi atapata kumi mfano wake na atayekuja

na baya moja hatolipwa ila mfano wake (tu), nao

hawatodhulumiwa”.827

Riwaya nyengine inasema:

ه٤:)٣ أكح ــش رــ ػوـــكيػخ حر ك٤ي هخ ، كيػخ ؿ٣، ػ هخر، ػ أر٤، ػ

ش حل٠ ٣خىس(، ل خء ر خ ؿ هخ هض: حل٠، كخ ح٣خىس؟ هخ: أ ط أ هللا ٣و:)

خ (؟ ؼ خ أ ػ ك

Katuhadithia Ibn Humaid kasema katuhadithia Jarir kutoka kwa Qaabuus

kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Alqama bin Qais (kasema kuhusu Aya

isemayo): “Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada).

825

- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125. Sunanu Sa‟iid bin Mansuur j. 5,

uk. 310, riwaya na. 1058. Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327, riwaya

na. 861. Ibn Abi Haatim Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1945, riwaya na. 10342. 826

- Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327, riwaya na. 860. 827

- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125. Sanad ya riwaya hii ni dhaifu.

Page 282: Fimbo ya Musa

282 Kasema: „nikasema: huu wema (unajulikana) je hii ziada ni kitu gani?

Akasema hujaona wewe kwamba Allah kasema: “Atayekuja na jema

moja basi atapata kumi mfano wake”.828

Riwaya nyengine inasema:

كيػخ ر هخ: كيػخ ٣٣ي هخ ، كيػخ ؼ٤ي، ػ هظخىس هخ: خ حل ٣و ك٢ ح٣٥ش:)٣

أكح حل٠ ٣خىس(، هخ: ح٣خىس: رخلش ػ أؼخخ، ا٠ زؼخثش ؼق.

Katuhadithia Bishr kasema katuhadithia Yazid kasema katuhadithia Sa‟iid

kutoka kwa Qataada kasema: „alikuwa Alhasan akisema kuhusu Aya hii:

“Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), kasema

(Alhasan): „ziada ni kulipwa jema moja kwa yalio kumi mfano wake hadi

kufikia mara mia saba.829

Tafsiri hii iliopokewa kutoka kwa Alhasan bin Abi Alhasan Al-Basri sanad

yake ina wapokezi wenye kuaminika, ingawa ina illa kama utavyoona

maelezo yetu baadae. Katika sanad hii kuna:

Bishr bin Mu‟adh

Kamtaja Ibn Hibbaan katika Al-Thiqaat (kitabu cha wapokezi wenye

kuaminika),830

na Ibn Abi Haatim akasema: “aliulizwa baba yangu kuhusu

yeye,831

akasema Hadithi zake zinafaa, ni mkweli”.832

Anasema Maslama na

Al-Nasai: “ni mtu wa Basra mwenye kufaa”.833

Anasema Ibn Hajar: “ni

mkweli”.834

Na Bishr bin Mu‟adh kaipokea riwaya hio kutoka kwa:

Yazid bin Zurai‟i

828 - Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125. Sanad ya riwaya hii kwa

mapokezi ya Al-Tabari ni dhaifu sana, lakini Ibn Abi Haatim katika Tafsiru Al-Qur-ani

Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1945, riwaya na. 10344, sanad yake haijambo ingawa nayo pia si sanad

sahihi. Lakini Dr. Sa‟ad Alu-Humaid katoa maelezo ambayo tuliyanukuu kabla. Tazama

Sunanu Sa‟iid bin Mansuur j. 5, uk. 312, riwaya na. 1060. 829

- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 126. Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-

Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327-28, riwaya na. 862. 830

- Ibn Hibbaan Al-Thiqaat uk. 705, tarjama na. 12661. 831

- Ibara ya Ibn Hajar katika Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 1, uk. 401, tarjama na. 843,

inasema: “nilimuuliza baba yangu kuhusu yeye” badala ya kusema “aliulizwa baba yangu

kuhusu yeye”. Sijui na huu kwa mujibu wa Kasim Mafuta nao pia ni uwongo? Yaani je Ibn

Hajar naye kamzulia Ibn Abi Hatim? 832

- Ibn Abi Haatim Al-Jarhu Wa Al-Ta‟adiil 833

- Ibn Hajar katika Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 1, uk. 401, tarjama na. 843. 834

- Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib uk. 124, tarjama na. 702.

Page 283: Fimbo ya Musa

283

Naye ni mwenye kuaminika, imara sana hasa hasa katika Hadithi zake

alizozipokea kutoka kwa Sa‟iid bin Abi „Aruba kama ilivyo riwaya hii.

Anasema Al-Imamu Ahmad:

Ni bingwa alioje, ni mwenye hifdhi ilioje, eee ni usahihi ulioje wa Hadithi

za bingwa mkweli. Na kila kitu alichokisimulia Yazid bin Zurai‟i kutoka

kwa Sa‟iid bin Abi „Aruba basi wewe usijali kama hujakisikia kutoka kwa

mtu mwengine; yeye kapokea (Hadithi) kutoka kwake zamani….835

Ninasema: na riwaya hii pia kaipokea kutoka kwa Sa‟iid bin Abi „Aruba.

Na Yazid bin Zurai‟i kaipokea riwaya hio kutoka kwa:

Sa‟iid bin Abi „Aruuba

Anasema Ibn Hajar: “ni mwenye kuaminika, mwenye kuhifadhi, ana vitabu

vingi, anaghushi sana na alichanganyikiwa na alikuwa ndio mtu imara wao

katika (Hadithi za) Qatada”.836

Wanasema Ibn Ma‟iin na Al-Nasaai: “ni

mwenye kuaminika”.837

Ninasema: na riwaya hii kaipokea kutoka kwa

Qatada.

Na Sa‟iid bin „Aruba kaipokea riwaya hii kutoka kwa:

Qatada bin Di‟aama

Qatada naye ni mwenye kuaminika, isipokuwa ni mwenye kughushi.838

Na

Qatada kaisimulia riwaya hio kutoka kwa Alhasan Al-Basri ambaye ndiye

mwenye tafsiri hio. Ninasema: sanad hii wapokezi wake ni wenye

kuaminika, isipokuwa kumekuwa na tatitizo la kuwa Sa‟iid bin Abi „Aruba

ni mwenye kughushi pamoja na kuwa ndiye mtu imara wao katika Hadithi

za Qatada lakini riwaya yake hapa ni mu‟an‟an, na Qatada pia ni mwenye

kughushi na katika sanad hii hakusema kwa uwazi kuwa kamsikia Alhasan

akiisema tafsiri hio. Na kwa hivyo, sanad hii bado ni yenye mushkila.

Lakini huo si mushkila kwani riwaya hio kaisimulia pia “Al-Imamu Al-

Rabi‟u bin Habib kutoka kwa Abu „Ubaida kutoka kwa Jaabir bin Zaid

835

- Kwa urefu zaidi rejea katika Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib 11, uk. 284-86, tarjama na.

527. 836

- Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib uk. 239, tarjama na. 2365. 837

- Kwa urefu tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 56-58, tarjama na. 110. 838

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib . 8,

Page 284: Fimbo ya Musa

284

kutoka kwa Alhasan”.839

Na hii – kwa wale wenye kutupilia mbali kasumba

za kimadhehebu – ni sanad ya dhahabu na niliwahi kuielezea kwa ufupi

katika kitabu Mezani Ya Haki kama ifuatavyo. Nilisema:

Mwenye kitabu hicho cha Hadithi cha Kiibadhi ni:

1) Al-Imamu Alrabii bin Habib. Miongoni mwa waliomtaja ni Al-Imamu

Ahmad bin Hanbal, katika tarjama ya Alhaitham bin „Abdil-Ghaffaar Al-

Taai.840

Kisha akanukuu Imamu Al-Suna wal-usul, Al-Qannubi, nukulu za

wanavyuoni wengi wa Kisuni waliomtaja Al-Imamu Alrabii.841

Miongoni

mwao ni Ibn Shaahin ambaye kasema kuhusu Al-Imamu Al-Rabi‟u

kwamba ni “Mwenye kuaminika”.842

Na akasema Ibn Ma‟iin kwamba ni

“Mwenye kuaminika”.843

Na miongoni mwa waliomtaja Al-Imamu Al-

Rabi‟u ni Al-Bukhari,844

na Ibn Hibbaan katika Al-Thiqaat845

, na wengi

wengineo kama vile Al-Imamu Al-Dhahabi na akasema “Si mwenye

kuachwa”. 846

Na Al-Imamu Al-Rabi‟u kaipokea riwaya hio kutoka kwa:

2) Abu Ubaida Muslim bin Abi Karima. Naye pia katajwa na wanavyuoni

wengi wa Hadithi wa Kisuni, Kiibadhi, Kishia na Kimu‟utazila. Na Al-

Imamu Ahmad kamuuliza Ibn Ma‟iin kuhusu Abu Ubaida akamjibu:

“Hana ubaya”. 847

Na lugha “Hana ubaya” kwa Ibn Ma‟iin ni sawa sawa na

kusema ni “Mwenye kuaminika”, kama alivyonukuu Al-Imamu Al-

Qannubi848

maneno yake mwenyewe Ibn Ma‟iin kutoka katika kitabu Fat-

hu Al-Mughith cha Al-Sakhawi. 849

Na Abu Ubaida kaisimulia riwaya hio kutoka kwa:

3) Bahari Kuu, Jabali la elimu, na kiongozi wa Maimamu, Al-Imamu Jabir

bin Zaid Al-Azdi. Naye ni Imamu muasisi wa madhehebu ya Kiibadhi, na

ni mwanafunzi wa Masahaba sabiini waliopigana vita vya Badr na ni

839

- Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327-28, riwaya na. 862. Hapa Al-

Imamu Al-Rabi‟u kataja sanad moja na akasimulia kwayo riwaya kama sita. 840

- Al-Imamu Hanbal Al-Ilal Wa Ma‟arifat Al-Rijaal j. 2, uk. 56, katika tarjama ya Al-

Haitham bin Abdil-Ghfar Al-Tai. 841

- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya 1, uk. 156. 842

- Ibn Shaahin Asmaau Al-Thiqaat uk. 127. 843

- Ibn Ma‟iin Al-Taarikh j. 2, uk. 160. 844

- Al-Imamu Al-Bukhari Taarikh Al-Kabir j. 3, uk. 277. 845

- Ibn Hibbaan Al-Thiqaat j. 6, uk. 299. 846

- Al-Imamu Al-Dhahabi Al-Mizan j. 2, uk. 230, tarjama ya 2734. 847

- Tazama Al-„Ilal cha Al-Imamu Hanbal, j. 3, uk. 11-12, tarjama ya 3922. 848

- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Imamu Al-Rabi‟u Makanatuhu Wa Musnaduhu uk. 31. 849

- J. 1, uk. 367.

Page 285: Fimbo ya Musa

285 mwanafunzi wa Ibn Abbaas, „Aisha, Ibn Mas‟ud, Abu Huraira, Ibn Umar,

Anas bin Maalik na wengineo.

Anasema Ibn Abbaas (r.a.): “Lau watu wa Basra walifata kauli ya Jabir,

basi angewatosheleza (kwa) elimu (yake alionayo) kutoka katika Kitabu

cha Mwenyezi Mungu”. Na akasema tena Ibn Abbaas kuwambia watu wa

Iraki: “Munaniuliza mimi na nyinyi munaye Jabir bin Zaid”. Anasema Al-

‟Ijli: “Ni mfuasi wa Masahaba, muaminifu”. Anasema Iyaas bin

Mua‟wiya: “Nimewakuta watu nao hawana mufti isipokuwa Jabir bin

Zaid”. Na alipokufa alisema Qataada: „Leo kafa mtu mwenye elimu kuliko

watu wote wa Iraki”. 850

Na akasimuliya Abu Nuaim katika nambari. 3321,

riwaya yenye kusema: “Na miongoni mwao ni yule aliyetakasika na elimu

yake kutokana na Shubuha (utatanishi) na dhulma; mwenye kufarajika

nayo (elimu hio) katika shida na tabu (huyu si mwengine bali ni) Jabir bin

Zaid, Abu Al-sha‟athaa, alikuwa katika elimu ni chemchem safi, na katika

ibada ni madhubuti, na alikuwa katika haki ni mwenye kurejea

(kukimbilia), na viumbe ni mwenye kuwakimbia (yaani hamtii kiumbe na

kumridhisha akamuasi Mwenyezi Mungu)….alikuwa katika wafuasi wa

mwanzo wa Masahaba (Qudamaau Al-ttaabiin)”.

Anasema Al-Imamu Ibn Kathir: “Na Masahaba mfano wa Jabir bin

Abdillah walikuwa watu wa Basra wakimuuliza husema: „Vipi

munaniuliza mimi na nyinyi munaye Abu Sha‟athaa (Jabir bin Zaid)”. 851

Na anasema Qatada alipozikwa Jabir bin Zaid: “Leo kazikwa mjuzi kuliko

watu wote waliopo mgongoni mwa ardhi”. 852

Na akataja Al-Kharusi (Sh.

Said bin Khalif) riwaya ya Abu Bakr bin Nuaima akisema kutoka kwa

Anas bin Malik alipopewa habari ya kifo cha Jabir alisema: “Kafa mjuzi

kuliko watu wote”. 853

Na Jabir bin Zaid kaisimulia riwaya hio kutoka kwa Alhasan. Kwa hivyo,

riwaya hio ya Alhasan ya kuifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kuzidishwa

kwa matendo aliyefanya moja akalipwa kumi mfano wake ni riwaya sahihi.

Riwaya nyengine inasema:

٤ق، ػ ـخي:)٣ ـ٢ ـــ أرــ حرــكيػ٢ حؼ٠ هخ ، كيػخ أر ك٣لش هخ ، كيػخ ز، ػ

850

- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2, uk. 34, tarjama ya 61, na Ibn Abi Hatim Al-Jarhu

Wa Al-Ta‟adiil j. 2, uk. 494, tarjama ya 2032. Tazama pia Abu Nuaim Hilyatu Al-Awliyaa

j. 3, uk. 101, riwaya na. 3321-3322-3323 mpaka kufikia riwaya ya 3355. 851

- Ibn Kathir Al-Bidaaya Wa Al-Nihaaya j. 9, uk. 97. 852

- Tazama Al-Bidaaya Wa Al-Nihaaya j. 9, uk. 97. 853

- Sheikh Said bin Khalif Min Jawaabati Al-Imami Jabir uk. 53, nukulu kutoka katika

kitabu Riwaayatu Al-Hadithi „Inda Al-Ibaadhiyya uk. 185.

Page 286: Fimbo ya Musa

286

، ـلس ح. ”٣خىس“ؼخ ك٠ أكح حل٠(،

Katuhadithia Almuthanna kasema katuhadithia Abu Hudhaifa kasema

katuhadithia Shibl kutoka kwa Ibn Abi Najiih kutoka kwa Mujahid: “Wale

waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), (kasema Mujahid

kwamba maana ya wema) ni wema ulio mfano wake; na ziada ni msamaha

na radhi (za Allah).854

RIWAYA TATU: ZIADA NI VIPAWA VYA DUNIA

ل٠ ٣خىس()٣ أكح ح ٢ ه:ـــكيػ٢ ٣ هخ، أهزخ حر ذ هخ: هخ حر ٣ي، ك

هءح:٤خش. ـــــ حوـــخ أػطخ ك٢ حي٤خ ، ل ٣لخز ر ٣ ”٣خىس“حـش ”حل٠“ هخ:

ك ٢ آط ٤ خ أ ؿ ٤ خ ( هخ: خ ) آطخ خ ٣لذ ك٢ حي٤خ، ػـ أؿ ك٤خ. حي

Katuhadithia Yunus kasema katuambia Ibn Wahb kasema Ibn Zaid

kasema kuhusu kauli yake Allah isemayo: “Wale waliofanya mema

watalipwa wema wao na ziada”, kasema: „wema ni pepo, na ziada ni yale

aliowapa hapa duniani; hatowahesabia (hayo) siku ya kiama, hebu someni

(kauli ya Allah isemayo): „na tulimpa ujira wake hapa duniani‟.

Kasema: „kile alichompa katika yale anayoyapenda katika dunia, basi

kamkimbilizia malipo yake ndani yake (ndani ya dunia)‟. 855

Hii ni tafsiri nyengine iliokuja kwa sanad sahihi kutoka kwa „Abdul-

Rahman bin Zaid bin Aslam. Naye – kama unavyoona – hakuifasiri Aya hio

kuwa maana yake ni kumuona Allah. Naye ni katika Al-Salaf Al-Salih.856

Lau kama kweli kulikuwa na tafsiri ya Mtume (s.a.w.) ya kuwa maana ya

Aya hio ni kumuona Mwenyezi Mungu, basi asingeliifasiri Aya hio hivyo.

Katika sanad ya riwaya hio kuna:

854

- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 126. Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-

Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327-28, riwaya na. 862. Ibn Abi Haatim katika Tafsiru Al-Qur-

ani Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1945, riwaya na. 10343. Riwaya hii kaisimulia Al-Rabi‟u bin Habib

kwa sanad sahihi nayo ni sanad tulioielezea katika riwaya iliotangulia. 855

- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 126. Ibn Abi Haatim katika Tafsiru

Al-Qur-ani Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1946, riwaya na. 10345. Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-Jaami‟u

Al-Sahih j. 3, uk. 327-28, riwaya na. 862 nayo ni tafsiri ya Abu Haazim. 856

- Pamoja na kuwa yeye mwenyewe „Abdul-Rahman bin Zaid alikuwa dhaifu, lakini hii

ni kwa ile riwaya anayoinukuu kutoka kwa wengine. Ama kwa tafsiri yake mwenyewe, basi

wanavyuoni wamekuwa wakiizingatia kama ilivyo katika vitabu vya tafsiri.

Page 287: Fimbo ya Musa

287

Yunus

Naye ni Yunus bin „Abdil-A‟alaa. Wanasema Abu Hatim na Al-Nasai: “ni

mwenye kuaminika”.857

Anasema Ibn Hajar katika Al-Taqrib: “ni mwenye

kuaminika”.858

Na Yunus kaipokea riwaya hio kutoka kwa:

Ibn Wahb

Naye ni „Abdullah bin Wahb bin Muslim Al-Qurashi, Imamu mwenye

kuaminika kasifiwa na wengi bali na wote lakini hata hivyo Ibn Sa‟ad

anasema: “Abdullah bin Wahb alikuwa na elimu sana, mwenye kuaminika

katika Hadithi atazosema: „katuhadithia‟ na alikuwa akighushi‟.859

Kwa

maana hio, riwaya yake hii haikubaliki kwani ٣ف رخخع hakusema kwa

uwazi kwamba kaisikia kutoka kwa Ibn Zaid. Ninasema: lakini Abdullah

bin Wahb hakupwekeka katika kuisimulia riwaya hio kutoka kwa „Abdu-

Rahman bin Zaid bin Aslam, bali kafuatiwa pia na Asbagh bin Alfaraj kama

ilivyo katika riwaya ya Ibn Abi Hatim.860

Na Asbagh bin Alfaraj huyu ni

mpokezi thiqa. Anasema Ibn Hajar “ni mwenye kuaminika”.861

Bali sanad

ya Ibn Abi Hatim yote ina wapokezi wenye kuaminika. Sanad yake ni:

Katuambia Abu Yazid Al-Qaraatisi katika yale alioniandikia, katusimulia

Asbagh bin Al-Faraj kasema: „nimemsikia „Abdul-Rahman bin Zaid bin

Aslam kuhusu kauli yake Allah “Wale waliofanya mema watalipwa

wema wao na ziada), kasema: „ziada ni yale ambayo Allah kawapa hapa

duniani Allah hatowahesabia kwayo siku ya kiama”.862

Asbagh bin Alfaraj tumemuelezea kabla kidogo. Ama Abu Yazid Al-Qaraatisi

jina lake ni

Yusuf bin Yazid bin Kaamil, naye ni mwenye kuaminika. Anasema Ibn

Yunus: “alikuwa ni mwenye kuaminika, mkweli”. Anasema Ahmad bin

Khaalid: “(Yusuf) Ibn Yaziid Al-Qaraatisi ni miongoni mwa watu wanye

kuaminika sana na wala sikupata kuona mfano wake, na sikumkuta yoyote

857

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 11, uk. 387-88, tarjama na. 754. Kwa maelezo zaidi

rejea kitabu hicho. 858

- Tarjama na. 7907. 859

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 6, uk. 65-67, tarjama na. 131. 860

- Yametangulia marejeo katika sehemu tulioinukuu riwaya hio. 861

- Ibn Hajar Taqrib Al-Tahdhib tarjama na. 536. 862

- K.h.j.

Page 288: Fimbo ya Musa

288

yule ila kadhoofishwa kidogo (kasemwa kuwa ni layyin) au kasemwa (kuwa

ana kasoro fulani) isipokuwa Yusuf bin Yaziid”...863

Anasema Ibn Hajar: “ni

mwenye kuaminika”.864

Kwa hivyo tafsiri hii imethibiti kutoka kwa „Abdul-

Rahmaan bin Zaid bin Aslam.

MUKHTASAR WA HAYA NI KUWA:

1) Al-Salaf Al-Salih wamelifasiri neno ziada lililomo katika Aya hio

“Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), tafsiri

tafauti.

2) Tafsiri zao hizo nyengine zimepokewa kwa sanad dhaifu sana.

3) Nyengine zina udhaifu mdogo lakini zimepokewa kwa njia

nyengine.

4) Na nyengine sanad zake ni sahihi.

5) Tafsiri hizo hazikusema kamwe kwamba ziada maana yake ni

kumuona Allah. Na hili linatufanya tuwe na wasi wasi mkubwa na

riwaya ilionasibishwa kwa Mtume (s.a.w.) ikidaiwa kuwa kaifasiri

ziada hio ni kumuona Allah.

6) Riwaya iliosema kwamba ziada maana yake ni kumuona Allah ni

riwaya dhaifu kama tutavyoielezea sanad yake.

Baada ya hayo, natija ambayo tunaweza kuitoa katika sehemu hii ni kuwa:

Mosi: ama tuseme kuwa riwaya zote ambazo zimekuja kuifasiri Aya hio

“Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), ni riwaya

dhaifu – yaani riwaya isemayo kuwa ziada maana yake ni kumuona Allah

pamoja na riwaya hizo tafauti tulizozinukuu hapa. Ikiwa tutasema hivi, basi

natija ni kuwa sote tutakuwa hatuna hoja katika ulimwengu wa riwaya. Na

hapa itatubidi tutazame njia nyengine za kuifasiri Aya hio. Na bila shaka

njia bora ni kuifasiri:

a) Qur-ani kwa Qur-ani.

b) Qur-ani kwa mujibu wa kanuni za lugha.

Bali ukweli ni kuwa hii ndio misingi ya mwanzo ya kuitazama tafsiri ya

Qur-an kabla ya kuitazama riwaya. Na hii si kwamba Hadithi ikithibiti

inawekwa pembeni, bali maana ya haya ni kuwa misingi hii ndio

inayotujuvya usahihi na udhaifu wa matn ya riwaya, yaani „ilal (kasoro) za

Hadithi: kujua je Hadithi hio ni ya kweli au si ya kweli, inabidi itazamwe

katika matn yake sawa na inavyotazamwa katika sanad yake. Na njia moja

863

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 11, uk. 377-78, tarjama na. 736. 864

- Ibn Hajar Taqrib Al-Tahdhib uk. 612, tarjama na. 7893.

Page 289: Fimbo ya Musa

289

muhimu ya kujua udhaifu wa matn865

ni kuitazama je inakubaliana na tafsiri

ya Qur-an iliojengeka katika kanuni sahihi za lugha ya Kiarabu? Ikiwa

Hadithi inaifasiri Aya kadha tafsiri nyengine ilio tafauti kabisa na ile

inayopatikana kwa mujibu wa kanuni za kilugha, basi hio ni alama ya kuwa

hio ni Hadithi maudhui (ya kutunga), kwani Qur-ani haiendi kinyume na

kanuni za kilugha wala Mtume (s.a.w.) hasemi kitu kinyume na lugha au

kinyume na tafsiri iliojengeka juu ya misingi ya lugha. Bali Allah kasema:

… ز ٤ ر ٢ ػ خ ح

Na (Qur-ani) hii lugha ya Kiarabu iliobayana (Fasihi ya hali ya juu).866

Na anasema:

…. ز ٤ ر ٢ ػ خ ر

(Qur-ani hii imeteremshwa) kwa lugha ya Kiarabu iliobayana (Fasihi

ya hali ya juu).867

Pili: au tuseme kuwa Hadithi hizi zote ni sahihi. Na hapa yatakuja masuali

matatu muhimu:

a) Vipi riwaya hizi zote ziwe sahihi, kisha Al-Salafu (watangulizi) hao

waifasiri Aya hio kinyume na tafsiri iliopatikana katika Hadithi ya

Mtume (s.a.w.)?

b) Vipi Aya kwamujibu wa kanuni za kibalagha itoe tafsiri iliotafauti

na hio ilionasibishwa kwa Mtume (s.a.w.) katika Hadithi ya Suhaib

kupitia kwa Hammad bin Salama?

c) Vipi dalili za Aya nyengine ziiunge mkono ile tafsiri iliojengeka

katika kanuni za kibalagh na wala zisiunge mkono tafsiri iliotafauti

na hio ilionasibishwa kwa Mtume (s.a.w.)?

Yote haya yanatujuvya ukweli kwamba riwaya ya Hammad bin Salama ina

mushkeli mkubwa hata ingelikuwa ina sanad sahihi, basi vipi ikiwa sanad

yake ni dhaifu? La mwisho ni kuwa tuseme kuwa baadhi ya riwaya hizi ni

dhaifu bali maudhui na nyengine ni sahihi. Ninasema: huu ndio ukweli

ulivyo; tafauti yetu na Sheikh Kasim ni katika riwaya ya Hammad bin

Salama – yeye anasema imethibiti; mimi ninasema haikuthibiti. Ukweli uko

wapi? Hayo utayajua kwa ufafanuzi huko mbele in shaa Allah.

865

- Ambapo Hadithi ikiwa ni dhaifu katika matn yake ndio inakuwa hakika kabisa Hadithi

hio haitoki kwa Mtume (s.a.w.), tafauti na udhaifu wa sanad ambapo inawezekana ikawa

inatoka kwa Mtume (s.a.w.), lakini imepoteza sharti ya kuikubali. 866

- Sura 16, Aya 103. 867

- Sura 26, Aya 195.

Page 290: Fimbo ya Musa

290

KATIKA SANAD YAKE KUNA

HAMMAD BIN SALAMA

Nukta ya nne:

Baada ya hayo, tumebakiwa na kuitazama sanad ya Hadithi hio. Tunasema

kwamba Hadithi hio kama ilivyokuwa mbovu katika matn yake kwa sababu

ya kutoa kwake jawabu iliotafauti na ile inayotolewa na kanuni za kilugha,

na hii ndio njia moja bora ya kuzijua „ilalul-Hadithi (kasoro za Hadithi), pia

ina kasoro katika sanad yake. Na hii ni kwa sababu ya kusimuliwa kwake

kwa njia ya Hammad bin Salama. Na hapa tutatazama nukta zinazofuata:

1) Hali ya Hammad bin Salama.

2) Hammad bin Salama kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi katika

masimulizi ya riwaya hio.

3) Hammad bin Salama kenda kinyume na watu waliokuwa ni awthaq

(wenye kuaminika zaidi) kuliko yeye.

HAMMAD BIN SALAMA

Hammad bin Salama – kwa mujibu wa ilivyo tarjama yake – alikuwa ni mtu

mwema lakini alikuwa nahifdhidhaifu na zaidi ya hayo alisemwa kuwa

alikuwa na mtoto wa kambu ambaye alikuwa akimtilia Hadithi za uwongo

kwenye vitabu vyake naye Hammad – kwa kughafilika – akawa

anazisimulia. Anasema Al-Suyuti:

Na aina (nyengine ni watu) waliopata mitihani ya watoto wao au watoto

wao wa kambu au waandishi. Basi wakawatungia Hadithi na wakawatilia

(katika vitabu vyao) basi wakawa wanazisimulia Hadithi hizo bila kujua.

(Watu hao ni): kama Abdullahi bin Muhammad bin Rabia Al-Qudaami, na

Hamad bin Salama (ambaye) alipata mtihani wa mtoto wake wa kambu

Ibn Abi Al-„Awjaa akawa anamtilia (Hadithi za uwongo) katika vitabu

vyake…...868

Na kwa maana hii, Hammad atakuwa amepoteza sifa ya ح٠ز٢ حظخ (udhibiti

kamili) kupitia katika vitabu vyake kama vile ambavyo amepoteza sifa hio

katika hifdhi yake, kama utavyoona maelezo yetu humu in shaa Allah. Basi

vipi zikubalike riwaya zake ilhali jamaa washanchomekea Hadithi za

kupakasa naye hakuzijua: bali akawa anazisimulia?

868

- Al-Suyuti Tadriibu Al-Rawi uk. 253.

Page 291: Fimbo ya Musa

291

Sasa baada ya hayo, soma nukulu zifuatazo:

Anasema Ibn Sa‟ad kuhusu Hammad bin Salama: “ni thiqa (mwenye

kuaminika lakini) huenda (wakati mwengine) akasimulia Hadithi

munkar”.869

Anasema Al-Zayla‟i:

Na Hammad bin Salama hifdhi yake iliharibika mwishoni mwa umri wake,

basi Mahuffadh (wanavyuoni wakubwa) hawatoi hoja kwa riwaya zake

anazokwenda kinyume (na wapokezi wengine), na wanajiepusha na riwaya

zake anazopwekeka nazo na hasa hasa riwaya alizozipokea kutoka kwa

Qais bin Sa‟ad na walio mfano wake.870

Anasema Al-‟Adhiim Aabaadi:

هخ حز٤و٢ حلي٣غ اح طلى ر كخى ر ش ٣ي ك٤ ػ ٣وخل ك٤ أكلع ؿذ

حظهق ك٤

Na amesema Al-Bayhaqi: „Na Hadithi ikiwa itapokewa na Hammad bin

Salama peke yake na asitie shaka ndani yake kisha ndani yake akenda

kinyume na aliye na hifdhi zaidi kuliko yeye, basi inabidi iachwe kama

ilivyo.871

Anasema Al-Imamu Al-Suyuti katika kitabu chake Masaaliku Al-Khafaai

Fii Waalidai Al-Mustafaa: “hakika ya Hammad amekuwa akisemwa katika

(uwezo wake wa) kuhifadhi na zimetokea katika Hadithi zake Hadithi

(nyingi) munkar”.872

Anasema Ibn Al-Qayyim:

ــــــي٣ؼ أخ ى حزوخ١ حلكظـخؽ رلــــهخ حز٤و٢ ال أ خ ١ؼ ك٢ ح خء كلظ كي ط

اح خ ..……… هز طـ٤ ـــأهؽ كي٣ؼ ػ ػخرض خ غ أ ـ كخؿظي ك٢

كي٣ؼ وخلخ لكخى٣غـــــــــػ ؿ أ ل ٣لظؾ رخ ٣ـي حل ي كخلكظ٤خ١ حهذ هللا

869

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1 uk. 483. Hadithi munkar ni Hadithi ambayo

katika wapokezi wake yumo mpokezi mwenye kusahau sana au mwenye kukosea sana au

kufanya ufasiki. Na wengine hutumia neno “Hadithi munkar, kumaanisha riwaya

aliyoipokea mpokezi anayekubalika lakini ikawa riwaya hio inagonga na riwaya

iliopokewa na mpokezi mwengine anekubalika zaidi. Dhahir ni kuwa wakati mwengine

wanavyuoni hulitumia neno hilo kumaanisha Hadithi inayogongana na akili au dalili

nyengine hata kama ni dalili za ujumla. 870

- Al-Zayla‟i Nasbu Al-Raya j. 2, uk. 350. 871

- Al-‟Adhiim Aabaadi „Awnul Ma‟abuud j. 10, uk. 482. 872

- J. 2 uk. 226.

Page 292: Fimbo ya Musa

292

حؼوخص حلػزخص

Kasema Al-Bayhaqi kwamba: „isipokuwa (Hammad bin Salama)

alipokonga hifdhi yake iliharibika na kwa hivyo Al-Bukhari kawacha

kutoa hoja kwa Hadithi zake, ama Muslim yeye kajitahidi na akazisimulia

Hadithi zake alizozipokea kutoka kwa Thabit (Al-Bunani) katika zile

ambazo kazipokea kabla ya kubadilika kwake……………na kama ni

hivyo basi (ni wajibu) kuchukua hadhari kwa yule mwenye

kumuogopa Allah Mtukufu asitoe hoja kwa Hadithi zake atazozikuta

kenda kinyume na wapokezi wenye kuaminika, walioimara.873

Anasema Al-Kawthari katika utangulizi wa kitabu Al-Asmaau Wa Al-Sifaat

cha Al-Imamu Bayhaqi:

Chukua (kwa mfano) Hadithi za Hammad bin Salama katika itikadi

utaziona zimekushanya Hadithi nyingi mbovu”874

………….Hammad bin

Salama alikuwa ni mwenye kuchanganyikiwa, na alikuwa na watoto

wawili wa kambu wakamuingizia katika Hadithi zake wanayoyataka, na si

Ibn „Adey wala si mwengine anaweza kuikanusha kasoro hii….na

wanavyuoni wamechoshwa na riwaya mbovu kuhusu sifa za Allah ambazo

zinapokewa kwa njia ya Hammad bin Salama.875

Anasema Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam, Ayatollah Al-Albani

katika kitabu chake Al-Dhaifa: “ hakika ya Hammad ana makosa mengi”.876

Amesema Al-Dhahabi katika kitabu chake Al-Miizaan kuhusu Hammad bin

Salama:

Alikuwa ni mwenye kuaminika (lakini) ana awhaam (makosa mengi).

877

Na akasema katika kitabu chake Al-Mughni: (Hammad bin Salama) ni:

“Imamu mkweli lakini anasahau sana.878

Na akasema katika Al-Siyar:

873

- Ibn Al-Qayyim I‟ilaamu Al-Muwaqa‟iin j. 2, uk. 361. Bwana Mafuta! Imamu wako

anakwambia ikiwa unamuogopa Allah na unatarajia rehema yake basi uwachane na riwaya

ya Hammad ikiwa atakwenda kinyume na wapokezi wenye kuaminika na walio imara. 874

- Nukulu kutoka katika kitabu Al-Tufanu Al-Jaarif cha Al-Imamu Al-Qannubi j. 3,

sehemu ya 1, uk. 312-313. 875

- Al-Kawthari Tabdidu Al-Dhalaam uk. 96. 876

- J. 2 uk. 333. Tazama nukulu hizo katika Al-Tufaanu Al-Jaarif cha Imamu Al-Sunna, j.

3, sehemu ya 1 uk. 308. 877

- Al-Dhahabi Al-Miizaan j. 2, uk. 123, tarjama na. 2251. 878

- J. 1, uk. 189.

Page 293: Fimbo ya Musa

293 ….isipokuwa (Hammad bin Salama) alipokonga, hifdhi yake iliharibika, na

kwa sababu hio Al-Bukhari hakutoa hoja kwa Hadithi zake. Ama Muslim,

yeye kajitahidi na akazisimulia Hadithi zake kutoka kwa Thabit (Al-

Bunani) ambazo kazisikia kwake kabla ya kubadilika…….basi kwa

hadhari zaidi ni kutotoa hoja kwa Hadithi zake ambazo kenda kinyume na

wapokezi wenye kuaminika.879

Hayo ni maneno ya Al-Dhahabi. Ninasema: na hadithi hii – kama

tutavyoona – ni miongoni mwa Hadithi ambazo Hammad bin Salama kenda

kinyume na wapokezi wenye kuaminika na kwa hivyo, kwa mujibu wa

maelezo hayo, Hadithi hii ni dhaifu. Wala hayo hayabomolewi na ukweli

kwamba Al-Dhahabi kasema katika sehemu nyengine: “na wala riwaya zake

hazikushuka daraja ya kuwa ni hasan”,880

kwani hio ni rai tu ya Al-

Dhahabi: si kanuni ya elimu ya Hadithi, na pamoja na hayo yeye kabla ya

hapo kasema maneno yafuatayo:

1) Basi kilicho na hadhari zaidi ni kutotoa hoja kwa Hadithi zake

ambazo kenda kinyume na wapokezi wenye kuaminika.

2) Naye (Hammad bin Salama) kwa uwezo hamfiki Hammad bin Zaid.

Kwa hivyo, pamoja na rai hio ya Al-Dhahabi kwamba Hammad bin Salama

riwaya zake hazikushuka daraja ya kuwa ni hasan, basi yeye kaifungamasha

rai hio na sharti kwamba asiende kinyume na wapokezi thiqaat (wenye

kuaminika). Na hilo katika riwaya hii tunayoijadili hapa halikupatikana

kwani kenda kinyume na wapokezi thiqaat (wenye kuaminika) tena walio

wengi zaidi. Pili ni kuwa miongoni mwa aliokwenda kinyume nao ni

Hammad bin Zaid naye – kama ulivyoona maelezo ya Al-Dhahabi – ni

mwenye uwezo zaidi kuliko Hammad bin Salama.

Ama Al-Mizzi katika Tahdhibu Al-Kamaal na Ibn Hajar katika Tahdhibu

Al-Tahdhib katika tarjama ya Ali bin Aasim Al-Waasiti, wao wananukuu

maelezo yafuatayo ya Al-Imamu Ahmad bin Hanbal:

Nilimwambia (Al-Imamu) Ahmad bin Hanbal kuhusu Ali bin Aasim na

nikamtajia makosa yake, akasema Al-Imamu Ahmad: „(na) Hammad bin

Salama anakosea, na akaonesha Al-Imamu Ahmad kwa mkono wake

makosa mengi.881

Hio ni kauli ya Al-Imamu Ahmad, na mfano wake ni kauli yake aliposema:

879

- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 7, uk. 342, tarjama na. 1169. 880

- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 7, uk. 338, tarjama na. 1169. 881

- Al-Mizzi Tahdhibu Al-Kamaal j. 7, uk. 335, tarjama na. 4721, Ibn Hajar Tahdhibu Al-

Tahdhib j. 7, uk. 303, tarjama na. 572. Tanbihi: katika kopi nilionayo ya Tahdhibu Al-

Tahdhib mumeandikwa “kosa kubwa” badala ya “makosa mengi” nalo ni kosa la chapa

kama yanavyoonesha maandiko mengine.

Page 294: Fimbo ya Musa

294 Na akasema Al-Imamu Ahmad (baada ya kutaja mapokezi ya Hammad bin

Salama kutoka kwa Qais bin Said): „alikuwa akipokea Hadithi kutoka

kwake badala yake akisema zinatoka kwa Mtume (s.a.w.)‟.882

Hili ni jarhu mufassar (kujeruhi kulikofafanuliwa). Tukirudi katika nukulu

ya mwanzo ya maneno ya Al-Imamu Ahmad, tunamkuta msimulizi kaishia

kwa kusema: “na wala (Al-Imamu Ahmad) alikuwa haoni ubaya kusimulia

riwaya kutoka kwake (kutoka kwa Hammad bin Salama)”.883

Anasema Imamu Al-Sunna Wa Al-Usul Wa Al-Furuu‟i, Al-Qannubi

akiyatia maelezo maneno hayo ya Al-Imamu Ahmad:

Hakuna budi maneno haya ya (Al-Imamu) Ahmad yafungamanishwe:

isemwe kwa mfano kwamba: „(Al-Imamu Ahmad) alikuwa haoni ubaya

kusimulia Hadithi kutoka kwake (Hammad bin Salama) ikiwa (Hammad

bin Salama) hakwenda kinyume na mpokezi mwengine. Ama akiwa

atakwenda kinyume na mpokezi mwengine kama ilivyo hapa (katika

Hadithi hii), basi hafanywi kuwa ni hoja. Au iwe (Al-Imamu Ahmad)

hakuona ubaya kumtolea hoja (kwa riwaya zake) katika shawaahid884

au

(yasemwe maneno) yalio mfano wa hayo. Vyenginevyo basi maneno yake

(Al-Imamu Ahmad) haya yatakuwa ni yenye mgongano kama ilivyo wazi

kabisa.885

Ninasema: dhahir ni kuwa maana ya mwanzo alioiletea muelekeo Al-

Imamu Al-Qannubi ndio anayoikusudia Al-Imamu Ahmad, na hii ni kwa

sababu ya mfano ambao tunaupata katika Al-Jarhu Wa Al-Ta‟adiil cha Ibn

Abi Haatim baada ya maelezo kuhusu „Ali bin „Asim naye ni mpokezi

mwenye udhaifu kwa sababu ya kukosea sana ingawa mwenyewe ni mtu

mwema, Al-Imamu Ahmad alisema: “Ana nini kwani? Hadithi zake

zinaandikwa: kakosea; makosa yake yanaachwa na (Hadithi zake) sahihi

zinaandikwa”.886

Pamoja na hayo, Ibn Ma‟iin anasema kuhusu mpokezi

huyo kwamba “ni mwenye kuaminika”.887

Maneno ya Al-Imamu Ahmad

kwamba zichukuliwe Hadithi zake zilizo sahihi na alimokosea aachiwe

mwenyewe, yana maana kwamba mule ambamo hakwenda kinyume na

wapokezi wengine imara basi anakubalika. Na – dhahir kabisa – ni kuwa

hiki ndicho anachokikusudia kuhusu Hammad bin Salama aliposema kuwa

anakosea sana lakini haoni ubaya kupokea riwaya kutoka kwake.

882

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1 uk. 482. 883

- K.h.j. 884

- Tumetaja marejeo kabla kidogo. 885

- Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu 1, uk. 308. 886

- Ibn Abi Hatim Al-Jarhu Wa Al-Ta‟adiil j. 6, uk. 198-199, tarjama na. 1092. 887

- K.h.j.

Page 295: Fimbo ya Musa

295

Tukirudi tena nyuma kidogo katika maneno ya Al-Imamu Al-Qannubi

alipokuwa akiyatia sherehe maneno ya Al-Imamu Ahmad kwa kusema:

“vyenginevyo basi maneno yake (Al-Imamu Ahmad) haya yatakuwa ni

yenye mgongano kama ilivyo wazi kabisa”. Ninasema: naam! Huo ni

mgongano wa wazi baina ya minhaj (methodology) na tatbiiq

(implimentation au utekelezaji), kwani haiwezekani kuwa mtu awe ni

mwenye هطخء ؼ٤سأ makosa mengi kisha riwaya zake ziwe ni hoja isipokuwa

katika hali hizo alizozitaja Al-Qannubi na ambazo tumezitilia sherehe. Na

mfano wa maelezo hayo ya Al-Qannubi yamesemwa pia na Muhaddithu Al-

Awaraaqi Wa Al-Qalam, Ayatollah Al-Albani katika sehemu kadha wa

kadha za vitabu vyake. Anasema Al-Albani, kwa mfano, kuhusu mpokezi

aitwaye Zaadhaan:

خ “ػو أ٠٣خ أر ؼي حر ػي١ حؼـ٢ حوط٤ذ ، ح حر كزخ ، هخ : ...……

هض : ح أكحى طخه٠ ، ا خ ٣وط٠ء ؼ٤ح ٣ ػوش ! ! ”٣وط٠ء ؼ٤ح

(Zaadhaan huyu) Abu Sa‟ad, Ibn „Adey, Al-‟Ijli na Al-Khatib wamesema

kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika). Vivyo hivyo kasema Ibn Hibbaan

lakini yeye kasema: “alikuwa akikosea sana”. Ninasema:888

na huku ni

katika jumla ya kupwekeka kwake na kujigonga kwake, kwani lau alikuwa

ni mwenye kukosea sana basi asingelikuwa mwenye kuaminika.889

Hayo ni maneno ya Ayatollah Al-Albani, ingawa Al-Albani kajigonga

katika minhaj (methodology) yake alipotolea hoja – kuhusu mpokezi

mwengine – kwa maneno ya Al-Haithami, aliposema:

ؿ٤، رو٤ش ؿخ طؤ ، هي ػو حر ؼ٤ ؿ٤، ؼل حزوخ١هض : ئ ػوش ؼ٤ حو

ػوخص.

Ninasema:Muammil ni thiqa (mwenye kuaminika) anakosea sana, na

kasemwa na Ibn Ma‟iin na wengine kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika),

na Al-Bukhari na wengine wakasema kuwa ni dhaifu.890

Ni wazi kwa mujibu wa maneno hayo ya mwanzo ya Al-Albani kwamba

mwenye kukosea sana hawi thiqa; lakini katika maneno yake ya pili thiqa

anaweza kukosea sana! Haya! Hio ni kawaida ya Al-Albani – tumeizoa!

888

- Msemaji ni Al-Albani. 889

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 2, uk. 333, Hadithi na. 930. 890

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 678, Hadithi na. 6309. Usiniambie: “aa!

Haya si maneno ya Al-Albani, bali yeye kayanukuu tu kutoka kwa Al-Haithami”, kwani

Al-Albani kayanukuu kwa kuyatolea hoja, kwa hivyo kayakubali.

Page 296: Fimbo ya Musa

296

Na kwa hivyo, maelezo ya Al-Imamu Ahmad – kama alivyosema Al-Imamu

Al-Qannubi – yatakuwa ni yenye kujigonga ila ikiwa yatafasiriwa kwa

namna hio alioielezea Al-Qannubi. Na maelezo ya Al-Qannubi kuhusu

maneno ya Al-Imamu Ahmad bin Hanbal ni sawa na maelezo ya Al-Albani

kuhusu maneno ya Ibn Hibbaan. Lakini huenda maelezo ya Al-Qannubi

yakawa haramu katika mezani ya Kiwahabi na maelezo ya Al-Albani

yakaandikwa kwa maji ya dhahabu!

Turudi katika maneno ya Al-Albani. Tunasema: na mfano wa hayo, ni yale

alioyasema Al-Albani kuhusu Muhammad bin Mutawakkil, ambapo alisema

hivi: “ ؼ٤ق...ك٢ حظو٣ذ يم أخ ؼ٤سهض: ” “ninasema: (mpokezi huyu)

ni dhaifu….Na katika kitabu Taqriib imeandikwa kwamba yeye ni mwenye

makosa mengi”.891

Utaona hapa kwamba Al-Albani kamdhoofisha

Muhammad bin Mutawakkil na akatoa hoja kwa maneno ya Ibn Hajar

kwamba: “ni mwenye makosa mengi”. Na akasema Al-Albani kuhusu

mpokezi huyo huyo: يم أخ ػظ حر أر٢ ح١ ح، هخ حلخكع ك٢ حظو٣ذ

na kasoro yake (Hadithi hii) ni Ibn Abi Al-Sariy huyu (yaani ؼ٤س

Muhammad bin Mutawakkil), Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema katika Al-

Taqriib: „ni mkweli ana makosa mengi‟.892

Na akasema kuhusu mpokezi

huyo huyo:

هخ: “ح٠ؼلخء “ أى حز٠ ك٠ ي ر أر٠ حــــــهض : ح ي ؼ٤ق أؿ ل

.“ يم أخ ؼ٤س “هخ حلخكع ك٠ حظو٣ذ: ػوش, خ٤. “

Ninasema: sanad hii ni dhaifu kwa sababu ya kuwemo Muhammad bin

(Mutawakkil bin) Abi Al-Sariy. Al-Dhahabi kamtaja katika Al-Dhu‟afaa

na akasema: „ni mwenye kuaminika (lakini) ana Hadithi nyingi munkar.

Na Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema katika Al-Taqriib: „ni mkweli ana

makosa mengi‟.893

Anaendelea:

هخ )أ١ حلخ(: "حط ػ آه ػوخص" حكو حز٢. خ هخل، ل ٣ظ أ

زط، ـــــــل طؼزض كظ٠ ٣ظل٢ ح حؼش ٣ؼزض كلع حح١ ل٤ق ػخرض، ل حلش

٢ ))حظو٣ذ((:ـــــــــح ؿ٤ ظلون خ، كب حر أر٢ ح١ ح ظ ك٤ ؿش كلظ، ك

يم أخ ؼ٤س.

Na akasema (Al-Hakim) kwamba wapokezi wake (Hadithi hii) hadi

mwisho ni wenye kuaminika. Na Al-Dhahabi akakubaliana naye. Na

walivyosema ni sawa, lakini hio haina maana kwamba Hadithi hio ni sahihi

au imethibiti, kwani usahihi hauthibiti hadi pale ambapo hapana

891

- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 383. 892

- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 5, uk. 219-220. 893

- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 5, uk. 333.

Page 297: Fimbo ya Musa

297 shudhudh

894 wala kasoro, na pale itapothibiti kwamba mpokezi ni mwenye

hifdhi na uwezo wa kudhibiti. Na yoyote haya hayakupatikana hapa (katika

Hadithi hii), kwani Ibn Abi Al-Sarriy (Muhammad bin Mutawakkil) huyu

kasemwa kuhusu hifdhi yake, na katika kitabu Al-Taqrib imeandikwa

kwamba yeye ni mkweli lakini ana makosa mengi.895

Hayo ni maneno ya Al-Albani mwenyewe, na pamoja na Al-Albani

kuyasema hayo, lakini Ibn Ma‟iin na Ibn Hibbaan wanasema kuhusu

mpokezi huyo Muhammad bin (Mutawakkil) bin Abi Al-Sariy kwamba ni

thiqa (mwenye kuaminika),896

na Al-Dhahabi naye akasema kuhusu

mpokezi huyo kuwa ni: “Haafidh kasemwa kuwa ni thiqa”.897

Utaona kwamba yote alioyasema Al-Albani hapa kuhusu mpokezi huyo basi

ni sawa sawa na yale yaliosemwa – kwa ujumla – kuhusu Hammad bin

Salama lakini Hammad bin Salama Hadithi zake ni sahihi; Hadithi za

Muhammad bin Al-Mutawakkil ni dhaifu – bidhaa moja yapimwa kwa

mezani mbili tafauti! Hammad bin Salama kasemwa kuwa:

1) Ni thiqa ana makosa mengi.

2) Ni thiqa ana manaakiir (Hadithi nyingi munkar).

Muhammad bin Al-Mutawakkil kasemwa kuwa:

1) Ni thiqa ana makosa mengi.

2) Ni thiqa ana manaakiir (Hadithi nyingi munkar).

Lakini natija ni kuwa mpokezi wa kwanza ni sahihi na wa pili ni dhaifu!

Sheikh Mafuta ulikuwa umetoa hoja ya kimantiki. Je vipi hapa huna kumbu

kumbu yoyote ile ya kanuni ya kimantiki itayoweza kutuchekesha au

kutuliza? Sasa baada ya hayo – na kabla ya kuendelea na nukulu za

wanavyuoni wengine kuhusu Hammad bin Salama – soma yafuatayo kutoka

katika maandiko ya Al-Albani. Anasema Al-Albani:

ؼل –٢ ــــــــ حر أر٢ ؼف ح -هض : ح ي ؿ٤ي ؿخ ؿخ حل أ رخكخ

ك٢ ) حظو٣ذ ( : ) يم حخ ( . هض : حخ أه٠ أ ٣ هي كلظ رؼ٠ـــــ هز

ك٢ ح حلي٣غ

Ninasema: na sanad hii ni nzuru kabisa, wapokezi wake ni wapokezi wa

Muslim isipokuwa Rabah – naye ni Ibn Abi Ma‟aruf Al-Makki – baadhi

yao wamemdhoofisha kwa sababu ya hifdhi yake. Na katika Taqrib

894

- Shudhudh ni kitendo cha mpokezi mwenye kuaminika kwenda kinyume na mpokezi

mwenye kuaminika zaidi. 895

- Al-Albani Sifa ya Sala ya Al-Albani alichokiita Sifatu Salati Al-Nabiy j. 1, uk. 287. 896

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 376, tarjama na. 697. 897

- Al-Albani Sahiha j. 6, uk. 1098, Hadithi na. 2951.

Page 298: Fimbo ya Musa

298 imeandikwa kuwa: “ni mkweli lakini ana awham (makosa mengi).

Ninasema:898

ninahofia kwamba Hadithi hii kaikosea.899

Anaendelea Al-Albani:

هض : هي ػكض خ . “.. ٣ ػ كخى ر أر٢ ٤خ ال كخى ر ش ل٤خ حؼ١ “.

ي ٣ظز٤ أ كخى ر ..……… حؼ١ ػ كخى ر أر٢ ٤خ وطؼش؛ طوي أ ح٣ش

ل . حر ش ا خ ػوش ؿخ ، رح٣ظ ػ كخى ر أر٢ ٤خش طلى

اخ ػوش،“ هخ : “حـ٢ “ي أى حز٢ ك٢ ح٣ظ ػ ػخرض؛ كل٢ كلظ ٢ء ك٢ ؿ٤

جــل٤خ حؼ١ طـؼ حل ل طط هض : كوخلظ .“ أخ ؿحثذ ، ؿ٤ أػزض

ا“ :ــــحز٤و٢ رو ط٤ ك٢ إلخى ح حلي٣غ ، هي أخ ا٠ ي ط٤ ا٠ خ،

.…… ..…. ل ه ح٤ؼ٢ “ ػزض

….(Kasema Al-Tabarani): „hakuipokea (Hadithi hii) kutoka kwa Hammad

bin Abi Sulaiman isipokuwa Hammad bin Salama na Sufyaan Al-Thauri.

Ninasema:900

na kwa hayo yaliotangulia huko nyuma, umeelewa kwamba

riwaya za (Sufyaan) Al-Thauri kutoka kwa Hammad bin Abi Sulaiman ni

zenye mkatiko wa sanad, na kwa hivyo, inabainika kwamba Hammad bin

Salama kapwekeka kwa kuisimulia kwake (Hadithi hii) kutoka kwa

Hammad bin Abi Sulaiman katika hali ya kuiwasilisha.901

Na (Hammad)

bin Salama hata ikiwa ni thiqa (mwenye kuaminika) na ni katika wapokezi

wa Muslim lakini katika hifdhi yake kuna kitu (kasoro) kwa zile riwaya

asizozipokea kutoka kwa Thabit (Al-Bunani). Na kwa hivyo, Al-Dhahabi

kamtaja katika kitabu Al-Mughni na akasema: „Ni Imamu thiqa (mwenye

kuaminika) ana makosa mengi na Hadithi ngeni na asiyekuwa yeye ni

imara zaidi kuliko yeye‟. Ninasema:902

KWENDA KWAKE KINYUME

NA SUFYAAN AL-THAURI BASI KUNAIFANYA NAFSI ISITULIE

(IWE NA WASI WASI) NAKO NA IWE INAELEMEA ZAIDI

KATIKA KUMUINGIZA KATIKA MAKOSA KWA KITENDO

CHAKE CHA KUIFANYA SANAD YA HADITHI HII KUWA NI

MAUSUUL.903

NA KWA HAKIKA AL-BAYHAQI KALIASHIRIA

HILO ALIPOSEMA: „IKIWA ITATHIBITI‟ NA MFANO WAKE NI

KAULI YA AL-HAYTHAMI.904

898

- Msemaji ni Al-Albani. 899

- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 78. 900

- Msemaji ni Al-Albani. 901

- Tumeelezea maana yake kabla. 902

- Msemaji ni Al-Albani. 903

- Tumeelezea maana yake kabla. 904

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 669-670, Hadithi na. 6304. Tanbihi:

katika kopi nilionayo ya kitabu hicho, Hadithi yenye maelezo hayo imetiwa nambari hio

6304, na Hadithi ilio kabla yake imetiwa namba hio hio. Sijui ni kosa la chapa au vipi!

Naam! Inaelekea kuwa ni hivyo.

Page 299: Fimbo ya Musa

299

Sasa tazameni enyi walimwengu! Hadithi hii imepokewa na Hammad bin

Salama na Sufyaan Al-Thauri. Al-Albani kaidhoofisha kwa sababu

Hammad bin Salama kenda kinyume na Sufyaan Al-Thauri ambapo riwaya

ya Sufyaan si mausul905

wakati riwaya ya Hammad ni mausul – Hammad

kenda kinyume na mpokezi aliyekuwa thiqa zaidi kuliko yeye. Lakini

Hadithi ya Hammad bin Salama ya kuonekana kwa Mungu wamesema

kuwa ni Sahihi wakati:

1) Hammad bin Salama kasema kuwa ni marfuu906

wakati Hammad bin

Zaid na wenzake watatu wamesema kuwa ni mawquuf „Alaa Ibn Abi

Laila. 907

2) Hammad bin Zaid ni thiqa zaidi kuliko Hammad bin Salama.

3) Waliokwenda kinyume na Hammad bin Salama katika riwaya ya

kuonekana kwa Mungu ni wengi zaidi kuliko riwaya hii

alioidhoofisha Al-Albani.

Baada ya hayo, nakuomba chonde chonde usije ukanijibu kwa kuniambia:

“lakini katika riwaya ya kuonekana kwa Allah Hammad bin Salama

kaipokea riwaya hio kutoka kwa Thaabit Al-Bunani na Hammad bin

Salama ni msimulizi imara wao wa Hadithi za Thabit Al-Bunani”. Usinijibu

hivi, kwani jawabu ya hoja hii itakuja kwa ufafanuzi na nitakutolea mifano

ya Hadithi za makosa ambazo Hammad bin Salama kazipokea kutoka kwa

Thaabit Al-Bunani. Lakini kwa hapa ninakwambia kwamba hayo si

maudhui yetu: maudhui yetu ni hii kanuni:

1) Mpokezi thiqa akienda kinyume na aliye thiqa zaidi.

2) Mpokezi thiqa akienda kinyume na idadi kubwa zaidi ya walio

thiqa.

3) Je katika hali hizi ni Haadithi ya nani inayozingatiwa?

Mimi sina jawabu kwa masuali hayo, kwani Sheikh Al-Albani hapa

ameshatupa mfano unaomaliza kila kitu. Labda Al-Sayyid Al-Allama Kasim

bin Mafuta sasa atakuwa na jawabu nyengine iliotafauti na ile iliomo katika

kitabu chake aliposema kuhusu masharti ya Hadithi sahihi kwamba: ح ػي (4 Isiwe habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni

yenye kupingana na habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au

wengi zaidi kuliko yeye).908

Bwan Kasimu! Haya ni maneno yako mwenyewe. Sijui utayakubali na

kuyatumia katika Hadithi hii ya Hammad bin Salama ili tuweze kukupa

bendara ya ushindi kwani mshindi wa kweli ni mwenye kuikubali haki; au

905

- Yaani sanad yake imeshikana: haikukatika. 906

- Imetoka au imehusishwa na Mtume (s.a.w.). 907

- Inatoka kwa Ibn Abi Laila: si maneno ya Mtume (s.a.w.). 908

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 8.

Page 300: Fimbo ya Musa

300

hapa utayapiga chenga maneno-yo? Natuendelee na maelezo ya Al-Albani.

Anasema:

خ ح حر ـــ: أ حلي٣غ ؼ٤ق حإلخى ؿيح ، أؿي ك٢ ؼخ ؿ٤ ؛ ح ؛ ال ؿش حو

هض : ح اخى . ..............................كخى ر ش ٣١ن ”حطزوخص“ؼـــــي كــــــ٢

ش اخ أهؽ ـــــخى ر ــــػوخص ؿخ ح٤و٤؛ ؿ٤ أ ك ظخ حلش ؛ كب ؿخ

أػزض حخ ك٢ ػخرض، “ :”٣ذــــحظو“؛ هخ حلــــــخكع ك٢ ــــحزوخ١ طؼ٤وخ ، هي ط ك٤ رؼ٠

٢ــــ. هخ ك ”خ ػـــوش، أخ“ : ”٤حـــــح“خ حز٢ ك٢ ـــــ. ه ”كلظ رؤهس طـ٤

ـ. هض : أخ أظ أ ح حلي٣غ ” ػوش يم ٣ـ٢ ، ٤ ك٢ هس خي“ : ”حخق“

..………أؿال١؛ ي ؛ ل حللظ ػ ػز٤ي هللا حر ػ

Na kwa ujumla ni kuwa sanad ya Hadithi hii ni dhaifu sana na wala

sikuona Hadithi nyengine yenye maana sawa na hio, isipokuwa ile

iliosimuliwa na Ibn Sa‟ad katika kitabu Al-Tabaqaat kwa njia ya Hammad

bin Salama. Ninasema:909

sanad hii dhahir yake ni sahihi kwani wapokezi

wake wote ni wenye kuaminika wapokezi wa Al-Bukhari na Muslim,

pamoja na hayo Al-Bukhari kazisimulia Hadithi za Hammad bin Salama

katika Ta‟aliiq910

tu, na wengine wamemsema (Hammad bin Salama).

Anasema Al-Hafidh (Ibn Hajar) katika Al-Taqriib: „ni mpokezi imara wao

katika Hadithi za Thabit, (lakini) mwishoni hifdhi yake ilibadilika‟. Na

anasema Al-Dhahabi katika Al-Miizaan: „alikuwa ni mwenye kuaminika

(lakini) ana makosa mengi‟. Na akasema katika Al-Kaashif: „Ni mkweli

mwenye kuaminika, (lakini) anakosea wala hana uwezo wa Malik‟.

Ninasema:911

„nami ninadhania kwamba Hadithi hii ni katika makosa yake,

na hio ni kwa sababu kilicho sahihi kutoka kwa „Ubaidillahi bin

„Umar…….912

Tazama ndugu msomaji kwamba Al-Albani hapa anaidhoofisha Hadithi ya

Hammad bin Salama yule yule ambaye kamtetea katika Hadithi nyengine

ikiwemo Hadithi ya kuonekana kwa Allah, na kwa sababu zile zile ambazo

tumezitoa sisi katika kuikataa Hadithi ya Hammad bin Salama ya

kuonekana kwa Allah. Sababu hizo alizozitaja Al-Albani hapa ni:

1) Hammad bin Salama ana awhaam (makosa mengi) katika

masimulizi yake.

2) Kenda kinyume na wapokezi wengine.

Kwa hivyo, Hammad mwenye awhaam (makosa mengi) na aliyekwenda

kinyume na wapokezi wengine katika Hadithi moja – Hadithi yake hio ni

sahihi; Hammad huyo huyo mwenye awhaam (makosa mengi) na

909

- Msemaji ni Al-Albani. 910

- Bila ya sanad kamili: wapokezi wa mwanzoni mwake wameondoshwa. 911

- Msemaji ni Al-Albani. 912

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 11, uk. 793-794, Hadithi na. 5455.

Page 301: Fimbo ya Musa

301

aliyekwenda kinyume na wapokezi wengine katika Hadithi ya pili – Hadithi

yake ya pili hio si sahihi!

Tunaendelea na maneno ya Al-Albani kuhusu Hammad bin Salama.

Anasema:

ـك ٤ ٠ هللا ػ هخ:٤ أ . ح ححد خ ك٢ حح٣ش ح٥ط٤ش؛“حؿؼخ ػس “

؛ كب ، طلى ر كخى ر ش ى حؼوخص“ـؼخ ػس ـخء أ ٣ ــــ“: ــ هــى

ؿ٤غ حطم ػ ػخثش، شــــح٣ ح حو

Na ndani yake tunapata kwamba Mtume (s.a.w.) alisema: „ifanye (hija

yako) kuwa umra‟. Na hili ndilo lililo sawa katika riwaya inayofuata pasina

maneno yasemayo: „anayetaka kuifanya (hija yake) umra‟, kwa hakika

(maneno hayo) ni munkar (si sahihi) kapwekeka nayo Hammad bin Salama

pasina na wenye kuaminika wengine wote waliokipokea kisa hiki kutoka

katika njia zote kutoka kwa „Aisha.913

Hayo ni maneno ya Al-Albani. Kisha akatongoa hivi:

؛ كب ش رؼ٤ كخى ر أػنــــــ، -أػ٢: حخؿ -ي أهؿ أكي ٣١و

ـــ ض حخ ك٢ ػخرض، طـ٤ــــش ػخري أػزــــأخ كخى؛ كؼو .“حل٤ل٤ “ر ك٢ ػوش كو٤ لــظؾ

ض: حــه………”حظو٣ذ“ كي، خ ك٢ ر حزوخ١، اخ كلظ رؤهس، ٣لظؾ

٢ أؿـي؛ كب خ زن . ٣ن لظ حلي٣غ اخ أهؿ ك٢ ححي؛ ي

، ي حػظيـــ أػن خؿـــــ، حلي٣غ؛ وخلظ ك٤رؤ ك٢ ح حلف

ي هخل أ٠٣خ ــه حل أ حر الخم ٣ئ٣ي ي أ: كخى. ػ٤ ك٢ لع حلي٣غ ى لع

خ اح خ أكـيخـــأكلع حكي؛ ل ٤ حػخ ...… ……ك٢ لظ، حكوخ لع حخـ

ي٣غــ كــل٤لش، حله رخ أ٠ ـــ حح٣ش ح ٠ أ هخ حلزخ٢:..ا........... أكلع !

.حؼوظ٤ ح٣ كخى ح١ هخق

Halkadhalika akaisimulia Ahmad kwa njia yake – yaani kwa njia ya Al-

Maajishun – naye (huyo Al-Maajishuun) ni mwenye kuaminika zaidi na

kwa wingi kuliko Hammad bin Salama, kwani yeye (Al-Maajishuun) ni

mwenye kuaminika, fakihi (mwanachuoni wa sharia) Hadithi zake

zimetolewa hoja katika Sahihu Al-Bukhari na Sahihu Muslim. Ama

Hammad (bin Salama), yeye ni mwenye kuaminika mwenye kuabudu,

mpokezi imara wao katika riwaya za Thaabit lakini hifdhi yake ilibadilika

mwishoni, na Al-Bukhari hakutoa hoja kwa Hadithi zake bali Muslim peke

yake (ndiye aliyetoa hoja kwa Hadithi zake) kama ilivyoelezwa katika Al-

Taqriib…………. Ninasema:914

Hadithi hii Muslim kaisimulia katika

Shawaahid (si katika asili ya kitabu chake) na kwa hivyo hakuileta lafdhi

yake kama ilivyotangulia kutajwa. Na kwa sababu hio, mimi ninasema kwa

yakini kabisa kwamba (Hadithi hii) ni kosa (la Hammad bin Salama)

913

- Al-Albani Sahihu Abi Dawud j. 6, uk. 28. 914

- Msemaji ni Al-Albani.

Page 302: Fimbo ya Musa

302 katika maneno haya ya Hadithi kwani kenda kinyume na Al-Maajishuun

naye (Al-Maajishuun) ni thiqa zaidi kuliko yeye (Hammad bin Salama).

Na kwa sababu hio, Muslim kamtegemea (Al-Maajishuun) katika tamko la

Hadithi kuliko tamko la Hammad. Na hilo linaungwa mkono na mambo

mengi: la mwanzo ni kuwa Ibn Is-haaq kenda kinyume naye (Hammad bin

Salama) katika lafdhi yake na akawafikiana na lafdhi ya Hadithi ya Al-

Maajishuun…..na wapokezi wawili ni wenye uwezo zaidi wa kuhifadhi

kuliko mpokezi mmoja hususan ikiwa mmoja wao ni mwenye hifdhi

zaidi kuliko yeye. Mpaka Al-Albani akafikia kusema: „Na riwaya hii

sahihi, basi kuichukua ni bora kuliko Hadithi ya Hammad (bin Salama)

ambayo kenda kinyume na wapokezi wawili wenye kuaminiki.915

Tazama tena sababu za Al-Albani za kuikataa Hadithi ya Hammad bin

Salama kisha linganisha na sababu zetu za kuikataa Hadithi ya mpokezi

huyo huyo:

1) Hammad bin Salama kenda kinyume na Al-Maajishuun naye (Al-

Maajishuun) ni thiqa zaidi. Nasi tunasema Hammad bin Salama

katika Hadithi ya kuonekana kwa Allah kenda kinyume na Hammad

bin Zaid naye ni thiqa zaidi.

2) Hammad bin Salama kenda kinyume na wapokezi wawili wenye

kuaminika na kwamba wapokezi wawili ni wenye uwezo zaidi wa

kuhifadhi kuliko mpokezi mmoja hususan ikiwa mmoja wao ni mwenye

hifdhi zaidi kuliko yeye. Nasi tunasema Hammad bin Salama katika

Hadithi ya kuonekana kwa Allah kenda kinyume na wapokezi wane

wenye kuaminika.916

Je ni Hadithi ipi yenye kustahiki zaidi

kudhoofishwa: ni hii alioidhoofisha Al-Albani hapa kwa sababu hizo

au ni ile alioisahihisha kule pamoja na kuwepo kwa sababu hizo

hizo?

Baada ya kuona Al-Albani anasema nini kuhusu Hadithi za Hammad bin

Salama alizokwenda kinyume na wapokezi wengine wenye kuaminika. Sasa

tazama maelezo yake kuhusu wapokezi wengine. Anasema kuhusu Hadithi

isemayo:

حلن : حلس، كبح ؿخد حلن ؿزض حالس .

Al-Shafaq ni wekundu; shafaq (wekundu)917

ikizama basi sala imewajibika.

915

- Al-Albani Sahihu Abi Dawud j. 6, uk. 28. 916

- Mmoja kati ya hao ndio mwenye udhaifu, naye ni Hammad bin Waaqid kama

tutavyomuelezea baadae in shaa Allah. 917

- Yaani wingu jekundu.

Page 303: Fimbo ya Musa

303

Anasema Al-Albani kuhusu Hadithi hio kuwa ni dhaifu kwa sababu ya

mpokezi aliyemo katika sanad yake. Kisha akatongoa hivi:

ػي١ أ حؿ ػوش أخ ، كال ٣لظؾ ر اح هخل أكلع ، هي هق ك٢ ـ٣ظو

. ………كؼ خ ٣ؤط٢، طخرؼ ؼ أ ى

Na mukhtasari wake kwa uoni wangu ni kuwa mpokezi huyu ni THIQA

(MWENYE KUAMINIKA) LAKINI ANA AWHAAM (MAKOSA

MENGI), basi hafanywi kuwa ni hoja ikiwa atakwenda kinyume na

mpokezi mwenye hifdhi zaidi kuliko yeye. Na hapa kapingwa katika

kuinasibisha kwake (Hadithi hio na Mtume s.a.w.) kama yatavyokuja

maelezo. Na wakaafikiana naye wapokezi walio kama yeye na walio chini

yake…………….918

Sheikh Mafuta yaangalie maneno hayo kwa insafu bila ya kasumba;

kasumba haikusaidii kitu – wacha uwahabi na ukhawarij na utazame hoja na

dalili. Tazama Al-Albani kaidhoofisha Hadithi hii:

1) Iliopokewa na mpokezi thiqa lakini ana awhaam (makosa mengi).

2) Mpokezi thiqa huyo mwenye awhaam hakupwekeka katika

kuisimulia riwaya hio: wameshirikiana naye wapokezi wengine

walio mfano wake na walio chini yake.

3) Lakini wamekwenda kinyume na mpokezi au wapokezi ambao ni

imara zaidi kuliko wao, ambapo wale wameisimulia Hadithi hio hali

ya kuwa ni marfuu919

wakati hawa wamesema kuwa si marfuu.

4) Natija ni kuwa Hadithi hio ni dhaifu kama anavyosema Ayatollah

Al-Albani.

Sasa kama ni hivyo, kwanini Hadithi ya Hammad bin Salama isiwe dhaifu

ilhali imesimuliwa na mtu mmoja aliyekwenda kinyume na kundi la thiqaat

(wapokezi wenye kuaminika)? Tuendelee na nukulu za Al-Albani.

Anasema:

ي حر كزخ كب ك٢ ي ح أرخ ه٤لش حل٠ ر حلزخد ػوش اخى أق …

أهطخء كحؿغ ) خ ح٤ح ( .

….na sanad yake ni sahihi zaidi kuliko sanad ya Ibn Hibbaan, kwani katika

sanad ya (Hadithi) hii kuna Abu Khalifa Al-Fadhlu bin Al-Hubaab naye ni

thiqa (mwenye kuaminika) lakini ana makosa mengi. Rejea kitabu

Lissaanu Al-Miizaan.920

918

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 8, uk. 234. 919

- Imetoka kwa Mtume (s.a.w.) au imenasibishwa kwake. 920

- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 154, Hadithi na. 983.

Page 304: Fimbo ya Musa

304

Na anasema Al-Albani kuhusu Hadithi ya „Uthman bin Hunaif ya

kutawassul:

أخ أر ز٤ذ كو ال ك٤ أ ػوش ك٢ كلظ ؼق

…ama baba yake Shabib, mukhtasara wa maelezo yao ni kuwa yeye ni

thiqa (mwenye kuaminika) lakini katika hifdhi yake kuna udhaifu.921

Sheikh Mafuta upo! Sikiliza maneno ya Sheikh wako. Mpokezi thiqa

(mwenye kuaminika) si maana yake “mwenye hifdhi nzuri” kama wewe

ulivyolifasiri neno hilo katika kitabu chako ili uipigie debe Hadithi yako ya

kumuona Allah. Naam! Inawezekana ukalifasiri neno hilo hivyo ikiwa

limetumika طوش pasina kufungamanishwa na kitu. Au غ حظلخء حؼ ikiwa

hakuna kasoro. Lakini si kwamba mpokezi akitajwa kuwa ana awhaam au

akhtaa kisha wewe useme “anahifdhi nzuri” kwa sababu kaitwa thiqa.

Halafu tazama tena sababu za Al-Albani za kuiacha Hadithi ya Abu Khalifa

huyu naye ni thiqa: sababu ni kuwa:

1) Ana makosa mengi.

2) Kenda kinyume na mpokezi menye kuaminika zaidi nazo ndizo

sababu zetu kuikataa Hadithi ya Hammad bin Salama ya kuonekana

kwa Allah, lakini zetu ni haramu; zenu ni halali!

Anaendelea Al-Albani:

أهؿ حيحهط٢ . كوخق ؿ٤: حل : ؿؼ هظخىس ري ط. حله: أو٢ ................

أكذ ا٤خ هللا أػ كخ حلي٣غ ال ػزيس ػوش ح٣ش حـخػش حؿ حلخ

…..Kaipokea Al-Daraqutni, basi akaenda kinyume kwa namna mbili. Ya

mwanzo ni kuwa badala ya kutaja jina Matar yeye kamtaja Qatada. Na ya

pili ni kuwa kamtoa mtu miongoni mwa Ansar na kwa hivyo Hadithi

imekuwa ni mursal.922

Na „Abda ni Thiqa (mwenye kuaminika) lakini

riwaya ya waliowengi ni bora zaidi kwetu. Na Allah ndiye mjuzi zaidi.923

Ninasema: ewe Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam wee! Kwanini basi

katika riwaya iliokuja kuifasiri ziada kuwa maana yake ni kumuona Allah

isiwe riwaya ya waliowengi ndio bora kwenu kuliko riwaya hio; na badala

yake mukang‟ang‟ania riwaya ya Hammad bin Salama tu? Anaendelea Al-

Albani:

921 - Al-Albani Al-Tawassul Anw‟uhu Wa Ahkamuh uk. 85.

922 - Imenasibishwa na Mtume (s.a.w.) pasina kutajwa Sahaba aliyeipokea kutoka kwa

Mtume (s.a.w.). 923

- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 218, Hadithi na. 1030.

Page 305: Fimbo ya Musa

305

كوي ح احث٤ هكخ أر ر ر ػ٤خ كـــــػخ الخ ػـــــوش أرخ ر خ ز خء

٣ؼخ طؿ٤ق ح٣ظ ػ٠ ح٣ش احث٤ ا خ حلــــي٣غ ل٤لخ ـــــكػخ كـــلظ كي

حلهحال ك٢ حط٣ن ــــ حط٣ن حل٠ اخ

……na ameisimulia Israil hali ya kuwa ni mawquuf924

na Abu Bakr bin

„Ayyaash na wote wawili ni thiqa (wenye kuaminika), lakini Abu Bakr

alipozeeka hifdhi yake iliharibika basi hilo linatuzuia sisi kuipa uzito

riwaya yake dhidi ya riwaya ya Israil, pamoja na kuwa Hadithi marfuu ni

sahihi katika njia ya kwanza lakini mazungumzo yetu ni kuhusu njia

nyengine. 925

Ninasema: ikiwa Israil na Abu Bakr bin „Ayyash wote ni thiqa lakini

wametafautiana katika riwaya moja: mmoja akaisimulia hali ya kuwa ni

marfuu na mwengine akaisimulia hali ya kuwa ni mawquuf, lakini Al-

Albani – katika njia ya pili – hakuweza kuipa uzito riwaya ya Abu Bakr bin

„Ayyaash ambaye kaisimulia riwaya hio hali ya kuwa ni marfuu‟a kwa hoja

kwamba Abu Bakr bin „Ayyash japokuwa ni thiqa lakini alipokonga hifdhi

yake iliharibika. Suali: kama ni hivyo – na hivyo ndivyo inavyotakiwa –

kwanini asiipe uzito riwaya ya Hammad bin Zaid na wenzake ambayo

wameisimulia hali ya kuwa ni mawquufa dhidi ya riwaya ya Hammad bin

Salama ambayo ameisimulia hali ya kuwa ni marfuu‟a ilhali Hammad bin

Salama naye ni thiqa lakini alipokonga hifdhi yake iliharibika? Utaona hapa

kwamba hali ya riwaya hii hapa inawiyana 100% na hali ya riwaya ya

Hammad bin Salama, bali hali ya riwaya ya Hammad bin Salama ni mbaya

zaidi kwani kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi lakini natija ni tafauti

– Hadithi ya Hammad bin Salama ni sahihi; Hadithi hii hapa ni dhaifu!

Anaendelea Al-Albani:

ى رـش كغــــ٣ن رــــؿ حح ١ـــــه ارح٤ حلح٤ي١، ػوش، طل

ى حطم حله ػ ؼزش ٣و٢ ك٢ حل ػي حل١جخ ؼزطخ ف ا٠ حخءــــحط

……….Wameipokea wapokezi wawili tuliowataja kwa njia ya Muslim bin

Ibrahim Al-Farahidi naye ni thiqa (mwenye kuaminika) lakini kitendo cha

kupwekeka (kwa Muslim bin Ibrahim huyu) na sentesi inayosema:

“kanyanyua macho mbinguni” pasina njia nyengine kutoka kwa Shu‟uba

(kuyataja maneno hayo), basi kunaifanya nafsi isiwe na utulivu (iwe na

shaka) juu ya kuthibiti kwake (maneno hayo). 926

924

- Hadithi ya Sahaba: si ya Mtume (s.a.w.). 925

- Al-Albani Al-Thamaru Al-Mustataab uk. 383. 926

- Al-Albani Al-Sahiha j. 7, sehemu 1, uk. 489, Hadithi na. 3163.

Page 306: Fimbo ya Musa

306

Ninasema: kanuni hii alioitumia Al-Albani hapa musiisahau kuitumia katika

Hadithi ya Hammad bin Salama. Hadithi hii imepokewa na mtu thiqa naye

ni Muslim bin Ibrahim Al-Farahidi, lakini kenda kinyume na wapokezi

wawili kwa kuzidisha kitu ambacho wao hawakukipokea na natija ni kuwa

ziada hio inatia wasi wasi juu ya kuthibiti kwake; Hammad bin Salama naye

ni thiqa kenda kinyume na wapokezi wane – tena wengine ni thiqa zaidi

kuliko yeye – lakini Hadithi yake ni sahihi! Bwana Mafuta, haa mezani hii

mvipi: mbona upande mmoja intoboka? Anaendelea Ayatollah Al-Albani

kwa kunena hivi:

ح ٤ رحد كب ػطخكخ ح وظـــق ر أػ كي٣غ ػزي حل٤ي ر ؿـــؼل حـــخ ا٤!

و٢ كي٣ؼ ــــ، ك ح٣ ل ٣ ك٢ كلظ ــــؼق ا خ ٣ظؿق ػي١ أ ػوش؛كــــ٤،

خ هي هخق ػزي حلــــ٤ي لـــي ر ػ ٣لظؾ ر ػي حوخلش. لػ حلكظـخؽ ر،

أل“كخلـش ك٢ ح٣ظخ. هخ حر حو٤: ر كلش؛ حل٤ق “خد ــــــــكؤخ ػطخف؛ ك ٣

.”٣ؼخ ر حؼوخص حلػزخص اهحؽ كي٣ؼ، ل “

Na kwayo, Hadithi ya „Abdil-Hamid bin Ja‟afar aliyeashiriwa imetiwa

kasoro! Na hili si sahihi kwani „Attaaf huyu kuna khilafu ndani yake

pamoja na kuwa chenye uzito kwangu ni kuwa yeye ni thiqa (mwenye

kuaminika) lakini katika hifdhi yake kuna udhaifu. Basi yeye si katika wale

ambao Hadithi zao zinafikia hadi ya kuwa hazitolewi hoja, lakini hafanywi

kuwa ni hoja pale anapokwenda kinyume (na wapokezi wengine). Naye –

„Attaaf – hapa amekwenda kinyume na „Abdul-Hamid na Muhammad bin

„Amri bin Halhala. Basi hoja iko katika riwaya yao („Abdul-Hamid na

Muhammad bin „Amri bin Halhala, pasina riwaya ya „Attaaf). Amesema

Ibn Al-Qayyim: „Ama „Attaaf wenye vitabu vya Hadithi sahihi

hawakuridhia kusimulia riwaya zake, wala yeye si katika ambao riwaya

zao zina uwezo wa kupinga riwaya za wapokezi wenye kuaminika, walio

imara. 927

Baada ya hayo, yanatubainikia mambo haya:

1) Kanuni ni kuwa mpokezi mwenye kuaminika akiwa atakwenda

kinyume na mpokezi mwenye kuaminika zaidi, basi riwaya

inayozingatiwa ni ya mpokezi mwenye kuaminika zaidi. Hayo

kayaeleza Al-Albani na Kasim Mafuta na ndivyo ilivyo katika elimu

ya Hadithi. Hammad bin Salama katika riwaya yake hio ya kuwa

ziada iliotajwa katika Surat Yunus maana yake ni kumuona Allah,

kenda kinyume na Hammad bin Zaid ambaye ni mwenye kuaminika

zaidi.

2) Kanuni ni kuwa mpokezi mwenye kuaminika akienda kinyume na

wapokezi wengi zaidi wenye kuaminika, riwaya ya wengi ndio

927

- Al-Albani Dha‟ifu Abi Daud uk. 273, Hadithi na. 118.

Page 307: Fimbo ya Musa

307

inayozingatiwa. Hayo pia kayaeleza Al-Albani na Kasim Mafuta na

ndivyo ilivyo katika elimu ya Hadithi. Hammad bin Salama katika

riwaya yake hio kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi wenye

kuaminika. Na kwa hivyo, riwaya ya wapokezi wengi zaidi ndio

itayozingatiwa na riwaya ya Hammad inaachwa.

JAWABU YA KASIM MAFUTA KUHUSU

HAMMAD BIN SALAMA

Lakini baada ya yote hayo, tunamkuta Sheikh Kasim bin Mafuta ana jawabu

yake alionijibu katika kitabu chake Hoja Zenye Nguvu. Anasema:

MAJIBU YETU

Majibu yetu dhidi ya maneno haya ya Juma Al-Mazrui aliyoyanakili

kutoka kwa sheikh wake Al-Qannubi, sisi Inshaallah tutayajibu kwenye

nukta mbili:

Nukta ya kwanza:

Ni kuhusu kauli yake ya kumuita Al-Qannubi kuwa ni Imamu wa hadithi.

Bila shaka kwa watu walio na maarifa juu elimu hii ya hadithi

wanaifahamu daraja hii ya uimamu katika fani hii kwamba si kila mtu

alipewa daraja hiyo bali walipewa watu wachache mno kama vile: Sufyaan

al-Thawry, Sufyaan bin Uyaina, Malik bin Anas, Ali bin alMadini, Ahmad

bin Hanbali, Muhammad bin Ismail al Bukhari na wengineo wachache.

Kwa uthibitisho zaidi hebu fungua vitabu vya tarjama kisha usome kwa

utulivu utaligundua hili ninalokueleza, hebu soma vitabu kama vile;

Tah‟dhibul kamal,ya al mizziy. Tah‟dhibut Tah‟dhibi na al-Taq‟ribu vya al

Haafidh Ibn Hajar al- As‟qalaani. Mizanul-I‟tidaal ya Imamu al-Dhah‟bi

n.k. Pamoja na kuwa mlango wa kuitana hivyo haujafungwa, lakini je ni

kila mtu anaweza kupewa wasifu huo hata wale wasiostahiki?

Lakini unajua ni kwanini ndugu Juma ameamua kumpa al-Qannubi daraja

hiyo katika fani hii hususani alipokuwa akilizungumzia suala hili? Si kwa

nia nyingine bali lengo lake ni kumkuza mbele ya macho ya wasomaji ili

aipe uhalali kazi aliyoikusudia kuifanya, nayo ni kazi ya kuyapotosha

maandiko sahihi yaliyopokelewa kutoka kwa Mtume mtukufu Muhammad

-swalla llaahu alayhi wasallam- yanayotufundisha kwamba Allah -

subhaanahu wata‟ala- ataonekana kwa macho huko akhera na kuyafanya

maandiko hayo kuwa ni batili kwa sababu yanapingana na itikadi ya

madhehebu yake! Ndiyo akaamua kumnyanyua na kumpa cheo cha

uimamu katika hadithi ili msomajiaone kwamba kuna mwanachuoni

Page 308: Fimbo ya Musa

308 mkubwa, tena Imamu wa hadithi na fiq‟hi……ameibatilisha hadithi hii !!!

Na hakumpa cheo hicho kwa kuwa anastahiki, hapana! Kwa sababu hapo

mbeleni Inshaallah utakubainikia ujahili wa mtu huyo aitwaye imamu wa

hadithi katika elimu hii.928

JAWABU

Haya ni maneno ambayo hayana haja ya kujibiwa, kwani Al-Qannubi akiwa

ni Imamu kama wewe au akiwa ni jahili kama unavosema, basi

tunachokitaka ni hoja yake si uimamu wake. Lakini naona Kasim Mafuta

anataka kuziba muangaza wa jua kwa kiganja chake. Ewe Ibn Mafuta we!

Uimamu wa Al-Qannubi ni kama moto juu ya bendera. Naye kaitwa Imamu

na Sheikh Al-Khalili, na Sheikh Al-Khalili ni mtu ambaye elimu yake

imekubaliwa na wanavyuoni wa ulimwengu hata wale wanaotafautiana naye

katika mas-ala ya kifiq-hi na itikadi. Si hivyo tu, sisi tunamjua vyema

Sheikh Al-Khalili si mtu wa kufyatuafyatua tu au wa kuwapachika watu

vyeo ovyo ovyo, bali yeye ni mtu ambaye anayapima vyema maneno yake

hususan katika kitu kama hiki kwani yeye ataposema hivyo basi maana yake

ni kuwa anawaambia watu: “chukueni dini yenu kutoka kwa Al-Qannubi”.

Na hili ni jukumu, Sheikh hawezi kujisemea tu ovyo ovyo. Utakumbuka

kwamba Ibadhi ina wanavyuoni wengi sana wakubwa Mashariki (Oman) na

Magharibi (Algeria) na yuko katika wanavyuoni hawa mmoja aliyefikia

daraja ya ijtihad, lakini pamoja na hayo Sheikh hajapatapo kumpa sifa

aliompa Al-Qannubi. Kwa ufupi, sisi unatotosha ushahidi wa Sh. Al-Khalili

ambaye katajwa kuwa ni mwanachuoni au ni mwanachuoni pekee929

kwa

sasa “aliyezama katika fani tafauti”930

na kwamba ni “Sheikh Al-Islam wal

„Arab”931

na ndiye ambaye mkwe wa Sheikh Muhammad Ali Al-Sabuni –

baada ya kusikiliza darsa zake za tafsiri – alisema: “hatukudhania kwamba

katika zama hizi kuna mtu anayeweza kumrudi Al-Zamakhshari”, na ndiye

ambaye mmoja wao alimwambia:

928

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 73-74. Nafikiri Kasim Mafuta ukimtajia Al-

Qannubi labda inamjia fikra ya kumlinganisha na Al-Albani au Muqbil Al-Wadi‟i au Bin

Baz! Tunamwambia Bwan-Kasimu hao wote ni maji ya nyayo mbele ya kiumbe huyo!

Soma vitabu vyake na sikiliza jawabu zake katika intaneti na katika TV. Halafu

nakuchalenj unitajie mwanachuoni katika zama hizi anayejibu masuali kielimu na kutoa

dalili kwa kichwa na kuzichambua na kuzielezea kama yeye na Al-Khalili. Na kwa hivyo,

kipindi chao kimechaguliwa huko Bahrain kuwa ndio kipindi bora cha dini katika nchi zote

za Ghuba ya Kiarabu. 929

- Nimeisahau ibara alioitumia msemaji; siku ni nyingi. 930

- Katika mahojiano yake na T.V. ya Abu Dhabi, katika kipindi kilichoitwa Al-Majlis. 931

- Dr. wa Kimisri kayaeleza haya katika gazeti la Oman siku za nyuma.

Page 309: Fimbo ya Musa

309 Sheikh mimi nimesoma na wanafunzi wako, Sh. Abdullah Al-Ma‟amari na

Sheikh Nasir Al-Sabi‟i nikastaajabishwa na elimu yao waliokuwa nayo,

nikasema wanafunzi wako hivi eje mwalimu yukoje? Nikasikiliza darsa

yako ya tafsiri, kwa kweli Sheikh nimefaidika sana nakwambia hili kwa

ukweli kabisa.932

Na ndiye ambaye lau Ibn Al-Jawzi alikuwa hai na akataka kukusanya ndoto

sahihi anazoota933

na anazootwa934

basi angeliunda majalada ya vitabu. Tena

ndoto zenye kukubalika: si kama zile alizobuniwa Al-Imamu Ahmad

ambazo ziko kinyume na maandiko ya Sharia tulizozitaja katika juzuu ya

kwanza ya kitabu hiki ambazo moja yao inasema kwamba mabaradhuli

waliokufa wamesamehewa kwa sababu ya kuzikwa Al-Imamu Ahmad

katika mava yao! Lakini ushihidi bora ni ushahidi wa mtu mwenye elimu.

Anasema Al-Qannubi kuhusu Sheikh Al-Khalili kuwa ni:

932

- Mwanafunzi wa Jordan ana master digree katika elimu ya tafsiri. Kayasema haya

mbele yangu na Sheikh Al-Khalili yupo. Sheikh akawa anamkatisha na kumkaribisha

kahawa kwani kawaida ya Sheikh hapendi kusifiwa machoni. 933

- Miongoni mwa ndoto zake alizoota zenye kuonesha darja yake ni kuwa alimuota

Mtume (s.a.w.) anasalisha na nyuma yake kuna Abu Bakr na „Umar na nyuma ya Abu Bakr

na „Umar kuna Sheikh Al-Khalili na nyuma yake kuna umma mzima. 934

- Miongoni mwa ndoto alizootwa ni ndoto aliyoiota Fadhilatu Al-Sheikh Al-Duktur

„Abdullah bin Sa‟id Al-Ma‟amari. Huyu alimuota Mtume (s.a.w.) naye (Dr. Al-Ma‟amari)

alikuwa kachukua kitabu Fiq-hu Al-Sunna cha Al-Sayyid Al-Saabiq. Mtume (s.a.w.)

akamuuliza Al-Ma‟amari: “nini hicho?” Akamjibu kuwa ni kitabu Fiq-hu Al-Sunna.

Mtume (s.a.w.) akamjibu: “kitabu hiki ni kizuri, lakini kina mchanganyiko: nyengine ni

Sunna zangu na nyengine si Sunna zangu: lakini ukitaka kujua Sunna zangu nenda kwa

Sheikh Al-Khalili”. Na miongoni mwa ndoto alizootwa ni kuwa kijana mmoja mcha

Mungu namjua kwa sura na jina – nadhani hapendi kutajwa – basi kanisimulia kuwa aliota

pango. Akatoka mtu katika pango hilo kazungukwa na nuru, alipomtazama ni Sheikh Al-

Khalili, mara akatoka mtu mwengine kazungukwa na nuru, alipomtazama ni Sheikh Al-

Qannubi, mara akatoka mtu wa tatu kazungukwa na nuru akamtazama hakumjua ni nani.

Na miongoni mwa ndoto alizootwa ni ile niliosimuliwa na mtu wangu wa karibu naye ni

mtu mwenye moyo kama kiyoo kwa usafi. Yeye alimuota Sheikh Al-Khalili kakusanyika

pamoja na Mtume (s.a.w.) na Al-Khidhr na Sheikh alikuwa anatoka nuru. Hizo ni ndoto

tatu katika maelfu ya ndoto anayootwa na anayojiota. Ama karama zake za wazi, linatosha

lile tukio lililotokea Dar-es-Salam katika msikiti wa Sheikh Kasim bin Jumaa, ambapo

aliombwa na Waislamu aiobezee baa ya pombe iliokuwa ikiwakera kwa muziki na

mengineo nayo ipo pembeni mwa msikiti. Hapo Sheikh Al-Khalili aliomba dua na baada

ya dakika 15 baa iliripuka hakikutoka ndani isipokuwa mwenye baa na alichokivaa. Na

namjua mtu ambaye alikuwa na maradhi asiotarajia kupoa. Usingizini akamuota Sheikh Al-

Khalili akaja akamsomea kisha akaondoka, kisha akaja Sheikh Al-Qannubi akaja

akamsomea kisha akaondoka, kisha akaja Sheikh Humud bin Humaid Al-Sawafi

akamsomea kisha akaondoka. Alipoamka asubuhi maradhi yamemuondokea: mzima hadi

leo hii. Na hili – kama alivyosema Dr. Al-Ma‟amari – si kumtakasa mtu bali ni kwa ajili ya

kubainisha kwani ni Sunna kubainisha manzila ya wanavyuoni. Wala hili si kwa ajili ya

kuwadharau wengine. Ninaamini kuwa fadhila za Allah ni kubwa, pengine wako watu

wengine wenye darja kubwa lakini hatuwajui.

Page 310: Fimbo ya Musa

310

أ٠ رــــ ر خ حإلال ؿ٠ ر ظخص حـاخ أثش حؼ حل٠ ح٣ كغ هللا

٤وخ حظو٢ ح٢ ـأهي ر ؿس حإل٣خ، ح٤ن حؼالش حزل حلز حلخش كحس حظوـ

ـشــــ حلحث كـــــــحل٣ي حلـش ؿخغ ظخص حل٠خث حع ػ ري حي٣ حو٢٤....٤وخ

....٤وخ ......حل٣ ٤ن حإلال حو٢٤... حخظ٣ اخ حلوــــــــخءحظ٤ ٤ق

حؼالش حلون حـظي حطن حل٣ي حلـش اخ حظؤهـ٣ كـش حظ٤ ٤ق حخظ٣

٤ن حإلال ح٤ ري حي٣ حو٢٤

Imamu miongoni mwa maimamu wa elimu na fadhila ambao Allah

kanyanyua taa za Uislamu, na kukiondoa kiza cha ujinga na akaliwasha

kwa sababu yao joto la uchaji na akaliwasha kaa la imani, (naye ni)

Sheikh, Mjuzi mkubwa, bahari (ya elimu) mwanachuoni, mwenye fahamu

sana,Sheikh wetu, mchaji, walii Badru Al-Din Al-Khalili…….na Sheikh

wetu aliyepweke (kwa elimu katika zama hizi) Al-Hujja, aliyekusanya

fadhila tafauti za waliotangulia, hoja ya mutakallimin na upanga wa wenye

kujadiliana, Imamu wa mafuqahaa na mufasirina, Sheikh Al-Islam Al-

Khalili……Sheikh wetu Al-‟Allaama, Al-Muhaqqiq, Mujtahid

asiyefungamana na mtu yoyote, aliyepweke (kwa elimu katika zama hizi),

Imamu wa wanavyuoni wa mwisho mwisho hoja ya mutakallimin upanga

wa wenye kujadiliana, Sheikh Al-Islam wal Muslimin, Badru Al-Din Al-

Khalili. 935

Kwa hivyo, sisi ushahidi wa mtu aliyesifiwa na watu tafauti kama hivi

unatutosha hatusubiri ushahidi wa Kasim Mafuta ambaye hata mas-ala

mepesi ya kitoto ya lugha ya Kiarabu hayajui. Kasim Mafuta ndio kwanza

anatoa hoja ya taqdimu al-ma‟amuli „alaa al-‟aamil kwa Aya kama: أخ ػى

خكي٣ , na anazichanganya kanuni za Hadithi akizungumzia mas-ala ya al-

dhabt al-taam anaingiza mambo yenye kuhusiana na al‟adaala! Ivo kweli

mtu huyu anao uwezo wa kumjua Imamu na ma-amuma? Sasa baada ya

hayo msikilize nini Al-Khalili anakisema kuhusu Al-Qannubi. Anasema:

..٣ق ال حلخكع حلـش ......………...ػ٤ ك٢ ػخ اخ حؼو حو حور٢

.ليع حؼ حؼالش حور٢........حؼالش حليع حز٤ حلخكع حلـش.…...حؼالش حور٢...

حز كزؾ ك٢ ػ ح٣ؼشكظق هللا ر٤ط أكخ ػ٤ . خد.......ح٤ن حور٢.

طزش ل ٣حك حك

Nayo (kauli hio) katika zama zetu (ndio kauli ya) Imamu wa hoja za kiakili

na za kimaandiko Al-Qannubi……..na inaashiriwa katika maneno ya Al-

Haafidh, Al-Hujja, Al-‟Allaama Al-Qannubi……Mwanachuoni wa

Hadithi wa zama hizi Al-Qannubi…..Mjuzi mkubwa, Mwanachuoni wa

Hadithi aliyebobea, Al-Hujja Al-Sheikh Al-Qannubi…….naye ni kijana

ambaye Allah kamfungulia uoni wake na akammwagia vipaji vyake basi

935

- Al-Mu‟utasim bin Sa‟iid Al-Mi‟iwali Al-Mu‟utamad Fii Fiq-hi Al-Sala uk. 20.

Page 311: Fimbo ya Musa

311 amefikia katika elimu za Sharia darja ambayo hakuna anayeweza

kusongana naye….936

Lakini baada ya yote hayo, nyinyi Mawahabi na Maimamu wenu,

munawapachika masheikh wenu sifa hizo za uimamu hata kama ni waongo.

Hii si ajabu? Al-Dhahabi anasema kuhusu Ibn Batta aliyesemwa kuwa ni

jiongo la kutupwa: “pamoja na kuwa Ibn Batta ana uwezo mdogo katika riwaya

lakini ni Imamu katika Sunna”.937

Haa Sunna na uwongo zakusanyika pamoja? Na

Al-Albani naye pia ni Imamu. Anasema Abu Al-Hasan Al-Sheikh: “Allah

kamuekea Al-Imamu Al-Albani kubuli katika aridhi”.938

Ninasema: sawa, ndio

maana ulimwengu mzima ukampinga na akatukanwa mpaka na wanafunzi wake

mwenyewe. Na akatolewa makosa mpaka na watoto wa praimari. Anaendelea Abu

Al-Hasan Al-Sheikh kwa kusema:

Na Allah ameuneemesha umma huu katika kipindi hiki kwa Mujaddid, Al-

Imaam, Al-Muhaddith aliyepweke, mwenye hima ya hali ya juu, kigezo,

Mujaahid Imamu wa watu wa Hadithi wa zama hizi! 939

Bwana Mafuta! Ikiwa kweli wewe ni mtu wa haki na unataka ukweli, mrudi

Abu Al-Hasan kwa uzushi wake huu. Ikiwa wewe unaona Al-Qannubi –

pamoja na hifdhi yake kali ya ajabu, na kusoma kwake vitabu visivyo na

idadi na kuvihifadhi na kuvichambua – si Imamu, basi Al-Albani ambaye

hana hifdhi hata ya kitabu kimoja mutamuweka wapi naye hamfiki, wala

hamkaribii wala hainusi harufu ya elimu ya Al-Qannubi? Al-Albani hawajui

wapokezi hata wa Al-Bukhari na Muslim kama tulivyokubainishia katika

juzuu ya kwanza, bali Hadithi zilizomo katika Al-Bukhari na Muslim pia

hazijui, huo uimamu kautoa nchi gani? Bwana Mafuta ulikuwa

unazungumzia mtu aliyevishwa kilemba cha ukoka, basi ndiye huyu Al-

Albani: si Al-Qannubi: Al-Qannubi anastahiki sifa zaidi ya tulizompa.

Halafu tazama laqabu alizopewa Muhammad bin‟Abdil-Wahhaab!

Anasema Basim Faysal: “(Huu) ni utunzi wa Al-Imamu Al-Mujaddid,

Sheikh Al-Islam, Muhammad bin „Abdil-Wahhab”.940

Na Kasim bin Mafuta

naye asema: “…..Sheikhul Islaam Muhammad bin Abdul Wahaab ambaye

936

- Al-Mu‟utasim bin Sa‟iid Al-Mi‟iwali Al-Mu‟utamad Fii Fiq-hi Al-Sala uk. 22. 937

- Al-Dhahabi Al-Mizaan j. 3, uk. 412, tarjama na. 5394. 938

- Abu Al-Hasan Al-Sheikh Taraaju‟aatu Al-‟Allama Al-Bani nacho uhakika wake ni

Tanaaqudhaatu „Alaama Al-Albani j. 1, uk. 7. 939

- Abu Al-Hasan Al-Sheikh Taraaju‟aatu Al-‟Allama Al-Bani nacho uhakika wake ni

Tanaaqudhaatu „Alaama Al-Albani j. 1, uk. 5. 940

- Tazama katika gamba la kitabu Usuulu Al-Iman kilichohakikiwa na Dr. Basim Faysal

Al-Jawaabira.

Page 312: Fimbo ya Musa

312

amezaliwa mwaka 1115 H na kufariki mwaka 1206 H”..941

Haya bwan-

Kasimu! Muhammad Abdil-Wahhaab naye pia ni Imamu? Aa kweli ni

Imamu wa kuua Waislamu; nilisahau kidogo! Mtu huyu vitabu vyake

vinajishuhudisha kwamba hakuwa na elimu hata kidogo: vitabu vyake

havina fani yoyote ndani isipokuwa kukafirisha! Kaka yake baba mmoja –

sijui na mama ni mmoja – kashuhudia kinagaubaga kwenye kitabu chake

kwamba hakuwa mtu wa elimu kamwe: bali kamwambia:

Kwanini munataka kuuwajibishia umma kufuata kauli yenu? Nakuulizeni

kwa kuapa kwa jina la Allah: je kuna mtu yoyote katika nyinyi ambaye

yamekamilika kwake masharti ya uimamu ambao wanavyuoni

wameyataja, bali hata kitu kimoja katika masharti ya uimamu

(hamunacho).942

Anaendelea baada ya kutaja masharti ya ijtihaad:

Na kwa hakika nimetaja utangulizi huu ili uwe ni misingi ya kuirejea

katika yale tutayoyataja, kwani watu leo wamepata mtihani wa watu wenye

kujinasibu na Qur-ani na Sunna na anatoa hukumu kutoka katika elimu

zake wala hajali nani anakwenda kinyume naye. Na lau utamtaka

ayaoneshe maneno yake kwa wanavyuoni basi hafanyi hivyo, bali

anawalazimisha watu wafuate kauli yake na ufahamu wake na ampingaye

huwa ni kafiri…basi pamoja na haya, yeye hana hata sifa moja ya ijtihad,

Wallahi bali hata moja katika kumi..na pamoja na hayo anayapigia debe

maneno yake kwa wajinga wengi innaa li-Lahi wa innaa ilaihi raaji‟uun.

943

Lakini baada ya yote hayo, narudia tena kwamba Al-Qannubi akiwa Imamu

asiwe Imamu, basi hilo kwetu si muhimu: sisi tunataka ushidi wa

akisemacho: si uimamu wake. Isipokuwa hapa nilipenda kuwaonesha

walimwengu tu jinsi Kasim Mafuta na Mawahabi wenzake wananavyotaka

kuipigia debe bidhaa yao ilio doda, kwa kuukanusha uimamu wa

aliyeimamu na kuwapachika wanafunzi kama Muhammad bin „Abdil-

Wahhaab na watu madhaifu kama Al-Albani, na waongo kama Ibn Batta

daraja ya uimamu ili wafikie lengo lao! Mafuta tafadhali wavue hao vilemba

vya mikunguzi vitawachuna, na waondoshee ma-laqabu mazito

wataanguka, au nao wakilakiniwa la hawla walaa Quwwata illa bi-Laahi

watayaweza kuyabeba hayo malaqabu kama vile malaika wenye sura za

wanyama walivyoweza kumbeba mungu wa Mawahabi baada ya kulakiniwa

hivyo?

941

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 41. 942

- Sheikh Sulaiman bin „Abdil-Wahhaab Al-Sawaa‟iq Al-Ilaahiyya uk. 62. 943

- Sheikh Sulaiman bin „Abdil-Wahhaab Al-Sawaa‟iq Al-Ilaahiyya uk. 9.

Page 313: Fimbo ya Musa

313

Anaendelea Sheikh Kasim bin Mafuta na jawabu yake anasema:

Nukta ya pili:

Ni madai yake kwamba Hamad bin Salama hifdhi yake ni mbovu,

anasahau, anakosea na amechanganyikiwa na kubadilika mwishoni mwa

umri wake. Madai haya ya kwamba hifdhi ya Hamad bin Salama ni mbovu

si madai ya kweli na mwenye kudai hilo anatakiwa alete ushahidi juu ya

hilo, na hakuna ushahidi wowote juu ya madai hayo, bali kinyume chake

ndio sahihi. Na Inshaallah tutayajibu maneno hayo kwa njia tatu:

Njia ya kwanza:-

Kauli za maulamaa wakubwa wa hadithi kuhusu hifdhi ya Hamad bin

Salama:

1) Amesema Imamu Ahmad bin Hambali:

.ش ر كخى ػخرض ك٠ أػزظ :أكي هخ

“Mtu madhubuti kuliko wote (waliopokea kutoka kwa ) Thabit ni Hamad

bin Salama”.

Na hadithi hii Hamad bin Salama ameipokea kutoka kwa Thabiti, lizingatie

hilo kwa sababu ni jambo muhimu. Na amesema tena Imamu Ah‟amd

kuhusu Hamad bin Salama kuwa ni: “(Mtu) Madhubuti”. 944

JAWABU

1) Al-Imamu Ahmad hapa kasema “Mtu madhubuti kuliko wote

(waliopokea kutoka kwa ) Thabit ni Hamad bin Salama”, wala

hajasema “Hammad bin Salama ni mwenye hifdhi nzuri”. Na mimi

nilichokisema ni kuwa: “Hammad bin Salama ni mwenye hifdhi

mbovu”. Ilhali maelezo mengine ya Al-Imamu Ahmad yako wazi.

Riwaya nyengine za Ahmad zinasema:

Nilimwambia (Al-Imamu) Ahmad bin Hanbal kuhusu Ali bin

Aasim na nikamtajia makosa yake, akasema Al-Imamu Ahmad:

„(na) Hammad bin Salama anakosea, na akaonesha Al-Imamu

Ahmad kwa mkono wake makosa mengi.945

………Na akasema

944

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk 74-75. 945

- Al-Mizzi Tahdhibu Al-Kamaal j. 7, uk. 335, tarjama na. 4721, Ibn Hajar Tahdhibu Al-

Tahdhib j. 7, uk. 303, tarjama na. 572. Tanbihi: katika kopi nilionayo ya Tahdhibu Al-

Page 314: Fimbo ya Musa

314 Al-Imamu Ahmad (baada ya kutaja mapokezi ya Hammad bin

Salama kutoka kwa Qais bin Said): “alikuwa akipokea Hadithi

kutoka kwake badala yake akisema zinatoka kwa Mtume

(s.a.w.)”.946

Hayo ndio maelezo ya Ahmad. Lakini pamoja na hayo madai

kwamba ikiwa mpokezi atakweda kinyume na Hammad bin Salama

katika riwaya zake kutoka kwa Thabit basi inayozingatiwa ni riwaya

ya Hammad bin Salama, si maelezo sahihi hata yakiwa yamesemwa

na Ahmad bin Hanbal na Ibn Ma‟iin. Na hii ni kwa sababu ya

kuwepo kwa ushahidi wa wazi wa riwaya maudhui (za kutunga) za

Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit kama tutavyozinukuu

baadae.

2) Kanuni hio haitakiwi iende kinyume na kanuni ya ujumla kwamba

Thiqa mmoja akienda kinyume na Thiqaat wengi na hasa hasa ikiwa

miongoni mwao muna awthaq kama ilivyo hapa, basi kauli sahihi ni

ya waliowengi. Na hili katika Hadithi hii hii kalisema pia Muqbil

Al-Waadi‟i, mwailimu wako na Seif Al-Ghafri, kama

tutavyomnukuu baadae.

3) Dhahir – bali bila shaka – ni kuwa hayo ya kuwa riwaya za Hammad

bin Salama ndio riwaya sahihi zao katika wanafunzi wa Thabit Al-

Bunani, ni kwa zile riwaya ambazo Hammad kazisimulia kabla ya

kuchanganyikiwa. Ama zile ambazo kazisimulia baada ya

kuchanganyikiwa au hazijulikani kazisimulia kabla au baada ya

kuchanganyikiwa, hizo hiziwezi tena kupata sifa hio. Riwaya hii

tunayoizungumzia hapa, haijulikani Hammad kaipokea wakati gani

– je ni kabla au baada ya kuchanganyikiwa. Ama ukweli kwamba

Muslim kajitahidi akazisimulia riwaya zake alizozipokea kabla ya

kuchanganyikiwa, hilo halijengi hoja ya msingi kwani kama maelezo

yenyewe yanavyojionesha “alijitahidi” na mwenye kujitahidi husibu

na kukosea – si jambo la yakini. Na ndio maana Al-Bukhari

hakuwafikiana naye katika riwaya za Hammad ikiwemo riwaya hii.

Na Al-Dhahabi na Ibn Al-Qayyim wakasema kwamba kilicho na

hadhari zaidi ni kuziwacha riwaya zake alizokwenda kinyume na

wapokezi wenye kuaminika.947

Tahdhib mumeandikwa “kosa kubwa” badala ya “makosa mengi” nalo ni kosa la chapa

kama yanavyoonesha maandiko mengine. 946

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1 uk. 482. 947

- Hayo yote tumeyanukuu huko nyuma kidogo.

Page 315: Fimbo ya Musa

315

4) Hayo ni pale ambapo haikubainika kuwa Hammad kakosea. Ama

ikibainika basi haiwezekani kuwa uitegemee riwaya yake chini ya

propaganda kuwa “Hammad ndiye imara wao katika wanafunzi wa

Thabit”.

Anaendelea Ibn Mafuta kwa kusema:

Amesema Imamu Yahya bin Mai‟n:

.كخى ه كخو ػخرض ك٠ ش ر كخى هخق :ؼ٤ حر هخ

Yoyote atakayetofautiana na Hamad bin Salama kuhusu (mapokezi kutoka)

kwa Thabit kauli (ya kuchukuliwa) ni kauli ya Hamad.

Pia amesema tena: (Hamad bin Salama) ni „„Thiqa‟‟ (muadilifu mwenye

hifdhi nzuri). 948

JAWABU

Jawabu ya maneno haya ni sawa na iliotangulia, kilicho muhimu zaidi ni

kuwa:

a) Maneno hayo ni kinyume na matukio yalivyo, ambapo tunamuona

Hammad bin Salama kasimulia Hadithi za kutunga kutoka kwa

Thabit Al-Bunani. Tutanukuu baadhi ya mifano.

b) Si pale atapokwenda kinyume na thiqat (wenye kuaminika walio

wengi).

c) Hayo ni kabla ya kuchanganyikiwa: si baada ya kuchanganyikiwa

wala si katika riwaya ambayo hajulikani kaisimulia wakati gani

kama ilivyo riwaya hii.

Anaendelea Ibn Mafuta kwa kusema:

3-Amesema Al Imamu al Saajiy:

ؤخ ػوش كخكظخ آح :حخؿ٢ هخ

„„Alikuwa (Hamad bin Salama) ni mwenye kuhifadhi tena ni „„Thiqa‟‟

(muadilifu) na ni mwenye kuaminiwa‟‟.

4-Amesema Ibn Sa‟ad:

948

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk 75.

Page 316: Fimbo ya Musa

316

ح رخلي٣غ كيع رخ حلي٣غ آػ٤ ػوش آح :ؼي حر هخ

“Na alikuwa (Hamad) ni mtu Thiqa (muadilifu mwenye hifdhi nzuri)

mwenye hadithi nyingi, lakini mara nyingine anasimulia hadithi Munkar”.

Hapo limetumika neno la kiarabu „„Rubba‟‟ nalo huleta maana ya uchache.

5-Amesema Al I‟jliy:

حلي٣غ ك خق ؿ ػوش :حؼـ٢ هخ

(Hamad) ni: „„Thiqa (muadilifu mwenye hifdhi nzuri) mtu mwema

mwenye hadithi nzuri‟‟.

6-Amesema Al Haafidh Ibn Hajar katika kitabu chake al Taq‟ribu uk. 195:

1636 حظؿش ه 195 حظو٣ذ ك٠ كـ حر حلخكع هخ

...”رآه كلظ طـ٤ ػخرض ك٠ حخ أػزض ػخري ػوش ش أر حز١ ى٣خ ر ش ر كخى

“Hamad bin Salama bin Dinar al Basriy Abu Salama ni Thiqa (muadilifu

mwenye hifdhi nzuri) mcha mungu na ni mtu madhubuti zaidi (kati ya

waliopokea kutoka) kwa Thabit, na hifdhi yake ilibadilika mwishoni mwa

umri wake”.

7-Amesema Imamu Aliy bin Abdillahi bin Al-Madini sheikh wake Imamu

Al-Bukhariy: 949

JAWABU

Wanachokisema wanavyuoni hawa ni kuwa Hammad ni Thiqa (mwenye

kuaminika). Wala hawakusema “ana hifdhi nzuri”, maneno “ana hifdhi

nzuri” ni nyongeza yako, iliotokana ama na ghushi au uchache wa maarifa.

Neno thiqa (mwenye kuaminika) si lazima liwe na maana ya: “mwenye

hifdhi nzuri”, bali tafsiri hio inafaa ikiwa neno hilo limetumuka hivyo tu:

pasina kufungamanishwa na kitu chengine. Ama mtu kama Hammad bin

Salama ambaye kasemwa kuwa:

a) Alikuwa na awhaam (makosa mengi).

b) Hadithi zisizotoka kwa Mtume (s.a.w.) yeye anazinasibisha kwa

Mtume (s.a.w.).

Mtu kama huyu huwezi kudai kuwa “alikuwa na hifdhi nzuri”. Lakini mimi

naona Mafuta ataka ipigia debe biashara yake. Utakumbuka mengi

949

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk 75-76.

Page 317: Fimbo ya Musa

317

tulioyanukuu huko nyuma kutoka kwa Al-Albani akisema kuwa fulani ni

thiqa lakini anasahau sana au ana makosa mengi. Anasema kwa mfano:

هخ: “ح٠ؼلخء “ أى حز٠ ك٠ ض : ح ي ؼ٤ق أؿ لي ر أر٠ حـــــــه

.“ يم أخ ؼ٤س “هخ حلخكع ك٠ حظو٣ذ: ػوش , خ٤. “

Ninasema: sanad hii ni dhaifu kwa sababu ya kuwemo Muhammad bin

(Mutawakkil bin) Abi Al-Sariy. Al-Dhahabi kamtaja katika Al-Dhu‟afaa

na akasema: „ni mwenye kuaminika (lakini) ana Hadithi nyingi munkar.

Na Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema katika Al-Taqriib: „ni mkweli ana

makosa mengi‟.950

Anaendelea Al-Albani:

٣ظو ػي١ أ حؿ ػوش أخ ، كال ٣لظؾ ر اح هخل أكلع ، هي هق ك٢

. ………طخرؼ ؼ أ ى كؼ خ ٣ؤط٢،

Na mukhtasari wake kwa uoni wangu ni kuwa mpokezi huyu ni THIQA

(MWENYE KUAMINIKA) LAKINI ANA AWHAAM (MAKOSA

MENGI), basi hafanywi kuwa ni hoja ikiwa atakwenda kinyume na

mpokezi mwenye hifdhi zaidi kuliko yeye. Na hapa kapingwa katika

kuinasibisha kwake (Hadithi hio na Mtume s.a.w.) kama yatavyokuja

maelezo. Na wakaafikiana naye wapokezi walio kama yeye na walio chini

yake…………….951

Anaendelea Al-Albani:

اخى أق ي حر كزخ كب ك٢ ي ح أرخ ه٤لش حل٠ ر حلزخد ػوش … ..

أهطخء كحؿغ ) خ ح٤ح ( .

….na sanad yake ni sahihi zaidi kuliko sanad ya Ibn Hibbaan, kwani katika

sanad ya (Hadithi) hii kuna Abu Khalifa Al-Fadhlu bin Al-Hubaab naye ni

thiqa (mwenye kuaminika) lakini ana makosa mengi. Rejea kitabu

Lissaanu Al-Miizaan. 952

Anaendelea Al-Albani:

كوي ح احث٤ هكخ أر ر ر ػ٤خ كـــــػخ الخ ػـــــوش أرخ ر خ ز خء

٣ؼخ طؿ٤ق ح٣ظ ػ٠ ح٣ش احث٤ ا خ حلــــي٣غ ل٤لخ ـــــكػخ كـــلظ كي

حلهحال ك٢ حط٣ن ــــ حط٣ن حل٠ اخ

950

- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 5, uk. 333. 951

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 8, uk. 234, Hadithi na. 3759. 952

- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 154. Hadithi na. 983.

Page 318: Fimbo ya Musa

318 ……na ameisimulia Israil hali ya kuwa ni mawquuf

953 na Abu Bakr bin

„Ayyaash na wote wawili ni thiqa (wenye kuaminika), lakini Abu Bakr

alipozeeka hifdhi yake iliharibika basi hilo linatuzuia sisi kuipa uzito

riwaya yake dhidi ya riwaya ya Israil, pamoja na kuwa Hadithi marfuu954

ni sahihi katika njia ya kwanza lakini mazungumzo yetu ni kuhusu njia

nyengine. 955

Anaendelea Al-Albani:

ح ٤ رحد كب ػطخكخ ح وظــــق ر أػ كي٣غ ػزي حل٤ي ر ؿـــؼل حـــخ ا٤!

، ك ح٣ ل ٣و٢ كي٣ؼ ك٢ كلظ ــــؼق ي١ أ ػوش؛ـــخ ٣ظؿق ػ ا كــــ٤،

…… ٣لظؾ ر ػي حوخلش. لػ حلكظـخؽ ر،

Na kwayo, Hadithi ya „Abdil-Hamid bin Ja‟afar aliyeashiriwa imetiwa

kasoro! Na hili si sahihi kwani „Attaaf huyu kuna khilafu ndani yake

pamoja na kuwa chenye uzito kwangu ni kuwa yeye ni thiqa (mwenye

kuaminika) lakini katika hifdhi yake kuna udhaifu. Basi yeye si katika wale

ambao Hadithi zao zinafikia hadi ya kuwa hazitolewi hoja, lakini hafanywi

kuwa ni hoja pale anapokwenda kinyume (na wapokezi wengine). ….. 956

Sasa mukhtasari wa haya ni kuwa, kwa ujumla au mkusanyiko wa maelezo

yote ya wanavyuoni wa Hadithi ukichukua maneno ya waliosema kuwa

Hammad ni thiqa na waliosema kuwa Hammad ni mwenye awhaam au ana

makosa mengi, maana utayoipata ni kuwa:

1) Hammad ni thiqa katika nafsi yake yaani ni mtu mkweli; lakini ana

udhaifu katika hifdhi yake.

2) Au ni thiqa (mwenye kuaminika) kabla ya kuchanganyikiwa na

baada ya kuchanganyikiwa akawa na udhaifu katika hifdhi. Katika hali ya kwanza, Hadithi zake haziwezi kukubalika akiwa atapwekeka nazo.

Au zinakubalika katika shawaahid. Na katika hali zote mbili hizi, Hadithi zake

haziwezi kukubalika ikiwa:

a) Atakwenda kinyume na mpokezi aliye thiqa zaidi kuliko yeye.

b) Atakwenda kinyume na wapokezi thiqaat walio wengi zaidi.

Ama katika hali ya mwiso, Hadithi yake:

a) Haikubaliki akiwa kaisimulia baada ya kuchanganyikiwa.

b) Haikubaliki, katika hali zote, akiwa atakwenda kinyume na walio wengi

zaidi.

Anaendelea Sheikh Mafuta:

953

- Tumeelezea maana yake kabla. 954

- Tumeelezea maana yake kabla. 955

- Al-Albani Al-Thamaru Al-Mustataab uk. 383. 956

- Al-Albani Dha‟ifu Abi Daud uk. 273. Hadithi na. 118.

Page 319: Fimbo ya Musa

319

كخط كخى ك٠ ٣ظ ؼظ :حي٢٣ حر هخ

“Utakapomsikia mtu anamsema kwa ubaya Hamad bin Salama basi

mtuhumuni (mtu huyo)”.

Juma Mazrui na sheikh wake Qannubi wanamsema vibaya Hammad, bila

shaka wanafanya hivyo kwa sababu ya nia zao mbaya, na sisi tuna

watuhumu kwa hilo. Tazama maneno hayo ya maulamaa kwenye vitabu

vifuatavyo: (hapo chini).957

Sasa hebu ndugu msomaji mtukufu linganisha kauli hizo za maulamaa hao

wakubwa wa hadithi juu ya Hamad bin Salama na kauli za huyo al-

Qannubi aliyevishwa kilemba cha ukoka na ndugu Juma! Bila shaka

ukweli utakubainikia na hapo ndiyo utagundua kwamba kuna agenda ya

siri baina ya huyo sheikh aliyesimikwa daraja ya uimamu (al-Qannubi) na

mwanafunzi wake (Juma). 958

JAWABU

Mosi: ni kwamba ikiwa Ibn Al-Madini anasema: “Utakapomsikia mtu

anamsema kwa ubaya Hamad bin Salama basi mtuhumuni (mtu huyo)”, basi

Yahya anasema:959

“Ukimuona mtu anamponda „Ikrima au Hammad bin

Salama basi mtuhumu juu ya Uislamu (wake)”.960

Suali: je kumdhoofisha

mpokezi ndio kumtuhumu, hususan ukiwa hukumsema kuwa ni mwongo

bali umesema ni mkweli lakini ana hifdhi mbaya?! Jamani! Ujinga na nia

chafu ni vitu vibaya! Mafuta kakusanya baina ya ujinga mkubwa na nia

chafu! Je unajua Mafuta kwamba Hammad bin Salama ni matruk (mwenye

kuachwa) kwa mtazamo wa Al-Bukhari? Je tumtuhumu Al-Bukhari?

Ama kuhusu „Ikrima, umeona kwamba naye atayemtuhumu basi Uislamu

wake unatuhumiwa! Sasa sikiliza anavyosema Al-Dhahabi kuhusu „Ikrima.

Atongoa hivi:

957

- Al-Thiqaat cha Ibn Hibbaan juzuu ya 6 ukurasa wa 216. Twabaqaatul-Kubraa cha Ibn

Sa‟d juzuu ya 7 ukurasa 282. Taarikhu Thiqaat cha al-Ij‟liy ukurasa wa 131. Mizaanul-

I‟tidaal cha al-Dhah‟biy juzuu ya 1 ukurasa 590-595. Tah‟dhibut-Tah‟dhibi cha Ibn Hajar

al-As‟qalaaniy juzuu ya 2 ukurasa wa 10-13. Al-Taq‟ribu pia cha al-Hafidh Ibn Hajar al-

As‟qalaaniy, tarjama namba 1636. 958

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 76. 959

- Dhahir ni Yahya bin Ma‟iin au labda ni Ibn Sa‟id Al-Qattaan. Wote ni Maimamu. 960

- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 7, uk. 339, tarjama na. 1169.

Page 320: Fimbo ya Musa

320 „Ikrima mtumishi wa Ibn „Abbaas, mmoja wa vyombo vya elimu,

kasemwa kwa sababu ya rai yake: si kwa hifdhi yake, akatuhumiwa kuwa

ni mwenye rai za Khawaarij……basi Muslim alimuepuka na akapokea

kidogo kutoka kwake akimfuatanisha na mpokezi mwengine na (Al-

Imamu) Malik akamuacha kama alivyo: isipokuwa katika Hadithi moja

mbili…….basi akasema Yahya (bin Sa‟iid Al-Ansari, „Ikrima) “ni

mwongo mkubwa”…….. “imepokewa kutoka kwa Sa‟id bin Al-Musayyib

akisema kuwa „Ikrima ni mwongo”…….Anasema Muhammad bin Sa‟ad:

“Ikrima hafanywi kuwa ni hoja”.961

Bwana Mafuta! Upo? Tunaambiwa kuwa atayemtuhumu „Ikrima, basi huyo

Uislamu wake una mashaka, halafu tunawakuta vigogo wamemtuhumu na

wengine wameziwacha Hadithi zake. Vigogo hao ni watu kama:

1) Muslim.

2) Al-Imamu Malik.

3) Yahya Al-Ansari.

4) S‟aid bin Al-Musayyib

5) Muhammad bin Sa‟ad.

Vipi Uislamu wa hawa kwa mujibu wa misingi yako uliojijengea katika

kitabu-cho? Jawabu yako hapa ndio jawabu yetu kule.

TANBIHI

Lakini suala la kuwa „Ikrima ni mwongo, halikuthibiti kamwe, tafauti na

alivyodhania Sheikh wetu Al-„Allama Abdillahi Nasir wa Mombasa katika

kitabu chake alichofanya jaribio lenye kufeli la kujibu baadhi ya nukta

zilizomo katika sura ya kwanza na ya pili ya kitabu changu Mezani Ya Haki.

Ufafanuzi wa suala hilo utauona katika jawabu yangu kwa Sheikh Abdillahi

Nasir mara tu baada ya kumaliza kitabu hiki in shaa Allah.962

TUNAENDELEA

Pili: ni kuwa Ibn Al-Madini anasema: “Utakapomsikia mtu anamsema kwa

ubaya Hamad bin Salama basi mtuhumuni (mtu huyo)”. Je Sheikh Kasim

haya maneno umeyafahamu? Je kusema kuwa Hammad ana hifdhi mbaya ni

kumtuhumu? Kama ni hivyo, basi usimsahau kumuweka Sheikh wako Al-

Albani mwenye kujigonga katika orodha hio ya watuhumiwa wenye

kumsema kwa ubaya bwana Hammad bin Salama! Al-Albani anasema:

961

- Al-Dhahabi Al-Miizaan j. 4, uk. 13-17, tarjama na. 5716. 962

- Pia utapata ufafanuzi huo katika sehemu ya kumi na moja ya utangulizi wa tafsiri yetu

inayorikodiwa katika Dvd.

Page 321: Fimbo ya Musa

321

ل . حر ش ٢ ٤خ ي ٣ظز٤ أ كخى ر ش طلى رح٣ظ ػ كخى ر أرـــ

ي أى حز٢ ك٢ ح٣ظ ػ ػخرض؛ ا خ ػوش ؿخ ، كل٢ كلظ ٢ء ك٢ ؿ٤

ل٤خ هض : كوخلظ . “ػوش ، أخ ؿحثذ ، ؿ٤ أػزض اخ“ هخ : “ـ٢ ـــــح“

ط٤ ك٢ إلخى ح حلي٣غ ط٤ ا٠ حؼ١ طـؼ حل ل ططج خ،

…. na kwa hayo yaliotangulia huko nyuma, umeelewa kwamba riwaya za

(Sufyaan) Al-Thauri kutoka kwa Hammad bin Abi Sulaiman ni zenye

mkatiko wa sanad, na kwa hivyo, inabainika kwamba Hammad bin Salama

kapwekeka kwa kuisimulia kwake (Hadithi hii) kutoka kwa Hammad bin

Abi Sulaiman katika hali ya kuiwasilisha.963

Na (Hammad) bin Salama

hata ikiwa ni thiqa (mwenye kuaminika) na ni katika wapokezi wa Muslim

lakini katika hifdhi yake kuna kitu (kasoro) kwa zile riwaya asizozipokea

kutoka kwa Thabit (Al-Bunani). Na kwa hivyo, Al-Dhahabi kamtaja katika

kitabu Al-Mughni na akasema: „ni Imamu thiqa (mwenye kuaminika) ana

makosa mengi na Hadithi ngeni na asiyekuwa yeye ni imara zaidi kuliko

yeye‟. Ninasema:964

kwenda kwake kinyume na sufyaan Al-Thauri basi

kunaifanya nafsi isitulie nako (iwe na wasi wasi) na iwe inaelemea zaidi

katika kumuingiza katika makosa kwa kitendo chake cha kuifanya sanad

ya hadithi hii kuwa ni mausuul.965

Na kwa hakika Al-Bayhaqi kaliashiria

hilo aliposema: „ikiwa itathibiti‟ na mfano wake ni kauli ya Al-Haythami.

Na hayo kama ulivyoona ndio maneno ya Ibn Hajar, Al-Daraqutni, Al-

Suyuti, Al-Imamu Ahmad, Al-Kawthari na wengine wengi ambao maneno

yao tumeyanukuu kabla: wote wanasema kuwa Hammad bin Salama

hatimae hifdhi yake iliharibika, au ni thiqa ana awhaam (makosa mengi) au

maneno yalio mfano wa hayo. Kwa hivyo, kwa ufahamu mbovu wa Kasim

Mafuta na hizbu yake wote hawa ni wenye kutuhumiwa! Au watuhumiwa

watakuwa Juma na Sheikhe wake kwa sababu wao ni ------?

Kwa hivyo, kwa ufupi, ni kuwa Ibn Al-Madini aliposema: “Utakapomsikia

mtu anamsema kwa ubaya Hamad bin Salama basi mtuhumuni (mtu huyo)”

hajakusudia mas-ala kama haya ya kumsema kwa udhaifu wa hifdhi, bali

kakusudia atayemtuhumu katika dini yake kwani Hammad kasifiwa kwa

ibada na uchaji.

Anaendelea Kasim Mafuta:

Njia ya pili:-

Ni kuhusu suala la kuwa Hamad bin Salama anakosea na anasahau, jawabu

ni kwamba kukosea na kusahau ni katika tabia za kibinaadamu, hakuna

963 - Yaani kuifanya sanad yake kuwa imeshikana: haikukatika popote.

964 - Msemaji ni Al-Albani.

965 - Kuwa imefika kwa Mtume (s.a.w.) pasina kukatika pahala popote pale.

Page 322: Fimbo ya Musa

322 mwanadamu yoyote asiyekosea au kusahau ila yule aliyekingwa na Allah -

Tabaaraka wata‟alaa- asikosee wala kusahau.

Isipokuwa nataka ifahamike kwamba kukosea au kusahau kukizidi mno

kupita kiasi hiyo itakuwa ni kasoro, lakini tumeona katika kauli ya Imamu

Ibn Sa‟ad kuwa Hamad ana hadithi nyingi mno lakini ni mara chache

kukosea.966

Haya ni nani huyo asiyekosea? Hebu na atutajie! Na ni nani

huyo asiyesahau? Alisahau Adam baba wa watu wote seuze Hamad bin

Salama?Amesema Allah:

و ي خ ي ا ٠ ػ آى ٢ ه ز ك ي ـ خ ػ

Na tulimpa ahadi (Nabii) Adam zamani,lakini alisahau wala

hatukuona kwake azma.967

Bali amesahau Musa bin Imran Mtume wa Allah, soma aya ya 73 katika

surat al Kahfi (18). Kwa hiyo kusahau si kasoro katika upokezi wa habari,

lakini ikithibiti kwamba mpokezi amesahau katika habari aliyoipokea, au

kusahau kwake kumevuka mipaka bila shaka hiyo itakuwa ni dosari na

itaathiri katika habari zake atakazo zipokea, hapa Juma na sheikh wake

Qannubi hawajatuthibitishia kwa maandiko yoyote ya kielimu kuhusu

kukosea kwa Hammad, je kumevuka mipaka au wameamua kumtuhumu

tu? Na kama nduguyangu msomaji umeyazingatia maneno ya maulamaa

tuliyokutajia kuhusu Hammad utagundua kuwa ni kinyume na

wanavyosema wazushi hawa.968

JAWABU

Kukosea wanakokuzungumzia wanavyuoni wa Hadithi sio huko: si kukosea

kibinaadamu. Bali ni kukosea ambako kunaifanya Hadithi ya mpokezi ama

asikubalike kabisa au itumike katika shawaahid tu, au Hadithi yake ikienda

kinyume na aliye thiqa zaidi basi Hadithi yake iachwe na kuchukuliwa ya

aliye thiqa zaidi. Hammad hakufikia daraja ya kuwa Hadithi zake ziachwe

kabisa, bali zinafaa katika shawaahid, lakini akienda kinyume na aliye thiqa

zaidi basi Hadithi yake haiwezi kuzingatiwa hususan akienda kinyume na

wapokezi wengi zaidi kama ilivyo katika Hadithi hii.

Pili ni kuwa ikiwa hakuna asiyekosea na kusahau, basi kuna faida gani tena

kwa wanavyuoni wa wapokezi kusema kuwa mpokezi fulani ana awhaam

966

- Lakini Ibn Sa‟ad ni katika mutasahilin. 967

- Surat Twaha (20) aya ya 115. 968

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 77.

Page 323: Fimbo ya Musa

323

(makosa mengi) au anakosea sana pasina kuwataja wengine kwa kasoro hio

ilhali kasoro hio wanayo watu wote? Bila shaka wao wanaposema hivyo,

huwa hawakusudii kule kukosea kwa kawaida ambako kila mtu

kunampitikia, bali wanakusudia kuwa kuna udhaifu katika hifdhi yake:

udhaifu ambao kwawo ama Hadithi zake huanguka kabisa au huteremka

daraja. Na umejionea mwenyewe – ewe Sheikh Mafuta – jinsi Al-Albani

alivyoziwacha riwaya za Hammad bin Salama na walio mfano wake kwa

sababu ya udhaifu wao wa hifdhi na kwenda kwao kinyume na wapokezi

waliokuwa awthaq (wenye uwezo zaidi) kuliko wao. Ninasema: hongera

ewe Muhaddithu Al-Awraaqi wa Al-Qalam; hio ndio mihaj (methodology)

sahihi kabisa.

Anaendelea Kasim Mafuta:

Njia ya tatu:-

Ni kuhusu suala la kuwa Hamad amechanganyikiwa mwishoni mwa umri

wake, suala hili ni kweli na wanavyuoni wamelitaja kwenye vitabu vyao na

linaweza kuyatia kasoro mapokezi ya mpokeaji, lakini swali la msingi la

kujiuliza ni wakati gani huko kuchanganyikiwa kutatia kasoro mapokezi

hayo?

Ufafanuzi wake ni kama ufuatavyo:

Hukumu ya riwaya za mpokezi aliyechanganyikiwa mwishoni mwa umri

wake si moja bali iko katika namna tatu:

i) Namna ya kwanza ni kuwa riwaya zote alizosimulia kabla ya

kuchanganyikiwa na zikajulikana, riwaya hizo zitakubalika.

ii) Namna ya pili ni zile riwaya ambazo amezisimulia baada ya

kuchanganyikiwa hizo hazitokubaliwa.

iii) Ni zile ambazo hazikujulikana kuwa amezisimulia kabla ya

kuchanganyikiwa au baada yake, riwaya hizo hazitatumika mpaka

zibainike, je zimesimuliwa kabla ya kuchanganyikiwa au baada?

Amesema Imamu al Nawawy:

.”ك٤ ي أ رؼي خ ٣وز ل حإلهظال١ هز ػ ١ خ ٣وز“

“Hukubaliwa (habari) zile ambazo zimepokewa kutoka kwa hao (walio

changanyikiwa) kabla ya kuchanganyikiwa na hazitokubaliwa zilizokuwa

baada yake, hata zile ambazo zimetiliwa shaka (kuwa ni baada au kabla pia

hazitakubaliwa)”.969

969

- Tazama Taqtribun-Nawaawy pamoja na Tad‟ribul-raawiy juzuu ya 2 ukurasa 372.

Page 324: Fimbo ya Musa

324 Kwahiyo hukumu hii ya ujumla iliyotolewa na ndugu Juma na sheikh wake

aliyemvika kilemba cha ukoka Al-Qannubi dhidi Hamad bin Salama

haikufuata kanuni za kielimu, kwa sababu walikuwa wana wajibu wa

kuthibitisha kitaalamu kwamba mpokezi aliyepokea hadithi hii kutoka kwa

Hamad bin Salamah amesimuliwa baada yakuwa tayari Hamad

amechanganyikiwa, na wala si kwa kutoa hukumu kiujumla na hali ya

kuwa jambo lina upambanuzi wa kielimu kama huu tulioutoa.

Na si Juma wala sheikh wake Qannubi anayeweza kufanya hivyo, na

akijaribu ataumbuka, kwa sababu mpokezi aliyepokea hadithi hii kutoka

kwa Hamad ibn Salama ni Abdul-rahaman bin Mah‟di ambaye ni katika

jumla ya wanafunzi wakubwa wa Hamad ambao wamepokea kutoka kwa

sheikh wao Hamad bin Salama kabla ya kuchanganyikiwa.970

JAWABU

Jawabu yako ni nzuri lau haikutokana na ufahamu wako finyu. Lakini kwa

kuanzia ni vyema ukatutajia riwaya ya wanavyuoni wa wapokezi yenye

kusema kuwa Ibn Mahdi kasikia riwaya kutoka kwa Hammad kabla ya

kuchanganyikiwa. Pili ni kuwa umeshindwa kuelewa kwamba

wanachokisema wanavyuoni ni kuwa:

1) Hammad bin Salama mwanzoni alikuwa ni mwenye kuaminika,

lakini ana awhaam. Katika hali hii Hadithi zake zinaweza zikawa

sahihi, hasan au dhaifu kutegemea masharti na vifuatanishi

vyengine.

2) Mwishoni alichanganyikiwa. Katika hali hii Hadithi zake zinakuwa

dhaifu, ila zikiwa na ushahidi mwengine.

Anasema Mahir Yasin:

١؛ ــــك كخى ر ش ر ى٣خ حز أر حخؽ حيحش ػ٠ ي : كخى ر ش :

أػــــهخ أكي: أػ حخ رلي٣غ هخ ك٤ي حط٣ . هخ حر ؼ٤ : ػوش أخ.

٢ ػخرضـــض حخ كهخ حلخكع ك٢ حظو٣ذ : ػوش ػخري، أػز ٢ ػخرض حزخ٢.ـــــ٣ؼ –حخ رؼخرض

طـ٤ كلظ رؤهس. -

Na miongoni mwa mifano ya wazi yenye kuonesha juu ya hayo yote, ni

HAMMAD BIN SALAMA, yeye ni HAMMAD BIN SALAMA BIN

DINAR AL-BASRI, ni mwenye kuaminika (lakini) ana makosa. Amesema

(Al-Imamu) Ahmad: „yeye ndio mjuzi wao kwa Hadithi za mjomba wake,

Humaid Al-Tawil‟. Na akasema Ibn Ma‟iin: „yeye ndio mjuzi wao wa

Hadithi za Thabit yaani Thabit Al-Bunani‟. Na akasema Al-Hafidh (Ibn

Hajar) katika kitabu Al-Taqrib „ni mwenye kuaminika, mwenye kuabudu,

970

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 77.

Page 325: Fimbo ya Musa

325 mtu imara wao katika Hadithi za Thabit (Al-Bunani), lakini hatimae hifdhi

yake ilibadilika‟. 971

Hayo ni maneno au ni utangulizi wa Sh. Mahir Yasin. Kisha akasema:

لش ـــح كلخى ر ش ك٢ أ أ ػوش أخ؛ ح حظؼز٤ ٤٣ ح٠ هلش ك٢ ح٠ز٢ ه

ش ـــــالـــؼ٤ ح -٠ز٢ طـز رط حالش ٤ن يس حؼخ٣ش رلي٣ؼ . كخى خ خ ح

ــــــــػ ػخرض ٣ؼي -حهظال١ -ؼخرض حزخ٢ ، ي٣ي حؼخ٣ش رلي٣ؼ ، ح كخ كيع ر كخى هز

لظ . كخــــز كخء كحلي٣غ حل٤ق. كي٣ؼ ػ ؿ٤ هز٤ حل . ػ طـ٤ كخى خ

كي٣ؼ ك٢ حكش ؼ٤لخ.

Na kwa hivyo, Hammad bin Salama mwanzoni alikuwa ni mwenye

kuaminika lakini alikuwa na makosa (mengi). Na ibara hii inaonesha

kwamba udhibiti wake ulikuwa mwepesi (hakuwa na hifdhi kali); lakini

kuwa na udhibiti mwepesi (udhibiti mdogo) unapata nguvu kwa kitendo

cha mpokezi cha kuandamana na Sheikh wake kwa muda mrefu na kwa

kitendo chake cha kuzipa ihtimamu Hadithi zake. Na HAMMAD (BIN

SALAMA) kama tulivyosema alikuwa ni mwenye kuambatana sana na

Thabit Al-Bunani, na ni mwenye ihtimamu kubwa ya Hadithi zake. Na

kwa hivyo:

1) Hadithi ambazo Hammad kazisimulia kutoka Thabit Al-Bunani

kabla ya kuchanganyikiwa kwake, hizo zinahisabiwa kuwa ni

Hadithi sahihi.

2) Na Hadithi ambazo kazisimulia kutoka kwa wengine (wasiokuwa

Thabit Al-Bunani) basi ni Hadithi hasan.

3) Kisha Hammad (bin Salama) alibadilika (hifdhi yake iliharibika)

baada ya kuzeeka. Basi katika hatua hii, Hadithi zake ni dhaifu.

Kwa hivyo, Hammad mwanzo alikuwa ni thiqa mwenye awhaam. Na hii ina

maana kwamba tangu hapo mwanzo Hadithi zake hazikufikia daraja ya

usahihi. Lakini Sheikh hapa anasema kuwa huo ni udhaifu mdogo ambao

unaweza kutengenezeka kwa kitendo cha Hammad cha kufuatana na Sheikh

wake, Thabit Al-Bunani, kwa muda mrefu, na kwa sababu Hammad

kafuatana sana na Thabit Al-Bunani basi Hadithi zake ni sahihi. Na madai

haya yakiwa ni sahihi au si sahihi, kwa hali zote zile mbili, suala la kuwa

Hammad hapa kenda kinyume na:

a) Walioimara zaidi,

b) Walio wengi zaidi,

971

- Mahir Yasin Atharu „Ilali Al-Hadithi Fii Ikhtilafi Al-Fuqahaai j. 1, uk. 15.

Page 326: Fimbo ya Musa

326

ni suala la kuzingatiwa. Na hivi ndivyo alivyoeleza Muqbil Al-Waadi‟i,

mwalimu wa Mafuta na Al-Ghafri, kama tutavyoyanukuu maneno yake

baadae. Na mfano wa hilo kalisema pia Al-Albani aliposema maneno

yafuatayo:

٠ هللا اخى: كيػخ ٠ ر اخػ٤: طخ كخى ػ ػخرض حز خ٢ ػ حز٢ ـــــــػ . ـ ٤

زخف ػخ ٣ل٠٤ ر الخم: أهزخ كخى ر خ حلــــــــــ)ف(. ػ خ٢ـ ػخرض حزـش ػ ر ح

٤:ــــ حؿــــهض: ح اخى ؿخ ػوخص ؿخ هظخىس. ٢ـػ ػزي هللا ر رخف ػ أر

، حكو “ ــــل٤ق ػ٠ ١ “ حلخ: هخ ……، ح٥ه ي، حؿ حل

ل٠٤ ر الخم ـخ أي ٣ــــا ذ.ــــكي٣غ ؿ٣ “ أخ حظ١؛ كؤػ رخإلخ، كوخ. حز٢.

زي هللا ر رخف الـــــ ػـحخ اخ ح ح حلي٣غ ػ ػخرض ػ ػ كخى ر ش. أؼ

٠ رــــــي٣غ؛ كب ٣ل٤ــــلش حلـح حظؼ٤ ل ٣ئػ ك٢ ”خ رو:حؼالش أكي . طؼوز“

هض: ر٠ !“الخم ػوش... 972 ئػ؛ ا ػزض أ ؿخػش ححس ال ؛ ل حـخػش

..……حلى، ح اح خح ػوخص. ــــأكلع

…..isnad yake (Hadithi hio)973

ni „katuhadithia Musa bin Ismaa‟iil,

katuhadithia Hammad (bin Salama) kutoka kwa Thabit Al-Bunani‟…(na

sanad ya pili ni): „na katuhadithia Al-Hasan bin Al-Sabbaah katuhadithia

Yahya bin Is-haaq katwambia Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit

(Al-Bunani) kutoka kwa „Abdillah bin Rabaah kutoka kwa Qataada‟.

Ninasema:974

„na sanad hii wapokezi wake ni wenye kuaminika; wapokezi

wa Muslim katika njia mbili: ya kwanza ni mursal975

; njia ya pili ni

musnad.976

……..na Al-Hakim akasema kuwa ni sahihi kwa mujibu wa

masharti ya Muslim na Al-Dhahabi akawafikiana naye. Ama Al-Tirmidhi

yeye kaitia kasoro kwamba ni Hadithi mursal akasema: „ni Hadithi ngeni,

na kwa hakika Yahya bin Is-haaq kainasibisha kwa Mtume kwa mapokezi

ya Hammad bin Salama, lakini watu wengi wameipokea Hadithi hio

kutoka kwa Thabit kutoka kwa „Abdillahi bin Rabaah hali ya kuwa ni

mursal (hali ya kuwa imehusishwa na sahaba tu: pasina Mtume s.a.w.).

Lakini Al-‟Allama Ahmad Shaakir akamjibu kwa kusema: „kasoro hii

haiathiri katika usahihi wa Hadithi, kwani Yahya bin Is-haaq ni mwenye

kuaminika‟! Ninasema:977

„bali inaathiri ikiwa itathibiti kwamba

wapokezi walio wengi ni wenye kuaminika, kwani walio wengi ni

wenye kuhifadhi zaidi kuliko mmoja, na haya yote ni pale ambapo

wengi hao watakuwa ni wenye kuaminika‟.978

972

”تم“انظاش أ خطأ يطثعي انصاب - 973

- Hadithi ya Mtume (s.a.w.) alipotoka usiku akamkuta Abu Bakr na „Umar wanasali;

Abu Bakr hanyanyui sauti na „Umar ananyanyua. 974

- Msemaji ni Al-Albani. 975

- Tumeelezea maana yake kabla. 976

- Iliopokewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.) pasina kukatika sanad yake: kila mpokezi

mmoja kamsikia aliye kabla yake. 977

- Msemaji ni Al-Albani. 978

- Al-Albani Sahihu Abi Daud j. 5, uk. 75, Hadithi na. 1200.

Page 327: Fimbo ya Musa

327

Utaona hapa kwamba Al-Albani kasema kwa uwazi – KATIKA RIWAYA

YA HAMMAD BIN SALAMA KUTOKA KWA THABIT AL-BUNANI – kwamba riwaya yake alioinasibisha kwa Mtume (s.a.w.) haitokubalika

ikiwa riwaya ambayo hakuinasibisha kwa Mtume:

1) Imepokewa na walio wengi zaidi kinyume na alivyosema yeye.

2) Imepokewa na wenye kuaminika kinyume na alivyosema yeye.

Tunasema riwaya ya HAMMAD BIN SALAMA ya kuonekana kwa Allah

kutoka kwa THABIT AL-BUNANI – ambayo tunaijadili hapa –

kainasibisha kwa Mtume (s.a.w.) nayo iko kinyume na riwaya ambayo

haikunasibishwa kwa Mtume (s.a.w.). Na riwaya ya pili yaani isio ya

HAMMAD ambayo haikunasibishwa kwa Mtume (s.a.w.):

1) Imepokewa na walio wengi zaidi.

2) Imepokewa na wenye kuaminika.

Kwa hivyo, natija ni kuwa riwaya yake alioinasibisha kwa Mtume (s.a.w.)

ni dhaifu; riwaya ya walio wengi ambao hawakuinasibisha kwa Mtume

(s.a.w.) ndio sahihi.

Kisha hatimae – kama nukulu iliotangulia huko nyuma kidogo inavyojieleza

– Hammad akabadilika, akachanganyikiwa. Na katika hali hii Hadithi zake

zinakuwa dhaifu isipokuwa:

a) Iliojulikana kuwa kaisimulia kabla.

b) Yenye ushahidi katika njia nyengine.

Naam! Sheikh Mafuta anasema:

Na si Juma wala sheikh wake Qannubi anayeweza kufanya hivyo,

979 na

akijaribu ataumbuka, kwa sababu mpokezi aliyepokea hadithi hii kutoka

kwa Hamad ibn Salama ni Abdul-Rahaman bin Mah‟di ambaye ni katika

jumla ya wanafunzi wakubwa wa Hamad ambao wamepokea kutoka kwa

sheikh wao Hamad bin Salama kabla ya kuchanganyikiwa.980

Lakini, Mafuta hakututajia ni kitabu gani hicho kilichosema kuwa „Abdul-

Rahmaan bin Mahdi kapokea riwaya kutoka kwa Hammad bin Salama kabla

ya Hammad bin Salama kuchanganyikiwa. Tena kwa mara ya pili: je

tukijaalia kuwa ni sahihi kwamba Abdul-Rahmaan bin Mahdi kapokea

riwaya kutoka kwa Hammad bin Salama kabla ya Hammad bin Salama

kuchanganyikiwa; je kuna ushahidi kwamba baada ya kuchanganyikiwa

979

- Yaani “Juma na Sheikh wake Al-Qannubi hawawezi kutoa jawabu juu ya riwaya hii ya

Hammad bin Salama” kwa jinsi Mafuta alivyokuwa na elimu kubwa! 980

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 79.

Page 328: Fimbo ya Musa

328

hakupokea riwaya kutoka kwake? Kwa sababu ushahidi wa kuwa alipokea

riwaya kabla ya kuchanganyikiwa tu hautoshi kuitoa riwaya katika udhaifu

mpaka kuwe na ushahidi kwamba riwaya hio aliipokea kabla ya

kuchanganyikiwa, na hili haliwezekani kujulikana ila kwa kujua kwa yakini

kwamba baada ya kuchanganyikiwa hakupokea tena riwaya kutoka kwake.

Na utapojua kwamba Hammad katika riwaya hii, kenda kinyume na

wapokezi wengi wenye kuaminika, basi utakuwa umejua kwamba na riwaya

hii pia imepokewa na „Abdul-Rahman bin Mahdi kutoka kwa Hammad

baada ya kuchanganyikiwa. Na mfano wa uchambuzi huu kautoa pia

Ayatollah Al-Albani aliposem:

هز ــــ غـــــ –ح١ ــــ حــ – حلخكع ؤ أخ ا٠ أ ح٣ش ػ ر أر٢ ه٤

ح -٢ ك٢ ي ز٤ . ”... هي٣ حخع ػطخء “ :ــــــــظال١ روــــله خع اكخىس ه ي

طخء ـــأ كخى ر ش غ ػط أ حلخكع ل هي ، ألأ ٣غ رؼي ي -

ـأ خع ػ ر أر٢ ه٤ ػطخء هز رؼي ؛ ػ٠ أ٢ أ أكيح ػ٠ هز حلهظال١

حلهظال١ .

…lakini Al-Hafidh (Ibn Hajar) kana kwamba kaashiria kwamba riwaya ya

„Amri bin Abi Qais – naye ni Al-Razi – kasikia kutoka kwake kabla ya

kuchanganyikiwa, aliposema: „yeye kapokea riwaya zamani kutoka kwa

„Ataa‟. Lakini mimi (Al-Albani) nina shaka kubwa kwamba ukweli

kuwa kapokea riwaya zamani kutoka kwake kunamaanisha kuwa

hakupokea tena baada ya hapo. Huoni wewe kwamba Al-Hafidh (Ibn

Hajar) mwenyewe kasema kuwa Hammad bin Salama kapokea kutoka kwa

„Ataa kabla na baada ya kuchanganyikiwa. Bali mimi sikumuona yoyote

Yule aliyeeleza kwa uwazi kwamba „Amru bin Abi Qais kapokea

riwaya kutoka kwa „Ataa kabla ya kuchanganyikiwa.981

Utaona hapa kwamba Al-Albani kaeleza kwa uwazi kwamba kitendo cha

kuwa „Amru bin Abi Qais kapokea riwaya zamani kutoka kwa „Ataa kabla

ya kuchanganyikiwa, hakimaanishi kuwa baada ya kuchanganyikiwa

hakupokea riwaya tena kutoka kwake. Na kwa hivyo, ushahidi mwengine

unatakiwa ili kuthibitisha kwamba baada ya kuchanganyikiwa hakupokea

tena riwaya kutoka kwake. Bali Al-Albani anasema kwamba hakuna hasa

andiko au yeye hakuona andiko la yoyote yule lenye kusema kuwa „Amru

bin Abi Qais kapokea riwaya kutoka kwa „Ataa kabla ya „Ataa

kuchanganyikiwa. Ninasema: halkadhalika na sisi tunatakiwa:

a) Tutoe andiko lenye kusema kuwa „Abdul-Rahmaan bin Mahdi

kapokea riwaya kutoka kwa Hammad kabla ya Hammad

hajachanganyikiwa.

981

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 92, Hadithi na. 6042.

Page 329: Fimbo ya Musa

329

b) Tutoe andiko lenye kusema kuwa „Abdul-Rahmaan bin Mahdi

hakupokea tena riwaya kutoka kwa Hammad bin Salama baada ya

Hammad bin Salama kuchanganyikiwa.

Tukifanya hivyo, itakuwa sehemu hii ya hoja ya Kasim Mafuta ni sahihi,

lakini mushkila bado utakuwepo katika sehemu nyengine nyingi zenye

kuihusu riwaya hii ambazo tumezielezea sana huko nyuma. Tunasubiri

kuumbuka!

Anaendelea Sheikh Mafuta kwa kusema:

Mpaka hapo ndugu msomaji utakuwa umegundua namna ndugu Juma na

sheikh wake wanavyotumia ujanja ujanja katika masuala ya kielimu, na

hakuna shaka kuwa kufanya hivyo ni kuwafanyia hiyana watu wasiojua na

hiyo ni dhulma ya wazi. Na hakuna budi kwa sheikh na mwanafunzi wake

wakubali moja ya mambo mawili:

1-Wakubali kuwa wao ni waongo, wamekusudia kuwadanganya na

kuwalaghai waislamu.

2-Au ni wajinga, wanasema katika elimu hii wasichokijua. Na kila

watakalo lichagua kwao wao ni baya. Baada ya Juma na sheikh wake

kusema uongo na sisi kuubainisha

uongo huo, sasa Juma na sheikh wake huyo aliyemuita kuwa ni imamu wa

hadithi (Qannubi) wanaamua kumzulia sheikh Al-Bani. Amesema Juma M.

al-Mazrui katika kitabu chake “Hoja zenye nguvu” ukurasa wa 112 na

hapa ninamnakili kama alivyoandika mwenyewe:

„„Na akasema Al-albani (mwanachuoni wa hadithi wa kiwahabi) katika

kitabu chake „„AL DHAIFA‟‟ juzuu ya 2 ukurasa wa 333: „„hakika ya

Hamad anakosea sana.‟‟

Kisha akasema tena Juma:

„„Hii ni nakala kutoka katika kitabu „„ALTUFAN AL-JAARIF LI

KATAAIB AL-BAGHYI WAL-UDWAAN‟‟ juzuu ya 3 sehemu ya 1

ukurasa 308. cha Imam wa hadithi, fiq‟hi na usuli Al-huja Said bin Mabruk

al-qannubi.‟‟ Mwisho wa kunukuu.

MAJIBU YETU

Majibu yetu juu ya maneno haya ni kwa njia mbili:-

Njia ya kwanza:

Page 330: Fimbo ya Musa

330 Ni kama tulivyotangulia kusema hapo nyuma kwamba Juma na sheikh

wake ima ni waongo au ni wajinga wasiofahamu maneno ya maulamaa,

nimesema hivyo si kwa kutaka kuwakashifu na kuwadhalilisha, bali

ninasema hivyo kwa sababu hii ifuatayo: Maneno ya Sheikh Al-Bani -

Allah amrehemu – yako kinyume na anavyosema Juma akinukuu kutoka

kwa sheikh wake Al-Qannubi, na ukiyarejea maneno ya sheikh Al-Bani

utayaona yamekuja baada ya kuitaja hadithi isemayo: “Mwenye kuiacha

sehemu ya unywele mmoja katika janaba na asiuoshe atafanywa kadha wa

kadha huko motoni”. 2/332. Hadithi hii imepokelewa kutoka kwa swahaba

mtukufu Aliy –Allahamridhie- na katika sanad yake yumo Atwaa bin Saaib

na Hamad bin Salamah. Kisha akasema (sheikh Al-Bani): “Amesema

Imamu Ibn Hajar: “Sanadi ya hadithi hiyo ni sahihi kwa sababu Atwaa

amepokea kutoka kwa Hamad kabla ya Hamad hajachanganyikiwa, lakini

imesemwa kwamba; sahihi ni kuwa hadithi hii ni Mauquf kwa Aliy

(maneno ya swahaba mtukufu Aliy na si maneno ya Mtume swalla llaahu

alayhi wasallam)…”. Naye Imamu al-Nawawy akasema; “Hadithi hii ni

dhaifu kwa sababu Atwaa amedhoofishwa, na Hamad anakosea…”.

Baada ya Sheikh Al-Bani kutoa maelezo ya maulamaa kuhusu hadithi hiyo

ndiyo akaanza kulichambua kosa moja baada ya jingine lengo lake ni

kuyachambua makosa ya kweli, na ambayo si makosa kwa mujibu wa

misingi ya elimu ya „„mustalahul hadithi‟‟.

Kwa sababu kuna baadhi ya maulamaa kama Imamu Al-Nawawy

wameona kuwa miongoni mwa makosa yaliyopelekea udhaifu wa hadithi

hiyo ya kuoga janaba ni kuwa Hamad bin Salama anakosea. Sheikh Al-

albani akasema kumtetea Hamad na kuwajibu wale walioidhoofisha hadithi

hiyo kwa sababu ya Hammad, na haya yafuatayo ni maneno ya sheikh Al-

Bani:

حظؼ٤ ح“ ي ك٠ خ شــــكـ شــــػو ح٤ أثش اخ ش ر كخى كب هز آح١ ح

حح١ آح ــ أخ؟ ــــ ٤ ح١ ك ال أخخ أ ي ٣وؿ ل ذــ٣ ل ي

حل٤ل٤ ؿخ ــ حؼوخص ؿخ٤ حو٤ ال خ خ خــــأ ـى كي٣ؼ ٣ى حؼوش

حإلكظـخؽ ػ٠ – ١ــــح ـــ -هلخ لخ ي٣غــــحل ػخء ؿ ي .ؿ٤خ ػ ك٠ال

....” ػزض اح ال ش ر كخى رلي٣غ

2 حػش ح٠ؼ٤لش حلكخى٣غ ش حظ /333-332.

“Hii ni sababu nyonge kama ilivyo sababu iliyotangulia kabla yake, kwa

sababu Hamad bin Salama ni IMAMU miongoni mwa maimamu wa

kiislamu ni THIQA (muadilifu mwenye hifdhi nzuri) tena ni HOJA na

hakuna shaka yoyote katika hilo, na suala la kukosea halimtoi katika daraja

hiyo, kwani ni nani asiyekosea? Lau kama kila mpokezi zitakataliwa

hadithi zake kwa sababu ya kuwa anakosea tu, basi wasingesalimika ila

wachache miongoni mwa kundi kubwa la watu Thiqaat (wadilifu wenye

Page 331: Fimbo ya Musa

331 hifdhi nzuri) tena katika watu waliomo katika sahihi mbili (Sahihi Bukhari

na Sahihi Muslim) wachalia mbali vitabu vingine.

Na kwenye hilo la kuzikubali hadithi za Hamad ndivyo walivyopita

maulamaa wa hadithi waliotangulia na waliofuatia –na miongoni mwa hao

ni huyo Imamu al Nawawy- isipokuwa itakapothibiti kukosea kwake”.

Mwisho wa kunukuu.982

Hebu ndugu msomaji yasome tena maneno ya ndugu Juma ambayo

amemnukuu sheikh wake al Qannubi kwa uangalifu,amesema bwana

Juma: “Na akasema Al-albani (mwanachuoni wa hadithi wa kiwahabi)

katika kitabu chake “AL DHAIFA” juzuu ya 2 ukurasa wa 333: “hakika ya

Hamad anakosea sana”.!!!

Mwisho wa kunukuu.

Ndugu msomaji, hebu linganisha maneno haya ya ndugu Juma na sheikh

wake Al-Qannubi wanayodai kuwa ni maneno ya sheikh Alalbani, na hayo

maneno yenyewe ya sheikh Al-albani ambayo tumeyakunukuu hapo juu

kutoka kwenye kitabu chake, ukilinganisha utaona yanatofautiana sheikh

Al-Bani anasema: “HAMAD BIN SALAMA NI IMAMU MIONGONI

MWA MAIMAMU WA KIISLAMU NI THIQA TENA NI HOJA NA

HAKUNA SHAKA YOYOTE KATIKA HILO, NA SUALA LA

KUKOSEA HALIMTOI KATIKA DARAJA HIYO, KWANI NI NANI

ASIEKOSEA ?

Juma anadai kwamba sheikh Al-Bani amesema: “HAKIKA HAMAD

ANAKOSEA SANA” na maneno hayo ameyanukuu Juma kutoka kwa

sheikh wake al-Qannubi! Bali la ajabu zaidi ni kuwa tunaona katika

maneno ya sheikh Al-Bani kinyume chake: kwamba HAMAD NI IMAMU

MIONGONI MWA MAIMAMU WA KIISLAMU, THIQA, TENA

HOJA…?!

Bali isitoshe sheikh Al-Bani amemtetea sana Hamad dhidi ya wale wenye

kudai kwamba anakosea.

Bila shaka ndugu msomaji kwa maelezo haya utakuwa umebainikiwa na

uongo alioufanya Juma na sheikh wake al-Qannubi.Wameamua kufanya

hivyo kwa makusudi baada kugundua kwamba sheikh Al-bani

mwanachuoni mkubwa wa hadithi katika zama hizi, anayekubalika na

waislamu wengi duniani tena kwa kiwango cha juu mno! Kwa hiyo

wakaona wamtumie kama ngazi ili wafikie malengo yao mabaya, ndipo

bila haya wala aibu wakaamua kumzulia uongo wa wazi. Wameamua

982

- Tazama Silsila Dhaifa juzuu ya 2 ukurasa 332-333.

Page 332: Fimbo ya Musa

332 kumzulia uongo sheikh huyo ili msomaji akiyasoma maneno hayo moja

kwa moja adhanie kwamba sheikh Al-albani naye ni miongoni mwa

wanaomtia kasoro Hamad bin Salama na kumdhoofisha kwa sababu ya

kukosea sana, na hali yakuwa hivyo sivyo kabisa ! bali ni uwongo mweupe

kama jua la mchana wa saa sita. Na hapana shaka kuwa kitendo hiki ni

kitendo kiovu tena cha kidhalimu, na huo si mwenendo wala sera za

maulamaa waliosimama katika njia ya haki ambao lengo lao ni kutaka

kuwaelimisha watu haki ili waifuate, bali hivyo ni vitendo vya watu wa

batili waliofilisika katika hoja, kwa sababu siku zote mtu mkweli mwenye

hoja zenye nguvu hayuko tayari kughushi wala kusema uongo katika suala

lolote, wachilia mbali suala la dini, sasa inakuwaje mtu mwenye kudai

uimamu na ijtihadi tena mcha Mungu awafanyie ghushi waislamu katika

jambo la itikadi ya dini yao kwa sababu ya kulinda misimamo ya

kimadhehebu na ukabila ?!

Bali kwa mujibu wa itikadi yao ya batili ya kikhawariji (kiibadhi) hiyo ni

dhambi ya kumuingiza mtu motoni milele na wala hatoki tena, na hakuna

wa kumuombea, na kama ataombewa basi maombi hayo hayatokubaliwa!

Na hapa Juma anajinyonga mwenyewe kwa kitanzi chake kwa sababu ya

itikadi yao potofu, anasema katika kitabu chake “KISIMAMO KATIKA

SALA” ukurasa wa 28 : “Na unajua Sheikh X. ni kitu gani kimewafanya

wanazuoni wa kiibadhi wasiseme uwongo? Ni kwa sababu ya itikadi yao

kwamba MADHAMBI MAKUBWA YANAMUWEKA MTU MOTONI

MILELE NA YANAMPOROMOSHEA MEMA YAKE, NA UWONGO

NI KATIKA MADHAMBI MAKUBWA”.Mwisho wa kunukuu.

Tazama hapa namna wanavyojinyonga na kamba yao wenyewe! Je wewe

ndugu Juma, na sheikh wako Al-Qannubi hamuogopi kukaa motoni milele

kwa kusema uongo? Je hamuogopi kuporomoshewa amali zenu na

kuanguka uadilifu wenu? Hivi ndugu Juma kwa sababu ya uongo wenu

kama huu ndiyo mnataka kufanya mijadala na maulamaa wakubwa kama

Ibn Baz -kama mnavyodai- na mko tayari kwenda kuapa kwenye Ka‟aba?!

Hamuogopi ?! Hivi kweli mnaweza kudai kwamba mwanchuoni mkubwa

kama al-Allaama sheikh Abdul-Aziz Ibn Baz awakimbie watu kama nyinyi

wenye hoja dhaifu tena za uongo namna hii ?!!! Kama mkiwa mmeweza

kupotosha yaliyoandikwa vitabuni ambayo yako dhahiri shahiri, na

mkaweza kuwazulia maulamaa mambo ambayo hawakusema, kweli

mtashindwa kuzipotosha, na kuzigeuza habari zilizofanyika ndani ya ofisi

tena kwa siri, tena mashahidi wa tukio hilo ni nyinyi wenyewe? Eti Ibn

Bazi amkimbia Khalili! Kwa hoja gani alizonazo Khalili na wafuasi wake?

Hoja zenyewe ni hizi za uwongo anazozitaja Juma kutoka kwa Qannubi na

Khalili? Vitabu vya Al-bani vimejaa ulimwenguni mashariki na magharibi,

mmemzulia wazi wazi ! je mtashindwa kuzua yaliyofanyika ofisini kwa

siri? Ndiyo maana ukiyatazama maneno ya Juma kuhusu suala la kukutana

Page 333: Fimbo ya Musa

333 Ibn Baz na Khalili utauona uongo unaelea juu juu, kwa mfano pale

aliposema:

“Kwa hivyo Al-khalili akamtaka Bin Baz ambaye kawaita maibadhi

MAKAFIRI wende mbele ya Al-kaba Takatifu wakaombe hivi hivi, lakini

Bin Baz akaogopa. Na hii inatosha kuonesha kuwa hata yeye mwenyewe

sh. Bin Baz hana hakika na itikadi yake. Na kama si hivyo kipi kimemzuia

kumtaka Mwenyezi Mungu aibainishe haki baina yake na watu ambao

kawaita makafiri”.!!!! Mwisho wa kunukuu uwongo wa ndugu Juma.

Tazama kitabu chake “Hoja zenye Nguvu” ukurasa wa 42. Je ni kweli Ibn

Baz amewaita maibadhi makafiri? Ni mahali gani hapo? Kitabu gani ?

Mbona hukututajia?

Vitabu vya Ibn Baz vimejaa tele hapa duniani, hebu tutajie kitabu kimoja

ambacho Ibn Baz amesema maneno hayo, na hii ni chalenji nina kupa

wewe Juma na masheikh zako Khalili, al-Qannubi, na Ahmad bin Su‟ud

al-Siyabi mtutajie ni mahali gani Ibn Baz amewaita maibadhi kuwa ni

makafiri kwa uwazi kabisa, bila ya kuhitajia taawili.

Na haya ndiyo maajabu ya makhawariji hawa wa akhiril-zaman!

Wanasema uongo wala hawana haya, na vitabu vyao vimejaa uongo. Kwa

ushahidi zaidi hebu tukudokolee mfano mmoja wa uongo wao na mengine

itafuatia katika sehemu zake, ni pale mufti wao Khalili alipoamua

kulipindua shairi la Ibnul-Qayyim kwa makusudi, kisha Juma naye

akafuatia vivyo hivyo ! Ametaja al-Khalili katika kitabu chake AL-HAQU

DAMIGH, naye Juma katika kitabu chake “Kisimamo” ukurasa wa 93

akasema hivi:

“Na akasema katika “NUNIA” kuhusu wote ambao hawana itikadi ya

kihashawiya (Kiwahabi) kwamba ni maaduwi ambao ukafiri wao ni

mkubwa kuliko mushrikina (wenye kuabudu masanamu) Anasema (Ibnul-

Qayyim):

حلح ك٠ أهق حآ *** ؼ رخؼيحس حؼط ا

Na muatil ni mwenye kuutangaza uadui *** na washirikina ni wepesi zaidi

katika ukafiri”.

Juma na mufti wake Khalili wameyapindua maneno haya ya Ibnul-Qayyim

kwa makusudi, mimi ninawapa chalenji watuletee maneno haya, na mimi

ninasema kwamba maneno haya hayamo katika “NUNIA” ya Ibnul-

Qayyim. Maneno yaliyomo katika “NUNIA” ni haya:

ك حظ٣ هخذ ك٠ * **ؼ رخؼيحس حؼط ا

Page 334: Fimbo ya Musa

334 Na muatila ni wenye kuutangaza uadui *** kwa sura ya kumtakasa

Rah‟man (Allah mwingi wa reh‟ma). Haya ndugu msomaji ni machache

kati ya mengi ya uongo yaliyojaa kwenye vitabu vya makhawarij

(maibadhi) wa zama hizi, mpaka Mufti wao pia asema uongo! Na

inaonekana kuwa Juma hasomi vitabu kwa kuhakiki mambo, bali yeye

ananukuu kiupofu kutoka katika vitabu vya masheikh zake Khalili na

Qannubi. Hebu tuendelee kuyatupia macho maneno ya ndugu Juma al-

Mazrui katika kitabu chake “Hoja zenye Nguvu” ukurasa wa 113, kuhusu

hadithi hii, anasema ndugu huyo:983

JAWABU

Matusi haya nimeshayajibu katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki Fimbo Ya

Musa.984

Huko nimekubainishia na kukutolea scanned copies985

kwamba

alichokinukuu Imamu Al-Sunna wa Al-Usuul wa Al-Furuu‟i, Al-Qannubi,

kutoka kwa Al-Albani ni maneno yasemayo: أخا كخىح “Hakika ya

Hammad ana makosa mengi”. Hayo ndio alioyanukuu: hakuzidisha hata

herufi moja. Sasa je maneno hayo hayamo katika kitabu cha Al-Albani ili

Al-Qannubi awe mwongo, au ni ujinga wako, chuki zako, uchache wako wa

maarifa na kutaka kudanganya watu?

Ama kuhusu propaganda yako ya kutaka kumvisha Al-Albani kilemba cha

mikunguzi kwa kudai:

Wameamua kufanya hivyo kwa makusudi baada kugundua kwamba sheikh

Al-bani mwanachuoni mkubwa wa hadithi katika zama hizi,

anayekubalika na waislamu wengi duniani tena kwa kiwango cha juu mno!

Kwa hiyo wakaona wamtumie kama ngazi ili wafikie malengo yao

mabaya, ndipo bila haya wala aibu wakaamua kumzulia uongo wa wazi.

Wameamua kumzulia uongo sheikh huyo ili msomaji akiyasoma maneno

hayo moja kwa moja adhanie kwamba sheikh Al-albani naye ni miongoni

mwa wanaomtia kasoro Hamad bin Salama na kumdhoofisha kwa sababu

ya kukosea sana, na hali yakuwa hivyo sivyo kabisa!

Poleni enyi Mawahabi ikiwa Al-Albani kwenu ni mwanachuoni mkubwa

naye:

1) Hazijui Hadithi hata za Al-Bukhari na Muslim!

2) Hawajui wapokezi hata wa Al-Bukhari na Muslim!

3) Anajigonga katika ukurasa mmoja sikwambii Hadithi moja!

4) Hasomi vitabu: asoma yaliomo (table of contents)!

983 - Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 79-86.

984 - Tazama jawabu yetu kwa urefu katika Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 391-412.

985 - Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 484.

Page 335: Fimbo ya Musa

335

Na kasoro nyengine nyingi hata za kimaadili kama walivyobainisha

wanafunzi wake mwenyewe hata akatuhumiwa kuiba mali ya Mawahabi!

Haa huyu ni Imamu? Hayo yote nimekubainishia katika juzuu ya kwanza.

986

Isipokuwa hapa ningependa kuongeza kitu kimoja kidogo. Kasim bin

Mafuta anasema kuwa sisi tumeamua kumzulia uwongo Al-Albani baada ya

kujua kuwa yeye ni champion wa Hadithi wa zama hizi! Uwongo wenyewe

ni uwongo uliomo kitabuni mwake na champion wenyewe hali yake ni

kama mulivyoiona katika juzuu ya kwanza! Sasa mimi hapa nataka

nimuulize huyu Mafuta, sisi tumenukuu maneno ya watu kama:

1) Al-Dhahabi.

2) Al-Suyuti.

3) Ibn Hajar.

4) Al-Imamu Ahmad.

5) Al-Bayhaqi.

6) Na wengine.

Mafuta wote hawa hakuwaona kuwa ni Maimamu wakubwa, kenda kurukia

kwa Al-Albani akamvika kilemba cha kamba za mkonge kwamba yeye ni

mwanachuoni mkubwa! Ni wazi kwamba huyu Mafuta ndiye anayetaka

kuipigia debe batili yake ya mungu-mtu! Haya niambie Mafuta Al-Albani

anamkaribia nani katika hawa niliowataja hapa! Labda Mafuta atasema:

“Aaa! Hawa Al-Qannubi hakuwazulia uwongo; Al-Albani kamzulia

uwongo”. Narejea tena: hakuna uwongo: alichokisema Al-Qannubi kimo

katika kitabu cha Al-Albani. Vyenginevyo nakuomba ukinukuu

alichokisema Al-Qannubi kisha uyanukuu maneno yote ya Al-Albani ili

tuone je kimo au hakimo.

Pili ni kuhusu ubeti uliodai kuwa umepinduliwa na Sheikh Al-Mufassirin,

Al-Imamu Al-Taqiy Al-Waliy, Badru Al-Din Al-Khalili. Na hili pia

nimeshakujibu katika juzuu ya kwanza. Rudi huko ujikumbushe.987

Suala la tatu ni suala la kuwa je ni kweli Sheikh Al-Khalili alimtaka Bin

Baz wafanye mjadala lakini akakataa, na baadae pia akamtaka wafanye

mubahala pia akaogopa kuteremkiwa na laana ya Allah kwa sababu ya

itikadi zake batili. Mafuta – natarajia – ni mtu wa kwanza duniani

kulikanusha tukio hili. Kwa halili yoyote ile, hilo pia tumeshalijibu kwa

986

- Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 49-81. Na 396-399. 987

- Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 383-391. Kwa ufafanuzi zaidi anzia uk. 379.

Page 336: Fimbo ya Musa

336

urefu katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki.988

Nimekuthibitishia huko kwa

ushihidi mwingi yakiwemo maanadiko ya Masheikh wa Kiwahabi wenye

ambao wameyasema hayo kwa uwazi katika vitabu vyao. Lakini Kasim

Mafuta – kama alivyosema mmoja wa Mawahabi wenzake: “kwanza Kasim

Mafuta hana elimu”, inaonesha kweli huyu si mtu wa kusoma kama kitabu

chake mwenyewe kinavyotongoa – ubishi mbele tu!

Nne ni suala la Ibn Baz kuwakafirisha Maibadhi. Kasim Mafuta

analikanusha hilo! Na hii ni ajabu ilioje, kwani kwa itikadi ya Kiwahabi na

Maimamu wao ni kuwa mtu anayekanusha kuonekana kwa Allah ni kafiri

na hili Kasim kanlinukuu mwenyewe kutoka kwa Al-Imamu Ahmad. Pia

katika itikadi ya Kiwahabi ni kuwa atayesema kuwa Qur-ani ni kiumbe

huyo ni kafiri. Sema Mafuta ni kweli ni uwongo? Sasa kama ni hivyo, na

Ibadhi wanakanusha kuonekana kwa Allah na wanasema kuwa Qur-ani ni

kiumbe je unakanusha nini ukiambiwa kuwa Ibn Baz kawakafirisha

Maibadhi? Kwa ufupi ni kuwa na hili pia nimeshalijibu kwa urefu katika

juzuu ya kwanza, na kama wewe Kasim Mafuta hukumfahamu Ibn Baz

katika fatawa zake, basi muulize Sheikh wako Dr. Al-Fawzaan, yeye

kamfahamu vizuri, ndio maana akasema Al-Fawzaa:

Hakika Sheikh Ibn Baz katika fat-wa hii kataja yale ambayo yana dalili ya

Qur-ani na Sunna na yale yaliosemwa na Maimamu: kama vile Al-Imamu

Malik, Al-Awzaa‟i, Sufyaan bin „Uyaina, Al-Bukhari, „Abdullahi bin

Mubaarak, Is-haaq bin Raahwayh na Al-Imamu Ahmad; na kile

alichokinukuu Sheikhu Al-Islaam Ibn Taymiyya kutoka kwa jumhuri ya

Al-Salaf kuhusu kuwakafirisha wenye kukanusha kuonekana kwa

Allah na uwajibu wa kuwaua!989

Haya ni kwa ufupi na kwa urefu rejea juzuu ya kwanza ya kitabu hiki utaona

huko maelezo ya ziada.990

988

- Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 414-432. 989

- Tazama Al-Fawzaan Al-Raddu „Alaa Sheikh Al-Siyaabi uk. 6. 990

- Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 417-422.

Page 337: Fimbo ya Musa

337

HADITHI DHAIFU NA ZA KUTUNGA ZA

HAMMAD BIN SALAMA KUTOKA

KWA THABIT AL-BUNANI

Tumeona katika maelezo yaliotangulia kasoro ambazo kwazo inakatalika

Hadithi ya Hammad bin Salama ya kuifasiri ziada iliotajwa katika Surat

Yunus kuwa maana yake ni kumuona Allah. Lakini tulisema kwamba bado

kuna jambo ambalo tutazidi kulitolea ufafanuzi wake baadae. Jambo hilo ni

ngoma yao kwamba:

Hammad bin Salama ndiye mpokezi imara wao katika riwaya

zilizopokewa kutoka kwa Thabit Al-Bunani..... Na wakitafautiana

wapokezi katika riwaya za Thabit Al-Bunani, basi kauli inayochukuliwa ni

kauli ya Hammad bin Salama.

Na kauli hii ndio alioitegemea Kasim Mafuta akasema:

Zimepokewa hadithi nyingine nyingi kutoka kwa Mtume -swalla llaahu

alayhi wasallam- na kauli nyingi kutoka kwa Maswahaba zinazoitilia

nguvu hadithi hii ambayo katika sanadi yake yumo Hamad bin Salama

ambaye ni mtu madhubuti zaidi katika riwaya za Thabit al-Bunaani

kuliko wapokezi wote wanaopokea kutoka kwa Thaabit.

Bwana Mafuta alinilaumu kwamba mimi sihakika mambo bali nafuata

Masheikh wangu tu. Nilitarajia kwamba kwa mujibu wa msimamo wake

huu, yeye atakuwa ni muhakiki mzuri, lakini kama tulivyoona katika juzuu

tafauti za kitabu hiki kwamba Al-Taqliidu Al-A‟amaa (kufuata kama kipofu)

ndio mfumo mzima wa kitabu cha Kasim Mafuta! Kwa hali yoyote ile,

kilicho muhimu kwetu ni dalili. Sisi tunadai kwamba maneno hayo ama si

sahihi kabisa au si sahihi kwa ujumla wake kama hivyo ulivyo. Tunasema

hivyo, kwa sababu ya kuwepo riwaya za kutunga na riwaya dhaifu ambazo

Hammad bin Salama kazisimulia kutoka kwa Thaabit Al-Bunani. Miongoni

mwa hizo ni hizi mbili tatu.

Hadithi ya kwanza:

أ ر خي ٢ـــــكيػ٢ أر٢ ك هللا خ ؼخ ر ؼخ خ كخى ر ش خ ػخرض حزخ٢ ػ

))٠ ر لز ؿؼ ىخـكخ طـ(( ـــــ٠ هللا ػ٤ ك٢ ه ػؿحز٢ هللا ػـــــ ػ

……هخ هخ ح ٣ؼ٢ أهؽ ١ف حو

Kanisimulia baba yangu – Allah amrehemu – katusimulia Mu‟adh bin

Mu‟adh katusimulia Hammad bin Salama katusimulia Thabit Al-Bunani

Page 338: Fimbo ya Musa

338 kutoka kwa Anas bin Malik (r.a.) kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kuhusu kauli

yake Allah inayosema: “Basi Mola wake alipoudhihirikia mlima,

aliufanya ukavunjika vipande vipande”, kasema, alisema (Mtume

s.a.w.): „kama hivi, katoa kidole cha ncha…… 991

Hio ni riwaya moja ya Hammad bin Salama alioipokea kutoka kwa Thabit

Al-Bunani inayomzulia uwongo Mtume (s.a.w.) kuwa kasema kuwa Allah

alipoufanya mlima ukavurukika basi “Allah alitoa kidole chake cha ncha”

kidogo tu au – kwa tafsiri ya pili inayobebwa na riwaya hio – “Allah

alijitokeza Yeye Mwenyewe kidogo tu kiasi cha ncha ya kidole cha ncha”

na mlima ukavurugika wote! Hizi ni riwaya za Hammad ambazo

zimetungwa na Mujassima. Wala usighururike na kauli ya Al-Albani

kwamba riwaya hii ni sahihi, Al-Albani hajui riwaya sahihi wala dhaifu. Na

hata ikiwa ni sahihi kama anavyosema yeye basi ni usahihi wa sanad tu,

ama matn kama unavyoona ni ya kutunga 100%.

Kisha tazama ukweli kwamba riwaya hio ya Hammad bin Salama kutoka

kwa Thabit Al-Bunani inapingana na riwaya nyengine ya Hammad bin

Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani. Riwaya ya pili yanena hivi:

أ ر خي ٢ ــــــــكيػ٢ ارح٤ ر حلـخؽ حخؿ٢ خ كخى ر ش ػ ػخرض حزخ٢ ػ

حو هض لرح٤ فح أحخ ارح٤ ١ــــخى ــــــز هخ كــــــــهللا ػ كخ طـ٠ ر

.......................كؼ هخ ل

Katuhadithia Ibrahim bin Al-Hajjaaj Al-Naji katuhadithia Hammad bin

Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka kwa Anas bin Malik (r.a.)

(kuhusu Aya isemayo): “Basi Mola wake alipoudhihirikia mlima”,

HAMMAD AKASEMA: „kama hivi‟, na Ibrahim akatuonesha ncha ya

kidole chake cha ncha. (Anasema Ibn Ahmad): „nami nikamuuliza

Ibrahim: je (Hadithi hii, Hammad bin Salama) kainasibisha kwa Mtume

(s.a.w.)?‟ Akasema: „hapana: (hakuinasibisa na Mtume s.a.w.).992

Kwa hivyo, “Allah alitoa kidole chake cha ncha” kidogo tu kama

inavyoweza kufahamika katika upende mmoja wa riwaya ya kwanza au

“Allah alijitokeza Yeye Mwenyewe kidogo tu kiasi cha ncha ya kidole cha

ncha” kama ilivyo wazi katika riwaya hii ya pili. Ufahamu wa riwaya ya

kwanza kwamba ni Allah mwenyewe ndiye aliyetoa kidole chake cha ncha,

unapata nguvu kwa riwaya nyengine inayosema:

كيػخ يرش ر هخي ػخ كخى ر ش ػ ػخرض ػ أ ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ ك٢ ه

991

- Ibn Ahmad Kitabu Al-Bida‟a alichokiita Kitabu Al-Sunna j. 1, uk. 269, riwaya na. 500.

992

- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 270, riwaya na. 502.

Page 339: Fimbo ya Musa

339

هخ غ ارخ ػ٠ ه٣ذ ١ف أظ كخم حـز )ؿؼ ىخطـ٠ ر ـز كخ (طؼــخ٠

أ ــــــــ ٣وـــــهخ ك٤ي ؼخرض طـو ح ك هخ ٣و هللا ٠ هللا ػ٤

كؤظ أخ

Katuhadithia Hudba bin Khalid katuhadithia Hammad bin Salama kutoka

kwa Thabit kutoka kwa Anas kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kuhusiana na

kauli yake Allah inayosema: “Basi Mola wake alipoudhihirikia mlima,

aliufanya ukavunjika vipande vipande”, kasema: „aliweka kidole gumba

chake karibu na ncha ya kidole chake, basi mlima ukazama. Humaid

akamwambia Thabit: „unasema hivi wewe!‟ Akampiga ngumi

akamwambia, Mtume (s.a.w.) kaisema; Anas kaisema; niifiche mimi?993

Kuletwa kwa herufi fee katika neno كخم fa-sakha, kunamaanisha

kufungamana kwa maneno yaliotangulia na yanayofuatia kwa mfungamano

wa sababu. Na natija ni kuwa sababu ya kuzama kwa mlima ni kutolewa

sehemu ndogo ya kidole. Vyenginevyo, riwaya nyengine zimekaribia kuwa

wazi kwamba kidole hiki ni cha mtu: si cha Allah, isipokuwa – kisanad –

riwaya hizo ziko hali mbaya zaidi. Kwa hali yoyote ile, riwaya zote hizi za

Hammad zinathibitisha kwamba sehemu iliojitokeza na kuuvunja mlima au

kuuzamisha ni sehemu ndogo ya Allah ilio sawa na ncha ya kidole cha

ncha!

Huo ni ufafanuzi wa ufahamu wa kwanza wa Hadithi hio. Ama ufahamu wa

pili kwamba Allah mwenyewe ndiye aliyejitokeza kidogo, huu unapata

nguvu kwa riwaya ya Ibn Ahmad yenye kusema:

اح أحى أ ا هللا ػ ؿ اح أحى أ ٣وف ػزخى أري ػ رؼ٠ ا٠ حل كؼي ي ط

ي ػ٠ ه طـ٠ خــطي

Hakika ya Allah Mtukufu akitaka kuwatisha waja wake basi huidhihirisha

(huichomoza) sehemu tu ya (Dhati) yake (yaani huidhihirisha sehemu ya

Dhati yake kuielekezea) ardhi, basi hapo ardhi hutetemeka; na akitaka

kuwa ardhi iangamizwe juu ya watu, basi Allah hudhihiri (huchomuza)

Yeye kamili!994

Lakini mgongano zaidi ni kuwa kule – katika masimulizi ya kwanza pamoja

na haya ya tatu – riwaya hii inatoka kwa Mtume (s.a.w.); lakini katika

masimulizi ya pili – kama ulivyoona – imekanushwa kuwa riwaya hio

inatoka kwa Mtume (s.a.w.), na riwaya ni ile ile ya Hammad kutoka kwa

Thabit. Na juu ya yote hayo, riwaya ya kwanza Muhaddithu Al-Awraaq Wa

993

- Ibn Abi „Asim Al-Sunna j. 1, uk. 336-337, Hadithi na. 490. 994

- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 2, uk. 370, Hadithi na. 1069.

Page 340: Fimbo ya Musa

340

Al-Qalam anasema kuwa ni sahihi;995

na riwaya ya pili muhakiki wa kitabu

cha Ibn Ahmad anasema: “wapokezi wake wote ni wenye kuaminika”. 996

Hadithi ya pili:

ؼى هخ هخـــػخ يرش ر هخي ػخ كخى ر ش ػ ػخرض ػ أ ر خي ػ ػزيهللا ر

خـــــي٤خ ؼخ ؼهللا ػ٤ ك٤و هللا ٣خ حر آى أ٤٣ي أ أػط٤ي ح هللا ــ٠

ــــك٤و أ١ د أطظء ر٢ أــض د حؼخ٤ هخ ك٠لي حر ؼى هخ أل طؤ٢

ط٠ليـأل طؤ٢ لض هخح لض هخح ط٠لي هخ ح كؼ هللا كوخ

ؼخ٤ هخ ــــأض د ح ٣خ هللا هخ لي د حؼخ٤ ك٤ ٣و حطظء ر٢

ا٢ ل حظء ري ٢ ػ٠ خ أخء هخى

Katuhadithia Hudba bin Khalid katuhadithia Hammad bin Salama kutoka

kwa Thabit kutoka kwa Anas kutoka Abdillahi bin Mas‟uud kasema: „

kasema Mtume (s.a.w.): „basi Allah atasema: „ewe binaadamu we!

Kutakuridhisha wewe kupewa dunia na mfano wake pamoja nayo?‟

Atasema (binaadamu): „ewe Allah wanifanyia mzaha nawe ni Bwana wa

ulimwengu wote‟? Anasema (msimulizi): „basi Ibn Mas‟uud akacheka na

akasema: „hamuniulizi kwa nini ninacheka?‟ Wakasema: „kwanini

unacheka?‟ Akasema: „namna hivi alifanya Mtume (s.a.w.) akasema:

„hamuniulizi kwa nini ninacheka?‟ (Masahaba) wakasema: „kwanini

unacheka ewe Mjumbe wa Allah?‟ Akasema: „kwa sababu ya kucheka kwa

Allah pale aliposema: „„ewe Allah wanifanyia mzaha nawe ni Bwana wa

ulimwengu wote‟. Akasema (Allah): „Mimi sikufanyii mzaha lakini Mimi

ni mwenye uwezo wa kulifanya nilitakalo‟. 997

Hadithi hio ni refu na huo ni mukhtasar wake. Na katika urefu wake ina vipengele

hivi:

خ س ـــــؼ حـــــآه ٣يه حـش ؿ ٢٣ ػ٠ حح١ ك ٢٣ س ٣ز س طل

يح ـــــطخ أكــــــــأػطخ٢ هللا ٤جخ خ أػ كبح ؿخخ حظلض ا٤خ ك٤و طزخى ح١ أـخ٢ ي وي

ظ رظخــــــــــس كألظـ حل٤ ح٥ه٣ كظكغ ـس ك٤و أ١ د أى٢ حـ

خ ك٤و ل أ١ ـــــ ٣بر آى ؼ٢ ا أػط٤ظخ طؤ٢ ؿ٤ ؿ أد خثخ ك٤و هللا ػ

ك٤غ أحص أ حـش ك٤و أ١ ..……………خ ــــــؤ ؿ٤ـــــــؼخي أ ل ٣ــــــد ٣

ي أط٠ أ أػط٤ي حي٤خ ؼخ ؼخ ك٤و أ١ ـــ٢٣ ـــ٤خ ك٤و ربر آى خ ٣ـــد أىه

..………د أطظء ر٢ أض د حؼخ٤

Wa mwisho atayeingia peponi ni mtu anayekwenda katika sirat mara

anakwenda na mara anasunukia na mara moto unamuunguza, akisha

kuvuuka basi ataugeukia. Hapo atasema Allah Mtukufu aliyeniokoa

kutokana na wewe basi amenipa kitu ambacho hakumpa yoyote miongoni

995

- Al-Albani Dhilalu Al-Janna j. 1, uk. 243, Hadithi na. 480. 996

- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 270, riwaya na. 502. 997

- Ibn Abi „Asim Al-Sunna j. 1, uk. 383-384, Hadithi na. 569.

Page 341: Fimbo ya Musa

341 mwa (waja wake) wa awali na wa mwisho. Basi mara ataona mti atasema:

„e Mola wangu nikurubishe kwenye huu mti ili nijifunike katika kivuli

chake na ninywe maji yake‟, hapo Allah atasema: „e mwana wa Adam we,

labda nikikupa huo utaniomba kitu chengine?‟ Atamwambia: „sio hivyo,

ewe Mola wangu‟ naye anamuahidi kuwa hatomuomba tena kitu

chengine………..998

.

Hadithi ni refu, na muombaji aliyeko mbele ya Allah anaomba na anatoa

ahadi kuwa hatoomba tena, lakini kila mara anavunja ahadi yake. Na

hatimae Hadithi inasema:

Atasikia sauti za watu wa peponi atasema: „e Mola wangu niingize humo

(peponi)‟. (Allah) atasema: „e mwana wa Adame we! Na ni kitu gani

kitachokata maombi yako kutoka kwangu? Je huridhii wewe nikikupa

dunia na mfano wake (mara mbili)?‟ Naye atajibu: „WANIFANYIA

MASKHARA NA WEWE NI BWANA WA ULIMWENGU?‟

Hii ni Hadithi ya Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani, nayo

utunzi wa mujassima unaelea katika riwaya yenyewe. Fikiri wewe kwamba

akhera ni darul yaqiin (sehemu ya yakini). Ni sehemu ambayo kafiri na

Muislamu siku hio watamjua Allah na uwezo wake na watakuwa na yakini

100%. Lakini mtu huyu yuko akhera mbele ya Allah na haamini aambiwalo

na Allah: anaona anafanyiwa maskhara tena na Allah! Hapa duniani sisi

Waislamu tunasadiki kila khabari tuliopewa na Allah itakuja kuwa akhera

ambako tafsiri ya habari hizo itapambanuka na Uungu na ukweli wa Allah

utakuwa bayana zaidi? Hadithi hii ni katika jumla ya riwaya za Hammad

ambazo katungiwa na mujassima kisha yeye – kwa awhaamu wake –

akazinasibisha kwa Mtume (s.a.w.).

Hadithi ya tatu:

أ ش ػ ػخرض ػ أـــ٣ ر لي كيػخ أر٢ هخ كيػخ كخى ر ز٢ ارح٤ ر ــأه

هللا ػ٤ خض أش ٣طئخ ك ط ر ػخثش كلش كظ٠ كخ ػ٠ هللا ٠ـ

) ٣خ أ٣خ حز٢ طل خ أك هللا ي (. :ــــ ؿـــهللا ػ ــل كؤ

Kaniambia Ibrahim bin Yunus bin Muhammad ajulikanaye kwa jina la

Harami, kasema katuhadithia baba yangu kasema kutuhadithia Hammad

bin Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka kwa Anas kwamba

Mtume (s.a.w.) alikuwa na kijakazi ambaye alikuwa akimuingilia (alikuwa

suria wake), basi „Aisha na Hafsa wakamshikilia mpaka Mtume (s.a.w.)

akajiharamishia kijakazi huyo (akasema yeye ni haramu juu yangu). Basi

998

- Ibn Manda Al-Iman j. 2, uk. 816-17, Hadithi na. 51- (841). Al-Bayhaqi Al-Ba‟athu Wa

Al-Nushur j. 1, uk. 98, Hadithi na. 91.

Page 342: Fimbo ya Musa

342 Allah akateremsha Aya: “Ewe Nabii, kwa nini unakiharamisha kitu

ambacho Allah kakuhalalishia”. 999

Hadithi hii japo kuwa Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam, Al-Albani,

anasema kuwa sahihi lakini ukweli ni Hadithi shaadh iliokwenda kinyume

na Hadithi sahihi zaidi, hususan ukizingatia riwaya zake nyengine kwamba

Mtume (s.a.w.) alimuingilia kijakazi huyo (Maaria Al-Qibtiyya) katika

nyumba ya mkewe mwengine (Hafsa) katika siku ya zamu yake – zamu ya

Hafsa! Jamani! Huku nikumfanya Mtume (s.a.w.) kuwa si muadilifu! Na

kwa hivyo, Al-Imamu Ibn Kathiir kaisahihisha Hadithi nyengine yenye

kusema kuwa sababu ya kuteremka Aya hio ni kitendo cha Mtume (s.a.w.)

cha kuharamisha asali. Anasema: “na sahihi ni kuwa kuteremka kwa Aya

hio ni kwa sababu ya kuharamisha asali, kama alivyosema Al-Bukhari

katika Aya hii……”.1000

Kwa ufupi ni kuwa Hadithi hii imekwenda

kinyume na Hadithi sahihi zaidi iliosimuliwa na Al-Bukhari na wengine.

Hadithi ya nne:

ال خ ـــكيػ٢ ٤ ر كد كيػخ ػلخ كيػخ كخى ر ش أهزـــخ ػخرض ػ أ أ ؿ»

كوخ هللا ؼ٢ حذ كخد ػو كؤطخ ػ٢ كبح ك٢ ٢ .هللا ٣ظـــ رؤ ــي

كخ ٣ي كؤهــؿ كـــبح ــ ـــزد ــــ٤ ـــــ كـــق ؽ٣ظزى ك٤خ كوخ ػ٢ أه

«.ا ـزد خ ػ٢ ػ ػ أط٠ حز٢ كوخ ٣خ هللا

Kanihadithia Zuhair bin Harb, katuhadithia „Affaan, katuhadithia Hammad

bin Salama katuambia Thabit (Al-Bunani) kutoka kwa Anas kwamba

kulikuwa na mtu ambaye anatuhumiwa (kufanya machafu) na kijakazi cha

Mtume (s.a.w.)! Mtume (s.a.w.) akamwambia Ali: „nenda kamkate shingo

yake‟. Basi Ali akamuendea, kutahamaki yuko kwenye kisima ajipoza

(joto) ndani yake. Ali akamwambia: „toka‟, akampa mkono wake akamtoa

kutahamaki ni butu: hana kiume, basi Ali akamuacha kisha akamjia Mtume

(s.a.w.), akasema: „ewe Mjumbe wa Allah, hakika yake ni butu: hana

kiume‟.1001

Hadithi hii kaipokea Muslim na tumeielezea kidogo huko nyuma.

Tumesema vipi:

c) Mtume (s.a.w.) aamrishe kuuliwa mtu kwa sababu ya tuhuma tu?!

999

- Al-Nasai Al-Kubra j. 10, uk. 307, Hadithi na. 11543. 1000

- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhiim j. 4, uk. 349 katika tafsiri ya Aya ya kwanza

ya Suratu Al-Tahriim. 1001

- Muslim Sahihu Muslim uk. 1161, Hadithi na. 2771.

Page 343: Fimbo ya Musa

343

d) Aamrishe kuuliwa mtu kwa tuhuma ya kufanya maovu na kijakazi

chake, lakini asitoe amri kama hio kwa waliomtuhumu kipenzi

chake mwana wa kipenzi chake „Aisha bint Abi Bakr (r.a.)?!

Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir:

Ama madai ya baadhi ya washereheshaji wa Hadithi hii kwamba sababu ya Mtume

(s.a.w.) kutoa amri hio ni kuwa mtu huyo alikuwa mnafiki, ni madai yasio sahihi,

kwani:

e) Hio ni kauli isio na dalili yoyote.

f) Riwaya inathibitisha kinyume na hayo kwani imekuja kwa herufi Al-Fauu

ili kuyafungamanisha yale yalio kabla na yale yalio baada kwa

mfangamanisho wa kuonesha sababu. Maana ya haya ni kuwa tuhuma ndio

sababu ya amri hio ya kumuua mtu huyo.

g) Mtume (s.a.w.) hakuamrisha kuwaua wanafiki na lau aliamrisha kuwa

wauliwe basi angeliamrisha kuuliwa kwa „Abdillahi bin „Ubeiy.

h) Hadithi inasema kwamba baada ya Ali kupewa amri hio na kwenda kutaka

kumuua mtu huyo akamkuta mtuhumiwa hana kiume,1002

Ali akarudi. Lau

unafiki ulikuwa ndio sababu, basi Ali asingelirudi baada ya kumkuta mtu

huyo hivyo, kwani hakuna tafauti ya unafiki baina ya mwenye kiume na

asiyekuwa nacho.1003

Ninasema: wala Sheikh Al-Khalili hakupwekeka katika kuikanusha Hadithi

hio, Ibn Al-Qayyim pia kataja kwamba wako walioikataa kwa sababu ya

hukumu hio iliotajwa katika Hadithi. Anasema: “na hukumu hii imewatatiza

watu wengi, basi wakaiponda Hadithi hii, lakini katika sanad yake hakuna

wa kuambatana naye (hakuna mtu dhaifu)”.1004

Lakini kipengele

kinachosema: “katika sanad yake hakuna wa kuambatana naye” kimejibiwa

na Imamu Al-Sunna aliposema: “lakini matn yake ni munkar kwa uwazi

kabisa, na matn ikiwa ni batili hakuna mazingatio ya sanad kama

ilivyoelezwa na maimamu, wenye kuchekecha”.1005

Ninasema: bali katika

sanad yake yumo Hammad bin Salama naye ni dhaifu wa hifdhi.

Hadithi ya tano:

ػخرض حزخ٢،ـــكيػخ أر ر ر أر٢ ٤زش، كيػخ حل ر ٠، كيػخ كخى ر ش، ػ

1002

- Jamaa! Ivo huyu Ali alikuwa akichungulia watu? 1003

- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Jawabu Kwa Mawahabi Wa Algeria uk. 2-3.

Tanbihi: 1) Jawabu hio si kitabu bali ni kama makala tu. 2) Jawabu hio haina jina rasmi,

hilo jina Jawabu Kwa Mawahabi Wa Algeria nimeiita mimi tu hapa ili kumrahishia

msomaji kufikia katika marejeo hayo akihitaji kufanya hivyo, kwani ukiitaja kwa jina hilo

kila mtu aliyeisoma anajua unakusudia maandiko gani. 1004

- Ibn Al-Qayyim Zaadu Al-Ma‟aad j. 5, uk. 11. 1005

- Al-Qannubi Al-Tufan j. 3, sehemu ya pili uk. 636.

Page 344: Fimbo ya Musa

344

ؼح أحط كمــــأ ر خي، أ هخ: خ ض ح٣٥ش ) ٣خ أ٣خ ح٣ آح ل طك ػ

أ حخ. حكظزــــــــحز٢( ا٠ آه ح٣٥ش. ؿ ػخرض ر ه٤ ك٢ ر٤ظ هخ: أخ ص

ؼي ر ؼخ كوخ: ) ٣خ أرخ ـــ ــ٠ هللا ػ٤ ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ . كؤ حز٢

طخ ؼيخ١ خ ػض ر. هخ كؤــؼي: ا ــــػ، خ ؤ ػخرض ؟ حظ٠ ؟ ( هخ

وي ػظ أ٢ ٠ هللا ػ٤ . كوخ ػخرض: أض ح٣٥ش ــ هللا ـــــ ه ــك

أكؼ طخ ػ٠ هللا ٠ هللا ػ٤ . كؤخ أ حخ، ك ي ؼي ز٢ـ

حـش. ٠ هللا ػ٤ كوخ هللا ٠ هللا ػ٤ : ر أ

Katuhadithia Abu Bakr bin Abi Shaiba, katuhadithia Al-Hasan bin Musa,

katuhadithia Hammad bin Salama, kutoka kwa THABIT AL-BUNANI

kutoka kwa Anas bin Malik kwamba kasema: „ilipoteremka Aya hii: (Enyi

mulioamini! Musipaze sauti zenu juu ya sauti ya Nabii) hadi mwisho

mwa Aya hio. Thabit bin Qais alikaa nyumbani kwake akasema: „mimi ni

mtu wa motoni‟, na akajizuia kwenda kwa Mtume (s.a.w.). Mtume (s.a.w.),

akamuuliza Sa‟ad bin Mu‟adh akasema: „E Abu Mu‟adh! Vipi kuhusu Abu

„Amri (Thabit bin Qais): anaumwa?‟ Amesema Sa‟ad: „yeye ni jirani

yangu, na sijasikia kuwa anaumwa‟. Amesema: „basi Sa‟ad akamuendea

(Thabit bin Qais) akamwambia yale alioyasema Mtume (s.a.w.). Akasema

Thabit (bin Qais): „imeteremshwa Aya hii na kama munavyojua kwamba

mimi ndiye ninayepaza sauti yangu juu ya Nabii kuliko nyote, basi mimi ni

mtu wa motoni! Basi Sa‟ad (bin Mu‟adh) akenda kumwambia Mtume

(s.a.w.), akasema Mtume (s.a.w.): „bali yeye ni mtu wa peponi‟.1006

Hadithi hii imesimuliwa na HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa THABIT

AL-BUNANI, lakini Ibn Kathir – kuhusu Hadithi hii – atongoa hivi:

خى ر ش ك٤خ طلى ر ؼي ر ؼخ ٢ ـــــــح٣ش كــــش ــــك حطم حؼالع ؼ

ل ؿىح ـ ؼخ ٢ هللا ػــــــــأ كخ ح٣٥ش ٣ ؼي ر حل٤ق هللا ػ،

خ هي خص رؼي ر٢ ه٣ظش رؤ٣خ هالث ش ه، ح٣٥خص ض ك٢ كي ر٢ ط٤، حكى

حـس ـاخ طحطح ك٢ ش طغ

Njia hizi tatu (za riwaya hii, zote) ni zenye ila (kasoro) KWA SABABU

YA KUPOKEWA NA HAMMAD BIN SALAMA KATIKA KILE

ALICHOPWEKEKA1007

nacho ni cha kumtaja Sa‟ad bin Mu‟adh. Na

kilicho sahihi ni kuwa Aya hii ilipoteremka, Sa‟ad bin Mu‟adh hakuwepo

kamwe, kwani yeye alikwisha kufa mwaka wa tano baada ya (vita vya)

Banii Quraidha kwa siku chache, wakati Aya hizi zimewateremkia Banu

Tamim, na ujumbe wao ulikuja mwaka wa tisa wa hijra.1008

Hio ni riwaya iliosimuliwa na HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa

THABIT AL-BUNANI nayo ni riwaya yenye makosa, na Ibn Kathir kasema

1006

- Muslim Sahihu Muslim Hadithi na. 119. 1007

- Yaani alioipokea yeye tu. 1008

- Ibn Kathir Al-Tafsir j. 4, uk. 187, katika tafsiri yaAya 1-3 ya Suratul Hujurat.

Page 345: Fimbo ya Musa

345

hapa kuwa kosa hilo limetokana na Hammad bin Salama. Je, baada ya hayo,

propaganda za kuwa riwaya za HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa

THABIT AL-BUNANI ndio riwaya sahihi zao, ina ukweli?

Hadithi ya sita:

ـــــش ػـــكيػخ لي ر خق، ػخ حل٤ ر حل٠، ػخ ػلخ ر ، ػخ كخى ر

هخ ــــــرض هللا ٠ هللا ػ٤ أ ٢ هللا ػ هخ: خ خطض ه٤شـــػخرض ػ

: ل ٣يه حوز ؿ هخف أ ح٤ش ك ٣يه ػؼخ حوز.ــــحز٢ ٠ هللا ػ٤

Na katusimilia Muhammad bin Salih, katuhadithia Al-Husain bin Al-

Fadhl, katuhadithia „Affaan bin Muslim, katuhadithia HAMMAD BIN

SALAMA kutoka kwa THABIT AL-BUNANI kutoka kwa Anas bin Malik

(r.a.w.) kasema: „alipokufa Ruqayya bint Rasuli (s.a.w.) alisema Mtume

(s.a.w.): „yule ambaye alimuingilia mkewe usiku wa leo basi asiingie

kaburini, basi „Uthman (bin „Affaan) hakuingia kaburini.1009

Hadithi hii imesimuliwa na HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa THABIT

AL-BUNANI, lakini Ibn Hajar – kuhusu Hadithi hio – anena hivi:

ن حل٢ـــــ٢ حظخ٣ــــح كخى ر ش ػ ػخرض ػ أ كخخ ه٤ش أهؿ حزوخ١ ك

٠ هللاــض حز٢ ـــــحزوخ١: خ أى١ خ ح، كب ه٤ش خط حظيى، هخ ٢ـــــــحلخ ك

يخ. هض: كخى ك٢ ط٤ظخ كو٢ــــػ٤ رزي ٣

Kaipokea HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa THABIT (AL-

BUNANI), basi akamwita (maiti huyo) kuwa ni Ruqayya (katika Hadithi

ambayo) kaipokea Al-Bukhari katika kitabu Al-Taarikh Al-Awsat na Al-

Hakim katika Al-Mustadrak. Kasema Al-Bukhari: „ata sijui hiki ni nini,

kwani Ruqayya kafa na Mtume (s.a.w.): yuko Badr wala hakumuhudhuria

(hakuwepo). Ninasema:1010

„hili si jengine isipokuwa ni kosa la HAMMAD

(BIN SALAMA) katika kumtaja jina lake tu.1011

Anaendelea Ibn Hajar:

هغ ك٢ حل٢ طزح٢ كي٣غ كخى ر ش ػ ػخرض ػ أ أخ ه٤ش، ل ٣ق

Na imepokewa katika kitabu Al-Awsat cha Al-Tabarani katika Hadithi ya

HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa THABIT (AL-BUNANI) kutoka

kwa Anas kwamba yeye ni Ruqayya, na hilo si sahihi.1012

1009

- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 4, uk. 51, Hadithi na. 6852. Ahmad Al-Musnad Hadithi na.

13431, na. 13889. Al-Bukhari Al-Taarikh Al-Saghir uk. 12.

1010 - Msemaji ni Ibn Hajar.

1011 - Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 4, uk. 505.

1012 - Ibn Hajar Hadyu Al-Sari uk. 409.

Page 346: Fimbo ya Musa

346

Anaendelea Ibn Hajar:

.. هخ أر ػ ح هطؤ كخى اخ خ ي ك٢ أ ؼ

Kasema Abu „Amri: „hili ni kosa la HAMMAD (BIN SALAMA), bali

hayo yalikuwa katika (maziko ya) Ummu Kulthum.1013

Kwa hivyo, baada ya nukulu hizi mbili tatu, itakubainikia kwa uwazi – ewe

ndugu msomaji – ubatili wa madai kwamba riwaya za Hammad bin Salama

kutoka kwa Thabit Al-Bunani ni riwaya sahihi! Hilo ni jambo lisilo na

ukweli. Ukweli ni kuwa riwaya za Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit

Al-Bunani ziko sahihi, dhaifu na maudhui (za kutunga). Na kwa hivyo, ni

lazima vipimo vyengine vitumike kama vile:

1) Kutazama masimulizi ya wapokezi waliowengi zaidi.

2) Kutazama masimulizi ya mpokezi au wapokezi walio imara zaidi.

Na umejionea mwenyewe kwamba wasimulizi walio wengi wamesema

kinyume na alivyosema Hammad bin Salama; na kati ya hao kuna mpokezi

aliye imara zaidi naye ni Hammad bin Zaid.

HAMMAD KENDA KINYUME NA WAPOKEZI

WENGI ZAIDI NA WALIOTHIQA ZAIDI

Tumekuwa tukidokoadokoa huko nyuma kwamba Hammad Salama katika

riwaya hii kenda kinyume na wapokezi walio wengi zaidi akiwemo mpokezi

ambaye ni madhubuti zaidi. Sasa wacha tulizungumzie suala hili kwa

ufafanuzi.

Hammad bin Salama kaisimulia riwaya hii “kutoka kwa Thabit Al-Bunani

kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila kutoka kwa Suhaib kutoka kwa

Mtume (s.a.w.) akisema kwamba maana ya ziada katika Aya isemayo:

“Wale waliofanya mema watapata wema wao na ziada” ni kumuona

Allah. Wakati Hammad aripoti hivyo, wanavyuoni wawataja wapokezi

wengine wane wakisema kwamba hayo si maneno ya Mtume (s.a.w.), bali

ni maneno ya “Abdul-Rahman bin Abi Laila” ambayo Hammad kwa sababu

ya awham wake kayanasibisha kwa Mtume (s.a.w.)”. Anasema Al-Tirmidhi:

ـك ش خى ر ك ي ػ حك ٤ ح ؿ ح ش خى ر ــــي ٣غ ك ر خ ٤ ح خ ػ ك

٣غ ي ل ح ح س ٤ ـ ػ ح ك ٤ ٣ أ ر ٢ ٤ ٠ ه ر ك ز ي ح ػ ػ خر ض ػ ٤ ذ ـػ

ـــز ٢ حـ ػ ٤ ٠ هللا ػ

1013

- Ibn Hajar Al-Isaba j. 8, uk. 83.

Page 347: Fimbo ya Musa

347 Hadithi yaHammad bin Salama iko namna hivi: imepokewa na mpokezi

zaidi ya mmoja kutoka kwa Hammad bin Salama hali ya kuwa kaihusisha

na Mtume (s.a.w.); wakati Sulaiman bin Al-Mughira na Hammad bin Zaid

wameipokea Hadithi hii kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka kwa „Abdil-

Rahman bin Abi Laila hali ya kuwa ni maneno yake (ni maneno ya „Abdil-

Rahman bin Abi Laila: Si Mtume s.a.w.), wala hakutaja ndani yake

kwamba inatoka kwa Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.).1014

Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:

ػخرض ـح حلي٣غ ح ح حظ حخث٠ ر خؿ ؿ٤ ح٣ش كخى ر ش ػ

٠ هللا ػ٤ هخ أر ػ٠٤ حظ أر ؼى٠٤ ػ ٤ذ ػ حز٠ ػ ر أرــ٠

ش ح ٤خ رــ ـــخى رــــ٣ ح كػخ ػ ػخرض ؿ٤ ك حيو٠ ؿ٤خ ـــ

ك٤ حز٠ــــ ٤ـــػخرض ػ ر أر٠ ٠٤ ه حـ٤س كخى ر ٣ي كخى ر حهي ػ

٤ذ ٠ هللا ػ٤ ل

Hadithi hii namna hivi kaipokea Al-Tirmidhi, Al-Nasai, Ibn Maja na

wengine katika masimulizi ya Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit

(Al-Bunani) kutoka kwa Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.). Kasema Abu

„Issa Al-Tirmidhi na Abu Mas‟uud Al-Dimashqi na wengineo: „Hakuna

aliyeisimulia namna hivi hali ya kuwa ni yenye kunasibishwa kwa Mtume

(s.a.w.) kutoka kwa Thabit (Al-Bunani) isipokuwa Hammad bin Salama.

Na imesimuliwa na: Sulaiman bin Al-Mughira, Hammad bin Zaid1015

na

Hammad bin Waaqid kutoka kwa Thabit kutoka kwa („Abdil-Rahman) Ibn

Abi Laila, ni maneno yake (ni maneno ya „Abdil-Rahman bin Abi Laila: si

maneno ya Mtume (s.a.w.), wala hakutaja ndani yake kwamba inatoka kwa

Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.).1016

Anasema Al-Qannubi katika Al-Tufaan na Ibn Hajar katika Fat-hu Al-Bari

kwamba miongoni mwa waliosema hivyo kwamba Hadithi hio ni maneno

ya „Abdil-Rahman bin Abi Laila: si ya Mtume s.a.w.), ni Ma‟amar bin

Rashid.1017

Kwa hivyo, hawa ni jumla ya wapokezi wane, watatu kati yao ni

wenye kuaminika ambao wameipokea riwaya hio kutoka kwa Thabit Al-

Bunani kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila hali ya kuwa hayo ni

maneno yake yaani ni tafsiri yake yeye: si tafsiri ya Mtume (s.a.w.). Tazama

hali ya wapokezi hao:

1014 - Al-Tirmidhi Al-Sunan maelezo baada ya Hadithi na. 3105.

1015 - Tazama pia Ibn Jarir katika Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 123.

1016 - Al-Nawawi Sharhu Sahihi Muslim j. 2, uk. 297. Riwaya za: Sulaiman bin Al-Mughira,

Hammad bin Zaid na Ma‟amar, kazisimulia Ibn Jarir Al-Tabari katika Jaami‟u Al-Bayan j.

11, uk. 123-124. 1017

- Al-Qannubi Al-Tufan j. 3, sehemu 1, uk. 314, Ibn Hajar Fathu Al-Bari j. 9, uk. 5319,

maelezo juu ya Aya ya 26, ya Sura ya 10. Kwa mujibu wa Ibn Hajar, riwaya ya Ma‟amar

imesimuliwa na „Abdul-Razzaq, lakini bila kusahau kwamba riwaya hio pia imesimuliwa

na Ibn Jarir katika Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 123.

Page 348: Fimbo ya Musa

348

Sulaiman bin Al-Mughira

Anasema Shu‟uba: “Sulaiman bin Mughira ni bwana wa watu wa Basra”.

Anasema Abu Daud Al-Tayaalisi: “katuhadithia Sulaiman bin Mughira na

alikuwa ni mtu bora”. Anasema „Abdullah bin Daud Al-Khuraibi: “katika

mji wa Basra sikupata kuona mtu bora kuliko Sulaiman bin Al-Mughira na

Marhuum bin „Abdil-‟Aziz”. Anasema Abu Talib kutoka kwa (Al-Imamu)

Ahmad (bin Hanbal): “ni imara; ni imara”. Anasema Yahya bin Ma‟iin: “ni

mwenye kuaminika; ni mwenye kuaminika”. Anasema Ibn Sa‟ad: “ni

mwenye kuaminika, imara”. Kasema Al-Nasai: “ni mwenye kuaminika”.

Anasema Sulaiman bin Harb: “…ni mwenye kuaminika, ni muaminifu”.

Anasema „Abdullah bin Maslama bin Qa‟anab: “sijapata kuona mtu wa

Basra aliye bora kuliko yeye”.1018

Huyo ni mpokezi mmoja katika jumla ya wapokezi wane waliokwenda

kinyume na Hammad bin Salama, nawe umejionea mwenyewe jinsi

alivyohimidiwa na wanavyuoni wa wapokezi.

Hammad bin Waaqid

Huyu ni dhaifu.1019

Lakini hakuna ubaya kwa hapa kwa vile riwaya yake

imewafikiana na riwaya ya wapokezi watatu wenye kuaminika. Hususan

ukichukua kauli ya Abu Zur‟a aliposema: “Hadithi zake ni layyin”, na kauli

ya Abu Hatim aliposema: “Hadithi zake ni layyin, Hadithi zake zinaandikwa

na kufuatiliwa”.1020

Na Hadithi hii – kama ulivyoona – ina ushahidi

madhubuti kutoka kwa wapokezi wengine. Ama kauli ya Ibn „Adey

aliposema: “yote alioyasimulia yeye, hafatiliwi na wapokezi wenye

kuaminika”. Hii ni lugha mashuhuri kwa Ibn „Adey, na inawezekana

ikawa Ibn „Adey kakusudia “aghlabu ya alioyasimulia yeye, hafatiliwi na

wapokezi wenye kuaminika”. Vyenginevyo, riwaya hii inamrudi Ibn „Adey,

bali Al-Dhahabi kataja riwaya yake katika kitabu Al-Mizan kisha akasema:

“kafuatiliwa na wengine, akaisimulia mpokezi zaidi ya mmoja kutoka kwa

„Abdillah bin Bakr Al-Sahami…”.1021

Mukhtasar wa hayo ni kuwa:

1) Hammad bin Waaqid ni dhaifu.

1018

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 193, tarjama na. 383. 1019

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 193, tarjama na. 383. 1020

- Yaani zikipata ushahidi mwengine zinakubalika. 1021

- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 2, uk. 124, tarjama na. 2277.

Page 349: Fimbo ya Musa

349

2) Lakini katika riwaya hii hakupwekeka.

Ma‟amar bin Rashid

Huyu ni mpokezi wa tatu ambaye kaisimulia riwaya hio katika jumla ya

wapokezi wane waliokwenda kinyume na Hammad bin Salama. Huyu kwa

mukhtasar ni Imam thiqa, thabat (mwenye kuaminika aliye imara), lakini

Hadithi zake zina kasoro mbili:

1) Hadithi alizozisimulia kutoka kwa watu wa Iraki hakuwa imara.

Isipokuwa ziwe ni riwaya za Al-Zuhri na Ibn Tawus.

2) Riwaya zake kutoka kwa Thabit kuna awham (kuna makosa

mengi).1022

Tunasema: lakini kasoro hizi zote ni pale atapopwekeka na riwaya: si pale

ambapo kaipokea riwaya hio yeye na wenzake hususun ukizingatia kuwa

yeye mwenyewe kwa ujumla ni mpokezi imara sana na kakubaliana na

wapokezi wawili walio imara sana. Kwa hali hii, riwaya yake hapa ni sahihi.

Hammad bin Zaid

Huyu ni mpokezi wa nne. Anasema „Abdul-Rahman bin Mahdi: “Maimamu

wa watu katika zama zao ni wane: Sufyaan Al-Thauri katika mji wa Al-

Kufa, Malik katika miji ya Hijaz, Al-Awza‟i katika miji ya Sham na

Hammad bin Zaid katika mji wa Basra”……. “sikupata kuona kamwe mtu

aliye mjuzi zaidi wa Sunna wala Hadithi ambayo inaingia katika Sunna

kuliko Hammad bin Zaid”…… “sikuona katika mji wa Basra mwanachuoni

wa fiq-hi kuliko Hammad bin Zaid”. Anasema Muhammad bin Minhal:

“nilimsikia Yazid bin Zuray‟i kaulizwa: „Unasemaje kuhusu Hammad bin

Zaid na Hammad bin Salama yupi aliye imara zaidi? Akasema: (aliye imara

zaidi ni) Hammad bin Zaid”. Akaulizwa Waki‟u: “ni yupi aliyehifadhi zaidi

(Baina ya Hammad bin Zaid na Hammad bin Salama)?‟ Akasema:

“Hammad bin Zaid”. Anasema Yahya bin Yahya: “sikupata kumuona mtu

aliyehifadhi kama yeye (Hammad bin Zaid)”. Anasema Al-Imamu Ahmad

bin Hanbal: “Hammad bin Zaid ni bora zaidi kwetu kuliko „Abdul-Waarith,

Hammad ni katika Maimamu wa Waislamu na ni katika watu wa dini na

watu wa Uislamu, naye (HAMMAD BIN ZAID) ni bora zaidi kwetu kuliko

HAMMAD BIN SALAMA”. Anasema Abu Zur‟a: “HAMMAD BIN ZAID

ni imara zaidi tena kwa wingi, na ni fundi zaidi na mwenye Hadithi sahihi

1022

- Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib uk. 541, tarjama na. 6809. Na Tahdhibu Al-Tahdhib j.

4, uk. 193, tarjama na. 383.

Page 350: Fimbo ya Musa

350

zaidi kuliko HAMMAD BIN SALAMA”. Anasema Al-Khalili:1023

“ni

mwenye kuaminika, aliyekubaliwa (na wote) Maimamu wamemridhia”.1024

Kwa hivyo, hawa ni wapokezi wane, watatu kati ya hao ni Maimamu

wakubwa imara sana, na mmoja kati yao kasemwa kuwa ni imara zaidi na

mwenye Hadithi sahihi zaidi kuliko Hammad bin Salama. Na wasimulizi

wane hawa, wote wameafikiana kuwa Hadithi hio si maneno ya Mtume

(s.a.w.), bali ni maneno ya Ibn Abi Laila ambayo – kimakosa – Hammad bin

Salama kayanasibisha kwa Mtume (s.a.w.). Ama madai ya bwana Mafuta

aliposema:

MAJIBU YETU

Njia ya kwanza:

Kama tulivyotangulia kukutajia kauli za maulamaa wa hadithi kuhusu

riwaya za Hamad bin Salama kutoka kwa Thabit al-Bunaani (hapa ndugu

Juma amekosea kwa kumuita Al-banaan, na sahihi ni Al –bunaani)

kwamba yeye Hamad bin Salama ni mtu madhubuti zaidi kwa mapokezi

kutoka kwa Thabit na iwapo atatokea mtu yoyote kupingana na mapokezi

ya Hamad bin Salama kutoka kwa Thabit basi kauli ya kuchukuliwa ni

kauli ya Hamad. Na hapa tunaona kwamba Hamad bin Zaid na Sulaimaan

Ibnul-Mughira wawili hawa wametofautiana na Hamad bin Salama katika

riwaya hii kutoka kwa Thabit al-Bunaani. Amesema Imamu Yahya bin

Mai‟n:

.كخى ه كخو ػخرض ك٠ ش ر كخى هخق :ؼ٤ حر هخ

“Yoyote atakayetofautiana na Hamad bin Salama katika (mapokeziyake

kutoka) kwa Thabit, basi kauli (ya kuchukuliwa) ni kauli yaHamad”.1025

JAWABU

Ibn Ma‟iin kasema hivyo, na kwa nyongeza pia ni kuwa Ibn Al-Madini naye

kasema: “Katika wanafunzi wa Thabit hakuna aliye imara zaidi kuliko

Hammad bin Salama, kisha Sulaiman bin Al-Mughira kisha Hammad bin

Zaid”.1026

Lakini hilo tumeshalielezea kwamba:

1) Makusudio ya wanavyuoni hao ni pale iwapo mpokezi mmoja tu

kenda kinyume na Hammad bin Salama katika riwaya zao

walizozisimulia kutoka kwa Thabit Al-Bunani. Ama ikiwa kapingwa

1023

- Si Mufti wa Oman. 1024

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3, uk. 9-11. 1025

- Tazama Mizanul I‟tidali 1/591. 1026

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 193, tarjama na. 383.

Page 351: Fimbo ya Musa

351

na walio wengi, na wengi hao wakawa ni wenye kuaminika kama

ilivyo hapa bali hawa ni wenye kuaminika zaidi na ni wane si

wawili, hapa Hadithi ya Hammad inakuwa Shaadh (dhaifu).

Wanavyuoni hao hawakusudii kuwa wapokezi wengi wenye

kuaminika wakenda kinyume na Hammad bin Salama, bali

wanakusudia kusema kwamba mpokezi mmoja akenda kinyume na

Hammad bin Salama katika riwaya zao kutoka kwa Thabit. Na hivi,

ewe Sheikh Kasim bin Mafuta, ndivyo alivyosema mwalimu wenu

wenyewe, Muqbil Hadi kuhusu Hadithi hii hii ya Hammad bin

Salama unayoitetea wewe ili upate kumuona Allah! Anasema

Muqbil:

ض حخـــي كخ١ ٣ظ ٢ طؿ٤ق ح٣ش حـخػش ا خ كخى ر ش أػزـــؼر

حوطؤ ا٠ حكي أهد ”طو٣ذ حظ٣ذ“ك٢ ػخرض، كب طـ٤ كلظ رآه خ ك٢

ا٠ ؿخػش..

Baada ya hayo, kinachonibainikia mimi ni kuipa uzito riwaya ya

walio wengi pamoja na kuwa Hammad bin Salama ni mtu imara

zaidi wao katika riwaya za Thabit (Al-Bunani), kwani yeye hifdhi

yake hatimae ilibadilika kama ilivyoelezwa katika kitabu Taqribu

Al-Tahdhib, na kukosea kwa mtu mmoja ni jambo lililo karibu

zaidi kuliko walio wengi.1027

Hayo ni maneno ya mwalimu wa Kasim Mafuta na Seif Al-Ghafri na

ambaye alikuwa akizingatiwa kuwa ni mtu wa pili kwa elimu ya Hadithi

baada ya Ayatollah Al-Albani! Je Bwana Mafuta na mwalimu wenu naye

pia hajui kanuni za Hadithi?! Utakumbuka pia kwamba maneno kama hayo

kayasema Al-Albani katika Hadithi kadha wa kadha za Hammad bin Salama

na za wapokezi wengine wengi wenye kuaminika ambao wamekwenda

kinyume na wapokezi wengi zaidi.

2) Pili ni kuwa kama tulivyoona kwamba Hammad bin Salama

kasimulia riwaya nyingi dhaifu bali maudhui (za kutunga) kutoka

kwa Thabit Al-Bunani. Kwa hivyo, madai hayo yote ni madai hewa.

Anaendelea Kasim “mwanangwa” wa Mafuta kutoa jawabu yake:

Njia ya pili:

Hamad bin Zaid ni mashuhuri kwa tabia ya kuzifanya Mawquuf hadithi

ambazo ni Mar fu‟u au kwa lugha nyingine ana tabia ya kuzinasibisha na

1027 - Muqbil Al-Wadi‟i Ta‟aliqihi „Alaa Al-Tatabu‟i (Li Al-Daraqutni) uk. 212. Nukulu

kutoka katika kitabu Al-Tufan cha Al-Imamu Al-Qannubi j. 3, sehemu ya 1, uk. 313.

Page 352: Fimbo ya Musa

352 Maswahaba kauli ambazo ni za Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam-

huwenda hapa pia amelifanya jambo hilo. Amesema Imamu Ya‟aqub bin

Shaibah: “Hamad bin Zaid ni madhubuti zaidi kuliko Hamad bin Salama

na wote hao ni watu Thiqa isipokuwa Hamad bin Zaid ni maarufu kwa

kuzifupisha isnadi na kuzifanya kuwa Mawquufu hadithi ambazo ni

Marfu‟u”...1028

JAWABU

Sikudhania kuwa mtu huyu anaweza kutoa hoja kama hii! Lakini bila ya

kurefusha maudhui ni kufahamu kuwa:

1) Lau Hammad bin Zaid alikuwa ni maarufu kwa tabia hio, basi

asingelikuwa thiqa, bali ingelisemwa thiqa lahu awhaam (ni

mwenye kuaminika, ana makosa mengi). Na kwa hivyo, utaona

kwamba Hammad bin Salama yeye kasemwa kuwa ni thiqa lahu

awhaam (ni mwenye kuaminika, ana makosa mengi) kwa sababu

kama hizo za kuzifanya Hadithi mawquuf kuwa ni mar‟fuu.

Inawezekana kuwa hilo linamtokea Hammad bin Zaid katika baadhi

ya Hadithi, au inawezekana ikawa Ya‟aqub bin Shaiba alikosea:

alikusudia kusema Hammad bin Salama ndiye mwenye kosa hilo, na

badala yake akasema Hammad bin Zaid.

2) Hammad bin Zaid ni madhubuti zaidi, kuliko Hammad bin Salama,

kwa ushahidi wa kauli za walio wengi zaidi ambao tumewanukuu

humu.

3) Hilo hata kama ni sahihi, kwa hapa hoja hio haiwezekani kwani

aliyesema kuwa Hadithi hio ni maneno ya Ibn Abi Laila: si Hammad

bin Zaid peke yake, bali hio ni riwaya ya watu wane, na katika hali

hii huwezi kudai kuwa Hammad bin Zaid kakosea na Hammad bin

Salama ndiye aliye sahihi; bali kinyume chake ndivyo inavyosemwa

katika hali kama hii.

Anaendelea Kasim bin Mafuta kutoa jawabu yake kwa kusema: Njia ya tatu:

Zimepokewa hadithi nyingine nyingi kutoka kwa Mtume -swalla llaahu

alayhi wasallam- na kauli nyingi kutoka kwa Maswahaba zinazoitilia

nguvu hadithi hii ambayo katika sanadi yake yumo Hamad bin Salama

ambaye ni mtu madhubuti zaidi katika riwaya za Thabit al-Bunaani kuliko

wapokezi wote wanaopokea kutoka kwa Thaabit.

1028

- Tazama Tah‟dhibul-Tah‟dhibi juzuu 2 ukurasa 10.

Page 353: Fimbo ya Musa

353

JAWABU

Ni kweli zimesimuliwa Hadithi nyengine zikinasibishwa kwa Mtume

(s.a.w.) kuhusu tafsiri ya Aya hio na ni kweli kwamba riwaya hizo zatongoa

sawa na riwaya hii, lakini kuna mambo mengine ya kuzingatiwa:

1) Hadithi hizo sanad zake ziko taabani zaidi kuliko hii ya Hammad bin

Salama: hii ndio afadhali yao nayo pia iko taabani!

2) Njia nyengine muhimu ya kuifasiri Qur-ani, nayo ndio muhimu yao:

yaani njia ya fani za lugha, haikubaliani na tafsiri hio.

3) Kama vile ambavyo kuna riwaya nyingi hizo kutoka kwa Mtume

(s.a.w.); pia kuna riwaya nyengine nyingi pia kutoka kwa Mtume

(s.a.w.) na Masahaba zenye kupingana na riwaya hio ya Hammad

bin Salama.

TAKHRIJ YA HADITHI HIZO

Sasa baada ya hayo, ndugu msomaji, zitazame hizo Hadithi nyengine

ambazo Kasim Mafuta anadai kwamba “zimepokewa na kuipa nguvu

Hadithi hio” na kuzililia kwamba “Juma kanzidhoofisha bure”. Riwaya hizo

kazijadili Imamu Al-Sunna Wa Al-Usuul, Al-Qannubi – wa in raghimat

unuufu Al-Hashwiyya – katika Al-Saif Al-Had, Al-Sayyid Hasan bin „Ali Al-

Saqqaaf katika Mas-alatu Al-Ru-uya na Al-Akh Al-Baahith „Ali Al-Hijri

katika Al-Mizaanu Al-Qist, na – kama ulivyoona – pia tumezijadili katika

kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu. Hadithi hizo ni kama inavyofuata:

Riwaya ya kwanza: riwaya Ka‟ab bin „Ujra. Riwaya hii kaipokea Al-

Tabarani katika Musnad Al-Shimiyyin,1029

na Al-Lalakaai katika Sharhu

I‟itiqadi Ahlil Al-Sunna,1030

na Al-Tabari katika Jaami‟u Al-Bayaan,1031

na

Abu Nu‟aim katika Al-Hilya1032

na akasema: “Hadithi ngeni katika Hadithi

za Ataa na Ibn Juraij, kwapekeka nayo Ibrahim bin Al-Mukhtar”.

Sanad ya Hadithi hio ni: “katusimulia Ibn Humaid katusimulia Ibn Rahim

bin Al-Mukhtar kutoka kwa Ibn Juraij kutoka kwa „Ataa kutoka kwa Ka‟ab

bin „ujra”. Nayo ni sanad iliojaa wapokezi waongo na madhaifu.

1029

- Al-Tabarani Musnad Al-Shimiyyin j. 3, uk. 302. 1030

- Al-Laalakaai Sharhu I‟itiqadi Ahlil Al-Sunna WA Al-Jamaa‟a j. 3, uk. 456-457,

riwaya na. 781. 1031

- Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125. 1032

- Abu Nu‟aim Hilyatu Al-Awliyaa j. 5, uk. 232, Hadithi na. 6939.

Page 354: Fimbo ya Musa

354

Ibn Humaid naye ni Muhammad bin Humaid bin Hayyaan Al-Razi. Katika

Tahdhib Al-Tahdhib cha Ibn Hajar kuna maelezo yafuatayo:

Anasema Is-haq bin Mansur Al-Kausaj akisimulia kauli ya Ali bin Mihran

juu ya Muhammad bin Humaid akisema kwamba: “sijapata kuona mtu

(anayejifanya) jasiri juu ya Mwenyezi Mungu (hamuogopi Mwenyezi

Mungu) kuliko yeye: alikuwa akizichukuwa Hadithi za watu kisha

akizigeuza”. Na akasema tena kuwa “sijapata kuona mtu bingwa wa

uwongo kuliko watu wawili: Sulaiman Al-Shadhakuni na Muhammad bin

Humaid”. Na anasema Al-Nasai kuwa “si chochote si lolote” (yaani hana

maana), akaulizwa “hata kidogo” akasema “hata kidogo”. Na akasema

sehemu nyengine kuwa “Muhammad bin Humaid ni Mwongo mkubwa”. Na

anasema Al-Bukhari kuwa “Hadithi zake ni za kufikiriwa”.1033

Na akasema

Abu Ali Al-Naysaaburi “nilimwambia Ibn Khuzaima lau ustaadh

angesimulia Hadithi kutoka kwa Muhammad bin Humaid hakika ya Al-

Imamu Ahmad amemsifu”. Akasema: “hakika yake hakumjua: kama

angemjua kama tulivyomjua sisi basi asingelimsifu”. Na akasema Abu

Nu‟aim bin Adey: “nimemsikia Abu Hatim Al-Razi nyumbani kwake na

mbele yake alikuwepo Ibn Khirash na kikundi cha mashekhe---- wakamtaja

Ibn Humaid wakakubaliana kuwa yeye ni dhaifu sana katika Hadithi na

kwamba anasimulia Hadithi wala hajaisikia (kwa mtu). Na akasema Abu

Qasim: “nimemuuliza Abu Zur‟a kuhusu Muhammad bin Humaid

akaniashiria kwa kidole chake mdomoni mwake. Nikamuuliza „Mwongo?

Akatikisa kichwa chake: “ndio” (Mwongo). Nikamwambia alikwishakua

mzee labda alikuwa anafanyishiwa na kughushiwa, akasema: “alikuwa

anakusudia (kuzua uwongo)”.1034

Pia yumo katika sanad hio:

Ibrahim bin Mukhtar

Anasema Al-Bukhari ك٤ ظ (ni mtu wa kufikiriwa). Al-Bukhari – kama

tulivyosema – huitumia lugha hii kwa mtu ambaye riwaya zake hazifai

kabisa kama ilivyo katika Al-Mizan cha Al-Dhahabi1035

na wengine.1036

1033

- Hii ni ibara laini anayoitumia Al-Imamu Al-Bukhari, akimaanisha mpokezi dhaifu

sana. 1034

- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 111. 1035

- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 3, uk. 130, tarjama na. 4294, tarjama ya „Abdullahi bin

Dawud Al-Wasiti. 1036

- Tazama Ibn Kathir Al-Baa‟ithu Al-Hathith j. 1, 320, kwa sherehe ya Ahmad Shakir na

maelezo ya Al-Albani. Ali bin Naif Al-Khulasa Fii „Ilmi Al-Jarhi Wa Al-Ta‟adil j. 1, uk.

52. Abu Al-Hasanat Al-Hindi Al-Raf‟u Wa Al-Takmil uk. 388.

Page 355: Fimbo ya Musa

355

Anasema Zunaij: “nimemuacha (sipokei Hadithi zake)”. Anasema Ibn

Hibbaan: “Hadithi zake alizozipokea kutoka kwa Ibn Humaid zinaepukwa”.

Na hii kama ulivyoona – ndugu msomaji – pia ni riwaya yake kutoka kwa

Ibn Humaid.

Pia yumo katika sanad hio:

Ibn Juraij

Naye ana tabia mbaya ya kughushi vibaya sana. Anasema Al-Daraqutni:

“Jiepushe na ghushi za Ibn Juraij; alikuwa haghushi ila kitu alichokisikia

kutoka kwa (mpokezi) aliyejeruhiwa (dhaifu)”. 1037

Pia yumo katika sanad hio:

„Ataa Al-Kurasaani

Naye kadhoofishwa na wengi kwa sababu ya hifdhi yake. Ama Sa‟iid bin

Musayyib yeye kasema: “kanizulia uwongo”. Anasema Ibn Hibbaan:

“alikuwa nahifdhi mbaya na anakosea wala hajui, basi imekuwa ni batili

kutoa hoja kwa riwaya zake”.1038 Na mukhtasari wake katika Al-Taqrib ni:

“mkweli, anakosea sana, na anasimulia Hadithi mursal, na anaghushi”.1039

Na zaidi ya hayo ni kuwa riwaya hii ni munqati‟a,1040

ambapo „Ataa Al-

Khurasani huyu kaisimulia kutoka kwa Sahaba Ka‟ab bin „Ujra wala

hakupatapo „Ataa kusikia riwaya kutoka kwa Sahaba yoyote isipokuwa

Anas (r.a.). Anasema Al-Tabarani: “hakusikiapo riwaya kutoka kwa Sahaba

yoyote yule isipokuwa Anas”. 1041

Hio ni Hadithi moja ambayo bwana Mafuta anaililia: kwanini tumeiwacha!

Hadithi ya pili iliokuja kuleta tafsiri hio ya neno ziada kuwa maana yake ni

kumuona Mwenyezi Mungu, imepokewa kwa njia ya Abu Musa Al-Ash‟ari.

Kaipokea Ibn Jarir Al-Tabari katika Jaami‟u Al-Bayaan1042

lakini katika

sanad yake kuna Abaan bin „Ayyaash, naye ni dhaifu sana.1043

Anasema Ibn

1037 - Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 6, uk. 357, tarjama na. 758.

1038 - Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 7, uk. 190-192, tarjama na. 395.

1039 - Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 392, tarjama na. 4600.

1040 - Sanad yake imekatika.

1041 - Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 7, uk. 190-192, tarjama na. 395.

1042 - Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 123.

1043 - Anasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “Hadithi zake zinaachwa: watu

wameziwacha Hadithi zake”. Kasema Al-Fallas: “Hadithi zake zinawachwa; na walikuwa

Yahya na „Abdul-Rahman hawapokei Hadithi kutoka kwake”. Na akasema Al-Bukhari:

Page 356: Fimbo ya Musa

356

Hajar katika Al-Taqrib: “ni mwenye kuachwa”.1044

Kwa hivyo, Hadithi hii

ni dhaifu sana.

Hadithi nyengine iliokuja kuleta tafsiri hio ya neno ziada kuwa maana yake

ni kumuona Mwenyezi Mungu, imepokewa kwa njia ya Ubey bin Ka‟ab.1045

Lakini riwaya hio ina kasoro tatu:

1) Imekuja kwa njia ya Zuhair bin Muhammad naye ni dhaifu.1046

2) Na katika sanad yake yumo „Amru bin Abi Salama Al-Tinnisi,1047

naye ni dhaifu katika riwaya zake kutoka kwa Zuhair bin

Muhammad.1048

3) Katika sanad yake kuna mpokezi hajulikani: sanad inasema:

“nimemsikia Zuhair kutoka kwa aliyemsikia Abu Al-‟Aliya”.

Anasema Imamu Al-Sunna, Al-Qannubi:

Ndio! („Amru bin Abi Salama) kafuatiliwa (katika kuisimulia

riwaya hii) na Al-Walid bin Muslim lakini yeye anaghushi ghushi

ya kusawazisha sanad (tadlisu al-tas-wiya)1049

tena (isitoshe) ndani

yake kuna mpokezi hajulikani kasimulia kutoka kwa Abu Al-

“Shuuba alikuwa akimtazama vibaya”, (yaani hakumkubali). Na akasema Al-Imamu

Ahmad: “Hadithi zake zinawachwa; watu wamemuacha tangu dahari”. Na akasema tena:

“hapaandikwi (chochote) kutoka kwake (yaani watu hawaziandiki Hadithi zake:

hawazitaki)”. Na akasema tena “Hadithi zake ni Munkar”. Tumeeleza huko nyuma nini

Hadithi Munkar na kwa ufupi ni katika jumla ya Hadithi dhaifu sana. Na akasema Ibn

Ma‟iin kuwa: “Hadithi zake hazina maana”. Na akasema tena kuwa ni “dhaifu. Na akasema

tena kuwa: “Hadithi zake zinawachwa”. Na akasema Al-Nasai kuwa: “si muaminifu”. Na

akasema Abu Awana: “sioni kuwa ni halali kupokea chochote kutoka kwake”. Na akasema

Ibn Al-Madini: “Dhaifu”. Na akasema Ibn Idris kutoka kwa Shu‟uba akisema: “bora mtu

azini kuliko kupokea Hadithi kutoka kwa Abaan”. Tazama Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib

j. 1 uk. 85. 1044

- Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 87, tarjama na. 142. 1045

- Kaisimulia Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125, na Al-Llaalakaai Sharhu Usuli

Ahli Al-Sunna j. 2, uk. 268, Hadithi na. 607. 1046

- Anasema Yahya: “dhaifu”. Anasema Abu Hatim: “ni mkweli, lakini hifdhi yake ni

mbaya”. Wanasema „Uthman Al-Darimi na Salih bin Muhammad: “ni mwenye kuaminika,

mkweli, akaongeza „Utham kwa kusema: „ana makosa mengi”. Anasema Al-Nasai:

“dhaifu…si madhubuti”. Na ukiyakusanya yote yaliosemwa basi utapata mukhtasari kuwa

huyu alikuwa ni mpokezi mkweli lakini anahifdhimbaya. Na wengine wamezidhoofisha

riwaya zake alizozipokea kutoka kwa watu wa Sham. Kwa hali yoyote ile sanad hii itakuwa

dhaifu kwani na riwaya hii kaipokea kutoka kwa „Amru bin Salama Al-Tinnisi, naye ni mtu

wa Sham. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3, uk. 301, tarjama na. 645. 1047

- Wengine wanamwita: “Al-Tannisi”. 1048

- Anasema Ibn Ma‟iin: “dhaifu”. Anasema Abu Hatim: “anaandika Hadithi zake wala

hafanywi kuwa ni hoja”. Anasema Al-Saaji: “dhaifu”. Anasema Ahmad: “kasimulia kutoka

kwa Zuhair (bin Muhammad) Hadithi batili”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 39,

tarjama na. 70. 1049

- Yaani anawatoa wapokezi dhaifu katika sanad ili sanad ionekane kuwa ni sahihi.

Page 357: Fimbo ya Musa

357 „Aliya…… na imekuja kwa njia nyengine lakini ni mbovu kabisa

kwani katika sanad yake kuna Muhammad bin Zakariya Al-

Ghallabi Al-Dhabi naye ni mtunzi wa Hadithi kama alivyosema

Al-Daraqutni,1050

na ikaja kwa njia nyengine nayo ni dhaifu pia.1051

Baada ya hayo, utaona kwamba hakuna maana yoyote katika maneno ya

Kasim bin Mafuta aliposema:

Mpaka hapo ndugu msomaji utakua umebainikiwa na majibu yetu juu ya

sanadi ya hadithi hii dhidi ya upotoshaji uliofanywa na jamaa hawa, na –

wali llaahil hamdu – hoja zetu zimekubainikia dhidi ya hoja dhaifu za

bwana Juma na sheikh wake. ……….Kisha ndugu Juma akazidhoofisha

riwaya nyingine ambazo nyingi katika hizo wapokezi wake ni dhaifu, na

hakuishia hapo tu, bali hata hadithi nyingine ambazo ni sahihi

zilizopokelewa kwa njia nyingi lakini baadhi yake zina udhaifu pia

amezidhoofisha, kinyume na ulivyo utaratibu katika taaluma ya elimu hii

ya mambo ya hadithi. Ndugu Juma yeye hakuzichunga kanuni hizo wala

hakuzijali, na akazidhoofisha hadithi hizo bila ya kuheshimu kanuni za

taaluma hii……1052

Hayo ndio maelezo ya Sheikh Mafuta, nasi tunasema kwamba sanad ya

Hammad bin Salama ni dhaifu, na sanad nyengine ni mbovu zaidi wala

hakuna sanad inayofaa kutumika kama ni shahid, kwani ni dhaifu sana.

Zimebakia hizo Hadithi zenye udhaifu mdogo lakini zimepokewa kwa njia

nyingi, naomba unitajie ili tuzitazame.

TANBIHI

Kuna riwaya nyengine kama hio iliokuja kuleta tafsiri hio ya neno ziada

kuwa maana yake ni kumuona Mwenyezi Mungu, lakini hii ya pili imekuja

kulifasiri neno mazid lililomo katika surat qaaf. Riwaya hio tutaizungumzia

katika sehemu yake maalumu.

1050

- Tazama Al-Dhahabi Al-Mizan j. 4, uk. 470, tarjama na. 7537. Kisha Al-Dhahabi

akataja riwaya ya kutunga na akasema: “huu ni katika uwongo wa Al-Ghalabi”. 1051

- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Saifu Al-Had uk. 164. Labda anaikusudia sanad ya Al-

Lalakai katika Sharhu I‟itiqadi Ahli Al-Sunna j. 2, uk. 356, riwaya na. 662. Katika riwaya

hii, kuna Abu Al-Hasan Nu‟aim bin „Abdil Malik. Huyu sikumuona aliposemwa kuwa ni

thiqa. Inaelekea kuwa ni majhulul hali (hali yake haijulikani). Labda hii ndio njia nyengine

anayoikusudia Sheikh Al-Qannubi. Wa Allahu A‟alam. 1052

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 88.

Page 358: Fimbo ya Musa

358

HOJA NYENGINE KUHUSU RIWAYA YA

HAMMAD BIN SALAMA

Tumeona kwamba Hammad bin Salama kenda kinyume na wapokezi

wengine walio wengi zaidi jambo ambalo linaifanya riwaya yake

isikubalike. Lakini watetezi wa Hadithi hio ya Hammad bin Salama

wanajenga hoja kwamba hicho alichokifanya Hammad bin Salama ni

kusimulia masimulizi yaliozidi kitu ndani yake; na masimulizi kama haya

yanakubalika ikiwa yamesimuliwa na mpokezi mwenye kukubalika.

Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:

ق ــــــكوي هيخ ك٢ حل أ حذ حل٤ح ح هخ ئلء ٤ روخىف ك٢ لش حلي٣غ

ذ ا٤ حلوخء ألخد حل حلوو حليػ٤ لل حوط٤ذ حوـــظخ حــــ

رؼ حؼوخص ظال رؼ٠ ال أ رؼ٠ كػخ رؼ٠ حزـــيحى أ حلـــي٣غ حح ح

ػوش ٠ وزش ػي حـخ٤ خ ٣خىسـع لـــــــــــ رخظ رخكــــــــــهكخ ك

..………………حطحثق

…..na hiki ambacho wamekisema hawa hakivunji usahihi wa Hadithi,

tumetanguliza maelezo huko nyuma kwamba kauli sahihi iliochaguliwa

ambayo wameisema wanavyuoni wa fiq-hi, watu wa usulil-fiq-hi na wenye

kufanya tahqiiq miongoni mwa wanavyuoni wa Hadithi na Al-Khatib Al-

Baghdadi akasema kuwa ndio kauli sahihi ni kuwa Hadithi ikiwa

itapokewa na baadhi ya wapokezi wenye kuaminika hali ya kuwa ni

mutasil1053

na wengine wakaipokea hali ya kuwa ni musrsal1054

au wengine

wakaipokea hali ya kuwa ni marfu‟u 1055

na wengine wakaipokea hali ya

kuwa ni mawquuf 1056

, basi itayokubaliwa ni Hadithi mutasil na marfu‟u,

kwani hizo ndani yake zina ziada na ziada iliosimuliwa na mpokezi

mwenye kuaminika basi inakubalika kwa mujibu wa waliowengi katika

kila makundi.

Hayo ni maneno ya Al-Imamu Al-Nawawi nayo ni kanuni ya ٣خىس حؼوش

(ziada ya mpokezi mwenye kuaminika) inayozunguzwa sana katika vitabu

vya elimu ya Hadithi na usulil-fiq-hi. Lakini madai haya ya Al-Imamu Al-

Nawawi yakajibiwa kwa jawabu mbili:

1) Kanuni hio ina khilafu baina ya wanavyuoni.

2) Hadithi ya Hammad bin Salama haiko katika mlango huo wa ٣خىس

bali ni katika mlango ,(ziada ya mpokezi mwenye kuaminika) حؼوش

wa Hadithi shaadh na ma‟aruf.

1053

- Yenye sanad ilioshikana: ambayo haikukatika pahala. 1054

- Ilionasibishwa na Mtume (s.a.w.) pasina kumtaja Sahaba aliyeipokea kutoka kwake. 1055

- Hadithi ilionasibishwa na Mtume (s.a.w.). 1056

- Hadithi ya Sahaba.

Page 359: Fimbo ya Musa

359

Jawabu ya kwanza ni jawabu ya Al-Imamu Al-Qannubi. Anasema:

Ama yale alioyataja Al-Nawawi kwamba inahukumiwa kwa kupewa

uzito riwaya mausula1057, kwani kuiwasilisha riwaya ni ziada na ziada ya

mpokezi mwenye kuaminika inakubalika na kwa hivyo inakubalika

Hadithi ya mwenye kuiwasilisha1058

, jawabu yake ni kuwa kanuni hii ina

tafauti. Wamesema asilimia kubwa ya wanavyuoni wa Hadithi – kama

alivyosimulia Al-Khatib na Ibn Qattan kutoka kwao – kwamba Hadithi

itayozingatiwa ni ya yule aliyeisimulia hali ya kuwa mawquuf au mursal 1059

; na ikasemwa kwamba hukumu ni ya walio wengi zaidi; na ikasemwa

hukumu ni ya waliohifadhi zaidi; na ikasemwa kama hivyo alivyosema Al-

Nawawi; na kuna kauli nyengine:

Anasema Al-Hakim, Abu „Abdil-Lah: „ya tatu katika (Hadithi) zenye

khilafu ni habari ambayo imepokewa na mpokezi mwenye kuaminika

kutoka kwa Imamu miongoni mwa Maimamu wa Kiislamu, aipokee hali

ya kuwa ni musnad1060

, kisha (Hadithi hio hio) ipokewe na kundi kubwa la

wapokezi wenye kuaminika hali ya kuwa ni mursal, na aina hii ziko

nyingi, basi hio wanavyuoni wa fiq-hi wanaizingatia kuwa ni Hadithi

sahihi. Na wao kwao husema kuwa: „ni mpokezi aliyezidisha katika sanad

na matn‟ akiwa mpokezi ni mwenye kuaminika. Ama wanavyuoni wa

Hadithi kauli yao wao ni kauli ya jumhur ambao wameisimulia Hadithi hio

hali ya kuwa ni musnad au mursal, kwa sababu inahofiwa kuwa yule

mmoja ndiye aliyekosea.

Anasema Ibn Daqiq Al-‟Iid katika utangulizi wa kitabu Sharhu Al-Ilmam

kama ilivyoelezwa katika kitabu Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salaah:1061

“anayesimulia kutoka kwa wanavyuoni wa Hadithi au kutoka kwa wengi

wao kwamba riwaya mursala ikigongana na riwaya musnada, au mrfu‟uu

na mawquuf, au iliopungua na iliozidi kwamba inayozingatiwa ni ile yenye

ziada, basi huyo hakusibu katika hilo, kwani hio si kanuni inayokwenda

mfululizo. Na mtu atapozirejea hukumu zao (wanavyuoni) basi atauona

ukweli tuliousema”.

Anasema Ibn „Abdil-Hadi – kama ilivyo katika Nasbu Al-Raya cha Al-

Zayla‟i: „bali ndani yake – yaani katika kuikubali ziada ya mpokezi

mwenye kuaminika – kuna tafauti mashuhuri; wako watu ambao

1057

- Al-Mausul ni kama Al-Muttasil tulioielezea hapo nyuma, na makusudio hapa ni ile

Hadithi iliosimuliwa kutoka kwa Mtume (s.a.w.). 1058

- Mwenye kuipokea kwa sanad iliofika kwa Mtume (s.a.w.) . 1059

- Tumeshazielezea maana yake. 1060

- Hadithi ambayo sanad yake imeshikana na imepokelewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.). 1061

- Uk. 237.

Page 360: Fimbo ya Musa

360 wanaikubali ziada moja kwa moja. Na wengine hawaikubali; na kilicho

sahihi ni kutafautisha. Nayo ni kuwa kuna baadhi ya sehemu inakubalika

pasina kukubalika katika sehemu nyengine. Inakubalika ikiwa mpokezi

aliyeipokea ni mwenye kuaminika, mwenye uwezo wa kuhifadhi, imara;

na yule ambaye hakuitaja ziada hio ni mfano wake au yuko chini yake kwa

kuaminika……Na inaweza ikakubalika sehemu nyengine kwa sababu ya

qarina maalumu zenye kuihusu. Ama wale waliotoa hukumu ya ujumla,

hao wamekosea, bali kila ziada ina hukumu yake maalumu………1062

Anasema Al-Hafidh Al-‟Alaai: „Ama Maimamu wa Hadithi, watangulizi

miongoni mwao kama Yahya bin Sa‟id Al-Qattaan, „Abdil-Rahman bin

Mahdi na walio baada yao kama „Ali bin Al-Madini, Ahmad bin Hanbali

na Yahya bin Ma‟iin na (wanavyuoni wengine) wa tabaka hili,

halkadhalika walio baada yao kama vile Al-Bukhari, Abu Hatim, Abu

Zur‟a, Muslim, Al-Nasai, Al-Tirmidhi na walio mfano wao kisha Al-

Daraqutni na Al-Khalili; wote hawa matendo yao kuhusu kuikubali na

kuikataa ziada ni kuipa uzito kila Hadithi moja kwa mujibu wa inavyopata

nguvu (ile Hadithi yenye ziada), wala – katika mas-ala haya – hawakuwa

wakitoa hukumu ya ujumla tu yenye kuziingiza Hadithi zote (zenye ziada).

Na hii ndio haki na ndio ukweli kama tutavyobainisha in shaa Allah.1063

Kisha akasema baada ya maelezo: „Ama ikiwawapokezi wa sanad mbili

wako sawa katika kuhifadhi na kwa idadi yao, au akawa yule aliyeisimulia

hali ya kuwa ni musnad au marfu‟u yuko chini (kwa hifdhi) ya yule

aliyeisimulia hali ya kuwa ni mursal au mauquf,…pamoja na kuwa wote ni

wenye kuaminika wenye kufanywa kuwa ni hoja, basi hapa kuna uwanja

wa mitazamo na tafauti za Maimamu wa Hadithi na wanavyuoni wa fiq-hi.

Njia wanayoipita watu wengi wa Hadithi bali aghlabu yao ni KUIFANYA

HIO KUWA NI KASORO YENYE KUZUIA KUIHUKUMU

HADITHI KUWA NI SAHIHI MOJA KWA MOJA. Basi wao hurejea

katika kuipa uzito riwaya moja dhidi ya nyengine. Basi pindipo njia moja

itapata nguvu kwa kitu chochote kile katika njia za kuipa uzito (riwaya)

basi wao huihukumu riwaya hio kuwa ndio sahihi. Vyenginevyo basi wao

wanaiwacha Hadithi hio kama ilivyo na wakaifanya hio kuwa ni kasoro ya

Hadithi hio. Na njia za kuipa uzito riwaya ziko nyingi hazihisabiki wala

hakuna kidhibiti maalumu kuhusiana na Hadithi zote. Bali kila Hadithi ina

njia yake maalumu ya kuipa uzito. Na kwa hakika anayeliweza hilo ni

fundi, mwerevu ambaye kazikithiri (kuzijua) njia za Hadithi. Na kwa

sababu hii utakuta kwamba wanavyuoni waliotangulia hawakuhukumu

hapa katika sehemu hii hukumu ya ujumla yenye kukusanya kanuni, bali

mtazamo wao hutafautika kwa mujibu wa kile kilichopo katika kila Hadithi

moja peke yake.

1062

- Nasbu Al-Raya j. 1, uk. 336-337. 1063

- Al-‟Alaai Nadhmu Al-Faraaid uk. 209.

Page 361: Fimbo ya Musa

361 Anasema: „Ama Maimamu wa fiq-hi na usuli, wao wamekufanya kule

Hadithi kuisimulia hali ya kuwa ni musanad au marfu‟u, ni sawa sawa na

kuzidisha katika matn. Lakini hilo linapelekea katika kuikubali Hadithi

shaadh.

Anasema Ibn Rajab Al-Hanbali katika Sharhu „Ilal Al-Tirmidhi: „na katika

kitabu hiki kumejikariri kutajwa kwa Hadithi mausul, mursal, mawquuf na

marfu‟u. Na maneno ya (Al-Imamu) Ahmad na wengineo katika

wanavyuoni wakubwa (Mahuffadh), yanazunguka katika kuizingatia

Hadithi ya aliye thiqa zaidi (mwenye kuaminika zaidi), katika hayo, pia

(wanaizingatia Hadithi ya) aliyehifadhi zaidi. Na kwa hakika (AL-

IMAMU) AHMAD (BIN HANBAL) ALISEMA KATIKA HADITHI

AMBAYO HAMMAD BIN SALAMA KAISIMULIA HALI

YAKUWA NI MUSNAD: „NI KITU GANI KITACHOMFAA

(HAMMAD BIN SALAMA KWA HADITHI YAKE HIO) ILHALI

WENGINE WANAISIMULIA HALI YA KUWA NI MURSAL?1064

Na ametaja Al-Hakim kwamba Maimamu wa Hadithi wanasema kuwa

yenye kufuatwa ni kauli ya walio wengi zaidi ambao wameipokea Hadithi

hio hali ya kuwa ni mursal. Lakini hiki ni kinyume na matendo yake (Al-

Hakim) katika kitabu chake Al-Mustadrak. Na Abu Bakr Al-Khatib

katunga kitabu kizuri kuhusu maudhui hayo kakiita Tamyizu Al-Maziid Fii

Mutasili Al-Asanid na akazigawa sehemu mbili:

1) Zile ambazo zinahukumiwa kuwa: kutajwa na kutokujwa kwa

ziada katika sanad ni sahihi.

2) Zile ambazo ziada iliotajwa ndani yake inahukumiwa kwa

kukataliwa na kutokuikubali.

……..vyenginevyo basi atayekizingatia kitabu Taarikh Al-Bukhari basi

inambainikia kwa yakini kwamba yeye (Al-Bukhari) alikuwa haoni

kwamba ziada katika sanad ilioletwa na kila mpokezi mwenye kuaminika

inakubalika. Vivyo hivyo, Al-Daraqutni: anataja katika baadhi ya sehemu

kwamba ziada ya mpokezi mwenye kuaminika inakubalika; kisha

anazirejesha (anazikataa) ziada nyingi za wapokezi wenye kuaminika

katika sehemu nyingi zaidi na badala yake anazipa uzito Hadithi mursal,

likaonesha hilo kwamba makusudio yao ni ziada mahususi katika sehemu

hizo, nayo ni pale ambapo mpokezi mwenye kuaminika ni aliyedhihiri

katika uwezo wa kuhifadhi. Na amesema Al-Daraqutni katika Hadithi

ambayo wapokezi wawili wenye kuaminika wamezidisha mpokezi mmoja

na (Sufyaan) Al-Thauri akawakhalifu: hakumtaja mpokezi huyo, kasema

(Al-Daraqutni): „lau si kuwa Al-Thauri kawakhalifu, basi kauli ingelikuwa

ya wale waliozidisha (mpokezi katika sanad), kwani ziada ya mpokezi

mwenye kuaminika inakubalika. NA HII KAULI YA WAZI KWAMBA

1064

- Anasema Al-Qannubi: „mpito aliopita Ahmad katika Hadithi hii, ndio tuliopita sisi

katika Hadithi ya kuonekana kwa Allah iliotangulia. Sasa sijui je Al-Hashwiyya

watamtuhumu Ahmad katika dini yake kama wanavyonukuu kutoka kwa fulani na fulani

wakisema kwamba atayemsema Hammad bin Salama basi mtuhumuni katika dini?

Page 362: Fimbo ya Musa

362

ZIADA YA MPOKEZI MWENYE KUAMINIKA INAKUBALIKA

IKIWA HAKWENDA KINYUME NA MPOKEZI ALIYE NA

HIFDHI KALI ZAIDI KULIKO YEYE‟. 1065

Anasema Ibn Al-Wazir katika kitabu Tanqihu Al-Andhar: „ninasema:

ninavyoona mimi ni kuwa hukumu katika hili haiendelee namna moja, bali

inatafautika kwa kutafautika qarina za hali zilivyo, nayo ni sehemu ya

ijtihad‟.1066

Na anasema Al-Hafidh Ibn Hajar katika Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah,

baada ya kuyataja maneno ya Al-Khatib kuhusu tafauti juu ya kuipa uzito

Hadithi mausul na mursal, (anasema Ibn Hajar): „na Abu Al-Hasan

kamfuata Al-Khatib katika kuichagua Hadithi mausul au marfu‟u moja

kwa moja. Lakini Abu Al-Fat-hi Ibn Sayyidi Al-Nas akamjibu kwa

kusema: „kwa hakika hili haliko mbali na mtazamo mwengine ikiwa

(wapokezi wawili hao) watakuwa sawa au watakurubiana katika daraja ya

kuaminika na uadilifu, kwani al-raf‟u (kitendo cha kuihusisha Hadithi na

Mtume s.a.w.) ni kuzidisha kitu ukilinganisha na kitendo cha al-waqfu

(kuihusisha na Sahaba), nayo (hio Hadithi ya waqfu yaani ya kuhusishwa

na Sahaba tu), imekuja kwa njia ya mpokezi mwenye kuaminika na kwa

hivyo njia yake ni kukubalika. Na kwa hivyo, ikiwa Ibn Al-Qatan kalisema

hilo kama ni rai, basi hilo ni sahihi; na ikiwa kasema kwamba analinukuu

kutoka kwa wanavyuoni waliomtangulia, basi wao hawakuwa na matendo

ya aina moja mfululizo. Ninasema:1067

Ibn Al-Qatan kasema kwa uwazi

kabisa kwamba yeye kalisema hilo kama ni chaguo lake; kwa hakika yeye

kaisimulia rai hii na akaikubali. Kisha akasema (Ibn Al-Qatan): „hii ndio

haki katika msingi huu nalo ndilo chaguo la wanavyuoni wengi zaidi wa

usuli halkadhalika wameichagua rai hio kundi la watu wa elimu ya Hadithi

miongoni mwao ni: Abu Bakr Al-Bazzaar, lakini wengi wao – yaani

wanavyuoni wa Hadithi – wanafuata rai ya mwanzo, yaani

wanaitanguliza Hadithi mursal pasina Hadithi mausul.1068

Na akasema (Ibn Hajar) akitia maelezo maneno ya Ibn Al-Salah yasemayo:

„na alichokisahihisha (yaani Al-Khatib) yaani katika kuipa uzito Hadithi

mausul, na marfu‟u hio ndio kauli sahihi kwa (wanavyuoni wa) fiq-hi na

usuli‟. (Kasema Ibn Hajar baada ya maneno hayo ya Ibn Al-Salah):

„Ninasema:1069

alichokisahisha Al-Khatib kakiwekea sharti kwamba

mpokezi awe ni muadilifu, mwenye uwezo wa kuidhibiti Hadithi. Ama

wanavyuoni wa fiq-hi na usuli, wao wanaikubali (ziada) itokayo kwa

muadilifu tu (pasina kushurutisha uwezo wa kudhibiti), na baina ya mambo

1065

- Ibn Raja Al-Hanbali Sharhu „Ilal Al-Tirmidhi uk. 243-244. 1066

- Ibn Al-Wazir Tanqihu Al-Andhar Bi Sharhi Tawdhihi Al-Afkar j. 1, uk. 343. 1067

- Msemaji ni Ibn Hajar. 1068

- Ibn Hajar Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah uk. 236. 1069

- Msemaji ni Ibn Hajar.

Page 363: Fimbo ya Musa

363 mawili hayo kuna tafauti nyingi. Na hapa kuna kitu ambacho

kinalazimu kukitanabahisha nacho ni kuwa wao wameshurutisha

kuwa ile Hadithi sahihi isijeikawa ni shaadh, na wakaifasiri shaadh

kuwa ni Hadithi iliopokewa na mpokezi mwenye kuaminika lakini

akenda kinyume na mpokezi mwenye uwezo zaidi wa kudhibiti au

(akenda kinyume na) idadi kubwa zaidi (ya wapokezi) kisha

wakasema: „ziada iliosimuliwa kutoka kwa mpokezi mwenye kuaminika

inakubaliwa moja kwa moja, na juu ya msingi huo wamejenga kauli

kwamba atayeisimulia Hadithi hali ya kuwa ni mausul nayo ina ziada basi

inatakiwa itangulizwe pasina kuitanguliza Hadithi ya yule aliyeisimulia

hali ya kuwa ni mursal.

Lau itatokea kuwa wale walioisimulia hali ya kuwa ni mursal ni wengi

zaidi kwa idadi au ni wenye uwezo zaidi wa kudhibiti kwa hifdhi au

kwa maandiko kuliko atayeisimulia Hadithi hali ya kuwa ni mausul, je

wataikubali au hawatoikubali? Au je wataiita kuwa ni shaadh au

hawatoiita? Hakuna budi kufarikisha au kukiri kujigonga.

Na kilicho haki katika hali hii ni kuwa ziada ya mpokezi mwenye

kuaminika haikubaliki daima. Na wanavyuoni wa fiq-hi na usuli

walioliachia hilo moja kwa moja (wakasema kuwa ziada inakubalika

moja kwa moja) hawakusibu. Bali wao wanalikubali hilo ikiwa wapokezi

watakuwa sawa katika sifa na ikawa wengine hawakuikataa (ile ziada)

kwa matamshi au kwa maana. ……………..

1070

Anaendelea Ibn Hajar kwa kusema: “na juu ya mtunzi – yaani Ibn Al-Salah

– kuna mushkeli mzito zaidi ya huo, na hio ni kwa sababu yeye

anashurutisha kuwa Hadithi ili iwe sahihi basi isijeikawa ni shaadh kama

maelezo yalivyotangulia. Kisha anasema kwamba lau Hadithi mausul

itagongana na Hadithi mursal basi itatangulizwa mausul moja kwa moja

ikiwa wapokezi wa Hadithi mursal ni wengi zaidi au ni wachache zaidi; ni

wenye uwezo zaidi wa kuhifadhi au hawana uwezo zaidi wa kuhifadhi.

Kisha (akageuka) akasema kuwa Hadithi shaadh ni ambayo mpokezi wake

anakwenda kinyume na mpokezi aliye bora zaidi kuliko yeye! Na ikiwa

mpokezi wa Hadithi mursal ni mwenye uwezo zaidi wa kuhifadhi kuliko

yule aliyeipokea Hadithi hio hali ya kuwa ni mausul pamoja na kuwa wote

ni wenye kuaminika, basi hapo inakuwa imethibiti kwamba ile Hadithi

mausul ni shaadh; basi vipi tena (Ibn Al-Salah) ataihukumu kuwa ni sahihi

ilhali inashurutisha kuwa ili Hadithi iwe sahihi ni lazima isijeikawa ni

shaadh? ……………………1071

1070

- Ibn Hajar Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah uk. 240. 1071

- Ibn Hajar Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah uk. 263.

Page 364: Fimbo ya Musa

364 ………..na natija inayopatikana katika Maimamu hawa ni kuwa ziada

inakubalika ikiwa italetwa na mpokezi mwenye kuhifadhi, bingwa ambaye

yeye na wale ambao hawakuipokea ziada hio wako sawa. Ama wakiwa

wao ni wengi zaidi au akawemo miongoni mwao mwenye hifdhi zaidi

kuliko yeye, au yeye (aliyeleta ziada) akawa si mwenye kuhifadhi hata

akiwa kwa asili ni mkweli, basi ziada yake haikubaliki. Na hii ni

kinyume na kauli ya aliyesema: „ziada ya mpokezi mwenye kuaminika

inakubalika‟ na akalisema hilo bila hata ya kulifungamanisha na

(masharti yoyote).1072

Anasema Ibn Hajar katika Nuzhatu Al-Nadhar: „na ziyada ya wapokezi

wake – yaani Hadithi sahihi na hasan – inakubalika madamu haikuwa ni

yenye kupingana na riwaya ya mpokezi mwenye kuaminika zaidi

miongoni mwa wale ambao hawakuitaja ziada

hio1073

………………..1074

Kwa hivyo, mukhtasar wa haya ni kuwa, kanuni isemayo: ٣خىس حؼوش وزش

(nyongeza iliosimuliwa na mpokezi wa Hadithi mwenye kuaminika,

inakubalika), yaani ikiwa wapokezi wengi wataipokea Hadithi kutoka kwa

fulani, halafu mmoja kati yao akaongeza – ama katika sanad au katika matn

– kitu ambacho wengine wote hawakukipokea, mukhtasar ni kuwa:

1) Kanuni hio ina khilafu kubwa.

2) Walio wengi miongoni mwa wanavyuoni wa elimu ya fiq-hi na usuli

wanaikubali ziada ya namna hio.

3) Jumhur ya wanavyuoni wa Hadithi hawakuikubali moja kwa moja

bali wameweka masharti:

a) Yule aliyeisimulia ziada hio awe ni bora zaidi kwa kuhifadhi na

uadilifu kuliko yule ambaye hakuisimulia. Ikitokea kuwa

kinyume chake – kama ilivyo Hadithi ya Hammad bin Salama

tunayoijadili hapa – basi Hadithi ya yule aliyeisimulia ziada hio

haitokubalika na hapo Hadithi yake itahesabiwa kuwa ni Hadithi

shaadh.

b) Wale ambao hawakuisimulia ziada hio wasijewakawa wao ni

wengi zaidi: wakiwa wao ni wengi zaidi nao ni wenye

kuaminika, basi kauli ya aliyeisimulia ziada hio haitokubalika na

hapo Hadithi yake pia itahesabiwa kuwa ni Hadithi shaadh.

1072

- Ibn Hajar Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah uk. 283. 1073

- Ibn Hajar Nuzhatu Al-Nadhar Fii Tawdhihi Al-Fikr uk. 70-72. 1074

- Hii ni jawabu ya Imamu Al-Sunna Wa Al-Usul Wa Al-Furu‟i Al-Hujja Al-Qannubi.

Nimewacha maelezo yake mengi na nukulu nyengine nyingi alizozinukuu kutoka kwa

wanavyuoni juu yam as-ala haya na haya nilioyanukuu mengine nimeyakata vipande

vipande ili kufupisha. Kwa urefu zaidi, rejea kitabu chake Al-Tufan Al-Jarif j. 3, sehemu ya

kwanza uk. 314-327. Tazama pia Al-Saifu Al-Haad chapa ya tatu 1418 A.H. uk. 147-158.

Page 365: Fimbo ya Musa

365

Na hivyo ndivyo anavyosema Muhaddithu Al-Awraqi Wa Al-Qalami,

Ayatollah Al-Albani. Al-Albani katika sehemu kadha wa kadha za vitabu

vyake huitumia kanuni hio, lakini pia katika sehemu nyengine kabainisha na

kuweka wazi ni wakati gani kanuni hio hukubalika na ni wakati gani

hukataliwa. Anasema:

حؼوش وزش خ ل٤خ ػ حلحػ٢ ػوش ، ٣خىسـؼ ح أؿق ، ل ح١

ش أػن . ط خك٤

Na huenda ikawa Hadithi mausul ndio yenye uzito, kwani aliyeisimulia

hivyo hali ya kuwa ni mausul, naye ni Sufyaan Al-Thauri kutoka kwa Al-

Awza‟i, ni mwenye kuaminika. Na ziada ya mpokezi mwenye

kuaminika inakubalika, ikiwa haikwenda kinyume na mpokezi

mwenye kuaminika zaidi kuliko yeye.1075

Anaendelea Al-Albani:

وزش. ي أرخ ٣س ك٢ ٣خىســ حى ك٢ حــأ ٣خىس حؼوش وزش ٣ؼ٢ أ ػ٢ ر ػخ

ح ل ٣ظــ٠ خ، كب حر ػخ ح يم ٣وط٠ء ٣ .

……..Kwamba nyongeza iliosimuliwa na mpokezi wa Hadithi mwenye

kuaminika, inakubalika. Yaani „Ali bin „Asim kamzidisha Abu Huraira

katika sanad ya Hadithi, kwa hivyo ziada hio inakubalika.1076

Lakini kwa

hapa hilo haliendi (sawa), kwani Ibn „Asim ni mkweli lakini anakosea na

anaendelea (katika makosa yake). 1077

Tunasema kwamba: haya ulioyasema hapa ni sawa sawa na Hadithi ya ziada

ya Hammad bin Salama, naye ni mkweli lakini ana makosa mengi, na kenda

kinyume na wapokezi wengi zaidi na wengine ni imara zaidi kuliko yeye.

Anaendelea Al-Albani:

٣خىس حؼوش وزش“ؼ ح٣خىس ل ػالهش خ رخلطحد، اخ ٣ظ ا٤خ رظخ هخػيس:

؛ حلي٣غ حخ. ”ى ح٣خىس وخلش أػن أ أؼ ػيىح “أ هخػيس: “

Na ziada kama hii haihusiani na mgongano, bali inatazamwa kwa darubini

ya kanuni isemayo: “ziada ya mpokezi mwenye kuaminika inakubalika” au

kanuni isemayo: “irushe ziada kwa sababu ya kwenda kinyume na mpokezi

1075

- Al-Albani Al-Sahiha j. 1, uk. 168, Hadithi na. 85. 1076

- Mpaka hapa, haya ni maneno ya Ibn Al-Jawzi ambayo Al-Albani kayanukuu. Na

maneno: “Lakini kwa hapa hilo haliendi (sawa)……….”, ni maneno ya Al-Albani. 1077

- Al-Albani Al-Sahiha j. 1, uk. 83, Hadithi na. 36.

Page 366: Fimbo ya Musa

366 mwenye kuaminika zaidi kuliko yeye au iliokwenda kinyume na wapokezi

walio wengi zaidi kwa idadi”, nayo hio ndio Hadith shaadh. 1078

Kisha baada ya hayo, Al-Albani ametupa mfano wa riwaya iliosimuliwa na

yule ambaye tunamzungumzia – Hammad bin Salama. Akasema:

ش رخــخى رــــى كــط٤٤ش ك٢ ) حوخػيس حـ٤ش ( رظلهي أػ ح٣خىس ٤ن حإلال حر

حػي حلي٣ؼ٤ش ــح٣ش ؼزش أؿ ح حلي٣غ ح اػال ٣ظلن غ حوـــــوخلظ

) حزخف ( رؤ كخىح ػوش ؿخ حل٤ق ٣خىس حؼوش ٢:ـل ٣وخلخ حزظش ه حـخ١ ك

أ طـخك ػخ طو ك٢ حطق أ حوز ١ رخ اح ٣وخق حح١ وزش ؿلش

أػنـــ طوغ خك٤ش خــ أػن هخ حلخكع ك٢ ) وزش حل ( : ) ح٣خىس وزش

ركب كخى خـكب هق رؤؿق كخحؿق حللظ وخرش حخ ( هض : ح ح١ لوى

لع ٣ظز٤ ي ي رحؿؼش ـــــ٢ حلــــؼزش كـــش ا خ ؿخ ك رال ي ى

ــ٤ح ( اخ ٣ى ك٤ ـــ٢ ك٢ ) حـــــحؿ٤ ك٢ ظذ حو كخل أى حز شـــطؿ

خـطوخ ٣ظ ي حلم ر٤خ ٣ى ك٤ ؼزش ـــ أخ ( ر٤ شــط ك٤ ل رؤ ) ػو

ض حخـ) حظو٣ذ (: ) كخى ر ش ػوش ػخري أػز ٢ــــــــــرخظؤ ك٢ طؿش حلخكع خ كوخ ك

:ـػوش كخكع ظو خ حؼ١ ٣و خؽـك٢ ػخرض طـ٤ كلظ رآه ( ػ هخ: ) ؼزش ر حلـ

( ػ حش خ ػخريح ؿخ دـرخؼحم ػ ح حئ٤ ك٢ حلي٣غ أ كظ ٤أ

Na Sheikul-Islam, Ibn Taymiyya kaitia kasoro Hadithi hii katika kitabu Al-

Qa‟ida Al-Jaliyya kwa sababu HAMMAD BIN SALAMA kapwekeka

nayo (kaipokea yeye tu) na kwa sababu ya KWENDA KWAKE

KINYUME NA RIWAYA SHU‟UBA, naye (huyo Shu‟uba) ndiye aliye

mbora kati ya (wale wote ambao) wameisimulia riwaya hii. Na kutia

kasoro huku (kwa Ibn Taymiyya) kunaafikiana na kanuni ya Hadithi wala

hakwendi kinyume nako kamwe. Na kauli ya Al-Ghummari katika kitabu

chake Al-Misbaah kwamba HAMMAD NI MWENYE KUAMINIKA na

ni miongoni mwa wapokezi wa Sahihu (Muslim), na kwamba ziada

inayoletwa (katika Hadithi) na mpokezi mwenye kuaminika, ni yenye

kukubalika, huko ni kughafilika (kwa Sheikh Al-Ghummaari) au

kujighafilisha na kanuni yenye kukubalika katika elimu ya Hadithi

kwamba kuikubali (riwaya kama hio yenye ziada) sharti yake ni pale

ambapo mpokezi (aliyeisimulia riwaya hio) hakwenda kinyume na

mpokezi aliye awthaq (aliye imara zaidi). Kasema Al-Hafidh katika kitabu

Nukhbatu Al-Fikr: „na ziada (ya mpokezi mwenye kuaminika) inakubalika

madamu haikwenda kinyume na (riwaya ya) mpokezi aliye imara zaidi

kuliko yeye: ikiwa atapingwa na riwaya yenye uzito zaidi, basi chenye

uzito ni kuwa Hadithi moja1079

ni mahfudh (sahihi), na kinyume chake

(yaani Hadithi ya pili) ni shaadh (dhaifu)‟.1080

Ninasema:1081

„na sharti hii

hapa imekosekana, KWANI HAMMAD BIN SALAMA PAMOJA NA

1078

- Al-Albani Al-Sahiha j. 7, sehemu ya 1, uk. 384, Hadithi na. 3139. 1079

- Nayo ni ya mpokezi imara zaidi. 1080

- Nayo ni ya mpokezi aliyezidiwa uimara. 1081

- Msemaji ni Al-Albani.

Page 367: Fimbo ya Musa

367 KUWA NI KATIKA WAPOKEZI WA MUSLIM LAKINI – BILA

SHAKA – YEYE YUKO CHINI YA SHU‟UBA KWA UWEZO WA

KUHIFADHI, na hilo linabainika katika kuzirejea tarajim (biographies) za

wapokezi wawili hao hatika vitabu vya wapokezi. Kuhusu wa mwanzo,1082

Al-Dhahabi kamtaja katika Al-Mizan naye (Al-Dhahabi) huwataja katika

kitabu hicho wale waliosemwa na wakatajwa kwamba: “ni wenye

kuaminika lakini wana makosa”, wakati Shu‟uba hakumtaja kabisa (katika

kitabu hicho). Na hapa itakubainikia tafauti baina yao kwa kuyatafakari

maelezo ya Al-Hafidh Ibn Hajar katika kitabu Al-Taqrib aliposema:

„Hammad bin Salama ni mwenye kuaminika, ni mwenye kuabudu (sana),

mpokezi imara wao katika Hadithi za Thabit (Al-Bunani), lakini hifdhi

yake ilibadilika mwishoni‟. Kisha akasema: “Shu‟uba bin Al-Hajjaaj ni

mwenye kuaminika, mwenye kuhifadhi, mwenye ubingwa, Al-Thauri

alikuwa akimwita Amirul-Mu-uminin katika Hadithi, naye ni mtu wa

mwanzo huko Iraki kuanza kazi ya kuwapekuwa wapokezi na kuzitetea

Sunna na alikuwa ni mwenye kuabudu (sana).1083

Hayo ni maneno yalio wazi kabisa kwamba Hadithi ya Hammad bin Salama

au mpokezi mwengine yoyote yule inakataliwa ikiwa itakwenda kinyume na

mpokezi aliye imara zaidi, kwani katika hali hii Hadithi ya Hammad au ya

mpokezi mwengine huyo inakuwa ni Shaadh (dhaifu). Tunasema: ewe

Muhaddithu Al-Awraqi Wa Al-Qalami we! Katika Hadithi ya Hammad bin

Salama ya kumuona Allah, Hammad kenda kinyume na mtu imara zaidi na

kenda kinyume na idadi kubwa zaidi ya wapokezi. Je kwa mujibu wa kanuni

za Hadithi, tuikubali Hadithi yake? Usiniambie kwamba: “ela1084

ah!

Hadithi hino1085

Hammad kanaipokea kutoka kwa Thabit Al-Bunani‟, kwani

jawabu ya hilo umeiona huko nyuma kwamba Hammad kakosea katika

Hadithi kadha wa kadha alizozisimulia kutoka kwa Al-Bunani.

Kisha usisahau – ndugu msomaji – kwamba kanuni hio tulioinukuu hapa

kutoka kwa Ayatollah Al-Albani, pia ndio kauli ya Al-‟Allama Sheikh

wangu, Kasim mwanangwa wa bwana Mafuta. Nayo ni vyema tuinukuu

tena hapa ili asije akaona tumemdharau kwani mtu haifai kumdharau Sheikh

wake hasa akiwa amezama katika fani tafauti za elimu. Sheikh Kasim bin

Mafuta naye kataja masharti ya Hadithi sahihi na akatongoa hivi: “Isiwe

habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni yenye kupingana na

habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au wengi zaidi kuliko

1082

- Yaani Hammad bin Salama. 1083

- Al-Albani Al-Tawassul uk. 83. 1084

- Ela ni neno la Kipemba, na asili yake ni neno la Kiarabu: “Illa” (isipokuwa). 1085

- Hino au ino maana yake ni “hii” kwa Kipemba cha ndani kabisa. Na asili yake ni

neno la Kiarabu fasaha: “hunaa” au kwa kinyumbani “hinaa” au “hinee”.

Page 368: Fimbo ya Musa

368

yeye)”.1086

Kwa maana hii, Kasim bin Mafuta anakubaliana na wanavyuoni

wa Hadithi. Sasa vipi tena hapa kaikumbatia Hadithi ya Hammad bin

Salama ambayo:

1) Kawakhalifu wapokezi wengi zaidi.

2) Ndani yake kuna mpokezi mwenye uwezo wa kuihafadhi zaidi?

Jambo jengine: la kutazamwa hapa katika maelezo alioyatoa Al-Imamu Al-

Nawawi kwa kutegemea kanuni ya: ٣خىس حؼوش وزش (nyongeza iliosimuliwa

na mpokezi mwenye kuaminika, inakubalika), ni kuwa kanuni hii hapa

si mahala pake, kwani huu ni mlango wa shaadh na ma‟aruuf. Na hili ndilo

ambalo lilinibainikia katika kuipima Hadithi hii. Na hatimae nikamkuta Al-

Sayyid Al-‟Allama Hasan bin „Ali Al-Saqqaaf akilielezea hilo katika kitabu

chake Mas-ala Al-Ru-aya. Al-Saqqaaf hakubaliani kamwe na mijihadithi

yote hii ya uwongo ya kutungwa na Mujassima juu ya kuonekana kwa Allah

pamoja na kuwa yeye mwenyewe ni Shafi‟i kimadhehebu. Hao ndio watu

waliojikomboa kutokana na minyororo ya kubururwa kama magogo na

wakatumia akili zao na ufahamu wao wa kimaumbile: sio kasumba za

kimadhehebu. Anasema Al-Saqqaaf katika kitabu chake hicho:

Kisha Al-Nawawi akataja kwamba al-raf‟u (kuinasibisha Hadithi na

Mtume s.a.w.) na kuisimulia hali yakuwa ni mausul hio ni ziada na

“nyongeza iliosimuliwa na mpokezi mwenye kuaminika,

inakubalika”. Na hili ni kosa la Al-Nawawi hawezi kufuatiwa kwani huu

ni katika mlango wa Hadithi shaadh yenye kurejeshwa hususan ukizingatia

kwamba Hammad (bin Salama) kasemwa sana.1087

Ninasema: ubainifu wa hayo ni kuwa wapokezi wengine wamesema kwa

uwazi kwamba hayo alioyasema Hammad bin Salama ya kuwa ziada

iliotajwa katika Surat Yunus ni maneno ya “Ibn Abi Laila”: si ya Mtume

(s.a.w.); wakati Hammad yeye anadai kuwa hayo ni maneno ya Mtume

(s.a.w.). Na bila shaka maneno ya Mtume (s.a.w.) yana cheo tafauti na

maneno ya Ibn Abi Laila au mwengine yoyote yule – ya Mtume ni wahyi na

kwa hivyo ni sharia; ya Ibn Abi Laila ni ijtihadi na kwa hivyo ni rai. Na kwa

maana hio, hapa kutakuwa na mgongano baina ya riwaya ya Hammad bin

Salama na riwaya ya Hammad bin Zaid na wenzake, ikimaanisha kwamba:

1) Hadithi moja katika hizo ni shaadh (si sahihi).

2) Na ya pili ni ma‟aruuf (sahihi).

Suala ni kuwa je kwa mujibu wa kanuni za Hadithi shaadh hapa itakuwa ni

ipi na ma‟aruuf ni ipi? Tumenukuu vya kutosha maelezo ya wanavyuoni

akiwemo Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam, Al-Albani, lakini baada ya

1086

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 8. 1087

- Al-Sayyid Al-Saqqaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 15.

Page 369: Fimbo ya Musa

369

yote hayo, ni vyema kwamba suala hilo tulielekeza kwa Sheikh wetu Kasim

bin Mafuta ili atupe fat-wa. Kasim bin Mafuta anena tena na tena kwamba

ili Hadithi iwe sahihi basi ni lazima: “isiwe habari (hio) aliyoileta mpokezi

huyo ni “SHAADHUN” (ni yenye kupingana na habari ya mpokezi

mwingine aliye madhubuti au wengi zaidi kuliko yeye)”.1088

Kisha tumuulize Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam, Al-Albani je

Hammad bin Salama yeye anatoka katika kanuni hio. Tumenukuu huko

nyuma sehemu kadha wa kadha za Hadithi za Hammad bin Salama ambazo

Al-Albani kazikataa kwa sababu ya kwenda kwake kinyume na mpokezi

imara zaidi au waliowengi zaidi.

Kisha tumuulize mwalimu wa Kasm bin Mafuta, Muqbil Al-Wada‟i, je

wasemaje Sheikh Muqbil kuhusu Hadithi hii tunayoijadili hapa. Muqbil

ajibu:

ش أػزض حخ ك٢ ػخرض، ـــخى رــخػش ا خ كــطؿ٤ق ح٣ش حـرؼي كخ١ ٣ظ ٢

حوطؤ ا٠ حكي أهد ا٠ ؿخػش.. ”طو٣ذ حظ٣ذ“كب طـ٤ كلظ رآه خ ك٢

Baada ya hayo, kinachonibainikia mimi ni kuipa uzito riwaya ya walio

wengi pamoja na kuwa Hammad bin Salama ni mtu imara zaidi wao katika

riwaya za Thabit (Al-Bunani), kwani yeye hifdhi yake hatimae ilibadilika

kama ilivyoelezwa katika kitabu Taqribu Al-Tahdhib, na kosa kwa mtu

mmoja lipo karibu zaidi kuliko walio wengi.1089

1088

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 8. 1089

- Muqbil Hadi Ta‟aliqihi „Alaa Al-Tatabbu‟i Li-Al-Daraqutni uk. 212. Nukulu kutoka

katika kitabu Al-Tufan cha Al-Imamu Al-Qannubi j. 3, sehemu ya 1, uk. 313.

Page 370: Fimbo ya Musa

370

MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU

1) Allah anasema katika Qur-ani yake Tukufu: ٠ ل ح ح أ ك ٣

س ٣ خى “Wale waliotenda mema watapata mema (ya matendo yao)

na ziada”.

2) Watetezi wa itikadi ya kumuona Allah akhera wakasema kwamba

maana ya ziada iliotajwa katika Aya hii ni kumuona Allah!

3) Hoja yao katika kulifasiri neno hilo hivyo, ni Hadithi iliopokewa

kutoka kwa Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani

kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila kutoka kwa Suhaib kutoka

kwa Mtume (s.a.w.), kwamba kaifasiri Aya hio hivyo!

4) Wasiokubaliana na itikadi ya kumuona Allah, wakajibu kwa hoja

nyingi:

a) Tafsiri hio ni kinyume na jawabu inayotolewa na lugha ya

Kiarabu ambayo ndio msingi mama wa kufasiria Qur-ani na

Sunna. Na tafsiri sahihi ya Aya au Hadithi sahihi inayotoa

tafsiri ya Aya fulani, basi haiendi kinyume na lugha ya

Kiarabu. Bali lugha ya Kiarabu ndio njia moja muhimu ya

kuzipima mutun (texts) za Hadithi. Tumeonesha huko nyuma

kwamba kwa mujibu wa fani ya balagha basi tafsiri sahihi ya

ziada iliotajwa katika Aya hio ni kuzidishwa kwa matendo

ya waliofanya mema – aliyefanya jema moja atalipwa mema

kumi mfano wake na ziada.

b) Tafsiri hio inayopatikana katika fani ya balagha ya Kiarabu,

pia ina dalili katika Aya nyengine kadha wa kadha za Qur-

ani ambapo utakuta Aya kama: ؿخء رخلش ك ػ أؼخخ “Atakayekuja na jema moja basi atapata kumi mfano

wake,”1090

na zilizo mfano wa hizo. c) Na – kama walivyosema wanavyuoni – “Qur-ani inajifasiri

yenyewe kwa yenyewe” na “kitu bora cha kuifasiria Qur-ani

ni Qur-ani yenyewe”.

d) Tafsiri hii ya kuwa maana ziada hio iliotajwa katika Surat

Yunus ni kuongezwa kwa malipo – tendo moja kwa thawabu

kumi, pia imepokewa kutoka kwa wanavyuoni wa awali (Al-

Salaf Al-Salih) kama vile Qais bin Rabi‟i na Al-Hasan Al-

Basri.

e) Wanavyuoni wa awali – kuanzia Masahaba r.a. –

walitafautiana katika kuifasiri Aya hio kama tulivyobainisha

1090

- Sura ya 6 Aya ya 160. Maelezo haya yana marekebisho kidogo kwani kitabu Hoja

Zenye Nguvu nilikuwa tayari ninakitayarisha kwa ajili ya chapa ya pili. Tazama maelezo

hayo katika uk. 116 wa kitabu changu Hoja Zenye Nguvu.

Page 371: Fimbo ya Musa

371

kabla. Na hili linathibitisha kwamba ilikuwa hakuna Hadithi

ya Mtume (s.a.w.), vyenginevyo wanavyuoni wote hao wa

awali hususan Masahaba na wanafunzi wao wasingeliifasiri

Aya hio kinyume na tafsiri ya Mtume (s.a.w.).

5) Ni kuwa Hadithi hio walioitegemea watetezi wa itikadi ya kumuona

Allah, ni Hadithi dhaifu ا ؿق أق لطخ. Na ubainifu wa hayo ni

kuwa:

a) Katika sanad yake kuna Hammad bin Salama. Naye

japokuwa ni mtu mwema lakini alikuwa na awham (makosa

mengi) katika Hadithi. Na hatimae alibadilika na

kuchanganyikiwa na Hadithi hii haina ushahidi je aliisimulia

kabla ya kuchanganyikiwa au baada ya kuchanganyiwa.

Kwa hivyo, kwa mujibu wa kanuni ni kuwa Hadithi hii

haikubaliki. Bali Hadithi hii imebainika kwamba ni katika

makosa yake hata lau alikuwa hana kasoro yoyote kwani:

b) Kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi: wapokezi wanne.

c) Kati yao kuna mpokezi aliye madhubuti zaidi.

d) Na kwa hivyo, kwa mujibu wa kanuni za Hadithi, basi

Hadithi ya Hammad bin Salama ni shaadh na Hadithi ya

walio wengi ndio ma‟aruuf. Na hiki ndicho

alichokisahihisha Muqbil Al-Waada‟i, mwalimu wa Kasim

Mafuta na Seif Al-Ghafri.

6) Lakini kuhusu udhaifu wa hifdhi ya Hammad bin Salama, watetezi

wa itikadi ya kumuona Allah wakajibu kuwa:

a) Hammad bin Salama ambaye kainasibisha Hadithi kwa

Mtume (s.a.w.) na wengine waliosema kuwa Hadithi hio ni

maneno ya Ibn Abi Laila, wote hao wameipokea Hadithi hio

kutoka kwa Thabit Al-Bunani. Na Hammad bin Salama ndio

mpokezi imara wao katika waliopokea Hadithi za Thabit Al-

Bunani.

b) Na Kasim bin Mafuta naye akaongeza kwamba hata kama

Hammad bin Salama alibadilika mwishoni, lakini Hadithi hii

kaisimulia kabla ya kubadilika kwa ushahidi kwamba

„Abdul-Rahman bin Mahdi ndiye aliyeipokea kutoka kwa

Hammad bin Salama na „Abdul-Rahman bin Mahdi ni katika

wanafunzi wakubwa wa Hammad ambao wamesimulia

Hadithi kutoka kwake kabla ya kuchanganyikiwa.

7) Nasi tumejibu hoja za kifungu (a) kama inavyofuata:

a) Waliosema kuwa Hammad bin Salama ni mtu imara wao

katika riwaya za Thabit Al-Bunani, hawajakusudia kwamba

Page 372: Fimbo ya Musa

372

hata wapokezi waliompinga wakiwa ni wengi zaidi basi pia

itayozingatiwa ni riwaya yake tu. Bali wanakusudia kusema

kwamba ikiwa kuna thiqa mmoja katafautiana naye katika

riwaya hizo walizozipokea kutoka kwa Thabit Al-Bunani,

basi kauli itayozingatiwa ni kauli ya Hammad bin Salama.

b) Imethibiti kwa uwazi kabisa kwamba Hammad bin Salama

kapokea riwaya kadha wa kadha dhaifu bali na za kutunga

kutoka kwa Thabit Al-Bunani ambazo nyenginezo hata

wanavyuoni wakubwa wa Kisuni wamezikataa kama

tulivyonukuu maelezo yao.

c) Kanuni ni kuwa mpokezi thiqa akipingwa na aliye thiqa

zaidi au na idadi ilio kubwa zaidi ya wapokezi walio thiqa

basi Hadithi ya aliye thiqa zaidi au ya idadi ilio kubwa zaidi

ya wapokezi walio thiqa ndio sahihi na yake yeye ni dhaifu

kwani walio wengi wanahifadhi zaidi kuliko mmoja.

d) Katika Hadithi hii Hammad bin Salama kenda kinyume na

idadi kubwa zaidi ya wapokezi thiqa, akiwemo mtu aliye

bora zaidi kuliko yeye.

e) Kanuni hii wameielezea watu wengi akiwemo Al-Albani na

akazikataa Hadithi kadha wa kadha ambazo Hammad bin

Salama kenda kinyume na mpokezi aliye thiqa zaidi au

anapokwenda kinyume na idadi ilio kubwa zaidi ya

wapokezi walio thiqa – kwanini kanuni hapa muikwepe?

f) Muqbil Al-Wada‟i, mwalimu wa Mafuta, naye kaitumia

kanuni hii tena katika Hadithi hii hii na akabainisha kwamba

riwaya ya walio wengi ndio ya kuzingatiwa.

g) Ibn „Adey naye kaitaja riwaya hio kama ni katika jumla ya

riwaya munkara za Hammad bin Salama.

8) Kuhusu kifungu (b), tumejibu kuwa kanuni ni kuwa mpokezi

ambaye hafdhi yake iliharibika au alichanganyikiwa, basi ni kuwa

riwaya zake zinagawika makundi matatu:

a) Riwaya alizozisimulia kabla ya kuharibika hifdhi au

kuchanganyikiwa – zinakubalika.

b) Riwaya alizozisimulia baada ya kuharibika hifdhi au

kuchanganyikiwa – hazikubaliki.

c) Riwaya ambazo hazijulikani: je kazisimulia kabla au baada ya

kuharibika hifdhi na kuchanganyikiwa – zinawachwa kama

zilivyo hadi kuwe na ushahidi.

d) Riwaya hio ya Hammad haijulikani kaisimulia lini: kabla au

baada ya kuharibika kwa hifdhi yake na kuchanganyikiwa – na

kwa hivyo, riwaya yake inawachwa.

Page 373: Fimbo ya Musa

373

e) Hata ikijulikana bado tatizo la msingi liko pale pale: kenda

kinyume na wapokezi wengi zaidi na watatu katika hao ni imara

sana na mmoja ni imara zaidi kuliko yeye – na kwa hivyo riwaya

yake ni shaadha.

9) Lakini Mafuta akajibu kuwa „Abdul-Rahman bin Mahdi ndiye

mpokezi wa riwaya hio kutoka kwa Hammad bin Salama naye

kapokea riwaya kutoka kwake kabla hajachanganyikiwa.

10) Nasi tumejibu kwamba:

a) Tumeona vipi Al-Albani kalielezea suala hili nalo ni kuwa

kinachotakiwa si kuwa kapokea riwaya kabla ya

kuchanganyikiwa tu; bali ni lazima pia kuwe na ushahidi

kwamba baada ya kuchanganyikiwa hakupokea tena riwaya

kutoka kwake. Kwa hivyo, Kasim Mafuta atuletee ushahidi wa

nyuma na mbele – ushahidi kwamba Abdul-Rahman bin Mahdi

alipokea riwaya kutoka kwa Hammad bin Salama kabla

hajachanganyikiwa na kwamba baada ya kuchanganyikiwa

hakupokea tena.

b) Tumeelezea na kunukuu maneno ya mmoja wa Mawahabi

akielezea kwamba Hammad bin Salama mwanzo alikuwa ni

thiqa mwenye awhaam (makosa mengi) yaani ambayo bado

hayakumtoa katika kuwa ni thiqa. Katika kipindi hiki, Hadithi

zake ambazo kazisimulia kutoka kwa Thabit Al-Bunani ni

sahihi; na alizozisimulia kutoka kwa wengine ni hasan ikiwa

hakupingwa na aliyebora zaidi au na idadi kubwa. Na ikiwa

atapingwa na aliyebora zaidi au na idadi kubwa basi Hadithi

yake ni shaadh. Kisha baada ya hapo akakonga na hifdhi yake

ikaharibika. Katika kipindi hiki, Hadithi zake alizopwekeka nazo

zinahesabiwa kuwa ni dhaifu isipokuwa zikipata ushahidi

mwengine. Na dio maana Al-Bukhari akaziwacha Hadithi zake

na Muslim akazitoa kwa ushahidi tu ila zile alizodhania – kwa

ijtihadi yake – kuwa kazisimulia kutoka kwa Thabit kabla ya

kuchanganyikiwa.

c) Kwa hivyo, Hammad “alikuwa na awhaam tangu hapo kale”, na

baadae akawa dhaifu wa hifdhi tu. Kwa hali hii itapobainika

kwamba Hadithi fulani ni katika awham wake basi ni lazima

iachwe. Na hakuna njia ya kulijua hilo ila ikiwa Hadithi yake

itagongana na Qur-ani, au itagongana na Hadithi ya mpokezi

aliye madhubuti zaidi au Hadithi ya walio wengi zaidi kama

ilivyo Hadithi hii – Hadithi hii ni katika awham zake kwa

kuwakhalifu walio wengi zaidi na aliye imara zaidi.

Page 374: Fimbo ya Musa

374

Hadi hapa tutakua tumefika mwisho wa kuijadili Hadithi mbovu ya

Hammad bin Salama inayokwenda kinyume na Qur-an na kanuni zake za

tafsiri, bali inayokwenda kinyume na Hadithi ya wapokezi wengi zaidi. Sina

budi kusema kwamba kila muadilifu basi haki imempambanukia na batili

imempambazukia. “Na sema haki imekuja na batili imeng‟oka, hakika

ya batili ni yenye kung‟oka”.

Page 375: Fimbo ya Musa

375

SURA YA TISA

DALILI YAO NYENGINE: AYA NYENGINE KUHUSU ZIADA

WATAYOPEWA WATU WA PEPONI

Kanuni niliojiwekea katika kitabu hiki, ni kuzijadili zile shubuhati

alizozileta Kasim Mafuta katika kitabu chake. Yaani yeye – kama

munavyojua – alifanya jaribio la kujibu kitabu changu Hoja Zenye Nguvu,

na katika kufanya hivyo hakuzungumzia hoja zote nilizozileta katika kitabu

changu bali kajichagulia zile alizodhania kuwa ni nyepesi kwake ilimradi

aambiwe kajibu! Sasa na mimi humu kimsingi najadili hoja na shubuhati

zake tu; na zile dalili zao ambazo nimezijibu katika kitabu changu Hoja

Zenye Nguvu lakini yeye hakutoa jawabu juu ya jawabu yangu, basi nami

pia sitozijadili tena humu kwani watu wanaweza kurejea kitabu changu

Hoja Zenye Nguvu ili waweze kujisomea maelezo yangu mengine juu ya

dalili hizo zilizotolewa na wenye itikadi ya kumuona Allah ambazo Kasim

bin Mafuta hakuzijibu. Lakini kwa sababu Aya iliotangulia ina maana sawa

na Aya hii nitayoizungumzia hapa basi, nimeona kuwa ni bora Aya hii

niitoe katika kanuni hio niliojiwekea na niizungumzie hususan ukizingatia

kwamba na Aya hii nayo imetungiwa riwaya nyingi ili kutaka kuhalalisha

itikadi hio ya kumuona Allah. Katika kitabu Hoja Zenye Nguvu, nilisema

hivi:

Dalili yao ya tano ni Aya yenye kusema:

خ ٣خث ك٤خ ي٣خ ٣ي

(Wao) watapata wanachokitaka humo (peponi) na kwetu kuna

ziada.1091

Hoja yao katika Aya hii ni sawa na hoja yao katika Aya iliotangulia

kwamba ziada iliotajwa hapa maana yake ni kumuona Mwenyezi Mungu.

Na jawabu ya madai haya ni sawa na jawabu katika Aya iliotangulia. Kwa

ufupi ni kuwa Aya haijasema ni ziada gani ambayo Mwenyezi Mungu

atawapa watu wa peponi, wakati ziada mashuhuri iliotajwa katika Qur-ani

na Hadithi nyingi sahihi ni kuzidishwa kwa matendo ya watu wema:

aliyefanya jema moja akalipwa mema kumi. Anasema Mwenyezi Mungu

katika Qur-ani Tukufu:

1091

- Sura ya 50 Aya ya 35.

Page 376: Fimbo ya Musa

376

ك ػ أؼخخ ؿخء رخلش

Atakaye kuja na jema moja basi atalipwa mfano wake mara kumi.1092

Kwa hivyo Aya yenyewe haina ushahidi wowote ule wa kuwa Mwenyezi

Mungu ataonekana wala haijasema hivyo. Sasa kilichobaki tuzitazame

riwaya ambazo wamezitegemea wale wenye kuitakidi kumuona

Mwenyezi Mungu na ambazo zinatarajiwa kuwa zimeifasiri Aya hio kuwa

maana yake ni hio.

RIWAYA YA KWANZA

Riwaya ya kwanza inasema:

ــي ػـــر٢ ؿـــػكيػخ أكي ر ٤ ححط٢ هخ كيػخ هس ر ػ٠٤ هخ كيػخ ح٠ ر

ـــ)ا هللا ػ ؿ اح أ أ حـش حـش أ حخ حخ ز٢ ا ٠ ؽ أ ر ــخي

ػ ؿ حء حلـذ: كزخ رؼزخى١ ح ؿح٢ كي١. حـش أك٤ق.... ػ خىحـ د

ح ا٢ هخ: كي ـــظـظ٠ ٣ــــلطـ٤ كح رح كح ـــــــــــح ٤١زح. ػط٢

ػ ؿ. ػ هخ: حال ػ٤ حظح ا٢ حظخء حؼطخء ك٠ ح٣ي هخ كظـ٠ حد

كوي ٤ض ػ ..

Ametusimulia Ahmad bin Suheil Al-Waasiti, kasema ametusimulia Qurrat

bin Issa, amesema katusimulia Al-Nadhar bin Arabi (babu yake), kutoka

kwa Anas bin Malik, (kasema): „hakika Mwenyezi Mungu akisha

kuwaweka watu wa peponi katika pepo na watu wa motoni katika moto

atateremka katika uwanja mpana katika pepo! Kisha Mola Mtukufu

aliyetukuka atawaita (watu wa peponi) nyuma ya hijabu (pazia): „karibuni

waja wangu na watembezi wangu na majirani zangu na wageni wangu.

Kuleni na kunyweni na furahini na vaeni na mujitie manukato. Naapa kwa

utukufu wangu nitajidhihirisha kwenu mpaka munitazame‟. Akasema

(yaani Anas bin Malik) „basi hicho ndio kipawa cha mwisho (yaani malipo

makubwa kabisa) na ndio fadhila ya ziada‟, basi atajidhihirisha kwao Mola

Mtukufu aliyetukuka. Kisha atasema „Asalama Alaykum waja wangu,

nitazameni, nimekuwa radhi na nyinyi!

SANAD YA RIWAYA HII

Katika sanad ya riwaya hii kuna:

1) Al-Nadhar bin Al-‟Arabi, ambaye hapa anaisimulia Hadithi hii kutoka

kwa Sahaba Anas bin Malik wala hakumuwahi, bali hakumuwahi

Sahaba yoyote.1093

1092

- Sura 6, Aya 160. 1093

- Anas ni Sahaba wakati Al-Nadhar ni mfuasi wa wafuasi wa Masahaba. Yaani yeye

hakumkuta Sahaba lakini kakutana na waliowakuta Masahaba. Kwa hivyo Hadithi hii

Page 377: Fimbo ya Musa

377

Pia katika sanad hii yumo:

2) Ahmad bin Suhail Al-Wasiti, naye si madhubuti.1094

RIWAYA YA YA PILI: RIWAYA YA KUMUONA

MWENYEZI MUNGU KILA IJUMAA

Riwaya a ya pili ambayo wameitegemea kuwa ndio iliofasiri Aya hio

isemayo: “(Wao) watapata wanachokitaka humo (peponi) na kutoka

kwetu (watapata) ziada”,1095

kuwa maana yake ni kumuona Mwenyezi

Mungu, vile vile ameipokea Al-Tabari. Riwaya hio inasema:

زي هللا ــــــ ر ػــكيػخ ػ٢ ر حل٤ ر أرـ، هخ: ػخ ػ ر ٣ ح٤خ٢، هخ: ػخ ؿ٠

ز خي،ـــػ٤، ػ أ هخ: ػ٢ أر ٤١زش، ػ ؼخ٣ش حؼز٢، ػ ػؼخ ر ر أر٢ حطل٤

٠ هللا ـهخ: ه : خ هللا ٤ ، ك “ػ خء آس ر ٤ ٠ ل ك ٢ ال ح ٤ ػ ٣ ز ٤خ ــأطخ ٢ ؿ

حء ك و ى ظ ش خ ــــــ : ك ض ؼ ش ، ه ـ ح : ؟ هخ خ ٣ ز : ٣خ ؿ :ض حء ك ٤خ؟ هخ ى ظ ش ح ح

ل خ، ي ػ ٤ي حل٣خ ؼ ش ـ ح ٣ ش ط و خػ ػ ك ٢ ح :ــــــ ي ض ; ه ٣ي ح س ٣ ٢ ح٥ه

ط ؼ ى ري ط زخ : ا ٣ي هخ ح ٣ ػ ط ي حى٣خ أك ٤ ش ـ ك ٢ ح ح ق ــ خ٠ حطو ، كب ي أر ٤

ك ، ػ ٤ ٤٤ ػ٠ ػ ؼ ش ـ ح ٣ ــــــخ خء ـــق ح ؿ ، ػ خر ٢ ر حز ٤

٢ء أ ـ ط ٤ خ ػ ح ػ ـ كظ٠ ٣ ـ ش كظ٠ ٣ ـ ؼـــــح ـــــــ ح ػ٠ ح ؿ ػ ر ٠ ـ ذ ك ٤ ظ

كظ٠ ؿ ح ا٠ ظ ٣………

Ametusimulia Ali bin Husain bin Abjar, amesema katusimulia Umar bin

Yunus Al-Yamami, ametusimulia Jahdham bin Abdllah bin Abi Al-Tufail,

amesema kanisimulia Abu Tayiba kutoka kwa Muawiya Al-‟Absi kutoka

kwa „Uthman bin Umair kutoka kwa Anas bin Malik kasema (kwamba)

amesema Mtume (s.a.w.) „amenijia Jibril, amani iwe juu yake, na katika

mkono wake ana kioo cheupe ndani yake muna nukta nyeusi. Nikasema: „é

Jibril nini hii?‟ Akasema hii ni ijumaa. Nikasema: „hii nukta nyeusi ni

nini?‟ Akasema: „hiki ni kiama kitasimama ndani ya siku ya ijumaa nayo

ndio bwana wa siku zote kwetu sisi, na sisi tutaiita huko akhera siku ya

ziada. Nikamuuliza: „kwanini mutaiita siku ya ziada? Akasema hakika ya

Mola wako Mtukufu aliyetukuka amefanya bonde pana la miski nyeupe

katika pepo, basi ikifika siku ya ijumaa atateremka kutoka katika „Illiyyin

(sehemu ya) juu ya pepo, mpaka (watu) wakisha kukaa katika sehemu

msururu wake wa wapokezi umekatika: haukushikana. Tazama Ibn Hajar Tahdhibu Al-

Tahdhib j. 10 uk. 395, utaona kuwa Al-Nadhar alikuwa katika: أطزخع حظخرؼ٤ (wafuasi wa

wafuasi wa Masahaba). Na juu ya hayo ni kuwa Muhammad bin Sa‟ad anasema kwamba

Hadithi zake ni dhaifu. Tazama Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib juzuu na ukurasa huo. 1094

- Anasema Abu Ahmad Al-Hakim kuwa “katika Hadithi zake kuna baadhi ya

Manakir”. Tazama Mizanu Al-I‟itidal j. 1 uk. 103. 1095

- Sura ya 50 Aya ya 35.

Page 378: Fimbo ya Musa

378 zilizoinuka, basi atadhihiri kwao Mola wao Mtukufu aliyetukuka mpaka

waitazame Dhati Yake!1096

SANAD YA RIWAYA

Hadithi hii ni dhaifu sana kwa sababu imesimuliwa na „Uthman bin Umair,

Abu Yaqdhaan Al-Kufi, naye ni dhaifu sana.1097

TAKHRIJ YA RIWAYA HIO

Hadithi hio pia ameipokea Al-Imamu Al-Shafi kama alivyoinukuu Ibn

Kathir.1098

Lakini katika riwaya hii ya Al-Imamu Al-Shafi hakuna mas-ala

ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu, wala hakusema kuwa atateremka

bali kasema atawateremsha malaika wake. Na hata hivyo Hadithi yenyewe

si sahihi, kwani Al-Imamu Al-Shafi kaipokea Hadithi hio kutoka kwa

Ibrahim bin Muhammad, naye katajwa kuwa ni Mwongo.1099

Pia yumo

1096

- Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 26, uk. 202-203. 1097

- Anasema Abdulah bin Ahmad (mtoto wa Al-Imamu Hanbal): “amesema baba yangu

kuwa ni dhaifu alikuwa Ibn Mahdi kaziwacha Hadithi zake”. Anasema Amru bin Ali:

“Yahya na Abdul-Rahman hawakuridhika na Abu Yaqdhaan”. Na akasema Al-Duuri

kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “Hadithi zake si chochote,” (yaani hazina maana)”. Na akasimulia

Ibn Abi Hatim kutoka kwa baba yake kuwa Muhammad bin Abdillah bin Numair amesema

kuwa ni “Dhaifu”. Na akasema tena: “nimemuuliza baba yangu akasema: „Hadithi zake ni

dhaifu; Hadithi zake ni Munkar (na) Shuuba alikuwa hakuridhika naye”. Na amesema (Ibn

Abi Hatim) kutoka kwa baba yake kuwa Shuuba alimuendea „Uthman bin Umair

akamsimulia (yaani „Uthman bin Umair ndio msimulizi) riwaya kutoka kwa Shekhe

mmoja. (Yaani „Uthman anamwambia Shuuba kuwa Shekhe fulani kaniambia kadha wa

kadha). Shuuba akamuliza: “kwani wewe una umri gani”? Akamwambia: “nina umri

fulani”. Basi anasema Shuuba baada ya kufanya hesabu nimekuta yule Shekhe alipokufa

„Uthman bin Umair ndio kwanza ana miaka miwili! Anasema Al-Imamu Al-Bukhari:

“Hadithi zake ni Munkar (dhaifu sana) wala hakusikia Hadithi (yoyote) kutoka kwa Anas

bin Malik”. Na akasema Al-Juzajaani kutoka kwa Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “Hadithi

zake ni Munkar”. Anasema Al-Barqaani kutoka kwa Al-Daraqutni: “Hadithi zake

zinawachwa”. Anasema Al-Hakim kutoka kwa Al-Daraqutni: “mpotovu”. Anasema Ibn

Abd Al-Bar: “wote wamesema kuwa ni dhaifu”. Anasema Ibn Hiban: “alichanganyikiwa

mpaka ikawa hajuwi anachokisema”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7 uk. 132. 1098

- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhim j. 4 uk. 229, wakati akitoa maelezo juu ya

Aya hio tunayoijadili. 1099

- Anasema Bishr bin Al-Mufadhal: “nimewauliza wanavyuoni wa Madina kuhusu

(Ibrahim bin Muhammad), wote wakasema kuwa ni mwongo”. Na akasema Ali bin Al-

Madini kutoka kwa Yahya bin Said akisema: “mwongo”. Na akasema Al-Muuti kutoka

kwa Yahya bin Said akisema kwamba “Tulikuwa tukimtuhumu kuwa ni mwongo”. Na

akasema Al-Bukhari: “Ibn Mubarak na watu wengine wamemuacha (hawapokei Hadithi

zake)”. Na akasema Ibn Abi Mar-yam kutoka kwa wanavyuoni wengine: “mwongo”. Na

akasema Yahya bin Said: “nilimuuliza (Al-Imamu) Malik kuhusu (Ibrahim bin

Muhammad) je alikuwa muaminifu? Akasema: “sio”: wala si muaminifu hata katika dini

yake”. Na akasema Abu Taalib kutoka kwa Al-Imamu Ahmad: “watu wameziwacha

Page 379: Fimbo ya Musa

379 katika sanad ya Hadithi hii Musa bin Ubaida, naye ni dhaifu.

1100 Na pia

imepokewa Hadithi hii kutoka kwa Anas huyo huyo, lakini kwa sanad

nyengine tafauti kama inavyofuata:

Mosi: “Ametusimulia Ibn Humaid, kasema katusimulia Jarir kutoka kwa

Laith bin Abi Sulaim kutoka kwa „Uthman bin Umair kutoka kwa Anas bin

Malik”. Halafu inakuja Hadithi hio hio iliotangulia. Nayo ni sanad dhaifu,

kwani ndani yake yumo „Uthman bin Umair 1101

, Ibn Humaid 1102

, Laith

bin Abi Sulaim 1103

na Jarir bin Abdil-Hamid.1104

Na wote ni madhaifu, na

wa pili – katika hawa – ni dhaifu sana.

Pili: ni sanad ya Ibn Abi Shaiba. Lakini sanad taqriban ni ile ile Abdul-

Rahman bin Muhammad Al-Muharbi kutoka kwa Laith kutoka kwa

„Uthman (bin „Umair) kutoka kwa Anas bin Malik”.1105

Isipokuwa hapa

kaongezeka Abdul-Rahman bin Muhammad Al-Muharbi, naye alikuwa

akighushi, na Hadithi yake ni mua‟an‟an.1106

Hadithi zake naye anasimulia Hadithi munkar hazina msingi wowote”. Na akasema Al-

Bazar: “alikuwa akitunga Hadithi na akitunga mas-ala na akitunga sanad!” Na akasema Ibn

Hibbaan: “alikuwa akisema uwongo katika Hadithi”. Na wengi wengine. Tazama Tahdhibu

Al-Tahdhib j. 1 uk. 137. 1100

- Anasema Al-Imamu Ahmad “si halalil kwangu mimi kuandika Hadithi zake”. Na

akasema Ibn Ma‟iin: “si mwongo lakini Hadithi zake ni munkar”. Na akasema Al-Tirmidhi:

“anadhoofika (yaani kuna udhaifu nadani yake)”. Na akasema Al-Nasai: “Dhaifu”. Na

akasema Ya‟aqub bin Shaiba: “ni mkweli (lakini) dhaifu sana”. Na akasema Ibn Hiban:

“Dhaifu”. Na akasema Ibn Naafii: “ndani yake kuna udhaifu”. Tazama Tahdhibu Al-

Tahdhib j. 10 uk. 318. 1101

- Yametangulia maelezo yake huko nyuma kwamba ni dhaifu. 1102

- Naye ni mwongo. Yametangulia maelezo yake huko nyuma. 1103

- Anasema Ibn Hajar katika Taqrib uk. 464 tarjama na. 5685, kwamba Laith bin Abi

Sulaim bin Zunaim “ni mkweli (lakini) alichanganyikiwa sana: hazikupambanuka Hadithi

zake”. Na anasema Abdullah bin Ahmad kutoka kwa baba yake (Al-Imamu Hanbal) kuwa

“Hadithi zake zinagongana”. Na aliulizwa Jarir kuhusu Laith akasema: “alikuwa

akichanganyisha sana”. Na akasema Ibn Abi Hatim kutoka kwa baba yake: “Hadithi zake

ni dhaifu”. Na miongoni mwa waliosema kuwa Hadithi zake ni dhaifu ni: Ibn Ma‟iin, Ibn

Uyeina, Abu Zur‟a, Ibn Sa‟ad, Al-Saji, Ya‟aqub bin Shaiba, na wengi wengineo, bali

amesema Al-Hakim Abu Abdillah: “wamekubaliana (wanavyuoni) kuwa hifdhi yake ni

mbaya “. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8 uk. 417. 1104

- Yeye huyu “mwishoni mwa umri wake alichanganyikiwa na ikawa anakosea katika

(Hadithi alizozisimulia) kwa moyo”. Al-Taqrib uk. 139 tarjama na. 916. Na pia

alituhumiwa kuwa ni mwenye kughushi. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2 uk. 65. 1105

- Ibn Abi Shaiba Al-Musnad j. 2 uk. 58, Hadithi na. 10. 1106

- Anasema Ibn Hajar katika Al-Taqrib uk. 349 kuwa alikuwa “akighushi”. Na kwa urefu

tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 6 uk. 238.

Page 380: Fimbo ya Musa

380 Sanad hii imetajwa pia katika kitabu Bughyatu Al-Baahith

1107, lakini njia

yake ni ile ile ya „Uthman bin Umair. Katika sanad hii pia yumo ndani

yake Daud bin Muhabbar, naye ni dhaifu.1108

Halkadhalika yumo humu

katika sanad hii Ayub bin Khut (ه١), naye ni mwongo, Hadithi zake

zinawachwa.1109

Tatu: ni kuwa Ibn Al-Qayyim kanukuu Hadithi nyingi kutoka kwa Anas

bin Malik,1110

lakini zote njia yake ni moja nayo ni njia ya „Uthman bin

Abi Umair1111

ambaye ni dhaifu kama tulivyotangulia kusema.

Nne: ni riwaya ya Anas kwa njia ya Qatada bin Di‟aama1112

, nayo pia ni

dhaifu, kwani Qatada anaghushi1113

na Hadithi yake ni mua‟na‟n.

1107

- Nuru Al-Din Al-Haithami Bughyatu Al-Hathith j. 1 uk. 301, Hadithi na 195-196.

Lakini katika riwaya hii ya Al-Haithami – sawa na riwaya ya Ibn Abi Shaiba – hakuna

kuwa “wataitazama Dhati ya Allah”, jambo ambalo linaonesha kuwa mas-ala ya kuwa

“wataitazama Dhati ya Allah”, limechomekwa katika riwaya hio. 1108

- Anasema Ibn Hajar: “Hadithi zake zinawachwa”. Al-Taqrib uk. 200 tarjama na. 1811.

Na anasema Al-Juzajaani: “zilikuwa Hadithi zake zinagongana”. Na akasema Al-Nasai

kuwa ni “dhaifu”. Na akasema tena: “Hadithi zake zinawachwa”. Na akasema Salih bin

Muhammad Al-Baghdadi: “ni dhaifu; ni mwenye Hadithi munkar”. Na akasema tena:

“anasema uwongo na ni dhaifu katika Hadithi”. Na akasema Al-Daraqutni: “Hadithi zake

zinawachwa”. Na ikaelezwa kutoka kwa Ibn Ma‟iin akisema: “anakosea”. Na akasema Al-

Hakim: “amesimulia katika (mji wa) wa Baghdad kutoka katika wapokezi wengi

waaminifu, (lakini) haidithi za kutunga ambazo wametusimulia kutoka kwa AL-Harith bin

Abi Usama kutoka kwake (Daud bin Muhabbar), katika Kitabu Al-‟Aql (كتاب انعقم), na

nyingi katika Hadithi zilizomo ndani ya kitabu hicho ni za kutunga kutoka kwa Mtume

(s.a.w.) . Na akasema Ibn Hiban: “alikuwa akitunga Hadithi, na kuzinasibisha kwa

wapokezi waaminifu”. Yaani anatunga halafu anasema: “kutoka kwa fulani”, anataja

mpokezi anayekubalika. Na akasema Al-Azdi: “Hadithi zake zinawachwa”. Na akasema

Ibn Ma‟iin: “yeye na baba yake ni dhaifu”. Na akasema Al-Nuqqaash: “alisimulia Hadithi

kutoka katika Kitabu Al-‟Aql na nyingi katika Hadithi zake ni za kutunga”. Tazama

Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3 uk. 173, na Al-Jarhu Wa Al-Ta‟adil cha Al-Imamu Al-Razi j. 3

uk. 424 tarjama na. 1931, na Mizanu Al-I‟itidal cha Al-Dhahabi j. 2 uk. 210. 1109

- Anasema Ibn Hajar: “Hadithi zake zinawachwa”. Al-Taqrib uk. 118 tarjama na. 612.

Anasema Al-Bukhari: “Ibn Mubarak kaziwacha Hadithi zake”. Wanasema Al-Nasai na Al-

Daraqutni: “Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Amru bin Ali: “alikuwa hajui kusoma

wala kuandika na Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Abu Hatim: “dhaifu, dhaifu sana,

Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Al-Azdi: “ni mwongo”. Anasema Ahmad: “Issa bin

Yunus alikuwa akimtuhumu kuwa ni mwongo”. Anasema Al-Saji: “wanavyuoni

wamekubaliana kuziwacha Hadithi zake, alikuwa akisimulia Hadithi batili”. Na wegi

wengineo miongoni mwa wanavyuoni wa Hadithi ambao wamemtiya kasoro kubwa.

Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1 uk. 352. 1110

- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 230-231. 1111

- Sanad hii ya „Uthman bin Umair pia ina wapokezi dhaifu wengine. 1112

- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 231. 1113

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 315-319, tarjama na. 637. Tabaqaatu Al-

Mudallisin uk. 43, tarjama na. 92.

Page 381: Fimbo ya Musa

381 Tano: ni riwaya ya Anas kwa njia ya „Umar, Maula „Ghufra.

1114 Nayo pia

ni dhaifu, kwani „Umar, Maula „Ghufra ni dhaifu.1115

Sita: ni riwaya ya Anas kwa njia ya Safwaan.1116

Nayo pia ni dhaifu kwani

sanad yake imekatika. Safwaan – naye ni Safwaan bin Amri bin Harim Al-

Saksaki Abu Amru – kafa mwaka wa 100 A.H; wakati aliyeipokea Hadithi

hio kutoka kwake ni Al-Hakam bin Nafi ambaye kafa mwaka wa 211 A.H.

na wengine wanasema 222, na umri wake alipokufa alikuwa na miaka 83.

Tufanye kafa mwaka 211. Miaka 211 toa 83 aliyoishi tutabakiwa na 128.

Kwa hivyo huyu mwaka wa 128 ndio anazaliwa, vipi kapokea Hadithi

kutoka kwa mtu aliyekufa mwaka wa 100 – sanad imekatika.1117

Saba: ni riwaya ya Hudhaifa bin Al-Yaman. Kainukuu riwaya hii Ibn Al-

Qayyim katika Hadi Al-Ar-waah. 1118

Lakini msimulizi wa Hadithi hio ni

Ibn Batta, naye ni mujasim (anamsifu Mwenyezi Mungu kuwa ana

kiwiliwili) mpotovu, mtunzi wa Hadithi na mwongo mkubwa.1119

Na pia

yumo katika sanad hii Al-A‟amash, naye ni Sulaiman bin Mihran, mwingi

wa kughushi, na Hadithi yake hapa ni mua‟na‟n.1120

1114

- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 232. 1115

- Anasema Is-haq bin Mansur kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “dhaifu”. Na vivyo hivyo kasema

Al-Nasai. Anasema Ibn Hibban: “anazigeuza riwaya : hafanywi kuwa ni hoja”. Anasema

Al-Saji: “Malik kamuwacha (hapokei Hadithi zake)”. Anasema Al-„Ijli: “anaandika Hadithi

zake, wala si madhubuti”. Anasema Ibn Ma‟iin: “hakusikia (riwaya ) kutoka kwa Sahaba

yoyote”. Ninasema: naye hapa anaisimulia riwaya hii kutoka kwa Sahaba Anas, kwa hivyo

pamoja na udhaifu wake, riwaya yake hii ni mursala. Bali Ibn Abi Hatim kutoka kwa baba

yake kasema: “hakumkuta Anas”. Tazama Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 414-

415, tarjama na. 784. 1116

- - Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 232. 1117

- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2 uk. 379. Hapa utapata habari za Al-Hakam bin

Nafi. Na tazama j. 4 uk. 376. Hapa utampata habari za Saf-wan bin Amri bin Harim Al-

Saksaki. 1118

- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 233. Hadithi hii ya Hudhaifa imekuja kwa sanad

nyengine, kainukuu Ibn Al-Qayyim katika Hadi Al-Ar-waah uk. 239, lakini ndani yake

kuna wapokezi hawa wawili ambao wamo katika sanad hii. Kwa hivyo jawabu ya hapa

ndio jawabu ya kule. Isipokuwa kule kumeongezeka Al-Hasan bin Yahya bin Kathir, naye

ni dhifu. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2 uk. 280. Na Al-Qasim bin Mutayyib, naye ni

matruk (Hadithi zake zinaachwa). Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8 uk. 303. 1119

- Tazama kwa urefu maelezo kuhusu Ibn Batta katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki

uk. 337-338. 1120

- Tazama habari za Al-A‟amash katika Al-Taqrib uk. 253 tarjama na. 2615. Na

tutaeleza zaidi kuhusu mpokezi huyu baadae Mwenyezi Mungu akipenda. Tazama pia

Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk. 195, tarjama ya 386. Anasema Wahb bin Zam‟a Al-Mar-

wazi: “nimemsikia Ibn Mubarak anasema: „hakika wamezifisidi Hadithi za watu wa Al-

Kufa Abu Is-haq (Al-Sabi‟i) na Al-A‟amash wenu”. Na akasema: “nimemsikia Mughirah

anasema: „amewaangamiza watu wa Al-Kufa Abu Is-haq na Al-A‟amash wenu huyu”. Na

akasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “hadithi za Al-A‟amash zinagongana”. Anasema

Al-Dhahabi: “naye anaghushi, na huenda akaghushi kutoka kwa watu dhaifu”. Anasema

Page 382: Fimbo ya Musa

382

Riwaya hio ya kumuona Mwenyezi Mungu kila siku ya ijumaa,

imesimuliwa pia kutoka kwa Sahaba Ibn Abbaas. 1121

Lakini aliyeisimulia

kutoka kwa Ibn Abbaas ni Al-Hasan Al-Basari, naye ni mwenye kughushi

na Hadithi yake ni mua‟na‟n. Pili ni kuwa Al-Hasan hajapata kupokea

riwaya kutoka kwa Ibn Abbaas kamwe, bali wala hakupata kumuona.1122

Kwa hivyo, ni wazi kwamba riwaya hii hapa imetokana na ghushi zake.

Njia nyengine ya riwaya hio ya kumuona Allah kila ijumaa, ni njia ya Al-

Imamu Ali.1123

Lakini katika sanad yake kuna Suwaid bin Abdil-‟Aziz,

naye ni dhaifu sana. 1124

Pia yumo katika sanad hii Amru bin Khalid, Abu

Khalid Al-Qurashi, naye ni mwongo, alikuwa akitunga Hadithi za

uwongo.1125

Ibn Al-Madini: “Al-A‟amash alikuwa akikosea sana katika Hadithi za hawa (wapokezi)

dhaifu”. Tazama Al-Dhahabi Al-Mizan j. 2, uk. 414, tarjama ya 3517. 1121

- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 241. 1122

- Anasema Ibn Hajar katika Al-Taqrib uk. 160 tarjama na. 1227: (alikuwa)

“Anaghushi”. Anasema Al-Daraqutni: “Hadithi zake mursal ndani yake kuna udhaifu”. Na

Hadithi hii ni mursal vile vile. Anasema Ibn Hiban: “alikuwa akighushi”. Anasema Al-

Bazzaar: „alikuwa akisimulia kutoka kwa watu wengi wala hajawasikia, basi (badala yake)

husema: „katuhadithia, katuhutubia‟. Anasema Ali bin Al-Madini: “hakupata (Al-Hasan)

kusikia (Hadithi yoyote) kutoka kwa Ibn Abbas, wala hakumuona kamwe; Al-Hasan

alikueko Madina wakati Ibn Abbas yuko Al-Basra”. Anasema Bahz bin Asad: “Al-Hasan

hakusikia (Hadithi yoyote) kutoka kwa Ibn Abbas”. Anasema Al-Imamu Ahmad bin

Hanbal: “(Al-Hasan) hakumsikia Ibn Abbas”. Kwa hivyo sanad hii ina kasoro mbili: moja

ni kuwa imekatika: Al-Hasan anasema “kutoka kwa Ibn Abas” wala hajapata hata kumuona

katika maisha yake. Pili ni riwaya mua‟na‟na ya msimulizi mwenye kughushi. Na hukumu

yake ni “Hadithi dhaifu”. 1123

- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 227. 1124

- Anasema Abdullah bin Ahmad kutoka kwa baba yake Al-Imamu Ahmad bin Hanbal:

“Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Ibn Ma‟iin: “si mwenye kuaminika”. Na akasema

tena: “si lolote (hana maana)”. Na akasema tena: “dhaifu”. Anasema Ibn Sa‟ad: “amepokea

Hadithi (nyingi) munkar”. Anasema Al-Bukhari: “katika Hadithi zake kuna (Hadithi

nyingi) Munkar amezikataa Ahmad”. Na akasema tena: “ni mtu wa kufikiriwa”. Na

akasema Al-Nasai: “si mwenye kuaminika”. Na akasema tena: “ni dhaifu”. Anasema

Ya‟aqub bin Sufyaan: “dhaifu”. Anasema Al-Tirmidhi: “Suwaid bin Abdil-„Aziz”

anakosea sana katika Hadithi”. Anasema Ibn Hibaan: “dhaifu sana na akazitaja Hadithi

zake (nyingi) Munkar”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk. 242. 1125

- Anasema Abdullah bin Ahmad kutoka kwa baba yake: “Hadithi zake zinawachwa:

hazina maana”. Anasema Al-Athram kutoka kwa Ahmad: “Mwongo: anasimulia kutoka

kwa Zaid bin Ali kutoka kwa wazee wake Hadithi za kutunga, anasema uwongo”. Tazama

hapa maneno ya Al-Imamu Ahmad halafu tazama na sanad ya Hadithi hii. Kama

alivyosema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal ndivyo ilivyokuja hapa: Amru bin Khalid,

kaipokea Hadithi hii kutoka kwa Zaid bin Ali kutoka kwa wazee wake, na Hadithi hii kweli

ni ya kutunga. Anasema Hashim bin Marthad Al-Tabarani kutoka kwa Ibn Ma‟iin akisema:

“mwongo: hana maana”. Anasema Abbas Al-Duuri kutoka kwa Yahya bin Ma‟iin:

“mwongo: si mwenye kuaminika wala si muaminifu”. Wanasema Is-haq bin Rahwayhi na

Abu Zur‟a: “alikuwa akitunga Hadithi”. Anasema Abu Hatim: “Hadithi zake zinawachwa”.

Page 383: Fimbo ya Musa

383 Riwaya hio ya kumuona Mwenyezi Mungu kila siku ya Ijumaa,

imepokelewa pia kutoka kwa Sahaba Anas kwa sanad nyengine na kwa

njia ya Abu Buraida.1126

Lakini katika sanad yake kuna Salih bin Hayyan,

naye ni dhaifu.1127

Pia yumo katika sanad hii Asad bin Musa, naye Hadithi

zake ni munkar.1128

TANBIH

Katika riwaya ya Ibn Abi Shaiba katika Al-Musannaf hakuna katika Hadithi

hio maneno yasemayo: كظ٠ ٣ظح ا٠ ؿ (mpaka wataitazama Dhati

yake)1129

au (mpaka watautazama uso wake). 1130 Jambo hili linathibitisha

kwamba maneno hayo – katika riwaya ya Al-Tabari – yamechomekwa na

wenye itikadi ya kumuona Allah kama kawaida yao kuzidisha na kupunguza

riwaya. Hata hivyo, sanad yake ni sawa na ya Al-Tabari: ni dhaifu, na katika

matn yake kuna mambo munkar.

MGONGANO BAINA YA RIWAYA

Al-Imamu Ahmad emepokea Hadithi inayosema:

ـــ كيػخ ك كيػخ حر ٤ؼش كيػخ ىحؽ ػ أر٢ ح٤ؼ ػ أر٢ ؼ٤ي ٢ هللا ػ ػ

ـــزؼ٤ ش هز أ ٣ظل ا حؿ ك٢ حـش ٤ظ٠ء ك٢ حـش“هخ: ٤ ػ ٠ هللا هللا

ػ طؤط٤ حأس ط٠د ػ٠ ز٤ ك٤ظ ؿ ك٢ هيخ أل٠ ححس ا أى٠ ئئس ػ٤خ

Anasema Abu Daud: “mwongo”. Anasema Waki‟u: “alikuwa jirani yetu tukaugundua

uwongo wake akahama”. Wanasema watu wengine kutoka kwa Waki‟u akisema: “alikuwa

karibu yetu katika ujirani alikuwa akitunga Hadithi, alipogunduliwa akahama”. Anasema

Al-Nasai: “si mwenye kuaminika”. Na akasema tena: “Hadithi zake zinawachwa”. Na Al-

Barqi: “kamtumu kuwa ni Mwongo”. Na akasema Al-Daraqutni: “Hadithi zake

zinawachwa. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8 uk. 24. 1126

- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 26, uk. 203. 1127

- Wanasema Abu Daud na Ibn Ma‟iin: “ Salih bin Hayyan ni dhaifu”. Anasema Abu

Hatim: “si madhubuti”. Wanasema Al-Nasai na Al-Duulaabi: “si mwenye kuaminika”.

Anasema Al-„Ijli: “si madhubuti”. Anasema Al-Harbi: “ana Hadithi (nyingi) munkar”.

Anasema Al-Imamu Al-Bukhari: “ni mtu wa kufikiriwa”. Tumesema kuwa hii ni lugha ya

upole ya Al-Bukhari kumaanisha mpokezi dhaifu sana. Anasema Ibn Hiban: “anasimulia

Hadithi kutoka kwa (wapokezi) wenye kuaminika hazielekei kuwa zitoke kwa watu wenye

kuaminika”. Anasema Al-Daraqutni: “si madhubuti”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk.

338. 1128

- Anasema Ibn Yunus: “kasimulia Hadithi (nyingi) munkar”. Anasema Ibn Hazm:

“Hadithi zake ni munkar, dhaifu”. Anasema Abdul-Haq: “si hoja kwao (wanavyuoni wa

Hadithi)”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 228. 1129

- Kwa mujibu wa tafsiri ya waliowengi wa kulifasiri neno uso kwa maana ya dhati. 1130

- Kwa mujibu wa tafsiri ya Kiwahabi na maimamu wao wa kulifasiri neno uso kwa

maana ya uso-kiungo. Tazma riwaya hio katika Ibn Abi Shaiba Al-Musnad j. 2 uk. 58,

Hadithi na. 10.

Page 384: Fimbo ya Musa

384

ط٢٠ء خ ر٤ حم حـد كظ ػ٤ ك٤ى حال ك٤ؤخ أض كظو أخ ح٣ي..

Ametusimulia Hasan, ametusimulia Ibn Lahia, ametusimulia Darraj kutoka

kwa Abi Al-Haitham kutoka kwa Abi Said kutoka kwa Mtume (s.a.w.)

kasema: „hakika ya mtu katika pepo ataegemea (atakaa) ndani ya pepo

miaka sabiini kabla ya kuondoka. Kisha atamjia mwanamke atampiga

katika mabega yake basi (akimtazama) atauona uso wake katika shavu lake

(shavu la mwanamke) lililo safi kuliko kioo. Na lulu ndogo kabisa (katika

lulu alizozivaa) juu ya (mwili) wake, basi inaangaza baina ya mashariki na

magharibi, basi atamsalimia, naye atamrejeshea salamu. Atamuuliza

„wewe ni nani? Atamwambia mimi ni katika ziada….1131

MATN YA RIWAYA

Hadithi hii kaiisimulia Al-Imamu Ahmad katika kitabu chake cha Hadithi

na kainukuu pia Ibn Kathir katika tafsiri yake1132

kutoka kwa Al-Imamu

Ahmad na vile vile kaitaja Al-Imamu Ibn Jarir Al-Tabari katika tafsiri

yake.1133

Sasa tazama tofauti iliopo baina ya riwaya hizo za nyuma na

riwaya hii: kule ziada si jengine bali ni kumuona Mwenyezi Mungu tu:

hapa ni mwanamke mzuri au na mwanamke mzuri ni katika ziada! Na haya

yote lau kama Hadithi hii ingelikuwa sahihi, lakini pamoja na hayo

Hadithi hii pia ni dhaifu.

SANAD YA RIWAYA

Katika sanad ya Hadithi hii yumo Ibn Lahia, naye ni dhaifu na

anaghushi.1134

Pia yumo katika sanad hii, Darraj, naye Hadithi zake zote

alizozipokea kutoka kwa Abi Al-Haitham ni dhaifu, na hii pia kaipokea

kutoka kwa Abi Al-Haitham.1135

1131

- Ahmad Al-Musnad j. 4, uk. 189, Hadithi na. 11738. 1132

- J. 4 uk. 230. 1133

- J. 26, jalada la 11. 1134

- Ibn Lahia naye ni dhaifu. Anasema Al-Bukhari kutoka kwa Al-Humaidi akisema:

“Yahaya bin Said hamuoni kuwa ni chochote,” (yaani hakumtia maanani). Anasema Ibn

Al-Madini kutoka kwa Ibn Mahdi akisema: “sipokei kingi wala kidogo kutoka kwake”.

Anasema Abdul-Karim bin Abdil-Rahman Al-Nasai kutoka kwa baba yake akisema: “si

mwenye kuaminika”. Anasema Ibn Ma‟iin: “alikuwa dhaifu: Hadithi zake si hoja”.

Anasema Ibn Sa‟ad: “alikuwa dhaifu”. Anasema Ibn Hiban: “nilizichunguza habari zake

nikamgundua kuwa alikuwa akighushi”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 5 uk. 327. 1135

- Tazama Al-Taqrib uk. 201 tarjama na. 1824. Anasema Abdullah bin Ahmad kutoka

kwa baba yake Al-Imamu Ahmad akisema: “Hadithi zake ni munkar”. Anasema Al-Nasai:

“si madhubuti”. Wanasema Abu Hatim na Al-Daraqutni: “dhaifu”. Anasema Al-Imamu Ibn

Hajar Al-„Asqalaani: “na amesimulia Ibn Adey kutoka kwa Ahmad Hadithi (nyingi) za

Darraj kutoka kwa Abi Al-Haitham kutoka kwa Abi Said ambazo ndani yake kuna

udhaifu”. Na utaona kuwa Hadithi hii pia imekuja kwa sanad hii hii kutoka kwa Darraj

Page 385: Fimbo ya Musa

385 MUKHTASARI

Tulioijadili hapa ni Aya inayosema:

ي٣خ ٣ي

Na kwetu kuna ziada (ambayo tutawapa).

Je ziada hii ni ziada gani? Kiufupi ni kuwa Mwenyezi Mungu kasema

katika sura hio ya 50 Aya 35 kuwa watu wema watapata katika pepo

wanachokitaka na ziada, lakini Qur-ani haikusema ni ziada gani

watakayopewa. Na kudai kuwa kitu kadha ndio ziada iliokusudiwa

haikubaliki kielimu ila kwa ushahidi. Wanaoitakidi kumuona Mwenyezi

Mungu wanasema kuwa ziada hapa ni kumuona Mwenyezi Mungu, na

dalili zao ni Hadithi ambazo zinatarajiwa kuwa zimetoa tafsiri hivyo.

Lakini baada ya kuziwekwa Hadithi hizo kwenye mezani ya elimu ya

Hadithi, zikaonekana kuwa Hadithi hizo zote ni maudhui (za kutunga). Na

wakati huo huo Abu Ya‟ala kapokea katika Musnad wake (kitabu chake

cha Hadithi) kutoka kwa Anas bin Malik kuwa ziada watakayoipata watu

wema ni neema watakazozipata kila ijumaa kama vile Mahurulain, vyakula

na vinywaji vizuri na mengineo wala hakutaja mas-ala ya kuonekana kwa

Mwenyezi Mungu. Na wapokezi wa Hadithi yake ni bora sana inaweza

ikwa Hadithi hasan.1136

Kwa hivyo natija ni kuwa Aya hii inayosema: “Na

kutoka kwetu (watapata) ziada” si ushahidi wa kuwa Mwenyezi Mungu

ataonekana, kwa sababu haikutajwa ni ziada gani. Bali ziada iliotajwa

katika Aya nyengine za Qur-ani ni kuzidishwa thawabu mara kumi:

aliyefanya jema moja akalipwa mema kumi.

kutoka kwa Abi Al-Haytham kutoka kwa Abi Said. Kwa hivyo Hadithi hii ni dhaifu.

Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3 uk. 180.

1136

- Tazama Musnad Abi Ya‟ala j. 6 uk. 228.

Page 386: Fimbo ya Musa

386

SURA YA KUMI KUKIRI KWA BAADHI YA

WANAVYUONI WA KISUNI

Mjadala wote uliotangulia, kimsingi unazihusu Aya tatu za Qur-ani. Moja ni

Aya ya 22-23 ya Sura ya 75 isemayo: “Nyuso siku hio zing‟ara***Kwa

Mola wake tu zitakuwa zinatazama”; pili ni Aya ya 26 ya Sura ya 10

isemayo: “Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada”; na

tatu ni Aya ya 103 ya Sura 6 isemayo: “Macho hayamdiriki (Allah)” au

“Macho hayamfikii”. Hadithi zilizonukuliwa katika sehemu hizo ambazo

tulizizungumzia, ni kwa sababu Hadithi hizo zilitarajiwa kuwa zimekuja

kutoa tafsiri ya Aya hizo, na kwa hivyo hakuna budi kuwa tuzijadili pamoja.

Kwa mantiki hii, kimsingi sehemu iliotangulia inajadili tafsiri tafauti za Aya

za Qur-ani tu. Utakuwa umejua kutokana na hayo yaliotangulia kwamba

wenye itikadi ya kutoonekana kwa Allah, wanadai kuwa katika Qur-ani

hakuna kamwe ushahidi wa kuonekana kwa Allah na kwamba Aya

walizoshikana nazo wenye itikadi ya kumuona Allah hazitoi ushahidi huo

kamwe. Suali ni kuwa: je huo ni mtazamo wao peke yao au hata miongoni

mwa wale wenye itikadi ya kumuona Allah pia wako wenye usemi huo?

Jawabu ni kuwa wako wanavyuoni ambao wanaamini kuonekana kwa Allah

lakini wanaona kuwa itikadi hio haikuzaliwa na Aya za Qur-ani kamwe, au

kwamba ushahidi wa Qur-ani wa kukataa kumuona Allah una nguvu zaidi

kuliko ushahidi wa kuthibitisha itikadi hio.

MANENO YA AL-IMAMU MUHAMMAD

RASHID RIDHA

Mfano wa wanavyuoni hao ni Al-Imamu Muhammad Rashid Ridha

mwanachuoni wa Misri ambaye anasema:

Na ama kuonekana kwa Mola kumesemwa (kama ni) rai ya mwanzo,

(lakini) hakika ya Aya zenye kukataa ziko wazi zaidi kuliko (Aya ) zenye

kuthibitisha. Kama kauli ya Mwenyezi Mungu Mtukufu (aliposema

kumwambia Nabii Musa): ,(Hutoniona) طح٢1137

na kauli Yake (Mola)

Mtukufu (aliposema kuwa): ل طي حلرخ (Macho hayamfikii).1138

(Aya)

hizi zinaonesha kwa uwazi zaidi kukataa (kuonekana kwa Mwenyezi

Mungu) kuliko Aya inayosema:

1137

- Sura ya 7 Aya ya 143. 1138

- Sura ya 6 Aya ya 103.

Page 387: Fimbo ya Musa

387

س خ خظ ر س ا ٠ خ ج ٣ ؿ

(Kuna) nyuso siku hio zitangaa** Kwa Mola wake (tu) ni

zenye kutazama. 1139

kwa sababu matumizi ya neno ظ (al-nadharu kutazama) – kwa maana ya

kungojea – yanatumika sana katika Qur-ani na lugha ya Kiarabu. Kama

kauli ya Mwenyezi Mungu aliposema:

خ ٣ظ ال ٤لش حكيس

Hawana wanachokingojea isipokuwa ukelele mmoja.1140

Na kauli ya Mwenyezi Mungu aliposema:

٣ظ ال طؤ٣

Hawana wanachokingojea isipokuwa hatima yake (matokeo na

mwisho wake).1141

Hayo ni maneno ya Al-Imamu Muhammad Rashid Ridha, mwanachuoni

wa Misri. Naye baada ya kuyasema haya yote bado anaamini kuwa

Mwenyezi Mungu ataonekana!1142

MANENO YA IBN HAJAR

Mwanachuoni mwengine wa Kisuni ambaye kutokana na maneno yake

inaonesha kuwa anaona kwamba katika Qur-ani dalili za kuwa Mwenyezi

Mungu haonekani ziko wazi zaidi, ni Al-Imamu Ibn Hajar Al-„Asqalaani.

Katika maneno yake, yeye anategemea Hadithi tu katika kuthibitisha kuwa

Mwenyezi Mungu ataonekana; ama katika Qur-ani haoni kuwa kuna hoja

juu ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu. Katika kitabu chake Fat-hu Al-

Bari baada ya kuinukuu Aya inayosema:

ل طي حلرخ

Macho hayamfikii.

1139

- Sura ya 75 Aya ya 22-23. 1140

- Sura ya 36 Aya ya 49. 1141

- Sura ya 7 Aya ya 53. 1142

- Tazama tafsiri yake Al-Manar j. 9 uk. 131.

Page 388: Fimbo ya Musa

388

anasema – baada kuinukuu Aya hio –: “Na lau kama si Hadithi basi

isingelifaa kuwacha dhahiri (ya Aya ) hii”.1143

Ni wa wazi kwamba tegemeo la Ibn Hajar katika kuthibitisha kwake itikadi

ya kumuona Allah ni riwaya zilizopokewa juu ya suala hilo: si Aya za Qur-

ani. Lakini riwaya zenyewe ni kama ulivyoziona baadhi yake na kama

utavyoziona nyengine kwamba si riwaya zenye kujenga hoja kamwe

hususan ukizingatia ukweli kwamba zimekwenda kinyume na Aya.

MANENO YA IBN ASHUR

Na mwanachuoni mwengine ambaye anaitakidi kuonekana kwa Mwenyezi

Mungu lakini dhahiri ya maneno yake ni kuwa katika Qur-ani hamuna hoja

ya msingi ni Al-Imamu Ibn Aashur. Anasema katika tafsiri ya Aya

inayosema:

ؿ س خ خظ ر س ا ٠ خ ج ٣

Nyuso siku hio zitangaa **Kwa Mola wake (tu) ni zenye kutazama.

Na dalili ya Aya (hii) kuwa Waumini wataona kwa macho yao; kuona

Dhati ya Mwenyezi Mungu, ni dalili ya dhana (tu), kwa sababu ( Aya hii)

inawezekana kuwa na tafsiri za namna nyingi. 1144

AL-JASAS AL-RAZI AKANUSHA KUONEKANA

KWA MWENYEZI MUNGU

Na miongoni mwa wanavyuoni wa Kisuni ambao hawakubaliani kabisa na

madai ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu ni Al-Imamu Abi Bakr Ahmad

bin Ali Al-Razi aliye mashuhuri zaidi kwa jina la Al-Jassaas. Anasema:

…Basi kauli Yake (Mola) Mtukufu:

ل طي حلرخ

Macho hayamfikii

Maana yake ni kuwa macho haya muoni. Na huku ni kujisifu (kwa

Mwenyezi Mungu) kwa kukataa kuonekana, ni kama kauli yake

(Mwenyezi Mungu aliposema kuwa):

1143

- Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 8 uk. 607 1144

- Ibn Ashur Al-Tahrir Wa Al-Tanwir j. 29 uk. 353.

Page 389: Fimbo ya Musa

389

ل طؤه ش ل

Hakumchukuwi kusinzia wala kulala. 1145

Na kitu ambacho Mwenyezi Mungu kajisifu kwa kukikataa kutokana na

Nafsi Yake, basi kuthibitisha kinyume chake ni ila na upungufu: haifai

kuthibitisha kinyume chake.

Na wala haijuzu kuwa Aya inayosema:

س ج ٣ ؿ س ** خ خ خظ ر ا ٠

Nyuso siku hio zitangaa *** Kwa Mola wake (tu) ni zenye

kutazama,

iwe ndio (imewahusisha watu maalum kuwa watamuona Mwenyezi

Mungu) kwa kuuvua (ujumla wa) Aya inayosema:

ل طي حلرخ

Macho hayamfikii

(ambayo inakataa kiujumla kuonekana kwa Mwenyezi Mungu). Kwa

sababu neno .linamaana nyingi (al-nadharu) حظ

Ama Hadithi zilizopokewa kuhusu kuonekana (kwa Mwenyezi Mungu)

kama ni sahihi basi makusudio yake ni kujua (yaani kumjua Mwenyezi

Mungu zaidi au kwa lugha nyengine kuujua uungu zaidi)……..na

matumizi ya neno kuona kwa maana ya kujua ni mashuhuri katika lugha

(ya Kiarabu).1146

MANENO YA AL-SAYYID AL-SAQQAAF

Na mas-ala ya kumuona Allah au itikadi ya kumuona Allah

imebomowa msingi wa tawhid na kumtakasa Allah.1147

Hayo ni maneno ya Al-Sayyid Hasan bin „Ali Al-Saqqaaf. Al-Sayyid Hasan

bin „Ali Al-Saqqaaf ni mwanachuoni wa Kishafi ambaye anajishughulisha

zaidi na elimu ya Hadithi. Pamoja na kuwa yeye kwa asili ni Shafi lakini

kajiweka huru kutafuta hoja tu. Alipotembelea Oman, alikaa na Sheikh Al-

1145

- Sura ya 2 Aya ya 255. 1146

- Al-Jassas Al-Razi Ahkaamu Alqur-an j. 3 uk. 4. 1147

- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 5.

Page 390: Fimbo ya Musa

390

Qannubi kiasi cha robo saa tu kuijadili itikadi ya kumuona Allah. Sheikh

Al-Qannubi akamuuliza Sheikh Al-Saqaaf: Sheikh wewe ni mwanachuoni

ambaye umehakiki vitabu vingi sana, vipi kuhusu suala la kuonekana kwa

Allah? Sheikh Al-Saqqaaf akajibu: “Hadithi zake zote ni dhaifu, isipokuwa

moja tu”. Sheikh Al-Qannubi akamuuliza: “ni Hadithi gani hio?” Sheikh Al-

Saqqaaf akasema: “ni Hadithi ya kumuona Allah kama munavyouona

mwezi”. Sheikh Al-Qannubi akamjibu: “Hadithi hii katika sanad yake kuna

Qais bin Abi Hazim naye kadhoofishwa na „Ali bin Al-Madini na wengine”.

Sheikh Al-Saqqaaf akakiri kuwa kweli na Hadithi hio nayo pia si sahihi.

Aliporudi kwao akaandika kitabu alichokiita Mas-alatu Al-Ru-uya, ambapo

ndani yake kaikataa kabisa itikadi hio ya kuonekana kwa Allah na

kubainisha kuwa riwaya zote hizo ni dhaifu, na miongoni mwa ibara zake

alizoziandika ni hio tulioinukuu hapo juu.

MANENO YA AL-UKHT „AZZA BINT

MUHAMMAD AL-MISRIYYA

Huyu ni Bi-Mkubwa wa Kisunni wa Kimisri ambaye kafanya utafiti wake

wa kujipatia shahada ya pili (Master Degree) kwa uhuru kabisa na kwa

kuzivua kasumba zote za kimadhehebu. Natija aliofikia ni kuwa Allah

haonekani duniani wala akhera. Baada ya maelezo, anasema hivi:

Na baada ya kuwa nimebainisha – katika sehemu ya tano katika mlango wa

pili – kuipa kwangu uzito kauli ya kuwa Allah haonekani duniani, kama

ambavyo nimebainisha – katika sehemu ya sita katika mlango wa pili –

kuipa kwangu uzito kauli ya kuwa Allah haonekani huko akhera.1148

Bibi Mkubwa huyu ana maelezo mengi katika kitabu chake hicho, lakini

tunanukuu katika maneno yake kitu kidogo kiasi cha kuthibitisha kauli yake

tu.

Kwa hivyo, mukhtasari wa hayo ni kuwa sisi tunadai kwamba katika Qur-

ani hamuna kamwe ushahidi sahihi wa kuonekana kwa Allah. Bali tunadai

kuwa ushahidi sahihi uko kinyume na itikadi hio: ushahidi sahihi wa Qur-

ani ni kutoonekana kwa Allah kama tulivyobainisha. Umeona katika nukulu

zetu hapa kwamba baadhi ya wataalamu hawa wa Kisuni wamekataa moja

kwa moja kuonekana kwa Allah; na wengine – kama Ibn Hajar, dhahir na

Al-Sayyid Muhammad Rashid Ridha na Ibn „Ashur – wametegemea Hadithi

tu pasina Qur-ani, katika kuikubali kwao itikadi ya kuonekana kwa Allah.

1148

- „Azza bint Muhammad Ru-uyatu Allahi Ta‟aala Baina Al-Muthbitina Wa Al-Naafin

uk. 75.

Page 391: Fimbo ya Musa

391

Lakini suali lililobakia ni kuwa: je kuna Hadithi za kutegemea juu ya itikadi

hio? Sehemu inayofuata inajadili suala hilo.

Page 392: Fimbo ya Musa

392

SURA YA KUMI NA MOJA HADITHI ZA KUONEKANA KWA ALLAH

Katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu, tulinukuu idadadi kubwa ya Aya za

Qur-ani ambazo watetezi wa itikadi ya kumuona Allah huko akhera

wanazitegemea. Tulibainisha huko kwamba Aya ndizo lakini tafsiri ambayo

imepewa Aya hizo ni tafsiri batili. Natarajia kwamba Kasim bin Mafuta

labda kakubaliana na sisi kuhusu ubatili wa tafsiri yao juu ya Aya hizo,1149

kwani katika kitabu chake hakutoa hoja kwa kutumia Aya hizo; bali kajenga

hoja kwa Aya mbili tu, Aya isemayo: “Nyuso siku hio zing‟ara**Kwa

Mola wake tu ni zenye kutazama” na Aya isemayo: “Wale waliotenda

mema watapata wema wao na ziada”. Nasi – Wa li-Lahi Alhamdu –

tumeshabainisha katika kitabu hiki ubatili wa maneno ya Kasim Mafuta

kuhusu Aya hizo na kuibainisha haki kwa kila aitakae.

HADITHI YA KWANZA: HADITHI YA KUMUONA

ALLAH KAMA MUNAVYOUONA MWEZI

Sasa Sh. Mafuta baada ya kujenga hoja kwa Aya hizo ili kuthibitisha itikadi

yake ya kumuona Allah, aliendelea kwa kujenga hoja zake kwa baadhi ya

riwaya zilizonasibishwa kwa Mtume (s.a.w.) na baadhi ya Al-Salaf Al-Salih.

Hadithi ya kwanza ambayo kaijengea hoja ni Hadithi isemayo:

ػ خ ي ك ػ ر ػ خ ػ ي خ ي ك ه ٤ ػ ٤ خػ ا ػ ه ٤ ػ ٣ ؿ خ ه خ خــــؿ يــػ

ـــ٠ حز ٢ هللا ٤ ػ ا ا ٠ ظ و ٤ ش ح ز ي ح ه خ ظ ا ـــ ر خ ـــــ آ ح ط

و ل ح خ ك ٢ ط ٠ ٣ ظ إ ....

Ametusimulia Amru bin Aun, amesema: ametusimulia Khalid na Hushaim,

kutoka kwa Ismail, kutoka kwa Qais, kutoka kwa Jarir: Tulikuwa ni wenye

kukaa mbele ya Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- kwa ghafla

akautazama mwezi, katika usiku wa mwezi mpevu, akasema: Kwa hakika

nyinyi mtamuona Mola wenu kama mnavyouona huu (mwezi)

hamtasongamana katika kuuona…..1150

Kasim Mafuta kainukuu riwaya hii kwa njia nne ambazo – kwa kutaka

kuwaghushi watu na dini yao – kaziita kuwa ni njia sahihi. Tutazijadili in

1149

- Kama ni hivyo, basi ajue Kasim Mafuta kwamba kabla yake katanguliwa na Ibn Hajar

ambaye yeye anaona katika Qur-ani hakuna ushahidi wa kuonekana kwa Allah. Bali dalili

ya kutoonekana kwa Allah iko wazi zaidi. Tazama Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 8 uk. 607 . 1150

- Tazama Sahihul-Bukhari, hadithi namba 6882.

Page 393: Fimbo ya Musa

393

shaa Allah njia zote alizozitaja, lakini kwanza natuanze na hii njia ya

kwanza. Sisi tumeikataa riwaya hii kwa sababu tatu:

1) Qur-ani imeeleza kwa uwazi kwamba Allah haonekani. Na hii ni

pale iliposema kwa uwazi kwamba: “Macho hayamfikii”. Na hili ni

andiko la wazi juu ya kutoonekana kwa Allah, wala hakuna tafauti

kwa Allah baina ya dunia na akhera, kwani sifa zake za dhati

hazibadiliki.

2) Hadithi hii ina udhaifu katika sanad yake.

3) Hadithi hii ina udhaifu katika matn yake.

SANAD YA HADITHI HIO

Sasa wacha tuingie katika ufafanuzi wa hayo. Nukta (point) ya kwanza

yenye kuhusiana na Aya tutaijadili kwa urefu na upana tukifika katika

sehemu yake in shaa Allah. Ama kuhusu sanad, ni kuwa msimulizi wa

Hadithi hio ni Qais bin Abi Hazim, naye si mpokezi sahihi tafauti na Kasim

bin Mafuta anavyotaka kutughushia mambo ili aipe nguvu itikadi yake.

Anasema „Ali bin Al-Madin katika kisa fulani alichokitaja Al-Dhahabi

katika Al-Siyar:

اخ خ أػحر٤خ ه٤ ر أر٢ كخ،٠ خ ٣٣ ـــ ػ٤ ل ػـك٢ ح حإلخى ل ٣ؼ

رحل ػ٠ ػوز٤

Katika sanad hii kuna mpokezi ambaye hatendewi kazi (hafuatwi) wala

hazitendewi kazi (hazikubaliki) riwaya zake, naye ni Qais bin Abi Hazim,

kwa hakika yeye alikuwa ni bedui mwenye kujikojolea katika visigino

vyake (hata kwenda chooni hajui).1151

Hayo ni maneno ya Ibn Al-Madini naye ni miongoni mwa wanavyuoni

wakubwa wa wapokezi katika karne za awali. Lakini Al-Khatib Al-

Baghdadi katika kitabu chake Al-Taarikh anaikanusha riwaya hio ya Ibn Al-

Madini. Hoja ya Al-Khatib ni kuwa Ibn Al-Madini hawezi kusema hivyo

kwani wanavyuoni wa Hadithi – akiwemo Ibn Al-Madini mwenyewe –

wamekubaliana kutoa hoja kwa riwaya za Qais bin Abi Hazim. Anasema

Al-Khatib:

ـخؽ رح٣ش ه٤ــــهي هللا ػ٤خ ػ ه ي، ل أ حلػ، ك٤ ػ٢، ـؼ ػ٠ حلكظ

خ زحء طخرؼ٢ أ حكش. طل٤لخ، ا

Allah amemtakasa „Ali (bin Al-Madini) kutokana na kauli hio, kwani watu

wa Hadithi – akiwemo „Ali – wamekubaliana kutoa hoja kwa riwaya za

1151

- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 9, uk. 346.

Page 394: Fimbo ya Musa

394 Qais na kuziita kuwa ni riwaya sahihi, kwani alikuwa ni katika Tabi‟iin

wakubwa katika watu wa Al-Kufa.1152

Hayo ni maelezo ya Al-Khatib katika kumtetea kwake Qais bin Abi Hazim.

Na mfano wa maelezo hayo katika kumtetea Qais ni maelezo ya Al-Dhahabi

katika Al-Siyar. Lakini Al-Sayyid Al-Saqqaf akayajibu maelezo hayo ya Al-

Khatib kwa kusema:

Na jaribio la Al-Khatib na Al-Dhahabi na wale waliowaiga wao katika

jaribio la kuyaletea tafsiri (maneno) hayo (ya Ali bin Al-Madini) au

kuyakataa na kuyabatilisha, hilo linakataliwa kwa sababu ya kupokewa

kauli za kundi (kubwa) la wanavyuoni waliomponda Qais bin Abi

Hazim.1153

Ninasema: maelezo ya Al-Sayyid Al-Saqqaaf yanaungwa mkono na riwaya

nyengine zifuatazo kutoka kwa wanavyuoni watangulizi. Katika kitabu

chake Tahdhib Al-Tahdhib, Al-Imamu Al-Hafidh Ibn Hajar anawanukuu

baadhi yao wakitongoa hivi:

Na wanavyuoni wetu wamemzungumza (Qais bin Abi Hazm); wengine

wakamtukuza na wakazifanya riwaya kutoka kwake kuwa ni katika sanad

sahihi zao; na wengine wakamponda na wakasema kuwa ana Hadithi

(nyingi) munkar. Na wale waliomsifu wamezifasiri Hadithi hizi kuwa si

munkar kwa mtazamo wao, bali ni Hadithi ngeni (ghariib). Na wengine

hawakumponda kwa sababu ya Hadithi; na walikuwa wakimponda kwa

sababu ya madhehebu yake na wakasema kwamba alikuwa akimshambulia

(Al-Imamu) Ali (k.w.); na kilichomashuhuri kutoka kwake ni kuwa

alikuwa akimtanguliza „Uthman. Na kwa sababu hio, wanavyuoni wa kale

wa Al-Kufa walijiepusha kusimulia riwaya zake.1154

Hayo ni maelezo ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba yalionukuuliwa na Al-Imamu

Ibn Hajar na Al-Imamu Al-Mizzi. Ama Isma‟il bin Abi Khalid yeye

anasema: “Qais alikonga mpaka akavuuka miaka mia kwa (ziada ya) miaka

1152

- Al-Khatib Taarikh Baghdad j. 11, uk. 464, katika tarjama ya „Ali bin Al-Madini, na.

6349. 1153

- Kisha Al-Sayyid Al-Saqqaf akazinukuu kauli hizo. Mas-ala Al-Ru-ya uk. 10. Kauli

hizo tumezinukuu pia katika kitabu Hoja Zenye Nguvu na tutazinukuu tena hapa in shaa

Allah. 1154

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 346-347, tarjama na. 691. Al-Mizzi

Tahdhibu Al-Kamal j. j. 8, uk. 379-380, tarjama na. 5523.

Page 395: Fimbo ya Musa

395

mingi hata akili yake ikaharibika kwa sababu ya uzee na ikapotea akili

yake”.1155

Kwa hivyo, utaona kwamba madai ya Al-Khatib, ya kuikataa riwaya ya Ibn

Al-Madini iliomdhoofisha Qais bin Abi Hazim si madai sahihi, kwani

waliozikataa riwaya za Qais bin Abi Hazim ni kundi kubwa la wanavyuoni

wala si kama alivyodai yeye kwamba wanavyuoni wamekubaliana kuzitolea

hoja riwaya za Qais. Bali Ibn Al-Madini mwenyewe kapokea riwaya kutoka

kwa Yahya bin Sa‟iid akisema: “Qais bin Abi Hazim Hadithi zake ni

munkar”. 1156 Sasa vipi mtu ambaye yeye mwenyewe kaisimulia riwaya

kama hii, ikanushwe riwaya yake ya kuzikataa riwaya za mpokezi huyo

mwenye sifa hio.

Lakini Kasim Mafuta akayajibu maelezo hayo kama ifuatavyo:

MAJIBU YETU

Katika itikadi ya makhawaarij (maibadhi) ni kwamba mtu akifanya dhambi

kubwa kama vile kusema uongo, basi anakua kafiri na huko akhera

ataingia motoni milele na hatoki katu. Sasa ajabu ni maibadhi hawa wa

zama hizi kwa nini wanasema uongo?!!

Na ushahidi juu ya uongo wao ni huu ufuatao:

Ndugu Juma anadai kwamba Qais ni „„DHAIFU‟‟ na wanavyuoni wengi

wamemdhaifisha! Maneno haya ni uongo na ukweli ni kwamba Qais ni

„„THIQA‟‟(ni

mtu muadilifu mwenye hifdhi nzuri) kwa mujibu wa kauli za maulamaa wa

hadithi.

1-Amesema Imamu Yahya bin Mai‟n : “THIQA”.

2-Amesema Imamu Abu Daud: “Mtu mwenye sanadi nzuri kuliko

Taabi‟ina wote (taabi‟ina ni wafuasi wa maswahaba) ni Qais bin Abi

Haazim.

3-Amesema Ya‟qub bin Abi Shaibah:

“Alikuwa Qais ni katika Taabi‟ina wa zamani mno…na yeye ni mwenye

ufanisi katika kupokea riwaya”.

1155 - Marejeo yaliotangulia. Hapa kuna maneno kayataja Al-Mizzi na Ibn Hajar

kayaondosha. Naye Ibn Hajar kafanya vyema kuyaondosha kwani maneno hayo ni maneno

ya kumtia mtu aibu bila ya haja. Ya leit na Al-Mizzi naye aliyaepuka. 1156

- Marejeo yaliotangulia..

Page 396: Fimbo ya Musa

396

4-Amesema Ismail bin Abi Khalid: “Alikuwa (Qais) ni mtu madhubuti”.

5-Na Imamu Ibn Hibbaana amemtaja miongoni mwa Thiqaat (watu

madhubuti katika riwaya).

6-Amesema Imamu al-Dhah‟biy: “Wameafikiana (maulamaa wa hadithi)

juu ya kumfanya (Qais) kuwa ni Hoja na mtu YOYOTE

ATAKAYEMSEMA VIBAYA BASI AMEJIUDHI MWENYEWE”.

7-Na amesema al Hafidh Ibn Hajar: “Qais bin Abi Haazim al Bajaliy Abu

Abdillahi al Kufiy ni THIQA”.1157

Mpaka hapa madai ya Juma kwamba Qais ni dhaifu yatakuwa

yameporoka.1158

JAWABU

Mafuta! Hebu tulia kwanza! Mwongo ni mimi au ni wewe au ni

wanavyuoni wako? Hapo katika jawabu yako umenukuu maneno ya

wanavyuoni wengi na mengi katika hayo hukuyanukuu kiukamilifu! Bali

mengi ya maneno hayo yanahitaji maelezo na tahqiq jambo ambalo

hukulifanya. Tunasema: kwamba kuhusu:

Ibn Ma‟iin

1) Kuhusu Ibn Ma‟iin, ni kweli kasema kuwa Qais ni thiqa.

Abu Daud

2) Maneno ya Abu Daud si madhubuti pamoja na kuwa msemaji ni

Abu Daud. Nawe ulitakiwa uyahakiki kwa vile wewe ni muhakiki.

Na jambo lenyewe la tahqiq hata kama ni zito katika baadhi ya

sehemu; lakini ni jepesi katika sehemu hii. Ubainifu wa haya ni

katika nukta mbili:

a) Wanavyuoni wanatafauti kuhusu kudai kuwa sanad fulani

ndio sahihi kuliko zote. Na kilicho sahihi kwa watu wa tahqiq

ni kuwachana kabisa na madai hayo kama alivyosema Al-‟Iraqi

1157

- Tazama vitabu vifuatavyo: Taarikhul-Duuriy juzuu ya 2 ukurasa wa 95. Kitabu Al-

Thiqat cha Ibn Hibbaan juzuu ya 5 ukurasa 307. Tahdhibul-Tahdhibi juzuu ya 4 ukurasa wa

561 -86. Al-Taq‟ribu ukurasa 134-135, tarjama namba 6250. 1158

- Kasim bin Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 101.

Page 397: Fimbo ya Musa

397

katika Al-Fiyya yake.1159

Kwa hivyo, madai kwamba “mtu

mwenye sanadi nzuri kuliko Taabi‟ina wote ni Qais bin Abi

Haazim” ni madai yalilojengeka juu ya msingi wenye khilafu

bali msingi dhaifu.

b) Wanavyuoni wametafautiana kuhusu usahihi wa Qais

mwenyewe; wakati Matabiina wengine wamekubaliana

juu ya usahihi wao. Sasa vipi iwe sanad yenye mpokezi

mwenye khilafu ndio bora kuliko zile zenye wapokezi

waliokubaliana? Maneno ya Abu Daud hayakubaliki wain

raghimatil unuuf!

Ya‟aqub bin Abi Shaiba

3) Maneno ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba. Maneno haya wewe

umeyabutua: yale maneno ambayo yameonesha kuwepo kwa

wanavyuoni wengine wengi waliozikataa riwaya za Qais wewe –

kama kawaida ya ghushi yako – umeyaondosha. Na hili ni jambo

madhmuum. Maneno ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba yanaishia kwa

kusema:

Na wanavyuoni wetu wamemzungumza (Qais bin Abi Hazm);

wengine wakamtukuza na wakazifanya riwaya kutoka kwake kuwa

ni katika sanad sahihi zao; na wengine wakamponda na wakasema

kuwa ana Hadithi (nyingi) munkar. Na wale waliomsifu

wamezifasiri Hadithi hizo kuwa si munkar kwa mtazamo wao, bali

ni Hadithi ngeni (ghariib). Na wengine hawakumponda kwa

sababu ya Hadithi; na walikuwa wakimponda kwa sababu ya

madhehebu yake na wakasema kwamba alikuwa akimshambulia

(Al-Imamu) Ali (k.w.); na kilichomashuhuri kutoka kwake ni

kuwa alikuwa akimtanguliza „Uthman. Na kwa sababu hio,

wanavyuoni wa kale wa Al-Kufa walijiepusha kusimulia riwaya

zake.1160

Maneno haya wewe umeyaruka nawe umemwita Al-Qannubi kuwa ni

mwongo kwa kuyaondoa maneno ya Al-Albani ambayo kuwepo kwake na

kutokuwepo hayajengi wala hayabomoi katika elimu ya Hadithi! Maneno

haya nilioyanukuu hapa ndio yenye kuthibitisha kwamba walikuweko

wanavyuoni wengi ambao walizikataa riwaya za Qais kwa msingi kwamba

1159

- Al-Hafidh Al-‟Iraqi Al-Alfiyya uk. 9. 1160

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 346-347, tarjama na. 691. Al-Mizzi

Tahdhibu Al-Kamal j. j. 8, uk. 379-380, tarjama na. 5523.

Page 398: Fimbo ya Musa

398

ni mpokezi wa Hadithi munkar. Sasa uwongo uko wapi, au mwongo ni

nani?

Isma‟il bin Abi Khalid

4) Katika kuyanukuu maneno ya Ismail bin Abi Khalid, uliishia kwa

kusema: “Amesema Ismail bin Abi Khalid: “Alikuwa (Qais) ni mtu

madhubuti”. Wakati riwaya ya pili ya Isma‟iil bin Abi Khalid, iliopo

hapo hapo, inasema: “Qais alikonga mpaka akavuuka miaka mia

kwa (ziada ya) miaka mingi hata akili yake ikaharibika kwa

sababu ya uzee na ikapotea akili yake”.

Kwa hali yoyote ile, hata kama maneno haya umeyanukuu kwengine, suali ni kuwa

je mtu kama huyu riwaya yake ni sahihi au ni dhaifu? Soma elimu yako mwenyewe

uliotuandikia katika kitabu chako. Ukitaja masharti ya mpokezi anayekubalika,

unasema:

Wala asiwe (mpokezi ni) mwenye kufanya .(Hifdhi nzuri) طخ ح٠ز٢

maasia kwa dhahiri wala asiwe na tabia mbaya, mpokezi awe na

uwezo wa kudhibiti maneno aliyo yapokea, bila ya kubadilisha

chochote katika maana yake, au kukosea sana, au kubabaika

kulikopetuka mipaka wakati wa kusimulia mapokezi hayo.1161

Hayo ni maneno yako mwenyewe japo kuwa umechanganyachanganya na

kuvurugavuruga kwa kuyachanganya kwako baina ya mas-ala ya kuwacha

maasi na kuwa na tabia nzuri ambayo ni masuala ya حؼيحش maadili mema,

wewe umeyachanganya na mas-ala ya kuhifadhi ambayo ni mas-ala ya طخ

uwezo kamili wa kuidhibiti Hadithi. Kwa hali yoyote ile, suali laح٠ز٢

msingi hapa ni kuwa je Qais ambaye “alikonga mpaka akavuuka miaka mia

kwa (ziada ya) miaka mingi hata akili yake ikaharibika kwa sababu ya

uzee na ikapotea akili yake” anaingia katika sharti hii ulioitaja hapa? Je

mtu katika hali kama hii anaweza kuidhibiti Hadithi?

Bali tunasema kwamba kwanza maneno ya Ismail bin Abi Khalid si:

“Alikuwa (Qais) ni mtu madhubuti”, bali maneno yake ni “Qais ni nguzo

hii”. Kisha dhahir ni kuwa walioyafasiri maneno hayo “Qais ni nguzo hii”

kuwa maana alioikusudia ni kuwa Qais ni nguzo hii “kwa uaminifu au kwa

umadhubuti” si tafsiri ya Isma‟iil bin Abi Khalid mwenyewe kama maneno

yenyewe yanavyojionesha, bali ni tafsiri ama ya Khalid Al-Ahmar au ya

Abu Said Al-Ashajj.

1161

- Kasim bin Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 8.

Page 399: Fimbo ya Musa

399

Pili ni kuwa riwaya hio ya Ismail bin Abi Khalid imesimuliwa kwa njia ya

Khalid Al-Ahmar, naye wamekubaliana kwamba hakuwa na uwezo wa

kuhifadhi. Anasema Al-Duuri kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “ni mkweli wala

hafanywi kuwa ni hoja”. Anasema Ibn „Adey: “Anazo Hadithi zenye kufaa,

isipokuwa kajaaliwa kuwa na hifdhi mbaya, basi anasahau na kukosea naye

kimsingi ni kama alivyosema Ibn Ma‟iin kwamba ni mkweli wala hafanywi

kuwa ni hoja”. Anasema Al-Bazzaar: “Si katika wale ambao ziada zao ni

hoja kwa sababu wanavyuoni wa Hadithi wamekubaliana kwamba hakuwa

mwenye kuhifadhi”.1162

Kwa hivyo, itakubainikia kwamba wale waliomwita

mpokezi huyu kuwa ni thiqa basi wanakusudia kuwa alikuwa thiqatun fii

nafsihi kwa maana kwamba saduuqun fii nafsihi (ni mkweli katika nafsi

yake), lakini – ukichanganya hayo na yale yaliosemwa na Ibn Ma‟iin, Ibn

„Adey na Al-Bazzaar, basi – maana ni kuwa yeye ni dhaifu katika hifdhi

yake; mkweli katika nafsi yake. Na hivi ndivyo inavyotakiwa yajumuishwe

maneno ya wanavyuoni wa Hadithi ikiwa yatagongana kama hivi, tafauti na

Kasim Mafuta alivyolifasiri neno hilo thiqa kuwa maana yake ni “mwenye

kuaminika, mwenye hifdhi nzuri”, japo kuwa kuna ushahidi mwengine

wenye kuonesha kwamba mpokezi huyo aliyeitwa hivyo thiqa ni dhaifu.

Baada ya hayo, utaona kwamba natija ni kuwa, kwanza riwaya hio

iliosimuliwa kutoka kwa Ismail bin Abi Khalid kwamba kasema: “Alikuwa

(Qais) ni mtu madhubuti” au “alikuwa nguzo hii” si riwaya sahihi kwa

sababu ya kupwekeka nayo mpokezi asiye na hifdhi madhubuti naye ni

Sulaiman bin Hayyaan, Abu Khalid Al-Ahmar. Pili ni kuwa hata kama

riwaya hio ni sahihi lakini bado:

a) Kapingwa na wengine waliomdhoofisha. Na udhoofishaji

unatangulizwa kabla ya usahihishaji.

b) Riwaya hio hata kama ni sahihi ni lazima ifungamanishwe na hali ya

zamani ya Qais: si baada ya kukonga.

c) Baada ya kukonga na kuwa katika hali hio riwaya zake hazikubaliki

ila ile itayothibiti kwa ushahidi kwamba kaisimulia kabla ya

kukonga.

d) Na hayo yote ni kwa msingi kwamba Qais mwanzo alikuwa imara,

vyenginevyo wanavyuoni wametafautiana kuhusu yeye hata kabla

hajakonga kama ulivyoona nukulu zao.

Ibn Hibbaan

1162

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3, uk. 159, tarjama na. 313.

Page 400: Fimbo ya Musa

400

5) Ama kuhusu Ibn Hibbaan kumtaja Qais katika Al-Thiqaat hilo ni

jambo la kawaida kwa Ibn Hibbaan. Na nadhani hili wanalijua hata

wanafunzi wadogo kabisa kwamba Ibn Hibbaan amewaita wapokezi

wengi kuwa ni thiqa nao si thiqa, bali wengine ni majhulun

(hawajulikani kabisa). Rudia hata vitabu vya Imamu wako Al-Albani

utaona akilieleza hilo katika sehemu tafauti.1163

Kwa hivyo, mukhtasar ambao tunaweza kuusema kuhusu Qais ni ule ule

uliomo katika maneno ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba kwamba:

1) Qais wako waliomtukuza.

2) Na wako waliomponda na kusema kwamba ni mpokezi mwenye

kusimulia Hadithi munkar, na wengine – kama Ibn Al-Madini –

akamdhoofisha kabisa kama ulivyoona nukulu yake iliotangulia.

Na kwa mantiki hii, basi wanavyuoni wametafautiana kuhusu Qais: je ni

mpokezi sahihi au dhaifu? Kilichobaki ni kuiuliza elimu ya Hadithi: je

mpokezi kama huyu ana hukumu gani? Mimi sina maelezo; namuachia

Ayatollah Al-Albani atujibie suali letu. Ewe Al-Albani tongoa we! Al-

Albani anena:

حـف وي “س ــــهللا وخلظ وخػيس حو كال ٣ظلض رؼي ح ظػ٤ن ح٤ن أكي خ ك

ػ٠ حظؼي٣.

Basi baada ya haya, maneno ya Sheikh Ahmad Shakir ya kumfanya

mpokezi huyo kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika) hayatazamwi kamwe

kwani yako kinyume na kanuni iliokubalika yenye kusema: „kujeruhi

kunatangulizwa kuliko kuadilisha (kusahihisha)‟.1164

Na anasema tena Al-Albani:

ق ا٤ حظ٣ـ١ ؼخ ػ هخػيس ػخء حلي٣غ : ـــــــؿ ي ل ه٤ش ظػ٤ن ػو ، ح١

…… “ حظؼي٣ حـف وي ػ٠“

Halkadhalika hakuna thamani kwa usahihishaji wa yule aliyemsahihisha

(mpokezi huyo) ambako Al-Tuwaijri kamili huko (kamili katika

usahihishaji huo) akiipa mgongo kanuni ya wanavyuoni wa Hadithi yenye

kusema: (kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha).1165

Anaendelea:

1163

- Tazama – kwa mfano – Ir-waau Al-Ghalil j. 2, uk. 254-255, riwaya na. 491. Na hilo

limo katika sehemu nyingi ya vitabu vya Al-Albani. 1164

- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. uk. 89. 1165

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 101, Hadithi na. 6043.

Page 401: Fimbo ya Musa

401

حـف وي ػ٠ حظؼي٤٣ ٣ول٠ ػ٠ حظو٤ ح حؼ أ

Na wala haijifichi kwa wale wenye kuimudu vyema fani hii (ya Hadithi)

kwamba kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha. 1166

Anaendelea:

ل حـف وي ػ٠ حظؼي٣

Na kwa sababu kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha. 1167

Baada ya hayo, hatuna budi kumuelekea Sheikh Mafuta na hizbu yake na

kuwambia kwamba hio ni moja ya sababu zetu ambazo kwamba

zimetupelekea kuikanusha riwaya hio ya Qais kwani kanuni ni kuwa

(kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha), na kwa hivyo yeye ni dhaifu

hata pua zikiramba mchanga……….. ك ؼ٤ق ػ٠ حظلو٤ن ا ؿض حلف.

Al-Dhahabi

6) Ama maneno ya Al-Dhahabi alipodai: “Wameafikiana (maulamaa

wa hadithi) juu ya kumfanya (Qais) kuwa ni Hoja na mtu YOYOTE

ATAKAYEMSEMA VIBAYA BASI AMEJIUDHI

MWENYEWE”.

Tunasema: maneno hayo hayana kima katika gulio la elimu, kwani tafauti

baina ya wanavyuoni kuhusu Qais bin Abi Hazm imenukuliwa kutoka kwa

wakuu wa awali na wanavyuoni wengi wameyanukuu hayo akiwemo yeye

mwenyewe Al-Dhahabi kama ilivyo katika kitabu chake Al-Siyar1168

na

kitabu chake Al-Mizan,1169

sasa makubaliano hayo yametoka wapi? Hivi

ndivyo walivyo viongozi wa Kihanbali na wajukuu zao wa Kiwahabi

kwamba kila walitakalo wao basi “umma umekubaliani” au “al-salaf

wamekubaliana”, japokuwa vitabu vyao wenyewe vinawasuta Wa Allahu

Al-Musta‟aan.

Ama mayowe ya Al-Dhahabi alipolalamika kwamba: “na mtu YOYOTE

ATAKAYEMSEMA VIBAYA BASI AMEJIUDHI MWENYEWE”.

1166

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 148, Hadithi na. 6058. 1167

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 2, uk. 841, Hadithi na. 6379. 1168

- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 5, uk. 201-204, tarjama na. 448. 1169

- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 4, uk. 312-313, tarjama na. 6908.

Page 402: Fimbo ya Musa

402

Mwiso wa kunukuu. Ninasema: mimi sina jawabu juu ya maneno hayo:

ninamuachia Al-Sayyid Al-Saqqaf anijibie. Anasema Al-Saqqaf:

Na vile vile inatubainikia kwamba kauli ya Al-Dhahabi katika kitabu chake

Al-Mizan aliposema: „na atayemsema vibaya Qais basi huyo kajiudhi

mwenyewe‟. Haya ni katika maneno ya kuropoka na ni batili vile vile! Bali

aliyejiudhi mwenyewe – ewe Al-Dhahabi – ni Qais bin Abi Hazim

aliyekuwa akimchukia Sayyidna „Ali „alaihi al-salam. Na Al-Dhahabi

naye mwenye kumtetea na mwenye kusema kwamba mwenye kumchukia

Qais – ambaye anamchukia Bwana wetu „Ali – kuwa kajiudhi nafsi

yake…….E! Ajabu ilioje! Na hili linaonesha kuwa Al-Dhahabi ni naasib

(mtu mwenye kuwapiga vita Ahlul-Bait) na hili ni jambo mashuhuri

(kuhusu Al-Dhahabi)! Kwa sababu, vipi atakuwa mwenye kumponda Qais

ambaye ni mwenye kumsimamishia uadui na kumshambulia Bwana wetu

„Ali awe kajiudhi nafsi yake, na asiseme (Al-Dhahabi) kuhusu waovu wa

Nawaasib akiwemo Qais na Huraiz ambaye alikuwa akimtukana „Ali kuwa

kajiudhi nafsi yake na kwamba riwaya zake hazikubaliki…….na Qais

alikuwa akiishi chini ya mwanvuli wa dola yenye kujenga na kuikumbatia

fikra ya kumlani Sayyidna „Ali na kumtukana na kumtia aibu, na kwa

sababu hio wakamtukuza waliomtukuza na wakampamba.1170

Hayo ni maelezo ya Sheikh Al-Sayyid Al-Saqqaaf, na natarajia yanatosha

kukujuilisha Al-Dhahabi mwenyewe ni mtu wa aina gani, ndio maana Al-

Dhahabi akasema kuhusu Ibn Batta kwamba: “pamoja na kuwa Ibn Batta

ana uwezo mdogo katika riwaya lakini ni Imamu katika Sunna”1171

ilhali Ibn

Batta alikuwa mwongo mkubwa kama tulivyomuelezea katika juzuu ya

kwanza ya kitabu hiki. Al-Dhahabi hakuyasema hayo kwa kukosea, bali ni

kwa sababu Ibn Batta ni Hanbali mwenzake na anawafikiana naye kiitikadi.

Kwa hivyo, usione ajabu kwa Al-Dhahabi kusema: “na mtu YOYOTE

ATAKAYEMSEMA VIBAYA BASI AMEJIUDHI MWENYEWE”,

madamu Qais ana riwaya ambazo ni muhimu kwa Al-Dhahabi!

SUALA LA PILI: QAIS ANA HADITHI MUNKAR

Kisha Sheikh Kasim bin Mafuta akaendelea na jawabu yake. Na katika

kufanya hivyo, aliinukuu jawabu ya Al-Dhahabi dhidi ya riwaya ya Yahya

bin Sa‟iid Al-Qattaan yenye kusema kwamba Qais alikuwa na Hadithi

munkar. Anasema Ibn Mafuta:

1170 - Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 11.

1171 - Al-Dhahabi Al-Mizaan j. 3, uk. 412, tarjama na. 5394. Ni Sunna gani?! Ni sunna ya

kutunga riwaya za uwongo; ni sunna ya kuiba vitabu vya watu; ni sunna ya kumshabihisha

Allah na viumbe na kuwakafirisha Waislamu!

Page 403: Fimbo ya Musa

403

Majibu yetu Inshaallah yatakuwa kwa njia mbili:

Njia ya kwanza, ni kuhusu kauli ya Ibn al-Madini kuwa ameambiwa na

Yahya bin Said kwamba Qais bin Abi Haazim hadithi zake ni MUNKAR.

Ameijibu tuhuma hii Imamu al-Dhah‟biy pale alipoitaja kauli hiyo kwa

kusema:

“Kisha (Yahya bin Said) akazitaja hadithi ambazo ameziona kuwa ni

munkar, lakini hakufanya kitu, bali hadithi hizo zimethibiti, na wala

haishangazi kupwekeka nazo (kuwa amezipokea peke yake) kwa sababu ya

upana wa aliyoyapokea, na miongoni mwa hadithi hizo ni (ile inayotaja

habari za) Mbwa wa Hauab‟‟.1172

Maana ya maneno haya ya Imamu al-Dhah‟biy ni kwamba si sahihi

kusema kwamba Qais hadithi zake ni MUNKAR au hadithi zake nyingi ni

MANAKIR kwa sababu ya kupwekeka kwake katika kupokea baadhi ya

hadithi bila ya kushirikiana katika mapokezi hayo na watu wengine, kwa

sababu Qais alikuwa na hifdhi pana na riwaya nyingi, na baada ya

kuzifuatilia hadithi zake imegundulika kwamba ni hadithi sahihi na

miongoni mwa hadithi hizo ni ile ambayo Mtume –swalla llaahu alayhi

wasallam- alitabiri kwamba baadhi ya wake zake watabwekewa na mbwa

pindi wafikapo mahali paitwapo Hauab na hiyo ni hadithi sahihi.

JAWABU

Nasi tunajibu kwa ufupi kwamba maneno hayo ya Al-Dhahabi hayana kima

chochote katika soko la elimu, kwani hali ingelikuwa hivyo alivyodai yeye

lau ni Yahya bin Said Al-Qattaan peke yake ndiye aliyesema kuwa Qais

Hadithi zake ni munkar, lakini waliosema hivyo ni wengi kama

tulivyonukuu kabla; na Ibn Al-Madini akasema:

Katika sanad hii kuna mpokezi ambaye hatendewi kazi (hafuatwi) wala

hazitendewi kazi (hazikubaliki) riwaya zake, naye ni Qais bin Abi Hazim,

kwa hakika yeye alikuwa ni bedui mwenye kujikojolea katika visigino

vyake (hata kwenda chooni hajui).1173

Na bila shaka Ibn Al-Madini ni bora sana kuliko Al-Dhahabi; kama

ambavyo kwamba hao wengine ni bora kuliko Al-Dhahabi. Na madai

kwamba Hadithi hizo zimethibiti pia hayana kima kwani ikiwa zimethibiti

1172

- Tazama mizanul itidaal juzuu ya 3 ukurasa 392-393. 1173

- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 9, uk. 346.

Page 404: Fimbo ya Musa

404

basi ni kwa sharti kwamba zimepokewa kwa njia nyengine isio ya Qais.

Ama njia ya Qais tu, haitoshi kwani wanavyuoni wametafautiana juu yake

na kanuni ni kuwa “udhoofishaji ndiwo wenye kutangulizwa pasina

usahihishaji”.

MAANA YA PILI YA NENO MUNKAR

Anaendelea Sheikh Ibn Mafuta:

Maana nyingine ya neno Munkari:

Amesema al-Hafidh Ibn Hajar katika kitabu chake Tah‟dhiibul-Tah‟dhiibi

juzuu ya 4 ukurasa wa 562 akiitafsiri kauli ya Yahya bin Said al Qattwaan:

.”حطن حلى :رخ حوطخ حى“

„„Na makusudio ya al-Qattwaan (aliposema) Munkar: ni kupwekeka

mutlaki‟‟.

Maana ya maneno ya Ibn Hajar ni kwamba: Siyo makusudio ya Imamu al-

Qattwaan aliposema “hadithi munkar” kuwa maana yake ni hadithi ya mtu

dhaifu aliyepingana na mtu Thiqa kama ilivyozoeleka katika elimu ya

“Mustalahul hadithi” bali makusudio ni kupwekeka mpokezi katika

mapokezi yake. Na si Imamu al-Qattwaan peke yake aliye litumia neno

“MUNKAR” kwa maana ya kupwekeka, bali hata Imamu Ahmad bin

Hanbal anakawaida ya kulitumia neno hilo kwa maana ya kupwekeka, na

kulitumia neno hili kwa maana hii halileti ile maana ya kujeruhi

iliyozoeleka katika elimu ya hadithi.

JAWABU

Jawabu ni kuwa maneno haya pia hayana hoja ndani yake, japo kuwa ni

kweli Yahya bin Said kasemwa kuwa alikuwa akilitumia neno hilo

kumaanisha al-fard lakini suali ni kuwa:

1) Je alikuwa halitumii neno hilo ila kwa maana hio tu?

2) Je na hapa pia kalitumia kwa maana hio.

Nadhani kutoa jawabu juu ya masuali hayo ni jambo la lazima katika

kuifahamu vyema maudhui hii. Nami natongoa: kwamba hapa Yahya bin

Said hakukusudia hivyo kamwe, na lau Kasim Mafuta aliitazama hoja yake

ya mwanzo alioinukuu kutoka kwa Al-Dhahabi, basi angelijua kwamba

hakuwa na haja ya hii hoja ya pili alioinukuu kutoka kwa Ibn Hajar – hoja

Page 405: Fimbo ya Musa

405

mbili hizo zinagongana mgongano wa wazi! Maneno ya Al-Dhahabi

ambayo Kasim Mafuta mwenyewe kayanukuu, yanasema hivi:

Kisha (Yahya bin Said) akazitaja hadithi ambazo ameziona kuwa ni

munkar, lakini hakufanya kitu, bali hadithi hizo zimethibiti, na wala

haishangazi kupwekeka nazo (kuwa amezipokea yeye peke yake) kwa

sababu ya upana wa aliyoyapokea, na miongoni mwa hadithi hizo ni (ile

inayotaja habari za) Mbwa wa Hauab.1174

Kwa hivyo, kwa mujibu wa maneno haya ya Al-Dhahabi ni kuwa Yahya bin

Said Al-Qattaan aliposema kuwa Qais bin Abi Hazim Hadithi zake ni

munkar, hakukusudia al-fardu al-mutlaq kama alivyodai Al-Hafidh, kwani

Al-Dhahabi anasema:

٣غ ٤جخ، ر ٢ ػخرظش. ك ػ ٠ أكخى٣غ حظخ

Kisha akazitaja Hadithi alizozikanusha, lakini hakuweza kufanya

chochote, bali Hadithi hizo zimethibiti.

Hii ina maana kwamba alichokifanya Yahya bin Sa‟id Al-Qattan, ni

kuzikanusha kabisa riwaya hizo na kwamba si riwaya sahihi, ndio maana

Al-Dhahabi – kwa vile yeye kwake riwaya hizo ni sahihi – akamjibu

kwamba:

1) Hakuweza kufanya kitu.

2) Bali riwaya hizo zimethibiti.

Lau makusudio ya Yahya bin Sa‟id ni kuwa riwaya hizo ni al-fardu al-

mutlaq, basi Al-Dhahabi asingelisema: “Hakuweza kufanya kitu…….bali

riwaya hizo zimethibiti”, kwani al-fardu al-mutlaq si lazima iwe dhaifu, bali

inaweza kuwa dhaifu au sahihi.

Baada ya hayo, inambainikia kila mwenye mtazamo sahihi wa kuyasoma

maandiko kwamba makusudio ya Yahya bin Said aliponena kuwa Qais ni

munkarul hadith ni kuwa riwaya zake ni dhaifu akiwa atapwekeka nazo.

Ninasema: bali lugha alioitumia Yahya bin Said ni حلي٣غ munkaru Al-

Hadith, na lugha hii ni tafauti na kusema خ٤ أ أكخى٣غ خ٤ lahu

manaakiir au lahu ahaadiithu manaakiir, lugha ya mwanzo inamfanya

mpokezi kuwa ni dhaifu, mwenye kuachwa, kwani hio ni sifa iliomlazimu

mpokezi huyo. Anasema Al-Albani alipojaribu kumjibu Sh. Mahmud Said

Mamduh:

1174

- Tazama mizanul itidaal juzuu ya 3 ukurasa 392-393.

Page 406: Fimbo ya Musa

406

حلخكع ــــػ و ػ خس حظلى.رؤ ٣ؼ٢ رخ “أكخى٣ؼ خ٤ “كف ح ه أكي ح :

ح١ ٣زيـــزخؾ ؿ رح حؼ -حر ؿذ خ ٣ئ٣ي ر ؿش ظ رػ ، حر كـ ح

٤ ك٤:ــــ هـــ ــــم ر٤ـــل ٣ل -ر غ ؿزش حؼـذ حـ ػ٤ ظخر ح أ كي٣غ ػي

! كح ؿ٤ “ي٣غ ـ حل “ ه٤ ك٤ : رز – خ و ػ أكــــي - “خ٤ ١٣“

؛ كب ق خ ـ٤غ “خ٤ أكخى٣ؼ “ه أكي ك٢ ػ : -ر أرؾ -حى ، ؼ

:“ف حإلخ “ هخ حر ىه٤ن حؼ٤ي كـــ٢………….....…أكخى٣ؼ ، كؼ ل ٣ ػوش أزظش

٠ طؼ حخ٤ ك٢ ح٣ــظ ـــــى ح٣ظ كظــــى طــــ؛ ل ٣وظ٢٠ رـ“ خ٤ “ه :

ق ك٢ حؿ ٣ظلن “ حلي٣غ “؛ ل “ حلي٣غ ــــــ “٣ظ٢ ا٠ أ ٣وخ ك٤ :

.“ حؼزخس حله ل طوظ٢٠ حي٣ش .. . . حظى ــلـي٣ؼ،

Mtajwa (muhusika naye ni Sh. Mahmud Said Mamduh) kaipotoa kauli hii

ya Ahmad (aliposema kwamba): “Hadithi zake ni munkar” kwamba yeye

kakusudia kwa (maneno hayo) Hadithi munkar zile Hadithi alizopwekeka

nazo. Kisha akanukuu kutoka kwa Al-Hafidh bin Hajar na Ibn Rajab yale

yenye kuunga mkono mtazamo wake kwa mujibu wa madai yake. Naye –

kwa kujingikiwa kwake kukubwa na elimu hii ambako (kujingikiwa huko)

kuko wazi katika kitabu chake hiki kwamba yeye bado ni mpya katika elimu

hii pamoja na kujiona kwake na kughururika kwake – hatafautishi baina ya

mpokezi aliyesemwa kuwa “anasimulia Hadithi munkar” – ambayo ndio

maneno alioyanukuu kutoka kwa Al-Imamu Ahmad – na baina ya mpokezi

aliyesemwa kuwa ni: “حلي٣غ munkaru Al-Hadith”. Huyu wa pili ni

tafauti na yule wa mwanzo. Na mfano wake – bali zito zaidi kuliko hio – ni

kauli ya Ahmad kuhusu „Umar kwamba: أكخى٣ؼ خ٤ Ahaadiithuhu

manaakiir (Hadithi zake ni munkar). Hii ni sifa inayozikusanya Hadithi

zake zote, mtu kama huyu hawi thiqa (mwenye kuaminika)

kamwe…………………….anasema Ibn Daqiq Al-‟Id katika Sharhu Al-

Ilmaam: “(Wanavyuoni) wakisema: “kasimulia hadithi munkar, hilo tu

halimaanishi kuwa riwaya zake zinaachwa hadi pale Hadithi zake munkar

zitapokuwa nyingi katika masimulizi yake na sasa akaambiwa kuwa ni

munkaru Al-Hadith”, ni حلي٣غ munkaru Al-Hadith”, kwani حلي٣غ

sifa ambayo imo ndani ya mtu ambayo kwayo anastahiki kuwa Hadithi

zake ziachwe, wakati ibara nyengine (ya kwanza) haioneshi kudumu.1175

Kwa hivyo, natija ya hayo ni kuwa Yahya bin Said Al-Qattaan aliposema

kuwa Qais bin Abi Hazim ni حلي٣غ munkaru Al-Hadith”, hajakusudia al-

fardu al-mutlaq, kwani:

1) Kasema hivyo, na akazikanusha Hadithi zake na akazitaja Hadithi

alizozikataa. 2) Lugha hio inaonesha kwamba Hadith munkar kwa Qais halikuwa jambo

lenye kujitokeza katika Hadithi moja mbili.

1175

- Al-Albani Al-Dha‟iifa j. 12, uk. 712, Hadithi na.5825.

Page 407: Fimbo ya Musa

407

MAANA YA NENO MUNKAR KATIKA MATUMIZI

YA AL-IMAMU AHMAD BIN HANBAL

Anaendelea Sheikh Ibn Mafuta:

Amesema Imamu Ibn Hajar katika Had‟yu Saar ukurasa wa 453 kuhusu

matumizi ya Imamu Ahmad juu ya tamko hili:

....رخلي٣غ أهح ػ٠ ٣ـد ػ٠ أكي حإلخ ٣طوخ حلظش

“Na tamko hili (MUNKAR) analitumia Imamu Ahmad kwa Yule ambaye

analeta hadithi ngeni kwa watu wa rika lake”...

Bado tunasisitiza kuwa, kuna muhimu mkubwa kwa mtu anayetaka

kufanya utafiti wa mambo ya hadithi na riwaya, kusihi kwake na

kutokusihi kuwa na utaalamu wa kutosha juu ya istilahi za maulamaa, bila

ya hivyo, mtu atapoea na atawapoteza watu.

Hayo ndio maelezo ya Ibn Mafuta, na imempita Mafuta (هي كخص لطخ wa qad

faata Mafuuta) kwamba maneno hayo mutlaq ya Ibn Hajar ni lazima

yafungamanishwe na maneno yake mengine muqayyad ili kuifikia natija

sahihi ya nini Ibn Hajar anakisema. Akilielezea hilo, Bashir „Ali „Umar

atongoa hivi:

ػ٠ حلي٣غ حلى حطن. ”ح“ي ٣طن ـــخ أكـــح أ١ن حلخكع ك٢ ححغ أ حإل

”ح“أ١ن حإلخ أكي، حخث٢ ؿ٤ حكي حوخى لع “غ آه: كوخ ه٤ــي ي ك٢

ي٣ؼ رخلش رـ٤ ػخي ــ لـــ ٣ لــك٤غ ل ٣ حظلى ك٢ ػ٠ ـــــى حظلى،

٣ؼ٠ي.

Na namna hivi Al-Hafidh Ibn Hajar kasema moja kwa moja tu katika

sehemu hizi kwamba Al-Imamu Ahmad hulitumia neno al-munkar

kumaanisha Hadithi mufrad mutlaq. Lakini katika sehemu nyengine

kalifungamanisha hilo akasema: „Al-Imamu Ahmad, Al-Nasai na wengi

katika wachambuzi wakuu wamelitumia neno al-munkar kumaanisha

kupwekeka tu (katika kuisimulia Hadithi) lakini pale ambapo yule

aliyepwekeka (na Hadithi) hana uzito wa kuhukumiwa kuwa Hadithi zake

ni sahihi bila ya kupata nguvu kwa njia nyengine.1176

Ninasema: na matumizi ya Hadithu gharib kwa maana ya Hadithi dhaifu, ni

matumizi mashuhuri kwa wanavyuoni wa awali. Anasema Al-Sayyid Hasan

bin „Ali Al-Saqqaaf:

1176

- Bashir „Ali „Umar Minhaju Al-Imami Ahmad Fii I‟ilali Al-Ahadith j. 2, uk. 800.

Page 408: Fimbo ya Musa

408

حـحثذ حؼ خ و ػ ؿ٤ حكي ليػ٢ حق

Na Hadithu gharib ni katika elimu mbaya kabisa kama walivyosema

wanavyuoni wengi wa Hadithi wa Al-Salaf (watangulizi).1177

Na istilahi hio kenda nayo Ibn Kathir katika sehemu nyingi sana za tafsiri

yake. Anasema, kwa mfano, baada ya kuitaja riwaya ya Ibn „Abbaas kuhusu

A‟udhubillahi:

خ ..…ح حلػ ؿ٣ذ، اخ خ ٤ؼف، كب ك٢ اخى ؼل خ حوطخػ

Na riwaya hii ni gharib, na tumeitaja ili ijulikane tu kwani katika sanad

yake kuna udhaifu na mkatiko…1178

Utaona hapa kwamba Ibn Kathir kaiita riwaya hii kuwa ni gharib kwa

sababu ya kuwa ina udhaifu na mkatiko wa sanad. Kwa hivyo, tukirudi

nyuma kidogo, ni kuwa mjumuiko wa maneno ya Ibn Hajar katika sehemu

tafauti za kitabu chake au vitabu vyake ni kuwa kitendo cha Al-Imamu

Ahmad cha kulitumia neno munkar ni pale ambapo mpokezi aliyeipokea

riwaya fulani na kupwekeka nayo, ni mpokezi ambaye Hadithi zake

alizopwekeka nazo hazihisabiwi kuwa ni sahihi, na kwa hivyo Hadithi

munkar kwa mujibu wa Ahmad ni Hadithi dhaifu ila ikiwa kutakuwa na

qarina nyengine ilionesha kwamba kalitumia neno hilo kumaanisha al-fardu

al-mutlaq, tafauti na alivyofahamu Mafuta kwa sababu ya kusoma kwake

baadhi tu ya maandiko ya Ibn Hajar pasina kuyasoma mengine. Na kwa

sababu hio, Bashir „Ali „Umar – tuliyemtaja hapo juu – kaishia maelezo

yake kwa kusema:

حؤش ححرؼش: حظؼ٣ق حلطالك٢ ػي حإلخ أكي.

ع :ـح حلـــي ـــك رلذ ا١الهخص حإلخ أـخ طوي ٣ظؿق ي١ أ حظؼ٣ق ح٢

هطؤ ح٣ رظلى ل ٣لظ طلى ح١ طؿق حلي٣غ

Mas-ala ya nne: Taarifu ya kifani (technical meaning) ya Hadithi munkar

kwa mujibu wa Al-Imamu Ahmad.

Kwa mujibu wa hayo yaliotangulia, basi chenye uzito kwangu ni kuwa

taarifu yenye kukubalika ya neno munkar kwa mujibu wa matumizi ya Al-

Imamu Ahmad ya kutokulifungamanisha neno hilo, ni Hadithi ambayo

chenye uzito ndani yake ni kuwa mpokezi kakosea kwa sababu ya

1177

- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 10, maelezo ya chini na. 7. 1178

- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-„Adhim j. 1, uk. 13.

Page 409: Fimbo ya Musa

409 kupwekeka kwa mpokezi (huyo) ambaye kupwekeka kwake

hakukubaliki.1179

Hayo ndio matumizi sahihi ya Hadithi munkar kwa Al-Imamu Ahmad. Na

hivyo ndivyo walivyoenenda1180

wanavyuoni watangulizi kama

ilivyoonesha nukulu ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba ambayo tuliinukuu kabla

yenye kunena:

Na wanavyuoni wetu wamemzungumza (Qais bin Abi Hazm); wengine

wakamtukuza na wakazifanya riwaya kutoka kwake kuwa ni katika sanad

sahihi zao; na wengine wakamponda na wakasema kuwa ana hadithi

(nyingi) munkar..1181

Lau ilikuwa makusudio yao kwa neno munkar ni al-fardu al-mutlaq, basi

wasingelimponda. Na mfano wake ni yale yaliosemwa na Bashir „Ali

„Umar:

ؼض أرخ ػزي هللا كي٣غ“هخ حلػ: ػ حز٢ ـــ٠ هللا ػ٤ : …حل٠ ر ى

.”٢ هطؤـــ، ٣ؼـــكوخ: ح كي٣غ ”هح ػ٢، هح ػ٢ هي ؿؼ هللا ز٤ال “ كوي ك

.………أكي رؤ حوطؤ حلػــــ ؼ٠ ح ػي حإلخ

كح حح١………ك حإلخ أكي أ طى كي٣غ أر٢ أ٤ش ر ٣ؼ٠ ل حلي٣غ ػي.

ي٣ؼــ رؤ كــغ ق ــظى، ر ٣ظز٤ أ ق حإلخ أكي ح حح١ رؤ حلي٣

٣ظلن حظى.

Kasema Al-Athram: „nimemsikia Abu „Abdillah (Al-Imamu Ahmad)

kaitaja Hadithi ya Al-Fadhl bin Dalham……kutoka kwa Mtume (s.a.w.,

yenye kusema): “pokeeni kutoka kwangu; pokeeni kutoka kwangu, Allah

ameshawapa wao njia”. Akasema (Al-Imamu Ahmad): „hii ni Hadithi

munkar yaani ni kosa‟. (Utaona kwamba) Al-Athram kaifasiri maana ya

Hadithi munkar kuwa maana yake – kwa mujibu wa Al-Imamu Ahmad –

ni (Hadithi) iliokosewa…………1182

……..….basi akataja Al-Imamu Ahmad kwamba yeye kaiwacha Hadithi

ya Abu Umayya bin Ya‟alaa kwani – kwa mtazamo wake – ni Hadithi

munkar……….basi huyu mpokezi mwenye kuachwa, na kwa hivyo

inabainika kule Al-Imamu Ahmad kusema kuwa mpokezi huyu ni

1179

- Bashir „Ali „Umar Minaju Al-Imami Ahmad Fii I‟ilali Al-Ahadith j. 2, uk. 800. 1180

- Walivyokwenda. 1181

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 346-347, tarjama na. 691. Al-Mizzi

Tahdhibu Al-Kamal j. j. 8, uk. 379-380, tarjama na. 5523. 1182

- Bashir li „Umar Manhaju Al-Imami Ahmad Fii Al-I‟ilaal Al-Ahadith j. 1, uk. 253. J. 2,

uk. 796.

Page 410: Fimbo ya Musa

410 munkaru al-hadith (ni mwenye Hadithi munkar), ni kuwa Hadithi حلي٣غ

zake ni (dhaifu) zenye kustahiki kuwachwa.1183

Sasa, baada ya hayo, tazama mifano miwili mitatu katika mifano mingi ya

Hadithi ambazo Al-Imamu Ahmad kazikataa kwa hoja kwamba ni Hadithi

munkar, jambo lenye kuthibitisha kwamba Al-Imamu Ahmad hulitumia

neno munkar kumaanisha Hadithi dhaifu: si Hadithi gharibu tu:

Hadithi inayosema:

.ر حوطخد خ رؼي١ ز٢ ، خ ػ

Lau kungelikuwa na Nabii baada yangu, basi angelikuwa „Umar bin Al-

Khattaab.1184

Anasema Abu Mu‟aadh:

ػ٤ ؛ كب ػي١ ج حإلخ أكي ػ ح حلي٣غ، كوخ حد

Al-Imamu Ahmad kaulizwa kuhusu Hadithi hii akasema itupilie mbali

kwani hio kwangu ni Hadithi munkar.1185

Utaona hapa kwamba Al-Imamu Ahmad kaamrisha kuitupilia mbali Hadithi

hio kwa sababu ni Hadithi munkar. Bila shaka kakusudia kuwa ni Hadithi

ambayo haikuthibiti: si sahihi, ndio maana akaikataa. Kwa hivyo, Ahmad

anatumia neno munkar kumaanisha Hadithi dhaifu pia.

Hadithi inayosema:

، أ٣ أ -٠ هللا ػ٤ -ػ أ حطل٤ ـ حأس أ ر٢ ر ؼذ ـ أخ ؼض هللا

ك ، ؿال ك٢ ك٠ ، ػ٤ ؼال ذ ر ك٢ كح كي٣غ؛ …..…حخ ك٢ س خد

ج ػ حإلخ أكي ؿخػش أ حؼ : هي أ .….…رخ١ ؿــــــــ، كلكوي

حخ ح ؿ ـ ، ػخس ر ػخ ـــػؼ ؛ ح رـــح “ػ حخث ، ػ هخ :

ح١ ػ ح ل ٣ؼف

Kutoka kwa Ummu Tufail – mke wa Ubeiy bin Ka‟ab – kwamba kamsikia

Mtume (s.a.w.) akisema kwamba yeye kamuona Mola wake usingizini

katika sura ya kijana aliyejaza miguu yake iko kwenye (zulia au nguo ya)

kijani kavaa viatu viwili vya dhahabu. Hadithi hii ni batili munkar hakuna

wasi wasi wowote ule, na wameipinga kundi kubwa la wanavyuoni , (Al-

1183

- Bashir „Ali „Umar Manhaju Al-Imami Ahmad Fii Al-I‟ilaal Al-Ahadith uk. 225. 1184

- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 3695. 1185

- Abu Mu‟aadh Al-Irshaadat uk. 223.

Page 411: Fimbo ya Musa

411 Imamu) Ahmad aliulizwa kuhusu hio basi akageuza uso wake kutokana na

muulizaji kisha akasema: „hii ni Hadithi munkar, Mar-waan bin „Uthman

huyu ni mtu asiyejulikana, na „Imara bin „Aamir huyu ambaye Mar-waan

kapokea kutoka kwake pia hajulikani!1186

Utaona hapa kwamba Al-Imamu Ahmad kaiita Hadithi dhaifu kuwa ni munkar, na

akataja wapokezi wasiojulikana.

Hadithi inayosema:

حي٤خ ىح ل ىح ، خ ٣ـغ ل ػو

Dunia ni nyumba ya yule asiye na nyumba; na yule asiye na akili ndiye

anayeikusanyia (mali).

Anasema Abu Mu‟adh:

ػ٤ ؛ ك ظلى ر ػ أر٢ الخم، …… …“ح كي٣غ “ و ػ أكي ، أ هخ :

ى ر ػ ـــ هي طلــح ـ “ى٣يح “أكي، كال ٣ق حلي٣غ ػ أر٢ الخم ؛ ل ٣ظخرؼ

ؼس ألخر ، ح ؼ٠ اخ حإلخ أكي أر٢ الـــــــــخم ك٢ ؿالش هي

Imenukuliwa kutoka kwa Al-Imamu Ahmad kwamba kasema: „hii ni

Hadithi munkar......na kwa hivyo, (Hadithi hii) ni miongoni mwa zile

alizopwekeka nazo (Duwaid) kutoka kwa Abi Is-haaq: hakuna

aliyemfuatia, na kwa hivyo, Hadithi hii haikuthibiti kutoka kwa Abi Is-

haaq kwani Duwaid huyu ni mpokezi asiyejulikana naye kapwekeka nayo

Hadithi hio kutoka kwa Abi Is-haaq pamoja na kuwa Abu Is-haaq ni mtu

mkuu na mwenye wanafunzi wengi, na hii ndio maana ya Al-Imamu

Ahmad kuikanusha (Hadithi hii akaiita munkar).1187

Hadithi inayosema:

ض ل كب ح ل

Yule ambaye mimi ni maula wake basi na huyu (Ali) ni maula wake.

Anasema Bashir „Ali „Umar:

ػ أر٢ أ٣د أ ؿخء ا٠ ػ٢ ؼ ٢ حلخ كوخح: ..…هخ حلػ: كيػخ أر ػزي هللا

ح حلي٣غ أهؿ ..……”٣خ لخ كخ كؽ هخ: حك٤ ٣ـ٤ج رخؼـخثذ حال ػ٤ي

كز ش كوخح: حال ػ٤ي ٣خ لخ. هخ: ٤ق ………أكي ك٢ حي هخ ؿخء ٢ ا٠ ػ٢ رخ

ػ ٣و:ــــــأ ل أظ ه ؿي٣ ه د. هخح: ؼخ هللا ٠ هللا ػ٤ ٣

1186

- Abu Mu‟aadh Al-Irshaadat uk. 122. 1187

- Abu Mu‟aadh Al-Irshaadat uk. 155-156.

Page 412: Fimbo ya Musa

412

أخ حإلخ ؿ٤ي ؿخ ػوخص. هخ حلزخ٢: ح اخى..……..… ض ل كب ح ل“

ش حخس ــ. أخ ا٠ أ ػــأكي ا٠ حظخ، كب ه: ٣ـ٤ج رخؼـخثذ اخس ا٠ أ

ح٣ش حك٤٤ ؼك رخظ٤غ، ح حلي٣غ خ ٣و١ ز.

Kasema Al-Athram: „na katuhadithia Abu „Abdillah (Al-Imamu Ahmad

bin Hanbal)…kutoka kwa Ayyub kwamba alikuja kwa (Sayyidna) „Ali na

walikuwa pamoja naye watu katika Maansari wa Madina wakasema

(kumwambia Ali): „assalamm alaikum maulana. Basi (Ali) akashtuka

kusikia hivyo‟. Basi (Al-Imamu Ahmad) kasema (kuhusu Hadithi hii):

„Watu wa Al-Kufa wanaleta mambo ya ajabu (katika masimulizi ya

riwaya). Na Hadithi hii kaipokea Ahmad katika Al-Musnad kasema…..

„walikuja watu kwa Ali huko Al-Rahba wakasema: „assalamm alaikum

maulana. Akasema (Ali), vipi nitakuwa maula wenu na nyinyi ni watu

katika Waarabu, wakasema: „tumemsikia Mtume (s.a.w.) siku ya Ghadir

Khumm anasema: “Yule ambaye mimi ni maula wake basi na huyu (Ali) ni

maula wake”…………..na akasema Al-Albani: “sanad hii ni nzuri kabisa:

wapokezi wake ni wenye kuaminika. Na Al-Imamu Ahmad kaashiria

kwamba ni Hadithi munkar, kwani kauli yake (Al-Imamu Ahmad)

aliposema: „Watu wa Al-Kufa wanaleta mambo ya ajabu (katika

masimulizi ya ya riwaya), ni dalili kwamba Hadithi hio ni munkar. Na

akaashiria kuwa sababu ya kuwa munkar ni kwa sababu ya kuwa kwake ni

riwaya ya watu wa Al-Kufa nao ni maarufu kwa Ushia na Hadithi hii

inaipa nguvu madhehebu yao.1188

Hadithi inayosema:

ا٢ هي طض ك٤ حؼو٤

Hakika ya mimi nimekuachieni vizito viwili (Qur-ani na watu wa nyumba

yangu).

Anasema Abu Mu‟aadh:

هخ حلػ: كيػخ رلي٣غ ػزي حي، ػ ػط٤ش، ػ أر٢ ؼ٤ي، ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ :

. كخ كؽ هخ: أكخى٣غ حك٤٤ خ٤”ك٤ حؼو٤ ا٢ هي طض“

Kasema Al-Athram: “na (Al-Imamu Ahmad) katuhadithia Hadithi ya

„Abdul-Malik kutoka kwa „Atiyya kutoka kwa Mtume (s.a.w. kwamba

kasema): “hakika ya mimi nimekuachieni vito viwili (Qur-ani na watu wa

1188

- Bashir „Ali „Umar Manhaju Al-Imami Ahmad Fii Al-I‟ilaal uk. 253. Lakini „Ali Naif

anasema kwamba Ibn Taymiyya kamnukuu Al-Imamu Ahmad akisema kuwa Hadithi hii ni

hasan. Al-Mufassalu Fii „Ulumi Al-Hadith uk. 122.

Page 413: Fimbo ya Musa

413 nyumba yangu)”. Alipomaliza (kuisimulia) akasema: “Hizi Hadithi za

watu wa Al-Kufa ni munkar”. 1189

Baada ya haya yote kuanzia maneno ya Ibn Hajar na mengineo ambayo

tumeyanukuu hapa, inatubainikia kwamba Al-Imamu Ahmad alikuwa

akilitumia neno munkar kwa maana ya Hadithi dhaifu. Naam! Inawezekana

kwamba pia akilitumia kwa maana ya Hadithi gharib lakini dhahiri ni kuwa

kulitumia neno hilo hivyo haikuwa ni istilahi yake ya kifani, na kwa hivyo

haitakiwi kulipa neno hilo tafsiri hio isipokuwa kwa kuwepo qaraiin (dalili)

nyengine.

TUKIRUDI KWA IBN HAJAR

Tukirudi tena katika maneno ya Ibn Hajar aliposema:

... رخلي٣غ أهح ػ٠ ٣ـد ػ٠ أكي حإلخ ٣طوخ حلظش

Na tamko hili (MUNKAR) analitumia Imamu Ahmad kwa yule ambaye

analeta hadithi ngeni kwa watu wa rika lake...

Tukirudi katika maelezo hayo, basi jawabu nyengine ni kuwa hata hilo neno gharib

(hadithi ngeni) pia Al-Imamu Ahmad hulitumia wakati mwengine kumaanisha

Hadithi dhaifu. Anasema Abu Mu‟aadh:

هخ حإلخ أكي

ل طظزح حلكخى٣غ“ هخ أ٠٣خ : . ”ؼظي ػ٤خ حلي٣غ حـحثذ ، حظ٢ ل ٣ ؼ رخ ، ل ٣

. ”حـحثذ ، كبخ خ٤ ، ػخظخ ػ ح٠ؼلخء

Na akasema Al-Imamu Ahmad:

Hadithi ovu zao ni gharaib (ngeni) ambazo hazitendewi kazi wala

hazitegemewi……na akasema: „musiziandike hizi Hadithi gharib (ngeni)

kwa hakika yake ni munkar na zote zinatoka kwa wapokezi dhaifu. 1190

Kwa hivyo, hata tukidai kwamba makusudio ya Al-Imamu Ahmad kwa neno

munkar ni gharib, basi Al-Imamu Ahmad kalitumia neno hilo gharib pia

kumaanisha Hadithi dhaifu kama ilivyo hapa katika nukulu hizo za Abu Mu‟adh.

1189

- Bashir „Ali „Umar Manhaju Al-Imami Ahmad Fii Al-I‟ilaal uk. 253. 1190

- Abu Mu‟aadh Al-Irshaadat uk. 73.

Page 414: Fimbo ya Musa

414

NJIA YA PILI YA JAWABU YA MAFUTA

Anaendelea Sheikh Ibn Mafuta:

Njia ya pili:

Kuhusu kauli ya ndugu Juma al-Mazrui dhidi ya mpokezi Qais bin Abi

Haazim pale aliposema: “Na amesema Ismail bin Abi Khalid, ambaye

hadithi hii imepita kwake, kuwa: “QAIS‟‟ aliishi mpaka akavuka miaka

mia na ziada nyingi juu mpaka akaharibika fahamu na kurukwa na

akili”.1191

MAJIBU YETU

Majibu yetu ni kama ifuatavyo:

Tulishawahi kuijibu tuhuma kama hii wakati ndugu Juma alipomtuhumu

nayo Hamad bin Salama na tukasema kwamba: Mtu akichanganyikiwa

mwishoni wa umri wake hazirudishwi riwaya zake zote, bali huangaliwa ni

kina nani waliopokea kutoka kwake, na wakati gani wamepokea?

Je wamepokea kabla ya kuchanganyikiwa au ni baada, rejea ufafanuzi

tulioutoa hapo nyuma. Hivyo basi tunamtaka bwana Juma atuthibitishie

kwamba Ismail bin Abi Khalid amepokea kutoka kwa Qais baada ya Qais

kuharibikiwa na akili. Na kama hana ushahidi juu ya hilo basi anyamaze

awaache wenye kujua waseme.

Kwa ufupi ni kwamba hadithi hii ni sahihi kwa mujibu wa misingi ya

elimu ya hadithi na wala haina shaka yoyote, na bila shaka ndugu yangu

msomaji utakuwa umebainikiwa na hila za ndugu Juma juu ya kutaka

kuzipotosha hadithi za Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam kwa sababu

ya madai yake yaliyo dhaifu tena ya uongo.

JAWABU

Hayo ndio maelezo ya Sh. Ibn Mafuta nayo si maelezo barabar! Nami

ninakwambia kuwa nilikwisha kukujibu maelezo yako kuhusu Hammad bin

Salama kwamba kanuni haiko hivyo ulivyoielezea wewe tu, bali kanuni ni

kuwa wapokezi wa namna hio uliowazungumzia wewe basi riwaya zao

zinagawiwa makundi matatu: moja linakubalika mawili yanakataliwa:

1191

- Tazama katika kitabu chake Hoja zenye Nguvu ukurasa wa 254.

Page 415: Fimbo ya Musa

415

1) Riwaya walizozipokea kabla ya kuchanganyikiwa. Hizi zinakubalika

ikiwa hawakuwa na ila nyengine. Qais – mbali na kupoteza akili

ukongwenikwe – pia alikuwa na kasoro nyengine ambazo

tumezinukuu kabla kutoka kwa wanavyuoni watangulizi akiwemo

Yahya Al-Qattan, Ibn Al-Madini na wengine. Kwa hivyo, kwanza

kanuni hii kimsingi haimuhusu Qais.

2) Riwaya walizozipokea baada ya kuchanganyikiwa. Hizi ni dhaifu.

3) Riwaya ambazo hazijulikani: je wamezipokea kabla au baada ya

kuchanganyikiwa. Hizi zinaachwa kama zilivyo hadi upatikane

ushahidi utaoupa nguvu uwezekano huu au uwezekano ule.

Na hivyo ndivyo walivyosema wanavyuoni wa Hadithi, wala sidhanii kuwa

hilo wajingikiwa nalo bali unataka kuwadanganya watu kwa kukusudia.

Anasema Ibn Al-Salah:

ال١ ٣وز كي٣غ أه ػ رؼي حلهظ٣وز كي٣غ أه ػ هز حلهظال١ ل حل ك٤ أ

ك ٣ي أه ػ هز حلهظال١ أ رؼي أ أ أ

Na hukumu yao (wapokezi waliochanganyikiwa) ni kuwa zinakubaliwa

Hadithi za wale waliopokea kutoka kwao kabla ya kuchanganyikiwa wala

hazikubaliwi Hadithi za wale waliopokea kutoka kwao baada ya

kuchanganyikiwa au kukawa na mushkeli: je wamezipokea kutoka kwake

kabla au baada ya kuchanganyikiwa.1192

Na hili ni jambo ambalo Mafuta hakulifahamu vizuri: yeye kadhania kuwa

ikiwa mpokezi kapokea kabla ya kuchanganyikiwa basi riwaya yake

inakubalika tu. Wala habari haiko hivyo, bali ni lazima kuwe na yakini

kwamba baada ya kuchanganyikiwa kwa mwalimu, mwanafunzi hakupokea

tena. Anasema Imamungwa wa Kasim Mafuta, Ayatollah Al-Albani:

هزــــــ غ –ح١ ــــ ح – ـــ حلخكع ؤ أخ ا٠ أ ح٣ش ػـــ ر أر٢ ه٤

أ –ـخع حـ اكخىس ه ي -٢ ك٢ ي ز٤ . ”هي٣ حخع ػطخء “ حلهظـال١ روـــــ:

ػطخء هز ـــغ ـــحلخكع ل هي أ كخى ر ش ط أ ٣غ رؼي ي ، أل

خع ػ ر أر٢ ه٤ ػطخء هزــــأ ٠ـــرؼـي ؛ ػ٠ أ٢ أ أكيح ػ حلهـظال١

حلهظال١ .

…lakini Al-Hafidh (Ibn Hajar) kana kwamba kaashiria kwamba riwaya ya

„Amri bin Abi Qais – naye ni Al-Razi – kasikia kutoka kwake kabla ya

kuchanganyikiwa, aliposema: „yeye kapokea riwaya zamani kutoka kwa

„Ataa‟. Lakini mimi (Al-Albani) nina shaka kubwa kwamba ukweli

kuwa kapokea riwaya zamani kutoka kwake kunamaanisha kuwa

hakupokea tena baada ya hapo. Huoni wewe kwamba Al-Hafidh (Ibn

Hajar) mwenyewe kasema kuwa Hammad bin Salama kapokea kutoka kwa

1192 -

Al-Taqyiid wal Idhaah uk. 442.

Page 416: Fimbo ya Musa

416 „Ataa kabla na baada ya kuchanganyikiwa. Bali mimi sikumuona yoyote

yule aliyeeleza kwa uwazi kwamba „Amru bin Abi Qais kapokea

riwaya kutoka kwa „Ataa kabla ya kuchanganyikiwa.1193

Kwa ufupi ni kuwa mimi hapa naijadili kanuni ulioileta na kuihusisha na

Qais, lakini cha kufahamu ni kuwa kanuni hio haimuhusu Qais kwani yeye

tangu zamani wako wengi waliomkataa na kumuona kuwa ana Hadithi

munkar au “ni bedui mwenye kujikojolea visiginoni mwake”. Lakini hata

ikiwa ukweli wa mambo uko hivyo ulivyosema wewe, basi ni lazima tuwe

na ushahidi kwamba Isma‟il bin Abi Khalid hakusimulia tena kutoka kwa

Qais baada ya Qais kupoteza fahamu.

Hayo yaliotagulia yalikuwa ni majibizano yetu kuhusu Qais bin Abi Hazm

na suala zima la Hadithi munkar. Lakini Al-‟Allama Kasim bin Mafuta,

bado ana hoja zake nyengine za kuikubali riwaya hio ya kumuona

Mwenyezi Mungu kama mwezi mdande. Kwanza alianza kwa kutoa

utangulizi mfupi kisha akazinukuu njia nne za Hadithi hio, lakini uhakika

wake ni njia tatu: si nne kwani njia ya kwanza alioinukuu yeye na ya pili ni

sawa sawa – zote ni kutoka kwa Qais bin Abi Hazim kutoka kwa Jarir. Kwa

hivyo, ni njia tatu.

NJIA TATU ZA HADITHI YA QAIS

Anasema Ibn Mafuta:

HOJA YA TATU

Hoja ya tatu wanayoitegemea Ah‟lu Sunna katika kuithibitisha kuonekana

Allah kwa macho huko akhera ni hadithi sahihi zilizopokelewa kutoka kwa

Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam-.

Inshaallaha katika sehemu hii tutazitaja hadithi ambazo zimethibiti kutoka

kwa bwana Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- kwa mapokezi yaliyo

sahihi yasiyo na shaka yoyote kwa kuzingatia kanuni za mapokezi ya

hadithi.

Na hadithi sahihi juu ya mas‟ala haya ziko nyingi mno,1194

lakini hapa

tutazitaja kwa uchache tu kwa lengo la kufupisha.1195

Ama kuhusu chalenji

1193

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 92, Hadithi na. 6042. 1194

- Sema: “Hadithi dhaifu na za kutunga juu ya maudhui hii ziko nyingi mnno”. Ama

sahihi haiko hata moja. Wa Allahu Al-Musta‟aan!

Page 417: Fimbo ya Musa

417 aliyoitoa Juma ya kutaka aletewe hadithi moja tu sahihi, ni chalenji

ambayo haina uzito wowote wa kielimu, maana Juma amejigamba na

kujisifu kwa kusema katika kitabu chake Kisimamo Katika Sala ukurasa

wa 22: “Chukua- kwa mfano, hadithi za kuonekana kwa Mungu: Hadithi

hizi ziko kwa wingi, lakini na kuchalenj Sheikh X. wewe na wanazuoni

wako uniletee hadithi moja tu sahihi inayosema kwa uwazi kwamba

Mungu ataonekana”.!!! Mwisho wa kunukuu.

Tazama namna watu walivyo na jeuri1196

na kiburi1197

katika mas‟ala ya

elimu! Badala ya kuomba msaada wa kuelimishwa juu ya mas‟ala ya

kielimu asiyoyajua,1198

yeye analeta lugha ya kiburi na jeuri, eti:

nakuchalenj uniletee hadithi moja tu sahihi inayosema kwa uwazi kwamba

Mungu ataonekana!!! Mtu mwenyewe anayesema hivyo kazi yake

kunukuu tu kutoka kwa masheikh zake wala hawezi kuyahakiki1199

mambo

ya kielimu, wakikosea naye anakosea, wakidanganya naye anadanganya

kama ulivyojioenea. Sisi tunamwambia ndugu Juma awache jeuri na kibri

ajitahidi kusoma na kufanya utafiti zaidi kwa misingi ya uadilifu haki

itambainikia badala ya kung‟ang‟ani kasumba za kujikweza na kufuata

umadhehebu.

Na hizi zifuatazo ni baadhi ya hadithi sahihi zinazosema kwa uwazi kabisa

kwamba watu wema watamuona Mola wao huko akhera kwa macho:

HADITHI YA KWANZA

Hadithi hii imepokewa kwa njia nyingi, lakini kwa kufupisha tutazitaja

baadhi ya njia hizo:

Njia ya kwanza:

:هللا ك حزوخ١ حإلخ هخ

ه خ ٣ ؿ ػ ه ٤ ػ ٤ خػ ا ػ ٤ خ ي ػ خ ه ي ك ػ ر ػ خ ػ ي خ ك ـ خ ؿ

1195

- Sema kweli! Si kwa lengo la kufupisha, bali ni kwa sababu hizi ulizozitaja ndizo

ambazo haijambo zao kisanad ukilinganisha na nyengine: nyengine zihoi zaidi! 1196

- Sahibu yako aliyesema kuwa sisi tunasali kama mipopoo hana jeuri: jeuri tunayo siye

tulioyakataa mahadithi yenu ya kutunga! 1197

- Ebu kirudie kitabu chako kwa makini ili ujikumbushe kiburi chako. 1198

- Msada huo aombwe nani: wewe? Mwenzangu hata kanuni za kilugha za kitoto

huzijui. Hata maelezo ya kitoto ya definition ya Hadithi sahihi pia

unachanganyachanganya! Au tumuombe Imamu wako Al-Albani ambaye hazijui hata

Hadithi za Al-Bukhari na Muslim na hawajui wapokezi waliomo katika vitabu mashuhuri!

Basi hiki chako ndicho kibri na kughururika! 1199

- Boora! Weye tunziona hizo tahkiki zako ya ayyuha Al-‟Allama Al-Kabir. Hongera

kwa tahkiki zako!

Page 418: Fimbo ya Musa

418

ظ ا ٤ ٠ هللا ػ ي حز ٢ ز ػ ٤ ش ح و ــا ٠ ح ا ه خ ظـــي خــ ر

٣ ظ إ ك ٢ خ ل ط ٠ و ح ح ط

Amesema Imamu al-Bukhari:

Ametusimulia Amru bin Aun, amesema: ametusimulia Khalid na Hushaim,

kutoka kwa Ismail, kutoka kwa Qais, kutoka kwa Jarir: Tulikua ni wenye

kukaa mbele ya Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- kwa ghafla

akautazama mwezi, katika usiku wa mwezi mpevu, akasema: Kwa hakika

nyinyi mtamuona Mola wenu kama mnavyouona huu (mwezi)

hamtasongamana katika kuuona…”..1200

NJIA YA PILI

:هللا ك حإلخ هخ

ػ خ ي ك ٤ د ر ػ خ ك ي ك ح ٣ ش ر ؼ خ ١ ح ل خ ح ز أ ه ٤ ؼ ا خ ي أ ر ٢ ر ػ خ ه ي ك ه ٤ ر

أ ر ٢ خ ك ؼ ض ه خ ٣ ؿ ز ي ر هللا ػ خ :٣ و خ آ ي ؿ ػ ـــ هللا هللا ٠ـــ ٤ ػ

ا ا ٠ ظ و ٤ ش ـــح ز ي ــــك و ح خ خ أ ظ ا ـــــ ر خ ــــط آ ح و ل ــــح

خ ك ٢ ط ٠ ٣ ظ إ .”...

Amesema Imamu Muslimu -Allah amrehemu-:

Ametusimulia Zuhayr Ibn Har‟bi, amesema: ametusimulia Mar‟wan Ibn

Mua‟wiya al-Fazaariy, amesema: ametusimulia Ismail Ismail Ibn Abi

Khalid, amesema ametusimulia Qais Ibn Abi Hazim, amesema:

nimemsikia Jarir Ibn Abdillahi anasema: Tulikua ni wenye kukaa mbele ya

Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- kwa ghafla akautazama mwezi,

katika usiku wa mwezi mpevu, akasema: Kwa hakika nyinyi mtamuona

Mola wenu kama mnavyouona huu (mwezi) hamtasongamana katika

kuuona…..1201

MJADALA JUU YA NJIA MBILI HIZI

Hayo ndio majibu ya Kasim mwanangwa wa Mafuta katika kuthibitisha

kwake itikadi ya kumuona Allah. Kwa upande wa njia za riwaya hizo

alizozinukuu, kama tulivyosema, Mafuta kaziita kuwa ni njia mbili lakini

kwa kweli ni sanad mbili na njia ni moja ya “Qais kutoka kwa Jarir”. Na

sanad hii tumeshaieleza kwamba ni sanad dhaifu kwa sababu ya mapokezi

1200

- Tazama Sahihul-Bukhari, hadithi namba 6882. 1201

- Tazama Sahihu Muslim, hadithi namba 1002.

Page 419: Fimbo ya Musa

419

ya Qais bin Abi Hazim kama tulivyoona maelezo yaliotangulia. Lakini

pamoja na hayo, Kasim bin Mafuta atongoa hivi:

Sanadi yake ni sahihi na wala hakuna mwanachuoni yoyote wa hadithi

aliyeitia dosari zaidi ya Juma na sheikh wake al-Qannubi na Inshaallah

utaliona jawabu letu dhidi ya ubabaishaji wao.

Nami namwambia Bwana Shekhe kwamba unatarajia kwamba kuna siku

utayowaona wengine – zaidi ya Juma na Sheikh wake – walioitia dosari

riwaya hii nawe husomi isipokuwa vitabu vya Ibn Taymiyya na Ibn Al-

Qayyim! Tumetanguliza kabla maelezo yenye kuthibitisha kwamba kuna

kundi kubwa la wanavyuoni wa wapokezi – akiwemo Ibn Al-Madini –

ambao wamemtia kasoro Qais bin Abi Hazm. Hii ni kusema kwamba kwa

mujibu wao riwaya hii haikuthibiti kwani – kwa mujibu wao – imesimuliwa

na mpokezi dhaifu. Hayo ni maelezo ya ujumla. Ama kwa umahususi, basi

kuna mtu kama Al-Imamu Al-Jassasu Al-Razi – naye ni mwanachuoni wa

Kisunni, Hanafi –, huyu yeye kazikanusha riwaya zote hizo za kuonekana

kwa Allah kwa maana ya kumuona kwa macho. Aliielezea Aya isemayo:

“Macho hayamfikii…”, kisha akasema:

س ح١ ل طر ـــحلهزخ ح٣ش ك٢ حإ٣ش اخ ححى رخ حؼ لض ػ ح٠

ك٤ حى ل حإ٣ش رؼ٠ حؼ س ك٢ حـش زش ل طؼ

….Na Hadithi zilizopokewa kuhusu kuonekana kwa Allah makusudio yake

ni kumjua (Allah. Na hayo yote) lau Hadithi hizo zitakuwa sahihi. Nako

(kujua huko) ni kumjua (Allah) ujuzi wa lazima usiochanganyika na utata

wowote ule wala hauingiwi na shaka, kwani (kutumika kwa neno) kuona

kwa maana ya kujua katika lugha ya Kiarabu ni jambo mashuhuri.1202

Anasema Al-Sayyid Al-Saqqaaf Al-Shafi:

حلكخى٣غ ك٢ حإ٣ش طق خ هيخ ك٢ طو٣ـخ حال ػ٤خ

Na Hadithi kuhusu kuonekana kwa Allah hazikusihi (si sahihi) kama

tulivyotanguliza (maelezo) katika kutaja waliozipokea na kuzielezea.1203

Hayo ni maelezo ya Al-Saqqaaf naye si Juma wala si Sheikh wa Juma wala

si Ibadhi bali ni Shafi. Bali Al-Saqqaaf kawataja kuwa miongoni mwa Ahlu

Sunna ambao wameikataa itikadi ya kuonekana kwa Allah watu kama:

1) Abu Salih Al-Siman, mwanafunzi wa Sahaba Abu Huraira.

2) Mujahid.

1202

- Al-Jassaas Ahkamu Al-Qur-an j. 3, uk. 8-9. 1203

- Al-Saqqaaf, Hasan bin „Ali Mas-ala Al-Ru-ya uk. 60.

Page 420: Fimbo ya Musa

420

3) „Ikrima.

4) Bishr bin Al-Sariy Al-Af-wah.1204

5) Yahya bin Salih Al-Wuhadh.

Kwa ufupi ni kuwa, wako wengi katika Waislamu wasiokubaliana na itikadi

ya kumuona Allah. Na wote hao kuikataa kwao itikadi hio ina maana

kwamba riwaya hizo kwao hazikuthibiti: ni za kufinyanga. Kwa hivyo,

madai ya Kasim bin Mafuta kwamba hakuna aliyeidhoofisha Hadithi yake

hio isipokuwa “Juma na Shekhe wake” ni katika jumla ya propaganda za

Kiwahabi! Bali tunasema, hata ingelikuwa kweli hakuna aliyeidhoofisha

riwaya hio isipokuwa Juma na Sheikh wake, basi hio haijawa hoja ya kuwa

riwaya hio ni sahihi au ni dhaifu: usahihi na udhaifu wa Hadithi una vipimo

vyake maalumu: si fulani na fulani.

RIWAYA KAMILI NA MATN YAKE ILIVYO

Tumeona kwamba riwaya ambayo Kasim Mafuta kaitolea ushahidi ni

riwaya yenye sanad dhaifu kwa sababu ya Qais bin Abi Hazim. Ama

kuhusu matn ya riwaya hio, ninachotaka kukisema ni kuwa Bwana Shekhe

kaona haya kuinukuu riwaya kamili na kwa hivyo kaona bora aende kwenye

mukhtasari wa riwaya hio, kwani riwaya kamili kama atainukuu basi hakuna

mtu atayetafakari japo kidogo akaikubaliana nayo. Ama riwaya mukhtasari,

ni riwaya ambayo inahitaji fikra refu zaidi, na kwa hivyo wenye fikra fupi

unaweza ukawadanganya. Kasim Mafuta kalijua hilo na kulitendea kazi

kiufanisi kabisa. Tunasema: hongera Bwana Shekhe kwa hilo. Baada ya

hayo, sasa natuinukuu riwaya kamili tuone nukta zilizomo ambazo

zinatujuilisha kwa uwazi kabisa kwamba hizi ni riwaya za akina Ka‟abu Al-

Ahbar.

Riwaya inasema:

ــ ػــــطخء رـــ٢ ػ ار ـــخد ػــــ كيػخ أرـــكيػخ ٤ ر كد كيػخ ٣ؼود ر ارح ٤

هللاـــــ٣خ ٤ ــــ ػ ٠ هللا هللا أ خخ هخح “٣س أهز ح٤ؼ٢ أ أرخ ٣٣ي

ــــ ط٠خ ك٢ إ٣ش حو ــــ ٤ ػ ٠ هللا هللا رخ ٣ حو٤خش ؟ كوخ

خد؟ــــــ ٤ ىخ لــــط٠خ ك٢ إ٣ش ح ٤ش حزــــي هخـــــح ل ٣خ ـــ هللا هخ

جخ ـــ٣ حو٤خش ك٤و خ ٣ؼزي ٤ هخح ل ٣خ هللا هخ كب ط ي ٣ـغ هللا حخ

1204 - Ninasema: huenda ikawa waliomwita huyu kuwa ni jahmi – kama ilivyo katika Al-

Jarhu Wa Al-Ta‟adil cha Ibn Abi Hatim – ni kwa sababu hio, kama ilivyokuwa kawaida ya

wenye itikadi za tajsim hasa hasa Mahanbali. Na kwa hivyo, katika Al-Mizan cha Al-

Dhahabi, kuna maelezo kwamba baada ya Bishr huyu kuikanusha riwaya ya kuonekana

kwa Allah, watu wa Makka walimrukia. Lakini maelezo ya Al-Dhahabi na ya Ibn Hajar

katika Taqribu Al-Tahdhib yanasema kuwa eti alitubia!

Page 421: Fimbo ya Musa

421

٣ظزغ خـــــــحو ك٤ظزؼ ك٤ظزغ خ ٣ؼزي ح ح ٣ظزغ خ ٣ؼزي حوـــــــ

س ــــ طزخى ط ؼ خ ٠ كـ٣٢ؼزي حطحؿ٤ض حطحؿ٤ض طزو٠ حلش ك٤خ خكوخ ك٤ؤط٤ هللا

خ كبح ــــؿ٤ س حظ٢ ٣ؼكخ ك٤و أخ ر ك٤و ؼ رخلل ي ح خخ كظ٠ ٣ؤط٤خ ر

ؼ ــــؿخء رخ ػكخ ك٤ؤط٤ هللا ك٢ س حظ٢ ٣ؼك ك٤و أخ ر ك٤و أض رخ ك٤ظز

Ametusimulia Zuhair bin Harb, ametusimulia Ya‟aqub bin Ibrahim,

ametusimulia baba yangu, kutoka kwa Ibn Shihab kutoka kwa Ataa bin

Yazid Al-Laithi kwamba Abu Huraira alimwambia: „kwamba watu

walimuuliza Mtume (s.a.w.) „é Mtume wa Mwenyezi Mungu je tutamuona

Mola wetu siku ya kiyama? Akasema Mtume wa Mwenyezi Mungu: „je

munapata tabu katika kuuona mwezi usiku wa mwezi mdande? Wakasema

„hatupati ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu.‟ Akasema je munapata tabu

katika kuliona jua ikiwa halikuzibwa na mawingu? Wakasema: „hatupati

ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu.‟ Akasema basi hakika yenu

mutamuona hivyo hivyo. Mwenyezi Mungu atawakusanya watu siku ya

kiama kisha atasema „kila aliyekuwa akiabudu kitu na akifuate; basi

aliyekuwa akiabudu jua atalifuata jua, aliyekuwa akiabudu mwezi

ataufuata mwezi, aliyekuwa akiabudu shetani atamfuata shetani. Basi

utabakia umma huu ndani yake wamo wanafiki wake. Atawajia

Mwenyezi Mungu Mtukufu aliyetukuka kwa sura ambayo siyo (ile)

sura yake wanayoijua. Atawambia mimi Mola wenu. Watasema:

„tunajilinda kwa (jina la) Mwenyezi Mungu kutokana na wewe, hapa

hatuondoki (leo) mpaka atujie Mola wetu, akija tutamjua!!!! Basi

atawajia Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa sura yake ambayo wanaijua, atawaambia Mimi Mola wenu. Watasema: „Wewe (sasa) ndiye Mola wetu,

watamfuata”. 1205

Hadithi hii niliinukuu katika kitabu Hoja Zenye Nguvu kisha nikatoa

vipengele vifuatavyo vyenye kuthibitisha kuwa ni riwaya ya Kiyahudi

iliosimuliwa na Wayahudi waliosilimu kutoka katika vitabu vyao

walivyovipotosha. Tazama nukta zifuatazo:

1) Hadithi inasema: “utabakia umma huu ndani yake wamo wanafiki

wake kisha (ndio) atawajia Mwenyezi Mungu” atajidhihirisha kwao.

Kwa hivyo, kwa mujibu wa riwaya hii wanafiki nao wamepata neema

kubwa yao watayoipata watu wa peponi nayo ni neema ya kumuona

Allah! Kilichobaki sasa wangoje kupata neema ndogo ndogo za

kuingia peponi na kustarehe pamoja na wacha Mungu!

2) Jambo la pili ni kuwa Mwenyezi Mungu atakuja katika sura ya kwanza

ambayo hawaijui na atasema kuuambia umma huu: “Mimi ni Mola

wenu”. Lakini wao watakataa na kusema: “tunajilinda kwa (jina la)

1205 - Al-Imamu Muslim Sahih Muslim Bisharhi Al-Nawawi j. 2 uk. 298. Al-Imamu

Albukhari Sahihu Al-Bukhari Hadithi na. 6573 na 7437.

Page 422: Fimbo ya Musa

422 Mwenyezi Mungu kutokana na wewe”. Sasa vipi “atawajia kwa sura

ambayo hawaijui” kwani Yeye ana sura ambayo mwaijua ewe Kasim

Mafuta? Haa twambieni basi hio sura yake ikoje?

3) Kisha Mwenyezi Mungu atajibadilisha: aje katika sura nyengine. Hapo

ndipo watapomkubali! Sasa tazama ajabu hii! Wapi umepata kusikia

kuwa Dhati ya Mwenyezi Mungu inabadilika kutoka katika hali moja

kwenda hali nyengine au sura moja kwenda sura nyengine – the

changing god indeed! Na riwaya ya pili ilionasibishwa kwa Ibn

Mas‟ud na ambayo kaipokea Al-Imamu Muslim inasema:

ك٢ ط حظ٢ أ أ س ك٤و أخر ك٤و طلؼ إ هي ـــ ٣كــػ

أض رخ

Kisha watanyanyuwa vichwa vyao na kutahamaki (Mwenyezi

Mungu) ameshageuka katika sura ile ambayo walimuona mara ya

kwanza atawambia Mimi ni Mola wenu nao watasema (ndio)

Wewe ni Mola wetu.1206

Ya lahaa min ghabaawa (e mame yangu weee! Huu ujuha we)! Matn ya

riwaya hii bado haijawajuilisha watu kwamba huu ni uwongo wa

Kiyahudi?

MJADALA BAINA YA SH. AL-KHALILI NA

WAWANAVYUONI WENYE ITIKADI YA

KUMUONA MWENYEZI MUNGU

JUU YA HADITHI HII

Anasema Sh. Al-Khalili katika kitabu chake Al-Haqau Al-Damigh kuwa

alifanya mdahalo (mjadala) na baadhi ya wanavyuoni wenye itikadi ya

kumuona Mwenyezi Mungu. Akawauliza wapi walimuona Mwenyezi

Mungu mara ya kwanza mpaka ikawa walipomuona kwa sura tofauti na ile

ya mara ya kwanza wakamkataa na alipokuja katika sura yake ile ile

wakamkubali? Wakamjibu kuwa makusudio ya kumuona mara ya kwanza

hapa si kuwa walimuona kwa macho hio mara ya kwanza bali ni kuwa

hapa duniani walisoma Kitabu chake na Sunna za Mtume wake (s.a.w.)

wakaona namna alivyojielezea na namna alivyomuelezea Mtume wake

(s.a.w.). Akawambia kwa maana hio kila aliyesoma Kitabu cha Mwenyezi

Mungu na Sunna za Mtume wake atakuwa anaijua sura ya Mwenyezi

Mungu. Na nyinyi mumeshasoma Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna

1206

- Muslim Sahihu Muslim uk. 91-92, Hadithi na. 183.

Page 423: Fimbo ya Musa

423 za Mtume wake (s.a.w.), haya niambiyeni sura ya Mwenyezi Mungu

ikoje? Wanavyuoni wakakwama na kuduwaa!1207

Na hapa kuna suala jengine nalo ni kuwa kama watu wataijua sura ya

Mwenyezi Mungu kwa kusoma Kitabu chake na Sunna za Mtume wake

(s.a.w.) mbona walipomuona mara ya kwanza huko kiama wakamwambia

kuwa wewe siye Mwenyezi Mungu? Haya yote yanaonesha kuwa Hadithi

hii ni uwongo mtupu aliozuliwa Mtume (s.a.w.) .

HADITHI HIO KATIKA MASIMULIZI

YA AL-IMAMU ALBUKHARI

Hadithi hio ilotangulia katika mapokezi ya Al-Bukhari kuna badhi ya nukta

za ziada nazo ni kama inavyofuata. Katika Hadithi ya Al-Bukhari,

tunapata:

كظ٠ اح ٣زو٠ ال خ ٣ؼـــزي هللا ر أ كخؿ حطخ د حؼخــــ٤ كــــ٢ أى٠ ــــس

ك٤خ أ س حظ٢ أ

Mpaka ikiwa hapakubakia ila waliokuwa wakimuabudu Mwenyezi Mungu

tu katika watu wema na waovu basi atawajia Mola wa ulimwengu mzima

katika SURA NDOGO ZAIDI KULIKO ILE WALIOMUONA KATIKA

SURA HIO MARA YA KWANZA!

Kule katika riwaya iliotangulia tumepata kuwa atakuja kwa sura nyengine

tu: hapa tunaambiwa kuwa kumbe sura nyengine hio ni ndogo kuliko ile

waliopata kuiona! Maneno haya ni mazito: vipi Mwenyezi Mungu ambaye

hana mfano wa kitu chochote awe na sura tena nyingi – kubwa na ndogo?

Halafu jambo jengine ambalo limo katika sehemu hii ya Hadithi ni kuwa –

kama ilivyosema Hadithi hio iliotangulia kabla ya hii – watakaobakia ili

Mwenyezi Mungu awajiye si watu wema tu bali na waovu pia. Sasa hawa

waovu nao wameshapata malipo bora kuliko yote ya kumuona Mungu;

kilichobaki sasa waende peponi tu kwenye neema ndogo pamoja na

madhambi yao!

Riwaya inaendelea kwa kusema:

ط٠خ ك٢ إ٣ش ح ك٢ حظ٤س.. .ي ط

“Je munapata tabu katika kuliona jua wakati wa jua kali mchana?

Wakasema „hatupati‟. Akasema basi vivyo hivyo ndivyo mutavyomuona”.

1207

- Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Damigh uk. 57.

Page 424: Fimbo ya Musa

424 Maneno haya yanafahamika kwa njia moja katika mbili:

1) Ya kwanza: ama iwe makusudio ya kumuona Mwenyezi Mungu kama

tunavyoliona jua ni kuwa Mwenyezi Mungu ni kama jua: anafanana nalo.

Na hili silo, wala hakuna Muislamu anayeitakidi hivi, na yoyote

atakayesema hivi, basi huyo ni kafiri mshrikina. Kwa hivyo, hili tulitoe:

silo.

2) La pili iwe makusudio ya kumuona Mwenyezi Mungu kama jua ni kuwa

kama tunavyoliona jua kwa uwazi basi vivyo hivyo ndivyo

tutakavyomuona Mwenyezi Mungu. Lakini kama ni hivi basi mfano huu

uliomo katika Hadithi hii si sahihi kwa sababu Hadithi inasema kuwa watu

watamuona Mwenyezi Mungu kama wananavyoliona jua wakati wa

mchana wa jua kali. Sasa suali ni kuwa je ni nani anaweza akalitazama jua

wakati wa mchana wa jua kali ikiwa hakuna mawingu yalioliziba, hebu

kila mmoja na ajaribu kulitazama jua saa sita mchana alau sekunde mbili.

Kama hakuna, basi mfano huu si sahihi, na kama mfano huu si sahihi basi

haya si maneno ya Mtume (s.a.w.).

Na wakati huo huo wenye itikadi ya kuwa Mwenyezi Mungu ataonekana

wamepokea Hadithi inayosema:

ل لكهض زلخص ؿ خ حظ٠ ا٤ ر حكـخر

Pazia lake ni nuru kama akiliondoa basi kila ambacho macho yake

yatamfikia (Mwenyezi Mungu) basi nuru1208

ya Dhati Yake itakiunguza.1209

Hadithi hii kaipokea Muslim na wengineo. Na maana ya Hadithi ni kuwa

Mwenyezi Mungu kajizuia kwa utukufu wake ili tusimuone na lau kama

akiondoa kizuizi hicho akadhihiri basi kila atayemtazama au kumuona basi

ataunguwa. Kwa hivyo tunaishia kwa kusema kwamba Hadithi hii

inayosema kuwa Mwenyezi Mungu ana sura; anajibadilisha sura hii na ile:

kubwa na mdogo; watu waliwahi kumuona Mwenyezi Mungu mara ya

kwanza , n.k., basi ni uwongo mtupu, ambao watu wasiomuogopa

Mwenyezi Mungu wamemzulia Mtume wake (s.a.w.).1210

1208

- Na katika riwaya ya pili: “pazia lake ni moto”. 1209

- Muslim Sahihu Muslim Hadithi na. 293. Al-Tabarani Al-Awsat j. 2, uk. 142, Hadithi

na. 1512. Ibn Maja Al-Sunan Hadithi na. 195-196. Ahamad Al-Musnad j. 6, uk. 621,

Hadithi na. 19865. Na wengine. 1210

- Juma Al-Mazrui Hoja Zenye Nguvu uk. 250-52. Tanbihi: ukirejea katika kitabu

changu utaona kuna marekebisho kidogo ya baadhi ya ibara. Hii – kama nilivyotangulia

kusema – inatokana na ukweli kwamba kitabu hiki (Hoja Zenye Nguvu) nilikuwa

nakitayarisha kwa ajili ya chapa ya pili. Hata hivyo, hakuna mabadiliko ya maana, bali

hakuna mabadiliko ya msingi.

Page 425: Fimbo ya Musa

425

Hayo ni maelezo ambayo niliyatoa katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu

ili kuthibitisha ubatili wa matn (text) ya riwaya hio, kwamba nukta hizo

zinathibitisha kuwa hayo si maneno ya Mtume (s.a.w.), kwani hayakubaliani

na matokeo na hio ni moja ya alama kubwa za Hadithi za kutunga.

Kilichobaki ni itikadi tu: si usahihi wa hoja. Lakini Sh. Kasim mwanangwa

wa Bwana Mafuta akanijibu hivi:

UFAHAMU MBAYA JUU YA HADITHI HII

Katika kuyatilia nguvu madai yake ya kwamba hadithi hii ni dhaifu ndugu

Juma akaleta maneno ya ajabu kwa sababu ya ufahamu wake mbaya juu ya

hadithi hii, lakini kitambo alishasema mshairi (al-Mutanabbiy):

ل ػخث ذ ل٤لخ ه أك ظ ... حل و٤ ح

“Ni wangapi wenye kuyatia kasoro maneno yaliyo sahihi** lakini msiba

wake ni (kwa sababu ya) ufahamu mbaya”?!

Na ushahidi juu ya ufahamu mbaya wa ndugu Juma ni pale aliposema: “La

pili iwe makusudio ya kumuona Mwenyezi Mungu kama jua ni kuwa kama

unavyoliona jua kwa uwazi basi vivyo hivyo ndivyo tutakavyomuona

Mwenyezi Mungu.

Lakini kama ni hivi basi mfano huu uliomo katika hadithi hii si sahihi kwa

sababu hadithi inasema kuwa watu watamuona Mwenyezi Mungu kama

wanavyoliona jua mchana wakati wa jua kali. Sasa suala ni kuwa je nani

anaweza akalitazama jua wakati wa mchana wa jua kali ikiwa hakuna

mawingu yaliyoziba, hebu kila mmoja na ajaribu kulitazama jua saa sita

mchana alau sekunde mbili. Kama hakuna, basi mfano huu si sahihi, na

kama mfano huu si sahihi basi haya maneno si maneno ya Mtume

(S.A.W.)”. Mwisho wa kunukuu.1211

MAJIBU YETU

Kuyaelewa maneno ya Mtume bwana Mtume -swalla llaahu alayhi

wasallam- inatakiwa tawfiq kutoka kwa Allah, na wala si jambo dogo, na

watu wengi hawakuwafikishwa katika jambo hili la kheri kwa sababu ya

nia zao mbaya. Na miongoni mwa hao ni ndugu Juma Al-Mazr‟rui, naye

pia haukuelewa makusudio ya maneno ya bwana Mtume Muhammad -

swalla llaahu alayhi wasallam- katika mfano huu.

1211

- Tazama kitabu chake “Hoja zenye nguvu” ukurasa wa 251.

Page 426: Fimbo ya Musa

426 Na kuelewa semi, mifano, na methali za kiarabu ni miongoni mwa fani

muhimu za lugha ya kiarabu, na kama mtu hautabarikiwa kufahamu

mambo hayo, kuna hatari kubwa ya kutumbukia katika balaa la

kukadhibisha maandiko kwa sababu ya uelewa mbaya.

Mara nyingi huwa mifano ndiyo inayofafanua mambo kwa uzuri zaidi na

kuyaweka wazi kuliko maneno ambayo hayana mifano. Ndiyo maana

Qur‟an kadhalika maneno ya bwana Mtume –swalla llaahu alayhi

wasallam- yamejaa mifano mingi, na lengo la mifano hiyo ni kuwafanya

watu wawe ni wenye kufikiria mambo kwa undani zaidi na wayapime kwa

akili zao ili waweze kuufikia ukweli. Lakini pamoja na hayo, mara

nyingine hawaifahamu mifano hiyo ila wale wenye elimu za kutosha,

amesema Allah:

ط ي ؼ خ خ حل ر ٠ خ خ خ و ا ل ٣ ؼ ؼ خ 43 زصحؼ{ ح

“Na hiyo ni mifano tunawapigia watu, na hawaifahamu ila wenye

ilimu”.1212

Ndugu Juma huenda -kwa sababu na yeye si katika wenye elimu, au ni kwa

sababu amekusudia kupotosha- na yeye pia hakuufahamu mfano huu ndiyo

akafikia kusema:

“Lakini kama ni hivi basi mfano huu uliomo katika hadithi hii si sahihi

kwa sababu hadithi inasema kuwa watu watamuona Mwenyezi Mungu

kama wanavyoliona jua mchana wakati wa jua kali”.

Sisi tunasema lau kwamba ndugu Juma angeutazama mfano huu kwa jicho

la kutaka kujua ukweli angegundua kwamba makusudio ya Mtume –swalla

llahu alayhi wasallam- katika mfano huu ni tofauti na alivyofahamu yeye.

Kwa sababu makusudio ya mfano huu ni kutaka kufahamisha kwamba:

Kama vile ambavyo hakuna msongamano wala kiminyano katika

kulitazama jua la mchana ambalo halikufunikwa na mawingu, basi mjue ni

hivyo hivyo kwamba hakuna kiminyano wala msongamano katika

kumuona mola wenu muumba huko katika Jannah (peponi). Kwa ufupi ni

kwamba: Hakuna tabu yoyote mtakayoipata katika kumuona Allah –

Tabaaraka wata‟alaa- kwa namna atakavyo jihidhirisha kwenu -

Sub‟haanahu wata‟alaa- kama vile ambavyo hamsongamani katika

kulitazama jua au mwezi mpevu. Ndiyo maana Mtume -swalla llaahu

alayhi wasallam- akawauliza maswahaba zake: “Je mnasongamana katika

kuliona jua katika mchana ambao hakuna mawingu?” Maswahaba

wakajibu: “Hapana”! Bali kila mwenye akili timamu akiulizwa swali kama

hilo hatokua na jawabu zaidi ya kusema hapana. Na wala Mtume -swalla

llaahu alayhi wasallam- hakuuliza je mnataabika au mnapata taabu katika

1212

- Suratul-A‟nkabut (29) aya ya 43.

Page 427: Fimbo ya Musa

427 kulitazama jua katika mchana wa jua kali kwa sababu ya mwangaza wake?

Kama alivyofahamu Juma, na kama angeliuliza hivyo bila shaka

jawabu lingekuwa “NDIYO “ tunapata taabu. Kwa sababu hakuna

anayeweza kulitazama jua kali la mchana ambao hakuna mawingu. Kwa

sababu mfano huo hauko baina ya kulitazama jua na kumtaza Allah -

Sub‟haanah- wala hauko katika kuweza kulitazama jua na kutokuweza

kama alivyofahamu Juma, mpaka akafikia kusema: “hebu kila mmoja

ajaribu kulitazama jua saa sita mchana alau sekunde mbili”!

Kwa ufupi ni kwamba ndugu Juma hakufahamu kitu kinachoitwa:

“WAJ‟HUS-SHABAHI” njia ya kufanana baina ya “MUSHABBAHUN”

(chenye kufananizwa) na “MUSHABBAHUN BIHI” (chenye

kufananiziwa) na huo ni mlango muhimu mno katika elimu ya

“BALAGHA”(RHETORIC).

Na lau kama mtu hataufahamu vizuri mlango huu basi anaweza

kuyakadhibisha maneno ya haki yasiyo na utata wowote kama alivyofanya

ndugu yetu Juma al-Mazrui. Pia balaa hili limempata ndugu Juma

kutokana na uelewa wake finyu wa lugha ya kiarabu, ndiyo maana

hakuweza kuleta tafsiri sahihi ya maneno haya, sasa hebu tuyaangalie

maneno haya je maana yake ni kupata taabu kama alivyo tafsiri Juma au ni

kusongamana kama tunavyotafsiri sisi? Hebu tuyatazame maneno haya

mawili yaliyotumika katika hadithi kupitia kamusi za lugha ya kiarabu

pamoja na kauli za maulamaa wakubwa:

.(Laa tudhaammuuna ”( 1 -”تضاي ال

.(Laa tudhaarruuna) “ 2- ”تضاس ال

Yeye akatafsiri kuwa maana yake ni “hamupati tabu”na hali yakuwa

maana yake ni “hamsongamani/hamtodhuriana” na kwa ushahidi zaidi

angalia kauli hizo za maulamaa juu ya maana ya maneno haya:

Maana ya neno la kwanza (Laa tudhaammuuna):

:حلػ٤ حر حإلخ هخ

.”حظ هض طىك رؼ ا٠ رؼ٠ ٠٣ ل :ؼخ“

Amesema Imamu Ibnul-Athir:

“Maana yake:hawatakusanyika watu pamoja wakasongamana wakati wa

kutazama”.1213

Na maudhui ya kitabu hiki kuyatafsiri maneno yote mageni na magumu ya

lugha ya kiarabu ambayo yamo katika hadithi na kauli za maswahaba.

:ظ حر حإلخ هخ

.”حال حظا٠ ػي طلؼ خ أ٤ ٥ه حكي ك٤و رؼ ا٠ رؼ٠ ٠٣ ل أ١ “

1213

- Tazam kitabu chake; al-Nihaya fiy Gharibil Hadith ukurasa wa 555.

Page 428: Fimbo ya Musa

428

9 حؼد خ / . خىس 63

Amesema Imamu Ibn Mandhuur:

“Maana yake: hawatokusanyika ikafikia kusema mmoja kumwambia

mwingine nionyeshe, kama vile mnavyofanya wakati wakutazama mwezi

mwandamo”.1214

:كـ حر حلخكع هخ

....“ ؿش ك٠ إ٣ظ طـظؼ ل :ؼخ ((إ٣ظ ك٠ ط٠خ ل

13 حزخ١ كظق /526.

Amesema al-Hafidh Ibn Hajar:

“ ((Laa tudhaammuuna fiy ru‟uyatihi)) maana yake hamtakusanyikana

upande mmoja kwa ajili ya kumtazama”.1215

Ama kuhusu neno la pili ((Laa tudhaarruuna):

))لط٠خ((

.”ظ ك ا٤ حظ لش ك٠ طظـخى ل طظوخل ل“ :حلػ٤ حر هخ

. خىس 542 حلي٣غ ؿ٣ذ ك٠ حخ٣ش

Amesema Ibnul Athir:

“Hamtatafautiana wala hamtajadiliana kuhusu kusihi kumtazama kutokana

na uwazi wake na kudhihiri kwake”.1216

:ح١ حإلخ هخ

أ طلؼ آخ ولخث ؿ٤خ أ حإ٣ش ك٠ وخلش أ ركش حإ٣ش كخش ك٠ ؿ٤آ ط٠خ “

؟”ح ٤ش

3 حلـخؽ ر ل٤ق ف حخؽ /27.

Amesema Imamu Al-Nawawiy:

“(Maana yake) je mnawadhuru wengine katika hali ya kuutazama (mwezi

mpevu) kwa sababu ya msongamano au kutofautiana katika kuuona au kwa

jambo jingine kwa sababu ya kujificha kwake kama mnavyo fanya usiku

wa mwanzo wa mwezi”?1217

1214

- Tazama kitabu chake Lisaanul-Arabi juzuu ya 9 ukurasa wa 63. 1215

- Tazama kitabu chake Fat‟hul-Baari juzuu ya 13 ukurasa wa 526. 1216

- Tazama kitabu al-Nihaaya fiy Gharibil-Hadithi ukurasa wa 542. 1217

- Tazama kitabu chake al-Min‟haaj, juzuu ya 3 ukurasa wa 27.

Page 429: Fimbo ya Musa

429

:ظ حر حإلخ هخ

حؼد خ ...”.رؼ٠خ رؼ٠ ٠٣ ل أ١“ /34.

Amesema Imamu Ibn Mandhuur:

“Maana yake: hamtodhuriana wenyewe kwa wenyewe”.1218

Bila shaka ndugu msomaji umeelewa ni kitu gani ambacho kimemsibu

ndugu Juma mpaka akafikia kuyakadhibisha na kuyabatilisha maneno ya

bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam-. Mimi ninasema kwamba

hakuna kitu kingine zaidi ya moja mambo mawili:

1-Ufahamu mbaya wa lugha ya kiarabu,au:

2-Anafanya makusudi ili kutimiza malengo yake mabaya ambayo

ameyakusudia yeye na washirika wake, ndiyo akafikia kiwango hiki cha

kuyatupilia mbali maneno ya bwana Mtume -swalla llaahu alayhi

wasallam- kwa urahisi tena kwa kejeli ya hali ya juu.1219

Kwa hivyo, mukhtasari wa jawabu hii refu ya Kasim bin Mafuta ni katika

nukta mbili:

1) Ni kuhusu suala zima la tashbihi iliomo katika riwaya hio.

2) Ni kuhusu tafsiri yangu niliposema “hamutopata tabu katika

kuliona”.

JAWABU

Jawabu kuhusu suala la kwanza ni kuwa almushabbah na almushabbah bihi

wanafahamika kwa njia mbili na zote zimetajwa na wanavyuoni walioisherehesha

Hadithi yenu hio ya kufinyanga? Riwaya inasema:

ك٢ إ٣ش ح ك٢ حظ٤س.. .ي ط ط٠خ

Je munapata tabu katika kuliona jua wakati wa jua kali mchana?

Wakasema „hatupati‟. Akasema basi vivyo hivyo ndivyo mutavyo

muona.

Kwa hivyo, kwa upande wa tashbih inawezekana ikasemwa kuwa:

1) Kafu katika neno kadhalika ni herufu ya kushabihishia (harfu al-

tashbihi).

1218

- Tazama katika kitabu chake Lisaanul-Arabi juzuu ya 9 ukurasa wa 34. 1219

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 111.

Page 430: Fimbo ya Musa

430

2) Neno ru-uya (kuona) katika jumla ya maneno yasemayo taraunahu

(mutamuona), ni mushabbah (chenye kufananishwa).

3) Neno ru-uya lililomo katika maneno ru-yyati al-shamsi ni

mushabbahun bihi (chenye kufafananishiwa).

Na kwa hivyo, maana ni kuwa “mutamuona Mola wenu kwa uoni wenu ulio

sawa na uoni wenu munavyoliona jua”. Kilichobaki ni wajhu al-shabah: je

ni upi? Tunasema: nao pia kwa mujibu wa maelezo hayo, basi utakuwa uko

wazi kwa kulitazama lengo la riwaya yenyewe. Nayo ni kuwa mutamuona

Mola wenu kwa uwazi kama munavyoliona jua wakati wa mchana wa jua

kali kwa uwazi. Maneno kwa uwazi ndio wajhu al-shabah (njiana ya

kufanana kwa hali mbili hizo). Kwa hivyo, mimi ninasema kwamba

“umejikakamua sana ndugu Kasim” lakini sehemu hii bado hujaijibu na

suala langu bado lipo pale pale kwamba vipi Mtume (s.a.w.) aseme

tutamuona Allah kwa uwazi kama tunavyoliona jua kali kwa uwazi wakati

wa mchana usio na mawingu ilhali wakati huo jua hatuwezi kuliona licha ya

kuliona kwa uwazi? Elewa kwamba hapa sizungumzii tudhammuuna na

tudhaarruuna (kusongana-kupunjana au kudhuriana): ninazungumzia ru-

aya na ru-aya (kuliona jua kali wakati wa mchana ulio safi; na kumuona

Mungu): ninasema: jua wakati huo halionekani kwa uwazi. Vipi tuambiwe

kukiona kwa uwazi kitu ambacho hatuwezi hata kukitazama! Huu ndio

mushkeli wangu.

Ama kuhusu nukta ya pili kuhusu tafsiri yangu niliposema “hamutopata

tabu katika kuliona”, ninamtaka Bwana Mafuta aelewe mambo yafuatayo:

Mosi: ni kuwa mimi katika maandiko yangu yote yale basi aghlabu ya

tafsiri zangu ni tafsiri za kimaana: si za neno kwa neno. Lakini wewe labda

unataka ٣ حؼ٤ي yaumul-‟iid tuite siku yenye kujirejea badala ya kuiita siku

kuu; kwani neno ػ٤ي „iid kilugha maana yake ni “chenye kurejea”; na

tukitaka kusema siku kuu basi tuseme ٣ ػظ٤ yaumun „adhiim, ndio maana

Aya inayosema: ك و ا wewe umeifasiri hivi: “Kwa hakika hii

(Qur‟an) ni kauli kupambanua” na sahihi – kama tulivyosema katika

juzuu ya kwanza ya kitabu hiki – ni kuifasiri Aya hio: “Kauli pambanuzi”

au “kauli yenye kupambanua”. Hiki ndio Kiswahili sahihi.1220

1220

- Bali hata kwa mujibu wa kanuni za lugha ya Kiarabu tafsiri ilitakiwa iwe hivyo kwani

masdar hapa imetumika kwa maana ya sifa, kama inavyosemwa: Imamu) حإلخ حؼي

uadilifu) yaani “Imamu muadilifu” au “Imamu mwenye uadilifu”. Na katika Qur-ani Allah

anasema: خ ق ٤ ؿ ػ Yeye (mtoto wa Nabii Nuha) ni matendo yasio mema” Sura“ ا

11, Aya 46, yaani “Yeye ni mtendaji wa yasio mema”. Na bila shaka itakuwa ajabu ilioje

ikiwa mtu ataifasiri Aya hio kuwa maana yake ni “Yeye (mtoto wa Nabii Nuha) ni

matendo yasio mema” badala ya kusema: “Ni mtendaji wa yasio mema”. Kwa hivyo,

Page 431: Fimbo ya Musa

431

Pili: nikuwa tukirudi katika Hadithi yenu, basi tunasema kwamba hata kama

maneno la tudhaammuna na la tudhaarruuna yana maana ya kuwa

hamusongani na hamudhuriani, basi hio ni kwa kuyafasiri maneno hayo

harfiyyan (literally) yaani neno kwa neno. Ama kimaana unaweza kuyafasiri

kuwa “hamupati tabu” wala hilo haliitwi kuwa ni kosa. Na hivi ndivyo

wataalamu wa Kiswahili wanavyoyafasiri maandiko. Ukirudi katika tafsiri

ya Sheikh Abdullah Salih Al-Farisi utaona baadhi ya Aya akizifasiri

kimaana tu: si neno kwa neno. Kwa mfano katika Aya ya 9 ya Surat Yusuf

(12), basi kalifasiri neno yakhlu kwa maana ya kuelekea, nayo ni tafsiri

nzuri sana ukizingatia maana. Ama neno kwa neno, basi tafsiri ya neno hilo

ni “kupwekeka” au “kuwa tupu”. Kwa hali yoyote ile, hapa cha kuzingatia

ni mambo mawili:

1) Mimi kimsingi nazungumzia kuhusu kuliona jua kwa uwazi mchana

wa jua kali pasina kuwepo kwa mawingu, ninasema kuwa kitu hicho

hakiwezekani.

2) Maana zote mbili za maneno la tudhaammuna na la tudhaarruuna

zimeelezwa katika kuielezea riwaya hio: hicho nilichokisema mimi

kimesemwa na wanavyuoni kadha wa kadha. Na ulichokisema wewe

pia kipo.

TAFSIRI ZA WANAVYUONI KUHUSU MANENO

LA TUDHAAMMUNA NA LA TUDHAARRUUNA

Anasema Al-Imamu Al-Suyuti:

ط٠خ ر٠ حظخء ك٢ ححء حظي٣ي حظول٤ق ؼ٠ حيى ط٠خ ؿ٤ ك٢ كخ

ؼ٠ـــــــؿ٤خ ولخث خ طلؼ أ ٤ش ححإ٣ش ركــش أ وخلش ك٢ حإ٣ش أ

ح٠ كب ط ي ؼخ طز٤ حإ٣ش رخإ٣ش ك٢ حولق ٣لو ك٢ إ٣ظ ٤

حف ح حي حوش حلهظالف

(Maneno) hal tudhaarruuna kwa kuitia dhame tee; na ree (imepokewa hali

ya kuwa) ina shadda na (pia imepokewa hali ya kuwa) haina shadda.

Maana ya (riwaya yenye ree yenye) shadda ni kuwa: „je munadhuriana na

wengine katika hali ya kuuona kwa sababu ya kusongana au kupingana

katika uoni au mengineo kwa sabababu ya kufichika kwake (huo mwezi)

kama vile munavyofanya mwanzo wa mwezi? Na maana (inayopatikana

katika riwaya yenye ree) isio na shadda, ni kuwa je munapata dhair nayo

(hio dhair maana yake) ni madhara (yaani je munapata madhara).

kutumika kwa masaadir katika sehemu hizi ni kwa ajili ya mubaalagha kana kwamba Qur-

ani ndio upambanuzi wenyewe kwa jinsi inavyopambanua mambo; na kana kwamba

Imamu ndio uadilifu wenyewe kwa jinsi alivyo muadilifu; na kana kwamba mtoto wa Nabii

Nuhu ndio uovu wenyewe kwa jinsi alivyokuwa muovu.

Page 432: Fimbo ya Musa

432 Basi hakika yenu mutamuona (Mungu) hivyo hivyo, maana yake ni

kuufananisha uoni na uoni katika uwazi (wa kuonekana chenye kuonekana)

na kuondoka shaka na mashaka na kutafautiana.1221

Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:

٢ ظخد حل٣خ ؼخ ـــزط كــه ٠ هللا ػ٤ ل ط٠خ ك٢ إ٣ظ طوي ك

٠ ر كظ خـ ظؼ ػاحإ٣ش ه ٠ هللا ػ٤ أخ ل ٣لو ٤ ك٢

ط ح حو أ١ طـــ إ٣ش لووش ل ي ك٤خ ل وش خ ط ح حو إ٣ش لووش

رال وش

Kauli yake Mtume (s.a.w.) aliposema: “laa tudhaammuna fii ru-uyatihi”

tumetangulia kuielezea (riwaya hii) na kuidhibiti katika kitabu cha iman.

Na maana yake ni kuwa hamufikiwa na dhulma (au udhalili) katika kuona.

Na kauli yake Mtume (s.a.w.) aliposema: “Eleweni kwamba nyinyi

mutaoneshwa kwa Mola wenu basi mutamuona kama munavyouona huu

mwezi” maana yake ni kuwa mutamuona uoni wa hakika usio na shaka

ndani yake wala mashaka kama munavyouona huu mwezi uoni wa hakika

bila ya mashaka.1222

Anaendelea Al-Imamu Al-Nawawi:

ك ٢ ح ح٣ ش حل ه ـــــــ ، ) خ ط ٠ ( : ل ر ظ و حء ٣ي ح ي ( ر ظ خ حظخء ـ ) ط ٠ خ ٤ل

ك ٣ ش ر إ خ ش ح ك ٢ ك ٤ ؿ خ ط ٠ ى : ي ٠ ح ؼ خ ش ك ٤ ــــ ٠ خ ل ش ك ـــ و ٢ـــش أ

٤ ؿ ٣ ش أ إ وح ل ٣ لق: و ؼ ٠ ح ؟ ح ٤ ش أ خ ط ل ؼ ـ ل خث ٣ ظــخ و إ ك ٢

٣ي ي ( ر ظ خ خ ) ط ٠ ١ أ ٣ ٠ ح٠ ٤ ؟ خ ك ظ ق حظخء ، ى ي خ، ك ل ٤ل ط و ٤ ح

لل حظخء ، ه ٤ ……… خ و ل ٣ لق : و ٠ ح ؼ حظؼ ذ – وش ح

….na katika riwaya ya pili riwaya inasema (hal tudhaamun) na ikapokewa

(tudhaarrun) – ree ina shadda na bila ya shadda na tee ni yenye dhame

katika maneno mawili hayo – na maana ya ree yenye shadda ni kuwa je

munadhuriana na wengine wakati wa kuuona kwa sababa ya msongano au

kutafautiana katika kuuona au mengineo kama munavyofanya mwanzoni

mwa usiku wa mwezi muandamo? Na maana ya ree isio na shadda ni je

munafikwa na dhair katika kuuona? Na dhair ni madhara. Na pia

imepokewa kwa lafdhi yenye kusema tudhaammun kwa kuitia mkazo

(kuitia shadda) mimu na kutokuitia…….na maana ya riwaya ya mimu

isiyokazwa ni: “je munafikwa na dhaim nayo ni mashaka na tabu. 1223

1221

- Al-Suyuti Al-Dibaj „Alaa Muslim j. 1, uk. 229. 1222

- Al-Imamu Al-Nawawi Shar-hu Al-Nawawi „Alaa Sahihi Muslim j. 3, uk. 440-441,

maelezo ya Hadithi na. 1432. 1223

- Al-Imamu Al-Nawawi Shar-hu Al-Nawawi „Alaa Sahihi Muslim j. 2, uk. 297,

maelezo ya Hadithi na. 450.

Page 433: Fimbo ya Musa

433

Kwa hivyo, utaona kwamba maelezo ya Al-Imamu Al-Nawawi na ya Al-

Imamu Al-Suyuti hayana tafauti kimaana na yale maelezo tulioyatoa katika

kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu: Al-Imamu Al-Suyuti anaesema kuwa

maana ya riwaya hio ni kuwa “hawatopata tabu katika kumuona Allah kama

vile ambavyo hawapati tabu katika kuona mwezi” nami nilipoipinga riwaya

ya pili iliotaja neno jua nilisema: “hamutopata tabu katika kumuona Allah

kama vile ambavyo hamupati tabu katika kuliona jua wakati wa mchana wa

jua kali pasina mawingu”. Na maneno ya Al-Nawawi ni kama ulivyoyaona

mwenyewe hapo.

Tatu: ni kuwa Sheikh Mafuta – japo kuwa kadhania kwamba tafsiri hio

imetokana na ufahamu wangu mbaya wa lugha ya Kiarabu – lakini bado

anaonekana kwamba kanuni za lugha ya Kiarabu na Kiswahili bado

zinampiga chenga! Si hivyo tu, anaonekana kuwa ni mtu wa kuqallid tu:

hawezi kufanya tahqiq. Maneno yaliotumika katika Hadithi hio ni:

1) خ .Laa tudhaarrun ل ط ٠

2) خ .Laa tudhaarun ل ط ٠

.Laa tudhaammun ل ط٠خ (3

.Laa tudhaamun ل ط٠خ (4

Hizi ni riwaya mbili kwa nne kwani kila mmoja ndani yake inabeba riwaya

ya pili – kila moja inawezekana tee yake ukaitia fat-ha na unaweza ukaitia

dhamme; na ree yake – katika riwaya moja – au mimu yake – katika riwaya

ya pili – zikawa ni zenye shadda na zikawa bila ya shadda.

Sasa tukirudi katika maneno yetu hayo, ni kuwa maneno hayo – neno la

mwanzo kwa mfano – kipimo chake cha sarfu ni kama inavyofuata:

Kitendo kilichopita kitendo kilichopo chimbuko (noun)

٣لخػ faa‟ala كخػ yufaa‟ilu لخػش mufaa‟alatan

٠٣خ dhaarra خ yudhaarru ٠خس mudhaaratan

Kitendo chenye kuja katika muundo huu, basi kina maana nyingi. Moja ni

kushirikana katika kufanya kitu. Na hii ndio maana walioichukua

wanavyuoni hao aliowataja Kasim Mafuta. Na maana ya kushirikiana huku

ni kuwa wewe unafanya na mwenzako anafanya. Na kwa hivyo iliposemwa

hal tudhaammuna fii ru-uyati al-shams ك٢ إ٣ش ح ط٠خ , wao

wamefasiri “je munasongana katika kuliona jua”.

Page 434: Fimbo ya Musa

434

Lakini cha kufahamu ni kuwa si mara zote muondo huo unaleta maana hio:

bali mara nyengine nyingi hutumika mfumo huo na mtendaji huwa ni

mmoja tu, na katika hali hii neno hilo hutumika ظؼي٣خ (hali ya kuwa lina

mtendwa) na هخح au لخ(hali ya kuwa lina mtenda tu pasina mtendwa).

Ikitokea kwamba neno lililotumika hivyo ni neno خ dhaarra – kwa mfano

– basi katika hali yake ya pili ya kutumika hali ya kuwa ni هخحau لخ

(hali ya kuwa lina mtenda tu pasina mtendwa), basi mwenye kudhurika

anakuwa ni mtenda mwenyewe kwani wakati huo neno linakuwa halina

mtendwa. Kwa hivyo, mukhtasari wa kipengele hiki ni kuwa neno خ

dhaarra (kudhuru) likitumika katika namna hii tulioielezea hapa basi

litakuwa na maana tatu:

1) Kushirikiana katika kitendo. Kama neno lililotumika ni dhaarr –

kwa mfano – basi maana itakuwa ni kudhuriana: weye wanidhuru na

mimi nakudhuru. Halkadhalika vitendo vyengine vyenye kipimo

sawa na hicho.

2) Kutenda mtu mmoja na wapili akatendwa.

3) Kitendo kumpitikia mtu mwenyewe peke yake..

Maana ya kwanza ya kushirikiana katika kitendo kwa mfano, utaipata katika

riwaya yenye kusema: ل ل ح ك ٠ ح خ laa tudhharru fii al-hafri ل ط ٠

(musidhuriane katika kuchimba visima).1224

Maana ya pili ya mmoja kuwa

ni mtenda na wa pili kuwa ni mtendwa na kitendo kiko katika muundo huo

huo, ni kama ilivyo Aya yenye kusema: ٤ ح ػ ٤و ظ ٠ خ ل ط ٠ (wala

musiwadhuru mukawatia dhiki).1225

Katika Aya hii neno hilo halina

maana kwamba “musidhuriane”, bali maana yake ni “musiwadhuru”,

pamoja na kuwa neno ni lile lile. Na maana ya tatu ya kuwa kitendo chenye

mezani ile ile ya لخػش mufaa‟alatan lakini kikawa ni chenye kumpitikia

mtu mwenyewe tu ni kama خك ٣خك خكس لخح saafara yusaafiru

musaafaratan wa sifaaran kwa maana kasafiri, wala haina maana kwamba

wamesafiriana: huyu kamsafiria yule na yule kamsafafiria huyu. Bila

kusahau kwamba kipimo لخػش mufaa‟ala pia humaanisha:

kaifuatisha saumu yaani طخرغ ح رؼ٠ أطزؼ af‟ala. Kama أكؼ (1

kaifunga mfululizo. Si kwamba yeye kafunga na saumu imefunga!

.kayazidisha malipo خػق حلؿ رؼ٠ ؼلخ fa‟ala. Kamaكؼ (2

Anasema Al-Imamu Al-Rabbaani Sa‟id bin Khalfan Al-Khalili (r.a.):

لظحى كخػ حؿؼ حؿظ٠**ىف كؼض أكؼض كؼ

1224

- Al-Bayhaqi Al-Sunanu Al-Sughra j. 2, uk. 338, Hadithi na. 2205. Al-Kubra j. 9, uk.

122, Hadithi na. 12095. Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 5, uk. 224. Hadithi na. 4. 1225

- Sura 65, Aya 6.

Page 435: Fimbo ya Musa

435

Na neno lenye kipimo cha faa‟ala litumie kumaanisha ushirikiano. Na pia

imedhihiri kuwa linatumika kumaanisha neno lenye kipimo cha fa‟ala, na

af‟ala na fa‟ala (yenye shadda).1226

Kwa maana hii neno laa tudhaarruna lililotumika katika Hadithi yenu

linaweza likawa na maana ya “hamudhuriani” kwa msingi kwamba mezani

hio inaleta maana ya al-ishtiraak (kushirikiana katika kufanya kitendo), na

pia linaweza kuleta maana ya kuwa “hamudhuriki” kwa msingi kwamba

muundo huo pia unatumika kwa kitendo kinachompitikia mtu mwenyewe

katika nafsi yake: pasina kumfikia mwengine. Na kwa maana hii ya pili,

basi kuifasiri Hadithi hio kwa maana ya “hamupati tabu” inakuwa ni tafsiri

sahihi. Na hili linaungwa mkono na riwaya ya al-raai al-mukhaffafa (ree

isio na shadda) ambayo kama alivyosema Al-Suyuti inamaanisha: “je

munapata dhair nayo (hio dhair maana yake) ni madhara (yaani je

munapata madhara). Na pia linaungwa mkono na riwaya ya tudhaamuna

yaani riwaya yenye mimu isio na shadda ambayo maana yake ni kama

alivyoeleza Al-Imamu Al-Nawawi kwamba maana ya riwaya hio ya mimu

isiyo na mkazo ni: “je munafikwa na dhaim nayo ni mashaka na tabu. 1227

Na kwa hivyo, tukirudi katika kauli ya Kasim bin Mafuta aliposema:

Bila shaka ndugu msomaji umeelewa ni kitu gani ambacho kimemsibu

ndugu Juma mpaka akafikia kuyakadhibisha na kuyabatilisha maneno ya

bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam-.

Mimi ninasema kwamba hakuna kitu kingine zaidi ya moja mambo

mawili:

1-Ufahamu mbaya wa lugha ya kiarabu,au:

2-Anafanya makusudi ili kutimiza malengo yake mabaya ambayo

ameyakusudia yeye na washirika wake, ndiyo akafikia kiwango hiki cha

kuyatupilia mbali maneno ya bwana Mtume -swalla llaahu alayhi

wasallam.

Nami namwambia Ibn Mafuta kwamba maelezo yako ulioyatoa hapa

yanaonesha kuwa:

1) Kanuni za lugha bado hazijakutwanga.

2) Una haraka ya mambo. Kwanza ungechukua japo kitabu kidogo cha

elimu ya sarfu ukafuta vumbi la mato (macho).

1226

- Al-Imamu Al-Rabani Sheikh Sa‟id bin Khalfan Al-Khalili Maqaalidu Al-Tasrif j. 1,

uk. 55. 1227

- Al-Imamu Al-Nawawi Shar-hu Al-Nawawi „Alaa Sahihi Muslim j. 2, uk. 297, maelezo

ya Hadithi na. 450.

Page 436: Fimbo ya Musa

436

3) Bado huwezi kufanya tahqiq: unafuata tu kama bendera inavyofuata

upepo. Maelezo ya wanavyuoni ulioyatoa bado yanahitaji maelezo

kwa urefu.

Hayo yaliotangulia yalikuwa ni maelezo yetu kuhusu sanad na matn za njia

mbili za Hadithi ya kumuona Allah kama tunavyouona mwezi au mwezi na

jua. Kisha baada ya hapo Sheikh Mafuta akatoa tena ushahidi wake kwa njia

mbili nyengine zifuatazo.

NJIA YA TATU NA YA NNE ALIOITOLEA

HOJA MAFUTA

Anasema Ibn Mafuta:

Njia ya tatu:

:هللا ك ىحى أر إلخ هخ

ػ خ ي ن ك ل ا ر ٤ ؼ ػ خ ا ي ك ل ٤ خ ػ ٤ خ ق أ ر ٢ ر ػ أ ر ٤ ؼ أ ع ـــ ٣ ل ــػ ي

س ٣ ه خ أ ر ٤ ٣ خ خ هللا ر خ أ و ٤ ٣ ش ـــح خ ه خ خ ٣ ش ك ٢ ط ٠ إ ك ٢ ح

س ٤ ض حظ ــخر ش ك ٢ ٤ ل ح ل ه خ ه خ خ ٣ ش ك ٢ ط ٠ إ و ٤ ش ح ز ي خر ش ك ٢ ــــ ٤ ح ل

ح ل ه خ ١ ه خ ح ٢ ل ل ر ٤ ي ك ٢ ط ٠ــــــ خ ٣ ظ إ خ ا ل خ ٣ ش ك ٢ ط ٠ إ خ ي .أ ك

Amesema Imamu Abu Daud -Allah amrehemu:-

Ametusimulia Is‟aq Ibn Ismail, amesema: ametusimulia Sufyani, kutoka

kwa Suheil Ibn Abi Swaleh, kutoka kwa baba yake (Abu Swaleh) kwamba

amemsikia yeye akisimulia kutoka kwa Abu Hurayra, amesema: walisema

watu: Ewe Mtume wa Allah ! Je tutamuona Mola wetu siku ya Qiyama?

Akasema: Je mnadhuriana katika kuliona jua wakati wa mchana ambao

hakuna mawingu? Wakasema: hapana. Akasema (Mtume): Je mnadhuriana

katika kuuona mwezi katika usiku wa mwezi mpevu na hali hakuna

mawingu? Wakasema: hapana. Akasema (Mtume): Naapa kwa yule

ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hamtodhuriana katika kumuona

yeye (Allah) kama msivyo dhuriana katika kukiona kimoja kati ya hivyo

(jua na mwezi).1228

Njia ya nne:

1228

- Tazama kitabu Sunan Abi Daud, hadithi namba 4105.

Page 437: Fimbo ya Musa

437

ػ خ ي ٤ ٠ ك ٣ ل ر ػ خ آى ي أ ر ك ر ر ٤خ ػ ػ حل ػ خ ق أ ر ٢ ػ ٤ي أ ر ٢ ػ ؼ و ١ ــــ ح ي

ه خ ه خ ــ ٠ هللا هللا ٤ ػ : ا ظ ر ػ ؿ ح ٣ خ ه خ ــــ هللا

ر خ ه خ ك و خ ـــ ط ٠ ــ٢ خ ٣ ش كـ إ ق ـــح خ ح ح ل ه خ ـــ ك ظ ٠ ه خ ٣ ش ك ٢ خ إ

و ٤ ش ح ز ي ح ح ل ه خ ه خ ل ك ب خ ــــ٢ ط ٠ كـ ٣ ظ إ خ ا ل آ خ ي ك ٢ ط ٠ .

Ametusimulia Yahya Ibn Adam, ametusimlia Abu Bakri Ibn Ayyash,

kutoka kwa A‟mashi kutoka kwa Abu Swaleh, kutoka kwa Abu Said al-

Khud‟riy-Radhiyallaahu An‟hu- amesema: amesema Mtume – swalla

llaahu alayhi wasallam-: Kwa hakika nyinyi mtamuona Mola wenu -Azza

Wajalla-, wakasema (Maswahaba): Ee Mtume wa Allah! Tutamuona Mola

wetu? Akasema (Mtume): Je mnadhuriana katika kuliona jua katika nusu

ya mchana ? wakasema: Hapana. Akasema (Mtume): Je mnadhuriana

katika kuuona mwezi katika usiku wa mwezi mpevu? Wakasema: Hapana.

Akasema: basi nyinyi hamtadhuriana katika kumuona yeye (Mola wenu)

kama ambavyo hamdhuriani katika kuliona (jua na mwezi mpevu).1229

SANADI YA HADITHI HII

Ama kuhusu sanadi ya hadithi hii:

Sanadi yake ni sahihi na wala hakuna mwanachuoni yoyote wa hadithi

aliyeitia dosari zaidi ya Juma na sheikh wake al-Qannubi na Inshaallah

utaliona jawabu letu dhidi ya ubabaishaji wao. KUHUSU MAT‟NI YA

HADITHI HII:

Ama kuhusu maana ya hadithi: Bila shaka hadithi hii iko wazi kabisa na

wala haihitajii maelezo marefu ili ieleweke, isipokuwa kuna jambo

muhimu la kutanabahisha nalo ni kwamba: Bwana Mtume -swalla llaahu

alayhi wasallam- ametubainishia kuwa tutamuona Allah -Sub‟haanah- kwa

uwazi kabisa bila ya kudhuriana wala msongamano wowote, kama vile

ambavyo watu hawasongamani wala hawakanyagani katika kuutazama

mwezi mpevu wa tarehe kumi na nne, na kama vile ambavyo watu

hawasongamani wala hawakanyagani katika kulitazama jua la mchana

ambao hakuna mawingu. Na zimepokewa hadithi nyingi ambazo zina

maana kama hii walizozipokea Maswahaba wengi kutoka kwa Mtume

Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam-, lakini kwa kufupisha

tutosheke na riwaya hizi chache zilizo pokelewa kutoka kwa Maswahaba

1229

- Tazama katika kitabu Musnad cha Imamu Ahmd, hadithi namba 10697. Kadhalika

ameitaja hadithi hii Imamu al Bukhari katika Sahihul-Bukhari hadithi namba 7434.Na

Imamu Muslimu katika Sahihi yake hadithi namba 182.Na Imamu Ibn Abi Asim hadithi

namba: 443,444,445,446,447,448,449 mpaka 458.

Page 438: Fimbo ya Musa

438 watatu wa Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam- (Jarir Ibn

Abdillahi, Abu Said al-Khud‟riy na Abu Huraira Allah awe radhi nao, na

mwenye kutaka ziada basi arejee vitabu vya hadithi. Na Muislamu yoyote

mwenye imani ya kweli akifikiwa na habari yoyote ambayo ni sahihi

kutoka kwa Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- hana budi kuikubali na

kuusadiki ujumbe uliobebwa na hadithi hiyo na huo ndio ukamilifu wa

“Shahaadatu Anna Muhammadan Rasuulu-llahi” (kukiri kwamba

Muhammad ni Mjumbe wa Allah) nayo ni: Kuyaamini yote aliyokuja nayo

mjumbe huyo na kuyasadikisha yote aliyoyaelezea kutoka kwa mola wake

hata kama akili zetu duni hazikubali, na kadhalika kumtii Mtukufu huyo

kwa kutenda mema aliyoyaamrisha na kuyaacha mabaya aliyoyakataza.

JAWABU

Sanad hizi ulizoziita kuwa ni sahihi nazo pia si sahihi. Sanad ya kwanza

ndani yake ina Sufyaan kutoka kwa Suhail bin Abi Salih. Sufyaan ni Ibn

„Uyaina, yeye ni Imamu mkubwa lakini kasemwa kwamba ni mwenye

kughushi lakini ghushi zake alikuwa akizifanya kutoka kwa wa wapokezi

imara tu isipokuwa alichanganyikiwa mwishoni kwake.1230

Hali ya kwanza

ni nyepesi, lakini hali ya pili inahitaji ushahidi: je riwaya hii kaisimulia lini

– kabla au baada ya kuchanganyikiwa au haijulikani ni lini?

Katika sanad ya pili kuna Al-A‟amash, Sulaiman bin Mihraan. Yeye ni

kigogo wa kughushi. Anasema Wahb bin Zam‟a Al-Mar-wazi: “Nimemsikia

Ibn Mubarak anasema: „Hakika wamezifisidi Hadithi za watu wa Al-Kufa

Abu Is-haq (Al-Sabi‟i) na Al-A‟amash wenu”. Na akasema: “Nimemsikia

Mughirah anasema: „Amewaangamiza watu wa Al-Kufa Abu Is-haq na Al-

A‟amash wenu huyu”. Na akasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “Hadithi

za Al-A‟amash zinagongana”. Anasema Al-Dhahabi: “Naye anaghushi, na

huenda akaghushi kutoka kwa watu madhaifu”. Anasema Ibn Al-Madini:

“Al-A‟amash alikuwa akikosea sana katika Hadithi za hawa (wapokezi)

madhaifu”.1231

Kisha katika sanad zote mbili njia ni moja nayo ni njia ya Suhail Abi Salih,

naye wametafautiana: wakati wengine wamemuhimidi, wengine

hawakufanya hivyo. Anasema Abu Hatim: “Anaandika Hadithi zake wala

hafanywi kuwa ni hoja”. Anasema Ibn Hibbaan: “anakosea”. Anasema Al-

Bukhari: “Suhail alikuwa na ndugu akafa, akamuhuzunikia basi akasahau

1230

- Ibn Hajar Taqrib Al-Tahdhib uk. 245, tarjama na. 2451. Tabaqaatu Al-Mudallisin uk.

32, namba. 52. 1231

- Ibn Hajar Taqrib Al-Tahdhib uk. 254 tarjama na. 2615. Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk.

195, tarjama ya 386. Al-Dhahabi Al-Mizaan j. 2, uk. 414, tarjama ya 3517.

Page 439: Fimbo ya Musa

439

Hadithi nyingi”. Anasema Yahya – labda ni bin Ma‟iin au bin Sa‟iid Al-

Qattaan – “Watu wa Hadithi hawakuacha kuzihadhari Hadithi zake….ndani

yake kuna ulaini”. Anasema Al-Hakim: “………..kisha ikasemwa kuhusu

Hadithi zake katika Iraki kwamba kazisahau nyingi na hifdhi yake

ikaharibika mwishoni”.1232

Kwa hivyo, kwa uchache basi tunahitaji

kuipambanua riwaya hii – je Suhai kaisikia wakati gani? Hivi ndivyo kanuni

za Hadithi zinavyotutaka.

Hatimae utaona kwamba katika sanad zote mbili kuna Abu Bakr bin

„Ayyaash, naye pia wametafautiana: wengine wakamdhoofisha. Anasema

Muhammad bin „Abdillahi bin Numair: “ni dhaifu katika (riwaya zake

kutoka kwa) Al-A‟amash1233

(na kutoka kwa wapokezi) wengine”. Anasema

Muhanna: “Nilimuuliza Ahmad: „vipi Abu Bakr bin „Ayyash ni bora kwako

au Israil? Akasema: „Israil‟. Nikamuuliza: „kwanini?‟ akasema: ل أرخ ر ؼ٤

.”Kwa sababu Abu Bakr bin „Ayyaasha anakosea sana..”…حوطؤ ؿيح 1234

Ninasema: ni kosa la kiminhaj it is a methodological error kumwita mtu

mwenye kukosea sana kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika) kama

walivyofanya wengine. Na hiki ndicho tulichokinukuu kabla kutoka kwa

Imamu Al-Sunna Wa Al-Usul Wa Al-Furuu‟i, Al-Qannubi alipokuwa

akiyatia maelezo maneno ya Al-Imamu Ahmad kuhusu Hammad bin

Salama kwamba “anakosea na akaonesha kwa mkono wake makosa mengi”;

kama vile ambavyo tulinukuu maelezo kama hayo kutoka Al-Albani

alipokuwa akiyatia maelezo maneno ya Ibn Hibbaan. Anasema Al-Qannubi:

Hakuna budi maneno haya ya (Al-Imamu) Ahmad yafungamanishwe:

isemwe kwa mfano kwamba: „(Al-Imamu Ahmad) alikuwa haoni ubaya

kusimulia Hadithi kutoka kwake (Hammad bin Salama) ikiwa (Hammad

bin Salama) hakwenda kinyume na mpokezi mwengine. Ama akiwa

atakwenda kinyume na mpokezi mwengine kama ilivyo hapa (katika

Hadithi hii), basi hafanywi kuwa ni hoja. Au iwe (Al-Imamu Ahmad)

hakuona ubaya kumtolea hoja (kwa riwaya zake) katika shawaahid1235

au

(yasemwe maneno) yalio mfano wa hayo. Vyenginevyo basi maneno yake

(Al-Imamu Ahmad) haya yatakuwa ni yenye mgongano kama ilivyo wazi

kabisa.1236

1232

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 231-232, tarjama na. 464. 1233

- Na hii ni riwaya yake kutoka kwa Al-A‟amash. 1234

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 12, uk. 39, tarjama na. 151. 1235

- Yaani kama kuna Hadithi fulani yenye udhaifu kidogo, basi unaweza kuipa nguvu

kwa riwaya ya Hammad bin Salama na kwa mjumuiko wa riwaya mbili hizo, riwaya

ikaweza kukubalika. Katika hali hii riwaya moja imekuwa Shaahid (shahidi) mwenye

kushudia kwamba riwaya ya pili ina asili au ni hasan au ni sahihi. 1236

- Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu 1, uk. 308.

Page 440: Fimbo ya Musa

440

Ama Al-Albani yeye anasema kuhusu mpokezi aitwaye Zaadhaan:

خ “ؼي حر ػي١ حؼـ٢ حوط٤ذ ، ح حر كزخ، هخ : ػو أ٠٣خ أر....……

هض : ح أكحى طخه٠ ، ا خ ٣وط٠ء ؼ٤ح ٣ ػوش ! ! “٣وط٠ء ؼ٤ح

(Zaadhaan huyu) Ibn Sa‟ad, Ibn „Adey, Al-‟Ijli na Al-Khatib wamesema

kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika). Vivyo hivyo kasema Ibn Hibbaan

lakini yeye kasema: “alikuwa akikosea sana”. Ninasema:1237

na huku ni

katika jumla ya kupwekeka kwake na kujigonga kwake, kwani lau alikuwa

ni mwenye kukosea sana basi asingelikuwa mwenye kuaminika.1238

Kwa hivyo, kwa mujibu wa maelezo ya Al-Albani, ni kuwa mpokezi

mwenye kukosea sana hawezi akawa thiqa (mwenye kuaminika) kama

alivyosema: “kwani lau alikuwa ni mwenye kukosea sana basi asingelikuwa

mwenye kuaminika”. Na hivi ndivyo ilivyo, na kwa hivyo, natija ni kuwa

waliosema kuwa Abu Bakr bin „Ayyaash alikuwa thiqa (mwenye

kuaminika) ilhali yeye ni mwenye kukosea sana, basi wamefanya kosa la

kifani isipokuwa ikiwa wamekusudia thiqatun fii nafsihi; dha‟iifun fii

hifdhih (ni mkweli katika nafsi yake; dhaifu katika hifdhi yake).

Lakini tukirudi katika maelezo ya Al-Albani aliposema: “kwani lau alikuwa

ni mwenye kukosea sana basi asingelikuwa mwenye kuaminika”, tunakuta

kuwa ni maelezo yenye kuhitaji sherehe ya ziada kwani neno thiqa – kama

ilivyotangulia – pia hutumika kwa maana ya thiqa fii nafsihi (mkweli katika

nafsi yake) hata kama ni dhaifu katika hifdhi yake. Mifano miwili mitatu

ifuatayo itaweka wazi maudhui. Anasimulia Al-Khalili katika kitabu Al-

Irshad kutoka kwa Al-Imamu Ahmad akisema kuhusu Yahya bin Yamaan:

١٣ ػ ٣ل٠٤ ر ٣خ حك٢ ػوش حل ح ؼ٤ حوطؤ ٣ظلوح ػ٤

Na anapokea kutoka kwake Yahya bin Yamaan Al-Kufi naye ni mwenye

kuaminika lakini anakosea sana, basi hawakukubaliana juu yake.1239

Anasema Al-Albani:

..…هض حو ٣ظو أ حؿ ػوش ك٢ ل ؼ٤ق ك٢ كلظ

1237

- Msemaji ni Al-Albani. 1238

- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 2, uk. 333, Hadithi na. 930. 1239

- Al-Khalil bin „Abdillah bin Ahmad Al-Khalili Abu Ya‟ala Al-Qaz-wini Al-Irshaad

uk. 285.

Page 441: Fimbo ya Musa

441 Ninasema:

1240 na kutokana na nukulu hizi basi tunapata mukhtasari

kwamba mpokezi huyu ni thiqatun fii nafsih (mwenye kuaminika nafsi

yake) lakini ni dhaifu katika hifdhi yake.1241

Anaendelea Al-Albani:

ا خ …… -ح ح اخى ؿخ ػوخص ؿخ ؛ ؼ٤ق أؿ حؼ١

كلظ؛ -ؿخ -ػوش ك٢ ل -أػي حلهح ك٤ ..…...........…كب ؼ٤ق ه ز

حللخظ ٣ح كلظ ػوش؛ ؿ٤ أ “ ه حو٢٤: -ػي١

Na sanad hii wapokezi wake ni wenye kuaminika lakini ni (sanad) dhaifu

kwa ajili ya Al-‟Umari huyu…..naye hata kama ni thiqatun fii nafsih

(mwenye kuaminika nafsi yake) na ni mpokezi wa Muslim, lakini hakika

yake ni dhaifu katika hifdhi yake………. Na kauli bora yao – ninavyoona

mimi – ni kauli ya Al-Khalili (aliposema kwamba): „ni thiqa (mwenye

kuaminika) lakini pamoja na hayo wanavyuoni hawakuiridhia hifdhi

yake.1242

Kwa hivyo, tukirudi tena kwa Abu Bakr bin „Ayyaash, basi tunasema

kwamba waliomwita mpokezi huyu kuwa ni thiqa ilhali anakosea sana, basi

hawakusibu isipokuwa ikiwa wameikusudia maana hio ya thiqatun fii

nafsihi; dha‟iifun fii hifdhih (ni mkweli katika nafsi yake; dhaifu katika

hifdhi yake). Huyu ni mpokezi dhaifu wain raghimat al-unuuf, hususan

ukizingatia kanuni ya jumhur yenye kusema kwamba: حـف وي ػ٠ حظؼي٣

(kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha) kama tulivyomnukuu Al-

Albani huko nyuma akisema hivyo. Kwa hivyo, sanad hii bado haijawa

hoja. Na kuisahihisha kwa walioisahihisha – na Ibn Mafuta naye akawaiga –

ni kwa sababu kuna itikadi fulani inatakiwa na haiwezi kupatikana itikadi

hio ila kwa Hadithi hii na ilio mfano wa hii: si kwa sababu ya kanuni za

Hadithi Wa Allahu Al-Musta‟aan!

MATN YA RIWAYA HIZI

Matn ya riwa hizi ni sawa na hizo nyengine: zote zinatoa mfano wa kuliona

jua kwa uwazi wakati wa mchana wa jua kali. Nami nakariri kwamba jua

wakati huu halionekani wala hakuna anayeweza kuliona hasa hasa jua la

Bara Arabu. Kwa hivyo, mfano huu si sahihi unavunja matn ya riwaya na

kubainisha kwamba haya si maneno ya Mtume (s.a.w.), hususan ukizingatia

1240

- Msemaji ni Al-Albani. 1241

- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 5, uk. 309. 1242

- Al-Albani Sahihu Abi Daud j. 1, uk. 429.

Page 442: Fimbo ya Musa

442

kwamba katika riwaya kamili – kama ulivyoona – kuna ishara za wazi

kwamba hii ni riwaya ya Kiyahudi.

HADITHI YA PILI

Kisha, baada ya kutoa hoja kwa Hadithi hio ya kumuona Allah kama

tunavyoliona jua na mwezi, Ibn Mafuta akatoa hoja kwa riwaya ya kuomba

kuuona uso wa Allah kama ilivyosimuliwa kutoka kwa baadhi ya Masahaba.

Hadithi hio tuliinukuu na kuijadili katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu na

Ibn Mafuta naye akainukuu na kutujadili katika jawabu yake. Anasema Sh.

Kasim bin Mafuta:

Hadithi hii pia imepokewa kwa njia nyingi mno, lakini kwa kuhofia

kurefusha tutazitaja baadhi ya njia hizo:

Njia ya kwanza:

:طؼخ٠ هللا ك ػخ أر٢ حر حإلخ هخ

أ حيىحء ، أ ك٠خشــر ػؼخ ، ػخ أر٢ ، ػ لي ر خؿ، ػ حر كز، ػػخ ػ

ص ، س حظ ـح ا٢ أؤي حخ رؼي حو٠خء ، رى حؼ٤ رؼي ح» ٣و : ٤ي خـر ػز

ػ أخ ىػحص خ« . ؿ٤ حء ٠س ل كظش ٠ش ك٢ ؿي ، حــــم ا٠ وخثي

٣يػ رخ حز٢ ٠ هللا ػ٤ .

Amesema tena Imamu Ibn Abi A‟asim: Ametusimulia Amru Ibn

Uth‟maan, ametusimulia baba yangu kutoka kwa Muhammad bin Muhaajir

kutoka kwa IBN HALBAS kutoka kwa Ummu Dar‟dai kwamba Fadhaala

bin Ubaid alikuwa akisema:

“Ewe mola wangu wa haki kwa hakika mimi ninakuomba kuridhika baada

ya hukumu, na ubaridi wa maisha baada ya mauti na ladha ya

KUUTAZAMA USO WAKO !! na shauku ya kukutana na wewe pasi na

madhara yenye kudhuru wala fitina zenye kupoteza”. Na akadai kwamba

hiyo ni dua ambayo alikuwa akiiomba Mtume - swalla llaahu alayhi

wasallam-.

Hadithi hii kaisimulia Ibn Abi „Asim katika Al-Sunna,1243

na niliijadili

katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu kama ifuatavyo. Nilisema:

Jawabu juu ya riwaya hii ni kuwa hii ni riwaya dhaifu kwa sababu ya ABU

HALBAS ni “ح ـ” mpokezi asiyejulikana. Tazama TAQRIB ukurasa

1243

- Ibn Abi „Asim Al-Sunna j. 1, uk. 303, Hadithi na. 436.

Page 443: Fimbo ya Musa

443 wa 634 tarjama na. 8062. Na hukumu ya riwaya yenye mpokezi

asiyejulikana huwa ni dhaifu.

Hayo ni maelezo yangu katika kitabu Hoja Zenye Nguvu. Lakini Sheikh

Mafuta akanijibu kama ifuatavyo:

MAJIBU YETU

Majibu yetu juu ya uongo huu ni kama ifuatavyo:

Kwanza kabisa napenda kumuusia ndugu yangu Juma al-Mazrui kwamba

aache jazba na kasumba pale anapokuwa anazungumzia masuala ya

kielimu, hasa hasa masuala ya elimu hii ya hadithi.

Anatakiwa awe makini, mtulivu, atulize bongo lake na asiwe na kasumba

ili kuyahakiki mambo kitaalamu zaidi badala ya kutumia ubabe katika

kuzihukumu hadithi zilizothibiti kutoka kwa Mtume Muhammad -swalla

llaahu alayhi wasallam-, kwa sababu suala la kuyabatilisha mafundisho

aliyoyafundisha bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- bila

kutumia hoja za kielimu ni jambo la hatari mno kwa imani za watu.

Mtu anayefahamu uzito wa jambo hili na akawa mcha Mungu hawezi

kukubali kujiingiza kwenye laana hiyo! Hivyo ndugu yetu Juma

anatakikana atahadhari, na kama nasaha zetu hizi zikimfikia, basi amtake

msamaha mola wake na awabainishie watu ukweli alioupotosha, kwa

usalama ya dini yake na imani za watu wengine, na pia autazame

mustaqbali wake huko akhera.

Na lau kama ndugu yangu Juma angetulia akaanza kumchambua mpokezi

mmoja baada ya mwingine: kwa kumtazama mpokezi huyo anapokea

kutoka kwa nani na nani (masheikh zake)? Na kina nani wanapokea kutoka

kwake (wanafunzi wake)? Na akazikusanya riwaya mahali pamoja kwa

umakini kisha akazioanisha. Na kisha akarekebisha baadhi ya makosa

yaliyomo katika baadhi ya chapa za vitabu kwa kurejea katika vitabu vya

asili badala ya kutoshelezeka na vitabu ambavyo watunzi wake wenyewe

wamenakili.

Lau kama angeufuata utaratibu huo basi bila shaka angegundua kuwa mtu

huyu aliyemjeruhi na akaidhoofisha hadithi hii kwa sababu yake siye huyo

mpokezi wa hadithi hii, angegundua kwamba mpokezi huyo haitwi ABU

HALBAS bali mpokezi wa hadithi hii anaitwa IBNU HALBAS!

Katika kitabu “Haadil Ar‟waah” cha Ibnul Qayyim hasa hasa hizi chapa za

kibiashara wamemtaja kwa jina la “ABU HALBAS” na hali ya kuwa si

sahihi, kwa sababu tutakazozitaja, kwa hivyo bwana Juma alipoona jina la

Page 444: Fimbo ya Musa

444 ABU HALBAS mbio akakimbilia kwenye kitabu ALTAQRIB cha Ibn

Hajar na kuanza kutoa hukumu aliyoikuta huko bila ya kuhakiki usahihi

wa jambo lenyewe, na makosa haya wanayafanya watu wengi mno hasa

wale wanaofuata matamanio ya nafsi zao, hawataki kuyahakiki mambo

wakidhani kuwa watu wamelala, kumbe hapana! Ukisema uongo usiku,

alfajiri kweupe utaambiwa usiku umesema uongo, basi tahadhari.

Kwa hivyo sisi tunasema kwamba huyu mpokezi si “ABU HALBAS” bali

ni “IBNU HALBAS jina lake kamili ni : YUNUS BIN MAISARAH” naye

ni mpokezi “THIQATUN, A‟ABID” (muadilifu mwenye hifdhi nzuri tena

mcha Mungu) na tunasema hivyo kwa sababu hizi zifuatazo:

Sababu ya kwanza:

Ukivirejea vitabu vyote vya maulamaa wakubwa waliomtangulia Ibnul

Qayyim utakuta kwamba mpokezi anayepokea hadithi hii kutoka kwa:

IBNU HALBAS aliyefariki (132H) ni: MUHAMMAD BIN MUHAAJIR

aliyefariki mwaka (170 H), kama ilivyo katika sanad hii.

Na yeye IBNU HALBAS ambaye amefariki mwaka (132H) sheikh wake

ni: UMMU AL-DAR‟DAI AL-SUGH‟RAA aliyefariki mwaka (81 H). Na

kwa ushahidi zaidi wa haya tuliyoyaeleza rejea vitabu hivi vifuatavyo: Al-

Sunna cha Imamu Ibn Abi A‟asim ukurasa wa 197 hadithi namba 427,

chapa ya mwaka 1319 H, al-Maktabul-Islami Beirut. “Kitaabur-Ru‟yat”

cha Imamu Al-Daaraqut‟niyu, ukurasa wa 158 chapa ya Maktabatul

Qur‟an-Cairo. “Sharhu Usuuli I‟tiqaadi Ahli Sunna” cha Imamu Al-

Laalakai, juzuu ya 3 ukurasa 491 chapa ya mwaka 1402 H Daaru al-Taiba

–Riyadh.

Sababu ya pili: Ukivirejea vitabu vya tarjama za wapokezi, kamavile;

Tah‟dhibul-

Tah‟dhibi cha Ibn Hajar juzuu ya 6 ukurasa wa 282-283, ukiitazama

tarjama ya Muhammad bin Muhaajir utakuta miongoni mwa masheikh

wake ni IBN HALBAS ambaye jina lake ni YUNUS BIN MAISARAH, na

si Abu Halbas. Sababu ya tatu:

Pia ukirejea tarjama yaUmmul Dar‟dai al Sugh‟raa utakuta kwamba

miongoni mwa wapokezi (wanafunzi) waliopokea kutoka kwake ni Yunus

bin Maisarah ambaye ndiye huyo IBNU HALBAS.

Kwa faidi zaidi hebu tazama kitabu “Tah‟dhiibu al-Tah‟dhiibi” cha Ibn

Hajar juzuu ya 6 ukurasa 625.

Sababu ya nne:

Huyo ABU HALBAS anayemsema ndugu Juma hakuwahi kupokea zaidi

ya hadithi moja tu nayo ni ile iliyomo katika Sunan Ibn Maajah na

Page 445: Fimbo ya Musa

445 mwanafunzi wake katika sanad hiyo ni Baqiyya bin al Waliid, na wala

Baqiyya hajaipokea hadithi hii, na kwa sababu hiyo hakuna mwanachuoni

yoyote wa hadithi aliyetaja katika kitabu chake hadithi hii kupitia kwake.

Na halikadhalika huyo ABU HALBAS hana sheikh mwingine zaidi ya

Khulaid bin Abi Khulaid. Na kwa ushahidi zaidi itazame riwaya hiyo

kwenye Sunan Ibn Maajah hadithi namba 2705, pia tazama kitabu

“TahdhiibuLTah‟dhibi” cha Ibn Hajar juzuu ya 6 ukurasa wa 340.

Pia nataka ufahamu kwamba ABU HALBAS hajawahi kupokea hadithi

kutoka kwa Ummul-Dar‟dai hata siku moja, bali hakuwahi kumdiriki. Na

hilo ni jambo ambalo linazidi kutupa ushahidi wa kwamba kauli iliyo

sahihi ni kuwa mpokezi huyo ni IBNU HALBAS na si ABU HALBAS.

Kwa mujibu wa data hizi za kielimu tulizozitoa yanakuwa madai ya ndugu

Juma aliposema: “kuwa hadithi hii ni dhaifu kwa sababu ya kuwa mpokezi

wake ni ABU HALBAS” ni madai dhaifu mno, ambayo hayakusimama juu

ya utafiti thabiti wa kielimu, kwahiyo yanaporomoka kichwa chini miguu

juu! Na sisi tunamwambia ndugu Juma arejee vizuri na ayahakiki mambo

kwa utulivu na umakini wa hali ya juu ndipo atagundua kuwa mpokezi

huyo si ABU HALBAS kama alivyonukuu yeye bila ya kufanya uhakiki

wa mambo kisha akaanza kutoa hukumu.

Usahihi ni kuwa mpokezi huyo ni IBNU HALBAS YUNUS IBNU

MAISARAH na yeye ni mtu madhubuti kama tulivyotoa maelezo hapo

nyuma. Na haya ndiyo madhara ya kuyavamia mambo bila ya elimu,

kujiona unajua katika mambo ambayo hujaipata taaluma yake kutoka kwa

watu waliobobea katika fani hiyo.1244

JAWABU

Mimi nashagazwa sana na akili yako ewe Kasim Mafuta! Ivo mtu kukosea

jina ndio anakuwa mwongo? Wewe hapa umekiri kwamba sanad hio

nimeinukuu kutoka kwa Ibn Al-Qayyim kutoka katika kitabu chake Haadi

Al-Ar-waah. Sasa kama mimi niliyelinukuu jina lililokosewa kutoka katika

kitabu ni mwongo; je yule aliyeliandika jina hilo kimakosa naye ni Imamu

mkubwa yaani Ibn Al-Qayyim naye pia ni mwongo? Kwa mantiki yako hii

mwongo si mimi tu, bali ni mimi na Ibn Al-Qayyim na wafuasi wake

wanaokichapisha kitabu chake hicho! Na je Ibn Al-Qayyim alikuwa

mwongo aliposema: ـ...…٣لظؾ ر أر ٤ن ٤ن ل

1244

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 121-125.

Page 446: Fimbo ya Musa

446 Na Abu Sheikh ni Sheikh ambaye Hadithi zake si hoja…naye ni majhuul

(hajulikani)!1245

Je Ibn Al-Qayyim naye ni mwongo kwa maneno hayo ilhali Al-Albani

kamrudi na kuthibitisha kwamba Abu Sheikh ni mwenye kujulikana na ni

thiqa (mwenye kuaminika)? Na je Ibn Al-Qayyim naye ni mwongo alipodai

kuwa Hadithi hii “kaipokea Abu Daud katika Sahihu yake”? Lakini Al-

Sayyid Al-Saqqaaf akamjibu: “na Hadithi hii hakuipokea Abu Daud, na Abu

Daud hana (kitabu) Sahihu”. 1246

Na je Al-Albani naye ni mwongo alipowataja wapokezi kadha wa kadha

kuwa hawajulikani ilhali wapokezi hao wamo katika vitabu maarufu kama

tulivyoeleza katika sura ya kwanza ya juzuu ya kwanza ya kitabu hiki? Na

je Al-Albani naye ni mwongo aliposema kuhusu Hadithi isemayo: “Kwayo

utapata ngamia mia saba wenye kuvishwa hatamu katika pepo” kwamba

imepokewa kutoka kwa “Ibn Mas‟uud”,1247

ilhali usahihi wake ni kuwa

imepokewa KWA NJIA YA ABU MAS‟UD: SI IBN MAS‟UD KAMA

ALIVYODAI?

Ama Dr. Sa‟ad Alu Humaid katika maelezo yake ya kitabu Al-Juz-u Fihi

Musnad Abdillahi bin Abi Awfaa1248

yeye kadhania kuwa Abu Umama

aliyetajwa katika Hadithi ya uwongo isemayo Khawarij ni mbwa wa

motoni, kuwa ni Abu Umama Al-Bahili yaani Sudiy bin „Ajlaan,

akitegemea riwaya ya Al-Imamu Ahmad. Wala hakujua kwamba riwaya hio

sanad yake imekatika na kwamba Abu Umama ambaye Safwaan bin Sulaim

alimkuta si Abu Umama Al-Bahili bali ni Abu Umama As‟ad bin Sahl bin

Hunaif. Na – dahahir ni kuwa – Dr. Muhammad Sa‟id Al-Qahtani naye

kadhania hivyo hivyo, kama maelezo yake katika Kitabu Al-Sunna1249

cha

Ibn Ahmad yanavyoonesha. Lakini Sheikh Nasir Al-Sabi‟i akawajibu

kwamba:

شـــــــخرش ال أرخ أخــــــ حلــــ ـــؼخ ظح ا٠ خ ه٤ ك٢ لح ر ٤ أ ٣

ـــأرخ أخش ح١ آ لح ر ٤ أر أخش أؼي ر ر أ ، الـــػزيهللا ر ر

ؼيى ك٢ حلخرش،“: ـــأخش أؼي ظؤه، هخ حلخكع ػ ك٤ق ٤ ي١ ر ػـال أر

٣ف لح خ .”ــــــ حػظخ طؼ شــــ إ٣ش ٣غ حز٢، خص ش خث

ح هخ ”ي ىن،...حنـــ ــــش حزخ٢ ٢ هللا ػـــــخ رخخع ر هخ: ىه أر أخ

1245

- Ibn Al-Qayyim, Zaadu Al-Ma‟aad j. 2, uk. 112. 1246

- Al-Saqqaaf, Hasan bin „Ali Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 35. 1247

- Al-Albani Al-Sahiha j. 2, uk. 227. 1248

- Uk. 136-137. 1249

- J. 2, uk. 644, maelezo na. 1546.

Page 447: Fimbo ya Musa

447

.، ي خ ظخ”أظ وطؼخ “حر كـ ػ ح حي:

Na labda wao wametazama yale yaliosemwa kuhusu Safwaan bin Sulaim

kwamba yeye hakumkuta Sahaba yoyote yule isipokuwa Abu Umama na

„Abdullahi bin Busr,1250

lakini Abu Umama ambaye Safwaan bin Sulaim

kamkuta ni Abu Umama As‟ad bin Sahl bin Hunaif na wala si (Abu

Umama) Sudiy bin „Ajlaan. 1251Na Abu Umama As‟ad kaja mwisho.

Kasema Al-Hafidh kuhusu huyo: „anazingatiwa kuwa ni katika Masahaba,

kamuona Mtume s.a.w. lakini hakupokea Hadithi kutoka kwake. Kafa

mwaka wa mia naye ana umri wa miaka tisiini na mbili.1252

Na Safwaan

hapa katika Hadithi hii (ya Khawarij ni mbwa wa motoni) hakusema kwa

uwazi kwamba kaisikia Hadithi hio, bali kasema: „Abu Umama Al-Bahili

(r.a.) aliingia msikiti wa Dimashq. Na kwa sababu hio, Ibn Hajar kasema

kuhusu sanad hii: “nadhania imekatika”,1253

na hivyo alivyosema ndio

ukweli ulivyo kama ilivyo wazi kabisa.1254

Sasa wewe Kasim bin Mafuta unawambia watu wana kasumba, je wewe una

nini? Sasa kama wewe ni mkweli na ni mwenye ikhalas, muadilifu, mwenye

kuwahukumu watu kwa hukumu moja ya kisharia, tangaza kwamba:

1) Juma ni mwongo, kwani Ibn Halbas kamwita Abu Halbas.

2) Ibn Al-Qayyim ni mwongo kwani kasema kuwa Abu Sheikh

hajulikani.

3) Al-Albani ni mwongo kwani kawataja wapokezi kwa makatuni

kama si kwa makontena kuwa hawajulikana nao wanajulikani na

Abu Mas‟uud akamwita Ibn Mas‟uud.

Haya tangaza hayo ili tupate kuuona ukweli wako. Sikiliza ewe Mafuta!

Jadili kitu kwa mantiki, na busara na utulivu na hoja sahihi na nia safi.

Usikusudie siku zote kuwa nangoja mpizani wangu ateleze ili nimpatilize,

nia hio itakurejea mwenyewe. Tukitaka kufungua ukurasa huu wa makosa

ya majina yaliofanywa na wanavyuoni basi itatubidi tuandike juzuu za

vitabu. Sioni ubaya kurekebisha kosa, lakini kwa hakika nakuona

unajichukulia majukumu sana kwa kuwaita watu waongo kwa vitu ambavyo

maulamaa hawawaiti watu kuwa ni waongo kwa vitu kama hivyo, bali

huwambia “wamekosea”.

Sasa bila ya kupoteza muda ni kuwa wewe umenithibitishia hapa kwamba

huyu ni Ibn Halbas: si Abu Halbas. Nami nimelirejea hilo vizuri, na

1250

- Ibn Hajar Al-Tahdhib j. 4, uk. 389-390, tarjama na. 3029. 1251

- K.h.j. 1252

- Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 104, tarjama na. 402. 1253

- Ibn Hajar Atraafu Al-Musnad Al-Mu‟talli j. 6, uk. 22. 1254

- Nasir Al-Sabi‟i Al-Khawaarij Wa Al-Haqiqatu Al-Ghaiba uk.399-400.

Page 448: Fimbo ya Musa

448

nakubaliana nawe kwamba kilicho sahihi ni kuwa huyu ni Ibn Halbas.

Lakini cha kufahamu ni kuwa huyu Ibn Halbas pia anaitwa Abu Halbas

kama ilivyo katika Tahdhib Al-Kamal cha Al-Mizzi, ingawa Abu Halbas

huyu si yule niliyemtaja katika kitabu changu – jina ni moja na watu ni

tafauti. Sasa kilichobaki ni kitu cha msingi nacho ni kuwa je riwaya hii ya

Ibn Halbas au Abu Halbas huyu inafaa kuwa hoja ya Kisharia au haifai. Sisi

tunadai kuwa Hadithi hii haina hoja ndani yake kwa sababu zinazofuata:

Mosi: ni kuwa hii ni Hadithi mawquuf na mawquuf haina hoja ndani yake.

Anasema Dr. Mahmuud Al-Tahhaan:

ل٤لخ أ كخ أ ـــؼ٤لخ كــظ٠ ػزظض لظ كــــــحهف ـ خ ػكض ـ هي ٣

ك٢ حهف ػي حلكظـخؽ ر . ل أهح أكؼخ ـــــحـحد ػ ي أ حل ٣لـــظؾ رــ؟

لخرش

Al-Mawquuf - kama ulivyoona – huenda ikawa sahihi au hasan au dhaifu,

lakini hata ukiwa usahihi wake umethibiti (hata ikiwa sahihi), suali ni

kuwa je inafaa kuitolea hoja? Na jawabu kuhusu suali hilo ni kuwa ilivyo

ni kuwa hadithu mawquuf haifai kufanywa kuwa ni hoja, kwani ni maneno

na matendo ya Masahaba.1255

Anasema Al-Albani katika jawabu yake kwa Al-Ma-aribi:

حهف ػ٠ حلخرش ٢ هللا ػ خ ٣وز حلؿظخى كح ل كـش ك٤ .

Hadithu Al-Mawquuf (Hadithi iliopokewa) kutoka kwa Masahaha (r.a.)

katika mambo ambayo yanakubali kufanya ijtihad, basi Hadithi hio haina

hoja ndani yake.1256

Ninasema: wala usiniambie kwamba Al-Albani hapa kasema: “katika

mambo ambayo yanakubali kufanya ijtihad” na jambo hili halikubali ijtihadi

kwani halitakiwi kuwa na kauli mbili. Usiniambie hivyo, kwani tunasema

hili ni suala ambalo kwa mujibu wa maandiko yalivyokuja linawezekana

sana watu wakalifahamu visivyokuwa sahihi. Ubainifu wa hayo ni kuwa

kuna Aya imesema “Nyuso siku hio zitang‟aa***kwa Mola wake tu

ndiko zinakotazama”, wakati kwa upande wa pili kuna Aya inayosema:

“Uoni haumfikii (Yeye Allah)”. Na bila shaka, kwa Aya kama hizi,

fahamu zinaweza zikateleza na zimeshateleza. Bali miongoni mwa hao

Masahaba au walioishi zama za Masahaba wako waliolielewa vibaya suala

hili wakadai kwamba Mtume (s.a.w.) kamuona Allah huko mbinguni! Na

1255

- Dr. Mahmuud Al-Tahhaan Taysiir Mustalai Al-Hadith uk. 71. 1256

- Sualaatu Abi Al-Hasan Al-Ma-aribi Lil‟Allaamati Al-Muhaddithi Al-Albani uk. 34.

Page 449: Fimbo ya Musa

449

Al-Sayyida „Aisha akawarudi kwa kusema: “Atayedai kuwa Muhammad

kamuona Mola wake basi huyo kamzulia Allah uzushi mkubwa”. Kwa

hivyo, suala hili hata kama si la ijtihadi kwa maana kwamba halijuzu kuwa

na kauli tafauti lakini uwezekano wa fahamu kuteleza upo bali umeshatokea

katika zama za awali, na natija ni kuwa kauli ya sahaba katika suala hili si

hoja ya kisheria.

Pili: ni maelezo alioyatoa Al-Sayyid Al-Saqqaf katika kitabu chake

alichokiita Mas-ala Al-Ru-uya. Kazielezea Hadithi hizi katika sehemu

tafauti. Alipokuwa akiielezea Hadithi hii ya Fadhala bin „Ubaid alisema:

Ninasema: kwanza hii ni Hadithi mawquuf: si maneno ya Mtume (s.a.w.),

na kama inavyojulikana kwamba Hadithi mauquf haina hoja ndani

yake.1257

Na imebainika katika maelezo nambari 19 kwamba maneno

yasemayo: “na ladha ya kuutazama uso wako” ni maneno yaliochomekwa

katika Hadithi hio au katika riwaya hio. Na wapokezi wa sanad hio wote ni

watu wa Sham, na wa mwanzo na baba yake ni watu wa Hims nayo ndio

makazi ya Ka‟abu Al-Ahbar, basi habari zao hazikubaliki katika jambo

kama hili.1258

Sasa tukirudi katika maelezo ya Al-Saqqaaf aliposema: “na imebainika

katika maelezo nambari 19 kwamba maneno yasemayo: „na ladha ya

kuutazama uso wako‟ ni maneno yaliochomekwa katika Hadithi hio au katika

riwaya hio”, ni kuwa katika nambari hio alioitaja, alitoa maelezo haya:

Na nimeifuatilia Hadithi hii nikakuta kwamba Ibn Abi Shaiba kaipokea

katika kitabu chake Al-Musannaf1259

kwa sanad sahihi kutoka kwa

Sayyidna „Ammaar bin Yasir na wala ndani yake hakuna matamshi

yasemayo: „na ladha ya kuutazama uso wako‟. Halkadhalika kaisimulia

Abu Ya‟ala kwa njia nyengine, ndani yake ina udhaifu, katika kitabu chake

Al-Musnad1260

na Ma‟amar bin Rashid katika kitabu chake Al-Jaami‟u

kutoka kwa mtu1261

kutoka kwa Mtume (s.a.w.).1262

Na akaipokea Al-

Tabarani katika Al-Kabiir1263

kutoka kwa Ibn Mas‟uud bila ya kuwemo

maneno hayo wakati wa dua mwishoni mwa sala wala hamukutajwa ndani

yake: „kuutazama uso‟, pamoja na kuwa mumetajwa maneno “bila ya

dhara zenye kudhuru wala fitna yenye kupoteza”…..na jambo hili

1257

- Hili tumeshalielezea katika sehemu ya kwanza. 1258

- Al-Saqqaaf, Hasan bin „Ali Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 47. 1259

- J. 6, nambari 45. 1260

- J. 3, nambari 195/1624. 1261

- Kwa mujibu wa maelezo haya, mtu huyu atakuwa ni sahaba, na kwa hivyo

kutokujulikana kwake hakudhurishi kitu. 1262

- J. 10, nambari 442. 1263

- J. 10, nambari 67/9942.

Page 450: Fimbo ya Musa

450 linanithibitishia kwamba maneno hayo (ya kuutazama uso wa Allah)

yamechomekwa katika Hadithi hio kutoka kwa Wasiria wa kale ambao

walikuwa na uhusiano na fikra za Ka‟abu Al-Ahbar, anayaona hayo kila

atayezifuatilia sanad na akawatazama wapokezi wake na mutun zake.1264

Na ukweli kwamba riwaya hio ya Fadhala bin „Ubaid ni riwaya mauqufa,

unathibitishwa pia na Ibn Al-Qayyim katika kitabu chake Hadi Al-Ar-waah,

alipotaja idadi ya Masahaba ambao zimesimuliwa kutoka kwao Hadithi za

kumuona Allah, alisema kuhusu riwaya hio ya Fadhala bin „Ubaid: ك٠خش ر

.(Na Fadhala bin „Ubaid na Hadithi yake ni mauquf) ػز٤ي كي٣ؼ هف1265

Ukisema:

Aaa! Lakini Hadithi hii ya Sahaba Fadhala bin „Ubaid inasema: “NA

AKADAI KWAMBA HIYO NI DUA AMBAYO ALIKUWA

AKIIOMBA MTUME (S.A.W.)”. Na hii ina maana kwamba hii ni Hadithi

marfu‟u.

Ukisema hivyo, nitakujibu kwamba:

1) Sanad na matamshi ya Hadithi hio, hayaoneshi kuwa hio ni Hadithi

marfu‟u. Sanad na matn zinasema: “kutoka kwa Ummu Dar‟dai

kwamba Fadhaala bin Ubaid alikuwa akisema…”. Ni wazi kwamba

Hadithi hio yatoka kwa Fadhala bin „Ubaid na kwamba yeye ndiye

mtamkaji wa maneno hayo. Na labda ni kwa sababu hii, Ibn Al-

Qayyim na Al-Saqqaf wamesema kuwa hii ni Hadithi mauquuf.

2) Hata ikiwa Hadithi hio ni marfu‟u, basi inawezekana ikawa marfu‟u

ni ile asili tu ya Hadithi: pasina ile ziada isemayo: “na ladha ya

kuutazama uso wako”, kwani sanad nyengine sahihi – kama

alivyosema Al-Saqqaaf – hazikuitaja ziada hio.

3) Maneno hayo yasemayo: “na akadai kwamba hiyo ni dua ambayo

alikuwa akiiomba Mtume (s.a.w.)‟, alioyanukuu Kasim Mafuta

dhahir ni maneno ya Ibn Abi „Asim1266

mwenye kitabu hicho Al-

Sunna:1267

si maneno Ummu Al-Dardaai mpokezi wa Hadithi hio

kutoka kwa Fadhala bin „Ubaid.

4) Katika masimulizi ya Al-Lalakaai, baada ya kuitaja Hadithi hio ya

Fadhala bin „Ubaid alisema maneno haya:

وزعن أنها دعىات كان يدعى تها النثي صلى اهلل عليه وسلن عثادج تن الصاهت وأتي تن كعة

1264

- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 35. 1265

- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 218. 1266

- Kazaliwa mwaka 206 H. na kafa mwaka 287 H. 1267

- Ibn Abi „Asim Al-Sunna j. 1, uk. 303-304.

Page 451: Fimbo ya Musa

451

Na „Ubaada bin Samit na Ubeiy bin Ka‟ab wakadai (katika riwaya

zao) kwamba hio ni dua ambayo alikuwa akiiomba Mtume

(s.a.w.).1268

Kwa hivyo, kwa mujibu wa maelezo haya ya Al-Lalakaai, aliyedai hivyo si

Fadhala bin „Ubaid bali ni Ubeiy bin Ka‟ab na „Ubaada bin Samit, tafauti na

alivyodhania Ibn Abi „Asim, na Kasim Mafuta akamfuata bila ya tahqiq.1269

Na hio ni dalili kwamba dua hii ni mauquuf kutoka kwa Fadhala bin „Ubaid

mwenyewe: si marfuu kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kama walivyosema Ibn

Al-Qayyim na Al-Saqqaaf. Na Hadithi mauquuf haina hoja ndani yake kama

tulivyotangulia kueleza.

NJIA YA PILI

Baada ya hayo, sasa natutazame riwaya nyengine alizozitolea hoja Kasim

bin Mafuta ambazo zina lafdhi kama ya hio riwaya ilitangulia. Anasema

Kasim bin Mafuta:

Njia ya pili:

:هللا ك كزخ حر حإلخ هخ

ر ػطخء ــػ ، ٣ي ــر كــــخى كيػخ : هخ ، ػزيس ر أكي كـــــيػخ : هخ ، ه٣ش حر أهزخ

ك ، هللخ الس ٠ــك ، ٣خ ر ػخ كيه ، حـي ك٢ ؿخ هخ خ أر٤ ػ حخثـذ،

رؼي حخ أؤي ، ..… ؟ أ٣ظخ هل٤لش أ : هخ حالس هللض ح٤وظخ، أرخ ٣خ : كو٤ رخ

ا٠ مـــح أؤي ، يـــؿ ا٠ حظ س أؤي حص، رؼي حؼ٤ رى أؤي ، حو٠خء

٠ش كظش ل ، ٠س حء … » ؿ٤ ك٢ ، وخثي

Amesema Imamu Ibn Hibban:

Ametusimulia Ibn Khuzaima, amesema ametusimulia Ahmad Ibn Abdah,

amesema ametusimulia Hamad Ibn Zaid, kutoka kwa Atwaa Ibn al-Saib

kutoka kwa baba yake, amesema: Tulikua ni wenye kukaa msikitini,

akaingiaAmmar bin Yaasir akaswali swala nyepesi, kisha akatupita,

akaambiwa Ee Aba Yaq‟dhani! Umeifanya nyepesi swala, akasema:

mmeiona ni nyepesi ? …akaelezea kisa kisha akasema kwamba aliomba

dua hii aliyomsikia Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam-: “Ewe mola

wangu wa haki kwa hakika mimi ninakuomba kuridhika baada ya hukumu,

na ubaridi wa maisha baada ya mauti na ladha ya KUUTAZAMA USO

1268

- Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Al-Sunna j. 3, uk. 490, namba. 847. 1269

- Pamoja na hayo hadi sasa bado sijaiona Hadithi hio ya Ubaada bin Samit na Ubeiy bin

Ka‟ab.

Page 452: Fimbo ya Musa

452 WAKO !! na shauku ya kukutana na wewe pasi na madhara yenye kudhuru

wala fitina zenye kupoteza.1270

Hio ndio riwaya ya pili alioitolea hoja Kasim bin Mafuta. Lakini

wasiokubaliana na itikadi ya kumuona Allah wakaijibu kwa hoja tafauti,

nyengine tutazinukuu hapa na nyengine tutazinukuu mwishoni mwa

maelezo yetu kuhusu Hadithi hizi za “ladha ya kuutazama uso wa Allah”.

Sisi tunasema kwamba Hadithi hii ni dhaifu kwa ajili ya „Ataa bin Al-Saaib,

kwani alichanganyikiwa kama vitabu vya wapokezi vinavyosema. Anasema

Al-Imamu Ahmad: “aliyepokea Hadithi zake zamani basi mapokezi yake ni

sahihi; na aliyepokea hivi karibuni basi (Hadithi zake) hazina maana”.

Anasema Shu‟uba: “katuhadithia „Ataa na alikuwa mwingi wa kusahau”.

Anasema Wuhaib: “Ataa alipokuja Basra alisema: „nimeandika kutoka kwa

„Ubaida Hadithi thalathini ilhali hakupokea chochote kutoka kwa „Ubaida‟.

Na riwaya ya pili ya Wuhaib inasema: „Ataa alitujia, nikamuuliza Hadithi

ngapi umechukua kutoka kwa „Ubaida? Akasema: Hadithi arubaini.

Anasema Ali (bin Al-Madini): „na hakupokea hata herufi moja kutoka kwa

„Ubaida. Nikasema: (kumuuliza Ali bin Al-Madini): „sasa hilo tulifasiri vipi

(yaani linatokana na nini)?‟ Akasema: „kuchanganyikiwa (kwake).1271

Kwa hivyo, kwa mujibu wa nukulu hizi mbili tatu na nyengine nyingi

tulizoziwacha, inabainika kwa uwazi kwamba sanad ya riwaya hii ni dhaifu.

Hayo ndio maelezo yetu hapa, na katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu –

nilisema maneno haya:

Lakini katika sanad yake kuna Ataa bin Al-Saib, naye alichanganyikiwa

sana. Anasema Ibn Hajar katika Taqrib „mkweli (lakini)

alichanganyikiwa‟.1272

Na anasema Ibn Ma‟iin: „Laith bin Abi Sulaim ni

dhaifu kama Ataa bin Al-Saib na wote waliopokea Hadithi kutoka kwa

Ataa basi wamezipokea baada ya kuchanganyikiwa isipokuwa Shuuba na

Al-Thauri‟. Na wanavyuoni wote wanasema kuwa kachanganyikiwa

mwishoni, lakini wengine wanasema kuwa Hammad bin Zaid kaipokea

Hadithi kutoka kwa Ataa kabla ya kuchnganyikiwa. Na kwa hivyo ikiwa

wengine wanasema kuwa wote wamepokea Hadithi kutoka kwa Ataa

baada ya kuchanganyikiwa isipokuwa watu wawili Shuuba na Al-Thauri

na wengine wanasema kuwa Hammad kapokea Hadithi kutoka kwake

kabla ya kuchanganyikiwa, basi jawabu ni kuwa haijulikana wakati gani

Hammad kapokea Hadithi kutoka kwa Ataa. Na hukumu ya Hadithi kama

hii huwa ni yenye kuwachwa. Bali Ataa huyu ni dhaifu hata kama

1270

- Tazama kitabu Sahihi cha Ibn Hibbana, hadithi namba 2005. 1271

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 183-186. 1272

- Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 391 tarjama na. 4592

Page 453: Fimbo ya Musa

453 hakuchanganyikiwa kwa mujibu wa maneno ya Ibn Ma‟iin kwamba “Laith

bin Abi Sulaim ni dhaifu kama Ataa bin Saib.1273

Hayo ndio nilioyasema katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu. Lakini

Kasim mwanangwa wa Mafuta akaninukuu hivi:

Na kwa hivyo ikiwa wengine wanasema kuwa wote wamepokea hadithi

kutoka kwa ATAA baada ya kuchanganyikiwa isipokuwa watu wawili

Shuuba na Al-Thauri na wengine wanasema HAMAD kapokea hadithi

kutoka kwake kabla ya kuchanganyikiwa, basi jawabu ni kuwa haijulikani

wakati gani HAMAD kapokea hadithi kutoka kwa ATAA. Na hukumu ya

hadithi kama hii huwa ni yenye kuwachwa.1274

Tazama mantiki inayopatikana katika nukulu kamili nilioitoa kisha

linganisha na mantiki inayopatikana katika nukulu kibutu ya Kasim Mafuta!

Maelezo yangu yako wazi kwamba kuna wanavyuoni wamesema hivi na

wengine wamesema vile. Kisha nikatoa natija. Ibn Mafuta kanukuu kipande

kisha akasema: “Majibu yetu dhidi ya madai yake haya ya uwongo ni kama

yafuatavyo”. 1275 Haya tumuulize huyu Kasim Mafuta, katika hayo nilioyanukuu

la uwongo liko wapi? Ni kweli kabisa kama nilivyoletewa salam na watu

waliosoma naye huyu Kasim Mafuta kwamba: “hana lolote wala si mtu wa ikhlas”.

Kitabu chake kinajionesha!

Kwa ufupi ni kuwa hayo ndio maelezo yetu na hivyo ndivyo alivyoninukuu

Ibn Mafuta. Kisha baada ya kuninukuu hivyo, akanijibu kwa kusema:

MAJIBU YETU

Majibu yetu dhidi ya madai yake haya ya uwongo ni kama yafuatavyo:

Kwanza, ni kuhusu msimamo wa maulamaa juu ya riwaya za Zaid1276

kutoka kwa ATAA BIN AL-SAIB:

٣ظـ٤ أ هز حخثذ ر ػطخء ٣ي ر كخى غ: ؼ٤ي ر ٣ل٠٤ هخ

Amesema Imamu Yahya bin Said: “Hamad bin Zaid amesikia kutoka kwa

ATAA kabla ya (ATAA) kubadilika”.

كخى خع ,رآه حخثذ ر ػطخء ػزيهللا ر هخي خع ػ٢ هخ“حزوخ١ حإلخ هخ

”ل٤ق ٣ي ر

1273

- Juma Al-Mazrui Hoja zenye Nguvu uk 192. 1274

- Kasim Mafuta Hoja zenye Nguvu uk. 125-126. 1275

- Kasim Mafuta Hoja zenye Nguvu uk. 126. 1276

- Dhahir kakusudia Hammad bin Zaid.

Page 454: Fimbo ya Musa

454 Amesema Imamu Al-Bukhari: “Amesema Aliy kusikia kwa Khalid bin

Abdillahi kutoka kwa ATWAA ni mwishoni mwake (baada ya

kuchanganyikiwa), na kusikia kwa Hamad bin Zaid kutoka kwa ATWAA

ni sahihi”.

ر كخى حؼ١ ؼزش ح٣ش ,طـ٤ حوي٣ كي٣ؼ ك٠_______ ػوش“ :خث٢ح حإلخ هخ

.”ؿ٤يس ػ ٣ي

Amesema Imamu Al-Nasai:

“(Hamad bin Zaid) ni Thiqa lakini alibadilika, riwaya za Shuuba, Al-

Thauri, na Hamad bin Zaid ni safi”.

أ ٤ ؼزش حؼ١ ل٤خ أ ـــال ـع خ ك٤ل“ :كـ حر حلخكع هخ

.. ل٤ق ػ أ٣د كخى حثيس

Amesema Al-Hafidh Ibn Hajar:

Tunapata kwa mkusanyiko wa maneno yao (wanavyoni) kwamba

Sufyaan Al-Thauri, Shuuba, Zuhair au Zaaida, na HAMAD BIN

ZAID na Ayoub kutoka kwa ATAA ni sahihi……..1277

Mpaka hapo itakua imekubainikia ndugu yangu msomaji kwamba, madai

ya Juma hayana ukweli wowote, na ukweli ni kwamba; Hammad Ibn Zaid

ni miongoni mwa waliopokea hadithi kutoka kwa Ataa, kabla Ataa

hajachanganyikiwa. 1278

JAWABU

Kwa kuanzia ni kuwa hili tumeshalizungumzia huko nyuma kwamba

kitendo cha kuwa mpokezi alipokea Hadithi kutoka kwa mtu

aliyechanganyikiwa hakitoshi kuthibitisha kwamba baada ya

kuchanganyikiwa hakupokea tena. Hili kalitongoa Sheikh wako Al-Albani

na tumemnukuu hako nyuma.

Ama kwa ufafanuzi zaidi, anasema Al-Sayyid Al-Saqqaaf akiipinga riwaya

hio maneno yafuatayo:

Na Al-„Uqaili kanukuu katika kitabu chake Al-Dhu‟afaa kutoka kwa Al-Nasai,

Al-Qattaan na Al-Bukhari (wakisema) kwamba riwaya za Hammaad bin Zaid

1277

- Tazama kauli zote hizo za maulamaa katika vitabu vifuatavyo: Mizaanul-I‟tidaal

juzuu ya 3 ukurasa 71. Tah‟dhibul-Tah‟dhib juzuu ya 4 ukurasa wa 132-133. 1278

- Kasim Mafuta Hoja zenye Nguvu uk. 126.

Page 455: Fimbo ya Musa

455 kutoka kwake ni sawa na riwaya za Shu‟uba na Sufyaan (kwamba ni riwaya

sahihi). Wala mimi sioni kuwa hio ni hoja ya maana kwa sababu zinazofuata:

1) Kwamba wao kabla ya hapo walinukuu kutoka kwao (wanavyuoni wa

wapokezi akiwemo Al-Qattaan) kauli hio pasina kumtajaHammad bin

Zaid.

2) Yahya bin Ma‟iin na wengine hawakumvua (hawakumtoa) Hammad

bin Zaid.

3) Ya‟aqub bin Sufyaan kasema katika kitabu chake Al-Ma‟arifa Wa Al-

Taarikh1279

: “Ataa ni mwenye kuaminika; Hadithi zake ni hoja;

Hadithi zilizopokewa na Sufyaan na Hammad bin Salama kutoka

kwake ni za zamani…

Basi (utaona kwamba) hapa kuna mgongano wa riwaya kutoka kwao

(wanavyuoni wa wapokezi)! Kilicho wazi ni kuwa baadhi ya watu wa Hadithi

wa awali wamemuongeza Hammad katika (orodha ya watu wawili, nao ni)

Shu‟uba na Sufyaan. Ikawa hawa (waliomuongeza Hammad) hawakujua ni

Hammad yupi: je ni Hammad bin Salama au Hammad bin Zaid. Na kwa hivyo,

sisi tunarejea katika msingi nao ni kwamba riwaya za (Hammad) bin Zaid

(kutoka kwa Ataa) hazitolewi hoja kwani ni riwaya za wakati wa

kuchanganyikiwa (kwa Ataa). …………..na nimeifuatilia Hadithi hii nikakuta

kwamba Ibn Abi Shaiba kaipokea kwa sanad sahihi wala hakuna ndani yake

tamko: „na ladha ya kuutazama uso wako‟.1280

Hayo ni maelezo ya Sheikh Al-Saqqaaf. Nayo yako wazi kwa mwenye

kutaka kujua. Mukhtasari wa hoja ya Kasim Mafuta ni kuwa kweli „Ataa ni

mwenye kuchanganyikiwa lakini mpokezi aliyepokea Hadithi hii kutoka

kwake ni Hammad bin Zaid naye ni miongoni mwa wapokezi ambao

walipokea riwaya kutoka kwake kabla ya kuchanganyikiwa. Na mukhtasar

wa jawabu ya Al-Saqqaaf ni kuwa:

1) Wanavyuoni watangulizi waliwataja watu wawili tu ambao ndio

waliopokea riwaya za Ataa kabla ya kuchanganyikiwa:

a) Sufyaan Al-Thauri.

b) Shu‟uba. Lakini hili pia linaweza kuwa si sahihi kwani Shu‟uba

mwenyewe anasema: كيػخ ػطخء ر حخثذ خ ٤خ (katuhadithia

„Ataa na alikuwa ni mwingi wa kusahau).1281

Sasa ikiwa

Shu‟uba mwenyewe aripoti hivi, vipi itadaiwa kwamba Shu‟uba

kasimulia riwaya za Ataa kabla ya Ataa kuchanganyikiwa? Na

dhahir ya maneno haya ni kuwa Shu‟uba anakusudia ile hali

ambayo alikuwa nayo „Ataa wakati yeye alipopokea riwaya

kutoka kwake.

1279

- J. 3, uk. 84. 1280

- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 34. 1281

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 184.

Page 456: Fimbo ya Musa

456

2) Riwaya zimegongana kuhusu Hammad gani ambaye kasimulia

riwaya kutoka kwa Ataa kabla ya kuchanganyikiwa. Wakati wengine

wanamtaja Hammad bin Zaid; Ya‟aqub bin Sufyaan anamtaja

Hammad bin Salama kuwa ndiye mmoja wa watu watatu ambao

wamesimulia riwaya kutoka kwa Ataa kabla ya kuchanganyikiwa.

Wakati huo huo Ibn Ma‟iin anasema: “WOTE waliopokea kutoka

kwa „Ataa wamepokea baada ya kuchanganyikiwa ISIPOKUWA

SHU‟UBA1282

NA AL-THAWRI”.

3) Kwa hivyo, kwa mukhtasari ni kuwa Hadithi hii ni dhaifu kwa

sababu katika sanad yake kuna Ataa bin Al-Saib naye

kachanganyikiwa sana, wala haikupambanuka kwa hoja sahihi ni

wakati gani kaisimulia riwaya hii.

NJIA YA TATU

Kisha Sheikh Kasim bin Mafuta akaendelea kujenga hoja zake kwa riwaya

ya tatu, akasema:

Njia ya tatu:

:طؼخ٠ هللا ك ػخ أر٢ حر حإلخ هخ

ــػ ـ، أر٢ ػ ، خ أر٢ ػ ٣ي، ػ ، خ ر ؼخ٣ش ػخ ، ٤زش أر٢ ر ر أر ػخ

ح » .: هخ ػ٤ هللا ٠ حز٢ ؼ ىػخء آ ٣خ، ر ػخ ػ ػزخى، ر ه٤

« وخى ا٠ هخ ، ؿي ا٠ حظ س حص، رؼي حؼ٤ س أؤي

Amesema Imamu Ibn Abi A‟asim:

Ametusimulia Abu Bakri bin Abi Shaibah, ametusimulia Muawiya Ibn

Hisham, kutoka kwa Sharik, kutoka kwa Abu Hashim, kutoka kwa Abu

Mij‟laz, kutoka kwa Qais bin Abbad, kutoka kwa Ammar bin Yaasir,

ameitaja dua aliyoisikia kutoka kwa Mtume -swalla llaahu alayhi

wasallam- amesema: “Ewe Allaah! Kwa hakika mimi ninakuomba ladha

ya maisha baada ya mauti, na ladha ya KUUTAZAMA USO WAKO !! na

shauku ya kukutana na wewe”.1283

1282

- Lakini tumeona kwamba Shu‟uba kwa mdomo wake kasema: طخء ر حخثذ خ كيػخ ػ

.(katuhadithia „Ataa bin Al-Saaib na alikuwa ni mwingi wa kusahau) ٤خ1283

- Tazama kitabu “al-Sunna” cha Imamu Ibn Abi A‟asim, hadithi namba 424.

Page 457: Fimbo ya Musa

457

JAWABU

Hio ni riwaya ya tatu ya “utamu wa kuuona uso wa Allah” ambayo

kaitegemea Sheikh Kasim bin Mafuta katika kuthibitisha itikadi yake ya

kuuona uso wa Allah! Sijui miguu, ulimi, kidakatonge, ubavu na viungo

vyengine navyo vitaonekana au utaonekana uso tu! Kwa hali yoyote ile

Hadithi hii pia ni dhaifu kwani katika sanad yake kuna Sharik bin „Abdillah

Al-Nukha‟i naye ni dhaifu tena anaghushi.

Anasema Al-Khatabi kutoka kwa Yahya bin Said: “hakuwacha kuwa mtu

mwenye kuchanganyikiwa”. Anasema Ya‟aqub bin Shaiba: “mkweli

muaminifu lakini hifdhi yake ni mbovu sana”. Anasema Al-Juzajaani:

“Sharik hifdhi yake ni mbaya na Hadithi zake zinagongana”. Anasema Abu

Zur'a: “alikuwa akikosea sana….na amesimulia Hadithi (nyingi) batili”.

Anasema Abdul-Rahman kutoka kwa baba yake: “alikuwa na (Hadithi

nyingi za) makosa”. Anasema Ibn Sa‟ad kuwa ni “mwenye kuaminika,

uaminifu, anakosea”. Anasema Muhammad bin Yahya bin Said kutoka kwa

baba yake akisema: “nimeona kuwa msingi wa Sharik (yaani katika kitabu

chake) kuna mchanganyiko”. Na akasema Al-Nasai kuwa “si madhubuti”.

Anasema Al-Hakim: “si madhubuti”. Anasema Al-Imamu Ahmad: “Sharik

alikuwa hajali vyovyote atakavyosimulia Hadithi”. Anasema Al-Azdi:

“alikuwa ana hifdhi mbaya , anasahau na kukosea sana, Hadithi zake

zinagongana”. Anasema Abdul-Haq Al-Ishbili: “alikuwa akighushi”. Na

akasema Ibn Al-Qatan: “alikuwa mashuhuri kwa kughushi”.1284

Baada ya maelezo hayo, inakubainikia kwa uwazi kwamba riwaya hii bado

si hoja ya kutegemea, hususan ukiongeza na ukweli kwamba katika sanad

yake pia kuna Abu Mijlaz naye Hadithi zake – kwa mujibu wa Ibn Ma‟iin –

ni zenye kugongana, na pia katajwa katika kitabu Tabaqaatu Al-Mudallisin

kutoka kwa Ibn Ma‟iin akisema kuwa alikuwa akighushi, na Al-Daraqutni

akasema hivyo kwa uhakika.1285

NJIA YA NNE

Kisha Sheikh Kasim bin Mafuta akaendelea kujenga hoja zake kwa riwaya

ya nne, akasema:

Njia ya nne:

1284 - Ibn Hajar Tahdhib Al-Tahdhib j. 4, uk. 294-296, tarjama na. 587.

1285 - Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 33-34.

Page 458: Fimbo ya Musa

458

:حيحهط٢ حإلخ هخ

يـــل ػ ، ؼ٤ي ر ػؼخ كيػخ ، حل٢ ػظزش أر كيػخ ، حؼخ٢ ٤خ ر لي كيػخ

٢ح ا ــــ٣و خ، ز٤يـــــػ حر ٣ؼ٢ ، ك٠خش أ حيىحء، أ ػ كز، حر ػ خؿ، ر

» وخثي ا٠ مــح ، ؿي ا٠ حظ س ، حص رؼي حؼ٤ رى ، حو٠خء رؼي حخ أؤي

حإ٣ش ظخد / 157 حلي٣غ ه 245 . ٠ش ل كظش ٠ــس، حء ؿ٤

Amesema Imamu al-Daaraqut‟niy:

Ametusimulia Muhammad bin Sulaiman al-Nu‟umaniy, ametusimulia Abu

Ut‟ba al-Himsiy, ametusimulia Uth‟man bin Said, kutoka kwa Muhammad

bin Muhajir, kutoka kwa Ibn Halbasa, kutoka kwa Ummul-Dardaai,

kwamba Fadhala bin Ubaid alikua anasema: “Ewe Allaah! Kwa hakika

mimi ninakuomba kuridhika baada ya hukumu, na ubaridi wa maisha

baada ya mauti na ladha ya KUUTAZAMA USO WAKO !! na shauku ya

kukutana na wewe pasi na madhara yenye kudhuru wala fitina zenye

kupoteza”.1286

JAWABU

Riwaya hii – kama unavyoona – imenukuliwa kutoka katika kitabu

kiitwacho Al-Ru-ya, nacho ni kitabu cha uwongo kilichotungwa na waongo

wengine kisha wakambandika nacho Al-Imamu Al-Daraqutni ili waipigie

debe itikadi yao potofu ya kumuoona Allah. Tumeeleza katika juzuu ya

kwanza ya kitabu hiki Fimbo Ya Musa kwamba katika sanad ya mapokezi

ya kitabu hiki kuna mwongo wa kimataifa. Niliwanukuu wahakiki wa kitabu

hicho, wakisema:

حوش ؿخءص ح٣ش ؿخػش ػ حلخكع أر٢ حؼالء حؼطخ روحءط ػ٠ ح٤ن

ح٣ظ ػ أر٢ ١خذـــر ؼأكي ر ػز٤ي هللا ر لي ر خى ) حؼزح١ (ـــأر٢ ح

ق ػ أر٢ حل حيحهط٢ ـــلي ر ػ٢ ر حلظ

Na kopi hii imepokewa kutoka katika masimulizi ya wengi kutoka

kwa Al-Hafidh Al-‟Alaa Al-‟Attar kwa kumsomea kwake Sheikh

Abu Al-‟Izz Ahmad bin „Ubaidi-Lahi bin Muhammad bin

Kaadish Al-„Ukbaraawi kwa masimulizi yake kutoka kwa

Muhammad bin „Ali bin Al-Fat-hi kutoka kwa Abu Al-Hasan Al-

Daraqutni.1287

1286

- Tazama kitabu Al-Ru‟uya cha Imamu al-Daaraqut‟niy, hadithi namba 157. 1287

- Kitabu Al-Ru-ya uk. 85.

Page 459: Fimbo ya Musa

459

Kisha nikatoa maelezo yafuatayo:

Utaona kwamba katika sanad ya kitabu hicho kilichonasibishwa kwa

Al-Imamu Al-Daraqutni kuna Abu Al-‟Izz Ahmad bin „Ubaidi-

Lahi bin Muhammad bin Kaadish Al-„Ukbarawi. Wamaa

adraak: maa Ibn Kaadish Al-„Ukbarawi (na nini kinachokujuilisha

wewe ni nani huyo Ibn Kaadish)? Huyu tumemuelezea kabla, naye

alikuwa ni mtunzi wa Hadithi za uwongo.1288

Na juu ya yote hayo, kitabu hicho kilichoitwa kuwa ni cha Al-Daraqutni

chenye Hadithi mia mbili na (200 +) za kumuona Allah, kimejaa Hadithi za

Kiyahudi. Kwa mfano Hadithi isemayo:

أطخ٢ ر٢ ػ ؿ حزخكش ك٢ خ٢ ك٢ أك س ، غ ٣ي ر٤ ظل٢

Kanijia Mola wangu usiku wa jana usingizini kwa sura nzuri yao na

akaweka mkono wake baina ya bega langu!1289

س ، ػ٤ ؼال ــس ، خرخ كح ؿال ك٢ حو٠أ أ ر ػ ؿ ك٢ أك

1288

- Maelezo tulioyatoa kabla ya hapa ni haya yafuatayo. nilisema: ABU AL-„IZZ IBN

KAADISH, huyu alikuwa mtunzi wa Hadithi za kumzulia Mtume (S.A.W.). Anasema Ibn

Assakir:

Aliniambia Abu Al-„Izz Ibn Kaadish kwamba alimsikia mtu katunga

Hadithi ya kumsifu Ali (bin Abi Talib) anasema (Ibn Kaadish) na mimi

nikatunga Hadithi ya kumsifu Abu Bakar!

Anasema Al-Dhahabi: “hili linaonesha ujinga wake: anaona fakhari kumzulia

Mtume (s.a.w.) uwongo!” Na imeelezwa pia katika kitabu Lisanu Al-Mizaan:

“alikuwa ni mwenye kuchanganyikiwa (na) mwongo sana”.

Anasema Al-Qannubi:

Ama madai ya Al-Dhahabi katika kitabu chake Al-Mizan1288

aliposema kwamba

Ibn Kaadish alitunga Hadithi lakini alikiri na kutubia, maneno haya hayana kima

kwa sababu riwaya ya mtu mwongo hata akitubia haikubaliki kama walivyosema

wanavyuoni wa Hadithi na usuli, miongoni mwao ni: “Ahmad bin Hanbal, Al-

Humaidi, Al-Sairafi ( ك ٢ ٤ Al-Sam‟ani, Ibn Qattan, Ibn Jamaa, Al-Zarkashi na ,(ح

wengineo. Na kwa hivyo, anayedai kwamba (Ibn Kaadish) katubia na atupe sanad

sahihi ambayo ndani yake kunapatikana toba hii (ya Ibn Kaadish) ….. na Ibn

Kaadish alikuwa rafiki kipenzi wa Ibn Batta Al-Ukbari1288

jiongo kubwa lenye

kutunga Hadithi mpotovu mujasim”. Al-Qannubi Al-Saifu Al-Haad uk. 189.

1289

- Uwongo wa Ibn Kaadish katika kitabu Al-Ru-uya alichombandika nacho Al-Daraqutni

uk. 177-178, uwongo na. 273-276.

Page 460: Fimbo ya Musa

460

ـذ، ػ٠ ؿ كح ذ

Kwamba yeye (Mtume s.a.w.) kamuona Mola wake katika sura nzuri yao,

(kamuona Allah) hali ya kuwa (Allah) ni kijana aliyejaza,1290

miguu yake

iko kwenye rangi ya kijani,1291

kavaa viatu viwili vya dhahabu; usoni

kwake kuna vipepeo vya dhahabu.1292

Kiufupi – hatuna haja ya kurefusha – ni kuwa kitabu hiki alichokinukuu

Kasim Mafuta ni cha uwongo na kila kilichomo humo miongoni mwa

riwaya za kumuona Allah ni uwongo mtupu. Na hili pekee linatosha

kubainisha kuwa riwaya hizi za kuonekana kwa Allah ni riwaya za

kutungwa tu, vyenginevyo wasingelikuwa na haja ya kutunga kitabu cha

uwongo wakaweka humo mariwaya tele ya uwongo.

NJIA YA TANO

Kisha Sheikh Kasim bin Mafuta akaendelea kujenga hoja zake kwa riwaya

ya tano, akasema:

Njia ya tano:

:طؼخ٠ هللا ك ػخ أر٢ حر حإلخ هخ

٣، ػ س ر كز٤ذ، ػ أر٢ـــكيػخ لي ر ػف، ػخ أر حـ٤س، ػخ أر ر ر أر٢

ىػخء ، أ أ ٣ظؼخي ـــ ػخرض ، أ حز٢ ٠ هللا ػ٤ ػــــــ٣ي ر حيىحء، ػـــ

أؤي حخ رؼي حو٠خء ، رى حؼ٤ رؼي حص ، س حظ ح اـــــ٢» ٣ظؼخي ر أ :

« .ك٢ ؿي ، هخ ا٠ وخى

Amesema Imamu Ibn Abi A‟sim: Ametusimulia Muhammad bin Auf,

ametusimulia Abul-Mughira, ametsimulia ABU BAKAR IBN ABI

MAR‟YAM, kutoka kwa Dhamra bin Habib, kutoka kwa Abul-Dar‟daai,

kutoka kwa Zaid bin Thabit, kwamba Mtume -swalla llaahu alayhi

wasallam- amemfundisha yeye dua, na akamuamrisha kuizoea dua hiyo na

kuwazoesha watu wake,(nayo ni): “Ewe Allaah! Kwa hakika mimi

ninakuomba kuridhika baada ya hukumu, na ubaridi wa maisha baada ya

mauti na ladha ya KUUTAZAMA USO WAKO !! na shauku ya kukutana

na wewe”.

1290 - Aliyejaza nywele: ana nywele nyingi.

1291 - Labda ni nguo ya kijani au zulia la kijani kama riwaya nyengine zinavyosema au ni

bustani ya kijani kama zinavyosema riwaya nyengine. 1292

- Uwongo wa Ibn Kaadish katika kitabu Al-Ru-uya alichombandika nacho Al-Daraqutni

uk. 191, uwongo na. 317.

Page 461: Fimbo ya Musa

461

JAWABU

Katika sanad ya riwaya hii kuna Abu Bakr bin Abi Mar-yam, jina lake

kamili ni Abu Bakr bin Abdillahi bin Abi Mar-yam. Anasema Al-Imamu

Ahmad “ni dhaifu, Issa hakumridhia….si lolote si chochote (hafai)”.

Anasema Abu Hatim: “nilimuuliza Ibn Ma‟iin kuhusu yeye, akamdhoofisha

(akasema kuwa ni dhaifu”. Anasema Abu Zur‟a: “dhaifu, Hadithi zake ni

munkar”. Anasema Abu Hatim: “dhaifu”. Anasema Al-Juzajani: “si

madhubuti”. Wanasema Al-Nasai na Al-Daraqutni: “dhaifu”. Anasema Ibn

Sa‟ad: “ana Hadithi nyingi; dhaifu”. Anasema Al-Daraqutni: “ni mwenye

kuachwa”.1293

Anasema Al-Sayyid Al-Saqqaaf:

Na Hadithi hii kaipokea Ahmad katika Al-Musnad

1294 na Ibn Abi „Asim

katika Al-Sunna1295

na Al-Albani amekiri huko (katika maelezo yake ya

kitabu hicho) kwamba sanad yake ni dhaifu. Na akaipokea Al-Hakim

katika Al-Mustadrak1296

na akasema kuwa ni sahihi! Basi Al-Dhahabi

akamjibu kwa kusema: “Abu Bakr (bin Abi Mar-yam) ni dhaifu, huo

usahihi untokea wapi?‟!1297

Hio ndio jawabu yetu kuhusu riwaya hizo za “utamu wa kuutazama uso wa

Mungu”, na huo ndio ushahidi uliotolewa na mwanachuoni huyo mkubwa

Sheikh Kasim mwanangwa wa Bwana Mafuta, kisha baada ya ushahidi huo

akatoa maelezo yafuatayo akatongoa hivi:

Hizi tulizo zitaja ni baadhi ya njia za hadithi hii tukufu, na kwa ufupi ni

kwamba hadithi hii imepokewa kwa njia tofauti tofauti kutoka kwa

Maswahaba watatu:

1) Fadhaalah bin Ubaid, na sanadi yake ni sahihi na haina kasoro yoyote

ile, kwa sababu wapokezi wake wote ni safi kabisa, kama tutakavyoona

hapo mbele Inshaallah.

2) Ammar bin Yasir, na riwaya yake pia ni sahihi isipokuwa inahitaji

maelezo kidogo, kwa sababu ya ATWAA BIN SAIB.

1293

- Ibn Hajar Tahdhib Al-Tahdhib j. 12, uk. 33, tarjama na. 139. 1294

- J. 5, uk. 191. 1295

- Uk. 185, Hadithi na. 426. Hivyo ndivyo Al-Sayyid Al-Saqqaf alivyoweka marejeo,

lakini chapa nilionayo ni: j. 1, uk. 303, riwaya na. 435 (si 426). Inawezekana ikawa ni

tafauti ya chapa na inawezekana ikawa ni kosa la chapa. 1296

- J. 1, uk. 516. Chapa nilionayo ni uk. 697-98 riwaya na. 1900. 1297

- Al-Sayyid Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 33.

Page 462: Fimbo ya Musa

462 3) Zaid bin Thabit, riwaya hii ina kasoro kidogo kwa sababu ya mmoja kati

ya mpokezi wake ambaye ni Abu Bakar bin Abdillahi bin Abi Mar‟yam al-

Ghassani ana udhaifu katika hif‟dhi yake, lakini kwa mujibu wa misingi ya

elimu ya uchambuzi wa hadithi, hadithi hii nayo pia inakua sahihi kwa

sababu ya hadithi zilizotangulia, na hadithi hii kitaalamu inaitwa:

“Hasanun-lighairihi” na inazingatiwa kuwa ni hoja kwa sababu ya

“Shawaahid” (hadithi nyingine zenye kuitilia nguvu hadithi hii).

Na kwa bahati nzuri Juma pia anaukubali utaratibu huu wa kitaalamu,

lakini ameshindwa kuufanyia kazi kwa sababu ya kulinda na kutetea itikadi

yake. Na ushahidi wa kuukubali utaratibu huu ni pale aliposema:

“kitaalamu ikiwa hadithi imepokewa na wapokezi wengine kabisa lakini

hadithi ni ile ile, basi huambiwa kuwa hadithi hio ina shahidi”.1298

Na walilllahil-hamdu hadithi hii nayo imepokewa na wapokezi wengine

kabisa, lakini hadithi ni ile ile. Na hadithi hii inapatikana katika vitabu

vifuatavyo: “Kitabu al-Sunna” cha Imamu Ibn Abi A‟asim, ukurasa wa

197 hadithi namba 427 kutoka kwa Fadhaala bin Ubaid, na hadithi namba

424 na 425 zote kutoka kwa Ammar bin Yaasir. Na Sunan al-Nasaai

hadithi namba 1305 na 1306 pia zote kutoka kwa Ammar bin Yaasir.

Ufafanuzi kuhusu njia ya kwanza ya hadithi hii kutoka kwa swahaba

Fadhaala -Allah amridhie -:

Sanad ya hadithi ya kwanza, ni sahihi na haina kasoro yoyote. Na pia

maelezo yake yako wazi juu ya suala tunalolizungumzia nalo ni suala la

kuonekana Allah kwa macho huko akhera. Katika hadithi hii swahaba

mtukufu Fadhaala bin Ubaid –Allah amridhie- alikuwa anatabia ya

kuiomba dua hii kila mara, na anatuelezea kwamba bwana Mtume -swalla

llaahu alayhi wasallamalikuwa anatabia ya kuomba dua hiyo, na ndani ya

dua hiyo Mtume wetu -swalla llaahu alayhi wasallam- alikuwa akimuomba

mola wake amruzuku kumpa starehe kwa kuutazama uso wa (Allah) –Jalla

Jalaaluh-. Na kitendo hicho cha Mtume -swalla llaahu alayhi

wasallamhakihesabiwi kuwa ni kuvuka mipaka katika maombi, kwa kuwa

amemuomba Allah kitu kisichowezekana au amemuomba jambo lililo

muhali.

Lakini hadithi hii ni kama hadithi nyingine zilizotangulia,

haikuwafurahisha watu wa bid‟a wote kuanzia Jah‟miyyah, Mu‟tazila,

Khawaariji (Maibadhi) na wengineo. Ndiyo maana ndugu Juma al-Mazrui

akafanya jaribio la kutaka kuibatilisha na kuifanya kuwa ni miongoni mwa

hadithi dhaifu na zisizokubalika kama kawaida yake!1299

1298

- Tazama kitabu chake Hoja zenye Nguvu ukurasa wa 70. 1299

- Kasim Mafuta Hoja zenye Nguvu uk. 119-121.

Page 463: Fimbo ya Musa

463

MAELEZO YA UJUMLA KUHUSU RIWAYA

HIZO

Maelezo yetu kuhusu madai haya ya Sheikh Kasim, tumeona bora tuyaweke

mwisho kabisa. Kwa hivyo, maneno hayo tutayajadili mwisho wa

mazungumzo yetu kuhusu Hadithi hizi za “utamu wa kuuona uso wa

Mungu”. Kwa hapa natuendelee kutazama maelezo ya Kasim Mafuta.

Anaendelea Ibn Mafuta kwa kunena:

JARIBIO LAKE LA NNE

Pia amefanya jaribio jingine kwa lengo la kutaka kuiangusha hadithi hii

kwa upande wa matni yake.

Amesema Juma, na hapa ninamnukuu:

Natumesema kabla na kutoa ushahidi kwamba neno “ انظررش “

(alnadharu) katika lugha ya kiarabu lina maana nyingi. Na

haiwezikani bali haitakiwi useme kuwa maana kadha ndiyo

iliokusudiwa ila kwa ushahidi.1300

Na pia alitangulia kusema katika ukurasa wa 53 kama ifuatavyo:

“Tukitazama maana ya neno hili:” انظش “ (al-nadharu) kupitia

kiyoo cha Qur‟an tunakuta ni:

1)Kutazama kikawaida kwa macho; NA HII NDIYO MAANA YA

MSINGI YA NENO HILO…”. Mwisho wa kunukuu.

MAJIBU YETU

Majibu yetu juu ya madai haya batili ni kama yafuatavyo:

Ni kweli neno (al-Nadharu) lina maana nyingi, lakini bila shaka sote

tunakubaliana kuwa maana ya asili ya neno hili ni kutazama kwa macho,

kama alivyoeleza bwana Juma katika kitabu chake, na kama hivyo ndivyo,

basi pia anatakiwa ndugu Juma afahamu kwamba kuna kanuni za kilugha

zinazosema kuwa: ASILI NI KUYATUMIA MANENO KATIKA ASILI

YAKE, MPAKA ISHINDIKANE AU IPATIKANE DALILI YA

KULITOA NENO NJE YA ASILI YAKE. Kwa hivyo, tunasema kwamba;

katika hadithi hii neno “al-nadharu” limetumika katika asili yake ile ile,

ambayo maana yake ni “kutazama kwa macho” na hakuna hoja wala dalili

1300

- Tazama katika kitabu chake Hoja zenye Nguvu ukurasa wa 188.

Page 464: Fimbo ya Musa

464 yoyote inayokubalika kilugha wala kiakili ambayo imesababisha neno

“alNadharu” katika hadithi hii litumike nje ya maana yake ya asili, na

kama ipo dalili hiyo basi anatakiwa ndugu yetu Juma na jamaa zake

watuletee.1301

JAWABU NA MAELEZO

Mimi nahisi huyu Kasim Mafuta hata kanuni za tafsiri ya maandiko hazijui:

basi anafyatua tu Wa Allahu Al-Musta‟aan! Yeye ni kiumbe wa kupinga tu!

Wala nini hasa wasiomini kuonekana kwa Allah wanakisema na kwa hoja

gani hasa yeye hakijui. Sasa nitamfahamisha kidogo akiwa anapenda kujua.

Kanuni za tafsiri ni kuwa maandiko mawili yakigongana1302

basi kila moja

huwekwa mahala pake na likapewa tafsiri linayostahiki. Mfano ni Aya

inayosema:

٤ ح ؤ ا ٤ أ ٣ ح ؤ ك

Basi kwa hakika tutawauliza wale waliopelekewa Mitume; na

tutawauliza Mitume (pia).1303

Na mfano wake ni Aya:

ح ٣ ؼ خ خ )***( ػ ٤ ؼ أ ؿ ؤ ري ك

Basi naapa kwa (jina la) Mola wako tutawauliza wote**Kutokana na

matendo yao waliokuwa (wakiyatenda).1304

Aya hizi zinathibitisha kwamba tutaulizwa. Lakini katika Aya nyengine

Allah anasema:

ـ ح ر ػ ؤ ل ٣

Na waovu hawatoulizwa kuhusu dhambi zao. 1305

Na katika Aya nyengine anasema:

1301 - Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 129-130.

1302 - Yaani maandiko ambayo dhahir yake yanagongana na uhakika wake hayagongani;

kwani maneno ya Sharia hayagongani. 1303

- Sura 7, Aya 6. 1304

- Sura 15, Aya 92-93. 1305

- Sura 28, Aya 78.

Page 465: Fimbo ya Musa

465

ػ ؤ ل ٣ ج ) ك ٤ خ ل ؿ ا ز 39………..……………..……( ـ ف ح ٣ ؼ

ه ك ٤ ئ خ ٤ ) ر ح حل ه ي ٢ ح ( 21ر خ

Basi siku hio hawatoulizwa kuhusu dhambi zao binaadamu wala

majini………..waovu wanajulikana kwa alama zao basi watashikwa

nywele zao za mbele na miguu (watupwe motoni). 1306

Aya mbili za mwanzo zinathibitisha kwamba watu wataulizwa kuhusu

matendo yao; wakati Aya mbili za mwisho zinathibitisha kwamba hakuna

kuulizwa. Sasa nini maana yake? Hapa hakuna mgongano, bali kila Aya

zinawekwa mahala pake kwa maana kwamba kilichokusudiwa katika Aya

za mwanzo ni chengine na kilichokusudiwa katika Aya za pili ni chengine.

Na wanavyuoni wamezielezea kwa maelezo tafauti lakini moja ya tafsiri ni

kuwa kiama kina mawaaqif (sehemu) tafauti. Kuna sehemu ambazo

wataulizwa na kuhojiwa, na sehemu hizo ndizo zenye kuhusiana na Aya za

mwanzo na zilizo mfano wake; na kuna sehemu nyengine ambazo

hawatohojiwa bali wakionekana tu – baada ya kuwa wameshahojiwa na

kupewa hesabu zao – watajulikana kwa alama zao zilizoko katika nyuso zao

kwamba wao ni waovu basi watashikwa watupwe motoni. Na hili ndilo

lenye kuzihusu Aya za pili. Hii ndio moja ya tafsiri ya Aya hizo.

Sasa ukirudi katika Hadithi “ladha ya kuutazama uso wa Allah” na Aya

“Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zitakuwa zinatazama”, utaona kuwa dhahir yake ni kuwa Mungu ataonekana. Lakini dhahir hii

imegongana na nassu (andiko la wazi) ya Qur-an na Hadithi kwamba Allah

haonekani. Aya inasema: “Macho hayamfikii” na Hadithi inasema:

“hakuna chenye kuzuia baina ya watu na kumtazama Mola wao katika pepo

ya adeni isipokuwa vazi lake la utukufu”. Kwa hivyo, hapa vile vile dhahir

ya maandiko ni kuwa yamegongana, na kwa hivyo ni lazima itafutwe tafsiri

sahihi kwa mujibu wa minhaj (methodology) ya tafsiri.

Wenye itikadi ya kumuona Allah wakasema kuwa maana ya Hadithi “ladha

ya kuutazama uso wa Allah”, kwa mfano, na Aya “Nyuso siku hio

zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zitakuwa zinatazama”, ni kuwa Mungu

ataonekana. Na maana ya Aya isemayo: “Macho hayamfikii” ni:

a) Ima macho hayamzunguki: akawa anaonekana wote.

b) Au macho hayamuoni hapa duniani, lakini akhera yatamuona.

Sisi – tusiokubaliana na itikadi ya kumuona Allah – tunasema kuwa tafsiri

hizo ni batili kwa sababu nyingi ambazo nyingi ya hizo tutazielezea kwa

1306

- Sura 55, Aya 39-41.

Page 466: Fimbo ya Musa

466

ufafanuzi tukifika mahala pake. Lakini kwa ufupi ni kuwa inavyotakiwa ni

kuwa kwanza zitafutwe daraja za kudhihiri na kufichika ()حطذ حظ حولخء

kwa maana ya Aya hizo ili yenye nguvu kwa sababu ya kuwa ni nassu

(andiko lenye maana moja ya wazi) ndio itangulizwe na dhahir (andiko

lenye kubeba maana hii na ile) litafutiwe maana nyengine isiogongana na

nassu. Hivi ndivyo zilivyo kanuni za tafsiri. Sasa baada ya hayo utaona

kuwa:

a) Aya “Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zitakuwa

zinatazama”, ni andiko ambalo daraja yake ni daraja ya dhahir;

wakati Aya “Macho hayamfikii” daraja yake ni daraja ya nassu; na

andiko nassu likigongana na maana ya andiko dhahir; nassu ndio

inayotangulizwa na dhahir inapewa tafsiri nyengine katika tafsiri

ziliomo ndani yake. Hii ni kusema kwamba neno kutazama kama

linavyobeba maana ya kuona basi pia linabeba maana ya kungojea

kama lilivyotumika katika Aya kadha wa kadha za Qur-an kwa

maana hio. Wakati – kwa upande wa pili – maneno “kufikiwa na

jicho اىحى حز” hayana isipokuwa maana moja tu nayo ni kuona.

Kwa hivyo, iliposemwa kuwa “macho hayamfikii”, basi ikajulikana

kuwa maana yake ni “macho hayamuoni” – Aya ya kwanza inabeba

maana nyingi (dhahir); Aya ya pili inabeba maana moja (nassu).

b) Ama madai kuwa maana ya Aya Aya “Macho hayamfikii” ni kuwa

macho hayamzunguki! Maana hio haikupokewa kamwe katika lugha

ya Kiarabu, bali imepokewa katika riwaya dhaifu; bali

kilichopokewa katika Hadithi sahihi kutoka Al-Sayyida „Aisha (r.a.)

ni kinyume na hivyo kama tutavyoeleza in shaa Allah.

c) Ama madai kuwa Aya Aya “Macho hayamfikii” ni kuwa macho

hayamuoni lakini hii ni hapa duniani tu, hii pia si tafsiri sahihi,

kwani Aya inaeleza sifa za Allah za dhati na sifa za Allah za dhati

huwa hazibadiliki duniani wala akhera. Kama Allah alivyokuwa na

sifa za dhati ziitwazo: elimu, uwezo, utukufu, kutozaa, kutolala, n.k.

hapa duniani; ndivyo alivyokuwa na sifa hizo tangu enzeli na ndivyo

atavyokuwa na sifa hizo huko akhera na milele. Halkadhalika sifa ya

kutoonekana ni sifa ya dhati ya Allah na kwa hivyo kama vile

ambavyo hajaonekana hapa duniani basi pia hatoonekana huko

akhera kwani hii ni sifa ya dhati na kwa hivyo ndio maana akasema

Mtume (s.a.w.): “hakuna chenye kuzuia baina ya watu na

kumtazama Mola wao katika pepo ya adeni isipokuwa vazi lake la

utukufu”. Kwa hivyo, utukufu wa Allah ndio uliozuia tusimuone, na

hii ni sababu ambayo Allah hatokani nayo ili ikawezekana kumuona.

Kwa hivyo, utaona kwamba Hadithi “utamu wa kuutazama uso wa Allah”

ikiwa itapitishwa katika udhahiri wake, basi itagongana na Aya: “Macho

Page 467: Fimbo ya Musa

467

hayamfikii” na pia itagongana na Hadithi “hakuna chenye kuzuia baina ya

watu na kumtazama Mola wao katika pepo ya adeni isipokuwa vazi lake la

utukufu”. Katika hali hii – kwa sababu Aya hio na Hadithi hio ni خ ك٢

:maandiko ya wazi katika maudhui yake) حع: ل ٣لظال أؼ ؼ٠

hayana maana isipokuwa moja tu, basi Hadithi “utamu wa kuutazama uso

wa Allah” ni lazima itolewe katika udhahiri wake na kupewa taawil

tukijaalia kuwa hio ni Hadithi sahihi. Hii ndio minhaj (methodology) sahihi

ya tafsiri kwa mujibu wa fani za tafsiri zinavyoeleza.

Baada ya hayo, utaanza kuona ufahamu finyu wa Kasim Mafuta kuhusu

namna ya kuyafasiri maandiko. Kama utavyoona kutokuelewa kwake maana

ya kanuni alioinukuu kwamba:

Ni kweli neno (al-Nadharu) lina maana nyingi, lakini bila shaka sote

tunakubaliana kuwa maana ya asili ya neno hili ni kutazama kwa macho,

kama alivyoeleza bwana Juma katika kitabu chake, na kama hivyo ndivyo,

basi pia anatakiwa ndugu Juma afahamu kwamba kuna kanuni za kilugha

zinazosema kuwa: ASILI NI KUYATUMIA MANENO KATIKA ASILI

YAKE, MPAKA ISHINDIKANE AU IPATIKANE DALILI YA

KULITOA NENO NJE YA ASILI YAKE. Kwa hivyo, tunasema kwamba;

katika hadithi hii neno “al-nadharu” limetumika katika asili yake ile ile,

ambayo maana yake ni “kutazama kwa macho” na hakuna hoja wala dalili

yoyote inayokubalika kilugha wala kiakili ambayo imesababisha neno

“alNadharu” katika hadithi hii litumike nje ya maana yake ya asili, na

kama ipo dalili hiyo basi anatakiwa ndugu yetu Juma na jamaa zake

watuletee.1307

Tunasema: neno halitolewi katika maana yake ya asili bila ya qarina; lakini

pakiwa na qarina basi ni lazima litolewe katika maana ya asili na kupelekwa

katika maana nyengine. Na hii ndio maana ya kanuni yao wanavyuoni

waliposema:

ػ ٤ حي ى ا ؼ ٠ ح ـ ٠ ح ٣ أ ذ ؿ ١ خ ٤ ا خ

Ikiwa dalili itaonesha kwamba (neno limetumika katika) maana (yake ya)

kimajazi, basi ni wajibu kuiendea maana hio (ya kimajazi). 1308

Mukhtasari wa hayo ni kuwa:

1) Hadithi ya “utamu wa kuutazama uso wa Allah” imetumia neno

nadhar kumaanisha kutazama.

1307

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 129-130. 1308

- Tazama Prof. Moh'd Bakr Ismail: Al-Qawaidu Al-Fiq-hiyyah uk. 147. Yeye katumia

lugha tafauti kidogo na maana ni moja. Na wengine wanatumia lugha hii nilioinukuu hapa.

Page 468: Fimbo ya Musa

468

2) Neno hilo nadhar (kutazama) maana yake ya kimsingi na ya asili ni

kutazama ukaona usione.

3) Neno hilo linatumika kwa maana nyengine nyingi kama kungojea,

kutarajia n.k., kama lilivyotumika sana kwa maana hizo ndani ya

Qur-an, Hadithi na lugha ya Waarabu – kwa hivyo Hadithi hio ni

dhahir.

4) Maneno “macho hayamfikii Allah” hayana isipokuwa maana moja

nayo ni “macho hayamuoni” – kwa hivyo Aya hio ni nassu.

5) Hadithi “hakuna chenye kuzuia baina ya watu na kumtazama Mola

wao katika pepo ya adeni isipokuwa vazi lake la utukufu” haina

isipokuwa maana moja nayo ni “watu hawamuoni Allah peponi” –

kwa hivyo Hadithi hio ni nassu.

6) Nassu na dhahir zikigongana inatangulizwa nassu.

7) Kama Hadithi “utamu wa kumuona Allah” haikufasiriwa basi

maandiko ya Kisharia yatagongana ilhali maandiko ya Kisharia

hayagongani.

TUKIRUDI KWA IBN MAFUTA

Anaendelea Sheikh Kasim bin Mafuta kwa kutongoa:

Kisha akasema tena ndugu Juma:

“Suala ni kuwa je kutazama huku kulikotajwa hapa ni kutazama nini?

Kutazama wenyewe ni kutazama “ جرك “ tafsiri ya neno kwa neno ni

kutazama “uso wako”. Neno “uso” sote tunalijua maana yake kuwa ni

sehemu ya mbele ya kichwa yenye macho pua na mdomo. Lakini je hii

ndiyo maana iliyokusudiwa: kwamba watu watautazama uso wa Mwenyezi

Mungu? Jawabu natarajia iko wazi kwa kila mtu kwamba Mwenyezi

Mungu hana uso. Sasa kama mwenyezi Mungu hana uso nini maana ya

neno “uso wako?” Jawabu ni kuwa neno uso katika lugha ya Kiarabu

hutumika kwa maana nyingi:

1) Sehemu ya mbele ya kichwa yenye macho, pua na mdomo. Na hii

haimuhusu Mwenyezi Mungu kinyume na Mawahabi wanavyosema kuwa

Mwenyezi Mungu ana uso kweli kweli!”.

Mwisho wa kunukuu. Tazama maneno yake hayo kwenye kitabu chake

“Hoja zenye Nguvu” ukurasa wa 189.

MAJIBU YETU

Majibu yetu sisi ni kama yafuatavyo:

Page 469: Fimbo ya Musa

469

Sisi tunaitakidi kwamba Allah aliye juu ya Ar‟shi yake ambaye

amekizungukia kila kitu kwa elimu yake, ana sifa nyingi mno kama vile

sifa ya: Uhai, Elimu, Uwezo, Nguvu, Uoni, Usikivu, Mikono, Uso na

nyinginezo ambazo ni katika sifa zake za utukufu na ukamilifu, na

tunamthibitishia Allah sifa zote hizo za ukamilifu kama vile

alivyojithibitishia mwenyewe-Jalla Jalaaluh- na kama vile

anavyotuthibitishia mjumbe wake mtukufu katika sunna zake.

Pamoja na kuitakidi kwamba wapo viumbe ambao wana sifa kama hizo za;

uhai, elimu, uwezo, nguvu, uoni, usikivu, mikono, uso, n.k. lakini sifa zao

hizo si kama zile za Allah –Sub‟haanah-. Pamoja na kuwepo kwa sifa hizo

na nyinginezo katika pande zote mbili: upande wa Muumba (Allah) na

upande wa viumbe, lakini Allah hafanani na yoyote katika viumbe vyake si

katika dhati yake wala sifa zake. Amesema Allah:

11 ح”حز٤ ح٤غ ٤ت ؼ ٤ “

“Hapana kitu chochote mfano wake. Na yeye ni mwenye kusikia mwenye

kuona”.

Surat Shuura(42) aya ya 11.

Kwahiyo tunachotakiwa sisi waislamu ni kuthibitisha kile

alichojithibitishia Allah mweyewe katika kitabu chake, na huku

tukimtakasa kwamba hakufanana na viumbe, kwa kuifanyia kazi kanuni

isemayo: KUFANANA KWA MAJINA YA SIFA, SI DALILI YA

KUFANANA KWA SIFA ZENYEWE. Hivyo basi, sio sahihi kwa mtu

yoyote kuanza kukimbilia kwenye kuzikanusha sifa hizo kwa madai ya

kutaka kumtakasa Allah na viumbe vyake, kwa mfano: Miongoni mwa sifa

za Allah –Sub‟haanahu- ni sifa ya “USIKIVU” kwa maana ya kwamba

Allah “ANASIKIA”na jambo hili halina upinzani baina ya waislamu. Na

sifa hii hii ya usikivu pia wanayo viumbe vyake kama vile wanadamu.

Sasa kwa mfano ajitokeze mtu anayejifanya ni bingwa wa kumtakasa Allah

aseme; Allah –Tabaaraka wata‟alaa- hasikii! Ukimuuliza kwa nini? Mbona

yamekuja maandiko mengi katika Qur‟an na Hadithi kuonesha kwamba

Allah anasikia? Anajibu kwa kusema:

Kwa sababu kusikia ni kuidriki sauti kwa kupitia kiungo maalumu

ambacho ni sikio kwa hiyo nikisema kuwa Allah anasikia nitakuwa

nimemfananisha na kiumbe kwa sababu sisi hatufahamu maana ya kusikia

ila kwa maana hii tulioitaja. Bila shaka kiislamu huwa mtu wa aina hii

atakuwa amepotoka njia ya sawa sawa na kumfuata sheitwaani mal-u‟uni.

Bali lililo la wajibu kwa muumini ni kuithibitisha sifa hii ya usikivu na

nyinginezo zilizothibiti pamoja na kuitakidi kwamba KUSIKIA KWA

ALLAH SIO KAMA KUSIKIA KWA VIUMBE WAKE! Halikadhalika

Page 470: Fimbo ya Musa

470 anatakiwa katika sifa zote afanye hivyo, kama kuitakidi kwamba: KUONA

KWA ALLAH SI KAMA KUONA KWA VIUMBE VYAKE. UHAI WA

ALLAH SI KAMA UHAI WA VIUMBE VYAKE. UWEZO WA ALLAH

SI KAMA UWEZO WA VIUMBE VYAKE. USO WA ALLAH SI

KAMA USO WA VIUMBE VYAKE. NGUVU ZA ALLAH SI KAMA

NGUVU ZA VIUMBE VYAKE. MIKONO YA ALLAH SI KAMA

MIKONO YA VIUMBE VYAKE.

Na nyinginezo katika sifa ambazo zimethibiti kuwa ni sifa zake –

Sub‟haanahu wata‟alaa-. Na halikadhalika haifai kumsifia Allah kwa sifa

ambazo hakujisifu nazo, na kufanya hivyo ni kumzulia uwongo Allah –

Jalla Jalaaluh-. Kwa sababu ya kutoufahamu msingi huu wa kwamba:

“KUFANANA KWA MAJINA YA SIFA SIO DALILI YA KUFANANA

KWA SIFA ZENYEWE” wamepotea watu wengi, tena pamoja na kupotea

kwao huko wakajiona kwamba wao ndio waliokuwa katika haki, na haraka

wakaanza kuwatuhumu watu wengine katika imani zao na kuwatia katika

makosa tena kwa kutumia lugha chafu tena za kejeli. Mara utawasikia

wanawaita “MUSHABBIHA” (wenye kumfananisha Allah na viumbe)

mara wanawaita “MUJASSIMA” (wenye kumfanya Allah kuwa ana

kiwiliwili) kwa madai kwamba eti wanamfananiza Allah na viumbe wake

!mara Mawahabi! Basi ilimradi kuwachafua

watu wasio na hatia.

Sasa hebu tumgeukie ndugu Juma na wenzake watwambie wao watasema

nini kuhusu sifa hii ya kusikia kwa Allah na kusikia kwa viumbe? Je

wataikanusha kwa kusema Allah hasikii –Ma‟adha llaahi- (Allah atukinge

na hilo)? Na bila shaka kuitakidi hivyo ni kufuru. Au watakanusha

kwamba mwanadamu hasikii? Na bila shaka huo utakuwa ni

wendawazimu. Na kama jawabu itakua:Allah anasikia na mwanadamu

anasikia, halafu wasiutumie msingi huu tulioutaja wa kwamba kusikia kwa

Allah si kama kusikia kwa viumbe “kwa sababu kufanana majina ya sifa si

dalili ya kufanana sifa zenyewe” basi ni kwa msingi gani watamtakasa

Allah na dhana ya “Tash‟bihi” (kumfananiza na viumbe)? Ikiwa hawana

hila wala namna ila kurudi katika msingi huu wa haki kwa kusema

kwamba: Mwanadamu anasikia na Allah pia anasikia LAKINI KUSIKIA

KWA ALLAH SIO KAMA KUSIKIA KWA MWANADAMU WALA

KIUMBE CHOCHOTE! Sisi tutawaambia mtakuwa mmefanya vizuri,

lakini endeleeni kufanya hivyo katika sifa zote za Allah –Tabaaraka

wata‟alaa- na wala msibague.

Pia semeni kwamba Allah ana uso kama ilivyosema Qur‟an na Sunna,

lakini uso wake si kama uso wa viumbe kwa sababu hakuna kitu chochote

ambacho ni mfano wa Allah. Kwa hiyo andiko hili sahihi linatuambia

kwamba bwana Mtume - swalla llaahu alayhi wasallam- anamuomba mola

wake amruzuku neema ya kuutazama uso wake Allah huko peponi, hapa

Page 471: Fimbo ya Musa

471 sisi tunachotakiwa kukifanya ni kuthibitisha kwamba miongoni mwa

starehe za peponi ni watu kumuona Allah Jalla Jalaaluh. Na pia tunatakiwa

tuitakidi kwamba Allah ana Uso unaolingana na dhati yake tukufu na hana

mfano wa kitu chochote. Ama madai ya kwamba Allah -sub‟haanahu- hana

uso kwa dhana ya kwamba tukisema anao uso basi tutakuwa

tumemfananisha na viumbe ni madai batili ambayo hayakujengwa juu ya

msingi wa kielimu. Na hiyo ndiyo njia ya watu wote wa bid‟a kama

Jahmiyya, Mu‟utazilah na Khawaarij. Na mwanzo wa kuingia itikadi hizi

batili katika safu za waislamu ni baada ya kutarjumiwa vitabu vya Falsafa

za Wagiriki na Mapeshia kwa lugha ya kiarabu, na watu wakajishughulisha

na vitabu hivyo na wakaiwacha njia ya wema waliotangulia katika kuamini

mambo ya ghaibu. Na huu ni muhtasari wa hoja za wenye kuthibitisha

kuonekana Allah kwa macho huko akhera, hoja ziko nyingi lakini kama

tulivyoeleza hapo mwanzo kwamba tutazitaja hoja chache kwa lengo la

kufupisha, na kulifikia lengo, na walillaahil-hamdu lengo limetimia. Lengo

ni kuwafahamisha watu kwamba itikadi ya kuonekana Allah akhera kwa

macho ni itikadi sahihi iliyothibitishwa na kitabu cha Allah (Qur‟ani) na

Sunna za Mtume Muhammad Swalla llaahu alaihi wasallam, na hiyo ndiyo

imani na itikadi ya Maswahaba watukufu na waliowafuatia hao kwa wema,

itikadi sahihi ya Ahli-Sunnati wal- Jamaa.1309

JAWABU

Jawabu ya itikadi hizi nimesheitoa na kuyaelezea hayo katika juzuu ya

kwanza ya kitabu chetu hiki. Rejea sura ya pili, ya tatu na ya tano ya kitabu

hicho ili kuifahamu maudhui hii kwa ufafanuzi. Nimezielezea huko nukta

nyingi na kwa urefu na nimebainisha tafauti iliokuwepo baina ya sifa za

ukamilifu kama elimu, kusikia, kuona; na baina viungo vya kihisia (physical

organs) kama mkono, mguu n.k. Sifa za mwanzo hazipelekei kufanana kwa

dhati mbili tafauti kwani ni sifa za kimaana; sifa za pili za viungo

zinapelekea kufanana kwa dhati mbili tafauti kwani ni sifa za kihisia. Huu ni

mukhtasari, na kwa urefu rejea juzuu ya kwanza, kama nilivyosema

kwamba mimi katika kitabu hiki najiepusha kukariri jawabu bila ya haja.

Isipokuwa ningependa kutoa maelezo kidogo tu juu ya maneno ya Kasim

Mafuta yasemayo:

Na mwanzo wa kuingia itikadi hizi batili katika safu za waislamu ni baada

ya kutarjumiwa vitabu vya Falsafa za Wagiriki na Mapeshia kwa lugha ya

kiarabu, na watu wakajishughulisha na vitabu hivyo na wakaiwacha njia ya

wema waliotangulia katika kuamini mambo ya ghaibu.

1309

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 131-134.

Page 472: Fimbo ya Musa

472

Yaani mwanzo wa Waislamu kuitakidi kuwa Allah hana uso wa kweli au

mguu wa kweli n.k., ni itikadi za Kigiriki na Kifursi! Bwan-Kasimu naona

umeyaeka mambo kichwa chini miguu juu! Wewe umepata wapi kusikia

kwamba Wagiriki na Wafursi walikuwa wakikanusha kuwepo kwa mungu

mwenye viungo? Si ndio wao ambao waliokuwa na itikadi za miungu

viumbe, na wakijichongea masanamu ili kuyaabudu? Na hizo itikadi mbovu

za Kikiristo zimetokana na Wagiriki. Kama umelijua hilo, basi elewa

kwamba kufasiriwa kwa vitabu vya Wagiriki na Wafursi ndiko kulikoleta

katika Uislamu hizo itikadi zenu za Mungu mwenye:

1) Mikono.

2) Miguu.

3) Macho.

4) Masikio.

5) Kiuno.

6) Kidakatonge.

7) Magego.

8) Mengineo.

Vichekesho vyenye kuliza zaidi ni vile vilivyosemwa na baadhi yenu

kwamba Mungu:

1) Kaumba nafsi yake kutoka katika jasho la farasi!

2) Atateremka chini naye kapanda farasi!

Mmoja aliposikia hivyo, akasema basi yeye atakwenda juu kumuekea shuke

la ngano huyo farasi aliyepandwa na Mungu ili akija apate kupunguza njaa

kidogo! Mafuta huyu ndiye mola wako unayemuabudu uliyemfahamu

kutoka kata Qur-ani na Sunna?

MWISHO WA SEHEMU YA KWANZA

Hadi hapa tutakuwa tumefika mwisho wa sehemu ya kwanza wa mjadala

huu. Sehemu hii ya kwanza – kama ulivyoona – anazijadili hoja za watetezi

wa itikadi ya kumuona Allah. Hoja hizo kimsingi zimegawika sehemu mbili

kwa tatu: moja ni hoja za kiakili na ya pili inazungumzia hoja za

kimaandiko ambazo nazo pia zimegawika katika hoja zao kutoka katika

Qur-an na hoja zao kutoka katika riwaya. Mukhtasari wa hoja zote hizo,

utakuja mwishoni mwa kitabu in shaa Alla. Kwa sasa wacha tutazame hoja

za kundi la pili nalo ni kundi la wale wenye kuikataa itikadi ya kumuona

Allah.

Page 473: Fimbo ya Musa

473

SURA YA KUMI NA MBILI HOJA ZA KUTOONEKANA KWA ALLAH

Baada ya kuzijadili hoja za wale wenye itikadi ya kumuona Allah na

kubainisha udhaifu wake, sasa natuingie upande wa pili wa hoja za wale

wenye itikadi ya kutoonekana kwa Allah. Wenye itikadi ya kutoonekana

kwa Allah nao wanajenga hoja zao kwa dalili za kiakili, dalili za Qur-ani na

za Sunna.

HOJA ZA KIAKILI

Ama dalili za kiakili ni zile tulizozitaja katika kitabu chetu Hoja Zenye

Nguvu, kwamba miongoni mwa hoja hizo ni kuwa kuona kwa macho

ambako tunakujua ni kuingia sura ya chenye kuonekana katika mboni ya

macho ya mtazamaji kwa nguvu za mionzi yenye kuvuta sura hio. Nao uoni

huo una masharti yake:

1) Moja ni kuwa chenye kuonekana kiwe kitu ambacho kinajuzu

kuonekana. Hii inavitoa vitu kama roho, akili, upepo, sauti na mengineo

ambayo hayaonekani.

2) La pili ni kuwa mwenye kuona akielekee anachokiona au kidhihri katika

kitu kama kioo kisha ndio akitazame.

3) Jambo la tatu ni kuwa chenye kuonekana kisiwe kidogo sana kama

bektiria.

4) Jambo jengine ni kuwa chenye kuonekana kisiwe karibu sana na macho

ya mtazamaji kama mtu akiweka mkono wake kwenye macho mpaka

macho yasiweze kufumbuka.

5) Jambo la tano ni kuwa chenye kuonekana kisiwe mbali sana. Katika hali

hii mtazamaji anakuwa hakioni, na ndio maana kuna vitu vingi katika

anga za juu ambavyo hatuvioni pamoja na kuwa vitu hivyo ni vikubwa

sana katika umbo lake lakini umbali baina yetu na baina yake umetuzuia

tusivione. Hizi ni baadhi ya hoja za kiakili tu kuhusiana na masharti

baina ya chenye kuonekana na chenye kuona.

Hizi ni nukta ambazo nilizitaja katika kitabu Hoja Zenye Nguvu, lakini

mwanachuoni Sheikh Seif Al-Ghafri akatia maelezo yake juu ya hayo,

akanena:

Page 474: Fimbo ya Musa

474 Miongoni mwa watu anaowaiga Qannubi maandiko yao ni kama

Alkauthari, na Abuu Ghudah na Jamal-din Af‟ghani ambaye si Muaf‟ghani

bali ni Muirani, na Butwi na Al-Maliki katika watu wa hivi karibu na pia

miongoni mwao hao ni pote la Muutazilah kwani wao ndio wanaopinga

sana kuonekana kwa Mwenyezi Mungu sub‟haanahu wata‟alaa kwani pote

hili elimu yao yote imejengeka juu ya misingi ya mijadala ambayo asili

yake ni vipimo vilivyo juu ya kufananisha kisichopo kwa kilicho kuwepo

na miongoni mwa maigizo ya Qannubi ni pote la Jahmiyyah, Baatiniyya,

Mashia Imamiyyah ndio maana utayakuta maandishi yao yote juu ya

kutoonekana Mwenyezi Mungu sub‟haanahu wata‟alaa wanayanukuu kwa

mwana matamanio mkubwa adui wa Mwenyezi Mungu sub‟haanahu

wata‟alaa Abdul Jabbar al-Muutazili kwenye kitabu chake almughni, hasa

katika zile hoja za kiakili alizozitaja Alkhalili kama alivyomnukuu Juma

Mazrui katika kitabu chake Al-Haqu Addamigh ukurasa 67, kwamba

kuona kwa macho ni kuingia sura …., na kadhalika amefananisha

kuonekana Mwenyezi Mungu sub‟haanahu wata‟alaa na kuonekana

viumbe, ametakasika Mwenyezi Mungu na dhana zao.1310

JAWABU

Kuhusu nukta ya kwanza, nakujibu kwamba Al-Qannubi hamuigi mtu

yoyote. Yeye ni mujtahid mutlaq, hamfuati hata Al-Imamu Jabir bin Zaid

sikwambii hao uliowataja wewe. Sheikh Al-Khalili anasema: “Sheikh Said

Al-Qannubi, Allah kampa mambo matatu: ijtihadi kubwa sana, hifdhi kali,

na fahamu kali sana”. Huu ni ushuhuda wa Sheikh Al-Khaili wa maa

adraka maa Al-Khalili!

Nukta ya pili ni madai yako kuwa Al-Qannubi au – dhahir unakusudia

kusema – Ibadhi wamechukua itikadi ya kutoonekana kwa Allah kutoka

kwa Mu‟atazila. Tatizo lenu ni kuwa nyinyi Mawahabi hamusomi na hata

mukisoma hamufahamu, ndio maana maneno haya na kama haya utayakuta

yamejaa katika vitabu vyenu! Waasisi wa Mu‟utazila ni Wasil bin „Ataa1311

naye kazaliwa mwaka wa thamanini H,1312

na „Amru bin „Ubaid ambaye

kafa mwaka wa mia na arubaini na tatu.1313

Wakati huu Ibadhi imeshazaliwa

na kunawiri, kwani Imamu wa madhehebu ya Kiibadhi ni Al-Imamu Jabir

1310

- Tazama pongezi za Seif Al-Ghafri katika kitabu Hoja Zenye Nguvu cha Kasim Mafuta

uk. x-xi. 1311

- Tazama Ittihafu Al-Nubalaa Bi-Sirati Al-„Allama „Abdil-Razzaaq „Afif uk. 21. Al-

Zarkashi AL-A‟alam j. 3, uk. 59. 1312

- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 6, uk. 242, tarjama na. 825. Al-Mizan j. 6, uk. 3, tarjama na.

9325. 1313

- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 3, uk. 199, tarjama na. 6404..

Page 475: Fimbo ya Musa

475

bin Zaid (r.a.) naye alizaliwa mwaka baina 18-221314

na kufa mwaka baina

ya 93.1315

Yeye kachukua elimu kutoka kwa idadi kubwa ya Masahaba

hususan mwalimu wake mkuu Ibn „Abbaas. Kwa hivyo, tunawambia wale

wajiitao Salafiyya ambao wameemewa: wanataka kujua itikadi za Al-Salaf

Al-Salih (watangulizi wema), basi tunawambia kwamba haraka waje

kwenye madhehebu ya Ahlu Al-Haqqi wa Al-Istiqaama (Ibadhi), kwani wao

ndio madhehebu pekee ambayo:

1) Imezaliwa katika zama za Masahaba.

2) Imamu wao kasifiwa na Masahaba wenyewe, bali Masahaba

walikuwa wakimtanguliza Jabir bin Zaid katika kutoa fat-wa.

Na kwa hivyo, Ahlu Al-Haqqi wa Al-Istiqaama (Ibadhi) ndio wajuzi bora

wa madhehebu ya Al-Salaf. Jabir bin Zaid na Ibn Taymiyya: wapi na wapi!

Ibn Taymiyya kaja katika zama ambazo mambo yashakorogwa na mahadithi

ya uzushi yamejaa wala hakuna tena marejeo yalioishi na Mtume (s.a.w.).

Hili nalidokoa tu kidogo, maelezo yake kwa urefu ni katika juzuu ya pili ya

kitabu hiki in shaa Allah. Lakini ninachotaka kumwambia Seif Al-Ghafri

hapa ni kuwa madhehebu ya Mu‟tazila imeikuta Ibadhi tayari ni madhehebu

kamili na fiq-hi yake na itikadi zake. Ibadhi hawakuchukua kutoka kwao

isipokuwa yale mambo yaliojitokeza katika zama hizo: ambayo yalikuwa

mwanzo hayapo. Haya Ibadhi walikuwa wanasikiliza hoja za kila upande

kisha wanachukua kauli yenye hoja madhubuti. Sisi si watu wa kuambiwa:

“aaa hii ni kauli ya Jahmiyya au ya Shia, au ya Mu‟utazila”. Propaganda

hizi tunakuachieni nyinyi na Maimamu wenu wa Al-Hashwiyya, Al-

Mujassima. Sisi kwetu: “kauli hii dalili yake ni kadha na kauli hii dalili yake

ni kadha”. Upo bwan-Seif? Na hivi ndivyo walivyotufunza Maimamu wetu

wote. Anasema Al-Imamu Al-Salimi:

** خ زـ خ أطخ*******كؤه حلن ظ٠ ح*

حزخ١ حىى ػيخ **أط٠ ر حو ح١ حطلح

Basi sisi tunachukua haki tunapoiona***Hata ikiwa imeletwa na

atuchukiae. Na batili sisi kwetu ni yenye kukataliwa***Hata akija nayo

kipenzi waliemchagua.1316

1314

- Al-Qannubi Al-Imamu Al-Rabi‟u Makanatuh Wa Musnaduh uk.23. Al-Busa‟idi

Riwaayatu Al-Hadith „Inda Al-Ibaadhiyya uk. 184. Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2, uk.

34, tarjama na. 61. 1315

- Al-Qannubi Al-Imamu Al-Rabi‟u Makanatuh Wa Musnaduh uk.23. Al-Busa‟idi

Riwaayatu Al-Hadith „Inda Al-Ibaadhiyya 1316

- Al-Salimi Kashfu Al-Haqiqa kilichochapishwa pamoja na vitabu vyengine kwa jina la

Miftaahu Al-Sa‟aada uk. 195.

Page 476: Fimbo ya Musa

476

Sasa baada ya hayo, natuje kwenye maudhui yenyewe. Maudhui ni kuwa

nukta hizo nilizozitaja hapo nyuma kama ni hoja za kiakili au masharti ya

lazima ya kuweza kukiona kitu, Seif Al-Ghafri anasema: “elimu yao yote

imejengeka juu ya misingi ya mijadala ambayo asili yake ni vipimo vilivyo

juu ya kufananisha kisichopo kwa kilicho kuwepo”. Ninasema: hapa sina

jawabu refu isipokuwa kukuomba urejee sura ya tatu ya kitabu hiki chini ya

kichwa cha habari kisemacho: HOJA ZA KIAKILI ZA WATHIBITISHAO

KUONEKANA ALLAH, ili uone ni nani aliyefanya qiyas cha kisichopo

kwa kilichokuwepo: je ni wenye itikadi ya kumuona Allah au wenye itikadi

ya kutomuona Allah. Je waliosema kuwa sharti pekee ya kuona ni kuwepo

ni nani: ni wenye itikadi ya kumuona Allah au wenye itikadi ya kutomuona

Allah? Ukipata jawabu hio utakuwa umepata jawabu ya suali lako.

Anaendelea Al-Ghafri kwa kusema:

Maandishi yao yote juu ya kutoonekana Mwenyezi Mungu sub‟haanahu

wata‟alaa wanayanukuu kwa mwana matamanio mkubwa adui wa

Mwenyezi Mungu sub‟haanahu wata‟alaa Abdul Jabbar al-Muutazili

kwenye kitabu chake almughni, hasa katika zile hoja za kiakili alizozitaja

Alkhalili kama alivyomnukuu Juma Mazrui katika kitabu chake Al-Haqu

Addamigh ukurasa 67, kwamba kuona kwa macho ni kuingia sura.

Ninasema: mimi kila nikisoma maandishi yako na Kasim Mafuta nazidi

kuamini kwamba Mawahabi hawafahamu wanachoambiwa! Sikiliza Sheikh!

Munachoambiwa ni hiki: nyinyi munasema kuwa mutamuona Allah kwa

macho yenu. Ndio au sio? Jawabu ni “ndio”. Sasa kuona huko ni kama hivi

tunavyoona au ni kuona kwengine? Jawabu “ndio”, ni kuona kama hivi

tunavyoona, kwani munatoa ushahidi kwa Hadithi isemayo: “mutamuona

Allah kama munavyouona mwezi”. Sasa kama ni hivyo, basi sisi tunasema

kuwa kuona kama huku tunakoona au kuona kunakoeleweka katika kawaida

zetu na lugha zetu ndiko huko alikokuelezea Al-Khalili ambako kuna

masharti hayo tulioyataja. Na kwa sababu masharti hayo – ya kuwa Allah

areflect au awe na umbo kubwa au dogo n.k – hayawezekani kwa Allah,

basi kuona huko pia hakutowezekana. Na kama kuna kuona kwengine

kusikokuwa huko, basi ni moja ya mawili:

1) Ama iwe ni kuona kwa maana ya kujua.

2) Au ni kuona kwa maana ya kuona kwa hakika lakini hakuambatani

na masharti hayo tulioyataja. Kama ni hili la pili, basi kuona huku

kunahitaji dalili yake mbali si hizo mulizozitoa. Ama kuona kilugha

na ki‟urf (kawaida) ni huko tulikokutaja sisi.

Page 477: Fimbo ya Musa

477

Hatuna haja ya kurefusha, mukhtasari ni kuwa ikiwa munadai kuwa

mutamuona Allah kwa macho yenu hayo basi ni lazima muyakubali

masharti hayo. Ilipobainika kwamba hayo hayawezekani kwa Allah, basi

bwan-Seif elewa kwamba kumuona Allah siku ya kiama ni kumjua ujuzi wa

kweli kweli uliojaa yakini na usiingiwe na shaka yote: si kumkodolea

macho!

JAWABU YA KASIM MAFUTA

MAJIBU YETU

Majibu yetu juu ya hoja hizi ni kwa njia tatu:

1) Hakuna katika maneno haya yote tuliyoyanukuu kutoka kwa ndugu Juma

ushahidi wa kutoonekana Allah kwa macho huko akhera, na wala hapo

hakuna akili iliyotumika katika kuyathibitisha madai hayo batili.

2) Maelezo yote yaliyotolewa yanahusiana na hali ya hapa duniani, ama huko

akhera mambo yatakuwa tofauti kabisa na hapa duniani, kuna mambo

ambayo ni muhali kufanyika hapa duniani, lakini huko akhera yatafanyika.

Kwa mujibu wa maandiko sahihi ya dini yetu mambo ya huko akhera yako

tofauti kabisa na mambo ya hapa duniani. Kwamfano, tunaambiwa

kwamba huko akhera vitu kama mikono, miguu, ngozi ya mwili, ardhi na

vinginevyo vyote hivyo vitatamka na kutoa ushahidi dhidi ya mwanadamu,

hata vile visivyo na uhai kama vile mawe vyote hivyo vitasema ! Siku hiyo

kubwa na ya kutisha watakuwepo watu ambao watatembea kwa nyuso zao

badala ya miguu yao!!! Na mtu atayaona ya mbali yake kama anavyoyaona

yaliyo karibu yake! Na huko peponi hakuna kushiba wala kwenda haja

kama duniani, na kutakuwa na mambo mengi ya ajabu ambayo ni tofauti

na mambo yalivyo hii leo hapa duniani. Kwa hiyo, si sahihi kabisa,

kulifananisha suala hili la kuona hapa duniani na kuona huko akhera. Pia si

sahihi kuitakidi kuwa lile lisilowezekana hapa duniani, kuwa hata huko

akhera haliwezekani, bali kufanya hivyo ni hila ya kutaka kuyapinga

maandiko sahihi yanayotuelezea habari za ghaibu, na mwenye kufanya

hivyo atakuwa ni mpungufu wa imani, au hana imani kabisa, na wala

hakuitumia akili yake vizuri katika kuzitafakari aya za Qur‟an na Hadithi

sahihi za Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam-. Sisi maudhui yetu hapa

ni kuhusu suala la je, Allah ataonekana kwa macho huko akhera au

hatoonekana? Na wala hautuzungumzii suala la kuonekana Allah hapa

duniani.

3) Mambo ya huko Akhera hufaamika kwa maandiko ya Wah‟yi na sio kwa

akili za watu, lile ambalo limethibiti kwa maandiko ya kisheria hilo ndilo

la haki, hata kama linapingana na akili zetu, na tunatakiwa tuliamini hivyo

hivyo lilivyoelezwa, bila ya kupinga wala kutia shaka na kufanya hivyo

ndiyo ukamilifu wa kuamini mambo ya ghaibu. Kwa hiyo ninathubutu

Page 478: Fimbo ya Musa

478 kusema kuwa; hizi hoja alizo zinukuu Juma kutoka kwa sheikh wake al-

Khalili, ambazo wameziita kuwa ni hoja za kiakili; haikutumika akili hata

chembe katika kuzithibitisha bali akili iko mbali na hoja hizi. Ukiwa ndugu

msomaji umeufahamu upeo wa akili zao katika kuzithibitisha hoja hizo,

hebu sasa natuzitazame hoja zao walizoziita za kimaandishi:1317

JAWABU

Mukhtasari wa jawabu ya Mafuta ni kuwa:

1) Hakuna katika maneno haya yote tuliyoyanukuu kutoka kwa ndugu

Juma ushahidi wa kutoonekana Allah kwa macho huko akhera, na

wala hapo hakuna akili iliyotumika.

2) Maelezo yote yaliyotolewa yanahusiana na hali ya hapa duniani, ama

huko akhera mambo yatakuwa tofauti kabisa na hapa duniani.

3) Mambo ya huko Akhera hufaamika kwa maandiko ya Wah‟yi na sio

kwa akili za watu.

Huo ndio mukhtasari wa jawabu ya Mafuta, lakini – kama unavyoona –

jawabu yetu kwa Sheikh Al-Ghafri inatosha kujibu hoja hizi. Ubainifu wake

ni kuwa nyinyi Mawahabi Allah hakukupeni fahamu sahihi: kakupeni

hamasa na zogo tu: hamufahamu munachoambiwa. Kinachosemwa ni kuwa:

je munapodai kuwa mutamuona Allah kwa macho munadai kuwa

mutamuona uoni kama huu tunaoonana sisi na kuviona vitu kwawo, au

munadai kuwa kuna uwoni mwengine usio kuwa huu? Kama munadai kuwa

mutamuona kwa uoni huu, basi hapa ndipo tunapokataa kwani nature (١ز٤ؼش)

ya uoni huu au namna ya uoni huu uko hivyo tulivyoieleza sisi nao

haukubaliani na utukufu wa Allah. Na kama uko uoni mwengine usiokuwa

huu, basi huo unahitaji ushahidi wake mwengine wa kilugha au wa Kisharia.

Hivi – kwa mukhtasari – ndivyo inavyosemwa. Je wewe Mafuta unao

ushahidi wa kilugha au wa Kisharia kwamba kuna uoni mwengine usiokuwa

huu? Au kwamba mutamuona Allah kwa uoni mwengine usiokuwa huu? Au

kwamba uoni huu hauko hivyo tulivyoueleza sisi, ili hoja yako inyooke na

yetu ipinde?

Ama kuhusu mifano uliotoa kwa kusema:

Kwamfano, tunaambiwa kwamba huko akhera vitu kama mikono, miguu,

ngozi ya mwili, ardhi na vinginevyo vyote hivyo vitatamka na kutoa

ushahidi dhidi ya mwanadamu, hata vile visivyo na uhai kama vile mawe

1317

- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 137-138.

Page 479: Fimbo ya Musa

479 vyote hivyo vitasema ! Siku hiyo kubwa na ya kutisha watakuwepo watu

ambao watatembea kwa nyuso zao badala ya miguu yao!!! Na mtu

atayaona ya mbali yake kama anavyoyaona yaliyo karibu yake!

Hayo yote yanaonesha ufinyu wa ufahamu wako, kwani mabadiliko haya

yote yatatokea ndani ya maumbile ya viumbe: si kwa Muumba. Allah yeye

habadiliki katika Dhati yake wala katika sifa zake za dhati. Na kutoonekana

ni katika sifa za dhati za Allah kama tutavyokubainishia hilo zaidi huko

mbele in shaa Allah.

Page 480: Fimbo ya Musa

480

HOJA ZA KIMAANDIKO

Baada ya kuzitazama kidogo hoja za kiakili ambazo wamezitegemea wenye

itikadi ya kutoonekana kwa Allah, sasa wacha tuingie katika hoja zao za

kimaandiko. Miongoni mwa hoja zao katika Qur-ani ni Aya isemayo:

ى ٣ ي خ حل ر ل ط ي ز ٤ و ٤ق ح حط خ حل ر

Uoni haumfikii; naye anaufikia; naye ni mjuzi wa yaliojificha na ni

mjuzi wa yaliowazi.1318

Aya hii ni andiko la wazi kwamba macho hayamfikii au – kwa tafsiri sahihi

zaidi – uoni haumfikii Allah. Na hapa kuna nukta tano muhimu za

kuzitazama ili tuweze kuifahamu tafsiri sahihi ya Aya hio:

1) Kutumika kwa neno Al-Absar (uoni) kunaleta maana ya undani zaidi

kuliko kutumika au kuliko lau lilitumika neno Al-A‟ayun (macho).

Kwa sababu kukataliwa kufikwa na uoni kunatoa maana pana zaidi

kwani hii ina maana kwamba uoni wa ina yoyote ule hata kama

hautokuwa kwa njia ya macho au hautokuwa wa kiumbe chenye

uhai, basi huo nao pia haumfikii Allah. Na kwa mantiki hii, utaanza

kuelewa udhaifu wa madai ya wale waliosema:

a) Nabii Musa (a.s.) alimuona Allah lakini hakujua kuwa ndiye

Yeye.1319

b) Mlima ulimuona Allah!1320

2) Kisha neno hilo Al-Absar likatiwa alif na lamu ili kumaanisha

ujumla wa uoni1321

yaani uoni wa aina zote zile basi haumfikii Allah

1318

- Sura 6, Aya 103. 1319

- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟ani j. 9, uk. 52. Na miongoni mwa wenye kauli hii ni Abu Talib

(labda Al-Ushari), lakini yeye – kwa mujibu wa maelezo ya Ibn Taymiyya – ni miongoni

mwa wenye kusema kuwa Nabii Musa alizibwa na mlima, ulipovurugika hapo ndio

akamuona Allah. Tazama Ibn Taymiyya Sharhu Hadithi Al-Nuzul uk. 123. 1320

- Abu Bakr Al-Jazaairi Aysaru Al-Tafasir j. 2, uk. 1. Na dhahir ya kauli hii ni kauli ya

Kiyahudi. Dalili ya hayo ni kile kilichosimuliwa na Al-Khazin katika tafsiri yake akisema:

“kasema „Abdullahi bin Salam na Ka‟abu Al-Ahbar: „hakikudhihiri kutoka kwa Allah

kuudhihirikia mlima isipokuwa kama tundu ya sindano basi mlima ukavurugika”. Tazama

Al-Khazin j. 3, uk. 91. Na kama unavyojua kwamba Abdullahi bin Salam na Ka‟abu Al-

Ahbar ni miongoni mwa wanavyuoni wa Kiyahudi waliosilimu na wakawa wanasimulia

riwaya za Kiyahudi. 1321

- Alifu na lamu (yaani al-) zinapoingia katika jina la wingi (plural) zinaonesha ujmla.

Tazama Dr. Wahbat Al-Zuhaili Usulu Al-Fq-hi j. 1, uk. 240. Al-Shaukani Irshadu Al-

Fuhul uk. 173. Al-Salimi Shamsu Al-Usul uk. 13, na katika Tal‟atu Al-Shams j. 1, uk. 82.

Muhammad Ridha Al-Mudhaffir Usulu Al-Fiq-hi j. 1, uk 141. Al-Amidi Usulu Al-Fiq-hi j.

2, uk. 415.

Page 481: Fimbo ya Musa

481

au macho ya viumbe wote wale hayamfikii Allah. Na hili

linaibainisha zaidi nukta ya kwanza.

3) Aya hio ni خحخ حطوش ػ mutlaqatun „ani al- zamaan wal

makaan yaani haikufungamanishwa na zama maalumu wala na

sehemu maalumu. Hii ina maana kwamba uoni haumfikii Allah

katika zama zote na katika sehemu zote.

4) Aya hii inazungumzia sifa za dhati za Allah nazo ni: kutoonekana,

Yeye kuona na kujua. Hizi ni sifa za dhati za Allah, ni sawa sawa na

sifa zake za: elimu, kuweza n.k. Na hakuna khilafu katika umma

kwamba sifa za dhati za Allah hazibadiliki duniani wala akhera.

5) Aya imemalizikia kwa maneno yasemayo: ز ٤ و ٤ق ح حط Wa Huwa

Al-Latifu Al-Khabiru. Mfumo kama huu ni ule ambao wanavyuoni

wa balagha ya Kiarabu wanauita kuwa ni حػخس حظ٤ mura‟aatu al-

nadhir. Anasema Sheikh Al-Sayyid Ahmad Al-Hashimi:

٢ ػ٠ حخزش ك ، خ ر ـــ٢ حؼ ٠ ر٤ــ٣ لن رحػخس حظ٤ ، ٣ؼ٢ أ ١ك٢ حال

رخ حال ك٢ حؼ ٣وظ ى ـ٣خذ أ ٣ ي خ حل ر ٠، ل ه طؼخ٠: }ل ط ي

} ز ٤ و ٤ق ح حط خ ،…..…........حل ر اىحى حلرخ حط٤ق ٣خذ ػي . كب

زلخ طؼخ٠ ألرخ ٣خذ اىح .حوز٤

Na yanaingizwa katika kanuni hii iitwayo حػخس حظ٤ mura‟aatu

al-nadhir, maneno ambayo yamejengeka katika kuwiyana

kimaana katika ncha mbili za maneno hayo. Yaani mwisho wa

maneno uwe unanasibiana kimaana na mwanzo wake. Kwa mfano

Aya inayosema: “Uoni haumfikii; naye anaufikia; naye ni

mjuzi wa yaliojificha na ni mjuzi wa yaliowazi”. Kwani neno

latif linanasibiana na kuwa Yeye Allah hafikiwi na uoni; na حط٤ق

neno Al-Khabir linanasibiana na kuwa yeye ni mwenye حوز٤

kuufikia uoni.1322

Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir:

خ طوـــــي أ ىلش ح٣٥ش ح٣ش ػ٠ حظلخء إ٣ظ طؼخ٠ ك٢ حي٤خ ح٥هس ــحوـــــالش

٣ئ٣ي ٤ظخ ػ٠ ي ط٤٣خ رو طؼخ٠ : ) حط٤ق حوز٤( كب .. .…....… ىلش هخ١ــؼش

: )ه : )حوز٤( خظؼ٤ وحطـ٤ق( خظؼــــ٤ و: )ل طي حلرخ( ) : ـــــه

لخص حط طؼخ٠ ل طظزيل أل أريح ٣يى حلرخ( حلظخ حطخ ــــ

Na mukhtasari wa yote yaliotangulia ni kuwa ushahidi wa Aya hio tukufu

juu ya kutoonekana kwa Allah duniani na akhera ni ushahidi wa yakini. Na

chenye kuunga mkono ukweli kwamba hilo ni andiko la wazi ni

1322

- Al-Sayyid Ahmad Al-Hashimi Jawahiru Al-Balagha uk. 384. Na mfano wake ni

katika Rayyu Al-Dham-aan

Page 482: Fimbo ya Musa

482 kufungamanishwa kwake na maneno ya Allah yasemayo: )حط٤ق حوز٤ (

wa Huwa Al-Latif Al-Khabir. Kwani neno Al-Latif ni kama ta‟alil (kutoa

sababu ya kutajwa kwa maneno yasemayo): ل طي حلرخ laa tudrikuhu

al-absaru (uoni haumfikii); na neno Al-Khabir ni kama ta‟alil (kutoa

sababu ya kutajwa kwa maneno yasemayo): ٣يى حلرخ wa Huwa

yudriku al-absar (naye anaufikia uoni). Na sifa mbili hizo zilizotajwa ni

katika sifa za dhati za Allah hazibadiliki milele.1323

Maana ya maneno hayo ni kuwa kumalizikia Aya hio kwa neno hilo Al-

Latif kunabainisha zaidi kwamba maana ya Aya hio isemayo: “Uoni

haumfikii”, ni kuwa Allah haonekani milele kwani neno hilo:

1) Ni sifa ya dhati ya Allah, na sifa yake ya dhati haibadiliki.

2) Neno hilo limetumika kama ni illa (sababu) ya kutoonekana kwa

Allah.

Ubainifu wa yote hayo ni kuwa هللا ط٤لخ ك٢ حط ٣وظ٢٠ ػي إ٣ظ kuwa Allah

ni mwenye sifa hio iitwayo Latif kunamaanisha kuwa haonekani kwani hio

ndio sababu iliotajwa hapa ya kutoonekana kwake.1324

Na neno hilo latif

asili yake ni kitu kilichokuwa kimefichika kwa sababu ama ya udogo wake

au undani wake. Kama viwiliwili vya malaika, majini na upepo. Vyote hivi

katika lugha ya Kiarabu unaweza kuviita ajsamun latif au ajsamun latifa.

UPINZANI

Hio ndio dalili moja inayopatikana kutoka katika Qur-an juu ya

kutoonekana kwa Allah. Lakini dalili hio ikapingwa kwa sababu zifuatazo:

KUDIRIKI NA KUONA NI VITU VIWILI TAFAUTI!

Jambo la kwanza na ndilo muhimu lao ambalo wameshikana nalo watetezi

wa itikadi ya kumuona Allah katika kuukanusha kwao ushahidi wa

kutoonekana kwa Allah uliomo katika Aya hio isemayo: “Uoni haumfikii;

naye anaufikia; naye ni mjuzi wa yaliojificha na ni mjuzi wa

yaliowazi”, ni kuwa neno la Kiarabu lililotumika hapo ni neno Idraak

(kudiriki), na kudiriki na kuona ni vitu viwili tafauti; kudiriki ni

kukizunguka kitu katika pande zake zote na hili ni muhali kwa Allah. Ama

kuona si lazima kuwa ukione kitu kwa kukizunguka pande zake zote.

Anasema Ibn Taymiyya:

1323

- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 90. 1324

- Hii ni moja ya sababu zilizotokana na sifa zake za dhati. Na sababu nyengine ya

kutoonekana ni utukufu wake kama Hadithi sahihi ilivyotongoa.

Page 483: Fimbo ya Musa

483

خ ل٠ حإلىحى ح١ حإلكخ١ش خ هخ أؼ حؼخء ٣ل٢ اي ه: } ل طي حلرخ{

ـى حإ٣ش

Halkadhalika kauli yake Allah aliposema: ل طي حلرخ (Uoni

haumdiriki), kwa hakika alichokikataa Yeye (Allah hapa) ni idrak

ambako maana yake ni kuzunguka kama walivyonena asilimia kubwa ya

wanavyuoni; na wala Yeye (Allah katika Aya hii) hajakataa kuona.1325

Anaendelea:

خ ـــهي ض هي٣خ ص ك٢ رؼ ال٢ أ٢ طيرص ػخش خ ٣لظؾ ر حلخس ح كؿيط

طي ٢ حإ٣ش رو طؼخ٠ } لـــــــػ٠ ه ؤكظـخؿ ػ٠ ل٤ ه أى خ ــــػ٠ و

ش ل حإ٣ش أ ح٣٥ش طي ػ٠ــــكز٤ض أ حإلىحى حإلكخ١ {خــــحلرخ ٣يى حلر

اػزخص حإ٣ش أػظ ىلظخ ػ٠ ل٤خ

Na niliwahi kusema zamani katika baadhi ya maelezo yangu kwamba mimi

nimeyafikiri sana maandiko yote yale ambayo wanayatolea hoja wale

wenye kukataa, basi nikayakuta yanaonesha zaidi kinyume na vile

wanavyosema wao kuliko kuonesha vile wanavyosema wao. Kwa mfano,

kutoa kwao hoja juu ya kutoonekana kwa Allah kwa Aya isemayo: ل طي

basi ,(Uoni haumdiriki naye anaudiriki) حلرخ ٣يى حلرخ

nilibainisha kwamba neno idrak (kudiriki) maana yake ni kuzunguka: si

maana yake kuona. Na kwamba Aya hii inatoa ushahidi wa kuonekana

kwa Allah zaidi kuliko kutoa kwake ushahidi wa kulikataa hilo!1326

Anasema Ibn Al-Qayyim:

حإلكخ١ش رخ٢ء ـــكخ حإلىحى خ١ ر ــ٤غ ٣لـــز ٢ء أ ؼظظ ل ٣يى رلأأ

ػ٠ حإ٣ش هي حثي

….na kwamba Yeye (Allah) ni Mkuu kuliko kila kitu na kwamba Yeye

kwa sababu ya utukufu wake hadirikiwi ambapo ikawezekana

kuzungukwa, kwani neno idrak ni kukizunguka kitu nayo ni maana pana

zaidi kuliko kuona…1327

Anasema Abu Su‟ud:

1325 - Ibn Taymiyya Al-Risala Al-Tdammuriyya uk. 27. Maj‟mu‟a Al-Fatawa j. 3, uk. 26.

1326 - Jamani ntazameni huyu Shehe wa Uislamu anavyofanya vituko! Aya inasema: “jicho

halimfikii au uoni haumfikii”, yeye anasema kuwa Aya hii inathibitisha zaidi juu ya

kuonekana kwa Allah kuliko kuthibitisha kuwa haonekani! Haya Aya ingelisema “Jicho

linamfikia au uoni unamfikia” ingelikuwa na maana gani! Mtu wa batili hata akisoma

vipi lazima atajizonga mwenyewe tu! 1327

- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 215. Na huenda – kwa mujibu wa alivyoanza –

yakawa haya ni maneno ya mwalimu wake, yeye anayanukuu tu.

Page 484: Fimbo ya Musa

484

ل ط ل٢٤ راىحى ح٢ء ػزخس ػ ح ا٤ حإلكخ١ش ر ا٤ حلرخ ...أ١ ل ط

Na kukidiriki kitu maana yake ni kukifikia na kukizunguka, na maana (ya

Aya hio) ni kuwa macho hayamfikii wala hayamzunguki…….1328

Anasema Al-Alusi: اىحى ح٢ء ػزخس ػ ح ا٠ ؿخ٣ظ حإلكخ١ش ر

Na kukidiriki kitu maana yake ni kuufikia upeo wake na

kukizunguka…..1329

Anasema Abu Hayyan:

} ٣يى حلرخ { ىلش ػ٠ أ حإلىحى ل ٣حى ر خ ـى حإ٣ش ا خ ـى حإ٣ش

خ١شــحإلك، لخ ل حلرخ كي ػ٠ أ ؼ٠ حإلىحى ري حهظخ ل طيف طؼخ٣٠

ل طل٢٤ رلو٤وظ حلرخ ل٢٤ رلو٤وظخ ٠ــرلو٤وش ح٢ء ك طؼخ

Aya inayosema ٣يى حلرخ (naye anaudiriki uoni), ni dalili kwamba

neno idrak hapa halikukusudiwa kuona tu, kwani lau ilikuwa ni kuona tu

basi ingelikuwa Allah hakujihusisha na sifa hio wala hakujisifu kwani

kama ni kuona tu na siye pia twayaona macho, basi hilo likabainisha

kwamba maana ya idrak (kudiriki) ni kuuzunguka uhakika wa kitu, basi

macho hayawezi kuuzunguka uhakika wa Allah wakati Yeye anauzunguka

uhakika wa macho. 1330

Anasema Al-Baghawi:

{ ــــأخ ه خ حلر ف ــــــ حهـــــإ٣ش ل حإلىحى ـــ٤ حـــػ أ حإلىحى ؿكخ } ل ط ي

ح٢ء حإلكخ١ش ..…ر، حإ٣ش: حؼخ٣ش، هي ط حإ٣ش رال اىحى ٠

Ama kauli yake Allah aliposema: ل طي حلرخ (Uoni haumdiriki), jua

kwamba neno idrak na neno kuona ni vitu viwili tafauti, kwani idrak ni

kukijua kiini cha kitu na kukizunguka. Ama kuona ni kukiona kitu kwa

jicho tu (hata kama hukijui undani wake), na huenda ukaona pasina

kudiriki……1331

Anasema Al-Khazin:

1328

- Abu Al-Su‟ud Irshaadu Al-„Aqli Al-Salim j. 2, uk. 189. 1329

- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟aani j. 7, uk. 245 1330

- Abu Hayyan Al-Bahru Al-Muhit j. 4, uk. 198. Nukulu hii tulioinukuu hapa dhahir ni

maneno ya Abu Hayyaan, lakini inawezakana ikawa Abu Hayyaan anayanukuu kutoka kwa

Al-Imamu Al-Maturidi kwani kayasema baada ya nukulu yake. 1331

- Al-Baghawi Ma‟alimu Al-Tanzil j. 2, uk. 148.

Page 485: Fimbo ya Musa

485

خ١ش رــ٣ ؼ٠ : حإلىحى حإلكــــــ} ل طي حلرخ ٣يى حلرخ { هخ ؿ حل

ل طل٢٤ ر خ أ حود طؼك ل طل٢٤ ر٤وظ كخلرخ ط حزخة ؿ ؿال ـح٢ء كو

Aya isemayo: ل طي حلرخ ٣يى حلرخ (Uoni haumdiriki naye

anaufikia), wamesema jumhur ya wafasirina kwamba neno idrak maana

yake ni kukizunguka kiini cha kitu na kukijua uhakika wake, basi macho

yatamuona Allah Mtukufu lakini hayatomzunguka kama vile ambavyo

nyoyo zinamjua lakini hazimzunguki (hazimjui uhakika wake kama

alivyo). 1332

Anasema Al-Fakhru Al-Razi:

غـإ٣ش ـكخلخ أ حإ٣ش ؿ طلظخ ػخ : إ٣ش غ حإلكخ١ش . إ٣ش ل غ حإلكخ١ش . ح

ع ــخ١ش ٢ حخس رخإلىحى كل٢ حإلىحى ٣ل٤ي ل٢ ع حكي ػ٢ حإ٣ش ، ل٢ حــحإلك

. ..…٢ حـ. ك ٣ ل٢ حإلىحى ػ هللا طؼخ٠ ل٢ حإ٣ش ػ هللا طؼخ٠ ــذ لــل ٣ؿ

Basi natija ni kuwa kuona ni jinsi ambayo ndani yake kuna aina mbili: 1)

kuona pamoja na kukizunguka anachokiona, 2) kuona pasina kukizunguka

anachokiona. Kuona pamoja na kukizunguka anachokiona ndiko

kunakoitwa idrak (kudiriki). Kwa hivyo, kukataliwa kwa idrak (kudiriki)

kunamaanisha kukataliwa kwa aina moja tu katika aina mbili za kuona. Na

kukataliwa kwa aina fulani hakuna maana kuwa ndio jinsi nzima

imekataliwa. Na kwa hivyo, kukataliwa kuwa Allah atadirikiwa hakuna

ulazima kwamba kumekataliwa kuonekana kwake…..1333

Hayo ndio maneno ya wanavyuoni hao, nayo ni maneno ambayo hayana

chochote yalichotegemea katika dalili za kielimu isipokuwa ufahamu mbaya

wa Aya ya Qur-ani na kutegemea riwaya dhaifu na ambazo hata

zingelikuwa sahihi zisingelifaa kutoa ushihidi kwani si riwaya za Mtume

(s.a.w.) wala si riwaya za Masahaba (r.a).1334

Ama Aya wanayoitegemea

wao katika ufahamu wao huo wa kutafautisha baina ya neno idrak (kudiriki)

na neno ru-uya (kuona) ni Aya yenye kusema:

ا هىدرمن افهىا ترا دنقاو مال إن ىغ رب س **اهجىغان قاو أصحاب ىس إ

Basi makundi mawili hayo (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana watu

wa Musa wakasema kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa. Akasema:

„sio hivyo, kwa hakika Mola wangu yupamoja nami ataniongoza.1335

1332

- Al-Khazin Lubabu Al-Ta-awil j. 2, uk. 434. 1333

- Al-Fakhru Al-Razi Mafaatihu Al-Ghaib j. 13, uk. 105. 1334

- Ukiitoa moja ilionasibishwa na Ibn Abbaas, nayo ni dhaifu kama utavyoona. 1335

- Sura 26, Aya 61.

Page 486: Fimbo ya Musa

486

Ushahidi ambao wanautoa kutoka katika Aya hizi katika kutafautisha kwao

baina ya neno al-ru-uya (kuona) na neno idrak (kudiriki) ni kuwa baada ya

wafuasi wa Musa kusema: “kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa”, Nabii

Musa (a.s.) alilikanusha hilo la kuwa wao watadirikiwa akasema: “(hapana)

sio hivyo, kwa hakika Mola wangu yupamoja nami ataniongoza”,

akimaanisha kwamba hatutodirikiwa bali Mola yupo atatuongoza. Sasa

wakati Nabii Musa (a.s.) anakataa kuwa watadirikiwa, tunakuta mwanzoni

mwa Aya hio hio Allah anasema kuwa makundi mawili hayo yalionana

“Basi makundi mawili (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana”. Kwa hivyo,

hili linamaanisha kuwa kuona na kudiriki ni vitu viwili tafauti, kwani makundi

mawili hayo yalionana lakini kundi la Fir‟awn halikulidiriki kundi la Musa.

Anasema Ibn Al-Qayyim:

خ١ ر كخ حإلىحى حإلكخ١ش رخ٢ءــ٤غ ٣لـــ ٢ء أ ؼظظ ل ٣يى رلــــز أأ

خ هخ طؼخ٠ كخ طحءح حـؼخ هخ ألخد ٠ أخ ي هخػ٠ حإ٣ش ي حثيــــ ه

خ ث٤ كخ ٠ حص هللا اخ ي ا٣٣يح رو ٠ حإ٣ش ق ــــال ك ٣

……ال ػ٤ ل٠ اىح ا٣خ رو ال

….na kwamba Yeye (Allah) ni Mkuu kuliko kila kitu na kwamba Yeye

kwa sababu ya utukufu wake hadirikiwi ambapo ikawezekana

kuzungukwa, kwani neno idrak ni kukizunguka kitu nayo ni maana pana

zaidi kuliko kuona, kama Allah alivyosema: “Basi makundi mawili hayo

(la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana watu wa Musa wakasema kwa

hakika sisi ni wenye kudirikiwa. (Musa) akasema: „sio hivyo…”.

Basi utaona kwamba Musa hakukataa kuona; na wao (wafuasi wa Musa)

waliposema “hakika sisi ni wenye kudirikiwa”, hawajakusudia kusema

“hakika ya sisi ni wenye kuonekana” kwani Musa (a.s.) alikataa kuwa

wao wamewadiriki aliposema: „sio hivyo…”.1336

Anasema Al-Baghawi:

{ ػ أ حإلىحى ؿ٤ حإ٣ش ل حإلىحى حه خ حلر ـــــأخ ه: } ل ط ي ف ػ٠

شـــــــر، حإ٣ش: حؼخ٣ش، هي ط حإ٣ش رال اىحى، هخ هللا طؼخ٠ ك٢ ه ح٢ء حإلكخ١ش

ل طوخف ىخ“خ ـــاخ ي هخ: ال، هألخد ٠ ؼخ هخــــكخ طحء حـ“٠

ؿ٤ اىحى اكخ١شــــل طو٠، كل٠ حإلىحى غ اػزخص حإ٣ش، كخلل ػ ؿ ٣ـ أ ٣

)ل ٣ل٤ط ر ػخ( خ ٣ؼف ك٢ حي٤خ ل ٣لخ١ ر هخ هللا طؼخ٠

Ama kauli yake Allah aliposema: ل طي حلرخ (Uoni haumdiriki), jua

kwamba neno idrak na kuona ni vitu viwili tafauti, kwani idrak ni kukijua

1336

- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 215. Na huenda – kwa mujibu wa alivyoanza –

yakawa haya pia ni maneno ya mwalimu wake, yeye anayanukuu tu, kama tulivyosema

kabla.

Page 487: Fimbo ya Musa

487 kiini cha kitu na kukizunguka. Ama kuona ni kukiona kitu kwa jicho tu

(hata kama hukijui undani wake), na huenda ukaona pasina kudiriki, Allah

Mtukufu anasema kuhusu kisa cha Musa (na Fir‟awn): “Basi makundi

mawili hayo (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana watu wa Musa

wakasema kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa. (Musa) akasema: „sio

hivyo…”, na akasema “Usiogope kudirikiwa wala usiogope

(chochote)”. Basi utaona kwamba kakataa idrak (kudirikiwa) pamoja na

kuwa kathibitisha kuona, basi na Allah Mtukufu naye inafaa kuonekana

pasina kudirikiwa na kuzungukwa kama vile ambavyo anajulikana hapa

duniani pasina kuzungukwa (katika kumjua), anasema Allah Mtukufu:

“Basi hawamzunguki kwa kumjua”. 1337

Hio ni dalili moja walioitegemea watetezi wa itikadi ya kumuona Allah

katika kutafautisha kwao baina ya neno al-ru-uya (kuona) na neno idrak

(kudiriki). Halkadhalika watetezi wa itikadi ya kumuona Allah

wametafautisha baina ya maana ya kuona na maana ya kudiriki kwa Aya

inayosema: اهغرل .Mpaka gharka ilipomdiriki (Fir‟awn)) حت إذا أدرم1338

Anasema Al-Imamu Ibn Jarir Al-Tabari:

، “ حـم هخ آض ــــكظ٠ اح أى ”حوخش و ح، رؤ هخح: ا هللا هخ: حػظ هخث

هللا طؼخ٠ حـم رؤ أىى كػ، ل ي أ حـم ؿ٤ ف رؤ آ، هخح: كق

ل رؤ ٣ ٤ج خـــل خ ٣ـ

Na wenye kauli hii wakatoa sababu ya kauli yao kwa kusema: „hakika

Allah kasema (Mpaka gharka ilipomdiriki (Fir‟awn), alisema (sasa)

nimeamini..)‟. Wakasema: „Allah Mtukufu kakuelezea kule kughariki

(kwa Fir‟awn) kwamba kumemdiriki Fir‟awn, na bila shaka kughariki

hakuambiwi kuwa kulimuona (Fir‟awn) wala si miongoni mwa yale

ambayo unaweza kuyaita kuwa ni yenye kuona kitu….1339

Huo ndio ushahidi wao kwa upande wa Aya za Qur-an ambazo watetezi wa

itikadi ya kumuona Allah wamezitegemea katika kutafautisha kwao baina

ya maana ya neno idrak (kudiriki) na maana ya neno ru-uya (kuona). Ama

kwa upande wa riwaya ni riwaya isemayo:

ــ حرــ، ػــ أر٤ـيػ٢ أر٢، ػــكيػ٢ لي ر ؼي هخ، كيػ٢ أر٢ هخ، كيػ٢ ػ٢ هخ، ك

، ٣و: ل ٣ل٢٤ ر أكي رخي .”ل طي حلرخ ٣يى حلرخ“ :ــزخ هــػ

1337

- Al-Baghawi Ma‟alimu Al-Tanzil j. 2, uk. 148. 1338

- Sura 10, Aya 90. 1339

- Imamu Al-Mufassirin, Al-„Allama Al-Rabani Ibn Jarir Al-Tabari Jami‟u Al-Bayan j.

7, uk. 347.

Page 488: Fimbo ya Musa

488 Katuhadithia Muhammad bin Sa‟ad kasema kanihadithia baba yangu

kasema kanihadithia ami yangu kutoka kwa baba yake kutoka kwa Ibn

Abbaas (kuhusu) kauli yake (Allah aliposema): „Uoni haumdiriki naye

anaudiriki‟, anasema (kwamba maana ya Aya hio ni kuwa): „hakuna uoni

wa yoyote yule ambao unaweza kumzunguka Mfalme (Allah).1340

Na riwaya ya pili inasema:

ل طي حلرخ ٣يى حلرخ : )كيػخ ر هخ، كيػخ ٣٣ي هخ، كيػخ ؼ٤ي ػ هظخىس ه

. ( أػظ أ طي حلرخ

Katuhadithia Bishr kasema katuhadithia Sa‟iid kutoka kwa Qatada

(kuhusu) kauli yake (Allah aliposema): „Uoni haumdiriki naye anaudiriki‟,

(kasema Qatada) naye (Allah) ni Mtukufu zaidi kutokana na kudirikiwa na

uoni.1341

Na riwaya nyengine yasema:

حل هخ، كيػخ هخي ر ػزي حك هخ، كيػخ أر ػكـش، ػ كيػ٢ ؼي ر ػزي هللا ر ػزي

س ( هخ: ٣ظ ا٠ هللا، ل طل٤ ػط٤ش حؼك٢ خ خظ ر س ا ٠ خ ج ٣ ؿ ٢ـــك٢ ه:

.”ل طي حلرخ”ر ٣ل٢٤ ر، كي ه: ظ،ــــ ػظــأرخ ر

Amenisimulia Sa‟ad bin Abdillah bin Abdil-Hakam, kasema: „katusimulia

Khalid bin Abdil-Rahman, kasema katusimulia Abu „Arfaja kutoka kwa

„Atiya Al-Awfi (kasema) kuhusiana na kauli ya Mwenyezi Mungu

(inayosema): “nyuso siku hio zitangaa***Zikitazama kwa Mola wake”.

Kasema: „watakuwa wanamtazama Mwenyezi Mungu uoni wao hauwezi

kumzunguka kwa ukubwa wake naye uoni wake unawazunguka. Basi hii

ndio maana ya pale Mwenyezi Mungu aliposema: “Uoni haumdiriki

(haumfikii) naye anaudiriki (anufikia).1342

Hizo ndio dalili za wenye itikadi ya kumuona Allah katika kutafautisha

kwao baina ya maana ya neno idrak (kudiriki) na maana ya neno ru-uya

(kuona). Na mukhtasar wa jawabu yao ni kuwa Aya hio inasema: “Macho

hayamdiriki (Allah)”, au “Uoni haumdiriki (Allah)”, ni kuwa kudiriki ni

kukiona kitu au kukifikia kitu na ukakizunguka: si kukiona tu. Natija ni

kuwa Aya haijakataa kuonekana kwa Allah bali imekataa kumzunguka

Allah.

1340 - Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 7, uk. 347.

1341 - K.h.j.

1342 - K.h.j.

Page 489: Fimbo ya Musa

489

JAWABU NA MAELEZO

Kwa hali yoyote ile iwayo, kilicho muhimu kwetu ni kuufikia ukweli. Na ili

tuufikie ukweli wa tafsiri ya Aya hio, basi tunahitaji kurejea katika lugha ya

Kiarabu ili tuweze kujua nini maana ya neno idrak (kudiriki), na je ni kweli

neno hilo maana yake ni kuzunguka. Bila kusahau kwamba ushahidi wa

lugha unachukuliwa katika sehemu tatu tu:

1) Kutoka katika Qur-an.

2) Kutoka katika Hadithi sahihi.

3) Kutoka katika maneno ya Waarabu wa awali hasa hasa Masahaba –

maneno yao ya kawaida (prose) na mashairi yao.

Vyenginevyo basi madai ya fulani na fulani hayakubaliwi ila kuwe na

makubaliano ya umma mzima. Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-

Mufassir amelibainisha hilo kwa hoja za wazi. Nakukumbusha maneno yake

tulioyanukuu katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu. Anasema:

Nayo (madai hayo ) ni kinyume na yanavyoonesha matumizi ya lugha ya

neno idrak (kudiriki) pamoja na chimbuko (derivation) lake. Maneno ya

wataalamu (na) mabingwa wa lugha ya Kiarabu pamoja na ushahidi wa

wazi na thabiti wa neno idrak (kudiriki) yanaonesha kwa uwazi kuwa neno

idrak (kudiriki) halina maana ya kukizunguka (kitu), bali kila moja, katika

maneno mawili hayo, lina maana tafauti na mwenzake. Imeelezwa katika

maandiko ya kamusi (la Kiarabu) na sherehe yake:

حيى... حلخم..هي أى اح لو

Kudiriki (maana yake) ni kufikia …na (husemwa katika lugha ya

Kiarabu) amekidiriki (kumaanisha) wakati (mtu) anapokifikia

(kitu).1343

Na katika (Kamusi) Al-Sihah imeandikwa:

كظ٠ أىظ أىظ رز١ أ٣ظ حإلىحى حلم.. ٣وخ ٤ض كظ٠ أىظ ػض

Kudiriki ni kufikia. Na husemwa (katika lugha ya Kiarabu

kwamba) nimekwenda kwa miguu mpaka nimemdiriki (yaani

nimemfika) na nimeishi mpaka nimemdiriki, na nimemdiriki kwa

macho yangu yaani nimemuona.1344

Na katika (Kamusi) Al-Lisan:

1343

- Taaju „Aruus j. 7 uk. 126. 1344

- Al-Jawhari Al-Sihah j. 4 uk. 1582.

Page 490: Fimbo ya Musa

490

).كظ٠ اح حىحح ك٤خ(حإلىحى حلخم .. طيحى حو طالكوح . ك٢ حظ٣

Kudiriki ni kufikia na husemwa: „watu wamedirikiana yaani

wamefikiana‟….na kama ilivyokuja katika Qurani Mwenyezi

Mungu aliposema: “Mpaka watakapodirikiana (humo motoni,

yaani watakapokutana).1345

Hayo ni maelezo ya Sheikh Al-Khalili akiyanukuu makamusi makuu ya

lugha ya Kiarabu yanayotegemewa. Kisha Sheikh Al-Khalili akasema:

Wala hilo neno kufikia pia lisijelikafasiriwa kuwa maana yake ni

kukizunguka kitu. Kwa sababu mtu akisema “nimeufikia ukuta kwa mkono

wangu” maana yake si nyengine bali kaugusa tu, haiwezekani kuwa mkono

wake umeuzunguka ukuta huo…….na wala sijaona kitabu chochote cha

marejeo (reference book) cha lugha ya Kiarabu kilicholifasiri neno idrak

(kudiriki) kuwa maana yake ni kukizunguka kitu. Na inatosha kukuonesha

makosa ya tafsiri hio kwamba Waarabu wenyewe husema: حـيح ل٢٤ رخع

“ukuta umeizunguka konde”, wala hawauiti ukuta huo ulioizunguka konde

kuwa: يى ر mudrikum bih “umeidiriki hio konde”. Na pia wanasema

Waarabu: ىض ك٤خس ؿي١أ “Nimeudiriki uhai wa babu yangu,” na (hali ya

kuwa) mtu hauzunguki uhai wa babu yake tangu mwanzo mpaka mwisho,

bali huikuta sehemu tu ya uhai wa babu yake. Na wanasema Waarabu

kuhusu Masahaba waliozaliwa baada ya Mtume (s.a.w.) kuwa: أىح خ

Wamezidiriki zama za Mtume (s.a.w.)”, na hali ya kuwa“ ح

wamezaliwa baada ya Mtume (s.a.w.) , hawakuikuta ila sehemu tu ya

wakati wake”. Na pia husema Waarabu: ى حأ “mshare umemdiriki”,

yaani umemfika, na wala haina maana kuwa umemzunguka. Na dalili tosha

kabisa ni hio tulioinukuu katika kamusi Al-Sihah akisema kuwa:

كظ٠ أىظ أىظ رز١ أ٣ظ حإلىحى حلم.. ٣وخ ٤ض كظ٠ أىظ ػض

Kudiriki ni kufikia. (Na) husemwa (katika lugha ya Kiarabu

kwamba) „nimekwenda kwa miguu mpaka nimemdiriki (yaani

nimemfika) na nimeishi mpaka nimemdiriki, na nimemdiriki kwa

macho yangu kwa maana nimemuona.1346

Hayo ni maelezo ya Sheikh Al-Mufassirin Al-Imam Badru Al-Din Al-

Khalili. Na tunaweza kuyafupisha maneno hayo na kufupisha ushihidi wake

kama ifuatavyo:

1) Neno idrak (kudiriki) maana yake ya msingi ya ni kufikia.

2) Idrak (kufikia) ya kila kitu ni kwa mujibu wa kilivyo kitu hicho:

a) Idrak (kufikia) ya mkono ni kushika.

1345

- Ibn Mandhur Lisan Al-Arab j. 3 uk. 1363. 1346

- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir Al-Haq Al-Damigh uk. 70-71.

Page 491: Fimbo ya Musa

491

b) Idrak (kufikia) ya sikio ni kusikia.

c) Idrak (kufikia) ya mshare ni kumfika aliyepigwa mshare huo.

d) Idrak (kufikia) ya jicho ni kuona.

3) Madai kwamba neno idrak maana yake ni kukizunguka kitu ni maana ya

kuundwa na watetezi wa itikadi ya kumuona Allah ili kuukimbia

ushahidi wa Aya ya Qur-ani. Maana hio haikupokewa kamwe katika

lugha ya Kiarabu. Ushahidi wa lugha ya Kiarabu unabainisha kwamba

neno idrak (kudiriki) maana yake ni kufikia na kwamba idrak (kudiriki)

ya jicho maana yake ni kuona. Hii ndio maana inayopatikana kutoka

katika Qur-ani, Hadithi na lugha ya Waarabu. Na kwa hivyo, kwa kuwa

Aya inasema: خ حل ر basi ,(Uoni haumdiriki au uoni haumfikii) ل ط ي

hii ina maana kwamba Yeye haonekani, na wala haina maana kuwa

Yeye hazungukwi.

Hizo ndio nukta muhimu zilizomo katika jawabu ya Al-Imamu Badru Al-

Din Al-Khalili Al-Mufassir. Kilichobakia ni kuyahakiki maneno yake hayo

kwa vioo vitatu:

1) Qur-an.

2) Sunna.

3) Lugha ya Waarabu.

NENO IDRAK KATIKA QUR-AN

Ama tukianzia katika upande wa Qur-an, tunaukuta ushahidi wa wazi kabisa

– kama yalivyonena makamusi ya lugha na kama alivyoeleza Al-Imamu Al-

Khalili Al-Mufassir – katika Aya inayosema:

ا جىغا ا حت إذا ادارما ف ت أخت هغ مهىا دخهت أى

Kila kundi litakapoingia humo (motoni) basi litalilani mwenzake,

mpaka watakapodirikiana wote humo kwa pamoja…..1347

Maana ya kudirikiana kwa makundi hayo ni kuwa kila kundi moja litalifika

jengine, wala haijakusudiwa kuwa kila kundi moja litapotupwa motoni

litalizunguka jengine. Kwa hivyo, ushahidi wa Qur-ani unawaunga mkono

wale wenye itikadi ya kutoonekana kwa Allah kwamba neno idrak

(kudiriki) maana yake ni kufikia.

1347

- Sura 7, Aya 38.

Page 492: Fimbo ya Musa

492

NENO IDRAK KATIKA HADITHI

Ama tukija katika Hadithi za Mtume (s.a.w.), ambazo zimelitumia neno hilo

idrak pasina kumaanisha kukizunguka kitu bali ni kwa maana ya kuwahi tu

au kufikia tu, ni Hadithi iliopokewa na Al-Imamu Al-Bukhari,1348 Al-Imamu

Muslim, 1349 Al-Bayhaqi,1350 Al-Baghawi,1351 Al-Tabarani,1352 Abu Daud,1353

Al-Hakim,1354

Ibn Hibbaan,1355 Al-Imamu Ahmad,1356 Al-Bazzar,1357 na Ibn

Abi Shaiba1358 Nayo ni Hadithi yenye kuhusiana na fitna za Dajjal. Hadithi

hio inasema:

ى ..... أ ى .ك د ١ ٤ذ خء ػ ح ك ب ح خ ٣ ٤ و غ ك ٠ ح ك ي

Basi atayemdiriki huyo (Dajjal) katika nyinyi basi naajitiye katika

ule ambao anauona yeye kuwa ni moto, kwani hayo ni maji matamu

mazuri.

Na Hadithi isemayo:

ػ٤ ز٤ س حق خ أض ػ أىى حيؿخ ٢٣ ػ٤ أ ٣ هأ

Atayeisoma Suratul Kahfi kama ilivyoteremshwa kisha akamdiriki Al-

Dajjal basi hatopewa nguvu juu yake au hatokuwa na njia (ya

kumfikia).1359

Bila shaka Mtume (s.a.w.) hakukusudia kwa neno idrak (kudiriki) lililomo

katika Hadithi hizi kuwa maana yake ni “Atayemzunguka Al-Dajjal”, bali

kakusudia kuwa atayemuwahi, ikiwa kamuwahi mwanzo mpaka mwisho au

kaiwahi sehemu tu ya kuwepo kwake.

1348

- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 3450. 1349

- Muslim Al-Sahih uk. 1219-1220, Hadithi na. 2935. 1350

- Al-Bayhaqi Shu‟abu Al-Iman j. 5, uk. 430, Hadithi na. 7160. 1351

- Al-Baghawi Sharhu Al-Sunna j. 8, uk. 334, Hadithi na. 4259. 1352

- Al-Tabarani Al-Kabir j. 17, uk. 231. Hadithi na. 241. Al-Awsat j. 3, uk. 67, Hadithi na.

2503. 1353

- Abu Daud Al-Sunan Hadithi na. 4307. 1354

- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 4, uk. 536-37, Hadithi na. 8507. 1355

- Ibn Hibbaan Al-Ihsan j. 8, uk. 293, Hadithi na. 6791. 1356

- Ahmad Al-Musnad j. 7, uk. 723, Hadithi na. 23743. 1357

- Al-Bazzaar Al-Musnad j. 7, uk. 243, Hadithi na. 2820. 1358

- Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 8, uk. 655, Hadithi na. 51. 1359

- Al-Nasai Al-Sunanu Al-Kubra j. 9, uk. 348, Hadithi na. 10724.

Page 493: Fimbo ya Musa

493

NENO IDRAK KATIKA LUGHA YA KIARABU

Ama tukija katika lugha ya Kiarabu, tunamkuta Al-Sayyida „Aisha (r.a.)

anaikataa itikadi ya kumuona Allah na anatoa ushahidi wa hayo kwa Aya

hio yenye kusema: خ ى حل ر ٣ ي خ حل ر ل ط ي ز ٤ و ٤ق ح حط “Uoni

haumfikii; naye anaufikia; naye ni mjuzi wa yaliojificha na ni mjuzi wa

yaliowazi”, akimaanisha kuwa idrak (kudiriki au kufikia) ya jicho maana

yake ni kuona. Amesimulia Al-Imamu Al-Rabi‟u bin Habib katika Al-

Jami‟u Al-Sahih1360

na Al-Imamu Muslim katika Al-Sahih1361

na Al-Nasai

katika Al-Kubra1362

na Al-Tirmidhi katika Al-Sunan1363

na Abu Nu‟aim

katika Al-Mustakhraj1364

na Abu „Awana katika Al-Musnad,1365

na Al-

Bayhaqi katika Al-Asmaau Wa Al-Sifat, na Ibn Manda katika Al-Imaan,1366

na Al-Imamu Al-Bukhari katika Al-Sahih katika sehemu tafauti vipande

vipade ukivikusanya unaipata Hadithi kamili,1367

na lafdhi ni ya Al-Imamu

Al-Rabi‟u, anasema Masruq katika riwaya hio:

ــــــػ م هخ ض ػي ػخثش ٢ هللا ػخ كوخض ػالع ط رحكيس كوي أػظ

ض ظجخ كـضــــ٣ش ػ أ ليح أ ر كوي أػظ ػ٠ هللا حل٣ش هخ ــػ٠ هللا حل

{ } وي آ رخلكنــش أهــي آ ــ ٣و هللا } وأ١ ل طؼـ٢ ـهض ٣خ أ حئ٤ حظ

ـحز٢ ٠ هللا ػ٤ ػخ أخ أ حلش ؤض ـــــحز٤ { كوخض ػخثش ٢ هللا ػ

ـػ٤خ ال ط٤ أ٣ظ هي ز٢ ال أ ك٢ ط حظ٢ هني كوخ ي ؿز٣ ػ٤ ح

يىـي حلرخ ٣ـحخء كي ؿ خ ر٤ حخء حل أ طغ و طؼخ٠ } ل ط

حلرخ حط٤ق حوز٤ {

Kutoka kwa Masruq kasema: „nilikuwa kwa „Aisha (r.a.) akasema:

„mambo matatu atayelisema moja katika hayo basi huyo kamzulia Allah

uwongo mkubwa: atayedai kuwa Muhammad kamuona Mola wake basi

huyo kamzulia Allah uwongo mkubwa. (Masruq) akasema: „nilikuwa

nimeegemea nikakaa kitako nikamwambia: ewe mama yangu! Ngojea:

usifanye haraka! Kwani Mwenyezi Mungu (subhanahu wa ta‟aala)

hakuesema: وي ح رخلكن حز٤ (Na kwa hakika alimuona katika upeo wa

macho uliosafi)1368

Na kwahakika) وي ح ش أه.… .………..…………

amemuona katika mara nyengine).1369

Akasema Bibi „Aisha mimi ndiye

wa kwanza katika uma huu niliyemuuliza Mtume (s.a.w.) kuhusu jambo

1360

- J. 3, uk. 309, Hadithi na. 824. 1361

- Hadithi na. 287. 1362

- J. 10, uk. 274, Hadithi na. 11468. 1363

- Hadithi na. 3068. 1364

- Hadithi na. 442. 1365

- Hadithi na. 405. 1366

- Hadithi na. 763. 1367

- Nayo inapatikana katika Hadithi na. 3234- 3235. Hadithi na. 4855. Hadithi na. 7380. 1368

- Sura ya 81 Aya ya 23. 1369

- Sura ya 53 Aya 13.

Page 494: Fimbo ya Musa

494 hilo, akasema huyo ni Jibril sikumuona katika sura yake aliyomuumba

Mwenyezi Mungu (yaani sura yake ya kimalaika) ila mara mbili.

Nimemuona kashuka katika mbingu na mwili wake umezifunika mbingu

na ardhi. Kwani hujasikia wewe Allah (subhanahu wa ta‟aala)

aliposema: ل طي حلرخ ٣يى حلرخ حط٤ق حوز٤ (Macho

hayamdiriki (hayamfikii) Naye anayadiriki (anayafikia) Naye ni Mjuzi

wa yaliojificha na ni Mjuzi wa yaliyo dhahiri).

Haya ni maneno ya Al-Sayyida „Aisha yamo katika Hadithi sahihi kabisa.

Naye –kama unavyoona – kalifasiri neno idrak (kudiriki) ya jicho kuwa

maana yake ni kuona. Suali la kujiuliza ni kuwa lau neno idrak maana yake

si kuona bali ni kuzunguka, je ingelifaa kwa Al-Sayyida „Aisha kutoa

ushahidi wa Aya hio ili kuthibitisha kuwa Allah haonekani? Na maana hio

walioidai watetezi wa itikadi ya kumuona Allah kwamba neno idrak maana

yake si kuona bali ni kuzunguka, je Al-Sayyida „Aisha alikuwa haijui maana

hio, ilhali yeye ni Mwarabu safi na ni Sahaba mwanachuoni na juu ya yote

hayo kakulia katika nyumba ya wahyi? Ni wazi kwa mujibu wa riwaya hii

kwamba Aya hio inazungumzia kutoonekana kwa Allah: si kumzunguka

Allah, kwani Al-Sayyida „Aisha (r.a.) kaikataa itikadi hio ya kumuona Allah

kisha akatoa ushahidi kwa Aya hio.

Na mara ngapi utaona katika maneno ya watangulizi wema wakisema katika

riwaya zao kuwa fulani kamdiriki fulani ilhali hakukuta ila sehemu –

pengine ndogo tu – ya uhai wake. Al-Imamu Ahmad bin Hanbal, kwa

mfano, anasimulia katika kitabu chake Al-Musnad riwaya ambayo mpokezi

wake anasema:

أ ٣ ض أ ر خ ه ي ي ل خ ت ه خ ى أ ٤ وخ ه ي أ ى خ س

Akasema Muhammad: „na nilimuona Abu Murra na alikuwa Sheikh

ambaye kamdiriki (kamuwahi) Ummu Haani. 1370

Na mfano wake ni riwaya:

س ر ٠ ٤ ن طخد ا ٠ و ح ر ػ خ أ ح ى ٤ش -أ خ ـ ى ح ه ي أ ى

„Umar bin Al-Khattaab (r.a.) alimtuma mtu kwenda kwa mzee wa kabila la

Banii Zuhra katika watu wa mji wetu ambaye alikuwa kazidiriki zama za

ujahiliyya.1371

1370

- Ahmad Al-Musnad j. 8, uk. 689, Hadithi na. 27435. 1371

- Al-Humaidi Al-Musnad j. 1, uk. 15, Hadithi na. 24.

Page 495: Fimbo ya Musa

495

Utaona katika riwaya ya kwanza kwamba mpokezi anasema kuwa Abu

Murra kamdiriki Ummu Haani. Na hii haina maana kwamba Abu Murra

kauzunguka uhai wote wa Ummu Haani, bali alimuwahi katika sehemu tu

ya maisha yake, kwani Ummu Hani ni Sahaba kasilimu siku ya ufunguzi wa

Makka,1372

wakati Abu Murra (Yazid Al-Hashimi) ni mfuasi wa Masahaba

wa Madina kaja baadae.1373

Na katika riwaya ya pili anasema msimulizi

kuwa mzee huyo aliudiriki wakati wa ujahiliyya, ilhali wakati wa ujahiliyya

ni mrefu mno hakuna mtu yoyote yule aliyeishi akaweza kuuzunguka wote,

bali kila aliyeishi katika zama hizo basi aliwahi sehemu tu ya zama hizo.

Na mfano wa hayo, ni riwaya inayosimulia kisa cha Al-Imamu Ali (k.w.) na

Sayyidna Abu Bakr Al-Siddiq (r.a.). riwaya hio yatongoa hivi:

أرخ ٠ أىىــهللا ػ ػ٠ خهش هللا ٠ هللا ػ٤ كظكوؽ ػ٢ ر أر٢ ١خذ ٢

.…ر رخط٣ن

Basi (Al-Imamu) Ali bin Abi Talib (k.w.) akatoka akapanda ngamia wa

Mtume (s.a.w.) mpaka akamdiriki Abu Bakr (r.a.) njiani. 1374

Na hii haina maana kwamba Al-Imamu Ali alimzunguka Sayyidna Abu

Bakr (r.a.), bali maana ni kuwa: “mpaka alipomfikia Abu Bakr”.

Na haya yako kwa wingi mno hatuwezi kuyamaliza. Anasema mshairi wa

Kiarabu:

خ ... ى ظ حء أى و س ح ح ح و زخثا ح د ر ٤ ل ح ذ حإل ك

Mwana wa farasi mwekundu mgongo wake utapodiriki**Basi Allah

naawashe vita baina ya makabila.1375

Maana ya “mgongo wake utapodiriki” ni “akifikia wakati wa kupandwa”.

Lau neno idrak (kudiriki) lilikuwa na maana ya kuzunguka, basi maana

ingelikuwa “mgongo wake ukizunguka”, na hapo ubeti usingelikuwa na

maana yoyote.

1372

- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 12, uk. 507-508, tarjama na 2994. 1373

- - Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 11, uk. 328, tarjama na. 625. Ninasema: hata

wakiwa na umri sawa, basi inakuwa hakuuzunguka umri wake wote kwani hata wakipata

fahamu ya kuweza kudiriki mambo inakuwa sehemu ya umri wao imeshapita -

hawakuidiriki. Tena kwa mara ya pili: hata akiwa Abu Murra ni mkubwa zaidi basi pia

hakuweza kuuzunguka uhai wote wa Ummu Hani, kwani Abu Murra yeye ni mtu wa

Madina wakati Ummu Hani ni mtu wa Makka. 1374

- Al-Bayhaqi Dalailu Al-Nubuwa j. 5, uk. 377, Hadithi na. 2040. 1375

- Diwaanu Al-Hamasa uk. 249.

Page 496: Fimbo ya Musa

496

Anaendelea mshairi:

أر ؾ حي ر ؼ ي خث ذ ص ك ٢ ... ه ؼ ي ٤ ظ ؿ٢ ى ر أى ١ ز ض ك

Nimeomba kwa uso wangu sikudiriki na bora***lau nilikaa kitako;

sikufikia kukirimiwa baada ya Saaib.1376

Ni wazi kwa mujibu wa dalili hizi kwamba neno idrak (kudiriki) katika

lugha ya Kiarabu maana yake ni kufikia tu: pasina kumaanisha kuzunguka.

UPINZANI WA AL-IMAMU AL-RAZI JUU YA RIWAYA YA „AISHA

NA JAWABU YA AL-IMAMU AL-KHALILI AL-MUFASSIR

Lakini tukirudi katika riwaya ya Al-Sayyida „Aisha, tunamkuta Al-Imamu

Al-Fakhru Al-Razi anatoa hoja dhidi yake kwa kusema:

ىحص ــــش لكــأخ ه ا ػخثش ٢ هللا ػخ طض ر ح٣٥ش ك٢ ل٢ حإ٣ش كو : ؼ

طظذ ػخء حـش ، كؤخ ٤ل٤ش حلظيل رخي٤ كال ٣ؿغ ك٤ ا٠ حظو٤ي ـش اخــح

Ama kauli yao (wale wasioamini kuonekana kwa Allah) kwamba „Aisha

(r.a.) alishikana na Aya hii (Macho hayamdiriki), katika kukataa

kuonekana kwa Allah; sisi tunasema kwamba maarifa ya misamiyati ya

lugha yanapatikana kutoka kwa wanavyuoni wa lugha, ama namna ya

kutoa ushahidi kutoka katika dalili, basi hilo marejeo yake si kuiga…1377

Lakini Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili akamjibu kwa jawabu ya wazi.

Anasema Sh. Al-Khalili:

٢ لخش كخش ىىس ػالػش أؿ:

ػيخ خح ل ٣ؼظي ال ػ٠ ٤وظ حؼر٤ش ك٢ طوــ كــ –أخ: أ حؼد حلهلخف

أه كـش ؿخء رؼي ػخء حؼر٤ش ح٣ ىح لىحطخ كح –وخي حال

ؼخ٤خ، كب ئلء خح ٣ظي ا٠ أإجي ك٢ ك وخيخ، ٣ أإجي ٣ؿؼـــــ ا٠

ئلء ك٢ ي.

ػخ٤خ: أ خ و أثش حؼر٤ش ػ حؼد ؼخ٢ حإلىحى ظلن حلطلخم غ خ ـزــض ا٤

ػخثش ٢ هللا طؼخ٠ ػخ ك٢ ح حلظيل.

حلظخى رخظيلخ ح ٤ حظو٤ي ك٢ ٢ء اخ ـــــ ــ رخد حلهـــــ ػخؼخ: أ

رخث حل ؼخ٢ حـ٣ش.

1376

- Diwaanu Al-Hamasa uk. 335. 1377

- Al-Razi Mafaatiihu Al-Ghaib j. 13, uk. 106.

Page 497: Fimbo ya Musa

497

Nalo (jaribio hilo la Al-Fakhru Al-Razi) ni jaribio lenye kufeli lenye

kukataliwa kwa njia tatu:

Mosi: ni kuwa Waarabu Safi – kwa sababu wao walikuwa wakitegemea

ufasaha wao wa kimaumbile wa lugha ya Kiarabu katika matamshi yao na

kuyafahamu kwao makusudio ya maneno – basi wao ndio hoja ya nguvu

zaidi kuliko wale waliokuja baadae miongoni mwa wanavyuoni wa lugha

ya Kiarabu ambao wameandika misamiyati yake, kwani hawa

(wanavyuoni wa lugha ya Kiarabu waliokuja baadae) walikuwa

wanawategemea wale (Waarabu safi) katika kuifahamu maana yake

(maana ya maneno ya lugha), wala hawakuwa wale (Waarabu safi)

wakiwategemea hawa (wanavyuoni wa lugha ya Kiarabu waliokuja

baadae) katika hilo.1378

Pili: ni kuwa hao maimamu wa lugha ya Kiarabu (waliokuja baadae) basi

walichokinukuu wao kutoka kwa Waarabu kuhusiana na maana ya neno

idrak (kudiriki) kunaafikiana kikamilifu na yale alioyasema „Aisha (r.a.)

katika kutoa ushahidi huu.

Tatu: ni kuwa kutoa ushahidi kwa kutegemea dalili alioitoa „Aisha si

katika mlango wa kuiga, bali ni katika mlango wa kuchukua njia za

kuifahamu maana ya lugha.1379

Kwa ujumla ni kuwa hayo ni yale yaliomo katika lugha ya Waarabu.1380

Kwa hivyo, ushahidi wa kilugha unaopatikana katika Qur-an, Hadithi za

Mtume (s.a.w.) na lugha ya Waarabu wa awali unaeleza kwamba neno idrak

(kudiriki) maana yake ni kufikia na kwamba kudiriki kwa kila kitu ni kwa

mujibu wa kilivyo kitu hicho. Huo ndio ushahidi wa wenye itikadi ya

kutoonekana kwa Allah kuhusu maana ya neno idrak (kudiriki) lililotumika

katika Aya hio ambayo tunaielezea. Sasa kama ni hivyo, suali ni kuwa je

zile Aya walizozitolea ushahidi watetezi wa itikadi ya kumuona Allah –

katika kutafautisha kwao baina ya maana ya neno kudiriki na neno kuona –

zina maana gani? Na je zile riwaya walizotolea ushahidi katika suala hilo

nazo zina ukweli gani? Soma yafuatayo.

1378

- Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Damigh uk. 79. 1379

- Kwani lugha inachukuliwa katika Qur-ani, Sunna na maneno ya Waarabu wa awali.

Tazama Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir Al-Haqqu Al-Damigh uk. 73. 1380

- Tumeyaweka maneno ya Al-Sayyida „Aisha katika sehemu ya ushahidi wa kilugha,

japokuwa katumia Aya ya Qur-ani lakini maelezo ni yake, na kwa hivyo riwaya yake

tumeihesabu kuwa ni miongoni mwa maneno ya Waarabu kuhusu maana ya neno idrak

(kudiriki).

Page 498: Fimbo ya Musa

498

KUZIJADILI DALILI ZA WALIOSEMA

KUWA KUDIRIKI MAANA YAKE

NI KUKIZUNGUKA KITU

Baada ya hayo, sasa naturudi nyuma kidogo ili kuzijadili dalili za

waliosema kuwa idrak (kudiriki) maana yake ni kukizunguka kitu; na ru-

uya (kuona) ni kukiona tu hata kama hukukizunguka chote. Utakumbuka

kwamba watu hawa walitoa ushahidi wa fikra yao hio kwa Aya na Hadithi.

Aya ni kama:

ا هىدرمن افهىا ترا دن **اهجىغان قاو أصحاب ىس إ قاو مال إن ىغ رب س

Basi makundi mawili hayo (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana, watu

wa Musa wakasema kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa. Akasema:

„sio hivyo, kwa hakika Mola wangu yupamoja nami ataniongoza.1381

Na Aya:

ل طوخف ىخ ل طو٠

Usiogope kudirikiwa wala usiogope (chochote).1382

Na Aya:

اهغرل حت إذا أدرم

Mpaka gharka ilipomdiriki (Fir‟awn).1383

Maelezo yao kuhusiana na Aya ya kwanza katika kutafautisha kwao baina

ya al-ru-uya (kuona) na idrak (kudiriki) ni kuwa baada ya wafuasi wa Musa

kusema: “kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa”, Nabii Musa (a.s.)

alilikanusha hilo la kuwa wao watadirikiwa akasema: “(hapana) sio hivyo,

kwa hakika Mola wangu yupamoja nami ataniongoza”, akimaanisha

kwamba hatutodirikiwa bali Mola yupo atatuongoza. Sasa wakati Nabii

Musa (a.s.) anakataa kuwa watadirikiwa, tunakuta mwanzoni mwa Aya hio

hio Allah anasema kuwa makundi mawili hayo yalionana “Basi makundi

mawili (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana”. Kwa hivyo, hili

linamaanisha kuwa kuona na kudiriki ni vitu viwili tafauti.

1381

- Sura 26, Aya 61. 1382

- Sura 20, Aya 77. 1383

- Sura 10, Aya 90.

Page 499: Fimbo ya Musa

499

Na kuhusu Aya ya pili maelezo yao ni sawa sawa na maelezo ya Aya ya

kwanza. Ama kuhusu Aya ya tatu wamesema kuwa Allah kasema kuwa

gharka ilimdiriki Fir‟awn ilhali gharka haioni. Kwa hivyo, ni wazi kwamba

idrak (kudiriki) na ru-uya (kuona) ni vitu viwili tafauti.

Hayo ndio maelezo yao kuhusu Aya hizo, nayo ni maelezo ya ajabu kutoka

kwa watu wanavyuoni! Nami sioni tatizo lao katika kusema hivyo

isipokuwa kitendo chao cha al-taqlid al-a‟ama (kufuata kama kipofu) ilhali

macho wanayo! Wala usistaajabu ndugu msomaji kwamba hayo

yamesemwa na wanavyuoni wakubwa; wanavyuoni wakubwa wamekuwa

na kawaida ya kuigana na kukatokea kwa sababu hio makosa mengi ya

tafsiri na mengineo.1384

Sasa tukirudi katika maelezo yao hayo, tunaona kuwa hayo ni maelezo batili

bila shaka kwani Aya hizi zimelitumia neno idrak (kudiriki) pasina

kulitegemeza na kitu chochote. Na sisi tafauti yetu ni اىحى حلرخ idrakul

absaar (kudiriki kwa macho au kudiriki kwa uoni). Tumesema kwamba

kilichomo katika Qur-an, Hadithi na lugha ya Waarabu na makamusi ya

lugha ni kuwa neno idrak (kudiriki) maana yake ni kufikia. Na kwa hivyo,

kudiriki (kufikia) kwa kila kitu ni kwa mujibu wa vile kitu hicho kilivyo.

Kudiriki (kufikia) kwa sikio ni kusikia; kudiriki (kufikia) kwa jicho ni kuona

n.k. Na hili ni tafauti kabisa na Aya hizo, ambapo ndani yake kumetajwa

neno idrak (kudiriki) tu: pasina kusemwa kudiriki kwa jicho au kiungo

chengine chochote kile. Na kwa hivyo Aya ya kwanza, kwa mfano,

inasema:

ا هىدرمن اهجىغان قاو أصحاب ىس إ دن **فهىا ترا قاو مال إن ىغ رب س

Basi makundi mawili hayo (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana, watu

wa Musa wakasema kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa. (Musa)

akasema: „sio hivyo, kwa hakika Mola wangu yupamoja nami

ataniongoza.1385

Aya hii ingelifaa kuwa ushahidi wa watetzi wa itikadi ya kumuona Allah lau

Aya ilisema: “hakika sisi ni wenye kudirikiwa kwa macho” kisha Nabii

Musa (a.s.) akakanusha akasema: „sio hivyo, kwa hakika Mola wangu

yupamoja nami ataniongoza”. Hapa tungeliweza kusema: “tazama! Nabii

Musa kakataa kuwa watadirikiwa kwa macho ilahali mwanzoni mwa Aya

1384

- Kwa hali yoyote ile, kauli ya wanavyuoni haiwi hoja ila wakubaliane. Vyenginevyo

mwenye dalili sahihi ndiye anayefuatwa. 1385

- Sura 26, Aya 61.