15
Jimbo Katoliki Moshi Maendeleo ya Kituo cha Uzalishaji na Mafunzo Kilacha 2012 -2014 Ni masimulizi kwa njia ya picha zinazoonyesha hatua za maendeleo kwa kipindi cha miaka miwili ikiwa ni utekelezaji wa sehemu ya Mpango Mkakati wa Jimbo Katoliki Moshi, unaoelekeza kuwa na uchumi imara wa Jimbo na kuanzisha miradi ya uzalishaji na kuboresha viwango na uwezo wa vyuo Jimboni. 2014 USER [Type the company name] 10/21/2014

Jimbo Katoliki Moshi - Kilacha Uzalishaji na Mafunzo Kilacha 2012 -2014 Ni masimulizi kwa njia ya picha zinazoonyesha hatua za maendeleo kwa kipindi cha miaka miwili ikiwa ni utekelezaji

  • Upload
    others

  • View
    10

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

  • c

    Jimbo Katoliki Moshi Maendeleo ya Kituo cha

    Uzalishaji na Mafunzo Kilacha

    2012 -2014 Ni masimulizi kwa njia ya picha zinazoonyesha hatua za maendeleo kwa kipindi cha miaka miwili ikiwa ni utekelezaji wa sehemu ya Mpango Mkakati wa Jimbo Katoliki Moshi, unaoelekeza kuwa na uchumi imara wa Jimbo na kuanzisha miradi ya uzalishaji na kuboresha viwango na uwezo wa vyuo Jimboni.

    2014

    USER [Type the company name]

    10/21/2014

  • 1. CHUO CHA KILIMO NA MIFUGO:

    1.1. Madarasa 3 na ofisi

    Kabla ya ujenzi

    Eneo la madarasa mapya lilivyokuwa kabla ya ujenzi

    Baada ya Ujenzi

    Wanafunzi wa Kilimo na Mifugo wakiwa ndani ya moja ya madarasa mapya

  • 1.2. Bwalo la chakula

    1.3. Bio gas

    Sehemu yenye miamba ilichimbwa chini ya ardhi ili kujenga mitungi sita ya kuchakata gesi

    Pea moja ya mitungi kati ya tatu iliyojengwa

    Eneo la mitambo ya gesi na sehemu ya kukorogea kinyesi cha wanyama, malighafi kuu ya kutengeneza gesi, linavyoonekena baada ya mitungi yote kufukiwa chini ya ardhi

    Ufungaji na usambazaji wa mabomba ya gesi kutoka mtamboni hadi jikoni

  • 1.4. Kilimo

    Shamba la mahindi la chuo pamoja na shamba la mbaazi kwa ajili ya utafiti kwa kushirikiana na Kituo cha utafiti cha Selia, Arusha

    Kilimo cha umwagiliaji. Shamba la mahindi 21 Oktoba 2014

    1.5. Kisima kirefu cha maji

    Uchimbaji wa maji ya kina kirefu (bore hole) umefanyika na hatimaye maji yalipatikana

  • 1.6. Maabara ya mifugo

    1.7. Mtambo wa kuchemsha maji kwa

    nguvu za jua

    1.8. Ongezeko la idadi ya wanafunzi kutoka

    400 hadi 620(2012 -2014)

    Wanafunzi wakifanya mitihani ya kujiunga na chuo mwaka 2014

  • Wanafunzi 161 wa kozi ya CGA wamehitimu 2014

    1.9. Kuanza kwa kozi ya Hotel Management

    na Tour Guide and Tourism

    Somo la ‘human nutrition’ ni sehemu ya kozi ya ‘Hotel Management’

    Wahitimu wa kwanza wa Hotel Management 2013

    Wazazi wakishiriki pamoja na wanafunzi na walimu katika mahafali

  • 2. UZALISHAJI

    2.1. Ongezeko la uzalishaji wa vifaranga,

    nguruwe na maziwa

    Mashine za kuatamia na kuangulia vifaranga zilizopo hazikidhi ongezeko la mayai ya kuku wa mayai na wa nyama

    Makasha ya vifaranga tayari kusafirishwa kwa

    wateja

    Chakula cha mifugo huchanganywa na

    kutengenezwa hapa

  • 2.2. Upanuzi wa banda

    Ongezeko la uzalishaji wa vifaranga limesababisha upanuzi wa banda namba 2

    2.3. Kilimo cha mahindi

    Shamba la kumwagilia kama lilivyokuwa

    21/10/2014

    2.4. Uwanja wa kukaushia nafaka

  • Mahindi yaliyokauka huhifadhiwa salama katika silo bila kuweka madawa

    2.5. Bwawa la samaki

    2.6. Uzalishaji kokoto na utengenezaji

    matofali

    Matofali imara ya saruji

    Uzalishaji wa Kokoto za ¼ , ½ na ¾ inchi

  • 3. SOCIAL CENTRE

    3.1. Ilivyokuwa kabla ya ukarabati

    Baada ya ukarabati

  • 3.2. Kumbi za mikutano

    Ukumbi wa mikutano/semina kwa watu 100 -300

    Ukumbi wa mikutano/semina kwa watu 20-40

    Ukumbi kwa watu 500 na zaidi

  • 4. OFISI KUU

    4.1. Ukarabati wa jengo la ofisi za Kituo cha

    Uzalishaji na Mafunzo Kilacha

    Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi Kuu

    5. Mafunzo kwa wafanyakazi

    Meneja Mkuu akiwa na wafanyakazi wapya mara tu baada ya semina elekezi mapema 2013

    Wafanyakazi wa Kilacha wakishiriki semina kandokando ya ziwa Chala

    Wakuu wa idara na vitengo wakishiriki semina juu ya uongozi na hamasa ya kazi

  • 6. UTUNZAJI WA MAZINGIRA

  • 7. ZIARA ZA MAFUNZO

    Wanafunzi 29 wa shule ya msingi Mekaela , Mombasa Kenya, walifanya ziara ya mafunzo kuhusu kilimo, ufugaji na gesi

    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Walsh, Marekani pia walifika kwa ziara ya mafunzo

    Wakuu wa Vitengo na Idara za Kilacha walitembelea St. James Seminary kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na uzalishaji wa 'Bio gas'

    Werner Schumaker kutoka Aachen, Germany na ujumbe wake walitembelea mtambo wa kupasua kokoto

    Wakuu wa shule, wahasibu na boharia wa shule za sekondari za Jimbo walishiriki semina juu ya utunzaji mahesabu na mali ya asasi hizo

  • 8. Mengineyo

    Huduma ya chakula kantini ya Kilacha

    Wanafunzi wakijaza nafaka katika silo

    Wafanyakazi bora wa mwaka 2014 (wa pili na wa tatu kutoka kushoto walioshika vyeti)

    Upande wa nyuma wa Kanisa Mt. Martin Kilacha

    Mawasiliano:

    Meneja Mkuu,Kilacha Production and Training

    Center, P.O.Box 3041, Moshi. Simu: +255

    2756219, Mob. +255 754883061, email:

    [email protected],

    [email protected] , Website:

    www.kilacha.co.tz

    Photographed and produced by:

    Melkiades Msimbe (2014)

    mailto:[email protected]:[email protected]://www.kilacha.co.tz/