24
Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA NA WANANCHI KUHUSIANA NA KULETA MABADILIKO KWA SERIKALI KATIKA KUSAIDIA KILIMO RAFIKI WA MAZINGIRA KWA WAKULIMA WADOGO WADOGO Tolea Kwa Lugha Rahisi Kwa Viongozi Wawakilishi wa Wananchi

MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

  • Upload
    others

  • View
    32

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

1

Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania.

Juni 2014.

MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA NA WANANCHI KUHUSIANA NA KULETA MABADILIKO KWA SERIKALI KATIKA KUSAIDIA KILIMO RAFIKI WA

MAZINGIRA KWA WAKULIMA WADOGO WADOGO

Tolea Kwa Lugha Rahisi Kwa Viongozi Wawakilishi wa Wananchi

Page 2: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

2

Page 3: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

1

Kuhusu Mradi wa Mabadiliko Ya Tabia Nchi na Kuondoa Umasikini Mradi unaojulikana kama “Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini: kuwafanya wakulima wadogo kuwa kiini cha sera na utendaji” ni mradi wa ubia unaotekelezwa na mashirika 5 ambayo ni: Mtandao wa Jumuiya za Uhifadhi Misitu Tanzania (MJUMITA), Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA), Asasi ya Uhifadhi wa Misitu Tanzania (TFCG), ActionAid Tanzania na Mtandao wa Kilimo Hai Tanzania (TOAM). Mradi huu unafadhiliwa kupitia Programu ya Uwajibikaji Tanzania (AcT). Mradi unatekelezwa katika ngazi ya taifa na katika ngazi ya chini kwenye vijiji 6 ndani ya wilaya 2 (vijiji 3 katika wilaya ya Kilosa na vijiji 3 katika wilaya ya Chamwino). Utayarishaji wa mradi huu unatokana na ukweli kwamba watu wengi nchini Tanzania ni wakulima wadogo na wanategemea kilimo katika maisha yao. Inapokuja katika suala la kutokutabirika kwa hali ya hewa, ni wakulima wadogo ndio wanaoathirika zaidi na mabadiliko ya tabia nchi (CC). Imetambulika kwamba mabadiliko ya matumizi ya ardhi hasa ukataji wa misitu kutokana na kilimo cha kuhamahama, ndio chanzo kikubwa zaidi cha uzalishaji wa hewa ukaa nchini Tanzania. Uwekezaji katika kilimo na sera na taratibu za kilimo unatoa kipaumbele kwa mhamo kwenda kwenye kilimo kinachotegemea zaidi zana za kisasa zinazotumia mafuta na kilimo cha maeneo makubwa, kwa lengo la kuongeza tija na kufanya uzalishaji wa mkulima mdogo kuwa wa kibiashara. Wakati utaratibu huu unaweza kuongeza mavuno kwa kipindi kifupi, lakini unawaweka katika hatari hawa wakulima wadogo kuathirika zaidi na mabadiliko ya tabia nchi. Tunaamini kwamba kuna njia mbadala katika matumizi ya ardhi na uzalishaji wa chakula ambazo zitataleta ‘mafanikio’ kwa vigezo vya kukabiliana na kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi, lakini ukosefu wa ufahamu kwa upande wa wakulima wadogo na watunga sera kuhusu kukabiliana na kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi, imekuwa ni tatizo.

Mradi huu unaonyesha kwa vitendo kilimo kinachoendeshwa na Wakulima Wadogo Wanaozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi (kilimo cha C3S) na usimamizi endelevu wa ardhi na maliasili katika kanda 2 za kilimo-ekolojia, kwa madhumuni ya kutoa mifano hai ya jinsi ambavyo wakulima wadogo wanaweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi katika njia ambazo zinaongeza kipato; kuongeza uhakika wa chakula na kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa. Mkakati huu unalenga katika kubadili tabia za wadau wawili muhimu: wakulima wadogo na maafisa watendaji wa wilaya. Wadau wengine muhimu ambao wanahusika na mkakati huu ni pamoja na: viongozi wa kuchaguliwa na wananchi kama Madiwani na Wabunge, wajumbe wa Kamati Elekezi ya Taifa ya Mabadiliko ya Tabia Nchi, na wanachama wa MJUMITA na MVIWATA.

Mradi unaweka msisitizo zaidi katika vipengele vya teknolojia vya kilimo cha C3S; muunganisho kati ya kilimo cha C3S na Programu ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchi (Redd+) wilayani Kilosa; pia kutengeneza modeli ya jinsi maafisa wa Halmashauri za serikali za mitaa na viongozi waliochaguliwa wanaweza kuwasaidia wakulima wadogo kufanikisha hili. Hii ni pamoja na kufanya kazi na maafisa wa halmsashauri serikali za mitaa na viongozi waliochaguliwa wa wananchi katika kuhakikishwa kwamba kilimo rafiki wa mazingira (C3S) kinaingizwa katika Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (DADPs), na kushughulikia mapungufu ya kiutawala mahali pale kuhusiana na kilimo, usimamizi wa ardhi na maliasili.

Lengo la Mradi Umasikini umepungua miongoni mwa wakulima wadogo nchini Tanzania na uzalishaji wa hewa ukaa kutokana na kilimo umepungua kupitia matumizi ya kanuni za kilimo bora zinazohimili mabadiliko ya tabia nchi na uzalishaji mdogo wa hewa ukaa.

Page 4: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

2

Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi [CSA] kwa kifupi Mabadiliko ya Tabia Nchi yanaonekana dhahiri nchini Tanzania. Ukichukulia utegemezi wake wa asili katika hali ya hewa, uzalishaji wa kilimo unatishiwa na hali isiyotabirika inayosababishwa na kutotabirika kwa hali ya hewa na mabadiliko ya tabia nchi kutokana na matukio mabaya ya hali ya hewa kama vile mafuriko na ukame. Mabadiliko ya tabia nchi ni tishio kubwa zaidi la kimazingira kwa maisha hapa duniani, linaloathiri mazingira yetu, sio tu kimaumbile na kiuchumi, lakini pia kijamii na kitamaduni. Tanzania imekuwa ikikabiliwa na vipindi vya ukame vinavyotokea mara kwa mara ambavyo vimeathiri shughuli za kilimo, kusababisha uhaba wa chakula pia na kupungua kwa kiasi kikubwa cha uzalishaji wa umeme, na kusababisha madhara makubwa kwenye uchumi.

Lengo kuu la waraka huu Waraka huu unalenga katika kuonyesha kwa vitendo utaratibu jumuishi kuhusiana na kilimo kinachoendeshwa na Wakulima Wadogo Wanaozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi na Programu ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchi. Huu ni muhtasari wa ripoti ya utafiti iliyotayarishwa Desemba 2013 kwa lengo la kutoa mapendekezo kwa wawakilishi waliochaguliwa na wananchi kuhusiana na kuleta mabadiliko kwa serikali katika kuongeza msaada katika uwekezaji wa kilimo rafiki wa mazingira na kuwasaidi wakulima wadogo.

Waraka huu unatoa mapendekezo ya jinsi ambavyo serikali inaweza kusaidia kilimo cha wakulima wadogo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi, pia mapendekezo kuhusu elimu na utendaji bora katika kilimo cha wakulima wadogo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi kwa wawakilishi waliochaguliwa na wananchi kuishawishi serikali katika kusaidia miradi inayozingatia mabadiliko ya tabia nchi.

Vipengele muhimu vya kuzingatia katika kuwasaidia Wakulima Wadogo Sehemu hii inalenga kuwasaidia viongozi waliochaguliwa kufahamu baadhi ya maeneo muhimu ambayo yatawasaidia kusukuma mbele ajenda ya kilimo rafiki wa mazingira ili ijumuishwe katika mipango ya maendeleo ya kilimo ya wilaya. Sehemu hii inaangalia mchakato wa Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya kwa kuzingatia miongozo ya serikali, sera zinazohusiana na kilimo na mazingira, na utendaji katika kilimo rafiki wa mazingira [vile vinavyohimizwa na serikali na vinavyofanyika kwa sasa]

Baadhi ya maeneo makuu ya taarifa katika mchakato wa Maendeleo wa Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (DADPs) Imefahamika wazi kutokana na miongozo ya Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya ya Desemba 2007 na toleo la marudio la Desemba 2011 kwamba, msisitizo umewekwa katika kushughulikia mahitaji na vipaumbele vya jamii katika hatua tofauti za mchakato wa maendeleo wa Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (DADP), (kijiji, kata na Wilaya). Lakini mambo yafuatayo yanahitaji kuzingatiwa:

Kwa desturi, ushiriki wa jamii unaonekana ni mdogo katika mchakato wa DADPs.

Mwongozo unatoa orodha ya aina ya wadau wa kilimo wa wilaya wanaostahili kuhusika katika mkutano wa wadau. Katika orodha hiyo kuna wawakilishi kutoka kwa wakulima (kundi vii la orodha). Hata hivyo, mwongozo hautaji idadi ya wakulima.

Page 5: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

3

Idadi ya wawakilishi wa wakulima kwenye mkutano wa wadau haizingatii uwakilishi kutoka makundi maalumu na vipengele vingine kama jinsia, n.k.

Kwa vile mwongozo wa DADP hautaji idadi ya wawakilishi wa wakulima katika mkutano wa wadau wa kilimo katika wilaya na jinsi/vigezo vya kuwapata wawakilishi hao wa wakulima, kuna uwezekano mkubwa uwakilishi wa wakulima ukawa mdogo katika mikutano ya wadau na hivyo kuwa na uhakika mdogo wa kushughulikiwa kwa vipaumbele vya wakulima katika mipango ya DADP kutokana na muktadha wake.

Sauti za wakulima wadogo katika mkutano wa wadau huenda zisisikike kutokana na makundi ya watu walioko kwenye mkutano.

Maelezo muhimu ya kuzingatiwa kuhusu sera zinazohusiana na Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi [CSA]. Utafiti kuhusu: Maandishi ya uzoefu na utendaji mzuri wa kilimo cha wakulima wadogo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi yameonyesha kwamba, sera za sekta mbalimbali nchini Tanzania ziko kimya inapokuja suala la Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi. Hii pengine ni kwa sababu Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi ni dhana mpya.

Utafiti kuhusu: Uchambuzi wa sera kuhusiana na kukabiliana na kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi na Programu ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchi (Redd+) yameonyesha mapungufu makubwa katika sera na utekelezaji wa sera ambao zinahusiana na:

Kutozingatiwa kwa hatari za mabadiliko ya tabia nchi katika sera ambayo pia inajionyesha katika mikakati na programu za utekelezaji.

Kukosekana kwa uelewano na uratibu wa masuala mtambuka hivyo kupelekea kwa juhudi kurudufiwa au kupinzana wakati wa utekelezaji.

Kutokuwepo kwa kuungwa mkono kwa taratibu za majaribio kwa ajili ya kushirikishana faida kati ya jamii, mamlaka za serikali za mitaa na serikali kuu kutokana na shughuli za kupunguza athari katika sekta za kilimo na misitu na

Kukosekana uhakika wa miliki ya ardhi miongoni mwa wakulima wadogo kunaweza kuharibu juhudi zozote za kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi na Programu ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchi katika jamii (REDD+).

Aidha, utafiti wa kupata mapendekezo ya jinsi Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (DADP) zinavyoweza kushughulikia kukabiliana na kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi kuhusiana na wakulima wadogo; kwa ujumla zinaonyesha kwamba:

Mabadiliko ya tabia nchi bado hayajajumuishwa katika utaratibu wa kawaida wa sera, programu na shughuli za baadhi ya sekta. Pia kwamba, hata pale ambapo mabadiliko ya tabia nchi yamejumuishwa katika utaratibu wa kawaida, usimamizi wake unatia mashaka na/au ni mdogo sana.

Page 6: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

4

Kwa ukweli, kwa wastani kuna wataalamu wachache (kwa vigezo vya idadi na ujuzi) wanaoshughulika na ajenda ya kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi, na hii inaweza kuwa moja ya sababu zinazochangia kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi kutokupewa kipaumbele katika mipango ya DADPs kama ilivyoonekana katika mapitio ya mwongozo wa DADPs.

Utashi wa kisiasa mdogo au wa kutia mashaka wa kusukuma masuala ya mabadiliko ya tabia nchi katika programu na miradi ya maendeleo ya kitaifa na serikali za mitaa, hivyo kuachwa katika miradi mingi ya maendeleo.

Kukosekana kwa muunganisho rasmi baina ya kanuni za kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi na kazi za watafiti kwa ajili ya uthibitisho na baadaye kukuzwa na wafanyakazi wa ugani kwa ajili ya kusambazwa katika eneo kubwa na matumizi ya kanuni zilizofanikiwa za kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi.

Page 7: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

5

Kanu

ni z

a ki

limo

bora

zin

azot

umiw

a na

wak

ulim

a w

adog

o Se

hem

u hi

i ina

leng

a ka

tika

kuw

awez

esha

vio

ngoz

i wal

ioch

agul

iwa

kuw

a na

uel

ewa

mzu

ri w

a ki

limo

kina

choz

inga

tia m

abad

iliko

ya

tabi

a nc

hi

(CSA

) pal

e w

alip

o. K

wa

kuzi

ngat

ia h

ilo, v

iong

ozi w

ataw

eza

kuch

agua

na

kush

auri

kanu

ni b

ora

zina

zow

eza

kutu

mik

a ka

tika

maz

ingi

ra y

ao h

ivyo

ku

wez

a ku

zite

tea.

Seh

emu

hii i

nato

a m

chan

gany

iko

wa

kanu

ni z

a CS

A k

atik

a ng

azi z

ote

[Kan

uni z

a en

eo h

usik

a au

za

wen

yeji

na z

ilizo

bore

shw

a au

kuk

ubal

ika

kim

atai

fa].

Kanu

ni z

a ki

limo

rafik

i w

a m

azin

gira

(CSA

) M

aele

zo m

afup

i ya

kanu

ni z

a CS

A

Was

ilish

o ka

tika

pic

ha

Faid

a/uw

ezo

Vikw

azo/

Chan

gam

oto/

ukom

o

Kupu

nguz

a ut

ifuaj

i wa

ardh

i [ku

tum

ia je

mbe

la

Mag

oye]

Utif

uaji

wa

ardh

i una

wez

a ku

fany

ika

kwa

kutu

mia

jem

be la

ku

tiful

ia a

mba

lo h

uvun

ja v

unja

m

abon

ge y

a ar

dhi k

atik

a m

ista

ri ya

kup

andi

a na

kua

cha

nafa

si

kati

ta m

ista

ri bi

la y

a ku

igus

a.

Eneo

lilil

otifu

liwa

huw

a ka

ma

eneo

dog

o la

kuk

usan

ya m

aji y

a m

vua

na k

uong

eza

upen

yaji

wa

maj

i. U

tifua

ji un

awez

a ku

fany

ika

kwa

kutu

mia

trek

ta a

u m

aksa

i.

Huh

ifadh

i maj

i kw

a ku

pung

uza

mvu

kizo

kw

a ku

funi

ka

na m

atan

dazo

, hu

pung

uza

mm

omon

yoko

wa

ardh

i kw

a sa

babu

ud

ongo

wa

juu

umef

unik

wa,

hu

pung

uza

mga

ndam

izo

wa

udon

go, n

a ku

pung

uza

atha

ri za

m

vua

na u

pepo

.

Kam

a ha

ikuf

anyi

ka v

izur

i, m

agug

u ya

nash

inda

na

na z

ao k

uu, u

wez

ekan

o m

kubw

a w

a w

adud

u w

ahar

ibifu

na

mag

onjw

a ya

nayo

toka

na n

a m

abak

i ya

maz

ao, m

boji

hais

amba

zwi k

wa

usaw

a au

hul

undi

kana

kat

ika

udon

go w

a ju

u.

Page 8: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

6

Maz

ao y

anay

ofun

ika

ardh

i H

aya

ni m

azao

am

bayo

kw

a ka

wai

da h

utam

baa

na

haya

shin

dani

i mw

anga

na

zao

kuu.

Hay

a ni

maz

ao a

mba

yo

hupa

ndw

a kw

a le

ngo

la

kufu

nika

udo

ngo

wak

ati n

a ba

ada

ya m

sim

u w

a ku

pand

a kw

a za

o ku

u ili

kup

ungu

za

mm

omon

yoko

wa

udon

go n

a ku

hifa

dhi u

nyev

u.

Huz

uia

mm

omon

yoko

w

a ud

ongo

un

aoto

kana

na

upep

o na

maj

i, hu

jeng

a m

boji

kwen

ye

udon

go (n

yasi

zi

nazo

funi

ka a

rdhi

), hu

inua

ubo

ra w

a m

aji,

huzu

ia m

agug

u, n

a hu

ambi

sha

nitr

ojen

i kw

a za

o lin

alof

uata

(z

ao la

mku

nde

linal

ofun

ika

udon

go).

Chan

gam

oto

za k

utum

ia

mim

ea in

ayof

unik

a ar

dhi

ni p

ale

maz

ao h

ayo

haya

wez

i kut

umik

a ka

ma

chak

ula

au k

ama

haya

na

mat

umiz

i men

gine

, hai

toi

mot

isha

wa

kuto

sha

wa

kuw

eza

kuya

tum

ia.

Pia

mis

imu

inaw

eza

kuw

a ni

cha

ngam

oto

hasa

ka

tika

mae

neo

amba

yo

yana

msi

mu

mm

oja

wa

mvu

a za

mud

a m

fupi

, m

azao

yan

ayof

unik

a ar

dhi y

anaw

eza

yasi

toe

king

a ya

udo

ngo

kwa

mw

aka

mzi

ma.

Kube

rega

na

kuch

oma

mab

aki y

a m

azao

H

ii ni

tekn

oloj

ia y

a as

ili

iliyo

enea

kat

ika

kand

a za

m

asha

riki n

a ka

ti.

Kuto

kuch

oma

mab

aki y

a m

imea

au

maz

ao k

unaw

eza

kuhi

fadh

i udo

ngo

na

unye

vu k

utok

ana

na

kwam

ba m

abak

i hay

o hu

funi

ka u

dong

o,

wak

ati k

utok

ucho

ma

hupu

nguz

a uz

alis

haji

wa

hew

a uk

aa

Inah

itaji

mab

adili

ko y

a fik

ra k

uhak

ikis

ha m

abak

i ha

yach

omw

i.

Page 9: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

7

Mas

him

o ya

Cho

lolo

U

taal

amu

wa

asili

wa

kuvu

na

maj

i ya

mvu

a ul

iobu

niw

a na

ku

teke

lezw

a ka

tika

Man

ispa

a ya

Dod

oma,

hay

a ni

mas

him

o m

adog

o ye

nye

kipe

nyo

cha

sm 2

2 na

kin

a ch

a sm

30,

ya

liyoc

him

bwa

katik

a m

star

i wa

nafa

si y

a sm

60

kati

ya m

ashi

mo

na sm

90

kati

ya m

ista

ri ya

m

ashi

mo.

Mas

him

o ya

Cho

lolo

ya

mez

ungu

shiw

a ud

ongo

ku

zung

uka

mas

him

o ili

kus

aidi

a ku

hifa

dhi

maj

i ya

mvu

a,

mbo

lea

ya w

anya

ma

na m

boji,

na

mbe

gu 1

had

i 2 z

a m

ahin

di/

mta

ma/

uwel

e zi

naw

eza

kupa

ndw

a ka

tika

kila

shim

o.

Inak

uza

kupe

nyez

a kw

a m

aji y

a m

vua,

in

apun

guza

upo

tevu

w

a ud

ongo

, maj

i na

viru

tubi

sho

kuto

ka

sham

bani

, hup

ungu

za

kulu

ndik

ana

kwa

tope

na

ucha

fuzi

(wa

kem

ikal

i za

kilim

o)

mae

neo

ya c

hini

ya

mas

ham

ba.

Kuon

geze

ka k

wa

maj

i ard

hini

kw

ani

maj

i kw

enye

udo

ngo

hupo

tea

ardh

ini h

asa

kwen

ye u

dong

o w

a m

chan

ga .

Hup

ungu

za

mm

omon

yoko

kat

ika

sham

ba le

nye

udon

go

wen

ye m

boji

Maj

i kut

uam

a ku

naw

eza

kuto

kea

katik

a m

isim

u ya

m

vua

kubw

a

Eart

h Ba

sins

/bun

ds.

Ard

hi k

ufuk

uliw

a m

ithili

ya

bes

eni n

a nj

ia n

ying

ine

za k

uvun

a m

aji y

a m

vua

amba

yo in

awez

a ku

wa

katik

a um

bo la

dua

ra, n

usu

duar

a,

pem

be m

raba

au

mst

atili

, ik

izun

gush

iwa

vitu

ta v

ya

udon

go k

wa

mad

hum

uni y

a ku

vuna

maj

i ya

mvu

a kw

a aj

ili

ya m

atum

izi y

a m

mea

. Wak

ati

mw

ingi

ne v

ituta

vya

udo

ngo

hush

ikili

wa

na m

imea

(nya

si,

kund

e)

Page 10: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

8

Hii

ni te

knol

ojia

inay

ofaa

kw

a w

akul

ima

wan

aopa

nda

maz

ao

yao

katik

a m

ipor

omok

o ya

vi

lima

.

Tekn

oloj

ia h

ii in

awez

a ku

chan

gia

katik

a on

geze

ko la

uza

lisha

ji w

a m

azao

pia

kuz

uia

mm

omon

yoko

wa

udon

go; k

ubor

esha

up

enya

ji w

a m

aji n

a m

lund

ikan

o w

a m

boji

Uta

yari

wa

wak

ulim

a ku

tum

ia te

knol

ojia

hii

na

kuac

hana

na

kilim

o ch

ao

cha

asili

Kute

ngen

eza

mbo

ji M

binu

muh

imu

na y

a gh

aram

a na

fuu

kwa

wak

ulim

a w

adog

o ya

ku

reje

leza

mab

aki y

a m

imea

na

wan

yam

a [m

agug

u, m

abak

i ya

maz

ao, m

abak

i yan

ayot

okan

a na

usi

ndik

aji w

a m

azao

, kin

yesi

ch

a m

ifugo

, mko

jo, n

.k.]

Ina

sifa

ya

kuw

a m

bole

a ha

i am

bayo

hu

sisi

mua

viu

mbe

hai

kw

enye

udo

ngo

na

kubo

resh

a m

uund

o w

a ud

ongo

. Pia

ina

faid

a kw

a uw

ezo

wa

mim

ea k

uhim

ili

wad

udu

wah

arib

ifu n

a m

agon

jwa

Vikw

azo

vina

wez

a ku

jum

uish

a up

atik

anaj

i na

ubo

ra w

a m

ali g

hafi,

us

afiri,

ngu

vu k

azi n

a m

aji

Page 11: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

9

Kuch

agua

maz

ao

yana

yow

eza

kuhi

mili

In

ahus

u m

atum

izi y

a ai

na

za m

azao

am

bazo

zin

awez

a ku

him

ili u

kam

e, m

agon

jwa

na

zina

zoko

maa

map

ema.

Inah

akik

isha

kiw

ango

fu

lani

cha

mav

uno

hata

kw

enye

mia

ka

mib

aya

Lich

a ya

uw

ezo

wao

, ch

anga

mot

o ku

bwa

inab

aki k

uwa

uzin

gatia

ji w

a ka

nuni

nyi

ngin

e za

ki

limo

ziliz

open

deke

zwa.

Chan

gam

oto

nyin

gine

ni

kwam

ba a

ina

za m

imea

ya

kie

nyej

i yen

ye u

wez

o zi

napo

tea

[Mm

omon

yoko

w

a ki

jene

tiki]

Kilim

o ch

a U

mw

agili

aji

Tekn

oloj

ia h

ii ni

muh

imu

kwa

kufid

ia u

nyev

u w

akat

i wa

upun

gufu

. Maj

i yan

awez

a ku

patik

ana

kuto

ka k

wen

ye

uvun

aji w

a m

aji y

a m

vua

na

maj

i yan

ayoi

ngia

kw

enye

hi

fadh

i ndo

go/m

abw

awa

yana

yohi

fadh

i maj

i kw

a aj

ili y

a um

wag

iliaj

i wak

ati w

a m

sim

u w

a m

vua

Mira

di m

idog

o ya

um

wag

iliaj

i na

mbi

nu

[pam

pu z

a ku

inua

, m

abw

awa

mad

ogo,

vi

sim

a vy

a ki

na k

ifupi

, m

atan

gi y

a ku

kusa

nya

maj

i ya

mvu

a n.

k.]

amba

zo w

akul

ima

wan

awez

a ku

mud

u hu

wez

a ku

fidia

up

otev

u w

a m

azao

ku

toka

na n

a uk

ame.

Skim

u ku

bwa

za

umw

agili

aji z

inah

itaji

uwez

o w

a uw

ekez

aji n

a us

imam

izi w

a ha

li ya

juu,

am

bazo

kw

a se

hem

u ku

bwa

zina

kose

kana

kw

a w

akul

ima

wad

ogo.

Page 12: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

10

Kilim

o-m

isit

u Ki

limo-

mis

itu k

inah

usis

ha

kupa

nda

miti

ikiju

mui

sha

na

shug

huli

nyin

gine

za

kilim

o,

pam

oja

na m

ifugo

. Spi

shi

tofa

uti z

a m

iti z

inaw

eza

kupa

ndw

a na

ain

a m

balim

bali

za m

azao

kw

a ku

tum

ia m

iund

o m

balim

bali.

Zaid

i ya

kuto

a ch

akul

a ch

a m

ifugo

, kun

i, m

bao,

na

maz

ao

men

gine

miti

kat

ika

mifu

mo

ya k

ilim

o-m

isitu

pia

huk

uza

uhifa

dhi w

a ud

ongo

na

maj

i, hu

onge

za

rutu

ba y

a ud

ongo

, na

hufa

nya

kazi

kam

a ki

nga

ya u

pepo

kw

a m

azao

ya

karib

u.

Uha

ba w

a m

aarif

a kw

a w

akul

ima

katik

a ku

pand

a m

chan

gany

iko

mzu

ri w

a m

iti, m

azao

, mifu

go n

.k.

[kat

ika

uten

daji

halis

i]

Kuru

dish

ia m

isit

u kw

a Ku

pand

a m

iti

Hii

inah

usis

ha k

uhim

iza

jam

ii ku

anzi

sha

mas

ham

ba y

a m

iti a

mba

yo y

anaj

umui

sha

aina

mba

limba

li za

miti

kw

a m

atum

izi t

ofau

ti. V

ingi

nevy

o ja

mii

zina

ham

asis

hwa

kuhi

fadh

i m

isitu

Miti

ni m

uhim

u ka

tika

kuvu

na h

ewa

ya

kabo

ni d

ayok

said

i hi

vyo

inaw

eza

kuw

a nj

ia y

a ku

pung

uza

atha

ri; h

uhifa

dhi

maz

ingi

ra, c

hanz

o ch

a ki

pato

kup

itia

kuuz

a m

azao

yak

e na

ufu

gaji

wa

nyuk

i n.k

.

Kufa

ham

u au

kup

anda

ai

na z

enye

man

ufaa

ni

muh

imu

kwa

mat

umiz

i m

balim

bali

[kw

a m

ahal

i sa

hihi

na

wak

ati]

Page 13: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

11

Mat

umiz

i ya

nish

ati

mba

dala

kam

a uz

alis

haji

wa

Biog

as

na m

atum

izi y

a m

ajik

o ya

nayo

okoa

nis

hati

Tekn

oloj

ia h

izi z

inal

enga

ka

tika

kupu

nguz

a ut

egem

ezi

mku

bwa

wa

miti

kam

a ch

anzo

ch

a ni

shat

i k.m

. Bio

gas k

wa

sehe

mu

kubw

a hu

tum

ia k

inye

si

cha

wan

yam

a ka

ma

mal

i gha

fi w

akat

i maj

iko

yana

yook

oa

nish

ati y

anah

itaji

kuni

cha

che

sana

kw

a w

akat

i mm

oja

Huz

alis

ha n

isha

ti kw

a aj

ili y

a ku

piki

a,

hudh

ibiti

kin

yesi

na

kupu

nguz

a u

zalis

haji

wa

hew

a uk

aa.

Mat

umiz

i ya

maj

iko

yana

yook

oa n

isha

ti ya

tapu

nguz

a uv

amiz

i w

a m

isitu

na

ukat

aji

miti

Biog

as w

akat

i mw

ingi

ne

ni g

hali

kwa

mku

lima

wa

kaw

aida

Mat

uta

yeny

e um

bo la

be

nchi

au

ngaz

i -

Hii

huw

eza

kufa

nyik

a kw

a ku

teng

enez

a ng

azi z

a m

awe,

ng

azi k

uwa

juu,

vis

horo

ba v

ya

mab

aki y

a m

azao

vin

avyo

kata

m

itere

mko

kup

ungu

za u

mba

li w

a m

aji y

anay

otiri

rika

na k

uzui

a ud

ongo

ulio

mom

onyo

ka

katik

a m

star

i wa

maw

e, m

atut

a ya

udo

ngo

au v

isho

roba

vya

m

abak

i ya

maz

ao, a

mba

yo

baad

a ya

mud

a hu

jeng

a m

atut

a m

ithili

ya

ngaz

i.

Kute

ngen

eza

mat

uta

ni

tekn

oloj

ia n

ying

ine

ya K

ilim

o ch

a M

abad

iliko

ya

Tabi

a N

chi

kwa

ajili

ya

kuhi

fadh

i udo

ngo

na m

aji a

mba

yo h

ufan

ya k

azi

vizu

ri ha

sa k

atik

a m

aene

o ye

nye

mte

rem

ko m

kali

Tekn

oloj

ia h

ii in

awez

a ku

chan

gia

onge

zeko

la

uza

lisha

ji pi

a ku

zuia

m

mom

onyo

ko w

a ud

ongo

; kub

ores

ha

upen

yaji

wa

maj

i ar

dhin

i na

mlu

ndik

ano

wa

mbo

ji

Kute

ngen

eza

mat

uta

ni k

azi n

gum

u ka

tika

hatu

a za

aw

ali,

laki

ni

baad

aye

mah

itaji

ya

nguv

ukaz

i yan

apun

gua

kwan

i ni m

aten

gene

zo

tu y

anay

ofan

yika

in

apoh

itajik

a.

Page 14: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

12

Mat

anda

zo

Hii

kwa

kaw

aida

ni t

abak

a do

go k

atik

a m

akut

ano

ya

udon

go n

a he

wa.

Mat

umiz

i ya

mat

anda

zo y

anaw

eza

kuch

ukua

na

fasi

ya

mat

ayar

isho

ya

vita

lu

vya

mbe

gu k

atik

a m

ifum

o ya

ki

limo

amba

po h

akun

a ut

ifuaj

i w

a ar

dhi.

Mat

anda

zo y

a as

ili

amba

yo h

utum

ika

sehe

mu

nyin

gi y

anaj

umui

sha:

taba

ka

la m

ajan

i mak

avu,

mab

aki

ya m

azao

[mab

ua, m

ajan

i, n.

k.],

maj

ani m

abic

hi k

utok

a kw

enye

miti

, mim

ea h

ai [m

azao

ya

nayo

funi

ka a

rdhi

, mbo

lea

ya

kija

ni n

.k.]

Zaid

i ya

kupu

nguz

a ku

chip

ua n

a ku

kua

kwa

mbe

gu z

a m

agug

u, m

atan

dazo

ya

naw

eza

kubo

resh

a ku

kua

na u

shin

dani

w

a m

azao

yal

iyol

imw

a kw

a ku

hifa

dhi u

nyev

u w

a ud

ongo

na

kure

kebi

sha

hali

ya

joto

la u

dong

o

Katik

a ba

adhi

ya

maz

ingi

ra, m

atam

dazo

ya

naw

eza

kuzi

dish

a m

atat

izo

ya m

agug

u.

Mat

anda

zo y

anay

otok

ana

na v

ium

be h

ai k

wa

mfa

no

maj

ani y

aliy

osin

dikw

a (h

ei) k

utok

a vy

anzo

vi

ngin

e vi

sivy

okuw

a vy

a sh

amba

, yan

awez

a ku

beba

mbe

gu z

a sp

ishi

mpy

a ya

mag

ugu

sham

bani

.

Maz

ao a

nuw

ai

Kuju

mui

sha

maz

ao

mch

anga

nyik

o am

bayo

hay

ana

ushi

ndan

i kat

ika

sham

ba m

oja.

Ka

tika

mae

neo

ya m

ilim

ani,

kuan

zish

wa

kwa

maz

ao y

a ku

funi

ka a

rdhi

mw

isho

wa

msi

mu

wa

kupa

nda

ili k

ulin

da

udon

go w

akat

i wa

kian

gazi

in

awez

a ku

fany

ika

kwa

kufa

idik

a na

uny

evu

ulio

baki

.

Kuzu

ia m

mom

onyo

ko

wa

udon

go k

utok

ana

na u

pepo

na

maj

i, ku

onge

za m

boji

ardh

ini (

nyas

i kam

a za

o la

kuf

unik

a ud

ongo

), ku

inua

ub

ora

wa

maj

i, ku

zuia

m

agug

u ya

siot

e n.

k.

Pia

huha

kiki

sha

huko

si

kabi

sa m

azao

Jinsi

ya

kupa

ta n

a ku

pand

a m

chan

gany

iko

mzu

ri w

a m

azao

has

a ka

tika

maz

ingi

ra y

a w

akul

ima

wad

ogo

Page 15: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

13

Ufu

gaji

nyuk

i ka

tika

seh

emu

ziliz

ohifa

dhiw

a

Idad

i na

aina

tofa

uti z

a m

izin

ga

huni

ng’in

izw

a ka

tika

msi

tu a

u sh

amba

la m

iti [

iliyo

pand

wa

na

bina

dam

u au

la a

sili]

U

nahi

fadh

i bi

oanu

wai

Kwa

njia

isiy

o ra

smi

huzu

ia u

vam

izi w

a m

isitu

.

Vyan

zo v

ya k

ipat

o ku

toka

na n

a as

ali

na m

azao

yak

e

Ute

kele

zaji

mdo

go

wa

sher

ia n

dogo

za

maz

ingi

ra k

atik

a ng

azi

ya k

ijiji

Kuvu

na m

aji y

a m

vua

Ni m

uhim

u ka

tika

mae

neo

yeny

e uh

aba

wa

maj

i na

ni m

uhim

u za

idi k

atik

a za

ma

hizi

za

mab

adili

ko y

a ta

bia

nchi

. Kuv

una

maj

i ya

mvu

a ni

uku

sany

aji w

a m

aji

yana

yotir

irish

wa

na m

vua

kwa

mad

hum

uni m

balim

bali.

M

aji y

a m

vua

yaliy

okus

anyw

a ya

naw

eza

kuhi

fadh

iwa

kwen

ye

udon

go a

u ku

kusa

nyw

a kw

enye

hifa

dhi

Muh

imu

katik

a ku

onge

za u

nyev

u w

akat

i wa

kian

gazi

[k

upiti

a m

binu

za

umw

agili

aji w

a m

aton

e] n

a ni

cha

nzo

cha

maj

i kw

a m

ifugo

Kute

gem

ea u

kubw

a w

a en

eo la

kuv

una

maj

i, ni

ka

zi n

gum

u ku

anzi

sha

katik

a ha

tua

za a

wal

i.

Maa

rifa

ya k

iasi

fula

ni

yana

hita

jika

ili k

uanz

isha

m

wel

ekeo

sahi

hi n

a vi

wan

go

Kuan

zish

wa

kwa

mir

adi m

idog

o m

bada

la y

a uz

alis

haji

mal

i kam

a vi

le u

fuga

ji w

a m

buzi

na

kuku

Hiz

i ni a

ina

za sh

ughu

li m

bada

la

za u

zalis

haji

mal

i am

bazo

zi

naw

eza

kufid

ia h

atar

i na

atha

ri zi

nazo

toka

na n

a ha

li ya

hew

a ku

toku

tabi

rika

k.m

. Ufu

gaji

wa

kuku

, ufu

gaji

nyuk

i, m

buzi

, ng

uruw

e n.

k.

Hut

awan

ya h

atar

i ya

kuko

sa k

ipat

o na

ni

uhak

ika

wa

chak

ula

katik

a m

iaka

mib

aya

Baad

hi y

ao z

imek

uwa

chan

zo c

ha

kutu

mai

niw

a ch

a ki

pato

na

lishe

Kufu

ga w

anya

ma

wad

ogo

kuna

hita

ji m

aarif

a na

uj

uzi w

a ku

tosh

a ili

mira

di

hiyo

iwe

na m

anuf

aa.

Page 16: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

14

Ute

ndaj

i mw

ingi

ne w

a w

akul

ima

wad

ogo

Ute

ndaj

iM

aele

zoFa

ida

Mbo

lea

vund

e ai

na y

a M

apam

bano

– Ko

ndoa

D

odom

a

Ch

imba

shim

o le

nye

kina

cha

mita

3 n

a up

ana

wa

mita

2.5

m.

W

eka

taba

ka la

maj

ivu

la u

nene

wa

inch

i 1

chin

i kab

isa

na p

akaz

a kw

enye

kut

a za

pe

mbe

ni h

adi n

usu

futi

kuto

ka c

hini

Ong

eza

taba

ka la

nya

si k

ama

nusu

futi

kuto

ka c

hini

Ende

lea

na o

ngez

a m

abak

i ya

vium

be h

ai

hadi

shim

o lim

ejaa

takr

iban

i nus

u m

ita

kuto

ka u

saw

a w

a ar

dhi.

Zaid

i ya

mab

aki y

a vi

umbe

hai

yal

iyow

ekw

a kw

enye

shim

o,

mte

ngen

ezaj

i ana

onge

za p

ia m

aji m

acha

fu

yana

yoto

kana

na

shug

huli

za n

yum

bani

na

mko

jo w

a w

anya

ma.

Li

napo

jaa,

mch

anga

nyik

o hu

u w

a m

abak

i ya

vium

be h

ai h

ufun

ikw

a na

ta

baka

la m

ajiv

u na

kuf

uatiw

a na

taba

ka

dogo

la n

yasi

za

mal

isho

. Maj

i mac

hafu

ya

nayo

toka

na n

a sh

ughu

li za

nyu

mba

ni

yana

ende

lea

kuon

gezw

a ili

kuf

anya

liw

e na

un

yevu

Baad

a ya

mie

zi 5

had

i 6, m

bole

avun

de

iko

taya

ri ku

tum

ika.

Mat

okeo

yak

e ni

m

chan

gany

iko

wa

udon

go w

enye

rang

i ya

kaha

wia

iliy

opau

ka h

adi k

ijivu

.

Wak

ati w

a m

sim

u w

a ku

pand

a,

mbo

leav

unde

hut

umik

a kw

a ki

pim

o ch

a ¼

ha

di ½

lita

kw

a ki

la sh

imo

la k

upan

dia.

Ku

onge

zeka

kw

a m

avun

o ya

mah

indi

had

i gu

nia

20 k

wa

eka

Ku

onge

zeka

kw

a ki

pato

ch

a pe

sa

Ka

ya z

ina

uhak

ika

wa

chak

ula

Page 17: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

15

Kuba

dili

mto

w

a m

chan

ga

kuw

a ar

dhi y

a ki

limo–

Kon

doa

Dod

oma

Ki

tu c

ha k

wan

za n

i kuc

him

ba m

ashi

mo

yeny

e um

bo la

mst

atiri

.

Baad

a ya

kufi

kia

udon

go w

a ka

wai

da,

onge

za m

bole

avun

de k

uong

eza

rutu

ba

ya u

dong

o kw

ani b

aadh

i ya

viru

tubi

sho

vim

echu

kuliw

a na

maj

i yan

ayot

iririk

a

Funi

ka m

bole

avun

de n

a ud

ongo

wa

kaw

aida

na

pand

a m

begu

. Baa

da

ya m

begu

kuc

hipu

a na

kad

ri m

iche

in

avyo

staw

i, ru

dish

ia m

chan

ga k

ujaz

a m

ashi

mo

hadi

usa

wa

wa

mch

anga

au

hadi

m

mea

una

poto

a m

aua.

Katik

a ha

tua

hii,

iliyo

baki

ni k

uvun

a kw

ani

mm

ea h

auhi

taji

kum

wag

iliw

a m

aji a

u ku

palil

ia. W

akat

i mw

ingi

ne v

iuad

udu

vina

hita

jika

kutu

mik

a

Ku

wez

a ku

badi

li m

to w

a m

chan

ga k

uwa

ardh

i ya

kilim

o

Ku

onge

zeka

kw

a uz

alis

haji

na k

ipat

o ch

a pe

sa k

wa

kila

kip

ande

cha

en

eo

Mbi

nu z

a U

mw

agili

aji w

a as

ili il

i kuo

ngez

a U

zalis

haji

wa

Maz

ao –

M

ufind

i Iri

nga

Jum

la y

a m

ianz

i 50

hadi

60

hula

zwa

kwen

ye

mife

reji

na k

ufuk

iwa.

Mab

omba

hay

a hu

wez

esha

mtir

iriko

wa

maj

i kufi

ka sh

amba

ni.

Wak

ati w

a um

wag

iliaj

i hal

isi,

vipa

nde

vya

bom

ba z

a pl

astik

i huf

ungw

a kw

enye

mau

ngio

ka

ti ya

mab

omba

ya

mia

nzi n

a uw

azi i

li ku

rahi

sish

a um

wag

iliaj

i

Ubu

nifu

huu

um

ewez

esha

ku

mw

agili

a m

boga

na

maz

ao m

engi

ne k

wa

maf

anik

io k

atik

a sh

amba

la

eka

3 kw

a m

wak

a m

zim

a.

Page 18: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

16

Mapendekezo kwa vyombo vya serikali katika kusaidia Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi:

Mapendekezo kuhusu “mchakato” wa kutayarisha mipango ya maendeleo inayohusiana na Kilimo Kwa kufanya utafiti kutoka kwenye tafiti mbalimbali, viongozi wa kuchaguliwa wanaweza kukumbana na mapendekezo yafuatayo kuhusiana na kuboresha mchakato wa kutayarisha mipango ya kilimo hususani Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (DADP) inayozingatia Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi.

Kwa kujua kwamba dhana ya Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi haifahamiki vyema kwa wadau wengi katika ngazi ya wilaya, viongozi wa kuchaguliwa watahitaji kutoa ushauri/kufanya mapitio ya Timu ya Uwezeswhaji ya Wilaya. Huu ushauri/mapitio unaweza kulazimisha kupendekeza kigezo cha uwakilishi pamoja na mambo mengine, kuwa na ujuzi na uzoefu wa kutosha katika masuala yanayohusiana na mabadiliko ya tabia nchi. Wazo lililopo hapa ni kuhakikisha kunakuwepo kwa jumuisho la kitaalamu linalotoa matokeo ya kukabiliana na kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi na Programu ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchi katika jamii (REDD+) katika mipango mingi ya DADPs,

Viongozi wanashauriwa kutetea uwepo wa rasilimali za kutosha kwa ajili ya kujenga uwezo wa miradi ya Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi (k.m. kutoa mafunzo ya vitendo, kuunda vikundi/vilabu vya jamii vya mazingira na kukutana nao mara kwa mara, kutembelea jamii nyumbani/eneo la mradi na miradi ya kuamsha ufahamu katika ngazi ya vijiji na vitongoji katika masuala yanayohusiana na mabadiliko ya tabia nchi na kukabiliana nayo na kupunguza athari katika Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Kijiji (VADP) ambayo hutumika kutengeneza DADPs

Mchakato wa sasa wa kutayarisha DADPs unazingatia idadi ndogo ya sera zinazohusiana na kilimo. Ushauri unaotolewa hapa ni kwamba mipango hiyo hiyo ipanuliwe ili kujumuisha sera na programu mtambuka kama vipengele muhimu katika kutayarisha mipango inayogusa Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi, kama vile Sera ya Mazingira, Sera ya Maji, Misitu, Sera ya Ardhi na sheria zinazohusika ambazo hazizungumziwi vya kutosha katika mipango ya DADPs.

Viongozi wa kuchaguliwa waone kwamba, uwakilishi makini wa wakulima wadogo katika majukwaa ya wadau wa wilaya unakuwepo [rejea sehemu 2.1 ya mwongozo wa maendeleo ya DADPs– 2011]. Mwongozo hautamki idadi wala vigezo vya kuwapata wawakilishi wa wakulima, ukizingatia ukubwa wa vijiji, kata katika kila moja ya wilaya zinazolengwa.

Baadhi ya fursa ambazo viongozi wa kuchaguliwa wanaweza kutumia katika kunadi na kuunga mkono ajenda yao ya Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi inaweza kujumuisha yafuatayo:

Asili ya ugatuzi wa shughuli za programu ambayo inaweza kuwezesha au kuruhusu jamii kujumuisha masuala ya Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi na Programu ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchi katika jamii (REDD+) kwenye shughuli zao za kipaumbele kama watakuwa na ufahamu huo.

Mikakati na programu za maendeleo zihimize ubia wa sekta binafsi ambao unaweza kutoa fursa kwa uwekezaji wa ubia na kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi hasa kwenye Programu ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchi katika jamii (REDD+) iwapo jamii itakuwa imewezeshwa vyema.

Page 19: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

17

Kujenga uwezo na kutaasisisha ambako kutatoa miundo katika ngazi ya kijiji kwa ajili kukuza uwekezaji katika Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi na Programu ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchi katika jamii (REDD+).

Kuna uwezekano wa kuongeza uzalishaji wa chakula, uhakika wa chakula na kipato cha kaya za wakulima wadogo iwapo watajumuishwa katika programu ya SAGCOT ya AGG. Hii itapunguza shinikizo la kupanua kilimo hivyo kuepuka ukataji wa misitu na uzalishaji wa hewa ukaa.

Fursa za faida na kipato kwa jamii kwa kuwekeza katika kilimo-hifadhi na hifadhi za maliasili.

Mapendekezo ya sera Sehemu hii inatoa baadhi ya mapendekezo ambayo viongozi wa kuchaguliwa wanaweza kuyatumia kutetea hoja zao, kwa madhumuni ya kuboresha mazingira ya sera ambazo zinajumuisha dhana na utendaji unaohusiana na Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi. Baadhi ya mapendekezo haya ni pamoja na mambo yafuatayo [ijapokuwa yanaweza kuwa zaidi ya haya]:

Viongozi wa kuchaguliwa wanaweza kuwezesha mapitio na kurasimishwa kwa ubunifu unaohusiana na kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kuwa sera ambazo zitafanya kazi kama kichocheo chenye nguvu kwa wakulima kushiriki. Hapa, mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yana wajibu muhimu katika kujenga ufahamu na kuwapatia wakulima teknolojia stahiki.

Kama sehemu ya maamuzi ya sera mbalimbali, viongozi wa kuchaguliwa wanaweza kuhakikisha kwamba mipango ya DADPs [iliyounganishwa na sekta zinazohusiana], inatumika kuwezesha utayarishaji wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Kijiji (VLUPs) ambayo inaweka mipaka iliyo wazi katika maeneo ya makazi, ardhi ya mifugo, ardhi ya kilimo na ardhi ya akiba. Hii itapunguza na kudhibiti baadhi ya tabia mbaya ambazo si rafiki kwa hali ya hewa/ekolojia kwa mfano kuchoma moto vichaka, kilimo cha kuhamahama, kukata miti n.k. Hii pia itahimiza kuanzishwa na kuhifadhiwa kwa misitu ya kijiji na hivyo kusaidia miradi ya Mabadiliko ya Tabia Nchi (REDD).

Viongozi wa kuchaguliwa watekeleze au wanapaswa kutekeleza wajibu muhimu wa kusimamia sheria husika ambazo moja kwa moja au kwa njia nyingine zinahusiana na Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi.

Baadhi ya mbinu za kujumuisha kukabiliana na kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi katika sera, programu na mipango ya kisekta zinaweza kuwa na mambo yafuatayo:

Viongozi wa kuchaguliwa wanaweza kuchukua jukumu la kuratibu na kuhakikisha kwamba ni sharti kwa wizara, idara na wakala wa sekta za mabadiliko ya tabia nchi, wafadhili na wadau muhimu katika ngazi ya sekta kuchukua hatua za kuhakikisha kwamba kukabiliana na kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi na vipaumbele vya mpango wa REDD+ vilivyoanzishwa katika ngazi ya taifa, zinarasimishwa katika sera, mikakati, programu na mipango husika ikiwemo mipango ya DADPs.

Kuongeza motisha na vichocheo miongoni mwa wadau wa mabadiliko ya tabia nchi kushirikishana na kuchangia uzoefu wao katika mchakato wa kutayarisha mipango ya DADPs. Hii inaweza kufanikishwa kupitia mambo yafuatayo:

Page 20: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

18

Kutayarisha sera makini au mazingira ya uwezeshaji ambayo yanalenga katika kukuza utendaji katika mbinu zenye mafanikio za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi katika ngazi ya shamba, kuwezesha kushirikishana habari na uzoefu, na njia za kutekeleza utendaji wa kukabiliana na mabadiliko katika njia ambayo wakulima wanamudu. Sera, Sheria na Taratibu katika ngazi za taifa na wilaya zinahitaji kutambua ubunifu unaofanywa na wakulima vijijini na kuukuza.

Kuboresha matumizi ya mitandao ya mawasiliano na vyombo vya habari vinavyoibukia vyenye maslahi katika mabadiliko ya tabia nchi ili kuinua ufahamu na kuongeza madai ya ndani kwa shughuli za mabadiliko ya tabia nchi.

Mapendekezo kuhusu utendaji katika Kilimo Kinachozingatia Mabadiliko ya Tabia Nchi (C3S) Wakiwa wawakilishi na/au watetezi wa jamii wanazowakilisha, viongozi waliochaguliwa wanaweza kufanya kampeni, kushawishi na ikiwezekana kutumia nguvu zao za kisiasa kushawishi sio mbinu zote za kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi, bali zile ambazo wakulima wanamudu na zinazofaa kutumika katika maeneo husika. Baadhi ya mbinu hizo za kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi ambazo zinaweza kutumika na ambazo wakulima wadogo wanaweza kumudu kwa kuzingatia nguvu, uwezo na faida zilizoainishwa katika matriki hapo juu, zinaweza kujumuisha mambo yafuatayo [ijapokuwa yanaweza kuwa zaidi ya haya]:

i. Kanuni za usimamizi wa udongo na virutubisho: Kutengeneza mboji na matumizi yake: Kuboresha utunzaji na kuinua ubora wa mbolea ya

wanyama. Mbolea ya wanyama inatakiwa ihifadhiwe chini ya kivuli, ikingwe dhidi ya mwanga wa jua wa moja kwa moja na mvua ili kupunguza uzalishaji wa hewa ya Naitrojeni. Mbolea ihifadhiwe na kuiacha ioze na kupunguza joto kabla ya kutumika shambani ili kupata manufaa makubwa zaidi. Inapotumika shambani ifunikwe na udongo au ichanganywe na udongo ili kupunguza uzalishaji wa gesi ukaa na upotevu wa Naitrojeni.

Matumizi ya mbolea: Katika kilimo cha asili cha wakulima wadogo, hii inamaanisha matumizi

ya kinyesi cha wanyama kwa ajili ya kuboresha mboji na muundo na sifa za udongo – pointi muhimu hapa mi kwamba, ni mbinu ya asili ambayo wakulima wanaimudu na inayotumika sehemu nyingi

Kujumuisha mbolea ya kilimo hai na za kiwandani kwa ajili ya uzalishaji wa mazao, matumizi ya mbolea hizi katika wakati na kipimo kinachofaa kulingana na mahitaji ya zao husika ni muhimu. Mbolea zinazotokana na wanyama zinaweza kutumika kwa kuchanganywa na mbolea za kiwandani za fosfeti wakati wa kupanda na mbolea zenye Naitrojeni zinaweza kutumika kwa kiwango kidogo wakati wa kutifua ardhi.

ii. Kanuni za kusimamia mmomonyoko wa udongo na hifadhi ya maji Kutengeneza matuta: ni teknolojia ya Kilimo-Hifadhi kwa ajili ya kuhifadhi udongo na

maji ambayo hufanya kazi vizuri katika maeneo yenye mteremko mkali. Matuta hujengwa kwa kutengeneza visharoba vya mawe na udongo vyenye mifereji au pasipo mifereji ili kutengeneza maeneo ya ardhi yanayofanana na ngazi.

Mtaro kwenye kontua: ni njia nyingine ya kuvuna maji ya mvua shambani, ambapo mitaro na matuta hutengenezwa kukata mteremko (sambamba na kontua) mtaro ukiwa juu ya

Page 21: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

19

mteremko na tuta likiwachini ya mteremko pakiwa na nafasi ya takribani mita 1.5. Mitaro hii inatumika kuzuia maji ya mvua na hutumika kuzuia maji yasitoke nje ya mitaro. Mitaro kwenye kontua inafaa katika kilimo mseto hasa nafaka na maharage.

Mfumo wa mashimo ya Ngoro/Matengo: Mashimo ya Ngoro/Matengo ni nija za wenyeji za kuhifadhi maji kwenye udongo ambayo huboresha rutuba ya udongo na mavuno ya mazao, mfumo huu hupatikana katika milima yenye miteremko mikali ya Wilaya ya Mbinga, Kusini Magharibi mwa Tanzania. Nyasi zilizofukiwa katika shimo la Ngoro, zinapooza huongeza rutuba ya udongo, shimo huvuna maji ya mvua na kupunguza mmomonyoko.

Mashimo ya Chololo. Chololo ni njia nyingine ya wenyeji kuvuna maji ya mvua shambani, iliyotayarishwa na kutumika katika wilaya ya Dodoma Vijijini, njia hii inajumuisha mashimo madogo yenye kipenyo cha sm. 22 na kina cha sm 30, yaliyochimbwa kufuata mstari wa nafasi ya sm 60 kati ya shimo na shimo na sm 90 kati ya mistari ya mashimo.

Kuweka matandazo: huu ni utaratibu muhimu kwa ajili ya kuboresha hali ya hewa ya udongo; kukuza maisha ya udongo, muundo na rutuba. Zaidi ya faida hizi, huhifadhi unyevu wa udongo; kupunguza kukua kwa magugu, kupunguza uharibifu kutokana na athari za mionzi ya jua na mvua [kudhibiti mmomonyoko] na kupunguza haja ya utifuaji wa ndani zaidi wa udongo.

Mikakati ya kudhibiti mmomonyoko: kupunguza mtiririko wa maji kwa kutumia vishoroba vya mabaki ya mimea, kuelekeza maji yanayotiririka kuelekea eneo la hifadhi, kuzuia maji yasipotee kwa kupanda nyasi sambamba na barabara za vijijini, njia za miguu na njia za uchungaji, kupunguza na kuzuia makorongo kwenye milima.

Kuvuna maji ya mvua na hifadhi ya maji katika maeneo ya hifadhi: hutoa maji kwa ajili ya umwagiliaji wakati wa kipindi kirefu cha ukame na kwa ajili ya uzalishaji wa mazao yenye thamani kubwa kama vile mboga.

Kupanda mazao kwenye vishoroba: huu ni utaratibu ambapo wakulima wanapaswa kupanda mazao yao kwenye miteremko. Mazao hupandwa katika mistari mwembamba kukata kontoua kwenye kilima. Vishoroba vya ardhi kati ya mistari huachwa bila ya kutifuliwa na nyasi za asili, hii hupunguza kasi ya mtiririko wa maji ya mvua kuelekea chini ya mteremko na huzuia yasiondoe udongo wa juu. Maji mengi zaidi hupenya kwenye udongo na kuleta unyevu kwa mazao.

iii. Kanuni za kudhibiti wadudu waharibifu na magonjwa Kilimo mseto: kilimo hiki huhusisha kupanda mazao mawili au zaidi kwa wakati mmoja

kwenye shamba hilo hilo. Kilimo hiki ni shadidi kwa vigezo vya muda na nafasi. Utafiti umeonyesha kwamba kilimo mseto kina athari chanya kwa kigezo cha kudhibiti kutokea kwa wadudu, magonjwa na magugu.

Kubadilisha mazao: Utaratibu wa kupanda mazao tofauti katika kipande hicho hicho cha ardhi katika utaratibu wa kurudiarudia mazao hayo. Ina maana utaratibu uliopangwa wa mazao mahususi yanayopandwa katika shamba hilo hilo. Kubadilisha mazao kunapendekezwa ili kupata uanuwai wa mazao, kupunguza matukio ya wadudu waharibifu na magonjwa ya zao mahususi

Page 22: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

20

Anuwai ya mazao: Kilimo cha zao moja tu kuna hasara nyingi kama vile kuongeza matukio ya wadudu waharibifu na magonjwa, mfumo wa mizizi unaofanana hupelekea katika muundo dhaifu wa udongo na hatimaye uzalishaji wa chini. Ili kufanya uzalishaji wa mazao kuwa endelevu, kilimo cha mazao anuwai kinapendekezwa katika maeneo ya milimani.

iv. Matumizi ya mbegu bora zinazoweza kutumika katika kanda maalumu za kilimo kiekolojia [Mazao na aina zinazohimili hali ngumu]: Kuchagua mazao na aina za mazao ni jambo la msingi sana katika uzalishaji wowote wa mazao. Ukichukulia athari za mabadiliko ya tabia nchi, mazao yanayokomaa kwa muda mfupi/aina zinazokomaa mapema yana uwezekano mkubwa wa kuhimili mabadiliko ya tabia nchi na kupunguza hatari ya mazao kushindwa kukua kutokana na kukosa unyevu. Kwa ujumla, aina bora za mimea ambazo zinahimili magonjwa na wadudu waharibifu zinapaswa kupandwa katika maeneo haya.

v. Kuchagua, Kuhifadhi na Kuboresha rasilimali za Kijenetiki Bila ya kuhatarisha miradi na juhudi za watafiti, kuimarisha uwezo wa jamii kusimamia rasilimali

za kijenetiki [upatikanaji na kuhifadhi aina na mbegu za kienyeji, kutunza na kuhifadhi mbegu] ni muhimu kadri utendaji wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi unavyohusika. Iwapo wana sayansi, mawakala wa serikali na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yatashirikiana na wakulima katika kujaribu kuboresha uchaguzi, uhifadhi na usambazaji wa rasilimali za kijenetiki, usimamizi wa vitu hivi unaweza kuleta manufaa na kuwa hai.

vi. Mifumo ya kilimo jumuishi Kilimo jumuishi cha mimea – mifugo – samaki Kilimo – misitu katika maeneo/misitu iliyohifadhiwa

Vii. Nishati mbadala: Kufunga mitambo/vitengo vya Biogas Kufunga vifaa vya nishati ya jua Matumizi ya majiko yanayookoa nishati [kutumia kuni kidogo kwa kila shughuli ya kupika].

Kwa Mawasiliano zaidi, wasiliana Na

Actionaid TanzaniaPlot No. 115,Ngorongoro streetMikocheni B AreaP.O.BOX 21496,Dar es salaam, TanzaniaEmail: [email protected]: www.actionaid.org/tanzania

Page 23: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

21

Page 24: MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI …...1 Toleo hili limetayarishwa na Mradi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi, Kilimo na Kupunguza Umasikini Tanzania. Juni 2014. MAPENDEKEZO KWA WAWAKILISHI WALIOCHAGULIWA

22