14
Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na Madini Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected] HABARI ZA NISHATI &MADINI Toleo No. 80 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Agosti 13 - 19, 2015 Bulletin News http://www.mem.go.tz Tanzania Kuanzisha maabara ya Upimaji Madini Nchi za Maziwa Makuu Serikali yavuna mabilioni katika madini vito, almasi Soma habari Uk. 4 Washiriki wa Warsha ya Kimataifa ya Madini iliyokutanisha Wataalam kutoka nchi 12 za Kanda za Maziwa Makuu yenye lengo la kujadili mpango wa uendelezaji wa maabara kwa ajili ya ukaguzi wa madini.

MEM 80 Online.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbalikwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263au Fika Ofsi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected] ZANISHATI &MADINIToleoNo. 80Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Agosti 13 - 19, 2015BulletinNewsOfisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbalikwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263au Fika Ofsi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected]://www.mem.go.tzHABARI ZANISHATI &MADINIToleoNo. 51Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015 JWTZwapongezwakunusurumtambowa Msimbati-Uk4Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoNaibu Waziri wa Nishati na Madini, anayeshughulikiaMadini Stephen MaseleNaibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Charles KitwangaMkurugenzi Mtend-aji wa TANESCO, Mhandisi Felchesmi MrambaMkurugenzi Mkuu wa REA, Dk. Lutengano MwakahesyaWabungeSoma habariUk. 2Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REAWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2Tanzania Kuanzisha maabara ya Upimaji Madini Nchi za Maziwa MakuuSerikali yavuna mabilioni katika madini vito, almasiSoma habariUk. 4Washiriki wa Warsha ya Kimataifa ya Madiniiliyokutanisha Wataalam kutoka nchi 12 za Kanda za Maziwa Makuu yenye lengo lakujadili mpango wa uendelezaji wa maabara kwa ajili ya ukaguzi wa madini.2 Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININa Greyson Mwase, Dar esSalaamTanzaniainatarajiakuanzisha maabarayakimataifakatika Kituo cha Maabara cha Afrika MasharikinaKati(SEAMIC) kwa ajili ya kutoahuduma za upimajiwamadiniyaainambalimbali katika nchi za maziwa makuu ili kubaini asili yake kwa njia ijulikanayo kwa kitaalam kamaAnalyticalFingerPrint(AFP)na kudhibiti biashara haramu ya madini. Akizungumza ofisini kwake Kamishna Msaidizi wa Madini Huduma za Leseni, John Nayopa alisema kuwauanzishwaji wa maabara hii ni moja ya maazimioya nchi za MaziwaMakuu katikaudhibiti wauvunaji na uuzajiharamu wa rasilimali ikiwepo madini.Nayopaalitajanchihizokuwani pamojanaTanzania,Kenya,Uganda, Rwanda,Burundi, Sudan, Sudan Kusini, Zambia,Angola,Kongo,Jamhuriya DemokrasiayaKongonaJamhuriya Afrika ya Kati.Alisemambalinamakubaliano yauanzishwajiwamaabarahiyo, makubalianomengineyaliyofanywa nanchizamaziwamakuunipamoja nakilanchikuhakikishainawekasheria itakayowezeshautekelezajiwampango wa kudhibiti uzalishaji na uuzaji haramu wabiasharayamadininakutoataarifa za siri (whistleblowing) kuhusu biashara haramuya madini.Aliongezakuwamakubaliano menginenipamojanakuimarisha utekelezaji wa mpango wa kuongeza uwazinauwajibikajikatika tasniayauziduaji (ExtractiveIndustries Tr a n s p a r e n c y Inititative;EITI), k u r a s i mi s h a shughuli za wachimbaji wadogo,kudhibiti unyanyasajiwawatotonawanawake migodinina kuweka kanzidata ya madini. Akielezeamanufaayamaabarahiyo, Nayopa alisema maabara hiyo itawezesha wazalishaji na wanunuzi wa madinikuwa naimaninamadiniyanayozalishwana kuuzwa nje ya nchi.Hiiitakuwanifursakwanchiya Tanzaniakutangazaainazamadini hususanTanzanite,sokokupanuka kimataifanakuvutiauwekezajimkubwa haliitakayopelekeapatolataifa kuongezeka, alisema Mhandisi Nayopa.Aliendeleakusemakuwa mpangohuuutawahakikishia wazalishajihalaliwa madinikupatamasoko njeyanchibila vikwazo.Tanzania Kuanzisha maabara ya Upimaji Madini, Nchi za Maziwa MakuuTanzania mwenyeji wa warsha ya madini- Nchi za Maziwa MakuuKaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Programu yaDemokrasia na Utawala Bora Balozi Ambeyi Ligabo kutokaSekretarieti ya Mkutano wa Kimataifa wa Nchi za Kanda za Maziwa Makuu. Mhandisi Mwihava alifunguawarsha ya kimataifa ya madiniiliyokutanisha wataalam kutoka nchi 12 za kanda hiyo yenye lengo lakujadili mpango wa uendelezaji wa maabara kwa ajili ya ukaguzi wa madini nchini Tanzania.Na Greyson MwaseTanzaniaimekuwamwenyeji katikawarshayasikumbili iliyoshirikishanchizaMaziwa Makuuyenyelengolakujadili kuhusu uanzishwaji wa huduma ya upimaji wa madiniilikubaini asili yake kwanjiaijulikanayokwakitaalamkama Analytical Finger Print (AFP) na kudhibiti biashara haramu ya madini.Akizungumzakatikamahojiano maalum wakati wawarsha hiyo, Kamishna Msaidizi wa Madini Huduma za Leseni, JohnNayopaalisemawarshahiyo iliyofanyika Jijini Dar es Salaam, ilikutanisha wawakilishiwaserikali,wataalamelekezi na wawakilishi kutoka nchi wafadhili.Akielezeamatarajioyawarshahiyo Mhandishi Nayopa alieleza kuwa ni pamoja nakukubaliana muundobora na endelevu wahudumazamaabaranakuongeza kuaminika kwa hati za kusafirishia madini.Aliongeza kuwa miakaya hivi karibuni nchi zilizoendelea zikiongozwa na Marekani naUmojawaUlayaziliwekasheria zinazokataza makampunikatika nchi hizo kununuamadiniambayoyanadhaniwa kuwa yamechimbwa na kuuzwa kiharamu aukuhusiananamakundiyawapiganaji (blood minerals)Aliendeleakusemakamamkakatiwa kukuzabiasharayamadinikatikanchi zamaziwamakuu,mwaka2006nchi hizozilikubalianakuanzishaumojahuo kwa ajiliya kudhibiti biashara haramu ya madini.3Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADINITahaririMEMNa Badra MasoudFIVE PILLARS OF REFORMSKWA HABARI PIGA SIMU KITENGO CHA MAWASILIANOBODI YA UHARIRI MHARIRI MKUU: Badra MasoudMSANIFU: Essy OgundeWAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson Mwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James , Nuru Mwasampeta na Zuena MsuyaINCREASE EFFICIENCYQUALITY DELIVERYOF GOODS/SERVICESATISFACTION OFTHE CLIENTSATISFACTION OF BUSINESS PARTNERSSATISFACTION OF SHAREHOLDERSTEL-2110490FAX-2110389MOB-0732999263Maabara ya Upimaji Madini ni Tiba yauvunaji, uuzaji madini haramuTEL-2110490FAX-2110389MOB-0732999263MEM, JICA watia saini Mpango kabambe wa umeme nchi nzimaNa Zuena Msuya, Dar es SalaamSerikalikupitia WizarayaNishatina Madiniimekutana naUongoziwa ShirikalaMaendeleo laJapani(JICA)kwalengo lakusainimakubalianoya kudurusuMpangoKabambe wa Kuendeleza Sekta Ndogo ya Umemenchini-PowerSystem MasterPlan(PSMPUpdates 2012).SerikaliyaJapankupitia ShirikalakelaMaendeleo (JICA)ndioimetoaufadhili huowaPSMPUpdates 2012utakaowekamipango yaUzalishaji,Usafirishajina Usambasajiwaumemenchini itakayowapatiawananchi umeme wa uhakika.Hayo yalielezwa hivi karibuni naKaimuKatibuMkuuwa WizarayaNishatinaMadini MhandisiNgosiMwihava, OfisinikwakejijiniDarEs Salaam wakati wa kuweka saini makubaliano hayo na Mwakilishi kutokaShirikalaMaendeleola Japan JICA, Toshio Nagase.Aidha,Mwihavaalisema baadayakukamilishampango husika,uandaajiwaMpango Kabambe wa Kuendeleza Sekta Ndogo ya Umeme katika Mikoa yaDaresSalaamnaPwani utatekelezwa.Aliongeza kuwa, ufadhili wa utekelezaji wa miradi ya umeme nchiniinajumuishaujenziwa njia ya usafirishaji wa umeme wa msongo wa Kilovoti 400 kutoka Dodoma-Singida,ambayoni sehemu ya mradi wa kuimarisha gridiyaTaifakutokaIringa-Dodoma-Singida-Shinyanga, 400kVKenya-Tanzania PowerInterconnector,pamoja nauandaajiwaMpango Kambambewakuendelezagesi asilia. KwaupandewakeMratibu wamradihuo,Mhandisi EdsonNgaboamesemazoezi laukusanyajiwatakwimu zitakazotumikalitaanzaMwezi Agosti-Oktoba, 2015.Aidha,ukusanyajiwa takwimu hizo utasaidia kudurusu mpangohusikasualaambalo litachangiakutoamwelekeo halisi wa Sekta ya umeme.Mwakilishi waJICA, Toshio Nagase,ameihakikishiaSerikali yaJamhuriyaMuunganowa Tanzaniakuwawatatekeleza Mpangohuonakuiomba WizarayaNishatinaMadini kushirikiana kwa karibu pamoja nakuwepokwaKikosiKazi kilichoundwa na Wizara wakati wa kutekeleza zoezi hilo.NimaranyinginetenaSektayaMadiniinazidi kupiga hatua ya kuhakikisha kwamba Watanzania na taifa letu tunanufaika na rasilimali zetu hususan madini.Wiki hii Serikali imekuwa mwenyeji katika Warsha inayozishirikishanchizaMaziwaMakuukujadili uanzishwajiwahudumayaupimajiwamadiniili kubaini asili yake kwa njia ijulikanayo kitaamu (Analtical Finger Print (AFP) ikiwemo kudhibiti biashara haramu ya madini.Warshahiyoambayoimekutanishawawakilishi wa serikali, wataalam waelekezi na wafadhilikutoka katikanchizaTanzania,Kenya,Uganda,Rwanda, Burundi,Sudan,SudanKusini,Zambia,Angola, Kongo, Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo na Jamhuri yaAfrikayaKati,wanatarajiakukubalianajuuya muundo borana endelevu wa huduma za maabara na kuongeza kuaminika kwa hati za kusafirisha madini.Niwazikuwa,maazimioambayoyamefikiwa katikawarshahiyoikiwemokuhakikishakilanchi inaweka sheria itakayowezesha utekelezaji wa mpango wa kudhibiti uzalishaji haramu wa biashara ya madini yatakuwa na manufaa kwa nchi wanachama ikiwemo Tanzania.Aidha,maazimiomengineyametajwakuwani pamoja na kutoa taarifa za siri (whistle blowing) kuhusu biashara haramu ya madini. Kwetu sisi hiyo ni hatua nyinginemuhimuambayoinadhihirishaadhmaya Serikali kuhakikisha kwamba inasimamia rasilimali za madini ili ziwanufaishe watanzania wote.Pamojanamaazimiohayomengineyameelezwa kuwanikuimarishautekelezajiwampangowa kuongeza uwazi na uwajibikaji katika tasnia ya uziduaji (ExtractiveIndustriesTransparencyInitiative;EITI, kurasimisha shughuli za wachimbaji wadogo, kudhibiti unyanyasajiwawatotonawanawakemigodinina kuweka kanzidata ya madini.Ni ukweli kuwa, uwepo wa Maabara hiyo hususan kwa nchi yetu ambayo imebarikiwa kuwa na rasilimali nyingizamadiniyaainambalimbaliitawezesha wazalishaji na wanunuzi wa madini kuwa na imani na madini yanayozalishwa na kuuzwa nje ya nchi.Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (kulia) naMwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Japan - JICA Toshio Nagase (kushoto) wakitia saini hati ya makubaliano ya kuendeleza Sekta ndogo ya Umeme nchini.(Picha chini ni) Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mratibu wa Mradi wa Kuendeleza Sekta ndogo ya Umeme nchini Mhandisi Edson Ngabo kabla ya kusaini hati ya makubaliano ya kuendeleza sekta hiyo nchini. Wengine ni wawakilishi kutoka Wizara ya Nishati na Madini naShirika la Maendeleo la Japan - JICA4 Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININa Veronica Simba - MwanzaMratibuwaKituocha Jemolojia Tanzania (TGC), Mussa Shanyangi amesema Kituohichokitatoa fursakwaWatanzania waliomalizadarasalasabawatakaohitaji mafunzo maalum ya muda mfupi kwa ajili ya kuongeza ujuzi hususan katika tasnia ya madini vito.Alisemakuwapamojanakuwa kiwangochachinichaelimuchakujiunga nakozinyinginembalimbalizitakazokuwa zikitolewa na Kituo hicho ni Kidato cha Nne auelimuinayolingananahiyo;utaratibu umewekwailiwahitimuwadarasalasaba wapatefursayakufundishwamafunzo maalum ya kuongeza ujuzi katika kada hiyo.Shanyangialiyasemahayowakati akiwasilishamadakuhusuMaendeleo yaKituohichokwenyeSeminaya WathaminishajiMadiniyaVitonaAlmasi iliyofanyika Agosti 12 na 13 jijini Mwanza.Aidha,Shanyangialisemaufauluwa masomoyaHisabatinaKingerezanisifa nyingineitakayotumikakatikakuchagua wanafunziwatakaoombakujiungana masomo katika Kituo hicho.Akizungumziakozizitakazotolewana TGC,Shanyangializitajakuwanipamoja na Jemolojia, Utambuzi wa Madini ya Vito, Ukatajinaungarishajiwamadiniyavito, UchongajiwaVinyagovyaMawepamoja naUbunifunaUtengenezajiwabidhaaza mapambo.Alisemampakasasakumefanyika jitihadazakusajiliKituokatikaMamlaka yaElimunaMafunzoyaUfundiStadi (VETA) ambapo Kituo kimepata usajili wa awali(PreliminaryRegistration)naCheti kinaandaliwa makao makuu ya VETA, Dar es Salaam.Kwa upande wa changamoto, Shanyangi alisemakuwanipamojanaukosefu wawakufunziwaKitanzaniawenye uzoefunaumahirikatikakufundishakozi zilizoainishwa. Alisema,kwahivisasaKituohicho kinatoamafunzoyaukatajinaungarishaji wa madini ya vito (lapidary) ambayo yalianza mweziNovemba,2014,ambapojumla yawanafunzi15wanawakewalihitimu mafunzo hayo. Mafunzo hayo yalifadhiliwa na Mfuko waKuwajengeaUwezoWanawakejuuya uongezajithamanikatikamadinihususani madiniyavito(AGFWomenFoundation Fund)ambaounasimamiwanaKamatiya Maonesho ya Vito na Usonara (Arusha Gem Fair).Aliongezakuwa,Awamuyapiliya mafunzoyaukatajinaungarishajiwa madiniyavitoyameanzamweziAgosti, 2015ambapowanafunziwanawake18 wamechaguliwa.Mafunzohayoyanachukuamudawa miezi sita hadi kukamilika.Kituo cha Tanzania Gemological Centre (TGC)kilichokuwakinajulikanakama Arusha Gemstone Carving Centre (AGCC) kilianzishwamnamomwaka2003wakati SerikaliikitekelezaMradiwaMaendeleo yaSektayaMadini(MSD-TA)ambao ulitekelezwakatiyamwaka1994na2005 kwa mkopo kutoka Benki ya Dunia.UanzishwajiKituohikinimojakati yajuhudizaSerikalizakutekelezaSera yaMadiniyaMwaka2009kwavitendo yaaniuongezajithamanikatikamadiniya vitonakutoamafunzoyauchongajiwa mawe ya urembo (stone carving), jimolojia, utengenezajiwabidhaazamapambo/urembo (jewelry design & manufacturing) na ukataji wa madini ya vito hapa nchini, hivyo kukuza matumizi ya madini ya vito nchini.Lengo la kuanzisha Kituo hiki ni kukuza nakufanikishashughulizauongezaji thamani katika madini ya vito nchini, kukuza na kuendeleza ujuzi na ufahamu katika tasnia ya madini ya vito, na kuongeza kipato na ajira kwa watanzania. TGC kuwawezesha darasa la sabaSerikali yavuna mabilioni katika madini vito, almasiNa Veronica Simba, MwanzaSerikali imekusanya mrabaha wa DolazaKimarekanimilioni 3.46, sawa na Shilingi bilioni 6.30 zaKitanzaniakatikamwaka wa fedha 2014/15, kutokana na mauzo ya almasi zenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 69.22.Pia,katikamadiniyavitovyarangi, SerikaliilikusanyamrabahawaShilingi bilioni2.97kwamwakahuowafedha, ambapoKilogramumilioni2.28za madiniyamapambo,Gramumilioni 2.00zamadiniyavitoghafinaKarati 479,688 za madini ya vito vilivyochongwa yalithaminiwa.Madinihayo yalithaminiwakwaDolazaKimarekani milioni 49.16.Hayoyalielezwahivikaribuni naMkurugenziwaKitengocha UthaminishajiwaMadiniyaAlmasina VitochaWizarayaNishatinaMadini (TANSORT), Archard Kalugendo wakati akiwasilishataarifayautekelezajiwa majukumu ya Kitengo chake kwa mwaka 2014/2015 katika Semina ya Wathamini MadiniyaVitonaAlmasinchini, iliyofanyika Agosti 12 na 13, mwaka huu katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.Kalugendo alisema kuwa, kwa upande wamadiniyaalmasi,ThaminiTisa(9) zilifanyikakatikakampuniyaElHillal MineralsLtdnaThamini36zilifanyika kwa kampuni nyingine 14 zinazojihusisha nabiasharayaalmasi.Aidha,alisema kuwa jumla ya Thamini 1,630 zilifanyika katika Kampuni 149 za madini ya vito.Akizungumziamafanikio yaliyopatikanakatikakipindihicho, Kalugendoalisemakuwawastaniwa bei ya almasi ya Tanzania katika soko la Duniaumepandakwaasilimiambili(2) kutoka Dola za Kimarekani 285.54 kwa karati moja mwaka 2013/2014 hadi Dola za Kimarekani 291.83.Aidha,aliongezakuwamauzoya almasi yalipanda kwa asilimia 12 ki-uzito na asilimia 14 kwa thamani ikilinganishwa namwaka2013/14hivyokusababisha makusanyoyamrabahakupandakwa asilimia 14.Kwaupandewachangamoto, Kalugendo alisema kuwa mauzo ya vito yalishukakwaasilimiaTisa(9)kutoka Dola za Kimarekani milioni 53.86 mwaka 2013/14hadiDolazaKimarekani milioni49.16mwaka2014/15nahivyo kusababishamrabahakushukakwa asilimia Tisa (9) ikilinganishwa na mwaka 2013/14.Pia, alitaja changamoto nyingine kuwa nipamojanakutokuwepokwakadaya Wajemolojia katika muundo wa kada za UtumishiSerikalini,kutokuwepojengo au sehemu mahsusi ya kufanyia biashara ya madini ya thamani kubwa hapa nchini pamoja na ukwepaji wa kodi na tozo za Serikalinautoroshwajiwamadiniya vitohasamiongonimwawazalishajina wafanyabiasharawadogowamadiniya vito hususani Tanzanite.Pamojanachangamotohizo, Kalugendoalielezakuwaufumbuzi wake ni pamoja na matarajio ya kuanza tena kukua kwa uchumi wa Dunia hivyo kuinua mauzo na bei ya almasi na vito.Alitajaufumbuzimwinginewa changamotokuwanikuendeleakutoa elimukwaummakuhusumadhara yavitendovyaukwepajikodinatozo mbalimbali za Serikali.Alisemajuhudizimeongezwakatika usimamiziwaSheriailikuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa pale vitendo vyauvunjajisheriavinapobainikana kuthibitishwa.MkurugenzihuyowaTansort alieleza mwelekeo wa Tasnia husika kwa mwakawafedhaulioanza(2015/16), kuwanipamojanakuendeleakutimiza majukumu yake kwa ufanisi zaidi pamoja na kujenga uwezo wa Kitengo ili kiweze kutoahudumakwaWatanzaniawengi zaidi.Vilevile,Kalugendoalitajamwelekeo mwingine wa Tansort kuwa ni kutoa elimu ya kulinda na kukuza soko la ndani na nje la almasi na vito kwa lengo la kuchangia ukuaji wa sekta ya almasi na vito nchini ili iweze kutoa mchango mkubwa kiuchumi kwa Taifa.AlimaliziakwakuwaasaWathamini MadiniyaAlmasinaVitokufanyakazi kitaalamu, kizalendo, kwa uwazi na kwa kujitumailikuhakikishaSerikaliinapata mrabaha stahikina kuhakikisha mchango watasniahiyokwenyeuchumiwanchi unaongezeka.KazikuuzaTansortnikuchambua nakuthaminimadiniyaalmasinavito vyarangipamojanakutoahudumaza Kijemolojia, kusimamia mauzo ya almasi na vito pamoja na kufanya tafiti za masoko na bei za madini hayo kwenye masoko ya kimataifa.Mratibu wa Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC), Mussa Shanyangi akiwasilisha mada kuhusu Maendeleo ya Kituo hicho kwenye Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi iliyofanyika Agosti 12 na 13 katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT) Archard Kalugendo, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara Mhandisi Ngosi Mwihava, Kaimu Kamishna wa Madini nchini Mhandisi Ally Samaje na Mkurugenzi wa Utawala na RasilimaliWatu Mrimia Mchomvu, wakijadili jambo muda mfupi kabla ya kuanza kwa Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini, iliyofanyika Agosti 12 na 13, 2015 katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza5Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADINISerikali yazungumzia usalama wa mazingira na afya kwa wachimbaji MadiniNa Veronica Simba - MwanzaImeelezwakuwaSerikaliinafanya jitihadambalimbalikatika kuhakikishainawajengeamazingira mazuri ya kazi wachimbaji wadogo wa Madini hususan katika kujikinga namadharayanayotokananamatumizi ya kemikali hatarishi kwa afya zao na jamii inayowazunguka.Hayoyalielezwahivikaribunikwa nyakati tofauti na Wataalamu wa Serikali wa Afya na Mazingira kutoka Wizara ya NishatinaMadinipamojanaWakala waUsalamanaAfyaMahalapaKazi (OSHA).Wataalamhao,WinnifridaMrema kutokaKitengochaMazingiracha WizarayaNishatinaMadininaDkt. AbdulssaraamOmarykutokaOSHA, walikuwawakiwasilishamadakwa nyakatitofautizinazohusuAfyana Uhifadhiwamazingirakwenyeshughuli zauchimbajiMadini,katikaSeminaya WathaminiMadiniyaAlmasinaVito nchini, iliyofanyika katika Hoteli ya Gold CrestjijiniMwanzaAgosti12na13, mwaka huu.Pamojanakupongezajitihada zinazofanywanaSerikalikatika kuhakikisha shughuli za uchimbaji Madini zinafanyika katika hali ya usalama pasipo kuathiriafyayaviumbenamazingira, DktOmaryalishaurimambokadhaa yazingatiwe zaidi ili kupata ufanisi katika kuendeleza jitihada hizo.Alishaurikuongezaufahamuau ujuziwamatumiziyakemikalihatarishi miongonimwawatumiajinawanaouza kemikalihizo,kuhamasishawachimbaji kuelewanakutoakipaumbelekwa masualayaafyanausalamamahalipa kazi,pamojanakutumiavifaakinga (PersonalProtectiveEquipments-PPE) ipasavyo. Vilevile,DktOmaryambayepiani KaimuMenejawaAfyawaOSHA, alishaurikuwanauhifadhiwakemikali unaozingatiaviwango,kuwekaalama zaviashiriahatarikatikavyombovya kuhifadhia kemikali, na kukuza uelewa wa uhifadhi na utunzaji wa kemikali miongoni mwa wachimbaji.Kwaupandewake,BibiWinnifrida MremaambayeniMkemiaMkuu, alishaurikuendelezauelimishajina kuongeza ufahamu kwa wadau mbalimbali wa sekta ya madini kuhusu mbinu bora za uhifadhiwamazingiramigodinipamoja na namna bora ya kukabiliana na majanga au athari mbalimbali zinazosababishwa na uharibifu wa mazingira.Aidha,BibiMremaalishaurina kusisitizaushirikianonawadauwenye dhamanayakusimamiamasualaya mazingira kutoka sekta mbalimbali kama vileMaafisaMazingirawaWilayaili washirikianenaMaafisawaMazingira kutokaWizarayaNishatinaMadini katika kusimamia shughuli zinazofanywa na wachimbaji wadogo wa madini nchini, hususankatikamasualayausalamawa mazingira na afya za wachimbaji wenyewe pamoja na jamii inayowazunguka.Mkemia Mwandamizi kutoka Kitengo cha Mazingira cha Wizara ya Nishati na Madini, Bibi Winnifrida Mrema, akiwasilisha mada kuhusu uhifadhi wa mazingira migodini katika Semina ya Wathamini Madini ya Almasi na Vito iliyofanyika Agosti 12 na 13 katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.Wathamini madini vito waaswa kuwa wabunifuNa Veronica Simba - MwanzaKaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi NgosiMwihavaamewataka Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini kuendelea kuwa wabunifuilikutafutamajibunasuluhisho kwa changamoto zinazoikabili tasnia ya vito nchini.Aliyasemahayoalipokuwaakifungua SeminayaNneyaWathaminiMadiniya Vito na Almasi nchini iliyofanyika Agosti 12 na 13, mwaka huu katika Ukumbi wa Hoteli ya Gold Crest, jijini Mwanza.Mwihavaalisemakuwachangamoto mbalimbalizinazoikabilitasniahiyo zitawezakuondolewaendapowatumishi katikakadahiyowatajitumakufanyakazi kwauaminifu,weledinaubunifuwahali juu. Napendakuwakumbushakwamba Watanzaniawanatakakuonafaidastahiki kutoka katika sekta ya madini hasa itokanayo naalmasinavitovingine;kadhalikahata mimi nataka kuona matokeo yanayopimika namalengohayokutimianahatakuzidi viwangowanavyotarajia,alisemaKaimu Katibu Mkuu.Akifafanuazaidi,Mwihavaaliongeza kuwaangependakuonaSokolauhakika kwaMadiniyanayopatikananchini hususanAlmasinaVitoiliWatanzania wanaojishughulisha na biashara hiyo wajue utaratibu wote.Alisemakuwaangependakuona wataalamhaowakitumiaipasavyo mitandaoiliyopokatikakuwavutia wafanyabiasharanawakatajiwavitokuja nchini kununua na kuwekeza katika tasnia husika.Aidha,Mwihavaaliongezakuwa angependakuonawataalamuhaowa Madini ya vito na almasi wakitumia ujuzi waokatikakuwasaidiawadauwatasnia husikakupatatafsirisahihinakuzingatia Sheria ya Madini ya mwaka 2010 pamoja na Kanuni zake.Nawaagizamzingatiemaadilina miongozoyakazikatikautekelezajiwa majukumuyenu;msomenakuzingatia Sera ya Madini ya mwaka 2009, Sheria ya Madini ya mwaka 2010 pamoja na kanuni zake na Mkataba wa Huduma kwa Mteja, alisisitiza Mwihava. Vilevile,KaimuKatibuMkuu alitahadharishakuwayeyoteatakayefanya kazikinyumenamatarajio,kwakupokea rushwa,wiziaukufanyajambojingine lolote kinyume na maadili ya utumishi wa Ummanakusababishakuathirijuhudi zinazofanywa na Wizara, hatavumiliwa.AkizungumziamchangowaSerikali katikakuinuatasniayaMadiniyavitona almasi, Mwihava alisema Wizara imeahidi kuongezamapatoyatokanayonasektaya madiniilikuongezauwezokwaSerikali kujitegemea katika bajeti yake. Endapo azma hii itafanikiwa, uchumi wetukamaTaifautakua,fursazaajira zitaongezekanakipatochaWatumishi kitaboreshwa.Aidha,wananchiwatapata hudumastahiki,muingilianowabiashara utakuanahivyokuchocheaufikiajiwa malengo ya Dira ya Taifa, yaani kuwa nchi yenye kipato cha kati ifikapo 2025. Alisisitizakuwasualamuhimuzaidini kuhakikishaWatanzaniawanaridhishwa nautendajikaziwawatumishiwaSerikali hususanwaliokokatikakadahusikana kuwaonyeshaWatanzaniakwambawana uwezowakusimamiasektahusikakwa niabayaonapiawananchiwaonekwa manenonavitendokwambakazihiyo inafanyika vizuri.Mwihavaalihitimishakwakuwataka washirikiwaseminahiyokuitumiakama fursa muhimu ya kujitathmini, kubadilishana uzoefu,kupeanambinuzautendajibora, kutafuta majibu ya changamoto mbalimbali zinazowakabilinakukumbushanamaadili mema ya kazi na utumishi wa umma. Alitoachangamotokuwaanatarajia baada ya semina husika, wataalam hao wa sekta ya Madini vito na almasi watakuja na mkakatiwakuboreshaukusanyajimapato ya Serikali kutoka katika tasnia ya almasi na vito, ili kuisadia Wizara kufikia malengo ya makusanyo na kuboresha utendaji wao. Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT), Archard Kalugendo (Kulia), akimwongoza Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara, Mhandisi Ngosi Mwihava kuingia Ukumbi wa Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini, iliyofanyika Agosti 12 na 13 katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.6 Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININa Asteria Muhozya, LindiWachimbajiwasiokuwa na Leseni za uchimbaji madiniwameshauriwa wajirasimisheili kuweza kupata leseni za uchimbaji au leseni ndogo za biashara ya madini, hatua ambayo itawezesha wapate mapato na serikali kupata kodi stahiki.RaihiyoilitolewanaMhandisi waMadinikutokaWizarayaNishati naMadini,RaysonNkyawakatiwa MaoneshoWakulima(NaneNane) yaliyofanyikakatikaViwanjavya Ngongomkoani,Lindi,nakuongeza kuwa,wachimbajimadiniwanatakiwa kuzitumia ofisi za Madini zilizoko katika Mikoambalimbalinchinikwaajiliya kupatataarifasahihikuhususektahiyo, ikiwemo kufahamu bei elekezi ya madini ya vito utambuzi na uthaminishaji madini .Aliongezakuwa,Ofisizamadini zinawatambuawafanyabiasharawenye leseni hivyo kufika kwao katika ofisi hizo kutasaidiakuwaunganishawachimbaji hao na wafanyabiashara wa madini jambo ambalo pia litasaidiakudhibiti utoroshaji wa madini nchini.Wakati huo huo, Nkyaalieleza kuwa, kumekuwanamwitikiomkubwawa wachimbajikujitokezakutumiahuduma za maombi ya leseni kwa njia ya mtandao (OnlineMiningCadastre),nakuwataka wachimbajikutumianjiahiyokwanini bora na rahisi zaidi.HivisasaWizarainaendeleakutoa elimuyakuhusunjiahiyompya,vilevile tumetumiamaoneshoyaNaneNaneili wachimbaji waliopo katika mikoa ya Lindi na Mtwara wapate elimu na taarifa sahihi kutokavyanzosahihikuhususektahii, alisema Nkya. Katika hatua nyingine, Afisa Mazingira Mwandamizi,WizarayaNishatina Madini,EphraimMushi,akizungumza nawananchikatikaMaoneshohayo, alisemakuwa,KitengochaMazingira katikamwakawafedha2015/16kwa kushirikiana Ofisi za Halmashauri pamoja na Taasisi Zisizo za Kiserikali kimepanga kutumia Mpango Kazi wa Mazingira wa Wizara wa mwaka 2011-2016 kutoa elimu ya mazingira katika Mikoa kadhaa nchini ikiwemo Lindi na Mtwara.Aliongezakuwa,elimuhiyo itasaidiakuzuiauharibufuwamazingira unaotokananaukatajimitikwaajiliya matumizi ya kuni na mkaa kama nishati inayotumiwa kila siku. Aidha,aliongezakuwa,Kitengo kimepangakuhamasishajamiikuhusu matumiziyateknolojiarahisikwaajili yakuzalishakuninamajikosanifuna banifuyatayotumiakuninamkaakwa kiasi kidogo. Kitengo cha Mazingira pia kimejipangakutoaelimukuhusuathari zamabadilikoyatabianchiambayo yanatokananashughulizakibinadamu ikiwemo za kukata miti,alisisitiza Mushi. Aidha,akizungumziamasualaya ulinziwamiundombinuyakusafirishia gesiasiliakutokaMtwarakupitiaLindi, PwanihadiDaresSalaam,Mjiolojia MwandamiziWizarayaNishatina Madini,HabbasNgulilapialisema kuwaulinzihuounapaswakuwa shirikishiukiwahusishawananchiwote wanaopitiwanamiundombinuhiyo, kwani manufaa yakesi tuyatainufaisha Mikoa ya Lindi na Mtwara bali taifa zima.Ngulilapialiongezakuwa,manufaa yatakayotokana na rasilimali hiyo ni mengi ikizingatiwakuwa,matoleoyabomba lagesihiyoyamejengwakatikamaeneo mengi hivyo suala la ulinzi ni muhimuna siyo kuiachia Serikali pekee.Wachimbaji wasio na leseni washauriwa kujirasimishaMhandisi Rayson Nkya (katikakati) akimwonesha mwananchi aliyetembelea banda la Wizara, taarifa mbalimbali kupitia kipeperushi kuhusu wizara, wakati wa maonesho ya NaneNane. Wanaofuatilia kushoto ni Godfrey Fweni na kulia ni Godwin Masabala.Mhandisi wa Mazingira kutoka Kitengo cha Mazingira Wizara ya Nishati na Madini, Ephraim Mushi (wa kwanza kulia), akiwaeleza jambo kuhusu masuala ya mazingira wananchi waliotembelea Banda la Wizara Wakati wa Maonesho ya Nane Nane, Lindi. Katikati ni Afisa Madini kutoka Kanda ya Kusini, Kasuhu Warioba.Mhandisi wa Mazingira kutokaKitengo cha Mazingira Wizara ya Nishati na Madini, Ephraim Mushi (katikati) na Afisa kutoka Wizara ya Nishati,Salum Kazikamwe (kulia) wakimsikiliza mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Wizara.Mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Wizara ya Nishati na Madini akiweka saini katika kitabu cha wageni, Wanaofuatilia (katikati) ni Godfrey Fweni na kulia ni Mjiolojia Mwandamizi Habbas Ngulilapi.7Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININdyetabula Clinton, Dar es SalaamImeelezwa kuwa madini yaTanzania hususanTanzaniteyataanza kutambulikakimataifabaadanchiza maziwa makuu kukamilisha ujenzi wa maabara nchini Tanzania kwa ajili ya upimaji wa madini ili kubaini asili yake.HayoyalielezwanaKaimuKatibu MkuuwaWizarayaNishatinaMadini, MhandisiNgosiMwihavakwenye ufunguzi wawarsha ya kimataifa ya madini iliyokutanisha wataalam mbalimbalikutoka nchi za Maziwa Makuu.NchizaMaziwaMakuunipamoja naTanzania,Kenya,Uganda,Rwanda, Burundi, Zambia, Sudan Kaskazini, Sudan Kusini, Kongo, Jamhuriya Demokrasia ya Kongo na AngolaMhandisiMwihavaalisemakuwa kumekuweponachangamotoyamadini yaTanzanitekutokutambulikaasiliyake kutokana na utoroshwajiwa madini hayo unaofanywanawafanyabiasharawasio waaminifu.AlisemanchizaMaziwaMakuu zilikubalianamambombalimbaliili kudhibitibiasharaharamuyamadinina kuwaponasheriazinazotawalakatika udhibiti wa biashara haramu ya madini na uhalalishajiwa madini pamoja na kujiunga naMpangowaKuongezaUwazina Uwajibikaji katika Tasnia ya Uziduaji (EITI)Aliendeleakutajamambomengine kuwanipamojawachimbajiwadogo kutambuliwakatikamfumohuonautoaji wa taarifa za madini. Mwijage akagua miradi ya umeme pembezonimwa bomba la GesiNa Teresia MhagamaNaibuWaziriwaNishatina Madini,CharlesMwijage amefanyaziarayakukagua utekelezajiwamiradiya umemevijijiniAwamu yaPiliinayotekelezwapembezonimwa bombakubwalagesikatikamkoawa Mtwara.Pamojanakukaguamiradihiyo inayofadhiliwanaWakalawaNishati Vijijini(REA)nakutekelezwanashirika laUmemenchini(TANESCO),Naibu Waziri pia amekagua maendeleo ya kituo chakuchakatagesikilichopokijijicha Madimba katika mkoa wa Mtwara.KatikaziarahiyoMwijageameagiza kuwavifaavyaumemevinavyohitajika katikautekelezajiwamiradihiyoya umeme,viwasilishwendaniyawakati uliopangwa ili miradi hiyo itekelezwe kwa ufanisi.Akijibu suala hilo la uwasilishaji vifaa vyaumeme,MhandisiMiradiwaREA, JensenMahavilealisemakuwavifaavya utekelezaji wa mradi huo ikiwemo nguzo zaumemevitawasilikwameliwishoni mwa wiki hii.1. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (mwenye suti ya bluu) akiwa amezungukwa na wanakijiji cha Sinde B, mkoani Mtwara wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini.2. Naibu waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara kabla ya kuanza ziara ya kukagua miradi ya umeme vijijini mkoani Mtwara.Kushoto ni Katibu Tawala mkoa wa Mtwara, ALfred Luanda.3. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (kulia) akijadiliana jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, (katikati) mara baada ya Naibu Waziri kuwasili mjini Mtwara kwa ziara ya kukagua miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa pembeni mwa bomba la gesi mkoani Mtwara. Kushoto ni Christopher Bitesigirwe, Mhandisi wa Nishati, Wizara ya Nishati na Madini.4.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (kushoto) akimsikiliza mwananchi wa kijiji cha Mnaweni mkoani Mtwara, Bakari Oga ambaye alikuwa akimweleza Naibu Waziri kuhusu changamoto ya utekelezaji wa miradi ya umeme kijijini hapo.12 34Naibu waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (wa pili) kushoto akijadiliana jambo na wataalam wa Wizara ya Nishati na Madini alioambatana nao katika ziara ya kukagua miradi ya umeme vijijini inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika mkoa wa Mtwara.Kutoka kushoto ni Mjiolojia Mkuu, Sebastian Shana, Eng. Robert Dulle na Christopher BitesigirweTanzanite kutambuliwa zaidi kimataifaMjiolojia Mkuu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Aloyce Tesha (kushoto) akifafanuajambo kwa waandishi wa habari waliohudhuria warsha hiyo.Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara yaNishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava.8 Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADINIWaziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli akizungumza jambo wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane) kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Jakaya Kikwete.Afisa Mwandamizi kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mjiolojia Habbas Ngulilap akihojiwa na mwandishi wa Channel Ten wakati wa Maadhimisho ya Wakulima NaneNane. Wanaomsikiliza ni Mhandisi wa Mazingira Ephraim Mushi (katikati) na Mhandisi wa Nishati Marwa Petro.Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akibonyeza kitufe kuashiria Uzinduzi wa Benki ya Wakulima.Afisa kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Shukran Gilbert akiwaeleza baadhi ya wanafunzi waliotembelea banda la Wizara wakati wa maonesho ya Wakulima (NaneNane) kuhusu masuala yanayohusu Nishati.MATUKIO KATIKA PICHA: NANENANEWatumishi wa Wizara ya Nishati na Madini, kutoka kushoto, Godfrey Fweni, Kasuhu Warioba, Tulimbumi Abelna Godwin Masabala wakiwasiliza wananchi waliofika banda la Wizara wakati wa maonesho ya Wakulima (NaneNane), Lindi.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia (kushoto) akisoma vipeperushi katika banda la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), kulia anayemwandalia machapisho ni Mkuu waKitengo cha Mawasiliano TPDC, Maria Msellemu.9Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADINIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Jakaya Kikwete akivishwa Skafu na Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mara baada ya kuwasili katika Viwanja vya Ngongo, Lindi, kufunga Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane).Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira akizungumza na wananchi (hawapo pichani) wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane), Lindi.Maafisa kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA) Ysambi Shiwa (kulia) na Lydia John (kushoto) wakijadiliana jambo katika banda la TMAA wakati wa maonesho ya Wakulima (NaneNane), Lindi.Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka akimkabidhi Mkutubi wa Chuo cha Madini Dodoma (MRI) Kanuti Mhongole, Tuzo inayokitambua Chuo hicho kama Taasisi bora katika utoaji wa mafunzo nchini iliyotolewa katika kilele cha Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane) yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.NANENANEMhandisi wa Nishati Wizara ya Nishati na Madini Marwa Petro akiwaonesha Grid ya Umeme wananchi waliofika banda la Wizara ya Nishati na Madini wakati wa Maadhimisho ya NaneNane yaliyofanyika viwanja vya Ngongo, Lindi.Baadhi ya wananchi waliohudhuria Kilele cha Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane) iliyofanyika Kitaifa mkoani Lindi, wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (hayupo pichani).10 Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADINIMATUKIO KATIKA PICHA:Meza Kuu wakiwa katika Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini. Semina ilifanyika Agosti 12 na 13, 2015 katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza. Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT), Archard Kalugendo, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara Mhandisi Ngosi Mwihava, Kaimu Kamishna wa Madini Ally Samaje na Mkurugenzi wa Utawala na RasilimaliWatu Mrimia Mchomvu.Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Ziwa Victoria - Magharibi, Mhandisi David Mulabwa akifuatilia mada mbalimbali katika Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini iliyofanyika Agosti 12 na 13, 2015 katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.Kaimu Kamishna wa Madini nchini, Mhandisi Ally Samaje, akifafanua jambo katika Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini iliyofanyika Agosti 12 na 13, 2015 katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.Mtaalamu kutoka Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT), Bw. Edward Rweyemamu (aliyesimama), akizungumza jambo wakati wa Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini iliyofanyika Agosti 12 na 13, 2015 katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (Wa pili kushoto waliokaa mbele), akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi. Wengine kutoka Kulia (waliokaa) ni Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Ziwa Victoria - Magharibi, Mhandisi David Mulabwa, Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Mrimia Mchomvu, pamoja na Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT), Archard Kalugendo.MADINI VITO/ALMASI11Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININa Mohamed SaifWachimbajimadininchini wametakiwakufuata sheriakatikashughuli zao zote ili kuepukana na migogoro isiyo ya lazima.Witohuoumetolewahivikaribuni mjini Songea na Afisa kutoka Kitengo cha LesenizaMadini,WizarayaNishatina Madini,IddMgangawakatiwamafunzo ya matumizi ya huduma za leseni kwa njia ya mtandao yaani Online Mining Cadastre Portal kwa wachimbaji wadogo wa madini Kanda ya Ziwa Nyasa- Songea.Akizungumzakwenyemafunzohayo, Mgangaaliwaasawachimbajikuepuka kufanya shughuli zao bila kufuata utaratibu maalumuliowekwanaSerikali.Mkifuata sheriazinavyoelekezahatamigogoro kwenyeshughulizenuhaitokuwepo, alisema Mganga.Alisema kwa kufuata sheria, kanuni na taratibuzilizowekwanaSerikali,shughuli za uchimbaji madini zitaongeza kipato kwa mchimbaji mmoja mmoja na kwa Taifa kwa ujumla.Mgangaaliwatakawachimbajiwa madini kushirikiana na Serikali kwa kulipa kodi na tozo zinazotambulika kisheria kama inavyoagizwa kwenye Sheria ya Madini ya Mwaka 2010 ili kuimarisha sekta ya madini nchini na vilevile kukuza uchumi wa Taifa.Alisemailimchimbajiwamadini anufaike zaidi na shughuli husika, yampasa azingatieanayoelekezwanawataalamu wamadinikwanikwakufanyahivyo kutamuwezesha kuwa na uchimbaji madini wenye tija kwake binafsi na kwa Taifa kwa ujumla.Aidha,aliwaasawachimbajiwadogo wamadininchinikuhakikishawanafika kwenyeOfisizaMadinizilizokaribuyao huku wakiwa na leseni zao hai kwa ajili ya uhakikinahatimayekusajiliwailikuweza kutumia Mfumo huo wa OMCTP.Naye Mhandisi wa Migodi kutoka Ofisi ya Madini kanda ya Ziwa Nyasa, Mhandisi George Wandibha akizungumza kwa niaba yaKamishnaMsaidiziwaKandahiyo alisemaMafunzohayokwawachimbaji madini ni mpango wa wizara wa kuwajengea uwezo wachimbaji wa madini nchini. Alisema wizara inafanya kila jitihada ili mafunzo hayo yawafikie wachimbaji wengi nchini,ndiyomaanahivileowachimbaji mnaohudumiwanaOfisiyaMadiniya Songeamnafaidikanampangohuu, alisema.Mhandisi Wandibha aliongeza kwamba WizarayaNishatinaMadiniimepanga kuboresha huduma za leseni ili kuwezesha shughulizauchimbajimadinikufanyika kwauwazikatikakuwashirikishawadau walesenikwenyeUtoajiwalesenikwa njiayamtandao(OnlineMiningCadastre Transactional Portal - OMCTP) kwenye mfumo ujulikanao kama Mining Cadastral Information System (MCIMS). AkizungumziaOMCTP,alisema wachimbajiwadogowamadininiwadau wakubwa wa mtandao huo hivyo mafunzo hayo ni ya kuwaandaa ili kuweza kuongeza ufahamu mpana wa mtandao huo na namna unavyofanyakazizaupokeajimaombina utunzaji wa kumbukumbu za leseni.Akizungumza kwa niaba ya wachimbaji madiniwaliohudhuriamafunzohayo, MosesSunguraambayenimchimbaji madini kutoka Kijiji cha Makoro, wilayani MbingaaliipongezaWizarakwakuandaa mafunzohayonakuiombakuendeleza mpangowamafunzoilihatawachimbaji ambaohawakuwezakuhudhurianao wanufaike.Binafsi nimejifunza mambo mengi sana maananilikuwanafanyashughulihiziza uchimbaji kienyeji sana na sasa ninawaahidi kuwabaloziwenuhukoninapokwenda, alisema Sungura. Aidha, akizungumzia huduma za leseni kwanjiayamtandao(OMCTP),alisema kwambahudumahiyowameipokeavizuri na alielezea matumaini yao kuhusu huduma husika.Kwatulivyoelekezwanawataalamu, hudumahiiitatusaidiasanapamojana kutupunguziausumbufuwakusafirimara kwamarakujakwenyeofisizamadini maanamamboyotetutafanyawenyewe, alisema Sungura.MfumowaHudumazaLesenikwa njia ya mtandao ulizinduliwa rasmi mnamo tarehe 8 Juni, 2015. Uzinduzi huo ulifanyika baadayakipindichamwakamzimawa maandalizi ya mfumo huo wa kielektroniki ujulikanaokamaOnlineMiningCadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, inaelezwa kwambaMfumohuoumeanzishwaili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. OMCTP ni neema kwa waombaji leseni za madini nchiniWachimbaji madini watakiwa kufuata sheriaNa Mohamed Saif, NjombeImeelezwa kwamba huduma ya leseni zamadinikwanjiayamtandao itampunguziagharamanaadhaza usafirimmilikiwalesenizamadini kwakumuwezeshakulipiaadaza leseni yake pale alipo.Hayo yameelezwa hivi karibuni na Afisa MadiniMkazi-Njombe,SamwelAyubu alipokuwa akifungua mafunzo ya matumizi kuhusuhudumazalesenikwanjiaya mtandaoyaaniOnlineMiningCadastre Portal(OMCTP)kwawachimbajiwa madini mkoani Njombe. Ayubualisemakupitiamfumowa zamani,wakatimwinginemmilikiwa lesenianalazimikakusafiriumbalimrefu nakutumiaghramakubwanakupata usumbufu usio wa lazima pindi anapohitaji kuhuisha leseni yake ama pale anapokuwa na maombi ya leseni.Kwakupitiahudumahiiya kielektroniki,mmilikiwaleseniataweza kuepuka changamoto mbalimbali alizokuwa akikutananazowakatiwamfumowa zamani wa uombaji leseni, alisema Ayubu.Alitajamanufaamengineambayo yanatokananahudumahiyokuwani kuongeza uwazi na kasi ya utoaji wa leseni zamadinikwakuwawaombajiwaleseni watajazamaombiyaleseniwaowenyewe nahivyokupunguzatatizolamlundikano wa maombi kwenye ofisi za madini. Aidha,AfisaMadiniMkazihuyo aliwatakawachimbajiwaliohudhuria mafunzohayokuwamabalozikwawale ambaohawakupatafursayakuhudhuria mafunzo hayo.Kwamafunzomtakayoyapatahapa, nawaombamkawewalimukwawenzenu ambao hawakufanikiwa kuhudhuria semina hii, alisema.Alimaliziakwakuwaasawachimbaji haokuhakikishawanatembeleaOfisiya Madini-Njombekwalengolakupatiwa elimu zaidi kuhusu mfumo huo na vilevile kufika hapo kwa ajili ya kusajiliwa kwenye huduma hiyo.Mjiolojia Mwandamizi, Idd Mganga akiwasilisha mada kwa wachimbaji madini wa Songea (hawapo pichani) wakati wa mafunzo ya huduma za leseni kwa njia ya mtandao yaliyofanyikia mjini Songea.Afisa Madini Mkazi- Njombe, Samwel Ayubu (kulia) akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo kwa wachimbaji Madini wa Mkoani Njombe kuhusu Huduma za Leseni kwa njia ya Mtandao (OMCTP) mjini Njombe. Wengine ni Maafisa kutoka Kitengo cha Leseni Mjiolojia Mwandamizi, Idd Mganga (kushoto) na Mhandisi Edward Mumba (katikati).Watumishi wa Wizara ya Nishati wakiwa katika picha ya pamoja kwenye Ofisi za Madini-Njombe baada ya Mafunzo kwa wachimbaji madini mkoani humo. Watatu kutoka kushoto ni Afisa Madini Mkazi-Njombe, Samwel Ayubu kushoto kwake ni Idd Mganga na kulia kwake ni Mhandisi Edward Mumba.12 Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININa Teresia Mhagama, LindiChuochaMadini,Dodoma (MRI)kimepataTuzo inayokitambuaChuohicho kamaTaasisiborakatika utoajiwamafunzonchini iliyotolewa katika kilele cha Maadhimisho yaWakulima(NaneNane)yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.TuzohiyoilitolewanaRaiswa JamhuriyaMuunganowaTanzania, Dk.JakayaMrishoKikwetena kupokelewanaKamishnaMsaidiziwa Madini,KandayaKusini,Mhandisi BenjaminiMchwampakaambaye aliiwakilisha Wizara na Taasisi zake katika Maadhimisho hayo.Akiongea mara baada ya kupata Tuzo hiyo, Mkutubi wa MRI, Kanuti Mhongole alieleza kuwa Chuo hichokina wanafunzi 668 wanaosomea kozi mbalimbali katika ngaziyaChetinaStashahadaikiwemo Jiolojia,UhandisiMigodi,Uchenjuaji Madini,UhandisinaUsimamizi MazingirakatikaMigodinaKoziya Mafuta na Gesi.Alielezakuwakwakutambua mchangowawadauwamadinikatika kukuza uchumi wa nchi, Chuo hicho pia hutoa kozi mbalimbali za madini za muda mfupiambazohuwalengawachimbaji wadogo,wafanyakaziwamigodini, watumishiwaserikali,watumishikatika sekta binafsi na wadau mbalimbali katika sektazamadinipamojanamafutana gesiilikuhakikishashughulizamadini zinakuwa zenye tija.Aliongezakuwa,ilikuwezakujiunga na Chuo hicho kwa masomo katika ngazi ya cheti na Stashahada lazima uwe na sifa za uhitimu wa kidato cha nne na kufaulu masomoyasayansikuanziakiwango chaalamaDkatikamasomoyasayansi ambapoDmbilizinatakiwakuwaza masomo ya fizikia na hisabati.Vilevile alieleza kuwa Chuo kipo katika mchakatowakubadilimfumowakewa utoaji wa mafunzo ya aina moja na kuingia katika mfumo wa utoaji mafunzo ya kada mbalimbali za kitaalam (polytechnic).Kanuti alisema kuwa Chuo kimeamua kubadilimfumouliopokwasasana kuhamiakatikamfumompyawa polytechnicilikutanuawigowautoaji mafunzoambapokitawezakufundisha masomoyasektayamadiniambayo yanatolewasasapamojanataaluma nyingine kulingana na mahitaji ya Taifa.Chuokimeonakunasababuza msingizakuhamiakwenyepolytechnic kutokananamahitajiyanchikwa sasa,kwamfanokutokananauwepo warasilimalizagesinamafuta,Chuo chetukimeanzakutoakoziyamafuta nagesikatikangaziyastashahadahivyo kuwawezesha watanzania wengi kushiriki katikakuendelezasektahiyo,alisema Kanuti.AlielezakuwaadhimahiyoyaChuo imeshatangazwakatikagazetilaserikali nataratibumbalimbalizakukamilisha mchakato huo zinaendelea.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akimkabidhi Kamishna Msaidizi Kanda ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka Tuzo inayokitambua Chuo cha Madini Dodoma kama Taasisi bora katika utoaji wa mafunzo nchini iliyotolewa katika kilele cha Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane) yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi. Anayeshuhudia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantumu Mahiza.Chuo cha Madini chapata Tuzo NaneNaneWatumishi wa Chuo cha Madini Dodoma, wakifurahia Tuzo mara baada ya kukabidhiwa na Kamishna Msaidizi Kanda ya Kusini Benjamin Mchwampaka. Chuo kilipata Tuzo hiyo inayokitambua kama Taasisi bora katika utoaji mafunzo nchini wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Wakulima (Nane Nane), yaliyofanyika mkoani Lindi na kufungwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete.Watumishi wa Wizara na Taasisi zake walioshiriki katika Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane) mkoani Lindi wakishangilia pamoja na Kamishna Msaidizi Kanda ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka (wa sita kushoto) mara baada ya kukabidhiwa Tuzo inayokitambua Chuocha Madini Dodoma kama Taasisi bora katika utoaji wa mafunzo nchini.13Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININa Asteria Muhozya, LindiKamishna Msaidizi wa Madini KandayaKusini,Mhandisi BenjaminMchwampaka amesifu hatua ya Kanda hiyo kuvukalengolaukusanyaji maduhuli ya madini kwa asilimia 102. 86 kwa mwaka wa fedha 2014/15 na kueleza kuwa,mafanikiohayoyametokanana elimu iliyotolewa na Ofisi za Kanda hiyo kwawananchikuhusuumuhimuwa kulipa kodi.Mchwampaka aliyaeleza hayo wakati akihojiwanawaandishiwahabari waliofikakatikabandalaWizaraya NishatinaMadiniwakatiwaKilelecha MaadhimishoyaSikuyaWakulima (NaneNane) yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo, mkoani Lindi, na kufungwa naRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania,Dkt.JakayaMrishoKikwete. Waandishihaowalifikabandanihapo ilikufahamuninamnaganiKandahiyo imewezakuvukalengolaukusanyaji Maduhuli iliyopangiwa na Serikali.Aidha,sababunyingineilitajwa naMchwampakakuwanikutokana nauwekekajiwavizuiziiliKudhibiti usafirishajimadinikatikamaeneoya kuingia na kutoka katika Mkoa wa Mtwara jamboambalolimepelekeawachimbaji wote kulipa kodi stahiki na hivyo Kanda hiyo kuongoza kwa ukusanyaji miongoni mwa Kanda zote nchini.Tuliwaelimishawachimbajina wananchi na wakaelewa kwamba, madini nimaendeleonakuwawanatakiwa kulipa kodi. Lakini zaidi tuligundua kuwa Mtwaranikubwanamjiunaojengwa kwakasihivyotukajipanga,alisema Mchwampaka.Aidha, alieleza kuwa, bado watanzania wengihawakotayarikulipakodiza Serikali hivyo alitumia fursa hiyo kutoa rai kwawachimbajiwotenchinikulipakodi zinazotokananashughulizauchimbaji, kwa kuwa kodi inayopatikana ni kwa ajili ya manufaa ya taifa zima.TaarifailiyotolewaawalinaOfisa MadiniKandahiyoKasuhuWarioba, ilielezakuwa,Mtwarailipewalengola kukusanyakiasichashilingimilionimia tisa(900,000,000/-)lakiniilivukalengo nakukusanyazaidiyashilingimilioni miatisaishirininatano.(925,000,000/-), ambayo ni sawa na asilimia, 102.86 na hivyokushikanafasiyakwanzakatika ukusanyaji maduhuli madini nchini katika mwaka 2014/15.Kwa ujumla Kanda ya Kusini ilipewa lengolamakusanyoyashilingibilioni 1.2,lakiniilifanikiwakukusanyakiasi chabilioni1.85ikiwanisawanaasilimi 90.42nakuwaKandayaKwanzakwa ukusanyajimaduhulinchini,ilieleza sehemu ya taarifa hiyo.Kwa mujibu wa Mchwampaka, Madini yaujenzindiyoambayoyamechangia kiasi kikubwa zaidi katika maduhuli hayo nakuyatajakuwanipamojanamadini ya Jasi (gypsum), kokoto, chokaa, shaba, na madini ya chumvi. Aidha aliyataja pia madinivitonadhahabuinayopatikana eneo la Masasi.Katikahatuanyingine,akifunga Maadhimishohayo,RaisKikwete alielezakuwa,SerikaliyaAwamuya Nneimetekelezamasualamengikatika sektayakilimoambayoaliitajakuwa nikiongozikatikaajiranategemeola asilimia 75 ya watanzania waishio vijijini. Vilevile, alieleza kuwa, Serikali imejitahidi kutekelezailichoahidikatikaIlaniya ChamachaMapinduzi(CCM),na kuongezakuwa,haliyakiuchumikatika mikoayaLindinaMtwaraikiwemo uzalishaji, umeongezeka.Aidha,Katikakilelehicho,Rais KikwetealizinduaBenkiyaWakulima nakuelezakuwa,itakuwamkombozi wawakulima,kwaniitawezesha kutatuachangamotoambazowakulima wanakabiliana nazo.Mchwampaka aeleza Siri ya Mafanikio UkusanyajiMaduhuliKamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka, (kulia) akimsikiliza, Mkuu wa Wilaya ya Liwale, Ephraim Mmbaga (kushoto) alipotembelea banda la Wizara ya Nishati na Madini, wakati wa maonesho ya NaneNane yaliyofanyika kitaifa mkoani Lindi. Anayesikiliza ni Mhandisi wa Nishati, Wizara ya Nishati na Madini, Marwa Petro.Kamishna wa Madini Msaidizi Kanda ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka (wa pili kushoto) akimweleza jambo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia ( wa kwanza kushoto) wakati alipotembelea banda la Wizara wakati wa maonesho ya NaneNane yaliyofanyika kitaifa mkoani Lindi. Wanafuatilia kulia ni Maafisa kutoka wizaraniKamishna wa Madini Msaidizi Kanda ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka akihojiwa na Waandishi wa Habari kutoka Star TV ambao pia walitaka kufahamu ni namna gani Kanda hiyo imevuka malengo katika ukusanyaji maduhuli ya madini.14Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADINIKwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na Madini Karibu tuhabarishane na tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano SerikaliniNa Koleta Njelekela STAMICOWaziriwaNishati na Madini George Simbachawene a n a t a r a j i wa k u z i n d u a KamatiyaPamojayaUendeshaji JointOperatingCommittee(JOC) yaMgodiwaTanzanite,uliopo Merelaniilikuimarishausimamizi wa uendeshaji wa mgodi huo.KaimuMkurugenziwa RasilimaliwatunaUtawala waShirikalaMadinilaTaifa (STAMICO),DeusdedithMagala amesema uzinduzi wa Kamati hiyo yaJOCutafanyikakatikaeneola mgodilililopoMerelanitarehe14 Agosti, 2015.KwamujibuwaMagala, Kamatihiyoinawajumbe3 kutokaSTAMICOna3kutoka TanzaniteOneMiningLimited (TML). Magalaamesema STAMICOkupitia Serikali iliingia rasmi ubia wa umiliki wa mgodi wa TanzaniteOneuliopo KitaluCkwauwiano wa50:50yaleseniya uchimbajimadiniwa Tanzanitemnamo tarehe20Juni,2013na Kampuni hiyo ya TML. Kamatihiyoya JOCinamajukumuya kusimamiashughuliza uendeshajinauzalishaji wamgodizinazofanywa naTMLilikuhakikisha kuwazinazingatia mashartiyamkataba kwamanufaayapande zotekatikamfumo waubia;kuidhinisha bajetinamipangoya uzalishajinamaendeleo yamgodi;kubunisera zitakazosaidia uendeshaji wa mgodi nakuundakamatimbalimbali kulingana na mahitaji katika harakati za kuimarisha utendaji katika Mgodi wa Tanzanite wa Merelani. Aidha, Magalaamesema kuwa KamatiyaJOCpiaitawajibika kuingiamakubalianoyapamojana Kitengo cha Uangalizi na Usimamizi (MonitoringandEvaluationUnit) kuhusu mfumo wa uendeshaji mgodi wa Tanzanite wa Mirerani. Kitengo hiki chenye wawakilishi kutokapandezote,kilianzishwana STAMICOAprili,2014nakina jukumulakufuatilia,kusimamia nakushaurijuuyamwenendowa uendeshajiwamgodipamojana utekelezajiwamasualayamkataba wa ubia. Simbachawene kuzindua Kamati ya Pamoja ya Uendeshaji (Joint Operating Committee-JOC) ya Mgodi wa Tanzanite -Merelani