Upload
others
View
15
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
Mwongozo wa
Masomo ya Kikundi Ndogo
Kutokana Na
Maajabu, Mapendo, na Sifa:
Kuchangia Maono ya Kanisa
Imetayarishwa na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani
na Kanisa Methodiste Umoja kwa kuitikiya hatuwa ya
Mkutano Mkuu wa 2016, maombi ya #6033.
Utangulizi Ku kipindi cha miaka inne cha 2008, Komiti ya Methodiste Umoja ya Maneno na Mwenendo ya Imani ya Kanisa
ilipokeya ombi kutoka ku Baraza la Baaskofu ili kutayarisha karatasi mupya ya masomo ya kitheolojia juu ya
masomo ya makanisa—yani, uwelewa wa kitheolojia wa kanisa lenyewe. Kwa kuitikiya ombi hili, karatasi ya
bruyon yenye kichwa Maajabu, Mapendo, na Sifa: Kuchangia Maono ya Kanisa kume endelezwa. Hutarajiwa
kusaidiya batu bote ba Kanisa Methodiste ya Umoja katika kuweza kupata maono yenye uwazi sana, na ya kuelewa
sana juu ya uhalisia wa kanisa, na kuyaweka maisha yetu na kazi kama batu ba Methodiste ya Umoja mu ya muktaza
wa maono hayo. Kunahusisha urizi zetu za Wesley, huku kukiwa na utamaduni ba Bakristo yenye ilikita mizizi mu
ya ushuhuda wa maandiko, na mazungumzo ya kisasa juu ya mambo ya umoja wa madini.
Ni tumaini la komiti kuwa, nyuma ya kipindi cha masomo, ugeuzi, na kutafakari kutakako ishia mu masaisho yoyote
na maboresho mengine yenye itapatikana kuwa yenye manufaa, karatasi hii ya sasa huweza kufanyika kandokando ya
kauli nyingine rasmi za kitheolojia za kanisa. Kama hatuwa ya kuelekea katika utambuzi wa Mukutano Mkuu wa 2016
yenye iliMahubirishwa na uamuzi yenye ilichapishwa hapa chini.
Mwongozo huu ni “mwongozo wa masomo na majibu ya mbiombio” yenye ilitajwa mu ya kipengele cha kwanza
kitakachotumika mu “masomo yenye hutokana na batu baamini ba usomaji wa Kanisa la Methodiste umoja” iliotajwa ku
kipengele cha pili, au masomo yenye hufaa ya kikundi dogo.
Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa hupendekeza kipindi cha masomo ili kuchangamsha na kusaidia
kutafakari kwa kitheolojia kotekote mu kanisa juu ya utambulisho na misheni ya Kanisa Methodiste ya Umoja.
Hatuwa ya masomo na majibu mu kipindi cha myaka inne kye khukuya kitahusisha elementi hizi:
1. Karatasi ya mafunzo juu ya masomo ya kanisa lenyewe itaweza kupatikana mu mutandao kupitiya
www.umc.org, www.gbinaem.org, na www.gbod.org pamoya na muhtasari wa masomo na mwongozo wa mwitikio ili
kuratibu masomo ya karatasi. Karatasi hizi zitaweza kutafsiriwa mu lugha ya Mukutano Mukuu.
2. Kila askofu mkazi atalombwa kupangiliya masomo yenye hutokana na baamini ba masomo ya Kanisa ya
Methodiste ya Umoja kati ya Juni 2016 na Disemba 2017 na kuhusisha baleyi kumi ku miya na byongozi ba kanisa mu
eneo lake la kiaskofu. Mali za masomo hii zitaweza kutolewa na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa.
3. Maitikiyo itatafutizwa kutoka mu bikundi mahususi yenye huweza kuwa na utaalamu fulani mu masomo ya
kanisa lenyewe, ikiwa na: kitengo cha masomo cha semhuri za Methodiste Umoja na shule ya theolojia, bafanyakazi
ba wakala mkuu, banatheolojia ba kushirikiana na Methodiste; na bakubwa bengine benye balichaguliwa wa makanisa
mengineyo.
4. Batu bote ba Methodiste ya Umoja bataalikwa na kuhimizwa kuweza kutoa maoni juu ya masomo ya makanisa
mengine ya Methodiste Umoja.
5. Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa itaweza kuunda mienendo ili kutafuta na kupokea majibu
hii.
6. Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa itawajibikia upima wa mchakato wa masomo na kutilia
maanani majibu yenye ikokelewa na itaweza uchukuwa hatuwa yenye hufaa ku Mukutano wa Mwaka 2020. Komiti ya
Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa itatuma ku Mukutano Mkuu wa 2020 karatasi ya mafunzo ya kiteknolojia
juu ya mambo ya makanisa mengine kwa kwa ajili ya uitikiwaji kama karatasi rasmi ya kanisa, ikilinganishwa na Kwa
Maji na Roho na siri Hili Takatifu.
Imeitikiwa na Mukutano Mkuu wa 2016 wa Kanisa Methodiste ya Umoja mu Mei 19, 2016.
Kutayarisha Kuongoza Masomo
Nani Anafaa Kushiriki
Masomo hii imeundwa ili kutumika mu bikundi madogo ku mseto wa mazingira. Hii huweza kuhusisha bikundi yenye iko
kama vile madarasa ya shule ya siku ya Mungu ya batu wazima, bikundi ya siku za juma, na banaume na Banamke ba
Methodiste ya Umoja. Bamoya bamoya makanisa huweza kutaka kutumiya masomo hii yenye huhusu kanisa kwa upana,
kuunda namba ndogo sana ya batu benye banatimiza mseto wa wa nyakati juu ya kipindi cha juma inne.
Masomo ni ya vikao inne kwa urefu, huku kikao kimoja kikiwa na takribani saa moja na nusu. Bikundi mingi sana bitataka
kukutana kila juma, ingawaje huwezekana kutumia makala hii mu ziyara ya wikendi au kuipanua sana ku kipindi cha muda
mrefu sana. Bikundi kama vile ya madarasa ya shule ya siku ya Mungu ya batu wazima yenye huweza kuwa na muda wa
kukutana wa chini ya saa moja huweza kutaka kuchukuwa juma mbili kwa kila kikao.
Kwa Nini Unafaa Kuongoza
Kwanini unafaa kuongozwa na “mtaalamu wa yenye ilimo,” ingawaje huweza kuwa njia ya kamili na labda mchungaji wa
kanisa ataongoza vikao hivi. Kiongozi anahitaji kubali kufanya matayarisho fulani mapema mbele ya kila mukutano, ili
kuratibu mazungumzo ku kikao, na kupangilia kufikishwa kwa kazi hiyo ku mwisho wa masomo.
Nini inafanyikaka Mu Kikao
Vikao inaanzaka na kutafakari kuhusu Maandiko yenye huhusiana na mambo yenye ita zungumziwa. Kila kikao kuchanga
kusoma bataalamu kutoka ku karatasi, Maajabu, Mapendo na Sifa: Kuchangia Maono ya Kanisa. Bataalamu hizi zhuunda
“Makala ya Mshiriki” kwa kila kikao na zhufaa kuchapishwa kwa kwa ajili ya kusambazwa katika kila mukutano. Huku
ikitumainiwa kuwa bashirika batasoma karatasi yote nje ya darasa, haichukuliwi kuwa abo batasoma “Makala ya Mushiriki”
mbele ya kikao chenye kitazungumziwa.
Kuongezeya ku makala ya kusoma, mwongozo wa kiongozi unapendekeza shughuli za kusoma zenye zitasaidia bashiriki
kuchakata kile chenya bamesoma na kufanya miunganisho na muktaza abo wenyewe. Video za utangulizi za kila kikao
kinapatikanaka ku www.umc.org/CFOWonderLovePraise. Video hizi zinapatikanaka ili kufululiza ku YouTube au kupakuwa
ku mtambo. Zipo tu mu lugha ya Kingereza na zinanuiwa tu kuongezeya yale masomo banayopata. Masomo imeundwa
kufanya kazi bila ya matumizi ya video kama hizi hazitapatikana au kuwa zenye manufaa mu muktaza wako.
Piya, kila kikao khuhusishwa mapendekezo kwa bale benye banapenda kufanya mengi sana kwa khu mu masomo yabo
binafsi.
Kusudio la masomo si tu kusaidia bashiriki kufikiri kwa khu juu ya maumbile ya kawaida lakini pia kusaidia Komiti ya
Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa mu kuimarisha karatasi yenye mazungumzo ya pande zote mbili yenye ita pelekwa
Mu Mukutano Mukuu 2020. Kama itaizanishwa na Mukutana Mukuu, karatasi itakuwa kauli rasmi ya Methodiste Umoja
kuelewa masomo ya makanisa. Hii ndiyo sababu yenye inafanyaka kila kikao kuhusisha muda wa upima yenye itafahamisha
mukusanyiko wa mwisho na wasilisho la maoni mu mwisho wa masomo. Maoni yenye itakusanywa itakuwa yenye samani
sana ku kusaidia komiti kuunda kauli hii fasiri.
Namuna ya Kuwasilisha Maoni
Ku Mwisho wa kila kikao, Bashiriki bataombwa kujibu maulizo mawili ya kimsingi ya kipima na kunakili majibu yabo mu
kitabu rahisi au bruyon. Nakala hizi zinafaa kutumika wakati wa kujibu yale maulizo ya maoni pindi tu batakapo kamilisha
masomo. Maagizo ya kuwasilisha maoni huweza kupatikana ku mwisho wa karatasi hii, nyuma ya ya kikao cha makala
mainne. Kama itawezekana, tunalomba kuwa maoni yaripotiwe kupitiya uchunguzi wa mtandaoni (lugha ya Kingereza pekee)
yenye hupatikana ku www.umc.org/CFOWonderLovePraise. Hata hivyo, kama hivi havitawezekana kwako au ku kikundi lako
unaweza kujibu tu maulizo yale ya majibu yenye ilichangana ku mwisho wa masomo na kuyatuma kupitiya barua pepe kuu
Bamember binafsi ba darasa banaweza kutoa michango mahususi ku komiti. Kuhimiza batu haba kutuma barua pepe
yenye ili na maoni yabo moja kwa moja ku kikao cha kwanza [email protected].
Kikao cha Kwanza: Makala ya Mushiriki
Kujitolea maalum Kwa Methodiste Umoja juu ya Kanisa
Jamii za Imani ya Bakristo zenye zilikuja kwa pamoja mu 1968 ilikuliunda Kunisa Methodiste la Umoja ziliweza kuwa na
bamoya bamoya ba kujitoleya maalum kunakoendelea kupatiya nguvu na kuongoza maisha na ushuhuda wake. Miongoni mwa
kujitolea huku ni mapendo ya kuokoa ya Mungu yenye humaanisha na kugusa batu bote, si tu bale bachache benye kibali;
yaani mapendo ya kubadilisha; na ni mapendo ya kuunda-jamii.
Mapendo ya kuokowa ya Mungu Kuwa Ya Batu Bote
Mungu ni Mwokozi Wetu . . . kila mumoja anatamani kuokolewa na kuja kwa ufahamu wa ukweli (1 Timoteo 2:3-4).
Mu kuzungumzia 1 Timoteo 2:4 mu Nakala za Ufafanuzi Juu ya Agano Jipya, John Wesley anatilia mkazo kuwa banadamu
bote banachangana mutamanio la Mungu, na anatilia maanani pia kuwa Mungu hawashawishi batu kwenda sambamba na
tamanio lake.
Imani ya Mungu yenye hurefushwa kwa batu bote haikosi kutilia maanani uhuru wa binaudamu, lakini hu upatia nguvu ili
wokovu wetu huku ukiwa kwa ujumla zawadi unahusisha kushiriki kwetu kwa uhuru. Hoja hizi mbili juu ya uduniya wa
mapendo ya kuokowa ya Mungu hurudiwa kote kote mu maandishi ya Wesley na kuingizwa kati ya huduma yake. Balikuwa
muhimu mu uelewa wa Wesley wa injili na nguvu za kikikundi lenye alihemusha, na kubakia sehemu muhimu ya utetezi wa
Methodiste.
Mapendo ya kuokowa ya Mungu ni ya Kubadi
Ili kutumiya lugha yenye hueleweka na Wesley, kama neema ya mungu hukubalika mu imani, huleta bitu byote bya utetezi,
urejeshi wa uhusiano sawa na Mungu, na utakasaji, upatiaji nguvu mupya uwepo wetu halisi.
Kyenye ina uzabo mupya. Mapendo ya Mungu kwetu sisi hukuwa mapendo ya Mungu mu yetu sisi. Kwa maneno ya
mtume Paulo, “Kupitiya kwa uhuru Kristu ametuachiliya kuwa huru” (Wagalatia 5:1), na kuweza “kuitwa kwa kwa ajili ya
uhuru,” tunafaa “kuishi kwa Roho,” kumaanisha kuishi kwa mapendo ya Mungu yenye hutuwezesha kuweka kando “kazi za
mwili” na kuweza kuzaa “matunda ya Roho... mapendo, furaha, amani, subira, upole, ukarimu, uaminifu, utulivu na
kukumbatia nafsi” (Wagalatia 5:13,16,19, 22-23).
Kilele cha maubiri ya John Wesley, na mahubiri na ushuhuda wa batu benye banaitwa Methodiste kupitiya miaka, ni kuwa
mabadiliko kama hii yenye uzoefu, ya hapa-na-sasa juu ya maisha ya mbanadamu na nguvu za Roho Mtakatifu ni kweli.
Mapendo ya kuokowa ya Mungu huunda jamii
Mabadiliko yenye ilifafanuliwa tu hapa karibu ni kwa maumbile yake mwenyewe mabadiliko ya mahusiano yetu na batu
bengine. Ni kupitia batu bengine njo tunapopitiya mapendo ya Mungu; ni pamoya na bengine njo ruwaza ya maisha mapya
yenye kupewa na Mungu hufunzwa na kuzidi. Maelezo mengi ya Agano Jipya ya kanisa huanziya ku ule uzoefu wa Bakristo
ba mapema ba nguvu zenye ziliunda jamii ya Roho. Kanisa halitokei kuwepo juu ya batu binafsi ba kando benye banapitia
mapendo ya Mungu ya kuokowa na kisha kushugulika juu ya kubatafuta batu bengine benye kubasaidia kuunda kikundi.
Kanisa lhukuwepo juu ya Roho wa Mungu kutuongoza sisi mu jamii— pengine na batu benye hatutatarajii kabisa kushirikiana
nabo—kama kiini chenyewe cha wokovu wetu.
Kuwa jamii yenye iliundwa na Roho hukuwa mu ya mawazo wenye tunaingila mu maisha mapya yenye Mungu kutupatia
sisi. Ni jamii yenye tunafikila kila mara na hurefushwa mu bamemba bake, benye baliwezeshwa na Roho, kutoa zawadi ya
jamii kwa batu bengine na vinginevyo kupokea zawadi. Katika Roho huyo huyo, Wesley na batu bengine baliunganishwa na
yeye na bakajipata bakisonga sana ya mambo ya kawaida yenye ilianzishwa juu ya tabiya ya kanisa na magumu za kanisa
kupitiya mufano abo binafsi, kuunda zawadi kamili sana ya Mungu mujamii. Hivyo basi muunganisho ulichukuwa mtazamo
mupya wa maana, kama kile Wesley aliita utakatifu wa kijamii—ukuzi mu ya mapendo na matunda mengine ya Roho yenye hu
wezekana kupatikana mu jamii—yalitambulika muhali na mazingira mapya.
Kubali huku kuzidi mipaka ya mazoeya kwa madarasa na utamaduni katika kufuatilia zawadi ya Mungu ya jamii, anasema
mbana historia wa Methodiste Umoja Russell Richey, akizungumzia umuhimu wa misheni ya tabia ya ule uunganisho.
Kwanzia mwanzo, muunganisho ulisimama imara mu huduma ya misheni, ukitilia maanani kila zana ya maisha ya pamoja ya
Methodiste—kwanzia ku muundo mpaka kanuni mpaka nizamu—mpaka katika uinjilisti na kusudio la kubadilisha maisha.1
Pamoya, kujitoleya huku kuliunda uwelewa wetu wa Methodiste Umoja juu ya vile ilivyo mukanisa sasa. Njia
zenye wamekuja kuonyesha mu historia yetu zhurekodi kwa sehemu fulani njia zetu fulani za kuwepo kwa kanisa,
mu ya mwili mkubwa sana wa Kristo.
Kwenda Zaidi
Masomo hii hutokana na karatasi ya kufanyizia kazi kwa sasa yenye kichwa Maajabu, Mapendo, na Sifa:
Kuchangia Maono ya Kanisa, yenye ilitolewa na Komiti ya Maneno na Mwenendo wa Imani ya Kanisa. Sehemu za
karatasi zimechangana mu vipeperushi vya mushiriki. Unaweza kusoma karatasi nzima mtandaoni ku
http://www.umc.org/CFOWonderLovePraise.
Tume ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa na Baraza la Makanisa ilitoa karatasi mu 2013, juu ya
maumbile ya kanisa. Karatasi hii, Kanisa: Kuelekeya Maono ya Pamoya, Karatasi ya Imani na na Mwenendo
Na.214, @2013 Machapisho ya WCC huweza kupakuliwa kama karatasi ya pdf ku http:// tinyurl.com/WCC214
Nakala
1 Russell E. Richey, pamoya na Dennis M. Campbell na William B. Lawrence, Alama za Umethodiste: Theolojia Mu
Mwenendo ya Masomo ya Makanisa (Abingdon, 2005), kk. 31-32
Isipokuwa kama itatajwa vinginevyo, manukuu yote ya Maandiko hutoka mu Bibliya ya Toleo Jipya la batani lenye
lilizurusiwa, ©1989, na Kitengo cha Elimu ya Ba Kristo cha Baraza la Kitaifa la Makanisa ya Kristu mu inchi ya
Amerika. Imetumika kwa ruhusa. Haki zote zimehifaziwa.
Mwongozo huu wa kikao ni wa ©2016 na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Ruhusa imetolewa ili
kutoa nakala tu kwa makusudio yenye huhusiana na masomo hii na mchakato wa maoni.
Kikao cha kwanza: Mwongozo wa Kiongozi
Utayarisho
• Kusanya makala yakufuata: magazeti, maka, nakala za “kikao cha Kwanza: Makala ya mushiriki,” Bibliya, Nyimbo za
Methodiste Umoja,majarida/mabruyon ya mshiriki na kalamu.
1. Tambulisha Masomo
Wakati batu bote bamewasili, uliza batu kujitambulisha kwa kutaja majina yabo na maneno ya kwanza yenye hukuja ku
akili zabo bakisikia neno kanisa. Kama vile maneno imetajwa, yi aregistrer ku magazeti.
Tazama video ya “Mpangilio wa Ajabu, Mapendo, Mapendo na Sifa Masomo” yenye hu patikana katika
www.umc.org/CFOWonderLovePraise (lugha ya Kingereza pekee)
Kama video haipatikani kwako, elezea kuwa masomo hii ya vikao-viinne kikundi litakuwa likitumia bataalamu kutoka ku
karatasi ya kufanya kazi yenye imetayarishwa na Komiti ya Maneno na Mwenendo na Imani ya Kanisa ya Kanisa Methodisti
Umoja ili kuchunguza namuna vile sisi Batu Ba Methodiste Umoja vile tunaelewa maumbile ya kanisa. Baumini kutoka
Kanisa la Methodiste Umoja banalombwa kushiriki mu masomo hii na kutoa maoni ku komiti ya Maneno ya Mwenendo na
Imani ya Kanisa. Maoni hii itasaidia komiti kuunda karatasi yenye itawasilishwa mu Mukutano Mukuu wa 2020.
Soma kwa pamoja Vitendo 2:43-47. Uliza kikundi kufikiria juu ya kile chenye Maandiko hii huonyesha kuhusu maumbile
ya kanisa la kwanza. Nani aliongezwa? Balifanyaka nini? Balikuwa na husiano gani? Kwa kadri mafikiri zinvyotajwa,
ziongezee ku gazeti.
2. Soma na Zungumzia Makala ya Mushiriki
Sambaza Nakala za “Kikao cha Kwanza: Makala ya Mushiriki” na alika kikundi ili kuweza kusoma kwa kimya ukurasa wa
kwanza.
Wakati wamemaliza, tazama video ya “Masomo ya WLP: Kikao cha 1 Utangulizi” khupatikana ku
www.umc.org/CFOWonderLovePraise (lugha ya Kingereza pekee)
Elekeza umakinifu wa kikundi mu gazeti. Hakiki kila moja wapo ya vipengele vyenye viliorozeshwa na, kwa kutumia rangi
tofauti maka kutofautitisha, weka nyota ku vipengele vile vyenye vinahusiana ma moya wapo ya yale mambo matutau ta
kujitolea yenye ilitajwa:
• Mapendo ya kuokowa ya Mungu ana inainuawaka batu bote.
• Mapendo ya kubadilisha ya Mungu ni ya kubadilisha maisha.
• Mapendo ya kuokowa ya Mungu ni ya kuunda jamii.
Bikundi huweza kuamuwa kuwa bamoya bamoya vipengele kuhusu ku sana ya moja wapo ya mambo ya kujitolea na hivyo
basi imewekwa nyota mara mbalimbali na vipengele vingine havihusiani ku mambo hayo ya kujitoleya.
Tumia maulizo yenye inafuata kuyaendeleza mazungumzo:
• Ni mitindo gani una angalia?
• Ni nini ina kushangaza?
• Ni maulizo gani uko nayo?
• Ni wapi unapoona mambo hayo matatu ya kujitoleya yakizidi mu maisha ya baumini betu?
• Ni vipi vile baumini betu vile bana zidi mambo hii matatu ya kujitolea kwa kikamilifu sana?
3. Imba Wimbo
Batu Ba Methodiste ya Umoja siku zote bameonyesha theolojia yetu kupitiya Nyimbo zetu. Taja Mu kikundi kuwa kicho
cha kufanyia kazi ya masomo ya karatasi hiyo kuitwa Maajabu, Mapendo, na Sifa: Kuchangia Maono ya Kanisa. Kichwa hiki
khutoka mu kifungo cha mwisho cha wimbo yenye inajulikana-sana wa Charles Wesley, “Upendo wa Kiungu, Upendo Wa
wote Mkubwa sana,” yenye inapatikana mu karatasi ya 384 Nyimbo za Methodiste za Umoja.
Imba pamoya wimbo au soma wimbo kwa pamoya kama shairi. Taja kuwa wimbo huu unapatikana mu sehemu ya nyimbo
“Na Ufanyaji Neema kuwa Timilifu ”. Alika kikundi ili kuzungumzia njia yenye maneno hayo huonyesha mambo hayo matatu
ya kujitoleya.
4. Towa Ushauri mu komiti
Kumbusha kikundi kuwa moyawapo ya makusudio ya masomo hii ni kutoa maoni juu ya Komiti ya Maneno ya
Mwenendo na Imani ya Kanisa. Zungumziya maulizo yenye inafuata, na baulize bashiriki kuandika majibu yabo
mu jarida labo au bruyon yabo. Mwisho wa masomo, mutaulizwa kuwasilisha maoni yenu ku komiti.
Ni kwa njia gani unatambua TMC Mu makala ya kikao hiki? Ni mambo au mada gani
inanyeshaka kwa usawa sisi ni nani kabisa tukiwa Batu ba Methodiste ya Umoja?
Kunacho chochote cha muhimu mu maisha ya UMC ku husiana na mambo yenye huzungumziwa
Mukikako hiki yenye hukosekana?
5. Funga kwa Maombi
Taya kuwa karatasi ya pili ya makala ya mushiriki hutupa mapendekezo ya masomo sana. Kila kikao
kitahusishwa masomo sana kwa bale batu benye kutaka kuchunguza sana. Tumia bifungo bya kwanza
na inne vya “Mapendo ya kiungu, Mapendo ya Kupita ya Bote” kama maombi ya kufunga.
Kikao cha Pili: Makala ya Mushiriki
Imeundwa na urizi Yetu ya Wesleyan Kama Batu Ba Methodiste ya Umoja, tuna uhakika tosha kuhusu kanisa, yenye inatokana na Mali za kote kote
mu utamaduni mpana sana wa Ba Kristo na vilevile kupatikana mu nyimbo zetu za sifa na litrujia pamoja na kauli
rasmi za msimamo wa mafundisho na kanuni.
Safari yetu ya Kihistoria
Kanisa la Methodiste Umoja lhufwatilia asili yake ku bikundi fulani ya upatiyaji upya na nguvu ku Ba Kristo mu
ya makanisa yenye ilianzishwa Mu Ulaya mu karne ya kumi na saba na namba fulani ya bikundi kama hayo mu
karne ya kumi na nane kule Uingereza. Kiongozi wake, John Wesley, alikuwa mchungaji aliyelapishwa Mu Kanisa
la Uingereza. Nia yake ilikuwa kuunda kanisa mupya, kando na Kanisa la Uingereza, lakini kusaidia kanisa lile mu
ufufuzi wa nguvu zake za kiroho na misheni yake. Yeye na ba Methodiste ba mapema baliitikia bamoya bamoya
njia zenye hazi zoeleka ili kuleta injili ya Kristu ku batu ahu nyingi benye habakufikiwa, ao batu benye habakuwa
bakifikiwa ku njia bora, na kanisa lenye lili anzishwa. Mazoea ya Wesley mwenyewe ya usafiri mpaka pale batu
walipokuwa na kuhubiri—ku uwanja wazi kama ingehitajika—popote na wakati wowote kund ila wasikilizaji
lingeweza ku kusanyika na yeye kuwaagiza na kuwapatia mafunzo wahubiri walei kuweza kufanya hivyo, na
mpangilio wa wasikilizaji wale wenye kupokea injili wakiwa ku bikundi madogo juu ya usaidizi wa pamoya na
ukuzi mu neema, ulisababisha kuibuka kwa “muunganisho” wa batu kote kote Uingereza na Ireland na hatimaye
(na baada tu ya kifo cha Wesley) wakachukua utambulisho kamili wa maonyesho wazi ya kanisa la Kristu.
Huku hii yaki endelea ku bara la Ulaya vugu vugu jingine liitwalo Pietism lilikuwa limeshika kasi mu makanisa
ya Mabadiliko ya Protestanti. Sawa sawa na Wesley na batu bake, batu ba Pietism balikuwa baki fuatilia kwa
makini ili kutambua nguvu za mabadiliko za roho mtakatifu na juu ya kueneza injili. Kama batu ba Methodiste,
baliweza kujumisha mu ya ngufu zabo za misheni ili kuboresha hali za maisha miongoni mwa batu maskini na
basio na uwezo, kutoa msaada wa elimu na usambazaji wa maarifa, na kuwa uwepo wa Bakristo pale ambapo
uwepo kama huo ulikuwa hauja julikana. Kwa hakika, ushawishi mkubwa juu ya maisha ya John Wesley na fikira
hizo ndio yenye ilikuwa uhusiano wake na bawakilishi ba vugu vugu hili, lenye aliweza kujihusisha nalo katika
nyakati mbali mbali mu maisha yake. Yeye na batu ba Pietism balikuwa na tofauti zabo lakini pia baliweza
kutambua uhusiano wa khu bahu yabo.
Bashiriki mu vugu vugu la Methodiste na sehemu mbali mbali za Pietism (zenye zingesaidia kuunda Chama cha
Kiinjili na bandugu Umoja) kiliweza kujipata inchi la Amerika Kaskazini, penye baliweza kukumbana pamoya na
mavuvugu mengine ya kuzindua mu ya makanisa ya Bakristo yenye ili kuwa tayari hapo. Baliendelea na ngufu
zabo mu muktaza mupya. Batu bote ba Methodiste na Pietiste baliweza kung'ang'ana na mahusiano yabo na
makanisa yenye balikuwa bametoka mu, na bikundi yote, kutokana na shindikizo la hali, hatimaye balijipata
bakichukua mfumo wa makanisa maalum. Ku sehemu nyingi sana, hazikuwa tofauti za kimsimamo wa mafundisho
lakini hali za ki matendo zenye zili sababisha batu abo kupitiya mpito huo. Walipochukua utambulisho wa kikanisa,
mavugu vugu hii yaliweza kushuhudia njia mbalimbali katika nia kubwa na atari ya neema ya Mungu.
Kumefuata historia kali na mara nyingi isiyo eleweka ya mafanikio na kushindikana, kukua na kupoteza,
matengano na miungano, ku karne mbili zenye zilipita na sana—historia ya kibinadamu kabisa, pale Mungu
amekuwa akifanyizia kazi bila kusita mu mabo na licha ya mipango ya binaudamu, uamuzi, na hatua mbali mbali.
Urizi ya ubaguzi na ugumu yenye inahusika ku mila na daraja la kijamii imeweza kugusa maisha yetu ya kawaida
na ngufu zetu ku misheni mu njia fiche na za wazi wazi kote kote mu historia yetu, huku kujitolea kwetu kukuu
kunaleta magumu isiyo sita ya kuishinda. Kanisa Methodiste Umoja ni mrithi wa, na lenyewe ni sehemu ya,
historia hii, pamoya na uzito wake na ampaka yake.
Ukuzi mkubwa wa hivi majuzi wa Kanisa Methodiste Umoja mu fasi za Afrika na Azia, na uonekanaji na
uhusishwaji wenye una ongezeka wa batu ba Methodiste Umoja kutoka inchi ingine mu uongozi wake, unaleta kwa
utaratibu batu ba Methodiste Umoja mu inchi la Amerika mu hali kubwa sana (kama imepitwa na wakati)
ufahamisho kubahusu abo, kama sivyo ni kanisa la “ulimwenguni kote” ao “duniya muzima”, ata si tu zehebu la
inchi la Amerika. Tokeo hili linaletaka mambo mengi mapya katika ufahamu wa batu. Unapatia magumu
utoshelevu wa kanuni yenye kimsingi imeegemea upande wa inchi la Amerika-, na kutotilia maana utambulisho wa
kimsingi, wa kawaida na kitaifa wa zehebu. Unapanula pakubwa mfululizo wa tofauti za kitamaduni zenye
zhupatikana mu kanisa, na mfululizo wa maswala yenye kanisa hupitia mu kufanya kazi yake. Mu fasi hizi na
nyingine, usikilivu wetu wa pamoja na kibinafsi kama kanisa umebakia nyuma ya utaratibu wa mabadiliko mu hali
yetu halisi. Popote pale sisi batu ba Methodiste Umoja tunajipataka, tunahitaji maono mapya na upanuzi wa
malengo yetu.
Kanisa kam jamii
Mu taarifa za imani za kimapokeo, kanisa lhutajwa mara moja nyuma ya Roho Mtakatifu. Mu Taarifa ya imani
ya Mitume byote binauthibitishwa moja kwa moja kwa mkupuo mmoja: “Nhuamini kwa Roho Mtakatifu, kanisa
takatifu la katoliki. . . .” Ni wazi kuwa, mu hukumu ya baumbaji ba taarifa za imani na kwa bale benye bali kiri
imani yabo pamoja nabo kupitia kwa karne mpaka karne, kanisa lhulo jambo la kufanya kuhusiana na Roho
mwenye anatoa maisha. Ni Mawasiliano ya karibu yenye Roho kutupatiya, kutembeza—au tunaweza kusema
anaumbaka—kanisa. Mu Kigiriki cha Agano Jipya, neno ni koinonia.
Zana za urizi yetu binafsi ya Wesley huingiliana kwa ndani maitkiyo ukati wakoinonia mu maisha na misheni ya
kanisa. Wakati John Wesley, mu mahubiria ya usiku kabisa juu ya “Uumbaji Mpya,” alipenda kuonyesha shabaha
ya mwisho juu ya maisha ya binaudamu—mwisho wake wenye tumeumbiwa sisi, na wenye tutarejeshwa kupitiya
Kristo—aliyatumia maneno hii: “Na kumalizia yote, kutakuwa na muungano wa khu, wa karibu sana, usiositishwa;
mawasiliano ya karibu sana na yenye haiishi pamoya na Baba na Mtoto wake Yesu Kristo, kupitiya Roho;
kufurahia kusikoisha kwa Mungu batatu-Mmoja, na viumbe vyote mu yake!”1 Kwa Wesley, na kwa bafuasi, sisi
ndo benye ina onja mapema shabaha hii, na ni sana ya kuonja mapema, hapa na sasa. Wokovu ni “kitu cha sasa,”
Wesley alitangaza; neno hili hukumbatia kwa usawa “kazi yote ya Mungu, kuanzia kwa ile ya kwanza ya neema
mu ya nafsi mpaka pale hupotumika mu utukufu.”2 binaudamu bameweza “kuumbwa mu picha ya Mungu na
kuumbwa kwa kujua, kupenda, kufurahia Muumba [abo]”3 Uwelewa wa Wesley wa taifa letu “lenye
lilisambaratika” unahusisha uharibifu au kupoteza uwezo abo wa kuwa na maarifa, mapendo na furaha—kwa ufupi,
mawasiliano ya karibu na Mungu—na wokovu inamaanisha kuponywa kwabo na kutmilika katika utukufu, pale
ambapo (kama vile kakake Charles vile aliandika kwa kumbukumbu) tufaa “kupotezwa kwa ku Maajabu, mapendo
na sifa.”4
Mpaka kufikia kiwango chenye mada hii ya Wesleyan yangali hutufahamisha ushuhuda wetu, nyimbo zetu za
sifa, maisha yetu ya kawaida, tunayosababu tosha ya kutoa uthibitisho wetu binafsi kuwa mawasiliano ya karibu ni
zawadi yenye kanisa huishi kufurahia, na zawadi yenye kanisa limeitwa ili kuupatia ulimwengu.
Utafsiri wa Kanisa
Miongoni mwa viwango vya msimamo wa mafundisho ya Kanisa Methodiste Umoja ni Makala ya Dini yenye
ililetwa ku muungano wa Kanisa la Methodiste na kukiri kwa Imani kulikoletwa mu Kanisa la umoja wa bandugu
wa Kiinjilisti. Kila moja wapo huo makala juu ya kanisa, pamoya na makala mengine yenye huwafaa mada hayo
husika. Makala hayo mawili ni hii: Kwanza, kutoka Mu Makala ya Dini, Makala ya XIII—Ya kanisa:
Kanisa la kuonekana la Kristu ni baumini . . . penye Neno safi la Mungu huhubiriwa na Sakramenti hutolewa vilivyo
kulingana na amri za Kristu, mu mambo hii yote yenye umuhimu na yenye huhitajika vilevile.
Nakutoka mu Kukiri kwa Imani, Makala ya — Kanisa:
Tunaamini Kanisa la Bakristo ni jamii ya Baumini bote ba kweli mu Ubbana wa Kristo. Tunaamini ni moya, takatifu
yakitume na kikatholiki. Ni ushirika ombozi wenye Neno la Mungu lhuhubiriwa . . . , na Sakramenti hutolewa vilivyo
kulingana na uchaguzi binafsi wa Kristu. Juu ya nizamu ya Roho Mtakatifu yenye Kanisa kuwa nayo juu ya uendelezaji
wa kuabudu, urekebishaji wa maadili wa baumini na ukombozi wa duniya. 5
Utafsiri wa pili, yenye inaonyesha urizi ya umoya wa bandugu wa kiinjilisti, yenye ina elementi za kimsingi za
kwanza, lakini unatilia maanani hizi nyingine kwa njia mbalimbali. Unatilia maanani sana kipengele cha Muitikio
wa uwaminifu kupitiya maneno kama ushirika wa ukombozi “ushirika wa ukombozi” na marejeleo ya misheni ya
Kanisa, na pia unahusishwa vivumishi kutoka mu Tangazo la Imani la Nisene lhulotambulisha kanisa kuwa “moya,
takatifu lenye mitume, la katoliki.”
Kwenda Zaidi
Msimamo wa mafundisho na Mafunzo ya Methodiste ya Umoja ju ya Maumbile, Misheni na Uaminifu wa
Kanisa ni karatasi ya Mali yenye hupatikana ku http://www.tinyurl.com/UMCNMF.
Nakala
1 “Uumbaji Mupya,” Maubiri ya #64 by John Wesley. Maubiri yote huweza kusomwa ku http://www.tinyurl.com/
WesleySermon64.
2 “Njia ya Maandiko ya Wokovu,” Mahubiri ya #43 na John Wesley. Mahubiri yote huweza kusomwa ku http://www.
tinyurl.com/WesleySermon43.
3 “Mahubiri ya Mungu juu ya Kazi zake,” Mahubiri ya #56 na John Wesley. Mahubiri yote huweza kusomwa ku
http://www.tinyurl.com/WesleySermon56.
4 “Mapendo ya Kiungu, Kila Mapendo ya Kupita,” na Charles Wesley. 1747. Maneno imewekwa ku wimbo mupya na
huweza kupatikana ku http:// www.tinyurl.com/DMLoveDivine.
5 “Sehemu ya 3—Viwango Vyetu vya msimamo wa mafundisho na Sheria za Jumula.” Kutoka Kitabu cha Mwenendo cha
Kanisa Methodiste Umoja ya —2012. Hakimiliki©2012 na Matibaa ya Methodiste Umoja. Imetumika kwa Ruhusa.
Isipokuwa kama itatajwa vinginevyo, manukuu yote ya Maandiko hutoka mu Bibliya ya Toleo Jipya la batani lenye
lilizurusiwa, ©1989, na Kitengo cha Elimu ya Ba Kristo cha Baraza la Kitaifa la Makanisa ya Kristu mu inchi ya
Amerika. Imetumika kwa ruhusa. Haki zote zimehifaziwa.
Mwongozo huu wa kikao ni wa ©2016 na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Ruhusa imetolewa ili
kutoa nakala tu kwa makusudio yenye huhusiana na masomo hii na mchakato wa maoni.
Kikao cha Pili: Mwongozo wa kiongozi
Matayarisho
• Kusanya makala ya kufuata: magazeti, maka, nakala za “kikao cha Kwanza: Makala ya mushiriki,” Bibliya,
Nyimbo za Methodiste Umoja,majarida/mabruyon ya mshiriki na kalamu.
1. Tambulisha Kikao
Kumbusha Bashiriki kuwa hiki ndicho kikao cha pili mu Masomo yenye huchunguza namuna sisi kama Batu ba
Methodiste Umoja elewa asili ya kanisa. Kumbuka yale mambo ya kujitoleya matatu maalum ya Batu ba
Methodiste Umoja yenye ilizungumziwa ku kikao cha zamani: Mapendo ya Mungu yenye huokowa 1) imenuiya
batu bote; 2) ni ya kubadilisha maisha; na 3) huunda jamii.
Elezea kuwa leo kikundi litakuwa likichunguza namuna urizi yetu ya Wesleyan huvyotufahamisha juu ya
mambo yetu ya kujitolea ku kanisa, kabisa namuna mambo hii huonyeshwa mu nyimbo zetu na liturujia byote
binaubyo patikanana ku kauli rasmi za msimamo wa mafundisho na kanuni, na kuundwa na safari za kiistoria.
Alika Bashiriki ili kusoma kwa sauti Zaburi 95:1-7. Kumbusha kikundi kuwa Zaburi ni nyimbo za sifa. Kupitia
nyimbo za sifa na ushairi tunaweza kuonyesha hisia zetu muhimu na imani zenye haziwezi kufafanuliwa kwa njia
ya kutosha kwa kupitiya kwa njia ya mfululizo. Uliza kikundi kuweza kufikiria vipi vile zaburi hii huvyo
abongeleya juu ya kanisa. Kisha uliza kila mumoya kuandika kifungo kimoya cha utafsiri wa kanisa. Usizungumzie
Utafsiri lakini maelezo yenye itatumika badaye.
Nyuma ya kumaliza, tazama video“ masomo WLP: Kikao cha 2 utangulizi” Khuchopatikana ku
www.umc.org/CFOWonderLovePraise (kwa lugha ya Kingereza pekee)
2. Chunguza Safari Yetu ya Kipekee
Sambaza nakala za “Kikao cha Pili: Makala ya Mushiriki” na alika kikundi kuweza kusoma kwa kimya sehemu
ya kwanza, “Safari Yetu ya Kiistoria. Tumia maulizo yenye inafuata kama kichocheo cha kuanzisha mazungumzo:
• Bamethodiste na Batu Ba Pietists Ba mapema balichukua kanisa na kuipelekanga kwa bale benye balikuwa
bamezarauliwa mujamii. Ni khu nani bamezarauliwa mu jamii yetu, na ni vipi vyenye baumini betu
banavyopeleka kanisa kwa abo?
• Ni kwa njia gani njo maadili na mazingatio ya utamaduni wetu wa sasa mu vuta nikuvute na mambo yetu
makuu ya kujitoleya juu ya kushuhudiya niya kuu na atari ya nehema ya Mungu?
• Ni hali gani za kimatendo zhutusukumiza ili kubadilisha njia yenye “tunashiriki kanisani?” Ni fursa zipi mupya
zenye hali hizi zinaundaka?
Kutokana na mazungumzo yetu, baalike bashiriki kuhakiki utafsiri wabo wa kanisa na kuweka nyongeza au
marudiliosu.
3. Angalia Nyimbo za Sifa
Lomba kikundi kosoma kwa kimya “Kanisa kama jamii,” kutoka mu makala ya mushiriki. Sambaza nyimbo za
sifa na taja kuwa nyimbo za sifa kutoka ku karatasi za 537 mpaka 593 ziko mu sehemu yenye kichwa “Asili ya
Kanisa.” Nyimbo nyimbo hizi saba kati ya zote ziliandikwa na Charles Wesley (idadi 541, 550, 553, 554, 561, 562,
na 566).
Gawanya bikundi mu bikundi tatu na upatie kila kikundi moya wapo ya nyimbo za sifa za Charles Wesley.
Lomba kila kikundi kuchunguza maneno ya wimbo wa sifa yenye ilitolewa kabisa kwa kuangalia misemwa ya
kuhusiana na makala yenye wamesoma muda mufupi yenye ilipiti.
Patia bikundi faasi ya kuripoti ku kikundi mambo makuu ya mazungumzo yabo. Kama mnao muda, imba
bamoya bamoya nyimbo hizo za sifa. Kwa mara nyingine alika bashiriki kupitiya maelezo ya kanisa na kutoa
marudilio.
4. Zungumzia Utafsiri wa Kanisa
Lomba kikundi kusoma kwa kimya sehemu ya makala ya mushiriki yenye kichwa, “tafsiri za Kanisa.” Alika batu
kuweza kuripoti tafsiri zenye bamekuwa bakishugulikiya mu kikao chote. Zungumzia maulizo yenye inafuata:
• Ni mada gani ya pamoya tunaona mu tafsiri zetu?
• Tafsiri zetu zinaweza aye kulingana na kauli kutoka mu Makala ya Dini na Kutubu kwa Imani?
• Ni tafsiri gani zinaonyeshaka kwa usawa sana uzoefu wetu juu ya baamini betu?
5. Toa Ushauri ku Komiti
Kumbusha kikundi kuwa moya wapo ya makusudio ya masomo hii ni kuweza kutoa maoni ku Komiti juu ya
Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Zungumzia maulizo yenye inafuata, lomba bashiriki kuandika majibu
yabo mu jarida lao au bruyon.
Ni kwa njia gani unatambua TMC Mu makala ya kikao hiki? Ni mambo au mada gani huonyesha
kwa usawa sisi ni nani kabisa tukiwa Batu ba Methodiste ya Umoja?
Kunacho chochote cha muhimu mu maisha ya UMC ku husiana na mambo yenye huzungumziwa
mu kikao hiki yenye hukosekana?
6. Funga kwa Maombi
Tumia kifungo cha kwanza cha“Angaliya” (UMH 541) kama maombi ya kufunga, na ubahimize
bashiriki kusoma nyumbani karatasi yenye iliorozeshwa mu “Kwenda Zaidi.”
Kikao cha Tatu: Makala ya Mushiriki
Alama za Utambulishi Methodiste Umoja Kuhani, Nabii, Mfalme
John Wesley alilomba Bamethodiste ba mapema kutangaza Kristu “mu ofisi zake zote.”1 Marejeleo yalikuwa
msimamo wa mafundisho ya ofisi tatu ya Kristu, kama kuhani, kama nabii, na ka mfalme. Ofisi hii ya fungutatu
ilionekana kuwa na mvutio fulani ku Wesley, kwani ililingana na uelewa wake wa uokovu—juu ya kile
tulichookolewa nacho na kile tunaendea kwa wokovu. Kama sisi tumejaaliwa “kuyua, kupenda, na kufurahia
Muumba [wetu] milele mpaka milele,”2 na kama hali yetu ya sasa ya kimatatizo—hali ya umaskini, kama Wesley
vile anasema—sisi hatuwezi kuonyesha kwa usahihi ule uwezo wa maarifa, mapendo, na furaha, basi chenye
tunahitaji si chochote kile ila uzalishaji upya wa uwezo huo. Tunahitaji kuachiliwa huru zidi ya kufungwa kwetu
kwa uwongo na kupotosha habari, kukosa mapendo na kukosa matumaini. Tunahitaji kuzaliwa tena, na kupewa
nguvu mu maisha mapya. Huu njo uwezekano wenye Kristu anatuletea sisi, na wenye Roho Mtakatifu anatoa
kutoka kwetu sisi. Wesley alitaka bahubiri bake na batu bake kuendeleza maono hayo ya jumla mu akili yabo, na
kutulia mpaka kwenye mahubiri ya wapunguzaji, “ofisi-moya” juu ya wokovu. Utambuzi wakoinonia wenye sisi
tumeumbiwa, na wenye kanisa inafaa kupiga saini na kuhudumia, unahusu kuachiliwa huru zidi ya hali fulani
(zitokanazo na nje na ndani) zenye zinatufanya sisi kukata tamaa, na kuingia mu mapatano ya maarifa, mapendo, na
furaha na Ungu wa Utatu pamoya na uumbaji wote.
Kazi ya Mungu la Jumla na Wakilishi
Kutangaza Kristu mu ofisi zake zote si kazi tu ya bahubiri. Ni kazi ya kanisa nzima, mwito wa batu bote ba
Mungu, bawe ni ba kibinafsi na hata ba kikampuni; ni kazi la Mungu la jumla ku Ba Kristu bote.
Ingawaje inafahamisha na kuunda maisha na misheni ya batu bote ba Mungu, ruwaza hii ya mara tatu pia
inafahamisha na kuunda kazi la Mungu lenye lililapishwa. Kulingana na Kanisa Methodiste Umoja mu mukutano
wake wa kuunganisha mnamo 1968 iliweza kuitikia habari ya kazi la Mungu lenye lililapishwa lenye linaifafanua
kama kazi la Mungu “maalum la Neno Sakramenti, na Mwenendo.”3 Uundaji huu mpya, wenye hauonekani mu
mambo ya rasmi juu ya kazi la Mungu lenye linalapishwa mu ama mazehebu yenye ilitangulia, iliweza kufikiria
ushawishi wa mazungumzo ya mambo ya madini ya kisasa pamoya na kuanzisha umbo za idadi ya jamii nyingine
za Bakristu.
Mu Kanisa Methodiste Umoja, hata kama tuna bashemasi, bazee (balei), na baaskofu, hatuna kazi la Mungu la
huduma ya fungutatu kwa maana ya kuwa ile istilahi yenye inatumika mu tamaduni nyingine ao mazungumzo
mengine ya mambo ya madini. Tunalapisha bashemasi na bazee; hatulapishi baaskofu benye bamechaguliwa
kutoka kati ya bazee ili kuweza kutekeleza wajibu maalum wa uangailzi. Kazalika, kwa sasa hatuendelezi
ulapishwaji wa, hatua kwa hatua, wenye mtu wa kulapishwa kama muzee lazima kwanza alapishwe kama shemasi.
Kanisa Methodiste Umoja lilianzisha shemasi wa kudumu mwenye alilapishwa mu 1996, na wakati huo
likapuzilia mbali mwenendo wa ulapishwaji wa hatua kwa hatua. Sasa Bashemasi batarajiwa na bazee batarajiwa
bako mu mu fasi tofauti, na lugha yenye inaonyesha tabia na kazi la Mungu yenye kila moya wapo amelapishwa—
mu mufano wa shemasi, kazi la Mungu la “Neno, Huduma, Haki, na Huruma,” na mufano wa muzee kazi la Mungu
la neno “Sakramenti, Mwenendo, na Huduma” — inanuiwa kuonyesha kuwa ingawaje kunaweza kuwa nafasi
maarufu za uwajibikaji kunazo ata fasi maalumu katika kila moya wapo yenye ule mwingine hachangizi4
Upana wa Neema
Alama moya ya Utambulisho wa Methodiste Umoja lazima iwe inahusu upana wa neema, mu mitazamo miwili.
Mtazamo wa kwanza ni kujitolea ku Wesley—haihusu kwa vyovyote vile batu ba Wesley, bila shaka inadaiwa na
mila hii—kuwa mapendo ya Mungu inarefushwa kwa kwa viumbe vya vya Mungu na si tu kwa bamoyamoya.
Neema ya Mungu inapatikana kwa batu bote, kwa kiwango sawa. Miongoni mwa mambo mengine, hii
inahusisha utiliaji mkazo yenye iliwekewa kanisa la Methodiste Umoja juu ya uhusishwaji kamili mu memba na
kazi la Mungu, ili kanisa liweze kuwa ishara yenye uaminifu wa upana wa neema ya Mungu.
Mtazamo wa pili wenye upana wa neema ni mada maalum lazima uwe unahusu kile kiwango ao ufikivu, lakini
ikiwa na nia ao atari yake. Ni uhakika kuwa wakati neema ya Mungu inapokelewa mu uhuru wenye unaiumba,
inabadilisha. Ina ongoza, kama Wesley vile alisema, “ku mabadiliko halisi” mu ya yule mpokeaji.
Kuzaliwa upya na kupokea imani yenye ilijazwa na mapendo balikuwa ba Methodiste ba mapema, na bamekuwa
batu ba ukoo abo ba kiroho, benye uhalisia halisi wa mambo benye bali pitia na kuishia ku atari mpya za kibinafsi
na kijamii kama vile mapendo hayo kuingiliwa mu mambo ya kibinafsi yenye upya na kuonyeshwa si tu kwa
mashahidi ya moja kwa moja na ya wazi wazi juu ya injili lakini pia mu shughuli mu imarishaji-jamii (koinonia
tunaweza) njia kuu mbali mbali kuanzia mahusiano binafsi mpaka kwenye uanzishaji wa hospitali mpaka vyuo
vikuu, kuanzia mu kaza Mungu za ufikivu wa baumini ba mu mpaka mu kushiriki ngufu za fasi-kubwa juu ya
utengezwaji wa kijamii na marekebisho.
Nguvu za kazi mu torati ya Methodiste mu Umoja kama ilivyo tajwa ni kuunda tarasisi na mienendo yenye
kuimarisha hali-njema ya ku binadamu, na kupatia changamoto pale benye haba husiki. Wakati mwingine utakasaji
wa mu kwa mu na upatiaji upya wa moyo unatiliwa mkazo, na wakati mwingine ni uimarishwaji wa haki, rehema
na ukweli” kote kote mu mwenendo wa kijamii—wenye unapokea utiliaji maanani sana. Lakini tunakuwa mu hali
muzuri sana wakati tunatambua uhusiano wa karibu na bitu ibyo biwili na mu jambo lenye linapungua hali yetu
muzuri sana wakati tuna bigonganisha bitu hibyo moja kwa nyingine.
Ukutanishaji
Alama ya pili ya utambulisho wa Methodiste ya Umoja inaenda kwa jina kuwa muumoja. Kazi letu la Mungu la
mpangilio, ukuu (baaskofu na basimamizi ba wilaya), na mfumo ba makutano byote binanuiwa kuwa hali za kuwa
mumoja. Hibi byote bitatu binataka kuimarisha maadili na mienendo ya msaada wa bamoya na uwajibikaji wa
bamoya, wa uwangalizi wa kuchangizwa na wa kupatia nguvu bitu byote zawadi kati ya zote.
Tunaitaji mifumo ya kanuni yenye inaendana na mambo yetu makuu ya kujitoleya. Hali mahususi zenye
zinahusiana na kanuni ya Wesley zinahitaji kutiliwa maanani sana: hali ya mukutano wa Bakristu. Mukutano, mu
matumizi haya, unarejelea mbinu za neema juu ya kuimarisha ukuzaji wetu mu utakatifu wa moyo na maisha.
Ni njia moya wapo yenye Mungu anatusaidia kujisaidia wenyewe kuelekea kwa ukomavu wa imani, tumaini na
mapendo. Unahusisha mambo ya maombi, uchunguzi-nafsi yenye ni ya uaminifu, juu ya kuongea ukweli mu
mapendo baina ya sisi benyewe, uwajibikaji na usaidizi wa pamoya, na utiliaji maanani kwa makini juu ya namna
tunaweza kujiendeleza sisi wenyewe ku siku za mbele. Mwenendo wa mukutano wa Bakristu unaendelea kupitiya
fomu nyingi bila kusahau mazungumzo ya moya ku moya, kati ya Bakristu, mikutano ya kikundi kidogo cha aina
mbali mbali na makusudio mbali mbali na hata matukio makubwa sana kama vile yale ya makusanyika rasmi yenye
ilipangiwa kuwa Makutano mu mazingira ya Methodiste Umoja. Kwa hakika, mwenendo wa mukutano wa
Bakristu ni kwa kiasi fulani hali ya karibu kila jambo lenye lina fanyika mu kanisa. Makutano madogo kwa kiasi ya
Wesley na ya bahubiri bake balihisusha mambo zabiti ya mienendo, hata kama mazingira yake ya kawaida kwa
muundo mu ya kikundi cha mapema cha Methodiste, yalikuwa mikutano ya madarasa na bendi mu ya mazingira ya
mu ya Methodiste.
Onyesho la theolojia
Alama ya tatu ya utambulisho wa Methodiste ya Umoja ni kujitolea kwa kuonyesha kwa kitheolojia kama kazi
ya kanisa nzima. Kupatiakana mu ya Kitabu cha Mwenendo si tu ya viwango vya kimsimamo wa mafundisho,
lakini pia taarifa juu ya kazi yetu ya kitheolojia, yabonyesha umuhimu wa kujitoleya huku.
Kazi ya theolojia, hata kama inahusika na maelezeo ya mafundisho ya kanisa, inachngia tofauti. Uhakikishi wetu
wa kimsimamo wa mafundisho unatusaidia sisi mu utambuzi wa ukweli wa ba Kristu mu miktaza inayobadilika-
siku zote. Kazi yetu ya kitheolojia inahusishwa upimaji, kupatiya upya, uonyeshaji, na matumizi ya mtazamo wetu
wa msimamo wa mafundisho mu kutekeleza mwito wetu ili kueneza utakatifu wa maandiko. Kwa tabia na yenye
ilimo yabo binafsi, viwango byetu bya msimamo wa mafundisho habiruhusu lakini pia bina hitaji uwajibikaji ule,
uhusishwaji muhimu wa mafikiri yenye “Kazi Yetu ya Kitheolojia” inafafanua. Kazi yetu ya kitheolojia lazima iwe
“ya kupinga na pia ya kujenga,” “byote biwe bya kibinafsi na bya kwa pamoya,” “biwe bya mukutaza na bya roho
kuwa mwili,” na “muhimu sana bya kimatendo.”5Ili kuweza kupewa umakinifu na uhakikisho wa kazi ya
kitheolojia ya kanisa yenye inaendelea ni kilele cha kweli cha Kanisa Methodiste Umoja. Itatuweka muhali muzuri
wakati tuna tafuta kuwa mfano halisi wa agano letu la kuwa mumoja na ubunifu wa kitheolojia, unyumbukaji, na
ubora mu mikitaza mipana yenye inaongeza mu duniya muzima.
Kwenda Zaidi “¶105. Sehemu ya 4 – Kazi Yetu ya Theolojia,” inapatikana mu Kitabu cha Mwenendo cha Kanisa Methodiste Umoja —
2012.
Nakala
1 “Sheria Yenye Imeimarishwa Kupitiya Imani – Mazungumzo ya Pili,” Mahubiri #36 na John Wesley. Mahubiri mzima
inaweza kusomwa ku http://www.tinyurl.com/WesleySermon36.
2 “Mahubiri ya Mungu Ku Kazi Zake,” Mahubiri ya #56 na John Wesley. “Mahubiri ya Mungu Ku Kazi Zake,” Mahubiri
ya #56 na John Wesley.
3 ¶302 (p. 107) Kutoka ku Kitabu cha utawala Kanisa Metodiste Umoja —1968. Haki miliki ©1968 na Matibaa ya
Methodiste Umoja. Imetumiwa na Ruhusa.
4 ¶¶329.1, 332 (kk. 246, 256) Kutoka ku Kitabu cha Kutawala cha Kanisa Methodiste Umoja —2012. Haki miliki ©2012
Na Matibaa ya Methodiste Umoja. Kimetumika kwa Ruhusa.
5 ¶105 (kk. 79-80) Kutoka Kitabu cha Kutawala cha Kanisa Methodiste Umoja —2012. Haki miliki ©2012 Na Matibaa
ya Methodiste Umoja. Kimetumika kwa Ruhusa.
Mwongozo huu wa kikao ni wa ©2016 na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Ruhusa imetolewa ili
kutoa nakala tu kwa makusudio yenye huhusiana na masomo hii na mchakato wa maoni.
Kikao cha Tatu: Mwongozo wa Kiongozi
Matayarisho
• Kusanya makala yenye inafuata: gazeti, maka, makaratasi, kalamu ya risasi, nakala za “ Kikao cha Tatu:
Makala ya Mushirika,” Bibliya, Nyimbo za Sifa za Methodiste Umoja, Kitabu cha Mwenendo cha Methodiste
Umoja –2012, majarida ya mushirika/ daftari na kalamu.
1. Tambulisha Kikao
Kumbusha bashirika kuwa hiki ni kikao cha tatu mu masomo yenye inachunguza namuna sisi batu ba Methodiste
Umoja tunabyo elewa asili ya kanisa. Kumbuka yale mambo matatu makuu ya kujitolea ku Methodiste Umoja
yenye tulizungumzia mu kikao cha kwanza: Mapendo ya Mungu yenye inaokoa 1) ni ya batu bote; 2) ni ya
kubadilisha; na 3) kuunda jamii. Kumbusha kikundi kuwa kikao cha pili kilichunguza namuna kujitoleya kwetu juu
ya kanisa kwa kuonyeshwa mu nyimbo zetu za sifa na litrujiya, kupatikana mu taarifa rasmi za msimamo wa
mafundisho na kanuni na kuundwa na safari yetu ya kihistoriya.
Elezeya kuwa mu kikao hiki tutachunguza hali fulani za Methodiste Umoja za uelewa wetu mu kanisa pamoya
na neema, kazi la Mungu la Jumula na uwakilishi, kuwa muumoja, na kujitoleya kwetu ku kuonyesha kitheolojia
kama kazi ya kanisa nzima.
Alika bashiriki kusoma kimya kimya Warumi 3:21-31 na sehemu ya makala ya mushirika zenye kichwa,
“Kuhani, Nabii, Mfalme” na “Upana wa Neema.”
Wakati bamemaliza, tazama video “ya Masomo ya WLP: Kikao cha 3 Utangulizi” yenye inapatikana ku
www.umc.org/CFOWonderLovePraise (lugha ya Kiingereza pekee)
Zungumzia maulizo yenye inafuata:
• Ni nini tunajifunza juu ya neema kutoka ku Warumi 3:21-31?
• Ni vipi mawazo mu makala ya mushirika vile inahusiana na ufahamu wa Warumi?
• Ni lini umeiona Neema ya Mungu ikisababisha mabadiliko mu mutu au hali?
• Ni wapi mu jamii yako ya ndani na mu jamii ya dunia mzima ndipo neema inahitajika kabisa? Ni vipi vyenye
kanisa itakuwa ishara na mtumishi wa neema ya Mungu mu hali hizi?
2. Chunguza Asili ya Kazi la Mungu
Gawanya ku bikundi bidogo bya batatu ao baine. Patia kila kikundi karatasi na kalamu ya risasi na elezea kuwa
batakuwa na dakika mbili kurekodi juu ya karatasi maneno au kauli nyingi zenye banaweza zenye zitakuja mu akili
yabo batakaposikia neno kazi la Mungu. Tilia mkazo kuwa hakuna majibu yenye ilisahihi au yenye haisahihi.
Nyuma ya dakika mbili, kusanya tena kikundi kizima na balombe na lomba kila kikundi kutaja moya wapo ya
mambo ku oroza zabo yenye haiyatajwa na na kikundi kingine cha zamani. Huku bikundi bikiripoti, kuarejistrer
majibu yabo ku gazeti. Endelea hatua ya kurekodi mpaka pale mambo yote itakapo kuwa imerekodiwa. Kisha
lomba bashirika kusoma kimya kimya sehemu la “Kazi la Mungu La Jumla na Bawakilishi.” Hakiki mambo yenye
itakuwa imeorozeshwa na amua kama kikundi kama kila jambo linahusiana kimsingi na kazi la Mungu la jumla la
Bakrstu bote, na kazi la Mungu la bawakilishi ba bashemasi benye balilapishwa, au kazi la Mungu la bawakilishi la
bazee benye balilapishwa. Tumia rangi tofauti za maka kuonyesha uamuzi wa kipindi.
Alika kikundi kwakuskani gazeti, na kisha zungumzia maulizo yenye inafuata:
• Je, oroza yetu kimsingi inahusiana na la Mungu la kawaida au kazi la Mungu la bawakilishi? Linahusiana zaidi
na kazi la Mungu kazi la Mungu la binafsi au kazi la Mungu la kampuni? Inahusiana zaidi na kazi la Mungu la
ndani ya kanisa au nje ya kanisa?
• Je, mambo haya haya ku oroza ni ya ufafanuzi zaidi wa sifa au wa shughuli?
• Je, oroza inasema nini kuhusu namuna tonavyoona kazi la Mungu?
3. Zungumzia Upatanishi
Lomba kikundi kusoma kimya kimya “Kuwa Muumoja” kutoka ku makala ya mushirika. Tumia maulizo
yafwatayo kama kichocheo cha mazungumzo:
• Ni nini tofauti kati ya usaidizi wa pamoya na uwajibikaji wa pamoya?
• Ni masharti gani yanahitajika kuwepo kwa utengenezaji wa mikutano ya kweli kwa Bakristu?
• Ni wapi mukanisa au nnje ya kanisa njo umeshuhudia uandaaji wa mikutani ya bakristu? Iliweza kugusa vipi
imani zako na tabia zako?
4. Onyesha Kitheolojia
Lomba kikundi kusoma kimya kimya sehemu ya makala ya mushirika yenye kichwa, “Kuonyesha Kitheolojia.”
Kumbusha kikundi kuwa juu ya kuishi mudunia ngumu yenye mikutaza tofauti, kuishi kwa uaminifu hakuwezi
kupunguzwa na kuwa oroza ya kufanya na kutofanya. Kuonyesha kitheolojia ni hatua kuu yenye inapatia uhai
imani yetu. Kuna saidia kuchunguza uzoefu wetu mu mwangaza mapendo ya Mungu na kutusongeza mbele ku
imani. Elezea kuwa kunayomifumo mbalimbali ya kuonyesha kitheolojia na kwamba leo batakuwa bakishuhudia
moyawapo ya mifumo hio.
Alika bashiriki kutaja uzoefu mzuri wenye ime ba fanyikia mu kanisa hizi maajuzi. Kama inawezekana chagua
kituchenye batu bengi zaidi Mukikundi banaweza kuwa bameshiriki.
Tumiya hatua za kufuata ili kuwasaidia bashiriki kufikria juu ya kitheolojia juu ya urefu:
1. Fafanua nini ilifanyika. Nani alikuwa amehusika? Ni hatua gani zilichukuliwa? Ni hisia gani zilionyeshwa?
2. Tambua hadisi na picha za zakibiblia zenye zinahusiana na uzoefu wako.
3. Tambua hoja pale Roho Mtakatifu alikuwa na uvu.
4. Zungumziya ni nini kanisa ilijifunza kutokana na uzoefu huo na namuna mafunzo hayo vile inaweza
kugusa mambo ya siku za mbeleni.
5. Toa Ushauri Ku Komiti
Kumbusha kikundi kuwa moya wapo ya makusudio ya masomo haya ni kuweza kutoa maoni ku Komiti ya
Maneno na Mwenendo na Imani ya kanisa. Zungumzia maulizo yafwatayo, na lomba bashiriki kuandika majibu
yabo mu jarida lao au bruyon yabo.
Ni kwa njia gani unatambua TMC Mu makala ya kikao hiki? Ni mambo au mada gani huonyesha
kwa usawa sisi ni nani kabisa tukiwa Batu ba Methodiste ya Umoja?
Kunacho chochote cha muhimu mu maisha ya UMC ku husiana na mambo yenye inazungumziwa
mu kikako hiki yenye hukosekana?
6. Funga kwa Wimbo wa Sifa
Kumbusha ku kikundi kuwa nyimbo za sifa ni kufikiria kwa kitheolojia juu ya maisha na Maandiko. Funga kikao
kwa kuimba pamoya, “Mapendo ya Kiungu, Kila mtu anapenda Kuendelea,” ku karatasi ya 384 of Nyimbo za Sifa
za Methodiste Umoja. Himiza kikundi kusomea nyumbani, “Kazi yetu ya Theolojia,” wakirejelea makala ya
mushirika sehemu ya “Kuenda Mbali.”
Kikao cha Ine: Makala ya Mushirika
Kanisa la Ulimwengu: Umoya mu Utofauti
Tafuta Umoya wa Bakristo
Kanisa la Methodiste Umoja linahakiksha kuwa kwa kweli kanisa, lakini pia linatambua kuwa si kanisa lote.
Tunayo mambo ya kuchangia ku elewa kabisa wa pamoya wa Bakristo ba kanisa, na tuna hata mambo ya kujifunza:
mambo ya kujifunza juu ya Bakristo na makanisa mengine na mambo ya kujifunza kutoka kwa abo juu ya sisote.
Tunapotekeleza haya tunatambua maono mapya ya mambo ya kanisa juu ya Kanisa Methodiste Umoja, tumejitolea
kufanya kazi hii, kama vile tulifanya zamani mu mawazo wa mambo ya kanisa.
Utafutizi wa umoya wa Bakristu unakosa kueleweka vizuri kama unachukuliwa kumaanisha tu mchakato mgumu
wa diplomasia ya kati ya makanisa kati ya batalamu benye bananuia kurizisha msimamo ya mafundisho na kanuni
za mazehebu tofauti. Isitoshe ni shuguli yenye inafanywa huku tukikumbuka, kujaribu kufufua nguvu, mahali, na
heshima yetu mu jamii yenye kwa muda mrefu imepotea.
Mu kabisa ya mambo haya yote, ni utafiti wa umoya wa Wakristu benye utakuwa na utafiti wa uhalisia wa
kanisa lenyewe. Ni shughuli ya maombi ili kutambua umoya wenye Yesu anaombea habo akilomba, ” Ninalomba
… bote baweze kuwa kitu kimoya. Kama wewe, Baba, ulivyo mu yangu mimi nami mu yako mimi, abo pia bawe
mu yetu sisi, ili duniya iweze kuamini kuwa umenituma mimi. Utukufu wenye umenipa mimi nimeba patiya, ili
baweze kuwa kitu kimoya, kama sisi vile tuli kitu kimoya, mimi mu yako wewe na wewe mu yangu mimi, kuwa
baweze kuwa kitu kimoja kabisa.” (Yohana 17:20-23)
Misheni na umoya byote bimeunganika mu kwa mu. Kulomba majibuya mambo ya kanisa juu ya umoya wa
Bakristo mu-umbalimbali ni kulomba majibuya kimisheni. Kwa hakika, majibukama haya inatupeleka hadi kwenye
kiini cha swala mu mapabano yetu kama batu Bamethodiste Umoja ili kutambua utambulisho wetu wa mambo ya
dini na ushuhuda wetu leo: Namuna gani yenye batu ba Methodiste Umoja banaweza kuwa na sifa kuhusu kazi yetu
fulani mu ya “Kanisa la Mu duniya Mzima”? Mazoezo yetu makuu ya ekolojia ya umoya wa madini? Ni
matambuzi gani yenye inaweza kuaziri umakinifu wetu wa kina mu mazungumzo ya umoya wa madini kabisa
kuzuwa hoja za kushughulikia kwa njia bora sana na kwa kikamilifu maswala makubwa yenye inazungukia
“mfululizo wa kihalali,” yote vile inaaziri maisha yetu binafsi na misheni Mukanisa la Methodiste Umoja na mu
mahusiano yetu yenye inaendelea na jamii nyingine za Bakristo? Maono mapya ya uhalisi wa kanisa inaweza aye
kutusaidia katika kupangilia kwa njia nzuri sana maisha yetu ya pamoya? Inaweza aye kutuongoza ku mahusiano
bora na batu ba imani na tamaduni nyingine za kidini pamoja na bale batu benye haba jitambulishi na chochote?
Vyenye vinaonekana na Vyenye havionekana
Utofautishi kati yakanisa lenye lenye linaonekana na kanisa lenye halionekana ulikuwa maarufu mu wakati wa
Marekebisho ya Kiporo. Kama vile inaeleweka ku mazoea, kanisa lenye linaonekana lilikuwa jamii halisi, baumini
ba mu Bakristu benye banakiri, au kikundi kubwa sana lenye linaweka pamoya baumini bengi ba mu, benye
banasikia na kuhakikisha Neno kwa lenye kuhubiriwa kwa usahihi, na kuchukua sakramenti na kuunga mkono
huduma ya kanisa. Kanisa lenye halionekana lilieleweka kuwa jumla ya batu benye bameokolewa kwa hakika, ao
benye bako mu njia ya wokovu. Hii kompanyi haionekani mu njia yenye akuna mtu anayuwa vizuri isipo kuwa
Mungu mwenye anahusika nayo. Ilichukuliwa kwa njia maarufu (na mara nyingi ikatiliwa mkazo na banathelojia
na bahubiri) kuwa kwa kutorejelea mambo machache bamemba ba kanisa lenye halionekana lenye lyenye ilikolewa
kwa kweli, balikuwa tu Bakristu benye banakiri, bamemba ba kanisa lenye linaonekana; lakini kuwa kanisa lenye
linaonekana pia linazo (kutumia maneno ya John Calvin) “umbalimbali mkubwa sana wa batu banafiki, benye haba
na chochote juu ya Kristu lakini jina na mwonekano wa inje.”1
Maoni ya Bakristu bamingi na jamii ya Bakristu mu swala hili ilihamia mumyaka mingi sana ya karibu ili
kuruhusu uwezekano kuwa batu benye si bamemba ba wazi wazi ba kanisa banaweza ata kuwa, mu mutazamo
mwingine, bamemba ba kanisa, bashiriki mu moya wapo ya eklesia ya Mungu, bachangizi mu mawasiliano ya
karibu yenye Mungu kutoa.
Hii si kusema kuwa batu bote ni kwa hakika, banaitikia mapendo ya Mungu mu njia kama hiyo, wala
haimaanishi kuwa bale benye banafanya hivyo ni “bakristo kwa ukweli” bila kui yuwa. Inaonyesha, hata hivyo,
kuwa koinonia ya Mungu inaweza kukumbana nabo mu mifumo nyingine na fasi nyingine.
Funzo lenye tunaweza kujifunza kutoka ku Wesley ni kuwa tunahitaji, huku kuendeleza uwezo wa halisi na wa
kujichambuwa-binafsi wakati tunapokuja ku ubora wa maisha yetu binafsi na kushuhudia kama Bakristu na jamii
za bakristu, kuwa macho ku hatari za kuji-danganya na kuwa na habari juu ya mahitaji yetu binafsi ya kudumu ya
kutubu na kupata nguvu mupya; na, kule kuwa wazi ku, uwepo wa Mungu mu bajirani betu bila kusahabu bajirani
betu bapagani, na kuwa wazi kwa mapendo ya Mungu yenye inaweza kuja kwetu kubapitia.
Jamii ya Kanisa
Tunaweza kusema kuwa, kama itaeleweka kitheolojia, kanisa si chama cha batu benye akili-sawa benye
banahudumia makusidio benye banaweza kuwa nayo yenye balijitengenezea. Pahari pake, ni jamii yenye
ilianzishwa na Mungu, yenye imekita mizizi mu maisha yenyewe ya Mungu, zana ya uumbaji mupya.
Hata hivyo kuishilia habo kutakuwa sawa na kufanya mambo kuwa rahisi muno. Ni sahihi juu ya kile chenye
kinahakikishiwa juu ya chanzo kikuu cha uhalisia wa kanisa na juu ya kile chenye kinatosheleza kwa kweli kama
maonyesho ya koinonia. Lakini inakosewa mu kile kinacho kataliwa chini kwa chini. Ukweli—ukweli wa
kitheolojia, hata— ni kuwa kanisa kwa hakika pia jamii ya kibinadamu sana, chama cha mara nyingi batu benye
akili-sawa sana, na una hudumu hata ku makusudio ya binadamu yenye utofauti mkubwa sana, mara nyingi tofauti
kinyume na makusudio ya Mungu.
Kama mila mingine ya kidini ya jamii, makanisa ya Bakristu inahudumu mahitaji umbalimbali ya binadamu na
makusudio, ku njia zenye zinatofautiana pakubwa kutoka ku fasi moya na muda hadi mwingine. Benye bana
hudumia mara nyingi mahitaji ya binadamu juu ya mwenendo, ushikamano, kutulia, utiliaji mkazo wa imani,
urafiki, mwongozo wa kimaadili na kazalika. Bana gusawa kwa kila sehemu na njia halisi za binadamu
kutangamana mmoya na mwingine mu matoshelezo ya mahitaji hayo. Banaweza pia kuwekwa ku matumizi ya
huduma ya masilahi mengine ku sehemu ya vishikanizi na batu ba inje vile vile, kwa mufano, kwa kufanywa
kuhudumu mu hali fulani za kisiasa na kiuchumi. Akuna mtu atajishieikisha na historia ya makanisa ya Bakristu
kutoka karne za inaweza kushindwa kutambua mahitaji muhimuya binadamu ya nguvu, matarajio, shabaha, na uoga
mu historia hiyo.
Umbalimbali na Mzozo
Uelewa wetu wa upana wa neema uandaaji makutano ya bakristu na kufikiria kwa kitheolojia, uliowekwa
pamoya na kuongezewa hekima ya mambo ya kanisa, byote binaelekeza ku njia ya kuangazia ugumu wetu wa sasa
zidi ya Mzozo mu kanisa.
Mzozo ni mgumu kama vile ulivyo maarufu. Kanisa bila Mzozo lina uwezekano mkubwa zaidi wa kuwa kanisa
lenye linashindwa kuwa kanisa. Kumbukuka kuwa ni Mungu mwenye ana tuleta mu kanisa ao mwenye analeta
kanisa kwetu sisi, kuliunda kanisa kuwa kati kati yetu kwa nguvu za Roho Mutakatifu. Tunaletwa pamoya mu fano
kwanza kwa neema, si kwa sababu tunachangiza maono sawa, desturi, mienendo ya kitamaduni, ao hata maadili ya
kijamii. Kupitia yale tunayo pitia na batu bengine mu jamii Bakristo, tunaweza bila shaka kuja kuchangizana kiasi
kizuri cha mambo haya kwa utaratibu. Akili zinaweza kubadilisha—pengine kwa nguvu zaidi wakati si mfano wa
muhusika mumoya kushinda mabishano zidi ya batu bengine lakini Pahari pake bao kuweza kuongozwa kupitia
kwa uzoefu kwa pamoya hadi katika uelewa mukubwa zaidi kuliko yeyote yule aliye husika zamani. Tunaweza
kugundua ao kukubaliana juu ya mambo mbali mbali. Lakini kushinda ao kufuta utofauti si hasa matokeo mazuri
zaidi. Utofauti mwingi ni sehemu ya umbalimbali mzuri wa uumbaji, umbalimbali wenye ni “zawadi kutoka ku
Bbana” unafaa kuheshimiwa vile vile.
Vile vile, bamoya bamoya utofauti mu ya kanisa husaidia kanisa mu misheni yake ya duniya yenye umbalimbali.
Teknolojia mpya zina leta uwezekano wenye haukufikiwa zamani; maarifa mapya inabadilisha uelewa wetu juu ya
sisi benyewe, na dunia yenye tunaishi mu. Wakati kanisa linakabiliwa na hali mpya na linatafakari juu ya jibu
muzuri zaidi, ni vyema kuwa na umbalimbali mpana zaidi wa uzoefu karibu nasi. Ili kuelewa na kuheshimu utofauti
wa kila mumoya wetu na njia zenye zote tunachangia mu kutimiza misheni ya kanisa na haitishii umoya wenye
Mungu ananuiya lakini Pahari pake unauzidisha.
Wakati huo, bamoya bamoya, mugogoro unaanzishwa kwa majibu tofauti kwa maendeleo haya kama vile tuli
“kulenga kuonyesha kwa uaminifu ushuhuda tunao toa kwa nafasi yetu sisi wenyewe. Kunayo mifano ya mugogoro
ynye batu tofauti bana uamuzi usioingiliana ao pinzani juu ya pamoya pamoya swala lenye banaona ni muhimu ku
tambulisha kwa kanisa na misheni lenye uamuzi wake unaonekana kuwa zaidi ya uwezo wetu. Wakati mugogoro
unaweza kusuluhishwa kupitiya mazungumuzo ao majadiliano, kupitiya hatuwa yenye batu bote benye bana husika
wanoshughulikia kwa heshima hafla nzima inaweza kuwa ushuhuda wenye nguvu kuhusu injili. Kama kanisa sisi
sote hatuja itwa kuepuka mugogoro ao kuufu tilia mbali, Pahari pake tumeitwa kuushughulikia kwa ukombozi.
Kwenda Zaidi “Tumeitwa ili kuwa Majirani na Mashahidi: Mahusiano ya kati ya dini” ulipitishwa na Mkutano Mkuu wa
2016 na ikachapishwa mu Kitabu Kitabu cha Mipango cha 2016. Maandishi inaweza kusomwa ku
http://tinyurl.com/UMCNeighbors.
Tafazali tupatie maoni yako kwa kuujaza uchunguzi unaopatikana ku
www.umc.org/CFOWonderLovePraise ao kwa kuyajibu majibuyenye ilitolewa na kiongozi wako wa
masomo na kututumia barua ya mutandao ya majibu yako [email protected].
Nakala
1 John Calvin, Anahusisha dini ya Bakristu, yenye ilitafsiriwa na Henry Beveridge (London: James Clarke, 1962), juzuu
la 2, k. 288 (IV, 1, 7)
Isipokuwa kama itatajwa vinginevyo, manukuu yote ya Maandiko hutoka mu Bibliya ya Toleo Jipya la batani lenye
lilizurusiwa, ©1989, na Kitengo cha Elimu ya Ba Kristo cha Baraza la Kitaifa la Makanisa ya Kristu mu inchi ya Amerika
imetumika kwa ruhusa. Haki zote zimehifaziwa.
Mwongozo huu wa kikao ni wa ©2016 na Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa. Ruhusa imetolewa ili
kutoa nakala tu kwa makusudio yenye huhusiana na masomo hii na mchakato wa maoni.
Kikao cha Inne: Mwongozo wa Kiongozi
Matayarisho
• Kusanya makala yenye inafuata: gazeti, maka, karatasi, kalamu ya risasi, nakala za “Kikao cha Ine: Makala ya
Mushirika,” Biblia, Nyimbo za Sifa za Methodiste Umoja, mararida/madaftari na kalamu za mushirika.
1. Tambulisha Kikao
Kumbusha bashirika kuwa iki ndiyco kikao cha mwisho cha masomo kinacho chunguza namuna batu ba
Methodiste Umoja banabyo elewa asili ya kanisa. Alika bashiriki kukumbuka hoja muhimu kutoka ku vikao vya
zamani.
Lomba bashirika kusoma Yohana 17:18-23 na bakumbushe kuwa ii ni sehemu ya maombi yenye Yesu aliomba
pindi tu nyuma ya kukamatwa. Baalike bashiriki kufafanua namuna vile banafikiria juu ya duniya na kanisa na vile
kanisa lingefanana kama maombi ya Yesu juu ya umoya yangeweza kufanyizwa yote.
Nyuma yabo kumaliza, tazama video ya masomo ya “WLP: Kikao cha 4 Utangulizi” kinapatikana ku
www.umc.org/CFOWonderLovePraise (lugha ya Kiingereza pekee)
Soma kwa sauti sehemu, “Utafutaji wa Umoya,” kutoka ku makala ya mu shirika. Tumia majibuyenye ili ulizwa
mu sehemu kama kichocheo cha mazungumzo ya ziada.
2. Tilia maanani kanisa–lenye Kuonekana na lenye Kutooenakana
Lomba bashirika kusoma kimya kima sehemu za makala ya bashirikia “zenye Kuonekana na zenye hazi
Onekana” na “jamii ya Kanisa.” Alika bashirika kufikiria juu ya nyakati mu maisha yabo binafsi wakati bao
bamepitia koinonia mu ya kanisa lenye kuonekana na nje ya kanisa lenye kuonekana. Kisha balombe kukumbuka
nyakati zenye balipitia unafiki mu ya kanisa lenya kuonekana na nje ya kanisa lenye kuonekana. Bila kufichua
kabisa maelezo ndogondogo ya mu, baruhusu bale benye bana penda kutaya kwa sauti hisia zenye bamefikiria mu
mifano mbali mbali na kuonyesha namna hali ya benye balipita kama vile ili lumiza imani yabo.
3. Chunguza umbalimbali na Mzozo
Lomba bashirika kusoma kimya kimya sehmeu ya “umbalimbali na Mzozo” mu makala ya bashirika. Lomba
kikundi kutaja bakristu na jamii nyingine za imani zenye zinapatikana mu eneo lako. Rekodi bikundi vile bina
tajwa.
Gawanya mu bikundi bidogo bidogo na upatie kila kikundi moya ao zaidi ya jamii hizo za imani zenye kutajwa.
Balombe kuorozesha tofauti zenya benye banana kati ya kila jamii ya imani na baumini bao.
Nyuma ya karibu dakika tano, lomba bikundi kuripoti matokeo yabo na unda oroza ya tofauti hizo zenye
zimetajwa. Pitiya oroza, na zungumzia kama kila tofauti ni tofauti yenye inasaidia kanisa mu misheni yake ku
duniya yenye umbalimbali ao tofauti zenye zinaonyesha imani pinzani ku swala lenye ni muhimu mu utambulisho
na misheni ya kanisa. Chagula moya wapo ya mambo yenye inapatikana mu aina ya nyuma na kuzungumzia
namuna uelewa wako wa imani wa neema, uandaaji wa makutano ya Bakristo, na kufikiria kwa kitheolojia kama
kazi ya kanisa nzima vile inaweza kufurnir njia ya kushughulikia mgogoro mu njia ya ukombozi.
4. Toa Ushauri ku Komiti
Kumbusha kikundi kuwa moya wapo ya makusudio ya masomo haya ni kutoa maoni ku komiti ya Maneno ya
Mwenendo na Imani ya kanisa. Zungumzia majibu yenye inafuata, na baulize bashiriki kuandika majibu yabo ku
jarida ao daftari labo.
Ni aye utatambua UMC mu matumizi ya kikao? Ni neno ama kichwa cha neno gani kina onyesha
muzuri Umoja wa Bamethodiste ni ba nani?
Kuna kitu chochote cha maana kwa maisha ya UMC ikifatana na mambo tume ongelea mu hiki
kikao cha kukosa?
Kisha lomba bashiriki kutilia maanani masomo kwa ujumla. Fuata maagizo kutoka ku majibuya kuitikiwa ya
“Maajabu, Mapendo, na Sifa” ku mwisho wa mwongozo wa masomo haya ili kuripoti maitikio ya bikundi.
Kama bashiriki benye bana majibu fulani juu ya zana yoyote ya karatasi ao masomo, bahimize kutuma moja kwa
moja ku Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa ya Kanisa Methodiste Umoja [email protected].
5. Funga Kwa Wimbo wa Sifa na Maombi
Soma kila maombi hapa chini, sita kwa maombi ya kimya, na kisha kwa pamoya jibu, “Na sote tuweze kupotea
kwa maajabu, mapendo na sifa.”
Mungu mwenye neema, tunalomba juu ya kanisa lako kuwa batu bote baweze kupata kikaribisho, kupitia jamii
na kubadlishwa.
Tunatoa shukurani ku malaika wenye wametangulia nyuma ya kutuachia nyimbo za sifa, maandishi, na kumbu
kumbu za maisha matakatifu.
Tunatambua kuwa bote bameitwa ku kazi la Mungu, kutangaza Kristu kama Kuhani na mfalme.
Tunalomba juu ya umoya wa kanisa letu ili duniya iweze kubadilishwa.
Funga kikao kwa kuimba pamoya, “Mapendo ya Kiungu, Kila mtu Anataka Kuendelea,” ku karatasi ya 384 ya
Nyimbo za Sifa Methodiste Umoja.
Majibu ku Maulizo ya maitikio ya Maajabu, Mapendo na Sifa
- Kikundi Ndogo la Masomo -
Komiti ya Maneno ya Mwenendo na Imani ya Kanisa Methodiste Umoja inafanyizia kazi ili kuunda karatasi
yenye itafasiri uelewa wa Methodiste Umoja ku asili ya kanisa. Masomo yenye me jihusisha mu ni hatua muhimu
ya kukusanya taarifa ili kuboresha karatasi hiyo. Masomo yenye me jihusisha mu ni hatua muhimu ya kukusanya
taarifa ili kuboresha karatasi hiyo.
Kama unaweza, tungependelea kuwa uweze kufurnir maoni yako kwa kutumia uchunguzi wa mtandaoni
unaopatikana ku www.umc.org/CFOWonderLovePraise. (Uchunguzi huu uko ku lugha ya Kingereza pekee.
Tunahimiza bamemba ba makutano ya inchi la Amerika kuunda nija za ukusanyaji na upangilia wa maoni yenye
itawafaa sana kws kila mawazo wa mtu binafsi.) Kama huwezi kuyaza uchunguzi mtandaoni unaweza kuitikia
maulizo yenye iko hapa chini na kutuma barua pepe ya maoni yako ku [email protected].
Batu benye bamejihusisha mu makala ya masomo banaweza kuwasilisha uchunguzi ao maulizo ya maitikio abo
binafsi ao unaweza kuwakusanyia matokeo ya kikundi yako na silishe moya wapo ya uchunguzi ao maulizo ya
majibu kwa faili kwa kikundi yote. Tafazali elekeza maulizo yoyote yenye unaweza kuwa nayo cfo@umc-
cob.org.
Taarifa ya Jumla:
Jina: Umemba wa Mkutano:
Nanaijaza fomu hii ku jina ya (ripoti moya): mimi mwenyewe ku kikundi cha masomo kikubwa sana
Kama unaripoti kwa niaba ya, ni batu batu bangapi kwa wastani benye balihuzuria vikao vya masomo?
Ni nini kinafafanua muzuri sana wewe ao muundo wa kikundi lako kwa uhusiano na UMC? (Ripoti moya
kutoka kwa kila kategoria; kama una ripoti juu ya kikundi fanya uchaguzi kutokana na wingi wa benye kuwemo kwa
kikundi.):
Kategoria 1: Balei Viongozi ba dini
Kategoria 2: Mwito uso-Kanisa Ameajiriwa na Baumini ba mu UMC
Ameajiriwa na Uajaenti Mkuu ao Tarasisi nyingine ya UM (iso-masomo)
Mwanafunzi wa Masomo ya kipastere Masomo ya Uchungaji ao Ualimu
mwengine mu Kitabu cha Mwenendo
cha Kitheolojia
Maulizo ya Maitikio:
Mu kipimo cha 1-5, huku 1 ikiwa “ninakatala kabisa” na 5 ikiwa “ninakubali kabisa”, tafazali jibu
taarifa zifuatazo:
Ninatambua Kanisa Methodiste Umoja mu makala yenye yamewasilishwa ku karatasi hii.
1 2 3 4 5
Kuna mazingira na mada muhimu ku UMC yenye karatasi hii haikuangazia.
1 2 3 4 5
Tafazali fafanua ku majibu yako juu ya maulizo yenye ili hapo yulu kwa kufurnir majibu mafupi ya
zifuatazo:
Mu njia gani njo weye unatambua UMC mu karatasi hii? Ni mazingira ao mada gani yenye
inapatikana mu ayo yenye inalezea kwa njia muzuri sana juu ya sisi ni nani kama batu na
Methodiste Umoja?
Kuna kitu chochote yenye ni muhimu ku maisha ya UMC yenye inakosekana mu karatasi hii?
Ni mavigezomaalumu gani na/ama mitazamo gani mipya ya hati hii ambayo iliwapa motisha?