36

Kiswahili Fasaha

  • Upload
    phamdan

  • View
    1.003

  • Download
    25

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Kiswahili Fasaha
Page 2: Kiswahili Fasaha

212

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Pili, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza

Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza pamoja na kuandika

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Matamshi bora: Silabi tatanishi

Utungaji wa kiuamilifu:Orodha ya mambo

Hadithi ya shujaaMkombozi

Nomino

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza silabi. • kutambua makosa katika silabi.• kusahihisha makosa yanayohusu silabi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza orodha ya mambo.• kueleza umuhimu na faida ya orodha.• kutengeneza orodha ya mambo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza nomino ni nini.• kutaja na kueleza aina sita za nomino.• kutumia aina mbalimbali za nomino

katika sentensi.• kutambua na kurekebisha makosa ya

sarufi.

1

2

3

4

JUM

A 1

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 1-2

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 1-2

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Wanafunzi• Kadi za maneno na

silabi• Redio au kanda za

kunasia sauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 2-4

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 2-3

• Vielelezo vya orodha tofauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 4-5

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 3-7

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Wanafunzi • Makala ya hadithi ya

majitu

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 6-7

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 7-8

• Vielelezo vya aina za nomino

• Ufafanuzi • Maswali na majibu• Tajriba

• Majadiliano• Makundi • Maswali na majibu• Tajriba

• Usomaji• Masimulizi• Kuiga na kuigiza• Maswali na majibu

• Ufafanuzi • Majadiliano• Maswali na majibu• Utafiti

Page 3: Kiswahili Fasaha

213

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

5

1

2

3

Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)

Kusikiliza na kuzungumza (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Kuandika (Tunu na matini)

Makosa ya kimantiki

Ukusanyaji na uhifadhi wa fasihi simulizi

Insha ya Mdokezo

Utungaji wa kiuamilifu:Maagizo na maelekezo

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusikiliza na kuchanganua taarifa.• kutambua na kurekebisha makosa ya

kimantiki katika maandishi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza njia tatu zinazoweza kutumika

kukusanya kazi za fasihi simulizi.• kutaja na kufafanua njia tatu zinazoweza

kutumika kuhifadhi kazi za fasihi simulizi.

• kueleza udhaifu ulioko katika njia za kuhifadhi fasihi simulizi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza insha ya mdokezo. • kuandika insha ya mdokezo kwa

ufasaha.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua sifa za maagizo na maelekezo

mwafaka.• kuandika na kufuata maagizo na

maelekezo ipasavyo.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 8

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 8-10

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Vitu halisi• Mikusanyo ya

wanafunzi• Vibonzo • Makala kutoka MwM 2

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 8-9

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 10-12

• Vielelezo vya mikusanyo ya kazi za fasihi simulizi

• Kanda za kunasia sauti au video au filamu

• Mwalikwa (Msanii)

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 10

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 12

• Vielelezo vya insha

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 11

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 12-14

• Mikusanyo kutoka magazetini

• Vielelezo vya maagizo na maelekezo halisi

• Ufahamu wa kusikiliza

• Ugunduzi• Mifano • Kazi mradi• Vichekesho

• Masimulizi• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi• Ufahamu wa

kusikiliza

• Ufafanuzi• Majadiliano• Utungaji • Mifano

• Utazamaji• Maelezo• Mifano Ufahamu wa

kusikiliza• Kazi mradi

JUM

A 1

JUM

A 2

Page 4: Kiswahili Fasaha

214

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

4

5

1

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Mazungumzo hotelini

Upishi wa vitumbua

Vitenzi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za mazungumzo

ya hotelini.• kuigiza mazungumzo ya hotelini.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya ufahamu.• kueleza maana ya maneno na vifungu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya vitenzi vya aina

mbalimbali.• kutoa mifano ya aina sita za vitenzi.• kutumia vitenzi vya aina tofauti

kutungia sentensi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 11-12

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 14-15

• Picha za mikahawa au hoteli

• Mifano ya menyu

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 13

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 15-16

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Picha• Kadi za maneno• Chati • Mikusanyo ya resipe• Kitumbua kimeingia

mchanga

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 14-16

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 16-17

• Kadi za vitenzi• Makala tofauti• Mazingira ya

wanafunzi• Vielelezo vya

machapisho

• Usomaji• Kuigiza • Maelezo• Majadiliano• Ufaraguzi• Mifano• Kazi mradi• Ufahamu wa

kusikiliza

• Usomaji • Maswali na majibu• Maelezo• Kuigiza• Ugunduzi

• Mifano • Maelezo• Ufafanuzi• Tajriba

JUM

A 2

JUM

A 3

Page 5: Kiswahili Fasaha

215

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

2

3

4

Sarufi (Ufasaha wa lugha)

Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Uakifishaji

Masimulizi ya hadithi: Fasihi simulizi – Hekaya za Abunuwasi

Uandishi wa kiuamilifu: Resipe

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana, aina na umuhimu wa

viwakifishi.• kutumia viwakifishi kwa ufasaha katika

sentensi na vifungu vya habari.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na matumizi ya hekaya.• kusimulia Hekaya ya Abunuwasi.• kueleza mafunzo kutoka kwa hekaya

hiyo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutoa tafsili ya neno resipe.• kutaja sababu za kutengeneza resipe.• kueleza mtindo wa kuandika resipe.• kuandika mifano ya resipe.• kutumia msamiati wa mapishi ipasavyo.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 16-17

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 17-18

• Michoro ya alama za kuakifisha

• Kadi za alama za kuakifisha

• Vielelezo vya sentensi na aya

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 17-18

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 18

• Vibonzo • Mandhari• Vitu halisi• Maleba

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 19-20

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 18-19

• Vielelezo • Picha za vyakula,

viungo na vyombo• Vitu halisi• Kadi za resipe• Mikusanyo ya resipe

• Utafiti• Mifano • Ufafanuzi

• Masimulizi• Utafiti • Maswali na majibu• Maigizo ya

uwasilishaji

• Mifano • Maelezo• Tajriba• Kuandika

JUM

A 3

Page 6: Kiswahili Fasaha

216

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

5

1

2

Kusikiliza, kuzungumza na kusoma(Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu na mapana

Matamshi bora:Sauti tatanishi

Mahojiano baina ya Daktari na Mgonjwa

Ukweli kuhusu uvutaji sigara

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha sauti za Kiswahili.• kueleza sababu za sauti hizi kutatanisha.• kurekebisha utata unaotokana na sauti

tatanishi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mahojiano ni nini.• kueleza sifa za mahojiano.• kueleza mahojiano aliyopewa kwa

ufasaha na mantiki.• kueleza yaliyomo katika mahojiano

hayo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha.• kueleza maana na madhara ya uvutaji

sigara.• kufurahia kusoma maandishi kwa

Kiswahili.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 21

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 19-21

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Kadi za maneno• Kanda za sauti• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 22-23

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 21-23

• Wanafunzi• Kanda za kunasia

sauti au video

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 23-25

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 23-26

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Vielelezo vya majarida

• Michoro, vibonzo, mabango

• Vitu halisi• Kitumbua kimeingia

mchanga

• Utamkaji • Usomaji• Ufaraguzi• Makundi• Imla• Ufafanuzi• Majadiliano• Utafiti • Maswali na majibu

• Mahojiano• Majadiliano • Kazi ya makundi• Mifano

• Usomaji• Ufafanuzi• Majadiliano• Maswali na majibu

JUM

A 3

JUM

A 4

Page 7: Kiswahili Fasaha

217

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

3

4

5

1

Sarufi

Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)

Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Vivumishi

Mazungumzo: Lugha ya hospitalini

Mashairi ya arudhi: Mashairi ya ngonjera

Insha ya mazungumzo

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na aina tano za

vivumishi. • kubainisha vivumishi hivyo.• kutumia vivumishi hivyo katika

sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za lugha ya hospitali.• kueleza madhumuni ya kutumia lugha

ya hospitali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa na muundo wa ngonjera.• kukariri ngonjera ifaavyo.• kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa na muundo wa insha ya

mazungumzo.• kuandika insha ya mazungumzo

kulingana na kichwa kilichoteuliwa.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 25-29

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 26-28

• Vielelezo vya vivumishi

• Makala tofauti• Majedwali

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 29-30

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 28-29

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Kadi• Fomu au stakabadhi

za hospitalini

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 30-31

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 29-30

• Vielelezo vya ngonjera

• Ngonjera za ukuta

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 31-32

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 30-31

• Kielelezo cha insha ya mazungumzo

• Makala tofauti ya mazungumzo kutoka gazeti au jarida

• Ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Mifano

• Ufafanuzi• Majadiliano• Maswali na majibu• Kazi mradi

• Ufafanuzi• Majadiliano• Kuigiza • Kukariri

• Ufafanuzi • Majadiliano• Utendaji• Mjadala• Kuandika

JUM

A 4

JUM

A 5

Page 8: Kiswahili Fasaha

218

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

2

3

4

5

Kuandika (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Uandishi wa kawaida: Imla – Maendelezo na tahajia

Mazungumzo – Majadiliano:Mwalimu na Mzazi

Kiza katika nuru

Vivumishi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha.• kuandika taarifa kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno

yanayokaribiana kimaana.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuigiza na kuendesha mazungumzo kwa

mtiririko mzuri.• kutumia msamiati ufaao.• kujibu maswali vyema.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya ufahamu.• kueleza maana ya maneno na vifungu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutaja na kueleza aina tano za

vivumishi.• kutumia vivumishi hivyo katika

sentensi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 33

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 31-32

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Vinasa sauti• Picha za matukio• Kazi za vitate

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 33-34

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 32-33

• Mazingira ya shule• Vifaa, maleba• Kielelezo cha kifungu

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 35-36

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 33-34

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Mandhari au picha ya ofisi

• Kiza katika nuru

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 37-41

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 34-36

• Majedwali• Vitu halisi• Mazingira• Picha na mandhari

tofauti

• Imla• Mashindano• Maswali na majibu• Maelezo• Ufahamu wa

kusikiliza

• Uigizaji• Tajriba• Utatuzi wa mambo

• Usomaji• Uvumbuzi• Maswali na majibu• Ufafanuzi• Uchambuzi

• Maelezo• Mifano• Maswali na majibu• Majadiliano

JUM

A 5

Page 9: Kiswahili Fasaha

219

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

1

2

3

Kusoma (Ufasaha wa lugha)

Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Matumizi ya kamusi

Maudhui

Utungaji wa kiuamilifu –Ratiba: Siku ya wazazi shuleni

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza makusudio ya kutumia kamusi.• kutafuta mambo kwenye kamusi kwa

kasi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maudhui na jinsi ya

kupata maudhui katika kazi ya fasihi.• kubainisha maudhui katika hadithi ya

“Isiran amwokoa Eng’atuny”.• kukusanya na kuhifadhi kazi mbalimbali

za fasihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutaja sifa za ratiba.• kueleza umuhimu wa ratiba.• kuandika ratiba kwa ufasaha.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 42

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 36-37

• Kamusi tofauti• Kazi za maneno• Majedwali

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 42-43

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 37-38

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Picha za wanyama husika

• Jedwali la hatua za kupata maudhui

• Mikusanyo ya kazi za fasihi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 43-44

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 38-39

• Ratiba za aina tofauti• Picha na kanda za

sherehe tofauti

• Michezo• Mashindano• Utafiti• Kazi ya makundi• Ufahamu wa

kusikiliza

• Maelezo• Majadiliano• Masimulizi• Uchunguzi

• Tajriba• Mifano• Maelezo• Kuandika • Kulinganisha

JUM

A 6

Page 10: Kiswahili Fasaha

220

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

4

5

1

2

Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Misemo

Huduma ya dharura

Ajali ilivyoripotiwa

Viwakilishi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya misemo.• kutumia misemo katika sentensi kukuza

lugha.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya huduma ya dharura.• kushauri wakati wa kutolewa huduma

za dharura mbalimbali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kifungu cha habari kwa ufasaha.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya viwakilishi.• kujadili na kubainisha viwakilishi kumi

na viwili. • kutunga sentensi sahihi kwa kutumia

viwakilishi vyote.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 45

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 39-40

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Kadi za misemo• Magazeti ya Kiswahili• Picha za hali tofauti • Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 45-46

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 40-41

• Waalikwa• Kanda za maonyesho

ya huduma za dharura

• Picha au michoro• Mikusanyo ya

masimulizi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 46-49

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 41-42

• Kamusi ya Kiswahili Sanifu

• Picha kutoka magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 49-53

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 42-44

• Jedwali la nomino na viwakilishi

• Maelezo• Mifano• Ufafanuzi• Mashindano• Kuandika

• Masimulizi • Tajriba• Maigizo • Ufahamu wa

kusikiliza• Utatuzi wa mambo

• Mahojiano• Usomaji• Masimulizi• Kuigiza • Ziara• Kazi mradi

• Maelezo• Kuandika • Mifano

JUM

A 6

JUM

A 7

Page 11: Kiswahili Fasaha

221

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

3

4

5

1

Sarufi (Ufasaha wa lugha)

Kusikiliza na kudadisi(Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza na kudadisi(Tunu matini)

Usemi halisi na wa taarifa

Tamathali za Usemi

Insha ya maelezo:Ripoti ya ajali

Istiari

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupambanua usemi wa taarifa na halisi.• kutaja mambo muhimu ya kuzingatiwa

katika usemi halisi na wa taarifa.• kugeuza sentensi kutoka hali moja hadi

nyingine.• kutunga sentensi katika usemi halisi na

wa taarifa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuonyesha wasanii, wanavyotumia lugha

katika fasihi.• kutoa mifano ya baadhi ya tamathali za

usemi.• kueleza umuhimu wa tamathali za

usemi katika fasihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mambo ya kuzingatia katika

kutoa maelezo.• kutoa ripoti ya ajali kwa usahihi.• kushauri jinsi ya kupunguza ajali

barabarani.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua neno istiari.• kutoa na kueleza maana za istiari

mbalimbali.• kutumia istiari tofauti katika sentensi

sahihi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 53-54

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 44-45

• Kanda za kunasia sauti

• Chati ya mifano ya sentensi

• Vielelezo• Mikusanyo ya ripoti

magazetini

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 54-55

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 45-46

• Mikusanyo ya kazi za fasihi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 55-56

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 46

• Picha za ajali mbalimbali

• Mabango• Takwimu za ajali

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 57

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 47-48

• Vitabu vya fasihi andishi

• Walimu na wanafunzi• Kamusi

• Mifano • Utafiti• Ufaraguzi• Kazi mradi

• Maelezo• Mifano• Kutunga sentensi• Utafiti

• Kuandika• Kazi mradi• Uigizaji• Uchunguzi• Utatuzi wa mambo• Tajriba

• Tajriba• Utazamaji• Maelezo• Uvumbuzi• Maswali na majibu• Majadiliano

JUM

A 7

JUM

A 8

Page 12: Kiswahili Fasaha

222

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

2

3

4

5

1-2

Kusililiza na kudadisi (Kusikiliza na kuzungumza)

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Sarufi (Ufasaha wa lugha)

Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)

Mafumbo

Mbinu za usomaji bora

Vielezi

Ukubwa na udogo wa nomino

Wahusika

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza dhana ya mafumbo na

umuhimu wake.• kufumba na kufumbua mafumbo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma makala kwa ufasaha.• kueleza mbinu za usomaji bora. • kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na aina za vielezi vinne.• kutunga sentensi sahihi kwa kutumia

vielezi hivyo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua hali za ukubwa, udogo na

wastani.• kueleza mabadiliko ya kisarufi katika

hali tofauti.• kutumia nomino za hali tofauti katika

sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya wahusika.• kutaja na kueleza aina za wahusika.• kueleza sifa za wahusika kwa ujumla.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 57-58

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 48-51

• Vielelezo vya mafumbo

• Wanafunzi• Vielelezo vya kujaza

mraba

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 58-60

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 51-52

• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 60-62

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 52-53

• Jedwali la vielezi• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 62-64

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 53-54

• Jedwali

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 64-65

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 54-55

• Vitabu vya fasihi• Makala kutoka vitabu

• Ufafanuzi • Maelezo• Mifano• Majadiliano• Maswali na majibu• Tajriba• Imla

• Usomaji• Ufafanuzi• Majadiliano• Mjadala• Maswali na majibu

• Maelezo • Mifano• Maswali na majibu• Tajriba

• Maelezo• Ufafanuzi• Mifano• Maswali na majibu• Majadiliano• Tajriba

• Tajriba• Majadiliano• Maswali na majibu• Ufafanuzi• Kazi mradi

JUM

A 8

JUM

A 9

Page 13: Kiswahili Fasaha

223

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

3

4

5

1

2

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Utungaji wa kiuamilifu:Barua ya Mwaliko

Methali

Kamusi za methali

Umekuwa pweza kujipalia makaa?

Viunganishi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mtindo wa barua ya mwaliko.• kuandika barua ya mwaliko kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na matumizi ya methali.• kutumia methali katika mazungumzo na

maandishi.• kueleza mafunzo yatokanayo na methali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua maana ya kamusi ya methali.• kutoa mifano ya kamusi za methali.• kueleza sifa na manufaa ya kamusi za

methali.• kutafuta na kueleza maana na matumizi

ya methali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa na kujibu maswali kwa

ufasaha.• kueleza maana ya maneno, misemo na

methali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya neno viunganishi.• kutoa mifano ya viunganishi.• kufafanua umuhimu wa viunganishi.• kutumia viunganishi katika sentensi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 65-66

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 55

• Vielelezo vya barua za mialiko

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 67-68

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 55-57

• Michoro • Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 68-69

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 57-58

• Michoro• Kamusi tofauti za

methali

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 70-72

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 58-59

• Kamusi • Mchoro• Pweza halisi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 72

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 59-60

• Chati ya viunganishi• Jedwali• Vielelezo

• Ufafanuzi• Utendaji• Majadiliano• Kuandika

• Maelezo• Uigizaji • Mifano• Utoaji visa• Kazi mradi

• Michezo• Tajriba • Utafiti• Maswali na majibu• Maelezo

• Usomaji • Maswali na majibu• Mjadala• Ugunduzi wa

kuongozwa

• Mifano• Mashindano• Ufafanuzi

JUM

A 9

JUM

A 1

0

Page 14: Kiswahili Fasaha

224

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

3

4

5

Kuandika (Ufasaha wa lugha)

Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Mtihani na kusahihisha

Uandishi wa kawaida: Muhtasari

Fasihi simulizi:Mighani

Insha ya methali

Marudio na mazoezi ya stadi zote

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza umuhimu wa muhtasari.• kutaja hatua za kufupisha.• kufupisha sentensi na vifungu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua neno mighani.• kuandika mifano ya mighani.• kupambanua sifa za Siti binti Saad.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza muundo wa insha ya methali.• kuandika insha ya methali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 73-74

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 60-61

• Chati• Mikusanyo ya matini

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 74-77

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 61-62

• Picha au michoro• Mikusanyo ya wasifu

wa watu tofauti• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 77-78

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 62-63

• Mikusanyo ya methali• Picha na michoro• Vielelezo vya insha ya

methali

• Karatasi za mitihani• Kalamu

• Majaribio• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu

• Mifano• Masimulizi• Kuigiza• Mdahalo

• Maelezo • Ufafanuzi• Visa• Masimulizi• Kuandika

• Tajriba ya wanafunzi

JUM

A 1

0JU

MA

11-

13

Page 15: Kiswahili Fasaha

225

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU

MA

1Kiswahili, Kidato cha Pili, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Pili

1

2

3

Kusikiliza, kuzungumza na kusoma:Tunu na matini

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Matamshi bora: Vitate

Hotuba ya kisiasa

Utamaduni ni kitu gani?

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutamka maneno kwa usahihi.• kuandika sentensi akionyesha maana za

maneno.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja sifa za hotuba.• kueleza hoja kuu katika hotuba teule.• kutoa hotuba.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kunga za utamaduni

wa Kiafrika.• kuendeleza maneno. • kueleza maana ya maneno.

• Uchunguzi• Majaribio• Mchezo ya lugha• Imla

• Tajriba• Kuigiza • Mifano• Ufafanuzi• Kazi mradi

• Usomaji wa makala• Maswali na majibu• Upambanuzi • Mijadala • Ziara

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 79

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 63-64

• Maabara ya lugha• Kanda za sauti• Kadi za maneno• Michoro• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 79-82

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 64-65

• Kanda za sauti na video

• Picha za watu wakihutubu

• Maleba na mahambo• Vielelezo vya hotuba• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 82-84

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 65-66

• Waalikwa • Picha• Makavazi• Kamusi• Ngonjera za ukuta

Page 16: Kiswahili Fasaha

226

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

4

5

1-2

3

Sarufi

Sarufi (Ufasaha wa lugha)

Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Vihisishi

Hali na ukanushaji

Ushairi:Tenzi za Shaaban Robert kwa wanawe

Utungaji wa kiuamilifu:Hotuba ya kisiasa

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vihisishi.• kubainisha aina mbalimbali za vihisishi.• kutumia vihisishi katika sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua matumizi ya hali mbalimbali

za vitenzi.• kutunga sentensi katika hali na nyakati

tofauti.• kukanusha sentensi katika hali na

nyakati mbalimbali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya utenzi. • kudondoa ujumbe muhimu.• kuandika maneno kwa lugha nathari. • kueleza maana ya maneno na vifungu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za hotuba ya siasa.• kuandika hotuba ya siasa.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 84

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 66-67

• Picha za hali na mandhari tofauti

• Maleba• Kadi za vihisishi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 84-87

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 67-69

• Majedwali ya vitenzi• Vielelezo vya

maumbo ya vitenzi• Kadi za viambishi na

vitenzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 88 -90

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 69-71

• Pambo la lugha• Chati ya mawaidha

makuu ya gazeti• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 90

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 71

• Mikusanyo ya hotuba• Picha gazetini• Wanafunzi • Vyombo vya habari

vikiripoti mikutano ya siasa

• Ufaraguzi wa hisia• Kuigiza • Mifano ya sentensi • Maelezo

• Mifano• Utafiti• Mazoezi• Uvumbuzi

• Maelezo • Kuigiza• Mifano ya tenzi

nyingine

• Utafiti • Mahojiano• Uigizaji• Mifano

JUM

A 1

JUM

A 2

Page 17: Kiswahili Fasaha

227

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

4

5

1

2

Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Vitawe

Kusoma vitabu vya maktaba

Dunia

Vihusishi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana za maneno yenye maana

zaidi ya moja.• kutumia vitawe katika sentensi.• kubainisha maana mbalimbali za

maneno.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua umuhimu wa maktaba.• kusoma na kudondoa hoja.• kufurahia kusoma.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kukariri shairi kwa mahadhi.• kujibu maswali ya shairi kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na aina za vihusishi.• kutaja mifano ya vihusishi mbalimbali.• kutunga sentensi akionyesha matumizi

ya vihusishi tofauti.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 91

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 72-73

• Kamusi• Jedwali• Kadi za maneno• Picha au michoro

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 91

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 73-74

• Vitabu vya maktaba• Wanafunzi• Sheria za maktaba• Wakutubi• Maktaba

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 92-93

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 74-75

• Pambo la lugha• Kamusi• Ramani ya dunia• Picha na michoro

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 93-94

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 75-76

• Vitu halisi

• Maelezo • Kutunga sentensi• Imla• Ufafanuzi• Mashindano• Michezo ya lugha

• Maelezo• Mifano• Uhakiki

• Kusoma• Maelezo• Mifano• Maswali na majibu• Uchambuzi• Majadialiano

• Maelezo• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu• Kazi mradi

JUM

A 2

JUM

A 3

Page 18: Kiswahili Fasaha

228

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

3

4

5

1

Kuandika (Ufasaha wa lugha)

Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)

Utungaji wa kiuamilifu:Matangazo ya vifo

Kisasili –Chura aliutaka uzuri

Utungaji wa kiuamilifu:Barua ya risala ya pongezi

Chemsha bongo

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza manufaa na sifa za matangazo

ya vifo. • kuweza kuandika tangazo la kifo kwa

urefu na kwa ufupi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kufurahia kisasili.• kufafanua sifa za visasili.• kutaja mifano mingine ya visasili.• kueleza sifa za wahusika katika kisa

teule.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza risala ni nini.• kuandika barua ya risala ya pongezi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufikiria na kupata jibu.• kutega vitendawili. • kutoa majibu ya vitendawili.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 94-95

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk.76-77

• Vielelezo • Kanda za kunasia

sauti• Magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 95-97

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 77-79

• Fanani• Picha na michoro• Kanda za sauti • Kamusi• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 97-98

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 79

• Vielelezo vya barua• Kanda za sauti zenye

risala

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 99

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 79-80

• Madhari • Vitendawili kwa

mashairi• Mifano ya mwalimu

na wanafunzi

• Maelezo • Tajriba• Mifano• Maswali na majibu• Ufaraguzi• Majadiliano

• Masimulizi • Kusoma• Uchambuzi• Maswali na majibu• Utafiti

• Maelezo • Mifano • Ufafanuzi • Mjadala

• Maelezo • Mashindano• Ufafanuzi • Uchunguzi• Uigizaji• Kazi mradi

JUM

A 3

JUM

A 4

Page 19: Kiswahili Fasaha

229

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

2

3

4

5

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Jua na sayari

Uvumbuzi wa anga za juu

Mofimu

Uakifishaji

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuchora mfumo wa jua na sayari

mbalimbali.• kueleza sifa za sayari mbalimbali.• kujibu maswali kwa usahihi.• kusoma kwa mapana.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kifungu kwa ufahamu.• kueleza hatua zilizopigwa katika

uvumbuzi wa anga.• kujibu maswali kwa ufasaha.• kusoma kwa mapana majarida na

magazeti.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya mofimu.• kubainisha mofimu za Kiswahili.• kufafanua dhima ya mofimu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa alama za

kuwakifisha.• kufafanua matumizi ya alama za

kuwakifisha.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 99-100

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 80-81

• Michoro • Makala ya habari za

sayari • Majarida

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 100-102

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 81-82

• Kamusi • Picha• Majarida• Gazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM uk. 102-103

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 83

• Vielelezo • Kadi za mofimu • Jedwali • Chati

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 104-105

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 83-84

• Mabandiko kwenye tarasha

• Ubao wenye alama za uakifishaji

• Uvumbuzi • Maelezo • Ufafanuzi • Mifano• Utafiti

• Usomaji • Mifano• Maswali na majibu• Mjadala

• Mifano• Michezo ya lugha• Maelezo

• Maelezo • Mifano• Utatuzi wa mambo

JUM

A 4

Page 20: Kiswahili Fasaha

230

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

1-2

3-4

5

1-2

Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Shairi:Titi la mama litamu

Utungaji wa kisanii:Hadithi fupi

Vitendawili

Mjadala: Utangamano shuleni

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma shairi kwa ufasaha.• kufafanua maana ya “Titi la mama

litamu”.• kueleza sifa za lugha. • kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma hadithi fupi. • kuandika hadithi fupi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana ya kitendawili.• kutega na kutegua.• kuandika vitendawili na majibu yao.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubuni hoja za kuaminika kwa mantiki.• kueleza na kujadili mambo kwa lugha

sahihi.• kuzingatia kanuni za mjadala.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 106-108

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 84-85

• Wanafunzi • Pambo la lugha • Kanda za sauti • Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 108

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 85-86

• Vielelezo vya hadithi fupi

• Hadithi za Bibi Mahira

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 109

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 86-87

• Mikusanyiko ya wanafunzi

• Kanda za sauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 109-112

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 87

• Picha za mazingira• Makala ya magazeti• Kamusi

• Kukariri • Maelezo • Mifano• Mjadala

• Ufafanuzi • Maelezo • Mifano• Utafiti

• Mashindano• Mjadala • Michoro• Maswali na majibu• Kutega na kutegua• Michezo

• Majaribio• Mjadala• Utafiti• Maelezo• Kazi ya vikundi

JUM

A 5

JUM

A 6

Page 21: Kiswahili Fasaha

231

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

3

4

5

1-2

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)

Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)

Michezo

Viambishi

Lugha ya michezoni

Fasihi simulizi:Vitendawili

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kujibu maswali ya ufahamu.• kutumia msamiati wa michezo katika

mazungumzo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya viambishi.• kutaja aina za viambishi na mifano.• kubainisha viambishi mbalimbali katika

sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambarua sura za lugha ya

michezoni.• kueleza maana ya msamiati na istilahi za

michezoni.• kusimulia habari za michezo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutega na kutegua vitendawili.• kueleza umuhimu wa vitendawili.• kufafanua sifa za vitendawili.• kukusanya na kuweka kumbukumbu ya

vitendawili.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 112-113

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 87-89

• Kamusi • Picha au michoro ya

michezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 114-115

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 89

• Jedwali • Vitu halisi• Mandhari tofauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 115-117

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 89-90

• Redio• Picha au michoro• Kanda za sauti au

video• Magazeti

• Kiswahili Fasaha KcM 2, uk. 117-119

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 90-91

• Kamusi • Kadi za vitendawili na

majibu• Mazingira halisi• Picha au michoro

• Ufafanuzi • Tajriba• Mifano• Usomaji• Maswali na majibu• Kazi mradi

• Maelezo • Mifano• Ufafanuzi

• Masimulizi • Maelezo• Maigizo• Mifano

• Mashindano• Utafiti• Tajriba• Michezo• Ukusanyaji na

uhifadhi• Maelezo

JUM

A 6

JUM

A 7

Page 22: Kiswahili Fasaha

232

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

JUM

A 7

3-4

5

1-2

3

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza, kuzungumza na kusoma (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Insha ya Mjadala

Vitanza ndimi

Vitabu vya maktaba

Ukimwi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja mambo ya kuzingatia na

kuandika katika insha ya mjadala.• kuandika mjadala kufuata kanuni za

uandishi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza dhana ya vitanza ndimi na

umuhimu wake.• kutamka na kufafanua vitanza ndimi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua umuhimu wa maktaba.• kueleza kazi ya mkutubi.• kueleza hatua za kusoma vitabu vya

maktaba.• kusoma na kudondoa ujumbe.• kufurahia kusoma maandishi

mbalimbali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya kifungu kwa usahihi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 120

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 91

• Redio• Kanda za sauti • Makala yafaayo

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 121 Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 91-93

• Vifaa halisi • Kamusi • Picha na michoro

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 122-123

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 93-94

• Maktaba • Fanani au mkutubi• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 123-124

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 94-95

• Kamusi • Wanafunzi

• Mjadala• Kuigiza• Kuandika• Kazi ya vikundi

• Maelezo • Ufafanuzi• Mifano• Mashindano ya

michezo ya lugha

• Maelezo • Mifano• Ufafanuzi• Ziara maktabani

• Ufafanuzi • Maswali na majibu • Usomaji na kukariri

JUM

A 8

Page 23: Kiswahili Fasaha

233

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

4

5

1-2

Sarufi

Kusoma kwa kina (Ufasaha wa lugha)

Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)

Umoja na wingi wa vivumishi vya pekee

Sifa za lugha ya kishairi

Nyimbo

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutumia vivumishi vya pekee katika

sentensi kwa usahihi ili kupata upatanisho wa kisarufi.

• kubadilisha sentensi kutoka umoja hadi wingi au kinyume chake.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja na kueleza sifa za lugha ya

kishairi.• kutumia sifa za lugha kulihakiki shairi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za nyimbo. • kuhakiki nyimbo.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 124

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 95-96

• Jedwali la vivumishi vya pekee

• Jedwali la nomino katika ngeli

• Vielelezo vya sentensi katika hali tofauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 124-126

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 96-97

• Vielelezo vya mashairi

• Chati za kubainisha mpangilio wa vina na mizani

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 126-128

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 97-102

• Kanda za muziki• Fanani • Wanafunzi • Redio• Vielelezo vya nyimbo• Chati

• Maelezo• Ufafanuzi• Mifano• Majadiliano• Maswali na majibu• Kazi mradi

• Ufafanuzi • Maelezo ya istilahi• Kukariri shairi• Uchambuzi

• Ufahamu wa kusikiliza

• Mifano• Ugunduzi • Uimbaji• Ufafanuzi• Uchambuzi• Kazi mradi

JUM

A 8

JUM

A 9

Page 24: Kiswahili Fasaha

234

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

3-4

5

1-2

3

4

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Utungaji wa kisanii:Mashairi mepesi

Je, huu ni utu?

Majadiliano:Mwalimu na mwanafunzi

Ujana

Umoja na wingi wa viambishi vya sifa

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza hatua za kutunga shairi.• kuandika beti za mashairi kwa lugha

nathari.• kuandika mashairi mepesi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya utu.• kusimulia athari za kukosa utu.• kujadili umuhimu wa kuwa na utu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuendesha majadiliano ipasavyo.• kujadili matatizo yanayowakumba

wanafunzi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana za maneno na vifungu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutumia viambishi vya sifa kwa usahihi

katika sentensi.• kubadilisha sentensi kuwa katika hali

tofauti kwa mintarafu ya viambishi vya vivumishi vya sifa.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 128

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 102-104

• Shairi la ukimwi• Vielelezo vya mashairi• Mitungo ya wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 129

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 104-105

• Picha au michoro• Makala ya magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 129-131

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 105-106

• Kielelezo cha majadiliano

• Picha za kuzua majadiliano

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 131-132

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 106-108

• Picha au michoro• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 132-134

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 108-109

• Jedwali la vivumishi vya sifa

• Maelezo • Ugunduzi• Mifano• Maswali na majibu• Kuandika

• Majadiliano• Maswali na majibu• Mjadala• Visa vya kusimulia

• Majadiliano• Maelezo • Maigizo• Mifano• Kazi ya makundi

• Ufahamu• Maelezo na ufafanuzi • Maigizo • Kusoma

• Maelezo• Ufafanuzi • Mifano• Maswali na majibu• Kazi mradi

JUM

A 9

JUM

A 1

0

Page 25: Kiswahili Fasaha

235

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

5

1

2-3

4

Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)

Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)

Lugha katika matatu

Mchezo wa kuigiza 1

Utungaji wa kisanii:Mchezo mfupi wa kuigiza

Vitambulisho

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza tofauti ya matumizi ya

lugha katika biashara ya matatu na kwingineko.

• kueleza na kufafanua sifa za lugha katika biashara hii.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua kiini cha mchezo.• kuwataja na kuwaeleza wahusika.• kueleza ujumbe wa mchezo.• kufafanua maana ya maneno na vifungu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika mchezo mfupi.• kuigiza mchezo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa vitambulisho. • kutaja aina mbalimbali za vitambulisho.• kuorodhesha mambo muhimu.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 134-135

• Kiswahili Fasaha,• MwM 2, uk. 109-112• Mandhari• Vibonzo• Kamusi• Vielelezo• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 135-138

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 112-114

• Mandhari• Maleba• Vitu halisi• Picha na michoro

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 138

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 114-115

• Maleba• Mandhari• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 139

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 115-116

• Vielelezo vya vitambulisho

• Picha za vitambulisho

• Uhakiki• Majadiliano• Maswali na majibu• Ufahamu wa

kusikiliza• Kuigiza• Ufafanuzi• Mifano

• Drama• Uhakiki• Majadiliano• Maswali na majibu

• Ufaraguzi• Maigizo• Maelezo• Ugunduzi• Kuandika• Mifano

• Maelezo• Mifano • Ufahamu wa

kusikiliza

JUM

A 1

0JU

MA

11

Page 26: Kiswahili Fasaha

236

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

5

1

2

3

4

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Kuandika (Ufasaha wa lugha)

Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)

Mazungumzo katika kituo cha polisi

Kazi ni kazi

Umoja na wingi wa viambishi awali vya vitenzi

Uandishi wa kawaida:Muhtasari

Mchezo wa kuigiza 2

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuendesha mazungumzo baina ya raia

na polisi.• kutumia simu kwa maongezi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza na kufafanua viambishi awali.• kutunga sentensi kwa usahihi kisarufi.• kubadilisha umoja au wingi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuwasilisha mambo kwa jedwali,

kipimapembe au orodha.• kutoa maelezo kwa njia ya mjazo.• kufasiri mambo yaliyofupishwa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua kiini cha mchezo.• kueleza ujumbe wa mchezo. • kutaja sifa za wahusika.• kueleza maana ya vifungu na maneno.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 139-140

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 116-117

• Simu• Kanda za sauti• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 140-143

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 117-118

• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 143-145

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 118-119

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 145-147

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 119

• Mkusanyo ya data• Vielelezo• Jedwali

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 147-149

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 120-121

• Mandhari• Maleba• Vitu halisi

• Uigizaji • Mazungumzo • Ziara ya kituo cha

polisi• Maswali na majibu

• Majadiliano• Tajriba • Utafiti• Maswali na majibu• Usomaji

• Ufafanuzi • Maswali na majibu• Majadiliano ya

makundi

• Maelezo • Mifano• Uchunguzi• Kazi mradi

• Drama • Ugunduzi kifani• Maswali na majibu• Ufaraguzi

JUM

A 1

1JU

MA

12

Page 27: Kiswahili Fasaha

237

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

5 Kuandika (Utunzi)

Mtihani na kusahihisha

Utungaji wa kiuamilifu:Shajara

Marudio na mazoezi ya stadi zote

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa shajara.• kufafanua jinsi ya kuitumia. • kueleza namna ya kuweka shajara.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 149-150

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 121

• Vielelezo vya shajara• Wanafunzi

• Karatasi za mtihani• Kalamu

• Utatuzi wa mambo• Mifano • Tajriba• Maelezo• Ufaraguzi

• Tajriba ya wanafunzi

JUM

A 1

2JU

MA

13

Page 28: Kiswahili Fasaha

238

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

1

2

3

4

Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)

Kusikiliza, kuzungumza, na kuandika

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Nahau

Utungaji wa kiuamilifu:Tahadhari

Maafa ya mafuriko

Kauli za vitenzi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua maana ya neno au dhana ya

nahau.• kutoa mifano ya nahau.• kutunga sentensi kwa kutumia nahau.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana umuhimu wa tahadhari.• kueleza namna shairi laweza kutumiwa

kutoa tahadhari.• kuorodhesha mifano ya tahadhari.• kufafanua maneno ya tahadhari.• kutunga ilani na onyo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa ipasavyo.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutaja na kubainisha kauli mbalimbali.• kutoa mifano ya kauli mbalimbali.• kutunga sentensi kwa kutumia kauli

mbalimbali.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 151

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 121-123

• Vitu halisi• Mandhari• Vitu vya kufaragua

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 151-153

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 122-123

• Shairi• Kamusi• Picha

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 153-155

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 123-124

• Picha • Michoro• Televisheni• Waalikwa

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 156-158

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 124-126

• Kadi za viambishi vya kauli

• Jedwali la vitenzi katika kauli tofauti

• Uigizaji bubu• Mifano• Maelezo • Ufaraguzi

• Uvumbuzi • Majadiliano • Maagizo• Maelezo• Mazungumzo• Kuandika

• Usomaji• Tajriba• Utafiti• Dayolojia ya Kisokrati• Uchunguzi

• Uchunguzi • Majaribio• Mifano• Utafiti• Kazi mradi

JUM

A 1

Kiswahili, Kidato cha Pili, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Tatu

Page 29: Kiswahili Fasaha

239

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

5

1

2

3

Kuandika (Ufasaha wa lugha)

Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)

Utungaji wa kiuamilifu:Taarifa ya habari

Riwaya:Nyota ya Rehema 1

Insha ya maelezo

Kutuma salamu redioni na magazetini

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa na umuhimu wa taarifa ya

habari.• kuandika taarifa ya habari.• kuigiza utoaji wa taarifa ya habari.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma dondoo.• kutaja wahusika na ujumbe.• kuainisha utanzu wa fasihi andishi.• kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya insha ya maelezo.• kupambanua muundo wa insha ya

maelezo.• kuandika insha ya maelezo kikamilifu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mahitaji ya kutuma salamu

redioni na magazetini.• kufafanua umuhimu wa kutuma salamu.• kutunga salamu za kutumwa redioni na

magazetini.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 159

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 127-128

• Redio • Televisheni• Kanda za sauti• Vielelezo• Mdahilishi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 160-162

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 128-129

• Nyota ya Rehema

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 162

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 129-130

• Vielelezo • Vitu halisi• Mandhari halisi• Mikusanyo ya insha

za maelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 163-164

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 130-131

• Ratiba za vipindi vya redio

• Magazeti• Vielelezo

• Maelezo • Utafiti• Maigizo• Kuandika

• Majibu na maswali• Uchunguzi • Maelezo • Tajriba• Usomaji• Uchambuzi• Mjadala

• Mifano• Kuandika • Maelezo • Tajriba

• Maelezo • Maigizo • Ufaraguzi • Kazi ya makundi

JUM

A 1

JUM

A 2

Page 30: Kiswahili Fasaha

240

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

4

5

1

2

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)

Mazungumzo posta

Simu ya ghafla

Kauli za vitenzi

Lugha ya biashara

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua shughuli zinazotokea katika

kituo cha posta.• kueleza matumizi ya lugha katika kituo

cha posta.• kueleza maendeleo mapya katika

teknolojia ya mawasiliano.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha. • kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kunyambua vitenzi katika kauli

zinazozingatiwa.• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi

katika kauli tofauti.• kueleza maana inayojitokeza katika

vitenzi ambavyo vinanyambuliwa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za lugha ya biashara.• kufafanua sababu za matumizi ya lugha

ya biashara.• kutambua msamiati wa biashara.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 165-166

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 131-133

• Mandhari • Vitu halisi • Wanafunzi wenyewe• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 166-168

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 133-135

• Mandhari• Vitu halisi • Kamusi• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 168-170

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 135-137

• Vielelezo vya kauli za mnyambuliko

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 171-173

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 137-138

• Makala ya magazeti• Vielelezo vya

msamiati wa kibiashara

• Maigizo• Maelezo na ufafanuzi• Mifano • Ugunduzi

• Usomaji• Maelezo na ufafanuzi • Mazungumzo ya simu• Uigizaji • Majadiliano• Ufaraguzi

• Maelezo na ufafanuzi• Michezo ya lugha• Kuiga• Maswali na majibu• Tajriba

• Maelezo • Ufaraguzi• Ugunduzi • Majadiliano• Maswali na majibu• Maigizo

JUM

A 2

JUM

A 3

Page 31: Kiswahili Fasaha

241

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

3

4

5

1

Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Riwaya:Nyota ya Rehema 2

Utungaji wa kiuamilifu: Barua simu

Tanakali za sauti

Mahojiano: Sayansi imeleta maendeleo duniani

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kudondoa ujumbe wa

mwandishi.• kueleza tabia za wahusika.• kufafanua maana za maneno na vifungu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya barua simu.• kufafanua umuhimu wa barua simu.• kuandika barua simu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya tanakali za sauti.• kueleza umuhimu wa tanakali za sauti.• kutunga tanakali za sauti katika

sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za mahojiano.• kuendeleza mahojiano.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 173-175

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 138-140

• Nyota ya Rehema

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 175-176

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 140

• Picha na michoro• Vielelezo vya barua

simu

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk 177

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 140-141

• Wanafunzi• Vielelezo vya tanakali

za sauti• Vitu halisi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 178-180

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 141-143

• Picha na michoro• Magazeti yenye

makala ya kisayansi• Wanafunzi

• Maelezo na ufafanuzi• Ugunduzi • Majadiliano• Masimulizi• Uchambuzi

• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Majadidiano• Utendaji• Maswali na majibu

• Uigizaji • Ufafanuzi • Majadiliano

• Mahojiano• Majadiliano• Makundi • Drama• Mifano• Kazi mradi

JUM

A 3

JUM

A 4

Page 32: Kiswahili Fasaha

242

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

2

3

4

5

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Sarufi (Ufasaha wa lugha)

Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)

Teknolojia mpya

Vinyume

Uundaji wa maneno

Nyota ya Rehema 3

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana, madhara na manufaa ya

teknolojia.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya kinyume.• kufafanua muundo wa vinyume.• kutumia vinyume katika sentensi kwa

usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutohoa na kuunda maneno.• kufafanua sababu za kutohoa na

kutunga maneno.• kuunda maneno kutokana na maneno

mengine.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za wahusika Fuad, Adila, na

Aziza.• kueleza mbinu tano za usanii

zilizotumika katika kifungu.• kujadili manufaa ya miti kwa binadamu.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 180-182

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 143-144

• Vielelezo • Kamusi • Vitu halisi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 182-183

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 144

• Vielelezo vya vinyume

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 183-185

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 144-146

• Vielelezo vya jedwali la maneno yaliyotoholewa

• Vitu halisi• Kamusi• Mkusanyo wa

maneno mapya yaliyobuniwa

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 185-187

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 146-148

• Nyota ya Rehema• Kanda za video au

kunasia sauti za riwaya

• Usomaji• Maelezo• Uchunguzi• Mifano

• Ufafanuzi • Majadiliano• Maswali na majibu• Tajriba

• Maelezo • Ufafanuzi • Mifano • Majadiliano • Utafiti

• Kusoma taarifa• Kuhakiki taarifa • Maswali na majibu• Majadialiano

JUM

A 4

Page 33: Kiswahili Fasaha

243

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

1-2

3

4

5

Kuandika (Utunzi)

Kusikiliza na kuzungumza(Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Barua rasmi

Visawe

Drama: Jukwaa la kisiasa

Wimbi la mageuzi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya barua rasmi.• kueleza muundo wa barua rasmi.• kuandika barua rasmi kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuta mifano ya visawe.• kueleza maana ya visawe.• kutumia visawe kutungia sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno.• kuigiza hotuba ya kisiasa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.• kufumbua maana iliyofichika.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 187-188

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 148-149

• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 189

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 149

• Kadi za visawe• Mkusanyo wa visawe• Kanda za sauti • Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 189

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 150-153

• Bullfight• Kanda za sauti• Ripoti za hotuba• Maleba• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 190-193

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 153-154

• Kamusi • Ripoti za kisiasa• Redio• Mchezo kitabuni

• Ufafanuzi• Majadiliano• Maswali na majibu• Utendaji• Kuandika

• Kazi ya makundi• Majadiliano • Ufafanuzi • Tajriba• Imla

• Kuigiza • Maelezo• Ufahamu wa

kusikiliza • Tajriba• Maswali na majibu

• Usomaji• Vikundi• Uvumbuzi• Uigizaji• Maswali na majibu

JUM

A 5

Page 34: Kiswahili Fasaha

244

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

1-3

4-5

1

2

Sarufi

Kuandika (Ufasaha wa lugha)

Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Sentensi ambatano

Uandishi wa kawaida:Muhtasari

Maigizo

Utungaji wa kisanii:Maigizo: Mchezo wa kuigiza

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya sentensi za aina

tofauti kama virai, vishazi, kundi nomino na kundi tenzi.

• kuainisha vipengele vya sentensi.• kutunga sentensi sahili kubainisha aina

za sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua maana ya muhtasari.• kueleza matumizi ya muhtasari.• kufupisha sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza na kufafanua vipengele muhimu

vya maigizo.• kueleza madhumuni ya maigizo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuandika mchezo wa kuigiza.• kuigiza mchezo.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 194-197

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 154-155

• Kadi za maneno• Majedwali• Vielelezo vya sentensi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 197-200

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 155-156

• Vielelezo • Kadi za maswali na

hoja

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 200-201

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 156-157

• Mandhari • Maleba• Mikusanyo ya

michezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 201-202

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 157

• Mandhari ya shule• Kanda za sauti na

video• Tarakilishi au

mdahilishi

• Uchunguzi • Uvumbuzi • Maswali na majibu• Kazi mradi• Mifano

• Mifano• Maswali na majibu• Utatuzi wa mambo

• Maigizo• Uchunguzi • Kazi ya makundi• Mifano • Ufaraguzi

• Maigizo• Mjadala• Ugunduzi • Vikundi • Maelezo

JUM

A 6

JUM

A 7

Page 35: Kiswahili Fasaha

245

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

3

4

5

1

2

Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)

Kusikiliza na kuzungumza

Kusoma kwa ufahamu

Sarufi

Kusikiliza na kuzungumza(Ufasaha wa lugha)

Utu na unyama

Kusoma makala katika magazeti na majarida

Haki za Watoto

Upambanuzi wa sentensi ambatano

Tahariri magazetini

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza shani katika visa au dondoo

walizopewa.• kutoa visa vingine vya kustaajabisha.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za gazeti na umuhimu wake.• kujadili umuhimu wa gazeti katika jamii

na kwa mwanafunzi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha. • kutaja na kujadili haki za watoto.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya upambanuzi wa

sentensi.• kupambanua sentensi kwa njia ya

mistari.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maaana ya tahariri ya gazeti.• kueleza sifa za tahariri. • kufafanua umuhimu wa tahariri kwa

jamii na mwanafunzi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 203

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 157-159

• Picha za magazeti• Michoro• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 203-205

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 159-160

• Magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 205-207

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 160-162

• Jedwali la haki za watoto

• Picha na michoro • Kanda za video

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 207-208

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 162-164

• Vielelezo vya sentensi ambatano

• Kiswahili Fasaha KcM 2, uk. 209-210

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 164-166

• Vielelezo vya tahariri• Gazeti• Vitabu

• Masimulizi• Majadiliano • Ufahamu wa

kusikiliza• Maelezo

• Majadiliano • Makundi • Utafiti

• Usomaji • Ufafanuzi • Majadiliano • Mjadala• Kutafsiri picha

• Ufafanuzi • Marudio ya uundaji

wa sentensi• Majadiliano • Kazi ya makundi• Maswali na majibu

• Ufafanuzi • Mjadala • Majadiliano • Mifano • Tajriba

JUM

A 7

JUM

A 8

Page 36: Kiswahili Fasaha

246

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

3

4-5

Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)

Kuandika (Utunzi)

Mtihani na kusahihisha

Ushairi:Mashairi huru

Utungaji wa kiuamilifu:Insha ya dayolojia

Marudio na mazoezi ya stadi zote

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua sifa za shairi.• kueleza mbinu za kisanii zinazopatikana

katika shairi hili. • kudondoa hoja zinazoshughulikiwa na

mshairi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za mtindo wa insha ya

dayolojia.• kuandika insha ya dayolojia maagizo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 211-212

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 166-167

• Kamusi • Mkusanyo wa

mashairi huru

• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 212

• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 167-168

• Kielelezo cha insha ya dayolojia

• Makala kuhusu haki za watoto kutoka vitabuni

• Karatasi za mitihani• Kalamu

• Maelezo • Majadiliano• Ufafanuzi• Kukariri

• Ufafanuzi • Mifano• Majadiliano• Mjadala• Utendaji• Kuandika

• Tajriba ya wanafunzi

JUM

A 8

JUM

A 9

-12