20
1 HALMASHAURI YA WILAYA MASASI (Barua zote zitumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji) Simu: 2510031, S.L.P. 60, Fax: 2510045. Masasi, E-mail: [email protected] Mtwara, [email protected] Kumb. Na. MDC/E.40/3/ Tarehe: 28/02/2018. Mh. Mwenyekiti, Baraza la Madiwani, Halmashauri ya Wilaya MASASI. YAH: KUWASILISHA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA 2018/2019 Mh. Mwenyekiti, Naomba kuwasilisha rasimu ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri kwa kipindi cha 2018/2019 ulioandaliwa kwa kufuata vipaumbele vyenye kujibu matarajio ya Serikali ya awamu ya Tano vilivyomo kwenye Hotuba ya Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipokuwa akizindua Bunge la Tanzania. Pamoja na sheria ya Bajeti ya mwaka 2015 namba 11 iliyoanza kutumika mwezi Julai, 1 2015. Ilani ya Chama cha Mapinduzi 2015 hadi 2020, Mpango wa Maendeleo wa miaka mitano 2015/2016 2020/2021 na miongozo mingine ya kitaifa, Wizara Mama TAMISEMI, Kimkoa na Kiwilaya yote kwa pamoja ikiwa na lengo la kuwatumikia wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu. Mh. Mwenyekiti, Bajeti ya 2018/2019 imejikita zaidi katika kutekeleza mambo yafuatayo:- 1. Kuzingatia matumizi ya mfumo mpya wa ‘‘Web Based PlanRep’’ utakaotumiwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa- MSM katika maandalizi ya Mipango na Bajeti ya mwaka wa fedha 2018/19 badala ya mfumo wa zamani wa PlanRep ya kawaida (uk.17 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19); 2. Kutenga bajeti kwa ajili ya kutekeleza masuala mtambuka kama vile jinsia, UKIMWI na virusi vya UKIMWI, watu wenye ulemavu, masuala ya lishe, ulinzi wa Mtoto, Vijana na Wazee pamoja na mazingira ya Mabadiliko ya Tabia Nchi (uk. 14 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19); 3. Kuendelea kutenga bajeti kwa ajili ya shughuli za ufuatiliaji na tathmini (M&E) (uk. 20 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19);

HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

  • Upload
    others

  • View
    4

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

1

HALMASHAURI YA WILAYA MASASI (Barua zote zitumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji)

Simu: 2510031, S.L.P. 60,

Fax: 2510045. Masasi, E-mail: [email protected] Mtwara,

[email protected]

Kumb. Na. MDC/E.40/3/ Tarehe: 28/02/2018.

Mh. Mwenyekiti,

Baraza la Madiwani,

Halmashauri ya Wilaya

MASASI.

YAH: KUWASILISHA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI

KWA MWAKA 2018/2019

Mh. Mwenyekiti,

Naomba kuwasilisha rasimu ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri kwa kipindi cha 2018/2019

ulioandaliwa kwa kufuata vipaumbele vyenye kujibu matarajio ya Serikali ya awamu ya Tano

vilivyomo kwenye Hotuba ya Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipokuwa

akizindua Bunge la Tanzania. Pamoja na sheria ya Bajeti ya mwaka 2015 namba 11 iliyoanza

kutumika mwezi Julai, 1 2015. Ilani ya Chama cha Mapinduzi 2015 hadi 2020, Mpango wa

Maendeleo wa miaka mitano 2015/2016 – 2020/2021 na miongozo mingine ya kitaifa, Wizara

Mama TAMISEMI, Kimkoa na Kiwilaya yote kwa pamoja ikiwa na lengo la kuwatumikia

wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu.

Mh. Mwenyekiti, Bajeti ya 2018/2019 imejikita zaidi katika kutekeleza mambo yafuatayo:-

1. Kuzingatia matumizi ya mfumo mpya wa ‘‘Web Based PlanRep’’ utakaotumiwa

na Mamlaka za Serikali za Mitaa- MSM katika maandalizi ya Mipango na Bajeti

ya mwaka wa fedha 2018/19 badala ya mfumo wa zamani wa PlanRep ya kawaida

(uk.17 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19);

2. Kutenga bajeti kwa ajili ya kutekeleza masuala mtambuka kama vile jinsia,

UKIMWI na virusi vya UKIMWI, watu wenye ulemavu, masuala ya lishe, ulinzi

wa Mtoto, Vijana na Wazee pamoja na mazingira ya Mabadiliko ya Tabia Nchi

(uk. 14 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19);

3. Kuendelea kutenga bajeti kwa ajili ya shughuli za ufuatiliaji na tathmini (M&E)

(uk. 20 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19);

Page 2: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

2

4. Kuweka kipaumbele kwa kutenga bajeti kwenye miradi ya maendeleo

inayoendelea (uk. 11 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19);

5. Kutenga bajeti kwa ajili ya maandalizi na uchaguzi wa viongozi wa ngazi za

msingi za Kijiji/Mtaa na kitongoji kwa Mwaka 2019 (Uchaguzi wa Serikali za

Mitaa) uk. 17 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19

6. MSM kutenga asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya kusaidia vikundi vya

ujasiriamali vya wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu kwa mchanganuo

ufuatao:- Wanawake 4%, Vijana 4% na 2% watu wenye ulemavu (uk. 18 ya

Mwongozo wa Bajeti 2018/19)

7. Kutenga asilimia 40 mpaka 60 ya mapato ya ndani kwa ajili ya kutumika katika

miradi ya maendeleo na kipaumbele kitolewe kwenye kuwekeza ili kuimarisha

vyanzo vikuu vya mapato (uk. 18 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19) (kiambatisho

Na. 2) Halmashauri kutenga 60% ya fedha zake za Mapato ya Ndani kwa ajili ya miradi

ya maendeleo na 40% Matumizi mengineyo. Sanjari na hilo imeelekezwa kuwa

asilimia 40 ya fedha za Mapato zinazotokana na kilimo zikatumike kwenye Idara

husika kwa machanganuo ufuatao (20% Kilimo, 15% Mifugo na 5% Uvuvi).

8. Kutenga bajeti kwa ajili ya kupanga matumizi bora ya ardhi katika maeneo ya

Mijini na Vijijini na kushughulikia migogoro ya ardhi ili kuzuia migogoro ya

wakulima na wafugaji (uk.17 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19);

9. Kutenga bajeti kwa ajili ya ukarabati na ujenzi ili kuimarisha miundombinu ya

kiuchumi na kijamii katika sekta zote mfano Afya, Elimu, Kilimo, Maji n.k

kipaumbele kikiwa kwenye miradi ambayo haijakamilika iliyoanzishwa kwa

nguvu za wananchi (uk. 18 ya Mwongozo wa Bajeti 2018/19); na

10. Kuainisha, kupanga, kuandaa maandiko na bajeti kwa miradi ya kimkakati

itakayotelezwa katika Mwaka wa fedha 2018/19 yenye lengo la kuongeza mapato.

Mfano wa miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa stendi za mabasi, masoko, maeneo

ya maegesho, machinjio, miradi ya umwagiliaji, miundombinu mbalimbali ya

kutolea huduma pamoja na fursa zilizopo katika sekta mbalimbali (uk. 11 &19 ya

Mwongozo wa Bajeti 2018/19).

11. Kutenga bajeti asilimia 20 ya mapato ya ndani ikijumuisha GPG kwa ajili ya

uendeshaji wa Serikali za Vijiji, Mitaa

12. Kutenga bajeti kwa ajili ya kununua mashine za kieletroniki za malipo (POS);

13. Kutenga bajeti kwa ajili ya kuendesha makazi ya wazee kwa Halmashauri zenye

makazi hayo

Page 3: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

3

14. Halmashauri zihakikishe zinatenga fedha za ujenzi wa Hospitali na ukarabati wa Vituo

vya kutolea huduma vilivyopo ili kuleta tija na kuboresha huduma za Afya.

15. Halmashauri kutenga fedha za kuimarisha masuala ya ulinzi na usalama na kuendesha

vikao vya kisheria, pamoja na masuala ya kupambana na Rushwa.

16. Kuweka kipaumbele cha kukuza Uchumi kwa kufufua Viwanda. Halmashauri

inategemea kuimalizia miradi ya usindikaji wa Alizeti na Viwanda vidogo vidogo vya

Korosho na mihogo ilikuwa haijakamilika.

A: MAPITIO YA MAPATO NA MATUMIZI 2017/2018

Mhe, Mwenyekiti,

Katika bajeti ya mwaka 2017/2018 Halmashauri ilikadiria kukusanya na kutumia jumla ya Tshs

30,560,442,000.00 kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato. Kati ya makisio hayo,

Tshs 26,390,816,000.00 ilikuwa ni Ruzuku toka serikali Kuu, na Tsh 4,169,626,000.00 kutoka

Mapato ya ndani ya Halmashauri. Kufuatia maagizo na miongozo mbalimbali kutoka Serikali

kuu ya kututaka kushusha Ushuru wa mazao kutoka asilimia 5 hadi asilimia 3 na kuondolewa

kwa baadhi ya vyanzo vya mapato kumepelekea kushuka kwa mapato ya ndani kutoka Tshs.

4,169,626,000.00 hadi kufikia Tshs. 2,484,576,000. Kiasi kilichopungua ni Tshs.

1,685,050,000.00 sawa na asilimia 40.41 ya maksio ya awali:- (Tshs. 960,000,000 Export levy,

Tshs. 473,000,000 Korosho, Tshs. 100,000,000 Ufuta, Tshs. 10,000 Karanga, Tshs. 80,000,000

Mbaazi, Tshs. 12,000,000 mahindi, Tshs. 40,000 mpunga na Tshs. 60,000,000 choroko) pia

Halmashauri ililazimika kuondoa kiasi cha Tshs. 1,371,650,000.00 fedha za mfuko wa barabara

na hivyo kufanya Bajeti ya Halmashauri kupungua hadi Tshs. 27,503,742,000.00. Kati ya

makisio hayo, Tshs 25,019,166,000.00 ni Ruzuku toka serikali Kuu, na Tsh 2,484,576,000

kutoka Mapato ya ndani ya Halmashauri.

Mhe, Mwenyekiti,

Kupungua kwa mapato ni dhahili kuwa kutaathiri pia matumizi; upungufu huu utaathiri miradi

na kwa asilimia hiyo hiyo pia zitaathiri matumizi mengineyo, hata hivyo itatutaka pia kupunguza

matumizi kwa kiasi kikubwa ili kuenenda na Bajeti yetu 2017/18 na kuifikisha mwisho.

Page 4: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

4

Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs.

11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha hizo ni sawa na asilimia

43.50 ya makisio yaliyoidhinishwa baada ya mapitio.

Jedwali Na.1 Mchanganuo wa mapato kwa kila fungu:-

Eneo Makisio

2017/2018

Mapitio ya

Vyanzo vya

Mapato-Ndani

Mapato Halisi

hadi Desemba

2017

Asilimia

(%)

Mapato ya Ndani 4,169,626,000.00 2,484,576,000.00 1,259,648,936.81 50.70

Jumla ya mapato

ya ndani

4,169,626,000.00 2,484,576,000.00 1,259,648,936.81 50.70

Ruzuku - Mishahara 19,264,953,000.00 19,264,953,000.00 8,530,783,600 44.28

Ruzuku–Matumizi

mengineyo

1,043,086,000.00 1,043,086,000.00 618,504,600 59.30

Mfuko wa Pamoja

(Miradi ya

Maendeleo)

6,082,777,000.00 4,711,127,000.00 1,554,923,104 33.01

Jumla ya vyanzo

vya nje

26,390,816,000.00 25,019,166,000.00 10,704,211,304.00 42.78

Jumla Kuu 30,560,442,000.00 27,503,742,000.00 11,963,860,240.81 43.50

Fedha

zilizopokelewa nje

ya bajeti

- 4,950,737,634.84

-

Jumla Kuu 30,560,442,000.00 27,503,742,000.00 16,914,597,875.65 61.50

B: MATUMIZI:

Mhe. Mwenyekiti,

Kwa upande wa Matumizi, mwaka 2017/2018 Halmashauri ilikadiria kutumia Tshs

30,560,442,000.00. Kati ya matumizi hayo 4,169,626,000.00 ni kutokana na vyanzo vya ndani,

Tsh 26,390,816,000.00 ni kutokana na Ruzuku toka serikali Kuu kwa ajili ya Mishahara,

Matumizi mengineyo na Miradi ya Maendeleo. Wakati wa mapitio ya nusu mwaka 2017/18,

bajeti ya Halmashauri ilishuka hadi kufikia Tshs. 27,503,742,000.00 kutokana na sababu

zilizotajwa hapo juu.

Mhe. Mwenyekiti hadi kufikia Disemba, 31 2017 Halmashauri imetumia jumla ya Tshs

10,794,650,958.71 sawa na asilimia 39.25 ya makisio yaliyoidhinishwa baada ya mapitio.

Page 5: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

5

Jedwali Na.2 Mchanganuo wa Matumizi kwa kila fungu

Eneo MAKISIO

2017/2018

Mapitio Halisi hadi

Desemba 2017

MATUMIZI HADI

DESEMBA

% YA

MATUMIZI

HADI

DESEMBA

Mapato ya Ndani 4,169,626,000.00 2,484,576,000.00 631,451,618.95 25.41

Jumla ya

mapato ya ndani

4,169,626,000.00 2,484,576,000.00 631,451,618.95 25.41

Ruzuku -

Mishahara

19,264,953,000.00 19,264,953,000.00 8,467,214,133.79 43.95

Ruzuku–

Matumizi

mengineyo

1,043,086,000.00 1,043,086,000.00 517,970,028.97 49.66

Mfuko wa

Pamoja (Miradi

ya Maendeleo)

6,082,777,000.00 4,711,127,000.00 1,178,015,177 25.00

Jumla ya vyanzo

vya nje

26,390,816,000.00 25,019,166,000.00 10,163,199,339.76 40.62

Jumla Kuu 30,560,442,000.00 27,503,742,000.00 10,794,650,958.71 39.25

Fedha

zilizopokelewa

nje ya bajeti

- 3,729,600,787.36

Jumla Kuu 30,560,442,000.00 27,503,742,000.00 14,524,251,746.07 52.81

C: MAPITIO YA VYANZO VYA MAPATO YA NDANI NA MAREKEBISHO YAKE KUFIKIA

DISEMBA, 2017.

Mhe. Mwenyekiti, Jedwali Na.3 hapa chini linaonyesha mapato halisi ya fedha za ndani hadi kufikia

Disemba 31, 2017.

Jedwali Na. 3

MAELEZO MAKISIO

2017/2018

Mapitio ya Vyanzo

vya Mapato-Ndani

2017/18

JUMLA YA

MAPATO JULAI -

DISEMBA 2017

ASILIMIA

%

Mfuko wa Elimu na

Usafirishaji wa mazao

1,530,000,000.00 570,000,000 134,946,840.00 23.67

Ushuru wa Mazao:

Korosho 1,430,000,000.00 957,000,000 955,410,993.50 99.83

Ufuta 250,000,000.00 150,000,000 18,344,000.00 12.23

Karanga 25,000.00 15,000 175,000.00 1166.67

Mbaazi 200,000,000.00 120,000,000 3,902,500.00 3.25

Mahindi 30,000,000.00 18,000,000 7,613,000.00 42.29

Mpunga 100,000.00 60,000 0.00 0.00

Nyanya 16,000,000.00 16,000,000 5,050,250.00 31.56

Choroko 150,000,000.00 90,000,000 6,044,000.00 6.72

Page 6: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

6

Mapato kupitia

vyanzo Vengine

Ushuru wa Huduma 16,232,000.00 16,232,000 17,494,271.83 107.78

Hoteli na nyumba za

wageni

3,240,000.00 3,240,000

9,007,669.98 278.01

Ada ya Shule

Sekondari

64,260,000.00 64,260,000

36,334,000.00 56.54

CHF na BIMA 160,000,000.00 160,000,000 7,536,925.00 4.71

Papo kwa Papo 75,000,000.00 75,000,000 7,854,000.00 10.47

Maombi ya Zabuni 15,000,000.00 15,000,000 150,000.00 1.00

Land survey service

fee

53,000,000.00 53,000,000 3,400,000.00 6.42

Ada ya Magulio 4,080,000.00 4,080,000 0.00 0.00

Ushuru wa Soko 3,600,000.00 3,600,000 0.00 0.00

Ushuru wa Machinjo

na Majosho

5,170,000.00 5,170,000 263,500.00 5.10

Ushuru wa Kokoto 30,850,000.00 30,850,000 6,893,000.00 22.34

Leseni ya Vileo 10,075,000.00 10,075,000 331,200.00 3.29

Leseni za Biashara 47,945,000.00 47,945,000 10,864,680.00 22.66

Mazao ya Misitu 10,241,000.00 10,241,000 673,573.00 6.58

Faini na Tozo 25,000,000.00 25,000,000 2,900,000.00 11.60

Mapato mengineyo 39,808,000.00 39,808,000 24,459,533.50 61.44

JUMLA MAPATO

YA NDANI

4,169,626,000.00 2,484,576,000 1,259,648,936.81 50.70

D. MAKSIO YA MAPATO NA MATUMIZI MWAKA 2018/2019.

Mhe. Mwenyekiti, kwa mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

inategemea kukusanya na kutumia Tshs. 38,003,668,225.98 kutoka vyanzo mbalimbali vya

Halmashauri. Katika Fedha hizo Tshs. 2,784,169,432.00 ni mapato ya Ndani ya Halmashauri na

Ruzuku toka Serikali Kuu ni Tshs. 35,219,498,793.98 kwa ajili ya Mishahara, Matumizi

mengineyo na Miradi ya Maendeleo.

Mhe. Mwenyekiti, kwa upande wa mapato ya ndani, Halmashauri imejipanga kukusanya jumla ya

Tshs 2,784,169,432.0 kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato. Kiasi hiki

kinategemea kupanda kwa asilimia 12.06 ukilinganisha na mapitio ya 2017/2018 hali hii

imetokana na kuondolewa kwa baadhi ya vyanzo vya mapato na kupungua kutoka asilimia 5 hadi

3 ya ushuru wa mazao.

Page 7: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

7

E. MAPATO YA NDANI: I

Kwa mwaka wa fedha 2018/19 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi imepanga kukusanya

jumla ya shilingi 2,784,169,432.00 (Tshs 1,847,681,432.00 mapato yasiyolindwa na

Tshs 936,488,000.00 mapato lindwa) kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya

mapato, fedha hizo zitagawanywa katika sekta mbalimbali ili kutekeleza shughuli za

kiutawala na miradi ya maendeleo.

A: VYANZO VISIVYOLINDWA

KASMA MAELEZO MAKISIO

2018/2019

110815 Ushuru wa Mazao:

Halmashauri inakisia kukusanya TSh. 1,455,474,000 kutoka chanzo cha Ushuru

wa mazao kwa mchanganuo ufuatao:

Zao Tani

Tegemewa

(2018/19)

Bei kwa

kilo

3% ya bei

kwa kilo

Kiasi tegemewa

Korosho 28,000 1,450 43.50 1,218,000,000

Ufuta 1,800 2,000 60.00 108,000,000

Mbaazi 2,400 800 40.00 96,000.000

Nyanya 1,000 **1,000 **1,000 2,000,000

Choroko 600 800 40.00 24,000,000

Mahindi 1,200 300 6.00 7,200,000

Mpunga 2.5 800 40 100,000

Karanga 5.8 1,000 30 174,000

Jumla 1,455,474,000

1,455,474,000

140384 Faini na adhabu:

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi inatarajia kukusanya TSh. 12,000,000/= kwa

wastani wa TSh 1,000,000/= kwa mwezi.

12,000,000

140283 Ada za Zabuni:

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi inatarajia kukusanya jumla ya TSh.

Page 8: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

8

KASMA MAELEZO MAKISIO

2018/2019

7,500,000/= kutokana na uuzaji wa zabuni mbalimbali, wastani.

Vitabu vya Zabuni 50 x 100,000/= Tshs 5,000,000/=

Quotation 50 x 50,000/= Tshs 2,500,000/=

7,500,000

140376 Ushuru wa Mazao ya Misitu:

Halmashauri inatarajia kukusanya jumla ya TSh 5,020,700/= kutokana na

maliasili zilizopo katika Wilaya kama ifuatavyo:

Ushuru wa misitu

(ushuru wa 5%)

Mbao m3 675@6,000 Tshs 4,050,000/=

Mkaa gunia 1,000@720 Tshs 720,000/=

Kuni m3 130@1350 Tshs 175,500/=

Miaa kg 2,350@32 Tshs 75,200/=

Jumla Tsh 5,020,700/=

5,020,700

110851

Ushuru wa Huduma (Service Levy):

Halmashauri inategemea kukusanya TSh. 29,040,000/= kutokana na huduma zinazotolewa na Wafanyabiashara (Viwanda) ndani ya Wilaya.

Chanzo Ushuru/mwezi Miezi Jumla

Ndanda spring 300,000 12 3,600,000

Ndanda Abbey 140,000 12 1,680,000

Ndanda Printing 80,000 12 960,000

Lulindi (Makonde) 50,000 12 600,000

Drumax 200,000 12 2,400,000

Airtel 50,000 12 600,000

Tigo 50,000 12 600,000

Vodacom 50,000 12 600,000

Halotel 50,000 12 600,000

NMB Ndanda 120,000 12 1,440,000

Nanganga Petrol station 90,000 12 1,080,000

29,040,000

Page 9: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

9

KASMA MAELEZO MAKISIO

2018/2019

Ndanda Mission Petrol Station

80,000 12 960,000

Mkalapa Petrol Station 70,000 12 840,000

Yokod Oil International 100,000 12 1,200,000

Wakandarasi 200,000 12 2,400,000

Wazabuni 150,000 12 1,800,000

Ndanda workshop 120,000 12 1,440,000

Pepsi 100,000 12 1,200,000

Cocacola 110,000 12 1,320,000

TBL 160,000 12 1,920,000

SBL 150,000 12 1,800,000

JUMLA 29,040,000

110852 Hoteli na Nyumba za Wageni:

Halmashauri inakisia kukusanya TSh. 5,040,000/= kutokana na nyumba 27 za

kulala wageni pamoja na hoteli wastani wa TSh. 420,000/= kila mwezi x miezi 12

5,040,000

140370

Leseni za Vileo (Other Business Licence Fees):

Halmashauri inakisia kukusanya TSh 10,075,000/= kutokana na

1. Leseni za pombe za kigeni Halmashauri ina jumla ya grocery 120 @

80,000 Tshs 9,600,000

2. Leseni za pombe za kienyeji; jumla ya vilabu 95 @ 5,000 sawa na

Tshs.475,000/=

10,075,000

140353

Kokoto,Mawe na Mchanga (Madini ya Ujenzi)

Halmashauri inakadiriwa kukusanya kiasi cha Tshs 69,886,732/= kutoka mradi

wa uuzaji wa kokoto, mawe na mchanga.

- Vitalu vya Halmashauri 6 x 2,302,455 Tshs 13,814,732/=

- Drumax Kokoto tani 6,996 x 2,000 = Tshs 13,992,000/=

- Msanga kokoto tani 2,040 x2,000 = Tshs 7,000,000/=

- Msanga Mawe tani 3,500 x2,000 = Tshs 4,080,000/=

- Mkolopola – Mawe tani 1,000 x 2,000 = Tshs 2,000,000/=

69,886,732

Page 10: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

10

KASMA MAELEZO MAKISIO

2018/2019

- Chikundi – Mchanga tani 1,000 x 2,000 = Tshs 2,000,000/=

- Mkalipinde-Mchanga tani 1,000 x 2,000= Tshs 2,000,000/=

- Mitesa Mawe tani 1,000 x 2,000 = sh 2,000,000/=

- Mitesa Kokoto tani 1,000 x 2,000= sh 2,000,000/=

- Maendeleo Mawe tani 500 x 2,000 = sh 1,000,000/=

- Maendeleo Kokoto tani 500 x 2,000 = sh 1,000,000/=

- Mkangaula Kokoto tani 500 x 2,000 = 1,000,000/=

- Chigugu – Mchanga tani 1,000 x 2,000 = Tshs 2,000,000/=

- Ahmed Samri (Mpodipodi) kokoto tani 3,000 x 2,000 = Tshs 6,000,000

- Mkalapa Mawe tani 1000x 2,000 = shs 2,000,000/=

- Liloya Mchanga tani 4,000 x 2,000 = shs 8,000,000/=

140371

Leseni za Biashara

Kiasi cha Tshs 57,295,000.00 zinakadiriwa kukusanywa kutokana na utoaji wa

leseni za biashara kama ifuatavyo:-

Vioski 350 @ 20,000/= 7,000,000.00

AMCOS Matawi Makuu 42 @ 40,000/= 1,680,000.00

Maduka ya vifaa vya ujenzi 75@ 65,000/= 4,875,000.00

Maduka ya Jumla 22 @ 100,000/= 2,200,000.00

Maduka ya rejareja 500 @ 50,000/= 25,000,000.0

0

Viwanda vya Maji 3 @ 300,000/= 900,000.00

Maduka ya dawa baridi 35 @ 100,000/= 3,500,000.00

Maduka ya pembejeo za kilimo/mifugo 10@ 60,000/= 600,000.00

Migahawa 70@ 5,000/= 350,000.00

Salon za kunyoa/kusuka nywele 30 @ 5,000/= 150,000.00

Bucha za nyama/samaki 20 @ 30,000/= 600,000.00

57,295,000.00

Page 11: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

11

KASMA MAELEZO MAKISIO

2018/2019

Nyumba za kulala wageni 27 @ 80,000/= 2,160,000.00

Machine za kusaga nafaka 100 @ 20,000/= 2,000,000.00

Machine za kuranda mbao 8 @ 80,000/= 640,000.00

Viwanda vya kukamua mafuta 1 @ 100,000/= 100,000.00

Viwanda vya korosho 6 @ 100,000/= 600,000.00

Huduma za fedha kwenye simu 30@ 15,000/= 450,000.00

Pool tables 166 @ 15,000/= 2,490,000.00

Gereji za Pikipiki na uchomeleaji mageti 100@ 20,000/= 2,000,000.00

JUMLA 57,295,000.00

140291 Ushuru wa Magulio (Mnada)

Halmashauri inatarajia kukusanya kiasi cha Tshs.3,600,000/= kutokana na

ushuru wa magulio 34 @ 25,000 x 12

10,200,000

140292 Ushuru wa Soko

Halmashauri inatarajia kukusanya kiasi cha Tshs 5,400,000 kutokana na ushuru

wa soko katika kata za:-

1. Lulindi Tsh.5,000 x siku 360 = 1,800,000.00

2. Ndanda Tsh.5,000 x siku 360 = 1,800,000.00

3. Chidya shs 5,000 x siku 360 = 1,800,000.00

5,400,000

140368

Mapato Mengineyo

Halmashauri inatarajia kukusanya kiasi cha Tshs. 31,000,000/= kutokana na

ukusanyaji wa vyanzo mbalimbali vya mapato ambavyo havijajulikana

31,000,000

140293

Ushuru wa Machinjio na Majosho

Halmashauri inatarajia kukusanya kiasi cha Tshs 2,592,000/= kutokana na

ushuru wa machinjio

Machinjio

Ng’ombe 5@1000 X 12 x 12 = 720,000/=

Mbuzi 10@ 500X30x12= 1,800,000/=

2,520,000/=

3,780,000

Page 12: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

12

KASMA MAELEZO MAKISIO

2018/2019

Kuogesha

Mifugo 200@200X2X12= 960,000/=

Leseni za uvuvi wa samaki/Kibali cha kusafirisha Samaki.

Wavuvi 30@10,000 Tsh 300,000/=

120110

Ada ya usajili wa vikundi

Halmashauri inatarajia kukusanya ada za usajili wa vikundi 192@ 20,000

Tshs. 3,840,000 kwa ajili ya vikundi ambavyo vinajisajili kwa mara ya

kwanza

3,840,000

Ada ya Upimaji Mashamba

Halmashauri inatarajia kukusanya Tsh. 53,000,000.00 ikiwa ni ada ya

upimaji mashamba. Vijiji 166 x watu 7 x 65,000/=)

75,530,000

Stendi ya Mabasi Ndanda

Halmashauri inatarajia kukusanya Tshs 66,600,000./= kutoka katika stendi

ya mabasi Ndanda wastani wa shs. 5,550,000/=kwa mwezi

Mabasi makubwa 20 x2 x siku 30 x2,000 x12 = shs.28,800,000/=

Mabasi madogo 40 x2 siku 30 x 1,000 x 12 = shs 28,800,000/=

Magari madogo binafsi 10 x siku 30 x 500 x12 = shs 1,800,000/=

Pikipi/ Bajaji 20 x siku 30 x 300 x 12 = shs 2,160,000/=

Choo 14,000 x siku 30 x 12 = shs 5,040,000/=

66,600,000

A. JUMLA YA MAPATO HALISI (PROPER OWN SOURCE) 1,847,681,432

Page 13: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

13

B. VYANZO LINDWA /PROTECTED REVENUE SOURCES

120106 CHF

Halmashauri inakadiria kukusanya Tshs.150,000,000/= kutoka kwenye kaya

15,000 kwa Tshs 10,000 kwa kaya kwa mwaka wa fedha 2018/2019

150,000,000

USER FEES

Halmashauri inakadiria kukusanya Tshs.40,000,000/= kutoka kwenye Vituo vya

kutolea huduma za Afya kwa mwaka wa fedha 2018/2019

40,000,000

120105 NHIF

Kiasi cha Tshs. 75,008,000.00 kinatarajiwa kukusanywa kutoka mfuko wa Taifa

wa Bima ya Afya

75,008,000

120103 Ada ya shule za Sekondari (A’Level)

Halmashauri inatarajia kukusanya Tshs.81,480,000.00 ikiwa ni ada ya shule za

sekondari (A’Level) kutoka

Ndanda Sekondari. Wanafunzi 978 x 70,000 = 68,460,000.00,

Chidya Sekondari Wanafunzi 120 x 70,000 = 8,400,000.00

Ndwika Sekondari Wanafunzi 66 x 70,000 = 4,620,000.00

81,480,000

110815

Ushuru wa mazao ( Mfuko wa Elimu)

Halmashauri inakisia kukusanya TSh. 590,000,000.00 kutokana na Ushuru wa

mazao (Mfuko wa Elimu) kwa mchanganuo ufuatao:-

Zao Tani

Tegemewa

(2018/19)

Bei kwa

kilo

Ushuru

kwa kilo

Kiasi tegemewa

Korosho 28,000 1,450 20.00 560,000,000.00

Ufuta 1,800 2,000 5.00 9,000,000.00

Mbaazi 2,400 800 5.00 12,000,000.00

Mahindi 1,200 300 5.00 6,000,000.00

Choroko 600 1,200 5.00 3,000,000.00

JUMLA 590,000,000.00

590,000,000

B. JUMLA YA MAPATO LINDWA (PROTECTED SOURCES) 936,488,000

JUMLA KUU (A&B) 2,784,169,432

Page 14: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

14

Muhtasari wa Makadirio ya Mapato Kutokana na Mafungu mbalimbali.

Fungu/Maelezo Makadirio 2018/2019

Vyanzo vya Halmashauri 2,784,169,432.00

JUMLA 2,784,169,432.00

Vyanzo vingine:

Ruzuku – Mishahara 27,803,058,753.00

Ruzuku – Matumizi Mengineyo 3,786,711,990.98

Ruzuku ya Fidia 129,880,000.00

Mfuko wa Pamoja (Miradi ya Maendeleo) 3,499,848,050.00

JUMLA NDOGO 35,219,498,793.98

JUMLA KUU 38,003,668,225.98

Mlinganisho wa Mategemeo ya Miradi ya Maendeleo 2017/18 & 2018/19

S/N JINA LA MRADI 2017/2018 2018/2019

1 Ruzuku ya Maendeleo (LG-

CDG) Fedha za Ndani

1,400,444,000.00 1,400,444,000.00

2 Mfuko wa Jimbo 76,975,000.00 76,975,000.00

3 Mfuko wa Barabara (ROAD

FUND)

1,371,650,000.00 0.00

4 Elimu bila Malipo Sekondari 945,128,000.00 113,762,500.00

5 Ruzuku ya Maji (RWSSP ) 342,931,000.00 342,931,000.00

6 Ujenzi wa ukumbi na ofisi za

Halmashauri

600,000,000.00 600,000,000.00

7 Mfuko wa pamoja wa Afya 532,622,000.00 0.00

8 Elimu bila malipo Msingi 730,353,000.00 342,882,000.00

9 USAID BORESHA AFYA 0.00 615,953,550.00

10 UNICEF 82,674,000.00 6,900,000.00

JUMLA MIRADI YA MAENDELEO 6,082,777,000.00 3,499,848,050.00

Page 15: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

15

Mhe. Mwenyekiti, makadirio ya mwaka huu ni jumla Tshs. 38,003,668,225.98 ukilinganisha na

mwaka jana Tshs 27,503,742,000.00 Makadirio haya yamepanda kwa asilimia 38.18 ya

makadirio ya mwaka 2017/2018. Mapato ya ndani ni Tshs 2,784,169,432.00 Kiasi hiki

kinategemea kupanda kwa asilimia 12.06 ukilinganisha na mapitio ya 2017/2018.

F: MAKISIO YA MATUMIZI 2018/2019.

Mhe. Mwenyekiti, kwa mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashauri inakadiria kutumia

jumla Tsh 38,003,668,225.98 kwa mchanganuo ufuatao:-

i) Mishahara Tsh 27,803,058,753.00

ii) Matumizi mengineyo Tsh 3,916,591,990.98

iii) Miradi ya Maendeleo Tsh. 3,499,848,050.00

iv) Mapato ya ndani Tsh 2,784,169,432.00

JUMLA Tsh. 38,003,668,225.98

G: MAKISIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2018/2019 KAMATI

MBALIMBALI KAMA IFUATAVYO:

S/N KAMATI

OC -

SERIKALI

KUU

OC - MAPATO

YA NDANI MISHAHARA

MIRADI

JUMLA MAPATO

YA NDANI

NDANI

(SERIKALI

KUU)

NJE

(WAHISA

NI)

1

Elimu,

Afya na

Maji

3,673,296,993.96 422,488,000 24,289,786,468 590,000,000 1,313,629,550 965,784,550 31,254,985,558.98

2

Ujenzi,

Uchumi

na

Mazingira

119,006,000.00 48,000,000 973,709,420 493,072,573 0.00 0.00 1,633,787,993

3

Fedha

Utawala

Mipango

124,289,000.00 984,608,859 2,539,562,865 226,000,000 1,220,433,950 0.00 5,094,894,674

4 Kuthibiti

Ukimwi 0 0 0 20,000,000 0.00 0.00 20,000,000

JUMLA KUU 3,916,591,993.96 1,455,096,859 27,803,058,753 1,329,072,573 2,534,063,500 965,784,550 38,003,668,225.98

NB: Fedha za mapato ya ndani zitakazotumika kwenye miradi ya Maendeleo kwa asilimia 60 ya

makusanyo yote.

Kamati ya Elimu, Afya na Maji Tshs 590,000,000.00

Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira Tshs 493,072,573.00

Kamati Fedha, Utawala na Mipango Tshs 226,000,000.00

Kamati ya Kudhibiti Ukimwi Tshs. 20,000,000.00

Page 16: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

16

H: CHANGAMOTO:

Mhe. Mwenyekiti, pamoja na Bajeti hii, Halmashauri imepata changamoto mbalimbali

wakati wa utekelezaji wa mpango na bajeti ya 2017/2018.

1. Kupungua kwa mapato ya ndani kwa asilimia 40.41 na hii itafanya Halmashauri

kushindwa kutekeleza bajeti yake kama ilivyokuwa imejipangia kabla ya mabadiliko

hayo.

2. Fedha za miradi na matumizi mengineyo toka Serikali Kuu kupokelewa kiasi kidogo.

3. Halmashauri kutokuwa na usafiri wa uhakika baada ya kuchomewa magari tarehe 26

Jan 2013.

I: UFUMBUZI:

Mhe. Mwenyekiti, rasimu hii 2018/19 inalenga kutafuta mbadala wa vyanzo vya mapato

kama ifuatavyo.

Kujenga Ghala la mazao ambalo litakuwa chanzo cha mapato cha Halmashauri.

Kuongeza juhudi za ukusanyaji wa mapato ya ndani

Kuongeza au kupanua standi ya Ndanda

Mhe. Mwenyekiti, Naomba kuidhinishiwa jumla ya Tsh. 38,003,668,225.98 kati ya fedha

hizo, Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango inategemea kukusanya na kutumia jumla ya

Tshs. 5,094,894,674.00, Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira jumla ya Tshs.

1,633,787,993.00, Kamati ya Elimu, Afya na Maji jumla ya Tshs. 31,254,985,558.98 na

Kamati ya kudhibiti UKIMWI jumla ya Tshs. 20,000,000.00

Mhe. Mwenyekiti, naomba kuwasilisha.

Jeremiah J. Lubeleje

KNY. MKURUGENZI MTENDAJI (H/W),

MASASI

Page 17: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

17

KIAMBATISHO CHA MCHANGANUO WA MAPATO NA MATUMIZI YA BAJETI

YA HALMASHAURI YA WILAYA

(2018/2019-2020/2021)

I. MISHARAHA:

Kwa mwaka wa fedha 2018/19 kiasi cha Tshs. 27,803,058,753.00 kimeombwa kwa ajili ya

mishahara ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya yetu na kitatumika kwa mchanganuo wa

kiidara kama ifuatavyo:-

S/N KIFUNGU IDARA JUMLA

1 5004 Mshahara GSs and Above 1,910,249,595.00

2 5006 Utawala na Elimu Watu wazima 323,184,060.00

3 5007 Elimu Msingi 15,835,875,960.00

4 5008 Elimu Sekondari 5,301,903,898.00

5 5010 Huduma za Afya 670,890,480.00

6 5011 Huduma – Kinga 324,389,280.00

7 5012 Vituo vya Afya 1,037,329,200.00

8 5013 Zahanati 650,517,600.00

9 5014 Ujenzi 149,973,080.00

10 5017 Maji Vijijini 145,695,990.00

11 5031 Mishahara ya Watendaji wa Vijiji (VEOs) 629,313,270.00

12 5033 Kilimo 479,042,880.00

13 5034 Mifugo 344,693,460.00

JUMLA KUU MSHAHARA 27,803,058,753.00

Page 18: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

18

II. MAKISIO YA MATUMIZI YA MAPATO YA NDANI II:

Jumla ya Tsh. 2,784,169,432.00 zinategemewa kukusanywa na kugawanywa katika Sekta

mbalimbali za Halmashauri ili kutekeleza shughuli mbalimbali za Kiutawala na Miradi

mbalimbali ya Halmashauri kama ifuatavyo:-

S/N KASMA IDARA JUMLA

1 500 Mishahara 168,228,000.00

2 500B Utumishi 199,348,600.00

3 500C Madiwani 473,438,000.00

4 503A Sera, Mipango & Usimamizi 21,000,000.00

5 514A Sheria 8,000,000.00

6 500A Uchaguzi 6,000,000.00

7 515A Ukaguzi wa Ndani 16,399,259.20

8 502A Fedha Utawala 17,195,000.00

9 502B Fedha Final Accounts 20,000,000.00

10 502C Fedha Matumizi 15,000,000.00

11 502D Fedha Mapato 18,000,000.00

12 516A Ugavi 7,000,000.00

13 502E Biashara na Uchumi 7,000,000.00

14 506D Ushirika na Masoko 6,000,000.00

15 507D Elimu (M) Utamaduni 6,000,000.00

16 512A Ardhi Utawala 4,000,000.00

17 512G Maliasili Uwindaji 4,000,000.00

18 512F Maliasili Utawala 4,000,000.00

19 519A Maliasili Nyuki 2,000,000.00

20 518A Habari na Mawasiliano 8,000,000.00

21 527A Maendeleo ya Jamii 11,000,000.00

22 501A Mazingira 9,000,000.00

23 517A Upimaji wa Mashamba 8,000,000.00

24 509B Kuendesha shughuli za Kuboresha Elimu 90,000,000.00

25 508A LISHE 20,000,000.00

26 527B UKIMWI 20,000,000.00

27 527B Mchango wa Wanawake na Vijana (8%) 147,814,514.56

Page 19: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

19

28 527B Watu wenye ulemavu 36,953,628.64

29 509B Kuboresha miundombinu ya Elimu (Elimu

Msingi na Sekondari)

590,000,000.00

30 5010 Huduma za Afya (CHF-150,000,000 &

75,008,000 NHIF)

225,008,000.00

31 509B Ada-Elimu Sekondari 81,480,000.00

32 500A Ununuzi wa samani na vifaa vya mawasiliano

vya ukumbi wa Halmashauri

22,000,000.00

33 500A Kukarabati Choo cha Halmashauri ya Wilaya 4,000,000.00

34 500A Kununua Gari la Mkurugenzi Mtendaji 150,000,000.00

35 500A Michango ya Kisheria na uendeshaji wa Miradi

ya Wahisani wa maendeleo ndani ya halmashauri

(Enzkreis, JICA na AGA KHAN

30,000,000.00

36 506B Miradi ya Maendeleo – KILIMO, MIFUGO NA

UVUVI (40% ya Produce cess)

Ujenzi wa Ghala -253,965,130.00

308,304,430.00

37 500A Fedha kwa ajili ya Maafa 20,000,000.00

JUMLA MATUMIZI MAPATO YA NDANI 2,784,169,432.00

Page 20: HALMASHAURI YA WILAYA MASASI4 Mhe. Mwenyekiti, hadi Disemba 31 2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya Tshs. 11,963,860,240.81 toka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, Fedha

20

III. MATUMIZI MENGINEYO (OC):

Kwa mwaka wa fedha 2018/19 Halmashauri yetu inaomba jumla ya shilingi 3,916,591,990.98 ili

kugharamia matumizi mengineyo ya kiidara kama inavyoonesha katika mchanganuo ufuatao:-

S/N KIFUNGU IDARA JUMLA

1 500A Utawala 80,385,000.00

3 503E Biashara na Uchumi 10,000,000.00

4 505A Ukaguzi wa Ndani 15,904,000.00

5 500B Mipango 18,000,000.00

5 507C Elimu watu Wazima 6,000,000.00

6 507A Elimu Utawala 19,502,000.00

7 507B Elimu Msingi 1,044,040,934.00

8 509B Elimu Sekonari 1,423,423,959.00

9 512A Ardhi Utawala 10,000,000.00

10 508A Afya 107,273,000.00

11 508A Afya - MSD 365,000,000.00

12 508A Afya - HSBF 687,824,999,98

11 511A Ujenzi 22,693,000.00

12 510A Maji 20,232,000.00

13 512F Maliasili Utawala 10,000,000.00

14 519B Maliasili Nyuki 10,000,000.00

15 527A Maendeleo ya Jamii 10,000,000.00

16 506A Kilimo 26,548,600.00

17 506D Ushirika 10,000,000.00

18 505A Mifugo 9,764,400.00

19 501A Mazingira 10,000,000.00

JUMLA MATUMIZI MENGINEYO (OC) 3,916,591,990.00