27
Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu [299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331) Sehemu hii ya II inaendelea kuelezea utaratibu wa lile shirika litakaloshika hatamu za uongozi wa kidini katika Siku za Mwisho chini ya huyu Mwanamke Kahaba na kukomeshwa kwa utaratibu wake hapo atakapokuja Masihi. Christian Churches of God PO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA Email: [email protected] (Haki Miliki © 2010 Wade Cox) (tr. 2012)

Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

  • Upload
    others

  • View
    2

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu[299B]

Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II:Mwanamke Kahaba Na

Mnyama(Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Sehemu hii ya II inaendelea kuelezea utaratibu wa lile shirika litakaloshika hatamu za uongozi wa kidini katika Siku za Mwisho chini ya huyu Mwanamke Kahaba na kukomeshwa kwa utaratibu wake hapo atakapokuja Masihi.

Christian Churches of GodPO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA

Email: [email protected]

(Haki Miliki © 2010 Wade Cox)(tr. 2012)

Masomo yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la haki miliki ni lazima viwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kununua jarida hili au nakala yoyote atakayopewa. Nukuu fupi zilizolazima zaweza kuwekwa kutoka kokote iwapo zitaonekana zitakithi haja ya lugha husika lakini pasipo kukuka maadili ya ya sheria ya haki miliki..

Jarida hili linapatikana Ulimwenguni kote kwenye wavuti yetu ya:http://www.logon.org au http://www.ccg.org

Page 2: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 2

Mwanamke Kahaba na Mnyama

Page 3: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)
Page 4: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)
Page 5: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Utangulizi

Kwenye sehemu ya I tumejionea kwamba Dola ya Mnyama inavyoanza kuinuka na jinsi inavyoweka mfumo wa Serikali inayothibiti mambo yote ya kiunchumi hapa duniani. Wakati mgongano ulioanzishwa au kuchochewa na mfumo huu utakapoleta maafa kwenye nchi nyingi na watakapokuwa wameanzisha nfuno bandia na kuuthibiti kwa kuukalia nji wa Yerusalemu kwa kipindi cha miezi 42 na kisha wataangamizwa.

Katika kipindi hiki cha miezi 42 cha utawala wao watakuwa wanapingwa na Mashahidi Wawili watakaotumwa na Mungu. Na baada ya siku 1260 watauawa na Kristo ndipo atakapoingilia kati kwa kurudi kwake. Tunajionea uingiliaji kati huu kwenye kitabu cha Ufunuo 14, ambayo imemalizia Sehemu yetu ya I.

Wateule ambao idadi yao itakuwa ni watu 144,000 na Mkutano Mkubwa, watakuwa pamoja na Kristo na kisha ndipo yule Mwanake Kahaba Mkuu wa Babeli d the Great Multitude ataanguka na kuangamia, (Ufunuo 14:8).

Baada ya kuanguka huku kwa mji wa Babeli, Malaika wa Tatu atatangaza maafa yatakayowapata wale watu wote walioikubali na kuipokea ile chapa ya Mnyama kwenye kipindi hiki chote cha siku 1263.

Sehemu inayofuatia inaonyesha jinsi Mwanamke huyu maarufu kama Kahaba Mkuu atakapojaribu kumdhibiti huyu Mnyama na anguko lake.

Wateule watakaomshinda huyu Mnyama ndipo watakirimiwa thawabu ya kuwa na Kristo wakati mataifa yatakapokuwa yanahukumiwa.

Hata hivyo, kabla Mwanamke huyu kahaba hajaangamizwa kwenye jaribio lake hili la kutaka kuutawala ulimwengu, Shetani atamchukia Mwanamke huyu kahaba na atampa uweza Mnyama ili amwangamize Mwanamke huyu Kahaba. Mfumo ulio

kwenye imani ya Utatu ulioanzishwa na kuendelezwa na Warumi wenye lengo la kuutawala ulimwengu ndio utakaotumiwa sana kwenye mkakati wa watu hawa, lakini hata hivyo, Mwanamke huyu Kahaba ameshafanikiwa kuingizwa na Shetani na watumishi wake na wameisha mpango wao wa kudhibiti sekisheni muhimu na ni nyingi.

Ufunuo 15 inasema:1Ndipo nikaona ishara nyingine kubwa ya ajabu mbinguni, malaika saba wenye yale mapigo saba ya mwisho, kwa sababu kwa mapigo hayo ghadhabu ya Mungu ilikuwa imekamilika. 2Nikaona kile kilichoonekana kama bahari ya kioo iliyochanganyikana na moto. Kando ya hiyo bahari, walikuwa wamesimama wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake pamoja na tarakimu ya jina lake. Mikononi mwao walikuwa wameshika vinubi walivyopewa na Mungu. 3Nao wakaimba wimbo wa Mose, mtumishi wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo wakisema: “Bwana Mungu Mwenyezi, matendo Yako ni makuu na ya ajabu Mfalme wa zamani zote, njia Zako Wewe ni za haki na za kweli! 4Ni nani ambaye hatakuogopa Wewe Bwana na kulitukuza Jina Lako? Kwa kuwa Wewe peke yako ndiwe mtakatifu. Mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako, kwa kuwa matendo yako ya haki yamedhihirishwa.’’ 5Baada ya haya nikatazama, nalo hekalu la hema la ushuhuda lilikuwa limefunguliwa mbinguni, 6ndani ya lile hekalu wakatoka malaika saba wakiwa na mapigo saba. Walikuwa wamevaa nguo safi za kitani ing’aayo na kufungwa mikanda ya dhahabu vifuani mwao. 7Ndipo mmoja wa wale wenye uhai wanne akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, Yeye aishiye milele na milele. 8Nalo lile hekalu lilijawa na moshi uliotokana na utukufu wa Mungu na uweza wake, wala hakuna ye yote aliyeweza kuingia mle hekaluni mpaka yale mapigo saba ya wale malaika saba yalipomalizika.

Ni katika kipindi hiki ndipo malaika mkuu aliye miongoni mwa wale viumbe hai wanne wanaoonekana wamechukua vitasa saba vya ghadhabu ya Mungu na kuwapelekea

Page 6: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 6

malaika wale saba watakaotoa mapigo ya mwisho.

Kristo atamuangamiza huyu Mpingakristo na yule Nabii wa Uwongo wakati atakaporudi ambao pia ni wakati wa ule Ufufuo wa Kwanza. Ni katika kipindi hiki ambapo wale wote walio kwenye imani ya Utatu na Kanisa lao vitaharibiwa na kukomeshwa kabisa.

Vitasa hivi vya ghadhabu ya Mungu ni mkomesho wa mwisho wa mfumo huu wa uwongo na mafundisho yake na kama tunavyoona kwamba hakuna hata mmoja anayefanya toba kutubia hali hii. Kitasa cha kwanza kitafunguliwa na kumimina ghadhabu yake kwa wale wote walioipokea chapa ya Mnyama na hawakujutia wala kuitubia hali hii.

Ufunuo 16 inasema:1Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mle hekaluni ikiwaambia wale malaika saba, “Nendeni, mkayamwage duniani hayo mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu.’’ 2Malaika wa kwanza akaenda akalimwaga hilo bakuli lake juu ya nchi. Majipu mabaya yenye maumivu makali yakawapata wale watu wote waliokuwa na chapa ya yule mnyama na kuiabudu sanamu yake. 3Malaika wa pili akalimwaga bakuli lake baharini, nayo ikabadilika kuwa damu kama ya mtu aliyekufa na kila kiumbe hai kilichokuwa ndani ya bahari kikafa. 4Malaika wa tatu akalimwaga bakuli lake katika mito na chemchemi za maji, nazo zikawa damu. 5Ndipo nikamsikia malaika msimamizi wa maji akisema, “Wewe una haki katika hukumu hizi ulizotoa, wewe uliyeko, uliyekuwako, uliye Mtakatifu, kwa sababu umehukumu hivyo, 6kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu Wako na manabii Wako, nawe umewapa damu wanywe kama walivyostahili.’’ 7Nikasikia madhabahu ikiitikia, “Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu Zako ni kweli na haki.”

Hukumu hii ni dhidi ya wanadamu itakayotokana kama kisasi cha mambo ya mateso waliyowafanyia waeule wa Mungu na kuwauwa watumishi wake Mungu na madhabahu ikawalilia kwa jambo hilo.

Janga la mabadiliko ya Tabia Nchi

Tunaona kwamba janga hili la Mabadiliko ya Tabia Nchi linalotangazwa na kunadiwa sana na wanasayansi linaanza kujitokeza kwa hivi sasa na litaendelea hivyo chini ya malaika wa nne hadi pale wanadamu watakapounguzwa na kuteketezwa kabisa kwenye joto la jua na jehanamu ya moto na kwa aina yote ya maangamizo yatakayowakumba itakayotokea baada ya hapo.

8Malaika wa nne akamimina bakuli lake kwenye jua, nalo likapewa nguvu za kuwaunguza watu kwa moto. 9Watu wakaunguzwa na hilo joto kali, lakini wakalaani Jina la Mungu, aliyekuwa na uwezo juu ya mapigo haya, wala hawakutubu na kumtukuza Mungu.

Wanamlaani Mungu kwa ajili hii na la kusikitisha ni kwamba hawazitubii dhambi zao hizi wala kumpa utukufu. Ni jambo lililowekwa bayana kwenye unabii kwamba jua ndilo chanzo kikuu cha hali hii ya Mabadiliko ya tabia Nchi na wala sio kitu kinachofanywa na wanadamu lakini mapepo wametunga sababu za kisayansi za uwongo iliwawapate kuwadanganya watu kupitia kwenye unabii (tazama jarida la Mabadiliko ya Tabia Nchi na Nabii za Kwenye Biblia (Na. 281) [ Global Warming and Bible Prophecy (No. 218)] na Mabadiliko ya Tabia Nchi: Mzunguko Wake wa Kihistoria (Na. 218b) [ Global Warming: Historical Cycles (No. 218b)].

Mwisho wa Utawala wa Dola ya Mnyama

10Malaika wa tano akamimina bakuli lake kwenye kiti cha enzi cha yule mnyama, nao ufalme wake ukagubikwa na giza. Watu wakatafuna ndimi zao kwa ajili ya maumivu 11wakamlaani Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu na majeraha yao, wala hawakutubu kwa ajili ya matendo yao maovu

Pamoja na mateso na maumivu haya yote lakini bado hawaonyeshi kuyatubia matendo yao maovu waliyoyafanya.

Page 7: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 7

Dola hii imeweka ngome yake huko Ulaya na Umoja wa Mataifa unaandaliwa kukomeshwa na inatakiwa ifikie mwisho wake na watu hawa waovu na waliomwasi Mungu. Kwa hiyo, Mfalme wa Mashariki ataenda kumkabili Kristo na wateule wake. Ukanda wote wa Mashariki ya Kati utakauka na utaharibiwa na wafalme wa watapita ndani yake.

12Malaika wa sita akamimina bakuli lake kwenye mto mkubwa Eufrati, maji yake yakakauka ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme watokao mashariki.

Tendo hili litafanyika ili kajeshi yote ya duniani yakusanyike yakiwa yamevuviwa na roho za Joka Mkuu, na Mnyama na Nabii wa Uwongo. Kifungu fulani kwenye aya hii ya 15 kinaonyesha kwamba ni katika kipindi hiki ndipo Kristo atakapokuja na kuwaangamiza watu hawa ambao walisababisha kuwepo kwa hali hii. Kwa nasibu njema mchakato huu utachukua kipindi kifupi sana.

13Kisha nikaona roho wachafu watatu waliofanana na vyura wakitoka katika kinywa cha lile joka na katika kinywa cha yule mnyama na katika kinywa cha yule nabii wa uongo. 14Hizo ndizo roho za pepo wachafu zitendazo miujiza. Nazo huwaendea wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya tayari kwa ajili ya vita katika siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi. 15“Tazama, naja kama mwivi! Amebarikiwa yeye akeshaye na kuziweka tayari nguo zake ili asiende uchi na kuoenekana aibu yake”. 16Ndipo wakawakusanya wafalme pamoja mahali paitwapo “Armagedoni’’a kwa Kiebrania.

Vita ya Armagedoni ndiyo itakayohitimisha kipindi hiki. Baada ya hapo mambo yote yatahitimishwa.

Ufunuo 16 (inaendela kusema)17Malaika wa saba akamimina bakuli lake angani na sauti kubwa ikatoka mle hekaluni katika kile kiti cha enzi, ikisema, ‘‘Imekwisha kuwa!’’ 18Kukawa na mianga ya umeme wa radi, ngurumo, radi na

tetemeko kubwa la ardhi. Hapajawa kamwe na tetemeko la ardhi kama hilo tangu mwanadamu awepo duniani, hivyo lilikuwa tetemeko kubwa ajabu. 19Ule mji mkubwa ukagawanyika katika sehemu tatu, nayo miji ya mataifa ikaanguka. Munguakaukumbuka Babeli ule uliokuwa mkuu na kuupa kikombe cha hasira na ghadhabu Yake. 20Kila kisiwa kikatoweka wala milima haikuonekana. 21Mvua kubwa ya mawe, mawe yenye uzito wa talanta mojab yakaanguka kutoka mbinguni, yakawaangukia wanadamu. Nao wanadamu wakamlaani Mungu kwa ajili ya hayo mapigo ya mvua ya mawe, kwa sababu pigo hilo lilikuwa la kutisha.

Kwenye kipindi hiki chs kumiminwa kitasa cha mwisho ndipo mfumo wote wa dunia utaangaka na kukoma. Miji mikuu ya nchi za dunia pamoja na uongozi wao mbovu na sheria zake za kidunia na mifumo yake vitakomeshwa vote.

Hukumu ya Mwanamke Huyu Kahaba

Sura inayofuata ya 17 inaelezea hukumu ya mwaname huyu kahaba.

Inaelezea matukio yake na dhambi zake. Inatupeleka nyuma kwenye kipindi chake na kuendelea hadi kwenye matukio ya utendaji kazi wake na jinsi alivyowatesa watu wa Mungu. Huu ni mfumo wa Dini kuu ya Siri ya Babeli inayoendelea kikamilifu kwenye hatua zote zilizonenwa na nabii Danieli sura ya 2 iliyodumu na kupitia kwenye dola za Wababelonia, Wamedi na Waajemi na Wayunani, ambao walifarakana na hatimaye Dola ya Warumi ambayo ndiyo ile miguu ya chuma na hatimaye ni udongo, na Dola ya mwisho ya Mnyama yenye vidole kumi. Hatimaye Kristo atakuja akiwa ni lile jiwe lisilofanywa kwa mkono wa mwanadamu na litaikomesha kadhia yote ya mfumo wa siku za mwisho.

Mfumo huu wa imani ya Utatu uliotungwa na Manamke Kahaba umeua watumishi wa Mungu wengi sana na kwa ajili ya jambo hilo atahukumiwa.

Page 8: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 8

Ufunuo 17 inasema:1Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba akaja akaniambia, ‘‘Njoo, nitakuonyesha adhabu ya yule kahaba mkuu, aketiye juu ya maji mengi. 2Yule ambaye wafalme wa dunia walizini naye na watu wakaao duniani walilewa kwa mvinyo wa uzinzi wake.’’ 3Kisha yule malaika akanichukua katika Roho akanipeleka nyikani. Huko nikamwona mwanamke mmoja ameketi juu ya mnyama mwekundu aliyejaa majina ya kumkufuru Mungu mwili mzima. Mnyama huyo alikuwa na vichwa saba na pembe kumi. 4Huyo mwanamke alikuwa amevaa mavazi ya rangi ya zambarau na nyekundu, akimetameta kwa dhahabu, vito vya thamani na lulu. Mkononi mwake alikuwa ameshika kikombe cha dhahabu kilichojaa mambo ya machukizo na uchafu wa uzinzi wake. 5Kwenye kipaji chake cha uso palikuwa pameandikwa jina: “SIRI, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA DUNIA.’’ 6Nikaona kuwa huyo mwanamke alikuwa amelewa kwa damu ya watakatifu, yaani, damu ya wale watu waliouawa kwa ushuhuda wa Yesu. Nilipomwona huyo mwanamke, nilistaajabu sana.

Malaika anamuelezea kwa wazi kabisa jinsi alivyo. (Soma jarida la Imani-Hila za Siri (B7 1) [ Mysticism (B7_1)] (pia soma kitabu cha Dini-Hila za Siri (Mysticism), kilichochapishwa nasi Makanisa ya Kikristo ya Mungu.

Ufunuo 17 inasema:7Ndipo yule malaika akaniambia, ‘‘Kwa nini unastaajabu? Nitakufafanulia siri ya huyo mwanamke na huyo mnyama aliyempanda, mwenye vichwa saba na pembe kumi. 8Huyo mnyama, ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka katika lile shimo lisilo na mwisho na kwenda kwenye maangamizo. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwaulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo, wakati fulani na sasa hayupo, lakini atakuja. 9‘‘Hapa ndipo penye akili pamoja na hekima. Vile vichwa saba ni vilima saba ambavyo huyo mwanamke amevikalia. 10Pia

hivyo vichwa saba ni wafalme saba ambao miongoni mwao watano wamekwisha kuanguka, mwingine hajaja bado, lakini atakapokuja, atalazimika kukaa kwa muda mfupi. 11Yule mnyama aliyekuwepo wakati fulani na ambaye sasa hayupo, yeye ni mfalme wa nane. Ni miongoni mwa wale saba, naye anakwenda kwenye maangamizi. 12‘‘Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi ambao bado hawajapokea ufalme, lakini ambao watapokea mamlaka kuwa wafalme kwa wakati mmoja pamoja na yule mnyama. 13Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao. 14Watafanya vita na Mwana-Kondoo, lakini Mwana-Kondoo atawashinda kwa sababu Yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme. Yeye atakuwa pamoja na watu wake walioitwa ambao ni wateule wake na wafuasi wake waaminifu.’’ 15Kisha yule malaika akaniambia, ‘‘Yale maji uliyoyaona, yule kahaba akiwa ameketi juu yake ni jamaa za watu, makutano, mataifa na lugha. 16Zile pembe kumi ulizoziona, pamoja na huyo mnyama, watamchukia huyo kahaba, watamfilisi na kumwacha uchi, watamla nyama yake na kumteketeza kwa moto. 17Kwa maana Mungu ataweka mioyoni mwao kutimiza kusudi lake kwa kukubali kumpa yule mnyama mamlaka yao ya utawala mpaka maneno ya Mungu yatakapotimia. 18Yule mwanamke uliyemwona ni ule mji mkubwa unaotawala juu ya wafalme wa dunia.’’

Haihitaji mtu kuwa na elimu kubwa sana au uwezo mkubwa sana wa ajabu kiakili ili kuujua mji huu ambao ni makao makuu na ya taasisi hii ijulikanayo kama milima saba na inatawala na kumiliki wafalme saba wa dunia.

Kuna mji mmoja tu unaojiri kuwe nao ni mji wa Roma na dini inayoiwakilisha ni ile iliyo kwenye mfumo wa Kibabeloni ulioirithi.

Ufunuo 18 inasema:1Baada ya haya nikaona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni, akiwa na mamlaka makuu na dunia ikamulikiwa na mng’ao wake. 2Naye akalia kwa nguvu kwa

Page 9: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 9

sauti kubwa, akisema: ‘‘Umeanguka! Umeanguka Babeli ulio mkuu! Umekuwa makao ya mashetani na makazi ya kila pepo mchafu, makazi ya kila ndege na kila mnyama achukizaye. 3Kwa maana mataifa yote yamekunywa mvinyowa uasherati wake, nao wafalme wa dunia wamefanya uzinzi naye, nao wafanyi biashara wa dunia wametajirika kutokana na wingi wa utajiri wake.’’ 4Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni katikati yake, enyi watu wangu, ili msije mkashiriki dhambi zake, ili usije ukapatwa na pigo lake lo lote, 5kwa kuwa dhambi zake zimelundikana hadi mbinguni, naye Mungu ameukumbuka uhalifu wake. 6Mtendee kama yeye alivyotenda, umlipe mara mbili kwa ajili ya yale aliyotenda. Katika kikombe chake mchanganyie mara mbili ya kile alichochanganya. 7Mpatie mateso na huzuni nyingi sawa na utukufu na anasa alizojipatia. Kwa kuwa moyoni mwake hujivuna akisema, ‘Mimi ninatawala kama malkia, mimi si mjane wala sitaona huzuni kamwe.’ 8Kwa hiyo mapigo yatampata kwa siku moja: mauti, maombolezo na njaa. Naye atateketezwa kwa moto, kwa maana amhukumuye ni Bwana Mungu Mwenyezi. 9“Wafalme wa dunia waliozini naye na kushiriki anasa zake watakapoona moshi wa kuungua kwake, watamlilia na kumwombolezea. 10Watasimama mbali na kulia kwa hofu kutokana na mateso yake na kusema: “ ‘Ole! Ole Ee mji mkuu, Ee Babeli mji wenye nguvu! Hukumu yako imekuja katika saa moja!’ 11“Na wafanyi biashara wa duniani wanalia na kuomboleza kwa sababu hakuna anunuaye bidhaa zao tena. 12Bidhaa za dhahabu, za fedha, za vito vya thamani na vya lulu, kitani safi, nguo za rangi ya zambarau, hariri, nguo nyekundu, aina zote za miti ya manukato, vifaa vyote vya pembe za ndovu, vifaa vyote vya miti yenye thamani kuliko yote, shaba nyeusi, chuma na marmar, 13mdalasini, vikolezi, uvumba, manemane, uvumba wenye harufu nzuri, divai, mafuta ya zeituni, unga mzuri na ngano, ng'ombe na kondoo, farasi na magari, watumwa, pia na roho za wanadamu. 14‘‘Watasema, ‘Yale matunda ambayo roho yako iliyatamani yamekoma. Utajiri wako wote na fahari yako vimetoweka, wala haviwezi kupatikana tena kamwe!’ 15Wale

wafanyibiashara wauzao bidhaa hizo na kupata utajiri wao kutoka kwake watasimama mbali naye kwa hofu ya mateso yanayompata. Watalia na kuomboleza wakipiga kelele wakisema: 16‘‘ ‘Ole! Ole, Ee, mji mkubwa, uliyekuwa umevikwa mavazi ya kitani safi, ya rangi ya zambarau na nyekundu, ukimetameta kwa dhahabu, vito vya thamani na lulu! 17Katika muda wa saa moja utajiri wote mkubwa kama huu umeangamia!’ ‘‘Kila nahodha, mabaharia wote wasafirio baharini na wote wafanyao kazi melini watasimama mbali naye. 18Watakapoona moshi wa kuungua kwake watalia wakisema, ‘Je, ulipata kuwako mji mkuu kama huu?’ 19Nao watajirushia mavumbi vichwani mwao huku wakilia na kuomboleza wakisema: ‘‘ ‘Ole, Ole, Ee mji mkubwa, mji ambao wote wenye meli baharini walitajirika kwa kupitia mali zako! Katika saa moja tu umeangamizwa! 20Furahia uharibifu wake, Ee mbingu! Furahini ninyi watakatifu na mitume na manabii! Kwa kuwa Mungu ameutendea kama vile ulivyowatendea ninyi.’ ’’ 21Kisha malaika mmoja mwenye nguvu akainua jiwe kubwa kama la kusagia akalitupa baharini akisema: “Hivyo ndivyo mji mkubwa Babeli utakavyotupwa chini kwa nguvu wala hautaonekana tena. 22Nyimbo za wapiga vinubi na waimbaji, wapiga filimbi na sauti za wapiga tarumbeta hazitasikika ndani yako tena. Ndani yako kamwe hataonekana fundi mwenye ujuzi wa aina yo yote. Wala sauti ya jiwe la kusagia kamwe haitaisikika. 23Mwanga wa taa hautaangaza tena ndani yako. Wala sauti ya bwana arusi na bibi arusi kamwe haitasikiwa ndani yako. Kwa kuwa wafanyi biashara wako walikuwa watu maarufu wa dunia na mataifa yote yalidanganyika kwa uchawi wako. 24Ndani yako ilionekana damu ya manabii na ya watakatifu na watu wote waliouawa duniani.’’

Ufunuo 19 inasema:Baada ya haya nikasikia sauti kama sauti ya umati mkubwa wa watu mbinguni ikisema kwa nguvu : “Haleluya! Wokovu na utukufu na uweza ni vya Mungu wetu, 2kwa maana hukumu Zake ni za kweli na za haki. Amemhukumu yule

Page 10: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 10

kahaba mkuu aliyeuharibu ulimwengu kwa uzinzi wake. Mungu amemlipiza kisasi kwa ajili ya damu ya watumishi wake.’’ 3Wakasema tena kwa nguvu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.’’

Watakatifu wakiimba wimbo wa kumsifu Mungu wakimsifu kwa kumhukumu mwanamke huyu kahaba na kwa kuwaangamiza watu na makuhani na mfumo wake kahaba huyu.

Kuanguka kwa Mwanamke Kahaba

Hebu na tuangalie historia yake huko nyuma hadi kwenye mwanguko wa mfumo huu utakavyokuwa kwenye siku za mwisho kwa mujibu wa fafanuzi za wanazuoni na wanahistoria. Alipaswa kuandika kitabu akilenga kuyabadili mambo fulani alizozitaja lakini hatimaye anuakiri ukweli wake. Hatimaye aliuawa..

Kutoka kwenye Nyumba nayopeperushwa kwa Upepo Kama Alivyoandika Malachi Martin

Utaratibu uliofanyika katika kuuanzisha muundo wa Mnyama huyu ulikuwa ni muundo wa kumweka manamke huu kahaba.

Tarehe 25 Machi 1957Kulikuwa na Mawaziri wa Mabo ya nje sita waliokutanika huko Roma kutia saini Mkataba wa kuunda Jumuia ya Kiuchumi ya Nchi za Ulaya. Nao walikuwa ni hawa wafuatao:Ubelgiji Paul-Henri SpaakUholanzi LuxembourgItaliaUfransa Robert Schuman & Jean MonetUjerumani Magharibi Konrad Adenauer

Baada ya hapo walifanya kikao cha faragha na Papa Pius XII ambaye baada ya kuondoka kwao aalimwambia mjeswiti wa Kijerumani na aliyekuwa amemshirikisha jambo hili kwa ukaribu kwamba “Baba, Ulaya mpya itakuwa na siku yake ndogo. Lakini itakuwa na siku moja tu…”

Waweza kujionea hilo pia kwenye jarida letu kwenye tovuti ya: http://www.historiasiglo20.org/europe/traroma.htm

Dola hii ya Mnyama itaungana na kutawala kwa kipindi cha saa moja tu. Alikuwa anamaanisha kwa kuilinganisha na siku. Inaweza kudumu hadi mwezi mmoja lakini haitadumu. Lakini papa huyu aliitabiria kuwa itadumu kwa siku moja tu. e ni Empire of the Beast will come together

Mwaka 1960Kwenye mdahalo wake Papa Yohana XXIII kwenye kile kilichojulikana kwa lugha ya Kilatini kama re 3rd Secret of Fatima, (Mkakati wa Siri wa 3 wa Fatima) ambao ulitakiwa utangazwe rasmi na Papa huyu mwaka 1960, kuliamriwa kwamba hali ya mabo ilivyokuwa huko Urusi yalikuwa yanatatanisha. Na matokeo ya shinikizo lililotolewa na sista Lucia wa Kikatoliki kwa kile alichokiita kuwa kutoka wa “Malkia wa Mbinguni” linaweza kuwa ni sawa na kuinoa au kuipa makali nchi ya Urusi na kumfanya kiongozi wake Nikita Khrushchev afanye matendo ya kihalifu. Matokeo yake yalikuwa ni kufunguliwa kwa matendo ya kutesa watu na siri yake haijawekwa wazi bado hadi sasa.

Hata hivyo nchi ya Urusi iliwekwa wakfu kwa Mungumke na ndiyo kwa kweli itakuwa sehemu ya sababu ya vita vya siku za mwisho (soma jarida la Vita yar of Hamon-Gogu (Na. 294) [War of Hamon-Gog (No. 294)].

Tarehe 11 Oktoba 1962 hadi 8 Disemba 1965

Kwa mujibu wa Tovuti yetu ya: http://religion.wikia.com/wiki/Second_Vatican_Council

Mtaguso wa Pili wa Vatican wa Majumuisho na Dini Nyingine, au pengine unaitwa Vatican II, ulikuwas ni Mtaguso wa ishirini na moja, maarufu kama Baraza la Muunganosho wa Dini kufanywa na Kanisa Katoliki la Roma . Lilifunguliwa na Papa Yohana XXIII mnamo Octoba 11, 1962 na na kufungwa na Papa Paulo VI Disemba 8,

Page 11: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 11

1965. Takriban mapapa wanne waliofuatia baadae walihusika katika kuweka mkakati wa kulifungua baraza hili wakihudhuria vikao vyake kuvifungua na kuvifunga. Kardinali Giovanni Battista Montini, ambaye alimrithi Papa Yohana XXIII alichukua jina la Paulo VI; Askofu Albino Luciani, aliyeurithi upapa baadae alijiita Papa Yohana Paulo I; Askofu Karol Wojtyła, aliyefuatia alijiita Papa Yohana Paulo II; na Padri Joseph Ratzinger, aliyeko sasa ambaye kitaaluma ni mshauri na mwanateolojia, ambaye alijiita Papa Benedict XVI.[1][2]

Tarehe 29 Juni 1963 soma kurasa za 7-20 ili kujua mchakato wake.Siku ya karamu ya hufanywa kwenye makanisa madogo yaliyoko ndani ya Mwatakatifu Petro na Paulo na iliyodumu siku 7 ambayo hufanyika mara baada tu ya kufanyika uchaguzi wa papa.

Kinachofavnyka humo ni tendo la kumtawaza mwakilishi wa Malaika Mkuu Muasi yaani Lusifeli ili achukue uongozi na utawala wa Vatican na hafla hii hufanyika kweny Kanisa dogo la Mtakatifu Paulo. Kawaida ya waabudu Shetani haw ani kwamba kipindi wanachokiita “Wasaa wa Mfalme” unakuwa ni pale Papa anapochukua jina la Mtume Paulo.

Huu unakuwa ndio “Muda wa Muafaka”. Kwenye kipindi hikihiki ndipo sherehe ya kuhamisha mamlaka na kurekebisha au kubadilisha mambo fulani pia ilifanyika kwenye kitengo kilichoko huko Karolina Kusini nchini Marekani.

Tarehe 6 Agost 1978 papa huyu alikufa.

Iliwahi kutokea kuingia Papa “Kimakosa” ambaye alichaguliwa na akafa au kuuawa baada ya kukaa kwenye kiti hiki kwa mudawa siku 33 tu. Kwenye kitabu chake David Yallop chwnye kichwa cha maneno Kwa Jina La Mwenyezi Mungu (Jonathan Cape, 1984) kilichandikwa kwa maombi na ushauri wa wanazuoni na watafiti kuihusu Vatican wakidai kuwa alikuwa ameuawa na wanaelezea ukweli wa jambo hili.

Kutoka mwenye mahojiano kwenye magazeti kuhusu mapapa hawa wawili

uliofanywa ni Waziri wa Mambo ya Nje ya baraza la Makardinali (na mbaye alihusika kikamilifu na mbaye hatimaye alikufa huko mjini Mablon tarehe 19 Machi 1979), inaonekana kuwa miongoni mwao, au huenda papa Yohana Paulo 1, alijua kutawazwa kwake.

Papa Yohana Paulo II pia hakuwa ni papa “muafaka” waliomtaka wao kwa mujibu wa kitabu hiki cha mwandishi Martin.

Tendo la kutawazwa rasmi Lusifeli awe Mungu, tendo lililofanywa na ridhaa ya Vatican kuungwa nkono na sherehe yake ilifanyika wakati mmoja sambamba na mawakala wakewalioko huko nchini Marekani. Tafrija hii iliandaliwa vema na maaskofu pamoja na watu wengine maarufu walioko huko nchini Marekani na ni tendo la kufuru kubwa n ani la kishetani na hatutaliongelea hili hapa.

Ukweli ni kwamba hakuna mgogoro wala uhasama kati ya hawa Freemason na Vatican bali lao ni moja tu na wanashirikiana vizuri sana.

Zaidi ya yote, ni kwamba mikakati yote ya kisera ya nchi ya Marekani inafanya kazi bega kwa bega na taasisi za kimataifa za Mnyama.

Mapapa waliopita hivi karibuni hawakuweza kushirikishwa kwenye mikakati ya watu hawa, bali nguvu za kishetani zilitumika kuuwezesha mkakati huu wa kudhibiti maongozi ya dunia. Na hii ndiyo iliyomsababishia Yallop atakiwe kutoa maelezo kuelezea kifo cha Papa Yohane Paulo 1, na kwa nini Papa Yohane Paulo II alifanikiwa kuwekwa madarakani na akajulikana kuwa ni Papa wa Kislavia yaani asiye Mrumi.

Kile kilichoonekana kama kiini cha mgogoro uliotokea kati ya nchi ya waabudu mashetani wa Marekani na Mapapa waliopita hivi punde ni jiwe la msingi la kuujenga msingi wa mkakati wa ukengeufu wa sera za Marekani. Ilichukuliwa kama ni kitu muhimu kwa maendeleo na mafanikio ya kundi lijulikanalo kama G7, yaani ni kundi

Page 12: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 12

linalojumuisha mataifa yenye viwanda. Lilifanyika mwaka 1974 kwa Uchambuzi wa Kikatiba wa Mpango wa Usalama wa Taifa Namba 200: Dondoo la Ongezeko la Idadi ya Watu Ulimwenguni Kote Uhusuo Usalama wa Marekani na Ulinzi wa Maslahi Yake Ulimwenguni Kote (ambao kwa kifupi unaitwa NSSM 200). Kipengele hiki cha katiba kimezifanya sera za Marekani ziwe za namna hiyo tangu hapo.

Inayabana mataifa kumi na tatu yanayochukuliwa kuwa ni muhimu zaidi katika kuipatia malighafi muhimu kwa usalama wa Marekani n ani nchi muhimu kwa soko la Bidhaa na Kihuduma kwa Nchi za Magharibi. Nchi hizo ni India, Pakistan, Bangladesh, Nigeria, Mexico, Indonesia, Brazil, Ufilipino, Thailand, Misri, Uturuki, Ethiopia, na Columbia. Jambo muhimu lililotiliwa maanani kwenye Mkataba huo ni kuangalia kuwa kasi ya ongezeko la watu kwenye mataifa haya liko juu sana na linaweza kuathiri usalama. Kwa hiyo, mkakati huu wa NSSM 200 iliweka wazi msimamo wake kuhusu hali hii.

Ikaidhinisha kupitia baraza linaloshughulikia masuala ya fedha ili litoe fedha kupitia serikali ya Marekani na zipelekwe kwenye nchi hizi na hata kwa nchi nyingine ili kuongeza kasi yao ya kiwango chao cha matumizi ya vidonge vya kuzuia mimba, matendo utoaji mamba, matumizi ya ngono bandia au kutumia mipira kwenye ngono na waendelee kutafiti njia nyingine zaidi zenye madhara.

Kwa hiyo, mpango huu wa kuzuia ongezeko la watu duniani kwa kisingizio maarufu kama uzazi wa mpango kwa watu wa mataifa meingine ulikuwa ni muhimu kwenye mkakati wa usalama wa Marekani na kama ilivyokuwa ni muhimu pia kwa hakika ya usalama ya eneo lake. Sera hii ilipita kwenye mirengo yote miwili ya siasa. Mwezi Novembea 26 1976 Rais Ford akitumia Kipengele cha Katiba chemye Maamuzi ya Mkakati wa Usalama wa Taifa Namba 314 (NSDM 314) alianzisha mkakati huu ujulikanao kama NSSM 200 ukiwa kama ni mwongozo muhimu kwa uwakilishi wa sera za Marekani. Ulilenga kwenye

Taasisi za Nchi za Kifedha, Ulinzi, Kilimo, Afya na Huduma za Jamii, Uwakilishi kwenye shughuli za Kimaendeleo za Kimataifa na kwenye Baraza la Uchumi la Rais. Matokeo yake Marekani ikajikuta ikizitumia zaidi ya nchi nyingine zote kuziingiza kwenye mkakati huu wa kupunguza idadi ya watu duniani maarufu kama uzazi wa mpango (ameandika. Martin, kwenye kurasa za 430-431).

Nchi nyingi ziliunga mkono mkakati huu na kwa kupitia fedha zilizoithinishwa na kutolewa na mfuko maalumu wa Umoja wa Mataifa kama ule unaoitwa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Idadi wa Kudhibiti Idadi ya Watu (Kwa kimimbo UNPF), Shirika la Fedha la Kimataifa (IFM), Benki ya Dunia (WB), Shirikisho la Uzazi wa Mpango (PPF) na wengine wengi kutoka kwenye mashirika na taasisi binafsi yaliyotafuta fursa ya kushiriki mkakati huu wa upunguzaji wa idadi ya watu duniani kwa kutumia mbinu zozote zitakazowezekana.

Tatizo linalojitokeza ni kwamba lengo la baadhi ya mapapa haw ani kwamba wamekuwa wakiendeleza kuficha ukweli na kudanganya kwa maslahi ya mataifa yaliyoendelea na kwa kuyanufaisha mashirika ya kishetani wanayoyategemea katika kujiendesha na Vatican yenyewe.

Lengo la harakati za Kibinadamu kwenye mikakati ya Vatican ni kukomesha makundi yao kwa kuwatumia vibaya wanawake kwa nyakati zake zote. Kwenye miaka ya 1990, papa wa Kislovia alikabiliwa na wanaharakati na kufikishwa mahali pa kukubaliana kwa ujumla mpango huu wa udhibiti wa idadi ya watu. Nchi ya Marekani na papa huyu wa Kislocia walifikishwa mahali pa kuweka mjadala kwamba mataifa yote yaingizwe kwenye mkakati huu wa dunia nzima wa kudhibiti ongezeko la watu na inaelezwa kwamba alichaguliwa mtu aitwaye Rosicrucian Gibson Appleyard ili aanhae mjadala au mdahalo huo (kitabu cha Martin, ukurasa wa 431).

Papa huyu wa Kislavia alichaguliwa kama ni mtu mwafaka sana kulishughulikia jambo hili, na kama alivyokijukana kwenye

Page 13: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 13

kumbukumbu zake za kuwa ni “mwenye kupendelea mpango huu kushibiti ongezeko la watu…akiwa pia na mtazamo wa kukomesha uwezekano wa kutokea kwa maafa ya kimazingira unaotokana na ongezeko kubwa la watu duniani” (kitabu cha Martin, ukurasa wa 435).

Kwa hiyo tatizo hili la madawa lilipojitokeza walihusika.

Kile kinachijulikana kama uvumilivu, licha ya jinsi alivyosema wakati alivyoenda kwenye makanisa ya Kikatoliki iliashiria kuwa inaweza kutumika pia (sura na ukurasa huohuo.

Hata hivyo tunaona kwamba walikuwa wanajua kwamba kulikuwa na mbinu kadhaa za kudhibiti uzazi na uwepo wa mkakati wa kuharibu uwezo wa mbegu za uzazi kwa kutumia matimizi ya madawa na vipodozi ni mambo yaliyozingatiwa sana. Watawala wa Marekani haikuwa na wasiwasi wowote na wala hawakuwa wa viwanda vya kutengeneza vipodozi wala mihadarati.

Hata hivyo, kulikuwa na hamasa ndogo kwa Vatican pale lilipokuwa linaongelewa suala lolote linalohusu kuwatumia au kutowatumia mabinti waimbaji wa kwaya makanisani kwenye mpango huu wa kuwaingiza kwenye matendo ya usagaji au ngono za kishoga wafanyiwe na makasisi wao na wale makasisi waliobobea kwenye shughuli za Kifreemason, maelekezo yao yasiyo na woga wa kufanya aina hizi za ngono kufuru, na waliobobea kwenye mafundisho yao mapotofu na matumizi ya simu yenye lengo la kumsisimua mtu kingono yenye wastani w amara 50,000 kwa mwaka na kuendeleza hali hiyo.

Awamu ya pili ya mkakati huu wa kuzuia ongezeko la watu inatumia madawa yanayotengenezwa huko Marekani na inahusisha pia makubaliano ya Biashara ya Pamoja yanayozihusiaha pia nchi za Australia na nchi nyingine zilizoendelea.

Lilikuwa ni tendo ambalo kwamba makanisa na Mashirika ya bahati na Sib una mashirika mengine ya huruma yalihusishwa kutoa

madawa kila siku ambayo yalihitajika na yaliwekwa alama na kupelekwa na wataalamu na mabingwa wa elimu ya madawa ili watoe ushauri kwenye mataifa yanayoendelea ili watumike kwenye kazi ya kuwahudumia watu maskini, na vifaa ambavyo vingewasababisha watoto kuharibikiwa akili zao kwa kupitia magonjwa kama vile homa ya malaria na magonjwa mengineyo.

Kampuni Kubwa na Maarufu sana la Madawa la Marekani lilitumia haiba yake ya umaarufu kuzuia ufungishaji mizigo na kusaidia mkakati huu wa ugawaji wa madawa na kulazimisha yaharibiwe tendo ambalo lilisababisha vifo vya watu wengi sana kwa ajili ya uchoyo wao huu na mkakati wao wa kudhibiti ongezeko la watu.

Jambo hili halikutokea kwa bahati mbaya. Bali hii ilikuwa ni sera iliyowekwa kwa makusudi kabisa. Na ndivyo ilivyotokea pia kwenye tukio la upigaji marufuku wa matumizi ya dawa aina ya DDT ulikuwa ni mkakati wa makusudi ulioingizwa kisiasa ukilenga kuendekeza kwa lazimma kutokee vifo vitokanavyo na ugonjwa wa malaria kwenye nchi zinazoendelea hali iliyosababisha vifo vya watu zaidi ya milioni moja kwa hali ambayo ingeweza kuepukwa na kila mwaka makatazo haya yaliendelea kulazimishwa, na Umoja wa Mataifa iliiridhia na kuruhusu jambo hili. Hatimaye walilazimishwa na wanasayansi kuhusu jambo hili ili kuendeleza marufuku hii na kuendeleza mkakati huu wa kudhibiti hali ya ongezeko la watu kwa kubuni mkakati wa vifo vinavyotokana na ugonjwa wa malaria. Mambo yote haya yanatokana na mkakati huu wa makusudi wa udhibiti wa kiwango zha ongezeko la watu jambo ambalo wanaweka mkakati mwingine wa kudhibiti ongezeko wa idadi ya madhehebu ya kidini wakioanisha na mkakati wao huu wa kuwaongezea uwezo wa kudhibiti ongezeko la watu. Huu ni uhailifu mkubwa dhidi ya ubinadamu.

Mkakati wa Kumrejesha Mwanamke Kahaba

Page 14: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 14

Kuna mageuzi ya kijamii yanayoendelea hivi sasa na ambayo yamesababisha kuanzishwa kwa mfumo wa Kibenki wa kile kinachojulikana kama Tangazo Jipya la Mfumo Mmoja Duniani unaolenga kuharibu kabisa hali ya umoja kwenye jamii zetu. Vuguvugu la wanaharakati wanaotetea haki za wanawake wanawashawishi wanye mabenki wawape kipaumbele cha kuwakopesha wanawake na kuwaingiza kwenye maeneo muhimu kiuchumi kwenye jamii zetu jambo ambalo hatimayake ni kuharibu hali ya umoja kwenye familia. Hali hii ilikamilika lengo lake baada ya Vita Kuu ya II ya Dunia na hali ilisaidia kuiunganisha tena Ulaya na upande wa Magharibi kwa ujumla. Vuguvugu hili la wanaharakati hawa wa haki za wanawake wataurudisha mfumo ule dhidi yake wenyewe kwa kutumia mafundisho ya utoaji mamba na kwa uvunjifu wake wenyewe.

Kile kitakachotokea kwenye siku za mwisho ni mifumo mitatu ya kidini. Hali ya kuushanbulia utaratibu wa kawaida na kuubadili kwenye mifumo ya Kiutatu imekueudiwa na waabudu Shetani walioko kwenye mfumo huu wa Kiutatu wenyewe. Madhehebu ya Kiprotestant yamedharauliwa na kuingiliwa na vuguvugu la ndoa za jinsia moja na usagaji na ushoga hata ulawiti. Kinacholengwa na kulazimishwa hapo ni kuweko na migawanyiko miongoni mwao hawa Waprotestant sawa na kama walivyo kwa wanaharakati wanaotetea maisha ya kitamaduni wakubalike na wajumuishwe kwenye mambo yaliyodumu kwa muda mrefu na yasiyobadilika ya Warumi. Watoto makahaba ambao ni wana way ule kahaba mkuu watajumuishwa kwa lazima kwenye vuguvugu hili la wana Utatu.

Katika kulifanikisha hilo, kanisa la Roma linajiandaa sasa kwa mpango wa kimageuzi makubwa wa kuwaruhusu makasisi wao kuoa ili hatimaye liwe ni kanisa linaloongozwa na makasisi waliooa.

Vuguvugu la wanaharakati wanaotetea haki za wanawake na mashoga na wasagaji nao watalazimisha wanawake aruhusiwe kuwa makasisi.

Kwa hiyo ni vyema kujua kwamba vuguvugu hili la “waliberali” litabadili kabisa mfumo wa kidini ili kufanya madhehebu mengi ya kile kinachoitwa na kujulikana kama mfumo wa Kikristo wajiundie madhehebu mengi lukuki yanayoamini na kufundisha mfumo mpya ujulikanao kama vuguvugu la itikadi ya kidini kisasa au inayoendana na wakati inayojumuisha pia mafundisho ya kutokula nyama na kusisitiza ulaji wa mbogamboga tu, na mfumo wa ndoa utabadilishwa pia ili kuupa nafasi mfumo wa ndoa za jinsi moja za ushoga na usagaji na kuwafundisha watu waone kuwa ni kawaida tu kama ilivyokwisha anzishwa sasa na wanaharakati hawa na unavyoonekana kushamiri kwenye jamii.

Jambo la tatu kuonekana kwenye mfumo huu litakuwa ni mfumo na hali ya mwisho litakalokuwanayo Kanisa la Mungu katika siku za mwisho.

Mfumo utakalokuwanao utaanza kwa muonekano mdogo sana hapa mwanzoni lakini utaendelea na kukua hadi juhudi za makusudi na za pamoja zitakapofanywa ili kuliangamiza na kulikomesha na ndipo Kristo atarudi ili kuwaokoa. Kipindi cha Wafiladefia ndicho kanisa hili litakapopata nguvu na kujiunga na kukua.

Mafundisho yake yataimarika na mfumo wa imani yake vitaanzishwa. Hatimaye litafarijiwa na wale Mashahidi na litakuwa ni chanzo cha mgawanyiko wa mfumo wa kiuchumi.

Kutakuwa na makundi makuu mawili yatakayojitokeza kugawanyika kiuchumi kwtika siku za mwisho, nayo ni kati ya waamini Utatu na wale watakaotoka kwenye harakati za utitiri wa muungano wa kidini utakaotokana na tama ya kimaslahi itakayochochewa na mfumo wa kifedha wa huyu Mnyama.

Na kwa hali hiyohiyo, watu wanaojiona kuwa wanatofautiana na Kanisa la Mungu watalazimika tu kujiunga kwenye mfumo na imani ya Makanisa ya Mungu kwa ajili ya ulazima utakaotokana na uhitaji wa kuijua na

Page 15: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 15

kuifuatisha Kalenda ya Mungu ili waweze kuendelea vizuri na kuepuka kutiwa chapa ya Mnyama. Kalenda itatumika kwa minajili ya kujipatia mkate wa Mana katika siku za Sabato, Mwandamo wa Mwezi na kwenye Sikukuu Zilizoamriwa na Mungu. Mtu anaweza kubisha hadi sura yake ikabadilika rangi na kuwa ya bluu, bali ukweli ni kwamba itakuwepo au hautakuwepo.

Na wale wote ambao hawataweza kununa au kuuza watatakiwa kumtegemea Mungu na Kalenda Yake ili waendeleekuishi. Ni kama Israeli walivyokuwa jangwani ndivyo litakavyokuwa Kanisa la Mungu katika siku za mwisho. Mkate wetu na chakula vitapatikana kwa uhakika na tutaulisha mwili wa Kristo kwa kipindi hiki chote. Kamwe Mungu hafanyi jambo pasipo kutoa mlango wa kutokea naye atafanya hivyo ili kutuokoa. Tutalazimika kuzitunza Sabato zake na Miandamo ya Mwezi na Sikukuu zake Takatifu na hatutakuwa na mashaka kujua zitakuwa lini ingwa kutakuwa hakuna chakula katika siku hizo. wakati huo. Tutaishi kwa imani kwa miezi 42 kipindi hiki ambacho Mnyama atakuwa anashikilia hatamu za uongozi duniani. Baada ya wale mashahidi kumaliza kazi yao kwenye kipindi cha mwisho, ndipo Masihi atarudi nasi tutafufuliwa na kufanywa wapya.

Ndipo Kristo atawashughulikia kuwahukumu manabii wote wa uwongo na yule Mpingakristo kipindi hiki cha kurudi kwake.

Ni katika kipindi hiki ndipo huyu Mnyama atamgeukia yule Mwanamke Kahaba. Mkuu wa dini ya Roma ataangamizwa pia.

Matatizo yanaanza kujitokeza kwenye kipindi hiki cha sasa cha upapa wa Benedict XVI. Papa atakayefuatia atapewa jina la Petro Mrumi, atakayechukua jina hili kwa mujibu wa Unabii wa Kirumi wa Pius XIII, usemao kuwa ataondoka Roma na miili ya makasisi na ndiye atakuwa ni papa wa mwisho. (soma jarida la Papa wa Mwisho (Na. 288) [The Last Pope (No. 288)].

Roma yenyewe itaangamizwa yote kabisa. Itakubwa na maafa ya kiasili. Nanabii

waliitabiria kuwa itangaamizwa kwa mafuriko.

Kwa sasa kuna vuguvugu la volcano kwenye kiini cha Bahari ya Tyrrhenian. Volcano ya Masili ilipaa juu kwa futi 9800. Ilienda umbali wa maili 44 na kusambaa maili 19 na kufikia kiasi cha robo maili (chini ya mita 500) chini ya usawa wa bahari na inaweza kuangamiza kabisa eleo lote la Kusini mwa Italia pamoja na miji ya Naples na Roma. Wafanya biashara wakuu watakaokuwa na mnyama huyu wataangamizwa na maafa makuu yatokanayo na maovu yao waliyoyatenda. Inaweza kutokea hata kesho.

Maangamizo ya Rumi yatatokea kwa siku moja tu. Itaangamizwa. Itashambuliwa kwanza na majeshi ya Kiislamu na wananchi wenye hasira watawageukia makasisi wao pia na kisha Rumi yenyewe itaangamizwa kabisa. Utaangamizwa kwa mabomu na kisha utamaliziwa kwa mafuriko.

Kitabu cha nabii Danieli kinamtaja mrithi huyu wa dola ya Babeli na Mwanamke huyu kahaba.

Mfumo wake umeelezewa kwenye kitabu cha nabii Danieli sura ya 2 ukiendelea hadi kwenye siku za mwisho na tumemwelezea huyu mnyama mwenye kichwa cha dhahabu hadi chini kwenye vidole kumi vya chuma iliyochanganika na udongo; tumemwelezea kwenye majarida yaliyopita. Vidole vya sanamu ile vilikuwa ni vya udongo vilivyochanganika na udongo ambavyo vilikuwa na maana ya yule atakayeirithi Dola hii ya Rumi, nk. Ile waliyoiita kuwa Dola Takatifu ya Kirumi na sola ya mwisho yenye vidole kumi ndiyo Dola hii ya Mnyama inayotafuta jinsi ya kumwangamiza huyu Mwanamke kahaba ambaye ni Kanisa hili la Utatu lililotokwa kwenye Dola yenye makao yake makuu huko Roma na Constantinople.

Ni ile hadithi ya Mfalme wa Kaskazini na wa Kusini waliobebwa kwenye kitabu cha Danieli sura ya 11. Maelezo ya kina kuhusu jambo hili yametolewa kwenye jarila lihusulo habari za unabii wa Danieli sura ya 11.

Page 16: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 16

Kwenye ile vita ya Wafalme wa Kaskazini na wa Kusini tunaowaona kwenye sura ya 11:30 ikiwataja wafalme ambao meli za Kitimu zililetwa, ni katiks kipindi ambacho Mfalme wa Kaskazini ataubadili nfumo wa vita uwe kwenye vurugu za kidini ukipinga Agano Takatifu na watu wa Mungu. Kutakuwa na mateso makali sana na ya muda mrefu watakayofanyiwa wateule yatakayochechewa na mfumo huu wa Dini ya Kaskazini.

Kipindi hiki Kanisa la Mungu litaingiliwa wapelelezi wasio na nia njema na wale watakaotokea kwenye dini ya uwongo ya Mwanamke Kahaba. Wengi watakuwa kwenye mateso lakini watazifanya nguo zao kuwa nyeupe kwa damu ya mwana kondoo. Hali hii ilishagawahi kutoke kwenye karne ya ishirini na inatarajia kutokea tena katika siku hizi za mwisho kinachotarajiwa kutokea kwenye miaka michache tu ijayo.

Danieli 11 inasema:30Meli za nchi za Kitimu zitampinga, naye atavunjika moyo. Ndipo atageuka nyuma na kutoa wazi hasira yake dhidi ya agano takatifu. Atarudi na kuonyesha fadhili kwa wale waliachao agano takatifu. 31Majeshi yake yenye silaha yatainuka ili kunajisi ngome ya hekalu na kuondolea mbalisadaka ya kuteketezwa ya kila siku. Ndipo watalisimamisha chukizo la uharibifu lisababishalo ukiwa. 32Kwa udanganyifu atapotosha wale walionajisi agano, lakini watu wanaomjua Mungu wao watampinga kwa uthabiti. 33Wale wenye hekima watawafundisha wengi, ingawa kwa kitambo watauawa kwa upanga au kuchomwa moto, au kukamatwa na kufanywa mateka. 34Watakapoanguka, watapokea msaada kidogo, nao wengi ambao si waaminifu wataungana nao. 35Baadhi ya wenye hekima watajikwaa, ili kwamba waweze kusafishwa, kutakaswa na kufanywa wasio na waa mpaka wakati wa mwisho, kwa maana bado litakuja kwa wakati ulioamuriwa. 36Mfalme atafanya apendavyo. Atajikweza na kujitukuza mwenyewe kujihesabu mwenye nguvu zaidi juu ya kila mungu naye atasema vitu ambavyo havijasikiwa dhidi ya Mungu wa miungu. Atafanikiwa hadi wakati wa

ghadhabu utimie, kwa maana kile kilichokusudiwa lazima kitokee. 37Hataonyesha heshima kwa miungu ya baba zake au kwa yule aliyetamaniwa na wanawake, wala hatajali mungu ye yote, bali atajikweza mwenyewe juu yao wote. 38Badala ya kuwajali hao miungu, ataheshimu mungu wa ngome, mungu ambaye hakujulikana na baba zake, atamheshimu kwa dhahabu na fedha, kwa vito vya thamani na zawadi za thamani kubwa. 39Atashambulia ngome zenye nguvu mno kwa msaada wa mungu wa kigeni naye atawaheshimu sana wale watakaomkubali yeye. Atawafanya watawala juu ya watu wengi na atagawa nchi kwa kulipia.

Mfumo wa utawala watapewa waabudu sanamu hawa waliogawanyika vikundi mbalimbali, na wale watakaoiunga mkono dini hii ya uwongo ya mwanamke huyu Kahaba ndio watakaopewa mamlaka na uwezo wa kumiliki na kudhibiti ugawaji wa ardhi.

Nyakati za Mwisho

Tunaenda kuangalia nyakati hizi za mwisho na mgogoro huu mkuu wa mwisho vitakavyotokea kipindi cha mwisho cha mateso.

Danieli 11 inasema:40“Katika wakati wa mwisho mfalme wa Kusini atapigana naye vita, naye mfalme wa Kaskazini atamshambulia kwa magari ya vita na askari wapanda farasi na idadi kubwa ya meli. Atavamia nchi nyingi na kukumba nchi hizo kama mafuriko. 41Pia ataivamia Nchi yakupendeza. Nchi nyingi zitapinduliwa, bali Edomu, Moabu na viongozi wa Amoni wataokolewa kutoka katika mkono wake. 42Atapanua mamlaka yake juu ya nchi nyingi, Misri haitaepuka. 43Atamiliki hazina za dhahabu, fedha na utajiri wote wa Misri, pamoja na Walibia na Wakushi kwa kujisalimisha. 44Lakini taarifa kutoka mashariki na kaskazini zitamshtua, naye ataondoka kwa ghadhabu nyingi ili kuangamiza na kuharibu kabisa wengi. 45Atasimika mahema yake ya kifalme kati ya bahari na mlima mtakatifu wa kupendeza. Hata hivyo, atafikia mwisho wake, wala

Page 17: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 17

hakuna ye yote atakayemsaidia.

Mfalme wa Kusini ndiye atakayeianzisha Vita hii ya Mwisho. Itawajumuisha Wamisri walioenenda kinyume na Mfalme huyu wa Kaskazini mwaka 1956 kwenye mgogoro wa kugombea mfereji wa Suez na waliomudu kuchukua udhibiti wa mfereji huu wa Suez. Huu ulikuwa ni mlolongo wa kipindi cha miaka 40 cha nyakati za mataifa (soma jarida la Kuanguka kwa Misri: Unabii wa Farao Aliyevunjika Mikono (Na. 036) [The Fall of Egypt: The Prophecy of Pharaohs Broken Arms (No. 036)].

Dola hii ya Mnyama ilianza kuwekwa kwenye mchakato wa kuianzisha tangia kipindi hiki pia mgogoro huu mkubwa na wa mwisho unaendela tangia mwaka 2001 hadi 2025.

Katika kipindi hiki ndipo kutakuwa na Ufufuo wa Kwanza wa wafu.

Malaika mkuu Mikaeli ataongoza mapambano na kuwakomboa Waisraeli.

Danieli 12 inasema:1“Katika wakati huo Mikaeli, mtawala mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwako wakati wa taabu ambao haujatokea tangu mwanzo wa mataifa hadi wakati huo. Lakini wakati huo, watu wako, kila mmoja ambaye jina lake litakutwa limeandikwa kwenye kitabu, ataokolewa. 2Watu wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima wa milele, wengine kwenye aibu na kudharauliwa milele. 3Wale wenye hekima watang'aa kama mwanga wa mbingu, nao wale ambao huwaongoza wengi kutenda haki, watang'aa kama nyota milele na milele. 4Lakini wewe Danieli, yafunge na kuyatia muhuri maneno ya kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho. Wengi watakwenda huku na huko na maarifa yataongezeka.’’

******************

Kipindi hiki nguvu zetu kama Watu Watakatifu zitavunjika na Ufufuo wa Kwanza utatokea. Mapambano yataendelea

tangia hapo na ndipo Kristo atauangamiza na kuukomesha Mfumo wa kidini wa Kirumi na kuiangamiza Dola hii ya Mnyama na ya Mpingakristo na ya Nabii wa Uwongo.

Danieli 12 inasema:

5Ndipo mimi Danieli, nikaangalia, nako mbele yangu walisimama wengine wawili, mmoja katika ukingo huu wa mto na mwingine ukingo wa pili wa mto. 6Mmoja wao akasema na yule mtu aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, “Je, itachukua muda gani kabla mambo haya ya kushangaza hayajatimizwa?’’ 7Kisha mtu yule aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, akainua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni, nami nikamsikia akiapa kwa jina lake Yeye aishiye milele, akisema, “Itakuwa wakati, nyakati mbili na nusu wakatia. Nguvu za watu watakatifu zitakapokuwa zimevunjwa kabisa, ndipo mambo haya yote yatakapotimizwa.’’ 8Nilisikia, lakini sikuelewa. Kwa hiyo nikauliza, “Bwana wangu, matokeo ya haya yote yatakuwa nini?’’ 9Akajibu, “Danieli, enenda zako, kwa sababu maneno haya yamefungwa na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho. 10Wengi watatakaswa na kuondolewa mawaa na kuwa safi, lakini waovu wataendelea kuwa waovu. Hakuna mmoja wa waovu atakayefahamu, lakini wale wenye hekima watafahamu. 11“Tangu wakati ule wa kukomeshwa dhabihu ya kila siku na kusimamishwa kwa chukizo la uharibifu kutakuweko siku 1,290. 12Amebarikiwa mtu yule atakayevumilia hadi kufikia mwisho wa hizo siku 1,335. 13“Kuhusu wewe, enenda zako mpaka mwisho. Utapumzika, nawe ndipo mwisho wa hizo siku utafufuka ili kuupokea urithi uliowekwa kwa ajili yako.’’

***************

Mwanamke huyu Kahaba atatafuta jinsi ya kufanya udhibiti na kuwaangamiza Watakatifu wa Mungu na atafanikiwa kwa kitambo na yule Mnyama atamgeukia huyu Mwanamke Kahaba na kumwangamiza kwa kuwa Shetani atakuwa amemchukia Kahaba huyu ila ataweka utaratibu kukomesha ukuaji wa Kanisa la Mungu na alikuwa

Page 18: Mwanamke Kahaba na Mnyama [299B]kiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p299b.doc · Web view[299B] Vita Kuu Ya III Sehemu Ya II: Mwanamke Kahaba Na Mnyama (Toleo Na 1.0 20100331-20100331)

Mwanamke Kahaba na Mnyama Page 18

anashurutishwa kufanya hivyo na atanuia pia kuzichoma moto Biblia kuwaua wale wote wanaoitwa wateule wa Mungu.

Mwishoni kabisa wakati kipindi chake kikifikia mwisho, atamwangamiza yule Kahaba kwa kuwa ameisha timiza leno lake na kumwona kuwa sio wa muhimu tena kwake.

Kwenye Sehemu ya III A na B tutaorodhesha mambo yatayosababisha vita na masuala ya kuchumi yaendelee, na mwanguko wa kijamii wa Mfumo wa Dunia na jinsi Masihi atakavyouchukulia hatua atakaporudi.