24
Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogo Kutokana Na Maajabu, Mapendo, na Sifa: Kuchangia Maono ya Kanisa Imetayarishwa na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani na Kanisa Methodiste Umoja kwa kuitikiya hatuwa ya Mkutano Mkuu wa 2016, maombi ya #6033.

Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

  • Upload
    others

  • View
    15

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Mwongozo wa

Masomo ya Kikundi Ndogo

Kutokana Na

Maajabu, Mapendo, na Sifa:

Kuchangia Maono ya Kanisa

Imetayarishwa na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani

na Kanisa Methodiste Umoja kwa kuitikiya hatuwa ya

Mkutano Mkuu wa 2016, maombi ya #6033.

Page 2: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Utangulizi Ku kipindi cha miaka inne cha 2008, Komiti ya Methodiste Umoja ya Maneno na Mwenendo ya Imani ya Kanisa

ilipokeya ombi kutoka ku Baraza la Baaskofu ili kutayarisha karatasi mupya ya masomo ya kitheolojia juu ya

masomo ya makanisa—yani, uwelewa wa kitheolojia wa kanisa lenyewe. Kwa kuitikiya ombi hili, karatasi ya

bruyon yenye kichwa Maajabu, Mapendo, na Sifa: Kuchangia Maono ya Kanisa kume endelezwa. Hutarajiwa

kusaidiya batu bote ba Kanisa Methodiste ya Umoja katika kuweza kupata maono yenye uwazi sana, na ya kuelewa

sana juu ya uhalisia wa kanisa, na kuyaweka maisha yetu na kazi kama batu ba Methodiste ya Umoja mu ya muktaza

wa maono hayo. Kunahusisha urizi zetu za Wesley, huku kukiwa na utamaduni ba Bakristo yenye ilikita mizizi mu

ya ushuhuda wa maandiko, na mazungumzo ya kisasa juu ya mambo ya umoja wa madini.

Ni tumaini la komiti kuwa, nyuma ya kipindi cha masomo, ugeuzi, na kutafakari kutakako ishia mu masaisho yoyote

na maboresho mengine yenye itapatikana kuwa yenye manufaa, karatasi hii ya sasa huweza kufanyika kandokando ya

kauli nyingine rasmi za kitheolojia za kanisa. Kama hatuwa ya kuelekea katika utambuzi wa Mukutano Mkuu wa 2016

yenye iliMahubirishwa na uamuzi yenye ilichapishwa hapa chini.

Mwongozo huu ni “mwongozo wa masomo na majibu ya mbiombio” yenye ilitajwa mu ya kipengele cha kwanza

kitakachotumika mu “masomo yenye hutokana na batu baamini ba usomaji wa Kanisa la Methodiste umoja” iliotajwa ku

kipengele cha pili, au masomo yenye hufaa ya kikundi dogo.

Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa hupendekeza kipindi cha masomo ili kuchangamsha na kusaidia

kutafakari kwa kitheolojia kotekote mu kanisa juu ya utambulisho na misheni ya Kanisa Methodiste ya Umoja.

Hatuwa ya masomo na majibu mu kipindi cha myaka inne kye khukuya kitahusisha elementi hizi:

1. Karatasi ya mafunzo juu ya masomo ya kanisa lenyewe itaweza kupatikana mu mutandao kupitiya

www.umc.org, www.gbinaem.org, na www.gbod.org pamoya na muhtasari wa masomo na mwongozo wa mwitikio ili

kuratibu masomo ya karatasi. Karatasi hizi zitaweza kutafsiriwa mu lugha ya Mukutano Mukuu.

2. Kila askofu mkazi atalombwa kupangiliya masomo yenye hutokana na baamini ba masomo ya Kanisa ya

Methodiste ya Umoja kati ya Juni 2016 na Disemba 2017 na kuhusisha baleyi kumi ku miya na byongozi ba kanisa mu

eneo lake la kiaskofu. Mali za masomo hii zitaweza kutolewa na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa.

3. Maitikiyo itatafutizwa kutoka mu bikundi mahususi yenye huweza kuwa na utaalamu fulani mu masomo ya

kanisa lenyewe, ikiwa na: kitengo cha masomo cha semhuri za Methodiste Umoja na shule ya theolojia, bafanyakazi

ba wakala mkuu, banatheolojia ba kushirikiana na Methodiste; na bakubwa bengine benye balichaguliwa wa makanisa

mengineyo.

4. Batu bote ba Methodiste ya Umoja bataalikwa na kuhimizwa kuweza kutoa maoni juu ya masomo ya makanisa

mengine ya Methodiste Umoja.

5. Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa itaweza kuunda mienendo ili kutafuta na kupokea majibu

hii.

6. Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa itawajibikia upima wa mchakato wa masomo na kutilia

maanani majibu yenye ikokelewa na itaweza uchukuwa hatuwa yenye hufaa ku Mukutano wa Mwaka 2020. Komiti ya

Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa itatuma ku Mukutano Mkuu wa 2020 karatasi ya mafunzo ya kiteknolojia

juu ya mambo ya makanisa mengine kwa kwa ajili ya uitikiwaji kama karatasi rasmi ya kanisa, ikilinganishwa na Kwa

Maji na Roho na siri Hili Takatifu.

Imeitikiwa na Mukutano Mkuu wa 2016 wa Kanisa Methodiste ya Umoja mu Mei 19, 2016.

Page 3: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kutayarisha Kuongoza Masomo

Nani Anafaa Kushiriki

Masomo hii imeundwa ili kutumika mu bikundi madogo ku mseto wa mazingira. Hii huweza kuhusisha bikundi yenye iko

kama vile madarasa ya shule ya siku ya Mungu ya batu wazima, bikundi ya siku za juma, na banaume na Banamke ba

Methodiste ya Umoja. Bamoya bamoya makanisa huweza kutaka kutumiya masomo hii yenye huhusu kanisa kwa upana,

kuunda namba ndogo sana ya batu benye banatimiza mseto wa wa nyakati juu ya kipindi cha juma inne.

Masomo ni ya vikao inne kwa urefu, huku kikao kimoja kikiwa na takribani saa moja na nusu. Bikundi mingi sana bitataka

kukutana kila juma, ingawaje huwezekana kutumia makala hii mu ziyara ya wikendi au kuipanua sana ku kipindi cha muda

mrefu sana. Bikundi kama vile ya madarasa ya shule ya siku ya Mungu ya batu wazima yenye huweza kuwa na muda wa

kukutana wa chini ya saa moja huweza kutaka kuchukuwa juma mbili kwa kila kikao.

Kwa Nini Unafaa Kuongoza

Kwanini unafaa kuongozwa na “mtaalamu wa yenye ilimo,” ingawaje huweza kuwa njia ya kamili na labda mchungaji wa

kanisa ataongoza vikao hivi. Kiongozi anahitaji kubali kufanya matayarisho fulani mapema mbele ya kila mukutano, ili

kuratibu mazungumzo ku kikao, na kupangilia kufikishwa kwa kazi hiyo ku mwisho wa masomo.

Nini inafanyikaka Mu Kikao

Vikao inaanzaka na kutafakari kuhusu Maandiko yenye huhusiana na mambo yenye ita zungumziwa. Kila kikao kuchanga

kusoma bataalamu kutoka ku karatasi, Maajabu, Mapendo na Sifa: Kuchangia Maono ya Kanisa. Bataalamu hizi zhuunda

“Makala ya Mshiriki” kwa kila kikao na zhufaa kuchapishwa kwa kwa ajili ya kusambazwa katika kila mukutano. Huku

ikitumainiwa kuwa bashirika batasoma karatasi yote nje ya darasa, haichukuliwi kuwa abo batasoma “Makala ya Mushiriki”

mbele ya kikao chenye kitazungumziwa.

Kuongezeya ku makala ya kusoma, mwongozo wa kiongozi unapendekeza shughuli za kusoma zenye zitasaidia bashiriki

kuchakata kile chenya bamesoma na kufanya miunganisho na muktaza abo wenyewe. Video za utangulizi za kila kikao

kinapatikanaka ku www.umc.org/CFOWonderLovePraise. Video hizi zinapatikanaka ili kufululiza ku YouTube au kupakuwa

ku mtambo. Zipo tu mu lugha ya Kingereza na zinanuiwa tu kuongezeya yale masomo banayopata. Masomo imeundwa

kufanya kazi bila ya matumizi ya video kama hizi hazitapatikana au kuwa zenye manufaa mu muktaza wako.

Piya, kila kikao khuhusishwa mapendekezo kwa bale benye banapenda kufanya mengi sana kwa khu mu masomo yabo

binafsi.

Kusudio la masomo si tu kusaidia bashiriki kufikiri kwa khu juu ya maumbile ya kawaida lakini pia kusaidia Komiti ya

Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa mu kuimarisha karatasi yenye mazungumzo ya pande zote mbili yenye ita pelekwa

Mu Mukutano Mukuu 2020. Kama itaizanishwa na Mukutana Mukuu, karatasi itakuwa kauli rasmi ya Methodiste Umoja

kuelewa masomo ya makanisa. Hii ndiyo sababu yenye inafanyaka kila kikao kuhusisha muda wa upima yenye itafahamisha

mukusanyiko wa mwisho na wasilisho la maoni mu mwisho wa masomo. Maoni yenye itakusanywa itakuwa yenye samani

sana ku kusaidia komiti kuunda kauli hii fasiri.

Namuna ya Kuwasilisha Maoni

Ku Mwisho wa kila kikao, Bashiriki bataombwa kujibu maulizo mawili ya kimsingi ya kipima na kunakili majibu yabo mu

kitabu rahisi au bruyon. Nakala hizi zinafaa kutumika wakati wa kujibu yale maulizo ya maoni pindi tu batakapo kamilisha

masomo. Maagizo ya kuwasilisha maoni huweza kupatikana ku mwisho wa karatasi hii, nyuma ya ya kikao cha makala

mainne. Kama itawezekana, tunalomba kuwa maoni yaripotiwe kupitiya uchunguzi wa mtandaoni (lugha ya Kingereza pekee)

yenye hupatikana ku www.umc.org/CFOWonderLovePraise. Hata hivyo, kama hivi havitawezekana kwako au ku kikundi lako

unaweza kujibu tu maulizo yale ya majibu yenye ilichangana ku mwisho wa masomo na kuyatuma kupitiya barua pepe kuu

[email protected].

Bamember binafsi ba darasa banaweza kutoa michango mahususi ku komiti. Kuhimiza batu haba kutuma barua pepe

yenye ili na maoni yabo moja kwa moja ku kikao cha kwanza [email protected].

Page 4: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kikao cha Kwanza: Makala ya Mushiriki

Kujitolea maalum Kwa Methodiste Umoja juu ya Kanisa

Jamii za Imani ya Bakristo zenye zilikuja kwa pamoja mu 1968 ilikuliunda Kunisa Methodiste la Umoja ziliweza kuwa na

bamoya bamoya ba kujitoleya maalum kunakoendelea kupatiya nguvu na kuongoza maisha na ushuhuda wake. Miongoni mwa

kujitolea huku ni mapendo ya kuokoa ya Mungu yenye humaanisha na kugusa batu bote, si tu bale bachache benye kibali;

yaani mapendo ya kubadilisha; na ni mapendo ya kuunda-jamii.

Mapendo ya kuokowa ya Mungu Kuwa Ya Batu Bote

Mungu ni Mwokozi Wetu . . . kila mumoja anatamani kuokolewa na kuja kwa ufahamu wa ukweli (1 Timoteo 2:3-4).

Mu kuzungumzia 1 Timoteo 2:4 mu Nakala za Ufafanuzi Juu ya Agano Jipya, John Wesley anatilia mkazo kuwa banadamu

bote banachangana mutamanio la Mungu, na anatilia maanani pia kuwa Mungu hawashawishi batu kwenda sambamba na

tamanio lake.

Imani ya Mungu yenye hurefushwa kwa batu bote haikosi kutilia maanani uhuru wa binaudamu, lakini hu upatia nguvu ili

wokovu wetu huku ukiwa kwa ujumla zawadi unahusisha kushiriki kwetu kwa uhuru. Hoja hizi mbili juu ya uduniya wa

mapendo ya kuokowa ya Mungu hurudiwa kote kote mu maandishi ya Wesley na kuingizwa kati ya huduma yake. Balikuwa

muhimu mu uelewa wa Wesley wa injili na nguvu za kikikundi lenye alihemusha, na kubakia sehemu muhimu ya utetezi wa

Methodiste.

Mapendo ya kuokowa ya Mungu ni ya Kubadi

Ili kutumiya lugha yenye hueleweka na Wesley, kama neema ya mungu hukubalika mu imani, huleta bitu byote bya utetezi,

urejeshi wa uhusiano sawa na Mungu, na utakasaji, upatiaji nguvu mupya uwepo wetu halisi.

Kyenye ina uzabo mupya. Mapendo ya Mungu kwetu sisi hukuwa mapendo ya Mungu mu yetu sisi. Kwa maneno ya

mtume Paulo, “Kupitiya kwa uhuru Kristu ametuachiliya kuwa huru” (Wagalatia 5:1), na kuweza “kuitwa kwa kwa ajili ya

uhuru,” tunafaa “kuishi kwa Roho,” kumaanisha kuishi kwa mapendo ya Mungu yenye hutuwezesha kuweka kando “kazi za

mwili” na kuweza kuzaa “matunda ya Roho... mapendo, furaha, amani, subira, upole, ukarimu, uaminifu, utulivu na

kukumbatia nafsi” (Wagalatia 5:13,16,19, 22-23).

Kilele cha maubiri ya John Wesley, na mahubiri na ushuhuda wa batu benye banaitwa Methodiste kupitiya miaka, ni kuwa

mabadiliko kama hii yenye uzoefu, ya hapa-na-sasa juu ya maisha ya mbanadamu na nguvu za Roho Mtakatifu ni kweli.

Mapendo ya kuokowa ya Mungu huunda jamii

Mabadiliko yenye ilifafanuliwa tu hapa karibu ni kwa maumbile yake mwenyewe mabadiliko ya mahusiano yetu na batu

bengine. Ni kupitia batu bengine njo tunapopitiya mapendo ya Mungu; ni pamoya na bengine njo ruwaza ya maisha mapya

yenye kupewa na Mungu hufunzwa na kuzidi. Maelezo mengi ya Agano Jipya ya kanisa huanziya ku ule uzoefu wa Bakristo

ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi ba kando benye banapitia

mapendo ya Mungu ya kuokowa na kisha kushugulika juu ya kubatafuta batu bengine benye kubasaidia kuunda kikundi.

Kanisa lhukuwepo juu ya Roho wa Mungu kutuongoza sisi mu jamii— pengine na batu benye hatutatarajii kabisa kushirikiana

nabo—kama kiini chenyewe cha wokovu wetu.

Kuwa jamii yenye iliundwa na Roho hukuwa mu ya mawazo wenye tunaingila mu maisha mapya yenye Mungu kutupatia

sisi. Ni jamii yenye tunafikila kila mara na hurefushwa mu bamemba bake, benye baliwezeshwa na Roho, kutoa zawadi ya

jamii kwa batu bengine na vinginevyo kupokea zawadi. Katika Roho huyo huyo, Wesley na batu bengine baliunganishwa na

yeye na bakajipata bakisonga sana ya mambo ya kawaida yenye ilianzishwa juu ya tabiya ya kanisa na magumu za kanisa

kupitiya mufano abo binafsi, kuunda zawadi kamili sana ya Mungu mujamii. Hivyo basi muunganisho ulichukuwa mtazamo

mupya wa maana, kama kile Wesley aliita utakatifu wa kijamii—ukuzi mu ya mapendo na matunda mengine ya Roho yenye hu

wezekana kupatikana mu jamii—yalitambulika muhali na mazingira mapya.

Kubali huku kuzidi mipaka ya mazoeya kwa madarasa na utamaduni katika kufuatilia zawadi ya Mungu ya jamii, anasema

mbana historia wa Methodiste Umoja Russell Richey, akizungumzia umuhimu wa misheni ya tabia ya ule uunganisho.

Kwanzia mwanzo, muunganisho ulisimama imara mu huduma ya misheni, ukitilia maanani kila zana ya maisha ya pamoja ya

Methodiste—kwanzia ku muundo mpaka kanuni mpaka nizamu—mpaka katika uinjilisti na kusudio la kubadilisha maisha.1

Page 5: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Pamoya, kujitoleya huku kuliunda uwelewa wetu wa Methodiste Umoja juu ya vile ilivyo mukanisa sasa. Njia

zenye wamekuja kuonyesha mu historia yetu zhurekodi kwa sehemu fulani njia zetu fulani za kuwepo kwa kanisa,

mu ya mwili mkubwa sana wa Kristo.

Kwenda Zaidi

Masomo hii hutokana na karatasi ya kufanyizia kazi kwa sasa yenye kichwa Maajabu, Mapendo, na Sifa:

Kuchangia Maono ya Kanisa, yenye ilitolewa na Komiti ya Maneno na Mwenendo wa Imani ya Kanisa. Sehemu za

karatasi zimechangana mu vipeperushi vya mushiriki. Unaweza kusoma karatasi nzima mtandaoni ku

http://www.umc.org/CFOWonderLovePraise.

Tume ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa na Baraza la Makanisa ilitoa karatasi mu 2013, juu ya

maumbile ya kanisa. Karatasi hii, Kanisa: Kuelekeya Maono ya Pamoya, Karatasi ya Imani na na Mwenendo

Na.214, @2013 Machapisho ya WCC huweza kupakuliwa kama karatasi ya pdf ku http:// tinyurl.com/WCC214

Nakala

1 Russell E. Richey, pamoya na Dennis M. Campbell na William B. Lawrence, Alama za Umethodiste: Theolojia Mu

Mwenendo ya Masomo ya Makanisa (Abingdon, 2005), kk. 31-32

Isipokuwa kama itatajwa vinginevyo, manukuu yote ya Maandiko hutoka mu Bibliya ya Toleo Jipya la batani lenye

lilizurusiwa, ©1989, na Kitengo cha Elimu ya Ba Kristo cha Baraza la Kitaifa la Makanisa ya Kristu mu inchi ya

Amerika. Imetumika kwa ruhusa. Haki zote zimehifaziwa.

Mwongozo huu wa kikao ni wa ©2016 na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Ruhusa imetolewa ili

kutoa nakala tu kwa makusudio yenye huhusiana na masomo hii na mchakato wa maoni.

Page 6: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kikao cha kwanza: Mwongozo wa Kiongozi

Utayarisho

• Kusanya makala yakufuata: magazeti, maka, nakala za “kikao cha Kwanza: Makala ya mushiriki,” Bibliya, Nyimbo za

Methodiste Umoja,majarida/mabruyon ya mshiriki na kalamu.

1. Tambulisha Masomo

Wakati batu bote bamewasili, uliza batu kujitambulisha kwa kutaja majina yabo na maneno ya kwanza yenye hukuja ku

akili zabo bakisikia neno kanisa. Kama vile maneno imetajwa, yi aregistrer ku magazeti.

Tazama video ya “Mpangilio wa Ajabu, Mapendo, Mapendo na Sifa Masomo” yenye hu patikana katika

www.umc.org/CFOWonderLovePraise (lugha ya Kingereza pekee)

Kama video haipatikani kwako, elezea kuwa masomo hii ya vikao-viinne kikundi litakuwa likitumia bataalamu kutoka ku

karatasi ya kufanya kazi yenye imetayarishwa na Komiti ya Maneno na Mwenendo na Imani ya Kanisa ya Kanisa Methodisti

Umoja ili kuchunguza namuna vile sisi Batu Ba Methodiste Umoja vile tunaelewa maumbile ya kanisa. Baumini kutoka

Kanisa la Methodiste Umoja banalombwa kushiriki mu masomo hii na kutoa maoni ku komiti ya Maneno ya Mwenendo na

Imani ya Kanisa. Maoni hii itasaidia komiti kuunda karatasi yenye itawasilishwa mu Mukutano Mukuu wa 2020.

Soma kwa pamoja Vitendo 2:43-47. Uliza kikundi kufikiria juu ya kile chenye Maandiko hii huonyesha kuhusu maumbile

ya kanisa la kwanza. Nani aliongezwa? Balifanyaka nini? Balikuwa na husiano gani? Kwa kadri mafikiri zinvyotajwa,

ziongezee ku gazeti.

2. Soma na Zungumzia Makala ya Mushiriki

Sambaza Nakala za “Kikao cha Kwanza: Makala ya Mushiriki” na alika kikundi ili kuweza kusoma kwa kimya ukurasa wa

kwanza.

Wakati wamemaliza, tazama video ya “Masomo ya WLP: Kikao cha 1 Utangulizi” khupatikana ku

www.umc.org/CFOWonderLovePraise (lugha ya Kingereza pekee)

Elekeza umakinifu wa kikundi mu gazeti. Hakiki kila moja wapo ya vipengele vyenye viliorozeshwa na, kwa kutumia rangi

tofauti maka kutofautitisha, weka nyota ku vipengele vile vyenye vinahusiana ma moya wapo ya yale mambo matutau ta

kujitolea yenye ilitajwa:

• Mapendo ya kuokowa ya Mungu ana inainuawaka batu bote.

• Mapendo ya kubadilisha ya Mungu ni ya kubadilisha maisha.

• Mapendo ya kuokowa ya Mungu ni ya kuunda jamii.

Bikundi huweza kuamuwa kuwa bamoya bamoya vipengele kuhusu ku sana ya moja wapo ya mambo ya kujitolea na hivyo

basi imewekwa nyota mara mbalimbali na vipengele vingine havihusiani ku mambo hayo ya kujitoleya.

Tumia maulizo yenye inafuata kuyaendeleza mazungumzo:

• Ni mitindo gani una angalia?

• Ni nini ina kushangaza?

• Ni maulizo gani uko nayo?

• Ni wapi unapoona mambo hayo matatu ya kujitoleya yakizidi mu maisha ya baumini betu?

• Ni vipi vile baumini betu vile bana zidi mambo hii matatu ya kujitolea kwa kikamilifu sana?

3. Imba Wimbo

Batu Ba Methodiste ya Umoja siku zote bameonyesha theolojia yetu kupitiya Nyimbo zetu. Taja Mu kikundi kuwa kicho

cha kufanyia kazi ya masomo ya karatasi hiyo kuitwa Maajabu, Mapendo, na Sifa: Kuchangia Maono ya Kanisa. Kichwa hiki

khutoka mu kifungo cha mwisho cha wimbo yenye inajulikana-sana wa Charles Wesley, “Upendo wa Kiungu, Upendo Wa

wote Mkubwa sana,” yenye inapatikana mu karatasi ya 384 Nyimbo za Methodiste za Umoja.

Page 7: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Imba pamoya wimbo au soma wimbo kwa pamoya kama shairi. Taja kuwa wimbo huu unapatikana mu sehemu ya nyimbo

“Na Ufanyaji Neema kuwa Timilifu ”. Alika kikundi ili kuzungumzia njia yenye maneno hayo huonyesha mambo hayo matatu

ya kujitoleya.

4. Towa Ushauri mu komiti

Kumbusha kikundi kuwa moyawapo ya makusudio ya masomo hii ni kutoa maoni juu ya Komiti ya Maneno ya

Mwenendo na Imani ya Kanisa. Zungumziya maulizo yenye inafuata, na baulize bashiriki kuandika majibu yabo

mu jarida labo au bruyon yabo. Mwisho wa masomo, mutaulizwa kuwasilisha maoni yenu ku komiti.

Ni kwa njia gani unatambua TMC Mu makala ya kikao hiki? Ni mambo au mada gani

inanyeshaka kwa usawa sisi ni nani kabisa tukiwa Batu ba Methodiste ya Umoja?

Kunacho chochote cha muhimu mu maisha ya UMC ku husiana na mambo yenye huzungumziwa

Mukikako hiki yenye hukosekana?

5. Funga kwa Maombi

Taya kuwa karatasi ya pili ya makala ya mushiriki hutupa mapendekezo ya masomo sana. Kila kikao

kitahusishwa masomo sana kwa bale batu benye kutaka kuchunguza sana. Tumia bifungo bya kwanza

na inne vya “Mapendo ya kiungu, Mapendo ya Kupita ya Bote” kama maombi ya kufunga.

Page 8: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kikao cha Pili: Makala ya Mushiriki

Imeundwa na urizi Yetu ya Wesleyan Kama Batu Ba Methodiste ya Umoja, tuna uhakika tosha kuhusu kanisa, yenye inatokana na Mali za kote kote

mu utamaduni mpana sana wa Ba Kristo na vilevile kupatikana mu nyimbo zetu za sifa na litrujia pamoja na kauli

rasmi za msimamo wa mafundisho na kanuni.

Safari yetu ya Kihistoria

Kanisa la Methodiste Umoja lhufwatilia asili yake ku bikundi fulani ya upatiyaji upya na nguvu ku Ba Kristo mu

ya makanisa yenye ilianzishwa Mu Ulaya mu karne ya kumi na saba na namba fulani ya bikundi kama hayo mu

karne ya kumi na nane kule Uingereza. Kiongozi wake, John Wesley, alikuwa mchungaji aliyelapishwa Mu Kanisa

la Uingereza. Nia yake ilikuwa kuunda kanisa mupya, kando na Kanisa la Uingereza, lakini kusaidia kanisa lile mu

ufufuzi wa nguvu zake za kiroho na misheni yake. Yeye na ba Methodiste ba mapema baliitikia bamoya bamoya

njia zenye hazi zoeleka ili kuleta injili ya Kristu ku batu ahu nyingi benye habakufikiwa, ao batu benye habakuwa

bakifikiwa ku njia bora, na kanisa lenye lili anzishwa. Mazoea ya Wesley mwenyewe ya usafiri mpaka pale batu

walipokuwa na kuhubiri—ku uwanja wazi kama ingehitajika—popote na wakati wowote kund ila wasikilizaji

lingeweza ku kusanyika na yeye kuwaagiza na kuwapatia mafunzo wahubiri walei kuweza kufanya hivyo, na

mpangilio wa wasikilizaji wale wenye kupokea injili wakiwa ku bikundi madogo juu ya usaidizi wa pamoya na

ukuzi mu neema, ulisababisha kuibuka kwa “muunganisho” wa batu kote kote Uingereza na Ireland na hatimaye

(na baada tu ya kifo cha Wesley) wakachukua utambulisho kamili wa maonyesho wazi ya kanisa la Kristu.

Huku hii yaki endelea ku bara la Ulaya vugu vugu jingine liitwalo Pietism lilikuwa limeshika kasi mu makanisa

ya Mabadiliko ya Protestanti. Sawa sawa na Wesley na batu bake, batu ba Pietism balikuwa baki fuatilia kwa

makini ili kutambua nguvu za mabadiliko za roho mtakatifu na juu ya kueneza injili. Kama batu ba Methodiste,

baliweza kujumisha mu ya ngufu zabo za misheni ili kuboresha hali za maisha miongoni mwa batu maskini na

basio na uwezo, kutoa msaada wa elimu na usambazaji wa maarifa, na kuwa uwepo wa Bakristo pale ambapo

uwepo kama huo ulikuwa hauja julikana. Kwa hakika, ushawishi mkubwa juu ya maisha ya John Wesley na fikira

hizo ndio yenye ilikuwa uhusiano wake na bawakilishi ba vugu vugu hili, lenye aliweza kujihusisha nalo katika

nyakati mbali mbali mu maisha yake. Yeye na batu ba Pietism balikuwa na tofauti zabo lakini pia baliweza

kutambua uhusiano wa khu bahu yabo.

Bashiriki mu vugu vugu la Methodiste na sehemu mbali mbali za Pietism (zenye zingesaidia kuunda Chama cha

Kiinjili na bandugu Umoja) kiliweza kujipata inchi la Amerika Kaskazini, penye baliweza kukumbana pamoya na

mavuvugu mengine ya kuzindua mu ya makanisa ya Bakristo yenye ili kuwa tayari hapo. Baliendelea na ngufu

zabo mu muktaza mupya. Batu bote ba Methodiste na Pietiste baliweza kung'ang'ana na mahusiano yabo na

makanisa yenye balikuwa bametoka mu, na bikundi yote, kutokana na shindikizo la hali, hatimaye balijipata

bakichukua mfumo wa makanisa maalum. Ku sehemu nyingi sana, hazikuwa tofauti za kimsimamo wa mafundisho

lakini hali za ki matendo zenye zili sababisha batu abo kupitiya mpito huo. Walipochukua utambulisho wa kikanisa,

mavugu vugu hii yaliweza kushuhudia njia mbalimbali katika nia kubwa na atari ya neema ya Mungu.

Kumefuata historia kali na mara nyingi isiyo eleweka ya mafanikio na kushindikana, kukua na kupoteza,

matengano na miungano, ku karne mbili zenye zilipita na sana—historia ya kibinadamu kabisa, pale Mungu

amekuwa akifanyizia kazi bila kusita mu mabo na licha ya mipango ya binaudamu, uamuzi, na hatua mbali mbali.

Urizi ya ubaguzi na ugumu yenye inahusika ku mila na daraja la kijamii imeweza kugusa maisha yetu ya kawaida

na ngufu zetu ku misheni mu njia fiche na za wazi wazi kote kote mu historia yetu, huku kujitolea kwetu kukuu

kunaleta magumu isiyo sita ya kuishinda. Kanisa Methodiste Umoja ni mrithi wa, na lenyewe ni sehemu ya,

historia hii, pamoya na uzito wake na ampaka yake.

Ukuzi mkubwa wa hivi majuzi wa Kanisa Methodiste Umoja mu fasi za Afrika na Azia, na uonekanaji na

uhusishwaji wenye una ongezeka wa batu ba Methodiste Umoja kutoka inchi ingine mu uongozi wake, unaleta kwa

utaratibu batu ba Methodiste Umoja mu inchi la Amerika mu hali kubwa sana (kama imepitwa na wakati)

ufahamisho kubahusu abo, kama sivyo ni kanisa la “ulimwenguni kote” ao “duniya muzima”, ata si tu zehebu la

Page 9: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

inchi la Amerika. Tokeo hili linaletaka mambo mengi mapya katika ufahamu wa batu. Unapatia magumu

utoshelevu wa kanuni yenye kimsingi imeegemea upande wa inchi la Amerika-, na kutotilia maana utambulisho wa

kimsingi, wa kawaida na kitaifa wa zehebu. Unapanula pakubwa mfululizo wa tofauti za kitamaduni zenye

zhupatikana mu kanisa, na mfululizo wa maswala yenye kanisa hupitia mu kufanya kazi yake. Mu fasi hizi na

nyingine, usikilivu wetu wa pamoja na kibinafsi kama kanisa umebakia nyuma ya utaratibu wa mabadiliko mu hali

yetu halisi. Popote pale sisi batu ba Methodiste Umoja tunajipataka, tunahitaji maono mapya na upanuzi wa

malengo yetu.

Kanisa kam jamii

Mu taarifa za imani za kimapokeo, kanisa lhutajwa mara moja nyuma ya Roho Mtakatifu. Mu Taarifa ya imani

ya Mitume byote binauthibitishwa moja kwa moja kwa mkupuo mmoja: “Nhuamini kwa Roho Mtakatifu, kanisa

takatifu la katoliki. . . .” Ni wazi kuwa, mu hukumu ya baumbaji ba taarifa za imani na kwa bale benye bali kiri

imani yabo pamoja nabo kupitia kwa karne mpaka karne, kanisa lhulo jambo la kufanya kuhusiana na Roho

mwenye anatoa maisha. Ni Mawasiliano ya karibu yenye Roho kutupatiya, kutembeza—au tunaweza kusema

anaumbaka—kanisa. Mu Kigiriki cha Agano Jipya, neno ni koinonia.

Zana za urizi yetu binafsi ya Wesley huingiliana kwa ndani maitkiyo ukati wakoinonia mu maisha na misheni ya

kanisa. Wakati John Wesley, mu mahubiria ya usiku kabisa juu ya “Uumbaji Mpya,” alipenda kuonyesha shabaha

ya mwisho juu ya maisha ya binaudamu—mwisho wake wenye tumeumbiwa sisi, na wenye tutarejeshwa kupitiya

Kristo—aliyatumia maneno hii: “Na kumalizia yote, kutakuwa na muungano wa khu, wa karibu sana, usiositishwa;

mawasiliano ya karibu sana na yenye haiishi pamoya na Baba na Mtoto wake Yesu Kristo, kupitiya Roho;

kufurahia kusikoisha kwa Mungu batatu-Mmoja, na viumbe vyote mu yake!”1 Kwa Wesley, na kwa bafuasi, sisi

ndo benye ina onja mapema shabaha hii, na ni sana ya kuonja mapema, hapa na sasa. Wokovu ni “kitu cha sasa,”

Wesley alitangaza; neno hili hukumbatia kwa usawa “kazi yote ya Mungu, kuanzia kwa ile ya kwanza ya neema

mu ya nafsi mpaka pale hupotumika mu utukufu.”2 binaudamu bameweza “kuumbwa mu picha ya Mungu na

kuumbwa kwa kujua, kupenda, kufurahia Muumba [abo]”3 Uwelewa wa Wesley wa taifa letu “lenye

lilisambaratika” unahusisha uharibifu au kupoteza uwezo abo wa kuwa na maarifa, mapendo na furaha—kwa ufupi,

mawasiliano ya karibu na Mungu—na wokovu inamaanisha kuponywa kwabo na kutmilika katika utukufu, pale

ambapo (kama vile kakake Charles vile aliandika kwa kumbukumbu) tufaa “kupotezwa kwa ku Maajabu, mapendo

na sifa.”4

Mpaka kufikia kiwango chenye mada hii ya Wesleyan yangali hutufahamisha ushuhuda wetu, nyimbo zetu za

sifa, maisha yetu ya kawaida, tunayosababu tosha ya kutoa uthibitisho wetu binafsi kuwa mawasiliano ya karibu ni

zawadi yenye kanisa huishi kufurahia, na zawadi yenye kanisa limeitwa ili kuupatia ulimwengu.

Utafsiri wa Kanisa

Miongoni mwa viwango vya msimamo wa mafundisho ya Kanisa Methodiste Umoja ni Makala ya Dini yenye

ililetwa ku muungano wa Kanisa la Methodiste na kukiri kwa Imani kulikoletwa mu Kanisa la umoja wa bandugu

wa Kiinjilisti. Kila moja wapo huo makala juu ya kanisa, pamoya na makala mengine yenye huwafaa mada hayo

husika. Makala hayo mawili ni hii: Kwanza, kutoka Mu Makala ya Dini, Makala ya XIII—Ya kanisa:

Kanisa la kuonekana la Kristu ni baumini . . . penye Neno safi la Mungu huhubiriwa na Sakramenti hutolewa vilivyo

kulingana na amri za Kristu, mu mambo hii yote yenye umuhimu na yenye huhitajika vilevile.

Nakutoka mu Kukiri kwa Imani, Makala ya — Kanisa:

Tunaamini Kanisa la Bakristo ni jamii ya Baumini bote ba kweli mu Ubbana wa Kristo. Tunaamini ni moya, takatifu

yakitume na kikatholiki. Ni ushirika ombozi wenye Neno la Mungu lhuhubiriwa . . . , na Sakramenti hutolewa vilivyo

kulingana na uchaguzi binafsi wa Kristu. Juu ya nizamu ya Roho Mtakatifu yenye Kanisa kuwa nayo juu ya uendelezaji

wa kuabudu, urekebishaji wa maadili wa baumini na ukombozi wa duniya. 5

Utafsiri wa pili, yenye inaonyesha urizi ya umoya wa bandugu wa kiinjilisti, yenye ina elementi za kimsingi za

kwanza, lakini unatilia maanani hizi nyingine kwa njia mbalimbali. Unatilia maanani sana kipengele cha Muitikio

wa uwaminifu kupitiya maneno kama ushirika wa ukombozi “ushirika wa ukombozi” na marejeleo ya misheni ya

Page 10: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kanisa, na pia unahusishwa vivumishi kutoka mu Tangazo la Imani la Nisene lhulotambulisha kanisa kuwa “moya,

takatifu lenye mitume, la katoliki.”

Kwenda Zaidi

Msimamo wa mafundisho na Mafunzo ya Methodiste ya Umoja ju ya Maumbile, Misheni na Uaminifu wa

Kanisa ni karatasi ya Mali yenye hupatikana ku http://www.tinyurl.com/UMCNMF.

Nakala

1 “Uumbaji Mupya,” Maubiri ya #64 by John Wesley. Maubiri yote huweza kusomwa ku http://www.tinyurl.com/

WesleySermon64.

2 “Njia ya Maandiko ya Wokovu,” Mahubiri ya #43 na John Wesley. Mahubiri yote huweza kusomwa ku http://www.

tinyurl.com/WesleySermon43.

3 “Mahubiri ya Mungu juu ya Kazi zake,” Mahubiri ya #56 na John Wesley. Mahubiri yote huweza kusomwa ku

http://www.tinyurl.com/WesleySermon56.

4 “Mapendo ya Kiungu, Kila Mapendo ya Kupita,” na Charles Wesley. 1747. Maneno imewekwa ku wimbo mupya na

huweza kupatikana ku http:// www.tinyurl.com/DMLoveDivine.

5 “Sehemu ya 3—Viwango Vyetu vya msimamo wa mafundisho na Sheria za Jumula.” Kutoka Kitabu cha Mwenendo cha

Kanisa Methodiste Umoja ya —2012. Hakimiliki©2012 na Matibaa ya Methodiste Umoja. Imetumika kwa Ruhusa.

Isipokuwa kama itatajwa vinginevyo, manukuu yote ya Maandiko hutoka mu Bibliya ya Toleo Jipya la batani lenye

lilizurusiwa, ©1989, na Kitengo cha Elimu ya Ba Kristo cha Baraza la Kitaifa la Makanisa ya Kristu mu inchi ya

Amerika. Imetumika kwa ruhusa. Haki zote zimehifaziwa.

Mwongozo huu wa kikao ni wa ©2016 na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Ruhusa imetolewa ili

kutoa nakala tu kwa makusudio yenye huhusiana na masomo hii na mchakato wa maoni.

Page 11: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kikao cha Pili: Mwongozo wa kiongozi

Matayarisho

• Kusanya makala ya kufuata: magazeti, maka, nakala za “kikao cha Kwanza: Makala ya mushiriki,” Bibliya,

Nyimbo za Methodiste Umoja,majarida/mabruyon ya mshiriki na kalamu.

1. Tambulisha Kikao

Kumbusha Bashiriki kuwa hiki ndicho kikao cha pili mu Masomo yenye huchunguza namuna sisi kama Batu ba

Methodiste Umoja elewa asili ya kanisa. Kumbuka yale mambo ya kujitoleya matatu maalum ya Batu ba

Methodiste Umoja yenye ilizungumziwa ku kikao cha zamani: Mapendo ya Mungu yenye huokowa 1) imenuiya

batu bote; 2) ni ya kubadilisha maisha; na 3) huunda jamii.

Elezea kuwa leo kikundi litakuwa likichunguza namuna urizi yetu ya Wesleyan huvyotufahamisha juu ya

mambo yetu ya kujitolea ku kanisa, kabisa namuna mambo hii huonyeshwa mu nyimbo zetu na liturujia byote

binaubyo patikanana ku kauli rasmi za msimamo wa mafundisho na kanuni, na kuundwa na safari za kiistoria.

Alika Bashiriki ili kusoma kwa sauti Zaburi 95:1-7. Kumbusha kikundi kuwa Zaburi ni nyimbo za sifa. Kupitia

nyimbo za sifa na ushairi tunaweza kuonyesha hisia zetu muhimu na imani zenye haziwezi kufafanuliwa kwa njia

ya kutosha kwa kupitiya kwa njia ya mfululizo. Uliza kikundi kuweza kufikiria vipi vile zaburi hii huvyo

abongeleya juu ya kanisa. Kisha uliza kila mumoya kuandika kifungo kimoya cha utafsiri wa kanisa. Usizungumzie

Utafsiri lakini maelezo yenye itatumika badaye.

Nyuma ya kumaliza, tazama video“ masomo WLP: Kikao cha 2 utangulizi” Khuchopatikana ku

www.umc.org/CFOWonderLovePraise (kwa lugha ya Kingereza pekee)

2. Chunguza Safari Yetu ya Kipekee

Sambaza nakala za “Kikao cha Pili: Makala ya Mushiriki” na alika kikundi kuweza kusoma kwa kimya sehemu

ya kwanza, “Safari Yetu ya Kiistoria. Tumia maulizo yenye inafuata kama kichocheo cha kuanzisha mazungumzo:

• Bamethodiste na Batu Ba Pietists Ba mapema balichukua kanisa na kuipelekanga kwa bale benye balikuwa

bamezarauliwa mujamii. Ni khu nani bamezarauliwa mu jamii yetu, na ni vipi vyenye baumini betu

banavyopeleka kanisa kwa abo?

• Ni kwa njia gani njo maadili na mazingatio ya utamaduni wetu wa sasa mu vuta nikuvute na mambo yetu

makuu ya kujitoleya juu ya kushuhudiya niya kuu na atari ya nehema ya Mungu?

• Ni hali gani za kimatendo zhutusukumiza ili kubadilisha njia yenye “tunashiriki kanisani?” Ni fursa zipi mupya

zenye hali hizi zinaundaka?

Kutokana na mazungumzo yetu, baalike bashiriki kuhakiki utafsiri wabo wa kanisa na kuweka nyongeza au

marudiliosu.

3. Angalia Nyimbo za Sifa

Lomba kikundi kosoma kwa kimya “Kanisa kama jamii,” kutoka mu makala ya mushiriki. Sambaza nyimbo za

sifa na taja kuwa nyimbo za sifa kutoka ku karatasi za 537 mpaka 593 ziko mu sehemu yenye kichwa “Asili ya

Kanisa.” Nyimbo nyimbo hizi saba kati ya zote ziliandikwa na Charles Wesley (idadi 541, 550, 553, 554, 561, 562,

na 566).

Gawanya bikundi mu bikundi tatu na upatie kila kikundi moya wapo ya nyimbo za sifa za Charles Wesley.

Lomba kila kikundi kuchunguza maneno ya wimbo wa sifa yenye ilitolewa kabisa kwa kuangalia misemwa ya

kuhusiana na makala yenye wamesoma muda mufupi yenye ilipiti.

Patia bikundi faasi ya kuripoti ku kikundi mambo makuu ya mazungumzo yabo. Kama mnao muda, imba

bamoya bamoya nyimbo hizo za sifa. Kwa mara nyingine alika bashiriki kupitiya maelezo ya kanisa na kutoa

marudilio.

Page 12: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

4. Zungumzia Utafsiri wa Kanisa

Lomba kikundi kusoma kwa kimya sehemu ya makala ya mushiriki yenye kichwa, “tafsiri za Kanisa.” Alika batu

kuweza kuripoti tafsiri zenye bamekuwa bakishugulikiya mu kikao chote. Zungumzia maulizo yenye inafuata:

• Ni mada gani ya pamoya tunaona mu tafsiri zetu?

• Tafsiri zetu zinaweza aye kulingana na kauli kutoka mu Makala ya Dini na Kutubu kwa Imani?

• Ni tafsiri gani zinaonyeshaka kwa usawa sana uzoefu wetu juu ya baamini betu?

5. Toa Ushauri ku Komiti

Kumbusha kikundi kuwa moya wapo ya makusudio ya masomo hii ni kuweza kutoa maoni ku Komiti juu ya

Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Zungumzia maulizo yenye inafuata, lomba bashiriki kuandika majibu

yabo mu jarida lao au bruyon.

Ni kwa njia gani unatambua TMC Mu makala ya kikao hiki? Ni mambo au mada gani huonyesha

kwa usawa sisi ni nani kabisa tukiwa Batu ba Methodiste ya Umoja?

Kunacho chochote cha muhimu mu maisha ya UMC ku husiana na mambo yenye huzungumziwa

mu kikao hiki yenye hukosekana?

6. Funga kwa Maombi

Tumia kifungo cha kwanza cha“Angaliya” (UMH 541) kama maombi ya kufunga, na ubahimize

bashiriki kusoma nyumbani karatasi yenye iliorozeshwa mu “Kwenda Zaidi.”

Page 13: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kikao cha Tatu: Makala ya Mushiriki

Alama za Utambulishi Methodiste Umoja Kuhani, Nabii, Mfalme

John Wesley alilomba Bamethodiste ba mapema kutangaza Kristu “mu ofisi zake zote.”1 Marejeleo yalikuwa

msimamo wa mafundisho ya ofisi tatu ya Kristu, kama kuhani, kama nabii, na ka mfalme. Ofisi hii ya fungutatu

ilionekana kuwa na mvutio fulani ku Wesley, kwani ililingana na uelewa wake wa uokovu—juu ya kile

tulichookolewa nacho na kile tunaendea kwa wokovu. Kama sisi tumejaaliwa “kuyua, kupenda, na kufurahia

Muumba [wetu] milele mpaka milele,”2 na kama hali yetu ya sasa ya kimatatizo—hali ya umaskini, kama Wesley

vile anasema—sisi hatuwezi kuonyesha kwa usahihi ule uwezo wa maarifa, mapendo, na furaha, basi chenye

tunahitaji si chochote kile ila uzalishaji upya wa uwezo huo. Tunahitaji kuachiliwa huru zidi ya kufungwa kwetu

kwa uwongo na kupotosha habari, kukosa mapendo na kukosa matumaini. Tunahitaji kuzaliwa tena, na kupewa

nguvu mu maisha mapya. Huu njo uwezekano wenye Kristu anatuletea sisi, na wenye Roho Mtakatifu anatoa

kutoka kwetu sisi. Wesley alitaka bahubiri bake na batu bake kuendeleza maono hayo ya jumla mu akili yabo, na

kutulia mpaka kwenye mahubiri ya wapunguzaji, “ofisi-moya” juu ya wokovu. Utambuzi wakoinonia wenye sisi

tumeumbiwa, na wenye kanisa inafaa kupiga saini na kuhudumia, unahusu kuachiliwa huru zidi ya hali fulani

(zitokanazo na nje na ndani) zenye zinatufanya sisi kukata tamaa, na kuingia mu mapatano ya maarifa, mapendo, na

furaha na Ungu wa Utatu pamoya na uumbaji wote.

Kazi ya Mungu la Jumla na Wakilishi

Kutangaza Kristu mu ofisi zake zote si kazi tu ya bahubiri. Ni kazi ya kanisa nzima, mwito wa batu bote ba

Mungu, bawe ni ba kibinafsi na hata ba kikampuni; ni kazi la Mungu la jumla ku Ba Kristu bote.

Ingawaje inafahamisha na kuunda maisha na misheni ya batu bote ba Mungu, ruwaza hii ya mara tatu pia

inafahamisha na kuunda kazi la Mungu lenye lililapishwa. Kulingana na Kanisa Methodiste Umoja mu mukutano

wake wa kuunganisha mnamo 1968 iliweza kuitikia habari ya kazi la Mungu lenye lililapishwa lenye linaifafanua

kama kazi la Mungu “maalum la Neno Sakramenti, na Mwenendo.”3 Uundaji huu mpya, wenye hauonekani mu

mambo ya rasmi juu ya kazi la Mungu lenye linalapishwa mu ama mazehebu yenye ilitangulia, iliweza kufikiria

ushawishi wa mazungumzo ya mambo ya madini ya kisasa pamoya na kuanzisha umbo za idadi ya jamii nyingine

za Bakristu.

Mu Kanisa Methodiste Umoja, hata kama tuna bashemasi, bazee (balei), na baaskofu, hatuna kazi la Mungu la

huduma ya fungutatu kwa maana ya kuwa ile istilahi yenye inatumika mu tamaduni nyingine ao mazungumzo

mengine ya mambo ya madini. Tunalapisha bashemasi na bazee; hatulapishi baaskofu benye bamechaguliwa

kutoka kati ya bazee ili kuweza kutekeleza wajibu maalum wa uangailzi. Kazalika, kwa sasa hatuendelezi

ulapishwaji wa, hatua kwa hatua, wenye mtu wa kulapishwa kama muzee lazima kwanza alapishwe kama shemasi.

Kanisa Methodiste Umoja lilianzisha shemasi wa kudumu mwenye alilapishwa mu 1996, na wakati huo

likapuzilia mbali mwenendo wa ulapishwaji wa hatua kwa hatua. Sasa Bashemasi batarajiwa na bazee batarajiwa

bako mu mu fasi tofauti, na lugha yenye inaonyesha tabia na kazi la Mungu yenye kila moya wapo amelapishwa—

mu mufano wa shemasi, kazi la Mungu la “Neno, Huduma, Haki, na Huruma,” na mufano wa muzee kazi la Mungu

la neno “Sakramenti, Mwenendo, na Huduma” — inanuiwa kuonyesha kuwa ingawaje kunaweza kuwa nafasi

maarufu za uwajibikaji kunazo ata fasi maalumu katika kila moya wapo yenye ule mwingine hachangizi4

Upana wa Neema

Alama moya ya Utambulisho wa Methodiste Umoja lazima iwe inahusu upana wa neema, mu mitazamo miwili.

Mtazamo wa kwanza ni kujitolea ku Wesley—haihusu kwa vyovyote vile batu ba Wesley, bila shaka inadaiwa na

mila hii—kuwa mapendo ya Mungu inarefushwa kwa kwa viumbe vya vya Mungu na si tu kwa bamoyamoya.

Page 14: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Neema ya Mungu inapatikana kwa batu bote, kwa kiwango sawa. Miongoni mwa mambo mengine, hii

inahusisha utiliaji mkazo yenye iliwekewa kanisa la Methodiste Umoja juu ya uhusishwaji kamili mu memba na

kazi la Mungu, ili kanisa liweze kuwa ishara yenye uaminifu wa upana wa neema ya Mungu.

Mtazamo wa pili wenye upana wa neema ni mada maalum lazima uwe unahusu kile kiwango ao ufikivu, lakini

ikiwa na nia ao atari yake. Ni uhakika kuwa wakati neema ya Mungu inapokelewa mu uhuru wenye unaiumba,

inabadilisha. Ina ongoza, kama Wesley vile alisema, “ku mabadiliko halisi” mu ya yule mpokeaji.

Kuzaliwa upya na kupokea imani yenye ilijazwa na mapendo balikuwa ba Methodiste ba mapema, na bamekuwa

batu ba ukoo abo ba kiroho, benye uhalisia halisi wa mambo benye bali pitia na kuishia ku atari mpya za kibinafsi

na kijamii kama vile mapendo hayo kuingiliwa mu mambo ya kibinafsi yenye upya na kuonyeshwa si tu kwa

mashahidi ya moja kwa moja na ya wazi wazi juu ya injili lakini pia mu shughuli mu imarishaji-jamii (koinonia

tunaweza) njia kuu mbali mbali kuanzia mahusiano binafsi mpaka kwenye uanzishaji wa hospitali mpaka vyuo

vikuu, kuanzia mu kaza Mungu za ufikivu wa baumini ba mu mpaka mu kushiriki ngufu za fasi-kubwa juu ya

utengezwaji wa kijamii na marekebisho.

Nguvu za kazi mu torati ya Methodiste mu Umoja kama ilivyo tajwa ni kuunda tarasisi na mienendo yenye

kuimarisha hali-njema ya ku binadamu, na kupatia changamoto pale benye haba husiki. Wakati mwingine utakasaji

wa mu kwa mu na upatiaji upya wa moyo unatiliwa mkazo, na wakati mwingine ni uimarishwaji wa haki, rehema

na ukweli” kote kote mu mwenendo wa kijamii—wenye unapokea utiliaji maanani sana. Lakini tunakuwa mu hali

muzuri sana wakati tunatambua uhusiano wa karibu na bitu ibyo biwili na mu jambo lenye linapungua hali yetu

muzuri sana wakati tuna bigonganisha bitu hibyo moja kwa nyingine.

Ukutanishaji

Alama ya pili ya utambulisho wa Methodiste ya Umoja inaenda kwa jina kuwa muumoja. Kazi letu la Mungu la

mpangilio, ukuu (baaskofu na basimamizi ba wilaya), na mfumo ba makutano byote binanuiwa kuwa hali za kuwa

mumoja. Hibi byote bitatu binataka kuimarisha maadili na mienendo ya msaada wa bamoya na uwajibikaji wa

bamoya, wa uwangalizi wa kuchangizwa na wa kupatia nguvu bitu byote zawadi kati ya zote.

Tunaitaji mifumo ya kanuni yenye inaendana na mambo yetu makuu ya kujitoleya. Hali mahususi zenye

zinahusiana na kanuni ya Wesley zinahitaji kutiliwa maanani sana: hali ya mukutano wa Bakristu. Mukutano, mu

matumizi haya, unarejelea mbinu za neema juu ya kuimarisha ukuzaji wetu mu utakatifu wa moyo na maisha.

Ni njia moya wapo yenye Mungu anatusaidia kujisaidia wenyewe kuelekea kwa ukomavu wa imani, tumaini na

mapendo. Unahusisha mambo ya maombi, uchunguzi-nafsi yenye ni ya uaminifu, juu ya kuongea ukweli mu

mapendo baina ya sisi benyewe, uwajibikaji na usaidizi wa pamoya, na utiliaji maanani kwa makini juu ya namna

tunaweza kujiendeleza sisi wenyewe ku siku za mbele. Mwenendo wa mukutano wa Bakristu unaendelea kupitiya

fomu nyingi bila kusahau mazungumzo ya moya ku moya, kati ya Bakristu, mikutano ya kikundi kidogo cha aina

mbali mbali na makusudio mbali mbali na hata matukio makubwa sana kama vile yale ya makusanyika rasmi yenye

ilipangiwa kuwa Makutano mu mazingira ya Methodiste Umoja. Kwa hakika, mwenendo wa mukutano wa

Bakristu ni kwa kiasi fulani hali ya karibu kila jambo lenye lina fanyika mu kanisa. Makutano madogo kwa kiasi ya

Wesley na ya bahubiri bake balihisusha mambo zabiti ya mienendo, hata kama mazingira yake ya kawaida kwa

muundo mu ya kikundi cha mapema cha Methodiste, yalikuwa mikutano ya madarasa na bendi mu ya mazingira ya

mu ya Methodiste.

Onyesho la theolojia

Alama ya tatu ya utambulisho wa Methodiste ya Umoja ni kujitolea kwa kuonyesha kwa kitheolojia kama kazi

ya kanisa nzima. Kupatiakana mu ya Kitabu cha Mwenendo si tu ya viwango vya kimsimamo wa mafundisho,

lakini pia taarifa juu ya kazi yetu ya kitheolojia, yabonyesha umuhimu wa kujitoleya huku.

Kazi ya theolojia, hata kama inahusika na maelezeo ya mafundisho ya kanisa, inachngia tofauti. Uhakikishi wetu

wa kimsimamo wa mafundisho unatusaidia sisi mu utambuzi wa ukweli wa ba Kristu mu miktaza inayobadilika-

siku zote. Kazi yetu ya kitheolojia inahusishwa upimaji, kupatiya upya, uonyeshaji, na matumizi ya mtazamo wetu

wa msimamo wa mafundisho mu kutekeleza mwito wetu ili kueneza utakatifu wa maandiko. Kwa tabia na yenye

Page 15: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

ilimo yabo binafsi, viwango byetu bya msimamo wa mafundisho habiruhusu lakini pia bina hitaji uwajibikaji ule,

uhusishwaji muhimu wa mafikiri yenye “Kazi Yetu ya Kitheolojia” inafafanua. Kazi yetu ya kitheolojia lazima iwe

“ya kupinga na pia ya kujenga,” “byote biwe bya kibinafsi na bya kwa pamoya,” “biwe bya mukutaza na bya roho

kuwa mwili,” na “muhimu sana bya kimatendo.”5Ili kuweza kupewa umakinifu na uhakikisho wa kazi ya

kitheolojia ya kanisa yenye inaendelea ni kilele cha kweli cha Kanisa Methodiste Umoja. Itatuweka muhali muzuri

wakati tuna tafuta kuwa mfano halisi wa agano letu la kuwa mumoja na ubunifu wa kitheolojia, unyumbukaji, na

ubora mu mikitaza mipana yenye inaongeza mu duniya muzima.

Kwenda Zaidi “¶105. Sehemu ya 4 – Kazi Yetu ya Theolojia,” inapatikana mu Kitabu cha Mwenendo cha Kanisa Methodiste Umoja —

2012.

Nakala

1 “Sheria Yenye Imeimarishwa Kupitiya Imani – Mazungumzo ya Pili,” Mahubiri #36 na John Wesley. Mahubiri mzima

inaweza kusomwa ku http://www.tinyurl.com/WesleySermon36.

2 “Mahubiri ya Mungu Ku Kazi Zake,” Mahubiri ya #56 na John Wesley. “Mahubiri ya Mungu Ku Kazi Zake,” Mahubiri

ya #56 na John Wesley.

3 ¶302 (p. 107) Kutoka ku Kitabu cha utawala Kanisa Metodiste Umoja —1968. Haki miliki ©1968 na Matibaa ya

Methodiste Umoja. Imetumiwa na Ruhusa.

4 ¶¶329.1, 332 (kk. 246, 256) Kutoka ku Kitabu cha Kutawala cha Kanisa Methodiste Umoja —2012. Haki miliki ©2012

Na Matibaa ya Methodiste Umoja. Kimetumika kwa Ruhusa.

5 ¶105 (kk. 79-80) Kutoka Kitabu cha Kutawala cha Kanisa Methodiste Umoja —2012. Haki miliki ©2012 Na Matibaa

ya Methodiste Umoja. Kimetumika kwa Ruhusa.

Mwongozo huu wa kikao ni wa ©2016 na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Ruhusa imetolewa ili

kutoa nakala tu kwa makusudio yenye huhusiana na masomo hii na mchakato wa maoni.

Page 16: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kikao cha Tatu: Mwongozo wa Kiongozi

Matayarisho

• Kusanya makala yenye inafuata: gazeti, maka, makaratasi, kalamu ya risasi, nakala za “ Kikao cha Tatu:

Makala ya Mushirika,” Bibliya, Nyimbo za Sifa za Methodiste Umoja, Kitabu cha Mwenendo cha Methodiste

Umoja –2012, majarida ya mushirika/ daftari na kalamu.

1. Tambulisha Kikao

Kumbusha bashirika kuwa hiki ni kikao cha tatu mu masomo yenye inachunguza namuna sisi batu ba Methodiste

Umoja tunabyo elewa asili ya kanisa. Kumbuka yale mambo matatu makuu ya kujitolea ku Methodiste Umoja

yenye tulizungumzia mu kikao cha kwanza: Mapendo ya Mungu yenye inaokoa 1) ni ya batu bote; 2) ni ya

kubadilisha; na 3) kuunda jamii. Kumbusha kikundi kuwa kikao cha pili kilichunguza namuna kujitoleya kwetu juu

ya kanisa kwa kuonyeshwa mu nyimbo zetu za sifa na litrujiya, kupatikana mu taarifa rasmi za msimamo wa

mafundisho na kanuni na kuundwa na safari yetu ya kihistoriya.

Elezeya kuwa mu kikao hiki tutachunguza hali fulani za Methodiste Umoja za uelewa wetu mu kanisa pamoya

na neema, kazi la Mungu la Jumula na uwakilishi, kuwa muumoja, na kujitoleya kwetu ku kuonyesha kitheolojia

kama kazi ya kanisa nzima.

Alika bashiriki kusoma kimya kimya Warumi 3:21-31 na sehemu ya makala ya mushirika zenye kichwa,

“Kuhani, Nabii, Mfalme” na “Upana wa Neema.”

Wakati bamemaliza, tazama video “ya Masomo ya WLP: Kikao cha 3 Utangulizi” yenye inapatikana ku

www.umc.org/CFOWonderLovePraise (lugha ya Kiingereza pekee)

Zungumzia maulizo yenye inafuata:

• Ni nini tunajifunza juu ya neema kutoka ku Warumi 3:21-31?

• Ni vipi mawazo mu makala ya mushirika vile inahusiana na ufahamu wa Warumi?

• Ni lini umeiona Neema ya Mungu ikisababisha mabadiliko mu mutu au hali?

• Ni wapi mu jamii yako ya ndani na mu jamii ya dunia mzima ndipo neema inahitajika kabisa? Ni vipi vyenye

kanisa itakuwa ishara na mtumishi wa neema ya Mungu mu hali hizi?

2. Chunguza Asili ya Kazi la Mungu

Gawanya ku bikundi bidogo bya batatu ao baine. Patia kila kikundi karatasi na kalamu ya risasi na elezea kuwa

batakuwa na dakika mbili kurekodi juu ya karatasi maneno au kauli nyingi zenye banaweza zenye zitakuja mu akili

yabo batakaposikia neno kazi la Mungu. Tilia mkazo kuwa hakuna majibu yenye ilisahihi au yenye haisahihi.

Nyuma ya dakika mbili, kusanya tena kikundi kizima na balombe na lomba kila kikundi kutaja moya wapo ya

mambo ku oroza zabo yenye haiyatajwa na na kikundi kingine cha zamani. Huku bikundi bikiripoti, kuarejistrer

majibu yabo ku gazeti. Endelea hatua ya kurekodi mpaka pale mambo yote itakapo kuwa imerekodiwa. Kisha

lomba bashirika kusoma kimya kimya sehemu la “Kazi la Mungu La Jumla na Bawakilishi.” Hakiki mambo yenye

itakuwa imeorozeshwa na amua kama kikundi kama kila jambo linahusiana kimsingi na kazi la Mungu la jumla la

Bakrstu bote, na kazi la Mungu la bawakilishi ba bashemasi benye balilapishwa, au kazi la Mungu la bawakilishi la

bazee benye balilapishwa. Tumia rangi tofauti za maka kuonyesha uamuzi wa kipindi.

Alika kikundi kwakuskani gazeti, na kisha zungumzia maulizo yenye inafuata:

• Je, oroza yetu kimsingi inahusiana na la Mungu la kawaida au kazi la Mungu la bawakilishi? Linahusiana zaidi

na kazi la Mungu kazi la Mungu la binafsi au kazi la Mungu la kampuni? Inahusiana zaidi na kazi la Mungu la

ndani ya kanisa au nje ya kanisa?

• Je, mambo haya haya ku oroza ni ya ufafanuzi zaidi wa sifa au wa shughuli?

• Je, oroza inasema nini kuhusu namuna tonavyoona kazi la Mungu?

Page 17: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

3. Zungumzia Upatanishi

Lomba kikundi kusoma kimya kimya “Kuwa Muumoja” kutoka ku makala ya mushirika. Tumia maulizo

yafwatayo kama kichocheo cha mazungumzo:

• Ni nini tofauti kati ya usaidizi wa pamoya na uwajibikaji wa pamoya?

• Ni masharti gani yanahitajika kuwepo kwa utengenezaji wa mikutano ya kweli kwa Bakristu?

• Ni wapi mukanisa au nnje ya kanisa njo umeshuhudia uandaaji wa mikutani ya bakristu? Iliweza kugusa vipi

imani zako na tabia zako?

4. Onyesha Kitheolojia

Lomba kikundi kusoma kimya kimya sehemu ya makala ya mushirika yenye kichwa, “Kuonyesha Kitheolojia.”

Kumbusha kikundi kuwa juu ya kuishi mudunia ngumu yenye mikutaza tofauti, kuishi kwa uaminifu hakuwezi

kupunguzwa na kuwa oroza ya kufanya na kutofanya. Kuonyesha kitheolojia ni hatua kuu yenye inapatia uhai

imani yetu. Kuna saidia kuchunguza uzoefu wetu mu mwangaza mapendo ya Mungu na kutusongeza mbele ku

imani. Elezea kuwa kunayomifumo mbalimbali ya kuonyesha kitheolojia na kwamba leo batakuwa bakishuhudia

moyawapo ya mifumo hio.

Alika bashiriki kutaja uzoefu mzuri wenye ime ba fanyikia mu kanisa hizi maajuzi. Kama inawezekana chagua

kituchenye batu bengi zaidi Mukikundi banaweza kuwa bameshiriki.

Tumiya hatua za kufuata ili kuwasaidia bashiriki kufikria juu ya kitheolojia juu ya urefu:

1. Fafanua nini ilifanyika. Nani alikuwa amehusika? Ni hatua gani zilichukuliwa? Ni hisia gani zilionyeshwa?

2. Tambua hadisi na picha za zakibiblia zenye zinahusiana na uzoefu wako.

3. Tambua hoja pale Roho Mtakatifu alikuwa na uvu.

4. Zungumziya ni nini kanisa ilijifunza kutokana na uzoefu huo na namuna mafunzo hayo vile inaweza

kugusa mambo ya siku za mbeleni.

5. Toa Ushauri Ku Komiti

Kumbusha kikundi kuwa moya wapo ya makusudio ya masomo haya ni kuweza kutoa maoni ku Komiti ya

Maneno na Mwenendo na Imani ya kanisa. Zungumzia maulizo yafwatayo, na lomba bashiriki kuandika majibu

yabo mu jarida lao au bruyon yabo.

Ni kwa njia gani unatambua TMC Mu makala ya kikao hiki? Ni mambo au mada gani huonyesha

kwa usawa sisi ni nani kabisa tukiwa Batu ba Methodiste ya Umoja?

Kunacho chochote cha muhimu mu maisha ya UMC ku husiana na mambo yenye inazungumziwa

mu kikako hiki yenye hukosekana?

6. Funga kwa Wimbo wa Sifa

Kumbusha ku kikundi kuwa nyimbo za sifa ni kufikiria kwa kitheolojia juu ya maisha na Maandiko. Funga kikao

kwa kuimba pamoya, “Mapendo ya Kiungu, Kila mtu anapenda Kuendelea,” ku karatasi ya 384 of Nyimbo za Sifa

za Methodiste Umoja. Himiza kikundi kusomea nyumbani, “Kazi yetu ya Theolojia,” wakirejelea makala ya

mushirika sehemu ya “Kuenda Mbali.”

Page 18: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kikao cha Ine: Makala ya Mushirika

Kanisa la Ulimwengu: Umoya mu Utofauti

Tafuta Umoya wa Bakristo

Kanisa la Methodiste Umoja linahakiksha kuwa kwa kweli kanisa, lakini pia linatambua kuwa si kanisa lote.

Tunayo mambo ya kuchangia ku elewa kabisa wa pamoya wa Bakristo ba kanisa, na tuna hata mambo ya kujifunza:

mambo ya kujifunza juu ya Bakristo na makanisa mengine na mambo ya kujifunza kutoka kwa abo juu ya sisote.

Tunapotekeleza haya tunatambua maono mapya ya mambo ya kanisa juu ya Kanisa Methodiste Umoja, tumejitolea

kufanya kazi hii, kama vile tulifanya zamani mu mawazo wa mambo ya kanisa.

Utafutizi wa umoya wa Bakristu unakosa kueleweka vizuri kama unachukuliwa kumaanisha tu mchakato mgumu

wa diplomasia ya kati ya makanisa kati ya batalamu benye bananuia kurizisha msimamo ya mafundisho na kanuni

za mazehebu tofauti. Isitoshe ni shuguli yenye inafanywa huku tukikumbuka, kujaribu kufufua nguvu, mahali, na

heshima yetu mu jamii yenye kwa muda mrefu imepotea.

Mu kabisa ya mambo haya yote, ni utafiti wa umoya wa Wakristu benye utakuwa na utafiti wa uhalisia wa

kanisa lenyewe. Ni shughuli ya maombi ili kutambua umoya wenye Yesu anaombea habo akilomba, ” Ninalomba

… bote baweze kuwa kitu kimoya. Kama wewe, Baba, ulivyo mu yangu mimi nami mu yako mimi, abo pia bawe

mu yetu sisi, ili duniya iweze kuamini kuwa umenituma mimi. Utukufu wenye umenipa mimi nimeba patiya, ili

baweze kuwa kitu kimoya, kama sisi vile tuli kitu kimoya, mimi mu yako wewe na wewe mu yangu mimi, kuwa

baweze kuwa kitu kimoja kabisa.” (Yohana 17:20-23)

Misheni na umoya byote bimeunganika mu kwa mu. Kulomba majibuya mambo ya kanisa juu ya umoya wa

Bakristo mu-umbalimbali ni kulomba majibuya kimisheni. Kwa hakika, majibukama haya inatupeleka hadi kwenye

kiini cha swala mu mapabano yetu kama batu Bamethodiste Umoja ili kutambua utambulisho wetu wa mambo ya

dini na ushuhuda wetu leo: Namuna gani yenye batu ba Methodiste Umoja banaweza kuwa na sifa kuhusu kazi yetu

fulani mu ya “Kanisa la Mu duniya Mzima”? Mazoezo yetu makuu ya ekolojia ya umoya wa madini? Ni

matambuzi gani yenye inaweza kuaziri umakinifu wetu wa kina mu mazungumzo ya umoya wa madini kabisa

kuzuwa hoja za kushughulikia kwa njia bora sana na kwa kikamilifu maswala makubwa yenye inazungukia

“mfululizo wa kihalali,” yote vile inaaziri maisha yetu binafsi na misheni Mukanisa la Methodiste Umoja na mu

mahusiano yetu yenye inaendelea na jamii nyingine za Bakristo? Maono mapya ya uhalisi wa kanisa inaweza aye

kutusaidia katika kupangilia kwa njia nzuri sana maisha yetu ya pamoya? Inaweza aye kutuongoza ku mahusiano

bora na batu ba imani na tamaduni nyingine za kidini pamoja na bale batu benye haba jitambulishi na chochote?

Vyenye vinaonekana na Vyenye havionekana

Utofautishi kati yakanisa lenye lenye linaonekana na kanisa lenye halionekana ulikuwa maarufu mu wakati wa

Marekebisho ya Kiporo. Kama vile inaeleweka ku mazoea, kanisa lenye linaonekana lilikuwa jamii halisi, baumini

ba mu Bakristu benye banakiri, au kikundi kubwa sana lenye linaweka pamoya baumini bengi ba mu, benye

banasikia na kuhakikisha Neno kwa lenye kuhubiriwa kwa usahihi, na kuchukua sakramenti na kuunga mkono

huduma ya kanisa. Kanisa lenye halionekana lilieleweka kuwa jumla ya batu benye bameokolewa kwa hakika, ao

benye bako mu njia ya wokovu. Hii kompanyi haionekani mu njia yenye akuna mtu anayuwa vizuri isipo kuwa

Mungu mwenye anahusika nayo. Ilichukuliwa kwa njia maarufu (na mara nyingi ikatiliwa mkazo na banathelojia

na bahubiri) kuwa kwa kutorejelea mambo machache bamemba ba kanisa lenye halionekana lenye lyenye ilikolewa

kwa kweli, balikuwa tu Bakristu benye banakiri, bamemba ba kanisa lenye linaonekana; lakini kuwa kanisa lenye

linaonekana pia linazo (kutumia maneno ya John Calvin) “umbalimbali mkubwa sana wa batu banafiki, benye haba

na chochote juu ya Kristu lakini jina na mwonekano wa inje.”1

Maoni ya Bakristu bamingi na jamii ya Bakristu mu swala hili ilihamia mumyaka mingi sana ya karibu ili

kuruhusu uwezekano kuwa batu benye si bamemba ba wazi wazi ba kanisa banaweza ata kuwa, mu mutazamo

mwingine, bamemba ba kanisa, bashiriki mu moya wapo ya eklesia ya Mungu, bachangizi mu mawasiliano ya

karibu yenye Mungu kutoa.

Page 19: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Hii si kusema kuwa batu bote ni kwa hakika, banaitikia mapendo ya Mungu mu njia kama hiyo, wala

haimaanishi kuwa bale benye banafanya hivyo ni “bakristo kwa ukweli” bila kui yuwa. Inaonyesha, hata hivyo,

kuwa koinonia ya Mungu inaweza kukumbana nabo mu mifumo nyingine na fasi nyingine.

Funzo lenye tunaweza kujifunza kutoka ku Wesley ni kuwa tunahitaji, huku kuendeleza uwezo wa halisi na wa

kujichambuwa-binafsi wakati tunapokuja ku ubora wa maisha yetu binafsi na kushuhudia kama Bakristu na jamii

za bakristu, kuwa macho ku hatari za kuji-danganya na kuwa na habari juu ya mahitaji yetu binafsi ya kudumu ya

kutubu na kupata nguvu mupya; na, kule kuwa wazi ku, uwepo wa Mungu mu bajirani betu bila kusahabu bajirani

betu bapagani, na kuwa wazi kwa mapendo ya Mungu yenye inaweza kuja kwetu kubapitia.

Jamii ya Kanisa

Tunaweza kusema kuwa, kama itaeleweka kitheolojia, kanisa si chama cha batu benye akili-sawa benye

banahudumia makusidio benye banaweza kuwa nayo yenye balijitengenezea. Pahari pake, ni jamii yenye

ilianzishwa na Mungu, yenye imekita mizizi mu maisha yenyewe ya Mungu, zana ya uumbaji mupya.

Hata hivyo kuishilia habo kutakuwa sawa na kufanya mambo kuwa rahisi muno. Ni sahihi juu ya kile chenye

kinahakikishiwa juu ya chanzo kikuu cha uhalisia wa kanisa na juu ya kile chenye kinatosheleza kwa kweli kama

maonyesho ya koinonia. Lakini inakosewa mu kile kinacho kataliwa chini kwa chini. Ukweli—ukweli wa

kitheolojia, hata— ni kuwa kanisa kwa hakika pia jamii ya kibinadamu sana, chama cha mara nyingi batu benye

akili-sawa sana, na una hudumu hata ku makusudio ya binadamu yenye utofauti mkubwa sana, mara nyingi tofauti

kinyume na makusudio ya Mungu.

Kama mila mingine ya kidini ya jamii, makanisa ya Bakristu inahudumu mahitaji umbalimbali ya binadamu na

makusudio, ku njia zenye zinatofautiana pakubwa kutoka ku fasi moya na muda hadi mwingine. Benye bana

hudumia mara nyingi mahitaji ya binadamu juu ya mwenendo, ushikamano, kutulia, utiliaji mkazo wa imani,

urafiki, mwongozo wa kimaadili na kazalika. Bana gusawa kwa kila sehemu na njia halisi za binadamu

kutangamana mmoya na mwingine mu matoshelezo ya mahitaji hayo. Banaweza pia kuwekwa ku matumizi ya

huduma ya masilahi mengine ku sehemu ya vishikanizi na batu ba inje vile vile, kwa mufano, kwa kufanywa

kuhudumu mu hali fulani za kisiasa na kiuchumi. Akuna mtu atajishieikisha na historia ya makanisa ya Bakristu

kutoka karne za inaweza kushindwa kutambua mahitaji muhimuya binadamu ya nguvu, matarajio, shabaha, na uoga

mu historia hiyo.

Umbalimbali na Mzozo

Uelewa wetu wa upana wa neema uandaaji makutano ya bakristu na kufikiria kwa kitheolojia, uliowekwa

pamoya na kuongezewa hekima ya mambo ya kanisa, byote binaelekeza ku njia ya kuangazia ugumu wetu wa sasa

zidi ya Mzozo mu kanisa.

Mzozo ni mgumu kama vile ulivyo maarufu. Kanisa bila Mzozo lina uwezekano mkubwa zaidi wa kuwa kanisa

lenye linashindwa kuwa kanisa. Kumbukuka kuwa ni Mungu mwenye ana tuleta mu kanisa ao mwenye analeta

kanisa kwetu sisi, kuliunda kanisa kuwa kati kati yetu kwa nguvu za Roho Mutakatifu. Tunaletwa pamoya mu fano

kwanza kwa neema, si kwa sababu tunachangiza maono sawa, desturi, mienendo ya kitamaduni, ao hata maadili ya

kijamii. Kupitia yale tunayo pitia na batu bengine mu jamii Bakristo, tunaweza bila shaka kuja kuchangizana kiasi

kizuri cha mambo haya kwa utaratibu. Akili zinaweza kubadilisha—pengine kwa nguvu zaidi wakati si mfano wa

muhusika mumoya kushinda mabishano zidi ya batu bengine lakini Pahari pake bao kuweza kuongozwa kupitia

kwa uzoefu kwa pamoya hadi katika uelewa mukubwa zaidi kuliko yeyote yule aliye husika zamani. Tunaweza

kugundua ao kukubaliana juu ya mambo mbali mbali. Lakini kushinda ao kufuta utofauti si hasa matokeo mazuri

zaidi. Utofauti mwingi ni sehemu ya umbalimbali mzuri wa uumbaji, umbalimbali wenye ni “zawadi kutoka ku

Bbana” unafaa kuheshimiwa vile vile.

Vile vile, bamoya bamoya utofauti mu ya kanisa husaidia kanisa mu misheni yake ya duniya yenye umbalimbali.

Teknolojia mpya zina leta uwezekano wenye haukufikiwa zamani; maarifa mapya inabadilisha uelewa wetu juu ya

sisi benyewe, na dunia yenye tunaishi mu. Wakati kanisa linakabiliwa na hali mpya na linatafakari juu ya jibu

muzuri zaidi, ni vyema kuwa na umbalimbali mpana zaidi wa uzoefu karibu nasi. Ili kuelewa na kuheshimu utofauti

Page 20: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

wa kila mumoya wetu na njia zenye zote tunachangia mu kutimiza misheni ya kanisa na haitishii umoya wenye

Mungu ananuiya lakini Pahari pake unauzidisha.

Wakati huo, bamoya bamoya, mugogoro unaanzishwa kwa majibu tofauti kwa maendeleo haya kama vile tuli

“kulenga kuonyesha kwa uaminifu ushuhuda tunao toa kwa nafasi yetu sisi wenyewe. Kunayo mifano ya mugogoro

ynye batu tofauti bana uamuzi usioingiliana ao pinzani juu ya pamoya pamoya swala lenye banaona ni muhimu ku

tambulisha kwa kanisa na misheni lenye uamuzi wake unaonekana kuwa zaidi ya uwezo wetu. Wakati mugogoro

unaweza kusuluhishwa kupitiya mazungumuzo ao majadiliano, kupitiya hatuwa yenye batu bote benye bana husika

wanoshughulikia kwa heshima hafla nzima inaweza kuwa ushuhuda wenye nguvu kuhusu injili. Kama kanisa sisi

sote hatuja itwa kuepuka mugogoro ao kuufu tilia mbali, Pahari pake tumeitwa kuushughulikia kwa ukombozi.

Kwenda Zaidi “Tumeitwa ili kuwa Majirani na Mashahidi: Mahusiano ya kati ya dini” ulipitishwa na Mkutano Mkuu wa

2016 na ikachapishwa mu Kitabu Kitabu cha Mipango cha 2016. Maandishi inaweza kusomwa ku

http://tinyurl.com/UMCNeighbors.

Tafazali tupatie maoni yako kwa kuujaza uchunguzi unaopatikana ku

www.umc.org/CFOWonderLovePraise ao kwa kuyajibu majibuyenye ilitolewa na kiongozi wako wa

masomo na kututumia barua ya mutandao ya majibu yako [email protected].

Nakala

1 John Calvin, Anahusisha dini ya Bakristu, yenye ilitafsiriwa na Henry Beveridge (London: James Clarke, 1962), juzuu

la 2, k. 288 (IV, 1, 7)

Isipokuwa kama itatajwa vinginevyo, manukuu yote ya Maandiko hutoka mu Bibliya ya Toleo Jipya la batani lenye

lilizurusiwa, ©1989, na Kitengo cha Elimu ya Ba Kristo cha Baraza la Kitaifa la Makanisa ya Kristu mu inchi ya Amerika

imetumika kwa ruhusa. Haki zote zimehifaziwa.

Mwongozo huu wa kikao ni wa ©2016 na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Ruhusa imetolewa ili

kutoa nakala tu kwa makusudio yenye huhusiana na masomo hii na mchakato wa maoni.

Page 21: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kikao cha Inne: Mwongozo wa Kiongozi

Matayarisho

• Kusanya makala yenye inafuata: gazeti, maka, karatasi, kalamu ya risasi, nakala za “Kikao cha Ine: Makala ya

Mushirika,” Biblia, Nyimbo za Sifa za Methodiste Umoja, mararida/madaftari na kalamu za mushirika.

1. Tambulisha Kikao

Kumbusha bashirika kuwa iki ndiyco kikao cha mwisho cha masomo kinacho chunguza namuna batu ba

Methodiste Umoja banabyo elewa asili ya kanisa. Alika bashiriki kukumbuka hoja muhimu kutoka ku vikao vya

zamani.

Lomba bashirika kusoma Yohana 17:18-23 na bakumbushe kuwa ii ni sehemu ya maombi yenye Yesu aliomba

pindi tu nyuma ya kukamatwa. Baalike bashiriki kufafanua namuna vile banafikiria juu ya duniya na kanisa na vile

kanisa lingefanana kama maombi ya Yesu juu ya umoya yangeweza kufanyizwa yote.

Nyuma yabo kumaliza, tazama video ya masomo ya “WLP: Kikao cha 4 Utangulizi” kinapatikana ku

www.umc.org/CFOWonderLovePraise (lugha ya Kiingereza pekee)

Soma kwa sauti sehemu, “Utafutaji wa Umoya,” kutoka ku makala ya mu shirika. Tumia majibuyenye ili ulizwa

mu sehemu kama kichocheo cha mazungumzo ya ziada.

2. Tilia maanani kanisa–lenye Kuonekana na lenye Kutooenakana

Lomba bashirika kusoma kimya kima sehemu za makala ya bashirikia “zenye Kuonekana na zenye hazi

Onekana” na “jamii ya Kanisa.” Alika bashirika kufikiria juu ya nyakati mu maisha yabo binafsi wakati bao

bamepitia koinonia mu ya kanisa lenye kuonekana na nje ya kanisa lenye kuonekana. Kisha balombe kukumbuka

nyakati zenye balipitia unafiki mu ya kanisa lenya kuonekana na nje ya kanisa lenye kuonekana. Bila kufichua

kabisa maelezo ndogondogo ya mu, baruhusu bale benye bana penda kutaya kwa sauti hisia zenye bamefikiria mu

mifano mbali mbali na kuonyesha namna hali ya benye balipita kama vile ili lumiza imani yabo.

3. Chunguza umbalimbali na Mzozo

Lomba bashirika kusoma kimya kimya sehmeu ya “umbalimbali na Mzozo” mu makala ya bashirika. Lomba

kikundi kutaja bakristu na jamii nyingine za imani zenye zinapatikana mu eneo lako. Rekodi bikundi vile bina

tajwa.

Gawanya mu bikundi bidogo bidogo na upatie kila kikundi moya ao zaidi ya jamii hizo za imani zenye kutajwa.

Balombe kuorozesha tofauti zenya benye banana kati ya kila jamii ya imani na baumini bao.

Nyuma ya karibu dakika tano, lomba bikundi kuripoti matokeo yabo na unda oroza ya tofauti hizo zenye

zimetajwa. Pitiya oroza, na zungumzia kama kila tofauti ni tofauti yenye inasaidia kanisa mu misheni yake ku

duniya yenye umbalimbali ao tofauti zenye zinaonyesha imani pinzani ku swala lenye ni muhimu mu utambulisho

na misheni ya kanisa. Chagula moya wapo ya mambo yenye inapatikana mu aina ya nyuma na kuzungumzia

namuna uelewa wako wa imani wa neema, uandaaji wa makutano ya Bakristo, na kufikiria kwa kitheolojia kama

kazi ya kanisa nzima vile inaweza kufurnir njia ya kushughulikia mgogoro mu njia ya ukombozi.

4. Toa Ushauri ku Komiti

Kumbusha kikundi kuwa moya wapo ya makusudio ya masomo haya ni kutoa maoni ku komiti ya Maneno ya

Mwenendo na Imani ya kanisa. Zungumzia majibu yenye inafuata, na baulize bashiriki kuandika majibu yabo ku

jarida ao daftari labo.

Ni aye utatambua UMC mu matumizi ya kikao? Ni neno ama kichwa cha neno gani kina onyesha

muzuri Umoja wa Bamethodiste ni ba nani?

Kuna kitu chochote cha maana kwa maisha ya UMC ikifatana na mambo tume ongelea mu hiki

kikao cha kukosa?

Page 22: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Kisha lomba bashiriki kutilia maanani masomo kwa ujumla. Fuata maagizo kutoka ku majibuya kuitikiwa ya

“Maajabu, Mapendo, na Sifa” ku mwisho wa mwongozo wa masomo haya ili kuripoti maitikio ya bikundi.

Kama bashiriki benye bana majibu fulani juu ya zana yoyote ya karatasi ao masomo, bahimize kutuma moja kwa

moja ku Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa ya Kanisa Methodiste Umoja [email protected].

5. Funga Kwa Wimbo wa Sifa na Maombi

Soma kila maombi hapa chini, sita kwa maombi ya kimya, na kisha kwa pamoya jibu, “Na sote tuweze kupotea

kwa maajabu, mapendo na sifa.”

Mungu mwenye neema, tunalomba juu ya kanisa lako kuwa batu bote baweze kupata kikaribisho, kupitia jamii

na kubadlishwa.

Tunatoa shukurani ku malaika wenye wametangulia nyuma ya kutuachia nyimbo za sifa, maandishi, na kumbu

kumbu za maisha matakatifu.

Tunatambua kuwa bote bameitwa ku kazi la Mungu, kutangaza Kristu kama Kuhani na mfalme.

Tunalomba juu ya umoya wa kanisa letu ili duniya iweze kubadilishwa.

Funga kikao kwa kuimba pamoya, “Mapendo ya Kiungu, Kila mtu Anataka Kuendelea,” ku karatasi ya 384 ya

Nyimbo za Sifa Methodiste Umoja.

Page 23: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Majibu ku Maulizo ya maitikio ya Maajabu, Mapendo na Sifa

- Kikundi Ndogo la Masomo -

Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa Methodiste Umoja inafanyizia kazi ili kuunda karatasi

yenye itafasiri uelewa wa Methodiste Umoja ku asili ya kanisa. Masomo yenye me jihusisha mu ni hatua muhimu

ya kukusanya taarifa ili kuboresha karatasi hiyo. Masomo yenye me jihusisha mu ni hatua muhimu ya kukusanya

taarifa ili kuboresha karatasi hiyo.

Kama unaweza, tungependelea kuwa uweze kufurnir maoni yako kwa kutumia uchunguzi wa mtandaoni

unaopatikana ku www.umc.org/CFOWonderLovePraise. (Uchunguzi huu uko ku lugha ya Kingereza pekee.

Tunahimiza bamemba ba makutano ya inchi la Amerika kuunda nija za ukusanyaji na upangilia wa maoni yenye

itawafaa sana kws kila mawazo wa mtu binafsi.) Kama huwezi kuyaza uchunguzi mtandaoni unaweza kuitikia

maulizo yenye iko hapa chini na kutuma barua pepe ya maoni yako ku [email protected].

Batu benye bamejihusisha mu makala ya masomo banaweza kuwasilisha uchunguzi ao maulizo ya maitikio abo

binafsi ao unaweza kuwakusanyia matokeo ya kikundi yako na silishe moya wapo ya uchunguzi ao maulizo ya

majibu kwa faili kwa kikundi yote. Tafazali elekeza maulizo yoyote yenye unaweza kuwa nayo cfo@umc-

cob.org.

Taarifa ya Jumla:

Jina: Umemba wa Mkutano:

Nanaijaza fomu hii ku jina ya (ripoti moya): mimi mwenyewe ku kikundi cha masomo kikubwa sana

Kama unaripoti kwa niaba ya, ni batu batu bangapi kwa wastani benye balihuzuria vikao vya masomo?

Ni nini kinafafanua muzuri sana wewe ao muundo wa kikundi lako kwa uhusiano na UMC? (Ripoti moya

kutoka kwa kila kategoria; kama una ripoti juu ya kikundi fanya uchaguzi kutokana na wingi wa benye kuwemo kwa

kikundi.):

Kategoria 1: Balei Viongozi ba dini

Kategoria 2: Mwito uso-Kanisa Ameajiriwa na Baumini ba mu UMC

Ameajiriwa na Uajaenti Mkuu ao Tarasisi nyingine ya UM (iso-masomo)

Mwanafunzi wa Masomo ya kipastere Masomo ya Uchungaji ao Ualimu

mwengine mu Kitabu cha Mwenendo

cha Kitheolojia

Page 24: Mwongozo wa Masomo ya Kikundi Ndogos3.amazonaws.com/Website_Properties/council-of-bishops/...ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi

Maulizo ya Maitikio:

Mu kipimo cha 1-5, huku 1 ikiwa “ninakatala kabisa” na 5 ikiwa “ninakubali kabisa”, tafazali jibu

taarifa zifuatazo:

Ninatambua Kanisa Methodiste Umoja mu makala yenye yamewasilishwa ku karatasi hii.

1 2 3 4 5

Kuna mazingira na mada muhimu ku UMC yenye karatasi hii haikuangazia.

1 2 3 4 5

Tafazali fafanua ku majibu yako juu ya maulizo yenye ili hapo yulu kwa kufurnir majibu mafupi ya

zifuatazo:

Mu njia gani njo weye unatambua UMC mu karatasi hii? Ni mazingira ao mada gani yenye

inapatikana mu ayo yenye inalezea kwa njia muzuri sana juu ya sisi ni nani kama batu na

Methodiste Umoja?

Kuna kitu chochote yenye ni muhimu ku maisha ya UMC yenye inakosekana mu karatasi hii?

Ni mavigezomaalumu gani na/ama mitazamo gani mipya ya hati hii ambayo iliwapa motisha?