Upload
sabri-salim
View
1.409
Download
57
Embed Size (px)
DESCRIPTION
FIMBO YA MUSA INAYAMEZA WANAYOYAZUSHA JUZUU YA NNE KUHUSU KUONEKANA AU KUTOONEKANA KWA ALLAH
Citation preview
VIAMBATISHO 1
ػخ ٠ طوق خ ٣ؤك
FIMBO YA MUSA INAYAMEZA WANAYOYAZUSHA
JUZUU YA NNE KUHUSU KUONEKANA AU KUTOONEKANA KWA ALLAH
Juma Muhammad Al-Mazrui
2
YALIYOMO
MAUDHUI UKURASA
DIBAJI
UTANGULIZI………………….. SOMENI: MUSIDANGANYWE………………….
ASILI YA ITIKADI YA KUMUONA ALLAH…………………….
TAFAUTI ZA UMMA JUU YA SUALA LA KUONEKANA KWA ALLAH…….
ASILI YA UPOTOFU……………………..
JAWABU NA MAELEZO…………….
SURA YA KWANZA UCHAMBUZI YAKINIFU JUU YA ELIMU YA HADITHI…………….
KUYAJADILI MAELEZO HAYO YA MAFUTA………….
KUTAFAUTIANA KWA AHLU SUNNA KATIKA RIWAYA ZA ITIKADI….
RIWAYA ZA WATU WA TAJSIM…………………………
RIWAYA ZA KUPONDA MADHEHEBU FULANI……………….
AL-JARHU WA AL-TA‟ADIL……………………………………………………….
MINHAJ YA MASAHABA KATIKA KUZICHUNGUZA HADITHI……….
MANENO YA WANAVYUONI…………………………….
MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU…………………………….
KIFUNGU CHA PILI CHA KUJADILIWA…………………..
KUYAJADILI MANENO HAYA……………..
TANBIHI……………………………………..
MASHARTI YA USAHIHI WA HADITHI……………………
MAELEZO YETU JUU YA MANENO HAYO………………….
MAELEZO ZAIDI KUHUSU USAHIHI NA UDHAIFU WA HADITHI………
TANBIHI………………………………………………………………. HADITHI ZENYE SANAD SAHIHI LAKINI MUTUN DHAIFU………..
HADITHI ZA KUTUNGA NA KUPENYA KWA HADITHI ZA
KIISRAILI…………
NJIA YA MAZINDIKI YA KUTUNGA HADITHI……………………..
NJIA YA AHLUL-KITABI YA KUTUNGA HADITHI……………..
MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU…………………………….
SURA YA PILI…………………… KUHUSU HADITHI MUTAWAATIR ……………
HOJA YAO YA MAFUTA…………………..
JAWABU………………………………….
NUKTA YA PILI YA MAFUTA …………………………….
JAWABU………………………………………………………………………
NUKULU ZA AL-IMAMU AL-KHALILI AL-MUFASSIR………………………
NUKULU ZA IMAMU AL-SUNNA, AL-QANNUBI………………
MAFUTA NA MAANA YA HADITHI MUTAWATIR………………..
3 JAWABU……………………………………………………………
SHARTI YA KWANZA……………………………………………….
SHARTI YA PILI……………………………………………………….
MFANO WA KWANZA……………………………………………………..
SURA YA TATU……………. HOJA ZA KIAKILI ZA WATHIBITISHAO KUONEKANA ALLAH……..
UWONGO WA DR. „ALI AL-FAQIHI …………………..
TUNAREJEA KATIKA FALSAFA YA KUWEPO NDIO SHARTI PEKEE YA..
KUONEKANA…………….
SURA YA NNE………… HOJA ZA KIMAANDIKO KWAMBA KUMUONA ALLAH NI JAMBO
LENYWE
KUWEZEKANA........................................................................................................
DALILI ZA KIMAANDIKO………………………………..
KIFUNGU CHA PILI CHA MAELEZO
YAO………………………………………
SURA YA TANO………………………………. SABABU YA KUTOONEKANA KWA ALLAH HAPA DUNIANI………….
SURA YA SITA…………………. HOJA ZA KIMAANDISHI ZA WENYE ITIKADI YA KUMUONA
ALLAH……..
(KUNA) NYUSO SIKU HIO ZITANG‟ARA***KWA MOLA WAKE TU
NDIKO ZITAKAKOTAZAMA……………………………………….
MAANA YA NENO NADHAR………………………
MADAI YAO JUU YA NENO NADHAR NA JAWABU YA AHLU AL-
HAQQI………
QARINA YA KWANZA: NENO NADHAR LINAPOKUWA HALIKUFUATANA
NA HERUFI YOYOTE………………………………………………..
QARINA YA PILI………………………
QARINA YA TATU………………………………………
TANBIHI………………………………………
QARINA YA NNE……………………..
MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU…………………………….
SURA YA SABA…………………………………………… RIWAYA ZILIZOKUJA KUIFASIRI AYA HIO KUWA MAANA YAKE NI
KUMUONA ALLAH…………………………………………
KUYAJADILI MANENO YA KASIM MAFUTA KUHUSIANA NA MAUDHUI
HII…..
KUYAJADILI MANENO HAYO…………………………………….
JARIBIO LA KWANZA LA KUIPOTOSHA HOJA
HII…………………………………
JAWABU………………………………………
ANAENDELEA KASIM MAFUTA……………………………………….
JAWABU………………………………………
4 ANAENDELEA KASIM MAFUTA……………………………………….
JAWABU………………………………………
ANAENDELEA KASIM MAFUTA……………………………………….
JAWABU………………………………………
ANAENDELEA KASIM MAFUTA……………………………………….
JAWABU………………………………………
HADITHI ZA KUONEKANA KWA ALLAH………
HADITHI YA IBN „UMAR………………
TAKHRIJ YA HADITHI HIO………………….
WALIOITOLEA HOJA HADITHI HIO………………………………..
SANAD YA HADITHI HIO…………………………………………….
RIWAYA ZA MAIMAMU KATIKA TAABI‟IIN…………….
RIWAYA YA KWANZA…………………………..
SANAD YA RIWAYA……………………………………………
RIWAYA YA PILI……………………………….
SANAD YA RIWAYA HIO……………………………………..
RIWAYA YA TATU……………
SANAD NA MATN KWA UFUPI
HOJA ZA WALIOIFASIRI AYA HIO KUWA MAANA YAKE NI KUNGOJEA
REHEMA YA ALLAH…………………………
MUQABALA WA KIBALAGHA…………………………
KANUNI YA PILI YA KILUGHA KUMTANGULIZA MTENDWA BADALA
YA MTENDA……….
TANBIHI………………………..
RIWAYA ZA MAIMAMU…………………………
RIWAYA YA MUJAHID……………….
ALIYEIPOKEA NA WALIOITAJA RIWAYA HIO
SANAD YA RIWAYA HIO………………
RIWAYA YA ABU SALIH……………………
SURA YA NANE…………………………………. HOJA YA PILI
AYA: WALE WALIOTENDA MEMA WATAPATA MEMA (YA MATENDO
YAO) NA ZIADA…………………….
HADITHI YA SUHAIB KWA NJIA YA HAMMAD BIN SALAMA………
TAKHRIJ YA HADITHI HIO……………………….
WALIOITOLEA HOJA HADITHI HIO…………………………
MAELEZO KUHUSU SANAD HIO YA HAMMAD BIN SALAMA……….
MAANA YA ZIADA……………………………..
FANI YA BALAGHA YATOA JAWABU……………………………..
KHILAFU ZA AL-SALAF JUU YA TAFSIRI YA AYA HIO…………
RIWAYA YA KWANZA INASEMA: ZIADA NI CHUMBA CHA LULU….
RIWAYA PILI: ZIADA NI KUZIDISHWA THAWABU MOJA KWA KUMI…
RIWAYA TATU: ZIADA NI VIPAWA VYA DUNIA………………………
MUKHTASAR WA HAYA NI KUWA:……………………………………
RIWAYA HII KATIKA SANAD YAKE KUNA HAMMAD BIN SALAMA..
5 HAMMAD BIN SALAMA …………………………………..
JAWABU YA KASIM MAFUTA KUHUSU HAMMAD BIN SALAMA…
JAWABU…………………………………..
NUKTA YA PILI:…………………………………………..
JAWABU……………………………………………
ANAENDELEA IBN MAFUTA KWA KUSEMA:………………….
JAWABU…………………………………………
ANAENDELEA IBN MAFUTA KWA KUSEMA:………………….
JAWABU…………………………………………
ANAENDELEA SHEIKH MAFUTA: ……………………………….
JAWABU………………………………
TANBIHI………………………………….
NJIA YA PILI:-……………………………………..
JAWABU…………………………………….
NJIA YA TATU:-……………………………..
JAWABU……………………………………….
ANAENDELEA SHEIKH MAFUTA KWA KUSEMA:…………….
JAWABU……………………………………..
HADITHI DHAIFU NA ZA KUTUNGA ZA HAMMAD BIN SALAMA
KUTOKA KWA THABIT AL-BUNANI…………………………………..
HADITHI YA KWANZA……………………………………….
HADITHI YA PILI………………………….
HADITHI YA TATU…………….
HADITHI YA NNE……………
HADITHI YA TANO ………………………
HADITHI YA SITA……………………………
HAMMAD KENDA KINYUME NA WAPOKEZI WENGI ZAIDI NA
WALIOTHIQA ZAIDI……………………….
TAKHRIJ YA HADITHI HIZO…………………………
TANBIHI………………………………….
HOJA NYENGINE KUHUSU RIWAYA YA HAMMAD BIN SALAMA…
MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU………………………………………….
SURA YA TISA: DALILI YAO NYENGINE: AYA NYENGINE KUHUSU
ZIADA WATAYOPEWA WATU WA PEPONI…………………………….
RIWAYA YA KWANZA………………………………………………..
SANAD YA RIWAYA HII…………………………………………………
RIWAYA YA YA PILI: RIWAYA YA KUMUONA MWENYEZI MUNGU
KILA IJUMAA…………………………………………………..
SANAD YA RIWAYA……………………………………..
TAKHRIJ YA HADITHI HIO………………………
TANBIHI……………………………………………..
MGONGANO BAINA YA RIWAYA………………
MATN YA RIWAYA…………………………….
SANAD YA RIWAYA……………………………
MUKHTASARI…………………………
6
SURA YA KUMI: KUKIRI KWA BAADHI YA WANAVYUONI WA
KISUNI
MANENO YA AL-IMAMU MUHAMMAD RASHID RIDHA
MANENO YA IBN HAJAR
MANENO YA IBN ASHUR
AL-JASAS AL-RAZI AKANUSHA KUONEKANA KWA MWENYEZI
MUNGU…………………………………………………
MANENO YA AL-SAYYID AL-SAQQAAF…………………………………….
MANENO YA AL-UKHT „AZZA BINT MUHAMMAD AL-MISRIYYA
SURA YA KUMI NA MOJA: KUHUSU HADITHI ZA
KUONEKANA KWA ALLAH……………………………………….
HADITHI YA KWANZA: HADITHI YA KUMUONA ALLAH KAMA
MUNAVYOUONA MWEZI…………………………………………………….
SANAD YA HADITHI HIO………………………
MAJIBU YA MAFUTA……………………………
JAWABU…………………………………………………………
SUALA LA PILI: QAIS ANA HADITHI MUNKAR…………………………
JAWABU…………………………………………………….
MAANA YA PILI YA NENO MUNKAR…………………………………
JAWABU…………………………………….
MAANA YA NENO MUNKAR KATIKA MATUMIZI YA AL-IMAMU AHMAD
BIN HANBAL…………………………………………..
TUKIRUDI KWA IBN HAJAR ………………………..
NJIA YA PILI YA JAWABU YA MAFUTA……………………………..
JAWABU ……………………………………………………………..
NJIA TATU ZA HADITHI YA QAIS…………………………………
HADITHI YA KWANZA……………………………………………
NJIA YA PILI…………………………………………………………
MJADALA JUU YA NJIA MBILI HIZI…………………………………..
RIWAYA KAMILI NA MATN YAKE
ILIVYO…………………………………………
MJADALA BAINA YA SH. AL-KHALILI NA WAWANAVYUONI WENYE
ITIKADI……….
YA KUMUONA MWENYEZI MUNGU JUU YA HADITHI HII………
HADITHI HIO KATIKA MASIMULIZI YA AL-IMAMU ALBUKHARI
UFAHAMU MBAYA JUU YA HADITHI HII
MAJIBU YETU
JAWABU
TAFSIRI ZA WANAVYUONI KUHUSU MANENO LA TUDHAAMMUNA NA
LA TUDHAARRUUNA
NJIA YA TATU NA YA NNE ALIOITOLEA HOJA MAFUTA
JAWABU………………………….
MATN YA RIWAYA HIZI………………………………
HADITHI YA PILI………………………………..
JAWABU
7 NJIA YA PILI
JAWABU
NJIA YA TATU
JAWABU
NJIA YA NNE
JAWABU
NJIA YA TANO
JAWABU
MAELEZO YA UJUMLA KUHUSU RIWAYA HIZO
JAWABU NA MAELEZO
TUKIRUDI KWA IBN MAFUTA
JAWABU
MWISHO WA SEHEMU YA KWANZA
SURA YA KUMI NA MBILI: HOJA ZA KUTOONEKANA KWA
ALLAH HOJA ZA KIAKILI
JAWABU
JAWABU YA KASIM MAFUTA…………………………………….
JAWABU…………………………………………………………………
HOJA ZA KIMAANDIKO
UPINZANI
KUDIRIKI NA KUONA NI VITU VIWILI TAFAUTI!
JAWABU NA MAELEZO
NENO IDRAK KATIKA QUR-AN
NENO IDRAK KATIKA HADITHI
NENO IDRAK KATIKA LUGHA YA KIARABU
UPINZANI WA AL-IMAMU AL-RAZI JUU YA RIWAYA YA „AISHA NA
JAWABU YA AL-IMAMU AL-KHALILI AL-MUFASSIR
KUZIJADILI DALILI ZA WALIOSEMA KUWA KUDIRIKI
MAANA YAKE NI KUKIZUNGUKA KITU
HOJA YAO YA PILI: KUTODIRIKIWA ALLAH NI DUNIANI TU
MAJIBU YA KASIM MAFUTA
JAWABU NA MAELEZO
MIFANO YA RIWAYA ZENYE KUGONGANA NA TAFSIRI YA
QUR-AN ILIOJENGEKA JUU YA FANI ZA LUGHA
HOJA YA PILI YA KASIMA MAFUTA
JAWABU NA MAELEZO
JAWABU YA TATU YA KASIM MAFUTA
JAWABU NA MAELEZO
NJIA YA NNE YA JAWABU YA MAFUTA
JAWABU NA MAELEZO
NJIA YA TANO YA JAWABU YA MAFUTA
JAWABU NA MAELEZO
UPINZANI WA TATU WANAVYUONI
UPINZANI WA NNE WA WANAVYUONI
8 UPINZANI WA TANO WA WANAVYUONI
UPINZANI WA SITA WA WANAVYUONI
MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU
SURA YA KUMI NA TATU: KUHUSU AYA: طح٢
(HUTONIONA) UPINZANI WA KWANZA WA KASIM MAFUTA…………….
JAWABU NA MAELEZO ………………………………………………..
KASIM MAFUTA ANAENDELEA NA UPINZANI WAKE ………….
ANAENDELEA KASIM MAFUTA…………………………….
UPINZANI WA TATU WANAVYUONI……………………………
UPINZANI WA NNE WA WANAVYUONI ………………………..
UPINZANI WA TANO WA WANAVYUONI ……………………
UPINZANI WA SITA WA WANAVYUONI…………………..
MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU ………………………
JAWABU ………………………………………………….
UPINZANI WA PILI WA KASIM MAFUTA………………………
JAWABU
JAWABU NA MAELEZO
HADITHI YA IBN ABI „ASIM
MATN YA HADITHI
SANAD YA HADITHI
TAKHRI YA HADITHI HIO
UZUSHI WA AL-ALBANI
TUNARUDI KATIKA MAUDHUI YA ASILI
TURUDI KATIKA MANENO YA WANAVYUONI
MADAI YA AL-ZAMALKANI NA JAWABU YA AL-KHALILI
MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU
SURA YA KUMI NA NNE: KUHUSU AYA: “NA HAIWI KAMWE
KWA MTU KUWA ALLAH ASEME NAYE”…………………………….. UPINZANI WA KASIM MAFUTA……………………………….
JAWABU NA MAELEZO……………………………………….
SURA YA KUMI NA TANO: KUHUSU HADITHI: “NA HAKUNA
KINACHOZUIA BAINA YA WATU NA KUMTAZAMA MOLA WAO
ISIPOKUWA LILE VAZI LA KIBRI
CHAKE”…………………………………………
MANENO YA MAFUTA KUHUSU HADITHI HIO
JAWABU
MADAI MENGINE YA KASIM MAFUTA
JAWABU
MUKHTASARI WA UJUMLA
KHATIMA
9
ر هللا حك حك٤
ا ستغجهن أفبغذاب صباح اهىذرن ي فسا زو بساحت فإذا
ل ح د لل ي ح ٤ خ ؼ خه ؼ ح ظ ش ز ل ٤ و ي ػ ػ ل ا ح أ , ٤ خ ٠ حظ ل ا ال هللا أ ي
ى ٢ حخل٤ ل ي ك أ ل أ ي ي ز ح ػ ي ٤ ل ؾ ر ٤ ه و ه
ـ ر هللا ق ش حل ق ش خ حل ى أ ش خ ح ز ل ٠ آ ػ ٤ ػ ٠ هللا ش ح
DIBAJI
Baada ya kumshukuru Allah na kumtakia rehema Mtume wake (s.a.w.),
Masahaba wake, wake zake na waliowema katika watu wa nyumba yake
tukufu, ningependa kukumbushana nawe ndugu msomaji kwamba maudhui
ya msingi ya mjadala huu ni: “je Allah ataonekana huko akhera au
hatoonekana?” Pamoja na hayo, katika juzuu tatu zilizotangulia tulilazimika
kutoa ufafanuzi wa maudhui mbali mbali1 ili kuweza kuweka wazi
msimamo wetu na kusafisha shubuhati za Kiwahabi kwa ujumla na za
Kasim bin Mafuta hususan.
Kitabu hiki ni juzuu ya nne katika mfululizo wa juzuu za kitabu chetu
Fimbo Ya Musa tulichokiandika ili kujibu hoja au – kwa usahihi zaidi –
kujibu shubuhati za Kasim Mafuta. Tutakigawa kitabu hiki katika sura kumi
na tano, ambazo mukhtasari wake utakuwa mwishoni mwa kitabu hiki. Na
kwa ujumla ni kuwa maudhui za kitabu hiki zinagawika katika sehemu tatu
kuu:
1) Kuhusu suala la elimu ya Hadithi.
2) Kuzijadili hoja za wenye itikadi ya kumuona Allah.
3) Kuzijadili hoja za wenye itikadi ya kutomuona Allah.
Pamoja na hayo, tumeweka utangulizi ambao umezungumzia kuhusu
chanzo cha itikadi ya kumuona Allah na tafauti na migongano iliopo baina
ya watu wenye itikadi hio ya kumuona Allah. Kama vile ambavyo
tumebainisha katika utangulizi kwamba itikadi ya kumuona Allah imezaa
itikadi nyengine nyingi batili. Hayo yote utayasoma humu in shaa Allah
kwa ushahidi ulio wazi kabisa.
Juma Al-Mazrui
1 - Juzuu ya kwanza imetoka, na ya nne ndio hii; ya pili na ya tatu bado hazijatoka.
10
UTANGULIZI SOMENI: MUSIDANGANYWE
Mawahabi wanadai kuwa wao wako katika haki na kwamba wao ndiwo
wenye kufuata Qur-ani, Sunna, na ufahamu wa Al-Salaf Al-Salih
(watangulizi wema)!2 Kwa mantiki hii, basi wao – katika itikadi zao –
watakuwa wana ushahidi madhubuti kabisa usiotikiswa na hoja yoyote ile.
Sasa cha ajabu ni kuwaona watu hawa kuwa wana tabia ya popo:
wanaogopa nuru! Popo hutoka usiku tu kwenye kiza: mchana kwenye
muangaza hatoki: anauogopa. Ninachota kukisema hapa ni kuwa viongozi
wa Kiwahabi huko Tanzania wanawakataza wafuasi wao wasisome vitabu
vyangu! Hilo si kwamba limefanywa katika vitabu vya Juma tu, bali hio
ndio sera ya Kiwahabi na Maimamu wao wote waliotangulia. Mutakumbuka
kwamba katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki, nilitoa ushahidi mwingi wa
namna Mawahabi na Maimamu wao watangulizi walivyokuwa wakiwazuia
na kuwakimbiza wafuasi wao wasisome vitabu vya madhehebu mengine
wala wasisikilize maneno ya Waislamu wengine. Kama mulivyojionea
wenyewe maelezo yetu huko yenye ushahidi wa wazi kabisa kwamba
Sheikh Ibn Baz kakimbia mjadala wa wazi na Sheikh Al-Khalili! Sasa ikiwa
wao wana hoja sahih, basi wasiogope kusoma vitabu vya mtu yoyote yule
kwani batili ni lazima itatoweka mbele ya hoja za haki.
Yenye kumuhusu Sh. Bin Baz na mengineo, tumeyaelezea kwa ushahidi
katika juzuu ya kwanza. Je: vipi juu ya yale yenye kuvihusu vitabu vya Al-
Faqir Juma Al-Mazrui? Hapa kuna visa vitatu:
Mosi: mmoja wa vijana wetu alikwenda kupeleka kitabu changu katika
moja ya maduka ya vitabu ya Kiwahabi. Muuzaji alipoona tu kwamba
kitabu kimeandikwa na Juma Al-Mazrui, alikataa kukichukua,
akamwambia: “sisi vitabu vya huyu hatuchukui”. Anaeleza kijana wetu
huyo kwamba “Mawahabi wanapeana tahadhari maalumu juu ya vitabu
vyako”. Mimi nawambia kwamba wasipeane tahadhari, bali wasome vitabu
vya madhehebu zote na watazame hoja sahihi washikane nazo. Huo ndio
Uislamu. Imenifikia kwamba Sheikh wetu Sh. Seif Al-Ghafri naye
alipokwenda Mwanza au Tabora3 akaulizwa kuhusu kitabu Fimbo Ya Musa
cha Juma Al-Mazrui. Akasema: “musisome vitabu vyake yule: hana
2 - Ni haki yao kudai hivyo, na kila mtu ana haki ya kudai hivyo.
3 - Nimesahau kidogo.
11
elimu”.4 Je ni kweli kwamba tatizo la Juma Al-Mazrui la kutokuwa na elimu
ndilo lililomfanya Al-Ghafri awazuie wafuasi wao au kulikuwa na ajenda
nyengine hapo?
Pili: Nilipoandika kitabu Ushahidi Uliowekwa Wazi, nilijibiwa na kamati ya
Masjid Al-Sunna ya Kikwajuni Zanzibar. Nami pia nikawajibu katika kitabu
nilichokiita Jawabu Yetu. Kijana mmoja wa Kiwahabi akaichukua jawabu
hio niliojibiwa akampelekea kijana wetu wa Kiibadhi, akamwambia:
“tazama jawabu hii aliojibiwa Juma”. Kijana wetu akamuuliza Wahabi:
“wewe kitabu Ushahidi Uliowekwa Wazi cha Sh. Juma5 umekisoma?”
Wahabi akajibu: “Ata sikukisoma”. Kijana wetu akamuuliza tena: “je
jawabu ya Sh. Juma juu ya kitabu hiki ulichonipa umeisoma?” Wahabi
akajibu: “sikuisoma”! Kijana wetu akamwambia: “sasa vipi utajua hoja
zenye nguvu na dhaifu? Mimi nimevisoma vitabu vyote vitatu hivi, na
nimeona kuwa hawakujibu kitu”. Kwa hivyo, huu ndio msiba wa Mawahabi
– kufuata matamanio: si kutafuta hoja.
Tatu: Baada ya kuandika kitabu changu Fimbo Ya Musa juzuu ya kwanza.
Mmoja wa vijana wa Tabora waliochukuliwa na mkumbo wa Kiwahabi
alikikalia kitako kitabu hicho akakisoma vizuri. Huyu tunampa heko kwa
kutafuta ukweli. Akakubaliana na maelezo na ushahidi tulioutoa, na
akanipigia simu, haidhuru alikuwa na baadhi ya masuali yake ambayo
katika kitabu hicho hayakuelezwa yeye alitaka yaelezwe.6 Cha muhimu ni
kuwa, kwa habari ilionifikia ni kuwa kijana huyo alikuwa akimwambia
ndugu yake: “hiki kitu kakieleza Sh. Juma kwa uwazi kabisa: kiko wazi”.
Lakini ndugu-mtu akawa hataki hata kukitazama! Sasa cha kujiuliza ni
kuwa mtu huyu anapinga kitu asichokijua? Basi hivi ndivyo zilivyo akili za
Mawahabi wote: hawakusalimika na akili hio isipokuwa wachache tu. Ndio
maana huko Suudia vitabu vya Kiibadhi vinapigwa vita: haviingii. Mmoja
wa Mamufti wao wa zamani alitoa fat-wa kuwa vitabu vya Kiibadhi
vipigwe moto! Soma kitabu Laftu Al-Intibah cha Sheikh Muhammad Al-
„Utbi uone madhila na maudhi alioyapata alipokuwa akisoma Saudia miaka
4 - Cha kustaajabisha ni kuwa Al-Ghafri mwenyewe kakikiri kwamba Fimbo Ya Musa
kimeandikwa kwa mfumo wa kielimu wa hali ya juu! Halafu kageuka kifudifudi
akawazuia wafuasi wake wasikisome! 5 - Yeye kaniita Sheikh wala mimi si Sheikh: mimi ni mwanafunzi katika wanafunzi
wadogo. Lakini labda alitaka kunipa heshima. Allah amlipe kheri. 6 - Masuali hayo mahala pake ni juzuu ya pili in shaa Allah.
12
ya zamani,7 si kwa sababu ya uibadhi wake tu, bali pia kwa sababu ana
vitabu vya Kiibadhi!
Sasa baada ya hayo, soma mkasa uliomtokea Sh. Khalid Yasin na
Mawahabi wa Saudia.
SH. KHALID YASIN NA MAWAHABI WA SAUDIA
Sh. Khalid Yasin ni Mmarekani mweusi aliyesilimu na kufanya kazi kubwa
sana ya da‟awa. Yeye ni mtu ambaye amekwenda sana Saudia na amekaa na
wanavyuoni wakubwa wengi wa huko akiwemo Sheikh Ibn Baz ambaye
alikaa nyumbani kwake mwenyewe.
Miezi si mingi iliopita alibahatika kutembelea Oman na kufanya mihadhara
na pia kuwatembelea wanavyuoni wa Oman akiwemo Sheikh Al-Khalili.
Jambo la kwanza aliloliona ni tafauti kubwa iliopo baina ya Sheikh Al-
Khalili na wanavyuoni wa Saudia. Alisema kwamba Sheikh huyu yuko
tafauti sana na Masheikh wale: huyu yeye anazungumza kila kitu – mambo
ya Uingereza, ya Marekani, ya nchi hii na ile na matukio tafauti ya dunia,
wakati wale wanazungumzia mambo ya fiq-hi na itikadi tu.
Cha muhimu ni kuwa baada ya kuhitimisha ziara yake nchini Oman,
alikwenda Saudia na akawasimulia walimu wake wa huko kuhusu ziara
yake ya Oman. Basi hapo kiama kilisimama, wakamwambia: “wale ni kama
Mashia, wale ni Khawarij”. Yeye akawauliza: “je nyinyi mumekwenda
Oman na kukaa na wanavyuoni wao?” Jawabu: “Laa! Hatukwenda;
hatujakaa nao!” Suli: “je mumesoma vitabu vyao?” Jawabu: “Laa:
hatujasoma!”. Akawambia: “sasa nyinyi munapinga kitu musichokijua? Je
hii si dhulma? Mimi nimekaa nao na nimesoma vitabu vyao na naona ni
watu wazuri sana, wala hakuna tatizo lolote”. Hapo mkubwa wao alimwita
Sh. Khalid Yasin pembeni akamwambia: “mimi kwanza naomba radhi kwa
haya nilioyasema na ninataka niende Oman na ninataka kuonana na
wanavyuoni wao hususan Sh. Al-Khalili”.
Kwa hivyo, huu ndio msiba wa Mawahabi: wanapinga kitu wasichokijua, na
hata ikiwa wanakijua basi wamekijua ujuzi wa kimakosa kwani
wamekisoma kutoka katika vitabu vya wapinzani na aghlabu yao – kama si
waote – si waadilifu au hawaujui uhakika na misingi ya Kiibadhi.
7 - Siku hizi Ibadhi hawampokei kamwe, na wakimjua wanamfukuza. Binafsi nawajua
Ibadhi watatu waliofukuzwa masomo kwa sababu ya uibadhi wao! Huu ni msiba mkubwa
kwa Waislamu!
13
Kwa hivyo, sisi wito wetu ni kuwa watu wasome vitabu vya madhehebu
zote na watazame chenye hoja sahihi wakichukue na chenye hoja dhaifu au
kisichokuwa na hoja wakiache. Huu ndio Uislamu na huku ndiko kufuata
Qur-ani na Sunna. Anasema Allah:
با اهطاغ ي اهبصر فبصر عباداهذن اجت ه ابا إه اهه أ ا غبد اهذن ستىغن **ت أن ها األهباب ي أ ن ه أ ي اهه دا ن اهذن ه أ تبغن أحس و ف ……اهك
Wale ambao wamejiepusha na kuabudu masanamu na wakarejea kwa
Allah basi hao bishara njema ni zao. Basi wape habari njema waja
wangu**Wale ambao husikiliza kauli (tafauti), wakafuata ilio nzuri
yao, hao ndiwo ambao Allah kawaongoza na hao ndiwo wenye akili.8
8 - Sura 39, Aya 17.
14
ASILI YA ITIKADI YA KUMUONA ALLAH
Mwenye kulichunguza vyema suala zima la itikadi ya kuonekana kwa
Allah, basi anagundua kwamba dhana hio ilizaliwa tangu zama za
Masahaba. Sababu za kuzaliwa kwa dhana hio, ni mbili:
1) Athari za Ahu Al-Kitab waliosilimu.
2) Ufahamu mbaya wa Aya za Qur-an.
Ama kuhusu suala la mwanzo, utakumbuka kwamba Mayahudi walijenga
itikadi ya kumuona Allah tangu zama za Nabii Musa (a.s.). Na kwa hivyo
walimshikilia kwamba awaoneshe Allah wazi wazi:
إذ قهتي ا ىس هن ر ج ؤىن هن حت ر اهه
Na kumbukeni wakati mulipomwambia Musa kwamba
hatutokuamini hadi tutapomuona Allah wazi wazi).9
Itikadi hio haikuishia katika zama za Nabii Musa (a.s.) tu, bali kilicho wazi
kabisa ni kuwa Mayahudi waliiendeleza itikadi hio hadi zama za Mtume
(s.a.w.). Miongoni mwa vyenye kuthibitisha hilo ni kile kisa
kilichosimuliwa kuhusu tukio la mkutano wa Ibn Abbaas na Ka‟abu Al-
Ahbar, Myahudi aliyesilimu na akawa anasimulia riwaya zao za Kiisraili.
Wamesimulia wapokezi wa Hadithi kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar akisema:
ر٤ لي ٠ كآ لي ط٤ ٠ ط٤ال ا هللا ه إ٣ظ
Hakika Allah kakugawa kuonekana kwake na maneno yake baina ya
Muhammad na Musa: Muhammad akamuona mara mbili na Musa
akazungumza naye mara mbili.10
Katika riwaya ya Al-Tirmidhi katika Al-Sunan,11
na Ibn Khuzaima katika
Al-Tawhid,12
tunapata kwamba Ibn „Abbaas alikutana na Ka‟abu Al-Ahbar
huko „Arafa. Ibn „Abbaas akamuuliza Ka‟abu kuhusu kitu fulani; Ka‟abu
akapiga takbiri kubwa ilioje mpaka milima ikarejesha sauti, kisha ndio
akasema maneno hayo tulioyanukuu ya kuwa Muhammad kamuona Allah
na Musa kazungumza naye.
9 - Sura 2, Aya 55.
10 - Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Al-Sunna j. 3, uk. 500, riwaya na. 867. Ibn
Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 496, riwaya na. 21. Is-haaq bin Raahwaih Al-Musnad riwaya
na. 1421. Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 286, riwaya na. 548. 11
- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 3278.
12 - Ibn Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 561, riwaya na. 328.
15
Riwaya hii ya Al-Tirmidhi, inasema kwamba Masruq – baada ya kuyasikia
hayo – alikwenda kwa Al-Sayyida „Aisha (r.a.) kumuuliza: “ivo kweli
Muhammad kamuona Mola wake”. „Aisha alistaajabu sana! Na Masruq –
kama zinavyoeleza riwaya nyengine – akatoa hoja kwa Aya: آ ر خل ك ن و ي ز ٤ ,(Na kwa hakika alimuona katika upeo wa macho ulio safi) ح
13 na
Aya: آ و ي ش أ ه (Na kwa hakika alimuona mara ya pili).14
Lakini
Al-Sayyida „Aisha (r.a.) akambainishia kwamba huyo aliyeonekana hapo ni
Jibril (a.s.), na kwamba yeye (Al-Sayyida „Aisha) kamuuliza Mtume (s.a.w.)
na akamjibu hivyo.15
Kwa hali yoyote ile iwayo, tukijaalia kuwa riwa hio ni thabiti au ni ya
kufinyanga, basi cha kufahamu ni kuwa hayo ni maneno ya Ka‟abu Al-
Ahbar, Yahudi aliyesilimu, ambaye – bila shaka – aliathirika na riwaya zao
za kutunga na zilizotokana na kitendo chao cha kuipotosha Taurati. Kilicho
muhimu hapa ni kuwa: je Ibn Abbaas naye alisema kuwa Mtume (s.a.w.),
alimuona Mola wake kwa macho ya kichwa chake? Hilo utalifahamu katika
sehemu inayofuata in shaa Allah. Lakini kilicho muhimu zaidi ni kuwa
riwaya hizi zinathibitisha kile tulichokieleza kwamba mbegu za itikadi ya
kumuona Allah zilipandwa na Mayahudi waliosilimu wakitegemea
masimulizi ya Taurati yao iliopotoshwa.
Jambo la pili ambalo lilizaa itikadi ya kumuona Allah, ni ufahamu mbaya
wa maandiko. Umejionea mwenyewe hapo nyuma kidogo na utazidi
kujionea huko mbele in shaa Allah kwamba Masruq kajenga hoja yake ya
kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa kutumia Aya: ز ٤ آ ر خل ك ن ح و ي
(Na kwa hakika alimuona katika upeo wa macho ulio safi),16
na Aya:
آ و ي ش أ ه (Na kwa hakika alimuona mara ya pili).17
Ufahamu huo
si kwamba ulikuwa ni wa Masruq peke yake, bali hata Ibn Abbaas eti naye
kazielewa Aya hizo hivyo!18
Lakini wakati kumekuwa na ufahamu huo wa
Aya, tunamkuta Mtume (s.a.w.) mwenywe – kama ulivyoona – kazifasiri
Aya hizo vyenginevyo. Na si hivyo tu, bali Mtume (s.a.w.) kabainisha
kwamba yeye alichokiona ni nuru: si Allah.19
Jambo hili linathibitisha nukta
ya pili kwamba si kuwepo kwa wito wa Mayahudi tu ndiko kulikozaa itikadi
13
- Sura 81, Aya 23. 14
- Sura 53, Aya 13. 15
- Maelezo zaidi juu ya riwaya hii yatakuja baadae katika sehemu zake in shaa Allah. 16
- Sura 81, Aya 23. 17
- Sura 53, Aya 13. 18
- Hivyo ndivyo riwaya nyingi zinavyotongoa, lakini ninasema labda yeye asiwe Ibn
Abbaas! Mtu ambaye alikuwa na elimu asio na kifani na bingwa wa tafsiri, lakini hapa
tunajaalia tu. 19
- Tutainukuu riwaya tukifika sehemu zake in shaa Allah.
16
ya “tutamuona Allah”, bali ufahamu mbaya wa Aya za Qur-ani pia
ulichangia mchango mkubwa katika hilo. Sasa kama umelielewa hilo la
watu kuzielewa vibaya Aya hizo zisemazo: “kamuona mara ya pili”….
“kamuona katika upeo wa macho”, basi usione ajabu kwamba wako
walio au wataoielewa vibaya Aya: “Nyuso siku hio zitang‟ara***Kwa
Mola wake tu ni zenye kutazama”. Na kama utajua kwamba tafsiri hio
iliopokewa kutoka kwa Ibn Abbaas haikuthibiti kutoka kwake, kama Mzee
wa Uislamu anavyosema,20
lakini pamoja na yote hayo tafsiri hio
imepokewa kutoka kwake katika riwaya kadha wa kadha, basi usione ajabu
utapojua kwamba riwaya nyengine ziundwe ili kuifasiri Aya “Nyuso siku
hio zitang‟ara***Kwa Mola wake tu ni zenye kutazama”, kuwa maana
yake ni kumuona Allah. Na hakuna chenye kubainisha hilo kuliko ukweli
kwamba kila fani inayotumika katika kuifasiri Qur-ani, basi inatoa jawabu
tafauti na riwaya hizo – na hio ndio moja ya alama za riwaya za kutunga.
TAFAUTI ZA UMMA JUU YA SUALA LA
KUONEKANA KWA ALLAH
Umma wa Kiislamu umetafautiana juu ya suala la kuonekana au
kutoonekana kwa Allah. Wakasema baadhi yao kwamba Allah haonekani
duniani wala akhera. Wenye kauli hii ni Ahlu Al-Haqqi wa Al-Istiqama
(Ibadhi), Shi‟a, Zaidia, Mu‟atazila, Al-Jahmiyya na wachache katika
wanavyuoni wa Kisunni.21
Na wengine wakasema kuwa Allah anaonekana.
Hawa ni jumhur ya madhehebu za Kisunni – Al-Maturidiyya, Al-
Ash‟ariyya, Al-Dhahiriyya na Al-Hashwiyya. Nao wametafautiana katika
suala hili juu ya vipengele tafauti:
MOSI: je Allah ataonekana akhera tu au hata duniani anaonekana? Jumhur
(majority) yao wanaona kuwa Allah anaonekana akhera tu: si duniani.
Wengine – wachache – wakasema kuwa bali hata duniani pia Allah
anaonekana. Na hawa nao wakatafautiana tena: je wenye kumuona Allah au
kumuona Allah duniani ni haki mahususi kwa ajili ya Mtume (s.a.w.) au
20
- Tutayanukuu baadae maelezo yake in shaa Allah. 21
- Ukweli kwamba waliokubaliana katika kauli ya kutoonekana Allah, ni Jahamia, Shia,
Muutazilah, ndiko kunakowafanya Mawahabi waushike uzi huu dhaifu kwa kuwahujumu
Ahlu Al-Haqqi Wa Al-Istiqaama. Lakini cha kuelewa ni kuwa kundi fulani ni limepotea
haina maana kuwa kila msimamo wake ni upotovu. Kwa hivyo kuirudisha haki kwa sababu
kaisema fulani aliyepotea, uhakika wake ni kuidhulumu haki. Basi mwenye kuifuata njia
hiyo ya kuirejesha haki kwa sababu kaisema fulani inatosha kumtoa mtu katika njia ya haki.
Na kwa hivyo kuwaponda Maibadhi kuwa wamekubaliana na Majahamia na Mashia katika
itikadi hii ya kutoonekana kwa Alla hakuzingatiwi kwa wale wenye kuitafuta haki.
17
Waumini pia wanaweza kumuona? Wako wengi waliodai kuwa hii ni haki
mahususi kwa Mtume (s.a.w.): pasina Waumini. Miongoni mwa wenye
kauli hii ni Al-Alusi na Al-Imamu Al-Nawawi. Anasema Al-Alusi:
ل حإ٣ش ……...حي٤خ ٢ــــإ٣ش كــح ظخ ك٢ أ طد ٠ ػ٤ حال خ ح ……
حي٤خ ٢ ــح٢ كــــــــــطح٢ ك٢ ح٣٥ش طح٢ أض رخم ػ٠ حلخش ل ط طوخ كؼ٠
ا ح حلي٣غـــــطح٢ طوخ ل ك٢ حي٤خ ل ك٢ ح٥هس ؼ طوخ ك٠ال ػ أ ٣ حؼ٠
حء غ ػي ـــػ٤ أ ر ٤ش حإل ٠ هللاـــرخ ق كػخ هكخ أ ــو
ؤط ػ٤ حالس ـري أ ـحهظخ ٠ هللا طؼخ٠ ػ٤ ش ك٢ـــــــحؼن ؼ حل
..…حال أ ؤس أػيخ س
…..Na (Hadithi) hii iko wazi kwamba ombi la Musa lilihusiana na
kumuona Allah duniani….si (kwamba kaomba) kumuona Allah moja kwa
moja (duniani na akhera). Basi maana ya: “hutoniona” katika Aya hio ni
“hutoniona” nawe umebakia katika hali hii: si “hutoniona” duniani moja
kwa moja, ukiachilia mbali (kuwa maana yake ni) “hutoniona” moja kwa
moja duniani na akhera.22
Na‟aam! Hakika ya Hadithi hii (tulioitaja hapo
ya kuwa Allah haonekani isipokuwa peponi huko akhera, ni Hadithi ya
ujumla ambayo) imehusishwa na Hadithi sahihi zilizopokewa kutoka kwa
Mtume (s.a.w.) na kutoka kwa Masahaba kwamba Mtume (s.a.w.)
kamuona Mola wake usiku wa miraji pasina kuzimia. Na labda hekima ya
kumuhusisha Mtume (s.a.w.) kwa hilo ni kuwa maumbile ya Mtume
(s.a.w.) ni maumbile yaliokamilika na yenye sura ilio sawa zaidi.23
Ama Al-Imamu Al-Nawawi yeye kasema katika Sherehe yake juu ya Sahihu
Muslim baada ya maelezo kuhusiana na Aya: وي آ ش أه (na kwa
hakika kamuona mara ya pili):24
٠ أ ــهللا ٠ هللا ػ٤ أ ر رؼ٤كخلخ أ ححؿق ػي أؼ حؼخء أ
ح خ ل ٣زـ٠ أ ٣ظي ك٤ .……ر ػزخ ؿ٤ خ طوي ح٤ش حلحء لي٣غ ــــ
Natija (ya yote hayo yaliotangulia) ni kuwa chenye uzito kwa wanavyuoni
wengi zaidi ni kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Mola wake kwa macho yake
mawili yalio kichwani mwake usiku wa israa, kwa ushahidi wa Hadithi ya
Ibn „Abbaas na wengine katika yale yaliotangulia….hili ni miongoni mwa
mambo ambayo hayatakiwi kutiliwa shaka….25
Na anasema katika fatawa zake:
ل٤ق ـــــ حــح ٠ أــ٤ش حلحء رؼ٤ــــأ ٠ هللا ػ٤ ر زلخ طؼخ٠
22
- Al-Alusi hapa atia itikadi yake ya kuwa Allah aonekana duniani! 23
- Al-Alusi Ruh Al-Ma‟aani j. 9, uk. 49-50. 24
- Sura 53, Aya 13. 25
- Al-Nawawi Sharhu Muslim j. 2, uk. 287.
18
ح١ هخ حر ػزخ أؼ حلخرش......
Na Mtume (s.a.w.) alimuona Mola wake Mtukufu usiku wa israa kwa
macho yake mawili yalio kichwani mwake. Hiki ndicho kilicho sahihi
ambacho kimesemwa na Ibn „Abbaas na Masahaba wengi zaidi…26
Bali kauli hio, ndio ilionukuliwa kutoka kwa Al-Imamu Al-Ash‟ari na
wengi katika wafuasi wake. Wanasema washereheshaji wa kitabu
Jawharatu Al-Tawhiid baada ya kuelezea suala hilo la Mtume (s.a.w.)
kumuona Allah:
ي هخ رخإ٣ش ح٤ن أر حل حلؼ١ ؼ٤ أطزخػ
Vivyo hivyo kasema Al-Imamu Abu Al-Hasan Al-Ash‟ari pamoja na
wengi katika wafuasi wake kuwa (Mtume s.a.w.) kamuona (Allah).27
Na ikanasibishwa kauli hio pia kwa Al-Imamu Ahmad bin Hanbal,28
Al-
Hasan Al-Basri na ikanukuliwa pia kutoka kwa Al-Mawardi.29
Kisha wenye kauli hio wakatafautiana tena katika nukta mbili:
a) Je Mtume (s.a.w.) alimuona Allah kwa macho yake au kwa moyo
wake?
b) Je kumuona kwake ilikuwa ni katika hali ya kuwa macho au
usingizini?
Wengine – kama ulivyoona maneno ya Al-Alusi na Al-Nawawi – wanasema
kuwa alimuona kwa macho yake ya kichwa chake: si kwa moyo. Na
wengine wanasema kuwa Allah alimchanganyia aina zote mbili za kuona –
kwa macho na moyo.30 Na Ibn Hajar akakufasiri kuona kwa moyo kuwa ni
kuona kweli kweli: si kuona kwa maana ya kumjua Allah tu, kwani kumjua
Allah, Mtume (s.a.w.) alikuwa anamjua tangu mwanzo.31
Na kwa hivyo,
wengine – kama Al-Wahidi – wamesema kuwa Allah aliumba macho katika
26
- Al-Imamu Al-Nawawi Al-Msailu Al-Manthura kilichopangwa na Sheikh „Alaau Al-Din
Al-„Attaar, uk. 17. 27
- „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 704. 28
- Lakini Ibn Taymiyya ana maelezo kidogo kuhusu hili. Tutayanukuu maelezo yake hapo
mbele in shaa Allah. 29
- „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 704. 30
- „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 705.
Tazama vizuri! Ukitazama kitabu hiki harakaharaka bali hata kwa utulivu basi utaona
kwamba haya ni maneno ya Al-Munawi. Lakini ukirejea kitabu cha Al-Munawi basi utaona
kwamba haya si maneno yake, bali maneno yake ni ya mwanzoni mwa msitari ambayo
hapa hatukuyanukuu. Na dhahir ya kauli hii imetegemea riwaya ya Al-Tabarani tutayoitaja
baadae. 31
- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 9, uk. 5653, maelezo ya Hadithi na. 4855.
19
moyo wake.32
Lakini udhaifu uliomo katika maelezo hayo ya Al-Hafidh Ibn
Hajar uko wazi. Na maneno hayo ya Ibn Hajar hayawachi kuwa ni yenye
kuhitaji mtazamo mwengine, kwani kama ilikuwa moyo ulimuona kweli
kweli basi nini hikma ya kuona kwa moyo kama yanavyoona macho ilhali
macho yapo na ndio kazi yake kuona: kwanini uoni wa kweli kweli
upelekwe kwenye moyo? Bali inavyojulikana ni kuwa moyo hauoni kweli
kweli, na kwa hivyo, yanapotumika maneno kuona kwa moyo basi
makusudio yake ni kujua ujuzi ulio sahihi.
Tegemeo la wenye kauli hio ya kuonekana kwa Allah duniani, ni riwaya
zilizonasibishwa kwa Ibn Abbaas zenye kusema kuwa Mtume (s.a.w.)
alimuona Mola wake katika usiku wa miraji. Riwaya hio imesimuliwa na
idadi si ndogo ya wapokezi kama: Al-Nasai katika Al-Kubra,33
Al-Tabarani
katika Al-Awsat34
na katika Al-Kabir,35
Al-Tirmidhi katika Al-
Sunan,36
Ahmad bin Hanbal katika Al-Musnad,37
Al-Bazzaar katika Al-Bahru
Al-Zakhaar,38
Ibn Abi Shayba katika Al-Musannaf,39
Al-Bayhaqi katika Al-
I‟itiqad40
na katika Al-Asmaau wa Al-Sifat,41
na wengine.42
32
- Wameinukuu katika Sharhu Jawharati Al-Twhid j. 2, uk 705. 33
- Al-Nsai Al-Kubra j. 10, uk. 276, Hadithi na. 11473-11475. 34
- Al-Tabarani Al-Awsat j. 6, uk. 50, Hadithi na. 5761. 35
- Al-Tabarani Al-Kabir j. 10, uk. 299, Hadithi na. 10727. J. 11, uk. 242, Hadithi na.
11619. J. 12, uk. 219, Hadithi na. 14921 . 36
- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 3278, lakini katika riwaya hii msemaji wa wazi wa
kumuona Allah ni Ka‟abu Al-Ahbar. Hadithi. Na. 3279. Hadithi. Na. 3280. Hadithi na.
3281, lakini katika Hadithi kasema: “kamuona kwa moyo wake”. 37
- Al-Imamu Ahmad Al-Musnad j. 1, uk. 736, Hadithi na. 2580. 38
- Al-Bazzaar Al-Bahru Al-Zakhaar j. 11, uk. 361, Hadithi na. 5185, lakini kuna maneno
kwamba Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa moyo wake. Sijui je maneno hayo ni ya Ibn
Abbaas au ni tafsiri ya Al-Bazzaar. Hili la pili linaelekea zaidi. Na kaisimulia pia katika
Hadithi na. 7165, kutoka kwa Anas bin Malik: “Muhammad kamuona Mola wake” bila ya
kusema “kwa moyo wake”. 39
- Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 7, uk. 445, Hadithi na. 165. 40
- Al-Bayhaqi Al-I‟itiqad uk. 304. 41
- Al-Bayhaqi Al-Asmaau wa Al-Sifat j. 2, uk. 353, Hadithi na. 926, lakini riwaya hii
inasema kamuona kwa moyo wake mara mbili. Hadithi na. 927-933-934, lakini nambari hii
ya mwisho Hadithi inatisha, kwani inasema kuwa Allah kaonekana katika bustani ya kijani,
mbele yake kuna vipepeo vya dhahabu kakaa juu ya kiti cha dhahabu kimebebwa na
Malaika wane: Malaika mmoja ana sura ya mtu na waliobakia wana sura za wanyama!
Hadithi na. 935-938, lakini nambari hii ya pili riwaya yake ni munkar kupita kiasi. Riwaya
yake inasema kuwa Mtume (s.a.w.) alimuona Allah naye (huyo Allah) ni kijana amrad
(hana manyoya wala ndevu) kavaa vazi la kijani! Na riwaya nyengine na. 942, inasema
kuwa Allah ni kijana ana nywele nyingi yuko katika nguo za rangi ya kijani katika tandiko
la dhahabu na kavaa viatu vya dhahabu. 42
- Lakini sanad zao ni zile zile.
20
Lakini riwaya hio ya Ibn Abbaas – bila hata kuhitaji kutazama uhakika wa
sanad yake – ni Hadithi inayopingika kwa njia nyingi baada ya kuitazama
matn yake. Tazama yafuatayo:
Mosi: ni kuwepo kwa Aya za Qur-ani ambazo zinakataa kwa uwazi suala la
kumuona Allah, kama Aya isemayo: األبصار ال تدرم “macho hayamdiriki
(hayamfikii)”,43
na Aya inayomjibu Musa kwa kusema: هن ترا “hutoniona”,
44 ambazo tutazielezea kwa urefu katika sehemu zake in shaa
Allah. Na kama utavyojionea kwamba haiwafai kitu kauli yao kuwa Aya:
“macho hayamdiriki”, haijakataa kumuona Allah bali inakataa
kumzunguka Allah! Hilo halikubaliki kabisa, na maelezo juu yake kwa
urefu utayaona ukifika sehemu yake in shaa Allah.
Pili: ni kuwa riwaya hizo za Ibn Abbaas zimeonesha kwa uwazi kwamba
kauli hio ni ufahamu wa Ibn Abbaas alivyoifahamu Aya isemayo: آ و ي ش أ ه (na kwa hakika kamuona mara nyengine).
45 Amesimulia Al-
Tabarani katika Al-Mu‟ajamu Al-Kabir na Al-Tirmidhi katika Al-Sunan – na
wengine - Hadithi isemayo:
ػ ػ ػ أر٢ ش ػ حر ػزخ : } وي آ ش أه { هخ : أ ر ػ ؿ
Kutoka kwa „Amri kutoka kwa Abi Salama kutoka kwa Ibn Abbaas
(kasema kuhusu Aya inayosema): “Na kwa hakika alimuona mara ya
pili”,46
kasema (Ibn „Abbaas): „alimuona Mola wake Mtukufu‟.47
Na inaelekea kwamba Masruuq, naye, alipotoa hoja kwa Aya hio mbele ya
Al-Sayyida „Aisha pamoja na Aya isemayo: باألفل اهىبن هكد رآ (na kwa
hakika alimuona katika upeo wa macho ulio safi), 48
alitegemea kauli hio
ya Ibn „Abbaas. Kwa hali yoyote ile iwayo, ufahamu huo wa Ibn Abbaas –
ikiwa umethibiti kutoka kwake, nami hilo silikubali – basi umejibiwa na
Bibi „Aisha katika Hadithi sahihi yenye kusema:
ي أػظ ــــم هخ ض ػي ػخثش ٢ هللا ػخ كوخض ػالع ط رحكيس كوػ
جخ كـضــ ػ أ ليح أ ر كوي أػظ ػ٠ هللا حل٣ش هخ ض ظ ٣ش ــػ٠ هللا حل
43
- Sura 6, Aya 103. 44
- Sura 7, Aya 143. 45
- Sura 53, Aya 13. 46
- Tumetoa marejeo kabla. 47
- Al-Tabarani Al-Mu‟ajamu Al-Kabir j. 10, uk. 299, Hadithi na. 10727. Al-Tirmidhi Al-
Sunan Hadithi na. Hadithi na 3202. 48
- Sura 81, Aya 23.
21
آ رخلكني ــــ ٣و هللا } وي آ ش أه { } وأطؼـ٢ ١ ل ـهض ٣خ أ حئ٤ حظ
خ أخ أ حلش ؤض حز٢ ٠ هللا ػ٤ ػ ـــــحز٤ { كوخض ػخثش ٢ هللا ػ
ي كوخ ي ؿز٣ ػ٤ حال أ ك٢ ط حظ٢ هن ػ٤خ ال ط٤ أ٣ظ هي ز٢
ي حلرخ ٣يى ـحخء كي ؿ خ ر٤ حخء حل أ طغ و طؼخ٠ } ل ط
حلرخ حط٤ق حوز٤ {
Kutoka kwa Masruq kasema: „nilikuwa kwa „Aisha (r.a.) akasema:
„mambo matatu atayelisema moja katika hayo basi huyo kamzulia Allah
uwongo mkubwa: atayedai kuwa Muhammad kamuona Mola wake basi
huyo kamzulia Allah uwongo mkubwa. (Masruq) akasema: „nilikuwa
nimeegemea nikakaa kitako nikamwambia é mama yangu! Ngojea:
usifanye haraka! Kwani Mwenyezi Mungu (subhanahu wa ta‟aala)
hakuesema: وي ح رخلكن حز٤ (Na kwa hakika alimuona katika upeo wa
macho uliosafi)49
Na kwahakika) وي ح ش أه.… .………..…………
amemuona mara nyengine).50
Akasema Bibi „Aisha mimi ndiye wa
kwanza katika umma huu niliyemuuliza Mtume (s.a.w.) kuhusu jambo
hilo, akasema huyo (niliyemuona) ni Jibril: sikumuona katika sura yake
aliyomuumba Mwenyezi Mungu (yaani sura yake ya kimalaika) ila mara
mbili. Nimemuona kashuka katika mbingu na mwili wake umezifunika
mbingu na ardhi. Kwani hujaisikia wewe kauli ya Allah (subhanahu wa
ta‟aala) aliposema: ل طي حلرخ ٣يى حلرخ حط٤ق حوز٤ (Macho
haya mdiriki (hayamfikii) Naye anayadiriki (anayafikia) Naye ni Mjuzi
wa yaliojificha na ni Mjuzi wa yaliyo dhahiri)?51
Hii ni jawabu ya Al-Sayyida „Aisha (r.a.) kwa Masruq kuhusiana na
maudhui hio. Pamoja na uwazi uliomo katika Hadith hii, lakini watetezi wa
rai ya kumuona Allah duniani hawakuwacha kuutetea msimamo wao hata
kwa hoja dhaifu kama nyumba ya buibui. Anasema Al-Imamu Al-Nawawi
akiyajadili maelezo hayo ya „Aisha:
ػ ح ػخثش ٠ هللا ػخ طق حإ٣ش رلي٣غ ػ هللا ٠ هللا ػ٤ خ
ؼخ ك٤ كي٣غ ط حخ حػظيص حلظزخ١ ح٣٥خص
Kisha „Aisha (r.a.) hakukataa kuonekana Allah (na Mtume s.a.w. usiku wa
miraji) kwa kutumia Hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.). Na lau alikuwa
nayo Hadithi basi angeliitaja, bali kategemea utoaji dalili wake mwenyewe
kutoka katika Aya…52
49
- Sura ya 81 Aya ya 23. 50
- Sura ya 53 Aya 13. 51
- Tumetaja baadhi ya walioipokea Hadithi hii katika sehemu inayozungumzia Aya
isemayo “Uoni haumfikii; naye anaufikia; naye ni mjuzi wa yaliojificha na ni mjuzi wa
yaliowazi”. 52
- Al-Nawawi Sharhu Muslim j. 2, uk. 287.
22
Hayo ni maneno ya Al-Imamu Al-Nawawi, nayo si maneno barabar! Bali
Ibn „Abbaas – ikiwa riwaya hio imethibiti kweli kutoka kwake – basi ndiye
ambaye kategemea utoaji dalili wake mwenyewe kutoka katika Aya kama
ulivyoona riwaya iliotangulia inavyosema. Ama „Aisha yeye katika riwaya
yake kuhusu Aya hizo alizozitolea hoja Ibn „Abbaas, kasema hivi: أخ أ
mimi ndiye wa kwanza katika uma huu“ حلش ؤض حز٢ ٠ هللا ػ٤
niliyemuuliza Mtume (s.a.w.)” kuhusu jambo hilo la kuwa je kweli yeye
kamuona Mola wake au hakumuona? Kwa hivyo, tafsiri ya „Aisha kuhusu
Aya alizozitegemea Ibn „Abbaas, ni tafsiri ya Mtume (s.a.w.) mwenyewe.
Bali maneno ya „Aisha yanakubaliana na Hadithi ziliokuja katika Al-Sahih
kama vile Hadithi yenye kusema: أ٠ أح (nuru, basi vipi mimi
nitaona)?53
Maneno haya kayasema Mtume (s.a.w.) kumjibu aliyemuuliza:
“je umemuona Mola wako ulipokwenda miraji?” Na katika riwaya ya pili:
nilichokiona mimi ni nuru”. Sasa ikiwa Al-Sayyida „Aisha (r.a.)“ أ٣ض ح
kamuuliza Mtume (s.a.) na akamjibu hivyo, vipi tena Al-Imamu Al-Nawawi
anasema kuwa „Aisha hakutegemea Hadithi, bali kategemea istimbat (utoaji
dalili wake mwenyewe kutoka katika Aya) na kwamba Ibn „Abbaas ndiye
aliyetegemea Hadithi?! Naona Al-Imamu Al-Nawawi mambo kayaweka
kinyumenyume!
Pili ni kuwa hio riwaya yenyewe ya Ibn „Abbaas haikuthibiti kwa sanad
sahihi. Na kwa hivyo, Ibn Taymiyya, kuhusu riwaya hio, kasema hivi:
خ أ ـأخ إ٣ش حز٢ طخع ػخثش حر ػزخ كوي رطخ حال ك٤ ك٢ ؿ٤ ح حغ ر٤
٤يخـــــأكي ٢ء حكي اخ ا١الم حإ٣ش اخ طو٤ حر ػزخ ػ ػ حإلخ ــحؼخرض ػ
ؼ٤ ك ٣ؼزض ل ػ حر ػزخ ل ػ أكي ر كز لخ ـرخلئحى أخ حظو٤٤ي رؤ آ ر
Ama Mtume (s.a.w.) kumuona Allah na kuvutana kwa „Aisha na Ibn
„Abbaas, hilo tumelieleza kwa urefu katika sehemu nyengine na
tumebainisha kwamba kilichothibiti kutoka kwa Ibn Abbaas kisha kutoka
kwa Al-Imamu Ahmad ni kitu kimoja nacho ni ama kulitumia neno kuona
moja kwa moja pasina kulifungamanisha na kitu; au kulitumia neno hilo
kwa kulifungamanisha na moyo (yaani Mtume s.a.w. kamuona Allah kwa
moyo wake). Ama kulifungamanisha na macho, ilipopokewa kuwa Mtume
(s.a.w.) kamuona Allah kwa macho yake, hilo halikuthibiti kutoka kwa Ibn
„Abbaas wala Ahmad na waliomfano wao.54
Hivyo ndivyo alivyosema Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya. Lakini –
chembelecho – vijana wa leo: “naona Mzee wa Uislamu kachanganya
madawa”, alitakiwa aseme: “hilo halikuthibiti kutoka kwa Ibn „Abbaas” si
53
- Yaani vipi nitaona kumuona Allah! 54
- Ibn Taymiyya Bughyatu Al-Murtaad uk. 470. Majmu‟a Al-Fatawa j. 2, uk. 212.
23
“hilo halikuthibiti kutoka kwa Ibn „Abbaas wala Ahmad na waliomfano wa
wao”, kwani mfano wa Ibn „Abbaas ni mtu kama Ibn „Umar, Ubaiy bin
Ka‟ab na Masahaba wengine. Ama mfano wa Al-Imamu Ahmad ni
wanavyuoni wakubwa na Maimamu waliokuja baadae, na hawa imepokewa
kutoka kwao bali wengi mno miongoni mwao akiwemo Al-Imamu Abu Al-
Hasan Al-Ash‟ari na baadhi ya wafuasi wake, wakisema kwa uwazi kuwa
Mtume (s.a.w.) kamuona Allah: “kwa macho ya kichwa chake”.
Ama tukirudi katika sanad ya riwaya ya Ibn Abbaas, tunakuta kwamba
riwaya hio haikuja kwa njia ambayo tunaweza kuitegemea. Moja ya njia
zake ni njia ya Muhammad bin „Amri bin Abi Salama katika masimulizi ya
Al-Tabarani katika Al-Kabir.55
Lakini Muhammad bin „Amri bin Abi
Salama si mpokezi wa kutegemewa, kwani Al-Khazraji anasema kuhusu
mpokezi huyo: “Hadithi zake ni za kufikiriwa”.56
Na akaisimulia tena Al-
Tabarani kutoka kwa „Ikrima kutoka kwa Ibn „Abbaas, lakini katika sanad
yake kuna Ibrahim bin Al-Hakam bin Abaan,57
naye ni dhaifu sana.
Anasema Ibn Ma‟iin: “si mwenye kuaminika….dhaifu..si lolote si
chochote”. Anasema Al-Nasai: “si mwenye kuaminika wala haandiki
Hadithi zake”. Anasema Abu Zur‟a: “si madhubuti: naye ni dhaifu”.
Wanasema Al-Juzajaani na Al-Azdi: “ni mwenye kuporomoka”. Anasema
„Abbaas bin „Abdil-„Adhim kuhusu Hadithi zake: “Hadithi hizi zilikuwa
katika vitabu vyake nazo ni mursala:58
hakuna ndani yake Ibn „Abbaas wala
Abu Huraira, yaani Hadithi za baba yake kutoka kwa „Ikrima”.59
Ninasema:
na Hadithi hii pia kaisimulia kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Ikrima,
kwa hivyo, kwa mujibu wa maelezo hayo ni kuwa Hadithi hii haitoki kwa
Ibn „Abbaas bali Ibrahim bin Al-Hakam kamchomeka Ibn Abbaas katika
sanad! Na kwa hivyo, Ibn „Adey kasema: “katika mabalaa yake ni yale
walioyasema kwamba alikuwa Hadithi mursala60
kutoka kwa baba yake
yeye akizifanya mausula”.61
Anasema Al-Daraqutni: “dhaifu”. Anasema Al-
Fasawi: “hawatafautiani kuwa yeye ni dhaifu”. Anasema Al-„Uqaili: “si
lolote si chochote wala si mwenye kuaminika”.62
55
- Tazama Al-Tabarani Al-Kabir j. 10, uk. 299, Hadithi na. 10727. Hadithi yenye kuifasiri
Ayaisemayo: “Na akamuona mara nyengine”. Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 7, uk. 445,
Hadithi na. 165. 56
- Al-Khazraji Al-Khulasa uk. 354. 57
- Tazama Al-Tabarani Al-Kabir j. 11, uk. 242, Hadithi na. 11619. 58
- Yaani zimesimuliwa kutoka kwa Mtume (s.a.w.) pasina kutajwa Sahaba yoyote yule. 59
- Yaani baadae yeye akazisimulia akaongeza sahaba katika wapokezi. 60
- Tumeielezea hapo nyuma. 61
- Akiziunganisha kwa kumuweka Sahaba ili sanad ionekane kuwa imekamatana:
haikukatika pahali. 62
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 100-101, tarjama na. 205.
24
Hadithi hio kaisimulia tena Al-Tabarani katika sehemu nyengine63
lakini
katika sanad yake kuna Mubarak bin Fadhala, naye wengine wanamuona
kuwa ni dhaifu kama vile Ibn Ma‟iin katika moja ya riwaya zake mbili, Al-
Nasai na wengine.64
Naye anaghushi sana na Hadithi yake katika sanad hii
ni mu‟an‟an. Na Mubarak bin Fadhala kaipokea Hadithi hio kutoka kwa
„Ali bin Zaid bin Jud‟aan naye ni dhaifu sana.65
Hadithi hio kaisimulia pia Al-Imamu Ahmad katika Al-Musnad,66
na Al-
Bayhaqi katika Al-Asmaau wa Al-Sifaat67
lakini katika sanad yake kuna
Hammad bin Salama naye ni dhaifu68
pia yumo Qatada bin Di‟aama naye ni
mwenye kughushi69
na Hadithi yake ni mu‟an‟an. Na riwaya ya Al-Bayhaqi
ina mambo mengi munkar sana! Riwaya yake yasema: أى ػ٤ أ٣ض ر٢ ؿؼيح
,nimemuona Mola wangu naye ni mwenye nywele mviringo (curl)“ كش ه٠حء
naye ni amrad (hana manyoya wala ndevu) kavaa vazi la kijani”. Na riwaya
nyengine yanena: ك٢ س خد أى ؿؼي “(nimemuona Allah) katika sura ya
kijana amrad (hana manyoya wala ndevu) na ni mwenye nywele mviringo
(curl), na riwaya nyengine yasema: ك٢ ه٠س ى ظ ئئ هي٤
“(nimemuona Allah) mbele yake kuna pazia la lulu miguu yake iko katika
(bustani) ya kijani! Hizi zote ni balaa zimo katika riwaya za Al-Bayhaqi
iliopokelewa kutoka kwa Hammad bin Salama!
Na akaipokea riwaya hio Al-Bazzaar katika Al-Bahru Al-Zakhaar,70
lakini
katika sanad yake kuna Mu‟awiya bin Hisham naye ni mkweli anakosea
sana.71
Na kwa hivyo, Al-Bazzaar asema:
٣ؾ ؿ٤ ؼخ٣ش ر خ ح ح ػ ل٤خ حؼ١ ػ حر ؿ ي أك ح حلي٣غ ل ؼ
Na Hadithi hii hatumjui yoyote yule aliyeisimulia kutoka kwa Sufyaan
kutoka kwa Ibn Juraij isipokuwa Mu‟awiya bin Hisham.72
Ninasema: na Sufyaan Al-Thauri, pamoja na uimamu wake, alikuwa
akighushi,73
na Ibn Juraij yeye ndiye kigogo wa kughushi na haghushi
63
- Al-Kabir j. 12, uk. 219, Hadithi na. 12941. 64
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 10, uk. 27-28, tarjama na. 50. 65
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 283-85, tarjama na. 545. 66
- Tumetoa marejeo kabla. 67
- Tumetoa Marejeo kabla. 68
- Maelezo yake ni marefu yatakuja in shaa Allah huko mbele. 69
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 315-319, tarjama na. 637. Tabaqaatu Al-
Mudallisin uk. 43, tarjama na. 92. 70
- J. 2, uk. 202, Hadithi na. 5185. 71
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 10, uk. 196-7, tarjama na. 403. 72
- J. 2, uk. 202, Hadithi na. 5185.
25
isipokuwa Hadithi alioisikia kutoka kwa wapokezi dhaifu,74
na Hadithi yao
hapa ni mu‟an‟an.
Na akaipokea tena Al-Bayhaqi katika Al-Asmaau wa Al-Sifaat, lakini ni
ndoto na ndani yake kaonekana Mungu naye ana nywele nyingi, sura ya
kijana, kavaa nguo ya kijani na kavaa viatu vya dhahabu! Lakini katika
sanad yake kuna Ahmad bin „Issa Al-Misri naye pamoja na kuwa ni
mpokezi wa Al-Bukhari na Muslim, lakini Ibn Ma‟iin alikuwa akiapa:
“kwamba ni mwongo”. Anasema Sa‟iid bin „Amri Al-Barda‟i: “sijapata
kuwaona watu wa Misr wakitia shaka kwamba yeye!75
Na (baada ya kusema
hivyo) akaashiria ulimi wake kana kwamba anasema uwongo”.76
Na pia
yumo ndani yake „Umara bin „Amir, naye pia huitwa „Umara bin „Umair.
Anasema Al-Dhahabi katika Al-Mizan na Ibn Hajar katika Lisanu Al-Mizan:
ؼلخء حظ٠ ك٢ ـــــــــــل ٣ؼف حزوخ١ ك٢ ح٠ػخس ر ػ٤ ػ أ حطل٤ رلي٣غ ح٣ش
أخ ػخس ر ػخ ػ أ حطل٤ ك كي٣غ حإ٣ش هخ ٣غ ػخس ػ ــــػوخص ر كز
.……٣ـظ حخظ ك٤ ك٤لظؾ ر ٢ لـــخ ط ـــحطل٤ ا
Umara bin „Umair anasimulia kutoka kwa Ummu Al-Tufail Hadithi ya
kumuona Allah, hajulikani (ni nani). Kamtaja Al-Bukhari katika kitabu Al-
Dhu‟afaa (kitabu cha wapokezi dhaifu). Mwisho wa kunukuu (maneno ya
Al-Dhahabi).77
Na katika kitabu Al-Thiqat cha Ibn Hibbaan, jina lake ni
„Umara bin „Amir kutoka kwa Ummu Al-Tufail akataja Hadithi ya
kumuona Allah, akasema (Ibn Hibbaan): „ni Hadithi munkar, „Umara
hakupata kusikia Hadithi kutoka kwa Ummu Al-Tufail78
na kwa hakika
nimemtaja (katika Hadithi hio) ili mtu asije akadanganyika akaitolea
hoja..79
Hadithi hio pia imesimuliwa na Ibn Abi „Asim katika kitabu alichokiita Al-
Sunna, lakini katika sanad yake kuna Asbaat bin Nasr na Simaak bin Harb,
73
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 102, tarjama na. 199. Tabaqaatu Al-Mudallisin
uk. 32, tarjama na. 51. 74
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 6, uk. 357, tarjama na. 758. Anasema Al-Daraqutni:
“Jiepushe na ghushi ya Ibn Juraij; alikuwa haghushi ila kitu alichokisikia kutoka kwa
(mpokezi) aliyejeruhiwa (dhaifu)”. 75
- Kaishia kusema hivyo tu, kisha akaashiria kwa kidole chake mdomoni mwake, yaani ni
“mwongo”. 76
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 56, tarjama na. 115. 77
- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 4, uk. 97, tarjama na. 6028. 78
- Katika Lisanu Al-Mizan cha Ibn Hajar kopi nilionayo kuna makosa ya chapa:
imeandikwa: “Umara hakupata kusikia Hadithi kutoka kwa Ummu Al-Fadhl”, nayo kama
unavyoona ni makosa hata kwa mujibu wa mtiririko wa maneno. Nimekirejea Al-Thiqat cha
Ibn Hibbaan j. 5, uk. 245, nikajua kuwa sahihi ni hivyo nilivyoandika. 79
- Ibn Hajar Lisanu Al-Mizan j. 4, uk. 278, tarjama na. 793.
26
nao ni madhaifu.80
Na akaisimulia tena kwa sanad nyengine, lakini ndani
yake yuko Salam bin Ja‟afar Al-Bakraawi, „Abbaas Al-„Ambari na Ibn
Shaahiin wamemkubali lakini Al-Azdi anasema: “matruk (Hadithi zake
zinaachwa)”. Na Hadithi yenyewe ina maneno munkar. Na akaipokea kwa
sanad nyengine lakini ndani yake kuna Muhammad bin „Amri bin Abi
Salama ambaye tumemuelezea kabla.
Hadithi hio imesimuliwa pia na Al-Lalakaai katika Sharhu Usuli I‟itiqaadi
Ahli Al-Sunna, kama inavyofuata:
ــــأهزخ لي ر أكي ر ، هخ : أهزخ أكي ر ؿؼل ر لي ر ، هخ : ػخ ػ
لي ر ػ٠٤ حـ١ ، هخ : ػخ أر ر ر لي ر خت ، هخ : هض لر٢ ػزي هللا:ــــــر
٤ــــليح أ ر؟ كوخ : ا٠ كي٣غ حلػ ػ ٣خى ر حل ذ : أ ــــــا٠ أ١ ٢ء ط
«حز٢ ٠ هللا ػ٤ ر روز أ» زخ هخ : ـــػ أر٢ حؼخ٤ش ػ حر ػ
Katwambia Muhammad bin Ahmad bin Sahl, kasema katwambia Ahmad
bin Ja‟afar bin Muhammad bin Salam kasema katuhadithia „Umar bin
Muhammad bin „Issa Al-Jawhari kasema katuhadithia Abu Bakr bin
Muhammad bin Hani kasema: „nilimwambia Abu Abdillahi (Al-Imamu
Ahmad bin Hanbal): „je wewe rai yako ni nini: kwamba Muhammad
kamuona Mola wake?‟ akasema: „mimi nakwenda na Hadithi ya Al-
A‟amash kutoka kwa Ziyad bin Al-Husain kutoka kwa Abu Al-„Aliya
kutoka kwa Ibn „Abbaas kasema: „Mtume (s.a.w.) kamuona Mola wake
kwa moyo wake‟.81
Lakini – kama unavyoona – riwaya hii inasema kuwa kamuona kwa moyo
wake,82
na kilicho sahihi ni kuwa kuona kwa mayo maana yake ni ma‟arifa
(kujua). Wala si kama alivyosema Ibn Hajar kwamba kujua tangu zamani
alikuwa akimjua Allah, kwa hivyo kuona huku ni kuona kwa kweli! Hilo si
sahihi, kwani yakini inazidi kwa kuzidi sababu zake; yakini tutayoipata
huko akhera au kuanzia kwenye mauti ni kubwa zaidi kuliko hii tulio nayo
leo, ndio maana mauti yenyewe katika Qur-ani yakaitwa yakini;83
na ndio
maana Ibrahim akamuomba Allah amuoneshe wafu wanavyofufuliwa, si
kwamba alikuwa haamini, lakini “ili moyo wake upate kutulia” kwa kupata
yakini zaidi. Lakini kwa hali yoyote ile, sanad ya riwaya hii pia si
madhubuti. Ahmad bin Ja‟afar bin Muhammad – dhahiri – ni yule
aliyemtaja Al-Hafidh katika Lisanu Al-Mizaan, naye dhahir – kama tarjama
80
- Hadithi hii tutaielezea huko mbele katika sehemu inayozungumzia Aya: “Macho
hayamfikii”, na tutatoa marejeo huko in shaa Allah. 81
- Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Al-Sunna j. 3, uk. 519, riwaya na. 916. 82
- Na hivi ndivyo alivyosimulia Muslim. 83
- Sura 15, Aya 99.
27
yake inavyoonesha – ni majhulul haal (hali yake haijulikani), hususan
ukizingatia kwamba Al-Khatib Al-Baghdadi kamtaja bila ya kumjeruhi wala
kumkubali.84
Pia yumo katika sanad hio „Umar bin Muhammad bin „Issa
Al-Jawhari, Al-Sadhaabi, naye ni mwenye kusimulia Hadithi munkar na za
kutunga.85
Hio ni sanad iliotuchukua mpaka kwa Al-Imamu Ahmad. Ama
Al-Imamu Ahmad mwenyewe, yeye katoa ushahidi kwa riwaya mu‟an‟ana
ya Al-A‟amash, na Al-A‟amash ni kigogo katika vigogo vya kughushi, na
kwa hivyo, riwaya mu‟an‟ana kutoka kwake haikubaliki.86
Kwa hali yoyote
ile, riwaya ya kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa moyo wake,
kaipokea Muslim pia kutoka kwa Ibn Abbaas, lakini hii bila shaka yoyote
ina hali tatu au moja katika tatu:
1) Ama iwe kuona kwa moyo ni kwa maana ya maarifa, kama
tulivyotangulia kueleza. Na hii ndio maana iliodhahir zaidi.
2) Ama iwe Ibn Abbaas kategemea riwaya za Ahlu-Kitab. Na riwaya
zao hazikubaliki zikienda kinyume na Qur-an na Sunna. Na Qur-ani
imeshasema kuwa: “Macho hayamfikii”, au “Uoni haumfikii”, na
Sunna ikasema: “Nilichokiona ni nuru”.
3) Au iwe kategemea ufahamu wake wa Aya isemayo: ىا مذب اهفؤاد ىا.(moyo haukukadhibisha yale alioyaona) رأ
87 Yaani yeye labda
kakufasiri kuona huko kuwa ni kuona kwa moyo, kwa maana
kwamba moyo ndio uliomuona Allah.88
Lakini ikiwa yeye kafasiri
hivi, basi tafsiri hii itakuwa ni tafsiri yake iliogongana na tafsiri ya
Mtume (s.a.w.) iliomo katika riwaya ya „Aisha kwamba kuona huko
ni kumuona Jibril.
84
- Ibn Hajar Lisanu Al-Mizan j. 1, uk. 144, tarjama na. 461. 85
- Ibn Hajar Lisanu Al-Mizan j. 4, uk. 325, tarjama na. 820. 86
- Tazama habari za Al-A‟amash katika Ibn Hajar Taqrib uk. 254, tarjama ya 2615,
Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk. 195, tarjama ya 386. Anasema Wahb bin Zam‟a Al-Mar-
wazi: “nimemsikia Ibn Mubarak anasema: „hakika wamezifisidi Hadithi za watu wa Al-
Kufa Abu Is-haq (Al-Sabi‟i) na Al-A‟amash wenu.” Na akasema: “Nimemsikia Mughirah
anasema: „Amewaangamiza watu wa Al-Kufa Abu Is-haq na Al-A‟amash wenu huyu”.
Anasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “Hadithi za Al-A‟amash zinagongana”. Anasema
Al-Dhahabi: “naye anaghushi, na huenda akaghushi kutoka kwa watu dhaifu”. Anasema
Ibn Al-Madini: “Al-A‟amash alikuwa akikosea sana katika Hadithi za hawa (wapokezi)
dhaifu.” Tazama Al-Dhahabi Al-Mizan j. 2, uk. 414, tarjama ya 3517. 87
- Sura 53, Aya 11. 88
- Kama ilivyo katika riwaya ya Al-Laalakai Sharhu Al-I‟itiqaad j. 3, uk. 518, riwaya na.
911. Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 2, uk. 353, Hadithi na. 926. Ibn Khuzaima Al-
Tawhid j. 1, uk. 295, Hadithi na. 283. Ibn Manda Al-Iman j. 2, uk. 759, Hadithi na. 754-
755-756. Muslim Sahihu Muslim Hadithi na. 285. Lakini riwaya nyengine za Muslim
zimebainisha kwamba makusudio ya Aya hio, ni kuwa Mtume (.a.w.) alimuona Jibril.
Hadithi na. 281.
28
Lakini kuhusiana na kuwepo kwa riwaya hio ya Ibn „Abbaas ambayo
imepingana na riwaya ya „Aisha, wenye itikadi ya kuwa Mtume (s.a.w.)
kamuona Allah wakaleta madai mengine hayana kichwa wala miguu.
Miongoni mwa madai ahayo ni:
1) „Aisha kakataa kuonekana kwa Allah, wakati Ibn „Abbaas
kathibitisha, na kuthibitisha kukigongana na kukataa
kunakotangulizwa ni kuthibitisha.
2) Ibn „Abbaas ni mjuzi zaidi kuliko „Aisha.
3) Haikuthibiti kuwa „Aisha kakataa kwani mpokezi kasema: “kutoka
kwa baadhi ya jamaa wa Abu Bakr” wala hakumtaja „Aisha!
4) Wakati Mtume (s.a.w.) alipokwenda miraji, „Aisha alikuwa bado
hajawa katika nyumba ya Mtume (s.a.w.), wala alikuwa bado
hajapambanua mambo hata akilisikia tukio; bali chenye uzito zaidi
ni kuwa alikuwa hajazaliwa kamwe.
5) Na kwa msingi huo, basi inawezekana kwamba „Aisha kayasema
hayo kwa ijtihadi yake!89
Lakini kama unavyoona kwamba madai hayo yote yanajibiwa na ukweli
kwamba riwaya ya „Aisha kaisimulia akiwa mtu mzima, na kasema kwamba
yeye kamuuliza Mtume (s.a.w.) na akamjibu hivyo; wakati Ibn „Abbaas
hakutegemea riwaya kutoka kwa Mtume (s.a.w.), bali alitegemea
alivyozifahamu yeye Aya, na ufahamu wake – tukijaalia kuwa riwaya za Ibn
„Abbaas ni sahihi90
– umekwenda kinyume na maelezo ya Mtume (s.a.w.).
Ama aliyedai kuwa haikuthibiti kuwa „Aisha kakataa kuwa Mtume (s.a.w.)
kamuona Allah, kwani mpokezi kasema: “kutoka kwa baadhi ya jamaa wa
Abu Bakr, wala hakumtaja „Aisha”! Ninasema: huyu labda kasoma usiku
kwa taa ya kibatari! Riwaya ya „Aisha iliomtaja kwa jina lake imejaa katika
vitabu vya Hadithi vinavyotegemewa tena hakuna khilafu juu ya usahihi
wake.91
Kwa hali yoyote ile iwayo:
1) Riwaya hio tulioinukuu mwisho hapo inazungumzia kumuona Allah
kwa moyo.
2) Riwaya hizo hata lau zitakuwa na sanad sahihi, basi haziwezi
kukubalika kwa sababu ya kugongana kwake na Qur-ani na Hadithi
sahihi zaidi.
89
- Nukta hizi tano utazipata katika maelezo ya kitabu Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2,
uk. 706-707. 90
- Nazidi kusisitiza kwamba mimi hapa najaalia tu, vyenginevyo siamini kabisa kwamba
Ibn Abbaas kasema kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa macho. Huu ni uzushi wa
wasimulizi wa riwaya. 91
- Tumeinukuu riwaya hio huko nyuma na tutainukuu tena huko mbele in shaa Allah
pamoja na kutoa marejeo.
29
3) Riwaya za Ibn „Abbaas zinaeleza kwamba yeye kasema hivyo kwa
kutegemea yeye mwenyewe alivyozifahamu Aya za Qur-ani.
4) Aya hizo Bibi „Aisha aliziulizia kwa Mtume (s.a.w.) mwenyewe, na
akajibiwa tafauti na ufahamu huo wa Ibn „Abbaas.
Na kwa hivyo, ndio maana Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya kuhusu suala
hili akasema kile tulichokinukuu kabla:
Ama Mtume (s.a.w.) kumuona Allah na kuvutana kwa „Aisha na Ibn
„Abbaas, hilo tumelieleza kwa urefu katika sehemu nyengine na
tumebainisha kwamba kilichothibiti kutoka kwa Ibn Abbaas kisha kutoka
kwa Al-Imamu Ahmad ni kitu kimoja nacho ni ama kulitumia neno kuona
moja kwa moja pasina kulifungamanisha na kitu; au kulitumia kwa
kulifungamanisha na moyo (yaani Mtume s.a.w. kamuona Allah kwa moyo
wake). Ama kulifungamanisha na macho, ilipopokewa kuwa Mtume
(s.a.w.) kamuona Allah kwa macho yake, lakini hilo halikuthibiti kutoka
kwa Ibn „Abbaas wala Ahmad na waliomfano wao.
Kwa hali yoyote ile iwayo, hio iliotangulia ni tafauti yao moja kuhusu
kuonekana kwa Allah, nayo ni tafauti yao kuhusu je Mtume (s.a.w.)
alimuona Mola wake au hakumuona, nayo tafauti hio ndani yake ina nukta
nyengine nyingi zenye mvutano.
PILI: jambo la pili lenye mvutano baina ya wenye itikadi ya kumuona
Allah lipo katika kauli kwamba Nabii Musa alikuwa akimuona Allah, lakini
alikuwa hajui kuwa ndiye Yeye!92
Ibn Batta – Imamu wa Mawahabi – naye
ni mwenye kauli hii, lakini yeye riwaya yake inabainisha kuwa Nabii Musa
baada ya kumuona Allah juu ya mti alimjua kuwa Yeye ni Allah!93
Kauli
hio pia imenukuliwa kutoka kwa Abu Bakr Al-Tayyib. Anasema Abu
Hayyan:
٤ حال أ هللا كي ػػ٤خ ر ٠ ػ حوخ٢ أر٢ ر ر حط٤ذ : أ ٠ ك٠
خ ؼوخ أ حـز أ ر كي خ ى ه
Na „Iyaadh bin Musa kasimulia kutoka kwa Al-Qadhi Abu Bakr Al-Tayyib
kwamba Musa (a.s.) alimuona Allah na kwa hivyo alianguka akazimia, na
kwamba mlima pia ulimuona Mola wake na kwa hivyo ulivurugika…94
92
- Tazama Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟aani j. 9, uk. 52. Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 5,
uk. 307, lakini yeye kawanukuu wenye kusema kuwa Musa alikuwa akimuona Allah pasina
kusema: “lakini alikuwa hajui kwamba aliyemuona ndiye Yeye”. 93
- Tazama Ibn Hajar Lisanu Al-Mizan j. 4 uk. 112-115. 94
- Tazama Abu Hayyaan Al-Bahru Al-Muhit j. 4, uk. 387.
30
Na kuna kauli pia kwamba mlima ulimuona Allah, kama ulivyoona maneno
ya Abu Bakr Al-Tayyib yaliotangulia ambayo tumeyanukuu kutoka kwa
Abu Hayyaan! Wanasema „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani:
ا ٤ ؼ٠ حظـ٢ ـز أ ظ رؼيخ خ لـرخ ػ، ر ا هن ك٤ حل٤خس حإ٣ش
كآ
Hakika maana ya kuwa Yeye aliudhihirikia mlima si maana yake kwamba
aliudhihirikia baada ya kuwa kajificha kutokana na huo mlima; bali maana
yake ni kuwa aliumba uhai ndani yake (huo mlima) na akaumba uwezo wa
kuona basi ukamuona..!95
Dhahir ni kuwa Ibn Al-Qayyim naye ni miongoni mwa wenye kauli hio,
kwani anasema katika kitabu Hadidi Al-Ar-waah:
حلىش ــــ أر٤ـــح ـــ )ر ـز ؿؼ ىخ كخ طـ٠(حؿ حخى ه زلخ طؼخ٠
خى ل ػحد ل ـــ ؿـــح إ٣ظ طزخى طؼخ٠ كب اح ؿخ ح ٣ظـ٠ ـز ح١ ـــــػ٠ ؿ
٣ ـــــحظ ٣ــــ٢ ىح ــــ٤ ك٤ق ٣ظغ أ ٣ظـىألز٤خث أ٤خث كــــوخد ػــــػ
ل كؤػ زلخ
Njia ya sita (yenye kuthibitisha kuwa Allah ataonekana) ni kauli yake
Allah aliposema: “Na Mola wake alipoudhihirikia mlima aliujaalia
ukavurugika”, na huu ni ushahidi wa wazi juu ya kujuzu kumuona Allah
Mtukufu, kwani ikiwa imejuzu Yeye kuudhihirikia mlima (ukamuona) nao
ni kitu kisicho na uhai wala hakipati thawabu wala adhabu, basi vipi
itazuilika asijidhihirishe kwa Manabii wake, na Mijumbe wake na Mawalii
wake huko kwenye nyumba ya kukirimiwa kwao na akawaonesha nafsi
yake….96
Sawa Imamu Shamsu Al-Din! Lakini nijuavyo mimi ni kuwa kanuni za
tafsiri zinaeleza kuwa qiyas hakitumiki katika itikadi, na kwa hivyo, hata lau
kweli mlima ulimuona kama utongoavyo weye – na hilo si kweli – basi hilo
lisingelifaa kufanyiwa qiyas, bali lingewachwa hapo hapo mlimani, hadi
papatikane andiko jengine la kumuingiza binadamu. Lakini hatimae, nasi
twasema kwamba yote hayo ni kinyume na Aya ambayo Allah alimjibu
Musa kwa kumwambia: “hutoniona”, na Aya: “uoni haumfikii”, kwani
Aya hio: “uoni haumfikii”, imetumia neno absar kumaanisha “uoni”, nalo
95
- „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 664. 96
- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 211.
31
neno hilo kama linavyobeba maana ya chombo cha kuonea (yaani jicho)
ndivyo linavyobeba maana ya nguvu ya kuonea (yaani uoni). Na hii ina
maana kwamba uoni wa aina yoyote ule, basi Yeye haumfikii, ni sawa tu
ukiwa uoni huo ni uoni wa jicho, au wa kiungo chengine au uoni wa chenye
uhai kama mtu au wa kisicho na uhai kama mlima – vyote hivyo vinaingia
katika maana ya neno absaar (uoni).
TATU: Watetezi wa itikadi ya kumuona Allah wametafautina tena kuhusu
Waumini wa kawaida: je nao pia wanaweza kumuona Allah! Wako
waliosema: “ndio”: Allah anaonakana pia na watu wema. Miongoni mwa
walionukuliwa wakisema hivyo ni Al-Taftaazaani.97
Anasema Al-Imamu
Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir: “Na wala hakuna aliyesema kuwa
kuonekana kwa Allah kumetokea hapa duniani isipokuwa wale Masufi
waliochupa mipaka”. Na mfano wake ni kauli ya Ibn Taymiyya aliposema:
kauli ya pili ni kauli ya baadhi ya mutakallimin
98 na baadhi ya wajinga wa
Kisufi kwamba (Allah) anaonekana duniani. Na hilo kalitaja Abu Talib Al-
Maki kutoka kwa baadhi ya Masufi na akawarudi, halkadhalika Al-Ash‟ari
kalisimulia hilo kutoka kwa kundi kubwa miongoni mwao (Masufi).99
Lakini „Abdul-Karim na Al-Kaylani wamenukuu maneno ya mwenye kitabu
Al-Siraj akisema:
kinyume na asiyekuwa yeye (asiyekuwa Mtume Muhammad s.a.w.)
miongoni mwa mawalii, hakika yao wanapolitumia – kwa ajili ya nafsi zao
– neno kumuona (Allah) na kumshuhudia pasina kulifungamanisha, basi
wanakusudia kujua…100
Ninasema: wala hakuna mgongano baina ya maelezo haya na yale
tulioyanukuu kutoka kwa Sheikh Al-Khalili na Ibn Taymiyya, kwani huyu
yeye anasema: “wanapolitumia neno kumuona (Allah) na kumshuhudia
pasina kulifungamanisha (na kitu)”, wakati dhahir ya Ibn Taymiyya na Al-
Khalili wanazungumzia kwamba baadhi ya Masufi husema kwa uwazi juu
ya kumuona Allah kwa macho. Lakini je kauli ya haki ni kuwa mtu wa
kawaida naye anaweza kumuona Allah au kauli ya haki ni kinyume ya
hivyo? Nadhani hili ni miongoni mwa yasiostahiki kujibiwa. Na kwa hivyo,
Ibn Taymiyya anasema:
97 - Al-Laalakaai Sharhu I‟itiqadi Ahli Al-Sunna j. 1, uk. 153.
98 - Wenye kuzungumzia mambo ya tawhid na itikadi kwa hoja za kiakili.
99 - Ibn Taymiyya Bughyatu Al-Murtaad uk. 472.
100 - „Abdul-Karim na Muhammad Al-Kaylani Sharhu Jawharati Al-Tawhid j. 2, uk. 705.
32
ح خ هغ ـخػش حظوي٤ حظؤه٣ ؿ٢ ل كظ٠ أع خ ٣يػ٤ ئلء
حظ حال ح٣ ٣ـ إ٣ش هللا ك٢ حـش ٤ حؼكش رخش ــــخ ػي أ
ـــــأ ل ٣وغ؟ ك ٣ ك٢ هػخ ك٢ حي٤خ ه٤ خ ٣ؼك ر ٣وغ ك٢ حي٤خ
ح ـــش حش حـخػش ظلو ػ٠ أ هللا ل ٣ـــــ ٣و ٣ـ ي . ح ال كب أث
..… هخش . ـأكي رؼ٤ ك٢ حي٤خ ٣ظخػح ال ك٢ ز٤خ ٠ هللا ػ٤
Na haya ni miongoni mwa yaliowatokea kundi kubwa miongoni mwa
waliotangulia na waliokuja baadae, nalo ni kosa safi hadi yakafikia yale
wanayoyadai hawa kusababisha shaka kwa watu wa rai na kalam101
ambao
wanajuzisha kuonekana kwa Allah kwa ujumla. Na wala (watu hao)
hawana maarifa ya Sunna ambayo kwayo wanajua kwamba je (kuonekana
kwa Allah) kutatokea duniani au hakutokei? Basi miongoni mwao wako
ambao wanataja kauli mbili (kuhusiana na) kutokea (kuonekana kwa
Allah) duniani, na miongoni mwao wako wanaosema kuwa hilo (la
kumuona Allah duniani) linajuzu. Na huu wote ni upotovu, kwani
Maimamu wa Sunna na Jamaa wamekubaliana kwamba hakuna yoyote
yule atayemuona Allah kwa macho yake hapa duniani. Na wala (Maimamu
wa Sunna na Jamaa) hawakutafautiana isipokuwa kuhusu Mtume wetu
(s.a.w.) peke yake (je kamuona Allah au hakumuona)…..102
Lakini tukirudi katika maneno ya Ibn Taymiyya aliponena: “kwani
Maimamu wa Sunna na Jamaa wamekubaliana kwamba hakuna yoyote yule
atayemuona au aliyemuona Allah kwa macho yake hapa duniani”, tunakuta
kuna aina fulani ya kujigonga au ya propaganda zake za kawaida, kwani Ibn
Batta ni katika Maimamu Muhimu wa Sunna kwa Ibn Taymiyya na
Mawahabi, lakini pamoja na hayo yeye anaamini kuwa Nabii Musa
alimuona Allah juu ya mti! Bali kile alichokinukuu Ibn Taymiyya
mwenyewe katika sehemu hio hio kinamrudi. Kasema:
ؿي ـــــئلء ٣و ا ٠ آ ا حـز خ كـخر كخ ؿؼ حـز ىخ آ ح ٣
ك٢ ال أر٢ ١خذ ل
Na hawa miongoni mwao wako wenye kusema kuwa Musa alimuona
(Allah) na kwamba mlima ndio uliokuwa pazia lake, basi (Allah)
alipouvuruga (Musa) alimuona (Allah). Na haya yanapatikana katika
maelezo ya Abu Talib na walio mfano wake.103
Abu Talib huyu – dhahiri – ni Abu Talib Al-„Ushaari, naye ni mmoja wa
Maimamu watangulizi wa Mujassima,104
halkadhalika Ibn Batta. Sasa vipi
tena Ibn Taymiyya adai kuwa “na wala (Maimamu wa Sunna na Jamaa)
101 - Wenye kuzungumzia mambo ya itikadi na tawhidi kwa hoja za kiakili.
102 - Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 5, uk. 307-308.
103 - Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 5, uk. 307.
104 - Kama Ibn Taymiyya, Ibn Al-Qayyim na vijukuu vyao vya Kiwahabi.
33
hawakutafautiana isipokuwa kuhusu Mtume wetu (s.a.w.) peke yake (je
kamuona Allah au hakumuona)?” Lakini ikiwa watu hao wamekuwa na
itikadi hio nao ni viongozi watangulizi wa Kihanbali/Kiwahabi, suali la
kujiuliza ni kuwa je wao wataendelea kuwa Waislamu au watakuwa
wameshakufuru kwani mmoja ya viongozi wakuu wa Kihanbali/Kiwahabi
anena hivi: ػ أ ٣ ر ك٢ ىح حي٤خ؛ ك خك رخلل ػ ؿ
Na atayedai kuwa anamuona Mola wake duniani, basi huyo ni kafiri.
105
Na bila shaka yoyote ile, hakuna tafauti baina ya mwenye itikadi ya kuwa
“fulani kanmuona Mungu” na mwenye kusema: “miye nnamuona Mungu”:
wote wamethibitisha kitu kimoja – kuonekana kwa Mungu duniani.
NNE: ni kuwa je huko akhera ataonekana na Waumini tu au na wanafiki na
makafiri washirikina pia nao watamuona. Wengine wanasema: “makafiri na
wanafiki hawamuoni”. Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:
ل٤ق ــــؼ٤ق حـــخكوح حلش ح ــــأخ حلخ كال ٣ زلخ طؼخ٠ ه٤ ٣ح
حش أ حخكو٤ ل ٣ خ ل ٣ح رخه٢ حلخ رخطلخم حؼخء أـــــح١ ػ٤ ؿ
Ama makafiri wao hawatomuona Allah Mtukufu, na ikasemwa kuwa
watamuona wanafiki wa umma huu, nayo ni kauli dhaifu, na kilicho sahihi
ni kile walichokisema jumhur ya Ahlu Al-Sunna kwamba wanafiki
hawatomuona kama vile ambavyo makafiri hawatomuona kwa
makubaliano ya wanavyuoni.106
Hivyo ndivyo alivyotongoa Al-Imamu Al-Nawawi, lakini katika kudai
kwamba wanavyuoni wamekubaliana kwamba makafiri hawatomuona
Allah, kuna walakini, kwani mbali na kuwa kunagongana na dalili
walioitegemea, basi pia kunagongana na hali halisi ilivyo. Na kwa hivyo,
Ibn Al-Qayyim katika kitabu chake Haadi Al-Ar-waah kataja kauli tatu,
anasema:
٤خش ر ــ٢ ػخص حوــــؼخ٠ كـــكوي ىض حلكخى٣غ حل٤لش ح٣لش ػ٠ أ حخكو٤ ٣ ط
٣ذ ا خء هللاـــحو٤خش ٤ ري ػ هخ ك٢ حل٤ل٤ كي٣غ حظـ٢ ٣ ـحلخ أ٠٣خ
حؼخ٢ ٣ح ـــــ ل ٣ح ال حئأهح ل حش حكيخ أ ؼشــــــطؼخ٠ ك٢ حؤش ػال
حـــــــــذ ػ حلخ كال ٣ رؼي ي حؼخغ ٣ـــــؿ٤غ أ حهق ئ خك ػ ٣لظ
كي ٢ للخرأ حلهح حؼالػش ك٢ ذحلخ حخكو ى
105
- Al-Barbahari Sharhu Al-Sunna uk. 76. 106
- Al-Nawawi Sharhu Sahihi Muslim j. 3, uk. 441, sherehe ya Hadithi na. 1432.
34 Basi kwa hakika Hadithi sahihi za wazi zimeonesha kwamba wanafiki
watamuona Allah Mtukufu kwenye uwanja wa kiama bali hata makafiri
washirikina (kama Mayahudi na Wakiristo) nao pia (watamuona) kama
ilivyopokelewa katika Sahihi mbili (Sahihu Al-Bukhari na Sahihu Muslim),
katika ile Hadithi ya kujidhihirisha kwa Allah siku ya kiama na itakupitia
karibu in shaa Allah. Na katika mas-ala haya kuna kauli tatu za Ahlu Al-
Sunna: ya kwanza ni kuwa hawatomuona isipokuwa Waumini tu; ya pili ni
kuwa watamuona watu wote wa kisimamo (cha kiama) Waumini na
makafiri kisha atajificha kutokana na makafiri: hawatomuona (tena) baada
ya hapo; na ya tatu ni kuwa watamuona wanafiki pasina na makafiri
washirikina. Na kauli tatu hizo zimo (pia) katika madhehebu ya (Al-
Imamu) Ahmad nazo ndio kauli za wafuasi wake.107
Huo ni mgongano mwengine wa wazi uliomo si katika madhehebu tafauti
zenye itikadi ya kumuona Allah, bali pia ni mgongano uliomo katika
madhehebu moja yenye itikadi hio. Na mgongano huo umezaliwa na
mgongano wa itikadi na riwaya: itikidi ni kuwa kumuona Allah ndio malipo
bora yao kuliko yote, na kwa msingi huu huwezi kudai kuwa wanafiki na
makafiri watamuona; lakini riwaya – kama alivyotongoa Ibn Al-Qayyim –
zanena kinagaubaga kwamba makafiri na wanafiki pia watamuona! Suali:
kipi kitachowazuia hawa wasiingie peponi baada ya kuwa wameshajipatia
neema kubwa yao kuliko zote?! Hilo ni suali la kimaumbile kabisa. Je kuna
jawabu? Naam! Jawabu ipo. Ibn Khuzaima ajibu hivi:
ظ ك٢ ؿ ر ػ ؿ ١ــ رخــــف طـــــ كــــ٣ش حظلخ ل إ٣ش ٣ح رؼ إ
٣و هللا ػ ؿ أ ل٣ظ حئ٤ رخظ ا٠ ؿ ظ …… ..…حـال حإلح
كف ط
Watamuona baadhi yao kumuona kwa mtihani: si kumuona kwa kufurahi
na kusikia ladha katika kuutazama uso wa Mola wao Mtukufu Mwenye
utukufu na heshima. Na Allah atawahusisha watu wema tu miongoni mwa
Waumini kwa kuutazama uso wake mtazamo wa furaha na kujisikia
ladha!108
Lakini – kama unavyoona – maneno hayo ni maneno matupu: hayana dalili
ya mbali wala ya karibu, bali kilicho sahihi ni kusema kuwa Hadithi hio
walioitegemea imejigonga ikimaanisha kuwa hio ni Hadithi ya kutunga.
Kisha tazama wanavyomfanya Allah kuwa ni kitu kizuri cha kujistareheshea
kama vile senema! Anasema: “Na Allah atawahusisha watu wema tu
miongoni mwa Waumini kwa kuutazama uso wake mtazamo wa furaha na
kujisikia ladha”! Na Ibn Taymiyya naye akasema hivyo hivyo. Anasema:
107
- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 211-212. 108
- Ibn Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 20.
35
أ حال ــش ـــ ١خثلــحل حؼخ٢ : حؼ٤ ك٢ حيح ح٥هس أ٠٣خ ؼ حظ ا٤ ل خ ٣ػ
ي ، رـــف لــــل أ ل ؼ٤ ل س ال رخوم : حؤ حد ح
زلخ طؼخ٠ حس حؼ٤ حظخ ك٢ كظ حوخن
Msingi wa pili: neema za peponi pia kama vile kumtazama Yeye (Allah),
si kama linavyodai kundi la watu wa ilmu al-kalaam na waliomfano wao
kwamba hakuna neema wala ladha isipokuwa (mtu ajistareheshe) kwa
vilivyoumbwa tu kama vile kula, kunywa na wanawake na yalio mfano wa
hayo. (Sio hivyo) bali ladha (ya kweli kweli) na neema kamili iko katika
fungu lao (la kumtazama) Muumba (wao) Mtukufu….109
Na Ibn Al-Qayyim naye atongoa hivi:
…………………ك٤خ س حلرخ ا ٢ أهزض ... ٣خ س حلخع ك٤ ط
E utamu ulioje wa macho wakati (macho) yatapomuelekea**Na utamu wa
masikio ulioje wakati ataposema (nao)………………
طح اح أريص ك ؿخ ... ٣ ر هز حخ ٣ؼ
Macho yatamuona yatapoudhihirisha110
uzuri wa uso wake**Atastarehe111
kwa huo (uso) kabla ya maingiliano na atafurahi.112
Baada ya hayo, sasa naturudi katika kauli tatu za Ahlu Al-Sunna kuhusu
kuonekana kwa Allah huko akhera. Katika kitabu chake Al-Haqqu Al-
Daamigh, Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir, alilizungumzia
suala hili la kuwepo kwa mgongano huo tulioutaja, akasema:
ظ٠ ٣ ، كز٤خ ــــ ــــحوخث رإ٣ظ ك٢ ح٥هس ٠طر ي لهظالك ك٢ ٣
هللا رخ ػ٤ ٣ظ٠خء ؼخ ـــــؼش ٣ــحإ٣ش هخش رخئ٤ ا ٢ ؤـــأؼ ٣و ر
٣ػ ا٠ حلظيلؼ٤ حـش ظ٢٠ أ ـــػ٤خ رلي٣غ )ظ ر( غ أ ٣و ، ـي
٤خ لـــر حخكو ٣خ ك ٤،ـــحإ٣ش ظ ك٢ حهق ، أخ ؿ٤ هخش رخئ
..)ؿ٤حظ٢ ٣ؼك ســـــ ) طزو٠ حلش ك٤خ خكوخ ك٤ؤط٤ هللا طؼخ٠ ك٢
Na wenye kusema kuwa Allah ataonekana huko akhera, wanagongana vile
vile kwa kutafautiana kwao juu ya nani wataomuona na wakati gani
watamuona. Wakati wengi wao wanasema kuwa kumuona Allah ni
mahususi kwa Waumini kwani hio ni neema ambayo Allah atawaneemesha
109
- Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 1, uk. 35. 110
- Kwa maana: “yatapodhihirikiwa na uzuri wa uso wake”. 111
- Atastarehe yaani huyo mwenye kumuona Allah! 112
- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 10. Sijui je kasida hii ni utunzi wa Ibn Al-
Qayyim au yeye ananukuu tu.
36 nayo inanywea mbele yake neema ya pepo, basi tunawakuta wanakimbilia
kutoa ushahidi kwa Hadithi isemayo: “mutamuona Mola wenu”, pamoja na
kuwa Hadithi hii inamaanisha kuwa kuona huku kutakuwa katika
kisimamo na kwamba si mahususi kwa Waumini, bali na wanafiki pia
watashirikiana nao katika hilo, kwani miongoni mwa maneno yake
(Hadithi hio) ni: “na utabakia umma huu ndani yake kuna wanafiki wake,
atawajia Allah kwa sura pasina ile wanayoijua”………113
Kisha Sheikh akaendelea kutoa maelezo hadi akafikia kusema:
طؼخ٠ ٣ حو٤خش، ــكوي ىض حلكخى٣غ حل٤لش ػ٠ أ حخكو٤ ٣ : هخ حر حو٤
ك٢ كي٣غ حظـ٢ ٣ حو٤خش ، ػ هخ : ك٢ حؤش ػالػش أهح ر حلخ أ٠٣خ خ
: ل حش
.أكيخ : أ ل ٣ح ال حئ
.حهق ئ خك ، ػ ٣لظـذ ػ حلخ كال ٣ رؼي يحؼخ٢ : ٣ح ؿ٤غ أـ
. حؼخغ : ٣ح حخكوـ ى حلخ ، حلهح حؼالػش ك٢ ذ أكي ٢ للخر
ز ــــط٠خد أهح ؼزظ٢ حإ٣ش ك٢ حو٤٠ش كظ٠ أ ٣ -أ٣خ حوخة ح٣ -ح ط
حذ ظزخ٣ش ، خ٤ي ري خيح ى٤ال ػ٠ ؼق ا٠ اخ حكي أثظ أهحل ظؼخش
ظ ـــف كــــــظ ح حلهظالف ــــحوخػيس حظ٢ أح ػ٤خ ؼظوي ، ال كب حلن ل ٣ل
لم ــــــز كظـــأ ح ح٢١ ظو٤خ كخطزؼ ل طظزؼح ح ) : حظوخش لـظ يم هللا
).ر ػ ز٤
Na akasema Ibn Al-Qayyim: „kwa hakika Hadithi sahihi za wazi
zimeonesha kwamba wanafiki watamuona Allah Mtukufu kwenye uwanja
wa kiama bali hata makafiri washirikina (kama Mayahudi na Makiristo)
nao pia (watamuona) kama ilivyopokelewa katika Sahihi mbili (Sahihu Al-
Bukhari na Sahihu Muslim), katika ile Hadithi ya kujidhihirisha kwa Allah
siku ya kiama‟. Kisha Ibn Al-Qayyim akasema: Na katika mas-ala haya
kuna kauli tatu za Ahlu Al-Sunna:
Mosi: ni kuwa hawatomuona isipokuwa Waumini tu.
113
- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 29.
37 Pili: ni kuwa watamuona watu wote wa kisimamo (cha kiama) Waumini na
makafiri kisha atajificha kutokana na makafiri: hawatomuona (tena) baada
ya hapo.
Tatu: ni kuwa watamuona wanafiki pasina na makafiri washirikina. Na
kauli tatu hizo zimo (pia) katika madhehebu ya (Al-Imamu) Ahmad nazo
ndio kauli za wafuasi wake.114
Hayo ni maelezo ya Ibn Al-Qayyim na mfano wake ni maneno ya Ibn
Khuzaima katika kitabu chake alichokiita Al-Tawhid na Al-Fakhru Al-Razi
akakiita Kitabu Al-Shirk, anasema:
٣ظ ا٤ ؿ٤غ حئ٤ ٣ حو٤خ ر كخؿ ا ؿضر خد حز٤خ أ هللا ػ ؿ
.……أف حـ٤ش حؼطش حس لخص هخوخ ؿ
Mlango wa kutaja ubainisho kwamba Allah Mtukufu wanamtazama
Waumini wote siku ya kiama, wema na waovu hata zikiramba mchanga
pua115
za Al-Jahmiyya wenye kuzikataa, wenye kuzipinga sifa za Muumba
wetu.116
Kisha akasema:
ـأ ؿ٤غ أش حز٢ ٠ هللا ػ٤ ر كخؿ ئ خكو رؼ ر خد حز٤خ
٣ هللا ػ ؿ ٣ حو٤خش. ظخدــــأ ح
Mlango wa kutaja ubainisho kwamba umma mzima wa Mtume (s.a.w.),
wema, waovu, wanafiki na baadhi ya Ahlu Al-Kitab, (wote hao)
watamuona Allah Mtukufu siku ya kiama.117
Hivyo ndivyo walivyosema Maimamu hao, na hivyo ndivyo Sheikh Al-
Khalili alivyowanukuu, kama ulivyojionea mwenyewe. Lakini mmoja wa
waandishi wa Kiwahabi aitwae Dr. Ali Al-Faqihi akataka kuuficha ukweli
na – kama kawaida yake – akataka kuwadanganya watu. Anasema akijibu
maelezo hayo ya Sheikh Al-Khalili:
د وخة ح٣ أ ح حلـــــــــأخ خ حىػخ ػ٠ حؼزظ٤ إ٣ش حطحد، ك٤ظ٠ق
ــــخطخص، ح٣ ل ٣ظــــلخد حـــــــ أد طزؼ أ ؼ حئقــــــــــــح١ حطز
114
- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 211-212. Na katika kopi aliotumia Sheikh Al-
Khalili ni uk. 264. 115
- Hata wakidhalilika. 116
- Ibn Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 406. 117
- K.h.j. uk. 420.
38
وـــخ ٣ـــــل ٣ظ رخلخش حإلخف، ك٤ حظخد حش ك٢ اػزخص ػوخثي.ـــــر
كخئق .…........…ك٤خ أحء٣ظزؼ ٣وخل ك٢ ػوخثي حظ٢ـــــــ ــــػ ؿ٤
٤ش حظ٢ ك٤خ حوالف ر٤ــــ ك٢ حو٠ــــحو٢٤ أه ؿث٤ش ك٢ ع حإ٣ش، ٤ض ٢ حل
٤،ـــز٤ ػـــخطش حوخة، حظــ ــ أؿـــخ ـــــحق حوخل٤ ، ػ ٣ى حىى ػ٤
ك٤خ. حـخػش أ ٠طر ٣ذ ل حش
Ama kile alichokidai (Al-Khalili) dhidi ya wenye kuamini kumuona Allah
kwamba wamegongana, basi hilo litambainikia msomaji kwamba njia hii
alioifuata mwandishi huyu (Al-Khalili) ni njia ya wale aliowafuata katika
watu wa dhana za makosa na ambao hawafuati maandiko ya Qur-ani na
Sunna katika kuthibitisha itikadi zao. Wala hawatekelezi amana na
hawafanyi uadilifu katika yale wanayoyanukuu kutoka kwa wengine katika
wale wanaotafautiana nao katika itikadi zao ambazo wanafuata ndani yake
matamanio ya nafsi zao. Mwandishi Al-Khalili kachukua sehemu ndogo
katika maudhui ya kumuona Allah ambayo kwa asili si sehemu yenye
tafauti katika suala hili baina ya Al-Salaf na wenye kwenda kinyume
nao,118
kisha baada ya hapo anawarudi ili kuwakoseza wasomaji na
kuwachanganya, kisha anawanasibishia Ahlu Al-Sunna kwamba
wanajigonga ndani yake…119
Ndugu msomaji! Kama ulivyojionea katika juzuu ya kwanza ya kitabu chetu
hiki jinsi Dr. Ali Al-Faqihi huyu alivyokuwa mwongo mkubwa asiye na
haya– sema hivyo kwa mdomo mpana wala usimuogope isipokuwa Allah –
unajionea hapa jinsi anavyokikanusha kitu kilichopo mbele ya macho yake.
Sheikh Al-Khalili anazungumzia juu ya kugongana kwa kauli za wenye
kuamini kuonekana kwa Allah huko akhera. Kasema: حوخث رإ٣ظ ك٢ ح٥هس
,na wenye kusema kuwa Allah ataonekana huko akhera“ ٠طر ي
wanagongana vile vile”. Kisha akanukuu maneno ya wanavyuoni tafauti
akiwemo Ibn Al-Qayyim ambaye maneno yake yamenukuliwa na Sheikh
Al-Khalili kwa herufi zake moja moja bila kuongeza wala kupunguza hata
herufi moja. Maneno hayo ni kama ulivyoona kwamba Ibn Al-Qayyim
kasema:
٤غ ـــــح ل ٣ح ال حئ حؼخ٢ ٣ح ؿ هح ل حش حكيخأ ؼشــــــك٢ حؤش ػال
ح ــــــ رؼي ي حؼخغ ٣ــلخ كال ٣ـــ حـــذ ػــــهق ئ خك ػ ٣لظــــــأ ح
118
- Eti Mawahabi waliozaliwa juzi na Imamu wao aliyeishi karne ya saba ndio wafuasi wa
Al-Salaf; Ibadhi – kwa mfano – ambao Imamu wao kaishi na Masahaba wakubwa na
kusoma kwao wao ndio wenye kuwapinga Al-Salaf! Hizi ndio propaganda za Kiwahabi,
zimewapoteza wengi wasio na elimu. 119
- Al-Faqihi Al-Raddu Al-Qawim j. 1, uk. 52.
39
ح حؼالػش ك٢ ذ حكي ٢ للخرـــــــــــحخكو ى حلخ حله
Na katika mas-ala haya kuna kauli tatu za Ahlu Al-Sunna: ya kwanza ni
kuwa hawatomuona isipokuwa Waumini tu; ya pili ni kuwa watamuona
watu wote wa kisimamo (cha kiama) Waumini na makafiri kisha atajificha
kutokana na makafiri: hawatomuona (tena) baada ya hapo; na ya tatu ni
kuwa watamuona wanafiki pasina na makafiri washirikina. Na kauli tatu
hizo zimo (pia) katika madhehebu ya (Al-Imamu) Ahmad nazo ndizo kauli
za wafuasi wake.120
Haya! Kuna tafauti gani baina ya aliyoyasema Sheikh Al-Khalili pamoja na
kumnukuu Ibn Al-Qayyim na hayo yaliomo katika kitabu cha Ibn Al-
Qayyim na wengine. Sheikh anazungumzia kwamba wenye itikadi ya
kumuona Allah akhera:
1) Wanagongana.
2) Wana kauli tatu.
3) Wengine wanasema ataonekana na Waumini tu.
4) Wengine wanasema ataonekana na watu wote.
5) Wengine wanasema ataonekana na wanafiki tu pasina makafiri. Sasa tumuulize Al-Faqihi: je huu ni uwongo? Basi maimamu wako – akiwemo Ibn
Al-Qayyim – ndio waliousema uwongo huo.
Kisha baada ya hapo Al-Faqihi akasema:
٤خ ــك حؤش ل هالفـــــــــ «.إ٣ش حئ٤ ر ك٢ ؿخص حؼ٤» كخؤش خ ٢
اػزخطخـ٤ؼخ ػ٠ ه حكي ك٤خ ـــــ ؿــــــــــحد، ل أهح ظؼيىس، ر حئــــطـل ح
حظخد حش ـــخ ىص رخ ح
Mas-ala hapa ni haya: “Waumini kumuona Mola wao katika pepo ya
neema”. Hili halina tafauti ndani yake wala halina kugongana wala halina
kauli tafauti, bali Waumini wote wanafuata kauli moja ndani yake nayo ni
kuthibitishi (kumuona Allah) kama maandiko yalivyopokewa katika Qur-
ani na Sunna! 121
Nadhani ndugu msomaji unazidi kujionea jinsi Al-Faqihi anavyopotoa
maudhui baada ya kujua kwamba hana jawabu sahihi juu ya yale alioyasema
120
- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 211-212. 121
- Al-Faqihi Al-Raddu Al-Qawim j. 1, uk. 52.
40
Sheikh Al-Khalili. Sheikh Al-Khalili anasema kuwa wenye itikadi ya
kumuona Allah huko akhera wamegongana juu ya nani atamuona na wakati
gani ataonekana, na mgongano huu – kama ulivyoona – kaunukuu kwa
herufi zake kutoka kwa Ibn Al-Qayyim; Al-Faqihi anasema kwamba
maneno hayo si kweli, na kwamba “Waumini wamekubaliana kwamba
Allah ataonekana peponi!” Na hapa kawazuga watu mara mbili:
1) Sheikh hakudai kuwa tafauti hio baina ya wenye itikadi ya kumuona
Allah ni kuhusu kumuona Allah peponi – Al-Faqihi analazimisha
suala la “kumuona Allah peponi”.
2) Al-Faqihi kasema uwongo – kama kawaida yake – kwamba
Waumini wamekubaliana juu ya itikadi yake hio. Na huo ni uwongo,
bali sahihi ni kuwa wenye itikadi ya kumuona Allah tu ndio
waliokubaliana kuwa peponi watamuona!
Ndugu Muislamu! Huu ni mfano mdogo tu wa uwongo wa Dr. Ali Al-
Faqihi, uwongo wake na ghushi zake ni nyingi, hazina kiasi. Huyu mtu ni
mwongo asiye na haya wala junaha wa Allahu Al-Musta‟aan!
TANO: wakatafautiana kuhusu je watapomuona Allah atakuwa yuko
upande maalumu au hatokuwa kabisa na kitu sehemu? Anasema Ibn Hajar:
إ٣ش حؼ٤ خ ك٢ ــــخ كوخ ه ٣ل حث٢ حؼ رخلل طؼخ٠ رػزض حإ٣ش ك٢ ؼخأحهظق
ــــ ػـــــحث٤خص ػ٠ كن ه ك٢ كي٣غ حزخد خ ط حو حل أ ــ ــــؿ٤
إ٣ش ـــهخ رؼ٠ .…….…رؼ٠ ح ححى رخإ٣ش حؼ هخ....……… حـش ح٤ل٤ش
ق حؼ ح أهد ا٠ ححد حلــــع ق ػ حل ح أط ححئ لل
Na wenye kusema kuwa Allah ataonekana wakatafautiana kuhusu maana
yake (Hadithi hio isemayo kuwa mutamuona Mola wenu kama
munavyouona mwezi). Baadhi yao wakasema kwamba muonaji atapata
elimu ya kumjua Allah Mtukufu kwa uoni wa jicho kama ilivyo katika
vyenye kuonekana vyengine, na hili limekubaliana na kauli yake katika
Hadithi ya mlango huu: “kama munavyouona mwezi” isipokuwa hatokuwa
na upande (sehemu) wala hatokuwa na namna.. na wengine wakasema
kwamba makusudio ya kuona ni kujua…….na wengine wakasema
kwamba uoni wa Muumini wa kumuona Allah ni aina ya ugunduzi na ujuzi
isipokuwa ni wenye kukamilika zaidi na ulio wazi zaidi kuliko elimu (hii
tulionayo), na (kauli) hii ndio ilio karibu zaidi na usahihi kuliko (kauli)
ya mwanzo.122
Anasema Ibn Bataal katika nukulu ya Ibn Hajar:
122
- Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 15, uk. 9250, maelezo ya Hadithi na. 7434 na zinazofuatia.
Tazama pia Abu Hayyaan Al-Bahru Al-Muhit j. 1, uk. 371, maelezo ya Aya ya 55 ya Sura
ya 2.
41
خل ك خ أ خ ؿ ز ل ٣ خ ش أ ظ ل ح خ ػ ز ض خ ش ك ٢ ا ػ ز خص ح ـ خك ٢ ل ط ؼ ن
Hakuna walichokamatana nacho Mujassima katika kuthibitisha kuwa
(Allah) ana sehemu kwa sababu ya kile kilichothibiti kuwa ni mustahili
kwa Allah kuwa ni kiwiliwili au kuwa kaingia katika sehemu…123
Hio ni kauli yao moja nayo ni kauli ya Al-Ash‟ariyya (asilimia kubwa ya Sunni).
Lakini – kama ulivyoona katika juzuu ya mwanzo ya kitabu hiki – Ibn Al-Qayyim
kawaita wenye kauli hio kuwa ni Makhanithi! Anasema:
وخرش ،ــــــ ل ــ ؿ٤ زخ٣ش ث٢ حزأخ وخ٤ؼ كظخه٠ح كوخح: ر ٣ز ٣
كخض كل )٣ؼ٢ حـ٤ش( أهد ا٠ حؼو.....
…Ama makhanithi wao (Masuni Al-Asha‟ira); wao wamejigonga
wakasema anaonekana pasina mwenye kuonekana kuwa mbali na mwenye
kuona wala kuelekeana naye, basi madume wao (yaani Jahmiyya)
wamekuwa karibu zaidi kwa akili….124
Anaendelea:
هي لي ؿ حؼوالء حوخث٤ رؤ حإ٣ش طل وخ٤ؼ ٣و رخإ٣ش ٣ حؼ
ؿ٤ حؿش ث٢ زخ٣ش
Na makhanithi wao wanakiri kuwa Allah ataonekana lakini wanakanusha
kuwa yuko juu (kweli kweli). Na kwa hakika jumhuri ya wenye kutumia
akili wamewacheka hawa wenye kusema kuwa kuona kutapatikana bila ya
kuelekeana na mwenye kuonekana na kupambanuka naye….125
Anasema Dr. Ahmad Nasir Alu Hamad:
ل٢ حإ٣ش غ ح ح ؼظش ه رل٢ حـش ػ هللا طؼخ٠ ٣ ل٢ حـش
Lakini wao, pamoja na haya, wamesalimu amri mbele ya Mu‟tazila kwa
kukataa kwao kuwa Allah ana upande (sehemu), na kukanusha kuwa Allah
ana upande kunalazimisha kukataa kuonekana kwake…126
Anasema Al-Hijri: “na yamekuja maelezo ya kukataa kuwepo kwa upande
na sehemu – ambayo Dr. Alu Hamad anayazingatia kuwa ndio vyenye
kupelekea katika kuona – katika maandishi ya Al-Nasafi,127
Isma‟il Al-
123 - Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 15, uk. 9258, maelezo ya Hadithi na. 7434 na zinazofuatia. 124
- Ibn Al-Qayyim Al-Sawaa‟iqu Al-Mursala j. 4, uk. 1334-1335. 125
- Ibn Al-Qayyim Mukhtasaru Al-Sawaa‟iqi Al-Mursala uk. 172. 126
- Dr. Ahmad Nasir Ru-uyatu Allahi Ta‟aala uk. 122. Nukulu kutoka katika kitabu Al-
Mizanu Al-Qist cha „Ali Al-Hijri uk. 262. 127
- Al-Nasafi Al-Tafsir j. 4, uk. 315.
42
Barusawi,128
Abu Su‟uud,129
Ibn „Ashur,130
Al-Sinadi, 131
Al-
Mubaarakfuri,132
Ibn Bataal133
na Al-Qadhi „Iyaadh.134
SITA: ni tafauti yao juu ya kiungo gani ambacho kwacho Allah ataoneka?
Anasema Ibn Taymiyya:
ش ـــــهخ هخث ح كل حلى ا هللا ل ٣ رخلرخ ٣ون خ ٣ حو٤خش كخ
……خىش ؿ٤ كحخ كي رخ يى خ رظي حلخش
Na wasemaji wengine – miongoni mwao ni Dhirar na Hafs Al-Fard –
wakasema kwamba Allah haonekani kwa macho lakini (atachokifanya)
siku ya kiama ni kuwa atatuumbia hisia ya sita135
pasina hisia zetu hizi,
basi tutamdiriki kwazo na tutamdiriki Yeye yukoje kwa hisia hio!136
Hio ni kauli moja. Lakini wakati hawa wanena hivyo, wengi wao wasema
kuwa watamuona Allah kwa macho haya yaliomo kichwani. Anasema Ibn
Al-Qayyim:
لل أرخ ط هللا ؿس ... كال ح٤٠ ٣ـخخ ل ٢ طؤ
Na Allah ana (waja wenye) macho ambayo yatamuona wazi
wazi***Hayana kupunjika kutakoyaingia wala hayachoki (kumtazama).137
Anasema Al-Barbahari:
حإل٣خ رخإ٣ش ٣ حو٤خش ٣ هللا ػ ؿ رؤػ٤ إ
Na (katika itikadi ya Ahlu Al-Sunna) ni kuamini kumuona Allah siku ya
kiama kwa macho ya kichwani mwao..138
128
- Al-Barusi Ruhu Al-Bayaan j. 10, uk. 250. 129
- Abu Su‟uud Al-Tafsir j. 6, uk. 337. 130
- Ibn „Ashur Al-Tahriru wa Al-Tanwiir j. 6, uk. 252. 131
- Al-Sindi Al-Hashiya Alaa Sahihi Al-Bukhari j. 4, uk 287. 132
- Al-Mubaarakfuri Tuhfatu Al-Ahwadhi j. 7, uk. 233-234. 133
- Ibn Battaal kanukuliwa na Ibn Hajar katika Fat-hu Al-Bari j. 15, uk. 395. 134
- Tazama „Ali Al-Hijri Al-Mizanu Al-Qist uk. 263. 135
- Hisia ya sita leo imegunduliwa, labda hio itakuwa ni ya saba kama haikugunduliwa ya
saba kabla kiama. 136
- Ibn Taymiyya Bayanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 403. 137
- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 10. Kama nilivyosema sijui je kasida hii ni
utunzi wa Ibn Al-Qayyim au yeye ananukuu tu. 138
- Al-Barbahari Sharhu Al-Sunna uk. 63.
43
SABA: je wanawake nao watamuona au wao hawatomuona? Suala hili
kalinukuu Dr. Al-Tahhaan (Al-Mat-huun) katika muhadhara wake
aliouweka kufanya jaribio lenye kufeli la kutaka kuwajibi Ahlu Al-Haqqi
Wa Al-Istiqama juu ya suala la kuonekana kwa Allah. Na akanukuu maneno
ya Al-Imamu Al-Suyuti akisema: “wanawake hawatomuona”. Kisha Al-
Tahhaan akamkaripia Al-Suyuti kwa kusema hivyo, akimaanisha kuwa na
wanawake pia watamuona. Na hivyo, ndivyo alivyosema Ibn Taymiyya
katika Majmu‟a Al-Fatawa139
akifuatiwa na Abdul-Karim na Al-Kaylani
katika Sharhu Jawharati Al-Tawhid.140
Na kwa hivyo, mas-ala haya yana
kauli mbili – tafauti nyengine baina ya watetezi wa itikadi ya kumuona
Allah.141
NANE: je Allah anaonekana usingizini? Wengi wenye itikadi ya kumuona
Allah wanasema: “ndio”. Miongoni mwa hao ni Al-Alusi, bali yeye Al-
Alusi anasema kwamba kamuona Allah mara tatu usingizini!142
Na Ibn
Taymiyya akasema kuwa hio ndio kauli ya maulamaa wao na Al-Salaf
wote, bali – kama kawaida yake kuzua – akawazulia Masahaba pia kuwa
wanaitikadi hio.143
Na kwa ujumla ni kuwa hili ni suala ambalo
wametafautiana wenye itikadi ya kumuona Allah. Anasema Al-Shanqiti
baada ya maelezo:
٤ــكبح زخكغ حإ٣ش خ ػالػش أهخ: حو حل: حإ٣ش حله٣ش، خ أ ل هالف ر
ش.ــــ حــــالف ك٤خ لـــحو حؼخ٢: حإ٣ش ك٢ ح، خ حو اػزخطخ. حش ك٢أ
٠ هللا ػ٤ ر ٤ش حؼحؽ، خ حوالف ك٤خ ــحؤش حؼخؼش: إ٣ش ح
ل حش.
Na kwa hivyo, utafiti wa kuonekana kwa Allah hapa unagawika sehemu
tatu.144
Sehemu ya kwanza ni kuonekana huko akhera, na hili ndilo
tulilolielezea kwamba Ahlu Al-Sunna hawatafautiani katika kulithibitisha.
Sehemu ya pili: ni kumuona Allah usingizini. Na hili tumeeleza kwamba
Ahlu Al-Sunna wanatafautiana. Mas-ala ya tatu: ni suala la kuwa Mtume
(s.a.w.) kamuona Mola wake usiku wa miraji. Na hili tumeeleza kwamba
Ahlu Al-Sunna wanatafautiana.145
139
- J, 6, uk. 432. 140
- J. 2, uk. 696-697. 141
- Abdul-Rahim Al-Tahaan Muhadhara wake uliorikodiwa katika kaseti tatu alioutoa
Imarati. 142
- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟aani j. 9, uk. 52. 143
- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 402. J. 1, uk. 73. Majmu‟a Al-
Fatawa j. 2, uk. 212. 144
- Muhamad Hasan Al-Shanqiti Silsilatu Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 5, uk. 17. 145
- Muhammad Al-Hasan Al-Shanqiti Silsilatul Asmaai wa Al-Sifat uk. j. 5, uk. 17.
44
Anasema „Umar Al-„Id:
ض ــــــؤش: ٣ إ٣ش هللا خخ أ ل ٣ إ٣ظ خخ ؟ حـحد: حهظق حؼخء ك٤خ، ك٤
ـــرخزش لي ٠ هللا ػ٤ كوي ػزض أ أ ر ٠ هللا ػ٤ ٥كخى حخ، أخ
ل٤ق خخ ، هخ: ) أ٣ض ر٢ ك٢ أك س ( ح حلي٣غ ل٤ق، ح ليــــــــخ ك٢ ح
إ٣شـــــخء هخ: ا ٣ك حؼ ٠ هللا ػ٤ ، أخ خ ػيح كوالف ر٤ حؼخء ك٤.
هللا خخ
Mas-ala: je inawezekana kumuona Allah usingizini au haiwezekani
kumuona usingizini? Jawabu: wanavyuoni wametafautiana katika hilo: si
kwa mtu mmoja mmoja, ama kuhusu (Mtume) Muhammad (s.a.w.), yeye
imethibiti kuwa kamuona Mola wake kama ilivyo katika Al-Sahih,146
kasema: „nimemuona Mola wangu katika sura nzuri yao‟. Na Hadithi hii ni
sahihi. Huyu (Mtume) Muhammad (s.a.w.), ama asiyekuwa yeye kuna
tafauti za wanavyuoni. Miongoni mwao wako wale waliosema kuwa
inawezekana kumuona Allah usingizini.147
Bila kusahau kwamba asilimia kubwa ya wenye itikadi ya kumuona Allah
usingizini, wanasema kuwa yule uliyemuona si Allah mwenyewe, bali ni
mfano tu kwa kadiri ya imani ya mtu ilivyo, kama anavyoeleza Mzee wa
Uislamu148
na wengine katika vitabu vyao. Lakini wako wengine
wanaosema kwamba yule ni Allah mwenyewe!149
Hizo ni baadhi ya khilafu za wenye itikadi ya kumuona Allah kuhusu suala
hilo la kuonekana kwa Allah. Khilafu nyengine juu suala hilo kazitaja Ibn
Taymiyya, miongoni mwa hizo ni:
1) Je watamuona hali ya kuwa Yeye ni kiwiliwili chenye mipaka
kimewaelekea? Wengine wakasema “ndio”.150
Wengine – kama
inavyoeleweka – hawalikubali hilo.151
2) Je kumuona Allah kwa macho ni kumdiriki au ni kumuona tu pasina
kumdiriki – kauli mbili. 152
3) Je ataonekana waziwazi na kwa kumkabili. Wengine wakasema
“ndio”, wengine wakasema “sio”.153
146
- Sijui kakusudia Sahihi gani maana Hadithi hii haimo katika Sahihu Al-Bukhari wala
Sahihu Muslim! 147
- „Umar bin Su‟uud bin Fahd Al-„Id Shar-hu Laamiyyati Shaaikhil Islam Ibn Taymiyya j.
12, uk. 11. 148
- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 73. 149
- Tazama maelezo ya Khalid Al-Muslih Sharhu Lam‟atu Al-I‟itiqaad j. 7, uk. 16. 150
- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 403. 151
- Jumhuri ya Masuni hawakubaliani na hilo. 152
- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 403.
45
Sasa baada ya hayo, jiulize wewe: je mgongano huo unaashiria nini? Jawabu
ni kuwa: mgongano huo unaashiria kwamba wenye itikadi ya kumuona
Allah hawakukamatana na dalili sahihi katika Qur-ani na Sunna. Ama ni
kwa sababu dalili hizo zinapingwa na dalili zenye nguvu zaidi, jambo
ambalo liliwapelekea kutaka kuzifanyia ta-awili dalili zenye nguvu zaidi za
kutoonekana kwa Allah na badala yake kushikana na dalili dhaifu; au ni kwa
sababu dalili zao zenyewe zinagongana; au kwa sababu ya yote mawili.
ASILI YA UPOTOFU
Katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu nilisema haya yafuatayo:
Na chanzo cha kurudi nyuma umma wa Kiislamu ni kufisidika kwa itikadi
ya baadhi ya wafuasi wa Uislamu. Na hili alikwisha kulitabiri Mtume
(s.a.w.) aliposema maneno ambayo maana yake ni kuwa: „mutafuata nyayo
za waliokuwa kabla yenu mpaka lau kama watatumbukia katika shimo basi
mutatumbukia pamoja nao‟. Sasa ukirudi kutazama umma zilizopita
zilikuwa kila akiondoka Mtume wao basi baada ya muda hutokea watu
wakabadilisha mambo kidogo kidogo mpaka wakafikia ibada ya
masanamu. Na umma huu nao sasa umefika mbali katika kuitakidi mambo
ya upotovu. Na chanzo chake hasa ni itikadi mbili: moja ni kuamini kuwa
Mwenyezi Mungu ataonekana na la pili ni kuamini kuwa watu wataingia
motoni kwa kukoshwa dhambi zao tu: kisha wataingizwa katika pepo!
Lakini hili la kuwa watu wataingia motoni na kutoka hatutolizungumzia
humu: lina kitabu chake Mwenyezi Mungu akipenda. Lakini
nitakudokezea katika hili kitu kimoja halafu wewe iulize nafsi yako: ni kitu
gani kimewapelekea watu waseme maneno haya ambayo hayakubaliani na
utukufu wa Mwenyezi Mungu? Wenye kusema kuwa watu wataingia
motoni na kutoka wanasema hivi:
ي ٤ ػ ق و ٣ ي ػ ـ ٣ هللا
Mwenyezi Mungu anatekeleza ahadi yake njema, na anakwenda
kinyume na onyo lake!154
153
- Ibn Taymiyya Bayaanu Talbisi Al-Jahmiyya j. 1, uk. 403. Tanbihi: dhahir ni kuwa Ibn
Taymiyya anazinukuu kauli hizi kutoka katika kitabu Maqaalatu Al-Islamiyyiin cha Abu
Al-Hasan Al-Ash‟ari, lakini – kwa upande wa pili – naye ndio anazitolea hoja dhidi ya Al-
Fakhru Al-Razi. 154
- Sh. Salih bin „Abdil-„Aziz Itihaafu Al-Sail Bimaa Fii Al-Tahawiyya Minal Masail j. 42
uk. 16 (Al-Maktaba Al-Shamila), anasema Sheikh huyo:
…… ..ح هللا ل ٣ وق ػي، ن حؼ٤ رل٠ ..أخ ػ٤ي، كب ه ق ك٢ ك ي ٣ ظ و
46
Sasa sikiliza Mwenyezi Mungu mwenyewe anavyosema:
ح ظ ل ط و .ه خ ؼ ز ٤ي خ أ خ ر ظ ال ي ١ و ح خ ٣ ز ي ٤ي *** ػ ر خ ض ا ٤ ه ي ه ي ي ١
(Na) atasema (Mwenyezi Mungu) musigombane mbele yangu
na nilikwisha kukutangulizieni onyo (langu)**Kauli yangu
haibadilishwi kwangu na (wala) Mimi si mwenye
kuwadhulumu waja wangu.155
Hayo ndio nilioyanena katika kitabu Hoja Zenye Nguvu. Lakini Mafuta
akanijibu kama inavyofuata:
Ndugu Juma pia anadai kwamba miongoni mwa vyanzo vya upotevu ni
watu kuitakidi kuwa Allah ataonekana huko akhera kwa macho. Na
kadhalika kuitakidi kuwa waislamu waliomuasi Allah wataingia motoni
kisha watatolewa! Itikadi zote hizi ambazo ndugu Juma ameziita kuwa ni
vyanzo vya upotevu zimetajwa na Qur‟an na Sunna sahihi za Mtume –
swalla llaahu alayhi wasallam- na ndiyo itikadi ya Maswahaba wa Mtume
Muhammad –swalla llaahu alayhi wasallam- na wafuasi wao walio
wafuatia kwa wema.
Juma hakusema kwamba vyanzo vya upotevu ni:
Kutoshikamana na Qur‟an na Sunna,
Kumtii shetani na askari wake,
Kufuata matamanio ya nafsi,Ujinga,Kiburi,
Kufanya is‟rafu katika matumizi ya majazi ndani ya Qur‟an, na
kuzipotosha tafsiri za baadhi ya aya kwa madai kuwa kuna majazi.
Na nyinginezo miongoni mwa sababu zilizotajwa na Qur‟an au Sunna. Bali
yeye ameamua kutaja mambo hayo kuwa ndiyo vyanzo vya upotovu, na
hali ya kuwa yeye mwenyewe ana yakini kwamba hawezi kututhibitishia
kielimu kwamba itikadi hizo ni vyanzo vya upotevu kivipi?
Lakini ninazidi kuamini kuwa upofu ni upofu wa moyo ! Ee Mola wetu
tukinge na upofu wa macho na moyo –Aamin-.
Na kwa hivyo, Allah hendi kinyume na ahadi yake njema; ama ahadi yake mbaya (ya
kuwaadhibu watu) basi huenda akaenda kinyume nayo kwa mtu maalumu kwa sababu ya
fadhila zake na ukarimu wake! Jamani! Tazameni itikadi za watu hao! Ivo hawa wanafikiri
Allah asema uwongo?! Allah anachokisema ndio kakisema: hakuna makosa, wala
kigeugeu, wala uwongo wala kubadilisha usemi. 155
- Qur-an: 50, 28-29. Tazama Juma Al-Mazrui Hoja Zenye Nguvu uk. 17.
47 Ama kuhusu suala la majazi kuwepo kwake ndani ya Qur‟an au
kutokuwepo tutalitolea ufafanuzi kwa muhtasari katika sehemu hiyo
ifuatayo inshaallah:156
JAWABU NA MAELEZO
Kuhusu suala la majazi nimekujibu kwa urefu katika juzuu ya kwanza ya
kitabu hiki Fimbo Ya Musa, rejea huko ujikumbushe. Lakini kwa
mukhtasari ni kuwa je baadhi ya wanavyuoni wenu hawakusema kuwa:
1) Allah kamuumba Adam kwa sura yake? Na wengine wakazidisha:
“anafanana naye”?
2) Allah ana viungo vyote – taqriban – alivyonavyo binaadamu?
3) Allah atakwenda katika ardhi?
4) Daudi ataligusa goti la Allah?
5) Allah anaweka miguu yake juu ya kiti?
6) Kaegemeza mgongo wake kwenye mlima huku anaandika Taurati
kwa mkono wake?
Na mengi mengineo ambayo tumeyaeleza katika juzuu ya kwanza na
ambayo hatukuyaeleza. Sasa jiulize wewe nini chanzo cha kutumbukia
katika upotovu huo? Jawabu iko wazi kwamba, asili ya upotovu huo ni:
a) Kukanusha kwao kuwepo kwa majazi.
b) Kutegemea Hadithi Ahadi katika mambo ya itikadi. Hili tutalieleza
kwa urefu katika sehemu yake in shaa Allah.
Ama suali kwamba je itikadi ya kutoka motoni ni katika jumla ya sababu
zilizowapelekea watu kuingia katika upotovu? Hilo maelezo yake yatakuja
katika juzuu ya tatu ya kitabu hiki in shaa Allah.
Ama kuhusu je itikadi ya kumuona Allah ni katika jumla ya sababu
zilizowapelekea watu kuingia katika upotovu? Jawabu “ndio”, hio ni moja
ya sababu kuu za upotovu wa itikadi tafauti mbovu zilizozaliwa na itikadi
hio. Bila shaka ukiwa umeusoma na kuuzingatia utangulizi huu na ukawa
umeufahamu vyema basi huwezi kuukana ukweli huo. Chukua mifano
ifuatayo:
Mosi: Ibn Batta anasema:
Nabii Musa (a.s.) alimkuta mtu juu ya mti kavaa vazi la sufi na viatu vya
ngozi ya punda akasema naye (yaani yule mtu akasema na Nabii Musa a.s).
156
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 37-38.
48 Nabii Musa (a.s.) akasema: „Ni Muibrania gani huyu anayesema na mimi?‟
Yule mtu akajibu: “Mimi ni Mungu‟. 157
Suali: je kama si itikadi yake ya kuwa Allah anaonekana angeliweza
kuutamka upotovu huo?
Pili: Al-Alusi anasema:
Na wametaja baadhi yao kwamba Nabii Musa (a.s.) alikuwa anamuona
Mwenyezi Mungu Mtukufu, lakini alikuwa hajui kuwa aliyemuona ndiye
Yeye (Mwenyezi Mungu). Na kwa namna hii zinafasirika baadhi ya riwaya
zilizopondwa (yaani zilizokataliwa na baadhi yao, zenye kusema kuwa):
س ٢ ك هللا ض ٣ أ خد ز ح ٠ ؼ ر ٢ ك __ ذ ال ؼ __ س خى ٣ خ
Nimemuona Mola wangu katika sura ya kijana….na katika riwaya
nyengine kuna ziada (inayosema kwamba)….naye (Mwenyezi Mungu) ana
viatu viwili vya dhahabu!
Basi yatakaposihi (yatakapokuwa sahihi) yaliyosemwa na Mashekhe na
yalivyofahamisha maneno ya Al-Suyuti, mimi, namshukuru Mwenyezi
Mungu, nimemuona Mola wangu usingizini mara tatu. Na ilikuwa mara ya
tatu mwaka 1246 A.H. Nimemuona Mola Mtukufu naye ana nuru
anaelekea upande wa mashariki, akanisemesha maneno nimeyasahau
nilipoamka!158
Suali: je kama si itikadi yake kuwa Allah anaonekana angeliweza kuutamka
upotovu huo? Wapi kasikia kuwa:
a) Nabii Musa alimuona Allah, ilhali Qur-ani imesema kwa uwazi
kuwa hakumuona?
b) Mungu ana sura---ya kijana---avaa viatu?
Na ni kitu gani kilichomfanya kuiamini ndoto yake ya kuwa kamuona Allah
na akaamini kuwa Yeye ndiye Allah kama si itikadi yake ya kumuona Allah
aliokuwa nayo kabla ya kuota ndoto hio?
Tatu: wamesema baadhi yao: “mlima ulikuwa ukimuona Allah”. Suali: je
kama si itikadi ya kuwa Allah anaonekana wangeliweza kuutamka upotovu
huu?
Nne: “Mtume (s.a.w.) kamuona Allah kwa macho yake”. Na wenye kauli hii
si wawili watatu katika umma huu bali ni wengi mno. Suali: je huku si
157
- Tazama Lisanu Al-Mizan cha Ibn Hajar j. 4 uk. 112-115. 158
- Al-Alusi Ruh Al-Maani j. 9 uk. 52.
49
kupotea? Na je kama si itikadi yao ya kuwa Allah anaonekana wangeliweza
kuutamka upotovu huu?
Tano: Miongoni mwa itikadi za wenye kumuona Allah – kwa mujibu wa
riwaya zao – ni kuwa “Allah atawajia watu kwa sura iliotafauti na ile
waliomuona mwanzo!”. Suali: mwanzo walimuona wapi? Katika riwaya ya
pili: “Allah atawajia watu kwa sura ilio ndogo na ile waliomuona mwanzo!”
Kwa hivyo, Mwenyezi Mungu abadilika! Mwenyezi Mungu ana sura kubwa
na ndogo?
Sita: Riwaya ya Kiwahabi inasema: “Mungu atakuwa katika daraja ya nne
katika daraja za jahannam” katika riwaya nyengine: “Allah yuko mbele na
viumbe wako nyuma wanamfuata mpaka wavuuke katika sirat!” Je kama si
itikadi yao ya kuwa watamuona Allah wangeliweza kuutamka upotovu huu?
Bwana Mafuta! Tazama jinsi itikadi ya kumuona Allah ilivyozaa silsila za
itikadi potofu!
Saba: anasema Ibn Taymiyya:
هللا ــــ أ ـــ٣ـ خ ػ٠ طغ ػس وخش كوخ هخثـــحهظلح ك٢ إ٣ش هللا طؼخ٠ رخإلر
خ أ ٣ رؼ وخ ك٢ حطهخص رخإلرخ ك٢ حي٤خ
Na (wenye itikadi ya kumuona Allah) wakatafautiana katika kumuona
Allah kwa macho kwa kauli kumi na tisa. Wengine wakasema inajuzu
kumuona Allah kwa macho hapa duniani, wala hatukanushi kwamba Yeye
ni baadhi ya tunaowakuta njiani (yaani Allah ni baadhi ya hawa watu
tunaowaona)!159
Sheikh Kasim upo? Watu wanaamini kuwa inawezekana ikawa hawa
tunaopigana nao vikumbo ndio Allah mwenyewe! Je huu si upotovu ni kitu
gani? Na je kama si itikadi yao kuwa Allah anaonekana wangeliweza
kuutamka upotovu huu?
Anaendelea Ibn Taymiyya:
أؿخ رؼ٠ ػ٤ حل ك٢ حلؿخ ألخد حل اح أح اخخ ٣ظل ٣يح ؼ
ا ك٤
Na wengine (katika hao wenye itikadi ya kumuona Allah) wakajuzisha
kuwa inamfalia (Allah) kuwa aingie katika viwiliwili, na watu wenye
itikadi hio ya kuwa Allah anaingia katika viumbe, basi wakimuona mtu
159
- Ibn Taymiyya Bayaanu Al-Talbis j. 1, uk. 402.
50 wanamtukuza kwani wao hawajui labda Mola wao yumo humo (ndani ya
mtu)!160
Sheikh sikiliza vyombo hivyo vilivyotokana na itikadi ya “tutamuolya161
Mungu!” Anaendelea Ibn Taymiyya kuwaelezea baadhi ya wenye itikadi ya
kumuona Allah, anasema:
٤ــأؿخ ؼ٤ أؿخ إ٣ظ ك٢ حي٤خ خكلظ الظ حط ا٣خ هخح ا حو
ـــــــــحي٤خ ح٥هس ا أحىح ي ك٢ ي ػ ألخد ٠ ك٢ ػ ٢ـــ٣ؼخو ك
خــــــــخح ٣و ا هللا طؼخ٠ ٣ ػ٠ هي حلػخ ك ــــألخد ػزيححكي ر ٣ي أ
ػ أك٠ آ أك
Na wengi katika wale waliojuzisha kumuona Allah katika dunia, basi
walijuzisha kwamba inajuzu kupeyana naye mikono na kugusana naye na
kutembeleana naye, na wakasema hakika ya wenye ikhlas basi
wanakumbatiana naye hapa duniani na akhera ikiwa watayataka hayo.
Hayo yamesimuliwa kutoka kwa wafuasi wa Mudhar na Kahmas na
yakasimuliwa kutoka kwa wafuasi wa „Abdil-Wahid bin Zaid kwamba
walikuwa wakisema: „hakika Allah Mtukufu anaonekana kwa kadiri ya
matendo, yule ambaye matendo yake ni bora zaidi basi naye humuona
Allah vizuri zaidi.162
Bwan-Kasimu wasikia mambo ayo? Mungu apeyana mikono na watu,
atembeleana nao, akumbatiana nao! Anaendelea Ibn Taymiyya kwa kusema:
هخض حز٣ش ا هللا ٣ون س ٣ حو٤خش ٣ ك٤خ ٣ هو خ
Na Al-Bakriyya wakasema: „Allah (siku ya kiama) ataumba sura
ataonekana ndani yake na atazungumza na viumbe kutoka katika sura
hio….163
Anaendelea Ibn Taymiyya kwa kusema:
حهظلح أ٠٣خ ك٢ د آه كوخ هخث ؿخ ليىح وخرال خ ك٢ خ ى خ
Na wakatafautiana vile vile katika aina nyengine, wakasema baadhi yao
kuwa tutamuona (Allah) hali ya kuwa ni kiwiliwili chenye mipaka
kimetuelekea katika baadhi ya sehemu pasina na sehemu nyengine!164
160 - K.h.j.
161 - Kuola au kuolya ni neno la Kipemba na maana yake ni kutazama. Lakini kuola
limesarifiwa kutokana na neno kuona; na kuona chimbuko lake ni neno la Kiarabu ػخ٣
„Ayana, na maana yake ni kuona kwa macho. 162
- K.h.j. 163
- K.h.j. uk. 403.
51
Je bwana Mafuta weye wakubaliana nayo hayo? Je huu si upotovu? Na nini
chanzo cha upotovu huo? Yalio katika vitabu vya makala na itikadi ni
mengi mno, lakini nadhani haya machache yanatosha kukujuilisha ukweli
tuliotangulia kuusema kwamba itikadi ya kumuona Allah imezaa itikadi
nyingi nyengine potofu na imewapoteza watu wengi.
Juma Muhammad Rashid Al-Mazrui
Tarehe: 18/Shaaban/1433
Sawa na: 8/7/2012.
164
- K.h.j. uk. 403.
52
SURA YA KWANZA UCHAMBUZI YAKINIFU JUU
YA ELIMU YA HADITHI
Sura ya kwanza ya kitabu Hoja Zenye Nguvu cha ndugu yetu Sheikh Kasim
Mafuta, ilikuwa na kichwa cha habari chenye kusema: “VIPI
TUTAMFAHAMU MOLA WETU NA WAPI TUICHUKUE IMANI YA
DINI YETU?”. Katika sehemu hio yenye kichwa hicho cha habari, Sheikh
Kasim alizungumzia mambo mawili muhimu:
1) Waislamu wengi hawajui vipi watamjua Mola wao, na kwamba njia
ya kumjua Mola wao ni kufahamu vile namna alivyojieleza Yeye
mwenyewe katika Qur-ani na kuelezwa na Mtume wake (s.a.w.)
katika Sunna zake. Makusudio ya maneno hayo ni kuwa iliposemwa,
kwa mfano, kuwa: “Mungu atatia mguu wake kwenye jahannam”
basi na sisi tuseme hivyo hivyo, yaani tuseme kuwa “Mungu ana
mguu wa kweli” na tuseme “Mungu atatia mguu wake kwenye
jahannam” tusilete ta-awil (interpretation) zetu, tukasema kwamba:
“Hapa haujakusudiwa mguu kweli” au “Hatotia mguu wake kweli
kweli katika jahannam”. Halkadhalika iliposemwa: “Mkono wa
Allah uko juu ya mikono yao”,165
basi na sisi tuthibitishe kuwa
Allah ana mkono wa kweli. Hili tumelizungumzia kwa urefu katika
juzuu ya kwanza ya kitabu hiki, na kwa ufupi ni kuwa madai yao
hayo yanawabomokea kwa Aya kadha wa kadha na Hadithi kadha
wa kadha ambapo tumeona kwamba haiwezekani kuzipitisha Aya
hizo na Hadithi hizo katika maana yake ya udhahiri. Kwa mfano,
Allah anasema: “Kila kitu kitaangamia isipokuwa uso
wake”166
….. “Popote utapoelekea kuna uso wa Allah”167
…..
“Naye (Allah) yuko pamoja nanyi popote pale mulipo”,168
na Aya
nyengine nyingi. Je Aya hizi Sheikh Kasim na watu wa skuli yake
wanazichukua kama zilivyo au wanazifanyia ta-awil
(interpretation)? Kama wanazifanyia ta-awil (interpretation), basi
yako wapi tena yale madai yao kwamba: “sisi tunasema vile vile
alivyosema Allah, bila ya ta-awil wala ta‟atil…”. Halkadhalika
Hadithi kama: “…(Mimi Allah) ninakuwa ndio masikio yao
165
- Sura 48, Aya 10. 166
- Sura 28, Aya 88. 167
- Sura 2, Aya 115. 168
- Sura 57, Aya 4.
53
wanayosikia kwayo; na mimi ninakuwa ndio macho yao
wanayoonea…”.. Na Hadithi: “Mimi (Allah) ndiye dahari” na
Hadithi: “Atayenijia anakwenda (kwa miguu mwendo wa kawaida)
mimi namjia hali ya kuwa ninakwenda mbio…”. Je katika Hadithi
hizi pia tusilete ta-awil?! Hayo tumeshayabainisha kwa urefu katika
juzuu ya kwanza, hatuna haja ya kuyakariri, hapa tunakumbushana
tu.
2) Jambo la pili lililomo katika sura hio ya mwanzo ya kitabu cha
ndugu yetu Sheikh Kasim Mafuta ni kuhimiza kuwafuata Al-Salaf
Al-Salih (Watangulizi wema) hususan Masahaba (r.a.). Hili nalo
tumelieleza katika juzuu ya pili ya kitabu hiki.169
Ama katika sura ya pili ya kitabu cha Sheikh Kasim, maudhui ilikuwa ni
suala la elimu ya Hadithi. Naye, baada ya kuweka kichwa cha habari hicho
hicho ambacho nimekiweka katika sura hii, alianza maneno yake kwa
kusema:
Kabla ya kuanza kuzitaja hoja na dalili wanazozitegemea Ahli sunna wal-
Jamaa juu ya kuonekana Allah kwa macho huko akhera, kwanza napenda
kuzungumzia suala linalofungamana na elimu ya istilahi ya upokezi wa
riwaya za hadithi za bwana Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- na
suala hili litakuwa katika nukta zifuatazo:
i) Kwanza, tufahamu kuwa mafundisho yote ya bwana Mtume - swalla
llaahu alayhi wasallam- ni wah‟yi (ufunuo) utokao kwa Allah, na
Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- hazungumzi kwa matashi wala
matamanio ya nafsi yake.
ii) Pili, mafundisho yote ya Mtume wetu Muhammad -swalla llaahu
alayhi wasallam- yamehifadhiwa katika vitabu vya maulamaa wa Ahlu
Sunna wal-Jamaa kwa ufanisi mkubwa mno kiasi ambacho hakuna
jambo lolote linalohitajika kubainisha itikadi au hukumu ya mambo ya
dini ya kiislamu isipokuwa jambo hilo limedhibitiwa kwa ufanisi wa
hali ya juu. iii) Tatu, katika kuhakikisha kuwa mafundisho hayo sahihi
ya dini ya kiislamu yanahifadhiwa na hayachanganyiki na upotofu
wowote, maulamaa wa Ahli Sunna wal Jamaa wameweka misingi
madhubuti juu ya usahihi wa mapokezi hayo ya riwaya za hadithi za
bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- na ukweli wa wapokezi
hao kama tulivyofundishwa na Qur‟an tukufu pale aliposema Allah:
ن ر ك خ خء ؿ ح ا آ ٣ خ ح ح٣ خ أ ٣ ز ب ك ظ ز ٤
169
- Juzuu ya pili na ya tatu nimezianza lakini sijazikamilisha: kwanza nimeona bora
kuikamilisha hii kwani ndio yenye kuhusiana na mjadala wetu wa asili.
54
Enyi mlioamini ! akikujilieni mwovu (fasiki) na
habari yoyote basi ichunguzeni.170
Kwa mujibu wa aya hii ni kwamba, si kila asemaye; amesema Mtume -
swalla llaahu alayhi wasallam- atakuwa msemaji huyo ni mkweli, na
atakayo yanukuu yatakuwa ni kweli maneno ya Mtume, bali ni lazima
uchunguzi wa kina ufanyike ili kujua usahihi wa habari hiyo aliyoileta na
udhaifu wake. Kwa sababu hiyo, maulamaa wa hadithi baada ya kufanya
utafiti wa kina pamoja na kutumia uzoefu wao wa muda mrefu, wakaweka
misingi madhubuti inayowahusu wapokezi wa hadithi. Pia wakaweka
kanuni maalumu kwa ajili ya udhibiti wa njia sahihi za kukubaliwa hadithi
na kurudishwa. Na pia yakatumika maneno ya kiistalahi ambayo yanaleta
maana maalumu na hayo yamejaa kwa wingi katika vitabu vyao. Kwa
mantiki hiyo, yoyote anayetaka kuzungumzia masuala yanayofungamana
na elimu ya hadithi; usahihi wake na udhaifu wake, hana budi kuzijua
kanuni hizo na maneno hayo ya kiistilahi. Na kama hatafanya hivyo, basi
lililobora kwake ni kunyamaza kuliko kusema, kwa sababu hatima yake ni
kupotosha watu kwa kuzisahihisha hadithi zisizo sahihi au kuzidhoofisha
hadithi zilizo sahihi na yote mawili ni balaa, hasa ukizingatia kwamba
maneno ya Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam- ni
sheria.171
KUYAJADILI MAELEZO HAYO YA MAFUTA
Kwa upande wangu, nitakuwa na maoni fulani juu ya maelezo hayo ya
Sheikh Kasim bin Mafuta. Kifungu (i) cha maneno yake, hakina tatizo
lolote na tunakubaliana 100%, ingawa tunaweza kutafautiana kuhusu je
Hadithi fulani ni kweli inatoka kwa Mtume (s.a.w.) au kasingiziwa tu?
Lakini tuna mtazamo tafauti kuhusu kifungu (ii), kisemacho:
Pili, mafundisho yote ya Mtume wetu Muhammad -swalla llaahu alayhi
wasallam- yamehifadhiwa katika vitabu vya maulamaa wa Ahlu Sunna
wal-Jamaa kwa ufanisi mkubwa mno kiasi ambacho hakuna jambo lolote
linalohitajika kubainisha itikadi au hukumu ya mambo ya dini ya kiislamu
isipokuwa jambo hilo limedhibitiwa kwa ufanisi wa hali ya juu.
Maneno haya yangelikuwa sahihi lau hao Ahlu Sunna wenyewe
walikubaliana juu ya usahihi wa riwaya za itikadi, na nyenginezo, zilizomo
katika vitabu vyao. Lakini Ahlu Sunna wote tangu zamani hadi leo hii
wanatafautina sana juu ya riwaya nyingi za itikadi hata zile zilizomo katika
170
- al Hujraat (49) aya 6. 171
- Kasim Mafuta, Hoja Zenye Nguvu uk. 6-7.
55
vitabu bora vyao kama vile Sahihu Al-Bukhari na Sahihu Muslim. Sasa
kama maulamaa wa Ahlu Sunna wanatafautiana tena sana kiasi cha
kukafirishana, basi vipi tena idaiwe kwamba mafundisho yote ya Mtume
(s.a.w.) yamehifadhiwa katika vitabu vyao kwa ufanisi mkubwa? Na
utakumbuka kwamba chanzo cha tafauti zao hizo mara nyingi ni tafauti zao
katika kuzisahihisha baadhi ya Hadithi hizo na kuzidhoofisha.
Pili ni kuwa, kama tunavyojua sote, katika vitabu vyote vya Ahlu Sunna vya
riwaya za Hadithi hakuna vitabu bora kuliko Sahihu Al-Bukhari na Sahihu
Muslim, na pamoja na yote hayo ndani yake ziko Hadithi dhaifu bali na
maudhui (za kutunga). Sasa huo ufanisi wa hali ya juu unaoudai ewe Sheikh
Kasim uko wapi?
Tatu: ni kuwa wanavyuoni wa Ahlu Sunna kama wanavyotafautiana katika
ufahamu wa mutun za Hadithi, vivyohivyo ndivyo wanavyotafautiana katika
kuwadhoofisha na kuwasahihisha baadhi ya wapokezi. Huenda wakati
mwengine mpokezi sahihi kwa Ibn Ma‟iin akawa ni dhaifu kwa Al-Imamu
Ahmad bin Hanbal; mpokezi sahihi kwa Al-Imamu Al-Shafi ni dhaifu kwa
Al-Bukhari, na bila shaka tafauti hii katika minhaj (methodology) ya
wapokezi inapelekea kutafautiana katika kuzikubali na kuzikataa baadhi ya
Hadithi. Na kwa ufupi ni kuwa ni vigumu kukuta itikadi ambayo, Ahlu
Sunna wote wamekubaliana isipokuwa kukubaliana kwao katika zile itikadi
za misingi mikuu ya itikadi ambayo umma umekubaliana. Kilichopo ni
kuwa kuna vifungu vya itikadi ambavyo, jumhur ya Masuni
wamekubaliana: ama kukubaliana kwa wote katika vipengele vyote vya
itikadi – ukitoa zile nguzo kuu zenye makubaliano ya umma – basi jambo
hilo ikiwa litakuwepo basi ni katika mas-ala machache mno. Tutataja
baadae nani na nani katika Ahlu Sunna hawakukubaliana na itikadi ya
kuonekana kwa Allah. Sasa, baada ya hayo, wacha nikubainishie kwa
ushahidi kidogo kuhusu nukta (points) zilizomo katika maelezo yangu haya.
56
KUTAFAUTIANA KWA AHLU SUNNA
KATIKA RIWAYA ZA ITIKADI
Sijui Sheikh Kasim alipotumia neno Ahlu Sunna aliwakusudia nani na nani?
Je alikusudia wale wenye kusema kuwa Mungu ana mkono, mguu, macho,
mgongo n.k., kweli kweli, au alikusudia madhehebu nne: Hanafi, Maliki,
Shafi na Hanbali. Na wengine huongeza madhehebu ya tano nayo ni
madhehebu ya Dhahiri.172
Mimi katika sehemu hii nitalitumia jina hilo
nikizikusudia madhehebu hizo nilizozitaja. Natuchukue mifano miwili
mitatu tu ya Hadithi ambazo aidha si sahihi yaani zimekosa udhibiti na
ufanisi au wameshindwa kukubaliana juu ya usahihi wake, jambo ambalo
pia linathibitisha kutokuwepo kwa udhibiti au ufanisi wa hali yajuu alioudai
Sheikh Kasim bin Mafuta.
Mosi: Hadithi isemayo:
خ هللا ل ٢ء هز... ل ٢ء ؿ٤...ل ٢ء ؼ
Allah alikuwepo wala hakukuwa na kitu chochote kabla yake…wala
hakukuwa na kitu chochote kisichokuwa Yeye…..wala hakuna kitu
chochote pamoja naye. 173
Utakumbuka kwamba Hadithi hii tuliinukuu katika juzuu ya kwanza ya
kitabu hiki na kubainisha kwamba Ibn Taymiyya – akifuatiwa na Ibn Abi
Al-‟Izz – kazikanusha lafdhi mbili za mwisho za Hadithi hio: lafdhi
isemayo: ...ل ٢ء ؿ٤ (wala hakukuwa na kitu chochote kisichokuwa
Yeye), na lafdhi isemayo: ل ٢ء ؼ (wala hakukuwa na kitu chochote
pamoja naye), na akaikubali lafdhi inayosema: خ هللا ل ٢ء هز (Allah
alikuwepo wala hakukuwa na kitu chochote kabla yake). Hoja yake ni kuwa
lafdhi hii ndio inayokubaliana na dua ya Mtume (s.a.w.) na kwamba lafdhi
nyengine zimepokelewa kimaana tu.174 Na Hadithi hii – kama unavyojua –
172
- Na pia ziko madhehebu nyengine ambazo zikijiita kuwa ni Ahlu Al-Sunna zimetoweka
katika dahari. 173
- Ibn Taymiyya Naqudu Maratibi Al-Ijmaa‟i kilichochapishwa pamoja na Maratibu Al-
Ijmaa‟i cha Ibn Hazm uk. 304. Tumesema katika juzuu ya kwanza kwamba lafdhi
isemayo: ل ٢ء ؼ (wala hakuna kitu chochote pamoja naye), si lafdhi ya Al-Bukhari
tafauti na alivyodhania Ibn Taymiyya alipodai hivyo katika Majmu‟a Al-Fatawa j. 18, uk.
216, na katika Naqdu Maratibu Al-Ijmaa‟I kilicho pamoja na kitabu Maratibi Al-Ijmaa‟i
cha Ibn Hazm uk. 304. 174
- Ibn Taymiyya Naqudu Maratibi Al-Ijmaa‟i kilichochapishwa pamoja na Maratibu Al-
Ijmaa‟i cha Ibn Hazm uk. 304.
57
kaipokea Al-Bukhari katika Sahihu yake,175
kwa maana kwamba Al-
Bukhari anaona kuwa hii ni Hadithi sahihi. Sasa kama alivyosema Ibn
Taymiyya ni sahihi, huko kuzidhibiti Hadithi za itikadi kwa ufanisi wa hali
ya juu kuko wapi?
Lakini wakati Ibn Taymiyya amekuwa na msimamo huo kuhusu Hadithi
hio, wanavyuoni wengi wa Kisuni hawakukubaliana naye, ambapo wengine
wengi wamemrudi juu ya suala hilo.
Pili: Hadithi za kuja kwa Al-Mahdi Al-Muntadhar ambazo Ibn Taymiyya
kazikataa kwa sababu si Hadithi mutawaatir, anasema Ibn Taymiyya
kuhusu riwaya hizo:
حؼخ٢ أ ح أهزخ حلكآى ك٤ق ٣ؼزض ر أ حي٣ ح١ ل ٣ق حإل٣خ ال ر
Pili ni kuwa hii ni katika Habari Ahadi basi vipi utathibiti kwayo
msingi wa dini (itikadi) ambao imani haisihi ila kwa huo.176
Halkadhalika wakati Ibn Taymiyya amekuwa na msimamo huo kuhusu
Hadithi hizo za kuja kwa Al-Mahdi, basi wengine wamekuwa wakizikubali
riwaya hizo. Abu „Amri, Said bin „Uthmaan Al-Daani (371-444 H.),
kasimulia idadi ya riwaya arubaini na mbili (42) za kuja kwa Al-Mahdi Al-
Muntadhar,177
na miongoni mwa Hadithi hizo, ziko ambazo Al-Albani
kasema kuwa ni sahihi na nyengine ni hasan. Kwa mfano Hadithi na. 555,
katika kitabu cha Abu „Amri huyo, Al-Albani kaisema kuwa ni: “hasan
sahih kama alivyonena Al-Tirmidhi”,178
na pia tazama Hadithi na. 562 ya
kitabu hicho ambayo pia Al-Albani kasema kuwa ni sahihi.
175
- Tazama Sahihu Al-Bukhari Hadithi na. 3191,7418. Lakini lafdhi ya Al-Bukhari ni:
.٣ ٢ 176
- Ibn Taymiyya Minhaju Al-Sunna j. 2, uk. 133. Lakini ajabu ni kuwa Ibn Taymiyya na
Ibn Al-Qayyim wameziita Hadithi nyengine zenye njia chache zaidi – kama vile Hadithi za
kuonekana kwa Allah – kuwa ni Hadithi mutawatir. Utakumbuka kwamba Hadithi za kuja
kwa Al-Mahdi zina njia nyingi pengine nyingi zaidi kuliko Hadithi za kuonekana kwa
Allah. Anasema Sheikh Al-Mubarakfuri akimnukuu Al-Shaukani kwamba Hadithi
zinazohusu kuja kwa Al-Mahdi ambazo yeye kaziona ni Hadithi khamsini na riwaya
ishirini na nane, na kwamba hizo zimefika daraja ya mutawaatir. Tazama Tuhfatu Al-
Ahwadhi j. 6, uk. 402. Tazama pia Sharhu Sunani Abi Daud cha „Abdul-Muhsin j. 8, uk.
333. Na Adhiim Aabaad „Awnu Al-Ma‟abuud j. 11, uk. 308. 177
- Abu „Amri, Said bin „Uthmaan Al-Daani, Al-Sunan Al-Waarida Fii Al-Fitan uk. 251-
265, Hadithi na. 547-589. 178
- Tazama maelezo ya „Isa Al-‟Abushi ya kitabu hicho Al-Sunan Al-Waarida Fii Al-Fitan
uk. 255.
58
Tatu: Hadithi ya kuja kwa Al-Qahtaan. Hadithi hii kaipokea Al-Bukhari na
Muslim. Amesimulia Al-Imamu Al-Bukhari katika Sahihu yake179
kutoka
kwa Abu Huraira kutoka kwa Mtume (s.a.w.) na Al-Imamu Muslim katika
Sahihu yake,180
kutoka kwa Abu Huraira kutoka kwa Mtume (s.a.w.)
kasema: “Kiama hakitosimama ila atatokea mtu katika (kabila la) Qahtan
atawaendesha watu kwa fimbo yake”.181
Katika Sahihu Al-Bukhari Hadithi
hio iko pia katika nambari 3500. Katika nambari hii, Hadithi inaendelea
kwa kusema:
Alikuwa Muhammad bin Jubair bin Mut‟im anasimulia kwamba ilimfikia
Mu‟awiya – na mbele yake ulikuepo ujumbe wa Maquraishi – kwamba
Abdullah bin Amri bin Al-Aas anasimulia kwamba kutakuwa na mtawala
katika (kabila la) Qahtan, basi Mu‟awiya akaghadhibika, basi akasimama
akamsifu Allah kwa kile anachostahiki kusifiwa kwacho, kisha akasema:
„Amma ba‟ad (baada ya hayo) imenifikia kwamba (kuna) watu katika
nyinyi wanasimulia Hadithi hazimo kwenye kitabu cha Allah wala hazitoki
kwa Mtume (s.a.w.), basi hao ndio wajinga wenu, tahadharini na
matamanio ambayo huwapoteza watu wake (yaani huwapoteza watu
wenye matamanio hayo), hakika mimi nimemsikia Mtume (s.a.w.)
anasema: „Hakika ya jambo hili (la ukhalifa) liko kwa Maquraish,
hawafanyii uadui mtu yoyote ila Allah atamsunukiza kwa uso wake
kwenye moto, madamu wamesimamisha dini‟.
Hio ni Hadithi ambayo Mu‟awiya kaikataa na ambayo baadae ikasimuliwa
na wapokezi wakuu kama Al-Bukhari na Muslim na kukubaliwa na
wanavyuoni wa Ahlu Sunna, wakati Imamu mkuu wa Ahlu Sunna,
Mu‟awiya bin Abi Sufyaan, kaikanusha Hadithi hio kwa hoja kwamba
inagongana na Hadithi nyengine na kwamba maana ya Hadithi hio haimo
katika Qur-an.
Nne: Hadithi ya kijakazi aliyeulizwa na Mtume (s.a.w.): “…..Allah yuko
wapi? Akasema yuko mbinguni…”... Hadithi hii ni Shaadh (dhaifu), na
Maulamaa wengi wa Kisuni wameidhoofisha. Wakati Maulamaa wa
Kisunni wamekuwa na msimamo huo juu ya Hadithi hio, watu wa skuli ya
179
- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 7117. 180
- Muslim Al-Sahih Hadithi ya 60 - 2910, j. 9 katika Sharhu Al-Nawawiy uk. 168. 181
- Qahtan ni Warabu wenye asili ya Al-Yaman. Na hii haina maana kwamba mtu huyo ni
lazima awe mtu wa Al-Yaman au awe na uraia wan chi hio. Bali makusudio ni wale watu
wenye asili ya Al-Yaman katika historia ya Warabu. Hii ni kuwa Warabu wote walioko
duniani basi asili zao ni mbili tu: 1) Qahtan. Nao chimbuko lao ni Al-Yaman. Hawa ndio
asili mia kubwa ya Waarabu wa nchi tafauti za Kiarabu. 2) Adnan. Hawa ni Warabu wenye
asili ya Hijaz (Saudia).
59
tajsim wameikubali. Tazama maelezo yake kwa urefu katika Al-Tufaan Al-
Jaarif cha Imamu Al-Sunna Al-Qannubi.182
Tano: Hadithi “Mola wetu atafunua muundi wake wa mguu”.183
Anasema
Ibn Hajar katika Al-Fat-hu akimnukuu Al-Ismaa‟ili kwamba kasema:
“(lafdhi) muundi wake ni nakira (munkar)”.184
Wakati Al-Ismaa‟ili anena
hivyo, na huo ndio msimamo wa Jumhur ya Ahlu Sunna, utakuta kwamba
watu wa skuli ya tajsim wanaikubali riwaya hio au maana ya riwaya hio.
Sita: Hadithi ya kuchinjwa kwa mauti huko akhera: “Mauti yataletwa kwa
sura ya kondoo mzuri…..basi yatachinjwa”.185
Hadithi hii kaikanusha Al-
Suyuti na wengine kwa hoja kwamba mauti si kiwiliwili na wala hao watu
wa akhera hawajapata kuyaona mauti basi vipi waulizwe: “Je munayajua
haya” na wao wajibu: “Ndio hayo ni mauti”?186
Wakati Al-Suyuti na
wengine wamekuwa na msimamo huo juu ya Hadithi hio, basi kuna
wengine wengi ambao wameikubali Hadithi hio.
Saba: Hadithi “Watu wawili hawakusanyiki motoni mkusanyiko
utaomdhuru mmoja wao…”.187
Hadithi hii pamoja na kuwa kaipokea
Muslim lakini wengine wameikataa na wameona kuwa ni maqluub
(imegeuzwa).188
Nane: Hadithi ya Al-Badaa. Al-Imamu Al-Bukhari kapokea Hadithi kuhusu
watu watatu ambao Allah aliwapa mitihani, na ndani yake Hadithi hio kuna
maneno yasemayo: “ريح لل طؼخ٠ أ ٣زظ٤...” (Allah ilimbainikia au
alitamburikiwa189
kuwa awatie katika mitihani…).190
Hadithi hii inajenga
itikadi kwamba Allah inamjia fikra hii na ile na kwa hivyo wengine,
akiwemo Al-Albani, wameikataa. Anasema Al-Khattaabi: “Na wengine
wameisimulia kwa lafdhi ya “ريح لل...” (badaa li-Laahi) Allah ilimdhihirikia,
nalo ni kosa”. 191
Anasema Al-Albani:
182
- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya kwanza uk. 282. 183
- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi. 4919. 184
- Ibn Hajar Fat-hu Al-Baari j. 9, uk. 5726, maelezo ya Hadithi na. 4919. 185
- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 4730, Muslim Al-Sahih Hadithi na. 2849. 186
- Al-Suyuti Al-Haawi Lil-Fataawa j. 2, uk. 95-96. 187
- Muslim Al-Sahih Hadithi na. 1891. 188
- Tazama Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya pili, uk. 496. Al-Qadhi „Iyaadh Al-
Ikmaal j. 6, uk. 313. Al-Nawawi Sharhu Sahihi Muslim j. 13, uk. 37. 189
- Kukijua kitu baada ya kuwa mwanzo kilikufichikia. 190
- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 3464. 191
- Al-Khatabi A‟alaamu Al-Hadithi j. 3, uk. 1569.
60
Kauli yake – katika Hadithi ya mwenye mabalanga na mwenye upara na
kipofu inayofuatia katika na. 1471 – (aliposema): “ريح لل...” (badaa li-
Laahi) (Allah imembainikia au alitamburikiwa) badala ya kusema “أحى هللا”
(araada Allahu) (Allah alitaka), kwa hakika kulihusisha neno Al-Badaa
(kutamburikiwa au kubainikiwa au kudhihirikiwa) kwa Allah Mtukufu
haifai kama tutavyotoa maelezo huko, BASI VIPI ITAJUZU NA HIO NI
KATIKA ITIKADI ZA KIYAHUDI ALLAH AWALANI.192
Anaendelea Al-Albani: “Na la pili: ni kuwa kuihusisha Al-Badaa na Allah
ni muhali”.193
Hayo ni maneno ya Al-Albani kuhusu Hadithi hio ya itikadi
iliopokewa na Al-Bukhari katika Sahihu yake. Sasa ufanisi wa hali ya juu
uko wapi?!
Tisa: Hadithi isemayo: “Nuhusi iko katika mambo matatu: farasi,
mwanamke na nyumba”.194
Yaani kipandwa, mke na nyumba. Hadithi hii
wameikanusha wengi, na Bibi „Aisha (r.a.) alipoambiwa kwamba Abu
Huraira anaisimulia alisema:
Naapa kwa jina la yule aliyeteremsha Fur-qaan (Qur-an) kwa Abi Al-
Qaasim (Mtume s.a.w.) atayesimulia haya kutoka kwake basi huyo kasema
uwongo, bali Mtume (s.a.w.) alikuwa akisema: „Walikuwa watu wa zama
za ujahilia wakisema kwamba nuhusi iko katika mke, nyumba na
kipandwa…..195
Halkadhalika kaidhoofisha lafdhi hio ya Hadithi, Al-Albani na kuipa uzito
lafdhi nyengine ya Hadithi hio.196
Kumi: Hadithi ya Muslim inayomnukuu Mtume (s.a.w.) akimwambia mtu:
“….Baba yangu na baba yako wako motoni”.197
Hadithi hii wanavyuoni
wameikanusha tena kwa sababu zile zile ambazo kwazo sisi nasi
tuliikanusha Hadithi ya kulifasiri neno ziada kuwa maana yake ni kumuona
Allah. Moja ya sababu zao za kuikanusha Hadithi hio, ni kuwa katika sanad
yake kuna Hammad bin Salama, nayo – kama unavyoona – ndio moja ya
sababu zetu za kuikanusha Hadithi ya kulifasiri neno ziada kuwa maana
yake ni kumuona Allah. Pili ni kuwa Hammad bin Salama hapa kenda
192
-Al-Albani Mukhtasaru Sahihi Al-Bukhari j. 2, uk. 6. 193
- Al-Albani Al-Sahiha j. 7, sehemu ya tatu uk. 1478, Hadithi na. 3522. 194
- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 2859,5093. Muslim Al-Sahih Hadithi na. 2225. 195
- Abu Zur‟a Al-‟Iraaqi Tarhu Al-Tathriib j. 8, uk. 120. Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 6, uk. 77.
Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya pili uk. 466. 196
- Al-Albani Sahiha j. 2, uk. 443. 197
- Muslim Al-Sahih Hadithi na. 347 (203).
61
kinyume na mpokezi aliyeimara zaidi, nayo pia ndio sababu yetu ya pili ya
kuikanusha Hadithi ya kulifasiri neno ziada kuwa maana yake ni kumuona
Allah. Kwa ufupi ni kuwa, wameidhoofisha riwaya hio tulioitaja hapa
wanavyuoni kama: Al-Suyuti,198
Al-Kawthari199
na Abdullah Al-
Ghummari.200
Kumi na moja: Hadithi inayosema:
…..... ٤ ٠ هللا ػ هللا ي ر ؤ ٣ ظ خ ال ؿ أ ٤ ٠ هللا ػ هللا ك و خ
ذ ؼ ٢ ح و د ػ ……ك خ
…kwamba kulikuwa na mtu alikuwa akituhumiwa kwa (kufanya maovu)
na kijakazi cha Mtume (s.a.w.), basi Mtume (s.a.w.) akamwambia „Ali
nenda kaikate shingo yake…!201
Hadithi hii kaipokea Muslim nayo ni Hadithi yenye mushkeli wa wazi!
Vipi:
a) Mtume (s.a.w.) aamrishe kuuliwa mtu kwa sababu ya tuhuma tu?!
b) Aamrishe kuuliwa mtu kwa tuhuma ya kufanya maovu na kijakazi
chake, lakini asitoe amri kama hio kwa waliomtuhumu kipenzi
chake mwana wa kipenzi chake „Aisha bint Abi Bakr (r.a.)?!
Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir:
Ama madai ya baadhi ya washereheshaji wa Hadithi hii kwamba sababu ya Mtume
(s.a.w.) kutoa amri hio ni kuwa mtu huyo alikuwa mnafiki, ni madai yasio sahihi,
kwani:
a) Hio ni kauli isio na dalili yoyote.
b) Riwaya inathibitisha kinyume na hayo kwani imekuja kwa herufi Al-Fauu
ili kuyafungamanisha yale yalio kabla na yale yalio baada kwa
mfangamanisho wa kuonesha sababu. Maana ya haya ni kuwa tuhuma ndio
sababu ya amri hio ya kumuua mtu huyo.
c) Mtume (s.a.w.) hakuamrisha kuwaua wanafiki na lau aliamrisha kuwa
wauliwe basi angeliamrisha kuuliwa kwa „Abdillahi bin „Ubeiy.
d) Hadithi inasema kwamba baada ya Ali kupewa amri hio na kwenda kutaka
kumuua mtu huyo akamkuta mtuhumiwa hana kiume,202
Ali akarudi. Lau
unafiki ulikuwa ndio sababu, basi Ali asingelirudi baada ya kumkuta mtu
198
- Al-Suyuti Al-Haawi Lilfataawa j. 2, uk. 226-227. 199
- Al-Kawthari Al-Tanbiihu Wa Al-Raddu „Allaa Ahli Al-Ahwaa Wa Al-Bida‟i uk. 162. 200
- Al-Ghummari Al-Fawaaidu Al-Maqsuuda uk. 93. 201
- Muslim Sahihu Muslim uk. 1161, Hadithi na. 2771. 202
- Jamaa! Ivo huyu Ali alikuwa akichungulia watu?
62 huyo hivyo, kwani hakuna tafauti ya unafiki baina ya mwenye kiume na
asiyekuwa nacho.203
Baada ya hayo elewa kwamba Hadithi hio ni wahm (kosa) na uwezekano
mkubwa wa wahm huo ni kutoka kwa Hammad bin Salama kwani hio ni
riwaya yake.
Kumi na mbili: Hadithi inayosema:
٢ــ ر٤ـــــــػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ هخ ر٤خ أخ خث اح س كظ٠ اح ػكظ هؽ ؿ
٠ أىرخـــــر٤ كوخ كوض أ٣ هخ ا٠ حخ هللا هض خ ؤ هخ ا حطيح رؼيى ػ
ض أ٣ هخ ا٠ حخـــــر٢٤ ر٤ كوخ هػكظ هؽ ؿ حوو ػ اح س كظ٠ اح
ال ؼـــــ ـــــهللا هض خ ؤ هخ ا حطيح رؼيى ػ٠ أىرخ حوو كال أح ٣و
حؼ
Kutoka kwa Mtume (s.a.w.), kasema: „Wakati mimi nimelala204
kutahamaki kuna kundi mpaka nitapowajua (watu wa kundi hilo) basi
atatoka mtu baina yangu na wao atasema: „Njooni! Mimi nitauliza:
„Wapi?‟ Naye atajibu: „Wallahi motoni!‟ Nami: „Nitasema: kwani wana
nini hawa (nini habari yao)?‟ Naye atajibu: „Hawa walirtadi baada yako na
kurejea nyuma‟. Kisha kutahamaki kuna kundi jengine mpaka nitapowajua
(watu wa kundi hilo) basi atatoka mtu baina yangu na wao atasema:
„Njooni! Mimi nitauliza: „Wapi?‟ Naye atajibu: „Wallahi motoni!‟ Nami:
„Nitasema: kwani wana nini hawa (nini habari yao)?‟ Naye atajibu: „Hawa
walirtadi baada yako na kurejea nyuma‟. Basi sioneshwi yoyote yule
miongoni mwao atayeokoka isipokuwa (wachache) kama vile ngamia
wasio na mchunga.205
Hadithi hii kaisimulia Al-Bukhari nayo ni Hadithi yenye mushkeli mkubwa.
Tazama jinsi Hadithi inavyowafanya Masahaba wote kuwa ni watu wa
motoni isipokuwa wachache kama vile ngamia wasio na mchunga kwa
uchache wao! Suali la kujiuliza hapa ni kuwa: ni kwa kitu gani hasa
walichokifanya Masahaba hata ifikie hivyo? Makosa yote walioyafanya wao
basi waliokuja baada yao tukiwemo sisi sote na watu wa madhehebu zote
tumeyafanya na tunayafanya maradufu; wakati wema walioufanya wao sisi
203
- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Jawabu Kwa Mawahabi Wa Algeria uk. 2-3.
Tanbihi: 1) Jawabu hio si kitabu bali ni kama makala tu. 2) Jawabu hio haina jina rasmi,
hilo jina Jawabu Kwa Mawahabi Wa Algeria nimeiita mimi tu hapa ili kumrahishia
msomaji kufikia katika marejeo hayo akihitaji kufanya hivyo, kwani ukiitaja kwa jina hilo
kila mtu aliyeisoma anajua unakusudia maandiko gani. 204
- Katika riwaya ya pili: “Wakati nimesimama”. 205
- Yaani kwa kawaida ngamia waliopotea ambao hawana mchungaji ni kitu adimu,
aghlabu huwa ni wenye wachungaji wao. Basi Hadithi hii ndivyo inavyosema kwamba
Masahaba wote watakwenda motoni isipokuwa wachache!
63
na wengine wote hatukuufikia hata robo yake! Basi Hadithi hii na ilio
mfano wa hii ndio ambayo Shia wanawagonga nayo Mawahabi na watu wa
skuli nyengine. Na kwa bahati mbaya kuna watu wameshafundishwa
kwamba kila alichokipokea Al-Bukhari basi hicho kimevuuka daraja wala
usikihoji, basi watu wanapotolewa ushahidi kwa Hadithi hii hunyweya
kama “kuku-nkuchere” aliyemwagiwa maji, kwani hawawezi tena kudai
kuwa hii ni Hadithi ya kufinyanga madamu kaipokea Al-Bukhari! Cha
kujiuliza: ikiwa Hadithi hii ni sahihi basi zogo la kuwatukana Mashia kwa
kuwaponda kwao Masahaba isipokuwa wachache ni la nini tena, nao
wamesema kitu kilichomo katika vitabu vya Ahlu Sunna ambavyo
vimedhibitiwa kwa ufanisi wa hali ya juu?
Wala usijikalifu, ukanijibu kwamba makusudio ya Hadithi hio
inawazungumzia wale waliokuwa wanafiki au waliortadi na kurudi katika
shirki, kwani:
a) Kipengele kinachosema: “basi sioneshwi yoyote yule miongoni
mwao atayeokoka isipokuwa (wachache) kama vile ngamia wasio
na mchunga”, hakikubaliani na tafsiri hio. Na hii ni kwa sababu
wanafiki na waliortadi wote hawatookoka: haokoki hata mmoja:
hakuna haja ya kuwafanyia istithnaa (exception), ukasema
“isipokuwa wachache”.
b) Na kwa hivyo, kurtadi kulikotajwa hapa si lazima kuwe au si
kuratadi katika maana yake ya kisharia ya kuwacha dini ya Uislamu
na kwenda katika dini nyengine au kwenda kusikokuwa na dini
yoyote. Bali huko kunaingia hapa, na kinaingia pia kitendo cha
kuwacha mafunzo sahihi ya Uislamu hata kama unayaamini katika
itikadi yako kuwa ndio mafunzo ya haki.
Ninasema: wala usijeukanipinga kwa kutegemea kile alichokinena Ibn Hajar
kwamba makusudio ya “wataokoka” katika Hadithi hii ni wale waliokurubia
hodhi la Mtume (s.a.w.),206
kwani:
a) Hata kama Al-Bukhari kaitaja Hadithi hio katika mlango wa hodhi la
Mtume (s.a.w.), lakini maneno ya Hadithi hio hayazungumzii suala
la hodhi.
b) Hata ikiwa tutakubaliana kwamba Hadithi hio inawazungumzia wale
waliokuja katika hodhi, basi Hadithi nyengine za Al-Bukhari na
Muslim zimebainisha kwamba wataofukuzwa katika hodhi la Mtume
(s.a.w.) ni Masahaba wake ambao walizua na kubadilisha.207
Na kwa
206
- Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 13, uk. 7996, maelezo ya Hadithi na. 6587. 207
- Tazama Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na: 6576,6582,6583,6584,6585,6586. Muslim
Sahihu Muslim Hadithi na. 39_583 katika kitabu al-ttahara. Na mfano wa Hadithi hio ni
64
mantiki hii, Hadithi moja itakuwa imebainisha kwamba hao
watakuwa ni Masahaba; na ya pili imebainisha kwamba Masahaba
hao ni wote isipokuwa wachache!
c) Lakini la mwisho ni kuwa, hayo yote tukiwa tutakubaliana na Al-
Hafidh Ibn Hajar katika tafsiri yake hio, lakini pamoja na hayo
tunasema kwamba tafsiri hio ya Al-Hafidh si sahihi kwani Hadithi
inasema kuwa watu hao wamertadi na kurudi nyuma, yaani
wamebadilisha mwenendo sahihi wa Mtume (s.a.w.). Suali: sasa vipi
tena wachache katika hao waokoke, hususan ukizingatia kwamba
Hadithi inasema kuwa makundi hayo yatakwenda motoni?
Baada ya hayo, elewa ndugu msomaji kwamba Hadithi hio ni katika jumla
ya riwaya za kufinyanga zilizofinyangwa ama na mazindiki (wanafiki) au
kambi ya wapambe wa Ali wa kale. Vipi iwe hivyo kwamba Masahaba wote
watakwenda motoni ilhali Qur-ani inasema kuhusu Masahaba:
ح ط خء ر ٤ ك لخ ٠ ح حء ػ ي ؼ أ ٣ ح هللا ي ل ك ٠ ــــ ـ يح ٣ ز ظ ـ ال ـــؼخ
حخ هللا
Muhammad ni Mjumbe wa Allah na wale walio pamoja naye
(Masahaba) ni wakali kwa makafiri, wanahurumiana wao kwa wao,
utawaona ni wenye kurukuu na ni wenye kusujudu wanatafuta fadhila
za Mwenyezi Mungu na radhi zake.208
Na inasema:
هللا ال ك ٠ ٣ ز ظـ ح أ ٣خ ى ح ؿ أ ه ٣ ح ٣ خؿ حء ح ل و ــ ٣ حخ
هللا ه خى ح ج ي أ
(Mali hizo) wapewe mafakiri Muhajirina ambao wametolewa
majumbani mwao na mali zao WANATAFUTA FADHILA ZA
ALLAH NA RADHI (ZAKE) NA WANAMNUSURU ALLAH NA
MTUME WAKE, BASI HAO NDIO WAKWELI.209
Kisha Aya inayofuatia baada ya hapo ikawasifu Masahaba Ansari wa
Madina kwa sifa nyingi nzuri nzuri kama vile: imani, kuwapenda Muhajirin
kutokuwa na choyo n.k.
Hadithi na. 37 na 38 katika kitabu hicho hicho. Ibn Majah Al-Sunan Hadithi na. 4302, na
4306. Al-Rabii Al-Jaami‟u Al-Sahih Hadithi na. 43. 208
- Sura ya 48 Aya ya 29. 209
- Sura 59, Aya 8.
65
Sasa tazama Aya ya kwanza na Aya ya pili, utaona kwamba katika Aya ya
kwanza Allah kawasifu Masahaba kwa ujumla kuwa ni wenye kutafuta
radhi zake. Basi vipi watu wenye kusifiwa hivyo tena na Allah mwenyewe
baadae wawe wote ni watu wa motoni ila wawili watatu? Katika Aya ya pili,
Allah kawahusisha Muhajirina kuwa:
a) Ni wenye kutafuta fadhila za Allah na radhi zake.
b) Wenye kuinusuru dini ya Allah.
c) Hao ni wakweli.
Utaona kwamba wakati Allah anasema kwamba hao ni wakweli, Hadithi hio
inasema kwamba wote hao si wakweli isipokuwa wachache kama vile
ngamia wasio na wenyewe (yaani ni wachache sana)!
Kwa hivyo, tunasema kwamba hakuna haja ya mtu kunyweya anapotolewa
hoja kwa Hadithi hio ya kwamba Masahaba wote watakwenda motoni
isipokuwa wachache. Jawabu ni kuwa hio ni Hadithi maudhui (ya kutunga)
kwani haiingii akilini na ni kinyume na Qur-ani. Na kwa hivyo, ufanisi wa
hali ya juu alioudai Sh. Kasim bin Mafuta unatokana na propaganda zao tu
za Kiwahabi.
Kumi na tatu: Hadithi alioipokea Muslim isemayo:
و خع ر ـ د ك ر ٤ ػ ٢ ي ٤ـــــ ك ٤ش ه خ ػ حر ٤ؼ خ ػ ـــــــ ي ؿ ػ خ ا ي ـــــ ك ر ٤ ؼ
ك ـــا ر ٤ ح ـــــ ٤خ ػ ٢ أ ر ك ػ ي س ز ر ٤ ك ط و ض أ خ ح ه خ ٤خ ك ٣ي ر ػ ٢ ٣ ي ـــــــك ر
ا ـــ خ ؿ ك ه أ ٣ ي ر ـــــــ٠ ه خ خ ا ٤ ح ٤ ٣ ي ه و ي و ٤ض ٣ خ ٤ حك ؼ ٤ أ ٣ ض
٤ ٠ هللا ػ ـــ هللا ــــــ ٣ــؼ ض ك ــــ ل و ي و ٤ـــي ٤ ض ه ؼ ص ؿ ٣ ي ـــــؼ ض ٣ خ
خ ٣ ي ػ خ ٣ خ ي ح ك ؼ ٤ ح ٤ ـــه هللا أ ه ــ٠ هللا ػ ؼ ض ٣ خ حر ه خ هللا ٢ــــــ ٤
ص ز و ي ١ ح ٤ض ر ؼ ي ١ ػ ه ي ٢ ٢ ــــ هللا ـــ ض أ ػ ٤ ٠ــ ـــــــ هللا ػ
ػ ظ ي خ ك ك ح ك خه ز هللا ه خ ه خ ػ ٤ ل خ ل ك ال ط ـــ ــ٠ هللا ػ خ ـ ٣ ــــ ٤
أ ػ ــك ي هللا ٣ ش ك ل ي ح ش خ ر ٤ ٠ ه ػ خء ٣ ي ٤ز خ ر ط ػ ــــــ٤ خ ه ٤ ػ ـــ٠ ػ خ ـ ع أ ه خ
ــــــــ ر ؼ خ حخ ر٢ ي أ ل أ ٣ ٣ ؤ ط ٢ ي أ ٣ خ أ خ ر ى ك ٤ـــك ؤ ؿ ك ب أ خ ط خ ـ ــــــ٤ذ ػ و ٤
ظــأ خ ح ـــــــــ ك و ح ي ح خد هللا ك ٤ ظ ح ظ خد هللا ظ ـــ ر ٠ غ ػ ك ل خد هللا ـ ح ر
أ ه خ ػ ؿذ ك ٤ هللا ك ـــــ ر ٤ ظ ٢ أ هللا ك ٢ أ هللا ك ٢ـ ر ٤ ظ ٢ أ ر ٤ ظ ٢ أ ٢ أ
ر ٤ ظ ٢ ك و خ ٤ ـــــ ك خإ ٣ ي أ ٤ ٣ خ ر ٤ ظ ـ أ ر ٤ ظ أ خإ ه خ ر ٤ ظ أ
ر ٤ ظ أ ه ش ر ؼ ي ح ك ـــ ه خ ـــــي ـــ ـ ه خ و ٤ ػ آ ٢ ػ آ آ ل ؼ ؿ آ
ء ل ئ ه خ زخ ػ ؼ ه ش ه خ ي ح ك
“Katuhadithia Zuhair bin Harb na Shujaa bin Makhlad wote kutoka kwa
Ibn Ulayyah. Kasema Zuhair katuhadithia Ismail bin Ibrahim kanihadithia
Abu Hayyan kanihadithia Yazid bin Hayyan kasema: „Niliondoka mimi na
Husain (ك٤) bin Sabra na Umar bin Muslim kwenda kwa Zaid bin
Arqam. Tulipokaa naye, Husain akamwambia: „Ewe Zaid! Kwa hakika
umekuta kheri nyingi: umemuona Mtume (s.a.w.) na umesikia Hadithi
zake na umekwenda vitani pamoja naye, na ukasali nyuma yake: kwa
hakika umekuta kheri nyingi ewe Zaid! Tuhadithie ewe Zaid yale
66 ulioyasikia kutoka kwa Mtume (s.a.w.). Akasema (Zaid bin Arqam) ewe
mwana wa ndugu yangu! Wallahi, miaka yangu imekuwa mikubwa
(nimeshakonga), na umri wangu umekuwa mkongwe, na nimesahau baadhi
ya yale niliokuwa nimeyahifadhi, basi nitachokusimulieni kikubalini na
nisicho (kusimulieni) basi musinikalifishe. Kisha akasema: „Alisimama
Mtume (s.a.w.) siku moja pamoja nasi akahutubia katika (sehemu yenye)
maji yanayoitwa „Khumman‟ baina ya Maka na Madina. Basi akamuhimidi
Allah na kumsifu na akatoa mawaidha na kukumbusha. Kisha akasema:
„Baada ya hayo, Enyi watu! Hakika yangu mimi ni mtu (ambaye)
amekaribia kunijia Mjumbe wa Mola wangu nami nitaitika. NA MIMI
NAKUWACHIENI VIZITO VIWILI: CHA MWANZO CHAO NI
KITABU CHA ALLAH. Ndani yake kuna uongofu na nuru, basi
kishikeni Kitabu cha Allah na mushikamane nacho.‟ Basi akahimiza juu ya
(kushikamana na) Kitabu cha Allah na kuwataka (watu) wakipende. Kisha
akasema: „NA AHLU BAITII (WATU WA NYUMBA YANGU),
NAKUKUMBUSHENI ALLAH KUHUSU WATU WA NYUMBA
YANGU, NAKUKUMBUSHENI ALLAH KUHUSU WATU WA
NYUMBA YANGU, NAKUKUMBUSHENI ALLAH KUHUSU
WATU WA NYUMBA YANGU.‟ Akasema Husain (kumwambia Zaid
bin Arqam): „Kwani watu wa nyumba yake ni nani ewe Zaid: kwani wake
zake si watu wa nyumba yake (si Ahlu Al-bait)?‟ Akasema (Zaid bin
Arqam): „Wake zake ni AHLU BAITIHI (ni watu wa nyumba yake) lakini
watu wa nyumba yake ni wale walioharamishiwa sadaka baada yake.
Akasema ni nani hao? Akasema (hao) ni kizazi cha Ali, kizazi cha Aqiil,
kizazi cha Ja‟afar na kizazi cha Abbaas. Akasema (Husain): „Wote hawa
wameharamishiwa sadaka?‟ Akasema (Zaid bin Arqam): „Ndio‟ (wote
hawa wameharamishiwa sadaka)”.210
Tunauliza: ikiwa kuna ufanisi wa hali ya juu wa Hadithi za Ahlu Sunna
kama alivyodai Kasim Mafuta, basi nini kosa la Shia wakisema kwamba
tukamatane na Qur-ani na Ahlu Al-Bait ili tupate kuongoka, ilhali Hadithi
hii – tena imo katika kitabu bora Sahihu Muslim – yatongoa kinagaubaga
kwamba tumeachiwa Qur-ani na Ahlu Al-Bayt? Je huoni ndugu msomaji
kwamba kosa litakuwa ni la madhehebu nyengine zote kwa kuikataa kwao
Hadithi ya ufanisi wa hali ya juu?!
Lakini pamoja na hayo, elewa kwamba ukweli ni kuwa Hadithi hio ni yenye
mushkeli wa wazi kama tulivyoielezea kwa urefu katika kitabu chetu
Mezani ya Haki. Vyenginevyo, basi Mawahabi – kwa vile vitabu vyao vya
Hadithi vina ufanisi mkubwa – itawabidi sasa waache uwahabi wao na
waelekee kwa Ayatollah----.
210
- Tazama Muslim Sahihu Muslim katika Sharhu Al-Nawawiy ni j. 8, uk. 32, Hadithi na.
36- 2408, mlango kuhusu fadhila za Ali bin Abi Talib.
67
Hadithi ya kumi na nne:
و ــــك٢ ط حظ٢ أ أ س ك٤و أخر ك٤ طلػ ٣كؼ إ هي
رخ أض
Kisha watanyanyuwa vichwa vyao na kutahamaki (Mwenyezi
Mungu) ameshageuka katika sura ile ambayo walimuona mara ya
kwanza atawambia Mimi ni Mola wenu nao watasema (ndio)
Wewe ni Mola wetu.211
Hadithi hii imo katika kitabu bora kabisa katika vitabu vya Ahlu Al-Sunna –
Sahihu Muslim! Lakini – kama unavyojionea mwenyewe – matn yake iko
taabani kupita kiasi! Ni wazi kwamba huu ni utunzi wa Mayahudi au ni
utunzi wa mazindiki. Vyenginevyo Mtume (s.a.w.) hasemi uzushi huu
usiokubaliana kabisa na misingi ya itikadi ya Kiislamu, sema hivyo kwa
kinywa kipana wala usimuogope yoyote yule isipokuwa Jabari wa mbingu
na ardhi.
Hadithi ya kumi na tano:
ح ػ خ ػ ي ك ك ز ي ح ػ ٤ ٤ ش ػ ػ ر ل ٤ خ ػ خ ي ه خل ك أ ر ٢ ػ حر ػ ـــــخه ي و خ ح ـــ ر
ػ خثـــأ ر ٤ ش ــ ػ ك و خ ض ه خ ض ٤ ٠ هللا ػ ا ٠ حز ٢ ٤ ض ش ر ص خء ؿ ــ٣ خ
أ ر ٢ ك ؿ ك ٢ ٢ أ ٣ ل ش ـــهللا ا ٤ ٠ هللا ػ حز ٢ ٤ل ك و خ ك خ ى ه ــــ
ك ظ ز ز ٤ ؿ ؼ ٤ ق أ ه خ ض ٤ ؼ هللا ـ أ ـــ ٤ ه ي ـــــ ٠ هللا ػ ه خ
حى ػ ز ٤ ؿ ض أ ك ــــػ ـــ٢ ك ــــ ه ي خ ٣ؼ ك ـــ ي رــــي ح ٢ـي أ ر ٢ ػ ح٣ ش حر
٤ ٠ هللا ػ هللا ي ل ك ٠
Katuhadithia „Amru Al-Naqid na Ibn Abi „Umar wamesema katuhadithia
Suf-yaan bin „Uyaina kutoka kwa „Abdul-Rahman bin Qasim kutoka kwa
baba yake kutoka kwa „Aisha amesema: „alikuja Sahla bint Suhail kwa
Mtume (s.a.w.) akasema: „ewe Mjumbe wa Allah! Mimi naona katika uso
wa Abi Hudhaifa (kuna kuchukia) kwa sababu ya Salim kuingia ndani
(nilimo mimi), naye ni mtu aliyeshikamana naye‟. Mtume (s.a.w.)
akasema: „mnyonyeshe”! Akasema (Sahla bin Suhail): „vipi
nimnyonyeshe naye ni mtu mzima?‟ Mtume (s.a.w.) akatabasamu na
akasema: „mimi najua kwamba yeye ni mtu mzima‟. Amru kaongeza katika
riwaya yake kwamba: „naye (huyo Salim) alikuwa ni mtu aliyeshiriki
katika vita vya Badr‟. Na riwaya ya Ibn Abi „Umar inasema: „Mtume
(s.a.w.) akacheka‟.212
211
- Muslim Sahihu Muslim uk. 91-92, Hadithi na. 183. 212
- Muslim Al-Sahih Hadithi na. 1453, babu ridha‟ati al-kabir.
68
Riwaya hii pamoja na kuwa imo katika Sahihu Muslim lakini ni riwaya ya
kutunga bila shaka. Ivo weye bwana Mafuta unadhani kuwa inaelekea kuwa
Mtume (s.a.w.) ambaye kaharamisha kumpa mkono mwanamke asiye
maharimu na akasema kuwa ni bora mtu kugongomelewa misumari kuliko
kitendo hicho, ataweza kumwambia mwanamke, tena nken-gwa213
kuwa
amnyonyeshe jitu zima na midevu-ye? Nani katika sisi ataliridhia hilo kwa
mkewe hata Mtume (s.a.w.) amuamrishe mtu kulifanya? Mtume huyu ndiye
aliyeteremshiwa Aya kadha wa kadha za hijabu, leo arudi aje aamrishe kitu
hicho? Nami sioni tatizo la kisanad kuhusu Hadithi hii isipokuwa labda
imetokana na kuchanganyikiwa kwa Suf-yaan bin „Uyaina, kwani – pamoja
na ukuu wake, na uimamu wake – mwishoni hifdhi yake ilibadilika.214
Hio ni mifano michache ambayo inatoa picha ya wazi kwamba ufanisi
alioudai Bwana Kasim Mafuta haupo. Kilichopo ni kuwa wanavyuoni
wacha Mungu wenye kuutakia kheri umma huu walijitahidi sana
kuzichambua Hadithi, lakini je baada ya hayo walifaulu 100% katika
kuzichunga riwaya zao. Ukweli ni kuwa wanavyuoni hawakufaulu kiasi
hicho kwa sababu ambazo tutazieleza baadae. Na kwa hivyo, Al-Imamu Ibn
Kathir, akizungumzia utunzi wa Hadithi za uwongo uliotendeka katika
umma huu, ana hiki cha kutueleza. Anasema:
غ ي هد حؼي ؼض أكخى٣غ ؼ٤س ك٢ حلش، ل ٣ؼخ ال هللا ل هللا ػخ
...…ري، رلز
Na pamoja na hayo na (pamoja na kuwa umma huu) zama zake zipo karibu
(na Mtume wake ukilinganisha na umma wa Banii Israil, lakini)
zimetungwa Hadithi nyingi (za uwongo) katika umma huu ambazo hakuna
azijuae isipokuwa Allah na yule ambaye Allah amempa elimu ya hayo kila
mmoja kwa mujibu wa alivyo (ulivyo uwezo wake wa kielimu).215
Na anasema:
،ـــػي١ أ ح أؼخ أزخ حهظالم رؼ خىهظ، ٣ز ر ػ٠ حخ أ ى٣ـ
حز٢ ٠ هللا ـــــأكخى٣غ ػ-غ ؿالش هي ػخثخ كلخظخ أثظخ-خ حكظ ك٢ حلش
هش حللخظ حوخى ك٤،ك٤ق رؤش ر٢ احث٤ غ ١ حي، ػ٤ خ رخؼي هي،
ظ ذ هللا آ٣خط ر حو حؼ طزي٣ ػ ح طل٣ق ػخث
Na ninavyoona mimi ni kuwa (riwaya) hii na ilio mfano wa hii, ni katika
uzushi wa mazindiki wao (wanafiki wao) ambao wanawachanganya watu
213
- Yaani mke wa mtu. 214
- Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 235, tarjama na. 2451. 215
- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-Adhim j. 3, uk. 389, katika tafsiri ya Aya ya 46 ya
Suratu Al-‟Ankabuut (29).
69 kwa huo katika mambo ya dini yao, kama vile ambavyo katika umma huu
– pamoja na kuwa una wanavyuoni wakubwa na mahuffadh na maimamu
wenye utukufu – kumezuliwa Hadithi (za uwongo) kutoka kwa Mtume
(s.a.w.) pamoja na kuwa zama haziko mbali (na Mtume wake), basi
utakuwaje umma wa Banii Israil ambao masafa yake (na Mitume yake) ni
marefu na kuwepo kwa uchache wa wenye kuhifadhi na wachambuzi
miongoni mwao na kunywa kwao pombe, na wanavyuoni wao
wakayapotoa maneno (ya vitabu vyao) kutokana na mwahala mwake
sahihi na kuvibadilisha vitabu vya Allah na Aya zake….?216
Hayo ni maelezo ya Ibn Kathir nayo ni maelezo mazuri yalioje. Na kwa
hivyo, kilicho sahihi ni kuwa si kwamba riwaya ichukuliwe tu kwa sababu
imeitwa sahihi madamu umma haukukubaliana juu ya usahihi wake; au
ichukuliwe tu kwa sababu kaipokea Sunni, Shia au Ibadhi au fulani au
fulani, bali ni lazima kuwe na chungio sahihi la riwaya. Na chungio
alilolidhania Bwana Kasim bin Mafuta kuwa linatosha kuweka unga mbali
na makapi mbali, ukweli ni kuwa chungio hilo bado halitoshi kufanya kazi
hio, bali hilo ni chungio ambalo upande mmoja “lintoboka”. Tutatazama
baadae ufahamu wa Sheikh Kasim katika kuzichunga riwaya na tutashauru
njia iliokuwa madhubuti zaidi.
Sasa baada ya hayo – natutazame riwaya za wale ambao Sheikh Kasim
Mafuta anawaita kuwa ni Ahlu Sunna nao ni watu wa skuli ya tajsim.
RIWAYA ZA WATU WA TAJSIM
Hio ilotangulia ni mifano ya riwaya za kiitikadi zilizoko kwa Waislamu kwa
ujumla ambazo aghlabu yake ni zenye sanad sahihi lakini wanavyuoni au
baadhi yao wamezikataa kwa sababu ya kuwa mutuni (texts) zake ni
munkar. Bila kusahau kwamba baadhi ya riwaya hizo hawakukubaliana juu
ya udhaifu wake, kwa hali yoyote ile kuwepo kwa khilafu hizo kunaashiria
au kunaeleza kwamba wanavyuoni hao hawakukubaliana juu ya kuwepo
kwa ufanisi wa hali ya juu wa kudhibiti riwaya.
Ama tukija katika riwaya zilizosimuliwa au kukubaliwa na wale watu wa
skuli ya tajsim (wenye kuamini kuwa Allah ni kiwiliwili), basi tunakuta
ziko kwa wingi mno nazo bila shaka ni riwaya za kutungwa na maadui wa
Uislamu au zenye kutokana na israiliyyaat (riwaya za Kiyahudi na
216
- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-Adhim j. 4, uk. 198, katika tafsiri ya neno “Qaaf” ya
surat Qaaf.
70
Kinasara). Tumenukuu baadhi yake katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki.
Tumenukuu riwaya kama:
1) “Allah kamuumba Adam kwa Sura yake”. Riwaya hii
wametafautiana katika kuifasiri, lakini kama tulivyoeleza kwamba
riwaya hii haina njia ya kuifasiri ila tusema kuwa Adam ana sura ya
Allah! Hakuna njia nyengine ila tuseme hivyo, kwa mujibu wa
utaratibu wake wa kilugha217
hususan ukizingatia kwamba katika
masimulizi mengine riwaya hiyo inasema: “Allah kamuumba Adam
kwa sura ya Al-Rahman (Allah mwingi wa rehema)”.218
Na kama
ulivyoona kwamba katika umma huu tayari kuna watu ambao
wamekuwa na itikadi hio ya kwamba Adam ana sura ya Allah kwa
kutegemea riwaya hio.
2) Allah anabebwa na Malaika naye kakaa kitako juu ya „Arshi.
3) Allah anazidi uzito na kupungua.
4) Allah anakwenda kwa miguu.
5) Allah anakwenda mbio.
6) Allah atatia mguu wake motoni.
7) Allah anakaa katika tabaka ya nne ya jahannam.
8) Allah anaweka miguu yake juu ya kiti.
9) Allah atakaa juu ya „Arshi yake pamoja na Mtume (s.a.w.) siku ya
kiama!
Na mengi mengio ambayo tuliyanukuu katika juzuu ya kwamza ambayo
yamo katika riwaya ambazo utunzi wake ni jambo lilio wazi kabisa –
huhitaji kuwa mwanachuoni ili uligundue hilo. Na hapa tunaongeza mifano
mitatu kama inavyofuata:
هخ هخ ))كخ طـ٠ ر لز ؿؼ ىخ((ؿ ـــػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ ـــــ ك٢ ه ػ
.……ــــح ٣ؼـــ٢ أهؽ ١ف حو
Kutoka kwa Mtume (s.a.w., kwamba kasema) kuhusu kauli ya Allah
isemayo: “Basi Mola wake alipodhihiri katika mlima aliujalia
(kuvurugika) vipande vipande”,219
akasema (Anas bin Maalik, kwamba
Mtume s.a.w.) kasema: „Kama hivi, yaani (Allah) alitoa ncha (tu) ya kidole
chake cha ncha!220
217
- Rejea j. 1, uk. 151, ya kitabu hiki Fimbo Ya Musa ili uone maelezo yetu juu ya hilo. 218
- Tazama ukweli kwamba hata hoja za kilugha zilizomo katika Hadithi hio,
zinamaanisha kuwa Adam kaumbwa kwa sura ya Allah. 219
- Sura 7, Aya 143. 220
- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 269, Hadithi na. 500. Na mfano wake ni Hadithi na. 501-
503. Inawezekana ikawa makusudio ya riwaya hii ni kuwa Mtume (s.a.w.) ndiye aliyetoa
kidole chake cha ncha kumaanisha kuwa Allah kajichomoza sehemu ndogo kama vile
kidole cha ncha; na inawezekana ikawa makusudio ni kuwa Allah mwenyewe ndiye
71
Hadithi hii si kwamba inajenga itikadi ya tajsim tu, bali pia inaonesha kuwa
Allah ni mwenye taraakib (mijengeko) na ajzaau (migawanyiko na
vijisehemu) kwani kwa mujibu wa riwa hii, Allah ana:
1) Kidole cha ncha.
2) Kaidhihirisha baadhi tu ya sehemu ya kidole hicho.
Na juu ya yote hayo, mabwana wa Kiwahabi wanatwambia kuwa hii ni
Hadithi sahihi kama alivyosema muhakiki wa kitabu Al-Sunna Dr.
Muhammad bin Sa‟iid Al-Qahtaani.221
Kwa hali yoyote ile, Hadithi hii ni
balaa kubwa na balaa hili kwa mujibu wa sanad yake litakuwa limeletwa na
Hammad bin Salama222
ambaye tutamuelezea kwa urefu katika sehemu yake
maalumu.
Hadithi ya pili inasema:
الثش.ــــــػ ر حؼخ: أ١ حون أػظ ؟ هخ : حػ ػس ر حر٤ ، أ ؤ ػزي هللا ر
ح أل٢ ـــهوض ؟ هخ : ححػ٤ حي . هخ كز٢ حػ٤ ، كوخ : هخ: ـــخح
هفـــلر ؿ٣ؾ : خ ألخ أل٤ ؟ هخ : خ ل طل٠ ؼط . ح أل٤. هخ حر أ٣د: كوـض
٤٤ش ح ــــ٠ ، ك وطغ ، هي رـ٢ أ حر ػ ػ ح٣ ؿ ؿ٤ـــػ٠ ػزي هللا ر
ي خــ هـــق ي كؼزي هللا ر ػ ػ خ ر ػس ػ أر٤ ، ػ ػزي هللا ر ػ كب
هغ٣ خ آ ك٤خ ٣ظ ك٢ ظذ حلحث ، كخ ل ٣كؼ ا٠ حز٢ ػ٤ حال ٣لظــــــــ أ
يــهي ؿ ر٤ي طي حظذ ، ػ ل ٣ أ ٣ حي ححػخ أخء رؼ وهخط،
هللاـــك٢ حـ خ ٢ حػ٤ : ك٢ حلي٣غ حؼخرض ػ ػس، ػ ػخثش هخض : هخ
ح طوخ« . هوض حالثش » هللا ػ٤ : ٠
……Kutoka kwa „Ur-wa bin Al-Zubair (kasema) kwamba yeye alimuuliza
„Abdullahi bin „Amri bin Al-‟Aas: „Je ni viumbe gani wenye umbo kubwa
zaidi?‟ Akamwambia: „Ni Malaika‟. Akamuuliza: „Je wao wameumbwa
kutokana na nini?‟ Akamwambia: „Wameumbwa kutokana na nuru ya
dhiraa mbili na kifua.223
Kasema: „Basi akakunjua dhiraa zake mbili na
kusema: „Kuweni alfu alfu mbili (milioni mbili). Anasema Ibn Ayyuub:
„Nikamuuliza Ibn Juraij: „alfu alfu mbili (milioni mbili) ni nini?‟ Akajibu:
„Ni idadi isiohesabika‟. (Anasema Al-Bayhaqi): „Riwaya hii imeishia kwa
„Abdullahi bin „Amri na mpokezi wake ni mtu ambaye hakutajwa basi
sanad yake imekatika. Lakini pia imenifikia (riwaya hii) kwamba Ibn
aliyetoa kidole chake cha ncha, na maana zote hizo zimo katika riwaya nyengine ambazo
tumezinukuu huko mbele na zote ni uwongo wa kizindiki. 221
- Tama maelezo yake katika uk. 269 wa kitabu hicho. 222
- Kwani yumo katika sanad ya riwaya hio, naye ndiye mmoja wa wasimulizi wakuu wa
riwaya hizo. 223
- Yaani kutokana na nuru ya dhiraa mbili za Mungu na kifua cha Mungu kama
tulivonukuu katika juzuu ya kwanza. Kuhakikisha zaidi, tazama maelezo ya „Uthmaan Al-
Darimi anayomjibu Al-Marisi kuhusu riwaya hizi katika Al-Raddu „Alaa Al-Marisi j. 3, uk.
140-141.
72 „Uyaina kaipokea kutoka kwa Hisham bin „Ur-wa kutoka kwa baba yake
kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri. Ikiwa (haya) ni sahihi224
basi Abdullahi
bin „Amri alikuwa akisoma vitabu vya watu wa awali (Mayahudi na
Manasara), na kwa hivyo riwaya ambayo hakuihusisha na Mtume (s.a.w.)
inawezekana ikawa ni miongoni mwa alizozisoma katika vitabu hivyo.
(Anasema Al-Bayhaqi): “Kisha (elewa kwamba) si ajabu kwamba
makusudio ya kifua na dhiraa mbili kuwa ni majina ya baadhi ya viumbe
vyake, na ziko miongoni mwa nyota zenye kuitwa dhiraa‟ain (dhiraa
mbili). Na katika Hadithi thabiti kutoka kwa „Ur-wa kutoka kwa „Aisha
kasema kwamba Mtume (s.a.w.) kasema: „Malaika wameumbwa kutokana
na nuru‟, basi ni hivi tu bila ya kufungamanishwa na kitu (chochote kile: si
nuru ya dhiraa wala ya kifua).225
Hayo ndio maelezo ya Al-Bayhaqi, lakini pamoja na yote hayo, „Uthman
bin Sa‟id Al-Darimi, Imamu Adhimu wa Mawahabi na watangulizi wao,
kaikanusha vikali tafsiri hio alioitoa Al-Bayhaqi ambayo pia ndio tafsiri ya
Bishr Al-Marisi. Yaani Bishr Al-Marisi – na kama alivyoeleza Al-Bayhaqi –
anasema kuwa makusudio ya dhiraa mbili ni viumbe; wakati Al-Darimi hilo
kalikanusha akimaanisha kuwa ni dhiraa mbili za Allah!226
Hadithi ya tatu inasema:
خ ه٠٠ هللا هو حظو٠ غ اكي ؿ٤ ػ٠ حله
Allah alipomaliza kuumba kwake alilala chali akaweka mguu wake mmoja
juu ya mguu mwengine!227
Jamani! Huyu mungu wa Mawahabi kalala chali huku kapandanisha miguu!
Inaonesha alikuwa kachoka sana baada ya kuumba kwa hivyo akapumzika
kidogo! Hii ndio ambayo Mawahabi wanatwambia kuwa ni itakadi ya Al-
Salaf Al-Salih! Jamani! Hii ni itakadi ya Kiislamu, ukiwachilia mbali na
kuwa ni ya Al-Salaf Al-Salih? Tunawambia wale wanaofuata mkumbo tu
bila ya elimu wakidanganyika na propaganda za Kiwahabi za kukataa
maulidi na khitma na “kufuata Al-Salaf”, someni ili muujue uhakika wa
Kiwahabi: watakupelekeni kubaya sana. Hawa watu wamerithi itikadi za
224
- Pia Al-Darimi kaitaja riwaya hio kwa sanad hii: “Abu Usama kutoka Hisham bin „Ur-
wa kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri”. Tazama maelezo ya
„Uthmaan Al-Darimi anayomjibu Al-Marisi kuhusu riwaya hizi katika Al-Raddu „Alaa Al-
Marisi j. 3, uk. 140. 225
- Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 11, jalada la pili uk. 178-179, riwaya na. 744.
Na akaipokea Ibn Ahmad kwa ufupi katika Al-Sunna j. 2, uk. 475, riwaya na. 1084, uk.
510, riwaya na. 1195. 226
- Tazama maelezo ya „Uthmaan Al-Darimi Al-Raddu „Alaa Al-Marisi j. 3, uk. 140-141. 227
- Al-Darimi Al-Raddu „Alaa Bishri Al-Marisi j. 3, uk. 183.
73
mazindiki na Mayahudi! Nikikwambieni hivyo musijemukafiri nasema kwa
hamasa, chuki au kufyatua, bali hilo ni sahihi kabisa. Na ukipenda
kuhakikisha hilo tazama itikadi hio ya kupumzika kwa Mungu baada ya kazi
ya kuumba katika Bibilia iliopotolewa utakuta maneno haya:
Thus the heavens and the earth were finished and the hosts of them. And
on the seventh day God finished his work which he had done, and he
rested on the seventh day from his work which he had done..228
Namna hivi mbingu na ardhi zilimalizwa (kuumbwa) pamoja na vilivyomo
ndani yake. Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake ambayo aliifanya,
na akapumzika siku ya saba kutokana na kazi yake ambayo kaifanya..229
Hio ni riwaya ya Kiyahudi inasema kuwa Allah kapumzika baada ya
kuumba viumbe, nayo inakubaliana na riwaya ya Maimamu watangulizi wa
Kiwahabi, lakini wao wameongeza: “akalala chali na akaweka mguu wake
mmoja juu ya mwengine”! Je Sayyid Mafuta! Baada ya haya bado
utatudanganya kwamba kulikuwa na ufanisi mkubwa wa kuzidhibiti riwaya
katika vitabu vya uliowaita kuwa ni Ahlu Al-Sunna?!
RIWAYA ZA KUPONDA MADHEHEBU FULANI
Kama vile ambavyo vitabu, hususan vya Mawahabi na watangulizi wao,
vimejaa riwaya za kumshabihisha Allah na viumbe, halkadhalika vitabu
tafauti vimejaa riwaya za kuwaponda watu wa madhehebu nyengine. Hali
inazidi kuchukiza pale watu wanapotunga riwaya za namna hio kisha
wakazihusisha na Mtume (s.a.w.). Tazama mifano miwili mitatu:
٣وخ ــــــ٣ ك٢ أظ٠ ؿ “خي هخ هخ هللا ٠ هللا ػ٤ : ػ أ ر …
حؽ ــؿ ٣وخ أر ك٤لش أ ػ٠ أظ٠ ار٤، ٣ ك٢ أظ٠ لي ر اى٣
أظ٠ حؽ أظ٠
Kutoka kwa Anas bin Malika kasema: „kasema Mtume (s.a.w.):
„atakuweko mtu katika umma wangu anaitwa Moh‟d bin Idris (Yaani Al-
Imamu Al-Shafi) huyo ni mwenye madhara kwa umma wangu kuliko Iblis;
na atakuweko mtu aitwaye Abu Hanifa huyo ndiye taa ya umma wangu,
huyo ndiye taa ya umma wangu!‟ 230
Tazama watu hao wanavyomzulia uwongo Mtume wetu (s.a.w.)! Lakini
wakati riwaya hio ya kufinyanga inatwambia kwamba Abu Hanifa ni taa ya
228
- Genesis 2/ verse 1-3. 229
- Kutok Sura 2, Aya 1-3. 230
- Ibn Al-Jawzi Al-Mawdhu‟aat j. 2, uk. 48. Al-Suyuti, Tadrib Al-Rawi uk. 247.
74
Umma huu, riwaya nyengine iliomo katika kitabu Al-Sunna cha watangulizi
wa Kiwahabi inasema:
٣ؼ٢ أرخ ك٤لش كو اذ ا٠ حخك ٤خؼض ل٤خ حؼ١ ٣و هخ ٢ كخى ر أر٢
ػ ل٤خ حؼ١ هخ ؼض كخىح ٣و ..… طو ا حوآ وم كال طورخ ...... ا ـض
…………ك٤لش ٣و حوآ وم ه ٣خ خك ٣خ ي٣ن أل طؼـذ أرـ٢
…Nimemsikia Sufyaan Al-Thauri akisema: „Hammad bin Sulaiman
aliniambia: „Ondoka wende kwa huyu kafiri yaani Abu Hanifa…..‟.231
…… Kutoka kwa Sufyaan Al-Thauri kasema: „Nimemsikia Hammad bin
Sulaiman anasema: „Wewe hustaajabishwi na huyu Abu Hanifa! Eti
anasema kwamba Qur-ani imeumbwa. (Akasema Hammad kumwambia
Sufyaan): „Mwambie ewe kafiri, ewe zindiki (mnafiki).232
Halkdhalika kuna riwaya kama:
حوحؽ الد حخ
Khawarij ni mbwa wa motoni.233
Hadithi hii ni Hadithi ya kutunga bila shaka. Tutaielezea kwa urefu katika
kitabu chetu Khawaarij Baina Ya Ukweli Na Visa Vya Kutunga juzuu ya pili
in shaa Allah. Lakini kwa hapa nitakupa nukta mbili zenye kuonesha kuwa
hii ni Hadithi ya kutunga:
1) Jina Khawaarij halikuwepo kamwe wakati wa Mtume (s.a.w.), bali
lilizuka katika miaka ya 60+ baada ya kutokea harakati za Al-
Azaariqa. Bali Al-‟Aini, kama alivyonukuliwa na Sheikh Nasir Al-
Sabi‟i, yeye kakanusha kwamba jina Khawaarij lilikuwepo katika
zama za Hurqus bin Zuhair,234
basi vipi litakuwa jina hilo lilikuwepo
katika zama za Mtume (s.a.w.).
2) Yote yaliofanywa na wale wanaoitwa Khawaarij yamefanywa
maradufu na watu wa madhehebu nyengine. Kwa hivyo, ikiwa
kumekuwa na Hadithi hio kwamba wale ni mbwa wa motoni basi
231
- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 184, riwaya na. 239. 232
- Marejeo yaliotangulia uk. 185, riwaya na. 241. Riwaya kama hizi tumezinukuu kwa
wingi katika juzuu ya kwanza. 233
- Kaipokea Al-Humaidi Al-Musnad j. 2, uk. 404, Hadithi na. 908. „Abdul-Razzaaq Al-
Musannaf j. 10, riwaya na. 18663. Al-Tayaalisi Al-Musnad uk. 155, Hadithi na. 1136.
Ahmad bin Hanbal Al-Musnad j. 5, uk. 253,256. Abdullah bin Ahmad Al-Sunna Hadithi na.
1543,1542,1544. Al-Mar-wazi Al-Sunna uk. 22, Hadithi na. 55. Al-Tabarani Al-Kabir j. 8,
Hadithi na. 8033,8034,8035,8056….Al-Ajurri Al-Shari‟a uk. 33, 57. Tanbhihi: Takhrij hii
nilioitoa hapa nimeinukuu kutoka katika kitabu Al-Khawaarij Wa Al-Haqiqatu Al-Ghaaiba
cha Sheikh wetu Nasir Al-Saabi‟i uk. 397. Yako baadhi ya mambo kidogo nimeyaondoa ili
kuepusha kurefusha pasina faida kubwa. 234
- „Umdatu Al-Qaari j. 24, uk. 90. Yaani zama za watu wa Nahrawaan.
75
kipi kilichozuia wale waliofanya makubwa zaidi ya wao wasiwe
nguruwe wa motoni? Na kuna faida gani ya kuwahusisha watu hao
na hali hio mbaya ilhali kuna waliofanya maovu kuliko yao –
tukijaalia kuwa huo ubaya waliohusishwa nao ni kweli – lakini wale
waliofanya mabaya zaidi wasihusishwe na hali mbaya hio?!
Pia utakumbuka kwamba tuna Hadithi yenye kusema:
طلظم أظ٢ ػ٠ ػالع زؼ٤ كهش.…
…Na umma wangu utatafautiana makundi sabiini na tatu. 235
Katika kitabu chake Al-Salafiyya Al-Wahabiya, Al-Sayyid Al-Saqqaf
kaonesha kutokukubaliana kwake na riwaya hii. Hilo silo ninalotaka
kulieleza kwani ikiwa Hadithi hii ni sahihi – na ni sahihi236
– au si sahihi
kama alivyodai yeye, basi kwa hali yoyote ile matamshi haya ya Hadithi
hayaijeruhi madhehebu yoyote ile. Lakini cha kustaajabisha ni kile
alichokinukuu Al-Sayyid Al-Saqqaaf kwamba wengine wameichezea
Hadithi hio na baada ya maneno hayo yasemayo: “…na umma wangu
utatafautiana makundi sabiini na tatu” wakaongeza maneno yasemayo:
1) “Na kundi chafu lao ni Shia”.
2) Na wengine wakaongeza maneno yasemayo: “waovu wao ni wenye
kufanya qiyasi ya mambo kwa rai zao (yaani Mahanafi)”.
3) Na wengine wakaongeza maneno yasemayo: “wote wataingia peponi
isipokuwa Al-Qadariyya”.
4) Na wengine wakaongeza maneno yasemayo: “Isipokuwa
235
- Ibn Maja Al-Sunan Hadithi na. 3991,3992,3993. Al-Bauhaqi Al-Kubra j. uk. Hadithi
na. 21429. Al-Tabarani Al-Awsat j. 5, uk. 137, Hadithi na. 4886. Al-Mu‟ujamu Al-Saghir
uk. 267, Hadithi na. 711. Al-Mu‟ujamu Al-Kabiir j. 8, uk. 273, Hadithi na.
8051,8052,8053,8054,8055. 236
- Hadithi hio ni sahihi na sababu zote alizozitoa Al-Saqqaaf ili kuidhoofisha Hadithi hio,
hazikubaliki. Sababu ya kwanza ni kuwa sanad zake zote ni dhaifu. Lakini jawabu ni kuwa
Al-Imamu Al-Rabi‟u kaipokea kwa sanad sahihi kutoka kwa Abu „Ubaida kutoka kwa Jabir
bin Zaid kutoka kwa Ibn Abbaas. Sababu ya pili ni kuhusu matn ya Hadithi hio, nayo ni
kuwa makundi yaliomo katika umma huu ni zaidi ya sabiini na tatu, basi vipi Hadithi itadai
kuwepo kwa makundi sabiini na tatu tu. Lakini jawabu ni kuwa idadi hii hapa ٣ى ر حل
haijakusudiwa idadi yenyewe bali kilichokusudiwa ni wingi. Ni kama اخ أ٣ي ر حؼس
kusema: “omba mara elfu, lakini sikupi”. Hii haina maana kuwa kakusudia elfu na kwamba
ukiomba mara elfu mbili atakupa; bali kakusudia hata ukiomba mara zote basi hakupi. Na
hii ni kama Aya isemayo: هللا ل ـ ٣ س ك ٤ ز ؼ ـ ل ظ ط ا ل ـ ظ ل ط أ ل ـ ظ ح
(waombee msamaha au usiwaombee, hata ukiwaombea mara sabiini basi Allah
hatowasamehe). Hii haina maana kuwa mara sabiini ndio iliokusudiwa na kwamba
akizidisha sabiini msamaha utapatikana, bali maana ni kuwa hao hawatosamehewa hata
wakiombewa msamaha kiasi gani kwani wamemkufuru Allah na Mtume wake.
76
mazindiki”.
Tazama jinsi watu wanavyomzulia Mtume (s.a.w.) kwa msukumo wa
umadhehebu! Shia ndio wachafu wao kwa sababu ya kuwatukana
Masahaba, na yule aliyesema kuwa Mungu kaiumba nafsi yake kutoka
katika jasho la farasi yeye ni katika watu wema wao na ni katika Al-Salaf
Al-Salih! Kisha je Banu Umayya wao walikuwa hawawatukani Masahaba?
Kwa nini nao wasiwe “waovu wao”.
Hii ni mifano miwili mitatu ya jinsi gani hakukuwa na udhibiti wa riwaya na
kwamba riwaya za kutunga – hasa hasa katika mambo ya itikadi na siasa –
ziko kwa wingi mno na watu wanazitumia katika fiq-hi zao, itikadi zao,
mu‟amala wao, taarikh zao na da‟awa zao za kila siku. Kwa hivyo, madai
ya ufanisi wa hali ya juu si madai sahihi. Sitaki kurefusha sana kwani
riwaya za namna hii za kuwaponda watu wa madhehebu fulani na kuwasifu
watu wa madhehebu nyengine ambayo mtu anaifuata yeye ziko nyingi.
Baadhi yake kazitaja Ibn Al-Jawzi katika kitabu Al-Maudhu‟aat. Lakini cha
ajabu kwa Ibn Al-Jawzi ni kuwa yeye mwenyewe kafanya bidii kubwa ya
kukusanya na kuzikataa riwaya za namna hio, yaani riwaya za kutunga
katika kitabu chake hicho, kisha akarudi akatunga kitabu si kidogo
akakusanya riwaya tele za kutungiwa Al-Imamu Ahmad bin Hanbal na
akazikubali riwaya hizo! Na yeye mwenyewe huko akaeleza kwanini yeye
anamkubali zaidi Ahmad bin Hanbal pasina Maimamu wengine. Tumezitaja
baadhi ya riwaya hizo katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki.237
AL-JARHU WA AL-TA‟ADIL
Usisahau kwamba tuachokijadili hapa ni madai ya Kasim Mafuta ya
kuwepo kwa ufanisi wa hali ya juu katika kuzichunga Hadithi, na hayo
tulioyaeleza yanahusiana zaidi na mutun (texts) za Hadithi. Ama kwa
upande wa sanad, kama tunavyojua kwamba, usahihi wa Hadithi
unategemea pia hali ya wapokezi wake walivyo. Na njia rahisi zaidi ya
kuzijua hali za wapokezi ni kutazama maelezo ya wanavyuoni wakubwa wa
elimu ya wapokezi hususan wale waliokuwa wakiishi katika zama za
237
- Miongoni mwa hizo ni riwaya kama: “Alikufa mtu khanithi basi akaonekana usingizini
akasema: “Nimesamehewa; kazikwa Ahmad bin Hanbal basi watu wa makaburini
wamesamehewa”. Na riwaya kama: “Malaika wa mbingu ya saba mpaka kufikia mbingu ya
kwanza, wameshughulika na kufunga bendera ili kumpokea Ahmad bin Hanbal”. Na
nyengine nyingi, tumezinukuu katika juzuu ya kwanza.
77
masimulizi ya riwaya na hasa hasa wale ambao waliishi zama moja.238
Njia nyengine ya kuzijua hali za wapokezi ni kuzitazama riwaya za mpokezi
na kuzilinganisha na wapokezi wengine wenye kuaminika. Njia hii ni
ngumu kwa watu wa kawaida: ni lazima mtu aliyekuwa makini katika
kuzihifadhi Hadithi na kujua njia zake za mapokezi.
Sasa kama usahihi wa sanad unategemea pia hali ya wapokezi, basi elewa
kwamba suala la wapokezi nalo vile vile limekuwa na tafauti kubwa kwa
wanavyuoni. Na sababu kubwa ya tafauti hizo ni kasumba zao za
kimadhehebu ambapo mpokezi mwenye kuaminika huweza kujeruhiwa kwa
sababu ya itikadi yake na mpokezi dhaifu akakubalika kama ni thiqa
(mwenye kuaminika) kwa sababu ya itikadi yake. Na kama hili limetendeka
katika zama za masimulizi ya riwaya, basi elewa kwamba tatizo hili bado
linaendelea hadi leo hii katika zama za uchambuzi wa riwaya.
Katika miaka si chini ya mitatu nyuma niliingia katika maonyesho ya
vitabu. Nikaingia katika maktaba ya Kishia ili ninunue vitabu vya wapokezi
wa Kishia. Nikakikuta kitabu kimoja kikubwa sana kilichokusanya
wapokezi wengi. Kwanza nikakipekuwa. Lakini ikawa kila nikikipekuwa
sioni hata mpokezi mmoja aliyesemwa kuwa ni dhaifu. Nikamuuliza yule
muuzaji: “vipi kitabu hiki: mbona sioni mpokezi yoyote yule aliyesemwa
kuwa ni dhaifu?”. Akaniambia: “wamo, tazama huyu kaandikwa „Aammiy
(mtu wa ujumla au wa kawaida)”. Kumbe kwa mujibu wa Shia au
muandishi huyo wa Kishia „Aammiy ndiye mpokezi ambaye si mwenye
kuaminika.239
Sasa jiulize wewe: nini maana ya „Aammiy katika dhana hio
ya Kishia ya utaalamu wa wapokezi au fiq-hi ya Kishia kwa ujumla?
238
- Ingawa watu wengine wanaona kuwa kauli za waliokuja baadae katika kujeruhi ni bora
zaidi, kwani walioishi zama moja wakati mwengine hupigana vita na kujeruhiana kwa
mambo dhalili. Anasema Mash-hur bin Hasan katika utangulizi wake wa kitabu Majmuu‟a
Ajzaai Hadithiyya j. 2, uk. 55: “Maneno ya Aqraan (walio hirimu moja kwa zama na elimu.
Na katika elimu ya Hadithi ni wapokezi waliokaribiana kiumri na mapokezi)
wanapotuhumiana basi yanakunjwa wala hayasimuliwi, kwani kuishi zama moja ndio
chimbuko la kutafautiana”. Anasema Al-Dhahabi katika Al-Miizaan j. 1, uk. 111, tarjama
na. 438 katika tarjama ya Abu Nu‟aim: “Na maneno ya walio hirimu moja (kielimu na
zama) hayazingatiwi, hususan itapokudhihirikia kwamba (maneno hayo) yanatokana na
uadui au umadhehebu au husda. Na sina kumbukumbu kwamba kuna zama ambazo watu
wake wamesalimika na hayo…”. Lakini wengine wamebainisha kwamba hilo ni jambo
nadra: si aghlabu; na kwa hivyo wanavyuoni walioishi zama moja ndio hasa
wanaosikilizwa katika mlango huu. Tazama Al-Takhriij Wa Dirasatu Al-Asaaniid uk. 95.
Na Muhammad Khalif Salama Lisanu Al-Muhadithin j. 2, uk. 40. 239
- Tazama pi a kitabu Al-Raj‟a cha Sheikh Al-„Allama „Abdul-Latif Al-Baghdadi uk.
113.
78
„Aammiy yaani ni Sunni au ni kila asiyekuwa Shia!240
Kwa hivyo, kwa
mujibu wa kitabu hicho kila aliyekuwa si Shia huyo si mwenye kuaminika.
Na hili lingejuzu lau ilikuwa watu wa madhehebu nyengine kwao uwongo
ni halali yaani kwa mujibu wa misingi ya madhehebu zao uwongo ni halali
au watu wote wa madhehebu nyengine hawana uwezo wa kuhifadhi.
Lakini tatizo hilo si kwamba limeishia kwa Shia tu, wafuasi wa Banii
Umayya nao walikuwa na tatizo kama hilo. Anasema Ibn Sirin:
Walikuwa hawaulizi kuhusu sanad, basi ilipotokea fitna wakawa
wanasema tutajieni wapokezi wenu tuwatazame Ahlu Sunna tuchukue
Hadithi zao; na watu wa bidaa tusichukue kutoka kwao.241
Lakini je unawajua watu wa bidaa ni wepi na watu wa Sunna ni wepi? Watu
wa bidaa ni waliompinga Mu‟awiya na watu wa Sunna ni wafuasi wa
Mu‟awiya! Au watu wa bidaa ni waliompinga „Uthman na watu wa Sunna
ni baadhi ya waliompinga „Ali!
Anasema Sheikh Salih bin Ahmad Al-Busa‟idi katika research yake ya
kujipatia Shahada ya pili (Master Degree):
Imepokewa kutoka kwa Zaida bin Qudama kwamba alikuwa hamsimulii
(Hadithi) mtu yoyote mpaka wataposhuhudia watu waadilifu mbele yake
kwamba yeye ni katika Ahlu Sunna.242
Na akasema Hishaam bin „Ammar:
„Nimemkuta Shihaab bin Khiraash nami ni kijana akaniambia: „Ikiwa
madhehebu yako si qadari wala si murjiu basi nitakusimulia vyenginevyo
mimi sikusimulii……243
Na kwa muondoko huo wa kuwadhoofisha wapokezi kwa sababu ya itikadi
zao, basi utaposoma vitabu vya wapokezi utakuta ibara nyingi zisemazo
mpokezi huyu: “alikuwa na uwezo wa kuhifadhi lakini niliziwacha Hadithi
zake kwani alikuwa na rai ya Kikhawaarij, au rai ya Kiraafidha, au rai ya
Jahmiyya au Qadariyya n.k”, kama alivyosema Abu Daud kuhusu Al-Walid
bin Kathir Al-Makhzumi, kwa mfano, kwamba ni “Mwenye kuaminika
lakini alikuwa Ibadhi”.244
Na siasa hio ndio iliowafanya Abu Zur‟a Al-Razi
240
- Wengine wanasema Aammiy hasa, kwa mujibu wa Shia, ni Sunni. 241
- Abu Nu‟aim Al-Hilya j. 2, uk. 278. 242
- Al-Sakhaawi Fat-hu Al-Mughiith j. 2, uk. 135. Nukulu kutoka katika kitabu
Riwaayatul Hadith „Inda Al-Ibaadhiyya cha Sheikh Salih bin Ahmad Al-Busaidi uk. 160. 243
- Al-Sakhaawi Fat-hu Al-Mughiith j. 2, uk. 135. Al-Mizzi Tahdhibu Al-Kamaal j. 12, uk.
572. Nukulu kutoka katika kitabu Riwaayatul Hadith „Inda Al-Ibaadhiyya cha Sheikh Salih
bin Ahmad Al-Busaidi uk. 160. 244
- Al-Dhahabi Al-Mughni j. 2, uk. 724, tarjama na. 6882.
79
na Abu Hatim Al-Razi waziwache Hadithi za Al-Bukhari na wenzake kwa
sababu ya itikadi yao kwamba: “matamshi yetu tunaposoma Qur-ani, ni
kiumbe”. Lakini wakati unakuta ibara kama hizo katika vitabu vya
wapokezi, basi unakuta kwamba kilicho sahihi kwa wanavyuoni
muhaqqiqin ni kuwa mtu wa bidaa ikiwa bidaa yake haimtoi katika mila ya
Kiislamu245
basi riwaya zake zinakubalika akiwa anayo masharti mengine
ya usahihi wa riwaya. Sasa baada ya hayo, natutoe mifano miwili mitatu ya
jinsi gani watu wamejeruhiana kwa misingi ya tafauti za kiitikadi.246
Ukisoma tarjama (biography) ya tabi‟iy mkubwa, „Ikrima, utakuta kwamba
wakati kuna wengi mno waliomkubali, basi pia kuna waliomkataa kwa
sababu eti alikuwa Ibadhi247
au alikuwa Khawarij! Anasema Al-Dhahabi
kuhusu „Ikrima:
Ni mmoja wa vyombo vya elimu, lakini alisemwa vibaya kwa sababu ya
rai yake: si kwa sababu ya udhaifu wa hifdhi yake, basi alituhumiwa kuwa
alikuwa na rai ya Khawarij. Lakini kundi kubwa (la wanavyuoni)
wamesema kuwa ni mwenye kuaminika na Al-Bukhari kamtegemea; ama
Muslim yeye alimuepuka na akasimulia kidogo tu kutoka kwake (lakini
kasimulia kutoka kwake) akimfuatanisha na mpokezi mwengine; na Malik
kajiepusha naye na kujitenga naye isipokuwa katika Hadithi moja mbili.248
Hayo ni yaliosemwa kuhusu Ikrima. Ama ukisoma tarjama (biography) ya
Isma‟iil bin Sumei‟i utakuta maelezo haya:
Kasema Ahmad: „Alikuwa ni mwenye kuaminika lakini Zaaida kamuacha
kwa sababu ya madhehebu yake. …… Alikuwa na rai ya Khawaarij
niliandika (Hadithi) kutoka kwake kisha nikamuacha.249
Cha kujiuliza ni kuwa je ni Hadithi ngapi leo zilizomo katika Sahihu Al-
Bukhari na Sahihu Muslim na vitabu vinne vya Sunna na vyenginevyo
ambazo zimesimuliwa na hao walioitwa kuwa ni Khawaarij, na Mashia na
Qadariyya na wengine? Je Hadithi hizo tuzitoe na kuzitupa? Na sijui kama
ikiwa tutafanya hivyo basi tutabakiwa na robo ya Hadithi tulizonazo leo.
Anasema Ibn Hajar katika Tahdhibu Al-Tahdhib:
Na akasema Handhala bin Abi Sufyaan: „Tawus alikuwa akimkimbia
245
- Na wengine wakashurutisha kwamba asiwe mwenye kuilingania bidaa yake. 246
- Tumeona mifano ya Al-Bukhari, Muslim, Al-Karabisi, Abu Hanifa na wengine katika
juzuu ya kwanza ya kitabu hiki. 247
- Wengine wanasema kuwa „Ikrima hakuwa Ibadhi, bali ni Sufri. 248
- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 3, uk. 93, tarjama na. 5716. 249
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 266, tarjama na. 559.
80 Qataada. Na Qataada alikuwa akituhumiwa kuwa na (itikadi ya) qadariyya.
Na amesema „Ali bin Al-Madini: „nilimwambia Yahya bin Sa‟iid kwamba
„Abdul-Rahmaan anasema: „Muache kila aliye kiongozi wa bidaa ambaye
anailingania bidaa (yake)‟. Akasema: „utamfanyaje Qataada na Ibn Abi
Rawwaad na „Umar bin Dhar na akawataja watu wengi‟. Kisha Yahya
akasema: „ikiwa utawaacha watu wa aina hii, basi utawaacha watu
wengi..‟.250
Ninasema: tukirudi kwa „Ikrima na kujaalia kuwa kweli naye alikuwa ni
Khawarij au hakuwa Khawarij, basi ajabu ilioje ni madai ya wana-
madhehebu hao kuwa Khawarij ziachwe Hadithi zao kwa sababu ya itikadi
zao ilhali ulimwengu umeshuhudia kwamba Khawarij hawasemi uwongo
wala hawakutunga Hadithi! Wakati watu walevi wa nabiidh kama Waki‟u
kama tutavyoona huko mbele na waongo kama Ibn Batta, wao Hadithi zao
zichukuliwe!
Ama kuhusu mpokezi Isma‟iil bin Khalifa, utaona kwamba wengine
wamemkataa kwa sababu ya udhaifu, lakini „Abdul-Rahmaan (labda) bin
Mahdi alimkataa kwa sababu: “alikuwa akimtukana „Uthman”.251
Lakini
tujiulize ikiwa mpokezi huyu hakubaliki kwa sababu ya kumtukana
„Uthman, vipi kuhusu zile riwaya za waliokuwa wakimtukana „Ali? Vipi
riwaya za Qais bin Abi Hazim mwenye riwaya ya “kumuona Mungu kama
tunavyouona mwezi?” Utakumbuka kwamba Qais huyu naye katajwa kuwa
ni wenye kumtukana „Ali? Na ikiwa Mu‟awiya – kama alivyosimulia
Muslim252
– alikuwa akihimiza kumlaani „Ali na hilo likatekelezwa
kimatendo253
na likawa ni sunna kumlaani „Ali juu ya membari siku ya
ijumaa hata likaondoshwa na Imamu Muadilifu „Umar bin „Abdil-‟Aziiz
(r.a.),254
sasa vipi kuhusu riwaya za hawa Banii Umayya waliokuwa
wakimlaani „Ali na wakijiita wao kuwa ndio Ahlu Sunna Wal Jamaa‟a? Si
250
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 317, tarjama na. 637. 251
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 256, tarjama na. 545. 252
- Anasema „Aamir bin Sa‟ad bin Abi Waqqaas: أيش يعاية ت أتي سفيا سعذا فقال يا يعك أ
Mu‟awiya bin Abi Sufyaan alimuamuru Sa‟ad (bin Abi Waqqaas)“ تسة أتا انتشاب
akamwambia: “Ni kitu gani kinachokuzuia wewe usimtukane Abu Al-Turaab (Sayyidna
„Ali). Tazama Sahihu Muslim Hadithi na. 4420. 253
- Anasema Muslim:
ع سم ت سعذ قال استعم عهى انذية سجم ي آل يشا قال فذعا سم ت سعذ فأيش أ يشتى عهيا قال فأتى سم
فقال ن أيا إر أتيت فقم نع هللا أتا انتشاب فقال سم يا كا نعهي اسى أحة إني ي أتي انتشاب
Kutoka kwa Sahl bin Sa‟ad kasema mtu mmoja katika Banii Mar-waan alifanywa liwali
wa Madina. Basi akamwita Sahl bin Sa‟ad akamuamuru amtukane (Sayyidna) „Ali, basi
akakataa Sahl. Akamwambia: “Ama ukiwa umekataa (kumtukana kwa jina la Ali) basi
sema: “Allah amlani Abu Turaab (Al-Sayyid Ali). Akasema Sahl: “Ali hakuwa na jina
analolipenda zaidi kuliko Abu Turaab”. Tazama Muslim Sahihu Muslim Hadithi na. 4426. 254
- Tena kwa ushauri wa viongozi wa Kiibadhi.
81
Ibn Mahdi wala si Ahmad bin Hanbal wala si mwengine kaharamisha
kuzisimulia riwaya za Banii Umayya. Sasa uadilifu uko wapi? Ni wazi
kwamba suala la kuwakubali wapokezi na kutokuwakubali kwa kiasi
kikubwa limeathirika na msukumo wa rai za kimadhehebu. Ndio maana Al-
Imamu Ahmad akakataza kupokea Hadithi kutoka kwa Mahanafi kama
ilivyoelezwa kwamba:
ــ٤لش ٤ـــــككيػخ ػزي هللا ر أكي هخ ؤض أر٢ ػ أي ر ػ يم هخ ألخد أر٢
ػ ت ٣زـ٢ أ ٣
Katusimulia „Abdullah bin Ahmad kasema nimemuuliza baba yangu (Al-
Imamu Ahmad bin Hanbal) kuhusu Asad bin „Amri: je ni mkweli?
Akasema: „Wafuasi wa Abu Hanifa haitakiwi kusimuliwa chochote kutoka
kwao‟.255
Cha kujiuliza ni kuwa je kila mfuasi wa Abu Hanifa ni mwongo au hana
uwezo wa kuhifadhi hata Al-Imamu Ahmad akasema hivi? Na cha
kusikitisha zaidi ni kuwa baada ya kuwa kuna kundi la wapokezi ambao
wamekataliwa kwa sababu ya madhehebu zao japokuwa wenyewe walikuwa
ni wenye ucha Mungu na uwezo wa kuhifadhi; basi kuna kundi jengine
limekubalika kwa sababu ya madhehebu zao japokuwa walikuwa ni walevi,
waongo au madhaifu. Al-Imamu Ahmad bin Hanbal, kwa mfano,
anamkubali msimulizi mwenye kunywa nabiidh na nabiidh hata kama
kidogo hailevyi lakini nyingi inalevya. Ibn Abi Ya‟ala, Al-Khatib, Al-Mizzi,
Al-‟Aini na wengine wamesimulia riwaya isemayo:
لخد حش ل ر٤ش خض ك٤، ــــ أر ؿؼل حل٠٤ هق ر خ حزح، كوخ: خ أ
ي، كو٤: ٣خ أرخ ػزي هللا اــهللا حطز: هق ر خ ػي أك د حز٤. هخ حلخكع زش
، د أ ٣دــح ػ، هللا ػيخ حؼوش حل٤ ٣د؟ كوخ: هي حظ٠ ا٤خ ػ
Abu Ja‟afar Al-Nufaili alimtaja Khalef bin Hisham Al-Bazzaar, akasema:
„alikuwa ni katika watu wa Sunna lau si mtihani aliokuwa nao – kunywa
nabiidh. Amesema Al-Haafidh, Hibatu Al-Lahi Al-Tabari, Khalef bin
Hisham alitajwa mbele ya (Al-Imamu) Ahmad akaambiwa: ewe Abu
„Abdillah (Al-Imamu Ahmad)! Hakika ya huyu anakunywa (nabiidh).
Akajibu (Al-Imamu Ahmad, kwamba): „imetufikia habari hio kuhusu yeye,
lakini yeye Wallahi kwetu sisi ni mwenye kuaminika akinywa au
asinywe!256
Msimamo huo wa Al-Imamu Ahmad, umefuatwa na wanavyuoni wafuasi
255
- Al-‟Uqaili Al-Dhu‟afaau j. 1, uk. 23. 256
- Badru Al-Diin Al-‟Aini Maghaani Al-Akhyaar j. 1, uk. 295.
82
wa skuli yake waliokuja baadae. Al-Dhahabi kamkubali mpokezi mmoja
mwenye kunywa nabiidh kwa sababu anaafikiana naye, lakini kamkataa
mpokezi mwengine naye ni Bishr Al-Marisi si kwa sababu ya itikadi yake
tu, bali pia kwa sifa mbaya ya kunywa nabiidh! Anasema Al-Dhahabi
kuhusu Bishr Al-Marisi, mwanachoni wa Kihanafi: ،خ ؿ٤خ هي ػي حيش
Na alikuwa ni Jahmi (mfuasi wa Jahmu bin Saf-waan)..…خ ٣د حز٤257
ana heshima katika serikali na alikuwa akinywa nabiidh.258
Wakati Al-
Dhahabi hapa anamtia aibu Al-Marisi si kwa sababu ya ujahmiyya tu bali na
kwa kitendo chake cha kunywa nabiidh, tunamkuta Al-Dhahabi huyo huyo
– na wengine kwa maelfu – wanamkubali Waki‟u bin Al-Jarraah naye ni
mnywaji wa nabiidh vile vile. Anasema Al-Dhahabi katika Al-Siyar kuhusu
Wakii‟u:
٤ ٢ هللا ػ ٤ غ؟!ك ؼ أ ٣ غ، ؼ خ حإل ١ ٣ ك ش ح ح د ز ٤ خ ال خ ح ك غ
خ ، ك ــ ، ر ل ك ٢ ظ ؤ …… ، ح ز ٤ ٣ حظل ٢ ق ح ه ي
Allah amridhie Wakii‟u, na yuko wapi aliye mfano wa Wakii‟u? Na
pamoja na hayo alikuwa haachani na kunywa nabiidh ya Al-Kufa ambayo
(ukiinywa) nyingi yake inalevya, basi yeye alikuwa ni mwenye kuiletea ta-
awil (kwamba ni halali) katika kuinywa kwake………..na nabiidh hio
tulioitaja imethibiti kwamba imekatazwa (na Mtume s.a.w.) na kwamba
imeharamishwa….. 259
Kwa hivyo, ikiwa miongoni mwa masharti ya kukubalika kwa mpokezi ni
kuwa muadilifu na asiwe mwenye kufanya madhambi ya wazi, kwanini tena
Waki‟u akubalike na kusifiwa kwa sifa kemkem naye anakunywa nabiidh
yenye kulevya kwa mujibu wa maelezo ya Al-Dhahabi? Je ta-awil yake tu
inatosha kumtoa katika kutokukubalika? Kama yeye ta-awil yake inamtosha
kwa nini wengine isiwatoshe?
Hilo ni mosi nalo ni la kumkubali mpokezi au kumkataa kwa sababu ya
madhehebu yake. Pili ni kuwa kuna idadi kubwa ya wapokezi ambao
wamejeruhiana kwa sababu ya ugomvi wao katika mambo ya kawaida.
Mifano iko mingi mno katika vitabu vya wapokezi. Mfano mmoja ni
mpokezi aitwae Ahmad bin Salih Al-Misri ambaye katajwa kuwa ni
mpokezi thiqa (mwenye kuaminika). Lakini Al-Nasai kamkataa na kusema:
257
- Bishr Al-Marisi hakuwa mfuasi wa Jahm, bali alikuwa ni mwanachuoni wa Kihanafi
na labda alikuwa na rai chache za Kimu‟utazila. Lakini jahmi kwa mujibu wa Mahanbali na
vijukuu vyao vya Kiwahabi ni tusi analotukanwa kwalo kila asiyekubali kuwa Allah ana
viungo! 258
- Al-Dhahabi Siyaru Al-A‟alaam j. 10, uk. 201. 259
- Al-Dhahabi Siyaru Al-A‟alaam j. 9, uk. 143.
83
“si mwenye kuaminika”, na akanukuu maneno ya Ibn Ma‟iin akisema: „ni
mwongo‟. Lakini Ibn Hibbaan akabainisha kwamba Ahmad bin Salih
ambaye kaitwa mwongo na Ibn Ma‟iin ni Ahmad bin Salih Al-Shumuumi
ambaye alikuwa Makka akitunga Hadithi. Kwa hali yoyote ile, Al-Khalili
(si Mufti wa Oman) anasema kuwa wanavyuoni wamekubaliana kwamba
“maneno ya Al-Nasai dhidi yake (Ahmad bin Salih Al-Misri) ni upendeleo”.
Na sababu ya Al-Nasai kuyasema yote hayo, ni kuwa Ahmad bin Salih Al-
Misri alimfukuza Al-Nasai katika majlisi yake”.260
Na kwa hivyo, Al-
Hafidh Al-„Iraqi asema:
خ ق ي ر ك
ج ٢ ك ٢ أ خ ف *** خ ـ ح ال ى خ ر
Huenda maneno ya mwenye kumjeruhi mpokezi yakakataliwa**Kama vile
maneno ya Al-Nasai kuhusu Ahmad bin Salih.261
Kwa hivyo, kwa kuwa kuna Hadithi nyingi dhaifu bali za kutunga ndani ya
vitabu vinavyokubalika kabisa na watu wamezikubali na kuzitolea hoja
Hadithi hizo pamoja na udhaifu wake; na kwa sababu kuna tafauti baina ya
wanavyuoni wa Kisunni katika Hadithi nyingi zilizomo vitabuni mwao; na
kwa sababu kumekuwa na khilafu katika kuwakubali wapokezi na
kuwakataa; na kumekuwa na upendeleo wa wazi wa kuwakubali wapokezi
na kuwakataa kwa sababu za Kimadhehebu; basi tunasema kwamba ufanisi
wa hali ya juu alioudai Kasim Mafuta ni kuendeleza propaganda tu
zilizoanza kwa Imamu wake mkuu, Mu‟awiya mwanangwa wa bwana Abu
Sufyaan, na ukweli bado unabakia pale pale kwamba kila Hadithi, ikiwa ni
ya Al-Bukhari au ya Muslim; ya Shia, ya Sunni au ya Ibadhi; ni lazima
itazamwe kwa vipimo vyake vyote na ikiwa itapingana na qat‟iyyaat
(mambo ya yakini) ya kiakili au Aya za Qur-ani basi hio ni Hadithi ya
kutunga hata ikiwa imepokelewa na mtu mwenye elimu kiasi gani. Hii ndio
minhaj sahihi na ndio minhaj ya Masahaba (r.a). Soma maelezo yafuatayo
ili kulifahamu hilo vyema.
260
- Tazama maelezo hayo katika Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib 1, uk 34-36, tarjama na.
68. 261
- Al-Hafidh Al-Iraqi Al-Alfiyya uk. 122, babu ma‟arifati al-thiqaati wa al-dhu‟afaa‟i.
84
MINHAJ YA MASAHABA KATIKA
KUZICHUNGUZA HADITHI
Baada ya hayo, elewa kwamba minhaj (njia) ya Masahaba katika
kuzichunguza Hadithi haikuishia katika kutazama sanad tu, bali ilikuwa ni
kuzitazama mutun za Hadithi – je hazipingani na qat‟iyyaat (mambo ya
yakini) ya kiakili au Aya za Qur-ani? Al-Sayyida „Aisha (r.a.), kwa mfano,
aliikataa Hadithi inayosema: “Hakika ya maiti anaadhibiwa kwa sababu ya
kulia jamaa zake”. Al-Sayyida „Aisha (r.a.) aliikataa Hadithi hio kwa sababu
Mwenyezi Mungu anasema: “Wala (nafsi) haibebi mzigo wa (nafsi)
nyengine”.262
Umar bin Al-Khatab (r.a.), naye, aliikataa Hadithi ya Fatma bint Qais
kwamba: “Alipoachwa na mumewe talaka ya kutokurejea tena, basi Mtume
(s.a.w.) hakulazimisha tena kuwa apewe chakula na makazi”. Umar (r.a.)
alipoisikia kauli hio alisema: “Hatuachi Kitabu cha Mola wetu na Suna za
Mtume wetu kwa kauli ya mwanamke (ambaye) hatujui kama kahifadhi au
kasahau”.263
Al-Imamu Ali (k.w.) aliikataa Hadithi ya Ma‟aqil bin Sinan kuhusu hukumu
ya Ibn Mas‟ud kwa mwanamke aliyefiwa na mumewe. Akasema Al-Imamu
Ali: “Wallahi hatuachi Kitabu cha Mola wetu kwa maneno ya bedui
anayekojolea visigino vyake (hata kwenda chooni hajui)”.264
Hio ndio minhaj (methodology) ya Masahaba: walikuwa wakiipima Hadithi
kwa kipimo cha Qur-ani kwanza, ikiwa kuna mgongano basi walikuwa
wakitosheka na Qur-ani. Hayo waliyafanya Masahaba katika zama za awali
kabisa, katika jamii iliokuwa bora kabisa, katika zama zilizokuwa karibu na
Mtume (s.a.w.); katika jamii iliomuona Mtume (s.a.w.); na katika wakati
ambao uwongo ulikuwa haujulikani ulivyokaa; basi vipi sisi leo baada ya
262
- Tazama Sahihu Muslim Hadithi na. 928. Abu Dawud Al-Sunan Hadithi na. 3127. Na
wameitaja: Dr Wahbat Al-Zuhaili Usulu Al-Fiq-hi Al-Islami j. 1, uk. 466. Sheikh Al-
Mufasirin Al-‟Allaama Ahmad Al-Khalili Al-Fatawa kitabu 1, uk. 27. Nuru Al-Din Al-
Salimi Sharhu Tal‟ati Al-Shams j. 2, uk. 19. Na wako wengine walioiletea tafsiri Hadithi
hio na kuitoa katika mgongano, lakini hicho sicho ninachotaka kukieleza hapa: ninachotaka
kukieleza hapa ni hii minhaj (methodology au njia ya uchambuzi wa maandiko) kwa
Masahaba (r.a.). 263
- Tazama Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 1180. Na wameinukuu: Dr Wahbat Al-
Zuhaili Usulu Al-Fiq-hi Al-Islami j. 1, uk. 466. Sheikh Al-Mufasirin Al-‟Allaama Ahmad
Al-Khalili Al-Fatawa kitabu 1, uk. 27. Nuru Al-Din Al-Salimi Sharh Tal‟ati Al-Shams j. 2,
uk. 19. 264
- Tazama Dr Wahbat Al-Zuhaili Usulu Al-Fiq-Hi Al-Islami j. 1, uk. 447-8.
85
kuwa tuko mbali mno na zama za Mtume (s.a.w.); tumekuja baada ya
kutokea fitna nyingi baina ya Waislamu zilizopelekea kutokea kwa tatizo
kubwa la utunzi wa Hadithi za uwongo au kuzidisha na kupunguza katika
masimulizi ya Hadithi;265
tumekuja baada ya kujitokeza tatizo kubwa la
maadui wa Kiislamu kupandikiza Hadithi na itikadi batili: je sisi si
tunastahiki zaidi kuifuata minhaj (methodology) hio ya Masahaba ya
kuzipima mutun za Hadithi kwa kipimo cha mutun za Qur-ani kwanza? Au
je sisi si tunastahiki zaidi kuifahamu Qur-ani kwanza ili iwe ndio kipimo
cha kuifahamu matn ya Hadithi? Ninasema: kufanya hivyo si kuzikanusha
Hadithi bali ni jaribio la kuzitafuta Hadithi sahihi na hii ndio njia ya Ahlu
Al-Haqqi Wa Al-Istiqaama katika kuzielewa mutun za Hadithi na bila shaka
ndio njia ya Al-Salaf Al-Salih na ndio njia ya wanavyuoni wakubwa na ndio
njia yenye salama. Soma maelezo, ya wanavyuoni wa skuli kuu tatu za
Kiislamu, ambayo niliyaandika katika kitabu Mezani Ya Haki kuhusu njia
moja muhimu ya kuisoma matn ya Hadithi.
MANENO YA WANAVYUONI
Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili: “Basi riwaya zao hazivuuki
(daraja) ya kuwa Ahadi:266
hazina nguvu ya kuipinga Qur-ani”.267
Anasema Al-Imamu Nuru Al-Din Al-Salimi:
Basi tumejua – kutokana na hali ya Masahaba – kukikataa kila kilichokuwa
hivyo (kupingamana na andiko la wazi la Qur-ani au Hadithi
265
- Anasema Al-Zuhri: ػيخ زح ك٤ؿغ ا٤خ حػخ٣وؽ حلي٣غ “Hadithi hutoka kwetu
shubiri moja, ikirudi kutoka Iraki imekuwa dhiraa nzima”. Tazama Dr. Mustafa Al-Sibaa‟i
Al-Sunna Wa Makaanatuha uk. 96. Na kwa hivyo Al-Imamu Malik alikuwa akiita Iraki
kuwa ni “ىح ح٠د” nyumba ya kufua, yaani Hadithi zinafuliwa huko kama zinavyofuliwa
dhahabu na fedha! Tazama marejeo hayo hayo. Na kabla ya wawili hawa, basi Mkuu wao
na mbora wao Al-Sayyida „Aisha alisema kuhusu Hadithi ya Dhu Thudaiy – ikiwa Hadithi
hio itasihi – basi kasema hivi:
ي م ز ا ل ه خ ـ ٤ ج خ ٣ ؼ ل ٣ ال خ ا ٢ هللا ػ ٤ خ هللا ػ ك حم ٣ ؼ ح ذ أ ك ٤ هللا
٣غ ي ل ك ٢ ح ٤ ػ ٣ي ٣ ٤ ػ ر ٣
Allah amrehemu Ali (r.a.), hakika yake alikuwa haoni kitu chenye kumfurahisha isipokuwa
husema: “Allah na Mtume wake wamesema kweli”, basi watu wa Iraki wakawa
wanamzulia na wanamuongezea katika Hadithi. Tazama Ahmad Al-Musnad j. 1, uk. 267-
268, Hadithi na. 656. 266
- Hadithu Ahadi ni ile iliopokelewa na wapokezi wachache katika tabaka tatu za
mwanzo au moja ya tabaka hizo, nayo ni kila Hadithi ambayo haikufikia daraja ya
mutawatir. 267
- Sheikh Al-mufasirin Badru Al-din, Al-Khalili Al-Fatawa kitabu 1 uk. 27.
86 mutawatir)……na aliikataa „Aisha habari ya Abi Uthmaan katika
kuadhibiwa maiti kwa sababu ya kulia jamaa zake, na akamsomea (Aya
inayosema): „Wala (nafsi) haibebi mzigo wa (nafsi) nyengine.‟ Ikiwa
umeijua kanuni hii, basi ikatae kila Hadithi ambayo imekwenda kinyume
na dalili ya wazi (ya Qur-ani au Hadithi mutawatir). 268
Anasema Al-Imamu Al-Hujja Al-Qannubi:
Na ubainifu wa hayo ni kwamba umma umekubaliana kuikataa Hadithi
iliopingana na andiko la Qur-ani.269
…….Haya yote ni pale ambapo
(Hadithi hio) haikugongana na andiko la Kitabu (cha Allah)…….ama
ikigongana na kitu katika hayo wala isiwezekane kuvijumuisha kwa njia
yoyote ile basi (Hadithi hio) inahukumiwa kuwa ni ya kutunga.270
Anasema Al-Imamu Ja‟afar Al-Saadiq:
Na mukisimuliwa Hadithi ikiwa mutaipatia ushahidi ndani ya Qur-ani au
katika kauli ya Mtume (s.a.w., basi hivyo ndivyo inavyotakiwa),
vyenginevyo basi kilichokujieni ni bora zaidi.271
…………Kila kitu
kinarejeshwa katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna, na kila
Hadithi ambayo haiwafikiani na Kitabu cha Mwenyezi Mungu basi ni
upuuzi (mtupu).272
………Atayekwenda kinyume na Kitabu cha Allah na
Sunna za Muhammad, basi amekufuru.273
Anasema Al-‟Allaama Murtadha Mutahhari:
Kwa sababu Qur-ani ndio mezani na kipimo cha vyanzo (sources)
vyengine vyote. Hadithi na Sunna inatupasa tuzipime kwa kipimo cha Qur-
ani ili tuone ikiwa vinakubaliana na Qur-ani basi tuvikubali na
vyenginevyo (kama vinapingana) basi
tusivikubali.274
………………..Yaani kuzizingatia kwetu Hadithi za Al-Kafi
(kitabu cha Hadithi cha Kishia) kunategemea kiwango cha makubaliano
yake na Qur-ani na mafunzo yake (mafunzo ya Qur-ani). Na kwa sharti
kwamba pasiwe na tofauti baina yao (baina ya Qur-ani na Hadithi).
Alikuwa Mtume (s.a.a.w.) na Maimamu waliotakasika wanasema:
268
- Al-Imamu Al-Salimi Sharhu Tal‟ati Al-Sham j. 2, uk. 19. 269
- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Imamu Al-Rabi‟u Makanatuhu Wa Musnaduhu uk. 112. 270
- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Saif Al-Haad uk. 78-79. 271
- Al-Imamu Ja‟afar Al-Saadiq Al-Kafi j. 1, uk. 69. Nukulu kutoka katika kitabu Al-Tas-
hihu cha Al-Musawi. 272
- Al-Imamu Ja‟afar Al-Saadiq Al-Kafi j. 1, uk. 69. Nukulu kutoka katika kitabu Al-Tas-
hihu cha Al-Musawi. 273
- Al-Imamu Ja‟afar Al-Saadiq Al-Kafi j. 1, uk. 70. Nukulu kutoka katika kitabu Al-Tas-
hihu cha Al-Musawi. 274
- Murtadha Mutahhari Ja‟afar Saadiq Al-Khalili Ma‟arifatu Al-Qur-ani uk. 19.
87 „Zipimeni kauli zetu na Qur-ani, iliokuwa haikubaliani nayo katika hizo,
basi hakika yake ni ya kutunga na ya kuzua imenasibishwa kwetu.‟ Basi
sisi hatusemi chenye kuipinga Qur-ani.275
Anasema Al-Sayyid Saeed Akhtar Rizvi:
Lakini bado kuna Hadithi nyingi ambazo hazielezeki kwa njia yoyote. Na
wanavyuoni wetu bila kusita wamezikataa kwa sababu zinakwenda
kinyume na Qur-ani na Sunna na zinagongana na makubaliano ya
umma.276
Anasema Al-Imamu Abu Is-haaq Al-Shirazi Al-Shafi:
(Mpokezi) mwenye kuaminika akiisimulia Hadithi, basi inakataliwa kwa
moja katika mambo matano………… (moja ni kuwa) ikiwa itakwenda
kinyume na andiko la wazi la Qur-ani au Hadithi Mutawaatir.277
Anasema Al-Imamu Al-Khatib Al-Baghdadi: ”Haikubaliki Hadithi Ahadi
katika kugongana….na hukumu ya Qur-ani”.278
Anasema Al-Imamu Shamsu Al-Din Ibn Al-Qayyim: “Na Hadithi ya
kutunga ina alama zake……miongoni mwa hizo ni kwenda kinyume na
(andiko) la wazi la Qur-ani”. 279
Anasema Al-Imamu Ibn Kathir Al-Mufassir: “Inajulikana Hadithi ya
kutunga kwa mambo mengi…kama vile kwenda kinyume na kilichothibiti
katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu”.280
Anasema Al-Imamu Al-Hafidh Ibn Hajar:
Na miongoni mwa hizo (alama za Hadithi ya kutunga) zinachukuliwa
kutoka katika hali ya kilichopokewa (yaani matn ya Hadithi yenyewe)
kama kugongana na andiko la wazi la Qur-ani.281
Anasema Al-Imamu Al-Mufasir, Al-Sayyid Muhammad Rashid Ridha:
275
- Murtadha Mutahhari Ja‟afar Saadiq Al-Khalili Ma‟arifatu Al-Qur-ani uk. 19. 276
- Sayyid Saeed Akhtar Rizvi Wahabi‟s Fitnah Exposed uk. 49. 277
- Al-Imamu Abu Is‟haaq Al-Shirazi Al-Lluma‟u Fii Usuli Al-Fiq-hi uk. 78. 278
- Al-Khatib Al-Baghdadi Al-Kifaaya Fii Fanni Al-Riwaya uk. 432. 279
- Ibn Qayyim Al-Jawziyya Al-Manar Al-Munif uk. 43-44. 280
- Al-Imamu Ibn Kathir Ulumu Al-Hadith kilichotiwa maelezo na Ahmad Shaakir uk.
74. 281
- Al-Haafidh Ibn Hajar Nuzhatu Al-Nadhar uk. 120.
88 Na ikiwa miongoni mwa kasoro za Hadithi ambazo zinazuia kuiita Hadithi
kuwa ni sahihi, ni kule mpokezi kwenda kinyume na mpokezi mwengine
ambaye ni katika wapokezi wenye kuaminika (zaidi), basi (Hadithi)
kwenda kinyume na (andiko la) uhakika la Qur-ani ambayo ni mutawatir,
inastahiki zaidi kuondoshewa usahihi wake.282
Kwa hivyo, baada ya haya, utaona kuwa sisi tunashauru kwamba njia bora
ya kuzifahamu Hadithi ni kwanza kuifahamu Qur-an kwa mujibu wa fani
zake za tafsiri. Hapo ndipo utapokuwa bingwa wa kujua ػ حلي٣غ kasoro za
Hadithi. Na bila shaka atayeisoma Qur-ani kwa kuzijua fani za tafsiri au
hata kwa kuzionja tu na kusikia harufu yake kama hivi sisi, basi hawezi
kukubaliana na riwaya za kuonekana kwa Allah kwani tafsiri ya Qur-ani
iliojengeka katika fani za tafsiri haitoi mwanya huo kamwe.
MUKHTASAR NA NUKTA MUHIMU
Kwa hivyo, mukhtasari wa jawabu yangu kwa maneno ya Sheikh Kasim bin
Mafuta yasemayo:
Pili, mafundisho yote ya Mtume wetu Muhammad -swalla llaahu alayhi
wasallam- yamehifadhiwa katika vitabu vya maulamaa wa Ahlu Sunna
wal-Jamaa kwa ufanisi mkubwa mno kiasi ambacho hakuna jambo lolote
linalohitajika kubainisha itikadi au hukumu ya mambo ya dini ya kiislamu
isipokuwa jambo hilo limedhibitiwa kwa ufanisi wa hali ya juu,
ni kuwa:
1) Ufanisi huo alioudai yeye, haina maana kwamba hakuna Hadithi
dhaifu na za kutunga katika vitabu vya Hadithi hata vile ambavyo
vinategemewa sana kama Sahihu Al-Bukhari na Sahihu Muslim.
2) Wanavyuoni wa Kisuni wenyewe wanatafautiana katika vipengele
kadha wa kadha vya itikadi.
3) Mara nyingi unakuta kwamba chimbuko la tafauti zao hizo ni
kuzikubali na kuzikataa baadhi ya riwaya.
4) Wanavyuoni wa Kisuni wamezikataa baadhi ya riwaya za itikadi na
za matendo hata zile zilizopokewa na Al-Bukhari na Muslim.
5) Masuni na Maibadhi wote wameamua kutokuitendea kazi Hadithi
Al-Thaqalain alioipokea Muslim na Hadithi ya kuwa Masahaba wote
watakwenda motoni ila wachache alioipokea Al-Bukhari, isipokuwa
wale waliofasiri Hadithi hio kwa maana nyengine kama tulivyoeleza
kabla.
282
- Al-Sayyid Mohd Rashid Ridha Al-Manar j. 1, uk. 85-86.
89
6) Kuna idadi kubwa ya riwaya za Al-Bukhari na Muslim
zilizodhoofishwa na vigogo wa Kisuni kama Abu Zur‟a, Al-
Daraqutni na wengine, wakati riwaya hizo kwa Al-Bukhari na
Muslim ni sahihi. Bali hata Mu‟awiya, Sahaba, kaipinga riwaya
ambayo baadae Al-Bukhari na Muslim waliipokea. Naye hakuipinga
kwa sababu ya sanad yake ambapo ingewezekana kusema kwamba
labda baadae Al-Bukhari na Muslim waliigundua sanad sahihi
kuliko ile alioipinga Mu‟awiya; bali yeye aliipinga matn ya riwaya
hio.
7) Riwaya kadha wa kadha za Al-Bukhari na Muslim zimesimuliwa na
watu ambao kwa itikadi ya Kiwahabi/Kihanbali ni makafiri, kama
vile Qadariyya, Khawaarij munaowaita mbwa wa motoni, Murjia,
Shia, wenye itikadi za kijahmiyya na wengine ambao si Ahlu Sunna.
8) Na kwa hivyo:
a) Ufanisi wa hali ya juu haukufaulu 100%.
b) Na hii ina maana kwamba ni lazima riwaya zote zipimwe katika
sanad zake na mutun zake. Haitoshi kudai kwamba “Ahlu
Sunna, au Ibadhi au Shia au wengine wamedhibiti Hadithi kwa
ufanisi wa hali ya juu”.
90
KIFUNGU CHA PILI CHA KUJADILIWA
Anaendelea Sheikh Kasim bin Mafuta kwa kusema:
Tatu, katika kuhakikisha kuwa mafundisho hayo sahihi ya dini ya kiislamu
yanahifadhiwa na hayachanganyiki na upotofu wowote, maulamaa wa Ahli
Sunna wal Jamaa wameweka misingi madhubuti juu ya usahihi wa
mapokezi hayo ya riwaya za hadithi za bwana Mtume -swalla llaahu alayhi
wasallam- na ukweli wa wapokezi hao kama tulivyofundishwa na Qur‟an
tukufu pale aliposema Allah:
ح ن ر ز ب ك ظ ز ٤ ك خ خء ؿ ح ا آ ٣ خ ح ٣ خ أ ٣
Enyi mlioamini ! akikujilieni mwovu (fasiki) na habari yoyote
basi ichunguzeni.283
Kwa mujibu wa aya hii ni kwamba, si kila asemaye; amesema Mtume -
swalla llaahu alayhi wasallam- atakuwa msemaji huyo ni mkweli, na
atakayo yanukuu yatakuwa ni kweli maneno ya Mtume, bali ni lazima
uchunguzi wa kina ufanyike ili kujua usahihi wa habari hiyo aliyoileta na
udhaifu wake. Kwa sababu hiyo, maulamaa wa hadithi baada ya kufanya
utafiti wa kina pamoja na kutumia uzoefu wao wa muda mrefu, wakaweka
misingi madhubuti inayowahusu wapokezi wa hadithi. Pia wakaweka
kanuni maalumu kwa ajili ya udhibiti wa njia sahihi za kukubaliwa hadithi
na kurudishwa. Na pia yakatumika maneno ya kiistalahi ambayo yanaleta
maana maalumu na hayo yamejaa kwa wingi katika vitabu vyao. Kwa
mantiki hiyo, yoyote anayetaka kuzungumzia masuala yanayofungamana
na elimu ya hadithi; usahihi wake na udhaifu wake, hana budi kuzijua
kanuni hizo na maneno hayo ya kiistilahi. Na kama hatafanya hivyo, basi
lililobora kwake ni kunyamaza kuliko kusema, kwa sababu hatima yake ni
kupotosha watu kwa kuzisahihisha hadithi zisizo sahihi au kuzidhoofisha
hadithi zilizo sahihi na yote mawili ni balaa, hasa ukizingatia kwamba
maneno ya Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam- ni
sheria.284
283 - al Hujraat (49) aya 6.
284 - Kasim Mafuta, Hoja Zenye Nguvu uk. 6-7.
91
KUYAJADILI MANENO HAYA
Maneno haya – kama unavoona – kimsingi yanahusu sanad (wapokezi) za
Hadithi. Dhahiri inavyofahamika kutokana na maelezo hayo, ni kuwa kila
sanad yenye wapokezi walioitwa kuwa ni sahihi au wenye kuaminika basi
huo ndio udhibiti wenyewe wenye kupelekea kukubalika kwa Hadithi hio!
Lakini kuna mambo mawili muhimu ya kuyafahamu:
1) Kama vile ambavyo wanavyuoni wametafautiana juu ya mutun
(texts) za Hadithi, vivyo hivyo wanatafautiana juu ya wapokezi
wa Hadithi. Na ikiwa Abu Hatim na Abu Zur‟a
wamemdhoofisha Al-Bukhari na Ibn Manda akamsema kwamba
Al-Bukhari anaghushi, basi waliobakia watakuaje? Anasema
Abu Suhaib Al-Karmi katika maelezo yake marefu:
…pili hakuna yoyote katika wanavyuoni wa karne ya tatu na ya
nne aliyedai kwamba kila kilichomo katika Sahihi mbili hicho ni
sahihi………………….pamoja na kuwa tukizitazama Hadithi za
sahihi mbili na kauli za waliotangulia basi tunakuta idadi kubwa ya
Hadithi hizo zimepingwa, nao (hao waliozipinga) ni watu wenye
ufundi na elimu katika mambo haya kama vile: Yahya bin Sa‟iid
Al-Qattaan, „Abdul-Rahmaan bin Mahdi, „Ali bin Al-Madini,
Ahmad (bin Hanbal), Yahya bin Ma‟iin na wengine. Halkadhalika
lau tukizilinganisha Hadithi za sahihi mbili na maneno ya
wanavyuoni walioishi nao zama moja au waliokuja baadae basi
tungelikuta idadi si ndogo ya Hadithi hizi zinadhoofika kwa
mujibu wa masharti yao, mfano wa Abu Hatim, Abu Zur‟a, Al-
Nasai, Abu Daud, Ya‟aquub bin Sufyaan Al-Fasawi, Ya‟aquub bin
Abi Shaiba, Al-‟Uqaili, Ibn „Adei, Al-Azdi na wengine…….285
2) Pili ni kuwa: hakuna itifaki juu ya kila kanuni ya Hadithi.
Masharti ya Al-Bukhari katika kuikubali Hadithi, kwa mfano, si
masharti ya Muslim, jambo ambalo linapelekea Hadithi za huyu
kuwa ni dhaifu kwa yule. Sheikh Abu Suhaib tuliyemnukuu hapo
juu anatoa mfano wa tafauti ya Al-Bukhari na Muslim kuhusu
sharti ya wapokezi wawili kuishi zama moja: je hilo linatosha
kuthibitisha kuwa mpokezi mmoja kasikia riwaya kutoka kwa
mpokezi mwengine au ni lazima kuwe na andiko kwamba
wamekutana au aseme katika riwaya yake kwamba nimemsikia
fulani? Al-Bukhari na jumhur ya watu wa Hadithi wa awali na
wa baadae wamejenga kanuni (principle) kwamba kuishi zama
285 Abu Suhaib Al-Karmi Utangulizi Wa Musnad Ahmad uk. 326-337. Nukulu kutoka
katika kitabu Al-Tufan j. 3, uk. 163.
92
moja tu hakutoshi kuthibitisha kwamba mpokezi mmoja kaisikia
riwaya kutoka kwa mpokezi wa pili; wakati Muslim yeye kwake
kuishi zama moja kunatosha kuthibitisha kwamba mpokezi
mmoja kaisikia riwaya kwa mpokezi wa pili. Muslim – katika
Sahihi yake – kaijengea kanuni hii katika riwaya kadha wa kadha
alizozisimulia, nayo ni kanuni ilio kinyume na kanuni ya jumhur.
Anasema Abu Suhaib:
Kanuni hii peke yake basi inatosha kuzidhoofisha kiasi cha Hadithi
mia tano (500) za Muslim. ……….Kisha tazama wale
waliosimulia riwaya kwa wingi katika (kitabu Sahihi) Muslim
….kama Abu Al-Zubair, Abu Sufyaan, Mu‟awiya bin Salih, Suhail
bin Abi Salih, Al-‟Alaa bin „Abdil-Rahmaan kutoka kwa baba
yake, Hammad bin Salama, „Ikrima bin „Ammaar, Simaak bin
Harb, Ja‟afar bin Sulaiman….hawa kwa ujumla wao wana Hadithi
katika (Sahihu) Muslim ambazo ninavyodhani zinazidi mia tano
(500), na pamoja na hayo hao wote Al-Bukhari hatoi hoja kwa
Hadithi zao (kwa mujibu wake wapokezi hao ni dhaifu).286
Sitaki kurefusha sana kwani maudhui hii si fupi lakini mukhtasari huu
umeshatoa picha halisi ilivyo. Na umeona huko nyuma kwamba
kumekuwepo kwa kujeruhiana sana kwa misingi ya tafauti za kiitikadi na za
kimadhehebu na nyenginezo. Kwa ufupi, ni kuwa:
a) Madai ya Bwana Mafuta la kwamba Ahlu Sunna wameweza
kudhibiti riwaya za Hadithi na kuweza kuwajua wapokezi dhaifu
na sahihi si madai sahihi 100%. Ahlu Sunna wametafautiana sana
katika riwaya na wapokezi wake.
b) Madai kwamba Ahlu Sunna wameweza kuweka vidhibiti ambavyo
kwavyo imewezekana kupambanuka riwaya sahihi kutokana na
riwaya dhaifu kwa ufanisi wa hali ya juu, pia si madai sahihi.
Huyu Muslim kigogo wa Ahlu Sunna287
naye kakusanya Hadithi –
kama ulivyoona – si chini ya mia tano kwa kutegemea sharti
iliokinyume kabisa na sharti ya Al-Bukhari au sharti ya jumhur.
Hii ni kusema kwamba kwa mujibu wa Al-Bukhari na jumhur
Hadithi hizo zote za Muslim zilizojengeka juu ya sharti hio
hazikuthibiti. Ongeza na tafauti yao juu ya masharti ya kuwakubali
286
- K.h.j. 287
- Au – kwa mujibu wa misingi ya Kiwahabi na watangulizi wao – kigogo wa Ahli Al-
Bidaa (kigogo wa watu wa bidaa), kwani Muslim ni katika jumla ya watu waliokuwa
wakisema kwamba matamshi yao wanapoisoma Qur-ani ni kiumbe. Na kauli hii – kwa
viongozi wa Kiwahabi – ni kauli chafu ya bidaa! Tumeyaeleza hayo na kutoa marejeo
katika juzuu ya mwanzo ya kitabu hiki.
93
wapokezi fulani fulani utapata natija ya wazi ya kutokuwepo
ufanisi huo wa hali ya juu alioudai Bwana Mafuta.
TANBIHI
Tumetoa maelezo kuhusu tafauti ya Al-Bukhari na Muslim juu ya wapokezi
je kuishi kwao zama moja kunatosha kuonesha kuwa mpokezi mmoja
kapokea Hadithi kutoka kwa mwengine au ni lazima kuwe na ushahidi
kwamba wamekutana? Na tafauti hii inaihusu hadithun mu‟an‟an. Jumhuri
ya wanavyuoni wanasema hivyo, bali labda ni wanavyuoni wote. Lakini
nimesoma utafiti (research) wa Sheikh Al-Sharif Hatim bin „Aarif Al-
Awfi aliouita Ijmaa‟u Al-Muhaddithiin, naye ni Sheikh wa sasa wa Suudia,
yeye, kwa mukhtasari, anasema kwamba wanavyuoni walioinasibisha kauli
hio kwa Al-Bukhari wamekosea: ukweli ni kuwa Al-Bukhari hakuwa na
sharti hio. Kwa halili yoyote ile, ikiwa Al-Bukhari alikuwa na sharti hio au
hakuwa nayo, basi tayari sharti hio imeshatendewa kazi na wanavyuoni
wakubwa wa Kisuni wakati wanavyuoni wakubwa wengine hawakuitendea
kazi. Na hii ndio nukta (point) ninayoizungumzia.
Sasa baada ya kuyatazama yale alioyaandika Sheikh Kasim bin Mafuta
katika utangulizi wake wa sura hio ya pili ambayo inahusu elimu ya Hadithi,
na baada ya tanbihi hii, natutazame alioyaandika katika sura yenyewe.
94
MASHARTI YA USAHIHI WA HADITHI
Usisahau kwamba mjadala wetu tangu tumeanza sura ya kwanza ya kitabu
hiki ni kuhusu suala la elimu ya Hadithi ambalo Kasim Mafuta
kalizungumzia katika kitabu chake. Na sasa natutazame masharti ya usahihi
na udhaifu wa Hadithi kama ulivyoelezewa na Al-„Allama Kasim
mwanangwa wa Mafuta. Anasema Sh. Kasim bin Mafuta akitaja masharti
ya kukubalika Hadithi, kwamba ili Hadithi ikubalike basi ni lazima kuwe
na:
Uadilifu, ni lazima kila mpokezi wa hadithi za Mtume - swalla انعذانة (1
llaahu alayhi wasallam- awe ni mtu mwenye akili timamu,mwenye uwezo
wa kupambanua mambo hata kama ni mtoto mdogo, awe mkweli, mcha
mungu na wala asiwe mwongo, zenye
kuvunja heshima.
تاو انضثط (2 Hifdhi nzuri wala asiwe mwenye kufanya maasia kwa dhahiri
wala asiwe na tabia mbaya, mpokezi awe na uwezo wa kudhibiti maneno
aliyo yapokea, bila ya kubadilisha chochote katika maana yake,au kukosea
sana,au kubabaika kulikopetuka mipaka wakati wa kusimulia mapokezi
hayo.
Kuungana kwa sanadi (msururu wa wapokezi) kwa kuwa kila اتصال انسذ (3
mpokezi awe amepokea kutoka kwa aliye juu yake mpaka mwisho wake
(kwa huyo ambaye habari hiyo imenasibishwa kwake, ima bwana -Mtume
swalla llaahu alayhi wasallam- au swahaba n.k.
Isiwe habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni عذو انشزر (4
yenye kupingana na habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au
wengi zaidi kuliko yeye).
Wala isiwe na ila (kasoro iliyojificha) kama vile عذو انعهة انخفية انقاددحة (5
Idh‟tiraabu (mgongano baina ya wapokezi n.k) au kuwa ni habari
Maq‟luub (yenye kugeuzwa)
Katika masharti haya tuliyoyataja, yako ambayo likikosekana moja tu basi
hadithi haitakubaliwa,kama vile:
1-Kuwa mpokezi si muadilifu,kwa kuwa ni mwongo au asherati n.k.
2-Kupatikana kasoro kama vile mgongano katika sanadi (njia) au
mgongano wa maneno katika habari hiyo, kisha ikawa imeshindikana
kuziunganisha au kuipa nguvu njia moja juu ya nyingine.
Tanbihi:
Habari inaweza kuwa na njia nyingi, na katika njia hizo wakawepo
wapokezi wasio madhubuti kwa kuwa wanakosea kiasi, au silsila
(mtiririko) wa wapokezi haukuungana, kutokana na wingi wa njia hizo
95 habari hiyo itapata uzito na kuhesabiwa kuwa ni sahihi, na kwa lugha ya
kitaalamu huwa wanaiita “HASANUN-LIGHAIRIHI”.
Amesema Imamu An-Nawawiy:
ؼلخ آح اح آح كخ خ آه ؿ حل٤ حيم ح٣ كلع ٠ؼق ؼل خ خ ر
....آه ؿ رـ٤ج ح إلخ
“Bali ile hadithi ambayo imekuwa ni dhaifu kwa sababu ya udhaifu wa
mpokezi wake ambaye ni mkweli mwaminifu utaondoka (udhaifu huo)
kwa kuja kwake kupitia njia nyingine na itakuwa ni HASAN (sahihi)
Na vile vile ukiwa udhaifu wake ni kwa sababu ya Ir‟saal (atakaposema
Taabi‟I amesema Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam-) pia udhaifu huo
utaondoka kwa kuja (kupokewa) kwa njia nyingine…”.
Hivyo basi, inawezekana ukaifuatilia hadithi kisha ukazikuta takriban njia
zake zote zina udhaifu, hapo hutakiwi kuwa na pupa na kuanza kuihukumu
hadithi yote kuwa ni dhaifu, bali unatakiwa kuihukumu sanad husika tu, na
useme kwamba sanad ya hadithi hii ni dhaifu. Kwa sababu udhaifu wa
sanad moja tu, si ushahidi wa udhaifu wa hadithi yote yenye njia nyingi.
Na kama ukitaka kuihukumu hadithi yote kwa njia zake zote unatakiwa
ufanye kazi ya kuzikusanya sanad (njia) zote kisha ndiyo uichambue sanad
moja baada ya nyingine kwa kufuata kanuni na taratibu za elimu ya hadithi
(mustalahul-hadithi).
Na kama itakubainikia kuwa njia zote zina udhaifu, basi pia unatakiwa
kuangalia sababu za udhaifu wake. Je udhaifu wake ni mwepesi au mzito?
Kama ni mwepesi basi hadithi hiyo kwa kuzijumuisha njia zote hizo
itakuwa ni “Hasanun-Lighayrihi” (sahihi) na itafaa kuifanya kuwa ni hoja
ya kisheria, na wala haitohesabiwa kuwa ni dhaifu.
Hili ni jambo muhimu sana katika elimu ya hadithi kulifahamu
nakulizingatia, lakini ndugu Juma kwa makusudi hakuuzingatia utaratibu
huu kwenye kitabu chake “Hoja zenye Nguvu” kwa sababu anazozijua
mwenyewe, kwani yeye ndiye aliyesema hivi: “kitaalamu ikiwa hadithi
imepokewa na wapokezi wengine kabisa, lakini hadithi ni ile ile, basi
huambiwa kuwa hadithi hiyo ina shahidi”. Mwisho wa kunukuu. Tazama
“Hoja zenye Nguvu” ukurasa 70. Lakini huko mbele -Inshaallah-
utazigumdua sababu zilizomfanya ndugu Juma aupuuze utaratibu huu.288
288
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 7-10.
96
MAELEZO YETU JUU YA MANENO HAYO
Nukta ya kwanza yenye kuhusu uadilifu, haina mushkeli wowote,
isipokuwa tumeona huko nyuma kwamba kuna walevi wa nabiidh
ambao maimamu wa Kasim Mafuta wamewaita kuwa ni wenye
kukubalika katika mapokezi ya riwaya. Kama vile tulivyoona
kwamba mtu kama Ibn Batta naye pia ni mwenye kuaminika katika
ulimwengu wa riwaya za Kiwahabi!
Nukta ya pili: inasema:
تاو انضثط Hifdhi nzuri wala asiwe mwenye kufanya maasia kwa
dhahiri wala asiwe na tabia mbaya, mpokezi awe na uwezo wa
kudhibiti maneno aliyo yapokea, bila ya kubadilisha chochote
katika maana yake, au kukosea sana,au kubabaika kulikopetuka
mipaka wakati wa kusimulia mapokezi hayo.
Katika nukta hii, Sheikh mafuta umechanganya mambo! Cha kusikitisha
zaidi ni kuwa kitabu chake hiki kimepitiwa na mabingwa wenye kujua lugha
ya Waarabu, elimu ya Hadithi na elimu ya vitenda kazi! Unapozungumzia
تاو انضثط Hifdhi nzuri, basi maneno “Wala asiwe mwenye kufanya maasia
kwa dhahiri wala asiwe na tabia mbaya,” hayahusiani na kanuni hii, maneno
hayo yanahusiana na kanuni ya mwanzo ya “Uadilifu”.
Ama kuhusu kipengele chenye kusema: “Au kukosea sana,” tunauliza: je
katika kipengele hiki, mpokezi HAMMAD BIN SALAMA ambaye
umemtetea sana haingii?! Wewe hapa unakiri kwamba mpokezi akiwa
anakosea sana huyo Hadithi yake haiitwi kuwa ni sahihi, wakati Hammad
bin Salama alikuwa ni mwenye kukosea sana kama alivyosema Al-Imamu
Ahmad na wengine kama tutavyomuelezea kwa urefu tukifika katika
sehemu yake in shaa Allah, sasa vipi tena kule umeikubali riwaya yake nayo
ni kinyume na kanuni hii ulioichora hapa kwa kalamu yako mwenyewe?!
Nukta ya nne: inasema:
Isiwe habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni عذو انشزر
yenye kupingana na habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au
wengi zaidi kuliko yeye).
Hii ni kanuni nyengine ambayo wewe mwenyewe umekwenda kinyume
nayo katika Hadithi ya Hammad bin Salama ya tafsiri ya ziada iliotajwa
katika Aya ya Surat Yunus kuwa maana yake ni kumuona Allah. Hammad
97
bin Salama anasema kuwa Hadithi hio inatoka kwa Suhaib (sahaba) kutoka
kwa Mtume (s.a.w.), wakati Hadithi hio wameipokea watu kama:
1) Sulaiman bin Mughira.
2) Hammad bin Zaid, na huyu ni bora zaidi kuliko Hammad bin
Salama.
3) Hammad bin Waaqid.
4) Ma‟amar bin Rashid.
Hawa wote wameipokea riwaya hio kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka
kwa „Abdul-Rahmaan bin Abi Laila “maneno yake yeye” (si maneno ya
Mtume s.a.w.). Sasa vipi wewe hapa umekwenda kinyume na kanuni
ulioiandika kwa mkono wako?! Hawa wapokezi ambao ni wengi zaidi na
wengine ni madhubuti zaidi, kwanini uchukue riwaya shaadha na uwache
riwaya mahfudha?!
Nukta ya tano: inasema:
Wala isiwe na ila (kasoro iliyojificha) kama vile عذو انعهة انخفية انقاددحة
Idh‟tiraabu (mgongano baina ya wapokezi n.k) au kuwa ni habari
Maq‟luub (yenye kugeuzwa).
Ninasema: ni vyema kuitanua nukta hii ili na Hadithi yako ya Hammad bin
Salama nayo ikapata nafasi ya kuingia. Usisahau kwamba mpokezi thiqa
(mwenye kuaminika) lakini akawa na awhaam (makosa mengi) basi riwaya
yake aliyopwekeka nayo haiwezi kuwa hoja hususan akienda kinyume na
wengine. Hii pia ni illatun qaadiha (kasoro yenye kubomoa usahihi wa
Hadithi). Halkadhalika mpokezi thiqa (mwenye kuaminika) lakini akawa ni
mwenye kughushi na hadithi yake ikawa ni mu‟an‟an au muannan au njia
nyengine ambazo hazioneshi kuwa yeye kaisikia riwaya hio moja kwa moja
kutoka kwa Sheikh wake, hizo zote ni illal (kasoro zenye kubomoa usahihi
wa Hadithi).
Sasa baada ya haya wacha tuingie katika maudhui hii kwa ufafanuzi.
Natuanze kwa kuyatazama maelezo hayo ya Sheikh Mafuta kwa ujumla
yanalenga wapi na yana kasoro gani.
98
MAELEZO ZAIDI KUHUSU USAHIHI
NA UDHAIFU WA HADITHI
Kwa ujumla ni kuwa maelezo ya Sheikh Kasim Mafuta yanalenga kwamba
Hadithi itapotimiza masharti hayo alioyatoa yeye basi Hadithi hio inakuwa
ni sahihi na tayari izingatiwe na kutumika! Kama hivyo, ndivyo
alivyokusudia – na dhahir hayo ndio makusudio yake – basi hayo si maelezo
ya tahqiq ya kielimu, bali ni maelezo ambayo yanafanana sana na meneno
ya mwanafunzi ambaye hajafahamu undani wa elimu hizi!
Kwa ufupi ninachotaka kukieleza hapa ni kuwa kusihi kwa sanad tu, sio
kusihi kwa Hadithi yenyewe na hilo tumeligusia huko nyuma. Bali
wanavyuoni wamekubaliana kwamba kudhoofisha na kusahihisha ni mambo
mawili ya dhana tu: si ya hakika. Isipokuwa ikiwa riwaya imepingana na
Qur-an, Sunna mutawaatira au makubaliano ya umma, hapo kudhoofika
kwake inakuwa ni jambo la yakini. Kama umelielewa hilo, basi elewa
kwamba Hadithi ziko za namna nne kuu. Namna mbili, mtafiti hawezi
kuzigundua ila awe ni mwenye mambo matatu:
1) Kaifahamu vyema tafsiri ya Qur-ani.
2) Ana uwezo mzuri wa lugha ya Kiarabu.
3) Ni mwenye ufahamu mkali wa kufahamu mambo kwa undani. Na
hiki ni kipaji Allah humpa amtakaye Wallahu Dhul Fadhli Al-
‟Adhiim. Bila shaka kabisa kipaji hiki Mawahabi haikuwa bahati
yao.
Ama aina nne za Hadithi hizo ambazo mtafiti ni lazima azijue, ni
1) Hadithi ambazo sanad zake ni dhaifu, lakini maneno yake ni sahihi
kwa sababu ya kukubaliana na Aya za Qur-ani au mafunzo ya
ujumla ya Uislamu.
2) Hadithi ambazo sanad zake ni dhaifu na maneno yake ni munkar.
3) Hadithi ambazo sanad zake na maneno yake ni sahihi.
4) Hadithi ambazo sanad zake ni sahihi lakini maneno yake ni dhaifu.
Kwa hali hii, tunapozungumzia Hadithi sahihi si kwamba tunatazama sanad
tu, bali pia tunatazama na maneno ya Hadithi yenyewe – je hayako kinyume
na Aya ya Qur-an au tafsiri sahihi ya Aya iliojengeka juu ya minhaj (njia)
sahihi ya tafsiri kwa kufuata utaratibu wa lugha ya Kiarabu na kanuni
nyengine za tafsiri; au je haipingani na hoja za yakini za kiakili? Maelezo
alioyatoa ndugu yetu Sheikh Kasim bin Mafuta yote yametazama upande
mmoja – upande wa sanad. Na ndio maana Sheikh Kasim akasema:
99 Na muislamu yeyote mwenye imani ya kweli akifikiwa na habari yoyote
ambayo ni sahihi kutoka kwa Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- hana
budi kuikubali na kuusadiki ujumbe uliobebwa na hadithi hiyo na huo ndio
ukamilifu wa “Shahaadatu Anna Muhammadan Rasuulu-llahi” (kukiri
kwamba Muhammad ni Mjumbe wa Allah) nayo ni:
Kuyaamini yote aliyokuja nayo mjumbe huyo na kuyasadikisha yote
aliyoyaelezea kutoka kwa mola wake hata kama akili zetu duni
hazikubali, na kadhalika kumtii Mtukufu huyo kwa kutenda mema
aliyoyaamrisha na kuyaacha mabaya aliyoyakataza.289
Yaani, ilivyowazi kabisa katika maneno haya ya Mafuta ni kuwa, kilicho
muhimu ni usahihi wa sanad. Ndio maana Hadithi iliopingamana na akili
zetu alizoziita kuwa ni akili zetu duni akaikubali kuwa ni habari yoyote
ambayo ni sahihi, ilhali Hadithi ikigongana na akili ni jambo moja lenye
kubomoa usahihi wake kama walivyoeleza wajuzi. Sheikh Abu Is-haaq Al-
Shirazi katika katabu chake Al-Luma‟u,290
Ibn Al-Jawzi katika kitabu Al-
Maudhu‟aat,291
Al-Khatib Al-Baghdadi katika Al-Kifaya292
na wengine
wametaja sababu za kuikataa Hadithi yenye sanad sahihi na kwamba moja
ya sababu hizo ni Hadithi kwenda kinyume na akili.
Lakini kwa mfumo huo wa Kasim Mafuta na wenzake, ndio wameweza
kuzikumbatia riwaya nyingi zenye kumfananisha Allah na viumbe, bila
kuzingatia kwamba riwaya hizo ni kinyume na Qur-ani na ni kinyume na
akili.
Na hivyo nilivyokueleza ndivyo ilivyoelezwa na wataalamu:
1) Anasema Ibn Al-Jawzi: “Na huenda sanad yote ikawa ni ya
wapokezi wenye kuaminika, na Hadithi ikawa ni ya kutunga au
maqlub (imegeuzwa) na (ikawa) kumetendeka ghushi”.293
2) Anasema Ibn Al-Salah: “Na huenda ikasemwa kwamba Hadithi hii
sanad yake ni sahihi, ilhali (Hadithi yenyewe) haikusihi kwani ni
shaadh au ni yenye ila”.294
3) Anasema Al-Tibiy: “Hadithi sahihi au hasan; na huenda sanad
ikawa ni sahihi au ni hasan pasina matn (maneno) yake kwa sababu
ya kuwepo kwa shudhudh au ila”.295
289
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 100. 290
- Abu Is-haq Al-Luma‟u uk. 173. 291
- Ibn Al-Jawzi kanukuliwa na Al-Suyuti katika Tadribu Al-Rawi uk. 247. 292
- Al-Khatib Al-Kifaya uk. 432. 293
- Ibn Al-Jawzi Al-Mawdhu‟aat j. 1, uk. 99-100. 294
- Ibn Al-Salah Al-Muqaddima uk. 113.
100
4) Anasema Al-Nawawi: “Na huenda sanad ikawa ni sahihi au ni
hasan wala (Hadithi yenyewe) isiwe sahihi wala isiwe hasan kwa
sababu ya kuwa ni shaadh au ni yenye ila”.296
5) Anasema Ibn Taymiyya:
Na Hadithi ya thiqa (mpokezi mwenye kuaminika) huenda
ikawachwa itapojulikana kwamba kakosea, basi yule asiye na ujuzi
akadhania kwamba kila alichokisimulia mtu huyo wanakitolea
hoja wenye vitabu Al-Sihah, wala hali haiko
hivyo”.297
………Hadithi ngapi sahihi (sanad zake) zimeungana
(hazikukatika pahala) kisha ndani yake kunakuwa na ziada na
upungufu; na huenda likaongezeka tamko ambalo linaiziba maana
(ikawa haiko wazi).298
……………………..Nayo (Hadithi hio) ni
kinyume na Qur-ani ilivyosema pamoja na kwamba mabingwa wa
watu wa Hadithi wanathibitisha kwamba Hadithi hii ina
kasoro….na haya ndio yenye kuitwa maarifa ya kasoro za Hadithi;
isnad ya Hadithi dhahiri yake inakuwa nzuri lakini kwa kupitia
njia nyengine ikajulikana kwamba mpokezi wake kakosea
akairuf‟Aisha (akaihusisha na Mtume s.a.w.) nayo ni mawquuf
(inatoka kwa sahaba au aliye chini yake)……..299
6) Anasema Ibn Al-Qayyim:
Na imejulikana kwamba usahihi wa sanad ni sharti katika masharti
ya usahihi wa Hadithi; wala si kwamba (usahihi wa sanad)
unaifanya Hadithi ndio iwe sahihi…..300
…….Ama kauli yenu
kwamba sanad yake imesihi, basi hilo halitoi faida ya kuihukumu
kuwa ni sahihi; kwani usahihi wa sanad ni sharti (moja tu) au ni
sehemu ya sababu ya kuujua usahihi: si kwamba ndio kitu kamili
chenye kupelekea (kuujua usahihi wa Hadithi); basi usahihi wa
sanad tu haulazimishi kwamba Hadithi ndio sahihi…...301
7) Anasema Dr. Jamal bin Muhammad Al-Sayyid:
Mas-ala ya pili: kuhusu tafauti baina ya kauli yao (wanavyuoni)
wanaposema: “Hadithi sahihi” na wanaposema: “Isnad yake ni
sahihi”. Yametangulia (maelezo) katika mas-ala yalio kabla ya
295
- Al-Tibiy Al-Khulasa. Nukulu kutoka katika kitabu Al-Saifu Al-Haad cha Al-Qannubi
uk. 135. 296
- Al-Nawawi Al-Irshaad uk. 69. 297
- Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 18, uk. 31, faslu (Shartu Al-Bukhari Wa Muslim). 298
- K.h.j. uk. 34, faslu (Al-Ziyaada Wa Al-Nuqsaan Fii Al-Hadithi Sahihi Al-Ittisaal). 299
- K.h.j. uk. 19, faslu (Ikhtilafu Hawla Sihati Al-Hadith). 300
- Ibn Al-Qayyim Al-Furusiyya uk. 64. 301
- Ibn Al-Qayyim Tahdhibu Sunan Abi Dawud j. 1, uk. 112.
101 haya ubainifu (alioutoa) Ibn Al-Qayyim – rahimahu Allah –
kwamba hakuna ulazima wa kuambatana baina ya uthiqa
(kuaminika) wa wapokezi na usahihi wa sanad; na baina ya usahihi
wa Hadithi yenyewe. Ikiwa hilo limekubalika, basi inatakiwa
patafautishwe baina ya kusema kwao: “Hadithi sahihi” na baina ya
kusema kwao: “Isnad sahihi”.
Faida ya pili: kuhusu uaminifu wa mpokezi haumaanishi usahihi
wa kila alichokisimulia. Ikiwa Maimamu watamuhukumu mpokezi
kwamba ni mwenye kuaminika, je hilo linamaanisha usahihi wa
kila Hadithi alioisimulia?
8) Anasema Sheikh Al-Jibrin:
….Basi imekuwa mashuhuri kutoka kwao (wanavyuoni wa
Hadithi) kutafautisha katika usahihishaji (wa Hadithi) baina ya
usahihi wa sanad na usahihi wa matn, ambapo wanasema: “Isnad
yake ni sahihi” na wanaiita ya pili: “Hadithi sahihi...302
9) Anasema Ibn Jama‟a:
Kusema kwao: „Isnad hasan au isnad sahihi pasina kusema:
„Hadithi sahihi au hasan, kwani huenda sanad yake ikawa sahihi
au hasan pasina matn yake kwa sababu ya shudhudh au ila.303
10) Anasema Ibn Al-Mulaqqin:
Wanaposema kwamba Hadithi hii ina isnad hasan au sahihi pasina
kusema „Hadithi sahihi au hasan‟ ni kwa sababu huenda ikasemwa
kwamba Hadithi hii isnad yake ni sahihi ilhali (Hadithi yenyewe)
si sahihi kwa sababu ya kuwa kwake ni shaadh au yenye ila.304
11) Anasema Dr. Nuru Al-Din:
Mara nyingi hutokea katika maneno ya wanavyuoni wa Hadithi
kusema: “Hadithi hii isnad yake ni sahihi” au “Hasan” au “Sanad
sahihi” na yalio mfano wa hayo pasina kusema “Hadithi sahihi” au
“Hadithi hasan”, kwa sababu yale tulioyajua katika uchunguzi wa
kina wa wanavyuoni wa Hadithi ambao haukughafilika
kuichunguza matn na kutosheka na kuistadi sanad tu; basi hakuna
ulazima kwa wanavyuoni wa Hadithi baina ya usahihi wa sanad na
302
- Al-Jibrin Akhbaru Al-Ahaad Fii Al-Hadithi Al-Nabawiy uk. 44. 303
- Ibn Jamaa‟a Al-Manhal Al-Rawiyy uk. 37. 304
- Ibn Al-Mulaqqin Al-Muqni‟u j. 1, uk. 89.
102 usahihi wa matn; bali huenda sanad ikasihi wala isisihi matn kwa
sababu ya shudhudh na kasoro zenye kubomoa (usahihi wa
Hadithi).305
12) Anasema Al-San‟aani:
Elewa kwamba njia za watu wa elimu ya Hadithi ni kutoa hukumu
ya usahihi au kuwa ni hasan au udhaifu juu ya isnad tu pasina matn
ya Hadithi. Basi wao huwa wanasema: „Isnad hii ni sahihi ilhali
Hadithi si sahihi….kwani huenda isnad ikawa ni sahihi kwa
sababu ya kuwa wapokezi wake ni thiqa (wenye kuaminika) wala
Hadithi yenyewe haikusihi kwa sababu ya shudhudh au ila.306
13) Anasema Al-Qannubi baada ya kuzitaja baadhi ya nukulu hizo:
Na wamelieleza hilo pia Al-Bulqini, Al-‟Iraqi, Al-Hafidh Ibn
Hajar, Zakariyya Al-Ansari, Al-Sakhawi, Al-Suyuti, „Ali Al-Qari,
Al-Laknawi na wengineo.307
14) Katika Majallat ya Al-Manar kuna maelezo haya yafuatayo:
….Na kwa hakika maana ya kimakosa ya mutuni (maneno ya
Hadithi) huwabainikia wanavyuoni watafiti katika kuzisherehesha
na yale yaliomo ndani yake MIONGONI MWA MISINGI YA
DINI NA MATAWI YAKE NA MENGINEO;308
hata wakiwa
wao si miongoni mwa watu wa Hadithi katika istilahi, lakini wao
huwa wanarejea katika hayo katika misingi ya wanavyuoni wa
Hadithi kama vile wanaposema: “Hakika ya usahihi wa sanad
haumaanishi usahihi wa matn kwa uhakika na ulazima wa jambo
lenyewe”, na kauli yao wanaposema: “HAKIKA YA ALAMA
ZA KUTUNGWA KWA HADITHI (YA UWONGO) – HATA
IKIWA NA SANAD SAHIHI – NI PALE INAPOKUWA
KINYUME NA QUR-AN AMBAYO NI YA YAKINI, NA
KIMAANA NI (PALE ITAPOPINGA) KILA KITU CHA
YAKINI CHA KISHARIA…309
ambapo haiwezekani
kuzijumuisha baina yake, na kwa hivyo wamesema kwa uhakika
kwa kuikosoa Hadithi ya Abu Huraira alioipokea Muslim kuhusu
kuumbwa kwa mbingu na ardhi kwa muda wa siku saba…kwani ni
305
- Dr. Nuru Al-Din Manhaju Al-Naqdi Fii „Ulumi Al-Hadith uk. 274. 306
- Al-San‟aani Tawdhihu Al-Afkaar j. 1, uk. 234. 307
- Al-Qannubi Al-Saifu Al-Haad uk. 137, chapa ya tatu 1418 A.H. 308
- Haya yaliosemwa hapa ndio mambo muhimu yao ambayo mpekuzi wa Hadithi
anatakiwa ayaelewe; sio kuishia katika sanad tu. 309
- Huu ndio msingi mwengine wa kuzielewa Hadithi sahihi na batili.
103 kinyume na Aya za Qur-ani zilizowazi kwamba mbingu na ardhi
na yalio baina yake yameumbwa kwa muda wa siku sita.310
Sasa baada ya hayo, natutazame mifano miwili mitatu ya Hadithi ambazo
sanad zake ni sahihi lakini mutun zake zimekataliwa na wataalamu. Lakini
kabla ya hayo, natutoe tanbihi.
TANBIHI
Mtu anaweza kusema kwamba kwani Sheikh Kasim bin Mafuta si naye
kasema kwamba khabaru shaadh haikubaliki? Jawabu ni kuwa ndio kasema
lakini yeye maelezo yake kuhusu khabaru shaadh kayaelekeza zaidi au
kayaelekeza moja kwa moja katika sanad. Yeye kasema:
Isiwe habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni عذو انشزر
yenye kupingana na habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au
wengi zaidi kuliko yeye).
Kwa hivyo, yeye anachokizungumzia ni uimara wa wapokezi, kwamba
mpokezi imara ikiwa riwaya yake imegongana na mpokezi imara zaidi,
riwaya ya mpokezi imara itawachwa na itachukuliwa riwaya ya mpokezi
imara zaidi. Hayo ndio maelezo yake nayo ni maelezo sahihi. Lakini mimi
nimenukuu nukulu hizo za wanavyuoni na zilizo kabla ili kuonesha hilo na
pia ili kuonesha ulazima wa matn ya Hadithi kutokwenda kinyume na
qat‟iyyat (mambo ya yakini) hata ikiwa mpokezi aliyeipokea ni imara au ni
imara zaidi – matn itazamwe kwanza.
Halkadhalika mtu anaweza kusema, kwani Sheikh Kasim si kasema
kwamba Hadithi yenye ila haikubaliki? Jawabu ni kuwa kweli kasema
hivyo, lakini aghlabu ya maelezo yake pia kayaelekeza kwenye sanad. Na
yako maelezo mengine alioyaelekeza kwenye matn lakini yameishia katika
kitu kimoja maalum ambacho sicho nilichokusudia kukieleza hapa. Yeye
kasema:
Wala isiwe na ila (kasoro iliyojificha) kama vile عذو انعهة انخفية انقاددحة
Idh‟tiraabu (mgongano baina ya wapokezi n.k) au kuwa ni habari
Maq‟luub (yenye kugeuzwa). Katika masharti haya tuliyoyataja, yako
ambayo likikosekana moja tu basi hadithi haitakubaliwa,kama vile:
310
- Maqaalaatu Wa Fawaaidu Hadithiyya Fii Majallati Al-Manaar uk. 284. Tazama Al-
Maktaba Al-Shaamila. Tanbihi: asili ya nukulu hizi ni kutoka katika kitabu Al-Saifu Al-
Haad cha Al-Qannubi uk. 134-37, chapa ya tatu 1418 A.H, lakini nimeongeza ziada moja
mbili.
104 1-Kuwa mpokezi si muadilifu,kwa kuwa ni mwongo au asherati n.k.
2-Kupatikana kasoro kama vile mgongano katika sanadi (njia) au
mgongano wa maneno katika habari hiyo, kisha ikawa imeshindikana
kuziunganisha au kuipa nguvu njia moja juu ya nyingine.
Kwa hivyo, ila alioizungumzia yeye ni:
1) Mgongano baina ya wapokezi. Na zilizobakia kaziashiria kwa “n.k”..
2) Kugeuzwa. Nako kunaihusu sanad na matn.
Ama kuhusu matn yeye kasema: “…….au mgongano wa maneno katika
habari hiyo”. Kwa hivyo, yeye hapa anazungumzia mgongano wa Hadithi
na Hadithi nyengine. Wakati mimi nasisitiza mgongano wa Hadithi na Qur-
ani, hoja za kiakili zilizo wazi au mgongano wa Hadithi na chochote kile
katika misingi ya dini ya Kiislamu.
Baada ya hayo, sasa natutazame mifano miwili mitatu ya Hadithi ambazo
sanad zake ni sahihi lakini Hadithi zenyewe si sahihi.
HADITHI ZENYE SANAD SAHIHI
LAKINI MUTUN DHAIFU
Hadithi isemayo:
الس ح٤ حخ ؼ٠ ؼ٠
Sala ya usiku na mchana ni rakaa mbili mbili.311
Anasema Al-Hakim kuhusu Hadithi hii:
Hadithi hii haina kasoro katika isnad yake kwani katika wapokezi wake
hakuna yoyote yule isipokuwa ni mwenye kuaminika aliyethabiti, lakini
kulitaja (neno) mchana ndani yake ni kosa na maelezo juu yake ni
marefu.312
Hadithi isemayo:
ل طزظج٢ ػ٠ ك٤ي، كب ي كخط
311
- Wameipokea: Abu Dawud Al-Sunan uk. 227, Hadithi na. 1291. Ibn Maja Al-Sunan uk.
222, Hadithi na. 1322. Al-Bayhaqi Al-Sughra j. 1, uk. 317-318, Hadithi na. 729, na katika
Al-Kubra j. 4, uk. 43-44, Hadithi na. 4677,4688,4680. Al-Nasai Al-Kubra j. 4, uk. 263,
Hadithi na. 474. Al-Tabarani Al-Awsat j. 1, uk. 31, Hadithi na. 79, na katika Al-Saghir j. 1,
uk. 56, Hadithi na. 47. 312
- Al-Haakim Ma‟arifatu „Ulumi Al-Hadith uk. 106.
105
Usihuzunike juu ya kipenzi chako kwani hayo ni katika mema
yake.313
Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hii: “Wapokezi wake ni wenye
kuaminika lakini (Hadithi yenyewe) ni munkar”.314
Hadithi isemayo:
خ ػالػظخ ــخ، كخ ػ٠ هز أخ حر ػ، ػزي هللا ر ػ، خض أخ٤طك٢ خكذ ٢ ؿ٣ز
كوزخ أهخخ، ؼيخ “حح هز أظ ػز٤ي هللا “خ حز٢ ٠ هللا ػ٤ : حؼخ، كوخ
هي أريض أخإخ.
٣و حز٢:
ـــــغ لش اخى ر٤ ػ.ح ح ػؼخ ر ؼ٤ي حيح٢، كيػخ ٣ل٠٤ ر
..…حو
Alikufa mwenzangu hali ya kuwa ni mgeni tukawa tupo kaburini kwake
mimi na Ibn „Umar na „Abdullah bin „Amri, na sisi watu sote tulikuwa
tukiitwa “Al-‟Aas”. Basi Mtume (s.a.w.) akatwambia: “Teremkeni
kaburini kwake enyi ma-‟Abdulla (watatu). Basi tukamzika ndugu yetu na
tukatoka (kwenye kaburi) ilhali majina yetu yamebadilishwa (sasa kila
mmoja wetu akawa anaitwa „Abdullah).
Anasema Al-Dhahabi kuhusu riwaya hii:
Namna hivi ndivyo „Uthman bin Sa‟iid Al-Darimi alivyoisimulia:
“Katusimulia Yahya bin Bukair, kutoka kwake. Nayo (riwaya hii) pamoja
na usahihi wa isnad yake lakini ni kauli munkar.315
Hadithi isemayo:
خ خ ٣ أكي حلؤ ح
Ilipokuwa siku ya vita vya Uhud, Washirikina walirudi nyuma (wali
retreat)…316
313 - Ibn Maja Al-Sunan uk. 245, Hadithi na. 1451.
314 - Al-Dhahabi Tadhkiratu Al-Huffaadh j. 2, uk. 188, tarjama na. 709.
315 - Al-Dhahabi Al-Siyar j. 4, uk. 350, tarjama ya Abdullah bin „Umar bin Al-Khatab (r.a.),
nambari 267. 316
- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 3, uk. 26, riwya na. 4308.
106
Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hii:
Hawakuisimulia (Al-Bukhari na Muslim) kwa ajili ya „Ubaid naye ni
mwenye kuaminika. Na Hadithi hii pamoja na usafi wa isnad yake, ni
Hadithi munkar na nahofia ikawa ni ya kutunga.317
Hadithi isemayo:
ز ش ؼ ظ٠ أ ط ٠ ر ٢ ح ك ٤ ٠ هللا ػ هللا ط ن ر ٢ ح
Mtume (s.a.w.) aliondoka nami318
mpaka akanileta kwenye
Ka‟aaba.319
Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hio: “Isnad yake ni nadhifu (safi) na
matn yake ni munkar”.320
Hadithi isemayo:
٣خ ػ٢ أض ٤ي ك٢ حي٤خ ٤ي ك٢ ح٥هس
Ewe Ali (bin Abi Talib)! Wewe ni bwana wa duniani na akhera.321
Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hii:
Hii pamoja na kuwa wapokezi wake ni wenye kuaminika, lakini ni munkar
wala haiko mbali na kuwa ni Hadithi ya kutunga, vyenginevyo ni kwa kitu
gani ikawa „Abdul-Razzaq anaisimulia kwa siri wala hakuthubutu
kuitamka kwa uwazi mbele ya (Al-Imamu) Ahmad na Ibn Ma‟iin na kundi
kubwa (la wanavyuoni) waliokwenda kwake.322
Hadithi hii pia kaitaja Al-Albani katika Al-Dha‟iifa na baada ya maelezo
marefu akasema:
خ ك٢ ــــــؾ رـــــالخ ػوش لظـــــكخلص حؼش ك٢ ػزي ححم ل ، أ ك٢ ؼ ، : هض
، ــ ح ل ٣ل٢ حؼش طوخ ”حل٤ل٤“
Ninasema: kwa hivyo kasoro ikawa imeishia kwa „Abdul-Razzaq
mwenyewe au kwa Ma‟mar na wote wawili ni wenye kuaminika riwaya
317
- Al-Dhahabi Al-Talkhis j. 1, uk. 506-507. 318
- Aliyeondolewa katika riwaya hii ni Al-Imamu „Ali bin Abi Talib (k.w.). 319
- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 2, uk. 398, riwya na. 3387. 320
- Al-Dhahabi Al-Talkhis j. 2, uk. 366-367. 321
- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 3, uk. 138, riwya na. 4640. 322
- Al-Dhahabi Al-Talkhis j. 3, uk. 127-128.
107 zao zimetolewa hoja katika Sahihi mbili (Al-Bukhari na Muslim), lakini
hili haliiondoshi kasoro hio moja kwa moja…323
Ni wazi kwamba na Imamu wa Kasim Mafuta naye hakutoka nje ya
methodology (njia) ya wanavyuoni wa Hadithi juu ya maudhui hii: naye
anatambua ya kuwa usahihi wa sanad tu hautoshi kuikubali Hadithi.
Hadithi isemayo: س ز ٤ ي و ٢ أ ر خ ػ ض أ
Nilikuwa nikimnywesha Abu „Ubaida.324
Hadithi hio ina vipengele vingi na riwaya tafauti kazisimulia Ibn Hajar
katika Fat-hu Al-Bari na akataja riwaya ya Ibn Mardawayh kisha akasema:
“Nayo ni munkar pamoja na usafi wa sanad yake”.325
Hadithi isemayo:
ؼ ح١ ٣لؾ ػ أظ٢ ؼ أ ٠ خض طؼ طؤه ححء كػ........هخ حخ١:
هخ حر ػي١ ظو٤ حإلخى حظ
Mfano wa anayeufanyia hija umma wangu ni mfano wa mama yake Musa
alikuwa akimnyonyesha kisha anachukua ujira kutoka kwa Fir-‟awn.
Anasema Al-Munawi:
Ibn „Adey kasema (kuhusu Hadithi hii kwamba): “Isnad yake ni nyoofu,
lakini matn yake ni munkar”.326
Hadithi isemayo:
ؼ ح٣ ٣ـ أظ٢ ٣ؤه حـؼ
Mfano wa wale wanaokwenda vitani katika umma wangu na wanachukua
ujira……Anasema Al-Hafidh Al-‟Iraqi kuhusu Hadithi hii: “Isnad yake ni
nyoofu, lakini matn yake ni munkar.327
323
- Al-Albani Al-Dhaifa Hadithi na. 4894. 324
- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 5582. 325
- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 11, uk. 6712, katika sherehe ya Hadithi na. 5582. Tanbihi:
Riwaya ambayo kaidhoofisha Ibn Hajar sio hii ambayo tumeinukuu lafdhi yake hapa
kutoka kwa Al-Bukhari, bali ni riwaya kama hio lakini imepokewa na Ibn Mardawayh kwa
lafdhi nyengine za ziada. 326
- Al-Munawi Faydhu Al-Qadiir j. 2, uk 381, katika maelezo ya riwaya na. 1905. 327
- Al-Munawi Faydhu Al-Qadiir j. 5, uk 652, riwaya na. 8143.
108
Hadithi isemayo:
ح حؿل ؼخثش رض أر٢ ر حي٣ن ـلس حؿزش ظخس رخ١ش
E Allah! Msamehe „Aisha bint Abi Bakr Al-Siddiiq msamaha wa wajibu
wa nje na ndani.328
Anasema Al-Dhahabi kuhusu Hadithi hii: “Ni munkar pamoja na uzuri wa
isnad yake”.329
Hadithi isemayo:
ك٢ أ ز٢ ز٤ آى ف ف ارح٤ برح٤ ػ٠٤ ؼ٠٤ ..……
….(Kuna ardhi saba na mbingu saba) katika kila ardhi kuna Mtume kama
Mtume wenu na Adam (kama Adam), na Nuh kama Nuh; na Ibrahim kama
Ibrahim; na „Isa kama „Isa.330
Al-Hakim ndiye msimulizi wa riwaya hii na akasema: “Isnad yake ni sahihi
lakini (Al-Bukhari na Muslim) hawakuisimulia”.331
Anasema Al-Suyuti:
Sijaacha kustaajabishwa na kitendo cha Al-Hakim cha kuisahihisha kwake
(Hadithi hii) mpaka nikamuona Al-Bayhaqi akisema: “Isnad yake ni sahihi
lakini Hadithi yenyewe ni shaadh (dhaifu) kabisa.332
Anasema Al-Dhahabi: “Hili ni balaa lenye kumfanya msikilizaji
aemewe…nalo ni katika lile la: “Sikiliza unyamaze”.333
Anasema Al-Qannubi:
Bali (riwaya hio) ni katika uwongo nawe sema hivyo kwa yakini kabisa
wala usimuogope yoyote isipokuwa Allah, na hayo ni kwa sababu ya
uwazi wa ubatili wake na kudhihiri kwa nakara yake nzito. Ama sanad
yake ni dhaifu na hii si sehemu ya kulibainisha hilo…..nayo ni miongoni
mwa zile (riwaya) ambazo ni wajibu kusema kwa uhakika kuwa ni uwongo
328
- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 4, uk. 13, riwya na. 6738. 329
- Al-Dhahabi Al-Talkhiis j. 4, uk. 11-12. 330
- Al-Hakim Al-Mustadrak Hadithi na. 3822. 331
- K.h.j. 332
- Al-Suyuti Tadribu Al-Rawi j. 1, uk. 233. 333
- Al-Dhahabi Al-‟Uluwwu uk. 61.
109 kwa mujibu wa dalili nyingi ambazo kazi hii ya haraka haraka haitoi nafasi
hio (ya kuzielezea).334
Hii ni mifano miwili mitatu ambayo itaweza kukupa picha ya uwazi
kwamba usahihi wa sanad tu sio unaoifanya Hadithi kuwa ikubalike
madamu itakuwa matn yake ni munkar. Mifano iko mingi, baadhi yake
kaitaja Imamu Al-Sunna Al-Qannubi katika Al-Saifu Al-Haadi,335
Al-Ra-ayu
Al-Mu‟atabar336
na katika Al-Tufaan Al-Jarif,337
na mifano mingine imo
katika vitabu tafauti vya wanavyuoni wa elimu ya Hadithi.
HADITHI ZA KUTUNGA NA KUPENYA
KWA HADITHI ZA KIISRAILI
Utunzi wa Hadithi za kumzulia Mtume (s.a.w.) ndio tatizo sugu
lililoupoteza umma huu. Ikiwa mara nyengine unaweza kuligundua hilo
kiurahisi kama ile mifano tulioitoa katika juzuu ya kwanza, basi wakati
mwengine ni lazima uwe mtu uliyejaaliwa kuwa na akili yenye kuchambua
na kupima pamoja na kuwa na vyombo vya fani za elimu zinazoweza
kukusaidia juu ya hilo.
Utunzi wa Hadithi unakuwa rahisi kuugundua pale ambapo Hadithi ya
kutunga iko kinyume kabisa na akili ya kila mtu. Kama vile riwaya
tulioinukuu kutoka kwa baadhi ya wanavyuoni watangulizi wa Kiwahabi
kwamba “Allah kaumba nafsi yake kutoka katika jasho la farasi”. Riwaya
kama hii huwa haihitaji elimu ya aina yoyote ile ili uigundue kuwa ni
riwaya ya uwongo.
Aina ya pili ya riwaya za kutunga, aghlabu yake zilitokana na mazindiki
(wanafiki) na watu wa Kitabu (Mayahudi na Makristo) waliosilimu na
wakawa wanasimulia riwaya zao za Kiisraili kutoka katika Taurati na Injili
ziliopotoshwa – kwa kuzidishwa na kupunguzwa.
334
- Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya kwanza uk. 302. 335
- Uk. 137-146, katika chapa ya tatu. 336
- Uk. 49-54. 337
- J. 3, sehemu ya kwanza uk. 292-302. Bila kusahau kwamba baadhi ya mifano ambayo
kaitaja Al-Imamu Al-Qannubi ndio hii tulioinukuu hapa, na tumeongezea mengine miwili
mitatu walioitaja wanavyuoni wengine. Mifano iliotajwa ni mingi na utafiti unafichua
mengi mengine ambayo hayakutajwa.
110
NJIA YA MAZINDIKI YA KUTUNGA HADITHI
Ama mazindiki, wao mara nyingi walikuwa wanatazama Aya fulani ya Qur-
ani ambayo inaweza kuunda shubuhati338
fulani kisha wanaitungia Aya hio
Hadithi ili kuipa nguvu shubuhati iliokuwemo katika Aya hio. Na namna
hivi, ziliweza kutungwa riwaya za kuonekana kwa Allah, kutoka motoni,
mungu-mwenye kiwiliwili n.k.
Jambo ambalo mara nyingi hukujuilisha utunzi wa riwaya hizo, ni kuwa
unapoitazama Aya na kuiweka katika mezani ya lugha ya Kiarabu utaikuta
inatoa maana tafauti kabisa na ile maana inayojengwa na Hadithi
iliohusishwa na Aya hio. Na bila shaka Hadithi sahihi haiwezi kwenda
kinyume na utaratibu wa lugha ya Kiarabu uliomo katika Aya. Na hii ndio
njia moja muhimu ya kuipima matn ya Hadithi – je haigongani na tafsiri ya
Aya iliojengeka juu ya misingi sahihi ya lugha au inapingana? Wakati
mwengine unaweza kuligundua hilo kwa vipimo vya kiakili au kwa kipimo
cha ile dhana sahihi (real concept) ya Allah mwenyewe alivyo. Mifano
miwili mitatu itaweka wazi makusudio.
Tuna Aya yenye kusema:
ر ل ط خء ح
Mbingu ni zenye kupasuka kwayo.339
Herufi al-baau (bee) iliomo katika neno bihi lililomo katika Aya hio ina ر
maana nyingi katika lugha ya Kiarabu, miongoni mwa hizo ni kuonesha
sababu kama ilivyo katika Hadithi ya Abu Dhar inayosema: ...حـشر ى٢ ػ٠ ػ اح ػ ر حؼزي ىه
Nioneshe kitendo ambacho mja akikitenda huingia peponi kwacho (kwa
sababu ya kitendo hicho).340
Herufi al-baau (bee) iliomo katika neno bihi lililomo katika Hadithi hii ر
lina maanisha sababu, na maana ni: “Nioneshe kitendo ambacho kwa sababu
yake mja huingia peponi”.
338 - Shubuhati maana yake ni kuwa kitu kinaelekea lakini sio makusudio kamwe.
339 - Sura 74, Aya 18.
340 - Al-Hakim Al-Mustadrak j. 1, uk. 132, Hadithi na. 212. Al-Bayhaqi Shu‟abu Al-Iman j.
3, uk. 203-204, Hadithi na. 3327.
111
Maana nyengine341
ya herufi hio al-baau (bee) ni kutumika kama ni chombo
cha wakati. Mfano huu umetumika katika Aya kama:
( ٤ ز ل ٤ ػ ظ ا 131 ) ر خ٤ و أ ك ال ط ؼ
Na hakika ya nyinyi munawapitia wakati asubuhi**Na kwa usiku, basi
hamufahamu!342
Utaona kwamba hapa herufi al-baau (bee) imetumika kumaanisha fii
ambayo kwa asili ni chombo cha wakatika na sehemu; na maana ya Aya hio
ni: “….Na katika nyakati za usiku (pia munapita), basi nyinyi
hamufahamu!”.
Sasa tukirudi katika Aya yetu isemayo: ر ل ط خء Mbingu ni zenye“ ح
kupasuka kwayo” basi utakuta kwamba watu wameichukua fursa hii na
kutaka kuonesha kwamba herufi al-baau (bee) iliomo katika Aya hio ina
maanisha sababu. Na kwa hivyo, maana ya Aya hio – kwa mujibu wao – ni:
“Mbingu ni zenye kupasuka kwa sababu yake”. Kisha dhamiri (pronoun
yaani neno yake) wakalinasibisha na Allah. Na maana ikawa: “Mbingu
zikapasuka kwa sababu yake Allah”.
Hayo yamesemwa ili kuthibitisha:
1) Itikadi kwamba Allah yuko mbinguni.
2) Itikadi ya kuwa Allah ni kiwiliwili kizito ambacho kwa sababu ya
uzito wake, basi mbingu zinapasuka.
Kisha baada ya kuwa watu wana itikadi hio, wakatunga Hadithi ili kuipa
nguvu shubuha hio. Lakini wamesahau watu hao kwamba lau Aya hio
iliokuwa na maana hio basi ingelikuwa hakuna faida katika kuihusisha
kwake na siku ya kiama, kwani ikiwa uzito wa Allah ndio uliozipasua
mbingu basi Allah siku zote yupo na mbingu siku zote zipo, kwanini
zisipasuke kwa uzito wake ila siku ya kiama?
Ama Hadithi ya kutunga iliohusishwa na Aya hio, ni Hadithi yenye kusema
kwamba maana ya Aya hio ni: حخء لط ر هخ ظ٠ء ر “Mbingu ni zenye
kupasuka kwa sababu yake”; kasema:(kuwa maana yake) ni zenye
kujaa kwaye”343
yaani Allah kajaa mbinguni. Na riwaya nyengine
341
- Na ziko maana nyengine nyingi za herufi hio. 342
- Sura 37, Aya 137-138. 343
- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 2, uk. 457, riwaya na. 1033. Al-‟Arsh Wa Maa Ruuwiya Fiihi
uk. 60, riwaya na. 18.
112
zikasema kuwa maana ya Aya hio ni: “Mbingu zimekuwa nzito sana kwa
sababu yake (Allah)”.344
Kwa mukhtasari, ni kuwa katika sehemu hii ninakusudia kuonesha njia
ambazo zimetumika katika kutunga Hadithi. Nazo ni kuwa watunzi
walikuwa wakitazama shubha iliomo katika Aya, kisha wao wanaitungia
Hadithi ili ionekane kuwa Mtume (s.a.w.) kaifasiri Aya hio hivyo. Na hiki
ndicho kilichotendeka katika Aya isemayo:
س خ خظ ر س *** ا ٠ خ ج ٣ ؿ
Nyuso siku hio zing‟ara***Kwa Mola wake tu zitakuwa zinatazama.
Shubha iliomo katika Aya hii, watu wameiundia Hadithi wakidai kuwa Aya
hii inatoa ushahidi wa kuonekana kwa Allah. Wakati ukitazama utaratibu
wake wa kilugha na ukweli wa kuwepo dalili nyengine za Qur-ani na
Hadithi, unapata natija ya wazi isio na mushkeli kwamba Aya hio maana
yake ni kungojea rehema ya Allah. Tutalizungumzia hilo katika sura ya pili
in shaa Allah.
NJIA YA AHLUL-KITABI YA
KUTUNGA HADITHI
Watu wa Kitabu (Ahlul-Kitab) hasa hasa Mayahudi, wao walikuwa
wakizipotoa Aya za vitabu vyao ili zikubaliane na matamanio ya nafsi zao,
na walikuwa wakiwazulia Mitume wa Mwenyezi Mungu mambo ambayo
hawakupa kuyasema. Ilipofika zama za Mtume Muhammad (s.a.w.),
wakawa wako miongoni mwao, kama vile „Abdillahi bin Salam na baadae
Ka‟abu Al-Ahbar, walioingia katika Uislamu. Hawa waliosilimu wakawa
wanawasimulia baadhi ya Masahaba yale yaliomo katika vitabu vyao
vilivyopotoshwa. Masahaba mashuhuri zaidi ambao wamepokea riwaya za
Kiyahudi ni „Abdullahi bin „Amri na Abu Huraira, na, kidogo, Ibn „Abbaas.
Ama kuhusu Abu Huraira, amepokea Al-Imamu Al-Rabi‟u bin Habib, 345 Al-
Tayaalisi,346
Al-Nasai347
na wengine,348
riwaya yenye kusema:
344
- K.h.j. riwaya na. 1034-1038. Riwaya na. 14 ya kitabu Al-‟Arsh Wa Maa Ruuwiya Fiihi
uk.59, inataja kwa uwazi kwamba kupasuka huko kwa mbingu ni kwa sababu ya Allah,
yaani – kama zilivyo riwaya nyengine – ni kwa sababu ya uzito wake. 345
- Al-Rabi‟u bin Habib Al-Jami‟u Al-Sahih j. 1, uk. 117, Hadithi na. 279. 346
- Al-Tayaalisi Al-Musnad j. 10, uk. 311, Hadithi na. 2363. 347
- Al-Nasai Al-Kubra j. 2, uk. 292, Hadithi na. 1766.
113
هللا ــــحس كيػظ ػـــحظ يػ٢ ػــض ؼ كلهؿض ا٠ حط كو٤ض ؼذ حلكزخ كـ
.……٠ هللا ػ٤ ـــ
Nilitoka kwenda Al-Tur. Hapo nilimkuta Ka‟abu Al-Ahbar nikakaa
pamoja naye akawa yeye ananisimulia yaliomo katika Taurati nami
namsimulia Hadithi za Mtume (s.a.w.)…..
Ni wazi, kwa mujibu wa riwaya hii, kwamba Abu Huraira, kwa kiasi fulani,
kapokea masimulizi ya Kiisraili, kwani Ka‟abu huyu ni Myahudi
aliyesilimu katika zama za „Umar.349
Na – kama unavyoona hapa – alikuwa
akimsimulia Abu Huraira kutoka katika Taurati. Na wakati huo Taurati
ilikuwa tayari imeshatiwa viraka sana kwa kuongezwa na kupunguzwa. Bila
kusahau kwamba Ibn Kathir anasema kwamba neno Taurati katika
masimulizi ya kale lilikuwa halihusishwi na Kitabu cha Nabii Musa tu, bali
pia vitabu vyengine vya Ahlul-Kitab vikiitwa Taurat. Anasema:
ـــ٢ ػي أػ ــــــق خح ٣طو حظحس ػ٠ ظذ أ حظخد كــ٤ؼ أ ؼ٤ح ح
أخ هللا ػ٠ ٠ هي ػزض خي ي حلي٣غ. حظ٢
Na ijulikane kwamba watangulizi wengi walikuwa wakilitumia jina Taurat
kuviita vitabu vya Ahlul-Kitab. Basi kwao jina hilo lina maana pana zaidi
ya ile Taurati alioiteremsha Allah kwa Musa, na ushahidi wa hayo
umethibiti katika Hadithi.350
Lakini jambo moja muhimu kulifahamu ni kuwa Abu Huraira (r.a.) – tafauti
na wanavyodhani majuha, mbilikimo wa elimu351
– hakuwa mtu mwenye
kadiri ndogo ya elimu na akili, bali ni katika jumla ya Masahaba wa Mtume
(s.a.w.) ambao Allah kawafungulia sana milango ya elimu. Na hili
linabainisha kwamba riwaya za Kiyahudi zilizonasibishwa kwa Mtume
(s.a.w.) kupitia katika njia ya Sahaba Abu Huraira (r.a.), hazikutokana na
kosa lake katika kuzisimulia, bali wapokezi ambao wamezipokea riwaya
hizo kutoka kwa Abu Huraira ndiwo waliofanya makosa ya kuzinasibisha
riwaya hizo kwa Mtume (s.a.w.) – Abu Huraira kazisimulia kutoka kwa
Ka‟abu Al-Ahbar, Myahudi aliyesilimu, wao wakasema: „kutoka kwa Abu
348
- Anasema mtiaji maelezo wa kitabu Al-Jami‟u Al-Sahih: kaipokea Ahmad bin Hanbal
Al-Musnad j. 2, uk. 292. Muslim Sahihu Muslim katikatabu cha Ijumaa. Al-Bukhari
katikatabu cha Ijumaa. Na wengine kawataja, hapa nawaacha. 349
- Wengine wanasema alisilimu katika zama za Abu Bakr na akahama katika zama za
„Umar kuja miji ya Hijaz na baadae akaenda Sham. 350
- Ibn Kathir Al-Bidaya Wa Al-Nihaya j. 2, uk. 398. 351
- Viko vijitu vijinga vinamponda Sahaba huyu Mtukufu bila ya elimu!
114
Huraira kutoka kwa Mtume (s.a.w.)! Katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki,
tulimnukuu Sheikh Al-Sayyid Al-Saqqaaf akisema:
Katika Siyaru Al-A‟alaam
352 na Al-Bidaaya wa Al-Nihaaya
353 kutoka kwa
Busr bin Sa‟iid (naye ni katika Matabiina wakubwa na ni msimulizi wa
wapokezi sita), alisema: „Muogopeni Allah, na chukueni hadhari katika
masimulizi ya Hadithi, Wallaahi naona tunakaa na Abu Huraira, basi
anatusimulia kutoka kwa Mtume (s.a.w.) na anatusimulia kutoka kwa
Ka‟abu Al-Ahbaar, kisha anaondoka, basi ninawasikia baadhi ya
waliokuwa pamoja na sisi wanaifanya Hadithi ya Mtume (s.a.w.) kuwa
inatoka kwa Ka‟abu na Hadithi ya Ka‟abu kuwa inatoka kwa Mtume
(s.a.w.).354
Kwa hivyo, makosa haya ambayo waliyafanya wapokezi katika masimulizi
ya Hadithi za Abu Huraira na wengine, kunatufanya sisi:
1) Tujiulize usahihi wa madai ya Kasim Mafuta kwamba Hadithi za
aliowaita kuwa ni Ahlu Al-Sunna zimedhibitiwa kwa ufanisi wa hali
ya juu!
2) Katika kuitafiti Hadithi tusiishie katika kutazama sanad tu; bali matn
(text) yake ni lazima ipimwe kwa kioo cha Qur-an, lugha ya Kiarabu
na hoja za yakini za kiakili.
352
- J. 2, uk. 606. 353
- J. 8, uk. 109. 354
- Nukulu kutoka kwa Al-Sayyid Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 73. Ninasema: na
Hadithi za kuonekana kwa Allah ni katika jumla ya masimulizi ya Ka‟ab na Mayahudi
wenzake ambazo watu wamezinasibisha na Mtume (s.a.w.).
115
MFANO WA HADITHI ZA KUTUNGWA NA
MAYAHUDI NA KUSIMULIWA
NA ABU HURAIRA
Amesimulia Al-Imamu Muslim katika Sahihu Muslim,355
Al-Imamu Ahmad
katika Al-Musnad,356
Al-Bayhaqi katika Al-Sunanu Al-Kubra,357
Al-Nasai
katika Al-Sunanu Al-Kubra,358
Al-Tabarani katika Al-Awsat,359
Ibn
Khuzaima katika Sahihu Ibn Khuzaima,360
Abu Ya‟ala katika Al-Musnad,361
na Ibn Hibbaan katika Al-Ihsan,362
kutoka kwa Abu Huraira kutoka kwa
Mtume (s.a.w.) Hadithi yenye kusema:
٣ ـ ن ح ه ي حل ك ٣ ز خ ـ خ ح ن ك ٤ ه ز ض ح ر ش ٣ حظ ؿ ن هللا ػ ػ ٤ ه ه حل ن ـــــــ
٣ ن ح ه ػ خء حؼال ٣ ر غ ك ٤ـــــح ر ؼ خء حل حد ٣ ـــــ خ حــــ و ـــي ح ه ـــ ٤ ـــ ن آى
ؼ ــــ ػ ي ح ر ؼ ال ح ؼ ش ـــ ٤ ـ ح ٣ ……
1) Allah aliumba udongo siku ya J/mosi.
2) Na ndani yake akaumba milima siku ya J/pili.
3) Na akaumba miti siku ya J/tatu.
4) Na akaumba tabu siku ya J/nne.
5) Na akaumba nuru siku ya J/tano.
6) Na akaeneza wanyama humo (ardhini) siku ya Alkhamisi.
7) Na akamuumba Adam (a.s.) baada ya laasiri ya siku ya Ijumaa.
Hii ni Hadithi iliosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira kutoka kwa Mtume
(s.a.w.), nayo – kama unavyoona – inatongoa kinyume na Qur-ani
inavyosema kwamba maumbile yote yalichukua siku sita. Qur-ani yasema:
اي اتاهذ خهل اهسى أ ىا ف ست ىا ب األرض
(Allah) Ambaye kaumba mbingu na ardhi pamoja na yalio baina yake
katika siku sita.363
355
- Muslim Al-Sahih uk. 1178, Hadithi na. 2789. 356
- Ahamad Al-Musnad j. 3, uk. 261, Hadithi na. 8323. 357
- Al-Bayhaqi Al-Kubra j. 13, uk. 188, Hadithi na. 18205. 358
- Al-Nasai Al-Kubra j. 10, uk. 20, Hadithi na. 10943. 359
- Al-Tabari Al-Awsat j. 3, uk. 303, Hadithi na. 3232. 360
- Ibn Khuzaima Sahihu Ibn Khuzaima j. 2, uk. 837-838, Hadithi na. 1731. 361
- Abu Ya‟ala Al-Musnad j. 4, uk. 460, 6125. 362
- Ibn Hibbaan Al-Ihsan j. 8, uk. 11, Hadithi na. 6128. 363
- Sura 25, Aya 59.
116
Wakati Qur-ani inasema hivyo kuwa maumbile yamechukua siku sita;
Hadithi yasema maumbile yamechukua siku saba, na Hadithi hio sanad
yake ni sahihi na imo katika vitabu vyenye kuaminika kikiwemo kitabu cha
Al-Imamu Muslim Sahihu Muslim! Ni wazi kwamba riwaya hii, Abu
Huraira kaipokea kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar na wasimulizi kimakosa
wakasema kuwa yatoka kwa Mtume (s.a.w.). Na hili ndilo walililosema
wanavyuoni wakubwa wakiwemo maimamu wa Kasim “ntotongwa” wa
Mafuta. Anasema Ibn Kathir kuhusu Hadithi hio:
وخ١ ؿ٤ـــــي٢٣ حزـــــ، هي ط ػ٤ ػ٢ ر حــــــــح حلي٣غ ؿحثذ ل٤ق
زخ،ــــــؼذ حلكـــــؼذ، أ أرخ ٣س اخ ؼ ال ــــؿؼ ال حكي حللخظ،
.……كـؼ كػخ خ حظز ػ٠ رؼ ححســـــــــا
Hii ni Hadithi ngeni katika Hadithi za Muslim, na „Ali bin
Al-Madini, Al-Bukhari na wengine wameisema (Hadithi
hii) na wakasema kuwa Hadithi hii ni maneno ya Ka‟abu
Al-Ahbar (si maneno ya Mtume s.a.w.) na kwamba Abu
Huraira kaisikia kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar, bali baadhi
ya wapokezi walitatanishwa wakaifanya kuwa ni Hadithi ya
Mtume (s.a.w.).364
Anasema Ibn Taymiyya:
هخص ك٢ حل٣خ حزؼش كب ح ــــن حوـــؼ هــــؼ خ ١ أ هللا هن حظرش ٣ حزض ؿ
أثش حلي٣غ ٤ل٠٤ ر ؼ٤ ػزيحك ر ي١ حزوخ١ ؿ٤ أ ؿ٢ ٤ــــحلي٣غ هي ر
ف حزوخ١ ك٢ طخ٣و حز٤ أ ال ؼذ حلكزخ ز٢ ر ـأ ٤ ك٢ ال ح
Mfano ni kama ule aliousimulia (Muslim) kwamba Allah
kaumba udongo siku ya J/mosi, na akakufanya kuumbwa
kwa viumbe kuwa ni siku saba. Hakika ya Hadithi hii
Maimamu wa Hadithi wameibainisha kama vile Yahya bin
Ma‟iin, Ibn Mahdi, Al-Bukhari na wengineo, kwamba hilo
ni kosa na kwamba hayo si maneno ya Mtume (s.a.w.), bali
Al-Bukhari kasema kwa uwazi katika kitabu Al-Taarikh Al-
Kabir kwamba hayo ni maneno ya Ka‟abu Al-
Ahbar……………365
Ibn Al-Qayyim, baada ya maelezo:
ك٢ ل٤ق …٣ز ح خ هغ ك٤ حـ٢ كي٣غ أر٢ ٣س هن هللا حظرش ٣ حزض
هغ حـ٢ ك٢ كؼ اخ ه ؼذ حلكزخ
364
- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-„Adhim j. 1, uk. 60. 365
- Ibn Taymiyya Al-Jawaabu Al-Sahih j. 2, uk. 443.
117
Na hili linafana na kosa lililoingia ndani yake katika Hadithi ya Abu
Huraira: „Allah kaumba udongo siku ya J/mosi, nayo imo katika Sahihu
Muslim, lakini kosa limetendeka katika kuifanya kuwa hio ni Hadithi ya
Mtume (s.a.w.), bali hiyo ni kauli ya Ka‟abu Al-Ahbar….366
Hio ni Hadithi moja – mifano iko zaidi – katika Hadithi za Abu Huraira
alizozisimulia kutoka kwa Ahlul-Kitabi na watu kimakosa wakasema kuwa
zatoka kwa Mtume (s.a.w.). Na jambo moja lenye kuthibitisha kwamba
riwaya hii asili yake ni masimulizi ya Ahlul-Kitabi, ni ukweli kwamba
riwaya hii – ingawa kuna tafauti kidogo – imesimuliwa kutoka kwa
„Abdillahi bin Salam,367
naye ni mmoja wa wanavyuoni wakuu wa Kiyahudi
waliosilimu.
ABDULLAHI BIN „AMRI
Ama kuhusu „Abdullahi bin „Amri, yeye ni maarufu kwa riwaya za
Kiyahudi. Na sababu ya hayo – mabali na kuwa yeye mwenyewe kapokea
riwaya kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar – ni kuwa katika vita vya Al-Yarmuk
alipata zaamilatain (ngamia wawili) waliobebeshwa vitabu vingi katika
vitabu vya Kiyahudi, akawa anavisoma vitabu hivyo na kusimulia yale
yaliomo ndani yake. Na kwa hivyo, zimetokea kutoka kwake riwaya nyingi
mbovu, munkar. Anasema Ibn Kathir kuhusu moja ya riwaya za „Abdullahi
bin „Amri yenye kusema:
هللا ٠ هللا ػ٤ ا٠ ح ك٤ ؿخرض كوخ: "ك٢ خ هللا حلخ٤ش ل خ ظ …
.....هللا لكهض خ ػ٠ حل ٣ػخ أ
Mtume (s.a.w.) alilitazama jua wakati lilipotua, akasema: „(linatua) ndani
ya moto mkali wa Allah lau si kuwa linazuiwa na amri ya Allah basi
lingeliunguza yote yaliomo ardhini. 368
Anasema Ibn Kathir kuhusu riwaya hio:
، ــــك٤ ؿحرش ك٤ ؿ ٣ كؼ ك٤ ظ هي ٣ هكخ ال ػزي هللا ر ػ
أػ.كب أخد ٣ ح٤ى حظ٤ ظذ حظوي٤ كخ ٣ليع خ هللا
Ndani yake kuna ajabu, na ndani yake kuna mtu kati yao ambaye
hakutajwa. Na kuifanya riwaya hii kuwa yatoka kwa Mtume (s.a.w.) ni
366
- Ibn Al-Qayyim Naqdu Al-Manqul uk. 78. 367
- Al-Bayhaqi Al-Kubra j. 13, uk. 188, Hadithi na. 18204. 368
- Ibn Kathir Al-Bidaya Wa Al-Nihaya j. 2, uk. 127.
118 jambo la kufikiriwa (si sahihi), na huenda ikawa ni riwaya mauqufa:
369 ni
katika maneno ya „Abdullahi bin „Amri, hakika yake alipata katika vita vya
Al-Yarmuk ngamia wawili waliobebeshwa vitabu katika vitabu vya
waliotangulia (Ahlul-Kitab), basi akawa anasimulia kutoka katika hivyo.370
Hio ni riwaya moja ambayo „Abdullahi bin „Amri kaisimulia kutoka katika
vitabu vya Ahlul-Kitab. Na miongoni mwa riwaya za Kiyahudi
zilizosimuliwa na „Abdullahi bin „Amri, ni riwaya yenye kusema:
: حالثش. هخ: ػ ػس ر حر٤، أ ؤ ػزي هللا ر ػ ر حؼخ: أ١ حون أػظ ؟ هخ
..حي . هخ كز٢ حػ٤ ، كوخ : ح أل٢ أل٤ . ؟ هخ : ححػ٤ خح هوض
Kutoka kwa „Ur-wa bin Al-Zubair kwamba yeye alimuuliza „Abdullahi bin
„Amri bin Al-„Asi: „je ni kiumbe gani aliye mkubwa?‟ Akasema:
„Malaika‟. Akamuuliza tena: „je Malaika wameumbwa kutokana na kitu
gani?‟ Akajibu: „kutokana na nuru ya dhiraa mbili na kifua.371
Akasema:
„akazikunjua dhiraa zake mbili‟. Akamwambia: „muwe kama nyinyi elfu
elfu mbili……..372
Riwaya hii kaipokea Al-Bayhaqi katika kitabu chake Al-Asmaau Wa Al-
Sifaat kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri. Kisha akasema Al-Bayhaqi:
ــــ٢ أ حرـــي رـه ح هف ػ٠ ػزي هللا ر ػ ح٣ ؿ ؿ٤ ٠ ، ك وطغ.
ؼزي هللا رــــق ي كـــكب خ ر ػس ، ػ أر٤ ، ػ ػزي هللا ر ػ. ػ٤٤ش ح ػ
حلحث، كخ ل ٣كؼ ا٠ حز٢ ػ٤ حال ٣لظ أ ٣ خ خ ٣ظ ك٢ ظذ هي ـــــــػ
آ ك٤خ هغ ر٤ي طي حظذ
Riwaya hii ni mauquufa373
iliosimuliwa kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri,
na aliyeisimulia ni mtu ambaye hakutajwa, basi ni riwaya ambayo sanad
yake imekatika. Na imenifikia kwamba Ibn „Uyaina kaipokea kutoka kwa
Hisham bin „Ur-wa kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Abdullahi bin
„Amri. Basi ikiwa hilo litasihi, basi „Abdullahi bin „Amri alikuwa akisoma
vitabu vya waliotangulia (Ahlul-Kitabi), basi Hadithi ambayo hakusema
kuwa inatoka kwa Mtume (s.a.w.) inawezekana ikawa ni katika jumla ya
alizoziona yeye katika vitabu hivyo alivyonavyo mikononi mwake. 374
369
- Yenye kutoka kwa Sahaba: haitoki kwa Mtume (s.a.w.). 370
- Ibn Kathir Al-Bidaya Wa Al-Nihaya j. 2, uk. 127. 371
- Kwa mujibu wa itikadi za Mujassima dhiraa mbili hizi ni dhiraa za Mungu na kifua cha
Mungu! Astaghfiru Allah! Huu ujuha we! 372
- Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 2, uk. 178-179, riwaya na. 744. 373
- Ni maneno ya Sahaba: si maneno ya Mtume (s.a.w.). 374
- Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat j. 2, uk. 179, riwaya na. 744.
119
Ninasema: tukirudi katika maneno ya Al-Bayhaqi aliposema: “na
imenifikia kwamba Ibn „Uyaina kaipokea kutoka kwa Hisham bin „Ur-wa
kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Abdullahi bin „Amri. Basi ikiwa hilo
litasihi……”, tukirudi katika maelezo hayo, tunasema kuwa „Uthman bin
Sa‟id Al-Darimi kasimulia kweli riwaya hio kwa sanad hio: “kutoka kwa
Abu Usama kutoka Hisham bin „Ur-wa kutoka kwa baba yake kutoka kwa
„Abdullahi bin „Amri”.375
Hapa – katika sanad ya Al-Darimi – kapungua
Sufyaan bin „Uyaina. Inawezekana ikawa kaanguka (hakutajwa) katika
kuinukuu riwaya yenyewe wakati wa kuisimulia au katika kuiandika.
IBN „ABBAAS
Ibn „Abbaas (r.a.) ni bahari ya elimu na ni mwanachuoni mkuu na mfasiri
mkuu wa umma, na ni mtu ambaye Allah kampa akili ilio nadra katika zama
zote. Hata hivyo, naye zimetokea kutoka kwake baadhi ya riwaya za
Kiisraili alizozipata kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar. Lakini – sawa na Abu
Huraira au zaidi ya Abu Huraira – Ibn Abbaas si kwamba yeye ndiye
aliyedai kuwa riwaya hizo zinatoka kwa Mtume (s.a.w.), bali tatizo lilikuwa
ni katika kutatizwa kwa baadhi ya wapokezi waliozipokea riwaya hizo
kutoka kwake ambapo walichanganya baina ya riwaya za Ibn „Abbaas
kutoka kwa Mtume (s.a.w.), na zile za Ibn „Abbaas kutoka kwa Ka‟abu Al-
Ahbar – riwaya za Ka‟abu wakaziita kuwa ni za Mtume (s.a.w.).
Mfano mmoja wa riwaya za namna hio ni riwaya iliosimuliwa kutoka kwa
Ibn „Abbaas kwamba Mtume (s.a.w.) kamuona Allah huko mbinguni! Ibn
„Abbaas si juha wa kusema uzushi huu, bali hayo ni maneno ya Ka‟abu Al-
Ahbar ambayo Ibn „Abbaas labda alipata kuyasema si kwa kuyakubali.
Miongoni mwa vyenye kuonesha hivyo, ni riwaya tulizozinukuu katika
utangulizi. Nimesema katika utangulizi:
Miongoni mwa vyenye kuthibitisha hilo ni kile kisa kilichosimuliwa
kuhusu tukio la mkutano wa Ibn „Abbaas na Ka‟abu Al-Ahbar, Myahudi
aliyesilimu na akawa anasimulia riwaya zao za Kiisraili. Wamesimulia
wapokezi wa Hadithi kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbar akisema:
ر٤ لي ٠ كآ لي ط٤ ٠ ط٤ال ا هللا ه إ٣ظ
375
- „Uthman Al-Darimi Al-Raddu „Alaa Bishri Al-Marisi uk. 140.
120 Hakika Allah kakugawa kuonekana kwake na maneno yake baina
ya Muhammad na Musa: Muhammad akamuona mara mbili na
Musa akazungumza naye mara mbili.376
Katika riwaya ya Al-Tirmidhi katika Al-Sunan,377
na Ibn Khuzaima katika
Al-Tawhid,378
tunapata kwamba Ibn „Abbaas alikutana na Ka‟abu Al-
Ahbar huko „Arafa. Ibn „Abbaas akamuuliza Ka‟abu kuhusu kitu fulani;
Ka‟abu akapiga takbiri kubwa ilioje mpaka milima ikarejesha sauti, kisha
ndio akasema maneno hayo tulioyanukuu ya kuwa Muhammad kamuona
Allah na Musa kazungumza naye.
Na kwa hivyo, Al-Sayyid Al-Saqqaaf – kuhusu riwaya hio ya Ibn „Abbaas
ya kuwa Mtume (s.a.w.) kamuona Allah – anasema:
Mas-ala haya tumeyasherehesha mara nyingi kwamba Ibn „Abbaas
kainukuu (riwaya hio) kutoka kwa Ka‟abu Al-Ahbaar na haikuwa rai ya
Ibn „Abbaas kamwe. Basi baadae wakaja wasimulizi wa Hadithi
wakaihusisha riwaya hio na Ibn „Abbaas kuwa ni kauli yake, wala haikuwa
hivyo. Bali hio ni kauli ya Ka‟abu (Al-Ahbar) ambayo Ibn „Abbaas
aliisimulia tu kutoka kwake, wala si lazima kwamba na Ibn „Abbaas naye
awe ni mwenye rai hio kamwe……379
Kisha baada ya hapo Al-Saqqaaf akataja riwaya ya Ibn „Umar kwamba
alikwenda kwa Ibn „Abbaas na kutumiana naye ujumbe akimuuliza: „je
Muhammad kamuona Mola wake?‟ Ibn „Abbaas akamjibu: „kwamba
kamuona‟. Kisha Al-Sayyid Al-Saqqaaf – katika maelezo ya chini ya kitabu
chake – akasema:
Hadithi hii ni ya kutunga ya uwongo, na kwa ukamilifu wake, Hadithi hii
inasema: „Basi (Ibn „Umar) akamrejesha tena mjumbe wake (kwa Ibn
„Abbaas) na akamuuliza: „kamuona vipi?‟ Akajibu (Ibn „Abbaas kwamba):
„kamuona juu ya kiti cha dhahabu kimebebwa na Malaika wane: Malaika
kwa sura ya mtu, na Malaika mwengine kwa sura ya simba, na Malaika
mwengine kwa sura ya ng‟ombe dume, na Malaika mwengine kwa sura ya
nasr (eagle),380
(naye Allah) yupo katika bustani ya kijani mbele yake kuna
vipepeo vya dhahabu.381
376
- Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Al-Sunna j. 3, uk. 500, riwaya na. 867. Ibn
Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 496, riwaya na. 21. Is-haaq bin Raahwaih Al-Musnad riwaya
na. 1421. Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 286, riwaya na. 548. 377
- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 3278.
378 - Ibn Khuzaima Al-Tawhid j. 2, uk. 561, riwaya na. 328.
379 - Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 85, katika maelezo ya chini.
380 - Ndege mkubwa kama koho (yuko Pemba).
381 - Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 86, katika maelezo ya chini.
121
Hii ni mifano michache sana katika mambo mengi ambayo yalitiririka
kutoka kwa Ahlul-Kitab miongoni mwa itikadi zao mbovu zilizotokana na
upotoshaji wao wa vitabu vyao na utunzi wao wa riwaya za uwongo, na –
kwa bahati mbaya – hayo yakaingia katika umma huu wa Kiislamu kwa njia
za:
1) Ahlul-Kitabi waliosilimu.
2) Vitabu vilivyopatikana – kwa mizigo ya ngamia – kutoka Ahlul-
Kitabi.
3) Mazindiki (wanafiki) waliokuwa wakijifanya kuwa ni Waislamu ili
wapate kuchafua itikadi sahihi za Kiislamu.
Na kwa bahati mbaya ni kuwa:
1) Baadhi ya Masahaba walizisimulia riwaya zao.
2) Wapokezi waliokuja baadae walishindwa kuijua ni ipi riwaya ya
Mtume na ni ipi ni riwaya ya Ahlul-Kitabi. Riwaya ya Ka‟abu Al-
Ahbar na „Abdillahi bin Salam (Wayahudi waliosilimu) na wengine
zikaitwa kuwa ni riwaya za Mtume (s.a.w.). Na namna hivi ziliweza
kupenya fikra au riwaya za kumuona Allah na riwaya za kuingia
motoni na kutoka Wa Allahu Al-Musta‟aan!
Baada ya hayo, itakubainikia kwamba:
1) Kuna riwaya nyingi sana za kiitikadi ambazo zimo katika vitabu
muhimu ambazo kwa asili si riwaya za Mtume (s.a.w.).
2) Riwaya hizo au baadhi ya riwaya hizo zina sanad sahihi.
3) Njia ya kuzijua riwaya hizo ni:
a) Kuzipima na Qur-ani.
b) Hoja za yakini za kiakili.
c) Tafsiri sahihi ya Aya za Qur-ani kwa mujibu wa fani zake za
lugha ya Kiarabu na kanuni nyengine zenye kutumika katika
elimu ya tafsiri.
122
MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU
Mukhtasari wa yote nilioyajadili hapa ni kuwa:
a) Madai ya kwamba wanavyuoni wa Ahlu Sunna Wa Al-
Jamaa‟a wameweza kuzidhibiti Hadithi zote za itikadi au
Hadithi kwa ujumla kwa ufanisi wa hali ya juu, si madai
sahihi kwani:
b) Wao wenyewe wametafautiana sana katika Hadithi kadha wa
kadha za kiitikadi na nyenginezo.
c) Wametafautiana katika minhaj na baadhi ya masharti ya
kuzikubali Hadithi.
d) Wamezidhoofisha Hadithi nyingi, na udhoofishaji huo si
mara zote huwa umetokana na sanad ya Hadithi; bali mara
nyengine sanad inakuwa ni sahihi lakini matn inakuwa
dhaifu.
e) Kumekuwa na idadi si ndogo ya Hadithi za kutunga ambazo
zimetumiwa na watu wa madhehebu tafauti – za Kisunni na
zisizokuwa za Kisunni.
f) Kumekuwa na idadi si ndogo ya riwaya za Ahlul-Kitabi
zilizopenya katika umma kwa sababu ya uadui wa mazindiki
au makosa ya wapokezi.
g) Usahihi wa sanad tu haujamaanisha usahihi wa Hadithi
yenyewe. Kuna Hadithi nyingi ambazo sanad zake ni sahihi
lakini mutun (texts) zake ni za kutunga, na mifano tumetoa
kwa ushuhuda wa wanavyuoni wakuu wa Kisuni.
h) Na kwa hivyo, katika kuisoma matn ya Hadithi ni lazima
tuirejeshe Hadithi katika qat‟iyyaat (mambo ya yakini)
miongoni mwa hoja za kiakili za wazi; utaratibu wa lugha ya
Kiarabu na Aya za Qur-ani kwani Hadithi sahihi haiendi
kinyume na chochote katika hayo.
123
SURA YA PILI KUHUSU HADITHI MUTAWAATIR
Bila shaka yoyote ile, ufahamu sahihi wa maudhui ya kumuona au
kutokumuona Allah, unafungamana mfungamano wa lazima na ufahamu
sahihi wa suala zima la elimu ya Hadithi. Na nikisema elimu ya Hadithi
sikusudii ufahamu wa Kiwahabi kwamba “Hadhithi hii ni sahihi”,
ukimuliza: “kwanini”, atakwambia: “sanad yake ni sahihi”. Bali – kama
maelezo yaliotangulia yanavyobainisha – ninakusudia kuzifahamu sanad za
Hadithi pamoja na mutun zake, na kwamba ufahamu wa hili la pili ndio
muhimu zaidi. Na miongoni mwa masuala muhimu kuyafahamu kuhusiana
na maudhui hii, ni suala la Hadithi mutawatir. Na kabla ya kulieleza hilo,
kwanza natumnukuu Sheikh Kasim bin Mafuta. Anasema Sheikh Mafuta:
HOJA YAO YA NNE
Hoja yao ya nne, ni hadithi ya Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam-,
amesema Juma Al-Mazrui:
“Hadithi ambazo wamezitolea ushahidi wale wenye kukataa kuonekana
kwa Mwenyezi Mungu, ziko kama tatu, lakini inatosha hapa kunukuu moja
tu, kwani Qur‟an ndio msingi wa itikadi na tumethibitisha kwa aya za
Qur‟an kuwa Mwenyezi Mungu haonekani. Ama hadithi kwa mujibu wa
Jumhuri ya umma huwa haichukuliwi katika mambo ya itikadi ila ikiwa ni
mutawatir. Kwa hivyo ikiwa umelifahamu hili, utakuwa umefahamu
kwamba kutoa kwetu ushahidi kwa hadithi katika maudhui hii ni kwa
sababu hadithi hizi au hadithi hii ahadi imekubaliana na Qur‟an, kwa hivyo
katika hali hii inapata nguvu za Qur‟an. Mwisho wa kunukuu.382
MAJIBU YETU
Hapa kuna nukta mbili za kuzijadili:
Nukta ya kwanza:
Ni kuhusu kauli yake aliposema: “kwani Qur‟an ndio msingi wa itikadi..”.
Sisi tunasema: hata Sunna pia ni msingi wa itikadi kama vile Qur‟an,
amesema:
ح ظ ك خ ػ خ خ ك و ح خ آط خ
382
- Tazama ukurasa wa 319 wa kitabu chake “Hoja zenye Nguvu”.
124
Na anachokupeni Mtume chukueni, na anacho kukatazeni jiepusheni
nacho.383
Na miongoni mwa aliyotupa bwana Mtume –swalla llaahu alayhi
wasallam- ni mambo ya itikadi na sheria ya dini. Na yote hayo tunatakiwa
kuyakubali na kuyafanyia kazi bila yakukidharau chochote katika
mafundisho yake.384
JAWABU
Suala la kwanza linahusiana na pale niliposema kwamba Qur-ani ndio
msingi wa itikadi. Mafuta kwa ufahamu wake finyu akanijibu:
Sisi tunasema: hata Sunna pia ni msingi wa itikadi kama vile Qur‟an,
amesema:
ح ظ ك خ ػ خ خ ك و ح خ آط خ
Na anachokupeni Mtume chukueni, na anacho kukatazeni jiepusheni
nacho.385
Bwana Mafuta! Makusudio ya kuambiwa kuwa Qur-ani ndio msingi wa
itikadi: si kwamba Sunna hazitumiki katika itikadi, bali makusudio ni kuwa:
1) Itikadi yote msingi wake ni Qur-an.
2) Usahihi wa Hadithi unapimwa na Qur-an, na ii ndio njia moja kuu
katika njia za kuzipima mutun za Hadithi, kama tulivyonukuu
maneno ya wanavyuoni na Masahaba (r.a.) katika sura iliotangulia.
Na hii ni tafauti na Qur-ani ambayo haipimwi na Hadithi wala
chengine chochote kile. Hii ndio maana ya kuwa Qur-an ndio
msingi wa itikadi.
Anaendelea Kasim Mafuta:
Nukta ya pili:
Ni kuhusu kauli yake: “Ama hadithi kwa mujibu wa Jumhuri ya umma
huwa haichukuliwi katika mambo ya itikadi ila ikiwa ni mutawatir.”
Maneno haya, hayana ukweli hata kidogo, na wala hayakujengwa juu ya
383
- Suratul Hash‟ri (59) aya 7.
384
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 161-165. 385
- Suratul Hash‟ri (59) aya 7.
125 msingi wa kielimu, bali ni maneno porojo yaliyojaa ubabaishaji ndani
yake. Ushahidi wa hilo ni huu:
Kwanza ndugu Juma anataka kutuambia kwamba kauli ya maulamaa
wengi ni kuwa katika mambo ya itikadi hawazikubali ila hadithi
mutawatir. Na hali yakuwa mambo ni kinyume chake, na sijui aliposema
Jumhuri ya uma alikuwa anawakusudia kina nani? Kama makusudio yake
ni wanavyuoni wengi wa hadithi ambao ndiyo wataalamu wa fani hii,
maneno hayo si kweli. Na kama ni mkweli basi atuthibitishie hilo kwa data
za kielimu na si kwa maneno matupu. Na kama makusudio yake aliposema
“Jumhuri” ni mpaka wajinga ambao hawana utaalamu wowote katika fani
hii, hilo pia si kweli, na hata kama ni kweli msimamo na ufahamu wao si
hoja katika mambo ya kielimu. 386
JAWABU
Maneno hayo ya Mafuta yanazidi kunithibitishia kwamba mtu huyu hasomi
hata hivyo vitabu vyao! Maneno hayo akiwa atayasema mbele ya wenye
alimu basi watamcheka sana! Hapa maneno ya Mafuta yana nukta mbili
kuu:
1) Je ni kweli jumhur (majority) ya wanavyuoni wa umma wanasema
kwamba Hadithi Ahadi haitumiki katika itikadi au ni porojo tupu?
2) Je wanavyuoni hao ni wanavyuoni wa Hadithi au ni wajinga?
Jawabu ya suali la kwanza tutawaachia wanavyuoni wenyewe watujibie.
Anasema Al-Imamu Al-Ghazali alipokuwa akizungumzia masharti ya
Hadithi mutawatir:
…..…ػيى حوز٣ ٣و ا٠ خ خه كال ٣ل٤ي حؼ ا٠ خ خ ح١ ٣ل٤ي حؼ
.…ػكض ح كو هز ححكي ل ٣ل٤ي حؼ اح
Idadi ya watoaji khabari inagawika katika yenye upungufu (Ahadi), hii
huwa haitoi yakini (itikadi); na iliokamilika nayo ndio yenye kutoa yakini
(itikadi).387
………ukiwa umelifahamu hilo, basi elewa kwamba Hadithi
Ahadi haitoi yakini (itikadi).388
386
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 161. 387
- Al-Imamu Hujjatul-Islam Al-Ghazali Al-Mustasfaa uk. 107. 388
- Uk. 116. Tanbihi: tazama hapa kuna maneno nimeyaruka ili kufupisha. Miongoni mwa
maneno hayo, ni: أخ ه ح ػ٤ حال خ ػ لظ كال ٠٣ هز ححكي (Ama kauli ya
Mtume s.a.w. iliojulikana kuwa ni sahihi, basi hio haiitwi Hadithi Ahadi). Makusudio ya
126
Anasema Dr. Wahbat Al-Zuhaili:
هللا ٠ هللا ػ٤ أكخى طزؾ ػيى حظحط.......ش ح٥كخى: ٢ خ حخ ػ
طل٤ي حظ ل ح٤و٤ حطؤ٤ش، ٣ـذ حؼ رخ ل حلػظوخى ي ك٢ ػزطخ..... .كخ أخ
Sunna Al-Ahaadi (Hadithu Ahadi), nayo ni ile ambayo wameipokea mtu
mmoja mmoja kutoka kwa Mtume (s.a.w.) ambao hawakufika idadi ya
mutawatir…..na hukumu yake ni kuwa inaleta dhana tu: si yakini na
utulivu (wa moyo), na ni wajibu kuitendea kazi katika matendo tu (sala,
funga, hija nk.) si (kuitumia katika mambo ya) itikadi, kwa sababu kuna
shaka katika kuthibiti kwake (hatuna yakini je kweli Mtume s.a.w.
kaitamka au ni makosa ya wapokezi au ni uwongo wao).389
Anasema Al-Bazdawi:
ى حـــــ هز ٣٣ ححكي أ حلػخ كخػيح ل ػزس ؼيى ك٤ رؼي أ ٣.…
.……حظحط ح ٣ؿذ حؼ ل ٣ؿذ حؼ ٣و٤خ
Nayo (hio Hadithi Ahadi) ni kila riwaya inayosimuliwa na mtu
mmoja, wawili na kuendelea: hakuna mazingatio ya idadi ndani yake
badala ya kuwa si mash-hur wala si mutawatir (ni Ahadi). Na hii
inalazimisha matendo tu pasina na yakini (itikadi)……390
Anasema Al-Sarakhsi: كب هز ححكي ل ٣ؿذ ػ ح٤و٤ لكظخ حـ٢ حح١
….kwani Hadithi Ahadi haitoi elimu ya yakini (itikadi) kwani inawezekana
likawa ni kosa la mpokezi..391
Anasema Al-Subki akiwanukuu baadhi yao:
أخ ح٥كخى ٢ ل طل٤ي حوطغ اخ طل٤ي حظ
Na ama (Hadithi) Ahadi, nazo hazileti yakini bali zinaleta dhana….392
maneno hayo, ni kuwa maneno atayoyatamka Mtume (s.a.w.) basi ni sahihi tu, yaani mtu
aliye mbele ya Mtume (s.a.w.) akimwambia kitu basi hawezi kusema kuwa hio ni habari ya
mtu mmoja, kwani Mtume (s.a.w.) ni ma‟asum. Lakini kwa nukulu za watu wa kawaida
ambao si ma‟asumin, basi yakini haipatikani ila iwe khabari ni mutawaatir. 389
- Dr. Al-Zuhaili Usulu Al-Fiq-hi j. 1, uk. 436. 390
- Al-Bazdawi Al-Usul uk. 152. 391
- Al-Sarakhsi Al-Usul uk. 112. 392
- Al-Subki Al-Ibhaaj j. 2, uk. 42.
127
Anasema Al-Amir Al-San‟aani:
ز ــ٤غ هخ هـــكخ حو ك٤خ ٣ل٤ي حوز ح٥كخى١ ػالػش أهح أخ ا٤خ ك٢ ؿغ حـحغ ك
ـــكخو رؤ ل ٣ل٤ي حؼ ه………حكي ل ٣ل٤ي حؼ ال رو٣ش هخ حلؼ ل طوخ ـــــح
حـ أثش حل
Na natija ya kauli kuhusina na faida inayopatikana kutoka katika Hadithi
Ahadi ni kauli tatu ambazo kaziashiria katika kitabu Jam‟u Al-Jawami‟i
ambapo alisema: „Hadithi Ahadi haitoi yakini isipokuwa kwa qarina, lakini
walio wengi (wanasema) kwamba (haitoi yakini) moja kwa moja (hata
ikiwa kuna qarina) …….na kauli kwamba haitoi yakini ndio kauli ya
jumhur ya Maimamu wa usuli…..393
Anaendelea:
حظ٢ كـش ظ٤ش ح .…..هي ػكض أ ح٥كخى١ ل ٣ل٤ي ال حظ خ ػكض ال اح كلظ هحث
خ ل هالف ك٤
Na umejua kwamba Hadithi Ahadi haitoi isipokuwa dhana kama ulivyoona
isipokuwa ikiwa imezungukwa na qarina…na andiko la dhana hoja yake
(pia) ni ya dhana (si ya yakini) na hili halina tafauti ndani yake. 394
Anasema Al-Qarafi:
ػش حذ ٤س، حل: هز ح٥كخى ل ٣ل٤ي حؼ طوخ ر حظ، ػ٠ كخ، حؤش ك٤خ ػال
ألؼ٣.
Na kwa hali yoyote ile, mas-ala haya ndani yake yana kauli tatu
mashuhuri: mosi: Hadithi Ahadi haitoi yakini kamwe: bali inatoa
dhana tu, na HIO NDIO KAULI YA WENGI.395
Anasema Ibn „Ashur akiwanukuu Al-Baqillani na Ibn Al-„Arabi:
حؼخ٢ أ٠٣خ رخ١ ل هز ححكي ل ٣ل٤ي ال حظ
Na jambo la pili vile vile ni batili kwani Hadithi Ahadi haileti isipokuwa
dhana tu.396
Anasema Al-Fakhru Al-Razi:
393
- Al-Amir Al-San‟aani Ijaabatu Al-Sail uk. 102. 394
- Al-Amir Al-San‟aani Ijaabatu Al-Sail uk. 166. 395
- Al-Qarafi Sharhu Tanqihi Al-Fusul j. 2, uk 429. 396
- Ibn „Ashur Al-Tahriru Wa Al-Tanwir j. 1, uk. 137.
128
.…أ هز ححكي اح ى ػ٠ هالف حو٤خ ٣وز حؼخ٢ : أ ذ أر٢ ك٤لش
Jambo la pili ni kuwa madhehebu ya Abu Hanifa ni kuwa Hadithi Ahadi
ikenda kinyume na qiyasi basi haikubali….397
Anasema Al-Qushairi:
ذ حؼ ححكي ل ٣ؿ ز ..…ك٢ ح ىلش ػ٠ أ ه
Na katika hili kuna dalili kwamba habari ahadi haitoi yakini….398
Anasema Ibn Abi Ya‟alaa Al-Hanbali:
Ama Khabaru Ahadi (Hadith Ahadi) inawajibisha matendo kwa kile
kilichomo ndani yake na kuifuata hukumu ya matamshi yake; bila kusema
kuwa imethibiti kwa uhakika ( حوطغ رؼ٤ى )……na imesimuliwa kutoka
kwa baadhi ya wafuasi wake kwamba yeye anasema kwamba (Hadith
Ahadi) inatoa yakini; lakini mimi sijapata kuiona (kauli) hio kutoka katika
matamshi yake (mwenyewe) na sidhani kuwa anafuata (kauli) hio.399
NUKULU ZA AL-IMAMU AL-KHALILI
AL-MUFASSIR
Sheikh Al-Khalili katika kitabu chake Al-Haqqu Al-Damigh katunukulia kauli
zifuatazo:
(هخ حإلخخ حر حز٢ ك٢ ؿغ حـحغ حل٢ ك٢ ك )هز ححكي ل ٣ل٤ي حؼ ال رو٣ش
رص ي حف ػ٠ حص ، غ ه٣ش حزخء ، اك٠خ حل حؼ حؿ خ ك٢ اهزخ
).٤ي )طوخــــهخ )حلؼ ل( ٣ل ()
Wanasema Maimamu wawili Ibn Al-Subki katika Jam‟u Al-Jawami‟i na
Al-Mahalli katika Sherehe yake: „Hadithi Ahadi haitoi yakini ila kwa
qarina (kama vile mtu kutoa habari ya kufa mzee wake aliyekaribia kufa
pamoja na qarina ya kulia na kuleta sanda na jenenza)400
na wakasema
397
- Sasa vipi ikiwa itaenda kinyume na Qur-ani? Tazama Al-Fakhru Al-Razi Matihu Al-
Ghaib j. 1, uk. 187. 398
- Al-Qushairi Lataaifu Al-Isharaat j. 5, uk 38. 399
- Ibn Abi Ya‟ala Tabaqatu Al-Hanabila j. 2, 245-246. 400
- Maneno yaliomo katika breketi ni sherehe ya mshereheshaji. Hapo anakupa mfano wa
qarina ni kitu gani.
129 walio wengi zaidi kwamba haitoi yakini moja kwa moja (kukawa na
qarina kusiwe na qarina).401
Anaendelea:
– ٠ ر حوز ح٥كخى١ــــــ٣ؼ –حؼخغ ) : خ ()حظ٤قك٢ طو٤ق حر حلخؿذ ك
ــ٣ؿذ ػ٤ حظ اح حؿظغ ححث٢ حظ٢ خ ا خء هللا طؼخ٠ ، ٢ خك٤ش ؿد حؼ
ك٢ كخ٤ش حؼي )……………٣ي أ ل ٣ؿذ ح٤و٤ حؼو ……ل ل ٣ؿذ حؼ
حظلظخح٠ ػ٤خ أ ح ه حـ
ر حؼو خي رؤ هز ححكي حؼي ل ٣ؿذ :ػ هخ
………ح٤و٤ ، أ حكظخ حد هخث ا خ ؿكخ
Na katika kitabu Al-Tanqih cha Ibn Hajib pamoja na sherehe yake iitwayo
Al-Tawdhih (kuna maandiko yanayofuata): „na ya tatu – yaani Hadithi
Ahadi – inaleta dhana ikiwa itatimiza masharti ambayo tutayataja in shaa
Allah, nayo (masharti hayo) yanatosha kuwajibisha matendo (yanatosha
kuifanya Hadithi Ahadi itumike katika matendo), kwani haileti yakini
(itikadi)…..na akili inashuhudia kwamba (Hadithi Ahadi) haileti yakini
(haitumiki katika itikadi)402
…………………..na katika maelezo ya Al-
Sa‟ad Al-Taftazaani juu ya yake (vitabu viwili hivyo) ni kuwa HII NDIO
KAULI YA JUMHUR. Kisha akasema: „bali akili inashuhudia kuwa
habari ya mtu mmoja muadilifu (Hadithi Ahadi) haileti yakini na
uwezekano wa kuwa habari hio ni ya uwongo upo hata ikiwa uwezekano
huo umezidiwa uzito……403
Anaendelea:
ــــ أ حلـــ ؼـــحل“ : ك٢ كحطق حكص رف حؼزص لر ػزي ح خ
وز ؼخ ز٤خ ، ل ٣ل٤يــــــش حؼالػش ػ٠ أ هز ححكي ، ا ٣ ح ححكي حــــ حلث
ي حؼ لى ا٠ حظخهــــز ححكـــ أكخى ه .……ظق رخوحث أ ل ــــــــحؼ طوخ ، حء حك
ي٤ رظخه٤٠ ؿخث ر حهغ ، خ ــــــزخ حؼـــــي أ١ اه - هخػ -اح أهز ػيل رظخه٤٠
401
- Jam‟u Al-Jawami‟i cha Ibn Al-Subki kilichoshereheshwa na Jalalu Al-Din Al-Mahalli
pamoja na hashia ya Ibn Al-Qasim Al-„Abbaadi j. 3, uk. 215. Tanbihi: maneno (kukawa na
qarina kusiwe na qarina), ni maneno yangu ili kukuwekea wazi makusudio. 402
- Al-Tawdhih „Alaa Al-Tanqiih uk. 431-432, Hamish Al-Talwih cha Al-Sa‟ad. 403
-
130
).ل ٣ول٠ ػ٠ حظوة ك٢ حلخف ح حخ٤ي
Na katika kitabu Fawatihu Al-Rahmut Bi Sharhi Musallami Al-Thubut cha
Ibn „Abdil-Shakur kuna maelezo yafuatayo: “Waliowengi zaidi katika
watu wa usuli na miongoni mwao ni Maimamu watatu (wakuu wa
Kisunni), ni kuwa habari ya mtu mmoja (Hadithi Ahadi) ikiwa mmoja
huyo hakuwa Nabii Ma‟asum, basi haileti yakini (haitumiki katika itikadi),
ni sawa tu ikiwa kuna qarina au hakuna……lau habari ya mtu mmoja
yaleta yakini basi waadilifu wawili watapotoa habari tafauti kungelikuwa
na mgongano……na hilo yaani la waadilifu wawili kutoa habari zenye
kugongana linawezekana (likatokea) bali lipo limetokea halimfichikii yule
mwenye kuvisoma vitabu vya Al-Sihah na Al-Sunan na Al-Masaaniid.404
Anaendelea:
و٤يس ، كؼ٤ أـــــ أحى زظيع أ ٣يػ ا٠ حؼ “ هخ حإلخ لي ػزي ك٢ اكي كظخح
ؼ٤ش ـــو٤ش حزخ٤ش ، أ رخلىش حــــــويخص حؼـــ٣و٤ ػ٤خ حي٤ ح ا٠ ح٤و٤ اخ رخ
ي ، كب ــحظحطس، ل ٣ أ ٣ظو كي٣ؼخ كي٣غ ح٥كخى ى٤ال ػ٠ حؼو٤يس ، خ ه١
).حؼف ػي حلثش هخ١زش أ أكخى٣غ ح٥كخى ل طل٤ي ال حظ )ا حظ ل ٣ـ٢ حلن ٤جخ
Na akasema Al-Imamu Muhammad „Abduh katika moja ya fat-wa zake:
„lau mtu wa bidaa405
alitaka kulingania katika itikadi hii, basi inampasa
asimamishe dalili itayofikisha kwenye yakini, ama kwa vitangulizi vya
akili (kwa hoja za kiakili) au kwa dalili za mapokezi zilizo mutawatir wala
haiwezekani kuwa achukuwe Hadithi katika Hadithi Ahadi kuwa ndio
dalili ya itikadi hata ikiwa na sanad sahihi kiasi gani, kwani
kinachojulikana kwa Maimamu wote ni kuwa Hadithi Ahadi haileti
isipokuwa dhana tu (Na kwa hakika dhana haitoshelezi chochote
kutokana na haki).406
404
- Fawaatiihu Al-Rahmuut Bisharhi Musallami Al-Thubut Al-Matbu‟i bi-dhail Al-Mustas-
faa j. 2, uk. 121. 405
- Kama Kasim Mafuta, Seif Al-Ghafri na Maimamu wao – Ibn Taymiyya, Ibn Al-
Qayyim, Muhammad bin Abdil-Wahhaab, Al-Albani, Bin Baz na wengineo pamoja na
hizbu yao ya bidaa. 406
- Katika Fatawa za Al-Imami Muhammad „Abduh kazinukuu Al-Qasimi katika tafsiri ya
Suratu Al-Ahzab katika tafsiri yake Mahaasinu Al-Tanziil j. 13, uk. 4920.
131
NUKULU ZA AL-IMAMU AL-QANNUBI
Sheikh Al-Qannubi naye kawanukuu wanavyuoni wengi wa Kisuni ambao
wamesema kwa uwazi kwamba Hadithi Ahadi ni kitu cha dhana tu, na kwa
hivyo inatumika katika matendo tu pasina kutumika katika itikadi. Na
zifuatazo ni baadhi ya nukulu hizo:
Anasema Al-Qarafi:
حل٤ي ظ ل حوخح ححكي أ حؼي ك٢ هز ححكي هز حؼ ي Sehemu ya tano: kuhusu Habari ya mtu mmoja (Hadithi Ahadi) nayo ni
Hadithi inayosimuliwa na mtu mmoja muadilifu au waadilifu wengi
ambayo inaleta dhana (tu).407
Anasema Al-Imamu Abu Mansur Al-Baghdadi:
أهزخ ح٥كخى ظ٠ ق يخ خض ظخ ؿ٤ ل٤ش ك٢ حؼو خض ؿزش ؼ ى حؼ
Hadithi Ahadi zinapokuwa na sanad sahihi na ikawa mutun (texts au
maneno) ambayo kiakili si mustahili, basi zinawajibisha (kuzitumia katika)
matendo tu pasina yakini (itikadi). 408
Anasema Al-Isnawi:
٤ي حظ, حخعـــــــل ح٥كخى ا أكخىص كبخ طل .……أخ حش كخ٥كخى خ ل طل٤ي ال حظ
ي ـاخ أؿخ حظ ك٢ حخث حؼ٤ش ٢ حلع ى حؼ٤ش وحػي أ حي٣ ي هحػ
خ و حلزخ١ خف حزخ ػ حؼخء هخ١زشــ حلو, ـــأ
Na ama Sunna, zilizo Ahadi katika hizo basi hazileti isipokuwa
dhana409
…….kwani Hadithi Ahadi ikiwa zitaleta faida basi ni dhana, na
kwa hakika Mwenye sharia kajuzisha kuitumia dhana katika mambo ya
matendo tu nayo ni matawi pasina mambo ya yakini (itikadi) kama vile
407
- Al-Qarafi Tanqihu Al-Fusul Wa Sharhuh uk. 356. 408
- Al-Imamu Abu Mansur „Abdul-Qadir Al-Baghdadi Usulu Al-Din uk. 12. 409
- Al-Isnawi Nihayatu Al-Sul j. 1, uk. 22.
132 misingi ya dini halkadhalika misingi ya usuli al-fiq-hi
410 kama alivyonukuu
Al-Anbari mshereheshaji kutoka kwa Maulamaa wote.411
Anasema Ibn „Abdil-Barri:
...ح١ ػ٤ أؼ أ حؼ أ ٣ؿذ حؼ ى ....حهظق ألخرخ ؿ٤ ك٢ هز ححكي.....
حظ......حؼ ه حخكؼ٢ ؿ أ حلو
Wanavyuoni wetu wametafautiana na wengi (pia wametafautiana) kuhusu
Hadithi Ahadi ……na kinachofuatwa na waliowengi zaidi katika
Maulamaa ni kuwa (Hadithi Ahadi) inawajibisha matendo pasina yakini
(itikadi), nayo ni kauli ya Al-Shafi na jumhur ya watu wafiq-hi na rai….412
Anasema Al-Bayhaqi:
ح حؿ حلكظخ طى أ حظ ألخرخ حلكظـخؽ رؤهزخ ح٥كخى ك٢ لخص هللا طؼخ٠ ،
خ حلى خ أ ك٢ حظخد أ حإلؿخع ــاح ٣
Na kwa sababu ya muelekeo huu wa kubeba maana tafauti, basi wenye rai
katika wanavyuoni wetu wamewacha kutoa hoja kwa Hadithi Ahadi
KATIKA SIFA ZA ALLAH MTUKUFU (katika itikadi) ikiwa ile Hadithi
aliopwekeka nayo haikuwa na asili katika Qur-ani au makubaliano ya
umma.413
Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:
أخ هز ححكي ك خ ٣ؿي ك٤ ١ حظحط حء خ حح حكيح أ أؼ حهظق
حلخرش حظخرؼ٤ ك رؼي حليػ٤ـ٤ ــــخ٤ حـــكخ ػ٤ ؿ ــــــك٠ ك
ـش كـؾ حع ٣ حؼ رخ ٣ل٤يـــــهز ححكي حؼوش ك أ ـــحلوخء ألخد حل
حوخث٤ رلـ٤ش كي٣غ ح٥كخى ك٢ حؼو٤يس ػ هخ(: )ػ أى كـــــــــؾ…حظ ل ٣ل٤ي حؼ
حلهخ٣ خ ه حـ رخ١ش
410
- Yaani baadhi ya misingi ya usuli al-fiq-hi: si yote; vyenginevyo baadhi ya misingi yake
ni ya dhana tu: si ya yakini. 411
- K.h.j. uk. 349. 412
- Ibn „Abdil-Bar Al-Tamhid j. 1, uk. 7. 413
- Al-Bayhaqi Al-Asmaau Wa Al-Sifaat uk. 357.
133 Ama Hadithi Ahadi ni ile ambayo hayakupatikana ndani yake masharti ya
mutawatir ni sawa tu mpokezi wake akiwa mmoja au zaidi. Na
wakatafautiana katika hukumu yake, kinachofuatwa na jumuhur ya
Waislamu kuanzia MASAHABA na WAFUASI WA MASAHABA na
waliokuja baadae miongoni mwa wanavyuoni wa Hadithi na wanavyuoni
wa fiq-hi na watu wa elimu ya usuli ni kuwa Hadithi iliosimuliwa na
mpokezi mmoja mwenye kuaminika (Hadithi Ahadi) ni hoja katika hoja za
kisharia: inalazimisha kuifanyia kazi (katika matendo) na inaleta dhana
pasina kuleta yakini……(Kisha akataja hoja za wenye kutolea hoja kwa
Hadithi Ahadi katika itikadi, kisha akasema) 414
…….: Na kauli hizi zote ni
batili isipokuwa kauli ya jumhur.415
Anasema Al-Baji:
هخ لي ر ه٣ يحى: ..……...أخ هز ح٥كخى كخ ه ػ حظحط، ي ل ٣وغ ر حؼ
ػ٤ ؿ٤غ حلوخء.٣وغ حؼ روز ححكي، حل
Ama Hadithi Ahadi ni ile iliochini ya mutawatir na hio haipatikani yakini
kwayo…na Muhammad bin Khuwaiz Mindad akasema inapatikana yakini
kwayo, na kauli ya mwanzo ndio inayofuatwa na wanavyuoni wote wa fiq-
hi.416
Anasema Al-Khatib Al-Baghdadi:
هز ححكي ل ٣وز ك٢ ٢ء أرحد حي٣ حؤه ػ٠ حل٤ حؼ رخ حوطغ ػ٤خ
Hadithi Ahadi haikubaliki katika chochote miongoni mwa milango ya dini
ambayo inawawajibishia wenye kukalifishwa kuwa waijue na kuwa wakate
juu yake (wawe na yakini juu yake).417
Anasema Imamu Al-Haramain:
زض حل٣ش حلخرش ظزش حلي٣غ ا٠ أ هز ححكي حؼي ٣ؿذ حؼ ح ه ل ٣ول٠
١ ذ ي ػ٠
Wamesema Hashwiyya418
katika Mahanbali na waandishi wa Hadithi419
kwamba Hadithi Ahadi inaleta yakini, na huku ni kufedheheka ambako
kukujua kwake hakujifichi kwa mwenye akili.420
414
- Yalio katika breketi ni maneno yangu. 415
- Al-Imamu Al-Nawawi Sharhu Sahihi Muslim j. 1, uk. 131. 416
- Al-Baji Al-Ishara uk. 234. 417
- Al-Khatib Al-Baghdadi Al-Kifaya uk. 432. 418
- Kama Kasim Mafuta, Seif Al-Ghafri na Mawahabi wenzao popote walipo.
134
Anasema Al-Fakhru Al-Razi:
ي ـــــحؼـذ حل٣ش أ ٣و: حلظـخ رظؤ٣ ح٣٥خص حظخرش ؿ٤ ؿخث ل طؼ٤
زخ ـرخظ ك٢ حوآ ل ٣ـ ػ ٣ظ ك٢ حص هللا طؼخ٠ لخط رؤه حو ـــحظؤ٣ ظ
ح٥كخى غ أخ ك٢ ؿخ٣ش حزؼي ػ حوطغ ح٤و٤....
Na ajabu ya Hashwiyya kwamba wanasema: „kujishughulisha na kuziletea
ta-awil Aya zenye utata (mutashabihat) haifai kwani kuichagua maana hio
(uliosema) ni jambo la dhana tu na kusema kwa dhana katika Qur-ani
haijuzu. Kisha wao wanazungumzia mambo yanayoihusu Dhati ya Allah
na sifa zake kwa kutumia Hadithi Ahadi pamoja na kuwa ziko mbali mno
kutokana na uhakika na yakini….421
Anasema Abu Bakr Ibn „Asim katika Murtaqa Al-Wusul:
هز ححكي ظخ كال ***** رو حكي كخ ػال
Na Hadithi Ahadi dhana imepatika***Nayo ni yenye kunukuliwa na
mpokezi mmoja na kuendelea.
Anasema mshereheshaji:
ل ٣ل٤ي حؼ حكظلض ر حوحث خ ح٣ ػخىلذ حـ أ هز ححكي
Na madhehebu ya jumhur ni kuwa Hadithi Ahadi haileti yakini (itikadi)
hata ikizungukwa na qarain na mpokezi wake akawa ni muadilifu.422
Anasema Abu Al-Khatab Al-Hanbali:
٠ ــحح ؿخء حلي٣غ ػ حز٢ ك٢ ح٣ش حلػ : ) –كي أ١ أ –هز ححكي ل ٣وظ٢٠ حؼ هخ
٠ ر لـــــلل ػ٤ رخخى ل٤ق ك٤ ك أ ك ػض رخل حل ىض هللا طؼخ
كوي ػ٠ أ ل ٣وطغ ر هخ ؿــــ : هخ ) هخ ي٤ ـــــأي أ حز٢ ٠ هللا ػ
419
- Kawaita waandishi kwani watu wengi walionukuu Hadithi hawana fiq-hi na hawana
fahamu sahihi ya maandiko, kazi yao ni kuhifadhi na kufikisha. Ninasema: “wengi” kwa
maana si wote: si mtu kama Al-Bukhari ambaye alikuwa mwanachuoni wa uhakika. 420
- Imamu Al-Haramain Al-Burhaan j. 1, uk. 606. 421
- Al-Fakhru Al-Razi Asasu Al-Taqdis. Tazama pia kitabu chake chengine Al-Ma‟alim
uk. 138. 422
- Al-Wulaati Naylu Al-Sul uk. 57.
135
حؼخء
Habari ya mtu mmoja (Hadithi Ahadi) haileti yakini, kasema – yaani Al-
Imamu Ahmad – katika riwaya ya Al-Athram: „ikiwa Hadithi itapokewa
kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kwa sanad sahihi, na ikawa ndani yake kuna
hukumu au faradhi, basi mimi nitaitendea kazi hukumu hio na faradhi hio
na nitamuabudu Allah kwayo wala sishuhudii kuwa Mtume (s.a.w.)
kaisema hio‟. Kasema: (Tazama! Al-Imamu Ahamad) kasema kwa uwazi
kwamba yeye hakati kwa hio (hasemi kwa hakika na yakini kuwa Mtume
s.a.w. kaitamka Hadithi hio), na hivyo ndivyo walivyosema jumhur ya
wanavyuoni.423
Anasema Safiyyu Al-Din Al-Baghdadi Al-Hanbali:
ح٥كخى خ ٣ظحط، حؼ ل ٣ل ر ك٢ اكي حح٣ظ٤، ه حلؼ٣ ظؤه١ ألخرخ
Na Hadithi Ahadi ni ile ambayo haikuwa mutawatir, na yakini haipatikani
kwayo kwa mujibu wa moja ya riwaya mbili (zilizipokewa kutoka kwa Al-
Imamu Ahmad bin Hanbal), na hio ndio kauli ya waliowengi zaidi na wa
mwisho mwisho katika wanavyuoni wa madhehebu yetu (ya Kihanbali).424
Anasema Ibn Qudama Al-Hanbali:
ــػيح حظحط حهظلض حح٣ش ػ اخخ ك هللا ك٢ ك هزخ ح٥كخى ٢ خأحو حؼخ٢
ــــك أ ل ٣ل ر ه حلؼ٣ حظؤه٣ ألخرخ لخ ؼ حؼ روز ححكي
س أخ ل يم هز ؼ
Mgawanyiko wa pili ni Hadithi Ahadi nazo ni zile zisizo mutawatir.
Riwaya kutoka kwa imamu wetu (Al-Imamu Ahmad bin Hanbal), Allah
amrehemu zimetafautiana kuhusiana na kupatikana kwa yakini kutokana
na Hadithi Ahadi. Imepokelewa (kutoka kwake akisema) kwamba yakini
haipatikani (kwa Hadithi Ahadi), NAYO NDIO KAULI YA WALIO
WENGI ZAIDI katika wanavyuoni wetu, kwani sisi tunajua ujuzi wa
lazima kwamba hatuiamini kila habari tunayoisikia.425
Anasema Al-Tufi Al-Hanbali:
حط أ رؼ٠خ، ػ أكي ك٢ ك حؼ ر هل:ـــــي ١ حظـــحؼخ٢: ح٥كخى خ ػ
ه حلؼ٣.... ل، ـــحلظ
423
- Abu Al-Khatab Al-Hanbali Al-Tamhid j. 3, uk. 78. 424
- Safiyyu Al-Din Al-Baghdadi Al-Hanbali Qawaa‟idu Al-Usul uk. 16. 425
- Ibn Qudama Rawdhatu Al-Nadhir j. 1, uk. 260.
136 Ya pili ni Hadithi Ahadi nayo ni iliokosa masharti ya mutawatir au baadhi
ya masharti ya mutawatir; na kutoka kwa Al-Imamu Ahmad zimepokewa
kauli mbili kuhusu je Hadithi Ahadi inatoa yakini? Kilichowazi zaidi ni
kuwa haitoi yakini, nayo ndio kauli ya wengi zaidi.426
Anasema Al-Safaarini Al-Hanbali alipokuwa akizungumzia ta‟arifu
(definition) ya elimu ya tawhid na dalili zinazotakiwa katika elimu hio, na
kubainisha kwamba zinazotakiwa ni dalili za yakini, na akaishia kwa
kusema:
ظخ ح٤و٤ ؼي حلػظيحى رخظ ك٢ حلػظوخى٣خصحػظزح ك٢ أى
Na wakazingatia katika dalili zake ushahidi wa yakini tu kwa sababu ya
kutokuizingatia dhana katika mambo ya itikadi.427
Anasema Al-Qasimi:
حؼوخثي......أخ حلي٣غ كؼ٠ ك لظ ك آكخى، ح٥كخى ل ٣ئه رخ ك٢ رخد
Ama Hadithi hii, tukijaalia kuwa ni sahihi basi ni Hadithi Ahadi, na
Hadithi Ahadi haichukuliwi katika mlango wa itikadi.428
Anasema Al-Imamu Muhammad „Abduh:
خ ح ك ٢ آه ح غ ك ي ٣غ ح ٣و ش ك ٢ ك حط ذ خك ك خ : أ ي : أ ك خ ـ ٣ ٣غ ــــ ط و ي
ظ ؼ ن ر ؤ خى و آك خ ا ل ر خ ك ٤ ه ٣ش ل ٣ ئ ظ و خى ػ حل حل ـ ٤ ذ ح أ ظ و خى ١ ل ـــــحػ ٢ ل ط ؼ
د ـــح ٤ و ط ح خ ،ــك ٤ ٤ . حط ظ ٣غ ي ز خد ك ك ٢ ح ٤
Na aliyefuata njia hii kuhusu Hadithi ya kupanda (kwa Nabii Issa) na
kushuka (kwake) huko katika zama za mwisho kaitolea tafsiri mbili: moja
yao ni kuwa hii ni Hadithi Ahadi nayo inahusiana na jambo la itikadi
kwani hili ni jambo la ghaib, NA MAMBO YA ITIKADI
HAYACHUKULIWI ILA KWA NJIA YA YAKINI TU, kwani
426
- Al-Tufi Al-Bulbul Fii Usuli Al-Fiq-hi „Alaa Madh-habi Ahmad bin Hanbal j. 2, uk.
103. 427
- Al-Sifaarini Lawaaihu Al-Anwaari Al-Sunniyya j. 1, uk. 133, na Lawaami‟u Al-Anwaar
j. 1, uk. 5. 428
- Al-Qasimi Tafsiru Al-Qasimi katika tafsiri ya juzuu „Amma: tafsiri ya Suratu Al-Falaq
uk. 186. Tanbihi: mimi sikujua je maneno haya ni ya Al-Qasimi mwenyewe au ni maneno
ya Al-Imamu Muhammad „Abduh anayanukuu, kwani Al-Imamu Al-Qannubi kwanza
kaanza kunukuu maneno ya Al-Imam Muhammad „Abduh kisha ndio akayaleta maneno
haya, lakini dhahir ni kuwa haya ni maneno ya Al-Imam Muhammad na Al-Qasimi
anayanukuu.
137 kinachotakiwa ndani yake ni yakini, na katika mlango huu hakuna Hadithi
mutawatir…429
Hio ni mifano miwili mitatu aliotunukulia Al-Imamu Al-Qannubi. Kwa
urefu zaidi tazama vitabu vifuatavyo: Imamu Al-Haramain katika Al-
Waraqaat,430
Al-Zabidi katika Itihaafu Al-Sada,431
Abu Is-haq Al-Shirazi
katika Al-Tabsira432
na katika Al-Luma‟u,433
Ibn Al-Athir katika
Muqaddimatu Jaami‟u Al-Usul,434
Ibn Al-Hajib katika Muntaha Al-
Usul,435
Al-Imamu Al-Bukhari katika Al-Sahih,436
Al-Samarqandi Al-Hanafi
katika Mizanu Al-Usul,437
Al-Jassaas katika Al-Fusul Fii Al-Usul,438
Abu Al-
Qasim Al-Kalbi katika Taqribu Al-Wusul Ilaa „Ilmi Al-Usul,439
Ibn Burhan
katika Al-Wusul Ilaa Al-Usul,440
Safiyu Al-Din Al-Hindi katika Nihayatu Al-
Usul,441
Ibn Badran katika Nuzhatu Al-Khaatir Al-„Atir.442
Hayo ni maelezo ya baadhi ya wanavyuoni wa madhehebu nne za Kisuni, na
hilo ndilo ambalo Ahlu Al-Haqqi Wa Al-Istiqama (Ibadhi) wamekubaliana
juu yake. Tazama Shamsu Al-Usul443
na Tal‟atu Al-Shams444
vya Al-Imamu
Nuru Al-Din Al-Salimi, Al-Dalilu Wa Al-Burhan,445
cha Al-Imam Abu
Ya‟aqub Al-Warajiliani, Al-Saif Al-Haad cha Al-Imamu Al-Qannubi,446
Al-
429
- Tafsiru Al-Manar j. 3, uk. 317. 430
- Uk. 184. 431
- J. 2, uk. 105-106. 432
- Uk. 298. 433
- Uk. 72. 434
- J. 1, uk. 125. 435
- Uk. 71. 436
- J. 13, uk. 290 kwa mujibu wa Sherehe ya Fat-hu Al-Bari. Tanbihi: Al-Bukhari
hakusema kwa uwazi kwamba Hadithi Ahadi inatumika katika matendo tu pasina kutumika
katika itikadi, lakini kasema maneno yenye maana hio. Alichokisema yeye ni hiki:
متاب ها جاء في إجازج خثر الىاحد الصدوق في الأذان والصلاج والصىم والفرائض والأحكا“Mlango wa yaliokuja katika kuiruhusu Hadithi ya mpokezi mmoja mkweli (Hadithi
Ahadi) katika adhana, sala, funga, faridha na hukumu”. Wanavyuoni kadha wa kadha
wameelezea makusudio ya Al-Bukhari kusema hivyo kwamba ili ieleweke kwamba Hadithi
Ahadi inatumika katika matendo tu: pasina kutumika katika itikadi. 437
- J. 2, uk. 642-643. 438
- J. 3, uk. 53, uk. 93. 439
- Uk. 121. 440
- J. 2, uk. 172-174. 441
- J. 6, uk. 2801-2802. 442
- J. 1, uk. 261. 443
- Uk. 33. 444
- J. 2, uk. 15. 445
- J. 2, uk. 32. 446
- Uk. 57. Na kimsingi ni kuwa hio ndio maudhui ya kitabu hicho.
138
Haqqu Al-Damigh cha Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir,447
na kwa ufupi hio ndio kauli ya wanavyuoni wote wa Kiibadhi wala
hawakutafautiana juu ya hilo kama alivyoeleza Al-Imamu Al-Qannubi
katika Al-Saifu Al-Haad, anasema:
Na miongoni mwa wenye kauli hii ni wanavyuoni wetu wote, na
Mu‟tazila, na Zaidia, na jumhur ya Mahanafi, na Mashafi, na kundi kubwa
la Dhahiriyya nayo – kwa usahihi – ndio kauli ya Al-Imam Malik nayo
ndio inyofuatwa na wanavyuoni wa madhehebu yake, na ndio kauli ya
wanavyuoni wengi wa Kihanbal na ndio ilio mashuhuri kutoka kwa Al-
Imamu Ahmad……448
Bwana Mafuta hio ni sehemu ndogo mno katika maelfu ya kauli za
wanavyuoni wa Hadithi, fiq-hi, usuli, tafsiri na fani nyengine za elimu.
Umeona kwamba wanasema kwa uwazi kwamba:
1) Hadithi Ahadi haileti yakini.
2) Hadithi Ahadi ni jambo la dhana.
3) Hadithi Ahadi haitumiki katika itikadi.
4) Hio ndio kauli ya waliowengi.
5) Hio ndio kauli ya Maimamu watatu wakuu wa Kisunni.
6) Imamu wanne zimepokelewa kutoka kwake riwaya mbili.
7) Pamoja na hayo, kilicho mashuhuri kutoka kwake ni kauli ilio sawa
na Maimamu wengine.
8) Hio ndio kauli ya Jumhur ya umma.
Sasa kama wote hao hukuwaamini, basi jikumbushe yale alioyasema Ibn
Taymiyya, alipotongoa hivi:
كح حلع ٤ ك٢ ظخد هللا، ح حلي٣غ خ خ ك٤خ ك٤ ظحطح
Na lafdhi hii haimo katika Qur-ani; na Hadithi hii hata lau ilikuwa ni
andiko la wazi katika kile kilichotajwa, basi si mutawatir...449
Anaendelea Ibn Taymiyya:
حؼخ٢ أ ح أهزخ حلكآى ك٤ق ٣ؼزض ر أ حي٣ ح١ ل ٣ق حإل٣خ ال ر
447
- Uk. 62-66. Katika chapa ya Darul-Hikma London ni uk. 69-72. Tazama pia kitabu
chake Wasaqata Al-Qina‟u uk. 99, na uk. 154, Jawahiru Al-Tafsir j. 3, uk. 110. 448
- Uk. 8. 449
- Ibn Taymiyya Naqdu Maratibi Al-Ijma‟a uk. 304.
139 Pili ni kuwa hii ni katika khabari Ahadi basi vipi utathibiti kwayo msingi
wa dini (itikadi) ambao imani haisihi ila kwa huo.450
Hayo ni maneno ya Ibn Taymiyya.
Vipi Mafuta! Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya ni mjuzi wa Hadithi na
mengineo au ni mjinga wa mitaani? Je maimamu hao wanajua au ni watu
kama ivi mie? Ndugu msomaji nadhani sasa inazidi kukubainikia kwamba
huyu Mafuta hasomi: basi ni zogo tu. Labda Mafuta kaghururika na porojo
la Seif Al-Ghafri akidhania kuwa Al-Ghafri ni mkweli au ni mjuzi wa elimu
ya Hadithi. Al-Ghafri ni mjuzi wa kuponda watu, hio ndio fani yake: hakuna
yoyote anayemuingia hapo!
Hayo niliokupa ni mukhtasari, na ukitaka kujua hoja za kwa nini Hadithi
Ahadi haitumiki katika itikadi – hilo litachukua sehemu kubwa ya kitabu –
rejea kitabu Al-Saifu Al-Haadi cha Imamu Al-Sunna Wal Usul Wal Furu‟i
Al-„Allaama Al-Rabbaani Al-Qannubi, utakuta humo hoja zitazoupoza
moyo wako. Na kama unataka mjadala zaidi juu ya suala hili peke yake
andika jawabu yako nasi tuko tayari kukujibu kwa hoja na dalili za wazi in
shaa Allahu Ta‟aala.
Hio ni jawabu ya nukta ya kwanza ya maneno ya Mafuta, nayo ni maneno
yake yasemayo:
Ni kuhusu kauli yake: “Ama hadithi kwa mujibu wa Jumhuri ya umma
huwa haichukuliwi katika mambo ya itikadi ila ikiwa ni mutawatir.”
Maneno haya, hayana ukweli hata kidogo, na wala hayakujengwa juu ya
msingi wa kielimu, bali ni maneno porojo yaliyojaa ubabaishaji ndani
yake. Ushahidi wa hilo ni huu:
Kwanza ndugu Juma anataka kutuambia kwamba kauli ya maulamaa
wengi ni kuwa katika mambo ya itikadi hawazikubali ila hadithi
mutawatir. Na hali yakuwa mambo ni kinyume chake, na sijui aliposema
Jumhuri ya uma alikuwa anawakusudia kina nani? Kama makusudio yake
ni wanavyuoni wengi wa hadithi ambao ndiyo wataalamu wa fani hii,
maneno hayo si kweli. Na kama ni mkweli basi atuthibitishie hilo kwa data
za kielimu na si kwa maneno matupu. Na kama makusudio yake aliposema
“Jumhuri” ni mpaka wajinga ambao hawana utaalamu wowote katika fani
hii, hilo pia si kweli, na hata kama ni kweli msimamo na ufahamu wao si
hoja katika mambo ya kielimu. 451
450
- Ibn Taymiyya Minhaaju Al-Sunna j. 2, uk. 133. 451
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 161.
140
Nukta ya pili ni kuwa “je wanavyuoni hao ni wanavyuoni wa Hadithi au ni
wajinga”, nukta hii natarajia imeshajibika katika jawabu hio juu ya nukta ya
kwanza. Lakini hapa kuna kitu kimoja muhimu ambacho inaonekana kuwa
Mafuta ajingikiwa nacho, nacho ni kuwa wanavyuoni wa Hadithi kazi yao
mahususi ni kutwambia kuwa SANAD ya riwaya hii ni sahihi, au hasan, au
dhaifu, au maudhui n.k. Hii ndio kazi mahususi ya wanavyuoni wa Hadithi.
Ama yale yenye kuhusu:
1) Al-„Ilal fii Al-Mutun (kasoro zilizomo ndani texts yaani maneno
yenyewe).
2) Fiq-hi ya Hadithi.
Bwana Mafuta, wajuzi zaidi wa mambo hayo si wanavyuoni wa Hadithi,
bali ni wale waliokuwa mabingwa wa fiq-hi, tafsiri, usuli, lugha ya Waarabu
na mengineo; hao ndio mabingwa wa mambo hayo. Ndio maana ukaona
asilimia kubwa ya wenye itikadi ya tajsim na tashbih ni wale
waliojishughulisha na Hadithi ambao aghlabu yao hawakuwa mafakihi.
Kwa hivyo, je Hadithi hii sanad yake ni sahihi? Hilo tutawachia
wanavyuoni wa Hadithi. Je matn yake inakubalika? Hilo watalizongea
wanavyuoni wote na wajuzi wao wa hilo ni wanavyuoni wa tafsiri na fiq-hi?
Je Hadithi Ahadi tuitumie katika itikadi? Hili linawahusu wanavyuoni wote
hususan ukizingatia kwamba suala hili linaingia katika mambo ya:
d) Akili.
e) Ushahidi wa Hadithi.
f) Ushahidi wa Qur-ani.
g) Qawaaidu „Amma (kanuni za ujumla) za tafsiri.
h) Usulu Al-Fiq-hi.
Hilo ningependa ulielewe vyema. Vyenginevyo hata huyo Ibn Taymiyya na
Ibn Al-Qayyim hawakuwa wanavyuoni wa Hadithi.
MAFUTA NA MAANA YA HADITHI MUTAWATIR
Anaendelea Mafuta kwa kusema:
Pili, ni kuhusu maana ya mutawatir, Je anakusudia mutawatir kwa istilahi
ya wanavyuoni wa hadithi ambao ndiyo wataalamu wa fani hii? au
anakusudia hadithi mutawatir kwa istilahi yake yeye na kaumu yake?
Kama ni mutawatir kwa istilahi ya kitaalamu katika elimu ya hadithi, basi
hebu sikiliza kauli za wataalamu wa fani ya mambo ya hadithi
wanavyosema:
Amesema Imamu Al-Tahaawiy:
ف .”...كظحطس حإ٣ش ػ٠ حيحش ألخر ػ٤ هللا ٠ حز٢ ػ حلكخى٣غ أخ
141
حطلخ٣ش ؼو٤يس
“Na ama hadithi (zilizopokelewa) kutoka kwa Mtume –swalla llaahu
alayhi wasallam- na maswahaba zake zenye kuelezea kuonekana (Allah) ni
Mutawatir”.
Tazama Shar‟hul-Aqidati Tahaawiyah ukurasa wa 189-193
Amesema Imamu Ibn Kathir:
آػ٤ إلر حؼظ٤ حوآ ح٥كخى٣غ ك٠ ح٥هس حيح ك٠ – ؿ ػ – لل حئ٤ إ٣ش ػزظض هي
“Na limethibiti (suala la) waumini kumuona Allah –Azza Wajallahuko
akhera kwa hadithi sahihi kwa njia zilizo mutawatir (kwa njia nyingi
ambazo ni muhali kuwa wapokezi wake wameafikiana kutunga uwongo)
mbele za watu wa hadithi na haiwezekani kuzizuia wala kuzikataa”.452
1) Na kama lengo lake ni kwa maana ya kitaalamu, swali kwani mutawatir
ni watu wangapi? Na atajibu nini kuhusu riwaya zote hizi zilizo sahihi? Na
isitoshe wengi katika wataalamu wa fani hii wanaelezea kuwa hadithi hizi
zimekuja kwa wingi mno mpaka kufikia daraja hiyo ya mutawatir, na bila
shaka kauli za wataalamu wanapo lizungumzia jambo linalohusu fani zao
hupewa uzito wa aina yake, na wao ndiyo wanaotuambia kuwa hadithi za
kuthibitisha kuonekana Allah kwa macho ni mutawatir.
2) Hata hali halisi nayo pia inaiunga mkono rai hii kwa sababu hadithi hizo
zimepokewa kutoka kwa maswahaba hawa wafuatao:453
Na pia zimepokelewa kauli nyingi kutoka kwa Tabiina wengi (wanafunzi
wa maswahaba) kama vile:
17) Said Ibn al Musayyib. 18) Twaaus. 19) Mujaahid. 20) Ikrimah. 21)
Muhammad Ibn ka‟b al-Quradhiy. 22) Abul Aaliyah. 23) Hasan al Basriy.
24) Abdul-Rahmaan Ibn Abi Layla. 25)
Qataadah Al-Saduusiy. 26) Abu Is‟haq al-Sabi‟y. 27) Dhahaak Ibn
Muzahim, na wengineo.
Na ama katika maimamu wakubwa ni hawa wafuatao:
28) Imamu Malik Ibn Anas. 29) Al-Layth Ibn Sa‟ad. 30) Al-Awzaiy. 31)
Sufyan al-Thawriy. 32) Sufyan Ibn Uyaina. 33) Jarir Ibn Abdil Hamid. 34)
452
- Tazama Tafsiri ya Ibn Kathir juzuu ya 8 ukurasa 367.chapa ya Daaru Ibn hazmi,
Beirut-Lebanon. 453
- 1)Abu Bakar Siddiq.2)Aliy Ibn Abi Twalib.3)Ibn Mas‟oud.4) Muadh Ibnu Jabal. 5)
Abu Musa Al -Ash‟ariy. 6) Ibnu Abbaas.7) Ibnu Umar.8) Abu Umaamah. 9) Muawiyah.
10) Abu Hurayrah. 11) Jaabir. 12) Hudhaifah. 13) Anas Ibn Maalik.14) Ammaar Ibn
Yaasir. 15) Zayd Ibn Thabit. 16) Fadhala Ibn Ubayd. Na wengineo katika Maswahaba wa
bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam –Allah awe radhi nao wote-.
142 Abdullahi Ibn Mubarak. 35) Waki‟i. 36) Yazid Ibn Haroun. 37) Imamu
Shaafiy. 38) Abu Nuaym.39) Sulaiman Ibn Harbi. 40) Abdullahi Ibn
Wahbi. 41) Imamu Ahmad Ibn Hanbal. 42) Ibn Jarir al Twabariy. 43)
Imamu Abdul-Qadir al-Jaylaaniy. Na wengineo wengi ambao
hatukuwataja.454
JAWABU
Hayo ni maelezo ya Kasim Mafuta na yote yanazidi kuthibitisha kwamba
kijana bado hajasoma vitabu vya usuli na hajayafahamu vyema maneno ya
watu waliochopea katika fani za elimu. Hadithi mutawaatir Sheikh ina
masharti mengi ili iweze kuitwa mutawatir: si idadi ya wapokezi tu. Tazama
Hadithu Al-Thaqalain, imepokewa kwa sanad nyingi, lakini Al-Qannubi
alipoulizwa akasema: “ni Hadithi Ahadi”.455
Hadithi ya kupangusa miguu
katika kutia udhu, inasemekana kuwa imepokewa kutoka kwa Masahaba
thamanini, lakini Sheikh Al-Khalili alipoulizwa alisema: “ni Hadithi ahadi”.
Ukipenda kujua kwa urefu kuhusu masharti ya Hadithi mutawatir rejea
kitabu cha usuli kiitwacho Al-Ihkam cha Al-Amidi juu ya maudhui hio,
pamoja na vitabu vyengine utaweza kujua nini maana ya Hadithi
mutawaatir. Lakini hapa nakunukulia baadhi ya nilioyasema katika kitabu
changu Mezani Ya Haki kuhusu nini Hadithi mutawatir. Nilisema
yafuatayo:
TA-ARIFU ya Hadithi mutawatir ni:
1) “Ile ambayo wameinukuu wale ambao yakini inapatikana kwa sababu
ya ukweli wao, (na) kwa (sababu ya) kuwa (wao ni) kundi ambalo haliwezi
kukubaliana kusema uwongo”. 456
2) “Ni ile ambayo imepokewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.) na kikundi
ambacho kwa kawaida hakikubaliani kusema uwongo, katika zama tatu za
mwanzo: zama za Masahaba, Tabiina, na Tabii Tabiina”. 457
3) Na Ibn Hazm maneno yake ni marefu ukiyafupisha unapata sawa na
hayo yaliotangulia. Alielezea Hadithi mutawatir mpaka akasema: “Na
454
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 163-165. 455
- Naam! Kwani aghalabu ya wapokezi wake ni Mashia wenyewe, tena aghlabu kama si
wote ni watu wa mji moja – Al-Kufa ya Iraki. Katika hali hii Hadithi haiwezi kuwa
mutawatir hata ikipokewa na watu elfu, kwani shaka bado haijaondoka juu ya kuthibiti
kwake. 456
- Al-Suyuti Tadribu Al-Rawi uk. 454, katika sehemu anayozungumzia aina ya thalathini
(30) ya Hadithi. 457
- Dr. Wahbat Al-zuhaili Usulu Al-Fiq-hi Al-Islami j. 1, uk. 452.
143 inawezekana watu wengi wakakubaliana kusema uwongo ikiwa
watakusanyika na wakapenda (kitu) au wakaogopa (kitu)”. 458
4) “Ni ile ambayo imesimuliwa na kundi (la watu ambao) haiwezekani
kwa kawaida mfano wa hao (mfano wa watu kama hao) wakakubaliana
kusema uwongo, kutoka kwa kundi kama hilo (ambalo) haiwezekani (vile
vile) mfano wa wao (mfano wa watu kama hao) wakakubaliana kusema
uwongo”. 459
5) “Ni habari ya kundi (kubwa la wasimulizi) ambayo yenyewe inaleta
yakini”. 460
6) “Ni habari iliotolewa na idadi kubwa (ya wasimulizi) ambao ni muhali
(kwa idadi kama hio) kuafikiana kusema uwongo”. 461
7) “Wasimulizi wake wawe katika kila zama, ni watu ambao idadi yake
haihisabiki wala haiwezekani kuwa waafikiane katika kusema uwongo kwa
sababu ya wingi wao na uadilifu wao na kutafautika makazi yao”. 462
8) “Maana ya mutawatir – kwa muktadha wa maneno yake – ni ile
ambayo wasimulizi wake wanakuwa katika kila zama, ni watu ambao idadi
yake haihisabiki wala haiwezekani kuwa waafikiane katika kusema
uwongo kwa sababu ya wingi wao na uadilifu wao na kwa sababu makazi
yao (yako) mbali mbali…..hata lau walitoa habari idadi (kubwa sana)
isioisabika (lakini) kwa kitu ambacho inajuzu wakakubaliana kusema
uwongo kwa sababu ya (kuwa) na lengo (moja) katika malengo, basi haiwi
mutawatir”. 463
9) “Ni ile ambayo inaifanya nafsi itulie utulivu ambao kwao shaka
huondoka na hupatikana uhakika kwa ajili ya kuwa ni habari iliotolewa na
kundi (kubwa) haiwezekani (kwa kundi kama hilo) likubaliane kusema
uwongo”. 464
458
- Ibn Hazm Al-ihkaamu Fii Usuli Al-Ahkaam J. 1, uk. 102. katika sehemu ya Al-
Ikhbaaru „ani Allah. 459
- Nuru Al-din Al-Salimi Sharhu Tal‟ati Al-Shams j. 2, uk. 8. 460
- Sh. Mohd Al-Khudhari Usulu Al-Fiq-hi uk. 261. 461
- Al-Shanqiti Al-Mudhakirat uk. 119: nukulu kutoka katika maelezo ya kitabu Usulu
Al-Fiq-hi uk. 261 cha Sh. Mohd Al-Khudhari. 462
- Al-Imamu Al-Taftazani Sharhu Al-Talwihi „Alaa Al-Tawdhih j. 2, uk. 5. 463
- Al-Imamu Abdu-Llahi bin Mas‟ud Al-mahbubi, Al-Bukhari (Sadru Al-Sharia) Al-
Tnqihu Ma‟a Sharhihi Al-Musammaa Bi Al-Tawdhih j. 2, uk. 6. Kitabu hiki ni Sherehe ya
kitabu kilicho kabla yake, na kwa hivyo viko pamoja. 464
- Muhammad Ridha Al-Mudhaffir Usulu Al-Fiq-hi j. 2, uk. 67. Huyu ni mwanachuoni
wa Kishia.
144 10) “Na imeelezewa katika (Elimu ya) Mantiq kwamba ni habari ya kundi
(la watu) wengi (ambalo) ni muhali kwamba wao wakubaliane (kusema)
uwongo”. 465
11) “Na shuruti za tawatur ni wingi wa idadi, lakini hakuna mpaka wa kina
wa daraja ya wingi huo……kwa sababu hilo linaathirika kwa sababu
(factors) za kielimu na za kibinafsi….Ama sababu za kielimu miongoni
mwa hizo ni aina ya mashahidi kutokana na uaminifu na uhodari. Na
katika (sababu) hizo ni kutafautika mwenendo wao (watoaji habari hao) na
hali (circumstances) zao, kwa sababu kadiri wanavyokuwa mbali mbali na
wanavyotafautika (katika misimamo na mitazamo) inakuwa uwezekano
wa kushirikiana kwa pamoja – katika kuwa habari hii maalumu ni yenye
maslaha binafsi yenye kuwafanya watoaji habari hao wote (watoe habari
hio) – ……uko mbali”.466
12) “Na Hadithi Mutawatir ni ile ambayo wapokezi wa sanad yake katika
tabaka zote wamefikia mpaka wa wingi na kuenea ambapo inaaminiwa
kwa uhakika kutokukubaliana kwao kusema uwongo”. 467
13) Na wala riwaya ambazo kwazo yakini hupatikana hazina idadi
maalumu ya wenye kutoa habari hio, isipokuwa sisi tuna hakika kwamba
yakini haipatikani kwa habari inayotolewa na watu wachache na kwamba
hupatikana kwa habari ya wengi ikiwa watakuja mbali mbali hali ya kuwa
haiwezekani kuwa wakubaliane kwa kawaida…..468
Sasa – baada ya kuona taarifu (definitions) hizo za wanavyuoni wa
madhehebu tafauti – natuzitazame ta-arifu hizo tena kisha tuzigawe katika
vipengele vyake, na tutoe shuruti za Hadithi mutawatir. Na mimi hapa
natoa sharti mbili tu ambazo ndio muhimu.
SHARTI YA KWANZA
Idadi ya wapokezi iwe kubwa katika tabaka zote tatu:
1) Tabaka ya Masahaba.
465
- Mohd Baqir Al-Ssadr Durusu Fii Usuli Al-Fiq-hi sehemu ya 3 uk. 120. Huyu pia ni
mwanachuoni wa Kishia. 466
- Marejeo yaliotangulia kabla. Uk. 22. Na maneno kama hayo kayasema katika uk. 455
katika sehemu ya pili ya kitabu chake hicho. Na mfano wa maneno kama hayo kayasema
pia Ibn Hazm katika Al-Ihkam. 467
- Mohd Hadi Talkhisu Al-Tamhid j. 1, uk. 258. Na huyu pia ni mwanachuoni wa Kishia.
Naye – pamoja na huyo niliyemtaja kabla yake – wana maelezo marefu na mazuri kuhusu
maudhui hii. 468
- Al-Jassaas Al-Fusul Fii Al-Usul j. 3, uk. 53.
145 2) Tabaka ya Wafuasi wao.
3) Tabaka ya Wafuasi wa Wafuasi wa Masahaba.
Hivi ndivyo wanavyosema wanavyuoni. Wengine wamesema hivyo kwa
uwazi kama Dr. Al-zuhaili. 469
Tazama nukulu na. 2, na Al-Zarqani katika
Manahilu Al-„Irfaan470
kilichotiwa maelezo na Hani Al-Haj. Na mfano wa
hao ni Mohd Hadi, mwanachuoni wa Kishia, katika kitabu chake hicho
tulichokinukuu hapo nyuma. Na Mohd Ridha Al-Mudhaffir, mwanachuoni
wa Kishia pia, katika kitabu chake Usulu Al-Fiq-hi.471
Na wengine
wamesema hivyo kimaana kama Al-Imamu Al-Salimi (Ibadhi) na
wengineo ambao nukulu zao mumeziona humu.
SHARTI YA PILI
Iwe watu hao “KWA KAWAIDA HAIWEZEKANI KUWA
WAKUBALIANE KUSEMA UWONGO”. Sharti hii ikikosekana
inaifanya Hadithi isiwe mutawatir hata ikipokewa na watu elfu (1000),
kama ilivyo wazi katika maelezo ya wanavyuoni hao, na yaliowazi zaidi ni
maelezo na. 7 ya mwanachuoni wa Kihanafi na maelezo na. 10 ya
mwanachuoni wa Kishia. Na hili linatokea kila siku katika maisha ya
binaadamu, bali limesemwa kwamba lilitokea katika historia. Soma mifano
ya wazi ya kihistoria katika sehemu inayofata.
MFANO
Anatoa Al-Imamu Nur Al-Din Al-Salimi472
mfano wa tukio la Al-Sayyida
„Aisha (r.a.) na Al-Imamu Ali (k.w.) katika vita vya Jamal. 473
469
- Elewa kwamba kushurutisha idadi kubwa katika tabaka tatu hizo ni kwa sababu, baada
ya hapo Hadithi zilianza kutegemea maandishi. 470
- J. 1, uk. 149. 471
- J. 2, uk. 68. 472
- Al-Salimi Tal‟atu Al-Shams j. 2, uk. 8-9. 473
- Kuna baadhi ya watu wamelichukulia tokeo hili kwamba ni sababu kubwa ya
kumtukana Mama Mtakatifu, Mama wa Waumini, Al-Sayyida „Aisha (r.a.). Lakini watu
hawa hawakuihukumu kesi hii kwa uadilifu, kwani Al-Sayyida „Aisha (r.a.) alitubia na
kujuta kufanya hivyo. Kwa hivyo kama kajuta na kutubia, hakuna tena njia ya kulaumiwa.
Hivi ndivyo uadilifu unavyotutaka tuhukumu. Na sisi – Ahlu Al-Haqqi Wa Al-Istiqama –
Al-hamdu Lillahi, hatumuhukumu mtu yoyote kwa sababu yeye ni fulani, bali tunatazama
matendo yake kisha tunayapima kwa Qur-ani na Sunna. Na kwa msingi huo utakuta
tumewahukumu Masahaba wote kwa uadilifu. Tumemkubali Abu Bakar na Umar kwa
sababu ya sira zao nzuri ambazo Waislamu – Muhajirina na Ansar – waliziridhia.
Tumeukubali utawala wa Uthman katika miaka yake sita ya mwanzo, na miaka sita ya pili
akaharibu. Hapo hatukukubaliana naye kama vile Ali na Masahaba wengine ambavyo
hawakukubaliana naye: hatukutazama kuwa yeye ni Uthman, bali tulitazama matendo ya
146 Inasemekana – kama baadhi ya riwaya zinavyotongoa – kwamba Al-
Sayyida „Aisha (r.a.) alitoka katika jaribio la kuingia katika vita dhidi ya
Al-Imamu Ali. Alipofika sehemu inayoitwa Al-Haw-ab, Al-Sayyida „Aisha
akabwekewa na mbwa. Na katika uhai wake, Mtume (s.a.w.) alikwisha
kumpa Al-Sayyida „Aisha habari hio. Sasa tazama Abdullah bin Zubair na
kikundi chake cha jeshi la watu 40:474
walishuhudia kwamba sehemu hio
haikuwa Al-Haw-ab, bali ilikuwa Al-Jaw-ab: Hee kaigeuza Jimu ili
kuonesha kuwa wao na Al-Sayyida „Aisha hawakuwa na kosa katika vita
hivyo dhidi ya Ali. Hawa ni watu 41, wako katika zama bora kabisa, lakini
habari yao ni ya uwongo. Kwa hivyo Hadithi pia ikiwa kama hivi basi
haiitwi mutawatir hata ikisimuliwa na watu elfu (1000).
Na hii inaingiza wasimulizi wa Hadithi hio ikiwa ni watu wenye msimamo
mmoja juu ya mas-ala hayo au wenye maslahi katika mas-ala hayo kama
tulivyonukuu maelezo ya Al-Imamu Abdu-llahi bin Mas‟ud Al-Mahbubi,
Al-Bukhari, Al-Hanafi (Sadru Al-sharia) kutoka katika kitabu Al-Tanqihu
Uthman. Na habari za Uthman ni refu na kheri alizozifanya ni nyingi lakini bila shaka na
matatizo makubwa yalijitokeza katika kipindi chake na propaganda vile vile ni nyingi
lakini hakuna faida katika kuzungumzia habari zake: “Huo ni Umma umeshapita, wao
watapata walichokichuma na nyinyi mutapata mulichokichuma, wala hamutoulizwa
walioyatenda”. Sura ya 2 Aya ya 134 - 141. Na Ali naye alipochaguliwa akaendesha kwa
haki tulimuunga mkono. Na kwa hivyo hatukumuunga mkono Talha na Zubair
walipompiga vita kwani wao ndio waliokosea, wala hatukumuunga mkono Al-Sayyida
„Aisha katika vita hivi kwa sababu tu yeye ni mke wa Mtume (s.a.w.), ilhali hapa kakosea.
Lakini madamu katubia tunamtoa katika makosa, kwani toba iko wazi. Na Mua‟wiya naye
alipompiga vita Ali tulimuunga mkono Ali kwani Ali ndiye aliyekuwa katika haki. Ama
Ali alipokubali kufanya Sulhu na Mua‟wiya kinyume na Aya ya Qur-ani inavyosema, hapo
tulimuacha mkono kwani kenda kinyume na Qur-ani. Ali alipopigana na watu wa
Nahrawaan, tuliwaunga mkono watu wa Nahrawaan kwani Ali aliwapiga bila haki. Lakini
pamoja na hayo Ali tunamuombea dua kwa kusema: “Karrama Allahu Wajhahu,” kwani –
mbali na kuwa dua hii imepokewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.) – Ali pia alijuta kufanya
hivyo. Kwa hivyo msingi wetu si fulani ni nani bali katenda nini. Na hii haina maana
kwamba tuliyemkubali ndiye mtu wa peponi na tuliyemkataa ni mtu wa motoni, “laa” bali
sisi tunatakiwa tuhukumu dhahiri tu, ama ghaibu ni kazi ya Allah peke yake – nani
anastahiki pepo na nani anastahiki adhabu , hio si kazi ya kiumbe. Halkadhalika Banii
Umaya walipowaua wajukuu wa Mtume (s.a.w.) hatukukubaliana nao. Mua‟wiya
alipokuwa akimlani Ali katika membari hatukukubaliana naye, na kwa hivyo Mashekhe
wetu ndio waliotoka kumfuata Khalifa Muadilifu, Umar bin Abdil-Aziz kumtaka alikataze
jambo hilo, naye akafanya hivyo. Umar bin Abdul-Aziz aliposimamisha haki tulimkubali.
Hii ndio sera ya Ibadhi (Ahlu Al-Haqi Wa Al-Istiqama). Sisi hatumuhukumu mtu kwa kuwa
yeye ni fulani au kwa kufuata siasa mbovu za uwongo, bali haki ndio alama yetu. Anasema
Abu Bakr Al-Siddiq (r.a.) kuwambia Waomani: “Inakutosheni kauli ya Mtume (s.a.w.)
kuwa utukufu kwenu mpaka siku ya kiama”. Na anasema Mtume (s.a.w.) kumwambia
mjumbe wake: “Lau uliwaendea watu wa Oman basi wasingelikupiga wala
wasingelikutukana”. 474
- Katika riwaya ya Al-Baladhuri Al-Ansab j. 3, uk 24, walikuwa watu 50.
147 Ma‟a Sharhihi Al-Musammaa Bi Al-Tawdhih, na tukanukuu pia maneno
ya Masayyid, Maulamaa wa Kishia.
Kwa hivyo riwaya 25 alizozitaja Ibn Al-Qayyim katika kitabu-che Hadi
Al-Ar-waah ni Hadithi Ahadi kwani wapokezi wa riwaya hizi wote ni watu
wa itikadi moja. Si hivyo tu, bali aghlabu ya riwaya hizo zimesimuliwa na
Mujassima kama Ibn Khuzaima, Ibn Abi „Asim, Ibn Manda, Ibn Ahmad,
Ibn Batta na walio mfano wa hao, na zilizopokewa katika Al-Bukhari labda
ni Hadithi mbili na moja inagongana kupita kiasi na ya pili ina sanad
dhaifu, halkadhalika Muslim naye ni hivyo hivyo. Na nyengine kazinukuu
kutoka katika Al-Musnad cha Ahmad bin Hanbal, nacho ni kitabu
kilichochezewa kwa kuchomekwa Hadithi za uwongo kama alivyofanya
Abdul-„Aziz bin Al-Harith Al-Tamimi ambaye kasema Al-Dhahabi kuhusu
yeye:
Alikuwa katika viongozi wa Mahanbali na wakuu wa Wanavyuoni
wa Baghdad, lakini alijiudhi mwenyewe: na kutia Hadithi mbili
tatu katika kitabu cha Hadithi cha Al-Imamu Ahmad bin Hanbal
(yaani anatunga Hadithi halafu anaitia katika kitabu hicho
anamzulia uwongo Mtume s.a.w. na Al-Imamu Ahmad).475
Bali mpokezi mwenyewe wa Musnad cha Ahmad ni Abu Bakr Al-Qati‟iy
kutoka kwa „Abdillahi bin Ahmad, na Abu Bakr Al-Qati‟iy hata kama
alikuwa thiqa (mwenye kuaminika) lakini alichanganyikiwa mwishoni
mwa umri wake hata ikawa hajui chochote katika yale anayosomewa.
Anasema Al-Dhahabi: “Mkweli katika nafsi yake, anakubalika, alibadilika
kidogo”.476
Anasema Abu „Amri bin Al-Salah kutoka kwa Abu Al-Hasan
bin Al-Furat: “(Abu Bakr Al-Qati‟iy) alikasoroka mwishoni mwa umri
wake mpaka ikawa hajui anachosomewa”.477
Na Ibn Abi Al-Fawaris
akasema: “hakuwa mtu wa hivyo, yeye katika Musnad cha Ahmad ana
baadhi ya usul (Hadithi) ambazo zina nadhar (udhaifu)”.478
Bali kitabu chenyewe Al-Musnad cha Al-Imamu Ahmad hakukiandika
yeye: alikuwa akikusanya tu kopi za huyu na yule, bila hata kuzichuja na
kujua pofu na nzima. Anasema Al-Dhahabi:
٣ل ، ل طز، ل حػظ٠ رظ٣ز، ر خ ٣٣ ي وخ “حي “ح ظخد
475
-Al-Dhahabi Mizanu Al-I‟itidaal j. 3, uk. 338 tarjama na. 5092. 476
- Yeye kasema “kidogo” labda ni kwa sababu ni Hanbali mwenziwe, lakini wengine
kama utavyoona hapo wanasema “kachanganyikiwa sana”. 477
- Lakini Al-Dhahabi kamtetea kwamba huku tena ni kuvuuka mipaka. Lakini na watiaji
maelezo wa kitabu chake nao wakasema: “na kitendo cha Al-Dhahabi cha kuyakanusha
yale alioyasema Ibn Al-Furat ni jambo la ajabu”. Ninasema: “hio si ajabu madamu Abu
Bakr Al-Qati‟iy ni Hanbali”. 478
- Al-Dhahabi Mizanu Al-I‟itidaal j. 1, uk. 87-88, tarjama na.320.
148
أؿحءح، ٣ؤ: أ غ ح ك٢ ي كال، ح ك٢ ي كال
Na kitabu chake hiki Al-Musnad hakukitunga yeye wala hakukipanga yeye
wala hakukishughulikia kukisafisha (kuzitoa Hadithi dhaifu), bali alikuwa
anampokelesha mwanawe („Abdullah) kopi na juzuu (mbali mbali) na
anamuamuru kwamba hizi zieke katika Hadithi za (Sahaba) fulani na hizi
katika Hadithi za (Sahaba) fulani…479
Ama kitabu alichobandikwa nacho Al-Daraqutni Kitabu Al-Ru-uya ndicho
kilichokusanya riwaya nyingi za kuonekana kwa Allah, lakini kama
tulivyobainisha katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki,480
kitabu hicho chote
ni cha uzushi: kimeandikwa kisha watu wakamzulia Al-Daraqutni kuwa
kakiandika. Na hili peke yake linatosha kubainisha kwamba Hadithi hizo
zote ni za uwongo, vyenginevyo wasingelihitaji kutunga kitabu kizima
kilichokushanya mamia ya riwaya na kumbandika nacho mtu mwengine.
Kwa hivyo, tukirudi nyuma kidogo, tunamwambia bwana Mafuta kwamba
wingi wa wapokezi ni sharti moja ya Hadithi mutawaatir; wala haina maana
kwamba kila Hadithi yenye wapokezi wengi ni mutawatir kama
ulivyojionea mfano wa Ibn Al-Zubar na kundi lake la wato arubaini. Na kwa
hivyo, Hadithi za kuonekana kwa Allah ni Hadithi Ahadi kwani wapokezi ni
wale wale wenye itikadi hio, tena aghlabu yao ni watu wa skuli ya tajsim ya
mungu-mtu.
Ama nukulu ulizotunukulia kwamba fulani na fulani kasema kuwa Hadithi
hizo ni mutawaatir, basi elewa kwamba hio ndio ngoma ya watu wengi
katika lile walitakalo! Usisahau kwamba katika Shia kuna kiasi cha Hadithi
elfu mbili481
kwamba Qur-ani imepotolewa! Hio ni idadi ya tawaturun
qat‟iy yaqiini (mutawatir, ya uhakika ya yakini)! Je riwaya hizo tuzikubali
mbele ya Aya inayosema: “Hakika sisi ndio wenye kuiteremsha Qur-ani
na sisi ndio wenye kuihifadhi”.482
Na kwa hivyo Al-Saqqaf kamrudi Ibn
Al-Qayyim kwa madai yake hayo, akasema:
٢ آكخى ــــي حىػ٠ حر حو٤ خى أ حلكخى٣غ حيحش ػ٠ حإ٣ش هي طحطص!! ٤ ي: ر ه
لخف، ك٢ رش حلش ػ ــــ٢ ػيخ حإلحث٤خص ا خض ك٢ ح طؼ ك٤خــــ
...............................أؼخ..........زخ ػزي هللا ر ال أحرخ..........ــؼ ؼذ حلك
حص ػخص ر ؿ٤ؼخ...
479
- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 11, uk. 66, katika tarjama ya „Abdullah bin Ahmad, tarjama na.
2475. 480
- Tazama maelezo yetu katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki Fimbo ya Musa uk. 467. 481
- Kwanza nilidhania kwamba kuna Hadithi mia mbili; lakini baadae nimeona katika
baadhi ya maandiko kwamba riwaya zenye kunena hivyo ni kiasi cha elfu mbili…! 482
- Sura 15, Aya 9.
149
Na Ibn Al-Qayyim kadai huko (kwenye kitabu chake Haadi Al-Ar-waah)
kwamba Hadithi zenye kuonesha kuonekana kwa Allah ni mutawatir! Na
hali haikuwa hivyo: bali ni Ahadi na ni zenye kupondwa (hazifai), nazo
kwa mtazamo wetu ni katika riwaya za Kiisraili hata kama zimo katika
vitabu sahihi, ni riwaya zilizopenyezwa katika umma huu na watu kama
Ka‟abu Al-Ahbar, „Abdullahi bin Salam na walio mfano wa
hao.483
………………………na nyingi zake ni riwaya munkara (mbovu) na
za kutunga, bali zote.484
483
- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 5. 484
- Maneno haya ya pili hayamo katika text (maandiko) ya kitabu chake, bali yako katika
maelezo yake ya chini (footnotes).
150
SURA YA TATU HOJA ZA KIAKILI ZA WATHIBITISHAO
KUONEKANA ALLAH
Wenye itikadi ya kumuona Allah wanatoa hoja za aina mbili katika
kuthibitisha madai yao. Aina moja ni hoja zenye kuonesha kutokea kwa
kuonekana kwa Allah, yaani dalili zenye kuonesha kuwa hilo ni tukio
litalotokea. Hili tutalizungumzia katika sura inayofuatia in shaa Allah. Aina
ya pili ni hoja zenye kuonesha kwamba kumuona Allah ni jambo lenye
kuwezekana hata hapa duniani.485
Hili ndilo tutalolizungumzia hapa. Na
hoja zao katika hili la pili, sawa na wale wenye itikadi ya kutoonekana kwa
Allah, wamezigawa katika hoja za kiakili na hoja za kimaandishi. Hoja yao
kubwa ya kiakili ni kuwa Allah yupo na sharti pekee ya kuonekana kwa kitu
chochote kile basi ni kuwepo tu! Wanasema watunzi wa kitabu Sharhu
Jawharati Al-Tawhiid Fii „Aqiidati Ahli Al-Sunna Wa Al-Jamaa‟a:
ك٢ حي٤خ ح٥هس، ل زلخ ؿى، ؿى ٣ق أ ٣. –ػوال –كخإ٣ش ؿخثس
Basi kuonekana (kwa Allah) kunajuzu kiakili duniani na akhera kwani
Allah yupo na kila chenye kuwepo kinafaa kuonekana.486
Wanaendelea kwa kusema:
ؿىحص ك٢ حظلخشــى حص ػزص كو٤وش ، اخ ٣وخق خث حهخ حؼخء ا هللا ؿ
ؿى حص حؿذ أ ٣ ث٤خ خ أ حؿذ أ........….……………… كـخىػخ
خ٠ ؿى ــــــ.٣ظو حي٤ ك٢ أ طؼ.…………ع حؼ... ٣ ؼخ ل حإ٣ش
ػ٤ كخ ….......…حػظي ػ٤ أؼ حلؼ٣ش، طي ر حإلخؿى ٣ق أ ٣ ح خ
ػ٤ كخؼش حطوش……....…ػ٠ حليع ٣ق ؿى ك ٣ق ك٢ كو طؼخ٠ ا ٣ي
ذ حوـــــــحؿذ حؿى، كؿ )إ٣ش( حؿى ى حظ ا٠ حلؿخ حـح، هللا طؼخ٠
رلش إ٣ظ
Wanavyuoni wamesema kwamba Allah ni mwenye kuwepo na ni dhati
naye ana uthibiti na uhakika, lakini anatafautiana na vyenye kuwepo
vyengine katika ukweli kwamba Yeye ni muhali kuwa kuna siku fulani
485
- Yaani kuonekana kwa Allah hata hapa duniani inawezekana, lakini kumezuilika si kwa
sababu ya kutowezekana kuonekana, bali ni kwa sababu ya udhaifu wetu na kwa sababu
mwenye kwisha (kiumbe) hawezi kumuona mwenye kudumu (Allah). Na hii ni tafauti na
akhera ambako kiumbe naye atakuwa ni mwenye kudumu na atapewa uwezo na nguvu za
kuweza kumuona Allah! Lakini maneno haya – kama utavyoona – ni batili ilio wazi:
hayana ushahidi hata ulio dhaifu wala hayana hata shubuha. 486
- Sharhu Jawharati Al-Tawhiid Fii „Aqiidati Ahli Al-Sunna Wa Al-Jamaa‟a j. 2, uk. 638.
151 ndio alitokea……na kila kilichopo nacho ni dhati basi ni lazima kitakuwa
ni chenye kuonekana kama vile ambavyo kwamba ni wajibu kuwa Yeye
(Allah) awe ni mwenye kujulikana kwani kuona ni aina ya
kujulikana.487
…………………………….Na mukhtasari wa dalili hio ni
kuwa Yeye Allah (s.w.) yupo na kila kilichopo kinafaa kuonekana na hiki
ndicho walichokitegemea asilimia kubwa ya Ash‟ariyya na Al-Imamu
(Abu Al-Hasan Al-Ash‟ari) akashikana nacho488
…………….na kwa
msingi huo basi kila kinachomfalia yule aliyepo basi na Allah kinamfalia
ikiwa hakikuonesha kuwa kimezuka.489
……………….na kwa msingi huo
basi, sababu ya moja kwa moja ya kuonekana (kwa kitu) ni kuwepo pasina
kutazama viwiliwili na johari, na Allah Mtukufu yupo kuwepo kwa lazima
basi imekuwa ni wajibu kusema kuwa ataonekana.490
Anasema Al-Amidi:
ق ــــــــر٤خ حي٤ حؼو٢ ػ٠ ؿحخ رخهظخ أ حزخ١ زلخ ؿى، ؿى ٣
غ ػــظ ــــ ـــ ٣يـــ٣ق أ ٣، ؿى ٣ق أ ٣ ل حل أ ٣، كخزخ١
.ػيخ( هي طز٤ أ حؿى حؼش لش حإ٣ش)ؿىح
Na ubainifu wa dalili ya kiakili juu ya kujuzu kwake (kuonekana kwa
Allah) ni kuwa Allah Mtukufu yupo na kila kilichopo kinafaa kuonekana.
Basi Allah anafaa kuonekana. Na kule kuwa kila kilichopo kinafaa
kuonekana ni kwa sababu hukumu inaambatana na sababu yake491
(kwa
kuwepo na kutokuwepo) na imebainika kwamba kuwepo ndio sababu ya
usahihi wa kuonekana.492
Anasema Al-Sharastani:
١ ق أ ٣ كب حلق إ٣ش اخ حؿى حزخــأ ؿى ٣ ذ حلؼ١
طؼخ٠ ؿى ك٤ق أ ٣
Na miongoni mwa rai za (Al-Imamu Abu Al-Hasan) Al-Ash‟ari ni kuwa
kila kilichopo kinafaa kuonekana kwani chenye kusahihisha kuonekana
kwa kitu ni kuwepo tu, na Allah Mtukufu yupo basi inafaa kuwa
aonekane.493
487
- K.h.j. uk. 639-640. 488
- K.h.j. uk. 640. 489
- K.h.j. uk. 640. 490
- K.h.j. uk. 651. 491
- Naona Al-Amidi elimu ya usulil-fiq-hi na mantiki inamuhangaisha kichwa: anataka
kuileta mwahala si mwake! 492
- Al-Amidi Itihaafu Sadati Al-Muttaqiin j. 2, uk. 182. Nukulu kutoka katika kitabu
Sharhu Jawharatu Al-Tawhiid Fii „Aqiidati Ahli Al-Sunna Wa Al-Jamaa‟a j. 2, uk 652. 493
- Al-Shahrastani Al-Milal Wa Al-Nihal j. 1, uk. 112.
152
Anasema Al-Qaadhi „Iyaadh:
٠ حظلخظخ ل حظخػخ ، ا ؿى كإ٣ظ ؿخثس ؿ٤ ـــــــ٤ ك٢ حع ى٤ هخ١غ ػ
ظل٤ش.
Na katika sharia hakuna ushahidi wa yakini juu kuwa kuonekana kwake
(Allah hapa duniani) ni mustahili au kumezuilika, kwani kila kilichopo
kinafaa kuonekana: si mustahili.494
Anasema Sheikh „Isa bin „Abdillah:
حإ٣ش حل حؿى٣ش حل٠ش ؛ كخإ٣ش ك٢ حطخ ؿ حـــظ أـــى ل كال طـــــكب
ـلظخ أ ؿى٣ش ل٠ش ؛ ٢ حو٤خ رخل، حث٢ رـش ػــي٤ خ، ــــ١
١ ظق ح٥؛ ح ل ح ك٢ حي٤خ ، اح خض حإ٣ش س حزــــ. آهــــ ح ححث٢ ، هــ
هللا أكـــــــن رخ ؿش كب خ ح ل٠ ؿى ؛ خ ؿى ؿى
Kwa hakika kuonekana ni katika mambo ya kuwepo safi kabisa; kwani
kuonekana kwenyewe ni kuwepo, kwa hivyo hakuambatani na
kutokuwepo, na masharti ya usahihi (wa kuonekana) ni mambo ya kuwepo
tu, nayo ni: kuisimamisha dhati,495
kuwa chenye kuonekana kiko katika
sehemu kutokana na muonaji, na nguvu za macho. Na hii sharti ya mwisho
(ya nguvu za macho) kwa sasa haipo ndio maana ikawa hatumuoni (Allah)
hapa duniani. Na ikiwa kuonekana ni kuwepo tu katika maana zote za neno
kuwepo, basi Allah ndiye anayestahiki zaidi kuonekana kuliko vyote
vyenye kuwepo kwa sababu yeye kakamilika katika kuwepo kwake….496
Anasema Abdul-Rahmaan bin „Abdil-Rahmaan Al-Ahdal:
ـــ أ ـــ رخلرخ ـــ٠ ٣ـــخ ٣ي ىلش حلش لؿزخ ػ٤خ ػ٠ أ هللا زلخ طؼخ
أ ٣ حؼي ح لي ك٤ كخ خــؿ اخ ل٣ـــؿــــــى ؿخثــ أ ٣٣خ هللا ػ
ظل٤ أ ٣٣خ ل ػؿ . هللا زلخ طؼخ٠ ؿــىح خ ؿ٤
Na miongo mwa mambo yenye kutoa dalili ya wazi isio na vumbi kwamba
Allah – subhanahu wa ta‟aala – ataonekena kwa macho ni kuwa inajuzu
kwamba Allah atuoneshe kila kilichopo; bali kisichofaa kuonekana ni
kisichokuwepo, na hili halina shaka ndani yake. Na kwa sababu Allah –
494
- „Iyaadh Al-Shifaa j. 1, uk. 154. 495
- Maneno “kuisimamisha dhati”, wanayafasiri namna tafauti, lakini kwa hapa maana
yake ni kuwa kwa sababu kuona kwenyewe ni kitu chenye kuwepo basi atayeonekana ni
Allah mwenyewe si kitu chengine. Lakini ikajibiwa kwamba jua hatulioni lenyewe bali
tunaona muangaza wake. Kwa hivyo, falsafa ya kwamba kwa sababu kuona kwenyewe ni
kitu chenye kuwepo basi atayeonekana ni Allah mwenyewe si kitu chengine, si falsafa
sahihi. 496
- „Isa bin „Abdillah Al-Mathalu Al-A‟ala uk. 60.
153 subhanahu wa ta‟aala – yupo basi si mustahili kuwa atuoneshe nafsi yake
tumuone.497
Anasema Sh. „Abdul-Malik.
ى ث٢ ر٤خ يـــــــؿحي٤ ػ٠ ؿح حإ٣ش ػوال أ حد زلخ طؼخ٠ ؿى
٤خ ــ ا ثــــأخ حـح حلح خيح كب ث٢ حـ ؿح أل ٣ حـ
ػ...........حزخ١ زلخ طؼخ٠ ؿى كق أ ٣ ...... ؿىخ أ ٣ ؿى
ق ك٢ــــــل ٣لق حإ٣ش كخل حظل٤حليع ٣زت ػ ؿى زم رؼي حؼي حخرن
ػ٠ أ ؿى ق أ ٣ حؿـــى كي
Dalili ya kiakili yenye kuonesha kujuzu kumuona (Allah) Mtukufu, ni
kuwa Allah yupo na kila kilichopo kinaonekana. Na ubainifu wa hayo ni
kuwa sisi tunaiona johari na tunaziona rangi waziwazi zipo zimehudhuria.
Basi ikiwa johari inaonekana kwa sababu ni johari basi hilo linapelekea
kutoonekana kwa johari. Na ikiwa tunaziona (juhari na rangi) kwa sababu
ya kuwepo kwake, basi hii ina maana kwamba kila kilichopo tukione. Na
Allah Mtukufu yupo basi imekuwa ni sahihi kuwa naye
aonekane.498
………Kisha (elewa kwamba) kutokeza (kuumbwa) maana
yake ni kuwepo ambako kumetanguliwa na kutokuwepo. Na kutokuwepo
kulikotangulia hakuonekani, na kwa hivyo kuonekana kumeishia katika
kuwepo tu; na hilo likaonesha kwamba kila chenye kuwepo kinafaa
kuonekana.499
Hayo ndio maelezo ya wataalamu hao. Ama Mzee wa Uislamu, Ibn
Taymiyya, yeye kajikorogakoroga kama kawaida yake yeye na mwanafunzi
wake kujigonga katika mambo ya misingi! Yeye kaanza maneno yake vizuri
kwa kusema:
وخض ػ٤ حخػخص، ر ـــخ كـــ حىػـــي ل ل يػ٢ خ أ ؿى ٣ خ هخ
خ خ ل ٣ حل٤خء خ ٣ـــــ
Na sisi hatudai hapa kwamba kila kilichopo kinaonekana kama walivyodai
hivyo wengine basi wakapondwa. Bali vitu viko vyenye kuonekana na
visivyoonekana.500
Kisha baada ya hapo akasema:
ـــحلم ر٤خ ل ٣ أ ٣ أح ػي٤ش ل حإ٣ش أ ؿى١ ل ٣ظؼن رخؼي كال ٣
خ خ ؿى أ خ أكن رؤ ٣ خ …...……ال أح ؿى٣خ حـــــ١ ك٤
497
- „Abdul-Rahmaan bin „Abdil-Rahmaan Al-Ahdal Idhamu AL-Minna uk. 19. 498
- „Abdul Malik bin „Abdil Malik bin Yusuf Lam‟u Al-Adillah uk. 116. 499
- Abdul- Malik bin „Abdil Malik bin Yusuf Lam‟u Al-Adillah uk. 117. 500
- Ibn Taymiyya Minhaju Al-Sunna j. 1, uk. 217.
154
٤خء ــــ٤خء، ح٠ـــــرخإ٣ش ح٠خيس أكن ــــــؿىح، كخلؿخ حـ ٣ أ ٣ ك أـؼق
ش أ٠ رخؼي، حؿىـــــى حظــــــرخؿ أكـــــــــــن رخإ٣ش حظال ل حــــ أ٠
ك أكن رؤ ٣. أ حؿىحص ؿىح أرـــؼي حل٤خء ػ حؼــــــي ححؿذ حؿى
Na tafauti baina yake haiwezekani ikawa ni ya kutokuwepo kwani
kuonekana ni jambo la kuwepo hakuhusiani na kutokuwepo na kwa hivyo
haiwezi ikawa sharti yake (sharti ya kuonekana) isipokuwa iwe (sharti hio)
ni jambo lenye kuwepo………..na kila ambacho kuwepo kwake
kumekamilika basi hicho kinastahiki zaidi kuonekana; na kila ambacho
haiwezekani kuonekana basi kuwepo kwake kuna udhaifu zaidi; viwiliwili
vikavu (yaani visivyokuwa kama upepo, nuru n.k) ni vyepesi zaidi
kuonekana kuliko muangaza, na muangaza ni mwepesi zaidi kuonekana
kuliko kiza kwani nuru ndio inayostahiki zaidi kuwepo na kiza kinastahiki
zaidi kutokuwepo! Na yule ambaye kuwepo kwake ni wajib (yaani Allah)
ndiye mkamilifu wa kuwepo kuliko vyote vyenye kuwepo na ndiye aliye
mbali zaidi na kutokuwepo na kwa hivyo Yeye (Allah) anastahiki zaidi
kuwa aonekane!501
Hayo ndio maelezo ya Mzee wa Uislamu na akafuatiwa na Sheikh „Isa bin
„Abdillah kama tulivyomnukuu kabla. Lakini mimi sioni tafauti ya msingi
baina ya maelezo hayo ya Mzee wa Uislamu na maelezo ya wale
waliosema: “sharti pekee ya kuonekana ni kuwepo” isipokuwa kama vile
walivyosema Wapemba wenzangu: “Ni mbwa kumwita jibwa”.
Kwa ufupi ni kuwa Ibn Taymiyya yeye anakataa kwamba kuwepo tu ndio
sharti ya kuonekana; lakini anadai kuwa vyenye kuwepo viko vya aina
mbili:
a) Vile ambavyo kuwepo kwake kumekamilika.
b) Vile ambavyo kuwepo kwake kuna udhaifu.
Kisha akabainisha kwamba kila chenye kuwepo ikiwa kuwepo kwake
kumekamilika basi ndio uwezekano wa kukiona unavyokuwa mkubwa
zaidi. Kisha akatoa mfano wa viwiliwili, muangaza na kiza; na natija ni
kuwa Allah ataonekana kwani Yeye ndiye Mkamilifu wa kuwepo kuliko
vyengine vyote vyenye kuwepo!
Ninasema: hizi ni falsafa za Kiyunani ambazo hazina kichwa wala miguu,
kwani kuwepo kwa vitu vyote ni sawa – kuwepo ni jinsi moja, tafauti iko
katika dhati za vitu vyenyewe, nayo ama itakuwa ni tafauti ya dhati za vitu
hivyo au tafauti ya utukufu wa vitu hivyo au tafauti zote mbili kwa pamoja.
Na kwa hivyo, kuonekana na kutoonekana – kunapovihusu viumbe, basi –
kunatokana na udhaifu wa waonaji na nguvu zao za uoni, au kunatokana na
501
- K.h.j.
155
ukubwa na udogo wa vitu vyenye kuonekana au umbali na ukaribu wake:
hakuna kuwepo dhaifu na kuwepo kulikokamilika ikiwa tunazungumzia hali
ya kuwepo kwa viumbe.
Pili ni kuwa: ikiwa nuru (labda na Malaika na majini) hatuioni upesi upesi
kwa sababu ni yenye udhaifu wa kuwepo na viwiliwili ni rahisi kuviona
kwa sababu ya kukamilika katika kuwepo, na kwa hivyo Allah ataonekana
kwani kakamilika katika kuwepo; suali ni kuwa: kwani ukamilifu wa
kuwepo kwa Allah ni ukamilifu wa kiwiliwili (physically au hissiy) au ni
ukamilifu wa kiutukufu (spiritually au divinely)? Kwa hali yoyote ile, Allah
hafanani na kitu, Yeye si „Ardh (kitu chenye kufahamika kwa akili tu bila
kuonekana au kushikika kama vile uhuru, mapenzi n.k) wala si Jism
(kiwiliwili) hata ikajuzu kukufananisha kuwepo kwake na kuwepo kwa
viwiliwili na kuwepo kwa nuru.
Natija ya maneno ya Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya, ni kuwa Allah
anaweza kuonekana kwa sababu kuwepo kwake kumekamilika na kila
ambacho kuwepo kwake kumekamilika basi hicho kinafaa kuonekana. Na
bila shaka tafauti hii, tukijaalia kuwa ni sahihi, basi itavihusu viumbe: si
Muumba; ama Muumba, Yeye, kama ilivyo katika riwaya sahihi, sababu ya
kutoonekana kwake ni kibri chake. Na bila shaka kama ukamilifu wa
kuwepo ndio sababu ya kuonekana basi Allah yupo duniani na akhera
kwanini aonekane akhera tu ilhali kuwepo kwake ni kule kule hakubadiliki?
Ama tukirudi katika mifano alioitoa Mzee wa Uislamu kwamba viwiliwili
vikavu (nyumba, jiwe, milima, mtu, n.k), ni rahisi zaidi kuviona kuliko nuru
na muangaza. Tunasema: jambo hilo ikiwa linaweza likawa sahihi baadhi ya
wakati, basi si sahihi kila wakati na kwa hivyo haliundi kanuni imara.
Nyumba, kwa mfano, ni rahisi kuiona kuliko nuru wakati wa mchana wenye
jua na muangaza; lakini nuru ni rahisi kuiona kuliko nyumba katika usiku
wa kiza. Na kwa maelezo haya, itakubainikia kwamba ma‟aquul (logic) ya
Mzee wa Uislam ghaira ma‟aquul!
UWONGO WA DR. „ALI AL-FAQIHI
Sasa baada ya hayo, na baada ya nukulu hizo tulizozitoa, utakuwa umejua
ewe ndugu msomaji kwamba haifai kamwe kutegemea maneno ya
Mawahabi na nukulu zao ila baada ya kuzihakikisha. Wao daima ni watu
wanaopenda kughushi, kudai makubaliano ya umma au ya Al-Salaf au
156
kukanusha kitu ambacho kipo au kupotoa maana ya maandiko, n.k.502
Soma
– pamoja nami – yale yalioandikwa na Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili,
kisha soma jawabu aliojibiwa na Dr. Al-Faqihi. Sheikh Al-Khalili, kuhusu
maudhui hii, alisema hivi:
خث ــــــ هخح ا ــــن، ي أــــى حوـــػ٠ ؿ أخ حؼو٢ ك٤ظو ك٢ ه٤خ ؿى حلن
. رخ أ هللا ؿى أ٠٣خ كب إ٣ظ . ك٢ ؿح حإ٣ش ػ٤خ ظش حؿىحص
Ama (hoja zao) za kiakili, zinaishia katika kufanya qias cha kulinganisha
kwa kuwepo kwa Allah na kuwepo kwa viumbe; na hio ni kwa sababu wao
wamesema kwamba vyenye kuwepo vyengine vinashirikiana katika kujuzu
kuonekana; na kwa sababu Allah yupo basi Naye pia kuonekana kwakwe
kunawezekana.503
Hayo ndio alioyasema Sheikh Al-Khalili. Sasa jiulize wewe: je katika
nukulu hizo tulizozinukuu za wenye itikadi ya kumuona Allah maneno hayo
hayapo? Lakini, pamoja na hayo, Dr. Ali Al-Faqihi, katika kitabu chake
alichokiita Al-Raddu Al-Qawiim, amejibu hivi:
ؿ ٣ــــــإ٣ش هللا ػـــــــش حـخػش حؼزظ٤ أ ىػح ػ٠ أ ح:حـحد ػ٠ ي
ىـــ ٣و٤ ؿــــأ -ش أطزخػـــــــأػ٢ رخؼزظ٤ ق حل –حؼ٤ حو٤ــخش ك٢ ىح
ؼ ربكخ ـــــ طزــــــلخرش حظخرؼ٤ ـــػ٠ حق، ح حلن ػ٠ حون، د حكظحء
م كوي ل، ي ػ٤ طز٤ حوخن ـــــــحو ي، ل هخ حوخـــن ػــــ٠كخخ
أهؽ حإلخ حر ي ك٢ ظخد حظك٤ي ربخى...................رخوم ح١ زن ك.........
ـ حو٤خ ك٢. كي ل٣.............٤ حظك٤ي رخو٤خ....» ػ أر٢ ٣ق حوخ٢ أ هخ:
الـــحإل .. ٣و ٤ن..........حظك٤ي ل٣ؼف ال رؤخث، ل ٣ق ال رلخط................
ل٣وخ روو زلخ كب أػ رل رــــــــ٤، » حر ط٤٤ش ك٢ أ خش حؼو٤يس ححط٤ش:
ش ـــــــ أ حل طخذ حئق أ ٢٣ حكيح «. .……………………………
٠ـــــــرو٤خ هللا روو كظز ؿـــــــــىس، أهح للظش، طي أهح رؼ حـخػش هخ
ىػ حئق ػ٠ أ حش حـخػش. خخ ٤ــــــظز٤ وخة ٣ق
502
- Ndugu Muislamu! Tahadhari, tena tahadhari! Usije ukaona kitabu cha Kiwahabi
kinamjibu fulani au kinajadili kitu fulani ukakitegemea. Utapoona kitabu cha namna hio,
basi kwanza kitafute kitabu cha yule wanayemjibu ili ulinganishe. Na nakuahidi kwamba
utapofanya hivyo, basi utakuta ghushi nyingi na uwongo mwingi na upotoshaji mwingi
katika vitabu vya Kiwahabi. Na kama hawa Mawahabi ni wakweli basi wasingelivizuia
vitabu hivyo wanavyodai kuwa wanavijibu ili visiwafike watu. Mimi binafsi niliona ajabu
kubwa kwamba rafiki wa karibu sana wa Sheikh Kasim Mafuta aniagizie mimi huku Oman
kitabu ambacho rafiki yake Kasim Mafuta anacho na kakijibu. Sasa kwanini asimpe rafiki
yake ili akaweza kulinganisha kitabu changu na jawabu yake? Ninachoweza kusema ni
kuwa Alhamdu Lillahi mtu huyo baada ya kukisoma kitabu changu Hoja Zenye Nguvu na
kukilinganisha na jawabu ya Mafuta, alisema: “Mimi sikubaliani na Mafuta”. 503
- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Damigh uk. 33.
157 Na jawabu juu ya hayo (alioyasema Al-Khalili): ni kuwa madai yake juu
ya Ahlu Al-Sunna Wa Al-Jama‟a wenye kuthibitisha kuwa Allah Mtukufu
ataonekana siku ya kiama – na ninaowakusudia kuwa ni wenye
kuthibitisha (kuonekana kwa Allah) ni watangulizi wa umma huu na
wafuasi wao – kwamba wao wanafanya qiasi baina ya kuwepo kwa Allah
na kuwepo kwa viumbe, huo ni uongo na kuwazulia watangulizi miongoni
mwa masahaba na wafuasi wao na wenye kuwafuata! Na ni hasha kwa wao
kufanya hivyo, kwani atayefanya qiyas baina ya Allah na viumbe huyo
kakufuru, na huko ndiko kule kule kumfananisha Allah na viumbe ambako
hukumu yake tumeieleza kabla……Al-Imamu Ibn Manda amesimulia
katika kitabu chake Al-Tawhid kwa sanad yake kutoka kwa Abu Yusuf Al-
Qadhi akisema kwamba: „tawhid haithibiti kwa njia ya qiyas……..na kwa
hivyo, haijuzu kufanya qiyas katika tawhid na (Allah) hajulikani isipokuwa
kwa majina yake na hasifiwi isipokuwa kwa sifa
zake‟……………………na Sheikh Al-Islam Ibn Taymiyya, mwanzoni
mwa kitabu chake Al-‟Aqiitu Al-Wasatiyya, anasema: “Allah hafanyiwi
qiyas na viumbe vyake”.……………. na sisi tunamtaka mtunzi (wa kitabu
Al-Haqqu Al-Damigh, Sheikh Al-Khalili) atutajie mmoja tu katika Ahlu
Sunna Wa Al-Jamaa‟a aliyesema kwamba Allah anafanyiwa qiyas na
viumbe. Basi hivi vitabu vyao vipo, na kauli zao zimehifadhiwa na hizo
(zilizotangulia kutoka kwa Ibn Manda na Ibn Taymiyya) ni baadhi ya kauli
zao tumezitaja ili msomaji imbainikie uwongo wa madai ya mtunzi (wa
kitabu Al-Haqqu Al-Damigh, Al-Khalili) dhidi ya Ahlu Sunna (Mawahabi
na watangulizi wao).
Hio ndio jawabu ya Dr. Al-Faqihi kwa maneno ya Sheikh Al-Khalili. Nami
ninamwambia Al-Faqihi kwamba:
a) Kitabu Al-Haqqu Al-Daamigh cha Sheikh Al-Khalili hakukihusisha
na kuwajibu Mawahabi ambao wewe unawaita kuwa ni Ahlu Sunna
na kwamba wao ndio wafuasi wa Al-Salaf Al-Salih! Bali yeye
kajadili hoja za wenye kusema kuwa Allah ataonekana na hoja za
wenye kusema kuwa Allah haonekani.
b) Ikiwa Mawahabi wao hawasemi kuwa kuwepo ndio sharti pekee ya
kuonekana, basi wako wengi – pengine ni jumhuri ya wenye itikadi
ya kuonekana kwa Allah – wenye kusema hivyo: kwamba sharti
pekee ya kuonekana ni kuwepo na kwa sababu Allah yupo basi naye
ataonekana. Hayo tumeyathibitisha kwa nukulu zilizotangulia.
c) Ikiwa maneno ya Ibn Taymiyya tulioyanukuu kabla, hayamaanishi
kwamba kuwepo ndio sharti pekee ya kuonekana, basi bila ya shaka
maneno hayo yamesema kwa uwazi kwamba kukamilika kwa
kuwepo ndiko kwenye kutoa fursa kubwa zaidi ya kuonekana na
huku kama tulivyonena ni “mbwa kumwita jibwa”.
158
d) Dr. Al-Tahhan, naye ni Wahabi, amesema hivyo hivyo kwamba
sharti pekee ya kuonekana ni kuwepo. Na muhadhara wake huo,
Mawahabi waliufurahia na kuueneza kila mahala bila ya kumrudi.
Ama tukirudi tena katika maneno ya Dr. Al-Faqihi aliposema:
…(maneno yake Al-Khalili) kwamba wao (Ahlu Sunna) wanafanya qiasi
baina ya kuwepo kwa Allah na kuwepo kwa viumbe, huo ni uongo na ni
kuwazulia watangulizi miongoni mwa masahaba na wafuasi wao na wenye
kuwafuata. Na ni hasha kwa wao kufanya hivyo, kwani atayefanya qiyas
baina ya Allah na viumbe huyo kakufuru…..
Tunasema: ewe Duktur Al-Faqihi we! Elewa kwamba qiyas alichokielezea
Sheikh Al-Khalili kimesemwa na jumhur ya Masunni kama tulivyoelezea.
Na Mzee wa Uislamu kakiweka qiyas hicho katika mueko wa qiasu al-awla
kwamba kadiri kitu kinavyokamilika katika kuwepo ndivyo kinapotoa fursa
kubwa zaidi ya kuonekana na kwa kuwa Allah ndiye aliyemkamilifu katika
kuwepo basi Yeye ni awla kuwa aonekane. Hiki alichokisema Mzee wa
Uislamu nacho pia ni qiyas ambacho wataalamu wa usuli wanakiita kuwa ni
qiyasu al-awla. Sijui aina hii ya qiyas nayo inamtia mtu ukafirini au ni aina
nyengine tu za qiyas ndizo zenye kumtia mtu ukafirini? Ninasema: bali lau
tutajaribu kuzikusanya sehemu ambazo wanavyuoni wenu wa Kiwahabi
wamefanya aina mbali mbali za qiyas baina ya Allah na viumbe basi
tunaweza kukusanya majalada mengi ya kitabu.
Ama kuhusu qiyas al-awla, elewa ndugu msomaji kwamba pamoja na
kuwepo maelezo hayo tulioyanukuu kutoka kwa Mzee wa Uislamu, basi
vitabu vya Kiwahabi vinaeleza kwa uwazi kwamba hio ni kanuni ilioko
katika fiq-hi ya itikadi yao. Sasa sijui Dr. Ali Al-Faqihi anapinga nini?
Anasema Mzee wa Uislamu:
ـــخ “ه٤خ حل٠ “ح خض حط٣وش حز٣ش حل٤ش أ ٣ظؼ ك٢ حؼ حإلــــــــــــ٤ش
٠“ هخ هللا طؼخ٠ حل ػ ؼ .”لل ح
Na kwa hivyo, njia ya Mtume, ya Al-Salaf ni kutumia Qiyasu Al-Awla
katika elimu za itikadi kama Allah alivyosema kwamba: “Na Allah ana
mifano ilio bora zaidi”.
Anasema Dr. Isa bin Abdillah:
ححص حوي حو ، ؛ ػ هللا ظ ػ ٣ئ أ حش حـخػش رلش حؼ ٠ ػ ــــأ
حد ل ٣خه ؼ٤ظ رخث هو، ػ ػ٠ ي أىش ؼ٤س .… .................…أ
ؿظخ ه٤خ حل٠
159
Ahlu Sunna504
wanaamini kuwa Allah yuko juu. Yuko juu kwa dhati na
uwezo na nguvu. Na kwamba Yeye kaka kitako juu ya „Arsh hali ya kuwa
kapambanuka na viumbe vyake. Na kwamba Allah kuwa yuko juu
hakupingamani na kuwa Yeye yupo pamoja nasi……Nao (Ahlu Sunna)
wana ushahidi mwingi juu ya hayo, miongoni mwa ushahidi huo ni
QIYASU AL-AWLA.505
Anasema mtunzi wa kitabu kiitwacho Asmaau Allahi Al-Husna:
حل“هللا ػ ؿ ٣ـ ك٢ كو ه٤خ حل٢ ري٤ ه ٣ حؼ ٠ حل ػ ؼ ــــــ لل ح ٤
ؿىحص ـــــــ حـــأ خ أ ؼض يف ل ل و ك٤ ٣ زؼ كب حؼ“
..…حو٤ أ٠ ر حوهش حليػش كخد حوخن حي
Na Allah Mtukufu inajuzu kwake kufanyiwa qiyasu al-awla, kwa ushahidi
wa kauli yake Allah: “Allah ana ndiye mwenye sifa tukufu naye ni
mwenye nguvu mwenye hekima”.506
Kwa hakika inaeleweka kwamba
kila ukamilifu au sifa njema yenye kusifiwa isio na upungufu ambayo
baadhi ya viumbe husifika nayo basi Allah ni mwenye kustahiki zaidi
kusifiwa na sifa hio…507
Sasa natuwaache Madokta wa Kiwahabi wafikichane wenyewe kwa
wenyewe. Wengine wanasema kwamba kufanya Qiyas baina ya Allah na
viumbe ni ukafiri; na wengine wanasema kuwa hiyo ndio njia ya Ahlu
Sunna (Mawahabi).508
Hilo natuwaachie wenyewe, lakini mimi ningependa
kurudi katika maneno yasemayo kwamba kila sifa njema ilioko kwa kiumbe
basi Allah anayo kwa ukamilifu zaidi? Suali: je ni kila sifa au baadhi ya
sifa? Vipi kuhusu akili: Allah anayo zaidi! Kiumbe asiye na akili ni
mpungufu, na kila akiwa na akili kubwa ndio ukamilifu wake, je na Allah ni
hivyo hivyo?!
504
- Yaani Mawahabi. 505
- Dr. „Isa bin „Abdillah Al-Sa‟adi Al-Mathalu Al-A‟alaa uk. 59. 506
- Sura 16, 60. 507
- Lakini akili ni sifa njema kwa binaadamu, je Sheikh wa Uislamu utasema kuwa Allah
ana akili zaidi, kwa kutegemea msingi wako huo? 508
- Tena katika kitabu chake hicho, Dr. Al-Sa‟adi katoa mifano mingi ya qiyasu al-awla
kinachofanywa na wanavyuoni wao.
160
TUNAREJEA KATIKA FALSAFA YA KUWEPO
NDIO SHARTI PEKEE YA KUONEKANA
Baada ya hayo, sasa naturejee katika falsafa ya kuwa “kuwepo ndio sharti
pekee ya kuonekana”. Tunasema kwamba madai hayo yanabomolewa na
kile tunachoweza kukiita kuwa ni law of relativity (kanuni ya ulinganisho)
ya kuwepo kwa vitu kadha wakadha ambavyo havionekani. Utakumbuka
kwamba wale ambao hawakukubaliani na falsafa hio nao wana mengi
wanayoyaulizia je yapo au hayapo; je yanaonekana au hayaonekani. Lakini
kabla ya kunukuu masuali yao, kwanza natumtupie mpira Dr. Al-Fauzaan,
mmoja wa wanavyuoni wakuu wa Suudia, ili atujibie suali hilo. Ewe Duktur
wewe! Wanenaje weye kuhusu suala hili: je madai ya kuwa kila kilichopo ni
lazima kionekwe ni madai ya kweli?! Duktur anajibu:
د لل اؿخع حلش ػ٠ ؿى حـ، ئلءـ ؿلي ؿى حـ ك خك؛ ل
ـؿى ػ٠ أ١ ٢ء ٣ؼظي؟ خ ٣ؼظي ػ٠ ٢ء ال ل ل ٣، ح٣ أـــح
؟.أ طح لري ؿـــــــى
Na atayekanusha kuwepo kwa majini basi huyo ni kafiri kwani huyo
kamkadhibisha Allah na Mtume wake na makubaliano ya umma juu ya
kuwepo kwa majini. Na hawa waliokanusha kuwepo kwa majini
wanategemea nini? Hawana wanachokitegemea isipokuwa vile kuwa kwao
hawawaoni (hao majini). Na kwani kila kilichopo ni lazima ukione?
Kuna vitu vingi ambavyo huvioni navyo vipo, kwa mfano roho iliomo
ndani yako je unaiona? ……..na akili ipo lakini pamoja na hayo
huioni……….509
Baada ya hayo alioyaeleza Dr. Al-Fauzaa, tunawakuta wale ambao
hawakubaliani na falsafa ya “kila kilichopo chaonekwa” nao wana urodha
ya masuali kama hayo. Wanauliza:
1) Roho ipo. Je inaonekana?
2) Upepo upo. Je unaonekana?
3) Hisia zipo je zinaonekana:
4) Nia zipo. Je zinaonekana?
5) Umeme upo. Je unaonekana?
6) Akili ipo. Je inaonekana?
Utaona kwamba vitu vyote hivyo zinaonekana athari zake tu pasina
kuonekana kwa vitu vyenyewe. Kama umelielewa hilo, basi elewa kwamba
509
- Dr. Salih bin Fauzaan Al-Fawzaan, member katika bodi ya katika wanavyuoni wa kuu
wa saudia. Tazama kitabu chake Ighaathatu Al-Mustafiid Bishar-hi Kitaabi Al-Tauhiid uk.
25.
161
falsafa ya kwamba: “sharti pekee ya kuonekana ni kuwepo” ni falsafa isio
na msingi wowote ule, bali ni katika jaribio la kutaka kuilazimasha itikadi
tu.
Ama falsafa ya Ibn Taymiyya kwamba kuwepo kunagawika katika kuwepo
dhaifu na kuwepo kulikokamilika; na kwamba kadiri chenye kuwepo
kinavyokamilika katika kuwepo kwake ndivyo uwezekano wa kukiona
unavyopatikana. Tunauliza: je kukamilika huku kwa kuwepo
anakokukusudia yeye ni kukamilka kuwepo kwa mwili ukawa mwili huo ni
mkubwa zaidi ndiko kunakotoa fursa kubwa zaidi ya kuonekana; au
kunakotoa fursa hio ya kuonekana ni kuwepo kulikokamilika kiutukufu?
Kama ni ukubwa wa kimwili ndiko kunakotoa fursa kubwa zaidi ya
kuonekana, je Allah ana mwili mkubwa zaidi ndio maana akaweza
kuonekana? Tena: je mwili mkubwa zaidi huu atakuwa nao huko akhera
ndio maana tukaweza kumuona huko pasina hapa? Na kwa hivyo, je dhati
ya Allah inabadilika na kugeukageuka: inakuwa kubwa na ndogo?
Na ikiwa ni kukamilika kwa kuwepo kiutukufu ndiko kwenye kutoa fursa
kubwa zaidi ya kuonekana, je Fir‟awna ni mtukufu zaidi kuliko Malaika,
ndio maana tukamuona Fir‟awna lakini tusiwaone Malaika? Na je kinyesi ni
kitukufu zaidi kuliko vijidudu visiovyoonekana kwa macho? Au je kinyesi
ni kitukufu zaidi kuliko majini?
Tena, kwa mara ya pili, ikiwa ni kukamilika kwa kuwepo kiutukufu ndiko
kwenye kutoa fursa kubwa zaidi ya kuonekana. Tunauliza: je Allah
atakapoonekana huko akhera ndio tusema kwamba atakuwa kakamilika
zaidi kiutukufu kuliko hapa duniani ambapo hakuonekana? Kwa hivyo
ikiwa kwenu kule kuwepo kiutukufu ndiko kwenye kutoa fursa kubwa zaidi
ya kuonekana, basi Ibn Hajar anasema kwamba Allah ataondoa utukufu
wake huko akhera ili apate kuonekana! Na kwa mantiki hii ni kuwa kisicho
na ukamilifu ndicho chenye kuonekana. Sasa mwanenaje ewe “Ntotongwa
wa Mafuta”? Hebu kubalianeni kwanza: je kukamilika kwa utukufu ndiko
kunakopelekea katika kuonekana au kutokuwepo kwa utukufu ndiko
kwenye kupelekea katika kuonekana?
Nadhani falsafa hii ya Ibn Taymiyya, kama zilivyo falsafa zake nyingi, ni
falsafa ambayo hakuna mtu mwenye akili yake timamu atayekubaliana
nayo, labda wale ambao wanafuata tu kama vipofu: “Shehe wa Uisilamu
kantongoa”.
Mukhtasari wa sehemu hii ni kuwa:
162
1) Wenye itikadi ya kuonekana kwa Allah wanaijenga itikadi yao
hio juu ya hoja za kiakili na za kimaandishi.
2) Hoja ya kiakili inasema kuwa Allah yupo na kila kilichopo basi
hicho kinafaa kuonekana.
3) Wenye kusema kuwa Allah haonekani wakasema:
a) Hilo linawahusu viumbe, na kwamba kufanya hivyo ni
kufanya qias baina ya Muumba na viumbe na hilo ni batili.
b) Pamoja na hayo kuna idadi kubwa ya viumbe vilivyopo
ambavyo havionekani kama vile roho, akili na mengineo.
c) Kwa hivyo, hoja hio ya kiakili ni hoja batili.
163
SURA YA NNE
HOJA ZA KIMAANDIKO KWAMBA
KUMUONA ALLAH NI JAMBO LENYWE
KUWEZEKANA
DALILI ZA KIMAANDIKO
Huo uliotangulia ulikuwa ni mjadala juu ya hoja za kiakili walizozitegemea
watetezi wa itikadi ya kumuona Allah katika kuthibitisha kwamba kumuona
Allah ni kitu chenye kuwezekana. Ushahidi mwengine uliotegemewa na
watetezi wa itikadi ya kumuona Allah katika kuthibitisha falsafa ya
“inawezekana kumuona Allah”, umechukuliwa kutoka katika Aya isemayo:
همن اظر إه اهجبو فإن است ن قاو هن ترا ف تـقاو رب أر أظر إه فس ـكر ىما راخرفهىا تجه رب دما ههجبو جغه
E Mola wangu! Nioneshe nikutazame, akasema (Allah)
hutoniona lakini utazame mlima ukiwa utatulia mahala pake
basi nawe utaniona, basi Mola wako alipoudhihirikia mlima,510
aliujalia ukavurugika vurugika.511
Hio ndio Aya wanayoitegemea! Je ni kitu gani katika Aya hii chenye
kuthibitisha kuwepo kwa uwezekano wa kumuona Allah? Suali hilo
natuwaachie wenye itikadi ya kumuona Allah wenyewe watujibie. Anasema
Al-Alusi:
:اخ حإ٣ش ؿ٤ هالش حال ك٢ ي أ أ حش هخح: ا ح٣٥ش طي ػ٠
٠ { حن ، د أ ٤ش كب خ ــــــ خض ظلـــحل أ ٠ ػ٤ حال ؤخ رو : }
٢ــــحال ػخخ رخلظلخش كخؼخه ك٠ال ػ حز٢ طوخ ك٠ال ػ أ ٤ــ٠ ػـــ
ـــ ٣ ػخخ ري أ ٣ آكخى حؼظش كا لخ ل ٣طز،ـحؼ ل ٣ؤ ح
وـــــــحخ ل ٣ـ حز٢ حل٠، ػ٤ـــــــ١كخ ػ أػ رخلل طؼخ٠ خ ٣ـ
.رخـح حو ٤ـــــ، ك٤غ رط حو رخلظلخش طؼؿخ٣ش حـ حػش ري
510
- “Mola wako alipoudhihirikia mlima”, ni tafsiri ya neno kwa neno na tafsiri
iliokusudiwa hasa ni “utukufu wa Mola wako ulipodhihiri kwenye mlima”. 511
- Sura 7, Aya 143.
164
ـــــــ٣ش ػ٠ حظوح حـز ك٢ ل خ ػن ػ٠ ححؼخ٢ أ ك٤خ طؼ٤ن حإ
.
Na mukhtasari wa maneno katika hilo ni kuwa Ahlu Al-Sunna wamesema
kwamba Aya hio inaonesha kujuzu kuonekana kwa Allah kwa njia mbili:
Mosi: ni kuwa Musa (a.s.) aliomba kuwa amuone Allah pale aliposema: “E
Mola wangu! Nioneshe (nikutazame)”….lau kuonekana kwa Allah
lilikuwa ni jambo lisilowezekana, basi ikiwa Musa alikuwa akilijua hilo
kwamba haiwezekani kuwa Allah aonekane, basi mwenye akili yake
timamu ukiachilia mbali Nabii na ukiachilia mbali Nabii aliye katika daraja
ya ulil-„azmi basi hawezi kuomba kitu kilicho muhali (kisichowezekana).
Na kama Musa alikuwa hajui (kwamba hilo halijuzu) basi hii ina maana
kwamba mtu mmoja mmoja katika watu wa madhehebu ya Mu‟tazila na
wale waliopata sehemu ya elimu yao ni wenye kumjua zaidi Allah na kujua
zaidi nini kinamfalia na nini hakimfalii kuliko Nabii aliyeteuliwa. Na
kusema hivyo, ni kufikia katika kipeo cha ujinga na upumbavu. Na kwa
sababu kusema kuwa haiwezekani kumuona Allah ni kauli iliobatili, basi
ikathibiti kauli ya kuwa hilo ni lenye kujuzu.
Pili: ni kuwa katika Aya hio kuona kumefungamanishwa na kutulia kwa
mlima. Na kutulia kwa mlima ni kitu ambacho chenyewe kinawezekana,
na kitu chenye kufungamanishwa na kitu chenye kuwezekana basi nacho
pia huwa kinawezekana!512
Hayo ni maneno ya Sheikh Al-Alusi, na mfano wake ni maneno ya Ibn Al-
Qayyim katika Hadi Al-Ar-waah,513
„Abdul-Rahim na Muhammad Al-
Kaylani katika Sharhu Jawharati Al-Tawhid,514
Al-Shanqiti katika Adhwaau
Al-Bayaan,515
na wengine.516
Bila shaka Muislamu mwenye kutumia akili yake ya kimaumbile ilio safi:
haijaathiriwa na itikadi hii na ile, au yule ambaye anayatafiti mambo baada
ya kuitakasa vyema fikra yake kutokana na athari za kufuata kama kipofu,
basi anastaajabishwa sana na wanavyuoni hawa wenye kutoa ushahidi kwa
Aya hio! Natuzitazame hoja zao:
512
- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟ani j. 9, uk. 46. 513
- Uk. 210-211. Naye kawaita wenye itikadi tafauti na yake kuwa ni washirikina, wafuasi
wa majusi n.k. 514
- J. 2, uk. 663-670. 515
- J. 3, uk. 10. 516
- Hatuna haja ya kurefusha, hilo utalikuta katika tafsiri tafauti za wenye itikadi ya
kumuona Allah, kwani ndio moja katika hoja zao za kuthibitisha itikadi yao hio.
165
Hoja ya kwanza ni kuwa lau kuonekana kwa Allah ni jambo lisilowezekana,
basi Nabii Musa asingelimuomba Allah kuwa amuone, kwani yeye anajua
chenye kujuzu na kisichojuzu juu ya Allah. Lakini – bila kurefusha maudhui
– hoja hii imejibiwa kwamba Nabii Musa hakuomba kumuona Allah kwa
ajili yake mwenyewe, bali alitaka kuikata mizizi ya ushindani ya kaumu
yake ambao walikuwa wakimshikilia kwamba wanataka wamuone Allah na
kwamba wao hawatomuamini hadi hapo watapomuona Allah wazi wazi.
Haya yote yameelezwa katika Qur-ani na kitu bora cha kuifasiria Qur-ani ni
Qur-ani yenyewe. Anasema Allah:
ر ج تي تظرن إذ قهتي ا ىس هن ؤىن هن حت ر اهه أ فأخذتمي اهصاعك
Na (kumbukeni) muliposema: „ewe Musa hatutokuamini mpaka
tutapomuona Allah wazi wazi, basi yakakuchukueni mauti nanyi
munaona.517
Na anasema:
أمبرفكد سأها ىس ي اهصاعك فأخذت ر ج ا اهه يىن ذهن فكاها أر بظهى
Kwa hakika (Mayahudi) walimuomba Musa kubwa kuliko hilo,
wakasema: „tuoneshe Allah wazi wazi, basi mauti ya ghafla
yakawachukuwa kwa sababu ya dhulma yao (hio)…. 518
Aya hizi zinatoa ushahidi wa wazi kwamba walioomba kumuona Allah ni
kaumu ya Musa: si Musa mwenyewe. Na chenye kubainisha zaidi ukweli
huo, ni kuwa Allah katika Aya hizi kayaita maombi hayo kuwa:
1) Ni dhambi kubwa.
2) Dhulma.
3) Aliwateremshia adhabu kwa sababu ya kuomba hivyo.
Sasa sijui vipi mtu mwenye akili yake atadai kuwa Nabii Musa aliomba
kumuona Allah kwa ajili yake mwenyewe! Na chenye kubainisha zaidi ni
kuwa Nabii Musa baada ya kuzimia na baadae kuzinduka alitubia na
kusema:
همت ت أ ص ىارب ه ا ا بىا فغو اهسف هم أت ا إ ي ىن قبو
517
- Sura 2, Aya 55. 518
- Sura 4, Aya 153.
166
E Mola wangu! Lau ulitaka basi ungeliwaangamiza wao hapo mwanzo
pamoja na mimi, (basi) utatuangamiza kwa jambo lililofanya na
wajinga miongoni mwetu?519
Aya hii inasema kwa uwazi kwamba waliofanya hivyo yaani waliomba
kumuona Allah ni Sufahaa (wajinga). Je baada ya haya, kweli itawezekana
kusema kuwa Nabii Musa hasa ndiye aliyetaka kumuona Allah? Je
inawezekana kumjumuisha Nabii Musa pamoja na wajinga hao katika hilo?
Natarajia kuwa hili ni jambo lililo wazi kabisa kwa kila aitakae haki, lakini
tatizo la wenzetu ni kuwa waliifanya itikadi yao kuwa ndio msingi wa
kuzifasiria Aya badala ya kuzifanya Aya kuwa ndio msingi wa kuifasiri
Qur-ani na kwa hivyo Aya ndio zikazaa itikadi sahihi.
Lakini je – baada ya yote hayo yaliotangulia – wenye itikadi ya kumuona
Allah bado wana jawabu juu ya maelezo hayo nilioyatoa? Naam! Jawabu
wanayo: jawabu yao ni kuwa:
1) Lau Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah kwa ajili yake
mwenyewe, basi asingelikimbilia kuleta toba.
2) Asingelisema: “nioneshe nikutazame” bali angelisema “waonesha
wakuone”.
Hizo ni hoja zao mbili ambazo kazinukuu Al-Imamu Badru Al-Din Al-
Khalili Al-Mufassir katika Al-Haqqu Al-Damigh kisha akabainisha udhaifu
wake. Lakini kabla ya kunukuu jawabu yake wacha tumduse kidogo.
Ninasema: ama suala la kwanza – pamoja na jawabu ya Sh. Al-Khalili
ambayo tutainukuu baadae – kuhusu kutubia kwa Nabii Musa, hio ni hoja
dhidi yenu si hoja yenu! Suali ni kuwa je munakubali kuwa Musa alitubia
kwa sababu ya ombi hilo au hamukubali? Hoja yenu hapa inaeleza kuwa
munakubali? Je kama hio haikuwa dhambi kubwa au kwa uchache halikuwa
kosa angelitubia? Sasa, kwa ujumla, jawabu yetu ni kuwa tukijaalia kuwa
Musa (a.s.) hakumuomba kumuona Allah kwa ajili yake, basi hilo halina
mushkeli, lakini tukijaalia kuwa kamuomba kwa ajili ya nafsi yake kisha
apate adhabu kwa maombi yake hayo kisha atubie, je hili linaonesha kujuzu
kumuona Allah au linaonesha kuwa haijuzu? Kama inajuzu kwanini:
1) Apate adhabu?
2) Atubie. Je anatubia kwa kufanya kitu chenye kujuzu?
Ninasema: na hapa yanajibika madai ya Al-Alusi na Ibn Al-Qayyim na
wengine kwamba: “sasa hawa Mu‟utazila wenye kukataa kuonekana kwa
Allah wanamjua Allah zaidi kuliko Musa?” Jawabu ni laa: (sio): wao
hawamjui Allah zaidi kuliko Musa, lakini kupitia katika hayo yaliomtokea
Musa ndio wao wameweza kujua kwamba kumuona Allah haiwezekani.
519
- Sura 7, Aya 155.
167
Halafu nasi tukuulizeni: je nyinyi munamjua Allah zaidi kuliko Musa?
Jawabu yenu inajulikana kwamba: laa: (sio): sisi hatumjui Allah zaidi
kuliko Musa”. Haya! Kama ni hivyo, mbona nyinyi au jumhuri (majority)
ya nyinyi mwasema kuwa Allah haonekani duniani, halafu mwageuka
kifudifudi mukasema: “Musa alimuomba kumuona Allah yeye mwenyewe
kwa ajili yake, na huo ni ushahidi wa kujuzu kumuona Allah duniani”.
Suali: je Musa yeye alikuwa hajui kuwa Allah haonekani duniani na badala
yake mumejua nyinyi? Bila shaka hapa mutakuwa mumejizonga wenyewe,
na hii ndio natija ya kuzifasiri Aya tafsiri batili!
Ama madai ya pili kwamba lau kama Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah
kwa ajili yake mwenyewe, basi asingelisema: “nioneshe nikutazame” bali
angelisema “waonesha wakuone”. Ninasema: kusema waoneshe
wakutazame kungewezekana lau Musa alikuwa anaitakidi na ana hakika
kuwa Allah anaonekana. Ukiniambia: hata “nioneshe nikutazame” ni hivyo
hivyo, ni lugha yenye kuonesha kuwa Musa alikuwa na hakika kwamba
Allah ataonekana au anaweza kuonekana. Nitakujibu: “ha mbona
hemuona?” Kisha jawabu yako hio itakugeukia mwenyewe kwamba: je
Musa alikuwa hajui kinachojuzu kwa Allah na kisichojuzu, mbona jawabu
ya Allah kwake imekuja vyenginevyo, bali mbona wewe wasema na
kuitakidi vyenginevyo?
Sasa baada ya kudusa huku, wacha tuwaachie wenyewe wenye elimu zao,
watupe jawabu juu ya madai:
1) Lau Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah kwa ajili yake
mwenyewe, basi asingelikimbilia kuleta toba.
2) Asingelisema: “nioneshe nikutazame” bali angelisema “waonesha
wakuone”.
Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir:
Jawabu ya (madai) ya kwanza ni kuwa yeye Nabii Musa (a.s.) kakimbilia
kuleta toba kwa sababu kajihisi kuwa kajihusisha katika kile alichokiomba,
pamoja na kuwa nia yake ilikuwa nzuri Allah anaijua (kuwa ilikuwa nzuri),
lakini lilikuwa ni jambo lenye kuhitaji kuomba idhni ya Allah kwanza
kabla ya kuingia katika ombi kama hilo.
Na jawabu ya (dai la) pili la (kitendo cha Nabii Musa cha) kuyategemeza
(maombi hayo) katika nafsi yake (akasema ewe Mola wangu nioneshe
nikuone) pasina (kuyategemeza) kwao (akasema ewe Mola wangu
waoneshe wakuone), ni kuwa huko kunawakinaisha zaidi kwamba
kumuona Allah ni kitu kisichowezekana; watapojua kwamba yeye –
pamoja na daraja yake ya juu, na usafi wa moyo wake kutokana na yale
168 (madhambi) wanayoyajua kwamba wao walijichafua kwayo –
haikuwezekana kwake kumuona Allah, jambo ambalo walikuwa
wamelishikilia katika kuliomba, kwa hivyo, ikiwa kwake (Musa) hilo
halikuwezekana basi kwao wao ndio kabisa halitowezekana.
Na mukhtasari ni kuwa (Nabii) Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah kwa
kutumai kuwa hilo litakuwa, bali aliomba ili ombi lake liwe ni wasila
(njia) katika wasila za kukinaisha ambako alikuwa akikufanyia hima, na ili
liwe ni mpito katika mipito ya ulionganiaji aliokuwa akiusimamia. Na
mfano wake katika hilo ni mfano wa (Nabii) Ibrahim (a.s.) ambaye alisema
alipoona sayari na mwezi na jua: “Huyu ni Mola wangu”.520
Hakika yeye
– kwa yakini kabisa – hakukusudia kuzifanya (sayari hizo) kuwa ndio mola
wake, kwani akili ilio nzima haikubali kwa hali yoyote ile kuvifanya
viumbe kuwa ni Mungu, basi vipi akili za Manabii ambao wamelelewa
katika hifadhi ya Allah na Allah akawachagua wawe ndio vyombo vya
uongofu…… na inabainisha hivyo kauli ya Allah baada ya kukisimulia
kisa hicho, (Allah alisema): “Na hizo ni hoja zetu tulimpa Ibrahim juu
ya kaumu yake”. 521
Na ikiwa hii ndio njia ya kuyafasiri maneno ya (Nabii) Ibrahim (a.s.),
pamoja na kuwa hakuna andiko la wazi katika Qur-ani lenye kusema kuwa
kaumu yake walikuwa wakiabudu vitu hivi (jua, mwezi, seyari), basi
kulifasiri ombli la (Nabii) Musa la kuomba kumuona Allah kuwa
makusudio yake ilikuwa ni kuwanyamazisha watu wake kwa hoja, ni bora
zaidi kwa sababu ya kuwepo maandiko mengi yenye kuonesha kwamba
wao ndio waliomba kumuona Allah. Na ivo inaingia akilini kwamba iwe
Musa naye kaomba kitu kile kile ambacho walikiomba wao ilhali wao
kiliwapata kipigo kilichowapata kwa sababu ya kile walichokiomba (cha
kumuona Allah). Naapa kwa jina Allah, haikuwa kauli hio (ya kusema
kwamba Musa kaomba kile kile walichokiomba wao) isipokuwa ni
kumfananisha Musa na viisraili uchwara, na kumuondoa katika nafasi yake
ya juu ya utume ambayo Allah kamnyanyua na kumpeleka huko na
akamchagua kwa ajili yake, na badala yake (nyinyi mukawa ni wenye)
kumuweka katika tabaka za ujinga ambazo waliporomoka kuja katika hizo
watangulizi wa Mayahudi waliomba kumuona Allah basi neno la Allah
likawathibitikia kwa kustahiki udhalili wa dunia na adhabu ya akhera.522
520
- Sura 6, Aya 76-78. 521
- Sura 6, Aya 83. 522
- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir Al-Haqqu Al-Damigh uk.35-37.
169
KIFUNGU CHA PILI CHA MAELEZO YAO
Hayo yaliotangulia ni maelezo yetu kuhusu vifungu vyenye kusema:
1) Lau kama Musa (a.s.) hakuomba kumuona Allah kwa ajili yake
mwenyewe, basi asingelikimbilia kuleta toba.
2) Asingelisema: “nioneshe nikutazame” bali angelisema “waonesha
wakuone”.
Kifungu chengine cha madai yao kinasema:
Pili: ni kuwa katika Aya hio kuona kumefungamanishwa na kutulia kwa
mlima. Na kutulia kwa mlima ni kitu ambacho kinawezekana, na kitu
chenye kufungamanishwa na kitu chenye kuwezekana basi nacho pia huwa
kinawezekana.
Ninasema: natarajia kuwa hiizi ni miongoni mwa falsafa ambazo hazihitaji
hata kujibiwa! Aya iko wazi kabisa kwamba kutulia kwa mlima ndio alama
ya kujuzu au ya kutokea kumuona Allah. Mlima haukutulia, sasa hio hoja
iko wapi? Anasema Sheikh Al-Khalili:
Na ikajibiwa kwamba hakuna uwezekano baada ya kile kilichotokea cha
kuvurugika kwa mlima, na kubainika kwa hukumu ya Allah ndani yake
ambayo haiwezekani ikahukumiwa kinyume chake, kwani Allah maneno
yake hayabadiliki. Na alikwisha kujua katika elimu yake kwamba mlima
hautotulia, na wala alichokijua Allah hakitobadilika kikatokea kinyume na
ilivyo katika elimu yake. Bali hakika ya kutulia kwake (huo mlima)
lilikuwa ni jambo lenye kuwezekana kwa mujibu wa elimu fupi, yenye
mipaka ya viumbe523
kabla ya kuwabainikia wao – kwa sababu ya
kuvurugika kwake – kile kilichoko katika elimu ya Allah.524
Anachokisema Sheikh Al-Khalili ni kuwa kutulia kwa mlima kulikuwa
kunawezekana kwa mujibu wa elimu yetu sisi. Ama Allah Yeye
alikwishakujua kuwa hautotulia, na alivyojua Yeye ndio hivyo hivyo:
haibadiliki ikawa kinyume chake. Na sisi viumbe tumejua kuwa
haiwezekani kwa mlima huo kutulia baada ya Allah kuyasema alioyasema
na yakatokea yaliotokea.
Hatuna haja ya kurefusha jawabu juu ya hili, kwani kila mwenye akili yake
anaona kwamba hapa watetezi wa itikadi ya kumuona Allah hawakutoa hoja
ya msingi: mwote hawana hoja za msingi lakini mwengine munahitaji elimu
na mwengine akili ya kimaumbile yatosha kukuonesha pofu na nzima.
523
- Si katika elimu ya Allah: Allah alikwishajua kwamba hautotulia. 524
- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir Al-Haqqu Al-Damigh uk. 39.
170
SURA YA TANO SABABU YA KUTOONEKANA KWA
ALLAH HAPA DUNIANI
Kama ulivyoona kwamba jumhur ya wenye itikadi ya kuonekana kwa Allah
wanasema kwamba Allah ataonekana akhera tu pasina kuonekana hapa
duniani. Moja ya sababu wanazozitoa ni kuwa dunia ni mahala
panapokwisha na mwenyekwisha hawezi kumuona mwenye kubaki. Ama
akhera ni mahala pa kubakia na kwa hivyo kunanasibiana sana kuwa
Waumini wamuone Allah kwani nao huko ni vyenye kubaki! Anasema
Sheikh „Isa bin „Abdillah: ٣ إ٣ش حزخه٢ رخؼ٤ حلخ٤شهخح ………
…Basi wakasema (wanavyuoni hao waliokataa kuwa Mtume kamuona
Allah hapa duniani): “Na haiwezekani kumuona yule mwenye kubakia
(Allah) kwa jicho ambalo kuna siku litaangamia”.525
Anasema Sh. Muhammad bin Khalifa Al-Tamimi:
زؼ ػ٠ ي آهــــــ٤، طـــــ٣ رخؾ كــــف رؼ٠ رخإ٣ش رخؼ٤٤، حهظخ حر ؿ
هخض ١خثلش: ٣وغ ي لي٣غ أر٢ ... هخح: ٣……....… .… حظؤه٣
إ٣ش حزخه٢ رخؼ٤ حلخ٤ش...
Na baadhi yao wakasema kwa uwazi kuwa (Mtume s.a.w.) kamuona Allah
kwa macho yake mawili. Na hio ndio kauli alioichagua Ibn Jarir naye
alizidi kuitia chunvi, na akafuatiwa na wanavyuoni wengine katika
kuikubali kauli hio ………na wengine wakasema kuwa hilo halikutokea
kwa ushahidi wa Hadithi ya Abu Dhar. Basi wakasema (wanavyuoni hao
waliokataa kuonekana kwa Allah hapa duniani): „na haiwezekani kumuona
yule mwenye kubakia (Allah) kwa jicho ambalo kuna siku litaangamia”.526
Anasema Al-Tuweijri:
زخس, ك٤ق رح -ػ ؿ -إ٣ش هللا ــــــــي ـــحـز روط الرظ أ ٣خ حظطخع ح
كبح زض حلؿخ ٣ حو٤خش زوخء, زض وى, حكظض إ٣ش حوم حز٢٤ ح٠ؼ٤ق؟ لل
..حزخه٢ حيحث زلخ طؼخ٠
…Mlima huu pamoja na umadhubuti wake haukuweza kuhimili kumuona
Allah Mtukufu moja kwa moja. Basi vipi itakuwa huyu kiumbe mwepesi
525
- Abu Yusuf, Muhammad Zaaid Al-Qawlu Al-Aqwam j. 2, uk. 51. 526
- Muhammad bin Khalifa Al-Tamimi Ru-yatu Al-Nabiyyi (s.a.w.) Li Rabbih uk. 36.
171 dhaifu? E jamaa Allah ana shani we! Basi miili itapounganishwa siku ya
kiama kwa ajili ya kubakia basi itaunganishwa kwa ya kubakia milele,
basi hapo itaweza kumuona Allah mwenye kubakia (milele) mwenye
kudumu….527
Anasema Abu Hafs Al-Hanbali:
١ ك٢ حظذ هخح : ٣ إ٣ش حزخه٢ رخؼ٤ حلخ٤ش ، ح هخ طؼخ٠ ٠ ك٤خ
ح ٢ ك٢ » حإل٤ش : ٠ ، ا ل ٣ ٣خ ي خص ل ٣خر ال ط ي « .ال
Na wakasema (wanavyuoni wanaokataa kuonekana kwa Allah hapa
duniani): „na haiwezekani kumuona yule mwenye kubakia (Allah) kwa
jicho ambalo kuna siku litaangamia”. Na kwa sababu hio Allah
alimwambia Nabii Musa kwa mujibu wa yale yaliosimuliwa katika vitabu
vitukufu (vilivyotangulia):528
„Ewe Musa we! Mimi hanioni aliyehai ila
atakufa, wala kikavu isipokuwa kitabiringia!529
Hio ni moja ya sababu zinazoeleza kwanini hatumuoni Allah hapa duniani.
Ama sababu ya pili – kwa mujibu wa itikadi ya kumuona Allah huko akhera
tu pasina duniani – inaeleza kwamba katika dunia mtu ni dhaifu na kwa
hivyo hiwezekani kuwa amuone Allah! Anasema Sheikh Isa bin „Abdillah:
حإ٣ش حل حؿى٣ش حل٠ش؛ كخإ٣ش ك٢ حطخ ؿى ل ك ح ػــي٤ خ،كب ال طظ أ
ححث٢،ـش ــــلظخ أ ؿى٣ش ل٠ش ؛ ٢ حو٤خ رخل، حث٢ رـ ــــ١
١ ظق ح٥؛ ح ل ح ك٢ حي٤خ س حزــــ. آهــــ ح ..……هــ
Kwa hakika kuonekana ni katika mambo ya kuwepo safi kabisa; kwani
kuonekana kwenyewe ni kuwepo kwa hivyo hakuambatani na
kutokuwepo, na masharti ya usahihi (wa kuonekana) ni mambo ya kuwepo
tu, nayo ni: 1) kuisimamisha dhati,530
2) kuwa chenye kuonekana kiko
katika sehemu kutokana na muonaji, 3) nguvu za macho. Na hii sharti ya
mwisho (ya nguvu za macho) kwa sasa haipo ndio maana ikawa
hatumuoni (Allah) hapa duniani….531
527
- Hamed bin „Abdil-Muhsin Al-Tuweijri Sharhu Al-Fat-wa Al-Hamawiyya uk. 316. 528
- Nalo ni Agano la Kale, Kitabu cha Kutoka 33/1823. 529
- Abu Hafs Siraju Al-Din Al-Hanbali Tafsiru Al-Lubaab j. 10, uk. 233. Neno
alilolitumia ni hilo kitabiringia lakini kwa mujibu wa mtiririko wa maneno inaeleweka
kwamba makusudio ni kitavurugika. 530
- Yaani kuwepo kwa dhati ya kitu kilichosimamiwa na sifa fulani fulani. 531
- „Isa bin „Abdillah Al-Mathalu Al-A‟ala uk. 60.
172
Anasema „Abdullah bin Muhammad Al-Ghunaimaan:
٤جخ ــــــكخإ٣ش ك٢ حي٤خ ش ك٢ حؼو خ ؿ٤ حهؼش؛ ل ٠ ػ٤ حال ل ٣ؤ
٤غـطــغ ٠ؼق حز، أخ اح خ ٣ حو٤خش كبخ طظ هوظ طظ هح، ك٤ظ ظل٤ال ، ـــ
ؿ ػال أػ٠ حؼ٤، ك٢ أك٠ خ ٣ؼط٠ حئ، ح خخ إ٣ش هللا ؿ ػال، إ٣ـش هللا
هللا ٣خىس، أ١: ػ٠ خ ك٢ حـش.
Kumuona Allah hapa duniani kunawezekana kiakili lakini hakujawahi
kutokea, kwani (Nabii) Musa hawezi kuomba Allah kitu ambacho
hakiwezekani, lakini alizuiliwa kwa sababu ya udhaifu wa binaadamu,
ama itapofika siku ya kiama basi umbo lake litakamilika na nguvu zake
zitakamilika na hapo ataweza kumuona Allah Mtukufu.532
Na kumuona
Allah Mtukufu ndio neema kuu yao, basi hio ndio neema bora yao
watayopewa Waumini, na kwa sababu hii ndio maana Allah akaiita kuwa
ni nyongeza, yaani ni nyongeza ya zile neema zilizomo katika pepo.533
Hio ni sababu ya pili iliotolewa kueleza kwa nini sisi hatumuoni Allah hapa
duniani. Ama sababu ya tatu iliotolewa ni kuwa sisi hapa duniani tupo
katika sehemu ya kufanyiwa mitihani. Na kwa hivyo, kumuona Allah
haiwezekani mpaka ifike siku ya hesabu. Dhahir ya maneno haya
yanakusudiwa kwamba kumuona Allah hapa duniani kunakwenda kinyume
na hekima hio ya kuwafanyia waja mitihani; au huko kumuona Allah nako
ni katika jumla ya malipo ya amali njema ambayo hayawi isipokuwa huko
akhera. Anasema mtunzi wa kitabu Asmaau Allahi Al-Husna:
حـحء ل حي٤خ هوض الرظالء، أخ ح٥هس ك٢ ىح حلخد534 ك٤غ ٣ق ك٤خ حـطخء ٣كغ
ك٤خ حلـخد
(Allah haonekani duniani) kwani dunia imeumbwa kwa ajili ya mtihani,
ama akhera ni mahala pa hesabu na malipo ndipo atapoondoa kifuniko na
kunyanyua pazia (ili tumuone).535
Hizo ndio falsafa za wale wenye itikadi ya kumuona Allah huko akhera
katika kueleza kwanini Yeye haonekani hapa duniani. Lakini jambo la
kujiuliza ili uweze kupata jawabu sahihi juu ya falsafa hizo ni kuwa: je
kilichozuia kutoonekana kwa Allah hapa duniani ni sababu iliomo katika
532 - Yakhe! Mbona mwatuzuga? Tutaobadilika ni sisi viumbe si Allah: Allah yuko na
atakuwa vile vile alivyo. Na kubadilika kwa Mussa au kwa viumbe, Allah hakumdhuru kitu
wala hakumbadilishi sifa zake akawa sasa ni mwenye kuonekana badala ya kuwa si
mwenye kuonekana. 533
- „Abdullah bin Muhammad Al-Ghunaimaan Sharhu Al-‟Aqiidati Al-Wasatiyya j. 3, uk.
18. 534
ح حؼطق خض خهطش ألظخ ٤ظو٤ حؼ٠ - 535
- Asmaau Allahi Al-Husna j. 4, uk. 23.
173
viumbe au ni sababu iliomo katika Muumba? Na kwa hivyo, je udhaifu wetu
ndio sababu ya kutokumuona Allah au ni utukufu wake na kibri (ukuu)
chake ndicho kilichozuia kumuona? Kila atayeitafakari vyema Qur-ani
katika zile sehemu ambazo imekataa kuonekana kwa Allah, basi anaona
kwamba kuna vyenye kuashiria kwamba sababu ya kutoonekana kwa Allah
ni utukufu wake na kibri chake. Na hilo ndilo lililoelezwa katika Hadithi
kwa uwazi kabisa. Zingatia Aya isemayo:
و ش ر ظ خػ ح ط س ك ؤ ه خ هللا ؿ ح أ ي ك و خ ز ٠ أ ح ؤ ك و ي
Kwa hakika wao (Mayahudi) walimuomba Musa jambo
kubwa kuliko hilo wakasema tuoneshe Allah wazi wazi, basi
mauti yakawachukua kwa sababu ya udhalimu wao.536
Na Aya isemayo:
ــــ ز ـ ر ٠ ـ خ ط ح ٢ ك ف ط خ ك ظ و ح ك ب ز ـ ا ٠ ح حظ ح ٢ خ ط ؼ ى ؿ
٠ ـــــ ـــ ه ٤ ئ ح أ خ أ خ ي ط ز ض ا ٤ ي ز ل خ أ ك خم ه خ وخ ك ؼ
...Hutoniona (ewe Musa), lakini tazama kwenye mlima ukiwa utatulia
mahala pake basi nawe utaniona. Basi (utukufu wa) Mola wake
ulipodhihiri kwenye mlima aliujaalia ukavurugika vipande vipande na
Musa akaanguka akazimia, basi alipozinduka (Musa) alisema:
„Umetakasika (ewe Allah) mimi nimetubia kwako na mimi ni wa
mwanzo kuamini.537
Aya hizi zinaashiria (sisemi kwamba zinatongoa) kwamba kutoonekana kwa
Allah ni kwa sababu ya utukufu wake. Ndio maana katika Aya ya kwanza
tunaona kwamba Banuu Israaiil waliteremshiwa adhabu kutoka mbinguni
kwa sababu ya dhulma yao. Dhulma yenyewe ni kutaka wamuone Allah. Na
katika Aya ya pili, tunaona jinsi gani mlima ulivyovunjika vunjika baada ya
kuteremka hapo utukufu wa Allah na Nabii Musa alivyoanguka na kuzimia
na alipozindukana alianza kwa kutubia na kumtakasa Allah kwa kusema
subhaanak ikimaanisha kwamba kumuona Allah ni sifa pungufu
isionasibiana na utukufu wake. Yote haya yanaashiria kwamba kutoonekana
kwa Allah ni kwa sababu ya utukufu wake. Na hili ndilo ambalo limesemwa
kwa uwazi katika Hadithi isemayo:
خ خ ر٤ حو ر٤ أـــؿظخ ك٠ش ح٤ظخ خ ك٤خ ؿظخ ذ ح٤ظخ خ ك٤
536
Sura 4, Aya 153. 537
- Sura ya 7 Aya ya 143.
174
ال ىحء حز٣خء ػ٠ ؿ ك٢ ؿش ػي................ ظح ا ٠ ر٣
(Kuna) pepo mbili vyombo vyake na vilivyomo ndani yake vinatokana na
fedha, na (kuna) pepo mbili (nyengine) vyombo vyake na vilivyomo ndani
yake vinatokana na dhahabu. Na hakuna kinachozuia baina ya watu na
kumtazama Mola wao isipokuwa lile vazi la kibri (utukufu na ukuu) chake
lililopo katika dhati yake.538
Kwa hivyo, sababu ya kutoonekana kwa Allah ni vazi lake la kibri na
utukufu kama Aya zinavyoashiria na Hadithi inavyotongoa; ama sababu tatu
zilizotolewa na watetezi wa itikadi ya kumuona Allah ni sababu za kifalsafa
ya mwenye kutaka kuihalalisha itikadi aitakayo. Baada ya hayo, utaona
kwamba tumebakiwa na suali moja, nalo ni kuwa: ikiwa kibri na utukufu
ndio sababu mutlaq (ya moja kwa moja) ya duniani na akhera ya
kutoonekana kwa Allah: je kuna siku au wakati ambao Allah atalivua vazi
lake la kibri na utukufu ili iwezekane kumuona? Nadhani jawabu iko wazi
kwa kila:
a) Mwenye kutafakari.
b) Mwenye kujifungua pingu za umadhehebu.
c) Mwenye kukataa kubururwa kama gogo.
538
- Kapokea Al-Imamu Al-Bukhari na Al-Imamu Muslim katika j. 2 Hadithi na. 296, na
wote wameipokea kutoka kwa Abu Musa Al-Ash‟ari.
175
SURA YA SITA HOJA ZA KIMAANDISHI ZA WENYE
ITIKADI YA KUMUONA ALLAH
Baada ya kuona hoja za kiakili za wale wenye itikadi ya kumuona Allah
sasa natugeukie kwenye hoja zao za kimaandishi. Andiko la msingi katika
Qur-an wanalolitegemea wale wenye itikadi ya kumuona Allah ni Aya
inayosema:
ذ اضر ى ا اظرإ ***ج ه رب
(Kuna) nyuso siku hio zitang‟ara***Kwa Mola wake tu ndiko
zitakakotazama.539
Hoja yao katika Aya hii imegawika katika sehemu mbili:
1) Moja ni ushahidi wa kilugha uliomo ndani ya Aya yenyewe.
2) Pili ni riwaya zilizokuja kuifasiri Aya hii kuwa maana yake ni
kumuona Allah.
Ama maelezo juu ya nukta ya kwanza ni kuwa wao wanasema kwamba
neno nadhar – ambalo ndilo lililotumika katika Aya hio – maana yake ni
kutazama na linapokuja namna hii hali ya kuwa limefuatana na herufi ilaa –
kama ilivyo hapo katika Aya hio – basi huwa halina maana isipokuwa
kuona tu. Na kwa hivyo, maana ya Aya hizi si vyengine isipokuwa ni:
“Kuna nyuso siku hio zitang‟ara, huku zikimuona Mola wake”.
Anasema Al-Jawhari:
ظظس، كوي أهطؤ ل حؼد ؼ٠ ه: ا٠ رخ خظس رؼ٠ ص ا٠ ـل طو: ظ هخ: ا
، اخ طو ظص كالخ أ١ حظظط ه حلط٤جش: ح٢ء رؼ٠ حظظط
س ا ٣ خء خى ط ٢**هي ظ خ ١ ط ى ١خ رخ ك
ح ، ـكبح هض: ظص ا٤ ٣ ال رخؼ٤، اح هض: ظص ك٢ حل حكظ أ ٣ طل
ح رخوذ. ر طي
Na aliyesema kwamba kauli yake Allah: “Kwa Mola wake tu (nyoso
hizo) zinatazama” maana yake ni kuwa “nyuso hizo zitakuwa ni zenye
539
- Sura ya 75 Aya ya 22-23.
176 kungoja” basi huyo kakosea kwani Waarabu hawasemi: nadhartu ilaa
shay-in (nimekitazama kitu) kwa maana ya kuwa “nimekingojea”, bali wao
husema: nadhartu fulanan540
(nimemtazama fulani) wakimaanisha
“nimemngojea”. Na mfano wa hayo, ni pale mshairi aitwaye Al-Hutaia
aliposema:
Na nimekutazameni (nimekungojeni) kama wanavyongojea
ngamia wenye kutoka kwenye kunywa maji (na wakawa
wanasubiri zamu yao tena)***Kwa sababu ya kiu,541
(basi ukawa)
umerefuka mno kwayo mwendo mlaini na mwendo wa nguvu.
Basi ukiwa utasema: “nadhrtu ilaykum (ukaweka neno ilaa) basi haina
maana nyengine isipokuwa kutazama kwa jicho tu (yaani kuona) na
ukisema: nadhartu fii al-amri (nimetazama katika jambo hili) basi
inawezekana ikamaanisha kufikiri na kuzingatia kwa moyo.542
Anasema „Abdul Malik bin „Abdil Malik bin Yusuf:
٠ـ٣ظي ػ٠ ؿح حإ٣ش أخ ظ ك٢ حـخ ػيح هللا يهخ هل كوخ رو طؼخ
خس ا٠ رخ خظس حظ اح ػي١ د ا٠ حهظ٠٠ إ٣ش حز ؿ ٣ج
Na ushahidi juu ya kujuzu kumuona (Allah) na kwamba kumuona huko
kutakuwa katika pepo nayo ni ahadi ya Allah ilio ya kweli na ni kauli ya
haki itokayo kwake kwa ushahi wa kauli yake aliposema: “Nyuso siku
hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu ndio zinatazama”. Na neno nadharu
likifuatana na herufi ilaa basi maana yake ni kuona kwa macho….543
Anasema Ibn „Ujaiba:
حظػ٠ حلظظخ ل رخ، أ ؼحرخ، ل ٣ــــــــق هـــالكخ حلظؼظش؛ ـــك ظخــــــل
ي ا٠ حؿ، ، غ أ ل ٤٣ن حلظظخ« ا٠ » أ٠٣خ حظؼ رؼ٠ حلظظخ ل ٣ظؼي د ل ٣
ك٢ ىح حوح .
Na kulifasiri neno nadhar (hapa) kuwa maana yake ni kulingojea jambo la
Mola wake au thawabu zake haiwezekani kinyume na wanavyosema
Mu‟utazila, kwani neno kungojea hailitegemezwi na nyuso (haisemwi
kuwa uso unangojea). Pia neno nadhar linalotumika kwa maana ya
kungojea basi huwa haliambatani na herufi ilaa; vivyo hivyo haiwiyani
kuwa kule kwenye makazi ya utulivu kuwe bado kuna kungejea.544
540
- Bila ya kutia herufi ilaa. 541
- Neno wird hutumika kwa maana ya kiu kama ilivyo katika surat taaha, lakini asili
yake hasa ni kwenda kwenye maji kwa ajili ya kunywa kama alivyoeleza Al-Zamakhshari. 542
- Al-Jawhari Tahdhibu Al-Lugha j. 5, uk. 40. 543
- „Abdul Malik bin „Abdil Malik bin Yusuf Lam‟u Al-Adillah uk. 117. 544
- Ibn „Ujaiba Tafsiru Ibn „Ujaiba j. 6, uk. 463.
177
Anasema „Alaau-Diin Al-Khaazin:
حؿ اح ق رخظ ػي١ رب٠ ٣لظ ؿ٤ حإ٣ش ، أخ ه أظ ا٠ هللا ػ ا٤ي ػ٠
هللا ػ ك٠ي، ك٤ حظ ا٠ حؿـــ ٣لــــظ ظـــ حوذ اخ ٣ـــــ ك٠ ـــؼ٠ أطهغ
ـــكبحأي حظ ا٠ حؿ ٣لظ ظ حوـذ، ل حظظخ اح رط ا٠ حؿ،ح اح ٣ي
إ٣ش ال ا ن ي ػ٤ ... حؼ٤خ ٣زن زوخء ح
Na uso ukisemwa kuwa umetazama na ukafuatana na herufi ilaa basi huwa
hakuna maana nyengine isipokuwa ni kuona tu; ama kauli yake („Utbat bin
„Umair) aliposema Andhuru ilaa Allahi thumma ilayka (namtazama Allah
kisha nakutazama wewe) kwa maana kwamba natazamia fadhila za Allah
kisha ndio fadhila zako, basi linakuwa neno nadhar (kutazama)
lililotegemezwa na uso halibebi maana ya nadhar (kutazama) ya moyo;
bali hilo (la kusema: Andhuru ilaa Allahi thumma ilayka (namtazama Allah
kisha nakutazama wewe) linajuzu ikiwa neno nadhar halikutegemezwa na
uso. Ama neno nadharu (kutazama) likitegemezwa kwenye uso (ikasemwa
uso unamtazama) basi hili huwa halina maana ya kutazama kwa moyo
wala halina maana ya kungojea. Na ikiwa maana mbili hizo (ya kutazama
kwa moyo na ya kungojea) ni batili (hapa) basi hakuna maana nyengine
iliobakia isipokuwa maana ya kuona tu, hata ikiwa maana hio itakuwa ni
nzito juu yao (wenye itikadi ya kutoonekana kwa Allah).545
Anasema Al-Imamu Al-Fakhru Al-Razi:
: ٣و أزظش رلف ا٠ و طؼخ٠أل: أ حظ ححى رؼ٠ حلظظخ ؼ٤ ك٢ حوآ،
{ }حظخ ٣ { ……… و ظ ز ا ل ط ؤ ظ ٣ ………ه : } ظ ٣ { هللا { ح١ يػ٤ أ حظ حو رلف ا٠ حؼي١ ا٠ حؿ ٤ ال رؼ ا ل أ ٠ ـ٣ ؤ ط ٤
.…حإ٣ش
Mosi: ni kuwa neno nadhar lililokuja kwa maana ya kungojea limekuja
sana katika Qur-an, lakini kamwe halikupata kufuatana na herufi ilaa.
Mfano (wa neno nadhar lililokuja kwa maana ya kungojea) ni kama Aya
inayosema: undhuru-naa naqtabis min nuurikum (Tungojeni ili tuifuate
nuru yenu); na Aya isemayo: hal yandhuruna illaa ta-awilah (hakuna
wanachokingojea isipokuwa matokeo yake);546
na Aya isemayo: hal
yandhuruna illaa an ya-atiyahumu Allahu (hawana wanachokisubiri
isipokuwa kujiwa na Allah).547
Lakini sisi madai yetu ni kuwa neno
nadhar lililofuatana na herufi ilaa na ikawa limetegemezwa kwenye uso
basi hilo huwa halina maana isipokuwa ni kuona……548
Anasema Al-Baydhawi:
545 - Al-Khaazin Tafsiru Al-Khaazin j. 6, uk. 194. J. 7, uk. 185.
546 - Sura 7, Aya 53.
547 - Sura 2, Aya 210.
548 - Al-Imamu Al-Razi Al-Fakhru, Mafaatiihu Al-Ghaib j. 30, uk. 202.
178
ه٤ ظظس اؼخ ى رؤ حلظظخ ل ٣ي ا٠ حؿ طل٤ رخـش هالف حظخ
Na ikasemwa kwamba (maana ya Aya hio ni kuwa) nyuso hizo zitangojea
neema ya (Mola) wake, lakini ikajibiwa kwamba kungoja hakutegemezwi
na nyuso (haisemwi kuwa uso unangojea).549
Anasema Dr. Ali Al-Faqihi:
هقـــؼخ: حظـــــكب حظ ػيس حظؼخلص، رلذ الط طؼي٣ رل، كب ػي١ رل ك
ي١ رل٢ كؼخ: حظل }حظخ وظز {. و:ـحلظظخ، زخ،ـــــــ حلػظــــــــا ػ
ي١ رب٠ ك ححص حل{. صــح كـ٢ ـــو: }أ ٣ظ ؼخ٣شــــــــؼخ: حـــــا ػ
٤ق ا٠ حؿ ح١ ل حز؟أ احػ اح أػ{، ك٤ق : }حظح اـ٠ــرخلرخ، و
Kwa hakika neno nadhar lina matumizi mengi kwa mujibu wa nini
kimeungana nalo au haikuangana na kitu. Ikiwa halikuambatana na herufi
yoyote ile basi maana yake ni kusimama na kungojea kama ilivyo Aya
isemayo: undhuru-naa naqtabis min nuurikum (Tungojeni ili tuifuate
nuru yenu).550
Na likiwa neno hilo litaambatana na herufi fii basi maana
yake ni kutafakari kama ilivyo Aya isemayo: awalam yandhudhuruu fii
malakuti al-samaawaati wa al-ardhi (Basi wao hawatazami katika
ufalme wa mbinguni na ardhini).551
Na ikiwa neno nadhar litafuatana na
herufi ilaa basi maana yake ni kuona kwa macho kama ilivyo Aya
isemayo: undhuruu ilaa thamarihi idhaa ithmar (yatazameni matunda
yake unapozaa),552
basi vipi ikiwa neno hilo nadharu limetegemezwa na
uso ambapo ndio mahala pa kuonea?553
Anasema Safr bin „Abdil-Rahmaan:
ـ ح ش ح ش ٣ى ػ٤ هخح: أل : اخكش حظ ا ٠ حؿ ح١ ــي خ أه أ خػ ـــــ
.........حيحش ل حوحث اح طؼي حظ رب٠ ٣ ك٢ ؼ٠ .......كف ؿ ”ا٠“، ػ
ظص ا ٠ ح، ٣ؼ٢: أ٣ظ رخؼ٤ حل٤ش حؼكش. حلظظخ اخ أزق رؼ٠ حظ،
Kwa hivyo, Ahlu Al-Sunna Wa Al-Jama‟a walipoanza kuwarudi,
walisema: „kwanza kulitegemeza neno nadhar katika uso ambapo ndipo
mahala pake ni katika jumla ya qarina zenye kuonesha kwamba
kilichokusudiwa hapa ni maana ya uhakika (wa neno nadhar)....... kisha
herufi ilaa ni herufi ya kutia kisra.....na neno nadhar likifuatana na herufi
ilaa basi halina maana ya kungoja, bali linakuwa na maana ya kutazama.
549
- Al-Baydhawi Tafsiru Al-Baydhawi j. 5, uk. 350. 550
- Sura 57, Aya 13. 551
- Sura 7, Aya 185. 552
- Sura 6, Aya 99. 553
- Ali Al-Faqihi Al-Raddu Al-Qawiim j. 1, uk. 127.
179 Ukisema: nadhar-tu ilaa kadha, basi maana yake nimekiona kwa jicho
langu la hisia lenye kujulikana.554
Hayo ndio maelezo ya wenye itikadi ya kumuona Allah siku ya kiama
kuhusu muundiko wa kilugha wa neno nadhar uliomo katika Aya hio
isemayo: “(zipo) Nyuso siku hiyo ni zenye kung‟ara** Kwa Mola wake tu ni
zenye kutazama”. Maelezo hayo ndio alioyategemea Sheikh Kasim bin
Mafuta aliposema:
Miongoni mwa hoja za wenye kuthibitisha kuonekana Allah huko
akhera kwa macho ni pale aliposema Allah:
.خظس رخ ا٠***خس ٣ج ؿ
Zipo nyuso siku hiyo ni zenye kung‟ara* Ni zenye
kumwangalia (kumuona) Mola wake.555
Aya hii ni miongoni mwa hoja zilizowazi ambazo Ahlu-Sunna
wanazitegemea katika kuthibitisha kwamba watu wema watamuona Mola
wao huko akhera kwa macho yao. Na kuna hoja nyingi zinazoipa nguvu
hoja hii yenye kuthibitisha kuonekana Allah –Azza wajallah- huko akhera
kwa macho: kuna hoja za ndani na hoja za nje. Hoja za aina ya kwanza ni:-
Hoja za ndani, ni muweko wa neno hili katika upande wa kilugha, kwa
sababu limetumika neno “Naadhirah” ambalo limenyambuliwa kutokana
na asili ya neno “Nadharan”, na likawa neno hili limekuja baada ya herufi
“ILAA”, na kwa mujibu wa kanuni za lugha ya kiarabu linapokuwa neno
hili limekuja baada ya herufi hiyo maana yake ya asili ni kutazama kwa
macho. Na kwa bahati nzuri hata wale wenye kupinga kuonekana Allah
huko akhera wanakubaliana na sisi katika hilo, na ushahidi wa madai haya
ni kauli ya ndugu Juma M. Al-Mazrui aliposema katika ukurasa wa 53 wa
kitabu chake, pale alipokuwa akielezea maana za neno “AL-NADHARU”:
“Tukitazama maana ya neno hili: “ (al-nadharu) kupitia kiyoo cha Qur‟an
tunakuta ni:
1)Kutazama kikawaida kwa macho: NA HII NDIO MAANA YA MSINGI
YA NENO HILO…”.. Mwisho wa kunukuu.
Kama ndugu Juma anakubaliana na sisi kuwa neno “AL-NADHARU”
maana yake ya asili ni kutazama kwa macho, basi anatakiwa pia akubali
kwamba kwa mujibu wa kanuni za lugha ya kiarabu ambazo wataalamu
wote wa lugha hiyo wamekubaliana ni kuwa: maana ya kwanza
554
- Safr bin „Abdil-Rahmaan Sharhu „Aqiidati Al-Tahaawiya uk. 1726. 555
- Surat al-Qiyamah aya 22-23.
180 inayozingatiwa katika matumizi ya neno ni kulitumia neno katika maana
yake ya asili kwanza, kabla hatujakwenda katika maana nyingine.556
Kwa hivyo, mukhtasari wa yote hayo yaliotangulia katika kuielezea Aya hio
kilugha ni kuwa:
1) Neno nadhar lina matumizi mingi.
2) Maana ya msingi ni kutazama.
3) Maana nyingi hizo zinaeleweka kwa mujibu wa herufi gani
ilioambatana nayo au kwa kutokuwepo kwa herufi kabisa.
4) Kama halikuambatana na kitu, basi linamaanisha kusimama na
kungoja.
5) Likifuatana na herufi fii maana yake ni kutafakari na kuzingatia.
6) Likifuatana na herufi ilaa maana yake ni kuona kwa macho.
7) Na ikiwa litafuatana na herufi hio na likategemezwa kwenye uso
ikasemwa “nadhara al-wajhu uso unatazama” basi hapo ndio
imethibiti kabisa kwamba maana yake ni kuona tu kwani uso ndio
mahala pa kuonea.
Huo ndio mukhtasari wa maelezo yao ya kilugha yanayolihusu neno nadhar
katika Aya hio ya suratl-qiyaama. Nayo ni maelezo batili kama utavyoona
ufafanuzi wetu katika sehemu inayofuta.
MAANA YA NENO NADHAR
Baada ya maelezo hayo, yaliotangulia ndugu msomaji, elewa kwamba kuna
wanavyuoni wengine kadha wa kadha wa umma huu ambao
hawakukubaliana na maelezo hayo; na wao nao wametoa maelezo yalio
kinyume na hayo. Na ikiwa kuna waliodai hivi na waliodai vile, basi kwa
kawaida ni kuwa kila mmoja anaambiwa: “lete ushahidi wako juu ya
ulioyanena”.
Kwa kuanzia, natuitazame nukuu ambayo Sheikh Al-Khalili kainukuu
kutoka kwa baadhi ya wanavyuoni wa lugha. Anasema:
٣حى يـــــ، هـــــحظؤ حللحظ أ٠٣خ طو٤ذ حز٤س إلىحى ح٢ء إ٣ظ، هي ٣حى ر
هي خع حظ رؼ٠ حلظظخ.………رـــــــ حؼـــــكش حلخش رؼي حلل
Na neno Al-Nadharu maana yake ni kubiruza jicho ili ukifikie kitu na
kukiona, na huenda ikakusudiwa kwa neno hilo maana ya kutafakari na
kupekuwa; na huenda ikakusudiwa kwa neno hilo maana ya kujua
556
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 52-53.
181 kunakopatikana baada ya kupekuwa…..na (pia) imekuwa mashuhuri
kulitumia neno hilo Al-Nadhar kwa maana ya kungojea.557
Hivyo ndivyo ilivyo katika makamusi ya lugha, nayo ni maneno ambayo
yana ushahidi imara katika Qur-ani, Sunna na maneno ya Waarabu
wenyewe. Katika Qur-ani tunakuta maana ya kutazama ya neno hilo katika
Aya kama:
كظ ظس ك٠ حـ
Basi akatazama katika nyota.558
Neno nadhar liko katika maana yake ya asili ya kutazama. Nalo limefuatana
na herufi fii wala halina maana ya kutafakari, tafauti na walivyodai baadhi
ya watetezi wa itikadi ya kumuona Allah.
Pili: ni maana ya kuona au kujua, kama ilivyo katika kauli ya Mwenyezi
Mungu aliposema katika Qurani:
٣ ٣ظ حء خ هيض ٣يح
Siku ambayo mtu ataona yale yaliyotangulizwa na mikono yake.559
Tatu: maana nyengine ni kuzingatia na kutafakari, ikiwa baada ya kutazama
au bila ya kutazama, kama alivyosema Mwenyezi Mungu:
أك ٣ظح ا ٠ أخء كه ٤ق ر٤خخ
Basi je hawatazami mbingu juu yao namna tulivyozijenga?
(Yani je hawatafakari na kuzingatia?) 560
Na mfano wake ni Aya yenye kusema:
ا ٠ حإلر ٤ق هوضأكال ٣ظ
Basi je hawamtazami ngamia namna alivyoumbwa.561
Na Aya yenye kusema:
557
- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 42. 558
- Sura ya 37 Aya ya 88. 559
- Yani atakapoona malipo ya matendo yake. Sura ya 78 Aya 40. 560
- Surat ya 50 Aya ya 6.
561 - Yaani kutafakari kudra za uumbaji wa Mwenyezi Mungu juu ya ngamia. Sura ya 88
Aya ya 17.
182
ك٤ظ حإلخ هن
Basi naatazame binadamu kaumbwa kutokana na kitu gani.562
Nne: ni kungojea, kama ilivyo katika Aya nyingi, miongoni mwa hizo ni
pale Mwenyezi Mungu aliposema:
٣ ٣و حخكو حخكوخص ٣ آح حظخ وظز
Siku watakaposema wanafiki wanaume na wanafiki wanawake
kuwaambia Waumini tungojeni tuchukue nuru yenu.563
Na Aya yenye kusema:
خ ٣ظ ال ٤لش حكيس
Hawana wanachokingojea isipokuwa ukelele mmoja.564
Hizo ndio maana tafauti zilizomo katika neno hilo nadhar. Kama
umelielewa hilo, basi elewa kwamba kawaida za elimu ya tafsiri ya
maandiko ni kuwa neno likiwa na maana nyingi basi huwa ushahidi wake
umeporomoka ila kwa kuwepo ushahidi mwengine wenye kuipa uzito
maana moja iliokusudiwa katika maana nyingi hizo. Utakumbuka kwamba
katika vitabu vyetu tafauti tumetoa mfano wa neno la Kiarabu nalo ni
neno„ain ambalo lina maana nyingi, na tukatoa mfano wa neno la Kiswahili
nalo ni neno mto na kwamba ikiwa nitasema: “mto” kisha nikanyamaza,
basi huwezi kujua je ninakusudia mto wa maji au mto wa kulalilia. Lakini
nikisema “ninakwenda kwenye mto kukoga” basi hapo tayari umejua nini
nilichokikusudia. Neno kokoga ndio qarina ambayo imebainisha nini
makusudio yangu ya neno mto. Halkadhalika neno nadhar kwa sababu ni
neno lenye matumizi mingi, basi kunahitaji kuwe na qarina ambazo
zinabainisha nini makusudio yake. Hayo tumeyaeleza katika kitabu Hoja
Zenye Nguvu na tukatoa mifano hio kwa urefu zaidi.
Ukiwa utanena:
Lakini usisahau ewe Juma Al-Mazrui kwamba kanuni pia ni kuwa neno
halitolewi katika maana yake ya asili pasina sababu au pasina qarina, na
562
- Sura ya 86 Aya ya 5. Yaani naatafakari binaadamu katika maumbile yake. 563
- Sura ya 57 Aya 13.
564 - Sura ya 36 Aya ya 48:
183 maana ya asili ya neno hilo ni kutazama kwa macho, sasa kwanini wewe
umelitoa katika maana yake ya asili na kulipeleka katika maana nyengine?
Ukiniambia hivyo, nitakujibu kwa jawabu utayoiona humu kwa ufafanuzi
katika sehemu yake in shaa Allah. Ninasema: lakini tatizo ni kuwa wenye
itikadi ya kumuona Allah nao wanasema kuwa qarina katika Aya hiyo zipo
zenye kubainisha kuwa maana ya neno nadhar hapo ni kuona yaani ni
kumuona Allah. Qarina zenyewe ndizo hizo ambazo tumezinukuu kabla.
Nazo:
1) Kufuatana kwa neno hilo herufi ilaa.
2) Kutegemezwa neno hilo kwenye nyuso ikasemwa kwa “kuna nyuso
siku hio zitang‟aa**kwa Mola wake tu zitakuwa zinatazama.
Ama Sheikh Kasim bin Mafuta yeye, pamoja na kunijibu hivyo,565
pia
alinijibu kwamba kutazama kwa macho ndio maana ya msingi ya neno hilo
kama mimi mwenyewe nilivyokiri na kanuni ni kuwa maana ya msingi ya
neno ndio inayozingatiwa. Anasema Sheikh Kasim bin Mafuta:
Na kwa bahati nzuri hata wale wenye kupinga kuonekana Allah huko
akhera wanakubaliana na sisi katika hilo, na ushahidi wa madai haya ni
kauli ya ndugu Juma M. Al-Mazrui aliposema katika ukurasa wa 53 wa
kitabu chake, pale alipokuwa akielezea maana za neno “AL-NADHARU”:
“Tukitazama maana ya neno hili: “ (al-nadharu) kupitia kiyoo cha Qur‟an
tunakuta ni: 1)Kutazama kikawaida kwa macho: NA HII NDIO MAANA
YA MSINGI YA NENO HILO…”.. Mwisho wa kunukuu.
Kama ndugu Juma anakubaliana na sisi kuwa neno “AL-NADHARU”
maana yake ya asili ni kutazama kwa macho, basi anatakiwa pia akubali
kwamba kwa mujibu wa kanuni za lugha ya kiarabu ambazo wataalamu
wote wa lugha hiyo wamekubaliana ni kuwa: maana ya kwanza
inayozingatiwa katika matumizi ya neno ni kulitumia neno katika maana
yake ya asili kwanza, kabla hatujakwenda katika maana nyingine.566
Nami ninamjibu kwamba mimi nilivyosema ni hivi:
…..neno hili س naadhira (zenye kutazama), ambalo limetumika katika خظ
sura hii, lina maana nyingi katika lugha ya Kiarabu: yani ni pana zaidi
kimaana kuliko neno ru-uya حإ٣ش (kuona). Kwa sababu mtu anaweza
akasema, na ikakubalika katika lugha ya Kiarabu:
ص ظ أ ك ال ا ٠ ح
565
- Yaani hivyo, nilivyoifanyia mukhtasari jawabu yao katika kifungu (1) na kifungu (2). 566
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 53.
184 Nimeutazama mwezi lakini sikuuona.
567
Lakini hawezi akasema, bali haikubaliki kilugha wala kiakili, kusema:
ض ٣ أ أ ك ال ح
Nimeuona mwezi lakini sikuuona.568
Na tutakapotazama katika makamusi ya lugha ya Kiarabu, tutakuta
kwamba neno hili حظ “al-nnadharu” maana yake ni: “kugeza jicho
katika jaribio la kutaka kuona, ukaona au usione”. Kwa maana hii basi,
neno “kutazama” halimaanishi kuwa mtu lazima aone. Kama
ilivyomaanisha kauli ya Mwenyezi Mungu pale aliposema katika Kitabu
chake Kitukufu:
أظ ك٤ج طظ* ل أهد ا٤ ل طز
Na nyinyi wakati huo munatazama, na sisi tupo karibu zaidi
na yeye kuliko nyinyi lakini hamuoni.569
Zingatia hapa maana ya maneno haya “munatazama lakini hamuoni”.
Halafu tazama Aya nyengine inavyosema:
طح ٣ظ ا٤ي ل ٣ز
Na utawaona wanakutazama nao hawaoni.570
Baada ya maelezo hayo ambayo tuliyaeleza katika kitabu chetu Hoja Zenye
Nguvu, itakubainikia kwamba ninachokidai mimi ni kuwa maana ya asili ya
neno nadhar ni kutazama; wala sijadai kuwa mwenye kutazama ni lazima
567
- Mfano wake ni kama ilivyo katika Al-Haqqu Al-Daamigh cha Al-Imamu Badru Al-
Din Al-Khalili uk. 43-44. 568
- K.h.j. Nukulu ya kimaana. 569
- Sura 56 ya Aya ya 84-85. 570
- Sura ya 7 Aya ya 197. Wametafautiana hapa wanavyuoni wa tafsiri: wingi wao
wanasema kwamba kinachokusudiwa hapa kwa “wenye kutazama lakini hawaoni” ni
masanamu. Na tafsiri hii ndio inayofahamika kwa kutazama mtiririko wa maneno (context);
kwasababu Aya za nyuma zote zinazungumzia masanamu ya washirikina. Na kwa tafsiri hii
ndio Aya hii inatoa ushahidi wa kuwa kutazama si lazima kufatane na kuona kwasababu
masanamu hayaoni na Aya inasema kwamba yanatazama. Tafsiri ya pili ni kuwa wenye
kutazama hapa ni washirikina, na makusudio ni kuwa hawaoni kwa nyoyo zao. Hii ni tafsiri
ya wachache, na sio niliyokusudia kuitolea ushahidi hapa.
185
aone. Na hayo ni kwa mujibu wa inavyoelewa katika kawaida zetu na
ndivyo Aya hizo tulizozinukuu zinavyoeleza.
Tukirudi tena katika maelezo ya Sheikh Kasim Mafuta aliposema:
Kama ndugu Juma anakubaliana na sisi kuwa neno “AL-NADHARU”
maana yake ya asili ni kutazama kwa macho, basi anatakiwa pia akubali
kwamba kwa mujibu wa kanuni za lugha ya kiarabu ambazo wataalamu
wote wa lugha hiyo wamekubaliana ni kuwa: maana ya kwanza
inayozingatiwa katika matumizi ya neno ni kulitumia neno katika maana
yake ya asili kwanza, kabla hatujakwenda katika maana nyingine.
Ninasema: umenena vyema! Lakini hayo ni pale ambapo hakuna qarina.
Ama pakiwa na qarina ambayo imelitoa neno hilo kutoka katika maana
yake ya asili basi italazimu kulitoa katika maana yake ya asili na kulipeleka
katika maana nyengine ambayo imebainishwa na qarina hususan ikiwa
maana hio ya pili ni maana inayotumika sana kama linavyotumika sana
neno nadhar kumaanisha kungojea. Na utaona baadae ndugu msomaji
kwamba qarina zinaibainisha kwa uwazi kabisa kwamba maana ya neno
hilo katika Aya hio ni kungojea: si kuona. Ninasema tena: hata nyinyi
Sheikh Kasim bin Mafuta mumelitoa neno hilo kutoka katika maana yake ya
asili kwani maana yake ya asili si kuona bali ni kutazama ukaona usione.
Lakini mumelipeleka katika maana ya kuona kwa mujibu wa zile
mulizozidhania nyinyi kuwa ni qarina zenye kuianisha maana hio.
Mukhtasari wa nukta hii ya kwanza ni kuwa:
a) Neno nadhar lina maana nyingi.
b) Maana yake ya asili ni kutazama: ukaona au usione.
c) Kuianisha maana ya kuona au kungojea au nyenginezo
kunahitaji dalili nyengine.
d) Wenye itikadi ya kumuona Allah wametaja mambo kadha wa
kadha kuwa ndio qarina ambayo zimebainisha kwamba
makusudio ya neno hilo katika Aya hio ya 22-23 ya sura 75,
ni kuona yaani ni kumuona Allah.
e) Suali lililobakia ni: je madai yao walioyatoa yana uzito wa
kielimu? Soma jawabu inayofuata ili kuufikia ukweli juu ya
suala hili.
186
MADAI YAO NENO NADHAR NA JAWABU YA
AHLU AL-HAQQI
QARINA YA KWANZA
Ama tukirudi katika madai yao ya kwanza ya kwamba neno nadhar “likiwa
halikuambatana na herufi yoyote ile basi maana yake ni kusimama na
kungojea kama ilivyo katika Aya isemayo: undhuru-naa naqtabis min
nuurikum (Tungojeni ili tuifuate nuru yenu),571
haya si maelezo yenye
tahqiq za kielimu. Tunasema: neno nadhar limetumika katika Aya kadha
wa kadha bila ya kufungamanishwa na herufi yoyote ile na wala halikuleta
maana ya kusimama na kungojea. Bali huenda likaleta maana ya kuona au
kungoja au kutafakari au maana nyengine kwa mujibu wa qarina zilivyo.
Mifano miwili mitatu itabainisha maudhui. Anasema Allah:
ك٤ظ حإلخ هن
Basi naatazame binadamu kaumbwa kutokana na kitu gani.572
Neno nadhar katika Aya hii limetumika pasina kufuatana na herufi yoyote
ile, je maana ya Aya hii ni: “Binaadamu na asimame na kungoja kutokana
na kitu gani kaumbwa”? Au maana yake ni: “Basi binaadamu na atafakari
kaumbwa kutokana na nini?”
Anasema Allah: ػ ظ..……ا ك هي
Hakika yake alifikiri na akapima (vipi aitukane Qur-ani) -----kisha
akatazama (yaani akatafakari tena mara ya pili).573
Hapa neno nadhar limetumika bila ya kufuatanishwa na herufi yoyote ile,
nalo halikumaanisha kusimama na kungoja, bali limemaanisha kufikiri.
Anasema Allah:
خ ٣ظ ال ٤لش حكيس
571
- Sura 57, Aya 13. 572
- Sura ya 86 Aya ya 5. 573
- Sura ya 74 Aya ya 18 -21. Hizi ni habari ambazo Allah anazielezea kuhusu kafiri Al-
Walid bin Al-Mughira, ambaye alikuwa akitafakari namna gani ataitukana Qur-ani baada
ya kuwa haki imeshambainikia.
187
Hawana wanachokingojea isipokuwa ukelele mmoja.574
Je maana ya Aya hii ni: “Hawasimami na kungojea isipokuwa ukelele
mmoja?”575
Au maana yake ni kuwa “hawana wanachokingojea isipokuwa
ukelele mmoja?” Namna hivi utaona watu hawa wanavyofatuafyatua tu
Wallahu Al-Musta‟aan.!
QARINA YA PILI
Ama madai ya pili ni kwamba neno nadhar “likifuatana na herufi fii maana
yake ni kutafakari na kuzingatia”. Tunasema kwamba madai haya pia si
madai sahihi. Bali kutafakari na kuzingatia kunakopatikana kutokana na
neno hilo ni kwa sababu ya qarina nyengine pasina herufi fii. Na kama ni
hivyo kwamba neno nadhar “likifuatana na herufi fii maana yake ni
kutafakari na kuzingatia”, basi mutaifanyaje riwaya yenu munayoitegemea
ya kuthibitisha kuonekana kwa Allah – ta‟aala Allah „an dhaalik – huko
akhera? Riwaya yenu ya kufinyanga inasema:
٠ أ ى أ ا ه ش ٢ ل أ ٠ ك ظ ٣ ش ش ـ ح خ ٢ ك ظ ـــــ ٣ ش ٠ ك أ ا :
. ه ٤ ط ـــ ٣ ــ هللا ؿ س ه ال ط ػ خ خ ج ٣ ؿ : ر خ ٤ ز خ خ ه ،خء ل ح خ خ ر : ا ٠
س ه خظ ؿ ػ هللا ؿ ٢ ك ٣ ظ ط :خ
Hakika ya watu wa daraja ya chini kabisa katika pepo ni wale
watakaoutazama ufalme wao (masafa ya) miaka elfu mbili; na walio bora
wao ni wale watakaoitazama Dhati ya Mwenyezi Mungu kila siku mara
mbili. Kisha (Mtume baada ya kusema hayo) akasoma Aya (zinazosema):
“(kuna) Nyuso siku hio zitang‟ara”. Akasema: “kwa sababu ya weupe
wake na usafi wake”. “Kwa Mola wake ndiko zinakotazama”. Akasema:
zinatazama katika Dhati ya Mwenyezi Mungu Mtukufu Aliyetukuka kila
siku.576
Hadithi hii inasema kwamba Allah ataonekana huko peponi. Na katika
kuthibitisha hilo, imetumia neno nadhar likifuatana na herufi fii. Sasa kwa
mujibu wa falsafa zao za lugha ya Kiarabu, basi maana itakuwa si kumuona
Allah bali ni kumtafakari Allah asubuhi na jioni kwani neno nadhar katika
Hadithi hio limefuatana na herufi fii na linapokuja kwa mfumo huo – kwa
574 - Sura ya 36 Aya ya 48.
575 - Yaani ninachokikanusha ni ulazima wa kumaanisha neno hilo kwa maana mbili kwa
pamoja kwa sababu ya kutofuatana na herufi yoyote ile. Hapa neno hilo halikufuatana na
herufi yoyote ile, lakini limemaanisha maana moja tu ya kungojea. 576
- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29, uk. 120.
188
mujibu wao – basi huwa linamaanisha kutafakari! Ninasema: bali madai
hayo kwamba neno nadhar “likifuatana na herufi fii maana yake ni
kutafakari na kuzingatia” yanabomolewa na maandiko kadha wa kadha
ambayo ndani yake limetumika neno hilo likifuatana na herufi hio pasina
kumaanisha kutafakari wala kuzingatia. Kwa mfano Aya isemayo:
كظ ظس ك٠ حـ
Basi akatazama katika nyota.577
Hapa neno nadhar limefuatana na herufi fii, lakini maana ya Aya hii ni
kuwa Nabii Ibrahim: “Alitazama kwenye nyota”. Wala si maana yake kuwa
alizitafakari na kuzizingatia nyota.
Ama katika Hadithi, kuna riwaya kama:
ك ٣ ػ٤ حزـــ٢ ٠ أـغخ غ هللا ٠ هللا ػ٤ رو٤ز كخص ؿ
.…هللا ػ٤ كزح ٣ظ ك٢ ظخػ كؿيح ك٤ هح
Tulikuwa pamoja na Mtume (s.a.w.) huko Khaibar, basi akafa mtu wa
kabila la Ashja‟i, Mtume (s.a.w.) akakataa kumsalia, basi wakenda
kutazama katika mizigo yake wakakuta ndani yake kuna kharaz….578
Hadithi inasema: “wakenda kutazama katika mizigo yake”, neno
lililotumika hapa kumaanisha kutazama ni neno nadhar na limefuatana na
herufi fii. Je maana ya Hadithi hii ni: “walikwenda kuitafakari na kuizingatia
mizigo yake?” Au maana ni: “walikwenda kutazama kwa macho nini
kilichomo katika mizigo yake”.
Inasema riwaya nyengine:
٠ هللا ػ هللا ى ى ال س ط ٠ ح خ ه ٠ ، ك ـ ل ال س ح ك ٢ آ٣ ش ك ٢ ؿ ٤ ك ٢ ـــ ظ
و ح
Mtume (s.a.w.) alisitasita katika Aya fulani katika sala ya asubuhi,
alipomaliza kusali alizitazama nyuso za watu (waliokuwa wakisali nyuma
yake).579
Je maana ya maneno ؿ ك ٢ alizitazama nyuso za watu ni “alizitafakari ظ
na kuzizingatia nyuso za watu?” Au maana yake ni kuzitazama kwa macho?
577
- Sura ya 37 Aya ya 88. 578
- Al-Tabarani Al-Kabiir j. 5, uk. 230, Hadithi na. 5175. Kharaz maana yake ni mdungo,
kama tasbihi, shanga au kidani. 579
- Al-Haithami Bughyatu Al-Bahith j. 1, uk. 268, Hadithi na. 148.
189
Inasema riwaya nyengine:
ا هللا ظ ك٢ هد حؼزخى كؿي هذ لي ه٤ هد حؼزخى كخطلخ ل
Hakika ya Allah aliitazama mioyo ya waja, akaukuta moyo wa Muhammad
kuwa ndio bora wao, basi akamchagua.580
Jamani na huyu Allah naye anafikiri na kuzingatia? Hadithi inasema:
…………….... ا هللا ظ ك٢ هد حؼزخى Hakika ya Allah aliitazama mioyo ya
waja. Neno lililotumika kumaanisha kutazama hapa ni lile lile neno nadhar
na limeambatana na herufi ile ile fii.
Inasema riwaya nyengine:
ل آس ك ٠ ح ظ : أ ػ حر خك غ ػ .ػ
Kutoka kwa Nafi‟i kutoka kwa Ibn „Umar kwamba yeye alitazama kioo
naye ni mwenye kuhirimia.581
Je maana ya riwaya hii ni kuwa Ibn „Umar alikitafakari na kukizingatia kioo
naye alikuwa ni mwenye kuhirimia? Au maana yake ni kuwa alijitazama
kwenye kioo naye ni mwenye kuhirimia ikimaanisha kwamba kitendo hicho
hakibatilishi hijja na umra?! Baada ya nukulu hizi, sina budi kusema
kwamba imembainikia kila mwenye akili – licha ya mwenye elimu –
kwamba madai ya kuwa neno nadhar likifuatana na herufi fii linammanisha
“kufikiri na kuzingatia”, si madai sahihi. Tunasema: maana hizo zinaweza
kufahamika kutokana na qarina nyengine pasina herufi fii.
QARINA YA TATU
Ama madai ya tatu ni kuwa neno hilo nadhar likifuatana na herufi ilaa basi
maana yake ni kuona kwa macho tu: si nyengine. Na kwa msingi huu,
maana ya Aya yenye kusema: س خ خظ ر ا ٠ (Nyuso hizo) kwa Mola wake tu
zitakuwa zinatazama), basi ni kuwa nyuso hizo: “Zitakuwa ni zenye kumuona
Mola wake”, kwani neno nadhar hapa limefuatana na herufi ilaa. Na kwa hivyo,
herufi ilaa hapa ni qarina ilobainisha maana iliokusudiwa!
Nasi tunasema kwamba madai haya pia si sahihi na tumeshayajibu kwa
urefu katika kitabu Hoja Zenye Nguvu wala Kasim Mafuta hakuja na jawabu
580
- Al-Bazzaar Al-Bahru Al-Zakhaar j. 5, uk. 212, Hadithi na. 1816. Ibn Hajar Itrafu Al-
Musnad j. 4, uk. 136, Hadithi na. 5479. 581
- Al-Imamu Al-Shafi Al-Musnad uk. 365.
190
yoyote ile juu ya yale tulioyasema isipokuwa kukariri yale yale ambayo
tumeshayajibu. Katika kitabu Hoja Zenye Nguvu tulisema kwamba ushahidi
unaofuata – katika Qur-ani, Sunna, na lugha ya Waarabu – unabomoa madai
hayo. Ama katika Qur-ani, tuna Aya yenye kusema:
ا ح٣ ٣ظ رؼي هللا أ٣خ ػخ ه٤ال أجي ل هالم ك٢ ح٥هس ل ٣ هللا ل
٣ظ ا٤ ٣ حو٤خش
Hakika ya wale wanaouza ahadi ya Mwenyezi Mungu na viapo vyao
kwa thamani ndogo, basi hao hawana fungu huko akhera, na wala
Mwenyezi Mungu hatowasemesha, na wala hatowatazama siku ya
kiama.582
Katika maneno haya yanayosema: “Mwenyezi Mungu hatowatazama”
limetumika neno lile lile nadhara583
na limefuatana na herufi ile ile “٠ ”ا
“ilaa” ambayo watetezi wa itikadi ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu
wamesema kwamba likifuatana noyo halileti maana nyengine ila “kuona,”.
Suali ni kuwa je hapa katika Aya hii neno nadharu limemaanisha „kuona‟?
Ikiwa ndio basi tafsiri ya Aya hio itakuwa hivi:
Hakika ya wale ambao wanaouza ahadi ya Mwenyezi Mungu
na viapo vyao kwa thamani ndogo, basi hao hawana fungu
huko akhera, na wala Mwenyezi Mungu hatowasemesha, na
wala hatowaona siku ya kiama!
Hio ndio tafsiri ya Aya hio kwa mujibu wa kanuni ya kuchonga ya watetezi
wa itikadi ya kumuona Allah, kwa sababu Aya inasema “wala
hatowatazama” kama ilivyo katika sehemu hii ya Aya : “ ٤ ا ظ ٣ ل ” wa
laa yandhuru ilaa-yhim, kwa hivyo tafsiri na-iwe “wala hatowaona” badala
ya kufasiri “wala hatowatazama” kwa sababu sharti walizozitoa ili neno
nadharu lilete maana ya kuona tayari zimepatikana. Sasa Je ni kweli
Mwenyezi Mungu hatowaona watu waovu siku ya kiama?
582
- Sura ya 3 Aya ya 77. 583
- Katika maneno haya yanayosema: “Mwenyezi Mungu hatowatazama” limetumika
neno lile lile “ ظ ٣ ” “yandhuru” ambacho ni kitendo kilichopo cha neno “ ظ ”
“nadhara”. Kisha neno hilo likafuatana na herufi ile ile “ا ٠” “ilaa” ambayo watetezi wa
itikadi ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu wamesema kwamba likifuatana noyo halileti
maana nyengine ila “kuona,” kama ilivyo katika sehemu hii ya Aya inayosema: “ ظ ٣ ل
٤ ا ” (wala hatowatazama). Na hili neno “ “ “him” katika sehemu inayosema “ ٤ ا ”
“ilaihim” lisikubabaishe bure herufi ni ile ile “ ا ٠ ” “ilaa” hapa imechanganyishwa tu kwa
kutegemezwa na neno hili: “ ” “him” ambalo hapa ni mtendwa. Yaani Mwenyezi Mungu
hawatazami wao. Neno “ ” “him” maana yake ni „wao‟.
191
Aya nyengine inasema:
ا خ ػس كظس ا ٠ ٤س
Na akiwa (mwenye kudaiwa) ni mwenye (hali) nzito (hana
uwezo) , basi mgojeni mpaka awepesike (apate uwezo).584
Hapa neno lililotumika kumaanisha kungojea ni neno ni lile lile nadharu na
limefatana na herufi ile ile “٠ ilaa” na hakuna katika ulimwengu wa“ ”ا
Kislamu aliyesema kwamba hapa neno hilo maana yake ni kuona, bali wote
wanalifasiri neno: nadharu liliomo katika Aya hii kuwa maana yake ni
kungojea.
Hayo ni kwa upande wa Qur-ani. Ama kwa upande wa Hadithi za Mtume
(s.a.w.) ni Hadithi nyingi; moja katika hizo ni Hadithi inayosema:
٣ ٤ ا هللا ظ ٣ ء ال ٤ ه ر ػ ؿ ٤ و ح ش خ
Mwenye kuburura nguo yake kwa sababu ya kibri (chake tu) basi
Mwenyezi Mungu hatomtazama siku ya kiama.585
Katika Hadithi hii neno lililotumika ni lilelile nadharu na likafuatana na
herufi ile ile “ “٠ ا ilaa. Suali: je Mwenyezi Mungu hatomuona mtu huyo
siku ya kiama?
Ama katika lugha ya Kiarabu, ni kauli ya mshairi wa Mtume (s.a.w.), naye
ni Sahaba Hassan bin Thaabit, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi. Anasema
mshairi huyo:
ل ال ف ط ٢ ر خ
٣ ؤ ك **ا ٠ ح حص خظ ر ي ٣ ؿ
Nyuso siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu
alete ushindi.586
Katika ubeti huu wa shairi, neno lililotumika ni lilelile nadharu na
limefuatana na herufi ile ile “ا ٠” ilaa. Suali: je nyuso za Masahaba
zilimuona Mwenyezi Mungu siku hio ya vita vya Badri? Au maana yake
zilingojea na kutarajia ushindi kutoka kwa Mwenyezi Mungu?
584
- Sura ya 2 Aya ya 280. 585
- Al-Rabi‟u bin Habib Al-Jaami‟u Al-Sahih uk. 71. Al-Nawawi Riyaadhu Al-Salihin
uk. 248. 586
- Sheikh Al-Khalili Al-Haqu Al-Damigh uk. 46.
192
Anasema mshairi mwengine: ىي ىط٢ ؼخ حزل اح ظص ا٤ي ي
Na nilipokutazama wewe kwa sababu ya kuwa kwako ni mfalme**Na
bahari iko chini yako (kwa ukarimu) basi ulinizidishia neema.587
Mshairi anasema kwamba alipomtazama mfalme kwa sababu ya kuwa yeye
ni mfalme. Sasa sijui kwamba kuna mtu mwenye akili yake timamu
anayeweza kusema kwamba neno nadhar (kutazama) – nalo limefuatana na
herufi ilaa katika ubeti huu – maana yake ni kuona ili maana iwe: “na
nilipokuona kwa sababu wewe ni mfalme”.588
Bali maana ya ubeti huo ni:
“nilipokutarajia au nilipokungojea unipe ataya kwa sababu ya kuwa wewe
ni mfalme nawe ni mkarimu kuliko bahari”.
Anasema Al-Imamu Khalil bin Ahmad Al-Farahidi, mwanachuoni mkubwa
wa lugha:
خ أظ ا٠ هللا ػ ا٤ي أ١ أطهغ ك٠ هللا ػ ك٠ي ٣و حوخث ئ ٣ؿ : ا
Na mtu husema kumwambia mtu anayemtarajia: „Hakika mimi
ninamtazama Allah; kisha ninakutazama wewe‟. Yaani natarajia fadhila za
Allah kisha natarajia fadhila zako.589
Lakini Al-Imamu Al-Baydhawi amepinga kuwa neno nadhar katika ubeti
huu maana yake ni kungojea. Sababu yake ni kuwa kungojea hakufuatiwi na
kupewa ataya. Anasema:
رؼ٠ حئح كب حلظظخ ل ٣ظؼوذ حؼطخء .
(Neno nadhar hapa) maana yake ni kuomba kwani kungoja hakufuatiwi na
kupewa ataya! 590
Hivyo ndivyo alivyosema, nayo si maelezo madhubuti, kwani:
587
- Kaitaja Sheikh Al-Khalili katika Alhaqu Al-Damigh uk. 25. Al-Fakhru Al-Razi
Mafatihu Al-Ghaib j. 30, uk. 212. Abu Hayyaan Al-Bahru Al-Muhit j. 8, uk. 380. 588
- Isipokuwa ikisemwa kwamba maana ya maneno hayo ni: كخ ي خ (Hali ya kuwa
wewe ni mfalme). 589
- Al-Khalil bin Ahmad Al-Farahidi Al-„Ain j. 8, uk. 156. 590
- Al-Baydhawi Tafsiru Al-Baydhawi j. 5, uk. 350.
193
a) Neno nadhar hata kama lina maana nyingi, lakini haikupokewa
kuwa lina maana ya kuomba.
b) Sababu ya kungojea ataya ni kuwa mtoaji ni mfalme, kwa hivyo
mfalme kutoa ataya akawapa watu wake ni jambo linalojulikana,
hakuna haja ya kutangulia ombi.
c) Inawezekana ikiwa mwenye kungoja alikwisha kutanguliza ombi na
ikawa sasa anangojea na huku ana yakini ya kupata akitakacho
kwani muombwa ni mfalme na ni karimu.
d) La mwisho ni kuwa ikiwa ubeti huu hauna maana ya kungoja, basi
beti nyengine nyingi – bali na Aya ya Qur-ani pamoja na Hadithi –
zimemaanisha hivyo.
Anasema mshairi:
ححـ٢ ظ حلو٤ ا٠ ا٢ ا٤ي خ ػيص خظ
Mimi ni mwenye kukitazama (ni mwenye kukingojea) kile
ulichoniahidi**Kama masikini anavyomtazama (anavyomngojea) tajiri
mwenye hali nzuri.591
Nano nadhar hapa limekuja hali ya kuwa limefuatana na herufi ilaa: je neno
hilo hapa limemaanisha kuona? Au maana ni kuwa: “Mimi nakingojea kile
ulichoniahidi kama vile masikini anavyogojea msada wa tajiri?” Jamani!
Tazameni uzuri matumizi ya lugha ya Waarabu, sio mufuate tu kama
bendera kwa sababu: “madhehebu yangu insema” au “fulani kantongoa”.
Anasema mshairi:
ال ع ٤ ؾ ا ٠ ١ ـ ل ح خ *** ظ ـ ظ ال ث ن ٣ و ح
Viumbe wote wanangojea tunuko lake**kama Mahujaji wanavyongojea
mwezi muandamo uchomoze. 592
Anasema Ibn Mubarak – naye ni mtu muhimu katika ulimwengu wa
Kiwahabi – katika nukulu ya Ibn Kathir:
٣ؼ٢ حلخرش –ؼخ٣ش ػيخ لش ك أ٣خ ٣ظ ا٤ ح حطخ ػ٠ حو
591
- Sheikh Al-Mufassirin Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Damigh uk. 52. 592
- K.h.j.
194 Mu‟awiya kwetu ni mtihani! Tutayemuona anamtazama kwa dharau basi
sisi tutamtuhumu juu ya watu hao – yaani Masahaba.593
Ibn Mubara anayasema haya katika zama ambazo Mu‟awiya hayupo tena
duniani kwa zaidi ya karne. Sasa kama ni hivyo, nini maana ya kusema ٣ظ
?ambapo katumia neno nadhar likifuatana na herufi ilaa (anamtazama) ا٤
Je kakusudia atayemuona?
Humo katika maandiko hayo na mamiya yalio mfano wa hayo, limetumika
neno nadhar hali ya kuwa limefuatana na herufi ilaa wala halikumaanisha
kuona. Sasa kila mwenye akili na ajiulize: je baada ya ushahidi wote huo
bado kumebakia hoja sahihi ya kielimu kwamba neno nadhar likifuatana na
herufi ilaa maana yake ni kuona tu? Ninasema: bali neno nadharu
limetumika katika sehemu kadha wa kadha nalo limefuatana na herufi ilaa
bila ya kukusudiwa kuona, bali limekusudiwa kutafakari na kuzingatia.
Tazama Aya kama:
ا ٠ ١ ؼ خ خ حإل ظ ٤ ك
Basi binaadamu na atazame chakula chake.594
Aya hii inamtaka binaadamu atazame chakula chake na ndani yake
limetumika neno nadhar likifuatana na herufi ilaa wala halikukusudiwa
kutazama kwa macho, bali limekusudiwa kutazama kwa moyo yaani
kuzingatia. Na kwa sababu hio, Aya zinazofuatia zimesema:
زخ خء ز ز خ ح خ وخ ****أ و و خ حل زخ ****ػ خ ك ز ظ خ ك ٤ زخ ***ك ؤ ه ٠ زخ ػ ****
ال *** و خ ٣ ظ .
Hakika ya sisi tumemwaga maji mmwago wa kweli (tumeteremsha
mvua)**Kisha tukaipasua ardhi mipasuko mipasuko**Tukaotesha
humo mambo ya nafaka**Na mizabibu na mimea ya majani**Na
mizaituni na mitende.595
Na mfano wa Aya hio ni Aya yenye kusema:
ظ و ض أ ك ال ٣ ٤ ق ه ر ا ٠ حإل
593
- Ibn kathir Al-Bidaya Wa Al-Nihaya j. 8, uk. 148. 594
- Sura 86, Aya 5. 595
- Sura 80, Aya 25-29.
195
Basi hawamtazami ngamia namna alivyoumbwa. 596
Pamoja na kuwa neno nadhar katika Aya hii, limekuja hali ya kuwa
limeambatana na herufi ilaa, lakini maana iliokusudiwa si kuona kwa
macho, bali maana ni kuona kwa moyo yaani kuzingatia na kutafakari ajabu
ya ngamia. Na ajabu hii, huioni kwa kumuona ngamia na kumtazama kwa
macho tu, bali kwa kujua jinsi ilivyo tabia na kawaida yake.
TANBIHI
Ningependa kutoa tanbihi kwamba Al-Imamu Al-Fakhru Al-Razi alisema
maneno haya:
..…، ٣و أزظش رلف ا٠: أ حظ ححى رؼ٠ حلظظخ ؼ٤ ك٢ حوآحل
(Jawabu ni kuwa) mosi: ni kuwa neno nadhar lililokuja kwa maana ya
kungojea limetumika sana katika Qur-ani, lakini kamwe halikupata
kufuatana na herufi ilaa…597
Hayo ni maneno ya Al-Razi nayo ni maneno yenye makosa. Na inatosha
kumrudi kwa Aya yenye kusema:
ا خ ػس كظس ا ٠ ٤س
Na akiwa (mwenye kudaiwa) ni mwenye (hali) ngumu (hana uwezo),
basi naangoje mpaka awepesike (apate uwezo). 598
Hio hapo Aya ya Qur-ani limetumika ndani yake neno nadhar lililofuatana
na herufi ilaa na limeleta maana ya kungojea. Baada ya dalili hizo
tulizozitaja hapa, utaona kwamba madai yao muhimu zaidi kwamba neno
nadhar likifuatana na herufi ilaa – kama ilivyo katika Aya ya Surat Al-
Qiyaama – basi maana yake ni kuona, pia si madai sahihi, wala hayana
ushahidi kamwe, bali ushihidi uko kinyume na hivyo.
QARINA YA NNE
Dai la nne ni kuwa neno nadhar linapokuwa limetegemezwa katika uso
ikasemwa: wujuhun naadhira au wujuhun tandhuru (nyuso ni zenye
596
- Sura 88, Aya 17. 597
- Al-Imamu Al-Razi Al-Fakhru, Mafaatiihu Al-Ghaib j. 30, uk. 203. 598
- Sura ya 2 Aya ya 280.
196
kutazama au nyuso zinatazama), basi neno hilo inakuwa halileti maana
nyengine isipokuwa maana ya kuona tu kwani uso ni mahala pa kuonea si
mahala pa kungojea. Wanasema wenye falsafa hii: “na ikiwa neno hilo
nadhar litaegemezwa katika uso na likaambatana na herufi ilaa, basi hapo
ndio kabisa linakuwa halibebi maana yoyote ile isipokuwa kuona”.
Lakini Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili akajibu kwa maneno yenye
maana kwamba:
Na uso pia hauoni bali yanayoona ni macho, na kwa hivyo kusemwa kuwa
nyuso zitatazama pia ni majazi kwani haikupata kupokewa kamwe kutoka
kwa Waarabu wakisema: “nimemuona fulani kwa uso wangu”. Na kwa
hivyo, sisi tunazifasiri nyuso katika Aya hio kwa maana ya wenye nyuso
wenyewe yaani kwa maana ya watu wenyewe kwani hilo ndilo liliko
katika lugha ya Kiarabu kama ilivyo kauli yake Allah aliposema:
س ل ج ٣ ؿ س *** ظ ز ش خك س *** ز خ ؿ ٤ ػ ج ٣ ؿ س *** خ ه ظ و *ط
ج ي ** س أ ـ ل س ح ل ح
Nyoso siku hio ni zenye kung‟aa**Zitacheka na kuwa na furaha*Na
nyuso (nyengine) siku hio zitakuwa na vumbi**Zitafunikwa na kiza
totoro**Hao ndio makafiri waovu.599
Na anasema Allah:
ؼ ش خ ه ج ٣ ؿ ز ش ** ش خ خ ٤ ش ***ػ خ ٠ خح ك آ ٤ ش ***ط ٤ ػ و ٠ ط
Siku hio nyuso zitadhalilika**Zitakuwa ni zenye kufanya kazi
nzito**Zitauingia moto mkali**Zitanyweshwa kutoka katika
chemchem imoto. 600
Kisha Sheikh akatoa ushahidi wa lugha ya Waarabu wenyewe kwa mashairi
yao ambayo ndani yake limetumika neno nadhar likitegemezwa katika
nyuso na likifuatana na herufi ilaa bila ya kumaanisha kuona kwa macho.
Mfano wa hayo ni yale mashairi ya mshairi wa Mtume (s.a.w.), Hassaan bin
Thabt, aliposema: خظحص رخلالف ا٠ حك ٣ؤط٢ ؿ ٣ ري
Nyuso siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu alete
ushindi.601
599
- Sura 80, Aya 38-42. 600
- Sura 88, Aya 2-5.
197
Na mshairi mwengine akasema:
حلـخ ػ٠ ح خ ٤ ي ق حوالثن خظس ا٠ ؿ ر
Nyuso za watu wenye furaha wa Hijaz ziko katika matamanio
yake**Zinamtazama mfalme ambaye ndiye makimbilio ya viumbe.
Katika sehemu hizo, neno nadhar limetegemezwa katika nyuso na
limeambatana na herufi ilaa, lakini pamoja na hayo halikuleta maana ya
kuona. Kwa hivyo, madai yao hayo yamebainika kuwa si madai sahihi.
Ninasema: lakini kumekuwa na madai mengine yanayofanana na hayo
yaliotangulia. Madai yaliotangulia ni kuwa neno nadhar likitegemezwa
katika uso linakuwa na maana ya kuona hususan likiwa litaambatana na
herufi ilaa. Hayo ni madai ya kwanza, na jawabu yake umeiona. Madai ya
pili ni kuwa neno hilo likija katika mfumo huo, halimaanishi kungojea
kamwe. Anasema Al-Imamu Al-Baydhawi:
.……ه٤ ظظس اؼخ ى رؤ حلظظخ ل ٣ي ا٠ حؿ
Na ikasemwa kwamba (maana ya Aya hio ni kuwa) nyuso hizo zitangojea
neema ya (Mola) wake, lakini ikajibiwa kwamba kungoja hakutegemezwi
na nyuso (haisemwi kuwa uso unangojea).602
Hayo ndio maelezo ya Al-Imamu Al-Baydhawi nayo si maneno madhubuti
kwani yeye mwenyewe kazifasiri Aya za pili hivi: } س ر خ ج ٣ ؿ { (Na
nyuso siku hio zitakunjana): ي٣يس حؼز “(yaani) zitakuwa ni zenye
kukunjana sana…”.. } (yaani)“ طظهغ أرخرخ :Zinadhania (nyuso hizo)) } ط ظ
wenyewe wenye nyuso hizo wanatazamia): } س خه خ ك ر kufikwa na) } أ ٣ ل ؼ
janga lenye kuvunja uti wa mgongo).603
Kwa hivyo, ikiwa Al-Imamu Al-Baydhawi mwenyewe katika Aya za pili
kazifasiri nyuso kwa maana ya watu wenyewe, na hivyo ndivyo ilivyo, sasa
sijui ni nini kilichomzuia katika Aya za mwanzo asifasiri hivyo na Aya hizo
zote ziko katika siyaaq moja na qarina zinaonesha kwa uwazi kwamba
waliokusudiwa katika Aya zote hizo ni wenye nyuso wenyewe: si nyuso zao
tu.
601
- Sheikh Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 46. 602
- Al-Baydhawi Tafsiru Al-Baydhawi j. 5, uk. 350. 603
- K.h.j.
198
Ninasema: lakini mtu anaweza kudai kwamba katika Aya nyengine za Qur-
ani yametumika maneno nyuso zenye kung‟ara au zenye kutoa nuru na
nyuso zenye kiza kwa maana ya nyuso zenyewe pasina kukusudiwa watu
kamili kama zilivyo Aya hizi zinazofuata:
ط ز ؼ ٣ ح ح ه ك خ ي ا ٣ ر ؼ ط ل أ ؿ ىص ح ٣ خ ح ك ؤ ؿ ى ط ؿ خ ـ٤ حد ر
خ ي خ ه ك ٤ ش هللا ك ك ل ٢ ؿ ض حر ٤ ٠ ٣ خ ح أ * ل ط ظ
Siku ambayo nyuso zitang‟ara na nyuso nyengine zitapiga weusi, ama
wale ambao nyuso zao zitapiga weusi (basi wataambiwa) ivo nyinyi
mumekufuru badala ya kuamini kwenu, basi ionjeni adhabu kwa
sababu ya kukufuru kwenu**Na ama wale ambao nyuso zao
zitang‟aa, basi hao watakaa milele katika rehema ya Allah.604
Na Aya inayosema:
س ى ؿ ٠ هللا ح ػ ر ٣ ح ش ط و ٤ خ ح ٣
Na siku ya kiama utawaona wale waliomzulia Allah uwongo nyuso zao
zimepiga weusi. 605
Ni wazi katika Aya hizi kwamba zimekusudiwa nyuso zenyewe pasina watu
kamili kwa dalili kwamba katika Aya za kwanza Allah kasema: ٣ خ ح ك ؤ ؿ ىص ama wale ambao nyuso zao zitapiga) ح
weusi),……………………….. ض حر ٤ ٠ ٣ خ ح أ ؿ (Na ama wale ambao nyuso
zao zitang‟aa). Na katika Aya ya mwisho, Allah subhanahu wa ta‟aala kasema:
س ى ؿ ٠ هللا ح ػ ر ٣ ح utawaona wale waliomzulia Allah..……) ط
uwongo nyuso zao zimepiga weusi). Mtu anaweza kusema kwamba kanuni
ilio bora katika kuifasiri Qur-ani ni kuifungamanisha Aya moja na nyengine
ili Qur-ani iwe imejifasiri yenyewe kwa yenyewe. Na kwa hivyo, ni vyema
kuzifasiri nyuso zenye kung‟ara na nyuso zenye kukunjana zilizotajwa
katika suratul qiyaama kuwa maana yake ni nyuso zenyewe pasina watu
kamili. Ikiwa mtu atadai hivyo, nasi tutamjibu kwamba kanuni ulioitoa ni
sahihi lakini maelezo yako si madhubuti, kwani:
1) Kama vile ambavyo kuna Aya hizo ambazo zimeonesha kwamba
makusudio ya nyuso hizo zenye kung‟ara au zenye kutoa nuru na
nyuso zenye kiza ni nyuso zenyewe pasina kukusudiwa watu kamili,
vivyo hivyo kuna Aya nyengine ambazo yametumika ndani yake
maneno nyuso zenye kung‟ara au zenye kutoa nuru na nyuso zenye
kiza kwa maana ya watu wenyewe. Anasema Allah:
604
- Sura 3, Aya 106-107. 605
- Sura 39, Aya 60.
199
س ل ج ٣ ؿ س *** ظ ز ش خك س *** ز خ ؿ ٤ ػ ج ٣ ؿ س *** خ ه ظ و *ط
ج ي ** س أ ـ ل س ح ل ح
Nyoso siku hio ni zenye kung‟aa**Zitacheka na kuwa na furaha*Na
nyuso (nyengine) siku hio zitakuwa na vumbi**Zitafinikwa na kiza
totoro**Hao ndio makafiri waovu.606
Kilicho wazi kabisa katika Aya hizi ni kuwa, makusudio ya neno nyuso ni
watu wenyewe kama dalili ya siyaq inavyoonesha katika maneno yasemayo:
“zitacheka na kufurahi,” kwani ikiwa itadaiwa kuwa uso unacheka kwa
kuzingatia kuwa mdomo upo kwenye uso,607
basi elewa kwamba furaha na
bishara zinakuwa katika moyo, na kwa hivyo Aya hizo zimemalizikia kwa
kusema: “Hao ndio makafiri waovu”.
2) Pili ni kuwa qarina zilizomo katika Aya za suratul qiyaama
zinaonesha kwa uwazi kabisa kwamba makusudio ya nyuso
zilizotajwa ndani yake ni watu wenyewe si nyuso tu:
a) Aya hizo zimekuja katika siyaaq ya kuonesha kuwa nyuso
hizo zitaneemeka na nyengine zitapata adhabu. Na bila shaka
wataoneemeka na kupata adhabu ni watu wenyewe: si nyuso
zao tu. Usiseme kwamba na katika Aya inayosema: “Siku
ambayo nyuso zitang‟ara na nyuso nyengine zitapiga
weusi”, pia maelezo yake yamekuja katika siyaaq ya
kuonesha kuwa nyuso hizo zitaneemeka na nyengine zitapata
adhabu, kwani tunasema kwamba katika Aya hii kumetajwa
nyuso na watu wenye nyuso hizo, ikimaanisha kwamba hizi si
wale na kwa hivyo, makusudio ya nyuso hizo ni nyuso
zenyewe. Aya inasema: “Siku ambayo nyuso zitang‟ara na
nyuso nyengine zitapiga weusi, ama wale ambao nyuso zao
zitapiga weusi (basi wataambiwa) ivo nyinyi mumekufuru
badala ya kuamini kwenu, basi ionjeni adhabu kwa
sababu ya kukufuru kwenu**Na ama wale ambao nyuso
zao zitang‟aa, basi hao watakaa milele katika rehema ya
Alla”. Aya hizi, bila shaka, ni tafauti na Aya za suratul
qiyaama ambayo imeonesha kuwa nyuso zilizokusudiwa ni
watu wenyewe.
b) Qarina ya pili ambayo imeonesha kwamba makusudio ya
nyuso katika Aya hizo za suratul qiyaama ni watu wenyewe
606
- Sura 80, Aya 38-42. 607
- Nayo si kauli sahihi ila ikikusudiwa majazi kwani Waarabu bali binaadamu hawasemi
dhahika wajhuhu (uso wake umecheka). Ama yakiwa maneno hayo yatakusudiwa majazi
basi hilo linawezekana.
200
ni kuwa Aya ya pili – baada ya kuzitaja nyuso za waovu –
imesema: س خ ك خه ر ٣ ل ؼ أ zitakuwa (nyuso hizo) ط ظ
zinatazamia (au zitakuwa zinajua) kwamba zitafanyiwa
(adhabu) yenye kuuvunja uti wa mgongo). Ni wazi kwa
mujibu wa qarina hii kwamba makusudio ya nyuso katika
Aya hizi ni watu wenyewe, vyenginevyo nyuso tu
hazitazamii kutokewa na jambo wala hiziambiwi kuwa
zinajua kitu, bali wala hazina uti wa mgongo.
Baada ya hayo, utaona kwa uwazi ndugu msomaji ubatili wa madai yao
katika kulifasiri neno nadhar kilugha na kulitafautisha kwa maana mbali
mbali kwa mujibu wa herufi zinazoambatana nalo au kwa kutokuwepo
kabisa kwa herufi yoyote ile. Na kwa hivyo, tunasema kwamba zote zile
ambazo watetezi wa itikaidi ya kumuona Allah walizidhania kuwa ni qarina
zenye kubainisha kuwa neno nadhar katika Aya hio (ya 23 ya suratul
qiyaama) maana yake ni kuona, si qarina zenye kutoa ubainifu huo kamwe;
bali chanzo cha tafsiri hio ni Hadithi ya kutunga iliotungwa na kuhusishwa
na Aya hio kisha watu wakatafuta shubuhati zilizomo katika Aya hiyo na
kuzitegemea wakidhania kuwa hizo ni hoja sahihi za kilugha. Lakini haki
imebainika kwa kila aitakae Wa Lillahi Al-Hamdu.
201
MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU
1) Tulichokizungumzia hapa ni kauli ya Allah isemayo:
س خ ج ٣ ؿ س *** خ خظ ر ا ٠
(kuna) Nyuso siku hio zitang‟ara**Kwa Mola wake tu ni zenye
kutazama.
2) Aya hizi ndio ushahidi mkubwa wao wanaoutegemea wale wenye
itikadi ya kumuona Allah huko akhera.
3) Hoja yao katika Aya hizo ni kuwa:
a) Neno lililotumika katika Aya hio ni neno nadhar (kutazama).
b) Neno hilo japokuwa lina matumizi mingi lakini maana yake
ya msingi ni kutazama kwa macho.
Lakini jawabu ya hayo ni kuwa kimsingi neno nadhar maana yake ni
kubirua jicho ili uone (kutazama) ukaona usione, kwani mtu anaweza
kutazama lakini asione. Hilo ni mashuhuri katika kawaida zetu na ndivyo
inavyosema Aya: “Nanyi wakati huo munatazama lakini hamuoni”. Kwa
hivyo, atayedai kuwa neno hilo katika Aya hio maana yake ni kuona
itambidi atoe ushahidi mwengine. Na ushahidi walioutoa watetezi wa
kumuona Allah wote ni kinyume na ushahidi wa Qur-ani, Sunna na lugha ya
Kiarabu.
c) Neno hilo linaleta maana mbalimbali kwa mujibu wa herufi
ilizofuatana nazo au kwa kutokuwepo kwa herufi yoyote.
Lakini tumethibitisha kwamba madai hayo pia si sahihi. Tumeona kwamba
kuna sehemu tafauti katika Qur-ani na Hadithi ambamo neno hilo
limefuatana na herufi moja ile ile – fii au ilaa kwa mfano – na limeleta
maana tafauti – kila sehemu limeleta maana tafauti na nyengine, na neno ni
lile lile na herufi ni ile ile. Hilo tumelibainisha kwa dalili.
d) Kama halikufuatana na herufi yoyote ile, basi maana yake ni
kusimama na kungojea.
Lakini tumebainisha kuwa madai haya ni batili kwa mujibu wa ushahidi
mwingi wa Aya za Qur-an. Miongoni mwa hizo ni Aya isemayo: ك ا
202
ظ ....... ػ ه ي (Hakika yake alifikiri na akapima (vipi aitukane Qur-
ani) -----kisha akatazama (yaani akatafakari tena mara ya pili).608
Na
Aya: خ ٣ظ ال ٤لش حكيس (Hawana wanachokingojea isipokuwa ukelele
mmoja).609
e) Likifuatana na herufi fii basi linamaanisha kutafakari na
kuzingatia.
Hivyo, ndivyo walivyodai, lakini madai hayo pia hayana ukweli: neno hilo
limefuatana na herufi fii katika Aya kama: كظ ظس ك٠ حـ (Basi
akatazama katika nyota), na katika Hadithi: ا هللا ظ ك٢ هد حؼزخى (Hakika
ya Allah kaitazama mioyo ya waja) na Hadithi nyenginezo, wala
halikumaanisha kutafakari au kuzingatia.
f) Likifuatana na herufi ilaa basi maana zake nyengine zote
zinabatilika na inabakia maana yake moja tu nayo ni kuona
kwa macho. Neno hilo katika Aya hio tunayoizungumzia
limefuatiwa na herufi ilaa, na kwa hivyo maana yake ni
kuona tu yaani watu watamuona Allah.
Hio ndio hoja yao nyengine, lakini jawabu ni kuwa neno hilo limefuatana na
herufi ilaa katika Aya ya Qur-ani inayosema: ل ٣ هللا ل ٣ظ ا٤ ٣
na wala Mwenyezi Mungu hatowasemesha, na wala) حو٤خش
hatowatazama siku ya kiama), na katika Hadithi inayosema: ر ػ ؿ
٣ ٤ ا هللا ظ ٣ ء ال ٤ ه ٤ و ح ش خ “Mwenye kuburura nguo yake kwa sababu ya
kibri (chake tu) basi Mwenyezi Mungu hatomtazama siku ya kiama”, na
katika mashairi ya Waarabu: ل ال ف ط ٢ ر خ ٣ ؤ ك **ا ٠ ح حص خظ ر ي ٣ ؿ “Nyuso
siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu alete ushindi”, na
mwote humo halikumaanisha kuona.
g) Neno hilo katika Aya hizo limetegemezwa katika nyuso
yaani imesemwa kwamba nyuso zitatazama, na uso ni
mahala pa kuonea. Na katika hali kama hii vile vile huwezi
kulifasiri neno hilo kwa maana yake nyengine yoyote ile
isipokuwa kuona kwa macho. Hio ndio hoja yao nyengine!
608
- Sura ya 74 Aya ya 18 -21. Hizi ni habari ambazo Allah anazielezea kuhusu kafiri Al-
Walid bin Al-Mughira, ambaye alikuwa akitafakari namna gani ataitukana Qur-ani baada
ya kuwa haki imeshambainikia.
609 - Sura ya 36 Aya ya 48.
203
Lakini jawabu ni kuwa neno hilo limetumika hali ya kuwa limefuatana na
herufi hio ilaa na likategemezwa katika nyuso katika maneno ya Waarabu
wenyewe katika beti kadha wa kadha za mashairi nalo halikumaanisha
kuona. Mfano wa hayo ni mashairi ya Hasan bin Thabi aliposema:
خظحص رخلالف ا٠ حك ٣ؤط٢ ؿ ٣ ري
Nyuso siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu alete
ushindi.610
h) Neno hilo nadhar limetumika sana katika Qur-an
likimaanisha kungojea lakini hakuna hata sehemu moja
ambayo neno hilo limefuatana na herufi ilaa.
Hio ni hoja yao nyengine, lakini jawabu ni kuwa imekuja Aya yenye neno
hilo hali ya kuwa limefuatana na herufi ilaa nayo Aya hio imemaanisha
kungojea, kama ilivyo katika Aya ya Qur-ani inayosema: ا خ ػس
Na akiwa (mwenye kudaiwa) ni mwenye (hali) ngumu كظس ا ٠ ٤س
(hana uwezo), basi naangoje mpaka awepesike (apate uwezo). 611
610
- Sheikh Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 46. 611
- Sura ya 2 Aya ya 280.
204
SURA YA SABA
RIWAYA ZILIZOKUJA KUIFASIRI AYA HIO KUWA
MAANA YAKE NI KUMUONA ALLAH
KUYAJADILI MANENO YA KASIM MAFUTA
KUHUSIANA NA MAUDHUI HII.
Kabla ya kuanza kuzitazama riwaya zilizotegemewa katika kuifasiri Aya hio
kuwa maana yake ni kumuona Allah, kwanza ni vyema kutazama maelezo
ya Sheikh Kasim bin Mafuta juu ya suala hili. Sheikh Kasim bin Mafuta,
baada ya kutoa hoja zake za kwanza zinazotokana na muundiko wa lugha ya
Kiarabu, kama tulivyozijadili, aliendelea kwa kunena:
Hoja za aina ya pili ni:
Hoja za nje, nazo ni zile dalili ambazo zimekuja kwa wingi mno katika
Qur‟ani na Sunna, na kauli za maulamaa wakubwa katika Maswahaba, na
wanafunzi wao na maimamu waliokuja baada yao, kauli ambazo ni tafsiri
za aya hii na nyinginezo zinazosema kwamba Allah ataonekana kwa
macho akhera. Ama kuhusu dalili za Sunna tutazitaja hapo mbeleni –
Inshaallaah hapa tutaitaja kauli moja ya “Taabi‟yyun” (mwanafunzi wa
swahaba) ambaye ni Ikrimah bin Abdillahi –rahimahu llaahu-.
Amesema Imamu Al-Tabari katika kitabu chake Jaamiul-Bayaan:612
Ametusimulia Muhammad bin Mansour Al-Tusiy, na Ibrahimu bin Sa‟ad
Al-Jauhariy (wote wawili) wamesema; ametusimulia Aliy bin Al-Hasan
bin Shaqiq, amesema ametusilulia Al-Husain bin Waaqid kutoka kwa
Yazid Al-Nahwiy kutoka kwa Ikrimah (amesema kuhusu kauli ya Allah):
خظس رخ ا٠***خس ٣ج ؿ
Zipo nyuso siku hiyo zenye kung‟ara* Ni zenye kumwangalia
(kumuona) Mola wake”.613
Akasema Ikrimah: “Zitamtazama
Mola wake Mlezi”.
Bila shaka, tafsiri hii ya Ikrimah inaipanguvu hoja ya wale wanaosema
kwamba watu wema watamuona Mola wao huko akhera kwa macho yao,
na si rahisi kuwa haya ni mawazo yake binafsi, bali ni tafsiri ambayo
ameipokea kutoka kwa sheikh wake swahaba mtukufu Ibn Abbaas –
612
- Mashuhuri kwa jina la Tafsirul-Twabariy katika juzuu ya 29 ukurasa wa 228. 613
- Surat al-Qiyamah aya 22-23.
205 radhiyallahu an‟humaa- naye amemsikia bwana Mtume –swalla llaahu
alayhi wasallam- akitamka maneno hayo, na nina thubutu kusema hivi kwa
sababu ya maandiko mengine ambayo yamepokewa kutoka kwa bwana
Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- ambayo yanaipa nguvu kauli hii.
Pamoja na kuwa hoja hii iko wazi katika kuithibitisha itikadi hii sahihi ya
Ahli Sunna juu ya kuonekana Allah huko akhera kwa macho, lakini
wapinzani wa hoja hii hawakuwacha kuitilia mashaka tena kwa madai
ambayo ni dhaifu mno. Na haya yafuatayo ni baadhi ya madai yao
yanayoonekana yana uzito kidogo……614
KUYAJADILI MANENO HAYO
Jawabu juu ya madai hayo ya mwanachuoni Al-‟Allama Kasim bin Mafuta
ni katika nukta zifuatazo:
Mosi: ni kuwa maneno ya Ikrima au mwengine yoyote yule asiyekuwa
Mtume (s.a.w.) si hoja ya kisharia hususan pale ambapo kuna wengine
walio kama yeye ambao wameipinga tafsiri yake. Utakumbuka kwamba
Mujahid na wengine wameifasiri Aya hio kuwa maana yake ni “kuyangojea
malipo ya Mola wake”. Sasa ikiwa kanuni ya jumhur ni kuwa kauli ya
Sahaba si hoja ikiwa itapingwa na kauli ya Sahaba mwengine, basi vipi
kauli ya Ikrima iwe hoja ikiwa itapingwa na kauli ya Mujahid. Wala
usijenge hoja ya dhana tu kwamba:
…….na si rahisi kuwa (Ikrima) haya ni mawazo yake binafsi, bali ni tafsiri
ambayo ameipokea kutoka kwa sheikh wake swahaba mtukufu Ibn Abbaas
–radhiyallahu an‟humaa- naye amemsikia bwana Mtume –swalla llaahu
alayhi wasallam- akitamka maneno hayo, na nina thubutu kusema hivi kwa
sababu ya maandiko mengine ambayo yamepokewa kutoka kwa bwana
Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- ambayo yanaipa nguvu kauli hii.
Usifyatue tu namna hiyo ewe Ibn Mafuta, kwani na Mujahid pia ni
mwanafunzi wa Ibn Abbaas tena Imamu wako Ibn Taymiyya kamsifu zaidi
kwa elimu ya tafsiri kuliko Tabi‟iina wengine kama tulivyomnukuu katika
juzuu ya kwanza. Anasema Mzee wa Uuislamu:
Kama hukukuta tafsiri (ya Aya ya Qur-ani) katika Qur-ani wala katika
Sunna wala kutoka kwa Masahaba, basi Maimamu wengi wamerejea
katika hilo kwa kauli za Taabi‟iin kama Mujahid bin Jabr hakika yake
614
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 54-55.
206
alikuwa ni muujiza katika (elimu ya) tafsir.615
……………. “Ama tafsiri,
basi wajuzi wao ni watu wa Makka kwani ni wanafunzi wa Ibn
Abbaas kama vile Mujahid”.616
Halkadhalika usiniambie kwamba: “ninathubutu kusema hivi kwa sababu ya
maandiko mengine ambayo yamepokewa kutoka kwa bwana Mtume (s.a.w.)
ambayo yanaipa nguvu kauli hii” kwani kama vile ambavyo kuna Hadithi
isemayo: “Mutamuona Mola wenu kama munavyouona mwezi mdande”
ndivyo ambavyo kuna Hadithi isemayo: “Na hakuna kinachowazuiya watu
na kumuona Mola wao isipokuwa vazi lake la ukuu katika pepo ya adeni”.
Kwa hivyo, hoja hizi bado hazijaipa nguvu riwaya ya „Ikrima, kwani ikiwa
„Ikrima ni mwanafunzi wa Ibn Abbaas, basi na Mujahid naye “yuvivyo”;
ikiwa kuna Hadithi ya kumuona Allah; na Hadithi ya kutomuona Allah pia
ipo.
Pili: ni kuwa hata tukijaalia kuwa kuwa riwaya ya Ikrima ni sahihi – kama
unavyodai, nayo ni dhaifu – basi usahihi wake haukufikia usahihi wa riwaya
ya Mujahid.
Tatu: ni kuwa Ikrima inasemwa kuwa ni katika Khawaarij wengine
wanasema ni Ibadhi; wengine wanasema kuwa ni Najdi na wengine
wanasema kuwa ni Sufriy kama ilivyo katika Fat-hu Al-Bari na Tahdhibu
Al-Tahdhib vya Ibn Hajar na Al-Mizan cha Al-Dhahabi na vitabu vyengine.
Na wote hawa wameitwa kuwa ni Makhawarij – Ibadhi na Sufriyya. Sasa
wewe leo unamsifu „Ikrima kwa sababu unaitaka riwaya yake, umesahau
ulioyasema huko nyuma kuhusu uwongo wa Makhawarij! Nawe Ibn Mafuta
ukiwa utapewa riwaya ya Khawarij na riwaya ya Ahlu Sunna utaikubali ipi?
Ikrima ni Khawarij; riwaya yake inasema tutamuona Allah; Mujahid ni Ahlu
Sunna na riwaya yake inasema hatutomuona Allah. Je wataka riwaya ya
Khawarij au ya Ahlu Sunna? Ninasema: na ukweli kwamba „Ikrima alikuwa
na rai ya walioitwa kuwa ni Khawarij – ikiwa ni Ibadhi au Sufriyya – basi
kunaipa nguvu riwaya yake nyengine inayokataa kuonekana kwa Allah
kwani walioitwa Khawarij hawakuwa wakiamini kuonekana kwa Allah.
Nne: ni kuwa riwaya za „Ikrima juu ya maudhui hii zimegongana: wakati
kuna riwaya hio aliosema ndani yake kwamba maana ya Aya hio ni
615
- Ibn Taymiyya Al-Nukatu Al-Mutammima uk. 96 kwa tahqiq ya „Abdil-Mun‟im
Ibrahim. 616
- K.h.j. uk. 64.
207
kumuona Allah, basi riwaya yake ya pili iliopokewa na „Abd bin Humaid:
“imekanusha kumuona Allah”.617
Anasema Ibn Hajar:
Na inawezekana kuzijumuisha riwaya mbili hizo kwa kusema kuwa riwaya
yenye kukataa kuonekana kwa Allah, maana yake ni kuwa „Ikrima
kawakusudia wasiokuwa watu wa peponi.618
Ninasema: nayo tafsiri hio ya Al-Hafidh ni tafsiri ya kujikalifisha, kwani
riwaya nyengine iliokubalika kwa watetezi wa itikadi ya kumuona Allah
inasema kwamba na wanafiki wa umma huu pia nao watamuona Allah!
Tano – na ndio muhimu – ni kuwa sisi bado tunaendelea kudai kuwa riwaya
hio ya Ikrima haikuthibiti kwa sanad sahihi. Na jawabu yako uliotupa bado
haijatukinaisha. Hilo tutalijadili tukifika mahala pake.
Anaendelea Kasim Mafuta kwa kusema:
JARIBIO LA KWANZA LA KUIPOTOSHA HOJA HII
Katika kufanya jaribio la kuipotosha hoja hii inayozungumzia kuonekana
kwa Allah huko akhera ndugu Juma M. Al-Mazrui ameleta madai mengi
ambayo hayana msingi, na haya yafuatayo ni baadhi ya madai hayo:
1) Madai yake ya kwanza juu ya hoja hii ni kwamba, neno “Naadhirah”
amabalo limetumika katika sura hii lina maana pana zaidi, kuliko kuona.
Kwa sababu mtu anaweza kusema:
Nimeutazama mwezi lakini sikuuona. Kwa hiyo neno kutazama
halimaanishi kuwa lazima mtu aone. Tazama ukarasa wa 50 katika kitabu
chake. Akiwa na maana kwamba, hata hao watakao mtazama Mola wao
huko akhera kuna uwezekano wasimuone maana si lazima ukitazama ni
sharti uone!
2) Madai yake ya pili ni kuhusu neno hili (nadharu) lina maana nyingi
katika lugha ya kiarabu: haiwezekani kusema kwamba maana fulani ndio
iliokusudiwa ila kwa dalili na ushahidi. Na dalili ikiwa na maana nyingi
basi ushahidi wake ni batili ila ikipata uzito kwa dalili nyingine nje ya hiyo
au itapata uzito katika vifuatanishi vya maneno (context). Tazama ukurasa
wa 51,na 56 katika kitabu chake.
617
- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 15, uk. 9249, katika maelezo ya Hadithi na. 7434 na zilizo baada
yake. 618
- K.h.j.
208 3) Hadithi zote ambazo zimepokewa zenye kuifasiri aya hii kuwa maana yake
ni kumuona Mwenyezi Mungu ni hadithi batili na za uwongo!!!. Tazama
ukurasa wa 74-75 katika kitabu chake. 4) Akatoa dalili za kimaandishi
zinazopingana na aya hiyo –kwa mtazamo wake- kama vile kauli yake
Allah aliposema:
Macho hayamfikii naye anayafikia macho (yote).619
Na hadithi isemayo : “Na hakuna kinachozuia baina ya watu na
kumtazama Mola wao isipokuwa lile vazi la kibri chake…”.
MAJIBU YETU
Majibu yetu kuhusu madai yake ya kwanza, kwamba neno “naadhira” lina
maana pana kuliko kuona kwa sababu mtu anaweza kutazama lakini
asione, sisi tunasema hilo ni kweli, lakini neno “Naadhira” hapa
limetumika kwa maana ya kuona kwa sababu hizi zifuatazo:
i) Hivi unadhania kwamba siku ya Qiyamah nyuso zitang‟ara na kutoa
nuru kwa kumtazama wasiemuona? Unapomtazama unayempenda ambaye
una shauku ya kumuona halafu usimuone je hiyo ni starehe au adhabu? Je
kutakuwa na tofauti gani baina ya wema na waovu katika hilo? Makusudio
makubwa ya kumuona Allah huko akhera ni Takrima watakayokirimiwa
waja wema waliomuamini Mola huyo Mkarimu hapa duniani wakiwa
hawamuoni –Ewe Allah ! Turuzuku ladha ya kuuona uso wako mtukufu-
Aamin.620
JAWABU
Maneno yako katika kipengle cha kwanza uliposema: “Akiwa na maana
kwamba, hata hao watakaomtazama Mola wao huko akhera kuna
uwezekano wasimuone maana si lazima ukitazama ni sharti uone” si
maneno sahihi. Mimi sina maana hio: maana ninayoikusudia mimi ni kuwa
utapodai kuwa mwenye kutazama kaona basi unahitaji ushahidi mwengine
wa qarina ama katika siyaaq au sibaaq au mwengineo, kwani neno nadhar
(kutazama) maana yake si kuona bali maana yake ni kutazama tu ukaona
usione, na unapolitumia neno nadhar (kutazama) ukakusudia kuona basi
kunakuwa na qarina iliobainisha hivyo. Sasa mushkeli wetu ni kuwa qarina
zote mulizotupa nyinyi ambazo mulitegemea kuwa zimebainisha kuwa neno
nadhar katika Aya hio maana yake ni kuona si qarina kamwe licha ya kuwa
619
- Sura 6, Aya 103. 620
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 55-57.
209
si qarina zenye kuibainisha maana hio. Hayo tumeyabainisha huko nyuma
hatuna haja ya kuyarejea.
Ama kuhusu maelezo yako uliposema:
Hivi unadhania kwamba siku ya Qiyamah nyuso zitang‟ara na kutoa nuru
kwa kumtazama wasiemuona? Unapomtazama unayempenda ambaye una
shauku ya kumuona halafu usimuone je hiyo ni starehe au adhabu?
Ninasema: hoja hiyo inamlazimu yule ambaye kaifasiri Aya hio kuwa
maana yake ni kutazama kwa macho kama mulivyoifasiri nyinyi. Huyo
ndiye wakuulizwa: “Hivi wewe unadhania kwamba siku ya Qiyamah nyuso
zitang‟ara na kutoa nuru kwa kumtazama wasiemuona?” Ama sisi –
Walillahi Al-Hamdu – suali hilo halituhusu kwani sisi tunasema kuwa
maana ya Aya hio si kutazama kwa macho kamwe, bali maana yake ni
kuwa: “Nyuso zitan‟gaa huku zikingojea thawabu au rehema ya Mola
wake”, na tafsiri hii imepokewa kutoka kwa Al-Salaf Al-Salih kwa sanad
sahihi na qarina katika siyaaq zinaonesha kwa uwazi kuwa hio ndio maana
iliokusudiwa kama tutavyoeleza baadae in shaa Allah.
Lakini jawabu yetu ya nyongeza hapa ni kuwa: nyuso za watu wema siku ya
kiama hazitong‟aa kwasababu ya kumtazama Mola wao kama unavyodhania
bali ni kwa matendo yao mema. Na hili halitakiwi tutafautiane kamwe.
Lakini cha kustaajabisha ni kuwa wewe mwenyewe Sh. Mafuta umetoa
ushahidi wa kuonekana kwa Allah kwa kutumia Hadithi iliotongoa hivyo
karibu kwa uwazi kabisa. Ushahidi wa riwaya yenu ambayo
hamukuifahamu nyinyi wenyewe inayosema:
.....„watapoingia watu wa peponi katika pepo atanadi mwenye kunadi:
hakika ya nyinyi muna ahadi kwa Mwenyezi Mungu anataka
kukutekelezeeni‟. Watasema: „kwani hukuzing‟arisha nyuso zetu na
kutuokoa na moto na ukatuingiza peponi?‟ Kasema: „basi ataondoa pazia
basi naapa kwa jina la Allah hawajapewa kitu bora kuliko kumtazama
Yeye‟.
Kwa hivyo, riwaya yenu inaonesha wazi kuwa nyuso zilingarishwa kabla, si
kwa kumtazama Allah munayedai kuwa ataonekana ili nyuso zingare.
Kuweni makini; musifyatuefyatue tu.
Anaendelea Kasim Mafuta:
210 iii) Pia kuna ushahidi wa aya nyengine nyingi za Qur‟an kama aya
ya 26 katika surat Yunus na hadithi nyingi za Mtume –swalla
llaahu alayhi wasallam- ambazo zimefikia kiwango cha
“MUTAWAATIR” (Idadi kubwa ambayo ni muhali kuwa
wapokezi wake wameafikiana kutunga uwongo) hadithi zote
hizo zinaiunga mkono aya hii. Kwa mfano kauli yake bwana
Mtume –swalla llaahu alayhi wasallamaliposema:
ا ظ ر
Kwa hakika nyinyi mtamuona Mola wenu.
Hadithi hii ameipokea Imamu Al-Bukhari namba 7435, na maelezo yake
Inshaallah yatakuja huko mbeleni.
JAWABU
Na mimi pia nitaielezea Aya hio na Hadithi hio huko mbele na nitatoa
maelezo yako na jawabu yetu. Ama kuhusu Aya nyingi hizo
unazozizungumzia, sijui ni Aya gani hizo zilizosema kuwa watu watamuona
Allah? Aya hizo tumezielezea katika Hoja Zenye Nguvu, ukweli ni kuwa
hakuna ushahidi kamwe katika Aya hizo. Cha kuelewa ni kuwa itikadi ni
msingi wa dini; na kwa hivyo, haiwezi kujengwa ila katika andiko lililo
wazi kabisa: si andiko lenye maana dhanni (isio ya yakini) au andiko lenye
sanad dhanni, na huu ni msingi wa jumhur ya umma kama inavyoelezwa
katika vitabu vya usulil-fiq-hi.
Anaendelea Kasim Mafuta:
Ama kuhusu madai yake ya pili, ni pale aliposema:
“Neno hili (nadharu) lina maana nyingi katika lugha ya kiarabu:
haiwezekani kusema kwamba maana fulani ndio iliokusudiwa ila kwa
dalili na ushahidi”.
Sisi tunasema kwamba bado kauli hii ya Juma si hoja ya kuibatilisha
maana ya “kutazama” iliyobebwa na neno “naadhirah”, kwa sababu maana
hiyo ndiyo ya msingi na ya asili kama alivyokiri Juma. Na katika kanuni za
lugha ya kiarabu, mtu aliyeshikamana na maana ya asili ya neno hana
wajibu wa kuleta hoja wala dalili ili kuthibitisha kwanini ameshikamana na
maana ya asili, bali anayetakiwa kuleta hoja ni yule anayedai kinyume cha
asili, na wale wanaoitumia aya hii kuthibitisha kuonekana Allah, wao
wameshikamana na maana ya asili ya neno hili. Kwa hiyo wenye kuitakidi
kinyume chake na wakalitafsiri neno naadhirah kwa maana ya kungojea
211 badala ya maana ya asili kutazama wao ndio walio na wajibu wa kuleta
hoja kwa nini wameikimbia maana hii ya asili na wakaamua kwenda nje ya
asili bila ya hoja wala dalili yoyote yenye nguvu?
JAWABU
Kanuni ulioitaja ni sahihi, lakini “kuona” na “kungoja” si maana za asili za
neno nadhar. Kwa hivyo, sote mimi na wewe tunadaiwa dalili: tutoe dalili
kuthibitisha madai yetu. Nanyi mumetoa dalili zenu za kilugha kuthibitisha
madai yenu, lakini – kama ulivyoona mwenyewe – kwamba hoja zote
mulizozitoa zinakubomokeeni njiani, kwani ni kinyume na ushahidi wa
Qur-ani, Sunna na lugha ya Waarabu. Mukhtasari wa hoja zenu za kilugha
ni kuwa:
1) Neno nadhar ikifuatana na herufi ilaa maana yake ni kuona kwa
macho.
2) Na ikiwa litafuatana na herufi hio na likategemezwa kwenye uso
ikasemwa “nadhara al-wajhu uso umetazama” basi hapo ndio
imethibiti kabisa kwamba maana yake ni kuona tu kwani uso ndio
mahala pa kuonea.
Hivyo, kwa mukhtasar, ndivyo mulivyotongoa. Wakati wapinzani wenu
wamekujibuni kwa maandiko ya Aya kama:
…. شل ٣ هللا ل ٣ظ ا٤ ٣ حو٤خ
……. na wala Mwenyezi Mungu hatowasemesha, na wala
hatowatazama siku ya kiama.621
Na Aya kama: ا خ ػس كظس ا ٠ ٤س
Na akiwa (mwenye kudaiwa) ni mwenye (hali) nzito (hana uwezo) ,
basi mtazameni (mgojeni) mpaka awepesike (apate uwezo). 622
Na Hadithi kama:
٣ ٤ ا هللا ظ ٣ ء ال ٤ ه ر ػ ؿ ٤ و ح ش خ
621
- Sura ya 3 Aya ya 77. 622
- Sura ya 2 Aya ya 280.
212
Mwenye kuburura nguo yake kwa sababu ya kibri(chake tu) basi
Mwenyezi Mungu hatomtazama siku ya kiama. 623
Na beti kama:
ر ي ٣ ؿ ل ال ف ط ٢ ر خ
٣ ؤ ك **ا ٠ ح حص خظ
Nyuso siku ya (vita vya) Badri zilimtazama Mwenyezi Mungu alete
ushindi.624
Utaona kwamba mwote humo katika maandiko hayo, limetumika neno
nadhar na limefuatana na herufi ilaa na mwengine limetegemezwa katika
nyuso. Je maana ya Aya hizo na Hadithi hio na ubeti huo ni kuona? Jamani!
Tunatazama kilichosemwa au tunamtazama aliyesema?
Anaendelea Sheikh Kasim Mafuta:
3- Madai yake ya tatu ni kwamba hadithi zote zilizokuja kuifasiri aya hii
kuwa maana yake ni kumuona Mwenyezi Mungu ni hadithi batili na za
uwongo! Kisha akaanza kuidhoofisha kauli ya Taabi‟i Ikrimah kwa
kusema: “Hadithi hii pia ni dhaifu! Na udhaifu wake ni kuwa katika
wapokezi wake yumo Husain bin Waqid naye ni dhaifu wanavyuoni wa
hadithi hawamkubali. Anasema Ibn Hajar Al-‟As‟qalaani katika
wanavyuoni wakubwa wa madhehebu ya Al-Shafi: “Al-Husain bin Waqid
Al-Maruzi, Abu Abdallah Al-Qadhi alikuwa mkweli lakini anasahau na
anakosea sana…”.. Mwisho wa kunukuu. Tazama ukurasa wa 67 katika
kitabu chake.
MAJIBU YETU
Hapa ndugu Juma ametumia uwongo na lengo lake ni kuwadanganya
wasio na taaluma ya kutosha katika mambo ya elimu ya hadithi. Hapa
ameidhoofisha kauli ya Taabi‟i Ikrimah kwa madai ya kuwa mpokezi wake
ambaye ni AL-Husain bin Waaqid anakosea sana! Jawabu yetu dhidi ya
maneno ya ndugu Juma yatakuwa kama
ifuatavyo:
623
- Al-Rabi‟u bin Habib Al-Jamii Al-Sahih uk. 71. Al-Nawawi Riadh Al-Salihin uk. 248. 624
- Sheikh Al-Khalili Alhaqu Al-Damigh uk. 46.
213 Kwa hakika mimi ninashangazwa sana na tabia hii ya kusema uwongo
anayoitumia ndugu Juma, kwa kweli mimi ninashangazwa sana na tabia
yake hii! Nikafikia kujiuliza inakuwaje mtu anaamua kuwadanganya watu
katika mambo ya dini?! Kweli mtu huyo atakua ana nia njema? Au ana
jambo jingine nyuma ya pazia? Na uwongo wake huo uko pale alipodai
kwamba Al-Husein bin Waaqid ni DHAIFU! Kisha akadai kuwa
WANAVYUONI WA HADITHI NAO HAWAMKUBALI!!! Halafu
maneno hayo akamsingizia Ibni Hajar kuwa ndiye aliyeyasema! Je ni kweli
Ibn Hajar amemdhoofisha mpokezi huyu? Hebu tuyatazame hayo maneno
ya Ibn Hajar kuhusu mpokezi huyu, yeyeanasema nini? Anasema Ibni
Hajar:
.”أخ ػوش حوخ٢ هللا ػزي أر ح١ حهي ر حل٤“
“AL-HUSAIN BIN WAQID AL-MAR‟WAZIY ABU ABDILLAHI
ALQADHIY
NI THIQA (mwadilifu mwenye kuhifadhi) na ANA MAKOSA”.
Tazama Al-Taq‟ribu tar‟jama namba1492.
Hayo ndiyo maneno ya Ibni Hajar Al-Asqalaniy kuhusu Al-Husain Ibn
Waaqid, sasa hebu tuanze kuyachambua kwa kuhoji: Je Ibn Hajar
amesema kuwa Husein ni THIQA (muadilifu mwenye uwezo mzuri wa
kuhifadhi) Au amesema kuwa Husein ni DHAIFU? Jawabu liko wazi
katika maneno yake hayo hapo nyuma, kwa hiyo Juma analazimika
kutueleza ni mahali gani Ibni Hajar amesema kuwa Husein ni dhaifu?
Huwenda Juma akawa ametatizika na kauli ya Ibn Hajar pale aliposema:
“ANA MAKOSA” yeye haraka haraka kwa sababu ya nia yake mbaya
akadhania kwamba kuwa makusudio ya Ibn Hajar ni kuwa Husein
“ANAKOSEA SANAA”! Na kama hiyo ndiyo sababu iliyomfanya ndugu
Juma aseme kuwa Husein ni dhaifu, je hakuiona kauli ya Ibni Hajar
aliyosema kuwa Husein ni THIQA kabla ya kusema anakosea?625
JAWABU
Kuhusu je riwaya ya Ikrima ni sahihi au si sahihi, hilo tutalizungumzia
mahala pake tukifika in shaa Allah. Ama kwa hapa Sheikh Kasim
ningependa kukusihi kwamba usiwe na tabia ya kukimbilia kuwaita watu
waongo mpaka uwe na nukta madhubuti kwani uwongo ni jarima kubwa na
kumwita mtu mwongo bila ya haki pia ni jarima kubwa. Hebu tazama uzuri
maneno yangu ambayo wewe mwenyewe pia umeyanukuu. Mimi nimesema
hivi:
625
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 58-59.
214 Hadithi hii pia ni dhaifu, na udhaifu wake ni kuwa katika wapokezi wake
yumo Husain bin Waqid naye ni dhaifu; wanavyuoni wa Hadithi
hawakumkubali.
Kwa hivyo, neno ni “dhaifu” na maneno “wanavyuoni wa Hadithi
hawakumkubali” yanaeleweka wazi kuwa ni maneno yangu: wala mimi
sijadai kuwa hayo ni maneno ya Ibn Hajar. Nadhani kila atayeyasoma
maneno hayo, basi hilo linambainikia kwa uwazi. Halafu baada ya kusema
hivyo, ndio nikanukuu maneno ya Ibn Hajar na wenzake nikasema hivi:
Anasema Ibn Hajar Al-‟Asqalaani: “Al-Husain Bin Waqid Al-Mar-wazi,
Abu Abdallah Al-Qadhi alikuwa mkweli lakini anasahau na kukosea
sana”.626
Na akasema katika Tahdhib AlTtahdhib: “amesema Ibn Hiban
kuwa (Al-Husain Bin Waqid) ni katika watu wema lakini wakati
mwengine hukosea katika Hadithi (zake)”. Na akasema Al-Imamu Ahmad
bin Hanbal: “katika Hadithi zake kuna ziada hata sielewi nini”. Na
akasema Al-Saji kuwa (Al-Husain Bin Waqid) ni mtu wa kufikiriwa, naye
ni mkweli lakini anasahau na kukosea sana”. 627
Na akasema Al-‟Uqaili
katika kitabu chake Dhuafaau Al-‟Uqaili “katusimulia Ahmad bin Asram
bin Khuzaima kasema: „nimemsikia Al-Imamu Ahmad bin Hanbal
alipotajiwa Hadithi iliopokewa kotoka kwa Ayub bin Naafi kutoka kwa Ibn
Umar kutoka kwa Mtume (s.a.w.), akauliza Al-Imamu Ahmad bin Hanbal:
„nani msimulizi wa Hadithi hii, akaambiwa Al-Husain bin Waqid, akasema
kwa mikono yake (akapangusa mikono yake na kuashiria) na akatikisa
kichwa chake kana kwamba hakumridhia‟.628
Sasa ili niwe mwongo, basi ni lazima uthibitishe kwamba kile nilichodai
kuwa nimekinukuu kutoka kwa Ibn Hajar hakimo katika vitabu vyake. Hapo
utakuwa umeweza kuthibitisha kuwa Juma ni mwongo. Lakini
nilichokisema mimi kiko mbali; na nilichokidai kwamba nimekinukuu
kutoka kwa Ibn Hajar na wengine kiko mbali na kimo katika kitabu hicho
nilichokinukuu, sasa uwongo uko wapi? Kwa maana kwamba tafsiri yangu
katika kuyaelewa maneno ya wanavyuoni iko mbali na nukulu zao ziko
mbali ambapo mtu anaweza kuyapima maneno yangu kwa nukulu za
wanavyuoni na akajua kwamba tafsiri yangu katika kuzielewa nukulu zao ni
sahihi au ni makosa. Na katika hali hii mtu huwa haitwi mwongo, bali akiwa
kasema kinyume na makusudio ya wanavyuoni aliowanukuu, basi
huambiwa: “Kayafasiri maneno ya wanavyuoni sivyo”.
626
- Tazama Taqribu Al-Tahdhib uk. 169 tarjama na.1358. 627
- J. 2, uk. 321. 628
- Al-‟Uqaili Al-Dhu‟afaau j. 1, uk. 251.
215
Kisha elewa kwamba mimi katika hilo au mfano wa hilo nimetanguliwa na
wakuu wetu kama vile Al-Albani ambaye amesema yafuatayo:
ــــز٢ لـــــهض : حل٤ ح اخ أهؽ حزوخ١ طؼ٤وخ ػ ا ك٤ ؼلخ ٤٣ح هي هخ ح
. “ػوش أخ “: “و٣ذ ـــحظ “. هخ حلخكع ك٢ “حظ أكي أكخى٣غ ”ح٠ؼلخء “ك٢
خء هللا طؼخ٠ هض : ك ك حلي٣غ ا
Ninasema: Al-Husain (bin Waaqid) huyu, Al-Bukhari kazipokea Hadithi
zake ta‟aaliqan (kwa kuiondosha sanad mwanzoni), kisha (elewa kwamba
huyu Husain) ndani yake kuna udhaifu kidogo na Al-Dhahabi mwenyewe
kasema katika kitabu Al-Dhu‟afaa‟i kwamba “(Al-Imamu Ahmad)
amezikanusha Hadithi zake nyingi)629
na Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema
katika kitabu Al-Taqriib kwamba (Al-Husain bin Waaqid ni) “ni mwenye
kuaminika, ana makosa mengi”. Ninasema: basi yeye in shaa Allah Hadithi
zake ni hasan.630
Bwana Kasim! Sijui umeyaelewa maneno hayo ya Imamu wako Al-Albani?
Al-Albani anasema kwamba Husain bin Waaqid “ana udhaifu kidogo” na
kwamba “Hadithi zake ni hasan in shaa Allah”. Kisha akatoa ushahidi wa
maneno yake hayo ya “udhaifu kidogo wa Husan bin Waaqid” kwa kile kile
nilichokitolea ushahidi mimi kwa maneno yangu, akamnukuu Ibn Hajar
akisema: أخػوش (ni mwenye kuaminika; ana makosa mengi). Sasa na sisi
tumuulize Al-Albani je nawe ni mwongo uliposema kwamba Al-Husain ana
udhaifu kidogo kisha ukatoa ushahidi kwa maneno hayo ya Ibn Hajar? Ni
wapi katika maneno hayo ya Ibn Hajar aliposema kwamba Husain bin
Waaqid: “ana udhaifu kidogo?”
Ukiniambia kwamba “aaa Al-Albani yeye amezistambat kauli hizo tafauti
za wanavyuoni kisha akatoa kutoka humo kanuni za Hadithi”. Ukiniambia
hivyo, nitakujibu kwamba huo sio mjadala wetu: mjadala wetu ni kusema
kwake kwamba Husain ni dhaifu kidogo kisha akautolea ushahidi usemi
wake huo kwa maneno hayo ya Ibn Hajar ilhali Ibn Hajar hakuyatamka
maneno hayo. Pili ni kuwa, ikiwa yeye alichokifahamu kutoka katika
maneno ya Ibn Hajar aliposema kuhusu Husain bin Waaqid kwamba ni: ػوش
ni “mwenye udhaifu ,(mwenye kuaminika; ana makosa mengi) أخ
kidogo, mwenye Hadithi hasan”; basi na sisi tulichokifahamu kutoka katika
msimamo wa Al-Imamu Ahmad wa kuzikataa Hadithi nyingi za Husain bin
Waaqid ni kuwa Husain ana udhaifu.
629
- Si lazima ziwe nyingi zaidi. 630
- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 6, uk. 272.
216
Lakini kwa hali yoyote ile, tunanamwambia Sheikh Kasim bin Mafuta
kwamba kama alikuwa anataka kutafuta waongo kwa mujibu wa minhaj
yake ya uchambuzi, basi asingelipata tabu bali angeliwakuta waongo tele
katika madhehebu yake ya Kiwahabi na Maimamu wao bali na hata yeye
mwenyewe angelijikuta pia yumo katika jumla ya waongo. Chukua kwa
mfano:
1) Ibn Taymiyya. Huyu tumeyanukuu maneno yake mengi yasio na
ukweli katika juzuu ya kwanza. Rejea huko ujikumbushe. Na kwa
hapa tazama maelezo ya mwanafunzi wake Sheikh Al-Albani.
Anasema Al-Albani kuhusu Hadithi: اح ٠ حإلخ هخػيح كح هؼىح
(…Imamu akisali kitako nanyi salini kitako…”., anasema Al-
Albani kuhusu Hadithi hio: “Na Sheikh Al-Islam Ibn Taymiyya
katika Majmu‟u Al-Fataawa631
kaihusisha (Hadithi hio) na
Muslim, nalo ni katika makosa yake Allah amrehemu. Na Al-
Hafidhi (Ibn Hajar)632
akamfuatishia (jawabu kwamba) ilioko kwa
Muslim ni Hadithi nyengine na kwa njia nyengine kutoka kwa
Jabir.633
2) Ibn Al-Qayyim. Halkadhalika kuhusu Ibn Al-Qayyim,
tumekunukulia maelezo yake mengi yasio na ukweli, na kwa hapa
jikumbushe maelezo yake alioyatoa kuhusu Hadithi refu ya kutunga
alioitaja katika kitabu chake Zadu Al-Ma‟aad. Baada ya kuinukuu
Hadithi hio, alisema:
خس حزس، خى١ ؿالظ كوخظ ػظظ ػ٠ أ هي هؽ ...ح كي٣غ ز٤ ؿ٤، ط
رخوز، هخر رخظ٤ حلو٤خى، ٣طؼ ح أثش أ....… ش ك٠ ظز، طو ح
حط أكـي ك٤، ل ك٠ أكي
Hadithi hii ni kubwa, tukufu unatangaza utukufu wake na ukuu wake
na adhama yake kwamba inatokana na Mtume
(s.a.w)………wameipokea Maimamu wa Hadithi katika vitabu vyao
na wakaikubali, na wakasalimu amri mbele ya (usahihi) wake na
kuifuata; wala hakuna yoyote aliyeiponda wala aliyemponda yoyote
katika wapokezi wake (Hadithi hio).634
Hivyo, ndivyo alivyosema Ibn Al-Qayyim. Pamoja na hayo, watiaji maelezo
wa kitabu chake hicho, Dr. „Umar Al-Farmaawi, Muhammad Al-Bayyumi
631
- J. 1, uk. 475-356. 632
- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 11, uk. 50. 633
- Al-Albani Sahihu Al-Adabi Al-Mufrad uk. 367, chapa 2, Daaru Al-Siddiq 1415 A.H. 634
- Ibn Al-Qayyim Zaadu Al-Ma‟aad j. 3, uk. 444.
217
na „Abdullah Al-Minshaawi, wanasema kwamba hio ni Hadithi: “Dhaifu….
katika sanad yake Dalham bin Al-As-wad na babu yake „Abdullahi bin
Haajib, kasema Al-Dhahabi kwamba hawajulikani”.635
Na akasema aliyetia
maelezo Kitabu Sunna cha Ibn Ahmad kuhusu Hadithi hio kwamba ni
“Dhaifu”.636
Sasa je Sheikh Mafuta na hapa pia utastaajabishwa na uwongo wa Ibn Al-
Qayyim aliposema: “wameipokea Maimamu wa Hadithi katika vitabu vyao
na wakaikubali, na wakasalimu amri mbele ya (usahihi) wake na kuifuata;
wala hakuna yoyote aliyeiponda wala aliyemponda yoyote katika
wapokezi wake (Hadithi hio)” au utawapima watu kwa mezani mbili
tafauti?
3) Muhammad bin „Abdil-Wahhab. Anasema Muqbil Al-Waada‟i
kuhusu Hadithi isemayo: “Muueni mchawi mwanamme na
mwanamke”. Anasema Al-Waada‟i kuhusu Hadithi hio:
Sheikh Muhammed bin „Abdil-Wahhab kaihusisha Hadithi hio na
Sahihu Al-Bukhaari kwa misingi kwamba ni sehemu ya Hadithi ya
Bajala huyu, wala (Hadithi hio) haimo katika (Sahihu) Al-
Bukhari………..637
Kwa hivyo, Sheikh Kasim kwa mujibu wa vipimo vyako vya uwongo na
kweli, Imamu wako, Mzee wa Uislamu kasema uwongo kwani kamsemea
Muslim kitu ambacho hakimo kitabuni mwake! Au yeye utampa udhuru
usiowapa wengine? Halkadhalika Maimamu wako wengine, Ibn Al-Qayyim
na Muhammad bin „Abdil-Wahhab, nao – kwa mujibu wa vipimo vyako vya
uwongo na kweli – nao pia wataingia katika kiganja cha mezani cha
waongo. Ninarudia tena: hayo yote ni kwa mujibu wa mezani yako ya
uwongo na ukweli: si kwa mujibu wa mezani yangu. Tutakuwa na maelezo
zaidi ya waongo na wakweli tukifika sehemu nyengine in shaa Allah.
Anaendelea Kasim Mafuta:
ii) Lau kama Husein angekuwa na makosa mengi ya kumfanya awe ni
dhaifu na asikubaliwe na wanavyuoni wa hadithi, kitaalamu ingesemwa
“Faahishul-ghalat” au “Kathirul-Khatai” au “Sayyiul-Hifdhi” lakini
maneno yaliyotumika hapo ni “Lahu Auhaam” (ana makosa) na hiyo si
635
- Tazama maelezo hayo katika Zaadu Al-Ma‟aad j. 3, uk. 444, maelezo ya chini. 636
- Dr. Muhammad Al-Qahtaani katika maelezo yake ya Al-Sunna cha Ibn Ahmad j. 2, uk.
485. 637
- Al-Waada‟i Al-Ta‟aliiq „Alaa Al-Tattabu‟i cha Al-Daraqutni uk. 292.
218 sababu ya kumhukumu mpokezi kuwa ni dhaifu, kwani ni nani asiyekosea
na kutatizika?
iii) Ndugu Juma yeye amesema ni “AL-MARUZI”! Na kutamka hivi si
sahihi, sahihi ni AL-MAR‟WAZIY , na hii pia ni ishara tosha kwamba
yeye si mtaalamu, na hayuko makini katika fani hii, maana makosa yake
katika jambo hili ni mengi mno kushinda hayo makosa anayomsingizia
nayo Husein Al-Mar‟waziy.
iv) Hebu tuwatazame maulamaa wa hadithi wanasema nini kuhusu
Husein? Je ni kweli hawamkubali kama anavyodai ndugu Juma? Au huo ni
uwongo wake alioubuni ili kuzihadaa akili za watu? Amesema Imamu Abu
Bakar Ahmad bin Muhammad Al-Ath‟ram; “Nilimuuliza Imamu Ahmad
bin Hanbal: unasema nini kuhusu Al- HUSAIN BIN WAQID? Akasema
“hana ubaya wowote kisha akamsifia sana”. Amesema Imamu Yah‟ya Ibn
Mai‟n: Husain ni “THIQA” (mwadilifu mwenye kuhifadhi vizuri).
Amesema Imamu Abu Zur‟a: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema
Imamu Al-Nasai: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema Imamu Abu
Daud: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema Imamu Ibn Sa‟d : Husain:
“alikuwa ni mwenye hadithi nzuri”. Amesema Imamu Ibn Hibbaan:
“alikuwa Husain ni miongoni mwa watu bora na mara nyingine hukosea
katika mapokezi”.638
Ndugu msomaji, kwa mujibu wa kauli hizi za maulamaa hawa wakubwa
wa hadithi, je ni kweli kwamba hawamkubali Husein kama anavyodai
ndugu Juma Al-Mazrui? Au Juma amekusudia kudanganya? Haya ni
machache katika mengi ya uwongo aliyoyajaza kwenye kitabu chake
alichokiita. 639
JAWABU
Vifungu hivi tutavijadili tutapoizungumzia riwaya ya „Ikrima katika sehemu
yake tukiifika in shaa Allah. Ama kuhusu “AL-MARUZI” na AL-
MAR‟WAZIY, na yalio mfano wa hayo, hayo tumeshayaelezea vya kutosha
katika juzuu ya kwanza: hatuna haja ya kuyakariri. Ama kuhusu utaalamu
wa Hadithi na mengineo, mimi si mtaalamu wa chochote: mimi ni mtu
ninayewapendelea watu wakijue kile nikijuacho tu. Mimi si mjuzi wa fani
638
- Tazama maelezo hayo yote katika vitabu vifuatavyo: Sualaatul-Ath‟rami ukurasa wa
61. Al-Jar‟hu wal-Ta‟adili juzuu ya 3 ukursa wa 306. Tah‟dhibul-Kamaal juzuu ya 6
ukurasa wa 493. Taarikhul-Duuriy juzuu ya 2 ukurasa wa 119. Taarikhu Abi Zur‟a ukurasa
wa 208. Tabaqaatu Ibn Sa‟d juzuu ya 7 ukurasa wa 371. Tah‟dhibul-Tah‟dhibi juzuu ya 1
ukurasa 543. Al-Taqribu, tarjama namba 1392. 639
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 60.
219
za elimu kama ulivyozama wewe, lakini usisahau tu kwamba ninao wajinga
wenzangu wengi katika fani hii ya kukosea kuyatamka majina, rejea katika
sura ya kwanza ya juzuu ya kwanza ya kitabu hiki ujikumbushe idadi ya
baadhi ya mambumbumbu wenzangu na jinsi walivyofanya makosa kama
na kuliko hayo! Kwa bahati mbaya wajinga hao wewe unawategemea kama
ni maimamu wako! Sasa wewe mwenyewe utakuwaje?
HADITHI ZA KUONEKANA KWA ALLAH
Baada ya kuyajadili maelezo ya Kasim Mafuta, sasa natuingie katika
maudhui yenyewe. Utakumbuka ndugu msomaji – kama uliwahi kukipitia
kitabu changu Hoja Zenye Nguvu – kwamba mbali na hoja za kilugha
tulizozijadili katika sehemu iliotangulia zenye kuzihusu Aya hizo: “Nyoso
siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu ni zenye kutazama”, watetezi wa
itikadi ya kumuona Allah pia walitoa hoja za kiriwaya kutoka kwa Mtume
(s.a.w.) na kutoka kwa tabi‟ina ambazo zimeifasiri Aya hio kuwa maana
yake ni kumuona Allah. Hata hivyo, Hadithi ilionasibishwa kwa Mtume
(s.a.w.) ni Hadithi moja tu. Hadithi moja hio – nayo ni Hadithi ya Ibn „Umar
kupitia kwa Thuwair bin Abi Faakhita – tumeielezea katika kitabu chetu na
kubainisha kuwa ni Hadithi ya uwongo kwa mujibu wa sanad na matn yake
zilivyo. Inavyoonesha ni kuwa Sheikh Kasim bin Mafuta kakubaliana na sisi
kwamba Hadithi hio ni ya uwongo, kwani katika jawabu yake alionijibu
hakuitolea hoja kamwe na badala yake akatoa hoja kwa riwaya ya „Ikrima.
Lau kama Sheikh Kasim bin Mafuta anaona kuwa Hadithi hio
ilionasibishwa kwa Mtume (s.a.w) ni sahihi, basi bila ya shaka
asingeliiwacha na kukimbilia kwa Ikrima. Hata hivyo, kwa kuwa kitabu hiki
ni zaidi ya jawabu, basi wacha tuzitazame riwaya hizo moja moja.
HADITHI YA IBN „UMAR
Hadithi hio inasema:
ر ٢ خ ػ ػ ي ك ه ـ ر أ ر ٤ ل ح ػ ي ك خ ر ذ ؼ خ ي و ح ه ح خ خ ا ػ ي ك ٣ ر ٤ حث ػ
ه ػ حر ػ ٣ ػ ه : خ خ هللا ٤ ػ ٠ هللا ٠ أ ى أ : ا ش ش ـ ح
ه ش ٢ ل أ ٠ ك ظ ٣ . ه ٤ ط ٣ هللا ؿ ٢ ك ظ ٣ ش ٠ ك أ : ا خ ال ط ػ خ
س خ ج ٣ ؿ ه ”: ر خ ٤ ز خ خ ه ،خء ل ح س “: خ خ خظ ر ه ”ا ٠ ٢ ك ٣ ظ ط “: خ
ؿ ػ هللا ؿ
Ametusimulia Ali bin Al-Husain bin Abjar, kasema: katusimlia Mus‟ab bin
Al-Miqdaam, kasema, katusimulia Israail bin Yunus kutoka kwa Thuwair
kutoka kwa Ibn „Umar, kasema : “ kasema Mtume (s.a.w) kuwa: „hakika
ya watu wa daraja ya chini kabisa katika pepo ni wale watakaotazama
220 ufalme wao (masafa ya) miaka elfu mbili; na wabora wao ni wale
watakaoitazama Dhati ya Mwenyezi Mungu kila siku mara mbili. Kisha
(Mtume baada ya kusema haya ) akasoma (Aya za 22-23 ya Suratu Al-
qiyama, zinazosema): “Kuna nyuso siku hio zitang‟aa”. Akasema: “kwa
sababu ya weupe wake na usafi wake”. “Kwa Mola wake ndiko
zinakotazama”. Akasema: zinatazama katika Dhati ya Mwenyezi Mungu
Mtukufu Aliyetukuka kila siku.
TAKHRIJ YA HADITHI
Riwaya hio kaipokea Imamu Al-Mufassirin Ibn Jarir Al-Tabari katika
Jaami‟u Al-Bayaan,640 Ibn Abi Shaiba katika Al-Musannaf,641
Al-Imamu
Ahmad bin Hanbal katika Al-Musnad,642
„Abdu bin Humaid katika Al-
Musnad,643
Abu Ya‟alaa katika Al-Musnad,644
Al-Baghawi katika Sharhu
Al-Sunna,645
Al-Hakim katika Al-Mustadrak,646
Al-Tirmidhi katika Al-
Sunan,647
Ibn Batta katika Al-Ibana,648
Ibn Mannda katika Al-Raddu „Alaa
Al-Jahmiyya,649
„Abdullah bin Ahmad katika Al-Sunna,650
Al-Ajurri katika
Shari‟a,651
Abu Shaikh katika Al-Adhama,652
Ibn Abi Al-Dunya katika
Sifatul Janna,653
na wengine.
WALIOITOLEA HOJA HADITHI HIO
Hadithi hio, baada ya kuwa imesimuliwa na wapokezi hao, wameijengea
hoja ya kuthibitisha kuonekana kwa Allah wanavyuoni kama: Ibn Kathir,654
Al-Tha‟alabi,655
Al-Tha‟aalibi,656
Al-Khaazin,657
Al-Tabari,658
Al-
640 - Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29, uk. 120.
641 - Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 7, uk. 34, Hadithi na. 34000.
642 - Ahmad Al-Musnad j. 2, uk.13 Hadithi na. 4623; uk. 64, Hadithi na. 5317.
643 - „Abdu bin Humaid Al-Musnad uk. 260, Hadithi na. 819.
644 - Abu Ya‟alaa Al-Musnad j. 10, uk. 96, Hadithi na. 5729.
645 - Al-Baghawi Sharhu Al-Sunna j. 7, uk. 497.
646 - Al-Hakim Al-Mustadrak j. 2, uk. 553, Hadithi na. 3880.
647 - Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 2476-3253.
648 - Ibn Batta Al-Ibaana j. 3, uk. 16.
649 - Ibn Manda Al-Raddu „Alaa Al-Jahmiyya uk. 54.
650 - „Abdullah bin Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 251, Hadithi na. 461.
651 - Al-Ajurri Al-Shari‟a j. 2, uk. 190.
652 - Abu Shaikh Al-‟Adhama j. 3, uk. 1111.
653 - Ibn Abi Al-Dunya Sifatul Janna uk. 35.
654 - Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhim j. 4, uk. 407.
655 - Al-Tha‟alabi Al-Kashfu WaAl-Bayaan j. 10, uk. 88.
656 - Al-Tha‟aalibi Al-Jawaahiru Al-Hisan j. 2, uk. 66.
657 - Al-Khaazin Tafsiru Al-Khaazin j. 6, uk. 195.
658 - Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 29, uk. 230.
221
Qurtubi,659
Al-Alusi,660
Al-Shaukaani,661
Al-Tuwaijri,662
Al-Laalakaai,663
„Ali Al-Faqihi,664
Ahmad bin Ibrahim bin Isa,665
Ibn Taymiyya,666
Ibn Al-
Qayyim,667
na wengine.
MATN YA HADITHI HIO
Lakini pamoja na yote hayo, ubatili wa Hadithi hio ni jambo lililo wazi. Na
hii, kama tulivyoelezea katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu, ni kwamba
kuna mgongano baina ya maelezo yaliomo katika Hadithi yenyewe, na Aya
ya Qur-ani iliotumika ili kuyapa ushahidi maelezo hayo. Mukhtasari wa
hayo ni kuwa, Hadithi inazungumzia kuwa watu huko peponi watamuona
Allah; hivyo ndivyo Hadithi inavyotongoa. Kisha Hadithi ikasisitiza itikadi
hio kwa Aya ya Qur-ani. Lakini cha ajabu ni kuwa ukitazama Hadithi na
Aya utaona kwamba kuna tafauti: Aya inazungumzia matukio yatayotukia
katika uwanja wa kiama; wakati Hadithi inazungumzia matukio ya peponi!
Na tunaambiwa kuwa haya ni maneno ya Mtume (s.a.w.)! Sasa vipi Mtume
(s.a.w.) azungumzie matukio yatayotukia peponi kisha ayatolee ushahidi
matukio hayo kwa Aya inayozungumzia matukio yatayojiri katika uwanja
wa kisimamo cha kiama kama hii si Hadithi ya kutunga!
SANAD YA HADITHI HIO
Ama kuhusu sanad ya Hadithi hio, basi ni balaa katika mabalaa makuu!
Katika sanad hio kuna Thuwair naye ni Thuwair bin Abi Faakhita. Anasema
Amru bin Ali: “Yahya na Abdul-Rahmaan walikuwa hawasimulii Hadithi
kutoka kwake”. Anasema Sufyaan Al-Thauri: “Thuwair ni katika nguzo za
uwongo”. Anasema Al-Duuri kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “(Thuwair ni)
Dhaifu”. Anasema Ibrahim Al-Juzajaani: “Hadithi zake ni dhaifu”. Anasema
Abu Zur‟a: “si madhubuti”. Anasema Abu Hatim: “dhaifu”. Anasema Al-
Nasai: “si mkweli”. Anasema Al-Daraqutni: “Hadithi zake zinawachwa”.
Anasema Al-Bukhari: “alikuwa Ibn „Uyeina akimtia kasoro”. Anasema Al-
Sakhtiyaani: “hakuwa mnyoofu”. Anasema Al-Haakim: “si madhubuti”.
659
- Al-Qurtubi Jaami‟u Li-Ahkaami Al-Qur-an j. 19, uk. 108. 660
- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟aani j. 29, uk. 145. 661
- Al-Shaukani Fat-hu Al-Qadiir j. 7, uk. 368. 662
- Humud Al-Tuwaijri Itihaafu Al-Jamaa‟a j. 3, uk. 308. 663
- Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Sunna j. 3, uk. 484. 664
- „Ali Al-Faqihi Al-Raddu Al-Qawiim j. 1, uk. 124. 665
- Ahmad bin Ibrahim bin Isa Sharhu Qasidati Ibn Al-Qayyim j. 2, uk. 482. 666
- Ibn Taymiyya Al-Istiqaama j. 2, uk. 108. Majmu‟a Al-Fataawa j. 6, uk. 424. 667
- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah uk. 226.
222
Anasema Ali bin Junaid: “Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Ibn
Hibbaan: “alikuwa akizibadilisha sanad mpaka akawa analeta katika Hadithi
zake vitu kama vya kutunga”. Anasema Al-Ajurri kutoka kwa Abu Daud:
“Ibn Mahdi kazikataa Hadithi zake”. Anasema Al-Juzajaani: “si mkweli”.
Na Al-‟Uqaili, Ibn Jarud na Abu Al-‟Arab Al-Saqali668
na wengineo
wamemtaja katika wapokezi dhaifu.669
Baada ya hayo, itakubainikia ndugu msomaji kwamba hii ni Hadithi ya
kutunga bila ya shaka yoyote, na hiki ndicho kinachothibitishwa na watu wa
tahqiiq na upekuzi. Anasema Al-Dhahabi kuhusu sanad hio akimjibu Al-
Hakim: “Bali yeye (Thuwair) Hadithi zake ni dhaifu sana”.670
Anasema Ibn
Hajar: “Na ndani yake (Hadithi hii) kuna udhaifu”.671
Na akasema:
“Wamekubaliana juu ya udhaifu wake (Thuwair)”.672
Anasema Ayman
Saalih Sha‟abaan: “Sanad yake ni dhaifu”.673
Anasema Al-Suyuti na Al-
Haythami: “Na katika sanad zao (zote) muna Thuwair bin Abi Faakhita,
naye wamekubaliana kwamba ni dhaifu”.674
Hadithi hio imedhoofishwa pia
na wanavyuoni kama: Shu‟aib Al-Arnaut,675
Muhaddithu Al-Qalami Wa Al-
Awraaq (Al-Albani),676
Ibn Rajab Al-Hanbali,677
Dr. Muhammad bin Sa‟id
Al-Qahtaani,678
Samiir Al-Zuhairi,679
na wengine.
668
- Katika vitabu vyengine kaandikwa Al-Siqali. 669
- Tazama Tahdhib Al-Tahdhib j. 2 uk. 32. 670
- Maelezo ya Al-Dhahabi katika Al-Talkhiis kayanukuu Mustafa „Abdil-Qadir katika
maelezo yake juu ya Al-Mustadrak cha Al-Hakim j. 2, uk. 553, Hadithi na. 3880. 671
- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 2, uk. 34. 672
- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 13, uk. 419. 673
- Jami‟u Al-Usul kilichohakikiwa na „Abdil Qaadir Al-Arnauut j. 10, uk. 532. 674
- Al-Suyuti Al-Jaami‟u Al-Kabiir uk. 7022. Al-Haythami Majma‟u Al-Zawaaid j. 10, uk.
741, Hadithi na. 18669. 675
- Shu‟aib Al-Arnaut Ta‟aliqihi „Alaa Musnad Ahmad Hadithi na. 4623. 676
- Al-Albani Sahihu Wa Dha‟iifu Al-Jaami‟i Al-Saghiir Wa Ziyaadaatih j. 1, uk. 331,
Hadithi na. 3305. Silsila Al-Dha‟iifa j. 4, uk. 450, Hadithi na 1985. 677
- Ibn Rajab Fat-hu Al-Bari j. 3, uk. 137. 678
- Al-Qahtaani Al-Sunna cha Ibn Ahmad j. 1, uk. 251, Hadithi na. 461. 679
- Al-Zuhairi Al-Tasdiiq Bi-Annadhar cha Al-Ajurri uk. 72.
223
RIWAYA ZA MAIMAMU KATIKA TAABI‟IIN
RIWAYA YA KWANZA
Riwaya ya kwanza inasema:
ػ ي ك ٤ خػ ا ر ي ل خ و ز ح ه ١ خ ه ى آخ ػ ي ك خ ػ ي ك خ ز خ ح ػ ى خ ؼ خ ٠ ــــط ه ٠ ك ل ح
) ج ٣ ؿ س ه ) خ خ ( ش : ك خ ر س ا ٠ ه ) خظ ا ظ ط خ ٠ ط خ أ ــ ن ـــك ن خ و ٠ ح
خ و خ ٠ ه ا ظ ط ٢
Ametusimulia Muhammad bin Ismail Al-Bukhari kasema: „ametusimulia
Adam kasema: „ametusimulia Al-Mubaarak kutoka kwa Al-Hasan
kuhusiana na kauli ya Mwenyezi Mungu inayosema: “Kuna nyuso siku
hio zitang‟aa” (akasema maana yake) zitapendeza. Na kauli ya Mwenyezi
Mungu inayosema: “kwa Mola wao ndiko zitakotazama,” kasema:
„zitamtazama Muumba, na ni haki yake zing‟ae nazo zinamtazama
Muumba wake”. 680
SANAD YA RIWAYA
Katika sanad ya riwaya hii yumo Mubarak (bin Fadhala) naye ni dhaifu,
tena anaghushi681
na Hadithi yake hapa ni mua‟na‟n.682
680
- Ibn Kathir Tafsiri Al-Quran Al-Adhim j. 4, uk. 407. Al-Tabari Jami‟u Al-Baya An j. 29,
uk. 119. 681
- Anasema Abdallah bin Ahmad mtoto wa Al-Imam Ahmad bin Hanbal: “aliulizwa baba
yangu kuhusu Mubarak na Al-Rabi‟u bin Subaih, akasema: „wamekaribiana sana, Mubarak
alikuwa akighushi”. Na akasema tena Abdallah mtoto wa Al-Imam Hanbal: “nimemuuliza
Ibn Ma‟iin kuhusu Mubarak, akasema: “Hadithi zake ni dhaifu; sawa sawa na Al-Rabi‟u
bin Subaih kwa udhaifu”. Anasema Abu Zur‟a: “alikuwa akighushi,” (yaani Mubarak).
Anasema Al-Ajurri kutoka kwa Abu Daud kasema: “na (Mubarak)” alikuwa akighushi”.
Na akasema tena: „alikuwa mkali wa kughushi”. Anasema Al-Nasai kwamba Mubarak ni
“Dhaifu”. Anasema Ibn Said kuwa Mubarak “amekufa mwaka 165 naye alikuwa dhaifu”.
Na akasema Ibn Hiban kuwa Mubarak “alikuwa akizikosea (Hadithi). Anasema Al-Saji
kuwa Mubarak “ndani yake kuna udhaifu”. Anasema „Uthman Al-Razi kuwa Mubarak
alikuwa “akighushi”. Tazama kitabu Tahdhib Al-Tahdhib j. 10 uk. 27. 682
- Hadithu mua‟na‟n ni Hadithi ambayo mpokezi wake hutumia neno: “An fulani ل ف ع
“Kutoka kwa fulani” nayo ni Hadithi dhaifu ikiwa itasimuliwa na mwenye kughushi.
Mubarak alikuwa ni mwenye kughushi, na hata asighushi, alikuwa dhaifu.
224
RIWAYA YA PILI
Riwaya ya pili inasema:
ر ٢ ػ ه ن ٤ ــ و ر ٤ ل ح ػ ي ك خ ؿ ( ش ـــــ ػ ػ ١ ـــل ح ي ٣ ٣ ػ ي حه ر ٤ ل خ ح
س ( ج ٣ خ خظ ر س ***ا ٠ ه خ ظ : ط خ ح ظ خ ر ا ٠
…….Ametusimulia Ali bin Al-Hasan bin Shaqiq kasema: „katusimulia Al-
Husain bin Waaqid kutoka kwa Yazid Al-Nahwi kutoka kwa „Ikrimah
kasema (kwamba kauli ya Mwenyezi Mungu inayosema): ؿ ج ٣
س س *** خ خظ خ ر ٠ ا (Kuna nyuso siku hio zitang‟aa” *** kwa Mola
wake (tu) ni zenye kutazama), maana yake: zitamtazama kweli kweli.683
SANAD YA HADITHI
Katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu tulisema kuwa riwaya hii ni dhaifu,
na udhaifu wake ni kuwa katika wapokezi wake yumo Husain Bin Waqid
naye ni dhaifu; wanavyuoni wa Hadithi hawakumkubali. Anasema Ibn
Hajar Al-Asqalaani: “Al-Husain bin Waqid Al-Mar-wazi, Abu Abdallah Al-
Qadhi alikuwa mkweli lakini anasahau na kukosea sana”. 684
Na akasema:
“amesema Ibn Hiban kuwa (Al-Husain bin Waqid) ni katika watu wema
lakini wakati mwengine hukosea katika Hadithi (zake)”. Na akasema Al-
Imamu Ahmad bin Hanbal: “katika Hadithi zake kuna ziada hata sielewi
nini”. Na akasema Al-Saji kuwa (Al-Husain bin Waqid) ni mtu wa
kufikiriwa, naye ni mkweli lakini anasahau na kukosea sana”. Na akasema
Al-„Uqaili katika kitabu chake Dhuafaau Al-„Uqailh:685
“katusimulia
Ahmad bin Asram bin Khuzaima kasema: „nimemsikia Al-Imamu Ahmad
bin Hanbal alipotajiwa Hadithi iliopokewa kotoka kwa Ayub bin Naafi
kutoka kwa Ibn Umar kutoka kwa Mtume (s.a.w.) , akauliza Al-Imamu
Ahmad bin Hanbal: „nani msimulizi wa Hadithi hii, akaambiwa Al-Husain
bin Waqid, akasema kwa mikono yake (akapangusa mikono yake na
kuashiria) na akatikisa kichwa chake kana kwamba hakumridhia”.686
Hayo kwa ujumla ndio maelezo nilioyatoa katika kitabu Hoja Zenye Nguvu.
Lakini nikapingwa na Sh. Kasim Mafuta kwa hoja ambazo baadhi yake
tumeshazijadili huko nyuma. Ama vipengele ambavyo hatukuvijadili katika
jawabu yake na ambavyo tuliahidi kuwa tutavijadili tutapoizungumzia
riwaya ya „Ikrima ni kama inavyofuata. Anasema Kasim bin Mafuta:
683 - Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29, uk. 119.
684 - Tazama Taqrib Al-Tahdhib uk. 169 tarjama na. 1358.
685 - J. 1, uk. 251.
686 - Ibn Hajar Tahdhib Al-Tahdhib j. 2, uk. 321.
225
1) Lau kama Husein angekuwa na makosa mengi ya kumfanya awe ni
dhaifu na asikubaliwe na wanavyuoni wa hadithi, kitaalamu
ingesemwa “Faahishul-ghalat” au “Kathirul-Khatai” au “Sayyiul-
Hifdhi” lakini maneno yaliyotumika hapo ni “Lahu Auhaam” (ana
makosa) na hiyo si sababu ya kumhukumu mpokezi kuwa ni dhaifu,
kwani ni nani asiyekosea na kutatizika?
2) Hebu tuwatazame maulamaa wa hadithi wanasema nini kuhusu
Husein? Je ni kweli hawamkubali kama anavyodai ndugu Juma? Au
huo ni uwongo wake alioubuni ili kuzihadaa akili za watu? Amesema
Imamu Abu Bakar Ahmad bin Muhammad Al-Ath‟ram; “Nilimuuliza
Imamu Ahmad bin Hanbal: unasema nini kuhusu Al- HUSAIN BIN
WAQID? Akasema “hana ubaya wowote kisha akamsifia sana”.
Amesema Imamu Yah‟ya Ibn Mai‟n: Husain ni “THIQA” (mwadilifu
mwenye kuhifadhi vizuri).
3) Amesema Imamu Abu Zur‟a: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema
Imamu Al-Nasai: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema Imamu
Abu Daud: Husain “hana ubaya wowote”. Amesema Imamu Ibn Sa‟d :
Husain: “alikuwa ni mwenye hadithi nzuri”. Amesema Imamu Ibn
Hibbaan: “alikuwa Husain ni miongoni mwa watu bora na mara
nyingine hukosea katika mapokezi”.687
Ndugu msomaji, kwa mujibu wa kauli hizi za maulamaa hawa wakubwa
wa hadithi, je ni kweli kwamba hawamkubali Husein kama anavyodai
ndugu Juma Al-Mazrui? Au Juma amekusudia kudanganya? Haya ni
machache katika mengi ya uwongo aliyoyajaza kwenye kitabu chake
alichokiita.688
Hayo ndio maelezo ya Kasim “ntotongwa” wa Mafuta, nasi tunasema kuwa
Sheikh Kasim umethibitisha kwamba kuna wanavyuoni waliosema kuwa
Husain ni thiqa na wanavyuoni waliosema kuwa hana ubaya. Je madai yako
hayo yameweza kupindua yale nilioyasema kwamba:
1) Ibn Hajar Al-‟Asqalaani anasema: “Al-Husain Bin Waqid Al-Mar-wazi,
Abu Abdallah Al-Qadhi alikuwa mkweli lakini anasahau na kukosea
sana”.689
2) Amesema Ibn Hibbaan kuwa: “(Al-Husain Bin Waqid) ni katika watu
wema lakini wakati mwengine hukosea katika Hadithi (zake)”.
687
- Tazama maelezo hayo yote katika vitabu vifuatavyo: Sualaatul-Ath‟rami ukurasa wa
61. Al-Jar‟hu wal-Ta‟adili juzuu ya 3 ukursa wa 306. Tah‟dhibul-Kamaal juzuu ya 6
ukurasa wa 493. Taarikhul-Duuriy juzuu ya 2 ukurasa wa 119. Taarikhu Abi Zur‟a ukurasa
wa 208. Tabaqaatu Ibn Sa‟d juzuu ya 7 ukurasa wa 371. Tah‟dhibul-Tah‟dhibi juzuu ya 1
ukurasa 543. Al-Taqribu, tarjama namba 1392. 688
- Kasim bin Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 60. 689
- Tazama Taqribu Al-Tahdhib uk. 169 tarjama na.1358.
226 3) Anasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “katika Hadithi zake kuna ziada
hata sielewi ni nini, na (Ahmad) akapangusa mkono wake”………
“Hadithi zake hata sijui ni kitu gani” na kwamba Ahmad alizikanusha
riwaya zake nyingi.
4) Na akasema Al-Saji kuwa (Al-Husain Bin Waqid) ni mtu wa kufikiriwa,
naye ni mkweli lakini anasahau na kukosea”. 690
5) Na akasema Al-‟Uqaili katika kitabu chake Dhuafaau Al-‟Uqaili:
“katusimulia Ahmad bin Asram bin Khuzaima kasema: „nimemsikia Al-
Imamu Ahmad bin Hanbal alipotajiwa Hadithi iliopokewa kotoka kwa
Ayub bin Naafi kutoka kwa Ibn Umar kutoka kwa Mtume (s.a.w.),
akauliza Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: „nani msimulizi wa Hadithi hii,
akaambiwa Al-Husain bin Waqid, akasema kwa mikono yake (akapangusa
mikono yake na kuashiria) na akatikisa kichwa chake kana kwamba
hakumridhia‟.691
Je kwa mujibu wa maelezo haya, Al-Imamu Ahmad atakuwa kamkubali
Husain bin Waaqid au hakumkubali? Na kwanini Al-‟Uqaili amtaje Husain
bin Waaqid katika Al-Dhu‟afaau (kitabu cha wapokezi dhaifu). Kwa hivyo
kwa ufupi ni kuwa, kanuni ni kuwa maelezo ya wanavyuoni wa wapokezi
yanapogongana kwa kawaida yanaletewa tafsiri, vyenginevyo kanuni ya
jumhur ni kuwa حـف وي ػ٠ حظؼي٣ (kumjeruhi mpokezi ndiko
kunakotangulizwa pasina kutangulizwa kwa kukubaliwa kwake). Na bila
shaka maelezo ya wanavyuoni hao ukiyasoma kwa kuyajumuisha basi
utayakuta yako wazi kwamba:
1) Husain bin Waaqid ni thiqa (mwenye kuaminika) yaani ni يم ك٢
.(mkweli katika nafsi yake) ل
2) Dhaifu katika hifdhi yake.
3) Na hii ina maana kwamba riwaya zake zinafaa katika Al-Shawaahid
wal-mutaaba‟aat: si anapopwekeka na riwaya au kwenda kinyume
na mpokezi aliye thiqa zaidi. Utakumbuka kwamba riwaya nyengine
ya „Ikrima imekataa kuonekana kwa Allah nayo ni riwaya
iliosimuliwa na „Abdu bin Humaid kama alivyoeleza Al-Hafidh Ibn
Hajar katika Fat-hu Al-Bari. 692
Ama madai yako kwamba:
Lau kama Husein angekuwa na makosa mengi ya kumfanya awe ni dhaifu
na asikubaliwe na wanavyuoni wa hadithi, kitaalamu ingesemwa
690
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2, uk. 321-22. 691
- Al-‟Uqaili Al-Dhu‟afaau j. 1, uk. 251. 692
- Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 15, uk. 9249, katika maelezo ya Hadithi na. 7434 na
zinazofuata. Anasema: هي أهؽ ػزي ر ك٤ي ػ ػش ؿ آه اخ حإ٣ش (Na „Abdu bin
Humaid kapokea kwa njia nyengine kutoka kwa 'Ikrima kwamba kakanusha suala la
kuonekana kwa Allah).
227 “Faahishul-ghalat” au “Kathirul-Khatai” au “Sayyiul-Hifdhi” lakini
maneno yaliyotumika hapo ni “Lahu Auhaam” (ana makosa) na hiyo si
sababu ya kumhukumu mpokezi kuwa ni dhaifu, kwani ni nani asiyekosea
na kutatizika?
Maneno yako hayo yananikumbusha ile ile hoja ya Imamu wako Al-Albani
kuhusu Hammad bin Salama! Ninasema: mpokezi aliyesemwa kuwa ni
“Faahishul-ghalat” au “Kathirul-Khatai” ni mpokezi dhaifu sana na kwa
hivyo riwaya zake hazipandi daraja hata kwa kupokewa kwa njia nyengine
ilio kama hio au ilio dhaifu kidogo. Ama mpokezi “Sayyiul-Hifdhi”, huyu
yeye daraja yake ya udhaifu ni tafauti na wawili waliotangulia na kwa hivyo
Hadithi yake inaweza kutumika ikiwa itapata nguvu kwa riwaya nyengine. Bali
lafdhi “Sayyiul-Hifdhi”, wengine wameifanya sawa na lafdhi fiihi dha‟af (ndani
yake kuna udhaifu) na lafdhi layyin (si madhubuti) na lafdhi fiihi maqaal (ndani
yake kuna usemi huu na ule) n.k.693
Ama mpokezi mwenye awhaam naye ni mwenye kuaminika, huyu Hadithi
yake inaweza kukubalika katika shawaahid, au ikiwa riwaya yake
haikugongana na riwaya ya thiqa. Kwa maana kwamba Husain bin Waaqid
udhaifu wake si mkubwa, na kwa hivyo Imamu wako Al-Albani kasema:
kisha (elewa kwamba huyu Husain) ndani yake kuna udhaifu kidogo”
694
na Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema katika kitabu Al-Taqriib kwamba (Al-
Husain bin Waaqid ni) “ni mwenye kuaminika, ana makosa mengi.695
Hayo ni maelezo ya Al-Albani, pamoja na hayo, Al-Albani anaona kuwa
Hadithi za Husain inawezekana zikafikia daraja ya hasan. Na hili alilolidai
Al-Albani kama lilikuwa ni sahihi, basi Al-Imamu Ahmad asingeliziwacha
riwaya zake nyingi. Lakini tukijaalia kuwa hilo ni sahihi, basi kwa hapa
bado lisingeliweza kutenda kazi kwani riwaya za „Ikrima juu ya maudhui hii
zimejigonga: wakati kuna riwaya hio ya kumuona Allah; riwaya yake ya pili
inakanusha jambo hilo.
Kwa hali yoyote ile, bwana Kasim bin Mafuta, cha kuzingatia hapa ni hiki:
1) Maneno ya Ikrima ni rai yake: si hoja ya Kisharia.
2) Riwaya ya Ikrima haikufikia daraja ya usahihi.
3) Riwaya ya Mujahid imefikia daraja ya usahihi.
4) Tukijaalia kuwa riwaya ya Ikrima nayo pia ni Sahihi, basi Ikrima
kapingwa na Mujahid na Abu Salih katika kuifasiri Aya hio.
693
- Tazama Ali bin Naaif Ibn Hajar Wa Manhajuhu Fii Al-Taqriib uk. 9. 694
- Si lazima ziwe nyingi zaidi. 695
- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 6, uk. 272.
228
5) Mujahid si kwamba kasema kuwa maana ya Aya hio ni kuwa
Waumini watangojea malipo tu, bali kasema: “Hakuna yoyote katika
viumbe wake atayemuona”.696
RIWAYA YA TATU
Riwaya ya tatu inasema:
ي ز ػ ر هللا ي ز ػ ر ي ؼ ٢ ػ ي ك ه ل ح ي ز ػ ر ي خ خ ه ػ ي ك خ ه ك ح ـ ػ ر خ أ ػ ي ك خ ػ ش ك
ش ٤ ط ػ ؿ ه ٢ ك ٢ ك ؼ ح ر ط ؼ خ ٠: س ا ٠ خ ج س ه خـــــ ٣ خظ ا ٠ هللا ل ظ ـــــــــ : ٣ خ
ـــ ر أ ٢ ٤ ـــــــل ط خ ٣يى ــ: ل طي حلر ه ي . ك ر ٢ ٤ ل ر ظ ظ ػ ر خ
حلرخ.
Amenisimulia Sa‟ad bin Abdllah bin Abdil-Hakam, kasema: „katusimulia
Khalid bin „Abdul-Rahman, kasema: „katusimulia Abu Arfaja kutoka kwa
Atiya Al-awfi (kasema) kuhusiana na kauli ya Mwenyezi Mungu
(inayosema): “nyuso siku hio zitangaa***Zikitazama kwa Mola
wake”. Kasema: „watakuwa wanamtazama Mwenyezi Mungu uoni wao
hauwezi kumzunguka kwa ukubwa wake naye uoni wake unawazunguka.
Basi hii ndio maana ya pale Mwenyezi Mungu aliposema kuwa: “macho
hayamdiriki (hayamfikii) naye anayadiriki (anayafikia).697
SANAD NA MATN KWA UFUPI
Riwaya hii inajenga hisia ya kuwa Mwenyezi Mungu ni kiwiliwili kikubwa
sana ambacho uoni wa kiumbe hauwezi ukakizunguka kwa jinsi
kilivyokuwa kikubwa! Hii ndio hisia ya wazi ambayo inajengwa na riwaya
hii, kama yanavyoonesha maneno yasemayo: “uoni wa viumbe hauwezi
kumzunguka kwa sababu ya ukuu wake”. Na hii – bila shaka – kama
haikuwa ni tashbihi ya wazi basi haichi kuwa ni tashbihi dhimniy.
Ama kuhusu msimulizi wa riwaya hii utamkuta ni „Atiyya Al-‟Awfi. Naye
ima atakuwa anatoa tafsiri yake mwenyewe ya vipi kaifahamu Aya hio, au
awe anadai kuwa kainukuu riwaya hio kutoka kwa mtu mwengine. Ikiwa ni
tafsiri yake basi hakuna upinzani kwani huo ni uoni wake na uoni wake ni
sawa na uoni wa mujtahid yoyote yule. Ama ikiwa anadai au itadaiwa kuwa
yeye kaisimulia tafsiri hio kutoka kwa mwengine, na hilo ndilo lililodhahir
696
- Al-Rabi‟u bin Habib Al-Jami‟u Al-Sahih j. 3, uk.323, Hadithi na. 855. Ibn Jarir Al-
Tabari Jami‟u Al-Bayan j. 29, uk. 229. Riwaya ya Al-Tabari ina sanad dhaifu sana, lakini
kama unavyoona Al-Rabi‟u kaipokea riwaya hio kwa sanad nyengine. 697
- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29, uk 120.
229
hapa, basi hilo lingelikubalika lau „Atiyya alikuwa ni msimulizi sahihi.
Lakini yeye mwenye ni dhaifu na ni mwenye kughushi.
Anasema Al-Imamu Muslim: “alisema Ahmad – na alitajwa „Atiyya Al-
‟Awfi - „Hadithi zake ni dhaifu…..na Hushaim alikuwa akizidhoofisha
Hadithi zake‟. Anasema Abu Zur‟a kwamba „Atiyya ni “layyin”.698
Anasema Abu Haatim: “dhaifu”. Anasema Al-Juzajaani: “mwenye
kukengeuka”.699
Anasema Al-Nasai “dhaifu”. Anasema Abu Dawud: “si
mtu wa kutegemewa”. Anasema Al-Saaji: “si hoja”. Na „Atiyya huyu
alikuwa akisimulia riwaya za Al-Kalbi – na Al-Kalbi ni katika wasimulizi
waliotuhumiwa kwa uwongo – basi yeye akawa anamwita “Abu Sa‟id” ili
watu wafikirie kuwa anamkusudia Sahaba Abu Sa‟iid Al-Khudri.700
Anasema Ibn Hajar: “ni mfuasi maarufu wa Masahaba anahifdhidhaifu
mashuhuri kwa kughushi vibaya”.701
HOJA ZA WALIOIFASIRI AYA HIO KUWA
MAANA YAKE NI KUNGOJEA
REHEMA YA ALLAH
Baada ya hayo, ndugu msomaji, sasa tazama hoja za walioifasiri Aya hio
kuwa maana yake ni kungojea rehema ya Allah au kungojea malipo yake na
kuingia peponi. Kwa kuanzia ni vyema kuelewa kwamba Aya hio
inazungumzia mambo yatayotokea katika uwanja wa kiama kabla ya watu
wema kuingia peponi na waovu kuingia motoni. Kwa mantiki hii, ikiwa
tutadai kwamba maana ya Aya hio ni kumuona Allah, basi kwa uwazi
kabisa kutakuwa na mgongano baina ya Aya hio na:
a) Hadithi ya Ibn „Umar ambayo imekuja kuifasiri Aya hio kwa
kusema: “watu wa daraja ya juu katika pepo ni wale
wataomuona Allah kila siku mara mbili”. Hadithi hii – kama
698 - Mpokezi Layyin kwa mujibu wa walio wengi ni mpokezi mwenye udhaifu mdogo
sana. Ama kwa istilahi ya Ibn Hajar, layyin ni mpokezi mwenye Hadithi chache na ambaye
hakukuthibiti ndani yake kitu ambacho anaachwa kwa sababu yake, basi huyo Hadithi yake
inakuwa layyin akiwa atapwekeka nayo, na atakuwa maqbul (anakubalika) ikiwa Hadithi
hio wataipokea wapokezi wengine. Lakini – kwa hali yoyote ile – mpokezi mwenye sifa
kama hizi alizozitaja Ibn Hajar ni mpokezi majhul ikiwa wanafunzi wake au Maimamu
wakuu walioishi zama zake hawakusema kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika). 699
- Wengine huyafasiri maneno haya kuwa maana yake ni mwenye kukengeuka kutokana
na uadilifu akawa yeye kachupa mipaka; na wengine husema kuwa maana yake ni kuwa
kakengeuka kutokana na Sunna. 700
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 200-202, tarjama na. 417. 701
- Ibn Hajar Ta‟arifu Ahli Al-Taqdiis Bi Maraatibi Al-Mawsufiin Bi Al-Tadlis uk. 50,
tarjama na. 122.
230
unavyoona – inanena kwa uwazi kwamba maana ya Aya hio
ni kumuona Allah katika pepo.
b) Hadithi iliokuja kulifasiri neno ziada ililotajwa katika Surat
Yunus kuwa maana yake ni kumuona Allah, ambapo Hadithi
hio ya Suhaib pia nayo inasema kuwa kumuona Allah ni
baada ya kuingia peponi.
Nukta (a) iko wazi kabisa, kwani ikiwa Hadithi hio imekuja kutoa tafsiri ya
Aya ya hio: “kwa Mola wake tu (nyuso hizo) zitatazama”, basi natija ni
kuwa hakukuwa na mshikamano baina ya Aya hio na Hadithi kwani Hadithi
inasema kwa uwazi kwamba kumuona Allah huko kutakuwa peponi, wakati
Aya inazungumzia mambo yatayojiri katika kisimamo cha kiama kabla ya
wema kwenda peponi na waovu kwenda motoni.
Ama nukta (b), ubainifu wake ni kuwa Hadithi iliokuja kuifasiri ziada
iliotajwa katika Surat Yunus kuwa maana yake ni kumuona Allah inatoa
sharti kwamba ziada hio ya kumuona Allah itapatikana katika pepo baada
ya kuwa watu wameshaingia humo. Utakumbuka kwamba hadithi hio
inayohusiana na ziada iliotajwa katika Surat Yunus imekuja kwa mfumo wa
sharti kwa kutumia herufi اح idhaa (watapo), yaani watapoingi peponi hapo
ndipo hilo la kumuona Allah litapopatikana, ikimaanisha kwamba
kuonekana huko kwa Allah kutatokea baada ya kuingia kwao peponi; na hii
bila ya shaka inamaanisha kwamba kabla ya hapo hawatomuona Allah. Na
kwa hivyo, kutoa ushahidi wa kumuona Allah kwa kutumia Aya zenye
kuzungumzia matukio yatayotukia katika kisimamo cha kiama ni kinyume
na ushahidi uliomo katika riwaya hio iliokuja kulifasiri neno ziada lililomo
katika Surat Yunus.
Ukiniambia: “aaa hio hoja yako imejengeka katika mafhumu al-
mukhaalafa”, na hii ni kuwa Hadithi hizo zinaonesha kuwa watu
watamuona Allah wakiingia peponi, lakini hazijakataa kuwa watamuona pia
kabla ya hapo. Nitakujibu kwamba:
1) Ni kweli! Lakini:
a) Ni mafhumu sharti: nayo ni hoja sahihi pamoja na kuwa
haitumiki katika itikadi lakini hayo ni pale inapokosa chenye
kuipa nguvu. Ama kwa hapa yapo yenye kuipa nguvu kama
utavyoona katika maelezo (b) na (c). Naam! Kuna khilafu baina
ya wanavyuoni juu ya kuwa je ikikosekana shart na mashrut
231
nayo hukosekana au vipi?702
Lakini dalili za nguvu zinaonesha
hivyo kwamba ikikosekana shart na mashrut nayo hukosekana.
b) Hakuna dalili nyengine sahihi (na zote si sahihi) yenye
kutegemewa na watetezi wa itikadi ya kumuona Allah yenye
kunena kwa uwazi kwamba kumuona Allah huko kwenye
kudaiwa kutatokea katika kisimamo cha kiama.
c) Kwa hivyo, ikiwa hakuna ushahidi wenye kuthibitisha
kuonekana kwa Allah katika kisimamo cha kiama, na Hadithi
mbili tulizozinukuu kabla zimesema kuwa kuonekana kwa Allah
ni ndani ya pepo, basi ni wazi kwamba kuna mgongano baina ya
Hadithi hizo na Aya – yaani ikiwa tutadai kuwa Hadithi ya Ibn
„Umar ni tafsiri ya Aya hio – ambapo Hadithi zinasema kuwa
Allah ataonekana peponi wakati Aya inazungumzia mambo
yatayojiri katika kisimamo cha kiama.
2) Ni kuwa tunachokizungumzia sisi hapa ni kuwa kuifasiri Aya
isemayo: “Nyuso siku hio zitang‟ara**Kwa Mola wake tu ndiko
zitakotazama”, kuwa maana yake ni kumuona Allah peponi ni
kinyume na Aya yenyewe inavyoonesha: Aya inazungumzia mambo
ya kisimamo cha kiama, haiwezi kuwa ni dalili ya kumuona Allah
peponi. Kilichobaki ni kuwa ikiwa Aya hio haiwezi kuwa ni dalili
ya kumuona Allah peponi, je inaweza ikawa ni dalili ya kumuona
Allah katika kisimamo cha kiama? Hilo utalijua katika mjadala huu
in shaa Allah.
Ukiniambia: “aaa lakini neno idhaa ni dharfu ambayo mara nyengine
humaanisha wakati uliopita, na katika hali hii inakuwa ndani yake hakuna
maana ya sharti”. Nitakujibu: “kweli lakini maana hiyo inahitaji qarina
kwani ni kinyume na matumizi ya asili ya neno idhaa; neno idhaa kiasili ni
dharfu limaa yustaqbalu min al-zamaan yatadhammanu ma‟ana al-shart (ni
chombo chenye kuonesha wakati ujao na ndani yake kinabeba maana ya
sharti). Ninasema: bali – pamoja na hayo – qarina katika hadithi hio ni
kinyume na hivyo ulivyodai wewe.
Sasa kama umelielewa hilo, basi utakuwa umeelewa kwamba kuna
mgongano wa wazi baina ya Aya hio kwa upande mmoja; na hadithi ya Ibn
„Umar pamoja na hadithi ya ziada kwa upande wa pili, kwani wakati Aya
hio ya Suratul Qiyaama inadaiwa kuwa maana yake ni kumuona Allah, basi
kuonekana huko ni lazima kutakuwa kabla ya kuingia peponi; wakati
hadithi ya Ibn „Umar iliokuja kuifasiri Aya hio na hadithi ya ziada iliokuja
702
- Ibn Hajar Tabaqaatu Al-Mudallisin uk. 50.
232
kuifasiri Aya ya Surat Yunus zinaonesha kuwa kuonekana kwa Allah
hakuwi isipokuwa katika pepo!
Tumebakiwa na kutoa ushahidi wenye kuonesha kwamba Aya za Suratul
Qiyaama zinahusiana na kisimamo cha siku hio kabla ya waovu kwenda
kwenye adhabu na wema kwenda kwenye rehema ya Allah. Tunasema: ama
chenye kuonesha kuwa Aya hizo zinazungumzia mambo yanayojiri katika
kisimamo cha kiama ni:
1) ukweli kwamba sibaaq ya Aya zake inazungumzia mambo ya
qiyaama. Sura imeanza kwa kusema: “Naapa kwa siku ya
qiyaama”.703
Kisha zikafuata Aya kadha wa kadha zenye
kuzungumzia ufufuo na matukio ya kiama na mengineo kisha ndio
zikaja Aya zinazosema: س خ ج ٣ ؿ (Nyuso siku hio
zitang‟aa)** س خ خظ ر ا ٠ (Kwa Mola wake tu ni zenye kutazama).
Lafdhi idhin iliomo katika neno ج ٣ yaumai-idhin inaitwa: ط٣
tanwin ya kuifidia sentensi ilioondoshwa au sentensi ػ ػ حـش
zilizoondoshwa na ambazo zimetangulia kutajwa. Mukhtasari wa
sentesi hizo zilizoondoshwa unaingia chini ya maneno haya: “siku
ambayo yatatukia matukio hayo”. Na siku iliotajwa katika sibaaq ni
siku ya kiyama. Ni wazi, kwa maana hio, kwamba Aya hizo
zinazungumzia matukio ya siku ya kiama kama inavyoonesha sibaaq
yake hususan utapoifungamanisha na lafdhi hio idhin iliomo katika
neno ج ٣ yaumai-idhin (siku hio). Na hii ni kwa sababu kutumika
kwa neno yaumai-idhin (siku hio) kunatoa dalili ya wazi kwamba
inayozungumziwa ni siku moja maalumu. Na hii haiwezekani
ikafasiriwa vyengine ila tuseme ni siku ya kiama. Na kwa hivyo,
tukiwa tutadai kuwa makusudio ya neno yaumai-idhin (siku hio) ni
siku ya kuingia peponi basi, mbali na kuwa ni kinyume na ushahidi
wa siyaaq na sibaaq, maana pia haitonyooka. Na hii ni kwa sababu
kule kumuona Allah kila siku kunakodaiwa hakutopatikana katika
Aya hio, kwani neno yaumai-idhin (siku hio) halioneshi kuwepo
kwa hali ya kujikariri, bali linaonesha siku moja maalumu ambayo
imetangulia kutajwa.
2) Pili ni qarina katika siyaaq ya maneno yaliomo katika Aya za pili
ambazo zimeletwa kwa mfumo wa muqabala ili kuonesha maana
ilio kinyume na maana ya Aya za kwanza. Aya za pili zinasema:
س ر خ ج ٣ ؿ (Na nyuso nyengine siku hio zitakunjana)** ط ظ
س خ ك خه ر ٣ ل ؼ Zikitazamia (au zikijua) kwamba zitafanywa) أ
chenye kuivunja uti wa mgongo). Lau ilikuwa Aya hizi
hazizungumzii mambo yanayojiri katika uwanja wa kiama kabla ya
703
- Sura 75, Aya 1.
233
wema kwenda peponi na wabaya kwenda motoni, basi Aya
isingelisema: “ Zikitazamia (au zikijua) kwamba zitafanywaط ظ
chenye kuivunja uti wa mgongo)”, kwani hakuna haja ya kuwa
zitazamie kufikwa na balaa hilo baada ya kuwa jambo hilo
limeshawafikia. Ni wazi kwamba wao walikuwa wakitazamia kitu
ambacho kitatokea: si kilichokwisha kutokea. Na hili haliwezekani
kamwe ila ikiwa wanayatazamia hayo katika kisimamo cha kiama
kabla ya kwenda kwenye adhabu.
Ukiniambia “aa neno tadhunnu pia lina maana ya yakini, na maana ni kuwa
watakuwa na yakini kuwa watafikwa na adhabu. Na yakini hii haipatikani
ila baada ya kuingia motoni!” Ukiniambia hivyo, na sidhanii kwamba
utaniambia hivyo kwani hakuna aliyedai hivyo, nitakujibu kwamba:
a) hata tukilifasiri neno hilo kuwa maana yake ni yakini basi maana ni
kuwa watakuwa na yakini kwamba watafikwa na adhabu hio,
ikimaanisha kwamba bado adhabu hio bado haijawafika. Na hii ina
maana ile ile kwamba bado wapo katika kisimamo cha kiama.
b) Herufi an iliomo katika maneno yasemayo ٣ ل ؼ an yuf‟ala أ
inaikataa tafsiri yako hio, kwani herufi an inaingia katika kitendo
kinachokuja.704
Natija ya mjadala huu ni kuwa kama imethibiti kwamba Aya hio
inazungumzia matukio yatayotukia katika kisimamo cha kiama, basi
utakuwa umeelewa kwamba kuna mgongano mkubwa baina ya itikadi ya
kuonekana kwa Allah kwa kutumia ushahidi wa Aya hio ya Suratul
Qiyaama na kwa kutumia ushahidi unaopatikana katika Aya ya ziada iliomo
katika Surat Yunus, kwani Aya ya Suratul Qiyaama inawahusu watu wa
kisimamo cha kiama kabla ya kuingia peponi na motoni, wakati riwaya
iliokuja kulifasiri neno ziada lililomo katika Surat Yunus inasema kwamba
kuonekana kwa Allah ni baada ya kuingia peponi. Riwaya hio inasema:
هخ ))٣ أكح حل٠ ٣خىس((ػ ٤ذ ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ ك٢ ه ط ؼ خ ٠
ز٤ ـ هخح أ طــــحـش خى خى ا ػي هللا ػيح ٣٣ي أ ٣ـ حـش اح ىه أ
هللا ٣ؼطح ٤جخ أكذــــخد هخ كـــــحـش هخ ك٤ق حل طيهخ خــــؿخ طـخ ح
ا٤ حظ ا٤
……Kutoka kwa Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w. kasema) kuhusiana na
kauli ya Mwenyezi Mungu inayosema “wale waliofanya mema watapata
mema yao na ziada,” kasema (Mtume (s.a.w.): „watapoingia watu wa
peponi katika pepo atanadi mwenye kunadi: hakika ya nyinyi muna ahadi
kwa Mwenyezi Mungu anataka kukutekelezeeni‟. Watasema: „kwani
704
- Yaani ikifuatana na fi‟ilu mudhaariu.
234 hukuzing‟arisha nyuso zetu na kutuokoa na moto na ukatuingiza peponi?‟
Kasema: „basi ataondoa pazia basi naapa kwa jina la Allah hawajapewa
kitu bora kuliko kumtazama Yeye‟.705
Ndugu msomaji izingatie vizuri Hadithi hii. Hadithi inasema kwamba watu
wa peponi watapoingia peponi basi wataambiwa kwamba Allah ana ahadi
anataka kukutekelezeeni. Hii ina maana kwamba kabla ya hapo wakati wa
kutekelezwa kwa ahadi hio ulikuwa bado haujawadia. Kisha ikabainisha
kuwa ahadi yenyewe ni kumuona Allah. Kisha baada ya pazia kuondoshwa
na wakamuona basi waliona jambo ambalo hawajapewa kuliko hilo kwa
uzuri wake. Ni wazi kabisa kwamba hii ilikuwa ni mara ya mwanzo
kumuona Allah kwa mujibu wa riwaya hii, ndio maana mwenye kunadi
akasema kwamba sasa munataka kufikishiwa ile ahadi na wao wakaona kitu
ambacho hawajapata kupewa mfano wake. Lau walimuona kwenye
kisimamo cha kiama – kama zilivyofasiriwa Aya za Suratul Qiyaama – basi
maneno “basi naapa kwa jina la Allah hawajapewa kitu bora kuliko
kumtazama Yeye” yasingelikuwa na maana. Natija ni kuwa kuna
mgongano baina ya kutoa ushahidi wa kuonekana kwa Allah kwa kutumia
Aya za Suratul Qiyaama na Aya iliotaja ziada ililomo katika Surat Yunus,
kwani:
a) ile inahusiana na matukio yatayotukia katika kisimamo cha siku ya
kiama kabla ya wema kwenda peponi na waovu kwenda motoni.
b) hii imefasiriwa na riwaya yenye kuonesha kutukia kwa tukio la
kumuona Allah peponi baada ya wema kuingia humo.
MUQABALA WA KIBALAGHA
Miongoni mwa hoja za walioifasiri Aya ya Suratul Qiyaama kuwa maana
yake ni kungojea rehema ya Allah, ni qarina ya kuwepo kwa Muqabala
katika Aya za Sura hio. Muqabala ni neno la Kiarabu lenye kumaanisha
muelekeano. Lakini mara nyingi maana inayokusudiwa katika fani ya
balagha ya Kiarabu ni kumaanisha kinyume (opposite). Katika kitabu Hoja
Zenye Nguvu tulikuwa tumetoa mifano miwili mitatu ili kumrahisishia
msomaji wa kawaida kuweza kuifahamu maudhui hii kwa urahisi. Mifano
ambayo tuliitoa ni hii ifuatayo:
ػ٠ حئ٤***أػس ػ٠ حخك٣أش
705
- Al-Imamu Muslim Sahihu Muslim Bisharhi Al-Imami Al-Nawawi j. 2 uk. 297 Hadithi
na. 297.
235
Ni wapole kwa Waumini (wenzao)***Ni wakali kwa makafiri”. 706
Utaona hapa kwamba neno “wapole” linakabiliana na neno “wakali” nalo
ni kinyume chake; neno “Waumini” linakabiliana na neno “makafiri” nalo
ni kinyume chake. Na kwa ujumla maana ya kwanza ni kinyume na maana
ya pili.
Mfano wa pili ni Aya inayosema:
٣ل حط٤زخص****٣ل ػ٤ حوزخثغ.
Anawahalalishia mambo mazuri ** na anawaharamishia mambo
mabaya.707
Tazama jinsi maneno yalivyooana. Neno “anawahalalishia” linakabiliana
na neno “anawaharamishia” nalo ni kinyume chake; maneno “mambo
mazuri” yanakabiliana na maneno “mambo mabaya ,” nayo ni kunyume
chake: kila moja ni kinyume na mwenzake, na maana ya ujumla ni
kinyume – anawahalalishia mazuri na kuwaharamishia mabaya.
Mfano mwengine ni Aya:
٣ؿ كظ*** ٣وخك ػحر
Na wanatarajia rehema yake*** na wanaogopa adhabu yake.708
Tazama muowano wa maneno. Neno “wanatarajia” linakabiliana na neno
“wanaogopa” nalo ni kinyume chake709
na maneno “rehema yake”
yanakabiliana na maneno “adhabu yake” nayo ni kinyume chake.
Mfano mwengine:
كؤخ أػطخ حطو٠ يم رخل٠ ك٤ ٤
Ama yule atakayetoa na kumcha Mungu na akayasadiki yaliyo mema,
basi huyo tutamrahishia kwa kumpeleka kwenye wepesi.710
Halafu baada ya Mwenyezi Mungu kusema hivyo, akaleta Aya nyengine.
Sasa tazama jinsi maneno ya kwaza yanavyoowana na yapili:
706
- Sura ya 5 Aya ya 54. 707
- Sura ya 7 Aya 157. 708
- Sura ya 17 Aya ya 57. 709
- Kwani kutarajia ni kutazamia kheri; na kuogopa ni kutazamia shari. 710
- Sura ya 92 Aya ya 5-7 .
236
أخ رو حظـ٠ د رخل٠ ك٤ ؼ
Na ama yule atayefanya ubakhili na akafanya kibri na wakakanusha
yaliyo mema, tutamrahisia kwa kumpeleka kwenye uzito.711
Katika Aya hizo zote sehemu ya mwanzo ya Aya ni tofauti na sehemu
yake ya pili, nayo ni kinyume chake, na kila neno linaelekeana au
linakabilana na mwenzake kimaana. Huu ndio mukabala wa balagha ya
Kiarabu: yatapotajwa maneno fulani kisha yakaletwa mengine
yanayokabiliana na hayo yaliyotajwa mwanzo kimaana basi ni lazima
yawe maneno ya kwanza ni kinyume na maneno ya pili.
Na wakati mwengine huwa mukabala ni baina ya neno moja na jengine tu.
Hii kielimu huitwa حطزخم Attibaaq”. Kwa mfano:
٣ل٢ ٤٣ض
Anahuisha na anafesha.712
Mfano mwengine ni Aya kama:
حظخص***ا ٠ ح
Kutoka kwenye kiza***kwenda kwenye nuru.713
Mfano mwengine ni Aya:
خ ٣ظ١ حلػ٠ حز٤
Na hawawi sawa: kipofu na anayeona.714
Mfano mwengine ni Aya:
طلز أ٣وخظخ هى
Utawadhania kwamba wako macho nao wamelala.715
Katika Aya hizi zote, utaona kila panapotajwa neno moja au Aya moja au
kikundi kimoja cha Aya halafu pakatajwa mukabala wake basi ni lazima
neno hilo linakuwa kinyume ya lile lililotangulia. Hiki ndicho ambacho
wanavyuoni wa lugha ya Kiarabu wanachokiita حوخرش al-muqabala (yaani
muelekeano au kinyume) ikiwa kukabiliana huko ni baina ya maana na
711
- Sura ya 92 Aya ya 8-10. 712
- Sura ya 7 Aya ya 158. 713
- Sura ya 2 Aya ya 257. 714
- Sura ya 35 Aya ya 19. 715
- Sura ya 18 Aya ya 18.
237 maana nyengine; na huita حطزخم al-tibaaq ikiwa kukabiliana huko ni baina
ya neno moja na jengine.
Na wakati mwengine huwa neno moja haliowani kabisa na neno la pili
katika mukabala wake, yaani huwa halina maana iliokinyume na neno la
pili. Katika hali hii neno moja hufasiriwa kwa kuliletea maana inayooana
na mwenzake. Namna hii hutumika sana katika mithali خحـ . Kwa mfano:
كخظلزح حؼ٠ ػ٠ حي
Wakaona bora upofu kuliko uwongofu.716
Tazama neno “upofu” haliyowani na neno “uwongofu” kimaana, bali
kipofu kinyume chake ni mwenye kuona. Lakini hapa makusudio si kipofu
wa macho bali ni kipofu wa moyo naye ni mpotofu ambaye hapa
kafananishwa na kipofu kwa jinsi alivyokuwa hauoni uwongofu. Kwa
hivyo katika hali hii neno “upofu” ni lazima lifasiriwe, na katika
kufasiriwa huku ni lazima lifasiriwe tafsiri ambayo itaoana kimaana na
neno la pili nalo ni “uwongofu,” ili upatikane al-almuqabala au al-tibaq.
Na ili al-mukabala au al-tibaq upatikane hapa, basi ni lazima neno “upofu”
lifasiriwe kuwa maana yake ni “upotofu” ili liwiyane kimaana na neno
“uwongofu”. Kwa hivyo tafsiri itakuwa hivi: “wakaona bora upotofu
kuliko uwongofu”. Neno “upotofu” katika tafsiri hii linakabiliana na neno
“uwongofu” nalo ni kinyume chake. Namna hivi ndivyo ilivyo fani ya
balagha ya Kiarabu.
Hayo ndio nilioyanena katika kitabu Hoja Zenye Nguvu ikiwa kama ni
mifano itayomuwezesha msomaji wa kawaida kuyafahamu maudhui. Sasa
baada ya hayo tazama tafsiri zote mbili – tafsiri ya kuifasiri Aya hio kuwa ni
kumuona Allah na tafsiri ya kuifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kungojea
malipo yake – je ni tafsiri gani ambayo inakwenda sambamba na kanuni hio
ya muqabala? Nilisema:
….Hapa katika Suratul Qiyama kuna makundi mawili: kundi la watu
wema na kundi la watu wabaya : yanakabiliana kimaana. Aya inaanza kwa
kutaja habari za watu wema kwa kusema:
س ج ٣ ؿ س *** خ خ خظ ر ا ٠
(Kuna) nyuso siku hio zitang‟aa***Kwa Mola wake tu (zitakuwa)
zinatazama.717
716
- Sura 41, Aya 17. 717
- Sura 75, Aya 22.
238 Hili ni kundi la kwanza. Halafu zikaja habari za nyuso za watu waovu
ambazo kimaana zinakabiliana na hizo za mwanzo. Sasa tazama mukabala
baina ya kundi la kwanza na kundi la pili. Anasema Mwenwezi Mungu:
ؿ ٣ج رخس *** طظ أ ٣لؼ رخ كخهس
Na (kuna) nyuso siku hio zitakunjana***Zinatazamia kufikiwa na
balaa kubwa lenye kuikata uti wa migongo yao.718
Kwa hivyo, kama tutafasiri kuwa nyuso za watu wema zinamuona
Mwenyezi Mungu basi maana itakuwa hivi: “kuna nyuso siku hio
zinamuona Mwenyezi Mungu na kuna nyuso nyengine zinatazamia
kuteremkiwa na adhabu”. Tazama jinsi tafsiri ilivyokuwa haioani, na jinsi
mukabala wa balagha ya Kiarabu unavyopotea – nyuso za watu wema
zinamuona Mwenyezi Mungu wakati za watu wa baya zinatazamia
kuteremkiwa na adhabu! Tukiutafuta mukabala katika Aya hii na
kuuchambua katika tafsiri hii tutapata kuwa maneno “nyuso za watu
wema” yanakabiliana na maneno “nyuso za watu waovu” nayo ni kinyume
chake sawa sawa, lakini maneno “zinamuona Mwenyezi Mungu” katika
nyuso za watu wema hayakabiliani na maneno “zinatazamia kuteremkiwa
na adhabu” yaliyopo katika nyuso za watu wabaya. Tazama jinsi tafsiri hio
inavyopoteza mukabala jambo ambalo hata viumbe wenye elimu ya
balagha haliwapiti!
Kisha baada ya hapo, geuka uitazame tafsiri ya pili ya kuifasiri Aya hio
kuwa maana yake ni kungojea rehema ya Allah. Tazama jinsi mukabala
unavyopatikana ikiwa tutaifasiri Aya hio hivyo, ambapo tafsiri itakuwa
hivi: “kuna nyuso zinangojea rehema ya Mwenyezi Mungu” na “kuna
nyuso zinatazamia kuteremkiwa na adhabu”. Tazama jinsi tafsiri
inavyokuja sawa na maana zinavyokabiliana na mukabala unavyopatikana
baina ya maneno “zinangojea rehema” na maneno “zinatazamia adhabu”.
Hawa hawajaingia motoni na hawa hawajaingia peponi: bali hawa
wanatazamia adhabu na hawa wanatarajia rehema. Hii ni hoja ya kwanza
ya kilugha ambayo iko wazi kwa kipofu seuze mwenye macho; na kwa
mjinga sikwambii aliyesoma.
Hayo ndio maelezo ya Juma Mazrui katika kitabuche Hoja Zenye Nguvu.
Lakini Juma Mazrui akajibiwa na Sheikh Kasim bin Mafuta kwa maelezo
yafuatayo. Anasema Sheikh Kasim bin Mafuta:
Majibu yetu yatakua katika masuala mawili: Suala la kwanza ni kuhusu
Muqaabala, sisi tunasema kwamba: kuitafsiri aya hii kwa maana ya (انقاتهة)
kumuona Allah hakuupotezi muqaabala, bali muqaabala upo isipokuwa
718
- Sura 75, Aya 23.
239 Juma hakuutaka kwa sababu ni kinyume na itikadi yake, na yeye huwa
anatanguliza kwanza itikadi yake kisha mambo mengine yatapimwa na
anavyoitakidi, jambo likiafikiana na itikadi yake, hilo litakuwa ni zuri na
linafaa hata kama ni baya lisilofaa, na kama haliafikiani na itikadi yake
basi hilo ni baya na halifai hata kama ni mafundisho ya Mtume –swalla
llaahu alayhi wasallam-, na mpokezi anayekubalika ni yule anayepokea
riwaya ya kuipa nguvu itikadi yake hata kama ni dhaifu, na yule
anayepokea kinyume na itikadi yake huyo ni dhaifu, mwongo, na
anaghushi! Na umeshayaona pale alipomzulia Ibn Hajar ili amdhoofishe
mpokezi mkweli anaekubalika (Husein Al-Waqidiy) na Inshaallah hayo
utayaona kwa wingi huko mbeleni.
Sisi hapa tunasema kwamba: Nyuso za watu wema siku ya Qiyama
zitang‟ara. Kwa sababu watu wema watakua katika neema kubwa ya
kumuona Mola wao. Na nyuso za watu waovu zitajikunja. Kwa sababu
watu waovu watakua katika adhabu kali na huku wana yakini kwamba
watafikwa na adhabu kubwa kuliko hiyo. Kwa hiyo watu wema nyuso zao
zitatoa nuru. Na watu waovu nyuso zao zitakunjana. Watu wema watakua
katika neema kubwa. Na watu waovu watakua katika adhabu kali. Na huu
ndiyo Muqaabala wenyewe, ambao Juma hakuutaka kwa sababu
unapingana na itikadi yake ya kiibadhi. Imamu Al-Aluusiy katika tafsiri
yake “Ruhul-Ma‟aniy” juzuu ya 29 ukurasa wa 75 anaitilia nguvu hoja hii
kwa kusema:
ؿخ٣ش ح حؼش ؿخ٣ش ي زلخ حد ا٠ حظ وخرش ك٠ ر ٣لؼ خ أ ي طلو٤ن
....حوش
Na uthibitisho wa hilo ni kuwa yale wanayofanyiwa hao (waovu) ni
muqaabala wa kumtazama Mola –Sub‟haanah- kwa kuwa hilo ni ukomo
wa neema, na hili (wanalo fanyiwa waovu) ni ukomo wa mateso.719
Hayo ndio maelezo ya Sheikh Kasim Mafuta, nayo si maelezo madhubuti
kamwe, bali yametokana na ukaidi wake. Kwa kweli ni ajabu ilioje kwa mtu
huyu kusema:
….isipokuwa Juma hakuutaka kwa sababu ni kinyume na itikadi yake, na
yeye huwa anatanguliza kwanza itikadi yake kisha mambo mengine
yatapimwa na anavyoitakidi, jambo likiafikiana na itikadi yake, hilo
litakuwa ni zuri na linafaa hata kama ni baya lisilofaa, na kama haliafikiani
na itikadi yake basi hilo ni baya na halifai hata kama ni mafundisho ya
Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam-, na mpokezi anayekubalika ni yule
anayepokea riwaya ya kuipa nguvu itikadi yake hata kama ni dhaifu, na
719
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 63-64.
240 yule anayepokea kinyume na itikadi yake huyo ni dhaifu, mwongo, na
anaghushi!
Haya ni maneno ya ajabu sana kwa kila aliyekisoma kitabu cha Ibn Mafuta,
bali kwa kila atayeisoma jawabu hii alionijibu hapa! Kwa hakika, maneno
hayo ni maneno yenye kuafikiana 100% na msimamo wake na ndio maana
akasema kwamba Hadithi isemayo: “Hakuna chenye kuzuia watu na
kumtazama Mola wao isipokuwa vazi la kibri katika pepo ya adeni” inahusu
hapa duniani! Na hili haliko mbali na madai ya Imamu wake, Ibn
Taymiyya,720
akimuiga Al-Fakhru Al-Razi721
kwamba Aya inayosema:
“Macho hayamfikii (Allah)” inaonesha zaidi kuwa Allah ataonekana
kuliko kuonesha kuwa hatoonekana!
Kwa ufupi ni kuwa kuhusu suala mukabala, Sheikh Mafuta ananijibu hivi:
Sisi hapa tunasema kwamba: Nyuso za watu wema siku ya Qiyama
zitang‟ara. Kwa sababu watu wema watakua katika neema kubwa ya
kumuona Mola wao. Na nyuso za watu waovu zitajikunja. Kwa sababu
watu waovu watakua katika adhabu kali na huku wana yakini kwamba
watafikwa na adhabu kubwa kuliko hiyo. Kwa hiyo watu wema nyuso zao
zitatoa nuru. Na watu waovu nyuso zao zitakunjana. Watu wema watakua
katika neema kubwa. Na watu waovu watakua katika adhabu kali. Na huu
ndiyo Muqaabala wenyewe, ambao Juma hakuutaka kwa sababu
unapingana na itikadi yake ya kiibadhi. Imamu Al-Aluusiy katika tafsiri
yake “Ruhul-Ma‟aniy” juzuu ya 29 ukurasa wa 75 anaitilia nguvu hoja hii
kwa kusema:
Nami ninamwambia Sheikh Kasim bin Mafuta, huwezi kuifunika nuru ya
jua kwa kutumia handkerchief. Hapo katika Aya hizo kuna mambo mawili
ya kutazamwa:
1) Muqabala wenyewe ambao unathibitishwa na maana iliomo katika
Aya nzima, kwani muqabala ni kuelekeana maana moja na
nyengine.
2) Muqabala huo umeundika kwa jumla ya maneno yenyekukabiliana
kimaana na yenye kuwiyana.
a) Maneno yenye kukabiliana (yenye maana kinyume) ni neno
,(zenye kukunjana) رخس na neno (zenye kung‟aa) خس
yaani za kwanza zitakuwa nzuri kwa kutoa nuru; na za pili
zitakuwa mbaya kwa kutoa kiza na kukunjana.
720
- Tutatoa marejeo tukifika sehemu yake in shaa Allah 721
- Tutatoa marejeo tukifika sehemu yake in shaa Allah.
241
b) Maneno yenye kuwiyana kimaana ni neno خظس
(zinangojea), na neno طظ (zinatazamia).
Sasa ukirudi kuitazama hio tafsiri yenu na Al-Imamu Al-Alusi, basi utakuta
kwamba maana zilizomo katika maneno خظس naadhira na طظ tadhunnu,
basi zimetoweka: hazipo. Ubainifu wa hayo utaupata kwa kuitazama tafsiri
yenu na tafsiri yetu. Tunasema: muqabala uliopo katika Aya hizo, ni huu:
2) Nyuso za mwanzo zinangojea rehema.
3) Nyuso za pili zinatazamia adhabu.
Huu ndio mukabala uliokuwepo katika Aya hizo. Sasa ukitazama hapa
utaona kwamba:
a) maneno خظس naadhira na طظ tadhunnu yameingia katika tafsiri:
hayakutolewa kana kwamba vile Allah kayateremsha bure: hayana
maana.
b) Muwiyano wa maneno mawili hayo umepatika, yaani muiyano wa
neno kungojea na neno kutazamia.
c) Maana ya muqabala imepatikana, yaani hizi zinangojea rehema na
zile zinatazamia adhabu.
Ama tukirudi katika madai yenu kwamba “nyuso hizi ziko katika neema na
hizi ziko katika adhabu” basi utakuta ndani yake makosa kadha wa kadha ya
tafsiri. Tazama nukta zifuatazo:
a) Kupotea kwa maana ya neno nadhira na maana ya neno tadhunnu.
Iko wapi maana ya maneno hayo katika muqabala huo ulioutoa
wewe. Maneno hayo katika muqabala wako hayakuingia kamwe,
jambo ambalo linajionesha kwamba munajikalifu tu japokuwa
muyasemayo ni kinyume na kanuni za tafsiri!
b) Nyuso hizi zinang‟ara, na zile zimekunjana kwa ubaya na kupiga
kiza. Hapa mukabala wa kimaana upo tayari. Lakini nyuso hizi
zinamuona Allah na zile zinatarajia kufikwa na adhabu kali. Je
hapa muqabala uko wapi? Neno kuona kinyume chake si
kuadhibiwa wala halina uwiyano wa kimaana. Wakati kwa tafsiri ya
pili, neno zinangojea linawiyana kimaana na neno zinatazamia; na
neno rehema linawiyana neno adhabu.
Ama kile ulichokinukuu kutoka kwa Allama Al-Alusi pia si hoja, kwani
maneno ya wanavyuoni yanarejeshwa katika kanuni. Na alichokidai yeye –
nawe ukamuiga bila ya tahqiq – ni kuwa muqabala wa kumuona Allah ni
kule kuadhibiwa kwa waovu kwa kuzingatia kwamba kumuona Allah ndio
neema kubwa yao! Nasi tunaweza kuyajadili maneno hayo kwa kusema:
a) Alichokifanya Al-Alusi ni kujenga muqabala kwa njia ya ta-awil
(interpretation) na istinbaat (deduction or inference), kwani neno
242
kumuona Allah si kinyume chake kuadhibiwa wala hakuna uwiyano
wa kimaana baina ya maneno hayo. Yaani Al-Alusi kwanza kadai
kumuona Allah, kisha akatoa natija kwamba kumuona Allah ni
neema kubwa yao, kisha ndio akajenga muqabala kwamba neema
hii ni kinyume na adhabu ya waovu! Na bila shaka hili kwa
aliyeonja ladha ya wenye elimu ya tafsiri bali kwa aliyeinusa harufu
ya elimu hio basi hakubaliani nalo, kwani kama hawa watakuwa
katika neema kubwa yao basi muqabala ulitakiwa uwe kwamba na
wale watakuwa katika adhabu kubwa yao! Na bila shaka hakuna
anayedai kuwa kisimamo cha kiyama ndio adhabu kubwa yao
itayowafika waovu. Hata wewe ulisema: “Kwa sababu watu waovu
watakua katika adhabu kali na huku wana yakini kwamba watafikwa
na adhabu kubwa kuliko hiyo”. Na kwa hivyo, tafsiri yako na Al-
Alusi imepoteza muqabala kwa makadirio yoyote yale.Wakati sisi
tafsiri yetu imeleta muwiyano wa moja kwa moja kwani neno
kungoja lililomo katika Aya ya kwanza lina muwiyano wa moja kwa
moja na neno kutazamia lililomo katika Aya ya pili bila ya kuhitaji
ta-awil; kama vile ambavyo adhabu na rehema zina maana kinyume
na tafsiri ya ujumla imeleta muqabala baina ya Aya za kwanza na
Aya za pili.
b) Kama kumuona Allah ndio kipeo cha neema, kama alivyodai Al-
Alusi na wengine wengi, basi vipi tena na waovu na wanafiki nao
wamuone katika kisimamo hicho hicho cha kiama kama Hadithi
yenu inavyotongoa! Hadithi yanena:
كظ٠ اح ٣زو٠ ال خ ٣ؼزي هللا ر أ كخؿ حطخ د حؼخ٤ ك٢ أى٠ س
ك٤خ أ س حظ٢ أ
Mpaka ikiwa hapakubakia ila waliokuwa wakimuabudu Mwenyezi
Mungu tu katika watu wema na waovu basi atawajia Mola wa
ulimwengu mzima katika SURA NDOGO ZAIDI KULIKO ILE
WALIOMUONA KATIKA SURA HIO MARA YA KWANZA!
Na katika riwaya ya pili:
ك٤ؤط٤ هللا طزخى ط ؼ خ ٠ ك٢ س ؿ٤ س حظ٢ ٣ؼكــخ طزو٠ حلش ك٤خ خكوخ
أخ ر ك٤و ؼ رخلل ي ح خخ كظ٠ ٣ؤط٤خ رخ كبح ؿخء رخ ػكخ ك٤ؤط٤ كــــ٤و
هللا ك٢ س حظ٢ ٣ؼك ك٤و أخ ر ك٤و أض رخ ك٤ظزؼ
Na utabakia uma huu ndani yake wamo wanafiki wake. Atawajia
Mwenyezi Mungu Mtukufu Aliyetukuka kwa sura ambayo siyo (ile) sura
yake wanayoijua. Atawambia mimi Mola wenu. Watasema: „tunajilinda
kwa (jina la) Mwenyezi Mungu kutokana na wewe hapa hatuondoki (leo)
243 mpaka atujie Mola wetu, akija tutamjua! Basi atawajia Mwenyezi Mungu
Mtukufu kwa sura yake ambayo wanaijua, atawaambia Mimi Mola wenu.
Watasema: „Wewe (sasa) ndiye Mola wetu, watamfuata‟.722
Kwa hivyo, kwa mujibu wa riwaya hizi zilizosimuliwa na Al-Bukhari na
Muslim, nao ni katika mangwengwe wa Ahlu Al-Sunna, Allah si kwamba
ataonekana na watu wema tu, bali ataonekana na waovu na wanafiki pia!
Sasa hayo madai ya Al-Alusi na wengine wengi kwamba kumuona Allah
ndio kipeo cha neema ya watu wema au ndio neema kubwa yao bado
yatukuwa ni madai sahihi?
Kwa hivyo, mukhtasari wa mdai yetu hapa ni kuwa muqabala wa kibalagha
haupatikani ila kwa kuzifasiri Aya hizo hivi: “Nyuso siku hio
zitang‟aa**Zikingojea rehema ya Mola wake”. Na kwa tafsiri hii:
a) Neno خظس na neno طظ yatakuwa yameingia katika tafsiri.
b) Muwiyano wa maneno hayo utapatikana, ambapo nyuso hizi
zinangojea na zile zinatazamia.
c) Maana ya ujumla ya muqabala unapatikana moja kwa moja
bila ya kuzunguka na kutafuta ta-awil.
KANUNI YA PILI YA KILUGHA
KUMTANGULIZA MTENDWA
BADALA YA MTENDA
Kwa kawaida, katika lugha ya Kiarabu, ni kuwa mtenda hutajwa mwanzo na
mtendwa hutajwa mwisho. Lakini hutokezea wakati mwengine – kwa
sababu za kilugha – mtendwa akatajwa mwanzo kisha ndio akafuatia
mtenda. Sababu kuu ya kumtanguliza mtendwa ni kumaanisha kile
kinachoitwa katika fani ya lugha ya Kiarabu kuwa ni hasr. Maana ya hasr ni
kukifanya kitendo kuwa kinaishia kwa muhusika mmoja maalumu au
wahusika maalumu tu: au kinaishia katika hali fulani tu: hakivuuki kwenda
kwengine. Mifano miwili mitatu tulioitoa katika kitabu Hoja Zenye Nguvu
pamoja na nyongeza, ni:
ا٣خى ؼزي ***ا٣خى ظؼ٤
722
- Al-Imamu Muslim Sahih Muslim Bisharhi Al-Nawawi j. 2 uk. 298. Al-Imamu
Albukhari Sahih Al-Bukhari Hadithi na. 6573 na 7437.
244
Wewe tu ndio tunakuabudu * naWewe tu ndio tunakuomba
msada.723
Hapa kama ilivyo katika Aya ya Suratul Qiyama, mtendwa katangulia nayo
ni ile sehemu ya Aya inayosema: ا٣خى yaani “Wewe tu”. Huyu ndiye
mtendwa katika Aya hii. Kisha ndio akaja mtenda na kitendo chake ambayo
ndio ile sehemu ya Aya inayosema: ؼزي (tunakuabudu). Faida iliopatikana
hapa kwa sababu ya kutangulia huku kwa mtendwa na kuchelewa kwa
mtenda, ni kumaanisha kuwa Yeye tu (Mwenyezi Mungu) ndiye
tunayemuabudu: si mwengine yoyote. Na hii ndio ile maana ya kusema
kuwa katika utaratibu huu basi “mtenda huwa amehusishwa na kitu kimoja
tu: ikawa hafanyi cha pili”. Yaani Waislamu tunamuabudu Mwenyezi
Mungu mmoja tu: hatuna Mungu wa pili. Maana hii isingepatikana hapa lau
kama alitangulia mtenda . Namna hivi ndio ilivyo fani ya balagha (rhetoric)
ya Kiarabu.
Halkadhalika ikiwa kitatangulizwa kitu ambacho kwa asili kilitakiwa kije
mwisho basi huwa maana ni hio hio. Kwafano Mwenyezi Mungu anasema:
ا٤ ٣ى ػ حخػش
Kwake tu (Mwenyezi Mungu) ndio kunarejea ujuzi wa kiama.724
Asili ya Aya ni kusema:
ا٤ ػ حخػش٣ى
Unarejea kwake ujuzi wa Qiyama.725
Kwa hivyo, kwa kutangulizwa huku kwa kitu ambacho haki yake ni
kucheleweshwa; na kikacheleweshwa kitu ambacho haki yake ni
kutangulizwa, basi Aya hio isemayo: ا٤ ٣ى ػ حخػش Kwake (Mwenyezi
Mungu) ndio kunarejea ujuzi wa kiama, kumeweza kuleta maana ya hasr
ya kwamba elimu ya wakati wa kiama anaujua Allah peke yake: hakuna
mwengine yoyote yule anaoujua.
723
- Sura ya 1 Aya ya 5. 724
- Sura ya 41 Aya ya 47. 725
- Mfano tu: si Qur-ani.
245
Mfano mwengine ni Aya kama:
ؼ ؿ ٣ ا ٤
Na kwake Yeye tu watarejeshwa.
Asili ya Aya hii ilikuwa iwe ٣ؿؼ ا٤ (Na wanarejeshwa kwake). Lakini
kwa kitendo hiki cha kutangulizwa kitu ambacho asili yake ni kuwekwa
mwisho, basi Aya imeweza kuleta maana ya hasr. Na kwa hivyo, maana ya
Aya hio ni kuwa marejeo yetu ni kwa Allah tu huko akheri: si kwa
mwengine yoyote yule.
Mfano mwengine ni Aya:
حل ح ر ي ل خ ر ك و
Tukaizamisha – pamoja naye na nyumbaye – ardhi.726
Asili yake ni kusemwa: ح ي ر ر ل خ حل tukaizamisha ardhi pamoja) ك و
naye na nyumbaye). Lakini kusema hivi, kibalagha ni makosa kwani
kilugha mfumo huu unaonesha kuwa ardhi nzima ilizamishwa na hivi sivyo
ilivyokuwa. Ama kwa mujibu wa mfumo wa Aya yenyewe ulivyo wa
kutangulizwa kitu ambacho kwa asili kilitakiwa kikae mwisho, basi maana
ya hasr imepatikana na maana ni kuwa sehemu ya ardhi iliozamwishwa ni
ile ambayo alikuwa akikaa yeye tu huyo Qaarun. Namna hivi ndivyo ilivyo
balagha ya Kiarabu.
Sasa kama umelielewa hilo, basi elewa kwamba Aya ya Suratul Qiyama –
ambayo tafsiri yake tunaijadili hapa – nayo pia imekuja kwa mfumo kama
huo. Aya hio – kama ulivyoona – inasema: س خظ خ ر ٠ kwa Mola wake“ ا
tu (nyuso hizo) zinatazama”. Asili ya Aya hii ilikuwa iwe: خظس ا٠ رخ
(zinatazama kwa Mola wake). Kwa hivyo, ikiwa tutalifasiri neno
kutazama hapa kuwa mana yake ni kuona basi tafsiri haitokuwa sahihi:
itapingana na uhakika ulivyo, kwani tafsiri itabidi iwe hivi: “(nyuso hizo
zitakuwa) zinamuona Mola wake tu”: hazioni kitu chengine. Na hili ni
kinyume na ukweli wenyewe na ni tafauti na hali itavyokuwa: ukweli ni
kuwa watu huko kwenye kisimamo cha kiama na kwenye pepo wataonana
na wataona kheri walizoandaliwa katika pepo.
726
- Sura 28, Aya 81.
246
Ama tukiifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kungojea, basi maana itakuwa
imenyooka kabisa. Aya inasema: س خظ خ ر ٠ Tafsiri ni: “(nyuso hizo .ا
zitakuwa) zinangojea rehema ya Mola wake tu”. Tazama jinsi tafsiri
inavyokubali. Kwa sababu ni kweli watu wema katika kisimamo cha kiama
hawana chochote chengine wanachokingojea isipokuwa rehema (pepo) ya
Allah tu, baada ya kuwa wameshabashiriwa kwenye mauti, kaburini na
wakati wanapofufuliwa. Tazama jinsi tafsiri pamoja na utaalam wa lugha
ya Kiarabu unavyoowana na matukio. Hizi ni hoja za wazi kwa kila
“mwenye moyo (wa kufahamu) au kutega sikio naye akawa haadhiri”.
Hayo – pamoja na ubadilishaji kidogo na nyongeza kidogo – ndio
nilioyanena katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu. Lakini Sheikh Kasim
bin Mafuta akanijibu kama inavyofuata. Anasema:
Majibu ya maneno haya yatakuwa katika njia zifuatazo:
Njia ya kwanza:
Ninataka kumfahamisha ndugu Juma na wengineo kwamba: mas‟ala haya
huwa mahali pake ni katika elimu ya balagha sehemu ya “Il‟mul-Ma‟ani”
mlango wa “Al-Qasru”.
Kuna njia nyingi za “Al-Qasru” moja katika hizo ni hii ya kumtanguliza
mtendwa kabla ya mtenda, hili ni jambo ambalo linafahamika na wala
halina upinzani. Lakini jambo muhimu la kulijadili hapa, je matumizi ya
lugha kwa utaratibu huu hayaleti ila maana moja tu nayo ni: انحصررش
kumhusisha mtenda na kitu kimoja tu akawa hafanyi cha pili kama
anavyodai Juma? Au anapotangulizwa mtendwa juu ya mtenda kuna
malengo mengine kinyume na aliyoyataja Juma?
Sisi tunasema: naam, inawezekana akatangulizwa mtendwa kabla ya
mtenda kwa malengo mengine kinyume na aliyoyataja Juma. Inawezekana
kuwa Juma ameghafilika, au hilo hajui, au anajua lakini amekusudia
kupotosha. Kwa mfano; kuna uwezekano wa kutangulizwa mtendwa kwa
lengo la:
1-Kumpa umuhimu mtendwa (اإلتاو)
2- Kuchunga utaratibu wa utungo wa maneno. (سعاية انتاسة في ظاو انكلو)
Na malengo mengineyo ambayo wanavyuoni wa fani ya balagha
wameyaeleza kwa marefu na mapana kwenye vitabu vyao. Na yote
tuliyoyataja yana mifano tele kwenye Qur‟an na maneno ya waarabu.
Labda hapa tutoe mifano miwili mitatu:
247 Mfano wa kwanza; amesema Allah:
خ أ ى ػ ٣ خ ي ح ك ز ظ ل ٠ ك خ ؼ ٠ ح ي ػ ح
Na ama Thamudi tuliwaongoza, wakapenda upofu kuliko uwongofu.727
Neno “Thamudi” hapa ni mtendwa kwa mujibu wa Qiraa (kisomo) cha
baadhi ya wasomaji walipolisoma kwa Fat‟ha ya Dali. Hapo neno
“Thamudi” limetangulia na haki yake ilikua ni kuja baada ya mtenda, na
huyo mtenda ni dhamiri (pronoun) aliyoambatana na Fi‟ilu (kitendo) ي٣خ
“tuliwaongoza”. Kwa hiyo si makusudio ya aya hii kuuhusisha uwongofu
wa Allah kwa kabila la Thamudi tu, kwa sababu ya kuwa mtendwa
ametangulia, kwa sababu wapo watu wengine waliongozwa na Allah na
wao si katika kabila la Thamudi, bali makusudio ni kuonesha kwamba
mtendwa hapo amepewa umuhimu na kupatilizwa.
Mfano wa pili; amesema Allah:
ؼ خ حل خ و ه
Na wanyama hoa amekuumbieni.728
Pia si makusudio ya aya hii kwamba Allah ametuumbia wanyama hoa
pekee, bali hata wanyama pori pia amewaumba yeye.
Mfano wa tatu; amesema Allah:
ك ال ط و ٤ ظ ٤ خ ح ك ؤ
Basi Yatima usimwonee.729
Uonevu ni haramu kwa kila mtu, na si kwa yatima peke yake, na yaliyo
haramu kumfanyia yatima ni mengi na si uonevu pekee, kwa hivyo huwezi
kusema kwamba: haifai kumwonea yatima tu, kwa sababu mtendwa
ametangulizwa, la hasha! Bali hata wengine wasiokua yatima pia ni
haramu kuwaonea, pia huwezi kusema kwamba lililo haramu ni uonevu tu
kwa yatima, lakini uovu mwingine wowote usio kuwa uonevu unaweza
kumfanyia.
Kwa hiyo kitendo alichokifanya Juma si sahihi, kwa sababu yeye katika
maneno yake ameleta dhana ya kwamba utaratibu huu wa “kumtanguliza
mtendwa kabla ya mtenda” hauleti isipokuwa maana moja tu, nayo ni;
727
- Surat Fussilat (41) aya ya 17. 728
- Suratun Nah‟l (16) aya ya 5. 729
- Suratul-Dhuhaa (93) aya ya 9.
248 kumhusisha mtenda na kitu kimoja tu, na dhana hiyo si ya kweli kwa
maelezo tuliyo yatoa, na kwa maelezo hayo ndiyo unadhihirika ufahamu
finyu alio nao Juma katika mas‟ala haya ya kielimu. Pili, hadithi zilizo kuja
kuizungumzia itikadi hii zinaukata mzozo huu kwa kuifafanua aya hii na
nyinginezo, na kutuwekea wazi juu ya kuthibiti kwa jambo hili la
kuonekana Allah kwa macho huko akhera. Kwa hiyo hoja yetu hii bado
imesimama na Juma na kaumu yake hawakufaulu katika majaribio yao ya
kutaka kuiporomosha.730
Hayo ndio majibu ya Sheikh Kasim bin Mafuta nayo ni majibu ya ajabu!
Sijui ni kutokujua au ni kutokutaka? Ikiwa ni kutokujua, basi hatutochoka
kumfahamisha mpaka tuhakikishe kwamba sasa kajua; ikiwa ni kutokutaka,
basi sisi hatuna uwezo wa kumfanya atake. Kwa kuanzia natutazame
maneno yake alipouliza:
Kuna njia nyingi za “Al-Qasru” moja katika hizo ni hii ya kumtanguliza
mtendwa kabla ya mtenda, hili ni jambo ambalo linafahamika na wala
halina upinzani. Lakini jambo muhimu la kulijadili hapa, je matumizi ya
lugha kwa utaratibu huu hayaleti ila maana moja tu nayo ni: انحصش
kumhusisha mtenda na kitu kimoja tu akawa hafanyi cha pili kama
anavyodai Juma?
Tunasema: elewa ewe Sheikh Kasim bin Mafuta kwamba maana ya kwanza
na ya msingi inayopatikana katika utaratibu huo wa kilugha wa
kumtanguliza mtendwa pasina mtenda ni kumaanisha hasr au qasr
(kumhusisha mtenda na kitu kimoja tu pasina chengine). Hii ndio maana ya
kwanza ya kumtanguliza mtendwa pasina mtenda, na ndio maana
wanavyuoni huwa hawairuki maana hii na kwenda katika maana nyengine
ila ikiwa hii haiwezekani au ikiwa qarina zitaonesha vyenginevyo.
Utakumbuka kwamba kanuni ni kuwa haitakiwi kuiwacha maana ya kwanza
na ya msingi na ukakimbilia katika maana nyengine ilhali maana ya kwanza
na ya msingi inawezekana. Nadhani hii ni kanuni ambayo hatutafautiani
kwani hata wewe umeshalieleza hilo wakati ulipokuwa ukilielezea neno
nadhar. Ulisema:
…..wataalamu wote wa lugha hiyo wamekubaliana ni kuwa: maana ya
kwanza inayozingatiwa katika matumizi ya neno ni kulitumia neno katika
maana yake ya asili kwanza, kabla hatujakwenda katika maana nyingine.
Kwa hivyo, nahisi haitokuwa jambo la busara bali haitojuzu kuiruka maana
ya hasr na tukenda katika maana ya ihtimam ilhali maana ya hasr
inawezekana kwani hasr ndio maana ya kwanza inayopatikana katika
730
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 65-67.
249
mfumo huo wa kumtanguliza mtendwa kabla ya mtenda. Na maana
nyengine zinafuatia ikiwa maana hio haikuwezekana kama ilivyo kawaida
ya kutaamali na kanuni nyengine zote za lugha ya Kiarabu.
Ama kuhusu: “kuchunga utaratibu wa utungo wa maneno. ( سعاية انتاسة في
sijui kama Sheikh Kasim Mafuta kalisema hili taqliidan (kwa ,”(ظاو انكلو
kuiga) au tahqiqan (kwa kufanya uchunguzi). Kwa kuanzia ningependa
nikukumbushe hoja yako ulioitegemea katika suala la kukataa kwako
majazi. Ulisema ukiwanukuu wanavyuoni unaowafuata:
Tumewakubalia (AL-MUQADDIMATU AL-SUGH‟RAA) kwamba
majazi yamo katika lugha ya kiarabu, lakini hatuwakubalii
(ALMUQADDIMATUL-KUBRAA) kwamba kila kilichomo katika lugha
ya kiarabu kinafaa kuwemo ndani ya Qur‟an, bali sisi tunasema kinyume
chake, kwamba; kuna baadhi ya vitu vimo katika lugha ya kiarabu, lakini
havifai bali ni haramu kuitakidi kuwemo ndani ya Qur‟an.
Kwa hivyo, kama walivyodai wataalamu hawa ambao wewe umekubaliana
nao, na sisi tunasema kwamba ikiwa “kuchunga utaratibu wa utungo wa
maneno” tu unawezekana kuwemo katika lugha ya Waarabu katika mashairi
yao na nithaar (prose) zao, basi elewa kwamba haiwezekani katu kuwa
Allah aseme maneno au apange maneno bila ya kuleta faida maalumu: yaani
iwe Yeye kasema ili kutafuta vina tu! Bali ni wajibu wa kila Muislamu
aitakidi kwamba kila herufi moja ya Qur-ani; kila neno moja la Qur-an na
kila kilichomo katika Qur-ani basi kimewekwa kwa sababu maalumu ili
kilete maana maalumu. Kwa hivyo, ikiwa kanuni hio itakubalika katika
mashairi ya Waarabu kwa sababu binaadamu kusema kitu ambacho hakina
maana bali ni kwa ajili ya kuyapamba maneno yake tu, hicho kwa ujumla ni
kitu cha kawaida kipo kwa viumbe. Ama maneno ya Allah, ni lazima
tuitakidi kuwa chochote kilichotangulizwa ni kwa maana maalumu na
kilichowekwa mwisho ni kwa maana maalumu hata kama ikiwa utaratibu
wa tungo ni moja ya malengo hayo lakini si kweli kwamba utaratibu wa
tungo tu uwe ndio lengo pasina kuleta faida fulani au kuleta risala fulani.
Kwa hivyo, sisi hatukubaliani katu na wanavyuoni waliodai hivyo, bali
tunasema kwamba kila kilichomo katika Qur-ani; na mpangilio wote wa
Aya zake na maneno yake, basi unaleta maana maalumu: si kwa kutafuta
vina tu.
Ama mifano ya Aya ulioitoa, elewa ewe Sheikh Kasim bin Mafuta kwamba
yote hio sio inayozungumziwa katika elimu ya balagha ya kutangulizwa
kwa mtenda pasina mtenda. Mfano wa kwanza uliotoa ni Aya inayosema:
250
خ أ ى ػ ٣ خ ي ح ك ز ظ ل ٠ ك خ ؼ ٠ ح ي ػ ح
Na ama Thamudi tuliwaongoza, wakapenda upofu kuliko uwongofu.731
Kisha ukatoa maelezo:
Neno “Thamudi” hapa ni mtendwa kwa mujibu wa Qiraa (kisomo) cha
baadhi ya wasomaji walipolisoma kwa Fat‟ha ya Dali. Hapo neno
“Thamudi” limetangulia na haki yake ilikua ni kuja baada ya mtenda, na
huyo mtenda ni dhamiri (pronoun) aliyoambatana na Fi‟ilu (kitendo) ي٣خ
“tuliwaongoza”. Kwa hiyo si makusudio ya aya hii kuuhusisha uwongofu
wa Allah kwa kabila la Thamudi tu, kwa sababu ya kuwa mtendwa
ametangulia, kwa sababu wapo watu wengine waliongozwa na Allah na
wao si katika kabila la Thamudi, bali makusudio ni kuonesha kwamba
mtendwa hapo amepewa umuhimu na kupatilizwa.
Hivyo ndivyo ulivyonena! Nayo si maneno madhubuti, kwani neno Thamud
hapa kulitanguliza ni wajibu. Ivo wewe Sheikh Kasim bin Mafuta ulitarajia
kuwa Allah aseme: أخ كي٣خ ػى؟ Na amma tulimuongoza Thamuud? Hiki
ni Kiarabu cha nchi gani? Kwa ubainifu zaidi wa hayo ni kuwa baada ya
herufi Ammaa (yenye alifu yenye fat-ha) basi hakikai kitendo ila iwe kuna
harfu al-shart baina yao. Kinachofuatia baada ya herufi amma (ikiwa
hakuna herufi ya shart) ni jina: si kitendo. Na kwa sababu hio ndio maana
limewekwa jina Thamuud pasina kuwekwa kitendo hadaina. Na mifano hio
utaikuta kwa wingi katika Qur-ani, Sunna na Lugha ya Kiarabu. Anasema
Allah:
٣ خ ح ك ؤ آ ر ن ل ح أ ح ك ٤ ؼ ٣ خ ح أ ؼ ال ح حى هللا ر ح أ خ ح ك ٤ و ل
Ama wale walioamini, wao wanajua kwamba hio ni haki kutoka kwa
Mola wao; na ama wale waliokufuru, wao husema Allah anataka nini
kwa (kupiga) mfano huu?732
ـ ز ٢ ح خك خ٣ خ ي خ أ ك ح أ ر ه و ٢ ك ٤ خ ح٥ه أ ذ ك ٤
Enyi wafungwa wenzangu wawili, ama mmoja wenu atamnywesha
pombe bwana wake; na ama mwengine yeye atasulubiwa….733
خ ر ي ك ؤ ل خء ح ذ ؿ ل غ ك ٤ خ ٣ خ أ غ ك ٢ حل ك ٤ حخ
731
- Surat Fussilat (41) aya ya 17. 732
- Sura 2, Aya 26. 733
- Sura 12, Aya 41.
251
Ama povu linaondoka kwa kurembewa huko; ama kile chenye
kuwafaa watu basi kinakaa aridhini….734
ل ٤ ش خ ح أ ز ل ك ٢ ح ٣ ؼ ٤ خ خ ض .……ك ـ ال خ ح أ ٤ ئ ح أ ر خ خ ..……ك أ
ح ي ـ ح خ ٣ ش ك ي ك ٢ ح ٤ ٣ ظ ٤ ٤ ………ـ ال
Ama marekebu ilikuwa ni ya masikini wanafanya kazi
baharini……ama yule kijana, wazee wake wawili walikuwa ni
waumini……ama ukuta ulikuwa ni wa vijana wawili waumini katika
mji huo…..735
Anasema Ibn „Umar katika riwaya yake:
أخ حخ كب٢ أ٣ض حز٢ ٠ هللا ػ٤ ٣ظخ.......
Ama pembe mbili (pembe ya jiwe jeusi na pemba ya Yemen)
nilimuona Mtume akizishika……736
Na mfumo huo unaleta faida nyingi. Miongoni mwa hizo ni:
1) Kumaanisha sharti. Yaani yenyewe si harfu sharti (herufi yenye
kuonesha sharti) lakini ndani yake inabeba maana ya sharti.
2) Tafsil (kutoa ufafanuzi). Anasema Sheikh Ya‟iish bin „Ali akitoa
mifano ya tafsil:
...ل أ ٣وخ ٣ي ػخ ـخع ٣ أىص طل٤ خ حىػخ كبي طو ك٢ ؿحر: أخ
ػخ ـخع ك، أخ ٣ كل٤ ظ...
Ni kama vile kusemwa kwamba Zaidi ni mwanachuoni, shujaa,
karim. Nawe ukataka kuyafafanua hayo, basi utasema: “Ama kuwa
yeye ni mwanachuoni, shujaa, hilo linakubalika. Ama kuwa yeye
ni karimu hilo ni jambo la kufikiriwa.737
3) Tawkiid (kutilia mkazo).738
4) Takhfif fii al‟ibara (kuipunguza au kuiwepesisha ibara), kwani
ukisema: كؤخ ٣ي كوخث fa-ammaa Zaidun Faqaaim (ama Zaidi ni
mwenye kusimama), basi asili yake ni خ ٣ ٢ء ك٣ي هخث
734
- Sura 13, Aya 17. 735
- Sura 18, Aya 79-82. 736
- Sura 27, Aya 84. 737
- Al-‟Allaama Ya‟ish bin „Ali Sharhu Al-Mufassal j. 4, uk. 103-104. 738
- K.h.j.
252
mahma yakun min shay-in fa-Zaidu qaimun (vyovyote vile iwavyo,
basi Zaid ni mwenye kusimama).739
5) Chenye kueleweka kwamba kawaida yake ni kuondoshwa, basi
kinatakiwa kishughulishwe na kitu chengine.740
6) Kumueka yule aliyelazimishwa kutokumuonea, naye ni yatima,
katika nafasi ya chenye kulazimishwa kwa yakini, nacho ni kutukia
kwa kitu hapa duniani.741
TANBIHI
Tazama usije ukachanganya baina ya herufi أخ amma tulioielezea, na herufi
maa ya خ am na herufi أ amma ambayo ni mchanganyiko wa herufi أخ
kuulizia iliomo katika Aya inayosema: أخح ظ طؼ (Au mulikuwa
mukifanya nini).742
Halkadhalika usijeukachanganya baina ya herufi hio na
herufi أخ amma ambayo ni mchanganyiko wa herufi أ an na herufi خ maa
kama ilivyo katika ushairi wenye:
ز غ ح٠ ه٢ طؤ . . . كب ض ح ل خ حش أ أرخ ه
E baba ake Khurasha we, kwa sababu una wafuasi**Basi mie watu wangu
hawajalipo ni fisi!
Hizi tanbihi mbili ambazo kazitoa Mwanachuoni Ibn Hisham Al-Ansari
katika kitabu chake Mughni Al-Labib.743
739
- Tazama mfano kama huu katika maneno ya Sibawayh yalionukuliwa na Al-
Zamakhshari katika Al-Mufassal na Sherehe yake Sharhu Al-Mufassal j. 4, uk. 103. 740
- Kiarabu chake ni:
خ طؼف أ ك٤ خ حظ كك ٣زـ٢ أ ٣ـ ر٢ء
Yaani asili yake ni خ ٣ ٢ء ك٢ حي٤خ، كال طل ح٤ظ٤. yalipoondoshwa maneno yote
hayo, basi kikashughulishwa na kitu chengine nacho ni kumtanguliza mtendwa (yatima) na
kumchelewesha mtenda naye ni dhamiri (wewe). Inaonesha Kasim Mafuta yote haya
hayajui, anavamia tu! Anachokijua yeye: “huyu fasiki, yule mtu wa bidaa, yule khawarij,
n.k.”. 741
- Kiarabu chake ni:
حي٤خ حكال غ حو ػي حظ ح٤ظ٤ ل ح حوطؼ٢ ٢ء هع ح٢ء ك٢Yaani maana ya asili ni: خ ٣ ٢ء ك٢ حي٤خ، كال طل ح٤ظ٤ kitu chochote kile
kitachokuwa au vyovyote vile itavyokuwa, basi usijeukamuonea yatima.
742
- Sura 27, Aya 84. 743
- Uk. 64.
253
RIWAYA ZA MAIMAMU
Kama tulivyoeleza katika sura ya kwanza ya kitabu hiki kwamba miongoni
mwa mambo yenye kutujuilisha udhaifu au utunzi wa riwaya ni kwenda
kwake kinyume na tafsiri ya Qur-an ilijengeka juu ya kanuni za tafsiri za
lugha ya Kiarabu. Aya yoyote ile ikiwa imefasirika kwa tafsiri kadha kwa
mujibu wa kanuni sahihi za lugha ya Kiarabu, kisha ikaja riwaya ilio
kinyume na tafsiri hio iliojengeka juu ya mfumo sahihi wa lugha na
isiwezekane kuzijumuisha, basi elewa kwamba hio ni illa inayopelekea
kukataliwa kwa riwaya hio.
Tumeona katika sehemu iliotangulia kwamba kanuni ya kilugha ya
muqabala wa kibalagha na kanuni ya kumtanguliza mtendwa pasina mtenda
pamoja na hoja za kiakili zinawafikiana na tafsiri ya walioifasiri Aya hio
kuwa maana yake ni kungojea rehema ya Allah; na – kinyume chake –
kanuni hizo zinakwenda kinyume na tafsiri ya walioifasiri Aya hio kuwa
maana yake ni kumuona Allah. Tumeona pia kwamba watetezi wa itikadi ya
kumuona Allah wametoa hoja kwa baadhi ya riwaya za Maimamu
watangulizi kama vile Ikrima, Al-Hasan Al-Basri na „Atiyya Al-Awfi
kwamba wameifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kumuona Allah. Lakini
pia tumeona kwamba riwaya hizo hazikuthibiti kwa sanad inayoweza
kutegemewa. Sasa natutazame riwaya za tafsiri za Al-Salaf Al-Salih ambao
wameifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kungojea rehema au malipo ya
Allah.
Riwaya sahihi zinaonesha kwamba Al-Salaf Al-Salih waliifasiri Aya hii:
“Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zinatazama”, kuwa
maana yake ni kungojea malipo ya Allah. Anasema „Ali bin Naaif:
خس ا٠ رخ خظس((و ػ رؼ حظخرؼ٤ أ هللا ل ٣، كح ه رؤخ ))ؿ ٣ج
ـخي أر٢ خق...رخ خ و ػ طظظ ػحد
Imenukuliwa kutoka kwa baadhi ya Tabi‟iina (Wanafunzi wa Masahaba,
wakisema) kwamba Allah haonekani. Na wakaifasiri kauli yake Allah
isemayo: “Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zinatazama”,
kwamba (maana yake ni kuwa) zinangojea malipo ya Mola wake, kama
yalivyonukuliwa hayo kutoka kwa Mujahid na Abu Salih.744
Anasema Al-Mawardi:
744
- „Ali bin Naaif Al-Mufassal j. 3, uk. 14.
254
خ خظس { ك٤ ػالػش أهخ٣: ر } ا٠
أكيخ : طظ ا٠ رخ ك٢ حو٤خش ، هخ حل ػط٤ش حؼك٢ .
حؼخ٢ : ا٠ ػحد رخ ، هخ حر ػ ـخي .
حؼخغ : طظظ أ رخ ، هخ ػش .
(Kauli yake Allah aliposema): “Kwa Mola wake tu zinatazama”, ndani
yake kuna kauli tatu:
1) Zitamtazama Mola wake katika (kisimamo cha) kiama. Hii
ni kauli ya Al-Hasan (Al-Basri) na „Atiyya Al-‟Awfi.
2) (Zinangojea) malipo ya Mola wake. Hii ni kauli ya Ibn
„Umar na Mujahid.
3) Zinangojea amri ya Mola wake. Hii ni kauli ya „Ikrima.745
Hizo ni baadhi ya kauli walizozisema wanavyuoni wa Kisuni. Ama Ibadhi
wao wameipokea tafsiri hio kutoka kwa:
1) Ibn Abbaas.746
2) „Ali bin Abi Taalib.747
3) „Aisha.748
4) Muhammad bin Al-Munkadir.749
5) Mujahid.750
6) Ibrahim Al-Nakha‟i.751
7) Mak-huul.752
8) Al-Hasan Al-Basri.753
9) Sa‟id bin Jubair.754
10) Sa‟iid bin Al-Musayyib.755
11) „Ataau bin Yasaar.756
745
- Al-Mawaardi Al-Shafi (450) Al-Nukat Wal „Uyuun j. 4, uk. 357. 746
- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 321-322, riwaya na. 853. Uk. 323, riwaya na.
855. 747
- K.h.j. riwaya na. 854. 748
- K.h.j. riwaya na. 855. 749
- K.h.j. riwaya na. 855. 750
- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. 751
- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. 752
- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. 753
- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. Lakini yeye kasema kuwa
nyuso zitatazama ufalme wake na namna ya anavyoendesha mambo. 754
- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. Na akasema: “Na hakuna
yoyote atayemuona Allah”, yaani akhera kwani kayasema hayo baada ya kuifasiri Aya hio
ya Suratul Qiyama kuwa maana yake ni kusubiri malipo. 755
- Al-Rabi‟u Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 323, riwaya na. 855. Lakini yeye – katika
riwaya hii – hakutoa tafsiri isipokuwa kasema: “Hakika Allah haonekani na yoyote katika
viumbe wake”. Halkadhalika wamesema hivyo tu: Al-Dhahhaak bin Muzaahim, Abu Salih,
na „Ikrima.
255
12) Abu Salih. 757
13) „Ikrima.758
14) Al-Dhahhaak bin Muzaahim.759
15) Muhammad bin Ka‟ab.760
16) Ibn Shihaab Al-Zuhri.761
Lakini kwa hali yoyote ile, japo kuwa sisi tunamwambia Kasim Mafuta na
hizbu yake kwamba Ibadhi au Khawarij, kama wanavyowaita,
wakikusimulia riwaya basi ing‟ateni kwa magego, ؿحػ٠ح ػ٤خ رخ
(musiiwache) kwani wao hawajui uwongo ulivyokaa bali kwa sababu
riwaya zao ndio sahihi kushinda riwaya za watu wote kama
walivyoshuhudia wanavyuoni wenu akiwemo Mzee wa Uislamu Ibn
Taymiyya, lakini pamoja na yote hayo sisi hapa hatutozijadili riwaya hizo
zilizosimuliwa na Ibadhi, bali tutazitazama riwaya mbili tu zilizosimuliwa
kwa mapokezi ya Kisunni.
RIWAYA YA MUJAHID
Riwaya ya Mujahid inasema:
ؿـــيػخ أر ٣ذ هخ كــــــــيػخ ػـ ر ػزــك س ا ٠ ٤ي ػ ػ ـخي ) خ ج ٣
س ( هخ خ خظ ر طظظ حؼحد.
Ametusimulia Abu Kuraib kasema katusimulia Umar bin Ubaid kutoka
kwa Mansur kutoka kwa Mujahid: (kuhusu tafsiri ya Aya inayosema):
“Nyuso siku hio zitang‟aa zikitazama kwa Mola wake, kasema” (kwamba maana yake ni kuwa nyuso hizo zitakuwa) zinangojea malipo
kutoka kwake.762
756
- K.h.j. 757
- K.h.j. 758
- K.h.j. 759
- K.h.j.. 760
- K.h.j.. 761
- K.h.j. 762
- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29 uk. 120.
256
ALIYEIPOKEA NA WALIOITAJA RIWAYA HIO
Riwaya hio imesimuliwa na Al-Tabari,763 na ikatajwa na Al-Suyuti,764
Abu
Allaith Al-Samarqandi,765
Ibn Kathir,766
na wengine.
SANAD YA RIWAYA
Sanad ya riwaya hio ni:
٣ذ، هخ: ػخ ػ ر ػز٤ي، ػ ، ػ ـخي كيػخ أر
Katusimulia Abu Kuraib kasema, katuhadithia „Umar bin „Ubaid kutoka
kwa Mansur kutoka kwa Mujahid.
Na sanad ya pili ni:
ػخ ٤غ، ػ ل٤خ، ػ ، ػ ـخي
Katusimulia Wakii‟u kutoka kwa Sufyaan kutoka kwa Mansur
kutoka kwa Mujahid.
1) ABU KURAIB, mpokezi wa kwanza katika sanad ya kwanza, ni
Muhammad bin „Alaa bin Kuraib Al-Hamdani. Naye ni mwenye kuaminika.
Anasema Al-Hasan bin Sufyaan: “nimemsikia Ibn Numair akisema „hakuna
katika nchi ya Iraki mtu aliye mwingi wa Hadithi na mjuzi zaidi wa Hadithi
za mji wetu kuliko Abu Kuraib”. Anasema Ibn Abi Hatim: “aliulizwa baba
yangu kuhusu (Abu Kuraib) akasema “ni mkweli”. Anasema Abu Ali Al-
Naysaaburi: “nimemsikia Abu Abbaas bin „Uqda akimtanguliza (Abu
Kuraib) kwa uwezo wa kuhifadhi na ujuzi kuliko mashekhe wao wote”. Na
akasema Al-Nasai: “hana tatizo” na akasema tena: “muaminifu”. Na
akakubaliwa na Al-Imamu Ahmad bin Hanbal, Ibn Hibbaan na wegine
wengi bali hakuna aliye mjeruhi.767
Na Abu Kuraib kaipokea riwaya hio kutoka kwa:
763
- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 29 uk. 120. 764
- Al-Suyuti Al-Durru Al-Manthuur j. 10, uk. 158. 765
- Abu Allaith Al-Samarqandi Bahru Al-‟Uluum j. 4, uk. 349. 766
- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-aani Al-‟Adhiim j. 4, uk. 407.
767 - Tazama kitabu Tahdhib Al-Tahdhib j. 9 uk. 342. Anasema Al-Imamu Ibn Hajar katika
kitabu chake Taqrib Al-Tahdhib uk. 500 tarjama na. 6204 kuwa (Abu Kuraib) ni “mkweli
na mwenye uwezo wa kuhifadhi”.
257
2) UMAR BIN UBAID, mpokezi wa pili, naye ni Umar bin Ubaid bin Abi
Umayya Al-Tanaafisi, Al-Hanafi, Al-Iyaadi. Naye ni mwenye kuaminika.
Anasema Ibn Sa‟ad: “ni mwenye kuaminika”. Anasema Abu Hatim: “ni
mkweli”. Anasema Al-Daraqutni: “Umar na Ali na Muhammad watoto wa
Ubaid ni wenye kuaminika na baba yao ni mwenye kuaminika na hivyo
hivyo kasema Al-Imam Ahmad bin Hanbal”. Anasema „Uthman Al-Darimi
kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “ni mwenye kuaminika”.768
Na Umar bin Ubaid kaipokea riwaya hio kutoka kwa:
3) MANSUR. Naye ni Mansur bin Al-Mu‟utamir. Naye ni mwenye
kuaminika. Anasema Al-Ajurri kutoka kwa Abu Dawud: “Mansur alikuwa
hapokei Hadithi ila itoke kwa watu waaminifu”. Na akasema Sufyaan:
“nilikuwa simsimulii Al-A‟amash Hadithi yoyote inayotoka kwa watu wa
Al-Kufa ila huikataa, nikimwambia inatoka kwa Mansur basi hunyamaza.
Na akasema Yahya: “hakuna yoyote aliyepokea Hadithi kutoka kwa
Mujahid na Ibrahim aliyekuwa thabiti kuliko Mansur”. Na akasema Ibn Abi
Hatim: “nilimuuliza baba yangu kuhusu Mansur, akasema kuwa ni:
“mwenye kuaminika”. Na akasema tena kuwa: “(Mansur) hachanganyishi
wala haghushi”.769
Na Mansur kaipokea riwaya hii kutoka kwa:
4) MUJAHID. Naye ni Mujahid bin Jabr. Ama Mujahid ni Imamu mkubwa
sana, mwingi wa elimu na tafsiri. Anasema Al-Imamu Ibn Hajar katika Al-
Taqrib: “Mujahid bin Jabr ni mwenye kuaminika, Imam wa tafsiri na (ni
Imamu) wa elimu”.770
Anasema Ibn Ma‟iin na Abu Zur‟a kuwa ni “mwenye
kuaminika”. Anasema Al-Thauri kutoka kwa Ibn Salama bin Kuheil:
“sijapata kuona mtu yoyote ambaye anataka radhi za Mwenyezi Mungu tu
kwa elimu yake kuliko Ataa, Taawus, na Mujahid”. Lakini pamoja na yote
hayo. Mujahid hakusalimika na jaraha. Al-Tirmidhi aripoti kwamba
“Mujahid ni maarufu kwa kughushi”.771
Kwa hali yoyote ile, hili
768
- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7 uk. 422. Anasema Ibn Hajar katika Taqribu Al-
Tahdhib uk. 415 tarjama na. 4945: “ni mkweli”. 769
- Tazama Tahdhib Al-Tahdhib j. 10 uk. 277. Na akasema Ibn Hajar kuwa Mansur ni:
“mwenye kuaminika, thabiti alikuwa haghushi “. Tazama Taqrib Al-Tahdhib uk. 547
tarjama na. 6908. 770
- Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib uk. 520 tarjama na. 6471. 771
- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 10 uk. 38-40, tarjama ya 68.
258
halidhurishi kitu, kwani hapa tunachukua tafsiri ya Mujahid mwenyewe, si
kwamba Mujahid anainukuu tafsiri hio kutoka kwa mtu.
Hio ni tafsiri ya Mujahid, naye kasifiwa na wanavyuoni wengi kwa elimu ya
tafsiri kama tulivyomnukuu Ibn Taymiyya akisema. Na tunaongeza hapa
maneno yake yafuatayo:
ػ٠ طل٤ ـخي ٣ؼظي أؼ حلثش خؼ١ حخكـؼ٢ أكي ر كز حزوخ١. هخ حؼـــ١
٤٤ش ػ ـــحر ػ اح ؿخءى حظل٤ ػ ـخي كلزي ر . حخكؼ٢ ك٢ ظز أؼ ح١ ٣و ػ
حر أر٢ ــــ٤ق ػــــــ ـخي ي حزوخ١ ك٢ ل٤ل ٣ؼظي ػ٠ ح
..Na Maimamu wengi kama vile Al-Thauri, Al-Shafi, Ahmad bin Hanbal
na Al-Bukhari wanategemea tafsiri ya Mujahid. Anasema Al-Thauri:
„ikikujia tafsiri kutoka kwa Mujahid basi hio inakutosha‟. Na (Al-Imamu)
Al-Shafi katika vitabu vyake mara nyingi zaidi hunukuu kutoka kwa Ibn
„Uyaina kutoka kwa Ibn Abi Najiih kutoka kwa Mujahid, halkadhalika Al-
Bukhari katika Sahihi yake huitegemea (sanad) hii.772
Hayo ni maelezo ya Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya kuhusu tafsiri ya
Mujahid. Lakini baada ya yote hayo, tunakuta kwamba jumhur ya
wanavyuoni wa ki-Sunni hawakuichukua tafsiri hii ya Mujahid ambayo
imethibiti kwa sanad sahihi na juu ya yote imekubaliana na kanuni za
kilugha, za kibalagha, na badala yake wakaelemea katika tafsiri
zilizosimuliwa kutoka kwa Maimamu wengine kwa sanad zenye udhaifu.
Lakini watetezi wa itikadi ya kumuona Allah wamekuwa na maelezo tafauti
juu ya hilo. Ali Naaif, mtafiti wa Kiwahabi, kwa mfano, anasema:
٠: } ا٠ رخ خظس {ـــأخ ح١ ػ ـخي ك٢ حؤش، خ و ػ طل٤ ه طؼخ
زي حز: ـهخ حر ػ “طل٤: ك٢ ر، ػي حؼخء ح، هخ حإلخ حو١ز٢ ـ أ١ طلىــــكـــ
ح ـــــ٣ ػي أ حؼ : أكيخ حلثش رخظؤ٣، كب ه٤ يــــــــخي ا خ أك “
ـــــ٢ طؤ٣ـــ٢ كــحؼخ -ػ٤ ؼ ػ٠ ٤ ٣ؼ٢ أ هللا زلخ ٣ـ ز٤ ٠ هللا -
غ ح ٤ حظ. حؼحد، ظــــــ} ؿ ٣ج خس * ا٠ رخ خظس { هخ: ؼخ طظ
٢ طل٤ــــــذ كـــل ٣ حإ٣ش، اخ ؿخ٣ش خ ك٤ أ - هللا ك -كال ٣ي ه ح ػ٠ أ
ظلخء ىلش ــح٣٥ــــش زخ وخلخ ذ أػزظخ، ل ٣ؼ٢ حظلخء ىلش ح٣٥ش ػي ػ٠ حإ٣ش ح
حله، ل ٤خ حلكخى٣غ حظ٢ رـض كي حظحط . ؿ٤خ حلىـــــــش
Ama kile kilichosimuliwa kutoka kwa Mujahid kuhusu suala hili na kile
kilichonukuliwa kutoka kwake katika kuifasiri Aya isemayo: “Kwa Mola
wake (nyuso hizo) ni zenye kutazama”, hio ni rai aliopwekeka nayo, na
wanavyuoni wameihisabu (rai hio) kuwa ni katika jumla ya mambo pweke.
Al-Imamu Al-Qurtubi kasema katika tafsiri yake: „Kasema Ibn „Abdil-
772
- Ibn Taymiyya Majmu‟a Al-Fatawa j. 17, uk. 408.
259 Barri: „Mujahid pamoja na kuwa ni mmoja wa Maimamu wa tafsiri, lakini
ana kauli mbili zenye kuhamwa na wanavyuoni: moja yao ni hii, yaani
kusema kuwa Allah atamuweka Mtume wake (s.a.w.) juu ya kiti chake, na
yapili ni katika kuifasiri kwake Aya isemayo: “Nyuso siku hio
zitang‟aa**kwa Mola wake tu ni zenye kutazama”, akasema kuwa
(maana yake ni kuwa nyuso hizo zitakuwa) zinangojea malipo, wala si
maana yake kutazama (kwa macho).
Na pamoja na hayo, kauli yake hii haijaonesha kwamba yeye (Mujahid
r.a.) haitakidi kuonekana kwa Allah, bali upeo wa kilichomo ndani ya
(kauli) yake hio ni kuwa yeye kaifasiri Aya hio kinyume na tafsiri ya
waliothibitisha kuonekana kwa Allah. Na wala haina maana kwamba vile
kusema kwake kuwa Aya hio haina ushahidi huo kwamba na dalili
nyengine pia hazina ushahidi huo hususan Hadithi ambazo zimefika
kiwango cha mutawatir!.773
Hayo ni maelezo ya mtafiti huyo wa Kiwahabi, nayo yanatokana na kawaida
yao ya kutaka kuwagubika watu na kuuficha ukweli. Ama madai yake
kwamba hio ni rai ambayo kwamba kwapwekeka nayo Mujahid, hilo
umeshalifahamu kutokana na mengi yaliotangulia kwamba halina ukweli.
Lakini ni bora tumuachie Mzee wa Uislamu na watu wa skuli hio hio ya
Kiwahabi watujibie. Anasema Mzee wa Uislamu, Ibn Taymiyya:
حظخرؼ٤ أ هللا ل ٣ كح ه: } ؿ ٣ج خس { } ا٠ رخـــــخ و ػ رؼـ
طظظ ػحد رخ خ و ػ ـخي أر٢ خق خظس { رؤخ
Na kama ilivyonukuliwa kutoka kwa baadhi ya wanafunzi wa Masahaba
kwamba Allah haonekani na wakaifasiri Aya isemayo: “Nyuso siku hio
zitang‟aa**kwa Mola wake tu ni zenye kutazama”, kwamba maana
yake ni (kuwa zitakuwa) zinangojea malipo ya Mola wake, kama
yalivyonukuliwa hayo kutoka kwa Mujahid na Abu Salih.774
Anasema Abu Maariya:
و )ا٠ رخ خظس ( طظظ ؼ خ ؿخء ػ رؼ حق )ـخي، أر٢ خق( أ هللا ل٣
ػحد رخ
Na mfano wake ni kile kilichopokewa kutoka kwa baadhi ya Al-Salaf
(Mujahid na Abu Salih) kwamba ALLAH HAONEKANI kwa sababu ya
773
- Ali bin Naaif Al-Mufassalu Fii Al-Raddi „Alaa Shubuhaati A‟adaai Al-Islam j. 2, uk.
180. 774
- Ibn Taymiyya Majumu‟a Al-Fatawa j. 20, uk. 34.
260 kauli yake “Kwa Mola wake tu zinatazama” (yaani) zinangojea malipo
ya Mola wake.775
Maelezo hayo yanatosha kuubainisha udhaifu wa madai ya Sheikh „Ali bin
Naif. Na kwa ujmla ni kuwa kama ulivyoona katika nukulu ya Al-Mawardi,
tafsiri hio na inayokurubiana na hio imesimuliwa kutoka kwa wanavyuoni
watangulizi zaidi ya wawili katika mapokezi ya Kisunni, na idadi ya
wasiopungua wanavyuoni kumi katika masimulizi ya Kiibadhi.
Ama madai ya Sheikh „Ali aliposema:
Na pamoja na hayo, kauli yake hii haijaonesha kwamba yeye (Mujahid
r.a.) haitakidi kuonekana kwa Allah, bali upeo wa kilichomo ndani ya
(kauli) yake hio ni kuwa yeye kaifasiri Aya hio kinyume na tafsiri ya
waliothibitisha kuonekana kwa Allah. Na wala haina maana kwamba vile
kusema kwake kuwa Aya hio haina ushahidi huo kwamba na dalili
nyengine pia hazina ushahidi huo hususan Hadithi ambazo zimefika
kiwango cha mutawatir!.
Tunasema: tumeona katika nukulu mbili zilizotangulia – ya Ibn Taymiyya
na Abu Maariya – wakisema: “na kama ilivyonukuliwa kutoka kwa baadhi
ya wanafunzi wa Masahaba kwamba Allah haonekani”…………. “na
mfano wake ni kile kilichopokewa kutoka kwa baadhi ya Al-Salaf (Mujahid
na Abu Salih) kwamba ALLAH HAONEKANI”. Ninasema: bali madai
hayo ya Sheikh „Ali bin Naif ni madai ya kufyatua tu, kwani kuwepo kwa
riwaya tu siko kunakoeleza kuwa riwaya hizo zinakubalika kwa
mwanachuoni fulani, kwa hivyo anayetaka kuthibitisha kuwa Mujahid
alikuwa akiitakidi kumuona Allah ni lazima alete riwaya sahihi kutoka kwa
Mujahid mwenyewe. Bali Ibn Jarir kapokea riwaya mbili – japo kuwa ni
dhaifu – kutoka kwa Mujahid akisema kwamba “haonekani na yoyote
miongoni mwa viumbe wake”.776
Lakini pamoja na udhaifu wa sanad mbili
hizo, katika riwaya nyengine zenye sanad sahihi, kama alivyosema Ibn
Hajar,777
Mujahid kasema katika riwaya hizo kwamba Aya: “Nyuso siku
hio zitan‟gaa**Kwa Mola wake tu zinatazama”, maana yake ni kuwa
zitakuwa zinasubiri malipo, na haya ndio maudhui ya hapa.
Na wako waliotoa hoja kwa kusema kwamba pamoja na kuwa watu hao (wa
kisimamo cha kiama) watakuwa wanangojea malipo ya Allah lakini
775
- Abu Maariya Taysiiru Al-‟Aziizi Al-Hamiid uk. 115. 776
- Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 24, uk. 72. 777
- Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 15, uk. 9249, katika maelezo ya Hadithi na. 7434.
261
watakuwa wanamuona. Anasema muandishi wa kitabu kiitwacho Jawaabu
Ahli Al-Sunna Al-Nabawiyya:
س {، كوخح:.... خ خظ ر س ا ٠ خ ج ٣ ؿ كوخ: ا كؼ هللا ٣ حؼزخى ٣، اخ هخ: }
غ خ طظظ حؼحد، ٢ ط رخ. حؼحد رخ. كوخ: اخ اخ طظظ
….Basi tukasema: „kwani vitendo vya Allah, waja hawajaacha kuwa
wanaviona, lakini Yeye kasema: “Nyuso siku hio zitang‟aa**kwa Mola
wake tu ni zenye kutazama”. Basi wao wakasema: „kwa hakika (Aya hio
maana yake ni) kungojea malipo kutoka kwa Mola wake‟. Nasi tukajibu:
„kwamba pamoja na kungojea kwake malipo, pia (nyuso hizo) zitakuwa
zinamuona Mola wake‟.778
Hivyo ndivyo walivyojibu. Nasi tunasema kwamba huku ni kuchanganya
maudhui ili kuwachanganya watu! Maudhui yetu hapa ni kuhusua tafsiri ya
Aya moja maalumu: si kuhusu suala zima la kuonekana kwa Allah:
tunachokijadili hapa ni kuwa je Aya inayosema: “kwa Mola wake tu ni
zenye kutazama” maana yake ni kumuona Allah au ni kungojea rehema
yake? Hii ndio maudhui ya hapa. Ikiwa Allah ataonekana kwa mujibu wa
dalili nyengine, dalili hizo zinahitaji mjadala wake mbali, lakini kwa hapa
kinachotafutwa ni tafsiri ya Aya hio, na kwa hivyo tunapoijadili Aya hio
hususan, hakuna haja ya kuchanganya maudhui na kudai kwamba hata kama
watu watangojea rehema lakini pia watakuwa wanamuona.
RIWAYA YA ABU SALIH
Abu Salih ni mwanafunzi wa Abu Huraira na Ibn Abbaas. Yeye huyu pia
kaifasiri Aya hio: “Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu
zinatazama”, kuwa maana yake ni kungojea malipo ya Allah yaani
kungojea kuingia peponi. Anasimulia Ibn Abi Shaiba riwaya inayosema:
ش }ا : ك س { ه خ خ ج ٣ ؿ س {كيػخ أر ؼخ٣ش ػ اخػ٤ ػ أر٢ خق } خ خظ ر ٠
خ. ر حد حؼ ظ ظ : ط ه خ
Katusimulia Abu Mu‟awiya kutoka kwa Isma‟iil (bin Abi Khaalid) kutoka
kwa Abu Salih (kasema kuhusu Aya inayosema): “Nyuso siku hio
zitang‟aa”, kasema (Abu Salih): „zitakuwa nzuri‟; “Kwa Mola wake tu
zinatazama”, kasema: „zinasubiri malipo ya Mola wake‟.779
778
- Jawaabu Ahli Al-Sunna Al-Nabawiyya j. 2, uk. 21. Na asili ya maneno hayo ni kutoka
katika kitabu alichozuliwa Al-Imamu Ahmad bin Hanbal kiitwacho Al-Raddu „Alaa Al-
Zanaadiqa Wa Al-Jahmiyya uk. 33. 779
- Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 7, uk. 205, riwaya na. 35367.
262
Riwaya hio pia kaipokea Al-Tabari kwa sanad hii:
كيػ٢ أر حوطخد حلخ٢، هخ: ػخ خي، ػ ل٤خ، هخ: ػخ اخػ٤ ر أر٢ هخي، ػ أر٢
.…خق
Katusimulia Abu Al-Khatab Al-Hassaani kasema, katusimulia Malik
kutoka kwa Sufyaan kasema katusimilia Isma‟il bin Abi Khalid kutoka
kwa Abu Salih…780
Hii ni riwaya ya Abi Salih, ambayo Maimamu wengi wa Kisunni akiwemo
Ibn Hajar na Ibn Taymiyya wameithibitisha kutoka kwa Abi Salih. Hata
hivyo, sanad hii tulioitaja hapa ina udhaifu – japo kuwa si mkubwa – kwani
Malik naye ni Malik bin Su‟air – mpokezi wa pili wametafautiana juu yake.
Wakati Abu Zur‟a, Abu Hatim na Al-Daraqutni wanasema ni “mkweli”,
nayo ni lugha yenye kuashiria kwamba si imara sana, Abu Daud asema ni
dhaifu.781
Kwa hali yoyote ile iwayo, Ibadhi wameipokea riwaya hii kutoka
kwa Abi Salih kwa sanad nyengine kama tulivyotaja katika orodha hapo
nyuma. Na kwa hivyo, riwaya mbili hizi zinapeana nguvu na kukubalika.
780 - Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 24, uk. 73.
781 - Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 10. uk. 15, tarjama na. 20.
263
SURA YA NANE HOJA YA PILI
Hoja ya pili ya wenye itikadi ya kumuona Allah huko akhera ni Aya
inayosema:
س ٣ خى ٠ ل ح ح أ ك ٣
Wale waliotenda mema watapata mema (ya matendo yao) na ziada.782
Ushahidi wao katika Aya hii ni kuwa Mtume (s.a.w.) katika Hadithi yake
kalifasiri neno ziada lililotajwa katika Aya hio kuwa maana yake ni
kumuona Allah. Na inayofuata ndio Hadithi yenyewe:
ش ػ ػخرض حزخ٢ ػخى ر ــــكيػخ لي ر رخ كيػخ ػزي حك ر ي١ كيػخ ك
هخ ))٣ أكح حل٠ ٣خىس((٠ ــــحز٢ ٠ هللا ػ٤ ك٢ ه ط ؼ خ ٤ذ ػ
اح ىه أ حـــــش حـش خى خى ا ػي هللا ػيح ٣٣ي أ ٣ـ هخح أ طز٤
ذ ــــك٤ق حلـخد هخ كهللا ٣ؼطح ٤جخ أكؿخ طـخ حـــــــخ طيهخ حـش هخ
ا٤ ا٤ حظ
Ametusimulia Muhammad bin Bashar, katusimulia „Abdul-Rahman bin
Mahdi, katusimulia Hamad bin Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani
kutoka kwa Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kuhusiana na kauli ya
Mwenyezi Mungu inayosema „wale waliofanya mema watapata mema
yao na ziada,‟ kasema (Mtume (s.a.w.): „watapoingia watu wa peponi
katika pepo atanadi mwenye kunadi: „hakika ya nyinyi muna ahadi kwa
Mwenyezi Mungu anataka kukutekelezeeni‟. Watasema kwani
hukuzing‟arisha nyuso zetu na kutuokoa na moto na ukatuingiza peponi?
Kasema: „basi ataondoa pazia basi naapa kwa jina la Allah hawajapewa
kitu bora kuliko kumtazama Yeye‟.
TAKHRIJ YA HADITHI HIO
Hadithi hio kaipokea Al-Imamu Muslim,783 na akaipokea Al-Bazzaar
784
lakini katika riwaya yake hakuna maelezo ya wazi yenye kuonesha kuwa
hio ni tafsiri ya neno “ziada”, japo kuwa Aya yenye neno hilo kaitaja pia,
lakin hatimae akasema:
782 - Sura 10, Aya 26.
783 - Al-Imamu Muslim Sahihi Muslim Bisharhi Al-Imamu Al-Nawawi j. 2 uk. 297 Hadithi
na. 297. 784
- Al-Bazzaar Al-Bahru Al-Zakhaar j. 6, uk. 21, Hadithi na. 1844.
264
طؼخ٠ كي ه ) ل ٣ن ؿ هظ ل ش (ك٤ظـ٠ ر طزخى
Basi Allah Mtukufu Aliyetukuka atawadhihirikia, na hio ndio (maana ya)
kauli yake (Allah aliposema): “Na nyuso zao hazitofunikwa na kiza wala
unyonge”.785
Kisha akasema Al-Bazzaar:
حـ٤س ، كخى ر ٣ي ، ؼ ، ػ ػخرض ، ػ ػزي حك ر ح حلي٣غ ح ٤خ ر
وش خ ـــي٣غ اح ح حؼــــهخ كخى : ػ ػخرض ، ػ ػزي حك ، ػ ٤ذ حل أر٢ ٠٤،
كخى ر ش ه٤خ حخ أخث حلي٣غ اح حى، خ
Na Hadithi hii kaipokea Sulaiman bin Al-Mughira na Hammad bin Zaid na
Ma‟amar kutoka kwa Thabit kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila. Na
Hammad (bin Salama) yeye kasema (kuwa Hadithi hio) inatoka kwa
Thabit kutoka kwa „Abdil-Rahmaan kutoka kwa Suhaib. Na Hadithi
ikisimuliwa na mpokezi mwenye kuaminika basi Hadithi (inayozingatiwa)
ni yake ikiwa kazidisha. Na Hammad (bin Salama) alikuwa ni katika watu
bora na waaminifu!
Hadithi hio pia kaipokea Ibn Maajah,786
Al-Nasai,787
Abu Nu‟aim,788
Al-
Tabarani katika Al-Kabir789
na Al-Awsat na akasema: “Hadithi hii
hakuipokea kutoka kwa Thabit (Al-Bunani) isipokuwa Hammad bin
Salama”.790
Hadithi hio kaipokea pia Al-Tirmidhi katika Al-Sunan na
akasema:
ك س ٤ ـ ح ر خ ٤ ك ؼ ش خى ر ك ي خ أ ي ٣غ ا ح ك ٣غ ي ل ح ح ٣ ي خى ر
ػ خر ض ــــــػ أ ر ٢ ٤ ٠ ه ر ك ز ي ح ػ ز خ ٢ ػ ح
Hadithi hii Hammad bin Salama kaifanya marfu‟u (kainasibisha kwa
Mtume s.a.w.); ama Sulaiman bin Al-Mughira na Hammad bin Zaid, wao
wameisimulia Hadithi hii kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka kwa „Abdi-
Rahmaan bin Abi Laila ni maneno yake (yeye Abdul-Rahman: si
Hadithi ya Mtume s.a.w.).791
Hadithi hio pia kaisimulia Al-Baghawi,792
Ibn Hibbaan,793
Abu „Awaana,794
Ahmad,795
Al-Tayaalisi,796
Al-Shaashi,797
na wengine.798
785
- Sura 10, Aya 26. 786
- Ibn Maajah Al-Sunan Hadithi na. 183. 787
- Al-Nasai Al-Kubra j. 4, uk. 420, Hadithi na. 7766, j. 6, uk. 361, Hadithi na. 11234. 788
- Abu Nu‟aim Al-Mustakhraj „Alaa Sahihi Muslim j. 1, uk. 245, Hadithi na. 453. 789
- Al-Tabarani Al-Kabiir j. 8, uk. 39, Hadithi na. 73, 14. 790
- Al-Tabarani Al-Awsat j. 1, uk. 230, Hadithi na. 756. 791
- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 2475 792
- Al-Baghawi Shar-hu Sunna j. 8, uk. 450, Hadithi na. 4393.
265
Hadithi hio kaipokea pia Al-Tabarani katika Musnad Al-Shaamiyyin kwa
sanad inayofuata:
كيػخ حل ر حؼزخ حح١ ػخ لي ر ك٤ي ػخ ارح٤ حر حوظخ ػ حر ؿ٣ؾ
..…ػ ػطخء حوحخ٢ ػ ؼذ ر ػـس ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤
Katusimulia Al-Hasan bin „Abbaas Al-Raazi katusimulia
Muhammad bin Humaid katusimulia Ibrahim bin Al-Mukhtar kutoka
kwa Ibn Juraij kutoka kwa „Ataa Al-Khuraasani kutoka kwa Ka‟ab
bin „Ujra kutoka kwa Mtume (s.a.w.).799
Hivyo ndivyo alivyoisimulia, nayo ni sanad dhaifu ilioje. Anasema Al-
Salafi, mpekuzi wa Kiwahabi, katika maelezo yake juu ya sanad hio:
ح حر ؿ٣ ك٢ طل٤ لي ر ك٤ي ؼ٤ق حرح٤ ر حوظخ يم ؼ٤ق حللع
..……٣ظو٠ كي٣ؼ ح٣ش حر ك٤ي ػ ػطخء ٣غ ؼذ ر ػـس هخ حر كزخ
Na kaipokea Ibn Jarir katika tafsiri yake, lakini Muhammad bin Humaid ni
dhaifu na Ibrahim bin Al-Mukhtar ni mkweli lakini hifdhi yake ni dhaifu,
anasema Ibn Hibbaan: „Hadithi zake alizozipokea kutoka kwa Ibn Humaid
zinaepukwa; na „Ataa hakusikiapo (Hadithi) kutoka kwa Ka‟ab bin
„Ujra.800
Hivyo ndivyo alivyonena. Ninasema: na Ibn Juraij anaghushi vibaya sana na
Hadithi yake hapa ni mu‟an‟an. Anasema Al-Daraqutni: “Jiepushe na
ghushi ya Ibn Juraij; alikuwa haghushi ila kitu alichokisikia kutoka kwa
(mpokezi) aliyejeruhiwa (dhaifu)”.801
Na Hadithi kama hio kainukuu pia Al-Busairi na Al-Haithami kwa sanad
hizi:
793
- Ibn Hibbaan Sahihu Ibn Hibbaan j. 16, uk. 471, Hadithi na. 7441. 794
- Abu „Awaana Al-Musnad j. 1, uk. 136, Hadithi na. 411. 795
- Ahmad Al-Musnad Hadithi na. 18177. 796
- Al-Tayaalisi Al-Musnad Hadithi na. 1315. 797
- Al-Shashi Al-Musnad j. 2, uk. 387-388,389, Hadithi na. 988,989,990. 798
- Katika baadhi ya vitabu nimekuta takhirij ifuatayo ya Hadithi hio:
Ibn Manda Al-Imaan, Hannad bin Sariy Al-Zuhd, „Abdullah bin Ahmad Al-Sunna, Al-
Tabari Jami‟u Al-Bayaan, Ibn Abi „Aasim Al-Suuna, Ibn Khuzaima Ibn Khuzaima labda ni
katika Al-Sahih,, Al-Aajurri Al-Tasdiiq Binnadhar, Al-Laalakai Sharhu Usuuli Al-I‟itiqaad,
Al-Bayhaqiy Al-Ba‟athu wa Al-Nushuur. 799
- Tazama maelezo ya Al-Salafi katika Musnad Al-Shaamiyyin j. 3, uk. 302. 800
- Tazama maelezo ya Hamdi bin „Abdil-Majid Al-Salafi katika Musnad Al-Shaamiyyin j.
3, uk. 302. 801
- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 6, uk. 357, tarjama na. 758.
266
ؼ ٤ زخى ر ػ خ ػ ي , ك ز ل ح ى ر ح ػ خ ى ي ش : ك خ أ ر ٢ أ ي ر ل ع ر خ ل ح هخ خك غ ، ػ ، ػ
. ػ .……………حر ؼ خ ح ر ػ ز ي هللا ر ػ ، ػ ؿ ػ …….
Kasema Al-Harith bin Muhammad bin Abi Usama, katuhadithia Dawud
bin Muhabbar katuhadithia „Abbaad bin Kathir kutoka kwa Nafi‟i kutoka
kwa Ibn „Umar…………..na kutoka kwa mtu kutoka kwa „Abdullahi bin
„Amri bin Al-‟Aas…..802
Kisha Al-Busairi akasema: ز ل ح ى ر ح ؼ ق ى ٤ق ؛ ٠ ؼ خى ح ا (na isnad hii ni
dhaifu kwa sababu ya udhaifu wa Dawud bin Muhabbar). Ninasema: na
„Abbaad bin Kathir pia ni dhaifu sana. Ama sanad ya pili – kama
unavyoiona – inasema: “kutoka kwa mtu”, basi ni hivyo “kutoka kwa mtu”,
hajulikani ni nani! Kwa hivyo sanad hizi ni dhaifu.
Kwa hivyo, kwa ujumla ni kuwa sanad hizi hazina khilafu juu ya udhaifu
wake, tumebakiwa na maelezo kuhusu sanad ya kwanza ambayo katika
mapokezi yote njia yake ni: “kutoka kwa Hammad bin Salama kutoka kwa
Thabit Al-Bunani kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila kutoka kwa
Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.)…”...
WALIOITOLEA HOJA HADITHI HIO
Miongoni mwa walioitolea hoja Hadithi hio ya Hammad bin Salama ni Ibn
Taymiyya katika Majmuu‟a Al-Fataawa,803
Ibn Al-Qayyim katika Haadi
Al-Ar-waah,804
Ibn „Abdil-Barr katika Al-Tamhid,805
Al-Baghawi katika
Sharhu Al-Sunna,806
Ibn „Uthaimin katika Sharhu Riyadhi Al-Salihin,807
na
wengine wengi kama Ibn Rajab Al-Hanbali katika Fat-hu Al-Bari, Ibn Hajr
Al-„Asqalani katika Fat-hu Al-Bari. Na kwa ufupi hio ndio moja ya hoja
kuu za wenye itikadi ya kumuona Allah.
802 - Al-Busairi Ittihaafu Al-Khayara Al-Mahara j. 5, uk. 88. Al-Haithami Bughyatul
Baahith j. 2, uk. 648, Hadithi na. 622. 803
- Ibn Taymiyya Majmuu‟a Al-Fataawa j. 1, uk. 35. 804
- Ibn Al-Qayyim Haadi Al-Ar-waah 212. 805
- Ibn „Abdil-Barr Al-Tamhid j. 7, uk. 157. 806
- Al-Baghawi katika Sharhu Al-Sunna j. 8, uk. 449. 807
- Ibn Uthaimin Sharhu Riyadhi Al-Salihin, j. 4, uk. 451.
267
MAELEZO KUHUSU SANAD HIO
YA HAMMAD BIN SALAMA
Riwaya hio ni miongoni mwa riwaya muhimu zao ambazo watetezi wa
itikadi ya kumuona Allah wameshikana nazo katika kuthibitisha itikadi hio.
Wasiokubaliana na suala la kuonekana kwa Allah wameipinga riwaya hio
kwa sababu kadha wa kadha. Baadhi yake ni hizi:
1) Neno ziada ambalo limetajwa katika Aya si maana yake kumuona
Allah.
2) Kanuni za kilugha, za kibalagha zinaipa uzito maana nyengine
kabisa pasina kuonekana Allah.
3) Wanavyuoni watangulizi kuanzia Masahaba na waliofuatia baadae
wametafautiana juu ya tafsiri ya neno ziada lililomo katika Aya hio.
4) Katika sanad ya Hadithi hio kuna mpokezi HAMMAD BIN
SALAMA, naye japokuwa ni mtu mwema lakini alikuwa akikosea
sana na kusahau sana na kwa hivyo katika masimulizi yake
kumekuwa na Hadithi munkar nyingi sana:
a) Hammad bin Salama kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi
katika masimulizi ya riwaya hio.
b) Hammad bin Salama kenda kinyume na watu waliokuwa ni
awthaq (wenye kuaminika zaidi) kuliko yeye.
Hizi ni nukta nne kwa sita ambazo ni lazima zitazamwe kwa mujibu wa
minhaj sahihi ikiwa tunataka kuufikia ukweli wa riwaya hio ya Hammad bin
Salama. Sasa baada ya hayo, wacha tuitazame nukta moja moja.
MAANA YA ZIADA
Nukta ya kwanza: ni kuhusu maana ya neno ziada lenyewe. Maandiko ya
kisharia kwa asili yana njia mbili kuu ya kuyafasiri:
1) Njia ya kilugha, yaani kulitazama neno je kilugha lina maana gani.
2) Njia ya dalili za nje nayo ni njia ya kutazama je kuna andiko jengine
lolote lile ambalo limetoa tafsiri kwa hili andiko ambalo ninalitafutia
tafsiri yake.
Hizo ndio njia muhimu zao. Lakini pia hutumika njia nyengine kama vile:
1) Hoja za kiakili.
2) Misingi ya ujumla ya Sharia.
3) Misingi ya ujumla ya itikadi.
268
Sasa tukija katika upande wa kilugha natarajia kwamba hatutotafautiana
kwamba neno ziada katika lugha ya Kiarabu halina maana ya kuona. Kwa
maana hii, anayetaka kuthibitisha kuwa neno hilo hapo katika Aya hio
limemaanisha kuona, basi itamlazimu awe na ushahidi wa Kisharia, yaani
Qur-ani au Hadithi sahihi. Na ninaposema kwamba neno hilo kilugha halina
maana ya kuona sikusudii kwamba haiwezekani kulifasiri hivyo ikiwa
kutakuwa na ushahidi unaokubalika kielimu, bali nakusudia kwamba asili
ya neno lenyewe halina maana ya kuona. Na kwa sababu hio, hakuna
mlimwengu yoyote yule utayemwambia kwamba nitakupa ziada akafahamu
kuwa utamuonesha kitu, bali atachokifahamu kutokana na maneno yako
hayo ni kuwa utampa nyongeza ya kitu kile kile ulichomuahidi kumpa;
kama umemuahidi Shilingi ishirini na ziada basi atatarajia kupewa Shilingi
ishirini na tano au thalathini. Kwa mantiki hii ni wazi kwamba ikiwa watu
wa peponi watalipwa wema na wema wenyewe ukafasiriwa kuwa ni pepo,
basi ni wazi kwamba ziada watayopewa ni ziada katika jinsi ya malipo yao
hayo hayo ya pepo. Hakuna kuwa malipo ya matendo yao yawe ni pepo
kisha ziada iwe ni kumuona Allah.
Lakini la msingi zaidi hapa ni kujiuliza kuwa vipi kitu bora iwe ndio ziada
na kitu kilichozidiwa ubora kiwe ndio malipo ya msingi! Utakumbuka
kwamba kumuona Allah ndio malipo bora zaidi kwa mujibu wa wenye
itikadi hio. Soma – ukipenda pamoja nami – maelezo ya Mzee wa Uislamu,
Ibn Taymiyya na wanafunzi wake. Anasema Mzee wa Uislamu:
رإ٣ظ ك٢ ح٥هس طو ػ٤ ل ٢ء ٣ؼط٤ ك٢ ح٥هس أكذ ا٤ حظ ا٤
Na kwa kumuona Yeye huko akhera, basi macho yao yatafurahi, na wala
hakuna kitu atachowapa huko akhera chenye kupendeza zaidi kwao kuliko
kumtazama Yeye (kumuona Allah).808
Anasema Dr. Baasim Faisal katika maelezo yake juu ya kitabu Usuulu Al-
Iman cha Muhammad „Abdil-Wahhaab:
ح حلي٣غ ٣ؼزض إ٣ش هللا زلخ طؼخ٠ ئ٤ ٣ حو٤خش ٢ أػظ ؼش هللا طؼط٠ ل
حـش
Hadithi hii inathibitisha kuwa Waumini watamuona Allah siku ya kiama,
nako (huko kumuona Allah) ndio neema kuu yao watayopewa watu wa
peponi.809
808
- Ibn Taymiyya Majmuu‟u Al-Fataawa j. 1, uk. 33. Na mfano wake ni uk. 35-36. 809
- Muhammad „Abdil-Wahhaab Usuulu Al-Imaan uk. 55.
269
Anasema „Abdul-Rahmaan bin Saalih Al-Mahmuud:
خ ى ــ ػو٤يس أ حش حـخػش أ ٣ؼزظ إ٣ش حئ٤ ر ػ ؿ ٣ حو٤خش،
.…ػ٠ ي حظخد حش حإلؿخع، ٣ئ أ إ٣ش هللا ػ ؿ ٢ أػظ ؼ٤ أ حـش
Miongoni mwa itikadi ya Ahlu Sunna Wal Jamaa‟a, ni kuwa wao
wanathibitisha (wanakubali) kuwa Waumini watamuona Mola wao
Mtukufu siku ya kiama kama Qur-ani na Sunna zilivyoonesha hivyo na
makubaliano!810
Na wanaamini kwamba kumuona Allah Mtukufu ndio
neema kuu ya watu wa peponi.811
Kwa hivyo, ikiwa kumuona Allah ndio neema kubwa yao ya watu wema,
basi masuala ya kimaumbile ni haya:
1) Vipi kumuona Allah kuwe ni ziada au ukipenda sema vipi kumuona
Allah kuwe ni bonus au kiinuamgongo ilhali ndio neema kuu yao?
2) Vipi makafiri na wanafiki nao wamuone kama inavyosema Hadithi
yenu iliosimuliwa na Al-Imamu Al-Bukhari na Al-Imamu Muslim
kama kweli kumuona Allah ndio neema kuu yao: kipi kitachowazuia
wasipate neema iliochini ya hio – neema ya pepo?
Kwa hivyo, kiujumla ni kuwa neno ziada lenyewe kilugha halina maana ya
kuona wala haliashirii hivyo kamwe si kwa mbali wala si kwa karibu. Bali
kilugha, neno hilo linamaanisha nyongeza, na mara nyingi ni kuwa
nyongeza inatokana na jinsi ya kitu kile kile cha msingi. Huo ni kwa upande
wa madluulu lafdhiy (dalili za matamshi ya neno) za neno hilo.
FANI YA BALAGHA YATOA JAWABU
Nukta ya pili ya kutazamwa hapa, inahusiana na balagha ya Aya hii. Tukija
katika upande wa kifani, fani ya balagha ya Kiarabu, basi utakuta kwamba
tafsiri bora ya Aya hio inayosema: س ٣ خى ٠ ل ح ح أ ك ٣ Wale waliotenda
mema watapata mema (ya matendo yao) na ziada, ni kuwa maana ya
ziada iliotajwa katika Aya hio ni moja katika mbili:
1) Kuyaongeza malipo ya watu, atayefanya jema moja akalipwa
thawabu kumi na zaidi kama Aya nyengine na Hadithi zilivyosema.
2) Au iwe ziada ni zile neema zinazowashukia watu wa peponi kila
wakati. Na tafsiri hii na ya kwanza haina mgongano, kwani
inawezekana ikawa moja ni ufafanuzi wa ya pili.
810
- Uwongo uwoo wankuwa waanza! Ha makubaliano ayo yantokea wapii jamaa! 811
- Abdul-Rahmaan bin Salih Sharhu Kitabi Lam‟a Al-I‟itiqaad j. 8, uk. 1.
270
Ufafanuzi wa nukta ya kwanza ni kuwa katika Aya hio na ilio baada yake
kuna muqaabala (maana kinyume yaani opposite) au muwiyano wa
kibalagha.812
Na kwa mujibu wa minhaj (methodology) sahihi ya tafsiri ni
kuwa muqaabala uliopo baina ya maandiko mawili au muwiyano wa
kimaana ni miongoni mwa qarina ambazo zinabainisha maana iliokusudiwa
katika andiko ambalo makusudio yake hayako wazi. Sasa ukirudi katika
Aya hio utakuta Aya hio inasema hivi:
س ٣ خى ٠ ل ح ح أ ك ٣
Wale waliotenda mema watapata mema (ya matendo yao) na ziada.
Kisha Aya hio kimaana ikakabiliwa na Aya inayofuatia yenye kusema:
خ ؼ ٤ج ش ر حء ٤ج خص ؿ ح ح ز ٣ ح
Na wale waliochuma mabaya basi malipo ya ubaya (wao) ni
ubaya ulio mfano wake (tu).
Kwa hivyo, kila ambaye ana ufahamu sahihi wa mfumo wa balagha ya
Kiarabu na ufahamu sahihi wa mfumo wa Aya za Qur-ani zilivyo, basi
inambainikia kwa uwazi kwamba ziada iliotajwa katika Aya ya kwanza ni
kuzidishwa kwa malipo ya matendo ya watu wema – aliyefanya moja
atalipwa thawabu zaidi ya moja. Na maana ni kuwa wale wamezidishiwa
thawabu zao: wamelipwa kumi kwa kitendo chao kimoja; na kinyume chake
au na kunasibiana kwake ni kuwa hawa hawakuzidishiwa dhambi zao:
dhambi moja kwa malipo yale yale tu ya dhambi yao moja. Na hapa maana
itakuwa imeoana na kufungamana vizuri baina ya Aya mbili.
Kisha ikiwa utaifatilia na kuizingatia Qur-an katika Aya zake nyengine, basi
ataona kwamba ziada hio imekuja kwa lafdhi nne:
1) Lafdhi ya ziada iliotajwa katika Aya hio, bila ya kubainisha aina
yake wala kiwango chake.
2) Lafdhi ya ziada hio kwa kutumiwa jina la khairu (kilichobora zaidi).
Hii imetajwa katika Aya ya Qur-ani inayosema:
آ ج ع ٣ ك خ ٤ ه ش ك ل خء ر خ ؿ …….
812
- Tumeshaeleza nini maana ya muqabala katika sehemu iliotangulia na kutoa mifano ya
Aya.
271
Atayekuja na jema moja basi atapata kilicho bora zaidi kuliko hilo
naye atakuwa katika amani kutokana na mfazaiko wa siku hio…..813
3) Lafdhi ilioifafanua ziada hio kuwa kimsingi ni kulipwa thawabu
kumi kwa jema moja. Hii ni katika Aya inayosema:
خء ؿ خ ؼ ا ل ـ ٤ج ش ك ال ٣ خء ر خ ؿ خ ؼ خ أ ػ ش ك ل .…ر خ
Atayekuja na jema moja basi atapata kumi yalio mfano wake, na
atayekuja na baya basi hatolipwa ila mfono wake (tu baya hilo).814
4) Lafdhi iliokuja kwa njia ya mithali ya tembe moja iliotoa mashuke
saba yenye tembe mia saba. Hii ni katika Aya inayosema:
ز ك ٢ خر ز غ ز ظ ض زش أ ك ؼ هللا ز ٤ ك ٢ ح أ ل و ٣ ٣ ح ؼ هللا زش خث ش ك ش
٤ غ ػ ح هللا خء ٣ ق خػ ٣ ٠
Mfano wa wale wenye kutoa mali zao katika njia ya Allah ni mfano wa
punje moja iliotoa mashuke saba; katika kila shuke kuna punje mia,
na Allah humuongezea amtakeye na Allah ni Mwenye wasaa; ni
Mjuzi.815
Kwa hivyo, ukiitazama Qur-ani kwa misingi yake ya fani za kilugha yaani
misingi ya kibalagha basi utaiona inatoa jawabu juu ya ziada iliokusudiwa
katika Aya hio, kwani Aya ya pili imekuja kwa mfumo wa muqaabala
(kinyume) na ikasema kwa uwazi kwamba: “Na malipo ya waliochuma
maovu basi malipo yao ni sawa na uovu wao tu”. Ikafahamika, kwa
mujibu wa muqabala huu, kwamba wale wataolipwa wema na ziada ni
kulipwa wema wa walioyafanya; na ziada ni kulipwa moja kwa kumi na
zaidi. Hii ni kanuni nyepesi kwa wenye kujua njia sahihi za kuyafasiri
maandiko.
Lakini, katika kitabu chake Hoja Zenye Nguvu, Sheikh Kasim Mafuta
akanijibu kwa majibu ambayo hayakuacha kuwa na tadlis (ghushi) kama
kawada ya Kasim Mafuta na watu wote wa madhehebu yake ya Kiwahabi.
Kwanza kabla ya kunijibu alinukuu maneno yangu yasemayo:
Na kwa kutazama hizo kauli nyengine tofauti zilizosemwa basi utaona
kuwa iliyokaribu na usahihi ni kauli ya Alqama bin Qais ambaye amesema
813
- Sura 27, Aya 89. 814
- Sura 6, Aya 160. 815
- Sura 2, Aya 261.
272 kwamba “ZIADA” hapa ni kuzidishwa matendo ya watu wema aliyefanya
moja akalipwa mara kumi ya wema wake...
Hayo ni maneno yangu ambayo Kasim Mafuta kayanukuu ili kuyatolea
jawabu.816
Kisha baada ya hapo akanijibu kama ifuatavyo:
MAJIBU YETU
Majibu yetu hapa ni kwa njia tatu:
Njia ya kwanza:
Kila Muislamu anatakiwa kuamini kwamba Allah ni mwingi wa fadhila
mwingi wa huruma kwa waja wake, amewakirimu waja wake kwa fadhila
nyingi hapa duniani, na ataendelea kuwakirimu zaidi huko akhera, atawapa
waja wake fadhila nyingi mpaka waridhike.
Kwa kuwa yamekuja maandiko tofauti ambayo yanaelezea kuwa watu
wema huko akhera watalipwa wema wao na ziada juu, tunatakiwa
kuyakubali maandiko yote sahihi yaliyo tufahamisha hivyo, na kufanya
hivyo si kuthibitisha mgongano baina ya maandiko hayo, ndiyo maana
akasema Imamu Ibn kathir katika kitabu chake cha tafsiri alipokua
akiitafsiri aya isemayo:
٣ ح ٠ أ ك ل س ح ٣ خى ل ن ٣ ؿ ل ه ظ ش ج ي خد أ ل ش أ ـ ح خ خ ي ك ٤ ه
“Na wale waliofanya mema watapata wema na ziada.Wala vumbi
halitawafunika nyuso zao, wala madhila.Hao ndio watu wa Peponi.Humo
watakaa milele”.
Akasema Ibn Kathir:
٣ خى س } :ه ٣خىس ؼق، زؼخثش ا٠ أؼخخ ػ رخلش حلػخ ػحد ط٠ؼ٤ق ٢ {
حـخ ك٢ هللا ٣ؼط٤ خ ٣ أ٠٣خ ي ػ٠ حو لخـــأه خ ػ، حخ حل
أػال ي أك٠ أػ٤، هس ٤غــؿ أػظ ٣خىس كب ح٣، ؿ ا٠ حظ
كظ. رل٠ ر رؼ، ٣ظلوخ ل أػط، خ
Na kauli yake (Allah): “ZIADA” ni kuzidishiwa malipo ya matendo; jema
moja utazidishiwa mema kumi mfano wake, mpaka ziada mia saba, na
zaidi ya hapo. Pia ziada itakusanya yale yote atakayowapa Allah huko
peponi: Makasri, Hurul-a‟in (wanawake wa peponi), radhi zake Allah, na
yale aliyowafichia miongoni mwa vitulizo vya jicho na (ZIADA) ILIYO
BORA KULIKO ZOTE, NA ILIYO JUU ZAIDI NI KUUTAZAMA USO
WAKE ALLAH ULIOMTUKUFU. Kwa sababu hiyo ndiyo ziada kubwa
816
- Tazama Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 91.
273 kuliko vitu vyote walivyopewa, na hawakustahiki kupata hilo kwa sababu
ya matendo yao, bali ni kwa fadhila zake (Allah ) na rehma zake”.
Mwisho wa kunukuu.817
Kwa mujibu wa maneno hayo ni kwamba watu watapata ziada nyingi, na
miongoni mwa ziada hizo ni: kwamba yule aliyefanya wema mmoja
atalipwa mara kumi ya wema wake, na hali kadhalika atafadhiliwa
kumuona mola wake -Jalla jalaaluh-, na kuyatafsiri maandiko kwa namna
hii ni kuitumia ile kanuni ya upatanisho (the juristic law of reconciliation
between the apparently conraditory texts) kanunni ya upatanisho baina ya
maandiko ambayo dhahiri yake yanagongana, kanuni ambayo ndugu Juma
pia ameikubali, na kuitumia kama alivyoielezea katika ukurasa wa 261
katika kitabu
chake.
Lakini kwa masikitiko makubwa kabisa, ameshindwa au hakutaka
kuifanyia kazi kanuni hiyo aliyoikubali mwenyewe na alipofika kwenye
maandiko haya yaliyokuja kuitafsiri aya hii akaitupilia mbali kwa sababu
haiendi sambamba na itikadi yake!
Njia ya pili:
Je, unajua ni kwanini ndugu yangu msomaji ndugu yetu Juma ameipa
nguvu kauli ya Alqama bin Qais? Ni kwa sababu riwaya hiyo ina nguvu
kuliko riwaya nyingine? Au ameipa nguvu kwa sababu inaafikiana na
msimamo wake batili?
Jawabu ni hili hapa:
Ndugu Juma ameipa nguvu kauli ya Alqama bin Qais si kwa sababu kuwa
ni sahihi na ina nguvu, bali ni kwa sababu inaafikiana na msimamo wake
batili. Na kama utaifanyia utafiti wa kielimu riwaya hiyo utaona kwamba
miongoni mwa wapokezi wake ni “IBN HUMAID” (jina lake kamili ni;
MUHAMMAD BIN HUMAID BIN HAYYAAN AL-TAMIMI AL-RAZI)
kama alivyoeleza Ibn Jarir al-Twabariy katika kitabu chake cha tafsiri
juzuu ya 11 ukurasa 125.
Ibn Humaid huyo huyo ndiye yule ambaye ndugu yetu Juma alimtia kasoro
na kuidhoofisha riwaya yake, kama alivyoelezea katika kitabu chake “Hoja
zenye Nguvu” ukurasa 123. Lakini hapa bwana Juma anaitaja riwaya yake
na anaipa nguvu!
817
- Tazama tafsirul Qur‟anil adhim juzuu 4 ukurasa chapa ya kwanza ya daaru Ibn Hazm
ya mwaka 1419=1998.
274 Hivi inakuwaje mpokezi mmoja huyo huyo ambaye ametuelezea kwa
vishindo kwamba ni dhaifu, mwongo !!! Mara ghafla anakuja kutubadilikia
na kutwambia kwamba riwaya yake ni sahihi tena ndiyo yenye nguvu !!! Je
hapo kuna uadilifu?!
Kauli ya Juma kuhusu Ibn Huamid:
Hebu ndugu msomaji ni kunakilie maneno ya Juma alipokuwa
akimuelezea Ibn Humaid, amesema Juma:
“Sanad hii ni dhaifu sana kwa sababu ina msururu wa wapokezi madhaifu
na waongo…”.
Kisha akasema:
1) IBN HUMAID na jina lake kamili ni MUHAMMAD BINHUMAID
BIN HAYAAN AL-TAMIMI AL-RAZI….amesema Is‟haq bin Mansur al-
kuusaj! Akisimulia kauli ya Ali bin Mihran juu ya MUHAMMAD BIN
HUMAID akisema kwamba; “sijapata kuona mtu (anayejifanya) jasiri juu
ya Mwenyezi Mungu (hamuogopi Mwenyezi Mungu) kuliko yeye alikuwa
akizichukua hadithi za watu kisha akizigeuza” Na akasema tena kuwa
“sijapata kuona mtu bingwa wa uwongo kuliko watu wawili: Sulaiman Al-
Shadhakuni na MUHAMMAD BIN HUMAID”.!!! Mwisho wa kunukuu.
Tazama katika ukurasa wa 122-123 katika kitabu chake “Hoja zenye
Nguvu”.
Haya ndugu msomaji bila shaka umejionea mwenyewe namna watuhawa
wanavyocheza karata tatu! Inakuaje mpokezi akipokea riwaya
inayopingana na msimamo wa kiibadhi hafai ni dhaifu, anaghushi,
muongo, na riwaya zake hazikubaliki, tena mpaka inafikia kiwango cha
kuwazulia baadhi ya maulamaa uongo ilimradi dau lifike pwani.
Lakini mpokezi huyo huyo akipokea riwaya ambazo zinaafikiana na
msimamo wa kiibadhi basi riwaya hizo hazina neno bali ndizo zenye
nguvu!!! Bila shaka ndugu msomaji mpaka hapa utakuwa umethibitisha
yale niliyokuambia huko nyuma kwamba: hawa watu wako katika kutetea
itikadi zao tu, tena si kwa uadilifu wala kwa hoja za kielimu, bali wako
tayari kuupindisha ukweli kwa mas‟lahi yao, mpokezi mkweli ni yule
anayepokea riwaya za kuwaunga mkono wao, ama yule anayepokea riwaya
kinyume na itikadi zao za kikhawariji basi huyo ni muongo,dhaifu,
anaghushi na tuhuma nyingi za uongo.
Nadhani ndugu msomaji umejionea mwenyewe, mpokezi mmoja huyo
huyo amepewa hukumu mbili tofauti! Huko nyuma riwaya yake ina nguvu,
lakini hapa ni muongo na hakuna muongo kama yeye!!! Siku zote mtu
unapofanya utafiti wa kielimu, kwa lengo la kuwafaidisha watu na utafiti
wako, basi ni lazima uwe na sifa kuu mbili:
1) Elimu ya kutosha juu ya jambo unalolifanyia utafiti.
275 2) Uwe mkweli na muaminifu katika utafiti wako.
Na sifa zote hizi Juma amezikosa, na kama mtu atakosa sifa moja kati ya
hizo mbili lazima kutapatikana upotoshaji wa haki na wala ukweli
hautakuwepo, sikwambii zikikosekana sifa zote mbili. Lakini hilo
halinishangazi sana kwa sababu hizo ndizo sera za Ahlul ah‟waa (watu
wanaofuata matamanio yao katika mambo ya dini).818
Hayo ndio majibu ya Kasim bin Mafuta juu ya kile alichokinukuu kutoka
katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu, nayo ni majibu yaliotokana na
ghushi zake Wa Allahu Al-Musta‟aan! Nami namwambia Sheikh Mafuta
kwamba maneno yako yote hayo pamoja na ulioyanukuu kutoka kwa Ibn
Kathir yamekosa tahqiq za kielimu. Ama kuhusu kauli ya Ibn Kathir
aliposema:
٣ خى س } :ه ؼق، زؼخثش ا٠ أؼخخ ػ رخلش خـــــحلػ ػحد ؼ٤قــــــط٠ ٢ــــ {
خـــــح ــــــــ حل ــــــ حو حـخ ك٢ هللا ٣ؼط٤ خ ٣ أ٠٣خ ي ػ٠ ٣خىس
أػال ي أك٠ أػ٤، هس أهلخ خ ػ، ٣،ـــــــــــــــح ــــــؿ ا٠ حظ
كظ. رل٠ ر رؼ، ٣ظلوخ ل ط،ــــــــــأػ خ غــــؿ٤ أػظ ٣خىس كب
Na kauli yake (Allah): “ZIADA” ni kuzidishiwa malipo ya matendo; jema
moja utazidishiwa mema kumi mfano wake, mpaka ziada mia saba, na
zaidi ya hapo. Pia ziada itakusanya yale yote atakayowapa Allah huko
peponi: Makasri, Hurul-a‟in (wanawake wa peponi), radhi zake Allah, na
yale aliyowafichia miongoni mwa vitulizo vya jicho na (ZIADA) ILIYO
BORA KULIKO ZOTE, NA ILIYO JUU ZAIDI NI KUUTAZAMA USO
WAKE ALLAH ULIOMTUKUFU. Kwa sababu hiyo ndiyo ziada kubwa
kuliko vitu vyote walivyopewa, na hawakustahiki kupata hilo kwa sababu
ya matendo yao, bali ni kwa fadhila zake (Allah ) na rehma zake”. Mwisho
wa kunukuu.
Ninasema: maelezo ya mwanzo yanayosema: “ni kuzidishiwa malipo ya
matendo; jema moja utazidishiwa mema kumi mfano wake, mpaka ziada
mia saba” maelezo haya ni maelezo sahihi kwani kama tulivyoeleza
kwamba qarina ya muqabala na qarina za nje zinaafikiana na tafsiri hio.
Halkadhalika maelezo yasemayo: “Pia ziada itakusanya yale yote
atakayowapa Allah huko peponi: Makasri, Hurul-a‟in (wanawake wa
peponi), radhi zake Allah”, ni maelezo ambayo kwa ujumla yanakubalika
kwani haya yote ni sehemu ya pepo na pepo ndio malipo ya watu wema na
kwa hivyo kusema kuwa ziada ni katika haya yaliotajwa ni kitu
kinachokubalika. Ama kumuona Allah si katika sehemu ya pepo kwani pepo
818
- Tazama Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 91-94.
276
ni kiumbe kilichoumbwa na Allah ili kuwastareheshea waja wake wema, na
kwa hivyo kukuingiza kumuona Allah kuwa ni katika jumla ya ziada ya
malipo ya pepo si sahihi hususan ukizingatia ukweli tulioutanguliza
kwamba kanuni za kilugha hazitoi tafsiri hio kamwe na ukweli kwamba
wanafiki na makafiri nao waliwahi kumuona Allah kule kwenye kisimamo
cha kiama!
Ama madai kwamba “na yale aliyowafichia miongoni mwa vitulizo vya
jicho na (ZIADA) ILIYO BORA KULIKO ZOTE, NA ILIYO JUU ZAIDI
NI KUUTAZAMA USO WAKE ALLAH ULIOMTUKUFU”, haya ni
madai ambayo msingi wake ni itikadi ya mtu anayoiitakidi: si kitu
kinachotokana na lafdhi ya ziada wala kinachotokana na minhaj
(methodology) ya tafsiri inayopatikana kutoka katika qarina ya Aya
yenyewe. Bali tumesema na tunakariri kwamba qarina ya muqabala uliopo
baina ya Aya mbili umebainisha nini tafsiri ya neno ziada, na tafsiri ilio
bora ni ile iliojengeka juu ya kanuni za kilugha hususan kanuni ambazo
zimetolewa kutoka katika Qur-an. Na utakumbuka kwamba huu ndio
mfumo wa Qur-ani katika sehemu zake zote ambapo kila inapotajwa maana
moja kisha ikatajwa maana ya pili katika muqabala basi maana ya pili ima
itakuwa na muwiyano au itakuwa ni kinyume na ile ya kwanza. Na hapa
hakuna muwiyano wala kinyume ili Aya mbili hizo zifasiriwe hivi: “Hawa
wametenda jema moja watalipwa moja lao na tisa za ziada; na hawa
wametenda baya moja nao hawatolipwa ila moja lao”. Na kwa tafsiri hii
utakuwa ule mfumo wa kilugha ambao unatumika sana katika Qur-an
umepatikana na tumeweza kuzitendea kazi Aya nyengine. Ama ziada kwa
maana ya kuona, asili yake haitokani na maana ya kilafdhi ya neno ziada;
wala haikuzaliwa na kanuni za kilugha za kibalagha; wala haikumaanishwa
na Aya nyengine; bali asili yake ni itikadi iliotokana na Hadithi dhaifu ya
Hammad bin Salama ambayo tutaielezea tukifika mahala pake.
Ama maelezo yako uliposema:
Kwa mujibu wa maneno hayo ni kwamba watu watapata ziada nyingi, na
miongoni mwa ziada hizo ni: kwamba yule aliyefanya wema mmoja
atalipwa mara kumi ya wema wake, na hali kadhalika atafadhiliwa
kumuona mola wake -Jalla jalaaluh-, na kuyatafsiri maandiko kwa namna
hii ni kuitumia ile kanuni ya upatanisho (the juristic law of reconciliation
between the apparently conraditory texts) kanunni ya upatanisho baina ya
maandiko ambayo dhahiri yake yanagongana, kanuni ambayo ndugu Juma
pia ameikubali, na kuitumia kama alivyoielezea katika ukurasa wa 261
katika kitabu
chake.
277 Lakini kwa masikitiko makubwa kabisa, ameshindwa au hakutaka
kuifanyia kazi kanuni hiyo aliyoikubali mwenyewe na alipofika kwenye
maandiko haya yaliyokuja kuitafsiri aya hii akaitupilia mbali kwa sababu
haiendi sambamba na itikadi yake!
Wee Kasim Mafuta wasema kitu kwa kujua au wafyatua tu? Wewe ndiye
unayeita watu wajinga! Hiki ndio kitabu kilichopitiwa na mjuzi wa usulul
fiq-hi, qawaa‟idul, fiq-hi na lugha ya Waarabu? Sheikh! Kanuni ya
upatanisho haihusu Aya kama “Wale waliotenda mema watapata mema
(ya matendo yao) na ziada” na Hadithi ya Hammad bin Salama ya
kumuona Allah; kanuni ya upatanisho baina ya maandiko inayahusu
maandiko ambayo dhahiri yake yanagongana. Hapa ulitakiwa udai kanuni
ya mubham na mufassal: useme kuwa neno ziada katika Aya ni mubhama
na Hadithi yako ya kufinyanga ni mufassal au ni mufassil. Haya yote
yanaonesha kuwa mtu huyu Kasim Mafuta ni mtu wa kufyatua na ubishi tu.
Kule katika elimu ya lugha katoa mifano kwa Aya zisizohusiana na
maudhui; na katika elimu ya Hadithi alipokuwa akizungumzia masharti ya
Hadithi sahihi na kuzungumzia suala la انضثط انتاو(uwezo kamili wa mpokezi
wa kudhibiti Hadithi) kasema kuwa mpokezi awe na “Hifdhi nzuri wala asiwe
mwenye kufanya maasia kwa dhahiri wala asiwe na tabia mbaya, mpokezi awe
na uwezo wa kudhibiti maneno aliyoyapokea, bila ya kubadilisha chochote katika
maana yake, au kukosea sana, au kubabaika kulikopetuka mipaka wakati wa
kusimulia mapokezi hayo”. Sasa maelezo “wala asiwe mwenye kufanya maasia
kwa dhahiri wala asiwe na tabia mbaya”, yana uhusiano gani na kanuni ya تاو
Hapa katika elimu ?(uwezo kamili wa mpokezi wa kudhibiti Hadithi)انضثط
ya Usulul-Fiq-hi anatuvurugia tena: anataja kanuni isiohusiana na maudhui!
Ama kuhusu jawabu yako ya pili ulioitoa baada ya kujenga suali lisemalo:
Je, unajua ni kwanini ndugu yangu msomaji ndugu yetu Juma ameipa
nguvu kauli ya Alqama bin Qais? Ni kwa sababu riwaya hiyo ina nguvu
kuliko riwaya nyingine? Au ameipa nguvu kwa sababu inaafikiana na
msimamo wake batili?
Hilo ndilo suali lako uliloliuliza, kisha ukatoa jawabu hio tulioinukuu.
Mukhtasari wake ni kuwa katika riwaya hio kuna Ibn Humaid naye ni
mwongo kama nilivyoeleza mimi mwenyewe katika kitabu changu. Lakini
maelezo yako hayo yametokana na ghushi zako kama kawaida yako kwani:
Mosi: ni kuwa kila aliyekisoma kitabu changu kwa makini basi anajua
kwamba mimi nilipoichagua kauli ya „Alqama, si kwa kutegemea riwaya
yake bali niliichagua kwa sababu ambazo nimezielezea katika kitabu changu
278
Hoja Zenye Nguvu na ambazo nimezitaja hapa, nazo ni sababu za kuwa
tafsiri hio ndio inayokubalika kwa misingi ya lugha ya kibalagha. Katika
kitabu Hoja Zenye Nguvu nilisema hivi:
…..na jambo jengine la kutazamwa katika tafsiri ya Aya hio: “Wale
waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada” ni mas-ala ya
kuwepo mukabala (the opposite) kama tulivyoeleza katika sehemu
tuliozungumzia Aya ya Surat Al-qiyama. Sasa ukitazama katika Aya hio
“Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada” utaona
kwamba inakabiliwa na Aya yenye kusema “Na wale waliochuma
mabaya basi malipo ya ubaya wao ni mfano wake”. Kwa hivyo, kwa
mukabala (muelekeano au kinyume) huu uliotajwa katika Aya ya mbele,
inatubainikia kwamba makusudio ya neno “ZIADA” si jengine bali ni
kuzidishwa matendo ya watu wema mara kumi: aliyefanya moja katika
mema atalipwa thawabu kumi kama ilivyokuja katika Aya nyengine. Na
kwa tafsiri hii utapatikana mukabala baina ya Aya ya 26 na Aya ya 27, na
maana itakuwa hivi: hawa wameongezewa moja kwa kumi na hawa
hawakuongezewa: moja kwa moja yao ile ile. Na – kama inavyoeleweka –
njia bora ya kuifasiri Qur-ani ni Qur-ani yenyewe. Sasa ukirudi kuitazama
ziada iliyotajwa katika Qur-ani, utakuta ni kuzidishwa thawabu: aliyefanya
jema moja hulipwa thawabu kumi, kama Allah anavyosema:
ػ أؼخخ ؿخء رخلش ك
Atakayekuja na jema moja basi atapata kumi mfano wake.819
Kwa hivyo, huu ndio msingi wangu wa kuikubali kauli hio iliosimuliwa
kutoka kwa „Alqama bin Qais: si kwamba kimsingi niliitegemea riwaya
yenyewe, bali nilitegemea misingi ya kilugha katika kuipa kwangu uzito
riwaya hio. Lakini katika tadlis (ghushi) za Kiwahabi zinazowakilishwa na
Kasim Mafuta na hizbu yake katika ulimwengu wa Kiswahili, aliishia
kuinukuu sehemu moja tu ya maelezo yangu na kuwacha sehemu nyengine
ili ionekane kuwa mimi kimsingi nilitegemea riwaya ya Alqama katika
kuichagua kwangu tafsiri hio. Ninasema: kimsingi mimi sikutegemea
riwaya hio hata kama nimeitaja.
Pili: Elewa Sheikh Kasim kwamba, suala la maarifa ya Hadithi ni pana sana,
wala haliishii katika kuijua sanad tu, bali kama tulivyoeleza katika sura ya
819
- Sura ya 6 Aya ya 160. Maelezo haya yana marekebisho kidogo kwani kitabu Hoja
Zenye Nguvu nilikuwa tayari ninakitayarisha kwa ajili ya chapa ya pili. Tazama maelezo
hayo katika uk. 116 wa kitabu changu Hoja Zenye Nguvu.
279
kwanza kwamba usahihi wa sanad ni sharti moja tu ya usahihi.
Halkadhalika udhaifu wa sanad si mara zote unamaanisha kuwa riwaya ni
ya uwongo. Ndio maana mara nyingi utakuta wanavyuoni wanasema
“riwaya hii sanad yake ni dhaifu, lakini maana yake ni sahihi”. Wanasema
hivyo, kwa sababu ama riwaya hio maana yake inakuwa imekubaliana na:
c) Qur-an.
d) Hadithi nyengine.
e) Au kanuni za kilugha au kanuni za ujumla za Sharia.
Kauli hio tulioinukuu kutoka kwa „Alqama bin Qais, inakubaliana bali ndio
inayokubaliana na kanuni ya kibalagha ya kuutazama muqaabala baina ya
maandiko, na pia inakubaliana na Aya nyengine za Qur-ani.
Tatu: ni kuwa riwaya ya Alqama bin Qais inasema: “ziada ni kuzidishwa
thawabu za matendo ya watu wema mara kumi”.820
Lakini je Alqama
kapwekeka na kauli hio? Tafsiri hio pia imepokewa kutoka kwa Al-Hasan.
Kaipokea Ibn Jarir kwa sanad sahihi.821
Nne: ni kuwa tafsiri hio kutoka kwa „Alqama hakupwekeka nayo Ibn Jarir
kutoka kwa Ibn Humaid, bali kaisimulia pia Ibn Abi Haatim kwa sanad hii:
“katusimulia Abu Bakr bin Abi Shaiba, katuhadithia „Ubaid bin Ya‟iish
katusimulia Muhammad bin Salt kutoka kwa Qais (bin Rabi‟i) kutoka kwa
Al-A‟amash kutoka kwa Abu Dhubyaan kutoka kwa Alqama bin Qais”.822
Na akaisimulia pia Sa‟iid bin Mansur kwa sanad hii: “Katusimulia Sa‟iid
kasema katusimulia Jarir kutoka kwa Qaabuus bin Abi Dhubyaan kutoka
kwa baba yake (Husain bin Jundub) kutoka kwa „Alqama”.823
Na kwa
sababu hio, tunamkuta Dr. Sa‟ad Alu-Humaid katika maelezo yake juu ya
kitabu cha Sa‟iid bin Mansuur anasema:
Katika sanad yake kuna Qaabuus, na yametangulia maelezo huko nyuma
kuhusu yeye, lakini hakupwekeka nayo bali kafuatiliwa na Al-A‟amash.
Basi riwaya yake inapata nguvu kwa mutaaba‟a huu (kufuatiwa huku),
820
- Ibn Jarir Jami‟u Al-Bayaan j. 11, 125. Lakini sanad hii ni dhaifu sana, kwani kuna Ibn
Humaid naye ni mwongo mkubwa. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 111 – 115,
tarjama ya 181. Naye kaipokea kutoka kwa Jarir bin Humaid, naye ni dhaifu, mwenye
kuchanganyikiwa. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2, uk. 65, tarjama na. 116. Naye
kaipokea kutoka kwa Qaabuus, naye ni Qaabuus bin Abi Dhibyaan, naye ni dhaifu.
Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 274, tarjama na. 555. 821
- Ibn Jarir Jami‟u Al-Bayaan j. 11, uk.126. 822
- Ibn Abi Haatim Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1946. 823
- Sunan Sa‟iid bin Mansur j. 5, uk. 312, riwaya na. 1060.
280 ikiwa riwaya hii imesalimika na ghushi ya Al-A‟amash, kwani yeye
hakusema kwa uwazi kwamba kaisikia.824
Kwa hali yoyote ile iwayo, ninachotaka kumwambia Sheikh Kasim bin
Mafuta hapa ni kuwa:
1) Riwaya hizi zote zilizokuja kuifasiri Aya hii “Wale waliofanya mema
watalipwa wema wao na ziada” ni riwaya ambazo hazikusihi kwa upande
wa sanad zake: sawa riwaya hii ya „Alqama au riwaya ya Hammad bin
Salama iliokuja kutwambia kwamba ziada hio maana yake ni kumuona
Allah. 2) Lakini riwaya hii ya „Alqama sanad yake haijambo zaidi kwa sababu
mutaaba‟a wake haujambo. 3) Mimi nimeipa nguvu riwaya hio ya „Alqama si kwa sababu ya riwaya
yenyewe, bali ni kwa sababu tafsiri inayopatikana katika riwaya hio ndio
inayokubaliana na kanuni ya kibalagha ya muqaabala baina ya Aya mbili –
Aya hio na ilio baada yake. Na hio ndio njia bora yao ya kuzijua „ilalu
(kasoro) za Hadithi; au kuujua usahihi wa mutun zake hata ikiwa zina
sanad dhaifu.
KHILAFU ZA AL-SALAF JUU YA
TAFSIRI YA AYA HIO
Nukta ya tatu: inayotujuilisha udhaifu wa Hadithi hio ya Suhaib kupitia
kwa Hammad bin Salama ni kuwa wanavyuoni wa Al-Salafu Al-Salih
(watangulizi wema) kuanzia Masahaba na wafuasi wao wametafautiana sana
juu ya tafsiri ya neno ziada lililomo katika Aya hio. Na zifuatazo ni kauli
zao zilizosimuliwa katika vitabu vya riwaya na tafsiri ukiitoa riawaya hio
inayosema kuwa ziada ni kumuona Allah.
RIWAYA YA KWANZA INASEMA: ZIADA NI
CHUMBA CHA LULU
ػ٢ ٢ ــ، ػ حل، ػ ػ٤خ، ػــــ٤ رــكيػخ ٣ل٠٤ ر ١لش هخ ، كيػخ ك٠
ئس حكيس خ أرؼشـــــــكش ئـــ، ؿ”ح٣خىس“أكح حل٠ ٣خىس( ، هخ: هللا ػ:)٣
.”ؿكخ أرحرخ ئئس حكيس“ك٢ ؼ٤ي ر أرحد.
Katusimulia Yahya bin Talha kasema katusimulia Fudhail bin „Iyaadh
kutoka kwa Mansuur kutoka kwa Alhakam (bin „Utaiba) kutoka kwa „Ali
(r.a.) (Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), kasema
824
- Maelezo ya Dr. Sa‟ad Alu-Humaid katika Sunan Sa‟iid bin Mansur j. 5, uk. 312,
riwaya na. 1060.
281 Ali: “Ziada ni chumba cha lulu moja kina milango minne.....na katika
Sunan Sa‟iid bin Mansur kuna nyongeza inayosema: “vyumba vyake na
milango yake inatokana na lulu moja.825
Riwaya hii imetiwa kasoro, nayo ni kukatika kwa sanad baina ya Alhakam
bin „Utaiba na Al-Imamu „Ali kwani Alhakam hakumuwahi „Ali. Lakini Al-
Imamu Al-Rabi‟u bin Habib kaisimulia tafsiri hio pia kutoka kwa Jaabir bin
Zaid kutoka kwa Ibn Abbaas,826
na hili linaifanya riwaya hio kuwa na uzito
wake.
RIWAYA PILI: ZIADA NI KUZIDISHWA
THAWABU MOJA KWA KUMI
حر ــــكيػ٢ لي ر ؼي هخ ، كيػ٢ أر٢ هخ ، كيػ٢ ػ٢ هخ ، كيػ٢ أر٢، ػ أر٤، ػ
٣ي (، ٣ :ــــػزخ، ه ٣ خ ي و:ــــــ)٣ أكح حل٠ ٣خىس( ، هخ: ؼ ه:)
خء ـــــــ٣ـ٣ رؼ، ٣٣ي ؿ ك٠. هخ:) خ ؼ خ أ ػ ش ك ل خء ـــ ؿ ــر خ
) ل ٣ ظ خ ؼ ا ل ـ ٤ج ش ك ال ٣ .ر خ
Katusimulia Muhammad bin Sa‟ad kasema kanisimulia baba yangu
kasema kanisimulia ami yangu kutoka kwa baba yake kutoka kwa Ibn
Abbaas (kuhusu) kauli yake (Allah aliposema): (Wale waliofanya mema
watalipwa wema wao na ziada), kasema hio ni sawa sawa na kauli yake
(aliposema): “Na kwetu sisi kuna ziada”. Akasema: atawalipa kwa
sababu ya matendo yao na atawazidishia katika fadhila zake. Na akasema:
“Atayekuja na jema moja basi atapata kumi mfano wake na atayekuja
na baya moja hatolipwa ila mfano wake (tu), nao
hawatodhulumiwa”.827
Riwaya nyengine inasema:
ه٤:)٣ أكح ــش رــ ػوـــكيػخ حر ك٤ي هخ ، كيػخ ؿ٣، ػ هخر، ػ أر٤، ػ
ش حل٠ ٣خىس(، ل خء ر خ ؿ هخ هض: حل٠، كخ ح٣خىس؟ هخ: أ ط أ هللا ٣و:)
خ (؟ ؼ خ أ ػ ك
Katuhadithia Ibn Humaid kasema katuhadithia Jarir kutoka kwa Qaabuus
kutoka kwa baba yake kutoka kwa „Alqama bin Qais (kasema kuhusu Aya
isemayo): “Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada).
825
- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125. Sunanu Sa‟iid bin Mansuur j. 5,
uk. 310, riwaya na. 1058. Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327, riwaya
na. 861. Ibn Abi Haatim Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1945, riwaya na. 10342. 826
- Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327, riwaya na. 860. 827
- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125. Sanad ya riwaya hii ni dhaifu.
282 Kasema: „nikasema: huu wema (unajulikana) je hii ziada ni kitu gani?
Akasema hujaona wewe kwamba Allah kasema: “Atayekuja na jema
moja basi atapata kumi mfano wake”.828
Riwaya nyengine inasema:
كيػخ ر هخ: كيػخ ٣٣ي هخ ، كيػخ ؼ٤ي، ػ هظخىس هخ: خ حل ٣و ك٢ ح٣٥ش:)٣
أكح حل٠ ٣خىس(، هخ: ح٣خىس: رخلش ػ أؼخخ، ا٠ زؼخثش ؼق.
Katuhadithia Bishr kasema katuhadithia Yazid kasema katuhadithia Sa‟iid
kutoka kwa Qataada kasema: „alikuwa Alhasan akisema kuhusu Aya hii:
“Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), kasema
(Alhasan): „ziada ni kulipwa jema moja kwa yalio kumi mfano wake hadi
kufikia mara mia saba.829
Tafsiri hii iliopokewa kutoka kwa Alhasan bin Abi Alhasan Al-Basri sanad
yake ina wapokezi wenye kuaminika, ingawa ina illa kama utavyoona
maelezo yetu baadae. Katika sanad hii kuna:
Bishr bin Mu‟adh
Kamtaja Ibn Hibbaan katika Al-Thiqaat (kitabu cha wapokezi wenye
kuaminika),830
na Ibn Abi Haatim akasema: “aliulizwa baba yangu kuhusu
yeye,831
akasema Hadithi zake zinafaa, ni mkweli”.832
Anasema Maslama na
Al-Nasai: “ni mtu wa Basra mwenye kufaa”.833
Anasema Ibn Hajar: “ni
mkweli”.834
Na Bishr bin Mu‟adh kaipokea riwaya hio kutoka kwa:
Yazid bin Zurai‟i
828 - Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125. Sanad ya riwaya hii kwa
mapokezi ya Al-Tabari ni dhaifu sana, lakini Ibn Abi Haatim katika Tafsiru Al-Qur-ani
Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1945, riwaya na. 10344, sanad yake haijambo ingawa nayo pia si sanad
sahihi. Lakini Dr. Sa‟ad Alu-Humaid katoa maelezo ambayo tuliyanukuu kabla. Tazama
Sunanu Sa‟iid bin Mansuur j. 5, uk. 312, riwaya na. 1060. 829
- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 126. Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-
Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327-28, riwaya na. 862. 830
- Ibn Hibbaan Al-Thiqaat uk. 705, tarjama na. 12661. 831
- Ibara ya Ibn Hajar katika Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 1, uk. 401, tarjama na. 843,
inasema: “nilimuuliza baba yangu kuhusu yeye” badala ya kusema “aliulizwa baba yangu
kuhusu yeye”. Sijui na huu kwa mujibu wa Kasim Mafuta nao pia ni uwongo? Yaani je Ibn
Hajar naye kamzulia Ibn Abi Hatim? 832
- Ibn Abi Haatim Al-Jarhu Wa Al-Ta‟adiil 833
- Ibn Hajar katika Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 1, uk. 401, tarjama na. 843. 834
- Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib uk. 124, tarjama na. 702.
283
Naye ni mwenye kuaminika, imara sana hasa hasa katika Hadithi zake
alizozipokea kutoka kwa Sa‟iid bin Abi „Aruba kama ilivyo riwaya hii.
Anasema Al-Imamu Ahmad:
Ni bingwa alioje, ni mwenye hifdhi ilioje, eee ni usahihi ulioje wa Hadithi
za bingwa mkweli. Na kila kitu alichokisimulia Yazid bin Zurai‟i kutoka
kwa Sa‟iid bin Abi „Aruba basi wewe usijali kama hujakisikia kutoka kwa
mtu mwengine; yeye kapokea (Hadithi) kutoka kwake zamani….835
Ninasema: na riwaya hii pia kaipokea kutoka kwa Sa‟iid bin Abi „Aruba.
Na Yazid bin Zurai‟i kaipokea riwaya hio kutoka kwa:
Sa‟iid bin Abi „Aruuba
Anasema Ibn Hajar: “ni mwenye kuaminika, mwenye kuhifadhi, ana vitabu
vingi, anaghushi sana na alichanganyikiwa na alikuwa ndio mtu imara wao
katika (Hadithi za) Qatada”.836
Wanasema Ibn Ma‟iin na Al-Nasaai: “ni
mwenye kuaminika”.837
Ninasema: na riwaya hii kaipokea kutoka kwa
Qatada.
Na Sa‟iid bin „Aruba kaipokea riwaya hii kutoka kwa:
Qatada bin Di‟aama
Qatada naye ni mwenye kuaminika, isipokuwa ni mwenye kughushi.838
Na
Qatada kaisimulia riwaya hio kutoka kwa Alhasan Al-Basri ambaye ndiye
mwenye tafsiri hio. Ninasema: sanad hii wapokezi wake ni wenye
kuaminika, isipokuwa kumekuwa na tatitizo la kuwa Sa‟iid bin Abi „Aruba
ni mwenye kughushi pamoja na kuwa ndiye mtu imara wao katika Hadithi
za Qatada lakini riwaya yake hapa ni mu‟an‟an, na Qatada pia ni mwenye
kughushi na katika sanad hii hakusema kwa uwazi kuwa kamsikia Alhasan
akiisema tafsiri hio. Na kwa hivyo, sanad hii bado ni yenye mushkila.
Lakini huo si mushkila kwani riwaya hio kaisimulia pia “Al-Imamu Al-
Rabi‟u bin Habib kutoka kwa Abu „Ubaida kutoka kwa Jaabir bin Zaid
835
- Kwa urefu zaidi rejea katika Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib 11, uk. 284-86, tarjama na.
527. 836
- Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib uk. 239, tarjama na. 2365. 837
- Kwa urefu tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 56-58, tarjama na. 110. 838
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib . 8,
284
kutoka kwa Alhasan”.839
Na hii – kwa wale wenye kutupilia mbali kasumba
za kimadhehebu – ni sanad ya dhahabu na niliwahi kuielezea kwa ufupi
katika kitabu Mezani Ya Haki kama ifuatavyo. Nilisema:
Mwenye kitabu hicho cha Hadithi cha Kiibadhi ni:
1) Al-Imamu Alrabii bin Habib. Miongoni mwa waliomtaja ni Al-Imamu
Ahmad bin Hanbal, katika tarjama ya Alhaitham bin „Abdil-Ghaffaar Al-
Taai.840
Kisha akanukuu Imamu Al-Suna wal-usul, Al-Qannubi, nukulu za
wanavyuoni wengi wa Kisuni waliomtaja Al-Imamu Alrabii.841
Miongoni
mwao ni Ibn Shaahin ambaye kasema kuhusu Al-Imamu Al-Rabi‟u
kwamba ni “Mwenye kuaminika”.842
Na akasema Ibn Ma‟iin kwamba ni
“Mwenye kuaminika”.843
Na miongoni mwa waliomtaja Al-Imamu Al-
Rabi‟u ni Al-Bukhari,844
na Ibn Hibbaan katika Al-Thiqaat845
, na wengi
wengineo kama vile Al-Imamu Al-Dhahabi na akasema “Si mwenye
kuachwa”. 846
Na Al-Imamu Al-Rabi‟u kaipokea riwaya hio kutoka kwa:
2) Abu Ubaida Muslim bin Abi Karima. Naye pia katajwa na wanavyuoni
wengi wa Hadithi wa Kisuni, Kiibadhi, Kishia na Kimu‟utazila. Na Al-
Imamu Ahmad kamuuliza Ibn Ma‟iin kuhusu Abu Ubaida akamjibu:
“Hana ubaya”. 847
Na lugha “Hana ubaya” kwa Ibn Ma‟iin ni sawa sawa na
kusema ni “Mwenye kuaminika”, kama alivyonukuu Al-Imamu Al-
Qannubi848
maneno yake mwenyewe Ibn Ma‟iin kutoka katika kitabu Fat-
hu Al-Mughith cha Al-Sakhawi. 849
Na Abu Ubaida kaisimulia riwaya hio kutoka kwa:
3) Bahari Kuu, Jabali la elimu, na kiongozi wa Maimamu, Al-Imamu Jabir
bin Zaid Al-Azdi. Naye ni Imamu muasisi wa madhehebu ya Kiibadhi, na
ni mwanafunzi wa Masahaba sabiini waliopigana vita vya Badr na ni
839
- Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327-28, riwaya na. 862. Hapa Al-
Imamu Al-Rabi‟u kataja sanad moja na akasimulia kwayo riwaya kama sita. 840
- Al-Imamu Hanbal Al-Ilal Wa Ma‟arifat Al-Rijaal j. 2, uk. 56, katika tarjama ya Al-
Haitham bin Abdil-Ghfar Al-Tai. 841
- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu ya 1, uk. 156. 842
- Ibn Shaahin Asmaau Al-Thiqaat uk. 127. 843
- Ibn Ma‟iin Al-Taarikh j. 2, uk. 160. 844
- Al-Imamu Al-Bukhari Taarikh Al-Kabir j. 3, uk. 277. 845
- Ibn Hibbaan Al-Thiqaat j. 6, uk. 299. 846
- Al-Imamu Al-Dhahabi Al-Mizan j. 2, uk. 230, tarjama ya 2734. 847
- Tazama Al-„Ilal cha Al-Imamu Hanbal, j. 3, uk. 11-12, tarjama ya 3922. 848
- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Imamu Al-Rabi‟u Makanatuhu Wa Musnaduhu uk. 31. 849
- J. 1, uk. 367.
285 mwanafunzi wa Ibn Abbaas, „Aisha, Ibn Mas‟ud, Abu Huraira, Ibn Umar,
Anas bin Maalik na wengineo.
Anasema Ibn Abbaas (r.a.): “Lau watu wa Basra walifata kauli ya Jabir,
basi angewatosheleza (kwa) elimu (yake alionayo) kutoka katika Kitabu
cha Mwenyezi Mungu”. Na akasema tena Ibn Abbaas kuwambia watu wa
Iraki: “Munaniuliza mimi na nyinyi munaye Jabir bin Zaid”. Anasema Al-
‟Ijli: “Ni mfuasi wa Masahaba, muaminifu”. Anasema Iyaas bin
Mua‟wiya: “Nimewakuta watu nao hawana mufti isipokuwa Jabir bin
Zaid”. Na alipokufa alisema Qataada: „Leo kafa mtu mwenye elimu kuliko
watu wote wa Iraki”. 850
Na akasimuliya Abu Nuaim katika nambari. 3321,
riwaya yenye kusema: “Na miongoni mwao ni yule aliyetakasika na elimu
yake kutokana na Shubuha (utatanishi) na dhulma; mwenye kufarajika
nayo (elimu hio) katika shida na tabu (huyu si mwengine bali ni) Jabir bin
Zaid, Abu Al-sha‟athaa, alikuwa katika elimu ni chemchem safi, na katika
ibada ni madhubuti, na alikuwa katika haki ni mwenye kurejea
(kukimbilia), na viumbe ni mwenye kuwakimbia (yaani hamtii kiumbe na
kumridhisha akamuasi Mwenyezi Mungu)….alikuwa katika wafuasi wa
mwanzo wa Masahaba (Qudamaau Al-ttaabiin)”.
Anasema Al-Imamu Ibn Kathir: “Na Masahaba mfano wa Jabir bin
Abdillah walikuwa watu wa Basra wakimuuliza husema: „Vipi
munaniuliza mimi na nyinyi munaye Abu Sha‟athaa (Jabir bin Zaid)”. 851
Na anasema Qatada alipozikwa Jabir bin Zaid: “Leo kazikwa mjuzi kuliko
watu wote waliopo mgongoni mwa ardhi”. 852
Na akataja Al-Kharusi (Sh.
Said bin Khalif) riwaya ya Abu Bakr bin Nuaima akisema kutoka kwa
Anas bin Malik alipopewa habari ya kifo cha Jabir alisema: “Kafa mjuzi
kuliko watu wote”. 853
Na Jabir bin Zaid kaisimulia riwaya hio kutoka kwa Alhasan. Kwa hivyo,
riwaya hio ya Alhasan ya kuifasiri Aya hio kuwa maana yake ni kuzidishwa
kwa matendo aliyefanya moja akalipwa kumi mfano wake ni riwaya sahihi.
Riwaya nyengine inasema:
٤ق، ػ ـخي:)٣ ـ٢ ـــ أرــ حرــكيػ٢ حؼ٠ هخ ، كيػخ أر ك٣لش هخ ، كيػخ ز، ػ
850
- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2, uk. 34, tarjama ya 61, na Ibn Abi Hatim Al-Jarhu
Wa Al-Ta‟adiil j. 2, uk. 494, tarjama ya 2032. Tazama pia Abu Nuaim Hilyatu Al-Awliyaa
j. 3, uk. 101, riwaya na. 3321-3322-3323 mpaka kufikia riwaya ya 3355. 851
- Ibn Kathir Al-Bidaaya Wa Al-Nihaaya j. 9, uk. 97. 852
- Tazama Al-Bidaaya Wa Al-Nihaaya j. 9, uk. 97. 853
- Sheikh Said bin Khalif Min Jawaabati Al-Imami Jabir uk. 53, nukulu kutoka katika
kitabu Riwaayatu Al-Hadithi „Inda Al-Ibaadhiyya uk. 185.
286
، ـلس ح. ”٣خىس“ؼخ ك٠ أكح حل٠(،
Katuhadithia Almuthanna kasema katuhadithia Abu Hudhaifa kasema
katuhadithia Shibl kutoka kwa Ibn Abi Najiih kutoka kwa Mujahid: “Wale
waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), (kasema Mujahid
kwamba maana ya wema) ni wema ulio mfano wake; na ziada ni msamaha
na radhi (za Allah).854
RIWAYA TATU: ZIADA NI VIPAWA VYA DUNIA
ل٠ ٣خىس()٣ أكح ح ٢ ه:ـــكيػ٢ ٣ هخ، أهزخ حر ذ هخ: هخ حر ٣ي، ك
هءح:٤خش. ـــــ حوـــخ أػطخ ك٢ حي٤خ ، ل ٣لخز ر ٣ ”٣خىس“حـش ”حل٠“ هخ:
ك ٢ آط ٤ خ أ ؿ ٤ خ ( هخ: خ ) آطخ خ ٣لذ ك٢ حي٤خ، ػـ أؿ ك٤خ. حي
Katuhadithia Yunus kasema katuambia Ibn Wahb kasema Ibn Zaid
kasema kuhusu kauli yake Allah isemayo: “Wale waliofanya mema
watalipwa wema wao na ziada”, kasema: „wema ni pepo, na ziada ni yale
aliowapa hapa duniani; hatowahesabia (hayo) siku ya kiama, hebu someni
(kauli ya Allah isemayo): „na tulimpa ujira wake hapa duniani‟.
Kasema: „kile alichompa katika yale anayoyapenda katika dunia, basi
kamkimbilizia malipo yake ndani yake (ndani ya dunia)‟. 855
Hii ni tafsiri nyengine iliokuja kwa sanad sahihi kutoka kwa „Abdul-
Rahman bin Zaid bin Aslam. Naye – kama unavyoona – hakuifasiri Aya hio
kuwa maana yake ni kumuona Allah. Naye ni katika Al-Salaf Al-Salih.856
Lau kama kweli kulikuwa na tafsiri ya Mtume (s.a.w.) ya kuwa maana ya
Aya hio ni kumuona Mwenyezi Mungu, basi asingeliifasiri Aya hio hivyo.
Katika sanad ya riwaya hio kuna:
854
- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 126. Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-
Jaami‟u Al-Sahih j. 3, uk. 327-28, riwaya na. 862. Ibn Abi Haatim katika Tafsiru Al-Qur-
ani Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1945, riwaya na. 10343. Riwaya hii kaisimulia Al-Rabi‟u bin Habib
kwa sanad sahihi nayo ni sanad tulioielezea katika riwaya iliotangulia. 855
- Ibn Jarir Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 126. Ibn Abi Haatim katika Tafsiru
Al-Qur-ani Al-‟Adhiim j. 6, uk. 1946, riwaya na. 10345. Al-Rabi‟u‟u bin Habiib Al-Jaami‟u
Al-Sahih j. 3, uk. 327-28, riwaya na. 862 nayo ni tafsiri ya Abu Haazim. 856
- Pamoja na kuwa yeye mwenyewe „Abdul-Rahman bin Zaid alikuwa dhaifu, lakini hii
ni kwa ile riwaya anayoinukuu kutoka kwa wengine. Ama kwa tafsiri yake mwenyewe, basi
wanavyuoni wamekuwa wakiizingatia kama ilivyo katika vitabu vya tafsiri.
287
Yunus
Naye ni Yunus bin „Abdil-A‟alaa. Wanasema Abu Hatim na Al-Nasai: “ni
mwenye kuaminika”.857
Anasema Ibn Hajar katika Al-Taqrib: “ni mwenye
kuaminika”.858
Na Yunus kaipokea riwaya hio kutoka kwa:
Ibn Wahb
Naye ni „Abdullah bin Wahb bin Muslim Al-Qurashi, Imamu mwenye
kuaminika kasifiwa na wengi bali na wote lakini hata hivyo Ibn Sa‟ad
anasema: “Abdullah bin Wahb alikuwa na elimu sana, mwenye kuaminika
katika Hadithi atazosema: „katuhadithia‟ na alikuwa akighushi‟.859
Kwa
maana hio, riwaya yake hii haikubaliki kwani ٣ف رخخع hakusema kwa
uwazi kwamba kaisikia kutoka kwa Ibn Zaid. Ninasema: lakini Abdullah
bin Wahb hakupwekeka katika kuisimulia riwaya hio kutoka kwa „Abdu-
Rahman bin Zaid bin Aslam, bali kafuatiwa pia na Asbagh bin Alfaraj kama
ilivyo katika riwaya ya Ibn Abi Hatim.860
Na Asbagh bin Alfaraj huyu ni
mpokezi thiqa. Anasema Ibn Hajar “ni mwenye kuaminika”.861
Bali sanad
ya Ibn Abi Hatim yote ina wapokezi wenye kuaminika. Sanad yake ni:
Katuambia Abu Yazid Al-Qaraatisi katika yale alioniandikia, katusimulia
Asbagh bin Al-Faraj kasema: „nimemsikia „Abdul-Rahman bin Zaid bin
Aslam kuhusu kauli yake Allah “Wale waliofanya mema watalipwa
wema wao na ziada), kasema: „ziada ni yale ambayo Allah kawapa hapa
duniani Allah hatowahesabia kwayo siku ya kiama”.862
Asbagh bin Alfaraj tumemuelezea kabla kidogo. Ama Abu Yazid Al-Qaraatisi
jina lake ni
Yusuf bin Yazid bin Kaamil, naye ni mwenye kuaminika. Anasema Ibn
Yunus: “alikuwa ni mwenye kuaminika, mkweli”. Anasema Ahmad bin
Khaalid: “(Yusuf) Ibn Yaziid Al-Qaraatisi ni miongoni mwa watu wanye
kuaminika sana na wala sikupata kuona mfano wake, na sikumkuta yoyote
857
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 11, uk. 387-88, tarjama na. 754. Kwa maelezo zaidi
rejea kitabu hicho. 858
- Tarjama na. 7907. 859
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 6, uk. 65-67, tarjama na. 131. 860
- Yametangulia marejeo katika sehemu tulioinukuu riwaya hio. 861
- Ibn Hajar Taqrib Al-Tahdhib tarjama na. 536. 862
- K.h.j.
288
yule ila kadhoofishwa kidogo (kasemwa kuwa ni layyin) au kasemwa (kuwa
ana kasoro fulani) isipokuwa Yusuf bin Yaziid”...863
Anasema Ibn Hajar: “ni
mwenye kuaminika”.864
Kwa hivyo tafsiri hii imethibiti kutoka kwa „Abdul-
Rahmaan bin Zaid bin Aslam.
MUKHTASAR WA HAYA NI KUWA:
1) Al-Salaf Al-Salih wamelifasiri neno ziada lililomo katika Aya hio
“Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), tafsiri
tafauti.
2) Tafsiri zao hizo nyengine zimepokewa kwa sanad dhaifu sana.
3) Nyengine zina udhaifu mdogo lakini zimepokewa kwa njia
nyengine.
4) Na nyengine sanad zake ni sahihi.
5) Tafsiri hizo hazikusema kamwe kwamba ziada maana yake ni
kumuona Allah. Na hili linatufanya tuwe na wasi wasi mkubwa na
riwaya ilionasibishwa kwa Mtume (s.a.w.) ikidaiwa kuwa kaifasiri
ziada hio ni kumuona Allah.
6) Riwaya iliosema kwamba ziada maana yake ni kumuona Allah ni
riwaya dhaifu kama tutavyoielezea sanad yake.
Baada ya hayo, natija ambayo tunaweza kuitoa katika sehemu hii ni kuwa:
Mosi: ama tuseme kuwa riwaya zote ambazo zimekuja kuifasiri Aya hio
“Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada), ni riwaya
dhaifu – yaani riwaya isemayo kuwa ziada maana yake ni kumuona Allah
pamoja na riwaya hizo tafauti tulizozinukuu hapa. Ikiwa tutasema hivi, basi
natija ni kuwa sote tutakuwa hatuna hoja katika ulimwengu wa riwaya. Na
hapa itatubidi tutazame njia nyengine za kuifasiri Aya hio. Na bila shaka
njia bora ni kuifasiri:
a) Qur-ani kwa Qur-ani.
b) Qur-ani kwa mujibu wa kanuni za lugha.
Bali ukweli ni kuwa hii ndio misingi ya mwanzo ya kuitazama tafsiri ya
Qur-an kabla ya kuitazama riwaya. Na hii si kwamba Hadithi ikithibiti
inawekwa pembeni, bali maana ya haya ni kuwa misingi hii ndio
inayotujuvya usahihi na udhaifu wa matn ya riwaya, yaani „ilal (kasoro) za
Hadithi: kujua je Hadithi hio ni ya kweli au si ya kweli, inabidi itazamwe
katika matn yake sawa na inavyotazamwa katika sanad yake. Na njia moja
863
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhibu j. 11, uk. 377-78, tarjama na. 736. 864
- Ibn Hajar Taqrib Al-Tahdhib uk. 612, tarjama na. 7893.
289
muhimu ya kujua udhaifu wa matn865
ni kuitazama je inakubaliana na tafsiri
ya Qur-an iliojengeka katika kanuni sahihi za lugha ya Kiarabu? Ikiwa
Hadithi inaifasiri Aya kadha tafsiri nyengine ilio tafauti kabisa na ile
inayopatikana kwa mujibu wa kanuni za kilugha, basi hio ni alama ya kuwa
hio ni Hadithi maudhui (ya kutunga), kwani Qur-ani haiendi kinyume na
kanuni za kilugha wala Mtume (s.a.w.) hasemi kitu kinyume na lugha au
kinyume na tafsiri iliojengeka juu ya misingi ya lugha. Bali Allah kasema:
… ز ٤ ر ٢ ػ خ ح
Na (Qur-ani) hii lugha ya Kiarabu iliobayana (Fasihi ya hali ya juu).866
Na anasema:
…. ز ٤ ر ٢ ػ خ ر
(Qur-ani hii imeteremshwa) kwa lugha ya Kiarabu iliobayana (Fasihi
ya hali ya juu).867
Pili: au tuseme kuwa Hadithi hizi zote ni sahihi. Na hapa yatakuja masuali
matatu muhimu:
a) Vipi riwaya hizi zote ziwe sahihi, kisha Al-Salafu (watangulizi) hao
waifasiri Aya hio kinyume na tafsiri iliopatikana katika Hadithi ya
Mtume (s.a.w.)?
b) Vipi Aya kwamujibu wa kanuni za kibalagha itoe tafsiri iliotafauti
na hio ilionasibishwa kwa Mtume (s.a.w.) katika Hadithi ya Suhaib
kupitia kwa Hammad bin Salama?
c) Vipi dalili za Aya nyengine ziiunge mkono ile tafsiri iliojengeka
katika kanuni za kibalagh na wala zisiunge mkono tafsiri iliotafauti
na hio ilionasibishwa kwa Mtume (s.a.w.)?
Yote haya yanatujuvya ukweli kwamba riwaya ya Hammad bin Salama ina
mushkeli mkubwa hata ingelikuwa ina sanad sahihi, basi vipi ikiwa sanad
yake ni dhaifu? La mwisho ni kuwa tuseme kuwa baadhi ya riwaya hizi ni
dhaifu bali maudhui na nyengine ni sahihi. Ninasema: huu ndio ukweli
ulivyo; tafauti yetu na Sheikh Kasim ni katika riwaya ya Hammad bin
Salama – yeye anasema imethibiti; mimi ninasema haikuthibiti. Ukweli uko
wapi? Hayo utayajua kwa ufafanuzi huko mbele in shaa Allah.
865
- Ambapo Hadithi ikiwa ni dhaifu katika matn yake ndio inakuwa hakika kabisa Hadithi
hio haitoki kwa Mtume (s.a.w.), tafauti na udhaifu wa sanad ambapo inawezekana ikawa
inatoka kwa Mtume (s.a.w.), lakini imepoteza sharti ya kuikubali. 866
- Sura 16, Aya 103. 867
- Sura 26, Aya 195.
290
KATIKA SANAD YAKE KUNA
HAMMAD BIN SALAMA
Nukta ya nne:
Baada ya hayo, tumebakiwa na kuitazama sanad ya Hadithi hio. Tunasema
kwamba Hadithi hio kama ilivyokuwa mbovu katika matn yake kwa sababu
ya kutoa kwake jawabu iliotafauti na ile inayotolewa na kanuni za kilugha,
na hii ndio njia moja bora ya kuzijua „ilalul-Hadithi (kasoro za Hadithi), pia
ina kasoro katika sanad yake. Na hii ni kwa sababu ya kusimuliwa kwake
kwa njia ya Hammad bin Salama. Na hapa tutatazama nukta zinazofuata:
1) Hali ya Hammad bin Salama.
2) Hammad bin Salama kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi katika
masimulizi ya riwaya hio.
3) Hammad bin Salama kenda kinyume na watu waliokuwa ni awthaq
(wenye kuaminika zaidi) kuliko yeye.
HAMMAD BIN SALAMA
Hammad bin Salama – kwa mujibu wa ilivyo tarjama yake – alikuwa ni mtu
mwema lakini alikuwa nahifdhidhaifu na zaidi ya hayo alisemwa kuwa
alikuwa na mtoto wa kambu ambaye alikuwa akimtilia Hadithi za uwongo
kwenye vitabu vyake naye Hammad – kwa kughafilika – akawa
anazisimulia. Anasema Al-Suyuti:
Na aina (nyengine ni watu) waliopata mitihani ya watoto wao au watoto
wao wa kambu au waandishi. Basi wakawatungia Hadithi na wakawatilia
(katika vitabu vyao) basi wakawa wanazisimulia Hadithi hizo bila kujua.
(Watu hao ni): kama Abdullahi bin Muhammad bin Rabia Al-Qudaami, na
Hamad bin Salama (ambaye) alipata mtihani wa mtoto wake wa kambu
Ibn Abi Al-„Awjaa akawa anamtilia (Hadithi za uwongo) katika vitabu
vyake…...868
Na kwa maana hii, Hammad atakuwa amepoteza sifa ya ح٠ز٢ حظخ (udhibiti
kamili) kupitia katika vitabu vyake kama vile ambavyo amepoteza sifa hio
katika hifdhi yake, kama utavyoona maelezo yetu humu in shaa Allah. Basi
vipi zikubalike riwaya zake ilhali jamaa washanchomekea Hadithi za
kupakasa naye hakuzijua: bali akawa anazisimulia?
868
- Al-Suyuti Tadriibu Al-Rawi uk. 253.
291
Sasa baada ya hayo, soma nukulu zifuatazo:
Anasema Ibn Sa‟ad kuhusu Hammad bin Salama: “ni thiqa (mwenye
kuaminika lakini) huenda (wakati mwengine) akasimulia Hadithi
munkar”.869
Anasema Al-Zayla‟i:
Na Hammad bin Salama hifdhi yake iliharibika mwishoni mwa umri wake,
basi Mahuffadh (wanavyuoni wakubwa) hawatoi hoja kwa riwaya zake
anazokwenda kinyume (na wapokezi wengine), na wanajiepusha na riwaya
zake anazopwekeka nazo na hasa hasa riwaya alizozipokea kutoka kwa
Qais bin Sa‟ad na walio mfano wake.870
Anasema Al-‟Adhiim Aabaadi:
هخ حز٤و٢ حلي٣غ اح طلى ر كخى ر ش ٣ي ك٤ ػ ٣وخل ك٤ أكلع ؿذ
حظهق ك٤
Na amesema Al-Bayhaqi: „Na Hadithi ikiwa itapokewa na Hammad bin
Salama peke yake na asitie shaka ndani yake kisha ndani yake akenda
kinyume na aliye na hifdhi zaidi kuliko yeye, basi inabidi iachwe kama
ilivyo.871
Anasema Al-Imamu Al-Suyuti katika kitabu chake Masaaliku Al-Khafaai
Fii Waalidai Al-Mustafaa: “hakika ya Hammad amekuwa akisemwa katika
(uwezo wake wa) kuhifadhi na zimetokea katika Hadithi zake Hadithi
(nyingi) munkar”.872
Anasema Ibn Al-Qayyim:
ــــــي٣ؼ أخ ى حزوخ١ حلكظـخؽ رلــــهخ حز٤و٢ ال أ خ ١ؼ ك٢ ح خء كلظ كي ط
اح خ ..……… هز طـ٤ ـــأهؽ كي٣ؼ ػ ػخرض خ غ أ ـ كخؿظي ك٢
كي٣ؼ وخلخ لكخى٣غـــــــــػ ؿ أ ل ٣لظؾ رخ ٣ـي حل ي كخلكظ٤خ١ حهذ هللا
869
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1 uk. 483. Hadithi munkar ni Hadithi ambayo
katika wapokezi wake yumo mpokezi mwenye kusahau sana au mwenye kukosea sana au
kufanya ufasiki. Na wengine hutumia neno “Hadithi munkar, kumaanisha riwaya
aliyoipokea mpokezi anayekubalika lakini ikawa riwaya hio inagonga na riwaya
iliopokewa na mpokezi mwengine anekubalika zaidi. Dhahir ni kuwa wakati mwengine
wanavyuoni hulitumia neno hilo kumaanisha Hadithi inayogongana na akili au dalili
nyengine hata kama ni dalili za ujumla. 870
- Al-Zayla‟i Nasbu Al-Raya j. 2, uk. 350. 871
- Al-‟Adhiim Aabaadi „Awnul Ma‟abuud j. 10, uk. 482. 872
- J. 2 uk. 226.
292
حؼوخص حلػزخص
Kasema Al-Bayhaqi kwamba: „isipokuwa (Hammad bin Salama)
alipokonga hifdhi yake iliharibika na kwa hivyo Al-Bukhari kawacha
kutoa hoja kwa Hadithi zake, ama Muslim yeye kajitahidi na akazisimulia
Hadithi zake alizozipokea kutoka kwa Thabit (Al-Bunani) katika zile
ambazo kazipokea kabla ya kubadilika kwake……………na kama ni
hivyo basi (ni wajibu) kuchukua hadhari kwa yule mwenye
kumuogopa Allah Mtukufu asitoe hoja kwa Hadithi zake atazozikuta
kenda kinyume na wapokezi wenye kuaminika, walioimara.873
Anasema Al-Kawthari katika utangulizi wa kitabu Al-Asmaau Wa Al-Sifaat
cha Al-Imamu Bayhaqi:
Chukua (kwa mfano) Hadithi za Hammad bin Salama katika itikadi
utaziona zimekushanya Hadithi nyingi mbovu”874
………….Hammad bin
Salama alikuwa ni mwenye kuchanganyikiwa, na alikuwa na watoto
wawili wa kambu wakamuingizia katika Hadithi zake wanayoyataka, na si
Ibn „Adey wala si mwengine anaweza kuikanusha kasoro hii….na
wanavyuoni wamechoshwa na riwaya mbovu kuhusu sifa za Allah ambazo
zinapokewa kwa njia ya Hammad bin Salama.875
Anasema Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam, Ayatollah Al-Albani
katika kitabu chake Al-Dhaifa: “ hakika ya Hammad ana makosa mengi”.876
Amesema Al-Dhahabi katika kitabu chake Al-Miizaan kuhusu Hammad bin
Salama:
Alikuwa ni mwenye kuaminika (lakini) ana awhaam (makosa mengi).
877
Na akasema katika kitabu chake Al-Mughni: (Hammad bin Salama) ni:
“Imamu mkweli lakini anasahau sana.878
Na akasema katika Al-Siyar:
873
- Ibn Al-Qayyim I‟ilaamu Al-Muwaqa‟iin j. 2, uk. 361. Bwana Mafuta! Imamu wako
anakwambia ikiwa unamuogopa Allah na unatarajia rehema yake basi uwachane na riwaya
ya Hammad ikiwa atakwenda kinyume na wapokezi wenye kuaminika na walio imara. 874
- Nukulu kutoka katika kitabu Al-Tufanu Al-Jaarif cha Al-Imamu Al-Qannubi j. 3,
sehemu ya 1, uk. 312-313. 875
- Al-Kawthari Tabdidu Al-Dhalaam uk. 96. 876
- J. 2 uk. 333. Tazama nukulu hizo katika Al-Tufaanu Al-Jaarif cha Imamu Al-Sunna, j.
3, sehemu ya 1 uk. 308. 877
- Al-Dhahabi Al-Miizaan j. 2, uk. 123, tarjama na. 2251. 878
- J. 1, uk. 189.
293 ….isipokuwa (Hammad bin Salama) alipokonga, hifdhi yake iliharibika, na
kwa sababu hio Al-Bukhari hakutoa hoja kwa Hadithi zake. Ama Muslim,
yeye kajitahidi na akazisimulia Hadithi zake kutoka kwa Thabit (Al-
Bunani) ambazo kazisikia kwake kabla ya kubadilika…….basi kwa
hadhari zaidi ni kutotoa hoja kwa Hadithi zake ambazo kenda kinyume na
wapokezi wenye kuaminika.879
Hayo ni maneno ya Al-Dhahabi. Ninasema: na hadithi hii – kama
tutavyoona – ni miongoni mwa Hadithi ambazo Hammad bin Salama kenda
kinyume na wapokezi wenye kuaminika na kwa hivyo, kwa mujibu wa
maelezo hayo, Hadithi hii ni dhaifu. Wala hayo hayabomolewi na ukweli
kwamba Al-Dhahabi kasema katika sehemu nyengine: “na wala riwaya zake
hazikushuka daraja ya kuwa ni hasan”,880
kwani hio ni rai tu ya Al-
Dhahabi: si kanuni ya elimu ya Hadithi, na pamoja na hayo yeye kabla ya
hapo kasema maneno yafuatayo:
1) Basi kilicho na hadhari zaidi ni kutotoa hoja kwa Hadithi zake
ambazo kenda kinyume na wapokezi wenye kuaminika.
2) Naye (Hammad bin Salama) kwa uwezo hamfiki Hammad bin Zaid.
Kwa hivyo, pamoja na rai hio ya Al-Dhahabi kwamba Hammad bin Salama
riwaya zake hazikushuka daraja ya kuwa ni hasan, basi yeye kaifungamasha
rai hio na sharti kwamba asiende kinyume na wapokezi thiqaat (wenye
kuaminika). Na hilo katika riwaya hii tunayoijadili hapa halikupatikana
kwani kenda kinyume na wapokezi thiqaat (wenye kuaminika) tena walio
wengi zaidi. Pili ni kuwa miongoni mwa aliokwenda kinyume nao ni
Hammad bin Zaid naye – kama ulivyoona maelezo ya Al-Dhahabi – ni
mwenye uwezo zaidi kuliko Hammad bin Salama.
Ama Al-Mizzi katika Tahdhibu Al-Kamaal na Ibn Hajar katika Tahdhibu
Al-Tahdhib katika tarjama ya Ali bin Aasim Al-Waasiti, wao wananukuu
maelezo yafuatayo ya Al-Imamu Ahmad bin Hanbal:
Nilimwambia (Al-Imamu) Ahmad bin Hanbal kuhusu Ali bin Aasim na
nikamtajia makosa yake, akasema Al-Imamu Ahmad: „(na) Hammad bin
Salama anakosea, na akaonesha Al-Imamu Ahmad kwa mkono wake
makosa mengi.881
Hio ni kauli ya Al-Imamu Ahmad, na mfano wake ni kauli yake aliposema:
879
- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 7, uk. 342, tarjama na. 1169. 880
- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 7, uk. 338, tarjama na. 1169. 881
- Al-Mizzi Tahdhibu Al-Kamaal j. 7, uk. 335, tarjama na. 4721, Ibn Hajar Tahdhibu Al-
Tahdhib j. 7, uk. 303, tarjama na. 572. Tanbihi: katika kopi nilionayo ya Tahdhibu Al-
Tahdhib mumeandikwa “kosa kubwa” badala ya “makosa mengi” nalo ni kosa la chapa
kama yanavyoonesha maandiko mengine.
294 Na akasema Al-Imamu Ahmad (baada ya kutaja mapokezi ya Hammad bin
Salama kutoka kwa Qais bin Said): „alikuwa akipokea Hadithi kutoka
kwake badala yake akisema zinatoka kwa Mtume (s.a.w.)‟.882
Hili ni jarhu mufassar (kujeruhi kulikofafanuliwa). Tukirudi katika nukulu
ya mwanzo ya maneno ya Al-Imamu Ahmad, tunamkuta msimulizi kaishia
kwa kusema: “na wala (Al-Imamu Ahmad) alikuwa haoni ubaya kusimulia
riwaya kutoka kwake (kutoka kwa Hammad bin Salama)”.883
Anasema Imamu Al-Sunna Wa Al-Usul Wa Al-Furuu‟i, Al-Qannubi
akiyatia maelezo maneno hayo ya Al-Imamu Ahmad:
Hakuna budi maneno haya ya (Al-Imamu) Ahmad yafungamanishwe:
isemwe kwa mfano kwamba: „(Al-Imamu Ahmad) alikuwa haoni ubaya
kusimulia Hadithi kutoka kwake (Hammad bin Salama) ikiwa (Hammad
bin Salama) hakwenda kinyume na mpokezi mwengine. Ama akiwa
atakwenda kinyume na mpokezi mwengine kama ilivyo hapa (katika
Hadithi hii), basi hafanywi kuwa ni hoja. Au iwe (Al-Imamu Ahmad)
hakuona ubaya kumtolea hoja (kwa riwaya zake) katika shawaahid884
au
(yasemwe maneno) yalio mfano wa hayo. Vyenginevyo basi maneno yake
(Al-Imamu Ahmad) haya yatakuwa ni yenye mgongano kama ilivyo wazi
kabisa.885
Ninasema: dhahir ni kuwa maana ya mwanzo alioiletea muelekeo Al-
Imamu Al-Qannubi ndio anayoikusudia Al-Imamu Ahmad, na hii ni kwa
sababu ya mfano ambao tunaupata katika Al-Jarhu Wa Al-Ta‟adiil cha Ibn
Abi Haatim baada ya maelezo kuhusu „Ali bin „Asim naye ni mpokezi
mwenye udhaifu kwa sababu ya kukosea sana ingawa mwenyewe ni mtu
mwema, Al-Imamu Ahmad alisema: “Ana nini kwani? Hadithi zake
zinaandikwa: kakosea; makosa yake yanaachwa na (Hadithi zake) sahihi
zinaandikwa”.886
Pamoja na hayo, Ibn Ma‟iin anasema kuhusu mpokezi
huyo kwamba “ni mwenye kuaminika”.887
Maneno ya Al-Imamu Ahmad
kwamba zichukuliwe Hadithi zake zilizo sahihi na alimokosea aachiwe
mwenyewe, yana maana kwamba mule ambamo hakwenda kinyume na
wapokezi wengine imara basi anakubalika. Na – dhahir kabisa – ni kuwa
hiki ndicho anachokikusudia kuhusu Hammad bin Salama aliposema kuwa
anakosea sana lakini haoni ubaya kupokea riwaya kutoka kwake.
882
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1 uk. 482. 883
- K.h.j. 884
- Tumetaja marejeo kabla kidogo. 885
- Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu 1, uk. 308. 886
- Ibn Abi Hatim Al-Jarhu Wa Al-Ta‟adiil j. 6, uk. 198-199, tarjama na. 1092. 887
- K.h.j.
295
Tukirudi tena nyuma kidogo katika maneno ya Al-Imamu Al-Qannubi
alipokuwa akiyatia sherehe maneno ya Al-Imamu Ahmad kwa kusema:
“vyenginevyo basi maneno yake (Al-Imamu Ahmad) haya yatakuwa ni
yenye mgongano kama ilivyo wazi kabisa”. Ninasema: naam! Huo ni
mgongano wa wazi baina ya minhaj (methodology) na tatbiiq
(implimentation au utekelezaji), kwani haiwezekani kuwa mtu awe ni
mwenye هطخء ؼ٤سأ makosa mengi kisha riwaya zake ziwe ni hoja isipokuwa
katika hali hizo alizozitaja Al-Qannubi na ambazo tumezitilia sherehe. Na
mfano wa maelezo hayo ya Al-Qannubi yamesemwa pia na Muhaddithu Al-
Awaraaqi Wa Al-Qalam, Ayatollah Al-Albani katika sehemu kadha wa
kadha za vitabu vyake. Anasema Al-Albani, kwa mfano, kuhusu mpokezi
aitwaye Zaadhaan:
خ “ػو أ٠٣خ أر ؼي حر ػي١ حؼـ٢ حوط٤ذ ، ح حر كزخ ، هخ : ...……
هض : ح أكحى طخه٠ ، ا خ ٣وط٠ء ؼ٤ح ٣ ػوش ! ! ”٣وط٠ء ؼ٤ح
(Zaadhaan huyu) Abu Sa‟ad, Ibn „Adey, Al-‟Ijli na Al-Khatib wamesema
kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika). Vivyo hivyo kasema Ibn Hibbaan
lakini yeye kasema: “alikuwa akikosea sana”. Ninasema:888
na huku ni
katika jumla ya kupwekeka kwake na kujigonga kwake, kwani lau alikuwa
ni mwenye kukosea sana basi asingelikuwa mwenye kuaminika.889
Hayo ni maneno ya Ayatollah Al-Albani, ingawa Al-Albani kajigonga
katika minhaj (methodology) yake alipotolea hoja – kuhusu mpokezi
mwengine – kwa maneno ya Al-Haithami, aliposema:
ؿ٤، رو٤ش ؿخ طؤ ، هي ػو حر ؼ٤ ؿ٤، ؼل حزوخ١هض : ئ ػوش ؼ٤ حو
ػوخص.
Ninasema:Muammil ni thiqa (mwenye kuaminika) anakosea sana, na
kasemwa na Ibn Ma‟iin na wengine kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika),
na Al-Bukhari na wengine wakasema kuwa ni dhaifu.890
Ni wazi kwa mujibu wa maneno hayo ya mwanzo ya Al-Albani kwamba
mwenye kukosea sana hawi thiqa; lakini katika maneno yake ya pili thiqa
anaweza kukosea sana! Haya! Hio ni kawaida ya Al-Albani – tumeizoa!
888
- Msemaji ni Al-Albani. 889
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 2, uk. 333, Hadithi na. 930. 890
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 678, Hadithi na. 6309. Usiniambie: “aa!
Haya si maneno ya Al-Albani, bali yeye kayanukuu tu kutoka kwa Al-Haithami”, kwani
Al-Albani kayanukuu kwa kuyatolea hoja, kwa hivyo kayakubali.
296
Na kwa hivyo, maelezo ya Al-Imamu Ahmad – kama alivyosema Al-Imamu
Al-Qannubi – yatakuwa ni yenye kujigonga ila ikiwa yatafasiriwa kwa
namna hio alioielezea Al-Qannubi. Na maelezo ya Al-Qannubi kuhusu
maneno ya Al-Imamu Ahmad bin Hanbal ni sawa na maelezo ya Al-Albani
kuhusu maneno ya Ibn Hibbaan. Lakini huenda maelezo ya Al-Qannubi
yakawa haramu katika mezani ya Kiwahabi na maelezo ya Al-Albani
yakaandikwa kwa maji ya dhahabu!
Turudi katika maneno ya Al-Albani. Tunasema: na mfano wa hayo, ni yale
alioyasema Al-Albani kuhusu Muhammad bin Mutawakkil, ambapo alisema
hivi: “ ؼ٤ق...ك٢ حظو٣ذ يم أخ ؼ٤سهض: ” “ninasema: (mpokezi huyu)
ni dhaifu….Na katika kitabu Taqriib imeandikwa kwamba yeye ni mwenye
makosa mengi”.891
Utaona hapa kwamba Al-Albani kamdhoofisha
Muhammad bin Mutawakkil na akatoa hoja kwa maneno ya Ibn Hajar
kwamba: “ni mwenye makosa mengi”. Na akasema Al-Albani kuhusu
mpokezi huyo huyo: يم أخ ػظ حر أر٢ ح١ ح، هخ حلخكع ك٢ حظو٣ذ
na kasoro yake (Hadithi hii) ni Ibn Abi Al-Sariy huyu (yaani ؼ٤س
Muhammad bin Mutawakkil), Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema katika Al-
Taqriib: „ni mkweli ana makosa mengi‟.892
Na akasema kuhusu mpokezi
huyo huyo:
هخ: “ح٠ؼلخء “ أى حز٠ ك٠ ي ر أر٠ حــــــهض : ح ي ؼ٤ق أؿ ل
.“ يم أخ ؼ٤س “هخ حلخكع ك٠ حظو٣ذ: ػوش, خ٤. “
Ninasema: sanad hii ni dhaifu kwa sababu ya kuwemo Muhammad bin
(Mutawakkil bin) Abi Al-Sariy. Al-Dhahabi kamtaja katika Al-Dhu‟afaa
na akasema: „ni mwenye kuaminika (lakini) ana Hadithi nyingi munkar.
Na Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema katika Al-Taqriib: „ni mkweli ana
makosa mengi‟.893
Anaendelea:
هخ )أ١ حلخ(: "حط ػ آه ػوخص" حكو حز٢. خ هخل، ل ٣ظ أ
زط، ـــــــل طؼزض كظ٠ ٣ظل٢ ح حؼش ٣ؼزض كلع حح١ ل٤ق ػخرض، ل حلش
٢ ))حظو٣ذ((:ـــــــــح ؿ٤ ظلون خ، كب حر أر٢ ح١ ح ظ ك٤ ؿش كلظ، ك
يم أخ ؼ٤س.
Na akasema (Al-Hakim) kwamba wapokezi wake (Hadithi hii) hadi
mwisho ni wenye kuaminika. Na Al-Dhahabi akakubaliana naye. Na
walivyosema ni sawa, lakini hio haina maana kwamba Hadithi hio ni sahihi
au imethibiti, kwani usahihi hauthibiti hadi pale ambapo hapana
891
- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 383. 892
- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 5, uk. 219-220. 893
- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 5, uk. 333.
297 shudhudh
894 wala kasoro, na pale itapothibiti kwamba mpokezi ni mwenye
hifdhi na uwezo wa kudhibiti. Na yoyote haya hayakupatikana hapa (katika
Hadithi hii), kwani Ibn Abi Al-Sarriy (Muhammad bin Mutawakkil) huyu
kasemwa kuhusu hifdhi yake, na katika kitabu Al-Taqrib imeandikwa
kwamba yeye ni mkweli lakini ana makosa mengi.895
Hayo ni maneno ya Al-Albani mwenyewe, na pamoja na Al-Albani
kuyasema hayo, lakini Ibn Ma‟iin na Ibn Hibbaan wanasema kuhusu
mpokezi huyo Muhammad bin (Mutawakkil) bin Abi Al-Sariy kwamba ni
thiqa (mwenye kuaminika),896
na Al-Dhahabi naye akasema kuhusu
mpokezi huyo kuwa ni: “Haafidh kasemwa kuwa ni thiqa”.897
Utaona kwamba yote alioyasema Al-Albani hapa kuhusu mpokezi huyo basi
ni sawa sawa na yale yaliosemwa – kwa ujumla – kuhusu Hammad bin
Salama lakini Hammad bin Salama Hadithi zake ni sahihi; Hadithi za
Muhammad bin Al-Mutawakkil ni dhaifu – bidhaa moja yapimwa kwa
mezani mbili tafauti! Hammad bin Salama kasemwa kuwa:
1) Ni thiqa ana makosa mengi.
2) Ni thiqa ana manaakiir (Hadithi nyingi munkar).
Muhammad bin Al-Mutawakkil kasemwa kuwa:
1) Ni thiqa ana makosa mengi.
2) Ni thiqa ana manaakiir (Hadithi nyingi munkar).
Lakini natija ni kuwa mpokezi wa kwanza ni sahihi na wa pili ni dhaifu!
Sheikh Mafuta ulikuwa umetoa hoja ya kimantiki. Je vipi hapa huna kumbu
kumbu yoyote ile ya kanuni ya kimantiki itayoweza kutuchekesha au
kutuliza? Sasa baada ya hayo – na kabla ya kuendelea na nukulu za
wanavyuoni wengine kuhusu Hammad bin Salama – soma yafuatayo kutoka
katika maandiko ya Al-Albani. Anasema Al-Albani:
ؼل –٢ ــــــــ حر أر٢ ؼف ح -هض : ح ي ؿ٤ي ؿخ ؿخ حل أ رخكخ
ك٢ ) حظو٣ذ ( : ) يم حخ ( . هض : حخ أه٠ أ ٣ هي كلظ رؼ٠ـــــ هز
ك٢ ح حلي٣غ
Ninasema: na sanad hii ni nzuru kabisa, wapokezi wake ni wapokezi wa
Muslim isipokuwa Rabah – naye ni Ibn Abi Ma‟aruf Al-Makki – baadhi
yao wamemdhoofisha kwa sababu ya hifdhi yake. Na katika Taqrib
894
- Shudhudh ni kitendo cha mpokezi mwenye kuaminika kwenda kinyume na mpokezi
mwenye kuaminika zaidi. 895
- Al-Albani Sifa ya Sala ya Al-Albani alichokiita Sifatu Salati Al-Nabiy j. 1, uk. 287. 896
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 376, tarjama na. 697. 897
- Al-Albani Sahiha j. 6, uk. 1098, Hadithi na. 2951.
298 imeandikwa kuwa: “ni mkweli lakini ana awham (makosa mengi).
Ninasema:898
ninahofia kwamba Hadithi hii kaikosea.899
Anaendelea Al-Albani:
هض : هي ػكض خ . “.. ٣ ػ كخى ر أر٢ ٤خ ال كخى ر ش ل٤خ حؼ١ “.
ي ٣ظز٤ أ كخى ر ..……… حؼ١ ػ كخى ر أر٢ ٤خ وطؼش؛ طوي أ ح٣ش
ل . حر ش ا خ ػوش ؿخ ، رح٣ظ ػ كخى ر أر٢ ٤خش طلى
اخ ػوش،“ هخ : “حـ٢ “ي أى حز٢ ك٢ ح٣ظ ػ ػخرض؛ كل٢ كلظ ٢ء ك٢ ؿ٤
جــل٤خ حؼ١ طـؼ حل ل طط هض : كوخلظ .“ أخ ؿحثذ ، ؿ٤ أػزض
ا“ :ــــحز٤و٢ رو ط٤ ك٢ إلخى ح حلي٣غ ، هي أخ ا٠ ي ط٤ ا٠ خ،
.…… ..…. ل ه ح٤ؼ٢ “ ػزض
….(Kasema Al-Tabarani): „hakuipokea (Hadithi hii) kutoka kwa Hammad
bin Abi Sulaiman isipokuwa Hammad bin Salama na Sufyaan Al-Thauri.
Ninasema:900
na kwa hayo yaliotangulia huko nyuma, umeelewa kwamba
riwaya za (Sufyaan) Al-Thauri kutoka kwa Hammad bin Abi Sulaiman ni
zenye mkatiko wa sanad, na kwa hivyo, inabainika kwamba Hammad bin
Salama kapwekeka kwa kuisimulia kwake (Hadithi hii) kutoka kwa
Hammad bin Abi Sulaiman katika hali ya kuiwasilisha.901
Na (Hammad)
bin Salama hata ikiwa ni thiqa (mwenye kuaminika) na ni katika wapokezi
wa Muslim lakini katika hifdhi yake kuna kitu (kasoro) kwa zile riwaya
asizozipokea kutoka kwa Thabit (Al-Bunani). Na kwa hivyo, Al-Dhahabi
kamtaja katika kitabu Al-Mughni na akasema: „Ni Imamu thiqa (mwenye
kuaminika) ana makosa mengi na Hadithi ngeni na asiyekuwa yeye ni
imara zaidi kuliko yeye‟. Ninasema:902
KWENDA KWAKE KINYUME
NA SUFYAAN AL-THAURI BASI KUNAIFANYA NAFSI ISITULIE
(IWE NA WASI WASI) NAKO NA IWE INAELEMEA ZAIDI
KATIKA KUMUINGIZA KATIKA MAKOSA KWA KITENDO
CHAKE CHA KUIFANYA SANAD YA HADITHI HII KUWA NI
MAUSUUL.903
NA KWA HAKIKA AL-BAYHAQI KALIASHIRIA
HILO ALIPOSEMA: „IKIWA ITATHIBITI‟ NA MFANO WAKE NI
KAULI YA AL-HAYTHAMI.904
898
- Msemaji ni Al-Albani. 899
- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 78. 900
- Msemaji ni Al-Albani. 901
- Tumeelezea maana yake kabla. 902
- Msemaji ni Al-Albani. 903
- Tumeelezea maana yake kabla. 904
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 669-670, Hadithi na. 6304. Tanbihi:
katika kopi nilionayo ya kitabu hicho, Hadithi yenye maelezo hayo imetiwa nambari hio
6304, na Hadithi ilio kabla yake imetiwa namba hio hio. Sijui ni kosa la chapa au vipi!
Naam! Inaelekea kuwa ni hivyo.
299
Sasa tazameni enyi walimwengu! Hadithi hii imepokewa na Hammad bin
Salama na Sufyaan Al-Thauri. Al-Albani kaidhoofisha kwa sababu
Hammad bin Salama kenda kinyume na Sufyaan Al-Thauri ambapo riwaya
ya Sufyaan si mausul905
wakati riwaya ya Hammad ni mausul – Hammad
kenda kinyume na mpokezi aliyekuwa thiqa zaidi kuliko yeye. Lakini
Hadithi ya Hammad bin Salama ya kuonekana kwa Mungu wamesema
kuwa ni Sahihi wakati:
1) Hammad bin Salama kasema kuwa ni marfuu906
wakati Hammad bin
Zaid na wenzake watatu wamesema kuwa ni mawquuf „Alaa Ibn Abi
Laila. 907
2) Hammad bin Zaid ni thiqa zaidi kuliko Hammad bin Salama.
3) Waliokwenda kinyume na Hammad bin Salama katika riwaya ya
kuonekana kwa Mungu ni wengi zaidi kuliko riwaya hii
alioidhoofisha Al-Albani.
Baada ya hayo, nakuomba chonde chonde usije ukanijibu kwa kuniambia:
“lakini katika riwaya ya kuonekana kwa Allah Hammad bin Salama
kaipokea riwaya hio kutoka kwa Thaabit Al-Bunani na Hammad bin
Salama ni msimulizi imara wao wa Hadithi za Thabit Al-Bunani”. Usinijibu
hivi, kwani jawabu ya hoja hii itakuja kwa ufafanuzi na nitakutolea mifano
ya Hadithi za makosa ambazo Hammad bin Salama kazipokea kutoka kwa
Thaabit Al-Bunani. Lakini kwa hapa ninakwambia kwamba hayo si
maudhui yetu: maudhui yetu ni hii kanuni:
1) Mpokezi thiqa akienda kinyume na aliye thiqa zaidi.
2) Mpokezi thiqa akienda kinyume na idadi kubwa zaidi ya walio
thiqa.
3) Je katika hali hizi ni Haadithi ya nani inayozingatiwa?
Mimi sina jawabu kwa masuali hayo, kwani Sheikh Al-Albani hapa
ameshatupa mfano unaomaliza kila kitu. Labda Al-Sayyid Al-Allama Kasim
bin Mafuta sasa atakuwa na jawabu nyengine iliotafauti na ile iliomo katika
kitabu chake aliposema kuhusu masharti ya Hadithi sahihi kwamba: ح ػي (4 Isiwe habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni
yenye kupingana na habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au
wengi zaidi kuliko yeye).908
Bwan Kasimu! Haya ni maneno yako mwenyewe. Sijui utayakubali na
kuyatumia katika Hadithi hii ya Hammad bin Salama ili tuweze kukupa
bendara ya ushindi kwani mshindi wa kweli ni mwenye kuikubali haki; au
905
- Yaani sanad yake imeshikana: haikukatika. 906
- Imetoka au imehusishwa na Mtume (s.a.w.). 907
- Inatoka kwa Ibn Abi Laila: si maneno ya Mtume (s.a.w.). 908
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 8.
300
hapa utayapiga chenga maneno-yo? Natuendelee na maelezo ya Al-Albani.
Anasema:
خ ح حر ـــ: أ حلي٣غ ؼ٤ق حإلخى ؿيح ، أؿي ك٢ ؼخ ؿ٤ ؛ ح ؛ ال ؿش حو
هض : ح اخى . ..............................كخى ر ش ٣١ن ”حطزوخص“ؼـــــي كــــــ٢
ش اخ أهؽ ـــــخى ر ــــػوخص ؿخ ح٤و٤؛ ؿ٤ أ ك ظخ حلش ؛ كب ؿخ
أػزض حخ ك٢ ػخرض، “ :”٣ذــــحظو“؛ هخ حلــــــخكع ك٢ ــــحزوخ١ طؼ٤وخ ، هي ط ك٤ رؼ٠
٢ــــ. هخ ك ”خ ػـــوش، أخ“ : ”٤حـــــح“خ حز٢ ك٢ ـــــ. ه ”كلظ رؤهس طـ٤
ـ. هض : أخ أظ أ ح حلي٣غ ” ػوش يم ٣ـ٢ ، ٤ ك٢ هس خي“ : ”حخق“
..………أؿال١؛ ي ؛ ل حللظ ػ ػز٤ي هللا حر ػ
Na kwa ujumla ni kuwa sanad ya Hadithi hii ni dhaifu sana na wala
sikuona Hadithi nyengine yenye maana sawa na hio, isipokuwa ile
iliosimuliwa na Ibn Sa‟ad katika kitabu Al-Tabaqaat kwa njia ya Hammad
bin Salama. Ninasema:909
sanad hii dhahir yake ni sahihi kwani wapokezi
wake wote ni wenye kuaminika wapokezi wa Al-Bukhari na Muslim,
pamoja na hayo Al-Bukhari kazisimulia Hadithi za Hammad bin Salama
katika Ta‟aliiq910
tu, na wengine wamemsema (Hammad bin Salama).
Anasema Al-Hafidh (Ibn Hajar) katika Al-Taqriib: „ni mpokezi imara wao
katika Hadithi za Thabit, (lakini) mwishoni hifdhi yake ilibadilika‟. Na
anasema Al-Dhahabi katika Al-Miizaan: „alikuwa ni mwenye kuaminika
(lakini) ana makosa mengi‟. Na akasema katika Al-Kaashif: „Ni mkweli
mwenye kuaminika, (lakini) anakosea wala hana uwezo wa Malik‟.
Ninasema:911
„nami ninadhania kwamba Hadithi hii ni katika makosa yake,
na hio ni kwa sababu kilicho sahihi kutoka kwa „Ubaidillahi bin
„Umar…….912
Tazama ndugu msomaji kwamba Al-Albani hapa anaidhoofisha Hadithi ya
Hammad bin Salama yule yule ambaye kamtetea katika Hadithi nyengine
ikiwemo Hadithi ya kuonekana kwa Allah, na kwa sababu zile zile ambazo
tumezitoa sisi katika kuikataa Hadithi ya Hammad bin Salama ya
kuonekana kwa Allah. Sababu hizo alizozitaja Al-Albani hapa ni:
1) Hammad bin Salama ana awhaam (makosa mengi) katika
masimulizi yake.
2) Kenda kinyume na wapokezi wengine.
Kwa hivyo, Hammad mwenye awhaam (makosa mengi) na aliyekwenda
kinyume na wapokezi wengine katika Hadithi moja – Hadithi yake hio ni
sahihi; Hammad huyo huyo mwenye awhaam (makosa mengi) na
909
- Msemaji ni Al-Albani. 910
- Bila ya sanad kamili: wapokezi wa mwanzoni mwake wameondoshwa. 911
- Msemaji ni Al-Albani. 912
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 11, uk. 793-794, Hadithi na. 5455.
301
aliyekwenda kinyume na wapokezi wengine katika Hadithi ya pili – Hadithi
yake ya pili hio si sahihi!
Tunaendelea na maneno ya Al-Albani kuhusu Hammad bin Salama.
Anasema:
ـك ٤ ٠ هللا ػ هخ:٤ أ . ح ححد خ ك٢ حح٣ش ح٥ط٤ش؛“حؿؼخ ػس “
؛ كب ، طلى ر كخى ر ش ى حؼوخص“ـؼخ ػس ـخء أ ٣ ــــ“: ــ هــى
ؿ٤غ حطم ػ ػخثش، شــــح٣ ح حو
Na ndani yake tunapata kwamba Mtume (s.a.w.) alisema: „ifanye (hija
yako) kuwa umra‟. Na hili ndilo lililo sawa katika riwaya inayofuata pasina
maneno yasemayo: „anayetaka kuifanya (hija yake) umra‟, kwa hakika
(maneno hayo) ni munkar (si sahihi) kapwekeka nayo Hammad bin Salama
pasina na wenye kuaminika wengine wote waliokipokea kisa hiki kutoka
katika njia zote kutoka kwa „Aisha.913
Hayo ni maneno ya Al-Albani. Kisha akatongoa hivi:
؛ كب ش رؼ٤ كخى ر أػنــــــ، -أػ٢: حخؿ -ي أهؿ أكي ٣١و
ـــ ض حخ ك٢ ػخرض، طـ٤ــــش ػخري أػزــــأخ كخى؛ كؼو .“حل٤ل٤ “ر ك٢ ػوش كو٤ لــظؾ
ض: حــه………”حظو٣ذ“ كي، خ ك٢ ر حزوخ١، اخ كلظ رؤهس، ٣لظؾ
٢ أؿـي؛ كب خ زن . ٣ن لظ حلي٣غ اخ أهؿ ك٢ ححي؛ ي
، ي حػظيـــ أػن خؿـــــ، حلي٣غ؛ وخلظ ك٤رؤ ك٢ ح حلف
ي هخل أ٠٣خ ــه حل أ حر الخم ٣ئ٣ي ي أ: كخى. ػ٤ ك٢ لع حلي٣غ ى لع
خ اح خ أكـيخـــأكلع حكي؛ ل ٤ حػخ ...… ……ك٢ لظ، حكوخ لع حخـ
ي٣غــ كــل٤لش، حله رخ أ٠ ـــ حح٣ش ح ٠ أ هخ حلزخ٢:..ا........... أكلع !
.حؼوظ٤ ح٣ كخى ح١ هخق
Halkadhalika akaisimulia Ahmad kwa njia yake – yaani kwa njia ya Al-
Maajishun – naye (huyo Al-Maajishuun) ni mwenye kuaminika zaidi na
kwa wingi kuliko Hammad bin Salama, kwani yeye (Al-Maajishuun) ni
mwenye kuaminika, fakihi (mwanachuoni wa sharia) Hadithi zake
zimetolewa hoja katika Sahihu Al-Bukhari na Sahihu Muslim. Ama
Hammad (bin Salama), yeye ni mwenye kuaminika mwenye kuabudu,
mpokezi imara wao katika riwaya za Thaabit lakini hifdhi yake ilibadilika
mwishoni, na Al-Bukhari hakutoa hoja kwa Hadithi zake bali Muslim peke
yake (ndiye aliyetoa hoja kwa Hadithi zake) kama ilivyoelezwa katika Al-
Taqriib…………. Ninasema:914
Hadithi hii Muslim kaisimulia katika
Shawaahid (si katika asili ya kitabu chake) na kwa hivyo hakuileta lafdhi
yake kama ilivyotangulia kutajwa. Na kwa sababu hio, mimi ninasema kwa
yakini kabisa kwamba (Hadithi hii) ni kosa (la Hammad bin Salama)
913
- Al-Albani Sahihu Abi Dawud j. 6, uk. 28. 914
- Msemaji ni Al-Albani.
302 katika maneno haya ya Hadithi kwani kenda kinyume na Al-Maajishuun
naye (Al-Maajishuun) ni thiqa zaidi kuliko yeye (Hammad bin Salama).
Na kwa sababu hio, Muslim kamtegemea (Al-Maajishuun) katika tamko la
Hadithi kuliko tamko la Hammad. Na hilo linaungwa mkono na mambo
mengi: la mwanzo ni kuwa Ibn Is-haaq kenda kinyume naye (Hammad bin
Salama) katika lafdhi yake na akawafikiana na lafdhi ya Hadithi ya Al-
Maajishuun…..na wapokezi wawili ni wenye uwezo zaidi wa kuhifadhi
kuliko mpokezi mmoja hususan ikiwa mmoja wao ni mwenye hifdhi
zaidi kuliko yeye. Mpaka Al-Albani akafikia kusema: „Na riwaya hii
sahihi, basi kuichukua ni bora kuliko Hadithi ya Hammad (bin Salama)
ambayo kenda kinyume na wapokezi wawili wenye kuaminiki.915
Tazama tena sababu za Al-Albani za kuikataa Hadithi ya Hammad bin
Salama kisha linganisha na sababu zetu za kuikataa Hadithi ya mpokezi
huyo huyo:
1) Hammad bin Salama kenda kinyume na Al-Maajishuun naye (Al-
Maajishuun) ni thiqa zaidi. Nasi tunasema Hammad bin Salama
katika Hadithi ya kuonekana kwa Allah kenda kinyume na Hammad
bin Zaid naye ni thiqa zaidi.
2) Hammad bin Salama kenda kinyume na wapokezi wawili wenye
kuaminika na kwamba wapokezi wawili ni wenye uwezo zaidi wa
kuhifadhi kuliko mpokezi mmoja hususan ikiwa mmoja wao ni mwenye
hifdhi zaidi kuliko yeye. Nasi tunasema Hammad bin Salama katika
Hadithi ya kuonekana kwa Allah kenda kinyume na wapokezi wane
wenye kuaminika.916
Je ni Hadithi ipi yenye kustahiki zaidi
kudhoofishwa: ni hii alioidhoofisha Al-Albani hapa kwa sababu hizo
au ni ile alioisahihisha kule pamoja na kuwepo kwa sababu hizo
hizo?
Baada ya kuona Al-Albani anasema nini kuhusu Hadithi za Hammad bin
Salama alizokwenda kinyume na wapokezi wengine wenye kuaminika. Sasa
tazama maelezo yake kuhusu wapokezi wengine. Anasema kuhusu Hadithi
isemayo:
حلن : حلس، كبح ؿخد حلن ؿزض حالس .
Al-Shafaq ni wekundu; shafaq (wekundu)917
ikizama basi sala imewajibika.
915
- Al-Albani Sahihu Abi Dawud j. 6, uk. 28. 916
- Mmoja kati ya hao ndio mwenye udhaifu, naye ni Hammad bin Waaqid kama
tutavyomuelezea baadae in shaa Allah. 917
- Yaani wingu jekundu.
303
Anasema Al-Albani kuhusu Hadithi hio kuwa ni dhaifu kwa sababu ya
mpokezi aliyemo katika sanad yake. Kisha akatongoa hivi:
ػي١ أ حؿ ػوش أخ ، كال ٣لظؾ ر اح هخل أكلع ، هي هق ك٢ ـ٣ظو
. ………كؼ خ ٣ؤط٢، طخرؼ ؼ أ ى
Na mukhtasari wake kwa uoni wangu ni kuwa mpokezi huyu ni THIQA
(MWENYE KUAMINIKA) LAKINI ANA AWHAAM (MAKOSA
MENGI), basi hafanywi kuwa ni hoja ikiwa atakwenda kinyume na
mpokezi mwenye hifdhi zaidi kuliko yeye. Na hapa kapingwa katika
kuinasibisha kwake (Hadithi hio na Mtume s.a.w.) kama yatavyokuja
maelezo. Na wakaafikiana naye wapokezi walio kama yeye na walio chini
yake…………….918
Sheikh Mafuta yaangalie maneno hayo kwa insafu bila ya kasumba;
kasumba haikusaidii kitu – wacha uwahabi na ukhawarij na utazame hoja na
dalili. Tazama Al-Albani kaidhoofisha Hadithi hii:
1) Iliopokewa na mpokezi thiqa lakini ana awhaam (makosa mengi).
2) Mpokezi thiqa huyo mwenye awhaam hakupwekeka katika
kuisimulia riwaya hio: wameshirikiana naye wapokezi wengine
walio mfano wake na walio chini yake.
3) Lakini wamekwenda kinyume na mpokezi au wapokezi ambao ni
imara zaidi kuliko wao, ambapo wale wameisimulia Hadithi hio hali
ya kuwa ni marfuu919
wakati hawa wamesema kuwa si marfuu.
4) Natija ni kuwa Hadithi hio ni dhaifu kama anavyosema Ayatollah
Al-Albani.
Sasa kama ni hivyo, kwanini Hadithi ya Hammad bin Salama isiwe dhaifu
ilhali imesimuliwa na mtu mmoja aliyekwenda kinyume na kundi la thiqaat
(wapokezi wenye kuaminika)? Tuendelee na nukulu za Al-Albani.
Anasema:
ي حر كزخ كب ك٢ ي ح أرخ ه٤لش حل٠ ر حلزخد ػوش اخى أق …
أهطخء كحؿغ ) خ ح٤ح ( .
….na sanad yake ni sahihi zaidi kuliko sanad ya Ibn Hibbaan, kwani katika
sanad ya (Hadithi) hii kuna Abu Khalifa Al-Fadhlu bin Al-Hubaab naye ni
thiqa (mwenye kuaminika) lakini ana makosa mengi. Rejea kitabu
Lissaanu Al-Miizaan.920
918
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 8, uk. 234. 919
- Imetoka kwa Mtume (s.a.w.) au imenasibishwa kwake. 920
- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 154, Hadithi na. 983.
304
Na anasema Al-Albani kuhusu Hadithi ya „Uthman bin Hunaif ya
kutawassul:
أخ أر ز٤ذ كو ال ك٤ أ ػوش ك٢ كلظ ؼق
…ama baba yake Shabib, mukhtasara wa maelezo yao ni kuwa yeye ni
thiqa (mwenye kuaminika) lakini katika hifdhi yake kuna udhaifu.921
Sheikh Mafuta upo! Sikiliza maneno ya Sheikh wako. Mpokezi thiqa
(mwenye kuaminika) si maana yake “mwenye hifdhi nzuri” kama wewe
ulivyolifasiri neno hilo katika kitabu chako ili uipigie debe Hadithi yako ya
kumuona Allah. Naam! Inawezekana ukalifasiri neno hilo hivyo ikiwa
limetumika طوش pasina kufungamanishwa na kitu. Au غ حظلخء حؼ ikiwa
hakuna kasoro. Lakini si kwamba mpokezi akitajwa kuwa ana awhaam au
akhtaa kisha wewe useme “anahifdhi nzuri” kwa sababu kaitwa thiqa.
Halafu tazama tena sababu za Al-Albani za kuiacha Hadithi ya Abu Khalifa
huyu naye ni thiqa: sababu ni kuwa:
1) Ana makosa mengi.
2) Kenda kinyume na mpokezi menye kuaminika zaidi nazo ndizo
sababu zetu kuikataa Hadithi ya Hammad bin Salama ya kuonekana
kwa Allah, lakini zetu ni haramu; zenu ni halali!
Anaendelea Al-Albani:
أهؿ حيحهط٢ . كوخق ؿ٤: حل : ؿؼ هظخىس ري ط. حله: أو٢ ................
أكذ ا٤خ هللا أػ كخ حلي٣غ ال ػزيس ػوش ح٣ش حـخػش حؿ حلخ
…..Kaipokea Al-Daraqutni, basi akaenda kinyume kwa namna mbili. Ya
mwanzo ni kuwa badala ya kutaja jina Matar yeye kamtaja Qatada. Na ya
pili ni kuwa kamtoa mtu miongoni mwa Ansar na kwa hivyo Hadithi
imekuwa ni mursal.922
Na „Abda ni Thiqa (mwenye kuaminika) lakini
riwaya ya waliowengi ni bora zaidi kwetu. Na Allah ndiye mjuzi zaidi.923
Ninasema: ewe Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam wee! Kwanini basi
katika riwaya iliokuja kuifasiri ziada kuwa maana yake ni kumuona Allah
isiwe riwaya ya waliowengi ndio bora kwenu kuliko riwaya hio; na badala
yake mukang‟ang‟ania riwaya ya Hammad bin Salama tu? Anaendelea Al-
Albani:
921 - Al-Albani Al-Tawassul Anw‟uhu Wa Ahkamuh uk. 85.
922 - Imenasibishwa na Mtume (s.a.w.) pasina kutajwa Sahaba aliyeipokea kutoka kwa
Mtume (s.a.w.). 923
- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 218, Hadithi na. 1030.
305
كوي ح احث٤ هكخ أر ر ر ػ٤خ كـــــػخ الخ ػـــــوش أرخ ر خ ز خء
٣ؼخ طؿ٤ق ح٣ظ ػ٠ ح٣ش احث٤ ا خ حلــــي٣غ ل٤لخ ـــــكػخ كـــلظ كي
حلهحال ك٢ حط٣ن ــــ حط٣ن حل٠ اخ
……na ameisimulia Israil hali ya kuwa ni mawquuf924
na Abu Bakr bin
„Ayyaash na wote wawili ni thiqa (wenye kuaminika), lakini Abu Bakr
alipozeeka hifdhi yake iliharibika basi hilo linatuzuia sisi kuipa uzito
riwaya yake dhidi ya riwaya ya Israil, pamoja na kuwa Hadithi marfuu ni
sahihi katika njia ya kwanza lakini mazungumzo yetu ni kuhusu njia
nyengine. 925
Ninasema: ikiwa Israil na Abu Bakr bin „Ayyash wote ni thiqa lakini
wametafautiana katika riwaya moja: mmoja akaisimulia hali ya kuwa ni
marfuu na mwengine akaisimulia hali ya kuwa ni mawquuf, lakini Al-
Albani – katika njia ya pili – hakuweza kuipa uzito riwaya ya Abu Bakr bin
„Ayyaash ambaye kaisimulia riwaya hio hali ya kuwa ni marfuu‟a kwa hoja
kwamba Abu Bakr bin „Ayyash japokuwa ni thiqa lakini alipokonga hifdhi
yake iliharibika. Suali: kama ni hivyo – na hivyo ndivyo inavyotakiwa –
kwanini asiipe uzito riwaya ya Hammad bin Zaid na wenzake ambayo
wameisimulia hali ya kuwa ni mawquufa dhidi ya riwaya ya Hammad bin
Salama ambayo ameisimulia hali ya kuwa ni marfuu‟a ilhali Hammad bin
Salama naye ni thiqa lakini alipokonga hifdhi yake iliharibika? Utaona hapa
kwamba hali ya riwaya hii hapa inawiyana 100% na hali ya riwaya ya
Hammad bin Salama, bali hali ya riwaya ya Hammad bin Salama ni mbaya
zaidi kwani kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi lakini natija ni tafauti
– Hadithi ya Hammad bin Salama ni sahihi; Hadithi hii hapa ni dhaifu!
Anaendelea Al-Albani:
ى رـش كغــــ٣ن رــــؿ حح ١ـــــه ارح٤ حلح٤ي١، ػوش، طل
ى حطم حله ػ ؼزش ٣و٢ ك٢ حل ػي حل١جخ ؼزطخ ف ا٠ حخءــــحط
……….Wameipokea wapokezi wawili tuliowataja kwa njia ya Muslim bin
Ibrahim Al-Farahidi naye ni thiqa (mwenye kuaminika) lakini kitendo cha
kupwekeka (kwa Muslim bin Ibrahim huyu) na sentesi inayosema:
“kanyanyua macho mbinguni” pasina njia nyengine kutoka kwa Shu‟uba
(kuyataja maneno hayo), basi kunaifanya nafsi isiwe na utulivu (iwe na
shaka) juu ya kuthibiti kwake (maneno hayo). 926
924
- Hadithi ya Sahaba: si ya Mtume (s.a.w.). 925
- Al-Albani Al-Thamaru Al-Mustataab uk. 383. 926
- Al-Albani Al-Sahiha j. 7, sehemu 1, uk. 489, Hadithi na. 3163.
306
Ninasema: kanuni hii alioitumia Al-Albani hapa musiisahau kuitumia katika
Hadithi ya Hammad bin Salama. Hadithi hii imepokewa na mtu thiqa naye
ni Muslim bin Ibrahim Al-Farahidi, lakini kenda kinyume na wapokezi
wawili kwa kuzidisha kitu ambacho wao hawakukipokea na natija ni kuwa
ziada hio inatia wasi wasi juu ya kuthibiti kwake; Hammad bin Salama naye
ni thiqa kenda kinyume na wapokezi wane – tena wengine ni thiqa zaidi
kuliko yeye – lakini Hadithi yake ni sahihi! Bwana Mafuta, haa mezani hii
mvipi: mbona upande mmoja intoboka? Anaendelea Ayatollah Al-Albani
kwa kunena hivi:
ح ٤ رحد كب ػطخكخ ح وظـــق ر أػ كي٣غ ػزي حل٤ي ر ؿـــؼل حـــخ ا٤!
و٢ كي٣ؼ ــــ، ك ح٣ ل ٣ ك٢ كلظ ــــؼق ا خ ٣ظؿق ػي١ أ ػوش؛كــــ٤،
خ هي هخق ػزي حلــــ٤ي لـــي ر ػ ٣لظؾ ر ػي حوخلش. لػ حلكظـخؽ ر،
أل“كخلـش ك٢ ح٣ظخ. هخ حر حو٤: ر كلش؛ حل٤ق “خد ــــــــكؤخ ػطخف؛ ك ٣
.”٣ؼخ ر حؼوخص حلػزخص اهحؽ كي٣ؼ، ل “
Na kwayo, Hadithi ya „Abdil-Hamid bin Ja‟afar aliyeashiriwa imetiwa
kasoro! Na hili si sahihi kwani „Attaaf huyu kuna khilafu ndani yake
pamoja na kuwa chenye uzito kwangu ni kuwa yeye ni thiqa (mwenye
kuaminika) lakini katika hifdhi yake kuna udhaifu. Basi yeye si katika wale
ambao Hadithi zao zinafikia hadi ya kuwa hazitolewi hoja, lakini hafanywi
kuwa ni hoja pale anapokwenda kinyume (na wapokezi wengine). Naye –
„Attaaf – hapa amekwenda kinyume na „Abdul-Hamid na Muhammad bin
„Amri bin Halhala. Basi hoja iko katika riwaya yao („Abdul-Hamid na
Muhammad bin „Amri bin Halhala, pasina riwaya ya „Attaaf). Amesema
Ibn Al-Qayyim: „Ama „Attaaf wenye vitabu vya Hadithi sahihi
hawakuridhia kusimulia riwaya zake, wala yeye si katika ambao riwaya
zao zina uwezo wa kupinga riwaya za wapokezi wenye kuaminika, walio
imara. 927
Baada ya hayo, yanatubainikia mambo haya:
1) Kanuni ni kuwa mpokezi mwenye kuaminika akiwa atakwenda
kinyume na mpokezi mwenye kuaminika zaidi, basi riwaya
inayozingatiwa ni ya mpokezi mwenye kuaminika zaidi. Hayo
kayaeleza Al-Albani na Kasim Mafuta na ndivyo ilivyo katika elimu
ya Hadithi. Hammad bin Salama katika riwaya yake hio ya kuwa
ziada iliotajwa katika Surat Yunus maana yake ni kumuona Allah,
kenda kinyume na Hammad bin Zaid ambaye ni mwenye kuaminika
zaidi.
2) Kanuni ni kuwa mpokezi mwenye kuaminika akienda kinyume na
wapokezi wengi zaidi wenye kuaminika, riwaya ya wengi ndio
927
- Al-Albani Dha‟ifu Abi Daud uk. 273, Hadithi na. 118.
307
inayozingatiwa. Hayo pia kayaeleza Al-Albani na Kasim Mafuta na
ndivyo ilivyo katika elimu ya Hadithi. Hammad bin Salama katika
riwaya yake hio kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi wenye
kuaminika. Na kwa hivyo, riwaya ya wapokezi wengi zaidi ndio
itayozingatiwa na riwaya ya Hammad inaachwa.
JAWABU YA KASIM MAFUTA KUHUSU
HAMMAD BIN SALAMA
Lakini baada ya yote hayo, tunamkuta Sheikh Kasim bin Mafuta ana jawabu
yake alionijibu katika kitabu chake Hoja Zenye Nguvu. Anasema:
MAJIBU YETU
Majibu yetu dhidi ya maneno haya ya Juma Al-Mazrui aliyoyanakili
kutoka kwa sheikh wake Al-Qannubi, sisi Inshaallah tutayajibu kwenye
nukta mbili:
Nukta ya kwanza:
Ni kuhusu kauli yake ya kumuita Al-Qannubi kuwa ni Imamu wa hadithi.
Bila shaka kwa watu walio na maarifa juu elimu hii ya hadithi
wanaifahamu daraja hii ya uimamu katika fani hii kwamba si kila mtu
alipewa daraja hiyo bali walipewa watu wachache mno kama vile: Sufyaan
al-Thawry, Sufyaan bin Uyaina, Malik bin Anas, Ali bin alMadini, Ahmad
bin Hanbali, Muhammad bin Ismail al Bukhari na wengineo wachache.
Kwa uthibitisho zaidi hebu fungua vitabu vya tarjama kisha usome kwa
utulivu utaligundua hili ninalokueleza, hebu soma vitabu kama vile;
Tah‟dhibul kamal,ya al mizziy. Tah‟dhibut Tah‟dhibi na al-Taq‟ribu vya al
Haafidh Ibn Hajar al- As‟qalaani. Mizanul-I‟tidaal ya Imamu al-Dhah‟bi
n.k. Pamoja na kuwa mlango wa kuitana hivyo haujafungwa, lakini je ni
kila mtu anaweza kupewa wasifu huo hata wale wasiostahiki?
Lakini unajua ni kwanini ndugu Juma ameamua kumpa al-Qannubi daraja
hiyo katika fani hii hususani alipokuwa akilizungumzia suala hili? Si kwa
nia nyingine bali lengo lake ni kumkuza mbele ya macho ya wasomaji ili
aipe uhalali kazi aliyoikusudia kuifanya, nayo ni kazi ya kuyapotosha
maandiko sahihi yaliyopokelewa kutoka kwa Mtume mtukufu Muhammad
-swalla llaahu alayhi wasallam- yanayotufundisha kwamba Allah -
subhaanahu wata‟ala- ataonekana kwa macho huko akhera na kuyafanya
maandiko hayo kuwa ni batili kwa sababu yanapingana na itikadi ya
madhehebu yake! Ndiyo akaamua kumnyanyua na kumpa cheo cha
uimamu katika hadithi ili msomajiaone kwamba kuna mwanachuoni
308 mkubwa, tena Imamu wa hadithi na fiq‟hi……ameibatilisha hadithi hii !!!
Na hakumpa cheo hicho kwa kuwa anastahiki, hapana! Kwa sababu hapo
mbeleni Inshaallah utakubainikia ujahili wa mtu huyo aitwaye imamu wa
hadithi katika elimu hii.928
JAWABU
Haya ni maneno ambayo hayana haja ya kujibiwa, kwani Al-Qannubi akiwa
ni Imamu kama wewe au akiwa ni jahili kama unavosema, basi
tunachokitaka ni hoja yake si uimamu wake. Lakini naona Kasim Mafuta
anataka kuziba muangaza wa jua kwa kiganja chake. Ewe Ibn Mafuta we!
Uimamu wa Al-Qannubi ni kama moto juu ya bendera. Naye kaitwa Imamu
na Sheikh Al-Khalili, na Sheikh Al-Khalili ni mtu ambaye elimu yake
imekubaliwa na wanavyuoni wa ulimwengu hata wale wanaotafautiana naye
katika mas-ala ya kifiq-hi na itikadi. Si hivyo tu, sisi tunamjua vyema
Sheikh Al-Khalili si mtu wa kufyatuafyatua tu au wa kuwapachika watu
vyeo ovyo ovyo, bali yeye ni mtu ambaye anayapima vyema maneno yake
hususan katika kitu kama hiki kwani yeye ataposema hivyo basi maana yake
ni kuwa anawaambia watu: “chukueni dini yenu kutoka kwa Al-Qannubi”.
Na hili ni jukumu, Sheikh hawezi kujisemea tu ovyo ovyo. Utakumbuka
kwamba Ibadhi ina wanavyuoni wengi sana wakubwa Mashariki (Oman) na
Magharibi (Algeria) na yuko katika wanavyuoni hawa mmoja aliyefikia
daraja ya ijtihad, lakini pamoja na hayo Sheikh hajapatapo kumpa sifa
aliompa Al-Qannubi. Kwa ufupi, sisi unatotosha ushahidi wa Sh. Al-Khalili
ambaye katajwa kuwa ni mwanachuoni au ni mwanachuoni pekee929
kwa
sasa “aliyezama katika fani tafauti”930
na kwamba ni “Sheikh Al-Islam wal
„Arab”931
na ndiye ambaye mkwe wa Sheikh Muhammad Ali Al-Sabuni –
baada ya kusikiliza darsa zake za tafsiri – alisema: “hatukudhania kwamba
katika zama hizi kuna mtu anayeweza kumrudi Al-Zamakhshari”, na ndiye
ambaye mmoja wao alimwambia:
928
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 73-74. Nafikiri Kasim Mafuta ukimtajia Al-
Qannubi labda inamjia fikra ya kumlinganisha na Al-Albani au Muqbil Al-Wadi‟i au Bin
Baz! Tunamwambia Bwan-Kasimu hao wote ni maji ya nyayo mbele ya kiumbe huyo!
Soma vitabu vyake na sikiliza jawabu zake katika intaneti na katika TV. Halafu
nakuchalenj unitajie mwanachuoni katika zama hizi anayejibu masuali kielimu na kutoa
dalili kwa kichwa na kuzichambua na kuzielezea kama yeye na Al-Khalili. Na kwa hivyo,
kipindi chao kimechaguliwa huko Bahrain kuwa ndio kipindi bora cha dini katika nchi zote
za Ghuba ya Kiarabu. 929
- Nimeisahau ibara alioitumia msemaji; siku ni nyingi. 930
- Katika mahojiano yake na T.V. ya Abu Dhabi, katika kipindi kilichoitwa Al-Majlis. 931
- Dr. wa Kimisri kayaeleza haya katika gazeti la Oman siku za nyuma.
309 Sheikh mimi nimesoma na wanafunzi wako, Sh. Abdullah Al-Ma‟amari na
Sheikh Nasir Al-Sabi‟i nikastaajabishwa na elimu yao waliokuwa nayo,
nikasema wanafunzi wako hivi eje mwalimu yukoje? Nikasikiliza darsa
yako ya tafsiri, kwa kweli Sheikh nimefaidika sana nakwambia hili kwa
ukweli kabisa.932
Na ndiye ambaye lau Ibn Al-Jawzi alikuwa hai na akataka kukusanya ndoto
sahihi anazoota933
na anazootwa934
basi angeliunda majalada ya vitabu. Tena
ndoto zenye kukubalika: si kama zile alizobuniwa Al-Imamu Ahmad
ambazo ziko kinyume na maandiko ya Sharia tulizozitaja katika juzuu ya
kwanza ya kitabu hiki ambazo moja yao inasema kwamba mabaradhuli
waliokufa wamesamehewa kwa sababu ya kuzikwa Al-Imamu Ahmad
katika mava yao! Lakini ushihidi bora ni ushahidi wa mtu mwenye elimu.
Anasema Al-Qannubi kuhusu Sheikh Al-Khalili kuwa ni:
932
- Mwanafunzi wa Jordan ana master digree katika elimu ya tafsiri. Kayasema haya
mbele yangu na Sheikh Al-Khalili yupo. Sheikh akawa anamkatisha na kumkaribisha
kahawa kwani kawaida ya Sheikh hapendi kusifiwa machoni. 933
- Miongoni mwa ndoto zake alizoota zenye kuonesha darja yake ni kuwa alimuota
Mtume (s.a.w.) anasalisha na nyuma yake kuna Abu Bakr na „Umar na nyuma ya Abu Bakr
na „Umar kuna Sheikh Al-Khalili na nyuma yake kuna umma mzima. 934
- Miongoni mwa ndoto alizootwa ni ndoto aliyoiota Fadhilatu Al-Sheikh Al-Duktur
„Abdullah bin Sa‟id Al-Ma‟amari. Huyu alimuota Mtume (s.a.w.) naye (Dr. Al-Ma‟amari)
alikuwa kachukua kitabu Fiq-hu Al-Sunna cha Al-Sayyid Al-Saabiq. Mtume (s.a.w.)
akamuuliza Al-Ma‟amari: “nini hicho?” Akamjibu kuwa ni kitabu Fiq-hu Al-Sunna.
Mtume (s.a.w.) akamjibu: “kitabu hiki ni kizuri, lakini kina mchanganyiko: nyengine ni
Sunna zangu na nyengine si Sunna zangu: lakini ukitaka kujua Sunna zangu nenda kwa
Sheikh Al-Khalili”. Na miongoni mwa ndoto alizootwa ni kuwa kijana mmoja mcha
Mungu namjua kwa sura na jina – nadhani hapendi kutajwa – basi kanisimulia kuwa aliota
pango. Akatoka mtu katika pango hilo kazungukwa na nuru, alipomtazama ni Sheikh Al-
Khalili, mara akatoka mtu mwengine kazungukwa na nuru, alipomtazama ni Sheikh Al-
Qannubi, mara akatoka mtu wa tatu kazungukwa na nuru akamtazama hakumjua ni nani.
Na miongoni mwa ndoto alizootwa ni ile niliosimuliwa na mtu wangu wa karibu naye ni
mtu mwenye moyo kama kiyoo kwa usafi. Yeye alimuota Sheikh Al-Khalili kakusanyika
pamoja na Mtume (s.a.w.) na Al-Khidhr na Sheikh alikuwa anatoka nuru. Hizo ni ndoto
tatu katika maelfu ya ndoto anayootwa na anayojiota. Ama karama zake za wazi, linatosha
lile tukio lililotokea Dar-es-Salam katika msikiti wa Sheikh Kasim bin Jumaa, ambapo
aliombwa na Waislamu aiobezee baa ya pombe iliokuwa ikiwakera kwa muziki na
mengineo nayo ipo pembeni mwa msikiti. Hapo Sheikh Al-Khalili aliomba dua na baada
ya dakika 15 baa iliripuka hakikutoka ndani isipokuwa mwenye baa na alichokivaa. Na
namjua mtu ambaye alikuwa na maradhi asiotarajia kupoa. Usingizini akamuota Sheikh Al-
Khalili akaja akamsomea kisha akaondoka, kisha akaja Sheikh Al-Qannubi akaja
akamsomea kisha akaondoka, kisha akaja Sheikh Humud bin Humaid Al-Sawafi
akamsomea kisha akaondoka. Alipoamka asubuhi maradhi yamemuondokea: mzima hadi
leo hii. Na hili – kama alivyosema Dr. Al-Ma‟amari – si kumtakasa mtu bali ni kwa ajili ya
kubainisha kwani ni Sunna kubainisha manzila ya wanavyuoni. Wala hili si kwa ajili ya
kuwadharau wengine. Ninaamini kuwa fadhila za Allah ni kubwa, pengine wako watu
wengine wenye darja kubwa lakini hatuwajui.
310
أ٠ رــــ ر خ حإلال ؿ٠ ر ظخص حـاخ أثش حؼ حل٠ ح٣ كغ هللا
٤وخ حظو٢ ح٢ ـأهي ر ؿس حإل٣خ، ح٤ن حؼالش حزل حلز حلخش كحس حظوـ
ـشــــ حلحث كـــــــحل٣ي حلـش ؿخغ ظخص حل٠خث حع ػ ري حي٣ حو٢٤....٤وخ
....٤وخ ......حل٣ ٤ن حإلال حو٢٤... حخظ٣ اخ حلوــــــــخءحظ٤ ٤ق
حؼالش حلون حـظي حطن حل٣ي حلـش اخ حظؤهـ٣ كـش حظ٤ ٤ق حخظ٣
٤ن حإلال ح٤ ري حي٣ حو٢٤
Imamu miongoni mwa maimamu wa elimu na fadhila ambao Allah
kanyanyua taa za Uislamu, na kukiondoa kiza cha ujinga na akaliwasha
kwa sababu yao joto la uchaji na akaliwasha kaa la imani, (naye ni)
Sheikh, Mjuzi mkubwa, bahari (ya elimu) mwanachuoni, mwenye fahamu
sana,Sheikh wetu, mchaji, walii Badru Al-Din Al-Khalili…….na Sheikh
wetu aliyepweke (kwa elimu katika zama hizi) Al-Hujja, aliyekusanya
fadhila tafauti za waliotangulia, hoja ya mutakallimin na upanga wa wenye
kujadiliana, Imamu wa mafuqahaa na mufasirina, Sheikh Al-Islam Al-
Khalili……Sheikh wetu Al-‟Allaama, Al-Muhaqqiq, Mujtahid
asiyefungamana na mtu yoyote, aliyepweke (kwa elimu katika zama hizi),
Imamu wa wanavyuoni wa mwisho mwisho hoja ya mutakallimin upanga
wa wenye kujadiliana, Sheikh Al-Islam wal Muslimin, Badru Al-Din Al-
Khalili. 935
Kwa hivyo, sisi ushahidi wa mtu aliyesifiwa na watu tafauti kama hivi
unatutosha hatusubiri ushahidi wa Kasim Mafuta ambaye hata mas-ala
mepesi ya kitoto ya lugha ya Kiarabu hayajui. Kasim Mafuta ndio kwanza
anatoa hoja ya taqdimu al-ma‟amuli „alaa al-‟aamil kwa Aya kama: أخ ػى
خكي٣ , na anazichanganya kanuni za Hadithi akizungumzia mas-ala ya al-
dhabt al-taam anaingiza mambo yenye kuhusiana na al‟adaala! Ivo kweli
mtu huyu anao uwezo wa kumjua Imamu na ma-amuma? Sasa baada ya
hayo msikilize nini Al-Khalili anakisema kuhusu Al-Qannubi. Anasema:
..٣ق ال حلخكع حلـش ......………...ػ٤ ك٢ ػخ اخ حؼو حو حور٢
.ليع حؼ حؼالش حور٢........حؼالش حليع حز٤ حلخكع حلـش.…...حؼالش حور٢...
حز كزؾ ك٢ ػ ح٣ؼشكظق هللا ر٤ط أكخ ػ٤ . خد.......ح٤ن حور٢.
طزش ل ٣حك حك
Nayo (kauli hio) katika zama zetu (ndio kauli ya) Imamu wa hoja za kiakili
na za kimaandiko Al-Qannubi……..na inaashiriwa katika maneno ya Al-
Haafidh, Al-Hujja, Al-‟Allaama Al-Qannubi……Mwanachuoni wa
Hadithi wa zama hizi Al-Qannubi…..Mjuzi mkubwa, Mwanachuoni wa
Hadithi aliyebobea, Al-Hujja Al-Sheikh Al-Qannubi…….naye ni kijana
ambaye Allah kamfungulia uoni wake na akammwagia vipaji vyake basi
935
- Al-Mu‟utasim bin Sa‟iid Al-Mi‟iwali Al-Mu‟utamad Fii Fiq-hi Al-Sala uk. 20.
311 amefikia katika elimu za Sharia darja ambayo hakuna anayeweza
kusongana naye….936
Lakini baada ya yote hayo, nyinyi Mawahabi na Maimamu wenu,
munawapachika masheikh wenu sifa hizo za uimamu hata kama ni waongo.
Hii si ajabu? Al-Dhahabi anasema kuhusu Ibn Batta aliyesemwa kuwa ni
jiongo la kutupwa: “pamoja na kuwa Ibn Batta ana uwezo mdogo katika riwaya
lakini ni Imamu katika Sunna”.937
Haa Sunna na uwongo zakusanyika pamoja? Na
Al-Albani naye pia ni Imamu. Anasema Abu Al-Hasan Al-Sheikh: “Allah
kamuekea Al-Imamu Al-Albani kubuli katika aridhi”.938
Ninasema: sawa, ndio
maana ulimwengu mzima ukampinga na akatukanwa mpaka na wanafunzi wake
mwenyewe. Na akatolewa makosa mpaka na watoto wa praimari. Anaendelea Abu
Al-Hasan Al-Sheikh kwa kusema:
Na Allah ameuneemesha umma huu katika kipindi hiki kwa Mujaddid, Al-
Imaam, Al-Muhaddith aliyepweke, mwenye hima ya hali ya juu, kigezo,
Mujaahid Imamu wa watu wa Hadithi wa zama hizi! 939
Bwana Mafuta! Ikiwa kweli wewe ni mtu wa haki na unataka ukweli, mrudi
Abu Al-Hasan kwa uzushi wake huu. Ikiwa wewe unaona Al-Qannubi –
pamoja na hifdhi yake kali ya ajabu, na kusoma kwake vitabu visivyo na
idadi na kuvihifadhi na kuvichambua – si Imamu, basi Al-Albani ambaye
hana hifdhi hata ya kitabu kimoja mutamuweka wapi naye hamfiki, wala
hamkaribii wala hainusi harufu ya elimu ya Al-Qannubi? Al-Albani hawajui
wapokezi hata wa Al-Bukhari na Muslim kama tulivyokubainishia katika
juzuu ya kwanza, bali Hadithi zilizomo katika Al-Bukhari na Muslim pia
hazijui, huo uimamu kautoa nchi gani? Bwana Mafuta ulikuwa
unazungumzia mtu aliyevishwa kilemba cha ukoka, basi ndiye huyu Al-
Albani: si Al-Qannubi: Al-Qannubi anastahiki sifa zaidi ya tulizompa.
Halafu tazama laqabu alizopewa Muhammad bin‟Abdil-Wahhaab!
Anasema Basim Faysal: “(Huu) ni utunzi wa Al-Imamu Al-Mujaddid,
Sheikh Al-Islam, Muhammad bin „Abdil-Wahhab”.940
Na Kasim bin Mafuta
naye asema: “…..Sheikhul Islaam Muhammad bin Abdul Wahaab ambaye
936
- Al-Mu‟utasim bin Sa‟iid Al-Mi‟iwali Al-Mu‟utamad Fii Fiq-hi Al-Sala uk. 22. 937
- Al-Dhahabi Al-Mizaan j. 3, uk. 412, tarjama na. 5394. 938
- Abu Al-Hasan Al-Sheikh Taraaju‟aatu Al-‟Allama Al-Bani nacho uhakika wake ni
Tanaaqudhaatu „Alaama Al-Albani j. 1, uk. 7. 939
- Abu Al-Hasan Al-Sheikh Taraaju‟aatu Al-‟Allama Al-Bani nacho uhakika wake ni
Tanaaqudhaatu „Alaama Al-Albani j. 1, uk. 5. 940
- Tazama katika gamba la kitabu Usuulu Al-Iman kilichohakikiwa na Dr. Basim Faysal
Al-Jawaabira.
312
amezaliwa mwaka 1115 H na kufariki mwaka 1206 H”..941
Haya bwan-
Kasimu! Muhammad Abdil-Wahhaab naye pia ni Imamu? Aa kweli ni
Imamu wa kuua Waislamu; nilisahau kidogo! Mtu huyu vitabu vyake
vinajishuhudisha kwamba hakuwa na elimu hata kidogo: vitabu vyake
havina fani yoyote ndani isipokuwa kukafirisha! Kaka yake baba mmoja –
sijui na mama ni mmoja – kashuhudia kinagaubaga kwenye kitabu chake
kwamba hakuwa mtu wa elimu kamwe: bali kamwambia:
Kwanini munataka kuuwajibishia umma kufuata kauli yenu? Nakuulizeni
kwa kuapa kwa jina la Allah: je kuna mtu yoyote katika nyinyi ambaye
yamekamilika kwake masharti ya uimamu ambao wanavyuoni
wameyataja, bali hata kitu kimoja katika masharti ya uimamu
(hamunacho).942
Anaendelea baada ya kutaja masharti ya ijtihaad:
Na kwa hakika nimetaja utangulizi huu ili uwe ni misingi ya kuirejea
katika yale tutayoyataja, kwani watu leo wamepata mtihani wa watu wenye
kujinasibu na Qur-ani na Sunna na anatoa hukumu kutoka katika elimu
zake wala hajali nani anakwenda kinyume naye. Na lau utamtaka
ayaoneshe maneno yake kwa wanavyuoni basi hafanyi hivyo, bali
anawalazimisha watu wafuate kauli yake na ufahamu wake na ampingaye
huwa ni kafiri…basi pamoja na haya, yeye hana hata sifa moja ya ijtihad,
Wallahi bali hata moja katika kumi..na pamoja na hayo anayapigia debe
maneno yake kwa wajinga wengi innaa li-Lahi wa innaa ilaihi raaji‟uun.
943
Lakini baada ya yote hayo, narudia tena kwamba Al-Qannubi akiwa Imamu
asiwe Imamu, basi hilo kwetu si muhimu: sisi tunataka ushidi wa
akisemacho: si uimamu wake. Isipokuwa hapa nilipenda kuwaonesha
walimwengu tu jinsi Kasim Mafuta na Mawahabi wenzake wananavyotaka
kuipigia debe bidhaa yao ilio doda, kwa kuukanusha uimamu wa
aliyeimamu na kuwapachika wanafunzi kama Muhammad bin „Abdil-
Wahhaab na watu madhaifu kama Al-Albani, na waongo kama Ibn Batta
daraja ya uimamu ili wafikie lengo lao! Mafuta tafadhali wavue hao vilemba
vya mikunguzi vitawachuna, na waondoshee ma-laqabu mazito
wataanguka, au nao wakilakiniwa la hawla walaa Quwwata illa bi-Laahi
watayaweza kuyabeba hayo malaqabu kama vile malaika wenye sura za
wanyama walivyoweza kumbeba mungu wa Mawahabi baada ya kulakiniwa
hivyo?
941
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 41. 942
- Sheikh Sulaiman bin „Abdil-Wahhaab Al-Sawaa‟iq Al-Ilaahiyya uk. 62. 943
- Sheikh Sulaiman bin „Abdil-Wahhaab Al-Sawaa‟iq Al-Ilaahiyya uk. 9.
313
Anaendelea Sheikh Kasim bin Mafuta na jawabu yake anasema:
Nukta ya pili:
Ni madai yake kwamba Hamad bin Salama hifdhi yake ni mbovu,
anasahau, anakosea na amechanganyikiwa na kubadilika mwishoni mwa
umri wake. Madai haya ya kwamba hifdhi ya Hamad bin Salama ni mbovu
si madai ya kweli na mwenye kudai hilo anatakiwa alete ushahidi juu ya
hilo, na hakuna ushahidi wowote juu ya madai hayo, bali kinyume chake
ndio sahihi. Na Inshaallah tutayajibu maneno hayo kwa njia tatu:
Njia ya kwanza:-
Kauli za maulamaa wakubwa wa hadithi kuhusu hifdhi ya Hamad bin
Salama:
1) Amesema Imamu Ahmad bin Hambali:
.ش ر كخى ػخرض ك٠ أػزظ :أكي هخ
“Mtu madhubuti kuliko wote (waliopokea kutoka kwa ) Thabit ni Hamad
bin Salama”.
Na hadithi hii Hamad bin Salama ameipokea kutoka kwa Thabiti, lizingatie
hilo kwa sababu ni jambo muhimu. Na amesema tena Imamu Ah‟amd
kuhusu Hamad bin Salama kuwa ni: “(Mtu) Madhubuti”. 944
JAWABU
1) Al-Imamu Ahmad hapa kasema “Mtu madhubuti kuliko wote
(waliopokea kutoka kwa ) Thabit ni Hamad bin Salama”, wala
hajasema “Hammad bin Salama ni mwenye hifdhi nzuri”. Na mimi
nilichokisema ni kuwa: “Hammad bin Salama ni mwenye hifdhi
mbovu”. Ilhali maelezo mengine ya Al-Imamu Ahmad yako wazi.
Riwaya nyengine za Ahmad zinasema:
Nilimwambia (Al-Imamu) Ahmad bin Hanbal kuhusu Ali bin
Aasim na nikamtajia makosa yake, akasema Al-Imamu Ahmad:
„(na) Hammad bin Salama anakosea, na akaonesha Al-Imamu
Ahmad kwa mkono wake makosa mengi.945
………Na akasema
944
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk 74-75. 945
- Al-Mizzi Tahdhibu Al-Kamaal j. 7, uk. 335, tarjama na. 4721, Ibn Hajar Tahdhibu Al-
Tahdhib j. 7, uk. 303, tarjama na. 572. Tanbihi: katika kopi nilionayo ya Tahdhibu Al-
314 Al-Imamu Ahmad (baada ya kutaja mapokezi ya Hammad bin
Salama kutoka kwa Qais bin Said): “alikuwa akipokea Hadithi
kutoka kwake badala yake akisema zinatoka kwa Mtume
(s.a.w.)”.946
Hayo ndio maelezo ya Ahmad. Lakini pamoja na hayo madai
kwamba ikiwa mpokezi atakweda kinyume na Hammad bin Salama
katika riwaya zake kutoka kwa Thabit basi inayozingatiwa ni riwaya
ya Hammad bin Salama, si maelezo sahihi hata yakiwa yamesemwa
na Ahmad bin Hanbal na Ibn Ma‟iin. Na hii ni kwa sababu ya
kuwepo kwa ushahidi wa wazi wa riwaya maudhui (za kutunga) za
Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit kama tutavyozinukuu
baadae.
2) Kanuni hio haitakiwi iende kinyume na kanuni ya ujumla kwamba
Thiqa mmoja akienda kinyume na Thiqaat wengi na hasa hasa ikiwa
miongoni mwao muna awthaq kama ilivyo hapa, basi kauli sahihi ni
ya waliowengi. Na hili katika Hadithi hii hii kalisema pia Muqbil
Al-Waadi‟i, mwailimu wako na Seif Al-Ghafri, kama
tutavyomnukuu baadae.
3) Dhahir – bali bila shaka – ni kuwa hayo ya kuwa riwaya za Hammad
bin Salama ndio riwaya sahihi zao katika wanafunzi wa Thabit Al-
Bunani, ni kwa zile riwaya ambazo Hammad kazisimulia kabla ya
kuchanganyikiwa. Ama zile ambazo kazisimulia baada ya
kuchanganyikiwa au hazijulikani kazisimulia kabla au baada ya
kuchanganyikiwa, hizo hiziwezi tena kupata sifa hio. Riwaya hii
tunayoizungumzia hapa, haijulikani Hammad kaipokea wakati gani
– je ni kabla au baada ya kuchanganyikiwa. Ama ukweli kwamba
Muslim kajitahidi akazisimulia riwaya zake alizozipokea kabla ya
kuchanganyikiwa, hilo halijengi hoja ya msingi kwani kama maelezo
yenyewe yanavyojionesha “alijitahidi” na mwenye kujitahidi husibu
na kukosea – si jambo la yakini. Na ndio maana Al-Bukhari
hakuwafikiana naye katika riwaya za Hammad ikiwemo riwaya hii.
Na Al-Dhahabi na Ibn Al-Qayyim wakasema kwamba kilicho na
hadhari zaidi ni kuziwacha riwaya zake alizokwenda kinyume na
wapokezi wenye kuaminika.947
Tahdhib mumeandikwa “kosa kubwa” badala ya “makosa mengi” nalo ni kosa la chapa
kama yanavyoonesha maandiko mengine. 946
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1 uk. 482. 947
- Hayo yote tumeyanukuu huko nyuma kidogo.
315
4) Hayo ni pale ambapo haikubainika kuwa Hammad kakosea. Ama
ikibainika basi haiwezekani kuwa uitegemee riwaya yake chini ya
propaganda kuwa “Hammad ndiye imara wao katika wanafunzi wa
Thabit”.
Anaendelea Ibn Mafuta kwa kusema:
Amesema Imamu Yahya bin Mai‟n:
.كخى ه كخو ػخرض ك٠ ش ر كخى هخق :ؼ٤ حر هخ
Yoyote atakayetofautiana na Hamad bin Salama kuhusu (mapokezi kutoka)
kwa Thabit kauli (ya kuchukuliwa) ni kauli ya Hamad.
Pia amesema tena: (Hamad bin Salama) ni „„Thiqa‟‟ (muadilifu mwenye
hifdhi nzuri). 948
JAWABU
Jawabu ya maneno haya ni sawa na iliotangulia, kilicho muhimu zaidi ni
kuwa:
a) Maneno hayo ni kinyume na matukio yalivyo, ambapo tunamuona
Hammad bin Salama kasimulia Hadithi za kutunga kutoka kwa
Thabit Al-Bunani. Tutanukuu baadhi ya mifano.
b) Si pale atapokwenda kinyume na thiqat (wenye kuaminika walio
wengi).
c) Hayo ni kabla ya kuchanganyikiwa: si baada ya kuchanganyikiwa
wala si katika riwaya ambayo hajulikani kaisimulia wakati gani
kama ilivyo riwaya hii.
Anaendelea Ibn Mafuta kwa kusema:
3-Amesema Al Imamu al Saajiy:
ؤخ ػوش كخكظخ آح :حخؿ٢ هخ
„„Alikuwa (Hamad bin Salama) ni mwenye kuhifadhi tena ni „„Thiqa‟‟
(muadilifu) na ni mwenye kuaminiwa‟‟.
4-Amesema Ibn Sa‟ad:
948
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk 75.
316
ح رخلي٣غ كيع رخ حلي٣غ آػ٤ ػوش آح :ؼي حر هخ
“Na alikuwa (Hamad) ni mtu Thiqa (muadilifu mwenye hifdhi nzuri)
mwenye hadithi nyingi, lakini mara nyingine anasimulia hadithi Munkar”.
Hapo limetumika neno la kiarabu „„Rubba‟‟ nalo huleta maana ya uchache.
5-Amesema Al I‟jliy:
حلي٣غ ك خق ؿ ػوش :حؼـ٢ هخ
(Hamad) ni: „„Thiqa (muadilifu mwenye hifdhi nzuri) mtu mwema
mwenye hadithi nzuri‟‟.
6-Amesema Al Haafidh Ibn Hajar katika kitabu chake al Taq‟ribu uk. 195:
1636 حظؿش ه 195 حظو٣ذ ك٠ كـ حر حلخكع هخ
...”رآه كلظ طـ٤ ػخرض ك٠ حخ أػزض ػخري ػوش ش أر حز١ ى٣خ ر ش ر كخى
“Hamad bin Salama bin Dinar al Basriy Abu Salama ni Thiqa (muadilifu
mwenye hifdhi nzuri) mcha mungu na ni mtu madhubuti zaidi (kati ya
waliopokea kutoka) kwa Thabit, na hifdhi yake ilibadilika mwishoni mwa
umri wake”.
7-Amesema Imamu Aliy bin Abdillahi bin Al-Madini sheikh wake Imamu
Al-Bukhariy: 949
JAWABU
Wanachokisema wanavyuoni hawa ni kuwa Hammad ni Thiqa (mwenye
kuaminika). Wala hawakusema “ana hifdhi nzuri”, maneno “ana hifdhi
nzuri” ni nyongeza yako, iliotokana ama na ghushi au uchache wa maarifa.
Neno thiqa (mwenye kuaminika) si lazima liwe na maana ya: “mwenye
hifdhi nzuri”, bali tafsiri hio inafaa ikiwa neno hilo limetumuka hivyo tu:
pasina kufungamanishwa na kitu chengine. Ama mtu kama Hammad bin
Salama ambaye kasemwa kuwa:
a) Alikuwa na awhaam (makosa mengi).
b) Hadithi zisizotoka kwa Mtume (s.a.w.) yeye anazinasibisha kwa
Mtume (s.a.w.).
Mtu kama huyu huwezi kudai kuwa “alikuwa na hifdhi nzuri”. Lakini mimi
naona Mafuta ataka ipigia debe biashara yake. Utakumbuka mengi
949
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk 75-76.
317
tulioyanukuu huko nyuma kutoka kwa Al-Albani akisema kuwa fulani ni
thiqa lakini anasahau sana au ana makosa mengi. Anasema kwa mfano:
هخ: “ح٠ؼلخء “ أى حز٠ ك٠ ض : ح ي ؼ٤ق أؿ لي ر أر٠ حـــــــه
.“ يم أخ ؼ٤س “هخ حلخكع ك٠ حظو٣ذ: ػوش , خ٤. “
Ninasema: sanad hii ni dhaifu kwa sababu ya kuwemo Muhammad bin
(Mutawakkil bin) Abi Al-Sariy. Al-Dhahabi kamtaja katika Al-Dhu‟afaa
na akasema: „ni mwenye kuaminika (lakini) ana Hadithi nyingi munkar.
Na Al-Hafidh (Ibn Hajar) kasema katika Al-Taqriib: „ni mkweli ana
makosa mengi‟.950
Anaendelea Al-Albani:
٣ظو ػي١ أ حؿ ػوش أخ ، كال ٣لظؾ ر اح هخل أكلع ، هي هق ك٢
. ………طخرؼ ؼ أ ى كؼ خ ٣ؤط٢،
Na mukhtasari wake kwa uoni wangu ni kuwa mpokezi huyu ni THIQA
(MWENYE KUAMINIKA) LAKINI ANA AWHAAM (MAKOSA
MENGI), basi hafanywi kuwa ni hoja ikiwa atakwenda kinyume na
mpokezi mwenye hifdhi zaidi kuliko yeye. Na hapa kapingwa katika
kuinasibisha kwake (Hadithi hio na Mtume s.a.w.) kama yatavyokuja
maelezo. Na wakaafikiana naye wapokezi walio kama yeye na walio chini
yake…………….951
Anaendelea Al-Albani:
اخى أق ي حر كزخ كب ك٢ ي ح أرخ ه٤لش حل٠ ر حلزخد ػوش … ..
أهطخء كحؿغ ) خ ح٤ح ( .
….na sanad yake ni sahihi zaidi kuliko sanad ya Ibn Hibbaan, kwani katika
sanad ya (Hadithi) hii kuna Abu Khalifa Al-Fadhlu bin Al-Hubaab naye ni
thiqa (mwenye kuaminika) lakini ana makosa mengi. Rejea kitabu
Lissaanu Al-Miizaan. 952
Anaendelea Al-Albani:
كوي ح احث٤ هكخ أر ر ر ػ٤خ كـــــػخ الخ ػـــــوش أرخ ر خ ز خء
٣ؼخ طؿ٤ق ح٣ظ ػ٠ ح٣ش احث٤ ا خ حلــــي٣غ ل٤لخ ـــــكػخ كـــلظ كي
حلهحال ك٢ حط٣ن ــــ حط٣ن حل٠ اخ
950
- Al-Albani Ira-waau Al-Ghalil j. 5, uk. 333. 951
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 8, uk. 234, Hadithi na. 3759. 952
- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 4, uk. 154. Hadithi na. 983.
318 ……na ameisimulia Israil hali ya kuwa ni mawquuf
953 na Abu Bakr bin
„Ayyaash na wote wawili ni thiqa (wenye kuaminika), lakini Abu Bakr
alipozeeka hifdhi yake iliharibika basi hilo linatuzuia sisi kuipa uzito
riwaya yake dhidi ya riwaya ya Israil, pamoja na kuwa Hadithi marfuu954
ni sahihi katika njia ya kwanza lakini mazungumzo yetu ni kuhusu njia
nyengine. 955
Anaendelea Al-Albani:
ح ٤ رحد كب ػطخكخ ح وظــــق ر أػ كي٣غ ػزي حل٤ي ر ؿـــؼل حـــخ ا٤!
، ك ح٣ ل ٣و٢ كي٣ؼ ك٢ كلظ ــــؼق ي١ أ ػوش؛ـــخ ٣ظؿق ػ ا كــــ٤،
…… ٣لظؾ ر ػي حوخلش. لػ حلكظـخؽ ر،
Na kwayo, Hadithi ya „Abdil-Hamid bin Ja‟afar aliyeashiriwa imetiwa
kasoro! Na hili si sahihi kwani „Attaaf huyu kuna khilafu ndani yake
pamoja na kuwa chenye uzito kwangu ni kuwa yeye ni thiqa (mwenye
kuaminika) lakini katika hifdhi yake kuna udhaifu. Basi yeye si katika wale
ambao Hadithi zao zinafikia hadi ya kuwa hazitolewi hoja, lakini hafanywi
kuwa ni hoja pale anapokwenda kinyume (na wapokezi wengine). ….. 956
Sasa mukhtasari wa haya ni kuwa, kwa ujumla au mkusanyiko wa maelezo
yote ya wanavyuoni wa Hadithi ukichukua maneno ya waliosema kuwa
Hammad ni thiqa na waliosema kuwa Hammad ni mwenye awhaam au ana
makosa mengi, maana utayoipata ni kuwa:
1) Hammad ni thiqa katika nafsi yake yaani ni mtu mkweli; lakini ana
udhaifu katika hifdhi yake.
2) Au ni thiqa (mwenye kuaminika) kabla ya kuchanganyikiwa na
baada ya kuchanganyikiwa akawa na udhaifu katika hifdhi. Katika hali ya kwanza, Hadithi zake haziwezi kukubalika akiwa atapwekeka nazo.
Au zinakubalika katika shawaahid. Na katika hali zote mbili hizi, Hadithi zake
haziwezi kukubalika ikiwa:
a) Atakwenda kinyume na mpokezi aliye thiqa zaidi kuliko yeye.
b) Atakwenda kinyume na wapokezi thiqaat walio wengi zaidi.
Ama katika hali ya mwiso, Hadithi yake:
a) Haikubaliki akiwa kaisimulia baada ya kuchanganyikiwa.
b) Haikubaliki, katika hali zote, akiwa atakwenda kinyume na walio wengi
zaidi.
Anaendelea Sheikh Mafuta:
953
- Tumeelezea maana yake kabla. 954
- Tumeelezea maana yake kabla. 955
- Al-Albani Al-Thamaru Al-Mustataab uk. 383. 956
- Al-Albani Dha‟ifu Abi Daud uk. 273. Hadithi na. 118.
319
كخط كخى ك٠ ٣ظ ؼظ :حي٢٣ حر هخ
“Utakapomsikia mtu anamsema kwa ubaya Hamad bin Salama basi
mtuhumuni (mtu huyo)”.
Juma Mazrui na sheikh wake Qannubi wanamsema vibaya Hammad, bila
shaka wanafanya hivyo kwa sababu ya nia zao mbaya, na sisi tuna
watuhumu kwa hilo. Tazama maneno hayo ya maulamaa kwenye vitabu
vifuatavyo: (hapo chini).957
Sasa hebu ndugu msomaji mtukufu linganisha kauli hizo za maulamaa hao
wakubwa wa hadithi juu ya Hamad bin Salama na kauli za huyo al-
Qannubi aliyevishwa kilemba cha ukoka na ndugu Juma! Bila shaka
ukweli utakubainikia na hapo ndiyo utagundua kwamba kuna agenda ya
siri baina ya huyo sheikh aliyesimikwa daraja ya uimamu (al-Qannubi) na
mwanafunzi wake (Juma). 958
JAWABU
Mosi: ni kwamba ikiwa Ibn Al-Madini anasema: “Utakapomsikia mtu
anamsema kwa ubaya Hamad bin Salama basi mtuhumuni (mtu huyo)”, basi
Yahya anasema:959
“Ukimuona mtu anamponda „Ikrima au Hammad bin
Salama basi mtuhumu juu ya Uislamu (wake)”.960
Suali: je kumdhoofisha
mpokezi ndio kumtuhumu, hususan ukiwa hukumsema kuwa ni mwongo
bali umesema ni mkweli lakini ana hifdhi mbaya?! Jamani! Ujinga na nia
chafu ni vitu vibaya! Mafuta kakusanya baina ya ujinga mkubwa na nia
chafu! Je unajua Mafuta kwamba Hammad bin Salama ni matruk (mwenye
kuachwa) kwa mtazamo wa Al-Bukhari? Je tumtuhumu Al-Bukhari?
Ama kuhusu „Ikrima, umeona kwamba naye atayemtuhumu basi Uislamu
wake unatuhumiwa! Sasa sikiliza anavyosema Al-Dhahabi kuhusu „Ikrima.
Atongoa hivi:
957
- Al-Thiqaat cha Ibn Hibbaan juzuu ya 6 ukurasa wa 216. Twabaqaatul-Kubraa cha Ibn
Sa‟d juzuu ya 7 ukurasa 282. Taarikhu Thiqaat cha al-Ij‟liy ukurasa wa 131. Mizaanul-
I‟tidaal cha al-Dhah‟biy juzuu ya 1 ukurasa 590-595. Tah‟dhibut-Tah‟dhibi cha Ibn Hajar
al-As‟qalaaniy juzuu ya 2 ukurasa wa 10-13. Al-Taq‟ribu pia cha al-Hafidh Ibn Hajar al-
As‟qalaaniy, tarjama namba 1636. 958
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 76. 959
- Dhahir ni Yahya bin Ma‟iin au labda ni Ibn Sa‟id Al-Qattaan. Wote ni Maimamu. 960
- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 7, uk. 339, tarjama na. 1169.
320 „Ikrima mtumishi wa Ibn „Abbaas, mmoja wa vyombo vya elimu,
kasemwa kwa sababu ya rai yake: si kwa hifdhi yake, akatuhumiwa kuwa
ni mwenye rai za Khawaarij……basi Muslim alimuepuka na akapokea
kidogo kutoka kwake akimfuatanisha na mpokezi mwengine na (Al-
Imamu) Malik akamuacha kama alivyo: isipokuwa katika Hadithi moja
mbili…….basi akasema Yahya (bin Sa‟iid Al-Ansari, „Ikrima) “ni
mwongo mkubwa”…….. “imepokewa kutoka kwa Sa‟id bin Al-Musayyib
akisema kuwa „Ikrima ni mwongo”…….Anasema Muhammad bin Sa‟ad:
“Ikrima hafanywi kuwa ni hoja”.961
Bwana Mafuta! Upo? Tunaambiwa kuwa atayemtuhumu „Ikrima, basi huyo
Uislamu wake una mashaka, halafu tunawakuta vigogo wamemtuhumu na
wengine wameziwacha Hadithi zake. Vigogo hao ni watu kama:
1) Muslim.
2) Al-Imamu Malik.
3) Yahya Al-Ansari.
4) S‟aid bin Al-Musayyib
5) Muhammad bin Sa‟ad.
Vipi Uislamu wa hawa kwa mujibu wa misingi yako uliojijengea katika
kitabu-cho? Jawabu yako hapa ndio jawabu yetu kule.
TANBIHI
Lakini suala la kuwa „Ikrima ni mwongo, halikuthibiti kamwe, tafauti na
alivyodhania Sheikh wetu Al-„Allama Abdillahi Nasir wa Mombasa katika
kitabu chake alichofanya jaribio lenye kufeli la kujibu baadhi ya nukta
zilizomo katika sura ya kwanza na ya pili ya kitabu changu Mezani Ya Haki.
Ufafanuzi wa suala hilo utauona katika jawabu yangu kwa Sheikh Abdillahi
Nasir mara tu baada ya kumaliza kitabu hiki in shaa Allah.962
TUNAENDELEA
Pili: ni kuwa Ibn Al-Madini anasema: “Utakapomsikia mtu anamsema kwa
ubaya Hamad bin Salama basi mtuhumuni (mtu huyo)”. Je Sheikh Kasim
haya maneno umeyafahamu? Je kusema kuwa Hammad ana hifdhi mbaya ni
kumtuhumu? Kama ni hivyo, basi usimsahau kumuweka Sheikh wako Al-
Albani mwenye kujigonga katika orodha hio ya watuhumiwa wenye
kumsema kwa ubaya bwana Hammad bin Salama! Al-Albani anasema:
961
- Al-Dhahabi Al-Miizaan j. 4, uk. 13-17, tarjama na. 5716. 962
- Pia utapata ufafanuzi huo katika sehemu ya kumi na moja ya utangulizi wa tafsiri yetu
inayorikodiwa katika Dvd.
321
ل . حر ش ٢ ٤خ ي ٣ظز٤ أ كخى ر ش طلى رح٣ظ ػ كخى ر أرـــ
ي أى حز٢ ك٢ ح٣ظ ػ ػخرض؛ ا خ ػوش ؿخ ، كل٢ كلظ ٢ء ك٢ ؿ٤
ل٤خ هض : كوخلظ . “ػوش ، أخ ؿحثذ ، ؿ٤ أػزض اخ“ هخ : “ـ٢ ـــــح“
ط٤ ك٢ إلخى ح حلي٣غ ط٤ ا٠ حؼ١ طـؼ حل ل ططج خ،
…. na kwa hayo yaliotangulia huko nyuma, umeelewa kwamba riwaya za
(Sufyaan) Al-Thauri kutoka kwa Hammad bin Abi Sulaiman ni zenye
mkatiko wa sanad, na kwa hivyo, inabainika kwamba Hammad bin Salama
kapwekeka kwa kuisimulia kwake (Hadithi hii) kutoka kwa Hammad bin
Abi Sulaiman katika hali ya kuiwasilisha.963
Na (Hammad) bin Salama
hata ikiwa ni thiqa (mwenye kuaminika) na ni katika wapokezi wa Muslim
lakini katika hifdhi yake kuna kitu (kasoro) kwa zile riwaya asizozipokea
kutoka kwa Thabit (Al-Bunani). Na kwa hivyo, Al-Dhahabi kamtaja katika
kitabu Al-Mughni na akasema: „ni Imamu thiqa (mwenye kuaminika) ana
makosa mengi na Hadithi ngeni na asiyekuwa yeye ni imara zaidi kuliko
yeye‟. Ninasema:964
kwenda kwake kinyume na sufyaan Al-Thauri basi
kunaifanya nafsi isitulie nako (iwe na wasi wasi) na iwe inaelemea zaidi
katika kumuingiza katika makosa kwa kitendo chake cha kuifanya sanad
ya hadithi hii kuwa ni mausuul.965
Na kwa hakika Al-Bayhaqi kaliashiria
hilo aliposema: „ikiwa itathibiti‟ na mfano wake ni kauli ya Al-Haythami.
Na hayo kama ulivyoona ndio maneno ya Ibn Hajar, Al-Daraqutni, Al-
Suyuti, Al-Imamu Ahmad, Al-Kawthari na wengine wengi ambao maneno
yao tumeyanukuu kabla: wote wanasema kuwa Hammad bin Salama
hatimae hifdhi yake iliharibika, au ni thiqa ana awhaam (makosa mengi) au
maneno yalio mfano wa hayo. Kwa hivyo, kwa ufahamu mbovu wa Kasim
Mafuta na hizbu yake wote hawa ni wenye kutuhumiwa! Au watuhumiwa
watakuwa Juma na Sheikhe wake kwa sababu wao ni ------?
Kwa hivyo, kwa ufupi, ni kuwa Ibn Al-Madini aliposema: “Utakapomsikia
mtu anamsema kwa ubaya Hamad bin Salama basi mtuhumuni (mtu huyo)”
hajakusudia mas-ala kama haya ya kumsema kwa udhaifu wa hifdhi, bali
kakusudia atayemtuhumu katika dini yake kwani Hammad kasifiwa kwa
ibada na uchaji.
Anaendelea Kasim Mafuta:
Njia ya pili:-
Ni kuhusu suala la kuwa Hamad bin Salama anakosea na anasahau, jawabu
ni kwamba kukosea na kusahau ni katika tabia za kibinaadamu, hakuna
963 - Yaani kuifanya sanad yake kuwa imeshikana: haikukatika popote.
964 - Msemaji ni Al-Albani.
965 - Kuwa imefika kwa Mtume (s.a.w.) pasina kukatika pahala popote pale.
322 mwanadamu yoyote asiyekosea au kusahau ila yule aliyekingwa na Allah -
Tabaaraka wata‟alaa- asikosee wala kusahau.
Isipokuwa nataka ifahamike kwamba kukosea au kusahau kukizidi mno
kupita kiasi hiyo itakuwa ni kasoro, lakini tumeona katika kauli ya Imamu
Ibn Sa‟ad kuwa Hamad ana hadithi nyingi mno lakini ni mara chache
kukosea.966
Haya ni nani huyo asiyekosea? Hebu na atutajie! Na ni nani
huyo asiyesahau? Alisahau Adam baba wa watu wote seuze Hamad bin
Salama?Amesema Allah:
و ي خ ي ا ٠ ػ آى ٢ ه ز ك ي ـ خ ػ
Na tulimpa ahadi (Nabii) Adam zamani,lakini alisahau wala
hatukuona kwake azma.967
Bali amesahau Musa bin Imran Mtume wa Allah, soma aya ya 73 katika
surat al Kahfi (18). Kwa hiyo kusahau si kasoro katika upokezi wa habari,
lakini ikithibiti kwamba mpokezi amesahau katika habari aliyoipokea, au
kusahau kwake kumevuka mipaka bila shaka hiyo itakuwa ni dosari na
itaathiri katika habari zake atakazo zipokea, hapa Juma na sheikh wake
Qannubi hawajatuthibitishia kwa maandiko yoyote ya kielimu kuhusu
kukosea kwa Hammad, je kumevuka mipaka au wameamua kumtuhumu
tu? Na kama nduguyangu msomaji umeyazingatia maneno ya maulamaa
tuliyokutajia kuhusu Hammad utagundua kuwa ni kinyume na
wanavyosema wazushi hawa.968
JAWABU
Kukosea wanakokuzungumzia wanavyuoni wa Hadithi sio huko: si kukosea
kibinaadamu. Bali ni kukosea ambako kunaifanya Hadithi ya mpokezi ama
asikubalike kabisa au itumike katika shawaahid tu, au Hadithi yake ikienda
kinyume na aliye thiqa zaidi basi Hadithi yake iachwe na kuchukuliwa ya
aliye thiqa zaidi. Hammad hakufikia daraja ya kuwa Hadithi zake ziachwe
kabisa, bali zinafaa katika shawaahid, lakini akienda kinyume na aliye thiqa
zaidi basi Hadithi yake haiwezi kuzingatiwa hususan akienda kinyume na
wapokezi wengi zaidi kama ilivyo katika Hadithi hii.
Pili ni kuwa ikiwa hakuna asiyekosea na kusahau, basi kuna faida gani tena
kwa wanavyuoni wa wapokezi kusema kuwa mpokezi fulani ana awhaam
966
- Lakini Ibn Sa‟ad ni katika mutasahilin. 967
- Surat Twaha (20) aya ya 115. 968
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 77.
323
(makosa mengi) au anakosea sana pasina kuwataja wengine kwa kasoro hio
ilhali kasoro hio wanayo watu wote? Bila shaka wao wanaposema hivyo,
huwa hawakusudii kule kukosea kwa kawaida ambako kila mtu
kunampitikia, bali wanakusudia kuwa kuna udhaifu katika hifdhi yake:
udhaifu ambao kwawo ama Hadithi zake huanguka kabisa au huteremka
daraja. Na umejionea mwenyewe – ewe Sheikh Mafuta – jinsi Al-Albani
alivyoziwacha riwaya za Hammad bin Salama na walio mfano wake kwa
sababu ya udhaifu wao wa hifdhi na kwenda kwao kinyume na wapokezi
waliokuwa awthaq (wenye uwezo zaidi) kuliko wao. Ninasema: hongera
ewe Muhaddithu Al-Awraaqi wa Al-Qalam; hio ndio mihaj (methodology)
sahihi kabisa.
Anaendelea Kasim Mafuta:
Njia ya tatu:-
Ni kuhusu suala la kuwa Hamad amechanganyikiwa mwishoni mwa umri
wake, suala hili ni kweli na wanavyuoni wamelitaja kwenye vitabu vyao na
linaweza kuyatia kasoro mapokezi ya mpokeaji, lakini swali la msingi la
kujiuliza ni wakati gani huko kuchanganyikiwa kutatia kasoro mapokezi
hayo?
Ufafanuzi wake ni kama ufuatavyo:
Hukumu ya riwaya za mpokezi aliyechanganyikiwa mwishoni mwa umri
wake si moja bali iko katika namna tatu:
i) Namna ya kwanza ni kuwa riwaya zote alizosimulia kabla ya
kuchanganyikiwa na zikajulikana, riwaya hizo zitakubalika.
ii) Namna ya pili ni zile riwaya ambazo amezisimulia baada ya
kuchanganyikiwa hizo hazitokubaliwa.
iii) Ni zile ambazo hazikujulikana kuwa amezisimulia kabla ya
kuchanganyikiwa au baada yake, riwaya hizo hazitatumika mpaka
zibainike, je zimesimuliwa kabla ya kuchanganyikiwa au baada?
Amesema Imamu al Nawawy:
.”ك٤ ي أ رؼي خ ٣وز ل حإلهظال١ هز ػ ١ خ ٣وز“
“Hukubaliwa (habari) zile ambazo zimepokewa kutoka kwa hao (walio
changanyikiwa) kabla ya kuchanganyikiwa na hazitokubaliwa zilizokuwa
baada yake, hata zile ambazo zimetiliwa shaka (kuwa ni baada au kabla pia
hazitakubaliwa)”.969
969
- Tazama Taqtribun-Nawaawy pamoja na Tad‟ribul-raawiy juzuu ya 2 ukurasa 372.
324 Kwahiyo hukumu hii ya ujumla iliyotolewa na ndugu Juma na sheikh wake
aliyemvika kilemba cha ukoka Al-Qannubi dhidi Hamad bin Salama
haikufuata kanuni za kielimu, kwa sababu walikuwa wana wajibu wa
kuthibitisha kitaalamu kwamba mpokezi aliyepokea hadithi hii kutoka kwa
Hamad bin Salamah amesimuliwa baada yakuwa tayari Hamad
amechanganyikiwa, na wala si kwa kutoa hukumu kiujumla na hali ya
kuwa jambo lina upambanuzi wa kielimu kama huu tulioutoa.
Na si Juma wala sheikh wake Qannubi anayeweza kufanya hivyo, na
akijaribu ataumbuka, kwa sababu mpokezi aliyepokea hadithi hii kutoka
kwa Hamad ibn Salama ni Abdul-rahaman bin Mah‟di ambaye ni katika
jumla ya wanafunzi wakubwa wa Hamad ambao wamepokea kutoka kwa
sheikh wao Hamad bin Salama kabla ya kuchanganyikiwa.970
JAWABU
Jawabu yako ni nzuri lau haikutokana na ufahamu wako finyu. Lakini kwa
kuanzia ni vyema ukatutajia riwaya ya wanavyuoni wa wapokezi yenye
kusema kuwa Ibn Mahdi kasikia riwaya kutoka kwa Hammad kabla ya
kuchanganyikiwa. Pili ni kuwa umeshindwa kuelewa kwamba
wanachokisema wanavyuoni ni kuwa:
1) Hammad bin Salama mwanzoni alikuwa ni mwenye kuaminika,
lakini ana awhaam. Katika hali hii Hadithi zake zinaweza zikawa
sahihi, hasan au dhaifu kutegemea masharti na vifuatanishi
vyengine.
2) Mwishoni alichanganyikiwa. Katika hali hii Hadithi zake zinakuwa
dhaifu, ila zikiwa na ushahidi mwengine.
Anasema Mahir Yasin:
١؛ ــــك كخى ر ش ر ى٣خ حز أر حخؽ حيحش ػ٠ ي : كخى ر ش :
أػــــهخ أكي: أػ حخ رلي٣غ هخ ك٤ي حط٣ . هخ حر ؼ٤ : ػوش أخ.
٢ ػخرضـــض حخ كهخ حلخكع ك٢ حظو٣ذ : ػوش ػخري، أػز ٢ ػخرض حزخ٢.ـــــ٣ؼ –حخ رؼخرض
طـ٤ كلظ رؤهس. -
Na miongoni mwa mifano ya wazi yenye kuonesha juu ya hayo yote, ni
HAMMAD BIN SALAMA, yeye ni HAMMAD BIN SALAMA BIN
DINAR AL-BASRI, ni mwenye kuaminika (lakini) ana makosa. Amesema
(Al-Imamu) Ahmad: „yeye ndio mjuzi wao kwa Hadithi za mjomba wake,
Humaid Al-Tawil‟. Na akasema Ibn Ma‟iin: „yeye ndio mjuzi wao wa
Hadithi za Thabit yaani Thabit Al-Bunani‟. Na akasema Al-Hafidh (Ibn
Hajar) katika kitabu Al-Taqrib „ni mwenye kuaminika, mwenye kuabudu,
970
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 77.
325 mtu imara wao katika Hadithi za Thabit (Al-Bunani), lakini hatimae hifdhi
yake ilibadilika‟. 971
Hayo ni maneno au ni utangulizi wa Sh. Mahir Yasin. Kisha akasema:
لش ـــح كلخى ر ش ك٢ أ أ ػوش أخ؛ ح حظؼز٤ ٤٣ ح٠ هلش ك٢ ح٠ز٢ ه
ش ـــــالـــؼ٤ ح -٠ز٢ طـز رط حالش ٤ن يس حؼخ٣ش رلي٣ؼ . كخى خ خ ح
ــــــــػ ػخرض ٣ؼي -حهظال١ -ؼخرض حزخ٢ ، ي٣ي حؼخ٣ش رلي٣ؼ ، ح كخ كيع ر كخى هز
لظ . كخــــز كخء كحلي٣غ حل٤ق. كي٣ؼ ػ ؿ٤ هز٤ حل . ػ طـ٤ كخى خ
كي٣ؼ ك٢ حكش ؼ٤لخ.
Na kwa hivyo, Hammad bin Salama mwanzoni alikuwa ni mwenye
kuaminika lakini alikuwa na makosa (mengi). Na ibara hii inaonesha
kwamba udhibiti wake ulikuwa mwepesi (hakuwa na hifdhi kali); lakini
kuwa na udhibiti mwepesi (udhibiti mdogo) unapata nguvu kwa kitendo
cha mpokezi cha kuandamana na Sheikh wake kwa muda mrefu na kwa
kitendo chake cha kuzipa ihtimamu Hadithi zake. Na HAMMAD (BIN
SALAMA) kama tulivyosema alikuwa ni mwenye kuambatana sana na
Thabit Al-Bunani, na ni mwenye ihtimamu kubwa ya Hadithi zake. Na
kwa hivyo:
1) Hadithi ambazo Hammad kazisimulia kutoka Thabit Al-Bunani
kabla ya kuchanganyikiwa kwake, hizo zinahisabiwa kuwa ni
Hadithi sahihi.
2) Na Hadithi ambazo kazisimulia kutoka kwa wengine (wasiokuwa
Thabit Al-Bunani) basi ni Hadithi hasan.
3) Kisha Hammad (bin Salama) alibadilika (hifdhi yake iliharibika)
baada ya kuzeeka. Basi katika hatua hii, Hadithi zake ni dhaifu.
Kwa hivyo, Hammad mwanzo alikuwa ni thiqa mwenye awhaam. Na hii ina
maana kwamba tangu hapo mwanzo Hadithi zake hazikufikia daraja ya
usahihi. Lakini Sheikh hapa anasema kuwa huo ni udhaifu mdogo ambao
unaweza kutengenezeka kwa kitendo cha Hammad cha kufuatana na Sheikh
wake, Thabit Al-Bunani, kwa muda mrefu, na kwa sababu Hammad
kafuatana sana na Thabit Al-Bunani basi Hadithi zake ni sahihi. Na madai
haya yakiwa ni sahihi au si sahihi, kwa hali zote zile mbili, suala la kuwa
Hammad hapa kenda kinyume na:
a) Walioimara zaidi,
b) Walio wengi zaidi,
971
- Mahir Yasin Atharu „Ilali Al-Hadithi Fii Ikhtilafi Al-Fuqahaai j. 1, uk. 15.
326
ni suala la kuzingatiwa. Na hivi ndivyo alivyoeleza Muqbil Al-Waadi‟i,
mwalimu wa Mafuta na Al-Ghafri, kama tutavyoyanukuu maneno yake
baadae. Na mfano wa hilo kalisema pia Al-Albani aliposema maneno
yafuatayo:
٠ هللا اخى: كيػخ ٠ ر اخػ٤: طخ كخى ػ ػخرض حز خ٢ ػ حز٢ ـــــــػ . ـ ٤
زخف ػخ ٣ل٠٤ ر الخم: أهزخ كخى ر خ حلــــــــــ)ف(. ػ خ٢ـ ػخرض حزـش ػ ر ح
٤:ــــ حؿــــهض: ح اخى ؿخ ػوخص ؿخ هظخىس. ٢ـػ ػزي هللا ر رخف ػ أر
، حكو “ ــــل٤ق ػ٠ ١ “ حلخ: هخ ……، ح٥ه ي، حؿ حل
ل٠٤ ر الخم ـخ أي ٣ــــا ذ.ــــكي٣غ ؿ٣ “ أخ حظ١؛ كؤػ رخإلخ، كوخ. حز٢.
زي هللا ر رخف الـــــ ػـحخ اخ ح ح حلي٣غ ػ ػخرض ػ ػ كخى ر ش. أؼ
٠ رــــــي٣غ؛ كب ٣ل٤ــــلش حلـح حظؼ٤ ل ٣ئػ ك٢ ”خ رو:حؼالش أكي . طؼوز“
هض: ر٠ !“الخم ػوش... 972 ئػ؛ ا ػزض أ ؿخػش ححس ال ؛ ل حـخػش
..……حلى، ح اح خح ػوخص. ــــأكلع
…..isnad yake (Hadithi hio)973
ni „katuhadithia Musa bin Ismaa‟iil,
katuhadithia Hammad (bin Salama) kutoka kwa Thabit Al-Bunani‟…(na
sanad ya pili ni): „na katuhadithia Al-Hasan bin Al-Sabbaah katuhadithia
Yahya bin Is-haaq katwambia Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit
(Al-Bunani) kutoka kwa „Abdillah bin Rabaah kutoka kwa Qataada‟.
Ninasema:974
„na sanad hii wapokezi wake ni wenye kuaminika; wapokezi
wa Muslim katika njia mbili: ya kwanza ni mursal975
; njia ya pili ni
musnad.976
……..na Al-Hakim akasema kuwa ni sahihi kwa mujibu wa
masharti ya Muslim na Al-Dhahabi akawafikiana naye. Ama Al-Tirmidhi
yeye kaitia kasoro kwamba ni Hadithi mursal akasema: „ni Hadithi ngeni,
na kwa hakika Yahya bin Is-haaq kainasibisha kwa Mtume kwa mapokezi
ya Hammad bin Salama, lakini watu wengi wameipokea Hadithi hio
kutoka kwa Thabit kutoka kwa „Abdillahi bin Rabaah hali ya kuwa ni
mursal (hali ya kuwa imehusishwa na sahaba tu: pasina Mtume s.a.w.).
Lakini Al-‟Allama Ahmad Shaakir akamjibu kwa kusema: „kasoro hii
haiathiri katika usahihi wa Hadithi, kwani Yahya bin Is-haaq ni mwenye
kuaminika‟! Ninasema:977
„bali inaathiri ikiwa itathibiti kwamba
wapokezi walio wengi ni wenye kuaminika, kwani walio wengi ni
wenye kuhifadhi zaidi kuliko mmoja, na haya yote ni pale ambapo
wengi hao watakuwa ni wenye kuaminika‟.978
972
”تم“انظاش أ خطأ يطثعي انصاب - 973
- Hadithi ya Mtume (s.a.w.) alipotoka usiku akamkuta Abu Bakr na „Umar wanasali;
Abu Bakr hanyanyui sauti na „Umar ananyanyua. 974
- Msemaji ni Al-Albani. 975
- Tumeelezea maana yake kabla. 976
- Iliopokewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.) pasina kukatika sanad yake: kila mpokezi
mmoja kamsikia aliye kabla yake. 977
- Msemaji ni Al-Albani. 978
- Al-Albani Sahihu Abi Daud j. 5, uk. 75, Hadithi na. 1200.
327
Utaona hapa kwamba Al-Albani kasema kwa uwazi – KATIKA RIWAYA
YA HAMMAD BIN SALAMA KUTOKA KWA THABIT AL-BUNANI – kwamba riwaya yake alioinasibisha kwa Mtume (s.a.w.) haitokubalika
ikiwa riwaya ambayo hakuinasibisha kwa Mtume:
1) Imepokewa na walio wengi zaidi kinyume na alivyosema yeye.
2) Imepokewa na wenye kuaminika kinyume na alivyosema yeye.
Tunasema riwaya ya HAMMAD BIN SALAMA ya kuonekana kwa Allah
kutoka kwa THABIT AL-BUNANI – ambayo tunaijadili hapa –
kainasibisha kwa Mtume (s.a.w.) nayo iko kinyume na riwaya ambayo
haikunasibishwa kwa Mtume (s.a.w.). Na riwaya ya pili yaani isio ya
HAMMAD ambayo haikunasibishwa kwa Mtume (s.a.w.):
1) Imepokewa na walio wengi zaidi.
2) Imepokewa na wenye kuaminika.
Kwa hivyo, natija ni kuwa riwaya yake alioinasibisha kwa Mtume (s.a.w.)
ni dhaifu; riwaya ya walio wengi ambao hawakuinasibisha kwa Mtume
(s.a.w.) ndio sahihi.
Kisha hatimae – kama nukulu iliotangulia huko nyuma kidogo inavyojieleza
– Hammad akabadilika, akachanganyikiwa. Na katika hali hii Hadithi zake
zinakuwa dhaifu isipokuwa:
a) Iliojulikana kuwa kaisimulia kabla.
b) Yenye ushahidi katika njia nyengine.
Naam! Sheikh Mafuta anasema:
Na si Juma wala sheikh wake Qannubi anayeweza kufanya hivyo,
979 na
akijaribu ataumbuka, kwa sababu mpokezi aliyepokea hadithi hii kutoka
kwa Hamad ibn Salama ni Abdul-Rahaman bin Mah‟di ambaye ni katika
jumla ya wanafunzi wakubwa wa Hamad ambao wamepokea kutoka kwa
sheikh wao Hamad bin Salama kabla ya kuchanganyikiwa.980
Lakini, Mafuta hakututajia ni kitabu gani hicho kilichosema kuwa „Abdul-
Rahmaan bin Mahdi kapokea riwaya kutoka kwa Hammad bin Salama kabla
ya Hammad bin Salama kuchanganyikiwa. Tena kwa mara ya pili: je
tukijaalia kuwa ni sahihi kwamba Abdul-Rahmaan bin Mahdi kapokea
riwaya kutoka kwa Hammad bin Salama kabla ya Hammad bin Salama
kuchanganyikiwa; je kuna ushahidi kwamba baada ya kuchanganyikiwa
979
- Yaani “Juma na Sheikh wake Al-Qannubi hawawezi kutoa jawabu juu ya riwaya hii ya
Hammad bin Salama” kwa jinsi Mafuta alivyokuwa na elimu kubwa! 980
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 79.
328
hakupokea riwaya kutoka kwake? Kwa sababu ushahidi wa kuwa alipokea
riwaya kabla ya kuchanganyikiwa tu hautoshi kuitoa riwaya katika udhaifu
mpaka kuwe na ushahidi kwamba riwaya hio aliipokea kabla ya
kuchanganyikiwa, na hili haliwezekani kujulikana ila kwa kujua kwa yakini
kwamba baada ya kuchanganyikiwa hakupokea tena riwaya kutoka kwake.
Na utapojua kwamba Hammad katika riwaya hii, kenda kinyume na
wapokezi wengi wenye kuaminika, basi utakuwa umejua kwamba na riwaya
hii pia imepokewa na „Abdul-Rahman bin Mahdi kutoka kwa Hammad
baada ya kuchanganyikiwa. Na mfano wa uchambuzi huu kautoa pia
Ayatollah Al-Albani aliposem:
هز ــــ غـــــ –ح١ ــــ حــ – حلخكع ؤ أخ ا٠ أ ح٣ش ػ ر أر٢ ه٤
ح -٢ ك٢ ي ز٤ . ”... هي٣ حخع ػطخء “ :ــــــــظال١ روــــله خع اكخىس ه ي
طخء ـــأ كخى ر ش غ ػط أ حلخكع ل هي ، ألأ ٣غ رؼي ي -
ـأ خع ػ ر أر٢ ه٤ ػطخء هز رؼي ؛ ػ٠ أ٢ أ أكيح ػ٠ هز حلهظال١
حلهظال١ .
…lakini Al-Hafidh (Ibn Hajar) kana kwamba kaashiria kwamba riwaya ya
„Amri bin Abi Qais – naye ni Al-Razi – kasikia kutoka kwake kabla ya
kuchanganyikiwa, aliposema: „yeye kapokea riwaya zamani kutoka kwa
„Ataa‟. Lakini mimi (Al-Albani) nina shaka kubwa kwamba ukweli
kuwa kapokea riwaya zamani kutoka kwake kunamaanisha kuwa
hakupokea tena baada ya hapo. Huoni wewe kwamba Al-Hafidh (Ibn
Hajar) mwenyewe kasema kuwa Hammad bin Salama kapokea kutoka kwa
„Ataa kabla na baada ya kuchanganyikiwa. Bali mimi sikumuona yoyote
Yule aliyeeleza kwa uwazi kwamba „Amru bin Abi Qais kapokea
riwaya kutoka kwa „Ataa kabla ya kuchanganyikiwa.981
Utaona hapa kwamba Al-Albani kaeleza kwa uwazi kwamba kitendo cha
kuwa „Amru bin Abi Qais kapokea riwaya zamani kutoka kwa „Ataa kabla
ya kuchanganyikiwa, hakimaanishi kuwa baada ya kuchanganyikiwa
hakupokea riwaya tena kutoka kwake. Na kwa hivyo, ushahidi mwengine
unatakiwa ili kuthibitisha kwamba baada ya kuchanganyikiwa hakupokea
tena riwaya kutoka kwake. Bali Al-Albani anasema kwamba hakuna hasa
andiko au yeye hakuona andiko la yoyote yule lenye kusema kuwa „Amru
bin Abi Qais kapokea riwaya kutoka kwa „Ataa kabla ya „Ataa
kuchanganyikiwa. Ninasema: halkadhalika na sisi tunatakiwa:
a) Tutoe andiko lenye kusema kuwa „Abdul-Rahmaan bin Mahdi
kapokea riwaya kutoka kwa Hammad kabla ya Hammad
hajachanganyikiwa.
981
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 92, Hadithi na. 6042.
329
b) Tutoe andiko lenye kusema kuwa „Abdul-Rahmaan bin Mahdi
hakupokea tena riwaya kutoka kwa Hammad bin Salama baada ya
Hammad bin Salama kuchanganyikiwa.
Tukifanya hivyo, itakuwa sehemu hii ya hoja ya Kasim Mafuta ni sahihi,
lakini mushkila bado utakuwepo katika sehemu nyengine nyingi zenye
kuihusu riwaya hii ambazo tumezielezea sana huko nyuma. Tunasubiri
kuumbuka!
Anaendelea Sheikh Mafuta kwa kusema:
Mpaka hapo ndugu msomaji utakuwa umegundua namna ndugu Juma na
sheikh wake wanavyotumia ujanja ujanja katika masuala ya kielimu, na
hakuna shaka kuwa kufanya hivyo ni kuwafanyia hiyana watu wasiojua na
hiyo ni dhulma ya wazi. Na hakuna budi kwa sheikh na mwanafunzi wake
wakubali moja ya mambo mawili:
1-Wakubali kuwa wao ni waongo, wamekusudia kuwadanganya na
kuwalaghai waislamu.
2-Au ni wajinga, wanasema katika elimu hii wasichokijua. Na kila
watakalo lichagua kwao wao ni baya. Baada ya Juma na sheikh wake
kusema uongo na sisi kuubainisha
uongo huo, sasa Juma na sheikh wake huyo aliyemuita kuwa ni imamu wa
hadithi (Qannubi) wanaamua kumzulia sheikh Al-Bani. Amesema Juma M.
al-Mazrui katika kitabu chake “Hoja zenye nguvu” ukurasa wa 112 na
hapa ninamnakili kama alivyoandika mwenyewe:
„„Na akasema Al-albani (mwanachuoni wa hadithi wa kiwahabi) katika
kitabu chake „„AL DHAIFA‟‟ juzuu ya 2 ukurasa wa 333: „„hakika ya
Hamad anakosea sana.‟‟
Kisha akasema tena Juma:
„„Hii ni nakala kutoka katika kitabu „„ALTUFAN AL-JAARIF LI
KATAAIB AL-BAGHYI WAL-UDWAAN‟‟ juzuu ya 3 sehemu ya 1
ukurasa 308. cha Imam wa hadithi, fiq‟hi na usuli Al-huja Said bin Mabruk
al-qannubi.‟‟ Mwisho wa kunukuu.
MAJIBU YETU
Majibu yetu juu ya maneno haya ni kwa njia mbili:-
Njia ya kwanza:
330 Ni kama tulivyotangulia kusema hapo nyuma kwamba Juma na sheikh
wake ima ni waongo au ni wajinga wasiofahamu maneno ya maulamaa,
nimesema hivyo si kwa kutaka kuwakashifu na kuwadhalilisha, bali
ninasema hivyo kwa sababu hii ifuatayo: Maneno ya Sheikh Al-Bani -
Allah amrehemu – yako kinyume na anavyosema Juma akinukuu kutoka
kwa sheikh wake Al-Qannubi, na ukiyarejea maneno ya sheikh Al-Bani
utayaona yamekuja baada ya kuitaja hadithi isemayo: “Mwenye kuiacha
sehemu ya unywele mmoja katika janaba na asiuoshe atafanywa kadha wa
kadha huko motoni”. 2/332. Hadithi hii imepokelewa kutoka kwa swahaba
mtukufu Aliy –Allahamridhie- na katika sanad yake yumo Atwaa bin Saaib
na Hamad bin Salamah. Kisha akasema (sheikh Al-Bani): “Amesema
Imamu Ibn Hajar: “Sanadi ya hadithi hiyo ni sahihi kwa sababu Atwaa
amepokea kutoka kwa Hamad kabla ya Hamad hajachanganyikiwa, lakini
imesemwa kwamba; sahihi ni kuwa hadithi hii ni Mauquf kwa Aliy
(maneno ya swahaba mtukufu Aliy na si maneno ya Mtume swalla llaahu
alayhi wasallam)…”. Naye Imamu al-Nawawy akasema; “Hadithi hii ni
dhaifu kwa sababu Atwaa amedhoofishwa, na Hamad anakosea…”.
Baada ya Sheikh Al-Bani kutoa maelezo ya maulamaa kuhusu hadithi hiyo
ndiyo akaanza kulichambua kosa moja baada ya jingine lengo lake ni
kuyachambua makosa ya kweli, na ambayo si makosa kwa mujibu wa
misingi ya elimu ya „„mustalahul hadithi‟‟.
Kwa sababu kuna baadhi ya maulamaa kama Imamu Al-Nawawy
wameona kuwa miongoni mwa makosa yaliyopelekea udhaifu wa hadithi
hiyo ya kuoga janaba ni kuwa Hamad bin Salama anakosea. Sheikh Al-
albani akasema kumtetea Hamad na kuwajibu wale walioidhoofisha hadithi
hiyo kwa sababu ya Hammad, na haya yafuatayo ni maneno ya sheikh Al-
Bani:
حظؼ٤ ح“ ي ك٠ خ شــــكـ شــــػو ح٤ أثش اخ ش ر كخى كب هز آح١ ح
حح١ آح ــ أخ؟ ــــ ٤ ح١ ك ال أخخ أ ي ٣وؿ ل ذــ٣ ل ي
حل٤ل٤ ؿخ ــ حؼوخص ؿخ٤ حو٤ ال خ خ خــــأ ـى كي٣ؼ ٣ى حؼوش
حإلكظـخؽ ػ٠ – ١ــــح ـــ -هلخ لخ ي٣غــــحل ػخء ؿ ي .ؿ٤خ ػ ك٠ال
....” ػزض اح ال ش ر كخى رلي٣غ
2 حػش ح٠ؼ٤لش حلكخى٣غ ش حظ /333-332.
“Hii ni sababu nyonge kama ilivyo sababu iliyotangulia kabla yake, kwa
sababu Hamad bin Salama ni IMAMU miongoni mwa maimamu wa
kiislamu ni THIQA (muadilifu mwenye hifdhi nzuri) tena ni HOJA na
hakuna shaka yoyote katika hilo, na suala la kukosea halimtoi katika daraja
hiyo, kwani ni nani asiyekosea? Lau kama kila mpokezi zitakataliwa
hadithi zake kwa sababu ya kuwa anakosea tu, basi wasingesalimika ila
wachache miongoni mwa kundi kubwa la watu Thiqaat (wadilifu wenye
331 hifdhi nzuri) tena katika watu waliomo katika sahihi mbili (Sahihi Bukhari
na Sahihi Muslim) wachalia mbali vitabu vingine.
Na kwenye hilo la kuzikubali hadithi za Hamad ndivyo walivyopita
maulamaa wa hadithi waliotangulia na waliofuatia –na miongoni mwa hao
ni huyo Imamu al Nawawy- isipokuwa itakapothibiti kukosea kwake”.
Mwisho wa kunukuu.982
Hebu ndugu msomaji yasome tena maneno ya ndugu Juma ambayo
amemnukuu sheikh wake al Qannubi kwa uangalifu,amesema bwana
Juma: “Na akasema Al-albani (mwanachuoni wa hadithi wa kiwahabi)
katika kitabu chake “AL DHAIFA” juzuu ya 2 ukurasa wa 333: “hakika ya
Hamad anakosea sana”.!!!
Mwisho wa kunukuu.
Ndugu msomaji, hebu linganisha maneno haya ya ndugu Juma na sheikh
wake Al-Qannubi wanayodai kuwa ni maneno ya sheikh Alalbani, na hayo
maneno yenyewe ya sheikh Al-albani ambayo tumeyakunukuu hapo juu
kutoka kwenye kitabu chake, ukilinganisha utaona yanatofautiana sheikh
Al-Bani anasema: “HAMAD BIN SALAMA NI IMAMU MIONGONI
MWA MAIMAMU WA KIISLAMU NI THIQA TENA NI HOJA NA
HAKUNA SHAKA YOYOTE KATIKA HILO, NA SUALA LA
KUKOSEA HALIMTOI KATIKA DARAJA HIYO, KWANI NI NANI
ASIEKOSEA ?
Juma anadai kwamba sheikh Al-Bani amesema: “HAKIKA HAMAD
ANAKOSEA SANA” na maneno hayo ameyanukuu Juma kutoka kwa
sheikh wake al-Qannubi! Bali la ajabu zaidi ni kuwa tunaona katika
maneno ya sheikh Al-Bani kinyume chake: kwamba HAMAD NI IMAMU
MIONGONI MWA MAIMAMU WA KIISLAMU, THIQA, TENA
HOJA…?!
Bali isitoshe sheikh Al-Bani amemtetea sana Hamad dhidi ya wale wenye
kudai kwamba anakosea.
Bila shaka ndugu msomaji kwa maelezo haya utakuwa umebainikiwa na
uongo alioufanya Juma na sheikh wake al-Qannubi.Wameamua kufanya
hivyo kwa makusudi baada kugundua kwamba sheikh Al-bani
mwanachuoni mkubwa wa hadithi katika zama hizi, anayekubalika na
waislamu wengi duniani tena kwa kiwango cha juu mno! Kwa hiyo
wakaona wamtumie kama ngazi ili wafikie malengo yao mabaya, ndipo
bila haya wala aibu wakaamua kumzulia uongo wa wazi. Wameamua
982
- Tazama Silsila Dhaifa juzuu ya 2 ukurasa 332-333.
332 kumzulia uongo sheikh huyo ili msomaji akiyasoma maneno hayo moja
kwa moja adhanie kwamba sheikh Al-albani naye ni miongoni mwa
wanaomtia kasoro Hamad bin Salama na kumdhoofisha kwa sababu ya
kukosea sana, na hali yakuwa hivyo sivyo kabisa ! bali ni uwongo mweupe
kama jua la mchana wa saa sita. Na hapana shaka kuwa kitendo hiki ni
kitendo kiovu tena cha kidhalimu, na huo si mwenendo wala sera za
maulamaa waliosimama katika njia ya haki ambao lengo lao ni kutaka
kuwaelimisha watu haki ili waifuate, bali hivyo ni vitendo vya watu wa
batili waliofilisika katika hoja, kwa sababu siku zote mtu mkweli mwenye
hoja zenye nguvu hayuko tayari kughushi wala kusema uongo katika suala
lolote, wachilia mbali suala la dini, sasa inakuwaje mtu mwenye kudai
uimamu na ijtihadi tena mcha Mungu awafanyie ghushi waislamu katika
jambo la itikadi ya dini yao kwa sababu ya kulinda misimamo ya
kimadhehebu na ukabila ?!
Bali kwa mujibu wa itikadi yao ya batili ya kikhawariji (kiibadhi) hiyo ni
dhambi ya kumuingiza mtu motoni milele na wala hatoki tena, na hakuna
wa kumuombea, na kama ataombewa basi maombi hayo hayatokubaliwa!
Na hapa Juma anajinyonga mwenyewe kwa kitanzi chake kwa sababu ya
itikadi yao potofu, anasema katika kitabu chake “KISIMAMO KATIKA
SALA” ukurasa wa 28 : “Na unajua Sheikh X. ni kitu gani kimewafanya
wanazuoni wa kiibadhi wasiseme uwongo? Ni kwa sababu ya itikadi yao
kwamba MADHAMBI MAKUBWA YANAMUWEKA MTU MOTONI
MILELE NA YANAMPOROMOSHEA MEMA YAKE, NA UWONGO
NI KATIKA MADHAMBI MAKUBWA”.Mwisho wa kunukuu.
Tazama hapa namna wanavyojinyonga na kamba yao wenyewe! Je wewe
ndugu Juma, na sheikh wako Al-Qannubi hamuogopi kukaa motoni milele
kwa kusema uongo? Je hamuogopi kuporomoshewa amali zenu na
kuanguka uadilifu wenu? Hivi ndugu Juma kwa sababu ya uongo wenu
kama huu ndiyo mnataka kufanya mijadala na maulamaa wakubwa kama
Ibn Baz -kama mnavyodai- na mko tayari kwenda kuapa kwenye Ka‟aba?!
Hamuogopi ?! Hivi kweli mnaweza kudai kwamba mwanchuoni mkubwa
kama al-Allaama sheikh Abdul-Aziz Ibn Baz awakimbie watu kama nyinyi
wenye hoja dhaifu tena za uongo namna hii ?!!! Kama mkiwa mmeweza
kupotosha yaliyoandikwa vitabuni ambayo yako dhahiri shahiri, na
mkaweza kuwazulia maulamaa mambo ambayo hawakusema, kweli
mtashindwa kuzipotosha, na kuzigeuza habari zilizofanyika ndani ya ofisi
tena kwa siri, tena mashahidi wa tukio hilo ni nyinyi wenyewe? Eti Ibn
Bazi amkimbia Khalili! Kwa hoja gani alizonazo Khalili na wafuasi wake?
Hoja zenyewe ni hizi za uwongo anazozitaja Juma kutoka kwa Qannubi na
Khalili? Vitabu vya Al-bani vimejaa ulimwenguni mashariki na magharibi,
mmemzulia wazi wazi ! je mtashindwa kuzua yaliyofanyika ofisini kwa
siri? Ndiyo maana ukiyatazama maneno ya Juma kuhusu suala la kukutana
333 Ibn Baz na Khalili utauona uongo unaelea juu juu, kwa mfano pale
aliposema:
“Kwa hivyo Al-khalili akamtaka Bin Baz ambaye kawaita maibadhi
MAKAFIRI wende mbele ya Al-kaba Takatifu wakaombe hivi hivi, lakini
Bin Baz akaogopa. Na hii inatosha kuonesha kuwa hata yeye mwenyewe
sh. Bin Baz hana hakika na itikadi yake. Na kama si hivyo kipi kimemzuia
kumtaka Mwenyezi Mungu aibainishe haki baina yake na watu ambao
kawaita makafiri”.!!!! Mwisho wa kunukuu uwongo wa ndugu Juma.
Tazama kitabu chake “Hoja zenye Nguvu” ukurasa wa 42. Je ni kweli Ibn
Baz amewaita maibadhi makafiri? Ni mahali gani hapo? Kitabu gani ?
Mbona hukututajia?
Vitabu vya Ibn Baz vimejaa tele hapa duniani, hebu tutajie kitabu kimoja
ambacho Ibn Baz amesema maneno hayo, na hii ni chalenji nina kupa
wewe Juma na masheikh zako Khalili, al-Qannubi, na Ahmad bin Su‟ud
al-Siyabi mtutajie ni mahali gani Ibn Baz amewaita maibadhi kuwa ni
makafiri kwa uwazi kabisa, bila ya kuhitajia taawili.
Na haya ndiyo maajabu ya makhawariji hawa wa akhiril-zaman!
Wanasema uongo wala hawana haya, na vitabu vyao vimejaa uongo. Kwa
ushahidi zaidi hebu tukudokolee mfano mmoja wa uongo wao na mengine
itafuatia katika sehemu zake, ni pale mufti wao Khalili alipoamua
kulipindua shairi la Ibnul-Qayyim kwa makusudi, kisha Juma naye
akafuatia vivyo hivyo ! Ametaja al-Khalili katika kitabu chake AL-HAQU
DAMIGH, naye Juma katika kitabu chake “Kisimamo” ukurasa wa 93
akasema hivi:
“Na akasema katika “NUNIA” kuhusu wote ambao hawana itikadi ya
kihashawiya (Kiwahabi) kwamba ni maaduwi ambao ukafiri wao ni
mkubwa kuliko mushrikina (wenye kuabudu masanamu) Anasema (Ibnul-
Qayyim):
حلح ك٠ أهق حآ *** ؼ رخؼيحس حؼط ا
Na muatil ni mwenye kuutangaza uadui *** na washirikina ni wepesi zaidi
katika ukafiri”.
Juma na mufti wake Khalili wameyapindua maneno haya ya Ibnul-Qayyim
kwa makusudi, mimi ninawapa chalenji watuletee maneno haya, na mimi
ninasema kwamba maneno haya hayamo katika “NUNIA” ya Ibnul-
Qayyim. Maneno yaliyomo katika “NUNIA” ni haya:
ك حظ٣ هخذ ك٠ * **ؼ رخؼيحس حؼط ا
334 Na muatila ni wenye kuutangaza uadui *** kwa sura ya kumtakasa
Rah‟man (Allah mwingi wa reh‟ma). Haya ndugu msomaji ni machache
kati ya mengi ya uongo yaliyojaa kwenye vitabu vya makhawarij
(maibadhi) wa zama hizi, mpaka Mufti wao pia asema uongo! Na
inaonekana kuwa Juma hasomi vitabu kwa kuhakiki mambo, bali yeye
ananukuu kiupofu kutoka katika vitabu vya masheikh zake Khalili na
Qannubi. Hebu tuendelee kuyatupia macho maneno ya ndugu Juma al-
Mazrui katika kitabu chake “Hoja zenye Nguvu” ukurasa wa 113, kuhusu
hadithi hii, anasema ndugu huyo:983
JAWABU
Matusi haya nimeshayajibu katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki Fimbo Ya
Musa.984
Huko nimekubainishia na kukutolea scanned copies985
kwamba
alichokinukuu Imamu Al-Sunna wa Al-Usuul wa Al-Furuu‟i, Al-Qannubi,
kutoka kwa Al-Albani ni maneno yasemayo: أخا كخىح “Hakika ya
Hammad ana makosa mengi”. Hayo ndio alioyanukuu: hakuzidisha hata
herufi moja. Sasa je maneno hayo hayamo katika kitabu cha Al-Albani ili
Al-Qannubi awe mwongo, au ni ujinga wako, chuki zako, uchache wako wa
maarifa na kutaka kudanganya watu?
Ama kuhusu propaganda yako ya kutaka kumvisha Al-Albani kilemba cha
mikunguzi kwa kudai:
Wameamua kufanya hivyo kwa makusudi baada kugundua kwamba sheikh
Al-bani mwanachuoni mkubwa wa hadithi katika zama hizi,
anayekubalika na waislamu wengi duniani tena kwa kiwango cha juu mno!
Kwa hiyo wakaona wamtumie kama ngazi ili wafikie malengo yao
mabaya, ndipo bila haya wala aibu wakaamua kumzulia uongo wa wazi.
Wameamua kumzulia uongo sheikh huyo ili msomaji akiyasoma maneno
hayo moja kwa moja adhanie kwamba sheikh Al-albani naye ni miongoni
mwa wanaomtia kasoro Hamad bin Salama na kumdhoofisha kwa sababu
ya kukosea sana, na hali yakuwa hivyo sivyo kabisa!
Poleni enyi Mawahabi ikiwa Al-Albani kwenu ni mwanachuoni mkubwa
naye:
1) Hazijui Hadithi hata za Al-Bukhari na Muslim!
2) Hawajui wapokezi hata wa Al-Bukhari na Muslim!
3) Anajigonga katika ukurasa mmoja sikwambii Hadithi moja!
4) Hasomi vitabu: asoma yaliomo (table of contents)!
983 - Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 79-86.
984 - Tazama jawabu yetu kwa urefu katika Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 391-412.
985 - Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 484.
335
Na kasoro nyengine nyingi hata za kimaadili kama walivyobainisha
wanafunzi wake mwenyewe hata akatuhumiwa kuiba mali ya Mawahabi!
Haa huyu ni Imamu? Hayo yote nimekubainishia katika juzuu ya kwanza.
986
Isipokuwa hapa ningependa kuongeza kitu kimoja kidogo. Kasim bin
Mafuta anasema kuwa sisi tumeamua kumzulia uwongo Al-Albani baada ya
kujua kuwa yeye ni champion wa Hadithi wa zama hizi! Uwongo wenyewe
ni uwongo uliomo kitabuni mwake na champion wenyewe hali yake ni
kama mulivyoiona katika juzuu ya kwanza! Sasa mimi hapa nataka
nimuulize huyu Mafuta, sisi tumenukuu maneno ya watu kama:
1) Al-Dhahabi.
2) Al-Suyuti.
3) Ibn Hajar.
4) Al-Imamu Ahmad.
5) Al-Bayhaqi.
6) Na wengine.
Mafuta wote hawa hakuwaona kuwa ni Maimamu wakubwa, kenda kurukia
kwa Al-Albani akamvika kilemba cha kamba za mkonge kwamba yeye ni
mwanachuoni mkubwa! Ni wazi kwamba huyu Mafuta ndiye anayetaka
kuipigia debe batili yake ya mungu-mtu! Haya niambie Mafuta Al-Albani
anamkaribia nani katika hawa niliowataja hapa! Labda Mafuta atasema:
“Aaa! Hawa Al-Qannubi hakuwazulia uwongo; Al-Albani kamzulia
uwongo”. Narejea tena: hakuna uwongo: alichokisema Al-Qannubi kimo
katika kitabu cha Al-Albani. Vyenginevyo nakuomba ukinukuu
alichokisema Al-Qannubi kisha uyanukuu maneno yote ya Al-Albani ili
tuone je kimo au hakimo.
Pili ni kuhusu ubeti uliodai kuwa umepinduliwa na Sheikh Al-Mufassirin,
Al-Imamu Al-Taqiy Al-Waliy, Badru Al-Din Al-Khalili. Na hili pia
nimeshakujibu katika juzuu ya kwanza. Rudi huko ujikumbushe.987
Suala la tatu ni suala la kuwa je ni kweli Sheikh Al-Khalili alimtaka Bin
Baz wafanye mjadala lakini akakataa, na baadae pia akamtaka wafanye
mubahala pia akaogopa kuteremkiwa na laana ya Allah kwa sababu ya
itikadi zake batili. Mafuta – natarajia – ni mtu wa kwanza duniani
kulikanusha tukio hili. Kwa halili yoyote ile, hilo pia tumeshalijibu kwa
986
- Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 49-81. Na 396-399. 987
- Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 383-391. Kwa ufafanuzi zaidi anzia uk. 379.
336
urefu katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki.988
Nimekuthibitishia huko kwa
ushihidi mwingi yakiwemo maanadiko ya Masheikh wa Kiwahabi wenye
ambao wameyasema hayo kwa uwazi katika vitabu vyao. Lakini Kasim
Mafuta – kama alivyosema mmoja wa Mawahabi wenzake: “kwanza Kasim
Mafuta hana elimu”, inaonesha kweli huyu si mtu wa kusoma kama kitabu
chake mwenyewe kinavyotongoa – ubishi mbele tu!
Nne ni suala la Ibn Baz kuwakafirisha Maibadhi. Kasim Mafuta
analikanusha hilo! Na hii ni ajabu ilioje, kwani kwa itikadi ya Kiwahabi na
Maimamu wao ni kuwa mtu anayekanusha kuonekana kwa Allah ni kafiri
na hili Kasim kanlinukuu mwenyewe kutoka kwa Al-Imamu Ahmad. Pia
katika itikadi ya Kiwahabi ni kuwa atayesema kuwa Qur-ani ni kiumbe
huyo ni kafiri. Sema Mafuta ni kweli ni uwongo? Sasa kama ni hivyo, na
Ibadhi wanakanusha kuonekana kwa Allah na wanasema kuwa Qur-ani ni
kiumbe je unakanusha nini ukiambiwa kuwa Ibn Baz kawakafirisha
Maibadhi? Kwa ufupi ni kuwa na hili pia nimeshalijibu kwa urefu katika
juzuu ya kwanza, na kama wewe Kasim Mafuta hukumfahamu Ibn Baz
katika fatawa zake, basi muulize Sheikh wako Dr. Al-Fawzaan, yeye
kamfahamu vizuri, ndio maana akasema Al-Fawzaa:
Hakika Sheikh Ibn Baz katika fat-wa hii kataja yale ambayo yana dalili ya
Qur-ani na Sunna na yale yaliosemwa na Maimamu: kama vile Al-Imamu
Malik, Al-Awzaa‟i, Sufyaan bin „Uyaina, Al-Bukhari, „Abdullahi bin
Mubaarak, Is-haaq bin Raahwayh na Al-Imamu Ahmad; na kile
alichokinukuu Sheikhu Al-Islaam Ibn Taymiyya kutoka kwa jumhuri ya
Al-Salaf kuhusu kuwakafirisha wenye kukanusha kuonekana kwa
Allah na uwajibu wa kuwaua!989
Haya ni kwa ufupi na kwa urefu rejea juzuu ya kwanza ya kitabu hiki utaona
huko maelezo ya ziada.990
988
- Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 414-432. 989
- Tazama Al-Fawzaan Al-Raddu „Alaa Sheikh Al-Siyaabi uk. 6. 990
- Juma Al-Mazrui Fimbo Ya Musa j. 1, uk. 417-422.
337
HADITHI DHAIFU NA ZA KUTUNGA ZA
HAMMAD BIN SALAMA KUTOKA
KWA THABIT AL-BUNANI
Tumeona katika maelezo yaliotangulia kasoro ambazo kwazo inakatalika
Hadithi ya Hammad bin Salama ya kuifasiri ziada iliotajwa katika Surat
Yunus kuwa maana yake ni kumuona Allah. Lakini tulisema kwamba bado
kuna jambo ambalo tutazidi kulitolea ufafanuzi wake baadae. Jambo hilo ni
ngoma yao kwamba:
Hammad bin Salama ndiye mpokezi imara wao katika riwaya
zilizopokewa kutoka kwa Thabit Al-Bunani..... Na wakitafautiana
wapokezi katika riwaya za Thabit Al-Bunani, basi kauli inayochukuliwa ni
kauli ya Hammad bin Salama.
Na kauli hii ndio alioitegemea Kasim Mafuta akasema:
Zimepokewa hadithi nyingine nyingi kutoka kwa Mtume -swalla llaahu
alayhi wasallam- na kauli nyingi kutoka kwa Maswahaba zinazoitilia
nguvu hadithi hii ambayo katika sanadi yake yumo Hamad bin Salama
ambaye ni mtu madhubuti zaidi katika riwaya za Thabit al-Bunaani
kuliko wapokezi wote wanaopokea kutoka kwa Thaabit.
Bwana Mafuta alinilaumu kwamba mimi sihakika mambo bali nafuata
Masheikh wangu tu. Nilitarajia kwamba kwa mujibu wa msimamo wake
huu, yeye atakuwa ni muhakiki mzuri, lakini kama tulivyoona katika juzuu
tafauti za kitabu hiki kwamba Al-Taqliidu Al-A‟amaa (kufuata kama kipofu)
ndio mfumo mzima wa kitabu cha Kasim Mafuta! Kwa hali yoyote ile,
kilicho muhimu kwetu ni dalili. Sisi tunadai kwamba maneno hayo ama si
sahihi kabisa au si sahihi kwa ujumla wake kama hivyo ulivyo. Tunasema
hivyo, kwa sababu ya kuwepo riwaya za kutunga na riwaya dhaifu ambazo
Hammad bin Salama kazisimulia kutoka kwa Thaabit Al-Bunani. Miongoni
mwa hizo ni hizi mbili tatu.
Hadithi ya kwanza:
أ ر خي ٢ـــــكيػ٢ أر٢ ك هللا خ ؼخ ر ؼخ خ كخى ر ش خ ػخرض حزخ٢ ػ
))٠ ر لز ؿؼ ىخـكخ طـ(( ـــــ٠ هللا ػ٤ ك٢ ه ػؿحز٢ هللا ػـــــ ػ
……هخ هخ ح ٣ؼ٢ أهؽ ١ف حو
Kanisimulia baba yangu – Allah amrehemu – katusimulia Mu‟adh bin
Mu‟adh katusimulia Hammad bin Salama katusimulia Thabit Al-Bunani
338 kutoka kwa Anas bin Malik (r.a.) kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kuhusu kauli
yake Allah inayosema: “Basi Mola wake alipoudhihirikia mlima,
aliufanya ukavunjika vipande vipande”, kasema, alisema (Mtume
s.a.w.): „kama hivi, katoa kidole cha ncha…… 991
Hio ni riwaya moja ya Hammad bin Salama alioipokea kutoka kwa Thabit
Al-Bunani inayomzulia uwongo Mtume (s.a.w.) kuwa kasema kuwa Allah
alipoufanya mlima ukavurukika basi “Allah alitoa kidole chake cha ncha”
kidogo tu au – kwa tafsiri ya pili inayobebwa na riwaya hio – “Allah
alijitokeza Yeye Mwenyewe kidogo tu kiasi cha ncha ya kidole cha ncha”
na mlima ukavurugika wote! Hizi ni riwaya za Hammad ambazo
zimetungwa na Mujassima. Wala usighururike na kauli ya Al-Albani
kwamba riwaya hii ni sahihi, Al-Albani hajui riwaya sahihi wala dhaifu. Na
hata ikiwa ni sahihi kama anavyosema yeye basi ni usahihi wa sanad tu,
ama matn kama unavyoona ni ya kutunga 100%.
Kisha tazama ukweli kwamba riwaya hio ya Hammad bin Salama kutoka
kwa Thabit Al-Bunani inapingana na riwaya nyengine ya Hammad bin
Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani. Riwaya ya pili yanena hivi:
أ ر خي ٢ ــــــــكيػ٢ ارح٤ ر حلـخؽ حخؿ٢ خ كخى ر ش ػ ػخرض حزخ٢ ػ
حو هض لرح٤ فح أحخ ارح٤ ١ــــخى ــــــز هخ كــــــــهللا ػ كخ طـ٠ ر
.......................كؼ هخ ل
Katuhadithia Ibrahim bin Al-Hajjaaj Al-Naji katuhadithia Hammad bin
Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka kwa Anas bin Malik (r.a.)
(kuhusu Aya isemayo): “Basi Mola wake alipoudhihirikia mlima”,
HAMMAD AKASEMA: „kama hivi‟, na Ibrahim akatuonesha ncha ya
kidole chake cha ncha. (Anasema Ibn Ahmad): „nami nikamuuliza
Ibrahim: je (Hadithi hii, Hammad bin Salama) kainasibisha kwa Mtume
(s.a.w.)?‟ Akasema: „hapana: (hakuinasibisa na Mtume s.a.w.).992
Kwa hivyo, “Allah alitoa kidole chake cha ncha” kidogo tu kama
inavyoweza kufahamika katika upende mmoja wa riwaya ya kwanza au
“Allah alijitokeza Yeye Mwenyewe kidogo tu kiasi cha ncha ya kidole cha
ncha” kama ilivyo wazi katika riwaya hii ya pili. Ufahamu wa riwaya ya
kwanza kwamba ni Allah mwenyewe ndiye aliyetoa kidole chake cha ncha,
unapata nguvu kwa riwaya nyengine inayosema:
كيػخ يرش ر هخي ػخ كخى ر ش ػ ػخرض ػ أ ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ ك٢ ه
991
- Ibn Ahmad Kitabu Al-Bida‟a alichokiita Kitabu Al-Sunna j. 1, uk. 269, riwaya na. 500.
992
- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 270, riwaya na. 502.
339
هخ غ ارخ ػ٠ ه٣ذ ١ف أظ كخم حـز )ؿؼ ىخطـ٠ ر ـز كخ (طؼــخ٠
أ ــــــــ ٣وـــــهخ ك٤ي ؼخرض طـو ح ك هخ ٣و هللا ٠ هللا ػ٤
كؤظ أخ
Katuhadithia Hudba bin Khalid katuhadithia Hammad bin Salama kutoka
kwa Thabit kutoka kwa Anas kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kuhusiana na
kauli yake Allah inayosema: “Basi Mola wake alipoudhihirikia mlima,
aliufanya ukavunjika vipande vipande”, kasema: „aliweka kidole gumba
chake karibu na ncha ya kidole chake, basi mlima ukazama. Humaid
akamwambia Thabit: „unasema hivi wewe!‟ Akampiga ngumi
akamwambia, Mtume (s.a.w.) kaisema; Anas kaisema; niifiche mimi?993
Kuletwa kwa herufi fee katika neno كخم fa-sakha, kunamaanisha
kufungamana kwa maneno yaliotangulia na yanayofuatia kwa mfungamano
wa sababu. Na natija ni kuwa sababu ya kuzama kwa mlima ni kutolewa
sehemu ndogo ya kidole. Vyenginevyo, riwaya nyengine zimekaribia kuwa
wazi kwamba kidole hiki ni cha mtu: si cha Allah, isipokuwa – kisanad –
riwaya hizo ziko hali mbaya zaidi. Kwa hali yoyote ile, riwaya zote hizi za
Hammad zinathibitisha kwamba sehemu iliojitokeza na kuuvunja mlima au
kuuzamisha ni sehemu ndogo ya Allah ilio sawa na ncha ya kidole cha
ncha!
Huo ni ufafanuzi wa ufahamu wa kwanza wa Hadithi hio. Ama ufahamu wa
pili kwamba Allah mwenyewe ndiye aliyejitokeza kidogo, huu unapata
nguvu kwa riwaya ya Ibn Ahmad yenye kusema:
اح أحى أ ا هللا ػ ؿ اح أحى أ ٣وف ػزخى أري ػ رؼ٠ ا٠ حل كؼي ي ط
ي ػ٠ ه طـ٠ خــطي
Hakika ya Allah Mtukufu akitaka kuwatisha waja wake basi huidhihirisha
(huichomoza) sehemu tu ya (Dhati) yake (yaani huidhihirisha sehemu ya
Dhati yake kuielekezea) ardhi, basi hapo ardhi hutetemeka; na akitaka
kuwa ardhi iangamizwe juu ya watu, basi Allah hudhihiri (huchomuza)
Yeye kamili!994
Lakini mgongano zaidi ni kuwa kule – katika masimulizi ya kwanza pamoja
na haya ya tatu – riwaya hii inatoka kwa Mtume (s.a.w.); lakini katika
masimulizi ya pili – kama ulivyoona – imekanushwa kuwa riwaya hio
inatoka kwa Mtume (s.a.w.), na riwaya ni ile ile ya Hammad kutoka kwa
Thabit. Na juu ya yote hayo, riwaya ya kwanza Muhaddithu Al-Awraaq Wa
993
- Ibn Abi „Asim Al-Sunna j. 1, uk. 336-337, Hadithi na. 490. 994
- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 2, uk. 370, Hadithi na. 1069.
340
Al-Qalam anasema kuwa ni sahihi;995
na riwaya ya pili muhakiki wa kitabu
cha Ibn Ahmad anasema: “wapokezi wake wote ni wenye kuaminika”. 996
Hadithi ya pili:
ؼى هخ هخـــػخ يرش ر هخي ػخ كخى ر ش ػ ػخرض ػ أ ر خي ػ ػزيهللا ر
خـــــي٤خ ؼخ ؼهللا ػ٤ ك٤و هللا ٣خ حر آى أ٤٣ي أ أػط٤ي ح هللا ــ٠
ــــك٤و أ١ د أطظء ر٢ أــض د حؼخ٤ هخ ك٠لي حر ؼى هخ أل طؤ٢
ط٠ليـأل طؤ٢ لض هخح لض هخح ط٠لي هخ ح كؼ هللا كوخ
ؼخ٤ هخ ــــأض د ح ٣خ هللا هخ لي د حؼخ٤ ك٤ ٣و حطظء ر٢
ا٢ ل حظء ري ٢ ػ٠ خ أخء هخى
Katuhadithia Hudba bin Khalid katuhadithia Hammad bin Salama kutoka
kwa Thabit kutoka kwa Anas kutoka Abdillahi bin Mas‟uud kasema: „
kasema Mtume (s.a.w.): „basi Allah atasema: „ewe binaadamu we!
Kutakuridhisha wewe kupewa dunia na mfano wake pamoja nayo?‟
Atasema (binaadamu): „ewe Allah wanifanyia mzaha nawe ni Bwana wa
ulimwengu wote‟? Anasema (msimulizi): „basi Ibn Mas‟uud akacheka na
akasema: „hamuniulizi kwa nini ninacheka?‟ Wakasema: „kwanini
unacheka?‟ Akasema: „namna hivi alifanya Mtume (s.a.w.) akasema:
„hamuniulizi kwa nini ninacheka?‟ (Masahaba) wakasema: „kwanini
unacheka ewe Mjumbe wa Allah?‟ Akasema: „kwa sababu ya kucheka kwa
Allah pale aliposema: „„ewe Allah wanifanyia mzaha nawe ni Bwana wa
ulimwengu wote‟. Akasema (Allah): „Mimi sikufanyii mzaha lakini Mimi
ni mwenye uwezo wa kulifanya nilitakalo‟. 997
Hadithi hio ni refu na huo ni mukhtasar wake. Na katika urefu wake ina vipengele
hivi:
خ س ـــــؼ حـــــآه ٣يه حـش ؿ ٢٣ ػ٠ حح١ ك ٢٣ س ٣ز س طل
يح ـــــطخ أكــــــــأػطخ٢ هللا ٤جخ خ أػ كبح ؿخخ حظلض ا٤خ ك٤و طزخى ح١ أـخ٢ ي وي
ظ رظخــــــــــس كألظـ حل٤ ح٥ه٣ كظكغ ـس ك٤و أ١ د أى٢ حـ
خ ك٤و ل أ١ ـــــ ٣بر آى ؼ٢ ا أػط٤ظخ طؤ٢ ؿ٤ ؿ أد خثخ ك٤و هللا ػ
ك٤غ أحص أ حـش ك٤و أ١ ..……………خ ــــــؤ ؿ٤ـــــــؼخي أ ل ٣ــــــد ٣
ي أط٠ أ أػط٤ي حي٤خ ؼخ ؼخ ك٤و أ١ ـــ٢٣ ـــ٤خ ك٤و ربر آى خ ٣ـــد أىه
..………د أطظء ر٢ أض د حؼخ٤
Wa mwisho atayeingia peponi ni mtu anayekwenda katika sirat mara
anakwenda na mara anasunukia na mara moto unamuunguza, akisha
kuvuuka basi ataugeukia. Hapo atasema Allah Mtukufu aliyeniokoa
kutokana na wewe basi amenipa kitu ambacho hakumpa yoyote miongoni
995
- Al-Albani Dhilalu Al-Janna j. 1, uk. 243, Hadithi na. 480. 996
- Ibn Ahmad Al-Sunna j. 1, uk. 270, riwaya na. 502. 997
- Ibn Abi „Asim Al-Sunna j. 1, uk. 383-384, Hadithi na. 569.
341 mwa (waja wake) wa awali na wa mwisho. Basi mara ataona mti atasema:
„e Mola wangu nikurubishe kwenye huu mti ili nijifunike katika kivuli
chake na ninywe maji yake‟, hapo Allah atasema: „e mwana wa Adam we,
labda nikikupa huo utaniomba kitu chengine?‟ Atamwambia: „sio hivyo,
ewe Mola wangu‟ naye anamuahidi kuwa hatomuomba tena kitu
chengine………..998
.
Hadithi ni refu, na muombaji aliyeko mbele ya Allah anaomba na anatoa
ahadi kuwa hatoomba tena, lakini kila mara anavunja ahadi yake. Na
hatimae Hadithi inasema:
Atasikia sauti za watu wa peponi atasema: „e Mola wangu niingize humo
(peponi)‟. (Allah) atasema: „e mwana wa Adame we! Na ni kitu gani
kitachokata maombi yako kutoka kwangu? Je huridhii wewe nikikupa
dunia na mfano wake (mara mbili)?‟ Naye atajibu: „WANIFANYIA
MASKHARA NA WEWE NI BWANA WA ULIMWENGU?‟
Hii ni Hadithi ya Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani, nayo
utunzi wa mujassima unaelea katika riwaya yenyewe. Fikiri wewe kwamba
akhera ni darul yaqiin (sehemu ya yakini). Ni sehemu ambayo kafiri na
Muislamu siku hio watamjua Allah na uwezo wake na watakuwa na yakini
100%. Lakini mtu huyu yuko akhera mbele ya Allah na haamini aambiwalo
na Allah: anaona anafanyiwa maskhara tena na Allah! Hapa duniani sisi
Waislamu tunasadiki kila khabari tuliopewa na Allah itakuja kuwa akhera
ambako tafsiri ya habari hizo itapambanuka na Uungu na ukweli wa Allah
utakuwa bayana zaidi? Hadithi hii ni katika jumla ya riwaya za Hammad
ambazo katungiwa na mujassima kisha yeye – kwa awhaamu wake –
akazinasibisha kwa Mtume (s.a.w.).
Hadithi ya tatu:
أ ش ػ ػخرض ػ أـــ٣ ر لي كيػخ أر٢ هخ كيػخ كخى ر ز٢ ارح٤ ر ــأه
هللا ػ٤ خض أش ٣طئخ ك ط ر ػخثش كلش كظ٠ كخ ػ٠ هللا ٠ـ
) ٣خ أ٣خ حز٢ طل خ أك هللا ي (. :ــــ ؿـــهللا ػ ــل كؤ
Kaniambia Ibrahim bin Yunus bin Muhammad ajulikanaye kwa jina la
Harami, kasema katuhadithia baba yangu kasema kutuhadithia Hammad
bin Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka kwa Anas kwamba
Mtume (s.a.w.) alikuwa na kijakazi ambaye alikuwa akimuingilia (alikuwa
suria wake), basi „Aisha na Hafsa wakamshikilia mpaka Mtume (s.a.w.)
akajiharamishia kijakazi huyo (akasema yeye ni haramu juu yangu). Basi
998
- Ibn Manda Al-Iman j. 2, uk. 816-17, Hadithi na. 51- (841). Al-Bayhaqi Al-Ba‟athu Wa
Al-Nushur j. 1, uk. 98, Hadithi na. 91.
342 Allah akateremsha Aya: “Ewe Nabii, kwa nini unakiharamisha kitu
ambacho Allah kakuhalalishia”. 999
Hadithi hii japo kuwa Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam, Al-Albani,
anasema kuwa sahihi lakini ukweli ni Hadithi shaadh iliokwenda kinyume
na Hadithi sahihi zaidi, hususan ukizingatia riwaya zake nyengine kwamba
Mtume (s.a.w.) alimuingilia kijakazi huyo (Maaria Al-Qibtiyya) katika
nyumba ya mkewe mwengine (Hafsa) katika siku ya zamu yake – zamu ya
Hafsa! Jamani! Huku nikumfanya Mtume (s.a.w.) kuwa si muadilifu! Na
kwa hivyo, Al-Imamu Ibn Kathiir kaisahihisha Hadithi nyengine yenye
kusema kuwa sababu ya kuteremka Aya hio ni kitendo cha Mtume (s.a.w.)
cha kuharamisha asali. Anasema: “na sahihi ni kuwa kuteremka kwa Aya
hio ni kwa sababu ya kuharamisha asali, kama alivyosema Al-Bukhari
katika Aya hii……”.1000
Kwa ufupi ni kuwa Hadithi hii imekwenda
kinyume na Hadithi sahihi zaidi iliosimuliwa na Al-Bukhari na wengine.
Hadithi ya nne:
ال خ ـــكيػ٢ ٤ ر كد كيػخ ػلخ كيػخ كخى ر ش أهزـــخ ػخرض ػ أ أ ؿ»
كوخ هللا ؼ٢ حذ كخد ػو كؤطخ ػ٢ كبح ك٢ ٢ .هللا ٣ظـــ رؤ ــي
كخ ٣ي كؤهــؿ كـــبح ــ ـــزد ــــ٤ ـــــ كـــق ؽ٣ظزى ك٤خ كوخ ػ٢ أه
«.ا ـزد خ ػ٢ ػ ػ أط٠ حز٢ كوخ ٣خ هللا
Kanihadithia Zuhair bin Harb, katuhadithia „Affaan, katuhadithia Hammad
bin Salama katuambia Thabit (Al-Bunani) kutoka kwa Anas kwamba
kulikuwa na mtu ambaye anatuhumiwa (kufanya machafu) na kijakazi cha
Mtume (s.a.w.)! Mtume (s.a.w.) akamwambia Ali: „nenda kamkate shingo
yake‟. Basi Ali akamuendea, kutahamaki yuko kwenye kisima ajipoza
(joto) ndani yake. Ali akamwambia: „toka‟, akampa mkono wake akamtoa
kutahamaki ni butu: hana kiume, basi Ali akamuacha kisha akamjia Mtume
(s.a.w.), akasema: „ewe Mjumbe wa Allah, hakika yake ni butu: hana
kiume‟.1001
Hadithi hii kaipokea Muslim na tumeielezea kidogo huko nyuma.
Tumesema vipi:
c) Mtume (s.a.w.) aamrishe kuuliwa mtu kwa sababu ya tuhuma tu?!
999
- Al-Nasai Al-Kubra j. 10, uk. 307, Hadithi na. 11543. 1000
- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhiim j. 4, uk. 349 katika tafsiri ya Aya ya kwanza
ya Suratu Al-Tahriim. 1001
- Muslim Sahihu Muslim uk. 1161, Hadithi na. 2771.
343
d) Aamrishe kuuliwa mtu kwa tuhuma ya kufanya maovu na kijakazi
chake, lakini asitoe amri kama hio kwa waliomtuhumu kipenzi
chake mwana wa kipenzi chake „Aisha bint Abi Bakr (r.a.)?!
Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir:
Ama madai ya baadhi ya washereheshaji wa Hadithi hii kwamba sababu ya Mtume
(s.a.w.) kutoa amri hio ni kuwa mtu huyo alikuwa mnafiki, ni madai yasio sahihi,
kwani:
e) Hio ni kauli isio na dalili yoyote.
f) Riwaya inathibitisha kinyume na hayo kwani imekuja kwa herufi Al-Fauu
ili kuyafungamanisha yale yalio kabla na yale yalio baada kwa
mfangamanisho wa kuonesha sababu. Maana ya haya ni kuwa tuhuma ndio
sababu ya amri hio ya kumuua mtu huyo.
g) Mtume (s.a.w.) hakuamrisha kuwaua wanafiki na lau aliamrisha kuwa
wauliwe basi angeliamrisha kuuliwa kwa „Abdillahi bin „Ubeiy.
h) Hadithi inasema kwamba baada ya Ali kupewa amri hio na kwenda kutaka
kumuua mtu huyo akamkuta mtuhumiwa hana kiume,1002
Ali akarudi. Lau
unafiki ulikuwa ndio sababu, basi Ali asingelirudi baada ya kumkuta mtu
huyo hivyo, kwani hakuna tafauti ya unafiki baina ya mwenye kiume na
asiyekuwa nacho.1003
Ninasema: wala Sheikh Al-Khalili hakupwekeka katika kuikanusha Hadithi
hio, Ibn Al-Qayyim pia kataja kwamba wako walioikataa kwa sababu ya
hukumu hio iliotajwa katika Hadithi. Anasema: “na hukumu hii imewatatiza
watu wengi, basi wakaiponda Hadithi hii, lakini katika sanad yake hakuna
wa kuambatana naye (hakuna mtu dhaifu)”.1004
Lakini kipengele
kinachosema: “katika sanad yake hakuna wa kuambatana naye” kimejibiwa
na Imamu Al-Sunna aliposema: “lakini matn yake ni munkar kwa uwazi
kabisa, na matn ikiwa ni batili hakuna mazingatio ya sanad kama
ilivyoelezwa na maimamu, wenye kuchekecha”.1005
Ninasema: bali katika
sanad yake yumo Hammad bin Salama naye ni dhaifu wa hifdhi.
Hadithi ya tano:
ػخرض حزخ٢،ـــكيػخ أر ر ر أر٢ ٤زش، كيػخ حل ر ٠، كيػخ كخى ر ش، ػ
1002
- Jamaa! Ivo huyu Ali alikuwa akichungulia watu? 1003
- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Jawabu Kwa Mawahabi Wa Algeria uk. 2-3.
Tanbihi: 1) Jawabu hio si kitabu bali ni kama makala tu. 2) Jawabu hio haina jina rasmi,
hilo jina Jawabu Kwa Mawahabi Wa Algeria nimeiita mimi tu hapa ili kumrahishia
msomaji kufikia katika marejeo hayo akihitaji kufanya hivyo, kwani ukiitaja kwa jina hilo
kila mtu aliyeisoma anajua unakusudia maandiko gani. 1004
- Ibn Al-Qayyim Zaadu Al-Ma‟aad j. 5, uk. 11. 1005
- Al-Qannubi Al-Tufan j. 3, sehemu ya pili uk. 636.
344
ؼح أحط كمــــأ ر خي، أ هخ: خ ض ح٣٥ش ) ٣خ أ٣خ ح٣ آح ل طك ػ
أ حخ. حكظزــــــــحز٢( ا٠ آه ح٣٥ش. ؿ ػخرض ر ه٤ ك٢ ر٤ظ هخ: أخ ص
ؼي ر ؼخ كوخ: ) ٣خ أرخ ـــ ــ٠ هللا ػ٤ ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ . كؤ حز٢
طخ ؼيخ١ خ ػض ر. هخ كؤــؼي: ا ــــػ، خ ؤ ػخرض ؟ حظ٠ ؟ ( هخ
وي ػظ أ٢ ٠ هللا ػ٤ . كوخ ػخرض: أض ح٣٥ش ــ هللا ـــــ ه ــك
أكؼ طخ ػ٠ هللا ٠ هللا ػ٤ . كؤخ أ حخ، ك ي ؼي ز٢ـ
حـش. ٠ هللا ػ٤ كوخ هللا ٠ هللا ػ٤ : ر أ
Katuhadithia Abu Bakr bin Abi Shaiba, katuhadithia Al-Hasan bin Musa,
katuhadithia Hammad bin Salama, kutoka kwa THABIT AL-BUNANI
kutoka kwa Anas bin Malik kwamba kasema: „ilipoteremka Aya hii: (Enyi
mulioamini! Musipaze sauti zenu juu ya sauti ya Nabii) hadi mwisho
mwa Aya hio. Thabit bin Qais alikaa nyumbani kwake akasema: „mimi ni
mtu wa motoni‟, na akajizuia kwenda kwa Mtume (s.a.w.). Mtume (s.a.w.),
akamuuliza Sa‟ad bin Mu‟adh akasema: „E Abu Mu‟adh! Vipi kuhusu Abu
„Amri (Thabit bin Qais): anaumwa?‟ Amesema Sa‟ad: „yeye ni jirani
yangu, na sijasikia kuwa anaumwa‟. Amesema: „basi Sa‟ad akamuendea
(Thabit bin Qais) akamwambia yale alioyasema Mtume (s.a.w.). Akasema
Thabit (bin Qais): „imeteremshwa Aya hii na kama munavyojua kwamba
mimi ndiye ninayepaza sauti yangu juu ya Nabii kuliko nyote, basi mimi ni
mtu wa motoni! Basi Sa‟ad (bin Mu‟adh) akenda kumwambia Mtume
(s.a.w.), akasema Mtume (s.a.w.): „bali yeye ni mtu wa peponi‟.1006
Hadithi hii imesimuliwa na HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa THABIT
AL-BUNANI, lakini Ibn Kathir – kuhusu Hadithi hii – atongoa hivi:
خى ر ش ك٤خ طلى ر ؼي ر ؼخ ٢ ـــــــح٣ش كــــش ــــك حطم حؼالع ؼ
ل ؿىح ـ ؼخ ٢ هللا ػــــــــأ كخ ح٣٥ش ٣ ؼي ر حل٤ق هللا ػ،
خ هي خص رؼي ر٢ ه٣ظش رؤ٣خ هالث ش ه، ح٣٥خص ض ك٢ كي ر٢ ط٤، حكى
حـس ـاخ طحطح ك٢ ش طغ
Njia hizi tatu (za riwaya hii, zote) ni zenye ila (kasoro) KWA SABABU
YA KUPOKEWA NA HAMMAD BIN SALAMA KATIKA KILE
ALICHOPWEKEKA1007
nacho ni cha kumtaja Sa‟ad bin Mu‟adh. Na
kilicho sahihi ni kuwa Aya hii ilipoteremka, Sa‟ad bin Mu‟adh hakuwepo
kamwe, kwani yeye alikwisha kufa mwaka wa tano baada ya (vita vya)
Banii Quraidha kwa siku chache, wakati Aya hizi zimewateremkia Banu
Tamim, na ujumbe wao ulikuja mwaka wa tisa wa hijra.1008
Hio ni riwaya iliosimuliwa na HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa
THABIT AL-BUNANI nayo ni riwaya yenye makosa, na Ibn Kathir kasema
1006
- Muslim Sahihu Muslim Hadithi na. 119. 1007
- Yaani alioipokea yeye tu. 1008
- Ibn Kathir Al-Tafsir j. 4, uk. 187, katika tafsiri yaAya 1-3 ya Suratul Hujurat.
345
hapa kuwa kosa hilo limetokana na Hammad bin Salama. Je, baada ya hayo,
propaganda za kuwa riwaya za HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa
THABIT AL-BUNANI ndio riwaya sahihi zao, ina ukweli?
Hadithi ya sita:
ـــــش ػـــكيػخ لي ر خق، ػخ حل٤ ر حل٠، ػخ ػلخ ر ، ػخ كخى ر
هخ ــــــرض هللا ٠ هللا ػ٤ أ ٢ هللا ػ هخ: خ خطض ه٤شـــػخرض ػ
: ل ٣يه حوز ؿ هخف أ ح٤ش ك ٣يه ػؼخ حوز.ــــحز٢ ٠ هللا ػ٤
Na katusimilia Muhammad bin Salih, katuhadithia Al-Husain bin Al-
Fadhl, katuhadithia „Affaan bin Muslim, katuhadithia HAMMAD BIN
SALAMA kutoka kwa THABIT AL-BUNANI kutoka kwa Anas bin Malik
(r.a.w.) kasema: „alipokufa Ruqayya bint Rasuli (s.a.w.) alisema Mtume
(s.a.w.): „yule ambaye alimuingilia mkewe usiku wa leo basi asiingie
kaburini, basi „Uthman (bin „Affaan) hakuingia kaburini.1009
Hadithi hii imesimuliwa na HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa THABIT
AL-BUNANI, lakini Ibn Hajar – kuhusu Hadithi hio – anena hivi:
ن حل٢ـــــ٢ حظخ٣ــــح كخى ر ش ػ ػخرض ػ أ كخخ ه٤ش أهؿ حزوخ١ ك
٠ هللاــض حز٢ ـــــحزوخ١: خ أى١ خ ح، كب ه٤ش خط حظيى، هخ ٢ـــــــحلخ ك
يخ. هض: كخى ك٢ ط٤ظخ كو٢ــــػ٤ رزي ٣
Kaipokea HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa THABIT (AL-
BUNANI), basi akamwita (maiti huyo) kuwa ni Ruqayya (katika Hadithi
ambayo) kaipokea Al-Bukhari katika kitabu Al-Taarikh Al-Awsat na Al-
Hakim katika Al-Mustadrak. Kasema Al-Bukhari: „ata sijui hiki ni nini,
kwani Ruqayya kafa na Mtume (s.a.w.): yuko Badr wala hakumuhudhuria
(hakuwepo). Ninasema:1010
„hili si jengine isipokuwa ni kosa la HAMMAD
(BIN SALAMA) katika kumtaja jina lake tu.1011
Anaendelea Ibn Hajar:
هغ ك٢ حل٢ طزح٢ كي٣غ كخى ر ش ػ ػخرض ػ أ أخ ه٤ش، ل ٣ق
Na imepokewa katika kitabu Al-Awsat cha Al-Tabarani katika Hadithi ya
HAMMAD BIN SALAMA kutoka kwa THABIT (AL-BUNANI) kutoka
kwa Anas kwamba yeye ni Ruqayya, na hilo si sahihi.1012
1009
- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 4, uk. 51, Hadithi na. 6852. Ahmad Al-Musnad Hadithi na.
13431, na. 13889. Al-Bukhari Al-Taarikh Al-Saghir uk. 12.
1010 - Msemaji ni Ibn Hajar.
1011 - Ibn Hajar Al-Fat-hu j. 4, uk. 505.
1012 - Ibn Hajar Hadyu Al-Sari uk. 409.
346
Anaendelea Ibn Hajar:
.. هخ أر ػ ح هطؤ كخى اخ خ ي ك٢ أ ؼ
Kasema Abu „Amri: „hili ni kosa la HAMMAD (BIN SALAMA), bali
hayo yalikuwa katika (maziko ya) Ummu Kulthum.1013
Kwa hivyo, baada ya nukulu hizi mbili tatu, itakubainikia kwa uwazi – ewe
ndugu msomaji – ubatili wa madai kwamba riwaya za Hammad bin Salama
kutoka kwa Thabit Al-Bunani ni riwaya sahihi! Hilo ni jambo lisilo na
ukweli. Ukweli ni kuwa riwaya za Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit
Al-Bunani ziko sahihi, dhaifu na maudhui (za kutunga). Na kwa hivyo, ni
lazima vipimo vyengine vitumike kama vile:
1) Kutazama masimulizi ya wapokezi waliowengi zaidi.
2) Kutazama masimulizi ya mpokezi au wapokezi walio imara zaidi.
Na umejionea mwenyewe kwamba wasimulizi walio wengi wamesema
kinyume na alivyosema Hammad bin Salama; na kati ya hao kuna mpokezi
aliye imara zaidi naye ni Hammad bin Zaid.
HAMMAD KENDA KINYUME NA WAPOKEZI
WENGI ZAIDI NA WALIOTHIQA ZAIDI
Tumekuwa tukidokoadokoa huko nyuma kwamba Hammad Salama katika
riwaya hii kenda kinyume na wapokezi walio wengi zaidi akiwemo mpokezi
ambaye ni madhubuti zaidi. Sasa wacha tulizungumzie suala hili kwa
ufafanuzi.
Hammad bin Salama kaisimulia riwaya hii “kutoka kwa Thabit Al-Bunani
kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila kutoka kwa Suhaib kutoka kwa
Mtume (s.a.w.) akisema kwamba maana ya ziada katika Aya isemayo:
“Wale waliofanya mema watapata wema wao na ziada” ni kumuona
Allah. Wakati Hammad aripoti hivyo, wanavyuoni wawataja wapokezi
wengine wane wakisema kwamba hayo si maneno ya Mtume (s.a.w.), bali
ni maneno ya “Abdul-Rahman bin Abi Laila” ambayo Hammad kwa sababu
ya awham wake kayanasibisha kwa Mtume (s.a.w.)”. Anasema Al-Tirmidhi:
ـك ش خى ر ك ي ػ حك ٤ ح ؿ ح ش خى ر ــــي ٣غ ك ر خ ٤ ح خ ػ ك
٣غ ي ل ح ح س ٤ ـ ػ ح ك ٤ ٣ أ ر ٢ ٤ ٠ ه ر ك ز ي ح ػ ػ خر ض ػ ٤ ذ ـػ
ـــز ٢ حـ ػ ٤ ٠ هللا ػ
1013
- Ibn Hajar Al-Isaba j. 8, uk. 83.
347 Hadithi yaHammad bin Salama iko namna hivi: imepokewa na mpokezi
zaidi ya mmoja kutoka kwa Hammad bin Salama hali ya kuwa kaihusisha
na Mtume (s.a.w.); wakati Sulaiman bin Al-Mughira na Hammad bin Zaid
wameipokea Hadithi hii kutoka kwa Thabit Al-Bunani kutoka kwa „Abdil-
Rahman bin Abi Laila hali ya kuwa ni maneno yake (ni maneno ya „Abdil-
Rahman bin Abi Laila: Si Mtume s.a.w.), wala hakutaja ndani yake
kwamba inatoka kwa Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.).1014
Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:
ػخرض ـح حلي٣غ ح ح حظ حخث٠ ر خؿ ؿ٤ ح٣ش كخى ر ش ػ
٠ هللا ػ٤ هخ أر ػ٠٤ حظ أر ؼى٠٤ ػ ٤ذ ػ حز٠ ػ ر أرــ٠
ش ح ٤خ رــ ـــخى رــــ٣ ح كػخ ػ ػخرض ؿ٤ ك حيو٠ ؿ٤خ ـــ
ك٤ حز٠ــــ ٤ـــػخرض ػ ر أر٠ ٠٤ ه حـ٤س كخى ر ٣ي كخى ر حهي ػ
٤ذ ٠ هللا ػ٤ ل
Hadithi hii namna hivi kaipokea Al-Tirmidhi, Al-Nasai, Ibn Maja na
wengine katika masimulizi ya Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit
(Al-Bunani) kutoka kwa Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.). Kasema Abu
„Issa Al-Tirmidhi na Abu Mas‟uud Al-Dimashqi na wengineo: „Hakuna
aliyeisimulia namna hivi hali ya kuwa ni yenye kunasibishwa kwa Mtume
(s.a.w.) kutoka kwa Thabit (Al-Bunani) isipokuwa Hammad bin Salama.
Na imesimuliwa na: Sulaiman bin Al-Mughira, Hammad bin Zaid1015
na
Hammad bin Waaqid kutoka kwa Thabit kutoka kwa („Abdil-Rahman) Ibn
Abi Laila, ni maneno yake (ni maneno ya „Abdil-Rahman bin Abi Laila: si
maneno ya Mtume (s.a.w.), wala hakutaja ndani yake kwamba inatoka kwa
Suhaib kutoka kwa Mtume (s.a.w.).1016
Anasema Al-Qannubi katika Al-Tufaan na Ibn Hajar katika Fat-hu Al-Bari
kwamba miongoni mwa waliosema hivyo kwamba Hadithi hio ni maneno
ya „Abdil-Rahman bin Abi Laila: si ya Mtume s.a.w.), ni Ma‟amar bin
Rashid.1017
Kwa hivyo, hawa ni jumla ya wapokezi wane, watatu kati yao ni
wenye kuaminika ambao wameipokea riwaya hio kutoka kwa Thabit Al-
Bunani kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila hali ya kuwa hayo ni
maneno yake yaani ni tafsiri yake yeye: si tafsiri ya Mtume (s.a.w.). Tazama
hali ya wapokezi hao:
1014 - Al-Tirmidhi Al-Sunan maelezo baada ya Hadithi na. 3105.
1015 - Tazama pia Ibn Jarir katika Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 123.
1016 - Al-Nawawi Sharhu Sahihi Muslim j. 2, uk. 297. Riwaya za: Sulaiman bin Al-Mughira,
Hammad bin Zaid na Ma‟amar, kazisimulia Ibn Jarir Al-Tabari katika Jaami‟u Al-Bayan j.
11, uk. 123-124. 1017
- Al-Qannubi Al-Tufan j. 3, sehemu 1, uk. 314, Ibn Hajar Fathu Al-Bari j. 9, uk. 5319,
maelezo juu ya Aya ya 26, ya Sura ya 10. Kwa mujibu wa Ibn Hajar, riwaya ya Ma‟amar
imesimuliwa na „Abdul-Razzaq, lakini bila kusahau kwamba riwaya hio pia imesimuliwa
na Ibn Jarir katika Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 123.
348
Sulaiman bin Al-Mughira
Anasema Shu‟uba: “Sulaiman bin Mughira ni bwana wa watu wa Basra”.
Anasema Abu Daud Al-Tayaalisi: “katuhadithia Sulaiman bin Mughira na
alikuwa ni mtu bora”. Anasema „Abdullah bin Daud Al-Khuraibi: “katika
mji wa Basra sikupata kuona mtu bora kuliko Sulaiman bin Al-Mughira na
Marhuum bin „Abdil-‟Aziz”. Anasema Abu Talib kutoka kwa (Al-Imamu)
Ahmad (bin Hanbal): “ni imara; ni imara”. Anasema Yahya bin Ma‟iin: “ni
mwenye kuaminika; ni mwenye kuaminika”. Anasema Ibn Sa‟ad: “ni
mwenye kuaminika, imara”. Kasema Al-Nasai: “ni mwenye kuaminika”.
Anasema Sulaiman bin Harb: “…ni mwenye kuaminika, ni muaminifu”.
Anasema „Abdullah bin Maslama bin Qa‟anab: “sijapata kuona mtu wa
Basra aliye bora kuliko yeye”.1018
Huyo ni mpokezi mmoja katika jumla ya wapokezi wane waliokwenda
kinyume na Hammad bin Salama, nawe umejionea mwenyewe jinsi
alivyohimidiwa na wanavyuoni wa wapokezi.
Hammad bin Waaqid
Huyu ni dhaifu.1019
Lakini hakuna ubaya kwa hapa kwa vile riwaya yake
imewafikiana na riwaya ya wapokezi watatu wenye kuaminika. Hususan
ukichukua kauli ya Abu Zur‟a aliposema: “Hadithi zake ni layyin”, na kauli
ya Abu Hatim aliposema: “Hadithi zake ni layyin, Hadithi zake zinaandikwa
na kufuatiliwa”.1020
Na Hadithi hii – kama ulivyoona – ina ushahidi
madhubuti kutoka kwa wapokezi wengine. Ama kauli ya Ibn „Adey
aliposema: “yote alioyasimulia yeye, hafatiliwi na wapokezi wenye
kuaminika”. Hii ni lugha mashuhuri kwa Ibn „Adey, na inawezekana
ikawa Ibn „Adey kakusudia “aghlabu ya alioyasimulia yeye, hafatiliwi na
wapokezi wenye kuaminika”. Vyenginevyo, riwaya hii inamrudi Ibn „Adey,
bali Al-Dhahabi kataja riwaya yake katika kitabu Al-Mizan kisha akasema:
“kafuatiliwa na wengine, akaisimulia mpokezi zaidi ya mmoja kutoka kwa
„Abdillah bin Bakr Al-Sahami…”.1021
Mukhtasar wa hayo ni kuwa:
1) Hammad bin Waaqid ni dhaifu.
1018
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 193, tarjama na. 383. 1019
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 193, tarjama na. 383. 1020
- Yaani zikipata ushahidi mwengine zinakubalika. 1021
- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 2, uk. 124, tarjama na. 2277.
349
2) Lakini katika riwaya hii hakupwekeka.
Ma‟amar bin Rashid
Huyu ni mpokezi wa tatu ambaye kaisimulia riwaya hio katika jumla ya
wapokezi wane waliokwenda kinyume na Hammad bin Salama. Huyu kwa
mukhtasar ni Imam thiqa, thabat (mwenye kuaminika aliye imara), lakini
Hadithi zake zina kasoro mbili:
1) Hadithi alizozisimulia kutoka kwa watu wa Iraki hakuwa imara.
Isipokuwa ziwe ni riwaya za Al-Zuhri na Ibn Tawus.
2) Riwaya zake kutoka kwa Thabit kuna awham (kuna makosa
mengi).1022
Tunasema: lakini kasoro hizi zote ni pale atapopwekeka na riwaya: si pale
ambapo kaipokea riwaya hio yeye na wenzake hususun ukizingatia kuwa
yeye mwenyewe kwa ujumla ni mpokezi imara sana na kakubaliana na
wapokezi wawili walio imara sana. Kwa hali hii, riwaya yake hapa ni sahihi.
Hammad bin Zaid
Huyu ni mpokezi wa nne. Anasema „Abdul-Rahman bin Mahdi: “Maimamu
wa watu katika zama zao ni wane: Sufyaan Al-Thauri katika mji wa Al-
Kufa, Malik katika miji ya Hijaz, Al-Awza‟i katika miji ya Sham na
Hammad bin Zaid katika mji wa Basra”……. “sikupata kuona kamwe mtu
aliye mjuzi zaidi wa Sunna wala Hadithi ambayo inaingia katika Sunna
kuliko Hammad bin Zaid”…… “sikuona katika mji wa Basra mwanachuoni
wa fiq-hi kuliko Hammad bin Zaid”. Anasema Muhammad bin Minhal:
“nilimsikia Yazid bin Zuray‟i kaulizwa: „Unasemaje kuhusu Hammad bin
Zaid na Hammad bin Salama yupi aliye imara zaidi? Akasema: (aliye imara
zaidi ni) Hammad bin Zaid”. Akaulizwa Waki‟u: “ni yupi aliyehifadhi zaidi
(Baina ya Hammad bin Zaid na Hammad bin Salama)?‟ Akasema:
“Hammad bin Zaid”. Anasema Yahya bin Yahya: “sikupata kumuona mtu
aliyehifadhi kama yeye (Hammad bin Zaid)”. Anasema Al-Imamu Ahmad
bin Hanbal: “Hammad bin Zaid ni bora zaidi kwetu kuliko „Abdul-Waarith,
Hammad ni katika Maimamu wa Waislamu na ni katika watu wa dini na
watu wa Uislamu, naye (HAMMAD BIN ZAID) ni bora zaidi kwetu kuliko
HAMMAD BIN SALAMA”. Anasema Abu Zur‟a: “HAMMAD BIN ZAID
ni imara zaidi tena kwa wingi, na ni fundi zaidi na mwenye Hadithi sahihi
1022
- Ibn Hajar Taqribu Al-Tahdhib uk. 541, tarjama na. 6809. Na Tahdhibu Al-Tahdhib j.
4, uk. 193, tarjama na. 383.
350
zaidi kuliko HAMMAD BIN SALAMA”. Anasema Al-Khalili:1023
“ni
mwenye kuaminika, aliyekubaliwa (na wote) Maimamu wamemridhia”.1024
Kwa hivyo, hawa ni wapokezi wane, watatu kati ya hao ni Maimamu
wakubwa imara sana, na mmoja kati yao kasemwa kuwa ni imara zaidi na
mwenye Hadithi sahihi zaidi kuliko Hammad bin Salama. Na wasimulizi
wane hawa, wote wameafikiana kuwa Hadithi hio si maneno ya Mtume
(s.a.w.), bali ni maneno ya Ibn Abi Laila ambayo – kimakosa – Hammad bin
Salama kayanasibisha kwa Mtume (s.a.w.). Ama madai ya bwana Mafuta
aliposema:
MAJIBU YETU
Njia ya kwanza:
Kama tulivyotangulia kukutajia kauli za maulamaa wa hadithi kuhusu
riwaya za Hamad bin Salama kutoka kwa Thabit al-Bunaani (hapa ndugu
Juma amekosea kwa kumuita Al-banaan, na sahihi ni Al –bunaani)
kwamba yeye Hamad bin Salama ni mtu madhubuti zaidi kwa mapokezi
kutoka kwa Thabit na iwapo atatokea mtu yoyote kupingana na mapokezi
ya Hamad bin Salama kutoka kwa Thabit basi kauli ya kuchukuliwa ni
kauli ya Hamad. Na hapa tunaona kwamba Hamad bin Zaid na Sulaimaan
Ibnul-Mughira wawili hawa wametofautiana na Hamad bin Salama katika
riwaya hii kutoka kwa Thabit al-Bunaani. Amesema Imamu Yahya bin
Mai‟n:
.كخى ه كخو ػخرض ك٠ ش ر كخى هخق :ؼ٤ حر هخ
“Yoyote atakayetofautiana na Hamad bin Salama katika (mapokeziyake
kutoka) kwa Thabit, basi kauli (ya kuchukuliwa) ni kauli yaHamad”.1025
JAWABU
Ibn Ma‟iin kasema hivyo, na kwa nyongeza pia ni kuwa Ibn Al-Madini naye
kasema: “Katika wanafunzi wa Thabit hakuna aliye imara zaidi kuliko
Hammad bin Salama, kisha Sulaiman bin Al-Mughira kisha Hammad bin
Zaid”.1026
Lakini hilo tumeshalielezea kwamba:
1) Makusudio ya wanavyuoni hao ni pale iwapo mpokezi mmoja tu
kenda kinyume na Hammad bin Salama katika riwaya zao
walizozisimulia kutoka kwa Thabit Al-Bunani. Ama ikiwa kapingwa
1023
- Si Mufti wa Oman. 1024
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3, uk. 9-11. 1025
- Tazama Mizanul I‟tidali 1/591. 1026
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 193, tarjama na. 383.
351
na walio wengi, na wengi hao wakawa ni wenye kuaminika kama
ilivyo hapa bali hawa ni wenye kuaminika zaidi na ni wane si
wawili, hapa Hadithi ya Hammad inakuwa Shaadh (dhaifu).
Wanavyuoni hao hawakusudii kuwa wapokezi wengi wenye
kuaminika wakenda kinyume na Hammad bin Salama, bali
wanakusudia kusema kwamba mpokezi mmoja akenda kinyume na
Hammad bin Salama katika riwaya zao kutoka kwa Thabit. Na hivi,
ewe Sheikh Kasim bin Mafuta, ndivyo alivyosema mwalimu wenu
wenyewe, Muqbil Hadi kuhusu Hadithi hii hii ya Hammad bin
Salama unayoitetea wewe ili upate kumuona Allah! Anasema
Muqbil:
ض حخـــي كخ١ ٣ظ ٢ طؿ٤ق ح٣ش حـخػش ا خ كخى ر ش أػزـــؼر
حوطؤ ا٠ حكي أهد ”طو٣ذ حظ٣ذ“ك٢ ػخرض، كب طـ٤ كلظ رآه خ ك٢
ا٠ ؿخػش..
Baada ya hayo, kinachonibainikia mimi ni kuipa uzito riwaya ya
walio wengi pamoja na kuwa Hammad bin Salama ni mtu imara
zaidi wao katika riwaya za Thabit (Al-Bunani), kwani yeye hifdhi
yake hatimae ilibadilika kama ilivyoelezwa katika kitabu Taqribu
Al-Tahdhib, na kukosea kwa mtu mmoja ni jambo lililo karibu
zaidi kuliko walio wengi.1027
Hayo ni maneno ya mwalimu wa Kasim Mafuta na Seif Al-Ghafri na
ambaye alikuwa akizingatiwa kuwa ni mtu wa pili kwa elimu ya Hadithi
baada ya Ayatollah Al-Albani! Je Bwana Mafuta na mwalimu wenu naye
pia hajui kanuni za Hadithi?! Utakumbuka pia kwamba maneno kama hayo
kayasema Al-Albani katika Hadithi kadha wa kadha za Hammad bin Salama
na za wapokezi wengine wengi wenye kuaminika ambao wamekwenda
kinyume na wapokezi wengi zaidi.
2) Pili ni kuwa kama tulivyoona kwamba Hammad bin Salama
kasimulia riwaya nyingi dhaifu bali maudhui (za kutunga) kutoka
kwa Thabit Al-Bunani. Kwa hivyo, madai hayo yote ni madai hewa.
Anaendelea Kasim “mwanangwa” wa Mafuta kutoa jawabu yake:
Njia ya pili:
Hamad bin Zaid ni mashuhuri kwa tabia ya kuzifanya Mawquuf hadithi
ambazo ni Mar fu‟u au kwa lugha nyingine ana tabia ya kuzinasibisha na
1027 - Muqbil Al-Wadi‟i Ta‟aliqihi „Alaa Al-Tatabu‟i (Li Al-Daraqutni) uk. 212. Nukulu
kutoka katika kitabu Al-Tufan cha Al-Imamu Al-Qannubi j. 3, sehemu ya 1, uk. 313.
352 Maswahaba kauli ambazo ni za Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam-
huwenda hapa pia amelifanya jambo hilo. Amesema Imamu Ya‟aqub bin
Shaibah: “Hamad bin Zaid ni madhubuti zaidi kuliko Hamad bin Salama
na wote hao ni watu Thiqa isipokuwa Hamad bin Zaid ni maarufu kwa
kuzifupisha isnadi na kuzifanya kuwa Mawquufu hadithi ambazo ni
Marfu‟u”...1028
JAWABU
Sikudhania kuwa mtu huyu anaweza kutoa hoja kama hii! Lakini bila ya
kurefusha maudhui ni kufahamu kuwa:
1) Lau Hammad bin Zaid alikuwa ni maarufu kwa tabia hio, basi
asingelikuwa thiqa, bali ingelisemwa thiqa lahu awhaam (ni
mwenye kuaminika, ana makosa mengi). Na kwa hivyo, utaona
kwamba Hammad bin Salama yeye kasemwa kuwa ni thiqa lahu
awhaam (ni mwenye kuaminika, ana makosa mengi) kwa sababu
kama hizo za kuzifanya Hadithi mawquuf kuwa ni mar‟fuu.
Inawezekana kuwa hilo linamtokea Hammad bin Zaid katika baadhi
ya Hadithi, au inawezekana ikawa Ya‟aqub bin Shaiba alikosea:
alikusudia kusema Hammad bin Salama ndiye mwenye kosa hilo, na
badala yake akasema Hammad bin Zaid.
2) Hammad bin Zaid ni madhubuti zaidi, kuliko Hammad bin Salama,
kwa ushahidi wa kauli za walio wengi zaidi ambao tumewanukuu
humu.
3) Hilo hata kama ni sahihi, kwa hapa hoja hio haiwezekani kwani
aliyesema kuwa Hadithi hio ni maneno ya Ibn Abi Laila: si Hammad
bin Zaid peke yake, bali hio ni riwaya ya watu wane, na katika hali
hii huwezi kudai kuwa Hammad bin Zaid kakosea na Hammad bin
Salama ndiye aliye sahihi; bali kinyume chake ndivyo inavyosemwa
katika hali kama hii.
Anaendelea Kasim bin Mafuta kutoa jawabu yake kwa kusema: Njia ya tatu:
Zimepokewa hadithi nyingine nyingi kutoka kwa Mtume -swalla llaahu
alayhi wasallam- na kauli nyingi kutoka kwa Maswahaba zinazoitilia
nguvu hadithi hii ambayo katika sanadi yake yumo Hamad bin Salama
ambaye ni mtu madhubuti zaidi katika riwaya za Thabit al-Bunaani kuliko
wapokezi wote wanaopokea kutoka kwa Thaabit.
1028
- Tazama Tah‟dhibul-Tah‟dhibi juzuu 2 ukurasa 10.
353
JAWABU
Ni kweli zimesimuliwa Hadithi nyengine zikinasibishwa kwa Mtume
(s.a.w.) kuhusu tafsiri ya Aya hio na ni kweli kwamba riwaya hizo zatongoa
sawa na riwaya hii, lakini kuna mambo mengine ya kuzingatiwa:
1) Hadithi hizo sanad zake ziko taabani zaidi kuliko hii ya Hammad bin
Salama: hii ndio afadhali yao nayo pia iko taabani!
2) Njia nyengine muhimu ya kuifasiri Qur-ani, nayo ndio muhimu yao:
yaani njia ya fani za lugha, haikubaliani na tafsiri hio.
3) Kama vile ambavyo kuna riwaya nyingi hizo kutoka kwa Mtume
(s.a.w.); pia kuna riwaya nyengine nyingi pia kutoka kwa Mtume
(s.a.w.) na Masahaba zenye kupingana na riwaya hio ya Hammad
bin Salama.
TAKHRIJ YA HADITHI HIZO
Sasa baada ya hayo, ndugu msomaji, zitazame hizo Hadithi nyengine
ambazo Kasim Mafuta anadai kwamba “zimepokewa na kuipa nguvu
Hadithi hio” na kuzililia kwamba “Juma kanzidhoofisha bure”. Riwaya hizo
kazijadili Imamu Al-Sunna Wa Al-Usuul, Al-Qannubi – wa in raghimat
unuufu Al-Hashwiyya – katika Al-Saif Al-Had, Al-Sayyid Hasan bin „Ali Al-
Saqqaaf katika Mas-alatu Al-Ru-uya na Al-Akh Al-Baahith „Ali Al-Hijri
katika Al-Mizaanu Al-Qist, na – kama ulivyoona – pia tumezijadili katika
kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu. Hadithi hizo ni kama inavyofuata:
Riwaya ya kwanza: riwaya Ka‟ab bin „Ujra. Riwaya hii kaipokea Al-
Tabarani katika Musnad Al-Shimiyyin,1029
na Al-Lalakaai katika Sharhu
I‟itiqadi Ahlil Al-Sunna,1030
na Al-Tabari katika Jaami‟u Al-Bayaan,1031
na
Abu Nu‟aim katika Al-Hilya1032
na akasema: “Hadithi ngeni katika Hadithi
za Ataa na Ibn Juraij, kwapekeka nayo Ibrahim bin Al-Mukhtar”.
Sanad ya Hadithi hio ni: “katusimulia Ibn Humaid katusimulia Ibn Rahim
bin Al-Mukhtar kutoka kwa Ibn Juraij kutoka kwa „Ataa kutoka kwa Ka‟ab
bin „ujra”. Nayo ni sanad iliojaa wapokezi waongo na madhaifu.
1029
- Al-Tabarani Musnad Al-Shimiyyin j. 3, uk. 302. 1030
- Al-Laalakaai Sharhu I‟itiqadi Ahlil Al-Sunna WA Al-Jamaa‟a j. 3, uk. 456-457,
riwaya na. 781. 1031
- Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125. 1032
- Abu Nu‟aim Hilyatu Al-Awliyaa j. 5, uk. 232, Hadithi na. 6939.
354
Ibn Humaid naye ni Muhammad bin Humaid bin Hayyaan Al-Razi. Katika
Tahdhib Al-Tahdhib cha Ibn Hajar kuna maelezo yafuatayo:
Anasema Is-haq bin Mansur Al-Kausaj akisimulia kauli ya Ali bin Mihran
juu ya Muhammad bin Humaid akisema kwamba: “sijapata kuona mtu
(anayejifanya) jasiri juu ya Mwenyezi Mungu (hamuogopi Mwenyezi
Mungu) kuliko yeye: alikuwa akizichukuwa Hadithi za watu kisha
akizigeuza”. Na akasema tena kuwa “sijapata kuona mtu bingwa wa
uwongo kuliko watu wawili: Sulaiman Al-Shadhakuni na Muhammad bin
Humaid”. Na anasema Al-Nasai kuwa “si chochote si lolote” (yaani hana
maana), akaulizwa “hata kidogo” akasema “hata kidogo”. Na akasema
sehemu nyengine kuwa “Muhammad bin Humaid ni Mwongo mkubwa”. Na
anasema Al-Bukhari kuwa “Hadithi zake ni za kufikiriwa”.1033
Na akasema
Abu Ali Al-Naysaaburi “nilimwambia Ibn Khuzaima lau ustaadh
angesimulia Hadithi kutoka kwa Muhammad bin Humaid hakika ya Al-
Imamu Ahmad amemsifu”. Akasema: “hakika yake hakumjua: kama
angemjua kama tulivyomjua sisi basi asingelimsifu”. Na akasema Abu
Nu‟aim bin Adey: “nimemsikia Abu Hatim Al-Razi nyumbani kwake na
mbele yake alikuwepo Ibn Khirash na kikundi cha mashekhe---- wakamtaja
Ibn Humaid wakakubaliana kuwa yeye ni dhaifu sana katika Hadithi na
kwamba anasimulia Hadithi wala hajaisikia (kwa mtu). Na akasema Abu
Qasim: “nimemuuliza Abu Zur‟a kuhusu Muhammad bin Humaid
akaniashiria kwa kidole chake mdomoni mwake. Nikamuuliza „Mwongo?
Akatikisa kichwa chake: “ndio” (Mwongo). Nikamwambia alikwishakua
mzee labda alikuwa anafanyishiwa na kughushiwa, akasema: “alikuwa
anakusudia (kuzua uwongo)”.1034
Pia yumo katika sanad hio:
Ibrahim bin Mukhtar
Anasema Al-Bukhari ك٤ ظ (ni mtu wa kufikiriwa). Al-Bukhari – kama
tulivyosema – huitumia lugha hii kwa mtu ambaye riwaya zake hazifai
kabisa kama ilivyo katika Al-Mizan cha Al-Dhahabi1035
na wengine.1036
1033
- Hii ni ibara laini anayoitumia Al-Imamu Al-Bukhari, akimaanisha mpokezi dhaifu
sana. 1034
- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 111. 1035
- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 3, uk. 130, tarjama na. 4294, tarjama ya „Abdullahi bin
Dawud Al-Wasiti. 1036
- Tazama Ibn Kathir Al-Baa‟ithu Al-Hathith j. 1, 320, kwa sherehe ya Ahmad Shakir na
maelezo ya Al-Albani. Ali bin Naif Al-Khulasa Fii „Ilmi Al-Jarhi Wa Al-Ta‟adil j. 1, uk.
52. Abu Al-Hasanat Al-Hindi Al-Raf‟u Wa Al-Takmil uk. 388.
355
Anasema Zunaij: “nimemuacha (sipokei Hadithi zake)”. Anasema Ibn
Hibbaan: “Hadithi zake alizozipokea kutoka kwa Ibn Humaid zinaepukwa”.
Na hii kama ulivyoona – ndugu msomaji – pia ni riwaya yake kutoka kwa
Ibn Humaid.
Pia yumo katika sanad hio:
Ibn Juraij
Naye ana tabia mbaya ya kughushi vibaya sana. Anasema Al-Daraqutni:
“Jiepushe na ghushi za Ibn Juraij; alikuwa haghushi ila kitu alichokisikia
kutoka kwa (mpokezi) aliyejeruhiwa (dhaifu)”. 1037
Pia yumo katika sanad hio:
„Ataa Al-Kurasaani
Naye kadhoofishwa na wengi kwa sababu ya hifdhi yake. Ama Sa‟iid bin
Musayyib yeye kasema: “kanizulia uwongo”. Anasema Ibn Hibbaan:
“alikuwa nahifdhi mbaya na anakosea wala hajui, basi imekuwa ni batili
kutoa hoja kwa riwaya zake”.1038 Na mukhtasari wake katika Al-Taqrib ni:
“mkweli, anakosea sana, na anasimulia Hadithi mursal, na anaghushi”.1039
Na zaidi ya hayo ni kuwa riwaya hii ni munqati‟a,1040
ambapo „Ataa Al-
Khurasani huyu kaisimulia kutoka kwa Sahaba Ka‟ab bin „Ujra wala
hakupatapo „Ataa kusikia riwaya kutoka kwa Sahaba yoyote isipokuwa
Anas (r.a.). Anasema Al-Tabarani: “hakusikiapo riwaya kutoka kwa Sahaba
yoyote yule isipokuwa Anas”. 1041
Hio ni Hadithi moja ambayo bwana Mafuta anaililia: kwanini tumeiwacha!
Hadithi ya pili iliokuja kuleta tafsiri hio ya neno ziada kuwa maana yake ni
kumuona Mwenyezi Mungu, imepokewa kwa njia ya Abu Musa Al-Ash‟ari.
Kaipokea Ibn Jarir Al-Tabari katika Jaami‟u Al-Bayaan1042
lakini katika
sanad yake kuna Abaan bin „Ayyaash, naye ni dhaifu sana.1043
Anasema Ibn
1037 - Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 6, uk. 357, tarjama na. 758.
1038 - Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 7, uk. 190-192, tarjama na. 395.
1039 - Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 392, tarjama na. 4600.
1040 - Sanad yake imekatika.
1041 - Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 9, uk. 7, uk. 190-192, tarjama na. 395.
1042 - Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 123.
1043 - Anasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “Hadithi zake zinaachwa: watu
wameziwacha Hadithi zake”. Kasema Al-Fallas: “Hadithi zake zinawachwa; na walikuwa
Yahya na „Abdul-Rahman hawapokei Hadithi kutoka kwake”. Na akasema Al-Bukhari:
356
Hajar katika Al-Taqrib: “ni mwenye kuachwa”.1044
Kwa hivyo, Hadithi hii
ni dhaifu sana.
Hadithi nyengine iliokuja kuleta tafsiri hio ya neno ziada kuwa maana yake
ni kumuona Mwenyezi Mungu, imepokewa kwa njia ya Ubey bin Ka‟ab.1045
Lakini riwaya hio ina kasoro tatu:
1) Imekuja kwa njia ya Zuhair bin Muhammad naye ni dhaifu.1046
2) Na katika sanad yake yumo „Amru bin Abi Salama Al-Tinnisi,1047
naye ni dhaifu katika riwaya zake kutoka kwa Zuhair bin
Muhammad.1048
3) Katika sanad yake kuna mpokezi hajulikani: sanad inasema:
“nimemsikia Zuhair kutoka kwa aliyemsikia Abu Al-‟Aliya”.
Anasema Imamu Al-Sunna, Al-Qannubi:
Ndio! („Amru bin Abi Salama) kafuatiliwa (katika kuisimulia
riwaya hii) na Al-Walid bin Muslim lakini yeye anaghushi ghushi
ya kusawazisha sanad (tadlisu al-tas-wiya)1049
tena (isitoshe) ndani
yake kuna mpokezi hajulikani kasimulia kutoka kwa Abu Al-
“Shuuba alikuwa akimtazama vibaya”, (yaani hakumkubali). Na akasema Al-Imamu
Ahmad: “Hadithi zake zinawachwa; watu wamemuacha tangu dahari”. Na akasema tena:
“hapaandikwi (chochote) kutoka kwake (yaani watu hawaziandiki Hadithi zake:
hawazitaki)”. Na akasema tena “Hadithi zake ni Munkar”. Tumeeleza huko nyuma nini
Hadithi Munkar na kwa ufupi ni katika jumla ya Hadithi dhaifu sana. Na akasema Ibn
Ma‟iin kuwa: “Hadithi zake hazina maana”. Na akasema tena kuwa ni “dhaifu. Na akasema
tena kuwa: “Hadithi zake zinawachwa”. Na akasema Al-Nasai kuwa: “si muaminifu”. Na
akasema Abu Awana: “sioni kuwa ni halali kupokea chochote kutoka kwake”. Na akasema
Ibn Al-Madini: “Dhaifu”. Na akasema Ibn Idris kutoka kwa Shu‟uba akisema: “bora mtu
azini kuliko kupokea Hadithi kutoka kwa Abaan”. Tazama Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib
j. 1 uk. 85. 1044
- Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 87, tarjama na. 142. 1045
- Kaisimulia Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 11, uk. 125, na Al-Llaalakaai Sharhu Usuli
Ahli Al-Sunna j. 2, uk. 268, Hadithi na. 607. 1046
- Anasema Yahya: “dhaifu”. Anasema Abu Hatim: “ni mkweli, lakini hifdhi yake ni
mbaya”. Wanasema „Uthman Al-Darimi na Salih bin Muhammad: “ni mwenye kuaminika,
mkweli, akaongeza „Utham kwa kusema: „ana makosa mengi”. Anasema Al-Nasai:
“dhaifu…si madhubuti”. Na ukiyakusanya yote yaliosemwa basi utapata mukhtasari kuwa
huyu alikuwa ni mpokezi mkweli lakini anahifdhimbaya. Na wengine wamezidhoofisha
riwaya zake alizozipokea kutoka kwa watu wa Sham. Kwa hali yoyote ile sanad hii itakuwa
dhaifu kwani na riwaya hii kaipokea kutoka kwa „Amru bin Salama Al-Tinnisi, naye ni mtu
wa Sham. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3, uk. 301, tarjama na. 645. 1047
- Wengine wanamwita: “Al-Tannisi”. 1048
- Anasema Ibn Ma‟iin: “dhaifu”. Anasema Abu Hatim: “anaandika Hadithi zake wala
hafanywi kuwa ni hoja”. Anasema Al-Saaji: “dhaifu”. Anasema Ahmad: “kasimulia kutoka
kwa Zuhair (bin Muhammad) Hadithi batili”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 39,
tarjama na. 70. 1049
- Yaani anawatoa wapokezi dhaifu katika sanad ili sanad ionekane kuwa ni sahihi.
357 „Aliya…… na imekuja kwa njia nyengine lakini ni mbovu kabisa
kwani katika sanad yake kuna Muhammad bin Zakariya Al-
Ghallabi Al-Dhabi naye ni mtunzi wa Hadithi kama alivyosema
Al-Daraqutni,1050
na ikaja kwa njia nyengine nayo ni dhaifu pia.1051
Baada ya hayo, utaona kwamba hakuna maana yoyote katika maneno ya
Kasim bin Mafuta aliposema:
Mpaka hapo ndugu msomaji utakua umebainikiwa na majibu yetu juu ya
sanadi ya hadithi hii dhidi ya upotoshaji uliofanywa na jamaa hawa, na –
wali llaahil hamdu – hoja zetu zimekubainikia dhidi ya hoja dhaifu za
bwana Juma na sheikh wake. ……….Kisha ndugu Juma akazidhoofisha
riwaya nyingine ambazo nyingi katika hizo wapokezi wake ni dhaifu, na
hakuishia hapo tu, bali hata hadithi nyingine ambazo ni sahihi
zilizopokelewa kwa njia nyingi lakini baadhi yake zina udhaifu pia
amezidhoofisha, kinyume na ulivyo utaratibu katika taaluma ya elimu hii
ya mambo ya hadithi. Ndugu Juma yeye hakuzichunga kanuni hizo wala
hakuzijali, na akazidhoofisha hadithi hizo bila ya kuheshimu kanuni za
taaluma hii……1052
Hayo ndio maelezo ya Sheikh Mafuta, nasi tunasema kwamba sanad ya
Hammad bin Salama ni dhaifu, na sanad nyengine ni mbovu zaidi wala
hakuna sanad inayofaa kutumika kama ni shahid, kwani ni dhaifu sana.
Zimebakia hizo Hadithi zenye udhaifu mdogo lakini zimepokewa kwa njia
nyingi, naomba unitajie ili tuzitazame.
TANBIHI
Kuna riwaya nyengine kama hio iliokuja kuleta tafsiri hio ya neno ziada
kuwa maana yake ni kumuona Mwenyezi Mungu, lakini hii ya pili imekuja
kulifasiri neno mazid lililomo katika surat qaaf. Riwaya hio tutaizungumzia
katika sehemu yake maalumu.
1050
- Tazama Al-Dhahabi Al-Mizan j. 4, uk. 470, tarjama na. 7537. Kisha Al-Dhahabi
akataja riwaya ya kutunga na akasema: “huu ni katika uwongo wa Al-Ghalabi”. 1051
- Al-Imamu Al-Qannubi Al-Saifu Al-Had uk. 164. Labda anaikusudia sanad ya Al-
Lalakai katika Sharhu I‟itiqadi Ahli Al-Sunna j. 2, uk. 356, riwaya na. 662. Katika riwaya
hii, kuna Abu Al-Hasan Nu‟aim bin „Abdil Malik. Huyu sikumuona aliposemwa kuwa ni
thiqa. Inaelekea kuwa ni majhulul hali (hali yake haijulikani). Labda hii ndio njia nyengine
anayoikusudia Sheikh Al-Qannubi. Wa Allahu A‟alam. 1052
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 88.
358
HOJA NYENGINE KUHUSU RIWAYA YA
HAMMAD BIN SALAMA
Tumeona kwamba Hammad bin Salama kenda kinyume na wapokezi
wengine walio wengi zaidi jambo ambalo linaifanya riwaya yake
isikubalike. Lakini watetezi wa Hadithi hio ya Hammad bin Salama
wanajenga hoja kwamba hicho alichokifanya Hammad bin Salama ni
kusimulia masimulizi yaliozidi kitu ndani yake; na masimulizi kama haya
yanakubalika ikiwa yamesimuliwa na mpokezi mwenye kukubalika.
Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:
ق ــــــكوي هيخ ك٢ حل أ حذ حل٤ح ح هخ ئلء ٤ روخىف ك٢ لش حلي٣غ
ذ ا٤ حلوخء ألخد حل حلوو حليػ٤ لل حوط٤ذ حوـــظخ حــــ
رؼ حؼوخص ظال رؼ٠ ال أ رؼ٠ كػخ رؼ٠ حزـــيحى أ حلـــي٣غ حح ح
ػوش ٠ وزش ػي حـخ٤ خ ٣خىسـع لـــــــــــ رخظ رخكــــــــــهكخ ك
..………………حطحثق
…..na hiki ambacho wamekisema hawa hakivunji usahihi wa Hadithi,
tumetanguliza maelezo huko nyuma kwamba kauli sahihi iliochaguliwa
ambayo wameisema wanavyuoni wa fiq-hi, watu wa usulil-fiq-hi na wenye
kufanya tahqiiq miongoni mwa wanavyuoni wa Hadithi na Al-Khatib Al-
Baghdadi akasema kuwa ndio kauli sahihi ni kuwa Hadithi ikiwa
itapokewa na baadhi ya wapokezi wenye kuaminika hali ya kuwa ni
mutasil1053
na wengine wakaipokea hali ya kuwa ni musrsal1054
au wengine
wakaipokea hali ya kuwa ni marfu‟u 1055
na wengine wakaipokea hali ya
kuwa ni mawquuf 1056
, basi itayokubaliwa ni Hadithi mutasil na marfu‟u,
kwani hizo ndani yake zina ziada na ziada iliosimuliwa na mpokezi
mwenye kuaminika basi inakubalika kwa mujibu wa waliowengi katika
kila makundi.
Hayo ni maneno ya Al-Imamu Al-Nawawi nayo ni kanuni ya ٣خىس حؼوش
(ziada ya mpokezi mwenye kuaminika) inayozunguzwa sana katika vitabu
vya elimu ya Hadithi na usulil-fiq-hi. Lakini madai haya ya Al-Imamu Al-
Nawawi yakajibiwa kwa jawabu mbili:
1) Kanuni hio ina khilafu baina ya wanavyuoni.
2) Hadithi ya Hammad bin Salama haiko katika mlango huo wa ٣خىس
bali ni katika mlango ,(ziada ya mpokezi mwenye kuaminika) حؼوش
wa Hadithi shaadh na ma‟aruf.
1053
- Yenye sanad ilioshikana: ambayo haikukatika pahala. 1054
- Ilionasibishwa na Mtume (s.a.w.) pasina kumtaja Sahaba aliyeipokea kutoka kwake. 1055
- Hadithi ilionasibishwa na Mtume (s.a.w.). 1056
- Hadithi ya Sahaba.
359
Jawabu ya kwanza ni jawabu ya Al-Imamu Al-Qannubi. Anasema:
Ama yale alioyataja Al-Nawawi kwamba inahukumiwa kwa kupewa
uzito riwaya mausula1057, kwani kuiwasilisha riwaya ni ziada na ziada ya
mpokezi mwenye kuaminika inakubalika na kwa hivyo inakubalika
Hadithi ya mwenye kuiwasilisha1058
, jawabu yake ni kuwa kanuni hii ina
tafauti. Wamesema asilimia kubwa ya wanavyuoni wa Hadithi – kama
alivyosimulia Al-Khatib na Ibn Qattan kutoka kwao – kwamba Hadithi
itayozingatiwa ni ya yule aliyeisimulia hali ya kuwa mawquuf au mursal 1059
; na ikasemwa kwamba hukumu ni ya walio wengi zaidi; na ikasemwa
hukumu ni ya waliohifadhi zaidi; na ikasemwa kama hivyo alivyosema Al-
Nawawi; na kuna kauli nyengine:
Anasema Al-Hakim, Abu „Abdil-Lah: „ya tatu katika (Hadithi) zenye
khilafu ni habari ambayo imepokewa na mpokezi mwenye kuaminika
kutoka kwa Imamu miongoni mwa Maimamu wa Kiislamu, aipokee hali
ya kuwa ni musnad1060
, kisha (Hadithi hio hio) ipokewe na kundi kubwa la
wapokezi wenye kuaminika hali ya kuwa ni mursal, na aina hii ziko
nyingi, basi hio wanavyuoni wa fiq-hi wanaizingatia kuwa ni Hadithi
sahihi. Na wao kwao husema kuwa: „ni mpokezi aliyezidisha katika sanad
na matn‟ akiwa mpokezi ni mwenye kuaminika. Ama wanavyuoni wa
Hadithi kauli yao wao ni kauli ya jumhur ambao wameisimulia Hadithi hio
hali ya kuwa ni musnad au mursal, kwa sababu inahofiwa kuwa yule
mmoja ndiye aliyekosea.
Anasema Ibn Daqiq Al-‟Iid katika utangulizi wa kitabu Sharhu Al-Ilmam
kama ilivyoelezwa katika kitabu Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salaah:1061
“anayesimulia kutoka kwa wanavyuoni wa Hadithi au kutoka kwa wengi
wao kwamba riwaya mursala ikigongana na riwaya musnada, au mrfu‟uu
na mawquuf, au iliopungua na iliozidi kwamba inayozingatiwa ni ile yenye
ziada, basi huyo hakusibu katika hilo, kwani hio si kanuni inayokwenda
mfululizo. Na mtu atapozirejea hukumu zao (wanavyuoni) basi atauona
ukweli tuliousema”.
Anasema Ibn „Abdil-Hadi – kama ilivyo katika Nasbu Al-Raya cha Al-
Zayla‟i: „bali ndani yake – yaani katika kuikubali ziada ya mpokezi
mwenye kuaminika – kuna tafauti mashuhuri; wako watu ambao
1057
- Al-Mausul ni kama Al-Muttasil tulioielezea hapo nyuma, na makusudio hapa ni ile
Hadithi iliosimuliwa kutoka kwa Mtume (s.a.w.). 1058
- Mwenye kuipokea kwa sanad iliofika kwa Mtume (s.a.w.) . 1059
- Tumeshazielezea maana yake. 1060
- Hadithi ambayo sanad yake imeshikana na imepokelewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.). 1061
- Uk. 237.
360 wanaikubali ziada moja kwa moja. Na wengine hawaikubali; na kilicho
sahihi ni kutafautisha. Nayo ni kuwa kuna baadhi ya sehemu inakubalika
pasina kukubalika katika sehemu nyengine. Inakubalika ikiwa mpokezi
aliyeipokea ni mwenye kuaminika, mwenye uwezo wa kuhifadhi, imara;
na yule ambaye hakuitaja ziada hio ni mfano wake au yuko chini yake kwa
kuaminika……Na inaweza ikakubalika sehemu nyengine kwa sababu ya
qarina maalumu zenye kuihusu. Ama wale waliotoa hukumu ya ujumla,
hao wamekosea, bali kila ziada ina hukumu yake maalumu………1062
Anasema Al-Hafidh Al-‟Alaai: „Ama Maimamu wa Hadithi, watangulizi
miongoni mwao kama Yahya bin Sa‟id Al-Qattaan, „Abdil-Rahman bin
Mahdi na walio baada yao kama „Ali bin Al-Madini, Ahmad bin Hanbali
na Yahya bin Ma‟iin na (wanavyuoni wengine) wa tabaka hili,
halkadhalika walio baada yao kama vile Al-Bukhari, Abu Hatim, Abu
Zur‟a, Muslim, Al-Nasai, Al-Tirmidhi na walio mfano wao kisha Al-
Daraqutni na Al-Khalili; wote hawa matendo yao kuhusu kuikubali na
kuikataa ziada ni kuipa uzito kila Hadithi moja kwa mujibu wa inavyopata
nguvu (ile Hadithi yenye ziada), wala – katika mas-ala haya – hawakuwa
wakitoa hukumu ya ujumla tu yenye kuziingiza Hadithi zote (zenye ziada).
Na hii ndio haki na ndio ukweli kama tutavyobainisha in shaa Allah.1063
Kisha akasema baada ya maelezo: „Ama ikiwawapokezi wa sanad mbili
wako sawa katika kuhifadhi na kwa idadi yao, au akawa yule aliyeisimulia
hali ya kuwa ni musnad au marfu‟u yuko chini (kwa hifdhi) ya yule
aliyeisimulia hali ya kuwa ni mursal au mauquf,…pamoja na kuwa wote ni
wenye kuaminika wenye kufanywa kuwa ni hoja, basi hapa kuna uwanja
wa mitazamo na tafauti za Maimamu wa Hadithi na wanavyuoni wa fiq-hi.
Njia wanayoipita watu wengi wa Hadithi bali aghlabu yao ni KUIFANYA
HIO KUWA NI KASORO YENYE KUZUIA KUIHUKUMU
HADITHI KUWA NI SAHIHI MOJA KWA MOJA. Basi wao hurejea
katika kuipa uzito riwaya moja dhidi ya nyengine. Basi pindipo njia moja
itapata nguvu kwa kitu chochote kile katika njia za kuipa uzito (riwaya)
basi wao huihukumu riwaya hio kuwa ndio sahihi. Vyenginevyo basi wao
wanaiwacha Hadithi hio kama ilivyo na wakaifanya hio kuwa ni kasoro ya
Hadithi hio. Na njia za kuipa uzito riwaya ziko nyingi hazihisabiki wala
hakuna kidhibiti maalumu kuhusiana na Hadithi zote. Bali kila Hadithi ina
njia yake maalumu ya kuipa uzito. Na kwa hakika anayeliweza hilo ni
fundi, mwerevu ambaye kazikithiri (kuzijua) njia za Hadithi. Na kwa
sababu hii utakuta kwamba wanavyuoni waliotangulia hawakuhukumu
hapa katika sehemu hii hukumu ya ujumla yenye kukusanya kanuni, bali
mtazamo wao hutafautika kwa mujibu wa kile kilichopo katika kila Hadithi
moja peke yake.
1062
- Nasbu Al-Raya j. 1, uk. 336-337. 1063
- Al-‟Alaai Nadhmu Al-Faraaid uk. 209.
361 Anasema: „Ama Maimamu wa fiq-hi na usuli, wao wamekufanya kule
Hadithi kuisimulia hali ya kuwa ni musanad au marfu‟u, ni sawa sawa na
kuzidisha katika matn. Lakini hilo linapelekea katika kuikubali Hadithi
shaadh.
Anasema Ibn Rajab Al-Hanbali katika Sharhu „Ilal Al-Tirmidhi: „na katika
kitabu hiki kumejikariri kutajwa kwa Hadithi mausul, mursal, mawquuf na
marfu‟u. Na maneno ya (Al-Imamu) Ahmad na wengineo katika
wanavyuoni wakubwa (Mahuffadh), yanazunguka katika kuizingatia
Hadithi ya aliye thiqa zaidi (mwenye kuaminika zaidi), katika hayo, pia
(wanaizingatia Hadithi ya) aliyehifadhi zaidi. Na kwa hakika (AL-
IMAMU) AHMAD (BIN HANBAL) ALISEMA KATIKA HADITHI
AMBAYO HAMMAD BIN SALAMA KAISIMULIA HALI
YAKUWA NI MUSNAD: „NI KITU GANI KITACHOMFAA
(HAMMAD BIN SALAMA KWA HADITHI YAKE HIO) ILHALI
WENGINE WANAISIMULIA HALI YA KUWA NI MURSAL?1064
Na ametaja Al-Hakim kwamba Maimamu wa Hadithi wanasema kuwa
yenye kufuatwa ni kauli ya walio wengi zaidi ambao wameipokea Hadithi
hio hali ya kuwa ni mursal. Lakini hiki ni kinyume na matendo yake (Al-
Hakim) katika kitabu chake Al-Mustadrak. Na Abu Bakr Al-Khatib
katunga kitabu kizuri kuhusu maudhui hayo kakiita Tamyizu Al-Maziid Fii
Mutasili Al-Asanid na akazigawa sehemu mbili:
1) Zile ambazo zinahukumiwa kuwa: kutajwa na kutokujwa kwa
ziada katika sanad ni sahihi.
2) Zile ambazo ziada iliotajwa ndani yake inahukumiwa kwa
kukataliwa na kutokuikubali.
……..vyenginevyo basi atayekizingatia kitabu Taarikh Al-Bukhari basi
inambainikia kwa yakini kwamba yeye (Al-Bukhari) alikuwa haoni
kwamba ziada katika sanad ilioletwa na kila mpokezi mwenye kuaminika
inakubalika. Vivyo hivyo, Al-Daraqutni: anataja katika baadhi ya sehemu
kwamba ziada ya mpokezi mwenye kuaminika inakubalika; kisha
anazirejesha (anazikataa) ziada nyingi za wapokezi wenye kuaminika
katika sehemu nyingi zaidi na badala yake anazipa uzito Hadithi mursal,
likaonesha hilo kwamba makusudio yao ni ziada mahususi katika sehemu
hizo, nayo ni pale ambapo mpokezi mwenye kuaminika ni aliyedhihiri
katika uwezo wa kuhifadhi. Na amesema Al-Daraqutni katika Hadithi
ambayo wapokezi wawili wenye kuaminika wamezidisha mpokezi mmoja
na (Sufyaan) Al-Thauri akawakhalifu: hakumtaja mpokezi huyo, kasema
(Al-Daraqutni): „lau si kuwa Al-Thauri kawakhalifu, basi kauli ingelikuwa
ya wale waliozidisha (mpokezi katika sanad), kwani ziada ya mpokezi
mwenye kuaminika inakubalika. NA HII KAULI YA WAZI KWAMBA
1064
- Anasema Al-Qannubi: „mpito aliopita Ahmad katika Hadithi hii, ndio tuliopita sisi
katika Hadithi ya kuonekana kwa Allah iliotangulia. Sasa sijui je Al-Hashwiyya
watamtuhumu Ahmad katika dini yake kama wanavyonukuu kutoka kwa fulani na fulani
wakisema kwamba atayemsema Hammad bin Salama basi mtuhumuni katika dini?
362
ZIADA YA MPOKEZI MWENYE KUAMINIKA INAKUBALIKA
IKIWA HAKWENDA KINYUME NA MPOKEZI ALIYE NA
HIFDHI KALI ZAIDI KULIKO YEYE‟. 1065
Anasema Ibn Al-Wazir katika kitabu Tanqihu Al-Andhar: „ninasema:
ninavyoona mimi ni kuwa hukumu katika hili haiendelee namna moja, bali
inatafautika kwa kutafautika qarina za hali zilivyo, nayo ni sehemu ya
ijtihad‟.1066
Na anasema Al-Hafidh Ibn Hajar katika Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah,
baada ya kuyataja maneno ya Al-Khatib kuhusu tafauti juu ya kuipa uzito
Hadithi mausul na mursal, (anasema Ibn Hajar): „na Abu Al-Hasan
kamfuata Al-Khatib katika kuichagua Hadithi mausul au marfu‟u moja
kwa moja. Lakini Abu Al-Fat-hi Ibn Sayyidi Al-Nas akamjibu kwa
kusema: „kwa hakika hili haliko mbali na mtazamo mwengine ikiwa
(wapokezi wawili hao) watakuwa sawa au watakurubiana katika daraja ya
kuaminika na uadilifu, kwani al-raf‟u (kitendo cha kuihusisha Hadithi na
Mtume s.a.w.) ni kuzidisha kitu ukilinganisha na kitendo cha al-waqfu
(kuihusisha na Sahaba), nayo (hio Hadithi ya waqfu yaani ya kuhusishwa
na Sahaba tu), imekuja kwa njia ya mpokezi mwenye kuaminika na kwa
hivyo njia yake ni kukubalika. Na kwa hivyo, ikiwa Ibn Al-Qatan kalisema
hilo kama ni rai, basi hilo ni sahihi; na ikiwa kasema kwamba analinukuu
kutoka kwa wanavyuoni waliomtangulia, basi wao hawakuwa na matendo
ya aina moja mfululizo. Ninasema:1067
Ibn Al-Qatan kasema kwa uwazi
kabisa kwamba yeye kalisema hilo kama ni chaguo lake; kwa hakika yeye
kaisimulia rai hii na akaikubali. Kisha akasema (Ibn Al-Qatan): „hii ndio
haki katika msingi huu nalo ndilo chaguo la wanavyuoni wengi zaidi wa
usuli halkadhalika wameichagua rai hio kundi la watu wa elimu ya Hadithi
miongoni mwao ni: Abu Bakr Al-Bazzaar, lakini wengi wao – yaani
wanavyuoni wa Hadithi – wanafuata rai ya mwanzo, yaani
wanaitanguliza Hadithi mursal pasina Hadithi mausul.1068
Na akasema (Ibn Hajar) akitia maelezo maneno ya Ibn Al-Salah yasemayo:
„na alichokisahihisha (yaani Al-Khatib) yaani katika kuipa uzito Hadithi
mausul, na marfu‟u hio ndio kauli sahihi kwa (wanavyuoni wa) fiq-hi na
usuli‟. (Kasema Ibn Hajar baada ya maneno hayo ya Ibn Al-Salah):
„Ninasema:1069
alichokisahisha Al-Khatib kakiwekea sharti kwamba
mpokezi awe ni muadilifu, mwenye uwezo wa kuidhibiti Hadithi. Ama
wanavyuoni wa fiq-hi na usuli, wao wanaikubali (ziada) itokayo kwa
muadilifu tu (pasina kushurutisha uwezo wa kudhibiti), na baina ya mambo
1065
- Ibn Raja Al-Hanbali Sharhu „Ilal Al-Tirmidhi uk. 243-244. 1066
- Ibn Al-Wazir Tanqihu Al-Andhar Bi Sharhi Tawdhihi Al-Afkar j. 1, uk. 343. 1067
- Msemaji ni Ibn Hajar. 1068
- Ibn Hajar Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah uk. 236. 1069
- Msemaji ni Ibn Hajar.
363 mawili hayo kuna tafauti nyingi. Na hapa kuna kitu ambacho
kinalazimu kukitanabahisha nacho ni kuwa wao wameshurutisha
kuwa ile Hadithi sahihi isijeikawa ni shaadh, na wakaifasiri shaadh
kuwa ni Hadithi iliopokewa na mpokezi mwenye kuaminika lakini
akenda kinyume na mpokezi mwenye uwezo zaidi wa kudhibiti au
(akenda kinyume na) idadi kubwa zaidi (ya wapokezi) kisha
wakasema: „ziada iliosimuliwa kutoka kwa mpokezi mwenye kuaminika
inakubaliwa moja kwa moja, na juu ya msingi huo wamejenga kauli
kwamba atayeisimulia Hadithi hali ya kuwa ni mausul nayo ina ziada basi
inatakiwa itangulizwe pasina kuitanguliza Hadithi ya yule aliyeisimulia
hali ya kuwa ni mursal.
Lau itatokea kuwa wale walioisimulia hali ya kuwa ni mursal ni wengi
zaidi kwa idadi au ni wenye uwezo zaidi wa kudhibiti kwa hifdhi au
kwa maandiko kuliko atayeisimulia Hadithi hali ya kuwa ni mausul, je
wataikubali au hawatoikubali? Au je wataiita kuwa ni shaadh au
hawatoiita? Hakuna budi kufarikisha au kukiri kujigonga.
Na kilicho haki katika hali hii ni kuwa ziada ya mpokezi mwenye
kuaminika haikubaliki daima. Na wanavyuoni wa fiq-hi na usuli
walioliachia hilo moja kwa moja (wakasema kuwa ziada inakubalika
moja kwa moja) hawakusibu. Bali wao wanalikubali hilo ikiwa wapokezi
watakuwa sawa katika sifa na ikawa wengine hawakuikataa (ile ziada)
kwa matamshi au kwa maana. ……………..
1070
Anaendelea Ibn Hajar kwa kusema: “na juu ya mtunzi – yaani Ibn Al-Salah
– kuna mushkeli mzito zaidi ya huo, na hio ni kwa sababu yeye
anashurutisha kuwa Hadithi ili iwe sahihi basi isijeikawa ni shaadh kama
maelezo yalivyotangulia. Kisha anasema kwamba lau Hadithi mausul
itagongana na Hadithi mursal basi itatangulizwa mausul moja kwa moja
ikiwa wapokezi wa Hadithi mursal ni wengi zaidi au ni wachache zaidi; ni
wenye uwezo zaidi wa kuhifadhi au hawana uwezo zaidi wa kuhifadhi.
Kisha (akageuka) akasema kuwa Hadithi shaadh ni ambayo mpokezi wake
anakwenda kinyume na mpokezi aliye bora zaidi kuliko yeye! Na ikiwa
mpokezi wa Hadithi mursal ni mwenye uwezo zaidi wa kuhifadhi kuliko
yule aliyeipokea Hadithi hio hali ya kuwa ni mausul pamoja na kuwa wote
ni wenye kuaminika, basi hapo inakuwa imethibiti kwamba ile Hadithi
mausul ni shaadh; basi vipi tena (Ibn Al-Salah) ataihukumu kuwa ni sahihi
ilhali inashurutisha kuwa ili Hadithi iwe sahihi ni lazima isijeikawa ni
shaadh? ……………………1071
1070
- Ibn Hajar Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah uk. 240. 1071
- Ibn Hajar Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah uk. 263.
364 ………..na natija inayopatikana katika Maimamu hawa ni kuwa ziada
inakubalika ikiwa italetwa na mpokezi mwenye kuhifadhi, bingwa ambaye
yeye na wale ambao hawakuipokea ziada hio wako sawa. Ama wakiwa
wao ni wengi zaidi au akawemo miongoni mwao mwenye hifdhi zaidi
kuliko yeye, au yeye (aliyeleta ziada) akawa si mwenye kuhifadhi hata
akiwa kwa asili ni mkweli, basi ziada yake haikubaliki. Na hii ni
kinyume na kauli ya aliyesema: „ziada ya mpokezi mwenye kuaminika
inakubalika‟ na akalisema hilo bila hata ya kulifungamanisha na
(masharti yoyote).1072
Anasema Ibn Hajar katika Nuzhatu Al-Nadhar: „na ziyada ya wapokezi
wake – yaani Hadithi sahihi na hasan – inakubalika madamu haikuwa ni
yenye kupingana na riwaya ya mpokezi mwenye kuaminika zaidi
miongoni mwa wale ambao hawakuitaja ziada
hio1073
………………..1074
Kwa hivyo, mukhtasar wa haya ni kuwa, kanuni isemayo: ٣خىس حؼوش وزش
(nyongeza iliosimuliwa na mpokezi wa Hadithi mwenye kuaminika,
inakubalika), yaani ikiwa wapokezi wengi wataipokea Hadithi kutoka kwa
fulani, halafu mmoja kati yao akaongeza – ama katika sanad au katika matn
– kitu ambacho wengine wote hawakukipokea, mukhtasar ni kuwa:
1) Kanuni hio ina khilafu kubwa.
2) Walio wengi miongoni mwa wanavyuoni wa elimu ya fiq-hi na usuli
wanaikubali ziada ya namna hio.
3) Jumhur ya wanavyuoni wa Hadithi hawakuikubali moja kwa moja
bali wameweka masharti:
a) Yule aliyeisimulia ziada hio awe ni bora zaidi kwa kuhifadhi na
uadilifu kuliko yule ambaye hakuisimulia. Ikitokea kuwa
kinyume chake – kama ilivyo Hadithi ya Hammad bin Salama
tunayoijadili hapa – basi Hadithi ya yule aliyeisimulia ziada hio
haitokubalika na hapo Hadithi yake itahesabiwa kuwa ni Hadithi
shaadh.
b) Wale ambao hawakuisimulia ziada hio wasijewakawa wao ni
wengi zaidi: wakiwa wao ni wengi zaidi nao ni wenye
kuaminika, basi kauli ya aliyeisimulia ziada hio haitokubalika na
hapo Hadithi yake pia itahesabiwa kuwa ni Hadithi shaadh.
1072
- Ibn Hajar Al-Nukat „Alaa Ibn Al-Salah uk. 283. 1073
- Ibn Hajar Nuzhatu Al-Nadhar Fii Tawdhihi Al-Fikr uk. 70-72. 1074
- Hii ni jawabu ya Imamu Al-Sunna Wa Al-Usul Wa Al-Furu‟i Al-Hujja Al-Qannubi.
Nimewacha maelezo yake mengi na nukulu nyengine nyingi alizozinukuu kutoka kwa
wanavyuoni juu yam as-ala haya na haya nilioyanukuu mengine nimeyakata vipande
vipande ili kufupisha. Kwa urefu zaidi, rejea kitabu chake Al-Tufan Al-Jarif j. 3, sehemu ya
kwanza uk. 314-327. Tazama pia Al-Saifu Al-Haad chapa ya tatu 1418 A.H. uk. 147-158.
365
Na hivyo ndivyo anavyosema Muhaddithu Al-Awraqi Wa Al-Qalami,
Ayatollah Al-Albani. Al-Albani katika sehemu kadha wa kadha za vitabu
vyake huitumia kanuni hio, lakini pia katika sehemu nyengine kabainisha na
kuweka wazi ni wakati gani kanuni hio hukubalika na ni wakati gani
hukataliwa. Anasema:
حؼوش وزش خ ل٤خ ػ حلحػ٢ ػوش ، ٣خىسـؼ ح أؿق ، ل ح١
ش أػن . ط خك٤
Na huenda ikawa Hadithi mausul ndio yenye uzito, kwani aliyeisimulia
hivyo hali ya kuwa ni mausul, naye ni Sufyaan Al-Thauri kutoka kwa Al-
Awza‟i, ni mwenye kuaminika. Na ziada ya mpokezi mwenye
kuaminika inakubalika, ikiwa haikwenda kinyume na mpokezi
mwenye kuaminika zaidi kuliko yeye.1075
Anaendelea Al-Albani:
وزش. ي أرخ ٣س ك٢ ٣خىســ حى ك٢ حــأ ٣خىس حؼوش وزش ٣ؼ٢ أ ػ٢ ر ػخ
ح ل ٣ظــ٠ خ، كب حر ػخ ح يم ٣وط٠ء ٣ .
……..Kwamba nyongeza iliosimuliwa na mpokezi wa Hadithi mwenye
kuaminika, inakubalika. Yaani „Ali bin „Asim kamzidisha Abu Huraira
katika sanad ya Hadithi, kwa hivyo ziada hio inakubalika.1076
Lakini kwa
hapa hilo haliendi (sawa), kwani Ibn „Asim ni mkweli lakini anakosea na
anaendelea (katika makosa yake). 1077
Tunasema kwamba: haya ulioyasema hapa ni sawa sawa na Hadithi ya ziada
ya Hammad bin Salama, naye ni mkweli lakini ana makosa mengi, na kenda
kinyume na wapokezi wengi zaidi na wengine ni imara zaidi kuliko yeye.
Anaendelea Al-Albani:
٣خىس حؼوش وزش“ؼ ح٣خىس ل ػالهش خ رخلطحد، اخ ٣ظ ا٤خ رظخ هخػيس:
؛ حلي٣غ حخ. ”ى ح٣خىس وخلش أػن أ أؼ ػيىح “أ هخػيس: “
Na ziada kama hii haihusiani na mgongano, bali inatazamwa kwa darubini
ya kanuni isemayo: “ziada ya mpokezi mwenye kuaminika inakubalika” au
kanuni isemayo: “irushe ziada kwa sababu ya kwenda kinyume na mpokezi
1075
- Al-Albani Al-Sahiha j. 1, uk. 168, Hadithi na. 85. 1076
- Mpaka hapa, haya ni maneno ya Ibn Al-Jawzi ambayo Al-Albani kayanukuu. Na
maneno: “Lakini kwa hapa hilo haliendi (sawa)……….”, ni maneno ya Al-Albani. 1077
- Al-Albani Al-Sahiha j. 1, uk. 83, Hadithi na. 36.
366 mwenye kuaminika zaidi kuliko yeye au iliokwenda kinyume na wapokezi
walio wengi zaidi kwa idadi”, nayo hio ndio Hadith shaadh. 1078
Kisha baada ya hayo, Al-Albani ametupa mfano wa riwaya iliosimuliwa na
yule ambaye tunamzungumzia – Hammad bin Salama. Akasema:
ش رخــخى رــــى كــط٤٤ش ك٢ ) حوخػيس حـ٤ش ( رظلهي أػ ح٣خىس ٤ن حإلال حر
حػي حلي٣ؼ٤ش ــح٣ش ؼزش أؿ ح حلي٣غ ح اػال ٣ظلن غ حوـــــوخلظ
) حزخف ( رؤ كخىح ػوش ؿخ حل٤ق ٣خىس حؼوش ٢:ـل ٣وخلخ حزظش ه حـخ١ ك
أ طـخك ػخ طو ك٢ حطق أ حوز ١ رخ اح ٣وخق حح١ وزش ؿلش
أػنـــ طوغ خك٤ش خــ أػن هخ حلخكع ك٢ ) وزش حل ( : ) ح٣خىس وزش
ركب كخى خـكب هق رؤؿق كخحؿق حللظ وخرش حخ ( هض : ح ح١ لوى
لع ٣ظز٤ ي ي رحؿؼش ـــــ٢ حلــــؼزش كـــش ا خ ؿخ ك رال ي ى
ــ٤ح ( اخ ٣ى ك٤ ـــ٢ ك٢ ) حـــــحؿ٤ ك٢ ظذ حو كخل أى حز شـــطؿ
خـطوخ ٣ظ ي حلم ر٤خ ٣ى ك٤ ؼزش ـــ أخ ( ر٤ شــط ك٤ ل رؤ ) ػو
ض حخـ) حظو٣ذ (: ) كخى ر ش ػوش ػخري أػز ٢ــــــــــرخظؤ ك٢ طؿش حلخكع خ كوخ ك
:ـػوش كخكع ظو خ حؼ١ ٣و خؽـك٢ ػخرض طـ٤ كلظ رآه ( ػ هخ: ) ؼزش ر حلـ
( ػ حش خ ػخريح ؿخ دـرخؼحم ػ ح حئ٤ ك٢ حلي٣غ أ كظ ٤أ
Na Sheikul-Islam, Ibn Taymiyya kaitia kasoro Hadithi hii katika kitabu Al-
Qa‟ida Al-Jaliyya kwa sababu HAMMAD BIN SALAMA kapwekeka
nayo (kaipokea yeye tu) na kwa sababu ya KWENDA KWAKE
KINYUME NA RIWAYA SHU‟UBA, naye (huyo Shu‟uba) ndiye aliye
mbora kati ya (wale wote ambao) wameisimulia riwaya hii. Na kutia
kasoro huku (kwa Ibn Taymiyya) kunaafikiana na kanuni ya Hadithi wala
hakwendi kinyume nako kamwe. Na kauli ya Al-Ghummari katika kitabu
chake Al-Misbaah kwamba HAMMAD NI MWENYE KUAMINIKA na
ni miongoni mwa wapokezi wa Sahihu (Muslim), na kwamba ziada
inayoletwa (katika Hadithi) na mpokezi mwenye kuaminika, ni yenye
kukubalika, huko ni kughafilika (kwa Sheikh Al-Ghummaari) au
kujighafilisha na kanuni yenye kukubalika katika elimu ya Hadithi
kwamba kuikubali (riwaya kama hio yenye ziada) sharti yake ni pale
ambapo mpokezi (aliyeisimulia riwaya hio) hakwenda kinyume na
mpokezi aliye awthaq (aliye imara zaidi). Kasema Al-Hafidh katika kitabu
Nukhbatu Al-Fikr: „na ziada (ya mpokezi mwenye kuaminika) inakubalika
madamu haikwenda kinyume na (riwaya ya) mpokezi aliye imara zaidi
kuliko yeye: ikiwa atapingwa na riwaya yenye uzito zaidi, basi chenye
uzito ni kuwa Hadithi moja1079
ni mahfudh (sahihi), na kinyume chake
(yaani Hadithi ya pili) ni shaadh (dhaifu)‟.1080
Ninasema:1081
„na sharti hii
hapa imekosekana, KWANI HAMMAD BIN SALAMA PAMOJA NA
1078
- Al-Albani Al-Sahiha j. 7, sehemu ya 1, uk. 384, Hadithi na. 3139. 1079
- Nayo ni ya mpokezi imara zaidi. 1080
- Nayo ni ya mpokezi aliyezidiwa uimara. 1081
- Msemaji ni Al-Albani.
367 KUWA NI KATIKA WAPOKEZI WA MUSLIM LAKINI – BILA
SHAKA – YEYE YUKO CHINI YA SHU‟UBA KWA UWEZO WA
KUHIFADHI, na hilo linabainika katika kuzirejea tarajim (biographies) za
wapokezi wawili hao hatika vitabu vya wapokezi. Kuhusu wa mwanzo,1082
Al-Dhahabi kamtaja katika Al-Mizan naye (Al-Dhahabi) huwataja katika
kitabu hicho wale waliosemwa na wakatajwa kwamba: “ni wenye
kuaminika lakini wana makosa”, wakati Shu‟uba hakumtaja kabisa (katika
kitabu hicho). Na hapa itakubainikia tafauti baina yao kwa kuyatafakari
maelezo ya Al-Hafidh Ibn Hajar katika kitabu Al-Taqrib aliposema:
„Hammad bin Salama ni mwenye kuaminika, ni mwenye kuabudu (sana),
mpokezi imara wao katika Hadithi za Thabit (Al-Bunani), lakini hifdhi
yake ilibadilika mwishoni‟. Kisha akasema: “Shu‟uba bin Al-Hajjaaj ni
mwenye kuaminika, mwenye kuhifadhi, mwenye ubingwa, Al-Thauri
alikuwa akimwita Amirul-Mu-uminin katika Hadithi, naye ni mtu wa
mwanzo huko Iraki kuanza kazi ya kuwapekuwa wapokezi na kuzitetea
Sunna na alikuwa ni mwenye kuabudu (sana).1083
Hayo ni maneno yalio wazi kabisa kwamba Hadithi ya Hammad bin Salama
au mpokezi mwengine yoyote yule inakataliwa ikiwa itakwenda kinyume na
mpokezi aliye imara zaidi, kwani katika hali hii Hadithi ya Hammad au ya
mpokezi mwengine huyo inakuwa ni Shaadh (dhaifu). Tunasema: ewe
Muhaddithu Al-Awraqi Wa Al-Qalami we! Katika Hadithi ya Hammad bin
Salama ya kumuona Allah, Hammad kenda kinyume na mtu imara zaidi na
kenda kinyume na idadi kubwa zaidi ya wapokezi. Je kwa mujibu wa kanuni
za Hadithi, tuikubali Hadithi yake? Usiniambie kwamba: “ela1084
ah!
Hadithi hino1085
Hammad kanaipokea kutoka kwa Thabit Al-Bunani‟, kwani
jawabu ya hilo umeiona huko nyuma kwamba Hammad kakosea katika
Hadithi kadha wa kadha alizozisimulia kutoka kwa Al-Bunani.
Kisha usisahau – ndugu msomaji – kwamba kanuni hio tulioinukuu hapa
kutoka kwa Ayatollah Al-Albani, pia ndio kauli ya Al-‟Allama Sheikh
wangu, Kasim mwanangwa wa bwana Mafuta. Nayo ni vyema tuinukuu
tena hapa ili asije akaona tumemdharau kwani mtu haifai kumdharau Sheikh
wake hasa akiwa amezama katika fani tafauti za elimu. Sheikh Kasim bin
Mafuta naye kataja masharti ya Hadithi sahihi na akatongoa hivi: “Isiwe
habari aliyoileta mpokezi huyo ni “SHAADHUN” (ni yenye kupingana na
habari ya mpokezi mwingine aliye madhubuti au wengi zaidi kuliko
1082
- Yaani Hammad bin Salama. 1083
- Al-Albani Al-Tawassul uk. 83. 1084
- Ela ni neno la Kipemba, na asili yake ni neno la Kiarabu: “Illa” (isipokuwa). 1085
- Hino au ino maana yake ni “hii” kwa Kipemba cha ndani kabisa. Na asili yake ni
neno la Kiarabu fasaha: “hunaa” au kwa kinyumbani “hinaa” au “hinee”.
368
yeye)”.1086
Kwa maana hii, Kasim bin Mafuta anakubaliana na wanavyuoni
wa Hadithi. Sasa vipi tena hapa kaikumbatia Hadithi ya Hammad bin
Salama ambayo:
1) Kawakhalifu wapokezi wengi zaidi.
2) Ndani yake kuna mpokezi mwenye uwezo wa kuihafadhi zaidi?
Jambo jengine: la kutazamwa hapa katika maelezo alioyatoa Al-Imamu Al-
Nawawi kwa kutegemea kanuni ya: ٣خىس حؼوش وزش (nyongeza iliosimuliwa
na mpokezi mwenye kuaminika, inakubalika), ni kuwa kanuni hii hapa
si mahala pake, kwani huu ni mlango wa shaadh na ma‟aruuf. Na hili ndilo
ambalo lilinibainikia katika kuipima Hadithi hii. Na hatimae nikamkuta Al-
Sayyid Al-‟Allama Hasan bin „Ali Al-Saqqaaf akilielezea hilo katika kitabu
chake Mas-ala Al-Ru-aya. Al-Saqqaaf hakubaliani kamwe na mijihadithi
yote hii ya uwongo ya kutungwa na Mujassima juu ya kuonekana kwa Allah
pamoja na kuwa yeye mwenyewe ni Shafi‟i kimadhehebu. Hao ndio watu
waliojikomboa kutokana na minyororo ya kubururwa kama magogo na
wakatumia akili zao na ufahamu wao wa kimaumbile: sio kasumba za
kimadhehebu. Anasema Al-Saqqaaf katika kitabu chake hicho:
Kisha Al-Nawawi akataja kwamba al-raf‟u (kuinasibisha Hadithi na
Mtume s.a.w.) na kuisimulia hali yakuwa ni mausul hio ni ziada na
“nyongeza iliosimuliwa na mpokezi mwenye kuaminika,
inakubalika”. Na hili ni kosa la Al-Nawawi hawezi kufuatiwa kwani huu
ni katika mlango wa Hadithi shaadh yenye kurejeshwa hususan ukizingatia
kwamba Hammad (bin Salama) kasemwa sana.1087
Ninasema: ubainifu wa hayo ni kuwa wapokezi wengine wamesema kwa
uwazi kwamba hayo alioyasema Hammad bin Salama ya kuwa ziada
iliotajwa katika Surat Yunus ni maneno ya “Ibn Abi Laila”: si ya Mtume
(s.a.w.); wakati Hammad yeye anadai kuwa hayo ni maneno ya Mtume
(s.a.w.). Na bila shaka maneno ya Mtume (s.a.w.) yana cheo tafauti na
maneno ya Ibn Abi Laila au mwengine yoyote yule – ya Mtume ni wahyi na
kwa hivyo ni sharia; ya Ibn Abi Laila ni ijtihadi na kwa hivyo ni rai. Na kwa
maana hio, hapa kutakuwa na mgongano baina ya riwaya ya Hammad bin
Salama na riwaya ya Hammad bin Zaid na wenzake, ikimaanisha kwamba:
1) Hadithi moja katika hizo ni shaadh (si sahihi).
2) Na ya pili ni ma‟aruuf (sahihi).
Suala ni kuwa je kwa mujibu wa kanuni za Hadithi shaadh hapa itakuwa ni
ipi na ma‟aruuf ni ipi? Tumenukuu vya kutosha maelezo ya wanavyuoni
akiwemo Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam, Al-Albani, lakini baada ya
1086
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 8. 1087
- Al-Sayyid Al-Saqqaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 15.
369
yote hayo, ni vyema kwamba suala hilo tulielekeza kwa Sheikh wetu Kasim
bin Mafuta ili atupe fat-wa. Kasim bin Mafuta anena tena na tena kwamba
ili Hadithi iwe sahihi basi ni lazima: “isiwe habari (hio) aliyoileta mpokezi
huyo ni “SHAADHUN” (ni yenye kupingana na habari ya mpokezi
mwingine aliye madhubuti au wengi zaidi kuliko yeye)”.1088
Kisha tumuulize Muhaddithu Al-Awraaqi Wa Al-Qalam, Al-Albani je
Hammad bin Salama yeye anatoka katika kanuni hio. Tumenukuu huko
nyuma sehemu kadha wa kadha za Hadithi za Hammad bin Salama ambazo
Al-Albani kazikataa kwa sababu ya kwenda kwake kinyume na mpokezi
imara zaidi au waliowengi zaidi.
Kisha tumuulize mwalimu wa Kasm bin Mafuta, Muqbil Al-Wada‟i, je
wasemaje Sheikh Muqbil kuhusu Hadithi hii tunayoijadili hapa. Muqbil
ajibu:
ش أػزض حخ ك٢ ػخرض، ـــخى رــخػش ا خ كــطؿ٤ق ح٣ش حـرؼي كخ١ ٣ظ ٢
حوطؤ ا٠ حكي أهد ا٠ ؿخػش.. ”طو٣ذ حظ٣ذ“كب طـ٤ كلظ رآه خ ك٢
Baada ya hayo, kinachonibainikia mimi ni kuipa uzito riwaya ya walio
wengi pamoja na kuwa Hammad bin Salama ni mtu imara zaidi wao katika
riwaya za Thabit (Al-Bunani), kwani yeye hifdhi yake hatimae ilibadilika
kama ilivyoelezwa katika kitabu Taqribu Al-Tahdhib, na kosa kwa mtu
mmoja lipo karibu zaidi kuliko walio wengi.1089
1088
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 8. 1089
- Muqbil Hadi Ta‟aliqihi „Alaa Al-Tatabbu‟i Li-Al-Daraqutni uk. 212. Nukulu kutoka
katika kitabu Al-Tufan cha Al-Imamu Al-Qannubi j. 3, sehemu ya 1, uk. 313.
370
MUKHTASARI NA NUKTA MUHIMU
1) Allah anasema katika Qur-ani yake Tukufu: ٠ ل ح ح أ ك ٣
س ٣ خى “Wale waliotenda mema watapata mema (ya matendo yao)
na ziada”.
2) Watetezi wa itikadi ya kumuona Allah akhera wakasema kwamba
maana ya ziada iliotajwa katika Aya hii ni kumuona Allah!
3) Hoja yao katika kulifasiri neno hilo hivyo, ni Hadithi iliopokewa
kutoka kwa Hammad bin Salama kutoka kwa Thabit Al-Bunani
kutoka kwa „Abdil-Rahman bin Abi Laila kutoka kwa Suhaib kutoka
kwa Mtume (s.a.w.), kwamba kaifasiri Aya hio hivyo!
4) Wasiokubaliana na itikadi ya kumuona Allah, wakajibu kwa hoja
nyingi:
a) Tafsiri hio ni kinyume na jawabu inayotolewa na lugha ya
Kiarabu ambayo ndio msingi mama wa kufasiria Qur-ani na
Sunna. Na tafsiri sahihi ya Aya au Hadithi sahihi inayotoa
tafsiri ya Aya fulani, basi haiendi kinyume na lugha ya
Kiarabu. Bali lugha ya Kiarabu ndio njia moja muhimu ya
kuzipima mutun (texts) za Hadithi. Tumeonesha huko nyuma
kwamba kwa mujibu wa fani ya balagha basi tafsiri sahihi ya
ziada iliotajwa katika Aya hio ni kuzidishwa kwa matendo
ya waliofanya mema – aliyefanya jema moja atalipwa mema
kumi mfano wake na ziada.
b) Tafsiri hio inayopatikana katika fani ya balagha ya Kiarabu,
pia ina dalili katika Aya nyengine kadha wa kadha za Qur-
ani ambapo utakuta Aya kama: ؿخء رخلش ك ػ أؼخخ “Atakayekuja na jema moja basi atapata kumi mfano
wake,”1090
na zilizo mfano wa hizo. c) Na – kama walivyosema wanavyuoni – “Qur-ani inajifasiri
yenyewe kwa yenyewe” na “kitu bora cha kuifasiria Qur-ani
ni Qur-ani yenyewe”.
d) Tafsiri hii ya kuwa maana ziada hio iliotajwa katika Surat
Yunus ni kuongezwa kwa malipo – tendo moja kwa thawabu
kumi, pia imepokewa kutoka kwa wanavyuoni wa awali (Al-
Salaf Al-Salih) kama vile Qais bin Rabi‟i na Al-Hasan Al-
Basri.
e) Wanavyuoni wa awali – kuanzia Masahaba r.a. –
walitafautiana katika kuifasiri Aya hio kama tulivyobainisha
1090
- Sura ya 6 Aya ya 160. Maelezo haya yana marekebisho kidogo kwani kitabu Hoja
Zenye Nguvu nilikuwa tayari ninakitayarisha kwa ajili ya chapa ya pili. Tazama maelezo
hayo katika uk. 116 wa kitabu changu Hoja Zenye Nguvu.
371
kabla. Na hili linathibitisha kwamba ilikuwa hakuna Hadithi
ya Mtume (s.a.w.), vyenginevyo wanavyuoni wote hao wa
awali hususan Masahaba na wanafunzi wao wasingeliifasiri
Aya hio kinyume na tafsiri ya Mtume (s.a.w.).
5) Ni kuwa Hadithi hio walioitegemea watetezi wa itikadi ya kumuona
Allah, ni Hadithi dhaifu ا ؿق أق لطخ. Na ubainifu wa hayo ni
kuwa:
a) Katika sanad yake kuna Hammad bin Salama. Naye
japokuwa ni mtu mwema lakini alikuwa na awham (makosa
mengi) katika Hadithi. Na hatimae alibadilika na
kuchanganyikiwa na Hadithi hii haina ushahidi je aliisimulia
kabla ya kuchanganyikiwa au baada ya kuchanganyiwa.
Kwa hivyo, kwa mujibu wa kanuni ni kuwa Hadithi hii
haikubaliki. Bali Hadithi hii imebainika kwamba ni katika
makosa yake hata lau alikuwa hana kasoro yoyote kwani:
b) Kenda kinyume na wapokezi wengi zaidi: wapokezi wanne.
c) Kati yao kuna mpokezi aliye madhubuti zaidi.
d) Na kwa hivyo, kwa mujibu wa kanuni za Hadithi, basi
Hadithi ya Hammad bin Salama ni shaadh na Hadithi ya
walio wengi ndio ma‟aruuf. Na hiki ndicho
alichokisahihisha Muqbil Al-Waada‟i, mwalimu wa Kasim
Mafuta na Seif Al-Ghafri.
6) Lakini kuhusu udhaifu wa hifdhi ya Hammad bin Salama, watetezi
wa itikadi ya kumuona Allah wakajibu kuwa:
a) Hammad bin Salama ambaye kainasibisha Hadithi kwa
Mtume (s.a.w.) na wengine waliosema kuwa Hadithi hio ni
maneno ya Ibn Abi Laila, wote hao wameipokea Hadithi hio
kutoka kwa Thabit Al-Bunani. Na Hammad bin Salama ndio
mpokezi imara wao katika waliopokea Hadithi za Thabit Al-
Bunani.
b) Na Kasim bin Mafuta naye akaongeza kwamba hata kama
Hammad bin Salama alibadilika mwishoni, lakini Hadithi hii
kaisimulia kabla ya kubadilika kwa ushahidi kwamba
„Abdul-Rahman bin Mahdi ndiye aliyeipokea kutoka kwa
Hammad bin Salama na „Abdul-Rahman bin Mahdi ni katika
wanafunzi wakubwa wa Hammad ambao wamesimulia
Hadithi kutoka kwake kabla ya kuchanganyikiwa.
7) Nasi tumejibu hoja za kifungu (a) kama inavyofuata:
a) Waliosema kuwa Hammad bin Salama ni mtu imara wao
katika riwaya za Thabit Al-Bunani, hawajakusudia kwamba
372
hata wapokezi waliompinga wakiwa ni wengi zaidi basi pia
itayozingatiwa ni riwaya yake tu. Bali wanakusudia kusema
kwamba ikiwa kuna thiqa mmoja katafautiana naye katika
riwaya hizo walizozipokea kutoka kwa Thabit Al-Bunani,
basi kauli itayozingatiwa ni kauli ya Hammad bin Salama.
b) Imethibiti kwa uwazi kabisa kwamba Hammad bin Salama
kapokea riwaya kadha wa kadha dhaifu bali na za kutunga
kutoka kwa Thabit Al-Bunani ambazo nyenginezo hata
wanavyuoni wakubwa wa Kisuni wamezikataa kama
tulivyonukuu maelezo yao.
c) Kanuni ni kuwa mpokezi thiqa akipingwa na aliye thiqa
zaidi au na idadi ilio kubwa zaidi ya wapokezi walio thiqa
basi Hadithi ya aliye thiqa zaidi au ya idadi ilio kubwa zaidi
ya wapokezi walio thiqa ndio sahihi na yake yeye ni dhaifu
kwani walio wengi wanahifadhi zaidi kuliko mmoja.
d) Katika Hadithi hii Hammad bin Salama kenda kinyume na
idadi kubwa zaidi ya wapokezi thiqa, akiwemo mtu aliye
bora zaidi kuliko yeye.
e) Kanuni hii wameielezea watu wengi akiwemo Al-Albani na
akazikataa Hadithi kadha wa kadha ambazo Hammad bin
Salama kenda kinyume na mpokezi aliye thiqa zaidi au
anapokwenda kinyume na idadi ilio kubwa zaidi ya
wapokezi walio thiqa – kwanini kanuni hapa muikwepe?
f) Muqbil Al-Wada‟i, mwalimu wa Mafuta, naye kaitumia
kanuni hii tena katika Hadithi hii hii na akabainisha kwamba
riwaya ya walio wengi ndio ya kuzingatiwa.
g) Ibn „Adey naye kaitaja riwaya hio kama ni katika jumla ya
riwaya munkara za Hammad bin Salama.
8) Kuhusu kifungu (b), tumejibu kuwa kanuni ni kuwa mpokezi
ambaye hafdhi yake iliharibika au alichanganyikiwa, basi ni kuwa
riwaya zake zinagawika makundi matatu:
a) Riwaya alizozisimulia kabla ya kuharibika hifdhi au
kuchanganyikiwa – zinakubalika.
b) Riwaya alizozisimulia baada ya kuharibika hifdhi au
kuchanganyikiwa – hazikubaliki.
c) Riwaya ambazo hazijulikani: je kazisimulia kabla au baada ya
kuharibika hifdhi na kuchanganyikiwa – zinawachwa kama
zilivyo hadi kuwe na ushahidi.
d) Riwaya hio ya Hammad haijulikani kaisimulia lini: kabla au
baada ya kuharibika kwa hifdhi yake na kuchanganyikiwa – na
kwa hivyo, riwaya yake inawachwa.
373
e) Hata ikijulikana bado tatizo la msingi liko pale pale: kenda
kinyume na wapokezi wengi zaidi na watatu katika hao ni imara
sana na mmoja ni imara zaidi kuliko yeye – na kwa hivyo riwaya
yake ni shaadha.
9) Lakini Mafuta akajibu kuwa „Abdul-Rahman bin Mahdi ndiye
mpokezi wa riwaya hio kutoka kwa Hammad bin Salama naye
kapokea riwaya kutoka kwake kabla hajachanganyikiwa.
10) Nasi tumejibu kwamba:
a) Tumeona vipi Al-Albani kalielezea suala hili nalo ni kuwa
kinachotakiwa si kuwa kapokea riwaya kabla ya
kuchanganyikiwa tu; bali ni lazima pia kuwe na ushahidi
kwamba baada ya kuchanganyikiwa hakupokea tena riwaya
kutoka kwake. Kwa hivyo, Kasim Mafuta atuletee ushahidi wa
nyuma na mbele – ushahidi kwamba Abdul-Rahman bin Mahdi
alipokea riwaya kutoka kwa Hammad bin Salama kabla
hajachanganyikiwa na kwamba baada ya kuchanganyikiwa
hakupokea tena.
b) Tumeelezea na kunukuu maneno ya mmoja wa Mawahabi
akielezea kwamba Hammad bin Salama mwanzo alikuwa ni
thiqa mwenye awhaam (makosa mengi) yaani ambayo bado
hayakumtoa katika kuwa ni thiqa. Katika kipindi hiki, Hadithi
zake ambazo kazisimulia kutoka kwa Thabit Al-Bunani ni
sahihi; na alizozisimulia kutoka kwa wengine ni hasan ikiwa
hakupingwa na aliyebora zaidi au na idadi kubwa. Na ikiwa
atapingwa na aliyebora zaidi au na idadi kubwa basi Hadithi
yake ni shaadh. Kisha baada ya hapo akakonga na hifdhi yake
ikaharibika. Katika kipindi hiki, Hadithi zake alizopwekeka nazo
zinahesabiwa kuwa ni dhaifu isipokuwa zikipata ushahidi
mwengine. Na dio maana Al-Bukhari akaziwacha Hadithi zake
na Muslim akazitoa kwa ushahidi tu ila zile alizodhania – kwa
ijtihadi yake – kuwa kazisimulia kutoka kwa Thabit kabla ya
kuchanganyikiwa.
c) Kwa hivyo, Hammad “alikuwa na awhaam tangu hapo kale”, na
baadae akawa dhaifu wa hifdhi tu. Kwa hali hii itapobainika
kwamba Hadithi fulani ni katika awham wake basi ni lazima
iachwe. Na hakuna njia ya kulijua hilo ila ikiwa Hadithi yake
itagongana na Qur-ani, au itagongana na Hadithi ya mpokezi
aliye madhubuti zaidi au Hadithi ya walio wengi zaidi kama
ilivyo Hadithi hii – Hadithi hii ni katika awham zake kwa
kuwakhalifu walio wengi zaidi na aliye imara zaidi.
374
Hadi hapa tutakua tumefika mwisho wa kuijadili Hadithi mbovu ya
Hammad bin Salama inayokwenda kinyume na Qur-an na kanuni zake za
tafsiri, bali inayokwenda kinyume na Hadithi ya wapokezi wengi zaidi. Sina
budi kusema kwamba kila muadilifu basi haki imempambanukia na batili
imempambazukia. “Na sema haki imekuja na batili imeng‟oka, hakika
ya batili ni yenye kung‟oka”.
375
SURA YA TISA
DALILI YAO NYENGINE: AYA NYENGINE KUHUSU ZIADA
WATAYOPEWA WATU WA PEPONI
Kanuni niliojiwekea katika kitabu hiki, ni kuzijadili zile shubuhati
alizozileta Kasim Mafuta katika kitabu chake. Yaani yeye – kama
munavyojua – alifanya jaribio la kujibu kitabu changu Hoja Zenye Nguvu,
na katika kufanya hivyo hakuzungumzia hoja zote nilizozileta katika kitabu
changu bali kajichagulia zile alizodhania kuwa ni nyepesi kwake ilimradi
aambiwe kajibu! Sasa na mimi humu kimsingi najadili hoja na shubuhati
zake tu; na zile dalili zao ambazo nimezijibu katika kitabu changu Hoja
Zenye Nguvu lakini yeye hakutoa jawabu juu ya jawabu yangu, basi nami
pia sitozijadili tena humu kwani watu wanaweza kurejea kitabu changu
Hoja Zenye Nguvu ili waweze kujisomea maelezo yangu mengine juu ya
dalili hizo zilizotolewa na wenye itikadi ya kumuona Allah ambazo Kasim
bin Mafuta hakuzijibu. Lakini kwa sababu Aya iliotangulia ina maana sawa
na Aya hii nitayoizungumzia hapa basi, nimeona kuwa ni bora Aya hii
niitoe katika kanuni hio niliojiwekea na niizungumzie hususan ukizingatia
kwamba na Aya hii nayo imetungiwa riwaya nyingi ili kutaka kuhalalisha
itikadi hio ya kumuona Allah. Katika kitabu Hoja Zenye Nguvu, nilisema
hivi:
Dalili yao ya tano ni Aya yenye kusema:
خ ٣خث ك٤خ ي٣خ ٣ي
(Wao) watapata wanachokitaka humo (peponi) na kwetu kuna
ziada.1091
Hoja yao katika Aya hii ni sawa na hoja yao katika Aya iliotangulia
kwamba ziada iliotajwa hapa maana yake ni kumuona Mwenyezi Mungu.
Na jawabu ya madai haya ni sawa na jawabu katika Aya iliotangulia. Kwa
ufupi ni kuwa Aya haijasema ni ziada gani ambayo Mwenyezi Mungu
atawapa watu wa peponi, wakati ziada mashuhuri iliotajwa katika Qur-ani
na Hadithi nyingi sahihi ni kuzidishwa kwa matendo ya watu wema:
aliyefanya jema moja akalipwa mema kumi. Anasema Mwenyezi Mungu
katika Qur-ani Tukufu:
1091
- Sura ya 50 Aya ya 35.
376
ك ػ أؼخخ ؿخء رخلش
Atakaye kuja na jema moja basi atalipwa mfano wake mara kumi.1092
Kwa hivyo Aya yenyewe haina ushahidi wowote ule wa kuwa Mwenyezi
Mungu ataonekana wala haijasema hivyo. Sasa kilichobaki tuzitazame
riwaya ambazo wamezitegemea wale wenye kuitakidi kumuona
Mwenyezi Mungu na ambazo zinatarajiwa kuwa zimeifasiri Aya hio kuwa
maana yake ni hio.
RIWAYA YA KWANZA
Riwaya ya kwanza inasema:
ــي ػـــر٢ ؿـــػكيػخ أكي ر ٤ ححط٢ هخ كيػخ هس ر ػ٠٤ هخ كيػخ ح٠ ر
ـــ)ا هللا ػ ؿ اح أ أ حـش حـش أ حخ حخ ز٢ ا ٠ ؽ أ ر ــخي
ػ ؿ حء حلـذ: كزخ رؼزخى١ ح ؿح٢ كي١. حـش أك٤ق.... ػ خىحـ د
ح ا٢ هخ: كي ـــظـظ٠ ٣ــــلطـ٤ كح رح كح ـــــــــــح ٤١زح. ػط٢
ػ ؿ. ػ هخ: حال ػ٤ حظح ا٢ حظخء حؼطخء ك٠ ح٣ي هخ كظـ٠ حد
كوي ٤ض ػ ..
Ametusimulia Ahmad bin Suheil Al-Waasiti, kasema ametusimulia Qurrat
bin Issa, amesema katusimulia Al-Nadhar bin Arabi (babu yake), kutoka
kwa Anas bin Malik, (kasema): „hakika Mwenyezi Mungu akisha
kuwaweka watu wa peponi katika pepo na watu wa motoni katika moto
atateremka katika uwanja mpana katika pepo! Kisha Mola Mtukufu
aliyetukuka atawaita (watu wa peponi) nyuma ya hijabu (pazia): „karibuni
waja wangu na watembezi wangu na majirani zangu na wageni wangu.
Kuleni na kunyweni na furahini na vaeni na mujitie manukato. Naapa kwa
utukufu wangu nitajidhihirisha kwenu mpaka munitazame‟. Akasema
(yaani Anas bin Malik) „basi hicho ndio kipawa cha mwisho (yaani malipo
makubwa kabisa) na ndio fadhila ya ziada‟, basi atajidhihirisha kwao Mola
Mtukufu aliyetukuka. Kisha atasema „Asalama Alaykum waja wangu,
nitazameni, nimekuwa radhi na nyinyi!
SANAD YA RIWAYA HII
Katika sanad ya riwaya hii kuna:
1) Al-Nadhar bin Al-‟Arabi, ambaye hapa anaisimulia Hadithi hii kutoka
kwa Sahaba Anas bin Malik wala hakumuwahi, bali hakumuwahi
Sahaba yoyote.1093
1092
- Sura 6, Aya 160. 1093
- Anas ni Sahaba wakati Al-Nadhar ni mfuasi wa wafuasi wa Masahaba. Yaani yeye
hakumkuta Sahaba lakini kakutana na waliowakuta Masahaba. Kwa hivyo Hadithi hii
377
Pia katika sanad hii yumo:
2) Ahmad bin Suhail Al-Wasiti, naye si madhubuti.1094
RIWAYA YA YA PILI: RIWAYA YA KUMUONA
MWENYEZI MUNGU KILA IJUMAA
Riwaya a ya pili ambayo wameitegemea kuwa ndio iliofasiri Aya hio
isemayo: “(Wao) watapata wanachokitaka humo (peponi) na kutoka
kwetu (watapata) ziada”,1095
kuwa maana yake ni kumuona Mwenyezi
Mungu, vile vile ameipokea Al-Tabari. Riwaya hio inasema:
زي هللا ــــــ ر ػــكيػخ ػ٢ ر حل٤ ر أرـ، هخ: ػخ ػ ر ٣ ح٤خ٢، هخ: ػخ ؿ٠
ز خي،ـــػ٤، ػ أ هخ: ػ٢ أر ٤١زش، ػ ؼخ٣ش حؼز٢، ػ ػؼخ ر ر أر٢ حطل٤
٠ هللا ـهخ: ه : خ هللا ٤ ، ك “ػ خء آس ر ٤ ٠ ل ك ٢ ال ح ٤ ػ ٣ ز ٤خ ــأطخ ٢ ؿ
حء ك و ى ظ ش خ ــــــ : ك ض ؼ ش ، ه ـ ح : ؟ هخ خ ٣ ز : ٣خ ؿ :ض حء ك ٤خ؟ هخ ى ظ ش ح ح
ل خ، ي ػ ٤ي حل٣خ ؼ ش ـ ح ٣ ش ط و خػ ػ ك ٢ ح :ــــــ ي ض ; ه ٣ي ح س ٣ ٢ ح٥ه
ط ؼ ى ري ط زخ : ا ٣ي هخ ح ٣ ػ ط ي حى٣خ أك ٤ ش ـ ك ٢ ح ح ق ــ خ٠ حطو ، كب ي أر ٤
ك ، ػ ٤ ٤٤ ػ٠ ػ ؼ ش ـ ح ٣ ــــــخ خء ـــق ح ؿ ، ػ خر ٢ ر حز ٤
٢ء أ ـ ط ٤ خ ػ ح ػ ـ كظ٠ ٣ ـ ش كظ٠ ٣ ـ ؼـــــح ـــــــ ح ػ٠ ح ؿ ػ ر ٠ ـ ذ ك ٤ ظ
كظ٠ ؿ ح ا٠ ظ ٣………
Ametusimulia Ali bin Husain bin Abjar, amesema katusimulia Umar bin
Yunus Al-Yamami, ametusimulia Jahdham bin Abdllah bin Abi Al-Tufail,
amesema kanisimulia Abu Tayiba kutoka kwa Muawiya Al-‟Absi kutoka
kwa „Uthman bin Umair kutoka kwa Anas bin Malik kasema (kwamba)
amesema Mtume (s.a.w.) „amenijia Jibril, amani iwe juu yake, na katika
mkono wake ana kioo cheupe ndani yake muna nukta nyeusi. Nikasema: „é
Jibril nini hii?‟ Akasema hii ni ijumaa. Nikasema: „hii nukta nyeusi ni
nini?‟ Akasema: „hiki ni kiama kitasimama ndani ya siku ya ijumaa nayo
ndio bwana wa siku zote kwetu sisi, na sisi tutaiita huko akhera siku ya
ziada. Nikamuuliza: „kwanini mutaiita siku ya ziada? Akasema hakika ya
Mola wako Mtukufu aliyetukuka amefanya bonde pana la miski nyeupe
katika pepo, basi ikifika siku ya ijumaa atateremka kutoka katika „Illiyyin
(sehemu ya) juu ya pepo, mpaka (watu) wakisha kukaa katika sehemu
msururu wake wa wapokezi umekatika: haukushikana. Tazama Ibn Hajar Tahdhibu Al-
Tahdhib j. 10 uk. 395, utaona kuwa Al-Nadhar alikuwa katika: أطزخع حظخرؼ٤ (wafuasi wa
wafuasi wa Masahaba). Na juu ya hayo ni kuwa Muhammad bin Sa‟ad anasema kwamba
Hadithi zake ni dhaifu. Tazama Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib juzuu na ukurasa huo. 1094
- Anasema Abu Ahmad Al-Hakim kuwa “katika Hadithi zake kuna baadhi ya
Manakir”. Tazama Mizanu Al-I‟itidal j. 1 uk. 103. 1095
- Sura ya 50 Aya ya 35.
378 zilizoinuka, basi atadhihiri kwao Mola wao Mtukufu aliyetukuka mpaka
waitazame Dhati Yake!1096
SANAD YA RIWAYA
Hadithi hii ni dhaifu sana kwa sababu imesimuliwa na „Uthman bin Umair,
Abu Yaqdhaan Al-Kufi, naye ni dhaifu sana.1097
TAKHRIJ YA RIWAYA HIO
Hadithi hio pia ameipokea Al-Imamu Al-Shafi kama alivyoinukuu Ibn
Kathir.1098
Lakini katika riwaya hii ya Al-Imamu Al-Shafi hakuna mas-ala
ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu, wala hakusema kuwa atateremka
bali kasema atawateremsha malaika wake. Na hata hivyo Hadithi yenyewe
si sahihi, kwani Al-Imamu Al-Shafi kaipokea Hadithi hio kutoka kwa
Ibrahim bin Muhammad, naye katajwa kuwa ni Mwongo.1099
Pia yumo
1096
- Al-Tabari Jaami‟u Al-Bayaan j. 26, uk. 202-203. 1097
- Anasema Abdulah bin Ahmad (mtoto wa Al-Imamu Hanbal): “amesema baba yangu
kuwa ni dhaifu alikuwa Ibn Mahdi kaziwacha Hadithi zake”. Anasema Amru bin Ali:
“Yahya na Abdul-Rahman hawakuridhika na Abu Yaqdhaan”. Na akasema Al-Duuri
kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “Hadithi zake si chochote,” (yaani hazina maana)”. Na akasimulia
Ibn Abi Hatim kutoka kwa baba yake kuwa Muhammad bin Abdillah bin Numair amesema
kuwa ni “Dhaifu”. Na akasema tena: “nimemuuliza baba yangu akasema: „Hadithi zake ni
dhaifu; Hadithi zake ni Munkar (na) Shuuba alikuwa hakuridhika naye”. Na amesema (Ibn
Abi Hatim) kutoka kwa baba yake kuwa Shuuba alimuendea „Uthman bin Umair
akamsimulia (yaani „Uthman bin Umair ndio msimulizi) riwaya kutoka kwa Shekhe
mmoja. (Yaani „Uthman anamwambia Shuuba kuwa Shekhe fulani kaniambia kadha wa
kadha). Shuuba akamuliza: “kwani wewe una umri gani”? Akamwambia: “nina umri
fulani”. Basi anasema Shuuba baada ya kufanya hesabu nimekuta yule Shekhe alipokufa
„Uthman bin Umair ndio kwanza ana miaka miwili! Anasema Al-Imamu Al-Bukhari:
“Hadithi zake ni Munkar (dhaifu sana) wala hakusikia Hadithi (yoyote) kutoka kwa Anas
bin Malik”. Na akasema Al-Juzajaani kutoka kwa Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “Hadithi
zake ni Munkar”. Anasema Al-Barqaani kutoka kwa Al-Daraqutni: “Hadithi zake
zinawachwa”. Anasema Al-Hakim kutoka kwa Al-Daraqutni: “mpotovu”. Anasema Ibn
Abd Al-Bar: “wote wamesema kuwa ni dhaifu”. Anasema Ibn Hiban: “alichanganyikiwa
mpaka ikawa hajuwi anachokisema”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7 uk. 132. 1098
- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-‟Adhim j. 4 uk. 229, wakati akitoa maelezo juu ya
Aya hio tunayoijadili. 1099
- Anasema Bishr bin Al-Mufadhal: “nimewauliza wanavyuoni wa Madina kuhusu
(Ibrahim bin Muhammad), wote wakasema kuwa ni mwongo”. Na akasema Ali bin Al-
Madini kutoka kwa Yahya bin Said akisema: “mwongo”. Na akasema Al-Muuti kutoka
kwa Yahya bin Said akisema kwamba “Tulikuwa tukimtuhumu kuwa ni mwongo”. Na
akasema Al-Bukhari: “Ibn Mubarak na watu wengine wamemuacha (hawapokei Hadithi
zake)”. Na akasema Ibn Abi Mar-yam kutoka kwa wanavyuoni wengine: “mwongo”. Na
akasema Yahya bin Said: “nilimuuliza (Al-Imamu) Malik kuhusu (Ibrahim bin
Muhammad) je alikuwa muaminifu? Akasema: “sio”: wala si muaminifu hata katika dini
yake”. Na akasema Abu Taalib kutoka kwa Al-Imamu Ahmad: “watu wameziwacha
379 katika sanad ya Hadithi hii Musa bin Ubaida, naye ni dhaifu.
1100 Na pia
imepokewa Hadithi hii kutoka kwa Anas huyo huyo, lakini kwa sanad
nyengine tafauti kama inavyofuata:
Mosi: “Ametusimulia Ibn Humaid, kasema katusimulia Jarir kutoka kwa
Laith bin Abi Sulaim kutoka kwa „Uthman bin Umair kutoka kwa Anas bin
Malik”. Halafu inakuja Hadithi hio hio iliotangulia. Nayo ni sanad dhaifu,
kwani ndani yake yumo „Uthman bin Umair 1101
, Ibn Humaid 1102
, Laith
bin Abi Sulaim 1103
na Jarir bin Abdil-Hamid.1104
Na wote ni madhaifu, na
wa pili – katika hawa – ni dhaifu sana.
Pili: ni sanad ya Ibn Abi Shaiba. Lakini sanad taqriban ni ile ile Abdul-
Rahman bin Muhammad Al-Muharbi kutoka kwa Laith kutoka kwa
„Uthman (bin „Umair) kutoka kwa Anas bin Malik”.1105
Isipokuwa hapa
kaongezeka Abdul-Rahman bin Muhammad Al-Muharbi, naye alikuwa
akighushi, na Hadithi yake ni mua‟an‟an.1106
Hadithi zake naye anasimulia Hadithi munkar hazina msingi wowote”. Na akasema Al-
Bazar: “alikuwa akitunga Hadithi na akitunga mas-ala na akitunga sanad!” Na akasema Ibn
Hibbaan: “alikuwa akisema uwongo katika Hadithi”. Na wengi wengine. Tazama Tahdhibu
Al-Tahdhib j. 1 uk. 137. 1100
- Anasema Al-Imamu Ahmad “si halalil kwangu mimi kuandika Hadithi zake”. Na
akasema Ibn Ma‟iin: “si mwongo lakini Hadithi zake ni munkar”. Na akasema Al-Tirmidhi:
“anadhoofika (yaani kuna udhaifu nadani yake)”. Na akasema Al-Nasai: “Dhaifu”. Na
akasema Ya‟aqub bin Shaiba: “ni mkweli (lakini) dhaifu sana”. Na akasema Ibn Hiban:
“Dhaifu”. Na akasema Ibn Naafii: “ndani yake kuna udhaifu”. Tazama Tahdhibu Al-
Tahdhib j. 10 uk. 318. 1101
- Yametangulia maelezo yake huko nyuma kwamba ni dhaifu. 1102
- Naye ni mwongo. Yametangulia maelezo yake huko nyuma. 1103
- Anasema Ibn Hajar katika Taqrib uk. 464 tarjama na. 5685, kwamba Laith bin Abi
Sulaim bin Zunaim “ni mkweli (lakini) alichanganyikiwa sana: hazikupambanuka Hadithi
zake”. Na anasema Abdullah bin Ahmad kutoka kwa baba yake (Al-Imamu Hanbal) kuwa
“Hadithi zake zinagongana”. Na aliulizwa Jarir kuhusu Laith akasema: “alikuwa
akichanganyisha sana”. Na akasema Ibn Abi Hatim kutoka kwa baba yake: “Hadithi zake
ni dhaifu”. Na miongoni mwa waliosema kuwa Hadithi zake ni dhaifu ni: Ibn Ma‟iin, Ibn
Uyeina, Abu Zur‟a, Ibn Sa‟ad, Al-Saji, Ya‟aqub bin Shaiba, na wengi wengineo, bali
amesema Al-Hakim Abu Abdillah: “wamekubaliana (wanavyuoni) kuwa hifdhi yake ni
mbaya “. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8 uk. 417. 1104
- Yeye huyu “mwishoni mwa umri wake alichanganyikiwa na ikawa anakosea katika
(Hadithi alizozisimulia) kwa moyo”. Al-Taqrib uk. 139 tarjama na. 916. Na pia
alituhumiwa kuwa ni mwenye kughushi. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2 uk. 65. 1105
- Ibn Abi Shaiba Al-Musnad j. 2 uk. 58, Hadithi na. 10. 1106
- Anasema Ibn Hajar katika Al-Taqrib uk. 349 kuwa alikuwa “akighushi”. Na kwa urefu
tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 6 uk. 238.
380 Sanad hii imetajwa pia katika kitabu Bughyatu Al-Baahith
1107, lakini njia
yake ni ile ile ya „Uthman bin Umair. Katika sanad hii pia yumo ndani
yake Daud bin Muhabbar, naye ni dhaifu.1108
Halkadhalika yumo humu
katika sanad hii Ayub bin Khut (ه١), naye ni mwongo, Hadithi zake
zinawachwa.1109
Tatu: ni kuwa Ibn Al-Qayyim kanukuu Hadithi nyingi kutoka kwa Anas
bin Malik,1110
lakini zote njia yake ni moja nayo ni njia ya „Uthman bin
Abi Umair1111
ambaye ni dhaifu kama tulivyotangulia kusema.
Nne: ni riwaya ya Anas kwa njia ya Qatada bin Di‟aama1112
, nayo pia ni
dhaifu, kwani Qatada anaghushi1113
na Hadithi yake ni mua‟na‟n.
1107
- Nuru Al-Din Al-Haithami Bughyatu Al-Hathith j. 1 uk. 301, Hadithi na 195-196.
Lakini katika riwaya hii ya Al-Haithami – sawa na riwaya ya Ibn Abi Shaiba – hakuna
kuwa “wataitazama Dhati ya Allah”, jambo ambalo linaonesha kuwa mas-ala ya kuwa
“wataitazama Dhati ya Allah”, limechomekwa katika riwaya hio. 1108
- Anasema Ibn Hajar: “Hadithi zake zinawachwa”. Al-Taqrib uk. 200 tarjama na. 1811.
Na anasema Al-Juzajaani: “zilikuwa Hadithi zake zinagongana”. Na akasema Al-Nasai
kuwa ni “dhaifu”. Na akasema tena: “Hadithi zake zinawachwa”. Na akasema Salih bin
Muhammad Al-Baghdadi: “ni dhaifu; ni mwenye Hadithi munkar”. Na akasema tena:
“anasema uwongo na ni dhaifu katika Hadithi”. Na akasema Al-Daraqutni: “Hadithi zake
zinawachwa”. Na ikaelezwa kutoka kwa Ibn Ma‟iin akisema: “anakosea”. Na akasema Al-
Hakim: “amesimulia katika (mji wa) wa Baghdad kutoka katika wapokezi wengi
waaminifu, (lakini) haidithi za kutunga ambazo wametusimulia kutoka kwa AL-Harith bin
Abi Usama kutoka kwake (Daud bin Muhabbar), katika Kitabu Al-‟Aql (كتاب انعقم), na
nyingi katika Hadithi zilizomo ndani ya kitabu hicho ni za kutunga kutoka kwa Mtume
(s.a.w.) . Na akasema Ibn Hiban: “alikuwa akitunga Hadithi, na kuzinasibisha kwa
wapokezi waaminifu”. Yaani anatunga halafu anasema: “kutoka kwa fulani”, anataja
mpokezi anayekubalika. Na akasema Al-Azdi: “Hadithi zake zinawachwa”. Na akasema
Ibn Ma‟iin: “yeye na baba yake ni dhaifu”. Na akasema Al-Nuqqaash: “alisimulia Hadithi
kutoka katika Kitabu Al-‟Aql na nyingi katika Hadithi zake ni za kutunga”. Tazama
Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3 uk. 173, na Al-Jarhu Wa Al-Ta‟adil cha Al-Imamu Al-Razi j. 3
uk. 424 tarjama na. 1931, na Mizanu Al-I‟itidal cha Al-Dhahabi j. 2 uk. 210. 1109
- Anasema Ibn Hajar: “Hadithi zake zinawachwa”. Al-Taqrib uk. 118 tarjama na. 612.
Anasema Al-Bukhari: “Ibn Mubarak kaziwacha Hadithi zake”. Wanasema Al-Nasai na Al-
Daraqutni: “Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Amru bin Ali: “alikuwa hajui kusoma
wala kuandika na Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Abu Hatim: “dhaifu, dhaifu sana,
Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Al-Azdi: “ni mwongo”. Anasema Ahmad: “Issa bin
Yunus alikuwa akimtuhumu kuwa ni mwongo”. Anasema Al-Saji: “wanavyuoni
wamekubaliana kuziwacha Hadithi zake, alikuwa akisimulia Hadithi batili”. Na wegi
wengineo miongoni mwa wanavyuoni wa Hadithi ambao wamemtiya kasoro kubwa.
Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1 uk. 352. 1110
- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 230-231. 1111
- Sanad hii ya „Uthman bin Umair pia ina wapokezi dhaifu wengine. 1112
- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 231. 1113
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 315-319, tarjama na. 637. Tabaqaatu Al-
Mudallisin uk. 43, tarjama na. 92.
381 Tano: ni riwaya ya Anas kwa njia ya „Umar, Maula „Ghufra.
1114 Nayo pia
ni dhaifu, kwani „Umar, Maula „Ghufra ni dhaifu.1115
Sita: ni riwaya ya Anas kwa njia ya Safwaan.1116
Nayo pia ni dhaifu kwani
sanad yake imekatika. Safwaan – naye ni Safwaan bin Amri bin Harim Al-
Saksaki Abu Amru – kafa mwaka wa 100 A.H; wakati aliyeipokea Hadithi
hio kutoka kwake ni Al-Hakam bin Nafi ambaye kafa mwaka wa 211 A.H.
na wengine wanasema 222, na umri wake alipokufa alikuwa na miaka 83.
Tufanye kafa mwaka 211. Miaka 211 toa 83 aliyoishi tutabakiwa na 128.
Kwa hivyo huyu mwaka wa 128 ndio anazaliwa, vipi kapokea Hadithi
kutoka kwa mtu aliyekufa mwaka wa 100 – sanad imekatika.1117
Saba: ni riwaya ya Hudhaifa bin Al-Yaman. Kainukuu riwaya hii Ibn Al-
Qayyim katika Hadi Al-Ar-waah. 1118
Lakini msimulizi wa Hadithi hio ni
Ibn Batta, naye ni mujasim (anamsifu Mwenyezi Mungu kuwa ana
kiwiliwili) mpotovu, mtunzi wa Hadithi na mwongo mkubwa.1119
Na pia
yumo katika sanad hii Al-A‟amash, naye ni Sulaiman bin Mihran, mwingi
wa kughushi, na Hadithi yake hapa ni mua‟na‟n.1120
1114
- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 232. 1115
- Anasema Is-haq bin Mansur kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “dhaifu”. Na vivyo hivyo kasema
Al-Nasai. Anasema Ibn Hibban: “anazigeuza riwaya : hafanywi kuwa ni hoja”. Anasema
Al-Saji: “Malik kamuwacha (hapokei Hadithi zake)”. Anasema Al-„Ijli: “anaandika Hadithi
zake, wala si madhubuti”. Anasema Ibn Ma‟iin: “hakusikia (riwaya ) kutoka kwa Sahaba
yoyote”. Ninasema: naye hapa anaisimulia riwaya hii kutoka kwa Sahaba Anas, kwa hivyo
pamoja na udhaifu wake, riwaya yake hii ni mursala. Bali Ibn Abi Hatim kutoka kwa baba
yake kasema: “hakumkuta Anas”. Tazama Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 414-
415, tarjama na. 784. 1116
- - Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 232. 1117
- Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2 uk. 379. Hapa utapata habari za Al-Hakam bin
Nafi. Na tazama j. 4 uk. 376. Hapa utampata habari za Saf-wan bin Amri bin Harim Al-
Saksaki. 1118
- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 233. Hadithi hii ya Hudhaifa imekuja kwa sanad
nyengine, kainukuu Ibn Al-Qayyim katika Hadi Al-Ar-waah uk. 239, lakini ndani yake
kuna wapokezi hawa wawili ambao wamo katika sanad hii. Kwa hivyo jawabu ya hapa
ndio jawabu ya kule. Isipokuwa kule kumeongezeka Al-Hasan bin Yahya bin Kathir, naye
ni dhifu. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2 uk. 280. Na Al-Qasim bin Mutayyib, naye ni
matruk (Hadithi zake zinaachwa). Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8 uk. 303. 1119
- Tazama kwa urefu maelezo kuhusu Ibn Batta katika juzuu ya kwanza ya kitabu hiki
uk. 337-338. 1120
- Tazama habari za Al-A‟amash katika Al-Taqrib uk. 253 tarjama na. 2615. Na
tutaeleza zaidi kuhusu mpokezi huyu baadae Mwenyezi Mungu akipenda. Tazama pia
Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk. 195, tarjama ya 386. Anasema Wahb bin Zam‟a Al-Mar-
wazi: “nimemsikia Ibn Mubarak anasema: „hakika wamezifisidi Hadithi za watu wa Al-
Kufa Abu Is-haq (Al-Sabi‟i) na Al-A‟amash wenu”. Na akasema: “nimemsikia Mughirah
anasema: „amewaangamiza watu wa Al-Kufa Abu Is-haq na Al-A‟amash wenu huyu”. Na
akasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “hadithi za Al-A‟amash zinagongana”. Anasema
Al-Dhahabi: “naye anaghushi, na huenda akaghushi kutoka kwa watu dhaifu”. Anasema
382
Riwaya hio ya kumuona Mwenyezi Mungu kila siku ya ijumaa,
imesimuliwa pia kutoka kwa Sahaba Ibn Abbaas. 1121
Lakini aliyeisimulia
kutoka kwa Ibn Abbaas ni Al-Hasan Al-Basari, naye ni mwenye kughushi
na Hadithi yake ni mua‟na‟n. Pili ni kuwa Al-Hasan hajapata kupokea
riwaya kutoka kwa Ibn Abbaas kamwe, bali wala hakupata kumuona.1122
Kwa hivyo, ni wazi kwamba riwaya hii hapa imetokana na ghushi zake.
Njia nyengine ya riwaya hio ya kumuona Allah kila ijumaa, ni njia ya Al-
Imamu Ali.1123
Lakini katika sanad yake kuna Suwaid bin Abdil-‟Aziz,
naye ni dhaifu sana. 1124
Pia yumo katika sanad hii Amru bin Khalid, Abu
Khalid Al-Qurashi, naye ni mwongo, alikuwa akitunga Hadithi za
uwongo.1125
Ibn Al-Madini: “Al-A‟amash alikuwa akikosea sana katika Hadithi za hawa (wapokezi)
dhaifu”. Tazama Al-Dhahabi Al-Mizan j. 2, uk. 414, tarjama ya 3517. 1121
- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 241. 1122
- Anasema Ibn Hajar katika Al-Taqrib uk. 160 tarjama na. 1227: (alikuwa)
“Anaghushi”. Anasema Al-Daraqutni: “Hadithi zake mursal ndani yake kuna udhaifu”. Na
Hadithi hii ni mursal vile vile. Anasema Ibn Hiban: “alikuwa akighushi”. Anasema Al-
Bazzaar: „alikuwa akisimulia kutoka kwa watu wengi wala hajawasikia, basi (badala yake)
husema: „katuhadithia, katuhutubia‟. Anasema Ali bin Al-Madini: “hakupata (Al-Hasan)
kusikia (Hadithi yoyote) kutoka kwa Ibn Abbas, wala hakumuona kamwe; Al-Hasan
alikueko Madina wakati Ibn Abbas yuko Al-Basra”. Anasema Bahz bin Asad: “Al-Hasan
hakusikia (Hadithi yoyote) kutoka kwa Ibn Abbas”. Anasema Al-Imamu Ahmad bin
Hanbal: “(Al-Hasan) hakumsikia Ibn Abbas”. Kwa hivyo sanad hii ina kasoro mbili: moja
ni kuwa imekatika: Al-Hasan anasema “kutoka kwa Ibn Abas” wala hajapata hata kumuona
katika maisha yake. Pili ni riwaya mua‟na‟na ya msimulizi mwenye kughushi. Na hukumu
yake ni “Hadithi dhaifu”. 1123
- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 227. 1124
- Anasema Abdullah bin Ahmad kutoka kwa baba yake Al-Imamu Ahmad bin Hanbal:
“Hadithi zake zinawachwa”. Anasema Ibn Ma‟iin: “si mwenye kuaminika”. Na akasema
tena: “si lolote (hana maana)”. Na akasema tena: “dhaifu”. Anasema Ibn Sa‟ad: “amepokea
Hadithi (nyingi) munkar”. Anasema Al-Bukhari: “katika Hadithi zake kuna (Hadithi
nyingi) Munkar amezikataa Ahmad”. Na akasema tena: “ni mtu wa kufikiriwa”. Na
akasema Al-Nasai: “si mwenye kuaminika”. Na akasema tena: “ni dhaifu”. Anasema
Ya‟aqub bin Sufyaan: “dhaifu”. Anasema Al-Tirmidhi: “Suwaid bin Abdil-„Aziz”
anakosea sana katika Hadithi”. Anasema Ibn Hibaan: “dhaifu sana na akazitaja Hadithi
zake (nyingi) Munkar”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk. 242. 1125
- Anasema Abdullah bin Ahmad kutoka kwa baba yake: “Hadithi zake zinawachwa:
hazina maana”. Anasema Al-Athram kutoka kwa Ahmad: “Mwongo: anasimulia kutoka
kwa Zaid bin Ali kutoka kwa wazee wake Hadithi za kutunga, anasema uwongo”. Tazama
hapa maneno ya Al-Imamu Ahmad halafu tazama na sanad ya Hadithi hii. Kama
alivyosema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal ndivyo ilivyokuja hapa: Amru bin Khalid,
kaipokea Hadithi hii kutoka kwa Zaid bin Ali kutoka kwa wazee wake, na Hadithi hii kweli
ni ya kutunga. Anasema Hashim bin Marthad Al-Tabarani kutoka kwa Ibn Ma‟iin akisema:
“mwongo: hana maana”. Anasema Abbas Al-Duuri kutoka kwa Yahya bin Ma‟iin:
“mwongo: si mwenye kuaminika wala si muaminifu”. Wanasema Is-haq bin Rahwayhi na
Abu Zur‟a: “alikuwa akitunga Hadithi”. Anasema Abu Hatim: “Hadithi zake zinawachwa”.
383 Riwaya hio ya kumuona Mwenyezi Mungu kila siku ya Ijumaa,
imepokelewa pia kutoka kwa Sahaba Anas kwa sanad nyengine na kwa
njia ya Abu Buraida.1126
Lakini katika sanad yake kuna Salih bin Hayyan,
naye ni dhaifu.1127
Pia yumo katika sanad hii Asad bin Musa, naye Hadithi
zake ni munkar.1128
TANBIH
Katika riwaya ya Ibn Abi Shaiba katika Al-Musannaf hakuna katika Hadithi
hio maneno yasemayo: كظ٠ ٣ظح ا٠ ؿ (mpaka wataitazama Dhati
yake)1129
au (mpaka watautazama uso wake). 1130 Jambo hili linathibitisha
kwamba maneno hayo – katika riwaya ya Al-Tabari – yamechomekwa na
wenye itikadi ya kumuona Allah kama kawaida yao kuzidisha na kupunguza
riwaya. Hata hivyo, sanad yake ni sawa na ya Al-Tabari: ni dhaifu, na katika
matn yake kuna mambo munkar.
MGONGANO BAINA YA RIWAYA
Al-Imamu Ahmad emepokea Hadithi inayosema:
ـــ كيػخ ك كيػخ حر ٤ؼش كيػخ ىحؽ ػ أر٢ ح٤ؼ ػ أر٢ ؼ٤ي ٢ هللا ػ ػ
ـــزؼ٤ ش هز أ ٣ظل ا حؿ ك٢ حـش ٤ظ٠ء ك٢ حـش“هخ: ٤ ػ ٠ هللا هللا
ػ طؤط٤ حأس ط٠د ػ٠ ز٤ ك٤ظ ؿ ك٢ هيخ أل٠ ححس ا أى٠ ئئس ػ٤خ
Anasema Abu Daud: “mwongo”. Anasema Waki‟u: “alikuwa jirani yetu tukaugundua
uwongo wake akahama”. Wanasema watu wengine kutoka kwa Waki‟u akisema: “alikuwa
karibu yetu katika ujirani alikuwa akitunga Hadithi, alipogunduliwa akahama”. Anasema
Al-Nasai: “si mwenye kuaminika”. Na akasema tena: “Hadithi zake zinawachwa”. Na Al-
Barqi: “kamtumu kuwa ni Mwongo”. Na akasema Al-Daraqutni: “Hadithi zake
zinawachwa. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8 uk. 24. 1126
- Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 26, uk. 203. 1127
- Wanasema Abu Daud na Ibn Ma‟iin: “ Salih bin Hayyan ni dhaifu”. Anasema Abu
Hatim: “si madhubuti”. Wanasema Al-Nasai na Al-Duulaabi: “si mwenye kuaminika”.
Anasema Al-„Ijli: “si madhubuti”. Anasema Al-Harbi: “ana Hadithi (nyingi) munkar”.
Anasema Al-Imamu Al-Bukhari: “ni mtu wa kufikiriwa”. Tumesema kuwa hii ni lugha ya
upole ya Al-Bukhari kumaanisha mpokezi dhaifu sana. Anasema Ibn Hiban: “anasimulia
Hadithi kutoka kwa (wapokezi) wenye kuaminika hazielekei kuwa zitoke kwa watu wenye
kuaminika”. Anasema Al-Daraqutni: “si madhubuti”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk.
338. 1128
- Anasema Ibn Yunus: “kasimulia Hadithi (nyingi) munkar”. Anasema Ibn Hazm:
“Hadithi zake ni munkar, dhaifu”. Anasema Abdul-Haq: “si hoja kwao (wanavyuoni wa
Hadithi)”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 1, uk. 228. 1129
- Kwa mujibu wa tafsiri ya waliowengi wa kulifasiri neno uso kwa maana ya dhati. 1130
- Kwa mujibu wa tafsiri ya Kiwahabi na maimamu wao wa kulifasiri neno uso kwa
maana ya uso-kiungo. Tazma riwaya hio katika Ibn Abi Shaiba Al-Musnad j. 2 uk. 58,
Hadithi na. 10.
384
ط٢٠ء خ ر٤ حم حـد كظ ػ٤ ك٤ى حال ك٤ؤخ أض كظو أخ ح٣ي..
Ametusimulia Hasan, ametusimulia Ibn Lahia, ametusimulia Darraj kutoka
kwa Abi Al-Haitham kutoka kwa Abi Said kutoka kwa Mtume (s.a.w.)
kasema: „hakika ya mtu katika pepo ataegemea (atakaa) ndani ya pepo
miaka sabiini kabla ya kuondoka. Kisha atamjia mwanamke atampiga
katika mabega yake basi (akimtazama) atauona uso wake katika shavu lake
(shavu la mwanamke) lililo safi kuliko kioo. Na lulu ndogo kabisa (katika
lulu alizozivaa) juu ya (mwili) wake, basi inaangaza baina ya mashariki na
magharibi, basi atamsalimia, naye atamrejeshea salamu. Atamuuliza
„wewe ni nani? Atamwambia mimi ni katika ziada….1131
MATN YA RIWAYA
Hadithi hii kaiisimulia Al-Imamu Ahmad katika kitabu chake cha Hadithi
na kainukuu pia Ibn Kathir katika tafsiri yake1132
kutoka kwa Al-Imamu
Ahmad na vile vile kaitaja Al-Imamu Ibn Jarir Al-Tabari katika tafsiri
yake.1133
Sasa tazama tofauti iliopo baina ya riwaya hizo za nyuma na
riwaya hii: kule ziada si jengine bali ni kumuona Mwenyezi Mungu tu:
hapa ni mwanamke mzuri au na mwanamke mzuri ni katika ziada! Na haya
yote lau kama Hadithi hii ingelikuwa sahihi, lakini pamoja na hayo
Hadithi hii pia ni dhaifu.
SANAD YA RIWAYA
Katika sanad ya Hadithi hii yumo Ibn Lahia, naye ni dhaifu na
anaghushi.1134
Pia yumo katika sanad hii, Darraj, naye Hadithi zake zote
alizozipokea kutoka kwa Abi Al-Haitham ni dhaifu, na hii pia kaipokea
kutoka kwa Abi Al-Haitham.1135
1131
- Ahmad Al-Musnad j. 4, uk. 189, Hadithi na. 11738. 1132
- J. 4 uk. 230. 1133
- J. 26, jalada la 11. 1134
- Ibn Lahia naye ni dhaifu. Anasema Al-Bukhari kutoka kwa Al-Humaidi akisema:
“Yahaya bin Said hamuoni kuwa ni chochote,” (yaani hakumtia maanani). Anasema Ibn
Al-Madini kutoka kwa Ibn Mahdi akisema: “sipokei kingi wala kidogo kutoka kwake”.
Anasema Abdul-Karim bin Abdil-Rahman Al-Nasai kutoka kwa baba yake akisema: “si
mwenye kuaminika”. Anasema Ibn Ma‟iin: “alikuwa dhaifu: Hadithi zake si hoja”.
Anasema Ibn Sa‟ad: “alikuwa dhaifu”. Anasema Ibn Hiban: “nilizichunguza habari zake
nikamgundua kuwa alikuwa akighushi”. Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 5 uk. 327. 1135
- Tazama Al-Taqrib uk. 201 tarjama na. 1824. Anasema Abdullah bin Ahmad kutoka
kwa baba yake Al-Imamu Ahmad akisema: “Hadithi zake ni munkar”. Anasema Al-Nasai:
“si madhubuti”. Wanasema Abu Hatim na Al-Daraqutni: “dhaifu”. Anasema Al-Imamu Ibn
Hajar Al-„Asqalaani: “na amesimulia Ibn Adey kutoka kwa Ahmad Hadithi (nyingi) za
Darraj kutoka kwa Abi Al-Haitham kutoka kwa Abi Said ambazo ndani yake kuna
udhaifu”. Na utaona kuwa Hadithi hii pia imekuja kwa sanad hii hii kutoka kwa Darraj
385 MUKHTASARI
Tulioijadili hapa ni Aya inayosema:
ي٣خ ٣ي
Na kwetu kuna ziada (ambayo tutawapa).
Je ziada hii ni ziada gani? Kiufupi ni kuwa Mwenyezi Mungu kasema
katika sura hio ya 50 Aya 35 kuwa watu wema watapata katika pepo
wanachokitaka na ziada, lakini Qur-ani haikusema ni ziada gani
watakayopewa. Na kudai kuwa kitu kadha ndio ziada iliokusudiwa
haikubaliki kielimu ila kwa ushahidi. Wanaoitakidi kumuona Mwenyezi
Mungu wanasema kuwa ziada hapa ni kumuona Mwenyezi Mungu, na
dalili zao ni Hadithi ambazo zinatarajiwa kuwa zimetoa tafsiri hivyo.
Lakini baada ya kuziwekwa Hadithi hizo kwenye mezani ya elimu ya
Hadithi, zikaonekana kuwa Hadithi hizo zote ni maudhui (za kutunga). Na
wakati huo huo Abu Ya‟ala kapokea katika Musnad wake (kitabu chake
cha Hadithi) kutoka kwa Anas bin Malik kuwa ziada watakayoipata watu
wema ni neema watakazozipata kila ijumaa kama vile Mahurulain, vyakula
na vinywaji vizuri na mengineo wala hakutaja mas-ala ya kuonekana kwa
Mwenyezi Mungu. Na wapokezi wa Hadithi yake ni bora sana inaweza
ikwa Hadithi hasan.1136
Kwa hivyo natija ni kuwa Aya hii inayosema: “Na
kutoka kwetu (watapata) ziada” si ushahidi wa kuwa Mwenyezi Mungu
ataonekana, kwa sababu haikutajwa ni ziada gani. Bali ziada iliotajwa
katika Aya nyengine za Qur-ani ni kuzidishwa thawabu mara kumi:
aliyefanya jema moja akalipwa mema kumi.
kutoka kwa Abi Al-Haytham kutoka kwa Abi Said. Kwa hivyo Hadithi hii ni dhaifu.
Tazama Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3 uk. 180.
1136
- Tazama Musnad Abi Ya‟ala j. 6 uk. 228.
386
SURA YA KUMI KUKIRI KWA BAADHI YA
WANAVYUONI WA KISUNI
Mjadala wote uliotangulia, kimsingi unazihusu Aya tatu za Qur-ani. Moja ni
Aya ya 22-23 ya Sura ya 75 isemayo: “Nyuso siku hio zing‟ara***Kwa
Mola wake tu zitakuwa zinatazama”; pili ni Aya ya 26 ya Sura ya 10
isemayo: “Wale waliofanya mema watalipwa wema wao na ziada”; na
tatu ni Aya ya 103 ya Sura 6 isemayo: “Macho hayamdiriki (Allah)” au
“Macho hayamfikii”. Hadithi zilizonukuliwa katika sehemu hizo ambazo
tulizizungumzia, ni kwa sababu Hadithi hizo zilitarajiwa kuwa zimekuja
kutoa tafsiri ya Aya hizo, na kwa hivyo hakuna budi kuwa tuzijadili pamoja.
Kwa mantiki hii, kimsingi sehemu iliotangulia inajadili tafsiri tafauti za Aya
za Qur-ani tu. Utakuwa umejua kutokana na hayo yaliotangulia kwamba
wenye itikadi ya kutoonekana kwa Allah, wanadai kuwa katika Qur-ani
hakuna kamwe ushahidi wa kuonekana kwa Allah na kwamba Aya
walizoshikana nazo wenye itikadi ya kumuona Allah hazitoi ushahidi huo
kamwe. Suali ni kuwa: je huo ni mtazamo wao peke yao au hata miongoni
mwa wale wenye itikadi ya kumuona Allah pia wako wenye usemi huo?
Jawabu ni kuwa wako wanavyuoni ambao wanaamini kuonekana kwa Allah
lakini wanaona kuwa itikadi hio haikuzaliwa na Aya za Qur-ani kamwe, au
kwamba ushahidi wa Qur-ani wa kukataa kumuona Allah una nguvu zaidi
kuliko ushahidi wa kuthibitisha itikadi hio.
MANENO YA AL-IMAMU MUHAMMAD
RASHID RIDHA
Mfano wa wanavyuoni hao ni Al-Imamu Muhammad Rashid Ridha
mwanachuoni wa Misri ambaye anasema:
Na ama kuonekana kwa Mola kumesemwa (kama ni) rai ya mwanzo,
(lakini) hakika ya Aya zenye kukataa ziko wazi zaidi kuliko (Aya ) zenye
kuthibitisha. Kama kauli ya Mwenyezi Mungu Mtukufu (aliposema
kumwambia Nabii Musa): ,(Hutoniona) طح٢1137
na kauli Yake (Mola)
Mtukufu (aliposema kuwa): ل طي حلرخ (Macho hayamfikii).1138
(Aya)
hizi zinaonesha kwa uwazi zaidi kukataa (kuonekana kwa Mwenyezi
Mungu) kuliko Aya inayosema:
1137
- Sura ya 7 Aya ya 143. 1138
- Sura ya 6 Aya ya 103.
387
س خ خظ ر س ا ٠ خ ج ٣ ؿ
(Kuna) nyuso siku hio zitangaa** Kwa Mola wake (tu) ni
zenye kutazama. 1139
kwa sababu matumizi ya neno ظ (al-nadharu kutazama) – kwa maana ya
kungojea – yanatumika sana katika Qur-ani na lugha ya Kiarabu. Kama
kauli ya Mwenyezi Mungu aliposema:
خ ٣ظ ال ٤لش حكيس
Hawana wanachokingojea isipokuwa ukelele mmoja.1140
Na kauli ya Mwenyezi Mungu aliposema:
٣ظ ال طؤ٣
Hawana wanachokingojea isipokuwa hatima yake (matokeo na
mwisho wake).1141
Hayo ni maneno ya Al-Imamu Muhammad Rashid Ridha, mwanachuoni
wa Misri. Naye baada ya kuyasema haya yote bado anaamini kuwa
Mwenyezi Mungu ataonekana!1142
MANENO YA IBN HAJAR
Mwanachuoni mwengine wa Kisuni ambaye kutokana na maneno yake
inaonesha kuwa anaona kwamba katika Qur-ani dalili za kuwa Mwenyezi
Mungu haonekani ziko wazi zaidi, ni Al-Imamu Ibn Hajar Al-„Asqalaani.
Katika maneno yake, yeye anategemea Hadithi tu katika kuthibitisha kuwa
Mwenyezi Mungu ataonekana; ama katika Qur-ani haoni kuwa kuna hoja
juu ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu. Katika kitabu chake Fat-hu Al-
Bari baada ya kuinukuu Aya inayosema:
ل طي حلرخ
Macho hayamfikii.
1139
- Sura ya 75 Aya ya 22-23. 1140
- Sura ya 36 Aya ya 49. 1141
- Sura ya 7 Aya ya 53. 1142
- Tazama tafsiri yake Al-Manar j. 9 uk. 131.
388
anasema – baada kuinukuu Aya hio –: “Na lau kama si Hadithi basi
isingelifaa kuwacha dhahiri (ya Aya ) hii”.1143
Ni wa wazi kwamba tegemeo la Ibn Hajar katika kuthibitisha kwake itikadi
ya kumuona Allah ni riwaya zilizopokewa juu ya suala hilo: si Aya za Qur-
ani. Lakini riwaya zenyewe ni kama ulivyoziona baadhi yake na kama
utavyoziona nyengine kwamba si riwaya zenye kujenga hoja kamwe
hususan ukizingatia ukweli kwamba zimekwenda kinyume na Aya.
MANENO YA IBN ASHUR
Na mwanachuoni mwengine ambaye anaitakidi kuonekana kwa Mwenyezi
Mungu lakini dhahiri ya maneno yake ni kuwa katika Qur-ani hamuna hoja
ya msingi ni Al-Imamu Ibn Aashur. Anasema katika tafsiri ya Aya
inayosema:
ؿ س خ خظ ر س ا ٠ خ ج ٣
Nyuso siku hio zitangaa **Kwa Mola wake (tu) ni zenye kutazama.
Na dalili ya Aya (hii) kuwa Waumini wataona kwa macho yao; kuona
Dhati ya Mwenyezi Mungu, ni dalili ya dhana (tu), kwa sababu ( Aya hii)
inawezekana kuwa na tafsiri za namna nyingi. 1144
AL-JASAS AL-RAZI AKANUSHA KUONEKANA
KWA MWENYEZI MUNGU
Na miongoni mwa wanavyuoni wa Kisuni ambao hawakubaliani kabisa na
madai ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu ni Al-Imamu Abi Bakr Ahmad
bin Ali Al-Razi aliye mashuhuri zaidi kwa jina la Al-Jassaas. Anasema:
…Basi kauli Yake (Mola) Mtukufu:
ل طي حلرخ
Macho hayamfikii
Maana yake ni kuwa macho haya muoni. Na huku ni kujisifu (kwa
Mwenyezi Mungu) kwa kukataa kuonekana, ni kama kauli yake
(Mwenyezi Mungu aliposema kuwa):
1143
- Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 8 uk. 607 1144
- Ibn Ashur Al-Tahrir Wa Al-Tanwir j. 29 uk. 353.
389
ل طؤه ش ل
Hakumchukuwi kusinzia wala kulala. 1145
Na kitu ambacho Mwenyezi Mungu kajisifu kwa kukikataa kutokana na
Nafsi Yake, basi kuthibitisha kinyume chake ni ila na upungufu: haifai
kuthibitisha kinyume chake.
Na wala haijuzu kuwa Aya inayosema:
س ج ٣ ؿ س ** خ خ خظ ر ا ٠
Nyuso siku hio zitangaa *** Kwa Mola wake (tu) ni zenye
kutazama,
iwe ndio (imewahusisha watu maalum kuwa watamuona Mwenyezi
Mungu) kwa kuuvua (ujumla wa) Aya inayosema:
ل طي حلرخ
Macho hayamfikii
(ambayo inakataa kiujumla kuonekana kwa Mwenyezi Mungu). Kwa
sababu neno .linamaana nyingi (al-nadharu) حظ
Ama Hadithi zilizopokewa kuhusu kuonekana (kwa Mwenyezi Mungu)
kama ni sahihi basi makusudio yake ni kujua (yaani kumjua Mwenyezi
Mungu zaidi au kwa lugha nyengine kuujua uungu zaidi)……..na
matumizi ya neno kuona kwa maana ya kujua ni mashuhuri katika lugha
(ya Kiarabu).1146
MANENO YA AL-SAYYID AL-SAQQAAF
Na mas-ala ya kumuona Allah au itikadi ya kumuona Allah
imebomowa msingi wa tawhid na kumtakasa Allah.1147
Hayo ni maneno ya Al-Sayyid Hasan bin „Ali Al-Saqqaaf. Al-Sayyid Hasan
bin „Ali Al-Saqqaaf ni mwanachuoni wa Kishafi ambaye anajishughulisha
zaidi na elimu ya Hadithi. Pamoja na kuwa yeye kwa asili ni Shafi lakini
kajiweka huru kutafuta hoja tu. Alipotembelea Oman, alikaa na Sheikh Al-
1145
- Sura ya 2 Aya ya 255. 1146
- Al-Jassas Al-Razi Ahkaamu Alqur-an j. 3 uk. 4. 1147
- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 5.
390
Qannubi kiasi cha robo saa tu kuijadili itikadi ya kumuona Allah. Sheikh
Al-Qannubi akamuuliza Sheikh Al-Saqaaf: Sheikh wewe ni mwanachuoni
ambaye umehakiki vitabu vingi sana, vipi kuhusu suala la kuonekana kwa
Allah? Sheikh Al-Saqqaaf akajibu: “Hadithi zake zote ni dhaifu, isipokuwa
moja tu”. Sheikh Al-Qannubi akamuuliza: “ni Hadithi gani hio?” Sheikh Al-
Saqqaaf akasema: “ni Hadithi ya kumuona Allah kama munavyouona
mwezi”. Sheikh Al-Qannubi akamjibu: “Hadithi hii katika sanad yake kuna
Qais bin Abi Hazim naye kadhoofishwa na „Ali bin Al-Madini na wengine”.
Sheikh Al-Saqqaaf akakiri kuwa kweli na Hadithi hio nayo pia si sahihi.
Aliporudi kwao akaandika kitabu alichokiita Mas-alatu Al-Ru-uya, ambapo
ndani yake kaikataa kabisa itikadi hio ya kuonekana kwa Allah na
kubainisha kuwa riwaya zote hizo ni dhaifu, na miongoni mwa ibara zake
alizoziandika ni hio tulioinukuu hapo juu.
MANENO YA AL-UKHT „AZZA BINT
MUHAMMAD AL-MISRIYYA
Huyu ni Bi-Mkubwa wa Kisunni wa Kimisri ambaye kafanya utafiti wake
wa kujipatia shahada ya pili (Master Degree) kwa uhuru kabisa na kwa
kuzivua kasumba zote za kimadhehebu. Natija aliofikia ni kuwa Allah
haonekani duniani wala akhera. Baada ya maelezo, anasema hivi:
Na baada ya kuwa nimebainisha – katika sehemu ya tano katika mlango wa
pili – kuipa kwangu uzito kauli ya kuwa Allah haonekani duniani, kama
ambavyo nimebainisha – katika sehemu ya sita katika mlango wa pili –
kuipa kwangu uzito kauli ya kuwa Allah haonekani huko akhera.1148
Bibi Mkubwa huyu ana maelezo mengi katika kitabu chake hicho, lakini
tunanukuu katika maneno yake kitu kidogo kiasi cha kuthibitisha kauli yake
tu.
Kwa hivyo, mukhtasari wa hayo ni kuwa sisi tunadai kwamba katika Qur-
ani hamuna kamwe ushahidi sahihi wa kuonekana kwa Allah. Bali tunadai
kuwa ushahidi sahihi uko kinyume na itikadi hio: ushahidi sahihi wa Qur-
ani ni kutoonekana kwa Allah kama tulivyobainisha. Umeona katika nukulu
zetu hapa kwamba baadhi ya wataalamu hawa wa Kisuni wamekataa moja
kwa moja kuonekana kwa Allah; na wengine – kama Ibn Hajar, dhahir na
Al-Sayyid Muhammad Rashid Ridha na Ibn „Ashur – wametegemea Hadithi
tu pasina Qur-ani, katika kuikubali kwao itikadi ya kuonekana kwa Allah.
1148
- „Azza bint Muhammad Ru-uyatu Allahi Ta‟aala Baina Al-Muthbitina Wa Al-Naafin
uk. 75.
391
Lakini suali lililobakia ni kuwa: je kuna Hadithi za kutegemea juu ya itikadi
hio? Sehemu inayofuata inajadili suala hilo.
392
SURA YA KUMI NA MOJA HADITHI ZA KUONEKANA KWA ALLAH
Katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu, tulinukuu idadadi kubwa ya Aya za
Qur-ani ambazo watetezi wa itikadi ya kumuona Allah huko akhera
wanazitegemea. Tulibainisha huko kwamba Aya ndizo lakini tafsiri ambayo
imepewa Aya hizo ni tafsiri batili. Natarajia kwamba Kasim bin Mafuta
labda kakubaliana na sisi kuhusu ubatili wa tafsiri yao juu ya Aya hizo,1149
kwani katika kitabu chake hakutoa hoja kwa kutumia Aya hizo; bali kajenga
hoja kwa Aya mbili tu, Aya isemayo: “Nyuso siku hio zing‟ara**Kwa
Mola wake tu ni zenye kutazama” na Aya isemayo: “Wale waliotenda
mema watapata wema wao na ziada”. Nasi – Wa li-Lahi Alhamdu –
tumeshabainisha katika kitabu hiki ubatili wa maneno ya Kasim Mafuta
kuhusu Aya hizo na kuibainisha haki kwa kila aitakae.
HADITHI YA KWANZA: HADITHI YA KUMUONA
ALLAH KAMA MUNAVYOUONA MWEZI
Sasa Sh. Mafuta baada ya kujenga hoja kwa Aya hizo ili kuthibitisha itikadi
yake ya kumuona Allah, aliendelea kwa kujenga hoja zake kwa baadhi ya
riwaya zilizonasibishwa kwa Mtume (s.a.w.) na baadhi ya Al-Salaf Al-Salih.
Hadithi ya kwanza ambayo kaijengea hoja ni Hadithi isemayo:
ػ خ ي ك ػ ر ػ خ ػ ي خ ي ك ه ٤ ػ ٤ خػ ا ػ ه ٤ ػ ٣ ؿ خ ه خ خــــؿ يــػ
ـــ٠ حز ٢ هللا ٤ ػ ا ا ٠ ظ و ٤ ش ح ز ي ح ه خ ظ ا ـــ ر خ ـــــ آ ح ط
و ل ح خ ك ٢ ط ٠ ٣ ظ إ ....
Ametusimulia Amru bin Aun, amesema: ametusimulia Khalid na Hushaim,
kutoka kwa Ismail, kutoka kwa Qais, kutoka kwa Jarir: Tulikuwa ni wenye
kukaa mbele ya Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- kwa ghafla
akautazama mwezi, katika usiku wa mwezi mpevu, akasema: Kwa hakika
nyinyi mtamuona Mola wenu kama mnavyouona huu (mwezi)
hamtasongamana katika kuuona…..1150
Kasim Mafuta kainukuu riwaya hii kwa njia nne ambazo – kwa kutaka
kuwaghushi watu na dini yao – kaziita kuwa ni njia sahihi. Tutazijadili in
1149
- Kama ni hivyo, basi ajue Kasim Mafuta kwamba kabla yake katanguliwa na Ibn Hajar
ambaye yeye anaona katika Qur-ani hakuna ushahidi wa kuonekana kwa Allah. Bali dalili
ya kutoonekana kwa Allah iko wazi zaidi. Tazama Ibn Hajar Fat-hu Al-Bari j. 8 uk. 607 . 1150
- Tazama Sahihul-Bukhari, hadithi namba 6882.
393
shaa Allah njia zote alizozitaja, lakini kwanza natuanze na hii njia ya
kwanza. Sisi tumeikataa riwaya hii kwa sababu tatu:
1) Qur-ani imeeleza kwa uwazi kwamba Allah haonekani. Na hii ni
pale iliposema kwa uwazi kwamba: “Macho hayamfikii”. Na hili ni
andiko la wazi juu ya kutoonekana kwa Allah, wala hakuna tafauti
kwa Allah baina ya dunia na akhera, kwani sifa zake za dhati
hazibadiliki.
2) Hadithi hii ina udhaifu katika sanad yake.
3) Hadithi hii ina udhaifu katika matn yake.
SANAD YA HADITHI HIO
Sasa wacha tuingie katika ufafanuzi wa hayo. Nukta (point) ya kwanza
yenye kuhusiana na Aya tutaijadili kwa urefu na upana tukifika katika
sehemu yake in shaa Allah. Ama kuhusu sanad, ni kuwa msimulizi wa
Hadithi hio ni Qais bin Abi Hazim, naye si mpokezi sahihi tafauti na Kasim
bin Mafuta anavyotaka kutughushia mambo ili aipe nguvu itikadi yake.
Anasema „Ali bin Al-Madin katika kisa fulani alichokitaja Al-Dhahabi
katika Al-Siyar:
اخ خ أػحر٤خ ه٤ ر أر٢ كخ،٠ خ ٣٣ ـــ ػ٤ ل ػـك٢ ح حإلخى ل ٣ؼ
رحل ػ٠ ػوز٤
Katika sanad hii kuna mpokezi ambaye hatendewi kazi (hafuatwi) wala
hazitendewi kazi (hazikubaliki) riwaya zake, naye ni Qais bin Abi Hazim,
kwa hakika yeye alikuwa ni bedui mwenye kujikojolea katika visigino
vyake (hata kwenda chooni hajui).1151
Hayo ni maneno ya Ibn Al-Madini naye ni miongoni mwa wanavyuoni
wakubwa wa wapokezi katika karne za awali. Lakini Al-Khatib Al-
Baghdadi katika kitabu chake Al-Taarikh anaikanusha riwaya hio ya Ibn Al-
Madini. Hoja ya Al-Khatib ni kuwa Ibn Al-Madini hawezi kusema hivyo
kwani wanavyuoni wa Hadithi – akiwemo Ibn Al-Madini mwenyewe –
wamekubaliana kutoa hoja kwa riwaya za Qais bin Abi Hazim. Anasema
Al-Khatib:
ـخؽ رح٣ش ه٤ــــهي هللا ػ٤خ ػ ه ي، ل أ حلػ، ك٤ ػ٢، ـؼ ػ٠ حلكظ
خ زحء طخرؼ٢ أ حكش. طل٤لخ، ا
Allah amemtakasa „Ali (bin Al-Madini) kutokana na kauli hio, kwani watu
wa Hadithi – akiwemo „Ali – wamekubaliana kutoa hoja kwa riwaya za
1151
- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 9, uk. 346.
394 Qais na kuziita kuwa ni riwaya sahihi, kwani alikuwa ni katika Tabi‟iin
wakubwa katika watu wa Al-Kufa.1152
Hayo ni maelezo ya Al-Khatib katika kumtetea kwake Qais bin Abi Hazim.
Na mfano wa maelezo hayo katika kumtetea Qais ni maelezo ya Al-Dhahabi
katika Al-Siyar. Lakini Al-Sayyid Al-Saqqaf akayajibu maelezo hayo ya Al-
Khatib kwa kusema:
Na jaribio la Al-Khatib na Al-Dhahabi na wale waliowaiga wao katika
jaribio la kuyaletea tafsiri (maneno) hayo (ya Ali bin Al-Madini) au
kuyakataa na kuyabatilisha, hilo linakataliwa kwa sababu ya kupokewa
kauli za kundi (kubwa) la wanavyuoni waliomponda Qais bin Abi
Hazim.1153
Ninasema: maelezo ya Al-Sayyid Al-Saqqaaf yanaungwa mkono na riwaya
nyengine zifuatazo kutoka kwa wanavyuoni watangulizi. Katika kitabu
chake Tahdhib Al-Tahdhib, Al-Imamu Al-Hafidh Ibn Hajar anawanukuu
baadhi yao wakitongoa hivi:
Na wanavyuoni wetu wamemzungumza (Qais bin Abi Hazm); wengine
wakamtukuza na wakazifanya riwaya kutoka kwake kuwa ni katika sanad
sahihi zao; na wengine wakamponda na wakasema kuwa ana Hadithi
(nyingi) munkar. Na wale waliomsifu wamezifasiri Hadithi hizi kuwa si
munkar kwa mtazamo wao, bali ni Hadithi ngeni (ghariib). Na wengine
hawakumponda kwa sababu ya Hadithi; na walikuwa wakimponda kwa
sababu ya madhehebu yake na wakasema kwamba alikuwa akimshambulia
(Al-Imamu) Ali (k.w.); na kilichomashuhuri kutoka kwake ni kuwa
alikuwa akimtanguliza „Uthman. Na kwa sababu hio, wanavyuoni wa kale
wa Al-Kufa walijiepusha kusimulia riwaya zake.1154
Hayo ni maelezo ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba yalionukuuliwa na Al-Imamu
Ibn Hajar na Al-Imamu Al-Mizzi. Ama Isma‟il bin Abi Khalid yeye
anasema: “Qais alikonga mpaka akavuuka miaka mia kwa (ziada ya) miaka
1152
- Al-Khatib Taarikh Baghdad j. 11, uk. 464, katika tarjama ya „Ali bin Al-Madini, na.
6349. 1153
- Kisha Al-Sayyid Al-Saqqaf akazinukuu kauli hizo. Mas-ala Al-Ru-ya uk. 10. Kauli
hizo tumezinukuu pia katika kitabu Hoja Zenye Nguvu na tutazinukuu tena hapa in shaa
Allah. 1154
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 346-347, tarjama na. 691. Al-Mizzi
Tahdhibu Al-Kamal j. j. 8, uk. 379-380, tarjama na. 5523.
395
mingi hata akili yake ikaharibika kwa sababu ya uzee na ikapotea akili
yake”.1155
Kwa hivyo, utaona kwamba madai ya Al-Khatib, ya kuikataa riwaya ya Ibn
Al-Madini iliomdhoofisha Qais bin Abi Hazim si madai sahihi, kwani
waliozikataa riwaya za Qais bin Abi Hazim ni kundi kubwa la wanavyuoni
wala si kama alivyodai yeye kwamba wanavyuoni wamekubaliana kuzitolea
hoja riwaya za Qais. Bali Ibn Al-Madini mwenyewe kapokea riwaya kutoka
kwa Yahya bin Sa‟iid akisema: “Qais bin Abi Hazim Hadithi zake ni
munkar”. 1156 Sasa vipi mtu ambaye yeye mwenyewe kaisimulia riwaya
kama hii, ikanushwe riwaya yake ya kuzikataa riwaya za mpokezi huyo
mwenye sifa hio.
Lakini Kasim Mafuta akayajibu maelezo hayo kama ifuatavyo:
MAJIBU YETU
Katika itikadi ya makhawaarij (maibadhi) ni kwamba mtu akifanya dhambi
kubwa kama vile kusema uongo, basi anakua kafiri na huko akhera
ataingia motoni milele na hatoki katu. Sasa ajabu ni maibadhi hawa wa
zama hizi kwa nini wanasema uongo?!!
Na ushahidi juu ya uongo wao ni huu ufuatao:
Ndugu Juma anadai kwamba Qais ni „„DHAIFU‟‟ na wanavyuoni wengi
wamemdhaifisha! Maneno haya ni uongo na ukweli ni kwamba Qais ni
„„THIQA‟‟(ni
mtu muadilifu mwenye hifdhi nzuri) kwa mujibu wa kauli za maulamaa wa
hadithi.
1-Amesema Imamu Yahya bin Mai‟n : “THIQA”.
2-Amesema Imamu Abu Daud: “Mtu mwenye sanadi nzuri kuliko
Taabi‟ina wote (taabi‟ina ni wafuasi wa maswahaba) ni Qais bin Abi
Haazim.
3-Amesema Ya‟qub bin Abi Shaibah:
“Alikuwa Qais ni katika Taabi‟ina wa zamani mno…na yeye ni mwenye
ufanisi katika kupokea riwaya”.
1155 - Marejeo yaliotangulia. Hapa kuna maneno kayataja Al-Mizzi na Ibn Hajar
kayaondosha. Naye Ibn Hajar kafanya vyema kuyaondosha kwani maneno hayo ni maneno
ya kumtia mtu aibu bila ya haja. Ya leit na Al-Mizzi naye aliyaepuka. 1156
- Marejeo yaliotangulia..
396
4-Amesema Ismail bin Abi Khalid: “Alikuwa (Qais) ni mtu madhubuti”.
5-Na Imamu Ibn Hibbaana amemtaja miongoni mwa Thiqaat (watu
madhubuti katika riwaya).
6-Amesema Imamu al-Dhah‟biy: “Wameafikiana (maulamaa wa hadithi)
juu ya kumfanya (Qais) kuwa ni Hoja na mtu YOYOTE
ATAKAYEMSEMA VIBAYA BASI AMEJIUDHI MWENYEWE”.
7-Na amesema al Hafidh Ibn Hajar: “Qais bin Abi Haazim al Bajaliy Abu
Abdillahi al Kufiy ni THIQA”.1157
Mpaka hapa madai ya Juma kwamba Qais ni dhaifu yatakuwa
yameporoka.1158
JAWABU
Mafuta! Hebu tulia kwanza! Mwongo ni mimi au ni wewe au ni
wanavyuoni wako? Hapo katika jawabu yako umenukuu maneno ya
wanavyuoni wengi na mengi katika hayo hukuyanukuu kiukamilifu! Bali
mengi ya maneno hayo yanahitaji maelezo na tahqiq jambo ambalo
hukulifanya. Tunasema: kwamba kuhusu:
Ibn Ma‟iin
1) Kuhusu Ibn Ma‟iin, ni kweli kasema kuwa Qais ni thiqa.
Abu Daud
2) Maneno ya Abu Daud si madhubuti pamoja na kuwa msemaji ni
Abu Daud. Nawe ulitakiwa uyahakiki kwa vile wewe ni muhakiki.
Na jambo lenyewe la tahqiq hata kama ni zito katika baadhi ya
sehemu; lakini ni jepesi katika sehemu hii. Ubainifu wa haya ni
katika nukta mbili:
a) Wanavyuoni wanatafauti kuhusu kudai kuwa sanad fulani
ndio sahihi kuliko zote. Na kilicho sahihi kwa watu wa tahqiq
ni kuwachana kabisa na madai hayo kama alivyosema Al-‟Iraqi
1157
- Tazama vitabu vifuatavyo: Taarikhul-Duuriy juzuu ya 2 ukurasa wa 95. Kitabu Al-
Thiqat cha Ibn Hibbaan juzuu ya 5 ukurasa 307. Tahdhibul-Tahdhibi juzuu ya 4 ukurasa wa
561 -86. Al-Taq‟ribu ukurasa 134-135, tarjama namba 6250. 1158
- Kasim bin Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 101.
397
katika Al-Fiyya yake.1159
Kwa hivyo, madai kwamba “mtu
mwenye sanadi nzuri kuliko Taabi‟ina wote ni Qais bin Abi
Haazim” ni madai yalilojengeka juu ya msingi wenye khilafu
bali msingi dhaifu.
b) Wanavyuoni wametafautiana kuhusu usahihi wa Qais
mwenyewe; wakati Matabiina wengine wamekubaliana
juu ya usahihi wao. Sasa vipi iwe sanad yenye mpokezi
mwenye khilafu ndio bora kuliko zile zenye wapokezi
waliokubaliana? Maneno ya Abu Daud hayakubaliki wain
raghimatil unuuf!
Ya‟aqub bin Abi Shaiba
3) Maneno ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba. Maneno haya wewe
umeyabutua: yale maneno ambayo yameonesha kuwepo kwa
wanavyuoni wengine wengi waliozikataa riwaya za Qais wewe –
kama kawaida ya ghushi yako – umeyaondosha. Na hili ni jambo
madhmuum. Maneno ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba yanaishia kwa
kusema:
Na wanavyuoni wetu wamemzungumza (Qais bin Abi Hazm);
wengine wakamtukuza na wakazifanya riwaya kutoka kwake kuwa
ni katika sanad sahihi zao; na wengine wakamponda na wakasema
kuwa ana Hadithi (nyingi) munkar. Na wale waliomsifu
wamezifasiri Hadithi hizo kuwa si munkar kwa mtazamo wao, bali
ni Hadithi ngeni (ghariib). Na wengine hawakumponda kwa
sababu ya Hadithi; na walikuwa wakimponda kwa sababu ya
madhehebu yake na wakasema kwamba alikuwa akimshambulia
(Al-Imamu) Ali (k.w.); na kilichomashuhuri kutoka kwake ni
kuwa alikuwa akimtanguliza „Uthman. Na kwa sababu hio,
wanavyuoni wa kale wa Al-Kufa walijiepusha kusimulia riwaya
zake.1160
Maneno haya wewe umeyaruka nawe umemwita Al-Qannubi kuwa ni
mwongo kwa kuyaondoa maneno ya Al-Albani ambayo kuwepo kwake na
kutokuwepo hayajengi wala hayabomoi katika elimu ya Hadithi! Maneno
haya nilioyanukuu hapa ndio yenye kuthibitisha kwamba walikuweko
wanavyuoni wengi ambao walizikataa riwaya za Qais kwa msingi kwamba
1159
- Al-Hafidh Al-‟Iraqi Al-Alfiyya uk. 9. 1160
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 346-347, tarjama na. 691. Al-Mizzi
Tahdhibu Al-Kamal j. j. 8, uk. 379-380, tarjama na. 5523.
398
ni mpokezi wa Hadithi munkar. Sasa uwongo uko wapi, au mwongo ni
nani?
Isma‟il bin Abi Khalid
4) Katika kuyanukuu maneno ya Ismail bin Abi Khalid, uliishia kwa
kusema: “Amesema Ismail bin Abi Khalid: “Alikuwa (Qais) ni mtu
madhubuti”. Wakati riwaya ya pili ya Isma‟iil bin Abi Khalid, iliopo
hapo hapo, inasema: “Qais alikonga mpaka akavuuka miaka mia
kwa (ziada ya) miaka mingi hata akili yake ikaharibika kwa
sababu ya uzee na ikapotea akili yake”.
Kwa hali yoyote ile, hata kama maneno haya umeyanukuu kwengine, suali ni kuwa
je mtu kama huyu riwaya yake ni sahihi au ni dhaifu? Soma elimu yako mwenyewe
uliotuandikia katika kitabu chako. Ukitaja masharti ya mpokezi anayekubalika,
unasema:
Wala asiwe (mpokezi ni) mwenye kufanya .(Hifdhi nzuri) طخ ح٠ز٢
maasia kwa dhahiri wala asiwe na tabia mbaya, mpokezi awe na
uwezo wa kudhibiti maneno aliyo yapokea, bila ya kubadilisha
chochote katika maana yake, au kukosea sana, au kubabaika
kulikopetuka mipaka wakati wa kusimulia mapokezi hayo.1161
Hayo ni maneno yako mwenyewe japo kuwa umechanganyachanganya na
kuvurugavuruga kwa kuyachanganya kwako baina ya mas-ala ya kuwacha
maasi na kuwa na tabia nzuri ambayo ni masuala ya حؼيحش maadili mema,
wewe umeyachanganya na mas-ala ya kuhifadhi ambayo ni mas-ala ya طخ
uwezo kamili wa kuidhibiti Hadithi. Kwa hali yoyote ile, suali laح٠ز٢
msingi hapa ni kuwa je Qais ambaye “alikonga mpaka akavuuka miaka mia
kwa (ziada ya) miaka mingi hata akili yake ikaharibika kwa sababu ya
uzee na ikapotea akili yake” anaingia katika sharti hii ulioitaja hapa? Je
mtu katika hali kama hii anaweza kuidhibiti Hadithi?
Bali tunasema kwamba kwanza maneno ya Ismail bin Abi Khalid si:
“Alikuwa (Qais) ni mtu madhubuti”, bali maneno yake ni “Qais ni nguzo
hii”. Kisha dhahir ni kuwa walioyafasiri maneno hayo “Qais ni nguzo hii”
kuwa maana alioikusudia ni kuwa Qais ni nguzo hii “kwa uaminifu au kwa
umadhubuti” si tafsiri ya Isma‟iil bin Abi Khalid mwenyewe kama maneno
yenyewe yanavyojionesha, bali ni tafsiri ama ya Khalid Al-Ahmar au ya
Abu Said Al-Ashajj.
1161
- Kasim bin Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 8.
399
Pili ni kuwa riwaya hio ya Ismail bin Abi Khalid imesimuliwa kwa njia ya
Khalid Al-Ahmar, naye wamekubaliana kwamba hakuwa na uwezo wa
kuhifadhi. Anasema Al-Duuri kutoka kwa Ibn Ma‟iin: “ni mkweli wala
hafanywi kuwa ni hoja”. Anasema Ibn „Adey: “Anazo Hadithi zenye kufaa,
isipokuwa kajaaliwa kuwa na hifdhi mbaya, basi anasahau na kukosea naye
kimsingi ni kama alivyosema Ibn Ma‟iin kwamba ni mkweli wala hafanywi
kuwa ni hoja”. Anasema Al-Bazzaar: “Si katika wale ambao ziada zao ni
hoja kwa sababu wanavyuoni wa Hadithi wamekubaliana kwamba hakuwa
mwenye kuhifadhi”.1162
Kwa hivyo, itakubainikia kwamba wale waliomwita
mpokezi huyu kuwa ni thiqa basi wanakusudia kuwa alikuwa thiqatun fii
nafsihi kwa maana kwamba saduuqun fii nafsihi (ni mkweli katika nafsi
yake), lakini – ukichanganya hayo na yale yaliosemwa na Ibn Ma‟iin, Ibn
„Adey na Al-Bazzaar, basi – maana ni kuwa yeye ni dhaifu katika hifdhi
yake; mkweli katika nafsi yake. Na hivi ndivyo inavyotakiwa yajumuishwe
maneno ya wanavyuoni wa Hadithi ikiwa yatagongana kama hivi, tafauti na
Kasim Mafuta alivyolifasiri neno hilo thiqa kuwa maana yake ni “mwenye
kuaminika, mwenye hifdhi nzuri”, japo kuwa kuna ushahidi mwengine
wenye kuonesha kwamba mpokezi huyo aliyeitwa hivyo thiqa ni dhaifu.
Baada ya hayo, utaona kwamba natija ni kuwa, kwanza riwaya hio
iliosimuliwa kutoka kwa Ismail bin Abi Khalid kwamba kasema: “Alikuwa
(Qais) ni mtu madhubuti” au “alikuwa nguzo hii” si riwaya sahihi kwa
sababu ya kupwekeka nayo mpokezi asiye na hifdhi madhubuti naye ni
Sulaiman bin Hayyaan, Abu Khalid Al-Ahmar. Pili ni kuwa hata kama
riwaya hio ni sahihi lakini bado:
a) Kapingwa na wengine waliomdhoofisha. Na udhoofishaji
unatangulizwa kabla ya usahihishaji.
b) Riwaya hio hata kama ni sahihi ni lazima ifungamanishwe na hali ya
zamani ya Qais: si baada ya kukonga.
c) Baada ya kukonga na kuwa katika hali hio riwaya zake hazikubaliki
ila ile itayothibiti kwa ushahidi kwamba kaisimulia kabla ya
kukonga.
d) Na hayo yote ni kwa msingi kwamba Qais mwanzo alikuwa imara,
vyenginevyo wanavyuoni wametafautiana kuhusu yeye hata kabla
hajakonga kama ulivyoona nukulu zao.
Ibn Hibbaan
1162
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 3, uk. 159, tarjama na. 313.
400
5) Ama kuhusu Ibn Hibbaan kumtaja Qais katika Al-Thiqaat hilo ni
jambo la kawaida kwa Ibn Hibbaan. Na nadhani hili wanalijua hata
wanafunzi wadogo kabisa kwamba Ibn Hibbaan amewaita wapokezi
wengi kuwa ni thiqa nao si thiqa, bali wengine ni majhulun
(hawajulikani kabisa). Rudia hata vitabu vya Imamu wako Al-Albani
utaona akilieleza hilo katika sehemu tafauti.1163
Kwa hivyo, mukhtasar ambao tunaweza kuusema kuhusu Qais ni ule ule
uliomo katika maneno ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba kwamba:
1) Qais wako waliomtukuza.
2) Na wako waliomponda na kusema kwamba ni mpokezi mwenye
kusimulia Hadithi munkar, na wengine – kama Ibn Al-Madini –
akamdhoofisha kabisa kama ulivyoona nukulu yake iliotangulia.
Na kwa mantiki hii, basi wanavyuoni wametafautiana kuhusu Qais: je ni
mpokezi sahihi au dhaifu? Kilichobaki ni kuiuliza elimu ya Hadithi: je
mpokezi kama huyu ana hukumu gani? Mimi sina maelezo; namuachia
Ayatollah Al-Albani atujibie suali letu. Ewe Al-Albani tongoa we! Al-
Albani anena:
حـف وي “س ــــهللا وخلظ وخػيس حو كال ٣ظلض رؼي ح ظػ٤ن ح٤ن أكي خ ك
ػ٠ حظؼي٣.
Basi baada ya haya, maneno ya Sheikh Ahmad Shakir ya kumfanya
mpokezi huyo kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika) hayatazamwi kamwe
kwani yako kinyume na kanuni iliokubalika yenye kusema: „kujeruhi
kunatangulizwa kuliko kuadilisha (kusahihisha)‟.1164
Na anasema tena Al-Albani:
ق ا٤ حظ٣ـ١ ؼخ ػ هخػيس ػخء حلي٣غ : ـــــــؿ ي ل ه٤ش ظػ٤ن ػو ، ح١
…… “ حظؼي٣ حـف وي ػ٠“
Halkadhalika hakuna thamani kwa usahihishaji wa yule aliyemsahihisha
(mpokezi huyo) ambako Al-Tuwaijri kamili huko (kamili katika
usahihishaji huo) akiipa mgongo kanuni ya wanavyuoni wa Hadithi yenye
kusema: (kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha).1165
Anaendelea:
1163
- Tazama – kwa mfano – Ir-waau Al-Ghalil j. 2, uk. 254-255, riwaya na. 491. Na hilo
limo katika sehemu nyingi ya vitabu vya Al-Albani. 1164
- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. uk. 89. 1165
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 101, Hadithi na. 6043.
401
حـف وي ػ٠ حظؼي٤٣ ٣ول٠ ػ٠ حظو٤ ح حؼ أ
Na wala haijifichi kwa wale wenye kuimudu vyema fani hii (ya Hadithi)
kwamba kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha. 1166
Anaendelea:
ل حـف وي ػ٠ حظؼي٣
Na kwa sababu kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha. 1167
Baada ya hayo, hatuna budi kumuelekea Sheikh Mafuta na hizbu yake na
kuwambia kwamba hio ni moja ya sababu zetu ambazo kwamba
zimetupelekea kuikanusha riwaya hio ya Qais kwani kanuni ni kuwa
(kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha), na kwa hivyo yeye ni dhaifu
hata pua zikiramba mchanga……….. ك ؼ٤ق ػ٠ حظلو٤ن ا ؿض حلف.
Al-Dhahabi
6) Ama maneno ya Al-Dhahabi alipodai: “Wameafikiana (maulamaa
wa hadithi) juu ya kumfanya (Qais) kuwa ni Hoja na mtu YOYOTE
ATAKAYEMSEMA VIBAYA BASI AMEJIUDHI
MWENYEWE”.
Tunasema: maneno hayo hayana kima katika gulio la elimu, kwani tafauti
baina ya wanavyuoni kuhusu Qais bin Abi Hazm imenukuliwa kutoka kwa
wakuu wa awali na wanavyuoni wengi wameyanukuu hayo akiwemo yeye
mwenyewe Al-Dhahabi kama ilivyo katika kitabu chake Al-Siyar1168
na
kitabu chake Al-Mizan,1169
sasa makubaliano hayo yametoka wapi? Hivi
ndivyo walivyo viongozi wa Kihanbali na wajukuu zao wa Kiwahabi
kwamba kila walitakalo wao basi “umma umekubaliani” au “al-salaf
wamekubaliana”, japokuwa vitabu vyao wenyewe vinawasuta Wa Allahu
Al-Musta‟aan.
Ama mayowe ya Al-Dhahabi alipolalamika kwamba: “na mtu YOYOTE
ATAKAYEMSEMA VIBAYA BASI AMEJIUDHI MWENYEWE”.
1166
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 148, Hadithi na. 6058. 1167
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 2, uk. 841, Hadithi na. 6379. 1168
- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 5, uk. 201-204, tarjama na. 448. 1169
- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 4, uk. 312-313, tarjama na. 6908.
402
Mwiso wa kunukuu. Ninasema: mimi sina jawabu juu ya maneno hayo:
ninamuachia Al-Sayyid Al-Saqqaf anijibie. Anasema Al-Saqqaf:
Na vile vile inatubainikia kwamba kauli ya Al-Dhahabi katika kitabu chake
Al-Mizan aliposema: „na atayemsema vibaya Qais basi huyo kajiudhi
mwenyewe‟. Haya ni katika maneno ya kuropoka na ni batili vile vile! Bali
aliyejiudhi mwenyewe – ewe Al-Dhahabi – ni Qais bin Abi Hazim
aliyekuwa akimchukia Sayyidna „Ali „alaihi al-salam. Na Al-Dhahabi
naye mwenye kumtetea na mwenye kusema kwamba mwenye kumchukia
Qais – ambaye anamchukia Bwana wetu „Ali – kuwa kajiudhi nafsi
yake…….E! Ajabu ilioje! Na hili linaonesha kuwa Al-Dhahabi ni naasib
(mtu mwenye kuwapiga vita Ahlul-Bait) na hili ni jambo mashuhuri
(kuhusu Al-Dhahabi)! Kwa sababu, vipi atakuwa mwenye kumponda Qais
ambaye ni mwenye kumsimamishia uadui na kumshambulia Bwana wetu
„Ali awe kajiudhi nafsi yake, na asiseme (Al-Dhahabi) kuhusu waovu wa
Nawaasib akiwemo Qais na Huraiz ambaye alikuwa akimtukana „Ali kuwa
kajiudhi nafsi yake na kwamba riwaya zake hazikubaliki…….na Qais
alikuwa akiishi chini ya mwanvuli wa dola yenye kujenga na kuikumbatia
fikra ya kumlani Sayyidna „Ali na kumtukana na kumtia aibu, na kwa
sababu hio wakamtukuza waliomtukuza na wakampamba.1170
Hayo ni maelezo ya Sheikh Al-Sayyid Al-Saqqaaf, na natarajia yanatosha
kukujuilisha Al-Dhahabi mwenyewe ni mtu wa aina gani, ndio maana Al-
Dhahabi akasema kuhusu Ibn Batta kwamba: “pamoja na kuwa Ibn Batta
ana uwezo mdogo katika riwaya lakini ni Imamu katika Sunna”1171
ilhali Ibn
Batta alikuwa mwongo mkubwa kama tulivyomuelezea katika juzuu ya
kwanza ya kitabu hiki. Al-Dhahabi hakuyasema hayo kwa kukosea, bali ni
kwa sababu Ibn Batta ni Hanbali mwenzake na anawafikiana naye kiitikadi.
Kwa hivyo, usione ajabu kwa Al-Dhahabi kusema: “na mtu YOYOTE
ATAKAYEMSEMA VIBAYA BASI AMEJIUDHI MWENYEWE”,
madamu Qais ana riwaya ambazo ni muhimu kwa Al-Dhahabi!
SUALA LA PILI: QAIS ANA HADITHI MUNKAR
Kisha Sheikh Kasim bin Mafuta akaendelea na jawabu yake. Na katika
kufanya hivyo, aliinukuu jawabu ya Al-Dhahabi dhidi ya riwaya ya Yahya
bin Sa‟iid Al-Qattaan yenye kusema kwamba Qais alikuwa na Hadithi
munkar. Anasema Ibn Mafuta:
1170 - Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 11.
1171 - Al-Dhahabi Al-Mizaan j. 3, uk. 412, tarjama na. 5394. Ni Sunna gani?! Ni sunna ya
kutunga riwaya za uwongo; ni sunna ya kuiba vitabu vya watu; ni sunna ya kumshabihisha
Allah na viumbe na kuwakafirisha Waislamu!
403
Majibu yetu Inshaallah yatakuwa kwa njia mbili:
Njia ya kwanza, ni kuhusu kauli ya Ibn al-Madini kuwa ameambiwa na
Yahya bin Said kwamba Qais bin Abi Haazim hadithi zake ni MUNKAR.
Ameijibu tuhuma hii Imamu al-Dhah‟biy pale alipoitaja kauli hiyo kwa
kusema:
“Kisha (Yahya bin Said) akazitaja hadithi ambazo ameziona kuwa ni
munkar, lakini hakufanya kitu, bali hadithi hizo zimethibiti, na wala
haishangazi kupwekeka nazo (kuwa amezipokea peke yake) kwa sababu ya
upana wa aliyoyapokea, na miongoni mwa hadithi hizo ni (ile inayotaja
habari za) Mbwa wa Hauab‟‟.1172
Maana ya maneno haya ya Imamu al-Dhah‟biy ni kwamba si sahihi
kusema kwamba Qais hadithi zake ni MUNKAR au hadithi zake nyingi ni
MANAKIR kwa sababu ya kupwekeka kwake katika kupokea baadhi ya
hadithi bila ya kushirikiana katika mapokezi hayo na watu wengine, kwa
sababu Qais alikuwa na hifdhi pana na riwaya nyingi, na baada ya
kuzifuatilia hadithi zake imegundulika kwamba ni hadithi sahihi na
miongoni mwa hadithi hizo ni ile ambayo Mtume –swalla llaahu alayhi
wasallam- alitabiri kwamba baadhi ya wake zake watabwekewa na mbwa
pindi wafikapo mahali paitwapo Hauab na hiyo ni hadithi sahihi.
JAWABU
Nasi tunajibu kwa ufupi kwamba maneno hayo ya Al-Dhahabi hayana kima
chochote katika soko la elimu, kwani hali ingelikuwa hivyo alivyodai yeye
lau ni Yahya bin Said Al-Qattaan peke yake ndiye aliyesema kuwa Qais
Hadithi zake ni munkar, lakini waliosema hivyo ni wengi kama
tulivyonukuu kabla; na Ibn Al-Madini akasema:
Katika sanad hii kuna mpokezi ambaye hatendewi kazi (hafuatwi) wala
hazitendewi kazi (hazikubaliki) riwaya zake, naye ni Qais bin Abi Hazim,
kwa hakika yeye alikuwa ni bedui mwenye kujikojolea katika visigino
vyake (hata kwenda chooni hajui).1173
Na bila shaka Ibn Al-Madini ni bora sana kuliko Al-Dhahabi; kama
ambavyo kwamba hao wengine ni bora kuliko Al-Dhahabi. Na madai
kwamba Hadithi hizo zimethibiti pia hayana kima kwani ikiwa zimethibiti
1172
- Tazama mizanul itidaal juzuu ya 3 ukurasa 392-393. 1173
- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 9, uk. 346.
404
basi ni kwa sharti kwamba zimepokewa kwa njia nyengine isio ya Qais.
Ama njia ya Qais tu, haitoshi kwani wanavyuoni wametafautiana juu yake
na kanuni ni kuwa “udhoofishaji ndiwo wenye kutangulizwa pasina
usahihishaji”.
MAANA YA PILI YA NENO MUNKAR
Anaendelea Sheikh Ibn Mafuta:
Maana nyingine ya neno Munkari:
Amesema al-Hafidh Ibn Hajar katika kitabu chake Tah‟dhiibul-Tah‟dhiibi
juzuu ya 4 ukurasa wa 562 akiitafsiri kauli ya Yahya bin Said al Qattwaan:
.”حطن حلى :رخ حوطخ حى“
„„Na makusudio ya al-Qattwaan (aliposema) Munkar: ni kupwekeka
mutlaki‟‟.
Maana ya maneno ya Ibn Hajar ni kwamba: Siyo makusudio ya Imamu al-
Qattwaan aliposema “hadithi munkar” kuwa maana yake ni hadithi ya mtu
dhaifu aliyepingana na mtu Thiqa kama ilivyozoeleka katika elimu ya
“Mustalahul hadithi” bali makusudio ni kupwekeka mpokezi katika
mapokezi yake. Na si Imamu al-Qattwaan peke yake aliye litumia neno
“MUNKAR” kwa maana ya kupwekeka, bali hata Imamu Ahmad bin
Hanbal anakawaida ya kulitumia neno hilo kwa maana ya kupwekeka, na
kulitumia neno hili kwa maana hii halileti ile maana ya kujeruhi
iliyozoeleka katika elimu ya hadithi.
JAWABU
Jawabu ni kuwa maneno haya pia hayana hoja ndani yake, japo kuwa ni
kweli Yahya bin Said kasemwa kuwa alikuwa akilitumia neno hilo
kumaanisha al-fard lakini suali ni kuwa:
1) Je alikuwa halitumii neno hilo ila kwa maana hio tu?
2) Je na hapa pia kalitumia kwa maana hio.
Nadhani kutoa jawabu juu ya masuali hayo ni jambo la lazima katika
kuifahamu vyema maudhui hii. Nami natongoa: kwamba hapa Yahya bin
Said hakukusudia hivyo kamwe, na lau Kasim Mafuta aliitazama hoja yake
ya mwanzo alioinukuu kutoka kwa Al-Dhahabi, basi angelijua kwamba
hakuwa na haja ya hii hoja ya pili alioinukuu kutoka kwa Ibn Hajar – hoja
405
mbili hizo zinagongana mgongano wa wazi! Maneno ya Al-Dhahabi
ambayo Kasim Mafuta mwenyewe kayanukuu, yanasema hivi:
Kisha (Yahya bin Said) akazitaja hadithi ambazo ameziona kuwa ni
munkar, lakini hakufanya kitu, bali hadithi hizo zimethibiti, na wala
haishangazi kupwekeka nazo (kuwa amezipokea yeye peke yake) kwa
sababu ya upana wa aliyoyapokea, na miongoni mwa hadithi hizo ni (ile
inayotaja habari za) Mbwa wa Hauab.1174
Kwa hivyo, kwa mujibu wa maneno haya ya Al-Dhahabi ni kuwa Yahya bin
Said Al-Qattaan aliposema kuwa Qais bin Abi Hazim Hadithi zake ni
munkar, hakukusudia al-fardu al-mutlaq kama alivyodai Al-Hafidh, kwani
Al-Dhahabi anasema:
٣غ ٤جخ، ر ٢ ػخرظش. ك ػ ٠ أكخى٣غ حظخ
Kisha akazitaja Hadithi alizozikanusha, lakini hakuweza kufanya
chochote, bali Hadithi hizo zimethibiti.
Hii ina maana kwamba alichokifanya Yahya bin Sa‟id Al-Qattan, ni
kuzikanusha kabisa riwaya hizo na kwamba si riwaya sahihi, ndio maana
Al-Dhahabi – kwa vile yeye kwake riwaya hizo ni sahihi – akamjibu
kwamba:
1) Hakuweza kufanya kitu.
2) Bali riwaya hizo zimethibiti.
Lau makusudio ya Yahya bin Sa‟id ni kuwa riwaya hizo ni al-fardu al-
mutlaq, basi Al-Dhahabi asingelisema: “Hakuweza kufanya kitu…….bali
riwaya hizo zimethibiti”, kwani al-fardu al-mutlaq si lazima iwe dhaifu, bali
inaweza kuwa dhaifu au sahihi.
Baada ya hayo, inambainikia kila mwenye mtazamo sahihi wa kuyasoma
maandiko kwamba makusudio ya Yahya bin Said aliponena kuwa Qais ni
munkarul hadith ni kuwa riwaya zake ni dhaifu akiwa atapwekeka nazo.
Ninasema: bali lugha alioitumia Yahya bin Said ni حلي٣غ munkaru Al-
Hadith, na lugha hii ni tafauti na kusema خ٤ أ أكخى٣غ خ٤ lahu
manaakiir au lahu ahaadiithu manaakiir, lugha ya mwanzo inamfanya
mpokezi kuwa ni dhaifu, mwenye kuachwa, kwani hio ni sifa iliomlazimu
mpokezi huyo. Anasema Al-Albani alipojaribu kumjibu Sh. Mahmud Said
Mamduh:
1174
- Tazama mizanul itidaal juzuu ya 3 ukurasa 392-393.
406
حلخكع ــــػ و ػ خس حظلى.رؤ ٣ؼ٢ رخ “أكخى٣ؼ خ٤ “كف ح ه أكي ح :
ح١ ٣زيـــزخؾ ؿ رح حؼ -حر ؿذ خ ٣ئ٣ي ر ؿش ظ رػ ، حر كـ ح
٤ ك٤:ــــ هـــ ــــم ر٤ـــل ٣ل -ر غ ؿزش حؼـذ حـ ػ٤ ظخر ح أ كي٣غ ػي
! كح ؿ٤ “ي٣غ ـ حل “ ه٤ ك٤ : رز – خ و ػ أكــــي - “خ٤ ١٣“
؛ كب ق خ ـ٤غ “خ٤ أكخى٣ؼ “ه أكي ك٢ ػ : -ر أرؾ -حى ، ؼ
:“ف حإلخ “ هخ حر ىه٤ن حؼ٤ي كـــ٢………….....…أكخى٣ؼ ، كؼ ل ٣ ػوش أزظش
٠ طؼ حخ٤ ك٢ ح٣ــظ ـــــى ح٣ظ كظــــى طــــ؛ ل ٣وظ٢٠ رـ“ خ٤ “ه :
ق ك٢ حؿ ٣ظلن “ حلي٣غ “؛ ل “ حلي٣غ ــــــ “٣ظ٢ ا٠ أ ٣وخ ك٤ :
.“ حؼزخس حله ل طوظ٢٠ حي٣ش .. . . حظى ــلـي٣ؼ،
Mtajwa (muhusika naye ni Sh. Mahmud Said Mamduh) kaipotoa kauli hii
ya Ahmad (aliposema kwamba): “Hadithi zake ni munkar” kwamba yeye
kakusudia kwa (maneno hayo) Hadithi munkar zile Hadithi alizopwekeka
nazo. Kisha akanukuu kutoka kwa Al-Hafidh bin Hajar na Ibn Rajab yale
yenye kuunga mkono mtazamo wake kwa mujibu wa madai yake. Naye –
kwa kujingikiwa kwake kukubwa na elimu hii ambako (kujingikiwa huko)
kuko wazi katika kitabu chake hiki kwamba yeye bado ni mpya katika elimu
hii pamoja na kujiona kwake na kughururika kwake – hatafautishi baina ya
mpokezi aliyesemwa kuwa “anasimulia Hadithi munkar” – ambayo ndio
maneno alioyanukuu kutoka kwa Al-Imamu Ahmad – na baina ya mpokezi
aliyesemwa kuwa ni: “حلي٣غ munkaru Al-Hadith”. Huyu wa pili ni
tafauti na yule wa mwanzo. Na mfano wake – bali zito zaidi kuliko hio – ni
kauli ya Ahmad kuhusu „Umar kwamba: أكخى٣ؼ خ٤ Ahaadiithuhu
manaakiir (Hadithi zake ni munkar). Hii ni sifa inayozikusanya Hadithi
zake zote, mtu kama huyu hawi thiqa (mwenye kuaminika)
kamwe…………………….anasema Ibn Daqiq Al-‟Id katika Sharhu Al-
Ilmaam: “(Wanavyuoni) wakisema: “kasimulia hadithi munkar, hilo tu
halimaanishi kuwa riwaya zake zinaachwa hadi pale Hadithi zake munkar
zitapokuwa nyingi katika masimulizi yake na sasa akaambiwa kuwa ni
munkaru Al-Hadith”, ni حلي٣غ munkaru Al-Hadith”, kwani حلي٣غ
sifa ambayo imo ndani ya mtu ambayo kwayo anastahiki kuwa Hadithi
zake ziachwe, wakati ibara nyengine (ya kwanza) haioneshi kudumu.1175
Kwa hivyo, natija ya hayo ni kuwa Yahya bin Said Al-Qattaan aliposema
kuwa Qais bin Abi Hazim ni حلي٣غ munkaru Al-Hadith”, hajakusudia al-
fardu al-mutlaq, kwani:
1) Kasema hivyo, na akazikanusha Hadithi zake na akazitaja Hadithi
alizozikataa. 2) Lugha hio inaonesha kwamba Hadith munkar kwa Qais halikuwa jambo
lenye kujitokeza katika Hadithi moja mbili.
1175
- Al-Albani Al-Dha‟iifa j. 12, uk. 712, Hadithi na.5825.
407
MAANA YA NENO MUNKAR KATIKA MATUMIZI
YA AL-IMAMU AHMAD BIN HANBAL
Anaendelea Sheikh Ibn Mafuta:
Amesema Imamu Ibn Hajar katika Had‟yu Saar ukurasa wa 453 kuhusu
matumizi ya Imamu Ahmad juu ya tamko hili:
....رخلي٣غ أهح ػ٠ ٣ـد ػ٠ أكي حإلخ ٣طوخ حلظش
“Na tamko hili (MUNKAR) analitumia Imamu Ahmad kwa Yule ambaye
analeta hadithi ngeni kwa watu wa rika lake”...
Bado tunasisitiza kuwa, kuna muhimu mkubwa kwa mtu anayetaka
kufanya utafiti wa mambo ya hadithi na riwaya, kusihi kwake na
kutokusihi kuwa na utaalamu wa kutosha juu ya istilahi za maulamaa, bila
ya hivyo, mtu atapoea na atawapoteza watu.
Hayo ndio maelezo ya Ibn Mafuta, na imempita Mafuta (هي كخص لطخ wa qad
faata Mafuuta) kwamba maneno hayo mutlaq ya Ibn Hajar ni lazima
yafungamanishwe na maneno yake mengine muqayyad ili kuifikia natija
sahihi ya nini Ibn Hajar anakisema. Akilielezea hilo, Bashir „Ali „Umar
atongoa hivi:
ػ٠ حلي٣غ حلى حطن. ”ح“ي ٣طن ـــخ أكـــح أ١ن حلخكع ك٢ ححغ أ حإل
”ح“أ١ن حإلخ أكي، حخث٢ ؿ٤ حكي حوخى لع “غ آه: كوخ ه٤ــي ي ك٢
ي٣ؼ رخلش رـ٤ ػخي ــ لـــ ٣ لــك٤غ ل ٣ حظلى ك٢ ػ٠ ـــــى حظلى،
٣ؼ٠ي.
Na namna hivi Al-Hafidh Ibn Hajar kasema moja kwa moja tu katika
sehemu hizi kwamba Al-Imamu Ahmad hulitumia neno al-munkar
kumaanisha Hadithi mufrad mutlaq. Lakini katika sehemu nyengine
kalifungamanisha hilo akasema: „Al-Imamu Ahmad, Al-Nasai na wengi
katika wachambuzi wakuu wamelitumia neno al-munkar kumaanisha
kupwekeka tu (katika kuisimulia Hadithi) lakini pale ambapo yule
aliyepwekeka (na Hadithi) hana uzito wa kuhukumiwa kuwa Hadithi zake
ni sahihi bila ya kupata nguvu kwa njia nyengine.1176
Ninasema: na matumizi ya Hadithu gharib kwa maana ya Hadithi dhaifu, ni
matumizi mashuhuri kwa wanavyuoni wa awali. Anasema Al-Sayyid Hasan
bin „Ali Al-Saqqaaf:
1176
- Bashir „Ali „Umar Minhaju Al-Imami Ahmad Fii I‟ilali Al-Ahadith j. 2, uk. 800.
408
حـحثذ حؼ خ و ػ ؿ٤ حكي ليػ٢ حق
Na Hadithu gharib ni katika elimu mbaya kabisa kama walivyosema
wanavyuoni wengi wa Hadithi wa Al-Salaf (watangulizi).1177
Na istilahi hio kenda nayo Ibn Kathir katika sehemu nyingi sana za tafsiri
yake. Anasema, kwa mfano, baada ya kuitaja riwaya ya Ibn „Abbaas kuhusu
A‟udhubillahi:
خ ..…ح حلػ ؿ٣ذ، اخ خ ٤ؼف، كب ك٢ اخى ؼل خ حوطخػ
Na riwaya hii ni gharib, na tumeitaja ili ijulikane tu kwani katika sanad
yake kuna udhaifu na mkatiko…1178
Utaona hapa kwamba Ibn Kathir kaiita riwaya hii kuwa ni gharib kwa
sababu ya kuwa ina udhaifu na mkatiko wa sanad. Kwa hivyo, tukirudi
nyuma kidogo, ni kuwa mjumuiko wa maneno ya Ibn Hajar katika sehemu
tafauti za kitabu chake au vitabu vyake ni kuwa kitendo cha Al-Imamu
Ahmad cha kulitumia neno munkar ni pale ambapo mpokezi aliyeipokea
riwaya fulani na kupwekeka nayo, ni mpokezi ambaye Hadithi zake
alizopwekeka nazo hazihisabiwi kuwa ni sahihi, na kwa hivyo Hadithi
munkar kwa mujibu wa Ahmad ni Hadithi dhaifu ila ikiwa kutakuwa na
qarina nyengine ilionesha kwamba kalitumia neno hilo kumaanisha al-fardu
al-mutlaq, tafauti na alivyofahamu Mafuta kwa sababu ya kusoma kwake
baadhi tu ya maandiko ya Ibn Hajar pasina kuyasoma mengine. Na kwa
sababu hio, Bashir „Ali „Umar – tuliyemtaja hapo juu – kaishia maelezo
yake kwa kusema:
حؤش ححرؼش: حظؼ٣ق حلطالك٢ ػي حإلخ أكي.
ع :ـح حلـــي ـــك رلذ ا١الهخص حإلخ أـخ طوي ٣ظؿق ي١ أ حظؼ٣ق ح٢
هطؤ ح٣ رظلى ل ٣لظ طلى ح١ طؿق حلي٣غ
Mas-ala ya nne: Taarifu ya kifani (technical meaning) ya Hadithi munkar
kwa mujibu wa Al-Imamu Ahmad.
Kwa mujibu wa hayo yaliotangulia, basi chenye uzito kwangu ni kuwa
taarifu yenye kukubalika ya neno munkar kwa mujibu wa matumizi ya Al-
Imamu Ahmad ya kutokulifungamanisha neno hilo, ni Hadithi ambayo
chenye uzito ndani yake ni kuwa mpokezi kakosea kwa sababu ya
1177
- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 10, maelezo ya chini na. 7. 1178
- Ibn Kathir Tafsiru Al-Qur-ani Al-„Adhim j. 1, uk. 13.
409 kupwekeka kwa mpokezi (huyo) ambaye kupwekeka kwake
hakukubaliki.1179
Hayo ndio matumizi sahihi ya Hadithi munkar kwa Al-Imamu Ahmad. Na
hivyo ndivyo walivyoenenda1180
wanavyuoni watangulizi kama
ilivyoonesha nukulu ya Ya‟aqub bin Abi Shaiba ambayo tuliinukuu kabla
yenye kunena:
Na wanavyuoni wetu wamemzungumza (Qais bin Abi Hazm); wengine
wakamtukuza na wakazifanya riwaya kutoka kwake kuwa ni katika sanad
sahihi zao; na wengine wakamponda na wakasema kuwa ana hadithi
(nyingi) munkar..1181
Lau ilikuwa makusudio yao kwa neno munkar ni al-fardu al-mutlaq, basi
wasingelimponda. Na mfano wake ni yale yaliosemwa na Bashir „Ali
„Umar:
ؼض أرخ ػزي هللا كي٣غ“هخ حلػ: ػ حز٢ ـــ٠ هللا ػ٤ : …حل٠ ر ى
.”٢ هطؤـــ، ٣ؼـــكوخ: ح كي٣غ ”هح ػ٢، هح ػ٢ هي ؿؼ هللا ز٤ال “ كوي ك
.………أكي رؤ حوطؤ حلػــــ ؼ٠ ح ػي حإلخ
كح حح١………ك حإلخ أكي أ طى كي٣غ أر٢ أ٤ش ر ٣ؼ٠ ل حلي٣غ ػي.
ي٣ؼــ رؤ كــغ ق ــظى، ر ٣ظز٤ أ ق حإلخ أكي ح حح١ رؤ حلي٣
٣ظلن حظى.
Kasema Al-Athram: „nimemsikia Abu „Abdillah (Al-Imamu Ahmad)
kaitaja Hadithi ya Al-Fadhl bin Dalham……kutoka kwa Mtume (s.a.w.,
yenye kusema): “pokeeni kutoka kwangu; pokeeni kutoka kwangu, Allah
ameshawapa wao njia”. Akasema (Al-Imamu Ahmad): „hii ni Hadithi
munkar yaani ni kosa‟. (Utaona kwamba) Al-Athram kaifasiri maana ya
Hadithi munkar kuwa maana yake – kwa mujibu wa Al-Imamu Ahmad –
ni (Hadithi) iliokosewa…………1182
……..….basi akataja Al-Imamu Ahmad kwamba yeye kaiwacha Hadithi
ya Abu Umayya bin Ya‟alaa kwani – kwa mtazamo wake – ni Hadithi
munkar……….basi huyu mpokezi mwenye kuachwa, na kwa hivyo
inabainika kule Al-Imamu Ahmad kusema kuwa mpokezi huyu ni
1179
- Bashir „Ali „Umar Minaju Al-Imami Ahmad Fii I‟ilali Al-Ahadith j. 2, uk. 800. 1180
- Walivyokwenda. 1181
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 8, uk. 346-347, tarjama na. 691. Al-Mizzi
Tahdhibu Al-Kamal j. j. 8, uk. 379-380, tarjama na. 5523. 1182
- Bashir li „Umar Manhaju Al-Imami Ahmad Fii Al-I‟ilaal Al-Ahadith j. 1, uk. 253. J. 2,
uk. 796.
410 munkaru al-hadith (ni mwenye Hadithi munkar), ni kuwa Hadithi حلي٣غ
zake ni (dhaifu) zenye kustahiki kuwachwa.1183
Sasa, baada ya hayo, tazama mifano miwili mitatu katika mifano mingi ya
Hadithi ambazo Al-Imamu Ahmad kazikataa kwa hoja kwamba ni Hadithi
munkar, jambo lenye kuthibitisha kwamba Al-Imamu Ahmad hulitumia
neno munkar kumaanisha Hadithi dhaifu: si Hadithi gharibu tu:
Hadithi inayosema:
.ر حوطخد خ رؼي١ ز٢ ، خ ػ
Lau kungelikuwa na Nabii baada yangu, basi angelikuwa „Umar bin Al-
Khattaab.1184
Anasema Abu Mu‟aadh:
ػ٤ ؛ كب ػي١ ج حإلخ أكي ػ ح حلي٣غ، كوخ حد
Al-Imamu Ahmad kaulizwa kuhusu Hadithi hii akasema itupilie mbali
kwani hio kwangu ni Hadithi munkar.1185
Utaona hapa kwamba Al-Imamu Ahmad kaamrisha kuitupilia mbali Hadithi
hio kwa sababu ni Hadithi munkar. Bila shaka kakusudia kuwa ni Hadithi
ambayo haikuthibiti: si sahihi, ndio maana akaikataa. Kwa hivyo, Ahmad
anatumia neno munkar kumaanisha Hadithi dhaifu pia.
Hadithi inayosema:
، أ٣ أ -٠ هللا ػ٤ -ػ أ حطل٤ ـ حأس أ ر٢ ر ؼذ ـ أخ ؼض هللا
ك ، ؿال ك٢ ك٠ ، ػ٤ ؼال ذ ر ك٢ كح كي٣غ؛ …..…حخ ك٢ س خد
ج ػ حإلخ أكي ؿخػش أ حؼ : هي أ .….…رخ١ ؿــــــــ، كلكوي
حخ ح ؿ ـ ، ػخس ر ػخ ـــػؼ ؛ ح رـــح “ػ حخث ، ػ هخ :
ح١ ػ ح ل ٣ؼف
Kutoka kwa Ummu Tufail – mke wa Ubeiy bin Ka‟ab – kwamba kamsikia
Mtume (s.a.w.) akisema kwamba yeye kamuona Mola wake usingizini
katika sura ya kijana aliyejaza miguu yake iko kwenye (zulia au nguo ya)
kijani kavaa viatu viwili vya dhahabu. Hadithi hii ni batili munkar hakuna
wasi wasi wowote ule, na wameipinga kundi kubwa la wanavyuoni , (Al-
1183
- Bashir „Ali „Umar Manhaju Al-Imami Ahmad Fii Al-I‟ilaal Al-Ahadith uk. 225. 1184
- Al-Tirmidhi Al-Sunan Hadithi na. 3695. 1185
- Abu Mu‟aadh Al-Irshaadat uk. 223.
411 Imamu) Ahmad aliulizwa kuhusu hio basi akageuza uso wake kutokana na
muulizaji kisha akasema: „hii ni Hadithi munkar, Mar-waan bin „Uthman
huyu ni mtu asiyejulikana, na „Imara bin „Aamir huyu ambaye Mar-waan
kapokea kutoka kwake pia hajulikani!1186
Utaona hapa kwamba Al-Imamu Ahmad kaiita Hadithi dhaifu kuwa ni munkar, na
akataja wapokezi wasiojulikana.
Hadithi inayosema:
حي٤خ ىح ل ىح ، خ ٣ـغ ل ػو
Dunia ni nyumba ya yule asiye na nyumba; na yule asiye na akili ndiye
anayeikusanyia (mali).
Anasema Abu Mu‟adh:
ػ٤ ؛ ك ظلى ر ػ أر٢ الخم، …… …“ح كي٣غ “ و ػ أكي ، أ هخ :
ى ر ػ ـــ هي طلــح ـ “ى٣يح “أكي، كال ٣ق حلي٣غ ػ أر٢ الخم ؛ ل ٣ظخرؼ
ؼس ألخر ، ح ؼ٠ اخ حإلخ أكي أر٢ الـــــــــخم ك٢ ؿالش هي
Imenukuliwa kutoka kwa Al-Imamu Ahmad kwamba kasema: „hii ni
Hadithi munkar......na kwa hivyo, (Hadithi hii) ni miongoni mwa zile
alizopwekeka nazo (Duwaid) kutoka kwa Abi Is-haaq: hakuna
aliyemfuatia, na kwa hivyo, Hadithi hii haikuthibiti kutoka kwa Abi Is-
haaq kwani Duwaid huyu ni mpokezi asiyejulikana naye kapwekeka nayo
Hadithi hio kutoka kwa Abi Is-haaq pamoja na kuwa Abu Is-haaq ni mtu
mkuu na mwenye wanafunzi wengi, na hii ndio maana ya Al-Imamu
Ahmad kuikanusha (Hadithi hii akaiita munkar).1187
Hadithi inayosema:
ض ل كب ح ل
Yule ambaye mimi ni maula wake basi na huyu (Ali) ni maula wake.
Anasema Bashir „Ali „Umar:
ػ أر٢ أ٣د أ ؿخء ا٠ ػ٢ ؼ ٢ حلخ كوخح: ..…هخ حلػ: كيػخ أر ػزي هللا
ح حلي٣غ أهؿ ..……”٣خ لخ كخ كؽ هخ: حك٤ ٣ـ٤ج رخؼـخثذ حال ػ٤ي
كز ش كوخح: حال ػ٤ي ٣خ لخ. هخ: ٤ق ………أكي ك٢ حي هخ ؿخء ٢ ا٠ ػ٢ رخ
ػ ٣و:ــــــأ ل أظ ه ؿي٣ ه د. هخح: ؼخ هللا ٠ هللا ػ٤ ٣
1186
- Abu Mu‟aadh Al-Irshaadat uk. 122. 1187
- Abu Mu‟aadh Al-Irshaadat uk. 155-156.
412
أخ حإلخ ؿ٤ي ؿخ ػوخص. هخ حلزخ٢: ح اخى..……..… ض ل كب ح ل“
ش حخس ــ. أخ ا٠ أ ػــأكي ا٠ حظخ، كب ه: ٣ـ٤ج رخؼـخثذ اخس ا٠ أ
ح٣ش حك٤٤ ؼك رخظ٤غ، ح حلي٣غ خ ٣و١ ز.
Kasema Al-Athram: „na katuhadithia Abu „Abdillah (Al-Imamu Ahmad
bin Hanbal)…kutoka kwa Ayyub kwamba alikuja kwa (Sayyidna) „Ali na
walikuwa pamoja naye watu katika Maansari wa Madina wakasema
(kumwambia Ali): „assalamm alaikum maulana. Basi (Ali) akashtuka
kusikia hivyo‟. Basi (Al-Imamu Ahmad) kasema (kuhusu Hadithi hii):
„Watu wa Al-Kufa wanaleta mambo ya ajabu (katika masimulizi ya
riwaya). Na Hadithi hii kaipokea Ahmad katika Al-Musnad kasema…..
„walikuja watu kwa Ali huko Al-Rahba wakasema: „assalamm alaikum
maulana. Akasema (Ali), vipi nitakuwa maula wenu na nyinyi ni watu
katika Waarabu, wakasema: „tumemsikia Mtume (s.a.w.) siku ya Ghadir
Khumm anasema: “Yule ambaye mimi ni maula wake basi na huyu (Ali) ni
maula wake”…………..na akasema Al-Albani: “sanad hii ni nzuri kabisa:
wapokezi wake ni wenye kuaminika. Na Al-Imamu Ahmad kaashiria
kwamba ni Hadithi munkar, kwani kauli yake (Al-Imamu Ahmad)
aliposema: „Watu wa Al-Kufa wanaleta mambo ya ajabu (katika
masimulizi ya ya riwaya), ni dalili kwamba Hadithi hio ni munkar. Na
akaashiria kuwa sababu ya kuwa munkar ni kwa sababu ya kuwa kwake ni
riwaya ya watu wa Al-Kufa nao ni maarufu kwa Ushia na Hadithi hii
inaipa nguvu madhehebu yao.1188
Hadithi inayosema:
ا٢ هي طض ك٤ حؼو٤
Hakika ya mimi nimekuachieni vizito viwili (Qur-ani na watu wa nyumba
yangu).
Anasema Abu Mu‟aadh:
هخ حلػ: كيػخ رلي٣غ ػزي حي، ػ ػط٤ش، ػ أر٢ ؼ٤ي، ػ حز٢ ٠ هللا ػ٤ :
. كخ كؽ هخ: أكخى٣غ حك٤٤ خ٤”ك٤ حؼو٤ ا٢ هي طض“
Kasema Al-Athram: “na (Al-Imamu Ahmad) katuhadithia Hadithi ya
„Abdul-Malik kutoka kwa „Atiyya kutoka kwa Mtume (s.a.w. kwamba
kasema): “hakika ya mimi nimekuachieni vito viwili (Qur-ani na watu wa
1188
- Bashir „Ali „Umar Manhaju Al-Imami Ahmad Fii Al-I‟ilaal uk. 253. Lakini „Ali Naif
anasema kwamba Ibn Taymiyya kamnukuu Al-Imamu Ahmad akisema kuwa Hadithi hii ni
hasan. Al-Mufassalu Fii „Ulumi Al-Hadith uk. 122.
413 nyumba yangu)”. Alipomaliza (kuisimulia) akasema: “Hizi Hadithi za
watu wa Al-Kufa ni munkar”. 1189
Baada ya haya yote kuanzia maneno ya Ibn Hajar na mengineo ambayo
tumeyanukuu hapa, inatubainikia kwamba Al-Imamu Ahmad alikuwa
akilitumia neno munkar kwa maana ya Hadithi dhaifu. Naam! Inawezekana
kwamba pia akilitumia kwa maana ya Hadithi gharib lakini dhahiri ni kuwa
kulitumia neno hilo hivyo haikuwa ni istilahi yake ya kifani, na kwa hivyo
haitakiwi kulipa neno hilo tafsiri hio isipokuwa kwa kuwepo qaraiin (dalili)
nyengine.
TUKIRUDI KWA IBN HAJAR
Tukirudi tena katika maneno ya Ibn Hajar aliposema:
... رخلي٣غ أهح ػ٠ ٣ـد ػ٠ أكي حإلخ ٣طوخ حلظش
Na tamko hili (MUNKAR) analitumia Imamu Ahmad kwa yule ambaye
analeta hadithi ngeni kwa watu wa rika lake...
Tukirudi katika maelezo hayo, basi jawabu nyengine ni kuwa hata hilo neno gharib
(hadithi ngeni) pia Al-Imamu Ahmad hulitumia wakati mwengine kumaanisha
Hadithi dhaifu. Anasema Abu Mu‟aadh:
هخ حإلخ أكي
ل طظزح حلكخى٣غ“ هخ أ٠٣خ : . ”ؼظي ػ٤خ حلي٣غ حـحثذ ، حظ٢ ل ٣ ؼ رخ ، ل ٣
. ”حـحثذ ، كبخ خ٤ ، ػخظخ ػ ح٠ؼلخء
Na akasema Al-Imamu Ahmad:
Hadithi ovu zao ni gharaib (ngeni) ambazo hazitendewi kazi wala
hazitegemewi……na akasema: „musiziandike hizi Hadithi gharib (ngeni)
kwa hakika yake ni munkar na zote zinatoka kwa wapokezi dhaifu. 1190
Kwa hivyo, hata tukidai kwamba makusudio ya Al-Imamu Ahmad kwa neno
munkar ni gharib, basi Al-Imamu Ahmad kalitumia neno hilo gharib pia
kumaanisha Hadithi dhaifu kama ilivyo hapa katika nukulu hizo za Abu Mu‟adh.
1189
- Bashir „Ali „Umar Manhaju Al-Imami Ahmad Fii Al-I‟ilaal uk. 253. 1190
- Abu Mu‟aadh Al-Irshaadat uk. 73.
414
NJIA YA PILI YA JAWABU YA MAFUTA
Anaendelea Sheikh Ibn Mafuta:
Njia ya pili:
Kuhusu kauli ya ndugu Juma al-Mazrui dhidi ya mpokezi Qais bin Abi
Haazim pale aliposema: “Na amesema Ismail bin Abi Khalid, ambaye
hadithi hii imepita kwake, kuwa: “QAIS‟‟ aliishi mpaka akavuka miaka
mia na ziada nyingi juu mpaka akaharibika fahamu na kurukwa na
akili”.1191
MAJIBU YETU
Majibu yetu ni kama ifuatavyo:
Tulishawahi kuijibu tuhuma kama hii wakati ndugu Juma alipomtuhumu
nayo Hamad bin Salama na tukasema kwamba: Mtu akichanganyikiwa
mwishoni wa umri wake hazirudishwi riwaya zake zote, bali huangaliwa ni
kina nani waliopokea kutoka kwake, na wakati gani wamepokea?
Je wamepokea kabla ya kuchanganyikiwa au ni baada, rejea ufafanuzi
tulioutoa hapo nyuma. Hivyo basi tunamtaka bwana Juma atuthibitishie
kwamba Ismail bin Abi Khalid amepokea kutoka kwa Qais baada ya Qais
kuharibikiwa na akili. Na kama hana ushahidi juu ya hilo basi anyamaze
awaache wenye kujua waseme.
Kwa ufupi ni kwamba hadithi hii ni sahihi kwa mujibu wa misingi ya
elimu ya hadithi na wala haina shaka yoyote, na bila shaka ndugu yangu
msomaji utakuwa umebainikiwa na hila za ndugu Juma juu ya kutaka
kuzipotosha hadithi za Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam kwa sababu
ya madai yake yaliyo dhaifu tena ya uongo.
JAWABU
Hayo ndio maelezo ya Sh. Ibn Mafuta nayo si maelezo barabar! Nami
ninakwambia kuwa nilikwisha kukujibu maelezo yako kuhusu Hammad bin
Salama kwamba kanuni haiko hivyo ulivyoielezea wewe tu, bali kanuni ni
kuwa wapokezi wa namna hio uliowazungumzia wewe basi riwaya zao
zinagawiwa makundi matatu: moja linakubalika mawili yanakataliwa:
1191
- Tazama katika kitabu chake Hoja zenye Nguvu ukurasa wa 254.
415
1) Riwaya walizozipokea kabla ya kuchanganyikiwa. Hizi zinakubalika
ikiwa hawakuwa na ila nyengine. Qais – mbali na kupoteza akili
ukongwenikwe – pia alikuwa na kasoro nyengine ambazo
tumezinukuu kabla kutoka kwa wanavyuoni watangulizi akiwemo
Yahya Al-Qattan, Ibn Al-Madini na wengine. Kwa hivyo, kwanza
kanuni hii kimsingi haimuhusu Qais.
2) Riwaya walizozipokea baada ya kuchanganyikiwa. Hizi ni dhaifu.
3) Riwaya ambazo hazijulikani: je wamezipokea kabla au baada ya
kuchanganyikiwa. Hizi zinaachwa kama zilivyo hadi upatikane
ushahidi utaoupa nguvu uwezekano huu au uwezekano ule.
Na hivyo ndivyo walivyosema wanavyuoni wa Hadithi, wala sidhanii kuwa
hilo wajingikiwa nalo bali unataka kuwadanganya watu kwa kukusudia.
Anasema Ibn Al-Salah:
ال١ ٣وز كي٣غ أه ػ رؼي حلهظ٣وز كي٣غ أه ػ هز حلهظال١ ل حل ك٤ أ
ك ٣ي أه ػ هز حلهظال١ أ رؼي أ أ أ
Na hukumu yao (wapokezi waliochanganyikiwa) ni kuwa zinakubaliwa
Hadithi za wale waliopokea kutoka kwao kabla ya kuchanganyikiwa wala
hazikubaliwi Hadithi za wale waliopokea kutoka kwao baada ya
kuchanganyikiwa au kukawa na mushkeli: je wamezipokea kutoka kwake
kabla au baada ya kuchanganyikiwa.1192
Na hili ni jambo ambalo Mafuta hakulifahamu vizuri: yeye kadhania kuwa
ikiwa mpokezi kapokea kabla ya kuchanganyikiwa basi riwaya yake
inakubalika tu. Wala habari haiko hivyo, bali ni lazima kuwe na yakini
kwamba baada ya kuchanganyikiwa kwa mwalimu, mwanafunzi hakupokea
tena. Anasema Imamungwa wa Kasim Mafuta, Ayatollah Al-Albani:
هزــــــ غ –ح١ ــــ ح – ـــ حلخكع ؤ أخ ا٠ أ ح٣ش ػـــ ر أر٢ ه٤
أ –ـخع حـ اكخىس ه ي -٢ ك٢ ي ز٤ . ”هي٣ حخع ػطخء “ حلهظـال١ روـــــ:
ػطخء هز ـــغ ـــحلخكع ل هي أ كخى ر ش ط أ ٣غ رؼي ي ، أل
خع ػ ر أر٢ ه٤ ػطخء هزــــأ ٠ـــرؼـي ؛ ػ٠ أ٢ أ أكيح ػ حلهـظال١
حلهظال١ .
…lakini Al-Hafidh (Ibn Hajar) kana kwamba kaashiria kwamba riwaya ya
„Amri bin Abi Qais – naye ni Al-Razi – kasikia kutoka kwake kabla ya
kuchanganyikiwa, aliposema: „yeye kapokea riwaya zamani kutoka kwa
„Ataa‟. Lakini mimi (Al-Albani) nina shaka kubwa kwamba ukweli
kuwa kapokea riwaya zamani kutoka kwake kunamaanisha kuwa
hakupokea tena baada ya hapo. Huoni wewe kwamba Al-Hafidh (Ibn
Hajar) mwenyewe kasema kuwa Hammad bin Salama kapokea kutoka kwa
1192 -
Al-Taqyiid wal Idhaah uk. 442.
416 „Ataa kabla na baada ya kuchanganyikiwa. Bali mimi sikumuona yoyote
yule aliyeeleza kwa uwazi kwamba „Amru bin Abi Qais kapokea
riwaya kutoka kwa „Ataa kabla ya kuchanganyikiwa.1193
Kwa ufupi ni kuwa mimi hapa naijadili kanuni ulioileta na kuihusisha na
Qais, lakini cha kufahamu ni kuwa kanuni hio haimuhusu Qais kwani yeye
tangu zamani wako wengi waliomkataa na kumuona kuwa ana Hadithi
munkar au “ni bedui mwenye kujikojolea visiginoni mwake”. Lakini hata
ikiwa ukweli wa mambo uko hivyo ulivyosema wewe, basi ni lazima tuwe
na ushahidi kwamba Isma‟il bin Abi Khalid hakusimulia tena kutoka kwa
Qais baada ya Qais kupoteza fahamu.
Hayo yaliotagulia yalikuwa ni majibizano yetu kuhusu Qais bin Abi Hazm
na suala zima la Hadithi munkar. Lakini Al-‟Allama Kasim bin Mafuta,
bado ana hoja zake nyengine za kuikubali riwaya hio ya kumuona
Mwenyezi Mungu kama mwezi mdande. Kwanza alianza kwa kutoa
utangulizi mfupi kisha akazinukuu njia nne za Hadithi hio, lakini uhakika
wake ni njia tatu: si nne kwani njia ya kwanza alioinukuu yeye na ya pili ni
sawa sawa – zote ni kutoka kwa Qais bin Abi Hazim kutoka kwa Jarir. Kwa
hivyo, ni njia tatu.
NJIA TATU ZA HADITHI YA QAIS
Anasema Ibn Mafuta:
HOJA YA TATU
Hoja ya tatu wanayoitegemea Ah‟lu Sunna katika kuithibitisha kuonekana
Allah kwa macho huko akhera ni hadithi sahihi zilizopokelewa kutoka kwa
Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam-.
Inshaallaha katika sehemu hii tutazitaja hadithi ambazo zimethibiti kutoka
kwa bwana Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- kwa mapokezi yaliyo
sahihi yasiyo na shaka yoyote kwa kuzingatia kanuni za mapokezi ya
hadithi.
Na hadithi sahihi juu ya mas‟ala haya ziko nyingi mno,1194
lakini hapa
tutazitaja kwa uchache tu kwa lengo la kufupisha.1195
Ama kuhusu chalenji
1193
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 13, sehemu ya 1, uk. 92, Hadithi na. 6042. 1194
- Sema: “Hadithi dhaifu na za kutunga juu ya maudhui hii ziko nyingi mnno”. Ama
sahihi haiko hata moja. Wa Allahu Al-Musta‟aan!
417 aliyoitoa Juma ya kutaka aletewe hadithi moja tu sahihi, ni chalenji
ambayo haina uzito wowote wa kielimu, maana Juma amejigamba na
kujisifu kwa kusema katika kitabu chake Kisimamo Katika Sala ukurasa
wa 22: “Chukua- kwa mfano, hadithi za kuonekana kwa Mungu: Hadithi
hizi ziko kwa wingi, lakini na kuchalenj Sheikh X. wewe na wanazuoni
wako uniletee hadithi moja tu sahihi inayosema kwa uwazi kwamba
Mungu ataonekana”.!!! Mwisho wa kunukuu.
Tazama namna watu walivyo na jeuri1196
na kiburi1197
katika mas‟ala ya
elimu! Badala ya kuomba msaada wa kuelimishwa juu ya mas‟ala ya
kielimu asiyoyajua,1198
yeye analeta lugha ya kiburi na jeuri, eti:
nakuchalenj uniletee hadithi moja tu sahihi inayosema kwa uwazi kwamba
Mungu ataonekana!!! Mtu mwenyewe anayesema hivyo kazi yake
kunukuu tu kutoka kwa masheikh zake wala hawezi kuyahakiki1199
mambo
ya kielimu, wakikosea naye anakosea, wakidanganya naye anadanganya
kama ulivyojioenea. Sisi tunamwambia ndugu Juma awache jeuri na kibri
ajitahidi kusoma na kufanya utafiti zaidi kwa misingi ya uadilifu haki
itambainikia badala ya kung‟ang‟ani kasumba za kujikweza na kufuata
umadhehebu.
Na hizi zifuatazo ni baadhi ya hadithi sahihi zinazosema kwa uwazi kabisa
kwamba watu wema watamuona Mola wao huko akhera kwa macho:
HADITHI YA KWANZA
Hadithi hii imepokewa kwa njia nyingi, lakini kwa kufupisha tutazitaja
baadhi ya njia hizo:
Njia ya kwanza:
:هللا ك حزوخ١ حإلخ هخ
ه خ ٣ ؿ ػ ه ٤ ػ ٤ خػ ا ػ ٤ خ ي ػ خ ه ي ك ػ ر ػ خ ػ ي خ ك ـ خ ؿ
1195
- Sema kweli! Si kwa lengo la kufupisha, bali ni kwa sababu hizi ulizozitaja ndizo
ambazo haijambo zao kisanad ukilinganisha na nyengine: nyengine zihoi zaidi! 1196
- Sahibu yako aliyesema kuwa sisi tunasali kama mipopoo hana jeuri: jeuri tunayo siye
tulioyakataa mahadithi yenu ya kutunga! 1197
- Ebu kirudie kitabu chako kwa makini ili ujikumbushe kiburi chako. 1198
- Msada huo aombwe nani: wewe? Mwenzangu hata kanuni za kilugha za kitoto
huzijui. Hata maelezo ya kitoto ya definition ya Hadithi sahihi pia
unachanganyachanganya! Au tumuombe Imamu wako Al-Albani ambaye hazijui hata
Hadithi za Al-Bukhari na Muslim na hawajui wapokezi waliomo katika vitabu mashuhuri!
Basi hiki chako ndicho kibri na kughururika! 1199
- Boora! Weye tunziona hizo tahkiki zako ya ayyuha Al-‟Allama Al-Kabir. Hongera
kwa tahkiki zako!
418
ظ ا ٤ ٠ هللا ػ ي حز ٢ ز ػ ٤ ش ح و ــا ٠ ح ا ه خ ظـــي خــ ر
٣ ظ إ ك ٢ خ ل ط ٠ و ح ح ط
Amesema Imamu al-Bukhari:
Ametusimulia Amru bin Aun, amesema: ametusimulia Khalid na Hushaim,
kutoka kwa Ismail, kutoka kwa Qais, kutoka kwa Jarir: Tulikua ni wenye
kukaa mbele ya Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- kwa ghafla
akautazama mwezi, katika usiku wa mwezi mpevu, akasema: Kwa hakika
nyinyi mtamuona Mola wenu kama mnavyouona huu (mwezi)
hamtasongamana katika kuuona…”..1200
NJIA YA PILI
:هللا ك حإلخ هخ
ػ خ ي ك ٤ د ر ػ خ ك ي ك ح ٣ ش ر ؼ خ ١ ح ل خ ح ز أ ه ٤ ؼ ا خ ي أ ر ٢ ر ػ خ ه ي ك ه ٤ ر
أ ر ٢ خ ك ؼ ض ه خ ٣ ؿ ز ي ر هللا ػ خ :٣ و خ آ ي ؿ ػ ـــ هللا هللا ٠ـــ ٤ ػ
ا ا ٠ ظ و ٤ ش ـــح ز ي ــــك و ح خ خ أ ظ ا ـــــ ر خ ــــط آ ح و ل ــــح
خ ك ٢ ط ٠ ٣ ظ إ .”...
Amesema Imamu Muslimu -Allah amrehemu-:
Ametusimulia Zuhayr Ibn Har‟bi, amesema: ametusimulia Mar‟wan Ibn
Mua‟wiya al-Fazaariy, amesema: ametusimulia Ismail Ismail Ibn Abi
Khalid, amesema ametusimulia Qais Ibn Abi Hazim, amesema:
nimemsikia Jarir Ibn Abdillahi anasema: Tulikua ni wenye kukaa mbele ya
Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam- kwa ghafla akautazama mwezi,
katika usiku wa mwezi mpevu, akasema: Kwa hakika nyinyi mtamuona
Mola wenu kama mnavyouona huu (mwezi) hamtasongamana katika
kuuona…..1201
MJADALA JUU YA NJIA MBILI HIZI
Hayo ndio majibu ya Kasim mwanangwa wa Mafuta katika kuthibitisha
kwake itikadi ya kumuona Allah. Kwa upande wa njia za riwaya hizo
alizozinukuu, kama tulivyosema, Mafuta kaziita kuwa ni njia mbili lakini
kwa kweli ni sanad mbili na njia ni moja ya “Qais kutoka kwa Jarir”. Na
sanad hii tumeshaieleza kwamba ni sanad dhaifu kwa sababu ya mapokezi
1200
- Tazama Sahihul-Bukhari, hadithi namba 6882. 1201
- Tazama Sahihu Muslim, hadithi namba 1002.
419
ya Qais bin Abi Hazim kama tulivyoona maelezo yaliotangulia. Lakini
pamoja na hayo, Kasim bin Mafuta atongoa hivi:
Sanadi yake ni sahihi na wala hakuna mwanachuoni yoyote wa hadithi
aliyeitia dosari zaidi ya Juma na sheikh wake al-Qannubi na Inshaallah
utaliona jawabu letu dhidi ya ubabaishaji wao.
Nami namwambia Bwana Shekhe kwamba unatarajia kwamba kuna siku
utayowaona wengine – zaidi ya Juma na Sheikh wake – walioitia dosari
riwaya hii nawe husomi isipokuwa vitabu vya Ibn Taymiyya na Ibn Al-
Qayyim! Tumetanguliza kabla maelezo yenye kuthibitisha kwamba kuna
kundi kubwa la wanavyuoni wa wapokezi – akiwemo Ibn Al-Madini –
ambao wamemtia kasoro Qais bin Abi Hazm. Hii ni kusema kwamba kwa
mujibu wao riwaya hii haikuthibiti kwani – kwa mujibu wao – imesimuliwa
na mpokezi dhaifu. Hayo ni maelezo ya ujumla. Ama kwa umahususi, basi
kuna mtu kama Al-Imamu Al-Jassasu Al-Razi – naye ni mwanachuoni wa
Kisunni, Hanafi –, huyu yeye kazikanusha riwaya zote hizo za kuonekana
kwa Allah kwa maana ya kumuona kwa macho. Aliielezea Aya isemayo:
“Macho hayamfikii…”, kisha akasema:
س ح١ ل طر ـــحلهزخ ح٣ش ك٢ حإ٣ش اخ ححى رخ حؼ لض ػ ح٠
ك٤ حى ل حإ٣ش رؼ٠ حؼ س ك٢ حـش زش ل طؼ
….Na Hadithi zilizopokewa kuhusu kuonekana kwa Allah makusudio yake
ni kumjua (Allah. Na hayo yote) lau Hadithi hizo zitakuwa sahihi. Nako
(kujua huko) ni kumjua (Allah) ujuzi wa lazima usiochanganyika na utata
wowote ule wala hauingiwi na shaka, kwani (kutumika kwa neno) kuona
kwa maana ya kujua katika lugha ya Kiarabu ni jambo mashuhuri.1202
Anasema Al-Sayyid Al-Saqqaaf Al-Shafi:
حلكخى٣غ ك٢ حإ٣ش طق خ هيخ ك٢ طو٣ـخ حال ػ٤خ
Na Hadithi kuhusu kuonekana kwa Allah hazikusihi (si sahihi) kama
tulivyotanguliza (maelezo) katika kutaja waliozipokea na kuzielezea.1203
Hayo ni maelezo ya Al-Saqqaaf naye si Juma wala si Sheikh wa Juma wala
si Ibadhi bali ni Shafi. Bali Al-Saqqaaf kawataja kuwa miongoni mwa Ahlu
Sunna ambao wameikataa itikadi ya kuonekana kwa Allah watu kama:
1) Abu Salih Al-Siman, mwanafunzi wa Sahaba Abu Huraira.
2) Mujahid.
1202
- Al-Jassaas Ahkamu Al-Qur-an j. 3, uk. 8-9. 1203
- Al-Saqqaaf, Hasan bin „Ali Mas-ala Al-Ru-ya uk. 60.
420
3) „Ikrima.
4) Bishr bin Al-Sariy Al-Af-wah.1204
5) Yahya bin Salih Al-Wuhadh.
Kwa ufupi ni kuwa, wako wengi katika Waislamu wasiokubaliana na itikadi
ya kumuona Allah. Na wote hao kuikataa kwao itikadi hio ina maana
kwamba riwaya hizo kwao hazikuthibiti: ni za kufinyanga. Kwa hivyo,
madai ya Kasim bin Mafuta kwamba hakuna aliyeidhoofisha Hadithi yake
hio isipokuwa “Juma na Shekhe wake” ni katika jumla ya propaganda za
Kiwahabi! Bali tunasema, hata ingelikuwa kweli hakuna aliyeidhoofisha
riwaya hio isipokuwa Juma na Sheikh wake, basi hio haijawa hoja ya kuwa
riwaya hio ni sahihi au ni dhaifu: usahihi na udhaifu wa Hadithi una vipimo
vyake maalumu: si fulani na fulani.
RIWAYA KAMILI NA MATN YAKE ILIVYO
Tumeona kwamba riwaya ambayo Kasim Mafuta kaitolea ushahidi ni
riwaya yenye sanad dhaifu kwa sababu ya Qais bin Abi Hazim. Ama
kuhusu matn ya riwaya hio, ninachotaka kukisema ni kuwa Bwana Shekhe
kaona haya kuinukuu riwaya kamili na kwa hivyo kaona bora aende kwenye
mukhtasari wa riwaya hio, kwani riwaya kamili kama atainukuu basi hakuna
mtu atayetafakari japo kidogo akaikubaliana nayo. Ama riwaya mukhtasari,
ni riwaya ambayo inahitaji fikra refu zaidi, na kwa hivyo wenye fikra fupi
unaweza ukawadanganya. Kasim Mafuta kalijua hilo na kulitendea kazi
kiufanisi kabisa. Tunasema: hongera Bwana Shekhe kwa hilo. Baada ya
hayo, sasa natuinukuu riwaya kamili tuone nukta zilizomo ambazo
zinatujuilisha kwa uwazi kabisa kwamba hizi ni riwaya za akina Ka‟abu Al-
Ahbar.
Riwaya inasema:
ــ ػــــطخء رـــ٢ ػ ار ـــخد ػــــ كيػخ أرـــكيػخ ٤ ر كد كيػخ ٣ؼود ر ارح ٤
هللاـــــ٣خ ٤ ــــ ػ ٠ هللا هللا أ خخ هخح “٣س أهز ح٤ؼ٢ أ أرخ ٣٣ي
ــــ ط٠خ ك٢ إ٣ش حو ــــ ٤ ػ ٠ هللا هللا رخ ٣ حو٤خش ؟ كوخ
خد؟ــــــ ٤ ىخ لــــط٠خ ك٢ إ٣ش ح ٤ش حزــــي هخـــــح ل ٣خ ـــ هللا هخ
جخ ـــ٣ حو٤خش ك٤و خ ٣ؼزي ٤ هخح ل ٣خ هللا هخ كب ط ي ٣ـغ هللا حخ
1204 - Ninasema: huenda ikawa waliomwita huyu kuwa ni jahmi – kama ilivyo katika Al-
Jarhu Wa Al-Ta‟adil cha Ibn Abi Hatim – ni kwa sababu hio, kama ilivyokuwa kawaida ya
wenye itikadi za tajsim hasa hasa Mahanbali. Na kwa hivyo, katika Al-Mizan cha Al-
Dhahabi, kuna maelezo kwamba baada ya Bishr huyu kuikanusha riwaya ya kuonekana
kwa Allah, watu wa Makka walimrukia. Lakini maelezo ya Al-Dhahabi na ya Ibn Hajar
katika Taqribu Al-Tahdhib yanasema kuwa eti alitubia!
421
٣ظزغ خـــــــحو ك٤ظزؼ ك٤ظزغ خ ٣ؼزي ح ح ٣ظزغ خ ٣ؼزي حوـــــــ
س ــــ طزخى ط ؼ خ ٠ كـ٣٢ؼزي حطحؿ٤ض حطحؿ٤ض طزو٠ حلش ك٤خ خكوخ ك٤ؤط٤ هللا
خ كبح ــــؿ٤ س حظ٢ ٣ؼكخ ك٤و أخ ر ك٤و ؼ رخلل ي ح خخ كظ٠ ٣ؤط٤خ ر
ؼ ــــؿخء رخ ػكخ ك٤ؤط٤ هللا ك٢ س حظ٢ ٣ؼك ك٤و أخ ر ك٤و أض رخ ك٤ظز
Ametusimulia Zuhair bin Harb, ametusimulia Ya‟aqub bin Ibrahim,
ametusimulia baba yangu, kutoka kwa Ibn Shihab kutoka kwa Ataa bin
Yazid Al-Laithi kwamba Abu Huraira alimwambia: „kwamba watu
walimuuliza Mtume (s.a.w.) „é Mtume wa Mwenyezi Mungu je tutamuona
Mola wetu siku ya kiyama? Akasema Mtume wa Mwenyezi Mungu: „je
munapata tabu katika kuuona mwezi usiku wa mwezi mdande? Wakasema
„hatupati ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu.‟ Akasema je munapata tabu
katika kuliona jua ikiwa halikuzibwa na mawingu? Wakasema: „hatupati
ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu.‟ Akasema basi hakika yenu
mutamuona hivyo hivyo. Mwenyezi Mungu atawakusanya watu siku ya
kiama kisha atasema „kila aliyekuwa akiabudu kitu na akifuate; basi
aliyekuwa akiabudu jua atalifuata jua, aliyekuwa akiabudu mwezi
ataufuata mwezi, aliyekuwa akiabudu shetani atamfuata shetani. Basi
utabakia umma huu ndani yake wamo wanafiki wake. Atawajia
Mwenyezi Mungu Mtukufu aliyetukuka kwa sura ambayo siyo (ile)
sura yake wanayoijua. Atawambia mimi Mola wenu. Watasema:
„tunajilinda kwa (jina la) Mwenyezi Mungu kutokana na wewe, hapa
hatuondoki (leo) mpaka atujie Mola wetu, akija tutamjua!!!! Basi
atawajia Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa sura yake ambayo wanaijua, atawaambia Mimi Mola wenu. Watasema: „Wewe (sasa) ndiye Mola wetu,
watamfuata”. 1205
Hadithi hii niliinukuu katika kitabu Hoja Zenye Nguvu kisha nikatoa
vipengele vifuatavyo vyenye kuthibitisha kuwa ni riwaya ya Kiyahudi
iliosimuliwa na Wayahudi waliosilimu kutoka katika vitabu vyao
walivyovipotosha. Tazama nukta zifuatazo:
1) Hadithi inasema: “utabakia umma huu ndani yake wamo wanafiki
wake kisha (ndio) atawajia Mwenyezi Mungu” atajidhihirisha kwao.
Kwa hivyo, kwa mujibu wa riwaya hii wanafiki nao wamepata neema
kubwa yao watayoipata watu wa peponi nayo ni neema ya kumuona
Allah! Kilichobaki sasa wangoje kupata neema ndogo ndogo za
kuingia peponi na kustarehe pamoja na wacha Mungu!
2) Jambo la pili ni kuwa Mwenyezi Mungu atakuja katika sura ya kwanza
ambayo hawaijui na atasema kuuambia umma huu: “Mimi ni Mola
wenu”. Lakini wao watakataa na kusema: “tunajilinda kwa (jina la)
1205 - Al-Imamu Muslim Sahih Muslim Bisharhi Al-Nawawi j. 2 uk. 298. Al-Imamu
Albukhari Sahihu Al-Bukhari Hadithi na. 6573 na 7437.
422 Mwenyezi Mungu kutokana na wewe”. Sasa vipi “atawajia kwa sura
ambayo hawaijui” kwani Yeye ana sura ambayo mwaijua ewe Kasim
Mafuta? Haa twambieni basi hio sura yake ikoje?
3) Kisha Mwenyezi Mungu atajibadilisha: aje katika sura nyengine. Hapo
ndipo watapomkubali! Sasa tazama ajabu hii! Wapi umepata kusikia
kuwa Dhati ya Mwenyezi Mungu inabadilika kutoka katika hali moja
kwenda hali nyengine au sura moja kwenda sura nyengine – the
changing god indeed! Na riwaya ya pili ilionasibishwa kwa Ibn
Mas‟ud na ambayo kaipokea Al-Imamu Muslim inasema:
ك٢ ط حظ٢ أ أ س ك٤و أخر ك٤و طلؼ إ هي ـــ ٣كــػ
أض رخ
Kisha watanyanyuwa vichwa vyao na kutahamaki (Mwenyezi
Mungu) ameshageuka katika sura ile ambayo walimuona mara ya
kwanza atawambia Mimi ni Mola wenu nao watasema (ndio)
Wewe ni Mola wetu.1206
Ya lahaa min ghabaawa (e mame yangu weee! Huu ujuha we)! Matn ya
riwaya hii bado haijawajuilisha watu kwamba huu ni uwongo wa
Kiyahudi?
MJADALA BAINA YA SH. AL-KHALILI NA
WAWANAVYUONI WENYE ITIKADI YA
KUMUONA MWENYEZI MUNGU
JUU YA HADITHI HII
Anasema Sh. Al-Khalili katika kitabu chake Al-Haqau Al-Damigh kuwa
alifanya mdahalo (mjadala) na baadhi ya wanavyuoni wenye itikadi ya
kumuona Mwenyezi Mungu. Akawauliza wapi walimuona Mwenyezi
Mungu mara ya kwanza mpaka ikawa walipomuona kwa sura tofauti na ile
ya mara ya kwanza wakamkataa na alipokuja katika sura yake ile ile
wakamkubali? Wakamjibu kuwa makusudio ya kumuona mara ya kwanza
hapa si kuwa walimuona kwa macho hio mara ya kwanza bali ni kuwa
hapa duniani walisoma Kitabu chake na Sunna za Mtume wake (s.a.w.)
wakaona namna alivyojielezea na namna alivyomuelezea Mtume wake
(s.a.w.). Akawambia kwa maana hio kila aliyesoma Kitabu cha Mwenyezi
Mungu na Sunna za Mtume wake atakuwa anaijua sura ya Mwenyezi
Mungu. Na nyinyi mumeshasoma Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna
1206
- Muslim Sahihu Muslim uk. 91-92, Hadithi na. 183.
423 za Mtume wake (s.a.w.), haya niambiyeni sura ya Mwenyezi Mungu
ikoje? Wanavyuoni wakakwama na kuduwaa!1207
Na hapa kuna suala jengine nalo ni kuwa kama watu wataijua sura ya
Mwenyezi Mungu kwa kusoma Kitabu chake na Sunna za Mtume wake
(s.a.w.) mbona walipomuona mara ya kwanza huko kiama wakamwambia
kuwa wewe siye Mwenyezi Mungu? Haya yote yanaonesha kuwa Hadithi
hii ni uwongo mtupu aliozuliwa Mtume (s.a.w.) .
HADITHI HIO KATIKA MASIMULIZI
YA AL-IMAMU ALBUKHARI
Hadithi hio ilotangulia katika mapokezi ya Al-Bukhari kuna badhi ya nukta
za ziada nazo ni kama inavyofuata. Katika Hadithi ya Al-Bukhari,
tunapata:
كظ٠ اح ٣زو٠ ال خ ٣ؼـــزي هللا ر أ كخؿ حطخ د حؼخــــ٤ كــــ٢ أى٠ ــــس
ك٤خ أ س حظ٢ أ
Mpaka ikiwa hapakubakia ila waliokuwa wakimuabudu Mwenyezi Mungu
tu katika watu wema na waovu basi atawajia Mola wa ulimwengu mzima
katika SURA NDOGO ZAIDI KULIKO ILE WALIOMUONA KATIKA
SURA HIO MARA YA KWANZA!
Kule katika riwaya iliotangulia tumepata kuwa atakuja kwa sura nyengine
tu: hapa tunaambiwa kuwa kumbe sura nyengine hio ni ndogo kuliko ile
waliopata kuiona! Maneno haya ni mazito: vipi Mwenyezi Mungu ambaye
hana mfano wa kitu chochote awe na sura tena nyingi – kubwa na ndogo?
Halafu jambo jengine ambalo limo katika sehemu hii ya Hadithi ni kuwa –
kama ilivyosema Hadithi hio iliotangulia kabla ya hii – watakaobakia ili
Mwenyezi Mungu awajiye si watu wema tu bali na waovu pia. Sasa hawa
waovu nao wameshapata malipo bora kuliko yote ya kumuona Mungu;
kilichobaki sasa waende peponi tu kwenye neema ndogo pamoja na
madhambi yao!
Riwaya inaendelea kwa kusema:
ط٠خ ك٢ إ٣ش ح ك٢ حظ٤س.. .ي ط
“Je munapata tabu katika kuliona jua wakati wa jua kali mchana?
Wakasema „hatupati‟. Akasema basi vivyo hivyo ndivyo mutavyomuona”.
1207
- Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Damigh uk. 57.
424 Maneno haya yanafahamika kwa njia moja katika mbili:
1) Ya kwanza: ama iwe makusudio ya kumuona Mwenyezi Mungu kama
tunavyoliona jua ni kuwa Mwenyezi Mungu ni kama jua: anafanana nalo.
Na hili silo, wala hakuna Muislamu anayeitakidi hivi, na yoyote
atakayesema hivi, basi huyo ni kafiri mshrikina. Kwa hivyo, hili tulitoe:
silo.
2) La pili iwe makusudio ya kumuona Mwenyezi Mungu kama jua ni kuwa
kama tunavyoliona jua kwa uwazi basi vivyo hivyo ndivyo
tutakavyomuona Mwenyezi Mungu. Lakini kama ni hivi basi mfano huu
uliomo katika Hadithi hii si sahihi kwa sababu Hadithi inasema kuwa watu
watamuona Mwenyezi Mungu kama wananavyoliona jua wakati wa
mchana wa jua kali. Sasa suali ni kuwa je ni nani anaweza akalitazama jua
wakati wa mchana wa jua kali ikiwa hakuna mawingu yalioliziba, hebu
kila mmoja na ajaribu kulitazama jua saa sita mchana alau sekunde mbili.
Kama hakuna, basi mfano huu si sahihi, na kama mfano huu si sahihi basi
haya si maneno ya Mtume (s.a.w.).
Na wakati huo huo wenye itikadi ya kuwa Mwenyezi Mungu ataonekana
wamepokea Hadithi inayosema:
ل لكهض زلخص ؿ خ حظ٠ ا٤ ر حكـخر
Pazia lake ni nuru kama akiliondoa basi kila ambacho macho yake
yatamfikia (Mwenyezi Mungu) basi nuru1208
ya Dhati Yake itakiunguza.1209
Hadithi hii kaipokea Muslim na wengineo. Na maana ya Hadithi ni kuwa
Mwenyezi Mungu kajizuia kwa utukufu wake ili tusimuone na lau kama
akiondoa kizuizi hicho akadhihiri basi kila atayemtazama au kumuona basi
ataunguwa. Kwa hivyo tunaishia kwa kusema kwamba Hadithi hii
inayosema kuwa Mwenyezi Mungu ana sura; anajibadilisha sura hii na ile:
kubwa na mdogo; watu waliwahi kumuona Mwenyezi Mungu mara ya
kwanza , n.k., basi ni uwongo mtupu, ambao watu wasiomuogopa
Mwenyezi Mungu wamemzulia Mtume wake (s.a.w.).1210
1208
- Na katika riwaya ya pili: “pazia lake ni moto”. 1209
- Muslim Sahihu Muslim Hadithi na. 293. Al-Tabarani Al-Awsat j. 2, uk. 142, Hadithi
na. 1512. Ibn Maja Al-Sunan Hadithi na. 195-196. Ahamad Al-Musnad j. 6, uk. 621,
Hadithi na. 19865. Na wengine. 1210
- Juma Al-Mazrui Hoja Zenye Nguvu uk. 250-52. Tanbihi: ukirejea katika kitabu
changu utaona kuna marekebisho kidogo ya baadhi ya ibara. Hii – kama nilivyotangulia
kusema – inatokana na ukweli kwamba kitabu hiki (Hoja Zenye Nguvu) nilikuwa
nakitayarisha kwa ajili ya chapa ya pili. Hata hivyo, hakuna mabadiliko ya maana, bali
hakuna mabadiliko ya msingi.
425
Hayo ni maelezo ambayo niliyatoa katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu
ili kuthibitisha ubatili wa matn (text) ya riwaya hio, kwamba nukta hizo
zinathibitisha kuwa hayo si maneno ya Mtume (s.a.w.), kwani hayakubaliani
na matokeo na hio ni moja ya alama kubwa za Hadithi za kutunga.
Kilichobaki ni itikadi tu: si usahihi wa hoja. Lakini Sh. Kasim mwanangwa
wa Bwana Mafuta akanijibu hivi:
UFAHAMU MBAYA JUU YA HADITHI HII
Katika kuyatilia nguvu madai yake ya kwamba hadithi hii ni dhaifu ndugu
Juma akaleta maneno ya ajabu kwa sababu ya ufahamu wake mbaya juu ya
hadithi hii, lakini kitambo alishasema mshairi (al-Mutanabbiy):
ل ػخث ذ ل٤لخ ه أك ظ ... حل و٤ ح
“Ni wangapi wenye kuyatia kasoro maneno yaliyo sahihi** lakini msiba
wake ni (kwa sababu ya) ufahamu mbaya”?!
Na ushahidi juu ya ufahamu mbaya wa ndugu Juma ni pale aliposema: “La
pili iwe makusudio ya kumuona Mwenyezi Mungu kama jua ni kuwa kama
unavyoliona jua kwa uwazi basi vivyo hivyo ndivyo tutakavyomuona
Mwenyezi Mungu.
Lakini kama ni hivi basi mfano huu uliomo katika hadithi hii si sahihi kwa
sababu hadithi inasema kuwa watu watamuona Mwenyezi Mungu kama
wanavyoliona jua mchana wakati wa jua kali. Sasa suala ni kuwa je nani
anaweza akalitazama jua wakati wa mchana wa jua kali ikiwa hakuna
mawingu yaliyoziba, hebu kila mmoja na ajaribu kulitazama jua saa sita
mchana alau sekunde mbili. Kama hakuna, basi mfano huu si sahihi, na
kama mfano huu si sahihi basi haya maneno si maneno ya Mtume
(S.A.W.)”. Mwisho wa kunukuu.1211
MAJIBU YETU
Kuyaelewa maneno ya Mtume bwana Mtume -swalla llaahu alayhi
wasallam- inatakiwa tawfiq kutoka kwa Allah, na wala si jambo dogo, na
watu wengi hawakuwafikishwa katika jambo hili la kheri kwa sababu ya
nia zao mbaya. Na miongoni mwa hao ni ndugu Juma Al-Mazr‟rui, naye
pia haukuelewa makusudio ya maneno ya bwana Mtume Muhammad -
swalla llaahu alayhi wasallam- katika mfano huu.
1211
- Tazama kitabu chake “Hoja zenye nguvu” ukurasa wa 251.
426 Na kuelewa semi, mifano, na methali za kiarabu ni miongoni mwa fani
muhimu za lugha ya kiarabu, na kama mtu hautabarikiwa kufahamu
mambo hayo, kuna hatari kubwa ya kutumbukia katika balaa la
kukadhibisha maandiko kwa sababu ya uelewa mbaya.
Mara nyingi huwa mifano ndiyo inayofafanua mambo kwa uzuri zaidi na
kuyaweka wazi kuliko maneno ambayo hayana mifano. Ndiyo maana
Qur‟an kadhalika maneno ya bwana Mtume –swalla llaahu alayhi
wasallam- yamejaa mifano mingi, na lengo la mifano hiyo ni kuwafanya
watu wawe ni wenye kufikiria mambo kwa undani zaidi na wayapime kwa
akili zao ili waweze kuufikia ukweli. Lakini pamoja na hayo, mara
nyingine hawaifahamu mifano hiyo ila wale wenye elimu za kutosha,
amesema Allah:
ط ي ؼ خ خ حل ر ٠ خ خ خ و ا ل ٣ ؼ ؼ خ 43 زصحؼ{ ح
“Na hiyo ni mifano tunawapigia watu, na hawaifahamu ila wenye
ilimu”.1212
Ndugu Juma huenda -kwa sababu na yeye si katika wenye elimu, au ni kwa
sababu amekusudia kupotosha- na yeye pia hakuufahamu mfano huu ndiyo
akafikia kusema:
“Lakini kama ni hivi basi mfano huu uliomo katika hadithi hii si sahihi
kwa sababu hadithi inasema kuwa watu watamuona Mwenyezi Mungu
kama wanavyoliona jua mchana wakati wa jua kali”.
Sisi tunasema lau kwamba ndugu Juma angeutazama mfano huu kwa jicho
la kutaka kujua ukweli angegundua kwamba makusudio ya Mtume –swalla
llahu alayhi wasallam- katika mfano huu ni tofauti na alivyofahamu yeye.
Kwa sababu makusudio ya mfano huu ni kutaka kufahamisha kwamba:
Kama vile ambavyo hakuna msongamano wala kiminyano katika
kulitazama jua la mchana ambalo halikufunikwa na mawingu, basi mjue ni
hivyo hivyo kwamba hakuna kiminyano wala msongamano katika
kumuona mola wenu muumba huko katika Jannah (peponi). Kwa ufupi ni
kwamba: Hakuna tabu yoyote mtakayoipata katika kumuona Allah –
Tabaaraka wata‟alaa- kwa namna atakavyo jihidhirisha kwenu -
Sub‟haanahu wata‟alaa- kama vile ambavyo hamsongamani katika
kulitazama jua au mwezi mpevu. Ndiyo maana Mtume -swalla llaahu
alayhi wasallam- akawauliza maswahaba zake: “Je mnasongamana katika
kuliona jua katika mchana ambao hakuna mawingu?” Maswahaba
wakajibu: “Hapana”! Bali kila mwenye akili timamu akiulizwa swali kama
hilo hatokua na jawabu zaidi ya kusema hapana. Na wala Mtume -swalla
llaahu alayhi wasallam- hakuuliza je mnataabika au mnapata taabu katika
1212
- Suratul-A‟nkabut (29) aya ya 43.
427 kulitazama jua katika mchana wa jua kali kwa sababu ya mwangaza wake?
Kama alivyofahamu Juma, na kama angeliuliza hivyo bila shaka
jawabu lingekuwa “NDIYO “ tunapata taabu. Kwa sababu hakuna
anayeweza kulitazama jua kali la mchana ambao hakuna mawingu. Kwa
sababu mfano huo hauko baina ya kulitazama jua na kumtaza Allah -
Sub‟haanah- wala hauko katika kuweza kulitazama jua na kutokuweza
kama alivyofahamu Juma, mpaka akafikia kusema: “hebu kila mmoja
ajaribu kulitazama jua saa sita mchana alau sekunde mbili”!
Kwa ufupi ni kwamba ndugu Juma hakufahamu kitu kinachoitwa:
“WAJ‟HUS-SHABAHI” njia ya kufanana baina ya “MUSHABBAHUN”
(chenye kufananizwa) na “MUSHABBAHUN BIHI” (chenye
kufananiziwa) na huo ni mlango muhimu mno katika elimu ya
“BALAGHA”(RHETORIC).
Na lau kama mtu hataufahamu vizuri mlango huu basi anaweza
kuyakadhibisha maneno ya haki yasiyo na utata wowote kama alivyofanya
ndugu yetu Juma al-Mazrui. Pia balaa hili limempata ndugu Juma
kutokana na uelewa wake finyu wa lugha ya kiarabu, ndiyo maana
hakuweza kuleta tafsiri sahihi ya maneno haya, sasa hebu tuyaangalie
maneno haya je maana yake ni kupata taabu kama alivyo tafsiri Juma au ni
kusongamana kama tunavyotafsiri sisi? Hebu tuyatazame maneno haya
mawili yaliyotumika katika hadithi kupitia kamusi za lugha ya kiarabu
pamoja na kauli za maulamaa wakubwa:
.(Laa tudhaammuuna ”( 1 -”تضاي ال
.(Laa tudhaarruuna) “ 2- ”تضاس ال
Yeye akatafsiri kuwa maana yake ni “hamupati tabu”na hali yakuwa
maana yake ni “hamsongamani/hamtodhuriana” na kwa ushahidi zaidi
angalia kauli hizo za maulamaa juu ya maana ya maneno haya:
Maana ya neno la kwanza (Laa tudhaammuuna):
:حلػ٤ حر حإلخ هخ
.”حظ هض طىك رؼ ا٠ رؼ٠ ٠٣ ل :ؼخ“
Amesema Imamu Ibnul-Athir:
“Maana yake:hawatakusanyika watu pamoja wakasongamana wakati wa
kutazama”.1213
Na maudhui ya kitabu hiki kuyatafsiri maneno yote mageni na magumu ya
lugha ya kiarabu ambayo yamo katika hadithi na kauli za maswahaba.
:ظ حر حإلخ هخ
.”حال حظا٠ ػي طلؼ خ أ٤ ٥ه حكي ك٤و رؼ ا٠ رؼ٠ ٠٣ ل أ١ “
1213
- Tazam kitabu chake; al-Nihaya fiy Gharibil Hadith ukurasa wa 555.
428
9 حؼد خ / . خىس 63
Amesema Imamu Ibn Mandhuur:
“Maana yake: hawatokusanyika ikafikia kusema mmoja kumwambia
mwingine nionyeshe, kama vile mnavyofanya wakati wakutazama mwezi
mwandamo”.1214
:كـ حر حلخكع هخ
....“ ؿش ك٠ إ٣ظ طـظؼ ل :ؼخ ((إ٣ظ ك٠ ط٠خ ل
13 حزخ١ كظق /526.
Amesema al-Hafidh Ibn Hajar:
“ ((Laa tudhaammuuna fiy ru‟uyatihi)) maana yake hamtakusanyikana
upande mmoja kwa ajili ya kumtazama”.1215
Ama kuhusu neno la pili ((Laa tudhaarruuna):
))لط٠خ((
.”ظ ك ا٤ حظ لش ك٠ طظـخى ل طظوخل ل“ :حلػ٤ حر هخ
. خىس 542 حلي٣غ ؿ٣ذ ك٠ حخ٣ش
Amesema Ibnul Athir:
“Hamtatafautiana wala hamtajadiliana kuhusu kusihi kumtazama kutokana
na uwazi wake na kudhihiri kwake”.1216
:ح١ حإلخ هخ
أ طلؼ آخ ولخث ؿ٤خ أ حإ٣ش ك٠ وخلش أ ركش حإ٣ش كخش ك٠ ؿ٤آ ط٠خ “
؟”ح ٤ش
3 حلـخؽ ر ل٤ق ف حخؽ /27.
Amesema Imamu Al-Nawawiy:
“(Maana yake) je mnawadhuru wengine katika hali ya kuutazama (mwezi
mpevu) kwa sababu ya msongamano au kutofautiana katika kuuona au kwa
jambo jingine kwa sababu ya kujificha kwake kama mnavyo fanya usiku
wa mwanzo wa mwezi”?1217
1214
- Tazama kitabu chake Lisaanul-Arabi juzuu ya 9 ukurasa wa 63. 1215
- Tazama kitabu chake Fat‟hul-Baari juzuu ya 13 ukurasa wa 526. 1216
- Tazama kitabu al-Nihaaya fiy Gharibil-Hadithi ukurasa wa 542. 1217
- Tazama kitabu chake al-Min‟haaj, juzuu ya 3 ukurasa wa 27.
429
:ظ حر حإلخ هخ
حؼد خ ...”.رؼ٠خ رؼ٠ ٠٣ ل أ١“ /34.
Amesema Imamu Ibn Mandhuur:
“Maana yake: hamtodhuriana wenyewe kwa wenyewe”.1218
Bila shaka ndugu msomaji umeelewa ni kitu gani ambacho kimemsibu
ndugu Juma mpaka akafikia kuyakadhibisha na kuyabatilisha maneno ya
bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam-. Mimi ninasema kwamba
hakuna kitu kingine zaidi ya moja mambo mawili:
1-Ufahamu mbaya wa lugha ya kiarabu,au:
2-Anafanya makusudi ili kutimiza malengo yake mabaya ambayo
ameyakusudia yeye na washirika wake, ndiyo akafikia kiwango hiki cha
kuyatupilia mbali maneno ya bwana Mtume -swalla llaahu alayhi
wasallam- kwa urahisi tena kwa kejeli ya hali ya juu.1219
Kwa hivyo, mukhtasari wa jawabu hii refu ya Kasim bin Mafuta ni katika
nukta mbili:
1) Ni kuhusu suala zima la tashbihi iliomo katika riwaya hio.
2) Ni kuhusu tafsiri yangu niliposema “hamutopata tabu katika
kuliona”.
JAWABU
Jawabu kuhusu suala la kwanza ni kuwa almushabbah na almushabbah bihi
wanafahamika kwa njia mbili na zote zimetajwa na wanavyuoni walioisherehesha
Hadithi yenu hio ya kufinyanga? Riwaya inasema:
ك٢ إ٣ش ح ك٢ حظ٤س.. .ي ط ط٠خ
Je munapata tabu katika kuliona jua wakati wa jua kali mchana?
Wakasema „hatupati‟. Akasema basi vivyo hivyo ndivyo mutavyo
muona.
Kwa hivyo, kwa upande wa tashbih inawezekana ikasemwa kuwa:
1) Kafu katika neno kadhalika ni herufu ya kushabihishia (harfu al-
tashbihi).
1218
- Tazama katika kitabu chake Lisaanul-Arabi juzuu ya 9 ukurasa wa 34. 1219
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 111.
430
2) Neno ru-uya (kuona) katika jumla ya maneno yasemayo taraunahu
(mutamuona), ni mushabbah (chenye kufananishwa).
3) Neno ru-uya lililomo katika maneno ru-yyati al-shamsi ni
mushabbahun bihi (chenye kufafananishiwa).
Na kwa hivyo, maana ni kuwa “mutamuona Mola wenu kwa uoni wenu ulio
sawa na uoni wenu munavyoliona jua”. Kilichobaki ni wajhu al-shabah: je
ni upi? Tunasema: nao pia kwa mujibu wa maelezo hayo, basi utakuwa uko
wazi kwa kulitazama lengo la riwaya yenyewe. Nayo ni kuwa mutamuona
Mola wenu kwa uwazi kama munavyoliona jua wakati wa mchana wa jua
kali kwa uwazi. Maneno kwa uwazi ndio wajhu al-shabah (njiana ya
kufanana kwa hali mbili hizo). Kwa hivyo, mimi ninasema kwamba
“umejikakamua sana ndugu Kasim” lakini sehemu hii bado hujaijibu na
suala langu bado lipo pale pale kwamba vipi Mtume (s.a.w.) aseme
tutamuona Allah kwa uwazi kama tunavyoliona jua kali kwa uwazi wakati
wa mchana usio na mawingu ilhali wakati huo jua hatuwezi kuliona licha ya
kuliona kwa uwazi? Elewa kwamba hapa sizungumzii tudhammuuna na
tudhaarruuna (kusongana-kupunjana au kudhuriana): ninazungumzia ru-
aya na ru-aya (kuliona jua kali wakati wa mchana ulio safi; na kumuona
Mungu): ninasema: jua wakati huo halionekani kwa uwazi. Vipi tuambiwe
kukiona kwa uwazi kitu ambacho hatuwezi hata kukitazama! Huu ndio
mushkeli wangu.
Ama kuhusu nukta ya pili kuhusu tafsiri yangu niliposema “hamutopata
tabu katika kuliona”, ninamtaka Bwana Mafuta aelewe mambo yafuatayo:
Mosi: ni kuwa mimi katika maandiko yangu yote yale basi aghlabu ya
tafsiri zangu ni tafsiri za kimaana: si za neno kwa neno. Lakini wewe labda
unataka ٣ حؼ٤ي yaumul-‟iid tuite siku yenye kujirejea badala ya kuiita siku
kuu; kwani neno ػ٤ي „iid kilugha maana yake ni “chenye kurejea”; na
tukitaka kusema siku kuu basi tuseme ٣ ػظ٤ yaumun „adhiim, ndio maana
Aya inayosema: ك و ا wewe umeifasiri hivi: “Kwa hakika hii
(Qur‟an) ni kauli kupambanua” na sahihi – kama tulivyosema katika
juzuu ya kwanza ya kitabu hiki – ni kuifasiri Aya hio: “Kauli pambanuzi”
au “kauli yenye kupambanua”. Hiki ndio Kiswahili sahihi.1220
1220
- Bali hata kwa mujibu wa kanuni za lugha ya Kiarabu tafsiri ilitakiwa iwe hivyo kwani
masdar hapa imetumika kwa maana ya sifa, kama inavyosemwa: Imamu) حإلخ حؼي
uadilifu) yaani “Imamu muadilifu” au “Imamu mwenye uadilifu”. Na katika Qur-ani Allah
anasema: خ ق ٤ ؿ ػ Yeye (mtoto wa Nabii Nuha) ni matendo yasio mema” Sura“ ا
11, Aya 46, yaani “Yeye ni mtendaji wa yasio mema”. Na bila shaka itakuwa ajabu ilioje
ikiwa mtu ataifasiri Aya hio kuwa maana yake ni “Yeye (mtoto wa Nabii Nuha) ni
matendo yasio mema” badala ya kusema: “Ni mtendaji wa yasio mema”. Kwa hivyo,
431
Pili: nikuwa tukirudi katika Hadithi yenu, basi tunasema kwamba hata kama
maneno la tudhaammuna na la tudhaarruuna yana maana ya kuwa
hamusongani na hamudhuriani, basi hio ni kwa kuyafasiri maneno hayo
harfiyyan (literally) yaani neno kwa neno. Ama kimaana unaweza kuyafasiri
kuwa “hamupati tabu” wala hilo haliitwi kuwa ni kosa. Na hivi ndivyo
wataalamu wa Kiswahili wanavyoyafasiri maandiko. Ukirudi katika tafsiri
ya Sheikh Abdullah Salih Al-Farisi utaona baadhi ya Aya akizifasiri
kimaana tu: si neno kwa neno. Kwa mfano katika Aya ya 9 ya Surat Yusuf
(12), basi kalifasiri neno yakhlu kwa maana ya kuelekea, nayo ni tafsiri
nzuri sana ukizingatia maana. Ama neno kwa neno, basi tafsiri ya neno hilo
ni “kupwekeka” au “kuwa tupu”. Kwa hali yoyote ile, hapa cha kuzingatia
ni mambo mawili:
1) Mimi kimsingi nazungumzia kuhusu kuliona jua kwa uwazi mchana
wa jua kali pasina kuwepo kwa mawingu, ninasema kuwa kitu hicho
hakiwezekani.
2) Maana zote mbili za maneno la tudhaammuna na la tudhaarruuna
zimeelezwa katika kuielezea riwaya hio: hicho nilichokisema mimi
kimesemwa na wanavyuoni kadha wa kadha. Na ulichokisema wewe
pia kipo.
TAFSIRI ZA WANAVYUONI KUHUSU MANENO
LA TUDHAAMMUNA NA LA TUDHAARRUUNA
Anasema Al-Imamu Al-Suyuti:
ط٠خ ر٠ حظخء ك٢ ححء حظي٣ي حظول٤ق ؼ٠ حيى ط٠خ ؿ٤ ك٢ كخ
ؼ٠ـــــــؿ٤خ ولخث خ طلؼ أ ٤ش ححإ٣ش ركــش أ وخلش ك٢ حإ٣ش أ
ح٠ كب ط ي ؼخ طز٤ حإ٣ش رخإ٣ش ك٢ حولق ٣لو ك٢ إ٣ظ ٤
حف ح حي حوش حلهظالف
(Maneno) hal tudhaarruuna kwa kuitia dhame tee; na ree (imepokewa hali
ya kuwa) ina shadda na (pia imepokewa hali ya kuwa) haina shadda.
Maana ya (riwaya yenye ree yenye) shadda ni kuwa: „je munadhuriana na
wengine katika hali ya kuuona kwa sababu ya kusongana au kupingana
katika uoni au mengineo kwa sabababu ya kufichika kwake (huo mwezi)
kama vile munavyofanya mwanzo wa mwezi? Na maana (inayopatikana
katika riwaya yenye ree) isio na shadda, ni kuwa je munapata dhair nayo
(hio dhair maana yake) ni madhara (yaani je munapata madhara).
kutumika kwa masaadir katika sehemu hizi ni kwa ajili ya mubaalagha kana kwamba Qur-
ani ndio upambanuzi wenyewe kwa jinsi inavyopambanua mambo; na kana kwamba
Imamu ndio uadilifu wenyewe kwa jinsi alivyo muadilifu; na kana kwamba mtoto wa Nabii
Nuhu ndio uovu wenyewe kwa jinsi alivyokuwa muovu.
432 Basi hakika yenu mutamuona (Mungu) hivyo hivyo, maana yake ni
kuufananisha uoni na uoni katika uwazi (wa kuonekana chenye kuonekana)
na kuondoka shaka na mashaka na kutafautiana.1221
Anasema Al-Imamu Al-Nawawi:
٢ ظخد حل٣خ ؼخ ـــزط كــه ٠ هللا ػ٤ ل ط٠خ ك٢ إ٣ظ طوي ك
٠ ر كظ خـ ظؼ ػاحإ٣ش ه ٠ هللا ػ٤ أخ ل ٣لو ٤ ك٢
ط ح حو أ١ طـــ إ٣ش لووش ل ي ك٤خ ل وش خ ط ح حو إ٣ش لووش
رال وش
Kauli yake Mtume (s.a.w.) aliposema: “laa tudhaammuna fii ru-uyatihi”
tumetangulia kuielezea (riwaya hii) na kuidhibiti katika kitabu cha iman.
Na maana yake ni kuwa hamufikiwa na dhulma (au udhalili) katika kuona.
Na kauli yake Mtume (s.a.w.) aliposema: “Eleweni kwamba nyinyi
mutaoneshwa kwa Mola wenu basi mutamuona kama munavyouona huu
mwezi” maana yake ni kuwa mutamuona uoni wa hakika usio na shaka
ndani yake wala mashaka kama munavyouona huu mwezi uoni wa hakika
bila ya mashaka.1222
Anaendelea Al-Imamu Al-Nawawi:
ك ٢ ح ح٣ ش حل ه ـــــــ ، ) خ ط ٠ ( : ل ر ظ و حء ٣ي ح ي ( ر ظ خ حظخء ـ ) ط ٠ خ ٤ل
ك ٣ ش ر إ خ ش ح ك ٢ ك ٤ ؿ خ ط ٠ ى : ي ٠ ح ؼ خ ش ك ٤ ــــ ٠ خ ل ش ك ـــ و ٢ـــش أ
٤ ؿ ٣ ش أ إ وح ل ٣ لق: و ؼ ٠ ح ؟ ح ٤ ش أ خ ط ل ؼ ـ ل خث ٣ ظــخ و إ ك ٢
٣ي ي ( ر ظ خ خ ) ط ٠ ١ أ ٣ ٠ ح٠ ٤ ؟ خ ك ظ ق حظخء ، ى ي خ، ك ل ٤ل ط و ٤ ح
لل حظخء ، ه ٤ ……… خ و ل ٣ لق : و ٠ ح ؼ حظؼ ذ – وش ح
….na katika riwaya ya pili riwaya inasema (hal tudhaamun) na ikapokewa
(tudhaarrun) – ree ina shadda na bila ya shadda na tee ni yenye dhame
katika maneno mawili hayo – na maana ya ree yenye shadda ni kuwa je
munadhuriana na wengine wakati wa kuuona kwa sababa ya msongano au
kutafautiana katika kuuona au mengineo kama munavyofanya mwanzoni
mwa usiku wa mwezi muandamo? Na maana ya ree isio na shadda ni je
munafikwa na dhair katika kuuona? Na dhair ni madhara. Na pia
imepokewa kwa lafdhi yenye kusema tudhaammun kwa kuitia mkazo
(kuitia shadda) mimu na kutokuitia…….na maana ya riwaya ya mimu
isiyokazwa ni: “je munafikwa na dhaim nayo ni mashaka na tabu. 1223
1221
- Al-Suyuti Al-Dibaj „Alaa Muslim j. 1, uk. 229. 1222
- Al-Imamu Al-Nawawi Shar-hu Al-Nawawi „Alaa Sahihi Muslim j. 3, uk. 440-441,
maelezo ya Hadithi na. 1432. 1223
- Al-Imamu Al-Nawawi Shar-hu Al-Nawawi „Alaa Sahihi Muslim j. 2, uk. 297,
maelezo ya Hadithi na. 450.
433
Kwa hivyo, utaona kwamba maelezo ya Al-Imamu Al-Nawawi na ya Al-
Imamu Al-Suyuti hayana tafauti kimaana na yale maelezo tulioyatoa katika
kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu: Al-Imamu Al-Suyuti anaesema kuwa
maana ya riwaya hio ni kuwa “hawatopata tabu katika kumuona Allah kama
vile ambavyo hawapati tabu katika kuona mwezi” nami nilipoipinga riwaya
ya pili iliotaja neno jua nilisema: “hamutopata tabu katika kumuona Allah
kama vile ambavyo hamupati tabu katika kuliona jua wakati wa mchana wa
jua kali pasina mawingu”. Na maneno ya Al-Nawawi ni kama ulivyoyaona
mwenyewe hapo.
Tatu: ni kuwa Sheikh Mafuta – japo kuwa kadhania kwamba tafsiri hio
imetokana na ufahamu wangu mbaya wa lugha ya Kiarabu – lakini bado
anaonekana kwamba kanuni za lugha ya Kiarabu na Kiswahili bado
zinampiga chenga! Si hivyo tu, anaonekana kuwa ni mtu wa kuqallid tu:
hawezi kufanya tahqiq. Maneno yaliotumika katika Hadithi hio ni:
1) خ .Laa tudhaarrun ل ط ٠
2) خ .Laa tudhaarun ل ط ٠
.Laa tudhaammun ل ط٠خ (3
.Laa tudhaamun ل ط٠خ (4
Hizi ni riwaya mbili kwa nne kwani kila mmoja ndani yake inabeba riwaya
ya pili – kila moja inawezekana tee yake ukaitia fat-ha na unaweza ukaitia
dhamme; na ree yake – katika riwaya moja – au mimu yake – katika riwaya
ya pili – zikawa ni zenye shadda na zikawa bila ya shadda.
Sasa tukirudi katika maneno yetu hayo, ni kuwa maneno hayo – neno la
mwanzo kwa mfano – kipimo chake cha sarfu ni kama inavyofuata:
Kitendo kilichopita kitendo kilichopo chimbuko (noun)
٣لخػ faa‟ala كخػ yufaa‟ilu لخػش mufaa‟alatan
٠٣خ dhaarra خ yudhaarru ٠خس mudhaaratan
Kitendo chenye kuja katika muundo huu, basi kina maana nyingi. Moja ni
kushirikana katika kufanya kitu. Na hii ndio maana walioichukua
wanavyuoni hao aliowataja Kasim Mafuta. Na maana ya kushirikiana huku
ni kuwa wewe unafanya na mwenzako anafanya. Na kwa hivyo iliposemwa
hal tudhaammuna fii ru-uyati al-shams ك٢ إ٣ش ح ط٠خ , wao
wamefasiri “je munasongana katika kuliona jua”.
434
Lakini cha kufahamu ni kuwa si mara zote muondo huo unaleta maana hio:
bali mara nyengine nyingi hutumika mfumo huo na mtendaji huwa ni
mmoja tu, na katika hali hii neno hilo hutumika ظؼي٣خ (hali ya kuwa lina
mtendwa) na هخح au لخ(hali ya kuwa lina mtenda tu pasina mtendwa).
Ikitokea kwamba neno lililotumika hivyo ni neno خ dhaarra – kwa mfano
– basi katika hali yake ya pili ya kutumika hali ya kuwa ni هخحau لخ
(hali ya kuwa lina mtenda tu pasina mtendwa), basi mwenye kudhurika
anakuwa ni mtenda mwenyewe kwani wakati huo neno linakuwa halina
mtendwa. Kwa hivyo, mukhtasari wa kipengele hiki ni kuwa neno خ
dhaarra (kudhuru) likitumika katika namna hii tulioielezea hapa basi
litakuwa na maana tatu:
1) Kushirikiana katika kitendo. Kama neno lililotumika ni dhaarr –
kwa mfano – basi maana itakuwa ni kudhuriana: weye wanidhuru na
mimi nakudhuru. Halkadhalika vitendo vyengine vyenye kipimo
sawa na hicho.
2) Kutenda mtu mmoja na wapili akatendwa.
3) Kitendo kumpitikia mtu mwenyewe peke yake..
Maana ya kwanza ya kushirikiana katika kitendo kwa mfano, utaipata katika
riwaya yenye kusema: ل ل ح ك ٠ ح خ laa tudhharru fii al-hafri ل ط ٠
(musidhuriane katika kuchimba visima).1224
Maana ya pili ya mmoja kuwa
ni mtenda na wa pili kuwa ni mtendwa na kitendo kiko katika muundo huo
huo, ni kama ilivyo Aya yenye kusema: ٤ ح ػ ٤و ظ ٠ خ ل ط ٠ (wala
musiwadhuru mukawatia dhiki).1225
Katika Aya hii neno hilo halina
maana kwamba “musidhuriane”, bali maana yake ni “musiwadhuru”,
pamoja na kuwa neno ni lile lile. Na maana ya tatu ya kuwa kitendo chenye
mezani ile ile ya لخػش mufaa‟alatan lakini kikawa ni chenye kumpitikia
mtu mwenyewe tu ni kama خك ٣خك خكس لخح saafara yusaafiru
musaafaratan wa sifaaran kwa maana kasafiri, wala haina maana kwamba
wamesafiriana: huyu kamsafiria yule na yule kamsafafiria huyu. Bila
kusahau kwamba kipimo لخػش mufaa‟ala pia humaanisha:
kaifuatisha saumu yaani طخرغ ح رؼ٠ أطزؼ af‟ala. Kama أكؼ (1
kaifunga mfululizo. Si kwamba yeye kafunga na saumu imefunga!
.kayazidisha malipo خػق حلؿ رؼ٠ ؼلخ fa‟ala. Kamaكؼ (2
Anasema Al-Imamu Al-Rabbaani Sa‟id bin Khalfan Al-Khalili (r.a.):
لظحى كخػ حؿؼ حؿظ٠**ىف كؼض أكؼض كؼ
1224
- Al-Bayhaqi Al-Sunanu Al-Sughra j. 2, uk. 338, Hadithi na. 2205. Al-Kubra j. 9, uk.
122, Hadithi na. 12095. Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 5, uk. 224. Hadithi na. 4. 1225
- Sura 65, Aya 6.
435
Na neno lenye kipimo cha faa‟ala litumie kumaanisha ushirikiano. Na pia
imedhihiri kuwa linatumika kumaanisha neno lenye kipimo cha fa‟ala, na
af‟ala na fa‟ala (yenye shadda).1226
Kwa maana hii neno laa tudhaarruna lililotumika katika Hadithi yenu
linaweza likawa na maana ya “hamudhuriani” kwa msingi kwamba mezani
hio inaleta maana ya al-ishtiraak (kushirikiana katika kufanya kitendo), na
pia linaweza kuleta maana ya kuwa “hamudhuriki” kwa msingi kwamba
muundo huo pia unatumika kwa kitendo kinachompitikia mtu mwenyewe
katika nafsi yake: pasina kumfikia mwengine. Na kwa maana hii ya pili,
basi kuifasiri Hadithi hio kwa maana ya “hamupati tabu” inakuwa ni tafsiri
sahihi. Na hili linaungwa mkono na riwaya ya al-raai al-mukhaffafa (ree
isio na shadda) ambayo kama alivyosema Al-Suyuti inamaanisha: “je
munapata dhair nayo (hio dhair maana yake) ni madhara (yaani je
munapata madhara). Na pia linaungwa mkono na riwaya ya tudhaamuna
yaani riwaya yenye mimu isio na shadda ambayo maana yake ni kama
alivyoeleza Al-Imamu Al-Nawawi kwamba maana ya riwaya hio ya mimu
isiyo na mkazo ni: “je munafikwa na dhaim nayo ni mashaka na tabu. 1227
Na kwa hivyo, tukirudi katika kauli ya Kasim bin Mafuta aliposema:
Bila shaka ndugu msomaji umeelewa ni kitu gani ambacho kimemsibu
ndugu Juma mpaka akafikia kuyakadhibisha na kuyabatilisha maneno ya
bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam-.
Mimi ninasema kwamba hakuna kitu kingine zaidi ya moja mambo
mawili:
1-Ufahamu mbaya wa lugha ya kiarabu,au:
2-Anafanya makusudi ili kutimiza malengo yake mabaya ambayo
ameyakusudia yeye na washirika wake, ndiyo akafikia kiwango hiki cha
kuyatupilia mbali maneno ya bwana Mtume -swalla llaahu alayhi
wasallam.
Nami namwambia Ibn Mafuta kwamba maelezo yako ulioyatoa hapa
yanaonesha kuwa:
1) Kanuni za lugha bado hazijakutwanga.
2) Una haraka ya mambo. Kwanza ungechukua japo kitabu kidogo cha
elimu ya sarfu ukafuta vumbi la mato (macho).
1226
- Al-Imamu Al-Rabani Sheikh Sa‟id bin Khalfan Al-Khalili Maqaalidu Al-Tasrif j. 1,
uk. 55. 1227
- Al-Imamu Al-Nawawi Shar-hu Al-Nawawi „Alaa Sahihi Muslim j. 2, uk. 297, maelezo
ya Hadithi na. 450.
436
3) Bado huwezi kufanya tahqiq: unafuata tu kama bendera inavyofuata
upepo. Maelezo ya wanavyuoni ulioyatoa bado yanahitaji maelezo
kwa urefu.
Hayo yaliotangulia yalikuwa ni maelezo yetu kuhusu sanad na matn za njia
mbili za Hadithi ya kumuona Allah kama tunavyouona mwezi au mwezi na
jua. Kisha baada ya hapo Sheikh Mafuta akatoa tena ushahidi wake kwa njia
mbili nyengine zifuatazo.
NJIA YA TATU NA YA NNE ALIOITOLEA
HOJA MAFUTA
Anasema Ibn Mafuta:
Njia ya tatu:
:هللا ك ىحى أر إلخ هخ
ػ خ ي ن ك ل ا ر ٤ ؼ ػ خ ا ي ك ل ٤ خ ػ ٤ خ ق أ ر ٢ ر ػ أ ر ٤ ؼ أ ع ـــ ٣ ل ــػ ي
س ٣ ه خ أ ر ٤ ٣ خ خ هللا ر خ أ و ٤ ٣ ش ـــح خ ه خ خ ٣ ش ك ٢ ط ٠ إ ك ٢ ح
س ٤ ض حظ ــخر ش ك ٢ ٤ ل ح ل ه خ ه خ خ ٣ ش ك ٢ ط ٠ إ و ٤ ش ح ز ي خر ش ك ٢ ــــ ٤ ح ل
ح ل ه خ ١ ه خ ح ٢ ل ل ر ٤ ي ك ٢ ط ٠ــــــ خ ٣ ظ إ خ ا ل خ ٣ ش ك ٢ ط ٠ إ خ ي .أ ك
Amesema Imamu Abu Daud -Allah amrehemu:-
Ametusimulia Is‟aq Ibn Ismail, amesema: ametusimulia Sufyani, kutoka
kwa Suheil Ibn Abi Swaleh, kutoka kwa baba yake (Abu Swaleh) kwamba
amemsikia yeye akisimulia kutoka kwa Abu Hurayra, amesema: walisema
watu: Ewe Mtume wa Allah ! Je tutamuona Mola wetu siku ya Qiyama?
Akasema: Je mnadhuriana katika kuliona jua wakati wa mchana ambao
hakuna mawingu? Wakasema: hapana. Akasema (Mtume): Je mnadhuriana
katika kuuona mwezi katika usiku wa mwezi mpevu na hali hakuna
mawingu? Wakasema: hapana. Akasema (Mtume): Naapa kwa yule
ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hamtodhuriana katika kumuona
yeye (Allah) kama msivyo dhuriana katika kukiona kimoja kati ya hivyo
(jua na mwezi).1228
Njia ya nne:
1228
- Tazama kitabu Sunan Abi Daud, hadithi namba 4105.
437
ػ خ ي ٤ ٠ ك ٣ ل ر ػ خ آى ي أ ر ك ر ر ٤خ ػ ػ حل ػ خ ق أ ر ٢ ػ ٤ي أ ر ٢ ػ ؼ و ١ ــــ ح ي
ه خ ه خ ــ ٠ هللا هللا ٤ ػ : ا ظ ر ػ ؿ ح ٣ خ ه خ ــــ هللا
ر خ ه خ ك و خ ـــ ط ٠ ــ٢ خ ٣ ش كـ إ ق ـــح خ ح ح ل ه خ ـــ ك ظ ٠ ه خ ٣ ش ك ٢ خ إ
و ٤ ش ح ز ي ح ح ل ه خ ه خ ل ك ب خ ــــ٢ ط ٠ كـ ٣ ظ إ خ ا ل آ خ ي ك ٢ ط ٠ .
Ametusimulia Yahya Ibn Adam, ametusimlia Abu Bakri Ibn Ayyash,
kutoka kwa A‟mashi kutoka kwa Abu Swaleh, kutoka kwa Abu Said al-
Khud‟riy-Radhiyallaahu An‟hu- amesema: amesema Mtume – swalla
llaahu alayhi wasallam-: Kwa hakika nyinyi mtamuona Mola wenu -Azza
Wajalla-, wakasema (Maswahaba): Ee Mtume wa Allah! Tutamuona Mola
wetu? Akasema (Mtume): Je mnadhuriana katika kuliona jua katika nusu
ya mchana ? wakasema: Hapana. Akasema (Mtume): Je mnadhuriana
katika kuuona mwezi katika usiku wa mwezi mpevu? Wakasema: Hapana.
Akasema: basi nyinyi hamtadhuriana katika kumuona yeye (Mola wenu)
kama ambavyo hamdhuriani katika kuliona (jua na mwezi mpevu).1229
SANADI YA HADITHI HII
Ama kuhusu sanadi ya hadithi hii:
Sanadi yake ni sahihi na wala hakuna mwanachuoni yoyote wa hadithi
aliyeitia dosari zaidi ya Juma na sheikh wake al-Qannubi na Inshaallah
utaliona jawabu letu dhidi ya ubabaishaji wao. KUHUSU MAT‟NI YA
HADITHI HII:
Ama kuhusu maana ya hadithi: Bila shaka hadithi hii iko wazi kabisa na
wala haihitajii maelezo marefu ili ieleweke, isipokuwa kuna jambo
muhimu la kutanabahisha nalo ni kwamba: Bwana Mtume -swalla llaahu
alayhi wasallam- ametubainishia kuwa tutamuona Allah -Sub‟haanah- kwa
uwazi kabisa bila ya kudhuriana wala msongamano wowote, kama vile
ambavyo watu hawasongamani wala hawakanyagani katika kuutazama
mwezi mpevu wa tarehe kumi na nne, na kama vile ambavyo watu
hawasongamani wala hawakanyagani katika kulitazama jua la mchana
ambao hakuna mawingu. Na zimepokewa hadithi nyingi ambazo zina
maana kama hii walizozipokea Maswahaba wengi kutoka kwa Mtume
Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam-, lakini kwa kufupisha
tutosheke na riwaya hizi chache zilizo pokelewa kutoka kwa Maswahaba
1229
- Tazama katika kitabu Musnad cha Imamu Ahmd, hadithi namba 10697. Kadhalika
ameitaja hadithi hii Imamu al Bukhari katika Sahihul-Bukhari hadithi namba 7434.Na
Imamu Muslimu katika Sahihi yake hadithi namba 182.Na Imamu Ibn Abi Asim hadithi
namba: 443,444,445,446,447,448,449 mpaka 458.
438 watatu wa Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam- (Jarir Ibn
Abdillahi, Abu Said al-Khud‟riy na Abu Huraira Allah awe radhi nao, na
mwenye kutaka ziada basi arejee vitabu vya hadithi. Na Muislamu yoyote
mwenye imani ya kweli akifikiwa na habari yoyote ambayo ni sahihi
kutoka kwa Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- hana budi kuikubali na
kuusadiki ujumbe uliobebwa na hadithi hiyo na huo ndio ukamilifu wa
“Shahaadatu Anna Muhammadan Rasuulu-llahi” (kukiri kwamba
Muhammad ni Mjumbe wa Allah) nayo ni: Kuyaamini yote aliyokuja nayo
mjumbe huyo na kuyasadikisha yote aliyoyaelezea kutoka kwa mola wake
hata kama akili zetu duni hazikubali, na kadhalika kumtii Mtukufu huyo
kwa kutenda mema aliyoyaamrisha na kuyaacha mabaya aliyoyakataza.
JAWABU
Sanad hizi ulizoziita kuwa ni sahihi nazo pia si sahihi. Sanad ya kwanza
ndani yake ina Sufyaan kutoka kwa Suhail bin Abi Salih. Sufyaan ni Ibn
„Uyaina, yeye ni Imamu mkubwa lakini kasemwa kwamba ni mwenye
kughushi lakini ghushi zake alikuwa akizifanya kutoka kwa wa wapokezi
imara tu isipokuwa alichanganyikiwa mwishoni kwake.1230
Hali ya kwanza
ni nyepesi, lakini hali ya pili inahitaji ushahidi: je riwaya hii kaisimulia lini
– kabla au baada ya kuchanganyikiwa au haijulikani ni lini?
Katika sanad ya pili kuna Al-A‟amash, Sulaiman bin Mihraan. Yeye ni
kigogo wa kughushi. Anasema Wahb bin Zam‟a Al-Mar-wazi: “Nimemsikia
Ibn Mubarak anasema: „Hakika wamezifisidi Hadithi za watu wa Al-Kufa
Abu Is-haq (Al-Sabi‟i) na Al-A‟amash wenu”. Na akasema: “Nimemsikia
Mughirah anasema: „Amewaangamiza watu wa Al-Kufa Abu Is-haq na Al-
A‟amash wenu huyu”. Na akasema Al-Imamu Ahmad bin Hanbal: “Hadithi
za Al-A‟amash zinagongana”. Anasema Al-Dhahabi: “Naye anaghushi, na
huenda akaghushi kutoka kwa watu madhaifu”. Anasema Ibn Al-Madini:
“Al-A‟amash alikuwa akikosea sana katika Hadithi za hawa (wapokezi)
madhaifu”.1231
Kisha katika sanad zote mbili njia ni moja nayo ni njia ya Suhail Abi Salih,
naye wametafautiana: wakati wengine wamemuhimidi, wengine
hawakufanya hivyo. Anasema Abu Hatim: “Anaandika Hadithi zake wala
hafanywi kuwa ni hoja”. Anasema Ibn Hibbaan: “anakosea”. Anasema Al-
Bukhari: “Suhail alikuwa na ndugu akafa, akamuhuzunikia basi akasahau
1230
- Ibn Hajar Taqrib Al-Tahdhib uk. 245, tarjama na. 2451. Tabaqaatu Al-Mudallisin uk.
32, namba. 52. 1231
- Ibn Hajar Taqrib Al-Tahdhib uk. 254 tarjama na. 2615. Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4 uk.
195, tarjama ya 386. Al-Dhahabi Al-Mizaan j. 2, uk. 414, tarjama ya 3517.
439
Hadithi nyingi”. Anasema Yahya – labda ni bin Ma‟iin au bin Sa‟iid Al-
Qattaan – “Watu wa Hadithi hawakuacha kuzihadhari Hadithi zake….ndani
yake kuna ulaini”. Anasema Al-Hakim: “………..kisha ikasemwa kuhusu
Hadithi zake katika Iraki kwamba kazisahau nyingi na hifdhi yake
ikaharibika mwishoni”.1232
Kwa hivyo, kwa uchache basi tunahitaji
kuipambanua riwaya hii – je Suhai kaisikia wakati gani? Hivi ndivyo kanuni
za Hadithi zinavyotutaka.
Hatimae utaona kwamba katika sanad zote mbili kuna Abu Bakr bin
„Ayyaash, naye pia wametafautiana: wengine wakamdhoofisha. Anasema
Muhammad bin „Abdillahi bin Numair: “ni dhaifu katika (riwaya zake
kutoka kwa) Al-A‟amash1233
(na kutoka kwa wapokezi) wengine”. Anasema
Muhanna: “Nilimuuliza Ahmad: „vipi Abu Bakr bin „Ayyash ni bora kwako
au Israil? Akasema: „Israil‟. Nikamuuliza: „kwanini?‟ akasema: ل أرخ ر ؼ٤
.”Kwa sababu Abu Bakr bin „Ayyaasha anakosea sana..”…حوطؤ ؿيح 1234
Ninasema: ni kosa la kiminhaj it is a methodological error kumwita mtu
mwenye kukosea sana kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika) kama
walivyofanya wengine. Na hiki ndicho tulichokinukuu kabla kutoka kwa
Imamu Al-Sunna Wa Al-Usul Wa Al-Furuu‟i, Al-Qannubi alipokuwa
akiyatia maelezo maneno ya Al-Imamu Ahmad kuhusu Hammad bin
Salama kwamba “anakosea na akaonesha kwa mkono wake makosa mengi”;
kama vile ambavyo tulinukuu maelezo kama hayo kutoka Al-Albani
alipokuwa akiyatia maelezo maneno ya Ibn Hibbaan. Anasema Al-Qannubi:
Hakuna budi maneno haya ya (Al-Imamu) Ahmad yafungamanishwe:
isemwe kwa mfano kwamba: „(Al-Imamu Ahmad) alikuwa haoni ubaya
kusimulia Hadithi kutoka kwake (Hammad bin Salama) ikiwa (Hammad
bin Salama) hakwenda kinyume na mpokezi mwengine. Ama akiwa
atakwenda kinyume na mpokezi mwengine kama ilivyo hapa (katika
Hadithi hii), basi hafanywi kuwa ni hoja. Au iwe (Al-Imamu Ahmad)
hakuona ubaya kumtolea hoja (kwa riwaya zake) katika shawaahid1235
au
(yasemwe maneno) yalio mfano wa hayo. Vyenginevyo basi maneno yake
(Al-Imamu Ahmad) haya yatakuwa ni yenye mgongano kama ilivyo wazi
kabisa.1236
1232
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 4, uk. 231-232, tarjama na. 464. 1233
- Na hii ni riwaya yake kutoka kwa Al-A‟amash. 1234
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 12, uk. 39, tarjama na. 151. 1235
- Yaani kama kuna Hadithi fulani yenye udhaifu kidogo, basi unaweza kuipa nguvu
kwa riwaya ya Hammad bin Salama na kwa mjumuiko wa riwaya mbili hizo, riwaya
ikaweza kukubalika. Katika hali hii riwaya moja imekuwa Shaahid (shahidi) mwenye
kushudia kwamba riwaya ya pili ina asili au ni hasan au ni sahihi. 1236
- Al-Qannubi Al-Tufaan j. 3, sehemu 1, uk. 308.
440
Ama Al-Albani yeye anasema kuhusu mpokezi aitwaye Zaadhaan:
خ “ؼي حر ػي١ حؼـ٢ حوط٤ذ ، ح حر كزخ، هخ : ػو أ٠٣خ أر....……
هض : ح أكحى طخه٠ ، ا خ ٣وط٠ء ؼ٤ح ٣ ػوش ! ! “٣وط٠ء ؼ٤ح
(Zaadhaan huyu) Ibn Sa‟ad, Ibn „Adey, Al-‟Ijli na Al-Khatib wamesema
kuwa ni thiqa (mwenye kuaminika). Vivyo hivyo kasema Ibn Hibbaan
lakini yeye kasema: “alikuwa akikosea sana”. Ninasema:1237
na huku ni
katika jumla ya kupwekeka kwake na kujigonga kwake, kwani lau alikuwa
ni mwenye kukosea sana basi asingelikuwa mwenye kuaminika.1238
Kwa hivyo, kwa mujibu wa maelezo ya Al-Albani, ni kuwa mpokezi
mwenye kukosea sana hawezi akawa thiqa (mwenye kuaminika) kama
alivyosema: “kwani lau alikuwa ni mwenye kukosea sana basi asingelikuwa
mwenye kuaminika”. Na hivi ndivyo ilivyo, na kwa hivyo, natija ni kuwa
waliosema kuwa Abu Bakr bin „Ayyaash alikuwa thiqa (mwenye
kuaminika) ilhali yeye ni mwenye kukosea sana, basi wamefanya kosa la
kifani isipokuwa ikiwa wamekusudia thiqatun fii nafsihi; dha‟iifun fii
hifdhih (ni mkweli katika nafsi yake; dhaifu katika hifdhi yake).
Lakini tukirudi katika maelezo ya Al-Albani aliposema: “kwani lau alikuwa
ni mwenye kukosea sana basi asingelikuwa mwenye kuaminika”, tunakuta
kuwa ni maelezo yenye kuhitaji sherehe ya ziada kwani neno thiqa – kama
ilivyotangulia – pia hutumika kwa maana ya thiqa fii nafsihi (mkweli katika
nafsi yake) hata kama ni dhaifu katika hifdhi yake. Mifano miwili mitatu
ifuatayo itaweka wazi maudhui. Anasimulia Al-Khalili katika kitabu Al-
Irshad kutoka kwa Al-Imamu Ahmad akisema kuhusu Yahya bin Yamaan:
١٣ ػ ٣ل٠٤ ر ٣خ حك٢ ػوش حل ح ؼ٤ حوطؤ ٣ظلوح ػ٤
Na anapokea kutoka kwake Yahya bin Yamaan Al-Kufi naye ni mwenye
kuaminika lakini anakosea sana, basi hawakukubaliana juu yake.1239
Anasema Al-Albani:
..…هض حو ٣ظو أ حؿ ػوش ك٢ ل ؼ٤ق ك٢ كلظ
1237
- Msemaji ni Al-Albani. 1238
- Al-Albani Al-Dha‟ifa j. 2, uk. 333, Hadithi na. 930. 1239
- Al-Khalil bin „Abdillah bin Ahmad Al-Khalili Abu Ya‟ala Al-Qaz-wini Al-Irshaad
uk. 285.
441 Ninasema:
1240 na kutokana na nukulu hizi basi tunapata mukhtasari
kwamba mpokezi huyu ni thiqatun fii nafsih (mwenye kuaminika nafsi
yake) lakini ni dhaifu katika hifdhi yake.1241
Anaendelea Al-Albani:
ا خ …… -ح ح اخى ؿخ ػوخص ؿخ ؛ ؼ٤ق أؿ حؼ١
كلظ؛ -ؿخ -ػوش ك٢ ل -أػي حلهح ك٤ ..…...........…كب ؼ٤ق ه ز
حللخظ ٣ح كلظ ػوش؛ ؿ٤ أ “ ه حو٢٤: -ػي١
Na sanad hii wapokezi wake ni wenye kuaminika lakini ni (sanad) dhaifu
kwa ajili ya Al-‟Umari huyu…..naye hata kama ni thiqatun fii nafsih
(mwenye kuaminika nafsi yake) na ni mpokezi wa Muslim, lakini hakika
yake ni dhaifu katika hifdhi yake………. Na kauli bora yao – ninavyoona
mimi – ni kauli ya Al-Khalili (aliposema kwamba): „ni thiqa (mwenye
kuaminika) lakini pamoja na hayo wanavyuoni hawakuiridhia hifdhi
yake.1242
Kwa hivyo, tukirudi tena kwa Abu Bakr bin „Ayyaash, basi tunasema
kwamba waliomwita mpokezi huyu kuwa ni thiqa ilhali anakosea sana, basi
hawakusibu isipokuwa ikiwa wameikusudia maana hio ya thiqatun fii
nafsihi; dha‟iifun fii hifdhih (ni mkweli katika nafsi yake; dhaifu katika
hifdhi yake). Huyu ni mpokezi dhaifu wain raghimat al-unuuf, hususan
ukizingatia kanuni ya jumhur yenye kusema kwamba: حـف وي ػ٠ حظؼي٣
(kujeruhi kunatangulizwa kuliko kusahihisha) kama tulivyomnukuu Al-
Albani huko nyuma akisema hivyo. Kwa hivyo, sanad hii bado haijawa
hoja. Na kuisahihisha kwa walioisahihisha – na Ibn Mafuta naye akawaiga –
ni kwa sababu kuna itikadi fulani inatakiwa na haiwezi kupatikana itikadi
hio ila kwa Hadithi hii na ilio mfano wa hii: si kwa sababu ya kanuni za
Hadithi Wa Allahu Al-Musta‟aan!
MATN YA RIWAYA HIZI
Matn ya riwa hizi ni sawa na hizo nyengine: zote zinatoa mfano wa kuliona
jua kwa uwazi wakati wa mchana wa jua kali. Nami nakariri kwamba jua
wakati huu halionekani wala hakuna anayeweza kuliona hasa hasa jua la
Bara Arabu. Kwa hivyo, mfano huu si sahihi unavunja matn ya riwaya na
kubainisha kwamba haya si maneno ya Mtume (s.a.w.), hususan ukizingatia
1240
- Msemaji ni Al-Albani. 1241
- Al-Albani Ir-waau Al-Ghalil j. 5, uk. 309. 1242
- Al-Albani Sahihu Abi Daud j. 1, uk. 429.
442
kwamba katika riwaya kamili – kama ulivyoona – kuna ishara za wazi
kwamba hii ni riwaya ya Kiyahudi.
HADITHI YA PILI
Kisha, baada ya kutoa hoja kwa Hadithi hio ya kumuona Allah kama
tunavyoliona jua na mwezi, Ibn Mafuta akatoa hoja kwa riwaya ya kuomba
kuuona uso wa Allah kama ilivyosimuliwa kutoka kwa baadhi ya Masahaba.
Hadithi hio tuliinukuu na kuijadili katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu na
Ibn Mafuta naye akainukuu na kutujadili katika jawabu yake. Anasema Sh.
Kasim bin Mafuta:
Hadithi hii pia imepokewa kwa njia nyingi mno, lakini kwa kuhofia
kurefusha tutazitaja baadhi ya njia hizo:
Njia ya kwanza:
:طؼخ٠ هللا ك ػخ أر٢ حر حإلخ هخ
أ حيىحء ، أ ك٠خشــر ػؼخ ، ػخ أر٢ ، ػ لي ر خؿ، ػ حر كز، ػػخ ػ
ص ، س حظ ـح ا٢ أؤي حخ رؼي حو٠خء ، رى حؼ٤ رؼي ح» ٣و : ٤ي خـر ػز
ػ أخ ىػحص خ« . ؿ٤ حء ٠س ل كظش ٠ش ك٢ ؿي ، حــــم ا٠ وخثي
٣يػ رخ حز٢ ٠ هللا ػ٤ .
Amesema tena Imamu Ibn Abi A‟asim: Ametusimulia Amru Ibn
Uth‟maan, ametusimulia baba yangu kutoka kwa Muhammad bin Muhaajir
kutoka kwa IBN HALBAS kutoka kwa Ummu Dar‟dai kwamba Fadhaala
bin Ubaid alikuwa akisema:
“Ewe mola wangu wa haki kwa hakika mimi ninakuomba kuridhika baada
ya hukumu, na ubaridi wa maisha baada ya mauti na ladha ya
KUUTAZAMA USO WAKO !! na shauku ya kukutana na wewe pasi na
madhara yenye kudhuru wala fitina zenye kupoteza”. Na akadai kwamba
hiyo ni dua ambayo alikuwa akiiomba Mtume - swalla llaahu alayhi
wasallam-.
Hadithi hii kaisimulia Ibn Abi „Asim katika Al-Sunna,1243
na niliijadili
katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu kama ifuatavyo. Nilisema:
Jawabu juu ya riwaya hii ni kuwa hii ni riwaya dhaifu kwa sababu ya ABU
HALBAS ni “ح ـ” mpokezi asiyejulikana. Tazama TAQRIB ukurasa
1243
- Ibn Abi „Asim Al-Sunna j. 1, uk. 303, Hadithi na. 436.
443 wa 634 tarjama na. 8062. Na hukumu ya riwaya yenye mpokezi
asiyejulikana huwa ni dhaifu.
Hayo ni maelezo yangu katika kitabu Hoja Zenye Nguvu. Lakini Sheikh
Mafuta akanijibu kama ifuatavyo:
MAJIBU YETU
Majibu yetu juu ya uongo huu ni kama ifuatavyo:
Kwanza kabisa napenda kumuusia ndugu yangu Juma al-Mazrui kwamba
aache jazba na kasumba pale anapokuwa anazungumzia masuala ya
kielimu, hasa hasa masuala ya elimu hii ya hadithi.
Anatakiwa awe makini, mtulivu, atulize bongo lake na asiwe na kasumba
ili kuyahakiki mambo kitaalamu zaidi badala ya kutumia ubabe katika
kuzihukumu hadithi zilizothibiti kutoka kwa Mtume Muhammad -swalla
llaahu alayhi wasallam-, kwa sababu suala la kuyabatilisha mafundisho
aliyoyafundisha bwana Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam- bila
kutumia hoja za kielimu ni jambo la hatari mno kwa imani za watu.
Mtu anayefahamu uzito wa jambo hili na akawa mcha Mungu hawezi
kukubali kujiingiza kwenye laana hiyo! Hivyo ndugu yetu Juma
anatakikana atahadhari, na kama nasaha zetu hizi zikimfikia, basi amtake
msamaha mola wake na awabainishie watu ukweli alioupotosha, kwa
usalama ya dini yake na imani za watu wengine, na pia autazame
mustaqbali wake huko akhera.
Na lau kama ndugu yangu Juma angetulia akaanza kumchambua mpokezi
mmoja baada ya mwingine: kwa kumtazama mpokezi huyo anapokea
kutoka kwa nani na nani (masheikh zake)? Na kina nani wanapokea kutoka
kwake (wanafunzi wake)? Na akazikusanya riwaya mahali pamoja kwa
umakini kisha akazioanisha. Na kisha akarekebisha baadhi ya makosa
yaliyomo katika baadhi ya chapa za vitabu kwa kurejea katika vitabu vya
asili badala ya kutoshelezeka na vitabu ambavyo watunzi wake wenyewe
wamenakili.
Lau kama angeufuata utaratibu huo basi bila shaka angegundua kuwa mtu
huyu aliyemjeruhi na akaidhoofisha hadithi hii kwa sababu yake siye huyo
mpokezi wa hadithi hii, angegundua kwamba mpokezi huyo haitwi ABU
HALBAS bali mpokezi wa hadithi hii anaitwa IBNU HALBAS!
Katika kitabu “Haadil Ar‟waah” cha Ibnul Qayyim hasa hasa hizi chapa za
kibiashara wamemtaja kwa jina la “ABU HALBAS” na hali ya kuwa si
sahihi, kwa sababu tutakazozitaja, kwa hivyo bwana Juma alipoona jina la
444 ABU HALBAS mbio akakimbilia kwenye kitabu ALTAQRIB cha Ibn
Hajar na kuanza kutoa hukumu aliyoikuta huko bila ya kuhakiki usahihi
wa jambo lenyewe, na makosa haya wanayafanya watu wengi mno hasa
wale wanaofuata matamanio ya nafsi zao, hawataki kuyahakiki mambo
wakidhani kuwa watu wamelala, kumbe hapana! Ukisema uongo usiku,
alfajiri kweupe utaambiwa usiku umesema uongo, basi tahadhari.
Kwa hivyo sisi tunasema kwamba huyu mpokezi si “ABU HALBAS” bali
ni “IBNU HALBAS jina lake kamili ni : YUNUS BIN MAISARAH” naye
ni mpokezi “THIQATUN, A‟ABID” (muadilifu mwenye hifdhi nzuri tena
mcha Mungu) na tunasema hivyo kwa sababu hizi zifuatazo:
Sababu ya kwanza:
Ukivirejea vitabu vyote vya maulamaa wakubwa waliomtangulia Ibnul
Qayyim utakuta kwamba mpokezi anayepokea hadithi hii kutoka kwa:
IBNU HALBAS aliyefariki (132H) ni: MUHAMMAD BIN MUHAAJIR
aliyefariki mwaka (170 H), kama ilivyo katika sanad hii.
Na yeye IBNU HALBAS ambaye amefariki mwaka (132H) sheikh wake
ni: UMMU AL-DAR‟DAI AL-SUGH‟RAA aliyefariki mwaka (81 H). Na
kwa ushahidi zaidi wa haya tuliyoyaeleza rejea vitabu hivi vifuatavyo: Al-
Sunna cha Imamu Ibn Abi A‟asim ukurasa wa 197 hadithi namba 427,
chapa ya mwaka 1319 H, al-Maktabul-Islami Beirut. “Kitaabur-Ru‟yat”
cha Imamu Al-Daaraqut‟niyu, ukurasa wa 158 chapa ya Maktabatul
Qur‟an-Cairo. “Sharhu Usuuli I‟tiqaadi Ahli Sunna” cha Imamu Al-
Laalakai, juzuu ya 3 ukurasa 491 chapa ya mwaka 1402 H Daaru al-Taiba
–Riyadh.
Sababu ya pili: Ukivirejea vitabu vya tarjama za wapokezi, kamavile;
Tah‟dhibul-
Tah‟dhibi cha Ibn Hajar juzuu ya 6 ukurasa wa 282-283, ukiitazama
tarjama ya Muhammad bin Muhaajir utakuta miongoni mwa masheikh
wake ni IBN HALBAS ambaye jina lake ni YUNUS BIN MAISARAH, na
si Abu Halbas. Sababu ya tatu:
Pia ukirejea tarjama yaUmmul Dar‟dai al Sugh‟raa utakuta kwamba
miongoni mwa wapokezi (wanafunzi) waliopokea kutoka kwake ni Yunus
bin Maisarah ambaye ndiye huyo IBNU HALBAS.
Kwa faidi zaidi hebu tazama kitabu “Tah‟dhiibu al-Tah‟dhiibi” cha Ibn
Hajar juzuu ya 6 ukurasa 625.
Sababu ya nne:
Huyo ABU HALBAS anayemsema ndugu Juma hakuwahi kupokea zaidi
ya hadithi moja tu nayo ni ile iliyomo katika Sunan Ibn Maajah na
445 mwanafunzi wake katika sanad hiyo ni Baqiyya bin al Waliid, na wala
Baqiyya hajaipokea hadithi hii, na kwa sababu hiyo hakuna mwanachuoni
yoyote wa hadithi aliyetaja katika kitabu chake hadithi hii kupitia kwake.
Na halikadhalika huyo ABU HALBAS hana sheikh mwingine zaidi ya
Khulaid bin Abi Khulaid. Na kwa ushahidi zaidi itazame riwaya hiyo
kwenye Sunan Ibn Maajah hadithi namba 2705, pia tazama kitabu
“TahdhiibuLTah‟dhibi” cha Ibn Hajar juzuu ya 6 ukurasa wa 340.
Pia nataka ufahamu kwamba ABU HALBAS hajawahi kupokea hadithi
kutoka kwa Ummul-Dar‟dai hata siku moja, bali hakuwahi kumdiriki. Na
hilo ni jambo ambalo linazidi kutupa ushahidi wa kwamba kauli iliyo
sahihi ni kuwa mpokezi huyo ni IBNU HALBAS na si ABU HALBAS.
Kwa mujibu wa data hizi za kielimu tulizozitoa yanakuwa madai ya ndugu
Juma aliposema: “kuwa hadithi hii ni dhaifu kwa sababu ya kuwa mpokezi
wake ni ABU HALBAS” ni madai dhaifu mno, ambayo hayakusimama juu
ya utafiti thabiti wa kielimu, kwahiyo yanaporomoka kichwa chini miguu
juu! Na sisi tunamwambia ndugu Juma arejee vizuri na ayahakiki mambo
kwa utulivu na umakini wa hali ya juu ndipo atagundua kuwa mpokezi
huyo si ABU HALBAS kama alivyonukuu yeye bila ya kufanya uhakiki
wa mambo kisha akaanza kutoa hukumu.
Usahihi ni kuwa mpokezi huyo ni IBNU HALBAS YUNUS IBNU
MAISARAH na yeye ni mtu madhubuti kama tulivyotoa maelezo hapo
nyuma. Na haya ndiyo madhara ya kuyavamia mambo bila ya elimu,
kujiona unajua katika mambo ambayo hujaipata taaluma yake kutoka kwa
watu waliobobea katika fani hiyo.1244
JAWABU
Mimi nashagazwa sana na akili yako ewe Kasim Mafuta! Ivo mtu kukosea
jina ndio anakuwa mwongo? Wewe hapa umekiri kwamba sanad hio
nimeinukuu kutoka kwa Ibn Al-Qayyim kutoka katika kitabu chake Haadi
Al-Ar-waah. Sasa kama mimi niliyelinukuu jina lililokosewa kutoka katika
kitabu ni mwongo; je yule aliyeliandika jina hilo kimakosa naye ni Imamu
mkubwa yaani Ibn Al-Qayyim naye pia ni mwongo? Kwa mantiki yako hii
mwongo si mimi tu, bali ni mimi na Ibn Al-Qayyim na wafuasi wake
wanaokichapisha kitabu chake hicho! Na je Ibn Al-Qayyim alikuwa
mwongo aliposema: ـ...…٣لظؾ ر أر ٤ن ٤ن ل
1244
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 121-125.
446 Na Abu Sheikh ni Sheikh ambaye Hadithi zake si hoja…naye ni majhuul
(hajulikani)!1245
Je Ibn Al-Qayyim naye ni mwongo kwa maneno hayo ilhali Al-Albani
kamrudi na kuthibitisha kwamba Abu Sheikh ni mwenye kujulikana na ni
thiqa (mwenye kuaminika)? Na je Ibn Al-Qayyim naye ni mwongo alipodai
kuwa Hadithi hii “kaipokea Abu Daud katika Sahihu yake”? Lakini Al-
Sayyid Al-Saqqaaf akamjibu: “na Hadithi hii hakuipokea Abu Daud, na Abu
Daud hana (kitabu) Sahihu”. 1246
Na je Al-Albani naye ni mwongo alipowataja wapokezi kadha wa kadha
kuwa hawajulikani ilhali wapokezi hao wamo katika vitabu maarufu kama
tulivyoeleza katika sura ya kwanza ya juzuu ya kwanza ya kitabu hiki? Na
je Al-Albani naye ni mwongo aliposema kuhusu Hadithi isemayo: “Kwayo
utapata ngamia mia saba wenye kuvishwa hatamu katika pepo” kwamba
imepokewa kutoka kwa “Ibn Mas‟uud”,1247
ilhali usahihi wake ni kuwa
imepokewa KWA NJIA YA ABU MAS‟UD: SI IBN MAS‟UD KAMA
ALIVYODAI?
Ama Dr. Sa‟ad Alu Humaid katika maelezo yake ya kitabu Al-Juz-u Fihi
Musnad Abdillahi bin Abi Awfaa1248
yeye kadhania kuwa Abu Umama
aliyetajwa katika Hadithi ya uwongo isemayo Khawarij ni mbwa wa
motoni, kuwa ni Abu Umama Al-Bahili yaani Sudiy bin „Ajlaan,
akitegemea riwaya ya Al-Imamu Ahmad. Wala hakujua kwamba riwaya hio
sanad yake imekatika na kwamba Abu Umama ambaye Safwaan bin Sulaim
alimkuta si Abu Umama Al-Bahili bali ni Abu Umama As‟ad bin Sahl bin
Hunaif. Na – dahahir ni kuwa – Dr. Muhammad Sa‟id Al-Qahtani naye
kadhania hivyo hivyo, kama maelezo yake katika Kitabu Al-Sunna1249
cha
Ibn Ahmad yanavyoonesha. Lakini Sheikh Nasir Al-Sabi‟i akawajibu
kwamba:
شـــــــخرش ال أرخ أخــــــ حلــــ ـــؼخ ظح ا٠ خ ه٤ ك٢ لح ر ٤ أ ٣
ـــأرخ أخش ح١ آ لح ر ٤ أر أخش أؼي ر ر أ ، الـــػزيهللا ر ر
ؼيى ك٢ حلخرش،“: ـــأخش أؼي ظؤه، هخ حلخكع ػ ك٤ق ٤ ي١ ر ػـال أر
٣ف لح خ .”ــــــ حػظخ طؼ شــــ إ٣ش ٣غ حز٢، خص ش خث
ح هخ ”ي ىن،...حنـــ ــــش حزخ٢ ٢ هللا ػـــــخ رخخع ر هخ: ىه أر أخ
1245
- Ibn Al-Qayyim, Zaadu Al-Ma‟aad j. 2, uk. 112. 1246
- Al-Saqqaaf, Hasan bin „Ali Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 35. 1247
- Al-Albani Al-Sahiha j. 2, uk. 227. 1248
- Uk. 136-137. 1249
- J. 2, uk. 644, maelezo na. 1546.
447
.، ي خ ظخ”أظ وطؼخ “حر كـ ػ ح حي:
Na labda wao wametazama yale yaliosemwa kuhusu Safwaan bin Sulaim
kwamba yeye hakumkuta Sahaba yoyote yule isipokuwa Abu Umama na
„Abdullahi bin Busr,1250
lakini Abu Umama ambaye Safwaan bin Sulaim
kamkuta ni Abu Umama As‟ad bin Sahl bin Hunaif na wala si (Abu
Umama) Sudiy bin „Ajlaan. 1251Na Abu Umama As‟ad kaja mwisho.
Kasema Al-Hafidh kuhusu huyo: „anazingatiwa kuwa ni katika Masahaba,
kamuona Mtume s.a.w. lakini hakupokea Hadithi kutoka kwake. Kafa
mwaka wa mia naye ana umri wa miaka tisiini na mbili.1252
Na Safwaan
hapa katika Hadithi hii (ya Khawarij ni mbwa wa motoni) hakusema kwa
uwazi kwamba kaisikia Hadithi hio, bali kasema: „Abu Umama Al-Bahili
(r.a.) aliingia msikiti wa Dimashq. Na kwa sababu hio, Ibn Hajar kasema
kuhusu sanad hii: “nadhania imekatika”,1253
na hivyo alivyosema ndio
ukweli ulivyo kama ilivyo wazi kabisa.1254
Sasa wewe Kasim bin Mafuta unawambia watu wana kasumba, je wewe una
nini? Sasa kama wewe ni mkweli na ni mwenye ikhalas, muadilifu, mwenye
kuwahukumu watu kwa hukumu moja ya kisharia, tangaza kwamba:
1) Juma ni mwongo, kwani Ibn Halbas kamwita Abu Halbas.
2) Ibn Al-Qayyim ni mwongo kwani kasema kuwa Abu Sheikh
hajulikani.
3) Al-Albani ni mwongo kwani kawataja wapokezi kwa makatuni
kama si kwa makontena kuwa hawajulikana nao wanajulikani na
Abu Mas‟uud akamwita Ibn Mas‟uud.
Haya tangaza hayo ili tupate kuuona ukweli wako. Sikiliza ewe Mafuta!
Jadili kitu kwa mantiki, na busara na utulivu na hoja sahihi na nia safi.
Usikusudie siku zote kuwa nangoja mpizani wangu ateleze ili nimpatilize,
nia hio itakurejea mwenyewe. Tukitaka kufungua ukurasa huu wa makosa
ya majina yaliofanywa na wanavyuoni basi itatubidi tuandike juzuu za
vitabu. Sioni ubaya kurekebisha kosa, lakini kwa hakika nakuona
unajichukulia majukumu sana kwa kuwaita watu waongo kwa vitu ambavyo
maulamaa hawawaiti watu kuwa ni waongo kwa vitu kama hivyo, bali
huwambia “wamekosea”.
Sasa bila ya kupoteza muda ni kuwa wewe umenithibitishia hapa kwamba
huyu ni Ibn Halbas: si Abu Halbas. Nami nimelirejea hilo vizuri, na
1250
- Ibn Hajar Al-Tahdhib j. 4, uk. 389-390, tarjama na. 3029. 1251
- K.h.j. 1252
- Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 104, tarjama na. 402. 1253
- Ibn Hajar Atraafu Al-Musnad Al-Mu‟talli j. 6, uk. 22. 1254
- Nasir Al-Sabi‟i Al-Khawaarij Wa Al-Haqiqatu Al-Ghaiba uk.399-400.
448
nakubaliana nawe kwamba kilicho sahihi ni kuwa huyu ni Ibn Halbas.
Lakini cha kufahamu ni kuwa huyu Ibn Halbas pia anaitwa Abu Halbas
kama ilivyo katika Tahdhib Al-Kamal cha Al-Mizzi, ingawa Abu Halbas
huyu si yule niliyemtaja katika kitabu changu – jina ni moja na watu ni
tafauti. Sasa kilichobaki ni kitu cha msingi nacho ni kuwa je riwaya hii ya
Ibn Halbas au Abu Halbas huyu inafaa kuwa hoja ya Kisharia au haifai. Sisi
tunadai kuwa Hadithi hii haina hoja ndani yake kwa sababu zinazofuata:
Mosi: ni kuwa hii ni Hadithi mawquuf na mawquuf haina hoja ndani yake.
Anasema Dr. Mahmuud Al-Tahhaan:
ل٤لخ أ كخ أ ـــؼ٤لخ كــظ٠ ػزظض لظ كــــــحهف ـ خ ػكض ـ هي ٣
ك٢ حهف ػي حلكظـخؽ ر . ل أهح أكؼخ ـــــحـحد ػ ي أ حل ٣لـــظؾ رــ؟
لخرش
Al-Mawquuf - kama ulivyoona – huenda ikawa sahihi au hasan au dhaifu,
lakini hata ukiwa usahihi wake umethibiti (hata ikiwa sahihi), suali ni
kuwa je inafaa kuitolea hoja? Na jawabu kuhusu suali hilo ni kuwa ilivyo
ni kuwa hadithu mawquuf haifai kufanywa kuwa ni hoja, kwani ni maneno
na matendo ya Masahaba.1255
Anasema Al-Albani katika jawabu yake kwa Al-Ma-aribi:
حهف ػ٠ حلخرش ٢ هللا ػ خ ٣وز حلؿظخى كح ل كـش ك٤ .
Hadithu Al-Mawquuf (Hadithi iliopokewa) kutoka kwa Masahaha (r.a.)
katika mambo ambayo yanakubali kufanya ijtihad, basi Hadithi hio haina
hoja ndani yake.1256
Ninasema: wala usiniambie kwamba Al-Albani hapa kasema: “katika
mambo ambayo yanakubali kufanya ijtihad” na jambo hili halikubali ijtihadi
kwani halitakiwi kuwa na kauli mbili. Usiniambie hivyo, kwani tunasema
hili ni suala ambalo kwa mujibu wa maandiko yalivyokuja linawezekana
sana watu wakalifahamu visivyokuwa sahihi. Ubainifu wa hayo ni kuwa
kuna Aya imesema “Nyuso siku hio zitang‟aa***kwa Mola wake tu
ndiko zinakotazama”, wakati kwa upande wa pili kuna Aya inayosema:
“Uoni haumfikii (Yeye Allah)”. Na bila shaka, kwa Aya kama hizi,
fahamu zinaweza zikateleza na zimeshateleza. Bali miongoni mwa hao
Masahaba au walioishi zama za Masahaba wako waliolielewa vibaya suala
hili wakadai kwamba Mtume (s.a.w.) kamuona Allah huko mbinguni! Na
1255
- Dr. Mahmuud Al-Tahhaan Taysiir Mustalai Al-Hadith uk. 71. 1256
- Sualaatu Abi Al-Hasan Al-Ma-aribi Lil‟Allaamati Al-Muhaddithi Al-Albani uk. 34.
449
Al-Sayyida „Aisha akawarudi kwa kusema: “Atayedai kuwa Muhammad
kamuona Mola wake basi huyo kamzulia Allah uzushi mkubwa”. Kwa
hivyo, suala hili hata kama si la ijtihadi kwa maana kwamba halijuzu kuwa
na kauli tafauti lakini uwezekano wa fahamu kuteleza upo bali umeshatokea
katika zama za awali, na natija ni kuwa kauli ya sahaba katika suala hili si
hoja ya kisheria.
Pili: ni maelezo alioyatoa Al-Sayyid Al-Saqqaf katika kitabu chake
alichokiita Mas-ala Al-Ru-uya. Kazielezea Hadithi hizi katika sehemu
tafauti. Alipokuwa akiielezea Hadithi hii ya Fadhala bin „Ubaid alisema:
Ninasema: kwanza hii ni Hadithi mawquuf: si maneno ya Mtume (s.a.w.),
na kama inavyojulikana kwamba Hadithi mauquf haina hoja ndani
yake.1257
Na imebainika katika maelezo nambari 19 kwamba maneno
yasemayo: “na ladha ya kuutazama uso wako” ni maneno yaliochomekwa
katika Hadithi hio au katika riwaya hio. Na wapokezi wa sanad hio wote ni
watu wa Sham, na wa mwanzo na baba yake ni watu wa Hims nayo ndio
makazi ya Ka‟abu Al-Ahbar, basi habari zao hazikubaliki katika jambo
kama hili.1258
Sasa tukirudi katika maelezo ya Al-Saqqaaf aliposema: “na imebainika
katika maelezo nambari 19 kwamba maneno yasemayo: „na ladha ya
kuutazama uso wako‟ ni maneno yaliochomekwa katika Hadithi hio au katika
riwaya hio”, ni kuwa katika nambari hio alioitaja, alitoa maelezo haya:
Na nimeifuatilia Hadithi hii nikakuta kwamba Ibn Abi Shaiba kaipokea
katika kitabu chake Al-Musannaf1259
kwa sanad sahihi kutoka kwa
Sayyidna „Ammaar bin Yasir na wala ndani yake hakuna matamshi
yasemayo: „na ladha ya kuutazama uso wako‟. Halkadhalika kaisimulia
Abu Ya‟ala kwa njia nyengine, ndani yake ina udhaifu, katika kitabu chake
Al-Musnad1260
na Ma‟amar bin Rashid katika kitabu chake Al-Jaami‟u
kutoka kwa mtu1261
kutoka kwa Mtume (s.a.w.).1262
Na akaipokea Al-
Tabarani katika Al-Kabiir1263
kutoka kwa Ibn Mas‟uud bila ya kuwemo
maneno hayo wakati wa dua mwishoni mwa sala wala hamukutajwa ndani
yake: „kuutazama uso‟, pamoja na kuwa mumetajwa maneno “bila ya
dhara zenye kudhuru wala fitna yenye kupoteza”…..na jambo hili
1257
- Hili tumeshalielezea katika sehemu ya kwanza. 1258
- Al-Saqqaaf, Hasan bin „Ali Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 47. 1259
- J. 6, nambari 45. 1260
- J. 3, nambari 195/1624. 1261
- Kwa mujibu wa maelezo haya, mtu huyu atakuwa ni sahaba, na kwa hivyo
kutokujulikana kwake hakudhurishi kitu. 1262
- J. 10, nambari 442. 1263
- J. 10, nambari 67/9942.
450 linanithibitishia kwamba maneno hayo (ya kuutazama uso wa Allah)
yamechomekwa katika Hadithi hio kutoka kwa Wasiria wa kale ambao
walikuwa na uhusiano na fikra za Ka‟abu Al-Ahbar, anayaona hayo kila
atayezifuatilia sanad na akawatazama wapokezi wake na mutun zake.1264
Na ukweli kwamba riwaya hio ya Fadhala bin „Ubaid ni riwaya mauqufa,
unathibitishwa pia na Ibn Al-Qayyim katika kitabu chake Hadi Al-Ar-waah,
alipotaja idadi ya Masahaba ambao zimesimuliwa kutoka kwao Hadithi za
kumuona Allah, alisema kuhusu riwaya hio ya Fadhala bin „Ubaid: ك٠خش ر
.(Na Fadhala bin „Ubaid na Hadithi yake ni mauquf) ػز٤ي كي٣ؼ هف1265
Ukisema:
Aaa! Lakini Hadithi hii ya Sahaba Fadhala bin „Ubaid inasema: “NA
AKADAI KWAMBA HIYO NI DUA AMBAYO ALIKUWA
AKIIOMBA MTUME (S.A.W.)”. Na hii ina maana kwamba hii ni Hadithi
marfu‟u.
Ukisema hivyo, nitakujibu kwamba:
1) Sanad na matamshi ya Hadithi hio, hayaoneshi kuwa hio ni Hadithi
marfu‟u. Sanad na matn zinasema: “kutoka kwa Ummu Dar‟dai
kwamba Fadhaala bin Ubaid alikuwa akisema…”. Ni wazi kwamba
Hadithi hio yatoka kwa Fadhala bin „Ubaid na kwamba yeye ndiye
mtamkaji wa maneno hayo. Na labda ni kwa sababu hii, Ibn Al-
Qayyim na Al-Saqqaf wamesema kuwa hii ni Hadithi mauquuf.
2) Hata ikiwa Hadithi hio ni marfu‟u, basi inawezekana ikawa marfu‟u
ni ile asili tu ya Hadithi: pasina ile ziada isemayo: “na ladha ya
kuutazama uso wako”, kwani sanad nyengine sahihi – kama
alivyosema Al-Saqqaaf – hazikuitaja ziada hio.
3) Maneno hayo yasemayo: “na akadai kwamba hiyo ni dua ambayo
alikuwa akiiomba Mtume (s.a.w.)‟, alioyanukuu Kasim Mafuta
dhahir ni maneno ya Ibn Abi „Asim1266
mwenye kitabu hicho Al-
Sunna:1267
si maneno Ummu Al-Dardaai mpokezi wa Hadithi hio
kutoka kwa Fadhala bin „Ubaid.
4) Katika masimulizi ya Al-Lalakaai, baada ya kuitaja Hadithi hio ya
Fadhala bin „Ubaid alisema maneno haya:
وزعن أنها دعىات كان يدعى تها النثي صلى اهلل عليه وسلن عثادج تن الصاهت وأتي تن كعة
1264
- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 35. 1265
- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 218. 1266
- Kazaliwa mwaka 206 H. na kafa mwaka 287 H. 1267
- Ibn Abi „Asim Al-Sunna j. 1, uk. 303-304.
451
Na „Ubaada bin Samit na Ubeiy bin Ka‟ab wakadai (katika riwaya
zao) kwamba hio ni dua ambayo alikuwa akiiomba Mtume
(s.a.w.).1268
Kwa hivyo, kwa mujibu wa maelezo haya ya Al-Lalakaai, aliyedai hivyo si
Fadhala bin „Ubaid bali ni Ubeiy bin Ka‟ab na „Ubaada bin Samit, tafauti na
alivyodhania Ibn Abi „Asim, na Kasim Mafuta akamfuata bila ya tahqiq.1269
Na hio ni dalili kwamba dua hii ni mauquuf kutoka kwa Fadhala bin „Ubaid
mwenyewe: si marfuu kutoka kwa Mtume (s.a.w.) kama walivyosema Ibn
Al-Qayyim na Al-Saqqaaf. Na Hadithi mauquuf haina hoja ndani yake kama
tulivyotangulia kueleza.
NJIA YA PILI
Baada ya hayo, sasa natutazame riwaya nyengine alizozitolea hoja Kasim
bin Mafuta ambazo zina lafdhi kama ya hio riwaya ilitangulia. Anasema
Kasim bin Mafuta:
Njia ya pili:
:هللا ك كزخ حر حإلخ هخ
ر ػطخء ــػ ، ٣ي ــر كــــخى كيػخ : هخ ، ػزيس ر أكي كـــــيػخ : هخ ، ه٣ش حر أهزخ
ك ، هللخ الس ٠ــك ، ٣خ ر ػخ كيه ، حـي ك٢ ؿخ هخ خ أر٤ ػ حخثـذ،
رؼي حخ أؤي ، ..… ؟ أ٣ظخ هل٤لش أ : هخ حالس هللض ح٤وظخ، أرخ ٣خ : كو٤ رخ
ا٠ مـــح أؤي ، يـــؿ ا٠ حظ س أؤي حص، رؼي حؼ٤ رى أؤي ، حو٠خء
٠ش كظش ل ، ٠س حء … » ؿ٤ ك٢ ، وخثي
Amesema Imamu Ibn Hibban:
Ametusimulia Ibn Khuzaima, amesema ametusimulia Ahmad Ibn Abdah,
amesema ametusimulia Hamad Ibn Zaid, kutoka kwa Atwaa Ibn al-Saib
kutoka kwa baba yake, amesema: Tulikua ni wenye kukaa msikitini,
akaingiaAmmar bin Yaasir akaswali swala nyepesi, kisha akatupita,
akaambiwa Ee Aba Yaq‟dhani! Umeifanya nyepesi swala, akasema:
mmeiona ni nyepesi ? …akaelezea kisa kisha akasema kwamba aliomba
dua hii aliyomsikia Mtume -swalla llaahu alayhi wasallam-: “Ewe mola
wangu wa haki kwa hakika mimi ninakuomba kuridhika baada ya hukumu,
na ubaridi wa maisha baada ya mauti na ladha ya KUUTAZAMA USO
1268
- Al-Laalakaai Sharhu Usuli I‟itiqaadi Ahli Al-Sunna j. 3, uk. 490, namba. 847. 1269
- Pamoja na hayo hadi sasa bado sijaiona Hadithi hio ya Ubaada bin Samit na Ubeiy bin
Ka‟ab.
452 WAKO !! na shauku ya kukutana na wewe pasi na madhara yenye kudhuru
wala fitina zenye kupoteza.1270
Hio ndio riwaya ya pili alioitolea hoja Kasim bin Mafuta. Lakini
wasiokubaliana na itikadi ya kumuona Allah wakaijibu kwa hoja tafauti,
nyengine tutazinukuu hapa na nyengine tutazinukuu mwishoni mwa
maelezo yetu kuhusu Hadithi hizi za “ladha ya kuutazama uso wa Allah”.
Sisi tunasema kwamba Hadithi hii ni dhaifu kwa ajili ya „Ataa bin Al-Saaib,
kwani alichanganyikiwa kama vitabu vya wapokezi vinavyosema. Anasema
Al-Imamu Ahmad: “aliyepokea Hadithi zake zamani basi mapokezi yake ni
sahihi; na aliyepokea hivi karibuni basi (Hadithi zake) hazina maana”.
Anasema Shu‟uba: “katuhadithia „Ataa na alikuwa mwingi wa kusahau”.
Anasema Wuhaib: “Ataa alipokuja Basra alisema: „nimeandika kutoka kwa
„Ubaida Hadithi thalathini ilhali hakupokea chochote kutoka kwa „Ubaida‟.
Na riwaya ya pili ya Wuhaib inasema: „Ataa alitujia, nikamuuliza Hadithi
ngapi umechukua kutoka kwa „Ubaida? Akasema: Hadithi arubaini.
Anasema Ali (bin Al-Madini): „na hakupokea hata herufi moja kutoka kwa
„Ubaida. Nikasema: (kumuuliza Ali bin Al-Madini): „sasa hilo tulifasiri vipi
(yaani linatokana na nini)?‟ Akasema: „kuchanganyikiwa (kwake).1271
Kwa hivyo, kwa mujibu wa nukulu hizi mbili tatu na nyengine nyingi
tulizoziwacha, inabainika kwa uwazi kwamba sanad ya riwaya hii ni dhaifu.
Hayo ndio maelezo yetu hapa, na katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu –
nilisema maneno haya:
Lakini katika sanad yake kuna Ataa bin Al-Saib, naye alichanganyikiwa
sana. Anasema Ibn Hajar katika Taqrib „mkweli (lakini)
alichanganyikiwa‟.1272
Na anasema Ibn Ma‟iin: „Laith bin Abi Sulaim ni
dhaifu kama Ataa bin Al-Saib na wote waliopokea Hadithi kutoka kwa
Ataa basi wamezipokea baada ya kuchanganyikiwa isipokuwa Shuuba na
Al-Thauri‟. Na wanavyuoni wote wanasema kuwa kachanganyikiwa
mwishoni, lakini wengine wanasema kuwa Hammad bin Zaid kaipokea
Hadithi kutoka kwa Ataa kabla ya kuchnganyikiwa. Na kwa hivyo ikiwa
wengine wanasema kuwa wote wamepokea Hadithi kutoka kwa Ataa
baada ya kuchanganyikiwa isipokuwa watu wawili Shuuba na Al-Thauri
na wengine wanasema kuwa Hammad kapokea Hadithi kutoka kwake
kabla ya kuchanganyikiwa, basi jawabu ni kuwa haijulikana wakati gani
Hammad kapokea Hadithi kutoka kwa Ataa. Na hukumu ya Hadithi kama
hii huwa ni yenye kuwachwa. Bali Ataa huyu ni dhaifu hata kama
1270
- Tazama kitabu Sahihi cha Ibn Hibbana, hadithi namba 2005. 1271
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 183-186. 1272
- Ibn Hajar Al-Taqrib uk. 391 tarjama na. 4592
453 hakuchanganyikiwa kwa mujibu wa maneno ya Ibn Ma‟iin kwamba “Laith
bin Abi Sulaim ni dhaifu kama Ataa bin Saib.1273
Hayo ndio nilioyasema katika kitabu changu Hoja Zenye Nguvu. Lakini
Kasim mwanangwa wa Mafuta akaninukuu hivi:
Na kwa hivyo ikiwa wengine wanasema kuwa wote wamepokea hadithi
kutoka kwa ATAA baada ya kuchanganyikiwa isipokuwa watu wawili
Shuuba na Al-Thauri na wengine wanasema HAMAD kapokea hadithi
kutoka kwake kabla ya kuchanganyikiwa, basi jawabu ni kuwa haijulikani
wakati gani HAMAD kapokea hadithi kutoka kwa ATAA. Na hukumu ya
hadithi kama hii huwa ni yenye kuwachwa.1274
Tazama mantiki inayopatikana katika nukulu kamili nilioitoa kisha
linganisha na mantiki inayopatikana katika nukulu kibutu ya Kasim Mafuta!
Maelezo yangu yako wazi kwamba kuna wanavyuoni wamesema hivi na
wengine wamesema vile. Kisha nikatoa natija. Ibn Mafuta kanukuu kipande
kisha akasema: “Majibu yetu dhidi ya madai yake haya ya uwongo ni kama
yafuatavyo”. 1275 Haya tumuulize huyu Kasim Mafuta, katika hayo nilioyanukuu
la uwongo liko wapi? Ni kweli kabisa kama nilivyoletewa salam na watu
waliosoma naye huyu Kasim Mafuta kwamba: “hana lolote wala si mtu wa ikhlas”.
Kitabu chake kinajionesha!
Kwa ufupi ni kuwa hayo ndio maelezo yetu na hivyo ndivyo alivyoninukuu
Ibn Mafuta. Kisha baada ya kuninukuu hivyo, akanijibu kwa kusema:
MAJIBU YETU
Majibu yetu dhidi ya madai yake haya ya uwongo ni kama yafuatavyo:
Kwanza, ni kuhusu msimamo wa maulamaa juu ya riwaya za Zaid1276
kutoka kwa ATAA BIN AL-SAIB:
٣ظـ٤ أ هز حخثذ ر ػطخء ٣ي ر كخى غ: ؼ٤ي ر ٣ل٠٤ هخ
Amesema Imamu Yahya bin Said: “Hamad bin Zaid amesikia kutoka kwa
ATAA kabla ya (ATAA) kubadilika”.
كخى خع ,رآه حخثذ ر ػطخء ػزيهللا ر هخي خع ػ٢ هخ“حزوخ١ حإلخ هخ
”ل٤ق ٣ي ر
1273
- Juma Al-Mazrui Hoja zenye Nguvu uk 192. 1274
- Kasim Mafuta Hoja zenye Nguvu uk. 125-126. 1275
- Kasim Mafuta Hoja zenye Nguvu uk. 126. 1276
- Dhahir kakusudia Hammad bin Zaid.
454 Amesema Imamu Al-Bukhari: “Amesema Aliy kusikia kwa Khalid bin
Abdillahi kutoka kwa ATWAA ni mwishoni mwake (baada ya
kuchanganyikiwa), na kusikia kwa Hamad bin Zaid kutoka kwa ATWAA
ni sahihi”.
ر كخى حؼ١ ؼزش ح٣ش ,طـ٤ حوي٣ كي٣ؼ ك٠_______ ػوش“ :خث٢ح حإلخ هخ
.”ؿ٤يس ػ ٣ي
Amesema Imamu Al-Nasai:
“(Hamad bin Zaid) ni Thiqa lakini alibadilika, riwaya za Shuuba, Al-
Thauri, na Hamad bin Zaid ni safi”.
أ ٤ ؼزش حؼ١ ل٤خ أ ـــال ـع خ ك٤ل“ :كـ حر حلخكع هخ
.. ل٤ق ػ أ٣د كخى حثيس
Amesema Al-Hafidh Ibn Hajar:
Tunapata kwa mkusanyiko wa maneno yao (wanavyoni) kwamba
Sufyaan Al-Thauri, Shuuba, Zuhair au Zaaida, na HAMAD BIN
ZAID na Ayoub kutoka kwa ATAA ni sahihi……..1277
Mpaka hapo itakua imekubainikia ndugu yangu msomaji kwamba, madai
ya Juma hayana ukweli wowote, na ukweli ni kwamba; Hammad Ibn Zaid
ni miongoni mwa waliopokea hadithi kutoka kwa Ataa, kabla Ataa
hajachanganyikiwa. 1278
JAWABU
Kwa kuanzia ni kuwa hili tumeshalizungumzia huko nyuma kwamba
kitendo cha kuwa mpokezi alipokea Hadithi kutoka kwa mtu
aliyechanganyikiwa hakitoshi kuthibitisha kwamba baada ya
kuchanganyikiwa hakupokea tena. Hili kalitongoa Sheikh wako Al-Albani
na tumemnukuu hako nyuma.
Ama kwa ufafanuzi zaidi, anasema Al-Sayyid Al-Saqqaaf akiipinga riwaya
hio maneno yafuatayo:
Na Al-„Uqaili kanukuu katika kitabu chake Al-Dhu‟afaa kutoka kwa Al-Nasai,
Al-Qattaan na Al-Bukhari (wakisema) kwamba riwaya za Hammaad bin Zaid
1277
- Tazama kauli zote hizo za maulamaa katika vitabu vifuatavyo: Mizaanul-I‟tidaal
juzuu ya 3 ukurasa 71. Tah‟dhibul-Tah‟dhib juzuu ya 4 ukurasa wa 132-133. 1278
- Kasim Mafuta Hoja zenye Nguvu uk. 126.
455 kutoka kwake ni sawa na riwaya za Shu‟uba na Sufyaan (kwamba ni riwaya
sahihi). Wala mimi sioni kuwa hio ni hoja ya maana kwa sababu zinazofuata:
1) Kwamba wao kabla ya hapo walinukuu kutoka kwao (wanavyuoni wa
wapokezi akiwemo Al-Qattaan) kauli hio pasina kumtajaHammad bin
Zaid.
2) Yahya bin Ma‟iin na wengine hawakumvua (hawakumtoa) Hammad
bin Zaid.
3) Ya‟aqub bin Sufyaan kasema katika kitabu chake Al-Ma‟arifa Wa Al-
Taarikh1279
: “Ataa ni mwenye kuaminika; Hadithi zake ni hoja;
Hadithi zilizopokewa na Sufyaan na Hammad bin Salama kutoka
kwake ni za zamani…
Basi (utaona kwamba) hapa kuna mgongano wa riwaya kutoka kwao
(wanavyuoni wa wapokezi)! Kilicho wazi ni kuwa baadhi ya watu wa Hadithi
wa awali wamemuongeza Hammad katika (orodha ya watu wawili, nao ni)
Shu‟uba na Sufyaan. Ikawa hawa (waliomuongeza Hammad) hawakujua ni
Hammad yupi: je ni Hammad bin Salama au Hammad bin Zaid. Na kwa hivyo,
sisi tunarejea katika msingi nao ni kwamba riwaya za (Hammad) bin Zaid
(kutoka kwa Ataa) hazitolewi hoja kwani ni riwaya za wakati wa
kuchanganyikiwa (kwa Ataa). …………..na nimeifuatilia Hadithi hii nikakuta
kwamba Ibn Abi Shaiba kaipokea kwa sanad sahihi wala hakuna ndani yake
tamko: „na ladha ya kuutazama uso wako‟.1280
Hayo ni maelezo ya Sheikh Al-Saqqaaf. Nayo yako wazi kwa mwenye
kutaka kujua. Mukhtasari wa hoja ya Kasim Mafuta ni kuwa kweli „Ataa ni
mwenye kuchanganyikiwa lakini mpokezi aliyepokea Hadithi hii kutoka
kwake ni Hammad bin Zaid naye ni miongoni mwa wapokezi ambao
walipokea riwaya kutoka kwake kabla ya kuchanganyikiwa. Na mukhtasar
wa jawabu ya Al-Saqqaaf ni kuwa:
1) Wanavyuoni watangulizi waliwataja watu wawili tu ambao ndio
waliopokea riwaya za Ataa kabla ya kuchanganyikiwa:
a) Sufyaan Al-Thauri.
b) Shu‟uba. Lakini hili pia linaweza kuwa si sahihi kwani Shu‟uba
mwenyewe anasema: كيػخ ػطخء ر حخثذ خ ٤خ (katuhadithia
„Ataa na alikuwa ni mwingi wa kusahau).1281
Sasa ikiwa
Shu‟uba mwenyewe aripoti hivi, vipi itadaiwa kwamba Shu‟uba
kasimulia riwaya za Ataa kabla ya Ataa kuchanganyikiwa? Na
dhahir ya maneno haya ni kuwa Shu‟uba anakusudia ile hali
ambayo alikuwa nayo „Ataa wakati yeye alipopokea riwaya
kutoka kwake.
1279
- J. 3, uk. 84. 1280
- Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 34. 1281
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 7, uk. 184.
456
2) Riwaya zimegongana kuhusu Hammad gani ambaye kasimulia
riwaya kutoka kwa Ataa kabla ya kuchanganyikiwa. Wakati wengine
wanamtaja Hammad bin Zaid; Ya‟aqub bin Sufyaan anamtaja
Hammad bin Salama kuwa ndiye mmoja wa watu watatu ambao
wamesimulia riwaya kutoka kwa Ataa kabla ya kuchanganyikiwa.
Wakati huo huo Ibn Ma‟iin anasema: “WOTE waliopokea kutoka
kwa „Ataa wamepokea baada ya kuchanganyikiwa ISIPOKUWA
SHU‟UBA1282
NA AL-THAWRI”.
3) Kwa hivyo, kwa mukhtasari ni kuwa Hadithi hii ni dhaifu kwa
sababu katika sanad yake kuna Ataa bin Al-Saib naye
kachanganyikiwa sana, wala haikupambanuka kwa hoja sahihi ni
wakati gani kaisimulia riwaya hii.
NJIA YA TATU
Kisha Sheikh Kasim bin Mafuta akaendelea kujenga hoja zake kwa riwaya
ya tatu, akasema:
Njia ya tatu:
:طؼخ٠ هللا ك ػخ أر٢ حر حإلخ هخ
ــػ ـ، أر٢ ػ ، خ أر٢ ػ ٣ي، ػ ، خ ر ؼخ٣ش ػخ ، ٤زش أر٢ ر ر أر ػخ
ح » .: هخ ػ٤ هللا ٠ حز٢ ؼ ىػخء آ ٣خ، ر ػخ ػ ػزخى، ر ه٤
« وخى ا٠ هخ ، ؿي ا٠ حظ س حص، رؼي حؼ٤ س أؤي
Amesema Imamu Ibn Abi A‟asim:
Ametusimulia Abu Bakri bin Abi Shaibah, ametusimulia Muawiya Ibn
Hisham, kutoka kwa Sharik, kutoka kwa Abu Hashim, kutoka kwa Abu
Mij‟laz, kutoka kwa Qais bin Abbad, kutoka kwa Ammar bin Yaasir,
ameitaja dua aliyoisikia kutoka kwa Mtume -swalla llaahu alayhi
wasallam- amesema: “Ewe Allaah! Kwa hakika mimi ninakuomba ladha
ya maisha baada ya mauti, na ladha ya KUUTAZAMA USO WAKO !! na
shauku ya kukutana na wewe”.1283
1282
- Lakini tumeona kwamba Shu‟uba kwa mdomo wake kasema: طخء ر حخثذ خ كيػخ ػ
.(katuhadithia „Ataa bin Al-Saaib na alikuwa ni mwingi wa kusahau) ٤خ1283
- Tazama kitabu “al-Sunna” cha Imamu Ibn Abi A‟asim, hadithi namba 424.
457
JAWABU
Hio ni riwaya ya tatu ya “utamu wa kuuona uso wa Allah” ambayo
kaitegemea Sheikh Kasim bin Mafuta katika kuthibitisha itikadi yake ya
kuuona uso wa Allah! Sijui miguu, ulimi, kidakatonge, ubavu na viungo
vyengine navyo vitaonekana au utaonekana uso tu! Kwa hali yoyote ile
Hadithi hii pia ni dhaifu kwani katika sanad yake kuna Sharik bin „Abdillah
Al-Nukha‟i naye ni dhaifu tena anaghushi.
Anasema Al-Khatabi kutoka kwa Yahya bin Said: “hakuwacha kuwa mtu
mwenye kuchanganyikiwa”. Anasema Ya‟aqub bin Shaiba: “mkweli
muaminifu lakini hifdhi yake ni mbovu sana”. Anasema Al-Juzajaani:
“Sharik hifdhi yake ni mbaya na Hadithi zake zinagongana”. Anasema Abu
Zur'a: “alikuwa akikosea sana….na amesimulia Hadithi (nyingi) batili”.
Anasema Abdul-Rahman kutoka kwa baba yake: “alikuwa na (Hadithi
nyingi za) makosa”. Anasema Ibn Sa‟ad kuwa ni “mwenye kuaminika,
uaminifu, anakosea”. Anasema Muhammad bin Yahya bin Said kutoka kwa
baba yake akisema: “nimeona kuwa msingi wa Sharik (yaani katika kitabu
chake) kuna mchanganyiko”. Na akasema Al-Nasai kuwa “si madhubuti”.
Anasema Al-Hakim: “si madhubuti”. Anasema Al-Imamu Ahmad: “Sharik
alikuwa hajali vyovyote atakavyosimulia Hadithi”. Anasema Al-Azdi:
“alikuwa ana hifdhi mbaya , anasahau na kukosea sana, Hadithi zake
zinagongana”. Anasema Abdul-Haq Al-Ishbili: “alikuwa akighushi”. Na
akasema Ibn Al-Qatan: “alikuwa mashuhuri kwa kughushi”.1284
Baada ya maelezo hayo, inakubainikia kwa uwazi kwamba riwaya hii bado
si hoja ya kutegemea, hususan ukiongeza na ukweli kwamba katika sanad
yake pia kuna Abu Mijlaz naye Hadithi zake – kwa mujibu wa Ibn Ma‟iin –
ni zenye kugongana, na pia katajwa katika kitabu Tabaqaatu Al-Mudallisin
kutoka kwa Ibn Ma‟iin akisema kuwa alikuwa akighushi, na Al-Daraqutni
akasema hivyo kwa uhakika.1285
NJIA YA NNE
Kisha Sheikh Kasim bin Mafuta akaendelea kujenga hoja zake kwa riwaya
ya nne, akasema:
Njia ya nne:
1284 - Ibn Hajar Tahdhib Al-Tahdhib j. 4, uk. 294-296, tarjama na. 587.
1285 - Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 33-34.
458
:حيحهط٢ حإلخ هخ
يـــل ػ ، ؼ٤ي ر ػؼخ كيػخ ، حل٢ ػظزش أر كيػخ ، حؼخ٢ ٤خ ر لي كيػخ
٢ح ا ــــ٣و خ، ز٤يـــــػ حر ٣ؼ٢ ، ك٠خش أ حيىحء، أ ػ كز، حر ػ خؿ، ر
» وخثي ا٠ مــح ، ؿي ا٠ حظ س ، حص رؼي حؼ٤ رى ، حو٠خء رؼي حخ أؤي
حإ٣ش ظخد / 157 حلي٣غ ه 245 . ٠ش ل كظش ٠ــس، حء ؿ٤
Amesema Imamu al-Daaraqut‟niy:
Ametusimulia Muhammad bin Sulaiman al-Nu‟umaniy, ametusimulia Abu
Ut‟ba al-Himsiy, ametusimulia Uth‟man bin Said, kutoka kwa Muhammad
bin Muhajir, kutoka kwa Ibn Halbasa, kutoka kwa Ummul-Dardaai,
kwamba Fadhala bin Ubaid alikua anasema: “Ewe Allaah! Kwa hakika
mimi ninakuomba kuridhika baada ya hukumu, na ubaridi wa maisha
baada ya mauti na ladha ya KUUTAZAMA USO WAKO !! na shauku ya
kukutana na wewe pasi na madhara yenye kudhuru wala fitina zenye
kupoteza”.1286
JAWABU
Riwaya hii – kama unavyoona – imenukuliwa kutoka katika kitabu
kiitwacho Al-Ru-ya, nacho ni kitabu cha uwongo kilichotungwa na waongo
wengine kisha wakambandika nacho Al-Imamu Al-Daraqutni ili waipigie
debe itikadi yao potofu ya kumuoona Allah. Tumeeleza katika juzuu ya
kwanza ya kitabu hiki Fimbo Ya Musa kwamba katika sanad ya mapokezi
ya kitabu hiki kuna mwongo wa kimataifa. Niliwanukuu wahakiki wa kitabu
hicho, wakisema:
حوش ؿخءص ح٣ش ؿخػش ػ حلخكع أر٢ حؼالء حؼطخ روحءط ػ٠ ح٤ن
ح٣ظ ػ أر٢ ١خذـــر ؼأكي ر ػز٤ي هللا ر لي ر خى ) حؼزح١ (ـــأر٢ ح
ق ػ أر٢ حل حيحهط٢ ـــلي ر ػ٢ ر حلظ
Na kopi hii imepokewa kutoka katika masimulizi ya wengi kutoka
kwa Al-Hafidh Al-‟Alaa Al-‟Attar kwa kumsomea kwake Sheikh
Abu Al-‟Izz Ahmad bin „Ubaidi-Lahi bin Muhammad bin
Kaadish Al-„Ukbaraawi kwa masimulizi yake kutoka kwa
Muhammad bin „Ali bin Al-Fat-hi kutoka kwa Abu Al-Hasan Al-
Daraqutni.1287
1286
- Tazama kitabu Al-Ru‟uya cha Imamu al-Daaraqut‟niy, hadithi namba 157. 1287
- Kitabu Al-Ru-ya uk. 85.
459
Kisha nikatoa maelezo yafuatayo:
Utaona kwamba katika sanad ya kitabu hicho kilichonasibishwa kwa
Al-Imamu Al-Daraqutni kuna Abu Al-‟Izz Ahmad bin „Ubaidi-
Lahi bin Muhammad bin Kaadish Al-„Ukbarawi. Wamaa
adraak: maa Ibn Kaadish Al-„Ukbarawi (na nini kinachokujuilisha
wewe ni nani huyo Ibn Kaadish)? Huyu tumemuelezea kabla, naye
alikuwa ni mtunzi wa Hadithi za uwongo.1288
Na juu ya yote hayo, kitabu hicho kilichoitwa kuwa ni cha Al-Daraqutni
chenye Hadithi mia mbili na (200 +) za kumuona Allah, kimejaa Hadithi za
Kiyahudi. Kwa mfano Hadithi isemayo:
أطخ٢ ر٢ ػ ؿ حزخكش ك٢ خ٢ ك٢ أك س ، غ ٣ي ر٤ ظل٢
Kanijia Mola wangu usiku wa jana usingizini kwa sura nzuri yao na
akaweka mkono wake baina ya bega langu!1289
س ، ػ٤ ؼال ــس ، خرخ كح ؿال ك٢ حو٠أ أ ر ػ ؿ ك٢ أك
1288
- Maelezo tulioyatoa kabla ya hapa ni haya yafuatayo. nilisema: ABU AL-„IZZ IBN
KAADISH, huyu alikuwa mtunzi wa Hadithi za kumzulia Mtume (S.A.W.). Anasema Ibn
Assakir:
Aliniambia Abu Al-„Izz Ibn Kaadish kwamba alimsikia mtu katunga
Hadithi ya kumsifu Ali (bin Abi Talib) anasema (Ibn Kaadish) na mimi
nikatunga Hadithi ya kumsifu Abu Bakar!
Anasema Al-Dhahabi: “hili linaonesha ujinga wake: anaona fakhari kumzulia
Mtume (s.a.w.) uwongo!” Na imeelezwa pia katika kitabu Lisanu Al-Mizaan:
“alikuwa ni mwenye kuchanganyikiwa (na) mwongo sana”.
Anasema Al-Qannubi:
Ama madai ya Al-Dhahabi katika kitabu chake Al-Mizan1288
aliposema kwamba
Ibn Kaadish alitunga Hadithi lakini alikiri na kutubia, maneno haya hayana kima
kwa sababu riwaya ya mtu mwongo hata akitubia haikubaliki kama walivyosema
wanavyuoni wa Hadithi na usuli, miongoni mwao ni: “Ahmad bin Hanbal, Al-
Humaidi, Al-Sairafi ( ك ٢ ٤ Al-Sam‟ani, Ibn Qattan, Ibn Jamaa, Al-Zarkashi na ,(ح
wengineo. Na kwa hivyo, anayedai kwamba (Ibn Kaadish) katubia na atupe sanad
sahihi ambayo ndani yake kunapatikana toba hii (ya Ibn Kaadish) ….. na Ibn
Kaadish alikuwa rafiki kipenzi wa Ibn Batta Al-Ukbari1288
jiongo kubwa lenye
kutunga Hadithi mpotovu mujasim”. Al-Qannubi Al-Saifu Al-Haad uk. 189.
1289
- Uwongo wa Ibn Kaadish katika kitabu Al-Ru-uya alichombandika nacho Al-Daraqutni
uk. 177-178, uwongo na. 273-276.
460
ـذ، ػ٠ ؿ كح ذ
Kwamba yeye (Mtume s.a.w.) kamuona Mola wake katika sura nzuri yao,
(kamuona Allah) hali ya kuwa (Allah) ni kijana aliyejaza,1290
miguu yake
iko kwenye rangi ya kijani,1291
kavaa viatu viwili vya dhahabu; usoni
kwake kuna vipepeo vya dhahabu.1292
Kiufupi – hatuna haja ya kurefusha – ni kuwa kitabu hiki alichokinukuu
Kasim Mafuta ni cha uwongo na kila kilichomo humo miongoni mwa
riwaya za kumuona Allah ni uwongo mtupu. Na hili pekee linatosha
kubainisha kuwa riwaya hizi za kuonekana kwa Allah ni riwaya za
kutungwa tu, vyenginevyo wasingelikuwa na haja ya kutunga kitabu cha
uwongo wakaweka humo mariwaya tele ya uwongo.
NJIA YA TANO
Kisha Sheikh Kasim bin Mafuta akaendelea kujenga hoja zake kwa riwaya
ya tano, akasema:
Njia ya tano:
:طؼخ٠ هللا ك ػخ أر٢ حر حإلخ هخ
٣، ػ س ر كز٤ذ، ػ أر٢ـــكيػخ لي ر ػف، ػخ أر حـ٤س، ػخ أر ر ر أر٢
ىػخء ، أ أ ٣ظؼخي ـــ ػخرض ، أ حز٢ ٠ هللا ػ٤ ػــــــ٣ي ر حيىحء، ػـــ
أؤي حخ رؼي حو٠خء ، رى حؼ٤ رؼي حص ، س حظ ح اـــــ٢» ٣ظؼخي ر أ :
« .ك٢ ؿي ، هخ ا٠ وخى
Amesema Imamu Ibn Abi A‟sim: Ametusimulia Muhammad bin Auf,
ametusimulia Abul-Mughira, ametsimulia ABU BAKAR IBN ABI
MAR‟YAM, kutoka kwa Dhamra bin Habib, kutoka kwa Abul-Dar‟daai,
kutoka kwa Zaid bin Thabit, kwamba Mtume -swalla llaahu alayhi
wasallam- amemfundisha yeye dua, na akamuamrisha kuizoea dua hiyo na
kuwazoesha watu wake,(nayo ni): “Ewe Allaah! Kwa hakika mimi
ninakuomba kuridhika baada ya hukumu, na ubaridi wa maisha baada ya
mauti na ladha ya KUUTAZAMA USO WAKO !! na shauku ya kukutana
na wewe”.
1290 - Aliyejaza nywele: ana nywele nyingi.
1291 - Labda ni nguo ya kijani au zulia la kijani kama riwaya nyengine zinavyosema au ni
bustani ya kijani kama zinavyosema riwaya nyengine. 1292
- Uwongo wa Ibn Kaadish katika kitabu Al-Ru-uya alichombandika nacho Al-Daraqutni
uk. 191, uwongo na. 317.
461
JAWABU
Katika sanad ya riwaya hii kuna Abu Bakr bin Abi Mar-yam, jina lake
kamili ni Abu Bakr bin Abdillahi bin Abi Mar-yam. Anasema Al-Imamu
Ahmad “ni dhaifu, Issa hakumridhia….si lolote si chochote (hafai)”.
Anasema Abu Hatim: “nilimuuliza Ibn Ma‟iin kuhusu yeye, akamdhoofisha
(akasema kuwa ni dhaifu”. Anasema Abu Zur‟a: “dhaifu, Hadithi zake ni
munkar”. Anasema Abu Hatim: “dhaifu”. Anasema Al-Juzajani: “si
madhubuti”. Wanasema Al-Nasai na Al-Daraqutni: “dhaifu”. Anasema Ibn
Sa‟ad: “ana Hadithi nyingi; dhaifu”. Anasema Al-Daraqutni: “ni mwenye
kuachwa”.1293
Anasema Al-Sayyid Al-Saqqaaf:
Na Hadithi hii kaipokea Ahmad katika Al-Musnad
1294 na Ibn Abi „Asim
katika Al-Sunna1295
na Al-Albani amekiri huko (katika maelezo yake ya
kitabu hicho) kwamba sanad yake ni dhaifu. Na akaipokea Al-Hakim
katika Al-Mustadrak1296
na akasema kuwa ni sahihi! Basi Al-Dhahabi
akamjibu kwa kusema: “Abu Bakr (bin Abi Mar-yam) ni dhaifu, huo
usahihi untokea wapi?‟!1297
Hio ndio jawabu yetu kuhusu riwaya hizo za “utamu wa kuutazama uso wa
Mungu”, na huo ndio ushahidi uliotolewa na mwanachuoni huyo mkubwa
Sheikh Kasim mwanangwa wa Bwana Mafuta, kisha baada ya ushahidi huo
akatoa maelezo yafuatayo akatongoa hivi:
Hizi tulizo zitaja ni baadhi ya njia za hadithi hii tukufu, na kwa ufupi ni
kwamba hadithi hii imepokewa kwa njia tofauti tofauti kutoka kwa
Maswahaba watatu:
1) Fadhaalah bin Ubaid, na sanadi yake ni sahihi na haina kasoro yoyote
ile, kwa sababu wapokezi wake wote ni safi kabisa, kama tutakavyoona
hapo mbele Inshaallah.
2) Ammar bin Yasir, na riwaya yake pia ni sahihi isipokuwa inahitaji
maelezo kidogo, kwa sababu ya ATWAA BIN SAIB.
1293
- Ibn Hajar Tahdhib Al-Tahdhib j. 12, uk. 33, tarjama na. 139. 1294
- J. 5, uk. 191. 1295
- Uk. 185, Hadithi na. 426. Hivyo ndivyo Al-Sayyid Al-Saqqaf alivyoweka marejeo,
lakini chapa nilionayo ni: j. 1, uk. 303, riwaya na. 435 (si 426). Inawezekana ikawa ni
tafauti ya chapa na inawezekana ikawa ni kosa la chapa. 1296
- J. 1, uk. 516. Chapa nilionayo ni uk. 697-98 riwaya na. 1900. 1297
- Al-Sayyid Al-Saqqaaf Mas-alatu Al-Ru-uya uk. 33.
462 3) Zaid bin Thabit, riwaya hii ina kasoro kidogo kwa sababu ya mmoja kati
ya mpokezi wake ambaye ni Abu Bakar bin Abdillahi bin Abi Mar‟yam al-
Ghassani ana udhaifu katika hif‟dhi yake, lakini kwa mujibu wa misingi ya
elimu ya uchambuzi wa hadithi, hadithi hii nayo pia inakua sahihi kwa
sababu ya hadithi zilizotangulia, na hadithi hii kitaalamu inaitwa:
“Hasanun-lighairihi” na inazingatiwa kuwa ni hoja kwa sababu ya
“Shawaahid” (hadithi nyingine zenye kuitilia nguvu hadithi hii).
Na kwa bahati nzuri Juma pia anaukubali utaratibu huu wa kitaalamu,
lakini ameshindwa kuufanyia kazi kwa sababu ya kulinda na kutetea itikadi
yake. Na ushahidi wa kuukubali utaratibu huu ni pale aliposema:
“kitaalamu ikiwa hadithi imepokewa na wapokezi wengine kabisa lakini
hadithi ni ile ile, basi huambiwa kuwa hadithi hio ina shahidi”.1298
Na walilllahil-hamdu hadithi hii nayo imepokewa na wapokezi wengine
kabisa, lakini hadithi ni ile ile. Na hadithi hii inapatikana katika vitabu
vifuatavyo: “Kitabu al-Sunna” cha Imamu Ibn Abi A‟asim, ukurasa wa
197 hadithi namba 427 kutoka kwa Fadhaala bin Ubaid, na hadithi namba
424 na 425 zote kutoka kwa Ammar bin Yaasir. Na Sunan al-Nasaai
hadithi namba 1305 na 1306 pia zote kutoka kwa Ammar bin Yaasir.
Ufafanuzi kuhusu njia ya kwanza ya hadithi hii kutoka kwa swahaba
Fadhaala -Allah amridhie -:
Sanad ya hadithi ya kwanza, ni sahihi na haina kasoro yoyote. Na pia
maelezo yake yako wazi juu ya suala tunalolizungumzia nalo ni suala la
kuonekana Allah kwa macho huko akhera. Katika hadithi hii swahaba
mtukufu Fadhaala bin Ubaid –Allah amridhie- alikuwa anatabia ya
kuiomba dua hii kila mara, na anatuelezea kwamba bwana Mtume -swalla
llaahu alayhi wasallamalikuwa anatabia ya kuomba dua hiyo, na ndani ya
dua hiyo Mtume wetu -swalla llaahu alayhi wasallam- alikuwa akimuomba
mola wake amruzuku kumpa starehe kwa kuutazama uso wa (Allah) –Jalla
Jalaaluh-. Na kitendo hicho cha Mtume -swalla llaahu alayhi
wasallamhakihesabiwi kuwa ni kuvuka mipaka katika maombi, kwa kuwa
amemuomba Allah kitu kisichowezekana au amemuomba jambo lililo
muhali.
Lakini hadithi hii ni kama hadithi nyingine zilizotangulia,
haikuwafurahisha watu wa bid‟a wote kuanzia Jah‟miyyah, Mu‟tazila,
Khawaariji (Maibadhi) na wengineo. Ndiyo maana ndugu Juma al-Mazrui
akafanya jaribio la kutaka kuibatilisha na kuifanya kuwa ni miongoni mwa
hadithi dhaifu na zisizokubalika kama kawaida yake!1299
1298
- Tazama kitabu chake Hoja zenye Nguvu ukurasa wa 70. 1299
- Kasim Mafuta Hoja zenye Nguvu uk. 119-121.
463
MAELEZO YA UJUMLA KUHUSU RIWAYA
HIZO
Maelezo yetu kuhusu madai haya ya Sheikh Kasim, tumeona bora tuyaweke
mwisho kabisa. Kwa hivyo, maneno hayo tutayajadili mwisho wa
mazungumzo yetu kuhusu Hadithi hizi za “utamu wa kuuona uso wa
Mungu”. Kwa hapa natuendelee kutazama maelezo ya Kasim Mafuta.
Anaendelea Ibn Mafuta kwa kunena:
JARIBIO LAKE LA NNE
Pia amefanya jaribio jingine kwa lengo la kutaka kuiangusha hadithi hii
kwa upande wa matni yake.
Amesema Juma, na hapa ninamnukuu:
Natumesema kabla na kutoa ushahidi kwamba neno “ انظررش “
(alnadharu) katika lugha ya kiarabu lina maana nyingi. Na
haiwezikani bali haitakiwi useme kuwa maana kadha ndiyo
iliokusudiwa ila kwa ushahidi.1300
Na pia alitangulia kusema katika ukurasa wa 53 kama ifuatavyo:
“Tukitazama maana ya neno hili:” انظش “ (al-nadharu) kupitia
kiyoo cha Qur‟an tunakuta ni:
1)Kutazama kikawaida kwa macho; NA HII NDIYO MAANA YA
MSINGI YA NENO HILO…”. Mwisho wa kunukuu.
MAJIBU YETU
Majibu yetu juu ya madai haya batili ni kama yafuatavyo:
Ni kweli neno (al-Nadharu) lina maana nyingi, lakini bila shaka sote
tunakubaliana kuwa maana ya asili ya neno hili ni kutazama kwa macho,
kama alivyoeleza bwana Juma katika kitabu chake, na kama hivyo ndivyo,
basi pia anatakiwa ndugu Juma afahamu kwamba kuna kanuni za kilugha
zinazosema kuwa: ASILI NI KUYATUMIA MANENO KATIKA ASILI
YAKE, MPAKA ISHINDIKANE AU IPATIKANE DALILI YA
KULITOA NENO NJE YA ASILI YAKE. Kwa hivyo, tunasema kwamba;
katika hadithi hii neno “al-nadharu” limetumika katika asili yake ile ile,
ambayo maana yake ni “kutazama kwa macho” na hakuna hoja wala dalili
1300
- Tazama katika kitabu chake Hoja zenye Nguvu ukurasa wa 188.
464 yoyote inayokubalika kilugha wala kiakili ambayo imesababisha neno
“alNadharu” katika hadithi hii litumike nje ya maana yake ya asili, na
kama ipo dalili hiyo basi anatakiwa ndugu yetu Juma na jamaa zake
watuletee.1301
JAWABU NA MAELEZO
Mimi nahisi huyu Kasim Mafuta hata kanuni za tafsiri ya maandiko hazijui:
basi anafyatua tu Wa Allahu Al-Musta‟aan! Yeye ni kiumbe wa kupinga tu!
Wala nini hasa wasiomini kuonekana kwa Allah wanakisema na kwa hoja
gani hasa yeye hakijui. Sasa nitamfahamisha kidogo akiwa anapenda kujua.
Kanuni za tafsiri ni kuwa maandiko mawili yakigongana1302
basi kila moja
huwekwa mahala pake na likapewa tafsiri linayostahiki. Mfano ni Aya
inayosema:
٤ ح ؤ ا ٤ أ ٣ ح ؤ ك
Basi kwa hakika tutawauliza wale waliopelekewa Mitume; na
tutawauliza Mitume (pia).1303
Na mfano wake ni Aya:
ح ٣ ؼ خ خ )***( ػ ٤ ؼ أ ؿ ؤ ري ك
Basi naapa kwa (jina la) Mola wako tutawauliza wote**Kutokana na
matendo yao waliokuwa (wakiyatenda).1304
Aya hizi zinathibitisha kwamba tutaulizwa. Lakini katika Aya nyengine
Allah anasema:
ـ ح ر ػ ؤ ل ٣
Na waovu hawatoulizwa kuhusu dhambi zao. 1305
Na katika Aya nyengine anasema:
1301 - Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 129-130.
1302 - Yaani maandiko ambayo dhahir yake yanagongana na uhakika wake hayagongani;
kwani maneno ya Sharia hayagongani. 1303
- Sura 7, Aya 6. 1304
- Sura 15, Aya 92-93. 1305
- Sura 28, Aya 78.
465
ػ ؤ ل ٣ ج ) ك ٤ خ ل ؿ ا ز 39………..……………..……( ـ ف ح ٣ ؼ
ه ك ٤ ئ خ ٤ ) ر ح حل ه ي ٢ ح ( 21ر خ
Basi siku hio hawatoulizwa kuhusu dhambi zao binaadamu wala
majini………..waovu wanajulikana kwa alama zao basi watashikwa
nywele zao za mbele na miguu (watupwe motoni). 1306
Aya mbili za mwanzo zinathibitisha kwamba watu wataulizwa kuhusu
matendo yao; wakati Aya mbili za mwisho zinathibitisha kwamba hakuna
kuulizwa. Sasa nini maana yake? Hapa hakuna mgongano, bali kila Aya
zinawekwa mahala pake kwa maana kwamba kilichokusudiwa katika Aya
za mwanzo ni chengine na kilichokusudiwa katika Aya za pili ni chengine.
Na wanavyuoni wamezielezea kwa maelezo tafauti lakini moja ya tafsiri ni
kuwa kiama kina mawaaqif (sehemu) tafauti. Kuna sehemu ambazo
wataulizwa na kuhojiwa, na sehemu hizo ndizo zenye kuhusiana na Aya za
mwanzo na zilizo mfano wake; na kuna sehemu nyengine ambazo
hawatohojiwa bali wakionekana tu – baada ya kuwa wameshahojiwa na
kupewa hesabu zao – watajulikana kwa alama zao zilizoko katika nyuso zao
kwamba wao ni waovu basi watashikwa watupwe motoni. Na hili ndilo
lenye kuzihusu Aya za pili. Hii ndio moja ya tafsiri ya Aya hizo.
Sasa ukirudi katika Hadithi “ladha ya kuutazama uso wa Allah” na Aya
“Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zitakuwa zinatazama”, utaona kuwa dhahir yake ni kuwa Mungu ataonekana. Lakini dhahir hii
imegongana na nassu (andiko la wazi) ya Qur-an na Hadithi kwamba Allah
haonekani. Aya inasema: “Macho hayamfikii” na Hadithi inasema:
“hakuna chenye kuzuia baina ya watu na kumtazama Mola wao katika pepo
ya adeni isipokuwa vazi lake la utukufu”. Kwa hivyo, hapa vile vile dhahir
ya maandiko ni kuwa yamegongana, na kwa hivyo ni lazima itafutwe tafsiri
sahihi kwa mujibu wa minhaj (methodology) ya tafsiri.
Wenye itikadi ya kumuona Allah wakasema kuwa maana ya Hadithi “ladha
ya kuutazama uso wa Allah”, kwa mfano, na Aya “Nyuso siku hio
zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zitakuwa zinatazama”, ni kuwa Mungu
ataonekana. Na maana ya Aya isemayo: “Macho hayamfikii” ni:
a) Ima macho hayamzunguki: akawa anaonekana wote.
b) Au macho hayamuoni hapa duniani, lakini akhera yatamuona.
Sisi – tusiokubaliana na itikadi ya kumuona Allah – tunasema kuwa tafsiri
hizo ni batili kwa sababu nyingi ambazo nyingi ya hizo tutazielezea kwa
1306
- Sura 55, Aya 39-41.
466
ufafanuzi tukifika mahala pake. Lakini kwa ufupi ni kuwa inavyotakiwa ni
kuwa kwanza zitafutwe daraja za kudhihiri na kufichika ()حطذ حظ حولخء
kwa maana ya Aya hizo ili yenye nguvu kwa sababu ya kuwa ni nassu
(andiko lenye maana moja ya wazi) ndio itangulizwe na dhahir (andiko
lenye kubeba maana hii na ile) litafutiwe maana nyengine isiogongana na
nassu. Hivi ndivyo zilivyo kanuni za tafsiri. Sasa baada ya hayo utaona
kuwa:
a) Aya “Nyuso siku hio zitang‟aa**Kwa Mola wake tu zitakuwa
zinatazama”, ni andiko ambalo daraja yake ni daraja ya dhahir;
wakati Aya “Macho hayamfikii” daraja yake ni daraja ya nassu; na
andiko nassu likigongana na maana ya andiko dhahir; nassu ndio
inayotangulizwa na dhahir inapewa tafsiri nyengine katika tafsiri
ziliomo ndani yake. Hii ni kusema kwamba neno kutazama kama
linavyobeba maana ya kuona basi pia linabeba maana ya kungojea
kama lilivyotumika katika Aya kadha wa kadha za Qur-an kwa
maana hio. Wakati – kwa upande wa pili – maneno “kufikiwa na
jicho اىحى حز” hayana isipokuwa maana moja tu nayo ni kuona.
Kwa hivyo, iliposemwa kuwa “macho hayamfikii”, basi ikajulikana
kuwa maana yake ni “macho hayamuoni” – Aya ya kwanza inabeba
maana nyingi (dhahir); Aya ya pili inabeba maana moja (nassu).
b) Ama madai kuwa maana ya Aya Aya “Macho hayamfikii” ni kuwa
macho hayamzunguki! Maana hio haikupokewa kamwe katika lugha
ya Kiarabu, bali imepokewa katika riwaya dhaifu; bali
kilichopokewa katika Hadithi sahihi kutoka Al-Sayyida „Aisha (r.a.)
ni kinyume na hivyo kama tutavyoeleza in shaa Allah.
c) Ama madai kuwa Aya Aya “Macho hayamfikii” ni kuwa macho
hayamuoni lakini hii ni hapa duniani tu, hii pia si tafsiri sahihi,
kwani Aya inaeleza sifa za Allah za dhati na sifa za Allah za dhati
huwa hazibadiliki duniani wala akhera. Kama Allah alivyokuwa na
sifa za dhati ziitwazo: elimu, uwezo, utukufu, kutozaa, kutolala, n.k.
hapa duniani; ndivyo alivyokuwa na sifa hizo tangu enzeli na ndivyo
atavyokuwa na sifa hizo huko akhera na milele. Halkadhalika sifa ya
kutoonekana ni sifa ya dhati ya Allah na kwa hivyo kama vile
ambavyo hajaonekana hapa duniani basi pia hatoonekana huko
akhera kwani hii ni sifa ya dhati na kwa hivyo ndio maana akasema
Mtume (s.a.w.): “hakuna chenye kuzuia baina ya watu na
kumtazama Mola wao katika pepo ya adeni isipokuwa vazi lake la
utukufu”. Kwa hivyo, utukufu wa Allah ndio uliozuia tusimuone, na
hii ni sababu ambayo Allah hatokani nayo ili ikawezekana kumuona.
Kwa hivyo, utaona kwamba Hadithi “utamu wa kuutazama uso wa Allah”
ikiwa itapitishwa katika udhahiri wake, basi itagongana na Aya: “Macho
467
hayamfikii” na pia itagongana na Hadithi “hakuna chenye kuzuia baina ya
watu na kumtazama Mola wao katika pepo ya adeni isipokuwa vazi lake la
utukufu”. Katika hali hii – kwa sababu Aya hio na Hadithi hio ni خ ك٢
:maandiko ya wazi katika maudhui yake) حع: ل ٣لظال أؼ ؼ٠
hayana maana isipokuwa moja tu, basi Hadithi “utamu wa kuutazama uso
wa Allah” ni lazima itolewe katika udhahiri wake na kupewa taawil
tukijaalia kuwa hio ni Hadithi sahihi. Hii ndio minhaj (methodology) sahihi
ya tafsiri kwa mujibu wa fani za tafsiri zinavyoeleza.
Baada ya hayo, utaanza kuona ufahamu finyu wa Kasim Mafuta kuhusu
namna ya kuyafasiri maandiko. Kama utavyoona kutokuelewa kwake maana
ya kanuni alioinukuu kwamba:
Ni kweli neno (al-Nadharu) lina maana nyingi, lakini bila shaka sote
tunakubaliana kuwa maana ya asili ya neno hili ni kutazama kwa macho,
kama alivyoeleza bwana Juma katika kitabu chake, na kama hivyo ndivyo,
basi pia anatakiwa ndugu Juma afahamu kwamba kuna kanuni za kilugha
zinazosema kuwa: ASILI NI KUYATUMIA MANENO KATIKA ASILI
YAKE, MPAKA ISHINDIKANE AU IPATIKANE DALILI YA
KULITOA NENO NJE YA ASILI YAKE. Kwa hivyo, tunasema kwamba;
katika hadithi hii neno “al-nadharu” limetumika katika asili yake ile ile,
ambayo maana yake ni “kutazama kwa macho” na hakuna hoja wala dalili
yoyote inayokubalika kilugha wala kiakili ambayo imesababisha neno
“alNadharu” katika hadithi hii litumike nje ya maana yake ya asili, na
kama ipo dalili hiyo basi anatakiwa ndugu yetu Juma na jamaa zake
watuletee.1307
Tunasema: neno halitolewi katika maana yake ya asili bila ya qarina; lakini
pakiwa na qarina basi ni lazima litolewe katika maana ya asili na kupelekwa
katika maana nyengine. Na hii ndio maana ya kanuni yao wanavyuoni
waliposema:
ػ ٤ حي ى ا ؼ ٠ ح ـ ٠ ح ٣ أ ذ ؿ ١ خ ٤ ا خ
Ikiwa dalili itaonesha kwamba (neno limetumika katika) maana (yake ya)
kimajazi, basi ni wajibu kuiendea maana hio (ya kimajazi). 1308
Mukhtasari wa hayo ni kuwa:
1) Hadithi ya “utamu wa kuutazama uso wa Allah” imetumia neno
nadhar kumaanisha kutazama.
1307
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 129-130. 1308
- Tazama Prof. Moh'd Bakr Ismail: Al-Qawaidu Al-Fiq-hiyyah uk. 147. Yeye katumia
lugha tafauti kidogo na maana ni moja. Na wengine wanatumia lugha hii nilioinukuu hapa.
468
2) Neno hilo nadhar (kutazama) maana yake ya kimsingi na ya asili ni
kutazama ukaona usione.
3) Neno hilo linatumika kwa maana nyengine nyingi kama kungojea,
kutarajia n.k., kama lilivyotumika sana kwa maana hizo ndani ya
Qur-an, Hadithi na lugha ya Waarabu – kwa hivyo Hadithi hio ni
dhahir.
4) Maneno “macho hayamfikii Allah” hayana isipokuwa maana moja
nayo ni “macho hayamuoni” – kwa hivyo Aya hio ni nassu.
5) Hadithi “hakuna chenye kuzuia baina ya watu na kumtazama Mola
wao katika pepo ya adeni isipokuwa vazi lake la utukufu” haina
isipokuwa maana moja nayo ni “watu hawamuoni Allah peponi” –
kwa hivyo Hadithi hio ni nassu.
6) Nassu na dhahir zikigongana inatangulizwa nassu.
7) Kama Hadithi “utamu wa kumuona Allah” haikufasiriwa basi
maandiko ya Kisharia yatagongana ilhali maandiko ya Kisharia
hayagongani.
TUKIRUDI KWA IBN MAFUTA
Anaendelea Sheikh Kasim bin Mafuta kwa kutongoa:
Kisha akasema tena ndugu Juma:
“Suala ni kuwa je kutazama huku kulikotajwa hapa ni kutazama nini?
Kutazama wenyewe ni kutazama “ جرك “ tafsiri ya neno kwa neno ni
kutazama “uso wako”. Neno “uso” sote tunalijua maana yake kuwa ni
sehemu ya mbele ya kichwa yenye macho pua na mdomo. Lakini je hii
ndiyo maana iliyokusudiwa: kwamba watu watautazama uso wa Mwenyezi
Mungu? Jawabu natarajia iko wazi kwa kila mtu kwamba Mwenyezi
Mungu hana uso. Sasa kama mwenyezi Mungu hana uso nini maana ya
neno “uso wako?” Jawabu ni kuwa neno uso katika lugha ya Kiarabu
hutumika kwa maana nyingi:
1) Sehemu ya mbele ya kichwa yenye macho, pua na mdomo. Na hii
haimuhusu Mwenyezi Mungu kinyume na Mawahabi wanavyosema kuwa
Mwenyezi Mungu ana uso kweli kweli!”.
Mwisho wa kunukuu. Tazama maneno yake hayo kwenye kitabu chake
“Hoja zenye Nguvu” ukurasa wa 189.
MAJIBU YETU
Majibu yetu sisi ni kama yafuatavyo:
469
Sisi tunaitakidi kwamba Allah aliye juu ya Ar‟shi yake ambaye
amekizungukia kila kitu kwa elimu yake, ana sifa nyingi mno kama vile
sifa ya: Uhai, Elimu, Uwezo, Nguvu, Uoni, Usikivu, Mikono, Uso na
nyinginezo ambazo ni katika sifa zake za utukufu na ukamilifu, na
tunamthibitishia Allah sifa zote hizo za ukamilifu kama vile
alivyojithibitishia mwenyewe-Jalla Jalaaluh- na kama vile
anavyotuthibitishia mjumbe wake mtukufu katika sunna zake.
Pamoja na kuitakidi kwamba wapo viumbe ambao wana sifa kama hizo za;
uhai, elimu, uwezo, nguvu, uoni, usikivu, mikono, uso, n.k. lakini sifa zao
hizo si kama zile za Allah –Sub‟haanah-. Pamoja na kuwepo kwa sifa hizo
na nyinginezo katika pande zote mbili: upande wa Muumba (Allah) na
upande wa viumbe, lakini Allah hafanani na yoyote katika viumbe vyake si
katika dhati yake wala sifa zake. Amesema Allah:
11 ح”حز٤ ح٤غ ٤ت ؼ ٤ “
“Hapana kitu chochote mfano wake. Na yeye ni mwenye kusikia mwenye
kuona”.
Surat Shuura(42) aya ya 11.
Kwahiyo tunachotakiwa sisi waislamu ni kuthibitisha kile
alichojithibitishia Allah mweyewe katika kitabu chake, na huku
tukimtakasa kwamba hakufanana na viumbe, kwa kuifanyia kazi kanuni
isemayo: KUFANANA KWA MAJINA YA SIFA, SI DALILI YA
KUFANANA KWA SIFA ZENYEWE. Hivyo basi, sio sahihi kwa mtu
yoyote kuanza kukimbilia kwenye kuzikanusha sifa hizo kwa madai ya
kutaka kumtakasa Allah na viumbe vyake, kwa mfano: Miongoni mwa sifa
za Allah –Sub‟haanahu- ni sifa ya “USIKIVU” kwa maana ya kwamba
Allah “ANASIKIA”na jambo hili halina upinzani baina ya waislamu. Na
sifa hii hii ya usikivu pia wanayo viumbe vyake kama vile wanadamu.
Sasa kwa mfano ajitokeze mtu anayejifanya ni bingwa wa kumtakasa Allah
aseme; Allah –Tabaaraka wata‟alaa- hasikii! Ukimuuliza kwa nini? Mbona
yamekuja maandiko mengi katika Qur‟an na Hadithi kuonesha kwamba
Allah anasikia? Anajibu kwa kusema:
Kwa sababu kusikia ni kuidriki sauti kwa kupitia kiungo maalumu
ambacho ni sikio kwa hiyo nikisema kuwa Allah anasikia nitakuwa
nimemfananisha na kiumbe kwa sababu sisi hatufahamu maana ya kusikia
ila kwa maana hii tulioitaja. Bila shaka kiislamu huwa mtu wa aina hii
atakuwa amepotoka njia ya sawa sawa na kumfuata sheitwaani mal-u‟uni.
Bali lililo la wajibu kwa muumini ni kuithibitisha sifa hii ya usikivu na
nyinginezo zilizothibiti pamoja na kuitakidi kwamba KUSIKIA KWA
ALLAH SIO KAMA KUSIKIA KWA VIUMBE WAKE! Halikadhalika
470 anatakiwa katika sifa zote afanye hivyo, kama kuitakidi kwamba: KUONA
KWA ALLAH SI KAMA KUONA KWA VIUMBE VYAKE. UHAI WA
ALLAH SI KAMA UHAI WA VIUMBE VYAKE. UWEZO WA ALLAH
SI KAMA UWEZO WA VIUMBE VYAKE. USO WA ALLAH SI
KAMA USO WA VIUMBE VYAKE. NGUVU ZA ALLAH SI KAMA
NGUVU ZA VIUMBE VYAKE. MIKONO YA ALLAH SI KAMA
MIKONO YA VIUMBE VYAKE.
Na nyinginezo katika sifa ambazo zimethibiti kuwa ni sifa zake –
Sub‟haanahu wata‟alaa-. Na halikadhalika haifai kumsifia Allah kwa sifa
ambazo hakujisifu nazo, na kufanya hivyo ni kumzulia uwongo Allah –
Jalla Jalaaluh-. Kwa sababu ya kutoufahamu msingi huu wa kwamba:
“KUFANANA KWA MAJINA YA SIFA SIO DALILI YA KUFANANA
KWA SIFA ZENYEWE” wamepotea watu wengi, tena pamoja na kupotea
kwao huko wakajiona kwamba wao ndio waliokuwa katika haki, na haraka
wakaanza kuwatuhumu watu wengine katika imani zao na kuwatia katika
makosa tena kwa kutumia lugha chafu tena za kejeli. Mara utawasikia
wanawaita “MUSHABBIHA” (wenye kumfananisha Allah na viumbe)
mara wanawaita “MUJASSIMA” (wenye kumfanya Allah kuwa ana
kiwiliwili) kwa madai kwamba eti wanamfananiza Allah na viumbe wake
!mara Mawahabi! Basi ilimradi kuwachafua
watu wasio na hatia.
Sasa hebu tumgeukie ndugu Juma na wenzake watwambie wao watasema
nini kuhusu sifa hii ya kusikia kwa Allah na kusikia kwa viumbe? Je
wataikanusha kwa kusema Allah hasikii –Ma‟adha llaahi- (Allah atukinge
na hilo)? Na bila shaka kuitakidi hivyo ni kufuru. Au watakanusha
kwamba mwanadamu hasikii? Na bila shaka huo utakuwa ni
wendawazimu. Na kama jawabu itakua:Allah anasikia na mwanadamu
anasikia, halafu wasiutumie msingi huu tulioutaja wa kwamba kusikia kwa
Allah si kama kusikia kwa viumbe “kwa sababu kufanana majina ya sifa si
dalili ya kufanana sifa zenyewe” basi ni kwa msingi gani watamtakasa
Allah na dhana ya “Tash‟bihi” (kumfananiza na viumbe)? Ikiwa hawana
hila wala namna ila kurudi katika msingi huu wa haki kwa kusema
kwamba: Mwanadamu anasikia na Allah pia anasikia LAKINI KUSIKIA
KWA ALLAH SIO KAMA KUSIKIA KWA MWANADAMU WALA
KIUMBE CHOCHOTE! Sisi tutawaambia mtakuwa mmefanya vizuri,
lakini endeleeni kufanya hivyo katika sifa zote za Allah –Tabaaraka
wata‟alaa- na wala msibague.
Pia semeni kwamba Allah ana uso kama ilivyosema Qur‟an na Sunna,
lakini uso wake si kama uso wa viumbe kwa sababu hakuna kitu chochote
ambacho ni mfano wa Allah. Kwa hiyo andiko hili sahihi linatuambia
kwamba bwana Mtume - swalla llaahu alayhi wasallam- anamuomba mola
wake amruzuku neema ya kuutazama uso wake Allah huko peponi, hapa
471 sisi tunachotakiwa kukifanya ni kuthibitisha kwamba miongoni mwa
starehe za peponi ni watu kumuona Allah Jalla Jalaaluh. Na pia tunatakiwa
tuitakidi kwamba Allah ana Uso unaolingana na dhati yake tukufu na hana
mfano wa kitu chochote. Ama madai ya kwamba Allah -sub‟haanahu- hana
uso kwa dhana ya kwamba tukisema anao uso basi tutakuwa
tumemfananisha na viumbe ni madai batili ambayo hayakujengwa juu ya
msingi wa kielimu. Na hiyo ndiyo njia ya watu wote wa bid‟a kama
Jahmiyya, Mu‟utazilah na Khawaarij. Na mwanzo wa kuingia itikadi hizi
batili katika safu za waislamu ni baada ya kutarjumiwa vitabu vya Falsafa
za Wagiriki na Mapeshia kwa lugha ya kiarabu, na watu wakajishughulisha
na vitabu hivyo na wakaiwacha njia ya wema waliotangulia katika kuamini
mambo ya ghaibu. Na huu ni muhtasari wa hoja za wenye kuthibitisha
kuonekana Allah kwa macho huko akhera, hoja ziko nyingi lakini kama
tulivyoeleza hapo mwanzo kwamba tutazitaja hoja chache kwa lengo la
kufupisha, na kulifikia lengo, na walillaahil-hamdu lengo limetimia. Lengo
ni kuwafahamisha watu kwamba itikadi ya kuonekana Allah akhera kwa
macho ni itikadi sahihi iliyothibitishwa na kitabu cha Allah (Qur‟ani) na
Sunna za Mtume Muhammad Swalla llaahu alaihi wasallam, na hiyo ndiyo
imani na itikadi ya Maswahaba watukufu na waliowafuatia hao kwa wema,
itikadi sahihi ya Ahli-Sunnati wal- Jamaa.1309
JAWABU
Jawabu ya itikadi hizi nimesheitoa na kuyaelezea hayo katika juzuu ya
kwanza ya kitabu chetu hiki. Rejea sura ya pili, ya tatu na ya tano ya kitabu
hicho ili kuifahamu maudhui hii kwa ufafanuzi. Nimezielezea huko nukta
nyingi na kwa urefu na nimebainisha tafauti iliokuwepo baina ya sifa za
ukamilifu kama elimu, kusikia, kuona; na baina viungo vya kihisia (physical
organs) kama mkono, mguu n.k. Sifa za mwanzo hazipelekei kufanana kwa
dhati mbili tafauti kwani ni sifa za kimaana; sifa za pili za viungo
zinapelekea kufanana kwa dhati mbili tafauti kwani ni sifa za kihisia. Huu ni
mukhtasari, na kwa urefu rejea juzuu ya kwanza, kama nilivyosema
kwamba mimi katika kitabu hiki najiepusha kukariri jawabu bila ya haja.
Isipokuwa ningependa kutoa maelezo kidogo tu juu ya maneno ya Kasim
Mafuta yasemayo:
Na mwanzo wa kuingia itikadi hizi batili katika safu za waislamu ni baada
ya kutarjumiwa vitabu vya Falsafa za Wagiriki na Mapeshia kwa lugha ya
kiarabu, na watu wakajishughulisha na vitabu hivyo na wakaiwacha njia ya
wema waliotangulia katika kuamini mambo ya ghaibu.
1309
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 131-134.
472
Yaani mwanzo wa Waislamu kuitakidi kuwa Allah hana uso wa kweli au
mguu wa kweli n.k., ni itikadi za Kigiriki na Kifursi! Bwan-Kasimu naona
umeyaeka mambo kichwa chini miguu juu! Wewe umepata wapi kusikia
kwamba Wagiriki na Wafursi walikuwa wakikanusha kuwepo kwa mungu
mwenye viungo? Si ndio wao ambao waliokuwa na itikadi za miungu
viumbe, na wakijichongea masanamu ili kuyaabudu? Na hizo itikadi mbovu
za Kikiristo zimetokana na Wagiriki. Kama umelijua hilo, basi elewa
kwamba kufasiriwa kwa vitabu vya Wagiriki na Wafursi ndiko kulikoleta
katika Uislamu hizo itikadi zenu za Mungu mwenye:
1) Mikono.
2) Miguu.
3) Macho.
4) Masikio.
5) Kiuno.
6) Kidakatonge.
7) Magego.
8) Mengineo.
Vichekesho vyenye kuliza zaidi ni vile vilivyosemwa na baadhi yenu
kwamba Mungu:
1) Kaumba nafsi yake kutoka katika jasho la farasi!
2) Atateremka chini naye kapanda farasi!
Mmoja aliposikia hivyo, akasema basi yeye atakwenda juu kumuekea shuke
la ngano huyo farasi aliyepandwa na Mungu ili akija apate kupunguza njaa
kidogo! Mafuta huyu ndiye mola wako unayemuabudu uliyemfahamu
kutoka kata Qur-ani na Sunna?
MWISHO WA SEHEMU YA KWANZA
Hadi hapa tutakuwa tumefika mwisho wa sehemu ya kwanza wa mjadala
huu. Sehemu hii ya kwanza – kama ulivyoona – anazijadili hoja za watetezi
wa itikadi ya kumuona Allah. Hoja hizo kimsingi zimegawika sehemu mbili
kwa tatu: moja ni hoja za kiakili na ya pili inazungumzia hoja za
kimaandiko ambazo nazo pia zimegawika katika hoja zao kutoka katika
Qur-an na hoja zao kutoka katika riwaya. Mukhtasari wa hoja zote hizo,
utakuja mwishoni mwa kitabu in shaa Alla. Kwa sasa wacha tutazame hoja
za kundi la pili nalo ni kundi la wale wenye kuikataa itikadi ya kumuona
Allah.
473
SURA YA KUMI NA MBILI HOJA ZA KUTOONEKANA KWA ALLAH
Baada ya kuzijadili hoja za wale wenye itikadi ya kumuona Allah na
kubainisha udhaifu wake, sasa natuingie upande wa pili wa hoja za wale
wenye itikadi ya kutoonekana kwa Allah. Wenye itikadi ya kutoonekana
kwa Allah nao wanajenga hoja zao kwa dalili za kiakili, dalili za Qur-ani na
za Sunna.
HOJA ZA KIAKILI
Ama dalili za kiakili ni zile tulizozitaja katika kitabu chetu Hoja Zenye
Nguvu, kwamba miongoni mwa hoja hizo ni kuwa kuona kwa macho
ambako tunakujua ni kuingia sura ya chenye kuonekana katika mboni ya
macho ya mtazamaji kwa nguvu za mionzi yenye kuvuta sura hio. Nao uoni
huo una masharti yake:
1) Moja ni kuwa chenye kuonekana kiwe kitu ambacho kinajuzu
kuonekana. Hii inavitoa vitu kama roho, akili, upepo, sauti na mengineo
ambayo hayaonekani.
2) La pili ni kuwa mwenye kuona akielekee anachokiona au kidhihri katika
kitu kama kioo kisha ndio akitazame.
3) Jambo la tatu ni kuwa chenye kuonekana kisiwe kidogo sana kama
bektiria.
4) Jambo jengine ni kuwa chenye kuonekana kisiwe karibu sana na macho
ya mtazamaji kama mtu akiweka mkono wake kwenye macho mpaka
macho yasiweze kufumbuka.
5) Jambo la tano ni kuwa chenye kuonekana kisiwe mbali sana. Katika hali
hii mtazamaji anakuwa hakioni, na ndio maana kuna vitu vingi katika
anga za juu ambavyo hatuvioni pamoja na kuwa vitu hivyo ni vikubwa
sana katika umbo lake lakini umbali baina yetu na baina yake umetuzuia
tusivione. Hizi ni baadhi ya hoja za kiakili tu kuhusiana na masharti
baina ya chenye kuonekana na chenye kuona.
Hizi ni nukta ambazo nilizitaja katika kitabu Hoja Zenye Nguvu, lakini
mwanachuoni Sheikh Seif Al-Ghafri akatia maelezo yake juu ya hayo,
akanena:
474 Miongoni mwa watu anaowaiga Qannubi maandiko yao ni kama
Alkauthari, na Abuu Ghudah na Jamal-din Af‟ghani ambaye si Muaf‟ghani
bali ni Muirani, na Butwi na Al-Maliki katika watu wa hivi karibu na pia
miongoni mwao hao ni pote la Muutazilah kwani wao ndio wanaopinga
sana kuonekana kwa Mwenyezi Mungu sub‟haanahu wata‟alaa kwani pote
hili elimu yao yote imejengeka juu ya misingi ya mijadala ambayo asili
yake ni vipimo vilivyo juu ya kufananisha kisichopo kwa kilicho kuwepo
na miongoni mwa maigizo ya Qannubi ni pote la Jahmiyyah, Baatiniyya,
Mashia Imamiyyah ndio maana utayakuta maandishi yao yote juu ya
kutoonekana Mwenyezi Mungu sub‟haanahu wata‟alaa wanayanukuu kwa
mwana matamanio mkubwa adui wa Mwenyezi Mungu sub‟haanahu
wata‟alaa Abdul Jabbar al-Muutazili kwenye kitabu chake almughni, hasa
katika zile hoja za kiakili alizozitaja Alkhalili kama alivyomnukuu Juma
Mazrui katika kitabu chake Al-Haqu Addamigh ukurasa 67, kwamba
kuona kwa macho ni kuingia sura …., na kadhalika amefananisha
kuonekana Mwenyezi Mungu sub‟haanahu wata‟alaa na kuonekana
viumbe, ametakasika Mwenyezi Mungu na dhana zao.1310
JAWABU
Kuhusu nukta ya kwanza, nakujibu kwamba Al-Qannubi hamuigi mtu
yoyote. Yeye ni mujtahid mutlaq, hamfuati hata Al-Imamu Jabir bin Zaid
sikwambii hao uliowataja wewe. Sheikh Al-Khalili anasema: “Sheikh Said
Al-Qannubi, Allah kampa mambo matatu: ijtihadi kubwa sana, hifdhi kali,
na fahamu kali sana”. Huu ni ushuhuda wa Sheikh Al-Khaili wa maa
adraka maa Al-Khalili!
Nukta ya pili ni madai yako kuwa Al-Qannubi au – dhahir unakusudia
kusema – Ibadhi wamechukua itikadi ya kutoonekana kwa Allah kutoka
kwa Mu‟atazila. Tatizo lenu ni kuwa nyinyi Mawahabi hamusomi na hata
mukisoma hamufahamu, ndio maana maneno haya na kama haya utayakuta
yamejaa katika vitabu vyenu! Waasisi wa Mu‟utazila ni Wasil bin „Ataa1311
naye kazaliwa mwaka wa thamanini H,1312
na „Amru bin „Ubaid ambaye
kafa mwaka wa mia na arubaini na tatu.1313
Wakati huu Ibadhi imeshazaliwa
na kunawiri, kwani Imamu wa madhehebu ya Kiibadhi ni Al-Imamu Jabir
1310
- Tazama pongezi za Seif Al-Ghafri katika kitabu Hoja Zenye Nguvu cha Kasim Mafuta
uk. x-xi. 1311
- Tazama Ittihafu Al-Nubalaa Bi-Sirati Al-„Allama „Abdil-Razzaaq „Afif uk. 21. Al-
Zarkashi AL-A‟alam j. 3, uk. 59. 1312
- Al-Dhahabi Al-Siyar j. 6, uk. 242, tarjama na. 825. Al-Mizan j. 6, uk. 3, tarjama na.
9325. 1313
- Al-Dhahabi Al-Mizan j. 3, uk. 199, tarjama na. 6404..
475
bin Zaid (r.a.) naye alizaliwa mwaka baina 18-221314
na kufa mwaka baina
ya 93.1315
Yeye kachukua elimu kutoka kwa idadi kubwa ya Masahaba
hususan mwalimu wake mkuu Ibn „Abbaas. Kwa hivyo, tunawambia wale
wajiitao Salafiyya ambao wameemewa: wanataka kujua itikadi za Al-Salaf
Al-Salih (watangulizi wema), basi tunawambia kwamba haraka waje
kwenye madhehebu ya Ahlu Al-Haqqi wa Al-Istiqaama (Ibadhi), kwani wao
ndio madhehebu pekee ambayo:
1) Imezaliwa katika zama za Masahaba.
2) Imamu wao kasifiwa na Masahaba wenyewe, bali Masahaba
walikuwa wakimtanguliza Jabir bin Zaid katika kutoa fat-wa.
Na kwa hivyo, Ahlu Al-Haqqi wa Al-Istiqaama (Ibadhi) ndio wajuzi bora
wa madhehebu ya Al-Salaf. Jabir bin Zaid na Ibn Taymiyya: wapi na wapi!
Ibn Taymiyya kaja katika zama ambazo mambo yashakorogwa na mahadithi
ya uzushi yamejaa wala hakuna tena marejeo yalioishi na Mtume (s.a.w.).
Hili nalidokoa tu kidogo, maelezo yake kwa urefu ni katika juzuu ya pili ya
kitabu hiki in shaa Allah. Lakini ninachotaka kumwambia Seif Al-Ghafri
hapa ni kuwa madhehebu ya Mu‟tazila imeikuta Ibadhi tayari ni madhehebu
kamili na fiq-hi yake na itikadi zake. Ibadhi hawakuchukua kutoka kwao
isipokuwa yale mambo yaliojitokeza katika zama hizo: ambayo yalikuwa
mwanzo hayapo. Haya Ibadhi walikuwa wanasikiliza hoja za kila upande
kisha wanachukua kauli yenye hoja madhubuti. Sisi si watu wa kuambiwa:
“aaa hii ni kauli ya Jahmiyya au ya Shia, au ya Mu‟utazila”. Propaganda
hizi tunakuachieni nyinyi na Maimamu wenu wa Al-Hashwiyya, Al-
Mujassima. Sisi kwetu: “kauli hii dalili yake ni kadha na kauli hii dalili yake
ni kadha”. Upo bwan-Seif? Na hivi ndivyo walivyotufunza Maimamu wetu
wote. Anasema Al-Imamu Al-Salimi:
** خ زـ خ أطخ*******كؤه حلن ظ٠ ح*
حزخ١ حىى ػيخ **أط٠ ر حو ح١ حطلح
Basi sisi tunachukua haki tunapoiona***Hata ikiwa imeletwa na
atuchukiae. Na batili sisi kwetu ni yenye kukataliwa***Hata akija nayo
kipenzi waliemchagua.1316
1314
- Al-Qannubi Al-Imamu Al-Rabi‟u Makanatuh Wa Musnaduh uk.23. Al-Busa‟idi
Riwaayatu Al-Hadith „Inda Al-Ibaadhiyya uk. 184. Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 2, uk.
34, tarjama na. 61. 1315
- Al-Qannubi Al-Imamu Al-Rabi‟u Makanatuh Wa Musnaduh uk.23. Al-Busa‟idi
Riwaayatu Al-Hadith „Inda Al-Ibaadhiyya 1316
- Al-Salimi Kashfu Al-Haqiqa kilichochapishwa pamoja na vitabu vyengine kwa jina la
Miftaahu Al-Sa‟aada uk. 195.
476
Sasa baada ya hayo, natuje kwenye maudhui yenyewe. Maudhui ni kuwa
nukta hizo nilizozitaja hapo nyuma kama ni hoja za kiakili au masharti ya
lazima ya kuweza kukiona kitu, Seif Al-Ghafri anasema: “elimu yao yote
imejengeka juu ya misingi ya mijadala ambayo asili yake ni vipimo vilivyo
juu ya kufananisha kisichopo kwa kilicho kuwepo”. Ninasema: hapa sina
jawabu refu isipokuwa kukuomba urejee sura ya tatu ya kitabu hiki chini ya
kichwa cha habari kisemacho: HOJA ZA KIAKILI ZA WATHIBITISHAO
KUONEKANA ALLAH, ili uone ni nani aliyefanya qiyas cha kisichopo
kwa kilichokuwepo: je ni wenye itikadi ya kumuona Allah au wenye itikadi
ya kutomuona Allah. Je waliosema kuwa sharti pekee ya kuona ni kuwepo
ni nani: ni wenye itikadi ya kumuona Allah au wenye itikadi ya kutomuona
Allah? Ukipata jawabu hio utakuwa umepata jawabu ya suali lako.
Anaendelea Al-Ghafri kwa kusema:
Maandishi yao yote juu ya kutoonekana Mwenyezi Mungu sub‟haanahu
wata‟alaa wanayanukuu kwa mwana matamanio mkubwa adui wa
Mwenyezi Mungu sub‟haanahu wata‟alaa Abdul Jabbar al-Muutazili
kwenye kitabu chake almughni, hasa katika zile hoja za kiakili alizozitaja
Alkhalili kama alivyomnukuu Juma Mazrui katika kitabu chake Al-Haqu
Addamigh ukurasa 67, kwamba kuona kwa macho ni kuingia sura.
Ninasema: mimi kila nikisoma maandishi yako na Kasim Mafuta nazidi
kuamini kwamba Mawahabi hawafahamu wanachoambiwa! Sikiliza Sheikh!
Munachoambiwa ni hiki: nyinyi munasema kuwa mutamuona Allah kwa
macho yenu. Ndio au sio? Jawabu ni “ndio”. Sasa kuona huko ni kama hivi
tunavyoona au ni kuona kwengine? Jawabu “ndio”, ni kuona kama hivi
tunavyoona, kwani munatoa ushahidi kwa Hadithi isemayo: “mutamuona
Allah kama munavyouona mwezi”. Sasa kama ni hivyo, basi sisi tunasema
kuwa kuona kama huku tunakoona au kuona kunakoeleweka katika kawaida
zetu na lugha zetu ndiko huko alikokuelezea Al-Khalili ambako kuna
masharti hayo tulioyataja. Na kwa sababu masharti hayo – ya kuwa Allah
areflect au awe na umbo kubwa au dogo n.k – hayawezekani kwa Allah,
basi kuona huko pia hakutowezekana. Na kama kuna kuona kwengine
kusikokuwa huko, basi ni moja ya mawili:
1) Ama iwe ni kuona kwa maana ya kujua.
2) Au ni kuona kwa maana ya kuona kwa hakika lakini hakuambatani
na masharti hayo tulioyataja. Kama ni hili la pili, basi kuona huku
kunahitaji dalili yake mbali si hizo mulizozitoa. Ama kuona kilugha
na ki‟urf (kawaida) ni huko tulikokutaja sisi.
477
Hatuna haja ya kurefusha, mukhtasari ni kuwa ikiwa munadai kuwa
mutamuona Allah kwa macho yenu hayo basi ni lazima muyakubali
masharti hayo. Ilipobainika kwamba hayo hayawezekani kwa Allah, basi
bwan-Seif elewa kwamba kumuona Allah siku ya kiama ni kumjua ujuzi wa
kweli kweli uliojaa yakini na usiingiwe na shaka yote: si kumkodolea
macho!
JAWABU YA KASIM MAFUTA
MAJIBU YETU
Majibu yetu juu ya hoja hizi ni kwa njia tatu:
1) Hakuna katika maneno haya yote tuliyoyanukuu kutoka kwa ndugu Juma
ushahidi wa kutoonekana Allah kwa macho huko akhera, na wala hapo
hakuna akili iliyotumika katika kuyathibitisha madai hayo batili.
2) Maelezo yote yaliyotolewa yanahusiana na hali ya hapa duniani, ama huko
akhera mambo yatakuwa tofauti kabisa na hapa duniani, kuna mambo
ambayo ni muhali kufanyika hapa duniani, lakini huko akhera yatafanyika.
Kwa mujibu wa maandiko sahihi ya dini yetu mambo ya huko akhera yako
tofauti kabisa na mambo ya hapa duniani. Kwamfano, tunaambiwa
kwamba huko akhera vitu kama mikono, miguu, ngozi ya mwili, ardhi na
vinginevyo vyote hivyo vitatamka na kutoa ushahidi dhidi ya mwanadamu,
hata vile visivyo na uhai kama vile mawe vyote hivyo vitasema ! Siku hiyo
kubwa na ya kutisha watakuwepo watu ambao watatembea kwa nyuso zao
badala ya miguu yao!!! Na mtu atayaona ya mbali yake kama anavyoyaona
yaliyo karibu yake! Na huko peponi hakuna kushiba wala kwenda haja
kama duniani, na kutakuwa na mambo mengi ya ajabu ambayo ni tofauti
na mambo yalivyo hii leo hapa duniani. Kwa hiyo, si sahihi kabisa,
kulifananisha suala hili la kuona hapa duniani na kuona huko akhera. Pia si
sahihi kuitakidi kuwa lile lisilowezekana hapa duniani, kuwa hata huko
akhera haliwezekani, bali kufanya hivyo ni hila ya kutaka kuyapinga
maandiko sahihi yanayotuelezea habari za ghaibu, na mwenye kufanya
hivyo atakuwa ni mpungufu wa imani, au hana imani kabisa, na wala
hakuitumia akili yake vizuri katika kuzitafakari aya za Qur‟an na Hadithi
sahihi za Mtume –swalla llaahu alayhi wasallam-. Sisi maudhui yetu hapa
ni kuhusu suala la je, Allah ataonekana kwa macho huko akhera au
hatoonekana? Na wala hautuzungumzii suala la kuonekana Allah hapa
duniani.
3) Mambo ya huko Akhera hufaamika kwa maandiko ya Wah‟yi na sio kwa
akili za watu, lile ambalo limethibiti kwa maandiko ya kisheria hilo ndilo
la haki, hata kama linapingana na akili zetu, na tunatakiwa tuliamini hivyo
hivyo lilivyoelezwa, bila ya kupinga wala kutia shaka na kufanya hivyo
ndiyo ukamilifu wa kuamini mambo ya ghaibu. Kwa hiyo ninathubutu
478 kusema kuwa; hizi hoja alizo zinukuu Juma kutoka kwa sheikh wake al-
Khalili, ambazo wameziita kuwa ni hoja za kiakili; haikutumika akili hata
chembe katika kuzithibitisha bali akili iko mbali na hoja hizi. Ukiwa ndugu
msomaji umeufahamu upeo wa akili zao katika kuzithibitisha hoja hizo,
hebu sasa natuzitazame hoja zao walizoziita za kimaandishi:1317
JAWABU
Mukhtasari wa jawabu ya Mafuta ni kuwa:
1) Hakuna katika maneno haya yote tuliyoyanukuu kutoka kwa ndugu
Juma ushahidi wa kutoonekana Allah kwa macho huko akhera, na
wala hapo hakuna akili iliyotumika.
2) Maelezo yote yaliyotolewa yanahusiana na hali ya hapa duniani, ama
huko akhera mambo yatakuwa tofauti kabisa na hapa duniani.
3) Mambo ya huko Akhera hufaamika kwa maandiko ya Wah‟yi na sio
kwa akili za watu.
Huo ndio mukhtasari wa jawabu ya Mafuta, lakini – kama unavyoona –
jawabu yetu kwa Sheikh Al-Ghafri inatosha kujibu hoja hizi. Ubainifu wake
ni kuwa nyinyi Mawahabi Allah hakukupeni fahamu sahihi: kakupeni
hamasa na zogo tu: hamufahamu munachoambiwa. Kinachosemwa ni kuwa:
je munapodai kuwa mutamuona Allah kwa macho munadai kuwa
mutamuona uoni kama huu tunaoonana sisi na kuviona vitu kwawo, au
munadai kuwa kuna uwoni mwengine usio kuwa huu? Kama munadai kuwa
mutamuona kwa uoni huu, basi hapa ndipo tunapokataa kwani nature (١ز٤ؼش)
ya uoni huu au namna ya uoni huu uko hivyo tulivyoieleza sisi nao
haukubaliani na utukufu wa Allah. Na kama uko uoni mwengine usiokuwa
huu, basi huo unahitaji ushahidi wake mwengine wa kilugha au wa Kisharia.
Hivi – kwa mukhtasari – ndivyo inavyosemwa. Je wewe Mafuta unao
ushahidi wa kilugha au wa Kisharia kwamba kuna uoni mwengine usiokuwa
huu? Au kwamba mutamuona Allah kwa uoni mwengine usiokuwa huu? Au
kwamba uoni huu hauko hivyo tulivyoueleza sisi, ili hoja yako inyooke na
yetu ipinde?
Ama kuhusu mifano uliotoa kwa kusema:
Kwamfano, tunaambiwa kwamba huko akhera vitu kama mikono, miguu,
ngozi ya mwili, ardhi na vinginevyo vyote hivyo vitatamka na kutoa
ushahidi dhidi ya mwanadamu, hata vile visivyo na uhai kama vile mawe
1317
- Kasim Mafuta Hoja Zenye Nguvu uk. 137-138.
479 vyote hivyo vitasema ! Siku hiyo kubwa na ya kutisha watakuwepo watu
ambao watatembea kwa nyuso zao badala ya miguu yao!!! Na mtu
atayaona ya mbali yake kama anavyoyaona yaliyo karibu yake!
Hayo yote yanaonesha ufinyu wa ufahamu wako, kwani mabadiliko haya
yote yatatokea ndani ya maumbile ya viumbe: si kwa Muumba. Allah yeye
habadiliki katika Dhati yake wala katika sifa zake za dhati. Na kutoonekana
ni katika sifa za dhati za Allah kama tutavyokubainishia hilo zaidi huko
mbele in shaa Allah.
480
HOJA ZA KIMAANDIKO
Baada ya kuzitazama kidogo hoja za kiakili ambazo wamezitegemea wenye
itikadi ya kutoonekana kwa Allah, sasa wacha tuingie katika hoja zao za
kimaandiko. Miongoni mwa hoja zao katika Qur-ani ni Aya isemayo:
ى ٣ ي خ حل ر ل ط ي ز ٤ و ٤ق ح حط خ حل ر
Uoni haumfikii; naye anaufikia; naye ni mjuzi wa yaliojificha na ni
mjuzi wa yaliowazi.1318
Aya hii ni andiko la wazi kwamba macho hayamfikii au – kwa tafsiri sahihi
zaidi – uoni haumfikii Allah. Na hapa kuna nukta tano muhimu za
kuzitazama ili tuweze kuifahamu tafsiri sahihi ya Aya hio:
1) Kutumika kwa neno Al-Absar (uoni) kunaleta maana ya undani zaidi
kuliko kutumika au kuliko lau lilitumika neno Al-A‟ayun (macho).
Kwa sababu kukataliwa kufikwa na uoni kunatoa maana pana zaidi
kwani hii ina maana kwamba uoni wa ina yoyote ule hata kama
hautokuwa kwa njia ya macho au hautokuwa wa kiumbe chenye
uhai, basi huo nao pia haumfikii Allah. Na kwa mantiki hii, utaanza
kuelewa udhaifu wa madai ya wale waliosema:
a) Nabii Musa (a.s.) alimuona Allah lakini hakujua kuwa ndiye
Yeye.1319
b) Mlima ulimuona Allah!1320
2) Kisha neno hilo Al-Absar likatiwa alif na lamu ili kumaanisha
ujumla wa uoni1321
yaani uoni wa aina zote zile basi haumfikii Allah
1318
- Sura 6, Aya 103. 1319
- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟ani j. 9, uk. 52. Na miongoni mwa wenye kauli hii ni Abu Talib
(labda Al-Ushari), lakini yeye – kwa mujibu wa maelezo ya Ibn Taymiyya – ni miongoni
mwa wenye kusema kuwa Nabii Musa alizibwa na mlima, ulipovurugika hapo ndio
akamuona Allah. Tazama Ibn Taymiyya Sharhu Hadithi Al-Nuzul uk. 123. 1320
- Abu Bakr Al-Jazaairi Aysaru Al-Tafasir j. 2, uk. 1. Na dhahir ya kauli hii ni kauli ya
Kiyahudi. Dalili ya hayo ni kile kilichosimuliwa na Al-Khazin katika tafsiri yake akisema:
“kasema „Abdullahi bin Salam na Ka‟abu Al-Ahbar: „hakikudhihiri kutoka kwa Allah
kuudhihirikia mlima isipokuwa kama tundu ya sindano basi mlima ukavurugika”. Tazama
Al-Khazin j. 3, uk. 91. Na kama unavyojua kwamba Abdullahi bin Salam na Ka‟abu Al-
Ahbar ni miongoni mwa wanavyuoni wa Kiyahudi waliosilimu na wakawa wanasimulia
riwaya za Kiyahudi. 1321
- Alifu na lamu (yaani al-) zinapoingia katika jina la wingi (plural) zinaonesha ujmla.
Tazama Dr. Wahbat Al-Zuhaili Usulu Al-Fq-hi j. 1, uk. 240. Al-Shaukani Irshadu Al-
Fuhul uk. 173. Al-Salimi Shamsu Al-Usul uk. 13, na katika Tal‟atu Al-Shams j. 1, uk. 82.
Muhammad Ridha Al-Mudhaffir Usulu Al-Fiq-hi j. 1, uk 141. Al-Amidi Usulu Al-Fiq-hi j.
2, uk. 415.
481
au macho ya viumbe wote wale hayamfikii Allah. Na hili
linaibainisha zaidi nukta ya kwanza.
3) Aya hio ni خحخ حطوش ػ mutlaqatun „ani al- zamaan wal
makaan yaani haikufungamanishwa na zama maalumu wala na
sehemu maalumu. Hii ina maana kwamba uoni haumfikii Allah
katika zama zote na katika sehemu zote.
4) Aya hii inazungumzia sifa za dhati za Allah nazo ni: kutoonekana,
Yeye kuona na kujua. Hizi ni sifa za dhati za Allah, ni sawa sawa na
sifa zake za: elimu, kuweza n.k. Na hakuna khilafu katika umma
kwamba sifa za dhati za Allah hazibadiliki duniani wala akhera.
5) Aya imemalizikia kwa maneno yasemayo: ز ٤ و ٤ق ح حط Wa Huwa
Al-Latifu Al-Khabiru. Mfumo kama huu ni ule ambao wanavyuoni
wa balagha ya Kiarabu wanauita kuwa ni حػخس حظ٤ mura‟aatu al-
nadhir. Anasema Sheikh Al-Sayyid Ahmad Al-Hashimi:
٢ ػ٠ حخزش ك ، خ ر ـــ٢ حؼ ٠ ر٤ــ٣ لن رحػخس حظ٤ ، ٣ؼ٢ أ ١ك٢ حال
رخ حال ك٢ حؼ ٣وظ ى ـ٣خذ أ ٣ ي خ حل ر ٠، ل ه طؼخ٠: }ل ط ي
} ز ٤ و ٤ق ح حط خ ،…..…........حل ر اىحى حلرخ حط٤ق ٣خذ ػي . كب
زلخ طؼخ٠ ألرخ ٣خذ اىح .حوز٤
Na yanaingizwa katika kanuni hii iitwayo حػخس حظ٤ mura‟aatu
al-nadhir, maneno ambayo yamejengeka katika kuwiyana
kimaana katika ncha mbili za maneno hayo. Yaani mwisho wa
maneno uwe unanasibiana kimaana na mwanzo wake. Kwa mfano
Aya inayosema: “Uoni haumfikii; naye anaufikia; naye ni
mjuzi wa yaliojificha na ni mjuzi wa yaliowazi”. Kwani neno
latif linanasibiana na kuwa Yeye Allah hafikiwi na uoni; na حط٤ق
neno Al-Khabir linanasibiana na kuwa yeye ni mwenye حوز٤
kuufikia uoni.1322
Anasema Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir:
خ طوـــــي أ ىلش ح٣٥ش ح٣ش ػ٠ حظلخء إ٣ظ طؼخ٠ ك٢ حي٤خ ح٥هس ــحوـــــالش
٣ئ٣ي ٤ظخ ػ٠ ي ط٤٣خ رو طؼخ٠ : ) حط٤ق حوز٤( كب .. .…....… ىلش هخ١ــؼش
: )ه : )حوز٤( خظؼ٤ وحطـ٤ق( خظؼــــ٤ و: )ل طي حلرخ( ) : ـــــه
لخص حط طؼخ٠ ل طظزيل أل أريح ٣يى حلرخ( حلظخ حطخ ــــ
Na mukhtasari wa yote yaliotangulia ni kuwa ushahidi wa Aya hio tukufu
juu ya kutoonekana kwa Allah duniani na akhera ni ushahidi wa yakini. Na
chenye kuunga mkono ukweli kwamba hilo ni andiko la wazi ni
1322
- Al-Sayyid Ahmad Al-Hashimi Jawahiru Al-Balagha uk. 384. Na mfano wake ni
katika Rayyu Al-Dham-aan
482 kufungamanishwa kwake na maneno ya Allah yasemayo: )حط٤ق حوز٤ (
wa Huwa Al-Latif Al-Khabir. Kwani neno Al-Latif ni kama ta‟alil (kutoa
sababu ya kutajwa kwa maneno yasemayo): ل طي حلرخ laa tudrikuhu
al-absaru (uoni haumfikii); na neno Al-Khabir ni kama ta‟alil (kutoa
sababu ya kutajwa kwa maneno yasemayo): ٣يى حلرخ wa Huwa
yudriku al-absar (naye anaufikia uoni). Na sifa mbili hizo zilizotajwa ni
katika sifa za dhati za Allah hazibadiliki milele.1323
Maana ya maneno hayo ni kuwa kumalizikia Aya hio kwa neno hilo Al-
Latif kunabainisha zaidi kwamba maana ya Aya hio isemayo: “Uoni
haumfikii”, ni kuwa Allah haonekani milele kwani neno hilo:
1) Ni sifa ya dhati ya Allah, na sifa yake ya dhati haibadiliki.
2) Neno hilo limetumika kama ni illa (sababu) ya kutoonekana kwa
Allah.
Ubainifu wa yote hayo ni kuwa هللا ط٤لخ ك٢ حط ٣وظ٢٠ ػي إ٣ظ kuwa Allah
ni mwenye sifa hio iitwayo Latif kunamaanisha kuwa haonekani kwani hio
ndio sababu iliotajwa hapa ya kutoonekana kwake.1324
Na neno hilo latif
asili yake ni kitu kilichokuwa kimefichika kwa sababu ama ya udogo wake
au undani wake. Kama viwiliwili vya malaika, majini na upepo. Vyote hivi
katika lugha ya Kiarabu unaweza kuviita ajsamun latif au ajsamun latifa.
UPINZANI
Hio ndio dalili moja inayopatikana kutoka katika Qur-an juu ya
kutoonekana kwa Allah. Lakini dalili hio ikapingwa kwa sababu zifuatazo:
KUDIRIKI NA KUONA NI VITU VIWILI TAFAUTI!
Jambo la kwanza na ndilo muhimu lao ambalo wameshikana nalo watetezi
wa itikadi ya kumuona Allah katika kuukanusha kwao ushahidi wa
kutoonekana kwa Allah uliomo katika Aya hio isemayo: “Uoni haumfikii;
naye anaufikia; naye ni mjuzi wa yaliojificha na ni mjuzi wa
yaliowazi”, ni kuwa neno la Kiarabu lililotumika hapo ni neno Idraak
(kudiriki), na kudiriki na kuona ni vitu viwili tafauti; kudiriki ni
kukizunguka kitu katika pande zake zote na hili ni muhali kwa Allah. Ama
kuona si lazima kuwa ukione kitu kwa kukizunguka pande zake zote.
Anasema Ibn Taymiyya:
1323
- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Daamigh uk. 90. 1324
- Hii ni moja ya sababu zilizotokana na sifa zake za dhati. Na sababu nyengine ya
kutoonekana ni utukufu wake kama Hadithi sahihi ilivyotongoa.
483
خ ل٠ حإلىحى ح١ حإلكخ١ش خ هخ أؼ حؼخء ٣ل٢ اي ه: } ل طي حلرخ{
ـى حإ٣ش
Halkadhalika kauli yake Allah aliposema: ل طي حلرخ (Uoni
haumdiriki), kwa hakika alichokikataa Yeye (Allah hapa) ni idrak
ambako maana yake ni kuzunguka kama walivyonena asilimia kubwa ya
wanavyuoni; na wala Yeye (Allah katika Aya hii) hajakataa kuona.1325
Anaendelea:
خ ـــهي ض هي٣خ ص ك٢ رؼ ال٢ أ٢ طيرص ػخش خ ٣لظؾ ر حلخس ح كؿيط
طي ٢ حإ٣ش رو طؼخ٠ } لـــــــػ٠ ه ؤكظـخؿ ػ٠ ل٤ ه أى خ ــــػ٠ و
ش ل حإ٣ش أ ح٣٥ش طي ػ٠ــــكز٤ض أ حإلىحى حإلكخ١ {خــــحلرخ ٣يى حلر
اػزخص حإ٣ش أػظ ىلظخ ػ٠ ل٤خ
Na niliwahi kusema zamani katika baadhi ya maelezo yangu kwamba mimi
nimeyafikiri sana maandiko yote yale ambayo wanayatolea hoja wale
wenye kukataa, basi nikayakuta yanaonesha zaidi kinyume na vile
wanavyosema wao kuliko kuonesha vile wanavyosema wao. Kwa mfano,
kutoa kwao hoja juu ya kutoonekana kwa Allah kwa Aya isemayo: ل طي
basi ,(Uoni haumdiriki naye anaudiriki) حلرخ ٣يى حلرخ
nilibainisha kwamba neno idrak (kudiriki) maana yake ni kuzunguka: si
maana yake kuona. Na kwamba Aya hii inatoa ushahidi wa kuonekana
kwa Allah zaidi kuliko kutoa kwake ushahidi wa kulikataa hilo!1326
Anasema Ibn Al-Qayyim:
حإلكخ١ش رخ٢ء ـــكخ حإلىحى خ١ ر ــ٤غ ٣لـــز ٢ء أ ؼظظ ل ٣يى رلأأ
ػ٠ حإ٣ش هي حثي
….na kwamba Yeye (Allah) ni Mkuu kuliko kila kitu na kwamba Yeye
kwa sababu ya utukufu wake hadirikiwi ambapo ikawezekana
kuzungukwa, kwani neno idrak ni kukizunguka kitu nayo ni maana pana
zaidi kuliko kuona…1327
Anasema Abu Su‟ud:
1325 - Ibn Taymiyya Al-Risala Al-Tdammuriyya uk. 27. Maj‟mu‟a Al-Fatawa j. 3, uk. 26.
1326 - Jamani ntazameni huyu Shehe wa Uislamu anavyofanya vituko! Aya inasema: “jicho
halimfikii au uoni haumfikii”, yeye anasema kuwa Aya hii inathibitisha zaidi juu ya
kuonekana kwa Allah kuliko kuthibitisha kuwa haonekani! Haya Aya ingelisema “Jicho
linamfikia au uoni unamfikia” ingelikuwa na maana gani! Mtu wa batili hata akisoma
vipi lazima atajizonga mwenyewe tu! 1327
- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 215. Na huenda – kwa mujibu wa alivyoanza –
yakawa haya ni maneno ya mwalimu wake, yeye anayanukuu tu.
484
ل ط ل٢٤ راىحى ح٢ء ػزخس ػ ح ا٤ حإلكخ١ش ر ا٤ حلرخ ...أ١ ل ط
Na kukidiriki kitu maana yake ni kukifikia na kukizunguka, na maana (ya
Aya hio) ni kuwa macho hayamfikii wala hayamzunguki…….1328
Anasema Al-Alusi: اىحى ح٢ء ػزخس ػ ح ا٠ ؿخ٣ظ حإلكخ١ش ر
Na kukidiriki kitu maana yake ni kuufikia upeo wake na
kukizunguka…..1329
Anasema Abu Hayyan:
} ٣يى حلرخ { ىلش ػ٠ أ حإلىحى ل ٣حى ر خ ـى حإ٣ش ا خ ـى حإ٣ش
خ١شــحإلك، لخ ل حلرخ كي ػ٠ أ ؼ٠ حإلىحى ري حهظخ ل طيف طؼخ٣٠
ل طل٢٤ رلو٤وظ حلرخ ل٢٤ رلو٤وظخ ٠ــرلو٤وش ح٢ء ك طؼخ
Aya inayosema ٣يى حلرخ (naye anaudiriki uoni), ni dalili kwamba
neno idrak hapa halikukusudiwa kuona tu, kwani lau ilikuwa ni kuona tu
basi ingelikuwa Allah hakujihusisha na sifa hio wala hakujisifu kwani
kama ni kuona tu na siye pia twayaona macho, basi hilo likabainisha
kwamba maana ya idrak (kudiriki) ni kuuzunguka uhakika wa kitu, basi
macho hayawezi kuuzunguka uhakika wa Allah wakati Yeye anauzunguka
uhakika wa macho. 1330
Anasema Al-Baghawi:
{ ــــأخ ه خ حلر ف ــــــ حهـــــإ٣ش ل حإلىحى ـــ٤ حـــػ أ حإلىحى ؿكخ } ل ط ي
ح٢ء حإلكخ١ش ..…ر، حإ٣ش: حؼخ٣ش، هي ط حإ٣ش رال اىحى ٠
Ama kauli yake Allah aliposema: ل طي حلرخ (Uoni haumdiriki), jua
kwamba neno idrak na neno kuona ni vitu viwili tafauti, kwani idrak ni
kukijua kiini cha kitu na kukizunguka. Ama kuona ni kukiona kitu kwa
jicho tu (hata kama hukijui undani wake), na huenda ukaona pasina
kudiriki……1331
Anasema Al-Khazin:
1328
- Abu Al-Su‟ud Irshaadu Al-„Aqli Al-Salim j. 2, uk. 189. 1329
- Al-Alusi Ruhu Al-Ma‟aani j. 7, uk. 245 1330
- Abu Hayyan Al-Bahru Al-Muhit j. 4, uk. 198. Nukulu hii tulioinukuu hapa dhahir ni
maneno ya Abu Hayyaan, lakini inawezakana ikawa Abu Hayyaan anayanukuu kutoka kwa
Al-Imamu Al-Maturidi kwani kayasema baada ya nukulu yake. 1331
- Al-Baghawi Ma‟alimu Al-Tanzil j. 2, uk. 148.
485
خ١ش رــ٣ ؼ٠ : حإلىحى حإلكــــــ} ل طي حلرخ ٣يى حلرخ { هخ ؿ حل
ل طل٢٤ ر خ أ حود طؼك ل طل٢٤ ر٤وظ كخلرخ ط حزخة ؿ ؿال ـح٢ء كو
Aya isemayo: ل طي حلرخ ٣يى حلرخ (Uoni haumdiriki naye
anaufikia), wamesema jumhur ya wafasirina kwamba neno idrak maana
yake ni kukizunguka kiini cha kitu na kukijua uhakika wake, basi macho
yatamuona Allah Mtukufu lakini hayatomzunguka kama vile ambavyo
nyoyo zinamjua lakini hazimzunguki (hazimjui uhakika wake kama
alivyo). 1332
Anasema Al-Fakhru Al-Razi:
غـإ٣ش ـكخلخ أ حإ٣ش ؿ طلظخ ػخ : إ٣ش غ حإلكخ١ش . إ٣ش ل غ حإلكخ١ش . ح
ع ــخ١ش ٢ حخس رخإلىحى كل٢ حإلىحى ٣ل٤ي ل٢ ع حكي ػ٢ حإ٣ش ، ل٢ حــحإلك
. ..…٢ حـ. ك ٣ ل٢ حإلىحى ػ هللا طؼخ٠ ل٢ حإ٣ش ػ هللا طؼخ٠ ــذ لــل ٣ؿ
Basi natija ni kuwa kuona ni jinsi ambayo ndani yake kuna aina mbili: 1)
kuona pamoja na kukizunguka anachokiona, 2) kuona pasina kukizunguka
anachokiona. Kuona pamoja na kukizunguka anachokiona ndiko
kunakoitwa idrak (kudiriki). Kwa hivyo, kukataliwa kwa idrak (kudiriki)
kunamaanisha kukataliwa kwa aina moja tu katika aina mbili za kuona. Na
kukataliwa kwa aina fulani hakuna maana kuwa ndio jinsi nzima
imekataliwa. Na kwa hivyo, kukataliwa kuwa Allah atadirikiwa hakuna
ulazima kwamba kumekataliwa kuonekana kwake…..1333
Hayo ndio maneno ya wanavyuoni hao, nayo ni maneno ambayo hayana
chochote yalichotegemea katika dalili za kielimu isipokuwa ufahamu mbaya
wa Aya ya Qur-ani na kutegemea riwaya dhaifu na ambazo hata
zingelikuwa sahihi zisingelifaa kutoa ushihidi kwani si riwaya za Mtume
(s.a.w.) wala si riwaya za Masahaba (r.a).1334
Ama Aya wanayoitegemea
wao katika ufahamu wao huo wa kutafautisha baina ya neno idrak (kudiriki)
na neno ru-uya (kuona) ni Aya yenye kusema:
ا هىدرمن افهىا ترا دنقاو مال إن ىغ رب س **اهجىغان قاو أصحاب ىس إ
Basi makundi mawili hayo (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana watu
wa Musa wakasema kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa. Akasema:
„sio hivyo, kwa hakika Mola wangu yupamoja nami ataniongoza.1335
1332
- Al-Khazin Lubabu Al-Ta-awil j. 2, uk. 434. 1333
- Al-Fakhru Al-Razi Mafaatihu Al-Ghaib j. 13, uk. 105. 1334
- Ukiitoa moja ilionasibishwa na Ibn Abbaas, nayo ni dhaifu kama utavyoona. 1335
- Sura 26, Aya 61.
486
Ushahidi ambao wanautoa kutoka katika Aya hizi katika kutafautisha kwao
baina ya neno al-ru-uya (kuona) na neno idrak (kudiriki) ni kuwa baada ya
wafuasi wa Musa kusema: “kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa”, Nabii
Musa (a.s.) alilikanusha hilo la kuwa wao watadirikiwa akasema: “(hapana)
sio hivyo, kwa hakika Mola wangu yupamoja nami ataniongoza”,
akimaanisha kwamba hatutodirikiwa bali Mola yupo atatuongoza. Sasa
wakati Nabii Musa (a.s.) anakataa kuwa watadirikiwa, tunakuta mwanzoni
mwa Aya hio hio Allah anasema kuwa makundi mawili hayo yalionana
“Basi makundi mawili (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana”. Kwa hivyo,
hili linamaanisha kuwa kuona na kudiriki ni vitu viwili tafauti, kwani makundi
mawili hayo yalionana lakini kundi la Fir‟awn halikulidiriki kundi la Musa.
Anasema Ibn Al-Qayyim:
خ١ ر كخ حإلىحى حإلكخ١ش رخ٢ءــ٤غ ٣لـــ ٢ء أ ؼظظ ل ٣يى رلــــز أأ
خ هخ طؼخ٠ كخ طحءح حـؼخ هخ ألخد ٠ أخ ي هخػ٠ حإ٣ش ي حثيــــ ه
خ ث٤ كخ ٠ حص هللا اخ ي ا٣٣يح رو ٠ حإ٣ش ق ــــال ك ٣
……ال ػ٤ ل٠ اىح ا٣خ رو ال
….na kwamba Yeye (Allah) ni Mkuu kuliko kila kitu na kwamba Yeye
kwa sababu ya utukufu wake hadirikiwi ambapo ikawezekana
kuzungukwa, kwani neno idrak ni kukizunguka kitu nayo ni maana pana
zaidi kuliko kuona, kama Allah alivyosema: “Basi makundi mawili hayo
(la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana watu wa Musa wakasema kwa
hakika sisi ni wenye kudirikiwa. (Musa) akasema: „sio hivyo…”.
Basi utaona kwamba Musa hakukataa kuona; na wao (wafuasi wa Musa)
waliposema “hakika sisi ni wenye kudirikiwa”, hawajakusudia kusema
“hakika ya sisi ni wenye kuonekana” kwani Musa (a.s.) alikataa kuwa
wao wamewadiriki aliposema: „sio hivyo…”.1336
Anasema Al-Baghawi:
{ ػ أ حإلىحى ؿ٤ حإ٣ش ل حإلىحى حه خ حلر ـــــأخ ه: } ل ط ي ف ػ٠
شـــــــر، حإ٣ش: حؼخ٣ش، هي ط حإ٣ش رال اىحى، هخ هللا طؼخ٠ ك٢ ه ح٢ء حإلكخ١ش
ل طوخف ىخ“خ ـــاخ ي هخ: ال، هألخد ٠ ؼخ هخــــكخ طحء حـ“٠
ؿ٤ اىحى اكخ١شــــل طو٠، كل٠ حإلىحى غ اػزخص حإ٣ش، كخلل ػ ؿ ٣ـ أ ٣
)ل ٣ل٤ط ر ػخ( خ ٣ؼف ك٢ حي٤خ ل ٣لخ١ ر هخ هللا طؼخ٠
Ama kauli yake Allah aliposema: ل طي حلرخ (Uoni haumdiriki), jua
kwamba neno idrak na kuona ni vitu viwili tafauti, kwani idrak ni kukijua
1336
- Ibn Al-Qayyim Hadi Al-Ar-waah uk. 215. Na huenda – kwa mujibu wa alivyoanza –
yakawa haya pia ni maneno ya mwalimu wake, yeye anayanukuu tu, kama tulivyosema
kabla.
487 kiini cha kitu na kukizunguka. Ama kuona ni kukiona kitu kwa jicho tu
(hata kama hukijui undani wake), na huenda ukaona pasina kudiriki, Allah
Mtukufu anasema kuhusu kisa cha Musa (na Fir‟awn): “Basi makundi
mawili hayo (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana watu wa Musa
wakasema kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa. (Musa) akasema: „sio
hivyo…”, na akasema “Usiogope kudirikiwa wala usiogope
(chochote)”. Basi utaona kwamba kakataa idrak (kudirikiwa) pamoja na
kuwa kathibitisha kuona, basi na Allah Mtukufu naye inafaa kuonekana
pasina kudirikiwa na kuzungukwa kama vile ambavyo anajulikana hapa
duniani pasina kuzungukwa (katika kumjua), anasema Allah Mtukufu:
“Basi hawamzunguki kwa kumjua”. 1337
Hio ni dalili moja walioitegemea watetezi wa itikadi ya kumuona Allah
katika kutafautisha kwao baina ya neno al-ru-uya (kuona) na neno idrak
(kudiriki). Halkadhalika watetezi wa itikadi ya kumuona Allah
wametafautisha baina ya maana ya kuona na maana ya kudiriki kwa Aya
inayosema: اهغرل .Mpaka gharka ilipomdiriki (Fir‟awn)) حت إذا أدرم1338
Anasema Al-Imamu Ibn Jarir Al-Tabari:
، “ حـم هخ آض ــــكظ٠ اح أى ”حوخش و ح، رؤ هخح: ا هللا هخ: حػظ هخث
هللا طؼخ٠ حـم رؤ أىى كػ، ل ي أ حـم ؿ٤ ف رؤ آ، هخح: كق
ل رؤ ٣ ٤ج خـــل خ ٣ـ
Na wenye kauli hii wakatoa sababu ya kauli yao kwa kusema: „hakika
Allah kasema (Mpaka gharka ilipomdiriki (Fir‟awn), alisema (sasa)
nimeamini..)‟. Wakasema: „Allah Mtukufu kakuelezea kule kughariki
(kwa Fir‟awn) kwamba kumemdiriki Fir‟awn, na bila shaka kughariki
hakuambiwi kuwa kulimuona (Fir‟awn) wala si miongoni mwa yale
ambayo unaweza kuyaita kuwa ni yenye kuona kitu….1339
Huo ndio ushahidi wao kwa upande wa Aya za Qur-an ambazo watetezi wa
itikadi ya kumuona Allah wamezitegemea katika kutafautisha kwao baina
ya maana ya neno idrak (kudiriki) na maana ya neno ru-uya (kuona). Ama
kwa upande wa riwaya ni riwaya isemayo:
ــ حرــ، ػــ أر٤ـيػ٢ أر٢، ػــكيػ٢ لي ر ؼي هخ، كيػ٢ أر٢ هخ، كيػ٢ ػ٢ هخ، ك
، ٣و: ل ٣ل٢٤ ر أكي رخي .”ل طي حلرخ ٣يى حلرخ“ :ــزخ هــػ
1337
- Al-Baghawi Ma‟alimu Al-Tanzil j. 2, uk. 148. 1338
- Sura 10, Aya 90. 1339
- Imamu Al-Mufassirin, Al-„Allama Al-Rabani Ibn Jarir Al-Tabari Jami‟u Al-Bayan j.
7, uk. 347.
488 Katuhadithia Muhammad bin Sa‟ad kasema kanihadithia baba yangu
kasema kanihadithia ami yangu kutoka kwa baba yake kutoka kwa Ibn
Abbaas (kuhusu) kauli yake (Allah aliposema): „Uoni haumdiriki naye
anaudiriki‟, anasema (kwamba maana ya Aya hio ni kuwa): „hakuna uoni
wa yoyote yule ambao unaweza kumzunguka Mfalme (Allah).1340
Na riwaya ya pili inasema:
ل طي حلرخ ٣يى حلرخ : )كيػخ ر هخ، كيػخ ٣٣ي هخ، كيػخ ؼ٤ي ػ هظخىس ه
. ( أػظ أ طي حلرخ
Katuhadithia Bishr kasema katuhadithia Sa‟iid kutoka kwa Qatada
(kuhusu) kauli yake (Allah aliposema): „Uoni haumdiriki naye anaudiriki‟,
(kasema Qatada) naye (Allah) ni Mtukufu zaidi kutokana na kudirikiwa na
uoni.1341
Na riwaya nyengine yasema:
حل هخ، كيػخ هخي ر ػزي حك هخ، كيػخ أر ػكـش، ػ كيػ٢ ؼي ر ػزي هللا ر ػزي
س ( هخ: ٣ظ ا٠ هللا، ل طل٤ ػط٤ش حؼك٢ خ خظ ر س ا ٠ خ ج ٣ ؿ ٢ـــك٢ ه:
.”ل طي حلرخ”ر ٣ل٢٤ ر، كي ه: ظ،ــــ ػظــأرخ ر
Amenisimulia Sa‟ad bin Abdillah bin Abdil-Hakam, kasema: „katusimulia
Khalid bin Abdil-Rahman, kasema katusimulia Abu „Arfaja kutoka kwa
„Atiya Al-Awfi (kasema) kuhusiana na kauli ya Mwenyezi Mungu
(inayosema): “nyuso siku hio zitangaa***Zikitazama kwa Mola wake”.
Kasema: „watakuwa wanamtazama Mwenyezi Mungu uoni wao hauwezi
kumzunguka kwa ukubwa wake naye uoni wake unawazunguka. Basi hii
ndio maana ya pale Mwenyezi Mungu aliposema: “Uoni haumdiriki
(haumfikii) naye anaudiriki (anufikia).1342
Hizo ndio dalili za wenye itikadi ya kumuona Allah katika kutafautisha
kwao baina ya maana ya neno idrak (kudiriki) na maana ya neno ru-uya
(kuona). Na mukhtasar wa jawabu yao ni kuwa Aya hio inasema: “Macho
hayamdiriki (Allah)”, au “Uoni haumdiriki (Allah)”, ni kuwa kudiriki ni
kukiona kitu au kukifikia kitu na ukakizunguka: si kukiona tu. Natija ni
kuwa Aya haijakataa kuonekana kwa Allah bali imekataa kumzunguka
Allah.
1340 - Al-Tabari Jami‟u Al-Bayaan j. 7, uk. 347.
1341 - K.h.j.
1342 - K.h.j.
489
JAWABU NA MAELEZO
Kwa hali yoyote ile iwayo, kilicho muhimu kwetu ni kuufikia ukweli. Na ili
tuufikie ukweli wa tafsiri ya Aya hio, basi tunahitaji kurejea katika lugha ya
Kiarabu ili tuweze kujua nini maana ya neno idrak (kudiriki), na je ni kweli
neno hilo maana yake ni kuzunguka. Bila kusahau kwamba ushahidi wa
lugha unachukuliwa katika sehemu tatu tu:
1) Kutoka katika Qur-an.
2) Kutoka katika Hadithi sahihi.
3) Kutoka katika maneno ya Waarabu wa awali hasa hasa Masahaba –
maneno yao ya kawaida (prose) na mashairi yao.
Vyenginevyo basi madai ya fulani na fulani hayakubaliwi ila kuwe na
makubaliano ya umma mzima. Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-
Mufassir amelibainisha hilo kwa hoja za wazi. Nakukumbusha maneno yake
tulioyanukuu katika kitabu chetu Hoja Zenye Nguvu. Anasema:
Nayo (madai hayo ) ni kinyume na yanavyoonesha matumizi ya lugha ya
neno idrak (kudiriki) pamoja na chimbuko (derivation) lake. Maneno ya
wataalamu (na) mabingwa wa lugha ya Kiarabu pamoja na ushahidi wa
wazi na thabiti wa neno idrak (kudiriki) yanaonesha kwa uwazi kuwa neno
idrak (kudiriki) halina maana ya kukizunguka (kitu), bali kila moja, katika
maneno mawili hayo, lina maana tafauti na mwenzake. Imeelezwa katika
maandiko ya kamusi (la Kiarabu) na sherehe yake:
حيى... حلخم..هي أى اح لو
Kudiriki (maana yake) ni kufikia …na (husemwa katika lugha ya
Kiarabu) amekidiriki (kumaanisha) wakati (mtu) anapokifikia
(kitu).1343
Na katika (Kamusi) Al-Sihah imeandikwa:
كظ٠ أىظ أىظ رز١ أ٣ظ حإلىحى حلم.. ٣وخ ٤ض كظ٠ أىظ ػض
Kudiriki ni kufikia. Na husemwa (katika lugha ya Kiarabu
kwamba) nimekwenda kwa miguu mpaka nimemdiriki (yaani
nimemfika) na nimeishi mpaka nimemdiriki, na nimemdiriki kwa
macho yangu yaani nimemuona.1344
Na katika (Kamusi) Al-Lisan:
1343
- Taaju „Aruus j. 7 uk. 126. 1344
- Al-Jawhari Al-Sihah j. 4 uk. 1582.
490
).كظ٠ اح حىحح ك٤خ(حإلىحى حلخم .. طيحى حو طالكوح . ك٢ حظ٣
Kudiriki ni kufikia na husemwa: „watu wamedirikiana yaani
wamefikiana‟….na kama ilivyokuja katika Qurani Mwenyezi
Mungu aliposema: “Mpaka watakapodirikiana (humo motoni,
yaani watakapokutana).1345
Hayo ni maelezo ya Sheikh Al-Khalili akiyanukuu makamusi makuu ya
lugha ya Kiarabu yanayotegemewa. Kisha Sheikh Al-Khalili akasema:
Wala hilo neno kufikia pia lisijelikafasiriwa kuwa maana yake ni
kukizunguka kitu. Kwa sababu mtu akisema “nimeufikia ukuta kwa mkono
wangu” maana yake si nyengine bali kaugusa tu, haiwezekani kuwa mkono
wake umeuzunguka ukuta huo…….na wala sijaona kitabu chochote cha
marejeo (reference book) cha lugha ya Kiarabu kilicholifasiri neno idrak
(kudiriki) kuwa maana yake ni kukizunguka kitu. Na inatosha kukuonesha
makosa ya tafsiri hio kwamba Waarabu wenyewe husema: حـيح ل٢٤ رخع
“ukuta umeizunguka konde”, wala hawauiti ukuta huo ulioizunguka konde
kuwa: يى ر mudrikum bih “umeidiriki hio konde”. Na pia wanasema
Waarabu: ىض ك٤خس ؿي١أ “Nimeudiriki uhai wa babu yangu,” na (hali ya
kuwa) mtu hauzunguki uhai wa babu yake tangu mwanzo mpaka mwisho,
bali huikuta sehemu tu ya uhai wa babu yake. Na wanasema Waarabu
kuhusu Masahaba waliozaliwa baada ya Mtume (s.a.w.) kuwa: أىح خ
Wamezidiriki zama za Mtume (s.a.w.)”, na hali ya kuwa“ ح
wamezaliwa baada ya Mtume (s.a.w.) , hawakuikuta ila sehemu tu ya
wakati wake”. Na pia husema Waarabu: ى حأ “mshare umemdiriki”,
yaani umemfika, na wala haina maana kuwa umemzunguka. Na dalili tosha
kabisa ni hio tulioinukuu katika kamusi Al-Sihah akisema kuwa:
كظ٠ أىظ أىظ رز١ أ٣ظ حإلىحى حلم.. ٣وخ ٤ض كظ٠ أىظ ػض
Kudiriki ni kufikia. (Na) husemwa (katika lugha ya Kiarabu
kwamba) „nimekwenda kwa miguu mpaka nimemdiriki (yaani
nimemfika) na nimeishi mpaka nimemdiriki, na nimemdiriki kwa
macho yangu kwa maana nimemuona.1346
Hayo ni maelezo ya Sheikh Al-Mufassirin Al-Imam Badru Al-Din Al-
Khalili. Na tunaweza kuyafupisha maneno hayo na kufupisha ushihidi wake
kama ifuatavyo:
1) Neno idrak (kudiriki) maana yake ya msingi ya ni kufikia.
2) Idrak (kufikia) ya kila kitu ni kwa mujibu wa kilivyo kitu hicho:
a) Idrak (kufikia) ya mkono ni kushika.
1345
- Ibn Mandhur Lisan Al-Arab j. 3 uk. 1363. 1346
- Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir Al-Haq Al-Damigh uk. 70-71.
491
b) Idrak (kufikia) ya sikio ni kusikia.
c) Idrak (kufikia) ya mshare ni kumfika aliyepigwa mshare huo.
d) Idrak (kufikia) ya jicho ni kuona.
3) Madai kwamba neno idrak maana yake ni kukizunguka kitu ni maana ya
kuundwa na watetezi wa itikadi ya kumuona Allah ili kuukimbia
ushahidi wa Aya ya Qur-ani. Maana hio haikupokewa kamwe katika
lugha ya Kiarabu. Ushahidi wa lugha ya Kiarabu unabainisha kwamba
neno idrak (kudiriki) maana yake ni kufikia na kwamba idrak (kudiriki)
ya jicho maana yake ni kuona. Hii ndio maana inayopatikana kutoka
katika Qur-ani, Hadithi na lugha ya Waarabu. Na kwa hivyo, kwa kuwa
Aya inasema: خ حل ر basi ,(Uoni haumdiriki au uoni haumfikii) ل ط ي
hii ina maana kwamba Yeye haonekani, na wala haina maana kuwa
Yeye hazungukwi.
Hizo ndio nukta muhimu zilizomo katika jawabu ya Al-Imamu Badru Al-
Din Al-Khalili Al-Mufassir. Kilichobakia ni kuyahakiki maneno yake hayo
kwa vioo vitatu:
1) Qur-an.
2) Sunna.
3) Lugha ya Waarabu.
NENO IDRAK KATIKA QUR-AN
Ama tukianzia katika upande wa Qur-an, tunaukuta ushahidi wa wazi kabisa
– kama yalivyonena makamusi ya lugha na kama alivyoeleza Al-Imamu Al-
Khalili Al-Mufassir – katika Aya inayosema:
ا جىغا ا حت إذا ادارما ف ت أخت هغ مهىا دخهت أى
Kila kundi litakapoingia humo (motoni) basi litalilani mwenzake,
mpaka watakapodirikiana wote humo kwa pamoja…..1347
Maana ya kudirikiana kwa makundi hayo ni kuwa kila kundi moja litalifika
jengine, wala haijakusudiwa kuwa kila kundi moja litapotupwa motoni
litalizunguka jengine. Kwa hivyo, ushahidi wa Qur-ani unawaunga mkono
wale wenye itikadi ya kutoonekana kwa Allah kwamba neno idrak
(kudiriki) maana yake ni kufikia.
1347
- Sura 7, Aya 38.
492
NENO IDRAK KATIKA HADITHI
Ama tukija katika Hadithi za Mtume (s.a.w.), ambazo zimelitumia neno hilo
idrak pasina kumaanisha kukizunguka kitu bali ni kwa maana ya kuwahi tu
au kufikia tu, ni Hadithi iliopokewa na Al-Imamu Al-Bukhari,1348 Al-Imamu
Muslim, 1349 Al-Bayhaqi,1350 Al-Baghawi,1351 Al-Tabarani,1352 Abu Daud,1353
Al-Hakim,1354
Ibn Hibbaan,1355 Al-Imamu Ahmad,1356 Al-Bazzar,1357 na Ibn
Abi Shaiba1358 Nayo ni Hadithi yenye kuhusiana na fitna za Dajjal. Hadithi
hio inasema:
ى ..... أ ى .ك د ١ ٤ذ خء ػ ح ك ب ح خ ٣ ٤ و غ ك ٠ ح ك ي
Basi atayemdiriki huyo (Dajjal) katika nyinyi basi naajitiye katika
ule ambao anauona yeye kuwa ni moto, kwani hayo ni maji matamu
mazuri.
Na Hadithi isemayo:
ػ٤ ز٤ س حق خ أض ػ أىى حيؿخ ٢٣ ػ٤ أ ٣ هأ
Atayeisoma Suratul Kahfi kama ilivyoteremshwa kisha akamdiriki Al-
Dajjal basi hatopewa nguvu juu yake au hatokuwa na njia (ya
kumfikia).1359
Bila shaka Mtume (s.a.w.) hakukusudia kwa neno idrak (kudiriki) lililomo
katika Hadithi hizi kuwa maana yake ni “Atayemzunguka Al-Dajjal”, bali
kakusudia kuwa atayemuwahi, ikiwa kamuwahi mwanzo mpaka mwisho au
kaiwahi sehemu tu ya kuwepo kwake.
1348
- Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 3450. 1349
- Muslim Al-Sahih uk. 1219-1220, Hadithi na. 2935. 1350
- Al-Bayhaqi Shu‟abu Al-Iman j. 5, uk. 430, Hadithi na. 7160. 1351
- Al-Baghawi Sharhu Al-Sunna j. 8, uk. 334, Hadithi na. 4259. 1352
- Al-Tabarani Al-Kabir j. 17, uk. 231. Hadithi na. 241. Al-Awsat j. 3, uk. 67, Hadithi na.
2503. 1353
- Abu Daud Al-Sunan Hadithi na. 4307. 1354
- Al-Hakim Al-Mustadrak j. 4, uk. 536-37, Hadithi na. 8507. 1355
- Ibn Hibbaan Al-Ihsan j. 8, uk. 293, Hadithi na. 6791. 1356
- Ahmad Al-Musnad j. 7, uk. 723, Hadithi na. 23743. 1357
- Al-Bazzaar Al-Musnad j. 7, uk. 243, Hadithi na. 2820. 1358
- Ibn Abi Shaiba Al-Musannaf j. 8, uk. 655, Hadithi na. 51. 1359
- Al-Nasai Al-Sunanu Al-Kubra j. 9, uk. 348, Hadithi na. 10724.
493
NENO IDRAK KATIKA LUGHA YA KIARABU
Ama tukija katika lugha ya Kiarabu, tunamkuta Al-Sayyida „Aisha (r.a.)
anaikataa itikadi ya kumuona Allah na anatoa ushahidi wa hayo kwa Aya
hio yenye kusema: خ ى حل ر ٣ ي خ حل ر ل ط ي ز ٤ و ٤ق ح حط “Uoni
haumfikii; naye anaufikia; naye ni mjuzi wa yaliojificha na ni mjuzi wa
yaliowazi”, akimaanisha kuwa idrak (kudiriki au kufikia) ya jicho maana
yake ni kuona. Amesimulia Al-Imamu Al-Rabi‟u bin Habib katika Al-
Jami‟u Al-Sahih1360
na Al-Imamu Muslim katika Al-Sahih1361
na Al-Nasai
katika Al-Kubra1362
na Al-Tirmidhi katika Al-Sunan1363
na Abu Nu‟aim
katika Al-Mustakhraj1364
na Abu „Awana katika Al-Musnad,1365
na Al-
Bayhaqi katika Al-Asmaau Wa Al-Sifat, na Ibn Manda katika Al-Imaan,1366
na Al-Imamu Al-Bukhari katika Al-Sahih katika sehemu tafauti vipande
vipade ukivikusanya unaipata Hadithi kamili,1367
na lafdhi ni ya Al-Imamu
Al-Rabi‟u, anasema Masruq katika riwaya hio:
ــــــػ م هخ ض ػي ػخثش ٢ هللا ػخ كوخض ػالع ط رحكيس كوي أػظ
ض ظجخ كـضــــ٣ش ػ أ ليح أ ر كوي أػظ ػ٠ هللا حل٣ش هخ ــػ٠ هللا حل
{ } وي آ رخلكنــش أهــي آ ــ ٣و هللا } وأ١ ل طؼـ٢ ـهض ٣خ أ حئ٤ حظ
ـحز٢ ٠ هللا ػ٤ ػخ أخ أ حلش ؤض ـــــحز٤ { كوخض ػخثش ٢ هللا ػ
ـػ٤خ ال ط٤ أ٣ظ هي ز٢ ال أ ك٢ ط حظ٢ هني كوخ ي ؿز٣ ػ٤ ح
يىـي حلرخ ٣ـحخء كي ؿ خ ر٤ حخء حل أ طغ و طؼخ٠ } ل ط
حلرخ حط٤ق حوز٤ {
Kutoka kwa Masruq kasema: „nilikuwa kwa „Aisha (r.a.) akasema:
„mambo matatu atayelisema moja katika hayo basi huyo kamzulia Allah
uwongo mkubwa: atayedai kuwa Muhammad kamuona Mola wake basi
huyo kamzulia Allah uwongo mkubwa. (Masruq) akasema: „nilikuwa
nimeegemea nikakaa kitako nikamwambia: ewe mama yangu! Ngojea:
usifanye haraka! Kwani Mwenyezi Mungu (subhanahu wa ta‟aala)
hakuesema: وي ح رخلكن حز٤ (Na kwa hakika alimuona katika upeo wa
macho uliosafi)1368
Na kwahakika) وي ح ش أه.… .………..…………
amemuona katika mara nyengine).1369
Akasema Bibi „Aisha mimi ndiye
wa kwanza katika uma huu niliyemuuliza Mtume (s.a.w.) kuhusu jambo
1360
- J. 3, uk. 309, Hadithi na. 824. 1361
- Hadithi na. 287. 1362
- J. 10, uk. 274, Hadithi na. 11468. 1363
- Hadithi na. 3068. 1364
- Hadithi na. 442. 1365
- Hadithi na. 405. 1366
- Hadithi na. 763. 1367
- Nayo inapatikana katika Hadithi na. 3234- 3235. Hadithi na. 4855. Hadithi na. 7380. 1368
- Sura ya 81 Aya ya 23. 1369
- Sura ya 53 Aya 13.
494 hilo, akasema huyo ni Jibril sikumuona katika sura yake aliyomuumba
Mwenyezi Mungu (yaani sura yake ya kimalaika) ila mara mbili.
Nimemuona kashuka katika mbingu na mwili wake umezifunika mbingu
na ardhi. Kwani hujasikia wewe Allah (subhanahu wa ta‟aala)
aliposema: ل طي حلرخ ٣يى حلرخ حط٤ق حوز٤ (Macho
hayamdiriki (hayamfikii) Naye anayadiriki (anayafikia) Naye ni Mjuzi
wa yaliojificha na ni Mjuzi wa yaliyo dhahiri).
Haya ni maneno ya Al-Sayyida „Aisha yamo katika Hadithi sahihi kabisa.
Naye –kama unavyoona – kalifasiri neno idrak (kudiriki) ya jicho kuwa
maana yake ni kuona. Suali la kujiuliza ni kuwa lau neno idrak maana yake
si kuona bali ni kuzunguka, je ingelifaa kwa Al-Sayyida „Aisha kutoa
ushahidi wa Aya hio ili kuthibitisha kuwa Allah haonekani? Na maana hio
walioidai watetezi wa itikadi ya kumuona Allah kwamba neno idrak maana
yake si kuona bali ni kuzunguka, je Al-Sayyida „Aisha alikuwa haijui maana
hio, ilhali yeye ni Mwarabu safi na ni Sahaba mwanachuoni na juu ya yote
hayo kakulia katika nyumba ya wahyi? Ni wazi kwa mujibu wa riwaya hii
kwamba Aya hio inazungumzia kutoonekana kwa Allah: si kumzunguka
Allah, kwani Al-Sayyida „Aisha (r.a.) kaikataa itikadi hio ya kumuona Allah
kisha akatoa ushahidi kwa Aya hio.
Na mara ngapi utaona katika maneno ya watangulizi wema wakisema katika
riwaya zao kuwa fulani kamdiriki fulani ilhali hakukuta ila sehemu –
pengine ndogo tu – ya uhai wake. Al-Imamu Ahmad bin Hanbal, kwa
mfano, anasimulia katika kitabu chake Al-Musnad riwaya ambayo mpokezi
wake anasema:
أ ٣ ض أ ر خ ه ي ي ل خ ت ه خ ى أ ٤ وخ ه ي أ ى خ س
Akasema Muhammad: „na nilimuona Abu Murra na alikuwa Sheikh
ambaye kamdiriki (kamuwahi) Ummu Haani. 1370
Na mfano wake ni riwaya:
س ر ٠ ٤ ن طخد ا ٠ و ح ر ػ خ أ ح ى ٤ش -أ خ ـ ى ح ه ي أ ى
„Umar bin Al-Khattaab (r.a.) alimtuma mtu kwenda kwa mzee wa kabila la
Banii Zuhra katika watu wa mji wetu ambaye alikuwa kazidiriki zama za
ujahiliyya.1371
1370
- Ahmad Al-Musnad j. 8, uk. 689, Hadithi na. 27435. 1371
- Al-Humaidi Al-Musnad j. 1, uk. 15, Hadithi na. 24.
495
Utaona katika riwaya ya kwanza kwamba mpokezi anasema kuwa Abu
Murra kamdiriki Ummu Haani. Na hii haina maana kwamba Abu Murra
kauzunguka uhai wote wa Ummu Haani, bali alimuwahi katika sehemu tu
ya maisha yake, kwani Ummu Hani ni Sahaba kasilimu siku ya ufunguzi wa
Makka,1372
wakati Abu Murra (Yazid Al-Hashimi) ni mfuasi wa Masahaba
wa Madina kaja baadae.1373
Na katika riwaya ya pili anasema msimulizi
kuwa mzee huyo aliudiriki wakati wa ujahiliyya, ilhali wakati wa ujahiliyya
ni mrefu mno hakuna mtu yoyote yule aliyeishi akaweza kuuzunguka wote,
bali kila aliyeishi katika zama hizo basi aliwahi sehemu tu ya zama hizo.
Na mfano wa hayo, ni riwaya inayosimulia kisa cha Al-Imamu Ali (k.w.) na
Sayyidna Abu Bakr Al-Siddiq (r.a.). riwaya hio yatongoa hivi:
أرخ ٠ أىىــهللا ػ ػ٠ خهش هللا ٠ هللا ػ٤ كظكوؽ ػ٢ ر أر٢ ١خذ ٢
.…ر رخط٣ن
Basi (Al-Imamu) Ali bin Abi Talib (k.w.) akatoka akapanda ngamia wa
Mtume (s.a.w.) mpaka akamdiriki Abu Bakr (r.a.) njiani. 1374
Na hii haina maana kwamba Al-Imamu Ali alimzunguka Sayyidna Abu
Bakr (r.a.), bali maana ni kuwa: “mpaka alipomfikia Abu Bakr”.
Na haya yako kwa wingi mno hatuwezi kuyamaliza. Anasema mshairi wa
Kiarabu:
خ ... ى ظ حء أى و س ح ح ح و زخثا ح د ر ٤ ل ح ذ حإل ك
Mwana wa farasi mwekundu mgongo wake utapodiriki**Basi Allah
naawashe vita baina ya makabila.1375
Maana ya “mgongo wake utapodiriki” ni “akifikia wakati wa kupandwa”.
Lau neno idrak (kudiriki) lilikuwa na maana ya kuzunguka, basi maana
ingelikuwa “mgongo wake ukizunguka”, na hapo ubeti usingelikuwa na
maana yoyote.
1372
- Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 12, uk. 507-508, tarjama na 2994. 1373
- - Ibn Hajar Tahdhibu Al-Tahdhib j. 11, uk. 328, tarjama na. 625. Ninasema: hata
wakiwa na umri sawa, basi inakuwa hakuuzunguka umri wake wote kwani hata wakipata
fahamu ya kuweza kudiriki mambo inakuwa sehemu ya umri wao imeshapita -
hawakuidiriki. Tena kwa mara ya pili: hata akiwa Abu Murra ni mkubwa zaidi basi pia
hakuweza kuuzunguka uhai wote wa Ummu Hani, kwani Abu Murra yeye ni mtu wa
Madina wakati Ummu Hani ni mtu wa Makka. 1374
- Al-Bayhaqi Dalailu Al-Nubuwa j. 5, uk. 377, Hadithi na. 2040. 1375
- Diwaanu Al-Hamasa uk. 249.
496
Anaendelea mshairi:
أر ؾ حي ر ؼ ي خث ذ ص ك ٢ ... ه ؼ ي ٤ ظ ؿ٢ ى ر أى ١ ز ض ك
Nimeomba kwa uso wangu sikudiriki na bora***lau nilikaa kitako;
sikufikia kukirimiwa baada ya Saaib.1376
Ni wazi kwa mujibu wa dalili hizi kwamba neno idrak (kudiriki) katika
lugha ya Kiarabu maana yake ni kufikia tu: pasina kumaanisha kuzunguka.
UPINZANI WA AL-IMAMU AL-RAZI JUU YA RIWAYA YA „AISHA
NA JAWABU YA AL-IMAMU AL-KHALILI AL-MUFASSIR
Lakini tukirudi katika riwaya ya Al-Sayyida „Aisha, tunamkuta Al-Imamu
Al-Fakhru Al-Razi anatoa hoja dhidi yake kwa kusema:
ىحص ــــش لكــأخ ه ا ػخثش ٢ هللا ػخ طض ر ح٣٥ش ك٢ ل٢ حإ٣ش كو : ؼ
طظذ ػخء حـش ، كؤخ ٤ل٤ش حلظيل رخي٤ كال ٣ؿغ ك٤ ا٠ حظو٤ي ـش اخــح
Ama kauli yao (wale wasioamini kuonekana kwa Allah) kwamba „Aisha
(r.a.) alishikana na Aya hii (Macho hayamdiriki), katika kukataa
kuonekana kwa Allah; sisi tunasema kwamba maarifa ya misamiyati ya
lugha yanapatikana kutoka kwa wanavyuoni wa lugha, ama namna ya
kutoa ushahidi kutoka katika dalili, basi hilo marejeo yake si kuiga…1377
Lakini Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili akamjibu kwa jawabu ya wazi.
Anasema Sh. Al-Khalili:
٢ لخش كخش ىىس ػالػش أؿ:
ػيخ خح ل ٣ؼظي ال ػ٠ ٤وظ حؼر٤ش ك٢ طوــ كــ –أخ: أ حؼد حلهلخف
أه كـش ؿخء رؼي ػخء حؼر٤ش ح٣ ىح لىحطخ كح –وخي حال
ؼخ٤خ، كب ئلء خح ٣ظي ا٠ أإجي ك٢ ك وخيخ، ٣ أإجي ٣ؿؼـــــ ا٠
ئلء ك٢ ي.
ػخ٤خ: أ خ و أثش حؼر٤ش ػ حؼد ؼخ٢ حإلىحى ظلن حلطلخم غ خ ـزــض ا٤
ػخثش ٢ هللا طؼخ٠ ػخ ك٢ ح حلظيل.
حلظخى رخظيلخ ح ٤ حظو٤ي ك٢ ٢ء اخ ـــــ ــ رخد حلهـــــ ػخؼخ: أ
رخث حل ؼخ٢ حـ٣ش.
1376
- Diwaanu Al-Hamasa uk. 335. 1377
- Al-Razi Mafaatiihu Al-Ghaib j. 13, uk. 106.
497
Nalo (jaribio hilo la Al-Fakhru Al-Razi) ni jaribio lenye kufeli lenye
kukataliwa kwa njia tatu:
Mosi: ni kuwa Waarabu Safi – kwa sababu wao walikuwa wakitegemea
ufasaha wao wa kimaumbile wa lugha ya Kiarabu katika matamshi yao na
kuyafahamu kwao makusudio ya maneno – basi wao ndio hoja ya nguvu
zaidi kuliko wale waliokuja baadae miongoni mwa wanavyuoni wa lugha
ya Kiarabu ambao wameandika misamiyati yake, kwani hawa
(wanavyuoni wa lugha ya Kiarabu waliokuja baadae) walikuwa
wanawategemea wale (Waarabu safi) katika kuifahamu maana yake
(maana ya maneno ya lugha), wala hawakuwa wale (Waarabu safi)
wakiwategemea hawa (wanavyuoni wa lugha ya Kiarabu waliokuja
baadae) katika hilo.1378
Pili: ni kuwa hao maimamu wa lugha ya Kiarabu (waliokuja baadae) basi
walichokinukuu wao kutoka kwa Waarabu kuhusiana na maana ya neno
idrak (kudiriki) kunaafikiana kikamilifu na yale alioyasema „Aisha (r.a.)
katika kutoa ushahidi huu.
Tatu: ni kuwa kutoa ushahidi kwa kutegemea dalili alioitoa „Aisha si
katika mlango wa kuiga, bali ni katika mlango wa kuchukua njia za
kuifahamu maana ya lugha.1379
Kwa ujumla ni kuwa hayo ni yale yaliomo katika lugha ya Waarabu.1380
Kwa hivyo, ushahidi wa kilugha unaopatikana katika Qur-an, Hadithi za
Mtume (s.a.w.) na lugha ya Waarabu wa awali unaeleza kwamba neno idrak
(kudiriki) maana yake ni kufikia na kwamba kudiriki kwa kila kitu ni kwa
mujibu wa kilivyo kitu hicho. Huo ndio ushahidi wa wenye itikadi ya
kutoonekana kwa Allah kuhusu maana ya neno idrak (kudiriki) lililotumika
katika Aya hio ambayo tunaielezea. Sasa kama ni hivyo, suali ni kuwa je
zile Aya walizozitolea ushahidi watetezi wa itikadi ya kumuona Allah –
katika kutafautisha kwao baina ya maana ya neno kudiriki na neno kuona –
zina maana gani? Na je zile riwaya walizotolea ushahidi katika suala hilo
nazo zina ukweli gani? Soma yafuatayo.
1378
- Badru Al-Din Al-Khalili Al-Haqqu Al-Damigh uk. 79. 1379
- Kwani lugha inachukuliwa katika Qur-ani, Sunna na maneno ya Waarabu wa awali.
Tazama Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Mufassir Al-Haqqu Al-Damigh uk. 73. 1380
- Tumeyaweka maneno ya Al-Sayyida „Aisha katika sehemu ya ushahidi wa kilugha,
japokuwa katumia Aya ya Qur-ani lakini maelezo ni yake, na kwa hivyo riwaya yake
tumeihesabu kuwa ni miongoni mwa maneno ya Waarabu kuhusu maana ya neno idrak
(kudiriki).
498
KUZIJADILI DALILI ZA WALIOSEMA
KUWA KUDIRIKI MAANA YAKE
NI KUKIZUNGUKA KITU
Baada ya hayo, sasa naturudi nyuma kidogo ili kuzijadili dalili za
waliosema kuwa idrak (kudiriki) maana yake ni kukizunguka kitu; na ru-
uya (kuona) ni kukiona tu hata kama hukukizunguka chote. Utakumbuka
kwamba watu hawa walitoa ushahidi wa fikra yao hio kwa Aya na Hadithi.
Aya ni kama:
ا هىدرمن افهىا ترا دن **اهجىغان قاو أصحاب ىس إ قاو مال إن ىغ رب س
Basi makundi mawili hayo (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana, watu
wa Musa wakasema kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa. Akasema:
„sio hivyo, kwa hakika Mola wangu yupamoja nami ataniongoza.1381
Na Aya:
ل طوخف ىخ ل طو٠
Usiogope kudirikiwa wala usiogope (chochote).1382
Na Aya:
اهغرل حت إذا أدرم
Mpaka gharka ilipomdiriki (Fir‟awn).1383
Maelezo yao kuhusiana na Aya ya kwanza katika kutafautisha kwao baina
ya al-ru-uya (kuona) na idrak (kudiriki) ni kuwa baada ya wafuasi wa Musa
kusema: “kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa”, Nabii Musa (a.s.)
alilikanusha hilo la kuwa wao watadirikiwa akasema: “(hapana) sio hivyo,
kwa hakika Mola wangu yupamoja nami ataniongoza”, akimaanisha
kwamba hatutodirikiwa bali Mola yupo atatuongoza. Sasa wakati Nabii
Musa (a.s.) anakataa kuwa watadirikiwa, tunakuta mwanzoni mwa Aya hio
hio Allah anasema kuwa makundi mawili hayo yalionana “Basi makundi
mawili (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana”. Kwa hivyo, hili
linamaanisha kuwa kuona na kudiriki ni vitu viwili tafauti.
1381
- Sura 26, Aya 61. 1382
- Sura 20, Aya 77. 1383
- Sura 10, Aya 90.
499
Na kuhusu Aya ya pili maelezo yao ni sawa sawa na maelezo ya Aya ya
kwanza. Ama kuhusu Aya ya tatu wamesema kuwa Allah kasema kuwa
gharka ilimdiriki Fir‟awn ilhali gharka haioni. Kwa hivyo, ni wazi kwamba
idrak (kudiriki) na ru-uya (kuona) ni vitu viwili tafauti.
Hayo ndio maelezo yao kuhusu Aya hizo, nayo ni maelezo ya ajabu kutoka
kwa watu wanavyuoni! Nami sioni tatizo lao katika kusema hivyo
isipokuwa kitendo chao cha al-taqlid al-a‟ama (kufuata kama kipofu) ilhali
macho wanayo! Wala usistaajabu ndugu msomaji kwamba hayo
yamesemwa na wanavyuoni wakubwa; wanavyuoni wakubwa wamekuwa
na kawaida ya kuigana na kukatokea kwa sababu hio makosa mengi ya
tafsiri na mengineo.1384
Sasa tukirudi katika maelezo yao hayo, tunaona kuwa hayo ni maelezo batili
bila shaka kwani Aya hizi zimelitumia neno idrak (kudiriki) pasina
kulitegemeza na kitu chochote. Na sisi tafauti yetu ni اىحى حلرخ idrakul
absaar (kudiriki kwa macho au kudiriki kwa uoni). Tumesema kwamba
kilichomo katika Qur-an, Hadithi na lugha ya Waarabu na makamusi ya
lugha ni kuwa neno idrak (kudiriki) maana yake ni kufikia. Na kwa hivyo,
kudiriki (kufikia) kwa kila kitu ni kwa mujibu wa vile kitu hicho kilivyo.
Kudiriki (kufikia) kwa sikio ni kusikia; kudiriki (kufikia) kwa jicho ni kuona
n.k. Na hili ni tafauti kabisa na Aya hizo, ambapo ndani yake kumetajwa
neno idrak (kudiriki) tu: pasina kusemwa kudiriki kwa jicho au kiungo
chengine chochote kile. Na kwa hivyo Aya ya kwanza, kwa mfano,
inasema:
ا هىدرمن اهجىغان قاو أصحاب ىس إ دن **فهىا ترا قاو مال إن ىغ رب س
Basi makundi mawili hayo (la Musa na la Fir‟awn) yalipoonana, watu
wa Musa wakasema kwa hakika sisi ni wenye kudirikiwa. (Musa)
akasema: „sio hivyo, kwa hakika Mola wangu yupamoja nami
ataniongoza.1385
Aya hii ingelifaa kuwa ushahidi wa watetzi wa itikadi ya kumuona Allah lau
Aya ilisema: “hakika sisi ni wenye kudirikiwa kwa macho” kisha Nabii
Musa (a.s.) akakanusha akasema: „sio hivyo, kwa hakika Mola wangu
yupamoja nami ataniongoza”. Hapa tungeliweza kusema: “tazama! Nabii
Musa kakataa kuwa watadirikiwa kwa macho ilahali mwanzoni mwa Aya
1384
- Kwa hali yoyote ile, kauli ya wanavyuoni haiwi hoja ila wakubaliane. Vyenginevyo
mwenye dalili sahihi ndiye anayefuatwa. 1385
- Sura 26, Aya 61.