Upload
others
View
8
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
Hadithi yaSungura na Mbwa
Hapo kale, sungura na mbwa walikuwa marafiki. Walikuza mazao mengi. Walikuza ndizi, mahindi, maharagwe na mihogo.
Sungura alipewa kazi ya kulima. Mbwa naye alichunga mimea. Wote wawili walifanya kazi kwa bidii.
Siku moja ndovu alivamia shamba. Ndovu alianza kuharibu mazao. Sungura alipiga kelele. Mbwa alisikia kelele. Mbwa aliwaita mbwa wenzake.
Maswali1. Sungura alipewa kazi gani?2. Sungura na mbwa walikuza aina ngapi za mazao?
Managed by WERK: Elgeyo Marakwet Rd off Argwings Kodhek Road, P.O. Box 10565-00100 NAIROBI. SMS 3016/Telephone 0722 888 919/0732 888 919 Website: www.uwezo.net
Walienda pamoja hadi shambani. Walimfukuza ndovu. Waliokoa mazao. Sungura alimshukuru mbwa.