34
Home About Contact Tuesday, September 16, 2014 WAZUNGU WACHANJA MBUGA PEKUPEKU POSTA JIJINI DAR KARIBUNI SANA Karibuni sana wasomaji wa blog hii wote kutoka pande zote za dunia muweze kupata HABARI NA MATUKIO. Poleni sana na mihangaiko ya kutafuta riziki. Ni Matumaini yangu bado mnakaza buti kuyakabili haya Maisha kwani hauna budi kufanya hivyo, usipojikaza Kiume Maisha yataendelea kuwa magumu HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/ 1 of 34 9/16/2014 2:27 PM

HABARI NA MATUKIO.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

  • Home About Contact

    Tuesday, September 16, 2014

    WAZUNGU WACHANJA MBUGA PEKUPEKU POSTA JIJINI DAR

    KARIBUNI SANA

    Karibuni sana wasomaji wa

    blog hii wote kutoka pande

    zote za dunia muweze kupata

    HABARI NA MATUKIO. Poleni

    sana na mihangaiko ya

    kutafuta riziki. Ni Matumaini

    yangu bado mnakaza buti

    kuyakabili haya Maisha kwani

    hauna budi kufanya hivyo,

    usipojikaza Kiume Maisha

    yataendelea kuwa magumu

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    1 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Licha ya kuwepo kwa madimbwi ya maji yaliyochanganyikana na maji taka kutokana na mvua

    zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam , raia hao wa kigeni ambao hawakufahamika

    wanatoka taifa gani walinaswa na kamera ya mtandao wa habari za jamii.com wakipita maeneo

    ya posta mpya jirani na jengo la IPS wakiwa pekupeku jambo ambalo ni hatari kwa afya zao.

    Hata hivyo haikuweza kufahamika mara moja walikokuwa wakienda.

    Kwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na baadhi ya madhehebu kutoka nje ya nchi ambayo

    waumini wake hawavai viatu kutokana na imani zao.

    (Picha na mtandao wa habari za jamii).

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    Milele. Wapenzi wasomaji

    wangu kama unatukio lolote

    naomba nitumie kwenye

    e-mail hii;

    [email protected]. Blog

    yetu inapatokana katika simu

    yako ya mkononi. Usikubali

    kupitwa ni wakati wa

    Digitali...

    CATHBERT KAJUNA

    Please Like us

    Tutafute Kwenye Facebook

    Kajunason BLOG- CathbertAngelo.

    Watu 3,373 wamependezwa naKajunason BLOG - Cathbert Angelo.

    Programu-jalizi la jamii la Facebook

    PoaPoa

    On Twitter

    ETISALAT'S MOBILE BABY

    kajunason.blogspot.com/2014/09/etisal

    Cathbert Angelo

    @KAJUNASONBLOG

    ETISALAT'S MOBILE BABY

    fb.me/3n5bXFNzi

    Cathbert Angelo

    @KAJUNASONBLOG

    NAUKALA NDIMA WALIPANIA

    TAMASHA LA HANDENI

    KWETU

    kajunason.blogspot.com/2014/09/naukal

    Cathbert Angelo

    @KAJUNASONBLOG

    59m

    59m

    3h

    Tweets Follow

    Tweet to@KAJUNASONBLOG

    KUMBUKUMBU

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    2 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • ETISALAT'S MOBILE BABY

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    NAUKALA NDIMA WALIPANIA TAMASHA LA HANDENI KWETU

    Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

    KUNDI la ngoma za asili lenye kupendwa na

    wengi jijini Dar es Salaam linalojulikana

    kama Naukala Ndima, limejipigia debe

    likisema lina hamu kubwa ya kufanya kazi

    ya maana katika tamasha la Handeni Kwetu,

    litakalofanyika Desemba 13, mwaka huu

    wilayani Handeni, mkoani Tanga.

    Pichani ni Mkurugenzi wa kundi hilo, Fadhili

    Lugendo maarufu kama Koka Star

    anayecheza tumbo wazi akiwajibika.

    Tamasha hilo linalosubiriwa kwa hamu na

    mashabiki wa matukio makubwa ya sanaa na

    burudani linafanyika kwa msimu wa pili,

    baada ya kuzinduliwa rasmi mwaka jana

    Desemba 14 na kuhudhuriwa na wengi.

    Akizungumza jana jijini Dar es Salaam,

    Mkurugenzi wa kundi hilo, ambaye ni

    miongoni mwa wasanii wa ngoma za asili,

    Fadhili Lugendo, maarufu kama Koka Star,

    alisema kuwa wamelipania tamasha hilo kwasababu wanafahamu linavyopendwa na wengi

    mkoani Tanga na Tanzania kwa ujumla kutokana na kuandaliwa vizuri.

    Alisema kuwa tamasha la mwaka jana lilikuwa zuri na kuwapatia mafanikio makubwa kutokana

    na mikataba mingi waliyoipata, ukiwapo ule unaohusisha wao na televisheni ya CTN iliyowapa

    haki ya kurusha vipindi vya utamaduni wa Tanzania.

    Baada ya kusikia waandaaji wa tamasha hilo wamejipanga tena kufanya tukio hilo mwezi

    Desemba mwaka huu, tunapata shauku ya kuomba na sisi tuwe miongoni mwa makundi kutoka

    nje ya mkoa wa Tanga tutakaoshiriki.

    Nikiwa kama msanii wa ngoma za asili natambua matamasha makubwa kama haya ndio

    yanayoweza kutangaza sanaa yetu pamoja na kukuza utamaduni wa Mtanzania, hivyo endapo

    tutapewa mwaliko wa kuelekea Handeni, hakika tutafanya kazi ambayo haitasahaulika,

    alisema.

    Naukalanda Ndima ni miongoni mwa makundi kutoka nje ya Handeni, mkoani Tanga yaliyopata

    CNN

    HABARI MOTOMOTO

    FAHAMU

    VYAKULA

    VINAVYOONGEZA NGUVU ZA

    KIUME

    Ukweli ni kwamba ndoa nyingi

    za Kikristo zinavunjika

    kutokana na tatizo hili. Je,

    hakuna haja ya kuitisha

    mjadala wa kitaifa? Taifa letu...

    DIAMOND APIGA

    SHOW KALI,

    HUKU WEMA

    SEPETU AKITIA

    AIBU UKUMBINI

    Msanii wa

    Muziki wa kizazi kipya Ommy

    Dimpozzz akifanyiwa

    mahojiano mara baada ya

    kuwasili kwenye tamasha la

    Diamond Are Forever lililof...

    KUMRADHI KWA

    PICHA KALI:

    MACHANGUDOA

    WANAOFANYA

    BIASHARA YAO

    SINZA

    WAKAMATWA

    Mgambo wa Jiji la Dar es

    Salaam wakitekereza

    majukumu yao ya kuwakamata

    watu wanaokiuka misingi na

    maadili ya Mtanzania. Mgambo

    wa jiji l...

    MATUKIO YA

    KUUNGUA KWA

    MOTO MSIKTI

    WA MTAMBANI,

    KINONDONI

    JIJINI DAR LEO

    MSIKITI wa Mtambani uliopo

    Kinodnoni B, Jijini Dar es

    Salaam leo umeungua kwa

    moto ikiwa ni mara ya pili

    tokea ilipoungua Agosti 14,

    2014...

    AJALI YAUA ASKARI

    MAGEREZA MKOA WA

    SINGIDA, WENGINE WATATU

    WAFA KWENYE MATUKIO

    TOFAUTI

    Askari Magereza Ramadhan

    Mussa (54) enzi za uhai wake.

    Na Hillary Shoo, SINGIDA.

    WATU wanne wamefariki dunia

    Mkoani Singida kati...

    ASKARI CPL

    RIZIKI

    ALIYEGONGWA

    NA DALADALA

    ANAENDELEA

    VIZURI

    Hali ya Askari wa usalama

    barabarani, aliyejulikana kwa

    jina la Riziki, WP 2806 Cpl

    Riziki, aliyegongwa na daladala

    aina ya DCM wakati aki...

    YANGA YAIBUKA KIDEDEA

    TAIFA, YAIKANDAMIZA 3-0

    AZAM FC NA KUTWAA NGAO

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    3 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • fursa ya kuonyesha sanaa yao mwaka jana kwenye tamasha hilo linaloandaliwa chini ya Mratibu

    wake Mkuu Kambi Mbwana.

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    CHAZ BABA NUSURA AMUUE MKEWE KWA MAKONDE

    Stori: Shakoor Jongo

    PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel Mbwana Chaz Baba anadaiwa

    nusura amtoe roho mkewe wa ndoa, Rehema Sospeter Marwa baada ya kumpiga na kitu

    kizito kichwani mpaka kushonwa nyuzi ishirini.

    Mke wa ndoa wa 'Chaz Baba', Rehema Sospeter Marwa akiwa na majereha kichani.

    MANENO YA CHANZO

    Kwa mujibu wa chanzo chetu makini ambacho kipo karibu na wanafamilia hao (jina

    limehifadhiwa), usiku wa Alhamisi iliyopita, kikiwa maeneo

    Stori: Shakoor Jongo

    PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel Mbwana Chaz Baba anadaiwa

    nusura amtoe roho mkewe wa ndoa, Rehema Sospeter Marwa baada ya kumpiga na kitu

    kizito kichwani mpaka kushonwa nyuzi ishirini.

    MTAA KWA MTAA BLOG

    MAKAMU WA

    RAIS DKT.

    BILAL

    AFUNGUA

    MKUTANO

    WA TATU WA

    AFRIKA KUHUSU MASUALA

    YA USIMAMIZI WA KODI

    2 minutes ago

    MICHUZI

    MAKAMU WA

    RAIS DKT.

    BILAL

    AFUNGUA

    MKUTANO

    WA TATU WA

    AFRIKA KUHUSU MASUALA

    YA USIMAMIZI WA KODI

    6 minutes ago

    JIACHIE

    Benki ya

    Exim yaingia

    ubia

    kuongeza

    ufanisi katika

    udhibiti wa

    majanga

    36 minutes ago

    YA JAMII

    Mshambuliaji wa

    Yanga Mrisho

    Ngasa, kushoto

    akimtoka beki

    wa Azam FC,

    Erasto Nyoni katika mchezo wa

    Ngao ya Hisani uliofanyika leo

    kwe...

    UZINDUZI WA

    VIDEO YA 'KIPI

    SIJAKISIKIA'

    NA 'TATU

    CHAFU' ZA

    PROFESSA J

    WAPOKELEWA KWA

    SHANGWE, DAR

    Nguli wa Muziki wa Kizazi

    kipya, Joseph Haule a.k.a

    Professa J jana aliweza

    kufanya vyema katika uzinduzi

    wa video zake mbili, 'Kipi ...

    MBUNIFU WA

    MAVAZI WA

    KIMATAIFA

    SHERIA NGOWI

    AKUTANA NA

    RAIS JAKAYA

    KIKWETE IKULU JIJINI DAR

    ES SALAAM

    Mbunifu wa mavazi wa

    kimataifa Sheria Ngowi (kulia)

    akibadilishana mawazo na Rais

    Jakaya Kikwete IKULU Leo

    Jijini Dar es Salaam alipomte...

    HOYA YA MDAU:

    KWA TREND HII

    YA BOT; UCHUMI

    WA TANZANIA

    ULALE MAHALI

    PEMA PEPONI

    Siungi mkono hoja ya Benki

    kuu (BOT) kufuta noti ya

    Sh.500/= na kuifanya sarafu.

    Huu ni wendawazimu mkubwa

    katika sekta ya uchumi "...

    JIUNGE NA KAJUNASON

    BLOG

    BLOGS

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    4 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Mke wa ndoa wa 'Chaz Baba', Rehema Sospeter Marwa akiwa na majereha kichani.

    MANENO YA CHANZO

    Kwa mujibu wa chanzo chetu makini ambacho kipo karibu na wanafamilia hao (jina

    limehifadhiwa), usiku wa Alhamisi iliyopita, kikiwa maeneo ya Kinondoni jijini Dar

    kilishuhudia ugomvi huo baada ya kwenda kuangalia nani anamshushia kipondo

    mwenzake.

    Chanzo kilisema baada ya kufika, ndipo kiligundua kuwa, mwanamuziki huyo ndiye

    aliyekuwa akimpa kipondo mke wake.

    Dah! Kiukweli kile si kipigo cha kumpiga mke, hasira bwana ni kitu cha ajabu sana. Chaz

    anatakiwa kujiangalia sana, kilidai chanzo hicho.

    MKE AFUNGUKA EI TU ZEDI

    Baada ya taarifa hiyo, juzi Ijumaa Wikienda lilimtafuta mwanamke huyo ili aeleze nini

    kilitokea hadi mumewe kutaka kumkatishia maisha.Nakumbuka siku ya tukio nilikuwa

    supermarket maeneo ya Mwananyamala A (jijini Dar) nikinunua unga wa ulezi wa mtoto,

    ghafla Chaz alitokea, akaniamuru niingie kwenye gari alilokuwemo, tukaondoka kuelekea

    nyumbani.

    M.P

    From London

    Fashion Week

    SS 2015

    2 hours ago

    NEWS, RELATIONSHIP,

    HEALTH AND FASHION

    REVEALING:

    LADY GAGA

    LEFT LITTLE

    TO

    IMAGINATION IN A

    SEE-THROUGH TUNIC

    DRESS AS SHE WENT OUT

    IN ISTANBUL, TURKEY ON

    MONDAY

    2 hours ago

    MAISHA NA MAFANIKIO

    NIMEKUMBUKA SANA

    KWETU LUNDO/NYASA

    2 hours ago

    Mdimu's Blog

    JENGO LA

    GHOROFA

    MOJA

    LINAPANGISHWA MKOANI

    DODOMA

    2 hours ago

    Rural and Urban

    BABA MWEMA

    NI YULE

    ANAYEIJALI

    FAMILIA KWA

    VITENDO

    3 hours ago

    WAZALENDO 25 BLOG

    JITHAMINI,

    JIAMINI

    ,JIONGEZE

    :WAKAZI WA

    TABORA

    WAKIRI

    WAZI KUWA MASOKO NDIO

    CHANGAMOTO YAO KUBWA

    KATIKA SHUGHULI ZAO ZA

    UJASILIAMALI

    3 hours ago

    LUKAZA

    MWATHIRIKA

    WA MABOMU

    MBAGALA

    ALIPWA

    HUNDI YA

    SHILINGI

    1950 TU.

    3 hours ago

    WELCOME TO MY

    WORLD OF BEAUTY,

    STYLE, FASHION &

    CURRENT AFFAIRS

    WAREMBO

    MISS

    TANZANIA

    WAJIFUA

    GYM

    KUIWEKA

    MIILI YAO SAFI

    3 hours ago

    g sengo

    WAKAZI WA

    TABORA

    WAKIRI

    WAZI KUWA

    MASOKO

    NDIO

    CHANGAMOTO YAO KUBWA

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    5 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Rehema Sospeter Marwa akionesha majeraha aliyoyapata mkononi.

    Tulipofika maeneo ya Kinondoni, pale Meridian ndipo niliposhtukia naanza kupigwa.

    Nakumbuka nilipigwa hadi nikaishiwa nguvu mpaka akatokea rafiki wa Chaz, Hassan

    Kisanora na kuniokoa, nikakimbilia nyumbani, alisema mwanamke huyo.

    CHAZ ATOWEKA, ARUDI NA SAMAKI MKUBWA

    Akiendelea kuzungumza, mke huyo alisema: Siku hiyo Chaz aliondoka na hakurudi

    nyumbani mpaka alfajiri. Aliporudi aliniambia amekuja na samaki mkubwa, yuko kwenye

    friji huku akisahau kuwa amenikosea na anatakiwa kuniomba msamaha.

    Sikumjibu, ndipo alipochukua kitu kizito na kunipiga nacho kichwani, baada ya hapo

    damu nyingi zikaanza kunitoka hadi puani, niliishiwa nguvu na kupoteza fahamu.

    Nilipokuja kuzinduka nilikuwa hospitali kwa Dk. Mvungi, Kinondoni. Licha ya kwamba

    nampenda sana lakini alitaka kuniua, hata sijui kisa.

    Majeraha aliyoyapata baada ya kipigo kutoka kwa mume wake.

    KATIKA SHUGHULI ZAO ZA

    UJASILIAMALI

    4 hours ago

    Bukoba

    CHECK OUT

    YALIYOJIRI

    HARUSI YA

    RUGA BARUTI

    & IRENE

    KAYUGA

    13 hours ago

    BongoCelebrity

    WATCH: Professor Jays

    Official Videos For Kipi

    Sijasikia And Tatu Chafu

    15 hours ago

    Burudan Mwanzo -

    Mwisho

    DVD MPYA

    KUTOKA

    SUPER D

    BOXING

    COACH AND

    PROMOTION

    MAYEATHER VS MAIDANA 2

    16 hours ago

    HANDENI KWETU

    Naibu Waziri wa Nishati na

    Madini akizungumza

    18 hours ago

    SUFIANIMAFOTO

    *ASKARI WA

    USALAMA

    BARABARANI

    AGONGWA

    NA DCM

    MBAGALA

    19 hours ago

    Father Kidevu

    KICHAPO

    CHA AZAM

    JANA NI

    MATOKEO YA

    MAWASILIANO MABOVU:

    KAVUMBAGU

    1 day ago

    SEIF KABELELE

    HES BACK YALL KIPI

    SIJASIKIA OFFICIAL VIDEO-

    PROFESSOR JAY

    FEATURING DIAMOND

    PLATNUMZ

    1 day ago

    Dina Marios(dm)

    MABINTI WA

    PRESIDENT

    OBAMA

    1 day ago

    MATUKIO UK

    SHERIA

    NGOWI

    NDANI YA

    IKULU

    4 days ago

    SOKA ZONE

    LIVERPOOL

    WANT MARIO

    BALOTELLI

    TO SIGN A

    GOOD-CONDUCT CLAUSE

    TO SEAL 16MILLION

    ANFIELD MOVE

    3 weeks ago

    Activities, Events,

    Entertainments and Hot

    World News

    WAKINA DADA MPO NA

    KINA KAKA? EBWANA

    MZIGO MPYA UMEINGIA ..

    PITIA HAPA CHEKI KISHA

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    6 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • MADAI YA KUSHANGAZA; NDANI YA MIEZI TISA KICHAPO MARA 16

    Katika kuweka mambo zaidi hadharani, mwanamke huyo aliyebahatika kupata mtoto

    mmoja na mumewe, alikwenda mbele zaidi kwa kusema kuwa, tangu afunge ndoa na

    Chaz miezi tisa iliyopita, ameshachezea kichapo mara kumi na sita hivyo amechoka

    kufanywa ngoma.Nimechoka kufanywa ngoma na Chaz, ndoa ina miezi tisa tu nishapigwa

    mara kumi na sita kati ya hizo nimezimia mara saba kama vipi bora afanye utaratibu

    anirudishe kwetu, alimalizia kusema.

    'Chaz baba' akiwa na mke kanisani siku ya ndoa yao.

    CHAZ BABA, IJUMAA WIKIENDA

    Baada ya kupata maelezo ya mke, Ijumaa Wikienda lilimsaka kwa njia ya simu Chaz

    mwenyewe ili azungumzie ishu hiyo ya mkewe kudai alimpiga ambapo alipopatikana

    alifunguka hivi:

    Ni wivu tu kaka! Unajua mke wangu ana wivu mkali sana, alianza kunipiga yeye mimi

    ndiyo nikamrudishia, hakukuwa na sababu nyingine yoyote zaidi ya wivu, alisema Chaz

    bila kufafanua.

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJIWAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJIMADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh, Stephen Masele akizungumza kwenye uzinduzi huo

    ANGUSHA

    ODA YAKO

    BEI POA.

    4 weeks ago

    Kuni News Blog -

    Mwanza Habari

    NKWABI NA

    WASIFU

    WAKE,

    KWAHERI,

    DAIMA

    TUTAYAISHI

    NA KUYAENZI MEMA ULO

    TUACHIA.

    2 months ago

    TANGA RAHA BLOG

    5 months ago

    BONGO STAR LINK

    NAWASHUKURU SANA KWA

    KUTEMBELEA DJCHOKAblog

    SINCE 2009

    9 months ago

    8020 fashions.4 ur

    fashions & Lifestyle.

    TUNAHAMA

    1 year ago

    THE MBONI SHOW

    OFFER KABAMBE

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    7 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • uliovuta hisia za wanakijiji wengi.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini akizungumza na Wananchi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Geita Gold Mine,Michael Van Anen

    Mwakilishi Mwandamizi kutoka Benki ya Dunia ambaye pia ni mtaalamu wa madini kutoka idara

    ya nishati endelevu nchini Marekani,Bwa.Mamadou Barry akizungumza wakati wa uzinduzi wa

    mradi mkubwa wa uchimbaji madini kwa wachimbaji wadogo wadogo katika kijiji cha Lwamgasa

    mkoani Geita,hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Waziri wa

    Nishati na Madini,Mh Stephen Masele.Mradi huo Umefadhiliwa na Benki ya Dunia na Serikali kwa

    kushirikiana na Wawekezaji wakubwa wakiwemo Geita Gold Mine na African Barrick Gold

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    8 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Mkuu wa Wilaya ya Geita ,Mh.Omary Mangochie akiwakaribisha wageni waalikwa mbalimbali

    waliofika kwenye uzinduzi huo.

    VIDEO CLIP NA MICHUZI JR-LWAMGASA-GEITA

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    ASKARI CPL RIZIKI ALIYEGONGWA NA DALADALA ANAENDELEA

    VIZURI

    Hali ya Askari wa usalama barabarani, aliyejulikana kwa jina la Riziki, WP 2806 Cpl

    Riziki, aliyegongwa na daladala aina ya DCM wakati akiwa katika harakati za kutimiza

    majukumu ya kazi eneo la Mbagala Rangi Tatu, hali yake inaendelea vizuri.

    Kwa mujibu wa Askari ambaye hakupenda jina lake litajwe aliiambia Kajunason Blog

    kuwa afande huyo anapatiwa matibabu hospitali ya Muhimbili na hali yake inaendelea

    vizuri.

    "Mimi nimetoka kumjulia hali, kwakweli alikuwa amepoteza fahamu ila kwasasa

    anaendelea vizuri maana alikuwa ameshazinduka,"alisisitiza Askari huyo ambaye

    hakutaka jina lake litajwe.

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    9 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • KATIBU MKUU UTUMISHI ATOA SOMO KWA WATUMISHI RSMWANZA

    1.KATIBU MKUU UTUMISHI GEORGE YAMBESHI ALIPOKUWA AKIZUNGUMZA NA WATUMISHI WA RS

    MWANZA.

    BWANA SAID KITINGA, AKITOA MCHANGO WAKE WAKATI WA KIKAO HICHO.

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    10 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • DANNY TEMBA, AKIMSIKILIZA KATIBU MKUU UTUMISHI WAKATI WA KIKAO NA WATUMISHI WA

    SEKRETARIETI YA MKOA WA MWANZA HIVI LEO.

    PATRICK KIGERE, AFISA MANUNUZI SKRETARIETI YA MKOA WA MWANZA AKITOA MOJA YA KERO

    ZINAZO WAKABILI.

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    11 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • KIKAO CHA KATIBU MKUU UTUMISHI NA WAFANYAKAZI KATIKA SEKRETARIETI YA MKOA WA

    MWANZA.

    KATIBU MKUU UTUMISHI GEORGE YAMBESHI AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WATUMISHI WA

    SEKRETARIETI YA MKOA WA MWANZA.

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    12 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • KATIBU MKUU UTUMISHI GEORGE YAMBESHI AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WATUMISHI WA

    SEKRETARIETI YA MKOA WA MWANZA. (PICHA NA AFISA HABARI WA RS MWANZA)

    ---

    Na Atley Kuni- Afisa habari Mwanza.

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi George Yambeshi, amewataka watumishi wa Umma wa

    Sekretarieti ya mkoa wa Mwanza kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria, kanuni na miongozo

    iliyopo ili kuleta tija katika ufanisi wa kazi zao.

    Ameyasema hayo wakati alipokutana na watunishi wa sekretarieti ya Mkoa wa Mwanza kwenye

    ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mwanza hii leo alipokuwa ziarani mkoani humo kwa shughuli za

    kijamii na kuamua kutumia fursa hiyo kukutana na watumishi hao.

    Yambeshi amesema kama watumishi wa umma ni lazima kuzingatia miiko inayo ongoza utumishi

    wa umma huku akitolea mfano wa mavazi nadhifu kwa watumishi na yasiyo na utata kwa watu "

    kama watumishi wa ni vema kuzingatia miiko inayo tuongoza" alisema na kuongeza. kuwa suala

    la kuvujisha siri za serikali ni suala lisilo kubalika hivyo moja ya sifa ya mtumishi wa umma ni

    lazima ajue kutunza siri.

    Katika hatua nyingine Katibu Mkuu huyo ameonya watumishi wa kuacha kuchanganya mambo ya

    siasa mahali pa kazi" Ndugu zangu haikazwi kuwa mwanachama wa chama cha siasa lakini sio

    vema mtumishi kufanya masuala ya siasa mahali pa kazi kwani kufanya hivyo ni kwenda

    kinyume na taratibu za utumishi wa umma.

    Mbali na masuala la siasa na uadilifu katika kazi ,pia katibu Mkuu huyo ametumia fursa hiyo,

    kusilikiliza kero mbali mbali za watumishi hao ikiwapo suala la kodi kubwa, mikopo kwa

    watumishi pamoja na kukosekana kwa baadhi ya miundo ya kada mpya za utumishi serikialini.

    Awali akimkaribusha katibu Mkuu kiongozi kuzungumza na watumishi hao wa Skretarieti ya

    Mkoa wa Mwanza, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Bwana Ndaro Kulwijila,

    alimuelezea kuhusu hali halisi ya watumishi katika mkoa wa Mwanza huku akitoa kilio chake

    kwa Katibu Mkuu huyu juu ya utofauti Mkubwa wa mishahara baina ya watumishi waliopo

    kwenye wakala wa serikali na wale wa serikali kuu.

    Hata hivyo katika majibu yake Katibu Mkuu huyo aliahidi kushughulikia changamoto zote zilizo

    jitokeza katika kikao hicho na kuzipatia ufumbuzi kwa kadri itakavyowezekana.

    Katibu Mkuu Utumishi ndiye mkuu wa masuala ya Utumishi wa umma katika Serikali ya jamahuri

    ya Muungano wa Tanzania.

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    13 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Monday, September 15, 2014

    AIRTEL YAZINDUA XPRESS SHOP MJINI DODOMA

    Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dkt Rehema (kati) akikatata utepe kuashiria kulizindua rasmi duka la

    Airtel Dodoma lililopo barabara ya Mkuu mkoani humo, anaeshuhudia wakwanza kulia ni

    mkurugenzi wa airtel huduma kwa wateja Bi, Adriana Lyamba na Meneja biashara wa Airtel

    Dodoma Bw, Stephen Akyoo wakwanza kushoto, Airtel imefanya uzinduzi wa duka hilo jana

    baada ya kuzindua maduka mengine katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha Mwanza Mbeya na

    Mtwara. Maduka mengine ya Morogoro, Bukoba na Zanzibar pia yanatarajiwa kuzindulia mwezi

    huu.

    Meneja mauzo wa Airtel Mkoa wa Dodoma Bw Stephen Akyoo akiwa na wafanyakazi wengine wa

    Airtel Dodoma akitoa maelezo mafupi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr Rehema Nchimbi

    kuhusiana na muonekano wa duka jipya la Airtel Dodoma lililopo barabara ya Mkuu muda mfupi

    kabla ya mkuu wa mkoa huyo kuzindua duka hilo jana.

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    14 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Kati kati ni Mkuuu wa mkoa wa Dodoma Dkt Rehema nchimbi akiwa na Mkurugenzia wa huduma

    kwa Mteja Airtel Bi Adriana Lyamba (shoto) na Meneja wa Duka hilo mkoani hapo Bi Elida kulia

    wakikata keki iliyoandaliwa maalum kwa ajili ya uzinduzi wa duka jipya la Airtel mtaa wa Mkuu

    mjini Dodoma jana.

    Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dkt Rehema Nchimbi akiongea na wananchi na wanahabari hawapo

    pichani wakati wa uzinduzi wa duka jipya la Airtel mkoani Dodoma barabara ya mkuu Jana,

    Airtel ilizindua duka hilo kwa dhumuni la kuendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake

    nchini.

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    15 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Wafanyakazi wa Airtel mkoa wa Dodoma wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya Airtel

    kufungua Duka jipya mkoani hapo mtaa wa Mkuu jana.

    Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imefungua duka lake la Dodoma kufatia ukarabati

    uliokuwa unafanyika wa kuliweka duka hilo kuwa la kisasa zaidi ili kuweza kuendelea

    kuwapatia wateja wake huduma bora zaidi.

    Uzinduzi wa duka hilo ulifanywa na mkuu wa mkoa wa dodo dkt Rehema Nchimbi ambapo

    amewapongeza Airtel kwa mpango kabambe wa kuboresha maduka yake nchini pamoja na duka

    la Dodoma.

    Akiongea wakati wa uzinduzi huo Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma kwa wateja Bi Adriana

    Lyamba alisema,"Leo tunazindua rasmi duka hili lenye muundo mpya lililopo katika barabara ya

    Mkuu hapa Dodoma ikiwa ni moja kati ya mikakati yetu ya kuongeza ufanisi katika utoaji wa

    huduma zetu na

    kupunguza msururu wa wateja wanaoingia dukani hapa kupata huduma

    mbalimbali.

    Kwa kupitia duka hili wateja wetu watafurahia huduma zetu za pesa mkononi za Airtel Money

    ,internet na kuweza kununua muda wa maongezi pamoja bidhaa zikiwemo simu za mkononi na

    vifaa vya huduma za mawasiliano na huduma nyingine nyingi.

    Sasa wateja wetu wanauhakika wa kupata huduma bora kwa haraka zaidi kupitia duka hili.

    Tutaendelea kutoa huduma za kibunifu zenye uhakika na zenye ubora wakati wote kupitia

    mtandao wetu bora na mpana ulioenea zaidi nchini. Lengo letu ni kuhakikisha tuwapatia wateja

    wetu uzoefu tofauti

    katika huduma zetu na kufikia matarajio yao. aliongeza Lyamba.

    Kwa Upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh, Dkt Rehema Nchimbi alisema" nawapongeza

    sana Airtel kwa juhudi hizi za kuboresha utoaji wa huduma za mawasiliano kwa watumiaji

    nchini. Sote tunatambua mawasiliano ni nyenzo muhimu katika kuunganisha jamii na kuendesha

    shughuli za kibiashara na kiuchumi nachukua fulsa hii kuwaomba wakazi wa Dodoma watumie

    vyema nafasi hii kupata huduma bora zitakazorahisisha uendeshaji wa Shughuli zao

    mbalimalbali za kila siku".

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO CHAKANUSHAKUFANYA MGOMO

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    16 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMATAIFA

    Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada

    ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu

    Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA kwa kumchagua tena

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    17 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • kushika nafasi ya mwenyekiti

    Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu

    wa Chadema Dr Wilbrod Slaa

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa

    Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa furaha muda mfupi baada ya kushinda usiku

    huu

    Muasisi wa Chadema Mzee Edwin Mtei akimpongeza Profesa Abadallah Safari baada ya kushinda

    nafasi ya Makamu wa Mwenyekiti wa Chadema Bara.Picha na Habari na CHADEMA

    ---

    MATOKEO YA UCHAGUZI

    *MWENYEKITI

    Mh Freeman Mbowe amepata kura 789

    Mh Ester Matiko amepata kura 20

    *MAKAMU BARA

    Prof. Abdallah Safari amepata kura 775

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    18 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Hakuwa na Mpinzani

    *MAKAMU ZANZIBAR

    Mh Said Issa Mohamed amepata kura 645

    Mh Hamad Yusuph amepata kura 163

    Mhe Freeman Aikael Mbowe Amechaguliwa Tena kuwa mwenyekiti wa Chadema Taifa kwa

    kupata kura 789 sawa na asilimia 97.3 ya kura zote. Aliyeshinda nafasi ya Makamu mwenyekiti

    Bara ni Profesa Abdallah Safari kwa kupata kura 775 sawa a asillimia 95 na nafasi ya Makamu

    mwenyekiti Zanzibar ameshinda Mh Saidi Issa Mohamedi kwa kupata kura 645 sawa na asilimia

    79.

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    UZINDUZI WA VIDEO YA 'KIPI SIJAKISIKIA' NA 'TATU CHAFU' ZA

    PROFESSA J WAPOKELEWA KWA SHANGWE, DAR

    Nguli wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule a.k.a Professa J jana aliweza kufanya vyema

    katika uzinduzi wa video zake mbili, 'Kipi Sijakisikia' na 'Tatu Chafu' uliofanyika jijini Dar es

    Salaam. Uzinduzi huo uliweza kuhudhuriwa na wasanii mbali mbali ambao walikuja kumpa

    support.

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    19 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    20 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    21 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    22 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Red Carpet nayo iliweza kunoga.

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    23 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    24 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    25 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    26 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    27 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    28 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Mzuka ulipopanda.

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    29 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    30 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Msanii Professa J akitoa burudani.

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    31 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Dj akifanya yake.

    Wazee wa Chadema nao walikuwepo,

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    32 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    33 of 34 9/16/2014 2:27 PM

  • Older Posts

    Msanii Professa J akizindua video zake.

    Posted by Cathbert Kajuna 0 comments

    Home

    Subscribe to: Posts ( Atom )

    Idadi ya Watu

    HABARI NA MATUKIO http://www.kajunason.blogspot.com/

    34 of 34 9/16/2014 2:27 PM