Upload
chelsa
View
379
Download
64
Embed Size (px)
DESCRIPTION
IMANI YA USHINDI KKKT – Dayosisi ya Mashariki na Pwani Bagamoyo Lutheran Parish. Tar. 15-22 Sept, 2013. Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org. IMANI YA USHINDI ‘ Kukua na Kuongezeka katika Nguvu ya Mungu, kwa Imani iliyo ktk Yesu Kristo, ili Kutawala Mazingira yetu’. - PowerPoint PPT Presentation
Citation preview
Mwl. Mgisa Mtebe+255-713-497-654
www.mgisamtebe.org
IMANI YA USHINDIKKKT – Dayosisi ya Mashariki na Pwani
Bagamoyo Lutheran Parish.Tar. 15-22 Sept, 2013
Mwl. Mgisa Mtebe+255-713-497-654
www.mgisamtebe.org
IMANI YA USHINDI‘Kukua na Kuongezeka katika Nguvu ya Mungu, kwa Imani iliyo ktk Yesu Kristo, ili Kutawala Mazingira yetu’.
KANUNI ZA KIROHO
IMANI USHINDI1Yohana 5:4-5
KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-54 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-55 Mwenye kuushinda
ulimwengu ni nani? Ni yeye [yule] aaminiye ya kwamba,
YESU ni ndiye Kristo na ni Mwana wa Mungu.
KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-5
Maneno ya Msingi
1.Ulimwengu – Upinzani2.Kushinda – Mashindano3.Imani – Siri ya Ushindi
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-5
Maneno ya Msingi
1.Ulimwengu – Upinzani
IMANI YA USHINDI
Yohana 16:33 33 Ulimwenguni mnayo dhiki,
lakini, jipeni moyo, kwakuwa mimi nimeushinda
ulimwengu; [nanyi pia mtashinda ulimwengu].
IMANI YA USHINDI
2Petro 1:3-43-4 Mungu, kwa Neno lake, ametupa Nguvu zake, ili kwa hizo tuweze kubeba tabia za Asili ya Uungu, ili kuushinda
uharibifu ulioko duniani.
KANUNI ZA KIROHO
KABLA YA DHAMBI UTARATIBU ULIKUWA HIVI
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
IMANI YA USHINDI
Zaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28
‘Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki? Umemfanya ‘punde kidogo’
kuliko Mungu, …’
IMANI YA USHINDI
Zaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28
‘… ukamvika taji ya ‘Utukufu’ na Heshima; kisha
ukamtawaza ‘Juu ya’(Mashal) kazi zote za mikono yako …’
…
IMANI YA USHINDI
Zaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28
‘… na ukaviweka vitu vyote ulivyoviumba wewe,‘chini ya’ miguu yake; wanyama wote, ndege wote, samaki
na [kila kitu]’
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani
KANUNI ZA KIROHO
BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI
BAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
MUNGU
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Shetani akakaa katika nafasi ya Adam na
akavaa vyeo vyote vya Adam
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa UlimwenguLuk 4:5-8 - Mtawala wa Fahari
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
IMANI YA USHINDI
BAADA YA WOKOVU MAMBO YAKAWA HIVI
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM - 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM - 2
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-109 Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa
damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na
kila taifa (kanisa).
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani
wa kumtumikia Mungu wetu, nao wanamiliki dunia.’’
IMANI YA USHINDI
2Petro 1:3-43-4 Mungu, kwa Neno lake, ametupa Nguvu zake, ili kwa hizo tuweze kubeba tabia za Asili ya Uungu, ili kuushinda
uharibifu ulioko duniani.
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-5
Maneno ya Msingi
1.Ulimwengu – Upinzani2.Kushinda – Mashindano
IMANI YA USHINDI
Waefeso 6:10-13 12 ‘Kushindana kwetu sisi, si
juu ya damu na nyama, bali [tunashindana] na falme,
mamlaka, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya …’
IMANI YA USHINDI
Waefeso 6:10-13 10 ‘[hivyo basi] iweni hodari
katika Bwana, na katika uweza wa nguvu zake …’
IMANI YA USHINDI
Waefeso 6:10-13 11,13 ‘Vaeni silaha zote za
Mungu, ili muweze kuzipinga hila zote za yule mwovu, hata
muweze kusimama imara siku ya uovu.’
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-5
Maneno ya Msingi
1.Ulimwengu – Upinzani2.Kushinda – Mashindano3.Imani – Siri ya Ushindi
KUTEMBEA KWA IMANI
1Yohana 5:1-4‘… na huku ndiko kushinda, kuushindako ulimwengu, ni
hiyo imani yetu.[imani iliyo ndani yetu]
KUTEMBEA KWA IMANI
1Yohana 5:1-4Imani iliyo ndani yako, ndio
siri ya ushindi wa mtu wa Mungu katika ulimwengu
huu ulioharibika.
KUTEMBEA KWA IMANI
Warumi 12:3‘Mungu amemgawia
kila mtu kiasi cha Imani.’[Mtaji wa Imani]
Warumi 12:3
‘Ikiwa kila muumini wa Yesu amepewa Imani (kama siri ya ushindi)
kwanini watoto wa Mungu wengi bado wanaishi
maisha ya kushindwa?
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
Kwa Mfano;
Imani ya Wanafunzi wa Bwana Yesu
Mathayo 17:9-21
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-2019 Kisha wanafunzi wake
wakamwendea Yesu faraghani, mahali
pasipokuwa na watu; wakamwuliza …
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-20
19 …“Bwana, kwa nini sisi hatukuweza kumtoa
yule Pepo?”
Mathayo 17:9-20
20 Yesu akawajibu kuwaambia, ‘‘Ni kwasababu ya upungufu wa Imani yenu (au ni kwasababu ya imani
yenu kuwa ndogo)…
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-20
20 “… Ninawaambia kweli, mkiwa na imani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza
kuuambia milima huu, ‘ondoka hapa uende pale …
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-20
20 “… mtaweza kuuambia milima, ‘ondoka hapa uende
pale’ nao utaondoka. Na wala hakutakuwa na jambo lisilowezekana kwenu.’’
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-20
21 “lakini [nguvu] ya namna hii, haitoki isipokuwa kwa
kufunga na kuomba.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-20
Bwana Yesu alikuwa na maana gani?
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-20Anawalaumu kwa kuwa
na imani ndogo; lakini hapo hapo, anasema, imani ndogo ingeweza
kuhamisha milima!
Huwezi kujibu swali hilo Mathayo 17:9-20
kama hujui Tabia za Punje ya
Haradali.Mathayo 13:31-32
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 13:31-32Ufalme wa Mungu
umefanana na punje ndogo ya haradali, ambayo ni
mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote, lakini ikimea
(kuchipua na kukua) …
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 13:31-32
… huwa mkubwa kuliko miti yote ya mboga; na kuwa mti mkubwa, hata nyuni huja na kujenga viota juu
yake.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 13:31-32Aina za Imani
1. Imani Mbegu2. Imani Mche3. Imani Mti wa Mboga4. Imani MTI MKUBWA
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
MATH 17:20, LUKA 17:5-6Yesu alipoongelea punje ya haradali, alimaanisha hivi;
6. Kama mngekuwa na imani kiasi cha punje ya haradali, yenye tabia ya kukua, hata
kuwa mti mkubwa, …
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
MATH 17:20, LUKA 17:5-66. … mngekua na kufika katika
kiwango cha mamlaka, ya kuweza kuamuru mambo ya
asili kama mlima na miti, (vikwazo) kuondoka katika
njia zenu, ili mfikie malengo.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”
Kanuni = Imani = NguvuMath 17:9-21 Luk 17:5-6 Efe 3:20
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,
kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya
ushindi na mafanikio, katika Ulimwengu huu na kulitimiza
kusudi la Mungu.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
KUTEMBEA KWA IMANI
Imani Kidogo
Nguvu Kidogo
Mungu Tatizo
KUTEMBEA KWA IMANI
Imani Kubwa
Nguvu Kubwa
Mungu Tatizo
WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye
awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika) kuliko yote tunayowaza au
tunayoyaomba …
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
WAEFESO 3:2O
20 … ‘kwa kadiri’ (au ni kwa kiwango au kwa kipimo) cha
Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI
Waefeso 3:20 Kiwango cha utendaji kazi
wa nguvu za Mungu, kinategemea sana na KIWANGO CHA IMANI
kinachofanya kazi ndani yako.
ASILI YA MUNGU NDANI YETU.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
RMt
ASILI YA MUNGU KUFUNULIWA KUTOKA NDANI YETU.
1Kor 3:18 (Utukufu)
Mwili Nafsi Roho
RMt
UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA KUTOKA NDANI YETU.
1Kor 3:18 (Utukufu)
Karama na Vipawa
RMt
Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,
kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya
ushindi na mafanikio, katika kulitimiza kusudi la Mungu.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”
Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
IMANI YA USHINDI
Yohana 14:12 Ni mapenzi ya Mungu,
kwamba, kila muumini wa Yesu, akue katika Imani na kufika katika kufanana na Yesu, katika maisha yake.
UFUASI NA UANAFUNZI
AGIZO KUU
Mathyo 28:18-20
UFUASI NA UANAFUNZIMathayo 28:18-20
Mafundisho 3. Mwanafunzi
Mahubiri 2. Muumini
1. Mmataifa
UFUASI NA UANAFUNZI
Mathayo 28:18-20
Mwanafunzi = ‘Desciple’
Kuzoeshwa DesciplinedKufanya Kama Mwalimu
IMANI YA USHINDI
Yohana 14:12 12 Amini Amini nawaambia,
kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, na yeye atazianya, naam, kubwa
kuliko hizo, atafanya.
IMANI YA USHINDI
Efeso 4:11-15 Kwa huduma ya Mitume,
Manabii, Wachungaji, Wainjilisti na Waalimu; sisi
sote, tufundishwe, tukue, na kufika katika cheo cha Kristo.
IMANI YA USHINDI
Warumi 8:28-30 Wale aliowajua, aliwaita,
akawahesabia haki, akawatukuza, ili
wafananishwe na mfano wa Mwanaye (Kristo).
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-5 Ni mapenzi ya Mungu, kwamba
watoto wake, tuishi maisha mzuri, ya ushindi na mafanikio, ili tuweze kulitimiza kusudi la
Mungu (ibada) kama Yesu alivyoshinda.
KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-4Imani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu
wa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani,
hataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.
IMANI YA USHINDI
Yohana 14:12 Ni mapenzi ya Mungu,
kwamba, kila muumini wa Yesu, akue katika Imani na kufika katika kufanana na Yesu, katika maisha yake.
IMANI YA USHINDI
Waefeso 4:11-15 Mungu anatutaka tukue na kuongezeka katika imani na
nguvu zake, ili kuweza kuushinda ulimwengu na
adui mkubwa, ibilisi shetani.
Warumi 1:16-17
“Kutoka Imani hata Imani [nyingine]”
KUKUA NA KUONGEZEKA KIIMANI
Zaburi 84:1-7
“Kutoka Nguvu, hata Nguvu [nyingine]”
KUKUA NA KUONGEZEKA KIIMANI
2Wakorintho 3:18
“Kutoka Utukufu, hata Utukufu [mwingine]”
KUKUA NA KUONGEZEKA KIIMANI
KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI
Waefeso 3:20 Kiwango cha utendaji kazi
wa nguvu za Mungu, kinategemea sana na KIWANGO CHA IMANI
kinachofanya kazi ndani yako.
ASILI YA MUNGU NDANI YETU.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
RMt
ASILI YA MUNGU KUFUNULIWA KUTOKA NDANI YETU.
1Kor 3:18 (Utukufu)
Mwili Nafsi Roho
RMt
UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA KUTOKA NDANI YETU.
1Kor 3:18 (Utukufu)
Karama na Vipawa
RMt
KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI
Waefeso 3:20 Kiwango cha utendaji kazi
wa nguvu za Mungu, kinategemea sana na KIWANGO CHA IMANI
kinachofanya kazi ndani yako.
Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”
Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
LUKA 17:5-65. Wanafunzi wakamwambia
Bwana Yesu “Bwana, tuongezee Imani.” Lakini yeye akawarudisia wajibu kwamba
kukua kwa imani, ni wajibu binafsi wa mtoto wa Mungu.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
LUKA 17:5-6Mungu hataki kukupa vitu bure bure, kirahisi tu; bali anataka na wewe ushiriki
katika utendaji kazi wa nguvu zake, kuleta mabadiliko
tunayoyatamani duniani.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kukupa
samaki mchana, kinyume na kawaida yenu duniani; lakini ni mpaka wewe ume-shusha
Nyavu kwanza majini (Luka 5:4)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kuwapa
divai kutoka kwenye maji ya kawaida, kinyume na kawaida, lakini ni mpaka ninyi Umjaze
Maji kwenye mabalasi kwanza. (Yohana 2:7)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kukuponya
upofu wa macho yako kwa matope ya mate, kiyume na
kawaida, lakini ni mpaka Uende kunawa Siloamu
(Yohana 9:7)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kumfufua
Lazaro aliyekufa na kuwa maiti, kwa siku nne, kiyume na kawaida ya asili; lakini ni mpaka ninyi Mliondoe Jiwe.
(Yohana 11:29)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
LUKA 17:5-6 Mungu anatuonyesha
kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa
nguvu za Mungu maishani mwetu.
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;
• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh
2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
LUKA 17:5-6Mungu hataki kukupa vitu bure bure, kirahisi tu; bali anataka na wewe ushiriki
katika utendaji kazi wa nguvu zake, kuleta mabadiliko
tunayoyatamani duniani.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 13:31-32Aina za Imani
1. Imani Mbegu2. Imani Mche3. Imani Mti wa Mboga4. Imani MTI MKUBWA
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Imani ni Nini?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1Imani ni kuwa na uhakika wa
mambo yatarajiwayo, ni bayana (uthibitisho) wa mambo yasiyoonekana.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 10:17 Basi Imani huja kwa kusikia, na ni kusikia
kunakotokana na Neno la Mungu (au Sauti) ya
Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ebr 11:1, Rum 10:17 Basi Imani [uhakika] juu ya
mambo yajayo [tunayo-tarajia], huja kwa kusikia Neno au Sauti ya Mungu.
KANUNI ZA KIROHO
Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano 1;
Uumbaji wa vitu vya Dunia Waebrania 11:3
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Nasi twajua ya kwamba, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu
vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo
dhahiri.
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo dhahiri ”.
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo waziwazi ”.
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo onekana (vya kiroho).”
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilika, ndipo Mungu
akauzaa Ulimwengu wa mwili kutokea katika
Ulimwengu wa Roho.
ULIMWENGU WA ROHO
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa
kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-
photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia
Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
Kristo Mwokozi 7 1000
33 (1) Ufu 13:8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme
Injili
Kalvari Kanisa
Milele
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia
Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
Kristo Mwokozi 7 1000
33 (1) Ufu 13:8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme
Injili
600 Kalvari Kanisa
500 2000 +
(4) Dan 7:13 – 14, 27
(3) Isa 9: 6 33 33 AD (5) Ufu 20:11 – 15
30 3 ½
Leo
Bahari Miti Upepo
Milele
ULIMWENGU WA MWILI
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo onekana (vya kiroho).
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).
ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika
ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
ULIMWENGU WA ROHO
Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy
yake (yaani kina upande wa rohoni na wa upande wa mwilini).
ULIMWENGU WA ROHO
Kwahiyo
Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
ULIMWENGU WA ROHO
1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
ULIMWENGU WA ROHO
Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -
ULIMWENGU WA ROHO
Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko
kama kivuli”- Photocopy -
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;
kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza
katika ulimwengu wa kiroho.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika
Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano 2;Maombi ya Nabii Eliya
Yakobo 5:16-18
NGUVU YA MAOMBI
Yakobo 5:16-18;
16. ‘… Kuomba kwake mwenye haki, kwafaa sana
akiomba kwa bidii’
NGUVU YA MAOMBIYakobo 5:16-18;
17. ‘Eliya, alikuwa mwanadamu wa kawaida tu kama sisi, lakini
aliomba kwa bidii, ili mvua isinyeshe juu ya nchi, na mvua
haikunyesha, kwa muda wa miaka 3 na miezi 6.
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Japo kulikuwa na kanuni zote za
kisayansi za mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi,
alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni zinazotawala mvua mwili, na
ndio maana mvua haikunyesha.
NGUVU YA MAOMBI
Yakobo 5:16-18;
18. ‘[Baada ya hiyo miaka 3, Eliya, aliomba tena [kwa bidii]
na mvua ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na
Maombi, Nabii Eliya akapata Uhakika {imani} moyoni
mwake, akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya
mvua tele’ (mstari 41).
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Hata kabla ya kuona dalili
zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii
Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya
mvua tele’ (mstari 41),
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya
alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara
saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi
(mstari 44-45).
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,
mpaka kwanza ilipo-tengenezwa ktk ulimwengu
wa kiroho kwanza.
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45;
Jiulize swali hili;‘ile mvua ilinyeshaje,
wakati hakuna misitu juu ya nchi?’
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Kwa maana mvua ilikuwa
haijanyesha juu ya nchi kwa miaka 3 na miezi 6,
ni wazi kwamba misitu yote ilikuwa imekauka?
KANUNI ZA KIROHO
Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
Mambo Unayotakiwa Kuyajua Na Kuyatenda, ili Kuishi Maisha ya
Ushindi na Mafanikio.
KANUNI ZA KIROHOZA MAISHA YA USHINDI
Yakobo 5:16-18
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45;
Kanuni za Kiroho alizotumia Nabii Eliya kutawala ulimwengu
roho na mwili.
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwana
upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yake,
kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
1.Madhabahu – Ibada (Kusifu na Kuabudu)
Zaburi 100:1-5Zaburi 22:3
Yohana 4:23-24
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
2. Ng’ombe – Sadaka (Zaka)
Walawi 27:30-31Malaki 3:7-12
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
3. Pipa 12 za Maji – Sadaka (Dhabihu)Malaki 3:9-12
2Wakorintho 9:6-13
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
4.Maombi ya Kuumba - Mahitaji (Kusababisha vitokee)
Mathayo 7:7-11Wafilipi 4:6-7Isaya 43:26
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
5. Neno la Mungu - Ahadi (Neno lina Nguvu ya Kuumba)
Waebrania 11:3Waebrania 4:12
Yeremia 1:12
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
6. Kuangamiza Ma-Baali - Toba (Kuondoa kinachozuia)
Kumbukumbu 23:14Yohana 11:39-40
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
7. Maombi ya Kufungulia - Vita (Kutelemsha baraka)
Mathayo 16:19,18Yakobo 5:17-18,16
Kanuni za Kiroho (1Fal 18:30-45)
1. Kusifu na Kuabudu (Zab 100:4-5)2. Sadaka ya Zaka (Malaki 3:7-12)3. Sadaka ya Dhabihu (2Kor 9:6-11)4. Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6-7)5. Neno la Mungu (Yer 1:12)6. Maombi ya Toba (Kumb 23:14)7. Maombi ya Vita (Math 16:18-19)
NGUVU YA MAOMBI
Yakobo 5:18;
MATOKEO:Ushindi - Nchi kuzaa matunda
(Kufaidi mema ya nchi)
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
Ile Sadaka ilipotolewa sawa sawa na maagizo ya Mungu (pipa 12), ndipo mbingu zilipofunguka, na baraka ya mvua ikaachiliwa juu
ya nchi yao, kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu na nusu.
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Baada ya Nabii Eliya kufanya Maombi na Sadaka, Mungu
akaleta baraka ya mvua katika nchi ya Israeli, mvua ambayo
ilikuwa haijanyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na nusu.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Nguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani,
(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko
yafuatayo;
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
1. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zilizokataa kufanya kazi, ziweze kufanya kazi kama ilivyotegemewa.
(kama kawaida yake)
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
2. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza
kufanya kazi, zipindishwe hata ziweze kufanya kazi katika hali
isivyotegemewa. (si kawaida yake)
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
3. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza kufanya kazi, zirukwe, hata jambo lifanyike bila kupitia
katika njia yake ya asili. (si kawaida yake)
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Kwasababu hiyo,
Kanuni za Ulimwengu wa mwili zinatawaliwa na Kanuni za
Ulimwengu wa roho;
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Mungu wetu ni Mungu anayefanya mambo katika
ulimwengu wa yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha
yatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.
KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17
Mungu wetu ni Mungu anayevitaja, visivyokuwepo, kana kwamba vimekuwepo;
(yaani anataja visivyoonekana kana kwamba vinaonekana).
KANUNI ZA KIROHO
1Yohana 5:4, Warumi 8:37‘Basi mtu wa Mungu asipokuwa
na ufahamu wa mambo ya rohoni, hataweza kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake
duniani’.
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual
Principles).
KANUNI ZA KIROHO
Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
Mambo Unayotakiwa Kuyajua Na Kuyatenda, ili Kuishi Maisha ya
Ushindi na Mafanikio.
KANUNI ZA KIROHOZA MAISHA YA USHINDI
Yakobo 5:16-18
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45;
Kanuni za Kiroho Unazoweza kutumia wewe
kutawala ulimwengu roho na mwili kama Eliya.
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Orodha ya KANUNI ZA KIROHO
ZA MAISHA YA USHINDI
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
1.ELIMU YA ULIMWENGU
WA ROHOEbr 11:3, 2Kor 10:3Efe 6:12, 1Yoh 5:4
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
2.KUJITAMBUA;
ASILI YA MUNGU NDANI YETUZab 82:6, Yoh 10:31-38
Mwa 1:26, Kol 3:10
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
3.WOKOVU;
KUZALIWA MARA YA PILIYoh 1:12-13, Yoh 5:24
Efe 2:1-6-8, Efe 1:20-23
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
4.UJAZO WA ROHO
MTAKATIFU NA NGUVU;Mdo 1:8, Yoh 20:21-22,
Luk 24:49, Mdo 10:38/19:1-7
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
5.USHIRIKA NA ROHO
MTAKATIFU;2Wakorintho 13:14
Warumi 8:14
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
6.KUJAA NENO LA MUNGU;
Ebr 4:12, Kol 3:16, Efe 6:17, Luk 4:1-14
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
7.MAISHA YA UTAKATIFU;1Pet 1:15-16, 1Thes 4:1-4-7,
Kumbu 23:14, Isaya 57:15
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
8.MAISHA YA IBADA;Kusifu na KuabuduYoh 4:23-24, Zab 22:3
2Nyak 5:13-14, Zab 148:1-14
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
9.MAISHA YA MAOMBI;
Efe 6:18, 1Thes 5:17Math 16:18-19, Luka 6:12
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
10.UTOAJI WA SADAKA;
Zaka, Malimbuko na DhabihuMith 3:9-10, Malak 3:7-12
2Wok 9:6-15
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
11.KUONDOA VIZUIZI;1Thes 5:23, Kumb 23:14
Yoh 11:1-39-45, Mdo 19:18-202Sam 21:1-14
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
12.KUISHI KWA IMANI;
Ebr 11:1,6 Ebr 10:38Math 17:14-21, Mk 11:23-24
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia
maishani, yatasababisha Roho Mtakatifu kuzalisha Nguvu za Mungu katika maishani yetu,
na kutuwezesha kuishi maisha ya Ushindi na Mafanikio.
KANUNI ZA KIROHO
Kanuni za Kiroho (Connected)
Nuru (light)Maombi (Wire) Roho Mtakatifu (Battery)
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual
Principles).
KANUNI ZA KIROHO
Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)
MAMLAKA NA NGUVU
MAMLAKA YA MWANA WA MUNGU
Kumiliki na Kutawala Mazingira yako
KANUNI ZA KIROHO
Ebr 11:3; Zab 8:4-8Mungu aliitengeneza dunia katika
namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka
ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,
alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM - 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM - 2
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia
Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
Kristo Mwokozi 7 1000
33 (1) Ufu 13:8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme
Injili
600 Kalvari Kanisa
500 2000 +
(4) Dan 7:13 – 14, 27
(3) Isa 9: 6 33 33 AD (5) Ufu 20:11 – 15
30 3 ½
Leo
Bahari Miti Upepo
Milele
ULIMWENGU WA MWILI
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ebr 11:1, Rum 10:17 Basi Imani [uhakika] juu ya
mambo yajayo [tunayo-tarajia], huja kwa kusikia Neno au Sauti ya Mungu.
LUKA 17:5-6
Kiwango cha Imani- Imani Timilifu -
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
LUKA 17:5-6
5. Wanafunzi wakamwambia Bwana Yesu “Bwana,
tuongezee Imani.”
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
LUKA 17:5-66. Bwana akasema, kama
mngekuwa na imani kiasi cha punje ya haradali,
mngeuambia mkuyu huu, ng’oka ukapandwe baharini,
nao ungewatii.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-20
20 “… Ninawaambia kweli, mkiwa na imani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza
kuiambia milima, ‘ondoka hapa uende pale …
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-20
Bwana Yesu alikuwa na maana gani?
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 17:9-20Anawalaumu kwa kuwa
na imani ndogo; lakini hapo hapo, anasema, imani ndogo ingeweza
kuhamisha milima!
Huwezi kujibu swali hilo Mathayo 17:9-20
kama hujui Tabia za Punje ya
Haradali.Mathayo 13:31-32
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 13:31-32Ufalme wa Mungu
umefanana na punje ndogo ya haradali, ambayo ni
mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote, lakini ikimea
(kuchipua na kukua) …
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 13:31-32
… huwa kubwa kuliko miti yote ya mboga; na kuwa mti mkubwa, hata nyuni huja na kujenga viota juu
yake.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Mathayo 13:31-32Aina za Imani
1. Imani Mbegu2. Imani Mche3. Imani Mti wa Mboga4. Imani MTI MKUBWA
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
LUKA 17:5-6Yesu alipoongelea punje ya haradali, alimaanisha hivi;
6. Kama mngekuwa na imani kiasi cha punje ya haradali, yenye tabia ya kukua, hata
kuwa mti mkubwa, …
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
LUKA 17:5-6, MATH 17:206. … mngekua na kufika katika
kiwango cha mamlaka, ya kuweza kuamuru mambo ya
asili kama mlima na miti, (vikwazo) kuondoka katika
njia zenu, ili mfikie malengo.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”
Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
LUKA 17:5-65. Wanafunzi wakamwambia
Bwana Yesu “Bwana, tuongezee Imani.” Lakini yeye akawarudisia wajibu kwamba
kukua kwa imani, ni wajibu binafsi wa mtoto wa Mungu.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
LUKA 17:5-6Mungu hataki kukupa vitu bure bure, kirahisi tu; bali anataka na wewe ushiriki
katika utendaji kazi wa nguvu zake, kuleta mabadiliko
tunayoyatamani duniani.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kukupa
samaki mchana, kinyume na kawaida yenu duniani; lakini ni mpaka wewe ume-shusha
Nyavu kwanza majini (Luka 5:4)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kuwapa
divai kutoka kwenye maji ya kawaida, kinyume na kawaida, lakini ni mpaka ninyi Umjaze
Maji kwenye mabalasi kwanza. (Yohana 2:7)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kukuponya
upofu wa macho yako kwa matope ya mate, kiyume na
kawaida, lakini ni mpaka Uende kunawa Siloamu
(Yohana 9:7)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kumfufua
Lazaro aliyekufa na kuwa maiti, kwa siku nne, kiyume na kawaida ya asili; lakini ni mpaka ninyi Mliondoe Jiwe.
(Yohana 11:29)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
LUKA 17:5-6 Mungu anatuonyesha
kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa
nguvu za Mungu maishani mwetu.
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;
• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh
2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)
KUKUZA KIWANGO CHA IMANI
LUKA 17:5-6Mungu hataki kukupa vitu bure bure, kirahisi tu; bali anataka na wewe ushiriki
katika utendaji kazi wa nguvu zake, kuleta mabadiliko
tunayoyatamani duniani.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”
Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-21Pamoja na kwamba Imani
ndicho kuingo kinacho-simama kati ya Mungu na hitaji au tatizo alilonalo,
lakini …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-21
… kumbe Imani peke yake haitoshi, bali kinachotakiwa
ni kiwango cha imani inayotosha [timilifu].
Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,
kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya
ushindi na mafanikio, katika kulitimiza kusudi la Mungu.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
LUKA 17:5-6
Kiwango cha Imani- Imani Timilifu -
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)
Kupata IMANI yatakuwa
Neno (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua Muhimu ya Kwanza;
1.Kupata na Kutumia Neno la Mungu.
Waebrania 11:3 Warumi 10:17
KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:3,‘Nasi twajua ya kuwa,
Ulimwengu uliumbwa kwa Neno, hata vitu
vinavyoonekana viliumbwa kwa vitu visivyoonekana.’
KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-31,1-2 ‘Hapo mwanzo Mungu
alipoziumba mbingu na nchi, Nchi ilikuwa ukiwa, tena
utupu; na giza lilikuwa juu ya nchi iliyofunikwa na maji…
Nguvu ya Neno la Mungu
Mwanzo 1:1-31,Neno la Mungu, lina nguvu ya
kubadilisha mambo yoteUbaya kuwa Uzuri.Ugonjwa kuwa Uzima.Umaskini kuwa Utajiri.Ugomvi kuwa Upendo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(Warumi 10:17)
‘Imani yenye Nguvu ya kuhamisha milima,
huzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai,
tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta
mabadiliko)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu,
lafaa kwa kuleta mabadiliko ya tabia/mwenendo.’
(mafafanuzi)
NGUVU YA NENO LA MUNGU
Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima
(uhai), kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu;
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho
nayo ndio Uzima’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
2Kor 3:6
‘Andiko linauwa, lakini Roho anahuisha; kwahiyo,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu,
lafaa kwa kuleta mabadiliko ya tabia/mwenendo.’
(mafafanuzi)
NGUVU YA NENO
2 Timotheo 3:16-17
Andiko + Pumzi = Neno (Hai)
Herufi + Roho = Nguvu
KANUNI ZA KIROHO
Angalizo;
Tofauti ya Andiko Vs Neno
KANUNI ZA KIROHO Andiko lililochaguliwa na
Mungu ili litumike, ndilo tu ambalo Roho Mtakatifu wa Mungu, atakuja kulivuvia, ili kulifanya kuwa Neno lenye Uhai na Nguvu ya kutenda.
(2Tim 3:16-17, Ebr 4:12)
KANUNI ZA KIROHO
Uwe mwangalifu kutumia maandiko katika Biblia katika
maombi na kukiri ushindi, Kwasababu kuna tofauti ya
Andiko na Neno. (2Timotheo 3:16-17)
KANUNI ZA KIROHO
Hivyo uwe makini sana;Kwasababu,
Si kila Andiko ni Neno.
KANUNI ZA KIROHO
Uwe makini sana;Kwasababu,
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Andiko na Neno(2Kor 3:6, Yoh 6:63)
Andiko Vs Neno
Tofauti 1 kati ya Andiko Neno
Andiko ni Kitu Neno ni Uhai
(Herufi) (Mtu)
(Yoh 1:1-4)
Andiko Vs Neno
Tofauti 2 kati ya Andiko Neno
Andiko pekee Neno ni Uhai
Halijui Linajua/Anajua
(Ebr 4:12-13)
Andiko Vs Neno
Tofauti 3 kati ya Andiko Neno
Andiko pekee Neno ni Uhai
Halitumwi Lina/Anatumwa
(Zab 107:20)
Andiko Vs Neno
Tofauti 4 kati ya Andiko Neno
Andiko pekee Neno ni Uhai
Halitendi Lina/Anatenda
(Isaya 55:10-11)
Andiko Vs Neno
Tofauti 5 kati ya Andiko Neno
Andiko pekee Neno ni Uhai
Linaua Lina/Anahuisha
(2Kor 3:6) (Yoh 6:63)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Nguvu ya neno inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao
unatokana na uwepo wa Roho/roho aliyevuvia hilo Neno
Waebrania 4:122Timotheo 3:16-17
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Yesu na Mti wa Tini
Marko 11:12-14, 20-24.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-2412 Kesho yake walipokuwa
wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa. 13
Alipouona mtini kwa mbali, akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
13 ... Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa
hayakuwa majira ya tini.
14 Yesu akauambia ule mti,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
14 ... ‘‘Tangu leo mtu ye yote na asile matunda kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi
Wake walimsikia akiuambia ule mti maneno hayo.
NGUVU YA NENO
2 Timotheo 3:16-17
Andiko + Pumzi = Neno (Hai)
Herufi + Roho = Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
20 Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi
kwenye mizizi yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
21 Petro akakumbuka na kumwambia Yesu,
“Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
22 Yesu akawajibu akawaambia, “Mwaminini
Mungu. 23 Amin, amin nawaambia, mtu ye yote
atakayeuambia mlima huu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
23 ...'Ng’oka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini
kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yo yote
myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea
nayo yatakuwa yenu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
Yesu alipotuma NENO, kwa ule mti, aliacha ROHO
anaushughulikia mti sawa sawa na NENO la BWANA
alivyoagiza/alivyotaka.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
Yesu alipotuma NENO, aliondoka, lakini ROHO alibaki kama MJUMBE,
akitekeleza NENO au maagizo ya BWANA kama alivyosema.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
Kwa lugha nyingine rahisi
Neno = Agizo + Roho
Neno ni Roho aliyepewa agizo la kutekeleza.
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)
Kupata IMANI yatakuwa
Neno (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
2. Kuomba kwa Bidii na
Nidhamu - Maombi ya Kuumba -
Yakobo 5:17-18, 161Wafalme 18:29-45
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya
Yakobo 5:16-18
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
17 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa
bidii, mvua isinyeshe juu ya nchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3)
na miezi sita (6).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
18 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii, ili mvua inyeshe, na mvua
ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,
akiomba kwa bidii.
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi,
Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), kabla hata ya
kuona dalili zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili.
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi, kabla hata ya kuona dalili zozote
za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii Eliya akawaambia
watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41),
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya
alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara
saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi
(mstari 44-45).
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”
Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
16 … Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,
akiomba kwa bidii.
(conditional)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano wa;Yesu na Pepo SuguMathayo 17:9-21.
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 17:9-21Bwana Yesu anahusisha
Kiwango cha Imani ya mtu na Nidhamu yake ya Maisha ya
Maombi au Kiwango cha Maombi maishani mwake.
Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”
Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9-20
Bwana Yesu alimaanisha kwamba; wanafunzi wake
hawakuishi Maisha ya Maombi, Ndio maana
hazikuzalishwa Nguvu za Mungu za kutosha, kuondoa
lile tatizo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU1Wafalme 18:41-44
Nidhamu ya Maombi ya muda mrefu, inahitajika sana katika
kusababisha uumbaji ya mambo katika ulimwengu wa
roho, tunayoyahitaji sana katika ulimwengu wa mwili.
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI1Wafalme 18:41-44
Kwa Mfano wa;
Nidhamu ya Kuku anayelalia (anayeatamia) mayai ili kutotoa vifaranga
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Usikatize maombi yako, mpaka Roho Mtakatifu, atakushuhudia kwamba ndani yako kwamba, tayari jambo lako limeumbika
katika ulimwengu wa roho. Jenga Kiu, Nidhamu na Bidii ya
Kuomba mpaka kuivisha.
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Yakobo 5:16-18Hivyo omba, Mungu akupe
Stamina na Nguvu ya kuomba kwa bidii na nidhamu mpaka kuzalisha/kuivisha mambo
katika roho na mwili.
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 5:8‘Wale wenye uhai 4 na wale wazee 24, kila mmoja wao, alikuwa na kinubi na kitasa
(bakuli) ya cha dhahabu, kilichojaa manukato, ambayo
ni maombi ya watakatifu.
Kiwango, Kipimo, Ujazo
Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:2-5“Kujaza Kipimo cha Maombi”
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 8:3-5
2 Nami nikawaona wale malaika saba wanaosimama
mbele za Mungu, nao wakapewa tarumbeta saba.
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 8:3-5
3 ‘Malaika mwingine aliyekuwa na chetezo cha
dhahabu, akaja na kusimama mbele ya madhabahu...’
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 8:3-53 ‘... Akapewa uvumba
mwingi ili autoe pamoja na maombi ya Watakatifu wote,
juu ya ile madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele ya
kile kiti cha enzi.
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 8:3-54 Ule moshi wa uvumba
pamoja na yale maombi ya watakatifu, vikapanda juu mbele za Mungu, kutoka
mkononi mwa huyo malaika.
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 8:3-55 Kisha yule malaika
akachukua kile chetezo, akakijaza moto kutoka
kwenye ile madhabahu, akautupa juu ya dunia ...’
Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:2-5“Kujaza Kipimo cha Maombi”
Maombi = Nguvu Math 17:19-21 Efe 3:20
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 8:3-5
Matokeo ya Kujaa kwa Kipimo cha Maombi.
5 ‘... Pakatokea sauti za radi, ngurumo, umeme wa radi na
tetemeko la nchi.’
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:3-5Kuna Kiwango fulani cha
Nguvu za Mungu kinachohitajika kuondoa
tatizo unalolikabili, hakitaachiliwa, mpaka
Kipimo cha Maombi Kimejaa.
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:3-5
Ndio maana Eliya aliomba mara saba (7) mfululizo;
alikuwa anatakiwa kujaza ‘Kipimo cha Maombi.’(1Wafalme 18:41-45)
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:3-5
Ndio maana Daniel aliomba siku ishirini na moja (21)
mfululizo; alikuwa anatakiwa kujaza ‘Kipimo cha Maombi.’
(Daniel 10:1-21)
WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye
awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika) kuliko yote tunayowaza au
tunayoyaomba …
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
WAEFESO 3:2O
20 … ‘kwa kadiri’ (au ni kwa kiwango au kwa kipimo) cha
Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Yakobo 5:16-18Hivyo omba, Mungu akupe
Stamina na Nguvu ya kuomba kwa bidii na nidhamu mpaka kuzalisha/kuivisha mambo
katika roho na mwili.
KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
3. Kupata na Kuthibitisha
Ishara za Uhakika MoyoniMarko 11:23-24
Warumi 8:16, 26-27
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakupa ishara kwamba, tayari jambo
lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,
yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;
mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
Swali24 Ikiwa tayari nimeshapokea “sasa”, kwanini hilo jambo liwe
langu “baadaye” na sio sasa?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
Swali24 Hiyo “baadaye” ni ya nini
ikiwa tayari nimeshapokea hili jambo “sasa”?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
Swali24 kwanini lisiwe langu “sasa”,
badala yake litakuwa langu “baadaye” na sio sasa? Wakati tayari nimeshapokea “sasa”?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,
yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;
mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu
(sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)
Kupata IMANI yatakuwa
Neno (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24Mtu wa Mungu, hataweza kuelewa kitu Yesu aliongea
hapa, kama hajui namna Mungu anavyofanya mambo, kwa
kanuni zake duniani. ~ Njia (Style) za Mungu ~
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya
Yakobo 5:16-181Wafalme 18:30-45
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Hata kabla ya kuona dalili
zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii
Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya
mvua tele’ (mstari 41),
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya
alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara
saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi
(mstari 44-45).
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,
mpaka kwanza ilipo-tengenezwa ktk ulimwengu
wa kiroho kwanza.
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Kuwa na Usikivu wa Kiroho Anaokupa Roho
Mtakatifu Moyoni.Warumi 8:16, 26-27
Yohana 16:13
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakupa ishara kwamba, tayari jambo
lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.
Hatua za Imani ya Ushindi
Warumi 8:16, 26-27‘Wale wanoongozwa na Roho [Mtakatifu] wa Mungu, hao
ndio wana wa Mungu.’
Hatua za Imani ya Ushindi
Warumi 8:16, 26-27
‘Kwa maana sisi [wenyewe], hatujui kuomba itupasavyo
[sawasawa na mapenzi makamilifu ya Mungu] …’
Hatua za Imani ya Ushindi
Warumi 8:16, 26-27‘… bali Roho wa Mungu ndiye
ajuaye kutuombea, kwa kuugua kusikoweza kutamkwa, kwa namna ile atakavyo Mungu.’[sawa na mapenzi ya Mungu]
Hatua za Imani ya Ushindi
Yohana 16:13
‘Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie katika kweli yote, na
katika mambo yajayo, atawapasha habari …’
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Roho Mtakatifu anataka kuongoza!
Ndio moja ya kazi yake iliyomleta duniani.
(Yohana 16:13)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakupa ishara kwamba, tayari jambo
lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)
Kupata IMANI yatakuwa
Neno (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Kuwa na Usikivu wa Kiroho Anaokupa Roho
Mtakatifu Moyoni.Warumi 8:16, 26-27
Yohana 16:13
KUONGOZWA NA ROHO
NAMNA YA KUSIKILIZA SAUTI AU ISHARA ZA
MUNGU.
Namna 12
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
A. NAMNA ZILIZO
ZA KAWAIDA
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
1. Kwa Ushuhuda wa moyoni ( Sauti ya Ndani – ‘Wazo’)
Rumi 8:16, 1Kor 2:16(Isaya 55:8-11, Yer 29: 11)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
1. Kwa Ushuhuda wa moyoni
Kwa Mfano;2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11
‘Sulemani alipomaliza ujenzi wa Hekalu, na mambo yote ambayo Bwana
alikuwa ameweka moyoni mwake, Ndipo Bwana akamtokea usiku …’
Hatua za Imani Timilifu
NAMNA YA KWENDAROHONI.
1Wakorintho 2:16
Hatua za Imani TimilifuNAMNA YA KWENDA ROHONI
1Wakorintho 2:16
‘… kwa maana sisi tuna nia [mawazo] ya Kristo.
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Sehemu Kuu za Mwanadamu
Roho Roho Nafsi Mwili Mwanzo 2:7
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mavumbi, Nafsi, Pumzi
Mwa 2:7 Mwili Nafsi Roho
Mwili
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
NAFSI ROHO
Mwa 2:7 Mtu
NyamaDamuMifupa
Mwanadamu
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2:7 Mtu
Fikra (Mind)Hisia (Emotion)Maamuzi (Will)
NAFSI ROHO
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2:7 Mtu
Utambuzi (Intuition)Dhamira (Conscience)Madhabahu (Altar)
ROHO
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
1. Kwa Ushuhuda wa moyoni au Wazo la Moyoni
Kwa Mfano;2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11
‘Sulemani alipomaliza ujenzi wa Hekalu, na mambo yote ambayo Bwana
alikuwa ameweka moyoni mwake, Ndipo Bwana akamtokea usiku …’
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)
Kupata IMANI yatakuwa
Neno (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Mwili Nafsi Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
Hatua za Imani ya Ushindi
Yohana 16:13
‘Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie katika kweli yote, na
katika mambo yajayo, atawapasha habari …’
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Roho Mtakatifu anataka kuongoza!
Ndio moja ya kazi yake iliyomleta duniani.
(Yohana 16:13)
Hatua za Imani TimilifuNAMNA YA KWENDA ROHONI
1Wakorintho 2:16
‘… kwa maana sisi tuna nia [mawazo] ya Kristo.
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
2. Kwa Amani ya rohoni (Furaha/Uhuru)
(Isa 55:12, Kol 3:15)(Fil 4:6-7, Efe 4:1-3)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
2. Kwa Amani ya moyoni
Isaya 55:12
‘Mtatoka kwa furaha, mtaongozwa kwa amani’.
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
2. Kwa Amani ya moyoni
Wafilipi 4:4-7 ‘Furahini katika Bwana siku zote, … na Amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu
katika Kristo …’
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
2. Kwa Amani ya moyoni
Wakolosai 3:15
‘… na Amani ya Kristo, iamue mioyoni mwenu …’
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
2. Kwa Amani ya moyoni
Waefeso 4:1-3
‘… mkijitahidi kuuhifadhi Umoja wa Roho kwa kifungo cha Amani …’
(Umoja na Roho wa Mungu)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara
kwa njia ya AMANI YAKE, ili ujue kwamba, tayari jambo
lako limeumbika …
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
‘… katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza
kufungulia majibu yako katika ulimwengu wa mwili.
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Yohana 16:13, Warumi 8:16
Baadhi ya Ishara za Roho.•Huzuni – Furaha•Uzito – Bubujiko•Hatia – Amani•Mahangaiko – Utulivu
3. Kwa Neno lake (Lililoandikwa -Logos);
(Zaburi 119:105)(2Timotheo 3:16-17)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara
kwa njia ya NENO LAKE, ili ujue kwamba, tayari jambo
lako limeumbika …
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
‘… katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza
kufungulia majibu yako katika ulimwengu wa mwili.
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
4. Kwa njia ya Ndoto
(Mathayo 1:18-25)(Mathayo 2:19-21)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara
kwa njia ya NDOTO, ili ujue kwamba, tayari jambo lako
limeumbika rohoni …
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
‘… katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza
kufungulia majibu yako katika ulimwengu wa mwili.
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
5. Kwa kutumia watu
wengine.
(Mathayo 18:16) (Matendo 6:3-6)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara kwa kuwatumia WATU
WENGINE, ili uweze kujua ya kwamba …
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
‘… tayari jambo lako limeumbika katika rohoni, ili uweze kubadilisha aina
ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako
katika ulimwengu wa mwili.
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
6. Kwa Mazingira. - Majira na Nyakati -
(Luka 12:54-57) (Mdo 17:24-27-29)(Mwanzo 1:14-19)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara
kwa kutumia MAZINGIRA yanayo kuzunguka, ili
uweze kujua ya kwamba …
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
‘… tayari jambo lako limeumbika katika rohoni, ili uweze kubadilisha aina
ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako
katika ulimwengu wa mwili.
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
B. NAMNA ZISIZO
ZA KAWAIDA
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
7. Kwa njia ya Maono
(Matendo 10:1-19)(Matendo 9:10-12)(Matendo 16:9-10)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
8. Kwa Neno la Maarifa
(1Wakorintho 12:4-8)(Matendo 5:1-11)
(Mathayo 12:22-28)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
9. Kwa Neno la Hekima
(1Wakorintho 12:4-8)(2Wafalme 2:19-21)
(Yohana 9:1-7)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
10. Kwa njia ya Unabii.
(1Wakorintho 12;7-10) (1Wakorintho 14:10) (Matendo 13:1-3)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
11. Kwa Sauti ya Ndani (Sio wazo, bali sauti halisi)
(Isaya 30:20-21)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
12. Kwa Sauti ya Nje
(Marko 9:1-8)(Yohana 12:28-30)(Matendo 9:1-9)
KUONGOZWA NA ROHO
KUONGEZA USIKIVU KWA SAUTI YA
ROHO MTAKATIFU
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
1. Maisha ya Utakatifu (Yoh 9:31, 2Wakor 6:14-18)
(1Pet 1:15-16, Isa 57:17)
VITA YA MWILI NA ROHO
(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
2. Kusifu na Kuabudu (Yoh 4:23-24, Zab 22:3)
(2Nyak 5:13-14)
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
3. Kusoma Neno kwa Bidii (Waebr 4:12, Wakol 3:16-17)
(2Tim 3:16-17)
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
4. Maombi ya Muda Mrefu (Wakol 4:2, 1Thes 5:17)
(Luka 6:12/18:1)
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
5. Kukusanyika katika Ibada (Math 18:19-20, Waebr 10:25)
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
6. Kuenenda kiroho(Katika Roho)
Wagal 5:16-25, Warum 8:5-121Wakor 1:1-9
KANUNI ZA MAISHARohoni Mwilini
Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya,n.k.
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
7. Kutembea katika kiwango
Waebrania 5:11-14Wagalatia 4:1
Mathayo 17:1-9
KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;
7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)
(1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kujaa Nguvu za Mungu
Kiwango, Kipimo, Ujazo
KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;
7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho
(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUJAZWA ROHO Mt.
Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi
katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi
katika viwango vyake maalum.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.
Kutoka 24:1-18
7. Ngazi (Level) ya Wito
Kutoka 24:1-18 ^ 1st Class
^^^ 2nd Class
^^^^^^^^^^ 3rd Class
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.
Luka 6:13-16
1 (Yoh 21:19-24)
3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
– 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8)
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGAZI YA IMANILuka 6:13-16
Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu, bali tafuta kuongezeka katika
ngazi yako ndani ya Mungu
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Kuongozwa/Usikivu;
1. Utakatifu (1Pet 1:15-16, Isa 57:17)2. Kuabudu (John 4:23-24, Psa 22:3) 3. Maombi (Exo 24:12-18, Luk6:1219)4. Neno (Heb 4:12, Col 3:16)5. Ibada (Math 18:19-20)6. Kiroho (Wag 5:16, War 8:5-8)7. Kiwango (Efes 4:11-15, Ebr 5:11-14)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
MATOKEO 1. Kukua na Kuimarika
Zaidi Kiroho Gal 4:3-6, 1-2
Ebr 5:11-14, Efe 4:11-15 Mfano ; Luka 9:51-56
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
MATOKEO 2. Kuongezeka Viwango vya
Nguvu na UwezoYoh 4:13-14, Yoh 7:37-39Rum 1:17; Zab 84:1,4-7;
2Kor 3:18
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
MATOKEO 3. Kutembea na Nguvu za
Mungu Luka 6: 12,17-19, Kutoka 34:29-35
Mfano ; Matendo 3-5
KUONGOZWA NA ROHO
VIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WA
ROHO MTAKATIFU
VIZUIZI VYA KUONGOZWA Maisha ya Kinyume cha Masharti;
1. Kuishi katika Dhambi na Uasi.2. Kukosa kuabudu kirefu (binafsi).3. Kukosa maombi ya kutosha.4. Kukosa mafundisho ya Neno la Mungu5. Kukosa ibada (za pamoja).6. Kuenenda kimwili (Tabia za kimwili). 7. Kukosa Ujazo na Kiwango cha kiroho.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakushuhudia
kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha
aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)
Kupata IMANI yatakuwa
Neno (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUONGOZWA NA ROHO
UFUNUO 3:6NI MUHIMU KUONGEZA
USIKIVU WAKO WA ROHONI ILI KUSIKIA SAUTI
YA MUNGU [ROHO].
KUONGOZWA NA ROHO
UFUNUO 3:6‘Yeye aliye na sikio la
kusikia, na asikiye yale mambo Roho anasema na
Kanisa kwa nyakati hizi.
Hatua za Imani ya Ushindi
Yohana 16:13‘Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie katika kweli yote, na
katika mambo yajayo, atawapasha habari …’
Hatua za Imani ya Ushindi
Yohana 16:13‘Imani ni uhakika wa mambo
yatarajiwayo … (Ebr 11:1)’Kwahiyo, Mungu anataka uwe
na taarifa ya mambo yajayo kabla hayajatokea.
Hatua za Imani ya Ushindi
Yohana 16:13‘… Niulizeni habari za mambo
yajayo … (Isa 45:11)’Kwahiyo, Mungu anataka uwe
na taarifa ya mambo yajayo kabla hayajatokea.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu
wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika
ulimwengu wa roho.
KUTEMBEA KWA IMANI
Siri ya kutembea katika imani ipo katika kukiri ushindi, juu
ya yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika wa
Roho Mtakatifu, moyoni [kabla hayajatokea] ukiwa
katika hali ya maombi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa ImaniUwezo wa kukiri ushindi,
unategemea sana na namna mtu wa Mungu
anavyofikiri, na anavyoona.
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)
Kupata IMANI yatakuwa
Neno (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)
Kupata IMANI yatakuwa
Neno (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4.Kubadilisha Mtazamo(a)Kuona tofauti (Machoni)(b)Kuwaza tofauti (Fikra)
Waefeso 1:15-19
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 1:15-19Mtume Paulo, anatuombea
kwa Mungu, ili atupe kufunguka katika macho ya mioyo yetu; tuweze kuona mambo yetu, kama Mungu
anavyoyaona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu
wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika
ulimwengu wa roho.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha mtazamo
wako na fikra yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a)Kubadilisha Mtazamo
Machoni.(Kuona tofauti)
Warumi 4:17-20-21
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Imani ya Baba Ibrahimu
Warumi 4:16-21.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita
kwa kutokuamini, bali akiiona/(akiitazama) ahadi ya Mungu, alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu
utukufu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.17 … Ibrahimu baba yetu
alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyo
haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita
kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu
katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.
21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na
uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.18 Akitarajia yasiyoweza
kutarajiwa, Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa
mataifa mengi,’’ (Hata kabla ya kuona mabadiliko
katika tumbo la Sara)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu
wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika
ulimwengu wa roho.
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa ibrahimu kuwaza ushindi na kufikiri vizuri, juu
ya hali ya mke Sara na matarajio yao ya kupata
mtoto, ulitegemea sana na Namna alivyomwona Sara.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-20Ukikosea kuona, utakosea
kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,
Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.
KUTEMBEA KWA IMANI
Warumi 4:16-20Kila mtu alimwona Sara bibi
kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama
watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia
vizuri na kumtaja vizuri.
KUTEMBEA KWA IMANI
Warumi 4:16-20
“Siri ya Ibrahimu”Baba wa Imani
KUTEMBEA KWA IMANI
Warumi 4:16-20“Siri ya Baba Ibrahimu”
Alimwangalia Sara kupitia katika Neno la Mungu.(Alivaa Mawani ya Neno)
2Petro 1:3-4
KUTEMBEA KWA IMANI
Warumi 4:16-20Kila mtu alimwona Sara bibi
kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama
watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia
vizuri na kumtaja vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu
wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika
ulimwengu wa roho.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 1:15-22‘Ninawaombea kwa Mungu, kwamba Macho ya mioyo yenu
yatiwe nuru, mpate kujua;• Tumaini tulilonalo,• Utajiri tulionao,• Nguvu tulizonazo.
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.
Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea
namna unavyoona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Nabii Elisha na Mtumishi
wake 2Wafalme 6:10-17
KUTEMBEA KWA IMANI
2Wafalme 6:10-17Mtumishi wa Elisha aliongea
kwa woga na mashaka, kasababu alikuwa hajaona uhalisi wa mambo katika
ulimwengu wa roho.
KUTEMBEA KWA IMANI
2Wafalme 6:10-17Elisha alipomwombea, Macho
yake ya mwili yakafunguka, akaanza kuangalia na kuona
kwa kutumia macho ya rohoni, jinsi walivyozungukwa na ulinzi
mkali wa malaika wa Mungu
KUTEMBEA KWA IMANI
2Wafalme 6:10-17Maneno yako ni mazao ya mawazo yako; na mawazo yako ni mazao ya mtazamo
wako. Ukibadilisha unavyoona, utawaza tofauti na utaongea tofauti, kwa imani na ushindi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni Hesabu 13:26-33, 14:1-9
Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu ni ‘chakula’ kwao.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19
Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili
tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiri na
(3)nguvu zilizo ndani yetu.
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano 3;
Ushindi wa Yesu wa Pasaka1Petro 3:18-20
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea
katika mwili.
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Siku ile Bwana Yesu alipoangikwa msalabani, watu waliuona mwili
wake ukining’inia msalabani, lakini hawakuoiona roho yake
ikiondoka kwenda katika ulimwengu wa wafu (kuzimuni).
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
18 “Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake ukauwaw,
bali roho yake ikahuishwa”.
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
19 “Kwa hiyo (roho yake) aliwaendea roho waliokuwa
kifungoni, akawahubiri (injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu) yaani akawakomboa wale wote
waliofungwa au waliozuiliwa)
KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45
45 “Basi tangu saa 6 mpaka saa 9, palikuwa na giza juu ya nchi yote
46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza sauti yake … 50 (akasema
imekwisha) aliposema hivyo, akaitoa roho yake.
KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45
51 “na tazama pazia la hekalu likapasuka kutoka juu hata chini;
nchi ikatetemeka, miamba ikapasuka, 52 na makaburi
yakafunguka na ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala.
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 4:88 “alipopaa juu, aliteka mateka,
akawapa wanadamu vipawa”
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Kumbe hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika
ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Kumbe mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa
wakati mmoja (ktk dunia moja); Mengine katika ulimwengu wa
mwili na mengine katika ulimwengu wa roho.
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Mathayo alitumiwa Paulo alitumiwa na
Mungu kuelezea Mungu kuelezea
Mambo yaliyotokea mambo yaliyotokea
Katika ulimwengu katika ulimwengu
wa kimwili wa kiroho
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
1. 1.
Alikuwa Alikuwa Analia. Anashangilia. “Eloi Eloi “akizishangilia ktk
lama sabaktan” msalaba”
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
2. 2.
Alikuwa Alikuwa Anateseka Anazitesa. “Naona Kiu” “falme na mamlaka
wakamnywesha siki za giza (shetani)”
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
3. 3.
Alivuliwa Nguo Alizivua mamlaka
kwa aibu (uchi) za giza (mashetani)
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
4. 4.
Aliaibishwa Aliziaibisha ‘Akafa kifo cha laana ‘akaziharibu na
mateso na aibu sana’ kuzifedhehesha
juu ya msalaba’
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
5. 5.
Alikuwa Alikuwa Anashindwa. Anashinda. ‘Akafa kifo cha mateso ‘akaenda kuzimuni
na aibu sana’ kukomboa watakatifu
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Kumbe mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa
wakati mmoja (ktk dunia moja); Mengine katika ulimwengu wa
mwili na mengine katika ulimwengu wa roho.
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Kumbe hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika
ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;
kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza
katika ulimwengu wa kiroho.
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.
Na uwezo wa kuwaza sawasawa unategemea
namna unavyoona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,
Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na
Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na
dhaifu maisha;
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika
kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na
vita dhidi ya mtu wa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe
utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya
kushindwa na kuzuilika)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na
huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza
kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao
karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19
Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili
tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiri na
(3)nguvu zilizo ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni
Mambo yanayoathiri mtazamo (Sight)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
1. Umbali (Yakobo 4:8)Ukiwa mbali na Mungu, matatizo
unayokutana nayo yataonekana makubwa, na utawaza vibaya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
2. Mwanga (Yohana 8:12)Ukitumia Mwanga wa Yesu kuangazia maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na
matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na
utawaza na kuongea vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
3. Lense (Warumi 4:19-20)Ukitumia Lense za Yesu kuangazia
maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na matatizo makubwa,
kwako yataonekana madogo na utawaza na kuongea vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
4. Lishe (1Petro 2:2)Ukiwa na nidhamu ya kula lishe ya Neno la Mungu vizuri, utakuwa na
uwezo wa kuona tofauti na wengine, na utawaza na vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
5. Kimo (Waefeso 4:11-14)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,
kama chakula katika maisha yako, litakupa uwezo wa kukua kimo
chako kiroho na utaona tofauti na wengine, na pia utawaza na
kuongea vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.
Kutoka 24:1-18
7. Ngazi (Level) ya Wito
Kutoka 24:1-18 ^ 1st Class
^^^ 2nd Class
^^^^^^^^^^ 3rd Class
KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU
NGAZI YA IMANI
Waefeso 4:11-15Usiridhike kuwa mtu wa
Mungu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya
Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kukua katika Kimo cha Kiimani (Waefeso 4:11-14)
Kwa huduma ya Mitume, Manabii, Wainjilisti, Wachungaji na
Waalimu, waumini tufundishwe na kukua, mpaka kufika katika cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo .
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.
Luka 6:13-16
1 (Yoh 21:19-24)
3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
– 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8)
Umati
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU
KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU
NGAZI YA IMANIUsiridhike kuwa mwanafunzi wa
Yesu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya
Mungu; kwasababu Kimo chako cha kiimani, kitasababisha uwezo wako wa kuona sawasawa, uwe
mzuri au mbaya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUKUA KATIKA KIWANGO CHA IMANI
Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi
katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi
katika viwango vyake maalum.Ezekiel 22:30
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
6. Dawa (Ufunuo 3:15-18)Ukitumia Neno la Mungu vizuri, kama dawa katika maisha yako,
itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza na
kuongea vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
7. Upande (1Korintho 3:1-3)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,
litakusimamisha upande wa kiroho (sio wa kimwili), hiyo itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia
utawaza na kuongea vizuri.
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
Kuenenda kiroho(Katika Roho)
Wagal 5:16-25, Warum 8:5-121Wakor 1:1-9
KIROHO NA KIMWILI
Rohoni Mwilini
Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya, n.k.
4(a) Macho ya Rohoni … Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)• Umbali (Yakobo 4:8)• Mwanga (Yohana 8:12)• Lense (Warumi 13:14)• Lishe (1Petro 2:2)• Kimo (Waefeso 4:11-14)• Dawa (Ufunuo 3:15-18)• Upande (1Korintho 3:1-3)
KUTEMBEA KWA IMANI
4 (a) Kutembea kwa Imani Mtazamo
KUTEMBEA KWA IMANI
Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu
wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika
ulimwengu wa roho.
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.
Na uwezo wa kuwaza sawasawa unategemea
namna unavyoona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,
Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi.
a) Macho ya rohonib)Mawazo ya ushindic) Maneno ya Ushindi
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (b)Kubadilisha Mtazamo
Mawazoni.(Kuwaza kitofauti)
Mithali 23:7
4(b) Mawazo ya Ushindi
Mithali 23:7Mawazo yana nguvu ya kutawala mambo yako ya
ulimwengu wa mwili. Jifunze kutawala mawazo yako na kuweka mawazo ya ushindi
katika maisha yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4 (b) Kubadilisha Mtazamo kutakuwezesha
‘Kuwaza sawasawa na iliyo Kweli’Mithali 23:7
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)
ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
Kutembea na nguvu za Mungu
Mawazo Mtazamo
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.
Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea
namna unavyoona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26-28Kwahiyo, roho (wewe) inabeba
asili ya Mungu; kwasabau imeumbwa/umeumbwa kwa
sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
4(b) Mawazo ya Ushindi
Mithali 23:7Mawazo yana nguvu ya kutawala mambo yako ya
ulimwengu wa mwili. Mafanikio katika maisha yanategemea pia namna
unavuojiwazia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano; Gideon na Mawazo Dhaifu
Waamuzi 6:1-16
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo
alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za
Mungu ndani yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye
alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona
MTUMWA.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na
akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa
ndani yake ziliingia kazini (ON).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona
na kujiwazia (kitumwa).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote
ya kibinadamu.Wamidian 30,000 : 300 Waisrael
Wamidian 100 : 1 Waisrael
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)
ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako
yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na
kutawala mazingira ya kimwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.
Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu
ya kuumba!Mithali 18:20-21
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za
Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni
kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi
katika utu wetu wa ndani. (katika roho zetu).
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.
Na uwezo wa kuwaza sawasawa unategemea
namna unavyoona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu
wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika
ulimwengu wa roho.
4(b) Mawazo ya Ushindi
Mithali 23:7Mawazo yana nguvu ya kutawala mambo yako ya
ulimwengu wa mwili. Jifunze kutawala mawazo yako na kuweka mawazo ya ushindi
katika maisha yako.
IMANI YA USHINDI
Nahumu 1:9Kuna wakati, katika baadhi ya
mambo, Utendaji kazi wa Nguvu za Mungu katika kuzuia
mateso ya shetani unategemea sana namna
unavyowaza (imani).
IMANI YA USHINDI
Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo hasi (negative) yasio na Imani
unaweza kuzuia msaada wa Mungu katika maisha yako ya
kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.
IMANI YA USHINDI
Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo chanya
(positive) yenye Imani unaweza kuruhusu msaada wa Mungu katika maisha yako ya
kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu
pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa
ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na
binadamu katika kutawala dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hosea 4:6Watu wangu wanaangamia kwa
kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe
umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4(b) Mawazo ya Ushindi
Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu,
mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo ya Ushindi
Waefeso 4:21-23, 24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa
kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika
roho ya nia zenu (nafsi zenu)’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
4(b) Mawazo ya Ushindi Mithali 23:7
‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’
(Rum 12:2, Efe 4:20-24)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.
Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu
ya kuumba!Mithali 23:7, Mithali 18:20-21
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.
Na uwezo wa kuwaza sawasawa unategemea
namna unavyoona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,
Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno
KUTEMBEA KWA IMANI
5. Kubadilisha Maneno
(a)Kukiri Ushindi na Baraka(b)Kamuru Mabadiliko
Waebrania 4:12-13
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai,
tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta
mabadiliko)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(Waebrania 11:3)
‘Imani yenye Nguvu ya kuhamisha milima,
huzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.
KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:3,‘Nasi twajua ya kuwa,
Ulimwengu uliumbwa kwa Neno, hata vitu
vinavyoonekana viliumbwa kwa vitu visivyoonekana.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye Pumzi /Uvuvio /Roho wa Mungu, lafaa kwa kuleta
mabadiliko ya tabia/mwenendo.’
(mafafanuzi yameongezewa)
NGUVU YA NENO
2 Timotheo 3:16-17
Andiko + Pumzi = Neno (Hai)
Herufi + Roho = Nguvu
NGUVU YA NENO
2Kor 3:6; Yoh 6:63
‘Roho ndio itiayo uzima; Maneno yangu ni Roho
nayo ndio Uzima’
Imani ya Ushindi
Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la
Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie
Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.
KUTEMBEA KWA IMANI
5 (a).
Kukiri Baraka na Ushindi
Marko 11:23-24Mithali 18:20-21
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu
wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika
ulimwengu wa roho.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,
yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;
mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
(23) Amini Amini nakwambia, mtu yeyote atakayeuambia
mlima huu ng’oka, ukatupwe baharini, wala asione shaka
moyoni mwake, …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24 (23) … bali aamini kwamba hayo
uyasemayo (tayari) yametukia (hata kama huyaoni), hapo
ndipo yatakuwa yake (yatadhihirika) katika
kuonekana na kushikika.
KUTEMBEA KWA IMANI
Mithali 18:20-2120 “Tumbo la mtu
hujazwa matunda ya kinywa chake,
hushibishwa mazao ya midomo yake”
KUTEMBEA KWA IMANI
Mithali 18:20-2121 “Mauti na Uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na
wale wautumiao, watakula matunda yake”
Imani ya Ushindi
Baada ya kupata uhakika (imani) ndani yako, na
kubadili mtazamo wa kufikiri kwako, badilisha pia namna
unavyoongea (maneno yako).Wakorintho 4:12
Hatua za Imani ya Ushindi
Wakorintho 4:12 Lakini kwakuwa tuna roho
ile ile ya imani; kama ilivyoandikwa, niliamini, na kwasababu hiyo, nalinena;
sisi nasi twaamini, na kwasababu hiyo, twanena.
Hatua za Imani ya Ushindi
Luka 6:45Kwa kuwa, mtu huyanena
yale yaujazayo moyo wake. Mathayo 12:34
Hatua za Imani ya Ushindi
Luka 6:45Mtu mwema, katika hazina
njema ya moyo wake, hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu, katika hazina mbovu ya moyo
wake, hutoa yaliyo maovu;
KUTEMBEA KWA IMANI
5(b).
Kuamuru Mabadiliko
Mathayo 16:19,18
KUTEMBEA KWA IMANI
Mathayo 16:19,1819 ‘Mambo mtakayoyafunga
(ninyi) duniani, yatakuwa yamefungwa na mbinguni
(mbingu zilizo juu, zitaingia kuyafunga pia;)’
KUTEMBEA KWA IMANI
Mathayo 16:19,1819 ‘na mambo mtakayo-
yafungua (ninyi) huku duniani, yatakuwa yamefunguliwa na mbinguni pia (mbingu zilizo
juu, zitaingia kuyafungua pia;)’
KUTEMBEA KWA IMANI
Mathayo 16:19,18
18 ‘na Kanisa langu nitakalolijenga juu ya msingi
huu, milango ya kuzimu, haitalishinda.
Imani ya Ushindi
Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la
Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie
Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
MAMLAKA YA MKRISTO
Mfano;Utabiri (Uamuru) wa
Nabii EzekieliEzekieli 37:1-14
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”
ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde
lililozika wafu wa kivita.
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Kuna wakati, ili nguvu za
Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani, ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au
kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika.
MAMLAKA YA MKRISTO
Mathayo 16:19/18:18
Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani (mwilini)
yatafungwa pia mbinguni (rohoni) …
MAMLAKA YA MKRISTO
Mathayo 16:19/18:18
Mambo mtakayoyafungua (ninyi) duniani (mwilini),
yatakuwa yamefungwa pia mbinguni (rohoni).
MAMLAKA YA MKRISTO
1Kor 3:9 Rum 8:28Sisi ni watenda kazi pamoja na
Mungu duniani; na katika mambo yote, Mungu hufanya
kazi pamoja na wale (watu) wampendao, katika kuwapatia
mema (baraka/ushindi).
MAMLAKA YA MKRISTO
1Kor 3:9 Rum 8:28Mungu anaweza kufanya kila
kitu pasipo msaada wa binadamu, na alishafanya mengi; lakini alichagua tu
kufanya kazi pamoja na sisi.
MAMLAKA YA MKRISTO
Mwanzo 1:26-28 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, ili (wao
binadamu) ndio waende wakatawale dunia na vyote
viijazavyo.
MAMLAKA YA MKRISTO
Isaya 45:11Haya ndiyo asemayo Bwana
Mwenyezi; niulizeni habari za mambo yajayo, na Kwa habari
ya kazi za mikono yangu, ‘haya niamuruni’.
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”
ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde
lililozika wafu wa kivita.
Yohana 11:1-39-45Mungu anatuonyesha
kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa
nguvu za Mungu maishani mwetu.
KUAMURU MATOKEO
Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh 2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)• Mfungueni Sanda (Yoh
11:44)
KUAMURU MATOKEO
Imani ya Ushindi
Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la
Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie
Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.
Imani ya UshindiBaada ya kuumba jambo
pamoja na Mungu kiroho (kama Makuhani) Mungu atasubiri tufanye sehemu yetu pia ya
kuamuru (kama Wafalme) ili na yeye afanye sehemu yake, ya kuumba jambo hilo kimwili.
Imani ya Ushindi
Hii ni kwasababu Mungu ameweka USHIRIKA kati yake na sisi Binadamu, katika kumiliki na kutawala
mambo ya dunia.
Imani ya UshindiMtu wa Mungu asipofanya
sehemu yake, hali hiyo itamzuia Mungu kufanya sehemu yake.
‘Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani, na Mungu atayafunga mbinguni …’
Mathayo 16:19
Imani ya UshindiKumbe Mtu wa Mungu
asipofafunga mambo hayo, Mungu atazuilika kuyafunga,
hata kama alitaka kuyafunga. ‘Mbingu ni mbingu za Bwana, bali NCHI (Dunia) amewapa Wanadamu.’ (Zaburi 115:16)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Kuna wakati, ili nguvu za
Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani, ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au
kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika.
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)
Kupata IMANI yatakuwa
Neno (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
6 Kusifu, Kuabudu na
Kushukuru2Nyakati 20:1-30
Matendo 16:13-25-36
Imani ya Ushindi
2Nyak 20, Mdo 16Kumsifu, Kumshukuru na
Kumwabudu Mungu, (hata kabla ya kuona majibu ya
maombi yako) kunafungulia nguvu za Mungu, kwa namna
ya ajabu …
Imani ya Ushindi
2Nyak 20, Mdo 16… ili kuvunja upinzani wote katika ulimwengu wa roho.
unaozuia baraka zako kushuka katika ulimwengu
wa mwili.
Imani ya Ushindi
2Nyakati 20:1-31Hata kabla ya kufika kwenye
uwanja wa vita, Mfalme Jehoshafati na jeshi la Israeli,
walimsifu na kumwabudu Mungu, kwa imani kwamba
atawashindia vita ile.
Imani ya Ushindi
Matendo 16:16-31 Hata kabla ya kuona muujiza
wao wa kutoka gerezani, Paulo na Sila, waliimba na kumwomba Mungu, kwa imani kwamba atawatoa
katika gereza lile.
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Yesu;
Yesu aamwamuru magonjwa kwenda kutoa
Sadaka ya shukurani kabla ya kuona uponyaji.
Luka 17:11-14-19
Imani ya Ushindi
2Nyak 20, Mdo 16Mtu anaweza kumshukuru na
kumsifu Mungu, 1.Kwa njia ya uimbaji2.Kwa njia ya maneno 3.Kwa njia ya sadaka.
Imani ya Ushindi
Zaburi 50:23‘Atoaye dhabihu [sadaka]
za kushukuru, ndiye anayenitukuza.’
Imani ya Ushindi
2Nyak 20, Mdo 16Baada ya Kupata Uhakika
(Imani) hatua nyingine muhimu itakayoachilia
majibu yako katika ulimwengu wa mwili, ni
kusifu na kumshukuru Mungu
Imani ya Ushindi
2Nyak 20, Mdo 16Hatua ya kuanza kumsifu na
kumshukuru Mungu, ni namna nyingine ya mtu wa
Mungu kufanya ukiri wa ushindi, kwa imani, kabla ya
kuona mabadiliko yoyote.
Imani ya Ushindi
2Nyak 20, Mdo 16Kumsifu, Kumshukuru na
Kumwabudu Mungu, (hata kabla ya kuona majibu ya
maombi yako) kunafungulia nguvu za Mungu, kwa namna
ya ajabu …
Imani ya Ushindi
2Nyak 20, Mdo 16… ili kuvunja upinzani wote katika ulimwengu wa roho.
unaozuia baraka zako kushuka katika ulimwengu
wa mwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
7. Kufanya Tendo la
Imani.Yakobo 2:17-18
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili
pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,
pia imekufa.
KUTEMBEA KWA IMANIYakobo 2:17, 26
Baada ya kupata Uhakika (Imani) Mungu atakutaka uiingize imani
yako katika matendo, ili kuachilia NGUVU za Mungu, kuumba
ukamilifu wake katika maisha yako, kwenye Kimwili.
KUTEMBEA KWA IMANI
Mfano;
Uponyaji wa Kilema Hekaluni, Mlangoni.
Matendo 3:1-10
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
Uponyaji wa Kilema huyu, ulishaumbika katika ulimwengu wa roho, na Petro na Yohana,
walishuhudiwa hilo; ndio maana walimwambia asimame na
kutembea.
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
Petro alipoona huyu mtu anachelewesha uponyaji wake,
kwa kutofanya kitendo alichoambiwa; Petro alijua
Muujiza huu unaweza kupotea, kwasababu ya kutoamini kwake.
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
Ndio maana Petro akalazimika kumkashika mkono na
kumnyanyua na kumtembeza, (aiingize imani katika matendo)
ili kuruhusu utendaji kazi wa Nguvu za Mungu, katika mwilini.
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
Kule kujaribu kutembea na kupepesuka kwa huyu kilema,
kuliruhusu Nguvu za Mungu kuanza kazi ya ukamilifu wa
miguu yake, kwasababu, Imani imeingizwa katika matendo.
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
Ajabu ni kwamba, Nguvu za Mungu, hazikuachiliwa kukamlisha muujiza ule,
katika ulimwengu wa mwili, mpaka imani ilipoingizwa
katika matendo.
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
Pamoja na kwamba, tayari jambo hilo limekwisha
kukafanyika katika Ulimwengu wa roho, lakini kitu cha ajabu ni kwamba …
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
… Nguvu za Mungu, hazikuachiliwa kukamlisha
muujiza ule, katika ulimwengu wa mwili, mpaka
imani ilipoingizwa katika matendo.
KUTEMBEA KWA IMANIWaebrania 11:3
Ni utaratibu wa Mungu kutenda mambo duniani kwa
kufuata kanuni zile mbili alizoziweka yeye duniani, ili
kutimiza kusudi lake na mapenzi yake kwetu.
KANUNI ZA KIROHO
Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu
(sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili
KANUNI ZA KIROHO NA ZA KIMWILI
Mfano;
Uumbaji wa DuniaMwanzo 2:4-5, 15
April 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 2:4-15‘Siku ile Mungu alipoumba mbingu na nchi, hakukuwa
na mche wa kondeni, kwasababu mvua ilikuwa haijanyesha na hakuwepo
binadamu wa kuilima ardhi’April 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 2:4-15‘Bwana Mungu akamuumba huyo mtu, akamweka katika
bustani, ili ailime na kuitunza.
April 21, 2023
Kanuni za Maisha ya Ushindi
Mwanzo 2:4-15
Neno Kilimo Miche (roho) (mwili) (Mtu)
Roho + Kibebeo AdamApril 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 12:1-3‘Bwana Mungu akamwambia
Ibrahimu, Nitakubariki sana hata kukufanya wewe uwe baraka. Nitalikuza jina lako, na mataifa
yote yatabarikiwa kupitia wewe’.
April 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 13:1-32 ‘Naye Ibrahimu akawa tajiri sana, katika mifugo, na katika
fedha na katika dhahabu’.
April 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 12:1-3, Mwanzo 13:1-2
Neno Ufugaji Mafanikio(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 26:1-5, 12-131-5 ‘Bwana Mungu akamwambia
Isaka, hakika nitakubariki kwasababu ya ibrahimu Baba yako na ahadi zake juu yake.
April 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 26:1-5, 12-1312 ‘Naye Isaka akapanda mbegu, katika nchi ile, akapata mwaka
ule, vipimo mia (100) kwa kimoja (1) na bwana
akambariki’.April 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 26:1-25
Neno Kilimo Mafanikio(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 28-32Yakobo akaenda Kuajiriwa kwa
Mjomba wake Labani; naye akastawi na kuongezeka sana
katika, kondoo, ng’ombe, ngamia, punda na farasi.
April 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 28-30
Neno Ajira Mafanikio(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023
Uchumi wa Ki-BibliaMwanzo 1:26-28, Mwanzo 2:4-15Baraka za Mungu katika maisha
yetu, zitadhihirika katika ulimwengu wa mwili (kutoka
katika ulimwengu wa roho) pale tutakapochukua hatua ya
kufanya kazi na kuwa wazalisha mali (productive).April 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 2:4-15
Neno Uzalishaji Mafanikio(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023
Uchumi wa Ki-Biblia
Mwanzo 2:4-15
Imani Matendo Matokeo(Kiroho) (Kimwili) (Mafanikio)
Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
Ajabu ni kwamba, Nguvu za Mungu, hazitafunguliwa
kukamlisha muujiza yetu, katika ulimwengu wa mwili,
mpaka imani ilipoingizwa katika matendo.
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
Pamoja na kwamba, tayari jambo hilo limekwisha
kukafanyika katika Ulimwengu wa roho, lakini kitu cha ajabu ni kwamba …
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
… Nguvu za Mungu, hazikuachiliwa kukamlisha
muujiza ule, katika ulimwengu wa mwili, mpaka
imani ilipoingizwa katika matendo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili
pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,
pia imekufa.
KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10
Baada ya kupata UHAKIKA (Imani) moyoni, Roho wa Mungu
(Msaidizi wako) atakuongoza kufanya tendo la imani; hii ni
kanuni ya kukamilisha utendaji wa Mungu duniani.
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Ibrahimu;
Kubadili Majina yao,Abramu – Ibrahim
Sarai – Sara Mwanzo 17:1-22
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Ibrahimu;
Kujenga Banda la Mifungo mara baada ya kupata
Uhakika (Imani) ya Baraka na Mafanikio
Mwanzo 17:1-22
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Isaka;
Kupanda Mbegu shambani, baada ya
kupata Uhakika (Imani) ya Baraka na Mafanikio
Mwanzo 26:1-12-33
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Yakobo;
Kwenda Kutafuta Kazi (Ajira) baada ya kupata
Uhakika (Imani) ya Baraka na Mafanikio
Mwanzo 28:1-22
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya;
Kutawanya Mkutano kabla ya ishara yoyote ya
mvua kuonekana1Wafalme 18:41-43
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Yesu;
Kuamuru Wagonjwa Kutoa Sadaka ya
shukurani kabla ya kuona uponyaji.
Luka 17:11-14-19
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Mitume;
Kuamuru Kilema Kutembea kabla ya
kuona uponyaji.Matendo 3:1-10-16
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mifano Mingine mbalimbali;Kununua nepi na beseni kabla ya
kuona dalili za mimbaKununua suti ya harusi kabla ya
kumpata Bwana ArusiKujenga gereji ya gari kabla ya
kupata gari
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mifano Mingine mbalimbali;Kutoa Sadaka ya Shukurani,
kabla ya kuona ushindi katika ulimwengu wa mwili.
Kuthubutu kutembea na kutenda kazi kabla ya kuona uponyaji kimwili.
Hatua za Imani Timilifu(1)Kulipata Neno (Warumi 10:17)(2)Kuatamia Kimaombi (Yak 5:16-18)(3)Kupata Uhakika (Mrk 11:23-24)(4)Kubadilisha Mtazamo (Efe 1:18-19)(5)Kuamuru na Kutabiri (Ezk 37:1-14)(6)Kumsifu na Kushukuru (Luk 17:14)(7)Kutenda kwa Ujasiri (Yak 2:17-18)
KANUNI ZA KIROHO
Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi
maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo
vizuri vya kumwabudu Mungu.
IMANI YA USHINDI
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kutokana na umuhimu na unyeti wa ibada, Mungu
hakutaka na hataki watoto wake, tuwe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na
maisha ya shida; ili ibada yake isiingiliwe na vurugu zozote.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa
sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka, na maisha
yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka.
Kumbukumbu 8:6-18
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira yake, ili
kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa
binadamu, duniani.
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,
litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na
milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili
muweze pupambana na hila za mwovu shetani.
IMANI YA USHINDI
2Petro 1:3-43-4 Mungu ametupa uweza
wake (nguvu zake) ili kwa hizo tuweze kubeba asili ya Uungu, kuushinda uharibifu
ulioko duniani.
IMANI YA USHINDI
Yohana 16:33 33 Ulimwenguni mnayo dhiki,
lakini, jipeni moyo, kwakuwa mimi nimeushinda
ulimwengu; [nanyi pia mtashinda ulimwengu].
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako
ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”
Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20
NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO
NGUVU LA NENO LA MUNGU
Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani
mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi
ndani yako.
Mafundisho Mengine
Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa
Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la
Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive
Dar es Salaam.
Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe
(Christ Rabbon Ministry)
P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.
+255 713 497 654+255 783 497 654+255 753 497 655
www.mgisamtebe.org