632
Mwl. Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org IMANI YA USHINDI KKKT – Dayosisi ya Mashariki na Pwani Bagamoyo Lutheran Parish. Tar. 15-22 Sept, 2013

Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe

  • Upload
    chelsa

  • View
    379

  • Download
    64

Embed Size (px)

DESCRIPTION

IMANI YA USHINDI KKKT – Dayosisi ya Mashariki na Pwani Bagamoyo Lutheran Parish. Tar. 15-22 Sept, 2013. Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org. IMANI YA USHINDI ‘ Kukua na Kuongezeka katika Nguvu ya Mungu, kwa Imani iliyo ktk Yesu Kristo, ili Kutawala Mazingira yetu’. - PowerPoint PPT Presentation

Citation preview

Page 1: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mwl. Mgisa Mtebe+255-713-497-654

www.mgisamtebe.org

IMANI YA USHINDIKKKT – Dayosisi ya Mashariki na Pwani

Bagamoyo Lutheran Parish.Tar. 15-22 Sept, 2013

Page 2: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mwl. Mgisa Mtebe+255-713-497-654

www.mgisamtebe.org

IMANI YA USHINDI‘Kukua na Kuongezeka katika Nguvu ya Mungu, kwa Imani iliyo ktk Yesu Kristo, ili Kutawala Mazingira yetu’.

Page 3: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

IMANI USHINDI1Yohana 5:4-5

Page 4: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-54 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

Page 5: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-55 Mwenye kuushinda

ulimwengu ni nani? Ni yeye [yule] aaminiye ya kwamba,

YESU ni ndiye Kristo na ni Mwana wa Mungu.

Page 6: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-5

Maneno ya Msingi

1.Ulimwengu – Upinzani2.Kushinda – Mashindano3.Imani – Siri ya Ushindi

Page 7: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-5

Maneno ya Msingi

1.Ulimwengu – Upinzani

Page 8: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Yohana 16:33 33 Ulimwenguni mnayo dhiki,

lakini, jipeni moyo, kwakuwa mimi nimeushinda

ulimwengu; [nanyi pia mtashinda ulimwengu].

Page 9: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-43-4 Mungu, kwa Neno lake, ametupa Nguvu zake, ili kwa hizo tuweze kubeba tabia za Asili ya Uungu, ili kuushinda

uharibifu ulioko duniani.

Page 10: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

KABLA YA DHAMBI UTARATIBU ULIKUWA HIVI

Page 11: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)

Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani

Page 12: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”

Zab 8:4-8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

Page 13: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Zaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28

‘Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki? Umemfanya ‘punde kidogo’

kuliko Mungu, …’

Page 14: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Zaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28

‘… ukamvika taji ya ‘Utukufu’ na Heshima; kisha

ukamtawaza ‘Juu ya’(Mashal) kazi zote za mikono yako …’

Page 15: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Zaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28

‘… na ukaviweka vitu vyote ulivyoviumba wewe,‘chini ya’ miguu yake; wanyama wote, ndege wote, samaki

na [kila kitu]’

Page 16: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”

Zab 8:4-8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

Page 17: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)

Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani

Page 18: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI

Page 19: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

BAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

Page 20: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

MUNGU

Page 21: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Shetani akakaa katika nafasi ya Adam na

akavaa vyeo vyote vya Adam

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

Page 22: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa UlimwenguLuk 4:5-8 - Mtawala wa Fahari

Page 23: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

Page 24: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

BAADA YA WOKOVU MAMBO YAKAWA HIVI

Page 25: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

Page 26: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM - 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM - 2

Page 27: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

Page 28: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-109 Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa

damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na

kila taifa (kanisa).

Page 29: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani

wa kumtumikia Mungu wetu, nao wanamiliki dunia.’’

Page 30: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-43-4 Mungu, kwa Neno lake, ametupa Nguvu zake, ili kwa hizo tuweze kubeba tabia za Asili ya Uungu, ili kuushinda

uharibifu ulioko duniani.

Page 31: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-5

Maneno ya Msingi

1.Ulimwengu – Upinzani2.Kushinda – Mashindano

Page 32: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Waefeso 6:10-13 12 ‘Kushindana kwetu sisi, si

juu ya damu na nyama, bali [tunashindana] na falme,

mamlaka, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya …’

Page 33: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Waefeso 6:10-13 10 ‘[hivyo basi] iweni hodari

katika Bwana, na katika uweza wa nguvu zake …’

Page 34: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Waefeso 6:10-13 11,13 ‘Vaeni silaha zote za

Mungu, ili muweze kuzipinga hila zote za yule mwovu, hata

muweze kusimama imara siku ya uovu.’

Page 35: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-5

Maneno ya Msingi

1.Ulimwengu – Upinzani2.Kushinda – Mashindano3.Imani – Siri ya Ushindi

Page 36: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

1Yohana 5:1-4‘… na huku ndiko kushinda, kuushindako ulimwengu, ni

hiyo imani yetu.[imani iliyo ndani yetu]

Page 37: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

1Yohana 5:1-4Imani iliyo ndani yako, ndio

siri ya ushindi wa mtu wa Mungu katika ulimwengu

huu ulioharibika.

Page 38: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 12:3‘Mungu amemgawia

kila mtu kiasi cha Imani.’[Mtaji wa Imani]

Page 39: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Warumi 12:3

‘Ikiwa kila muumini wa Yesu amepewa Imani (kama siri ya ushindi)

kwanini watoto wa Mungu wengi bado wanaishi

maisha ya kushindwa?

Page 40: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Kwa Mfano;

Imani ya Wanafunzi wa Bwana Yesu

Mathayo 17:9-21

Page 41: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Mathayo 17:9-2019 Kisha wanafunzi wake

wakamwendea Yesu faraghani, mahali

pasipokuwa na watu; wakamwuliza …

Page 42: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Mathayo 17:9-20

19 …“Bwana, kwa nini sisi hatukuweza kumtoa

yule Pepo?”

Page 43: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 17:9-20

20 Yesu akawajibu kuwaambia, ‘‘Ni kwasababu ya upungufu wa Imani yenu (au ni kwasababu ya imani

yenu kuwa ndogo)…

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 44: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 17:9-20

20 “… Ninawaambia kweli, mkiwa na imani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza

kuuambia milima huu, ‘ondoka hapa uende pale …

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 45: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 17:9-20

20 “… mtaweza kuuambia milima, ‘ondoka hapa uende

pale’ nao utaondoka. Na wala hakutakuwa na jambo lisilowezekana kwenu.’’

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 46: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 17:9-20

21 “lakini [nguvu] ya namna hii, haitoki isipokuwa kwa

kufunga na kuomba.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 47: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 17:9-20

Bwana Yesu alikuwa na maana gani?

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 48: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Mathayo 17:9-20Anawalaumu kwa kuwa

na imani ndogo; lakini hapo hapo, anasema, imani ndogo ingeweza

kuhamisha milima!

Page 49: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Huwezi kujibu swali hilo Mathayo 17:9-20

kama hujui Tabia za Punje ya

Haradali.Mathayo 13:31-32

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 50: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 13:31-32Ufalme wa Mungu

umefanana na punje ndogo ya haradali, ambayo ni

mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote, lakini ikimea

(kuchipua na kukua) …

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 51: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 13:31-32

… huwa mkubwa kuliko miti yote ya mboga; na kuwa mti mkubwa, hata nyuni huja na kujenga viota juu

yake.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 52: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 13:31-32Aina za Imani

1. Imani Mbegu2. Imani Mche3. Imani Mti wa Mboga4. Imani MTI MKUBWA

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 53: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MATH 17:20, LUKA 17:5-6Yesu alipoongelea punje ya haradali, alimaanisha hivi;

6. Kama mngekuwa na imani kiasi cha punje ya haradali, yenye tabia ya kukua, hata

kuwa mti mkubwa, …

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 54: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MATH 17:20, LUKA 17:5-66. … mngekua na kufika katika

kiwango cha mamlaka, ya kuweza kuamuru mambo ya

asili kama mlima na miti, (vikwazo) kuondoka katika

njia zenu, ili mfikie malengo.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 55: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”

Kanuni = Imani = NguvuMath 17:9-21 Luk 17:5-6 Efe 3:20

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 56: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya

ushindi na mafanikio, katika Ulimwengu huu na kulitimiza

kusudi la Mungu.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 57: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Imani Kidogo

Nguvu Kidogo

Mungu Tatizo

Page 58: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Imani Kubwa

Nguvu Kubwa

Mungu Tatizo

Page 59: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye

awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika) kuliko yote tunayowaza au

tunayoyaomba …

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 60: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

WAEFESO 3:2O

20 … ‘kwa kadiri’ (au ni kwa kiwango au kwa kipimo) cha

Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 61: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI

Waefeso 3:20 Kiwango cha utendaji kazi

wa nguvu za Mungu, kinategemea sana na KIWANGO CHA IMANI

kinachofanya kazi ndani yako.

Page 62: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ASILI YA MUNGU NDANI YETU.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

RMt

Page 63: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ASILI YA MUNGU KUFUNULIWA KUTOKA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Mwili Nafsi Roho

RMt

Page 64: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA KUTOKA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Karama na Vipawa

RMt

Page 65: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya

ushindi na mafanikio, katika kulitimiza kusudi la Mungu.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 66: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”

Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 67: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Yohana 14:12 Ni mapenzi ya Mungu,

kwamba, kila muumini wa Yesu, akue katika Imani na kufika katika kufanana na Yesu, katika maisha yake.

Page 68: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

UFUASI NA UANAFUNZI

AGIZO KUU

Mathyo 28:18-20

Page 69: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

UFUASI NA UANAFUNZIMathayo 28:18-20

Mafundisho 3. Mwanafunzi

Mahubiri 2. Muumini

1. Mmataifa

Page 70: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

UFUASI NA UANAFUNZI

Mathayo 28:18-20

Mwanafunzi = ‘Desciple’

Kuzoeshwa DesciplinedKufanya Kama Mwalimu

Page 71: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Yohana 14:12 12 Amini Amini nawaambia,

kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, na yeye atazianya, naam, kubwa

kuliko hizo, atafanya.

Page 72: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Efeso 4:11-15 Kwa huduma ya Mitume,

Manabii, Wachungaji, Wainjilisti na Waalimu; sisi

sote, tufundishwe, tukue, na kufika katika cheo cha Kristo.

Page 73: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Warumi 8:28-30 Wale aliowajua, aliwaita,

akawahesabia haki, akawatukuza, ili

wafananishwe na mfano wa Mwanaye (Kristo).

Page 74: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-5 Ni mapenzi ya Mungu, kwamba

watoto wake, tuishi maisha mzuri, ya ushindi na mafanikio, ili tuweze kulitimiza kusudi la

Mungu (ibada) kama Yesu alivyoshinda.

Page 75: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

Page 76: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI

Page 77: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-4Imani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu

wa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani,

hataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.

Page 78: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Yohana 14:12 Ni mapenzi ya Mungu,

kwamba, kila muumini wa Yesu, akue katika Imani na kufika katika kufanana na Yesu, katika maisha yake.

Page 79: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Waefeso 4:11-15 Mungu anatutaka tukue na kuongezeka katika imani na

nguvu zake, ili kuweza kuushinda ulimwengu na

adui mkubwa, ibilisi shetani.

Page 80: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Warumi 1:16-17

“Kutoka Imani hata Imani [nyingine]”

KUKUA NA KUONGEZEKA KIIMANI

Page 81: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Zaburi 84:1-7

“Kutoka Nguvu, hata Nguvu [nyingine]”

KUKUA NA KUONGEZEKA KIIMANI

Page 82: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

2Wakorintho 3:18

“Kutoka Utukufu, hata Utukufu [mwingine]”

KUKUA NA KUONGEZEKA KIIMANI

Page 83: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI

Waefeso 3:20 Kiwango cha utendaji kazi

wa nguvu za Mungu, kinategemea sana na KIWANGO CHA IMANI

kinachofanya kazi ndani yako.

Page 84: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ASILI YA MUNGU NDANI YETU.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

RMt

Page 85: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ASILI YA MUNGU KUFUNULIWA KUTOKA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Mwili Nafsi Roho

RMt

Page 86: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

UTUKUFU WA MUNGU KUCHIPUSHA KARAMA KUTOKA NDANI YETU.

1Kor 3:18 (Utukufu)

Karama na Vipawa

RMt

Page 87: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUKUA KATIKA IMANI YA USHINDI

Waefeso 3:20 Kiwango cha utendaji kazi

wa nguvu za Mungu, kinategemea sana na KIWANGO CHA IMANI

kinachofanya kazi ndani yako.

Page 88: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”

Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 89: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-65. Wanafunzi wakamwambia

Bwana Yesu “Bwana, tuongezee Imani.” Lakini yeye akawarudisia wajibu kwamba

kukua kwa imani, ni wajibu binafsi wa mtoto wa Mungu.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 90: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6Mungu hataki kukupa vitu bure bure, kirahisi tu; bali anataka na wewe ushiriki

katika utendaji kazi wa nguvu zake, kuleta mabadiliko

tunayoyatamani duniani.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 91: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kukupa

samaki mchana, kinyume na kawaida yenu duniani; lakini ni mpaka wewe ume-shusha

Nyavu kwanza majini (Luka 5:4)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 92: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kuwapa

divai kutoka kwenye maji ya kawaida, kinyume na kawaida, lakini ni mpaka ninyi Umjaze

Maji kwenye mabalasi kwanza. (Yohana 2:7)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 93: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kukuponya

upofu wa macho yako kwa matope ya mate, kiyume na

kawaida, lakini ni mpaka Uende kunawa Siloamu

(Yohana 9:7)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 94: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kumfufua

Lazaro aliyekufa na kuwa maiti, kwa siku nne, kiyume na kawaida ya asili; lakini ni mpaka ninyi Mliondoe Jiwe.

(Yohana 11:29)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 95: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6 Mungu anatuonyesha

kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa

nguvu za Mungu maishani mwetu.

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 96: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;

• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh

2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 97: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6Mungu hataki kukupa vitu bure bure, kirahisi tu; bali anataka na wewe ushiriki

katika utendaji kazi wa nguvu zake, kuleta mabadiliko

tunayoyatamani duniani.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 98: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 13:31-32Aina za Imani

1. Imani Mbegu2. Imani Mche3. Imani Mti wa Mboga4. Imani MTI MKUBWA

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 99: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Imani ni Nini?

Page 100: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Imani ni kuwa na uhakika wa

mambo yatarajiwayo, ni bayana (uthibitisho) wa mambo yasiyoonekana.

Page 101: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 10:17 Basi Imani huja kwa kusikia, na ni kusikia

kunakotokana na Neno la Mungu (au Sauti) ya

Mungu.

Page 102: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ebr 11:1, Rum 10:17 Basi Imani [uhakika] juu ya

mambo yajayo [tunayo-tarajia], huja kwa kusikia Neno au Sauti ya Mungu.

Page 103: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)

Page 104: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).

Page 105: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano 1;

Uumbaji wa vitu vya Dunia Waebrania 11:3

Page 106: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Nasi twajua ya kwamba, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu

vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo

dhahiri.

Page 107: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo dhahiri ”.

Page 108: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo waziwazi ”.

Page 109: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo onekana (vya kiroho).”

Page 110: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilika, ndipo Mungu

akauzaa Ulimwengu wa mwili kutokea katika

Ulimwengu wa Roho.

Page 111: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa

kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-

photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

Page 112: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia

Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

Kristo Mwokozi 7 1000

33 (1) Ufu 13:8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme

Injili

Kalvari Kanisa

Milele

Page 113: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia

Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

Kristo Mwokozi 7 1000

33 (1) Ufu 13:8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme

Injili

600 Kalvari Kanisa

500 2000 +

(4) Dan 7:13 – 14, 27

(3) Isa 9: 6 33 33 AD (5) Ufu 20:11 – 15

30 3 ½

Leo

Bahari Miti Upepo

Milele

ULIMWENGU WA MWILI

Page 114: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo onekana (vya kiroho).

Page 115: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).

Page 116: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika

ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

Page 117: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina

original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy

yake (yaani kina upande wa rohoni na wa upande wa mwilini).

Page 118: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ULIMWENGU WA ROHO

Kwahiyo

Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

Page 119: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

Page 120: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ULIMWENGU WA ROHO

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,

wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -

Page 121: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

ULIMWENGU WA ROHO

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”- Photocopy -

Page 122: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita (wakati uliopita).

Page 123: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;

kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza

katika ulimwengu wa kiroho.

Page 124: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika

Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.

Page 125: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.

Page 126: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano 2;Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:16-18

Page 127: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:16-18;

16. ‘… Kuomba kwake mwenye haki, kwafaa sana

akiomba kwa bidii’

Page 128: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBIYakobo 5:16-18;

17. ‘Eliya, alikuwa mwanadamu wa kawaida tu kama sisi, lakini

aliomba kwa bidii, ili mvua isinyeshe juu ya nchi, na mvua

haikunyesha, kwa muda wa miaka 3 na miezi 6.

Page 129: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Japo kulikuwa na kanuni zote za

kisayansi za mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi,

alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni zinazotawala mvua mwili, na

ndio maana mvua haikunyesha.

Page 130: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:16-18;

18. ‘[Baada ya hiyo miaka 3, Eliya, aliomba tena [kwa bidii]

na mvua ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.

Page 131: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na

Maombi, Nabii Eliya akapata Uhakika {imani} moyoni

mwake, akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya

mvua tele’ (mstari 41).

Page 132: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Hata kabla ya kuona dalili

zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii

Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya

mvua tele’ (mstari 41),

Page 133: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 134: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya

alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara

saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi

(mstari 44-45).

Page 135: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 136: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,

mpaka kwanza ilipo-tengenezwa ktk ulimwengu

wa kiroho kwanza.

Page 137: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45;

Jiulize swali hili;‘ile mvua ilinyeshaje,

wakati hakuna misitu juu ya nchi?’

Page 138: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Kwa maana mvua ilikuwa

haijanyesha juu ya nchi kwa miaka 3 na miezi 6,

ni wazi kwamba misitu yote ilikuwa imekauka?

Page 139: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)

Page 140: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mambo Unayotakiwa Kuyajua Na Kuyatenda, ili Kuishi Maisha ya

Ushindi na Mafanikio.

KANUNI ZA KIROHOZA MAISHA YA USHINDI

Yakobo 5:16-18

Page 141: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45;

Kanuni za Kiroho alizotumia Nabii Eliya kutawala ulimwengu

roho na mwili.

Page 142: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwana

upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yake,

kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.

Page 143: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

1.Madhabahu – Ibada (Kusifu na Kuabudu)

Zaburi 100:1-5Zaburi 22:3

Yohana 4:23-24

Page 144: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

2. Ng’ombe – Sadaka (Zaka)

Walawi 27:30-31Malaki 3:7-12

Page 145: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

3. Pipa 12 za Maji – Sadaka (Dhabihu)Malaki 3:9-12

2Wakorintho 9:6-13

Page 146: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

4.Maombi ya Kuumba - Mahitaji (Kusababisha vitokee)

Mathayo 7:7-11Wafilipi 4:6-7Isaya 43:26

Page 147: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

5. Neno la Mungu - Ahadi (Neno lina Nguvu ya Kuumba)

Waebrania 11:3Waebrania 4:12

Yeremia 1:12

Page 148: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

6. Kuangamiza Ma-Baali - Toba (Kuondoa kinachozuia)

Kumbukumbu 23:14Yohana 11:39-40

Page 149: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

7. Maombi ya Kufungulia - Vita (Kutelemsha baraka)

Mathayo 16:19,18Yakobo 5:17-18,16

Page 150: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kanuni za Kiroho (1Fal 18:30-45)

1. Kusifu na Kuabudu (Zab 100:4-5)2. Sadaka ya Zaka (Malaki 3:7-12)3. Sadaka ya Dhabihu (2Kor 9:6-11)4. Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6-7)5. Neno la Mungu (Yer 1:12)6. Maombi ya Toba (Kumb 23:14)7. Maombi ya Vita (Math 16:18-19)

Page 151: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:18;

MATOKEO:Ushindi - Nchi kuzaa matunda

(Kufaidi mema ya nchi)

Page 152: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

Ile Sadaka ilipotolewa sawa sawa na maagizo ya Mungu (pipa 12), ndipo mbingu zilipofunguka, na baraka ya mvua ikaachiliwa juu

ya nchi yao, kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu na nusu.

Page 153: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Baada ya Nabii Eliya kufanya Maombi na Sadaka, Mungu

akaleta baraka ya mvua katika nchi ya Israeli, mvua ambayo

ilikuwa haijanyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na nusu.

Page 154: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Nguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani,

(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko

yafuatayo;

Page 155: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

1. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zilizokataa kufanya kazi, ziweze kufanya kazi kama ilivyotegemewa.

(kama kawaida yake)

Page 156: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

2. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza

kufanya kazi, zipindishwe hata ziweze kufanya kazi katika hali

isivyotegemewa. (si kawaida yake)

Page 157: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

3. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza kufanya kazi, zirukwe, hata jambo lifanyike bila kupitia

katika njia yake ya asili. (si kawaida yake)

Page 158: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Kwasababu hiyo,

Kanuni za Ulimwengu wa mwili zinatawaliwa na Kanuni za

Ulimwengu wa roho;

Page 159: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).

Page 160: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

Page 161: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Mungu wetu ni Mungu anayefanya mambo katika

ulimwengu wa yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha

yatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.

Page 162: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17

Mungu wetu ni Mungu anayevitaja, visivyokuwepo, kana kwamba vimekuwepo;

(yaani anataja visivyoonekana kana kwamba vinaonekana).

Page 163: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4, Warumi 8:37‘Basi mtu wa Mungu asipokuwa

na ufahamu wa mambo ya rohoni, hataweza kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake

duniani’.

Page 164: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.

Page 165: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual

Principles).

Page 166: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)

Page 167: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mambo Unayotakiwa Kuyajua Na Kuyatenda, ili Kuishi Maisha ya

Ushindi na Mafanikio.

KANUNI ZA KIROHOZA MAISHA YA USHINDI

Yakobo 5:16-18

Page 168: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45;

Kanuni za Kiroho Unazoweza kutumia wewe

kutawala ulimwengu roho na mwili kama Eliya.

Page 169: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

Orodha ya KANUNI ZA KIROHO

ZA MAISHA YA USHINDI

Page 170: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

1.ELIMU YA ULIMWENGU

WA ROHOEbr 11:3, 2Kor 10:3Efe 6:12, 1Yoh 5:4

Page 171: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

2.KUJITAMBUA;

ASILI YA MUNGU NDANI YETUZab 82:6, Yoh 10:31-38

Mwa 1:26, Kol 3:10

Page 172: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

3.WOKOVU;

KUZALIWA MARA YA PILIYoh 1:12-13, Yoh 5:24

Efe 2:1-6-8, Efe 1:20-23

Page 173: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

4.UJAZO WA ROHO

MTAKATIFU NA NGUVU;Mdo 1:8, Yoh 20:21-22,

Luk 24:49, Mdo 10:38/19:1-7

Page 174: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

5.USHIRIKA NA ROHO

MTAKATIFU;2Wakorintho 13:14

Warumi 8:14

Page 175: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

6.KUJAA NENO LA MUNGU;

Ebr 4:12, Kol 3:16, Efe 6:17, Luk 4:1-14

Page 176: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

7.MAISHA YA UTAKATIFU;1Pet 1:15-16, 1Thes 4:1-4-7,

Kumbu 23:14, Isaya 57:15

Page 177: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

8.MAISHA YA IBADA;Kusifu na KuabuduYoh 4:23-24, Zab 22:3

2Nyak 5:13-14, Zab 148:1-14

Page 178: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

9.MAISHA YA MAOMBI;

Efe 6:18, 1Thes 5:17Math 16:18-19, Luka 6:12

Page 179: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

10.UTOAJI WA SADAKA;

Zaka, Malimbuko na DhabihuMith 3:9-10, Malak 3:7-12

2Wok 9:6-15

Page 180: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

11.KUONDOA VIZUIZI;1Thes 5:23, Kumb 23:14

Yoh 11:1-39-45, Mdo 19:18-202Sam 21:1-14

Page 181: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

12.KUISHI KWA IMANI;

Ebr 11:1,6 Ebr 10:38Math 17:14-21, Mk 11:23-24

Page 182: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia

maishani, yatasababisha Roho Mtakatifu kuzalisha Nguvu za Mungu katika maishani yetu,

na kutuwezesha kuishi maisha ya Ushindi na Mafanikio.

Page 183: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Kanuni za Kiroho (Connected)

Nuru (light)Maombi (Wire) Roho Mtakatifu (Battery)

Page 184: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.

Page 185: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual

Principles).

Page 186: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)

Page 187: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA NA NGUVU

MAMLAKA YA MWANA WA MUNGU

Kumiliki na Kutawala Mazingira yako

Page 188: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Ebr 11:3; Zab 8:4-8Mungu aliitengeneza dunia katika

namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.

Page 189: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,

alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na

kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,

ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

Page 190: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM - 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM - 2

Page 191: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia

Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

Kristo Mwokozi 7 1000

33 (1) Ufu 13:8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme

Injili

600 Kalvari Kanisa

500 2000 +

(4) Dan 7:13 – 14, 27

(3) Isa 9: 6 33 33 AD (5) Ufu 20:11 – 15

30 3 ½

Leo

Bahari Miti Upepo

Milele

ULIMWENGU WA MWILI

Page 192: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ebr 11:1, Rum 10:17 Basi Imani [uhakika] juu ya

mambo yajayo [tunayo-tarajia], huja kwa kusikia Neno au Sauti ya Mungu.

Page 193: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6

Kiwango cha Imani- Imani Timilifu -

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 194: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6

5. Wanafunzi wakamwambia Bwana Yesu “Bwana,

tuongezee Imani.”

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 195: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-66. Bwana akasema, kama

mngekuwa na imani kiasi cha punje ya haradali,

mngeuambia mkuyu huu, ng’oka ukapandwe baharini,

nao ungewatii.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 196: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 17:9-20

20 “… Ninawaambia kweli, mkiwa na imani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza

kuiambia milima, ‘ondoka hapa uende pale …

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 197: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 17:9-20

Bwana Yesu alikuwa na maana gani?

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 198: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Mathayo 17:9-20Anawalaumu kwa kuwa

na imani ndogo; lakini hapo hapo, anasema, imani ndogo ingeweza

kuhamisha milima!

Page 199: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Huwezi kujibu swali hilo Mathayo 17:9-20

kama hujui Tabia za Punje ya

Haradali.Mathayo 13:31-32

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 200: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 13:31-32Ufalme wa Mungu

umefanana na punje ndogo ya haradali, ambayo ni

mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote, lakini ikimea

(kuchipua na kukua) …

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 201: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 13:31-32

… huwa kubwa kuliko miti yote ya mboga; na kuwa mti mkubwa, hata nyuni huja na kujenga viota juu

yake.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 202: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mathayo 13:31-32Aina za Imani

1. Imani Mbegu2. Imani Mche3. Imani Mti wa Mboga4. Imani MTI MKUBWA

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 203: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6Yesu alipoongelea punje ya haradali, alimaanisha hivi;

6. Kama mngekuwa na imani kiasi cha punje ya haradali, yenye tabia ya kukua, hata

kuwa mti mkubwa, …

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 204: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6, MATH 17:206. … mngekua na kufika katika

kiwango cha mamlaka, ya kuweza kuamuru mambo ya

asili kama mlima na miti, (vikwazo) kuondoka katika

njia zenu, ili mfikie malengo.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 205: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”

Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 206: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-65. Wanafunzi wakamwambia

Bwana Yesu “Bwana, tuongezee Imani.” Lakini yeye akawarudisia wajibu kwamba

kukua kwa imani, ni wajibu binafsi wa mtoto wa Mungu.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 207: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6Mungu hataki kukupa vitu bure bure, kirahisi tu; bali anataka na wewe ushiriki

katika utendaji kazi wa nguvu zake, kuleta mabadiliko

tunayoyatamani duniani.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 208: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kukupa

samaki mchana, kinyume na kawaida yenu duniani; lakini ni mpaka wewe ume-shusha

Nyavu kwanza majini (Luka 5:4)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 209: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kuwapa

divai kutoka kwenye maji ya kawaida, kinyume na kawaida, lakini ni mpaka ninyi Umjaze

Maji kwenye mabalasi kwanza. (Yohana 2:7)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 210: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kukuponya

upofu wa macho yako kwa matope ya mate, kiyume na

kawaida, lakini ni mpaka Uende kunawa Siloamu

(Yohana 9:7)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 211: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ushirika: Mungu na BinadamuMimi Mungu naweza kumfufua

Lazaro aliyekufa na kuwa maiti, kwa siku nne, kiyume na kawaida ya asili; lakini ni mpaka ninyi Mliondoe Jiwe.

(Yohana 11:29)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 212: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6 Mungu anatuonyesha

kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa

nguvu za Mungu maishani mwetu.

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 213: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;

• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh

2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)

KUKUZA KIWANGO CHA IMANI

Page 214: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6Mungu hataki kukupa vitu bure bure, kirahisi tu; bali anataka na wewe ushiriki

katika utendaji kazi wa nguvu zake, kuleta mabadiliko

tunayoyatamani duniani.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 215: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”

Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 216: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-21Pamoja na kwamba Imani

ndicho kuingo kinacho-simama kati ya Mungu na hitaji au tatizo alilonalo,

lakini …

Page 217: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-21

… kumbe Imani peke yake haitoshi, bali kinachotakiwa

ni kiwango cha imani inayotosha [timilifu].

Page 218: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya

ushindi na mafanikio, katika kulitimiza kusudi la Mungu.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 219: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

LUKA 17:5-6

Kiwango cha Imani- Imani Timilifu -

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 220: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)

Kupata IMANI yatakuwa

Neno (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 221: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua Muhimu ya Kwanza;

1.Kupata na Kutumia Neno la Mungu.

Waebrania 11:3 Warumi 10:17

Page 222: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:3,‘Nasi twajua ya kuwa,

Ulimwengu uliumbwa kwa Neno, hata vitu

vinavyoonekana viliumbwa kwa vitu visivyoonekana.’

Page 223: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1-31,1-2 ‘Hapo mwanzo Mungu

alipoziumba mbingu na nchi, Nchi ilikuwa ukiwa, tena

utupu; na giza lilikuwa juu ya nchi iliyofunikwa na maji…

Page 224: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Nguvu ya Neno la Mungu

Mwanzo 1:1-31,Neno la Mungu, lina nguvu ya

kubadilisha mambo yoteUbaya kuwa Uzuri.Ugonjwa kuwa Uzima.Umaskini kuwa Utajiri.Ugomvi kuwa Upendo.

Page 225: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(Warumi 10:17)

‘Imani yenye Nguvu ya kuhamisha milima,

huzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.

Page 226: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai,

tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta

mabadiliko)

Page 227: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu,

lafaa kwa kuleta mabadiliko ya tabia/mwenendo.’

(mafafanuzi)

Page 228: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA NENO LA MUNGU

Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima

(uhai), kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu;

Page 229: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho

nayo ndio Uzima’

Page 230: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

2Kor 3:6

‘Andiko linauwa, lakini Roho anahuisha; kwahiyo,

Page 231: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu,

lafaa kwa kuleta mabadiliko ya tabia/mwenendo.’

(mafafanuzi)

Page 232: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA NENO

2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu

Page 233: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Angalizo;

Tofauti ya Andiko Vs Neno

Page 234: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO Andiko lililochaguliwa na

Mungu ili litumike, ndilo tu ambalo Roho Mtakatifu wa Mungu, atakuja kulivuvia, ili kulifanya kuwa Neno lenye Uhai na Nguvu ya kutenda.

(2Tim 3:16-17, Ebr 4:12)

Page 235: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Uwe mwangalifu kutumia maandiko katika Biblia katika

maombi na kukiri ushindi, Kwasababu kuna tofauti ya

Andiko na Neno. (2Timotheo 3:16-17)

Page 236: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Hivyo uwe makini sana;Kwasababu,

Si kila Andiko ni Neno.

Page 237: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Uwe makini sana;Kwasababu,

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Andiko na Neno(2Kor 3:6, Yoh 6:63)

Page 238: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Andiko Vs Neno

Tofauti 1 kati ya Andiko Neno

Andiko ni Kitu Neno ni Uhai

(Herufi) (Mtu)

(Yoh 1:1-4)

Page 239: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Andiko Vs Neno

Tofauti 2 kati ya Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni Uhai

Halijui Linajua/Anajua

(Ebr 4:12-13)

Page 240: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Andiko Vs Neno

Tofauti 3 kati ya Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni Uhai

Halitumwi Lina/Anatumwa

(Zab 107:20)

Page 241: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Andiko Vs Neno

Tofauti 4 kati ya Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni Uhai

Halitendi Lina/Anatenda

(Isaya 55:10-11)

Page 242: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Andiko Vs Neno

Tofauti 5 kati ya Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni Uhai

Linaua Lina/Anahuisha

(2Kor 3:6) (Yoh 6:63)

Page 243: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu ya neno inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao

unatokana na uwepo wa Roho/roho aliyevuvia hilo Neno

Waebrania 4:122Timotheo 3:16-17

Page 244: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Yesu na Mti wa Tini

Marko 11:12-14, 20-24.

Page 245: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-2412 Kesho yake walipokuwa

wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa. 13

Alipouona mtini kwa mbali, akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda.

Page 246: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

13 ... Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa

hayakuwa majira ya tini.

14 Yesu akauambia ule mti,

Page 247: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

14 ... ‘‘Tangu leo mtu ye yote na asile matunda kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi

Wake walimsikia akiuambia ule mti maneno hayo.

Page 248: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA NENO

2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu

Page 249: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

20 Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi

kwenye mizizi yake.

Page 250: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

21 Petro akakumbuka na kumwambia Yesu,

“Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!’’

Page 251: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

22 Yesu akawajibu akawaambia, “Mwaminini

Mungu. 23 Amin, amin nawaambia, mtu ye yote

atakayeuambia mlima huu

Page 252: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

23 ...'Ng’oka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini

kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.

Page 253: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yo yote

myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea

nayo yatakuwa yenu.

Page 254: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

Yesu alipotuma NENO, kwa ule mti, aliacha ROHO

anaushughulikia mti sawa sawa na NENO la BWANA

alivyoagiza/alivyotaka.

Page 255: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

Yesu alipotuma NENO, aliondoka, lakini ROHO alibaki kama MJUMBE,

akitekeleza NENO au maagizo ya BWANA kama alivyosema.

Page 256: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

Kwa lugha nyingine rahisi

Neno = Agizo + Roho

Neno ni Roho aliyepewa agizo la kutekeleza.

Page 257: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)

Kupata IMANI yatakuwa

Neno (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 258: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

2. Kuomba kwa Bidii na

Nidhamu - Maombi ya Kuumba -

Yakobo 5:17-18, 161Wafalme 18:29-45

Page 259: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:16-18

Page 260: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

17 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa

bidii, mvua isinyeshe juu ya nchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3)

na miezi sita (6).

Page 261: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

18 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii, ili mvua inyeshe, na mvua

ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.

Page 262: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,

akiomba kwa bidii.

Page 263: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi,

Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), kabla hata ya

kuona dalili zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili.

Page 264: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 265: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi, kabla hata ya kuona dalili zozote

za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii Eliya akawaambia

watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41),

Page 266: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya

alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara

saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi

(mstari 44-45).

Page 267: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 268: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”

Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 269: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

16 … Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,

akiomba kwa bidii.

(conditional)

Page 270: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa;Yesu na Pepo SuguMathayo 17:9-21.

Page 271: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 17:9-21Bwana Yesu anahusisha

Kiwango cha Imani ya mtu na Nidhamu yake ya Maisha ya

Maombi au Kiwango cha Maombi maishani mwake.

Page 272: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”

Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 273: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9-20

Bwana Yesu alimaanisha kwamba; wanafunzi wake

hawakuishi Maisha ya Maombi, Ndio maana

hazikuzalishwa Nguvu za Mungu za kutosha, kuondoa

lile tatizo.

Page 274: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU1Wafalme 18:41-44

Nidhamu ya Maombi ya muda mrefu, inahitajika sana katika

kusababisha uumbaji ya mambo katika ulimwengu wa

roho, tunayoyahitaji sana katika ulimwengu wa mwili.

Page 275: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI1Wafalme 18:41-44

Kwa Mfano wa;

Nidhamu ya Kuku anayelalia (anayeatamia) mayai ili kutotoa vifaranga

Page 276: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Usikatize maombi yako, mpaka Roho Mtakatifu, atakushuhudia kwamba ndani yako kwamba, tayari jambo lako limeumbika

katika ulimwengu wa roho. Jenga Kiu, Nidhamu na Bidii ya

Kuomba mpaka kuivisha.

Page 277: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Yakobo 5:16-18Hivyo omba, Mungu akupe

Stamina na Nguvu ya kuomba kwa bidii na nidhamu mpaka kuzalisha/kuivisha mambo

katika roho na mwili.

Page 278: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 5:8‘Wale wenye uhai 4 na wale wazee 24, kila mmoja wao, alikuwa na kinubi na kitasa

(bakuli) ya cha dhahabu, kilichojaa manukato, ambayo

ni maombi ya watakatifu.

Page 279: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:2-5“Kujaza Kipimo cha Maombi”

Page 280: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 8:3-5

2 Nami nikawaona wale malaika saba wanaosimama

mbele za Mungu, nao wakapewa tarumbeta saba.

Page 281: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 8:3-5

3 ‘Malaika mwingine aliyekuwa na chetezo cha

dhahabu, akaja na kusimama mbele ya madhabahu...’

Page 282: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 8:3-53 ‘... Akapewa uvumba

mwingi ili autoe pamoja na maombi ya Watakatifu wote,

juu ya ile madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele ya

kile kiti cha enzi.

Page 283: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 8:3-54 Ule moshi wa uvumba

pamoja na yale maombi ya watakatifu, vikapanda juu mbele za Mungu, kutoka

mkononi mwa huyo malaika.

Page 284: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 8:3-55 Kisha yule malaika

akachukua kile chetezo, akakijaza moto kutoka

kwenye ile madhabahu, akautupa juu ya dunia ...’

Page 285: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:2-5“Kujaza Kipimo cha Maombi”

Maombi = Nguvu Math 17:19-21 Efe 3:20

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 286: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 8:3-5

Matokeo ya Kujaa kwa Kipimo cha Maombi.

5 ‘... Pakatokea sauti za radi, ngurumo, umeme wa radi na

tetemeko la nchi.’

Page 287: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:3-5Kuna Kiwango fulani cha

Nguvu za Mungu kinachohitajika kuondoa

tatizo unalolikabili, hakitaachiliwa, mpaka

Kipimo cha Maombi Kimejaa.

Page 288: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:3-5

Ndio maana Eliya aliomba mara saba (7) mfululizo;

alikuwa anatakiwa kujaza ‘Kipimo cha Maombi.’(1Wafalme 18:41-45)

Page 289: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Ufunuo 5:8, Ufunuo 8:3-5

Ndio maana Daniel aliomba siku ishirini na moja (21)

mfululizo; alikuwa anatakiwa kujaza ‘Kipimo cha Maombi.’

(Daniel 10:1-21)

Page 290: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye

awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika) kuliko yote tunayowaza au

tunayoyaomba …

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 291: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

WAEFESO 3:2O

20 … ‘kwa kadiri’ (au ni kwa kiwango au kwa kipimo) cha

Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 292: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Yakobo 5:16-18Hivyo omba, Mungu akupe

Stamina na Nguvu ya kuomba kwa bidii na nidhamu mpaka kuzalisha/kuivisha mambo

katika roho na mwili.

Page 293: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUJAZA KIPIMO CHA MAOMBI

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

Page 294: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3. Kupata na Kuthibitisha

Ishara za Uhakika MoyoniMarko 11:23-24

Warumi 8:16, 26-27

Page 295: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakupa ishara kwamba, tayari jambo

lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

Page 296: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;

mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).

Page 297: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

Swali24 Ikiwa tayari nimeshapokea “sasa”, kwanini hilo jambo liwe

langu “baadaye” na sio sasa?

Page 298: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

Swali24 Hiyo “baadaye” ni ya nini

ikiwa tayari nimeshapokea hili jambo “sasa”?

Page 299: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

Swali24 kwanini lisiwe langu “sasa”,

badala yake litakuwa langu “baadaye” na sio sasa? Wakati tayari nimeshapokea “sasa”?

Page 300: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;

mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).

Page 301: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu

(sasa) (baadaye)

Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili

Page 302: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)

Kupata IMANI yatakuwa

Neno (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 303: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24Mtu wa Mungu, hataweza kuelewa kitu Yesu aliongea

hapa, kama hajui namna Mungu anavyofanya mambo, kwa

kanuni zake duniani. ~ Njia (Style) za Mungu ~

Page 304: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:16-181Wafalme 18:30-45

Page 305: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Hata kabla ya kuona dalili

zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii

Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya

mvua tele’ (mstari 41),

Page 306: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 307: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya

alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara

saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi

(mstari 44-45).

Page 308: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 309: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,

mpaka kwanza ilipo-tengenezwa ktk ulimwengu

wa kiroho kwanza.

Page 310: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.

Page 311: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Kuwa na Usikivu wa Kiroho Anaokupa Roho

Mtakatifu Moyoni.Warumi 8:16, 26-27

Yohana 16:13

Page 312: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakupa ishara kwamba, tayari jambo

lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

Page 313: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Warumi 8:16, 26-27‘Wale wanoongozwa na Roho [Mtakatifu] wa Mungu, hao

ndio wana wa Mungu.’

Page 314: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Warumi 8:16, 26-27

‘Kwa maana sisi [wenyewe], hatujui kuomba itupasavyo

[sawasawa na mapenzi makamilifu ya Mungu] …’

Page 315: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Warumi 8:16, 26-27‘… bali Roho wa Mungu ndiye

ajuaye kutuombea, kwa kuugua kusikoweza kutamkwa, kwa namna ile atakavyo Mungu.’[sawa na mapenzi ya Mungu]

Page 316: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Yohana 16:13

‘Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie katika kweli yote, na

katika mambo yajayo, atawapasha habari …’

Page 317: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Roho Mtakatifu anataka kuongoza!

Ndio moja ya kazi yake iliyomleta duniani.

(Yohana 16:13)

Page 318: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakupa ishara kwamba, tayari jambo

lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

Page 319: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)

Kupata IMANI yatakuwa

Neno (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 320: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Kuwa na Usikivu wa Kiroho Anaokupa Roho

Mtakatifu Moyoni.Warumi 8:16, 26-27

Yohana 16:13

Page 321: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO

NAMNA YA KUSIKILIZA SAUTI AU ISHARA ZA

MUNGU.

Namna 12

Page 322: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. NAMNA ZILIZO

ZA KAWAIDA

Page 323: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

1. Kwa Ushuhuda wa moyoni ( Sauti ya Ndani – ‘Wazo’)

Rumi 8:16, 1Kor 2:16(Isaya 55:8-11, Yer 29: 11)

Page 324: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

1. Kwa Ushuhuda wa moyoni

Kwa Mfano;2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11

‘Sulemani alipomaliza ujenzi wa Hekalu, na mambo yote ambayo Bwana

alikuwa ameweka moyoni mwake, Ndipo Bwana akamtokea usiku …’

Page 325: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani Timilifu

NAMNA YA KWENDAROHONI.

1Wakorintho 2:16

Page 326: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani TimilifuNAMNA YA KWENDA ROHONI

1Wakorintho 2:16

‘… kwa maana sisi tuna nia [mawazo] ya Kristo.

Page 327: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

SEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Sehemu Kuu za Mwanadamu

Roho Roho Nafsi Mwili Mwanzo 2:7

Page 328: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

SEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mavumbi, Nafsi, Pumzi

Mwa 2:7 Mwili Nafsi Roho

Page 329: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mwili

SEHEMU KUU ZA MWANADAMU

NAFSI ROHO

Mwa 2:7 Mtu

NyamaDamuMifupa

Mwanadamu

Page 330: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

SEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7 Mtu

Fikra (Mind)Hisia (Emotion)Maamuzi (Will)

NAFSI ROHO

Page 331: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

SEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7 Mtu

Utambuzi (Intuition)Dhamira (Conscience)Madhabahu (Altar)

ROHO

Page 332: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Page 333: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

1. Kwa Ushuhuda wa moyoni au Wazo la Moyoni

Kwa Mfano;2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11

‘Sulemani alipomaliza ujenzi wa Hekalu, na mambo yote ambayo Bwana

alikuwa ameweka moyoni mwake, Ndipo Bwana akamtokea usiku …’

Page 334: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)

Kupata IMANI yatakuwa

Neno (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 335: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Mwili Nafsi Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Page 336: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Yohana 16:13

‘Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie katika kweli yote, na

katika mambo yajayo, atawapasha habari …’

Page 337: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Roho Mtakatifu anataka kuongoza!

Ndio moja ya kazi yake iliyomleta duniani.

(Yohana 16:13)

Page 338: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani TimilifuNAMNA YA KWENDA ROHONI

1Wakorintho 2:16

‘… kwa maana sisi tuna nia [mawazo] ya Kristo.

Page 339: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

2. Kwa Amani ya rohoni (Furaha/Uhuru)

(Isa 55:12, Kol 3:15)(Fil 4:6-7, Efe 4:1-3)

Page 340: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

2. Kwa Amani ya moyoni

Isaya 55:12

‘Mtatoka kwa furaha, mtaongozwa kwa amani’.

Page 341: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

2. Kwa Amani ya moyoni

Wafilipi 4:4-7 ‘Furahini katika Bwana siku zote, … na Amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu

katika Kristo …’

Page 342: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

2. Kwa Amani ya moyoni

Wakolosai 3:15

‘… na Amani ya Kristo, iamue mioyoni mwenu …’

Page 343: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

2. Kwa Amani ya moyoni

Waefeso 4:1-3

‘… mkijitahidi kuuhifadhi Umoja wa Roho kwa kifungo cha Amani …’

(Umoja na Roho wa Mungu)

Page 344: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara

kwa njia ya AMANI YAKE, ili ujue kwamba, tayari jambo

lako limeumbika …

Page 345: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

‘… katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza

kufungulia majibu yako katika ulimwengu wa mwili.

Page 346: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Yohana 16:13, Warumi 8:16

Baadhi ya Ishara za Roho.•Huzuni – Furaha•Uzito – Bubujiko•Hatia – Amani•Mahangaiko – Utulivu

Page 347: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

3. Kwa Neno lake (Lililoandikwa -Logos);

(Zaburi 119:105)(2Timotheo 3:16-17)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Page 348: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara

kwa njia ya NENO LAKE, ili ujue kwamba, tayari jambo

lako limeumbika …

Page 349: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

‘… katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza

kufungulia majibu yako katika ulimwengu wa mwili.

Page 350: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

4. Kwa njia ya Ndoto

(Mathayo 1:18-25)(Mathayo 2:19-21)

Page 351: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara

kwa njia ya NDOTO, ili ujue kwamba, tayari jambo lako

limeumbika rohoni …

Page 352: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

‘… katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza

kufungulia majibu yako katika ulimwengu wa mwili.

Page 353: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

5. Kwa kutumia watu

wengine.

(Mathayo 18:16) (Matendo 6:3-6)

Page 354: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara kwa kuwatumia WATU

WENGINE, ili uweze kujua ya kwamba …

Page 355: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

‘… tayari jambo lako limeumbika katika rohoni, ili uweze kubadilisha aina

ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako

katika ulimwengu wa mwili.

Page 356: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

6. Kwa Mazingira. - Majira na Nyakati -

(Luka 12:54-57) (Mdo 17:24-27-29)(Mwanzo 1:14-19)

Page 357: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, anaweza kukupa ishara

kwa kutumia MAZINGIRA yanayo kuzunguka, ili

uweze kujua ya kwamba …

Page 358: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

‘… tayari jambo lako limeumbika katika rohoni, ili uweze kubadilisha aina

ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako

katika ulimwengu wa mwili.

Page 359: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. NAMNA ZISIZO

ZA KAWAIDA

Page 360: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

7. Kwa njia ya Maono

(Matendo 10:1-19)(Matendo 9:10-12)(Matendo 16:9-10)

Page 361: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

8. Kwa Neno la Maarifa

(1Wakorintho 12:4-8)(Matendo 5:1-11)

(Mathayo 12:22-28)

Page 362: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

9. Kwa Neno la Hekima

(1Wakorintho 12:4-8)(2Wafalme 2:19-21)

(Yohana 9:1-7)

Page 363: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

10. Kwa njia ya Unabii.

(1Wakorintho 12;7-10) (1Wakorintho 14:10) (Matendo 13:1-3)

Page 364: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

11. Kwa Sauti ya Ndani (Sio wazo, bali sauti halisi)

(Isaya 30:20-21)

Page 365: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

12. Kwa Sauti ya Nje

(Marko 9:1-8)(Yohana 12:28-30)(Matendo 9:1-9)

Page 366: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO

KUONGEZA USIKIVU KWA SAUTI YA

ROHO MTAKATIFU

Page 367: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

1. Maisha ya Utakatifu (Yoh 9:31, 2Wakor 6:14-18)

(1Pet 1:15-16, Isa 57:17)

Page 368: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

VITA YA MWILI NA ROHO

(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

Page 369: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

2. Kusifu na Kuabudu (Yoh 4:23-24, Zab 22:3)

(2Nyak 5:13-14)

Page 370: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

3. Kusoma Neno kwa Bidii (Waebr 4:12, Wakol 3:16-17)

(2Tim 3:16-17)

Page 371: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

4. Maombi ya Muda Mrefu (Wakol 4:2, 1Thes 5:17)

(Luka 6:12/18:1)

Page 372: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

5. Kukusanyika katika Ibada (Math 18:19-20, Waebr 10:25)

Page 373: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

6. Kuenenda kiroho(Katika Roho)

Wagal 5:16-25, Warum 8:5-121Wakor 1:1-9

Page 374: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA MAISHARohoni Mwilini

Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya,n.k.

Page 375: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

7. Kutembea katika kiwango

Waebrania 5:11-14Wagalatia 4:1

Mathayo 17:1-9

Page 376: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)

(1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)

Page 377: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kujaa Nguvu za Mungu

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 378: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho

(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)

Page 379: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi

katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi

katika viwango vyake maalum.

Page 380: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1-18

Page 381: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

7. Ngazi (Level) ya Wito

Kutoka 24:1-18 ^ 1st Class

^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

Page 382: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

Page 383: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

1 (Yoh 21:19-24)

3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

– 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

Page 384: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGAZI YA IMANILuka 6:13-16

Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu, bali tafuta kuongezeka katika

ngazi yako ndani ya Mungu

Page 385: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Kuongozwa/Usikivu;

1. Utakatifu (1Pet 1:15-16, Isa 57:17)2. Kuabudu (John 4:23-24, Psa 22:3) 3. Maombi (Exo 24:12-18, Luk6:1219)4. Neno (Heb 4:12, Col 3:16)5. Ibada (Math 18:19-20)6. Kiroho (Wag 5:16, War 8:5-8)7. Kiwango (Efes 4:11-15, Ebr 5:11-14)

Page 386: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MATOKEO 1. Kukua na Kuimarika

Zaidi Kiroho Gal 4:3-6, 1-2

Ebr 5:11-14, Efe 4:11-15 Mfano ; Luka 9:51-56

Page 387: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MATOKEO 2. Kuongezeka Viwango vya

Nguvu na UwezoYoh 4:13-14, Yoh 7:37-39Rum 1:17; Zab 84:1,4-7;

2Kor 3:18

Page 388: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MATOKEO 3. Kutembea na Nguvu za

Mungu Luka 6: 12,17-19, Kutoka 34:29-35

Mfano ; Matendo 3-5

Page 389: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO

VIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WA

ROHO MTAKATIFU

Page 390: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

VIZUIZI VYA KUONGOZWA Maisha ya Kinyume cha Masharti;

1. Kuishi katika Dhambi na Uasi.2. Kukosa kuabudu kirefu (binafsi).3. Kukosa maombi ya kutosha.4. Kukosa mafundisho ya Neno la Mungu5. Kukosa ibada (za pamoja).6. Kuenenda kimwili (Tabia za kimwili). 7. Kukosa Ujazo na Kiwango cha kiroho.

Page 391: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakushuhudia

kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha

aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

Page 392: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)

Kupata IMANI yatakuwa

Neno (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 393: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO

UFUNUO 3:6NI MUHIMU KUONGEZA

USIKIVU WAKO WA ROHONI ILI KUSIKIA SAUTI

YA MUNGU [ROHO].

Page 394: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO

UFUNUO 3:6‘Yeye aliye na sikio la

kusikia, na asikiye yale mambo Roho anasema na

Kanisa kwa nyakati hizi.

Page 395: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Yohana 16:13‘Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie katika kweli yote, na

katika mambo yajayo, atawapasha habari …’

Page 396: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Yohana 16:13‘Imani ni uhakika wa mambo

yatarajiwayo … (Ebr 11:1)’Kwahiyo, Mungu anataka uwe

na taarifa ya mambo yajayo kabla hayajatokea.

Page 397: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Yohana 16:13‘… Niulizeni habari za mambo

yajayo … (Isa 45:11)’Kwahiyo, Mungu anataka uwe

na taarifa ya mambo yajayo kabla hayajatokea.

Page 398: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu

wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika

ulimwengu wa roho.

Page 399: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Siri ya kutembea katika imani ipo katika kukiri ushindi, juu

ya yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika wa

Roho Mtakatifu, moyoni [kabla hayajatokea] ukiwa

katika hali ya maombi.

Page 400: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniUwezo wa kukiri ushindi,

unategemea sana na namna mtu wa Mungu

anavyofikiri, na anavyoona.

Page 401: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)

Kupata IMANI yatakuwa

Neno (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 402: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)

Kupata IMANI yatakuwa

Neno (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 403: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4.Kubadilisha Mtazamo(a)Kuona tofauti (Machoni)(b)Kuwaza tofauti (Fikra)

Waefeso 1:15-19

Page 404: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 1:15-19Mtume Paulo, anatuombea

kwa Mungu, ili atupe kufunguka katika macho ya mioyo yetu; tuweze kuona mambo yetu, kama Mungu

anavyoyaona.

Page 405: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu

wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika

ulimwengu wa roho.

Page 406: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha mtazamo

wako na fikra yako.

Page 407: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a)Kubadilisha Mtazamo

Machoni.(Kuona tofauti)

Warumi 4:17-20-21

Page 408: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Imani ya Baba Ibrahimu

Warumi 4:16-21.

Page 409: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini, bali akiiona/(akiitazama) ahadi ya Mungu, alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu

utukufu,

Page 410: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.17 … Ibrahimu baba yetu

alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyo

haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

Page 411: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu

katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

Page 412: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.

21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na

uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

Page 413: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.18 Akitarajia yasiyoweza

kutarajiwa, Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa

mataifa mengi,’’ (Hata kabla ya kuona mabadiliko

katika tumbo la Sara)

Page 414: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu

wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika

ulimwengu wa roho.

Page 415: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa ibrahimu kuwaza ushindi na kufikiri vizuri, juu

ya hali ya mke Sara na matarajio yao ya kupata

mtoto, ulitegemea sana na Namna alivyomwona Sara.

Page 416: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno

Page 417: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-20Ukikosea kuona, utakosea

kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,

Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

Page 418: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16-20Kila mtu alimwona Sara bibi

kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama

watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia

vizuri na kumtaja vizuri.

Page 419: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16-20

“Siri ya Ibrahimu”Baba wa Imani

Page 420: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16-20“Siri ya Baba Ibrahimu”

Alimwangalia Sara kupitia katika Neno la Mungu.(Alivaa Mawani ya Neno)

2Petro 1:3-4

Page 421: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16-20Kila mtu alimwona Sara bibi

kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama

watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia

vizuri na kumtaja vizuri.

Page 422: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu

wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika

ulimwengu wa roho.

Page 423: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 1:15-22‘Ninawaombea kwa Mungu, kwamba Macho ya mioyo yenu

yatiwe nuru, mpate kujua;• Tumaini tulilonalo,• Utajiri tulionao,• Nguvu tulizonazo.

Page 424: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.

Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea

namna unavyoona.

Page 425: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Nabii Elisha na Mtumishi

wake 2Wafalme 6:10-17

Page 426: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

2Wafalme 6:10-17Mtumishi wa Elisha aliongea

kwa woga na mashaka, kasababu alikuwa hajaona uhalisi wa mambo katika

ulimwengu wa roho.

Page 427: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

2Wafalme 6:10-17Elisha alipomwombea, Macho

yake ya mwili yakafunguka, akaanza kuangalia na kuona

kwa kutumia macho ya rohoni, jinsi walivyozungukwa na ulinzi

mkali wa malaika wa Mungu

Page 428: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

2Wafalme 6:10-17Maneno yako ni mazao ya mawazo yako; na mawazo yako ni mazao ya mtazamo

wako. Ukibadilisha unavyoona, utawaza tofauti na utaongea tofauti, kwa imani na ushindi.

Page 429: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni Hesabu 13:26-33, 14:1-9

Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu ni ‘chakula’ kwao.

Page 430: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19

Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili

tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiri na

(3)nguvu zilizo ndani yetu.

Page 431: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano 3;

Ushindi wa Yesu wa Pasaka1Petro 3:18-20

Page 432: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea

katika mwili.

Page 433: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Siku ile Bwana Yesu alipoangikwa msalabani, watu waliuona mwili

wake ukining’inia msalabani, lakini hawakuoiona roho yake

ikiondoka kwenda katika ulimwengu wa wafu (kuzimuni).

Page 434: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

18 “Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake ukauwaw,

bali roho yake ikahuishwa”.

Page 435: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

19 “Kwa hiyo (roho yake) aliwaendea roho waliokuwa

kifungoni, akawahubiri (injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu) yaani akawakomboa wale wote

waliofungwa au waliozuiliwa)

Page 436: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

45 “Basi tangu saa 6 mpaka saa 9, palikuwa na giza juu ya nchi yote

46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza sauti yake … 50 (akasema

imekwisha) aliposema hivyo, akaitoa roho yake.

Page 437: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

51 “na tazama pazia la hekalu likapasuka kutoka juu hata chini;

nchi ikatetemeka, miamba ikapasuka, 52 na makaburi

yakafunguka na ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala.

Page 438: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 4:88 “alipopaa juu, aliteka mateka,

akawapa wanadamu vipawa”

Page 439: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Kumbe hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika

ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.

Page 440: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Kumbe mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa

wakati mmoja (ktk dunia moja); Mengine katika ulimwengu wa

mwili na mengine katika ulimwengu wa roho.

Page 441: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Mathayo alitumiwa Paulo alitumiwa na

Mungu kuelezea Mungu kuelezea

Mambo yaliyotokea mambo yaliyotokea

Katika ulimwengu katika ulimwengu

wa kimwili wa kiroho

Page 442: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

1. 1.

Alikuwa Alikuwa Analia. Anashangilia. “Eloi Eloi “akizishangilia ktk

lama sabaktan” msalaba”

Page 443: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

2. 2.

Alikuwa Alikuwa Anateseka Anazitesa. “Naona Kiu” “falme na mamlaka

wakamnywesha siki za giza (shetani)”

Page 444: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

3. 3.

Alivuliwa Nguo Alizivua mamlaka

kwa aibu (uchi) za giza (mashetani)

Page 445: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

4. 4.

Aliaibishwa Aliziaibisha ‘Akafa kifo cha laana ‘akaziharibu na

mateso na aibu sana’ kuzifedhehesha

juu ya msalaba’

Page 446: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

5. 5.

Alikuwa Alikuwa Anashindwa. Anashinda. ‘Akafa kifo cha mateso ‘akaenda kuzimuni

na aibu sana’ kukomboa watakatifu

Page 447: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Kumbe mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa

wakati mmoja (ktk dunia moja); Mengine katika ulimwengu wa

mwili na mengine katika ulimwengu wa roho.

Page 448: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Kumbe hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika

ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.

Page 449: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;

kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza

katika ulimwengu wa kiroho.

Page 450: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.

Page 451: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.

Na uwezo wa kuwaza sawasawa unategemea

namna unavyoona.

Page 452: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,

Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

Page 453: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na

Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na

dhaifu maisha;

Page 454: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika

kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na

vita dhidi ya mtu wa Mungu.

Page 455: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe

utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya

kushindwa na kuzuilika)

Page 456: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na

huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza

kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao

karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).

Page 457: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19

Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili

tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiri na

(3)nguvu zilizo ndani yetu.

Page 458: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni

Mambo yanayoathiri mtazamo (Sight)

Page 459: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

1. Umbali (Yakobo 4:8)Ukiwa mbali na Mungu, matatizo

unayokutana nayo yataonekana makubwa, na utawaza vibaya.

Page 460: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

2. Mwanga (Yohana 8:12)Ukitumia Mwanga wa Yesu kuangazia maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na

matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na

utawaza na kuongea vizuri.

Page 461: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

3. Lense (Warumi 4:19-20)Ukitumia Lense za Yesu kuangazia

maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na matatizo makubwa,

kwako yataonekana madogo na utawaza na kuongea vizuri.

Page 462: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

4. Lishe (1Petro 2:2)Ukiwa na nidhamu ya kula lishe ya Neno la Mungu vizuri, utakuwa na

uwezo wa kuona tofauti na wengine, na utawaza na vizuri.

Page 463: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

5. Kimo (Waefeso 4:11-14)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,

kama chakula katika maisha yako, litakupa uwezo wa kukua kimo

chako kiroho na utaona tofauti na wengine, na pia utawaza na

kuongea vizuri.

Page 464: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1-18

Page 465: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

7. Ngazi (Level) ya Wito

Kutoka 24:1-18 ^ 1st Class

^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

Page 466: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU

NGAZI YA IMANI

Waefeso 4:11-15Usiridhike kuwa mtu wa

Mungu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya

Mungu.

Page 467: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kukua katika Kimo cha Kiimani (Waefeso 4:11-14)

Kwa huduma ya Mitume, Manabii, Wainjilisti, Wachungaji na

Waalimu, waumini tufundishwe na kukua, mpaka kufika katika cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo .

Page 468: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

Page 469: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

1 (Yoh 21:19-24)

3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

– 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

Umati

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

Page 470: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU

NGAZI YA IMANIUsiridhike kuwa mwanafunzi wa

Yesu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya

Mungu; kwasababu Kimo chako cha kiimani, kitasababisha uwezo wako wa kuona sawasawa, uwe

mzuri au mbaya.

Page 471: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUKUA KATIKA KIWANGO CHA IMANI

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi

katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi

katika viwango vyake maalum.Ezekiel 22:30

Page 472: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

6. Dawa (Ufunuo 3:15-18)Ukitumia Neno la Mungu vizuri, kama dawa katika maisha yako,

itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza na

kuongea vizuri.

Page 473: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

7. Upande (1Korintho 3:1-3)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,

litakusimamisha upande wa kiroho (sio wa kimwili), hiyo itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia

utawaza na kuongea vizuri.

Page 474: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

Kuenenda kiroho(Katika Roho)

Wagal 5:16-25, Warum 8:5-121Wakor 1:1-9

Page 475: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KIROHO NA KIMWILI

Rohoni Mwilini

Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya, n.k.

Page 476: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

4(a) Macho ya Rohoni … Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)• Umbali (Yakobo 4:8)• Mwanga (Yohana 8:12)• Lense (Warumi 13:14)• Lishe (1Petro 2:2)• Kimo (Waefeso 4:11-14)• Dawa (Ufunuo 3:15-18)• Upande (1Korintho 3:1-3)

Page 477: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

4 (a) Kutembea kwa Imani Mtazamo

Page 478: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno

Page 479: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu

wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika

ulimwengu wa roho.

Page 480: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.

Na uwezo wa kuwaza sawasawa unategemea

namna unavyoona.

Page 481: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,

Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

Page 482: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi.

a) Macho ya rohonib)Mawazo ya ushindic) Maneno ya Ushindi

Page 483: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (b)Kubadilisha Mtazamo

Mawazoni.(Kuwaza kitofauti)

Mithali 23:7

Page 484: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

4(b) Mawazo ya Ushindi

Mithali 23:7Mawazo yana nguvu ya kutawala mambo yako ya

ulimwengu wa mwili. Jifunze kutawala mawazo yako na kuweka mawazo ya ushindi

katika maisha yako.

Page 485: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 (b) Kubadilisha Mtazamo kutakuwezesha

‘Kuwaza sawasawa na iliyo Kweli’Mithali 23:7

Page 486: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)

ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

Page 487: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo

Page 488: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.

Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea

namna unavyoona.

Page 489: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26-28Kwahiyo, roho (wewe) inabeba

asili ya Mungu; kwasabau imeumbwa/umeumbwa kwa

sura na mfano wa Mungu mwenyewe.

Page 490: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Page 491: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

4(b) Mawazo ya Ushindi

Mithali 23:7Mawazo yana nguvu ya kutawala mambo yako ya

ulimwengu wa mwili. Mafanikio katika maisha yanategemea pia namna

unavuojiwazia.

Page 492: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano; Gideon na Mawazo Dhaifu

Waamuzi 6:1-16

Page 493: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo

alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za

Mungu ndani yake.

Page 494: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye

alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona

MTUMWA.

Page 495: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na

akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa

ndani yake ziliingia kazini (ON).

Page 496: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona

na kujiwazia (kitumwa).

Page 497: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote

ya kibinadamu.Wamidian 30,000 : 300 Waisrael

Wamidian 100 : 1 Waisrael

Page 498: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)

ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

Page 499: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako

yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na

kutawala mazingira ya kimwili.

Page 500: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu

ya kuumba!Mithali 18:20-21

Page 501: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za

Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni

kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi

katika utu wetu wa ndani. (katika roho zetu).

Page 502: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.

Na uwezo wa kuwaza sawasawa unategemea

namna unavyoona.

Page 503: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu

wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika

ulimwengu wa roho.

Page 504: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

4(b) Mawazo ya Ushindi

Mithali 23:7Mawazo yana nguvu ya kutawala mambo yako ya

ulimwengu wa mwili. Jifunze kutawala mawazo yako na kuweka mawazo ya ushindi

katika maisha yako.

Page 505: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Kuna wakati, katika baadhi ya

mambo, Utendaji kazi wa Nguvu za Mungu katika kuzuia

mateso ya shetani unategemea sana namna

unavyowaza (imani).

Page 506: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo hasi (negative) yasio na Imani

unaweza kuzuia msaada wa Mungu katika maisha yako ya

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

Page 507: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo chanya

(positive) yenye Imani unaweza kuruhusu msaada wa Mungu katika maisha yako ya

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

Page 508: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu

pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa

ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na

binadamu katika kutawala dunia.

Page 509: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hosea 4:6Watu wangu wanaangamia kwa

kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe

umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.

Page 510: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4(b) Mawazo ya Ushindi

Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu,

mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’

Page 511: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya Ushindi

Waefeso 4:21-23, 24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa

kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika

roho ya nia zenu (nafsi zenu)’

Page 512: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4(b) Mawazo ya Ushindi Mithali 23:7

‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’

(Rum 12:2, Efe 4:20-24)

Page 513: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu

ya kuumba!Mithali 23:7, Mithali 18:20-21

Page 514: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.

Na uwezo wa kuwaza sawasawa unategemea

namna unavyoona.

Page 515: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,

Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

Page 516: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno

Page 517: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

5. Kubadilisha Maneno

(a)Kukiri Ushindi na Baraka(b)Kamuru Mabadiliko

Waebrania 4:12-13

Page 518: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai,

tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta

mabadiliko)

Page 519: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(Waebrania 11:3)

‘Imani yenye Nguvu ya kuhamisha milima,

huzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.

Page 520: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:3,‘Nasi twajua ya kuwa,

Ulimwengu uliumbwa kwa Neno, hata vitu

vinavyoonekana viliumbwa kwa vitu visivyoonekana.’

Page 521: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye Pumzi /Uvuvio /Roho wa Mungu, lafaa kwa kuleta

mabadiliko ya tabia/mwenendo.’

(mafafanuzi yameongezewa)

Page 522: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA NENO

2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu

Page 523: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU YA NENO

2Kor 3:6; Yoh 6:63

‘Roho ndio itiayo uzima; Maneno yangu ni Roho

nayo ndio Uzima’

Page 524: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la

Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie

Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.

Page 525: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

5 (a).

Kukiri Baraka na Ushindi

Marko 11:23-24Mithali 18:20-21

Page 526: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakutaka ukiri maneno ya ushindi, ili aanze uumbaji wa jambo lako katika ulimwengu

wa mwili kama alivyakamilisha uumbaji wa jambo lako katika

ulimwengu wa roho.

Page 527: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;

mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).

Page 528: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

(23) Amini Amini nakwambia, mtu yeyote atakayeuambia

mlima huu ng’oka, ukatupwe baharini, wala asione shaka

moyoni mwake, …

Page 529: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24 (23) … bali aamini kwamba hayo

uyasemayo (tayari) yametukia (hata kama huyaoni), hapo

ndipo yatakuwa yake (yatadhihirika) katika

kuonekana na kushikika.

Page 530: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Mithali 18:20-2120 “Tumbo la mtu

hujazwa matunda ya kinywa chake,

hushibishwa mazao ya midomo yake”

Page 531: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Mithali 18:20-2121 “Mauti na Uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na

wale wautumiao, watakula matunda yake”

Page 532: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Baada ya kupata uhakika (imani) ndani yako, na

kubadili mtazamo wa kufikiri kwako, badilisha pia namna

unavyoongea (maneno yako).Wakorintho 4:12

Page 533: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Wakorintho 4:12 Lakini kwakuwa tuna roho

ile ile ya imani; kama ilivyoandikwa, niliamini, na kwasababu hiyo, nalinena;

sisi nasi twaamini, na kwasababu hiyo, twanena.

Page 534: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Luka 6:45Kwa kuwa, mtu huyanena

yale yaujazayo moyo wake. Mathayo 12:34

Page 535: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani ya Ushindi

Luka 6:45Mtu mwema, katika hazina

njema ya moyo wake, hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu, katika hazina mbovu ya moyo

wake, hutoa yaliyo maovu;

Page 536: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

5(b).

Kuamuru Mabadiliko

Mathayo 16:19,18

Page 537: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Mathayo 16:19,1819 ‘Mambo mtakayoyafunga

(ninyi) duniani, yatakuwa yamefungwa na mbinguni

(mbingu zilizo juu, zitaingia kuyafunga pia;)’

Page 538: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Mathayo 16:19,1819 ‘na mambo mtakayo-

yafungua (ninyi) huku duniani, yatakuwa yamefunguliwa na mbinguni pia (mbingu zilizo

juu, zitaingia kuyafungua pia;)’

Page 539: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Mathayo 16:19,18

18 ‘na Kanisa langu nitakalolijenga juu ya msingi

huu, milango ya kuzimu, haitalishinda.

Page 540: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la

Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie

Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.

Page 541: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa

wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao

wanamiliki dunia.’’

Page 542: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Mfano;Utabiri (Uamuru) wa

Nabii EzekieliEzekieli 37:1-14

Page 543: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”

ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde

lililozika wafu wa kivita.

Page 544: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Kuna wakati, ili nguvu za

Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani, ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au

kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika.

Page 545: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Mathayo 16:19/18:18

Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani (mwilini)

yatafungwa pia mbinguni (rohoni) …

Page 546: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Mathayo 16:19/18:18

Mambo mtakayoyafungua (ninyi) duniani (mwilini),

yatakuwa yamefungwa pia mbinguni (rohoni).

Page 547: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

1Kor 3:9 Rum 8:28Sisi ni watenda kazi pamoja na

Mungu duniani; na katika mambo yote, Mungu hufanya

kazi pamoja na wale (watu) wampendao, katika kuwapatia

mema (baraka/ushindi).

Page 548: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

1Kor 3:9 Rum 8:28Mungu anaweza kufanya kila

kitu pasipo msaada wa binadamu, na alishafanya mengi; lakini alichagua tu

kufanya kazi pamoja na sisi.

Page 549: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Mwanzo 1:26-28 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, ili (wao

binadamu) ndio waende wakatawale dunia na vyote

viijazavyo.

Page 550: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Isaya 45:11Haya ndiyo asemayo Bwana

Mwenyezi; niulizeni habari za mambo yajayo, na Kwa habari

ya kazi za mikono yangu, ‘haya niamuruni’.

Page 551: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”

ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde

lililozika wafu wa kivita.

Page 552: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Yohana 11:1-39-45Mungu anatuonyesha

kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa

nguvu za Mungu maishani mwetu.

KUAMURU MATOKEO

Page 553: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh 2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)• Mfungueni Sanda (Yoh

11:44)

KUAMURU MATOKEO

Page 554: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la

Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie

Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.

Page 555: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya UshindiBaada ya kuumba jambo

pamoja na Mungu kiroho (kama Makuhani) Mungu atasubiri tufanye sehemu yetu pia ya

kuamuru (kama Wafalme) ili na yeye afanye sehemu yake, ya kuumba jambo hilo kimwili.

Page 556: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Hii ni kwasababu Mungu ameweka USHIRIKA kati yake na sisi Binadamu, katika kumiliki na kutawala

mambo ya dunia.

Page 557: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya UshindiMtu wa Mungu asipofanya

sehemu yake, hali hiyo itamzuia Mungu kufanya sehemu yake.

‘Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani, na Mungu atayafunga mbinguni …’

Mathayo 16:19

Page 558: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya UshindiKumbe Mtu wa Mungu

asipofafunga mambo hayo, Mungu atazuilika kuyafunga,

hata kama alitaka kuyafunga. ‘Mbingu ni mbingu za Bwana, bali NCHI (Dunia) amewapa Wanadamu.’ (Zaburi 115:16)

Page 559: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Kuna wakati, ili nguvu za

Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani, ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au

kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika.

Page 560: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Maombi (1) Maombi (2) “Kuumba” mnayapokea “Kufungulia” (sasa)

Kupata IMANI yatakuwa

Neno (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

Page 561: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Kusifu, Kuabudu na

Kushukuru2Nyakati 20:1-30

Matendo 16:13-25-36

Page 562: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

2Nyak 20, Mdo 16Kumsifu, Kumshukuru na

Kumwabudu Mungu, (hata kabla ya kuona majibu ya

maombi yako) kunafungulia nguvu za Mungu, kwa namna

ya ajabu …

Page 563: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

2Nyak 20, Mdo 16… ili kuvunja upinzani wote katika ulimwengu wa roho.

unaozuia baraka zako kushuka katika ulimwengu

wa mwili.

Page 564: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

2Nyakati 20:1-31Hata kabla ya kufika kwenye

uwanja wa vita, Mfalme Jehoshafati na jeshi la Israeli,

walimsifu na kumwabudu Mungu, kwa imani kwamba

atawashindia vita ile.

Page 565: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Matendo 16:16-31 Hata kabla ya kuona muujiza

wao wa kutoka gerezani, Paulo na Sila, waliimba na kumwomba Mungu, kwa imani kwamba atawatoa

katika gereza lile.

Page 566: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Yesu;

Yesu aamwamuru magonjwa kwenda kutoa

Sadaka ya shukurani kabla ya kuona uponyaji.

Luka 17:11-14-19

Page 567: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

2Nyak 20, Mdo 16Mtu anaweza kumshukuru na

kumsifu Mungu, 1.Kwa njia ya uimbaji2.Kwa njia ya maneno 3.Kwa njia ya sadaka.

Page 568: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

Zaburi 50:23‘Atoaye dhabihu [sadaka]

za kushukuru, ndiye anayenitukuza.’

Page 569: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

2Nyak 20, Mdo 16Baada ya Kupata Uhakika

(Imani) hatua nyingine muhimu itakayoachilia

majibu yako katika ulimwengu wa mwili, ni

kusifu na kumshukuru Mungu

Page 570: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

2Nyak 20, Mdo 16Hatua ya kuanza kumsifu na

kumshukuru Mungu, ni namna nyingine ya mtu wa

Mungu kufanya ukiri wa ushindi, kwa imani, kabla ya

kuona mabadiliko yoyote.

Page 571: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

2Nyak 20, Mdo 16Kumsifu, Kumshukuru na

Kumwabudu Mungu, (hata kabla ya kuona majibu ya

maombi yako) kunafungulia nguvu za Mungu, kwa namna

ya ajabu …

Page 572: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Imani ya Ushindi

2Nyak 20, Mdo 16… ili kuvunja upinzani wote katika ulimwengu wa roho.

unaozuia baraka zako kushuka katika ulimwengu

wa mwili.

Page 573: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7. Kufanya Tendo la

Imani.Yakobo 2:17-18

Page 574: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili

pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,

pia imekufa.

Page 575: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIYakobo 2:17, 26

Baada ya kupata Uhakika (Imani) Mungu atakutaka uiingize imani

yako katika matendo, ili kuachilia NGUVU za Mungu, kuumba

ukamilifu wake katika maisha yako, kwenye Kimwili.

Page 576: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Mfano;

Uponyaji wa Kilema Hekaluni, Mlangoni.

Matendo 3:1-10

Page 577: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

Uponyaji wa Kilema huyu, ulishaumbika katika ulimwengu wa roho, na Petro na Yohana,

walishuhudiwa hilo; ndio maana walimwambia asimame na

kutembea.

Page 578: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

Petro alipoona huyu mtu anachelewesha uponyaji wake,

kwa kutofanya kitendo alichoambiwa; Petro alijua

Muujiza huu unaweza kupotea, kwasababu ya kutoamini kwake.

Page 579: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

Ndio maana Petro akalazimika kumkashika mkono na

kumnyanyua na kumtembeza, (aiingize imani katika matendo)

ili kuruhusu utendaji kazi wa Nguvu za Mungu, katika mwilini.

Page 580: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

Kule kujaribu kutembea na kupepesuka kwa huyu kilema,

kuliruhusu Nguvu za Mungu kuanza kazi ya ukamilifu wa

miguu yake, kwasababu, Imani imeingizwa katika matendo.

Page 581: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

Ajabu ni kwamba, Nguvu za Mungu, hazikuachiliwa kukamlisha muujiza ule,

katika ulimwengu wa mwili, mpaka imani ilipoingizwa

katika matendo.

Page 582: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

Pamoja na kwamba, tayari jambo hilo limekwisha

kukafanyika katika Ulimwengu wa roho, lakini kitu cha ajabu ni kwamba …

Page 583: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

… Nguvu za Mungu, hazikuachiliwa kukamlisha

muujiza ule, katika ulimwengu wa mwili, mpaka

imani ilipoingizwa katika matendo.

Page 584: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIWaebrania 11:3

Ni utaratibu wa Mungu kutenda mambo duniani kwa

kufuata kanuni zile mbili alizoziweka yeye duniani, ili

kutimiza kusudi lake na mapenzi yake kwetu.

Page 585: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)

Page 586: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu

(sasa) (baadaye)

Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili

Page 587: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO NA ZA KIMWILI

Mfano;

Uumbaji wa DuniaMwanzo 2:4-5, 15

April 21, 2023

Page 588: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 2:4-15‘Siku ile Mungu alipoumba mbingu na nchi, hakukuwa

na mche wa kondeni, kwasababu mvua ilikuwa haijanyesha na hakuwepo

binadamu wa kuilima ardhi’April 21, 2023

Page 589: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 2:4-15‘Bwana Mungu akamuumba huyo mtu, akamweka katika

bustani, ili ailime na kuitunza.

April 21, 2023

Page 590: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kanuni za Maisha ya Ushindi

Mwanzo 2:4-15

Neno Kilimo Miche (roho) (mwili) (Mtu)

Roho + Kibebeo AdamApril 21, 2023

Page 591: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 12:1-3‘Bwana Mungu akamwambia

Ibrahimu, Nitakubariki sana hata kukufanya wewe uwe baraka. Nitalikuza jina lako, na mataifa

yote yatabarikiwa kupitia wewe’.

April 21, 2023

Page 592: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 13:1-32 ‘Naye Ibrahimu akawa tajiri sana, katika mifugo, na katika

fedha na katika dhahabu’.

April 21, 2023

Page 593: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 12:1-3, Mwanzo 13:1-2

Neno Ufugaji Mafanikio(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)

Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023

Page 594: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 26:1-5, 12-131-5 ‘Bwana Mungu akamwambia

Isaka, hakika nitakubariki kwasababu ya ibrahimu Baba yako na ahadi zake juu yake.

April 21, 2023

Page 595: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 26:1-5, 12-1312 ‘Naye Isaka akapanda mbegu, katika nchi ile, akapata mwaka

ule, vipimo mia (100) kwa kimoja (1) na bwana

akambariki’.April 21, 2023

Page 596: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 26:1-25

Neno Kilimo Mafanikio(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)

Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023

Page 597: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 28-32Yakobo akaenda Kuajiriwa kwa

Mjomba wake Labani; naye akastawi na kuongezeka sana

katika, kondoo, ng’ombe, ngamia, punda na farasi.

April 21, 2023

Page 598: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 28-30

Neno Ajira Mafanikio(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)

Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023

Page 599: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-BibliaMwanzo 1:26-28, Mwanzo 2:4-15Baraka za Mungu katika maisha

yetu, zitadhihirika katika ulimwengu wa mwili (kutoka

katika ulimwengu wa roho) pale tutakapochukua hatua ya

kufanya kazi na kuwa wazalisha mali (productive).April 21, 2023

Page 600: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 2:4-15

Neno Uzalishaji Mafanikio(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)

Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023

Page 601: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Uchumi wa Ki-Biblia

Mwanzo 2:4-15

Imani Matendo Matokeo(Kiroho) (Kimwili) (Mafanikio)

Baraka + Kibebeo UshindiApril 21, 2023

Page 602: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

Ajabu ni kwamba, Nguvu za Mungu, hazitafunguliwa

kukamlisha muujiza yetu, katika ulimwengu wa mwili,

mpaka imani ilipoingizwa katika matendo.

Page 603: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

Pamoja na kwamba, tayari jambo hilo limekwisha

kukafanyika katika Ulimwengu wa roho, lakini kitu cha ajabu ni kwamba …

Page 604: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

… Nguvu za Mungu, hazikuachiliwa kukamlisha

muujiza ule, katika ulimwengu wa mwili, mpaka

imani ilipoingizwa katika matendo.

Page 605: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili

pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,

pia imekufa.

Page 606: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANIMatendo 3:1-10

Baada ya kupata UHAKIKA (Imani) moyoni, Roho wa Mungu

(Msaidizi wako) atakuongoza kufanya tendo la imani; hii ni

kanuni ya kukamilisha utendaji wa Mungu duniani.

Page 607: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Ibrahimu;

Kubadili Majina yao,Abramu – Ibrahim

Sarai – Sara Mwanzo 17:1-22

Page 608: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Ibrahimu;

Kujenga Banda la Mifungo mara baada ya kupata

Uhakika (Imani) ya Baraka na Mafanikio

Mwanzo 17:1-22

Page 609: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Isaka;

Kupanda Mbegu shambani, baada ya

kupata Uhakika (Imani) ya Baraka na Mafanikio

Mwanzo 26:1-12-33

Page 610: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Yakobo;

Kwenda Kutafuta Kazi (Ajira) baada ya kupata

Uhakika (Imani) ya Baraka na Mafanikio

Mwanzo 28:1-22

Page 611: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya;

Kutawanya Mkutano kabla ya ishara yoyote ya

mvua kuonekana1Wafalme 18:41-43

Page 612: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Yesu;

Kuamuru Wagonjwa Kutoa Sadaka ya

shukurani kabla ya kuona uponyaji.

Luka 17:11-14-19

Page 613: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Mitume;

Kuamuru Kilema Kutembea kabla ya

kuona uponyaji.Matendo 3:1-10-16

Page 614: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mifano Mingine mbalimbali;Kununua nepi na beseni kabla ya

kuona dalili za mimbaKununua suti ya harusi kabla ya

kumpata Bwana ArusiKujenga gereji ya gari kabla ya

kupata gari

Page 615: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mifano Mingine mbalimbali;Kutoa Sadaka ya Shukurani,

kabla ya kuona ushindi katika ulimwengu wa mwili.

Kuthubutu kutembea na kutenda kazi kabla ya kuona uponyaji kimwili.

Page 616: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Hatua za Imani Timilifu(1)Kulipata Neno (Warumi 10:17)(2)Kuatamia Kimaombi (Yak 5:16-18)(3)Kupata Uhakika (Mrk 11:23-24)(4)Kubadilisha Mtazamo (Efe 1:18-19)(5)Kuamuru na Kutabiri (Ezk 37:1-14)(6)Kumsifu na Kushukuru (Luk 17:14)(7)Kutenda kwa Ujasiri (Yak 2:17-18)

Page 617: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi

maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo

vizuri vya kumwabudu Mungu.

Page 618: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

Page 619: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutokana na umuhimu na unyeti wa ibada, Mungu

hakutaka na hataki watoto wake, tuwe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na

maisha ya shida; ili ibada yake isiingiliwe na vurugu zozote.

Page 620: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

Page 621: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa

sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18

Page 622: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka, na maisha

yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka.

Kumbukumbu 8:6-18

Page 623: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira yake, ili

kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa

binadamu, duniani.

Page 624: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,

litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na

milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”

Page 625: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili

muweze pupambana na hila za mwovu shetani.

Page 626: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-43-4 Mungu ametupa uweza

wake (nguvu zake) ili kwa hizo tuweze kubeba asili ya Uungu, kuushinda uharibifu

ulioko duniani.

Page 627: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

Yohana 16:33 33 Ulimwenguni mnayo dhiki,

lakini, jipeni moyo, kwakuwa mimi nimeushinda

ulimwengu; [nanyi pia mtashinda ulimwengu].

Page 628: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako

ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

Page 629: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Rum 1:17, Zab 84:7, 2Kor 3:18“Kutoka Kiwango hata Kiwango”

Kanuni = Imani = NguvuMath 13:31-32 Math 17:19-21 Efe 3:20

NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO

Page 630: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

NGUVU LA NENO LA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani

mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi

ndani yako.

Page 631: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Mafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa

Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la

Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive

Dar es Salaam.

Page 632: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654  mgisamtebe

Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe

(Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654+255 783 497 654+255 753 497 655

www.mgisamtebe.org