205
Katiba ya Chama Cha Mapinduzi

KATIBA YA CCM

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Katiba ya CCM Toleo la 2012

Citation preview

Page 1: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi

Page 2: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi(i)

KATIBA

YA

CHAMA CHA MAPINDUZI

1977

TOLEO LA 2012

Page 3: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi(ii)

Toleo hili limezingatia na kuweka pamojamarekebisho yote yaliyofanywa katikaKatiba ya Chama Cha Mapinduzi ya 1977hadi kufikia mwaka 2012.

Page 4: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi(iii)

YALIYOMOUkurasa

1. Azimio la Mkutano Mkuu wa Taifawa pamoja wa TANU na ASP ............................... 1-4

2. SEHEMU YA KWANZA:-Jina, Imani na Madhumuni ................................... 5-10

3. SEHEMU YA PILI:-Wanachama na Uongozi ................................... 11-20

4. SEHEMU YA TATU:(i) Vikao vya Shina ...................................... 21-28(ii) Vikao vya Tawi ........................................ 29-48(iii) Vikao vya Kata/Wadi ............................... 49-70(iv) Vikao vya Jimbo ...................................... 71-92(v) Vikao vya Wilaya.................................. 92-121(vi) Vikao vya Mkoa .................................. 121-147(vii) Vikao vya Taifa .................................. 147-190

5. SEHEMU YA NNE:-Wazee na Jumuiya zaWananchi ....................................................... 190-191

6. SEHEMU YA TANO:-Mengineyo ..................................................... 192-198

7. Ahadi za Wanachama waChama cha Mapinduzi .......................................... 199

8. Nyongeza “A” ........................................................ 199

9. Nyongeza “B” ................................................ 199-200

Page 5: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi(iv)

Page 6: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi1

KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI

AZIMIO LA MKUTANO MKUU WA TAIFAWA PAMOJA WA TANU NA ASP

Kwa kuwa Mkutano Mkuu wa Taifa wa pamoja,kwa niaba ya Wana-TANU na Wana-ASP, kwapamoja unaelewa na kukubali kwamba jukumuletu katika Historia ya Taifa ni kuimarisha Umoja,kuleta Mapinduzi ya Kijamaa Tanzania nakuendeleza mapambano ya Ukombozi katikaAfrika na kote duniani;

Kwa kuwa tunatambua kuwa Mapambano yaKujenga Ujamaa katika Tanzania na kushirikikwetu kwa ukamilifu katika harakati za Mapinduziya Afrika na Dunia kunahitaji Chombo madhubuticha uongozi kinacho-unganisha fikira na vitendovya wafanyakazi na wakulima;Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuriya kimapinduzi na ya mafanikio makubwailiyokwishafanywa na TANU na ASP katikakumwondoa Mwafrika kutoka kwenye unyongewa kunyonywa, kunyanyaswa na kudharauliwana kumfikisha kwenye uhuru na kuheshimiwa;Kwa kuwa tunatambua kuwa Umoja wa TANUna ASP unatokana na ushirikiano wetu wa miakamingi tangu wakati wa Mapambano ya kupiganiaUhuru hadi sasa, na unatokana pia na Siasayetu moja ya Ujamaa na Kujitegemea;Kwa kuwa tunatambua pia kwamba kuweko kwaVyama viwili katika mazingira ya Chama kimoja

Page 7: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi2

cha Siasa kunapunguza upeo wa Nguvu naUmoja wetu katika kuendeleza mapambano yakujenga ujamaa nchini na kushiriki kwa pamojakwa ukamilifu katika harakati za mapinduzi yaTanzania, ya Afrika na ya dunia;

Kwa kuwa, kihis toria, tumeongozwa nakumbukumbu ya kitendo kama hiki cha kimapinduzina busara ambacho Waanzilishi wa TANU, chiniya Uongozi wa Mwalimu Julius K. Nyererewalikifanya hapo awali cha kuvunja Chama chaAfrican Association na kuunda TANU, nawaanzil ishi wa ASP chini ya uongozi waMarehemu Abeid Amani Karume, walikifanyahapo awali cha kuvunja Vyama vya Afr icanAssociation na Shiraz Association na kuundaASP, shabaha yao wote ikiwa ni kuunda Chamakipya madhubuti na cha kimapinduzi chenyeuwezo mkubwa zaidi wa kuongoza mapambanoya wananchi wetu katika mazingira mapya yawakati huo.

Kwa hiyo basi:

(1) Sis i wajumbe wa Mkutano Mkuu waTai fa wa pamoja wa TANU na ASPtuliokutana leo tarehe 21 Januari, 1977mjini Dar es Salaam, chini ya uongozi wapamoja wa Mwalimu Julius K. Nyerere Raiswa TANU na Ndugu Aboud Jumbe, Raiswa ASP, kwa kauli moja tunaamua nakutamka rasmi kuvunjwa kwaTanganyikaAfrican National Union (TANU) naAfro Shirazi Party (ASP) ifikapo tarehe 5Februari, 1977, na wakati huo huo

Page 8: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi3

kuundwa kwa Chama kipya cha pekee nachenye uwezo wa mwisho katika mamboyote kwa mujibu wa Katiba.

(2) Vyama vya TANU na ASP vinavunjwa kwataadhima kubwa. TANU na ASP havikuamuakujivunja kama vyama kwa kuwavimeshindwa kutekeleza jukumu lao. Kwahakika TANU na ASP ni Vyama vilivyopatamafanikio ya kipekee katika Afrika katikakulitekeleza jukumu la kihistoria na mafanikiohayo ndiyo leo yamewezesha kitendo hikicha Vyama viwili kujivunja vyenyewe. TANUna ASP vitaheshimiwa siku zote kama viungomuhimu katika Historia ya Mapambano yaUkombozi wa Taifa letu na wa Bara la Afrika,na waanzilishi wa TANU na ASPwatakumbukwa daima kama mashujaa wataifa letu waliotuwezesha leo kupiga hatuahii ya kufungua ukurasa mpya katika Historiaya Tanzania.

(3) Tumeamua kwa pamoja kuunda Chama kipyacha kuendeleza mapinduzi ya kijamaa nchiniTanzania na Mapambano ya Ukombozi waAfrika juu ya misingi iliyojengwa na TANU naASP.

Chama tunachokiunda tunataka kiwe chombomadhubuti katika muundo wake na hasa katika fikrazake na vitendo vyake vya kimapinduzi vya kufutilia

Page 9: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi4

mbali aina zote za unyonyaji nchini, na kupambanana jaribio lolote lile la mtu kumuonea mtu au shirika auchombo cha nchi kuonea na kudhalilisha wananchi,kudhoofisha uchumi au kuzorotesha maendeleo yaTaifa;

Chama tunachokiunda tunataka kishike barabara hatamuza uongozi wa shughuli zote za umma kwa maslahi yaWafanyakazi na Wakulima wa Taifa letu; Chamatunachokiunda tunataka kiwe kiungo kati yaWanamapinduzi wa Tanzania na Wanamapinduziwenzetu kokote waliko.

Page 10: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi5

SEHEMU YA KWANZA

JINA, IMANI NA MADHUMUNI1. Jina la Chama litakuwa CHAMA CHA

MAPINDUZI, kwa kifupi CCM.2. Makao Makuu ya CCM yatakuwa Dodoma

na kutakuwa na Afisi Kuu ya Chama ChaMapinduzi Zanzibar na Ofisi Ndogo yaMakao Makuu Dar es Salaam.

3. Bendera ya CCM itakuwa na rangi ya kijanikibichi, ambayo itakuwa na alama yaJembe (alama ya mkulima) na Nyundo(alama ya mfanyakazi) kwenye pembe yajuu upande wa mlingoti.

4. Chama Cha Mapinduzi kinaamini kwamba:(1) Binadamu wote ni sawa.(2) Kila mtu anastahil i heshima ya

kutambuliwa na kuthaminiwa utuwake.

(3) Ujamaa na Kujitegemea ndiyo njiapekee ya kujenga jamii ya watuwalio sawa na huru.

5. Kwa hiyo Malengo na Madhumuni ya CCMyatakuwa yafuatayo:(1) Kushinda katika Uchaguzi wa Serikali

Kuu na Serikali za Mitaa Tanzania Barana Zanzibar ili kuunda na kushikaSerikali Kuu na Serikali za Mitaakatika Jamhuri ya Muungano wa

MakaoMakuuya Chama

Jina laChama

BenderayaCCM

Imani yaCCM

Malengo naMadhumuniya CCM

Page 11: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi6

Tanzania kwa upande mmoja naZanzibar kwa upande wa pili.

(2) Kulinda na kudumisha Uhuru waNchi yetu na raia wake.

(3) Kuhimiza ujenzi wa Ujamaa naKujitegemea kwa mujibu wa Azimiola Arusha.

(4) Kusimamia utekelezaji wa Siasa yaCCM pamoja na kuendeleza fikra zaviongozi waasis i wa vyama vyaTANU na ASP, kamazilivyofafanuliwa katika maandikombali mbali ya Vyama hivyo.

(5) Kuona kwamba kila mtu anayo hakiya kupata kutoka katika Jamii hifadhiya maisha yake na mali yake kwamujibu wa sheria.

(6) Kuona kwamba katika Nchi yetu kilamtu aliye na uwezo wa kufanyakazi anafanya kazi; na kazi maanayake ni shughuli yoyote halaliinayompatia mtu riziki yake.

(7) Kusimamia haki na maendeleo yaW akulima, W afanyakazi nawananchi wengine wenye shughulihalali za kujitegemea; na hasa kuonakwamba kila mtu ana haki ya kupata

Page 12: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi7

malipo yanayostahili kutokana nakazi yake.

(8) Kuona kwamba kwa kutumia Vikaovilivyowekwa, raia anayo haki yakushiriki kwa ukamilifu katika kufikiauamuzi wa mambo ya Taifa nayanayomhusu, na kwamba anaouhuru wa kutoa mawazo yake, wakwenda anakotaka, wa kuamini Dinianayotaka na kukutana na watuwengine,maadamu havunji Sheriaau Taratibu zilizowekwa.

(9) Kuona kwamba Nchi yetu inatawaliwakwa misingi ya kidemokrasia na yakijamaa.

(10) Kuhifadhi, kukuza na kudumishaimani na moyo wa kimapinduzimiongoni mwa Watanzania pamojana ushirikiano na wanamapinduziwenzetu kokote waliko.

(11) Kuweka na kudumisha heshima yabinadamu kwa kufuata barabaraKanuni za Tangazo la Dunia la Hakiza Binadamu.

(12) Kuona kwamba Dola inakuwa Mhimiliwa Uchumi wa Taifa.

Page 13: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi8

(13) Kuona kwamba Serikali na Vyombovyote vya Umma vinasaidia kwavitendo kuanzishwa na kuendelezashughuli za Ushirika na za ujamaa,na shughuli nyinginezo halali zawananchi za kujitegemea.

(14) Kuona kwamba matumizi ya utajiriwa Taifa yanatilia mkazo maendeleoya W ananchi na hasa jitihada zakuondosha umasikini, Ujinga naMaradhi.

(15) Kuona kwamba Serikali na vyombovyote vya umma vinatoa nafasizil izo sawa kwa raia wote,wanawake na wanaume bila kujalirangi, kabila, Dini, au hali ya mtu.

(16) Kuona kwamba katika nchi yetuhakuna aina yoyote ya dhuluma,vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevuna/au upendeleo.

(17) Kuendelea kupiga vita UkoloniMamboleo, Ubeberu na Ubaguzi waaina yoyote.

(18) Kuimarisha uhusiano mwema naVyama vyote vya Siasa vya Nchinyingine vyenye it ikadi kama ya

Page 14: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi9

CCM ambavyo kweli vinapingaUkoloni, Ukoloni Mamboleo, Ubeberuna Ubaguzi wa aina yoyote.

(19) Kushirikiana na Vyama vinginekatika Afrika, kwa madhumuni yakuleta Umoja wa Afrika, na kuonakwamba Serikali inaendeleza nakuimarisha ujirani mwema.

5 A. Katika katiba hii, maneno yafuatayoyatakuwa na maana inayoonyeshwa kwakila neno linalohusika:

'Wabunge wa aina nyingine' maana yakeni Wabunge wa Viti Maalum, Wabunge wakuteuliwa pamoja na Wabunge wa Bungela Afrika Mashariki, wanaotokana na CCM.

'Wawakilishi' maana yake ni Wajumbe waBaraza la W awakil ishi la Zanzibarwanaotokana na CCM.

'Kanuni zinazohusika' maana yake niKanuni za CCM zinazohusika,zilizoorodheshwa katika Nyongeza 'B' yaKatiba hii.

Kwa ajili ya kuondoa utata unaoweza kujitokeza,inafafanuliwa zaidi kwamba endapo Kanuniyoyote itaonekana kuwa inapingana na Masharti

Page 15: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi10

ya Katiba hii, masharti ya Katiba ndiyoyatakayofuatwa.

Page 16: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi11

SEHEMU YA PILI

WANACHAMA NA VIONGOZI

IFUNGU LA 1

WANACHAMA

6. Kila mtu aliyekuwa mwanachama waTANU au wa ASP mara kabla ya kuvunjwakwa Vyama hivyo, na aliyekuwaanatimiza masharti ya Uanachama wake,atakuwa mwanachama wa Chama ChaMapinduzi, isipokuwa kama atakataamwenyewe.

7. Raia yeyote wa Tanzania mwenye umriusiopungua miaka 18, anaweza kuwaMwanachama wa Chama Cha Mapinduziiwapo anakubali Imani, Malengo naMadhumuni ya CCM.

8. Mtu atakayekubaliwa kuingia katika CCM,au kuendelea kuwa Mwanachama, ni yuleanayetimiza Masharti yafuatayo:(1) Kuwa mtu anayeheshimu watu.

(2) Kuwa mtu anayefanya juhudi yakuielewa, kuieleza, kuitetea nakuitekeleza Itikadi na Siasa ya CCM.

(3) Kuwa mtu mwenye kuamini kuwakazi ni kipimo cha Utu, na kuitekelezaimani hiyo kwa vitendo.

WanachamaWaasisi

WanachamaWapya

Masharti yaUanachama

Page 17: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi12

(4) Kuwa mtu anayependa kushirikianana wenzake.

(5) Kuwa mtu ambaye siku zote yukomstari wa mbele katika utekelezajiwa mambo yote ya Umma, kulinganana Miongozo ya CCM.

(6) Kuwa wakati wote ni mfano watabia nzuri kwa vitendo vyake nakauli yake, kuwa mwaminifu nakutokuwa mlevi au mzururaji.

(7) Kuwa ama Mkulima, Mfanyakazi, aumwenye shughuli nyingine yoyotehalali ya kujitegemea.

9. Mtu atakayetaka kuwa Mwanachamaatajaza fomu ya maombi na kuipeleka kwaKatibu wa Tawi anapoishi.

10. Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Tawi itafikiria na kutoa uamuzi wamwisho kuhusu maombi ya Uanachama.

11. CCM itakuwa na Mpango wa kutoa mafunzokwa wanachama wake juu ya Imani, Malengona Madhumuni ya Siasa ya CCM kwa jumla.

12. (1) Mtu akikubali kuwa Mwanachamaitabidi atekeleze haya yafuatayo:-

Utaratibu wakuombaUanachama

Utaratibu wakufikiriamaombi yaUanachama

MafunzokwaWanachama

Kiingilio naAda zaUanachama

Page 18: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi13

(a) Atatoa ahadi zilizoorodheshwakatika NYONGEZA "A" yaKatiba hii. Atazitoa katika mfumowa kiapo,mbele ya Kiongozialiyemkabidhi Kadi yaUanachama.

(b) Atatoa kiingilio cha Uanachama.(c) Atalipa ada ya Uanachama

kila mwezi, isipokuwa kamaakipenda anaweza kulipaada ya mwaka mzima maramoja.

(d) Atatoa michango yoyoteitakayoamuliwa.

(2) Viwango vya kiingilio, ada namichango vitawekwa na HalmashauriKuu ya Taifa.

13. (1) Uanachama wa mwanachamautakwisha kwa:-

(a) Kufariki.(b) Kujiuzulu mwenyewe.(c) Kuachishwa kwa mujibu wa

Katiba.(d) Kufukuzwa kwa mujibu wa

Katiba.(e) Kutotimiza masharti ya

uanachama.

KuondokakatikaChama

Page 19: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi14

(f ) Kujiunga na Chama kinginechochote cha siasa.

(2) Mwanachama ambaye uanachamawake unakwisha kwa sababu yoyoteile hatarudishiwa kiingilio alichokitoa,ada aliyotoa wala michango yoyotealiyoitoa.

(3) Mwanachama aliyeachishwa aukufukuzwa Uanachama akitakakuingia tena katika CCM, itabidi aombeupya, na atapeleka maombi yake hayoama katika Halmashauri Kuu ya Wilayaama kikao kilichomwachisha aukumfukuza Uanachama.

(4) Mwanachama aliyejiuzulu akitakakuingia tena katika CCM ataombaupya kwa kufuata utaratibu wakuomba Uanachama kwa mujibu waKatiba ya CCM.

14. Mwanachama yeyote atakuwa na hakizifuatazo:-(1) Haki ya kushiriki katika shughuli zote

za CCM kwa kufuata utaratibuuliowekwa.

(2) Haki ya kuhudhuria na kutoa maoniyake katika mikutano ya CCM paleambapo anahusika kwa mujibu waKatiba.

Haki zaMwanachama

Page 20: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi15

(3) Haki ya kuomba kuchaguliwa kuwaKiongozi wa CCM na ya kuchaguaviongozi wake wa CCM kwa mujibuwa Katiba, Kanuni na Taratibu zaCCM.

(4) Haki ya kujitetea au kutoa maelezoyake Mbele ya Kikao cha CCMkinacho-husika katika mashtakayoyote yaliyotolewa juu yake,pamoja na haki ya kukata rufani yakwenda katika Kikao cha juu zaidicha CCM kama kipo endapohakuridhika na hukumu iliyotolewa.

(5) Haki ya kumuona kiongozi yeyote waCCM maadam awe amefuatautaratibu uliowekwa.

(6) Haki ya kupiga Kura yake ya Maonikwa wagombea wa CCM wa nafasiza Udiwani wa Kata/Wadi, Ubungena Uwakilishi wa Jimbo kwa kufuatamasharti ya Kanuni za CCM.

15. Kila Mwanachama atakuwa na wajibuufuatao:-(1) Kujua kwamba Chama Cha

Mapinduzi ndicho chenye nguvu,uwezo na kwamba nguvu hizozinatokana na umoja waWanachama, fikira sahihi za CCMna kukubalika kwake na umma. Kwahiyo kulinda na kuendeleza mambo

Wajibu waMwanachama

Page 21: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi16

hayo ni Wajibu wa kwanza wa kilaMwanachama.

(2) Kutumikia nchi yake na watu wakewote kwa kutekeleza wajibu wakebila hofu, chuki wala upendeleo wanafsi yake, rafiki au jamaa.

(3) Kujitolea nafsi yake kuondoshaUmasikini, Ujinga, Maradhi na Dhuluma,na kwa jumla kushirikiana na wenzakewote katika kujenga Nchi yetu.

(4) Kuwa wakati wote mkweli, mwaminifuna raia mwema wa Tanzania.

(5) Kukiri kwa imani na kutekeleza kwavitendo Siasa ya CCM ya Ujamaana Kujitegemea.

(6) Kujielimisha kwa kadiri ya uwezowake, na kutumia elimu hiyo kwafaida ya wote.

(7) Kuwa tayari kujikosoa nakukosolewa il i kuweza kuwa namsimamo sahihi wa siasa ya CCM.

(8) Kuwa wakati wowote hadaiwi adazozote za Uanachama.

(9) Kuhudhuria mikutano ya CCMinayomhusu.

Page 22: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi17

FUNGU LA II

VIONGOZI

16. Kiongozi wa CCM ni kila Mwanachamamwenye dhamana yoyote katika CCMaliyechaguliwa au kuteuliwa kwa mujibuwa Katiba.

17. Pamoja na kutimiza masharti ya Uanachamakama yalivyoelezwa katika Katiba,Kiongozi sharti pia awe na sifa zifuatazo:-

(1) Awe ni mtu aliyetosheka na asiwemtu aliyetawaliwa na tamaa.

(2) Awe ni mtu anayependa kuenezamatunda ya Uhuru kwa wananchiwote kwa ajili ya manufaa yao namaendeleo ya Taifa kwa jumla.

(3) Awe na s ifa nyingine kamazil ivyowekwa katika Kanunizinazohusika.

18. Ni mwiko kwa kiongozi:-

(1) Kutumia madaraka aliyopewa amakwa ajili ya manufaa yake binafsi aukwa upendeleo, au kwa namnayoyote ambayo ni kinyume cha lengolililokusudiwa madaraka hayo.

Maana yaKiongozi

Sifa zaKiongozi

Miiko yaKiongozi

Page 23: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi18

(2) Kupokea mapato ya kificho, kutoaau kupokea rushwa, kushiriki katikamambo yoyote ya magendo aumambo mengine yaliyo kinyume chalengo lililokusudiwa madaraka hayo.

(3) Miiko mingine ya Viongozi itakuwakama il ivyowekwa katika Kanunizinazohusika.

19. (1) Uongozi wa kiongozi utakoma kwa:-(a) Kufariki(b) Kujiuzulu mwenyewe.(c) Kuachishwa kwa mujibu wa

Katiba.(d) Kufukuzwa kwa mujibu wa

Katiba.(e) Kung'atuka /kuacha kazi.( f ) Kujiunga na chama kingine

chochote cha siasa.

(2) Kiongozi aliyeachishwa aukufukuzwa uongozi anawezakuomba tena nafasi ya uongoziwowote na maombi yakeyatafikiriwa na kutolewa uamuzi nakikao kilichomwachisha aukumfukuza uongozi.

KuondokakatikaUongozi

Page 24: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi19

20. (1) Mwanachama anayeomba nafasi yauongozi wa aina yoyote katika CCMhatakubaliwa kuwa amechaguliwampaka awe amepata zaidi ya nusu yakura halali zilizopigwa.

(2) Katika uchaguzi wa kujaza nafasinyingi kwa pamoja, ushindiutahesabiwa kwa kufuata wingi wakura alizopata mwombaji wa nafasihiyo zaidi ya wenzake, bila kujalikama kura hizo zinafikia nusu yakura halali zilizopigwa.

Kiwangocha kurakatikauchaguzi waViongozi

Page 25: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi20

Page 26: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi21

SEHEMU YA TATUVIKAO VYA CCM

FUNGU LA 1

VIKAO VYA SHINA

21. Kikao cha mwanzo kabisa cha CCM kitakuwa nikikao cha Shina. Hapa ndipo kila mwanachamaatadhihirisha uanachama wake kwa kutekelezakwa vitendo wajibu wake wa uanachama. Aidhahapa ndipo alamazinazokitambulisha Chama kamavile bendera, zitakapoanzia kutumika.

22. (1) Kutakuwa na aina zifuatazo zaMashina:-(i) Mashina ya Ndani ya Nchi:-

(a) Mashina yaliyo-undwakatika maeneo ya makazikatika nyumba kumizil izohesabiwa nakuwekwa pamoja kwamadhumuni ya kuundashina.

(b) Mashina maalum yaliyo-undwakatika Ofisi za CCM, Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa naCCM na Taasisi nyingine zaCCM.

(c) Mashina ya Wakereketwa/Maskani yaliyoundwa nawanachama wa CCM

Shina

Aina zaMashina

Page 27: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi22

katika maeneo husika,baada ya kupata idhini yaKamati ya Siasa yaWilaya.

(ii) Mashina ya Nje ya Nchi:-Mashina yaliyoundwa Nje yaNchi katika maeneo wanakoishiwanachama wa CCM, baadaya kupata idhini ya Kamati Kuuya Halmashauri Kuu ya Taifa.

(2) lli W anachama waweze kuundaShina, idadi yao isiwe chini ya watano.

(3) Kila Shina la eneo la makazi au lililo njeya nchi na kila Shina Maalum litachaguaKiongozi wa Shina kwa mujibu wautaratibu uliowekwa ambayeatajulikana kama Balozi wa Shina.Aidha kila Shina la Wakereketwa/Maskani litachagua Kiongozi wa Shinakwa utaratibu uliowekwa ambayeatajulikana kama Mwenyekiti wa Shinala Wakereketwa au la Maskani.

(4) Kila Shina lenye W anachamawasiopungua kumi (10) litachaguaKamati itakayoitwa Kamati ya Uongoziya Shina yenye wajumbe watanoakiwemo Balozi/Mwenyekiti waShina hilo. Katibu wa Shinaatachaguliwa na Kamati ya Uongoziya Shina.

Page 28: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi23

23. Pamoja na wajibu mwingine wowoteunaowahusu wanachama kwa jumla, kilaShina litakuwa na wajibu ufuatao:-

(1) Kulinda na kuendeleza Siasa ya CCMkatika Shina.

(2) Kuona kwamba unakuwepo ulinzi nausalama wa umma katika eneo lake.

(3) Kueneza itikadi na Siasa ya CCMkatika Shina.

(4) Kutekeleza ipasavyo maamuzi namaagizo ya ngazi za juu ya CCM naya Serikali pamoja na shughulinyinginezo za umma.

24. Kutakuwa na vikao vifuatavyo vya CCMkatika kila Shina:-

(1) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shina.(2) Mkutano wa Wanachama wote wa

Shina.(3) Kamati ya Uongozi ya Shina pale

panapohusika.

25. (1) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinautakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Balozi/Mwenyekiti wa Shina.(b) W ajumbe wa Kamati ya

Uongozi ya Shina pale

Wajibu waShina

Vikao vyaCCM vyaShina

Mkutano wamwaka waCCM waShina

Page 29: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi24

panapohusika kwa mujibuwa Katiba.

(c) W anachama wengine wotewa Shina hilo.

(2) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinandicho kikao kikuu cha CCM katika Shina.

(3) Mkutano wa Mwaka wa CCM waShina utafanyika kwa kawaida maramoja kwa mwaka, lakini unawezakufanyika wakati wowote mwingineendapo itatokea haja ya kufanya hivyo,au kwa maagizo ya vikao vya juu.

(4) Balozi/Mwenyekiti wa Shinaataongoza Mkutano wa Mwaka waCCM wa Shina. Lakini Balozi/Mwenyekiti wa Shina asipowezakuhudhuria, Mkutano unawezakumchagua mjumbe mwingine yeyotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

26. Kazi za Mkutano wa Mwaka wa CCM waShina zitakuwa zifuatazo:(1) Kufikiria taarifa ya kazi za CCM

katika Shina na kutoa maelekezo yautekelezaji wa Siasa ya CCM kwakipindi kijacho.

(2) Kuzungumzia mambo yoteyanayohusu maendeleo kwa jumlakatika Shina.

Kazi zaMkutano waMwak a waCCM waShina

Page 30: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi25

(3) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juu yanatekelezwaipasavyo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinautashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Balozi/Mwenyekiti wa Shina.

(b) Kuwachagua wajumbe waKamati ya Uongozi ya Shinapale panapohusika.

27. (1) Kutakuwa na Mkutano wa Wanachamawote wa Shina kwa kila Shina.

(2) Mkutano wa wanachama wote waShina utazungumzia mambo yenyemaslahi ya CCM na ya wananchimahali pale Shina lilipo, kama vileshughuli za Ulinzi na Usalama,maendeleo katika Shina na kufikishamapendekezo ya wanachama katikavikao vya juu.

(3) Utawapigia kura za maoni wana-CCM wanaogombea nafasi yaMwenyekiti wa Kitongoji/Mtaawakati wa uchaguzi wa Serikali zaMitaa.

(4) Mkutano wa W anachama woteutafanyika kwa kawaida si chini yamara moja kwa mwezi.

Mkutano waWanachamawote waShina

Page 31: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi26

(5) Kiwango cha mahudhurio katikamikutano ya wanachama wotekatika Shina kitakuwa ni zaidi yatheluthi moja ya wajumbe walio nahaki ya kuhudhuria kikao hicho.

(6) Balozi/Mwenyekit i wa Shinaataongoza Mkutano wawanachama wote wa Shina lakinias ipoweza kuhudhuria, Mkutanoutamchagua mjumbe mwingineyeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutanohuo.

28. Kamati ya Uongozi ya Shina palepanapohusika kwa mujibu wa Katibaitakuwa na wajumbe wafuatao:

(1) Balozi/Mwenyekiti wa Shina(2) W ajumbe wanne wa Kamati ya

Uongozi ya Shina.

29. Kazi za Kamati ya Uongozi ya Shinazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia utekelezaji wamaamuzi yote ya CCM na utendajikazi katika Shina.

(2) Kuandaa shughuli za vikao vyotevya CCM vya Shina.

Kamati yaUongozi yaShina

Kazi zaKamati yaUongozi yaShina

Page 32: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi27

30. (1) Balozi/Mwenyekit i wa Shinaatachaguliwa na Mkutano waMwaka wa CCM wa Shina. Atakuwakatika nafasi ya Uongozi kwa mudawa miaka mitano, lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya mudahuo kumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka yakuangaliamambo ya CCM na utendajikazi katika Shina.

(3) Atakuwa kiungo cha wanachamawote katika Shina.

(4) Atakuwa ndiye mwenezi namhamasishaji mkuu wa Siasa yaCCM katika eneo lake.

(5) Atakuwa na wajibu wa kuwaelezaWanachama maamuzi yote ya CCM,kuwaongoza na kuwashir ikishakatika utekelezaji wa maamuzi hayo,na kuf ikisha mapendekezo yawanachama katika vikao vya juu.

(6) Atakuwa na wajibu wa kufuati liautekelezaji wa mambo yote ya siasakatika Shina lake.

(7) Atakuwa na wajibu wa kujengauhusiano mwema wa wakazi wa

Balozi waShina

Page 33: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi28

Shina lake kwa lengo la kuundamazingira ya amani na utulivu.

(8) Ataongoza Kamati ya Uongozi yaShina pale panapohusika.

(9) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutanowa Mwaka wa CCM wa Shina, naMkutano wa Wanachama wote waShina.

(10) Katika Mikutano anayoongoza zaidiya kuwa na kura yake ya kawaida,atakuwa pia na kura ya uamuzi,endapo kura za wajumbewanaoafiki na wasioafiki zitalingana.Isipokuwa kwamba kama Kikaoanachokiongoza ni Kikao chaUchaguzi, Mwenyekiti atakuwa nakura yake ya kawaida tu. Hatakuwana haki ya kutumia kura yake yauamuzi endapo kura za W ajumbezimelingana. W ajumbe wa kikaowataendelea kupiga kura mpakahapo mshindi atakapopatikana.

Page 34: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi29

FUNGU LA II

VIKAO VYA TAWI

31. (1) Kutakuwa na aina nne za Matawi yaCCM kama ifuatavyo:-

(a) Matawi ambayo yameundwavijijini ambayo yataitwa Matawiya Vijijini.

(b) Matawi ambayo yameundwa katikamaeneo wanayoishi watu mijiniambayo yataitwa Matawi ya Mitaani.

(c) Matawi maalum ambayoyameundwa kwenye Of is iza CCM, Taasisi za CCM, naTaasis i nyinginezinazoongozwa na CCM; naVyuo vya Elimu ya Juu.

(d) Matawi ambayo yame-undwa nje ya nchi yenyewanachama wa CCM wengiwanaoishi katika sehemumbalimbali za nchi hiyonaambao wana Mashina yao.Matawi haya yatafu-nguliwakwa idhini ya Kamati Kuu.

(2) Tawi litafunguliwa tu iwapo mahalihapo panapohusika kuna Wanachamawasiopungua hamsini na wasiozidimia sita.

Aina zaMatawi yaCCM

Page 35: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi30

32. Kutakuwa na vikao vifuatavyo vya CCMkatika kila Tawi:-(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawi.(2) Mkutano wa Wanachama wote wa

Tawi.(3) Mkutano wa Halmashauri Kuu ya

CCM ya Tawi.(4) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu

ya CCM ya Tawi.(5) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya

CCM ya Tawi.

33. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawiutakuwa na Wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.(b) Katibu wa CCM wa Tawi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi

wa Tawi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha

wa Tawi.(e) Wajumbe wote wa Halmashauri

Kuu ya CCM ya Tawi.(f ) Mwenyekiti wa Serikali ya

Kijiji/Mji Mdogo/Mtaa/Kitongojianayetokana na CCM,anayeishi katika Tawi hilo.

(g) Wajumbe wote wa MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/Wadiwaliomo katika Tawi hilo.

Vikao vyaCCM vyaTawi

MkutanoMkuu waCCM waTawi

Page 36: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi31

(h) W ajumbe wote wa MkutanoMkuu wa CCM wa W ilayawaliomo katika Tawi hilo.

(i) Mabalozi wa Mashina wa Tawihilo.

(j) W enyevit i wa Mashina yaW akereketwa/ Maskani yaTawi hilo.

(k) Mwenyekiti na Katibu wa Tawiwa Jumuiya inayoongozwa auiliyo jishirikisha na CCM, naMjumbe mmoja mwingineambaye ni Mwanachama waCCM aliyechaguli wa na kilaJumuiya iliyomo katika Tawi hilo.

(l) Diwani anayetokana na CCManayeishi katika Tawi hilo.

(m) Wanachama wengine wote waTawi hilo.

(n) Mwenyekiti na Katibu wa kilaJumuiya inaoongozwa na CCMwa mashina yote yaliyomokatika Tawi hilo.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawindicho kikao kikuu cha CCM katikaTawi.

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawiutafanyika kwa kawaida mara moja

Page 37: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi32

kwa mwaka, lakini unawezakufanyika wakati wowote mwingineendapo itatokea haja ya kufanya hivyoau kwa maagizo ya kikao cha juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiataongoza Mkutano Mkuu wa CCM waTawi. Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Mkutano huo unawezakumchagua mjumbe mwingine yeyotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

34. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawizitakuwa zifuatazo:

(1) Kupokea na kujadili Taarifa ya Kaziza CCM katika Tawi, iliyotolewa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Tawina kutoa maelekezo ya utekelezajiwa Siasa ya CCM kwa kipindikijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juuyanatekelezwa ipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yoteyanayohusu Ulinzi na Usalama naMaendeleo kwa jumla katika Tawihilo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawiutashughulikia mambo yafuatayo:-

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM waTawi

Page 38: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi33

(a) Kumchagua Mwenyekiti waCCM wa Tawi.

(b) Kuwachagua wajumbewatano wa kuhudhuriaMkutano Mkuu wa CCM waKata/Wadi.

(c) Kumchagua mjumbe mmojawa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa CCM wa J imbo na waWilaya.

(d) Kuwachagua wajumbe kumiwa kuingia katika HalmashauriKuu ya CCM ya Tawi.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuuwa CCM wa Tawi kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

35. (1) Kutakuwa na Mkutano wa Wanachamawote wa CCM katika kila Tawi.

(2) Mkutano huo utazungumzia mamboyaliyo na maslahi ya CCM na yawananchi mahali pale Tawi lilipo,kama vile shughuli za Ulinzi naUsalama, na maendeleo katika Tawi.

(3) Mkutano wa W anachama woteutafanyika kwa kawaida mara mojakatika kila miezi mitatu, lakini unawezakufanyika wakati wowote endapoitatokea haja ya kufanya hivyo aukwa maagizo ya kikao cha juu.

Mkutano waWanachamawote wa Tawi

Page 39: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi34

(4) Kiwango cha mahudhurio katikaMikutano ya W anachama wotekatika Tawi kitakuwa zaidi ya theluthimoja ya Wajumbe wake wenye hakiya kuhudhuria kikao hicho.

(5) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiataongoza Mkutano waWanachama wote wa Tawi, lakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Mkutano utamchagua mjumbemwingine yeyote miongoni mwaokuwa Mwenyekit i wa muda waMkutano huo.

(6) Siku ya kupiga Kura za maoni kwawagombea wa ngazi za Kiji ji naMtaa, wana CCM wote watapigaKura zao za maoni wakiwa katikaMatawi ya Vijijini au Mitaani ambakowanaishi na ambako wao niwanachama.

36. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawiitakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.(b) Katibu wa CCM wa Tawi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi

wa Tawi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha

wa Tawi.

HalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Page 40: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi35

(e) Wajumbe kumi waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM waTawi.

(f ) Wajumbe watano wa MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/Wadiwaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Tawi hilo.

(g) Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji/Mji Mdogo/Mtaa anayetokanana CCM anayeishi katika Tawihilo.

(h) Mjumbe mmoja wa MkutanoMkuu wa CCM wa W ilayaaliyechaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Tawi hilo.

(i) Mwenyekiti na Katibu wa Tawiwa Jumuiya inayoongozwa auil iyojishir ikisha na CCM, naMjumbe mmoja mwingineambaye ni Mwanachama waCCM aliyechaguliwa na kilaJumuiya inayohusika iliyomokatika Tawi hilo.

(j) W enyevit i wa Vitongojiwanaotokana na CCMwanaoishi katika Tawi hilo.

(k) Diwani anayetokana na CCManayeishi katika Tawi hilo.

(l) Mabalozi/W enyeviti wote waMashina katika Tawi hilo.

Page 41: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi36

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawiitafanya Mikutano yake ya kawaidamara moja kila miezi mitatu lakiniinaweza kufanya Mkutanousiokuwa wa kawaida wakatiwowote endapo itatokea haja yakufanya hivyo.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiataongoza Mkutano wa HalmashauriKuu ya CCM ya Tawi;. lakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Katibu wa CCM wa Tawi atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutanohuo.

37. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya kilaTawi zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia Ujenzi waUjamaa na Kujitegemea katika eneola Tawi.

(2) Kueneza Siasa na kueleza mipangoya CCM kwa Wanachama wote waTawi na kutafuta kila njia inayofaaya kuimarisha CCM katika eneo laTawi.

(3) Kutoa msukumo wa utekelezaji waIlani ya Uchaguzi ya CCM na kufanyakampeni za uchaguzi na kampeninyinginezo katika Tawi.

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Page 42: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi37

(4) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzina Usalama katika eneo la Tawi.

(5) Kuangalia mwenendo na vitendovya wanachama na viongozi waCCM katika Tawi, na inapolazimukutoa taarifa kwa vikao vya CCMvinavyohusika.

(6) Kuongoza Mashina ya Tawi hilokatika vitendo na njia zinazofaa zakuimarisha CCM.

(7) Kufikisha maazimio na maagizo yaVikao vya CCM vya juu kwaW anachama, na kuf ikishamapendekezo ya Wanachama katikavikao vya juu.

(8) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawiitashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kufikiria na kufanya Uteuziwa Mwisho wa wanachamawanaoomba nafasi zauongozi wa Shina la CCM naza uongozi wa Shina laUVCCM.

(b) Kumchagua Katibu wa CCMwa Tawi;

(c) Kumchagua Katibu wa Siasana Uenezi wa Tawi.

(d) Kumchagua Katibu waUchumi na Fedha wa Tawi.

Page 43: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi38

(e) Kuf ikir ia na kutoamapendekezo yake kwaHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi juu ya Wanachamawa CCM wanoombakugombea Uenyekiti waVitongoji kwa mujibu waSheria za uchaguzi waSerikali za Mitaa.

(f ) Kuwachagua wajumbewatano wa kuingia katikaKamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaTawi kutoka miongoni mwao.

(9) Kujaza nafasi wazi zauongozi zinazotokea katikaTawi isipokuwa nafasi yaMwenyekiti wa CCM wa Tawi.

(10) Kuunda Kamati Ndogo zaUtekelezaji kamaitakavyoonekana inafaa kwaajili ya utekelezaji bora zaidiwa Siasa na kazi za CCMkatika Tawi.

(11) Kupokea na kujadili taarifa zaKamati Ndogo za utekelezajiwa kazi za CCM katika Tawi.

(12) Kupokea, kuzingatia na kuamuajuu ya mapendekezo yavikao vya CCM vilivyo chiniyake.

Page 44: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi39

(13) Kuunda Kamati ya Usalamana Maadili ya CCM ya Tawi.

38. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Tawi itakuwa nawajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.(b) Katibu wa CCM wa Tawi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi

wa Tawi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha

wa Tawi.(e) W ajumbe watano

waliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM yaTawi kutoka miongoni mwao.

(f ) Mwenyekiti wa Serikali yaKij ij i/Mtaa anayetokana naCCM anayeishi katika Tawihilo.

(g) Diwani anayetokana na CCManayeishi katika Tawi hilo.

(h) Mwenyekiti wa Tawi wa kilaJumuiya ya W ananchiinayoongozwa na CCMiliyomo katika Tawi hilo.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Tawi itakutana si chiniya mara moja kila mwezi.

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Page 45: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi40

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiataongoza Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya Tawi.Lakini Mwenyekit i asipowezakuhudhuria, Katibu wa CCM waTawi atakuwa Mwenyekiti wa mudawa Mkutano huo.

39. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Tawi zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika eneolake.

(2) Kueneza itikadi na Siasa ya CCMkatika Tawi.

(3) Kuandaa mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezokatika Tawi.

(4) Kusimamia Utekelezaji wa kila sikuwa Siasa na maamuzi ya CCM chiniya Uongozi wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Tawi.

(5) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhatiutekelezaji wa mipango hiyo, kudhibitimapato na kusimamia matumizi boraya fedha na mali za Chama katika Tawi.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Tawi itashughulikiamambo yafuatayo:-

Kazi zaKamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Page 46: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi41

(a) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya Kata/Wadijuu ya wanachamawanaoomba kugombea nafasiza uongozi wa Tawi hilo; nauongozi wa jumuiya za CCMkupitia Tawi hilo.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezokwa Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi juu ya Wanachamawanaoomba nafasi ya uongoziwa Shina la CCM na UVCCMkatika Tawi hilo.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezokwa Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi juu ya wanachama wa CCMwanaoomba nafasi yaMwenyekiti wa Kitongoji wakatiwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezokwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi juu ya Wanachamawanaoomba nafasi ya Ujumbewa Halmashauri Kuu ya Tawi,Ukatibu wa Siasa na Uenezi waTawi, Ukatibu wa Uchumi naFedha wa Tawi, Udiwani,Uenyekiti wa Mtaa, Ujumbe waKamati ya Mtaa, Uenyekiti wa Kijijina Ujumbe wa Halmashauri ya

Page 47: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi42

Kijiji kupitia Tawi hilo kwa mujibuwa sheria za uchaguzi waSerikali za Mitaa.

(e) Inapofika siku ya kupiga kuraza maoni kwa waombaji wanafasi za Udiwani, Ubunge naUwakilishi: Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya Tawiitakuwa na wajibu wa kuhakikiuhalali wa uanachama waCCM kwa kila mwanachamawa CCM wa Tawi lakeanayefika katika kituo chakupigia kura za maonikilichowekwa katika Tawi hiloili mwanachama huyo awezekuruhusiwa kupiga kura zamaoni

(7) Kufikiria na kutoa uamuzi wa mwishokuhusu maombi ya Uanachama.

(8) Kuandaa mikutano ya Halmashaurikuu ya CCM katika Tawi.

(9) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzina Usalama wa umma katika Tawi.

40. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Katibu wa CCM wa Tawi ambayeatakuwa Mwenyekiti.

(b) Katibu wa Siasa na Uenezi waTawi.

SekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Page 48: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi43

(c) Katibu wa Uchumi na Fedha waTawi.

(d) Makatibu wa Matawi ya Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM.

41. (1) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Tawi yatakuwaya fuatayo:-

(a) Kuongoza na kusimamiashughuli za Chama katikaTawi.

(b) Kuandaa Vikao vyote vyaCCM katika Tawi.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Tawiyatagawanyika ifuatavyo:-(a) Katibu wa CCM wa Tawi.

(b) Idara ya Siasa na Uenezi yaTawi.

(c) Idara ya Uchumi na Fedha yaTawi.

(d) Idara ya Organaizesheni yaTawi.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Tawi isipokuwa

MajukumuyaSekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Page 49: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi44

kwamba Katibu wa CCM wa Tawiatakuwa ndiye Katibu waOrganaizesheni katika Tawi.

42. (1) Kutakuwa na W akuu wa CCMwafuatao katika Tawi:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi(b) Katibu wa CCM wa Tawi

43. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiatachaguliwa na Mkutano Mkuu waTawi. Atakuwa katika nafasi hiyo yauongozi kwa muda wa miaka mitano,lakini anaweza kuchaguliwa tenabaada ya muda huo kumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo yote ya CCM katika Tawi.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa MkutanoMkuu wa CCM wa Tawi, Mkutanowa Wanachama wote wa Tawi,Mkutano wa Halmashauri Kuu yaTawi na Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi.

(4) Katika Mikutano anayoiongoza, zaidiya kuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Tawiatakuwa pia na kura ya uamuzi,

Wakuu waCCM waTawi

Mwenyekitiwa CCM waTawi

Page 50: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi45

endapo kura za wajumbewanaoafiki na wasioafiki zitalingana.Isipokuwa kwamba kama Kikaoanachokiongoza ni Kikao chaUchaguzi, Mwenyekiti atakuwa nakura yake ya kawaida tu. Hatakuwana haki ya kutumia kura yake yauamuzi endapo kura za Wajumbezimelingana. W ajumbe wa kikaowataendelea kupiga kura mpakahapo mshindi atakapopatikana.

44. (1) Katibu wa CCM wa Tawi atachaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawilake. Atakuwa katika nafasi hiyo yauongozi kwa muda wa miakamitano, lakini anaweza kuchaguliwatena baada ya muda huo kumalizika.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu waCCM katika Tawi, na atafanya kazichini ya uongozi wa Halmashaurikuu ya CCM ya Tawi lake. majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuratibu kazi zote za CCM katikaTawi.

(b) Kuitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuuya Tawi kwa madhumuni yakushauriana, kuandaa agendaza Kamati ya Siasa ya Tawi na

Katibu waCCM waTawi

Page 51: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi46

kuchukua hatua za utekelezajiwa maamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji wa Chama katika Tawi.

(d Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili yaChama katika Tawi.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali ya Chama katika Tawi.

(f ) Kuitisha mikutano ya Kamatiya Siasa ya Tawi,Halmashauri Kuu ya Tawi naMkutano Mkuu wa Tawibaada ya kushauriana naMwenyekiti wa CCM wa Tawi.

(3) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Tawi.

(4) Atashughulikia masuala yote yaOrganaizesheni ya CCM katika Tawi,ambayo ni:-

(a) Masuala yote ya wanachama.(b) Kufuatilia vikao na maamuzi

ya vikao vya Chama.(c) Kusimamia Jumuiya za

Wananchi zinazoongozwa naCCM na Wazee wa Chama.

(d) Uchaguzi wa ndani ya CCMngazi ya Shina na Tawi, na ulewa Uwakilishi katika vyombovya Dola.

Page 52: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi47

(e) Kusimamia masuala yote yaKusimamia Muundo, Katiba,Kanuni na Taratibu za Chamana Jumuiya zinazoongozwana CCM.

45. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi na atashughulikia masuala yoteya Siasa na Uenezi katika Tawi. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kusimamia, kueneza na kufafanuamasuala yote ya Itikadi, Siasa naSera za CCM katika Tawi.

(b) Kushughulikia mafunzo namaandalizi ya Makada naWanachama katika Tawi.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera zaCCM za kijamii na Ilani za uchaguziza CCM katika Tawi.

(d) Kuwa na mipango ya mawasilianona uhamasishaji wa Umma katikaTawi.

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakatiza Vyama vya Siasa katika Tawi.

(f ) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiyaza Kijamii katika Tawi.

46. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Tawiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM

Katibu waSiasa naUenezi waTawi

Katibu waUchumi naFedha waTawi

Page 53: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi48

ya Tawi na atashughulikia masuala yoteya Uchumi na Fedha katika Tawi. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kufuati liautekelezaji wa Sera za CCM zaUchumi katika Tawi.

(b) Kubuni njia mbalimbali za kukipatiaChama mapato.

(c) Kutekeleza mipango ya uchumi nauwekezaji wa Chama katika Tawi.

(d) Kusimamia mapato na matumizi yafedha na kutoa taarifa kwa Kamatiya Siasa ya Tawi.

(e) Kusimamia mali za Chama na kutoataarifa kwa Kamati ya Siasa yaTawi.

Page 54: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi49

FUNGU LA III

VIKAO VYA KATA/WADI

47. Kutakuwa na Vikao vya CCM vifuatavyokatika kila Kata ya Tanzania Bara yenyeMatawi ya CCM yasiyopungua mawili, nakatika kila Wadi ya Zanzibar(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/

Wadi.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/

Wadi.(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu

ya Kata/Wadi.(4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya

CCM ya Kata/Wadi.

48. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadiutakuwa na Wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi.

(b) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.

(c) Katibu wa Siasa na Ueneziwa Kata/Wadi.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedhawa Kata/ Wadi.

Vikao vyaCCM vyaKata/Wadi

MkutanoMkuu waCCM waKata/Wadi

Page 55: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi50

(e) Mbunge na Mwakilishi waJimbo linalohusika anayetokanana CCM anayeishi katika Kata/Wadi hiyo, au katika Kata/Wadiambayo atakuwaameichagua mwenyewe kwamadhumuni hayo.

(f) Wenyeviti wote wa CCM waMatawi ya Kata/Wadi hiyo.

(g) Makatibu wote wa CCMwaMatawi ya Kata/W adihiyo.

(h) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa CCM wa Matawi ya Kata/Wadi hiyo.

(i) Makatibu wa Uchumi naFedha wa CCM wa Matawiya Kata/Wadi hiyo.

(j) W ajumbe watanowaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa kila Tawikuhudhuria Mkutano Mkuu waKata/Wadi.

(k) Mjumbe mmoja anayewakilishaTawi la CCM kwenye MkutanoMkuu wa Jimbo na wa Wilaya.

Page 56: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi51

(l) W ajumbe watanowaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/Wadikuingia katika HalmashauriKuu ya CCM ya Kata/Wadi.

(m) W ajumbe kumiwaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/Wadiwa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa CCM wa W ilaya nawajumbe watano wakuhudhuria Mkutano Mkuu waJimbo Zanzibar.

(n) Wajumbe waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM waKata/W adi wa kuhudhuriaMkutano Mkuu wa CCM waMkoa, mmoja kutoka kila Kataya Tanzania Bara na watanokutoka kila Wadi ya Zanzibar.

(o) W enyeviti wote wa Serikaliza Vijiji/Mitaa wa Kata/W adihiyo wanaotokana na CCM.

(p) Diwani wa Kata/W adianayetokana na CCManayewakil isha Kata/W adihiyo, na Madiwani wa ainanyingine wanaoishi katikaKata/Wadi hiyo.

Page 57: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi52

(q) W ajumbe wa HalmashauriKuu ya W ilaya wanaoishikatika Kata/Wadi hiyo.

(r) Mwenyekiti na Katibu waKata/W adi wa jumuiyainayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM namjumbe mmoja mwingineambaye ni mwanachama waCCM aliyechaguliwa na kilaJumuiya inayohusika iliyomokatika Kata/Wadi hiyo.

(s) Mwenyekiti na Katibu wa kilaJumuiya inayoongozwa naCCM wa matawi yote yaliyokatika Kata/Wadi hiyo.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadi ndicho kikao kikuu cha CCMkatika Kata/Wadi.

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadiutafanyika kwa kawaida mara mojakwa mwaka, lakini unaweza kufanyikawakati wowote mwingine endapokutatokea haja ya kufanya hivyo aukwa maagizo ya kikao cha juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadiataongoza Mkutano Mkuu wa CCMwa Kata/W adi lakini Mwenyekitias ipoweza kuhudhuria, Mkutanohuo utamchagua mjumbe mwingineyeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutanohuo.

Page 58: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi53

49. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadi zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kaziza CCM katika Kata/Wadi iliyotolewana Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi na kutoa maelekezo yautekelezaji wa Siasa ya CCM kwakipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi ya juuyanatekelezwa ipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yoteyanayohusu Ulinzi na Usalama, namaendeleo kwa jumla katika Kata/Wadi.

(4) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/W adi utashughulikia mamboyafuatayo:-(a) Kumchagua Mwenyekiti wa

CCM wa Kata/Wadi.(b) Kuwachagua wajumbe

watano wa kuingia katikaHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi.

(c) Kuwachagua wajumbe watanowa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa Jimbo kwa upande wa

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM waKata/Wadi

Page 59: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi54

Zanzibar na wajumbe kumiwa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa CCM wa Wilaya.

(d) Kuwachagua wajumbe wakuhudhuria Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa, mmoja kutokakila Kata ya Tanzania Bara nawatano kutoka kila Wadi yaZanzibar.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuuwa CCM wa Kata/Wadi kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

50. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/W adi itakuwa na wajumbewafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi.

(b) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.

(c) Katibu wa Siasa na Ueneziwa Kata/Wadi.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedhawa Kata/Wadi.

(e) Mbunge na Mwakilishi waJimbo linalohusika anayetokanana CCM anayeishi katika Kata/Wadi hiyo, au katika Kata/Wadiambayo atakuwa

HalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

Page 60: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi55

ameichagua mwenyewe kwamadhumuni hayo.

(f ) Diwani anayetokana na CCManayewakil isha Kata/W adihusika, na Madiwani wa ainanyingine wanaoishi katikaKata/Wadi hiyo.

(g) W ajumbe watanowaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa Kata/Wadi hiyo.

(h) Wenyeviti wote wa CCM waMatawi ya Kata/Wadi hiyo.

(i) Makatibu wote wa CCM waMatawi ya Kata/Wadi hiyo.

(j) Makatibu wote wa Siasa naUenezi wa Matawi yaliyomokatika Kata/Wadi hiyo.

(k) Makatibu wote wa Uchumi naFedha wa Matawi yaliyomokatika Kata/Wadi hiyo.

(l) W enyeviti wote wa Serikaliza vijiji/Mitaa wanaotokana naCCM katika Kata/Wadi hiyo.

(m) W ajumbe wa HalmashauriKuu ya Wilaya waliomo katikaKata/Wadi hiyo.

Page 61: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi56

(n) Mwenyekiti na Katibu waKata/Wadi, na mjumbe mmojamwingine ambaye nimwanachama wa CCMaliyechaguliwa na kilaJumuiya ya wananchi iliyomokatika Kata/Wadi hiyo.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/W adi itafanya Mikutano yake yakawaida mara moja kila baada yamiezi mitatu, lakini inaweza kufanyamikutano isiyo ya kawaida wakatiwowote endapo kutatokea haja yakufanya hivyo.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadiataongoza Mkutano wa HalmshauriKuu ya CCM ya Kata/Wadi; lakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Katibu wa CCM wa Kata/W adiatakuwa Mwenyekiti wa muda waMkutano huo.

51. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadi zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi waUjamaa na Kujitegemea katika eneolake la Kata/Wadi.

(2) Kusimamia uenezi wa Itikadi na Siasaya CCM, na kueleza mipango ya CCMkwa Matawi yote ya Kata/Wadi na

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

Page 62: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi57

kubuni mbinu zinazofaa zakuimarisha CCM katika eneo la Kata/Wadi inayohusika.

(3) Kupanga mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji waIlani ya CCM na kusimamiautekelezaji wa siasa na maazimioya CCM kwa jumla.

(5) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzina Usalama katika eneo la Kata/Wadihiyo.

(6) Kuziongoza Halmashauri Kuu zaCCM za Matawi yaliyomo katikaKata/Wadi hiyo kuhusu vitendo nanjia zinazofaa za kuimarisha CCM.

(7) Kuangalia mwenendo na vitendovya wanachama pamoja naviongozi wa CCM na inapolazimukutoa taarifa kwa vikaovinavyohusika.

(8) Kufikisha Matawini maazimio namaagizo ya vikao vya juu nakuf ikisha kwenye Vikao vya juumapendekezo kutoka Matawini.

(9) Unapof ika wakati wa UchaguziHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/W adi itashughulikia mamboyafuatayo:-

Page 63: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi58

(a) Kumchagua Katibu wa CCMwa Kata/Wadi.

(b) Kumchagua Katibu wa Siasana Uenezi wa Kata/Wadi.

(c) Kumchagua Katibu waUchumi na Fedha wa Kata/Wadi.

(d) Kuwachagua wajumbewatano wa Kamati ya Siasaya Halmashauri Kuu ya CCMya Kata/Wadi kutoka miongonimwao.

(e) Kwa Tanzania Bara itafikiriana kufanya uteuzi wa mwishowa wanachama wanaoombakugombea Uenyekiti waVitongoji vya Kata hiyo.

(f ) Kufikiria na kufanya uteuziwa mwisho wa W anachamawanaoomba Ujumbe waHalmashauri Kuu ya Tawi,Wajumbe wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Kata/W adi,Jimbo na Wilaya wanaotokakatika Tawi hilo.

(g) Kufanya uteuzi wa mwisho wamajina ya wanachama wa CCMwatakaosimama katika uchaguzi

Page 64: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi59

wa Mwenyekiti na Katibu waTawi wa kila Jumuiyainayoongozwa na CCM nawajumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCMvya Matawi yaliyomo katikaKata/Wadi hiyo

(10) Kujaza, kwa niaba ya Mkutano Mkuuwa CCM wa Kata/W adi, nafasi zauongozi zinazokuwa wazi, isipokuwaya Mwenyekit i wa CCM wa Kata/Wadi.

(11) Kupokea, kuzingatia na kuamua juuya mapendekezo ya vikao vya CCMvilivyo chini yake.

(12) Kumsimamisha uanachamamwanachama yeyote wa ngazi yaTawi au Shina ambaye mwenendo natabia yake vinamuondolea sifa zauanachama.

(13) Kuunda Kamati Ndogo za Utekelezajikwa kadri itakavyoonekana inafaakwa ajili ya utekelezaji bora zaidi wakazi za CCM katika Kata/Wadi hiyo.

(14) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za Utekelezaji wa kazi za CCMza Kata/Wadi na Kamati za MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/Wadi.

Page 65: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi60

(15) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadiliya CCM ya Kata/Wadi.

52. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/W adi itakuwa nawajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/

Wadi.(b) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa

Kata/Wadi.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha

wa Kata/Wadi.(e) Diwani anayetokana na CCM

anayewakil isha Kata/W adihiyo, na Madiwani wa ainanyingine wanaotokana na CCMwanaoishi katika Kata/wadihiyo.

(f ) W ajumbe watanowaliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi hiyo.

(g) Mwenyekiti wa Kata/Wadi wa kilaJumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM katikaKata/Wadi hiyo.

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

Page 66: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi61

(2) Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya Kata/W adiitakutana si chini ya mara mojakila mwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi ataongoza Mkutano waKamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi. Lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuriaKatibu wa CCM wa Kata/W adi atakuwa Mwenyekit iwa muda wa Mkutano huo.

53. Kazi za Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya Kata/W adi zitakuwazifuatazo:-(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika

Kata/Wadi hiyo.(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM

katika Kata/Wadi hiyo.(3) Kuandaa mikakati ya kampeni za

uchaguzi na kampeni nyinginezokatika Kata/Wadi hiyo.

(4) Kusimamia utekelezaji wa shughuliza kila siku za CCM katika Kata/Wadichini ya uongozi wa HalmashauriKuu ya CCM ya Kata/Wadi hiyo.

(5) Kumsimamisha uongozi kiongoziyeyote wa ngazi ya Tawi au Shinaendapo itaridhika kwamba tabia na

Kazi zaKamati yaSiasa yaKata/Wadi

Page 67: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi62

mwenendo wake vinamuondoleasifa ya uongozi.

(6) Kupanga mipango ya kukipatiaChama mapato, kusimamia kwadhati utekelezaji wa mipango hiyo,kudhibit i mapato na kusimamiamatumizi bora ya fedha na mali zaChama katika Kata/Wadi.

(7) Unapof ika wakati wa UchaguziKamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi itashughulikiamambo yafuatayo:-(a) Kuf ikiria na kutoa

mapendekezo yake kwaKamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaW ilaya juu ya wanachamawanaoomba nafasi yauongozi wa CCM kupitia Kata/Wadi hiyo.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaWilaya juu ya wanachamawanaoomba Udiwani, Uenyekitiwa Mtaa, Ujumbe wa Kamati yaMtaa, Uenyekiti wa Kijiji naUjumbe wa Halmashauri ya Kijijikwa mujibu wa sheria zauchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Page 68: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi63

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaKata/Wadi juu ya Wanachamawa CCM wanaoomba Uenyekitina Ukatibu wa Tawi waJumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM, naUjumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCMvya Kata/Wadi hiyo.

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaW ilaya juu ya W anachamawanaoomba nafasi yaMwenyekiti na Katibu waJumuiya zinazoongozwa naCCM wa Kata/Wadi.

(8) Kuandaa mikutano ya HalmashauriKuu ya CCM ya Kata/Wadi.

(9) Kuona kwamba masuala ya Ulinzina Usalama katika Kata/W adiyanazingatiwa.

54. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCMya Kata/W adi itakuwa na wajumbewafuatao:-(a) Katibu wa CCM wa Kata/W adi

ambaye atakuwa Mwenyekiti.(b) Katibu wa Siasa na Uenezi Kata/Wadi.(c) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/

Wadi,(d) Makatibu wa Kata/Wadi wa Jumuiya

za W ananchi zinazoongozwa naCCM.

SekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

Page 69: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi64

55. (1) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadi yatakuwa yafuatayo:-

(a) Kuongoza na kusimamiashughuli za Chama katikaKata/Wadi.

(b) Kuandaa Vikao vyote vyaChama vya Kata/Wadi.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Kata/W adiyatagawanyika ifuatavyo:-

(a) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.

(b) Idara ya Siasa na Uenezi yaKata/Wadi.

(c) Idara ya Uchumi na Fedha yaKata/Wadi.

(d) Idara ya Organaizesheni yaKata/Wadi.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadi isipokuwa kwamba Katibu waCCM wa Kata/Wadi atakuwa ndiyeKatibu wa Organaizesheni katikaKata/Wadi.

MajukumuyaSekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

Page 70: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi65

56. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuataokatika Kata/Wadi:-

(1) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi.

(2) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.

57. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadiatachaguliwa na Mkutano Mkuu waCCM wa Kata/Wadi. Atashika nafasihiyo ya uongozi kwa muda wa miakamitano lakini anaweza kuchaguliwatena baada ya muda huo kumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo yote ya CCM katika Kata/Wadi.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/W adi,Mkutano wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi na Mkutano waKamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi.

Wakuu waCCM waKata/Wadi

Mwenyekitiwa CCM waKata/Wadi

Page 71: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi66

(4) Katika mikutano anayoiongoza, zaidiya kuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadipia atakuwa na kura ya uamuziendapo kura za W ajumbewanaoafiki na wasioafiki zitalingana.Is ipokuwa kwamba kama kikaoanachokiongoza ni kikao chauchaguzi, Mwenyekiti atakuwa nakura yake ya kawaida tu. Hatakuwana haki ya kutumia kura yake yauamuzi endapo kura za W ajumbezimelingana. Wajumbe wa Kikaowataendelea kupiga kura mpakahapo mshindi atakapopatikana.

58. (1) Katibu wa CCM wa Kata/W adiatachaguliwa na Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu waCCM katika Kata/Wadi na atafanyakazi chini ya uongozi waHalmashauri Kuu ya Kata/W adiyake. Majukumu yake ni hayayafuatayo:-

(a) Kuratibu kazi zote za CCMkatika Kata/Wadi.

(b) Kuitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi kwa

Katibu waCCM waKata/Wadi

Page 72: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi67

madhumuni ya kushauriana,kuandaa agenda za Kamati yaSiasa ya Kata/W adi nakuchukua hatua za utekelezajiwa maamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi zote zaUtawala na Uendeshajiwa Chama katika Kata/Wadi.

(d) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na maadili yaChama katika Kata/Wadi.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali ya Chama katika Kata/Wadi.

(3) Ataitisha Mikutano ya Kamati yaSiasa ya Kata/Wadi, HalmashauriKuu ya Kata/Wadi na Mkutano Mkuuwa Kata/W adi baada yakushauriana naMwenyekiti wa CCMwa Kata Wadi.

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Kata/Wadi.

(5) Atashughulikia masuala yote yaOrganaizesheni ya CCM katika Kata/Wadi, ambayo ni:-

Page 73: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi68

(a) Masuala yote yawanachama.

(b) Kufuatilia vikao na maamuziya Vikao vya Chama.

(c) Kusimamia Jumuiya zawananchi zinazoongozwana CCM na W azee waChama.

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi ndani ya Chama naule wa uwakil ishi katikavyombo vya Dola,

(e) Kusimamia Muundo, Katiba,Kanuni na Taratibu za Chamana Jumuiya zinazoongozwana CCM.

59. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Kata/Wadiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCMya Kata/Wadi na atashughulikia masualayote ya Siasa na Uenezi katika Kata/Wadi.Majukumu yake ni haya yafutayo:-

(a) Kusimamia, kueneza na kufafanuamasuala yote ya Itikadi, Siasa naSera za Chama katika Kata/Wadi.

(b) Kupanga na kusimamia mafunzo namaandalizi ya Makada nawanachama katika Kata/Wadi.

Katibu waSiasa naUenezi waCCM waKata/Wadi

Page 74: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi69

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera zaChama za Kijamii na Ilani zaUchaguzi za Chama katika Kata/Wadi.

(d) Kuwa na mipango ya Mawasilianona Uhamasishaji wa Umma katikaKata/Wadi.

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakatiza Vyama vya Siasa katika Kata/Wadi.

(f ) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiyaza Kijamii katika Kata/Wadi.

60. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/Wadiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCMya Kata/Wadi na atashughulikia masualayote ya Uchumi na Fedha katika Kata/Wadi.Majukumu yake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kufuati liautekelezaji wa Sera za CCM zaUchumi katika Kata/Wadi.

(b) Kutekeleza Sera za CCM za Uchumina uwekezaji wa Chama katikaKata/Wadi.

(c) Kubuni njia mbalimbali za kukipatiaChama mapato.

Katibu waUchumi naFedha waKata/Wadi

Page 75: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi70

(d) Kusimamia mapato na matumizi yafedha na kutoa taarifa kwa Kamatiya Siasa ya Kata/Wadi,

(e) Kusimamia mali za Chama na kutoataarifa kwa Kamati ya Siasa ya Kata/Wadi.

Page 76: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi71

FUNGU LA IV

VIKAO VYA JIMBO

61. Kutakuwa na Vikao vya CCM vifuatavyokatika kila Jimbo:-

61A (1) Kwa upande wa Tanzania Bara,kutakuwa na MkutanoMkuu waJimbo kwa kila Jimbo la Uchaguziwa Wabunge.

(2) W ajumbe wa Mkutano Mkuu waJimbo watakuwa ni hawawafuatao:-(a) Wajumbe wa Mkutano Mkuu

wa Wilaya waliotajwa katikaIbara 76(1)(a-f) ya Katiba yaCCM ambao ni Mwenyekitiwa CCM Wilaya, Katibu waCCM wa W ilaya, Wajumbewa Halmashauri Kuu yaTaifa nafasi za Wilaya, naWajumbe wa HalmashauriKuu ya Taifa wa ainanyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo ; Mkuu waWilaya anayetokana na CCM,Katibu wa Siasa na Ueneziwa W ilaya, na Katibu waUchumi na Fedha wa Wilaya.

(b) Viongozi wote wa CCM waW ilaya wanaoishi katika

Vikao vyaCCM vyaJimbo

Page 77: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi72

Jimbo la Uchaguzi l inalo-husika.

(c) Wajumbe wa Mkutano Mkuuwa Wilaya waliotajwa katikaIbara ya 76(1)(i-x) wanaoishikatika J imbo la Uchaguzilinalohusika.

(d) Wajumbe wote wa Kamati zaSiasa za Kata zilizomo katikaJimbo la Uchaguzilinalohusika.

(e) Makatibu wa Jumuiya zaUVCCM, UWT na WAZAZI waKata zote zil izomo katikaJimbo la Uchaguzi l inalo-husika.

(f ) Mbunge wa CCM wa Jimbohilo la Uchaguzi, na Wabungewa CCM wa aina nyinginewanaoishi katika Jimbo laUchaguzi linalohusika.

Is ipokuwa kwamba, katikaWilaya ambazo Wilaya nzimani Jimbo la Uchaguzi, MkutanoMkuu wa CCM wa W ilayauliotajwa katika Ibara za

Page 78: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi73

75(2)(i) na 76(1) za Katibandio utakaowapigia Kura zaMaoni wanaoomba kugombeaUbunge.

(3) Mkutano huu utakuwa nakazi moja tu ya kupiga Kuraza Maoni kwa W agombeaUbunge kwa Tiketi ya CCM.Kwa sababu hiyo, Mkutanohuu utafanya vikao vyakekatika nyakati zile tu ambapokuna zoezi la Kura za Maoni.

61B Kwa upande wa Tanzania Zanzibarkutakuwa na vikao vifuatavyo katika kilaJimbo:-(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo.

(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya Jimbo.

(4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo.

62. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimboutakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM waJimbo.

MkutanoMkuu waCCM waJimbo

Page 79: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi74

(b) Katibu wa CCM wa Jimbo.

(c) Katibu wa Siasa na Ueneziwa Jimbo.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedhawa Jimbo.

(e) Mbunge au Mwakilishianayetokana na CCM, naWabunge au Wawakilishi waaina nyingine wanaoishikatika Jimbo hilo.

(f ) Wenyeviti wote wa CCM waMatawi ya Jimbo hilo.

(g) Makatibu wote wa CCM waMatawi ya Jimbo hilo.

(h) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa CCM wa Matawi yote yaJimbo hilo.

(i) Makatibu wa Uchumi naFedha wa CCM wa Matawiyote ya Jimbo hilo.

(j) Mwenyekiti na Katibu waCCM wa kila Wadi ya Jimbo.

(k) Makatibu wa Itikadi na Ueneziwa CCM wa W adi zote zaJimbo.

Page 80: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi75

(l) Makatibu wa Uchumi naFedha wa CCM wa Wadi zoteza Jimbo.

(m) W enyeviti na Makatibu waJumuiya za CCM wa W adizote za Jimbo.

(n) W ajumbe watano waliocha-guliwa na Mkutano Mkuu waJimbo kuingia katikaHalmashauri Kuu ya CCM yaJimbo.

(o) W ajumbe watano waliocha-guliwa na Mkutano Mkuu waCCM wa kila W adi iliyomokatika Jimbo hilo.

(p) W ajumbe watano waliocha-guliwa na Mkutano Mkuu waCCM wa kila J imbo wakuhudhuria Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya.

(q) Wajumbe waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM waJimbo wa kuhudhuria MkutanoMkuu wa CCM wa Mkoa, watanokutoka kila Wadi.

(r) Madiwani wanaotokana naCCM wanaowakilisha Wadizilizomo katika Jimbo husika,na Madiwani wa aina

Page 81: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi76

nyingine wanaoishi katikaKata/Wadi za Jimbo hilo.

(s) W ajumbe wa HalmashauriKuu ya W ilaya na Mkoawaliomo katika Jimbo hilo.

(t) Mwenyekiti na Katibu waJimbo wa jumuiya inayo-ongozwa au iliyojishirikisha naCCM, na mjumbe mmojamwingine ambaye ni mwa-nachama wa CCM aliye-chaguliwa na kila Jumuiyailiyomo katika Jimbo hilo.

(2) Mkutano Mkuu wa Jimbo ndichokikao kikuu cha CCM katika Jimbo.

(3) Mkutano Mkuu wa Jimbo utafanyamikutano yake ya kawaida mara mojakwa mwaka, lakini unaweza kufanyikawakati wowote mwingine endapoitatokea haja ya kufanya hivyo, au kwamaagizo ya vikao vya juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Jimboataongoza Mkutano Mkuu wa CCM waJimbo. Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Mkutano utamchaguamjumbe mwingine ye yote miongonimwao kuwa Mwenyekiti wa muda waMkutano huo.

Page 82: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi77

63. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbozitakuwa zifuatazo:-(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi za

CCM katika Jimbo iliyotolewa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo nakutoa maelekezo ya utekelezaji waSiasa ya CCM kwa kipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi ya juuyanatekelezwa ipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayo-husu Ulinzi na Usalama na maendeleokwa jumla katika Jimbo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimboutashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kumchagua Mwenyekiti wa

CCM wa Jimbo.(b) Kuwachagua wajumbe watano

wa kuingia katika HalmashauriKuu ya CCM ya Jimbo.

(c) Kuwachagua wajumbe watanowa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa CCM wa Wilaya.

(d) Kuwachagua wajumbe watatuwa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa CCM wa Mkoa.

(e) Kupiga kura za maoni ya awalikwa waombaji wa nafasi yaUbunge na Uwakilishi katikaJimbo husika.

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM waJimbo

Page 83: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi78

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuuwa CCM wa Jimbo kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

64. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimboitakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM waJimbo.

(b) Katibu wa CCM wa Jimbo.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi

wa Jimbo.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha

wa Jimbo.(e) Mbunge na Mwakilishi

wanaotokana na CCMwanaowakil isha Jimbohusika, na W abunge auWawakilishi wa aina nyinginewanaoishi katika Jimbo hilo.

(f ) Madiwani wanaotokana naCCM wanaowakilisha W adizilizomo katika Jimbo husika,na Madiwani wa ainanyinginewanaoishi katikaWadi za Jimbo hilo.

(g) W ajumbe watano waliocha-guliwa na Mkutano wa Jimbokuingia katika HalmashauriKuu ya Jimbo.

HalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 84: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi79

(h) Wenyeviti wote wa CCM waWadi za Jimbo hilo.

(i) Makatibu wote wa CCM waWadi za Jimbo hilo.

(j) Makatibu wote wa Siasa naUenezi wa W adi za Jimbohilo.

(k) Makatibu wote wa Uchumi naFedha wa Wadi za Jimbo hilo.

(l) W ajumbe wa HalmashauriKuu ya W ilaya ya CCMwaliomo katika Jimbo hilo.

(m) Mwenyekiti na Katibu wa Jimbowa Jumuiya inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM, naMjumbe mmoja mwingineambaye ni mwanachama waCCM aliyechaguliwa na kilaJumuiya inayohusika iliyomokatika Jimbo hilo.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimboitafanya mikutano yake ya kawaidakila baada ya miezi mitatu, lakiniinaweza kufanya mikutano isiyo ya

Page 85: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi80

kawaida wakati wowote endapoitatokea haja ya kufanya hivyo.

(3) Mwenyekit i wa CCM wa Jimboataongoza Mkutano wa HalmashauriKuu ya Jimbo; lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria, Katibu waCCM wa Jimbo atakuwa Mwenyekitiwa muda wa Mkutano huo.

65. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbozitakuwa zifuatazo:-(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi wa

Ujamaa na Kujitegemea katika eneolake la Jimbo.

(2) Kusimamia uenezi wa Itikadi naSiasa ya CCM, na kueleza mipangoya CCM kwa Wadi zote za Jimbo,na kubuni mbinu zinazofaa zakuimarisha CCM katika eneo laJimbo.

(3) Kupanga mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji waIlani ya CCM na kusimamiautekelezaji wa Siasa na maazimioya CCM kwa jumla katika Jimbo.

(5) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzina Usalama katika eneo la Jimbo.

(6) Kuziongoza Halmashauri Kuu zaCCM za W adi za Jimbo kuhusu

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 86: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi81

vitendo na njia zinazofaa zakuimarisha CCM.

(7) Kuangalia mwenendo na vitendovya W anachama pamoja naViongozi wa CCM waliomo katikaJimbo hilo, na inapolazimu, kutoataarifa kwa vikao vinavyohusika.

(8) Kufikisha kwenye Wadi maazimiona maagizo ya vikao vya juu nakuf ikisha kwenye Vikao vya juumapendekezo kutoka Wadi.

(9) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimboitashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Katibu wa CCMwa Jimbo.

(b) Kumchagua Katibu wa Siasana Uenezi wa Jimbo.

(c) Kumchagua Katibu waUchumi na Fedha wa Jimbo.

(d) Kuwachagua W ajumbewatano wa kamati Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaJimbo kutoka miongoni mwao.

Page 87: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi82

(e) Kufanya uteuzi wa mwishowa majina ya wanachamawa CCM watakaosimamakatika uchaguzi waMwenyekiti na Katibu waW adi wa kila Jumuiyainayoongozwa na CCM nawajumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCMvya Wadi zote za Jimbo hilo.

(10) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuuwa CCM wa J imbo nafasi zauongozi zinazokuwa wazi,isipokuwa ya Mwenyekiti wa Jimbo.

(11) Kupokea, kuzingatia na kuamua juuya mapendekezo ya vikao vya CCMvilivyo chini yake.

(12) Kuunda Kamati Ndogo za Utekelezajikwa kadri itakavyoonekana inafaakwa ajili ya utekelezaji bora zaidi wakazi za CCM katika Jimbo.

(13) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za Utekelezaji wa Kazi zaCCM za Jimbo na kamati za MkutanoMkuu wa CCM wa Jimbo.

(14) Kuunda Kamati ya Usalama naMaadili ya CCM ya Jimbo.

Page 88: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi83

66. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Jimbo itakuwa nawajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.(b) Katibu wa CCM wa Jimbo.(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa

CCM wa Jimbo.(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa

CCM wa Jimbo.(e) Mbunge na Mwakilishi wana-

otokana na CCM wanao-wakilisha Jimbo linalohusikana Wabunge au Wawakilishiwa aina nyingine wanaoishikatika Jimbo hilo.

(f ) Madiwani wanaotokana naCCM wanaowakilisha Wadihusika na Madiwani wa ainanyingine wanaoishi katikaWadi za Jimbo hilo

(g) W ajumbe watano waliocha-guliwa na Halmashauri Kuuya CCM ya Jimbo hilo.

(h) Mwenyekiti wa Jimbo wa kilaJumuiya ya wananchiinayoongozwa na CCM katikaJimbo hilo.

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 89: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi84

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya Jimbo itafanya mikutano yake yakawaida mara moja kila baada yamiezi miwili.

(3) Mwenyekit i wa CCM wa Jimboataongoza Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Jimbo. Lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria, Katibu waCCM wa Jimbo atakuwa Mwenyekitiwa muda wa Mkutano huo.

67. Kazi za Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya Jimbo zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katikaJimbo.

(2) Kusimamia utekelezaji wa shughuliza kila siku za CCM Jimboni chini yauongozi wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo.

(3) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCMkatika Jimbo.

(4) Kuandaa mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezokatika Jimbo.

(5) Kupanga mipango ya kukipatiaChama mapato, kusimamia kwa dhatiutekelezaji wa mipango hiyo, kudhibitimapato na kusimamia matumizi bora

Kazi zaKamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 90: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi85

ya fedha na mali za Chama katikaJimbo.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Kamati ya Siasa ya Jimboitashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kuf ikiria na kutoa mape-ndekezo yake wa Kamati yaSiasa ya W ilaya juu yawanachama wanaoombanafasi za Uenyeketi naUkatibu wa CCM wa W adi,Ukatibu wa Siasa na Ueneziwa Wadi, Ukatibu wa Uchumina Fedha wa W adi naW anachama wanaoombaUongozi wa CCM wa Jimbokupitia Jimbo hilo.

(b) Kuf ikiria na kutoa mape-ndekezo yake kwa Kamati yaSiasa ya W ilaya juu yawanachama wanaoombaUdiwani au Uwakilishi wa ainanyingine katika Serikali zaMitaa kwa mujibu wa Sheriazilizopo.

(c) Kuf ikiria na kutoa mape-ndekezo yake kwaHalmashauri Kuu ya Jimbo juuya wanachama wa CCM

Page 91: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi86

wanaoomba Uenyekiti naUkatibu wa W adi wa kilaJumuiya ya wananchiinayoongozwa na CCM; naujumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCMvya Wadi.

(7) Kuandaa mikutano ya HalmashauriKuu ya CCM ya Jimbo.

(8) Kuona kwamba masuala ya Ulinzina Usalama katika Jimboyanazingatiwa.

68. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCMya Jimbo itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Katibu wa CCM wa Jimbo ambayeatakuwa Mwenyekiti,

(b) Katibu wa Siasa na Uenezi waJimbo, (c) Katibu wa Uchumi naFedha wa Jimbo,

(d) Makatibu wa Jimbo wa Jumuiya zawananchi zinazoongozwa na CCM.

69. (1) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Jimboyatakuwa yafuatayo:-

Wakuu waCCM katikaJimbo

Mwenyekitiwa CCM waJimbo

MajukumuyaSekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

SekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

Page 92: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi87

(a) Kuongoza na kusimamiashughuli za Chama katikaJimbo.

(b) Kuandaa vikao vyote vyaChama vya Jimbo.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Jimboyatagawanyika ifuatavyo:-

(a) Katibu wa CCM wa Jimbo.(b) Idara ya Siasa na Uenezi ya

Jimbo.(c) Idara ya Uchumi na Fedha ya

Jimbo.(d) Idara ya Organaizesheni ya

Jimbo.(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu wa

Halmashauri Kuu ya Jimboisipokuwa kwamba Katibu wa CCMwa Jimbo atakuwa ndiye Katibu waOrganaizesheni katika Jimbo.

70. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuataokatika Jimbo:-

(1) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.(2) Katibu wa CCM wa Jimbo,

Page 93: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi88

71. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo CCMwa Jimbo atachaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Jimbo. Atashikanafasi hiyo ya uongozi kwa mudawa miaka mitano lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya mudahuo kumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo yote ya CCM katika Jimbo.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa MkutanoMkuu wa CCM wa Jimbo, Mkutanowa Halmashauri Kuu ya CCM yaJimbo na Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Jimbo.

(4) Katika mikutano anayoiongoza zaidiya kuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo piaatakuwa na kura ya uamuzi endapokura za W ajumbe wanaoafiki nawasioafiki zitalingana. Isipokuwakwamba kama kikao anacho-kiongoza ni kikao cha uchaguzi,Mwenyekiti atakuwa na kura yakeya kawaida tu. Hatakuwa na hakiya kutumia kura yake ya uamuziendapo kura za wajumbezimelingana. W ajumbe wa kikao

Page 94: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi89

wataendelea kupiga kura mpakahapo mshindi atakapopatikana.

72. (1) Katibu wa CCM wa Jimboatachaguliwa na Halmashauri Kuuya CCM ya Jimbo.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu waCCM katika Jimbo na atafanya kazichini ya Halmashauri Kuu ya Jimbolake. Majukumu yake ni hayayafuatayo:-

(a) Kuratibu kazi zote za CCMkatika Jimbo.

(b) Kuitisha na kuongoza vikaovya Sekretarieti ya Halma-shauri Kuu ya J imbo kwamadhumuni ya kushauriana,kuandaa agenda za Kamati yaSiasa ya Jimbo na kuchukuahatua za utekelezaji wamaamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawalana Uendeshaji wa Chamakatika Jimbo.

(d) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili yaChama katika Jimbo.

Katibu waCCM waJimbo

Page 95: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi90

(e) Kusimamia Udhibiti wa fedhana mali ya Chama katikaJimbo.

(3) Ataitisha Mikutano ya Kamati yaSiasa ya Jimbo, Halma-shauri Kuuya Jimbo na Mkutano Mkuu wa Jimbobaada ya kushauriana naMwenyekiti wa CCM wa Jimbo.

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Jimbo.

(5) Atashughulikia na kusimamiamasuala yote ya Orga-naizesheniya CCM katika Jimbo, ambayo ni:-

(a) Masuala yote ya wanachama.

(b) Kufuatilia vikao na maamuzi yavikao vya CCM.

(c) Kusimamia Jumuiya zawananchi zinazoongozwana CCM na Wazee wa Chama.

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi wa ndani ya Chamana ule wa Uwakilishi katikaVyombo vya Dola.

Page 96: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi91

(e) Kusimamia Katiba, Muundo,Kanuni na Taratibu za Chamana Jumuiya zinazoongozwana CCM.

73. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimboatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCMya Jimbo na atashughulikia masuala yoteya Siasa na Uenezi katika Jimbo. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kusimamia, kueneza na kufafanuamasuala yote ya Itikadi, Siasa naSera za CCM katika Jimbo.

(b) Kupanga na kusimamia Mafunzo namaandalizi ya Makada na W ana-chama katika Jimbo.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera zaChama za Kijamii na Ilani yaUchaguzi ya CCM katika Jimbo.

(d) Kudumisha uhusiano mzuri navyombo vya habari na kuwa namipango ya mawasiliano nauhamasishaji wa Umma katikaJimbo.

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakatiza Vyama vya Siasa Jimboni.

(f ) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiyaza Kijamii katika Jimbo.

Katibu waSiasa yaUenezi waJimbo

Page 97: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi92

74. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimboatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCMya Jimbo na atashughulikia masuala yoteya Uchumi na Fedha katika J imbo.Majukumu yake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kufuati liautekelezaji wa Sera za CCM zaUchumi katika Jimbo.

(b) Kutekeleza Sera za CCM za uchumikatika Jimbo.

(c) Kubuni na kutekeleza njia mbalimbaliza kukipatia Chama mapato.

(d) Kusimamia mapato na matumizi yafedha na kutoa taarifa kwa Kamatiya Siasa ya Jimbo.

(e) Kusimamia mali za Chama na kutoataarifa kwa Kamati ya Siasa yaJimbo.

FUNGU LA V

VIKAO VYA WILAYA

75. (1) Kutakuwa na aina zifuatazo zaWilaya za CCM:-(a) W ilaya zil izoundwa katika

maeneo ya Kijiografia.(b) Wilaya Maalumu za Vyuo vya

Elimu ya Juu, ambazo zitaundwabaada ya kupata idhini ya KamatiKuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.

Aina zaWilaya zaCCM

Katibu waUchumi naFedha waJimbo

Page 98: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi93

(2) Kutakuwa na Vikao vya CCMvifuatavyo katika kila Wilaya:-(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa

Wilaya.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya

Wilaya.(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri

Kuu ya CCM ya Wilaya.(4) Sekretarieti ya Halmashauri

Kuu ya CCM ya Wilaya.(5) Kamati ya Madiwani wote wa

CCM.76. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa W ilaya

utakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya.(b) Katibu wa CCM wa Wilaya.(c) Wajumbe wa Halmashauri Kuu

ya Taifa nafasi za W ilaya, naWajumbe wa Halmashauri Kuuya Taifa wa aina nyinginewanaoishi katika wilaya hiyo.

(d) Mkuu wa W ilaya ambayeanatokana na CCM.

(e) Katibu wa Siasa na Uenezi waWilaya.

(f ) Katibu wa Uchumi na Fedhawa Wilaya.

(g) Mbunge au Wabungewanaotokana na CCM,wanaowakilisha Majimboyaliyomo katika Wilaya hiyo, na

Vikao vyaCCM vyaWilaya

MkutanoMkuu waCCM waWilaya

Page 99: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi94

W abunge wa aina nyinginewanaoishi katika Wilaya hiyo.

(h) Wawakilishi wanaotokana naCCM, wanaowakilisha Majimboyaliyomo katika Wilaya hiyo, naWawakilishi wa aina nyinginewanaoishi katika Wilaya hiyo.

(i) Wajumbe wote wa MkutanoMkuu wa CCM wa Taifawaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Wilaya hiyo.

(j) Wajumbe wa Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa wanaoishikatika Wilaya hiyo.

(k) Mwenyekiti na Katibu waW ilaya wa kila jumuiya yawananchi inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM, namjumbe mwingine mmojaambaye ni mwanachama waCCM aliyechaguliwa na kilaJumuiya inayohusika iliyomokatika Wilaya hiyo.

(l) W ajumbe wote ambao niwanachama wa CCM kutokakila Jumuiya ya W ananchi

Page 100: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi95

inayoongozwa au iliyojishiri-kisha na CCM wanao-wakilisha Jumuiya hizo katikaMkutano Mkuu wa CCM waTaifa wanaoishi katika Wilayahiyo.

(m) Madiwani wanaotokana naCCM wanaowakilisha Kata/Wadi zilizomo katika W ilayahusika na Madiwani wa CCMwa aina nyingine wanaoishikatika Wilaya hiyo.

(n) Meya wa Manispaa auMwenyekiti wa Halmashauriya W ilaya anayetokana naCCM.

(o) W enyeviti na Makatibu waCCM wa kila Kata ya Wilayahiyo.

(p) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa Kata/Wadi za Wilaya hiyo.

(q) Makatibu wa Uchumi naFedha wa Kata/W adi zaWilaya hiyo.

(r) W ajumbe kumi waliocha-guliwa na Kila Kata ya Wilayahiyo.

Page 101: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi96

(s) Mjumbe mmoja aliyechaguliwana Mkutano Mkuu wa kila Tawila Wilaya hiyo.

(t) Wenyeviti wote wa CCM waMatawi katika Wilaya hiyo.

(u) Makatibu wote wa CCM waMatawi katika Wilaya hiyo.

(v) Makatibu wa Siasa na Ueneziwote wa Matawi ya CCMyaliyomo katika Wilaya hiyo.

( w ) Makatibu wa Uchumi naFedha wote wa Matawiyaliyomo katika Wilaya hiyo.

(x) W ajumbe wengine wote waMkutano Mkuu wa Mkoawanaoishi katika W ilayahiyo.

(y) W ajumbe wengine waMkutano Mkuu wa Wilaya nihawa wafuatao:-

- Wenyeviti na Makatibuwote wa CCM waMajimbo.

- Makatibu wa Siasa naUenezi wa Majimbo.

- Makatibu wa Uchumina Fedha wa Majimbo.

Page 102: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi97

- Wenyeviti na Makatibuwa Majimbo wa Jumuiyazinazoongozwa naCCM.

- Wajumbe wa MkutanoMkuu wa W ilaya naMkoa kupitia kila Jimbolinalohusika.

(2) Mkutano Mkuu wa W ilaya ndichokikao kikuu cha CCM katika Wilaya.

(3) Madiwani wote wanaotokana naCCM kwa pamoja watakuwa Kamatiya Madiwani wa CCM ambayo kaziyake itakuwa ni kusimamia kwa jumlautekelezaji wa ilani ya CCM na siasaya CCM katika shughuli zotezinazoendeshwa na Halmashauri zaWilaya, pamoja na kutekeleza kazinyingine ambazo zimeainishwakatika kanuni zake zinazohusika.Vikao vya Kamati hii vitafanyika kwamujibu wa Kanuni zakezinazohusika. Kwa upande waW ilaya za Zanzibar, kwa kuwaWilaya hizo zina Wabunge wengipamoja na W awakil ishi wengiwanaotokana na CCMwanaowakilisha Majimbo yaUchaguzi yaliyomo katika W ilayahusika, pamoja na W abunge naW awakilishi wa aina nyinginewanaoishi katika W ilaya hiyo,utaratibu utakuwa kwamba

Page 103: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi98

W abunge wanaohusika wata-chagua wajumbe wawili kutokamiongoni mwao; na W awakilishiwanaohusika pia watachaguawajumbe wawili kutoka miongonimwao, ambao ndio watakuwaWajumbe wa Kamati ya Madiwaniwote wa CCM katika Halmashauriinayohusika.

(4) Mkutano Mkuu wa Wilaya utafanyamikutano yake ya kawaida maramoja kila mwaka, lakini unawezakukutana wakati wowote endapoitatokea haja ya kufanya hivyo aukwa maagizo ya vikao vya juu.

(5) Mwenyekit i wa CCM wa W ilayaataongoza Mkutano Mkuu wa CCMwa W ilaya; lakini Mwenyekit iasipoweza kuhudhuria Mkutanoutamchagua mjumbe mwingineyeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutanohuo.

77. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilayazitakuwa zifuatazo:-(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi

za CCM iliyotolewa na HalmashauriKuu ya CCM ya Wilaya, na kutoamaelekezo ya utekelezaji wa Siasaya CCM kwa kipindi kijacho.

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM waWilaya

Page 104: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi99

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juu yanate-kelezwa ipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yoteyanayohusu ulinzi na usalama namaendeleo kwa jumla katika Wilaya.

(4) Unapofika wakati wa uchaguziMkutano Mkuu wa CCM wa Wilayautashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Mwenyekiti waCCM wa Wilaya.

(b) Kuwachagua Wajumbe waHalmashauri Kuu ya Taifa wanafasi za Wilaya, mmoja (1)kwa kila Wilaya ya TanzaniaBara; na sita (6) kwa kila Wilayaya Zanzibar.

(c) Kuwachagua Wajumbe kumikuingia katika Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya.

(d) Kuwachagua Wajumbe wawilikuhudhuria Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa.

(e) Kuwachagua Wajumbe watanokuhudhuria Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa W ilaya kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

(6) Mkutano Mkuu wa Wilaya wawezakukasimu madaraka yake kwaHalmashauri Kuu ya Wilaya kuhusu

Page 105: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi100

utekelezaji wa kazi zake kwa kadriutakavyoona inafaa.

78. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayaitakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa

Wilaya.(b) Katibu wa CCM wa Wilaya.(c) Mjumbe au Wajumbe wa

Halmashauri Kuu ya Taifa waWilaya hiyo.

(d) Mkuu wa W ilaya ambayeanatokana na CCM.

(e) Katibu wa Siasa na Ueneziwa Wilaya.

(f ) Katibu wa Uchumi na Fedhawa Wilaya.

(g) Mbunge au W abungewanaotokana na CCMwanaowakil isha Majimboyaliyomo katika Wilaya husika,na W abunge wa ainanyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo.

(h) Wawakilishi wanaotokana naCCM wanaowakilisha Jimbohusika, na W awakilishi waaina nyingine wanaoishikatika Wilaya hiyo.

HalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 106: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi101

(i) W ajumbe kumi waliocha-guliwa na Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya.

(j) Mwenyekit i, Kat ibu waW ilaya na Mjumbe mmojaambao ni wanachama CCMkutoka kila Jumuiya yaW ananchi inayo-ongozwaau iliyojishirikisha na CCMiliyopo W ilayani wanaowa-kilisha Jumuiya hiyo kwenyeMkutano Mkuu wa CCM waW ilaya.

(k) W enyevit i wa CCM waMajimbo yaliyomo katikaW ilaya hiyo.

(l) Makatibu wa CCM waMajimbo yaliyomo katikaW ilaya hiyo.

(m) Makatibu wa Siasa nauenezi wa Majimbo yaliyomokatika Wilaya hiyo.

(n) Makatibu wa uchumi naFedha wa Majimbo yaliyomokatika wilaya hiyo.

(o) Wenyeviti wa CCM wa Kata/Wadi zilizomo katika W ilayahiyo.

Page 107: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi102

(p) Makatibu wa CCM wa Kata/Wadi zilizomo katika Wilayahiyo.

(q) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa CCM wa Kata/W adizilizomo katika Wilaya hiyo.

(r) Makatibu wa CCM wa Uchumina Fedha wa Kata/W adizilizomo katika Wilaya hiyo.

(s) Mwenyekiti wa Halmashauriya Mji, Manispaa au Mwe-nyekiti wa Halmashauri yaWilaya hiyo anayetokana naCCM.

(t) Madiwani wanaotokana naCCM wanaowakilisha Kata/Wadi zilizomo katika Wilayahusika, na Madiwani wa ainanyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo.

(u) W ajumbe wengine wote waHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa wanaoishi katikaWilaya hiyo.

(v) W ajumbe wengine waHalmashauri Kuu ya W ilayawanaopatikana kwa mujibuwa kifungu 79 (9) (g).

Page 108: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi103

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayaitafanya mikutano yake ya kawaidamara moja kila baada ya miezi mitatu.Lakini inaweza kufanya mkutanousiokuwa wa kawaida wakatiwowote endapo itatokea haja yakufanya hivyo.

(3) Mkutano wa Halmashauri Kuu yaWilaya utakaofanyika katika kipindicha miezi sita ya kwanza ya kilamwaka utakuwa pia na Kazi Maalumya kupokea na kujadili Taarifa yaUtekelezaji wa I lani ya CCMunaofanywa na mamlaka za Serikaliza Mitaa katika Wilaya hiyo, katikamwaka wa Fedha uliopita wa mamlakahizo, uliomalizika tarehe 31 Desembaya mwaka unaohusika. Isipokuwakwamba kwa Halmashauri ya Jiji,ambalo mipaka yake inaunganishaWilaya zaidi ya moja, Taarifa zakezitapokelewa na kujadiliwa naHalmashauri Kuu ya Mkoaunaohusika na Mamlaka hiyo.

(4) Mwenyekit i wa CCM wa W ilayaataongoza Mkutano wa HalmashauriKuu ya CCM ya W ilaya, lakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Katibu wa CCM wa Wilaya atakuwa

Page 109: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi104

Mwenyekiti wa muda wa Mkutanohuo.

79. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi waUjamaa na Kujitegemea katika eneola Wilaya.

(2) Kusimamia Uenezi wa Itikadi naSiasa ya CCM na kueleza mipangoya CCM kwa Kata/Wadi na Majimboyote ya W ilaya, na kubuni mbinuzinazofaa za kuimarisha CCM katikaWilaya.

(3) Kupanga mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezokatika Wilaya.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji waIlani ya CCM na kusimamiautekelezaji wa Siasa na Maazimioya CCM kwa jumla.

(5) Kuona kwamba shughuli zamaendeleo ya Ulinzi na Usalamazinazingatiwa katika Wilaya.

(6) Kuziongoza Halmashauri Kuu zaCCM za Kata zote upande waTanzania Bara; na za W adi naMajimbo upande wa Zanzibar,

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 110: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi105

kuhusu njia zinazofaa za kuimarishaCCM na kuleta maendeleo Wilayani.

(7) Kuangalia mwenendo na vitendovya wanachama pamoja naviongozi wa CCM katika Wilaya nainapolazimu kutoa taarifa kwa vikaovinavyohusika.

(8) Kuf ikisha kwenye Kata, W adi,Jimbo maazimio na maagizo ya vikaovya juu na kufikisha kwenye Vikaovya juu mapendekezo kutokakwenye Kata/JWadi na Jimbo.

(9) Unapofika wakati wa uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayaitashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kuwachagua kutoka miongonimwao Wajumbe watano kwaWilaya za Tanzana Bara, nawatatu kwa W ilaya zaZanzibar kuingia katikaKamati ya Siasa ya Halma-shauri Kuu ya Wilaya.

(b) Kwa W ilaya za Zanzibar,kuchagua W ajumbe wawili(2) kutoka miongoni mwaW ajumbe wa HalmashauriKuu ya Taifa wa Wilaya hiyo,kuingia katika Kamati ya Siasaya Wilaya.

(c) Kwa W ilaya za Zanzibar,kuchagua W abunge wasi-ozidi watano kutoka miongoni

Page 111: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi106

mwa W abunge wanao-tokana na CCM wanao-wakil isha Majimbo yaUchaguzi yaliyomo katikaWilaya inayohusika, pamojana W abunge wa ainanyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo; wa kuingia katikaKamati ya Siasa ya Wilaya.

(d) Kwa W ilaya za Zanzibar,kuchagua Wawakilishi wasi-ozidi watano kutoka miongonimwa W awakil ishi wanao-tokana na CCM wanao-wakil isha Majimbo yaUchaguzi yaliyomo katikaWilaya inayohusika, pamojana W awakil ishi wa ainanyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo; wa kuingia katikaKamati ya Siasa ya Wilaya.

(e) Kumchagua Katibu wa Siasana Uenezi wa CCM waWilaya.

(f ) Kumchagua Katibu waUchumi na Fedha wa CCMwa Wilaya.

(g) Kuwachagua wanachamawasiozidi watatu wa Halma-shauri Kuu ya CCM ya Wilaya

Page 112: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi107

kutokana na mapendekezo yaMwenyekiti wa CCM wa Wilaya.

(h) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa wanachamawanaoomba Uenyekiti naUkatibu wa CCM wa Tawi,Ukatibu wa Siasa na Uenezi waTawi, Ukatibu wa Uchumi naFedha wa Tawi, Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/W adi, Uenyekiti waMtaa,Ujumbe wa Kamati yaMtaa, Uenyekiti na Ujumbe waHalmashauri ya Kijiji.

(i) Kufanya uteuzi wa mwisho wamajina ya wanachama wa CCMwatakaosimama katika ucha-guzi wa Mwenyekiti na Katibuwa Kata na Jimbo kwa upandewa Zanzibar wa kila Jumuiyaya Wananchi inayoongozwa naCCM na Ujumbe wa kuiwa-kilisha kila Jumuiya katika vikaovya CCM vya Kata na Majimbokatika Wilaya inayohusika.

(10) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya nafasi za Uongozizinazokuwa wazi isipokuwa yaMwenyekiti wa CCM wa Wilaya.

Page 113: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi108

(11) Kupokea, kuzingatia na kuamua juuya mapendekezo ya vikao vya CCMvilivyo chini yake.

(12) Kuunda Kamati Ndogo za Utekelezajikama itakavyoonekana inafaa kwaajili ya utekelezaji bora zaidi wa kaziza CCM katika Wilaya. Isipokuwakwamba Halmashauri Kuu ya Wilayaitaunda Kamati Ndogo kwa kila Jimbola Uchaguzi wa W abunge/Wawakilishi lililomo katika W ilayahiyo, ambayo itaitwa Kamati yaJimbo. Kamati hiyo itakuwa naWajumbe wote wa Halmashauri Kuuya Wilaya wanaotoka katika Jimbola Uchaguzi linalohusika, na itakuwana uwezo wa kuchaguaMwenyekitina Katibu wake. Kazi kubwa yaKamati ya J imbo la Uchaguziitakuwa ni kubuni mbinu zakuimarisha Chama katika Jimbo hilo,pamoja na kupanga mikakatiinayofaa ya Kampeni za uchaguzikwa lengo la kuipatia CCM ushindi.

(13) Kupokea na kujadili taarifa zautekelezaji wa Kazi za CCM za Wilayana Kamati ya Madiwani wa CCM waWilaya.

Page 114: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi109

(14) Kumwachisha au kumfukuzauongozi Mwenyekiti au Katibu waCCM wa Tawi.

(15) Kuunda Kamati ya Usalama naMaadili ya CCM ya Wilaya.

(16) Halmashauri Kuu ya Wilaya yawezakukasimu madaraka yake kwaKamati ya Siasa ya Wilaya kuhusuutekelezaji wa kazi zake kwa kadriitakavyoona inafaa.

80. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya W ilaya itakuwa nawajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM waWilaya.

(b) Katibu wa CCM wa Wilaya.(c) Kwa Wilaya za Tanzania Bara,

Mjumbe wa Halmashauri Kuuya Taifa wa Wilaya hiyo. KwaW ilaya za Zanzibar zenyeW ajumbe wengi, Wajumbewawili (2) kutoka miongonimwao, waliochaguliwa naHalmashauri Kuu za Wilayahiyo.

(d) Mkuu wa W ilaya ambayeanatokana na CCM.

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 115: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi110

(e) Katibu wa Siasa na Uenezi waWilaya;

(f) Katibu wa Uchumi na Fedha waWilaya.

(g) Mbunge au Wabunge wanao-tokanana CCM. wanaowakilisha Wilayahiyo au Wabunge wa aina nyinginewanaoishi katika Wilaya hiyo.

(h) Kwa W ilaya za Zanzibar,W abunge wasiozidi watanokutoka miongoni mwa Wabungewanaotokana na CCMwanaowakilisha Majimbo yaUchaguzi yaliyomo katika Wilayainayohusika, pamoja na Wabungewa aina nyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo.

(i) Kwa W ilaya za Zanzibar,W awakilishi wasiozidi watanokutoka miongoni mwa Wawakilishiwanaotokana na CCM wanao-wakilisha Majimbo ya Uchaguziyaliyomo katika Wilaya inayohusika,pamoja na Wawakilishi wa ainanyingine wanaoishi katika Wilayahiyo.

Page 116: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi111

(j) W ajumbe waliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM yaWilaya kuingia katika Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya W ilaya watano kwaW ilaya za Tanzania Bara nawatatu kwa Wilaya za TanzaniaZanzibar.

(k) Mwenyekiti wa Halmashauri yaMji, Manispaa au Mwenyekiti waHalmashauri ya W ilaya hiyoanayetokana na CCM.

(l) Mwenyekiti wa Wilaya wa kilaJumuiya ya W ananchiinayoongozwa na CCM iliyomokatika Wilaya hiyo.

(m) Mwenyekiti na Katibu waKamati ya Madiwani wa CCM.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya Wilaya itafanya mikutano yake yakawaida mara moja kwa mwezi.

(3) Mwenyekit i wa CCM wa W ilayaataongoza Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya W ilaya. Lakini Mwenyekit iasipoweza kuhudhuria Katibu waCCM wa Wilaya atakuwa Mwenyekitiwa muda wa Mkutano huo.

Page 117: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi112

81. Kazi za Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya W ilaya zitakuwazifuatazo:-(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika

Wilaya.(2) Kusimamia utekelezaji wa shughuli za

kila siku za CCM Wilayani chini yauongozi wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya.

(3) Kueneza It ikadi ya CCM katikaWilaya.

(4) Kuandaa mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo.

(5) Kupanga mipango ya kukipatiaChama mapato, kusimamia kwa dhatiutekelezaji wa mipango hiyo,kudhibit i mapato na kusimamiamatumizi bora ya fedha na mali zaChama katika Wilaya.

(6) Unapofika wakati wa uchaguzi,Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya itashughulikiamambo yafuatayo:-(a) Kufikiria na kutoa mapendekezo

yake kwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa juu ya wanachamawanaoomba nafasi za uongoziwa CCM kupitia Wilaya hiyo.

Kazi zaKamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 118: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi113

(b) Kuf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaHalmashauri Kuu ya CCM yaW ilaya juu ya wanachamawanaoomba Uenyekiti naUkatibu wa CCM wa Tawi;Ukatibu wa Siasa na Ueneziwa Tawi, Ukatibu wa Uchumina Fedha wa Tawi; Ujumbewa Halmashauri Kuu ya CCMya Kata/W adi; Uenyekiti waMtaa, Uenyekiti na Ujumbe waHalmashauri ya Kijiji.

(c) Kuf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaKamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa juu ya W anachamawanaoomba Uenyekiti naUkatibu wa CCM wa Jimbo;Katibu wa Siasa na Ueneziwa Jimbo; Katibu wa Uchumina Fedha wa Jimbo; Ujumbewa Mkutano Mkuu wa Jimbo,Wilaya na Mkoa, Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaJimbo, Uenyekiti na Ukatibuwa CCM wa Kata/W adi,Katibu wa Siasa na Ueneziwa Kata/W adi; Katibu wa

Page 119: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi114

Uchumi na Fedha wa Kata/Wadi na wagombea Udiwaniwa CCM kwa mujibu washeria zilizopo za uchaguziwa Serikali za Mitaa.

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa, juu ya Wanachamawanaoomba nafasi zaMwenyekiti na MakamuMwenyekiti wa Halmashauri yaWilaya na Mji, Meya na NaibuMeya wa Manispaa zilizomokatika Mkoa huo na wanachamawanaoomba nafasi za Ubungena Uwakilishi.

(e) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaWilaya juu ya wanachama waCCM wanaoomba Uenyekiti naUkatibu wa Kata na Jimbo kwaupande wa Zanzibar wa kilaJumuiya ya Wananchi inayo-ongozwa na CCM na wanaoombaUjumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCM vyaKata na Majimbo katika Wilayainayohusika.

Page 120: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi115

(f ) Kuf ikiria na kutoa mape-ndekezo yake kwa Kamati yaSiasa ya Mkoa juu yawanachama wa Jumuiya zaCCM wanaoomba kuwaWajumbe wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Mkoa nakuwakilisha Jumuiya katikavikao vya Mkoa huo.

(7) Kumsimamisha uongozi kiongozi yeyotewa Kata/Wadi na Jimbo endapoitadhihirika kwamba tabia na mwenendowake vinamwondolea sifa za uongozi.

(8) Kuandaa mikutano ya HalmashauriKuu ya CCM ya Wilaya.

(9) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi naUsalama yanazingatiwa katika Wilaya.

82. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCMya Wilaya itakuwa na wajumbe wafuatao:-(1) Katibu wa CCM wa Wilaya ambaye

atakuwa Mwenyekiti. (2) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya. (3) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilaya. (4) Makatibu wa W ilaya wa Jumuiya

zinazoongozwa na CCM.83. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya

Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayayatakuwa yafuatayo:-

SekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Page 121: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi116

(a) Kuongoza na kusimamiashughuli za Chama katikaWilaya.

(b) Kuandaa shughuli za vikaovyote vya Chama vya Wilaya.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Wilayayatagawanyika ifuatavyo:-(a) Katibu wa CCM wa Wilaya.(b) Idara ya Siasa na Uenezi ya

Wilaya.(c) Idara ya Uchumi na Fedha ya

Wilaya. (d) Idara ya Organaizesheni ya

Wilaya.(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu wa

Halmashauri Kuu ya W ilayaisipokuwa kwamba Katibu wa CCMwa W ilaya atakuwa ndiye Katibuwa Organaizesheni katika Wilaya.

84. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuataokatika Wilaya:-(1) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya.(2) Mjumbe au Wajumbe wa Halmashauri

Kuu ya Taifa wa Wilaya hiyo.(3) Katibu wa CCM wa Wilaya.

85. (1) Mwenyekit i wa CCM wa W ilayaatachaguliwa na Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya. Atashika nafasi

Wakuu waCCM katikaWilaya

Mwenyekitiwa CCM waWilaya

Page 122: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi117

hiyo kwa muda wa miaka mitano,lakini anaweza kuchaguliwa tenabaada ya muda huo kumalizika.

(2) Atakuwa na wajibu wa kuangaliamambo yote ya CCM katika Wilaya.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa MkutanoMkuu wa CCM wa W ilaya,Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayana Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya Wilaya.

(4) Katika mikutano anayoiongoza zaidiya kuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya piaatakuwa na kura ya uamuzi endapokura za wajumbe wanaoaf iki nawasioafiki zitalingana. Isipokuwakwamba kama kikao anachokiongozani kikao cha Uchaguzi, Mwenyekitiatakuwa na kura yake ya kawaidatu. Hatakuwa na haki ya kutumia kurayake ya uamuzi endapo kura zawajumbe zimelingana. Wajumbe wakikao wataendelea kupiga kura mpakahapo mshindi atakapopatikana.

86. (1) Katibu wa CCM wa W ilayaatateuliwa na Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu waCCM Wilayani na atafanya kazi chini

Katibu waCCM waWilaya

Page 123: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi118

ya uongozi wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya. Majukumu yake nihaya yafuatayo:-

(a) Kuratibu kazi zote za CCMkatika Wilaya.

(b) Kuitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya kwamadhumuni ya kushauriana,kuandaa agenda za Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu yaWilaya na kuchukua hatua zautekelezaji wa maamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawalana Uendeshaji wa Chamakatika Wilaya,

(d) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili yaChama katika Wilaya.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali ya Chama KatikaWilaya.

(3) Kuitisha mikutano ya Kamati ya Siasaya W ilaya, Halmashauri Kuu yaWilaya na Mkutano Mkuu wa Wilayabaada ya kushauriana naMwenyekiti wa CCM wa Wilaya.

Page 124: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi119

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Wilaya.

(5) Atashughulikia na kusimamiamasuala yote ya Organaizesheni yaCCM katika Wilaya, ambayo ni:-(a) Masuala yote ya wanachama.(b) Kufuatilia vikao na maamuzi

ya vikao vya Chama.(c) Kusimamia Jumuiya

zinazoongozwa na CCM naWazee wa Chama.

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi wa ndani ya Chamana ule wa Uwakilishi katikaVyombo vya Dola.

(6) Kusimamia Katiba, Muundo, Kanunina Taratibu za Chama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

87. Katibu wa Siasa na Uenezi wa W ilayaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCMya Wilaya na atashughulikia masuala yoteya Siasa na Uenezi katika W ilaya.Majukumu yake ni haya yafuatayo:-(a) Kushughulikia masuala yote ya

Itikadi, Siasa na Sera za CCM katikaWilaya,

(b) Kupanga na kusimamia Mafunzo namaandalizi ya Makada nawanachama katika Wilaya.

Page 125: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi120

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera zaChama za Kijamii na Ilani zaUchaguzi za CCM katika Wilaya.

(d) Kudumisha uhusiano mzuri na Vyombovya Habari na kuwa na mipango yamawasiliano na uhamasishaji wa ummakwa ujumla katika Wilaya.

(e) Kufuatilia hali ya Kisiasa na harakatiza Vyama vya Siasa Wilayani.

(f ) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiyaza kijamii katika Wilaya.

88. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilayaatachaguliwa na Halmashauri Kuu yaWilaya na atashughulikia masuala yote yaUchumi na Fedha katika Wilaya. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kufuati liautekelezaji wa sera za CCM zaUchumi katika Wilaya,

(b) Kubuni na kufuatilia mipango yaVitega Uchumi na Uwekezaji waChama katika ngazi ya Wilaya.

(c) Kutekeleza mipango ya vitegauchumi na uwekezaji wa Chamakatika ngazi ya Wilaya.

(d) Kuchochea na kuratibu vitegauchumi na mipango ya uwekezaji

Page 126: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi121

wa Chama katika ngazi za chini zaWilaya inayohusika,

(e) Kutafuta na kusimamia mapato namatumizi ya fedha na kutoa taarifakwa Kamati ya Siasa ya Wilaya.

(f ) Kusimamia mali za Chama na kutoataarifa kwa Kamati ya Siasa yaWilaya.

FUNGU LA VI

VIKAO VYA MKOA

89. (1) Kutakuwa na aina zifuatazo zaMikoa ya CCM:-(a) Mikoa il iyoundwa katika

maeneo ya kijiografia.(b) Mkoa Maalumu wa Vyuo vya

Elimu ya Juu.(2) Kutakuwa na Vikao vya CCM

vifuatavyo katika kila Mkoa:-(a) Mkutano Mkuu wa CCM wa

Mkoa.(b) Halmashauri Kuu ya CCM ya

Mkoa.(c) Kamati ya Siasa ya Halmashauri

Kuu ya CCM ya Mkoa.(d) Sekretarieti ya Halmashauri

Kuu ya CCM ya Mkoa.

Vikao vyaCCM vyaMkoa

Page 127: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi122

90. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoautakuwa na Wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.(b) Katibu wa CCM wa Mkoa.(c) Mkuu wa Mkoa ambaye

anatokana na CCM.(d) Katibu wa Siasa na Uenezi wa

Mkoa.(e) Katibu wa Uchumi na Fedha

wa Mkoa(f ) Mjumbe au Wajumbe wa

Halmashauri Kuu ya Taifa wanafasi za W ilaya zil izomokatika Mkoa huo; na Wajumbewa Halmashauri Kuu ya Taifawa aina nyingine wanaoishikatika Mkoa huo.

(g) Wabunge wote wanaotokanana CCM wanaowakilishaMajimbo yaliyomo katika Mkoahusika, na Wabunge wa ainanyingine wanaoishi katikaMkoa huo.

(h) W awakilishi wote wanao-tokana na CCM wanao-wakilisha Majimbo yaliyomokatika Mkoa husika, naWawakilishi wa aina nyinginewanaoishi katika Mkoa huo.

(i) W ajumbe wote wa Halma-shauri Kuu ya CCM ya Mkoa.

MkutanoMkuu waCCM waMkoa

Page 128: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi123

(j) Mwenyekiti na Katibu waW ilaya wa Jumuiyazinazoongozwa na CCMzilizomo katika Mkoa huo; naMjumbe mwingine mmojaaliyechaguliwa na kilaJumuiya kutoka kila Wilayazilizomo katika Mkoa huo.

(k) Mwenyekiti, Katibu, Mjumbe waMkutano Mkuu wa Taifa wa Mkoana Mjumbe mwingine mmojaaliyechaguliwa na kila Jumuiya yaWananchi inayoongozwa naCCM iliyomo Mkoani.

(l) Meya wa Jiji au Mji wenyehadhi.

(m) W ajumbe wawili waliocha-guliwa kutoka kila Wilaya.

(n) Wenyeviti na Makatibu wotewa CCM wa Wilaya za Mkoahuo.

(o) W akuu wote wa W ilayaambao wanatokana na CCMkatika Mkoa huo.

(p) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa Wilaya za Mkoa huo.

(q) Makatibu wa Uchumi naFedha wa W ilaya za Mkoahuo.

(r) Wenyeviti wa Halmashauri zaMiji, Meya wa Manispaa na

Page 129: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi124

Wenyeviti wa Halmashauri zaWilaya katika Mkoa huo.

(s) W ajumbe watano waMkutano Mkuu wa CCM waTaifa, wanaowakil isha kilaWilaya ya Mkoa huo.

(t) W enyeviti na Makatibu waCCM wa Majimbo ya Mkoaunaohusika, wa Zanzibar.

(u) W enyeviti na Makatibu waCCM wa Kata/Wadi zilizomokatika Mkoa huo.

(v) Makatibu wa Siasa na Uenezi;na Makatibu wa Uchumi naFedha wa Majimbo ya CCM yaMkoa unaohusika wa Zanzibar.

( w ) Madiwani wote wanaotokanana CCM wanaowakilisha Kata/W adi zilizomo katika Mkoahusika, na Madiwani wa ainanyingine wanaoishi katikaMkoa huo.

(x) Makatibu wa Siasa na Uenezi;na Makatibu wa Uchumi naFedha wa Kata/Wadi zilizomokatika Mkoa huo.

(y) Mjumbe mmoja kutoka kilaKata kwa upande waTanzania Bara na Wajumbewatano kutoka kila Wadi kwaupande wa Zanzibarwaliochaguliwa na Mkutano

Page 130: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi125

Mkuu wa CCM wa kila Kata/Wadi iliyomo katika Mkoa huo.

(z) Wajumbe watatu waliochaguliwakutoka kila Jimbo la Mkoaunaohusika wa Zanzibar.

(z1) Wajumbe wa Baraza Kuu laTaifa ambao ni wanachamawa CCM wa kila Jumuiya yawananchi inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM iliyomoMkoani.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoandicho kikao kikuu cha CCM katika Mkoa.

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoautafanya mikutano yake ya kawaidamara tatu katika kipindi cha miakamitano. Mikutano miwili itakuwa yauchaguzi na mmoja wa kazi. Lakinimkutano usio wa kawaida unawezakufanyika wakati wowote endapoitatokea haja ya kufanya hivyo aukwa maagizo ya kikao cha juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoaataongoza Mkutano Mkuu wa CCMwa Mkoa, lakini asipowezakuhudhuria mkutano huo utamchaguaMjumbe mwingine yeyote miongonimwao kuwa Mwenyekiti wa mudawa mkutano huo.

Page 131: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi126

91. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi zaCCM iliyotolewa na Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa na kutoa maelekezoya utekelezaji wa Siasa ya CCM kwakipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juuyanatekelezwa ipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayo-husu Ulinzi na Usalama, na maendeleokwa jumla katika Mkoa huo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoautashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Mwenyekiti waCCM wa Mkoa.

(b) Kuwachagua W ajumbe wawilikutoka kila Wilaya ya TanzaniaBara na W ajumbe watanokutoka kila Wilaya ya Zanzibarkuingia katika Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa.

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM waMkoa

Page 132: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi127

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

(6) Mkutano Mkuu wa Mkoa wawezakukasimu madaraka yake kwaHalmashauri Kuu ya Mkoa kuhusuutekelezaji wa kazi zake kwa kadriutakavyoona inafaa.

92. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoaitakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

(b) Katibu wa CCM wa Mkoa.

(c) Mkuu wa Mkoa ambayeanatokana na CCM.

(d) Katibu wa Siasa na Uenezi waMkoa.

(e) Katibu wa Uchumi na Fedhawa Mkoa.

(f ) W enyeviti wote wa CCM waWilaya za Mkoa huo.

(g) Mjumbe au W ajumbe waHalmashauri Kuu ya Taifa waWilaya zilizomo katika Mkoa huo.

(h) Makatibu wa CCM wa Wilaya zaMkoa huo.

HalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Page 133: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi128

(i) Makatibu wa Siasa na Uenezina Makatibu wa Uchumi naFedha wa W ilaya za Mkoahuo.

(j) Wabunge wote wanaotokanana CCM wanaowakilishaMajimbo ya Uchaguzi yaliyomokatika Mkoa husika, naW abunge wa aina nyinginewanaoishi katika Mkoa huo.

(k) Wawakilishi wanaotokana naCCM wanaowakilisha majimboya uchaguzi yaliyomo katikaMkoa husika, na Wawakilishiwa aina nyingine wanaoishikatika Mkoa huo.

(l) Meya wa Jiji au Meya wa Mjiwenye hadhi ya Jiji anaye-tokana na CCM.

(m) Wenyeviti wa Halmashauri zaMiji, Meya wa Manispaa auWenyeviti wa Halmashauri zaW ilaya katika Mkoa huowanaotokana na CCM.

(n) Wajumbe wa Halmashauri Kuuya Mkoa wanaochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM waMkoa, wawili kutoka kilaWilaya ya Tanzania Bara na

Page 134: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi129

watano kutoka kila Wilaya yaZanzibar.

(o) Mwenyekiti na Katibu waKamati ya Madiwani wa CCMya Mkoa wenye Jiji au Mjiwenye hadhi ya Jiji.

(p) Mwenyekiti, Katibu wa Mkoana Mjumbe au wajumbe ambaoni Wanachama wa CCM waBaraza Kuu la Taifa wa kilaJumuiya ya Wananchi inayo-ongozwa au inayoji-shirikishana CCM iliyopo Mkoani.

(q) W ajumbe wengine waHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa wanaopatikana kwamujibu wa kifungu 93 (10) (e).

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoaitafanya mikutano yake ya kawaidamara moja kila baada ya miezi mitatu,lakini inaweza kufanya mkutanousiokuwa wa kawaida wakatiwowote endapo itatokea haja yakufanya hivyo au kwa maagizo yaKikao cha juu.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoaataongoza Mkutano wa HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoa. Lakini

Page 135: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi130

Mwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Katibu wa CCM wa Mkoa atakuwaMwenyekiti wa muda wa mkutanohuo.

93. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi waUjamaa na Kujitegemea katika Mkoa.

(2) Kusimamia Uenezi wa Itikadi naSiasa ya CCM, kueleza Mipango yaCCM kwa Wilaya za CCM za Mkoahuo, na kubuni mbinu zinazofaa zakuimarisha CCM katika Mkoa.

(3) Kupanga mikakati ya Kampeni zaUchaguzi na kampeni nyinginezokatika Mkoa.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji waIlani ya CCM na kusimamiautekelezaji wa Siasa na maazimioyaliyopitishwa na Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa na Mkutano Mkuuwa CCM wa Mkoa.

(5) Kuona kwamba shughuli zaMaendeleo na za Ulinzi na Usalamakatika Mkoa zinazingatiwa.

(6) Kupokea, kuzingatia na kuamua juuya mapendekezo ya vikao vya CCMvilivyo chini yake.

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Page 136: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi131

(7) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCMza Wilaya katika njia zinazofaa zakuimarisha CCM, na za kuletamaendeleo katika Mkoa.

(8) Kuangalia mwenendo na vitendo vyaW anachama na viongozi wa CCMkatika Mkoa na inapolazimu kutoataarifa kwa vikao vinavyohusika.

(9) Kufikisha maazimio na maagizo yavikao vya juu kwa ngazi za chini yake,na kufikisha mapendekezo kutokangazi hizo kwa vikao vya juu.

(10) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoaitashughulikia mambo yafuatayo:

(a) Kuwachagua W ajumbe waKamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa, watano kwa Mikoa yaTanzania Bara, na watatu kwaMikoa ya Zanzibar kutokamiongoni mwao.

(b) Kuchagua Wajumbe wasioziditheluthi moja kutoka miongonimwa W ajumbe wa Halma-shauri Kuu ya Taifa wa nafasiza Wilaya zilizomo katika Mkoahuo, kuingia katika Kamati yaSiasa ya Mkoa.

Page 137: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi132

(c) Kumchagua Katibu wa Siasana Uenezi wa Mkoa.

(d) Kumchagua Katibu waUchumi na Fedha wa Mkoa.

(e) Kuwachagua wanachamawatatu wa Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa kutokana namapendekezo ya Mwenyekitiwa CCM wa Mkoa.

(f ) Kwa upande wa TanzaniaBara, itafikir ia na kufanyauteuzi wa mwisho wawanachama wanaoombaUenyekiti wa CCM wa Kata,Ukatibu wa CCM wa Kata,Ukatibu wa Siasa na Ueneziwa Kata, Ukatibu wa Uchumina Fedha wa Kata, Udiwani,Ukatibu wa Siasa na Ueneziwa W ilaya, Ukatibu waUchumi na Fedha wa Wilaya,Ujumbe wa Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya na Mkoa,Ujumbe wa Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya, Mkoa, na Taifa.

(g) Kwa upande wa TanzaniaZanzibar, itafikiria na kufanyauteuzi wa mwisho wawanachama wanaoombaUenyekiti wa CCM wa Wadi;Ukatibu wa CCM wa Wadi;Ukatibu wa Siasa na Uenezi waWadi; Ukatibu wa Uchumi na

Page 138: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi133

Fedha wa W adi, Udiwani;Uenyekiti wa CCM na Ukatibuwa CCM wa Jimbo, Ukatibu waSiasa na Uenezi wa Jimbo;Ukatibu wa Uchumi na Fedhawa Jimbo; Ukatibu wa Siasa naUenezi wa Wilaya, Ukatibu waUchumi na Fedha wa Wilaya,Ujumbe wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo, Wilaya na Mkoa,Ujumbe wa Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya, Mkoa na Taifa.

(h) Kufanya uteuzi wa mwishowa majina ya wanachama waCCM wanaogombea Uenyekitiwa Wilaya wa kila Jumuiya yaWananchi inayoongozwa naCCM; na majina ya wagombeawa kuiwakilisha kila Jumuiyakatika vikao vya CCM vyaWilaya; Mkoa; na Taifa.

(11) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuuwa CCM wa Mkoa nafasi za uongozizitakazokuwa wazi isipokuwa yaMwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

(12) Kuunda Kamati Ndogo kwa kadriitakavyo-onekana inafaa kwa ajiliya utekelezaji bora zaidi wa kazi zaCCM katika Mkoa.

(13) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za utekelezaji wa kazi zaCCM za Mkoa na Kamati ya

Page 139: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi134

Madiwani wa CCM ya Mkoa palepanapohusika.

(14) Kumwachisha au kumfukuzaUanachama Mwanachama yeyoteendapo itaridhika kwamba tabianamwenendo wake vinamwo-ndolea s ifa za Uanachama.Mwanachama anayeachishwa aukufukuzwa Uanachama anawezakukata rufaa kwa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(15) Kumwachisha au kumfukuzauongozi kiongozi yeyote ambayeuteuzi wake wa mwisho unafa-nywa na Halmashauri Kuu ya CCMya Mkoa. Isipokuwa kwa suala lakumvua uanachama au uongoziDiwani lisifanyike hadi Kamati Kuuimearifiwa na kutoa maelekezo.

(16) Kuunda Kamati ya Usalama naMaadili ya CCM ya Mkoa.

(17) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoayaweza kukasimu madaraka yakekwa Kamati ya Siasa ya Mkoakuhusu utekelezaji wa Kazi zakekwa kadri itakavyoona inafaa.

94. (1) Kutakuwa na Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoakatika kila Mkoa ambayo itakuwa nawajumbe wafuatao:-

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Page 140: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi135

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.(b) Katibu wa CCM wa Mkoa.(c) Mkuu wa Mkoa ambaye ni

anatokana na CCM.(d) Katibu wa Siasa na Uenezi

wa Mkoa.(e) Katibu wa Uchumi na Fedha

wa Mkoa.(f ) W ajumbe wasiozidi theluthi

moja kutoka miongoni mwaW ajumbe wa HalmashauriiKuu ya Taifa wa nafasi zaWilaya zilizomo katika Mkoahuo

(g) Mwenyekiti wa Mkoa wa kilaJumuiya ya wananchiinayoongozwa na CCMkatika Mkoa huo.

(h) Wajumbe waliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya Mkoakuingia katika Kamati ya Siasaya Halmashauri Kuu ya CCMya Mkoa, watano kwa Mikoaya Tanzania Bara na watatukwa Mikoa ya Zanzibar.

(i) Meya wa Jiji ambalo mipakayake inaunganisha zaidi yaWilaya moja anayetokana naCCM.

(j) Mwenyekiti na Katibu waKamati ya Madiwani wote waCCM wa Jij i au Mji wenyehadhi ya Jiji.

(2) Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya

Page 141: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi136

Mkoa itafanya mikutano yakeya kawaida mara moja kilamwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoaataongoza Mkutano waKamati ya Siasa ya Halma-shauri Kuu ya CCM ya Mkoa.Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Katibu wa CCMwa Mkoa atakuwa Mwenye-kit i wa muda wa Mkutanohuo.

95. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa zitakuwa zifuatazo:-(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika

Mkoa.(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM

katika Mkoa.(3) Kuandaa mikakati ya kampeni za

uchaguzi na kampeni nyinginezokatika Mkoa.

(4) Kusimamia utekelezaji wa shughuliza kila siku za CCM na maamuzi yoteya CCM chini ya Uongozi waHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa.

(5) Kupanga mipango ya kukipatiaChama mapato, kusimamia kwadhati utekelezaji wa mipango hiyo,kudhibit i mapato na kusimamia

Kazi zaKamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Page 142: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi137

matumizi bora ya fedha na mali zaChama katika Mkoa.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa itashughulikiamambo yafuatayo:-

(a) Kwa upande wa TanzaniaBara, itaf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa juu ya wanachamawanaoomba nafasi yaMwenyekiti wa CCM wa Kata,Diwani, Katibu wa Siasa naUenezi wa Kata, na Wilaya;Katibu wa Uchumi na Fedhawa Kata na Wilaya; Ujumbewa Halmashauri Kuu ya CCMya Wilaya na Mkoa. Ujumbewa Mkutano Mkuu wa CCMwa W ilaya na Mkoa naUjumbe wa Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa.

(b) Kwa upande wa TanzaniaZanzibar, itafikiria na kutoamapendekezo yake kwaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa juu ya wanachamawanaoomba nafasi yaMwenyekiti wa CCM wa

Page 143: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi138

Jimbo, Katibu wa CCM waJimbo, Mwenyekiti wa CCMwa Wadi, Katibu wa CCM waW adi, Katibu wa Siasa naUenezi wa Wadi na Jimbo.Katibu wa Uchumi na Fedhawa Wadi, Diwani, Katibu waSiasa na Uenezi wa Wilaya;Katibu wa Uchumi na Fedhawa W ilaya; Mjumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaJimbo, W ilaya na Mkoa, naMjumbe wa Mkutano Mkuuwa Wilaya, Mkoa na Taifa.

(c) Kuf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaKamati Kuu ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa juu yawanachama wanaoombanafasi ya uongozi katika kilaWilaya na Mkoa wa TanzaniaBara ambao uteuzi wao wamwisho hufanywa na vikaovya juu.

(d) Kufikiria na Kutoamapendekezo yake kwaKamati Maalum ya HalmashauriKuu ya Taifa juu yaW anachama wanaoomba

Page 144: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi139

nafasi za uongozi katika kilaWilaya na Mkoa wa Zanzibarambao uteuzi wao wa mwishohufanywa na vikao vya juu.

(e) Kwa upande wa TanzaniaBara, itaf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaKamati Kuu ya HalmashauriKuu ya CCM juu yaW anachama wanaoombanafasi za Umeya wa Jiji naUbunge.

(f ) Kwa upande wa Zanzibar,itafikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu ya Wanachamawanaoomba nafasi za Umeyawa Jiji, au Manispaa yenyehadhi ya Jiji, Ubunge naUwakilishi.

(g) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa juu yaW anachama wa CCMwanaoomba nafasi za uongozikatika Jumuiya za Wananchizinazoongozwa na CCM,ngazi ya W ilaya, ambazo

Page 145: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi140

uteuzi wake wa mwishohufanywa na HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoaunaohusika. Vile vile itafikiriana kutoa mapendekezo yakekwa Kamati Kuu na KamatiMaalum ya Halmashauri Kuuya Taifa kuhusu Wanachamawa CCM wanaoomba nafasiza uongozi wa kila Jumuiyaya CCM ngazi ya Mkoa.

(h) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa majina yawanachama wa CCMwatakaogombea nafasi zaMwenyekiti na MakamuMwenyekiti wa Halmashauri zaWilaya, na Naibu Meya waHalmashauri za Manispaa na Miji.

(7) Kumsimamisha uongozi kiongoziyeyote wa ngazi ya Wilaya endapoitaridhika kwamba tabia namwenendo wake vinamwondoleasifa za uongozi, isipokuwa kwambahaitakuwa na uwezo wakumsimamisha uongozi Kiongoziambaye uteuzi wake wa mwishohaukufanywa na Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa.

Page 146: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi141

(8) Kuandaa mikutano ya HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoa.

(9) Kuona kwamba masuala ya Ulinzina Usalama na ya Maendeleoyanazingatiwa katika Mkoa.

96. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCMya Mkoa itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(1) Katibu wa CCM wa Mkoa ambayeatakuwa Mwenyekiti.

(2) Katibu wa Siasa naUenezi waMkoa.

(3) Katibu wa Uchumi na Fedha waMkoa.

(4) Makatibu wa Mkoa wa Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM.

97. (1) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoayatakuwa yafuatayo:-

(a) Kuongoza na kusimamiashughuli za Chama katikaMkoa.

(b) Kuandaa shughuli za vikaovyote vya Chama vya Mkoa.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Mkoayatagawanyika ifuatavyo:-(a) Katibu wa CCM wa Mkoa.

SekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

MajukumuyaSekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Page 147: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi142

(b) Idara ya Siasa na Uenezi yaMkoa.

(c) Idara ya Uchumi na Fedha yaMkoa.

(d) Idara ya Organaizesheni yaMkoa.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoaisipokuwa kwamba Katibu wa CCMwa Mkoa atakuwa ndiye Katibu waOrganaizesheni katika Mkoa.

98. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuataokatika Mkoa:-

(1) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

(2) Katibu wa CCM wa Mkoa.

99. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoaatachaguliwa na Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa na atashika nafasihiyo ya Uongozi kwa muda wa miakamitano, lakini anaweza kuchaguliwatena baada ya muda huo kumalizika.

Wakuu waCCM waMkoa

Mwenyekitiwa CCM waMkoa

Page 148: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi143

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo yote ya CCM katika Mkoa.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa MkutanoMkuu wa CCM wa Mkoa,Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoana Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoa.

(4) Katika Mikutano anayoiongoza zaidiya kuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Mkoaatakuwa pia na kura ya uamuziiwapo kura za wanaoaf iki nawasioafiki zitalingana. Isipokuwakwamba kama kikaoanachokiongoza ni kikao chaUchaguzi, Mwenyekiti atakuwa nakura yake ya kawaida tu. Hatakuwana haki ya kutumia kura yake yauamuzi endapo kura za wajumbezimelingana. W ajumbe wa kikaowataendelea kupiga kura mpakahapo mshindi atakapopatikana.

100. (1) Katibu wa CCM wa Mkoa atateuliwana Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa

(2) Atakuwa Mtendaji Mkuu washughuli zote za CCM katika Mkoana atafanya kazi chini ya uongoziwa Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa wake. Majukumu yake ni hayayafuatayo:-

Katibu waCCM waMkoa

Page 149: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi144

(a) Kuratibu kazi zote za CCMkatika Mkoa.

(b) Kuitisha na kuongoza vikaovya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa kwa madhumuni yakushauriana, kuandaa agendaza Kamati ya Siasa ya Mkoana kuchukua hatua zautekelezaji wa maamuzi yaCCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawalana Uendeshaji wa Chamakatika Mkoa.

(d) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili yaChama katika Mkoa.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali ya Chama katika Mkoa.

(3) Ataitisha Mikutano ya Kamati yaSiasa ya Mkoa, Halmashauri Kuu yaMkoa na Mkutano Mkuu wa Mkoabaada ya kushauriana naMwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Mkoa.

(5) Atashughulikia na kusimamiamasuala yote ya Orga-naizesheniya CCM katika Mkoa, ambayo ni:-

Page 150: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi145

(a) Masuala yote yawanachama.

(b) Kufuatilia vikao na maamuziya vikao vya Chama.

(c ) Kus imamia Jumuiyazinazoongozwa na CCM naW azee wa Chama.

(d) Kus imamia na kuratibumasuala yote ya Uchaguziwa ndani ya Chama na ulewa Uwakil ishi katikavyombo vya Dola.

(e) Kusimamia Katiba, Muundo,Kanuni na Tarat ibu zaChama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

101. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCMya Mkoa na atashughulikia masuala yoteya Siasa na Uenezi katika Mkoa. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kusimamia, kueneza na kufafanuamasuala yote ya Itikadi, Siasa naSera za CCM katika Mkoa.

(b) Kupanga na kusimamia Mafunzo naMaandalizi ya Makada naWanachama katika Mkoa.

Viongoziwengine waCCM waMkoa

Page 151: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi146

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera zaChama za Kijamii na Ilani zaUchaguzi za CCM katika Mkoa.

(d) Kudumisha uhusiano mzuri naVyombo vya Habari na kuwa namipango ya mawasiliano naUhamasishaji wa Umma kwa jumlakatika Mkoa.

(e) Kufuatilia hali ya Kisiasa Mkoani.(f ) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya

za Kijamii Mkoani.

102. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCMya Mkoa na atashughulikia masuala yoteya Uchumi na Fedha katika Mkoa.Majukumu yake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kufuati liautekelezaji wa Sera za CCM zaUchumi katika Mkoa.

(b) Kubuni na kufuatilia mipango yaVitega Uchumi na Uwekezaji waChama ngazi ya Mkoa.

(c) Kuchochea na kuratibu vitegauchumi na mipango ya uwekezajiwa Chama katika W ilaya zote zaMkoa.

(d) Kusimamia mapato na matumizi yafedha na kutoa taarifa kwa Kamatiya Siasa ya Mkoa.

Page 152: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi147

(e) Kusimamia mali ya Chama na kutoataarifa kwa Kamati ya Siasa yaMkoa.

FUNGU LA VIIVIKAO VYA TAIFA

103. Kutakuwa na Vikao vifuatavyo vya CCMvya Taifa:-(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.(3) Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya

CCM ya Taifa.(4) Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu

ya Taifa ya CCM (Zanzibar).(5) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya

CCM Taifa.(6) Sekretarieti ya Kamati Maalum ya

Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.(7) Kamati ya Wabunge wote wa CCM.(8) Kamati ya W ajumbe wa Baraza la

W awakilishi wote wa CCM(Zanzibar).

104. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifautakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM.(b) Rais na Makamu wa Rais wa

Jamhuri ya Muungano waTanzania wanaotokana naCCM.

MkutanoMkuu waCCM waTaifa

Vikao vyaCCM Taifa

Page 153: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi148

(c ) Makamu wawili waMwenyekiti wa CCM.

(d) Rais wa Zanzibaranayetokana na CCM.

(e) Waziri Mkuu wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, naMakamu wa Rais waZanzibar anayetokana naCCM.

( f ) Katibu Mkuu wa CCM.(g) Manaibu Kat ibu Mkuu wa

CCM.(h) Katibu wa Halmashauri Kuu

ya Tai fa waOrganaizesheni.

(i) Katibu wa Halmashauri Kuuya Taifa wa Itikadi na Uenezi.

(j) Katibu wa Halmashauri Kuuya Taifa wa Mambo ya Siasana Uhusiano wa Kimataifa.

(k) Katibu wa Halmashauri Kuuya Taif a wa Uchumi naFedha.

(l) W ajumbe wote waHalmashauri Kuu ya CCMya Taifa.

(m) W abunge wotewanaotokana na CCM aukama Bunge limevunjwa walewanachama wote

Page 154: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi149

waliokuwa W abunge marakabla ya kuvunjwa Bunge; naWabunge wote wa Bunge laAfr ika Masharikiwanaotokana na CCM.

(n) Wajumbe wote wa Baraza laWawakilishi wanaotokana naCCM au kama Baraza hilolimevunjwa wale wanachamawote waliokuwa W ajumbewa Baraza la W awakilishimara kabla ya kuvunjwa kwaBaraza hilo.

(o) Makatibu wa Siasa na Ueneziwote wa Mikoa.

(p) Makatibu wa Uchumi naFedha wote wa Mikoa

(q) Wenyeviti wote wa CCM waWilaya.

(r) Makatibu wote wa CCM waWilaya.

(s) Makatibu wote wa Siasa naUenezi wa Wilaya.

(t) Makatibu wote wa Uchumi naFedha wa Wilaya.

(u) Mwenyekiti na Katibu waKamati ya Wabunge wote waCCM.

(v) Mwenyekiti na Katibu waKamati ya Wajumbe wote wa

Page 155: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi150

Baraza la W awakilishiwanaotokana na CCM.

( w ) Mwenyekiti, Katibu Mkuu naMakamu Mwenyekiti wa kilaJumuiya ya W ananchiinayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM ambaoni wanachama wa CCM.

(x) W ajumbe watanowaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa kila Wilaya.

(y) W ajumbe watanowaliochaguliwa na mkutanomkuu wa kila wilaya ya CCMya Vyuo vya Elimu ya Juunchini.

(z ) Mwenyekiti, Katibu wa Mkoana Mjumbe mwingine mmojaaliyechaguliwa kutoka kilaMkoa wa Bara na Zanzibarkwa kila Jumuiya yawananchi inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM ambaoni wanachama wa CCM.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifautakuwa ndicho Kikao Kikuu chaCCM kupita vyote na ndichokitakachokuwa na madaraka yamwisho.

Page 156: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi151

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifautafanya mikutano yake ya kawaidamara tatu katika kipindi cha miakamitano. Mikutano miwili kati ya hiyoitakuwa ya uchaguzi na mmojautakuwa wa kazi. Kalenda ya vikaovya Chama itaonyesha ni l inimikutano hiyo mitatu itafanyika.Lakini mkutano usiokuwa wakawaida unaweza kufanyika wakatiwowote ukiitishwa na Mwenyekitiwa CCM au ukiombwa na theluthimbili ya wajumbe wote waHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(4) Taarifa ya kukutana Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa ni lazima itolewe si chiniya miezi mitatu kabla ya tarehe yakukutana. Lakini inaweza kutolewataarifa ya muda mfupi zaidi ya huoikiwa unafanyika mkutano usiokuwawa kawaida.

(5) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifaunaweza kukiagiza kikao chochotecha CCM kufanya kazi zozoteambazo ni za Mkutano huo bilaMkutano Mkuu wa CCM wa Taifawenyewe kuathiri uwezo wake wakufanya kazi hizo.

(6) Kiwango cha mahudhurio yaMkutano Mkuu wa CCM wa Taifakitakuwa ni theluthi mbili ya Wajumbe

Page 157: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi152

kutoka Tanzania Bara na theluthimbili ya Wajumbe kutoka Zanzibar.

(7) Mwenyekiti wa CCM atakuwaMwenyekiti wa Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa na asipowezakuhudhuria, mmoja wa Makamu waMwenyekit i wa CCM ataongozaMkutano huo. Iwapo itatokeakwamba wote watatu hawawezikuhudhuria Mkutano fulani,Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitamchagua Mjumbe mwingineyeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huokwa ajili ya shughuli hiyo. Kutokanana hali hiyo Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa inaweza kukutana hata kamaMwenyekiti na Makamu wote wawiliwa Mwenyekiti hawapo.

105. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifazitakuwa zifuatazo:-(1) Kupanga Siasa ya CCM na kusimamia

utekelezaji wa shughuli zote za CCM.(2) Kupokea na kufikiria taarifa ya kazi

za CCM iliyotolewa na HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa na kutoamaelekezo ya mipango na utekelezajiwa Siasa ya CCM Kwa kipindi kijacho.

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM waTaifa

Page 158: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi153

(3) Kuthibitisha, kubadili, kukataa aukuvunja uamuzi wowote uliotolewana kikao chochote cha chini yakeau na yeyote wa CCM.

(4) Kubadili sehemu yoyote ya Katibaya CCM kwa uamuzi wa theluthi mbiliza Wajumbe walio na haki ya kupigakura kutoka Tanzania Bara natheluthi mbili kutoka Zanzibar.

(5) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifautashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kuwachagua Mwenyekiti waCCM na Makamu wa Mwenyekitiwa CCM.

(b) Kuchagua jina moja laMwanachama atakayesimamakatika uchaguzi wa Rais waJamhuri ya Muungano waTanzania.

(c) Kuchagua jumla ya Wajumbeishirini (20): kumi kutokaTanzania Bara, na kumi kutokaZanzibar wa kuingia katikaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa kutoka orodha ya Taifa.

(6) Kuunda Kamati za MkutanoMkuu wa CCM wa Taifa kwakadri itakavyoonekana inafaa.

Page 159: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi154

(7) Mkutano Mkuu wa CCM waTaifa waweza kukasimumadaraka yake kwaHalmashauri Kuu ya Taifakuhusu utekelezaji wa kazi zakekwa kadri itakavyoona inafaa.

106. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitakuwa na wajumbe wafuatao:-(a) Mwenyekiti wa CCM.(b) Rais na Makamu wa Rais wa

Jamhuri ya Muungano waTanzania wanaotokana naCCM.

(c) Makamu wawili waMwenyekiti wa CCM.

(d) Rais wa Zanzibaranayetokana na CCM.

(e) Waziri Mkuu wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, naMakamu wa Rais waSer ikal i ya MapinduziZanzibar wanaotokana naCCM.

( f ) Katibu Mkuu wa CCM.

(g) Manaibu Kat ibu Mkuu waCCM.

HalmashauriKuu ya CCMya Taifa

Page 160: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi155

(h) Katibu wa Halmashauri Kuuya Tai fa waOrganaizesheni.

(i) Katibu wa Halmashauri Kuuya Tai fa wa I t ikadi naUenezi.

(j) Katibu wa Halmashauri Kuuya Taifa wa Mambo ya Siasana Uhusiano wa Kimataifa.

(k) Katibu wa Halmashauri Kuuya Taif a wa Uchumi naFedha.

(l) W enyeviti wote wa CCM waMikoa.

(m) Makatibu wote wa CCM waMikoa.

(n) Mwenyekiti, Katibu Mkuu naMakamu Mwenyekiti kutoka kilaJumuiya ya wananchiinayoongozwa auinayojishirikisha na CCM.

(o) W ajumbe thelathini (30)waliochaguliwa na MikutanoMikuu ya kila Jumuiyainayoongozwa na CCM, kwaidadi kama ilivyoelekezwa naKanuni za Uchaguzi wa CCM.

Page 161: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi156

(p) Wajumbe waliochaguliwa naMikutano Mikuu ya kila Wilaya,kwa mujibu wa Ibara ya77(4)(b) ya Katiba hii.

(q) W ajumbe wengine wote waHalmashauri Kuu ya Taifawanaopatikana kwa mujibuwa vifungu: 104(10); 104(14) 104(15); 105(5)(c) na107(13)(e).

(r) Mwenyekiti na Katibu wa Kamatiya Wabunge wote wa CCM

(s) Mwenyekiti na Katibu waKamati ya Wajumbe wa Barazala Wawakilishi wa CCM.

(t) Spika wa Bunge la Jamhuri yaMuungano wa Tanzaniaanayetokana na CCM na Spikawa Baraza la W awakil ishiZanzibar anayetokana naCCM.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitafanya mikutano yake ya kawaidamara moja kila baada ya miezi minne,lakini inaweza kufanya mkutanousiokuwa wa kawaida wakatiwowote endapo itatokea haja yakufanya hivyo au kwa maagizo yakikao cha juu. Mkutano waHalmashauri Kuu ya Taifautakaofanyika katika kipindi chamiezi sita ya mwisho wa kila mwaka

Page 162: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi157

utakuwa pia na kazi maalum yakupokea na kujadil i taarifa yautekelezaji wa I lani ya CCMunaofanywa na Serikali ya Jamhuriya Muungano wa Tanzania pamoja naSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibarkatika mwaka wa fedha uliopita waSerikali hizo ambao ulimalizika tarehe30 Juni ya mwaka unaohusika.

(3) Katika mikutano yote ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa, uamuziutafikiwa kwa makubaliano ya jumla,au kwa wingi wa kura za Wajumbewaliohudhuria na kupiga kura. Lakiniukitokea uamuzi unaohitajika kutolewakuhusu vyombo vya Serikali yaJamhuri ya Muungano wa Tanzaniaau vyombo vya Serikali ya Mapinduziya Zanzibar au kuhusu muundo waSerikali ya Jamhuri ya Muungano waTanzania na Serikali ya Mapinduzi yaZanzibar, uamuzi huo ni lazimaupitishwe kwa azimio l il i loungwamkono na theluthi mbili ya kura zaWajumbe kutoka Tanzania Bara natheluthi mbili ya kura za W ajumbekutoka Zanzibar.

(4) Mwenyeki t i wa CCM atakuwaMwenyeki t i wa Mkutano waHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa,lak in i Mwenyekit i wa CCM

Page 163: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi158

asipoweza kuhudhur ia, mmojawa Makamu wa Mwenyekit i waCCM atakuwa Mwenyeki t i wamuda wa Mkutano huo.

107. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifazitakuwa zifuatazo:-(1) K ut oa u on gozi wa S iasa ya

CCM kwa jumla kwa Tanzanian zi ma. Kwa h iyo i taku wa n au wezo wa kub un i , ku jad i l i ,kuamua na kutoa Miongozo yaSiasa ya CC M kat ika mambombalimbali.

(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM,kuongoza mafunzo ya Siasa yaCCM na kukuza nadharia na Itikadiya CCM ya Ujamaa na Kujitegemea.

(3) Kuongoza na kusimamia ujenzi waUjamaa na Kujitegemea nchini.

(4) Kuandaa Ilani ya CCM ya Uchaguzina kutoa msukumo wa utekelezajiwa Ilani hiyo.

(5) Kufikisha maazimio na maagizo yaCCM katika Mikoa na kufikiria nakutoa uamuzi juu ya mapendekezokutoka vikao vya CCM vya chini.

(6) Kuona kwamba shughuli zaMaendeleo na za Ulinzi na Usalamawa Taifa zinazingatiwa.

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Taifa

Page 164: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi159

(7) Kuandaa mikakati na mbinu zakampeni za uchaguzi na kampeninyinginezo za kitaifa.

(8) Kudumisha uangalizi juu ya vitendovya W anachama na Viongozi waCCM na endapo itadhihirika kwambatabia na mwenendo wa Mwanachamafulani vinamwondolea s ifa zaUanachama au Uongozi itakuwa nauwezo wa kumwachisha aukumfukuza Uanachama au Uongozialio nao. Kuhusu mtu aliyeachishwaau kufukuzwa Uanachama,Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifandiyo itakayokuwa na uwezo wamwisho wa kumrudishia Uanachamawake kwa mujibu wa Katiba, endapoitaridhika kuwa amejirekebisha.

(9) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCMza Mikoa kuhusu vitendo na njiazinazofaa za kuimarisha CCM na zakuleta maendeleo.

(10) Kuandaa Katiba, Kanuni na kuwekataratibu za kuongoza shughulimbalimbali za CCM.

(11) Kuandaa Mkutano Mkuu wa CCM waTaifa.

(12) Kuteua Makatibu wa CCM wa Mikoa.

Page 165: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi160

(13) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kuteua jina la Mwanachama

atakayesimama katikauchaguzi wa Mwenyekiti waCCM, na majina mawili yaW a n a c h a m awatakaosimama katikauchaguzi wa Makamu waMwenyekiti wa CCM.

(b) Kupendekeza kwa MkutanoMkuu wa CCM wa Taifamajina yasiyozidi matatu yaW anachama wanaogombeanafasi ya Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania nakuyawasilisha mbele yaMkutano Mkuu wa CCM waTaifa.

(c) Kuchagua jina moja laMwanachama atakaye-simama katika uchaguzi waRais wa Zanzibar.

(d) Kuwachagua Katibu Mkuu waCCM, Manaibu Katibu Mkuuwa CCM, Katibu waHalmashauri Kuu ya Taifa waOrganaizesheni, Katibu waHalmashauri Kuu ya Taifa wa

Page 166: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi161

Itikadi na Uenezi, Katibu waHalmashauri Kuu ya Taifa waMambo ya Siasa na Uhusianowa Kimataifa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha, kutokamiongoni mwa wajumbe waHalmashauri Kuu ya Taifa.

(e) Kuwachagua W anachamawasiozidi kumi kuwa Wajumbewa Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa kutokana na mapendekezoya Mwenyekiti wa CCM.

(f ) Kuwachagua Wajumbe kumi nawanne wa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya Taifakutoka miongoni mwao,wakiwemo wanawakewasiopungua wanne, wawilikutoka Tanzania Bara na wawilikutoka Zanzibar.

(g) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa majina yaW anachama wanaoombanafasi ya Ubunge na majina yaW anachama wanaoombanafasi ya Ujumbe wa Barazala Wawakilishi kwa mujibu washeria zilizopo za uchaguzihuo.

(h) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa majina ya

Page 167: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi162

W anachama wanaoombanafasi ya Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa; Uenyekiti wa CCM waWilaya na Mikoa, Ukatibu waSiasa na Uenezi wa Mkoa,Ukatibu wa Uchumi na Fedhawa Mkoa.

(i) Kufanya uteuzi wa mwishowa majina ya W anachamawa CCM wanaogombeaUenyekiti wa Mkoa, Uenyekitiwa Taifa na Ukatibu Mkuu wakila Jumuiya ya W ananchiinayoongozwa na CCM.

(j) Kuwachagua jumla yaWajumbe wanane wa Barazala Wadhamini kutoka TanzaniaBara na Zanzibar.

(14) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuuwa CCM wa Taifa, nafasi za uongozizitakazokuwa wazi, isipokuwa yaMwenyekiti wa CCM na Makamu waMwenyekiti wa CCM.

(15) Kuunda Kamati au Tume kwashughuli maalum bila kuathir imajukumu ya Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

Page 168: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi163

(16) Kupokea na kujadili taarifa za Tumena Kamati Maalum za CCM, Kamati yaW abunge wa CCM, na Kamati yaWajumbe wa Baraza la Wawakilishiwa CCM.

(17) Kuweka kiwango cha kiingilio katikaCCM, ada za Uanachama na michangomaalum.

(18) Kusimamisha kwa maslahi ya CCMutumiaji wa kifungu chochote chaKatiba ya CCM au kuruhusu kifungukutumika kabla ya kuingizwa ndani yaKatiba. Uamuzi huo sharti uungwemkono na theluthi mbili ya Wajumbekutoka Tanzania Bara na theluthi mbiliza Wajumbe kutoka Zanzibar. Hatahivyo Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa itafikisha uamuzi wake mbele yaMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa kwauamuzi wa mwisho.

(19) Kushughulikia uhusiano kati ya CCM naJumuiya mbalimbali za wananchi nakuziorodhesha Jumuiyazinazoongozwa au zinazojishirikisha naCCM.

(20) Kutengeneza na kurekebisha Muundowa CCM katika maeneo na nyanjambalimbali kwa kadri itakavyoonekanainafaa.

Page 169: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi164

(21) Kumsimamisha Mwenyekiti wa CCMau Makamu Mwenyekiti wa CCMiwapo mwenendo na utendaji wakewa kazi vinamwondolea sifa zauongozi. Hata hivyo Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa itafikishamapendekezo yake mbele ya MkutanoMkuu wa CCM wa Taifa kwa uamuziwa mwisho.

(22) Kumwachisha au kumfukuza Uongozikiongozi yeyote ambaye uteuzi wakewa mwisho ulifanywa na HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa.

(23) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadili.

(24) Kuidhinisha Kanuni za Kamati zaW abunge wote wa CCM,W awakilishi wote wa CCM,Madiwani wote wa CCM; Katiba/Kanuni za Jumuiya za wananchizinazoongozwa na CCM nakuidhinisha marekebisho ya Katiba/Kanuni hizo.

(25) Halmashauri Kuu ya Taifa yawezakukasimu madaraka yake kwaKamati Kuu kuhusu utekelezaji wakazi zake kwa kadri itakavyoonainafaa.

Page 170: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi165

108. (1) Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa itakuwa na wajumbewafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM.

(b) Rais na Makamu wa Rais waJamhuri ya Muungano waTanzania wanaotokana naCCM.

(c) Makamu wawili waMwenyekiti wa CCM.

(d) Rais wa Zanzibaranayetokana na CCM.

(e) Makamu wa Rais wa Serikaliya Mapinduzi ya Zanzibaranayetokana na CCM.

(f ) Waziri Mkuu wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzaniaanayetokana na CCM.

(g) Katibu Mkuu wa CCM.(h) Manaibu Katibu Mkuu wa

CCM.(i) Katibu wa Halmashauri Kuu

ya Taifa wa Organaizasheni.

Kamati KuuyaHalmashauriKuu ya CCMya Taifa

Page 171: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi166

(j) Katibu wa Halmashauri Kuuya Taifa wa Itikadi na Uenezi.

(k) Katibu wa Halmashauri Kuuya Taifa wa Mambo ya Siasana Uhusiano wa Kimataifa.

(l) Katibu wa Halmashauri Kuuya Taifa wa Uchumi naFedha.

(m) Spika wa Bunge la Jamhuriya Muungano anayetokan ana CCM, na Spika wa Barazala W awakil ishi la Zanzibaranayetokana na CCM.

(n) Wajumbe wengine wasiozidikumi na wannewaliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa wakiwemo wanawakewasiopungua wanne, wawilikutoka Tanzania Bara nawawili kutoka Zanzibar.

(o) Mwenyekiti wa Taifa wa kilaJumuiya ya W ananchiinayoongozwa na CCM.

(p) Mwenyekiti na Katibu waKamati ya Wabunge wa CCM.

(q) Mwenyekiti na Katibu waKamati ya W ajumbe waBaraza la W awakilishi waCCM.

Page 172: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi167

(2) Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa itafanya mikutano yakeya kawaida mara moja kila miezimiwili.

(3) Mwenyekiti wa CCM atakuwaMwenyekiti wa Mkutano wa KamatiKuu ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa, lakini Mwenyekiti wa CCMasipoweza kuhudhuria, mmoja waMakamu wa Mwenyekiti atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutanohuo.

109. Kazi za Kamati Kuu ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika nchi.

(2) Kusimamia utekelezaji wa shughuliza kila siku za CCM.

(3) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCMnchini.

(4) Kusimamia kampeni za Uchaguzi nakampeni nyinginezo.

(5) Kuteua Makatibu wa CCM wa Wilayana Katibu wa Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(6) Unapof ika wakati wa UchaguziKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya

Kazi zaKamati KuuyaHalmashauriKuu ya CCMya Taifa

Page 173: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi168

CCM ya Taifa itashughulikia mamboyafuatayo:-

(a) Kuf ikiria na kutoamapendekezo kwaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu ya W anachamawatakaosimama katikauchaguzi wa Mwenyekitiwa CCM.

(b) Kuf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu majina yaW anachama wasiozidiwatano wanaoombakugombea kiti cha Rais waJamhuri ya Muungano waTanzania.

(c) Kuf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu ya W anachamawatakao-simama katikauchaguzi wa Makamu waMwenyekiti wa CCM.

(d) Kuf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu ya majina ya

Page 174: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi169

Wanachama wasiozidi watatuambao wanaomba kugombeakiti cha Rais wa Zanzibar.

(e) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa juu yaW anachama wanaoombanafasi za uongozi katika CCMna Jumuiya zinazoongozwa naCCM ambao uteuzi wao wamwisho unafanywa naHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(f ) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa juu yaW anachama wanaoombanafasi ya Ubunge naW anachama wanaoombanafasi ya Ujumbe wa Barazala Wawakilishi.

(g) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaTaifa juu ya Wanachama waCCM wanaoomba nafasi zauongozi katika Jumuiya zaW ananchi zinazoongozwa naCCM, ngazi ya Mkoa na Taifa,ambazo uteuzi wake wa

Page 175: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi170

mwisho hufanywa naHalmashauri Kuu ya CCMTaifa.

(h) Kufikiria na Kufanya uteuziwa mwisho wa wanachamawa CCM wanaoombakugombea nafasi ya Spika waBunge/Baraza laW awakil ishi, Meya waHalmashauri ya Jiji/Manispaa.

(7) Kumsimamisha uongozi kiongoziyeyote isipokuwa Mwenyekiti waCCM na Makamu wa Mwenyekiti waCCM endapo itaridhika kwambatabia na mwenendo wakevinamwondolea sifa za uongozi.

(8) Kuona kwamba masuala ya Ulinzina Usalama wa Taifa na Maendeleoyanazingatiwa.

(9) Kuandaa mikutano ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa.

(10) Kuwa na mikakati endelevu yakuimarisha Chama kimapato,kudhibiti mapato na mali za Chamana kuthibitisha matumizi ya Chamakatika ngazi ya Taifa.

110. Kutakuwa na Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa ambayo itakuwa nawajumbe wafuatao:-

SekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Taifa

Page 176: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi171

(1) Katibu Mkuu wa CCM ambayeatakuwa Mwenyekiti.

(2) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM.

(3) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Organaizesheni.

(4) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Itikadi na Uenezi.

(5) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Mambo ya Siasa na Uhusianowa Kimataifa.

(6) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Uchumi na Fedha.

(7) Makatibu W akuu wa Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM.

111. (1) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Taifa yatakuwayafuatayo:-

(a) Kusimamia shughuli zote zautendaji za Chama kitaifa.

(b) Kuandaa shughuli za vikaovya Chama ngazi ya Taifa.

(c) Kuwateua MakatibuWasaidizi Wakuu na Wakuuwa Vitengo vya Makao Makuuya Chama.

MajukumuyaSekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Taifa

Page 177: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi172

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Taifayatagawanyika ifuatavyo:-

(a) Katibu Mkuu wa CCM.(b) Idara ya Organaizesheni.(c) Idara ya Itikadi na Uenezi.(d) Idara ya Mambo ya Siasa na

Uhusiano wa Kimataifa.(e) Idara ya Uchumi na Fedha.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Taifa ya CCM.Idara ya Utawala na UendeshajiBara au Zanzibar itaongozwa naNaibu Katibu Mkuu wa CCM.

(4) Kila Idara ya Makao Makuu ya Chamaitakuwa na Kamati ya Ushauri yenyeW ajumbe wasiozidi watanoakiwemo na Katibu wa HalmashauriKuu ya Taifa. W ajumbe haowatateuliwa na Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

112. Kazi za Idara za Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Taifa:-

(1) Idara ya Organaizesheni:-(a) Kushughulikia masuala yote

ya wanachama wa CCM.(b) Kufuatilia vikao na maamuzi

ya vikao vya Chama.

Kazi za IdarazaSekretarietiyaHalmashauriKuu ya CCMya Taifa

Page 178: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi173

(c) Kusimamia Jumuiya zaW ananchi zinazoongozwana CCM na W azee waChama.

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi wa ndani ya CCMna ule wa Uwakilishi katikaVyombo vya Dola.

(e) Kusimamia Katiba, Muundo,Kanuni na Taratibu za Chamana Jumuiya zinazoongozwana CCM.

(2) Idara ya Itikadi na Uenezi:-

(a) Kushughulikia masuala yamsingi ya Itikadi na Sera zaChama Cha Mapinduzi.

(b) Kueneza na kufafanua Itikadina Sera za CCM.

(c) Kupanga na kusimamiaMafunzo na Maandalizi yaMakada na Wanachama.

(d) Kusimamia Vyombo vyaHabari vya Chama,Mawasiliano na Uhamasishajiwa Umma kwa Jumla.

Page 179: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi174

(e) Kuongoza na kusimamiamaandalizi ya Sera, Programuna Ilani za Uchaguzi za CCM.

(f ) Kusimamia Utafiti, Maktaba naNyaraka za Chama.

(3) Idara ya Mambo ya Siasa naUhusiano wa Kimataifa:-(a) Kufuati lia hali ya kisiasa

nchini.(b) Kufuatilia utekelezaji wa Ilani

ya Uchaguzi na Sera zaKijamii za CCM.

(c) Kufuatilia harakati za Vyamavya Siasa nchini.

(d) Kufuati lia maendeleo yaJumuiya za Kijamii nchini.

(e) Kuratibu uhusiano naushir ikiano wa CCM navyama vya siasa vya kidugu,kirafiki na vya kimapinduzi.

( f ) Kufuatilia hali ya kisiasa katikanchi jirani na nchi nyinginezoduniani.

(g) Kufuatil ia maendeleo yaKamati za Urafiki namshikamano kati ya

Page 180: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi175

Watanzania na wananchi wanchi rafiki.

(h) Kushughulikia masuala yaItifaki ndani ya Chama.

(4) Idara ya Uchumi na Fedha:-(a) Kufuatilia utekelezaji wa Sera

za CCM za Uchumi.(b) Kuratibu mapato ya fedha za

Chama nchini kote kwa ajili yamaamuzi ya uwekezaji waChama.

(c) Kusimamia vitega uchumi nauwekezaji katika Chama.

(d) Kusimamia Mali za Chamanchini kote.

(e) Kusimamia mapato namatumizi ya Chama katikangazi zote za uongozi waCCM.

113. (1) Kamati Maalum ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa Zanzibar itakuwana Wajumbe wafuatao:-(a) Makamu Mwenyekiti wa CCM

Zanzibar.(b) Naibu Katibu Mkuu wa CCM

Zanzibar.(c) Rais wa Zanzibar

anayetokana na CCM.

KamatiMaalum yaHalmashauriKuu ya CCMya TaifaZanzibar

Page 181: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi176

(d) Makamu wa Rais waZanzibar anayetokana naCCM.

(e) Wajumbe wa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCMTaifa kutoka Zanzibar.

(f ) Wenyeviti wa CCM wa Mikoaya Zanzibar.

(g) Makatibu wa CCM wa Mikoaya Zanzibar.

(h) W ajumbe wote waHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa wanaotoka Zanzibar.

(2) Kamati Maalum ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa itafanya mikutanoyake ya kawaida mara moja kila miezimitatu.

(3) Mwenyekiti wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifaatakuwa Makamu Mwenyekiti waCCM kutoka Zanzibar. Katibu waKamati Maalum ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa atakuwa NaibuKatibu Mkuu wa CCM kutokaZanzibar.

(4) Mwenyekiti wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifaataongoza mikutano ya KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya CCM

Page 182: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi177

ya Taifa. Lakini Mwenyekit ias ipoweza kuhudhuria, Mkutanohuo utamchagua Mjumbe mwingineyeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa mkutanohuo.

114. Kazi za Kamati Maalum ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa zitakuwa zifuatazo:-(1) Kusaidia Kamati Kuu kutoa Uongozi

wa Siasa Zanzibar.(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM

Zanzibar.(3) Kuisaidia Kamati Kuu katika

kusimamia utekelezaji wa shughuliza kila siku za CCM Zanzibar.

(4) Kutafuta na kubuni njia au mbinumbalimbali zinazoweza kukifanyaChama kujitegemea kimapatoZanzibar.

(5) Kuandaa mikakati na mbinu zakampeni za uchaguzi na kampeninyinginezo.

(6) Kuona kwamba masuala ya Ulinzina Usalama na ya Maendeleoyanazingatiwa.

(7) Unapof ika wakati wa UchaguziKamati Maalum ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa itashughulikiamambo yafuatayo:-

Kazi zaKamatiMaalum yaHalmashauriKuu ya CCMya TaifaZanzibar

Page 183: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi178

(a) Kuf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaKamati Kuu ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa juu yaW anachama wanaoombanafasi za uongozi katika CCMkutoka Zanzibar, ambaouteuzi wao wa mwishounafanywa na HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa.

(b) Kuf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaKamati Kuu ya HalmashauriKuu ya Taifa juu yaW anachama wanaoombanafasi ya Rais wa Zanzibar,Ubunge na Ujumbe waBaraza la W awakilishiZanzibar.

(c) Kupendekeza kwa KamatiKuu kumsimamisha uongozikiongozi yeyote wa CCM waZanzibar isipokuwa MakamuMwenyekiti wa CCM endapoitaridhika kwamba tabia namwenendo wakevinamwondolea s ifa zauongozi.

(d) Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa inaweza kuunda Kamati

Page 184: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi179

Ndogo za CCM. Aidha,inaweza kujiwekea utaratibuwake wa kufanya kazi kwakadri itakavyoona inafaa kwaajili ya kufanikisha shughuli zaCCM Zanzibar.

(e) Kuwachagua Katibu waKamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya Taifa waOrganaizesheni Zanzibar,Katibu wa Kamati Maalum yaHalmashauri kuu ya Taifa waItikadi na Uenezi Zanzibar,Katibu wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya Taifa waMambo ya Siasa na Uhusianowa Kimataifa Zanzibar naKatibu wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha, Zanzibar,kutoka miongoni mwao.

(f ) Kupokea na kujadili taarifa zaKamati Ndogo za CCM.

(g) Kuf ikiria na kutoamapendekezo yake kwaKamati Kuu juu yaW anachama wa CCMwanaoomba nafasi zauongozi katika Jumuiya zaW ananchi zinazo-ongozwana CCM, ngazi ya Mkoa naTaifa kwa upande waZanzibar, ambazo uteuzi

Page 185: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi180

wake wa mwisho hufanywana Halmashauri Kuu ya Taifa.

115. Sekretarieti ya Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa itakuwana wajumbe wafuatao:-

(1) Naibu Katibu Mkuu wa CCM(Zanzibar) ambaye atakuwaMwenyekiti.

(2) Katibu wa Kamati Maalum wa Idaraya Organaizesheni.

(3) Katibu wa Kamati Maalum wa Idaraya Itikadi na Uenezi.

(4) Katibu wa Kamati Maalum wa Idaraya Mambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

(5) Katibu wa Kamati Malum wa Uchumina Fedha.

(6) Manaibu Katibu Mkuu wa Jumuiyaza W ananchi zinazoongozwa naCCM wanaoishi na kufanya kaziZanzibar.

116. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa yatakuwa yafuatayo:-

(a) Kusimamia na kuratibushughuli zote za utendaji zaChama Zanzibar.

(b) Kuandaa shughuli za vikaovya Kamati Maalum ya

Majukumuya Sekretietiya KamatiMaalum

Sekretarietiya KamatiMaalum yaHalmashauriKuu ya CCMya TaifaZanzibar

Page 186: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi181

Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa Zanzibar.

(2) Majukumu ya Sekretarieti ya KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu yaTaifa Zanzibar yatagawanyikaifuatavyo:-

(a) Naibu Katibu Mkuu wa CCM(Zanzibar).

(b) Idara ya Organaizesheni, Zanzibar.(c) Idara ya Itikadi na Uenezi,

Zanzibar. (d) Idara ya Mambo ya Siasa na

Uhusiano wa Kimataifa,Zanzibar.

(e) Idara ya Uchumi na Fedha,Zanzibar.

(3) Kila Idara ya Zanzibar itaongozwana Katibu wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya Taifa ambayeatateuliwa na Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(4) Idara za Sekretarieti ya KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa zitatekeleza kazi namajukumu ambayo kwa upande waBara yanatekelezwa na Idara za

Page 187: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi182

Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

117. Chama cha Mapinduzi kitakuwa na Wakuuwa CCM wafuatao:-

(1) Mwenyekiti wa CCM.

(2) Makamu wawili wa Mwenyekiti waCCM.

(3) Katibu Mkuu wa CCM.

118. Mwenyekiti wa CCM ndiye kiongozi mkuuna ndiye msemaji mkuu wa CCM.

(1) Atachaguliwa na Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa na atakuwa katikanafasi hiyo ya uongozi kwa mudawa miaka mitano, lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya mudahuo kumalizika.

(2) Anaweza kuondolewa katikauongozi kwa azimio litakalopitishwakatika Mkutano Mkuu wa CCM waTaifa na kuungwa mkono na theluthimbili za Wajumbe kutoka TanzaniaBara na theluthi mbili za Wajumbekutoka Zanzibar.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa MkutanoMkuu wa CCM wa Taifa,Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa

Mwenyekitiwa CCM

Wakuu waCCM

Page 188: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi183

na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa.

(4) Katika mikutano anayoiongoza zaidiya kuwa na kura yake ya kawaidaMwenyekiti atakuwa pia na kura yauamuzi endapo kura za W ajumbewanaoafiki na wasioafiki zitalingana.Isipokuwa kwamba kama kikaoanachokiongoza ni kikao chaUchaguzi, Mwenyekiti atakuwa nakura yake ya kawaida tu. Hatakuwana haki ya kutumia kura yake yauamuzi endapo kura za wajumbezimelingana. W ajumbe wa kikaowataendelea kupiga kura mpakahapo mshindi atakapopatikana.

119. (1) Kutakuwa na Makamu waMwenyekiti wa CCM wawiliwatakaochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Taifa. Kutakuwana Makamu wa Mwenyekit ianayeishi na kufanyia kazi zakeTanzania Bara; na kutakuwa naMakamu wa Mwenyekiti wa CCManayeishi na kufanyia kazi zakeZanzibar. Isipokuwa kwamba kuishikwao hivyo hakutapunguza upeowa madaraka yao ya kushughulikiakazi za CCM kwa Tanzania nzima.

Makamu waMwenyekitiwa CCM

Page 189: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi184

(2) Makamu Mwenyekit i wa CCMatakuwa katika madaraka hayo kwamuda wa miaka mitano, lakinianaweza kuchaguliwa tena baadaya muda huo kumalizika.

(3) Makamu wa Mwenyekiti wa CCManaweza kuondolewa katikamadaraka hayo kwa azimiolitakalopitishwa na Mkutano Mkuuwa CCM wa Taifa na kuungwamkono na theluthi mbili za Wajumbekutoka Tanzania Bara, na theluthimbili za Wajumbe kutoka Zanzibar.

(4) Makamu wa Mwenyekiti watakuwandiyo wasaidizi wakuu waMwenyekiti wa CCM na watafanyakazi zote za CCM watakazopewana Mwenyekiti wa CCM.

120.(1) Katibu Mkuu wa CCM atachaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(2) Atakuwa Katibu wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Taifa, Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa, na Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(3) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu waCCM na atafanya kazi chini yauongozi wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

KatibuMkuu waCCM

Page 190: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi185

(4) Atakuwa na wajibu wa kuitishaMikutano yote ya Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa,Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifana Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.

(5) Ataitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa kwa madhumuni yakushauriana, kuandaa agenda zaKamati Kuu, na kuchukua hatua zautekelezaji wa maamuzi ya CCM.

(6) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi wa Chama nchini

(7) Kazi na majukumu ya Katibu Mkuuwa CCM:-

(a) Kuratibu kazi zote za ChamaCha Mapinduzi.

(b) Kusimamia kazi za Utawalana Uendeshaji katika Chama.

(c) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili katikaChama.

(d) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali za Chama.

Page 191: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi186

121. Kutakuwa na Viongozi wengine wa CCMwa Kitaifa wafuatao:-

(1) Naibu Katibu Mkuu Bara na NaibuKatibu Mkuu Zanzibar.

(2) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Organaizesheni.

(3) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Itikadi na Uenezi.

(4) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Mambo ya Siasa na Uhusianowa Kimataifa.

(5) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Uchumi na Fedha.

122. (1) Kutakuwa na Manaibu Katibu Mkuuwa CCM wawili.

(2) Kutakuwa na Naibu Katibu Mkuu waCCM atakayeishi na kufanyia kazizake Tanzania Bara, na kutakuwana Naibu Katibu Mkuu wa CCMatakayeishi na kufanyia kazi zakeZanzibar. Isipokuwa kwamba kuishikwao hivyo hakutapunguza upeowa madaraka yao ya kushughulikiakazi za CCM kwa Tanzania nzima.

Viongoziwengine waKitaifa waCCM

ManaibuKatibuMkuu waCCM

Page 192: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi187

(3) Naibu Katibu Mkuu wa CCMatakayefanya kazi Zanzibaratakuwa na wajibu wa kuandaa nakuitisha mikutano ya Kamati Maalumya Halmashauri Kuu ya CCM ya TaifaZanzibar, na ataitisha na kuongozavikao vya Sekretarieti ya KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa Zanzibar.

(4) Manaibu Katibu Mkuu wa CCMwatakuwa ndio wasaidizi wakuuwa Katibu Mkuu wa CCM nawatafanya kazi zozote za CCMwatakazopangiwa na Katibu Mkuuwa CCM.

123. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Organaizesheni atachaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(2) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu waOrganaizesheni ya CCM.

(3) Atakuwa Naibu Mkurugenzi waUchaguzi wa Chama nchini naatafanya kazi hii chini ya uongoziwa Katibu Mkuu wa CCM ambaye

Katibu waHalmashauriKuu ya TaifawaOrganaizesheni

Page 193: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi188

ndiye Mkurugenzi wa Uchaguzi waChama.

124. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Itikadi na Uenezi atachaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(2) Atashughulikia masuala ya msingiya Itikadi na Sera za CCM.

(3) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu washughuli za Uenezi wa Itikadi, Siasana Sera za CCM.

125. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Mambo ya Siasa na Uhusianowa Kimataifa atachaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu waMambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa ndani ya Chama.

(3) Atashughulikia masuala yakuimarisha uhusiano mwema bainaya CCM na vyama vya siasa vyanchi nyingine; na harakati za vyamavya siasa na maendeleo ya Jumuiyaza Kijamii nchini.

126. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Uchumi na Fedha atachaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

Katibu waHalmashauriKuu ya Taifawa Itikadi naUenezi

Katibu waHalmashauriKuu ya CCMya Taifa waMambo yaSiasa naUhusianowa Kimataifa

Katibu waHalmashauriKuu ya CCMya Taifa waUchumi naFedha

Page 194: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi189

(2) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu wamasuala ya Uchumi, Fedha na Mali zaChama.

(3) Atafuatilia utekelezaji wa Sera za CCMza Uchumi na ataratibu mapato ya fedhaza Chama nchini kote kwa aji li yamaamuzi ya uwekezaji wa Chama.

127. (1) Kutakuwa na Baraza la Ushauri laViongozi W akuu Wastaafu. Barazahilo litakuwa na Wajumbe wafuatao:-

(a) Marais wastaafu wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, ambaopia walikuwa ni W enyeviti waCCM Taifa.

(b) Marais wastaafu wa Zanzibar,ambao pia walikuwa ni MakamuWenyeviti wa CCM Taifa.

(c) Makamu wa Mwenyekiti wa CCMTaifa wastaafu.

(2) Baraza hilo l itafanya vikao vyakekulingana na mahitaji kamaitakavyooamuliwa na Baraza lenyewe.

(3) Kazi za Baraza hilo zitakuwa ni kutoaushauri kwa Chama Cha Mapinduzi naSerikali zinazoogozwa na CCM, kwanamna ambayo Baraza lenyewe litaonakuwa inafaa. Isipokuwa kwamba kwamadhumuni ya kutoa ushauri katikajambo mahsusi, Wajumbe wa Baraza hilo

Baraza laUshauri laCCM

Page 195: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi190

Sehemu yaWazee

Jumuiya zaWananchi

wanaweza pia kualikwa, ama wotekwa pamoja au kwa Mwakilishi wao,kuhudhuria Vikao vya Chama ngazi zaTaifa pale ambapo busara zao zitahitajikahususan katika masuala magumu nanyeti.

SEHEMU YA NNE

WAZEE NA JUMUIYA ZA WANANCHI

128. Kutakuwa na Baraza la Wazee wanaotokanana CCM katika kila ngazi ya Uongozi isipokuwangazi ya Taifa. Wajumbe wa mabaraza hayowatakuwa Wazee wote (kuanzia miaka sitini)wanaokubali imani, malengo na madhumuni yaCCM.

129. Chama Cha Mapinduzi kitakuwa na uhusianona Jumuiya mbalimbali za Wananchi:-

(1) Kutakuwa na Jumuiya zinazoongozwana CCM ambazo kwa sasa ni:-

(a) Umoja wa Vijana wa CCM(UVCCM),

(b) Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT).

(c) Umoja wa Wazazi (WAZAZI).

Page 196: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi191

(2) Kutakuwa na Jumuiya nyinginezilizojishirikisha na CCM.

(3) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifainaweza kuongeza na kupunguzakatika orodha, Jumuiyazinazoongozwa au zilizojishirikishana CCM.

(4) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitakuwa na uwezo wa kushauri,kutoa maagizo ya jumla, namaelekezo maalum kwa Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

(5) Halmashauri Kuu ya Taifaitathibitisha Kanuni/Katiba ya kilaJumuiya inayoongozwa na CCM namarekebisho yake kablahazijatumika.

Page 197: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi192

SEHEMU YA TANO

MENGINEYOMENGINEYO

130. (1) Kutakuwa na Baraza la Wadhaminiwa CCM.

(2) Baraza hilo litakuwa na Wajumbewafuatao:-(a) Mwenyekit i ambaye

atateuliwa na Mwenyekiti waCCM kutoka miongoni mwaWajumbe wa Baraza.

(b) Wajumbe wananewaliochaguliwa na HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa.

(c) W enyeviti wa Mabaraza yaW adhamini ya Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

(3) Baraza la Wadhamini la CCM litafanyaVikao vyake kila baada ya miezi minne,yaani si chini ya mara tatu kwa mwaka.

(4) Baraza hili litakuwa na uwezo woteule wa wadhamini kwa mujibu waSheria.

(5) Mali yote ya CCM inayoondoshekana is iyoondosheka, itakuwamikononi mwa Baraza la Wadhamini,Baraza ndilo litakuwana mamlaka yakusaini mikataba yote inayohusu

Baraza laWadhaminiwa CCM

Page 198: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi193

mali za CCM, isipokuwa kwambaBaraza laweza kukasimu madarakayake kwa Kamati za Siasa za Mikoa.

(6) Kazi za Baraza hilo zitakuwazifuatazo;(a) Kusimamia Mali zote za

Chama zinazoondosheka naZisizoondosheka.

(b) Kufanya tathmini ya marakwa mara ya mali za Chama.

(c) Kutoa ushauri juu ya mabadilikoyoyote yanayohitajika katikaumiliki wa mali za Chama, kwamfano kuhusu mali zinazostahilikuuzwa.

(d) Kutekeleza majukumumengine yoyote ambayoyatakabidhiwa kwake naKamati Kuu ya HalmashauriKuu ya Taifa.

(7) Baraza hili litafanya kazi chini yauongozi wa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifana litawajibika kutoa taarifa yakekwa kikao hicho.

(8) Mdhamini atashika nafasi hiyo yauongozi kwa muda wa miakamitano, lakini anaweza kuchaguliwatena baada ya muda huo kumalizika.

Page 199: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi194

(9) Iwapo Mwenyekiti wa Baraza hilihataweza kuhudhuria Mkutanowowote, Baraza lenyewelitachagua Mjumbe mwinginemiongoni mwao atakayekuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutanohuo.

131. Isipokuwa kama imeagizwa vingine katikaKatiba hii ya CCM, kiwango cha mahudhuriokatika mikutano ya CCM kitakuwa ni zaidiya nusu ya W ajumbe walio na haki yakuhudhuria katika kikao kinachohusika.

132. Isipokuwa kama imeagizwa vingine katikaKatiba hii ya CCM uamuzi utafikiwa katikavikao vyote vya CCM kwa kufuatamakubaliano ya jumla au wingi wa kura zaWajumbe waliohudhuria na kupiga kura.Lakini katika shughuli zozote za uchaguziwa Viongozi, kura zitakuwa za Siri.

133. Wakati wowote kunapotokea nafasi wazimiongoni mwa viti vyovyote vya CCM, kikaokinachohusika kitajaza nafasi hiyo bilakuchelewa kwa kufuata utaratibuuliowekwa.

134. (1) Mwanachama anayetaka kujiuzuluatafanya hivyo kwa kuandika baruaya kujiuzulu kwake na kuipelekakwa Katibu wa Tawi lake.

Kiwangochamahudhuriokatikakufikiauamuzi

Kiwangocha kurakatikakufikiauamuzi

Nafasi zikiwawazi

Kujiuzulu

Page 200: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi195

(2) Kiongozi anayetaka kujiuzuluatafanya hivyo kwa kuandika baruaya kujiuzulu kwake na kuipelekakwa Katibu wa Kikaokilichomchagua au kumteua.

135. (1) Kiongozi anayetaka kung'atukaatafanya hivyo kwa kuandika baruaya kung'atuka kwake na kuipelekakwa Katibu wa kikaokilichomchagua au kumteua, au

(2) Kwa kutangaza uamuzi wakung'atuka kwake mbele ya kikaokilichomchagua.

136. Mjumbe yeyote wa kikao chochotekilichowekwa na Katiba hii ataacha kuwaMjumbe wa kikao hicho iwapohatahudhuria mikutano mitatu mfululizo yakikao chake isipokuwa kama ni kwa sababuzinazokubaliwa na kikao chenyewe.

137 Wabunge wote wanaotokana na CCM kwapamoja watakuwa ni Kamati ya Wabungewa CCM ambao kazi yake itakuwa nikusimamia kwa jumla utekelezaji wa Ilaniya CCM na Siasa ya CCM katika shughulizote zinazoendeshwa na Bunge,pamoja na kutekeleza kazi nyingineambazo zimeain ishwa katika Kanunizake zinazohusika. Vikao vya Kamati hii

Kung’atuka

Kamati zaWabunge/Wawakilishiwa CCM

KuachaUjumbe waKikao

Page 201: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi196

vitafanyika kwa mujibu wa Kanuni zakehizo.

138 Kamati hii itakuwa na uwezo wa kutungaKanuni zake kwa ajili ya uendeshaji borawa shughuli zake. Kanuni hizo itabidiziidhinishwe na Halmashauri Kuu yaTaifa kabla hazijaanza kutumika.

139 Mwenyekiti wa CCM anaweza kuamuakuitisha vikao vya pamoja baina yaHalmashauri Kuu ya Taifa ya CCM naKamati ya Wabunge wote wa CCM kwaaji li ya kushughulikia mambo kamaitakavyoonekana inafaa.

140 Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge wotewa CCM pamoja na Katibu wa Kamati hiyowatakuwa W ajumbe wa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

141 Unapofika wakati wa uchaguzi, Kamati yaW abunge wote wa CCM itachaguaW ajumbe kumi (10) kutoka miongonimwao, kuwa Wajumbe wa HalmashauriKuu ya Taifa.

142 W ajumbe wote wa Baraza laW awakilishi wanaotokana na CCM kwapamoja watakuwa n i Kamati ya

Page 202: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi

W ajumbe wa Baraza la W awakilishi waCCM ambayo kazi yake itakuwa n ikusimamia kwa jumla utekelezaji wa Ilaniya CCM na Siasa ya CCM katika shughulizote zinazoendeshwa na Baraza laWawakilishi, pamoja na kutekeleza kazinyingine ambazo zimeainishwa katikaKanuni zake zinazohusika. Vikao vyaKamati hii vitafanyika kwa mujibu waKanuni zake hizo.

143 Kamati hii itakuwa na uwezo wa kutungaKanuni zake kwa ajili ya uendeshaji borawa shughuli zake na kwamba Kanuni hizoitabidi ziidhinishwe na Halmashauri Kuuya Taifa kabla ya kuanza kutumika.

144 Mwenyekit i wa CCM anaweza kuit ishavikao vya pamoja baina ya Halmashauri Kuuya Taifa na Kamati ya Wajumbe wa Barazala W awakil ishi wa CCM kwa aji li yakushughulikia mambo kamaitakavyoonekana inafaa.

145 Mwenyekiti wa Kamati ya W ajumbe waBaraza la Wawakilishi wa CCM pamoja naKatibu wa Kamati hiyo watakuwaWajumbe wa Kamati Kuu ya HalmashauriKuu ya Taifa.

146 Unapofika wakati wa uchaguzi, Wajumbewote wa Baraza la W awakilishiwanaotokana na CCM watachagua

Kamati ya Madiwaniwote wa CCM

197

Page 203: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi

Wajumbe watano (5) kutoka miongoni mwao kuwaWajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa.

147. Madiwani wote wanaoishi katika Jiji au Mji wenye hadhi ya Jijiwanaotokana na CCM kwa pamoja watakuwa ni Kamati yaMadiwani wa CCM ya Mkoa katika Jiji au Mji unaohusika. Kaziyake itakuwa ni kusimamia kwa jumla utekelezaji wa Ilani yaCCM na Siasa ya CCM katika shughuli zote zinazoendeshwana Halmashauri ya Jiji au Halmashauri ya Mji wenye hadhi yaJiji, pamoja na kutekeleza kazi nyingine ambazo zimeainishwakatika kanuni zake zinazohusika. Vikao vya Kamati hiivitafanyika kwa mujibu wa Kanuni zake hizo.

198

Page 204: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi

NYONGEZA "A"

AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMACHA MAPINDUZI

(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni Moja.(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote.(3) Nitajitolea nafs i yangu kuondosha umaskini, ujinga,

magonjwa na dhuluma.(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu

mwingine kwa faida yangu.(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu

yangu kwa faida ya wote.(7) Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia

mwema wa Tanzania na Afrika.

NYONGEZA "B"

Katiba, Kanuni na Taratibu za utekelezaji zilizotungwa katikakuongoza shughuli mbalimbali za CCM ni hizi zifuatazo:

(1) Taratibu za Sehemu ya Wazee.(2) Kanuni za Uchaguzi wa CCM.(3) Kanuni za Utendaji kazi za Uongozi katika Chama Cha

Mapinduzi.(4) Kanuni za Fedha na Mali za Chama.(5) Kanuni za Umoja wa Vijana wa CCM.(6) Katiba ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania.(7) Kanuni za Umoja wa Wazazi.

199

Page 205: KATIBA YA CCM

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi

(8) Kanuni za Uongozi na Maadili.(9) Kanuni za Uteuzi wa Wagombea Uongozi katika Vyombo

vya Dola.(10) Kanuni za Kamati ya Wabunge wote wa CCM.(11) Kanuni za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wote wa

CCM.(12) Kanuni za Madiwani wote wa CCM.(13) Kanuni za Utumishi wa Chama Cha Mapinduzi.(14) Kanuni za Tume ya Udhibiti na Nidhamu.

200