1
Walivyosema ya kale dhahabu, kweli pale nimepata jawabu, Lile neno uzima wa milele, ……dhawabu, Ipe roho chakula chake ile, kila kitu mgh’aro wa dhahabu, Onyesha nguvu yako iwe neno, chanzo cha yote kila kilichomo, Nipe busara kama ya solomoni, Yalo mema yatoke mdomoni, Vishindo vimtoe nyoka pangoni, Buradani iwe mpaka shingoni,

my stone

Embed Size (px)

DESCRIPTION

stone

Citation preview

Walivyosema ya kale dhahabu, kweli pale nimepata jawabu,Lile neno uzima wa milele, dhawabu,Ipe roho chakula chake ile, kila kitu mgharo wa dhahabu,Onyesha nguvu yako iwe neno, chanzo cha yote kila kilichomo,Nipe busara kama ya solomoni,Yalo mema yatoke mdomoni,Vishindo vimtoe nyoka pangoni,Buradani iwe mpaka shingoni,