108
K Kuhuzunika n na K Kuomboleza Harakati za Bibi Zainab Kimeandikwa na: Sayyid Jawad Naqvi Kimetarjumiwa na: Dk. Mohamed Salehe Kanju Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 1

Harakati za Bibi Zainab

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Maana ya azadari – ni kuomboleza. Kiistilahi, ni mkusanyiko wa watu wanaokusanyika sehemu moja iliyoandaliwa kwa ajili ya kumbukumbu na kuomboleza ushahidi, hasa wa Imam Husain AS (‘Alayhi ‘s-Salaam: amani iwe juu yake). Katika mkusanyiko huo (ambao ni maarufu kwa jina la “majlis”) hutolewa hutuba za kuwahamasisha waumini kuendeleza harakati aliyoianzisha Imam Husain AS ya kupambana dhidi ya watawala madhalimu na mafisadi ambao ni kikwazo cha maendeleo na ustawi wa jamii. Mwanzilishi wa azadari hii ni dada yake Imam Husain, yaani Bibi Zainab AS, ambaye alitoa hutuba ya kwanza kabisa kuhusu masaibu ya Karbala mbele ya mkusanyiko mkubwa wa watu katika baraza ya Yazid na mbele ya Yazid mwenyewe.

Citation preview

Page 1: Harakati za Bibi Zainab

KKuhuzunika nna

KKuombolezaHarakati za Bibi Zainab

Kimeandikwa na:Sayyid Jawad Naqvi

Kimetarjumiwa na:Dk. Mohamed Salehe Kanju

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 1

Page 2: Harakati za Bibi Zainab

©Haki ya kunakili imehifadhiwa na:AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 978 - 9987 - 512 - 80 - 5

Kimeandikwa na:Sayyid Jawad Naqvi

Kimetarjumiwa na:Dk. Mohamed Salehe Kanju

Kimepangwa katika Kompyuta na:Hajat Pili Rajab

Toleo la kwanza: Octoba, 2010Nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah Foundation

P.O. Box 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640

Simu/Fax: +255 22 2127555Email: [email protected]: www.alitrah.orgOnline: www.alitrah.info

Kwa kushirikiana na:Al-Mustafa International University,

S.L.P. - 3616Dar es Salaam.

TanzaniaBarua pepe: [email protected]

na:[email protected]: www.miu.ac.ir

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 2

Page 3: Harakati za Bibi Zainab

YALIYOMO

Sura ya Kwanza:Azadari kuhuzunika na kuomboleza)...........................................2

Azadari - Harakati .........................................................................5

Sura ya Pili:Ujumbe wa Ashura.......................................................................23

Sura ya TatuHamasa- Husein...........................................................................37

Sura ya NneMsimamo (istiqamat) somo kutoka karbala................................62

Khutba ya Mina - Imam Husein (a.s).....................................................89

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 3

Page 4: Harakati za Bibi Zainab

“Yeye Ndiye aliyempeleka Mtume katika watu wasiojua kusomaanayetokana nao, akiwasomea Aya Zake na akiwatakasa na akiwa-funza Kitabu na hekima, na ingawa zamani walikuwa katika upotovuulio wazi.” (Sura al-Baqara: 129)

UTANGULIZIKitabu ulichonacho mikononi mwako ni kazi nyingine nzuri ya UstadhSeyyid Jawad Naqavi. Tukio la Karbala na Ashura ambalo ni bahariyenye lulu zake zilizowekwa ndani kwenye kina, zinaweza tu kugunduli-wa na wale ambao wamelainishwa kabisa kwa fikra za Imamu Khomein(r.a) na kufanya mapinduzi ya marekebisho ya moyo wa kijamii katikajamii ambayo imeathiriwa na maradhi ya kijamii na ya vikundi mbali mbalivya kijamii. Huu ulikuwa ujumbe wa Imamu Husein (a.s), njia ya Kiongoziwa Mashahidi (wahanga) na hali halisi ya safari ya mateka kutoka Karbalakwenda mji wa Kufa, na kutoka Kufa mpaka Syria. Safari hii ya shujaadada yake Husein Ibn Ali (a.s) aliibadilisha kuwa harakati ambayoilionekana kama iliyolengwa kubadilishwa kuwa kama safari ya matekamasikini, wanyonge na wachovu. Hutuba za Bibi Zainab (as) zilizopakwarangi ya damu ya Husein na masahaba zake watukufu iliutikisa umma naufalme wa Yazid. Ilikuwa ni juhudi za watoto wa Fatima na Ali (as) –Husein na Zainab (as) - ambazo zimeifanya Karbala kuwa Hamasa yakudumu na kuvunja majaribio yote katika zama tofauti ya kubadilishatukio hili kuwa ugomvi wa kifamilia au tukio linalofaa tu kufanyiwa kum-bukumbu, kupatisha thawabu na kafara la dhambi.Kitabu hiki ni tarjuma ya makala tatu zilizoandikwa na Ustadh SyedJawad Naqvi katika jarida lake linalotoka kila baada ya miezi miwili; bi-monthly magazine Mashrabe Naab la mwezi wa Muharram – Safar.Vilevile kitabu hiki kina sura ya mwisho ambayo ni moja ya tarjuma yahutuba nyingine. Sura zote nne katika kitabu hiki zimelenga katikakumuamsha msomaji na kufanya maumivu katika moyo wake kuelekeakwenye mateso katika zama yake ambayo ni kioo cha taswira ya kile

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 1

Page 5: Harakati za Bibi Zainab

ambacho kilitokea wakati wa Imamu Husein (a.s). Chini ya mwanga wahatua za Imam Husein, maneno na tabia yake, kitabu hiki humshawishimsomaji kwamba wakati hali inayokuzunguka ni sawa na ilivyokuwawakati wa Husein Ibn Ali (as) na Zainab bint Ali (as), basi na wewe vilevileunahitaji kuonesha tabia kama ile ile iliyooneshwa na watu wa Karbala. Hakuna uhalali au sababu yoyote ambayo itakubaliwa kwa ajili ya kukaakimya bila kufanya chochote wakati watawala madhalimu wanatawalajamii, wakati maziwa na mito ya maji inapobadilika kwa damu za watuwasio na hatia.

Sura ya kwanza ya kitabu hiki ambayo ni mada ya kitabu hiki huelezea nakufichua asili halisi ya Azadari ambayo ni harakati ya haki kuelekeakwenye kuiangamiza dhulma na ukandamizaji. Katika sura ya pili, ambayoimepewa jina la “Ujumbe wa Ashura” ambao kama haukuelewekaunakuwa chanzo cha msingi cha kudorora na ukosefu wa harakati. Sura yatatu juu ya “Hamasa-e-Husein” huwasilisha jina halisi la somo la tukio laKarbala ambalo limekuwa lenye kuathiriwa na upotofu na limegeuka kuwakitu kingine mbali na kitu kinachohusika na harakati. Sura ya nne inahabari kama zile zile za sura ya tatu lakini pamoja na uchambuzi wa kihis-toria na mazingira ambayo yaliwafanya watu wapoteze matumaini nakuwa chini ya shinikizo lenye matokeo ya ukimya.

Kitabu hiki ni johari nyingine na ni kazi ambayo haiishii kwa Mashia tu,bali ni kitabu cha Umma wote wa Kiislamu, na kwa kweli kwa walewanadamu wote ambao wana maadili fulani yaliyo hai ndani yao.Namshukuru sana Allah (s.w.t) mara nyingine tena kwa kunibariki kwafursa hii kubwa kuwa njia ya kufikisha ujumbe huu wa haki, wenyekuamsha harakati kwa jumuiya ya wazungumzaji wa Kiingereza (na sasakwenye jumuiya ya wazungumzaji wa Kiswahili).

“Ewe Allah! Wakati wowote kama kuna haja ya hudumakwenye dini Yako, nipe kipaumbele na nifanye mimi wambele zaidi kama njia ya kufikisha.” Imam Sajjad (a.s).

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 2

Page 6: Harakati za Bibi Zainab

NENO LA MCHAPISHAJI

Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiingerezakiitwacho, AZADARI (Mourning and Lamentation) kilichoandikwa naSayyid Jawad Naqvi. Sisi tumekiita, Kuhuzunika na Kuomboleza.

Kitabu hiki ni tarjuma ya makala tatu zilizoandikwa na Ustadh SayyidJawad Naqvi katika jarida lake linalotoka kila baada ya miezi miwili -Mashrabe Naab, toleo la mwezi wa Muharram–Safar.

Maana ya azadari – ni kuomboleza. Kiistilahi, ni mkusanyiko wa watuwanaokusanyika sehemu moja iliyoandaliwa kwa ajili ya kumbukumbu nakuomboleza ushahidi, hasa wa Imam Husain AS (‘Alayhi ‘s-Salaam:amani iwe juu yake). Katika mkusanyiko huo (ambao ni maarufu kwa jinala “majlis”) hutolewa hutuba za kuwahamasisha waumini kuendelezaharakati aliyoianzisha Imam Husain AS ya kupambana dhidi ya watawalamadhalimu na mafisadi ambao ni kikwazo cha maendeleo na ustawi wajamii. Mwanzilishi wa azadari hii ni dada yake Imam Husain, yaani BibiZainab AS, ambaye alitoa hutuba ya kwanza kabisa kuhusu masaibu yaKarbala mbele ya mkusanyiko mkubwa wa watu katika baraza ya Yazid nambele ya Yazid mwenyewe. Kwa ujasiri mkubwa alitoa hutuba ambayo ili-uliza umati ule wa watu waliokuwepo pale kiasi kwamba hata Yazidmwenyewe alinywea na kutahayari. Na kutokana na hotuba hii kali, Yazidaliamuru wafungwa hawa akiwemo Bibi Zainab na mdogo wake UmmuKulthum, Imam Ali Zainul Abidin (Sajjad) mwana wa Imam Husain AS nakina mama wa familia za mashahidi wa Karbala, wafunguliwe minyororowaliyofungwa na watayarishiwe safari ya kurudi Madina.

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 3

Page 7: Harakati za Bibi Zainab

Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana , hususan wakati huu wamaendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote, ambapo uwongo, nganoza kale na upotoshaji wa historia ni mambo ambayo hayana nafasi tenakatika akili za watu.

Kutokana na ukweli huo, Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeamuakukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumuni yakeyaleyale ya kuwahudumia Waislamu, hususan wazungumzaji waKiswahili.

Tunamshukuru ndugu yetu, Dk. M. S. Kanju kwa kukubali jukumu hili lakukitarjumi kitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wote walioshirikikwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake.

Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitakuwa ni changamoto kubwakwa wasomaji wetu.

Mchapishaji:Al-Itrah FoundationS. L. P. 19701Dar-es-Salaam

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page i

Page 8: Harakati za Bibi Zainab

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 1

Page 9: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

2

SURA YA KWANZAAzadari

(Kuhuzunika na kuomboleza)Harakati ya Bibi Zainab (a.s.)

Allah Azza wa Jallah amewajalia Waislamu na hususan Waislamu Mashianeema mbalimbali na fursa ambazo kwamba tunakosa utambuzi wake(Maarifa). Kwa ajili ya kukosa utambuzi hatujui thamani ya neema hizi nakwa matokeo yake hatufaidiki na athari za neema hizi juu yetu. Neemakubwa kuliko zote ni kwamba Allah Aza wa Jallah ametujaalia sisi utam-buzi wa dhati Yake na kutufanya tuamini katika Mungu, kwa kuwasilishauthibitisho wa umoja Wake kwetu, ametufanya sisi ni wenye kuamini nakuabudu Mungu Mmoja, kwa kutufundisha njia za ibada Yake, amejaaliawaabudu (kupatikana), upole na ukarimu Wake umetuongoza sisi kwa taaya Utume, ametupa sisi dini halisi ya Uislamu, ameteremsha Kitabu –Qur’ani Tukufu - , ametufanya sisi kuwa wafuasi wa Mtukufu Mtume(s.a.w), na ametujaalia mapenzi na utiifu kwa kizazi cha Mtukufu Mtume(s.a.w), na mbali na haya kuna maelfu ya neema nyingine tulizopewaambazo hatuna habari nazo kabisa na kwa hiyo hatuna shukurani kwaneema hizo; lakini bado Allah Aza wa Jallah hakututupa katika neema hizi.Allah ametupa maelfu ya fursa; ambazo umuhimu na ubora wake hatuujuikwa sababu hatunufaiki kwa fursa hizi tulizopewa ingawa baadhi ya fursahizo ni zenye kutosheleza haja ya kuifanya Akhera yetu kuwa nzuri.

Moja ya neema miongoni mwa hizi ni Azadari (mikusanyiko ya huzuni nakuomboleza) ya Kiongozi wa mashahidi (a.s) ambaye Waislamu wengihawana ujuzi naye, baadhi wamekuwa waathiriwa wa mashaka na uzushi,na kwa huzuni kubwa kabisa kuna wachache ambao kwa ajili ya ujingawamekuwa maadui wa Azadari. Hata wale ambao wamekubali nakuitekeleza Azadari na wao vilevile hawana ujuzi sawasawa wa uhalisiwake na hawatambui hadhi na cheo chake kitukufu. Fursa, muda wa ziada

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 2

Page 10: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

3

na neema hupotezwa kwa sababu ya utovu wa shukurani, na adhabu kwaajili ya matendo kama hayo kutoka kwa Allah ni kali sana kwa sababuhasara inayotokana na upotezaji wa fursa hii ni ya juu sana hususan kwafursa zile ambazo kupatikana kwake kumetokana na juhudi kubwa,mihanga na shida. Allah Aza wa Jallah havumilii uzembe na wingi waneema hizo ambazo kwazo mtaji mkubwa umetumika.

Fursa ya Azadari haikuja kwetu kwa urahisi; kwa hili mtaji mkubwa waulimwengu umetumika; kwa hili watakatifu kabisa wa wanadamuwamepatwa na misiba isiyofikirika kutoka kwenye mikono ya wanadamuwachafu kabisa, waovu.

Kama utambuzi wa Azadari unapatikana, basi mtu kuwa Azadar kamwehakutachukuliwa kama dosari, bali itakuwa ni kitu kitukufu. Hapo ndipoAzadar atatambua ukweli halisi ambao kwamba amejihusisha nao, navilevile atafahamu kuhusu majukumu yake. Kiwango chochote cha uone-shaji wa shukurani utachukuliwa kama pungufu kwa wale ambao wame-pokea fursa hii kubwa ya Azadari – na Mungu aepushilie mbali – kamawanakuwa sababu ya madhara yoyote kwa Azadari, hivyo hakutakuwa najinai kubwa kama hii. Ni muhimu kufahamu kwamba mwanadamu hawezikutekeleza haki ya kitu chochote bila utambuzi wake; bila utambuzi tendohaliwezi kufikia lengo lake na haliwezi kuwasilishwa katika njia ambayoinatakiwa kuwasilishwa.

Amma kwa matendo bila utambuzi, Imamu Ali (a.s) anasema:

“Watu wawili wameuvunja mgongo wangu; Mwanachuoni bila matendona mjinga afanyaye matendo.”

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 3

Page 11: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

4

Ali (a.s) anasema kwamba; wote, mwanachuoni ambaye ana ujuzi lakinihaifanyi elimu yake kuwa ya matendo na yule mtu mjinga ambayeanafanya matendo lakini bila ujuzi na utambuzi wameuvunja mgongowangu. Maana ya kuuvunja mgongo wa Imamu ni kuvunja mgongo wadini. Matokeo ya matendo haya yote ya mwanachuoni bila vitendo navitendo bila ujuzi yako sawa; yaani yote huwa ni sababu ya kuidumazadini, kuwaweka watu mbali na dini na kuvunja migongo ya Viongozi.Kitendo chochote kinachofanywa kwa utambuzi, hutoa matokeo (mazuri)wakati ambapo hata kwa maisha yote kama kitu kinafanywa bila utambuzi,hakitoi matokeo mazuri. Kama rakaa mbili zinaswaliwa kwa utambuzizitatoa matokeo, wakati ambapo kama sijda inafanywa kwa maisha yotebila utambuzi haitatoa matokeo yoyote. Kama mwenye utambuzi akiian-galia tu Ka’ba Tukufu atapata matokeo wakati ambapo mtu ambaye hanautambuzi hata akifanya tawafu kuizunguka Ka’ba Tukufu kwa maishayake yote, hatapata matokeo. Halikadhalika kama Azadari inafanywa kwautambuzi itatoa matokeo, lakini kama ikifanywa bila utambuzi itakuwahaina athari yoyote.

Hivyo kila kitendo lazima kifanywe kwa utambuzi; tokwa na machozi laki-ni pamoja na utambuzi, piga kifua chako lakini pamoja na utambuzi; somatenzi za huzuni na mashairi ya maombolezi lakini pamoja na utambuzi,soma sifa za Ahlul Bayt (a.s) lakini pamoja na utambuzi na andaa Majalisna khutba za misiba lakini pamoja na utambuzi. Shughuli zote hizi lazimaziwe pamoja na utambuzi, na kama matendo yanafanywa pamoja na ujuzisahihi na utambuzi, basi hakuna mtu atakaye kupokonya haya, lakini kamayanafanywa bila utambuzi, basi mtu yeyote anaweza kukupokonya kwakufanya mashaka kidogo tu kuhusu vitendo vyako, wakati mwingine kwahila, wakati mwingine kwa upotoshaji na wakati mwingine kwa kukufanyawewe ulale usingizi. Kama mtu akilala, basi mazuri yake yote yako hatari-ni na kwa kawaida watu huibiwa wakiwa wamelala. Wale ambao wanalalakwenye viwanja vya ndege na kwenye stesheni za reli mizigo yao hupoteana wakati wakiamka wanakuta kwamba wameibiwa na kuna baadhi yawapumbavu wanaweza wakajisikia furaha kwamba sasa hawahitaji kube-

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 4

Page 12: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

5

ba mizigo yao.

Iqbal ana malalamiko haya kutoka kwenye jamii yake. Allama Iqbal anase-ma: “Ole juu ya wenye kushindwa! Bidhaa za msafara zilikuwa zinapotea.Na msafara unaendelea kupoteza hisia za hasara hiyo.”

Inasikitisha kwamba bidhaa za msafara zilikuwa zinapotea, lakini bayazaidi ya hili inasikitisha mno kwamba msafara hata hauhisi kwamba bid-haa zao zinapotea.

Azadari ni desturi ya bimkubwa Zainab (a.s) na desturi hii kubwa inakadiri mbili; kadiri moja ni ile ya faida zake na kadiri ya pili ni ile ya mad-humuni ndani yake. Faida ya Azadari ni thawabu lakini madhumuni yaAzadari ni kitu kingine. Tunahitaji kuja na kuelekea kwenye madhumuniya kuhuzunika na kuomboleza ambako hutufikisha kwenye ibada na dini.Hata kama hatukusudii kupata thawabu bado tunapata thawabu, lakinilengo haliwezi kupatikana mpaka tukusudie kwalo. Lengo lenyewehumaanisha kitu ambacho pamoja na nia na haliwezi kupatikana bila nia.Thawabu zaweza kupatikana bila utambuzi, lakini lengo haliwezikupatikana bila utambuzi.

Azadari – harakati:

Desturi ya Azadari (kuhuzunika na kuomboleza) ni harakati. Azadari kati-ka asili yake, kuwepo na uhalisi wake ni harakati. Harakati ni kukifanyakitu kiwe katika hali ya mwendo. Hii humaanisha kwamba kama kitu kinamwendo wa ufanyaji kazi na kimeacha kufanya kazi yake na kudorora, kitufulani kingine kikaja na kukifanya kuwa katika mwendo, basi hiyo huju-likana kama harakati, Allah Aza wa Jallah amemfanya mwanadamu katikahali ambayo kwamba lazima aendelee katika hali ya harakati na harakatihii ni ya kuelekea kwenye utukufu wa Mungu. Qur’ani Tukufuimemuelezea mwanadamu kama mhamiaji kuelekekea kwa Allah:

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 5

Page 13: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

6

“Ewe Mtu! Hakika wewe ni mwenye kufanya juhudi (harakati) kwaMola wako, juhudi (harakati) ambayo utaikuta.” (84:6)

Maisha ya mwanadamu yako katika harakati; kama harakati ikisimamamwadamu hufariki. Kama harakati ya moyo ikisimama mwili hufa. Hii niharakati moja ambayo kama ikisimama mwanadamu hufariki, lakini kunaharakati kadhaa za aina nyingine ambazo vilevile zina matokeo ya ainatofauti ya vifo. Ukimya, utuliaji na udororaji vilevile ni vifo. Hii humaan-isha kwamba kama harakati ya moyo inasimama, basi ni kifo, na roho yamwanadamu vilevile iko katika hali ya harakati ambayo nayo ikisimamabasi hiki ni kifo. Halikadhalika jamii ya mwanadamu vilevile iko hai kwasababu ya harakati, na jamii vilevile hufa kama harakati ikisimama. Ummavilevile uko hai kwa sababu ya harakati na kama harakati ikisimama basiumma vilevile hupatwa na kifo. Dini na itikadi vilevile ziko hai kwasababu ya harakati, na bila harakati dini vilevile hufariki. Ulimwengu wauhai vilevile huishi kwa sababu ya harakati na bila ya harakati ulimwengumzima ungeangamia. Udororaji na ukimya vyenyewe ni majina mengineya kifo. Maji ni mfano mzuri wa kuelewa uhusiano wa harakati na maishana udororaji na kifo.

Maji ambayo ni elementi ya msingi wa kuishi kwa kila kitu yenyewe yakohai kwa sababu ya harakati. Kama harakati ikisimama maji vilevile hufari-ki. Maisha ya maji yako kwenye kutiririka kwake, yanakuwa hai wakatiwote yanapotiririka, kama yakisimama hufariki. Maji yaliyotuama(kudorora) huitwa dibwi lilotuama au hori ambalo kwalo maji ya mvua,maji ya mafuriko na vijito vichafu vya maji humiminikia humo lakinihakuna njia ya kutokea. Kwa vile hakuna njia ya kutokea maji yale yaliy-ojikusanya hufariki. Uajemi kuna jina sahihi kwa hali hii, huitwa “Murd-Aab” yaani maji yaliyokufa. Katika maji haya hakuna maisha au uhai; kwakweli kama maji haya atapewa mtu kunywa atafariki. Kama maji yaliyok-

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 6

Page 14: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

7

ufa yatapewa kwa kiumbe hai hukiuwa vilevile kiumbe kile hai. Alama zamaji yaliyokufa ni kuwepo kwa aina mbili za viumbe ndani yake; moja nivyura na cha pili ni ruba.

Ruba ni mdudu anayeishi katika madibwi yaliyotuama na mahori macha-fu, mdudu ambaye kazi yake ni kung’ang’ania kwenye miili ya wanyamana viumbe wengine na kunyonya damu zao. Inasemekana kwamba mduduhuyu mdogo ana uwezo wa kunyonya damu mara kumi ya uzito wake nawakati mwingine hutumika kunyonya damu chafu kutoka kwenye miili yawanadamu. Kazi ya chura ni kusema na kupiga makelele. Kazi yake kubwaya kuwepo kwake ni kufanya makelele na sauti zisizo na maana. Wakatiwowote viumbe hawa wawili wanapoonekana kwa wingi basi maji hayokwa hakika yamekufa.

Mfano wa jamii ya mwanadamu vilevile unafanana; kama kuna harakatiiko hai, kama ikijielekeza kwenye odororaji basi inakufa. Jamii iliyokufani kama dibwi la maji machafu ambalo huzalisha ruba, vyura waduduwenye madhara na vijidudu viini vya maradhi. Uhalifu ni mwingi sanakatika jamii zilizokufa, dhulma na uchafu wa maadili ni jambo la kawaidakatika jamii iliyokufa, soko la uovu liko juu, wizi na udanganyifu ni jambola kawaida, mauwaji ya watu maarufu, mauwaji na ugaidi huwa ni kitu chakawaida, na juu ya haya yote kuna wale walaghai ambao hunyonya damuya jumuiya zilizokufa na hivyo kuzifanya jumuiya hizo kuwa dhaifu nawao wenyewe kustawi. Jamii hii huzaa mfumo wa tabaka na kwa sababuya hilo ruba wachache huwa wamiliki wa mitaji yote, utajiri na rasilimalizote. Ukabaila ni urithi wa jamii zilizokufa. Katika mfumo wa kikabailadamu yote ya jamii inanyonywa na mtu wa kawaida hawezi hata kupatamahitaji yake ya kila siku na hivyo uwezo wa harakati hufikia mwisho.

Qur’ani Tukufu imeanisha utajiri na rasilimali kama njia za harakati kwaajili ya jamii; hubeba hadhi ya uti wa magogo kwa ajili ya jamii. Mtuambaye uti wake wa mgongo umevunjika hawezi kusimama na kutembea.Halikadhalika kama utajiri wa jamii unaibiwa na kuishia mifukoni mwa

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 7

Page 15: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

8

mabepari wachache basi jamii nayo haiwezi kuwa katika hali ya harakati,huanguka chini, huwa dhalili na masikini. Qur’ani imeelezea hali hii kamakukanyangwa chini (Miskin) yaani ni wakati jumuiya inapobadilika kuwachini na haitaki kuingia kwenye harakati. Wakati mabepari wanakusanyautajiri kwa ajili ya vizazi vyao kumi vijavyo, kizazi kilichopo cha ummahakipati chakula na maji ya kutosha. Utajiri ambao unaibiwa kutokana namahitaji ya msingi ya watu unatumika katika anasa na ufujaji mkubwa wamali unaofanywa na mabepari na makabaila. Watu wa jamii ile ambaohawana uwezo wa kupata mahitaji yao ya kila siku hupoteza uwezo waowa harakati na maasi; mawingu ya kifo siku zote yanagonga kwenye vich-wa vyao; udhalili na umasikini vimekuwa ndio majaaliwa yao. Hali hii iki-jitokeza katika jumuiya basi hali hiyo haiishi kwa urahisi, kwa kweli huen-delea kwenye kizazi kijacho. Watoto wa ombaomba nao vilevile niombaomba na watoto wa makabaila nao vilevile ni makabaila. Leo nchinyingi za Waislamu na watu ni masikini wa kutupwa kwa sababu hii;wamerithi umasikini kutoka kwenye kizazi chao kilichopita.

Viumbe wengine kama ruba na vyura wanapatikana katika jamii iliyodor-ora. Katika jamii iliyotuama na kudorora watu ambao huzungumza tu sanahupatikana kwa wingi sana lakini hawana tabia za busara. Wanasiasawanatosheka kwa kutoa tu kauli badala ya kufanya siasa za busara.Watawala hawachukui hatua yoyote na kuwafanya watu wajinga na kuwa-pa ahadi za uwongo. Viongozi wa dini vilevile wanatosheka kwa manenomakubwa na hutuba zisizo za kiroho. Wasomi wajuzi huchukulia ukosoajikuwa unatosha, ambapo kwamba watu huibua tu misemo ya kaulimbiu.Zote hizi ni sifa za vyura ambazo huzipata katika maisha yake katikadibwi.

Kuna madai makubwa hufanywa katika jumuiya zisizo na harakati na zili-zodorora lakini matendo hakuna. Kila mahali wadai huonekena lakini wotehawana unyofu katika madai yao. Baadhi wanadai kuwa wao ni washikabendera (au viongozi) wa jumuiya, baadhi wanadai kuwa wao niwachamungu sana, baadhi hudai kuwa wanao uwezo mzuri zaidi, baadhi

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 8

Page 16: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

9

hudai kwamba wana unyofu wa hali ya juu, baadhi wanadai kuwa watu-mishi wa jumuiya, baadhi wanadai kuwa watu wa dini sana, baadhi kamawazalendo lakini nyuma ya madai haya matupu na yasiyo ya kimoyo sichochote bali ni uwongo, udanganyifu, ulaghai na unafiki. Kama watuwakidanganyika kwa hutuba na madai haya, na kujisikia raha kwambamazingira yao yatabadilika kwa maneno haya, basi mbali na kuwa ndoto sichochote. Hii ni kama kumsumbua mtu ambaye anajisikia raha kwa kusik-iliza kelele za vyura na kufikiria kwamba kundi kubwa linakuja kumsaidia.Vyura wa kisiasa za kidini hawawezi kutegemewa kwa uhai wa jumuiyayoyote.

Katika maji yaliyotuama na yasiyo na harakati kuna viumbe wengine hatarisana wanaopatikana humo ambao hawaonekani kwa macho na iliwaonekane huhitajika darubini. Viumbe hawa ni viini vya maradhiambavyo hueneza magonjwa. Lazima tuelewe kwamba viini hivi huzaliwakatika mazingira machafu na katika maji yaliyotuama. Kuna aina mbili zaviini vya maradhi; kundi moja linaitwa Bakteria na kundi lingine huitwavirusi, vyote hivi hueneza magonjwa lakini njia zao za kushambulia nitofauti. Bakteria hungia mwilini na kushusha chini nguvu za mwili, huzuiachakula kuingia mwilini na zenyewe hukifyonza chakula hicho au huki-haribu. Njia ya kushambulia ya virusi ni tofauti; huingia mwilini nakuharibu mfumo wa mwili. Huchukuwa uendeshaji wa shughuli mbalim-bali za mwili, na hii ndio sababu ambayo hufanya ugumu zaidi kutibumagonjwa yanayosababishwa na virusi.

Viini hivyo vya maradhi huzaliwa ndani ya jumuiya na jamii zilizokufahalikadhalika. Baadhi ya hizo ni kama bakteria wanaoeneza magonjwa yakijamii na ya vikundi katika jamii, ambapo baadhi ni kama virusi ambavyohuifanya jamii idumae. Wale ambao huchukua hongo hufanya kama bakte-ria. Wezi, wanyang’anyi na majambazi huzuia au huharibu nguvu za jamii,lakini wale wanaoingia ndani ya vituo nyeti na vyama muhimu vyajumuiya na kudhibiti mfumo wa kijamii ni virusi vya kijamii. Wanapatavyeo vya kisiasa, vya kijumuiya, vya kielimu, vya kidini na vya kiuta-

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 9

Page 17: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

10

maduni na kuifanya jumuiya yote kudumaa. Jumuiya na jamii zilizokufa niwaathirika wa majanga haya.

Swali muhimu linalokuja hapa ni kwamba jamii au jumuiya inapokufa nakupatwa na magonjwa yote haya kwa sababu ya kudorora na ukosefu waharakati basi vipi itaokolewa jamii hii? Vipi watapata ukombozi? Watumbalimbali na vikundi wamejibu swali hili. Wanafikra wa kijamii wengiwamefariki na wamewasilisha maoni mbalimbali na taratibu za jinsi yakutoa ukombozi kwa wanadamu. Kila mtu amefikiria kwa akili yakemwenyewe na chochote walichokifikiria kwa njia hii na juhudi zaohushukuriwa, lakini maoni na fikra hizi haziwezi kamwe kuleta uhaikwenye jumuiya zilizokufa. Ili kuhuisha jumuiya iliyokufa, kwanza lazimatuangalie ni kwa nini imekufa? Jamii hufariki wakati harakati ndani yakeinaposimama. Kama kukosekana kwa harakati ndio sababu ya kifo chake,basi ili kuihuisha tunahitaji kujenga harakati ndani yake; na marainapoingia katika harakati, polepole itapata uhai ndani yake.

Ni sawasawa na kinachofanywa wakati moyo unaposimama kupiga.Wakati moyo uposimama kupiga au ukiwa dhaifu, basi njia mbalimbalihufuatwa kuurudishia uhai wake; kama vile kupumua kwa kutumiavyombo, kifua kuminywa ili kuufanya moyo urudie hali yake ya harakati.Wakati moyo unapoanza kupiga dalili za uhai huwa dhahiri; na kila mtuhutabasamu, kwa sababu moyo kupiga ni dalili ya uhai na kuishi. Kwamoyo kuanza kupiga tena mgonjwa hupata maisha mengine na uhai wakekuwa umerudishwa. Lakini ni nini kifanyike wakati umma unapofariki?Vilevile umma hufariki kwa sababu ya kukosa harakati. Hivyo ili kuurud-ishia uhai umma uliokufa tunahitaji kuleta harakati ndani yake ili kwambaudororaji na ukimya wa umma uweze kuvunjwa. Ukimya wake lazimauvunjwe na mawimbi ya hekaheka lazima yaanzishwe ndani ya umma huo.Lazima ugeuke kuwa wa mafuriko na lazima litengenezwe tufani ndani yamaji haya yaliyotuama.

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 10

Page 18: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

11

Njia ambayo kwa ubora kabisa Allamah Iqbal ametambua ugonjwa waumma na ametoa utaratibu kwa ajili ya ukumbozi wake. Katika rai yaAllamah Iqbal, ugonjwa wa umma ni kwamba harakati ndani yake imesi-mama, na kwa ajili hiyo umma huu umekufa na kwa hiyo kuna haja yakuurudisha kwenye uhai wake. Allamah Iqbal anasema katika Zarb-e-Kalim:

“Moyo uliokufa sio moyo tena; urudishe tena kwenye uhai. Kwani hii ndiotiba ya ugonjwa wa umma. Bahari yako imetulia, huu ni utulivu au niuchawi? Wala samaki wakubwa hamna, na hamna mawimbi wala ufukwewake hausumbuliwi. Huna ujuzi wa bara na bahari. Wala dalili dhaifu zanyotahazikufanyi uhangaike”.

Moyo uliokufa sio moyo kabisa na lazima uhuishwe kwa sababu kuishikwake kuko katika harakati (mapigo) yake. Moyo unaitwa moyo kwasababu uko hai na unadunda; na tiba kwa ajili ya maradhi ya muda mrefuya umma iko ndani ya hili. Asili ya maradhi ya umma ni ukosefu waharakati ndani yake ambapo kwayo hufariki na tiba kwa ajili ya maradhi aukifo cha umma ni kuuhuisha na kurudia uhai wake. Allamah Iqbal ana-iambia jumuiya yake na anasema kwamba bahari yako imetulia na sielewiiwapo ni utulivu au ni uchawi (kwa sababu bahari haiwezi kutulia), kwasababu haina viumbe wa bahari au samaki wakubwa, sioni mawimbi yoy-ote au ghasia ndani yako, na pwani na fukwe yako hazina mahangaisho(yaani hazikuathiriwa na majanga).

Anachokusudia kusema Allamah Iqbal ni kwamba umma na jumuiya nikama bahari na kuishi kwa bahari ni katika maji kupwa na kujaa na ghasia.Bahari nzuri ya kupendeza ni ile yenye tufani, mawimbi, maji kupwa nakujaa, vimbunga; lazima iwe na samaki wakubwa kama vile papa nanyangumi. Bahari ni ile ambayo kwamba fukwe zake zinahangaishwa kwasababu ya kupigwa na mawimbi na maji kupwa na kujaa. Ukimya nautulivu ni kifo cha bahari, na bahari ambayo haina samaki ndani yake nibahari iliyokufa; bahari ambayo kwamba fukwe zake haziguswi na zime-

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 11

Page 19: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

12

tulia basi bahari hiyo imekufa. Ukimya ndani ya bahari ni dalili ya ainafulani ya uchawi, kwa sababu ni kinyume cha tabia ya bahari.

Jumuiya na umma vilevile ni kama bahari ambazo kuishi kwake ni katikaharakati, matufani, vurugu na machafuko. Ukimya na udororaji ni kifo chajumuiya. Dalili za kifo cha jumuiya ni kwamba watu wenye haiba kubwana viongozi hawazaliwi katika jumuiya hizo, badala yake huzaliwa ruba,vyura na viini vya maradhi. Fukwe za jumuiya zilizokufa ni wapenda anasaambao huhusika na kujirembesha na mapambo. Tabibu huyu wa ummaanawaambia hao kwamba mpaka sasa bado hamna ujuzi wa siri na kina chandani cha upande wa anga za juu. Mvuto wa nyota hauwafanyimuhangaike. Hii ina maana kwamba leo matukio ya ulimwengu, hali namambo mbalimbali hupeleka dalili za kuvutia kwenu, lakini hamna hisiazilizobakia ndani yenu. Ujumbe nyuma ya dalili hizi hauwaletei ndaniyanu maumivu na uhangaisho.Iqbal anawaambia wanafunzi wa umma wake:

“Allah akuingizeni katika tufani. Maji kupwa na kujaa kwa bahari yenuhakunavurugu yoyote.”

Hii ina maana ninyi ni bahari lakini bila mawimbi na kama kiasi cha majikupwa na kujaa kinapotokea kinakuwa hakina vurugu na ghasia ndaniyake, lakini badala yake mawimbi yenu hayana uhai na hayana roho.Mnakuwa hamna ari ya hali ya juu, wala kazi zenu hazina hadhi nahamkusudii kuchukua hatua yoyote kuelekea kwenye malengo makubwana kazi kubwa.

Anasema katika Armaghane Hijaz:

“Kwa nini hakuna tufani katika bahari yenu,Kwa nini sioni nafsi zenu ndani yenu, Enyi Waislamu!”Kwa vile sasa tunafahamu kwamba tiba ya umma uliokufa ni kutengenezaharakati ndani ya umma hizo, kutengeneza matufani katika bahari zao zili-

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 12

Page 20: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

13

zotulia na kutengeneza hekaheka katika mawimbi ya jumuiya zilizokufa;swali ambalo linakuja ni jinsi gani ya kutengeneza harakati hizi, tufani nakimbunga? Na ni nani anayeweza kufanya kazi hii kubwa? Jawabu kwahili ni muujiza ambao Allah Aza wa Jallah aliompa Nabii Isa (as) kupuliziauhai katika miili iliyokufa. Nabii Isa kwa amri ya Allah alikuwa anarudishauhai kwa mtu ambaye mwili wake umekufa na ambaye moyo wake umes-imama. Hivyo tunaweza kusema kwamba Allah amemfanya mwana waMariam (as) mkombozi wa miili iliyokufa; halikadhalika Allah Aza waJallah vilevile ametengeneza mkombozi kwa kupulizia roho ndani yajumuiya zilizokufa na umma zisizo na uhai. Muujiza wa mkombozi huyuni kurudisha uhai kwenye jamii zilizokufa na kupulizia roho ndani yajumuiya zilizokufa. Jina la mkombozi huyu ni Mwana wa Zahra (as);Husein ibn Ali (as).

Kiongozi wa Mashahidi (as) aliona kwamba bahari ya umma wa Waislamuambao kwawo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitengeneza matufani kwa maranyingine tena umekuwa muathirika wa udororaji; mawimbi yake yenyehekaheka yamekuwa tulivu na harakati zake zimekuwa kimya na kudoro-ra. Aliona kwamba ilikuwa ni umma uleule ambao humo wanadamumashujaa na wenye heshima walizaliwa humo kabla, lakini sasa waduduwabaya (wenye kushambulia nafaka) kama vile Yazid wamejitokeza; tabiachafu na dhulma imekuwa jambo la kawaida, vifusi vya matendo maovuna tabia mbaya vimeeneza harufu mbaya na balaa kila mahali. Hazina yaWaislamu (Bayt-ul-Maal) inanyonywa na ruba, kuporomoka kwa maadilikumeanza, viini mbalimbali vya maradhi vimeingia kwenye shughulimabalimbali za umma, juu ya haya yote wakandamizaji wamepata nafasi(vyeo) kwenye ngome ya umma, yaani mamlaka ya utawala, na BanuUmayya wameufisidi umma wote wa Waislamu kwa uovu wao. Yeye (a.s.)aliichukulia hiyo kuwa ni haja ya kuusafisha umma kutokana na maovuyote, kuwazindua na kutengeneza harakati ndani yao. Ili kuzamisha hali yau-Yazid kuna haja ya kutengeneza hekaheka, mawimbi na matufani ndaniya bahari iliyotulia ya umma. Kiongozi wa Mashahidi (a.s.) anasema:

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 13

Page 21: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

14

“Natoka kwa ajili ya kuutengeneza (mageuzi ya) umma wa babu yangu, kuamrisha

mema na kukataza maovu.”

Mageuzi (matengenezo) hufanywa juu ya kitu ambacho kimeharibika,hivyo tunaweza kuelewa kutokana na maelezo haya kwamba umma ume-haribika kwa hiyo Kiongozi wa Mashahidi (as) alitangaza mageuzi yaumma. Kiongozi wa Mashahidi anasema kwamba ni kwa sababu ya dhul-ma ndani ya umma kwamba mtu kama Yazid amekuwa mtawala. Kamajumuiya ziko hai, maadili yao yako hai na wana harakati ndani yao, basiYazid asingeweza kujitokeza na kuwa mtawala. Kwa mujibu wa Kiongoziwa Mashahidi (as) dhulma kubwa sana ya umma ni kwamba umekuwakimya na kudorora; unyofu unakanyangwa mbele ya macho yao nawanageuka kuwa watazamaji, hali ya u-Yazid inapata malezi mbele yao nawamekaa bila kujali, damu ya wenye kukandamizwa inamwagwa kwadhulma mbele yao na wamekaa kimya.

Kiongozi wa Mashahidi (as) anasema:

“Wakati umma utakapopaza sauti zao kwa ajili ya haki zao binafsi na zawazee wao lakini wakajizuia kupinga wakati haki za dini na mipaka iliy-owekwa na Allah Aza wa Jallah inakiukwa, basi uwe na hakika kwambaumma huo umekufa na umma kama huo unahitaji mageuzi.”

Kiongozi wa Mashahidi (as) anaeleza kwamba mageuzi ya umma ni mwe-nendo wa Mjumbe wa Allah (s.a.w.w.) kwa sababu Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alihuisha jamii iliyokufa kabla ya ujio wa Uislamu, alipuliziaroho ndani ya jamii hiyo na kuwabadilisha kuwa umma ulio hai na bora.Mjumbe wa Allah (s.a.w.w.) alitengeneza tufani ndani yao, aliwabadilshawafugaji kuwa kama Abu Dharr, aliwafanya wakazi wa jangwani kuwa

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 14

Page 22: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

15

wakazi wa mbinguni, alitengeneza hisia miongoni mwa wale ambaowalikuwa wakipoteza wakati wao katika mashairi, kusengenya na mihad-hara isiyo na maana, akawafanya watu wenye kupenda starehe washaghu-likaji. Bethat kwa jina lake ni uzinduzi, utiaji moyo, kubadilisha na kum-fanya mtu asimame, akimbie, kuwa na uchungu na kuingia katika maka-biliano. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alizinduliwa na Allah Aza wa Jallah naumma ulizinduliwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), lakini baadae ummahuu uliozinduka ukarudi tena kwenye usingizi na umma huu uliochangam-ka ukawa kwenye hali ya kudorora.

Qur’ani Tukufu inasema: Mlikuwa mmekufa na Allah akanyanyua Mtumemiongoni mwenu ambaye alikuja na kuwarudisheni kwenye uhai.

“Yeye ndiye aliyempeleka Mtume kwa watu wasiojua kusoma, awa-somee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapokuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhahiri.” (Sura al-Jum’a: 2)

Tulinyanyua Mtume miongoni mweni wakati ambapo mlikuwa katika ujin-ga ulio wazi na upotofu ulio dhahiri. Mlikuwa mkila na kunywa lakinijamii ilikuwa imekufa. Dalili ya kifo kwa jamii hii iliyokufa ilikuwakwamba ma-Abu Jahil walizaliwa katika jamii hii. Jamii hii imemzaa AbuLahab, Abu Sufyani na kizazi chake. Kama umma haukufa basi viinimaradhi hivi havizaliwi ndani yao. Ruba na vyura havizaliwi katika jamiiiliyo hai. Samaki huzaliwa katika maji hai, na kama maji yana uhai wa haliya juu basi samaki wakubwa kama papa wanazaliwa katika makazi hayokatika bahari. Kuna watu wakubwa ulimwenguni wanazaliwa katika jamiizilizo hai na viongozi wa kiulimwengu wanazaliwa. Kama Khomeinanazaliwa katika umma, basi sababu yake ni kwamba hii ilikuwa ni kwasababu umma ulikuwa una busara. Kama Nasrullah anazaliwa Lebanon,

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 15

Page 23: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

16

basi busara waliyo nayo umma huo vilevile ina nguvu katika hili.

Kama Kiongozi wa Mashahidi anaulizwa: “Ewe Husein! Unakwendawapi?” Jibu litakuwa kwamba umma umedorora, mawimbi yake yametu-lia na ninakwenda kutengeneza harakati ndani yao.

“Natoka kwa ajili ya kuutengeneza(mageuzi ya) umma wa babu yangu,

kuamrisha mema na kukataza maovu.”

Amr Bil Ma’ruf maana yake kuupa umma harakati; ni kama kusema; Eweumma! Ingia kwenye harakati, zinduka na ufanye Amr Bil Ma’ruf, pingenimaovu, teteeni msimamo na maadili na mlaani maovu. Imamu (as) alise-ma kwamba ninakwenda kufanya Amr Bil Ma’ruf (kuamrisha maadilimema) na Nahl Anal Munkar (kukataza maovu). Waislamu wanatekelezaHija lakini hawafanyi Amr Bil Ma’ruf, wanasali na kufunga lakinihawafanyi Amr Bil Ma’ruf, wanatoa hutuba lakini hawafanyi Amr BilMa’ruf, hii maana yake ni kwamba mawimbi yao hayana vuguvugu;yamesimama na yametuama. Udororaji huu lazima uvunjwe na harakati lazima ianzishwe katika umma.Kitu ambacho hutengeneza harakati ndani ya umma ni mwendo wa Husein(a.s).Harakati ambayo Kiongozi wa Mashahidi (as) ameianzisha kwa ajili yakuamsha umma ilikuwa katika awamu, na uongzi wake vilevile ulikuwakatika awamu. Awamu moja ilikamilishwa chini ya uongozi wa Kiongoziwa mashahidi (as) na ya pili ilikamilishwa na Bibi Zainab (as). Kiongoziwa Mashahidi alianzisha uasi, akatoa muhanga maisha yake na maisha yawapenzi wake, na alishika uongozi mpaka mkesha wa Ashura, lakini baadaya mkesha wa Ashura uongozi huu ulichukuliwa na Imamu Sajjad (as) naBibi Zainab (as).

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 16

Page 24: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

17

Dada wa Husein hakudai fidia kwa ajili ya wahanga kwa njia inayotokeasasa wakati muumini anapouliwa kishahidi ambapo mara moja madai yafidia kwa ajili ya watu waliouawa na upinzani hufanywa. Taratibu zinaan-daliwa kudai fidia kwa ajili ya kiumbe aliyeuawa na malalamiko hufany-wa kudai kwamba mtu fulani mwingine aliyeuawa alifidiwa zaidi na sisitunapewa kidogo.

Allamah Iqbal hapa vilevile amevuta nadhari yetu: “Msiombe malipo yafidia (ya damu) kwa ajili ya mashahidi hawa kutoka kwa watu waKanisa.Thamani na hadhi ya damu yao ni kubwa mno kuliko sehemu takat-ifu.”

Malipo ya pesa za fidia ya damu ya mashahidi haipaswi kuombwa kutokakwenye mamlaka kwa sababu damu inayomwagika kutoka kwenye shingozao ni mshumaa kwa ajili ya umma, ni mwanga kwa ajili ya umma kwahiyo msidai fidia kwa ajili ya mashahidi. Bibi Zainab (as) kamwe hakudaifidia kwa ajili ya mashahidi badala yake aliigeuza damu ya mashahidikwenye harakati na kuleta vuguvugu kwenye umma uliokufa na hivyokuiamsha jamii iliyokufa. Kamanda huyu wa harakati ya Karbala alikuwahai takriban kwa mwaka mmoja na nusu baada ya Karbala, lakini kipindihiki kilikuwa kinatosha kwa ajili ya Bibi huyu mtakatifu kukamilisha kazihii. Zainab (as) ni jina la haiba ambalo huleta harakati katika jamii iliyok-ufa.Hakusema kuuambia umma kwamba kaka yangu ameuawa shahidi na sasajukumu langu ni kukaa tu na kumlilia, lakini badala yake alisema:

“Kama nikilia machozi yangu vilevileyatazaa harakati, kuhisi kwangu vilevilekutazaa harakati na popote pale ambapomachozi yangu na kuhisi kwangu kusipo-leta harakati nitasimama na kutoa hutuba.Je, unajua jinsi ambavyo binti ya Ali (as)alivyozalisha harakati katika jamii iliyo-dorora kama ya mji wa Kufa?”

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 17

Page 25: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

18

Kufa ilikuwa jumuiya iliyokufa ambayo haikutoka kumsaidia ImamuHusein (as) kwa ajili ya hofu ya Ubaidullah. Wakati kamanda wa msafara(yaani Bibi Zainab) alipowasili Kufa aliona hii ni jumuiya iliyokufa najamii hii iliyokufa wametoka nje kama watazamaji ili kutuangalia na kuan-gushia macho yao kwetu, hivyo alipaza sauti yake:

“Enyi watu wa Kufa sikilizeni, bint wa Ali na Fatima anataka kusema kitukuwaambia ninyi, anataka kusema kwamba ninyi wote ni wafu, dhamiriyenu imekufa na heshima yenu imekufa. Bibi huyu ameahidi kwamba nita-pulizia uhai katika jamii hii iliyokufa.” Na chini ya mwaka mmoja watuwalewale wa Kufa, wasaliti, walewale waoga na mamufti walewale wali-wageukia watu na kuunda jeshi la watu elfu nne kwa jina la jeshi la kutubia(Lashkar-e-Tawwabin). Waliahidi juu ya damu yao kwamba watapiganakatika njia ya Husein Ibn Ali (as) mpaka mwisho wa tone la damu yao, nawatu hawa wote elfu nne waliuawa. Kamanda huyu wa harakati alitoa kati-ka mji uliokufa wa Kufa jeshi la watu elfu nne la wanadamu wanaoishi.Bibi Zainab (as) alizalisha harakati ambako jumuiya iliyokufa ilihuika nakuja kuingia kwenye harakati.

Mkesha wa Ashura wakati Husein (as) aliendelea kuita: “Je, yuko yoyotewa kunisaidia mimi?” lakini hakuna aliyetoka kwenye nyumba zao kwasababu kulikuwa na ukimya na kutuama sehemu ile. Bibi yule akaahidipale yeye mwenyewe kwamba sasa nitakamilisha kazi hii ambayo sitam-ruhusu mtu yeyote kukaa nyumbani kwake, nitamaliza kudorora kwao,nitavunja ukimya wao, na nitazalisha vurugu ndani yao. Azadari ni jina lawimbi hili ambalo lilizalishwa ndani ya jamii iliyodorora na kimya na bintAli (as). Ni kwa matokeo ya wimbi hili na maji kupwa na kujaa kwambaumma wote unaomboleza na kufanya Azadari leo.

Usifikirie kwamba Azadari ni njia tu yakupatia thawabu. Azadari ni uhaina maisha ambayo bila hivyo ni kifo. Mtu ambaye haombolezi na hafanyiAzadari ni mfu, na kumhuisha anahitaji kutoka nje. Machozi kwa ajili yakupata thawabu yanaweza kutolewa majumbani vilevile, lakini machozi

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 18

Page 26: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

19

kwa ajili ya kupata thawabu hayazai harakati. Hivyo unahitaji kutoamachozi ya kupinga, na yako wapi machozi ya kupinga? Lazima utoemachozi nje ya uwanja wa mapambano, kusoma tenzi za huzuni, kusomamashairi ya kuomboleza na katika mashairi haya pigeni vifua vyenu ilikuujulisha ulimwengu kwamba tutavunja ukimya na udororaji huu licha yaukatili mkubwa. Hii ni kwa sababu Bibi mkubwa huyu Zainab (as)ameuamsha ubinadamu. Leo hakuna mtu awezaye kuisimamisha harakatihii, wala si wafuasi wa Yazid wawezao kuisimamisha harakati, wala Yazidaliyepo sasa hawezi kuisimamisha harakati hii na wala sio ma-Yazidwatakaokuja baadae katika zama nyingine, pia hawataweza kuisimamishaharakati hii. Je, kuna harakati nyingine ambayo inafanyika katika kilanyumba? Je, kuna harakati yoyote kwa watoto? Je, kuna harakati yoyoteambayo ipo ndani ya wazee pia? Na kwa wanawake pia? Ndani ya vijiji,ndani ya miji na kuwepo kila mahali? Je, kuna harakati nyingine ambayokwamba wanachuoni na watu wa kawaida wote kwa pamoja wanashirikibila kukaribishwa? Hii ni harakati iliyoanzishwa na Binti wa Ali (as) nahubeba ukombozi ndani yake.

Sio kwamba tunapoomboleza tutajiepusha na moto wa Jahannam, balibadala yake kama tukiomboleza basi machozi haya yataleta uhai kwenyenyoyo zetu na ujumbe huu wa uhai utapokelewa na ulimwengu. Jamiiitahuika na ukombozi utakuwa kwa ma-Yazid wa zama zetu, na vilevileukombozi katika Akhera. Kwanza Azadari hutoa kinga katika ulimwenguhuu na kisha katika Akhera. Azadari ni jina la uhai na vijana hawa lazimawawe na ujumbe wa uhai na vijana hawa lazima wawe na harakati ndaniyao.

Ni wapi ambapo sisi wote tunahitaji harakati? Harakati inahitajiwa namoyo, na akili na fikra. Ni muhimu kuwa na harakati za fikra na harakatiza hisia. Kama hisia hazizai harakati mpaka wakati huo, hakuna anayetokanje. Bibi mkubwa huyu alizipa hisia hizo harakati, aligawa harakatikwenye fikra na akili; aliifikisha harakati katika nyoyo na nafsi. Nimatokeo ya harakati ambayo yeyote yule asikiaye jina la Husein Ibn Ali

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 19

Page 27: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

20

(as) hakubakia ndani ya nyumba yake.

Azadari ni ya Husein na kamwe usiweke alama ya jina la mtu yeyote kamavile kusema Azadari ni ya kikundi mahususi (Anjuman) au chamamahususi, au mzungumzaji mahususi au khatibu mahususi. Ni jinaikufanya hivi na ni jinai kuipa Azadari majina. Usiende kwenye Azadarikwa sababu tu ya khatibu fulani au kwa ajili ya kuliridhisha kundi. Usijekwenye Azadari kwa sababu tu ya makundi (Anjuman). Kama ukihudhuriaAzadari, basi fanya hivyo kwa ajili ya Bibi Zainab (as). Azadari sio milikiya mtu yeyote binafsi. Hii ni harakati ile ambayo ilizalishwa na BibiZainab (as) na uzuri ulioje kwamba aliizalisha katika mtindo uleule kamawa Husein (as). Na mateso makubwa yaliyoje aliyoyapata kwa kuzalishaharakati hii. Leo hakuna mtu awezaye kuisimamisha na ujumbe huukamwe hauwezi kusimama kwa njia yoyote ile. Watu wangapi wamekufa(Iraq, Pakistan na kwingineko), lakini maandamano hayajasimama walamikusanyiko ya maombolezi haikusimama.

Silaha na mabomu hayawezi kusimamisha hili kwa sababu adui hajui niwapi harakati hii imeanzia. Kutoka wapi harakati imeletwa. Harakati hiihaikuanzia kutoka kwenye chumba cha kuchorea cha nyumba fulani.Imeanzishwa kutokana na miili iliyoanguka na yenye sanda ya Karbala, nahii imeanzishwa kwa damu na kiu. Haiwezi kusimamishwa na mtu yeyote,jinsi unavyozidi kuuwa waombolezaji, harakati hii huzidi kukua na kupam-ba moto zaidi. Umekosea katika kulielewa hili, kwa sababu kama wasinge-wauwa watu pale Karbala basi harakati hii ya Bibi Zainab isingeanzishwa.Leo kiasi chochote cha watu mtakaowauwa harakati hii itazidi kupambamoto, kwa sababu harakati hii imeanzishwa na miili iliyokufa (ya mashahi-di wa Karbala), basi vipi itasimamishwa kwa miili iliyokufa. Hii ilianzish-wa kwa shingo zilizokatwa, na hii itaendelea pamoja na miili iliyovishwasanda. Miili hii iliyokufa na kuvishwa sanda ni bendera ya harakati hii nakwa hiyo usiwafikirie kuwa ni wafu, kwa sababu mashahidi hawa ni maka-manda wa harakati hii.

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 20

Page 28: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

21

Nguvu za kijeshi haziwezi kuuvunjaukweli, hata nguvu hiyo ikiwa ya Yazidyeyote. Maiti husimama tena kama ben-dera, hata kama maiti hiyo ikiwa ya shahi-di yeyote.

Ujumbe huu ni wa damu na ujumbe wa Zainab (as). Kuna mengi ya kuse-ma juu ya nukta hii, na mengi lazima yasemwe. Nukta hii haikumalizikakwa sababu haikuanzishwa kwa nia ya kufikia mwisho. Unahitaji kubadil-isha mwelekeo wako wa kuitazama Azadari. Usifanye Azadari kwa njiaambayo italeta udororaji na ukimya. Azadari hii imekusudiwa kwa ajili yaharakati na kuleta vuguvugu. Kwa harakati hii iliyoendelea ndani ya nafsiyako na harakati ndani ya jamii, kama ulimwengu mara moja unaingiakwenye kazi basi hakuna Yazid awezaye kuisimamisha; si Yazid wa zamahiyo wala wa zama hizi atakuwa na uwezo wa kuisimamisha kwa sababuBibi mkubwa Zainab (as) ameanzisha harakati iliyofanikiwa.

Wakati mwingine harakati huanzishwa hususan dhidi ya watu binafsi auserikali mahususi, lakini harakati haianzishwi dhidi ya serikali tofaouti zazama tofauti; lakini harakati hii inaendelea kuwepo tangu miaka elfu mojamia nne iliyopita. Kwa nini kuna baadhi ya watu wanaotaka kuisimamishaharakati hii? Kwa nini kuna maadui wa Azadari? Hawa sio maadui wa kituchochote kingine bali kwa Azadari tu kwa sababu wanafahamu kwambabahari hii ina nguvu ndani yake. Inawezekana kwamba leo wale ambaowana nguvu hii hawaihisi. Allamah Iqbal ameandika katika moja yamashairi yake kwamba shetani amewaambia wanafunzi wake kwambanguvu ya umma huu ni Qur’ani. Wanafunzi wa shetani wakajibu kwambaumma huu hausomi Qur’ani. Shetani akasema kwamba siku ambayoumma huu utageuka na kuilekea Qur’ani, basi hakuna shetani wala wana-funzi wake watakaobakia katika juu ya ardhi. Ingawa naelewa kwambaumma huu hauna ujuzi wa Qur’ani lakini Qur’ani hii imo ndani ya ummakama volkano. Siku itakapolipuka itaangamiza kila kitu. Hii ndio njiaambayo Bibi mkubwa Zainab hakuruhusu tukio la Karbala kugeuka kuwa

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 21

Page 29: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

22

tukio la kihistoria, hakuruhusu siku ya Ashura kugeuka kuwa siku yaneema, aliibadilisha Karbala kuwa volkano, ni aina gani ya volkano?Volkano ile ambayo lava yake itaendelea kuchemka, kwa hiyo lazimauisome misiba ya Ashura ili kwamba lava hii iendelee kuchemka.

“Hakika mauaji ya Husein yalileta joto katika nyoyo za waumini ambalokamwe halitashuka.”

Kumbukumbu ya kuuawa kishahidi kwa Husein (as) ina volkano ambayosiku zote itakuwa inawaka na itaendelea kupasha moto nyoyo za waumini.Wakati lava hii ndani ya nyoyo za waumini itakapovimba na kupasuka, ita-muangamiza Yazid wa zama za sasa. Kama lava hii ikilipuka basi usiipoze,kuna baadhi ya watu ambao huimba mashairi ya kuliwaza kwa jina laAzadari wakati ambapo Azadari ni jina la harakati. Ni ujumbe, sio ujumbewa udororaji na kusimama sehemu fulani. Siku utakapoisimamisha hiiutakufa. Siku utaposimama kimya utakufa. Hii ndiyo sababu ImamuKhomein (ra) anasema: “Fanyeni Azadari katika mazingira yote kwasababu kama Azadari ya kweli inasimamishwa, Uislamu utaishi; hivyo basiwekeni milango ya uadilifu wazi.

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 22

Page 30: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

23

SURA YA PILIUjumbe wa Ashura

Ili kuuelewa ujumbe wa Ashura tunahitaji kuelewa tukio na ujumbe waAshura na sababu mbalimbali nyuma yake. Kwanza tunahitaji kuelewa nikwa nini kadhia hii ya Ashura na Karbala ilitukia? Wote tunafahamu ni linina wapi kadhia hii ilipotukia. Historia inatufahamisha kuhusu zama,mahali, ardhi na watu waliohusika na kadhia hii, lakini kwa kuelewa tu vituhivi vidogo hatuwezi kuelewa ukweli nyuma ya kadhia yoyote. Ukwelihauwezi kupatikana mpaka tuingie ndani ya mizizi ya kadhia yoyote nakutafuta watu na sababu nyuma ya kadhia hiyo. Kadhia yoyote haiwezikufahamika mpaka watu wazifikie sababu halisi na sababu nyuma ya kad-hia hiyo, na bila hivyo kadhia hiyo inakuwa ya kitendawili. Hali ambayokadhia ya Ashura bado ni ya kuduwaza kwa akili mahususi hata baada yamamia ya miaka ya kadhia hii, na hata kwa wale wanaochukulia kwambakadhia ya Ashura ni suala lililosuluhishwa. Kwa mujibu wa wanachuonifulani, kadhia ya Ashura ilianza asubuhi ya siku ya kumi ya mwezi waMuharram na awamu ya kwanza iliishia katika usiku wa Ashura; kwamaana kwamba mapambano yaliisha.

Katika historia juu ya mpito wa muda wa mapambano ya Karbala ni mudamfupi sana wa mapambano kinyume na mapambano ambayo yanatajwakatika historia kama vile mapambano huendelea kwa muda wa miakaarobaini, hamsini na zaidi ya nusu karne. Lakini marefu, mapana namaelekezo ya mapambano hayategemei juu ya idadi ya miaka iliyopigan-wa bali badala yake msingi wa maelekezo yake, marefu na mapana nivyanzo na sababu zinazopiganiwa.

Ipo kadhia katika historia ambako mtu mmoja mwenye ari kutoka kabila laKiarabu alikuwa akifukuza panzi kwa kuwinda na wakati wa kumfukuza

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 23

Page 31: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

24

kwake kiumbe huyu akaingia ndani ya hema la kabila nyingine. Kutokanana hili mtu yule akasema panzi huyu amechukuwa hifadhi kutoka kwao nayeyote anayechukua hifadhi kwetu sisi hatumrudishi kwa adui yake. Yulemuwindaji akasema kwamba windo hili ni langu na nina haki juu yake.Mabishano haya yakageuka kuwa mapigano na mmoja wao akamuuwamwingine kwa mkuki wake, na juu ya hilo mapigano yakaanza kati yamakabila haya mawili ambayo yaliendelea kwa muda wa miaka arobaini.Kama tukikadiria juu ya mpito wa muda basi vita hivi vilichukuwa mudamrefu sana wa miaka arobaini, lakini kama tukitafakari juu ya vita hivihakuna zaidi ya dakika tano za mazungumzo kuhusu suala hili, kwa sababuhakuna chochote katika vita hivi mbali na suala la kwamba makabila maw-ili yalipigana kwa sababu ya panzi na vita hivi vikachukuwa miaka arobai-ni. Kwa upande mwingine kuna vita vingine katika historia kwa jina laKarbala ambavyo vilianza asubuhi na kuisha jioni; ambapo humaniishakwamba katika mpito wa muda huu ni muda mfupi sana wa vita na huen-da juu ya msingi wa muda hakuna vita vingine vyovyote kama hiviambavyo havikukamilisha hata siku moja.

Sasa linganisha vita hivi viwili; moja kwa muda wa miaka arobaini navingine kwa muda wa saa chache. Vita vya miaka arubaini havina suala lakufaa kuchukua dakika tano ambapo kwamba vita hivi vya saa chache vinamaana sana, mkazo sana, nguvu sana na kina. Vina sababu nyingi sananyuma yake kwamba hata miaka elfu moja na mia nne haitoshi kutafakarijuu yake. Tangu miaka elfu moja na mia nne mwanadamu anajaribu kufa-hamu ukweli wa kadhia yake lakini bado hayuko katika nafasi ya kusemakwamba amefikia kina chake bali badala yake mpaka sasa mwanadamuanachukuliwa kama mjinga kuhusu mapambano ya Karbala na hajui kituchochote.

Karbala ni bahari na bahari inamaanisha mkusanyiko ule ambao haunakingo; hii humaanisha ina kingo lakini kwa kusimama kwenye kingo mojakingo ya upande mwingine haiwezi kuonekana. Bahari ni ule mkusanyikowa maji ambayo kina chake hakiwezi kufikiwa kirahisi. Kanuni nyingineya bahari ni kwamba hakuna kinachopatikana kwenye fukwe zake ingawa

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 24

Page 32: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

25

povu la bahari hufikia fukwe zake na wakati mwingine mawimbi ya baharihutupa baadhi ya viumbe ndani yake kwenye fukwe.

Kama mtu yuko katika kusaka vito, alimasi na lulu basi asizitafute kwenyefukwe na wala hawezi kuzipata kwa kuogelea juu ya bahari kwa sababuhizi zipo kwenye vina vya ndani vya bahari katika sakafu yake. Lakinikwenda chini ya bahari sio kazi ya mtu wa kawaida. Bahari haitoi fursakwa mtu wa kawaida kufikia vina vyake kwa sababu haifungui sandukulake na hazina yake kwa ajili ya mtu wa kawaida. Wazamiaji wanahitajikakwenda chini ya bahari; moyo wa kishujaa, ujasiri na watu wa namna hiyowanahitajika ambao wakati wa kurudi kutoka baharini lazima wawe na lulumikononi mwao. Lulu hizi za thamani ambazo wamezipata ndani yabahari zitakuwa ni mtaji kwa ajili yao na vilevile kwa ajili ya umma najamii yao.

Hii ndio sababu ambayo wale wanaohangaika kwenye fukwe za Karbalatangu zaidi ya miaka elfu moja na kumi na nne wanakaa tu katika fukwezake. Tofauti pekee ambayo imejitokeza kwao ni ile ambayo kwamba wali-acha kundi, vitindamlo na kufikia fukwe hii ya bahari lakini ni mpakakwenye fukwe tu. Hawakuingia ndani ya bahari kwa sababu kamawangerukia ndani ya bahari hii hali ya umma wa Kiislamu isingelikuwahivi ilivyo leo. Aina ya alimasi na lulu zilizopo ndani ya Karbala na sifabainifu zilizopo Karbala zimekuja tu katika mikono ya wazamiaji.Zimekuja katika mikono ya mtu yule ambaye anaweza kufikia kina chabahari. Mtu anayejua kufikia sakafu yake ya chini na ambaye hana wogana giza na hatari, Karbala huifungua kifua chake kwa ajili yake lakini siokwa ajili ya watu wa fukweni. Ingawa Karbala haimuachi mtu yeyote nakumtelekeza, hivyo wale ambao wanakaa katika fukwe zake badowanaweza wakashibisha matumbo yao na kujaza mifuko yao kwa sababuvitu kama hivyo vilevile hupatikana katika fukwe za Karbala. Lakinihatuwezi kusema kwamba mikono yao imefikia vito hivyo vya thamani.Watu wamekwenda kwenye fukwe ya Karbala lakini bado wamerudiwakavu.

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 25

Page 33: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

26

Nukta hii lazima iwekwe akilini kwamba Karbala sio bahari ya maji bali nibahari ya damu. Kwenda chini ya bahari ya damu hatuhitaji wazamiajiwenye kutumia vyombo vya kuvutia hewa ambao wanaweza kwendakwenye vina virefu vya maji, lakini kwa bahari ya Karbala tunahitaji waleambao wanaweza kuogelea kwenye damu, kuloweshwa na damu yaowenyewe, anayeza kufanya uzamiaji wa kutumia vyombo vya kuvutiahewa na kuweza kupata lulu iliyomo ndani ya damu. Kama lulu zilizomondani ya maji ni zenye thamani sana ambazo ulimwengu wote unazita-mani, basi lulu zilizomo ndani ya damu ni zenye thamani kubwa zaidi.Lulu zinazokuja kutoka kwenye maji huwa ni za fahari ya mwili wamwanadamu, lakini lulu zinazokuja kutoka kwenye damu huwa za hadhikubwa kwa ajili ya nafsi ya mwanadamu. Inawezekana kwamba mtu kwakuvaa lulu zilizokuja kutoka kwenye maji shingoni mwake anaweza aka-toa fikra kwamba anavyo vito vya thamani. Lakini mtu anayekwenda chiniya bahari ya Karbala hupata fahamu, akili na utambuzi ambao sio kila mtuanayo fursa ya kuufikia. Kama mtu atatoka nje akiwa amevaa lulu hizikatika uhui wake basi uhai wake wote unakuwa jua linalong’ara kwa ajiliya ulimwengu mzima na kwa umma mzima. Miali yake yenye kung’arahung’arisha ulimwengu wote. Karbala ni chanzo kitukufu cha akili, ujuzina utambuzi. Bahari hii ina vito vya kudumu ndani yake.

Hii ni kanuni ya kimungu ambayo mwanadamu huelewa vitu mahususiwakati tu mawazo fulani na mifano yake ipo ndani ya mwanadamu. Kwamfano nini kinamaanishwa kwa (kusema) uwaziri au urais? Hata kama mtuhawezi kuwa waziri au rais bado anaelewa maana ya uwaziri na urais.Lakini kuna baadhi ya vitu ambavyo mpaka mtu avionje, vinginevyohawezi kuelewa maana yake; kama kwa mfano mtu mpaka aonje ujasirihawezi kuelewa ujasiri. Vilevile kama kwa muda wa mika mia moja ujasiriunajadiliwa mbele ya mtu mwoga bado hataelewa maana ya ujasiri. Kamakuna mtu asiye na aibu ambaye hajaonja kujiheshimu kamwe hawezikupendezewa na haiba ya kujiheshimu. Ingawa huenda amekuwa akisik-iliza visa vya heshima na kujiheshimu; atatingisha kichwa chake katikamijadala kuhusu ujasiri na ushujaa lakini bado hawezi kuelewa maana ya

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 26

Page 34: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

kujiheshimu na heshima. Jumuiya nyingi zimesimamishwa kwa kusikilizamara kwa mara visa za ujasiri na ushujaa, lakini leo kila kitu kinaonekanakwao isipokuwa ujasiri na kujiheshimu. Kama kwa kusikiliza tu mtuanaweza kuwa jasiri na kujiheshimu, basi mtu ambaye amesikiliza visa namazungumzo kuhusu ujasiri na kujiheshimu atakuwa mwenye ari zaidi namtu wa kuheshimika.

Amiru’l-Muminin (as) alitoa hutuba nyingi mjini Kufa, mtu huyu jasirimwenye mvuto wa ujasiri, alitoa hutuba za kijasiri, zilizowasilishauthibitisho wa kujiheshimu kwake mjini Kufa, aliwafundisha watu waKufa maana ya kujiheshimu, lakini wakati wa tukio la Karbala lilipotukiahaukuonekana ushujaa wala kujiheshimu katika watu wa Kufa.

Hutuba nyingi katika Nahjul Balaghah zimetolewa na Ali (as) akiwa Kufa.Yeye (as) alizitoa wakati wa swala za Ijumaa, au wakati wa kuelekeavitani, au wakati wa vita, au mwisho wa vita, baadhi katika wakati wa Iddina baadhi huhusika na matukio na kadhia ngumu na nzito. Katika baadhiya hutuba aliwafundisha watu tawhid (upweke wa Mungu), katika baadhialifundisha dini, katika baadhi alifundisha Qur’ani, katika baadhi ali-fundisha sheria na kanuni za dini, katika baadhi alifundisha hadhi ya AhlulBayt (as), katika baadhi aliwafanya watu waelewe cheo cha MtukufuMtume (s.a.w.w.), katika baadhi alijaribu kuendeleza ufahamu wa watu,katika baadhi alifundisha ujasiri na katika baadhi aliamsha kujiheshimukwa watu. Hutuba zote hizi zilitolewa katika mji wa Kufa, lakini kama kwakusikiliza tu hutuba, mihadhara na mijadala mtu anaweza kuwa jasiri, basiwatu wa Kufa wangekuwa wajasiri kupita wote kwa sababu Khatib waKufa alikuwa sio mhubiri wa kawaida; kwa kweli ni aliyekomaa zaidi yawote, fasaha zaidi kuliko wote na jasiri zaidi kuliko wote. Mwanachuonimmoja wa Sunni alitaja simulizi moja katika kitabu chake kwamba mipa-ka na ukubwa wa ukomavu wa Amiru’l-Muminin (as), ujuzi na ujasiriulikuwa kwa kiasi kwamba wakati watu walikuwa wakiona ufasaha wakemara moja walikuwa wakisema:

27

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 27

Page 35: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

28

“Hakuna mungu isipokuwa Allah, mtu huyu amekomaa! Hakunamungu isipokuwa Allah, mtu huyu ni fasaha mno! Hakuna mungu

isipokuwa Allah, mtu huyu ni jasiri mno!”

Anachokusudia kusimulia hapa ni kwamba maneno ya kushangaza huwa-toka watu wakati wanapomuona Ali (as). Kila mmoja ana uhakika nakuamini kwamba hakuna Khatibu mkubwa kama Ali (as) ambaye ameza-liwa na ambaye atazaliwa. Hakuna shujaa aliye mkubwa kama Ali (as)aliyezaliwa na mtu huyu fasaha zaidi na shujaa alitoa hutuba katika mji waKufa, akawafanya watu wajisikie kujiheshimu kwao na ari, lakini wakatiwa tukio la Karbala kila kitu kilikuwa kinaonekena kwa watu hawa waKufa isipokuwa ujasiri na kujiheshimu. Kwa nini? Huwezi ukaelewa dinikwa kuwa tu msikilizaji wa dini, kwa kusikiliza masimulizi ya kijasirihuwezi kuwa jasiri; kwa kusikiliza tu visa vya kujiheshimu huwezi kufikiahali ya kujiheshimu. Mtu hawezi kuwa wa kuheshimiwa mpaka mambo yakujiheshimu na ujasiri yamuingie ndani yake. Mtu hawezi kupata ujasirimpaka apate mambo yale ya ujasiri na ladha ya ujasiri; hivyo mtu muogakamwe hawezi kuelewa ujasiri. Ni kuanzia muda gani hutuba zinatolewakwenye jumuiya, kadhia ya Karbala imekuwa ikisimuliwa katika lughambalimbali, mtindo na mbinu mbalimbali, lakini wakati wa mtihaniunapokuja hapo tunatambua iwapo baada ya kusikiliza hutuba hizi kamatumeelewa kitu au la.

Allah Aza wa Jallah vilevile huchukua mtihani sawa na utendaji tulionaokatika mfumo wetu wa elimu. Kwanza tunakaa, kusoma na kusikiliza kati-ka chumba cha madrasa; mwalimu anafundisha na sisi tunasikiliza ambapobaada ya hapo mitihani inatolewa. Wakati mwingine mwalimu yuleambaye amefundisha anaendesha mitihani na wakati mwingine kuna mam-laka (bodi) za mitihani. Mtahini katika mamlaka za mitihani sio mtu

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 28

Page 36: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

ambaye alikuwa anafundisha; mtu anayeendesha mitihani wakatimwingine ni mkali sana na wakati mwingine anaweza kuwa mtu laini sana.Wakati mwingine anawaruhusu wanafunzi kunakili na wakati mwinginehawaruhusu, hivyo kuna watahini wakali na halikadhalika na watahinilaini. Kiasi mtahini anavyozidi kuwa mkali hivyo hivyo na mtihaniutakuwa mgumu, lakini wale wanaofaulu kwa kutoa mitihani mbele yawatahini wakali wanakuwa na uwezo zaidi na uhodari. Wala wanaofaulukwa kunakili kutoka kwa wengine mbele za watahini laini hawakubaliwina yeyote kwa sababu kufaulu kwa kunakili katika mitihani ni sawa sawana kushindwa.

Watu wa Kufa walisikiliza hutuba nyingi juu ya ujasiri, kujiheshimu, dini,sheria, Qur’ani na Ahlul Bayt. Katika Nahjul Balaghah sehemu tu ya kumina mbili ya hutuba za Amiru’l-Muminin (as) zipo na kuna sehemu kumi namoja zaidi zinazolingana; au tunaweza kusema kwamba kwa sasa tuna jal-ada moja la hutuba za Amiru’l-Muminin (as) na majilida kumi na mojazaidi kama hayo yapo. Hutuba hizi zilitolewa na Amiru’l-Muminin (as)kwa ajili ya watu wa Kufa na kisha mtihani kwa ajili ya watu wa Kufauliendeshwa na mamlaka zile za mitihani. Kwa ajili ya mamlaka hii ya mti-hani, mtahini mkali na mgumu alipelekwa kwa watu wa Kufa.Walitahaniwa kupitia kwa Ubaidullah ibn Ziad.

Kila mtu anaelewa kadhia ya jinsi gani Ubaidullah alivyoingia Kufakwamba aliingia Kufa wakati wa usiku. Alikuwa ameweka ukaya usonimwake na kwa vile watu wa Kufa walikuwa wanamsubiri Imamu Husein(as) kwani alikuwa awasili wakati wowote. Kwa hiyo, wakati mtu mwenyeukaya akiingia Kufa usiku ule walimfikiria kimakosa kwamba ni HuseinIbn Ali (as). Mara moja wote walikusanyika na wakaanza kutayarisha kwaajili ya mapokezi haya, walianza kupandisha sauti za kaulimbiu za MaishaMarefu na Kifo Daima (zindabad, Murdabad). Ubaidullah akamtembezafarasi wake pale kwa muda kidogo na watu wa Kufa wakafikiria kwambakwa hakika si mwingine bali ni Imamu Husein (as) na mori ukawapandazaidi; na wakati Ubaidullah alipompeleka farasi wake kwa mbio zaidi

29

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 29

Page 37: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

30

wakafikiria kwamba Imamu Husein (as) amezipenda kaulimbiu zao nakwa hiyo wakapaza sauti zaidi za kaulimbiu zao. Wale waliokuwa ndani yanyumba zao wakachukulia kwamba Imamu Husein (as) amewasli, hivyowakatoka nje kwenye uwanja wa Kufa. Kila mtu akajikusanya kumzungu-ka Ubaidullah na wakaanza kusema: “Ewe Imamu. Ewe Imamu, EweKiongozi, Ewe Kiongozi, Ewe Husein ibn Ali na Ewe Husein ibn Ali.” Jinaambalo walikuwa wakiliita sana ni Abu Abdillah ambalo lilikuwa nikuniyah ya Imamu Husein (as). Walianza kujieleza kwa Imamu wao wakimakosa: “Ewe Aba Abdillah tulitamani mno kukutana na wewe, kwamuda mrefu tumekuwa tunakusubiri, tulikuandikia barua (nyingi) natulikuwa tunakuita uje upesi, uje upesi, uje upesi (Al Ajal, Al Ajal).”

Watu wa Kufa waliandika barua 9,000 na katika barua zote hizi sentesiiliyoandikwa zaidi ilikuwa ni: “Al Ajal Al Ajal,” Ewe Imamu njoo upesi,muda unapita, fursa hii itapotea, tumejiandaa, nafaka zimekomaa, uwanjauko tayari na unakusibiri wewe kuwasili. Walimuomba aondoe ukaya wakeili wauone uso wake. Wote sisi tunataka kuona uso wako mng’avu, baadhiwalimuomba awape mkono wake ili wapate kuubusu. Baadhi walimuom-ba ashuke kwenye farasi wake ili wapate kubusu miguu yake, lakini alien-delea kumtembeza farasi wake huku akiwahesabu na kuwatambua.

Madhumuni yake ya kuweka ukaya ilikuwa ni kutumia muda ili kuwa-hadaa kwa muda, kuwazunguka na kuwafanya wazunguke kwa muda kido-go ili iweze kuonekana nani miongoni mwao ni wasaliti na nani ni watiifu,nani wenye dini na kwa ajili ya Allah, nani wako kwa ajili ya nafsi zaowenyewe tu. Ubaidullah alipitisha muda bila kuondoa ukaya usoni mwake.Wale wenye madai ya uwongo ya imani walimpa makaribisho mazuri nakusema kwamba ni Imamu wetu na Imamu wetu amekuja. Waliendeleakumuita na kumuomba, chukua hatua tuko pamoja na wewe. Ubaidullahaliendelea kuwatupia macho wote kwa usahihi na wakati jumuiya yoteilipokusanyika aliondoa ukaya usoni mwake. Mikono ambayo ilikuwaimenyanyuliwa kwa ajili ya kaulimbiu na taya zilizokuwa wazi kwa ajili yakaulimbiu zikabaki wazi na mikono ikabakia pale ilipokuwa. Hawakuwa

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 30

Page 38: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

na nguvu ile ya kushusha mikono yao chini ili kuifunga midomo yao. Kilammoja alikuwa amepingwa bumbuazi na kimya, miguu yao ilikuwainatetemeka, hofu ikiwa imewajaa, rangi zao zikapauka na nafsi zaozikawatoka.

Alikuwa mmoja na walikuwa kundi kubwa; kama wote kwa pamojawangemchapa tu makofi mara moja angalifariki pale pale. Wale ambaowamesikiliza hutuba nyingi za ujasiri, wameswali nyuma ya Imamu jasirimno, wameshiriki katika kuwa na Imamu shujaa mno na wenyewewalikuwa Majenerali na makamandoo wakubwa wa jeshi wakiishi katikakambi ya jeshi (Kufa ulikuwa aina ya mji wa kambi ya jeshi); na walikuwawadai wakubwa wa imani. Lakini Ubaidullah alipoondoa ukaya usonimwake walianza kutetemeka na sauti zao zikawa hazitoki. Mtu mmojaakasema kwamba kwa nini mko kimya, kwa nini sauti zenu hazitoki, kwanini sasa hamsemi Uishi Maisha Marefu Husein, kwa nini makoo yenuyamesakamwa; yeye ni mtu tu. Hivyo mtihani wa imani uliendeshwa kwasababu walikuwa wadai wakubwa wa imani, wenye kujisifia na kujionawenyewe kama waliopendelewa zaidi katika ulimwengu; ambao wame-andika katika barua zao kwamba kwa sasa katika ulimwengu mzima haku-na waumini walio bora kama watu wa Kufa.

Kwa hiyo, Allah Aza wa Jallah akawapelekea mtahini miongoni mwao nasio kwamba Allah Aza wa Jallah amempeleka Ubaidullah kwenda Kufa,bali badala yake Allah Aza wa Jallah alimpa fursa hii. Suala lote lilivunji-ka kwa kuingia Ubaidullah mmoja, viganja vilifunguka na imani iligeukakuwa tetemo; ujasiri ulipotea na kujiheshimu kulitoweka. Kama mku-sanyiko huo mkubwa wa watu ungemtupia kokoto moja kila mtu, angezik-wa chini ya kokoto hizo, pia ilikuwa kuna giza kama wangemchapa maramoja tu, angefia pale pale lakini jumuiya ambayo ilisikia tu kuhusu imanina haina ujasiri wowote, kujiheshimu na imani; kwao wao Ubaidullahmmoja anatosha. Jumuiya ingeweza kuwa katika maelfu na mamilioni yawatu lakini kama Ubaidullah mmoja tu akitoa kauli katika vyombo vyahabari nafsi zao huondoka katika miili yao. Ubaidullah aliweka ukaya kwa

31

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 31

Page 39: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

32

muda kidogo kwenye uso wake, kwa kufanana kwa muda wa mwakammoja au miaka miwili mwanzoni na akaizunguka jumuiya nzima ilikuona kwamba ni nani anakuja mbele na nani anabakia nyuma. Mpakamuda ambapo bado ukaya uko kwenye uso wa Ubaidullah mtu wa Kufaanamuona kama mkombozi na kumuomba alete mkono wake ili aubusu,wakati ambapo chini ya ukaya ni Ubaidullah. Watu wa Kufa wanamjuavizuri Ubaidullah ibn Ziad na pia wanamjua baba yake Ziad ibn Abih.Wanajua kwamba hawa ni watu makatili sana ambao hawana huruma juuya mtu yeyote na Allah Aza wa Jallah hakuweka upole wowote ndani yakena hiyo ndio sababu alipelekwa kama mtahini.

Karbala ni jina la Akili, ni jina la Utambuzi na ni jina la uhalisia. KatikaKufa walikuwepo watu elfu sabini na mbili wakati ambapo Karbalakulikuwa na miili sabini na mbili tu; lakini nini ilikuwa tofauti kati ya hawamashahidi sabini na mbili na wale elfu sabini na mbili? Tofauti ilikuwakwamba wale elfu sabini na mbili wamesikia tu jina la ujasiri wakatiambapo ujasiri kwa kweli ulikuwepo ndani ya hawa sabini na mbili. Watuwa Kufa walisikia tu jina la kujiheshimu wakati ambapo wasaidizi waHusein wameonja ladha ya kujiheshimu na heshima. Watu wa Kufa wame-sikia tu hotuba wakati ambapo mashahidi wa Karbala walisikia na waka-tenda juu ya hotuba hizo. Walikwenda chini ya kina cha Karbala wakatiambapo watu wa Kufa hawakuweza hata kufikia fukwe zake; walishindwakatika hatua ya mwanzo ya mtihani wenyewe.

Karbala ni jina la bahari ya damu. Kwa nini watu wa Kufa waliogopawalipomuangalia Ubaidullah? Hii ilikuwa ni kwa sababu walilielewa hilisana kwamba kusema mbele ya Ubaidullah ni sawa sawa na kukanyagandani ya bahari ya damu. Usiku wa kabla ya Ashura Imamu Husein (as)alizima taa na akawapa maswahaba wake haki ya kidini (kuondoka nakumuacha), na ni kawaida kwamba watu hutafuta uhalali wa kidini kuokoangozi zao kutokana na jukumu lolote gumu. Hawa sabini na mbili walipa-ta uhalali wa kidini katika usiku wa kabla ya Ashura wakati Imamu Husein(as) aliposema nimewaondoleeni kiapo chenu cha utii kwangu, wale

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 32

Page 40: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

ambao wanataka kuondoka wanaweza kunufaika na fursa ya giza hili lausiku na kuondoka; kesho itakuwa ni pambano la mwisho ambamo kilamtu atauawa.

Hii ndio tofauti kati ya watu wa Kufa na Karbala. Hapa Ubaidullah mmojana dhidi yake watu elfu sabini na mbili wanagwaya; wakati ambapo kuleKarbala jeshi la watu sabini na mbili, taa inazimwa na wanaambiwa kwam-ba Mola wenu amewaridhia na Husein vilevile yuko radhi nanyi, hivyomnaweza kuondoka. Lakini taa ilipowashwa tena kila mtu akasimama nakusema: “Ewe Bwana! Tumekuja hapa ili tuzame na kufa katika baharihiyo ya damu na sio kuondoka hapa. Kwa nini unatuondoa kwenye fukwehii, tumekuja kwenye fukwe hii na sasa tuache tuingie ndani ya baharivilevile.”

Mtu ambaye hayuko tayari kuogelea kwenye damu yake mwenyewehawezi kuwa mtu wa kutoka Karbala. Mtu kutoka Karbala maana yake nikuogelea katika damu na mtu wa Kufa maana yake kutingisha kichwawakati wa kusikiliza hutuba lakini hukimbia wakati wa kuonesha ujasiri nakujiheshimu unapokuja. Mtu kutoka Kufa sio yule tu aliyezaliwa katikamji wa Kufa na katika kitambulisho chake kuandikwa kwamba sehemuyake ya kuzaliwa ni Kufa, bali badala yake mtu wa Kufa ni yule mwenyesifa bainifu za watu wa Kufa (wa zama hizo). Hii ni kwa sababu watuwengi waliokuwa wanaishi Kufa wakati huo hawakuzaliwa Kufa badalayake walizaliwa nje ya Kufa na kulowea katika mji wa Kufa na kwa viletabia na sifa hizi zilipata kukua ndani yao basi wakawa watu wa Kufa.Imamu Husein (as) hakumlaghai mtu yeyote, hakumleta Karbala mtu yey-ote pamoja naye kwa ajili ya kuwapotosha, hakumuambia yeyote kwambatwende pamoja na utapata Pepo, bali aliwaambia hata mkiondoka badomtapata Pepo, hivyo hakuna haja ya kubakia na sisi hapo. Wafuasi walewamekuja kwa unyofu wao wenyewe na walijua kuogelea katika damu yaowenyewe na sio mara moja tu hata kama Allah Aza wa Jallah awapemaisha mara elfu na wafe mara elfu, na wakatwe vipande pande mara elfuna warudishiwe tena uhai bado watasema: “Tuko tayari kujitoa muhanga

33

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 33

Page 41: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

34

maisha yetu miguuni mwako.”

Leo pia ni wakati wa mitihani, kuna usiku mmoja wa Kufa na usiku mmojawa Ashura. Ni nini kilichokuwa usiku wa Kufa? Usiku wa Kufa ulikuwa niusiku ambamo Ubaidullah aliingia Kufa, ambapo usiku wa Ashura ulikuwani usiku ambamo Imamu Husein ibn Ali (as) alizima taa. Na sasa lazimatuthibitishe iwapo sisi ni waumini wa usiku wa Ashura au usiku wa Kufa.Iwapo tunataka kuwachukulia wale ambao wamejivalisha ukaya kamaImamu wetu au tunataka kusimama katika safu dhidi ya maelfu yaUbaidullah na sio tu Ubaidulla mmoja. Iwapo tunataka kusimama dhidi yamadhalimu kama Shimr na Kholi ambao walizidiana wenyewe kwawenyewe kwa ukatili? Wakati wa asubuhi ambao bila ya shaka tutakufalakini kifo cha aina gani? Aina ile ya kifo ambacho miili kwanza itajeruhi-wa, kisha vichwa vitatenganishwa na viwiliwili na mabibi watafanywamateka, watachukuliwa kutembezwa mitaani, na pamoja na kufahamu yotehaya bado lazima tuoneshe upinzani na uvumilivu mpaka tone la mwishola damu yetu pamoja na Imamu wetu katika mapambano haya mashughuli.Mikesha hii miwili huja katika kila jumuiya, kwa maana kwamba aina hiiya usiku itakuja katika kila jumuiya, na sasa ni juu ya kila jumuiyakuugeuza usiku huu kuwa usiku wa Ashura au usiku wa Kufa. Watetezi waimani lazima wafikiri kwamba leo ni usiku uleule, mkesha uleule, zamaileile na waamue ama kuufanya usiku wa Kufa au usiku wa Ashura. Katikausiku wa Ashura ni ukombozi ambapo katika usiku wa Kufa ni mauwaji.

Katika usiku wa Ashura mtu hukoga katika damu lakini kisha huishi milelewakati ambapo katika usiku wa Kufa mtu hupona (kifo) lakini hufa kifocha fedheha kila siku. Katika usiku wa Ashura mtu hufa mara moja lakinihuja katika uhai wa milele ambapo katika usiku wa Kufa mtu huishi maramoja na kufa milele. Hivyo, sasa ufumbuzi uko katika mikono yetu. Katikausiku wa Ashura hawakuambiwa kwamba kesho lazima mtauwa badalayake waliambiwa kwamba kesho lazima mtauawa. Hii ni Ashura na hili nisomo ambalo inalitoa kwa ajili ya jumuiya. Inatoa ujumbe huu kwa watuna wafuasi wa Ashura na Karbala. Ashura na Karbala inarudia rudia kuita

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 34

Page 42: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

na kusema kwamba jumuiya ambayo hujifundisha kufa kamwe haiwezikuuawa na yeyote na hakuna awezaye kuwaangamiza. Lakini wale wanao-jaribu kuokoa maisha yao na kufanya juhudi kwa ajili ya ukombozi waokatika usiku wa Kufa wakidhania kwamba watapona, wala hauwezikuwahifadhi kutokana na kifo. Leo lazima tuoneshe tofauti ya usiku waAshura na usiku wa Kufa. Madai ya imani peke yake hayatoshi na badalayake imani itatahiniwa na kujaribiwa. Mtihani mkali wa imani yetuunafanywa kupitia Ubaidullah; Allah Aza wa Jallah ameweka Ubaidullahkatika kila zama na kuumba mtu mwenye ukaya kwa kila zama ili kwam-ba watu wawekwe chini ya hadaa kwa muda lakini siku moja anakujakuvua ukaya wake. Kwa siku kadhaa watu walifikiri alikuja kuwauwamaadui zetu, lakini katika siku ya Ashura anaondoa ukaya wake na anase-ma amekuja kwa ajili ya kumuuwa nani; amekuja kuwauwa watu nawafuasi wa Ashura na Karbala.

Adui halisi sio yule aliyejifunga bomu au yule aliyedondosha bomu kuto-ka kwenye ndege; anaweza kuwa mfanyakazi aliyekodishwa au mtuambaye amedanganywa, anaweza kuwa gaidi lakini kimsingi mtu ambayeanafanya yote haya ni Ubaidullah. Ulimwengu wote unagwaya kutokanana hofu juu yake, kambi za jeshi nazo pia zinagwaya, makao ya jeshi nayovilevile yanagwaya na hata baada ya kutengeneza mabomu ya atomu badowanagwaya. Tunahitaji Karbala na miili sabini na mbili dhidi yaUbaidullah; wale ambao wamejifunza kukoga katika damu yao wenyewe.Ujumbe wa Karbala unatoa kipaumbele kwenye kifo pamoja na heshimakuliko maisha ya fedheha. Ujumbe wa Karbala ni wa kuondoa hofu ya kilamtu kutoka nyoyoni mwetu na kuiweka hai hofu juu ya Allah Aza waJallah tu. Kuishi maisha ya hofu juu ya watu wengine sio msingi wa hes-hima. Majeshi ya majivuno na ukiburi ya Yazid yanatawala Waislamu kwakuwafanya waathirika wa hofu na woga. Karbala inatoa ujumbe huu kwakila mwanadamu kwamba kama wewe ni Mwislamu na unayo imani juu yaAllah basi kamwe usiwe na woga wa majeshi haya yasiyo na kitu.

35

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 35

Page 43: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

36

Ujumbe wa Ashura ni kwamba chini ya mazingara yoyote hutakiwi ukaebila kuhusika kwenye dini yako, itikadi na kuhusiana na Waisilamuwengine. Ili kuwafanya msihusike na dini mashambulizi ya mabomu yakujitolea muhanga hufanywa kwa ajili yenu, kwenye mikusanyiko yenu yakidini na maandamano yenu yanapigwa mabomu, lakini hata kama vichwavyenu vikikatwa kamwe usiache uwanja huu.

Ashura inatoa ujumbe huu kwa wanadamu wote na hususan Waislamukwamba hata kama utajilowesha katika damu kamwe usijisalimishe kwaYazid au dhalimu yeyote, usije ukatumbukia kwenye kisingizio na ulaghaiwa Yazid yoyote, usiwafanye watu wenye ukaya kama Imamu na viongziwako na wale wanyama (watu waovu) ambao kwa kuvaa shungi za upole,usitawi, uhuru na demokrasia wanaudanganya ulimwengu wote. Kamweusiamini kaulimbiu zao za ulaghai.

Vilevile Karbala inatupa somo hili kwamba tusiifanye dini kama sehemuya kukimbilia (kwa ajili ya hifadhi), bali badala yake wewe uwe ngao kwaajili ya dini. Usichukue vitu kutoka kwenye dini na kuvitumia wewemwenyewe na watoto wako badala yake toa muhanga mali yako, bidhaa,watoto na maisha yako katika dini.

Huu ni ujumbe wa Ashura kwamba ukweli na unyofu unakanyagwa nauwongo na uovu unaendelezwa, basi kamwe usiachilie majukumu yakokwa kuunga mkono ufafanuzi na uthibitisho. Pia Ashura hutuambia kwam-ba usiutoe muhanga ukweli na uhalisi kwa ubwana au kwa uthibitisho wakimazingira hata ikiwa katika mazingira ya kinguvu. Karbala sio jina tu lakukata vichwa bali badala yake toa muhanga ubwana wako wote.

Ujmbe wa Karbala unatuambia kwamba badala ya kupoteza umri wakokwa ajili ya kungojea hali iwe nzuri na kuwa yenye kufaa, lazima usimamena kuchukua hatamu za zama katika mkono wako; kuliko kupigwa vibokona mazingira na kunyakuwa hatamu hizo kutoka kwenye mikono yamazingira.

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 36

Page 44: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

Ashura inasihi ili kusikiliza kutoka kwa warithi wake kuliko kusikilizakutoka kwa waigizaji wa tamthilia na walaghai. Wito wa Karbala ni immakuwa shahidi kwa kuingia katika msafara wa Husein (as) au ubebe ujumbewa mashahidi kwa kuingia katika msafara wa Zainab (as).

SURA YA TATUHamasa -e- Husain

Hamasa -e- Husain ni jina la Karbala, na shakhsia ambayo iliwasilishatukio hili kwa jina hili na kulifanya kuwa mashuhuri, shaksia hiyo ilikuwani Shahidi Shia Mkubwa, Shahid wa Uislamu Allama Murtaza Muttahari(r.a.). Ni mkusanyo wa hutuba zake zinazohusiana na utambuzi waKarbala, Ashura na Husein, kimeitwa Hamasa-e-Husaini. Hamasa sioneno la kawaida katika Urdu, fasihi ya Kiingereza, na kwa mahususi kati-ka mazungumzo ya kawaida ya mtu ni nadra kutumika.

Hamasa inatokana na msingi uleule ambako Hamasa imetengenezwa,yaani ni chama cha Wapalestina (jina ambalo) leo ni kawaida kabisa kati-ka vyombo vya habari.

Hamasa ni neno la Kiarabu ambalo hutumika kwa maana mahususi.Hamasa hurejea kwenye hatua mahususi au kitendo ambacho kina taalumamahususi ndani yake:

Taaluma ya Kwanza ni kwamba ni kitendo na hatua.Taaluma ya Pili katika maana ya Hamasa ni kuwepo kwa harakati katikahatua au kitendo; na lazima kisiwe na utuliaji. Ni dhahiri kwamba wakatiwowote kunapokuwa na harakati vitu vyote muhimu kwa harakati hiyo laz-ima viwepo:

Kwa ajili ya harakati kuna haja ya mtu ambaye hutia hamasa au mtuambaye huanzisha kitendo au mtu ambaye huingia katika kitendo.

37

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 37

Page 45: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

38

Kitu cha pili ni ujuzi wa lengo ambalo kwalo harakati inafanywa.

Kitu cha tatu ni njia ambayo kwamba huhitaji kupitia ili kufikia lengo hilo.Hivyo harakati ni jina la kupitia njia ili kufanikisha lengo mahususi. Kwahiyo, taaluma ya pili ya Hamasa ni kwamba hutokana na kabila la kitendona hatua ya harakati. Lazima itokane na familia ya harakati na lazimaichukuliwe kama harakati, lazima isiwe na utuliaji na udororaji, kwasababu kwa kawaida utuliaji na udororaji vilevile huchukuliwa kama ainafulani ya matendo. Kama vile mtu akiulizwa: unafanya nini siku hizi? Jibuni siku hizi tuko kimya; hivyo kuwa kimya na bila kufanya kitu vilevilehuchukuliwa kama kitendo cha mwanadamu, lakini nafsi na utambulishowa Hamasa unakuwa na harakati.

Kitu cha tatu cha Hamasa ni ujasiri. Kitendo kitatajwa kama Hamasawakati tu kitapokuwa na elementi za ujasiri ndani yake; hii ina maanakwamba kitendo cha kijasiri na hatua ya kijasiri ni Hamasa.

Matendo na hatua ni ya aina tofauti; baadhi ya matendo yanakuwa kiasikwamba ujasiri hupata udhihirisho wa wazi ndani yao ambapo katika baad-hi ya matendo woga huonekena kwa wazi. Halikadhalika kuna baadhi yawanadamu ambao wana ujasiri ambapo kuna wengine ambao hawana ele-menti za ujasiri ndani yao. Halikadhalika na maneno pia; baadhi yamaneno huwa na matokeo ya sentensi zenye ujasiri na baadhi ni ya woga,kama vile unaposoma makala kwenye magazeti kuna baadhi ya waandishiambao huandika makala za ujasiri ambapo baadhi huandika makala zawoga. Hata katika mazungumzo ya kawaida ya watu wawili, kama mjadalaunahusu unyofu na haki, na kama mtu anataka kuchukua haki yake kutokakwa mtu fulani basi atafuata aina mbili za sauti; anaweza kufuata sauti yaushujaa au sauti ya woga. Anaweza kuongea kwa lafudhi ya ujasiri aulafudhi ya woga. Utakuwa umeona kwamba katika mazungumzo ya kawai-da halikadhalika baadhi ya watu wana mijadala na mazungumzo ya ujasirina yenye ari, ambapo baadhi ya wengine wanajiingiza katika mijadala yawoga na yenye fedheha. Hamasa ni hatua ile ambayo kwayo ujasiri, ari na

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 38

Page 46: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

ushujaa unapatikana ndani yake.

Elementi ya nne ambayo hufanya kitendo kama Hamasa ni elementi yamapambano (Moqawamat) na msimamo (Istiqamat). Kitendo kile amba-cho kina elementi ya msimamo ndani yake kitatajwa kama Hamasa aukatika maneno mengine kitendo hiki kimefanywa kuzuia kitu fulani (aukupinga kitu fulani). Mtu hufanya vitendo vingi ambapo kati ya vitendohivyo ni vya kufika sehemu fulani, baadhi ni vya kutambua vitu fulani,baadhi ni vya kupata kitu fulani, baadhi hufanywa ili kutoa kitu fulanikumpa mtu fulani, lakini baadhi ya vitendo vilevile ni vya kupinga aukuzuia kitu fulani. Kwa mfano, kama mafuriko ya maji yanakuja mtuhuchukua hatua fulani kuyasimamisha yasisonge mbele. Hiki ni kitendoambacho hutajwa kama cha mapambano (Moqawamat). Hii humaanishakwamba unaweza kutengeneza kizuizi kama hicho mbele yake ambachokitasimamisha maji kupita, na kitendo hiki kitatajwa kama mapambano(Moqawamat) na msimamo (Istiqamat).

Wakati elementi hizi nne zikijikusanya katika kitendo, kitendo hichokitatajwa kama Hamasa. Hivyo, kwa mukhtasari kitendo cha Hamasa kinaelementi nne: Kitendo, Harakati, Ujasiri na Mapambano.

Hamasa ni neno la Kiarabu lakini mara kwa mara hutumika katika Kiajemina sio la kawaida katika Urdu na Kiingereza.1 Kwa vile neno Hamasa hali-wezi kutafsiriwa katika neno moja katika Urdu na Kiingereza huhitajimaelezo na kuna haja ya kulifungua neno hili. Ni muhimu kuelewa idadiya maana na vipengele vya kuelewa vilivyofichwa ndani ya Hamasa.

Ili kuifanya akili yako iwe na ujuzi wa neno Hamasa, ili uelewe Hamasani nini, ngoja tuingie ndani ya neno la ushairi na uhutubu. Katika ushairineno Hamasa hutumiwa mara kwa mara. Ushairi na uhutubu ni wa ainambili; uhutubiaji wa Hamasa na uhutubiaji usio wa Hamasa au wa ushairi.

39

1. Neno Hamasa hutumika sana katika Kiswahili na ni neno lililoazimwa kutoka lugha yaKiarabu na mnyambuliko wake katika Kiswahili mfano wake ni: Hamasisha, hamasika nk.(Mtarujuma)

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 39

Page 47: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

40

Ingawa kuna aina mbali mbali za mashairi ambayo ni mashuhuri kwa watuwa fasihi na mashairi, wanajua vizuri sana aina tofauti za tenzi na mashairi.Katika aina hizi mahususi za ushairi hujulikana kama ushairi wa Hamasa;hilo shairi ambalo lina elementi za ujasiri ndani yake, shairi ambalo hutole-wa kwa ajili ya kumuamsha mtu fulani. Shairi kama hilo litatajwa kamashairi la Hamasa ambalo liko kinyume na mtindo mwingine wa shairiambao ni wa kuficha, usitiri au kutiisha kitu fulani. Mashairiyanayosomwa wakati wa mapambano ili kuwanyanyua na kuwatayarishawapiganaji wa vita takatifu hujulikana kama mashairi ya Hamasa. Kwaujumla haya pia hujulikana kama nyimbo za kizalendo ambazo hutolewakama mashairi yaliyotengenezwa kwa ajili ya kuwasifia askari na watumashujaa. Hivyo shairi ambalo lina mwito wa kuchukua hatua na ile hatuaya kiujasiri pia ni shairi la Hamasa. Katika Urdu washairi wengi wame-fariki ambao mashairi yao yana elementi hii ya Hamasa ndani yake na kati-ka lugha nyingine pia washairi kama hao walikuwepo, kama katika lughaya Kiarabu pia walikuwepo washairi ambao mashairi yao yalikuwa na ele-menti za Hamasa ndani yake.

Halikadhalika makhatibu na wazungumzaji pia ni wa aina mbili; baadhi yawazungumzaji wapo ambao hutuba na lafudhi zao zina Hamasa ndaniyake. Kwa mfano, kama ukiangalia katika Nahjul Balagha. Kama unatakaau unatamani kuona na kuelewa hutuba ya Hamasa basi lazima usomeNahjul Balagha; chukua hutuba yoyote na utaona kiini cha Hamasa; namtu wakati anasoma atahisi mabadiliko ndani ya nafsi yake, na kwa kuso-ma hutuba hizi atapata mwelekeo wa kuchukua hatua kadhaa. Hili ndilolinalomaanishwa na hutuba ya Hamasa. Hivyo, sehemu kubwa ya hutubaza Amirul Muminin (a.s) katika Nahjul Balagha ni za aina ya Hamasa.

Ili kutambua cheo cha Karbala ni muhimu kuelewa aina ya uasi wa Wakuuwa Mashahidi. Mtu yeyote ambaye anavutiwa na tukio la Karbala katikahali yoyote lazima kwanza aangalie ni aina gani hii ya uasi ilikuwa,ilikuwa ni aina gani ya harakati ili kwamba aweze kufikiri na kutafakarikutokana na kadiri ile ile. Mtu ambaye hawezi kutambua ni uasi wa aina

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 40

Page 48: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

gani huo uliokuwa atabakia amechanganyikiwa mpaka mwisho. Anakuwaamechanganyikiwa juu ya suala la Karbala na hawezi kuelewa kile ana-chosoma na kile anachosikiliza. Wakati mwingine anasikiliza aina moja yamtazamo na akili yake huenda upande huo, kisha anasikiliza mtumwingine akili yake huenda upande huo, na kisha kutoka kwa mtu wa tatuanasikiliza kitu fulani akili yake inaenda upande huo. Ni vigumu sana mtukuelewa kitendo mpaka awe anafahamu kuhusu aina ya kitendo hicho.Kwa mfano, kuna mikusanyiko ya aina mbali mbali iliyoandaliwa ambayokwayo baadhi ni ya aina ya semina, mikutano au aina ya kisomi yawanachuo. Ni muhimu kwanza kuelewa ni aina gani ya mkusanyiko huo ilikwamba mtu aweze kuutazama kwa uoni huo na lazima aoneshe matumai-ni kwa mujibu wa aina ya mkusanyiko. Watu wengi wamejaribu kutambuani aina gani ya tukio lililokuwa kwa tukio la Karbala. Pia tunaweza kuse-ma kwamba wale ambao walijaribu kuitambua Karbala au aina yakewamekuja na uoni (visheni) ishirini tofauti juu ya tukio la Karbala.

Ishara kuelekea kwenye hizi visheni ishirini zimo kwenye chapisho letu lahapo awali kwa jina la “Philosophy of Qayam-e-Hussain”. Katika kitabuhiki pia ni orodha tu ya hizi visheni ishirini pamoja na maelezo mafupihutajwa kwamba ni aina gani ya majina ambayo watu wameiita Karbalakwa fikra na uchambuzi wao. Bani Umayyah wameipa (Karbala) jinamoja, Bani Abbas wameipa jina moja lingine, baadhi ya wachambuziwasio Waislamu wameipa jina moja lingine, wanahistoria kama vile IbnKhaldun ameipa majina fulani, baadhi wameipa kitu kingine kama hikimadhehebu ya Imamiya (wafuasi wa Maimamu 12), na wasio wafuasi waImamiya kila mmoja amesema kitu ambacho ni cha kiutambuzi kama tuta-hesabu kufikia majina ishirini tofauti. Miongni mwa moja ya majina hayani kwamba tukio la Karbala ni Hamasa na jina hili linawafikiana naKarbala na linafaa kwa tukio hili. Kwa majina mengine pia kuna udhi-hirisho, uthibitisho na kuna maelezo, lakini jina la kutosheleza zaidi amba-lo huipaka rangi picha ya kweli ya tukio hili ni hili la Hamasa, kwa sababujina lazima lichukuane na muktadha na lengo. Kwa kawaida tunawekamajina mazuri kwa vitu ambavyo kwa kweli sio vizuri kama jina lenyewe.

41

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 41

Page 49: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

42

Tunajenga kibanda na kuandika juu yake Chuo Kikuu. Chuo kikuu ni sehe-mu (changamani) kubwa ya kitaaluma, basi ni nini hiki ambacho umekipajina la Chuo Kikuu? Kama hivi kuna majina mengine mengi ambayohayaoani na suala lenyewe wala na muktadha. Kwa njia hiyo hiyomwanadamu pia huweka jina zuri kwa ajili yake ambalo si stahiki yake.Tunawapa majina mazuri watu ambao hawafai ingawa jina na muktadhahavina uhusiano. Jina zuri na lenye kufaa ni lile ambalo linaafikiana namuktadha wake.

Hamasa ni neno ambalo lina elementi iliyotajwa awali. Sasa tunahitajikupima iwapo uasi mtakatifu wa Wakuu wa Mashahidi na Karbala niHamasa. Lakini kabla ya kuonesha na kuelekea kwenye uhusiano huukwamba ni kwa nini uasi huu unatajwa kama Hamasa na iwapo unabebandani yake elementi ya Hamasa, kwanza tunahitaji kuona ni aina ipi niUislamu? Uislamu ni dini ya aina gani? Hii ni kwa sababu Karbala ni uasiwa kidini, ni uasi wa Kiislamu, kwa hiyo, hatuwezi kutenganisha Karbalana Uislamu na kuliita kwamba ni tukio au ajali. Tunahitaji kuangaliakwenye uasi wa Karbala na Wakuu wa Mashahidi katika mtazamo waUislamu, dini na Qur’ani. Hivyo kabla ya Karbala kwanza lazima tuangaliejina la Uislamu ni lipi? Uislamu ni aina gani ya dini?

Kuna dini mbalimbali zilizopo hapa duniani na kuna wafuasi wengiwanaofuata dini hizi ambao pia wapo hapa ulimwenguni. Leo tunawezakuona dini zenye kumuamini Mungu na halikadhalika zisizoamini Mungu.Zile zisizoamini Mungu ni zile ambazo uhusiano wao na ufunuo bado hau-jathibitishwa, bado haujathibitishwa iwapo kuna kitabu chochote chaMungu au Mtume mwenye kuhusiana na dini hizi, kama vile Uhindu naUbudha, ingawa pia katika mafundisho ya dini hizi vitu fulani huonekenaambavyo kwavyo tunafahamu kwamba kuna elementi za ufunuo ndaniyao; lakini hakuna ushahidi ulio sahihi ambao unaoweza kuthibitisha hilikuwa hizi ni dini za mbinguni, na hakuna kitabu cha kimungu au Mtumeambaye ametajwa kuhusiana na dini hizi. Amma kwa baadhi ya dini kunaushahidi kwamba hizi ni dini za mbinguni, kama dini ya Wayahudi ambayo

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 42

Page 50: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

ina misingi ya kimbinguni, Ukiristo ni dini ya kimungu na Uislamu ambaohuweka msingi wa kimungu ambao kwa usahihi huhusika na ufunuo,ingawa kuna uwezekano kwamba upotofu umejipenyeza ndani ya Ukristona Uyahudi. Mafundisho yao yamepitiwa na ufisadi na kubadilishwa, laki-ni kuanzia mwanzo msingi wao ulikuwa juu ya ufunuo.

Katika dini hizi mbali mbali ambazo leo zipo hapa ulimwenguni tunawezakuona aina mbali mbali za dini na tunaweza tukapendekeza majina yafaayokwa ajili ya dini hizi kama vile Useja. Jina hili la Useja linafaa kwa baad-hi ya dini ambazo kwa mujibu wa Allama Iqbal ni dini ya Sufi au dini yautawa. Kuna dini fulani na sura za dini ambazo kwazo jina hili linazifaa nahuweza kuitwa hivyo. Allama Iqbal amewasilisha sura mbali mbali za dinikatika vitabu vyake. Moja ya majina hayo ni dini ya Mbweha ambayo nidini ya ulaghai. Kuna sura fulani za dini ambazo kwa asili ni za umbweha(ulaghai) wakati ambapo baadhi ni kama zile za Simba. Katika vitabu vyaAllama Iqbal kuna dini ya Simba. Vivyo hivyo kuna dini ya kutiishwa audini ya watumwa. Sura fulani za dini zipo kwa namna kwamba jina boralinalofaa kwa dini hizo ni Dini ya Watumwa. Dini ya Watumwa imokwenye vitabu vya Allama Iqbal. Amezungumzia kuhusu dini yawatumwa, sala za watumwa, ibada ya watumwa, jinsi ya kusujudu kwawatumwa, madhehebu ya dini za watumwa, misikiti ya watumwa, kila kituni cha kitumwa. Kama ni dini utawa basi hali ni hiyo hiyo ambapo kunamadhehebu ya utawa, misikiti ya utawa, elimu ni ile ya utawa.

Halikadhalika mafundisho ya Imamu Khomein (r.a) vilevile mna dalili zakuelekea kwenye sura mbali mbali za dini. Dini ya mabeperi ni jina la suramoja ya dini, dini ya ubadhirifu ni jina la sura nyingine ya dini; dini yaubadhirifu maana yake ni dini ya anasa. Jina moja zaidi ambalo ImamuKhomein (r.a) amelitoa ni dini ya watu ambao wenyewe hujiona kamawatakatifu (kama wanaojiita walokole huku kwetu) na bora zaidi (kamawanavyojiona Mayahudi). Dini moja ni ile ambayo huamini MunguMmoja asiye na mshirika ambayo Allama Iqbal anaitaja kama dini yaMujahidina. Kwa mujibu wa maneno ya Allama Iqbal Adhana ya Kuhani

43

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 43

Page 51: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

44

(Sheikh-kilemba) ni tofauti na Adhana ya Mujahidina. Maneno ni sawakwa wote, wote huanza na “Allahu Akbar (Mungu ni Mkubwa) na kuishiana La ilahaa ila llahu (hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu-Mmoja), laki-ni jina linalofaa kwa maneno hayohayo ya Adhana ni tofauti. Wakatimwingine huu ni wito (Adhan) wa watumwa au wito (Adhana) wamakuhani, lakini wakati mwingine ni Adhana ya Mujahidina. Kwa mujibuwa Allama Iqbal Adhana ya Kuhani sio Adhana ya Swala ya Mujahidina,vipi basi tutajua aina ya Adhana hii ni ipi? Inatambulika kutokana na athariinayoiacha; je, kutokana na athari na dalili za dini inaweza kutambulika niaina gani hiyo ya dini? Ni aina gani hiyo ya itikadi?

Baadhi ya dini na itikadi zaweza kuchukuliwa kama za kikuhani kwasababu zina mwelekeo zaidi kwenye ukuhani. Mafundisho ya Ukristoyameelekezwa kuelekea kwenye ukuhani na dini yote imeelekea kwenyeukuhani. Dini ya Wayahudi ni ya kuabudu matabaka. Qur’ani Tukufu ime-jadili kuhusu dini zote hizi na kuelezea jinsi walivyo Mayahudi, walivyoWakristo na walivyo Waislamu na walivyo Mazorostan.

Sura ambayo Mayahudi wanayo imeifanya dini kuwa na matokeo yaliyopoya dini ya Uyahudi kutoka katika hali ya udini na kuigeuza kuwa kwenyesheria za jumuiya. Leo dini ya Uyahudi ni katiba na sio dini; na tunawezakusema kwamba imekuwa ya tabaka sio dini. Kwa kawaida jina la jumuiyalinawafaa vizuri sana na ni jina linalofaa kwa ajili yao. Kosa ambalo watuwa Magharibi (Ulaya) wamelifanya katika kuuelewa Uislamu ni kwakuwaangalia Waislamu na hivyo kamwe hawawezi kutoa hitimisho sahihi.Kwa kawaida kwa kuwaangalia Waislamu Uislamu lazima uweleweke,lakini inasikitisha kusema Waislamu sio chanzo sahihi au cha kutegemeakwa kuuelewa Uislamu. Hivyo lazima uufahamu Uislamu kutokana nachanzo chake ambacho ni Qur’ani Tukufu, Sunnah ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), kutoka kwenye sifa bainifu na simuluzi za Maimamu maasumu,kwa sababu hawa ndio vyanzo sahihi vya kutegemewa. Kama tutauangaliaUislamu kutoka kwenye vyanzo hivi, Uislamu uliowasilishwa na Qur’aniau Uislamu uliowasilishwa wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na picha

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 44

Page 52: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

ya kimatendo ya Uislamu iliyowasilishwa na Maimamu maasumin,hauchukuani na majina mengine yoyote. Jina la utawa halifai kwa Uislamuhuu wa kweli, jina la useja pia halifai kwa Uislamu uliowasilishwa naQur’ani na sifa bainifu za maasumin. Jina la utaalamu halifai kwa ajiliyake, jina la ubadhirifu halifai, mfumo wa ubepari haufai kwawo. Majinahaya yako nje ya muktadha.

Jina kwa ajili ya Uislamu ambalo liko katika asili yake lazima litoke kati-ka maisha ya Waislamu. Kuna umbali mkubwa kati ya Uislamu wa Qur’anina Uislamu wa Waislamu.Uislamu wa Qur’ani uko katika chanzo chake,kama ilivyo kuna madini na maliasili kama tulivyo na gesi, petroli lakinibado haikutoka kwetu. Kama katika nchi nyingi kuna petroli chini ya ardhilakini mpaka sasa hakuna serikali yenye nguvu au mhandisi ambayeamekuja anayeweza kuleta maliasli hizi majumbani kwa kuchimba ardhi-ni. Halikadhalika Uislamu haukutoka kwenye Qur’ani, Hadithi na kwawabainifu na kuingia kwenye maisha yetu. Imamu Khomein (r.a) alisemakwamba Waislamu wameupoteza Uislamu kutoka mikononi mwao naunahitaji kufanyiwa utafiti. Leo majina mengine mengi yanafaa kwaUislamu uliopo mikononi mwa Waislamu ambayo yamejadiliwa na AllamaIqbal na yanaonekana katika simulizi za Imamu Khomein (r.a); lakinitunahitaji kutafuta lile jina lenye kutosheleza ambalo liko katika Qur’ani,Hadithi na wabainifu. Jina ambalo hupatikana kutoka katika chanzo naasili ya Uislamu ni kwamba Uislamu ni dini ya Hamasa na kimatendo,Uislamu ni wa aina ya Hamasa. Sio dini ya useja, utawa, udororaji na utu-liaji; badala yake Uislamu ni wa aina ya Hamasa, yaani ina elementi nnendani yake. Katika hali hiyo hiyo Ushia vilevile ni Hmasa na sio madhe-hebu. Hulichukulia hilo kama mafanikio makubwa katika kuufanya Ushiakama madhehebu; madhehebu maana yake ni kitu ambacho kimetengan-ishwa na kuondolewa. Kama matokeo ya kutokuelewana na utengano,kundi moja huenda sehemu fulani, lingine huenda sehemu nyingine nakundi moja likapata jina la Ushia na kundi lingine likapata jina linginefulani.

45

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 45

Page 53: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

46

Hili ni dhana katika kuelewa misingi ya Ushia. Ushia sio madhehebu yaUislamu, kwa kweli ni jina la kimatendo la Uislamu, Ushia ni Qur’ani,Ushia ni ubainfu wa Maasumin. Wakati mwingine watu wanauliza Ushiaulianza lini. Ulianza siku ileile Uislamu ulipoanza. Kutoka siku ileyenyewe Ushia ulianza kama sura ya Uislamu, sio Ushia ule ulioanzishwabaadae. Sio wakati ule wa baadae ambapo mlango ulifunguliwa au dirishalilipofunguliwa ambapo ulipewa jina la Ushia. Amri ya kwanza ya Uislamuambayo ilikuja katika siku ya kwanza ya Uislamu ilikuwa kwa sura yaUshia.

Ushia ni jina la kipengele cha kimatendo ya Uislamu; yaani ili kuonesha niaina gani ya dini ya Uislamu; ulipewa jina la Ushia ili mtu yeyote asipatetaabu katika kuelewa aina hii ya Uislamu. Kwa kawaida bidhaa ambazoziko sokoni zina alama fulani zilizoandikwa katika kifurushi chake ilikwamba aina ya vitu vilivyomo ndani ya kifurushi hicho vijulikane. Iwapomna vitu vya kuvunjika au visivyovunjika, iwapo ni kitu ambachokinaweza kunyanyuliwa kwa urahisi au huhitaji tahadhari. Huweka juuyake alama yoyote au kuandika kitu fulani ambacho huwa jina lake ilikuonesha aina gani ya kitu kimo humo ili kwamba ukichukulie kwa kadirikilivyo.

Ushia maana yake ni sura ya kimatendo ya kuufuata Uislamu, ni jina laUislamu ambalo lilichaguliwa na mwenyeji wa Uislamu, Mtume waUislamu. Hivyo Uislamu utakuwa katika aina mbili, moja ni aina yaUislamu ambayo ni kama lilivyo jina lake ambalo ni la Uislamu wa kima-tendo na aina ya pili itakuwa ni Uislamu usiokuwa wa matendo.

Jina la Uislamu wa kimatendo ni Ushia, hivyo, popote ambapo Uislamuhauko katika muundo wake wa kimatendo vilevile hakuna ushia ambapohumaanisha Uislamu uliopo sio Uislamu wa ushia. Sio Uislamu wa kima-tendo, ni Uislamu wa mawazo tu, Uislamu wa kufikiria, Uislamu wa fasi-hi, Uislamu wa maneno na Uislamu wa ulimi ambao humaanishakuzungumza tu na kujikomba.

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 46

Page 54: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

Kuna kauli maarufu ya Kiongozi wa Mashahidi:

“Watu ni watumwa wa ulimwengu; na dini iko tu kwenye ndimi zao kwaajili ya muonjo.”

Ladha ni ya muda tu katika ulimi, na mbali na ulimi hakuna kiungo kinginekinachohisi ladha na haikukusudiwa kwa ajili ya kiungo kingine chochote.Hisia ya kuhisi ladha imewekwa tu kwenye ulimi, yaani kama kitu kikipi-ta kwenye ulimi basi ladha yake inajulikana. Ladha inaweza tu kuhisiwampaka muda wa kuwepo kwenye ulimi na ndani ya kinywa.

Baadhi ya watu wameuweka Uislamu kwenye taya chini ya ulimi na ladhavilevile huendelea kubadilika. Wakati mwingine kwa muda kidogo ladhahuwa chungu na wakati hili likitokea vitu vya ladha hiyo hutemwa chini.Hiki ndicho ambacho Kiongozi wa Mashahidi alichokusudia kusemakwamba Dini imeingia kwenye ndimi zao kama muonjo tu.

Wakati ladha ya dini inapokuwa chungu kwa haraka wanaitema.

Je, umewahi kuona watu wakiitema dini? Utakuwa umeona watu wakitematumbaku, lakini je, umewahi kuona watu wakitema dini? Watu wanatemadini kwa wingi sana, fungua tu macho yako utaona watu kila mahaliwakitema dini, uchungu wowote ule unaowapitia upesi sana huutema. Hikindicho anachosema Kiongozi wa Mashahidi, anachosema kwamba ainamoja ya dini ni hii na halikadhalika ambako dini iko kwenye ncha za ulimi,mara ikiwa chungu wanaitema; kwa njia ambayo watu wa Kufa walifanya.Walikaa kimya ndani ya nyumba zao na hawakuenda Karbala; hii maanayake ni kuitema dini. Kuitema dini sio kama kutema tumbaku ambakowekundu wa tumbaku unaweza kuonekana sehemu yote. Maana ya kutemadini ni kuwa kimya, kutojihusisha na lolote kuhusiana na dini, kutema dinini kutowajibika, kuwa kimya bila vitendo, kuwa muoga, kutema dini ni

47

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 47

Page 55: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

48

kufunga midomo yenu na kukaa kimya ndani ya nyumba zenu nakuwaacha viongozi wa dini wakiwa wametengwa. Wakati watu wakiwawamevaa Ihram (vazi la Hijja) wakienda kuhiji Kiongozi wa Mashahidialiwataka wavue Ihram zao na waungane naye kwa sababu keshoanakwenda sehemu nyingine. Umma unakwenda kuhiji, wakati ambapoKiongozi anatoka kwa ajili ya kuilinda Hijja. Aliwataka wavue Ihram zaokwa sababu siku hizi hazikuwa za kuhiji bali kuilinda Hijja. Lakiniwalikataa kuungana naye, hivyo, nini maana ya wao kutoungana naye?

Walivaa Iharam zao na wakaenda Arafa; Walivaa Iharam zao na wakaen-da Mina ambapo maana yake wanaitema dini. Sio kwamba mtuanayeswali, kufunga, kuhiji na kufanya Azadari hatemi dini. Kama mtuanakwenda kuhiji kwa kumpa mgongo Imamu, basi hii ina maana ameit-ema dini. Watu wa Kufa walikuwa wakitekeleza swala zao baada yakumuacha Imamu wao na hakuna swala yao iliyokuwa kadha, lakini badowalitema dini. Hivyo, je, Uislamu ni kwa ajili ya muonjo tu ambao hufikakwenye ulimi ukihitajika na wakati ukigeuka kuwa mchungu unatemwa?

Aina ya Uislamu ni ile ya Hamasa, Uislamu ni Hamasa, nafsi ya Uislamuiko kwenye Hamasa lakini kuna baadhi ya watu waliozaliwa wenye vipa-ji, ujuzi na uwezo ambao wamefanya maajabu miongoni mwa Waislamu.Ajabu moja kubwa waliyoifanya ni kwamba waliivua nafsi ya Uislamukutoka kwenye muungo wake. Allama Iqbal anao utenzi mmoja kwa jinala Amri ya Iblis kwa watoto wake wa kisiasa. Ni utenzi wenye beti chache:

“Dawa ya Waislamu ni kuwaleta kwenye misikiti na sehemu za kuabudia,lakini uondoe nafsi ya Muhammad kutoka kwenye nyoyo zao, yaani nafsiya Muhammad na roho ya Qur’ani lazima iondoke kwenye nyoyo zaWaislamu. Lazima waondokane na nafsi ya Husein ndani yao.”

Ubeti wa mwisho ameuandika kuhusiana na yeye mwenyewe:

“Moto wa Tulip unawaka pamoja na nafsi ya Iqbal. Muondoe msomaji wa

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 48

Page 56: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

utenzi huu kutoka bustanini.”

Iqbal ameandika ubeti huu kama utenzi wa kifo chake cha kishahidi, laki-ni kwa vile Pakistan haijaundwa wakati huo, hakufanikiwa kupata kifo chakishahidi. Kama Pakistan ingelikuwa imeundwa basi hamu hii ya Iqbalvilevile ingeliweza kutekelezwa.

Shetani anaagiza kuondolewa kwa nafsi ya Uislamu. Ajabu kubwa ambayowatoto wa kisiasa ya Shetani wameifanya ni kwamba wameondoa nafsi yaHamasa ya Uislamu na badala yake wakawasilisha Uislamu usio naHamasa na kuwaambia Waislamu watengeneze kibweta kutokana naUislamu huu usio na Hamasa na kuvaa shingoni mwao (ili kupata malipo).

Uislamu wa Hamasa ni huu ambao una mambo manne:Jambo la kwanza ni kitendo, na kitendo hiki ni Ushia huu huu. Ushia nakitendo ni maneno mawili ya shukurani, kama ukisema kitendo au Ushiani tafsiri ya kitu hicho hicho.

Jambo ja pili ni harakati. Sababu ya Uislamu kuwa ni Hamasa ni kwasababu Uislamu sio dini ya udororaji; ni dini ya itikadi na harakati. Haitakiudororaji mahali popote na hauridhiki na udororaji na utuliaji. Kamwehauhubiri kusimamisha au kuwa wenye kutulia iwe katika swala au katikamatendo, au katika nia, au katika elimu, katika malezi ama katika mahu-siano, hausemi katika sehemu yoyote kwamba wewe kusimama hapa ndiobora. Uislamu hauchukui jina la kusimama; ni jina la harakati ya kudumu.Hauna hata uwezekano mdogo wa udororaji. Kuna hadithi moja isemayo:

“Ni mwenye hasara mtu ambaye siku zake mbili zimelingana.”

Katika sehemu nyingine neno mlaniwa linatumika:

49

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 49

Page 57: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

50

“Ni mlaaniwa mtu ambaye siku zake mbili zimelingana.”

Katika harakati hakuna siku mbili za mtu zinazopita hivi hivi kwa sababumtu mwenye harakati siku moja anakuwa sehemu moja, na siku ya pilianakuwa sehemu nyingine. Mtu anayekaa hivyo hivyo kwa muda wa sikumbili sio Mwislamu. Mwislamu ni yule ambaye siku moja yuko kwenyekitu fulani na siku ya pili amesonga mbele. Hili ndilo linalomaanishwa naharakati; gari linalotembea linakuwa sehemu moja katika dakika moja nakatika dakika inayofuata liko katika sehemu nyingine. Uislamu humuan-galia mtu kama mwenye kuhangaika huko na huko.

Jambo la tatu ni ujasiri, na katika mafundisho yote ya Uislamu elementiya ujasiri iko mbele. Katika mafundisho ya kawaida kama ya maadilivilevile kuna ujasiri. Maadili ya useja ni tofauti na maadili ya Uislamu.Maadili ya maseja au watu wanaopendelea utawa huyeyusha ujasiri wawatu mashujaa. Kwa kuwasilisha maadili ya useja wanajaribu kuwafanyawatu kuipa nyongo dunia (Zahid). Zahid (zuhudi ni mtu anayependakujitenga,) na useja humaanisha ubinafsi tu.

Sheikh Saadi anaandika kwamba Sufi mmoja alitoka kwenye sehemu yakeya utawa na akaja kwenye shule ya dini. Watu walishangazwa ni kwa niniametoka kwenye sehemu yake ya utawa wa ibada na kuja shuleni. Wakatialipoulizwa alijibu kwamba watu ambao wanakaa kwenye sehemu zautawa za ibada ni wachamungu sana na wenye Zuhudi, hawali chakula chaharamu, hawasengenyi, hawatendi dhambi, si kwa macho yao, walakutokana na ndimi zao, wala sio kwa mikono yao; kwa hakika wao nimalaika na unaweza kuwa malaika kwa urahisi sana. Ili kuwa malaikahuhitaji kufanya juhudi kubwa. Allama Iqbal anasema kwamba ni boramwanadamu kuliko kuwa malaika, hivyo kuwa malaika ni rahisi, lakini

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 50

Page 58: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

kuwa mwanadamu ni vigumu. Sufi huyu alisema: “Nimeondoka kwenye sehemu ya utawa wa ibada kwasababu pale watu ni wazuri sana na hawafanyi dhambi yoyote lakini pamo-ja na hayo sikuweza kukaa pale kwa sababu lengo lao kubwa ni kupatawokovu kwa namna fulani kwa wao wenyewe, wanakesha siku arobaini zamafunzo ya ibada ili kwamba waweze kufika sehemu fulani. Na nilikionakitendo hiki kama cha kibinafsi. Nimekuja kwenye shule hii kwa sababushule ni sehemu ambako kuna ujamaa na elimu. Tofauti kati yamwanachuo na Zahid ni kwamba Zahid hujipa ukombozi yeye mwenyeweambapo mwanachuo hujikinga yeye mwenyewe na halikadhalika hutoaukombozi kwa umma wote.”

Uislamu sio dini ya utawa katika muundo wake wa kimatendo, hakunautawa na useja katika Uislamu na kuna hadithi ya wazi kutoka kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba hakuna nafasi katika Uislamu kwa ajiliya useja.

Uislamu ni harakati na ujasiri; kila fundisho la Uislamu lina ushujaa naujasiri ndani yake. Sio jihadi tu ambayo ina ujasiri ndani yake, kwa kwelikila kitendo kina ujasiri. Kuwa shupavu (ukaidi) sio ujasiri, ushupavu nitofauti na ujasiri. Watu waoga mara nyingi huwa washupavu. Ujasirimkubwa sio kumpiga mtu ngumi bali kitendo kikubwa cha ujasiri ni kukirikwamba nimefanya kosa. Kwa hakika Uislamu hutoa na kulea watumajasiri. Mtu ambaye anakuwa na ujasiri wa kujilaani mwenyewe anawezakumlaani mtu mwingine yeyote. Tatizo ambalo alikuwa nalo Ghazaliilikuwa kwamba hakuwa na ujasiri wa kujilaani mwenyewe, hakuwezakujilaani ingawa alikuwa mwalimu wa maadili, hivyo hakuwa na ujasirihata wa kumlaani Yazid. Uislamu huo ni tofauti ambao unanyang’anyaujasiri kutoka kwa wanadamu kwamba kama nikimlaani Yazid huendanikaenda motoni. Uislamu hauzai watu waoga kama hawa; ni itikadi yaushujaa. Jina la ujasiri pia limo ndani ya vitendo vya Uislamu vya ibada;hakuna ibada ambayo iko tupu bila ujasiri. Katika ibada lazima uvunjemajivuno yako na kuwa mfungwa na mtumwa; na kwa hili unahitaji

51

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 51

Page 59: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

52

ujasiri.Jambo la nne ni upinzani na uvumilivu. Kuna hadithi kutoka kwa MtukufuMtume (s.a.w.w.) iliyosimuliwa na wengi:

“Surat Hud imenifanya mimi mzee.”

Katika Surah Hud kuna kitu kama hicho ambacho pia kinajadiliwa katikasehemu nyingine ya Qur’ani Tukufu, lakini kimetajwa katika hadithi na piawanachuoni wameandika kwamba kuna aya kama hiyo katika Surat Hudambayo haipo mahali popote na hii ni aya ambayo imemfanya MtukufuMtume (s.a.w.w.) aseme kwamba Surat Hud imenifanya mimi kuwa mzee.Aya hii ni:

“Basi (endelea kuwa mvumilivu) kama ulivyoamriwa juu yako.”(11:112)

Ni rahisi sana kusema “Hakuna mungu isipokuwa Allah” lakini kuoneshauvumilivu juu yake ni vigumu sana. Ni rahisi kusema kwamba Allah niMola wetu lakini kuwa imara juu ya hili ni vigumu sana. Kuna maelezo yabusara sana kutoka kwa Imamu Khomeini (r.a) kwamba ni rahisi kuletamapinduzi lakini ni vigumu sana kuyalinda. Ni rahisi kuwa mwanamapin-duzi lakini kubakia mwanamapindizi ni vigumu sana. Ni rahisi kusema“hakuna mungu isipokuwa Allah,” lakini kuliendeleza hili ni vigumu sana.Mtu ambaye anasema Mola wangu ni Allah Mmoja hebu naajaribu kulien-deleza hili kwa muda fulani. Hii maana yake ni kwamba… baba yangu sioMola wangu; ni baba yangu lakini sio Mola wangu………usimfikirie babayako kama Mola wako…….usizifanye serikali kama Mola wako…….usi-wafanye wateja wako kama Mola wako…….usiwafanye wakandamizajikama Mola wako. Ni rahisi kusema kwamba Mola wangu ni Allah lakinikuonesha uvumilivu juu ya hilo ni vigumu sana. Ni rahisi kuifanya nchi

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 52

Page 60: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

kwa jina la Uislamu lakini kuihifadhi nchi hii katika Uislamu ni vigumusana, wanachosema leo ni kwamba kama tukitenda kinyume na matakwaya Marekani tutakufa kwa njaa, kama tukitoa laana yoyote kwa Marekanina kama tukitoa kaulimbiu dhidi ya mtu fulani tutakufa kwa njaa.

Kwa nini ufe kwa njaa? Mungu aepushie mbali, je, dhati ya Allah haipo?Wewe ni Mwislamu? Una mategemeo juu ya Allah? una imani juu yaAllah?

Wanasema kile ambacho kitatokea Iran! Kila mtu katika ulimwengu anawasiwasi wa kile kitakachotokea Iran! Ulimwengu wote hata wale ambaowanatishia wana wasiwasi kwamba tunatoa vitisho, lakini ni matokeo ganiyatakayokuwa? Lakini kama utauliza uongozi wa Iran juu ya nini kitaka-chotokea; wanasema: “Mola wetu ni Allah.” Kama mtu ataelewa hilikwamba Mola ni Allah Peke Yake na hakuna uongozi wa yeyote yule mbalina Allah, na anaonesha uvumilivu juu ya hili hakuna mtu atakayemtisha.Aya moja zaidi ambayo Imamu Khomein (r.a) mara kwa mara ameisemakatika hotuba zake ni kwamba: Allah anasema:

“Na nawawaidhi tu kitu kimoja, kwamba simameni kwa ajili ya Allahmkiwa wawili wawili na mmoja mmoja.” (Sura Sabai: 46)”

Imamu Khomein katika muktadha wa aya hii anasema: “Allah anawaam-bia tu kitu kimoja; sisemi maneno makubwa, na kwamba kitu kimoja nikwamba simameni tu kwa ajili ya Allah. Simameni kwa ajili ya Allah, hatakama uko peke yako, hata kama mko wawili simameni kwa ajili ya Allah,hata kama kumi wakisimama kwa ajili ya Allah; kama ninyi ni ummammoja pia simameni kwa ajili ya Allah, na kama mko katika mamilionibasi pia simameni kwa ajili ya Allah.”

53

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 53

Page 61: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

54

????? ?? ??? ???? ???? ??????

Sema “La ilaha ila llahu” (hakuna mungu ila Allah) na mtapata uogofu.

“La ilaha ila llahu” sio kitu cha maneno matupu, ni kitu ambacho lazimakifanywe na sio kusemwa tu. Kutenda “La ilaha ila llahu” maana yake ni

mapambano (Moqawamat) na msimamo.

Kuna mambo fulani ambayo kudumu kwake hutegemea juu ya mapam-bano na uvumilivu. Kudumu kwa Uislamu, kudumu kwa Waislamu, kudu-mu kwa umma wa Kiislamu kwa uhalisi kumefichwa ndani ya mapambano(Moqawamat) na uvumilivu. Hii ndio sababu Uislamu ni aina ya Hamasa.Mapambano (Moqawamat) yapo katika kila mshipa wa mafundisho yaUislamu, ni sawa na kuufungua mshipa wowote wa mwanadamu ambakoni damu tu huonekena. Ingawa kama ukifungua mishipa ya Waislamu vituvya ajabu na kushangaza vitaonekana, lakini kutoka kwenye mishipa yaUislamu kitakachotoka ni Mapambano na Uvumilivu. Jina la pili laUvumilivu ni Uislamu na hii ndio sababu kwamba Uislamu ni wa aina yaHamasa.

Picha ambayo Ukristo umeionesha kwa Mtume Isa (a.s) ni kwambaalikuwa mtu mzuri sana, kwa nini alikuwa mtu mzuri? Hii ni kwa sababukatika mafundisho ya Ukristo inafundishwa kwamba kama mtu akikupigakofi shavu la kulia basi mgeuzie na shavu lako la kushoto. Hii ni kwasababu mtu ambaye anapiga kofi shavu moja lazima ageuke ili akuchapekwenye shavu lingine na hivyo mtu yule anayekuchapa atapata taabu,hivyo lazima ugeuze upande huo wewe mwenyewe ili wakati akikuchapaupande huo wa pili asipate shida hii. Lakini picha ambayo Allah ameione-sha kwa Mtume Isa (a.s) katika Qur’ani ni kitu tofauti kabisa. Isa waQur’ani ni kitu kingine wakati ambapo Isa wa Wakristo ni mtu mwingine.Qur’ani imewasilisha picha ya Isa (a.s) kama ile ya Hamasa, wakatiambapo Ukristo umemuonesha kwa picha ya useja na utawa. Kuna aina

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 54

Page 62: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

tofauti za umma, baadhi ya jumuiya ni jasiri na zenye moyo; utamaduniwao una ujasiri, lakini baadhi ya jumuiya zina woga na zilizodhalilishwana hakuna ujasiri katika utamuduni wao. Na kwa kuwa kwao hivyo wakombali na dini bali pia waoga katika utamuduni wao. Hakuna Hamasa ndaniyao, na Hamasa itatoka kwenye Qur’ani na Uislamu kwa sababu Hamasaipo ndani ya Uislamu.

Hivyo kuasi kwa Kiongozi wa Mashahidi kulikuwa kwa Hamasa ambayohumaanisha kwamba wakati ukimya na udororaji ulikuwepo juu ya ummawote, Kiongozi wa Mashahidi alianzisha uasi. Udororaji wa umma ni kosakubwa mno; ukimya wa umma ni utovu mkubwa mno wa utii. ImamuHusein (a.s) anasema kwamba miongoni mwa ibada zote iliyo tukufu nijihadi na jihadi tukufu zaidi ni kusema ukweli mbele ya mfalme dhalimu.

Kiongozi wa Mashahidi hakusema kwamba nimelazimishwa kuondokaMadina, alisema ninaondoka Madina. Karbala ile ambayo Husein ibn Alialiianzisha ni tofauti na Karbala ya makhatibu na wahubiri. Karbala yawanahistoria ni tofauti, Karbala ya waandishi ni tofauti, Karbala yawataalamu ni tofauti, Karbala ya wale wanaouza mikate (kwa ajili ya sada-ka ya Azadari) ni tofauti, Karbala ya wale wanachukua ada ni tofauti nakila mmjoa anayo Karbala yake mahususi, lakini kuna Karbala moja yaHusein ibn Ali. Sasa je, tunahitaji kutafuta Karbala ambayo ni yetu? Je, leotuko kwenye Karbala ipi?

Tutaielewa Karbala ya Husein ibn Ali (a.s) kutoka kwa Husein ibn Ali (a.s)mwenyewe. Khatibu na Mhubiri wa Karbala hii ni Husein ibn Ali (a.s)mwenyewe. Khatibu wa Karbala hii alitoa hutuba na kuwajulisha watukuhusu Karbala yake na kama wanataka kuelewa Karbala hii basi wana-paswa kuilewa kutoka kwa mwanawe Imamu Sajjad (a.s), kutoka kwa dadayake Mheshimika Zainab (a.s) kwa sababu wamewasilisha Karbala yakweli ya Husein (a.s). Kiongozi wa Mashahidi anasema:

??? ???? ??? ????? ?? ???? ?? ???? ?????? ?? ?????? ???

55

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 55

Page 63: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

56

“Je, hamuoni kwamba haki haitekelezwi na upotovu haukatazwi?”

Je hamuoni kwamba wakandamizaji na watu waovu wameuchukuautawala kutoka kwa Waislamu? Imamu (a.s) alitambulisha maana yaUyazid na kuondoa pazia kutoka kwenye uso wa Yazid na akasema kwam-ba Yazid ni dhalim, mkandamizaji na muuwaji. Yazid ni sawa na uliberaliwa leo. Yazid ni mliberali wa kwanza miongoni mwa Waislamu na uliber-ali wa Kiislamu ni Uyazidi.

Suala ni kwamba fikra na kaulimbiu za Uyazid hulingana na itikadi za ulib-erali. Uyazid haukuwa bendera kwa ajili ya udikteta; udikteta na ufalme nitofauti na Uyazid. Wakati uliberali ulipojitokeza ndipo Husein ibn Ali (a.s)alipoingia uwanjani kwa sababu uliberali si kwamba tu unatumikishawanadamu bali pia huzivunja haki. Ufalme hutawala na kuwashinikizaWaislamu lakini uliberali hutoa kaulimbiu za msaada kwa ajili yawanadamu na kuukandamiza ubinadamu kwa kutoa kaulimbiu za elimu yaubinadamu. Uliberali ni msaada kwa ajili ya mtu lakini adui wa haki. Nimsaada wa Waislamu lakini adui wa Uislamu. Leo inasemwa kwambawanadamu lazima wawe Waislamu lakini bila Uislamu, huu ni uliberali.Wakati dhulma na ukandamizaji ulipokuwa waziwazi Kiongozi waMashahidi alikataza kukaa kimya. Hakusema nalazimishwa kuondoka, balialisema naondoka. Naanzisha uasi huu:

????? ?? ???? ????? ??? ????? ??? ?????? ??? ??????.....

“Siendi kama mkandamizaji; siendi kama dhalimu, siondoki kwendakufanya vurugu na siondoki kwenda kusababisha dhiki; bali badaka yakenaondoka sio ninalazimishwa kuondoka. Kama ningetaka kubakianingeweza kubakia nikifanya ibada katika Masjid Nabawi. Kama ningeta-ka ningeweza kuchukua hifadhi katika Kaaba. Ningeweza pia kukaa kwaamani nyuma ya kuta za sala. Ningeweza vilevile kuchukua msaada waibada na kukaa kwa ukimya. Vilevile nilikuwa nafahamu njia nyingi zakuishi kwa amani.”

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 56

Page 64: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

Wakati watu wakubwa wa Makka na Madina walitoka kumzuia ImamuHusein (a.s) na wakamuomba asiondoke; watu maarufu wawili Abdullahibn Zubair na Abdullah ibn Umar (mtoto wa Khaifa wa pili) walimuendeana wakajiingiza katika majadiliano. Mukhtasari na kiini cha majadilianoyalikuwa kwamba tutaingilia katika mapambano yako na Yazid natutazungumza kuhusu majadiliano na maongezi ya pamoja. Kiongozi waMashahidi alisikiliza kila kitu na baada ya hili alisema: “Ole juu ya mambohaya mnayoyasema. Mnanionesha njia hii dhidi ya Yazid! Badala ya kujakwangu na kuniuliza njia ya wokovu kwa vile mimi ni Imamu wenu,kinyume chake mnanifundisha ni kitu gani cha kufanya! Ole juu yamazungumzo yenu haya.”

Kuna mazungumzo fulani ambayo yanalaaniwa na Kiongozi waMashahidi; mazungumzo ambayo hayo hayana Hamasa, mazungumzo yawoga, yale ambayo hayana ushujaa ndani yake; anasema kwamba badalaya kunisadia, badala ya kunishawishi, badala ya kusimama nyuma yamgongo wangu, badala ya ninyi kuwa mikono na mabega yangu, badala yakuniamrisha, badala ya kushiriki katika jeshi langu pia mnanizuiakuchukua hatua za ujasiri. Inashangaza kwamba umma badala ya kum-saidia Imamu wao wanaanza kumzuia Imamu wao.

Ushia ni matokeo ya uvumilivu na uimara na unahakikishiwa kwambaUshia umefikia hatua hii kwa sababu ya uvumilivu huu na mapambano(Moqawamat) na msimamo Istiqamat. Ushia ni dini ya mapambano, nawokovu wa Uislamu uko katika uimara na mapambano (Moqawamat).Ushia utakufa kama utaacha mapambano hayo. Mzigo wa paa upo juu yanguzo na wakati nguzo zikiacha upinzani na ulinzi, paa huporomoka chini.Maana ya mapambano (Moqawamat) ni ulinzi. Mwili wako uko hai kwaajili ya ulinzi, na kama ulinzi huu ukifa basi mwili nao vilevile utakufa.Pamoja na yote haya, viini vya maradhi na magonjwa yanayotushambuliakutoka kila upande na hata baada ya kula chakula kibaya kilichochafuliwa,kwa nini bado tunaishi? Hii ni kwa sababu tu ya mfumo pekee wa ulinzindani ya mwili. Maradhi hutokea tu wakati mfumo wa ulinzi wa mwili

57

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 57

Page 65: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

58

unapokuwa dhaifu. Daktari hutoa dawa kusadia kadiri ya ulinzi katikamwili. Uko hai muda tu ulinzi upo katika mwili wako. Siku ambayo ulinziutasimama utalala chali. Mwili wa mwanadamu ambao ulinzi wake husi-mama kaburi lake liko wazi. Hii pia ndio hali ya umma; umma ule ambaohauna mfumo wa ulinzi makaburi yao pia yako wazi.

Dini ambayo kwayo ulinzi umefikia mwisho, uwanja wa makaburi ukotayari kwa ajili yake, na mchimba kaburi amekaa akiwa amejitayarisha namuoshaji pia yuko tayari. Dini ambayo mfumo wake wa ulinzi umefikiamwisho ulimwengu uko tayari kuizika dini hiyo, jumuiya na umma.Uislamu ni matokeo ya Karbala leo, kwa sababu uko hai leo kwa ajili yahatua ya ulinzi wa Kiongozi wa Mashahidi na mapambano ya maswahabazake. Uislamu uko kwenye huruma ya Husein ibn Ali (a.s). kama unatakakuuliza kuhusu ujumbe wa Karbala katika sentensi moja, basi ujumbewenyewe ni Ulinzi, Mapambano (Moqawamat) na msimamo.

Imamu Khomein (r.a) anasema kwamba Mapinduzi ya Uislamu ni matokeoya Karbala, Azadari na Muharram. Sio kwamba tulipika vyungu vingi vyachakula na kula na hivyo kusababisha mapinduzi. Ni kitu gani kilichokuwandani ya Muharram na Safar ambacho kilisababisha mapinduzi? Kulikuwana nini mikononi mwako ambacho kiliupindua ufalme wa ubeberu, ni kitugani kilichokuwa pamoja na wewe ambacho mataifa makubwa yanawezakuchapwa nacho usoni mwao? Hiki kilikuwa kitu kimoja tu:

“Chochote tulichokuwa nacho kilitokana na Kiongozi wa Mashahidi (a.s).”

“Chochote tulichokuwa nacho ni kwa sababu ya Muharram na Safar.”

Hii ina maana kwamba kutokana na Muharram na Safar tulijifunzaMapambano (Moqawamat), Msimamo (Istiqamat) na ulinzi. Ilikuwa nikwa sababu ya Muharram na Safar kwamba:

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 58

Page 66: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

???? ?????? ????????

“Tulianzisha mageuzi, tuliwaamsha wengine na tukawa imara wakatiwote.”

Haya ni maneno ya siri ya Mapinduzi. Simama, amsha na kuwa imara. Nikutoka wapi umejifundisha huu uasi, kuamsha na uimara? Imamu (r.a)alisema ni kutoka Karbala. Hivyi ndivyo Hamasa ilivyo, kusimama,kuamsha na kuwa imara sio kurudi nyuma; kwa muda gani? Mpaka mudavichwa vitakapokuwa juu ya mabega lazima uendelee na hakuna kurudinyuma, na iwe ukatwe kichwa lakini kamwe usije ukainamisha kichwachako, hili ni jina la Karbala. Hiki ndicho kinachomaanishwa na ulinziambacho humaanisha kwamba mbele ya Yazid endelea kuweka ulinzimpaka muda kichwa chako kitakapokatwa. Hata baada ya kichwa kukatwakamwe kichwa kisije kikainama. Isiwe kwamba umekatwa kichwa halafufamilia inaanza kumsihi Yazid. Bali badala yake unakatwa kichwa na walewaliobakia nyuma lazima wawe wajumbe wa hawa waliokatwa shingo.Lazima wauamshe ulimwengu; lazima wauamshe ulimwengu kwa kwendamasokoni na mitaani. Wakati ulimwengu wote unapokuwa huko Kufa naSham, lazima muende huko na mjulishe kwamba hakuna matatizo yenuyoyote yatakayosuluhishwa kwa kuwa watazamaji.

Kulikuwa na Hamasa moja ambayo ilitengenezwa na Husein ibn Ali (a.s)na kulikuwa Hamasa moja zaidi iliyotengenezwa na Bibi Zainab (a.s).Allah ni shahidi kwamba wakati mtu akiangalia kwenye Hamasa zote hiziinakuwa vigumu kupima ni Hamasa ipi ambayo ilikuwa bora. Kwa ukweliHamasa zote hukamilishana kuelekea kwenye ukamilishaji. Kama Hamasaya Bibi Zainab isingekuwepo, Hamasa ya Husein ingepotea. Hii Hamasaya Bibi Zainab iliilinda Hamasa ya Husein. Watu walishuhudia uvumilivuna ulinzi wa Kiongozi wa Mashahidi; aliulinda Uislamu chini ya sime, ali-ulinda Uislamu wakati Shimr amekaa juu ya mgongo wake, akachukuawatoto wake mpaka sehemu ya machinjioni kwa mikono yake kwa ajili yakuulinda Uislamu. Je, ulinzi wa Uislamu ni mgumu sana au kwenda kati ya

59

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 59

Page 67: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

60

wanaume (wa kando) bila ushungi na mikono ikiwa imefungwa nyuma yamgongo na kutoa khutba; na kuwaambia kwamba mtu ambaye mnamuitamuasi ni Imamu wa dini yenu. Hii ndiyo Hamasa ambayo iliulindaUislamu, wale wanaojitenga kwenye utawa hawakuulinda Uislamu, udoro-raji na utuliaji haukuulinda Uislamu; Uislamu ulilindwa na uvumilivu waZainab na Hamasa ya Zainab (a.s).

“Bila ya Zainab Karbala ingelikufa. Bila ya Zainab Ushia ungetoweka.”

Bila ya Zainab dini ingetoweka. Zainab ni wa aina gani ya haiba? Zainabni jina la Mapambano (Moqawamat) na ulinzi. Zainab sio jina la bibi aliye-choka na mchovu. Alifungwa kwa kamba lakini hakuitumia hali hiyo kamakisingizio; ushungi wake ulichukuliwa lakini hakutangaza hali hii yakutokuwa na ushungi kama kisingizio; vichwa sabini vilitungikwa kwenyemikuki mbele yake lakini hakulifanya hili kama kisingizio. Alitoa khutbaambayo ilitikisa baraza la Yazid na jibu la papo hapo lilikuwa kwambamzee mmoja alisimama na akamuomba Yazid kumfidia kwa jinai hiyo.Daraja la ujasiri na ari katika khutba yake ilikuwa kwa kiasi kwamba watuwalikumbuka khutba ya Bibi Zahra (a.s) kwa sababu mama yake piaalikuwa Bibi wa Hamasa na bint halikadhalika. Hapa tunajadili tu kuhusuHamasa, lakini ilikuwa ni Hamasa ya Zainab ambayo ililinda Hamasa yaHusein.

Inashangaza kuona kwamba wale watu pamoja na ubora walio nao, wali-itoa nafsi ya Hamasa nje ya Uislamu, waliondoa roho ya Hamasa kutokaKarbala na kutoka kwenye uasi mtakatifu wa Kiongozi wa Mashahidi.Karbala na Ashura ni Hamasa kutoka kwenye kichwa mpaka kwenyevidole vya miguu kama tu ulivyo Uislamu; Qur’ani inaanza kuonyeshaHamasa. Kwa ukweli kama nafsi ya Qur’ani ingelikuwa ndani yaWaislamu, wasingeliweza kukubaliana na fedheha. Yafuatayo ni manenoya Bibi Zainabu: “Yazid, unafikiri kwamba kwa kutulazimisha na kutufun-ga kamba na kutufanya tusimame katika baraza na kwa kuwa kwako kiburiunajipa fikra kwamba umetufedhehesha na unajiona wewe mwenyewe

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 60

Page 68: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

kwamba umekaa kwenye kiti cha utukufu?” Alimuambia Yazid: subiri, usi-fanye haraka, na usitembee kwa haraka sana (hivi punde utaona).

Jumuiya yenye mwenendo huu kamwe haiwezi kufedheheka; hata kamawamefungwa kamba, minyororo na kupatwa na maumivu makalihawakubali kudhalilishwa. Je, ni zipi kaulimbiu za Kiongozi wa Mashahidi(a.s) katika Karbala? Hazikuwa zile kaulimbiu ambazo kwa kawaidatunazisoma leo; zilikuwa kaulimbiu ambazo hata kama tukizifikiriatunaona ugumu na changamoto kutoa kaulimbiu kama hizo.

???? ?? ??? ????? ???? ????? ??????? ?? ???????? ???? ????

“Nayaona maisha chini ya wakandamizaji ni udhalili na nakiona kifo nakuuawa shahidi katika njia ya Allah ni fahari na upendeleo.”

??? ?????? ??? ?????? ?? ????? ??? ?????? ??? ?????? ????????????? ???? ??????

“Mtoto huyu wa zinaa wa mzinifu amenifikisha njia panda ya utukufu nafedheha. Lakini hana habari kwamba Husein kamwe hatatembea kwenyenjia ya fedheha. Nitatembea njia ya mapanga. Nitatembea kwenye njia yamateso lakini kamwe sitavumilia fedheha.”

????? ???? ??????

“Nasema fedheha hapana.”

Husein na fedheha haviwezi kujikusanya sehemu moja. Na hata kama kunawatu wakubwa lakini ambao maneno yao yananuka fedheha, basi Huseinibn Ali (a.s) anasema: “Ole kwa mazungumzo kama hayo.”

Karbala ni Hamasa kiuhalisia

61

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 61

Page 69: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

62

SURA YA NNEMsimamo (Istiqamat) Somo kutoka Karbala

Kitu muhimu zaidi kinachohusiana na tukio la Karbala ambacho tuna-paswa kutafakari, kuchambua na kujadili juu ya kila jambo ni madhumuniya kuasi kwa Kiongozi wa Mashahidi (a.s). Nini yalikuwa madhumuni yaImamu Husein (a.s) ya kuanzisha uasi huu na je, alikamilisha harakati hiitakatifu? Iwapo uasi huu ulianzishwa na Imamu Husein (a.s) au alishaw-ishiwa kwa ajili ya hili? Wakati mwingine kutokana na mijadala na maan-dishi ya vitabu tunapata mawazo kwamba Imamu Husein (a.s) alilazimikabila ya kupenda kujitumbukiza kwenye masaibu haya. Kama ambavyo kwakawaida inasemwa kwamba kama amri ya kutakiwa ale kiapo cha utiiisingetolewa, kama wasingemfanyia bughudha na wasigemtishia nachaguo la kutoa kichwa chake au kusalimu amri kwa Yazid, basi kadhia hiiisingetokea. Aina hii ya sababu hutokezea kwa ajili ya matukio fulani auharakati katika zama zetu na wanadamu hupotoshwa na kutoka kwenyenjia yake ya haki na kuelekea upande mwingine. Pia sasa hutokea kwam-ba tukio fulani hutokea na papo hapo matukio fulani mengine pia hutokeana tunayahusisha pamoja tukidai kwamba tukio hili ambalo limetokea nimatokeo au athari ya kadhia zingine na matukio.

Hakuna shaka kwamba kulikuwa na madai ya kiapo cha utii yaliyofanywakutoka kwa Imamu Husein (a.s) lakini pia lazima tufahamu kwamba hatakama Yazid asingefanya madai haya bado uasi huu ungetokea. Hata kablaya Imamu Husein (a.s) kupata fursa ya kuanzisha uasi huu kwa mata-yarisho kamili, Yazid alianzisha uasi huu. Yazid au washauri wake walia-mua kufanya haraka juu ya suala hili ili kudhoofisha matayarisho yoyoteyaliyopangwa na Imamu Husein (a.s) kuanza uasi dhidi ya Yazid. Hii nikwa sababu kama tunachambua khutba za Imamu Husein (a.s) kuanzia

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 62

Page 70: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

Madina mpaka Karbala na hata kabla ya Yazid kushika madaraka,tunaweza kuelewa kwa urahisi na jambo hili liko kwa uwazi linadhihirishakwamba Imamu (a.s) alikuwa na nia hii ya kuasi na harakati tangu zamani.Lakini alikuwa akingojea fursa na wakati muafaka ambako angewezakukamilisha makusudio yake katika njia ya hali ya juu iwezekanayo.Wakati wa kipindi hiki tukio hili la madai ya kiapo cha utii yalitokea nahiki hakikuwa kitu cha ajabu au kipya kwa Imamu (as) kwa vile alikuwaamejitayarisha tayari kwa ajili ya tukio hili. Imeandikwa na wanahistoriawengi kwamba wakati Walid alipomuita Imamu Husein (as) ofisini kwakemjini Madina, Imamu (as) aliposikia wito huu mara moja alisema kwambaAmir-e-Sham (Mua’wiya) amefariki na mwanawe ameteuliwa kuwa mrithiwake na ananitaka mimi nile kiapo cha utii kwake. Hii huonesha kwambahata kabla ya mtu yeyote kumpa taarifa yeye mwenyewe Imamu (as) ali-hisi kwamba tukio hili limekwisha tokea na alielezwa kitu kama hichohicho wakati alipokwenda kwa Walid na kumuuliza sababu ya kumuita.Alielezwa kwamba tukio hilo limetokea huko Damascus na amri imekujakutaka kiapo chako cha utii. Imamu (as) alikuwa amekwisha jitayarisha nahilo na tangu zamani alikuwa anajaribu kutengeneza mazingira mazurikwa ajili ya watu kushiriki kwa urahisi katika maasi wakati utakapofika.

Uthibitisho wa habari hii unayohusu uasi huu vilevile hupatikana kwenyemaandishi mengine ya kihistoria yaliyosimuliwa kwetu yajulikanayo kamaKhutba ya Mina. Mwaka wa 59 A.H., mwaka mmoja kabla ya tukio laKarbala na hata kabla Yazid hajashika madaraka, Imamu (as) alitoa khutbahii yenye maelezo marefu katika uwanda wa Mina wakati wa msimu waHijja. Imamu Husein (as) aliwakaribisha watu wote mashuhuri waulimwengu wa Kiislamu wa wakati huo, wanachuoni na wakuu wa maka-bila ili kuwahutubia kwa khutba hii. Imamu (as) alivuta nadhari zaokwenye vitu vingi na mwishowe alieleza nia yake ya uasi. Hata kamaImamu (as) asingewalingania kwa uwazi nia yake hiyo ya uasi, bali piakutokana na maandalizi aliyokwishaandaa na kutokana na khutba yenyeweni dhahiri ni nini makusudio na matilaba ya Imamu Husein (as) na sababuya kwa nini aliwaita watu hawa.

63

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 63

Page 71: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

64

Katika khutba hiyo Imamu (as) aliwaeleza ni kwa nini Allah Aza wa Jallahaliwalaani wanachuoni wa Kiyahudi wa Bani Israil. Sababu aliyowaambiani kwamba hawakutekeleza Amr Bil Maruf na Nahi Anal Munkar.Walikuwa hawazuii watu kujiingiza katika maovu, walikuwa hawalinganiiwatu katika maadili ya kimungu, na walizoea kukaa kizembe kama wataza-maji, na walikuwa wakilipwa na serikali na mahakama. Kwa hiyo, amakwa sababu ya uroho au hofu walizoea kujizuia kuonesha haki na ukweli.Hii ndio sababu ya Allah Aza wa Jallah ya kuwalaani kwa maneno makalikatika Qur’ani Tukufu. Baada ya kusema haya Imamu (as) aliwageukiawasikilizaji wake na akasema kwamba wakati tamaduni na mila za wahen-ga wenu wa zamani zinapovunjwa mnafanya makelele mengi, lakiniwakati mipaka ya Mungu inapokanyagwa hamuoneshi upinzani wowotekwa hili. Baada ya kauli hii Imamu (as) alisema: “Ewe Mola wangu!Shuhudia kwamba sifanyi uasi kwa ajili ya ulimwengu, madaraka, fahariau hadhi, bali badala yake ninafanya uasi kwa ajili ya kuitetea tawhid.”Yote haya yalisemwa katika khutba ambayo ilitolewa mwaka mmoja kablaya tukio la Karbala.

Baada ya tukio hili kuna ushahidi mwingine uliopo katika mtindo wa baruailiyoandikwa na Imamu (as) kwenda kwa Mu’awiya. Kwa kweli hilililikuwa ni jibu la barua iliyoandikwa na Mu’awiya kwenda kwa Imamu(as) ambayo kwayo alijaribu kumtisha Imamu (as). Katika barua hiiMu’awiya kwanza alitaja matatizo ya kimaadili ambayo yangejitokezakama Imamu (as) atazungumza dhidi yake, kwamba itasababisha mta-faruku na mtengano ndani ya umma wa Kiislamu. Alimshauri Imamu (as)katika barua hiyo kwamba lazima tufanye kila kitu kwa ajili ya umoja waWaislamu na tusilete vurugu na tuache umma wa Kiislamu uishi kwaamani. Baada ya kuandika kuhusu haya, kisha katika barua yake alianzakumtisha Imamu (as) kwamba kama ukianzisha uasi basi utakabiliana namatokeo mabaya sana, na wewe (Imamu) na umma mtapata hasara kubwa.Alihitimisha barua yake hiyo kwa mukhtasari kwamba haifai kwa Imamukufikiria kitu kama hicho. Imamu (as) aliijibu barua yake hiyo neno kwaneno, kama vile juu ya suala la umoja, Imamu (as) alisema wewe ndiye

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 64

Page 72: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

uliyekuwa wa kwanza kuugawa umma, ama kuhusu hasara, Imamu (as)alisema kwamba wewe ndiye uliyekuwa wa kwanza kuusababishia ummahuu hasara. Imamu (as) alijibu kila nukta iliyotajwa na Mu’awiya katikabarua yake. Hii ina maana kwamba hata Mu’awiya alikuwa anafahamukwamba Imamu (as) anazo fikra zinazohusiana na uasi, na hii ilikuwakweli kwani alikuwa na wapelelezi waliokuwa wakitoa taarifa ya kila kitukinachohusiana na Imamu (as). Walichunguza kwa karibu sana kila mku-tano, mkusanyiko, khutba, kauli, shughuli na matayarisho ambayo Imamu(as) alikuwa akiyafanya kwa ajili ya uasi huu.

Kitu muhimu ambacho Imamu (as) alifanya ilikuwa ni kuwaandaa watubinafsi kwa ajili ya uasi huu. Hili lilikuwa muhimu kwa sababu mudaambao umepita tangu kuuawa shahidi kwa Amirul Muminin (as) mpakatukio la Karbala umekuwa wakati mgumu sana kwa umma wa Kiislamu.Kwa sababu baada ya kifo kitakatifu cha Imamu Ali (as), Bani Umayyawalipata udhibiti wa ukhalifa na serikali kutoka Damascus. Zama hizozilikuwa sawa sawa na zama za leo ambazo tunaishi. Ilikuwa ni katikakipindi hiki ambacho kwacho kwa msaada wa udanganyifu, hila na ugaidiwatu watendaji waliolengwa waliuawa kishahidi. Na kwa upandemwingine watu mashuhuri waliuawa ima wakiwa safarini, katika biasharazao au katika nyumba zao na kwa upande mwingine wengi walidangany-wa na tamaa za ulafi. Wakati wa kipindi hiki tukio la mkataba wa amaniwa Imamu Hasan (as) ulifanyika ambao kwawo sababu kubwa ilikuwa nitamaa hii na ulafi ambao kwawo masahaba wengi wa Imamu Hasan (as)walishawishika. Baadhi walishawishiwa na vyeo, baadhi kwa mali nabaadhi wakashawishika kwa wanawake. Kwa bahati mbaya haya yalitokeana watu mashuhuri katika kambi ya Imamu Hasan (as) walidanganyikakwa silaha hizi tatu.

Kuna kitabu kilichoandikwa na Marehemu Tabrisi kwa jina la “Al-Ihtijaj”ambacho ni mkusanyiko wa aina mbali mbali na mifano ya kisiasa na upin-zani wa kielimu na upinzani ambao Maimamu wetu wameupitia. Kitabuhiki lazima kisomwe, lakini sio kwa nia ya kupata thawabu bali kwa kweli

65

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 65

Page 73: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

66

matukio na harakati za Maimamu (as) lazima yachambuliwe kulingana namambo na hali za sasa za zama zetu. Katika kitabu hiki imeandikwakwamba baada ya mkataba wa Imamu Hasan (as) ulipofanyika baadhi yawafuasi wa Imamu Hasan (as) walijitokeza na kubishana naye katikanamna ambayo ni ya matusi na isiyo ya kimaadili, huku wakimuulizaImamu (as) kuhusu kuukubali mkataba huu, Imamu (as) alijibu kitofautikatika mazingira tofauti, kwa kiwango cha ulewa wa muulizaji. Alitoasababu moja kwa mtu fulani na nyingine kwa mtu fulani mwingine, lakinisababu zilizotolewa na yeye zilikuwa ni sehemu ya sababu za kukubalimkataba huu. Moja ya sababu ngumu na chungu alizozitaja kwa manenoyake mwenyewe ilikuwa: “Wamenunua baadhi ya watu wa jeshi langu nampango wao ni kuwatumia watu hawa walionunuliwa kunifanya mfungwa,wanifunge mnyororo na kunikabidhi kwa maadui.” Kwa maneno menginewaliambiwa kwamba kama wakilifanya hili watalipwa vizuri sana nawameona kwamba kabla ya hili masahaba wengi sana wamemuachaImamu (as) kwa ajili ya malipo mazuri kutoka kwa maadui. Hata kaman-da mkuu wa jeshi la Imamu (as) alishanunuliwa kabla. Kamanda huyuambaye watoto wake waliuawa kabla ya hapo na adui huyo huyo, familiayake ikaporwa na kukandamizwa alikuwa anatokana na Bani Hashim nandugu wa karibu wa Imamu Hasan (as). Ubdullah ibn Abbas, ambaye jinalake ni maarufu sana katika Uislamu. Alikuwa kamanda mkuu wa jeshi laImamu Hasan (as) na alikuwa miongoni mwa wa mwanzo kabisa kununuli-wa na jeshi la Damascus. Alihongwa maelfu ya dinar za dhahabu nadirham. Alipewa nusu na akaahidiwa kupewa nusu nyingine wakatiatakapojiunga na jeshi la Mu’awiya. Alipewa cheo kilekile alichokuwanacho katika jeshi la Imamu (as) na walimpa msichana mrembo waDamascus (kwa vile watu wa sehemu hiyo ya Syria na Lebanon walikuwawatanashati na warembo), yote haya kama atamsaliti Imamu Hasan (as) nakuja upande wa jeshi la Mu’awiya. Alimuacha Imamu (as) na kuondokapamoja na kundi lote na kujiunga na jeshi la Mu’awiya. Ingawa nyingi yaahadi baadae hazikutekelezwa lakini kama hivi wengine wengi walidan-ganyika kwa zawadi na wakamuacha Imamu (as).

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 66

Page 74: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

Baadae muda ukaja wakati maadui wakawa washari mno na wakaanzakugawa pesa kwa kila mtu katika kambi ya Imamu Hasan (as), wakatoaahadi nyingi, vitisho, kusambaza umbea na wakatengeneza misukosukokatika kambi ya Imamu Hasan (as). Hali hiyo ilikuwa kiasi kwamba wana-jeshi wengi wa Imamu (as) walitaka kuchukua faida nyingi iwezekanavyokutoka kwa maadui na kuwa karibu nao. Kadhia hii ya bahati mbaya ili-tokea na katika kitabu hiki “Al-Ihtijaj” Imamu (as) baadae alisema kauliambayo imeandikwa katika kitabu hiki tangu karne nyingi lakini hakunaaliyeielezea. Ni kauli chungu sana na fasaha ambayo hutia uchungu kwamwanadamu na moyo wake kuvuja damu baada ya kuisikiliza. Katikakitabu hiki imeandikwa kwamba wakati watu walipokuja na kumuulizakuhusu sababu za kufikia mkataba na Mu’awiya, Imamu (as) kwanza ali-fafanua kuhusu mipango yao ilivyokuwa na jinsi nia yao ilivyokuwa kuhu-siana na yeye (as), na kisha kwa uwazi kabisa akitumia neno Shi’a kwa ajiliya wafuasi wake, alisema: “Natoa upendeleo kwa Mu’awiya dhidi yaMashi’a wangu hawa.” Hii ni kwa sababu Mu’awiya ni adui yangu naninamfahamu vya kutosha kwa kile anachokusudia kunifanyia, ambapokwa masahaba wangu wamepanga kuniuza kwenye mikono ya Mu’awiya.”Haya ni maneno ya Imamu (as). Alielekeza kidole kwenye jeshi lake namasahaba zake na akasema kwamba wenyewe wanajiita Mashi’a wangulakini fikra zao mbovu zimebuni mpango wa kuniuza kwa Mu’awiya.

Kadhia ya Karbala ilikuwa bado haijatokea lakini misingi yake ilikuwaimeanza kuwekwa, na tukio hili la mkataba wa amani linatokea. Watuwanasema Mu’awiya alimlazimisha Imamu Hasan (as) kwenye mkatabahuu, lakini ukweli ni kwamba wafuasi wake mwenyewe ndio waliomlaz-imisha Imamu (as) kusaini mkataba huu wa muafaka na Mu’awiya. Hiindio sababu Kiongozi wa Mashahidi (as) alisema kwamba aina ya masa-haba niliopata sio wale waliokuwa wa babu yangu (s.a.w.w.) wala babayangu (as) au wa kaka yangu Hasan (as). Hao walikuwa ni wasaliti wakub-wa na wabaya, kwa sababu yao mkataba huu ulifanyika na baadae wakajakwa Imamu (as) katika hali ya matusi, utovu wa maadili na ya aibu wakim-taka atoe ufafanuzi na kumtangaza Imamu (as) kuwa ndiye mwenye

67

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 67

Page 75: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

68

kuhusika na mkataba huu. Mpaka hata mtu mmoja alimkaripia nakumuonya, na matokeo yake kusababisha kipigo cha mwili. Kuna majinamakubwa miongoni mwao, kwa sababu majina ya watu wakubwa yanapo-jikeza watu hunyamaza kimya. Hili pia liko kwa ndugu zetu katika imaniwakati majina ya watu wakubwa yanapojitokeza katika hali ya kinyumehupenda kunyamaza kimya na huwa hawataki kuzungumza kupita mipakahii. Lakini huu ni ukweli kwamba mtu mmoja mashuhuri wa Kufa, Salmanibn Surade Khazai ambaye alikuwa mtu wa ajabu mwenye tabia zakigeugeu, ambaye alizoea kuandaa mikutano nyumbani kwake ilikumkaribisha Imamu Husein (as) kuja Kufa na yeye mwenyewe alitumabarua kwenda kwa Imamu (as), lakini baadae muda ulipokuja hakuonekanamahali popote. Mtu huyu alimfuata Imamu Hasan (as) na akamsalimia kwamaneno makali: “Salamu kwako wewe uliyewadhalalisha Waislamu(Asalaamu alaika Ya mudhalal Muslimin). Na mtu huyu anaangaliwa kwaheshima kubwa mpaka leo na kuhesabiwa miongoni mwa watu wanao-heshimiwa.

Hali yote hii ilitokea mbele za Imamu Husein (as) na haiwezekani kwam-ba baada ya kifo cha kishahidi cha Imamu Hasan Al-Mujtaba (as), ImamuHusein (as) angetoka nje ya mawazo haya hata kwa siku moja. Hivyotunaweza kutambua hali zilizokuwa wakati wa Imamu Hasan (as). ShahidBaqir Sadr (ra) anasema kuhusu zama za Imamu Hasan (as) kwambajumuiya maana yake masahaba wanajeshi wa Imamu (as) walikuwa niwahenga wa migogoro mingi, migogoro aina mbali mbali ilikuwepo mion-goni mwao, na jumuiya hii ambayo ilikuwa muhanga wa migogoro hainathamani na ilifanya hivyo hivyo. Walikuwa katika hali ya kutokuwa nauaminifu na kiusaliti. Migogoro ilivunja makusudio ya jumuiya, ilivunjaari yao na kuvunja migongo yao. Migogoro ilivunja imani ya jumuiya ili-ingilia makusudio yao na kuwafanya wazembe na wachovu. Hivi nividokezo vya kupendeza ambavyo Shahid Sadr amevitoa kuhusiana na haliya kisaikolojia na ya kijamii ya jumuiya hii.

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 68

Page 76: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

Imamu Husein (as) alikuwa anatambua kwamba mgogoro huu umeukum-ba jumuiya hususan wafuasi wake mwenyewe walikuwa muhanga wamgogoro huu, na jumuiya iliyokumbwa na migogoro haiwezi kuanzishauasi kwa urahisi na kwa wepesi. Kwa hiyo Imamu Husein (as) alilazimikakufanya juhudi za muda mrefu, lakini bado tunaona kwamba wakatialipotangaza matayarisho makubwa ya mipango yake ya kuanzisha uasiwatu wachache sana walijitokeza kumsaidia. Kusema kweli baadhi yaowalirudi nyuma katikati ya njia na imesemekana kwamba hata katika daki-ka za mwisho baadhi yao walimuacha Imamu (as). Kwa mfano wakati kilamtu alipouawa Shahid na Imamu (as) peke yake tu ndiye aliyebakia, badowalikuwepo baadhi ya watu wa aina hii, na hili hapa ni tukio la kushangazalililopatikana la mfanyabiashara msafirishaji wa ngamia ambaye kutokakwake Imamu (as) alikodisha baadhi ya ngamia kutoka Makka na ilikuwaabaki naye mpaka mwisho wa safari. Mtu huyu alikuwepo mpaka jioni yasiku ya Ashura. Wakati mtu huyu alipoona kwamba sasa kila mtu ameuawakishahidi na muda wa kuuawa kishahidi kwa Imamu Husein pia unakarib-ia, alimfuata Imamu (as) na kumuambia kwamba kuwepo kwangu mimi nawewe sasa hakuna maana na muda mfupi ujao na wewe pia utauawakishahidi, hivyo ingekuwa ni vyema ukanilipa. Alimtaka Imamu (as)amlipe kabla hajauawa kishahidi ili arudi alikotoka. Imamu Husein (as)alimlipa pesa zake na akamruhusu aondoke. Alichukua pesa zile naakaelekea kwenye kijimsitu cha mitende ambako amewafunga ngamiawake ili akimbie zake. Wakati alipofika pale baadhi ya wavamizi au watukutoka katika jeshi la Umar ibn Saad walimnyang’anya pesa zile pamojana ngamia wake na kumuuwa pale pale Karbala. Huu ndio ubaya wamwanadamu wakati ambapo hakutoa msaada kwa Imamu (as) hakupatashahada pamoja na Imamu (as), lakini bado kauliwa pale pale Karbala.Alimuacha Imamu kwa ajili ya pesa, kwa ajili ya kuipenda dunia hii, kwaajili ya ngamia wake lakini bado aliuawa kwa mikono ya wavamizi. Kunamatukio mengi kama haya yaliyotokea pale Karbala na yanastahikiumuhimu wa aina yake, lakini kwa bahati mbaya hakuna hata mojalililochambuliwa, kujadiliwa na kusimuliwa. Matukio haya yana masomona mafundisho mengi.

69

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 69

Page 77: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

70

Hivyo migogoro huharibu jumuiya, na wakati wa zama hii tangu kuuawakishahidi kwa Amiru’l-Muminin (as) mpaka tukio la Karbala umma waWaislamu umeathiriwa na migogoro mikali ambayo imekuwa ni sababu yakuvunjika kwao na kudhalilika. Ilikuwa ni muhimu kabisa kusimuliakuhusu matukio haya ya kihistoria ili tuweze kuyalinganisha na haliiliyoko sasa ya zama yetu hizi. Kama unataka kufahamu yaliyojiri katikakipindi kile cha miaka kumi ya Uimamu wa Imamu Husein (as), basi haliya miaka ile ni sawa na kile kinachotokea leo katika nchi hii (ya Pakistan)na vilevile katika ulimwengu wote wa Kiislamu. Ingawa ulimwengu wotewa Kiislamu hauko sawa. Kuna hali tofauti katika sehemu tofauti, haliiliyoko Iraq ni tofauti kabisa na hali iliyoko Iran, halikadhalika katika nchiya Lebanon hali ni tofauti na sehemu nyingine za ulimwengu wa Kiislamu.Hatuwezi kusema kwamba hali ya aina moja ipo katika sehemu zote zaulimwengu wa Kiislamu, kila nchi ina hali zake mahususi, lakini inapoku-ja kwa Pakistan hali ni ya tofauti ya kipekee. Hali katika Pakistan haifananina umma mwingine wowote wa Waislamu, kama kuna ukaribu katikamazingira, basi itakuwa ni pamoja na Iraq. Lakini bado hali katika Pakistanni tofauti sana hata na Iraq. Kama tukiiweka hali iliyopo sasa ya Pakistanchini ya kioo cha historia, basi hali iliyopo sasa ya Pakistan ni sawa sawana ile miaka kati ya kifo cha kishahidi cha Amiru’l-Muminin (as) na tukiola Karbala. Zama zile zilikuwa za migogoro ambayo ilichukuwa kila kitukutoka kwenye umma. Zilichukua heshima na ghera yao; iliwaondoleambali utambuzi wa kuelekea kwenye kuwepo kwao na kuwaondolea mbalikila kitu.

Ama kwa kifo cha kishahidi cha Sadr migogoro hii imepasua vipandevipande makusudio ya umma na kuvunja mgongo wake. Imeondoa ari,ushujaa, ujasiri na hata uwezo wao wa kufikiri. Wakati mwingine jumuiyaimekuwa mateka kwa kiasi kwamba imesahau kuhusu jukumu la kuanzauasi, hata pia kupoteza ari ya kufikiri kuhusu kuanzishwa kwa uasi. Piahuogopa hata kuhofia kufikiria kuhusu kufanya uasi hata katika faragha.Hali hizi zilitengenezwa na maadui kupitia udanganyifu, ulaghai na ugai-di. Waliwauwa kishahidi watu mashuhuri na kuzitesa familia zao.

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 70

Page 78: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

Walikuwepo wengi ambao walilazimika kukabiliana na misukosuko mikaliya kifedha, mafao yao kutoka kwenye hazina ya serikali yalisimamishwa,na wengi waliishia kuishi chini ya umasikini. Wengi walikuwa wanakarib-ia kifo kwa sababu ya umasikini na kwa kweli wengi walikufa kwa ajili yaumasikini. Hizo ndio zilizokuwa hali ambazo walizitengeneza, na hizindizo hali ambazo kwazo wataalamu fulani walikuja nazo na kuvunja ariya jumuiya. Kuna wataalamu mafundi ambao kazi yao ni kukandamiza ariya jumuiya na kitu kama hicho kinatokea leo katika nchi hii (ya Pakistan).

Kwa upande mmoja kuna mgogoro wa kisiasa ambao umefikia kilelechake katika nchi hii. Ingawa ungeuita kwa jina lingine, itakuwa ni sahihizaidi kuutaja kama mchezo wa kisiasa unaochezwa na wanasiasa. Kwaupande mmoja mchezo huu ni wa kisiasa na kwa upande mwinginemigogoro mingine yote imekusudiwa kuvunja mgongo wa umma nakuzivunja nia zake. Mapambano ya kisaikolojia yanapiganwa wakati halinyingine ziko kwenye udhibiti, lakini hapa Pakistan hali ni zaidi ya vita yakisaikolojia. Kama ilivyo leo unaweza ukaona vita vya kisaikolojia kati yaMagharibi na Iran. Vita vya kisaikolojia ni vita vya kuumbuana kamailivyo kati ya Magharibi na Iran ambako wote wanajaribu kushambulianeva za kila mmoja, ambayo ni zaidi kutoka Magharibi na kidogo kutokaIran, na katika aina hii ya vita yule ambaye ana neva imara atafanikiwa.Mtu ambaye hapotezi udhibiti wa neva zake, hawi na mhemuko namapigano ya kihisia katika hali ya busara. Hali hii ya vita vya kisaikolojiani ngumu kuliko vita vya silaha, lakini vita vya migogoro ni vigumu zaidikuliko hivi vita vya neva.

Kama tukishuhudia vita vya silaha, kunakuwa na upigaji wa mabomu maz-ito, maadui huja na silaha na kuchana chana vijana wa umma. Lakini badomateso hayo ni mepesi kwa umma kuyavumilia, na sio wepesi tu kwakweli mateso haya, vifo vya kishahidi hunyanyua ari ya jumuiya,huwahuisha na kuwarudishia ari yao. Ilitokea huko nyuma wakati ambakojumuiya zimeshambuliwa kwa ukatili na wakapatwa na vifo vingi vyakishahidi na matokeo yake wakapatwa na hisia ya heshima, kujiheshimu na

71

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 71

Page 79: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

72

hadhi, na hapo wakafikia hatua ya kuheshimika; kama tulivyoona katikamashambulizi ya hivi karibuni huko Gaza. Lakini zile jumuiya ambazozinajiingiza katika migogoro ambayo inavunja migongo yao, kuvunja ariyao na hata kugandisha uwezo wao wa kufikiri katika mwelekeo sahihi;jumuiya kama hizo kamwe haziendelei na kamwe hazinyooshi migongoyao.

Tunaweza kusoma Nahjul-Balaghah khutba za Amiru’l-Muminin (as) ilikukadiria juhudi zake alizofanya kuurudusha umma kwenye Muqawamat(mapambano); ili kuleta tena uvumilivu kwao na kwa mara nyinginekuwarudisha tena kwenye viwango vilevile kama umma ulivyokuwawakati wa kipindi cha Mtume (s.a.w.w.). Mwishowe Amiru’l-Muminin(as) alisema kwamba licha ya juhudi zangu zote sikuweza kupata matundamazuri yoyote kutoka kwenye umma huu. Amiru’l-Mumini (as) aliombakwa Allah Aza wa Jallah kwamba: “Ewe Mola wangu! Waondolee mbalikutoka kwangu na niondolee mbali kutoka kwao.” Imamu, Kiongozi namlinzi kama Amiru’l-Mumini (as) hakuweza kupata matokeo yamafanikio ya kuunyosha na kuurudisha umma kwenye miguu yake kwasababu huu ni umma ulioshindwa, umma ambao mgongo wake umevunji-ka, umma ambao umepoteza moyo wake na umma ambao umepotezaushujaa na ari yake yote. Na kisha mwishowe yeye (as) alilazimika kuom-ba kwa Allah Aza wa Jallah kuuondoa umma huu mbali na yeye nakumuondoa yeye mbali na wao na akasema: “Siwezi kubadilisha hali yamigogoro iliyoikumba jumuiya hii.” Migogoro hiyo hiyo ilihamia kwenyezama za Imamu Husein (as) wakati wa Uimamu wake. Wakati mwinginewatu wanauliza kwa nini Husein (as) hakuanza uasi mapema au kwa niniausi huu usitokee wakati wa kipindi cha baba yake. Imamu Husein (as) ali-jaribu sana kuitoa jumuiya hii katika migogoro lakini wote wamekuwawasio na akili na wazembe na hii inaweza kuonesha kwa urahisi kutokakwenye khutba ya Mina na vilevile kutoka kwenye khutba mbali mbalinyingine na simulizi za Imamu (as) wakati wa safari yake kutoka Madinakwenda Karbala. Kama alivyosema Imamu Husein (as):

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 72

Page 80: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

“Je, hamuoni kwamba haki haitekelezwi, je, hamuoni kwamba batilihaizuiwi.”

(Mausuwata Kalemate Imam Husein (as) uk. 356)

Anawahutubia watu wa kawaida na kuwaambia kwamba hamuoni kwam-ba ufisadi unafanywa kwa wazi. Aina hii ya sentesi hutumiwa wakati waufisadi unapokuwa wazi. Kabisa na bila kizuizi, na watu huulizwa iwaponi vipofu, hawawezi kuona kile ambacho kinatokea kwao. Na huu ulikuwani ukweli kwamba umma haukuweza kuona kinachotokea. Wamefumbamacho yao na walikuwa wanahusika tu na kazi zao ndogo ndogo za kilasiku. Kila mtu yuko katika kujichukulia mwenyewe binafsi na kama sikumoja ikipita kwa amani wakati wakiwa wanaweza kupata chakulawalikuwa wakionesha shukurani kwamba siku hiyo ilikuwa nzuri kwa vilewamepata chakula na hakuna baya lolote lililotokea. Hali kama hiyoinaonekena leo halikadhalika kama mfano wa jioni ya siku ya Ashura,jumuiya yetu yote ilionesha shukurani kwamba Alihamdulillahi, hakunakilichotokea leo. Hii maana yake ni kwamba wale ambao wameamua akili-ni mwao kwamba mambo mengi mabaya yatawatokea, basi kwa wao kamasiku moja itapita kwa amani huonesha shukurani kwa Allah. Hii vilevileilikuwa ndio hali katika wakati huo, kwamba kama hakuna kilichotokeasiku hiyo, ambapo heshima ya wanawake wao haikuumizwa au kusham-buliwa basi huonesha shukurani kwamba siku hiyo imepita vizuri.

Imamu Husein (as) alijaribu sana kuwatoa katika hali hii, kwa kweli kamasio kufanyika kwa madai ya kiapo cha utii, Imamu Husein (as) angewezakutumia muda zaidi kutayarisha mazingira mazuri kwa ajili ya safari hii,na akiwa safarini Imamu (as) alikusanya kiasi maalumu cha masahaba 72au 100 au zaidi, ambao Imamu aliwaamini vya kutosha kwa sababu wana-tokea kwenye migogoro. Hii ina maana kwamba hata kama watu hawawengi hawakuguswa na migogoro na kutokea humo, wanaweza kubadil-

73

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 73

Page 81: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

74

isha mengi na kubadilisha historia. Wanaweza kuwa kigezo kwa vizazivijavyo, jumuiya zijazo na walio bora katika kuondosha migogoro iliy-oikumba jumuiya kutokana na migogogro hiyo. Hii ndio sababu Imamu(as) alipendezewa sana na masahaba hao na Imamu maasum (as)ametangaza kwamba wakati tunapomtolea salamu Imamu Husein (as),kwanza tuwakumbuke masahaba hawa, na Maimamu wote maasumu (as)walikuwa wakifanya hivyohivyo.

Masahaba hawa wameheshimika sana na ni wenye hadhi ya juu sana, laki-ni sio tu kwa sababu walitoa maisha yao. Kama maisha ni sababu kwa ajiliya utukufu na hadhi yao, basi masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) piawalitoa maisha yao; kama vile Hamza (as) alitoa maisha yake katika njiaya kishujaa sana, kisha kuna mashahidi wa Badr, Uhud, Khandaki na kati-ka vita vingine ambapo wote wanaheshimika sana na ni watu wakubwa.Mashahidi hawa pia wana thamani kubwa na lazima tuwatambue na kuwana habari nao vilevile, kwa vile nao pia wana utukufu huo na hadhi kubwa.Mashahidi hawa wana hadhi kubwa sana kwa sababu wakati Uislamuulipowahitaji walijitokeza na kutoa muhanga maisha yao na kuacha nyumayao kila kitu. Hata wale waliofuatana na Amiru’l-Muminin (as) katika vitambali mbali vya Siffin na Nahrwan wakauawa kishahidi hawa piawalikuwa watu wakubwa, lakini bado wote hawa hawalingani kwa hadhiya mashahidi wa Karbala.

Ni sababu ipi ya ukubwa wao huo wa kipekee? Sababu yenyewe ni kwam-ba wale ambao walikuwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hawakuingiakwenye uwanja wa mapambano baada ya kutokea kwenye migogoro, balibadala yake walikuwa sehemu ya waliotayarishwa kuamshwa na jumuiyamakini. Mtu ambaye hutokea kwenye jumuiya iliyoamka ni mtu mkubwa,lakini hadhi yake haiko sawa na yule ambaye anatokea kwenye jumuiyaambayo imekumbwa na migogoro na kuwa sawa kihadhi na mtu ambayeanatokana na jumuiya iliyoamka na iliyotayarishwa. Kama vya kutolewavya wote hawa vinapimwa kwa pamoja, kutakuwa na tafauti nyingi.Chukua mfano wa pigo la Amiru’l-Muminin (s) katika vita vya Khandaki

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 74

Page 82: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

na katika vita vya Khaybar vyote ilikuwa ni pigo kutokana na upangauleule lakini Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipendezewa zaidi na pigo laupanga katika vita vya Khandaki na akasema:

“Pigo la Ali katika (vita vya) Khandaki ni bora zaidi kuliko ibada za viz-ito viwili (Thaqalain).”

Hii ni kwa sababu katika vita vya Khaybar hali ya migogoro haikuwepo,wakati ambapo katika vita vya Khandaki ilikuwepo. Katika vita vyaKhaybar Waislamu walikuwa katika nafasi ya kujitawala kwa vile wali-washambulia Wayahudi, lakini katika vita vya Khandaki makafiri ndiowaliowashambulia Waislamu na mji wa Madina ulikuwa katika hali yamgogoro, kila kitu kilikuwa katika hali ya hatari na kila mtu alikuwa kati-ka shinikizo kubwa na kulikuwa na hali ya hofu. Mungu aepushilie mbali,kama Waislamu wangeshindwa katika vita vya Khaybar, Uislamu usinge-toweka au kusambaratika. Waislamu walikuwa imara sana kwa vilewalitembea kutoka Madina kwenda kuiteka ngome ya Khaybar. Hata kamawasingefanikiwa katika kuiteka ngome ya Khaybar bado wangerudiMadina na Madina ilikuwa salama na chini ya udhibiti. Lakini kamawangeshindwa katika vita vya Khandaki kila kitu kingepotea. Si Madina,Uislamu wala Qur’ani ingelibakia. Hii ina maana kwamba Waislamu kati-ka vita vya Khandaki walikuwa wameathiriwa na migogoro. Ilikuwa nipigo la Amiru’l-Muminin (as) ambalo liliwapa ahueni kutokana namgogoro huu na migongo yao ikanyooka tena. Hii ndio sababu ambayokwamba kauli iliyotolewa na Mjumbe wa Allah (s.a.w.w.) haikuwa kwam-ba Mujahid mmoja amekwenda kwa ajili ya makafiri bali badala yakealisema: “Imani yote inatoka dhidi ya ukafiri wote.”

Aina ya migogoro iliyokuwepo katika vita vya Khandaki haikuwepo kati-ka vita vingine na sio hata katika vita vya Badr. Watu waliokufa kishahidiwakiwa pamoja na Mtume (s.a.w.w.) na wale waliokufa kishahidi wakiwa

75

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 75

Page 83: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

76

pamoja na Amiru’l-Muminin (as) katika vita na wao vilevile ni watuwakubwa na wanayo hadhi kubwa na ya hali ya juu. Hata baadhi yaowalikufa kishahidi katika hali ya ukatili sana, kama Misam-e-Tamar (ra)aliuawa shahidi katika hali ya ukatili sana ambao haukukisiwa na mtu yey-ote yule, lakini bado hadhi ya mashahidi wa Karbala ikilinganishwa namashahidi wengine ni ya juu sana. Kwa kweli wakati wowote tunapoom-ba kwa ajili ya mashahidi siku zote tunasema kwamba Allah awawekemashahidi wote wa Uislamu pamoja na mashahidi wa Karbala. Hii ni kwasababu ya hali na mazingira ya zama zile ambayo kwayo walijitolea nakuingia katika uwanja wa mapambano.

Wale ambao walikuwa na Imamu Husein (as) walitokana na jumuiya hiyohiyo moja; ilikuwa ni muda tu wa miaka kumi tangu kuuawa shahidi kwaAmiru’l-Muminin (as). Walikuwa chini ya aina zote za mashinikizo namigogoro kutoka Damascus, walikuwa waathirika wa aina mbali mbali zahofu kubwa na uvamizi kama vile uvamizi katika mali zao. Mu’awiyaalikuwa akiwatuma watu wake kwa makabila na kuwapa pesa ili kuisaidiana kuiunga mkono serikali ya Damascus kama ikiwezekana na kama hai-wezekani kuisaidia Damascus basi pia wanaweza kuchukua pesa hizo laki-ni kwa masharti kwamba wanyamaze kimya na wasisaidie kundi lolote (laKufa au Damascus). Huu ulikuwa mgogoro ambamo pesa zilikuwa ziki-tolewa kwa kukaa kimya na bila ya kumsaidia Ali (as) wala kumsaidiaMu’awiya. Kwa kutoa pesa ili kukaa kizembe zembe katika hali ya kuto-husika na lolote lile, kwa kuwatisha watu wengi na kuwarubuni wengine,waliufanya umma wote kuathirika na migogoro mikubwa mno. Jumuiyahii haiwezi kunyoosha mgongo wake kutokana na migogoro hii; na chiniya hali kama hii Imamu Husein (as) alianzisha uasi na watu hawawachache wakamuunga mkono na kumsaidia.

Itakumbukwa kwamba nia ya kuanzisha uasi huu ilikuwa yake mwenyewe(as), Yazid alifanya ujinga na alichukua hatua mapema mno kabla haijahi-tajika kuchukuliwa na yeye. Kulikuwa na kiwango fulani cha utayari mjiwa Kufa lakini bado walikuwa hawako katika hali ya kuvumilia shinikizo

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 76

Page 84: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

hili. Utayari wao unaweza kuonekana katika barua ambazowamemuandikia Imamu Husein (as) wakimkaribisha mjini Kufa,waliandika barua zilizojaa utajiri wa fasihi, na nyingi ya barua hizozilikuwa zimetumia maneno “Al Ajal Al Ajal,” (njoo haraka njoo haraka),na nyingi ya barua hizi zimehifadhiwa na historia hata majina ya walewalioandika barua hizo. Ujumbe na mada ya barua zote hizo ilikuwa nimoja kwamba tuko tayari na tunajiandaa na hatuna kiongozi yeyote nawewe (as) lazima uje upesi. Mwisho wa kila barua kila mtu alitumiamaneno “Al Ajal Al Ajal thummal Ajal,” (njoo upesi sana).

Huu ulikuwa ushahidi wa utayari wao, lakini utayari huu ulikuwa hautoshikuvumilia shinikizo hili. Ni kawaida kwamba kama jumuiya ikisimama(kuasi) na kujitokeza mbele basi lazima upitie miundo mingi ya mashiniki-zo. Katika mapigano ya siku 33 ya Hizbullah (2006) ambako msaadamkubwa na ushindi wa dhahiri wa Hizbullah, wachambuzi wamesemakwamba kiwango cha shinikizo ambacho Hizbullah walikipata kilikuwacha kuvunja mgongo. Shinikizo hili liliwafanya kuwa imara na kuwepofursa ya kuonesha na kuthibitisha uwezo na uimara wao. Hii hutokeawakati wanakabiliana na adui halisi kuliko maadui wakala, kwani hii huku-pa nafasi halisi ya kuthibitisha uwezo wako. Kwa hiyo siku hizi 33 zashinikizo zilikuwa sio za kuvunja mfupa wa mgongo, bali shinikizo amba-lo Hizbullah wanalipata sasa ni la kuvunja mgongo. Kama utaangaliaMapinduzi ya Kiislamu katika Iran, huhitaji ari ya hali ya juu ya kuvumil-ia kumuondoa Shah lakini bado shinikizo hili sio la kulinganishwa nakilele cha shinikizo la leo. Shinikizo kama hilo linajitokeza juu ya nchiyetu (Pakistan) ingawa hatujafanya lolote ambalo lingekuwa ni sababu yashinikizo. Lakini bado kama ilivyo katika sehemu nyingi nyingine shiniki-zo linafanywa kwetu vilevile, lakini si jumuiya, umma au viongoziwanaweza kuvumilia shinikizo hili hata kwa dakika tano. Hii ni kwasababu wakati jumuiya inapokuwa muathirika wa migogoro na ikiwawamekumbwa kwenye shinikizo hili la kuvunja mgongo huwa vigumukulivumilia hili.

77

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 77

Page 85: Harakati za Bibi Zainab

Kuhuzunika na Kuomboleza

78

Watu wa Kufa walijitayarisha kwa kiasi kwamba kama Imamu (as) atafikakwao bila ya vikwazo au pingamizi katika safari yake, basi walikwa tayarikumsaidia kwa hali moja mahususi au muhula. Lakini kama vikwazo aupingamizi fulani kama vile Ubaidullah ibn Ziyad akiingia kati na kutuzuiaakaweka vikwazo na kuanza kuwachapa watu viboko na kuwakamata aukwa istilahi za kisasa, mashushu watatufuata, basi tutafanya nini?Tulikuwa hatukujiandaa kwa mazingira haya au mabadiliko ya namna hiyoya kimuhula. Hivyo muda Ubaidullah alipoingia mjini Kufa, muhulaulibadilika na shinikizo likazidi juu yao, na hawakuweza kuvumiliashinikizo hili hata kwa dakika tano. Kama Imamu (as) angefika Kufa nakwa kiasi fulani akaweza kuwatoa kwenda kwenye uwanja wa mapam-bano, huenda wangeweza kuvumilia shinikizo la vita, lakini walikuwahawakujitayarisha kuhimili shinikizo hili la kisaikolojia la kabla na baadaya vita vilivyopiganwa. Wale ambao walijitokeza katika uwanja wamapambano kwao wao aina hiyo ya utayari na utayarishaji ni lazima na hiihaiji kwa kuzaliwa. Utayari huu hauji tu kwa kukaa nyumbani, unahitajikuandaliwa juu yetu wenyewe na hapa ndio pale uleaji na ufundishajiunapokuwa lazima. Qur’ani Tukufu inatufanya tutembee juu ya njia mbili,moja ni elimu na ya pili ni mafunzo. Elimu hutupa tu utambuzi na taarifa;haimtayarishi mtu kustahimili shinikizo. Sio kwamba kama mtu ana elimuya hali ya juu basi anaweza kuhimili shinikizo zaidi. Kwa kweli mara nyin-gi hutokea kinyume chake, mtu ambaye ana elimu zaidi anakuwa laini sanana hawezi hata kuvumilia shinikizo kidogo, wakati ambapo asiye na elimuhuenda akavumilia shinikizo zaidi. Sababu yenyewe ni kwamba kustahim-ili shinikizo kunahitajika malezi, mafundisho, matendo na paredi.

Ni muhimu kufanya juhudi kwenye shinikizo. Hii ina maana kwamba laz-ima tuende kwenye zile sehemu ambazo zina mashinikizo ili tuweze kuji-zoesha mashinikizo hayo. Wakati mwingine lazima tukae kwenye sehemuzenye joto kali na kwenye baridi kali ili tupate kuzoea kustahimili shiniki-zo la joto kali na baridi kali. Wakati mwingine lazima kwa hiari yetuwenyewe tukae na njaa ili tujifunze shinikizo la njaa. Wakati mwinginelazima tutembee ili tuhisi shinikizo la uchovu na kuchoka, wakati

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 78

Page 86: Harakati za Bibi Zainab

mwingine fanya kazi fulani bila kupata pesa yoyote ili upate kuzoeashinikizo la umasikini. Kama ambavyo imetajwa katika hadithi kwambaumasikini ni hatua ya kuelekea kwenye ukafiri. Hii ni kwa sababu kunashinikizo kubwa katika umasikini zaidi hata kushinikizwa (kugan-damizwa) na jiwe kubwa.

Kama mbingu inamuangukia mtu, anaweza asivunjike, lakini kama mtuanakuwa katika kipindi cha umasikini huvunjika. Walikuwepo watumashuhuri ambao waliweza kuvumilia shinikizo la panga na kuuawakishahidi, lakini hawakuweza kuvumilia shinikizo la umasikini. Kwa ajilihii matayarisho na utayari unahitajika; watu wa jumuiya lazima wajiandaena kujifunza wenyewe ili wapate kuvumilia mashinikizo hayo. Hatuwezikusema wala hatuna ushahidi kwamba wale waliokuwa na Imamu Hasan(as) walikuwa na imani bandia, bali tatizo lao lilikuwa kwamba walikuwahawajajitayarisha na kuwa tayari kustahimili shinikizo hata kwa mudamfupi. Amiru’l-Muminin (as) alikuwa amepatwa na tatizo kama hilo.Tatizo halikuwa imani ya jumuiya kama tunavyoweza kuona katika NahjulBalaghah kwamba yeye (as) hakuwalaumu katika hali yoyote kwa tabiayao mbaya. Wakati wote alilaumu kujitayarisha kwao na akasema kwam-ba hamko tayari kukabiliana na mihula minne (ya mwaka), ninyi ni watuwa muhula mmoja tu ule wa majira ya kuchipua, wakati kila kitu ni kizurina freshi. Wakati kuna usalama na amani kila mahali; huu ndio wakatiwanajitokeza uwanjani. Lakini wakati hali ikibadilika na matatizo yakija,basi wanasema kwamba hawakutengenezwa kwa matatizo kama hayo. Hilindilo ambalo Ali (as) alikuwa akiwaeleza kwamba ninyi sio watu ambaomnaweza kukabiliana na mazingira magumu na matatizo kwa vile hamkotayari na hamkujitayarisha.

Hivyo migogoro huvunja mgongo. Athari kubwa inayoachwa na migogorojuu ya watu ni kwamba hupora utayari wao. Wakati huu hali kama hiyo ipohapa nchini kwetu (Pakistan). Wakili (mwanasheria) mmoja alikuja Lahorena kulalamika. Kama tujuavyo kwamba ilikuwa ni mawakili tu ndio walio-thubutu na kujitokeza katika uwanja. Wakili huyu alikuwa anasema kwam-

Kuhuzunika na Kuomboleza

79

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 79

Page 87: Harakati za Bibi Zainab

ba hatushangai kwa kutopata msaada kutoka kwa wanasiasa kwa vilewakati wote wamekuwa hivyo hivyo, lakini malalamiko na chuki zetu nidhidi ya watu ambao tunafanya kila kitu kwa ajili yao na bado hawatu-saidii. Hawasimami, hawajitokezi na hata msaada kwetu pia hawana. Hilini kweli lakini swali ni kwa nini hawasaidii, ni msiba gani umeipatajumuiya hii. Hii ni kwa sababu watu wako kwenye shinikizo kubwa;shinikizo la kupata unga, sukari, gesi na umeme. Haya ni mashinikizoambayo huvunja mgongo na kuwavunja watu mioyo. Kwa makusudiwameitengeneza migogoro hii na kuiweka chini ya shinikizo ili waleambao wanamudu kuondoka nchini wafanye hivyo na wale watakaobakiawakae kimya ndani ya nyumba zao.

Mwanachuoni mmoja alitoa usuluhisho wa kidini katika kukabiliana nahali hii. Aliwasilisha usuluhisho huu katika namna nzuri sana pamoja narejea kutoka kwenye Qur’ani Tukufu na hadithi. Anasema kwambaQur’ani imetaja vitu viwili vyenye sifa sana katika Uislamu. Moja niuhamaji (Hijrat) na nyingine ni kuficha uhalisia wako (Taqiya). Huu niutaalamu kwa baadhi ya watu na makhususi kwa wanachuoni ambao hutoamajina mazuri ya kidini na majina ya vitendo vyao. Kama katika suala hilikutoroka kwa ajili ya hofu hupewa jina la Hijrat. Umekuwa ukisikiakwamba baadhi ya Waislamu walikimbia katika vita vya Uhud, hivyo yatu-pasa vilevile tuwaambie kwamba walifanya Hijrat. Hijrat katika maana yakilugha maana yake ni kwamba unaondoka eneo moja ambalo halinausalama na kwenda kwenye eneo lenye usalama. Na kwa vile uwanja wavita wa Uhud umekuwa sio salama, hivyo waliondoka na kukimbilia mili-mani, hivyo na wao walifanya Hijrat, sasa kwa nini tuwaite kama ambaowamekimbia kutoka kwenye uwanja wa mapambano. Hijrat ni kitu tofau-ti sio kukimbia matatizo. Kukimbia matatizo sio ufumbuzi, jinsi unavyozi-di kuyakimbia matatizo ndivyo yanavyozidi kuwa nyuma yako, yatajaribukukuzunguka kila upande.

Pili amesema ilikuwa ni taqiya ambayo pia imepotoshwa maana yake.Taqiya haina maana ya kukaa kimya ndani ya nyumba zenu. Matokeo ya

Kuhuzunika na Kuomboleza

80

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 80

Page 88: Harakati za Bibi Zainab

aina zote za ufumbuzi huu uliowasilishwa ni woga ambao maana yake niudhaifu na unyonge wa kuhimili mashinikizo. Kwa vile hatuwezi kuvu-milia shinikizo basi ufumbuzi ni amma kukimbia au kukaa kimya ndani yanyumba zetu.

Vilevile wakati wa Imamu Husein (as) baadhi ya watu walitumia mbinu hiikutuliza shinikizo lililowekwa na Yazid. Walikuwa wakimshauri Imamuwakati alipokuwa Madina na Makka afanye kama walivyofanya wao naafuate mbinu yao hiyo. Walimshauri kwamba amma afanye mazungumzona Yazid badala ya kula kiapo cha utii kwake na kutoka na ufumbuzikwamba unafanya kazi yako ya dini na muache Yazid afanye kazi yake yasiasa. Usihusike na Yazid wala yeye asiingilie shughuli zako za dini. Kwanjia hii tatizo litakuwa limetatuliwa kwa ajili yako na unaweza kuja Makkana kuchukua hifadhi ndani ya Ka’ba na kujishughulisha na ibada na Hijja.Hizi ndio kauli walizozitoa kumshauri ili kutoka kwenye shinikizo lililo-jengwa juu ya Imamu (as). Wakati mwingine makhatibu wetu vilevilehuyasema haya kwamba Imamu (as) alikuwa anasihi kwamba aachwe naaruhusiwe kwenda Yemen, India au sehemu nyingine. Na watu wa India naPakistan walijisikia wenye furaha sana kwamba vilevile Imamu (as) alita-mani kuja India. Lakini Imamu (as) aliposikia yote haya, alisema:

“Ole wenu kwa maneno yenu, ole wenu kwa fikra na nia zenu hizo.Mnaangalia kwa njia hii chini ya mazingira haya. Wakati mwinginemaadui hawatupi maumivu makali kama haya ukilinganisha na maumivuya hisia tunayopata kwa kusikiliza mawazo ya mtu aliye chini ya shiniki-zo, ima kwa mwelekeo wa aina gani na ufumbuzi gani anaofikiria.”

Imamu (as) aliumizwa sana na majina yale kwa ajili ya Waislamu ambaowalijionesha wenyewe kama mahujaji, lakini kwa mawazo yao walikuwakatika upungufu wa hali ya juu na udhalili, na kwa hiyo Imamu (as)akawalaumu sana. Hijrat na Taqiya zote hazina maana ya kukimbia au

Kuhuzunika na Kuomboleza

81

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 81

Page 89: Harakati za Bibi Zainab

kujificha, kwa kweli zote hizi ni mbinu mbili zilizopo kwa ajili ya mapam-bano. Hizi ni mbinu mbili ambazo mtu anaweza kuzifuata wakatimwingine kwa kuzibadilisha katikati yao na sio zana za kupunguziashinikizo, kwa kukimbia au kujificha sehemu fulani. Wakati huu kamaukiona shinikizo lenye kuvunja mgongo nchini Iran juu ya suala la nyukil-ia na shinikizo hili huongezwa kila siku, hii ni kwa sababu serikaliiliyokuwepo kabla ya hii iliyopo sasa ya Rais Ahmedinajad ilinyweakwenye shinikizo hilo na kwa muda wa miaka mitatu walisimamisha uru-tubishaji wa nyukilia.

Kutokana na hili wale ambao walikuwa wakitoa shinikizo hili wakapatamatumaini kwamba kama tukitoa shinikizo zaidi umma huu utavunjika.Lakini kitu cha kwanza ambacho serikali iliyopo ilifanya baada ya kuingiamadarakani ni kuanza kufanya mchakato wa urutubishaji wa nyukilia.Waliamua kwamba hata kama hawapangi au hawakusudii kutengenezasilaha za nyukilia, na hata kama wasipofanikiwa katika malengo ya kuru-tubisha nyukilia bado hawatanywea kwenye shinikizo katika mazingirayoyote. Matumaini ya maadui siku zote huongezeka wakati wakionajumuiya inakuja chini ya shinikizo na kutafuta njia za siri za kutokakwenye shinikizo. Hapo tena maadui hawaiachi jumuiya hiyo, huiandamajumuiya hiyo ili kuipiku na kuitawala kikamilifu. Kwa upande mwinginemaadui hukata tamaa kwa jumuiya ambayo hainywei kwenye shinikizokatika hatua yenyewe ya kwanza.

Kuna tukio la shahidi wa mapinduzi ya Kiislamu ambaye alichukuliwakutoka katika mkusanyiko wa kidini. Mkusanyiko huu ulikuwa mku-sanyiko wa kawaida wa waumini, walikuwa wamekaa huku wakisomatenzi za maombilezo, ulikuwa sio mkusanyiko wa kimapinduzi au wa kisi-asa. Mtu huyu alikuwepo katika mkusanyiko huu ambako Polisi wal-iushambulia na wakamchukua pia mtu huyu. Tukio hili lilikuwa kabla yaMapinduzi ya Kiislamu na mtu huyu pia alikuwa mwanachuo. Wakatiwalipomchukua na kumsaili ndani ya chumba kidogo cha magereza, kwaswali la kwanza walimuuliza kwamba yule aliyekuwa akitoa khutba na

Kuhuzunika na Kuomboleza

82

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 82

Page 90: Harakati za Bibi Zainab

kusoma tenzi za maombilezo pale kwenye mkusanyiko ni nani? Yule mtumwenye kuheshimika alijibu kwamba hamjui mtu huyo aliyekuwa anaso-ma tenzi za maombilezo, ingawa kila mtu anamjua kwa vile ulikuwa mku-sanyiko wa hadhara. Khatibu huyo pia alikuwa mtu mashuhuri ambayehashughuliki na mambo ya siasa na alikuwa mwanataaluma tu, hivyoilikuwa hakuna madhara yoyote katika kutaja jina lake. Lakini bado shahi-di huyu hata hakulisema.

Waliamua kumpiga na bado hakulitaja jina la khatibu yule, ingawa hataPolisi wanalijua jina lake. Hili lilikuwa ni swali lao la kwanza na alikuwahawajibu. Waliendelea kumpiga mpaka akazimia, kisha walimwagia maji,alipozindukana wakamuuliza tena swali lile lile, naye alikuwa akitoa jibulile lile. Walikuwepo baadhi ya rafiki zake ambao alikuwa amefungwa nao,walianza kumlaumu vikali sana kwamba kwa nini unapata kipigo kisichocha lazima, huu ni upumbavu; waambie tu jina la khatibu yule kwa vilekutakuwa hakuna madhara katika kutoa taarifa hii. Alikataa kwakuthibitisha kwamba kama nikitoa jibu la swali lao hili la kwanza basi wat-apatwa na matumaini ya kuniuliza maswali zaidi. Nataka niwakatishetamaa kwenye hatua ya mwanzo, yaani wasiweke matumaini yoyote kwan-gu. Pamoja naye wengine walikuwa wanajibu kwa kutaja jina la khatibuyule, jina la mtayarishaji na kwa njia hii waliweza kufikia taarifa muhimuambazo walitaka kuzipata. Lakini Mujahidina huyu aliwakatisha tamaakatika hatua yenyewe ya mwanzo kabisa kwamba ikiwa mtu huyu hatoitaarifa nyepesi kama hizi hatuwezi kutegemea kwamba atatoa taarifa yoy-ote muhimu.

Mtu ambaye anaweza kuvumilia shinikizo anaweza kufanya lolote. Mtuanayeweza kuvumilia shinikizo la kisiasa, shinikizo la umasikini, shiniki-zo la kisaikolojia na kubwa la yote shinikizo la hofu mtu huyu hatasalimuamri kwenye kitu chochote. Imamu Khomein (ra) alikuwa akisema kwam-ba hakuna kulipa kodi halali kwa askari wanaotisha watu. Watu wa mjikama Karachi wanatambua kinachomaanishwa na kodi halali ambapo mtuanakuja na fimbo au silaha na kuzungumza tu kwa sauti kali mbele ya

Kuhuzunika na Kuomboleza

83

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 83

Page 91: Harakati za Bibi Zainab

muuza duka na kila wiki muuza duka humpa pesa. Wale waliozoea kuny-wea kwenye shinikizo kama hili na kulipa kodi hiyo, waliishia katika kutoapesa nyingi zaidi baadae, hata wanawake wao huenda wakanywea chini yashinikizo hizi zisizo vumilika. Kama wakati wanapokuja na bunduki nawakataka simu yako ya mkononi na mara utoapo simu hiyo hawaondoki nakukuacha watataka na gari lako pia.

Jumuiya isiyoweza kuvumilia shinikizo hupoteza kila kitu. ImamuKhomein (ra) alikuwa akisema kwamba maadui huweka tu shinikizo;hawana nguvu ya kufanya lolote kwako. Kauli hii ya Imamu Khomein (ra)kwamba “Amerika haina kiasi cha moyo ule na uwezo wa kuchukua hatahatua ya kimakosa dhidi yetu,” kosa pekee wanaloweza kufanya ni kutuan-gusha kwa kutuwekea shinikizo juu yetu, vinginevyo kuja kwa ajili yakupambana na sisi ni kitu kisichowezekana kwao. Huu ulikuwa ujumbeambao Imamu Khomein (ra) aliutoa kwa watu wa taifa la Palestina juu yakifo cha kishahidi cha Shahid Arif Husein. Katika ujumbe wake ImamuKhomein (ra) alisema kwamba ninatamani kwamba Amerika ingekuja kwauwazi kwa ajili ya mapambano na sisi, wanafanya operesheni ya siri kupi-tia kwa mawakala wao. Ninatamani kwamba kama Urusi ilivyofanya kwauwazi dhidi yetu nataka Amerika pia ije katika mapambano ya wazi na sisi.Kwa taifa hili kutaka kupambana pamoja na adui huyu haliwezi kufanywaliwe chini ya shinikizo. Kosa hili lilifanywa na maofisa wa serikali iliy-opita ambapo walifuata njia ya kuomba radhi kwa ajili ya suala hili namatokeo yake Iran ikapatwa na mateso mengi mno.

Nguvu za Hizbullah pia ziko chini ya hili; sio kwamba nguvu za Hizbullahni kwa ajili ya silaha fulani. Hizbullah ina silaha za kawaida ambapo ainaya silaha za kisasa ambazo Israil inazo Hizibullaha hawawezi hata kuotakuwa nazo, lakini bado Israil inawaogopa Hizbullah, kwa nini? Sababu nikwamba mataifa ya Kiarabu na viongozi wao kwa urahsi wamekuwa chiniya shinikizo, lakini Hizbullah hawanywei kwenye aina au kiwango cho-chote cha shinikizo. Hata kama nchi yao inateketezwa, watoto nawanawake wao wanauawa kishahidi; mateso yanafanywa juu yao, lakini

Kuhuzunika na Kuomboleza

84

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 84

Page 92: Harakati za Bibi Zainab

hawanywei chini ya shinikizo lolote; hata lililo dogo. Jumuiya ambazohusalimu amri kwenye shinikizo zimefedheheka mno katika historia kwasababu kwa kuifanya jumuiya kuwa chini ya shinikizo kunawezakuwafanya watu wake kufanya kitu chochote unachotaka. Unaweza kuonakwamba umma wa Pakistan leo uko chini ya aina mbali mbali zamashinikizo, shinikizo la kukosa amani, shinikizo la ukosefu wa ajira,shinikizo la ukosefu wa bidhaa muhimu; migogoro ya kisiasa ni shinikizolingine na mpasuko wa kimadhehebu. Kuna shinikizo kutoka pande zote zajumuiya hii. Kama jumuiya hii itavunja mgongo wake chini ya shinikizohili, basi kamwe hawawezi kuwa na heshima, hivyo wanahitaji kushindashinikizo hili na kutoka nje yake.

Tutafanikiwa siku hiyo wakati ulimwengu utakaposhawishika kwambajumuiya hii haitasalimu amri kwenye aina ya mtindo wowote wa shiniki-zo. Wanawaita maofisa wetu na wanafukuzana kwenda kwenye ofisi zao,hukaa na wakandamizaji hawa na kupiga picha pamoja nao, na kuonafahari kutembelea Balozi zao. Yote haya ni matokeo ya shinikizo. Mtummoja alisema kwamba tunafanya kila linalowezekana kuokoa jumuiyahii, tulikwenda kwa wanasiasa, watu wa dini na sehemu nyingine na sasahakuna chaguo lililo baki isipokuwa kwamba kwenda Balozi za nje nakuwaambia wafanye mipango kwa ajili ya usalama wa jumuiya ya Shi’a,na kwa mujibu wa kundi hili pia walifanikwa. Balozi fulani zilitangazakwamba watatoa kinga maalumu kwa Mashia na Makadiani kama wanata-ka kuondoka nchini kwa muda na kuja kwenye nchi zao. Walitekeleza serahii kwa muda fulani. Je, hii sio fedheha na udhalili kuomba kwenye Baloziza nje?

Kama nilivyotaja kabla kwamba ni muhimu kuelewa madhumuni yaKarbala, na hicho ndicho ninachomaanisha kusema hapa kwamba shahidina damu yake hutoa ujumbe kwamba lazima ufe, lakini sio kusalimu amrikwenye shinikizo. Hii ndio tofauti kati ya shingo iliyokatwa na shingo iliy-oinama. Shingo iliyokatwa ni ile ya mtu ambaye hakusalimu amri kwenyeshinikizo, wakati ambapo shingo iliyoinama ni ile iliyosalimu amri kwenye

Kuhuzunika na Kuomboleza

85

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 85

Page 93: Harakati za Bibi Zainab

shinikizo. Shingo ambayo haiinami hukatwa; hadhi yake, ubora wake naumashuhuri wake uko katika kukatwa shingo, lakini sio kusalimu amrikwenye shinikizo. Huu ndio ujumbe wa watu wa Karbala kwamba kamweusinywee kwenye shinikizo. Hata kama kuna mtu mmoja tu aliyebakiakuweni wenye nguvu kifikira, iweke imara nyuma shingo yako na amshaari yako. Hata kama ulimwengu mzima unakushinikiza tangaza kwambamimi sitakuwa chini ya shinikizo na sitatoa hongo ili kutoka nje ya shiniki-zo. Ulimwengu huu umejaa wapokeaji hongo, kuna wapokeaji hongo wakidini, wapokeaji hongo wa kisiasa na kisha kuna wapokeaji hongo wakiulimwengu kama Pakistan ambayo hutoa hongo kwenye nchi zaMagharibi na udhalili kutokana na hili hubebwa na taifa zima.

Shinikizo kama hili hili waliliweka kwenye mataifa mengine na wakakataakuwapa hongo kwa sababu mara unapowapa hongo basi hiyo inakuwakigezo kwa vizazi vijavyo. Lakini kama shingo hazisalimu amri na badalayake zikakatwa, basi hupata ujumbe kwamba shingo hizi haziwezi kuwachini ya shinikizo. Ni jinai gani ambayo kwayo Iraq leo inapatishwaadhabu? Jinai yao ni kwamba walisalimu amri kwenye shinikizo nahawakuweza kuvumilia migogoro ambayo iliwekwa juu yao. Matokeoyake yalikuwa kwamba waliamua kukaa, kuunga mkono na kuchukuamsaada kutoka kwa wavamizi hao ambao kabisa ulikuwa hautamaniki nahali za kimatokeo ni hizi zinazoshuhudiwa leo wakati ambapo kila sikutakriban maiti mia moja hupatikana. Kama wangeuawa kwa kukataakuonewa kwenye shinikizo, basi idadi ya vifo ingelikuwa kidogo ukilin-ganisha na mauaji yanayotokea leo kwa matokeo ya kusalimu amri kwenyeshinikizo. Kama ilivyo kauli ya Shahidi kwamba mtu ambaye hasalimuamri kwenye shinikizo hufa mara moja, wakati ambapo wale ambao hun-ywea kwenye shinikizo hufa mara mia moja kwa siku na kwamba pia nikifo cha fedheha na udhalili. Kama mtu ana hiari ya kuchagua aina ya kifobasi lazima achague kifo cha Karbala, yaani kifo cha heshima. Tusisahaukwamba kwa hali yoyote tutakufa na kwa vile wameahidi kutuuwa, kwanini basi tukubali kifo cha kukimbia, kwa nini tusikubali risasi juu ya vifuavyetu kuliko kukimbia. Kwa vile tutakufa, basi kwa nini tufe kizembe,

Kuhuzunika na Kuomboleza

86

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 86

Page 94: Harakati za Bibi Zainab

badala yake lazima tufe tukiwa katika hali ya kuamka na utambuzi walengo.

Imamu Khomein (ra) alisema: “Kama hatima yetu ni kufa basi kwa ninitusife kama Shahidi Mustafa Chamran.” Hivyo inathibitishwa kwamba laz-ima tutakufa, basi kwa nini tufe kwa kisukari, chini ya gari katika ajali,katika hali ya ugonjwa kuliko kifo cha heshima na cha kupendelewa. Hilini somo la Karbala kwamba Karbala sio uwanja wa mauaji badala yake niuwanja wa kuwapa watu uhai katika njia iliyo sawa na sahihi. WakatiKiongozi wa Mashahidi (as) alipoona katika ndoto kwamba msafara huuunaelekea kwenye kifo, alipopanda kwenye mgongo wa ngamia alisema:“Kwa Allah tunatoka na Kwake hatuna budi tutarudi.” Mtoto wake AliAkbar (as) alikuja mbele na kumuuliza sababu ya kusoma aya hiyo. Imamu(as) akasema kwamba nilimuona mjumbe kutoka ulimwengu wa ughaibuniakaniambia katika ndoto yangu kwamba msafara huu unaelekea kwenyekifo na kifo kinakuja kuelekea kwenye msafara huu. Ali Akbar (as) akase-ma:

“Je, sisi hatuko katika haki?”

Imamu (as) akasema kwamba bila ya shaka sisi tuko kwenye njia iliyony-ooka. Ali Akbar (as) akasema kwamba basi haiwi tofauti iwapo kifokitakuja juu yetu au tunaangukia kwenye kifo. Hili ndilo lililotokea kuleKarbala ambako kifo hakikuwajia juu yao badala yake waliangukia juu yakifo. Ni kanuni ya kawaida kwamba kitu kinachoangukia juu ya kinginehukiuwa. Katika Karbala ilikuwa ni watu hawa ambao waliuwa kifo nakwa kukiangukia kifo nao wakawa hai daima. Ali Akbar (as) bado yungalihai, kifo ndicho kilichoshindwa na kikafa. Kifo hakiwezi kuwauwaMashahidi wa Karbala. Jumuiya yoyote ambayo ina mfano huu wa Karbalahaiwezi kukidhi hadhi yake kwa kuwa chini ya shinikizo na kuanza kutafu-ta njia za kutokea na kutafuta ufumbuzi mwingine ili kudhibiti mazingiraya shinikizo. Wakati mwingine tunaona kwamba wale ambao hawanaKarbala, hawanywei kwenye shikizo, basi vipi wale ambao wana shule,

Kuhuzunika na Kuomboleza

87

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 87

Page 95: Harakati za Bibi Zainab

chuo kikuu na kituo cha mafunzo kama Karbala waweze kuwa chini yashinikizo? Hii ndiyo njia ya haki, ujumbe na filosofia ya Azadari iliyosawa. Hii ndio sababu kwamba Maimamu Maasum (as) wametuamrishakuliweka hai tukio hili la Karbala kwa kufanya Azadari. Ilikuwa nikuhakikisha kwamba nukta hii ya kuonesha msimamo kwa kutonyweakwenye shinikizo hata kama kutagharimu maisha yetu inabakia hai kamasomo na ujumbe kutoka Karbala. Na kama ilivyotajwa kabla kwambaubora huu wa kuvumilia shinikizo sio ubora wa kuzaliwa, huhitaji kuen-delezwa pamoja na juhudi za mwanadamu. Sifa hii ya kutokusalimu amrikwenye shinikizo imetajwa na Qur’ani Tukufu kama “Istiqamat”(Msimamo) na sifa hii haiji kwa mtu kutoka kwenye tumbo la uzazi lamama, huhitaji kuendelezwa katika uwanja wa harakati na ujahidina.Elimu ni kitu kinachotamaniwa na bora, lakini kuwa tu na elimu haimaan-ishi kwamba mtu huyo pia anayo “Istiqamat.” Tunaona katika mifanomingi ya watu wenye elimu ya hali ya juu, ya dini na ya kisekula, lakinihawana “Istiqamat.”

“Istiqamat” huandaliwa kwa gwaride katika mazingira magumu. Hatakama umejaaliwa starehe basi vilevile wakati mwingine ingia kwenyemaeneo magumu na yenye shida. Wakati mwingine licha ya kuwa nachakula lakini usile na hii nimoja ya falsafa za Saumu kwani huongezauwezo wa “Istiqamat.” Umasikini, njaa, kiu vyote hivi ni mashinikizoambapo kwa kufunga saumu pamoja na chakula kuwepo mtu anawezakushinda mitihani yote hii. Kwa muda huu tulionao tuko katika aina nyin-gi za mashinikizo kama tunavyosema kwamba hatuna njia na rasilimali yakufanya kitu. Wakati mwingine tunafanya kitu bila njia zozote na rasili-mali. Tunasema hatuwezi kuja kwa sababu hatuna usafiri, wakatimwingine tunaonesha uvumilivu kwa kutembea umbali mkubwa. Hii ndionjia ya kujithibitisha mwenyewe kwamba haupo katika aina yoyote yashinikizo. Kama ambavyo utakuwa umeona wanajeshi wamefanywawatembee kwa miguu licha ya kuwepo kwa magari. Hii ni kwa sababuwanatayarishwa na uvumilivu unajengwa ndani yao. Hizi Azadari naMajalis zina madhumuni haya ndani yake. Ingawa zimeumganishwa na

Kuhuzunika na Kuomboleza

88

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 88

Page 96: Harakati za Bibi Zainab

taratibu nyingine za kiibada na itifaki ambazo pia ni nzuri kuzifanya kamahazivunji Sharia, lakini kiini cha ibada hizi ni madhumuni ambayo hayat-ufanyi tupotee. Tunaomba kwamba insha-Allah jumuiya ambayo inastahi-ki maisha ya heshima siku moja itakuwa na “Istiqamat” ndani yao na kuto-ka kwenye mashinikizo yote haya na watu kuishi maisha ya heshima nayenye hadhi kwenye ulimwengu huu kwa njia ambayo Hizibullahwanafanya hivi sasa.

Khutba ya Mina{Imamu Husein (as)}

Enyi watu chukueni somo kutoka kwenye ushauri wa Allah (alioutoa) kwarafiki zake wakati alipowakemea marabbi kwa kusema:

“Mbona watawa wao na maulamaa wao hawawakatazi maneno yaoya dhambi na uadui na ulaji wao wa haramu? Hakika ni mabayawaliyokuwa wakiyafanya.” (5:63)

Na Allah Aza wa Jallah anasema:

“Walilaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa wana wa Israil kwaulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryam. Hayo ni kwa sababuwaliasi, nao walikuwa wakiruka mipaka. Walikuwa hawakatazani

Kuhuzunika na Kuomboleza

89

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 89

Page 97: Harakati za Bibi Zainab

mambo mabaya waliyokuwa wakiyafanya. Hakika ni maovuwaliyokuwa wakiyafanya.” (5:78-79)

Allah Aza wa Jallah aliwalaumu kwa sababu waliona kwa macho yaowenyewe wakandamizaji wakitenda uovu na vitendo vya ufisadi, lakinihawakuwazuia kutokana na mapenzi na kwa ajili ya upendeleo wanaopatakutoka kwao halikadhalika na hofu ya kuteswa na kuumizwa. HatahivyoAllah Aza wa Jallah Anasema:

“Hakika tuliteremsha Tawrat yenye uongozi na nuru, ambayo kwayoManabii waliojisalimisha na watawa na wanazuoni, waliwahukumumayahudi; kwani walitakiwa kukihifadhi Kitabu cha MwenyeziMungu.Nao walikuwa mashahidi juu yake. Basi msiwaogope watubali niogopeni mimi. Wala msiuze Aya zangu kwa thamani chache. Nawasiohukumu kwa yale aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu, basi haondio Makafiri.” (5:44)

Na anasema:

Kuhuzunika na Kuomboleza

90

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 90

Page 98: Harakati za Bibi Zainab

“Na waumini wanaume na waumini wanawake ni mawalii wao kwawao. Huamrishana mema na kukatazana maovu. Na husimamishaswala. Na hutoa zaka. Na humtii Mwenyezi Mungu na Mtume wake.Hao Mwenyezi Mungu atawarehemu. Hakika Mwenyezi Mungu nimwenye nguvu mwenye hekima.” (9:71)

Allaha Aza wa Jallah anataja jukumu la kuamrisha mema na kukatazamaovu (Al-amr bi al-ma’ruf wa al-nahy al-munkar) kabla ya majukumuyote kwa sababu anajua kwamba kama linatekelezwa na kuimarishwa kati-ka jamii, majukumu mengine yote mepesi na magumu yataimarishwa.Sababu yake ni kwamba ‘Amr bi al-ma’ruf wa nahy al-munka’ humaan-isha kulingania watu kwenye Uislamu, halikadhalika upinzani dhidi yadhulma, kupinga na kupambana dhidi ya wakamdamizaji na kufanya juhu-di kuhakikisha kwamba utajiri na mapato yanayopatikana kutokana na vitayanagawanywa kwa mujibu wa sheria za Kiislamu na kwamba kodi inaku-sanywa, inatumika na kutumiwa katika mfumo wa haki na kwa usahihi.

Enyi wanachuoni ambao mnafurahia na kufaidi sifa nzuri kwa sababu yaelimu yenu! Mmepata jina zuri katika jamii kwa sababu ya nia yenu nzuri.Ni kwa sababu ya Allah kwamba watu wanawaheshimu na kuwastahi sana,na kwamba hata wenye nguvu wanakuogopeni na wenyewewanakuheshimuni na wale ambao hawapasiki na ninyi na kwa wale ambaohamna mamlaka nao wanakupeni upendeleo wanaojinyima wenyewe.Wakati watu hawapati haki zao, wanatafuta utetezi wenu, ninyi mnatembeamitaani kwa nguvu za wafalme na za malkia.

Je hamkupa heshima yote hii na sifa kwa sababu ya matumaini ya watukwamba mtazitekeleza sheria za Mwenyezi Mungu? Hata hivyo katikamifano mingi mmeshindwa kufanya hivyo.

Ninyi kama viongozi mmeyachukulia majukumu yenu kwa wepesi sana.Mmepuuza haki za wenye kukandamizwa na za walio chini, lakini kwauangalifu mmeshughulikia kile mnachokiona kama haki zenu binafsi.

Kuhuzunika na Kuomboleza

91

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 91

Page 99: Harakati za Bibi Zainab

Hamkutumia pesa zenu au kuhatarisha maisha yenu kwa ajili ya YuleAliyewapa uhai, wala hamkupigana dhidi ya kundi lolote au kabila kwaajili ya Mwenyezi Mungu. Hata hivyo mnatamani – na mnaona hiyo hakiyenu – kwamba Yeye (Allah) lazima awape Pepo kwa pamoja na Mtume(s.a.w.w.) na kinga kutokana na adhabu ya Akhera. Mnayo matumainikama hayo kwa Mungu, nina wasi wasi kwamba uzito uliojaa ghadhabuYake unashuka juu yenu, kwani ingawa ni kwa uwezo na utukufu Wakekwamba mmepata cheo cha juu, hamuoneshi heshima kwa wale ambaokwa kweli wanamjua Mwenyezi Mungu, ambapo ninyi wenyewe mnafai-di heshima miongoni mwa viumbe wa Mwenyezi Mungu kwa sababuYake.

{Pia nina wasiwasi nanyi kwa sababu nyingine}. Mnaona mktaba uliowek-wa na Mungu unavyovunjwa na kukanyagwa chini ya miguu, bado ninyihamuoneshi wasiwasi, wakati ikija kwenye mikataba iliyowekwa na babazenu ikivunjwa sehemu yake tu mnachanganyikiwa sana na kuwa na wasiwasi mkubwa, lakini ahadi mlizotoa kwa Mutuku Mtume (s.a.w.w.) nisuala la tofauti kabisa kwenu.

Vipofu, mabubu na wenye magonjwa sugu kila mahali wanakosa hifadhikatika miji na hakuna huruma inayooneshwa kwao. Lakini kamwe ham-tendi kwa mujibu wa shughuli zenu na vyeo vyenu, wala hamuwasaidiiwala kuwalipa wale ambao wanafanya shughuli hizo, mnanunua usalamawenu kutoka mamlaka kandamizi zenye nguvu pamoja na sifa za uwongoza kupachikana na maafikiano. Shughuli zote hizi zimekatazwa kwenu naMwenyezi Mungu, na zaidi sana Amewaamrisha kukatazana wenyewekwa wenyewe kujihusisha nazo, lakini hamzingatii.

Msiba uliowapata ni mkubwa kuliko ule ambao umewapata wengine,kwani hadhi halisi na kiwango cha “Umma” kimeporwa kutoka kwenu.Utawala wa nchi na utoaji wa sheria na hukumu, kwa hakika lazimavikabidhiwe kwa wanachuoni wa kidini ambao ni walinzi wa amri zaMwenyezi Mungu kuhusiana na kipi kinaruhusiwa na kipi kinakatazwa.

Kuhuzunika na Kuomboleza

92

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 92

Page 100: Harakati za Bibi Zainab

Lakini nafasi yenu hiyo imeporwa kutoka kwenu, kwani hakuna sababunyingine ila ni kwamba mmeitupa haki, na mmehitilafiana kuhusu asili yaSunnah, licha ya kuwepo ushahidi wa wazi.

Leo mngekuwa na uvumilivu wa kuhimili dhiki na shida kwa ajili ya AllahAza wa Jallah basi taratibu zote zilizokusudiwa (mambo wa Mungu) zin-geletwa kwenu kwa ajili ya kuzithibitisha na kwa ajili ya ninyi kuzitoa kwawatu; mamlaka yangekuwa mikononi mwenu. Lakini mmewaruhusuwakandamizaji kupora shughuli zenu, na mambo ya Mungu (serikali)yakaangukia mikononi mwao, hivyo kwamba wanayaendesha mambo kwautata na kufanya mambo kiholela na kwa ajili ya kukidhi matamanio yao,mwenendo wa desturi. Kilichowawezesha kupata udhibiti wa serikali nikutokana na ninyi kukimbia kwa hofu ya kifo na mapenzi yenu juu yaulimwengu na maisha ambayo kwa hali yoyote ile yatakutokeni. Kwamatokeo ya fikra hiyo mmeutoa umma huu usio na nguvu na kuukabidhikwenye makucha ya wakandamizaji. Ambapo baadhi wamejikunyata kamawatumwa chini ya himaya ya wakandamizaji hao, na wengine wamefany-wa mafukara kuhusiana na maisha yao, watawala wanaendesha mambo yaserikali kulingana na matakwa yao, huku wakipata aibu na fedheha kwaajili yao wenyewe pamoja na ufisadi wao, huku wakiwafuata washauriwaovu na kuonesha ufedhuli kwa Mwenyezi Mungu. Mmoja wawazungumzaji wao mteule hupanda kwenye mimbari katika kila mji. Nchihaina ulinzi mbele yao na mikono yao hupora kila kitu watakacho bilakizuizi. Watu ni watumwa wao na hawana nguvu ya kujilinda wenyewe.Mmoja wa magavana ni dikteta kwa asili, habithi na mwenye chuki yamuda mrefu, mwingine huzuia kutambuliwa kwa Mwenyezi Mungu naSiku ya Mwisho! Sio ajabu – vipi mtu afikirie ni ajabu, jamii ile ni mfum-bato wa wakandamizaji wajanja ambao magavana wao hawahisi upendo nahuruma kwa waumini walio chini ya mamlaka (yao).

Mungu Ndiye Atakayehukumu kuhusu kile ambacho ni mgogoro miongo-ni mwetu na kutoa hukumu ya kuamua kuhusiana na yote ambayo hutokeamiongoni mwetu.

Kuhuzunika na Kuomboleza

93

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 93

Page 101: Harakati za Bibi Zainab

Ee Allah! Unajua kwamba kila kitu tulichofanya hakikushawishiwa kwaupinzani kwa ajili ya kutaka nguvu za kisiasa, wala si kwa kutafuta utajirina wingi wa mali, bali kimefanywa kuonesha watu kanuni na maadili yadini Yako yanayong’ara ili kutengeneza mambo ya nchi Yako, kulinda nakuhifadhi haki za msingi za waja Wako wanaokandamizwa na kutenda kwamujibu wa majukumu ambayo umeyaweka, kaida, sheria na amri ulizo-hukumia.

Hivyo, (enyi wanachuoni wa dini) mnatakiwa kutusaidia ili tufikie lengohili, ili turejeshe hali zetu kutoka kwa hao wenye nguvu hizo ambaowanaona inakubalika kuwakosea ninyi na ambao wanajaribu kuzimamwanga wa taa iliyowekwa na Mtume (s.a.w.w.). Allaha Aza wa Jallahanatosha, Kwake tunategemea na Kwake Yeye tutarejea.

Kuhuzunika na Kuomboleza

94

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 94

Page 102: Harakati za Bibi Zainab

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NAAL-ITRAH FOUNDATION

1. Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thalathini

2. Uharamisho wa Riba3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili5. Hekaya za Bahlul6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)8. Hijab vazi Bora9. Ukweli wa Shia Ithnaashari10. Madhambi Makuu11. Mbingu imenikirimu12. Abdallah Ibn Saba13. Khadijatul Kubra14. Utumwa15. Umakini katika Swala16. Misingi ya Maarifa17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia18. Bilal wa Afrika19. Abudharr20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu21. Salman Farsi22. Ammar Yasir23. Qur'an na Hadithi24. Elimu ya Nafsi

Kuhuzunika na Kuomboleza

95

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 95

Page 103: Harakati za Bibi Zainab

25. Yajue Madhehebu ya Shia26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur'an Tukufu27. Al-Wahda28. Ponyo kutoka katika Qur'an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii30. Mashukio ya Akhera31. Al Amali32. Dua Indal Ahlul Bayt33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna.34. Haki za wanawake katika Uislamu35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake36. Amateka Na Aba'Khalifa37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)38. Adhana.39 Upendo katika Ukristo na Uislamu40. Nyuma yaho naje kuyoboka41. Amavu n’amavuko by’ubushiya42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya46. Kusujudu juu ya udongo47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s)48. Tarawehe49. Malumbano baina ya Sunni na Shia50. Kupunguza Swala safarini51. Kufungua safarini52. Umaasumu wa Manabii53. Qur’an inatoa changamoto54. as-Salaatu Khayrun Mina -'n Nawm55. Uadilifu wa Masahaba

Kuhuzunika na Kuomboleza

96

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 96

Page 104: Harakati za Bibi Zainab

56. Dua e Kumayl57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mitume

Muhammad (s)61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili63. Kuzuru Makaburi64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita70. Tujifunze Misingi Ya Dini71. Sala ni Nguzo ya Dini72. Mikesha Ya Peshawar73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu74. Ubora wa Imam 'Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia

iliyonyooka75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake76. Liqaa-u-llaah77. Muhammad (s) Mtume wa Allah78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi?80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 82. Urejeo (al-Raja’a )83. Mazingira84. Utokezo (al - Badau)

Kuhuzunika na Kuomboleza

97

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 97

Page 105: Harakati za Bibi Zainab

85. Sadaka yenye kuendelea 86. Msahafu wa Imam Ali87. Uislamu na dhana88. Mtoto mwema89. Adabu za Sokoni90. Johari za hekima kwa vijana91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu94. Tawasali95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia96. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu97. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi98. Swala ya maiti na kumlilia maiti99. Shiya na Hadithi (kinyarwanda)100. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu101. Hadithi ya Thaqalain102 Fatima al-Zahra103. Tabaruku104. Sunan an-Nabii105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza)106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili)107. Mahdi katika sunna108. Kusalia Nabii (s.a.w)109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza110. Ujumbe - Sehemu ya Pili111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu

Kuhuzunika na Kuomboleza

98

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 98

Page 106: Harakati za Bibi Zainab

112. Ujumbe - Sehemu ya Nne113. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa114. Iduwa ya Kumayili115. Maarifa ya Kiislamu.116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu119. Ukweli uliopotea sehmu ya Nne120. Ukweli uliopotea sehmu ya Tano121. Johari zenye hekima kwa vijana122. Safari ya kuifuata Nuru123. Idil Ghadiri124. Myahudi wa Kimataifa125. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi126. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza127. Visa vya kweli sehemu ya Pili128. Muhadhara wa Maulamaa129. Mwanadamu na Mustakabali wake130. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Kwanza131. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Pili132. Khairul Bariyyah133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi134. Vijana ni Hazina ya Uislamu.135. Yafaayo kijamii136. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu137. Taqiyya

Kuhuzunika na Kuomboleza

99

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 99

Page 107: Harakati za Bibi Zainab

138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje?140. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Kwanza141. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Pili142. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Tatu143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah144. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu145. Kuonekana kwa Allah146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt

(Sehemu ya Kwanza)147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili)148. Ndugu na Jirani149. Ushia ndani ya Usunni150. Maswali na Majibu151. Elimu ya Ghaibu152. Ahlul Bayt ndani ya Tafsir za Kisunni No.1153. Ahlul Bayt ndani ya Tafsir za Kisunni No.2154. Ahlul Bayt ndani ya Tafsir za Kisunni No.3155. Azadari-Kuhuzunika na Kuomboleza

Kuhuzunika na Kuomboleza

100

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 100

Page 108: Harakati za Bibi Zainab

Back CoverMaana ya azadari – ni kuomboleza. Kiistilahi, ni mkusanyiko wa watuwanaokusanyika sehemu moja iliyoandaliwa kwa ajili ya kumbukumbu nakuomboleza ushahidi, hasa wa Imam Husain AS (‘Alayhi ‘s-Salaam:amani iwe juu yake). Katika mkusanyiko huo (ambao ni maarufu kwa jinala “majlis”) hutolewa hutuba za kuwahamasisha waumini kuendelezaharakati aliyoianzisha Imam Husain AS ya kupambana dhidi ya watawalamadhalimu na mafisadi ambao ni kikwazo cha maendeleo na ustawi wajamii. Mwanzilishi wa azadari hii ni dada yake Imam Husain, yaani BibiZainab AS, ambaye alitoa hutuba ya kwanza kabisa kuhusu masaibu yaKarbala mbele ya mkusanyiko mkubwa wa watu katika baraza ya Yazid nambele ya Yazid mwenyewe. Kwa ujasiri mkubwa alitoa hutuba ambayoiliuliza umati ule wa watu waliokuwepo pale kiasi kwamba hata Yazidmwenyewe alinywea na kutahayari. Na kutokana na hutuba hii kali, Yazidaliamuru wafungwa hawa akiwemo Bibi Zainab na mdogo wake UmmuKulthum, Imam Ali Zainul Abidin (Sajjad) mwana wa Imam Husain AS nakina mama wa familia za mashahidi wa Karbala, wafunguliwe minyororowaliyofungwa na watayarishiwe safari ya kurudi Madina.

Kitabu hiki ni johari nyingine na ni kazi ambayo haiishii kwa Mashia tu,bali ni kitabu cha Ummah wote wa Kiislamu, na kwa kweli kwa walewanadamu wote ambao wana maadili fulani yaliyo hai ndani yao.

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah FoundationS.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]: www.alitrah.orgKatika mtandao: www.alitrah.info

Kuhuzunika na Kuomboleza

101

Azadari ( Bi. Zainab) final Lubumba.qxd 7/1/2011 12:32 PM Page 101