51
1 _______ SURA YA 16 _______ KANUNI YA ADHABU _______ MPANGO WA MAFUNGU _______ SEHEMU YA 1 _______ MASHARTI YA KAWAIDA SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni ya kawaida ya tafsiri ya sheria 5. Tafsiri. SURA YA III KUTUMIKA KWA KANUNI HII NCHINI 6. Kuenea kwa mamlaka ya mahakama za mwanzo. 7. Makosa yatendwayo nusu ndani ya mamlaka na nusu nje ya mamlaka SURA YA IV KANUNI YA KAWAIDA KUHUSU JUKUMU YA JINAI 8. Kutojua sheria. 9. Dai la haki kwa uaminifu. 10. Kusudio na sababu. 11. Kukosea hakika. 12. Kudhaniwa kuwa na akili timamu. 13. Wenda mazimu. 14. Kulewa. 15. Umri mchanga. 16. Maafisa wa mahakama. 17. Lazima.

KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

  • Upload
    others

  • View
    90

  • Download
    7

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

1

_______

SURA YA 16

_______

KANUNI YA ADHABU

_______

MPANGO WA MAFUNGU

_______

SEHEMU YA 1

_______

MASHARTI YA KAWAIDA

SURA YA 1

UTANGULIZI

1. Jina fupi.

2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi.

3. Kuepusha sheria kadha.

SURA YA II

TAFSIRI

4. Kanuni ya kawaida ya tafsiri ya sheria

5. Tafsiri.

SURA YA III

KUTUMIKA KWA KANUNI HII NCHINI

6. Kuenea kwa mamlaka ya mahakama za mwanzo.

7. Makosa yatendwayo nusu ndani ya mamlaka na nusu nje ya mamlaka

SURA YA IV

KANUNI YA KAWAIDA KUHUSU JUKUMU YA JINAI

8. Kutojua sheria.

9. Dai la haki kwa uaminifu.

10. Kusudio na sababu.

11. Kukosea hakika.

12. Kudhaniwa kuwa na akili timamu.

13. Wenda mazimu.

14. Kulewa.

15. Umri mchanga.

16. Maafisa wa mahakama.

17. Lazima.

Page 2: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

2

18. Kutetea nafsi au mali.

19. Utumiaji wa nguvu katika kukamata.

20. Kulazimishwa na mume.

21. Watu wasipewe adhabu mara mbili kwa kosa moja.

22. Wakosaji wakuu.

23. Makosa ya kushirikiana.

24. Kumshauri mwingine afanye makosa.

SURA YA VI

ADHABU

25. Namna mbali mbali za adhabu.

26. Hakumu ya kifo.

27. Kifungo.

28. Adhabu ya kutandikwa.

29. Faini.

30. Kuhodhi.

31. Fidia.

32. Gharama.

33. Dhamana kwa kutunza amani.

34. (Imebatilishwa).

35. Adhabu ya kawaida kwa makosa madogo.

36. Kuzidi kwa adhabu isipokuwa imeamuriwa vingine.

37. Wafugwa waliotoroka watumike baki ya vifungo wakamatwapo tena.

38. Kuachilia kwa sharti au bila ya sharti.

38A. Kutenda kosa tena

38B. Matokeo ya hatia na kuachiliwa.

_______

SURA YA II

UHALIFU

______

Kigawe cha I. – Makosa ya Kuvunja Utulivu

_______

SURA YA VII

UHAINI NA MAKOSA MENGINE JUU YA UTAWALA

39. Uhaini.

40. Kuchochea mashambulio.

41. Kuficha uhaini.

42. Makosa makubwa ya kihaini.

Page 3: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

3

43. Kuletesha vita vya wenyeji.

44. (Imebatilishwa).

45. Kuchochea uasi.

46. Kusaidia katika vitendo vya uasi.

47. Kushawishi utorokaji.

48. Kusaidia mateka wa vita kutoroka.

49. Ufafanuzi wa kitendo cha dhahiri.

50. Maelezo.

51. Uwezo wa kuzuia kuingiza matangazo.

52. Makosa yanayohusu matangazo ambayo uingizaji wake umepigwa marufuku.

53. Upelekaji wa tangazo lililopigwa marufuku kwa Sheha au kituo cha Polisi

54. Uwezo wa kukagua vifurushi.

55. Nia ya ufitina.

56. Makosa ya fitina.

57. Mashitaka.

58. Ushahidi.

59. Viapo visivyo halali ili kutenda makosa ya mauaji.

60. Viapo vingine visivyo halali ili kutenda makosa.

61. Kiasi cha malazimisho kuwa ni utetezi.

62. Kwata isiyo halali.

63. Tangazo la habari za uwongo ziwezazo kuleta hofu na mshituko kwa watu.

63A. Uchochozi wa kutumia nguvu.

63B. Kuchamua kutoridhika na chuki kwa madhumuni yasio halali.

SURA YA VIII

MAKOSA YANAYOINGILIA UHUSIANO NA DOLA ZA KIGENI

NA UTULIVU WA NCHI ZA NJE

64. Kuumbua watawala wa kigeni.

65. Uandikishaji askari wa kivita kwa nchi za kigeni.

66. Uharamia.

SURA YA IX

MIKUSANYIKO ISIYO HALALALI NA GHASIA NA MAKOSA

MENGINE YA KUVUNJA UTULIVU WA WATU

67.-73. (Zimebatilishwa).

74. Ufafanuzi wa mkusanyiko usio halali na ghasia.

75. Adhabu ya mkusanyiko usio halali.

76. Adhabu ya ghasia.

77. Kutoa ilani kwa wafanya ghasia kutawanyika.

78. Kutawanyika kwa wafanya ghasia.

79. Ghasia baada ya ilani.

Page 4: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

4

80. Kupinga utoaji wa ilani.

81. Wafanyi ghasia kubomoa majengo, n.k.

82. Kuhasiriwa majengo na wafanya ghasia.

83. Kuyaingilia kwa ghasia reli, magari, n.k.

84. Kutembea na silaha hadharani.

85. Kuingia kwa nguvu.

86. Kukamata kwa nguvu.

87. Mapigano.

88. Kusai mapigano ya wawili.

89. (i) Matusi na mzozo;

(ii) Kutishia utumiaji nguvu.

89A. Kuvinjari.

89B. Kutishia.

89C. Kushawishi watu wasisaidie mipango ya kujitolea.

90. Mkusanyiko kwa ajili ya kufanya magendo.

Kigawe cha II. – Makosa juu ya Usimamiaji wa Mamlaka ya Halali

______

SURA YA X

KUTUMIA MADARAKA VIBAYA

91.-93.(Zimebatilishwa).

94. Maafisa wenye kazi maalumu juu ya mali.

95. Madai ya uwongo ya maafisa.

96. Kutukana madaraka.

97. Maafisa kutoa shahada za uwongo.

98. Kulisha kiapo kisichoruhusiwa na Sheria.

99. Kujipa mamlaka ya uwongo.

100. Kujifanya mtumishi wa Serikali.

101. Kutishia kuwajeruhi watumishi wa Serikali.

SURA YA XI

MAKOSA YAHUSUYO USIMAMIAJI WA HAKI

102. Ushahidi wa uwongo na kushawishi ushahidi wa uwongo.

103. Maelezo ya uwongo ya wakalimani.

104. Adhabu kwa ushahidi wa uwongo na kushawishi ushahidi wa uwongo.

105. Ushahidi juu ya shitaka la kutoa ushahidi wa uwongo.

106. Kutunga ushahidi.

107. Kuapa kwa uwongo.

108. Kudanganya mashahidi.

109. Kuharibu ushahidi.

110. Njama kupinga haki na kuingilia mashahidi.

Page 5: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

5

111. ……… makosa makubwa.

112. …….. mashtaka yapasayo adhabu.

113. ……… mali iliyoibiwa.

114. ……… mahakama.

115. ……… kukinga uwasilishaji au utimilizaji wa hati.

SURA YA XII

…… NA KUWAKINGA WATUMISHI WA MAHAKAMA ZA SHERIA

116. ….

117. Kuhudhuria kwenye kazi ya kifungo cha jela baridi.

118. ….wafungwa kutoroka.

119. … mali iliyokamatwa kwa halali.

120. Imebatilishwa.

CHAPTER XIII

…YA MCHANGANYIKO KUITENDEA SERIKALI

121. … wa watumishi wa Serikali.

122. .. kazi kwa watumishi wa Serikali.

123. Taarifa ya uwongo kwa mtumishi wa Serikali.

124. Wajibu wa Sheria

125. .. amri za halali.

126. .. bendere au alama ya taifa.

Kigawe III – Makosa yanayodhuru watu kwa jumla

SURA YA XIV

MAKOSA YAHUSUYO DINI

127. …. dini ya watu wowote.

128. …. Mikusanyiko ya dini.

129. … maziarani bila idhini.

130. .. maiti kuzikwa.

131. …yanayoudhi imani ya dini.

SURA YA XV

MAKOSA KINYUME CHA UTU

132. ….. wa kubaka.

133. …. ya kubaka.

134. …. Kubaka.

Wasichana walio chini ya miaka kumi na sita….. la aibu kwa wanawake na kuwakashifu.

…msichana aliye chini ya miaka kumi na mbili.

… majuha na punguani.

Page 6: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

6

138. Mume kunajisi mkewe aliye chini ya miaka kumi na mbili, n.k.

139. Ukuwadi.

140. Kufanya mwanamke anajisiwe kwa kuhofisha, n.k.

141. Mwenye nyumba kuruhusu kunajisiwa wasichana walio chini ya umri wa miaka

kumi na mbili nyumbani mwake.

142. Mwenye nyumba kuruhusu kunajisiwa wasichana walio chini ya miaka kumi na

sita nyumbani mwake.

143. Kuzuia kwa nia fulani au katika danguro.

144. Uwezo wa kupekua.

145. Kuishi juu ya chumo la umalaya.

146. Mwanamka anayesaidia umalaya.

147. Uwezo wa kupekua.

148. Madanguro.

149. Njama ya kunajisi.

150. Kutoa mimba.

151. Kutoa mimba kwa mwanamke mwenye mtoto.

152. Dawa ya vifaa vya kutolea mimba.

153. Kujua umri katika kuwafanyia makosa wanawake.

154. Makosa kinyuma cha maumbile.

155. Jaribio la kutenda makosa kinyume cha maumbile.

156. Shambulio la aibu kwa mtoto wa kiume chini ya miaka kumi na nne.

157. Matendo ya aibu baina ya wanaume.

158. Mwanamume kuzini na maharimu.

159. Amri ya uwalii.

160. Wanawake kuzini na maharimu.

161. Upambanuzi wa ndugu.

162. Idhini ya Mkurugenzi wa mashitaka wa Serikali.

SURA YA XVI

MAKOSA YANAYOHUSU NDOA NA LAZIMA ZA NYUMBANI

163. Ndoa ya hadaa.

164. Bigame (kuoa wake wawili au kuolewa na wanaume wawili).

165. Kufunga ndoa kwa njia ya hadaa.

166. Kutupa watoto.

167. Kupuuza watoto.

168. Kuacha kuwakimu watumishi au wakurufunzi.

169. Kuiba Watoto.

SURA YA XVII

ADHA NA MAKOSA KINYUMA CHA AFYA NA RAHA

170. Adha ya kawaida.

171. Nyumba za kamari.

172. Nyumba za kupingiana.

Page 7: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

7

173. Bahati nasibu.

173A. Barua za msururu.

174. Mwekaji nyumba afafanuliwa.

175. Upitishaji wa matangazo ya kinyaa.

176. Wazembe na wakorofi.

176A. Kukaribisha Malaya wa kawaida.

177. Wahuni.

177A. Kuacha kueleza juu ya fedha zilichangishwa katika hadhara.

178. Uvaaji wa vazi rasmi bila mamlaka.

179. Kupuuza kuenea kwa maradhi.

180. Kughushi chakula.

181. Uuzaji wa chakula cha madhara.

182. Kughushi dawa.

183. Uuzaji wa dawa zilizoghushika.

184. Kuchafua maji.

185. Kuchafua hewa.

186. Biashara za makuruhu.

SURA YA XVIII

KUUMBUA

187. Ufafanuzi wa kashifa.

188. Kiumbuzi.

189. Tangazo.

190. Tangazo lisilo halali.

191. Kuruhusiwa kabisa.

192. Kuruhusiwa kwa sharti.

193. Nia njema.

194. Dhana ya nia njema.

Kigawe cha IV. – Makosa Juu ya Mtu

SURA YA XIX

KUUWA KWA KUNUWIA NA KUUWA BILA KUNUWIA

195. Kuuwa bila kunuwia.

196. Kuua kwa kunuwia.

197. Adhabu ya kuuwa kwa kunuwia.

198. Adhabu ya kuuwa bila kunuwia.

199. Hatia kwa kosa la kuuwa mwana mchanga katika baadhi ya kesi.

200. Nia ya uovu.

201. Kuuwa kwa kukasirishwa.

202. Kukasirishwa kunafafanuliwa.

203. Kusababisha kifo kunafafanuliwa.

204. Mtoto anapofikiriwa kuwa mtu.

Page 8: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

8

205. Kikomo cha muda wa kifo.

SURA YA XX

WAJIBU KUHUSU KUHIFADHI MAISHA NA AFYA

206. Madaraka ya mtu mwenye uangalizi wa mtu mwingine.

207. Mkichwa wa ukoo.

208. Mtajiri wa kike na wa kiume.

209. Mtu afanyae shughuli za hatari.

210. Watu wanaoangalia vitu vya hatari.

SURA YA XXI

MAKOSA YAHUSIYO NA KUUWA KWA KUNUWIA NA KUJIUWA

211. Kujaribu kuuwa.

212. (Imebatilishwa).

213. Kuficha mauaji ya makusudi.

214. Kutishia kwa maandishi kuuwa kwa makusudi.

215. Njama ya mauwaji ya makusudi.

216. Kusaidia mtu mwingine ajiuwe.

217. Kujaribu kujiuwa.

218. Ufichaji wa kuzaliwa kwa watoto.

219. Kuangamiza watoto.

SURA YA XXII

MAKOSA YA KUHATARISHA MAISHA AU AFYA

220. Kudhofisha kwa nia ya kutenda kosa.

221. Kutia bumbuwazi kwa makusudi.

222. Vitendo vinavyokusudiwa kuleta dhara kubwa au kuzuia kukamatwa.

223. Kumzuia mtu asijiokoe katika mavunjiko ya chombo.

224. Kuhatarisha wasafiri wa reli.

225. Dhara kubwa.

226. Kuweka baruti kwa makusudi.

227. Kulisha sumu.

228. Kujeruhi bila halali ya kusumisha.

229. Kukosa kutoa vitu vya lazima.

230. Jukumu kuhusu utibabu wa kupasua.

231. Jukumu la jinai.

232. Kidakizo (exception).

Page 9: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

9

SURA YA XXIII

KUTOJALI NA KUPUUZA KWA JINAI

233. Matendo ya kutojali na kupuuza.

234. Matendo mengine ya kupuuza yaletayo dhara.

235. Kutumia vitu vya sumu kwa kupuuza.

236. Kuhatarisha wasafiri wa relini.

237. Kuonyesha taa ya uwongo.

238. Chombo kilichozidi shehena na kisicho usalama.

239. Kuzuia njia ya Serikali au njia ya meli.

SURA YA XXIV

MASHAMBULIO

240. Shambulio la kawaida.

241. Mashambulio yaletayo dhara ya mwili.

242. Kushambulia mtu alindaye chombo kilichovunjika.

243. Mashambulio yenye adhabu ya kifungo cha miaka mitano.

SURA YA XXV

MAKOSA JUU YA UHURU WA WATU

244. Kunyakuwa mtu kutoka Tanganyika.

245. Kunyakua mtu kutoka kwa muangalizi wake.

246. Kupoka.

247. Adhabu kwa kunyakua.

248. Kunyakua au kupoka ili kuuwa.

249. Kunyakuwa au kupoka kwa dhamiri ya kufungia.

250. Kunyakua kwa dhamiri ya kuleta madhara.

251. Kumficha bila halali mtu aliyenyakuliwa.

252. Kunyakua mtoto kwa dhamiri ya kumuiba.

253. Adhabu kwa kumfungia mtu bila halali.

254. Kununua au kumsarifu mtu kama mtumwa.

255. Biashara ya utumwa.

256. Kazi za kulazimishwa.

Kigawe cha V. – Makosa kuhusu Mali

SURA YA XXVI

WIZI

257. Vitu viwezavyo kuibika.

258. Ufafanuzi wa wizi.

259. Mambo maalumu.

Page 10: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

10

260. Fedha iliyozuiwa kwa dhamana au kwa maagizo Fulani.

261. Maajenti wa uuzaji.

262. Fedha iliyopokewa kwa ajili ya mtu mwingine.

263. Wizi wa mmiliki.

264. Mume na Mke.

265. Adhabu ya kawaida kwa wizi.

266. Kuiba wasia.

267. Kuiba kitu kilichotiwa posta.

268. Kuiba mifugo.

269. Kumuibia mtu, kuiba bidhaa inayosafirishwa, n.k.

270. Kuiba kwa watumishi wa Serikali.

271. Kuiba kwa makarani na watumishi.

272. Kuiba kwa wakurugenzi na maafisa wa kampuni.

273. Kuiba kwa ajenti.

274. Kuiba kwa wapangaji au wafikiaji.

275. Kuiba baada ya kuwa na makosa zamani.

276. Kuficha madaftari.

277. Kuficha wasia.

278. Kuficha hati.

279. Kuuwa wanyama kwa dhamira ya kuiba.

280. Kutunga kwa kusudi la kuiba.

281. Kuarifu kwa udanganyifu vitu vilivyowekwa rahani.

282. Kushughulika na madini machimboni kwa hadaa.

283. Kujipa uwezo kwa hadaa.

284. Kuhawilisha kusikofikia wizi.

SURA YA XXVII

MAKOSA YALIYO SAWA NA WIZI

285. Ufafanuzi wa ungang’anyi.

286. Adhabu ya unyang’anyi.

287. Kujaribu kunyang’anya.

288. Kushambulia kwa kusudi la kuiba.

289. Kudai mali kwa maandishi ya vitisho.

290. Kutishia kushtaki juu ya jinai kwa kusudi la kutoza kwa nguvu.

291. Kupata utumilizaji wa mkataba kwa nguvu.

292. Kudai mali kwa vitisho kwa kusudi la kuiba.

SURA YA XXIX

UVUNJAJI WA NYUMBA USIKU, UVUNJAJI WA NYUMBA MCHANA NA

MAKOSA SAWA NA HAYO

293. Ufafanuzi wa kuvunja na kuingia.

294. Kuvunja na kuingia nyumba ya kukaa watu kwa dhamiri.

295. Kuingia nyumba ya kukaa watu kwa dhamiri.

296. Kuvunja nyumba na kuingia na kutenda kosa kubwa.

Page 11: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

11

297. Kuvunja na kuingia nyumba kwa dhamiri.

298. Kuwa na silaha kwa dhamiri ya kutenda kosa kubwa.

299. Jinai ya kuingilia bila idhini.

300. Kuhodhi.

SURA YA XXX

KUJISINGIZIA

301. Ufafanuzi wa kujisingizia.

302. Kupata bidhaa kwa kujisingizia.

303. Kupata kutimilizwa kwa dhamana kwa kujisingizia.

304. Kudanganya.

305. Kupata kuaminiwa kwa kujisingizia.

306. Njama ili kudanganya.

307. Udanganyifu juu ya uuzaji au rahani ya mali.

308. Kujifanya mpiga ramli.

309. Kupata kuandikishwa kwa kujisingizia.

310. Matamshi ya uwongo ya hati ya safari.

SURA YA XXXI

KUPOKEA MALI ILIYOIBWA AU ILIYOPATIKANA BILA HALALI NA

MAKOSA KAMA HAYO

311. Kupokea mali ya wizi au iliyopatikana bila halali.

312. Kukabidhisha mali iliyotuhumiwa kuibiwa.

312A. (1) Uwezo wa waziri kutangaza alama za vifaa vya Serikali.

(2) Kuwa na vifaa vya Serikali au vya idara ya Reli bila halali.

(3) Kuwa na vifaa vya kijeshi bila halali.

(4) Tafsiri.

313. Kupokea bidhaa iliyoibiwa nje ya Tanganyika.

SURA YA XXXII

UDANGANIFU WA WADHAMINI NA WATU WA KAZI ZA MUAMANA NA

HESABU ZA UWONGO

314. Kuhawilisha kwa hadaa kwa wadhamini.

315. Kuchukua mali kwa udanganyifu kwa wakurugenzi na maofisa wa Shirika n.k.

316. Matangazo ya uwongo juu ya makampuni, n.k.

317. Kughushi hesabu kwa makarani.

318. Kughushi hesabu kwa mtumishi wa Serikali.

Kigawe cha VI. – Kuharibu Mali kwa uhasidi

Page 12: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

12

SURA YA XXXIII

MAKOSA YALETAYO UHARIBIFU WA MALI

319. Kuitia moto.

320. Kujaribu kutia moto.

321. Kutia moto mazao na mimea iotayo.

322. Kujaribu kutia moto mazao, n.k.

323. Kupeperusha vyombo.

324. Kujaribu kupeperusha vyombo.

325. Kujeruhi wanyama.

326. Uharibifu mwingine wa mali; adhabu maalum na za jumla.

327. Kujaribu kuharibu mali kwa baruti.

328. Kupelekea wanyama maradhi ya kuambukiza.

329. Kuondoa alama za mipaka.

330. (Imebatiliswa).

331. Kuharibu kazi za reli.

332. Vitisho vya kutia moto au kutekeeteza.

Kigawe cha VII. – Maandishi ya Kubuni, Utengenezaji sarafu na makosa sawa na hayo

SURA YA XXXIV

MAFAFANUZI

333. Ufafanuzi wa maandishi ya kubuni.

334. Hati.

335. Ufanyaji wa hati ya uwongo.

336. Kusudi la kudanganya.

SURA YA XXXV

ADHABU KWA KUBUNI MAANDISHI

337. Adhabu ya kawaida kwa maandishi ya kubuni.

338. Kubuni kwenye adhabu ya kifungo cha maisha.

339. Kubuni hati ya kimahakama au ya Serikali.

340. Kubuni kwenye adhabu ya kifungo cha miaka saba.

341. Kutengeneza au kuwa nazo karatasi za kubunia.

342. Kutoa hati za uwongo.

343. Kutoa hati zilizofutwa au zilizomalizika muda.

344. Kupata utimilizaji wa hati kwa kujisingizia.

345. Kufuta michanjo katika cheki.

346. Kuandika hati bila ruhusa.

347. Kudai mali kwa nyaraka za wasia za uwongo.

348. Kununua noti za kubuniwa.

349. Kughushi hati za kupatia fedha.

350. Kughushi daftari.

351. Shahada ya uwongo ya ndoa.

Page 13: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

13

352. Maelezo ya uwongo kwa kuandikisha.

SURA YA XXXVI

MAKOSA YAHUSUYO SARAFU

353. Mafafanuzi.

354. Kubuni sarafu.

355. Matayarisho ya kutengeneza sarafu.

356. Kupunguza sarafu.

357. Kuyeyusha sarafu.

358. Kuzuia na kuharibu sarafu ya kubuni.

359. Kuwa na vikato.

360. Kutoa sarafu ya kubuni.

361. Kukariri utoaji.

362. Kutoa nishani au madini kuwa ni sarafu.

363. Kusafirisha sarafu ya kubuni.

364. Kuhodhi.

SURA YA XXXVII

MIHURI YA KUBUNI

319. Kuwa na kihesi (die) cha kufanyia mihuri.

320. Kuwa na karatasi za kutengenezea stampu za posta.

SURA YA XXXVIII

KUBUNI ALAMA ZA BIASHARA

321. Alama za biashara zafafanuliwa.

322. Kubuni alama za biashara ni kosa dogo.

SURA YA XXXIX

KUJIFANYA MTU MWINGINE

323. Adhabu ya jumla ya kujifanya mtu mwingine.

324. Kukubali kwa uwongo.

325. Kujifanya mtu aliyetajwa katika shahada.

326. Lazima hati ya shahada kwa kujifanya mtu mwingine.

327. Kujifanya ni mtu aliyetajwa katika shahada ya sifa.

328. Lazima shahada ya sifa.

Page 14: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

14

SURA YA XL

TUME ZA SIRI

329. (Zimebatilishwa)

Kigawe cha VIII. – Majaribio, Njama za Kutenda Uhalifu, Mfichaji Uhalifu

SURA YA XLI

MAJARIBIO

330. Jaribio linafafanuliwa.

331. Adhabu ya jumla kwa majaribio.

332. Adhabu kwa kujaribu kutenda baadhi ya makosa makubwa.

333. Kupuuza kuzuia utendaji wa kosa kubwa.

SURA YA XLII

NJAMA

334. Njama ya kutenda kosa kubwa.

335. Njama ya kutenda kosa dogo.

336. Njama nyinginezo.

SURA YA XLIII

WAFICHA UHALIFU

337. Mficha uhalifu afafanuliwa.

338. Adhabu kwa waficha uhalifu wa makosa madogo.

SURA YA XLIV

USHAWISHI WA UCHOCHEZI

339. Kushawshi au kuchochea utendaji wa kosa.

Page 15: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

15

SURA YA 16

______

KANUNI YA ADHABU

______

Sheria ya kuweka Kanuni ya Sheria ya JinaI

[28TH

SEPTEMBER, 1945]

______

SEHEMU YA I

MASHARTI YA KAWAIDA

_______

SURA YA I

UTANGULIZI

Jina fupi Sh. ya

1945 No.21 f.2 1. Sheria hii iitwe Kanuni ya Adhabu na baada ya hapa itakuwa

ikitajwa “Kanuni hii”.

Kazi yake

badala ya

Kanuni ya

adhabu ya Bara

Hindi

2. Toka Kuanzia kwake Kanuni hii na baadaye, ile Kanuni ya

Adhabu ya bara Hindi itakoma kutumika nchini Tanganyika. Habari yoyote

kuhusu sharti lolote liliyomo kwenye Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi juu

ya Sheria yoyote iliyoko mnamo tarehe ya kuanzi Kanuni hii, kwa kadri

yatakavyolingana maelezo yake, itafikiriwa kuwa ni sawa na sharti liliyomo

ndani ya kanuni hii.

Kuepusha

Sheria kadha

Sh. 1955 No.

49 f.2 C.A. Act

2 f.3

3. Ndani ya Kauni hii hakuna kitakachoathiri –

(1) kupasiwa, kuhukumiwa au kupewa adhabu mtu kwa kosa

ambalo ni kinyume cha Sheria ya kawaida au kinyume cha

Sheria nyengineyo yoyote itumiwayo nchini Tanganyika

isiyokuwa kanuni hii; au

(2) kupasiwa mtu kuhukumiwa au kupewa adhabu kwa kosa

ambalo liko chini ya masharti ya Sheria yoyote iliyoko nchini

Tanganyika ambayo yahusika na mamlaka ya mahakama za

mitaa kuhusu vitendo ambavyo vimetendwa nje ya mamlaka ya

kawaida ya mahakama hizo; au

(3) uwezo wa mahakama yoyote kumpa adhabu mtu kwa sababu ya

kuidharau mahakama hiyo; au

(4) kupasiwa au kuhukumiwa mtu au kutolewa adhabu kwa mtu

ambaye yuko chini ya hukumu iliyokwishatolewa au

itakayotolewa, kuhusu kitendo chochote kilichokwishatenda au

kilichoanzishwa kutenda kabla ya kuanzishwa kwa kanuni hii;

au

(5) uwezo wowote wa Rais kutoa msamaha wowote au kupunguza

adhabu au kubadilisha adhabu yote au sehemu ya adhabu au

Page 16: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

16

kuahirisha utimizaji wa hukumu yoyote iliyokwishatolewa au

itakayotolewa; au

(6) mojawapo ya sheria yoyote au vifungu vyovyote vya sheria hizo

wakati vitumikapo kwa ajili ya Jeshi la Vita la Serikali ya

Tanganyika au katika jeshi lolote la Polisi ambalo limewekwa na

sheria.

Isipokuwa kwamba iwapo mtu ametenda kosa ambalo laweza

kutolewa adhabu chini ya kanuni hii na pia laweza kutolewa adhabu

chini ya sheria nyingineyo au sheria mojawapo ya namna hizo

zilizokwishatajwa katika fungu hili, mtu huyo hatapewa adhabu kwa

kosa hilo chini ya sheria au amri hiyo na vile vile chini ya kanuni

hii.

Angalia – Sheria ya 1963 No. 29 Mafungu 4 na 5 yanatoa masharti juu ya

chanzo cha adhabu ya kifungo na kutandikwa kwa makosa na majaribio ya

kutenda makosa kinyume cha mafungu 265, 268, 270, 271, 286, 294, 296

na 311 au Sura uya 16.

SURA YA II

TAFSIRI

Kanuni ya

kawaida ya

tafsiri ya sheria

4. Kanuni hii itatafsiriwa kwa kufuata misingi ya tafsiri ya sheria

iliyoko Uingereza, na, isipokuwa ikielezwa kwa vingine, msemo

utakaotumiwa ndani ya kanuni hii, kwa kadri itakavyolingana na maelezo

yake, utachukuliwa kuwa na maana uliyo nayo katika sheria ya jinai ya

Uingereza na utafahamika kwa kufuata maana hiyo. Tafsiri C.A.

Act 2 ss. 8 na

36 Act 1964

No. 16

Nyongeza ya 2

5. Katika kanuni hii, isipokuwa ikielezwa vyengine -

"mahakama" maana yake mahakama yenye mamlaka kamili;

"nyumba ya kuishi" inachanganya nyumba yoyote au jengo lolote na

sehemu ya nyumba hiyo au jengo ambalo kwa wakati uliopo

latumiwa na mwenyewe au na mpangaji wake kwa ajili ya kuishi

ndani humo, yeye mwenyewe, jamaa yake au watumishi wake au

yeyote katika hao, na haidhuru iwapo wakati mwingine huwa

halikaliwi; nyumba au jengo linaloambatana au linalotumiwa na

nyumba ya kuishi linahesabiwa kuwa ni sehemu ya nyumba ya

kuishi iwapo kuna ukifiano kati ya nyumba hiyo au jengo hilo na

nyumba ya kuishi, iwe ufikiano wa kuelekeana milango au njia ya

ndani kwa ndani itokayo kumoja mpaka kwengine; lakini isiwe

vyenginevyo; "kosa kubwa" maana yake ni kosa ambalo limetamkwa na sheria ni kosa

kubwa au ikiwa halikutamkwa kuwa ni kosa dogo ambalo laweza

kutolewa adhabu ya kifo au kifungo cha miaka mitatu au zaidi bila

ya kuthibitisha kwa kuwepo makosa ya zamani; "dhara" maana yake ni maumivu yoyote ya mwilini, maradhi au mchakuko,

uwe wa aushi au wa muda; "dhara ya hatari" maana yake ni dhara inayohatarisha maisha;

Page 17: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

17

"dhara kubwa" maana yake ni dhara yoyote ambayo yafikia kulemaza aushi

au ambayo huenda ikadhuru afya kuleta kilema cha aushi au kuleta

jeraha lolote la aushi au baya sana kwenye sehemu yoyote ya nje au

ndani ya mwili, kiungo au akili; "shauri la mahakama" lachanganya shauri lolote ambalo lapelekwa mbele

ya mahakama yoyote, baraza, tume ya upelelezi, au mbele kwa

kiapo, au shauri litakalopelekwa katika baraza au mbele ya baraza la

wenyeji, liwe baraza hilo lachukua ushahidi kwa kiapo au sivyo; "kwa kujua" hutumiwa kuhusu neno lolote ambalo laonyesha utoaji au

utumiaji, huonyesha hali ya kujua namna ya kitu hicho

kilichotolewa au kutumiwa; "utawala wa mitaa” maana yake ni utawala wa mitaa ambao umewekwa

kwa mujibu wa sheria yoyote; "kulemaza" maana yake kuiharibu au kutomwezesha aushi sehemu yoyote

ya nje au ya ndani ya mwili, kiungo au akili; "kosa dogo" maana yake ni kosa lolote ambalo si ………………….. "fedha" inachanganya nyaraka za benki, noti za sarafu cheki na nyaraka

nyinginezo zozote au …………….fedha; "usiku" au"wakati wa usiku" maana yake ni kile …………. moja magharibi

na saa kumi na mbili asubuhi. “kosa” maana yake ni kitendo, jaribio au kuto……… kutolewa adhabu ya

sheria; “mtu” na “mwenyewe” na maneno mengine kama ……kuhusu mali

yanachanganya shirika za namna …. Kingine chochote cha watu

wawezao kumiliki yatumiwapo hivyo, yanachangana na Jamhuri; “mtumishi wa Serikali’ maana yake ni mtu yeyote ….mojawapo yoyote ya

ofisi zifuatazo au ambaye ofisi hizo, iwe kwa niaba ya mwengine

au ….

(i) afisi yoyote ya serikali kuchanga na …afisi yoyote ambayo

uwezo wa kuajiri mtu au kumtoa mtu kazini umepewa Rais au

…au Halmashauri; au

(ii) afisi yoyote ambamo mtu ameajiriwa au ame…… au sheria ya

Serikali; au

(iii)afisi yoyote ya Serikali ambayo uwezo wa kufanya kazi humo

au kumtoa umepewa watu wowote wenye kushika afisi ya

namna afisi mojawapo ya zile afisi zilizotajwa kati ……..

zilizotangulia za fungu hili; au

(iv) afisi yoyote ya muamuzi au mpatanishi kat……. Jambo lolote

lililopelekwa ili lipatanishwe lifany… kwa idhini ya mahakama

yoyote au kwa .. yoyote;

na zaidi ya hayo neno hilo pia lachanganya –

(i) mlinzi wa amani;

(ii) mjumbe wa tume ya kutafiti iliyoteuliwa … yoyote au kwa

kufuata Sheria yoyote;

(iii)mtu yeyote iliyeajiriwa kutimiliza utoaji wa ……. Mahakama,

pamoja na baraza la kienyeji;

Page 18: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

18

(iv) watu wote waliomo katika jeshi la vita la …. Watumishi wote

wa Huduma ya Taifa;

(v) watu wote wafanyakazi katika idara yoyote ya ………

(vi) mtu ambaye ni mwalimu wa dini ya madhehebu …..mdhali

ashughulika na kazi zinazohusu taarifa ………. Kufunga ndoa

kwenyewe au zinazohusu ufanyaji …..wa daftari ya shahada

zozote za ndoa, uzazi, ……. Au mazishi, lakini si za kuhusu

jambo lolote ……..

(vii) mjumbe wa manispali;

(viii) muajiriwa katika utawala wa mitaa; “kuwa na” (a) “iwe nacho” au “kuwa nacho’ si tu kwamba ….. na kitu

mikononi mwake mwenyewe bali pia kwachan…..hali ya kujua,

kuwa na kitu chochote mikononi mwingine yeyote au chini ya

ulinzi wa mtu huyo, au ……. …mahali popote (ikiwa ni mali yake, au chakaliwa naye au … kwa ajili ya

matumizi au faida yake au ya mtu mwingine …..(b) iwapo kuna watu

wawili au zaidi na mmoja kati yao …zaidi ya mmoja wao, kwa kujulikana

na kwa idhini ya wale wengine anacho au wanacho kitu chcohcote chini ya

ulinzi wake ulinzi wao au mikononi mwake au mikononi mwao,

huhesabiwa kchukuliwa kuwa kimo chini ya ulinzi na mikononi mwa kila

mmoja katika wao; ……. inachanganya kila kitu chenye uhai na kisicho uhai ambacho

kinaweza kumilikiwa; ….haina maana tu ya watu wote waliomo Tanganyika, lakini pia .. maana

ya watu wakaao au watumiao mahali popote mahsusi, …… idadi yoyote ya

watu kama hao na pia watu wasiojulikana …. Waweza kuhusika na maana

ya neo hili kwa namna utakavyotumiwa; … serikali’ inachanganya njia yoyoe ipitwayo, mahali pa soko, … barabara,

daraja au njia nyingineyo ambayo ni halali kutumiwa na watu; ….pa hadhara” au “nyumba ya hadhara” inachanganya njia yoyote ya

kupita watu na nyumba yoyote, mahali au chombo chochote cha kusafiria

ambacho, kwa wakati huo, watu wana haki … wanaruhusiwa kuingia ama

bila ya sharti au kwa sharti la kulipa chochote, na jengo lolote au mahali

ambapo kwa wakati ule anatumiwa kwa ajili ya mikutano ya hadhara au ya

kidini, au … mkusanyiko au mahakama ya hadhara; … likitumiwa kuhusu vitendo vinavyotendwa lina maana (a) kwamba

vyatendwa mahali popote pa hadhara ambapo vyaweza kuonekana na mtu

yeyote awe au asiwe mtu huyo katika mahali pa hadhara; au (b) kwamba

vyatendwa mahali popote pasipokuwa pa hadhara ambapo huenda

vikaonekana na mtu yeyote aliyeko mahali pa hadhara; … ina maana ya Sheria ya Bunge la Uingereza au Sheria ya Bunge la Bara

Hindi na inachanganya amri zozote, kanuni, sheria, … za mji au sheria

nyinginezo ndogo ndogo zilizofanywa au kupitishwa chini ya mamlaka ya

Sheria yoyote ya Bunge la ……. …….. kunachanganya, kukitumia au kukishughulikia na kujaribu kutumia

au kukishughulikia na kujaribu kumshawishi mtu yeyote …

Page 19: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

19

kukishughulikia au kukitenda hicho kitu chenyewe; ………muhimu: inachanganya hati yoyote ambayo ni mali ya mtu ………

na ambayo ni ushahidi wa kimiliki mali yoyote au yenye ………. Ya kudai

au kupokea mali yoyote. “………..” kinachanga meli, mashua na kila namna ya chombo

kutumiwacho kwa kusafiria baharini au maji ya bara na inachanga ndege; ………….. mana ya mchanjo wowote au kutoboka ambako …………….

kwatia tundu sehemu yoyote nje ya mwili, na kwa ……….. ufafanuzi,

sehemu ya nje ya mwili ni sehemu yoyote ya ……….. ambayo yaweza

kuguswa bila ya kuchanjwa au kutobolewa.

SURA YA III

KUTUMIKA KWA KANUNI HII NCHINI Kuenea kwa

mamlaka ya

mahakama za

mwanzo

6. Kwa makusudi ya Kanuni hii, mamlaka ya mahakama za

Tanganyika yanaenea kila mahali katika Tanganyika au ndani ya maili tatu

za pwani ya bahari yake zikipimwa kutoka alama ya maji kupwa. Makosa

yatendwayo

kuhusu ndani

yam ala na

nusu nje ya

mamlaka

7. Iwapo kitendo kimetendwa ndani ya mamlaka ya mahakama na

ambacho ni kosa kwa kufuata Kanuni hii, ikiwa baadhi ya kitendo hicho

kimetendwa ndani ya mamlaka na baadhi yake nje ya mamlaka, kila mtu

ambaye ametenda kitendo hicho chote au baadhi yake ndani ya mamlaka

ataweza kuhukumiwa na kupewa adhabu chini ya Kanuni hii kwa namna ile

ile kama kwamba kitendo kile chote kilitendwa ndani ya mamlaka hayo.

SURA YA IV

KANUNI ZA KAWAIDA KUHUSU JUKUMU YA JINAI Kutojua sheria 8. Kutojua sheria hakuwi ni udhuru wowote kwa kutenda au

kutotenda kokote ambako pengine kungefanya kosa ila iwapo ujuzi wa

sheria kwa mkosaji umetamkwa wazi wazi kwamba ndicho kiini cha kosa

hilo. Dai la haki kwa

uaminifu 9. Mtu hawi na jukumu ya jinai kwa ajili ya kosa lihusikalo na mali,

iwapo kitendo alichotenda au alichoacha kukitenda kwa ajili ya mali hiyo

alitenda ili kutimiza dai la haki kwa uaminifu na bila ya kusudio la

kudanganya. Kusudio:

sababu 10. Kwa kufuata masharti yaliyoelezwa ya Kanuni hii kuhusu

kutenda au kutotenda kwa kupuuza, mtu hawi mwenye jukumu ya jinai kwa

kutenda au kutotenda ambako kumetuka bila ya kusudi la kutimiza nia

yake, au kwa tukio ambalo latukia kwa ajali: Isipokuwa kwamba nia ya kusababisha tokeo Fulani yatamkwa wazi

wazi kuwa ndio kiini cha kosa ambalo limetendeka, kwa kutenda au

kutotenda, kwa ukamilifu au kwa baadhi, basi tokeo lilokusudiwa kwa

kutenda au kutotenda halidhuru.

Page 20: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

20

Isipokuwa imetamkwa vingine wazi wazi, hiyo sababu ambayo

imemshawishi mtu kutenda au kuacha kutenda kitendo au kuleta nia sababu

hiyo hadhuru kitu kuhusu jukumu ya jinai. Kukosea

hakika 11. Mtu ambaye atenda au aacha kutenda kitendo akiwa na imani

kamilifu na ya kukubalika, lakini kwa kukosea, kuhusu kuwapo kwa au

kutotenda kwake kutakakozidi hali ya mambo au kama ingelikuwa kama

alivyoamini. Kutumika kwa kanuni hii kwaweza kuondolewa na masharti

yatakayotamkwa wazi au yatakayofahamika ya sheria kuhusu kanuni hii. Kudhaniwa

kuwa na akili

timamu

12. Kila mtu anadhaniwa kwamba akili zake ni timamu, na kwamba

ana akili timamu wakati wo wote ule mpaka itibitishwe kinyume cha hivyo.

Wenda wazimu 13. Mtu hawi na jukumu ya jinai kwa kutenda au kutotenda iwapo

wakati akitenda kitendo hicho au akiacha kukitenda yumo ndani ya hali ya

ugonjwa wo wote wa kuathiri akili yake na hawezi kujua kwamba hapasiwi

kutenda au kutotenda kitendo hicho. Lakini mtu aweza kuwa na jukumu ya jinai kwa kutenda au kutotenda

ingawaje akili yake iliharibika kwa maradhi, iwapo maradhi yenyewe

hayamletei mojawapo katika shida zilizotajwa juu kuhusu kutenda au

kutotenda. Kulewa 14.- (1) Isipokuwa kama yalivyo masharti ya fungu hili kulewa

haitakuwa utetezi katika kosa lo lote la jinai. (2) Kulewa kutakuwa utetezi kwa shtaka lo lote la jinai iwapo

kwa sababu ya kulewa huko mshtakiwa wakati wa kitendo au kutotendeka

kulikolalamikiwa alikuwa hajui atendalo na– (a) hali ya kulewa hiyo ililetwa bila ya hiari yake kwa kitendo

kiovu au cha kupuuza cha mtu mwingine; au (b) kwa sababu ya ulevi akili ya mshatakiwa iliharibika kwa muda

au vinginevyo, wakati wa kitendo hicho au kutotendeka huko. Sura 20

(3) Iwapo utetezi chini ya fungu lililotangulia umethibitika basi

kesi inayoangukia kwenye fasili yake ya (a) mshtakiwa ataruhusiwa na

katika kesi inayoangukia kwenye fasili (b) masharti ya kanuni hii na ya

Kanuni ya Mwenendo wa Jinai kuhusu wenda wazimu yatatumika. (4) Kulewa kutafikiriwa kwa ajili ya kukata shauri kama

mshtakiwa alileta nia yoyote halisi au vinginevyo, ambayo kama

isingekuwapo asingelikuwa mkosaji. (5) Kwa ajili ya fungu hili kulewa kutafikiriwa kuwa

kwachanganya hali inayoletwa na dawa ya kupoteza akili (nakotiki) au

madawa mabaya yanayolevya. Umri mchanga 15. Mtu mwenye umri wa chini ya miaka saba hana jukumu ya jinai

kwa kutenda au kutotenda lolote. Mtu mwenye umri wa chini ya miaka kumi na mbili hana jukumu ya

Page 21: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

21

jinai kwa kitendo au kutotendeka, ila ithibitishwe kwamba wakati wa

kutenda au kuacha kutenda kitendo hicho aliweza kujua kwamba hapaswi

kukitenda au kuacha kukitenda - Mtu mwenye umri wa chini ya miaka kumi na mbili anafikiriwa

kuwa hawezi kuundama. Maafisa wa

mahakama 16. Isipokuwa kama masharti yalivyoelezwa na Kanuni hii, afisa

wa mahakama wa aina yoyote hana jukumu ya jinai kwa jambo lolote

lililotenda au lililoachwa kutenda naye katika kutimiza kazi zake zihusuzo

mahakama ingawaje kitendo hicho kilichotenda kimepitukia mamlaka yake

ya kimahakama au ingawa alilazimika kutenda kitendo kilichoachwa

kutendwa. Lazima 17. Mtu hana jukumu ya jinai kwa kosa iwapo kosa hilo limefanya

na wakosaji wawili au zaidi, naiwapo kitendo hicho kimetendwa au

kimeachwa kutendwa kwa sababu tu kwamba katika wakati wote ambao

kitendo hicho kikitendeka au kikiachwa kutendwa mtu huyo analazimishwa

kukitenda au kuacha kukitenda kwa vitisho vya mkosaji mwingine au

wakosaji wengine vya kumuuwa papo hapo au kumtia dhara ya maumivu

makuu mwilini iwapo atakataa; lakini vitisho vya kumuumiza baadaye

haviwi ni udhuru wa kosa lolote. Kutetea nafsi

au mali 18. Kwa kufuata masharti yaliyoelezwa katika Kanuni hii au sheria

nyingineyo yoyote itumikayo Tanganyika, jukumu ya jinai kwa utumiaji wa

nguvu katika kumtetea mtu au mali itaamuliwa kwa mujibu wa misingi ya

sheria ya Kiingereza. Utumiaji wa

nguvu katika

kukamata

19. Iwapo mtu yeyote anashtakiwa kwa kosa la jinai litokanalo na

kukamata ua kujaribu kumkamata mtu ambaye anapinga kukamatwa kwa

kutumia nguvu au anajaribu kuepuka kukamatwa, katika ku… kama njia

zilizotumiwa au kiasi cha nguvu kilichotumiwa ili kumkamata mtu huyo

kilikuwa cha kufaa, mahakama itafikiria uzito wa.. ambalo lilikuwa

limefanywa au likifanywa na mtu huyo na jinsi .. kosa hilo lilikuwa

limefanya au likifanywa na mtu huyo. Kulazimishwa

na mume 20. Mwanamke aliyeolewa haepukwi na jukumu ya jinai kutenda au

kutotenda kitendo kwa sababu tu kwamba kutendeka kutotendeke huko

kunafanyika mbele ya mumewe, lakini kwenye .. juu ya mke kwa kosa

lolote lisilokuwa la uhaini au la kuuwa … utetezi wa kufaa kuthibitisha

kwamba kosa hilo lilifanywa mbele ya mumewe na kwa kulazimishwa

naye. Mtu asipewe

adhabu mara

mbili kwa kosa

moja Sheria

1955No. 49 f.3

21. Mtu hatapewa adhabu mara mbili, ama kwa kufaata ma… ya

kanuni hii au kwa kufuata masharti ya sheria nyingine yoyoe .. kosa moja.

Page 22: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

22

SURA YA V

WASHIRIKI WA MAKOSA Wakosaji

wakuu 22. Iwapo kosa limetendwa, kila mmoja wa watu wafuatao

atahesabiwa kwamba ameshiriki katika kutenda kosa hilo na kuwa …. Wa

kosa hilo na aweza kushtakiwa kwamba amelitenda hasa,… kusema – (a) kila mtu ambaye atenda au ambaye aacha kutenda kitendo

ambacho kinafanya kosa hilo; (b) kila mtu ambaye atenda au ambaye aacha kutenda kitendo

chochote kwa ajili ya kumuwezesha au kumsaidia mtu

mwingine kufanya kosa hilo. (c) Kila mtu ambaye amsaidia mtu mwingine katika kufanya kosa

hilo; (d) Mtu yeyote ambaye amshauri au kumfanya mtu mwingine ye

yote atende kosa hilo kuhusu kifungu kilichotajwa mwisho

aweza kushtakiwa kwa kufanya kosa hilo au kwa kushauri kwa

kufanya litendwe kosa hilo. Kuonekana na hatia ya kushauri au ya kufanya kosa litendwe

kutaleta matokeo yale yale katika hali zote kama kuonekana na hatia ya

kulifanya kosa hilo. Mtu ye yote ambaye amfanya mtu mwingine kutenda au kutotenda

kitendo cho chote cha namna ambayo, kama yeye mwenyewe angekitenda

au angeacha kukitenda, kutenda au kutotenda huko kungeleta kosa upande

wake, mtu huyu ni mkosaji wa kosa la namna hiyo hiyo na pasiwa adhabu

ile ile kama kwamba yeye mwenyewe ametenda au ameacha kutenda

kitendo hicho; na anaweza kushtakiwa kwa kutenda au kutotenda. Makosa

yanayofanywa

na wakosaji

walioshikiana

katika kutimiza

kusudio moja

23. Iwapo watu wawili au zaidi wanafanya nia moja ya kutumiza

kusudio lisilo halali kwa kuungana mmoja na wengineo na katika kutimiza

kusudio hilo kosa latendeka la namna ambayo kutendeka kwake yamkini

kulikuwa ni tokeo la kutimiwa kwa kusudio hilo, basi kila mmoja wao

atahesabiwa kwamba ni mtendaji wa kosa hilo. Kumshauri

mwingine

afanya kosa

24. Iwapo mtu anamshauri mtu mwingine kufanya kosa, baadaye

kosa hilo likafanywa hasa na huyo anayeshauriwa

SURA YA VI

ADHABU Namna mbali

mbali za adhabu 25. Adhabu zifuatazo zaweza kutolewa na mahakama:–

(1) Kifo.

(2) Kifungo.

(3) Kutandikwa.

(4) Kutoza faini.

(5) Kuhodhi.

(6) Malipo ya fidia.

Page 23: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

23

(7) Kutaka dhamana kwa kutunza amani na kuwa na tabia njema,

au kwa kuhudhuria kupewa hukumu.

(8) Adhabu nyingineyo yoyote inayotolewa na Kanuni hii au

sheria nyingineyo yoyote au amri. Hukumu ya Kifo 26.-(1) Iwapo mtu yeyote amehukumiwa kifo, hukumu itaamuru

kwamba mtu huyo aning’inizwe kwa kitanzi shingoni mpaka awe

amekufa. Sura 455 f.16 (2) Hukumu ya kifo haitatamkwa au kuandikwa juu ya mtu

yeyote ambaye, kwa maoni ya mahakama, mtu huyo ni wa chini ya umri

wa miaka kumi na nane, lakini badala yake mahakama itamuhukumu mtu

huyo awekwe kizuizini mpaka atakapotaka Rais, na ikiwa atahukumiwa

hivyo atapasiwa kuzuwiwa mahali ambapo kwa masharti ambayo Waziri

aliyepo mwenye madaraka ya mambo ya sheria ataamuru, na awapo

kizuwizini hivyo atahesabiwa kuwa yumo katika ulinzi wa halali. (3) Iwapo mtu amehukumiwa kuwekwa kizuizini mpaka

atakapotaka Rais kwa mujibu wa kifungu cha mwisho kilichotangulia,

Kadhi anayehukumu atampelekea Waziri aliyepo mwenye madaraka ya

mambo ya sheria nakala ya maandishi ya ushahidi uliochukuliwa naye

ikiwa na mapendekezo au maoni yake juu ya shauri hilo kama

atakavyoona yafaa kufanya. Kifungo 27.-(1) [Imeachwa kwa sababu ya f.3 la Sura 357.]

(2) Mtu atakayepasiwa kifungo cha maisha au cha muda

mwingine wowote aweza kuhukumiwa kifungo kwa muda mfupi zaidi ya

huo. Adhabu ya

kutandikwa 28. Iwapo katika kanuni hii yaamriwa kwamba mtu yeyote

atapasiwa kupata adhabu ya kutandikwa, apewapo adhabu hiyo, adhabu

hiyo atapewa kwa kufuata masharti ya Sheria ya Adhabu ya Kutandikwa.. Sura 17 Faini 29. Iwapo hukumu ya faini imetolewa chini ya sheria yoyote, basi

pakikosekana masharti yaliyo wazi kuhusu faini hiyo katika sheria hiyo

masharti yafuatayo yatatumika:– (i) Iwapo hakuna kiasi kilichoelezwa kwamba faini hiyo yaweza

kukomea, basi kiasi cha faini ambacho chaweza kutozwa

hakina kikoma, lakini hakitakuwa cha kuzidi sana. (ii) Kwenye kosa linalopasiwa adhabu ya faini au kifungo,

utozaji wa faini hiyo au kifungo hicho litakuwa ni jambo la

hiari ya hiyo mahakama. (iii) Kwenye kosa ambalo laweza kutolewa hukumu ya adhabu ya

kifungo pamoja na faini kwa ambalo mkosaji amehukumiwa

adhabu ya faini pamoja na au bila ya kifungo na kwnye kila

kosa ambalo laweza kutolewa hukumu ya adhabu ya faini tu

na mkosaji akahukumiwa adhabu ya kulipa faini tu,

mahakama inayopitisha hukumu hiyo yaweza kwa hiari yake

Page 24: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

24

(a) kuamuri katika hukumu yake kwamba kukikosekana

malipo ya faini hiyo ni mkosaji aingine kifungoni kwa

muda fulani, kifungo ambacho kitaongezwa kwenye

kifungo kingine chochote ambacho amehukumiwa nacho

na ambacho aweza kupasiwa nacho kwa mujibu wa

tahafifu ya adhabu; na pia (b) Kutoa hati ya kutoza kiasi cha faini hiyo kutokana na

mali isiyohamishika na inayohamishika ya mkosaji huyo

kwa kuishika na kujuza chini ya hati: Isipokuwa kwamba ikiwa hukumu yaamuru kwamba

pakikosekana malipo ya faini hiyo mkosaji atiwe kifungoni, na

ikiwa mkosaji huyo ametumikia kifungo hicho chote kwa kukosa

kulipa faini, hakuna mahakama itakayotoa hati ya kushika na

kuuza mali ya mkosaji huyo ila kwa sababu maalum ambazo

zitaandikwa ikifikiria ni lazima kufanya hivyo. (iv) Muda wa kifungo ulioamriwa na mahakama kwa ajili ya

kukosekana Malipo ya kiasi chochote cha fedha

kilichohukumiwa kulipwa kwa kuonekana na hatia au kwa

ajili ya kukosekana mali ya kuuzwa ili kutosheleza kiasi

hicho muda wa kifungo hicho utakuwa ule ambao mahakama

imeona utatosheleza kwa jinsi ya shauri hilo lilivyo lakini

kwa vyo vyote hautapindukia kikomo kilichowekwa cha kiasi

kifuatavyo:– Faini isiyozisi Sh10/- siku 14

Faini inayozidi Shs. 10/- lakini haizidi Shs.20/= mwezi 1

Faini inayozidi Shs. 20/- lakini haizidi Shs.100/= miezi 3

Faini inayozidi Shs. 100/- lakini haizidi Shs. 400/= miezi 4

Faini inayozidi Shs. 400/- lakini haizidi Shs. 400/= miezi 6 (v) Kifungo ambacho kitatolewa kwa kukosekana malipo ya

faini kitakoma wakati wowote itakapolipwa faini hiyo au

itakapotozwa kwa njia ya sheria. Kuhodhi Sh.1958

No. 19 f.15 CA,

Act 2 f.12

30. Iwapo mtu yeyote ameonekana na hatia kwa kosa mojawapo

chini ya lolote katika mafungu yafuatayo, yaani mafungu 111 au 112,

mahakama yaweza ikiwa ni ziada au badala ya adhabu inayoweza kutoa,

kuamuru mali yoyote ihusikayo na utendaji wa kosa hilo kuhodhiwa na

Jamhuri; au iwapo mali hiyo haiwezai kuhodiwa au kupatikana,

mahakama yaweza kuamuru kuhodhiwa kiasi cha fedha ….. kwamba ni

thamani ya mali hiyo. Malipo ya kiasi cho ………….kihodhiwe yaweza

kulazimishwa kwa namna ile ile …….. mwenendo ule ule kama ulivyo

kwenye malipo ya faini. Fidia 31. …Kufuata masharti ya fungu la 176 la Kanuni ya

Mwenendo…yeyote ambaye ameonekana na hatia aweza kuhukumiwa

…mtu yeyote ambaye aliumizwa kwa sababu ya hatia … ya namna hiyo

Page 25: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

25

yaweza kuwa ni ziada ua ni badala ya nyingine yoyote. Gharama 32. …….viwango vilivyoamriwa na fungu la 173 la Kanuni …..

Jinai, mahakama yaweza kumuamuru mtu yeyote ……. Kosa kulipa

gharama za mashtaka au sehemu ya …….. au gharama zitakazotokea

katika mashtaka hayo. Dhamana kwa

kutunza amani 33. …….. ambaye ameonekana na kosa ambalo halitolewi ……..

ya, au ziada ya adhabu yoyote ambayo anapa……… kujidhamini yeye

mwenyewe, pamoja na au bila …….. kiasi ambacho mahakama yafikiri

kuwa chafaa, …….atatunza amani na kuwa mwenye tabia njema kwa

……. Na mahakama, na aweza kuamriwa kufungwa ……..pamoja na

wadhamini, ikiwa imeamriwa hivyo……. …. Kwa kutojidhamini

hakitazidi mwaka hicho pamoja na muda wa kifungo kingine, kama

……..cha muda ambao aweza kuhukumiwa kifungo. Imebatilishwa 34. [imebatilishwa: Sh.1961 No. 5 f.2.] Adhabu ya

kawaida kwa

makosa madogo

35. ……. Kanuni hii hakuna adhabu mahsusi inayotolewa ….

kosa hilo litakuwa na adhabu ya kifungo cha … miwili au adhabu ya faini

au yote mawili. Kuzidi kwa

adhabu isipokuwa

imeamriwa

vingine

36. …. Baada ya kuonekana na hatia kwa kosa moja .. kwa kosa

jingine, ama kabla ya kupitishiwa ya mwanzo au kabla ya kumalizika

adhabu hiyo, … adhabu ya kifo au ya kutandikwa ambayo … peke kwa

sababu ya kosa lililofuata adhabu hiyo … kumalizika kwa adhabu ya

kwanza isipokuwa …. Kwamba adhabu hiyo itimilizwe pamoja na ile …

au na sehemu yoyote ya adhabu ya kwanza. .. haitakuwa halali kwa mahakama kuamuru … kifungo kwa

kukosa kulipa faini itatimulizwa … ya kwanza chini ya fungu 29 (iii) (a)

au pamoja na adhabu hiyo. Wafungwa

wafungwa

waliotoroka

watumike baki ya

vifungo

wakamatwapo

tena.

37. …….. hukumu yapitishwa chini ya Kanuni hii juu ya … ikiwa

ya kifo, faini au adhabu ya kutandikwa … ya kanuni hii hukumu hiyo

itatimizwa mara kifungo, itatimizwa kwa mujibu wa kanuni zifuatazo,

(a) …. mpya ni kali zaidi kuliko ile ambayo mfungwa …

akitumika alipotoroka, adhabu mpya itaanzia .. atatumika

muda wowote uliobaki katika kifungo cha kwanza ambacho

hakikumalizika wakati alipotoroka….adhabu yake mpya; (b) Iwapo adhabu mpya si kali zaidi kuliko ile ambayo

mfungwa huyo alikuwa akitumika alipotoroka, basi adhabu

mpya itaanza baada ya kumaliza muda uliobakia wa

kifungo chake cha kwanza ambao ulikuwa haujamalizika

wakati alipotoroka.

Page 26: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

26

Kuachilia kwa

sharti au bila ya

sharti Sh. 1961

No.5

38.-(1) Iwapo mahakama ambayo imemuona mtu na hati kwa

kuangalia mambo yalivyo na namna ya kosa hilo na tabia ya mkosaji

huyo, yaona kwamba haifai kutoa adhabu, na kwamba pia si sawa kutoa

amri ya kumuweka mkosaji huyo aachiliwe kabisa au, iwapo mahakama

hiyo yaona kwamba yafaa, yaweza kumuachilia kwa sharti kwamba

asitende kosa ndani ya muda utakaowekwa na amri hiyo ambao hautazidi

miezi kumi na mbili toka tarehe ya amri hiyo. (2) Amri ya kuachilia kwa sharti iliyotajwa katika kifungu

itajulikana kama “amri ya kuachilia kwa sharti” na muda utakaowekwa

kwenye amri yoyote ya namna hiyo utajulikana ni muda wa kuachiliwa

kwa sharti. (3) Kabla ya kutoa amri ya kuachilia kwa sharti, mahakama

itamueleza mkosaji kwa lugha ya kawaida kwamba wapo atatenda kosa

jingine ndani ya muda wa kuachiliwa sharti, atapasiwa adhabu kwa kosa

la mwanzo. (4) Iwapo amri ya kumuachilia mkosaji imetolewa chini ya fungu

hili, mahakama yaweza kumuamuru kulipa fidia yoyote iliyoamriwa chini

ya fungu 31 au gharama zozote zilizoamriwa chini ya fungu 32 ya Kanuni

hii. Kutenda kosa tena

Sh.1961 No. 5 f.3 38A.-(1) Iwapo yaonekana na kadhi au hakimu yeyote kwamba

mtu aliyeachiliwa kwa sharti ameonekana na hatia kwa kosa ambalo

amelitenda ndani ya muda wa kuachiliwa kwa sharti, kadhi au hakimu

huyo aweza kutoa Kuitwa Shaurini kwa mtu huyo kuhudhuria mahli na

wakati utakaotajwa au hati ili akamatwe;

Isipokuwa kwamba hakimu huyo hataitoa kuitwa shaurini

hiyo au hati ya kukamatia hiyo ila kwa taarifa ya maandishi na juu ya

kiapo. (2) Kuitwa shaurini hati ya kukamatia inayotolewa chini ya fungu

hili itamuamuru mtu aliye na hatia huyo kuhudhuria au kuletwa mbele ya

mahakama ambayo iliamuru aachiliwe kwa sharti. (3) Iwapo mtu ambaye ameachiliwa kwa sharti ameonekana na

hatia na hakimu kwa kosa ambalo amelifanya ndani ya muda wa

kuachiliwa kwa sharti, hakimu huyo aweza kumweka mtu huyo

korokoroni au kumuachilia kwa dhamana, pamoja na wadhamini au bila

ya wadhamini, hadi atakapoweza kuletwa au kuhudhuria mbele ya

mahakama ambayo imetoa amri hiyo ya kuachilia kwa sharti. (4) Iwapo yathibitishwa kwa kuitosheleza mahakama ambayo

imetoa amri ya kuachiliwa kwa sharti kwamba mtu aliyetolewa amri hiyo

ameonekana na hatia kwa kosa ambalo amelitenda ndani ya muda wa

kuachiliwa kwa sharti, mahakama hiyo yaweza kumpitishia hukumu

yoyote ambayo ingeliweza kumptitishia kama mahakama hiyo ingemuona

na hatia kwa kosa la mwanzo. (5) Iwapo mtu ambaye ametolewa amri ya kuachiliwa kwa sharti

na hakimu, akionekana na hatia na Mahakama kuu kwa kosa ambalo

amelitenda ndani ya muda wa kuachiliwa kwa sharti, Mahakama Kuu

Page 27: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

27

yaweza kumpitishia hukumu ambayo mahakama iliyotoa amri hiyo

ingeliweza kumpitishia kama mahakama hiyo ingelimuona na hatia kwa

kosa la mwanzo. (6) Iwapo chini ya masharti ya fungu hili mtu ambaye

ameachiliwa kwa sharti anahukumiwa adhabu kwa kosa ambalo lilitolewa

amri ya kuachiliwa kwa sharti, amri hiyo itakomea hapo. Matokeo na hatia

na kuachiliwa

Sh.1961 No.5 f.3

38B.-(1) Kwa kufuata masharti ya kifungu (2), iwapo mtu

ameonekana na hatia akiachiliwa kabisa au kwa sharti chini ya masharti

ya fungu 38. Kuonekana kwake na hatia ya kosa hilo hakuatafikiriwa

kwamba si kuonekana na hatia kwa ajili nyingine yoyote isipokuwa kwa

ajili ya mashauri ambayo yalitolewa amri hiyo na kwa ajili ya mashauri

yoyote ya baadaye ambayo yaweza kufanywa juu yake chini ya masharti

ya fungu 38A. Isipokuwa kwamba iwapo mtu ambaye ameachiliwa kwa sharti

baadaye akahukumiwa chini ya fungu la 38A kwa kosa ambalo lilitolewa

amri hiyo, fungu hili litakoma kutumika kwa ajili ya kosa ambalo naye

atafikiriwa kwamba ametiwa hatiani kwenye tarehe ya hukumu hiyo. (2) Hakuna jambo katika fungu hili ambalo litadhuru– (a) haki ya mtu yeyote ambaye ameonekana na hatia na

kuachiliwa kabisa au kwa sharti kuchukua rufani kupinga

kuonekana na hatia kwake au kuitegemea hukumu hiyo iwe

kingamizi yake kwa mashtaka yoyote ya baadaye kwa kosa

hilo hilo; au (b) kurejesha au kurudisha mali yoyote kwa matokeo ya

kuonekana na hatia kwa mtu huyo.

SEHEMU YA II

UHALIFU

Kigawe ch I. – makosa ya Kuvunja Utulivu

SURA YA VII

UHAINI NA MAKOSA MENGINE JUU YA MAMLAKA YA UTAWALA Uhaini C.A.

ACT.2 F.36 39.-(1) Mtu yeyote ambaye yumo katika utii wa Jamhuri ya

Tanganyika–

(a) akifanya vita na Jamhuri ya Tanganyika, au (b) akiambatana na maadui wa Jamhuri katika nchi ya Tanganyika

au mahali pengine; au Mtu huyo atakuwa amekosa kosa la uhaini na kosa likithibiti atapasiwa

kupata adhabu ya kifo. Kuchochea

mashambulio 40. Mtu yeyote ambaye anamchochea sengazuwa (mgeni) yeyote

kushambulia Tanganyika kwa nguvu za silaha mtu huyo amekosa kosa la

uhaini na atapasiwa kupata adhabu ya kifo.

Page 28: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

28

Kuficha uhaini 41. Mtu yeyote ambaye– (a) atakuwa mfichaji uhalifu wa uhaini; au (b) atajua kwamba yuko mtu yeyote mwenye nia ya kutenda uhaini

na akaacha kutoa taarifa ya jambo hilo, kwa haraka ya kutosha,

kwa Bwana Shauri, Hakimu au Ofisa Mkuu wa Polisi au

akaacha kufanya juhudi ya kutosha ya kuzuia utendaji wa kosa

hilo, mtu huyo amekosa kosa kubwa liitwalo “kupurukusha

uhaini” na atapasiwa kifungo cha maisha. Makosa

makubwa ya

kihaini C.A.

Act 2 f.36

42. Mtu yeyote ambaye atakuwa na nia ya kutimiza lolote katika

madhumuni haya yafuatayo, yaani –

(a) kushika silaha ndani ya Tanganyika ili kwa lazima ya kwa

nguvu kuilazimisha serikali igeuze mwengo wake au

maongozaji yake au ili kutia lazima au nguvu juu ya baraza la

taifa (Bunge) au ili kulitishia au kulifadhaisha Bunge; (b) kumchochea mtu yeyote kufanya mashambulio ya silaha katika

Tanganyika.

Na akadhihirisha nia hiyo kwa tendo lililowazi, au akatangaza kwa

kuchapisha au kwa kuandika, mtu huyo amekosa kosa kubwa na atapasiwa

kifungo cha maisha. Kuletesha vita

vya wenyeji 43. Mtu yeyote ambaye bila ya mamlaka ya halali atafanya, au

kusaidia au kushauri ufanyaji na au utayarishaji wa vita vyovyote au

shughuli za kivita kwa namna yoyote kupigana na chifu wa kienyeji au kwa

namna yoyote kupigana na kikundi cha wenyeji, mtu huyo amekosa kosa

kubwa na atapasiwa kifungo cha maisha. 44. Limebatilishwa: C.A. Sheria 2 fungu 36. Kuchochea uasi

C.A. Act 2 f.8 45. Mtu yeyote ambaye, kwa kusudi anajaribu kutimiza yo yote

katika madhumi haya yafuatayo, yaani–

(a) kumshawishi mtu ye yote anayetumika katika jeshi la vita la

Tanganyika au yeyote katika jeshi la polisi aache wajibu na utii

wake juu ya Jamhuri; au (b) kuwachochea watu wo wote na namna hiyo kutenda kitendo

cha uasi au kutenda kitendo chochote cha uhaini au cha uasi; (c) kuwachochea watu wowote wa namna hiyo kufanya au

kujitahidi kufanya mkusanyiko wa uasi, Mtu huyo amekosa kosa kubwa na atapasiwa kifungo cha maisha. Kuwasiaidi

askari jeshi au

maafisa wa

polisi katiak

vitendo vya

uasi

46. Mtu yeyote ambaye–

(a) atasaidia ua kuwa msalata wa tendo lolote la uasi kwa, au

(b) atamchochea kufanya fitina au kutotii amri ya halali yoyote

kutoka kwa mkubwa wake.

Akida mdogo yeyote au yeyoTe wa daraja ya chini katika jeshi la vita la

Page 29: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

29

Tanganyika au ofisa wa polisi yeyote mtu huyo amekosa kosa dogo. Kushawishi

askari jeshi au

maofisa wa

polisi kutoroka

47. Mtu yeyote ambaye kwa njia ya namna yoyote iwayo–

(a) atauma au kushawishi au atajaribu kutuma au kushawishi

kutoroka kwa; au

(b) atasaidia au atakuwa msalata wa utorokaji wa; au

(c) baada ya kuwa na sababu ya kuamini kwamba ni mtorokaji

akamficha au kumsaidia kumficha. Akida mdogo au askari wa daraja ya chini wajeshi la vita lililotajwa au ofisa

wa polisi yeyote, mtu huyo amekosa kosa dogo na atapasiwa kifungo cha

miezi sita. Kusaidia

mateka kwa

vita kutoroka

C.A. Act.2 f.36

48. Mtu yeyote ambaye–

(a) ………….. kwa kusudi atamsaidia adui wa Jamhuri ambaye

………..vita katika Tanganyika kutoroka gerezani au

…………. Kama alikuwa gerezani au kafungiwa .. na kama

aliachiliwa kwa ahadi ya kua hatatoroka kutoroka kutoka nje

ya Tanganyika, mtu aliyefanya ….. kosa kubwa na atapasiwa

kifungo cha maisha; (b) .. au bila uhalali atamwachia kutoroka mtu yeyote .. iliyotajwa

katika fasili iliyopita, atakuwa ….. dogo. Maelezo

Sh.1955 No.49

f.4

49. … ya mafungu 51, 52, 53, 54, 55, 56, 57 na 58 ya ……

lachanganya –

… Tanganyika; ……… mambo yote yaliyoandikwa au kupigwa chapa, ……. Au

kumbukumbu nyingine gamba la filimu, … kuchukua sauti, filimu ya

senema au chombo …. …. Chaweza kutoa meneno au mawazo ama .. kitu

chochote kikiwa ni sawa na hivyo vilivyo … si sawa kilicho na maelezo ya

kitu fulani kwa namna, umbo au tabia nyingineyo au kwa namna unaweza

kutoa, kueleza au kupeleka maneno au .. au utoaji wa mara ya pili wa

tangazo; …. Kila tangazo linalotolewa kila baada ya muda … kwa sehemu au kwa

idadi fulani kwa vipindi vilivyokuwa maalum:

…. Maana ya tangazo lililo na makusudi ya kufitini. Uwezo wa

kuzuia kuingiza

matangazo

Sh.1955 No.49

f.5

…ataona kwamba uingizaji wa tangazo lolote .. manufaa ya watu, kwa hiari

yake kamili .. uingizaji wa tangazo hilo kwa kutoa amri, ….anaweza kupiga

marufuku uingizaji wa toleo … lililopita au litakalokuja kwa amri ile ile au

kwa … … kwamba uingizaji wa matangazo ya mtu … ni kinyume cha manufaa ya

watu anaweza kutoa amri ya kupiga marufuku uingizaji wa matangazo hayo

ama yote pia ama kwa kufuata vidakizo au masharti yaliyotajwa na anaweza

kwa amri hiyo hiyo aliyokwisha toa au kutoa amri nyingine kuiga marufuku

Page 30: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

30

uingizaji wa matangazo ya badaye ya mtu huyo, ama yote pia ama kwa

kufuata vidakizo au masharti yaliyotajwa. Makosa

yanayohusu

matangazo

ambayo

uingizaji wake

umpigwa

marufuku C.A.

Act 2 f.12

52. – (1) mtu yeyote ambaye ataingiza, atatangaza, atauza, atatoa

kwa ajili ya kuuza, atagawanya au atazalisha tangazo lolote ambalo

uingizaji wake umepigwa marufuku kwa mujibu wa fungu la 51 au dondoo

lolote la tangazo hilo mtu huyo amekosa na kwa kosa la kwanza atapasiwa

kifungo cha miaka miwili au kutozwa faini ya shilingi elfu mbili au yote

mawili pamoja kifungo na faini pia na kwa kosa lifuatalo ni kifungo cha

miaka mitatu; na tangazo hilo au dondoo hilo la tangazo litahodhiwa na

jamhuri. (2) Mtu yeyote ambaye bila ya udhuru wa halali analo

mikononi mwake tangazo lolote ambalo uingizaji wake umepigwa

marufuku kwa mujibu wa fungu la 51 au analo dondoo la tangazo hilo mtu

huyo amekosa na kwa kosa la kwanza atapasiwa kifungo cha mwaka mmoja

au kutozawa faini ya shilingi elfu moja au adhabu zote mbili hizo na

dondoo la tangazo hilo litahodhiwa na Jamhuri. Upelekaji wa

tangazo

lililopigwa

marufuku wa

sheha au kituo

cha polisi C.A.

Act.2 f.12

53.-(1) Mtu yeyote ambaye atapelekewa tangazo lililopigwa

marufuku kwa mujibu wa fungu la 51 au dondoo la tangazo hilo bila yeye

kujua au kuwa shauri moja au kapelekewa kwa maombi aliyofanya kabla ya

uingizaji wa tangazo hilo kupigwa marufuku au kuwa nalo mikononi

tangazo hilo ni lazima bila kukawia mara tu atakapojua yaliyomo katika

tangazo hilo au dondoo lake alipeleke kwa Sheha au kwa afisa muangalizi

wa kituo cha polisi; walio karibu naye zaidi na tangazo au dondoo lake

ambalo limeingia mikononi mwake kabla uingizaji wa tangazo kupigwa

marufuku basi mara tu amri ya kupiga marufuku uingizaji wa tangazo hilo

itakapotoka alipeleke tangazo hilo au dondoo lake kwa Sheha wa karibu

naye zaidi au kwa afisa mwangalizi wa kituo cha polisi kilichoko karibu

naye zaidi na asipofanya hivyo atakuwa amekosa na atapasiwa kifungo cha

mwaka mmoja au faini ya shilingi elfu moja au adhabu zote mbili, na

tangazo hilo au dondoo lake litahodhiwa na Jamhuri. (2) Mtu ambaye atatekeleza masharti ya kifungu cha (1) au ambaye

ataonekana amekosa chini ya kifungu hicho hatapasiwa na kuonekana na

kosa la kuingiza au kuwa nalo tangazo hilo au dondoo lake. Uwezo wa

kukagua

vifurushi

Su.455 d.18

54. – (1) Ye yote katika maafisa wafuatao, yaani –

(a) afisa yeyote wa Idara ya Posta ambaye si chini ya cheo cha

mkuu wa posta;

(b) afisa yeyote wa Idara ya forodha ambaye si chini ya cheo cha

Mnyapara;

(c) afisa yeyote wa polisi ambaye si chini ya cheo cha muamuzi

(inspector);

(d) afisa mwingine ye yote aliyepewa mamlaka kwa ajili hiyo, na

Waziri atakayekuwa na madaraka kwa mambo ya ndani,

anaweza kuzuia, kufungua na kukagua kifurushi au bahasha yo yote

Page 31: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

31

anbaye ana tuhuma nayo kuwa ina tangazo au dondoo la tangazo

ambalo kwa mujibu wa fungu la 52 ni kosa kuliingiza, kulitangaza,

kuliuza, kulitoa kwa kuuza, kuligawanya, kulizalisha au kuwa nalo;

na wakati huo wa kukagua anaweza kumzuia mtu yeyote

anayeingiza au kugawanya au kutia posta kifurushi hicho au bahasha

hiyo au yule mtu ambaye mikononi mwake anacho kifurushi hicho

au bahasha hiyo. (2) Ikiwa tangazo hilo lolote la namna hiyo au dondoo lake

litaonekana katika kifurushi au bahasha hiyo kifurushi chote au bahasha

yote iatwaliwa na kufungiwa na afisa huyo na huyo mtu aliyeingiza au

kugawanya au kutia posta kifurushi hicho au bahasha hiyo au yule

alieyeonekana navyo mikononi mwake anaweza kukamatwa hapo hapo na

kushtakiwa kwa kutenda kosa chini ya fungu la 52 au la 53 kama

atakavyokuwa. 55. – (1) “nia ya ufitina” ni ile nia–

(a) ya kuleta chuki au kudharau au kuchocheza, kutopenda

mamlaka ya halali ya Jamhuri au Serikali; au (b) ya kuwataharakisha wakazi wowote wa Tanganyika kujaribu

kuleta mageuzo, kwa njia isiyokuwa ya halali ya jambo lolote

katika Tanganyika lililowekwa na sheria; au (c) ya kuleta chuki au kudharau au kuchamua kutopenda

usimamiaji haki katika Tanganyika; au (d) ya kuchamua kutoridhika na kutopendana kati ya mbari mbali

mbali za wakati wa Tanganyika. (2) Kitendo, hotuba au tangazo haliwi la fitina kwa sababu tu

kwamba lakusidia – (a) kuonyesha kwamba serikali imeongozwa vibaya au imekosea

katika mwenendo wake wowote; au (b) kutaja makosa au upungufu katika serikali au Katiba ya

Tanganyika kama ilivyowekwa na sheria, au katika usimamiaji

haki kwa makusudi ya kutaka kusawazisha makosa hayo au

upungufu huo; au (c) kushawishi wakati wowote wa Tanganyika kujaribu kwa njia

ya halali kuleta megeuzo ya jambo lolote katika Tanganyika

kama ilivyowekwa kwa sheria; au (d) kutaja, kwa makusudi ya kutaka yaondoshwe, mambo yoyote

ambayo yanaleta au yanaelekea kuleta hasira za chuki na uadui

baina ya mbari mbali mbali za wakati wa Tanganyika. (3) Katika kufikiria kama kitendo chochote kilichotendwa,

maneno yoyote yaliyosema au hati yoyote iliyotangazwa vilikuwa kwa nia

ya fitina au si ya fitina itachukuliwa kwamba kila mtu atahesabiwa kuwa

ameyakusudia matokeo yoyote yaliyotokea kwa kawaida kutokana na tabia

yake wakati huo na hali ilivyokuwa wakati akiwa na tabia hiyo. 56. (1) Mtu ye yote ambaye–

Page 32: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

32

(a) atafanya au atajaribu kufanya, au kujitayarisha kufanya au kula

njama na mtu yeyote kufanya kitendo chochote kwa nia ya

fitina; (b) atatamka maneno yoyote kwa nia ya fitina; (c) atachapisha, kutangaza, kuuza kutoa kwa kuuza, kugawa au

kuzalisha tangazo lolote la fitina; (d) ataingiza tangazo lolote la fitina na iwapo hana sababu ya

kuamini kwamba tangazo hilo ni la fitina. mtu huyo ni mkosaji na atapasiwa. Kwa kosa la kwanza na kifungo cha

miaka miwili au kutozwa faini ya shilingi elfu mbili au adhabu zote mbili

pamoja na kwa kosa lifuatazo atapata kifungo cha miaka mitatu na tangazo

lolote la fitina litahodhiwa na Jamhuri; (2) Mtu yeyote ambaye analo mikononi mwake bila udhuru wa

halali, tangazo la fitina mtu huyo amekosa na atapasiwa kwa kosa la

kwanza na kifungo cha mwaka mmoja au faini ya shilingi elfu mbili au

adhabu zote mbili na kwa kosa lifuatialo atapata kifungo cha miaka miwili;

na tangazo litahodhiwa na Jamhuri. (3) Itakuwa ni utetezi wa kutosha kwa mashtaka chini ya

kifungu kilichotanguia iwapo mtu aliyeshtakiwa na kujua kama tangazo hilo

lilikuwa la fitina wakati lilipoingia mikononi mwake na mara tu alipoyajua

yaliyomo katika tangazo hilo akalipeleka kwa Sheha wa karibu naye zaidi

au kwa afisa muangalizi wa kituo cha polisi kilicho karibu naye zaidi. (4) Mtambo wowote wa kuchapia ambao umetumiwa au kwa

sababu ya namna umetuhumiwa kutumiwa kwa kuchapisha au kuzalisha

tangazo lolote la fitina mtambo huo waweza kukamatwa au kuhifadhiwa na

afisa wa polisi kungojea kesi na kuhukumiwa makosa au kuruhusiwa

tangazo lolote hilo la fitina; na iwapo mtu ye yote ataonekana na makosa ya

kuchapa au kuzalisha tangazo la fitina mahakama yaweza, baada ya adhabu

nyingine yoyote kutoa amri kwamba mtambo huo uhodhiwe na Jamhuri na

mahakama inaweza kutoa hukumu hiyo, iwe mtu huyo aliyehukumiwa

makosa wakati wa kuchapwa au kuzalishwa tangazo hilo mtambo wa

kuchapia ulikuwa ni mali yake au sivyo. Mtambo wa kuchapia

utakaohodhiwa kwa mujibu wa kifungu hiki utauzwa na fedha

zitakazopatikana, zikipunguzwa gharama za uuzaji, zitatiwa katika Hazina. (5) Iwapo mwenye mali, mtangazaji, mchapaji, au mhariri wa

gazeti kama lilivyoelezwa katika Sheria ya Magazeti, ataonekana na

makosa ya kuchapisha au kutangaza tangazo la fitina katika gazeti

mahakama baada ya adhabu nyingine yoyote iliyotoa, na ni sawa kama

ilitoa amri chini ya kifungu cha (4) cha fungu hili au sivyo, inaweza kutoa

amri ya marufuku utoaji wa gazeti hilo kwa muda usiozidi mwaka mmoja. (6) Wakati wowote mahakama itakapoombwa na wakili Mkuu

wa Serikali na kuchukua dhamana, kama ipo, ya kuwa na tabia nzuri kama

mahakama itakavyoona yafaa kuamuri, mahakama hiyo inaweza kutangua

amri yoyote iliyoitoa ya kuhodhi au kutwaa mtambo wa kuchapishia au ya

kupiga marufuku utangazaji zaidi wa gazeti fulani. (7) Mahakama kabla ya kutoa amri ya kuhodhi au kutwaa

Page 33: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

33

mtambo wa kuchapishia kwa mujibu wa fungu hili ni lazima itoshe kwamba

mtambo huo wa kuchapishia ndio hasa mtambo ambao ulitumika kwa

kuchapishia au kuzalishia tangazo hilo la fitina. (8) Popote iwapo mtambo wa kuchapishia umewekwa katika

hifadhi au umetwaliwa kwa mujibu wa fungu hili Mkuu wa Polisi kwa

hiyari yake anaweza – (a) kufanya mtambo huo au sehemu yake iondolewe; au (b) kufanya sehemu yoyote ya mtambo huo ifungwe ili kuzuia

kutumika.

Isipokuwa kwamba mwenye mtambo huo au ajenti wake atakuwa na

haki ya kuufikia mtambo huo ili kuuweka katika hali

itakayowezesha mtambo huo kufanya kazi. (9) Mkuu wa Polisi au afisa wa polisi yeyote anayefanya kazi

kwa kufuata uwezo uliotolewa na fungu hili hatapasiwa na kulipa hasara

yoyote itakayopatikana katika mtambo wa kuchapishia iwe hasa ilipatikana

kwa kupuuza kwake au vinginevyo madhali hasa hiyo kwenye mtambo huo

haikufanywa kwa kunuia. (10) Mtu yeyote ambaye atatumia au kujaribu kutumia mtambo

wa kuchapishia uliowekwa katika hifadhi au uliotwaliwa kwa kufuata

kifungu cha (4) cha fungu hili mtu huyo amekosa na atapasiwa kifungo cha

muda usiozidi miaka mitatu. (11) Mtu yeyote ambaye atachapisha au kutangaza gazeti kwa

kuvunja amri iliyotolewa chini ya kifungu (5) cha fungu hili atakuwa

amekosa na atapasiwa kifungo cha muda usiozidi miaka mitatu. (12) Katika fungu hili neno “mtambo wa kuchapishia”

linachanganya kiwanda cha kupiga chapa, mtambo wa kutolea nakala,

mashine ya taipureta, chombo cha kupigia picha maneneo au cha kutoa

nakala nyingi au cha kukatia herufi au mashine yoyote au chombo chochoe

ambacho kimetumika au kimehusiana na uchapishaji au uzalishaji wa

matangazo na herufi na vyombo vyovyote vingine vya mashine au mtambo

huo. Mashtaka

Sh,1950

No.185, 4 G.N.

1961 No.236

57. (1) Hakuna mashitaka yatakayoanzishwa chini ya fungu la 56

ila iwe ni ndani ya muda wa miezi sita tangu kosa hilo kutendeka:

Isipokuwa kwamba iwapo mtu – (a) ametenda kosa hilo nje ya Tanganyika; au (b) ameondoka Tanganyika ndani ya muda wa miezi sita baada ya

kutenda kosa hilo, Mashitaka juu ya kosa hilo yanaweza kuanzishwa ndani ya miezi sita toka

siku ya kwanza mtu huyo alipoingia Tanganyika baada ya kufanya kosa hilo

au siku ya kwanza aliporudi Tanganyika baada ya kuondoka Tanganyika

kama itakavyokuwa. (2) Mtu – (i) kutenda kosa hilo; au (ii) kuondoka Tanganyika, asishtakiwe kwa kosa chini ya fungu 56 bila ya idhini ya maandishi ya

Page 34: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

34

Mkurugenzi wa Mashitaka wa Serikali. Ushahidi 58. Mtu yeyote asihukumiwe makosa chini ya fungu ….. kwa

ushahidi wa mtu mmoja bila ya ushahidi mwingine wowote. 59. Mtu yeyote ambaye – (a) atalisha au atahudhuria na kuridhika na ulishaji wa kiapo cho

chote au kuchukua ahadi ya namna ya kiapo, kiapo ambacho

kina madhumuni ya kumlazimisha mwenye kukila atende kosa

lenye adhabu ya kifo; au (b) atakula kiapo chochote cha namna hiyo au kuchukua ahadi

kama hiyo bila kulazimishwa kufanya hayo.

Mtu huyo amekosa kosa kubwa na atapasiwa kifungo cha maisha. 60. Mtu yeyote ambaye – (1) atalisha au atahudhuria na kuridhika na ulishaji wa kiapo

chochote au kuchukua ahadi ya namna ya kiapo, kiapo ambacho kina

madhumuni ya kumlazimisha mwenye kukila atende moja wapo katika haya

yafuatayo, yaani – (a) kujitia katika ujasiri wa kuhuni au wa fitina; (b) kutenda kosa lolote lisilokuwa na adhabu ya kifo; (c) kuvuruga amani ya watu; (d) kuwamo katika chama, kikao au jumuia yoyote

iliyotengenezwa kwa makusudi ya kufanya kitendo chochote

katika hivyo vilivyotajwa; (e) kutii amri au maamrisho ya halmashauri au kikundi cha watu

kilichoundwa bila ya uhalali au amri ya kiongozi au mkuu au

mtu mwingine yeyote asiyekuwa na mamlaka kwa sheria juu

ya jambo hilo; (f) kuacha kutoa habari au kutoa ushahidi juu ya chama au jumuia

au mtu mwingineo; (g) kuacha kudhihirisha au kufichua chama hicho au jumuia

yoyote ambayo si ya halali, au kuacha kudhihirisha au kufichua

kitendo chochote kisicho cha halali kilichotendwa au kitakacho

tenda au kiapo chochote kisicho halali kinachotaka kuliwa na

yeye au mtu mwingine au ahadi isiyokuwa ya halali inayotaka

kutolewa na yeye au mtu mwingine yeyote; au kuacha kufichua

au kudhihirisha uingizai wowote wa kiapo cha namna hiyo; au (2) kula kiapo chochote cha namna hiyo au kuchukua ahadi yoyote

mtu huyo amekosa kosa kubwa na atapasiwa kifungo cha miaka saba. 61. mtu ambaye amekula kiapo au amechukua ahadi kama

ilivyotajwa katika mafungu mawili yaliyotangulia hawezi kufanya ni utetezi

wake kwa kudai kwamba yeye alilazimishwa ila iwapo ndani ya siku kumi

na nne toka kula kiapo hicho atamke kwa kutoa taarifa juu ya kiapo hicho,

mbele ya hakimu na kama ni mtumishi wa jeshi la vita la Tanganyika au

Page 35: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

35

jeshi la polisi atoe taarifa mbele ya mkuu wake kueleza yote anayoyajua

kuhusu shauri hilo la kiapo na kutaja mtu au watu waliolisha kiapo au

kuhudhuria na mahali na wakati kiapo kilipolishwa au ahadi

ilipochukuliwa; au kama mtu amezuilika kwa nguvu fulani zilizotumika au

kwa ugonjwa atoe habari hizo ndani ya siku kumi na nne tangu

kuondokewa na kuzuilika huko. 62. – (1) Mtu ye yote ambaye – (a) bila ya ruhusa ya Waziri atakayekuwapo wa mambo ya ndani,

atafundisha au kuchezesha kwata mtu yeyote mwingine juu ya

kutumia silaha au kufanya mazoezi ya kivita au mwenendo wa

kivita au kazi za kivita; au (b) atakuwapo kwenye mkutano au mkusanyiko wowote wa watu

uliofanywa bila ruhusa ya Waziri atakayekuwapo wa mambo

ya ndani na ukawa wa madhumuni ya kufundisha au

kuchezesha kwata watu wengine juu ya kutumia silaha au

kufanya mazoezi au mwendo au kazi za kivita. Mtu huyo amekosa kosa kubwa na atapasiwa kifungo cha miaka saba. (2) Mtu yeyote ambaye katika mkutano au mkusanyiko wowote

uliofanywa bila ya ruhusa ya waziri atakayekuwapo wa mambo ya ndani

atafundishwa au kuchezeshwa kwata juu ya kutumia silaha au kuzoezwa

mambo au mwendo, au kazi za kivita au atakuwapo kwenye mkutano au

mkusanyiko huo kwa makusudi ya kufundisha au kuchezeshwa kwata mtu

huyo amekosa kosa dogo. Tangazo la

habari za

uwongo

ziwezazo

kuleta hofu na

mshituko kwa

watu

63. – (1) Mtu yeyote ambaye atatangaza maneno yeyote ya

uwongo, uvumi au taarifa ya uwongo ambayo yaweza kuleta hofu na

ushituko kwa watu au kuvuruga amani ya watu mtu huyo amekosa kosa

dogo.

(2) Itakuwa ni utetezi kwa mashitaka chini ya kifungu (1)

iwapo mshtakiwa atathibitisha kwamba kabla ya tangazo hilo alichukua

hatua za kuhakikisha ukweli wa maneno hayo au uvumi huo au taarifa hiyo

kiasi cha kuweza kumfanya aamini kwamba ni kweli. Uchochezi wa

kutumia nguvu

Sh.1955 No.49

f.6 G.N. 1961

No.236

63.A – (1) Mtu yeyote ambaye bila ya udhuru wa halali atachapa

atatangaza au katika mkusanyiko wowote atatoa maneno yatakayoonyesha

au kuwa na maana ya kuwa ni lazima au ni vizuri kutenda kitendo chochote

bila ruhusa ya halali kilicho na kusudi la –

(i) kuleta kifo au maumivu ya mwili kwa mtu yeyote au mbari au jamii

yoyote ya watu; au

(ii) kupelekea kuharibu au kutia hasara mali yoyote,

mtu huyo amekosa kosa dogo na atapasiwa kifungo cha miaka mitatu. (2) kwa ajili ya fungu hili neno “mkusanyiko: lina maana ya

mkutano wa watu watatu au zaidi. (3) Mtu asishitakiwe chini ya fungu hili bila ya idhini ya

maandishi ya Mkurugenzi wa mashtaka wa Serikali.

Page 36: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

36

Kuchamua

kutoridhika na

chuko kwa

madhumumuni

yasio halali

Sh,1955 No. 49

f.6 Sh.1959

No.10 f.2 G.N.

1961 No.236

C.A. Act 2 f.36

63.B – (1) Mtu yeyote ambaye katika mkusanyiko wowote atatoa

maneno ambayo huenda yakaleta kutoridhika kati ya wakazi wowote

Watanganyika au kuleta hisi za chuki kati ya mbari au jamii mbali mbali za

watu wa Tanganyika, mtu huyo amekosa kosa dogo na atapasiwa faini

isiyozidi shilingi elfu moja au kifungo cha muda usiozidi miezi kumi na

mbili au yote mawili faini na kifungo pia.

Isipokuwa kwamba hakuna mtu atakayekuwa amekosa chini ya

masharti ya fungu hili ikiwa maneno yake aliyoyatoa yalikuwa tu kwa ajili

ya moja au zaidi ya madhumuni haya yafuatayo, na uthibitisho wa hayo

utakuwa juu yake, madhumuni yenyewe ni – (a) kuonyesha kwamba Serikali imeongozwa vibaya au imekosea

katika mwendo wake; au

(b) kutaja makosa au upungufu katika Serikali au siasa ya Serikali

au Katiba ya Tanganyika kama ilivyowekwa na sheria, au

sheria yoyote au katika usimamaji wa haki kwa kusudi la

kutaka kuondosha au kusahihisha upungufu au makosa hayo;

au

(c) kushawishi wakati wowote wa Tanganyika wajaribu kuleta

mageuzo ya jambo lolote katika Tanganyika kwa njia ya halali;

au

(d) kutaja kwa nia ya kuyaondosha mambo yoyote ambayo

yameleta au yanaelekea kuleta chuki kati ya wakazi wowote

wa Tanganyika au hisi ya chuki au uadui kati ya mbari au jamii

ya watu mbali mbali wa Tanganyika (2) kwa ajili ya fungu hili neno “mkusanyiko” lina maana ya

mkutano wa watu saba au zaidi. (3) Mtu hatashitakiwa kwa kosa chini ya fungu hili bila ya idhini

ya maandishi ya Mkurugenzi wa Mashitaka wa Serikali. 64. Mtu yeyote ambaye bila ya hali yoyote ile au bila udhuru

utakaotosha kwa upande wa kumuumbua mtu mahsusi, atatangaza jambo

lolote kwa kukusudia lisomwe au kuonyesha ishara yoyote au maonyesho

ya wazi yanayoweza kutweza, kukebehi kumletea chuki au dharau mfalme,

mtawala balozi au mkuu yeyote wa kigeni kwa nia ya kuharibu amani na

urafiki kati ya Tanganyika na nchi yake mtu huyo amekosa kosa dogo. 65. Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa dogo ambaye ataenda moja

wapo katika matendo haya yafuatayo bila ruhusa ya Rais yaani –

(a) atakakaetayarisha au kufanya msafara wowote wa manowari au

wa jeshi la vita kwenda kushambulia tawala za dola yoyote

iliyo rafiki au atakayeshughulika na maandalio au mafanyo ya

msafara au kusaidia au kuajiriwa kupewa cheo chochote katika

msafara huo, au

(b) atakayepokea hali ya kuwa yeye ni raia wa Tanganyika, au

Page 37: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

37

kukubali kupokea ujumbe au shughuli yoyote ya kazi za kijeshi

la vita au za kimanowari za dola yoyote ngeni iliyo na vita na

dola ya kirafiki, au atakayeshawishi; akiwa ni raia wa

Tanganyika au si raia wa Tanganyika, mtu mwingine yeyote

kupokea au kukubali kupokea ujumbe wowoe au shughuli

yoyote ya kazi za kijeshi au za kimanowari za dola hiyo ngeni

iliyokwisha tajwa; au

(c) atakayeitoka, hali ya kuwa yeye ni raia wa Tanganyika, au

kwenda kujipakia katika chombo chochote kwa nia ya kuitoka

nchi ya Tanganyika kwa kusudi la kupokea ujumbe wowote au

shughuli yoyote ya kazi za kijeshi au za kimanowari za dola

ngeni yoyote iliyo katika vita na dola ya kirafiki; au

atakaeshawishi, akiwa ni rais au si rais wa Tanganyika, mtu

yeyote mwingine kuitoka au kujipakia katika chombo chochote

kwa nia ya kutoka nchi ya Tanganyika kwa kusudi kama hilo;

au

(d) atakayepakia, akiwa ni nahodha au mwenye chombo chochote

kwa makusudi, katika chombo chake au kujishughulisha katika

kupakia au anaye katika chombo hicho mtu aliyejiandikisha

uaskari wa vita bila ya uhalali; au

(e) atakayeunda, kukubali kuunda, kuundisha, kutayarisha,

kusafirisha au kuruhusu kusafirisha chombo chochote au

atakayetoa ujumbe wowote kwa chombo chochote, kwa nia au

kwa kujua au kuna sababu ya kutosha kuamini kwamba

chombo hicho au ujumbe huo utatumika katika kazi za kivita

au za kimanowari za dola ngeni iliyo katika vita na dola yoyote

ya kirafiki.

Isipokuwa kwamba mtu anayeunda, kuundisha au kutayarisha

chombo kwa namna moja wapo katika hizo zilizokwisha tajwa, anafanya

hivyo kwa kutimiza mkataba uliofanywa kabla ya kuanza vita kama hivyo

vilivyokwisha semwa mtu huyo hatapasiwa na adhabu yoyote katika

adhabu zilizotajwa katika fungu hili kuhusu uundaji huo au utayarishaji

huo iwapo – (i) wakati wa Rais kutoa ilani ya kuonyehsa kutopendelea upande

wowote katika vita, yeye atatoa mara moja kwa Waziri

atakayekuwapo wa mambo ya ndani habari za uundaji,

uundishaji au utayarishaji wa chombo hicho na kupasha habari

zote za mkataba na mambo yote yanayohusu kufanywa au

kuwa yatafanywa chini ya mkataba huo kama zitakavyotakiwa

na Waziri huyo wa mambo ya ndani; na

(ii) atatoa dhamana na kuchukua au kuruhusu kuchukuliwa hatua

zozote, kama zipo, kama zitakavyoelezwa na Waziri

atakayekuwapo wa mambo ya ndani ili kuhakikisha kwamba

chombo hicho hakiwezi kuchukuliwa au kusafirishwa au

kuondolewa bila ya ruhusa ya Rais mpaka mwisho wa vita

Page 38: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

38

hivyo vilivyotajwa kabla. Uharamia 66. Mtu yeyote ambaye atakosa kosa la uharamia au uhalifu wowote

unaoungana na au unahusiana au kufananana na uharamia mtu huyo

atapasiwa na kushtakiwa na kupewa adhabu kwa kufuata sheria ya England

itakayokuwapo ikifanya kazi.

SURA YA IX

MIKUSANYIKO ISIYO HALALI NA GHASIA NA MAKOSA MENGINE YA

KUVUNJA UTULIVU WA WATU 67.-73. (Zimebatilishwa: Sheria 1954 No. 11 f.33) Mafafanuzi 74. Iwapo watu watatu au zaidi watakusanyika kwa nia ya kutaka

kutenda kosa, au wakiwa wamekusanyika kwa kutimiza madhumuni

Fulani kwa pamoja wakajiweka katika hali ambayo itawafanya watu

walio jirani wawe na sababu ya kuogopa kwamba watu hao

waliokusanyka watavunja amani, au kwa kukusanyika kwao kutachochea,

bure bure bila ya sababu ya maana, watu wengine wavunje amani, basi

mkusanyiko huo utakuwa mkusanyiko usio halali. Haitazamwi kama asili

ya mkusanyiko huo ilikuwa halali iwapo baada ya kukusanyika

walijiweka kwa madhumuni mamoja katika hali hiyo iliyokwisha tajwa

kabla.

Mkusanyiko usio halali unapoanza kutumiliza madhumuni

yake uliyoyakusanyikia kwa njia ya kuvunja amani na vitisho kwa watu

mkusanyiko huo utaitwa ghasia na watu waliokusanyika watasema kuwa

wamekusanyikkwa ajili ya ghasia. Adhabu ya

mkusanyiko usio

halali

75. Mtu yeyote atakayeshiriki katika mkusanyiko usio halali

amekosa kosa dogo na atapasiwa kifungo cha mwaka mmoja.

Adhabu ya ghasia 76. Mtu yeyote atakeyeshiriki katika ghasia amekosa kosa dogo. Kutoa ilani kwa

wafanyi ghasia

kutawanyika C.A.

Act.2 f.7

77. Hakimu yeyote au, kama hayupo, afisa wa polisi yeyote aliye

juu ya cheo cha muamuzi au akida wa jeshi la vita la Tanganyika,

atakayeona watu kumi na mbili au zaidi wamekusanyika kwa ajili ya

ghasia au akachelea kwamba ghasa karibu itafanywa na watu kumi na

mbili au zaidi waliokusanyika machoni pake, anaweza kutoa au kutolesha

ilani kwa jina la Rais, kwa namna atakaoona yafaa, kuwaamrisa wafanyaji

ghasia hao au watu waliokusanyika hivyo kuwa watawanyike kwa amani. Kutawanyika kwa

wafanyi ghasia

baada ya ilani

kutolewa

78. Ikiwa utapita muda wa kufaa baada ya ilani hiyo kutolewa

baada ya ilani hiyo kufanywa ikazuiwa kwa nguvu, ikawa watu .. na mbili

au zaidi wataendelea kukusanyika pamoja kwa ghasia, mtu yeyote

aliyepewa mamlaka ya kutoa ilani hiyo, au afisa wa .. yeyote, au mtu

Page 39: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

39

mwingine yeyete mahali pa afisa huyo, au wa …. Yeyote, aliyepewa

mamlaka ya kutoa ilani hiyo, au afisa wa …. Mtu huyo aliyepewa

mamlaka au afisa huyo wa polisi, anaweza …… mambo yote

yaliyolazimu ili kuwatawanya watu hao wanaoe… kukusanya au

kuwakamata wote au mmoja wao yeyote, na …. Mtu yeyote atakaidi

anaweza kutumia nguvu zote zitakazolazimu kushinda ukaidi huo na

hatapasiwa na mashitaka yoyote ya jinai …. Madai kwa kudhuru au

kumuu mtu katika kutumia nguvu hizo. Ghasia baada ya

ilani 79. Ikiwa ilani imetolewa ya kuaamrisha watu waliojitia …

ghasia au waliokusanyika kwa ajili ya kufanya ghasia, kutawa …. Kila

mtu ambaye atashiriki au atendelea kushiriki katika ghasia au mkusanyiko

huo baada ya kupitia muda wa kufaa toka ilani kutolewa mtu huyo

amekosa kosa kubwa na atapasiwa kifungo miaka mitano. Kuzuia ua

kupinga utoaji wa

ilani

80. Mtu yeyote ambaye kwa kutumia nguvu atazuia au … utoaji

wa ilani kama ilivyo katika fungu la 77 lililotajwa amekosa .. kubwa na

atapasiwa kifungo cha miaka kumi; na kama utoaji ilani utazuiwa kwa

nguvu kila mtu ambaye atashiriki au ataend….. kushiriki katika ghasia

hiyo au mkusanyiko huo huku akijua kwamba ilani juu ya jambo hilo

imezuiwa kwa nguvu mtu huyu atapaswa kifungo cha miaka mitano. Wafanyi ghasia

kubomoa

majengo n.k.

81. Watu wowote ambao wamekusanyika pamoja kwa kufanya

ghasia wakibomoa au kuharibu, au kuanza kuboma au kuharibu jengo

lolote, njia ya reli yoyote, mtambo au matengenezo yoyote ya uhalali

watu hao wamekosa kosa kubwa na kila mmoja atapasiwa kifungo cha

maisha. Wafanyi ghasia

wakihasiri

majengo n.k.

82. Watu wowote ambao wamekusanyika pamoja kwa kufanya

gharia wakihasiri kitu chochote katika vitu vilivyotangulia …. Katika

fungu lililopita bila ya uhalali watu hao wamekosa kosa kubwa na kila

mmoja wao atapasiwa kifungo cha miaka saba. Kuyaingilia kwa

ghasiareli, magari

n.k.

83. Watu watakaokusanyika kwa ghasia na bila ya halali na nguvu

wakazuia, wakafingiza (hinder) au kupinga upakiaji au upakuaji wa reli

yoyote gari au chombo chochote au uwekaji au upitaji wa gari; au

utwekaji au kusafiri kwa bahari kwa chombo chochote bila ya uhalali na

kwa nguvu wakajipakia reline, garini au chombo ni kwa nia ya kufanya

hayo yaliyotajwa, wote watakuwa wamekosa kosa dogo. Kutembea na

sialaha hadharani 84. Mtu yeyote anayetembea na silaha katika hadhara bila ya

jambo la halali kwa namna ambayo inaweza kuleta utisho kwa mtu yeyote

mtu huyo amekosa kosa dogo na silaha yake yaweza kuhodhiwa. Kuingia kwa

nguvu 85. Mtu yeyote ambaye kwa ajili ya kutaka kumiliki ataingia

katika ardhi yoyote au makao yoyote kwa namna ya nguvu ni sawa nguvu

Page 40: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

40

.. kama zilikuwa za mabavu hasa yaliyotumika kwa mtu mwingine yeyote

au ni kutishia au ni kuvunja nyumba yoyote kupita ndani au ni …

kukusanya idadi ya watu isiyo kawaida, mtu huyo amekosa kosa dogo

liitwalo “kuingia kwa nguvu”. Haidhuru kama anayo haki ya kuingia katika ardhi hiyo au hana

isipokuwa kwamba mtu anayeingia katika ardhi au makao ambayo ni yake

mbali yake lakini yamo katika ulinzi wa mtumishi wake au mlinzi wake

haambiwi kama ametenda kosa la kuingia kwa nguvu. Kuzuwia kwa

nguvu 86. Mtu yeyote ambaye atakuwa nayo mikononi mwake ardhi bila

ya haki yoyote na akashikilia kuwa nayo ardhi hiyo kwa namna ambayo

huenda ikaleta uvunjaji wa amani au kusababisha woga wa uvunjifu wa

amani juu ya mtu mwenye haki kwa sheria kuwa nayo ardhi hiyo, mtu

huyo amekosa kosa liitwlao “kuziwia kwa nguvu”. Mapigano 87. Mtu yeyote ambaye atashiriki katika mapigano mahali pa

hadhara amekosa kosa dogo na atapasiwa na kifungo cha miezi sita au

kutozwa faini isiozidi shilingi mia tano. Kusai mapiganao

ya wawili 88. Mtu yeyote ambaye atamsai mtu mwingine kwa mapigano ya

watu wawili, au atajaribu kuchochea mtu mwingine afanya mapigano ya

watu wawili au atajaribu kuchochea mtu mwingine amsai mtu mwingine

kwa mapigano ya watu wawili, mtu huyo amekosa kosa dogo. Matusi, mzozo na

kutishia utumiaji

wa nguvu

Sh.1948 No.46 f.2

Sh.1948 No.46

f.7 Act, 1962

No.12 f.2

89.- (1) Mtu ye yote ambaye–

(a) atatumia maneno ya kinyaa, ya matusi au ya usafihi kwa mtu

mwingine yeyote kwa namna ambayo huenda ikaleta

uvunjifu wa amani; au

(b) atazozana au kwa namna nyingine yeyote ataleta fujo kwa

namna ambayo huenda ikaleta uvunjifu wa amani.

mtu huyo amekosa kosa dogo na atakapoonekana na hatia atapasiwa

kifungo cha miezi sita.

(2) Mtu ye yote ambaye– (a) kwa kusudi la kutaka kutishia au kumsumbua mtu yeyote

anatishia kuchoma nyumba au kuivunja au kuihasiri nyumba

yoyote; au

(b) kwa kusudi la kumshtua mtu yeyote atafyatua bunduki au

atatenda jambo lolote la kuvunja amani,

mtu huyo amekosa kosa dogo na atapasiwa kifungo cha mwaka mmoja.

89A.-(1) Mtu yeyote atakayevinjari nyumba yoyote au mahali

penginepo, au karibu karibu na nyumba hiyo au mahali hapo kwa kusudi

la –

Kuvinjari Sh.1955

No.49 f.8 G.N.

1961 No.236

(a) kumzuia mtu yeyote mwingine asifanya tendo ambalo kwa

sheria anaweza kulifanya; au (b) kumlazimisha mtu yeyote mwingine kufanya tendo ambalo

Page 41: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

41

kwa sheria anaweza kujizuia, Mtu huyo amekosa kosa dogo na atapasiwa kifungo cha miezi sita; Isipokuwa kwamba masharti ya fungu hili hayatatumika katika

kuvinjari ambako ni halali kwa mujibu wa sheria zinazohusu vyama vya

wafanyakazi au migogoro yao. (2) Mtu hawezi kushitakiwa chini ya fungu hili bila ya idhini ya

maandishi ya Mkurugenzi wa Mashitaka wa Serikali. Kutishia Sh.1961

No.f.4 G.N. 1961

No.236

89B.-(1) Mtu yeyote ambaye kwa dhuluma na bila ya mamlaka ya

sheria atamtishia mtu yeyote mwingine kwa nia ya kutaka kumlazimisha

mtu huyo mwingine –

(a) ajizue kufanya kitendo chochote ambacho ni haki yake

kukifanya; au

(b) afanya kitendo chochote ambacho ana haki kujizuia

asikifanye, mtu huyo amekosa kosa dogo na akionekana na

hatia atapasiwa kifungo cha mwaka mmoja. (2) katika fungu hili neno– “kutishia” lina maana ya kumfanya mtu akilini mwake awe na sababu ya

kuogopa kupata madhara yeye mwenyewe au mtu yeyote katika

ukoo wake au yeyote katika watu wanaomtegemea au kuogopa

utumiwaji wa nguvu kwa mtu yeyote au uharibifu wa mali yoyote;

neno – “kuhasiri” linachanganya madhara kwa mtu kuhusu biashara, kazi amali

au njia nyingine ya kupatia pesa na vile vile linachanganya

dhuluma yoyote inayoweza kushitakiwa.

(3) Mtu hawezi kushitakiwa kwa kosa chini ya fungu hili bila ya

idhini ya maandishi ya Mkurugenzi wa Mashitaka wa Serikali. Kushawishi watu

wasisaidie

mipango ya

kujitolea Act

1962 No. 61 f.2

89C.-(1) Mtu yeyote ambaye, kwa nia ya kukinza, kuzuia,

kupinga au kuvunja mpango wowote wa kujitolea uliokubaliwa na Mkuu

wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya au mpango wowote wa kujitolea wa namna

iliyokubaliwa na Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya, atamshawishi au

kujaribu kumshawishi mtu yeyote aliyejitolea kufanya kazi za mipango

hiyo au kusaidia asifanya hivyo, mtu huyo amekosa na akionekana na

hatia atapasiwa faini isiyozidi shilingi elfu moja au kifungo cha muda

usiozidi miezi sita au yote mawili faini na kifungo pia. (2) Katika mashitaka yoyote kwa ajili ya kosa lililofanywa

kinyuma cha fungu hili Shahada ya mkuu wa Mkoa au mkuu wa Wilaya,

kama itakavyokuwa, kwamba mpango wa kujitolea uliotajwa au

ulioelezwa ulikubaliwa na yeye katika tarehe hiyo iliyotajwa au kwamba

mipango ya kujitolea ya namna hiyo iliyoelezwa ilikubaliwa na yeye

katika tarehe iliyotajwa au kabla ya tarehe hiyo, basi shahada hiyo

itakuwa ni ushahidi uliokamilika wa matukio hayo. Mkusanyiko kwa

ajili ya kufanya 90. Watu wowote ambao watakusanyika pamoja kwa idadi ya

Page 42: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

42

magendo watu wawili au zaidi kwa kusudi la kuteremsha, kuchukua au kuficha

bidhaa yoyote iliyolazimu kulipwa ushuru wa forodha na ipasiwayo na

kuhodhiwa chini ya sheria inayohusu forodha watu hao wamekosa kosa

dogo na kila mmoja wao atapasiwa kifungo cha miezi sita ua kutozwa

faini isiyozidi shilingi elfu mbili. 91.-93. [Zimebatilishwa Sh.1958 No. 19 f.15]

Maafisa wa kazi

za kusimamia

mali ya aina

maalum au wa

kazi za maalum

94. Mtu yeyote ambaye, ni mtumishi wa Serikali, na kwa ajili ya

utumishi wake amepewa kazi za kimahakama au za kusimamia mali ya

aina maalum, au kuhusu uendeshaji wa kiwanda chochote, biashara au

kazi ya aina maalum, na akiwa amepata au anayo, kwa wazi au kwa siri,

maslahi ya binafsi katika mali hiyo, kiwanda, biashara au kazi hiyo

anatimiza kazi zote hizo kwa ajili ya mali hiyo, kiwanda, biashara, au kazi

ambayo anayo hayo masilahi ndani yake au atimiza kazi yake ya

kimahakama kuhusu tabia ya mtu yeyote anayehusikana na kazi hizo mtu

huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo, na anapasiwa kifungo cha mwaka

mmoja. Mdai ya uwongo

ya maafisa 95. Mtu yeyote ambaye ni mtumishi wa Serikali, yumo katika

cheo cha kumtaka au cha kumuwezesha kutoa kumbukumbu au taarifa

kuhusu kiasi chochote ambacho kimelipwa au chadaiwa kuwa kimelipwa

kwake au kwa mtu mwingine yeyote; au kuhusu jambo jingine fedha au

utoaji wa bidhaa kwa mtu yeyote akifanya kumbukumbu au taarifaa

kuhusu hayo hali anajua kwamba kumbukumbu au taarifa hiyo kwa jambo

lolote mahsusi ni ya uwongo, mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo. Kutukana

madaraka G.N.

1961 No.256

96. Mtu yeyote ambaye yumo katika kazi ya Serikali anayetenda

ua kuamrisha kitendwe kwa kutukanisha madaraka ya kazi yake, kitendo

chochote cha dhuluma ambacho chadhuru mwingine mtu huyo ni mwenye

hatia ya kosa dogo. Iwapo kitendo hicho chatendwa au chaamriwa kwa ajili ya faida,

yeye ni mwenye hatia ya kosa kubwa, na anapasiwa kifungo cha miaka

mitatu. Mashtaka kwa kosa lolote chini ya fungu hili au fungu mojawapo

kati ya mafungu mawili ya mwisho yaliyotangulia hayaanzishwa ila kwa

idhini ya Mkurugenzi wa Mashtaka wa Serikali. Maafisa kutoa

shahada za uongo 97. Mtu yeyote ambaye aruhusiwa au atakiwa na sheria kutoa

shahada yoyote, kuhusu jambo lolote ambalo, kwa sababu ya shahada

hiyo haki za mtu yeyote zaweza kuharibiwa, akatoa shahada ambayo ….

Kwamba ni ya uongo katika jambo lolote muhimu mtu huyo … mwenye

hatia ya kosa dogo. Kulisha kiapo

kisichoruhusiwa

na sheria

98. Mtu yeyote anayelisha kiapo, au yeye mwenyewe afanya

uthibitisho au kiapo cha aina yeyote kuhusu jambo lolote ambalo kwa

Page 43: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

43

sheria hana mamlaka yoyote kufanya hivyo, yeye ni mwenye hatia ya

kosa dogo na apasiwa kifungo cha mwaka mmoja. Isipokuwa kwamba fungu hili halitatumika kwa kiapo au

uthibitisho wa aina yoyote iwapo kiapo hicho kimelishwa na, au

uthibitisho huo umefanywa mbele ya hakimu, korona au mlinzi wa amani

katika jambo lolote lihusikalo na utunzaji wa amani au adhabu ya makosa

au lihusikalo na uchunguzi juu ya vifo vya ghafla, wala fungu hili

halitatumika kwa kiapo kilicholishwa au uthibitisho wa aina yoyote

uliofanywa kwa ajili ya jambo ambalo ni halali kwa mujibu wa sheria ya

nchi nyingine, au kwa ajili ya kutia nguvu kwa maandishi hati ambayo

yakusudiwa kutumiwa katika nchi nyingine. Kujipa mamlaka

ya uongo 99. Mtu yeyote ambaye–

(1) si afisa wa kimahakama, akijipa mamlaka ya kutenda kama

afisa wa kimahakama; au (2) bila ya mamlaka anajipa kutenda kama mtu mwenye kupewa

mamlaka na sheria kulisha kiapo au anafanya uthibitisho wa

aina yoyote au kufanya kitendo kingine chochote kihusikacho

na watu ambacho chaweza tu kufanywa na watu

walioruhusiwa na sheria kufanya hivyo; au (3) anajitokeza kuwa ni mtu aliyeamriwa na sheria kutia sahihi

hati inayothibitisha yaliyomo kwenye daftari yoyote au

kumbukumbu iliyowekwa na mamlaka ya halali, au

inayothibitisha kweli yoyote au tukio, akaitia sahihi hati hiyo

kama kwamba ameruhusiwa kufanya hivyo ambapo

haruhusiwi, na ajua kwamba, kwa kweli haruhusiwi hivyo,

mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo. Kujifanya

mtumishi wa

Serikali

100. Mtu yeyote ambaye–

(1) ajifanya kuwa ndiye mtu yeyote aliye mtumishi wa Serikali

katika wakati ambao mtumishi huyo ahitajiwa kufanya tendo

lolote au kuhudhuria mahali popote kwa sababu ya kazi yake;

au (2) ajitokeza kwa uwongo kuwa ni mtu aliyeajiriwa katika kazi

ya Serikali, na ajitia kufanya kitendo chochote au kuhudhuria

mahali popote ili afanya kitendo chochote kwa aibu kwa kazi

hiyo. Mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo. Kutishia

kuwajeruhi

watumishi wa

Serikali

101. Yoyote ambaye atoa kitisho chochote cha kumjeruhi mtu

yeyote aliyeajiriwa katika kazi ya Serikali, au kutoa kitisho hicho kwa

mtu yeyote ambaye aamini kwamba ahusika naye, ili kumshawishi mtu

huyo kufanya kitendo chochote au kuvumilia au kuchelewesha kufanya

kitendo chochote ambacho chahusika na utimizaji wa kazi za Serikali za

mtu huyo, basi yeye ni mwenye hatia ya kosa dogo.

Page 44: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

44

SURA YA XI

MAKOSA YAHUSUYO USIMAMIAJI WA HAKI Ushahidi wa

uwongo 102.-(1) Mtu yeyote ambaye, katika kesi yoyote, au kwa ajili ya

kuanzisha kesi yeyote, kwa kujua, akitoa ushahidi wa uwongo kuhusu

jambo lolote ambalo ni muhimu kwa hoja yoyote inayotegemea au

inayokusudiwa kutolewa katika kesi hiyo, mtu huyo ni mwenye hatia ya

kosa dogo liitwlao “ushahidi wa uwongo”. Haidhuru ikiwa ushahidi huo unatolewa kwa kiapo au kwa mujibu wa idhini

nyingine yoyote inayoamriwa na sheria. Namna na kawaida zilizotumiwa kwenye kulisha kiapo hicho au

zinazomlazimisha mtoa ushahidi huo kusema kweli hazidhurishi neno

iwapo atazikiri namna na kawaida hizo zilizotumiwa hasa. Haidhuru neno iwapo ushahidi wa uwogo huo unatolewa kwa mdomo au

kwa maandishi. Haidhuru neno iwe mahakama hiyo imekamilika au baraza hilo lipo mahali

panpotakiwa au sivyo, iwapo yafanya kazi hasa kama mahakama au baraza

katika kesi ambayo yatolewa ushahidi huo. Haidhuru neno iwe huyo mtu anayetoa ushahidi huo ni shahidi afaae au

sivyo, au kwamba ushahidi huo wakubalika katika kesi hiyo au sivyo.

Kushawishi

ushahidi wa

uwongo

(2) Mtu yeyote ambaye asaidia, ashiriki, ashauri, atuma, au

ashawishi mtu mwingine kutoa ushahidi wa uwogo, ni mwnye hatia ya kosa

dogo liitwalo “kushawishi ushahidi wa uwongo”. Maelezo ya

uwongo ya

wakalimani

103. Mtu yeyote ambaye, ameapishwa kwa halali kuwa mkalimani

katika kesi kwa makusudi, akatoa maelezo muhimu katika kesi hiyo,

maelezo ambayo ajua kuwa ni ya uwongo, au ambayo haamini kuwa ni

kweli, ni mwenye hatia ya kosa dogo liitwalo “ushahidi wa uwongo”. Adhabu kwa

ushahidi wa

uwongo

104. Mtu yeyote anayefanya kosa la kutoa ushahidi wa uwongo au

kushawishi ushahidi wa uwongo anapasiwa kifungo cha miaka saba.

Ushahidi juu ya

shtaka la kutoa

ushahidi wa

uwongo

105. Mtu hawezi kuonekana na hatia kwa kosa la kutoa ushahidi wa

uwongo au la kushawishi ushahidi wa uwongo kwa ushahidi wa shahidi

mmoja tu kuhusu uwongo wa habari yoyote inayoambiwa ni uwongo. Ushahidi wa

kutunga 106. Mtu yeyote ambaye, kwa kusudi la kuidanganya baraza yote

katika kesi– (1) atunga ushahidi kwa njia yoyote nyingine isiyokuwa ya

ushahidi wa uwongo au ya kushawishi ushahidi wa uwongo; au (2) kwa makusudi autumia ushahidi huo wa kutunga, ni mwenye

hatia ya kosa dogo, na anaasiwa kifungo cha miaka saba. Kuapa uwongo 107. Mtu yeyote anayeapa uwongo au kufanya uthibitisho au

matamshi ya uwongo mbele ya mtu yeyote anayeruhusiwa kulisha kiapo au

Page 45: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

45

kupokea matamshi ya jambo lolote lihusulo watu katika hali ambayo kuapa

uwongo hulo au kutoa matamshi ya uwongo huo kama kukitendwa katika

kesi kungelikuwa ni sawa na kutoa ushahidi wa uwongo, mtu huyo ni

mwenye hatia ya kosa dogo. Kudanganya

mashahidi 108. Mtu yeyote afanyae hadaa au udanganyifu, au, kwa makusudi

atoa au adhihirisha maelezo yoyote ya uzushi, ishara au maandishi ya

uwogo, kwa mtu yeyote aitwae au atakayeitwa kuwa ni shahidi katika kesi

yeyote kwa kusudi la kuharibu ushahidi wa shahidi huyo, ni mwenye hatia

ya kosa dogo. Kuharibu

ushahidi 109. Mtu yeyote ambaye, kwa kujua kwamba kitabu chochote, hati

au kitu cha namna yoyote iwayo chahitajika au chaweza kuhitajiwa kwenye

ushahidi katika kesi, kwa makusudio akakiondosha au kukiharibu au

kukifanya kisisomeke au kisifahamike kwenye ushahidi mtu huyo ni

mwenye hatia ya kosa dogo. Njama kupinga

haki na

kuingilia

mashahidi

Sh.1961 No.5

f.5

110. Mtu yeyote afanya kosa dogo, ambaye–

(a) kula njama na mtu mwingine yeyote kumsingizia mtu yeyote

na kosa lolote la jinai au kufanya jambo lolote ili kukinga,

kuzuia, kukaidi au kupotosha njia ya haki; au

(b) kwa kusudi la kukinga njia halisi ya haki, amshawishi,

amzuwia au amkataza mtu yeyote mwenye lazima ya halali ya

kuhudhuria mahakamani na kutoa ushahidi akiwa ni shahidi,

asihudhurie kutoa ushahidi huo, au anayejitahidi kufanya

hivyo. Kufifilisha

makosa

makubwa

111. Mtu yeyote ambaye aomba, apokea, au akubali au ajaribu

kupokea au kupata mali yoyote kwa ajili yake mwenyewe au mtu mwengine

yeyote kwa ajili ya mapatano yoyote au kwa kufahamu kwamba atafifilisha

au kuficha kosa kubwa, au ataepuka au kukomesha, au kukawilisha shtaka

la kosa kubwa hilo, ni mwenye hatia ya kosa dogo. Kufifilisha

mashtaka

yapasayo

adhabu

112. Mtu yeyote ambaye, ameleta au ajisingizia kuleta shtaka, juu

ya mtu mwingine lihusikalo na sheria ya adhabu au sheria yeyote ili apate

adhabu kwa kosa lolote ambalo limetendwa au lasema limetendwa naye,

akalififilisha shtaka hilo bila ya amri ya idhini ya mahakama ambayo

analipeleka au atalipeleka, ni wenye hatia ya kosa dogo.

113. Mtu yeyote ambaye– Tangazo la

mali iliyoibiwa (1) atangaza kutoa zawadi hadharani ili arejeshewe mali ambayo

imeibwa au imepotea na katika kutoa zawadi hiyo atumia

maneno ya kwamba hakuna maswali yatakayoulizwa, au huyo

mtu anayetoa mali hiyo hatakamatwa au kudhuriwa; au (2) atangaza hadharani kumrejeshea mtu yeyote ambaye labda

amenunua au ametanguliza malipo ya fedha kwa njia ya

Page 46: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

46

kukopa kwa ajili ya mali yoyote iliyoibiwa au kupotea,

kumrejeshea mali hiyo iliyoibiwa au kutangulizwa au kiasi

kingine chochote cha fedha au zawadi kwa ajili ya kurejeshwa

kwa mali hiyo; au (3) achapisha au atangaza ahadi kama hiyo, mtu huyo, ni mwenye

hatia ya kosa dogo. Kudharau

mahakama 114.-(1) Mtu yeyote ambaye–

(a) aonyesha ukosefu wa adabu, kwa matamshi au tabia, kwenye

kesi yoyote, ndani ya jengo au mahali jirani ya jengo hilo

ambamo kesi hiyo yasikilizwa au yafanywa, au mbele ya mtu

yeyote ambaye anaisikiliza au anaifanya kesi hiyo; au (b) amehitajiwa kutoa ushahidi katika kesi akakosa kuhudhuria au,

amehudhuria lakini akataa kuapishwa au kuthibitishwa, au

ameapishwa au kuthibitishwa, lakini akakataa bila ya kuwa na

sababu ya halali kujibu swali au kutoa hati, au abaki chumbani

ambamo kesi hiyo inasikilizwa au inafanywa, baada ya

mashabiki kuamriwa kutoka chumbani humo; au (c) aleta pingamizi au fujo wakati kesi hiyo ikiendeshwa; au (d) wakati kesi hiyo ikiahirishwa, atumia matamshi au maandishi

yanayogeuza kesi hiyo, au yawezayo kuharibu wazo la mtu

yeyote mwenye upendeleo au kinyume cha wadaawa wowote

wa kesi hiyo au yanayokusudiwa kupunguza mamlaka ya mtu

yeyote ambaye kesi hiyo yasikilizwa au yafanywa mbele yake;

au (e) atangaza habari za ushahidi uliochukuliwa kwenye kesi yoyote

iliyoamriwa iendeshwe faraghani; au (f) bila ya haki ajaribu kumuingilia au kumshawishi shahidi juu ya

ushahidi ambao ameshautoa au kabla ya kutoa ushaidi huo

uhusikao na kesi; au (g) amfukuza mtumishi kwa sababu ametoa ushahidi kwa niaba ya

mdaawa fulani katika kesi; au (h) achukua tena ardhi kutoka kwa mtu yeyote ambaye punde tu

ameimiliki ardhi hiyo kwa hati ya mahakama; au (i) afanya kitendo chochote kwa makusudi cha kutoheshimu kesi

yoyote au mtu yeyote ambaye kesi hiyo yaendeshwa au

kufanywa mbele yake tu huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo,

na anapasiwa kifungo cha miezi sita au kutozwa faini isiyozidi

shilingi mia tano. (j) … kosa lolote kinyume cha fasili (a), (b), (c), (d) au (i) ZA

….linafanywa machoni mwa mahakama, mahakama yaweza …

mkosaji kizuizini na wakati wowote kabla ya mahakama …

siku hiyo yaweza kuhukumu kosa hilo kwa kufuata ….

Kumtoza mkosaji huyo faini ya shilingi mia nne au, kulipa,

kumtia kifungoni kwa mwezi mmoja. (k) …ya fungu hili yatahesabiwa kuwa ni ziada, na si kwamba …

Page 47: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

47

wa Mahakama Kuu kutoa adhabu kwa kosa la mahakama. Kuzuia au

kukinga

uwasilishaji au

utimilizaji wa

hati Sh.1961

No.5 f.6

114A. Mtu yeyote ambaye–

(a) ….. kusudi akinga, au kwa kusudi azuwia au kwa njia yeyote ..

au apinga, uwasilishaji wa kuitwa shaurini inayopelekwa

….mwenyewe au kwa mtu mwingine yeyote, notisi, amri , hati

ya kukamatia au hati nyengineyo ambayo … na mahakama

kupelekwa kwake yeye mwenyewe …. Mtu mwingine, kama

itakavyokuwa; au

(b) ……kusudi akinga, au kwa kujua azuwia, au kwa njia yoyote

… apinga utimilizaji wa kwita shaurini yoyote, notisi, ya

kukamatia au hati nyingineyo ambayo imetolewa …, au

kumkinga, kumzuia, kumuingilia, kupinga … na halali ya

utilimizaji wa hati hiyo; au (c) …… ili kuepuka kuwasilishiwa kwita shaurini yoyote, … hati

ya kukamtia ua hati nyingine ambayo ime …. mahakama,

(d) …. Yenye hatia ya koso dogo na atapasiwa aonekanpo na …

muda uziozidi mwaka mmoja

SURA YA XII

…………. KUWAKINGA WATUMISHI WA

MAHAKAMA YA SHERIA kUTOA 115.-(1) Mtu yeyote ambaye atamtoa au atajaribu kumtoa kwa

nguvu ….. yeyote kwenye ulizi wa halali – (a) ……aliyemo katika ulinzi huo amehukumiwa kifo au kifungo

cha maisha au ameshtakiwa kwakosa lenya adhabuya kifungo

cha maisha, mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa na anapasiwa

kifungo cha maisha; na (b) …mwingine huyo ametiwa gerezani kwa shtaka au yumo

katika adhabu kwa kosa lolote lisilokuwa katika hayo yaliyo…

mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa kubwa, na kifungo cha

miaka saba; na (c) …. vyoyote, mwenye hatia ya kosa dogo.

…… anayetolewa yumo kwenye ulinzi wa mtu asiyekuwa ….. lazima

apaswe habari ya ukweli huo kwamba …. Yumo kwenye ulinzi kama huo. Kutoroka

kwenye ulinzi

wa halali

116. …ambaye, yumo kwenye ulinzi wa halali, akitoroka …

mwenye hatia ya kosa dogo.

Kutohudhuria

na kwenye kazi

ya kifungo cha

jela baridi

Sh.58 Sh.1951

No. 32 f.2

116A.-(1) Mtu yeyote ambaye ameruhusiwa kufanya kazi nje ya

gereza, kwa kufuata masharti ya fungu 87 la Sheria ya Magereza, akikosa

kuhudhuria katika saa iliyowekwa, au kutokuwapo kwenye kazi yake, yeye

ni mwenye hatia ya kosa dogo ila atakapoitosheleza mahakama kwamba

alikuwa na udhuru wa maana na wa halali kwa kutohudhuria huko.

Page 48: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

48

(2) Adhabu yoyote ya kifungo ambayo inatolewa kwa kosa dogo

kwa mujibu wa kifungu (1) cha fungu hili itajumlishwa kwenye kifungo

chochote ambacho muhukumiwa huyo apasiwa nacho na kile ambacho

amehukumiwa kukitumikia chini ya kifungu (7) cha fungu la 87 la Sheria

ya magereza.

117. Mtu yeyote ambaye–

(a) amsaidia mfungwa kutoroka au kujaribu kutoroka kwenye

ulinzi wa halali; au

Kusaidia

wafungwa

kutoroka

(b) apeleka kitu chochote au afanya kitu chochote kupelekwa

ndani ya gereza kwa kusudi la kumwezesha mfungwa

kutoroka; Mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa kubwa, na apasiwa kifungo cha miaka

saba. Uondoshaji n.k.

wa mali yoyote

iliyokamatwa

kwa halali

118. Mtu yeyote ambaye, mali yoyote imetiwa tanzi au

imechukuliwa kwa hati ya mamlaka ya mahakama yoyote, kwa kujua, na

kwa kusudi la kuzuwia au kupinga tanzi hilo au hati hiyo, aipokea,

aiondosha, aizuiwa, aificha, au aitoa mali hiyo, mtu huyo ni mwenye hatia

ya kosa kubwa, na apasiwa kifungo cha miaka mtiatu. 119. [Imeebatilishwa Sheria 1961 No. 5 f.7]

SURA YA XIII

MAKOSA YA MCHANGANYIKO KUITENDEA SERIKALI Udanganyifu

wa uvunjaji

uaminifu kwa

watumishi wa

Serikali

120. Mtu yeyote aliyeajiriwa katika kazi ya Serikali ambaye katika

kufanya shughuli za kazi yake, afanya udanganyifu wowote au uvunjaji

uaminifu ambao utadhuru watu, iwe udanganyifu huo au uvunjaji uaminifu

huo ungekuwa ni jinai au sivyo lau kama ungetendewa mtu raia, mtu huyo

ni mwenye hatia ya kosa dogo. Kupuuza kazi

ya Serikali 121. Kila mtu aliyeajiriwa katika kazi ya serikali ambaye, kwa

makusudi, atapuuza kufanya shughuli yoyote ambayo yamlazimu kuifanya

kwa mujibu wa mila ya Kiingereza au sheria yoyote, mtu huyo atakua na

hatia ya kosa dogo, ila iwapo shughuli hiyo itakuwa na hatari kubwa zaidi

kuliko ile ambayo mtu hodari na mwenye juhudi ya kawaida aweza

kuikabili. Kutoa taarifa

ya uwongo kwa

mtumishi wa

Serikali

122. Mtu yeyote ambaye atoa taarifa yoyote kwa mtumishi wa

Serikali kwa kujua au kwa kuamini kwamba taarifa hiyo ni ya uwongo, kwa

kusudi la kumfanya mtumishi huyo, au kwa kuamini kwamba taarifa hiyo

yaweza kumfanya mtumishi huyo–

(a) kufanya au kutofanya jambo lolote ambalo lampasa alifanya au

asilifanye kama angejua hali ya ukweli wa taarifa hiyo ulivyo;

au

Page 49: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

49

(b) kutumia uwezo wa halali wa mtumishi huyo ili kumdhuru au

kumuudhi mtu yeyote, Mtu huyo atakuwa ni mwenye hatia ya kosa dogo, na atapasiwa kifungo cha

miezi sita au faini ya shilingi elfu moja au yote mawili faini hiyo na kifungo

hicho. Kutotiii wajibu

wa Sheria 123. Kila mtu ambaye, kwa makusudi, hatii sheria yoyote kwa

kutenda kitendo chochote ambacho chakatazwa na sheria au hatii sheria

kwa kutotenda kitendo chochote ambacho chahusika na watu au sehemu

yoyote ya watu, mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo, na isipokuwa

yaonekana kwamba sheria ilikusudia kutoa adhabu nyengine, atapasiwa

kifungo cha miaka miwili. Kutotii amri za

halali 124. Kila mtu ambaye hatii amri yoyote, hati ya kukamatia au

amri inayowekwa, kutolewa au inayotokana na mahakama yoyote mtumishi

wa Serikali au mtu wa cheo chochote aliyeamriwa kufanya kazi ya Serikali,

mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo, na isipokuwa adhabu nyengine

yoyote au namna ya kesi kwa kutotii huko kuelezwa, atapasiwa kifungo cha

miaka miwili. 124A. Mtu yeyote ambaye atenda kitendo chochote au atamka

maneno yoyote au atangaza maandishi yoyote, kwa kusudi la kusafihi au

kufanya idharauliwe au idhihakiwe bendera rasmi ya taifa au alama rasmi

ya Tanganyika, au mfano wowote au picha yoyote ya bendera rasmi au

alama rasmi ya Tanganyika, mtu huyo atakuwa amekosa na atakapoonekana

na hatia atapasiwa faini isiyozidi shilingi elfu moja au kifungo kisichozidi

miezi kumi na mbili au yote mawili faini hiyo na kifungo hicho.

Kigawe cha III. – Makosa yatayodhuru watu kwa jumla

SURA YA XIV

MAKOSA YAHUSUYO DINI Kusafihi dini

ya watu

wowote

125. Mtu yeyote ambaye atavunja, kuharibu au kuchafua mahali

popote pa kuabudia a kitu chochote kinachoitakidiwa kitakatifu na watu wa

aina yoyote kusudi la kusasfihi dini ya aina yoyote ya watu au kwa kujua

kwamba watu wa aina Fulani huenda wakafikiria uvunjaji, uharibifu na

uchafuaji huo kuwa ni usafihi kwa dini yao mtu huyo amekosa kosa dogo. Kufuja

mikusanyiko ya

dini

126. Mtu yeyote ambaye kwa hiyari ataleta fujo katika mkusanyiko

wowote uliokusanyika kwa uhalali kufanya ibada au sharahe za dini

amekosa kosa dogo. Kuingia

maziarani bila

idhini

127. Kila mtu ambaye kwa kusudi la …………………… yoyote au

kusafihi dini ya mtu yeyote au kwa kujua kwamba mtu yeyote huenda

……………………………………….. atatenda kitecho cha kuingia bila

Page 50: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

50

idhini mhali popote pa ibada au mahali popote maziara au kufanywa mahali

pa kuweka mabaki ya maiti au atafanya dharau yoyote kwa maiti ya

binadamu au atafanya fujo kwa watu wowote waliokusanyika kwa ajili ya

mazishi mtu huyo amekosa kosa dogo. Kuzuia maiti

kuzikwa Act

1963 No.15 f.2

128.(1) Mtu yeyote ambaye………….. ……………………….

…………………………………..……………………………………………

………………………………………………………………………………

…………………yeyote au mtu yeyote ambaye akiwa na wajibu wa

kufanya maiti ya mtu yeyote izikwe akapuuza kutimiza wajibu wake kwa

makusudi na bila halali ya kufanya hivyo, mtu huo atakuwa amekosa kosa

dogo.

(2) Katika kifungu cha (1) “Waziri” ina maana ya Waziri

mwenye madaraka kwa wakati uliopo juu ya mambo yanayohusu afya. Kutamka

maneno kwa

nia ya kuudhi

imani ya dini

129. Mtu yeyote ambaye kwa dhamiri hasa ya kumuudhi mtu

yeyote juu ya imani yake ya dini akatamka maneno yoyote au akafanya

sauti yoyote itakayosikiwa na mtu huyo au akafanya ishara mbele ya mtu

huyo au akaweka kitu machoni pa mtu huyo, mtu afanyae hivyo amekosa

kosa dogo na atapasiwa kifungo cha mwaka mmoja.

SURA YA XV

MAKOSA KINYUME CHA UTU Ufafanuzi wa

kubaka 130. Mtu yeyote ambaye bila halali atamuundama mwanamke au

msichana bila idhini yake, au kwa idhini yake ikiwa idhini kaipata kwa

nguvu au kwa njia ya kuhofisha au kutishia kwa namna yoyote au kwa hofu

ya kuumizwa kiwiliwili, au kwa njia ya madanganyo juu ya namna ya

kitendo chenyewe kilivyo au, kwa upande wa muolewa, kwa kujifanya ni

mumewe, mtu huyo amekosa kosa kubwa liitwalo “kubaka”. Adhabu ya

kubaka 131. Mtu yeyote ambaye atatenda kosa la kubaka atapasiwa adhabu

ya kifungo cha maisha pamoja na kutandikwa au bila kutandikwa. Jaribio 132. Mtu yeyote ambaye atajaribu kubaka amekosa kosa kubwa na

atapasiwa kifungo cha maisha pamoja na kutandikwa au bila ya

kutandikwa. Kupoka 133. Mtu yeyote ambaye kwa dhamira ya kumwona au kmuundama

mwanamke wa umri wowote au kumfanya aolewe au kuandamiwa na mtu

mwingine yeyote, akamchukua mwanamke huyo au kuzuia bila ya radhi

yake, mtu huyo amekosa kosa kubwa na atapasiwa kifungo cha miaka saba. Kupoka

wasichana

walio chini ya

miaka kumi na

sita

134. Mtu yeyote ambaye bila halali atamchukua msichana

asiyeolewa aliye chini ya umri wa miaka kumi na sita kutoka katika ulinzi

au hifadhi ya baba yake au mama yake au mtu mwingine mwenye uangalizi

Page 51: KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 - Tanzania...SURA YA 1 UTANGULIZI 1. Jina fupi. 2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi. 3. Kuepusha sheria kadha. SURA YA II TAFSIRI 4. Kanuni

51

wa halali na madaraka juu ya msichana huyo, na akamchukua bila ya radhi

ya baba yake au mama huyo au huyo mtu mwingine, mtu huyo amekosa

kosa dogo. Sshambulio la

aibu kwa

wanawake

Sh.1954 No. 47

f.3

135.-(1) Mtu yeyote ambaye bila halali atamfanyia shambulo la aibu

mwanamke yeyote au msichana yeyote, amekosa kosa kubwa na atapasiwa

kifungo cha miaka kumi na nne.

(2) Iwapo shitaka la shambulio la aibu chini ya fungu hili linahusu

msichana aliye chini ya umri wa miaka kumi na mbili itakuwa si utetezi juu

ya shitaka hilo kudai kwamba alikubali mwenyewe kutanyiwa kitendo cha

aibu hicho. Isipokuwa kwamba itakuwa ni utetezi wa kutosha juu ya shitaka lolote la

namna hiyo ikiwa itadhihirishwa mbele ya mahakama ambayo shitaka hilo

linapelekwa kwamba mtu huyo aliyeshitakiwa alikuwa na sababu ya

kutosha kumfanya aamini na ikiwa kwa hakika aliamini kwamba msichana

huyo alikuwa na umri wa kuzidi miaka kumi na mbili.