6
KATALOGI YA AINA MBALIMBALI ZA MBEGU KWA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MAENEO UTAFITI WA DUNIA WA ...UTUNZAJI WA MAHINDI PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana “MKOMBOZI” Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali

  • Upload
    others

  • View
    6

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: MAPENDEKEZO YA MAENEO UTAFITI WA DUNIA WA ...UTUNZAJI WA MAHINDI PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana “MKOMBOZI” Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali

MAPENDEKEZO YA MAENEO

www.pannar.com

K ATA L O G I YA A I N A M B A L I M B A L I

Z A M B E G U K WA

T A N Z A N I A

InhlanyeloPAN 4M-19, PAN 63, PAN 67, PAN 6549

PAN 4M-19, PAN 63, PAN 67, PAN 6549

PAN 67

PAN 67, PAN 691

PAN 691

Pannar Seed (Tanzania) LimitedPO Box 10677, Arusha, Tanzania

Tel: +255 (0)27 250 4669 l Fax: +255 (0)27 254 4669E-mail: [email protected]

UTAFITI WA DUNIA WA UWEZO WA MAENEO

Pannar Seed TanzaniaLtd, ni Kampuni ya mbegu iliyosajiliwa hapa Tanzania na pia ni mwanachama wachama cha wafanya biashara ya mbegu (Tanzania Seed Trade Association) TASTA.

Tangu mwaka wa 1994 tulivyoanza kujihusisha na shughuli za mbegu hapa Tanzania tumefanikiwa kusajili mbegu kadhaa za mahindi na alizeti ambazo zina ubora wa hali ya juu na zenye kufaa mazingira ya Tanzania. Pannar Seed Tanzania Ltd ni kampuni tanzu ya kampuni ya kimataifa ijulikanayo kama Pannar Seed (Pty) Ltd yenye makao makuu huko Greytown Africa ya Kusini. Pannar Seed (Pty) Ltd ilisajiliwa kwa mara ya kwanza huko Afrika ya kusini mnamo mwaka wa 1958.

Kampuni ya Pannar imefanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na Taasisi mbalimbali za Serikali, hususan zile ambazo zipo chini ya Wizara ya Kilimo katika kuhakikisha kuwa inazalisha mbegu zenye ubora wa juu zenyekufaa soko la Tanzania na Jumuia ya Afrika mashariki kwa ujumla. Baadhi ya Taasisi hizo ni TOSCI, TPRI pamoja na vituo vya utafiti wa mazao vya Selian, Uyole na Ilonga.

Ili kukuwezesha kufanya uamuzi sahihi kuhusu mbegu inayofaa mazingira yako, kampuni ya Pannar inaambatanisha picha kwenye maelezo ya kila aina ya mbegu. Picha hizo zinaonyesha zile sifa muhimu za kila aina ya mbegu. Pia tumeambatanisha ramani ya Tanzania inayoonyesha mikoa na aina ya mbegu inayopendekezwa kwenye mikoa hiyo.

Panda mbegu bora za Pannar msimu huu na ujionee mwenyewe kuwa kwa kutumia mbegu bora, una uhakika wa kuvuna, hata katika mazingira magumu.

Page 2: MAPENDEKEZO YA MAENEO UTAFITI WA DUNIA WA ...UTUNZAJI WA MAHINDI PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana “MKOMBOZI” Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali

UTUNZAJI WA MAHINDI

PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana

“MKOMBOZI”

Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali ya ukanda wa chini na kati wenye mvua kidogo na inavumilia sana ukame. Mbegu hii ndiyo mkombozi wa uhakika na itakufanya uepukane na njaa haswa katika kipind hiki ambacho hali ya hewa haitabiriki.Mkulima mwenye busara huchaguaPAN 4M-19 (MKOMBOZI).

• Punje zake ni ngumu na zinakoboleka vizuri. Haishambuliwi na wadudu kwa urahisi

• Inafaa kwenye maeneo mengi yenye hali mbaya ya hewa hasa ukame

• Inavumilia sana magonjwa ya majani• Ni matamu sana kwa kuchoma• Inakomaa mapema sana: Siku 90 - 100

PAN 6549 Inakomaa mapema

Aina hii inapendekezwa kwa sehemu za ukanda wa kati zenye uhaba wa mvua au maeneo ya ukanda wa chini na sehemu ambako mbegu chotara inayokomaa haraka itahitajika.

• Ina punje nzuri sana na inavumilia udongo wenye tindikali• Ina mavuno mazuri yasiyoyumba kwenye hali ya hewa nzuri au

mbaya• Ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili• Ina uotaji mzuri na inakoboleka vizuri• Inavumilia sana magonjwa ya kuozesha suke• Ina uwezo wa kutoa kiasi cha magunia 30 kwa ekari moja• Inakomaa siku 100 - 115

PAN 63 Inakomaa muda wa kati

Mbegu mpya aina ya chotara inayokomaa muda wa kati na yenye punje ngumu zinazokoboleka vizuri. Mbegu hii ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili, mabua yake hayaanguki kwa urahisi na inavumulia sana magonjwa ya majani. PAN 63 inatoa mavuno mengi hata kwenye mazingira magumu.

• Inazaa sana na mabua yake hayaanguki kwa urahisi• Punje ngumu, zinakoboleka vizuri hazishambuliwi na wadudu kwa

urahisi• Ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili• Mahindi yake yamefunga vizuri hivyo hayashambuliwi na wadudu

kwa urahisi• Mahindi yakishakauka yanageukia chini hivyo hata mvua ikiwa

nyingi punje haziozi• Inavumilia sana magojwa ya majani ikiwemo ugonjwa wa milia na

“GLS”• Inatoa wastani wa magunia 35 kwa ekari moja• Inakomaa siku 115 – 125

UTUNZAJI WA MAHINDI

PAN 67 Inakomaa muda wa kati

Mbegu hii ni habari njema kwa wakulima wadogo wadogo. Inapendekezwa kwa maeneo ya ukanda wa kati.

• Ni mbegu chotara ya ukanda wa kati inayotoa mavuno mengi• Inavumilia sana ukame, udongo wenye tindikali na wenye

rutuba kidogo• Inavumilia sana ugonjwa wa milia• Inavumilia sana magonjwa ya majani ikiwemo GLS”• Punje hazikubonyea hivyo inakoboleka vizuri• Ina ladha nzuri (Kwa kuchoma au unga)• Ina uwezo wa kutoa kiasi cha magunia 30 kwa ekari moja• Inakomaa siku 115 - 125

PAN 691 Ukanda wa juuNi mbegu chotara ya ukanda wa juu iliyosubiriwa kwa muda mrefu, yenye ubora wa kiwango cha juu.

• Ina sifa ya kubaki na rangi ya kijani kwa muda mrefu• Inavumilia sana magonjwa ya majani ikiwemo (GLS) na ugonjwa

wa kutu• Inazaa hindi moja kubwa lenye punje zenye ukubwa wa wastani

zilizobonyea kidogo• Ina uotaji mzuri• Ni mbegu chotara pekee ya ukanda wa juu inayokomaa haraka• Inakomaa siku 150 - 160

MWONGOZO WA KUFAA WAKULIMA WETUKabla ya kupanda hakikisha kwamba shamaba limetayarishwa vizuri na haina mabonge au mashina ya mabua, kwani hali hii yaweza kuathiri uotaji wa mbegu. Unashauriwa kupanda mapema wakati wa mvua za kwanza za msimu na kupanda zaidi ya aina moja ya mahindi chotara yanayokomaa kwa wakati tofauti. Idadi ya chini ya mimea (35,000 - 40,000 kwa hektari) inaweza kukupatia mavuno mazuri ikiwa utapanda mahindi yanayotoa mahindi mawilimawili kwenye eneo lenye hali nzuri ya hewa.

Utumiaji wa mbolea wakati wa kupanda au mara tu baada ya kupanda, na baadae kuweka mbolea ya kukuzia wakati mimea ikiwa usawa wa magoti,na baadae wiki moja kable ya mahindi kutoa mbelewele ikiambatana na palizi nzuri pamoja na kuzuia magonjwa au wadudu wakati wote wa msimu itakupa uhakika wa kupata mavuno mazuri.

NAFASI ZA KUPANDA SHAMBANIIdadi ya mimea hutofautiana kutoka shamba moja hadi jingine au ardhi kwa ardhi, kwa hiyo idadi ya mimea itategemea hali ya hewa kwenye eneo lako pamoja na ukanda ulioko. Pendekezo la mimea 30,000 hadi 55,000 kwa hekari ni mwongozo ufaao.

Idadi kubwa ya mbegu za mahindi za Pannar hutoa mahindi mawili-mawili, hivyo usipande idadi kubwa ya mimiea. Idadi ya chini (mimea 35,000 kwa hektari itakupatia mavuno mengi katika hali nzuri ya hewa, kwa vile asili kubwa ya mimea itakupa mahindi mawili-mawili.

MBEGU ZA MBOGAMBOGA

Starke AyresMbegu zilizotafitiwa na kuaminika

Kitengo cha kampuni ya Pannar cha mbegu ndogondogo “Starke Ayres” Kimeanzishwa zaidi yamiaka 100 iliyopita na kina heshimika kweli kweli katika wadau wa mbegu dunia nzima. Starke Ayres inajishughulisha na kuzalisha na kutathmini aina mbalimbali mpya za mbegu za mbogamboga, maua na manyasi/malisho ya mifugo.

Miundo mbinu ya Starke Ayres inawezesha kuuza bidhaa zao vizuri katika masoko makuu yaliyopo Afrika kusini. Vilevile mbegu zinauzwa katika masokoya kimataifa. Aina zinazofanya vizuri zinachunguzwa kwa kina na kufanyiwa tathmini na zile zinazoonekana kuwa ni nzuri zaidi ndizo zinazopitishwa /ruhusiwa kusambazwa.

Aina za mbegu za mbogamboga za kawaida:

Maboga (Flat white Boer, STAR 7001, Waltham)Letusi (Commander, Great Lakes)Biringanya (Black Beauty)Beet (Detroit Dark Red)Vitunguu (Pyramid, Red Creole, Texas Early Grano)Karoti (Chantenay, Ideal Red, Kuroda, Nantes Ideal)Coriander (Coriander)Chainizi kabeji (China Granat, Tronchuda Tronchuda)

Koliflawa (Snowcap, Wallaby)Njegere (Greenfeast)Spinachi (Fordhook Giant)Maharage (Contender, Provider, STAR 2000, STAR 2052)Matikiti maji (Crimson Sweet, Sugar Baby)Sweet melon (Honey Dew)Sukuma (English Giant)Matango (Ashley)Pilipili (California Wonder, Piripiri)Bamia (Clemson Spineless)Kabichi (Cape Spitz, Copenhagen, Drumhead)Parsley (Moss Curled, Plain)

Nyanya (Floradade, Heinz, Moneymaker, Rodade, Roma VF, Cal J)

Mbegu za Mbogamboga chotara :

Kabichi (STAR 3317)Nyanya (STAR 9062, STAR 9003)

Mimea kwa hektari

Nafasi ya mimea katika mstari

30,000 37 cm35,000 32 cm40,000 27 cm45,000 25 cm55,000 20 cm

Page 3: MAPENDEKEZO YA MAENEO UTAFITI WA DUNIA WA ...UTUNZAJI WA MAHINDI PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana “MKOMBOZI” Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali

UTUNZAJI WA MAHINDI

PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana

“MKOMBOZI”

Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali ya ukanda wa chini na kati wenye mvua kidogo na inavumilia sana ukame. Mbegu hii ndiyo mkombozi wa uhakika na itakufanya uepukane na njaa haswa katika kipind hiki ambacho hali ya hewa haitabiriki.Mkulima mwenye busara huchaguaPAN 4M-19 (MKOMBOZI).

• Punje zake ni ngumu na zinakoboleka vizuri. Haishambuliwi na wadudu kwa urahisi

• Inafaa kwenye maeneo mengi yenye hali mbaya ya hewa hasa ukame

• Inavumilia sana magonjwa ya majani• Ni matamu sana kwa kuchoma• Inakomaa mapema sana: Siku 90 - 100

PAN 6549 Inakomaa mapema

Aina hii inapendekezwa kwa sehemu za ukanda wa kati zenye uhaba wa mvua au maeneo ya ukanda wa chini na sehemu ambako mbegu chotara inayokomaa haraka itahitajika.

• Ina punje nzuri sana na inavumilia udongo wenye tindikali• Ina mavuno mazuri yasiyoyumba kwenye hali ya hewa nzuri au

mbaya• Ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili• Ina uotaji mzuri na inakoboleka vizuri• Inavumilia sana magonjwa ya kuozesha suke• Ina uwezo wa kutoa kiasi cha magunia 30 kwa ekari moja• Inakomaa siku 100 - 115

PAN 63 Inakomaa muda wa kati

Mbegu mpya aina ya chotara inayokomaa muda wa kati na yenye punje ngumu zinazokoboleka vizuri. Mbegu hii ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili, mabua yake hayaanguki kwa urahisi na inavumulia sana magonjwa ya majani. PAN 63 inatoa mavuno mengi hata kwenye mazingira magumu.

• Inazaa sana na mabua yake hayaanguki kwa urahisi• Punje ngumu, zinakoboleka vizuri hazishambuliwi na wadudu kwa

urahisi• Ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili• Mahindi yake yamefunga vizuri hivyo hayashambuliwi na wadudu

kwa urahisi• Mahindi yakishakauka yanageukia chini hivyo hata mvua ikiwa

nyingi punje haziozi• Inavumilia sana magojwa ya majani ikiwemo ugonjwa wa milia na

“GLS”• Inatoa wastani wa magunia 35 kwa ekari moja• Inakomaa siku 115 – 125

UTUNZAJI WA MAHINDI

PAN 67 Inakomaa muda wa kati

Mbegu hii ni habari njema kwa wakulima wadogo wadogo. Inapendekezwa kwa maeneo ya ukanda wa kati.

• Ni mbegu chotara ya ukanda wa kati inayotoa mavuno mengi• Inavumilia sana ukame, udongo wenye tindikali na wenye

rutuba kidogo• Inavumilia sana ugonjwa wa milia• Inavumilia sana magonjwa ya majani ikiwemo GLS”• Punje hazikubonyea hivyo inakoboleka vizuri• Ina ladha nzuri (Kwa kuchoma au unga)• Ina uwezo wa kutoa kiasi cha magunia 30 kwa ekari moja• Inakomaa siku 115 - 125

PAN 691 Ukanda wa juuNi mbegu chotara ya ukanda wa juu iliyosubiriwa kwa muda mrefu, yenye ubora wa kiwango cha juu.

• Ina sifa ya kubaki na rangi ya kijani kwa muda mrefu• Inavumilia sana magonjwa ya majani ikiwemo (GLS) na ugonjwa

wa kutu• Inazaa hindi moja kubwa lenye punje zenye ukubwa wa wastani

zilizobonyea kidogo• Ina uotaji mzuri• Ni mbegu chotara pekee ya ukanda wa juu inayokomaa haraka• Inakomaa siku 150 - 160

MWONGOZO WA KUFAA WAKULIMA WETUKabla ya kupanda hakikisha kwamba shamaba limetayarishwa vizuri na haina mabonge au mashina ya mabua, kwani hali hii yaweza kuathiri uotaji wa mbegu. Unashauriwa kupanda mapema wakati wa mvua za kwanza za msimu na kupanda zaidi ya aina moja ya mahindi chotara yanayokomaa kwa wakati tofauti. Idadi ya chini ya mimea (35,000 - 40,000 kwa hektari) inaweza kukupatia mavuno mazuri ikiwa utapanda mahindi yanayotoa mahindi mawilimawili kwenye eneo lenye hali nzuri ya hewa.

Utumiaji wa mbolea wakati wa kupanda au mara tu baada ya kupanda, na baadae kuweka mbolea ya kukuzia wakati mimea ikiwa usawa wa magoti,na baadae wiki moja kable ya mahindi kutoa mbelewele ikiambatana na palizi nzuri pamoja na kuzuia magonjwa au wadudu wakati wote wa msimu itakupa uhakika wa kupata mavuno mazuri.

NAFASI ZA KUPANDA SHAMBANIIdadi ya mimea hutofautiana kutoka shamba moja hadi jingine au ardhi kwa ardhi, kwa hiyo idadi ya mimea itategemea hali ya hewa kwenye eneo lako pamoja na ukanda ulioko. Pendekezo la mimea 30,000 hadi 55,000 kwa hekari ni mwongozo ufaao.

Idadi kubwa ya mbegu za mahindi za Pannar hutoa mahindi mawili-mawili, hivyo usipande idadi kubwa ya mimiea. Idadi ya chini (mimea 35,000 kwa hektari itakupatia mavuno mengi katika hali nzuri ya hewa, kwa vile asili kubwa ya mimea itakupa mahindi mawili-mawili.

MBEGU ZA MBOGAMBOGA

Starke AyresMbegu zilizotafitiwa na kuaminika

Kitengo cha kampuni ya Pannar cha mbegu ndogondogo “Starke Ayres” Kimeanzishwa zaidi yamiaka 100 iliyopita na kina heshimika kweli kweli katika wadau wa mbegu dunia nzima. Starke Ayres inajishughulisha na kuzalisha na kutathmini aina mbalimbali mpya za mbegu za mbogamboga, maua na manyasi/malisho ya mifugo.

Miundo mbinu ya Starke Ayres inawezesha kuuza bidhaa zao vizuri katika masoko makuu yaliyopo Afrika kusini. Vilevile mbegu zinauzwa katika masokoya kimataifa. Aina zinazofanya vizuri zinachunguzwa kwa kina na kufanyiwa tathmini na zile zinazoonekana kuwa ni nzuri zaidi ndizo zinazopitishwa /ruhusiwa kusambazwa.

Aina za mbegu za mbogamboga za kawaida:

Maboga (Flat white Boer, STAR 7001, Waltham)Letusi (Commander, Great Lakes)Biringanya (Black Beauty)Beet (Detroit Dark Red)Vitunguu (Pyramid, Red Creole, Texas Early Grano)Karoti (Chantenay, Ideal Red, Kuroda, Nantes Ideal)Coriander (Coriander)Chainizi kabeji (China Granat, Tronchuda Tronchuda)

Koliflawa (Snowcap, Wallaby)Njegere (Greenfeast)Spinachi (Fordhook Giant)Maharage (Contender, Provider, STAR 2000, STAR 2052)Matikiti maji (Crimson Sweet, Sugar Baby)Sweet melon (Honey Dew)Sukuma (English Giant)Matango (Ashley)Pilipili (California Wonder, Piripiri)Bamia (Clemson Spineless)Kabichi (Cape Spitz, Copenhagen, Drumhead)Parsley (Moss Curled, Plain)

Nyanya (Floradade, Heinz, Moneymaker, Rodade, Roma VF, Cal J)

Mbegu za Mbogamboga chotara :

Kabichi (STAR 3317)Nyanya (STAR 9062, STAR 9003)

Mimea kwa hektari

Nafasi ya mimea katika mstari

30,000 37 cm35,000 32 cm40,000 27 cm45,000 25 cm55,000 20 cm

Page 4: MAPENDEKEZO YA MAENEO UTAFITI WA DUNIA WA ...UTUNZAJI WA MAHINDI PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana “MKOMBOZI” Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali

UTUNZAJI WA MAHINDI

PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana

“MKOMBOZI”

Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali ya ukanda wa chini na kati wenye mvua kidogo na inavumilia sana ukame. Mbegu hii ndiyo mkombozi wa uhakika na itakufanya uepukane na njaa haswa katika kipind hiki ambacho hali ya hewa haitabiriki.Mkulima mwenye busara huchaguaPAN 4M-19 (MKOMBOZI).

• Punje zake ni ngumu na zinakoboleka vizuri. Haishambuliwi na wadudu kwa urahisi

• Inafaa kwenye maeneo mengi yenye hali mbaya ya hewa hasa ukame

• Inavumilia sana magonjwa ya majani• Ni matamu sana kwa kuchoma• Inakomaa mapema sana: Siku 90 - 100

PAN 6549 Inakomaa mapema

Aina hii inapendekezwa kwa sehemu za ukanda wa kati zenye uhaba wa mvua au maeneo ya ukanda wa chini na sehemu ambako mbegu chotara inayokomaa haraka itahitajika.

• Ina punje nzuri sana na inavumilia udongo wenye tindikali• Ina mavuno mazuri yasiyoyumba kwenye hali ya hewa nzuri au

mbaya• Ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili• Ina uotaji mzuri na inakoboleka vizuri• Inavumilia sana magonjwa ya kuozesha suke• Ina uwezo wa kutoa kiasi cha magunia 30 kwa ekari moja• Inakomaa siku 100 - 115

PAN 63 Inakomaa muda wa kati

Mbegu mpya aina ya chotara inayokomaa muda wa kati na yenye punje ngumu zinazokoboleka vizuri. Mbegu hii ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili, mabua yake hayaanguki kwa urahisi na inavumulia sana magonjwa ya majani. PAN 63 inatoa mavuno mengi hata kwenye mazingira magumu.

• Inazaa sana na mabua yake hayaanguki kwa urahisi• Punje ngumu, zinakoboleka vizuri hazishambuliwi na wadudu kwa

urahisi• Ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili• Mahindi yake yamefunga vizuri hivyo hayashambuliwi na wadudu

kwa urahisi• Mahindi yakishakauka yanageukia chini hivyo hata mvua ikiwa

nyingi punje haziozi• Inavumilia sana magojwa ya majani ikiwemo ugonjwa wa milia na

“GLS”• Inatoa wastani wa magunia 35 kwa ekari moja• Inakomaa siku 115 – 125

UTUNZAJI WA MAHINDI

PAN 67 Inakomaa muda wa kati

Mbegu hii ni habari njema kwa wakulima wadogo wadogo. Inapendekezwa kwa maeneo ya ukanda wa kati.

• Ni mbegu chotara ya ukanda wa kati inayotoa mavuno mengi• Inavumilia sana ukame, udongo wenye tindikali na wenye

rutuba kidogo• Inavumilia sana ugonjwa wa milia• Inavumilia sana magonjwa ya majani ikiwemo GLS”• Punje hazikubonyea hivyo inakoboleka vizuri• Ina ladha nzuri (Kwa kuchoma au unga)• Ina uwezo wa kutoa kiasi cha magunia 30 kwa ekari moja• Inakomaa siku 115 - 125

PAN 691 Ukanda wa juuNi mbegu chotara ya ukanda wa juu iliyosubiriwa kwa muda mrefu, yenye ubora wa kiwango cha juu.

• Ina sifa ya kubaki na rangi ya kijani kwa muda mrefu• Inavumilia sana magonjwa ya majani ikiwemo (GLS) na ugonjwa

wa kutu• Inazaa hindi moja kubwa lenye punje zenye ukubwa wa wastani

zilizobonyea kidogo• Ina uotaji mzuri• Ni mbegu chotara pekee ya ukanda wa juu inayokomaa haraka• Inakomaa siku 150 - 160

MWONGOZO WA KUFAA WAKULIMA WETUKabla ya kupanda hakikisha kwamba shamaba limetayarishwa vizuri na haina mabonge au mashina ya mabua, kwani hali hii yaweza kuathiri uotaji wa mbegu. Unashauriwa kupanda mapema wakati wa mvua za kwanza za msimu na kupanda zaidi ya aina moja ya mahindi chotara yanayokomaa kwa wakati tofauti. Idadi ya chini ya mimea (35,000 - 40,000 kwa hektari) inaweza kukupatia mavuno mazuri ikiwa utapanda mahindi yanayotoa mahindi mawilimawili kwenye eneo lenye hali nzuri ya hewa.

Utumiaji wa mbolea wakati wa kupanda au mara tu baada ya kupanda, na baadae kuweka mbolea ya kukuzia wakati mimea ikiwa usawa wa magoti,na baadae wiki moja kable ya mahindi kutoa mbelewele ikiambatana na palizi nzuri pamoja na kuzuia magonjwa au wadudu wakati wote wa msimu itakupa uhakika wa kupata mavuno mazuri.

NAFASI ZA KUPANDA SHAMBANIIdadi ya mimea hutofautiana kutoka shamba moja hadi jingine au ardhi kwa ardhi, kwa hiyo idadi ya mimea itategemea hali ya hewa kwenye eneo lako pamoja na ukanda ulioko. Pendekezo la mimea 30,000 hadi 55,000 kwa hekari ni mwongozo ufaao.

Idadi kubwa ya mbegu za mahindi za Pannar hutoa mahindi mawili-mawili, hivyo usipande idadi kubwa ya mimiea. Idadi ya chini (mimea 35,000 kwa hektari itakupatia mavuno mengi katika hali nzuri ya hewa, kwa vile asili kubwa ya mimea itakupa mahindi mawili-mawili.

MBEGU ZA MBOGAMBOGA

Starke AyresMbegu zilizotafitiwa na kuaminika

Kitengo cha kampuni ya Pannar cha mbegu ndogondogo “Starke Ayres” Kimeanzishwa zaidi yamiaka 100 iliyopita na kina heshimika kweli kweli katika wadau wa mbegu dunia nzima. Starke Ayres inajishughulisha na kuzalisha na kutathmini aina mbalimbali mpya za mbegu za mbogamboga, maua na manyasi/malisho ya mifugo.

Miundo mbinu ya Starke Ayres inawezesha kuuza bidhaa zao vizuri katika masoko makuu yaliyopo Afrika kusini. Vilevile mbegu zinauzwa katika masokoya kimataifa. Aina zinazofanya vizuri zinachunguzwa kwa kina na kufanyiwa tathmini na zile zinazoonekana kuwa ni nzuri zaidi ndizo zinazopitishwa /ruhusiwa kusambazwa.

Aina za mbegu za mbogamboga za kawaida:

Maboga (Flat white Boer, STAR 7001, Waltham)Letusi (Commander, Great Lakes)Biringanya (Black Beauty)Beet (Detroit Dark Red)Vitunguu (Pyramid, Red Creole, Texas Early Grano)Karoti (Chantenay, Ideal Red, Kuroda, Nantes Ideal)Coriander (Coriander)Chainizi kabeji (China Granat, Tronchuda Tronchuda)

Koliflawa (Snowcap, Wallaby)Njegere (Greenfeast)Spinachi (Fordhook Giant)Maharage (Contender, Provider, STAR 2000, STAR 2052)Matikiti maji (Crimson Sweet, Sugar Baby)Sweet melon (Honey Dew)Sukuma (English Giant)Matango (Ashley)Pilipili (California Wonder, Piripiri)Bamia (Clemson Spineless)Kabichi (Cape Spitz, Copenhagen, Drumhead)Parsley (Moss Curled, Plain)

Nyanya (Floradade, Heinz, Moneymaker, Rodade, Roma VF, Cal J)

Mbegu za Mbogamboga chotara :

Kabichi (STAR 3317)Nyanya (STAR 9062, STAR 9003)

Mimea kwa hektari

Nafasi ya mimea katika mstari

30,000 37 cm35,000 32 cm40,000 27 cm45,000 25 cm55,000 20 cm

Page 5: MAPENDEKEZO YA MAENEO UTAFITI WA DUNIA WA ...UTUNZAJI WA MAHINDI PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana “MKOMBOZI” Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali

UTUNZAJI WA MAHINDI

PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana

“MKOMBOZI”

Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali ya ukanda wa chini na kati wenye mvua kidogo na inavumilia sana ukame. Mbegu hii ndiyo mkombozi wa uhakika na itakufanya uepukane na njaa haswa katika kipind hiki ambacho hali ya hewa haitabiriki.Mkulima mwenye busara huchaguaPAN 4M-19 (MKOMBOZI).

• Punje zake ni ngumu na zinakoboleka vizuri. Haishambuliwi na wadudu kwa urahisi

• Inafaa kwenye maeneo mengi yenye hali mbaya ya hewa hasa ukame

• Inavumilia sana magonjwa ya majani• Ni matamu sana kwa kuchoma• Inakomaa mapema sana: Siku 90 - 100

PAN 6549 Inakomaa mapema

Aina hii inapendekezwa kwa sehemu za ukanda wa kati zenye uhaba wa mvua au maeneo ya ukanda wa chini na sehemu ambako mbegu chotara inayokomaa haraka itahitajika.

• Ina punje nzuri sana na inavumilia udongo wenye tindikali• Ina mavuno mazuri yasiyoyumba kwenye hali ya hewa nzuri au

mbaya• Ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili• Ina uotaji mzuri na inakoboleka vizuri• Inavumilia sana magonjwa ya kuozesha suke• Ina uwezo wa kutoa kiasi cha magunia 30 kwa ekari moja• Inakomaa siku 100 - 115

PAN 63 Inakomaa muda wa kati

Mbegu mpya aina ya chotara inayokomaa muda wa kati na yenye punje ngumu zinazokoboleka vizuri. Mbegu hii ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili, mabua yake hayaanguki kwa urahisi na inavumulia sana magonjwa ya majani. PAN 63 inatoa mavuno mengi hata kwenye mazingira magumu.

• Inazaa sana na mabua yake hayaanguki kwa urahisi• Punje ngumu, zinakoboleka vizuri hazishambuliwi na wadudu kwa

urahisi• Ina uwezo wa kubeba mahindi mawili mawili• Mahindi yake yamefunga vizuri hivyo hayashambuliwi na wadudu

kwa urahisi• Mahindi yakishakauka yanageukia chini hivyo hata mvua ikiwa

nyingi punje haziozi• Inavumilia sana magojwa ya majani ikiwemo ugonjwa wa milia na

“GLS”• Inatoa wastani wa magunia 35 kwa ekari moja• Inakomaa siku 115 – 125

UTUNZAJI WA MAHINDI

PAN 67 Inakomaa muda wa kati

Mbegu hii ni habari njema kwa wakulima wadogo wadogo. Inapendekezwa kwa maeneo ya ukanda wa kati.

• Ni mbegu chotara ya ukanda wa kati inayotoa mavuno mengi• Inavumilia sana ukame, udongo wenye tindikali na wenye

rutuba kidogo• Inavumilia sana ugonjwa wa milia• Inavumilia sana magonjwa ya majani ikiwemo GLS”• Punje hazikubonyea hivyo inakoboleka vizuri• Ina ladha nzuri (Kwa kuchoma au unga)• Ina uwezo wa kutoa kiasi cha magunia 30 kwa ekari moja• Inakomaa siku 115 - 125

PAN 691 Ukanda wa juuNi mbegu chotara ya ukanda wa juu iliyosubiriwa kwa muda mrefu, yenye ubora wa kiwango cha juu.

• Ina sifa ya kubaki na rangi ya kijani kwa muda mrefu• Inavumilia sana magonjwa ya majani ikiwemo (GLS) na ugonjwa

wa kutu• Inazaa hindi moja kubwa lenye punje zenye ukubwa wa wastani

zilizobonyea kidogo• Ina uotaji mzuri• Ni mbegu chotara pekee ya ukanda wa juu inayokomaa haraka• Inakomaa siku 150 - 160

MWONGOZO WA KUFAA WAKULIMA WETUKabla ya kupanda hakikisha kwamba shamaba limetayarishwa vizuri na haina mabonge au mashina ya mabua, kwani hali hii yaweza kuathiri uotaji wa mbegu. Unashauriwa kupanda mapema wakati wa mvua za kwanza za msimu na kupanda zaidi ya aina moja ya mahindi chotara yanayokomaa kwa wakati tofauti. Idadi ya chini ya mimea (35,000 - 40,000 kwa hektari) inaweza kukupatia mavuno mazuri ikiwa utapanda mahindi yanayotoa mahindi mawilimawili kwenye eneo lenye hali nzuri ya hewa.

Utumiaji wa mbolea wakati wa kupanda au mara tu baada ya kupanda, na baadae kuweka mbolea ya kukuzia wakati mimea ikiwa usawa wa magoti,na baadae wiki moja kable ya mahindi kutoa mbelewele ikiambatana na palizi nzuri pamoja na kuzuia magonjwa au wadudu wakati wote wa msimu itakupa uhakika wa kupata mavuno mazuri.

NAFASI ZA KUPANDA SHAMBANIIdadi ya mimea hutofautiana kutoka shamba moja hadi jingine au ardhi kwa ardhi, kwa hiyo idadi ya mimea itategemea hali ya hewa kwenye eneo lako pamoja na ukanda ulioko. Pendekezo la mimea 30,000 hadi 55,000 kwa hekari ni mwongozo ufaao.

Idadi kubwa ya mbegu za mahindi za Pannar hutoa mahindi mawili-mawili, hivyo usipande idadi kubwa ya mimiea. Idadi ya chini (mimea 35,000 kwa hektari itakupatia mavuno mengi katika hali nzuri ya hewa, kwa vile asili kubwa ya mimea itakupa mahindi mawili-mawili.

MBEGU ZA MBOGAMBOGA

Starke AyresMbegu zilizotafitiwa na kuaminika

Kitengo cha kampuni ya Pannar cha mbegu ndogondogo “Starke Ayres” Kimeanzishwa zaidi yamiaka 100 iliyopita na kina heshimika kweli kweli katika wadau wa mbegu dunia nzima. Starke Ayres inajishughulisha na kuzalisha na kutathmini aina mbalimbali mpya za mbegu za mbogamboga, maua na manyasi/malisho ya mifugo.

Miundo mbinu ya Starke Ayres inawezesha kuuza bidhaa zao vizuri katika masoko makuu yaliyopo Afrika kusini. Vilevile mbegu zinauzwa katika masokoya kimataifa. Aina zinazofanya vizuri zinachunguzwa kwa kina na kufanyiwa tathmini na zile zinazoonekana kuwa ni nzuri zaidi ndizo zinazopitishwa /ruhusiwa kusambazwa.

Aina za mbegu za mbogamboga za kawaida:

Maboga (Flat white Boer, STAR 7001, Waltham)Letusi (Commander, Great Lakes)Biringanya (Black Beauty)Beet (Detroit Dark Red)Vitunguu (Pyramid, Red Creole, Texas Early Grano)Karoti (Chantenay, Ideal Red, Kuroda, Nantes Ideal)Coriander (Coriander)Chainizi kabeji (China Granat, Tronchuda Tronchuda)

Koliflawa (Snowcap, Wallaby)Njegere (Greenfeast)Spinachi (Fordhook Giant)Maharage (Contender, Provider, STAR 2000, STAR 2052)Matikiti maji (Crimson Sweet, Sugar Baby)Sweet melon (Honey Dew)Sukuma (English Giant)Matango (Ashley)Pilipili (California Wonder, Piripiri)Bamia (Clemson Spineless)Kabichi (Cape Spitz, Copenhagen, Drumhead)Parsley (Moss Curled, Plain)

Nyanya (Floradade, Heinz, Moneymaker, Rodade, Roma VF, Cal J)

Mbegu za Mbogamboga chotara :

Kabichi (STAR 3317)Nyanya (STAR 9062, STAR 9003)

Mimea kwa hektari

Nafasi ya mimea katika mstari

30,000 37 cm35,000 32 cm40,000 27 cm45,000 25 cm55,000 20 cm

MAPENDEKEZO YA MAENEO

www.pannar.com

K ATA L O G I YA A I N A M B A L I M B A L I

Z A M B E G U K WA

T A N Z A N I A

InhlanyeloPAN 4M-19, PAN 63, PAN 67, PAN 6549

PAN 4M-19, PAN 63, PAN 67, PAN 6549

PAN 67

PAN 67, PAN 691

PAN 691

Pannar Seed (Tanzania) LimitedPO Box 10677, Arusha, Tanzania

Tel: +255 (0)27 250 4669 l Fax: +255 (0)27 254 4669E-mail: [email protected]

UTAFITI WA DUNIA WA UWEZO WA MAENEO

Pannar Seed TanzaniaLtd, ni Kampuni ya mbegu iliyosajiliwa hapa Tanzania na pia ni mwanachama wachama cha wafanya biashara ya mbegu (Tanzania Seed Trade Association) TASTA.

Tangu mwaka wa 1994 tulivyoanza kujihusisha na shughuli za mbegu hapa Tanzania tumefanikiwa kusajili mbegu kadhaa za mahindi na alizeti ambazo zina ubora wa hali ya juu na zenye kufaa mazingira ya Tanzania. Pannar Seed Tanzania Ltd ni kampuni tanzu ya kampuni ya kimataifa ijulikanayo kama Pannar Seed (Pty) Ltd yenye makao makuu huko Greytown Africa ya Kusini. Pannar Seed (Pty) Ltd ilisajiliwa kwa mara ya kwanza huko Afrika ya kusini mnamo mwaka wa 1958.

Kampuni ya Pannar imefanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na Taasisi mbalimbali za Serikali, hususan zile ambazo zipo chini ya Wizara ya Kilimo katika kuhakikisha kuwa inazalisha mbegu zenye ubora wa juu zenyekufaa soko la Tanzania na Jumuia ya Afrika mashariki kwa ujumla. Baadhi ya Taasisi hizo ni TOSCI, TPRI pamoja na vituo vya utafiti wa mazao vya Selian, Uyole na Ilonga.

Ili kukuwezesha kufanya uamuzi sahihi kuhusu mbegu inayofaa mazingira yako, kampuni ya Pannar inaambatanisha picha kwenye maelezo ya kila aina ya mbegu. Picha hizo zinaonyesha zile sifa muhimu za kila aina ya mbegu. Pia tumeambatanisha ramani ya Tanzania inayoonyesha mikoa na aina ya mbegu inayopendekezwa kwenye mikoa hiyo.

Panda mbegu bora za Pannar msimu huu na ujionee mwenyewe kuwa kwa kutumia mbegu bora, una uhakika wa kuvuna, hata katika mazingira magumu.

Page 6: MAPENDEKEZO YA MAENEO UTAFITI WA DUNIA WA ...UTUNZAJI WA MAHINDI PAN 4M-19 Inakomaa mapema sana “MKOMBOZI” Chaguo sahihi. Mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali

MAPENDEKEZO YA MAENEO

www.pannar.com

K ATA L O G I YA A I N A M B A L I M B A L I

Z A M B E G U K WA

T A N Z A N I A

InhlanyeloPAN 4M-19, PAN 63, PAN 67, PAN 6549

PAN 4M-19, PAN 63, PAN 67, PAN 6549

PAN 67

PAN 67, PAN 691

PAN 691

Pannar Seed (Tanzania) LimitedPO Box 10677, Arusha, Tanzania

Tel: +255 (0)27 250 4669 l Fax: +255 (0)27 254 4669E-mail: [email protected]

UTAFITI WA DUNIA WA UWEZO WA MAENEO

Pannar Seed TanzaniaLtd, ni Kampuni ya mbegu iliyosajiliwa hapa Tanzania na pia ni mwanachama wachama cha wafanya biashara ya mbegu (Tanzania Seed Trade Association) TASTA.

Tangu mwaka wa 1994 tulivyoanza kujihusisha na shughuli za mbegu hapa Tanzania tumefanikiwa kusajili mbegu kadhaa za mahindi na alizeti ambazo zina ubora wa hali ya juu na zenye kufaa mazingira ya Tanzania. Pannar Seed Tanzania Ltd ni kampuni tanzu ya kampuni ya kimataifa ijulikanayo kama Pannar Seed (Pty) Ltd yenye makao makuu huko Greytown Africa ya Kusini. Pannar Seed (Pty) Ltd ilisajiliwa kwa mara ya kwanza huko Afrika ya kusini mnamo mwaka wa 1958.

Kampuni ya Pannar imefanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na Taasisi mbalimbali za Serikali, hususan zile ambazo zipo chini ya Wizara ya Kilimo katika kuhakikisha kuwa inazalisha mbegu zenye ubora wa juu zenyekufaa soko la Tanzania na Jumuia ya Afrika mashariki kwa ujumla. Baadhi ya Taasisi hizo ni TOSCI, TPRI pamoja na vituo vya utafiti wa mazao vya Selian, Uyole na Ilonga.

Ili kukuwezesha kufanya uamuzi sahihi kuhusu mbegu inayofaa mazingira yako, kampuni ya Pannar inaambatanisha picha kwenye maelezo ya kila aina ya mbegu. Picha hizo zinaonyesha zile sifa muhimu za kila aina ya mbegu. Pia tumeambatanisha ramani ya Tanzania inayoonyesha mikoa na aina ya mbegu inayopendekezwa kwenye mikoa hiyo.

Panda mbegu bora za Pannar msimu huu na ujionee mwenyewe kuwa kwa kutumia mbegu bora, una uhakika wa kuvuna, hata katika mazingira magumu.