695
NYIMBO ZA MUNGU et NYIMBO ZA WOKOVU Pour vos commentaires et suggestions : Email : [email protected] SMS : +243 84 095 00 00

NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

  • Upload
    others

  • View
    256

  • Download
    11

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

NYIMBO ZA MUNGU

et

NYIMBO ZA WOKOVU

Pour vos commentaires et suggestions :

Email : [email protected]

SMS : +243 84 095 00 00

Page 2: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

NYIMBO ZA MUNGU

ORDRE NUMERIQUE

ORDRE ALPHABETIQUE

PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 3: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

1. MUSIFU MUNGU KWA BARAKA

1 Musifu Mungu kwa baraka,

Musifu Mungu, watu wote,

Musifu Mungu, malaika,

Musifu Baba, Mwana, roho.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 4: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

2. HESHIMA NA SIFA

1 Heshima na sifa kwake Baba mbinguni,

Aliyetupenda zamani na sasa.

Haleluya, usifiwe! Haleluya, Amina!

Haleluya, usifiwe! Haleluya, Amina!

2 Heshima na sifa kwake Yesu Mwokozi,

Alitukufia kwa ’jili ya zambi.

3 Heshima na sifa kwake Roho ya nuru,

Anashuhudia Mwokozi na damu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 5: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

3. SIFU! SIFU!

1 Sifu! Sifu! Yesu Mwokozi wa watu!

Imba kutangaza mapendo yake!

Malaika vile, mulete heshima;

Jina lake kweli ni takatifu!

Bwana Yesu anatulinda sana,

Kama Muchungaji anatubeba.

Sifu! Sifu! Yesu Mwokozi wa watu!

Sifu! Sifu! Imba ukubwa wake.

2 Sifu! Sifu! Yesu Mwokozi wa watu!

Kwa makosa alitukufilia;

Kristo, Mwamba, matumaini ya roho

Alitukomboa na damu yake.

Imba sifa kwake aliyeteswa

Kwa kutuonyesha mapendo yake.

3 Sifu! Sifu! Yesu Mwokozi wa watu!

Kule mbingu wanamwimbia sifa;

Yesu Kristo, mwenye kushinda daima,

Ni Mufalme, Nabii, Kuhani wetu.

Atakuja kwa kutawala hapa,

Yesu mwenye enzi na utukufu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 6: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

4. TUNAIMBA SASA NYIMBO KWAKE YESU

1 Tunaimba sasa nyimbo kwake Yesu,

Nyimbo za furaha, nyimbo za wokovu;

Yesu Mukombozi, Mwana wake Mungu,

Ni Mwokozi wetu, na tunamwabudu.

Kazi zake zote zinatengenea;

Kule kwake mbingu atatupokea.

2 Watu wa zamani walimuchukia,

Walimushitaki, na walimupiga;

Ju-u ya Kalvari walimutundika,

Yesu alikufa kwa kutuokoa.

3 Ndani ya kaburi alilala kimya,

Hakubaki pale, alifufuliwa;

Alikwenda ju-u kwake, Mungu Baba,

Atarudi tena kwa kutukamata.

4 Kwa maisha yetu hapa kwa dunia,

Yesu anachunga, anatuombea,

Kwa wakati wote anatusaidia,

Tumusifu sana, tumufurahie!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 7: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

5. MUNGU MUTAKATIFU

1 Mungu Mutakatifu, Mungu Mwenyezi,

Tunakuimbia nyimbo, tutakuabudu;

Baba, Mwana, Roho, wote ni mumoja,

Mutakatifu, ndiye wewe tu.

2 Mungu Mutakatifu, tunakusifu,

Jeshi la mbinguni wanatoa taji zao;

Malaika wote wanakwabudu,

Mwanzo na mwisho, ndiwe wewe tu.

3 Mungu Mutakatifu, unafunikwa,

Macho ya wenye makosa yasikutazame;

Wewe peke yako ni Mutakatifu,

Mukamilifu, ndiwe wewe tu.

4 Mungu Mutakatifu, Mungu Mwenyezi,

Kazi ya mikono yako inakutukuza;

Wewe mwenye nguvu, Mungu wa Mapendo,

Mwenye rehema, ndiwe wewe tu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 8: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

6. KUJA, MUFALME WETU

1 Kuja, Mufalme wetu, tunakusifu sana, tuna-abudu;

Ee, utukufu kwako, wewe ni Mushindaji,

Ututawale sisi, Mungu Mwenyezi!

2 Kuja, Mwokozi Yesu, ili utubariki, tunakuomba;

Utusaidie sisi, utushindishe vile,

Tuwe watakatifu, tukupendeze.

3 Roho Mutakatifu, jaza mioyo yetu, utuongoze;

Ututawale wote tusikuasi kamwe,

Una uwezo mwingi, Roho wa Mungu.

4 Mungu Muju-u wa wote, tatu katika moja,

tunakusifu;

Tuta-abudu kule kukutukuza vile,

Tutakapokuona kwako mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 9: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

7. TUSIFU JINA LAKE YESU

1 Tusifu jina lake Yesu, sisi watu wake;

:: Na taji tumuvike yeye Bwana na Mufalme ::

2 Wachaguliwa wake sisi, tuliokolewa

:: Kwa njia ya ne-ema yake, Bwana na Mufalme::

3 Kwa kila lugha na kabila katika dunia,

:: Wazidi kutukuza Yesu Bwana na Mufalme ::

4 Na mbele yake sisi sote tuanguke chini,

:: Tuimbe sifa kwake Yesu Bwana na Mufalme ::

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 10: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

8. MUTAZAME UTUKUFU WA MWOKOZI

1 Mutazame utukufu wa Mwokozi wetu Yesu;

Alibeba taabu kubwa, naye alishinda kufa.

Tia taji, tia taji!

Yeye Mushindaji kweli! Yeye Mushindaji kweli!

2 Mumuvike Kristo taji, nyara zake ndizo nyingi;

Mwenye nguvu na mamlaka, sifa kwake kule mbingu.

Tia taji, tia taji!

Kwa Mwokozi na Mufalme! Kwa Mwokozi na Mufalme!

3 Wenye zambi kwa zihaka walimuvalisha taji;

Watu wake kwa mapendo wanamutukuza sana.

Tia taji, tia taji!

Sifa yake mutangaze! Sifa yake mutangaze!

4 Shangwe kubwa kumwimbia nyimbo za kumutukuza;

Yesu kwa pahali pake, utukufu uwe wake.

Tia taji, tia taji!

Kristo, Bwana na Mufalme! Kristo, Bwana na Mufalme!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 11: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

9. FURAHA KUBWA KUTANGAZA SIFA

1 Furaha kubwa kutangaza sifa ya Mwokozi,

Na utukufu wa Mufalme, ndiye Mungu wangu.

2 Ee Bwana wangu na Mufalme, usaidie sasa

Pahali pote nitangaze sifa yako kubwa.

3 Ee Yesu, jina tamu sana kupunguza woga,

Ni dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho.

4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua;

Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi.

5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana,

Na mutangaze pa’li pote Yesu ni Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 12: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

10. NITAIMBA NA KUSIFU

1 Nitaimba na kusifu Yesu Kristo Mukombozi;

Aliacha utukufu, alikufa kwa Kalvari.

Nitaimba na kusifu Yesu Kristo Mukombozi;

Imba na watakatifu wenye kukutana kwake.

2 Nilikuwa mupotevu, Yesu alinitafuta;

Ali-ita na mapendo, alinirudisha kwake.

3 Hata mimi ni zaifu, Yesu aliniokoa;

Yeye Kiongozi wangu anachunga kila siku.

4 Atachunga hata mwisho, atanipeleka kwake;

Pale nitamutukuza kwa uzuri wake wote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 13: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

11. NINAFIKILI, MUNGU BABA WANGU

1 Ninafikili, Mungu Baba wangu,

Viumbe vyote ulivyoviumba

Vinaonyesha nguvu yako nyingi

Pahali pote pa dunia hi-i.

:: Ninakusifu, Mungu na Mwokozi,

Wewe mukubwa, wewe mukubwa::

2 Ninatazama miti na maua,

Ninasikia ndege za peponi,

Vilima na bahari kubwa vile

Zinaonyesha nguvu yako, Mungu.

3 Ninafikili, Mungu, ulituma

Mutoto wako kufa kwa Kalvari,

Na damu yake inatoa zambi;

Ninashangaa kuona pendo lile!

4 Yesu Mwokozi atarudi tena

Kunipeleka kwako, Mungu wangu;

Nitafurahi, nitakushukuru,

Kukutukuza kwa ukubwa wako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 14: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

12. TUNATAKA KUPA KWAKO SIFA

1 Tunataka kupa kwako sifa na heshima zetu,

Yesu ndiwe Kimbilio wetu sisi wenye zambi.

Tunakusifu wewe sasa na kwa milele,

Tunaheshimu jina lako zuri;

Tunakusifu wewe sasa na kwa milele,

Kwa pendo lako kubwa kwetu.

2 Ulilipa ukombozi, na uzima unatupa;

Ndani yako ni wokovu na taraja na salama.

3 Tutaimba na furaha na watakatifu wote,

“Wewe tu unastahili kupokea sifa yetu.”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 15: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

13. MUSINGI WA KANISA

1 Musingi wa kanisa ni Kristo, Bwana yake,

Aliliumba vile kwa utukufu wake;

Na alilitafuta kutoka kwake mbingu,

Na alilinunua na damu yake safi.

2 Kutoka makabila kanisa liko moja,

Na Bwana ni mumoja, ni Bwana wa Kanisa.

Wokovu ni mumoja kwa watu wa dunia,

Taraja vile moja, taraja ya mbinguni.

3 Katika taabu nyingi, mateso duniani,

Kanisa linangoja salama ya milele;

Litakapowashinda adui na Shetani,

Litapumzika mbingu pamoja na Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 16: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

14. SIFA KWA BWANA, MWENYEZI

1 Sifa kwa Bwana, Mwenyezi, Mufalme, Na Mwumba;

Ee nafsi yangu, usifu Mwokozi daima.

Wasikiaji, mukaribie Mwokozi,

Muje, tusifu pamoja.

2 Sifa kwa Bwana anayetawala na haki,

Mwenye kulinda na mwenye upole na pendo;

Amekujibu mara kwa mara maombi,

Kukubariki zaidi.

3 Sifa kwa Bwana aliyeku-umba na ’kili;

Na ananyosha mukono kwa kukuongoza;

Saa ya huzuni yeye anakufariji,

Ukifichama kwa Bwana.

4 Sifa kwa Bwana, nisifu na moyo wa shangwe;

Mbele ya Mungu tufike kuleta asante;

Acha sauti za watu wake wapenzi

Kumutukuza milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 17: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

15. NINASHANGA-A KABISA

1 Ninashanga-a kabisa kwa pendo la Bwana Yesu,

Sababu alinipenda, na mimi mwenye uchafu.

Ajabu tu, ajabu tu, wimbo wangu kwa milele ;

Ajabu tu, ajabu tu, pendo la Mwokozi kwami.

2 Kwami Mwokozi shambani alinyenyekea Mungu;

Na jasho kama matone ya damu ilianguka.

3 Na malaika wa Mungu walikaribia Yesu

Kumufariji kwa taabu aliyoipata kwami.

4 Aliyabeba makosa niliyoyafanya yote,

Na alikufa kwa muti kwa kunilipia deni.

5 Nitakapofika kwake, milele nitamusifu

Kwa pendo lake Mwokozi aliyenikufilia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 18: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

16. NILIPOSIKIA YESU AKI-ITA

1 Niliposikia Yesu aki-ita nimwamini,

Nilijibu, “Bwana Yesu, ninataka kuwa wako.”

Nitasifu Bwana Yesu, alikufa kwa makosa;

Tutukuze jina lake, damu yake inatusafisha.

2 Njia ya Mungu ni diki, majaribu yanazidi;

Nita-acha zambi zote, nitafuata Yesu pekee.

3 Heri jina lake Yesu, alinipokea mimi,

Alinisamehe zambi na kuosha moyo wangu.

4 Utukufu kwake Baba, utukufu kwake Mwana,

Utukufu kwake Roho, wao watatu ni mumoja.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 19: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

17. VIKA MWOKOZI TAJI

1 Vika Mwokozi taji, Kondo-o na Mufalme,

Majeshi yote ya mbinguni wanasifu sana!

Ee nafsi yangu, sifu aliyekukufia,

Mufalme wako, Bwana kwa milele na milele.

2 Vika Mwokozi taji, ni Bwana wa mapendo,

Vidonda vyake utazame kwa mikono yake.

Ni neema kubwa sana kwa watu wa makosa,

Ee tunashangilia sana, tunamutukuza.

3 Vika Mwokozi taji, ni Bwana wa uzima,

Aliyetoka kaburini, aliyefufuka.

Tunamwimbia sifa kwake aliyekufa

Kutuletea ukombozi, yuko hai milele.

4 Vika Mwokozi taji, ni Bwana wa mbinguni,

Aliyetuma Roho kwetu toka Baba Mungu.

Tutoe sifa kwako uliyetukufia;

Ee Bwana wetu, utukuzwe sasa na milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 20: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

18. TUSIFU MUNGU WA MBINGUNI

1 Tusifu Mungu wa mbinguni, mwenye utukufu,

Aliyetuma Mwana wake kwa kutuokoa.

:: Heri jina lake, heri jina lake,

Heri jina la Yesu Bwana::

2 Ni ju-u ya majina yote, linakuzwa sana;

Na malaika wanaabudu mwenye nguvu yote.

3 Mwokozi na Rafiki wetu alitukomboa;

Shauri la wokovu wetu Mungu alitoa.

4 Ni Mwana wa Mufalme na Mukubwa wa salama;

Atatawala kwa milele, Bwana na Mushinda.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 21: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

19. NAPENDA KUIMBIA BWANA SIFA

1 Napenda kuimbia Bwana sifa, Nimekombolewa!

Ni wimbo ju-u ya Mwokozi wangu, Nimekombolewa!

Tangu nilikombolewa,

Tangu nilikombolewa ninasifu jina lake!

Tangu nilikombolewa ninasifu jina la Mwokozi !

2 Ninafurahi sana kwa Mwokozi, Nimekombolewa !

Nataka sana kumutumikia, Nimekombolewa !

3 Najua kweli mimi mwana Wake, Nimekombolewa !

Nitamutegemea sikuzote, Nimekombolea !

4 Na nitaka-a kwa milele kwake, Nimekombolewa!

Kumutukuza, kumusifu yeye, Nimekombolewa !

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 22: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

20. EE SIKU YA PUMZIKO

1 Ee siku ya pumziko na siku ya furaha,

Na siku kusahau mateso ya dunia;

Ni siku yake Bwana, Mwenyezi wa mbinguni,

Ni siku takatifu kusifu Mungu wetu.

2 Kwa siku hii zamani ilitokea nuru,

Na siku hii Mwokozi alifufuka vile;

Hii siku vile Roho wa Mungu alifika,

Na hivi mara tatu ni siku kubwa sana.

3 Na leo duniani katika inchi zote

Waamini wanaitwa kusifu Mungu wao;

Tunakusanywa vile kwa jina lake Bwana,

Na kuabudu Mungu na kusikia Neno.

4 Chakula tunapata kwa roho zetu leo,

Na vile raha tamu kutoka Mungu Baba.

Heshima iwe sana kwa Baba na kwa Mwana,

Na Roho ’takatifu; watatu ni mumoja.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 23: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

21. HATA JUMA HILI, BWANA

1 Hata juma hili, Bwana, umechunga watu wako;

Hivi leo tuko hapa kuingia nyumba yako.

:: Kuja,Bwana ,kubariki, kwani tunakungojea::

2 Sasa tunaomba, Mungu, usamehe zambi zetu,

Na uoshe roho zetu tuwe safi mbele yako.

::Tupumzike ndani yako toka mambo ya dunia::

3 Tunakuja kukusifu, kweli wewe ni karibu;

Tunataka kutazama utukufu wako, Bwana.

::Hivi tuna hamu sana kuingia kwako mbingu::

4 Tuma Neno lako, Mungu, kufundisha watu leo,

Wapotevu wa-amini na kuacha zambi zao.

::Hivi tukutane, Bwana, hata utakaporudi ::

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 24: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

22. EE BWANA, TUNASIFU MAPENDO YAKO

1 Ee Bwana, tunasifu mapendo yako sana,

Tunashanga-a kweli, tunapokutazama;

Kwa sisi ulikuja kwa kutukufilia,

Tupate usamehe, tufike kwako mbingu.

2 Taraja yetu iko kufika kwako, Bwana,

Na kutazama uso waliou-umiza;

Faraja ya mioyo na sifa ya midomo

Katika majaribu, furaha na salama.

3 Mwokozi wetu Yesu, pokea shukurani.

Uliyevumilia makosa, haya vile;

Na sasa unangoja kutufikisha kwako;

Unastahili kweli kupata utukufu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 25: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

23. DAMU YA KRISTO IMENIOKOA

1 Damu ya Kristo imeniokoa,

Na nimezaliwa mwenye roho mypa;

Ee sifa kwa Baba na sifa kwa Mwana,

Damu ya Kristo imeniokoa.

Sifa! Sifa! Mwokozi amenisamehe makosa!

Sifa! Sifa! Kwani damu ya Kristo imeniokoa!

2 Damu ya Kristo imeniokoa,

Furaha mbinguni kwa kazi ya Bwana!

Mutoto wa Baba, na vile muriti,

Damu ya Kristo imeniokoa!

3 Damu ya Kristo imeniokoa,

Na Baba alinisamehe makosa;

Ee bei ya damani ni kufa kwa Bwana;

Damu ya Kristo imeniokoa!

4 Damu ya Kristo imeniokoa,

Utatu wa Mungu wapate heshima;

Ee sifa kwa Baba na Mwana na Roho,

Damu ya Kristo imeniokoa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 26: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

24. MWOKOZI ALITUKUFIA

1 Mwokozi alitukufia, Mwokozi mukubwa!

Kwa damu tumeokolewa, Mwokozi mukubwa!

Ee Mwokozi mukubwa ni Yesu, ni Yesu ;

Ee Mwokozi Mukubwa ni Yesu Mupendwa.

2 Nasifu Yesu kwa wokovu, Mwokozi mukubwa !

Na upatano naye Mungu, Mwokozi mukubwa !

3 Amesafisha moyo wangu, Mwokozi mukubwa!

Na sasa ananitawala, Mwokozi Mukubwa!

4 Anatembea nami sasa, Mwokozi mukubwa!

Ananichunga na salama, Mwokozi mukubwa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 27: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

25. TUNASIFU BWANA YESU

1 Tunasifu Bwana Yesu kwa furaha na kwa nguvu;

Tukijua deni yetu, tujitoe kwake.

2 Tunavikwa na silaha kupigana na Shetani;

Kwa imani tunaweza kumushinda kweli.

3 Tumutegeme-e sana, yeye tu ni mwaminifu;

Kweli kitu hakiwezi kututenga naye.

4 Bwana, utuchunge kwako kwa imani na mapendo

Hata siku ya kuona utukufu wako.

5 Tutakuwa pale kwako, tutapata sura yako,

Vitu tusivyoona bado tutavipokea.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 28: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

26. YESU, MWANZO WA UZIMA

1 Yesu, Mwanzo wa uzima, tunaishi kwako, Bwana;

Ulishinda Diabolo, haya, woga, vile kufa.

Ulipita kwa mateso kwa kuturudisha kwako;

:: Mashukuru elfu elfu yawe kwako kwa milele::

2 Bwana Yesu, ulipata fimbo na kuzarauliwa;

Wewe Bwana wa wabwana, walikuvalisha miiba;

Wewe ulituokowa kwa vifungo vya makosa;

::Mashukuru elfu elfu kwako, Bwana na Mwokozi::

3 Walitia haya nyingi ju-u yako, Ee Mwokozi;

Ulitubebea yote kwa kuleta ukombozi.

Kwa uchungu wako, Bwana, tunaweza kuokoka;

::Mashukuru elfu elfu kwako, Bwana na Mwokozi::

4 Sifa ya mioyo yetu tunakupa, Bwana Yesu,

Kwa mateso na mauti uliyopokea yote.

Ulidumu kwa huzuni kwa kutupatia raha;

::Kwa milele tutaimba mashukuru kwako, Bwana::

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 29: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

27. NINAHESHIMU YESU KRISTO

1 Ninaheshimu Yesu Kristo kwa uzuri wake;

Mwenye kuva-a taji njema kwa kiti cha ufalme,

Kwa kiti cha ufalme.

2 Na hatuwezi kumufananisha na mwingine;

Anawapita na uzuri watakatifu wote,

Watakatifu wote.

3 Aliniona nikizama ndani ya makosa,

Na alinikomboa mimi kwa musalaba wake,

Kwa musalaba wake.

4 Uzima na furaha yote ananipa bule,

Na ananishindisha sana kwa zambi na kaburi,

Kwa zambi na kaburi.

5 Sababu ananionyesha hivi pendo lake;

Maisha yangu yote pia nitayatoa kwake,

Nitayatoa kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 30: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

28. TUNAKUSHUKURU, MUNGU

1 Tunakushukuru, Mungu, kwa Mwokozi wetu Yesu,

Na kwa kila neno jema tunalopokea kwako,

Kwa mashamba na mavuno, jua, mvua, na chakula;

Tunakushukuru sana kwa salama toka mbingu.

2 Tunakushukuru vile kwa ruhusa ya kuomba,

Na asante kwa uwezo wa kushinda majaribu,

Kwa ubaya, kwa uzuri, kwa faraja yako tamu,

Na kwa neema bora kwetu, kwa mapendo yako, Mungu.

3 Tunakushukuru sana kwa baraka zako zote,

Na kwa nyumba zetu vile, na jama-a, na rafiki,

Kwa huzuni, kwa furaha, kwa salama nawe, Mungu;

Tunakushukuru sasa kwa taraja ya milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 31: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

29. EE MUNGU BABA, NINAKUTUKUZA

1 Ee Mungu Baba, ninakutukuza,

Uaminifu wako ni mukubwa,

Huruma zako hazitapugunka,

Hutageuka hata kwa milele.

Ee wewe Mungu wangu, ni mwaminifu kweli,

Siku kwa siku unanibariki:

Vyote ninavyo uliniletea.

Uaminifu mukubwa wa Mungu.

2 Jua na mvua na mwezi na nyota,

Bonde, milima, mashamba na mito,

Yote inashuhudia pamoja

Uaminifu wa Mungu Mwenyezi.

3 Ulisamehe uovu na zambi,

Na ulinipa salama rohoni;

Wewe mwenyewe unaniongoza,

Shangwe ya kweli unaniletea.

4 Mimi zaifu, unanipa nguvu;

Moyoni mwangu taraja ni tamu;

Siku kwa siku baraka ni nyingi.

Elfu na elfu unanimwangia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 32: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

30. ABUDU MUFALME

1 Abudu Mufalme, mwenye utukufu,

Kwa nyimbo tangaza mapendo wa Mungu;

Ni Mwumba, Mwokozi, Rafiki, Mulinzi;

Tusifu uzuri wa Mungu Mwenyezi.

2 Mwenye nguvu nyingi, mwenye neema vile,

Mwenye kufunikwa kwa macho ya watu.

Ni Mungu muju-u, ni Mungu wa nuru;

Inama kusifu na kumushukuru.

3 Mapendo ya Mungu makubwa kabisa!

Hatuna maneno kwa kuyaeleza;

Pahali po pote tunayatambua,

Na yanazijaza dunia na mbingu.

4 Na vile viumbe tunavyoviona

Vinashuhudia ukubwa wa Bwana;

Musingi wa inchi ni tangu zamani,

Unasimamishwa imara milele

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 33: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

31. MUMUKARIBIE MUNGU

1 Mumukaribie Mungu kumusifu na asante ;

Amebarikia shamba, na chakula tumepata;

Mungu wetu anajua mahitaji yetu yote;

Hivi tumwimbie Bwana wimbo wetu wa mavuno.

2 Ulimwengu wetu huu ndio shamba lake Mungu;

Mbegu njema na magugu yanamea kandokando;

Kwanza jani, kisha suke, na nafaka inaota;

Utuchunge, Mungu Baba, sisi ni nafaka yako.

3 Bwana Yesu atakuja, atavuna shamba lake;

Siku ya mavuno yake ataiokota ngano;

Naye atateketeza kila kitu cha uovu;

Ngano njema ataweka na kuchunga kwa milele.

4 Hata hivi kuja, Bwana, kwa kuvuna shamba lako;

Ukusanye watu wako, huru toka zambi zao;

Kule mbingu watu safi wataona uso wako;

Kuja tu na malaika kwa mavuno ndiyo mwisho.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 34: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

32. KWA MUNGU MUJU-U

1 Kwa Mungu Muju-u uwe utukufu,

Sababu ya yote aliyoyafanya;

Alitutumia Mwokozi muzuri,

Ndiye Mwana wake kwa ’jili ya zambi

Tutukuze, tutukuze jina la Mungu wetu!

Tutukuze, tutukuze na tumufurahie!

Ee kuja kwa Baba, kwa Yesu Mwokozi,

Na umutukuze, Mukubwa zaidi!

2 Ametukomboa, ametununua

Kwa njia ya damu iliyo damani ;

Mwenye zambi nyingi anayeamini,

Anasamehewa kwa siku yenyewe.

3 Kwa Mungu Muju-u uwe utukufu ;

Tumufurahie kwa jina la Yesu ;

Furaha kuliko tutakuwa nayo

Wakati tutakapomwona na macho.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 35: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

33. YESU UNITAZAMISHE

1 Yesu unitazamishe musalaba wako,

Nisikusahau wewe na mauti yako.

Musabala wako, Bwana, ni taraja yangu

Hata nitakapokwenda kupumzika kwako.

2 Nilitetemeka pale, mimi mwenye zambi ;

Kwa mapendo na rehema ulinipokea.

3 Yesu, unilinde huko, unifahamishe

Jinsi ulivyochukua zambi zangu zote.

4 Nitangoja na taraja na imani vile

Hata nitakapokwenda kwako kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 36: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

34. TAZAMA YESU NI KONDO-O

1 Tazama Yesu ni Kondo-o kwa musalaba wa Kalvari;

Kwa sisi alimwanga damu kwa musalaba wa Kalvari.

Sauti yake usikie, “Eloi, lama sabaktani!”

Tazama Yesu akikufa kwa musalaba wa Kalvari.

2 Tazama damu inavuja kwa musalaba wa Kalvari;

Kutoka mbavu na mikono kwa musalaba wa Kalvari.

Halafu giza kubwa sana lilitokea kwa dunia,

Mwokozi alikufa pale kwa musalaba wa Kalvari.

3 Na sasa kazi imekwisha kwa musalaba wa Kalvari;

Alizishinda zambi zote kwa musalaba wa Kalvari.

Na sasa njia kwake Mungu ni wazi kwa wenye imani,

Kwa maana Yesu alikufa kwa musalaba wa Kalvari.

4 Alifufuka, alikwenda kwa Baba yake kule mbingu;

Na anaketi kwa kuume ya Baba yake kule mbingu.

Tunainama kumwabudu, Heshima kwako, Ee Kondo-o!

Yesu, pokea sifa zetu, wewe Mwokozi kule mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 37: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

35. BWANA, MUFALME WA UZIMA

1 Bwana, Mufalme wa uzima, walikuvika taji;

Nisisahau miiba ile uliyova-a kwami.

Nisisahau Get’semane, nisisahau musalaba,

Nisisahau pendo lako na taabu kwa Kalvari.

2 Uniongoze kwa kaburi lililo wazi sasa,

Pahali ulipofufuka na ulishinda kufa.

3 Kama Maria na zawadi ninainama kwako,

Kukuonyesha pendo langu; uipoke-e, Bwana.

4 Niwe tayari kukufuata na musalaba wangu,

Ili nijue ushirika wa taabu ya Kalvari.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 38: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

36. YESU MWOKOZI WETU MWEMA

1 Yesu Mwokozi wetu mwema, yeye muzuri wa kupita;

Mungu mukamilifu ndiye Yesu Mwokozi wa Kalvari.

Mwokozi wa Kalvari, namupa roho yangu;

Alinikufilia, mwenye kubarikiwa!

2 Ali-ikunywa kopo tele ya matukano, taabu vile;

Alilipia zambi zote, Yesu Mwokozi wa Kalvari.

3 Mwenye makosa anaweza sasa kupata usamehe;

Alimimia damu yake, Yesu Mwokozi wa Kalvari.

4 Anafariji roho yangu, siku nyingine nitamwona;

Nitatukuza na shuk’rani Yesu Mwokozi wa Kalvari.

5 Tutakutana kule mbingu kwa kulisifu pendo lako;

Tutafanana nawe pale, Yesu Mwokozi wa Kalvari.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 39: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

37. PENDO LILIKUSUKUMA

1 Pendo lilikusukuma, Yesu, kutukufilia;

Ulitubebea taabu, haya kwa makosa yetu.

Kisha ulifufuliwa, ulishinda kufa kweli;

Na watakatifu wote watashinda kwa milele.

2 Sasa umekwenda mbingu, taabu zako zimekwisha;

Makusudi yake Baba uliyatimiza pia.

Sisi ni Kanisa lako, unatuombea sana,

Na kututengenezea pa’li petu kule kwako.

3 Sasa sisi wana wako, kwa sababu yake Roho,

Tunalia, Aba, Baba, bila haya, bila woga.

Deni yetu ya mapendo kwako iko kubwa sana,

Tumekutambua wazi, wewe Bwana wa salama.

4 Ni furaha kukusifu, unayetukuzwa ju-u,

Unatuonyesha wazi roho yako ya mapendo.

Ee pokea kuabudu kwa mioyo yetu yote,

Kwani ulimwanga damu ili sisi tuokoke.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 40: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

38. EE SALAMA YA MILELE

1 Ee salama ya milele inatoka Baba Mungu;

Ni salama ya kujua Yesu ni Mwokozi wangu.

2 Kwangu ni salama sasa kwa sababu yake Yesu,

Alimwanga damu yake kuondoa zambi zangu.

3 Alikufa kuonyesha ana haki na mapendo,

Na kuleta wenye zambi njia kuingia mbingu.

4 Tunakuabudu, Kristo, wewe Mwana wake Mungu.

Na tunakusifu, Bwana, umeshinda zambi zote!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 41: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

39. EE NINI, MUNGU WETU

1 Ee nini, Mungu wetu, ilikuvuta wewe

Kwa ’jili ya makosa kutoa Mwana wako?

Mapendo tu yalikuvuta kwa kutoa Mwana wako,

Kwa kutuo Mwana wako.

2 Ee nini, Bwana Yesu, ilikuleta hapa

Kumwanga damu yako, kupata maumivu?

Mapendo tu yalikuleta kwa kumwanga damu yako,

Kwa kumwanga damu yako.

3 Kwa nini, Mungu wetu, ulimutuma Roho

Ajaze roho zetu na pendo na salama?

Mapendo tu yalitumia watu wako Roho yako,

Watu wako Roho yako.

4 O tutakupa nini kwa neema yako kubwa?

Tuzidi kwa milele kusifu jina lako!

Na sasa tunakuabudu kwa mapendo yako, Mungu,

Kwa mapendo yako, Mungu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 42: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

40. NI TAMU SANA JINA LA MWOKOZI

1 Ni tamu sana jina la Mwokozi Yesu Bwana,

Linafariji kwa huzuni, na kutoa woga.

2 Linaponyesha roho inayoumia sana,

Ni mana kwa kulisha roho, na kuleta raha.

3 Ni Mwamba wetu tunaosimama ju-u yake,

Na ngabo na pahali pa maficho vilevile.

4 Mwokozi, Muchungaji, na Rafiki na Kuhani,

Uzima wetu, Njia, Kweli, sifa nyingi kwako.

5 Zaifu sisi na baridi mioyoni mwetu,

Lakini sifa za kufa-a utazipata mbingu.

6 Kutoka sasa tutapasha pendo lako kubwa ;

Kwa jina lako kufa na kaburi tutashinda.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 43: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

41. YESU, YESU, YESU, JINA TAMU SANA

1 Yesu, Yesu, Yesu, jina tamu sana,

Linawasha roho na kuleta raha.

2 Yesu, Yesu, Yesu, anatoa zambi;

Yesu, jina zuri linatufariji.

3 Yesu, Yesu, Yesu, nguvu analeta,

Vile uhodari kwa kushinda vita.

4 Yesu, Yesu, Yesu, jina la kushinda

Majaribu yote hapa kwa dunia.

5 Yesu, Yesu, Yesu, ni furaha kwetu

Kwa maisha yote, vile kule mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 44: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

42. MWOKOZI WETU NA MUPENZI

1 Mwokozi wetu na Mupenzi, uliyetupenda,

Ulijitoa kwa ajili yetu wenye zambi.

2 Tunakupenda sana kwani ulipenda kwanza ;

Mbinguni uliacha yote kwa kufika hapa.

3 Na ulika-a pale ju-u sawa na Mungu Baba ;

Ulijinyenyekeza sana kututumikia.

4 Ulikubali kukamata sura yetu, Yesu ;

Nawe ulifanyika mwili, wewe ndiwe Mungu.

5 Kwa hivi tutaonekana kama wewe, Yesu;

Na tutakuwa wenye haki mbele yako ju-u.

6 Hakose kwa rafiki yetu sisi tutakufa,

Lakini ulikufa kwa wenye kukuchukia.

7 Tunakumbuka pendo lako kubwa sana kwetu,

Linalopita na zaidi pendo letu, Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 45: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

43. KWA KILIMA CHA KALVARI

1 Kwa kilima cha Kalvari, akiteswa– yeye nami?

Kichwa chake na migu-u na mikono ni michungu.

Mbele alikuwa ju-u na furaha kule mbingu,

Mwana wake Mungu, ndiye kule kwa Kalvari– pekee.

2 Kwa kilima cha Kalvari, akifungwa– yeye nani?

Watu wakimuzihaki, wakisema: “Shuka chini!”

Yeye alifika hapa na mapendo na baraka,

Mwana wake mutu, ndiye kule kwa Kalvari – pekee.

3 Kwa kilima cha Kalvari, akikufa– yeye nani?

Kwa ajili ya makosa yetu-si makosa yake.

Alilipa bei ya zambi, ni sadaka ya ahadi,

Ni kondo-o wetu, ndiye kule kwa Kalvari – pekee.

4 Kule mbingu ni Mufalme, Mushindaji – yeye nani?

Alikufa kwa dunia, bali juu anatukuzwa .

Ee tunainama kwake, anayestahili kweli,

Bwana wa wabwana ndiye, na Mufalme wa wafalme!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 46: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

44. “MUTU WA MASIKITIKO”

1 “Mutu wa masikitiko”, jina gani kwa Mwokozi,

Aliyetukufilia! Haleluya, Bwana Yesu!

2 Sisi watu wa uchafu, yeye Mungu mwenye haki,

Alitutafuta sisi; Haleluya, Bwana Yesu!

3 Aliacha Baba yake, akakuja duniani,

Akapata taabu nyingi; Haleluya, Bwana Yesu!

4 Watu walimuzihaki, wakamupatisha haya,

Wakamuhukumu bule; Haleluya, Bwana Yesu!

5 Yesu alisulibishwa, akalia: “Imekwisha,”

Alilipa zambi zote; Haleluya, Bwana Yesu!

6 Atarudi kama Bwana na Mufalme wa wafalme,

Tutaimba kwa furaha, Haleluya, Bwana Yesu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 47: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

45. KUKUFIKILI WEWE, YESU

1 Kukufikili wewe, Yesu, iko kutamu kwangu;

Zaidi kukuona wewe, na kupumzika kwako.

2 Hakuna jina tamu sana kuliko lako, Yesu;

Inatushinda kufahamu uziri wako wote.

3 Taraja kwa wenye kutubu na wenye kuanguka,

Unawahurumia wote wanaokutafuta.

4 Inatushinda kueleza mapendo yako, Bwana;

Na ni wapenzi wako tu wanaoyafahamu.

5 Wewe furaha yetu pekee na taji yetu vile,

Na utukufu wetu, Bwana, sasa na kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 48: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

46. PENDO LAKO, BWANA YESU

1 Pendo lako, Bwana Yesu, linapita kila pendo;

Ni furaha ya mbinguni, ni furaha yetu huko.

Yesu, wewe mwenye neema, vile mwenye pendo kubwa,

Utukaribie sasa, uingie roho zetu.

2 Yesu, sasa utujaze roho zetu na mapendo;

Tunapata ndani yako yote tunayohitaji.

Uondoshe zambi zote tusizitamani tena;

Tukikuamini kweli, tunapata kuwa huru.

3 Tunaomba utujaze na uzima wako, Bwana;

Sisi ni hekalu lako, na huwezi kutuacha.

Tuna hamu ya kupata kukutumikia hapa,

Kukusifu sikuzote kama jeshi la mbinguni.

4 Umalize kazi yako, utukamilishe sisi;

Tukikutazama sana, tufanane nawe, Bwana,

Toka utukufu hata utukufu wake Mungu,

Hata tunafika mbingu mbele yako kuabudu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 49: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

47. NAJUA JINA MOJA ZURI

1 Najua jina moja zuri kuliko kila jina huko,

Kuniletea raha tamu, ni jina hili, Yesu.

Yesu, jina zuri sana! Yesu, sikuzote sawa!

Yesu, tumwabudu sasa na kumwimbia sifa.

2 Napenda jina hili jema, linanivuta kwake Mungu,

Kwa saa ya taabu na huzuni linafariji sana.

3 Siwezi mimi kueleza uzuri wake jina hili,

Lakini nitaimba sifa kwa jina lake Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 50: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

48. INATUSHINDA KUFAHAMU

1 Inatushinda kufahamu mapendo yake Mungu kwetu,

Mapendo haya yanapita mapendo yetu sisi watu.

Alimutuma Bwana Yesu kutoka kwake mbinguni

Kututafuta, wenye zambi, tupate kusamehewa.

Inatushinda kufahamu mapendo haya makubwa,

Lakini tunajua kweli yatabakia daima.

2 Hata miaka inapita, vizazi vinakombolana,

Na hata watu wa dunia wanakata-a kuamini,

Mapendo ya Mungu ni sawa, makubwa sana na nguvu,

Tayari kuokoa wote wanaotubu makosa.

3 Ee Mungu mwenye pendo kubwa, unifundishe kukupenda,

Nipende vile watu wote na pendo unaonipenda.

Nataka sana, Bwana Yesu, mapendo yako makubwa

Yanisukume kukufuata, kukupendeza daima.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 51: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

49. EE BABA, NITAKUWA KAMA YESU

1 Ee Baba, nitakuwa kama Yesu,

Baraka ile alinipatia!

Ni mushangao na ajabu pia,

Kwa sura yake atanigueza.

2 Ee Bwana Yesu, nani kama wewe

Alinipenda hata nitazame

Milele utukufu wako, Kristo,

Mimi zawabu ya mateso yako?

3 Mapendo yako hayakustarehe

Mbele ya kubariki wana wako;

Yanashiriki vitu vyote nasi,

Hata uriti wako, Bwana Yesu.

4 Wapenzi wako wote kwa milele

Kwa utukufu watakusanyika,

Na kwa furaha watakuzunguka,

Kukuabudu na kukutukuza.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 52: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

50. NAPENDA KUSIKIA JINA LA BWANA

1 Napenda kusikia jina la Bwana Yesu Kristo,

Ni kama wimbo tamu sana kuliko kila jina.

2 Linaonyesha pendo lake aliyenikufia,

Na damu yake ya damani iliyonikomboa.

3 Linanifurahisha roho, machozi yanakwisha,

Na linaniambia kwamba: “Usiogope kamwe.”

4 Pamoja na waamini wote, wenye kuokolewa,

Nitamwimbia Yesu sifa mbinguni kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 53: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

51. JINA LA PENDO KUBWA

1 Jina la pendo kubwa, Yesu Mwokozi,

Linalopita yote, Yesu Mwokozi;

Sisi hatuna kitu kukupendeza, Mungu.

Sharti utupe yote, Yesu Mwokozi.

2 Ulifanyika mwili, Yesu Mwokozi,

Na ulitoa damu, Yesu Mwokozi;

Ulilishuhudia pendo lililo kubwa

Kuliko pendo lote, Yesu Mwokozi.

3 Na kwako tuna haki, Yesu Mwokozi,

Makimbilio yetu, Yesu Mwokozi;

Hatuna woga mwingi wa taabu na huzuni,

Kwako tunafichama, Yesu Mwokozi.

4 Utarudia tena, Yesu Mwokozi,

Kwa kutimiza raha, Yesu Mwokozi;

Bwana, tutakuona, halafu tutakuwa

Sawa nawe milele, Yesu Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 54: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

52. EE BWANA, ULIVUMILIA

1 Ee Bwana, ulivumilia hukumu, mauti kwa mimi,

Kwami ulipata huzuni, mateso na miiba Kalvari;

Na uli-ibeba azabu niweze kupata uhuru;

Milele nitakushukuru, Mwokozi na Bwana Mupendwa.

2 Ulivumilia laumu, zarau na vile zihaka,

Mapigo na haya, mateso, na mate ya wenye makosa;

Kulipa makosa kwa mimi, ulisulibishwa, Ee Bwana;

Milele nitakushukuru, Mwokozi na Bwana Mupendwa.

3 Ee Bwana, ninakushukuru kwa yote uliyoyabeba,

Mauti na giza na taabu, niweze kupata uzima,

Na vile nishinde milele nawe kule kwa utukufu;

Milele nitakushukuru, Mwokozi na Bwana Mupendwa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 55: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

53. TUNAPENDA SAA HII TAMU

1 Tunapenda saa hii tamu kukumbuka musalaba

Wa Mwokozi wetu Yesu, sisi watu wa makosa.

2 Ustarehe tunapata kwa zabihu yetu Yesu,

Alitukomboa sisi, alilipa deni zetu.

3 Hapa mbingu ni karibu tunapotazama Yesu,

Kwani alitusamehe, yeye ndiye mwaminifu.

4 Na imani tunafika mbele ya Mwokozi Yesu;

Bwana nasi ni mumoja na hatutatengwa naye.

5 Twende kwake kwa akili, tufahamu nia yake,

Tujifunze sikuzote neema na rehema zake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 56: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

54. KWAKO PEKEE, BWANA, NI SALAMA TAMU

1 Kwako pekee, Bwana, ni salama tamu.

Unajua taabu ya mioyo yetu;

Ulitoka mbingu kwa kutuokoa,

Uliteswa sana kwa wenye makosa.

Si rafiki hapa, Bwana, kama wewe,

Kwa wenye huzuni hatuna mwingine.

2 Watu wa huzuni waje kwake Kristo,

Atatoa taabu, zambi, na mizigo;

Yesu anaita: ‘‘Muje kwangu sasa,’’

Kuna ustarehe tamu kwa mioyo.

Si rafiki hapa, Bwana, kama wewe,

Kwa mwenye mizigo hatuna mwingine.

3 Hata mali yote ya dunia huko

Haileti raha kwa mioyo yetu;

Wewe, Bwana Yesu, unatuletea

Kufurahi sana, raha na salama.

Si rafiki hapa, Bwana, kama wewe,

Kwa roho ya kiu hatuna mwingine.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 57: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

55. NINAPO-ONA MWOKOZI WA WATU

1 Ninapo-ona Mwokozi wa watu

Kwa musalaba wa haya na taabu,

Ninahesabu faida yo yote

Kuwa hasara kwa ’jili yake.

2 Nisijisifu kwa kitu kingine,

Ila kwa kufa kwa Kristo Mwokozi;

Vyote nilivyovipenda zamani,

Ninavitoa kwa damu yake.

3 Ona machapa kwa mbavu ya Kristo,

Na kwa mikono na vile migu-u ;

Yanaonyesha mapendo ya Mungu

Aliyokuwa nayo kwa watu.

4 Na kama ningalipata dunia,

Ndogo kabisa–zawadi kwa Bwana;

Kwa pendo hili nitamutolea

Roho, maisha, na vitu vyote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 58: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

56. MUFALME WA UTUKUFU

1 Mufalme wa utukufu, tunakuabudu sasa,

Na tunainama kwako, unapita wote pia!

Tunakutukuza wewe, njia zako nzuri zote!

2 Mufalme wa utukufu, Bwana ya viumbe vyote,

Ulikataliwa hapa hata na taifa lako;

Sasa tunakuheshimu wewe, mwenye utukufu.

3 Bwana wa uzima wetu, ulibeba taabu zetu,

Mupenzi wa Baba yako, Ee uliumia sana;

Tunakukumbuka wewe, na kusifu jina lako.

4 Kristo, utavikwa taji na mavazi ya kifalme,

Na tunakushuhudia kwamba wewe ni Mufalme;

Ee tunakunyenyekea, Kristo, Bwana kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 59: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

57. NINATIMIA NDANI YAKO

1 Ninatimia ndani yako na ninapata haki kwako;

Mauti yako, Bwana Yesu, ililipia deni yangu.

Ninatakaswa nawe, Bwana, na ninahesabiwa haki;

Kwa damu ulinisamehe, na utanitukuza vile.

2 Ninatimia ndani yako, makosa hayatatawala

Katika moyo wangu tena, uwezo wako umeshinda.

3 Umetimiza mahitaji ya roho yangu, Bwana Yesu;

Ee wewe unafaa kabisa, sitahitaji kitu tena.

4 Wachaguliwa siku moja watakutana kwako, Bwana,

Na nitakuwa pale vile, nikitimia ndani yako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 60: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

58. EE KRISTO, KWAKO ROHO YANGU

1 Ee Kristo, kwako roho yangu inakuta raha;

Salama niliyotafuta nimepata sasa.

Ee Kristo, wewe unafa-a kupumzisha roho;

Salama, shangwe, na mapendo ninapata kwako.

2 Nilitafuta raha pekee, sikukutafuta;

Nilipopita, pendo lako lilinikamata.

3 Nilijaribu upendezi wote wa dunia,

Lakini sikupata ustarehe na furaha.

4 Kipofu mimi, sikuona macho yako, Bwana,

Lakini sasa wema wako wazi ninaona.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 61: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

59. NAFSI YANGU, ANGALIA YESU

1 Nafsi yangu, angalia Yesu Mukombozi wako;

Yeye ni kwa utukufu, mbali na makosa yote.

2 Anaketi kule mbingu, haki yake inanga-a;

Anaionyesha damu, bei ya ukombozi wetu.

3 Alibeba zambi zote kwa kilima cha Kalvari,

Na hukumu imepita, Ee furaha kubwa sana!

4 Sasa Mungu anataka sisi tuwe kwake mbingu;

Anatutengenezea vitu vyote taratibu.

5 Neno hili, “kwa milele”, ni baraka ya kuzidi,

Wala kitu hakiwezi kututenga na Mwokozi.

6 Tumusifu Bwana wetu, sisi ni watoto wake;

Tutaimba kwa milele, na tutafurahi kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 62: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

60. REHEMA YA KUHANI WETU

1 Rehema ya Kuhani wetu tunaikumbuka,

Na moyo wako unajaa na pendo kubwa sana.

2 Anafahamu majaribu, uzaifu wetu,

Sababu alijaribiwa kama sisi watu.

3 Makosa hayakuchafua Mukombozi wetu;

Kondoo mutakatifu, yeye ni sadaka yetu.

4 Wakati alipotembea hapa kwa dunia,

Machozi mengi alitoa – anajua yetu.

5 Tukaribie kiti cha ne-ema bila woga,

Tupate neema kusaidia saa ya mahitaji.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 63: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

61. KWA KONDO-O TUNAPUMZIKA

1 Kwa Kondo-o tunapumzika, kwa mapendo ya mushangao;

Zambi zetu alisamehe, damu yake ilizitoa.

2 Sasa roho zetu za woga zinajazwa na raha tamu;

Mungu Baba alipendezwa na sadaka ya Yesu Mwana.

3 Sasa woga hauko tena kwani damu ya Bwana Yesu

Mara moja iliondoa zambi zote kwa roho yangu.

4 Ninajazwa na raha tamu na ningali kwa ulimwengu;

Kisha ngambo kwa utukufu nitakuta raha yenyewe.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 64: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

62. EE MUNGU NDIYE NGUVU YETU

1 Ee Mungu ndiye nguvu yetu, raha, na taraja,

Anachungaga watu wake sasa na milele.

2 Na hata mbele ya milima Mungu alikuwa;

Uwezo wake uliumba vyote duniani.

3 Miaka elfu ni kwa Mungu kama siku moja;

Milele Mungu yuko sawa, jana, leo, kesho.

4 Ee Mungu, Musaidizi wetu, tumaini vile,

Utuongoze hata mwisho wa safari yetu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 65: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

63. EE BWANA YESU, MWUMBA WA DUNIA

1 Ee Bwana Yesu, Mwumba wa dunia,

Mwana wa Mungu na mutu vile,

Ninakupenda, ninakusifu,

Wewe furaha yangu pia.

2 Shamba na mwitu, yote ni mizuri,

Lakini unaipita mbali;

Wewe ni mwema, mutakatifu,

Unayenipa shangwe kubwa.

3 Jua na mwezi inanga-a sana,

Pamoja na nyota za mbinguni;

Uzuri wako na utukufu

Unatushinda kufahamu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 66: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

64. KAMA ULIVYOAGIZA, BWANA

1 Kama ulivyoagiza, Bwana, ninafika meza yako

Kwa kukumbuka kufa kwako kwa mimi mwenye zambi.

2 Mwili wako uliovunjika ni mukate wa uzima,

Na damu iliyomwangika, agano jipya kwami.

3 Nikiona musalaba wako kwa kilima cha Kalvari,

Nakukumbuka na sadaka uliyonitolea.

4 Ninakukumbuka na mateso uliyoyabeba kwami;

Ningali na maisha yangu nitakusifu wewe.

5 Hata saa midomo yangu hii itakapofungwa kimya,

Nitatangaza kufa kwako, na utanikumbuka.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 67: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

65. KWA MUKATE NA KWA MVINYO

1 Kwa mukate na kwa mvinyo, arabuni yake Roho,

Kwa maneno ya mapendo, tunakusifu, Bwana.

2 Mvinyo na mukate vile ni mufano wa mauti

Ya Mwokozi wetu mwema ; tunakusifu, Bwana.

3 Kwa maneno ya Kitabu ya kutuonyesha Yesu,

Na kutukokota kwake, tunakusifu, Bwana.

4 Kwa habari za mbinguni na kwa ufufuko wetu,

Na kukaa karibu nawe, tunakusifu, Bwana.

5 Huu mukate ni mufano wa Mwokozi akikufa,

Hakushindwa na mauti; tunakusifu, Bwana.

6 Na kikombe ni mufano wa kutukumbusha damu

Uliyoimwanga yote, tunakusifu, Bwana.

7 Na kwa siku ya furaha utakaporudi kwetu

Kwa kupata utukufu, tunakusifu, Bwana.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 68: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

66. TUNAZUNGUKA MEZA

1 Tunazunguka meza na Yesu katikati,

Kwa Kristo wote ni mumoja, hata sisi wengi.

2 Kwa zambi zetu Yesu alitukufilia,

Na tulikufa ndani Yake na tulifufuka.

3 Mukate na kikombe tunakamata sasa;

Tunapumzika kwa kifua cha Mwokozi Bwana.

4 Tutatawala naye Mufalme Yesu Kristo;

Tutafurahi kwa karamu, ndoa ya Kondoo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 69: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

67. TUNAZIKWA KWA KABURI LA MWOKOZI

1 Tunazikwa kwa kaburi la Mwokozi Yesu Bwana;

Mungu anatuhesabu kuwa wafu kwa makosa.

2 Kufa na hukumu vile haziwezi kutugusa;

Bwana alibeba yote, nguvu yao amemaliza.

3 Yesu alifufuliwa toka wafu, yeye kwanza;

Nasi tumeumbwa tena, sisi ni wahuru sasa.

4 Ubatizo tunapa, sura ya mauti yake ;

Na tunafufuka naye, ndani yake tunakaa.

5 Tunangoja ukombozi wa mi-ili yetu vile ;

Atatugeuza pia kufanana naye Yesu.

6 Bwana, sasa tunataka kushiriki haya yako;

Mungu atatupokea, kwani tuko ndani yako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 70: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

68. ULIAGIZA, YESU BWANA

1 Uliagiza, Yesu Bwana, na ninazikwa kwa mufano,

Hivi ninatangaza wazi mimi ni mutu wako sasa.

2 Ninakutii kwa neno hili, ninakunyenyekea hivi,

Kwani nataka kukufuata hata katika ubatizo.

3 Huu ni mufano wa kaburi ulipozikwa ndani yake;

Niki-ingia, natambua bei kubwa ya wokovu wangu.

4 Ninapotoka, ni mufano wa ufufuko wako, Bwana,

Na nitaishi mutu mupya, mimi si tena wa dunia.

5 Nijihesabu kuwa mufu kwa zambi zilizoku-ua,

Mufu kwa mambo ya dunia yasiyokupendeza, Bwana.

6 Ninapokutazama, Bwana, na utukufu wako wote,

Ninahesabu haya bule ninayobeba kwawe hapa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 71: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

69. TANGAZA NENO HILI

1 Tangaza neno hili dunia isikie

Mwokozi ametuma Musa-idizi kwetu;

Wakristo pa’li pote wafarijiwe naye.

Musa-idizi yuko!

Musa-idizi yuko, Musa-idizi yuko,

Ni Roho yake Mungu aliyetumwa kwetu;

Ahadi yake nzuri inatimia kweli,

Musa-idizi yuko!

2 Kumbuka Roho huyu aliyetumwa kwetu

Anatukuza Yesu katika roho zetu;

Na anawaongoza wenye kupenda Bwana,

Musa-idizi yuko!

3 Anatufunulia habari za maneno

Yatakayotokea kwa mwisho wa dunia;

Anayasema yote anayoyasikia,

Musa-idizi yuko!

4 Na nina Roho huyu katika moyo wangu,

Ananifahamisha maneno yake Yesu;

Ninashanga-a sana kwa neema yake Bwana ,

Musa-idizi yuko!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 72: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

70. MWOKOZI ALIAHIDIA

1 Mwokozi aliahidia wanafunzi wake

Kutuma Musaidizi kwao toka mbingu.

2 Kwa hivi Roho alikuja, naye anapanga

Katika roho ya mwenye unyenyekevu.

3 Katika kweli yote ana’ngoza wa-amini,

Maneno yale anayosikia kwake.

4 Anatukuza Yesu, naye anatutagaza

Habari za maneno yatakayokuja.

5 Matunda yake Roho ni mapendo na furaha,

Salama, neema, wema, na uaminifu.

6 Ee utujaze Roho yako, Mungu, tunaomba,

Apange kwetu kubakia sikuzote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 73: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

71. MANENO YA MUNGU NI TA-A

1 Maneno ya Mungu ni ta-a na nuru kwa njia yangu,

Kwa kunisafisha kwa zambi na kuniongoza kwake.

Nimeficha Maneno ya Mungu

moyoni nisimukose-e,

Nisimukose-e, nisimukose-e,

Maneno ya Mungu moyoni.

2 Milele Maneno ya Mungu yanasimamishwa juu;

Yanatufundisha kujua Mwokozi ni mwaminifu.

3 Mapema, saa sita, usiku, nisifu Mwokozi wangu,

Sababu maneno matamu yananipatisha nguvu.

4 Biblia inatuambia Mwokozi ni Yesu Kristo;

Anawaletea wokovu wanaopotea mbali.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 74: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

72. BIBLIA INASIMAMA SANA

1 Biblia inasimama sana kama mwamba wa imara;

Katika Biblia tunapata Neno la Mungu wa milele.

Biblia inasimama sana, haitapunguka hata milele,

Na nitasimama kwa mambo yote ju-u ya Biblia.

2 Biblia inasimama sawa na mulima ju-u sana,

Na watu hawataweza kweli kuishinda na nguvu yao.

3 Biblia inasimama sana, kwa milele itashinda;

Sababu Mungu aliandika ndani yake sheria zake.

4 Biblia inasimama kwani ni Kitabu chake Mungu;

Nita-amini na nitadumu kuitii kwa maisha yangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 75: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

73. NENO TAKATIFU SANA NI BIBLIA

1 Neno takatifu sana ni Biblia yake Mungu,

Nikisoma ndani yake inanifundisha sana.

2 Inanikemea vile ninapotembea mbali;

Inanionyesha njia, na mapendo ya Mwokozi.

3 Inanifariji mimi ninaposumbuka sana;

Niki-iamini kweli nitashinda hata kufa.

4 Inaniambia wingi wa furaha ya mbinguni;

Ninapenda Neno hili, ni hazina ya damani.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 76: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

74. NI NEEMA YA KUNISHANGAZA

1 Ni neema ya kunishangaza iliyoniokoa ;

Nilipotea, lakini Yesu alinivuta kwake.

2 Hukumu ya Mwamuzi Mungu niliogopa sana,

Lakini sasa, kwa neema yake, sitaogopa tena.

3 Katika majaribu mengi nimesimama nguvu ;

Kwa neema yake alinichunga, hataniacha kamwe.

4 Tutashukuru Mungu wetu milele na milele

Kwa neema kubwa tuliyo-ona katika Mwana wake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 77: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

75. MUNGU ALIPOSIFIWA MBINGUNI

1 Mungu aliposifiwa mbinguni,

Zambi ilipoijaza dunia,

Yesu alitoka muji wa Baba

Awe Mwokozi kwa wenye makosa.

Alinipenda, kunikufia,

Na alizikwa katika kaburi;

Alifufuka na kuniokoa;

Atarudia – Ee siku ya shangwe!

2 Watu walimupeleka Kalvari,

Kwa misumari walimutoboa;

Walizihaki na walizarau

Mwenye kubeba makosa ya watu.

3 Kufa hakuweza kumuzuiza

Mwana wa Mungu katika kaburi;

Alifufuka kwa siku ya tatu,

Yeye Mushinda na Bwana ya yote!

4 Atarudia katika mawingu

Kwa kukamata wenye kumwamini;

Tutafurahi kuona Mwokozi

Na tutaishi naye kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 78: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

76. NINA NENO TOKA BWANA

1 Nina neno toka Bwana, Haleluya!

Na neno hili nitakupa;

Ma-andiko ya Kitabu, Haleluya!

Yanasema: “Utazame Yesu.”

Utazame Yesu, ndugu, utazame Yesu sasa;

Ma-andiko ya Kitabu, Haleluya!

Yanasema: “Utazame Yesu.”

2 Nina neno la mapendo, Haleluya!

Ni neno, Ee rafiki, kwawe;

Na ni neno toka ju-u, Haleluya!

Yesu Kristo alisema kweli.

3 Na uzima utapata, Haleluya!

Uzima wa milele, ndugu;

Utazame Yesu sasa, Haleluya!

Yesu pekee atakuokoa.

4 Ninaweza kuhubiri, Haleluya!

Habari ya wokovu wangu,

Kuamini jina lake, Haleluya!

Nimepata kwake tu uzima.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 79: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

77. DUNIA ’NALALA

1 Dunia ’nalala kwa giza la zambi,

Nuru ni Yesu pekee;

Mwenye utukufu anatuangaza,

Nuru ni Yesu pekee.

Kuja kwa Nuru, anakuita,

Nimeipata kwa roho yangu;

Mimi kipofu, sasa naona

Nuru ni Yesu pekee.

2 Hatutatembea kwa giza kabisa,

Nuru ni Yesu pekee;

Sababu tunafuata Yesu Mwokozi,

Nuru ni Yesu pekee.

3 Kwa wenye makosa, wenye kupotea,

Nuru ni Yesu pekee;

Kwendeni kuoshwa na damu ya Yesu,

Nuru ni Yesu pekee.

4 Hawana hitaji la jua mbinguni,

Nuru ya mbingu Yesu;

Kondo-o wa Mungu ni nuru ya muji,

Nuru ya mbingu Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 80: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

78. MWOKOZI WANGU ALINIMWANGIA DAMU

1 Mwokozi wangu alinimwangia damu yake;

Kwa mwenye zambi, mwenye haki alitoa mwili.

Kule kwa musalaba wa Yesu Mwokozi

Niliacha zambi zangu kabisa;

Nilimupokea na nimeokoka,

Na sasa furaha inazidi.

2 Makosa yangu yalifunga Yesu kwa Kalvari;

Huruma na mapendo yake ni makubwa kweli.

3 Na giza lilificha Yesu pale kwa Kalvari :

Ajabu kubwa, Mwumba wangu alikufa kwami!

4 Siwezi kulipia deni kwa huzuni yangu,

Lakini nitatoa vyote kwa Mwokozi wangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 81: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

79. MOYO ULIGEUZWA NA VILE MAISHA

1 Moyo uligeuzwa na vile maisha, saa Yesu alipoingia;

Nikapata uwezo na nuru moyoni, saa Yesu alipoingia.

Saa Yesu alipoingia, saa Yesu alipoingia,

Haleluya kwa Yesu Mwokozi pekee,

Aliniokoa kabisa!

2 Niliacha makosa na njia ya zambi, saa Yesu alipoingia;

Naye alisamehe na alisafisha, saa Yesu alipoingia.

3 Nilipata salama iliyo ya mbingu, saa Yesu alipoingia;

Woga uliniacha na shaka njiani, saa Yesu alipoingia.

4 Nilipata taraja ya kwenda mbinguni, saa Yesu alipoingia;

Na furaha ilijaza roho kabisa, saa Yesu alipoingia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 82: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

80. EE SIKU YA KUOKOLEWA

1 Ee siku ya kuokolewa ni kweli siku ya furaha ;

Kwa neema na mapendo kwangu, aliondoa zambi zangu.

Siku kubwa ya furaha, mimi ni mutu wake sasa,

Ndiye anayeniongoza

kumwangalia na kumwomba.

Siku kubwa ya furaha, mimi ni mutu wake sasa.

2 Sitapotea tena kamwe, ananiita mwana wake.

Alinivuta kwa mapendo, nifuate mwito wake pekee.

3 Na tumekwisha kupatana; mimi ni wake, yeye wangu.

Ninamushuhudia Yesu; nitamutii, nitamufuata.

4 Furaha yake ninapata, ananijaza raha sasa.

Hakuna kitu wala mutu anayeweza kunitenga.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 83: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

81. NILIPOFIKA KWA MUSALABA

1 Nilipofika kwa musalaba,

nikanyanyua sauti yangu:

“Yesu Mwokozi, unirehemu!” Akaniokoa.

Yesu asifiwe, Yesu asifiwe!

Alisikia kilio changu, Yesu asifiwe!

2 Nilipofika kwa Bwana Yesu,

nikamusihi Mwokozi wangu:

“Unitakase, unisafishe!” Akanisikia.

Yesu asifiwe, Yesu asifiwe!

Alisikia maombi yangu, Yesu asifiwe!

3 Ona kisima cha musalaba,

leo kingali cha nguvu sawa

Kukuokoa na kusafisha, Yesu asifiwe!

Yesu asifiwe, Yesu asifiwe!

Kukuokoa na kusafisha, Yesu asifiwe!

4 Kuja kuoshwa katika maji

yaliyo damu ya Yesu Kristo;

Umusadiki, utatimizwa, Yesu asifiwe!

Yesu asifiwe, Yesu asifiwe!

Umusadiki, utatimizwa, Yesu asifiwe!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 84: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

82. YESU KWA MUJI WA BETELEHEMU

1 Yesu kwa muji wa Betelehemu

Alizaliwa katika ta-abu;

Ninashangaa sababu Mwokozi alitafuta mimi.

Alitafuta mimi, alitafuta mimi,

Ninashangaa sababu Mwokozi alitafuta mimi.

2 Yesu Mwokozi, zamani Kalvari

Deni ya zambi alinilipia;

Kuniletea uhuru wa kweli alinikufilia.

Alinikufilia, alinikufilia,

Kuniletea uhuru wa kweli alinikufilia.

3 Yesu Mwokozi alinikumbuka

Nami ningali tu mbali na Baba,

Na sikuzote alinitafuta, akini-ita mimi.

Akini-ita mimi, akini-ita mimi,

Na sikuzote alinitafuta, akini-ita mimi.

4 Yesu Mwokozi aliniahidi

Atarudia kutoka mbinguni,

Na nitamwona katika mawingu, atanitwa-a kwake.

Atanitwa-a kwake, atanitwa-a kwake,

Na nitamwona katika mawingu, atanitwa-a kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 85: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

83. NILIZAMA KWA MAKOSA

1 Nilizama kwa makosa, katika maji ya zambi;

Roho yangu iliona kufa na giza tele;

Mungu alinisikia nilipomulilia,

Akanipandisha na kuniokoa.

::Nimeokoka, nimeokoka,

Kwa Yesu Mukombozi nimeokoka::

2 Sasa Yesu amekuwa Makimbilio yangu;

Pendo lake kubwa sana liko moyoni mwangu;

Neema yake ya kuzidi inanijaza roho;

Niwe mwaminifu kwake siku zote.

3 Nawe mwenye sikitiko, kuna matumaini;

Yesu anakufahamu na atakusaidia;

Atakupandisha toka tope la kuteleza;

Upoke-e neema yake kwa wokovu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 86: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

84. BWANA YESU AMESEMA

1 Bwana Yesu amesema: “Ee wewe ni zaifu;

Angalia na kuomba kwa kupata nguvu kwangu.”

Yesu alikufa kwa ajili yangu,

Aliziondosha zambi, furaha kubwa kwangu!

2 Pendo la Mwokozi wangu limeyeyusha moyo;

Ametoa zambi zangu na kiburi na uchoyo.

3 Sina kitu mukononi cha kunifaidia;

Ni zaifu, muhitaji, Yesu, ninakulilia.

4 Mungu akinisaidia, nitamaliza mwendo;

“Yesu alikufa kwami”, nitaimba pale ngambo.

5 Siku moja nitafika mbinguni kwako, Bwana;

Tutaimba sisi sote, tutakushukuru sana.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 87: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

85. WAISRAELI KULE KWA MISRI

1 Waisraeli kule kwa Misri walipaka-a miimo na damu,

Na malaika hakuingia kwa kuharibu mwana wa kwanza.

Mungu akiona damu, damu yake Yesu Kristo,

Kweli kufa kutapita, kutapita kabisa kwa sisi.

2 Kule Farao hakukubali kuwafungua watu wa Munga;

Hakuamini na hakuti-i, na alipata taabu kuzidi.

3 Mwenye makosa , kuja kwa Yesu, aliahidi kukuokoa;

Atafunika zambi na damu, tena hukumu hutaipata.

4 Neema, rehema, pendo la Bwana,

ni aminifu, kweli na kubwa;

Makimbilio utayapata, damu inapitisha hukumu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 88: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

86. NEEMA YA BWANA NI KUBWA SANA

1 Neema ya Bwana ni kubwa sana,

Kubwa kuliko zambi za watu,

Kule Kalvari tunaiona,

Pa’li pa kufa kwa Bwana Yesu.

Neema yake inasamehe makosa yetu,

Neema yake kubwa kuliko uovu wetu.

2 Tuko katika hatari kubwa,

Tutapotea tusipotubu;

Neema ya Bwana inaonyesha

Yesu Mwokozi ni Kimbilio.

3 Ndugu, huwezi kuficha zambi,

Mungu mbinguni anaziona!

Ee unataka kusukuliwa?

Damu ya Yesu itakuosha.

4 Neema ya Bwana ni kubwa sana,

Iko tayari kwawe, mupenzi;

Kiri makosa, amini Yesu.

Atasamehe kwa neema yake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 89: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

87. YOTE NINAYO NILIYAPOKEA

1 Yote ninayo niliyapokea

kwa wema wake unaoenea;

Mimi si kitu, namutegemea ;

nimeokolewa ka ne-ema.

Niliyekuwa nimetoroka,

kwa pendo lake nimeokoka!

Yesu ni mwema na mwenye rehema.

Nimeokolewa kwa ne-ema !

2 Nilitembea zamani kwa zambi

katika njia ya kufa, lakini

Yesu alinitafuta polini ;

nimeokolewa kwa ne-ema.

3 Nimetakaswa na Yesu Mwokozi,

si kwa matendo na si kwa machozi,

Ila kwa damu nina ukombozi ;

nimeokolewa kwa ne-ema.

4 Raha ya mbingu imeni-ingia,

kwa shangwe kubwa namufurahia.

Kwa kuwa Yesu ’nanirehemia ;

nimeokolewa kwa ne-ema.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 90: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

88. NE-EMA, NENO TAMU

1 Ne-ema, neno tamu kwa masikio yangu,

Ni wimbo wa mbinguni ju-u, dunia isikie.

Nimeokolewa na ne-ema pekee;

Yesu Kristo alikufa kwami na watu wote.

2 Kwa neema jina langu lina-andikwa mbingu,

Na neema ilinipeleka karibu naye Yesu.

3 Kwa neema njia yako ni wazi mbele yangu;

Ninapokea kwa ne-ema ninayoyahitaji.

4 Kwa neema ninaweza kuomba Mungu Baba;

Ni neema inayonichunga mupaka saa ya kufa.

5 Uache neema yako kuniendesha mbele,

Unipe neema kujitoa kwawe, Mwokozi wangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 91: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

89. PENDO LA MUNGU NI KUBWA

1 Pendo la Mungu ni kubwa, pasha habari hizi;

Pendo la Mungu ni kubwa, mwanzo wa nyimbo zote;

Na malaika mbinguni walihubiri dunia ;

Mutu wa zambi ,sikia, pendo la Mungu ni kubwa!

Pendo kubwa, pendo kubwa,

Pendo kubwa, pendo la Mungu ni kubwa!

2 Pendo la Mungu ni kubwa kwako uliye mbali;

Pendo la Mungu ni kubwa, yeye anakuita.

Toka kilima Kalvari, tangu ku-umba dunia,

Limeonyeshwa hakika, pendo la Mungu ni kubwa!

3 Pendo la Mungu ni kubwa, kutuletea raha;

Pendo la Mungu ni kubwa, tutafurahi sana.

Tutakutana mbinguni na waliotangulia,

Na tutaimba pamoja : ‘‘Pendo la Mungu ni kubwa.’’

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 92: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

90. IMBA NENO LA MUNGU

1 Imba Neno la Mungu tena, Neno lenye uzima ;

’Nionyeshe uzuri wake, Neno lenye uzima.

Linaleta uzima, linaleta imani.

Neno la kweli, Neno la ’jabu,

Neno la Mungu na uzima ;

Neno la kweli, Neno la ’jabu,

Neno lenye uzima.

2 Kristo mwenye mapendo yote anakuita sasa;

Mwenye zambi, sikia Yesu, anakuita sasa.

Analeta uzima kwa kufika mbinguni.

3 Uhubiri Habari Njema, Neno lenye uzima.

Linaleta salama kubwa, Neno lenye uzima.

Yesu ni Mukombozi kuokoa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 93: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

91. YESU ALINIOKOA TOKA ZAMBI

1 Yesu aliniokoa toka zambi,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi;

Yesu alinifungua toka woga,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi.

Yesu Mwokozi muzuri kwa mimi,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi ;

Toka zambi zangu aliniokoa,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi.

2 Ni Rafiki mwenye neema na mapendo,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi;

Mahitaji yote ninapata kwake,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi.

3 Yeye ni karibu kwa kunifariji,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi;

Ananisamehe zambi zangu zote,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi.

4 Pendo langu kwaye linaongezeka,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi;

Neema yake tamu inaniongoza,

Ni Mwokozi muzuri kwa mimi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 94: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

92. DUNIA YA ZAMBI HAILETI FURAHA

1 Dunia ya zambi haileti furaha

Kama Neno la Mungu kwa mimi,

Sawa Yesu Mwokozi alivyobeba zambi,

Na damu inazifunika.

Damu inazifunika ubaya na zambi zangu,

Hukumu na taabu Yesu alizibeba,

Na damu inazifunika.

2 Mapigo ya Yesu na mi-iba mikali

Yote yanaonyesha mapendo;

Nikiona Kalvari nina haya kwa zambi,

Na damu inazifunika.

3 Nilimutazama kule kwa musalaba

Na ajabu kwa neema ya Mungu;

Nilipiga magoti zambi zangu kukiri,

Na damu inazifunika.

4 Ninamushukuru kwani alinunua

Roho yangu na bei ya damani;

Na furaha na nyimbo ninamusifu sana

Kwa damu inayonika.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 95: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

93. RAFIKI, MUYASIKILIZE

1 Rafiki, muyasikilize sasa mafundisho yetu

Yanayoweza kusaidia na kuwaokoa watu.

Nani anaokoa watu?

(Mwana wa Mungu kwa Kalvari)

Kwa njia gani? ( Kutukufia )

Na yuko wapi? (Amini )

Mbinguni anatuombea.

2 Hakuna malaika ju-u aliyeliweza hili;

Mwenye kuteswa kwa Kalvari alikuwa Mwana Mungu.

3 Ni neno la kutushangaza na kuwasha roho zetu;

Yesu, Kuhani letu, sasa anatuombea juu.

4 Utapokea Yesu sasa, utamunyenyekea?

Ataijaza roho yako na uwezo na furaha.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 96: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

94. MWOKOZI YESU ALIKWENDA

1 Mwokozi Yesu alikwenda kule kwa Kalvari,

Alitukufilia pale kwa kutuokoa.

Mapendo gani ya Mwokozi! Tumupende sana,

Na tuamini damu yake, tumutumikie.

2 Inatushinda kufahamu aliyoyabeba,

Lakini tunajua alitukufia sisi.

3 Kwa kusamehe zambi zetu Yesu alikufa,

Kwa damu tuokoke na tufike kwake mbingu.

4 Mwingine hakufaa kutulipia deni yetu;

Mwokozi pekee aliweza kufungua mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 97: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

95. KWA PENDO LAKE KUBWA

1 Kwa pendo lake kubwa Mwokozi alikuja,

Na alinitafuta katika poli mbali;

Na malaika wali-imba na furaha ju-u yangu.

Alinitafuta, akaniokoa,

Akaniondosha kwa mabaya.

Akanirudisha kwake Mungu.

2 Kwa zizi lake zuri alinibeba tena,

Na aliniambia, “Wewe ni wangu sasa.”

Sauti yake ya mapendo ilinifariji sana.

3 Ninakumbuka jinsi alivyotoa damu,

Ninakumbuka vile mi-iba na mateso,

Mwokozi alibeba yote kwa sababu ya mapendo.

4 Ninakufuata, Yesu, katika nuru yako;

Ninakumbuka sana baraka yako nyingi;

Milele nitaendelea kukusifu kwa furaha.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 98: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

96. UMESOMA HABARI ZA MUSALABA

1 Umesoma habari za musalaba wa Mwokozi Yesu?

Damu yake ilimwangika pale kukulipia deni.

Alikukufia musalabani, hivi umekombolewa;

Mapendo yake ya mushangao,

mapendo makubwa gani!

2 Umesoma ya kwamba walimuvika taji ya mi-iba?

Aliwaombea: “Uwasamehe, kwani hawafahamu.”

3 Umesoma ya kama aliokoa mwizi mwenye toba,

Aliyemusihi musalabani: “Bwana, unikumbuke”?

4 Umesoma ya kwamba Mwokozi alilia, “Imekwisha”?

Umesema: “Bwana, asante kwako uliyenikufia”?

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 99: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

97. BWANA YESU ALIKUJA

1 Bwana Yesu alikuja kutafuta wapotevu;

Kwa rehema yake Mungu tunapata kuokoka.

Tunaimba kwa furaha, kwani tumekombolewa,

Sifa kubwa kwake Yesu, kwani alituokoa.

2 Bwana Yesu alikufa kwa ajili yetu yote;

Tunapata kuponyeshwa kwa mapigo yake kule.

3 Tulifungwa na Shetani, tulikuwa wafu kweli;

Mukombozi alikuja, sasa tunafunguliwa.

4 Wala mali, wala kazi, haziwezi kuokoa;

Yesu pekee anaweza kusamehe zambi zetu.

5 Wewe ndugu, usingoje, kuja sasa kwake Yesu;

Atakuokoa leo, utaimba na furaha.

6 Siku moja Bwana Yesu atarudi duniani;

Atatupeleka kwake kwa mungini wa mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 100: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

98. NIMEKOMBOLEWA KABISA

1 Nimekombolewa kabisa, nitaitangaza daima;

Nimekombolewa na Yesu, na mimi ni wake milele.

Nimekombolewa na damu ya Yesu Mwokozi;

Nimekombolewa, na mimi ni wake milele.

2 Kwa Yesu furaha ni nyingi, kuliko furaha nyingine;

Najua yeye ni karibu na tunabakia pamoja.

3 Ninamufikili saa zote, Mwokozi muzuri wa watu;

Mapendo makubwa ni yake, kwa hivi naimba na nguvu.

4 Najua nitamutazama Mufalme Mupenzi mbinguni,

Anayenichunga na pendo, kunipa furaha moyoni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 101: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

99. SIKU NYINGI NILIFANYA ZAMBI

1 Siku nyingi nilifanya zambi,

Sikujua neno la Mwokozi,

Sikujua taabu yake kwami kwa Kalvari.

Bwana Yesu alinirehemu,

zambi zangu alizisamehe,

Nilipata kuwa huru kweli kwa Kalvari.

2 Niliposikia Neno lake,

Moyo wangu ukalia sana,

Nikakiri zambi zangu zote kwa Kalvari.

3 Sasa Yesu ni Mufalme wangu,

Atanitawala kwa milele;

Roho yangu inaimba sifa kwa Kalvari.

4 Ee mapendo gani ya Mwokozi!

Na rehema yake kubwa kwetu!

Tulipatanishwa naye Mungu kwa Kalvari.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 102: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

100. PASHA HABARI ZA YESU

1 Pasha habari za Yesu, uziandike moyoni ;

Uni-imbie zaburi za kumusifu Mwokozi,

Sifa iliyotangazwa na malaika zamani :

“Mungu akuzwe mbinguni, iwe amani duniani.”

Pasha habari za Yesu, uziandike moyoni

Uni-imbie zaburi za kumusifu Mwokozi.

2 Pasha habari za Yesu, jinsi alivyoyashinda

Taabu, jaribu, na teso, umasikini na bezo ;

Zambi, hukumu ya Mungu akachukuwa mwenyewe ;

Kila wakati tayari kwa kusaidia wahitaji.

3 Pasha habari za Yesu za musalaba na kufa

Ona kaburi mwambani alipotoka Mwokozi.

Pendo la Yesu ni kubwa aliyekufa Golgota,

Akafufuka hakika, namushukuru siku zote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 103: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

101. NI AHADI YA MUNGU

1 Ni ahadi ya Mungu kuleta wokovu

Na wenye kuamini Mwokozi ni Yesu.

::Haleluya! imekwisha, ninaamini kabisa

Na nimeokoka kwa damu ya Yesu::

2 Hata njia ni yenye hatari na mbaya

Ninajua Yesu Kristo atanichunga.

3 Ndugu zangu wapenzi ni wengi mbinguni,

Wanachungwa na Yesu na wanamwimbia.

4 Hata sasa tuimbe pamoja nao vile,

Na kusifu Mwokozi, Mupenzi milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 104: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

102. MUGANGA AMEKUJA

1 Muganga amekuja hapa, ndiye Bwana Yesu;

Anaponyesha roho zetu kwa ugonjwa wote.

Jina lake linapita kila jina duniani;

Jina kubwa, jina jema, Yesu, Bwana Yesu.

2 Anasamehe zambi zetu kama tukitubu;

Anatukaribisha kwake kwa rehema kubwa.

3 Wakati wa masikitiko, anatufariji;

Akitukaribia sana, woga unatoka.

4 Watoto wanapenda sana jina lake Yesu;

Linawalinda kwa ubaya wakijaribiwa.

5 Katika vita na mabaya linatupa nguvu;

Shetani analikimbia jina lake Yesu.

6 Mbinguni kwa furaha kubwa tutaona Yesu,

Tutasahau taabu yote, tutamushukuru.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 105: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

103. SIWEZI MIMI KUFAHAMU SANA

1 Siwezi mimi kufahamu sana

neema yake Mungu kwangu;

Zamani nilikuwa mukosaji, sasa amenisamehe.

Ninajua Mwokozi wangu anayeweza kulinda sana

Uriti kwami mbinguni hata siku yake Bwana.

2 Siwezi mimi kufahamu sana namna alivyonivuta;

Niliamini Neno lake kweli, ninaona raha tele.

3 Siwezi mimi kufahamu kazi Roho anayoifanya,

Anayeweza kufundisha mutu kuamini Yesu Kristo.

4 Sijui mimi siku zangu tena kutembea duniani;

Na labda nitaona taabu na mateso na huzuni nyingi.

5 Sijui mimi kama siku moja nitaona kufa huko;

Ao kwa haraka nitabadilika Bwana atakapokuja.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 106: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

104. ZAMANI MUKE MWENYE UGONJWA

1 Zamani muke mwenye ugonjwa katika makutano

Ali-igusa nguo ya Yesu naye aliponyeshwa.

Na wewe vile amini, na utaokolewa ;

Uzima mupya utapata kwa Yesu Mukombozi.

2 Ee alikuja na woga mwingi karibu naye Bwana ;

Alifahamu aliponyeshwa na nguvu yake kubwa.

3 Yesu alisamehe makosa ya mwanamuke yule,

Salama tamu ili-ingia rohoni mwake pale.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 107: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

105. PENDO LA MUSHANGAO

1 Pendo la mushangao hili kuniokoa,

Mutu mubaya, mwenye zambi, bila taraja;

Giza lilinifunga vile. Ee siku kubwa,

Nilipopata kuokoka. Pendo la Mungu !

Pendo la Mungu liliniokoa,

Pendo la Mungu lilinisafisha;

Pendo la Mungu lilitoa Yesu,

Pendo la Mungu, sifu jina lake!

2 Pendo liliongoza Yesu kwa musalaba

Hata kwa watu wa makosa, Ee pendo kubwa!

Vile kwa pendo ninaweza kuomba Mungu,

Nimeokoka, Haleluya! Pendo la Mungu!

3 Pendo lilifungua mbingu kwa wenye zambi;

Kule milele Mukombozi atatawala.

Toka kwa giza niliingia pa’li pa nuru;

Yesu pekee alisaidia. Pendo la Mungu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 108: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

106. SISI NI HURU

1 Sisi ni huru toka torati,

Damu ya Kristo ni ukombozi ;

Tulipofungwa chini ya laana,

Kristo alitufanya huru.

Huru kabisa, ndugu, sikia!

Huru kabisa, ndugu, amini!

Kwa neema Kristo musalabani

Alitufanya huru kweli.

2 Sasa azabu haitakuwa

Kwa wenye kumwamini Mwokozi;

Tuna wokovu mutimilifu,

Kwani tuna-amini Yesu.

3 Sisi ni sasa wana wa Mungu,

Kwa neema yake anatuchunga,

Tumepokea kwake uzima

Na tumepita toka kufa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 109: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

107. SINA AKILI NYINGI KUFAHAMU

1 Sina akili nyingi kufahamu Neno lake Mungu,

Najua hili moja tu : Yesu ni Mwokozi wangu.

2 Najua alikufa kwa Kalvari kwa makosa yangu ;

Ninahitaji Yesu tu kuwa Mukombozi wangu.

3 Siwezi mimi vile kufahamu pendo lake kubwa.

Na linanishangaza tu, pendo la Mwokozi wangu.

4 Na sasa anaishi kwa pahali pa Mbinguni juu ;

Yeye Mufalme wangu tu, ndiye Mukombozi wangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 110: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

108. ZAHABU NA FEZA

1 Zahabu na feza haziniokoi,

Na mali haiwezi kutoa makosa;

Lakini kwa damu ya Yesu Mwokozi

Nimenunuliwa nipate uhuru.

Nakombolewa pasipo mali,

na kwa neema nimeokoka:

Ni bei gali, kwa damu yake

alilipa deni yangu.

2 Zahabu na feza hazina uwezo

Kwa kunipatia usafi rohoni;

Mwokozi alinikomboa kwa damu,

Nipate wokovu, nitoke kwa zambi.

3 Zahabu na feza haziufungui

Mulango wa kukaribia Mwenyezi,

Lakini kwa damu nimeifikia

Ne-ema ya Mungu aliye Mukuu.

4 Zahabu na feza hazinifikishi

Nyumbani mwa Mungu niliyemubisha;

Lakini nimekombolewa kwa damu,

Kwa hivi nitachukuliwa mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 111: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

109. WATU WA MAKOSA

1 Watu wa makosa wana zambi nyingi,

Zambi zinaleta kufa kwa milele;

Watahukumiwa na Mwamuzi Mungu,

Kisha watapata taabu na mateso.

Mwana wake Mungu anaita leo:

Kiri zambi zako zote mbele yake ;

Uamini sasa na kufuata Bwana.

Atakusamehe zambi zako zote.

2 Mwenye kukata-a Bwana Yesu Kristo

Anamukata-a Mungu vilevile;

Kwa milele moto utamutaabisha

Kwani anabisha ma-agizo yake.

3 Pa’li pa Shetani ni pabaya sana.

Moto unawaka pale kwa milele;

Mungu atatupa Diabolo kule

Na wenye kubisha Neno lake Mungu.

4 Tutaona Yesu kule kwake mbingu,

Ni pahali pa furaha kubwa sana;

Yesu Mukombozi, Bwana wa wabwana,

Anashinda kule akituombea.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 112: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

110. DAMU YAKO YENYE BARAKA

1 Damu yako yenye baraka inayotuosha makosa,

Ilitoka musalabani, Bwana Yesu, ulipokufa.

Ee ninastahili hukumu, na siwezi mimi kujiosha;

Unioshe katika damu, nipate usafi kabisa.

Safi, safi kweli! Safi, safi kweli!

Unioshe katika damu, nipate usafi kabisa.

2 Yesu ulivikwa mi-iba, kutundikwa ju-u ya muti,

Ulivumilia mateso, maumivu na majeraha;

Damu yako ilimwangika, ni kisima nisafishwe nacho;

Unioshe katika damu, nipate usafi kabisa.

3 Baba, kweli nina makosa, moyo wangu wa uzaifu,

Mimi mwenye zambi rohoni nitaona wapi Mwokozi?

Yesu, kwako musalabani ninakuja kuamini sasa ;

Unioshe katika damu, nipate usafi kabisa.

4 Bwana, nimefika karibu, unilinde kwako milele,

Ufunguwe kamba ya zambi, na ujaze moyo wenyewe !

Na karibu na musalaba nibakie hata kufa kwangu;

Unioshe katika damu, nipate usafi kabisa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 113: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

111. NAONA SASA DAMU YA KONDO-O

1 Naona sasa damu ya Kondo-o yake Mungu,

Ilimwangika kwa Kalvari kwa ajili yangu.

Naona damu ya Mwokozi, nasafishwa ndani yake;

Kwa damu ninasifu Mungu, damu ya damani

kweli.

2 Kwa nia na zamiri safi ninakwenda mbingu,

Sababu ninavikwa sasa haki yake Yesu.

3 Ajabu kubwa, nimeonja heri ya mbinguni !

Kwa damu yake Yesu aliosha moyo wangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 114: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

112. UNAKUBALI KUACHA MAKOSA?

1 Unakubali kuacha makosa?

Kwa damu ya Yesu kuna uwezo;

Na unataka kushinda Shetani

Kwa damu ya Yesu Mwokozi?

:: Kuna nguvu ya ajabu kubwa,

Ndiyo damu ya Mwokozi::

2 Unakubali kuvunja tamaa?

Kwa damu ya Yesu kuna uwezo;

Kuja upate usafi wa moyo

Kwa damu ya Yesu Mwokozi.

3 Unakubali kuoshwa moyoni?

Kwa damu ya Yesu kuna uwezo;

Vitaondoshwa vipaku vya zambi

Kwa damu ya Yesu Mwokozi.

4 Unakubali kutenda vizuri?

Kwa damu ya Yesu kuna uwezo;

Na unataka kufika mbinguni

Kwa damu ya Yesu Mwokozi?

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 115: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

113. NINI ITANISAFISHA?

1 Nini itanisafisha? Damu ya Mwokozi Yesu;

Kuondosha zambi zangu? Damu ya Mwokozi Yesu.

Ee damu ya Mwokozi ina uwezo wote

Kutusafisha sisi tunaoamini Yesu.

2 Nini itaniokoa? Damu ya Mwokozi Yesu;

Nini itanisamehe? Damu ya Mwokozi Yesu.

3 Nini itanikomboa? Damu ya Mwokozi Yesu;

Na kulipa deni yangu? Damu ya Mwokozi Yesu.

4 Kuna njia moja pekee, damu ya Mwokozi Yesu,

Ninaweza kuamini damu ya Mwokozi Yesu.

5 Ile ni taraja yangu, damu ya Mwokozi Yesu;

Na salama yangu yote, damu ya Mwokozi Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 116: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

114. KWELI MAJI HAYAWEZI

1 Kweli maji hayawezi kusafisha roho,

Hayawezi kuondosha zambi, hata moja.

Damu ya Mwokozi Yesu ina nguvu nyingi

Kusafisha roho zetu toka zambi zote.

2 Yesu alikuja kufa kwa ajili yetu,

Akamwanga damu yake kwa kutuokoa.

3 Damu yake ni tayari kutuchunga safi,

Tupendeze Bwana yetu aliyetupenda.

4 Kila mara tunaanguka Yesu ni karibu

Kutusimamisha tena kwa uwezo wake.

5 Tuamini damu yake kutupa uwezo

Kwa kushinda majaribu ya mudanganyifu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 117: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

115. KISIMA CHENYA DAMU SAFI

1 Kisima chenye damu safi kutoka musalaba

Kina uwezo kuondosha vipaku vya makosa,

Vipaku vya makosa, vipaku vya makosa,

Kina uwezo kuondosha vipaku vya makosa.

2 Musalabani munyanganyi alimwamini Yesu,

Na alipata usamehe, nitaupata vile;

Nitaupata vile, nitaupata vile,

Na alipata usamehe, nitaupata vile.

3 Mwokozi wangu, damu yako daima ina nguvu

Ya kuokoa wenye zambi wa makabila yote;

Wa makabila yote, wa makabila yote,

Ya kuokoa wenye zambi wa makabila yote.

4 Kisima kile cha ajabu ni tumaini langu;

Ninakusifu wewe sasa na hata kufa kwangu;

Na hata kufa kwangu, na hata kufa kwangu,

Nitakusifu wewe sasa na hata kufa kwangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 118: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

116. HATA NINALIA

1 Hata ninalia na machozi kama muto,

Haitaondosha woga, haitasafisha zambi,

Ninalia bule.

Yesu alinikufia, aliteswa kwa Kalvari,

Yesu ananingojea, ataniokoa.

2 Hata ninafanya kazi nyingi njema sana,

Sitapata roho mpya, vile sitasamehewa,

Kazi yangu bule.

3 Kama nikingoja bila kuamini Yesu,

Bila kumukaribia; nitakufa kwa milele,

Ninangoja bule.

4 Sasa ninaamini Yesu alinikufia,

Alifanya kazi yote, Bwana Yesu peke yake

Ataniokoa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 119: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

117. MIMI MWENYE MAKOSA

1 Mimi mwenye makosa nilikombolewa,

Mwokozi alipojitoa;

Zambi zangu na zako alizichukua,

Kwa damu aliniokoa.

Zambi zangu zilimutundika Mwokozi

Alipojitoa Kalvari;

Alizauliwa na kukataliwa

Atupatanishe na Mungu.

2 Yesu mwenye upole na mwenye mapendo

Ananitakasa rohoni;

Nimepata uhuru kwa Yesu Mwokozi,

Alikufa musalabani.

3 Namwambata Mwokozi, sitaki kumwacha,

Kwa kuwa alinikufia;

Nakusifu, Ee Yesu, unayenipenda,

Daima nakushangilia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 120: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

118. MWAMBA ULIOPASUKA

1 Mwamba uliopasuka, ndani yako nijifiche;

Damu iliyomwangika toka mbavu zako, Bwana.

Iwe dawa kuponyesha roho yangu toka zambi

2 Kazi za mikono yangu haziwezi kukomboa;

Hata ningelia sana na kutenda kazi nyingi,

Singeweza kuokoka, wewe pekee ni Mwokozi.

3 Ndani yangu sina kitu, ninashika musalaba;

Mimi bule, univike; sina nguvu, usaidie;

Ni muchafu, unioshe; nisipate kupotea.

4 Kwa maisha yangu yote hata nitakata roho,

Hata siku ya kuitwa mbele ya Mufalme wangu.

Mwamba uliopasuka, nijifiche ndani yako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 121: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

119. TUMEPATA NENO ZURI

1 Tumepata neno zuri : Yesu alituokoa !

Tulipashe kwa dunia : Yesu alituokoa !

Linapaswa kusikiwa na wakubwa na watoto,

Ni habari za furaha : Yesu alituokoa !

2 Tuna hamu ya kuimba : Yesu alituokoa !

Ni uzima kwa waovu : Yesu alituokoa !

Kweli alitufungua, alivunja munyororo,

Sisi mali yake sasa : Yesu alituokoa !

3 Neno kubwa la makubwa : Yesu alituokoa !

Linashinda na zaidi : Yesu alituokoa !

Sema niki-ishi hai, hata nitakapokufa,

Ninataka kusikia : Yesu alituokoa !

4 Tutangaze neno hili : Yesu alituokoa !

Kila mutu asikie : Yesu alituokoa !

Inchi zote zifurahi, watu wote wa-amini,

Na waimbe na kusifu : Yesu alituokoa !

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 122: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

120. MUNGU NI PAHALI POTE

1 Mungu ni pahali pote, hutamukimbia yeye;

Anakutazama sana, naye hatalala kamwe.

Giza, nuru, sikuzote Mungu anakutazama;

Hata unafanya nini, Mungu anona yote.

2 Neno gani unasema, Mungu analisikia;

Hata mafikili yote anayatambua wazi.

3 Yesu atakapokuja, atawahukumu wote

Kwa kadiri ya matendo yanayoandikwa kwake.

4 Unajua deni yako? Utalipa kitu gani?

Uamini Bwana Yesu, naye atakusamehe.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 123: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

121. PIGA MAKENGELE

1 Piga makengele ya furaha leo

Kwa sababu mutu ametubu!

Mwana mupotevu amerudi sasa,

Baba amemusamehe yote.

Nyimbo za furaha za mbinguni,

Nyimbo za furaha za waamini!

Tunasifu Mungu kwa sababu sasa

Mutu huyu anaamini Yesu.

2 Piga makengele, ni furaha nyingi,

Mukosaji amefunguliwa!

Yesu alivunja minyororo yake,

Alimupa roho ya kimwana.

3 Piga makengele, hizi ni habari

Za kupasha mbali na karibu!

Mutu amepata kuwa mutu mupya,

Zambi zake zimeondolewa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 124: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

122. UMEKUJA KWAKE YESU

1 Umekuja kwake Yesu kusafishwa?

Umeoshwa kwa damu ya Kristo?

Unategemea neema yake sasa?

Umeoshwa kwa damu ya Kristo?

Umeoshwa, umeoshwa,

Umeoshwa kwa damu ya Kristo?

Roho yako imepata kuwa safi?

Umeoshwa kwa damu ya Kristo?

2 Sikuzote unafuata njia yake?

Umeoshwa kwa damu ya Kristo?

Umepata raha na salama kwake?

Umeoshwa kwa damu ya Kristo?

3 Wewe ni tayari kwa kuona Yesu?

Umeoshwa kwa damu ya Kristo?

Naye atakupeleka kwake mbingu?

Umeoshwa kwa damu ya Kristo?

4 Ndugu yangu, ninaku-uliza sasa:

Umeoshwa kwa damu ya Kristo?

Usikawe tena, kuja kuamini,

Utaoshwa kwa damu ya Kristo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 125: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

123. UTAZAME MWOKOZI

1 Utazame Mwokozi aliyekufa kwawe

Ili wewe upate uzima;

Utazame kwa pendo atakusa-idia,

Usidumu zambini daima.

Ona, ona Yesu!

Utazame Mwokozi aliyekufa kwawe

Ili wewe upate uzima.

2 Bwana Yesu alisulibishwa kwa Kalvari

Ili sisi tupate wokovu;

Na alitukomboa kwa damu yake safi,

Kwake yeye tupate uzima.

3 Ee rafiki, Mwokozi anakuita leo,

Anataka ufike upesi;

Unakawa kwa nini, ufike bila woga,

Uondoke katika hatari.

4 Fika sasa, pokea uzima wa milele,

Bwana Yesu alituletea;

Na kuishi mbinguni ni tumaini letu,

Umwamini na hutapotea.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 126: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

124. KUJA KWA YESU

1 Kuja kwa Yesu na usikawe, anonyesha njia ya mbingu;

Umusikie, anakusihi : ‘‘Mutu wa zambi, kuja !’’

Kuja sasa kwake Bwana Yesu,

atakuokoa toka zambi;

Amini Yesu moyoni mwako, upate usamehe.

2 Kuja, mutoto, anakuita, anakupenda, atakuchunga;

Umuchague kwa Bwana yako, wewe mutoto, kuja.

3 Atapokea watu wo wote, sasa anakungojea wewe;

Tubu upate kusamehewa, kuja na zambi zako.

4 Sasa ni siku kuokolewa, kuja upesi kwa musalaba;

Mwenye masikitiko na zambi, kuja kwa Yesu sasa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 127: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

125. YESU MWOKOZI ANAITA WATU

1 Yesu Mwokozi anaita watu, mimi na wewe na wote;

Anakungoja kukukaribisha, wewe uliye zambini.

Urudi, urudi, sasa urudi kwa Yesu!

Anakuita na anakungoja; leo urudi kwa Yesu!

2 Unakata-a Mwokozi kwa nini? anakungoja ufike;

Kuna nafasi karibu na Yesu, njia ni wazi kwa wote.

3 Kumbuka saa zinapita upesi, hazitarudi kabisa!

Kuja kwa Yesu upate amani, leo ungali muzima.

4 Ona mapendo makubwa ya Yesu, yanaenea kwa wote;

Na kwa ne-ema anatukumbuka, wewe na mimi na wote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 128: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

126. NA HALI YANGU NINAKUJA

1 Na hali yangu ninakuja pasipo neno ila moja:

Ulimimia damu yako, ninakuja kwako, Bwana.

2 Na hali yangu sitangoja kujisafisha kosa moja ;

Kwa damu utaniokoa, ninakuja kwako, Bwana

3 Na hali yangu kwa matata, mashaka, woga wa azabu,

Nipate raha kwako, Mungu, ninakuja kwako, Bwana.

4 Na hali yangu masikini, kipofu, bule, na zaifu,

Nipate mali ya milele, ninakuja kwako, Bwana.

5 Na hali yangu ninaamini ahadi zako zote kweli;

Nipate usamehe wako, ninakuja kwako, Bwana

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 129: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

127. USIKIE BWANA YESU

1 Usikie Bwana Yesu anayekuita leo;

Aliteswa, alikufa kwa ajili yako wewe.

Usikie Bwana Yesu, anapiga hodi kwako;

Umufungulie moyo, umukaribishe sasa.

2 Sikuzote ulicheza, kupendeza mwili wako;

Ulimusahu Yesu aliyekukufilia.

3 Unasema: “Nitakuja kusikia Neno lake”;

Ee rafiki, ukumbuke unaweza kufa leo.

4 Yesu anaita sasa kwa ne-ema na mapendo;

Leo siku ya wokovu, umufungulie moyo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 130: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

128. MWENYE KUSIKIA

1 Mwenye kusikia, kuja kwake Yesu,

Yeye ni Mwokozi wa wenye makosa;

Acha zambi zako, umwamini yeye.

Kila mwenye zambi aje.

Kila mwenye zambi aje kwa Mwokozi,

Mutangaze neno ili kila pa’li ;

Baba ya mapendo anaita leo:

Kila mwenye zambi aje.

2 Mwenye kusikia, kuja, usikawe,

Leo lango la wokovu liko wazi;

Yesu ndiye Njia, Kweli, na Uzima,

Kila mwenye zambi aje.

3 Mwenye kusikia na kufika kwake,

Atamupokea, ni ahadi yake;

Atachunga vile, hata kwa milele,

Kila mwenye zambi aje.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 131: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

129. “HAKOSE KESHO NITA-AMINI

1 “Hakose kesho nita-amini,

Nitapokea Yesu Mwokozi.”

Mungu anakuita, usikawie tena,

Leo ni siku nzuri kuokolewa.

2 Hakose kesho saa itapita;

Kwa nini unazarau Bwana?

Kwa neema yake kubwa Mungu atapokea;

Saa haijapita bado, kuja kwa Yesu.

3 Hakose kesho saa ya hukumu

Itakupata mbele ya Mungu;

Umusikie sasa, anakupenda sana,

Fikili neno hili, usipote-e!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 132: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

130. USIKIE YESU KRISTO

1 Usikie Yesu Kristo, yeye anakuita,

Sikia na kujibu, sasa kuja kwa Bwana.

2 Anaweza kuokoa mwenye kumusadiki,

Na atakuokoa kama ukimwamini.

3 Anapenda kusamehe watu wanaotubu,

Na atakusamehe – kuja sasa kwa Yesu.

4 Ukimbie sasa kwake, na atakupokea,

Kimbia kwa Mwokozi na atakupokea.

5 Omba Yesu, omba Yesu, na atakusikia,

Uombe Yesu sasa, na atakusikia.

6 Anapenda watu wote, Yesu anakupenda,

Milele na milele Yesu atakupenda.

7 Haleluya, Haleluya, Haleluya, Amina!

Tuimbe Haleluya, Haleluya, Amina!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 133: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

131. EE KUJA, MUTU WA MAKOSA

1 Ee kuja, mutu wa makosa, kuja kwa rehema;

Mwokozi atakupokea kama ukikuja.

Umwamini, umwamini, umwamini Yesu,

Naye atakuokoa, umwamini Yesu.

2 Mwokozi alimwanga damu yake kwa Kalvari,

Na damu ile inaweza kusafisha safi.

3 Ee Yesu tu ni njia kuingia kule mbingu ;

Amini sasa kwa kupata usamehe kwake.

4 Ungana nasi watu wake, njia iko wazi;

Na tutakuwa kwa milele na furaha nyingi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 134: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

132. HATUA MOJA INAKUTENGA NA MWOKOZI

1 Hatua moja inakutenga na Mwokozi;

Unangoja nini? Ufike kwake leo!

Hatua moja, hatua moja; kuja, anangoja;

Kuja kutubu zambi, atasamehe zote!

Usikatae tena wokovu wake Mungu!

2 Hatua moja mbele, anakungoja sasa;

Amini Neno lake, na utasamehewa.

3 Hatua moja mbele, uzima utaona ;

Siku si nyingi huko, unangojea nini?

4 Hatua moja mbele, kwa nini unakawa?

Omba: Ee Bwana Yesu, unipoke-e sasa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 135: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

133. UTAFURAHI KUWA NA UHURU?

1 Utafurahi kuwa na uhuru? Umutazame Yesu;

Kukuokoa alikukufia, Umutazame Yesu.

Umutazame Yesu, umutazame Yesu,

Yesu pekee atakuokoa, kuja na kumwamini.

2 Kama Shetani akikujaribu, umutazame Yesu;

Nguvu kushinda atakupatia; umutazame Yesu.

3 Njia ni ndefu, unachoka sana ? Umutazame Yesu;

Atafariji na mapendo yake; umutazame Yesu.

4 Usiogope siku za huzuni; umutazame Yesu;

Hata kwa siku za furaha nyingi; umutazame Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 136: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

134. KAMA UKITAKA

1 Kama ukitaka kuwa mutu wake Yesu,

Kama ukitaka kumufuata yeye,

Kama ukitaka asaidie sikuzote,

Umufungulie moyo.

Ataondoa zambi zako zote,

Na utaipokea nguvu yake;

Ukiokoka utaona kwamba

Ni vema kumufuata Yesu kweli.

2 Kama ukitaka kuwa mutu mwenye heri,

Na kushinda zambi kwa uwezo wake,

Kama ukitaka utulivu na faraja,

Umufungulie moyo.

3 Kama ukitaka kumutumikia Yesu

Na kufuata njia yake duniani,

Kama ukitaka kuingia kule mbingu,

Umufungulie moyo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 137: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

135. MATESO YANAKUSUMBUSHA

1 Mateso yanakusumbusha, na unatembea kwa giza?

Geuka, tazama Mwokozi, uzima na nuru pokea.

Utazame Mwokozi, fikili uzuri wa Bwana;

Mambo ya dunia yatapunguka

Mbele ya utukufu wa Yesu.

2 Mwokozi alitukufilia, tuishi pamoja na yeye;

Na tusijitoe kwa zambi, kwa Yesu tushinde kabisa.

3 Ahadi za Mungu ni kweli; amini na utaokoka;

Halafu uende po pote, hubiri habari za Bwana.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 138: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

136. NINA MWOKOZI ANAYENIOMBEA

1 Nina Mwokozi anayeniombea,

Rafiki kuliko wengine wo wote;

Na sasa mbinguni ananitunza sana,

Laiti upate Mwokozi mwenyewe!

Ninakuombea, ninakuombea.

Ninakuombea, upate kuamini!

2 Nina taraja kutoka Baba wangu,

Ya kama atanipokea mbinguni;

Na sasa ninamungojea kuni-ita,

Laiti upate taraja yenyewe !

3 Nina mavazi yanayoningojea,

Mavazi meupe ndiyo utukufu ;

Na nitayapata mbinguni kwake Mungu,

Laiti upate mavazi yenyewe !

4 Nina salama inayopita yote,

Si kama dunia inayoitoa ;

Inatoka Yesu kwa pendo lake kubwa,

Laiti upate salama yenyewe!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 139: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

137. TAMU SANA NI MANENO YA HABARI NJEMA

1 Tamu sana ni maneno ya habari njema,

Jana, leo, na milele Yesu yuko sawa;

Hata sasa anapenda watu wa makosa,

Kufariji wenye taabu. Sifu jina lake!

Jana, leo, na milele, Yesu yuko sawa,

Vyote vinapogeuka, Yesu yuko sawa.

Sifu jina lake! Sifu jina lake!

Vyote vinapogeuka, Yesu yuko sawa.

2 Mwenye kusamehe Petro atatusamehe;

Atatoa shaka zote kama kwa Tomasi;

Mwanafunzi alilala kifuani mwake;

Anaita watu sasa kupumzika kwake.

3 Alinyamazisha maji kule kwa bahari,

Hivyo anaweza kuondoa woga vile;

Akaomba na huzuni kwa Getesemane;

Anaweza kufahamu taabu zetu zote.

4 Kama alivyotembea na wafuasi wake,

Na kuwafariji kwa safari ya Emau,

Vivyo hivyo anapenda kutembea nasi,

Yeye mufariji mwema leo na milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 140: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

138. HERI KABISA

1 Heri kabisa, Yesu ni wangu!

Ni Muchungaji, na mimi ni wake;

Nimezaliwa mara ya pili,

Ninasafishwa kwa damu yake.

:: Yesu ni wimbo wa roho yangu,

Nitamusifu hata milele ::

2 Kule mbinguni kuna furaha

Ju-u ya mwenye kutubu makosa;

Nilisikia Neno la Mungu,

Nilijitoa kwa Bwana Yesu.

3 Ninashukuru Yesu Mwokozi,

Na roho yangu inashangilia;

Mimi si kitu mbele ya Mungu,

Kwa neema yake ananipenda.

4 Ninastarehe sasa kwa Yesu,

Nina salama kutoka kwa Mungu;

Ninangojea Yesu afike

Kunipeleka kwake mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 141: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

139. MOYO WANGU UNA WIMBO LEO

1 Moyo wangu una wimbo leo, Yesu ananiambia:

“Siku zote nitakuongoza, Ee usiogope tena.”

Yesu, Yesu, Yesu, jina tamu sana;

Linajaza roho na furaha na salama.

2 Mbele nilitaka kuharibu roho yangu na makosa ;

Yesu aliingia kuokoa, sasa nimesamehewa.

3 Hata ana’ngoza kwa mateso, taabu ya kuzidi sana,

Yesu ni Mushinda sikuzote, naye anajua njia.

4 Yesu ni karibu kurudia kutukaribisha kwake,

Kutawala naye kwa milele kwa mungini wake mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 142: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

140. EE NITAKIMBIA KWA MWAMBA

1 Ee nitakimbia kwa Mwamba wa nguvu

Kutoka huzuni, mateso, na taabu;

Nachoka na zambi, nataka tu Mungu;

Ee nitafichama kwa Mwamba wa nguvu.

Nitafichama kwako, Mwokozi;

Ee Mwamba wa nguvu, unifiche kwako.

2 Kwa saa ya salama na vile kwa taabu,

Na saa majaribu yanaponitesa,

Nina Kimbilio katika zoruba,

Ee nitafichama kwa Mwamba wa nguvu.

3 Adui ya roho anapozunguka,

Naweza kusema habari kwa Yesu,

Atanisikia na kunifariji,

Ee nitafichama kwa Mwamba wa nguvu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 143: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

141. USIMAME KWA AHADI ZAKE

1 Usimame kwa ahadi zake Kristo,

Sasa na milele umusifu sana;

Leta utukufu wote kwake Mungu,

Usimame kwa ahadi zake.

Usimame, leo usimame kwa ahadi zake;

Usimame, simama kwa ahadi zake Mungu.

2 Usimame kwa ahadi za milele,

Hata majaribu yanatesa sana;

Utapata nguvu kwa Maneno yake,

Usimame kwa ahadi zake.

3 Usimame kwa ahadi zake Bwana,

Kwani unafungwa kwa milele kwake;

Roho atakushindisha sikuzote,

Usimame kwa ahadi zake.

4 Usimab me kwa ahadi, hutaanguka,

Ukisikiliza Roho aki-ita;

Upumzike ndani ya Mwokozi wako,

Usimame kwa ahadi zake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 144: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

142. USIOGOPE MATESO YAKO

1 Usiogope mateso yako, Mungu anakulinda;

Bali tazama mapenzi yake, Mungu anakulinda.

Mungu anakulinda siku kwa siku njiani mwake;

Anakulinda daima, Mungu anakulinda.

2 Una muzigo muzito sana? Mungu anakulinda;

Na kwa hatari ya njia yako, Mungu anakulinda.

3 Anakumbuka hitaji lako, Mungu anakulinda;

Utashiriki uzuri wake, Mungu anakulinda.

4 Katika njia ya taabu nyingi, Mungu anakulinda;

Hata ukifazaika sana, Mungu anakulinda.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 145: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

143. EE YEHOVA, MUNGU WANGU

1 Ee Yehova, Mungu wangu, uni’ngoze duniani;

Mimi ni zaifu sana, una nguvu ya kutosha.

Kweli wewe ni Mukate wa uzima,

Nitashiba, Yesu, kwako tu daima.

2 Kama ulivyo-ongoza watu wako wa zamani,

Acha nguzo ndiyo moto kuniangazia njia.

Mushindaji, uwe ngabo yangu nguvu;

Nisishindwe na adui zangu, Mungu.

3 Nikifika kwa kivuko cha kupita kule kwako,

Uondoshe woga wote, nifikishwe kwa salama.

Nitatoa sifa nyingi kwako, Mungu;

Nitaimba nyimbo za kukushukuru.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 146: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

144. HUZUNI YANGU NI KITU KWELI

1 Huzuni yangu ni kitu kweli machoni mwa Bwana Yesu?

Saa ya masumbuko na majaribu yeye ananihurumia?

Kabisa! Anaona yote na ananihurumia;

Taabu yangu yote nilete kwake, hataniacha

kamwe.

2 Mwokozi yuko karibu kweli ninapo-ogopa sana?

Na nikitembea katika giza, Bwana ni karibu kuchunga?

3 Wakati ninapopima sana nishinde saa ya jaribu,

Na nina-anguka, huzuni kubwa! Atapenda kunisamehe?

4 Wakati wa kufa kwa wapenzi, kuachwa na ndugu zangu,

Na upekee ukinishika nguvu, Bwana atakuwa karibu?

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 147: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

145. JINA LAKE YESU KRISTO

1 Jina lake Yesu Kristo tunapenda kusikia;

Ni furaha na faraja saa tunapolikumbuka.

Jina kubwa, jina zuri, ni taraja ya dunia;

Jina kubwa, jina zuri, ni furaha ya mbinguni.

2 Jina lake Yesu Kristo ni mulinzi kama ngabo,

Vile kimbilio letu, tukijaribiwa sana.

3 Jina lake Yesu Kristo ni furaha yetu kubwa,

Saa tunapoimba sifa kwa Mupenzi wetu Yesu.

4 Tutaona Yesu Kristo, tutaanguka mbele yake,

Kwa sababu yeye Bwana na Mufalme wa wafalme.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 148: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

146. YESU NI RAFIKI YANGU

1 Yesu ni Rafiki yangu, anayenipenda sana;

Sawasawa sikuzote, jana, leo, na milele.

Haleluya, Yesu, Kristo ni Mwokozi na Rafiki,

Muchungaji na Mufariji, Mwaminifu kwa milele.

2 Yesu ni Mushinda wangu, anayenificha kwake,

Nikijaribiwa sana, yeye ni uwezo wangu.

3 Yesu Mufariji wangu katikati ya huzuni,

Saa ninapolia kwake, ananisikia mbio.

4 Yesu ni Mwongozi wangu, Muchungaji wangu mwema;

Ananionyesha njia, na sitapotea kamwe.

5 Yesu, ninapata kwako yote ninayohitaji;

Kwani ulininunua, mimi wako, wewe wangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 149: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

147. BABA WANGU MUFALME

1 Baba wangu Mufalme, ndiye Mungu Mwenyezi,

Kweli ananipenda kabisa;

Ana nyumba tayari kwami kule mbinguni,

Mali yake nitaishiriki.

Baba wangu Mufalme ananipenda sana,

Naye ananilinda daima;

Kwa wakati mwingine Yesu atani-ita

Kwa kuka-a nyumbani na yeye.

2 Baba wangu Mufalme ni mwenye neema nyingi,

Ananihurumia hakika;

Kwa maneno yo yote na pahali po pote

Ninaweza kumutegemea.

3 Baba wangu Mufalme ananiahidia

Kwamba atani-ita mbinguni;

Pale nitatazama uso wake milele,

Nami nitasahau huzuni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 150: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

148. PAHALI POTE NINAPOKWENDA

1 Pahali pote ninapokwenda, ama kwa jua, ama kwa giza,

Yesu Mwokosi aliahidi hatanipungukia daima.

Nuru ya mbingu, nuru ya mbingu,

Ninatembea sasa kwa nuru;

Haleluya! Ninamusifu na shangwe kubwa,

Yesu ni wangu.

2 Wakati taabu inapokuja; Yesu hawezi kunisahau;

Aliahidi neno la kweli, atanichunga hata milele.

3 Ninamusifu kwa nuru yake inayoniongoza kwa njia;

Nikitembea kando ya Yesu, sitapotea hata kidogo.

4 Katika njia kwenda mbinguni niendele-e ndani ya nuru,

Ninamwimbia nyimbo za sifa kumushukuru kwa pendo

lake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 151: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

149. HAKUNA RAFIKI KAMA YESU

1 Hakuna rafiki kama Yesu, Yesu tu, Yesu tu!

Wapi mwingine kutuokoa? Yesu tu, Yesu tu!

Anajua mateso yetu, anapenda kutusaidia;

Hakuna rafiki kama Yesu, Yesu tu, Yesu tu!

2 Yeye pekee ni mutakatifu, Yesu tu, Yesu tu!

Na vile yeye munyenyekevu, Yesu tu, Yesu tu!

3 Nani karibu pahali pote? Yesu tu, Yesu tu!

Nani anayetupenda wote? Yesu tu, Yesu tu!

4 Alijitoa kwa zambi zetu, Yesu tu, Yesu tu!

Na tutakuwa naye mbinguni, Yesu tu, Yesu tu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 152: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

150. MUCHUNGAJI YESU

1 Muchungaji Yesu, mwenye pendo kubwa,

Sisi wa-amini ni kondo-o zake;

Tukihuzunika, Yesu anajua,

Anakaribia kwa kutusaidia.

2 Na Shetani hapa anatutafuta,

Sawasawa simba anatungojea;

Tukumbuke Yesu ndiye Musaidia,

Kama aki-ita tutamusikia.

3 Tutabarikiwa mioyoni mwetu,

Kama tukifuata nyuma yake Bwana;

Hatutaogopa tukimutazama

Akikwenda mbele ya kondo-o zake.

4 Muchungaji mwema, Yesu Mukombozi,

Alituokoa sisi watu bule;

Damu yake safi alitumwangia,

Kutupatanisha naye Mungu Baba.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 153: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

151. KWAMI MUCHUNGAJI NI BWANA YESU

1 Kwami Muchungaji ni Bwana Yesu, sitapungukiwa kitu;

Kwa maana ananitembeza katika lisho bichi.

Ee, nira yake laini kabisa, ananifunga na

mapendo,

Kuniongoza katika njia, muchana na usuiku.

2 Na anarudisha nafsi hakika, ananiogoza vile

Katika njia yenye haki kwa jina lake safi.

3 Hata nikipita kati ya bonde la kufa na giza lake,

Sitaogopa neno baya kwa maana wewe yuko.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 154: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

152. NIWE KARIBU NAWE

1 Niwa karibu nawe, Ee Mungu wangu,

Hata katika taabu niwe karibu;

Huu wimbo wangu, Bwana: Niwe karibu nawe,

Niwe karibu nawe, Ee Mungu wangu!

2 Ninasafiri hapa, sitakawia;

Giza ni duniani, raha haiko;

Hata ni hivi, Bwana, niwe karibu nawe,

Niwe karibu nawe, Ee Mungu wangu!

3 Hata mateso mengi yananipata,

Nitakumbuka hili, una rehema,

Na yatanikokota niwe karibu nawe;

Niwe karibu nawe, Ee Mungu wangu!

4 Saa nitakapokwenda kwako mbinguni,

Nitasahau taabu ya duniani;

Ungali wimbo wangu: Niwe karibu nawe,

Niwe karibu nawe, Ee Mungu wangu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 155: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

153. NINAJUA RAFIKI MWEMA

1 Ninajua Rafiki mwema, anatunza sana kila siku,

Anaweza kuponyesha ku-umia kwa mutima;

Jina lake ni Yesu Kristo.

Najua Rafiki mwema, naye anaja-a neema,

Nikiomba na kulia yeye ananisikia,

Ndiye Yesu, na si mwingine.

2 Nimepata Rafiki mwema kufariji na kunipa raha;

Namutegemea yeye, sina woga wa adui;

Na Rafiki ni Yesu Kristo.

3 Nikifika mutoni pale, unaitwa ‘‘kufa’’ na ‘‘kaburi’’,

Sitafazaika kamwe, Yesu atakuwa nami ;

Ni Rafiki mukubwa sana.

4 Pwani nzuri ya kule ju-u, nitafika kwa ne-ema kubwa ;

Nitaimba na kinubi, nitasifu Yesu sana

Kwa mapendo na urafiki.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 156: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

154. NINATAKA BWANA YESU

1 Ninataka Bwana Yesu awe nami sikuzote;

Pendo lake litakuwa sawa kwa miaka yote.

Ee ukubwa wa mapendo yake Yesu, Bwana wangu;

Ameniokoa kweli, atanipeleka kwake.

2 Ninataka Bwana Yesu kwa wakati wa mateso;

Anajua kufariji na kufurahisha moyo.

3 Ninataka Bwana Yesu kumutegemea sana,

Kuongozwa naye vile kwa safari yangu hapa.

4 Ninataka Bwana Yesu, kumupenda, kumufuata,

Hata nitakapo-ona uso wake kule mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 157: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

155. NANI ANAYENINYANYUA?

1 Nani anayeninyanyua? Ni Yesu Kristo;

Na anayenipigania ? Ni Yesu Kristo.

O Yesu, ninakuamini, wewe tu utanishindisha,

Kwani silaha ya kushinda ni Yesu Kristo.

2 Mwenye kunifikisha mbingu ni Yesu Kristo;

Mwenye kunipa shangwe kubwa ni Yesu Kristo.

Na hata katika mateso na masumbuko, majaribu,

Kwami taraja na furaha ni Yesu Kristo.

3 Nani aliyeniokoa ? Ni Yesu Kristo ;

Nani anayefa-a kwangu ? Ni Yesu Kristo.

Bado kidogo nitakwenda kule kwa nyumba yake Baba.

Na nitaishi kwa milele na Yesu Kristo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 158: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

156. MUSINGI WA NGUVU NI YESU

1 Musingi wa nguvu ni Yesu Mwokozi,

Tuweke imani kwa Neno la Mungu;

Alituahidi kutupa wokovu,

:: Tuliokimbia karibu na Bwana::

2 “Usiwe na woga, usifazaike,

Nitakusaidia kwa saa ya mateso,

Kukusimamisha na kukupa nguvu;

:: Mukono wa neema utakushindisha::

3 “Katika mateso na saa ya jaribu,

Ne-ema ya Mungu inafa-a kwawe;

Ukali wa moto hautaku-uma,

:: Nataka kutoa uchafu wa roho ::

4 “Mwenye kupumzika na kuniamini,

Siwezi, siwezi kumwacha daima,

Na hata Shetani atamujaribu,

:: Siwezi,siwezi kumwacha daima”::

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 159: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

157. NINA USHIRIKI NA FURAHA KUBWA

1 Nina ushiriki na furaha kubwa,

Nikitegemea Yesu Bwana;

Ninapata heri na salama vile,

Nikitegemea Yesu Bwana.

Raha, raha, raha kwa Yesu na salama;

Raha, raha, nikitegemea Yesu Bwana.

2 Raha ya ajabu ni rohoni mwangu,

Nikitegemea Yesu Bwana;

Nuru inangaza njia ya maisha,

Nikitegemea Yesu Bwana.

3 Woga na huzuni zinatoka kwangu,

Nikitegemea Yesu Bwana;

Ninafarijiwa sikuzote naye,

Nikitegemea Yesu Bwana.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 160: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

158. USIACHE ZAMBI

1 Usiache zambi kushinda rohoni,

Yesu anataka kukupa uwezo

Kushinda Shetani na hila ya zambi;

Imani kwa Yesu itakushindisha.

Omba Yesu kwa nguvu ya kushinda Shetani;

Anapenda kuchunga na atakushindisha.

2 Acha urafiki na watu wabaya,

Na usitukane jina lake Mungu;

Uwe na imani, na neema na kweli;

Imani kwa Yesu itakushindisha.

3 Mungu ataleta taji ya uzima

Kwa mwenye kushinda adui Shetani;

Tazama Mwokozi, ndiye mwenye nguvu;

Imani kwa Yesu itakushindisha.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 161: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

159. YESU UNAYENIPENDA

1 Yesu unayenipenda, leo nijifiche kwako;

Zambi kama mvua zimetaka kunishinda.

Ee Mwokozi, unifiche, unitwae niwe kwako,

Niokoke kwa mabaya na nisiwe mbali nawe.

2 Wewe tu ni kimbilio, hapa ni matata mengi,

Ninakuhitaji sana, Ee usiniache pekee.

Mimi ninakuamini, wewe Musaidizi wangu;

Chini ya mabawa yako ninachungwa na salama.

3 Yote ninayohitaji ninapata kwako, Bwana;

Roho inapolegea, unisimamishe tena.

Wewe mwenye haki pia, mimi mwenye zambi kubwa;

Wewe pekee unaweza kusafisha moyo kweli.

4 Neema nyingi iko kwako kufunika zambi zangu;

Unitwae, unichunge, unilinde hata mwisho.

Hivi nikukaribie, unishike kwa mikono:

Nikujue wewe pekee, hapa chini, kule ju-u.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 162: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

160. EE MARA NGAPI TUNASUMBUKA

1 Ee mara ngapi tunasumbuka na roho inalegea,

Tunazungushwa na giza kubwa, tunaogopa sana?

Sauti tamu ya Bwana Yesu tunasikia kusema:

“Mutoto wangu ninakupenda, sitakuacha daima.”

:: Kwa kila wakati, kwa kila pahali,

Aliahidi kuchunga, hataniacha daima::

2 Mupenzi, umesahau mbio sauti hii ya mapendo

Ya Bwana Yesu aliyetoa uzima wake kwawe?

“Mutoto unayechoka sana, kumbuka sitakuacha;

Niliahidi nitakuchunga na kuwa nawe daima.”

3 Halafu, ndugu, ufarijiwe katika kila matata,

Mwokozi wako anakupenda, hatakuacha kamwe;

Unyoshe kwake mukono wako, utamukuta karibu,

Faraja tamu kumusikia : “Sitakuacha daima.”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 163: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

161. KATI’ MIKONO YAKE YESU

1 Kati’ mikono yake Yesu ananilinda,

Katika pendo kubwa ninapumzika sana.

Ninasikia sasa sauti yake Bwana,

Na inanikumbusha mbingu na raha yake.

Kati’mikono yake Yesu ananilinda,

Katika pendo kubwa ninapumzika sana.

2 Kati’mikono yake nitapumzika kimya,

Yesu atanilinda,yeye uwezo wangu.

Sasa hakuna shaka, wala sioni woga ;

Saa ya kupata taabu,Yesu anafariji.

3 Yesu Mwokozi wangu aliyenikomboa

Atanificha kwake, katika Mwamba nguvu.

Kwa siku ya matata na majaribu tele,

Ninangojea Yesu, atarudia kwami.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 164: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

162. TUKIKWENDA PAMOJA

1 Tukikwenda pamoja kushikana na Mungu,

Tunapata amani na raha;

Tukifanya daima yanayomupendeza,

Ni karibu kwa kutusaidia.

Raha, furaha, tunapata kwa Bwana,

Tukidumu katika kuamini, kutii.

2 Kama pepo, tufani zikivuma kabisa,

Zinakoma kwa neno la Yesu;

Tukiona jaribu na ku’gopa adui,

Tutashinda kwa nguvu ya Yesu.

3 Hatuwezi kujua pendo tamu la Mungu

Na furaha ya kweli moyoni,

Kama hatujatoa vitu vyote kwa Bwana

Na kutii ma-agizo ya Mungu.

4 Tuna raha ya Mungu kwa shindano lo lote,

Tukitii na tukimusadiki;

Jua lake la pendo linawa-angazia

Wa-amini na wenye kutii.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 165: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

163. YESU, MUCHUNGAJI WETU MWEMA

1 Yesu, Muchungaji wetu mwema, utuchunge siku zote,

Utulishe sisi kundi lako na chakula cha milele.

:: Bwana Yesu, Bwana Yesu, sisi wako, utuchunge::

2 Tuna taabu na mateso mengi, sisi ni zaifu sana;

Tunajaribiwa na Shetani, utulinde kwa mapendo.

:: Bwana Yesu, Bwana Yesu, usikie tukiomba::

3 Ulisema utatupokea hata sisi wenye zambi;

Una neema na rehema nyingi, utuhurumie sisi.

:: Bwana Yesu, Bwana Yesu, tunakutafuta sana::

4 Yesu, uwe nasi hata mwisho, tusiache njia yako;

Tukufuate kwa mapenzi yako, hivi tutakupendeza.

:: Bwana Yesu, Bwana Yesu, utukaribishe kwako::

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 166: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

164. NJIA YOTE NAONGOZWA

1 Njia yote naongozwa kwa mukono wa Mwokozi;

Ninaona wema wake, sina shaka wala woga,

Nina raha ya mbinguni, na salama tamu sana,

:: Na katika mambo yote ananitendea mema ::

2 Njia yote naongozwa, ninategemea Yesu;

Analinda jaribuni, ananipatisha nguvu.

Nikiona kiu hapa, nikichoka kwa safari,

:: Ninapata maji mengi toka Mwamba wa milele ::

3 Njia yote naongozwa kwa mapendo yake bora;

Ananituliza sana na ahadi yake nzuri.

Nitafika kwake mbingu kufurahi kwa milele,

:: Nitaimba neno hili, Yesu aliniongoza ::

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 167: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

165. UNACHOKA KWA MATATA

1 Unachoka kwa matata na masikitiko?

Yesu anaita: “Kuja kupumzika.”

2 Nitamutambua wazi kwa alama gani?

Ona mbavu na mikono na miguu.

3 Taji nzuri ya mufalme inapamba kichwa?

Ndiyo, utaona taji ya mi-iba.

4 Kama nikifuata Yesu, atanipa nini?

Utulivu na salama na furaha.

5 Nikiomba anitwae, atanifukuza?

Sivyo, atalinda sana kwa milele.

6 Nikifuata, nikishinda, nitapata mema?

Wengi wanashuhudia: “Ndiyo, ndiyo.”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 168: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

166. JUA LA ROHO

1 Jua la roho ni wewe, Mwokozi,

Giza haliko pahali ulipo;

Wingu la zambi lisifiche

Uso wa Bwana machoni mwangu.

2 Hata kwa saa ya kulala usiku

Sitaogopa, wewe ni karibu.

Nitapumzika kwa salama

Kwani unanitunza daima.

3 Saa ya muchana unanishindisha,

Nita-anguka usiponichunga,

Uache nuru ya mbinguni

Kunionyesha njia ya haki.

4 Uwe karibu nami saa ya kufa,

Uniongoze kwa bonde la giza

Unifikishe kwako juu,

Nione uso wako mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 169: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

167. WATU WANAKUZARAU

1 Watu wanakuzarau, woga ni moyoni ?

Huta-achwa peke yako-Yesu hageuki.

Yesu hageuki, Yesu hageuki,

Vitu vyote vinapita, Yesu yuko sawa.

2 Hata taabu inakuja, majaribu mengi,

Ukumbuke Yesu yuko, yeye ni karibu.

3 Kwa mateso na huzuni, anapenda sawa;

Umutegeme-e yeye, ndiye mwaminifu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 170: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

168. NIKIPATA ULIMWENGU WOTE

1 Nikipata ulimwengu wote, na kukosa Yesu Mukombozi,

Sitakuwa na furaha kamwe, vitu vya dunia hii ni bule!

Nikipata ulimwengu wote, na kukosa Yesu Mukombozi,

Nitakuwa na huzuni sana, Yesu pekee anafurahisha.

2 Kama mimi mutajiri kweli, na kuheshimiwa na wengine,

Na kukosa kuwa na taraja ya kufika muji wa mbinguni;

Nikipata ulimwengu wote, na kukosa Yesu Mukombozi,

Yeye aliyenikufilia, nitakwenda wapi saa ya kufa?

3 Ee maisha yangu bila Yesu ni faida gani kwami hapa?

Tena kwa milele bila yeye, taabu na machozi bila mwisho ;

Hata niki-ishi bila Yesu, nina’gopa sana saa ya kufa,

Kukutana na Mwamuzi Mungu, kwa milele bila Mukombozi!

4 Ee furaha iko kwake Yesu, anajua kufariji moyo,

Hata nina zambi nyingi sana, yeye atazisamehe zote;

Nikiishi na Yesu pamoja, na kukosa mali ya dunia,

Nina vitu vyote kwake Yesu, yeye Muchungaji wangu

mwema!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 171: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

169. NINA RAFIKI MWEMA

1 Nina Rafiki mwema naye alinikufia;

Alinivuta kwake na amenifanya mupya.

Ni mali yake Yesu tu, ninaongozwa naye;

Na alinikomboa kwa agano la mapendo.

2 Nina Rafiki mwema aliyeondoa zambi;

Aliniweka huru na kunipa Roho yake.

Na vitu vyote ninavyo ninavitoa kwake,

Maisha yangu yake tu, kuimba sifa kwake.

3 Nina Rafiki mwema na ana uwezo wote;

Pamoja naye Yesu ninashinda majaribu.

Atanitwa-a kwake kwa mungini wa furaha,

Nitastarehe kwake kwa milele na milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 172: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

170. MAPENDO YAKE MUNGU

1 Mapendo yake Mungu yanatu-unganisha,

’Shirika wa watakatifu, heri ya mbinguni.

2 Kwa kiti cha ne-ema tukaribie Baba

Kwa tumaini, ujasiri, kwa imani moja.

3 Tunashirikiana uchungu na mateso .

Mizigo tunabebeana kwa mapendo mengi.

4 Tuna-achana huko kwa sikitiko sana,

Tutaonana tena kwake na furaha kubwa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 173: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

171. NIKUTAMU SANA KWANGU

1 Ni kutamu sana kwangu kumutegemea Yesu,

Kuamini Neno lake na ahadi zake bora.

Yesu, Yesu, ninaamini, ninajua wema wake;

Yesu, Yesu, ninapenda, ni Rafiki ya damani.

2 Ni kutamu sana kwangu kumutegemea Yesu,

Kuamini damu yake kusafisha zambi zangu.

3 Ndiyo, ni kutamu sana kumutegemea Yesu ;

Kwake ninapata raha, na furaha, na salama.

4 Kumutegemea Yesu ni furaha yangu yote ;

Yeye ni Rafiki bora anayetembea nami.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 174: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

172. SINA WOGA KWENDA NA MWOKOZI

1 Sina woga kwenda na Mwokozi Yesu,

Ataniongoza na kunibariki;

Bila Yesu sitakuwa na furaha.

Yesu tu anafukuza woga wote.

Kila pa’li na Mwokozi sitajua woga,

Kila pa’li na Mwokozi nitakwenda.

2 Na Mwokozi sitakuwa peke yangu,

Hata nikiachwa na rafiki zangu;

Hata akiniongoza kwa mateso,

Nitasifu kwani Yesu ni karibu.

3 Kila pa’li Yesu anaponituma

Kutangaza Neno lake la wokovu,

Nitapenda kwenda kama aki-ita,

Ao kubaki hapa kama akitaka.

4 Yesu ni pamoja nami, nitalala

Saa ya giza la usiku bila woga,

Nikijua kwake mbingu nitafika

Na safari hapa itamalizika.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 175: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

173. BWANA YESU UNIONGOZE

1 Bwana Yesu, uniongoze kwa bahari ya maisha,

Hata kwa mawimbi mengi, kwa zoruba ya hatari;

Bwana Yesu, uniongoze, nakutegemea wewe.

2 Bwana Yesu, uniongoze, utulize moyo wangu;

Neno moja toka kwako lilinyamazisha pepo ;

Bwana Yesu, uniongoze, leta utulivu wako.

3 Bwana yesu, uniongoze, niyashinde majaribu;

Mengi yananidanganya, mengi yanafunga macho;

Bwana Yesu, uniongoze, niwe mushindaji kweli.

4 Bwana Yesu, uniongoze, nitakapo vuka ngambo;

Nikiona woga, giza, leta nuru na amani;

Bwana Yesu, uniongoze, uwe nami hata mwisho.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 176: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

174. HAKIKA YESU MWAMBA NGUVU

1 Hakika Yesu Mwamba nguvu, nitafichama kwake Yesu.

Kwa saa ya taabu na mateso, nitafichama kwake Yesu.

Ee Yesu yeye pekee ni Mwamba nguvu,

Kwa kunificha, kuniokoa;

Ee Yesu yeye pekee ni Mwamba nguvu,

Kwa siku ya hukumu kubwa.

2 Shetani hataniumiza, nitafichama kwake Yesu;

Siwezi kuogopa tena, nitafichama kwake Yesu.

3 Hatari ikinifikia, nitafichama kwake Yesu;

Sitaki kutembea mbali, nitafichama kwake Yesu.

4 Usiku na muchana vile, nitafichama kwake Yesu;

Atasaidia sikuzote, nitafichama kwake Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 177: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

175. MAPENDEZI YA DUNIA

1 Mapendezi ya dunia sitamani tena ;

Nina-acha yote, Yesu, nifanane nawe.

Nifanane nawe, Yesu, ao nyumbani ao po pote;

Kila siku ya maisha, nifanane nawe.

2 Ulivunja kila pingu la makosa yangu,

Hata ni kutumikie, nifanane nawe.

3 Toka hapa kwenda mbingu kwa safari nzima.

Nitapasha Neno lako, nifanane nawe.

4 Nikukute kule mbingu, Mukombozi wangu.

Nisikie neno “Vema”, nifanane nawe.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 178: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

176. EE, TARAJA YAKO NI WAPI

1 Ee, taraja yako ni wapi, ndugu,

Kwa kukusaidia saa ya taabu?

Una kimbilio katika Kristo,

Ao unategemea nani?

Tuna taraja ya kweli, ndugu,

Saa ya mateso na saa ya taabu,

Mwamba wenye nguvu Bwana Yesu

Anayetuchunga kwa mambo yote.

2 Kamba ya mapendo inakufunga,

Wewe na Mwokozi ni pamoja ?

Saa Shetani anapokujaribu,

Yesu anakupatisha nguvu?

3 Tutafika mbingu kuona Yesu

Na pamoja tutamushukuru

Kwa kuchunga kwake kwa sikuzote

Na kulipa deni yetu yote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 179: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

177. NINAKUTA BWANA YESU

1 Ninakuta Bwana Yesu Rafiki yangu kweli,

Kwa mapendo anapita sisi sote,

Kwa matata Musaidizi, kwa zambi ni Mwokozi,

Mufariji kwa huzuni yeye pekee.

Na anataka sana nilete taabu kwake,

Mateso, masumbuko, ayabebe.

Anapenda watu wote, alinikufilia,

Mwana wake Mungu na Rafiki yangu!

2 Kwa dunia alibeba huzuni na mateso,

Alikufilia wenye zambi wote,

Walipiga walitesa Mupenzi wake Mungu,

Alibeba taabu ya makosa yetu.

Anastahili kweli kupata sifa nyingi,

Nitamukuza Yesu Kristo pekee.

3 Ailiniahidi hivi, hataniacha kamwe,

Atachunga watu wake kwa huzuni;

Hata kitu gani hapa kinaningoja mimi,

Sitakiogopa kwani Yesu yuko.

Halafu kule mbingu karibu na Mwokozi

Furaha itakuwa kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 180: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

178. NAVUTWA KWAKE YESU

1 Navutwa kwake Yesu na ninamufurahia,

Uzuri wake unapita vyote vya dunia;

Siwezi ku-upima kweli kwa mawazo yangu,

Uzuri wake unazidi kuwa bora kwangu!

Siwezi kueleza uzuri wake huko,

Lakini nitaufahamu wote kule mbingu.

2 Mapendo ya ajabu kubwa nayasifu sana,

Yakanivuta kwa upole, nije kwake Bwana;

Yakanitoa mimi katika unyonge wangu,

Mapendo yake yanazidi kuwa bora kwangu!

Siwezi kueleza mapendo yake huko,

Lakini nitayafahamu yote kule mbingu.

3 Wokovu wake wa ajabu usifiwe sana,

Uliondoa woga, ukanipa utulivu;

Napenda Yesu aliyechukua zambi zangu,

Wokovu wake unazidi kuwa bora kwangu.

Siwezi kueleza wokovu wake huko,

Lakini nitaufahamu wote kule mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 181: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

179. NINATAKA KUMUFUATA YESU

1 Ninataka kumufuata Yesu Mukombozi

Ama kwa rafiki ama kwa wageni vile;

Kwa pahali pa furaha ama sikitiko,

Nimukaribie Yesu sikuzote.

Nimufuate, nimukaribie,

Sikuzote na po pote nitembe-e naye;

Nimufuate, nimukaribie,

Yesu mbele, mimi nyuma hata mwisho.

2 Ju-u ya milima nitasikiliza Yesu,

Hata mabondeni nitashikamana naye;

Jua, giza; afya, ’gonjwa; utulivu, vita;

Kwa maneno yote Yesu ni karibu.

3 Nikiteka maji ao nikilima shamba,

Nikibaki kwa mungini, ama kwa safari;

Neno hili moja pekee ninataka sana,

Nimukaribie Yesu sikuzote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 182: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

180. EE NINATAKA KUSIKIA

1 Ee ninataka kusikia ju-u ya neema yake Bwana,

Yeye aliyekufa kwami, maana ananipenda sana.

Habari za Yesu, habari za Yesu,

Na za mapendo yake kwami, ninafurahi kusikia.

2 Ee ninataka kutambua vile mapenzi yake Bwana,

Ili nijue kumufuata, kumutukuza sikuzote.

3 Ee ninataka kufahamu vile Kitabu chake Mungu,

Hata niweze kuongozwa na Yesu kwa maneno yote.

4 Ee ninataka kusikia ju-u ya Yesu kule mbingu;

Yeye mwenyewe atarudi kutupeleka wote kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 183: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

181. UCHUNGE WAKATI

1 Uchunge wakati kusema na sema Bwana;

Na vile kusoma Neno takatifu;

Fanya urafiki na wenye imani;

Na omba baraka kwa neno lo lote.

2 Uchunge wakati, saa inakimbia;

Ushinde saa zote pamoja na Bwana;

Ukimutazama, utabadilishwa

Kupata mufano wa Yesu hakika.

3 Uchunge wakati, atakuongoza;

Umutegeme-e kwa mambo yo yote;

Katika furaha, katika huzuni,

Umutumaini, atakushindisha.

4 Uchunge wakati, salama moyoni;

Yesu atawale hata mafikili;

Atakufundisha na Roho ya kweli;

Utatayarishwa kufika mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 184: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

182. UNITEMBEZE, BWANA WANGU

1 Unitembeza, Bwana wangu, katika njia ya kwenda mbingu;

Unipatishe vile nguvu niende mbele nawe, Yesu.

Niende mbele nawe, Yesu,

katika Neno lake Mungu;

Uniwezeshe kila siku niende mbele nawe, Yesu.

2 Shetani ananijaribu, lakini utanipa nguvu;

Unisaidie, ninaomba, niende mbele nawe, Yesu.

3 Maneno ya dunia hapa siyatamani tena, Bwana;

Kuliko vyote ninataka niende mbele nawe, Yesu.

4 Ninakata-a zambi zote, nataka tu nikupendeze;

Hata kufika kule mbingu niende mbele nawe, Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 185: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

183. ROHO YANGU INAJA-A NA FURAHA

1 Roho yangu inja-a na furaha na salama,

Maana ninajua Yesu ananifanyia mema.

Yesu, Yesu, nitafuata Mukombozi wa pekee;

Roho yangu inaja-a na mapendo kwa Mwokozi.

2 Yesu alinitafuta mwenye kusahau Mungu;

Alimwanga damu yake kuokoa roho yangu.

3 Sitamani zambi tena, haziwezi kunifunga ;

Munyororo wa Shetani Yesu aliufungua.

4 Ninawaombea ndugu katika dunia pia,

Hata Neno la uzima wataweza kusikia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 186: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

184. NINAPENDA KUMUSIFU BWANA YESU

1 Ninapenda kumusifu Bwana Yesu,

Ni Rafiki wangu mwaminifu kweli ;

Alinipa moyo mupya na uzima,

Nani ataweza neno kama hili.

Ee mapendo yake ni makubwa!

Sina Musaidizi kama Yesu;

Yeye tu aliondosha zambi zangu,

Ee, ananipenda sana.

2 Nilikuwa na makosa mengi sana,

Moyo wangu ulikuwa na huzuni;

Yesu alinizungusha na mapendo,

Alinionyesha njia ya wokovu.

3 Ee furaha kujuana naye Bwana,

Na maneno yake yote ya mapendo;

Kisha siku nitakapofika kwake

Macho yangu yataona uso wake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 187: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

185. KIONGOZI, MWANA WA MUNGU

1 Kiongozi, Mwana wa Mungu, ni karibu na mwaminifu;

Anatuongoza saa zote, sisi wasafiri jangwani.

Tukichoka, tunafurahi tukimusikia Yesu

Akisema: “Kuja, mupenzi, nitakuongoza mbinguni.”

2 Sikuzote yeye Rafiki ni tayari kutusaidia ;

Na hatutabaki na shaka, na hatutakuwa na woga.

Saa zoruba inapovuma, nafsi inapolegea,

Anasema: “Kuja, mupenzi, nitakuongoza mbinguni.”

3 Kazi yetu inapokwisha, tutatazamia pumziko;

Damu yake Mwana wa Mungu ni taraja yetu ya mbingu.

Hatutaogopa mauti, tutachungwa na Mwokozi,

Akisema: “Kuja, mupenzi, nitakuongoza mbinguni.”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 188: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

186. NISADIKI YESU KRISTO SIKUZOTE

1 Nisadiki Yesu Kristo sikuzote duniani,

Hata na imani ndogo, nisadiki Yesu pekee.

Nisadiki Yesu pekee, nisadiki sikuzote,

Kati ya bahati gani, nisadiki Yesu pekee.

2 Roho yake anaangaza roho yangu njia zote,

Nikifuata, sitaanguka, nisadiki Yesu pekee.

3 Ninaimba kwa furaha, ninaomba saa ya taabu,

Kati ya hatari vile, nisadiki Yesu pekee.

4 Nisadiki hata mwisho wa uzima wangu hapa,

Hata kwenda kwangu mbingu, nisadiki Yesu pekee.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 189: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

187. KAMA UNA MAHITAJI

1 Kama una mahitaji, huna mali nyingi tena,

Nja-a vile ikifika kwako nyingi,

Ukumbuke Mungu Baba analinda kila saa,

Leta taabu yako yote kwake Yesu.

Uiache yote kwake,

Acha taabu yako yote kwake Yesu;

Ukimusadiki Mungu, atakupatisha nguvu,

Acha taabu yako yote kwake Yesu.

2 Wewe ni mugonjwa vile, mwili unauma sana,

Taabu inaleta woga mwingi kwako?

Yesu anajua yote naye atakusaidia,

Leta taabu yako yote kwake Yesu.

3 Kama wewe ni muzee, unachoka sikuzote,

Ee, usisahau Mungu yuko nawe;

Yesu ni karibu sasa, na atakuchunga sana,

Leta taabu yako yote kwake Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 190: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

188. YESU MWOKOZI ALINIKUFIA

1 Yesu Mwokozi alinikufia,

Naye amenipa uzima mupya;

Nikitazama Mwokozi daima,

Kila dakika naishi kwa Bwana.

Kila dakika nachungwa na Yesu,

Kila dakika napata uzima;

Nikitazama Mwokozi daima,

Kila dakika naishi kwa Bwana.

2 Kwa majaribu, mateso na taabu,

Yesu Mwokozi ananishindisha,

Na anabeba mizigo ya roho;

Kila dakika ananisaidia.

3 Saa ya huzuni, machozi, uchungu,

Saa ya hatari, saa ya uzaifu,

Hata Mwokozi ni kule mbinguni,

Kila dakika ananifikili.

4 Hata ugonjwa unanikamata,

Yesu anaweza kuniponyesha;

Hata katika maneno yo yote,

Kila dakika ananichungaga.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 191: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

189. UKICHUKULIWA NA MASHAKA YAKO

1 Ukichukuliwa na mashaka yako,

Na kuona woga kwamba utashindwa,

Uhesabu tu baraka yake Mungu,

Na utashanga-a kwa rehema yake.

Uhesabu tu baraka zote,

Mungu alikubariki nazo!

Ukumbuke mambo yote pia,

Na utashanga-a kwa rehema yake.

2 Na ukisumbushwa na huzuni nyingi,

Ukiona musalaba ni muzito,

Uhesabu tu baraka kila siku,

Na kwa moyo wote utasifu Mungu.

3 Usi-itamani mali ya dunia,

Utajiri wako ni Mwenyezi Mungu;

Uhesabu tu baraka na kumbuka

Mali haiwezi kufungua mbingu.

4 Na katika mambo yote huko chini

Ukumbuke pendo kubwa la Mwokozi;

Vile ujumlishe tu baraka zote,

Tena mwisho atakupeleka kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 192: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

190. WAKATI SALAMA INAPOJAZA ROHO

1 Wakati salama inapojaza roho,

Na vile wakati wa taabu,

Umenifundisha kusema kwa kweli:

“Najua Mwokozi ni wangu.”

Ninajua Yesu Bwana,

Ninapata salama moyoni.

2 Wakati Shetani anaponijaribu,

Salama inachunga roho,

Kwa maana Mwokozi ananikumbuka

Na kunipa nguvu kushinda.

3 Hukumu ya zambi sitaogopa tena,

Mwokozi ali-imaliza

Saa alipobeba makosa Kalvari

Na kuyaondosha kabisa.

4 Ninatazamia kurudi kwake Yesu

Afike katika mawingu,

Nione kwa macho ninayemupenda,

Ni-ishi milele na yeye.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 193: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

191. MUFALME WA MAPENDO

1 Mufalme wa mapendo ndiye Muchungaji wangu;

Sipungukiwi kitu kwani mimi ni wa Yesu.

2 Anaongoza kando ya vijito vitulivu;

Ninakulishwa sikuzote kwa malisho yake.

3 Nawe karibu siogopi sasa hata kufa;

Na gongo lako, fimbo yako zinafariji.

4 Kwa sikuzote za maisha nitapata wema;

Nyumbani mwake nitasifu Muchungaji wangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 194: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

192. EE KUNDI LA MUNGU, MUSIYAOGOPE

1 Ee kundi la Mungu, musiyaogope

Maneno yo yote katika dunia;

Uwezo wa Mungu anawapa ninyi,

Na anawalinda anaowapenda.

Mumusadiki, mumusadiki,

Vyote vinawezekana kwa Yesu.

Mumusadiki, mumusadiki,

Vyote vinawezekana kwa Yesu.

2 Ee kundi la Mungu, musiyaogope

Maneno mabaya, huzuni, na taabu;

Mwokozi mwenyewe atawaongoza,

Yeye alikunywa uchungu wo wote.

3 Ee kundi la Mungu, musiyaogope

Maneno ya kesho musiyoyajua;

Hawezi kuacha mwenye kumwamini

Na atabakia karibu saa zote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 195: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

193. MWOKOZI ANANIONGOZA

1 Mwokozi ananiongoza, ni neno la kunifariji!

Pahali pote, sikuzote, mukono wake unaniongoza.

Mwokozi ananiongoza pahali

pote na mukono wake;

Niwe mufuata wake kweli

na kumutumikia sikuzote.

2 Pahali pa matata kubwa, pahali pa furaha nyingi,

Si neno kama nikijua mukono wake unaniongoza.

3 Ee Bwana, ninataka sana karibu nawe kubakia;

Ninafurahi kutambua mukono wako unaniongoza.

4 Na siku kazi yangu hapa nitakapomaliza yote,

Mauti sitaiogopa ; Mwokozi atanifikisha kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 196: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

194. MWOKOZI ALINIAMBIA

1 Mwokozi aliniambia : “Nitasamehe zambi zako;”

Furaha inazidi sasa, furaha kama ya mbinguni.

Ee haleluya, nimusifu! Alisamehe zambi zangu!

Pahali pote na saa zote nina furaha ya mbinguni.

2 Zamani sikujua njia kunifikisha kule mbingu;

Lakini sasa ninajua Mwokozi alinikufia.

3 Katika utajiri mwingi na hata kwa umasikini,

Pahali pote na saa zote nina furaha ya mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 197: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

195. NINASIMAMA KWAKE KRISTO

1 Ninasimama kwake Kristo, yeye Mwamba wa imara;

Sina mwingine kuamini, yeye tu taraja yangu.

Ninasimama kwake Kristo

Mwamba wa imara, sana,

Pengine pote ni muchanga.

2 Saa giza linapomuficha, ninaamini neema yake;

Na katikati ya zoruba, ninashika Yesu sana.

3 Ananisimamisha sana ju-u ya ahadi zake;

Na hata nyota vinaanguka, nimutegemee pekee.

4 Wakati atakaporudi, atanipeleka kwake;

Atanivika haki yake, sitamukosea tena.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 198: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

196. ZAMANI NILI-ISHI KWA ZAMBI

1 Zamani nili-ishi kwa zambi, nilikosa nuru,

Lakini sasa nimepokea Kristo ndani yangu.

Kristo ndani yangu, Kristo ndani yangu,

Wokovu mukubwa sana, Kristo ndani yangu.

2 Kwa moyo wangu nimegeuzwa, nimejazwa tele

Na Roho, nuru, uzima, pendo, Kristo ndani yangu.

3 Nataka kufanana na Yesu, kuwa sawa naye;

Nataka wote wajue kweli Kristo ndani yangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 199: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

197. NIKIONA UZAIFU NA IMANI NDOGO

1 Nikiona uzaifu na imani ndogo,

Nikijaribiwa sana, Yesu, unilinde.

Unilinde vema, unilinde vema,

Kwa sababu ya mapendo, unilinde vema.

2 Peke yangu sitaweza kukushikilia ;

Pendo langu ni zaifu, Yesu, unilinde.

3 Mimi mali yako sasa ulinikomboa,

Ulitoa damu yako, Yesu, unilinde.

4 Huta-acha nipote-e, unalinda sana ;

Kwani ninakuamini, Yesu unilinde.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 200: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

198. EE MWOKOZI, UNILINDE

1 Ee Mwokozi, unilinde na uniongoze kweli,

Njia ni matata sana, bila wewe nitaanguka.

Bwana Yesu, uni’ngoze kwa upole,

Nikufuate duniani kila siku, kila saa.

2 Wewe ndiwe Kimbilio kwa wakati wa zoruba,

Nawe siogopi kitu, kwako tumaini langu.

3 Kisha siku ya mauti utanifikisha kwako,

Nitazame uso wako, na machozi yatakwisha.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 201: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

199. NAPENDA KUTANGAZA

1 Napenda kutangaza habari za Mwokozi,

Habari za mapendo na utukufu wake;

Napenda kuzipasha habari hizi tamu,

Inanifurahisha kuliko kila neno.

Napenda kutangaza habari za Mwokozi,

Habari za mapendo ya Yesu Bwana yangu.

2 Napenda kutangaza habari za Mwokozi,

Ni mushangao kwangu, ajabu kubwa kweli ;

Napenda kuzipasha sababu zilikuwa

Baraka kubwa kwami na ziliniokoa.

3 Napenda kutangaza habari za Mwokozi,

Ni kila mara tamu kuliko kwa mutima;

Napenda kuzipasha ; wengine hata leo

Hawajazisikia, hawajaokolewa.

4 Napenda kutangaza habari za Mwokozi

Kwa watu wenye nja-a, kwa watu wenye kiu;

Na nitakapofika mbinguni, nitaimba

Habari hizi tena, habari za mapendo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 202: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

200. WATU WA MUNGU, MUMALIZE KAZI

1 Watu wa Mungu, mumalize kazi

ya kuhubiri Neno la Mwokozi ;

Yeye aliyeumba watu wote hataki mutu kupotea kwake.

Hubiri watu Neno la Yesu,

La ukombozi, salama na wokovu.

2 Tazama watu wanafungwa sana katika giza la makosa

mengi ;

Na wanagonja kusikia neno la Yesu mwenye kuwakufilia.

3 Pasha habari watu wasikie Mungu alionyesha pendo lake

Siku alipotuma Bwana Yesu awe Mwokozi kwa wenye

makosa.

4 Tuma vijana wako kutumika kazi ya Mungu kwa pahali

pote;

Na toa mali kwa kuwasaidia, Yesu atakurudishia yote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 203: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

201. NATAKA SANA KUSIKIA

1 Nataka sana kusikia Neno yako waziwazi,

Na nitakwenda kutafuta wenye kupotea mbali.

2 Uniongoze ili mimi nitafute wapotevu

Na kuwaleta kwako, Bwana, waokoke, wakufuate.

3 Unipatishe nguvu, Bwana, nisimame kwa imara;

Unifundishe, kisha mimi nitawafundisha wana wako.

4 Ufanye kazi yako nami, pa’li gani, kila siku;

Nataka kusaidia wenye mahitaji na huzuni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 204: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

202. KUTUMIKA KAZI KWA MWOKOZI

1 Kutumika kazi kwa Mwokozi Yesu kunaniletea shangwe;

Roho yangu inapata kufurahi kutumika kazi yake.

Kutumika kazi yake ninaleta vitu vyote;

Ninapata shangwe nyingi kutumika kazi yake.

2 Kutumika kazi kwa Mwokozi Yesu kunaniletea shangwe;

Nitaimba hata kati ya huzuni, kutumika kazi yake

3 Kutumika kazi kwa Mwokozi Yesu kunaniletea shangwe;

Kila siku Yesu ananiongoza kutumika kazi yake.

4 Kutumika kazi kwa Mwokozi Yesu kunaniletea shangwe;

Ninaleta vitu vyangu vyote kwake kutumika kazi yake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 205: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

203. SIMAMA KWA MUFALME

1 Simama kwa Mufalme, askari yake Yesu!

Nyanyua na furaha bendera yake safi;

Tufuate nyuma yake kushinda Diabolo,

Mwenye kutudanganya, mwenye kutuonea.

2 Sikia baragumu inatuita sasa!

Tuendele-e mbele, kusudi ni kushinda;

Tusiogope kamwe hatari ya shindano,

Lakini tupigane kwa nguvu yake Mungu.

3 Simama, fanya vita kwa jina lake Yesu!

Tuvikwe na silaha ya haki kwa kifua;

Hakika tutashinda na ngabo ya imani,

Kofia ya wokovu, upanga ndio Neno.

4 Shindano letu hapa ’takwisha siku moja,

Tupige vita leo, pumziko ni mbinguni;

Na kila mushindaji atapokea taji

Na utukufu tele karibu na Mufalme.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 206: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

204. EE BENDERA INATWEKA

1 Ee bendera inatwekwa kututangulia,

Tusione woga tena, twende kwa kushinda.

Bwana Yesu anakuja, tumutazamie,

Kwa uwezo wake Yesu atatushindisha.

2 Ee Shetani ni karibu, anatutafuta,

Anataka tuanguke, tufe, tupote-e.

3 Tunajua Bwana Yesu ni pamoja nasi ;

Tusimame sawasawa na askari wema.

4 Vita kubwa, vita kali iko mbele yetu;

Tuwe watu wahodari, twende, tutashinda.

5 Basi, kwa bendera yake tunashikamana;

Atutie nguvu yake hata kuja kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 207: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

205. CHINI YA BENDERA YAKE YESU

1 Chini ya bendera yake Yesu Kristo tunakwenda mbele sasa;

Tunainyanyua watu waione, tuki-imba sifa kwake.

Twende mbele, twende mbele,

kwa Kristo tuna-acha yote;

Tumuvike taji, tumwimbie chini ya bendera

yake.

2 Musalaba wake ni bendera yetu, tutashinda chini yake;

Sisi ni askari za Mufalme Yesu, hatutaogopa kamwe.

3 Kwa pahali pote pa dunia hii tutangaze Neno lake;

Wenye kuamini wataokolewa, watakuwa wana wake.

4 Basi asubui ni karibu sana Yesu atakapokuja

Mushindaji wa adui zake zote, duniani kutawala.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 208: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

206. UWATAFUTE WANAOPOTEA

1 Uwatafute wanaopotea, kwa pendo uwaondoe kwa zambi;

Lia na wenye huzuni rohoni, uwapeleke kwa Yesu Mwokozi!

Uwatafute wanaopotea!

Yesu Mwokozi atawaokoa.

2 Anatafuta waliokimbia, anawangoja warudi upesi;

Uwafundishe kwa pendo na kweli ju-u ya neema na haki ya

Yesu.

3 Ndani ya roho na katika siri hakose wanatafuta wokovu.

Uwaongoze kwa Yesu Mwokozi, uwaonyeshe mapendo ya

Mungu.

4 Uwatafute wanaopotea. Mungu atatupa pendo na nguvu;

Uwapeleke kwa Yesu Mwokozi, ataokoa wanaoamini.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 209: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

207. FANYIA MUNGU KAZI

1 Fanyia Mungu kazi, usiku unakuja,

Utumikie Mungu siku zako zote.

Anza mapema sana, dumu muchana kutwa,

Usiku unakuja, kazi itakwisha.

2 Fanyia Mungu kazi kama ingali jua,

Usipoteze bule siku zako hapa!

Uyatimize yote bila kukosa neno;

Usiku unakuja, kazi itakwisha.

3 Fanyia Mungu kazi, saa inapita mbio,

Fanya bidi-i sana kutafuta ndugu!

Utumikie Mungu kwa nguvu yako yote;

Usiku unakuja, kazi itakwisha.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 210: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

208. PANDA MBENGU NJEMA

1 Panda mbegu njema, anza asubui,

Omba Mungu sana kubariki kazi.

Kwa wakati wake utakwenda vile

Na kuvuna mbegu na furaha tele.

:: Twende kwa mavuno, twende kwa mavuno,

Kwa furaha kubwa twende kwa mavuno ::

2 Panda mbegu njema ju-u ya milima,

Na tuendele-e hata mabondeni!

Neno lake Mungu litawafungua

Watu wa makosa kwa furaha kubwa.

3 Panda mbegu njema hata kwa machozi,

Ukumbuke Yesu, leo uhubiri!

Bwana wetu Yesu atakuja tena

Na zawabu yetu kwa furaha kubwa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 211: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

209. EE ASKARI, TWENDE

1 Ee askari, twende, vita tuipige,

Macho yetu yawe ju-u ya Mufalme,

Anatuongoza kwa kupiga vita,

Twende mbele na kufuata nyuma yake Bwana.

Twende mbele, sisi askari, vita tuipige;

Musalaba wake unatangulia.

2 Kweli tutashinda jeshi la Shetani,

Ee askari, twende mbele na Mufalme;

Watatetemeka wanaposikia,

Nyimbo zetu za kusifu Yesu Kristo Bwana.

3 Kama jeshi kubwa twende naye mbele,

Tunafuata ndugu zetu za zamani;

Katika Mwokozi tuna roho moja,

Mafundisho na mapendo na taraja sawa.

4 Basi ninyi ndugu, tu-ungane sasa,

Tushirikiane kumusifu Yesu;

Sifa, utukufu kwake Kristo Bwana,

Wimbo huu tutauimba kwake kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 212: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

210. ASKARI WAHODARI

1 Askari wahodari, tusimame kwa kushinda;

Tupige vita kali kwa wakati wa muchana.

Adui wanangoja, ndugu, tusiwaogope;

Imani ni uwezo wetu kwa kushinda wote.

Imani kwa Yesu Kristo, imani kwa Yesu Kristo,

Imani kwa Yesu Kristo ni uwezo wetu.

2 Bendera ni mapendo, na upanga Neno lake;

Tufuate na furaha wa-amini wa zamani;

Kwa nguvu ya imani yao Shetani alishindwa,

Na ngabo ya imani yao ni ngambo yetu vile.

3 Shetani ni tayari, ana hila nyingi sana;

Tutupe uzaifu wetu, twende kumushinda;

Tujifungie kweli na kofia ya wokovu;

Adui za Mwokozi ni zaifu mbele yetu.

4 Mushinda wa adui atapata vazi zuri,

Na jina lake Yesu atakiri kule mbingu.

Mapendo yakitusukuma twende kupigana;

Kwa jina la Mwokozi tutashinda Diabolo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 213: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

211. TOKA GIZA

1 Toka giza watu wengi wanalia:

“Tuma nuru, tuma nuru!”

Kuna wapotevu, kuna wenye zambi,

Tuma nuru, tuma nuru!

Tuma nuru ya Habari Njema, iangaze pa’li pote;

Tuma nuru ya Habari Njema, iangaze kwa milele.

2 Leo Mungu anaita, akisema:

“Tuma nuru, tuma nuru!”

Tujitoe kwake, tutafute watu,

Tuma nuru, tuma nuru!

3 Na tumwombe Mungu neema itangazwe,

Tuma nuru, tuma nuru!

Hata watu wengi wapoke-e Kristo,

Tuma nuru, tuma nuru!

4 Tusichoke sasa kumutumikia,

Tuma nuru, tuma nuru!

Mungu atatupa taji ya uzima,

Tuma nuru, tuma nuru!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 214: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

212. ASKARI WA MWOKOZI

1 Askari wa Mwokozi mimi na mufuata wake,

Sitaogopa kutangaza jina la Mwokozi.

2 Sitaogopa majaribu na kupata taabu

Katika vita na makosa kwa ajili yake.

3 Nitapigana na adui na uwezo wake;

Dunia inamuchukia Yesu Bwana wangu.

4 Ee Bwana, niwe muhodari, niwe mwaminifu,

Nibebe taabu na uchungu kwa ne-ema yako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 215: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

213. NANI NI WA YESU?

1 Nani ni wa Yesu? Amutumikie!

Atafute watu na kuwahubiri!

Nani anataka kujitoa leo

Kumufuata Yesu katika mateso?

Mimi ni wa Yesu, nimutumikie!

Nitafute watu, kwake warudie!

2 Kwa mapendo yake tunalazimishwa

Kutafuta wenye zambi na makosa ;

Tunaendelea kuhubiri Neno,

Na kuvuta watu ili waokoke.

3 Yesu alitununua sisi sote

Akimwanga damu yake kwa Kalvari;

Kwake tumepata raha na uhuru,

Tunataka sasa kuwa waaminifu.

4 Hata vita ikiongezeka huko,

Tuko na bendera ya kushinda kwetu;

Siku ya pumziko inakaribia,

Itabadilisha vita kuwa shangwe!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 216: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

214. NITAFIKA KWAKE BWANA

1 Nitafika kwake Bwana, yeye Mukombozi wangu,

Na sikumutumikia hata siku moja hapa?

Nitakuenda kukutana naye na mikono bule,

Bila tunda hata moja? Itakuwa haya kubwa!

2 Hata siogopi kufa, kitu ninacho-ogopa

Ni kufika kwake Bwana bila nafsi hata moja.

3 Siku nyingi nimeishi bila kumutumikia;

Zimepita zote bule, zimepita kwa milele!

4 Ee wapenzi, musimame, mutumike kila siku,

Mutafute wapotevu, muwalete kwake Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 217: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

215. PENDO LA BABA WA MBINGU

1 Pendo la Baba wa mbingu linanga-a sikuzote ;

Anataka tusambaze nuru yake duniani.

Nuru yetu iangaze mbele ya wenzetu huko ;

Ionyeshe kila mutu njia wazi ya mbinguni.

2 Zambi zimetia giza huko chini duniani ;

Macho ya watu wengine wanatazamia nuru.

3 Ndugu wangu, angalia ta-a yako iwe safi,

Ili mutu asikose kuiona, aokoke!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 218: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

216. NINASIKIA MUCHUNGAJI

1 Ninasikia Muchungaji anayeita toka jangwa,

Akiwaita wapotevu kama kondo-o bila zizi.

Uwalete, uwalete, uwalete toka zambi zao;

Uwalete, uwalete, uwalete kwake Yesu.

2 Nani ’takwenda kusaidia kuwatafuta wapotevu,

Kuwaletea Muchungaji, awaokoe toka zambi?

3 Katika jangwa wanalia na kwa vilima na mabonde;

Bwana anakuita wewe: “Kwenda kuwafikisha kwangu.”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 219: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

217. SHAMBA LA MUNGU NI TAYARI

1 Shamba la Mungu ni tayari kuvuna mbegu za kukomea;

Wavunaji, mufike mbio kwa kuyavuna mavuno yake.

Bwana Yesu, tunaomba, uwatume watenda kazi,

Waokote miganda yote, na watapata mavuno

mengi.

2 Uwatume mapema sana, na uwatume saa ya muchana;

Hata sa-a ya mangaribi wengine waje kutenda kazi.

3 Ee Mukristo, usichelewe, lakini kwenda mbio kwa kazi!

Macho yako nyanyua kwani Mwokozi Yesu yuko karibu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 220: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

218. SAFARI YANGU HUKO

1 Safari yangu huko ina hatari nyingi,

Na inapita katika giza na jaribu;

Najua kwa hakika, Mwokozi ni karibu,

Na ninamufuata pahali po pote.

Pamoja na Yesu njiani sina woga;

Ni kweli furaha na heri rohoni pahali pote;

Nitayashiriki mateso pamoja naye,

Na nitamufuata Mwokozi hata mwisho

2 Nikitangaza Neno la Mungu duniani

Katika mataifa walio wakaidi,

Nina furaha kubwa moyoni mwangu kwani

Mwokozi ni nami pahali po pote.

3 Na Bwana akitaka nibaki hapa kwangu,

Wengine wakitumwa kwa inchi mbalimbali,

Kusudi langu moja, nidumu kumufuata,

Mungini na vile pahali po pote.

4 Si sharti nifahamu kusudi la Mwokozi,

Ni kazi yangu huko kufuata Kiongozi;

Na hata nikibaki ao hata nikikwenda,

Nitafuata Yesu pahali po pote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 221: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

219. EE BWANA, NIWE MUFUATA WA KWELI

1 Ee Bwana, niwe mufuata wa kweli,

Nikupendeze kwa kila wakati,

Nikikutii na furaha daima,

Hii tu ni njia kupata baraka.

Ee Yesu Bwana wangu, ninajitoa kwako,

Sababu ulimwanga kwa mimi damu yako;

Mufalme wangu ndiwe, unitawale sasa,

Maisha yangu yote yawe kwa heshima yako.

2 Ee Bwana, ulijitoa kwa mimi,

Na ulilipa bei ya zambi zangu;

Mapendo haya yananisukuma

Maisha yangu kutoa kwa wewe.

3 Ee Bwana, nikupendeze daima,

Kila wakati nikutumikie;

Mimi tayari kubeba mateso,

Haya, hasara kwa ajili yako.

4 Kuliko mambo mengine yo yote

Ninakusudi kukufurahisha,

Nikiwaleta waliopotea

Karibu nawe wapate uzima.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 222: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

220. YESU, NINAUCHUKUA MUSALABA

1 Yesu, ninauchukua musalaba wangu kwawe,

Nina-acha vitu vyote nilivyovipenda mbele,

Baba, mama, na watoto, ndugu, nyumba, mali yote;

Hata hivi ninapata utajiri ndani yako.

2 Watu wengi wanacheka, wananizarau sana,

Wananidanganya vile, wewe tu ni mwaminifu.

Mimi ni mufuata wako, nitakuwa kama wewe.

Walitesa Bwana wangu, na watanitesa vile.

3 Taabu zote za dunia zinanikokota kwako,

Huko unanipa neema, kwako nitapata raha;

Kweli siogopi kwani ninajua unachunga,

Ni furaha sikuzote kukutegemea, Bwana.

4 Nyuma ya maisha yangu nitafika kwako mbingu,

Unaniongoza pale, ninafuata na imani.

Ee furaha kuonana nawe, Bwana na Mupenzi,

Kwa milele nitaimba Haleluya kwako, Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 223: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

221. YESU, UNAPITA NDUGU

1 Yesu, unapita ndugu na rafiki za dunia ;

Kwa maisha yangu yote nikufuate tu karibu.

Nikufuate wewe, Yesu, nikufuate wewe, Yesu,

Kwa maisha yangu yote nikufuate tu karibu.

2 Sitamani mali tena wala sifa na heshima.

Kitu hiki ninataka, nikufuate tu karibu.

3 Hata unaniongoza kwa mateso na huzuni,

Nitafika siku moja kupumzika kwako, Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 224: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

222. FANYA MAPENZI

1 Fanya mapenzi yako, Ee Bwana,

mwenye akili nyingi kabisa;

Kama udongo unifinyange, ninapongoja kimya kwa wewe.

2 Fanya mapenzi yako, Ee Bwana, unitafute kwa roho yangu;

Unitakase, ninakuomba, niweze kuwa kwawe faida.

3 Fanya mapenzi yako, Ee Bwana, mimi zaifu na ninachoka;

Wewe ni Mwenye nguvu ya kweli, Ee uniguse, uniponyeshe.

4 Fwanya mapenzi yako, Ee Bwana, unitawale, ninakuomba;

Na unijaze na Roho yako watu waone Yesu tu kwangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 225: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

223. KITU KISI-INGIE

1 Kitu kisi-ingie kutenga mimi na Yesu, Bwana mupendwa;

Nimeokoka, sasa sipendi kutenda zambi, Yesu ni wangu.

Kitu kisi-ingie kutenga mimi na Yesu, Bwana

Mupendwa;

Sitaki neno kuhuzunisha Yesu Mwokozi na Bwana

yangu.

2 Kitu kisi-ingie kutenga mimi na Yesu, Bwana Mupendwa;

Vyote Mungu asivyovipenda, ninaviacha kwa Yesu Bwana.

3 Kitu kisi-ingie kutenga mimi na Yesu, nisijisifu;

Hata rafiki wasitutenge, ninakusudi kumupendeza.

4 Kitu kisi-ingie kutenga mimi na Yesu, hata mateso;

Nitamupenda na kumufuata, nitashindishwa kwa nguvu

yake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 226: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

224. YOTE KWA MWOKOZI WANGU

1 Yote kwa Mwokozi wangu, kwaye nguvu yangu yote,

Mafikili na matendo, vile siku zangu zote.

Yote kwa Mwokozi wangu, yote kwaye tu daima;

Yote kwa Mwokozi wangu, utukufu na heshima.

2 Hii mikono na migu-u ni kwa kazi yake Yesu;

Macho yatazame ju-u, na midomo imusifu.

3 Tangu nilipotazama Yesu kule kwa Kalvari,

Vitu vyote vya dunia vilikuwa bule kwami.

4 Ee ajabu kubwa, Yesu, yeye Bwana wa wabwana,

Ananipokea kwake na mapendo ya kuzidi!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 227: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

225. BWANA, UPOKEE MAISHA YANGU

1 Bwana, upokee maisha yangu yawe yako tu kwa sikuzote;

Na mikono ninakupa itumike kazi ya mapendo

Kwa kukutukuza, Bwana.

2 Hii migu-u yangu upoke-e ikimbie kukutumikia;

Na sauti ukamate kwa kuimba sifa yako, Yesu,

Wewe ni Mufalme wangu.

3 Na midomo vile itangaze Neno lako kwa wenye makosa;

Mali yangu yote iwe mali yako, Yesu Bwana wangu,

Kwa kufanya kazi yako.

4 Kwa migu-u yako, Bwana Yesu, ninatoa mwili wangu wote;

Ee ninakupenda, Bwana, sikuzote ninataka sana

Wewe pekee utukuzwe.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 228: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

226. NILIKUBALI KUTOA UZIMA WANGU

1 Nilikubali kutoa uzima wangu kwawe,

Na damu ilimwangika upate kuokolewa;

:: Kwa wewe niliutoa mwili, kwami utatoa nini?::

2 Na niliacha mungini wa Baba wangu ju-u,

Kufika huko dunia na giza lake na taabu;

:: Kwa wewe niliziacha mbingu, kwami uta-acha nini? ::

3 Ee nilibeba uchungu kushinda mafikili,

Usi-ingie kwa moto kuteswa pale milele;

:: Kwa wewe nilizibeba zote, kwami utabeba nini? ::

4 Kutoka kule mbinguni niliyaleta kwako

Mapendo, vile wokovu, na usamehe wa zambi;

:: Kwa wewe niliyaleta yote, kwami utaleta nini? ::

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 229: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

227. MIMI WAKO, BWANA

1 Mimi wako, Bwana, nimesikia sauti ya mapendo;

Nina hamu sana kuvutwa tena karibu nawe, Bwana.

Univute, univute kwa musalaba wako, Bwana;

Univute, Bwana, univute kwako nibakie pale tu.

2 Ee, unitakase kwa kazi yako kwa neema, Bwana Yesu;

Roho yangu ikutazame hata ninakupenda pekee.

3 Ni kutamu sana kushinda saa ya maombi mbele yako,

Ninapoinama kusemezana nawe, Mwokozi wangu.

4 Sijajua bado mapendo yako kwa mimi duniani,

Shangwe itazidi saa ya kufika mbinguni kwako, Bwana.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 230: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

228. UNATAKA SALAMA

1 Unataka salama na imami zaidi,

Umeomba saa nyingi kushinda ?

Hutapata pumziko ao baraka ya Bwana

Hata unajitoa kwa Mungu.

Umetoa maisha mazima kwa Mungu,

Na Roho anakutawala ?

Utapata baraka na salama moyoni,

Ukimupa mutima na mwili.

2 Unapenda kufanya ma-agizo ya Bwana,

Na kupata salama na nuru?

Sharti umupendeze, kumufuata kabisa,

Ujitoe mwenyewe kwa Mungu.

3 Tutaweza kujua pendo toka mbinguni

Na furaha kuja-a moyoni,

Upatano mutamu kwa migu-u ya Yesu

Kama tukijitoa kwa Mungu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 231: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

229. NINAKUSHUKURU, BWANA

1 Ninakushukuru, Bwana, kwani uliniokoa;

Vile ulinisafisha niwe chombo chako safi.

Chombo chako, Bwana Yesu, niko mikononi

mwako,

Unijaze, utumie, kila siku, kila saa.

2 Mimi chombo ’tupu, Bwana, unijaze na baraka;

Hivi maji ya uzima yatatoka ndani yangu.

3 Sina nguvu ila yako, ndiyo Roho yako, Mungu;

Unijaze na uwezo niwe mushuhuda wako.

4 Mimi chombo cha udongo, utukuzwe ndani yangu;

Ulininunua Bwana, niwe kweli mali yako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 232: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

230. YESU, NINAKUTOLEA

1 Yesu, ninakutolea vitu vyangu vyote leo,

Nikupende, nikufuate sikuzote duniani.

Ninakupa vyote, ninakupa vyote;

Vyote kwako, Bwana Yesu, ninakupa vyote.

2 Kwa migu-u yako, Yesu nikunyenyeke-e sasa;

Ninakutolea vyote, roho, mwili, na kutaka.

3 Ninakupa mali yangu, sitaitamani tena ;

Ulikuwa masikini ili niwe mutajiri.

4 Kwa baraka ninakuja, unijaze Roho yako;

Uni’ngoze, nipa nguvu, niwe mushindaji kweli.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 233: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

231. NIMEAHIDI, YESU

1 Nimeahidi, Yesu, nitakutumikia;

Usiniache kamwe, Rafiki yangu mwema;

Sitaogopa taabu pamoja nawe, Yesu,

Na sitahangaika, nikiongozwa nawe.

2 Ee Bwana, unichunge katika majaribu

Yanayonizunguka kwa kunitamanisha,

Adui ni karibu, ni hata ndani yangu;

Ee Bwana, karibia na chunga nafsi yangu.

3 Umeahidi, Yesu, kwa watumishi wako

Kukaa pamoja nawe katika utukufu;

Nimeahidi, Yesu, nitakutumikia

Unipatishe nguvu nifuate nyuma yako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 234: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

232. YESU, NIVUTE KARIBU NAWE

1 Yesu, nivutwe karibu nawe,

ninakupenda, Mwokozi muzuri;

Uliyekufa musalabani,

unizungushe na pendo na neema,

Unizungushe na pendo na neema.

2 Yesu, nivutwe, mimi ni bule,

sina zawadi kwa kukutolea;

Mimi muchafu katika moyo,

unipokee, unioshe kwa damu,

Unipokee, unioshe kwa damu.

3 Yesu, nivutwe, nikupe yote

niliyo nayo, Ee Bwana Mupendwa;

Ninakuomba, uyaondoe

yote yanayonitenga na wewe,

Yote yanayonitenga na wewe.

4 Yesu, nivutwe karibu nawe,

hata kwa mwisho wa vita na taabu;

Tena mbinguni nitabakia

karibu nawe, Ee Yesu Mwokozi,

Karibu nawe, Ee Yesu Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 235: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

233. NASIKIA BWANA YESU

1 Nasikia Bwana Yesu, anaita nimufuate;

Anaponitangulia, nitafuata Yesu njia yote.

Nitafuata nyayo zake, nitafuata nyayo zake,

nitafuata nyayo zake, nitafuata Yesu njia yote.

2 Nitafuata Bwana Yesu hata kwa mateso, kufa,

Nitafufuliwa naye, nitafuata Yesu njia yote.

3 Atanipa neema yake kwa kudumu hata mwisho,

Hata nitakapomwona Yesu Bwana wangu kule mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 236: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

234. PAHALI PA SALAMA TAMU

1 Pahali pa salama tamu ni mbele yake Bwana ;

Makosa si pahali pale kwa kututesa tena.

Ee Yesu Mukombozi uliyetumwa kwetu,

Uchunge watu wako wote karibu nawe.

2 Pahali pa faraja nzuri ni mbele yake Bwana;

Tunapoweza kukutana naye Mwokozi wetu.

3 Pahali pa uhuru vile ni mbele yake Bwana ;

Pahali pa furaha tele na ustarehe kweli.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 237: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

235. YESU NI RAFIKI YETU

1 Yesu ni Rafiki yetu anayetupenda kweli,

Tunaweza kumwambia mahitaji yetu yote.

Siku nyingi tunabeba taabu na huzuni kubwa,

Kwa sababu tuna-acha kumwambia kila neno.

2 Tunapata majaribu na masikitiko sana;

Tusishinde na huzuni, twende kumwambia Bwana.

Kweli hatuna rafiki kama Yesu Musaidia,

Anayefahamu kwamba sisi ni zaifu sana.

3 Tunachoka na uzito wa makosa sikuzote?

Bwana Yesu ni Mwokozi, atatupokea wote.

Watu wanatuchukia? Twende kumwambia Bwana;

Yeye atatufariji, atachunga na mapendo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 238: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

236. MUKATE WA UZIMA, BWANA

1 Mukate wa uzima, Bwana, uvunje,

Kama zamani kando ya bahari ;

Gawa maneno yako kwa roho yangu ;

Ee nina hamu kubwa kwawe, Yesu.

2 Bariki Neno lako kwa roho yangu;

Kama mukate kule Galilaya,

Nipate kuwa huru toka makosa,

Salama yako itanitawala.

3 Mukate wa uzima ni wewe, Bwana;

Kwa Neno lako nimeokolewa.

Unifundishe, Bwana, ninakusihi,

Kulifahamu na kutii daima.

4 Ee unijaze, Bwana, na Roho yako,

Naye atanifungulia macho;

Atafunua kwami Kitabu chako,

Na ndani yake nikuone, Kristo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 239: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

237. ZAMANI, PENTEKOTE

1 Zamani, Pentekote, Mungu, ulituma nguvu ;

Na hivi leo tunaomba kwa baraka yako.

Ee Mungu, tuma nguvu, uwezo wa zamani,

Baraka ya Roho utume leo, Mungu;

Tuma nguvu yako ya Pentekote, Mungu,

Waovu waokoke, na upate heshima.

2 Kwa kazi za uwezo wako tengeneza mioyo;

Uje na kutawala leo kila mutu wako.

3 Ondosha zambi, washa roho, tuwe na uwezo;

Kwa kila moyo wa kuongoja, Mungu, tia nguvu.

4 Na sasa, Mungu, sisi sote tuko mbele yako ;

Baraka yako tunangoja, usitupitie.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 240: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

238. NAKUHITAJI, YESU

1 Nakuhitaji, Yesu, Mwokozi wangu mwema,

Sauti yako nzuri inilete-e raha.

Nakuhitaji, Yesu, muchana na usiku;

Unibariki sasa, ninakukaribia.

2 Nakuhitaji, Yesu, unionyeshe njia,

Na unitimizie ahadi za ne-ema.

3 Nakuhitaji, Yesu, uwe karibu nami,

Nipate kulishinda jaribu la Shetani.

4 Nakuhitaji, Yesu, katika mambo yote,

Kwa kuwa bila wewe, maisha hayafai.

5 Nakuhitaji, Yesu, njiani huko chini,

Nipate kuwa kwako milele na milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 241: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

239. YESU, MWENYE PENDO KUBWA

1 Yesu, Mwenye pendo kubwa, usinipitie;

Ndani ya maombi yangu, unibarikie.

Yesu, Yesu, unisikilie,

Ukiwabariki wote, usinipitie.

2 Miaka mengi nilifuata njia ya uovu;

Nilikuwa mutumishi wa mudanganyifu.

3 Ninakiri zambi zangu mbele yako, Bwana;

Roho yangu imevunjwa, uponyeshe sasa.

4 Wewe, Yesu, ni Kisima cha furaha yetu;

Nani Muchungaji mwema ila Bwana Yesu?

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 242: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

240. NINAKUOMBA, YESU MUPENZI

1 Ninakuomba, Yesu Mupenzi, nina mizigo mingi mizito;

Katika taabu utasaida, unanipenda na kunichunga.

Ninakuomba, Yesu Mupenzi,

Nina mizigo mingi rohoni;

Ninakuomba, Yesu Mupenzi,

Wewe mumoja utasaidia.

2 Ninakuomba, Yesu Mupenzi, wewe Rafiki mwenye mapendo;

Nikikuomba, utasikia, wewe utaondosha matata.

3 Ninapojaribiwa na nguvu, mutu mwingine hatasaidia;

Ninakuomba, Yesu Mupenzi, kweli utashiriki mateso.

4 Siku nyingine vitu vibaya vinanitamanisha hakika;

Ninakuomba unisaidie, Yesu, unishindishe kabisa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 243: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

241. EE YESU, NATAKA USAFI KWA ROHO

1 Ee Yesu, nataka usafi kwa roho,

Nataka uishi daima moyoni;

Ondosha sanamu, uchafu wo wote,

Na unisafishe nipate usafi.

Unisaidie sasa kutubu,

Ee, unisafishe nipate usafi.

2 Ee Yesu, tazama na unisaidie,

Nataka kuishi kwa kukupendeza.

Sitaki kufanya mapenzi ya mwili,

Ee unisafishe nipate usafi.

3 Ee Yesu, sikia na jibu maombi,

Ingia moyoni, unibadilishe;

Nataka salama, nataka furaha,

Ee unisafishe nipate usafi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 244: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

242. MUNGU, UMETUMA KWETU ROHO

1 Mungu, umetuma kwetu Roho yako Musaidizi;

Kwa kuishi ndani yetu, vile kutujaza roho.

Unijaze Roho yako, Mungu, unijaze sasa;

Ninaomba kwako, Mungu, unijaze Roho yako.

2 Sifahamu namna gani utakavyofanya hivi;

Bali ninakuhitaji unijaze Roho sasa.

3 Mimi ni zaifu sana, ninaanguka mbele yako;

Sasa unijaze nguvu naye Roho yako, Mungu.

4 Unioshe, ’nifariji, vile unibarikie;

Ninaamini Neno lako; Bwana, unijaze Roho.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 245: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

243. SEMA NA ROHO YANGU

1 Sema na roho yangu, Bwana, na pendo kubwa;

Uniambie wazi: “Sitakuacha pekee.”

Moyo ufunguliwe kwa kusikia neno,

Na unijaze roho na pendo, sifa kwako.

Sema na roho yangu, Bwana, na pendo kubwa;

Uniambie wazi: “Sitakuacha pekee.”

Sasa tayari mimi kukusikia, Bwana:

“Utashindishwa nami, na utakuwa huru.”

2 Sema na wana wako kuwaonyesha njia,

Na unijaze tele na shangwe na furaha,

Ili watoe roho kutumikia Mungu

Hata kurudi kwako kwa kuwatwaa mbinguni.

3 Kama ulivyoonyesha nia yako zamani,

Uniyafahamishe mapenzi yako kwami;

Uniongoze jinsi kukutukuza, Bwana,

Hata maneno yako nitayatii daima.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 246: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

244. SAA YA MAOMBI

1 Saa ya maombi iko tamu, inatuita kwa Baba Mungu;

Kwa kiti chake cha ne-ema tunaonyesha hitaji letu;

Wakati wa huzuni nyingi faraja nzuri tunapata,

Na tunashinda majaribu wakati tunapo-omba Mungu.

2 Saa ya maombi iko tamu, furaha nyingi kwa roho zetu ;

Kuleta kwake Yesu Kristo mizigo inayotusumbusha.

Tutupe kwake masumbuko, aliahidi kuyabeba;

Na raha ataleta kwetu wakati tunapo-omba Mungu.

3 Saa ya maombi iko tamu, kupata nguvu kwa roho zetu ;

Mwokozi wetu mwaminifu yuko tayari kutubariki.

Inamufurahisha kweli wakati tunapomwamini ;

Anasikia na kujibu wakati tunapo-omba Mungu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 247: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

245. UKAE NAMI

1 Ukae nami, giza linafika, usiniache, Mungu, ninaomba,

Sina mwingine kwa kunisaidia, Ee Mufariji, ubakie nami.

2 Nakuhitaji wewe sikuzote, ne-ema yako inanishindisha;

Wewe Mwongozi, wewe Musaidia, katika giza ubakie nami.

3 Uzima unapita mbiombio, dunia yote inaharibika;

Vitu vyo vyote vinapogeuka hubadiliki, ubakie nami.

4 Adui zote sitawaogopa kama mukono wako ni karibu;

Uchungu wa mauti uko wapi? Uliushinda, ubakie name.

5 Saa ya mauti nitakukumbuka, kwa damu yako

nimeokolewa :

Unipoke-e kwako na salama, katika kufa ubakie name.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 248: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

246. KUTOKA TAABU YA DUNIA

1 Kutoka taabu ya dunia, kutoka vile huzuni hapa,

Salama tunaipokea karibu na kiti cha rehema.

2 Na pale Yesu anangoja kumwanga kwetu baraka yake;

Nafasi tamu ya kupita, karibu na kiti cha rehema.

3 Katika inchi pa’li pote rafiki zetu wanainama

Kuombeana kwa imani karibu na kiti cha rehema.

4 Shetani anatujaribu, kwa saa ya taabu, huzuni kubwa,

Tutakimbia wapi ila karibu na kiti cha rehema?

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 249: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

247. MVUA YA MBINGU INYESHE

1 Mvua ya mbingu inyeshe kama ulivyoahidi;

Ju-u ya inchi po pote iwe kwa kutubariki.

Mvua ya mbingu, mvua ya mbingu utume;

Utunyeshe-e baraka, tunakuomba, Ee Mungu.

2 Mvua ya mbingu inyeshe kwa kulegeza udongo;

Ju-u ya bonde, vilima, mvua ya mbingu ifike.

3 Mvua ya mbingu inyeshe, katika dunia yote ;

Watu wa Mungu wawake, mbengu za roho ziote.

4 Mvua ya mbingu inyeshe, tunapokukaribia;

Ututumie baraka, tunakuomba, Ee Mungu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 250: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

248. MUNGU WETU MWAMINIFU

1 Mungu wetu mwaminifu ametuahidi sisi

Kusikia na kujibu kama tukiomba kwake.

Mungu atatusikia kama tukiomba kwake;

Twende sasa na imani, kweli atatusikia.

2 Mungu atatupa sisi vitu vyote kututosha;

Kitu gani ni kizuri tutakipokea kwake.

3 Tusi’gope kumwambia mahitaji yetu yote,

Ao makubwa ao madogo, anapenda kusikia.

4 Kwa furaha ao huzuni kila pa’li na saa zote,

Tukimwomba tunajua kwamba atatusikia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 251: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

249. OMBA, OMBA KWA MUNGU PEKEE

1 Omba, omba kwa Mungu pekee, usiache kuomba kwake;

Kweli Mungu aliahidi kukujibu kwa kila kitu.

2 Omba, omba saa ya hitaji, Mungu atasikia kweli;

Hata neno ni dogo sana, umwambie, analijua.

3 Omba, omba saa ya jaribu, utashinda kwa jina lake;

Bwana Yesu anafahamu, atashika mukono wako.

4 Omba, omba na kumwamini, tunapaswa kuomba kwake;

Na imani ngojea Mumgu, usiache, atakujibu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 252: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

250. UNIPE USAFI ZAIDI ROHONI

1 Unipe usafi zaidi rohoni,

Nione huzuni zaidi kwa zambi;

Imani zaidi kwa Yesu Mwokozi,

Furaha kwa kazi, vile kwa maombi.

2 Niwe na asante zaidi kwa Mungu,

Na matumaini katika Kitabu,

Machozi zaidi kwa taabu ya Bwana,

Na unyenyekevu, upole, na neema.

3 Unipe uwezo kushinda jaribu,

Na vile uhuru na utakatifu,

Na hamu kuona ufalme wa mbingu,

Ili nifanane na Yesu zaidi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 253: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

251. BWANA, FUNGUA MACHO YANGU

1 Bwana, fungua macho yangu kwa kufahamu Neno lako;

Unionyeshe mambo matamu ndani ya Neno lako, Bwana.

Ninainama sasa kwako, unionyeshe kweli yako,

Vile mapenzi yako, Bwana, ninakusihi.

2 Bwana, fungua masikio kwa Neno lako nisikie,

Kwani sauti yako ni tamu, inanichunga kwa jaribu.

3 Bwana, fungua kinywa changu niwe tayari kutangaza

Kwa wapotevu kila pahali, wewe uliwakufilia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 254: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

252. YESU MWOKOZI, MWANA WAKE MUNGU

1 Yesu Mwokozi, Mwana wake Mungu,

Mara nyingine tunakuabudu,

Siku ya leo ulitusaidia,

Tena kwa kesho ututangulie.

2 Nyuma kidogo jua ’taingia,

Katika giza utuangalie;

Na uzilinde roho za Wakristo,

Wewe ni zamu, Yesu Kristo Bwana.

3 Sisi tungali hapa kwa dunia,

Wengine wengi wanatuchukia;

Utupe sisi utulivu wako,

Vile salama, Bwana Yesu Kristo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 255: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

253. UNACHOKA, UNA ROHO NZITO,

1 Unachoka, una roho nzito?

Sema na Yesu, sema na Yesu;

Na furaha imekwisha yote?

Sema na Yesu pekee.

Sema na Yesu, sema na Yesu,

Yeye Rafiki wa kweli;

Si mwingine sawasawa naye.

Sema na Yesu pekee.

2 Unalia kwa huzuni nyingi?

Sema na Yesu, sema na Yesu;

Roho yako inaficha zambi?

Sema na Yesu pekee.

3 Nduku zako wanakuchukia?

Sema na Yesu, sema na Yesu,

Walimukata-a Yesu vile,

Sema na Yesu pekee.

4 Unajaribiwa sikuzote?

Sema na Yesu, sema na Yesu;

Anajua sisi ni zaifu.

Sema na Yesu pekee.

(voir la suite sur la page suivante)

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 256: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

5 Unakosa mali ya dunia?

Sema na yesu, sema Yesu;

Anachunga kila ndege vile.

Sema na Yesu pekee.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 257: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

254. SASA MANGARIBI

1 Sasa mangaribi, jua limeshuka,

Giza la usiku limetushukia.

2 Yesu, ninataka kupumzika kwako;

Na baraka yako nitafunga macho.

3 Katika usiku tuma malaika

Wanilinde mimi kando ya kitanda.

4 Kisha asubui, hata mangaribi,

Leta nguvu, haki, kwa kukupendeza.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 258: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

255. BWANA, KWA USIKU HUU

1 Bwana, kwa usiku huu utubarikie wote;

Tunakiri zambi zetu, usamehe, tunaomba.

2 Giza linatuzunguka, na hatari ni karibu,

Tuma malaika zako kusimama kando yetu.

3 Giza halitakuficha, wewe ni karibu nasi;

Kweli hutalala kamwe, wewe ni Mulinzi wetu.

4 Hata kufa kutafika katikati ya usiku,

Nitakuwa asubui mbele yako kule mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 259: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

256. SIKU BARAGUMU YAKE MUNGU

1 Siku baragumu yake Mungu itakapolia,

Pambazuko la milele litanga-a;

Siku ile sisi wa-amini tutaona Yesu,

Ataita kila jina kwa Kitabu.

Ataita kila jina, ataita kila jina,

Ataita kila jina, ataita kila jina kwa Kitabu.

2 Siku ile watu walioamini Bwana Yesu

Watafufuliwa kwanza kwa mawingu;

Kisha wa-amini ha-i watanyanyuliwa vile,

Ataita kila jina kwa Kitabu.

3 Tujitoe kwa kutumikia Bwana yetu Yesu,

Tufundishe watu njia ya wokovu,

Na wakati kazi yetu itakapokwisha huko,

Ataita kila jina kwa Kitabu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 260: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

257. SIKU NYINGINE TAABU ’TAKWISHA

1 Siku nyingine taabu ’takwisha, vile huzuni na majaribu;

Siku nyingine tutapumzika, saa ya kurudi kwa Bwana Yesu.

Siku nyingine Yesu Mwokozi atatokea

kutukamata;

Tutasikia sauti yake akituita sisi na wewe.

2 Unasumbuka? Utafurahi! Utasahau kila huzuni.

Utafanana naye Mwokozi, na utamwona uso kwa uso.

3 Tutakutana naye kwa hewa, kisha furaha itatimia;

Tutaonana na ndugu zetu, tutatukuza Kristo milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 261: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

258. WATU WA KRISTO, ANGALIENI

1 Watu wa Kristo, angalieni, mwone alama za kuonyesha

Kwamba Mwokozi atatokea, ni yeye tunayemungoja na

hamu.

Atarudi hakika, atarudi hakika,

Ni Yesu mwenyewe waliyemukana ;

Atarudi hakika, atarudi hakika,

Mwenye utukufu atarudi hakika.

2 Huko dunia, giza na zambi zinazunguka watu wa Mungu ;

Mioyo mizito itageuzwa kupata furaha kwa siku ya Bwana.

3 Kuja, Mupenzi, tunakungoja, hamu ya kukuona ni kubwa ;

Tutakutana ndani ya hewa, taraja hii tamu : milele na wewe.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 262: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

259. YESU ATAKAPOKUJA TENA

1 Yesu atakapokuja tena kwa kutupeleka kwake,

Atatukuta tayari kweli, ta-a zetu zikinga-a ?

Ndugu, wewe ni tayari sasa kukutana naye

Bwana ?

Saa zote wewe ni mwaminifu?

Leo unatazamia yesu?

2 Atatuita na jina letu kusimama mbele yake;

Ukimutoa habari zako, atakuambia: “Vema”?

3 Hakose sisi ni waaminifu, tukitumikia Bwana?

Na roho safi tunangojea kuja kwake na furaha?

4 Heri ni wale wanaongoja kushiriki utukufu;

Yesu atakapo-onekana, watakwenda naye ju-u.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 263: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

260. BONDE LA MAUTI

1 Bonde la mauti halitakuwa siku Yesu atakaporudia,

Bonde la mauti halitakuwa, atatupokea kwake.

Atatupokea kwake kwa kuishi naye milele;

Tuta-acha dunia ya huzuni kupata furaha kwake.

2 Sikitiko halitakuwa kamwe siku Yesu atakaporudia,

Sikitiko halitakuwa kamwe, atatupokea kwake.

3 Na kilio hakitakuwa tena siku Yesu atakaporudia,

Na kilio hakitakuwa tena, atatupokea kwake.

4 Nyimbo za furaha tutamwimbia siku Yesu atakaporudia,

Nyimbo za furaha tutamwimbia, atatupokea kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 264: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

261. NINANGOJA ASUBUI

1 Ninangoja asubui, ndiyo siku ya baraka,

Siku taabu na huzuni zitakapokwisha pia;

Na pamoja na Mwokozi, mbali na dunia hii,

Nitashinda kumwabudu kwa milele.

2 Ninangoja utukufu, unanga-a toka mbali,

Wa Mwokozi wangu Yesu, ndiye “Nyota ya ’subui” ;

Katika mapambazuko nitaona nuru yake,

Na usiku utakwisha, taabu, zambi, na kuchoka.

3 Nitangoja Bwana yangu, aliyenikufilia;

Tamu ni ahadi yake, “Nitarudi kukuita”.

Kuja kwake ni karibu, ndiyo, ni karibu sana,

Hamu kwaye inazidi, hamu ya kufika kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 265: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

262. BWANA, NINAKUNGOJEA

1 Bwana, ninakungojea kwa kukutazama,

Bwana, ninakungojea kurudi kwa mimi.

Umekwenda mbinguni kunitengenezea

Nyumba nzuri mbinguni karibu na Baba.

2 Hapa ninaona woga, kuchoka kabisa,

Kweli siku ni karibu utakapokuja.

Kwako tu ni furaha, si machozi na taabu,

Utukufu mukubwa utakaporudi.

3 Hata sasa ninataka nikupe furaha,

Siku chache zinabaki kukutumikia.

Ninangoja kuona macho yako, Ee Bwana.

Shangwe kubwa kuzidi utakaporudi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 266: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

263. HAKOSE LEO TU

1 Hakose leo tu, tutaona Yesu Rafiki yetu,

Mwenye kuleta furaha, na mwisho wa taabu zote.

Tufurahi, Yesu atarudia ;

Tuishi kwa leo bila woga, kweli Mwokozi

tutamwona ; Tufurahi, Yesu atarudia.

2 Hakose leo tu, tutakwenda kwetu mbinguni juu ;

Tutafurahi kabisa, akitufikisha leo.

3 Tufazaike nini ? Tutashinda kwani Mwokozi wetu

Yuko pamoja na sisi kwa sasa na sikuzote.

4 Tuwe watoto wake waaminifu, tukimutumikia,

Tukihubiri habari za Yesu Mwokozi wetu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 267: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

264. YESU ATATAWALA HAPA

1 Yesu atatawala hapa katika mataifa yote,

Na kila mutu wa dunia atamutambua yeye Bwana.

2 Toka kusini, kaskazini, watainama kwake Bwana;

Hata wafalme na wajinga watasikia Neno lake.

3 Atatawala na salama, watu watamusifu Bwana,

Na watapenda jina lake kama malasi tamu sana.

4 Watu wa makabila yote wataimbia pendo lake;

Vile sauti za watoto zitabariki jina lake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 268: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

265. SIKU MWANA WAKE MUNGU ATAKAPORUDIA

1 Siku Mwana wake Mungu atakaporudi hapa

Tutaona utukufu wake wazi;

Ataita watu wake toka mataifa yote,

Makutano ya furaha ya waamini.

Makutano ya furaha,

Watu walioamini watakusanyika wote;

Makutano ya furaha

Ya waamini kwa mungini wa Mwokozi.

2 Na waliokufa mbele wakimusadiki Yesu,

Toka kimya ya kaburi na bahari,

Watapata mwili mupya, watakwenda nasi vile,

Makutano ya furaha ya waamini.

3 Macho yetu yataona muji wetu kwa mbinguni,

Vile muto ukitelemuka kimya;

Na rafiki tutaona waliotutangulia,

Makutano ya furaha ya waamini.

4 Ee Mufalme anakuja, atarudi mbio sana,

Siku ya ahadi yake tutaona;

Tutabadilishwa mbio, kama kupepesa macho,

Kwa milele tutaka-a na Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 269: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

266. WANANIAMBIA HABARI ZA MBINGUNI

1 Wananiambia habari za mbinguni,

Wanasema nyumba nyingi ni kule,

Wanasema ni pahali pazuri sana,

Wananiambia ju-u ya mbingu.

Inchi ile nzuri sana,

ni mungini wa Mungu Mwenyezi;

Wananiambia ju-u ya nyumba yangu

Inayoningoja pale mbinguni.

2 Wananiambia kwamba rafiki wengi

Wananingojea sana mbinguni;

Kule muto wa uzima wenye kungaa

Unatoka kiti cha Mungu Baba.

3 Wananiambia Mufalme yuko pale,

Nitamutazama uso kwa uso;

Wala laana haitakuwa tena kweli

Kwa mungini wa zahabu mbinguni.

4 Wananiambia Yesu atapangusa

Kila chozi la watoto wa Mungu;

Wanasema taabu haitakuwa tena,

Ni furaha tu pahali pa mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 270: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

267. KUNA MUJI MUZURI MBINGUNI

1 Kuna muji muzuri mbinguni, kwa imani tunautazama,

Baba Mungu anapotungoja kwa furaha kutukaribisha.

Tutaona Yesu Bwana, vile ndugu waliomwamini,

Tutaona wao wote kule mbingu, pahali pa Mungu.

2 Tutaimba kwa muji wa ngambo nyimbo za wenye

kubarikiwa;

Taabu itaondoshwa kwa roho, ustarehe pasipo kulia.

3 Kwa mapendo ya Baba wa mbingu na baraka anazozitupa,

Tutapiga asante ya kweli, vile tutamusifu milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 271: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

268. IMBA PENDO LA MWOKOZI

1 Imba pendo la Mwokozi, imba neema na rehema;

Anatengeneza nyumba pa’li tutakapoishi.

Tutakwenda mbinguni, tutaimba na kumusifu

Yesu!

Tutaona Bwana, tutamwimbia Haleluya!

2 Wasafiri duniani, sisi watu wa mbinguni;

Kisha tutafika kwake, tuta-acha taabu zote.

3 Ndungu, tuwe waaminifu, kila siku, kila saa;

Tutakapo-ona Yesu, taji zetu tutapata.

4 Twende mbele, tutumike, tutamutazama ju-u;

Mbingu zitafunguliwa; kwa milele tumusifu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 272: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

269. NINATAZAMA MBINGU MBALI

1 Ninatazama mbingu mbali, ninaona kwa imani,

Muji ule ni muzuri, safi kama bilauri.

Ee, muji ule wa mbinguni, muji ule ni muzuri,

Kule kuna nyumba nyingi, zinangoja kwa

waamini ;

Nina hamu ya kufika, kwa milele kupumzika.

2 Misingi ya ukuta wake mawe ya bei ya damani;

Njia yake ni zahabu safi kama kioo wazi.

3 Hauhitaji jua wala mwezi kuangaza pale,

Kwa ma-ana nuru iko utukufu wake Mungu.

4 Na kila kitu cha uchafu hakitaingia kamwe,

Wale walioandikwa kwa Kitabu watakuwa.

5 Na watumishi wake Mungu wataona uso wake,

Na watatawala naye kwa milele na milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 273: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

270. EE FURAHA KUONANA

1 Ee furaha kuonana na Mwokozi wangu Kristo,

Kutazama uso wake aliyenikufilia!

Nitaona uso wake kule mbingu kwa milele;

Nitaona Mukombozi, utukufu wake wote!

2 Sasa macho yanaona nusu tu katika giza ;

Kule nitaona wazi utukufu wa Mwokozi.

3 Shangwe gani kwake Yesu ! Taabu yote itakwisha,

Yote itatengenea, nuru itashinda giza.

4 Nitaona uso wake, nitajua Bwana wangu,

Aliyenipenda sana, Mukombozi Yesu Kristo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 274: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

271. SIKU ZANGU ZITAKAPOTIMIA

1 Siku zangu zitakapotimia hapa chini,

Nitaona asubui ya uzima,

Nitaona mbinguni Mukombozi wangu Yesu,

Na “Karibu” yake nitasikia.

Nitamutambua Yesu, na karibu naye nitabakia,

Nitamutambua Yesu kwa alama za majeraha yake.

2 Itakua furaha kutazama uso wake

Na uzuri wa kutoka macho yake;

Moyo utafurika kwa uheri na furaha

Kwa pahali aliponifanyizia.

3 Na walio mbinguni wananigojea kwao,

Nakumbuka siku tulipoachana;

Wataimba kabisa kunikaribisha kule,

Hata hivi nitamwona Yesu kwanza.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 275: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

272. KUNA MUJI KULE MBINGU

1 Kuna muji kule mbingu, umejengwa naye Mungu,

Pale muto wa uzima ni karibu na kiti cha Mungu.

Tutakusanyika ngambo

kuona Bwana wetu Yesu Kristo ;

Tutakusanyika na waamini kusifu Mwokozi milele.

2 Kule ngambo inchi nzuri, bila zambi na huzuni,

Nyimbo mpya tutaimba, nyimbo kusifu Yesu Mwokozi.

3 Wenye lugha mbalimbali wataabudu Mukombozi.

Makabila ya dunia watasifu Mwokozi pamoja.

4 Sasa sisi ni karibu kutazama muji ule ;

Mungu atatupa raha na kutufurahisha milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 276: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

273. TUTAFUFUKA KUSIMAMA

1 Tutafufuka kusimama mbele yake Bwana Yesu;

Habari zetu tutatoa kwake kwa matendo yetu.

Nitaonekana mbele yake, jina langu litaitwa naye;

Sita’gopa, ninaamini damu ya Mwokozi Yesu.

2 Nitapokea taji ya uzima mikononi mwake;

Nitaitupa mbele yake Yesu anayestahili.

3 Tutakutana kwa milele pale, taabu itakwisha;

Mizigo tuta-acha kwa miguu ya Yesu Mukombozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 277: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

274. KUNA MUJI WA FURAHA

1 Kuna muji wa furaha mbali, mbali sana;

Wenye kuamini Bwana watakwenda pale.

Tutaimba kwa milele sifa kwa Yesu Mufalme

Anayestahili yote, sifa, sifa kwake.

2 Kuja ku-ungana nasi, unangoja nini ?

Usibishe Yesu hivi, kuja kumwamini.

Tutakuwa na uhuru toka zambi, toka taabu,

Tutaishi naye Yesu, tutabarikiwa.

3 Kule Baba anachunga watu kwa mapendo,

Hivi tukimbie sana, tuna mashindano.

Atawapa wote taji, wenye kumufuata kweli,

Na tutatawala naye kwake kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 278: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

275. TUWAZE MUNGINI WA MBINGU

1 Tuwaze mungini wa mbingu,

ndiyo ngambo ya muto wa nuru,

Watu watakatifu ni kule,

wanavikwa mavazi meupe.

:: Kule ngambo, kule ngambo, tuwaze mungini wa mbingu ::

2 Tuwaze rafiki kwa mbingu,

walitutangulia zamani,

Wataishi karibu na Mungu,

pale wanamwabudu daima.

:: Kule ngambo, kule ngambo, tuwaze rafiki kwa mbingu::

3 Tuwaze Mwokozi wa mbingu,

alikufa na alifufuka;

Sasa anatungoja tufike,

tutamufurahia na shangwe.

:: Kule ngambo, kule ngambo, Tuwaze Mwokozi wa

mbingu::

4 Saa tutakapofika kule

ni karibu, na tutaonana

Na rafiki na ndugu za ngambo,

pamoja na Yesu Mwokozi.

:: Kule ngambo, kule ngambo, tuwaze furaha ya mbingu ::

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 279: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

276. JESHI KUU LA MALAIKA

1 Jeshi kuu la malaika wali-imba kule mbingu,

Utukufu kwake Mungu, na salama kwa dunia.

Kila mutu amusifu na kumutukuza sana;

::Tuheshimu Yesu Kristo yeye ndiye Mukombozi::

2 Ee kujeni tumwabudu, ni Mufalme wa wafalme;

Mungu, Baba ya mapendo, alituma Mwana wake.

Alikuwa kama Mungu, alikuja kama mutu;

:: Alitoka kule mbingu kuokoa watu wote::

3 Mushango wa ajabu, Mungu amefika huko;

Ametupa nuru yake na uzima na wokovu.

Aliacha utukufu na alijinyenyekeza,

::Kristo, Mwana wake Mungu, yeye Bwana wa mbiguni ::

4 Leo malaika ju-u wanafurahia Yesu

Sisi tumwabudu vile, yeye tu anastahili.

Tuiname kwake Yesu, yeye pekee ni Mwokozi;

:: Sifa iwe kwake Mungu, yeye Bwana wa milele ::

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 280: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

277. MALAIKA ZA MBINGUNI

1 Malaika za mbinguni walitoka kwake Mungu,

Walikuja kutangaza kuzaliwa kwa Mwokozi.

Tuabudu, tuabudu Yesu Kristo Mukombozi.

2 Wachungaji walichunga kundi lao kwa usiku;

Waliona nuru kubwa ikinga-a toka mbingu.

3 Wa-akili toka mbali walifuata nyota yake;

Walikuja na zawadi kuabudu Yesu Kristo.

4 Kwa mutima wako kweli Kristo ni Mufalme vile?

Kila siku na mapendo unatumikia Yesu?

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 281: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

278. EE MUJI WA BETELEHEMU

1 Ee muji wa Betelehemu, unalala kimya,

Na nyota nyingi kule mbingu kimya zinapita;

Kwa ndaki zako nuru ya mbingu inanga-a;

Linatimizwa kwako leo tumaini lote.

2 Maria aliza-a Bwana Yesu kwa usiku,

Na malaika walikuja na habari tamu.

Ee, nuru kubwa gani ya nyota ilinga-a

Mbinguni kuonyesha pa’li alipozaliwa !

3 Zawadi kubwa sana Mungu alituletea

Kwa saa alipotutumia Mwana wake hapa;

Atapokea wote wanaomusadiki,

Anafurahi kuingia kuondoa zambi.

4 Mutoto wa Betelehemu, tunaomba sana,

Ondoa zambi na kuosha roho zetu sasa ;

Ukae ndani yetu, kubaki sikuzote,

Rafiki, Mufariji, na Mufalme kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 282: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

279. TUNAFURAHI LEO

1 Tunafurahi leo, tunasifu Mungu sana,

Kwa maana alitukumbuka na kutoa Bwana

Aliyekuja kuokoa watu wenye zambi.

Sikieni habari za faraja, vile furaha ;

Ni Habari Njema ya Mwokozi Yesu.

2 Usiku wachungaji walilinda kundi lao,

Tazama, malaika alionekana kwao;

Waliogopa sana wakiona nuru kubwa.

3 “Musiogope”, malaika aliwa-ambia,

“Habari za furaha ninawaletea ninyi;

Amezaliwa kwenu leo Kristo ndiye Bwana.”

4 Na wachungaji waliacha kundi, wakisema,

“Ee, twende zetu kwa haraka kwa Betelehemu,

Tuone neno hili lililofanyika leo.”

5 Walipofika wakakuta mama na Mutoto

Aliyelala kwa sanduku iliyo ya nyama;

Wakatukuza Mungu, wakamushukuru sana.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 283: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

280. NYUMBANI MWA NGOMBE

1 Nyumbani mwa ngombe kwa Betelehemu,

Mutoto wa Mungu alipozaliwa;

Kwa nyasi Maria alimulalisha,

Na jeshi la mbingu walimutukuza.

2 Na hakuogopa kulia kwa ngombe,

Mutoto wa Mungu alilala kimya.

Ee ninakupenda kabisa, Mwokozi;

Bakia karibu na mimi saa zote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 284: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

281. FURAHA KUBWA KWA DUNIA

1 Furaha kubwa kwa dunia, Mufalme amekuja!

Na tumufungulie mioyo aingie,

Yeye Mufalme wetu, Yeye Mufalme wetu

Mufalme na vile Bwana wetu.

2 Furaha kubwa kwa dunia, Mwokozi ni Mufalme!

Viumbe vyake vyote, imbeni sifa kwake.

Musifu na furaha, Musifu na furaha,

Musifu na wimbo wa furaha.

3 Masikitiko yatakwisha, na laana la dunia!

Kusudi lake Bwana kutubariki sana,

Na kuondosha zambi, na kuondosha zambi,

Kusudi ni kuondosha zambi.

4 Anatawala na rehema, na haki na mapendo!

Tunashanga-a sana kwa pendo lake Bwana,

Na utukufu wake, Na utukufu wake,

Mapendo na utukufu wake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 285: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

282. KUNA WIMBO MUZURI

1 Kuna wimbo muzuri, kuna nyota mbinguni,

Kwa sababu Maria anaza-a mutoto ;

Nyota hii inanga-a katika usiku

Kwani amezaliwa Mwokozi Mufalme.

2 Kuna shangwe kabisa kwa usiku wenyewe,

Maana Yesu mutoto ni Mwokozi wa watu;

Ndiyo, nuru ya nyota ’nanga-a vizuri

Kwani amezaliwa Mwokozi Mufalme.

3 Nuru ya nyota ile, tangu siku ya kale,

Inanga-a katika roho za wa-amini ;

Vile wanafurahi kwa wimbo muzuri,

Kwani amezaliwa Mwokozi Mufalme.

4 Tunaifurahia nuru ya nyota ile,

Tunaimba pamoja na majeshi ya mbingu ;

Kwa habari za Yesu tunashangilia,

Kwani amezaliwa Mwokozi Mufalme.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 286: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

283. KUJENI KUSIFU NA FURAHA

1 Kujeni kusifu na furaha nyingi,

Kujeni kusifu Yesu ndiye Mwokozi;

Alizaliwa kuwa Mukombozi.

Kujeni kumwabudu, kujeni kumwabudu,

Kujeni kumwabudu Yesu Mwokozi.

2 Bikira Maria aliza-a Yesu,

Ni Mwana wa Mungu, vile Mwana wa mutu;

Aliondoa utukufu wake.

3 Pamoja na jeshi la mbinguni ju-u

Tusifu na kuabudu Yesu daima ;

Mwana wa Mungu anapata mwili.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 287: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

284. KWA USIKU WA ZAMANI

1 Kwa usiku wa zamani, yote kimya, takatifu,

Mama na Mutoto Yesu walilala kwa kizizi,

Na salama ya mbingu, na salama ya mbingu.

2 Kwa usiku wa zamani, wachungaji waliona

Nuru kubwa kule mbingu, malaika wakasifu,

Haleluya kwa Mungu, Haleluya kwa Mungu!

3 Kwa usiku wa zamani, wa-akili toka mbali

Walifuata nyota kubwa kutafuta Bwana Yesu.

Wakileta zawadi, wakileta zawadi.

4 Kwa usiku wa zamani, Mungu, tunakushukuru ;

Kwa mapendo ya ajabu, ulituma kwetu Yesu

Kuokoa dunia, kuokoa dunia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 288: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

285. ULIACHA MBINGUNI NA UTUKUFU

1 Uliacha mbinguni na utukufu

Kufika dunia kwa mimi,

Saa ulipozaliwa kwa Betelehemu

Nafasi hukuipata.

Ingia moyoni mwangu,

Bwana, nina nafasi kwawe.

2 Malaika za mbingu walikusifu,

Mufalme mukubwa wa mbingu,

Ulijifanya kuwa bila utukufu,

Na ulijinyenyekeza.

3 Mbweha wana matundu, na ndege vile

Kwa miti vioto vyao;

Kwawe Mwana wa Mungu, sanduku ya nyama

Ni kama kitanda chako.

4 Ulikuja na neno lenye uzima

Kwa kutufungua sisi ;

Watu walikufunga na kukupeleka

Kwa kufa musalabani.

5 Kisha siku nyingine utarudia,

Mufalme wa utukufu ;

Utani-ita kwako, ukiniambia :

‘‘Mbinguni nafasi iko’’ NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 289: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

286. KULE MUJI WA DAUDI

1 Kule muji wa Daudi pa’li pa kulisha nyama,

Mama alimulalisha Mwana wake na mapendo;

Mama yule ni Maria, Mwana wake Yesu Kristo.

2 Yesu aliacha mbingu, akakuja duniani,

Nyumba yake, zizi bule; na kitanda chake, nyasi;

Alikuwa masikini na munyenyekevu sana.

3 Siku za utoto wake, vile siku za ujana,

Mwana wa kusikiliza, aliti-i mama yake;

Na watoto wa-amini wanapaswa kuwa hivi.

4 Alikwenda pa’li pote, akifanya kazi njema,

Naye akawaponyesha watu wengi wa ugonjwa;

Akakufa kwa Kalvari kwa ajili yetu yote.

5 Tutamwona waziwazi, kwani ametukomboa;

Mwana yule ni Mwokozi, vile Bwana wa wabwana;

Naye anatuongoza hata atakaporudi.

6 Hatutamukuta tena pa’li pa kulisha nyama;

Tutamwona kule mbingu, Bwana mwenye utukufu;

Kama nyota watu wake watamuzunguka wote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 290: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

287. YESU AMEFUFULIWA

1 Yesu amefufuliwa, Haleluya!

Tumusifu sisi sote, Haleluya!

Mufurahi, ’mutukuze, Haleluya!

Malaika, mumwimbie, Haleluya!

2 Yesu ametuokoa, Haleluya!

Kazi yake imekwisha, Haleluya!

Mushindaji wa Shetani, Haleluya!

Tunamutolea sifa, Haleluya!

3 Jiwe halikumufunga, Haleluya!

Alitoka kwa kaburi, Haleluya!

Hakushindwa na mauti, Haleluya!

Alivunja nguvu yake, Haleluya!

4 Yesu ni Mufalme mwema, Haleluya

Yeye hai kutuombea, Haleluya !

Tutamwona kule ju-u, Haleluya !

Tutakuwa kama Yesu, Haleluya !

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 291: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

288. YESU ALIPOLALA

1 Yesu alipolala kati’ kaburi,

Giza lilifunika Yesu Mwokozi.

Alifufuka hakika, akavunja nguvu ya mauti;

Mushindaji ju-u ya mamlaka yote

Ni Mufalme wa milele na milele;

Alikuwa amekufa, na tazama, amefufuka!

2 Walinzi wa kaburi walikimbia;

Muhuri na vifungo vilivunjika.

3 Kufa hakukushika maiti yake,

Alilivunja pingu, Yesu Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 292: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

289. MWOKOZI ANAISHI

1 Mwokozi anaishi, ni hapa duniani;

Ni neno la hakika, ni neno la furaha

Ananihurumia, ananifurahisha,

Aa anaka-a karibu siku zote.

Mwokozi ni hai, ni hai kwa milele,

Anatembea nami kwa safari yangu yote ;

Mwokozi ni hai, tayari kuokoa,

Na ninajua namna gani? Ni hai moyoni mwangu!

2 Ananipenda kweli na kunichunga sana,

Na hata ninachoka, nadumu kumufuata;

Katika mambo yote Mwokozi ndiye Bwana,

Kufika siku atakaponitwa-a.

3 Nasi Wakristo wote, tusifu sikuzote,

Tuimbe Haleluya kwa Kristo na Mufalme;

Anapokea wote wanaofika kwake,

Hakuna anayependa kama yeye.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 293: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

290. KRISTO ALIACHA UTUKUFU

1 Kristo aliacha utukufu kufika dunia yenye zambi,

Alivikwa taji ya mi-iba, na alinilipia deni yote.

Yeye ni hai, yeye ni hai,

Amezishinda zambi na kaburi ;

Yeye ni hai, yeye ni hai,

Atarudia kwami.

2 Mushindaji alitoka kufa, na alirudia mbingu kwake;

Atakuja tena kunitwala, ili niende na kuishi naye.

3 Wewe unayesumbuka sana, Mwokozi anakuita sasa,

Uamini Yesu kupokea kwake uzima, shangwe, na salama.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 294: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

291. NAJUA YESU ANAISHI

1 Najua Yesu anaishi, yeye ni hai mbinguni kweli;

Sababu alishinda kufa, vile uwezo wa kaburi.

Najua Yesu anaishi, yeye ni hai mbinguni kweli;

Najua Yesu ananipa uzima na uwezo wake.

2 Najua atakuja tena, nina ahadi yake hivi;

Na siku nitakapomwona furaha itakuwa nyingi.

3 Najua anatengeneza pahali nitakapoishi;

Na atakuja kuni-ita na kunikaribisha kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 295: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

292. KWAKO HESHIMA

1 Kwako heshima, Kristo Mushindaji,

Kwako utukufu, sifa kwa milele.

Toka kwako mbingu yule malaika

Alifingirisha jiwe la karibu.

Kwako heshima, Kristo Mushindaji,

Kwako utukufu, sifa kwa milele.

2 Tazama Yesu akishida kufa,

Yeye ni Mwokozi, yeye Bwana yetu.

Wenye kuamini, mutangaze wazi

Neno lake Kristo ndiye Mushindaji.

3 Sitaogopa, Yesu anaishi

Ninayemupenda, Bwana ya salama.

Ninashinda naye kwa uwezo wake;

Yeye ni uzima, utukufu wangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 296: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

293. RAFIKI WA WATOTO

1 Rafiki wa watoto ni Kristo Bwana Yesu,

Hawezi kugeuka, ni sawa kila siku;

Rafiki za dunia wanageuka sana,

Rafiki ndiye Yesu ni sawa tu daima.

2 Pumziko kwa watoto ni kwake Baba Mungu,

Wenye kupenda Yesu wataingia mbingu;

Mateso, maumivu, na zambi zitakwisha,

Furaha itazidi karibu naye Baba.

3 Na nyumba kwa watoto ni kwa mungini wake,

Anatawala kule na shangwe na salama;

Na hapa duniani si kama kwake kule,

Pahali pa furaha kwa wenye kumwamini.

4 Na taji kwa watoto kuva-a kule mbingu

Ni taji ya kunga-a, na vile utukufu,

Mwokozi atawapa watoto waminifu,

Wenye kupenda Bwana na wenye kumutii.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 297: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

294. YESU ANAPENDA KWELI

1 Yesu anapenda kweli, Neno lake linasema;

Yeye ndiye mwenye nguvu, sisi sote ni zaifu.

Ananipenda, ananipenda ;

Ananipenda, Biblia inasema.

2 Anapenda, alikufa kwa kuniokoa kweli;

Ataosha moyo wangu ni-ingie muji wake.

3 Na anatupenda sawa saa ya afya na ugonjwa ;

Anachunga kila siku watu wake kwa dunia.

4 Anapenda, atakuwa Mungu wangu sikuzote ;

Nikipenda Yesu kweli, atanipeleka kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 298: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

295. NINAFURAHI SABABU MWOKOZI

1 Ninafurahi sababu Mwokozi

Anataganza mapendo kwa wote;

Ni mushangao mukubwa zaidi,

Ananipenda mwenye zambi nyingi.

Ninafurahi ananipenda,

Yesu Mwokozi ananipenda,

Ninafurahi ananipenda,

Ananipenda mimi.

2 Kama nikimusahau Mwokozi

Na nikikwenda kwa njia nyingine,

Saa nitakapokumbuka mapendo,

Nitarudia karibu na Mungu.

3 Wimbo mumoja tu nitamwimbia

Nitakapomutazama Mupendwa,

Nitamwimbia Mwokozi milele :

‘‘Ulinipenda-ajabu la kweli !”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 299: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

296. YESU ANATAKA TUNGAE

1 Yesu anataka tungae kwetu

Kama ta-a ya kuwaka kwa usiku;

Giza linazidi duniani huko;

Wewe nga-a kwako na mimi kwangu.

2 Yesu anataka tungae safi,

Tusiache kitu kupunguza nuru;

Anatutazama toka kule mbingu,

Wewe nga-a kwako na mimi kwangu.

3 Yesu anataka tungae kwaye

Watu wengi wasikie Neno lake;

Na watoke giza kuingia nuru,

Wewe nga-a kwako na mimi kwangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 300: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

297. BWANA YESU ATAKUJA

1 Bwana Yesu atakuja kutoka mbinguni,

Atawachukua wote wanaomwamini.

Kama nyota za mbingu watu wote wa Mungu

Watanga-a kwa Yesu Mwokozi milele.

2 Atawakusanya wote wanaomupenda,

Watakuwa mali yake milele mbinguni.

3 Na watoto watakuwa pamoja na Yesu,

Watanga-a kama nyota nyumbani mwa Baba.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 301: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

298. WEKA MAKUSUDI MEMA

1 Weka makusudi mema bila kuogopa,

Usimame kwa imara kama Danieli!

Uwe muhodari kama Danieli!

Weka makusudi mema bila kuogopa!

2 Wenye woga hawawezi kuingia mbingu;

Nyosha tu bendera yake, endelea mbele.

3 Watumishi wa Shetani wanashindwa sana,

Wakikuta jeshi la askari za imani !

4 Endelea kwa kushinda, Yesu ni Mufalme!

Taji ya uzima utapata pale kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 302: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

299. YESU MWOKOZI NATAKA

1 Yesu Mwokozi nataka ningae kila siku,

Nimupendeze kabisa kwa kazi na michezo.

Ningae, ningae, Yesu ’nataka ningae;

Ningae, ningae, mimi ni ta-a kwa Yesu.

2 Yesu Mwokozi ’nataka nipende Mungu sana,

Na kuonyesha mapendo kwa watu wote hapa.

3 Yesu Mwokozi ’nataka nitumikie Mungu;

Hata mutoto ’naweza kumupendeza Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 303: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

300. YESU ANA PENDO KUBWA

1 Yesu ana pendo kubwa kwa watoto wa dunia,

Anapenda kuwabarikia sana;

“Usiwazuize kamwe”, alisema, “waje kwangu”,

Kwani yeye ni Mwokozi wa watoto.

Yesu ana pendo kubwa kwa watoto wa dunia,

Hata wa kabila gani, wote ni wenye damani,

Yesu ana pendo kubwa kwa watoto.

2 Yesu aliwakufia pale juu ya musalaba,

Alimwanga damu kuwaosha;

Mutu anayeamini anaokolewa naye,

Na atawachunga wote kwa mapendo.

3 Watu elfu wanakufa kila siku bila Yesu.

Wengi wa watoto hawajasikia;

Omba Mungu, vile kwenda, wasikie Neno jema

La wokovu na furaha ya mbinguni.

4 Tutangaze Neno lake hata linafika pote,

Inchi zote za dunia zisikie;

Kila lugha na kabila wafundishwe wimbo bora

Na mbinguni watasifu Mukombozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 304: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

301. ZAMANI MWOKOZI ALIWAKARIBISHA

1 Zamani Mwokozi aliwakaribisha

Watoto wote na furaha, akawabariki;

Alikemea wanafunzi, akasema kwa mapendo:

“Acha watoto wadogo kuja kwangu.”

2 “Watoto wadogo ninawapenda sana,

Nitawachunga kama Muchungaji wa kondoo;

Na wakinipa roho zao, nitawaokoa wote,

Acha watoto wadogo kuja kwangu.”

3 Aliwapokea na pendo na furaha,

Mikono yake aliweka ju-u yao wote;

Na alitaka wafahamu anapenda kila mutu,

“Acha watoto wadogo kuja kwangu.”

4 Mwokozi aliwaonyesha pendo kubwa,

Lakini hata sasa wengi hawamutambui,

Na hawajasikia bado kwamba Yesu ni Mwokozi,

“Acha watoto wadogo kuja kwangu.”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 305: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

302. BWANA, SASA URUHUSU

1 Bwana, sasa uruhusu watu wako kwenda kwao;

Umetufikisha hapa, umetubariki sana;

Umekusanyika nasi, kwenda nasi kwa mungini.

2 Tunakushukuru sana kwa baraka yako kubwa;

Ndani ya Kitabu chako umetufundisha roho;

Tukikwenda tukumbuke Neno tulilolipata.

3 Umepanda mbegu yako, sasa uitie maji ;

Hivi tutazaa matunda, utukuzwe ndani yetu ;

Utuchunge hata siku tutakapomwona Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 306: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

303. MUNGU AWE NANYI SIKUZOTE

1 Mungu awe nanyi sikuzote, awabarikie wote,

Awalinde kwa amani; Mungu awe nanyi sikuzote.

Mungu awe nanyi daima,

hata mwisho wa safari yenu;

Mungu awe nanyi daima,

hata tuonane kule mbingu.

2 Mungu awe nanyi sikuzote, awalishe, awatunze

Chini ya mabawa yake; Mungu awe nanyi sikuzote.

3 Mungu awe nanyi sikuzote, awe ngabo yenu kubwa

Katikati ya hatari; Mungu awe nanyi sikuzote.

4 Mungu awe nanyi sikuzote, atukutanishe tena,

Ama kwetu, ama kwake; Mungu awe nanyi sikuzote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 307: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

304. MUMUFANYIE BWANA SHANGWE

1 Mumufanyie Bwana shangwe,

Ee ninyi inchi zote pia;

Mutumikie kwa furaha,

Kuimba sifa mbele yake.

2 Mujue Bwana ndiye Mungu,

Ni yeye aliyetu-umba;

Kwa hivi sisi watu wake,

Kondo-o za malisho yake.

3 Mwingie malangoni mwake

Na katika viwanja vyake;

Mumushukuru na kusifu,

Na kubariki jina lake.

4 Kwa kuwa Bwana ndiye mwema;

Rehema yake ya milele,

Uaminifu wake vile

Ni kwa vizazi na vizazi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 308: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

305. NITASIFU MUKOMBOZI

1 Nitasifu Mukombozi na mapendo yake kwami,

Aliyenikufilia kuondosha laana kwangu.

Nitasifu Mukombozi; damu yake alimwanga

Kwa kunisamehe zambi na kulipa deni yangu.

2 Nitawahubiri wote Neno la Mwokozi wangu ;

Kwa mapendo na rehema Yesu alinikomboa.

3 Nitasifu Mukombozi kwa sababu ya uwezo;

Kweli ameshinda na mauti na Hadeze.

4 Nitaimba na kusifu pendo lake kubwa kwami;

Nimepita toka kufa, nimepata kuokoka.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 309: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

306. ASANTE, EE MUNGU

1 Asante, Ee Mungu, kwani ulitupenda

Na kutuma Mwokozi kutukufilia.

Haleluya, utukufu! Haleluya kwa Mungu!

Haleluya, utukufu kwa Mungu Mujuu!

2 Asante, Ee Mungu, kwa sababu ya Roho

Anayetuongoza kwa njia ya nuru.

3 Asante na sifa kwa Kondo-o wa Mungu,

Ndiye aliyekufa kwa ’jili ya watu.

4 Ee Mungu, ujaze kila moyo na pendo,

Roho zetu ziwake na moto wa mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 310: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

307. NAPENDA KUSIKIA

1 Napenda kusikia jina la Mwokozi Yesu;

Ni tamu sana kila mara, linapita yote

Ee, ninamupenda, Ee, ninamupenda.

Ee, ninamupenda, aliyenipenda kwanza.

2 Napenda jina la Mwokozi aliyenipenda,

Aliyemwanga damu yake kwa kuniokoa.

3 Napenda jina lake Yesu anayenichunga,

Na kutimiza mahitaji yangu sikuzote.

4 Napenda jina lake Yesu anayefariji,

Anayebeba taabu yangu na kunisaidia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 311: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

308. SIFURAHI KWA MALI YA DUNIA

1 Sifurahi kwa mali ya dunia, Ee Bwana ;

Ninataka kujua kweli mimi ni wako ;

Na katika Kitabu cha ufalme wa mbingu

Jina langu ni kule ? Ninataka kujua.

Jina langu ni kule kwa Kitabu cha Mungu ?

Jina langu ni kule ? Ninataka kujua.

2 Zambi zangu ni nyingi, zinazidi kabisa ;

Damu yako, Mwokozi, inatosha kwa mimi.

Ni ahadi ya Mungu : ‘‘Zambi zenu nyekundu zitakuwa

nyeupe hata kama theluji.’’

3 Ninajua mbinguni nyumba zetu ni nyingi,

Mungu anazochunga kwa wenye kuamini.

Ninaamini Mwokozi, zambi zimesafishwa;

Jina langu ni kule, ninajua kabisa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 312: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

309. HATA TANGU ZAMANI

1 Hata tangu zamani (3), tuna Neno lake Yesu.

Neno lake ni kweli (3), Neno lake Bwana Yesu.

2 Alitoka mbinguni (3), kwa kutuokoa wote.

3 Yeye mutakatifu (3), ndiye Mwana wake Mungu.

4 Alikufa kwa zambi (3), hata zambi zetu zote.

5 Alitoka kaburi (3), naye alishinda kufa.

6 Alikwenda mbinguni (3), kwa kutengeneza pa’li.

7 Atarudi upesi (3), kwa kutupeleka kwake.

8 Mungu atapokea (3), wenye kumwamini Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 313: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

310. NINAKUOMBA, MUNGU BABA

1 Ninakuomba, Mungu Baba, unisikilize,

Kwa maana sina Musaidizi ila wewe pekee.

Nina-amini kweli Yesu alikufa kwami,

Na damu yake inanifungua toka zambi.

2 Mapigo megi Yesu alivumilia kwami;

Kwa ajili yangu alibeba hata musalaba.

3 Na sasa kazi yangu moja ni kumupokea;

Mwokozi alifanya yote kwa kuniokoa.

4 Ee Yesu, ninakuamini, ninakupokea;

Na ninapata kwako tu uzima wa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 314: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

311. UTAZAME BWANA YESU

1 :Utazame Bwana Yesu, aliyechukua zambi:

:Aliteswa kabisa, akavumilia yote:

2 :Sasa kuja kwake Yesu, atakuokoa wewe:

:Alikufa kwa zambi, alimwanga damu yake:

3 :Kiri zambi zako kwake, na kufuata njia yake:

:Utapata uzima na furaha kwa milele:

4 :Ujitoe sasa kwake, kumutumikia pekee:

:Roho Mutakatifu atakupatisha nguvu:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 315: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

312. NINAKARIBIA SASA

1 Ninakaribia sasa musalaba wako, Bwana,

Mwenye zambi na zaifu, bila wewe sina kitu.

Sasa ninakuja kwako, ninaanguka mbele yako

Na unyenyekevu sana; Ee, uniokoe, Bwana.

2 Zambi zimenitawala, nimefugwa nazo sana;

Ninakusikia, Bwana, ukisema: “Kuja kwangu.”

3 Ninakutolea vyote–mali, ndugu, mwili, roho;

Ninatoa vyote kwako, ninataka kuwa wako.

4 Ninaamini damu yako kuniosha niwe safi;

Kweli unanipokea; Haleluya kwako, Yesu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 316: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

313. NINAKUSIKIA, BWANA

1 Ninakusikia, Bwana, unani-ita sasa

Kufika kwako nisafishwe kwa damu ya Mwokozi.

Ninakuja Bwana, ninakuja sasa;

Unioshe nisafishwe kwa damu ya Mwokozi.

2 Hata mimi ni muchafu, unipe nguvu yako,

Nipate kuwa safi kweli kwa damu ya Mwokozi.

3 Bwana Yesu anaita, nipate kwake vile

Imani, pendo, na salama, furaha na taraja.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 317: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

314. USIMAME NA PIGA BARAGUMU

1 Usimame na piga baragumu,

Unyanyue bendera ya Yesu;

Ujivike silaha za imani,

Kwenda kwa uwezo wake Mungu.

Kwenda mbele chini ya bendera,

Kila mutu awe muhodari;

Kwenda mbele, imba Haleluya!

Yesu Kristo ndiye Mushindaji.

2 Tusimame imara, tupigane

Kwa upanga wa Neno la Mungu;

Na zaidi ya yote tunatwaa

Ngabo ya imani kwa kushinda.

3 Mungu, sasa tunakuomba wewe,

Usaidie tushinde kabisa;

Kisha tutapumzika kwako, Baba;

Utaleta kila mutu taji.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 318: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

315. NIMEPATA SALAMA

1 Nimepata salama kutoka mbinguni,

Sasa ninapumzika kwa Yesu;

Na katika mateso na taabu ya hapa

Ninaona salama na kimya.

Nimepata salama, ni salama kutoka mbinguni;

Ni salama ya Mungu kulinda mioyo;

Ndiyo inayopita kusema.

2 Sina mali nyingine kupita salama,

Mungu aliyoleta kwa mimi;

Na salama hii mutu hawezi kutoa,

Itakuwa milele moyoni.

3 Sasa ninapumzika katika salama,

Kwa mikono ya Yesu Mwokozi;

Ninalala usiku pahali po pote,

Bila woga wa kitu cho chote.

4 Na wakati nitakapofika mbinguni,

Nitaona Mwokozi Mupenzi;

Nitapiga asante kwaye kwa salama

Iliyonituliza saa zote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 319: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

316. UKAE SIKUZOTE KWAKE YESU

1 Ukae sikuzote kwake Yesu,

Atakusaidia sana kabisa;

Utegeme-e pendo lake vile,

Naye atakuchunga.

Ukae saa zote kwake Yesu,

Kumbuka mapendo yake Mungu;

Ukimwamini atakushindisha;

Na utegeme-e Yesu.

2 Ukae sikuzote kwake Yesu,

Atakuongoza katika nuru;

Utii sauti yake kwa furaha,

Atakubarikia.

3 Ukae sikuzote kwake Yesu,

Uache mateso na taabu kwake;

Anafikili mahitaji yako,

Na atakusaidia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 320: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

317. NINAKUOMBA, YESU

1 Ninakuomba, Yesu, ndiwe Kondoo wa Mungu,

Wewe Mwokozi,

Sasa unisikie, vile unisafishe,

Unitakase niwe wako pekee.

2 Kwa neema yako kubwa unipe mimi nguvu

Kwa kazi yako;

Ulinikufilia, hivi mapendo kwawe

Yawake ndani yangu kama moto.

3 Dunia ina giza, mateso, na huzuni,

Uniongoze;

Ee, ufukuze giza, machozi upanguse;

Usiniache kukufuata mbali.

4 Siku ya kufa kwangu, ninapokwenda ngambo,

Sitaogopa;

Mikono ya mapendo itanibeba kwako,

Niwe pamoja nawe kwa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 321: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

318. NASIKIA, BWANA YESU

1 Nasikia, Bwana Yesu, unabarikia watu;

Ee, unikumbuke vile, unibarikie mimi;

Hata mimi, hata mimi, unibarikie mimi.

2 Bwana, usinipitie, hata nina zambi nyingi;

Ee, usiniache kamwe, uonyeshe neema kwami;

Hata mimi, hata mimi, uonyeshe neema kwami.

3 Bwana Yesu, Mukombozi, nina hamu kubwa sana

Kukutumikia pekee, sasa uni-ite mimi.

Hata mimi, hata mimi, sasa uni-ite mimi.

4 Pendo lako takatifu, damu yako ya damani,

Neema yako bila mwisho, yote unanipa mimi;

Hata mimi, hata mimi, yote unanipa mimi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 322: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

319. EE NINAKUPENDA

1 Ee ninakupenda, Mwokozi Mupenzi;

Kwawe nina-acha furaha ya zambi;

Kwa maana wewe ni wangu, nami mutu wako;

Ee, ninakupenda kupita vitu vyote.

2 Ee, unanipenda na sikukujua;

Ulininunua kwa bei ya damani ;

Kwami ulivikwa miiba kama taji yako ;

Ee, ninakupenda kupita vitu vyote.

3 Ee, nitakupenda kwa saa ya maisha,

Na nitakupenda kwa saa ya mauti;

Na saa nitakapofika kwako nitasema:

“Ee, ninakupenda kupita vitu vyote.”

4 Katika furaha na shangwe za mbingu,

Ninakutukuza kwa nyimbo za sifa;

Maneno makubwa nitakayoimba kwako;

Ee, ninakupenda kupita vitu vyote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 323: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

320. MAISHA NA MAPENDO YANGU

1 Maisha na mapendo yangu ninayatoa kwako, Bwana;

Na nitakuwa wako peke, Mwokozi, Mungu wangu.

Maisha yangu yawe yako,

uliyekufa kwami, Bwana;

Na kweli kwako nitapata furaha yangu yote.

2 Nina-amini unanipa uzima wako wa milele;

Kwa hivi nitaishi kwawe, Mwokozi, Mungu wangu.

3 Uliyekufa kwa Kalvari kuniokoa toka zambi,

Nataka kujitoa kwako, Mwokozi, Mungu wangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 324: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

321. NINAKUTOLEA, BWANA

1 Ninakutolea, Bwana, roho na maisha yangu;

Hii mikono yangu iwe kukutumikia pekee.

: Ninatoa yote, Yesu, niwe wako kwa milee:

2 Kwa migu-u yangu vile nitakwenda kuhubiri ;

Kwa sauti nitaimba sifa kwako tu daima.

3 Kinywa changu kitangaze Neno lako waziwazi;

Mali yangu iwe yako, sitanyima kitu kwako.

4 Unijaze moyo wangu na mapendo kwawe, Bwana;

Upoke-e mwili wote, niwe wako sikuzote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 325: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

322. BWANA YESU ANAITA WATU

1 Bwana Yesu anaita watu wake duniani;

Kwa sauti ya mapendo anaita: “Unifuate.”

2 Mali bule ya dunia si faida kwa milele;

Bwana Yesu anaita, akisema: ‘‘Unipende.’’

3 Katikati ya furaha, katikati ya huzuni,

Anadumu ku-uliza: ‘‘Utazidi kunipenda ?’’

4 Bwana Yesu anaita; tunapenda kusikia

Na kumupa roho zetu kumutumikia pekee.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 326: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

323. EE, YESU ATAKUJA TENA

1 Ee, Yesu atakuja tena katika mawingu,

Na sauti kubwa Bwana atashuka toka mbingu;

Macho yetu yataona utukufu wake Mungu;

Ee, Yesu atakuja!

Tutaona utukufu siku ya kuona Yesu;

Tutaimba Haleluya kwa Yesu ndiye Bwana!

2 Ee, Yesu atakuja tena kwa kutupokea;

Tutakwenda kwa mungini wake kule kwa mbinguni;

Atakuja na baraka, kweli tunamungojea;

Ee, Yesu atakuja!

3 Kwa maana Yesu alikufa kwa kutuokoa,

Tunapaswa kwenda sasa kuhubiri watu wote,

Hata wa-amini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi;

Ee, Yesu atakuja!

4 Ee, ndugu, wewe ni tayari kwa kuona Bwana?

Zambi zako zimesamehewa, unaamini damu?

Jina lako linaandikwa kwa Kitabu cha ufalme?

Ee, Yesu atakuja!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 327: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

324. MATESO MENGI DUNIANI

1 Mateso mengi duniani, hatuna nyumba nzuri hapa;

Lakini kule kwake Baba tutafurahi kwa milele.

Ee, Haleluya kwake Mungu,

sababu ninakwenda mbingu ;

Huzuni na machozi yangu

hayatakuwa tena ngambo.

2 Nilizaliwa bila kitu, muchafu, bule, na zaifu ;

Mutupu nilifika huku, mutupu nitarudi kule.

3 Ninasafiri duniani kufika muji wa mbinguni ;

Mwokozi alikwenda kule kutengeneza nyumba zetu.

4 Naona masumbuko mengi saa zote hapa duniani ;

Lakini kule ni furaha, nitapumzika kwake Baba.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 328: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

325. WACHUNGA WALILINDA KUNDI

1 Wachunga walilinda kundi la-o kwa usiku;

Tazama, malaika aliwatokea mbio,

Kutoka kwake Mungu.

2 Na utukufu wake Bwana ukawaangazia;

Wakaogopa sana wakiona nuru ile,

Wakashutuka kweli.

3 Na malaika yake Bwana akawa-ambia:

“Musiogope, kwani ninawaletea ninyi

Habari toka Mungu.

4 “Habari Njema ya furaha itakayokuwa

Kwa watu wote wa dunia, ninaleta kwenu

Habari Njema hii.

5 “Kwa maana mutajua leo tu amezaliwa

Katika muji wa Daudi kwa ajili yenu

Mwokozi Kristo Bwana.

6 “Na hii alama kwenu mutamwona kwa kizizi,

Amelalishwa kwa sanduku ya kulisha nyama;

Mutamukuta pale.”

(voir la suite sur la page suivante)

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 329: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

7 Kwa gaf’la makutano ya majeshi ya mbinguni

Walizunguka huyu malaika yake Bwana,

Na walisifu Mungu.

8 “Ee utukufu kwake Mungu, kule kwa mbinguni;

Salama duniani kwa wanaomupendeza;

Ee, sifa kwake Mungu.”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 330: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

326. WACHUNGA WALILINDA KUNDI

1 Wachunga walilinda kundi la-o kwa usiku;

Tazama, malaika aliwatokea mbio.

2 Na utukufu wake Bwana ukawaangazia;

Wakaogopa sana wakiona nuru ile.

3 Na malaika yake Bwana akawa-ambia:

‘‘Musiogope, kwani ninakuja na habari.

4 ‘‘Habari Njema ya furaha itakayokuwa

Kwa watu wote wa dunia ninaleta kwenu.

5 ‘‘Amezaliwa leo tu kwa muji wa Daudi

Mwokozi ndiye Kristo Bwana, kwa ajili yenu.

6 ‘‘Na hii alama kwenu mutamwona kwa kizizi,

Amelalishwa kwa sanduku ya kulisha nyama.”

7 Kwa gaf’la makutano ya majeshi ya mbinguni

Walizunguka malaika wakisifu Mungu.

8 “Ee utukufu kwake Mungu, kule kwa mbinguni;

Salama duniani kwa wanaomupendeza.”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 331: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

327. SIKU MATESO YATAKAPOKWISHA

1 Siku mateso yatakapokwisha,

Kule mbinguni nitakapofika,

Kuwa na Yesu Mwokozi karibu,

Hii ni furaha kupita kipimo.

Hii ni furaha, na utukufu,

Na utukufu, na utukufu,

Kuwa na Yesu Mwokozi karibu,

Hii ni furaha kupita kipimo.

2 Kwa maana nimeamini Mwokozi,

Nitamusifu daima mbinguni ;

Kumutazama kwa macho karibu,

Hii ni furaha kupita kipimo.

3 Ndugu wananingojea mbinguni,

Tutafurahi pamoja milele;

Yesu akinipokea karibu,

Hii ni furaha kupita kipimo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 332: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze
Page 333: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

NYIMBO ZA WOKOVU

ORDRE NUMERIQUE

ORDRE ALPHABETIQUE

PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA MUNGU

Page 334: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

1. E’ YESU MSHINDAJI WA GOLGOTHA

1 E YESU, Mshindaji wa Golgotha, twakusifu! Bendera ya

mapenzi ni alama ya kushinda. Ulichukuwa dhambi zetu

Juu ya msalaba wako. Twakuhimidi, Bwana na Mfalme!

Haleluya!

2 Twashinda na zaidi ya Kushinda kati' yote. Kwa damu yako,

Yesu, na Watuinua moyo. Katika vita na ’jaribu Twaipeleka

kwa furaha Bendera yako nzuri ya Kushinda kati’ vita.

3 Mbinguni Mkombozi ni Mkuu mwenye sifa. Aliondoa

dhambi kwa Kutufilia wote. Mwana Kondoo wake Mungu,

Umestahili kupokea Uweza, Utukufu na Heshima. Haleluya!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 335: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

2. KIJITO KIKO CHENYE DAMU

1 KIJITO kiko chenye damu Itokayo Mwokozi, Kiwaoshacho

wakosao :/: Na dhambi na uchafu. :/:

2 Msalabani mnyang’anyi Alikiona hima. Mnyonge mimi

kama yeye :/: Nitakasike pia! :/:

3 Mwokozi wetu, damu yako Daima ina nguvu Ya kuokoa

wenye dhambi :/: Wa makabila yote. :/:

4 Kijito hicho cha ajabu Ni tumaini langu. Upendo wako

nausifu, :/: Nasifu hata kufa. :/:

5 Nimeamini, naamini Uliyenifilia, Msalabani umetoa :/:

Maisha yako Yesu. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 336: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

3. KISIMA SAFI SANA CHATOKA MSALABA

1 KISIMA safi sana chatoka msalaba, Kimetufungukia,

chatusafisha vema. Twaweza kusikia sauti yake Yesu:

“Unifuate sasa kwa kiti cha neema!”

Kisima cha msalaba, Damu ya Yesu Kristo,

Chatusafisha sisi sote na dhambi na hatia.

2 Ufike, mwenye dhambi, kisima ni karibu! Uache dhambi

zako, upumzike hapa! Katika damu yake kabisa utapona,

Tazama msalaba, kisima kitokako!

3 Kisima hicho safi cha damu ya Mwokozi Kinatutia afya na

nguvu ya kushinda. Mfalme wetu, Yesu, tumhimidi tena!

Furaha yetu yote ni kushukuru Mungu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 337: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

4. USIKU KABLA YA KUTESWA

1 USIKU kabla ya kuteswa, Yesu Alikusanya wanafunzi wake;

Alifahamu kwamba saa yake Ya kutolewa ilikaribia.

2 Kwa roho aliona Gethsemane, Mateso yake na huzuni

nyingi; Zaidi alihofu saa ile, Ata’poachwa hata naye Mungu.

3 Alitamani saa ya Pasaka Pamoja na wapendwa wake huku.

Katika pendo lake kubwa sana Aliyashinda majaribu yote.

4 Akautwa’ mkate aka’mega, “Twaeni, mle, hu’ ni mwili

wangu!” Na akawapa wanafunzi wake. Wa heri kila mtu

’aminiye.

5 Ba’daye akawapa na kikombe, Na akasema: “Nyweni nyote

hiki! Ni damu yangu inayomwangika Kwa ondoleo la

makosa yote.’’

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 338: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

5. DHAHABU NA FEDHA HAZINIOKOI

1 DHAHABU na fedha haziniokoi, Hazina na mali haziponyi

roho, Lakini kwa damu ya Yesu Mwokozi Nimenunuliwa

nipate uhuru.

Nakombolewa pasipo mali, Kwa neema

nimeokoka! Ni bei ghali: kwa damu yake

Alilipa deni langu.

2 Dhahabu na fedha hazinilipii Madeni makubwa ninayo kwa

Mungu. Mwokozi alinikomboa kwa damu Nipate wokovu

nitoke dhambini.

3 Dhahabu na fedha haziufungui Mlango waku’karibia

Mwokozi, Lakini kwa damu nimeifikia Neema ya Mungu

aliye mkuu.

4 Dhahabu na fedha hazinifikishi Nyumbani mwa Mungu

niliyemwasia, Lakini nimekombolewa kwa damu, Kwa hiyo

nitachukuliwa mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 339: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

6. TWA’SIFU MUNGU KWA AJILI YA DAMU

1 TWA'SIFU Mungu kwa ajili Ya damu takatifu, Inayotosha

kuondoa makosa yetu yote.

2 Wakristo wanakusanyika Karibu ya kisima,

Hawapungukiwi kitu kamwe, Wakaa kwa Mwokozi.

3 Tuimbe duniani pote juu ya pendo kubwa, Kwa kuwa

tumefunguliwa kisima cha Golgotha.

4 Kisima hicho: Yesu Kristo; Na maji: damu yake.

Wasumbukao wastarehe, Waburudishwe hapa!

5 Na wenye dhambi wanaitwa Kwa wingi wa rehema, Na

wakosaji na maskini Wasaidiwa sana.

6 Tumeipata tunu kubwa, Neema kwa neema. Apokeaye fungu

lake, Ni mtu wa uheri.

7 Haleluya! Tuna’himidi Mwenyezi na Mwanawe na Roho

’takatifu pia. Haleluya! Amina.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 340: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

7. MWOKOZI AMEUTIMIZA WOKOVU

1 MWOKOZI ameutimiza wokovu Kwa neema kubwa, Na juu

ya mwamba wa Neno la Mungu Najenga imani.

Aliniokoa kabisa ! Kwa damu alinisafisha.

Ninamshukuru Mwokozi kwa sababu Alinikomboa

hakika!

2 Mzigo wa dhambi aliuondoa Kwa neema kubwa. Naona

furaha rohoni kabisa, Amani ya Mungu.

3 Naweza kukaa mweupe rohoni Kwa neema kubwa; Na Roho

ya Mungu inaniongoza Njiani daima.

4 Karibu na Yesu nalindwa salama Kwa neema kubwa. Ahadi

za Mungu zanipa furaha Iliyo kamili.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 341: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

8. YESU KRISTO ASIFIWE

1 YESU Kristo asifiwe! Alizichukua dhambi, Ne’ma inatoka

kwake kati’ damu. Umeosha moyo wako, Umekuwa safi,

huru, Umeondolewa dhambi kati’ damu?

:/: Kati’ damu:/: Umeosha moyo wako, umekuwa

safi, huru? :/: Kati’ damu:/: Umeondolewa dhambi

kati’ damu?

2 Ukilia, ukijuta, Dhambi hazitoki kamwe; Haki kweli

uta’pata kati damu. Mambo yakusumbuayo Yesu a’ondoa

mara, Unapata ukombozi kati’ damu.

3 Yesu atatuchukua Arusini mwake huko. Umevikwa nguo

safi kati’ damu? Je, wajenga ju’ ya mwamba, Moyo wako u

mzima, Unashinda kila saa kati’ damu?

4 Bwana Yesu asifiwe! Alitoa damu yake, Na kwa damu ya

thamani tutashinda. Asubuhi kubwa ile Vita itakapokwisha,

Tutaimba kwa furaha ju’ ya damu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 342: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

9. NAIAMINI DAMU YAKO

1 NAIAMINI damu yako Na msalaba wako, Yesu. Mwokozi

wangu wa pekee, Napata yote kwako.

Uliyoyaahidi Na’pata kwa imani. Huwezi kuniacha

mimi; Napata yote kwako.

2 Kwa damu nimetakasika, Na mto wa uzima wako Waniletea

nguvu tele, Napata yote kwako.

3 Nafungwa kwa upendo wako, Njiani unaniongoza, Na katika

hatari zote Napata nguvu kwako.

4 Ninakupenda, Bwana Yesu, Wanisikia niombapo, Wanipa

jibu la maombi, Napata yote kwako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 343: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

10. DAMU YAKO YENYE BARAKA

1 DAMU yako yenye baraka Inayotuosha makosa, Ilitoka

msalabani, Bwana Yesu, ulipokufa. Nastahili ’pata hukumu,

Na siwezi mimi kujiosha. Unioshe katika damu, Nipate kuwa

safi kabisa!

Safi, safi kweli, Safi, safi kweli! Unioshe katika

damu, Nipate kuwa safi kabisa!

2 Yesu, ulivikwa miiba, Kuangikwa juu ya mti. Ulivumilia

mateso, maumivu na majeraha. Ninataka kijito hicho,

N’ende na nikasafishwe sana! Unioshe katika damu, nipate

kuwa safi kabisa!

3 Baba, kweli nina makosa, Moyo wangu wa udhaifu ; Mimi

mwenye dhambi rohoni Nitaona wapi Mwokozi ? Yesu,

kwako msalabani Naja, ninakuamini sasa. Unioshe katika

damu, Nipate kuwa safi kabisa!

4 Bwana, nimefika karibu, Unilinde kwako milele! Ufungue

kila kikamba, Unijaze moyo mwenyewe! Na karibu ya

msalaba Nitakaa hata kufa kwangu. Unioshe katika damu,

Nipate kuwa safi kabisa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 344: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

11. IKIWA WANANIULIZA MSINGI WA UZIMA

1 IKIWA wananiuliza Msingi wa uzima, Je, twahitaji

kuongeza Kwa kazi yake Yesu? Kwa uhodari nitajibu:

“Msingi wangu ni wa nguvu, Ni damu yake Yesu Kristo,

Inanitosha sana.”

2 U mwamba wa zamani sana, Daima utadumu. Na hata siku

nita’kufa, nitautegemea. Nitakapoondoka huku, Nitaimbia

majeraha, Na damu ya Mwokozi wangu, Funguo la

mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 345: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

12. KWA BADALA YANGU KWELI

1 KWA badala yangu kweli Yesu alitoa damu. Mimi huru na

ni heri, Bwana Yesu asifiwe!

Yesu alinikomboa, lakini Si kwa dhahabu na mali

ya dunia; Bali damu ya Mwokozi ni malipo Kwa

ajili yangu, Haleluya!

2 Tu’inue msalaba, Hata wote wataona Mwana wake Mungu,

hapo Alitoa damu yake!

3 Dia kubwa, Yesu Kristo! Wingi sana wa upendo: Yesu

aliacha mbingu, Alitufilia sote.

4 Sitaweza kufahamu Bei ya wokovu wangu, Bali ninajua

sana: Yesu alinikomboa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 346: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

13. NANI AWEZA KUNIWEKA HURU?

1 NANI aweza kuniweka huru? Ni Yesu Mwokozi, Yesu

Mwokozi! Nguvu ’kushinda nipate kwa nani? Kwa damu ya

Yesu Mwokozi!

Kuna nguvu, nguvu ya ajabu kuu, Kati’ damu ya

Mwokozi! Kuna nguvu, nguvu ya ajabu kuu, Kati’

damu yake Yesu!

2 Nitawezaje kuvunja tamaa? Kwa damu ya Yesu, damu ya

Yesu! Nikaribie kisima cha ’hai, Kisima cha damu ya Yesu!

3 Nitawezaje kuoshwa moyoni? Kwa damu ya Yesu, damu ya

Yesu! Nitakasike katika kisima, Kisima cha damu ya Yesu!

4 Nitawezaje kutenda vizuri? Kwa nguvu ya Yesu, nguvu ya

Yesu! Nitawezaje kufika mbinguni? Kwa nguvu ya damu ya

Yesu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 347: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

14. MWOKOZI WANGU ULIKWENDA JUU

1 MWOKOZI wangu ulikwenda juu Kukaa kuumeni kwake

Baba; Utakusanya sisi sote huko, Mbinguni kwako

utatufikishsa. :/: Makao mema wa’tuandalia, Unatungoja

kwake Mungu Baba. :/:

2 Mwombezi wetu Wewe, Yesu Kristo, Kwa ’jili yetu mbele

yake Baba. Wachunga sana sisi, kundi lako, Na watusaidia

’jaribuni. :/: Na sikuzote unatuombea, Watushindia vita kali

huku. :/:

3 Mikono yako uliwanyoshea Walio wako, siku uli’kwenda; Na

hivyo siku utakaporudi Utabariki wakuaminio. :/:

Ulivyokwenda, utakavyorudi; Niombe, nikakeshe kwa imani!

:/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 348: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

15. MUNGU, MOTO WAKO UNIUTUMIE

1 MUNGU, moto wako uniutumie, Ninangoja nguvu yako!

Nipe na uzima na upendo wako, Unijaze, E’ Mwokozi

wangu!

2 Teketeza yote usiyoyapenda, Nisafishe kati’ damu! Na kiburi

yangu uivunje tena, Unioshe, Yesu, niwe safi!

3 Unilinde, Yesu, sikuasi tena, Unifunge kwa upendo! Mimi ni

dhaifu, unitunze kwako, ’niongoze kwa mkono wako!

4 Huko juu kwako tutaona raha, Na huzuni itakwisha.

Nyimbo za shukrani zitajaza mbingu: Utukuzwe, Yesu,

Mkombozi!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 349: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

16. YO YOTE UONAYO HUKU

1 YO yote uonayo huku Katika mwendo wako, Yafaa

ku’mwambia Yesu, Atakusaidia.

Kwa kuwa kila aombaye Mwokozi neema yake,

ataokoka na hatia, na atasifu Yesu.

2 Ukichukiwa na wenzako Na ukijaribiwa, Mwokozi Yu karibu

sana, Maombi asikia.

3 Ukiwa mwana mpotevu, Na mbali na Babako, Amani

una’kosa sasa, Urudi kwake Yesu!

4 Ukiwa na makosa mengi, Na roho yako ngumu, Neema yake

yakutosha, Utubu dhambi zako!

5 Ikiwa nguvu mara nyingi Kuomba kwa bidii, Uombe Baba,

kama mwana, Akusikia kweli!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 350: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

17. UKAE NAMI, GIZA INAFIKA!

1 UKAE nami, giza inafika! Usiniache, Mungu nakuomba!

Unayejua udhaifu wangu, Nategemea Wewe, ’kae nami!

2 Maisha yangu ni mafupi sana, Uzuri wa dunia utakwisha.

Kuna machozi, kufa huku chini, Wewe Mwokozi wangu,

’kae nami!

3 Nakuitaji Wewe sikuzote, Unayeweza sana kunilinda. Wewe

shujaa wa kushinda wote, Katika hali zote ’kae nami!

4 Unionyeshe msalaba wako, Nione nuru yako kati’ giza! Na

nikiishi au nitakufa, Wewe, Mwokozi wangu, ’kae nami!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 351: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

18. MUNGU WETU YU KARIBU

1 MUNGU wetu Yu karibu Kututia nguvu yake. Mbingu ina

maghubari, Tuletee mvua sasa!

Tusikie, Mungu wetu, Tubariki saa hii! Tunangoja,

tunangoja, Tuonyeshe nguvu yako!

2 Mungu wetu Yu karibu, Hapa ni Patakatifu, Sisi sote

tunangoja Kujalizwa naye Mungu.

3 Mungu wetu Yu karibu, Kwa imani tunaomba: “Tuwashie

moto safi Ndani ya mioyo yetu!”

4 Mungu, ufungue mbingu, Twalilia nguvu yako! Tubariki saa

hii Kwa rehema yako kuu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 352: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

19. MUNGU, TUNANGOJA WOTE

1 MUNGU, tunangoja wote Roho yako ’takatifu, Tunaomba

kwa imani: “Umtume hapa kwetu!”

Mungu wetu, Mungu wetu, Umimine Roho yako!

Mioyoni mwetu, Bwana, Utimize kazi yako!

2 Washa moto wako tena Ndani ya mioyo yetu, Hata vyote vya

majani Vitateketea sana!

3 Utakase roho zetu, Na kiburi uivunje! Wewe U Mfalme wetu,

Utawale watu wako!

4 Utujaze sikuzote Pendo lako kubwa, Mungu! Sisi tuwe

nyumba yake Roho ya utakatifu!

5 Na karama zake Roho Utuzigawie, Bwana! Na wagonjwa

uwaponye, Wote wakuone, Mungu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 353: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

20. BWANA YESU, UNIONGOZE

1 BWANA Yesu, uniongoze Baharini huku chini, Juu ya

mawimbi mengi, Katika dhoruba kali! Bwana Yesu,

uniongoze, Nakutegemea Wewe!

2 Bwana Yesu, uniongoze, Utulize moyo wangu! Neno moja

toka kwako, Mara shwari baharini. Bwana Yesu, uniongoze,

Nipe utulivu wako!

3 Bwana Yesu, uniongoze, Niyashinde majaribu! Mengi ya

kunidanganya, Mengi ya kufunga macho! Bwana Yesu,

uniongoze, Niwe mshindaji kweli!

4 Bwana Yesu, uniongoze, Siku nita’vuka ng’ambo! Nikiona

woga, giza, Nipe nuru na amani! Bwana Yesu, uniongoze,

Uwe nami hata mwisho!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 354: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

21. JUU YA MBINGU ZOTE

1 JUU ya mbingu zote, Nyota na jua pia, Hapo yafika kweli

Maombi ya mwenye dua. Roho ya mwanadamu Yamfikia

Mungu, Huko yabisha lango Na kumtafuta Baba.

2 Roho haitaona Raha, amani huku; Kuna bandari njema

Mbinguni kwa Mungu Baba. Moyo utatulia, Nuru itatokea

Tukifuata njia ya sala na maabudu.

3 Hata motto ’dogo Mwenye kuomba Mungu, Hana la

kuogopa; Kuomba kwafaa sana. Tusisahau tena, Pote

twendapo huku Kwamba maombi yetu Yafika kwa Mungu

Baba.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 355: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

22. YESU KRISTO, BWANA WANGU

1 YESU Kristo, Bwana wangu, Una amri na uwezo Za

kuziondoa dhambi, Na ’takasa roho yangu.

’nitolee masamaha, ’niokoe na jaribu, Unilinde

hata mwisho, Unitwae kwako juu!

2 Mbele nilikuwa mwovu, Nilikukataa, Yesu, Kwa hakika

sikujua Wewe na upendo wako.

3 Bwana Yesu, usamehe Dhambi nilizozifanya! ’siitike

majaribu, Nguvu yako inilinde!

4 Tangu sasa Wewe, Yesu, U Mwokozi na Rafiki, Nimetengwa

na Shetani, Niwe wako sikuzote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 356: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

23. NIKITAZAMA KWA IMANI

1 Nikitazama kwa imani Mwokozi wangu, Yesu, Nawaka kwa

upendo wake, Na ninavutwa kwake; Naona majeraha yake,

Mikono na ubavu wake, Na humo najificha sana, Moyoni

mwa upendo.

2 Imanueli upendwaye, Nilinde sikuzote, Mpaka nihamie

kwako Mbinguni mwa uheri! Milele na milele huko Hapana

la kunizuia Nisimsifu Bwana Yesu Kwa damu na ’jeraha.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 357: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

24. E’ MUNGU MWENYE KWELI

1 E' MUNGU mwenye kweli, nakuamini sana, Maneno yako

yote milele yatadumu. “Niite kati’ shida, nitakusaidia.”

Nategemea, Bwana, ahadi yako hiyo.

2 Na katika uchungu ni heri kuamini, Naweka roho yangu

kulindwa nawe, Baba, uliyenifundisha kuita jina lako;

Naona tumaini na tegemeo kwako!

3 Ninavyoomba kweli, najua wasikia. Yaliyo mema kwangu,

najua wayafanya. Katika shida kali waweza kunilinda;

Wanichukua mimi na masumbuko yangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 358: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

25. MVUA YA MBINGU UNYESHE

1 MVUA ya mbingu unyeshe, Kama ulivyoahidi! Juu ya dunia

yote Inye kutubarikia!

Mvua ya mbingu, Mvua ya mbingu utume!

Utunyeshee neema, Tunakuomba, E’ Mungu!

2 Mvua ya mbingu unyeshe, Ituamshe na sisi! Ju’ ya vilima na

bonde Mvua ya mbingu ifike!

3 Mvua ya mbingu unyeshe Katika dunia yote! Watu wa

Mungu wapone, Mbegu za roho ziote!

4 Mvua ya mbingu unyeshe, Tunapokuelekea! Utujalie baraka

Tunakuomba, E’ Mungu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 359: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

26. NAKUHITAJI, YESU

1 NAKUHITAJI, Yesu, Mwokozi wangu mwema, Sauti yako

nzuri Iniletee raha!

Nakuhitaji, Yesu, Usiku na mchana! Katika sala

yangu Unibariki sasa!

2 Nakuhitaji, Yesu, Unionyeshe njia! Na unitimizie Ahadi za

neema!

3 Nakuhitaji, Yesu, Uwe karibu nami, Nipate kulishinda

Jaribu la Shetani!

4 Nakuhitaji, Yesu, Katika mambo yote, Kwa kuwa bila Wewe

Maisha hayafai.

5 Nakuhitaji, Yesu, Njiani huku chini, Nipate kuwa kwako

Milele na milele!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 360: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

27. UNA UHODARI LEO WA KUMFUATA YESU

1 UNA uhodari leo Wa kumfuata Yesu, Hata ukichekwa sana

Na kuteswa duniani?

2 Una uhodari leo Kuwa mtu wake Mungu? Ukiona haya

sana, Kisha utaona nini?

3 Mji unaonekana Ukijengwa mlimani, Hivyo na imani yetu

Inadhihirika sana.

4 Ukipenda Yesu sana Na kuliko vitu vyote, Unataka kumkiri,

Mbele ya wenzako huku.

5 Chuki au ’pendeleo Kwako kitu bure tena, Watafuta siku

zote Sifa zake Yesu Kristo.

6 Ujihoji nafsi yako Ukitaka kuokoka! Uliyekataa Mungu,

Tubu dhambi zako leo!

7 Umsihi masamaha, Akuoshe kati’ damu! Omba uhodari tena

Wa kumfuata Yesu!

8 Uchague Yesu leo, Uwe mfuasi wake! Ukitwaa msalaba

Utaipokea taji!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 361: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

28. NINATAKA KUFUATA YESU

1 NINATAKA kufuata Wewe, Yesu, sikuzote, ’kiwa katika

furaha Au shida na udhia. Unaponitangulia Ninakuja nyuma

mbio. Ninajua ni karibu Kuwasili huko kwako.

2 Haifai niulize: Bwana, unakwenda wapi? Au kwa kusitasita

Kuishika njia yako. Kweli, hapa kazi moja: Kufuata Wewe

mbio, Kwenda njia ile moja Wewe unionyeshayo.

3 Walakini kama kitu Kinataka kunifunga, Au kuwa mgogoro

Katika safari yangu, ’kate kamba mara moja Ifungayo roho

yangu! Ninataka kuwa huru Kukutumikia vema.

4 Bwana Yesu, unilinde, Uhifadhi nia yangu! Nikichoka kwa

safari, Nong’oneza kwa upendo: ‘‘Mwana, u mtoto wangu,

Uniandamie punde, Utapumzika sana Tena kwangu huko

juu.’’

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 362: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

29. UNIVUTE, YESU, NIFUATE NYAYO ZAKO

1 UNIVUTE, Yesu, nifuate nyayo zako, ’kiwa kwa rafiki au

katika wageni, Na mahali pa furaha au sikitiko; Sina budi

kumkaribia Yesu.

Nimfuate, nimkaribie, Siku zote na po pote

nimwandame Yesu! Nimfuate, nimkaribie, Yesu

mbele, mimi nyuma, hata mwisho!

2 Juu ya milima nitasikilia Yesu, Hata mabondeni

nitaandamana naye. Jua, giza, afya, ’gonjwa, utulivu, vita,

Kati’ hayo yote Yesu Yu karibu.

3 Nikiteka maji, au nikilima shamba, Nikika’ nyumbani au

’kiwa safarini, Hata huko soko neno moja ni halisi: Sina

budi kumkaribia Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 363: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

30. TARUMBETA LAKE KRISTO LITALIA

1 TARUMBETA lake Kristo linalia pande zote, Na wakristo

wote wanajipangia ’piga vita Ju’ ya mahodari wa Shetani.

Kweli tutashinda, Kwani Yesu Yupo mbele.

Twende, Yesu a’tuita, Twende na wakristo wote!

Twende, tujivumilishe, Yesu Yupo mbele yetu!

2 Neno la Akida wetu lipo: ‘‘Mniandamie!’’ Naye anatangulia,

tunakuja wote mbio. Kwa silaha zake Mungu kila mtu

atashinda, Kwani Yesu Yupo mbele.

3 Na tukiwa mbali ya Akida wetu tutashindwa, Tutafungwa na

adui na pengine kupotea. Walakini kule mbele watu wote

watashinda, Kwani Yesu yupo mbele.

4 Tarumbeta litalia tena, vita itakwisha, Na askari wote

watapata raha na matunzo. Watapumzika na milele

watashangilia, Kwani Yesu yupo mbele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 364: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

31. KATIKA SAFARI YETU

1 KATIKA safari yetu Kwenda huko juu Tusilale usingizi,

Tuwe na bidii!

Kaza mwendo, tusifungwe, Twende mbio tu! Yesu

Kristo ni Mwokozi Na Mfalme ’kuu!

2 Bwana Yesu anatupa Maji ya uzima, Maji hai ya milele Ya

kuburudisha.

3 Njia na miiba mingi Inatuumiza, Hofu na hatari nyingi

Zinafadhaisha.

4 Mungu wetu atungoja Huko kwake juu, Yesu ni Mwokozi

wetu, Tufuate Yeye!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 365: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

32. HAPO NILIKUWA CHINI

1 HAPO nilikuwa chini Katika dhambi nyingi, Roho yangu

iliona Kufa na giza tele. Mungu alikisikia Kilio changu

huko, Naye akanipandisha, Kuniponya.

:/: Nimeokoka, nimeokoka! Yesu Mwokozi wangu

Aliniokoa:/:

2 Sasa Yesu amekuwa Makimbilio yangu, Na upendo wake

’kubwa Uko moyoni mwangu. Ne’ma yake kubwa sana

Inajaliza roho, Niwe mwaminifu kwake Siku zote!

3 Ewe, mwenye sikitiko, Kuna matumaini: Yesu

anakufahamu, Atakusaidia. Atakupandisha toka Tope la

kuteleza, Upokee ne’ma yake Kwa wokovu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 366: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

33. HURU KAMA NDEGE BUSTANINI

1 HURU kama ndege bustanini, Sasa nafurahi kwa sababu

Yesu ni Rafiki yangu ’kubwa; Nina amani siku zote.

2 Aliniokoa na mashaka, Alinipa tunu ya rehema. Mimi ni

mtoto wa Babangu, Na nuru inang’aa sana.

3 Ninataka ku’shukuru Bwana, Alitupa dhambi zangu mbali,

Na sitaziona tena kamwe, Hazitanitawala tena.

4 Jua likifichwa kwa mawingu, Kiti cha rehema ni karibu,

Hapo ndipo shida ziishapo, Na roho yangu yatulia.

5 Radhi kama mwana kwa babake, Kwa salama kama

bandarini Ninapumzika kwa Mwokozi, Mbali na shida na

huzuni.

6 Yesu Yu karibu sikuzote, Achukua mimi na mzigo. Napokea

kwa mkono wake Neema na mateso pia.

7 Nilimpa Yesu moyo wangu, Ninapenda kumtumikia; Neno

lake linapendwa nami, Na nira yake ni laini.

8 Nafurahi sana kanisani Kati ya watoto wa Babangu, Roho

ya neema ni karibu, Kunanifurahisha sana.

(voir la suite sur la page suivante) NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 367: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

9 Mimi ni mdogo duniani, Tena msafiri na mgeni. Kwetu ni

mbinguni huko juu; Babangu ananiongoza.

10 Saa za mashaka zitakwisha, Kuja kwake Yesu ni karibu.

Nitaona raha kubwa sana Katika nyumba ya babangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 368: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

34. KWA PENDO LAKE KUBWA

1 KWA pendo lake kubwa Alitafuta mimi, Na alinichukua

Begani mazizini. Na nyimbo zao malaika Zikajaliza mbingu

pia.

Alinitafuta, akaniokoa, Akaniondoa matopeni,

Akanichukua mazizini.

2 Mchunga mwema Yesu Aliniponya roho, Na akaniambia:

‘‘Mtoto upendwaye.’’ Sauti yake ya upendo ikanifarijia

moyo.

3 Ninakumbuka jinsi Alivyotoka damu, Na taji ya miiba,

Mateso na mauti. Na penye msalaba wake Ninashukuru

Bwana Yesu.

4 Namfuata Yeye Katika nuru yake, Waridi za ahadi Zapamba

njia yangu. Milele nitaendelea Kusifu Yesu kwa furaha.

5 Na saa zinapita, Nangoja asubuhi Utakaponiita, niende

kwako juu. Nitasimama kwa amani Mbinguni mbele yako,

Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 369: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

35. NIMEFIKA KWAKE YESU

1 NIMEFIKA kwake Yesu, Na rohoni mwangu sasa Jua lake

la neema Linang’aa kila siku.

Roho yangu inaimba, Nimefunguliwa kweli.

Nimekaribia Yesu, Ninaimba kwa furaha.

2 Pepo za neema yake Zinavuma ndani yangu, Na mawimbi ya

wokovu Yananijaliza sasa.

3 Sasa Bwana Yesu Kristo Amefanya kao kwangu. Nimepewa

Mfariji, Roho ya ahadi yake.

4 “Siku Roho afikapo Mtajua kwa hakika Kwamba ninakaa

kwenu”, Hivyo Yesu alisema.

5 Kweli, amefika kwetu, Sasa yumo ndani yetu. Ujitoe kwake

Mungu, Aioshe roho yako!

6 Yesu atakapokuja Katita utakatifu, Nitafananishwa naye,

Nitamshukuru sana.

Zitakuwa nyimbo nyingi Tuta’poingia mbingu, Na

milele tutaimba Na kusifu Mungu wetu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 370: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

36. YESU AMENIOKOA

1 YESU ameniokoa, Amenipa utulivu. Kwake ninaona raha,

Ninataka kumsifu.

Haleluya, Haleluya! Nimefika bandarini.

Haleluya, Haleluya! Jina lake ni mnara.

2 Kwa furaha ninaimba Wimbo mpya wa wokovu. Nisichoke

kamwe hapa Kumwimbia Mkombozi!

3 Ni habari za neema Za kupasha pande zote. Mhubiri, enda

mbio Kufikia nchi zote!

4 Yesu, siku nita’kufa Na maisha ni tayari, ’nichukue kwako

juu Penye raha ya milele!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 371: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

37. BWANA YESU ALINIOKOA KWELI

1 Bwana Yesu aliniokoa kweli, Ninataka kufuata Yeye sasa.

Kila siku nimtumikie vema, Yeye anipaye yote kwa neema!

Nafuata njia nzuri Ya Mfalme Yesu Kristo, Na

katika njia hiyo Mwendo ni pamoja naye.

2 Sitaifuata njia mbaya tena, Nimewekwa huru kweli naye

Yesu. Kumtumikia ni furaha yangu, Ananishibisha kwa

fadhili zake.

3 Huko mbele ninaona mji mwema, Nimeacha njia ndefu

nyuma yangu. Nuru ya Babangu yaniangazia, Nitembee kwa

salama siku zote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 372: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

38. NILIKWENDA MBALI SANA

1 NILIKWENDA mbali sana, ’kufuata njia mbaya,

Nikamsahau Yesu Anayenipenda sana.

Nina raha na furaha, Yesu alinitafuta, Akaniokoa

kweli, Mimi wake siku zote.

2 Na sikufikiri siku Nitakapodhihirishwa Mbele ya Mwenyezi

Mungu, Na kuhukumiwa naye.

3 Dhambi zilinichokeza, Nikageukia Mungu, Akasema neno

zuri La amani na faraja.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 373: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

39. YESU AMEINGIA KATIKA ROHO YANGU

1 YESU ameingia katika roho yangu, Amenifungulia kamba

za dhambi zangu. Tena amenijaza Roho Mtakatifu.

Ninamsifu sasa kwa wimbo mpya.

Yesu ni yote kwangu, Yote na’pata kwake.

Ameondoa dhambi, Ametakasa mimi. Shangwe

rohoni mwangu Ni kama maji mengi, Namshukuru

sana Mwokozi wangu.

2 Siku si ndefu tena, kazi si ngumu sasa, Njia yanipendeza,

’kiwa nyembamba sana. Katika hali zote ninamwimbia

Yesu, Yeye Mfalme wangu, ninamsifu!

3 Katika mwendo wangu ninazidishwa shangwe, Hata

wakinicheka, mwovu akijaribu. Hima Mwokozi wangu

atanyakua mimi Toka machoni pao. Haleluya!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 374: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

40. AMENIWEKA HURU KWELI

1 AMENIWEKA huru kweli, Naimba sasa: Haleluya! Kwa

msalaba nimepata Kutoka katika utumwa.

Nimeokoka, nafurahi! Na dhambi zangu zimetoka.

Nataka kumtumikia Mwokozi wangu siku zote.

2 Zamani nilifungwa sana Kwa minyororo ya Shetani,

Nikamwendea Bwana Yesu, Akaniweka huru kweli.

3 Neema kubwa! Nilipata Kuacha njia ya mauti, Na nguvu ya

wokovu huo Yanichukua siku zote.

4 Na siku moja nitafika Mbinguni kwake Mungu wangu.

Milele nitamhimidi Na kumwimbia kwa shukrani.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 375: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

41. SIKU NYINGI NILIFANYA DHAMBI

1 SIKU nyingi nilifanya dhambi, Sikujua Neno la Mwokozi,

Sikujua maumivu yake Kwa ’jili yangu.

Bwana Yesu alinirehemu, Dhambi zangu

alizichukua. Namsifu Yesu kwa ajili ya msalaba.

2 Niliposikia Neno lake, Moyo wangu ukalia sana. Nikaona

maumivu yake Kwa ’jili yangu.

3 Bwana Yesu ni Mwokozi wangu, Jua na Mfalme na Uzima.

Ninamhibidi kwa ajili ya msalaba.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 376: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

42. BWANA YESU AMEVUNJA

1 BWANA Yesu amevunja Minyororo ya maovu, Nimewekwa

huru kweli Mbali na makosa yangu.

Haleluya, Haleluya! Yesu Kristo ni Mwokozi!

Haleluya, Haleluya! Yesu alinikomboa.

2 Nilipoungama dhambi, Nikawekwa huru kweli. Moyo wangu

unawaka Kwa upendo ’takatifu.

3 Kamba zilizonifunga Zimetoka, nafurahi. Dhambi zilizo

’sumbua Zimetupwa mbali sana.

4 Ninataka kuhubiri: “Nimewekwa huru kweli!” Nipeleke kwa

furaha Neno zuri la Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 377: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

43. JUU YA MWAMBA UMEJENGA KANISA LAKO

1 JUU ya mwamba umejenga Kanisa lako duniani, Umeliweka

huru kweli Katika damu yako, Yesu.

Juu ya mwamba, juu ya mwamba Huru na safi

umelijenga. Juu ya mwamba, juu ya mwamba,

Huru na safi tusimame!

2 Neema kubwa! Nimepata Sehemu yangu kanisani. Vita ya

roho imekwisha, Umenijaza utulivu.

3 Kati’ hekalu lake Mungu Nimefanyika jiwe hai. Ninashiriki

mwili wake Kama kiungo chake Kristo.

4 Ju’ ya msingi huo safi Liwe kanisa lako zima! Vyote

vikiondoka huku, Litasimama, litashinda.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 378: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

44. TU WATU HURU, HURU KWELI

1 TU watu huru, huru kweli Katika Yesu Kristo. Tunahubiri

Neno lake Kwa moto ’takatifu. Tuendelee mbele, mbele,

Tukashinde majaribu! Twapiga vita ya imani, Tuvumilie

yote!

2 Tu jeshi kubwa la askari, Tu safi kati’ damu. Mfalme wetu,

Yesu Kristo, Ni Kiongozi wetu. Kwa nguvu yake kubwa mno

Tutadumu hata kufa.Tuendelee mbele, mbele, Tumshukuru

Mungu.

3 Kwa Yesu tuna uhodari Na mamlaka kubwa, Maana

tunayaamini Maneno yake yote. Kisima wazi, cha ajabu,

Kinatoka msalaba, Tuliyakunywa maji yake, Ni maji ya

uzima.

4 Mbinguni, nchi ya asili, Ya haki na amani, Tuta’pofika huko

juu Tutamwimbia Yesu. Na kila chozi litafutwa Na mkono

wa Mwokozi. Kwa shangwe kubwa tutarithi Ufalme wa

ahadi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 379: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

45. WAISRAELI WALIKA’BABELI UTUMWANI

1 WAISRAELI walika’ Babeli utumwani, Wakawa na huzuni

tu Kwa ’jili ya Sayuni.

Hapo amri ilifika Waliweza kuondoka, Shangwe

gani mioyoni mwao! Walitwa’ vinubi vyote,

Kwa kuimba wakaenda Hata rithi na nchi yao.

2 Wakati wa utumwa hu’ Vinubi ha’kupigwa, Na walikaa

kimya tu Mahali pa ugeni.

3 Walipotoka Babeli, Ikawa kama ndoto; Furaha nyingi

rohoni, Faraja na uheri.

4 “E’ Mungu amefanyaje?” Wa’nena mataifa, ‘‘Utumwa

wanatoka na Wawekwa huru tena!”

5 Katika ulimwengu hu’ Ni wengi wafungwao. Uhuru ni kwa

Yesu tu Kwa kila ’aminiye.

Ndiye ameleta amri: Tunaweza kuokoka, Shangwe

ku’kwa kila ’aminiye! Njoo sasa, twa’ kinubi,

Tufuate kwa kuimba Hata rithi nchi yetu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 380: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

46. HAIFAI KUYASUMBUKIYA

1 HAIFAI kuyasumbukia Mambo yatakayokuwa kesho. Baba

yangu anajua yote, Ni vizuri nikumbuke hivyo. Yeye

mwenye moyo wa upendo Ananipa yafaayo kweli, Kama

sikitiko au shangwe, Na amani yake kila siku.

2 Sikuzote Yu karibu nami, Na neema anapima sawa.

Achukua masumbuko yote, Yeye aitwaye Mungu Baba.

Kunitunza hivyo kila siku, Mambo hayo ame’tadariki.

“Kama siku, kadhalika nguvu!” Ni ahadi niliyoipewa.

3 Mungu, unisaidie tena ’kaa kimya kwako siku zote! Niamini

sana Neno lako, ’sipoteze bure nguvu yako! Na katika

mambo yote huku Nipokee kwa mikono yako Nguvu na

neema ya kutosha, Hata nitakapofika kwako!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 381: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

47. NIKIONA UDHAIFU NA IMANI HABA

1 NIKIONA udhaifu na imani haba, Nikijaribiwa sana, Yesu

anilinda.

Anilinda vema, Anilinda vema, Kwani Yesu

anipenda, Anilinda vema.

2 Peke yangu sitaweza kuambata Yeye, Pendo langu ni dhaifu;

Yesu anilinda.

3 Mimi mali yake sasa, alinikomboa, Alitoa damu yake; Yesu

anilinda.

4 Haniachi kupotea, anilinda sana. Kila ’mwaminiye kweli,

Yesu amlinda.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 382: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

48. SIWEZI MIMI KUFAHAMU SANA

1 SIWEZI mimi kufahamu sana Neema yake Mungu kwangu,

Zamani nilikuwa mkosaji, Lakini alinisamehe.

Bali namjua Mungu, Anayeweza kunilindia Urithi

wangu juu Hata siku yake Yesu.

2 Siwezi mimi kufahamu sana Upendo wake ’kubwa mno;

Nimeamini Neno lake kweli, Na ninaona raha tele.

3 Siwezi kufahamu kazi kubwa Ya Roho yake ndani yetu,

Anayeweza kufundisha mtu Kutegemea Yesu Kristo.

4 Sijui mimi siku zangu tena Za kutembea duniani. Na labda

nitaona shida huku, Taabu na huzuni nyingi.

5 Sijui mimi kama siku moja Nitakuona kufa huku, Au kwa

hima nitabadilika, Ajapo Bwana na mawingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 383: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

49. NJIA YOTE NAONGOZWA

1 NJIA yote naongozwa Kwa mkono wa Mwokozi, Nionapo

wema wake, Sina shaka, hofu tena. Nina raha ya mbinguni,

Ninakaa kwa salama. :/: Na katika mambo yote Ananitendea

mema. :/:

2 Njia yote naongozwa, Namtegemea Yesu. Anilinda jaribuni,

Anitia nguvu pia. Nikiona kiu hapa, Nikichoka safarini, :/:

Mwamba uliopasuka Unabubujika maji. :/:

3 Njia yote naongozwa Kwa upendo wake bora, Atanituliza

tena Kwa babake huko juu. Miguuni pake Yesu Ninataka

kusujudu, :/: Nakusifu Yeye, kwani Aliniongoza huku. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 384: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

50. SITASUMBUKA

1 SITASUMBUKA kwa kuwa Mungu Ananitunza daima,

Anachukua mizigo yangu Nyakati zote za mwendo.

Sijaiona nyingine siku, Na jana imetoweka, Na leo

Mungu anazijua Hitaji zote ninazo.

2 Sitasumbuka kwa kuwa Mungu Ni Baba yangu kabisa.

Hawezi kunisahau mimi Ingawa akijificha.

3 Sitasumbuka kwa kuwa Mungu Anishibisha neema, Anipa

yote yanifaayo Kwa roho yangu na mwili.

4 Maua yote anayavika, Na ndege wote wa anga Wanapokea

chakula chao Pasipo shamba na ghala.

5 Ninafurahi katika Bwana, Na kama ndege naimba. Najua

kwamba nyakati zote Babangu ananitunza.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 385: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

51. NAONA AMANI GOLGOTHA

1 NAONA amani Golgotha Alipojitoa Mwokozi, :/:Na huko

nina kimbilio Kwa Yesu aliyenipenda.:/:

2 Sitaki ’tamani fahari Na dhambi katika dunia, :/: Sababu

wokovu ninao Katika ’jeraha ya Yesu. :/:

3 Aliziondoa kabisa Mizigo na kamba ya dhambi. :/: Na

niliokoka halisi Kwa Neno la Mungu wa ’hai. :/:

4 Maneno ya Mungu ni kwetu Chakula na dawa ya roho, :/: Na

nguvu ya kusaidia Mkristo katika safari. :/:

5 Ni sasa hekalu la Roho, Anayemiliki moyoni; :/: Na Yesu

ananiongoza Kwa njia ya ahadi zake. :/:

6 Uliye dhambini ufike Kwa Yesu Mwokozi wa wote! :/:

Anakunyoshea mikono Ya pendo kukusaidia. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 386: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

52. KWA SALAMA BABA MUNGU AWALINDA

1 KWA salama Baba Mungu Awalinda watu wake, Hata nyota

za mbinguni Si salama kama wao.

2 Mungu awalinda hivyo Katika upendo wake.

Wanakumbatiwa naye, Wanarehemiwa sana.

3 Hawavutwi toka kwake Kwa furaha wala shida. Yeye ni

rafiki ’kubwa Wa walio watu wake.

4 Wanalishwa, wanavikwa, Wanafarijiwa naye. Hata nywele

za kichwani Zimehesabiwa zote.

5 Enyi kundi lake dogo, Mungu atawakingiza! Na adui

watashindwa Kwa uwezo wake ’kubwa.

6 Akitoa, akiwapa, Baba yetu hageuki. Na mapenzi yake

ndiyo: Wana wapatishwe wema.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 387: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

53. KATI’ MIKONO YAKE YESU

1 KATI’ mikono yake Yesu ananilinda. Katika pendo kubwa

Ninapumzika sana. Sasa sauti nzuri Itokeayo juu

Inanikumbukia mbingu na raha yake.

Kati’ mikono yake Yesu ananilinda. Katika pendo

kubwa ninapumzika sana.

2 Kati’ mikono yake Nitakaa daima, Sitatetema tena, Yeye ni

uwezo wangu. Shaka sinayo sasa, Wala sioni woga, Hata

ikiwa shida, Yesu anifariji.

3 Yesu Mwokozi wangu Alikomboa mimi. Ufa wa mwamba

ule, Nitapumzika humo. Katika saa ngumu Ya majaribu tele

Ninasaburi ’ona Jua la asubuhi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 388: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

54. USIOGOPE MATESO YAKO

1 USIOGOPE mateso yako, Mungu anakulinda, Bali tazama

mapenzi yake, Mungu anakulinda!

Mungu anakulinda Siku kwa siku njiani mwake.

Anakulinda salama, Mungu anakulinda.

2 Ukichukuwa mizigo ’zito, Mungu anakulinda, Kati’ hatari

za njia yako Mungu anakulinda.

3 Anakumbuka hitaji zako, Mungu anakulinda. Utashiriki

ujazi wake, Mungu anakulinda.

4 Katika njia ya migogoro Mungu anakulinda. Mfunulie

fadhaa zako, Mungu anakulinda.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 389: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

55. TUPATE KWA NANI FARAJA YA ROHO?

1 TUPATE kwa nani faraja ya roho? Kwa Yesu, kwa Bwana

Yesu. U wapi msingi wa kutegemea? Kwa Yesu, kwa Bwana

Yesu.

Kwa Yesu, kwa Yesu Ninashangilia kwa roho na

moyo. Uheri wa huko haufasiriwi, Moyoni

wafahamiwa.

2 Na maji mazima yapatwa kwa nani? Kwa Yesu, kwa Bwana

Yesu. Na wapi twapata mikate nyikani? Kwa Yesu, kwa

Bwana Yesu.

3 Mahali tutapostarehe ni wapi? Kwa Yesu, kwa Bwana Yesu.

Na nguvu ya kuendelea ni wapi? Kwa Yesu, kwa Bwana

Yesu.

4 Ni nani anayebatiza kwa Roho? Ni Yesu, ni Bwana Yesu.

Upendo wa ndugu watoka kwa nani? Kwa Yesu, kwa Bwana

Yesu.

5 Wakristo watakusanyika kwa nani? Kwa Yesu, kwake

mbinguni. Kwa nini watashangilia milele? Kwa Yesu na

pendo lake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 390: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

56. YESU, NINAKUTOLEA VYOTE NINAKUWA NAVYO

1 YESU, ninakutolea Vyote ninakuwa navyo, Nikupende,

nifuate Wewe siku zote hapa!

Ninakupa vyote, Ninakupa vyote, Bwana Yesu

upendwaye, Ninakupa vyote.

2 Miguuni pako, Yesu, Ninakusujudu sasa. Ninakutolea vyote:

Roho, moyo na maungo.

3 Najitoa kwako, Yesu, Nafsi yote iwe yako! Bwana Yesu,

nakusihi: Niwashie moto wako!

4 Yesu, ninakupa vyote, Unijaze Roho yako! Nisikie moto

wako Ukiwaka ndani yangu!

5 Vyote ninakupa, Bwana, Viwe mali yako kweli! Na fahari ya

dunia Naiona ni ya bure.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 391: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

57. YESU, ULIYEKUFA KWA AJILI YANGU

1 YESU, uliyekufa kwa ajili yangu, Ninajitoa kwako, niwe

mali yako! Bwana, nivute kwako, Nifahamishe pendo, Niwe

dhabihu hai katika shukrani!

2 Yesu, nafika kwako, kao la rehema; Bwana, nitie nguvu kwa

neema yako! Niuchukue tena Kwa radhi msalaba, Ni’tumikie

Wewe, Mkombozi wangu!

3 Bwana, uniumbie moyo haki, safi, Kwako niishi tena hata

kufa kwangu! Niwatafute wenye Dhambi na udhaifu,

Niwapeleke kwako, Bwana wa upendo!

4 Vyote ninavyo huku nimepewa nawe, Ukivitaka, Bwana,

uvitwae vyote! Nina urithi wangu kwako mbinguni juu,

Nitakuona huko kwa furaha kuu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 392: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

58. UNIPE RAHA TELE KAMA MTO

1 UNIPE raha tele kama mto, Nipite jangwa huku kwa furaha;

Unipe na imani tena, Yesu, Ningoje siku yako kwa bidii!

2 Kwa siku chache ninaona shida, Dhoruba zinanisumbua

huku. Napanda mbegu zangu nikilia, Lakini nitavuna kwa

furaha.

3 Kwa siku chache ninaburudishwa Mtoni penye njia yangu

huku, Lakini siku kubwa itafika, Nita’inywea chemchemi

yake.

4 Kwa siku chache naitunza taa, Nadumu kwa kuomba na

kungoja. Na siku za uchungu ziishapo, Nitamkuta Yesu

huko juu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 393: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

59. YESU, NINAKUTOLEA MOYO NA MAISHA YANGU

1 YESU, ninakutolea Moyo na maisha yangu, Niwe mfuasi

wako, Safi na mtakatifu!

:/: Mungu wangu,:/: Nitakase saa hii!

2 E’ Mwokozi, ’nitakase, Unijaze pendo lako, Na maisha

yangu yote Yawe yako, Bwana wangu!

3 Ninataka kuheshimu Wewe, Mkobozi mwema; Nifanane

nawe, Yesu, Kati’ watu wa dunia!

4 Nikikaa kimya kwako Kama yule Mariamu, Nifundishwe

nawe, Bwana, Sitahangaika tena.

5 Tawi lake mzabibu Ulitunze na ’safisha, Ili kwa uweza wako

Litaza’ matunda mengi!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 394: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

60. NI HERI KUONA NDUGU

1 NI heri kuona ndugu Njiani pa kwenda mbingu.

Tukinyong’onyea sana Kwa kuwa tu peke yetu,

Kushirikiana kwa ndugu Kunaturudisha moyo, Na Mungu

atupa nguvu Tukiyainua macho.

2 Twafungamana rohoni, Tulio wa nyumba yake, Huoni

ulimwenguni Kushirikiana kwetu. Na tuna Mwokozi mmoja,

Imani ni moja pia, Watoto wa Baba ’moja Twashika sheria

yake.

3 Furaha ya ulimwengu Haitatuvuta tena, Twaona kung’aa

kwake Ni bure na bila kisa. Lakini tukikusanyika Kwa jina

la Mungu Baba, Atuandalia kweli Karamu ilio bora.

4 Tukivumilia hata Ukomo wa mashindano, Mbinguni

tutawaona Wakristo wapenzi wote. Hatutatawanyika huko,

Tu wote umoja kweli, Milele tuta’pokaa Nyumbani mwa

Baba yetu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 395: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

61. ENYI WATU WA SAYUNI

1 ENYI watu wa Sayuni, Kundi dogo la Mwokozi, Yesu

aliwanunua Kuwa mali yake Mungu. Sasa mnapita njia Ya

miiba na hatari Kati’ nchi ya ugeni; Bali mbingu mtafika.

2 Kumwamini, kumpenda Yesu ni uheri wetu; Amri zote

zinashikwa Kwa upendo na imani. Kwa imani twaokoka,

Pendo ni uzima wetu. Yesu utusaidie, Utujaze pendo lako!

3 Juu ya msingi huo, Yesu, unijenge mimi, Na zaidi niungane

Nawe na kanisa lako! Sisi tu matawi yako, Tushirikiane

sana, Na katika kundi zima Iwe nia moja kweli!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 396: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

62. MUNGU, NIVUTE KWAKO

1 MUNGU, nivute kwako, Karibu kwako, Hata ikiwa shida

Ikinisukuma! Katika yote hapa ’takuwa wimbo wangu:

Mungu, nivute kwako, Karibu kwako.

2 ’kiwa katika mwendo Jua likichwa, Giza yanizunguka, Peke

yangu mimi, Kwako, E’ Baba yangu, Nafika, nakuomba:

Mungu, nivute kwako, Karibu kwako!

3 Unionyeshe njia Ya kwenda juu, Nijue kupokea Yote toka

kwako! Unifariji sana, Niimbe tena hivi: Mungu, nivute

kwako, Karibu kwako!

4 Katika mambo yote Nikushukuru, Majaribuni pote

Nikumbuke wewe! Unifundishe hivi: Omba katika yote!

Mungu, nivute kwako, Karibu kwako!

5 Nikimaliza mwendo Wa msafiri, Mungu utaniita Kwako

huko juu. Na nitaimba tena Kati’ watakatifu: Umenivuta,

Mungu, Karibu kwako!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 397: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

63. YESU, NIVUTE KARIBU NAWE

1 YESU, nivute karibu nawe, ’kiwa kwa shida, ikiwa kwa

raha! Uliyekufa msalabani, :/: ’nifahamishe upendo na

ne’ma! :/:

2 Yesu, nivute, mimi maskini, Sina vipaji vya kukutolea, Moyo

ninao wenye uchafu, :/: Uupokee, ’uoshe kwa damu! :/:

3 Yesu, nivute, nikutolee Yote ninayo, E’ Bwana mpendwa,

Ninakuomba: Uyaondoe :/: Yote yanayonitenga na Mungu!

:/:

4 Yesu, nivute karibu nawe Hata ukomo wa vita na shida!

Tena mbinguni nitakuwapo :/: Karibu nawe, E’ Yesu

Mwokozi! :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 398: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

64. KIMYA, E’ MOYO WANGU

1 KIMYA, E’ moyo wangu, Mbele za Bwana Yesu! Unahitaji

sana ’kaa daima kwake. Njia salama ipi Ulimwenguni huku

Bila kumfuata Yesu na Neno lake?

Uniongoze, Bwana, Katika njia yako! Hata ikiwa

shida Nitawasili kwako.

2 Kimya, E’ moyo wangu, Omba kwa tumaini! Nuru itatokea

Ukiamini Mungu, Na umwambie Yesu Shaka uliyo nayo,

Atakuosha sana, Atakuonya njia.

3 Kimya, E’ moyo wangu, Msikilize Mungu! Akuletea nguvu,

Tena hekima kweli. Na ukiendelea Katika Neno lake, Mungu

atakujaza Nguvu na uthabiti.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 399: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

65. HUKO JU’ YA NYOTA ZOTE

1 HUKO ju’ ya nyota zote Kuna nchi yenye mema, Mji wake

ni Yerusalemu; Dhambi haitakuwamo, Wala kufa na

huzuni, Kwake Yesu nitapata kao.

Sikitiko na machozi Hayatakuwako huko, Wala

giza au vita ya dunia. Huko hatutayaona Mambo

ya kutuumiza, U Yerusalemu ’takatifu!

2 Nifikapo mji huo Nitaona Yesu kwanza, Aliyechukua

dhambi zangu. Nitaona uso wake, Nitamshukuru Yeye

Aliyeniweka huru kweli.

3 Huko nitaona tena Jeshi la walioshinda Kwa imani huku

duniani, Na pamoja nao wote Nita’sifu Mungu sana Juu ya

neema yake kubwa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 400: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

66. WAKRISTO WA NCHI ZOTE

1 WAKRISTO wa nchi zote Watakusanyika huko Mbinguni

kwa Yesu, mezani pake, Kati’ ufalme wake; Kuona uzuri

wake, Kujazwa neema yake. Wataimba huko ju’ milele na

milele.

Watoka bahari zote, Watoka katika shida, Watoka

milima, Watoka mabonde Kufika kwa Mungu

Baba, Kuvikwa mavazi safi, Kuona Mwokozi wao,

Yeye ali’wafilia ju’ ya msalaba.

2 Watakusanyika wengi Waliookoka huku. Mateso na kufa,

shida na giza Hawata’ona kamwe. Ya kale hayatakuwa, Lo!

Yote ni mapya huko! Itakuwa raha tu pamoja na faraja.

3 Tazama mlango huko Uliokufunguliwa, Na kuna mahali,

Yesu aita: “Njoo nyumbani kwangu!” Wenzetu waliofika

Wanatungojea huko, Malaika wanaimba kutukaribisha.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 401: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

67. TUNAKARIBIA KAO LA MBINGUNI

1 TUNAKARIBIA kao la mbinguni, Hata jua likifichwa na

mawingu. Tufuate Bwana Yesu sikuzote, Ni furaha yetu

kumwandama Yeye!

Tunakaribia mbingu kati’ yote, Haleluya! ’sifuni

Mungu! Jipe moyo safarini, kwani Yesu Yu pamoja

nasi hata mwisho!

2 Tunakaribia kao la mbinguni, Hata tukiona pepo na

dhoruba. Bwana Yu karibu, na uwezo wake Ni makimbilio

yetu hatarini.

3 Njia yetu inapita kati’ jangwa, Na miguu inauma mara

nyingi, Walakini tunakwenda tukiimba Na kusifu Yesu,

Mwokozi wetu.

4 Mwendo wetu utaisha siku moja, Tutapata kustarehe huko

juu. Tukiona shaka, shida hapa chini, Tutapata utulivu

kwake Yesu.

Tunakaribia mbingu kati’ yote, Haleluya! ’sifuni

Mungu! Tunataka kufuata hata mwisho. E’ rafiki,

utuandamie!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 402: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

68. MBINGUNI KWA MWOKOZI WANGU MWEMA

1 MBINGUNI kwa Mwkozi wangu mwema Nitaamka asubuhi

moja, Nitayaona majeraha yake, Sauti yake nitaisikia.

2 Makao ya milele ni tayari, Ali’waandalia watu wake.

Tutamsifu Yesu sana huko, Aliyetuokoa na hatari.

3 Na nyimbo za wokovu zinaimbwa Mbinguni mbele ya

Mwokozi wetu; Tungesikia huku nusu ndogo, Vitani

tungepata ushujaa.

4 Lakini Yesu Yupo nasi leo, Usiku kama moto mbele yetu. Na

Neno lake ni upanga wetu, Ahadi ni safina ju’ ya maji.

5 Tungoje Yesu siku chache tena! Twakaribia mwisho wa

safari. Tungoje asubuhi huko juu! Atatukaribisha Bwana

Yesu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 403: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

69. JE, TUTAONANA TENA HUKO NG’AMBO

1 JE, tutaonana tena Huko ng’ambo ya Yordani, Na pamoja

na wakristo ’ona raha ya milele?

Tuonane, tuonane Huko ng’ambo ya bahari!

Tuonane kwa furaha, Huko shida ikomapo!

2 Je, tutaonana tena, Ba’da ya dhoruba zote Huko katika

bandari Ya salama na amani?

3 Je, tutaonana tena Kati’ mji wa dhahabu, Penye mto wa

uzima Nayo miti ya matunda?

4 Je, tutaonana tena Na kusifu Mungu wetu Miongoni mwa

wakristo Waimbao huko juu?

5 Tutaona na wapenzi Waliotuacha huku? Je, tutawaona wote

Katika makao mema?

6 Tutaona Bwana Yesu Katika kutano huko, Tutakaribishwa

naye Katika karamu kuu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 404: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

70. KUNA MJI HUKO JUU

1 KUNA mji huko juu, Umejengwa naye Mungu, Humo kuna

mto ’moja Wenye maji mazima kabisa.

Tutakusanyika huko Kwa raha penye mto mwema

sana, Tutakusanyika na wakristo Penye mto wa

maji mazima.

2 Huko pwani nchi nzuri, Bila dhambi na huzuni, Tutaimba

nyimbo mpya, Nyimbo njema ’kusifu Mwokozi.

3 Kama twamwamini Yesu, Kama hatufichi dhambi, Kama

moyo ni mweupe, Tutafika mtoni pa mbingu.

4 Tu karibu ya kufika Na kuona mto ule. Mungu atatupa raha

Na kutustarehesha daima.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 405: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

71. NIMEKWISHA KUINGIA NCHI NZURI

1 NIMEKWISHA kuingia nchi nzuri ya ahadi, Nchi njema ya

wokovu wake Mungu. Huko ni vijito vingi vya baraka na

furaha, Huko shida haifiki.

Nimekwisha kuingia Nchi nzuri ya ahadi. Moyo

wangu hufurahi, Ninaishi kwa neema.

2 Nimefika Kanaani, hapo ni urithi wangu, Na sitaki

kuondoka tena kamwe. Sasa nira ni laini na mzigo si mzito,

Yesu ni furaha yangu.

3 Nimekwisha kuingia nchi ya amani kuu, Hata mwili wangu

unatiwa nguvu. Nchi hiyo ni ya raha na faraja imo pia, Hapo

tunaka’ salama.

4 Nime’ngia nchi hiyo, ndiye Bwana Yesu Kristo, Ninakaa

katika urithi wangu. Kwa imani ninakunywa maji hai ya

kisima, Huku ni furaha kubwa.

5 Nitafika hata mbingu, nchi ya hazina yangu, Dhambi na

mateso hazitakuwako, Wala giza ya usiku, wala sikitiko

chungu, Wala shida, wala kufa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 406: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

72. MIMI MGENI KATIKA DUNIA

1 MIMI ngeni katika dunia, Ninasafiri kufika mbinguni. Hata

ikiwa hatari njiani, Nitaishinda pamoja na Mungu. Kama

Ibrahimu majaribuni Nita’vyoshinda kwa nguvu ya Mungu.

Nitavumilia nifike mbinguni, Ndilo kusudi la moyo.

2 Nikitembea gizani kabisa Mimi mnyonge pamoja na Yesu,

Na nikipita motoni, majini, Nakusudia kufika mbinguni.

Mungu ajua mapito jangwani, Naye Mwenyezi atanifikisha.

Nitavumilia nifike mbinguni, Ndilo kusudi la moyo.

3 Tusisumbuke katika safari, Tuwatazame wali’tangulia! Yesu

Mwokozi alitukomboa, Msalabani alitufilia; Naye

atatufikisha mbinguni; Hivi tuimbe kwa muda kitambo:

Tutavumilia tufike mbinguni, Ndilo kusudi la moyo!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 407: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

73. NAJUA NJIA MOJA YA KU’FIKIA MBINGU

1 NAJUA njia moja Ya ku’fikia mbingu, Ingawa ikipita

Katika majaribu, Lakini iendako Mjini huko juu, :/: Na njia

hiyo Yesu. :/:

2 Najua na amani Iliyo ya milele, Huwezi kuipewa Kwa fedha

na dhahabu; Ni tunu ya rehema Iliyotoka Baba. :/: Amani

hiyo Yesu. :/:

3 Najua nguvu moja Ya kuniponya roho, Initiayo raha, Amani

na faraja, Inanilinda vema Na nguo yangu safi, :/: Na nguvu

hiyo Yesu:/:

4 Najua na kifiko Mbinguni huko juu, Na siku ni karibu

Kita’poonekana. Yafa’ kukaza mwendo, Kupiga mbio sana!

:/: Kifiko ni mbinguni. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 408: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

74. MGENI MIMI HAPA MAHALI PA UGENI

1 MGENI mimi hapa Mahali pa ugeni, Na kwetu mbali mno

Katika nchi nzuri. Na ni mjumbe huku Kutoka Mungu wetu,

Nina habari ya Mfalme.

Habari yake nzuri sana, Furaha yao malaika:

“Mpatanishwe sasa Na Mungu Baba yetu!” Habari

yake ndiyo hiyo.

2 Salamu ya Mwokozi Kwa kila mtu hapa: Urudi kwake

Mungu, Utoke utumwani! Ufike kwake Yesu, Tubia dhambi

zako! Habari hiyo ya Mfalme!

3 Mbinguni nchi nzuri, Yapita vitu vyote, Furaha huko tele Na

raha ya milele. Ukiamini Yesu Uta’pokaa huko. Habari hiyo

ya Mfalme!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 409: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

75. NILIYE MSAFIRI, MGENI DUNIANI

1 NILIYE msafiri, mgeni duniani; Sioni kwangu hapa, ni huko

ju’ mbinguni. Ninatamani nami kukaa siku zote Pamoja

naye Baba katika utukufu.

Kwangu mbinguni, kwangu, Uzuri wa mbinguni

Wapita yote huku.

2 Mwokozi Yuko huko, Rafiki yangu mwema, Aliyenikomboa

na ku’chukua dhambi. Na hata nikiona furaha siku zote

Ningali natamani makao ya mbinguni.

3 Na nikipewa huku vipawa vya thamani, Na wakiimba

nyimbo za kunifurahisha, Rafiki zangu wote wakipendeza

mimi, Ningali natamani makao ya mbinguni.

4 Upesi nitaona kifiko cha mbinguni, Mwokozi wangu Yesu

atanikaribisha; Na huko nitaona nilivyotumaini, Kinubi

nita’piga kumshukuru Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 410: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

76. MGENI MIMI, NINASAFIRI

1 MGENI mimi, ninasafiri Siku chache, siku chache huku

chini. Msinipinge, niwafuate Watakatifu walioshinda! Mgeni

mimi, ninasafiri Siku chache, siku chache huku chini.

2 Nashika njia, napiga mbio, Sina budi kuukaza mwendo

wangu. Na kwa mkono natwaa gongo, Nazo silaha

nimejivika. Nashika njia, napiga mbio, Sina budi kuukaza

mwendo wangu.

3 Ulimwenguni sipati raha, Natamani ku’fikia mji mpya.

Machozi, kufa, maombolezo Sitayaona mbinguni tena.

Ulimwenguni sipati raha, Natamani ku’fikia mji mpya.

4 Mchunga mwema, ninakuomba, ’tangulie, niongoze njia

yote, Kwa kuwa giza na dhambi tena Zaniwekea mitego

mingi! Mchunga mwema, ninakuomba, ’tangulie, niongoze

njia yote!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 411: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

77. NAIFUATA NJIA YA KU’FIKIA MBINGU

1 NAIFUATA njia ya ku’fikia mbingu Na mji mwema ule

alio’jenga Mungu. Ninasafiri sasa kutoka duniani Nifike nchi

hiyo ya raha na uzima.

Naifuata njia ya ku’fikia mbingu Na mji mwema

ule alio’jenga Mungu.

2 Sijauona bado uzuri wake bora Wa mji wa mbinguni, usio

na machozi; Lakini siku moja, kwa shangwe ya milele

Nitamsifu Yesu katika mji ule.

3 Nifikapo mjini, mlango wake wazi, Na hapo malaika

watanikaribisha; Shindano la dunia halitakuwa huko, Na

nitaona raha milele na milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 412: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

78. NINA UZIMA WA MILELE

1 NINA uzima wa milele, Na tumaini ni imara, Mbinguni

nitaona Yesu, Mwokozi wangu, kwa furaha.

2 Nina urithi bora huko Unaolindwa hata mwisho. Na kila siku

ya jaribu Natiwa nguvu naye Baba.

3 Namshukuru Mungu wangu! Ananitunza siku zote Katika

shida na taabu, Kwa hiyo sisumbuki tena.

4 Rohoni mwangu ni amani, Naimba kwa furaha kubwa.

Nikiongozwa naye Yesu Naendelea kwa salama.

5 E’ Bwana Yesu, unifunze Ku’tumikia Wewe vema Wakati

ubakio tena Wa mwendo wangu duniani!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 413: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

79. MAISHA MAFUPI YA HUKU DUNIA

1 MAISHA mafupi ya huku dunia Yanaifanana safari

chomboni. Twapita bahari katika hatari, Lakini Mwokozi

anatuongoza.

Ikiwa Mwokozi anatuongoza Twaweza kuona

amani na raha, Atatufikisha salama mbinguni,

Na humo hatutakumbuka safari.

2 Twapita katika baridi na pepo, Maneno ya Mungu ni nuri

gizani. Hatari na hofu na chombo kibaya Hatuta’kumbuka

karibu na Yesu.

3 Ingawa mawimbi yapiga kwa nguvu, Tunakaribia bandari

upesi, Na humo hakuna dhoruba na pepo; Safari tutaimaliza

salama.

4 Tutakapofika bandari ya mbingu Tutamshukuru Mwokozi

mkuu. Hatutaziona hatari na hofu Karibu na Yesu

mwenyewe mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 414: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

80. ZITAKAPOTIMIA SIKU ZA HUDUMA YANGU

1 ZITAKAPOTIMIA siku za huduma yangu Nitaona asubuhi

ya uzima. Huko juu mbinguni nitamwona Bwana Yesu, Na

“Karibu” yake nitaisikia.

Nitamtambua Yeye, Na karibu na Yesu nitakaa.

Nitamtambua Yeye kwa alama za majeraha yake.

2 Itakuwa furaha kuuona uso wake Na uzuri utokao macho

yake. Moyo utafurika kwa uheri na furaha, Ju’ ya kao

aliloniandalia.

3 Na walio mbinguni wananingojea kwao, Nakumbuka siku

tulipoachana. Wataimba kabisa kunikaribisha huko,

Walakini nitamwona Yesu kwanza.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 415: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

81. ALIPOKUFA YESU JU’ YA MSALABA

1 ALIPOKUFA Yesu ju’ ya msalaba wake Akaishinda dhambi

na uwezo wa Shetani. Aliniweka huru, niwe mbali na hatia;

Na tena atanichukua kwake.

Mbinguni niendako Haitakuwa dhambi, Ni nchi

nzuri ya salama mno. Na Bwana, Mungu wetu,

Atatuangazia; Tukusanyane sisi sote humo!

2 Ninafuata njia ya Mwokozi wangu sasa, Aniongoza vema,

anafuta kila chozi. Ananilinda katika hatari za njiani,

Karibu naye vita yatulia.

3 Mbinguni nchi yangu, na bendera ni upendo, Na Roho

arabuni ya urithi wangu huko; Na Neno lake ni chakula

changu safarini; Neema inanipeleka kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 416: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

82. NINAJUA NCHI NZURI

1 NINAJUA nchi nzuri, Huko Mungu alifanya Nyumba na

makao kwetu; Natamani kufikako.

Mbinguni, kao la malaika! Mbinguni vyote

vinamulika! Mbinguni Mungu atualika

Tukusanyane mbinguni kwake!

2 Katika safari yangu Ninajiuliza sana Kama nami nitafika

Penye Mungu ndiye jua.

3 Kwa neema yake kubwa Nitakaa kwake Mungu, Bwana

Yesu atanipa Taji nzuri ya uzima.

4 Sasa ninapiga mbio, Nifikie nchi hiyo Ya uzima na furaha,

Nchi ya tamani yangu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 417: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

83. NINAJUA NCHI HUKO JUU

1 NINAJUA nchi huko juu, Hapo Mungu alijenga mji, Na aita

’moja moja kwake, Waliomaliza mwendo huku.

Shida, kufa na huzuni Hazitakuwapo huko. Yesu

atafuta kila chozi, Tutaona shangwe, nayo tele.

2 Huko hawataingia kamwe Wenye dhambi, wala cha

kinyonge, E’ rafiki, ujihoji leo Kama wewe utaona mbingu!

3 Utazame, mto ungaliko Uwezao kusafisha sana! Ujioshe

kati’ damu safi Ya Mwokozi wetu Yesu Kristo!

4 Nafurahi kwani ninajua Kao langu liko huko juu, Natamani

sana kufikako. Njoo, Yesu, unitwae mbio!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 418: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

84. NINAKUMBUKA SAYUNI

1 NINAKUMBUKA Sayuni, Nchi ya heri mbinguni, Bahari

kama kioo Na’furahia rohoni. Nyuma kimeta cha nuru

Naona mji wa mbingu, Nyimbo za nyumba ya Baba

Nasikiliza daima.

Mapambazuko mbinguni Yataondoa utaji, Vyote

tulivyoamini Tutaviona milele.

2 Mauti haina nguvu, Yesu a’vunja uchungu, Naye

aliwakomboa Wote: wafalme, watumwa. Ninamtwika

Mwokozi Dhambi, huzuni na shida; Mbavuni mwake nafasi

Kama bandari salama.

3 Kuna ’jaribu njiani, Mengi ya kunizuia, Na mara nyingi

miiba Inaumiza miguu. Nikikumbuka Sayuni moyo huwaka

kabisa, Mbingu ninaitazama Na ku’himiza safari.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 419: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

85. TWAPASHA HABARI YA MBINGU

1 TWAPASHA habari ya mbingu, Mahali pa watu wa heri, Na

tunatamani ku’ona Ufuko wa nchi ya mbingu.

Sikitiko wala shida Hazitakuwapo mbinguni. Huko

juu, huko juu Tutashangilia milele.

2 Twapasha habari ya mbingu Na mji mzuri ajabu, Na jeshi la

watakatifu Waliomaliza safari.

3 Twapasha habari ya pendo, Amani na nguo nyeupe, Na raha

baada ya vita, Makao karibu na Mungu.

4 Twapasha habari ya Yesu, Alituokoa na dhambi. Ingawa ni

shida njiani Atatufikisha mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 420: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

86. TUTAONA FURAHA MBINGUNI

1 TUTAONA furaha mbinguni, Ni makao ya watu wa heri.

Tutakuwa pamoja na Mungu Na kusifu Mwokozi wetu.

Tutafurahi na tutaabudu Huko juu kwake Mungu.

Tutafurahi na tutaabudu Siku tutakapofika.

2 Mara nyingi furaha ya hapa Yapinduka machozi machungu,

Walakini hazitakuwapo Sikitiko na shida huko.

3 Kama shida na shaka zafika Kuzuia safari ya hapa,

Tutazame daima mbinguni, Huko juu ni raha yetu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 421: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

87. MWISHO WA NJIA YA MUNGU NI MBINGU

1 MWISHO wa njia ya Mungu ni mbingu; Yesu ananiongoza

salama. Kama Shetani akinijaribu Nakitazamia kifiko.

Kwetu mbinguni hatutatawanyika, dhambi na

mateso hayatakuwapo, Na hatutaona machozi na

shida, Ila furaha milele.

2 Tutawaona walioishinda Dhambi, Shetani na mambo

mabaya, Na tutaona Mwokozi mpenzi; Tutafananishwa na

yeye.

3 Nani ataka kufika mbinguni? Yesu ni njia, uzima na kweli.

Njoo kwa Yesu! Akuandalia Kao la milele mbinguni.

:/: Malaika wanangoja :/: Malaika wanangoja huko

mbinguni! :/: Malaika wanangoja:/: kutusalimu:

“Karibu”!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 422: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

88. MPONYI APITAYE WOTE

1 MPONYI apitaye wote Amefika hapa. Awaponyesha watu

moyo, Yesu wa upendo.

Jina liyapitalo yote Juu na chini, pote pia, Jina

kubwa, jina jema: Yesu wa upendo!

2 Awasamehe watu dhambi Wakizitubia, Awapokea kwa

neema, Waipate afya.

3 Tukiwa na masikitiko, Yesu afariji. Akitubarikia sana,

Woga waondoka.

4 Watoto walipenda sana Jina lake Yesu, Liwalindalo na

mabaya, Wakijaribiwa.

5 Shetani aogopa sana Jina lake Yesu. Katika vita ju’ ya

dhambi Latutia nguvu.

6 Mbinguni tena kwa furaha Tutamwona Yesu. Tutasahau

shida zote, Tutamshukuru.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 423: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

89. NAJUA JINA MOJA ZURI

1 NAJUA jina moja zuri, Lapita kila jina huku, Lanipa raha

na amani, Na jina hilo Yesu.

Yesu, jina zuri mno! Yesu, unapenda wote, Yesu,

tunalindwa vema Katika jina lako.

2 Napenda jina hilo jema, Linanivuta kwake Mungu. Na

katika huzuni yangu Lanifariji sana.

3 Siwezi mimi kueleza Uzuri wake jina hili, Lakini namwimbia

Yesu, Nasifu jina lake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 424: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

90. YESU, YESU, JINA KUBWA

1 YESU, Yesu, jina kubwa, Nyimbo zao malaika! :/: Limekuwa

ndani yangu Mto wa furaha bora.:/:

2 Jina lake kama nyota Linanionyesha njia. :/: Katika jaribu,

shida, Na usiku duniani.:/:

3 Ni mikono ya upendo Yenye kunikumbatia. :/: Hapo

najificha vema Kama chombo bandarini.:/:

4 Jina hilo liwe kwangu Wimbo wa safari yangu! :/: Niletewe

wema nalo Toka nchi nzuri juu! :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 425: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

91. YESU, JINA HILI JEMA

1 YESU, jina hili jema Lichukue siku zote! Lina raha na

faraja, Lichukue uendako!

Jina kubwa, jina zuri La matumaini yetu! Jina

kubwa, jina zuri La furaha ya mbinguni!

2 Lichukue jina hilo Lenye nguvu ya kushinda! Ukijaribiwa

huku, Taja jina lake Yesu!

3 Yesu, jina jema mno, Latutia shangwe kubwa, Ni

makimbilio yetu, Ngome, msaada pia.

4 Na kwa jina lake Yesu Kila goti litakunjwa, Watu wote

watakiri Kwamba Yesu ni Mfalme.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 426: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

92. YESU! JINA HILI LINAPITA

1 YESU! Jina hili linapita Kila jina duniani pote. Yesu, Yesu!

Jina hilo Ni marhamu iliyomiminwa.

Jina hili ni lenye nguvu ya Kuondoa dhambi zangu

zote. Yesu, Yesu! Jina hilo Lanitia shangwe na

furaha.

2 Si jingine jina duniani Lenye nguvu, kweli na uzima. Yesu,

Yesu! Jina hilo Waliloimbia malaika.

3 Jina hili lina wema mno, Limejaza mbingu tangu mwanzo.

Yesu, Yesu! Jina hilo Litaimbwa duniani pote.

4 Sitaweza kusahahu Yesu, Jina lake ni wokovu wangu. Yesu,

Yesu! Nitamwona Huko kwake tena kwa furaha.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 427: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

93. SIKU CHACHE

1 SIKU chache, na tena wakristo Watakwenda kumwona

Mwokozi, Siku chache, na wataipewa Thawabu na taji ya

uzima.

Nangoja sana Bwana Yesu Kama zamu angojavyo

asubuhi. :/: Kwa dalili zote ninaona sasa Kwamba

Yesu Yu karibu ya kurudi:/:

2 Siku chache za vita ya huku, Tena Yesu Mfalme ’takuja;

Tutaona furaha na raha, Atatupeleka kwake juu.

3 Siku chache machozi ya shida, Mungu atayafuta kabisa. Na

baada ya siku si nyingi Kwa lango nitaingia mbingu.

4 Baragumu la mwisho ’talia, Waminifu watachukuliwa;

Wote wataingia mbinguni Kukaa pamoja na Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 428: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

94. LO! NURU INAPAMBAZUKA

1 LO! Nuru inapambazuka, Na vivuli vya usiku vi’kimbia;

Unaulizwa: “U tayari?” Yesu yuaja upesi!

Na kama vile ’pepo uvumavyo po pote Habari

iendavyo ulimwenguni mwote. Ni neno la furaha,

matumaini yetu: “Yesu yuaja upesi!”

2 Vizazi wengi wamefungwa Katika utumwa, minyororo

’gumu; Uhuru ni kwa Bwana Yesu, Naye yuaja upesi!

3 Na watu wengi waamka, Nuru ya Injili yafukuza giza.

Tutatwaliwa ju’ mbinguni; Yesu yuaja upesi!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 429: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

95. NCHI NZURI YATUNGOJA

1 NCHI nzuri yatungoja Huko juu ya mawingu,

Watakapokusanyika wateule. Siku zina’tubakia Zinapita

mbio sana; Waminifu watarithi nchi nzuri.

:/: Lo! Ufalme wake Mungu u karibu!:/: Uwe safi,

roho yangu, Ukakeshe siku zote! Lo! Mfalme wake

Yesu Yu karibu!

2 Twaamini tutaona Nchi ile kwa uwazi, Tunangoja sana

Mkombozi wetu; Kwa dalili tunaona Siku yake ni karibu;

Zinatuarifu Yesu aja hima.

3 Maandiko yanasema: Mkombozi atakuja, Katika mawingu

ataonekana. Haleluya! Haleluya! Atafunga yule mwovu,

Aliyejaribu kutuangamiza.

4 Katika kungoja Yesu Watu wengi wamechoka; Waamshe,

uwaonye kwa dalili! Kwani Neno lake Mungu Latimizwa

mbio sana, Tunaona kwamba Yesu Yu karibu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 430: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

96. MWOKOZI WETU ALIAHIDI

1 MWOKOZI wetu aliahidi Ya kwamba atakuja siku moja

Kutupeleka mbinguni kwake. Yawezekana upesi sana.

Sioni shaka, nina amani Kwa Mkombozi na damu

yake, Na Roho yake Mtakatifu Ni arabuni ya ’rithi

wangu.

2 Wajumbe wengi wa Bwana Mungu Watumwa sasa duniani

pote. Waitangaza habari njema Ya Yesu Kristo na pendo

lake.

3 Na watu wengi wanaamini, Wanaitika mwito wake Mungu.

Kwa roho moja twakaza mwendo, Tufikilie thawabu yetu.

4 Twakaribia wakati ule Wa kuja kwake Bwana Yesu Kristo;

Na tujiweke tayari wote Kuchukuliwa mbinguni kwake!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 431: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

97. BADO KIDOGO JUA LITAPANDA

1 BADO kidogo jua litapanda, Siku tuta’pofika huko juu.

Huko mbinguni tutapumzika Na ’pata raha na furaha ya

milele.

Tutamlaki Bwana Yesu Kristo, Aliyetuokoa kweli

hapa chini. Huko mbinguni tutamwona Yeye,

Tutamsifu kwa upendo wake ’kuu.

2 Bado kidogo tutaona vyote Vitageuka kuwa vipya tena, Na

hapo Yesu, Mkombozi wetu, Atatufungulia lango la

mbinguni.

3 Safari yetu ina majaribu, Tutafurahi kwa kufika mbingu.

Hatutaona giza, shaka tena, Tutamshangilia Mkombozi

wetu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 432: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

98. SIKU MOJA TUTAONA UTUKUFU

1 SIKU moja tutaona Utukufu wake Yesu, Kama nuru ya

umeme Atakavyoonekana.

Uhubiri Neno lake, Kwa bidi’ mahali pote! Siku ni

karibu sasa : Bwana Yesu atakuja.

2 Tangu kale tumengoja Siku ya uhuru wetu. Hata nguvu ya

mauti Itaisha siku ile.

3 Heri gani ya wakristo Kumlaki Bwana Yesu! Watavikwa

nguo safi Huko juu kwa Mwokozi.

4 Pasha hi’ habari njema, Na wagonjwa uwaponye! Uokoe

wapotevu! Wende mbio, usikawie!

5 Kwa dalili tunaona Kwamba Yesu Yu karibu, Na Mfalme

atakuja ’tupeleka kwake juu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 433: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

99. SIKU MOJA NITAMWONA BWANA YESU

1 SIKU moja nitamwona Bwana Yesu uso wake. Na milele

kwa furaha Nitaka’ karibu naye.

Nitamtazama Yesu Ju’ ya nyota zote pia, Huko

kwa ukamilifu Nitajua nguvu yake.

2 Hapa ninaufahamu Kwa sehemu wema wake, Huko

nitamtazama Na kushiba kwa kuona.

3 Shangwe gani kwake Yesu! Shida zote zitaisha, Giza

haitakuwapo, Na huzuni itakoma.

4 Yesu atafika mbio, Lo! Mwenyewe atashuka! Tutanyakuliwa

juu Ili kumlaki Bwana.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 434: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

100. LO! BENDERA INATWEKWA

1 LO! Bendera inatwekwa, Yatutangulia! Tusione hofu, wenzi,

Twende kwa kushinda!

Bwana Yesu atakuja, Tuilinde ngome! Kwa uwezo

wake Yesu Tutashinda yote.

2 Ibilisi azunguka, Akitutafuta; Anataka tuanguke, Tufe,

tupotee.

3 Vita kubwa, vita kali Inaendelea, Tuwe watu wa ’hodari!

Twende, tutashinda!

4 Basi, kwa bendera yake Tunashikamana. Atutie nguvu yake

Hata kuja kwake!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 435: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

101. E’ MLINZI, TWAULIZA

1 E’ mlinzi, twauliza: “Yesu atakuja lini? Asubuhi ya Sayuni

Ni karibu? Tuambie!’’- ‘‘Msafiri, yainue Macho yako,

angalia! Asubuhi ni karibu, Usimame, usimame!’’

2 Siku heri ya sabato Ya milele ni karibu, Na dalili yake Yesu

Hapo itaonekana. Na rohoni tunaona Nchi nzuri ya ahadi.

Asubuhi ni karibu, Na ahadi zatimia.

3 Katika Yerusalemu, Mji mpya wa mbinguni, Yesu

atatumiliki Kwa upendo na amani. Baragumu italia, Nasi

tutaisikia. Yesu ni karibu sana Kutukaribisha kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 436: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

102. SAYUNI, ULAKI BWANAKO

1 SAYUNI, ulaki Bwanako, Umshangilie Mfalme! Jipambe

kwa Bwana arusi, Ujitengeneze tayari!

Furahi, furahi! Umshangilie Bwanako! Furahi,

furahi! Umsujudie Mfalme!

2 Kutoka ’tukufu wa Baba Na kiti cha enzi mbinguni Mwokozi

alitufikia Kulazwa mtoto horini.

3 Akawa dhabihu kamili, Akasulibiwa Golgotha, Akafa kwa

’jili ya wote, Tupewe wokovu wa Mungu.

4 Alitushindia mauti Na kumharibu Shetani; akaufunua

uzima, Tupate kuishi milele.

5 Afika kwa wenye huzuni Kuwapa faraja na heri, Na

atamiliki milele, Mfalme wa pendo na haki.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 437: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

103. SIKU KUBWA YA MASHANGILIO

1 SIKU kubwa ya mashangilio Inatufikia tena. Usikie neno

hili zuri: “Yesu amefika kwetu!”

Imba duniani pote pia, Imba, wote wasikie! Sifa

zina Mungu wetu juu, Na amani kwetu!

2 Utajiri, fedha na dhahabu Sina ya kukuletea, Ilakini roho

yangu tupu Nina’kutolea, Yesu.

3 Sisi sote tumsifu Mungu Kwa upendo wake kwetu!

Alitutumia Mkombozi, Mwana wake Yesu Kristo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 438: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

104. LO! HORINI BETHLEHEMU

1 LO! Horini Bethlehemu, Ndani ’nyumba ya ng'ombe, Bwana

Yesu alilala Usingizi wa kitoto. Nyota zilizo mbinguni Kimya

ziliangazia Bwana Yesu, Mtulivu, Juu ya ulalo wake.

2 Wachungaji wa kondoo Walikuja kumwabudu, Na majusi

walifika Wakamtolea tunu. Mungu mwenye macho

Yanayotazama nchi yote, Alivunja makusudi Ya kuua ya

adui.

3 Nakupenda, Bwana Yesu, Kwani unaufahamu Udhaifu wa

mtoto, Hali yake ya kitoto. Nawe sasa unaweza Kunisaidia

sana Kila saa ya hatari, Majaribu na mashaka.

4 Nakuomba, Bwana Yesu, Unilinde njia yote, Uwe mwenzi

wangu mwema Kila saa na dakika! Usichoke nami kamwe,

Nami sitaona hofu; Yesu unikumbatie Siku zote na milele!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 439: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

105. WAKATI WA NOELI

1 WAKATI wa Noeli Nafika kwenye hori, :/: Alipolala Yesu,

Maskini, mtulivu. :/:

2 Mwokozi wangu mwema, Kwa pendo ulifika, :/: Nitoke

dhambi zangu, Nipate kuwa wako:/:

3 Nakuhitaji, Yesu, Rafiki wa watoto: :/:Sitaki kuumiza Kwa

dhambi Wewe tena. :/:

4 Nitashukuru Yesu Milele na milele. :/: Maana alifika

Kutuokoa sisi. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 440: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

106. TUIMBE ASUBUHI HII

1 TUIMBE asubuhi hii Juu ya siku manabii Walioitabiri! Ni

siku kubwa, siku nzuri, Upendo umedhihirika, Upendo wake

Mungu. Sisi sote tufurahi, Tumwimbie na kusifu Yesu,

Mkombozi wetu!

2 Yu sura yake Mungu Baba, Lakini mtu, ili sisi Tupate

kumjua. Yuaja na amani kwetu, Kuwatafuta wapotevu Na

kuwaponya wote. Sisi sote tuungane Naye Yesu na tupate

Pendo na uzima wake!

3 Ataliona sikitiko Na kufahamu shida yetu Asaidie sisi!

Atafundisha haki, kweli, Na kutufahamisha pendo Katika

kufa kwake, Sisi sote tuokoke, Na tufufuliwe naye, Mbingu

zitufunguliwe!

4 Aliye jua la neema Afika na wokovu kwetu, Na atuangazia.

Mchunga wetu yupo nasi, Anatutaka tuwe wake, Tumfuate

kweli! Sisi wake tumjue, Tuingie kwake juu, Tufanane naye

Yesu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 441: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

107. ALIPOTESWA YESU PEKE’

1 ALIPOTESWA Yesu peke’ Katika Gethsemane, Akakinywea

kwa upendo Kikombe cha uchungu.

Mwokozi wangu Alichukua yote, Uzima wake

ali’toa; Kutuokoa alitufilia.

2 Akasimama peke yake Kuchekwa na kupigwa, Kichwani

akatiwa taji Iliyo ya miiba.

3 Akachukua msalaba Njiani kwa Golgotha, Na akajeruhiwa

sana Kwa ’jili yetu sisi.

4 Na sasa, wewe mwenye dhambi, Tazama pendo lake! Neema

kubwa yakungoja, Uache dhambi zako!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 442: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

108. MWANA-KONDO’ WA MUNGU

1 MWANA-KONDO’ wa Mungu, Uli’filia sisi Juu ya msalaba

Kati’ macheko mengi. Umeondoa dhambi Na umeshinda

kufa. Utupe raha, Yesu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 443: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

109. YESU, UNIONYE TENA MSALABA WAKO!

1 YESU, unionye tena Msalaba wako! Huo ni kisima safi

Chenye kusafisha.

Msalaba wako, Yesu, Nausifu sana. Yesu, unilinde

huko Hata nikuone!

2 Huko niliona kwanza Ne’ma yako kubwa, Nuru ikafika

kwangu ’toka msalaba.

3 Yesu, unilinde huko, Unifahamishe Jinsi ulivyochukua

Dhambi zangu zote!

4 Unilinde siku zote Penye msalaba, Nikuone, nikupende Sasa

na milele!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 444: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

110. MWAMBA ULIOPASUKA

1 MWAMBA uliopasuka, Ndani yako nijifiche! Maji yale,

damu ile Itokayo mbavu zako, Iwe dawa ya kuponya Roho

yangu na ubaya!

2 Kazi za mikono yangu Haziwezi kukomboa. Hata ningelia

sana Na kutenda kazi nyingi Singeweza kuokoka, Peke yako

U Mwokozi.

3 Ndani yangu sina kitu, Naushika msalaba. Uchi mimi,

univike! Sina nguvu, ’nichukue! Ni mchafu, unioshe! Wewe

U Mwokozi wangu.

4 Kwa maisha yangu yote Hata nitatoa roho, Hata saa ya

kuitwa Mbele ya Mfalme wangu, Mwamba uliopasuka,

Nijifiche ndani yako!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 445: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

111. E’ YESU, SITAUSAHAU

1 E' YESU, sitausahau Uchungu wako ’kubwa, Ulipoteswa

Gethsemane Usiku peke yako.

Mateso uliyoyaona, Uchungu na machozi, Usiku

ule Gethsemane, Siyasahau kamwe.

2 Naona Wewe Gethsemane, Ulivyoteswa huko Kwa ’jili ya

makosa yangu, Na kuitoa damu.

3 Huzuni nyingi uliona Katika teso lako Ulipoachwa peke

yako Na wanafunzi wako.

4 Na ukiona roho yangu Haina pendo kwako, Uniongoze

Gethsemane, Nione teso lako!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 446: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

112. ULINDE ROHO NA NAFSI YANGU

1 ULINDE roho na nafsi yangu Chini ya damu, chini ya damu!

Makosa, hofu na shaka ziwe Chini ya damu yako!

Chini ya damu yako, Yesu, Ndani ya mto huo safi,

Unilinde kwa siku zote, Chini ya damu yako!

2 Makimbilio ya mwenye dhambi Chini ya damu, chini ya

damu, Ni ukombozi kwa watu wote Chini ya damu yako!

3 Nijaze nguvu na pendo lako Chini ya damu, chini ya damu,

Nipate tena kutii Wewe Chini ya damu yako!

4 Amani kubwa moyoni mwangu Chini ya damu, chini ya

damu, Karama zako zanipa raha Chini ya damu yako.

5 Nijazwe Roho Mtakatifu Chini ya damu, chini ya damu,

Daima niwe na moyo safi, Chini ya damu yako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 447: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

113. MSALABANI MWOKOZI WANGU

1 MSALABANI Mwokozi wangu Alijitoa kuniokoa, Na damu

yake ilimwagika Kwa ’jili yangu, kunikomboa.

E’ Golgotha, E’ Golgotha, Alipoteswa Bwana Yesu!

E’ Golgotha, E’ Golgotha, Nilipopata raha kweli!

2 Na nchi ile ilitetema, Mbinguni jua likafunikwa Wakati Yesu

alipokufa, Akichukua hatia yangu.

3 Likapasuka pazia lote, Kwa hiyo Neno limetimizwa. Naona

njia ya mbingu wazi: Nikutakaswa kwa damu yake.

4 Mwokozi wangu, upendo gani: Uliutoa uzima wako!

Kunikomboa ulisikia Mateso yote ya msalaba.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 448: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

114. IMBA HABARI NJEMA

1 IMBA habari njema: Mungu apenda wote! Uihubiri damu,

Ituponyayo roho! Taja karama kubwa: Mwana alitujia,

Pasha habari hiyo Kwa kila mtu!

Yesu msalabani Alifilia wote, Alitupatanisha Na

Mungu, Baba yetu. Pazia la hekalu Likapasuka

huko, Njia imefunguka Kwa wewe, nami!

2 Uwaimbie wenye Shida na sikitiko Na wapigao vita Katika

majaribu! Imba katika miji, Pasha habari njema: Yesu

awatafuta Kwa pendo kubwa!

3 Imba katika giza, Halifikapo jua, Uwaimbie wote, Watu wa

kila hali! Imba mapema sana, Na adhuhuri pia, Sifu

Mwokozi hata Usiku waja!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 449: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

115. PENDO LA MUNGU NI KUBWA

1 PENDO la Mungu ni kubwa, Pasha habari hiyo! Pendo la

Mungu ni kubwa, Mwanzo wa nyimbo zote. Malaika

waliimba, Wachunga wakasikia. Tunafurahi kujua: Pendo la

Mungu ni kubwa.

Pendo kuu, Pendo kuu, Pendo kuu, Pendo la

Mungu ni kubwa!

2 Pendo la Mungu ni kubwa Kwako uliye mbali. Pendo la

Mungu ni kubwa, Anakuhurumia. Ukiendee kisima

Kinachotoka Golgotha, Utaupata uzima Katika pendo la

Mungu.

3 Pendo la Mungu ni kubwa, Latufikisha mbingu. Pendo la

Mungu ni kubwa, Tutafurahi sana! Huko hakuna jaribu

Wala ugonjwa na kufa. Tumeokoka sababu Pendo la Mungu

ni kubwa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 450: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

116. TUIMBIE, TUMSIFU YESU JU’ YA MSALABA

1 TUIMBIE, tumsifu Yesu ju’ ya msalaba! Aliteswa na akafa,

Yote kwa ajili yetu. Akashinda, ’kafufuka, Ni Mwokozi

’kamilifu.

2 Yesu alitukomboa, Na akawa haki yetu. Dhambi aliziondoa,

Akatupa tumaini: Tutarithi utukufu, Nuru, raha na uheri.

3 Yesu alipofufuka Akatushindia kufa, Akapewa nguvu zote

Duniani na mbinguni. Sisi sote tumepona Kwa kupigwa

kwake Yesu.

4 Tushukuru Mungu Baba Kwa ajili ya upendo! Tumsifu Yesu

Kristo Kwa neema yake kubwa! Tumfungulie moyo Kwake

Roho ’takatifu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 451: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

117. NILIPOFIKA GOLGOTHA

1 NILIPOFIKA Golgotha, Nikaiona huko Neema kubwa kama

mto, Neema ya ajabu.

Neema ya Golgotha Ni kama bahari kubwa,

Ne’ma tele na ya milele, Ne’ma ya kutosha!

2 Nilipofika moyo wangu Ulilemewa sana, Sikufahamu bado

vema Neema yake kubwa.

3 Nilipoona kwamba Yesu Alichukua dhambi, Neema

ikadhihirika, Na moyo ukapona.

4 Mbinguni nitakapofika, Furaha itakuwa Kuimba juu ya

neema Milele na milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 452: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

118. NI MWOKOZI MUZURI NINAYE

1 NI Mwokozi mzuri ninaye, Alikufa kuniokoa. Alitoa uzima

wake Kwa ajili ya watu wote.

Alikufa msalabani, Alikufa msalabani. Kwa ajili ya

dhambi zangu zote Alikufa msalabani.

2 Aliacha makao juu, Akafika ulimwenguni; Aliteswa kwa ’jili

yangu Na kunifungulia mbingu.

3 Dhambi zangu ali’chukua, Kujitwika huzuni yangu, Na

alijeruhiwa ili Aniponye na ’nipa raha.

4 Bwana Yesu alifufuka, Akarudi mbinguni kwake; Na yuaja

upesi tena Achukue walio wake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 453: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

119. TUIMBIE MSALABA WA MWOKOZI

1 TUIMBIE msalaba wa Mwokozi, Damu yake inatusafisha

sana! Tunaweza kuwa huru, kwani Yesu Alikufa ili

ku’ondoa dhambi.

Haleluya, anipenda! Haleluya, nafurahi! Haleluya,

siku moja Nitamwona Yesu!

2 Twafurahi, kwa neema yake kubwa, Alikuja ili tuwe na

uzima. Kama njia ni nyembamba duniani, Yesu atatupa

nguvu na ’hodari.

3 Tuuimbe moto ule ’takatifu Uli’tupwa na Mwokozi duniani!

Tuvipige vita vilivyo vizuri, Nasi tutapewa taji ya uzima!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 454: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

120. MSALABANI NILIMWONA YESU

1 MSALABANI nilimwona Yesu, Mwokozi wangu

aliyeniponya; Rohoni mwangu giza ikatoka, Ninafuata Yesu

sasa.

Nimeokoka kutoka dhambi, Na siku zote ninaimba

kwa furaha. Ni vita kali kushinda yote, Lakini

Yesu Yu karibu.

2 Mwokozi wangu ananipa nguvu, Nikiuona udhaifu huku. Na

vita yote itakapokwisha, Nitaipata raha kwake.

3 Mwokozi wangu, ninakufuata, Furaha yako inanituliza. Na

siku moja utakuja tena Kunichukua huko kwako.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 455: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

121. YESU NI FURAHA YANGU

1 YESU ni furaha yangu, Amejaa pendo kweli. Anaweza

kusimika Kila mwenye udhaifu. Ananipa ujasiri, Nguvu,

raha na faraja. Hata nikionja kufa, Yesu ni Mchunga

wangu.

2 Nimefungwa na Mwokozi Kwa kifungu cha upendo, Hata

kufa hakuwezi Kunitenga naye Yesu. Mimi wake siku zote,

Ninataka kumtii. Kwa neema nimepona, Nisitumikie

dhambi.

3 Kwa mikono ya upendo Ninakumbatiwa naye, Sitaweza

kutafsiri Pendo lake kubwa kwangu. Napokea nguvu yake,

Yanijaza moyo wangu. Yesu ananiongoza Katika safari

yangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 456: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

122. MWOKOZI KAMILI NI YESU PEKEE

1 MWOKOZI kamili ni Yesu pekee, Mwokozi mzuri halisi.

Katika wokovu wa Mungu mkuu Ninalindwa naye kabisa.

Katika wokovu nalindwa salama, Naishi kwa

maji ya ’hai. Upendo wa Mungu unanizunguka

:/: Na kanihifadhi daima. :/:

2 Baraka ya mbingu inanijaliza Kwa Roho ya Utakatifu.

Nasifu Mwokozi katika furaha, Wokovu umenifikia.

3 Mwokozi mzuri ni Yesu pekee, Aniondoaye mizigo. Njiani

ananiongoza vizuri, Anipa na nguvu ya mwendo.

4 Nitakapomwona Mwokozi mbinguni Baada ya shida za

huku, Nitamhimidi na kumshukuru Bwanangu

ninayempenda.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 457: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

123. MWOKOZI MZURI NINAYE

1 MWOKOZI mzuri ninaye, Zamani sikumfahamu, Na sasa

ninamhubiri, Wengine wapate kuona.

Wote watamwona, Wote watamwona Mwokozi

mzuri ninaye; Lo! Wote watamwona.

2 Shetani akinizuia Nisimfuate Mwokozi, Najua Bwanangu

hodari Hutaka kunisaidia.

3 Apita wo wote kwa wema, Mfano ’tukufu wa Baba, Lakini

anitaja ndugu, Niliye maskini kabisa.

4 Natoa maisha na pendo Kwa Yesu aliyenipenda. Katika

ishara za Mungu Upendo wapita yo yote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 458: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

124. NAONA PENDO KUBWA MNO

1 NAONA pendo kubwa mno, Latoka kwa Mwokozi wangu, Ni

tele kama maji mengi Yatembeayo baharini. Lanitolea

tumaini Ya kwamba nitatiwa nguvu; Na niwe mhodari tena

Kwa pendo kubwa la Mwokozi!

Haleluya! Ni pendo kubwa Linalotoka moyo wako!

E’ Mungu wangu, nakuomba: Nijaze pendo lako

tele!

2 Na pendo hilo kubwa mno Huyaondoa majivuno, Na

kunifunza haki, kweli, Uongo wote niuvue! Hunituliza moyo

wangu, Huruma nayo hunitia. Na sote tuwe na umoja

Katika pendo la Mwokozi.

3 Nijazwe pendo hilo kubwa, Linibidishe siku zote! Rononi

niwe na juhudi Nitumikie Bwana Yesu! Hazina yako

’nipeleke Kwa watu waliopotea, Wafahamishwe pendo

kubwa Ulilo nalo, Mungu wangu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 459: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

125. HALELUYA! NAFURAHI

1 HALELUYA! Nafurahi, Ninaimba kila siku Sifa zake Mungu

wangu, Aliyeniweka huru. Haleluya! Bwana Yesu Aliniokoa

kweli! Haleluya! Mimi wake, Yeye ni Mwokozi wangu!

2 Heri! Niliyeokoka Kwa neema yake kubwa Ninataka

kumsifu Mungu na wokovu wake. Wakinung’unika wote,

Sitawafuata wao; Nitasifu Mungu wangu Siku zote na milele.

3 Kama ndege waimbavyo Asubuhi bustanini, Na sauti ya

mawingu Ivumavyo baharini, Hivyo nitamshukuru Bwana

wangu kwa furaha. Roho yangu itaimba: Haleluya! Sifu

Mungu!

4 Haleluya! Furahini Mbele yake Mungu wetu! Na watakatifu

wote, Mwimbieni jina lake! Malaika wote pia Msifuni Bwana

Mungu! Mbingu zote zitajibu: “Haleluya, Haleluya!”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 460: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

126. E’ MTAKATIFU, MUNGU WA MAJESHI

1 E’ MTAKATIFU, Mungu wa majeshi, Leo asubuhi tunaimba

mbele yako! E’ Mtakatifu, Mungu wa rehema, Bwana

Mwenyezi, tunakuabudu!

2 E’ Mtakatifu, huko ju’ mbinguni, Lo! Wazee huzitupa taji

mbele zako. Jeshi la mbinguni wanakusujudu Uliye hai sasa

na milele.

3 E’ Mtakatifu! Mtu mwenye dhambi Hataweza kuuona

utukufu wako. Wewe tu ni mwema, tunakuheshimu, E’

mwenye nguvu, pendo na uwezo.

4 E' Mtakatifu, jina lako kubwa Lisifiwe hapa chini, juu na po

pote! Mungu wa neema, nguvu na uwezo, Mwenye baraka,

tunakushukuru!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 461: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

127. NIMEUONA MTO SAFI

1 NIMEUONA mto safi, Kisima cha ajabu, Ni damu yake Yesu

Kristo, Inayonitakasa.

Nimeuona mto safi Unioshao moyo wangu.

Namshukuru Mungu wangu, Aliniweka huru

kweli!

2 Kwa nia na dhamiri safi Naendelea mbele, Ninasafiri kwenda

mbingu Kuona raha yake.

3 Neema kubwa, nimeonja Uheri wa mbinguni, Maana damu

yake Yesu Imeniponya moyo!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 462: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

128. NINA RAFIKI MWEMA, NAYE ALINIFILIA

1 NINA Rafiki mwema, naye alinifilia; Alinivuta kwake na

amenifanya mpya. Ni mali yake Yesu tu, ninaongozwa naye,

Alikomboa mimi kwa agano la upendo.

2 Nina Rafiki mwema, na aliondoa dhambi, Aliniweka huru na

kunipa Roho yake. Na vitu vyote ninavyo ninavitoa kwake,

Maisha yangu ni yake tu, yaimba sifa zake.

3 Nina Rafiki mwema na anayeweza yote, Pamoja naye Yesu

tu nashinda majaribu, Atanitwaa kwake ju’ mbinguni kwa

furaha, Nitastarehe katika makao ya milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 463: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

129. NINATAKA KUMSIFU YESU KRISTO

1 NINATAKA kumsifu Yesu Kristo Aliyeondoa dhambi zangu

zote. Twende sote sasa tumsifu Yeye Na pendo kubwa la

Mwokozi!

Haleluya! Yu Mfalme ’kuu! Haleluya! Asifiwe!

Alinisamehe dhambi zote; Anilinda kwa salama!

2 Na baraka yake anaimimina, Kama mvua ikunyavyo juu

yangu. Nastarehe mikononi mwake Yesu, Rehema yake

inatosha.

3 Siku moja nitamwona Yesu Kristo Kati’ nchi nzuri sana ya

furaha, Macho yangu yatamtazama Yeye, Kuona sura ya

Mfalme.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 464: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

130. NINATAKA KUMSIFU YESU BWANA

1 NINATAKA kumsifu Yesu, Bwana wangu mwema. Aliteswa

hata kufa, Ili niwe huru kweli.

Mwimbieni Bwana Yesu kwa upendo wake ’kubwa!

Alilipa deni langu, Nimewekwa huru kweli.

2 Ninataka ’shuhudia Pendo kubwa la Mwokozi, Jinsi

alivyoniponya Nilipopotea mbali.

3 Ninasifu Mwokozi Kwa uwezo wake bora; Naye anitia nguvu

Nimshinde yule mwovu.

4 Ninataka kumwimbia Yesu Kristo, Bwana wangu. Aliniokoa

kweli, Niwe heri siku zote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 465: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

131. MIMI MKRISTO, NITA’VYOKUWA

1 MIMI mkristo, nita’vyokuwa Katika yote mpaka kufa. Mimi

mkristo, ’navyoshuhudu, Dunia yote ikinicheka. Mimi

mkristo kwa moyo wote Sababu ninampenda Kristo,

Aliyekufa kwa ’jili yangu, Anastahili kupendwa nami.

2 Mimi mkristo, neema kubwa! Niliokoka kutoka dhambi.

Mimi mkristo, hata ikiwa Katika shida na mapigano. Mimi

mkristo, na ni askari, Nafanya vita kushinda dhambi. Akida

wangu ni Bwana Yesu, Pamoja naye ’tashinda yote.

3 Mimi mkristo, na ni mgeni, Nimeifunga safari yangu; Na

sitamani yaliyo huku, Ninatafuta yaliyo juu. Mimi mkristo,

na nchi yangu Ni huku juu katika mbingu, Hamna njaa na

shida humo. Wakristo wote washiba mno.

4 Mimi mkristo! Ni neno zuri La kufariji moyoni mwangu,

Linanitwaa ju’ ya huzuni, Nipumzike kwa Mungu wangu;

Mkristo katika kila hali, Na nikiitwa na kufa tena, Kwa raha

kubwa nitakubali Kuchukuliwa mbinguni juu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 466: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

132. YESU MWOKOZI, UNANIPENDA

1 YESU Mwokozi, unanipenda, Na pendo lako ni kubwa

kabisa. Ulinivuta karibu nawe, Mimi ni wako daima

dawamu.

2 Yesu Mwokozi, unanipenda, Na pendo lako lapita akili.

Linanifunza kuzifahamu Raha, upole na utu adili.

3 Yesu Mwokozi, unanipenda, Mimi maskini, dhaifu,

mnyonge. Nimetakaswa kwa damu yako; Ninakuomba,

’nijaze upendo!

4 Yesu Mwokozi, unanipenda, Umenitilia wimbo kinywani Wa

kukusifu hata milele, Nitakuona halisi mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 467: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

133. UFURAHI, MOYO WANGU

1 UFURAHI, moyo wangu, Heri nyingi umepata! :/: Sikitiko

limekwisha, Yesu ni wangu nami wake. :/:

2 Ameponya roho yangu, Yeye ni mpozi mwema; :/: Na kwa

Roho ’takatifu Anabatiza watu wake. :/:

3 Jina langu ni mbinguni, Yesu ameliandika. :/: Mimi mali ya

Mwokozi Hata milele na milele.:/:

4 Na moyoni mwangu sasa Ninaimba: ‘‘Mungu, Baba!’’ :/:Ni

furaha kubwa sana, Nina rafiki kila saa. :/:

5 Nimeondolewa dhambi, Nisitende ovu tena! :/: Kwani Yesu

aokoa Kila wakati na dakita. :/:

6 Nyimbo za kusifu Mungu Zinajaa mbingu zote. :/: Moyo

wangu unajibu: ‘‘Amina. Mungu asifiwe’’ :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 468: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

134. WATU WA MUNGU, MSHANGILIENI

1 WATU wa Mungu, mshangilieni kabisa, Na mwimbieni

Mfalme wa mbingu na nchi! Mungu Yu nasi Kwa pendo

kubwa, kamili Ili tupate wokovu.

2 Ona ajabu! Mwokozi aliyejidhili! Pendo kamili na neema

nyingi ya Mungu: Alizaliwa, Akawa Mwana Adamu,

Atukomboe na dhambi!

3 Sisi wakristo tumwimbie tena pamoja Yesu Mwokozi aliye

dhabihu ya kweli! Na atukuzwe Hapa na huko mbinguni,

Kwani alitufilia!

4 Yesu Mfalme, kwa pendo uliniokoa, Nikufuate, nikutumikie

daima! Huko mbinguni Nitakusifu milele Katika watakatifu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 469: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

135. SIFU BWANA, NINYI WATU WAKE

1 SIFU Bwana, ninyi watu wake wote Kwa neema yake juu

yenu! Yesu Kristo Yu karibu, atulinda Na ’ongoza njia yote.

Sifu Mungu! Sifu Mungu, Kwa sababu analinda

sisi sote! Sifu Mungu! Sifu Mungu Kwa ulinzi

wake mwema!

2 Yesu alikusamehe dhambi zote, Akuponya udhaifu wako;

Amekufariji, amefuta chozi, Na neema yakutosha.

3 Anakutilia afya, nguvu mpya, Akuvika vazi la kushinda.

Katika mapito yake waongozwa Na kulindwa kwa salama.

4 Kaa ndani yake Bwana Yesu Kristo, Haki yetu, utakaso

wetu, Na wokovu na hikima vilevile, Mkombozi ’timilifu.

5 Bwana Yesu atakuja siku moja, Atukaribishe wote kwake.

Tutamtukuza Yeye, Bwana wetu, Kwani alitukumboa.

Uje mbio! Uje mbio! Bwana Yesu, utukaribishe

kwako! Uje mbio! Uje mbio! Tunaomba wote: Uje!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 470: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

136. TUINUE MOYO TUKISIFU YEYE

1 TUINUE moyo tukisifu Yeye, Aliyechukua dhambi zetu!

Yesu, Mkombozi, asifiwe, Aliyetufia sisi!

Yesu! Tumwabudu Yeye! Yesu! Sifu jina lake!

Tuimbe kwa furaha Duniani pote! Tumsifu,

tumwabudu Yesu!

2 Malaika wote, msifuni Yesu! Nasi tushukuru Mkombozi!

Watu wote wasikie sasa Kwamba Mungu ni upendo!

3 Tushukuru Bwana Yesu, sisi sote, Tukumbuke pendo lake

kuu! Lisifiwe jina lake jema Siku zote na milele!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 471: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

137. NAFURAHI KWA SABABU KATI' DAMU

1 NAFURAHI kwa sababu Kati’ damu ya Yesu Moyo

umetakaswa, Nimepata amani.

Haleluya! Haleluya! Mkombozi asifiwe! Haleluya!

Haleluya! Haleluya! Amina!

2 Sina nguvu, ni dhaifu Bila Yesu Mwokozi, Ila kwa nguvu

zake Nasimama imara.

3 Moyo wangu, ufurahi, Mimi mtu wa Yesu! Nampenda daima

Na kumtumikia.

4 Pendo kubwa la Mwokozi Lanijaza rohoni. Nina raha kamili,

Moyo unastarehe.

5 Sifu Mungu, Baba yetu, Yesu Kristo Mwokozi, Roho

Mtakatifu! Haleluya, Amina!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 472: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

138. SASA TAYARI KWETU SIKU YA KUOKOKA

1 SASA tayari kwetu Siku ya kuokoka, Yesu alitimiza Yote

msalabani. Wengi wanamjia Yesu Mwokozi wao, Wapate

kustarehe, Wapone nafsi zao.

Mwana-Kondo’ wa Mungu Tunakusifu sana!

Uzima uliweka Kwa ’jili yetu sisi. Umetufanya

kuwa Mitume yake Mungu. Kati’ majina yote

Lako ni kubwa mno.

2 Wewe kwa damu yako Ulikomboa sisi, Na jua la neema

Linatuangazia. Tumefahamu sasa Pendo la Mungu wetu.

Damu imetuunga Kati’ agano jipya.

3 Njoo upesi nawe Uliyesitasita! Mungu atakujaza Neema yake

kubwa, Raha rohoni mwako Inayokutuliza, Matumaini,

nguvu, Pendo lililo bora.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 473: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

139. NINA FURAHA KUBWA, NAPUMZIKA

1 NINA furaha kubwa, Napumzika sana, Kwa kuwa nimefika

Kwa Mungu, Baba yangu. Ameniweka huru Na mbali na

utumwa, Na sasa nakaa salama.

2 Zamani nilidhani Kuacha dhambi zote, Lakini sikuweza

Kushinda peke yangu. Ninamwamini sasa Mwokozi wangu,

Yesu, Na yeye ananishindia.

3 Mwokozi wangu, Yesu, Aliyenifilia, Aliokoa mimi, Angali

anipenda; Nahesabiwa haki Katika damu yake, Inayosafisha

kabisa.

4 Na nikijaribiwa Na mwili wangu tena, Ninakumbuka Yesu,

Apita vitu vyote. Neema yake kubwa Kuliko dhambi zangu.

Ninamshukuru Mwokozi.

5 Na sasa Bwana Yesu Akaa ndani yangu, Neema yake kubwa

Yanizunguka mimi. Sitasumbuka tena, Nimejiweka kwake,

Na Mungu anilinda vema.

6 Shetani akitaka Kufanya vita sasa, Sitaogopa yeye Na

mamlaka yake. Maneno yake Mungu, Ni yenye nguvu sana

Kwa wote wanaoamini.

7 Ninaenenda sasa Kwa jina lake Yesu, Salama nitafika

Nyumbani mwa Babangu. Lakini safarini Naimba siku zote,

Nikimshukuru Mwokozi. NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 474: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

140. UKICHUKULIWA NA MASHAKA YAKO

1 UKICHUKULIWA na mashaka yako Na kuona hofu

kwamba utakwama, Uhesabu mibaraka yake Mungu, Na

utashangaa kwa rehema yake.

Uhesabu mibaraka yote Mungu aliyoyakubariki!

Ukumbuke mambo yote pia, Na utashangaa kwa

rehema yake!

2 Na ukiudhiwa na huzuni nyingi, Ukiona msalaba ni mzito,

Uhesabu mibaraka kuchwa pia, Na kwa moyo wote utasifu

Mungu.

3 Wengi watamani mali ya dunia; Utajiri wako ni Mwenyezi

Mungu. Uhesabu mibaraka na kumbuka: Mali haiwezi

kufungua mbingu.

4 Na katika mambo yote huku chini Ukumbuke pendo kubwa

la Mwokozi! Na ujumlishe mibaraka yote, Tena mwisho

atakuchukua kwake!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 475: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

141. MWOKOZI WETU ANATUPA FURAHA

1 MWOKOZI wetu anatupa Furaha duniani, Atuongoza kwa

neema Na anatushibisha. Tazama, Yupo pamoja nasi, Neema

haitaisha kamwe! Haleluya, Haleluya, Haleluya, Amina!

2 Ni vema kumpenda Mungu Aliyetukomboa, Vizuri kuwa mtu

wake, Sitapotea kamwe. Furaha yetu itabakia, Ikiwa vyote

vingetoweka. Haleluya, Haleluya, Haleluya, Amina!

3 Ikiwa giza mara nyingi, Na jua likifichwa, Na tukijaribiwa

huku, Twajuwa ni kwa muda. Mbinguni hatutaona kamwe

Huzuni wala machozi tena. Haleluya, Haleluya, Haleluya,

Amina!

4 Na tusisumbukie tena Chakula wala nyumba, Maana vyote

twavipata Kwa ne’ma yake Mungu. Njiani yote atuongoza,

Aichukuwa mizigo yetu. Haleluya, Haleluya, Haleluya,

Amina!

5 Ikiwa vema huku chini Kutegemea Yesu, Furaha gani huko

juu Kuona uso wake! Tutaiona furaha tele, Na utukufu

hautaisha, Haleluya, Haleluya, Haleluya, Amina!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 476: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

142. KWA NAMNA NYINGI NILITAFUTA

1 KWA namna nyingi nilitafuta Kupata raha moyoni

mwangu. Unyonge wangu haukukoma Ila kwa Bwana Yesu.

2 Na moyo wenye hatia nyingi Nilimwendea Mwokozi wangu,

Na alinipa wokovu wake Na nguvu ya kushinda.

3 Kwa pendo kubwa Mwokozi wangu Aliuweka uzima wake,

Si kitu mimi ulimwenguni, Nina wokovu kwake.

4 Ijapo ninachukiwa huku Ni mteule wa Bwana Yesu,

Napenda sasa kumfuata, Nifike kwake Mungu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 477: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

143. HERI HALISI, YESU NI WANGU

1 HERI halisi, Yesu ni wangu! Yeye Mchunga, mimi ni wake.

Heri yakini, yote ni heri, Roho na moyo zimeokoka.

Yesu ni wimbo na raha yangu, Nitamsifu hata

milele! Na nitamwona huko mbinguni. Yesu ni

wangu na mimi wake.

2 Nilijitoa kwa Bwana Yesu, Na nilipewa wokovu wake. Huko

mbinguni kuna furaha Juu ya mtu aliyetubu.

3 Sasa naweza kusifu Yesu, Na roho yangu inafurahi. Mimi si

kitu mbele ya Mungu, Bali ni heri. Namshukuru!

4 Nimebatizwa katika Roho, Shangwe ya mbingu imo rohoni.

Moto moyoni, pia kinywani, Nashuhudia pendo la Mungu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 478: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

144. SAWA NA KISIMA SAFI

1 SAWA na kisima safi, Chenye maji mengi, mema, Ni upendo

wa Mwokozi, Ukaao ndani yake.

Yesu amelifungua Lango zuri la mbinguni Ili

niingie humo Kwa neema yake kuu.

2 Kama ndege awindavyo Mara nyingi nili’umwa, Moyo

wangu ulilia, Yesu hakunifukuza.

3 Ni ajabu kubwa kweli, Alinisamehe yote! Juu ya rehema

yake Ninaimba kwa furaha.

4 Asubuhi ya uzima Nitafika mlangoni; Kwa ajili ya upendo

Nitapata kuingia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 479: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

145. MUNGU WANGU MKUU WANIJAZA

1 MUNGU wangu mkuu, Wanijaza Mwenyewe, Na uzima u

katika Wewe. Nina raha moyoni Na amani halisi, Ninaishi

katika upendo.

2 Sasa ninakusifu Wewe, Yesu Mwokozi, Unakaa rohoni

daima. Kila ’nachohitaji Wanijaza kwa pendo. Wewe yote,

na mimi si kitu.

3 Jina lako ni “Pendo”, Kulijua hakika Kunafanya safari

nyepesi. Mimi mtu dhaifu, Ila kwako ni nguvu; Niongoze

katika safari!

4 Mbele ya uso wako Giza yote yatoka; Nuru inaangaa moyoni.

Yamepita ya kale, Sasa yote ni mapya. Ni maisha ya heri

ajabu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 480: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

146. KARIBU NA WENZANGU NILIPOTEA

1 KARIBU na wenzangu nilipotea njia, Rohoni mwangu njaa,

na sikuona raha, Lakini sasa Yesu ni Mchungaji wangu,

Naandamana naye siku zote.

2 Katika shamba lake nimefuata Yesu, Ninapajua anapolisha

kundi lake. Na penye maji hai napunzika sana, Naona raha

hapo siku zote.

3 Lakini Mchungaji apita vitu vyote, Uzima aliweka kwa ’jili

ya kondoo. Nikumbukapo Yesu, sioni kitu tena Cha

kupendeza ila Yeye, Bwana.

4 Naimba kwa furaha rohoni mwangu hivi: “Upendo wako,

Yesu, ninausifu sana!” Na jina lake Yesu ni kama manukato;

Ananilinda vema siku zote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 481: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

147. MWENYEZI MUNGU WA ZAMANI ZOTE

1 MWENYEZI Mungu wa zamani zote Ni kimbilio la vizazi

vyote. Katika vita anawashindia Na ku’okoa watu wake

wote.

Mfalme ’kubwa ndiye Mungu, Vitani anatushindia.

Kwa shangwe kubwa tumsifu Na tumwimbie

Mungu wetu!

2 Mwenyezi Mungu wa zamani zote Aliokoa watu utumwani,

Kwa njia kavu katika bahari Wakafikishwa ng’ambo kwa

salama.

3 Mwenyezi Mungu wa zamani zote Karmeli alishinda yule

Ba’li, Akasikia ombi la Eliya, ’katuma moto juu ya sadaka.

4 Mwenyezi Mungu wa zamani zote Akawa naye Daudi vitani;

Aki’tupia jiwe Goliati, Shujaa alikufa mara moja.

5 Mwenyezi Mungu wa zamani zote, Ushenzi wote utashindwa

naye. Atamseta yule mdanganyi, Shetani, chini ya miguu

yake.

6 Mwenyezi Mungu wa zamani zote Atuongoza kwa mikono

yake; Anatulinda hatarini huku, Mbinguni tutafika kwa

salama.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 482: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

148. NGUVU ILE ILISHUKA JU' YA WANAFUNZI

1 NGUVU ile ilishuka ju’ Ya wanafunzi wote Mjini mwa

Yerusalem’ Siku ya Pentekoste, Lo! Nguvu hiyo ya Mwokozi

Ni sawa leo; shukuru Mungu!

Karama, karama, karama yake Mungu Ni sawa

hata leo, ni sawa hata leo! Karama, karama,

karama yake Mungu Ni sawa hata leo!

2 Yesu aliwapa ahadi: “Mtapokea nguvu!’’ Na Roho akashuka

na Wakamsifu Mungu. Walio wenye udhaifu, Wakahubiri

kwa uthabiti.

3 Roho yule aingiapo Anatutia nguvu, Tupate kwa imani ku’

Kushinda yule mwovu. Kwa moyo wenye moto safi Tuite

watu kwa Mkombozi!

4 Uingie sasa rohoni, Uwashe moto wako, Tupate kusimama

kwa Usafi siku zote! Ufike sasa kama mbele Wakati huo wa

Pentekoste!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 483: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

149. UZIMA NINAO MOYONI DAIMA

1 UZIMA ninao moyoni daima, Uzima ni Yesu Mwokozi,

Aliyeingia rohoni hakika, Akanitilia ’hodari.

Nashiba rohoni kwa raha ya Mungu, Na moto wa

mbingu ulimo. Napata kukaa nuruni kabisa, Na

nuru ni Yesu Mwokozi.

2 Baraka zilizo katika wokovu Nilizozipata kwa bure,

Nilipoungama makosa na dhambi Kwa Yesu Mwokozi wa

wote.

3 Mwokozi aliniondoa porini; Natunzwa shambani mwa

Mungu. Na sasa kwa mvua na jua la mbingu Ninamzalia

matunda.

4 Naona maisha ni yenye maana: Ni ku’tumikia Mwokozi.

Kuishi ni Kristo na kufa faida Kwa kila mkristo wa kweli.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 484: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

150. NATAKA KUPOKEA BARAKA YAKE MUNGU

1 NATAKA kupokea baraka yake Mungu, Nataka kubatizwa

kwa Roho ’takatifu. Ju' ya ahadi yake napumzika sana,

Aliahidi mimi kupata Roho yake.

Sawa na bahari, sawa na bahari Ni neema yake

anileteayo. Anayenijaliza, Anayeniponyesha, Ni

Mwokozi wangu. Asifiwe sana!

2 Kanisa lake Mungu linaipata mvua, Vijito vya baraka

vinamiminwa sasa. Furaha ya uzima ni kubwa kati yetu.

Tuimbe haleluya! Tumshukuru Yesu!

3 Mawimbi ya wokovu yanatujia sasa. E’ Mungu, tunaomba:

Ujaze sisi sote! Watakatifu wako watakasike sana! Tuimbe

haleluya! Tumshukuru Yesu!

4 Mawimbi ya wokovu yaliyofika kwetu, E’ Mungu, uyatume

ulimwenguni mwote, Maelfu kati’ watu wapate kuokoka,

Waimbe haleluya, Wamshukuru Yesu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 485: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

151. MWOKOZI, MOTO SAFI, WAZI, TUNATAKA MOTO

1 MWOKOZI, moto safi, Tunataka moto wako juu yetu!

Twaomba kwako leo, Mungu: Washa moto ndani yetu,

washa moto! Tazama sisi hapa leo, Na tupe Roho yako,

Mungu! Tupate Pentekoste yetu! Tunangoja moto wako juu

yetu!

2 E’Mungu wetu, usikie, Tunaomba moto wako juu yetu!

Twadumu katika kuomba: Washa moto ndani yetu, washa

moto! Tunahitaji nguvu yako Ili tutakasike sana Na

kuyashinda majaribu. Tunangoja moto wako juu yetu.

3 Mioyo iliyo baridi Inataka moto wako juu yao. Hitaji zote

tutajazwa, Tukipata moto wako ndani yetu. Siwezi mimi

peke yangu Kushinda mambo ya Shetani, Lakini ninaomba,

Mungu: Washa moto ndani yangu, washa moto!

4 Naomba moto juu yangu Ili nihudumu huku kwa upendo;

Nauhitaji moto wako, Niwe na bidii nyingi na ’hodari. Ju’ ya

madh’bahu takatifu Nakuwekea moyo wangu, Mungu,

Washa moto, washa moto, washa moto!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 486: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

152. YESU ALIPOLALA KATI’ KABURI

1 YESU alipolala Kati’ kaburi, Giza ilifunika Yesu Mwokozi.

Alifufuka hakika, akavunja nguvu ya mauti,

Mshindaji ju’ ya mamlaka yote; Ni Mfalme wa

milele na milele, Alikuwa amekufa, Na tazama

amefufuka!

2 Walinzi wa kaburi Walikimbia, Muhuri na vifungo

Vilivunjika.

3 Kufa hakukushika Mawindo yake. Alilivunja pingo, Yesu

Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 487: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

153. YESU KRISTO ALIFUFUKA

1 YESU Kristo alifufuka, Akatoka kaburini. Furahini na

msifuni, Kwani alishinda kufa!

Habari njema: Alifufuka katika wafu! Yesu Yu hai,

Naye atakuja tena.

2 Nguvu za mauti na dhambi Yesu Kristo ali’shinda; Nasi sote

tutashinda kwa Nguvu yake ya ajabu.

3 Kundi dogo, msiogope, Bwana Yesu ni Uzima! Aliziondoa

dhambi na Anawafariji moyo.

4 E’ wakristo, shangilieni, Yesu aliyefufuka Yu karibu,

atakuja na Atatufufua sote!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 488: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

154. E’ RAFIKI, SHAKA ZAKO ZIPELEKE KWAKE

1 E’ RAFIKI, shaka zako Zipeleke kwake Yesu!

Aliyemwamini Yeye Hataona haya kamwe.

Naamini, naamini, Ninakuamini, Yesu. Naamini,

naamini, Naamini Neno lako.

2 Dhambi zote ziungame Na kwa damu utakaswe, Akuvike

haki yake! Atakufikisha kwake.

3 Masumbuko yako yote Uyaweke mbele yake! Ukipita

uvulini, Bwana Yesu yupo nawe.

4 Na furaha yako pia Ijulike kwake Yesu, Yeye, Bwana ju’ ya

yote, Akubarikie yote!

5 Ujitoe kwake Yesu: Roho, mwili na akili! Vyote vya maisha

yako Anataka ku’takasa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 489: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

155. KATIKA MATUMAINI KWA MUNGU

1 KATIKA matumaini Kwa Mungu wangu Nakaa katika raha

Na utulivu. Na Yeye ni mwamba wangu, Imara sana; Katika

dhoruba zote Ananilinda.

2 Mwenyezi ni ngome yangu, Sitatetema; Siwezi kuhofu tena

Huzuni, shida. Ikiwa ni vita kali, Sitaogopa; Ni msaidizi

wangu Karibu nami.

3 Mahali pa kustarehe Kwa Yesu Kristo; Napata amani, raha,

Furaha kubwa. Faraja katika shida, Gizani nuru, Na katika

pepo nyingi Bandari nzuri.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 490: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

156. WALIAMINIO NENO LAKE MUNGU

1 WALIAMINIO Neno lake Mungu Watapata nguvu kuwa

washindaji, Kwani Bwana Yesu alituahidi Atathibitisha

Neno kwa ishara.

Shinda, shinda, nguvu ya kushinda! Shinda,

shinda, shinda kila saa! Mungu atatupa nguvu ya

kushinda, Tumtii Yesu, nasi tutashinda!

2 Kati’ vita kali Tuwe na ’hodari, Mungu ndie nguvu yetu ya

ajabu! Tu’amini Neno: Na ishara kubwa Zitafuatana na

waaminio.

3 Nguvu ya kupiga vita ya imani, Nguvu ya kupinga hila za

Shetani! Yesu amesema: Na ishara kubwa Zitafuatana na

waaminio.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 491: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

157. HAIDHURU KWANGU HUKU CHINI

1 HAIDHURU kwangu huku chini Utajiri au umaskini, Ila

Bwana Yesu awe nami; Ninatunzwa naye siku zote.

2 Haidhuru kama ninakuta Shida nyingi katika safari, Ila

Mchungaji wangu mwema Anilinde na kuniongoza.

3 Haidhuru kama tunakaa Katika baridi au hari, Kwa sababu

ukombozi wetu Unakaribia. Haleluya!

4 Haidhuru kama sitapata Utukufu na heshima huku;

Nikifanywa kama takataka, Yanipasa kupendeza Bwana!

5 Haidhuru kama njia yangu Inanichokeza mara nyingi, Basi,

nisigombe na wenzangu, Na pamoja tutashangilia!

6 Haidhuru kama tukiona Sisi si wakubwa huku chini. Tuwe

watumishi wake wema, Na tutaingia kwake Bwana!

7 Haidhuru kama twasafiri Katika dhoruba ya bahari, Kwani

Yesu ni nahodha wetu, Atatufikisha bandarini.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 492: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

158. HERI MTU ANAYE AMINI MUNGU BABA

1 HERI mtu anayeamini Mungu Baba na Yesu Mwokozi! Heri

mtu aifuataye Njia nzuri ’endayo mbinguni!

Usifiwe, Yesu Kristo! U Mwokozi mzuri kabisa!

Usifiwe, Yesu Kristo! Bwana, nitakuona mbinguni.

2 Kwa furaha tunakusanyika Kusikia Maneno ya Mungu, Na

mbinguni karibu ya Yesu Tutamshangilia daima.

3 Kuamini pasipo kuona Inafaa katika safari. Siku moja

atatuchukua, Tutakaa milele mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 493: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

159. NASIKIA BWANA YESU ANIITA

1 NASIKIA Bwana Yesu Aniita ku’fuata. Aliponitangulia

Nifuate Yeye njia yote!

Nifuate nyayo zake, Nifuate nyayo zake, Nifuate

nyayo zake, Nifuate Yeye njia yote!

2 Nifuate njia yote, Na kwa maji nibatizwe, Na kujazwa Roho

wake! Nifuate Yesu njia yote!

3 Nifuate, nihubiri Neno lake la uzima Kati’ watu wa dunia!

Nifuate Yesu njia yote!

4 Nifuate Bwana Yesu Katika mateso, kufa, Na nifufuliwe

naye! Nifuate Yesu njia yote!

5 Atanipa ne’ma yake Kwa kudumu hata mwisho, Hata

nitakapomwona Bwana Yesu huko ju’ mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 494: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

160. AHADI ZOTE ZA MUNGU WETU

1 AHADI zote za Mungu wetu Zinasimama hata milele.

Milima yote ikianguka, Ahadi hazipunguki.

Ahadi zake zinasimama, Hazipinduki hata milele.

Ikiwa nyota zingezimika, Ahadi zake zinadumu.

2 Ahadi zake zinasimama Katika shida, katika giza. Na

nikichoka kwa vita kali, Ahadi hazipunguki.

3 Ahadi zake zinasimama Katika homa, katika kufa.

Nafarijiwa na Baba yangu, Ahadi hazipunguki.

4 Ahadi zake zinasimama; Nitaamshwa katika kufa. Kwa

Baba nitapokea taji; Ahadi hazipunguki.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 495: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

161. UMESHIRIKIANA NAYE YESU

1 UMESHIRIKIANA naye Yesu Kama tawi ndani yake

mzabibu? Una raha iliyo timilifu, Umejazwa Roho yake

’takatifu?

Umeshirikiana naye Yesu Kama tawi ndani yake

mzabibu? Kuna raha na starehe Katika kuomba

Mungu; Akutia nguvu ya kushinda yote.

2 Umepata imani ishindayo Katika mashaka, shida huku

chini? Umepata neema ya kudumu Inayokulinda katika

hatari?

3 Kwake Yesu mahali pa amani, Huko ndiko pa kuburudika

sana; Atujaza mioyo utulivu, Tunakaa raha na mstarehe pia.

4 Twafurahi kwa wema wake wote, Twamsifu kwa ulinzi wake

pia. Hata tukiudhiwa huku chini, Atatufikisha kwake huko

juu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 496: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

162. BWANA YESU UWE NAMI

1 BWANA Yesu, uwe nami, Bila Wewe nina hofu, Unikaribie

sana, Uwe Kiongozi wangu!

Sitaona hofu tena, Yesu Kristo Yu karibu.

Ninataka kufuata Njia yako siko zote.

2 Bwana Yesu, uwe nami, Kwani mimi ni dhaifu; Na unifariji

moyo Kila siku ya huzuni!

3 Bwana Yesu, uwe nami Siku zote safarini, Zikiwako shida

huku Au raha na amani!

4 Bwana Yesu, uwe nami! Nahitaji nuru yako Hata nitafika

mbingu, Kao letu la milele!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 497: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

163. AHADI ZOTE ZA MUNGU ZINASIMAMA

1 AHADI zote za Mungu Zinasimama kweli, Na zilitiwa

muhuri Kwa damu yake Yesu.

Mbingu zikiondoka, Nchi ikitoweka, ’aminiye

’taona: Ahadi zinadumu.

2 Fanya kama Ibrahimu: Uangalie juu! Nyota ukizihesabu,

Imani itaota.

3 Katika giza njiani Tutaamini tu. Muda kitambo, na tena Jua

litaangaa.

4 Watu wakitusumbua, Tutaamini tu. Yesu atusaidia

Majaribuni pote.

5 Kama rafiki wakosa, Tutaamini tu. Yesu, Rafiki mkubwa,

Atabaki daima.

6 Katika mambo yo yote Tutaamini tu. Tutaviona mbinguni

Tulivyoviamini.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 498: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

164. ISRAELI WAKE MUNGU, KIMYA SANA

1 ISRAELI wake Mungu, kimya sana, Wa’zunguka Yeriko

kwa imani. Malaika wake aliwaongoza, Na waliendelea kwa

kushinda.

Twende kwa kushinda, twende kwa kushinda! Kwa

damu yake Yesu twende kwa kushinda! Tegemea

Mungu, anatuongoza, Na kwa imani twende kwa

kushinda!

2 Na Daudi, mchungaji, alikwenda Mbele yake Goliathi bila

woga; Kwa imani alitupa jiwe lake, Kwa jina lake Mungu

akashinda.

3 Danieli aliomba kila siku, Hakuhofu pango la simba kamwe;

Katika imani aliomba Mungu, Akaokoka katika hatari.

4 Hata safarini huku kwenda mbingu Nikipita katika jangwa

kavu, Na kupatwa na ’jaribu mbalimbali, Najua kwa imani

nitashinda.

5 Na imani inashinda hali zote, Inaruka juu ya mambo yote.

Niliye dhaifu sitahofu kamwe, Kwa kuwa Mungu ananiokoa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 499: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

165. NITAZAMAPO KWA IMANI MWOKOZI

1 NITAZAMAPO kwa imani Mwokozi wangu, nafurahi,

Naona utajiri wake Anao Mungu, Baba yangu. Haleluya!

Furaha kubwa, Aniongoza siku zote! Nikiuona udhaifu,

Anichukuwa mikononi.

2 Sitasumbuka mimi tena, Furaha inanijaliza; Na kwa upendo

na rehema Anisikia, nikiomba. Haleluya! Ananitunza,

Ninastarehe kwa salama. Na ukitaka raha yake, Mfungulie

moyo wako!

3 Nilipokaa kati’ dhambi Nikaliona sikitiko, Lakini shaka na

hukumu Zimeondoka kwangu sasa. Haleluya! Anipa nguvu

Ya kuyashinda majaribu. Rohoni mwangu nina raha,

Nalindwa nayo siku zote.

4 Dhihaka na mateso yote Si kitu kwangu kwa sababu

Nafarijiwa na Mwokozi, Nakumbatiwa na babangu.

Haleluya! Mwokozi wangu Ananitunza kwa neema. Nikiwa

na ’dhaifu tena, Natiwa nguvu kwa imani.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 500: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

166. TUKIENDA PAMOJA, KUSHIKANA

1 TUKIENDA pamoja, Kushikana na Mungu, Tunapata

amani na raha; Tukifanya daima Yanayompendeza, Yu

karibu kutusaidia.

Raha, furaha Twazipata kwa Yesu, Tukidumu

katika Kuamini, kutii.

2 Ikiwapo dhoruba, Na mawimbi ya’vuma, Yanakoma kwa

Neno la Yesu. Tukiona jaribu Na kuhofu adui, Tutashinda

kwa nguvu ya Yesu.

3 Tukibeba mizigo Anatustarehesha, Tunapata furaha halisi.

Masumbuko yatoka, Giza inageuka Kuwa nuru njiani mwa

Mungu.

4 Tuna raha ya Mungu Katika mashindano Tukitii na

tukiamini. Jua lake la pendo Linawaangazia Watiio na

waaminio.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 501: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

167. NINAJUA RAFIKI MWEMA, ANITUNZA

1 NINAJUA Rafiki mwema, Anitunza sana kila siku.

Ayaponya majeraha Na machozi ayafuta. Jina lake ni Yesu

Kristo.

Najua Rafiki mwema, Na Yeye ajaa ne’ma.

Nikiomba asikia, Afariji nikilia. Ndiye Yesu, na si

mwingine.

2 Nimepata Rafiki mwema, Afariji na kunipa raha.

Nikitegemea Yeye Sitahofu maadui; Na rafiki ni Yesu Kristo.

3 Nifikapo mtoni pale Paitwapo ‘‘kufa’’ na ‘‘mtego’’,

Sitafadhaika hapo, Yesu atakuwa nami; Ni Rafiki mkubwa

mno.

4 Pwani nzuri ya huko juu Nifikapo kwa neema kuu, Nitaimba

kwa kinubi, Nitasifu Yesu sana Kwa upendo na urafiki.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 502: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

168. NINA USHIRIKA NA FURAHA KUBWA

1 NINA ushirika na furaha kubwa, Namtegemea Bwana Yesu.

Wingi wa uheri kwa waaminio: Kustarehe mikononi mwake!

Raha, raha, raha kwa Yesu, na amani! Raha, raha,

Nastarehe mikononi mwake.

2 Raha ya ajabu ni rohoni mwangu, Namtegemea Bwana

Yesu. Nuru huangaza njia niendayo; Nastarehe mikononi

mwake.

3 Woga na huzuni zinatoka kwangu, Nikitegemea Bwana

Yesu. Ninafarijiwa siku zote naye, Nastarehe mikononi

mwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 503: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

169. ASKARI WA IMANI SISI

1 ASKARI wa imani sisi, Kwa shangwe tunaendelea, Hata vita

’kiwa kali Tuna nguvu na ’hodari. Tuna upanga wa imani,

Ni neno lake Mungu wetu; Na kwa jina lake Yesu

Tunashangilia sasa.

Mbio tutaacha huku, Vita ikiisha. Tutaingiamo

mbingu Kustarehe humo. Wao washindao huku,

Watapewa taji Kwa mkono wa Mwokozi,

Anayewapenda.

2 Tuvae kila mtu sasa Silaha zote zake Mungu. Na mishale ya

Shetani ’tazimika mbele yetu. Tukimtii Bwana wetu,

Twaendelea kwa ’hodari, Na kwa nguvu za ahadi Tutakuwa

washindaji.

3 Na ukipungukiwa nguvu, Katika vita ukishindwa, Yesu

atakutilia Nguvu mpya ya kushinda. Kwa nyimbo za

kushangilia, Utahimili shida zote, Na kupata kuokoa Wenye

dhambi na makosa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 504: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

170. NIKIONA SHIDA HUKU KATIKA SAFARI

1 NIKIONA shida huku Katika safari, Yesu aninong’oneza

Neno la faraja. Ananipa raha tele Na furaha ya ajabu.

Ninaandamana naye Sasa na milele.

2 Tena njia ikienda Juu ya milima, Ninakaribia mbingu, Nuru

inang’aa. Na katika nuru hii Ninaona kwa uwazi Nchi ya

ahadi yake Na urithi wangu.

3 Kwa imani ninaimba, Hata hatarini, Njia ’kiwa ndefu huku,

Nitavumilia. Nyota za ahadi zake Zinang'aa kwa usiku,

Zinaniongoza vema Hata huko juu.

4 Kama Musa ali’ona Nchi ya ahadi, Kadhalika natazama

Nchi yangu juu; Ninaisalimu sasa Kwa uheri na imani.

Natamani kufikako, Kwa urithi wangu.

5 Vya hatari vikifika Kati’ njia tena, Yesu Yu pamoja nami,

Anichunga vema. Ninaendelea mbele, Na mbinguni nifikapo

Nyimbo nzuri nitaimba Na wakristo wote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 505: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

171. MWENYEZI MUNGU NGOME KUU

1 MWENYEZI Mungu ngome kuu, Silaha ya imara! Katika

shida na huzuni Twategemea Yeye. Mwovu akikaribia

Kututia woga, Akijithibitisha Kwa hila na jeuri,

Tusimwogope yeye!

2 Kwa nguvu yetu tu dhaifu, Na tungeshindwa hima, Ila

Mwenyezi Yupo nasi, Twaambatana naye. Ukitaka jina lake,

Ndilo Yesu Kristo; Aliye Mshindaji Na mwenye mamlaka,

Mfalme wa milele.

3 Dunia yote ikijaa Majeshi ya gizani, Tuliye naye Mungu

wetu, Hatutaona hofu. Mwovu amehukumiwa, Hana nguvu

tena Ya kutuangamiza Maungo wala robo; Ashindwa na

Mwenyezi.

4 Maneno yake Mungu wetu, Tushikamane nayo! Hatushindii

vya dunia, Vya juu twatafuta. Tu hodari siku zote, Hata

hatarini; Uzima twauweka Kutii Mungu wetu: Ufalme una

Yeye.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 506: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

172. SISI TU VIUNGO VYA MWILI 'MOJA

1 SISI tu viungo vya mwili ’moja, tunasaidiana. Utumishi

wetu tunaupenda na twasaidiana.

Twasaidiana sote, Twasaidiana sote. Twamaliza

kwa Shangilio na Kwa bidii kazi yetu.

2 Twafurahi kwa utumishi, hata tukiwa peke yetu; Walakini

heri zaidi kama tukisaidiana.

3 Ikiwezekana kwa mchwa ’dogo kujenga kisuguu, Sisi nasi

kwa nguvu yake Mungu tutamaliza kazi.

4 Na umoja wetu ni wa thamani, unapendeza Mungu;

Anatubariki kwa neema, anatupa tunu kubwa.

5 Twakuomba, Bwana, ’tuunganishe, tujaze pendo lako! Na

kwa Roho yako utubatize, tuhudumie Wewe!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 507: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

173. MAISHA KATIKA DUNIA

1 MAISHA katika dunia Ni kama kupanda na ’vuna:

Apandaye katika mwili Atavuna uharibifu; Tukitumikia

Mwokozi Tutapata thawabu mbinguni; Yafaa kuishi na kufa

Katika Maneno ya Mungu.

2 Kwa neema kubwa kabisa Tumekubaliwa na Mungu, Kwa

neema kubwa zaidi Twapata kumtumikia. Kuishi kwa ’jili

ya Yesu Kati’ yote ya dunia hii Na kuitangaza Injili Ni faida

kwetu kabisa.

3 Wakristo wata’poingia Mbinguni kusifu Mwokozi, Na mimi

nataka kufika Kuimba pamoja na wao. Tutamshukuru

Mwokozi aliyetununua kwa damu; Waliohudumu kwa pendo

Watamhimidi milele!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 508: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

174. PENDO KUBWA LA BABANGU LINANG'AA

1 PENDO kubwa la Babangu Linag’aa sikuzote, Walakini

anataka Sisi tuwe nuru huku!

Nuru yetu iangae Mbele ya wenzetu huku, Hata

mtu ’moja moja Aione njia njema!

2 Dhambi zimetia giza Huku chini duniani, Walakini watu

wengi Wanatazamia nuru.

3 Ndugu yangu, angalia, Taa yako iwe safi! Na kwa nuru

waokoe Wenzi waliopotea!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 509: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

175. SHAMBA LA MUNGU LIMEIVA

1 SHAMBA la Mungu limeiva, Li tayari sasa kuvunwa.

Wavunaji, mfike mbio Kuyavuna mavuno yake!

Bwana Yesu, twakuomba, Uwatume watenda kazi

Wakusanye miganda yote Kwako Yesu, Mwokozi

mwema!

2 Uwatume mapema sana, Na wengine kati’ mchana, Hata saa

ya magharibi Uwaite wavuni wako!

3 E’ mkristo, anakuita, Wende mbio, usichelewe! Macho yako

uyainue, Kwani Yesu aja upesi!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 510: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

176. MUNGU AKUTAKA KATI’ SHAMBA LAKE

1 MUNGU akutaka kati’ shamba lake, Nenda na wengine

kumtumikia! Ujitowe kweli kwake Mungu wetu! Uhubiri

Neno lake pande zote!

2 Ukumbuke Yesu, jinsi apendavyo! Anawatafuta waliopotea.

Uwapende nawe kwa upendo wake, Naye atakupa nguvu na

baraka!

3 Uliyemwamini, nenda mbio sana Kati’ shamba lake,

usingoje bure! Utumike vema, omba kwa bidii, Na thawabu

yako utaipokea!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 511: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

177. NIPE HABARI YA YESU, UIANDIKE ROHONI !

1 NIPE habari ya Yesu, Uiandike rohoni! Uniimbie zaburi Ya

kumsifu Mwokozi, Sifa iliyotangazwa Na malaika zamani:

Mungu wa ju’ atukuzwe, Iwe amani duniani!

Nipe habari ya Yesu, Uiandike rohoni! Uniimbie

zaburi Ya kumsifu Mwokozi!

2 Nipe habari ya Yesu, Jinsi alivyohimili Shida, jaribu na teso

Na umaskini na bezo! Maradhi zangu na dhambi

Aka’chukuwa mwenyewe, Kila wakati tayari Kusaidia

wahitaji.

3 Nipe habari ya Yesu, Ya msalaba na kufa, Taja kaburi

mwambani, Alipotoka Mwokozi! Pendo la Yesu ni kubwa,

Aliyekufa Golgotha, Akafufuka hakika, Namshukuru siku

zote!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 512: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

178. YESU KUTOKA MBINGUNI ALIINGIA

1 YESU kutoka mbinguni Aliingia huku Nchi ya giza na

dhambi, Ili atuokoe.

Nenda, nenda! Fanya mapenzi ya Yesu! Omba

kupata sehemu Kati’ mavuno makubwa!

2 Wanapotea gizani Wengi wa ndugu zako. Nenda kapashe

habari: “Leo wokovu uko!”

3 Nenda kawahubirie Watu wa mataifa Neno la Yesu

Mwokozi! Anakuita leo.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 513: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

179. SIKU MOJA MAVUNO YATAISHA KABISA

1 SIKU moja mavuno Yataisha kabisa, Baada ya hayo

hukumu. Jua litazimika Siku hiyo ya mwisho, Na hutasikia

injili.

Atakusanya ngano Kwa furaha ghalani, Bali

makapi yote Yatatupwa motoni. Rafiki, utakuwa

wapi?

2 Mahubiri na nyimbo Za wokovu wa Mungu

Zitakaponyamaza huku, Uliyelikataa Neno zuri la Mungu,

Utakaa wapi milele?

3 Watu wote wa Mungu Wafikapo mbinguni Kukaa pamoja

na Yesu, Wataimba kabisa Kwa sauti ya nguvu

Kumshangilia Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 514: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

180. BWANA YESU ANATUULIZA

1 BWANA Yesu anatuuliza: “Nimtume nani mavunoni? Watu

wenye dhambi wapotea; Watolee Neno la neema!”

‘‘Mungu wangu, sema nami! Uniguze sasa kwa

makaa! Mungu wangu, sema nami! Mimi hapa,

unitume sasa!"

2 Mtumishi wake Bwana Mungu Alisema: ‘‘Mimi sistahili.’’

Aliposikia moto safi, Akasema: ‘‘Unitume mimi!’’

3 Mataifa mengi wanakufa, Hawajui Yesu na wokovu.Twende

kwao mbio, tuhubiri Neno la wokovu wake Yesu!

4 Siku za mavuno zitapita, Watumishi watarudi kwao. Bwana

wao atawapokea Na kusema: “Ulifanya vema!”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 515: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

181. TUTAZAME KULE MBELE

1 TUTAZAME kule mbele, Asubuhi inakuja! Tuamini Mungu

wetu, Atafanya kazi yake, Kufukuza mashetani, Kumiliki

nchi yote. Tutashinda tukiomba, Mungu anatusikia.

2 Tarumbeta linalia, Tuamke sote sasa! Mungu wetu anataka

Sisi sote tutakaswe! Kila mtu awe safi Katika kanisa lake!

Uliache nung’uniko, Utapata nguvu yake!

3 Imba ninyi, watu wake, Bwana Yu pamoja nasi! Tutashinda

majaribu Kwa uwezo wake Yesu. Twende tumhudumie Kwa

kumpa mali yetu; Hata roho na akili Zimtumikie Bwana!

4 Watu wengi hawajui Njia yakufika mbingu, Wanakuwa

wamefungwa Kwa mikono ya Shetani. Twende

tukawatafute, Tuwavute kwa Mwokozi, Na kuomba na

kukesha Hata kuja kwake Yesu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 516: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

182. KISA CHA KALE NIPE HABARI

1 KISA cha kale nipe, Habari ya mbinguni, Ya Bwana

Mtukufu, Ya pendo lake Yesu! Niambie Neno lake, Nipate

kusikia, Mnyonge mimi huku, Mjinga, mkosaji.

Kisa cha kale nipe, Kisa cha kale nipe, Kisa cha

kale nipe, Cha pendo lake Yesu!

2 Sema kwa taratibu Nipate kuelewa Habari ya wokovu Na

damu ya Mwokozi! Simulia mara nyingi, Nisije kasahau,

Niikumbuke tena Maisha yangu yote!

3 Taja habari hiyo Kwa wema na kwa pendo, Mwokozi alikufa

Kutukomboa sote. Na ikiwa unataka Kunifariji mimi,

Nisimulie ile habari ya zamani!

4 Nipe habari hiyo Ikiwa waniona Ninaipendelea Fahari ya

dunia! Siku nitakapokufa ’tapenda kusikia Habari ya

zamani: Mponyi mwema Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 517: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

183. PANDA MBEGU NJEMA ANZA ASUBUHI

1 PANDA mbegu njema, anza asubuhi, Na uwaokoe watu wa

Shetani! Kwa wakati wake vuno litaiva, Chumo utapata kwa

furaha kuu.

:/: Twende tukavune, twende tukavune, Kwa

furaha kubwa twende tukavune! :/:

2 Panda mbegu njema juu ya milima! Na tuendelee hata

mabondeni! Neno lake Mungu litawafungua Watu wa gizani,

kwa furaha kuu.

3 Panda mbegu njema hata kwa machozi, Ukumbuke Yesu,

leo uhubiri! Bwana wetu, Yesu, atakuja tena Na thawabu

yetu kwa furaha kuu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 518: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

184. NITAKWENDA MAHALI PA GIZA

1 NITAKWENDA mahali pa giza na dhambi Kuhubiri Injili ya

nuru, Ili watu wasiosikia habari Wafahamu upendo wa

Yesu.

Nitakwenda mahali pa giza na dhambi, Hata wote

wapate kuona wokovu.

2 Akitaka niende kwa watu wagumu Na kuacha rafiki na

ndugu, Hata wakinitaja: ‘‘’pumbavu’’ na ‘‘bure’’, Nachagua

mapenzi ya Yesu.

3 Uliyezipoteza dakika na saa Kwa tamaa ya mambo ya huku,

Uamke na uwaokoe wenzako, Hata wasipotee kwa dhambi!

4 Watu wengi wangali watumwa gizani, Wanangoja kupata

uhuru. Yesu ananituma, Niende upesi Kuhubiri maneno ya

nuru.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 519: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

185. NEEMA KUBWA YA MUNGU WETU

1 NEEMA kubwa ya Mungu wetu: Alikutuma kwa kazi yake

Kwenda kuzipanda mbegu njema Katika roho za wenzako!

Nenda, E’ mvunaji, Nenda, E’ mvunaji! Nenda

kapande mbegu njema, Nenda, E’ mvunaji!

2 Njia ikionekana ndefu, Neno la Mungu ni aminifu: ‘‘Kwa

macho yangu nakuongoza, Jangwani nitafanya njia.’’

3 Ikiwa ndugu hawakuoni, Mtumikie Mwokozi vema! Bwana

anayetazama wewe, Anampenda mwaminifu.

4 Hata ukiwa mdogo sana, Nenda upesi shambani mwake,

Labda utaliokota suke Lililoachwa na wenzako.

5 Neno na nyimbo hazitatosha Kuwaamsha wafanya dhambi,

Bali mwenendo ulio safi Utawavuta ndugu zako.

6 Na usichoke kupanda mbegu Katika pendo na tumaini!

Ukizipanda kwa shida nyingi, Kwa shangwe kubwa utavuna!

7 Siku za kazi zita’pokwisha Tutahamia mbinguni juu;

Tutawaona wenzetu wote Tuliovuta kwa Mwokozi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 520: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

186. FANYIA MUNGU KAZI, MBIO USIKU

1 FANYIA Mungu kazi, Mbio usiku waja! Mtumikie Mungu

Siku zako zote! Anza mapema sana, Dumu mchana kutwa!

Mbio usiku waja, Kazi itakwisha.

2 Fanyia Mungu kazi Kama kungali jua, Usipoteze bure Siku

zako huku! Uyatimize yote Bila kukosa neno! Mbio usiku

waja, Kazi itakwisha.

3 Fanyia Mungu kazi, Saa yapita mbio! Fanya bidii sana

Kuokoa ndugu! Mtumikie Mungu Kwa nguvu yako yote!

Mbio usiku waja, Kazi itakwisha.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 521: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

187. TU WAVUNAJI WAKE MUNGU

1 Tu wavunaji wake Mungu, Kwa neno lake tunakwenda

Kuvuna ngano zake Yesu alizojinunulia. Kwa shangwe

tunaliingiza mwake vuno lake. Tunamsifu Yesu aliyekomboa

vuno lake.

Twende kati’ shamba lake, Bwana a’tuita! Vuno

linaiva sana, Usikie mwito! Siku zetu za mavuno

Zinatupitia mbio. Siku zetu, Siku zetu Zinabaki

chache.

2 Tu wavunaji, twende sasa Tukalivune vuno lake, Na kwa

bidii na imani tukusanye ngano ghali! Katika pendo kubwa

mno Anawataka wote, Yesu, Na tukiacha suke dogo ataona

mara moja.

3 Wakati wetu ni mfupi, A’ita tena, twende mbio! Atujalize

uhodari, nguvu ya kuvumilia! Usichelewe bure sasa,

Watenda kazi ni wachache! E’ mvunaji wake Yesu, utumike

kwa bidii!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 522: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

188. WENGI WAKASEMA: “BADO”

1 WENGI wakasema: “Bado”, Walipoitwa na Mwokozi,

Lakini tena wakaona Wamechelewa kuokoka.

Njoo mbio, njoo mbio, Yesu akuita leo! Njoo mbio,

njoo mbio, Usichelewe, ndugu yangu!

2 Nawe usemaye: “Bado”, Unapoitwa naye sasa, Rafiki, labda

utakuta Mlango umekwisha fungwa.

3 “Bado leo”, alisema Kijana ’moja kwa ujinga. Usiku alikufa

mara, Na akaenda hukumuni.

4 “Bado leo”, wamwambia Rafiki yako bora, Yesu. Ataondoka

kwa huzuni, Utafanyaje bila Yeye?

5 “Bado leo”, ukumbuke Ni neno la hatari kwako! Waweza

kupotea pia, Kukosa kuingia mbingu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 523: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

189. UNIHUBIRI HABARI NJEMA

1 UNIHUBIRI habari njema, Neno la ukombozi, Hata ikiwa

siufahamu Wingi wa neema! Nilipokuwa katika giza, Ndipo

Mwokozi alinijia, Na akanipa wokovu, Raha na tumaini.

Mimi kipofu, naona sasa, Anasikia maombi yangu,

Naye hatanisahau, Kwani ananipenda.

2 Amefungua mkono wake, Kuna wokovu humo; Ukilemewa

moyoni mwako, Uje kwake Yesu! Uliyechoka kwa dhambi

zako, Umtazame Mwokozi wako, Na utapata wokovu, Njoo,

anakupenda.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 524: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

190. KISIMA CHA LEHI KINGALI

1 KISIMA cha Lehi kingali Kwa kila aliye na kiu. Kinatoa

maji mazima Yaliyo ya kuburudisha.

Kisima chema Cha maji safi Hakikauki hata

milele. Ni heri yangu, Napumzika, Na roho

yangu inatulia.

2 Ulie na kiu rohoni, Ukinyong’onyea njiani, Tazama kisima

jangwani Kilicho na afya, uzima!

3 Mtungi ukiwa mtupu, Ukipungukiwa imani, Ufike kisima

cha maji Yabubujikayo daima!

4 Na penye kisima cha Lehi Upange na kupumzika! Uketi

kivulini mwake, Na moyo utaburudishwa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 525: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

191. YAPIGWA HODI KWANGU, MGENI

1 YAPIGWA hodi kwangu, mgeni a’fika, Akiniomba:

‘‘Nifungulie! Umande umeshuka kichwani usiku, Na nywele

zangu zimelowa maji.’’

2 A! Huyu si mgeni, ni Yesu Mwokozi, Sauti yake nzuri na’jua.

Ninamfungulia, naona ni Yesu; Na siku hiyo sitaisahau.

3 Anong’oneza sasa rohoni: ‘‘U wangu’’, Karibu naye

ninatulia. Ananitia nguvu, baraka ya mbingu; Daima

nitakaa kwake Yesu.

4 Ni kweli, mimi ni wa Mwokozi milele, Amenitaja: ‘‘Ndugu,

mpenzi.’’ Ananikarimia hazina za mbingu, Ninaingoja siku

ya arusi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 526: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

192. SAUTI MOJA ILINIULIZA

1 SAUTI moja iliniuliza: ‘‘Wajua nilikufanyia nini? :/: Kwa

’jili yako niliteswa sana; Ufike kwangu, kwani nakupenda!’’

:/:

2 ‘‘Nilipokuwa huku duniani Wakanitia taji ya miiba, :/: Na

sikupambwa fedha na dhahabu, Lakini majeraha na

uchungu.’’:/:

3 ‘‘Golgotha nilifika siku moja, Na nilikufa ju’ ya msalaba. :/:

Tazama, katika mikono yangu Nimekuchora, E’ mtoto

wangu.’’:/:

4 Heleluya, rohoni ninaimba! Nimejiweka mikononi mwake.

:/: Na Yesu ananiongoza sasa, Nifike nchi nzuri huko juu. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 527: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

193. NI NENO ZURI LA ’AMINIWA

1 NI neno zuri la ’aminiwa, Listahililo kukubaliwa, Ya

kwamba Yesu alitujia Awaokoe wenye makosa.

2 Wa kwanza mimi wa wenye dhambi, Lakini ninafurahi sasa

Sababu Yesu, Mwokozi wangu, Aliniosha kwa damu yake.

3 Mwokozi wetu Yu nasi hapa, Atenda kazi kwa nia yake;

Awasha moto rohoni mwetu, Uwezo gani utampinga?

4 Viziwi wanasikia sasa, Viwete wanatembea sawa, Wenye

ukoma watakasika, Injili yake yahubiriwa.

5 E’ Bwana Yesu, tupulizie, Tujaze Roho Mtakatifu!

Uwaamshe waliokufa Katika dhambi, uwaangaze!

6 Fungua mbingu, unyeshe mvua Panapo kiu na jangwa tupu!

Uligeuze, likachanue Na kufurahi kwa shangwe kuu!

7 Na mataifa wakusujudu Mahali pa miguuni pako! Amina.

Wako ni utukufu Na sifa zote! Haleluya!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 528: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

194. USIKIE BWAN YESU ANAYEKUITA LEO

1 USIKIE Bwana Yesu Anayekuita leo! Aliteswa, alikufa Kwa

ajili yako wewe.

Usikie Bwana Yesu! Anabisha mlangoni.

Umfungulie moyo, Umkaribishe sasa!

2 Siku zote ulicheza, Kupendeza mwili wako; Ulimsahau Yesu,

Naye alikufilia.

3 Unasema: “Nitakuja Kusikia Neno lake”. E’ rafiki,

ukumbuke, Unaweza kufa leo!

4 Yesu akuita leo Kwa neema na upendo. Leo siku ya wokovu,

Umfungulie moyo!

5 Tunampa Bwana Yesu Moyo na wakati wetu. Yeye ni

Mfalme wetu Wa milele na milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 529: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

195. TUNASIKIA LEO HABARI, INAWAITA WATU

1 TUNASIKIA leo habari, Inawaita watu wafike; Watu wa

hapa, watu wa mbali, Wote wapate sasa wokovu!

2 Mtu wa dhambi, uje upesi, Yesu angoja kukuokoa! Tena kwa

nini unachelewa? Leo ni siku ya kuokoka.

3 Ulikimbia Yesu Mwokozi Aliyekukomboa kwa damu.

Usikimbie mbali zaidi, Ila urudi, uje upesi!

4 Katika dhambi hutaiona Raha halisi, hata kidogo. Yesu

mwenyewe atakujaza Raha ya kweli ndani ya roho.

5 Mtu wa heri katika shida, Katika mambo yote ya huku, Ni

hali ya mkristo wa kweli, Mtu wa heri hata milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 530: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

196. USIYEFANYA BIDII KABISA

1 USIYEFANYA bidii kabisa, Hutaingia mbinguni. Uikinge

roho kwa Neno la Mungu, Usipotee milele! Njia ni

nyembamba na mlango ’dogo, Ujitahidishe kuingia humo!

Ukubali leo wokovu wa Mungu Ili ufike mbinguni!

2 Vizuio vingi katika safari, Mwovu anakujaribu. Uvishinde

vyote vinavyozuia, Vyote katika dunia! Usimfuate kila

aitaye, Ungeweza kupoteza roho yako! Bwana Yesu

anakupenda daima; Ujitahidi kabisa!

3 Pasipo imani huwezi kufika Hata bandari salama Wala

kuingia katika uzima; Hilo ni Neno la Mungu. Kwa imani

tupu utaokolewa, Usikie sasa Neno la wokovu! Tubu dhambi

zako, amini Mwokozi; Hiyo ni njia, hakika.

4 Mungu anaita, wo wote wafike, Waupokee uzima! Atakupa

nawe hazina ya mbingu, Ukitafuta kwa kweli. Mungu Baba

anapenda roho yako, Yesu anataka kuokoa wewe, Roho

’takatifu anakuamsha. Ukiitika u heri!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 531: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

197. HAPO NILIPOKUWA DHAMBINI

1 HAPO nilipokuwa dhambini, niliumwa katika roho. Sasa

ninafurahi kwa shangwe Kwani Yesu ameniponya.

Ndiyo kazi kubwa ya ajabu: Mwokozi aliniokoa!

Naye anapenda watu wote, Atakuokoa wewe.

2 Dhambi zote nilizozitenda Zimefutwa na Bwana Yesu.

Sikitiko kwa ’jili ya dhambi Zilikoma nilipotubu.

3 Sasa mimi sitaki kurudi, Nachukia kabisa dhambi. Nimeonja

furaha ya Mungu Na amani na raha yake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 532: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

198. E’ MTU MWENYE KIU, UFIKE KWAKE

1 E’ MTU mwenye kiu, Ufike kwake Yesu, :/: Upate maji ya

uzima, Hutaona kiu kamwe! :/:

Njoo kwa Yesu, Uyanywe maji hai! Ufike, na

utapewa Uzima na uhodari!

2 Tazama, ndugu wengi Zamani wamekunywa! :/: Na heri

kubwa, maji hayo Hayatakauka kamwe! :/:

3 Na kunywa wewe tena, Upate nguvu sana! :/: Tumia katika

shindano Upanga wa Neno lake! :/:

4 Na mwendo wa imani Uta’poumaliza, :/: Utayakunywa maji

bora Kwa Mungu mbinguni juu. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 533: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

199. NJONI WOTE MTESWAO!

1 NJONI wote mteswao! Wote wenye sikitiko Kwa ajili ya

makosa, Mje sasa kwa Mwokozi! Kwake mtaona raha,

Utulivu na amani. Matulizo mioyoni Mtapata kwake Yesu.

2 Hataacha sikitiko Kulemea moyo wako; Yesu ni Mchunga

mwema, Akuficha mazizini. Pendo lake lina nguvu,

Huchukua masumbuko, Hufariji roho yako, Hukutwaa

kwake Mungu.

3 Yesu kama nyota nzuri Ing’aayo asubuhi, Mtu amfuataye

Ataona njia wazi. Hata nyota za mbinguni Zikiteketea zote,

Nyota hiyo ya milele Haitazimika kamwe.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 534: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

200. NJONI WOTE, MLE, MNYWE

1 “NJONI wote, mle, mnywe!” Yesu anasema hivyo. “Nimetoa

mwili wangu Kwa ajili yenu ninyi.” Kila mtu mwenye njaa

Aje na apate kula! Na aliye na makosa Atasamehewa yote.

2 Ninakuja kwako, Yesu, Unithibitishe moyo! Uliona

umaskini, Niwe mwenye utajiri. Nishibishe mema yako Na

karama takatifu! Unijaze Roho yako Kama ulivyoahidi!

3 Yesu, ninakuja kwako Niungane nawe, Bwana! Mimi

mwenye udhaifu, Nakutegemea Wewe. Na kwa damu yako,

Yesu, ninatakasika sasa. Nashiriki mwili wako Katika agano

jipya.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 535: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

201. NJOO, MWENYE HUZUNI NYINGI

1 NJOO, mwenye huzuni nyingi! Yesu anakungoja. Uje, atoe

mzigo wako, Ata’okoa wewe!

Njoo, uliye na huzuni! Njoo kwa Mungu wa neema!

Roho ya Mungu anakuita, Yesu anakungoja.

2 Njoo, mwenye makosa mengi! Yesu anakungoja. Kwake

neema na pendo tele! Ata’okoa wewe.

3 Njoo, leo uache dhambi! Yesu anakungoja. Ukilemewa

moyoni mwako, Uje kwa Yesu mbio!

4 Njoo, sasa, E’ mwenye dhambi! Yesu anakungoja. Na

ukitaka kumfuata, Ata’okoa wewe.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 536: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

202. NJOO KWA YESU MWOKOZI

1 NJOO kwa Yesu Mwokozi, Unayeteswa rohoni! Damu

iliyomwagika Itakuosha kabisa.

Njoo kwa Yesu Mwokozi, Naye atakuokoa!

Ulimwenguni ni dhiki, Kwake ni raha halisi.

2 Mbona kukawa dhambini Bila uzima wa Mungu? Uje upesi

kwa Yesu ili upate amani!

3 Saa zapita upesi, Hazitarudi kabisa. Bado kidogo na tena

Utapelekwa kuzimu.

4 Yesu atamchukua Bibi-arusi mbinguni, Na tutaimba milele

Sifa za Mwana-Kondoo.

Huko karibu na Yesu, Mbali ya mambo ya nchi,

Huru na heri rohoni Nitafurahi milele!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 537: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

203. HATUA MOJA KATI YA WEWE NA MWOKOZI

1 HATUA moja kati Ya wewe na Mwokozi. Wakawilia nini?

Ufike kwake leo!

Hatua moja, hatua moja, Njoo, akungoja! Njoo

kutubu dhambi, Atasamehe zote! Usikatae tena

Wokovu wake Mungu!

2 Hatua moja mbele, Anakungoja sasa. Amini Neno lake, Na

utapata raha!

3 Hatua moja mbele, Uzima uta’ona. Siku si nyingi huku,

’jitoe kwake Mungu!

4 Hatua moja mbele, Kwa nini kukawia? Omba: E’ Bwana

Yesu, Unipokee sasa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 538: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

204. PENDO LA MWOKOZI KUBWA MNO!

1 PENDO la Mwokozi kubwa mno! Yesu akuita, Ufike kwake

sasa!

Akungoja, ’kubishia, ufungue! Akungoja, ’kubishia,

ufungue!

2 Amengoja wewe siku nyingi, Analia sana Juu ya dhambi

zako.

3 Kwa huruma nyingi akuita. ’geukie Mungu, Anakungoja

sasa!

4 Yesu atakupa raha kubwa Na uzima tele Ulio wa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 539: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

205. YESU MWOKOZI AITA KWA PENDO

1 YESU Mwokozi aita kwa pendo Mimi na wewe na wote, Na

Yu tayari kukukaribisha Wewe uliye dhambini.

Urudi, urudi, Sasa urudi kwa Yesu! Anakuita na

anakungoja. Leo urudi kwa Yesu!

2 Mbona kukawa anapokuita? Anakungoja, ufike! Kuna

nafasi karibu na Yesu; Njia ni wazi kwa wote.

3 Nyakati zetu zapita upesi, Hazitarudi kabisa. Njoo kwa Yesu,

upate amani, Leo ungali mzima!

4 Ona upendo mkubwa wa Yesu, Unaenea kwa wote! Na kwa

neema anatukumbuka Wewe na mimi na wote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 540: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

206. RAFIKI YANGU TAZAMA

1 RAFIKI yangu, tazama, Wapita njia ya wapi! Milele, je?

utakaa wapi Ukikataa Mungu?

Ujiandae sasa, Utakutana na Mungu! Lazima uwe

tayari kwa Sababu utamwona!

2 Dunia haina raha, Amani wala salama. Fahari yake

ikikuloga, Utapotea njia.

3 Lo! Yesu anakuita! Kwa nini unachelewa? Ushike njia ufike

kwake! Ataja jina lako.

4 Uache haya na hofu, Mwokozi anakupenda! Kwa damu

alikomboa wewe, Anakutaka sasa.

5 Ikiwa unachelewa Kupatanishwa na Mungu, Utamkuta

Mwokozi kama Mwamuzi mwenye haki.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 541: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

207. UMGEUKIE MWOKOZI, JITENGE NA OVU

1 UMGEUKIE Mwokozi, Jitenge na ovu na dhambi! Babako

angoja ufike; Usiangamie milele!

2 Kijana, unafurahia Maisha na mambo ya nchi. Baada ya

muda kitambo Utahukumiwa na Mungu.

3 Kwa nini kujiangamiza Katika tamaa za huku? Usijipoteze

dhambini! Dunia isikuharibu!

4 Umkimbilie Mwokozi, Atakupokea kwa pendo, Na utaokoka

hakika Kwa nguvu ya damu ya Yesu!

5 Walio mbinguni waimba, Wanayo mavazi meupe; Hutaki

sehemu pamoja Na wao nyumbani mwa Baba?

6 Je, mwisho utaona wapi Mahali pa kujisetiri? Dunia

itakapochomwa Utakosa makimbilio.

7 Ujipatanishe na Mungu, Na usichelewe, rafiki! Ukimkataa

Mwokozi, Utatupwa nje gizani.

8 Chagua pasipo kukawa! Mwokozi atakupokea. Angoja ufike

kutubu; Atakutakasa kwa damu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 542: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

208. PIGA MAKENGELE YA FURAHA LEO

1 PIGA makengele ya furaha leo Kwa sababu mtu ametubu!

Mwana mpotevu amerudi sasa, Baba amemsamehe yote.

Nyimbo za furaha ya mbinguni, Nyimbo za furaha

za wakristo! Tuna’sifu Mungu kwa sababu sasa

Mtu huyu amwamini Yesu.

2 Piga makengele, ni furaha nyingi; Mkosaji amefunguliwa!

Yesu alivunja minyororo yake, Alimpa roho ya kimwana.

3 Piga makengele! Hiyo ni habari Ya kupasha mbali na karibu.

Mtu amepata kuwa mtu mpya, Dhambi zake zimeondolewa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 543: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

209. UWATAFUTE WANAOPOTEA

1 UWATAFUTE wanaopotea, Na kwa upendo watoe

dhambini! Lia pamoja na wenye huzuni, Uwapeleke kwa

Yesu Mwokozi!

Uwatafute wanaopotea! Yesu Mwokozi

awahurumia.

2 Anatafuta waliokimbia, Anawangoja warudi upesi.

Uwafundishe kwa pendo na kweli Ju’ ya neema na haki ya

Yesu!

3 Ndani ya roho na katika siri Labda waona shauku ya

Mungu. Uwaongoze kwa Yesu Mwokozi, Wafahamishe

upendo wa Mungu!

4 Uwatafute wanaopotea! Mungu atoa upendo na nguvu.

Uwapeleke kwa Yesu Mpozi, Mwenye huruma na afya kwa

wote!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 544: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

210. IMBA INJILI YA YESU KWA MOYO

1 IMBA Injili ya Yesu Kwa moyo na roho kabisa! Lango la

neema yake Ni wazi kwa watu wote.

Imba, imba Injili, Na watu wasikilize! Imba Injili

ya Yesu, Maneno ya pendo lake!

2 Imba Injili ya Yesu! Yaleta uhuru kwa wote. Imba habari ya

damu Inayotakasa moyo!

3 Imba Injili ya Yesu, Kwa wimbo utawafundisha! Imba

habari ya Yesu! Aweza kuwaokoa.

4 Imba Injili ya Yesu, Ya raha na matumaini! Imba habari ya

haki, Wapate kujua Mungu!

5 Imba Injili ya Yesu, Hubiri amani kwa wote! Na tumsifu

Mwokozi Afanyaye yote vema!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 545: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

211. NJOO KWA YESU USISHANGAE

1 NJOO kwa Yesu, usishangae! Akuonyeshe njia ya mbingu.

Msikilize, anakusihi: Mtu wa dhambi, njoo!

Heri, heri, tutakusanyika Kwake Mungu kwa

furaha kuu! Shida na shaka hazitakuwa Kwetu

mbinguni juu.

2 Yesu aita, wote wafike, Atatuliza wenye huzuni, Kuwatolea

pendo na raha. Usikiaye, njoo!

3 Sasa wakati wa kuokoka, Uje upesi, umkubali! Mwenye

masikitiko na dhambi, Njoo kwa Yesu sasa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 546: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

212. SAUTI YA YESU NILIISIKIA, KWA PENDO

1 SAUTI ya Yesu niliisikia, Kwa pendo aliniambia: ‘‘Ufike,

nataka kukusaidia, Nangoja, nangoja, ufike!’’

Njoo kwa Yesu, ufike upesi, Uupokee wokovu wa

Mungu! Mbona kukawa dhambini, rafiki? Yesu

anakuita, njoo!

2 Ukiwa na hofu kufika kwa Yesu, Uliye na dhambi rohoni,

Kumbuka ya kuwa huruma ni tele; Ufike kwa Yesu, angoja!

3 Ukiwa maskini, dhaifu kabisa, Mwokozi anakufahamu.

Anakuambia: ‘‘Pokea neema, Uache mzigo wa dhambi!’’

4 Na kama nilivyo ninamfikia Mwokozi aliyenipenda.

Ninaupokea wokovu na raha; Kwa shangwe ninamshukuru!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 547: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

213. KAMA UNATAKA KUWA MTU WAKE YESU

1 KAMA unataka kuwa mtu wake Yesu, Kama unataka

kufuata Yeye, Kama unataka Yeye akusaidie: Mpe Yesu

moyo wako!

Ataondoa dhambi zako zote, Na utaipokea nguvu

yake! Ukiokoka utaona kwamba Ni vizuri

kufuata Yesu kweli.

2 Kama unataka kuwa mtu mwenye heri, Ufungue moyo,

Yesu aingie! Kama unataka utulivu na faraja, Mpe Yesu

moyo wako!

3 Kama unataka kumtumikia Yesu Na kuifuata njia yake

hapa, Kama unataka kuingia huko mbingu: Mpe Yesu moyo

wako!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 548: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

214. NAMTAFUTA MWANA WANGU

1 NAMTAFUTA mwana wangu, Mtoto yu wapi leo?

Aliyenifurahisha mbele, Ningali ninampenda.

Mwanangu yu wapi leo? Mwanangu yu wapi leo?

Mwanangu, urudi, ninakutafuta, Mwanangu,

mpendwa wangu!

2 Uliyekuwa safi sana Katika utoto wako, Uliichafua roho

yako Kwa dhambi na njia mbaya.

3 Ninatamani kukuona Katika usafi tena, Na kukusikia

ukiomba Na kumshukuru Yesu.

4 Nitafutie mpotevu Kwa pendo na tumaini! Unisalimie

mwana wangu, Ya kwamba ninamngoja!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 549: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

215. MWENYEZI MUNGU ANAFANYA ISHARA

1 MWENYEZI Mungu anafanya Ishara kubwa duniani,

Anaondoa minyororo Inayofunga watu huku. Avunja nyavu

za Shetani, Na wakosaji waokoka.

2 Maneno yake yana nguvu Kushinda yote ya zamani. Na

watu wanapiga mbio Kuomba ne’ma ya Mwokozi.

Wakiyapata masamaha, Waimba wote: “Sifu Mungu!”

3 Tazama, ndugu wengi sana Wanafuata Yesu leo; Katika kila

nchi sasa Maelfu wanapenda Mungu. Wengine wanavutwa

naye Mwenyezi Mungu, Baba yetu.

4 Inua macho, mvunaji, Mavuno yanaiva sana! Uende

kutafuta watu, Uwapeleke kwake Yesu! E’ ndugu wote,

amkeni, ’kawaokowe wenye dhambi!

5 Wengine wanapoingia Ufalme wako, Yesu Kristo, Nisibakie

huku chini, Neema hiyo nakuomba! Nakaa mikononi

mwako, Unifikishe huko kwako!

6 Najua siku ni karibu Mwokozi atakaporudi, Awachukue

watu wake Mpaka nchi ya amani. E’ siku ya uheri bora,

Nakutamani. Uje mbio.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 550: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

216. NAFASI INGALIKO ARUSINI

1 NAFASI ingaliko arusini Ita’yokuwa kwake Mungu Baba.

Njoo kwake, Nafasi ingaliko!

2 Njiani mwako jua linakuchwa, Jioni inakaribia sasa. Njoo

mbio, Nafasi ingaliko!

3 Karamu ya arusi ni tayari, Na Bwana anakualika wewe.

Njoo mbio, Nafasi ingaliko!

4 Wanaingia watu wengi huko, Ufanye hima, uingie nawe!

Njoo mbio, Nafasi ingaliko!

5 Tazama, lango limefunguliwa, Neema gani: Utakaribikshwa!

Njoo mbio, Nafasi ingaliko!

6 Ufike mbio, utaona heri, Yesu atoa wingi wa neema! Njoo

mbio, Nafasi ingaliko!

7 Je, utaona shangwe ya mbinguni? Bwana-arusi akungoja

sana. Njoo mbio, Nafasi ingaliko!

8 Uliyesitasita unaitwa, Ujiazimu kuja kwake Mungu! Njoo

mbio, Nafasi ingaliko!

9 Ukichelewa, lango litafungwa, Na utalisikia neno hili:

‘‘Ondokeni! Sikuwajua ninyi!’’

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 551: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

217. BWANA YESU ATAKUJA KUTOKA MBINGUNI

1 BWANA Yesu atakuja Kutoka mbinguni, Atawachukua

wote Wanaomwamini.

Kama nyota za mbingu Watu wake watang’aa

Katika taji yake, Kuwa sifa ya Yesu.

2 Atawakusanya wote Waliompenda, Watakuwa tunu yake

Milele mbinguni.

3 Na watoto watakuwa Pamoja na Yesu, Watang’aa kama lulu

Nyumbani mwa Baba.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 552: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

218. MTOTO MIMI NI MASKINI

1 MTOTO mimi ni maskini, Lakini nafurahi Kwa kuwa Baba

yangu mwema Ananitunza vema.

2 Babangu anipenda sana, Anionyesha njia. Upendo wake

unapita Uzuri wa dunia.

3 Katika shida na huzuni Naimba kwa furaha: “Nina

makimbilio yangu Kwa Mungu Baba yangu”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 553: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

219. HATUMJUI RAFIKI MWEMA

1 HATUMJUI rafiki mwema, Ila Yesu, ila Yesu; Yeye

mwenyewe atufahamu, Yeye Bwana peke yake.

Yesu anatujua, pia Yesu anatuonya njia. Yesu

Rafiki kupita wote, Wote pia wa dunia.

2 Hatumjui rafiki mwema Kama Yesu, Bwana Yesu. Na pendo

lake ni la ajabu, Linadumu siku zote.

3 Je, ataweza kutusahau? Hataweza ku’sahau. Twafarijiwa

kwa pendo lake Kila siku, kila siku.

4 Nani ashika agano lake? Bwana Yesu peke yake. Alikataa

kusaidia? Hataweza kukataa.

5 Nani Rafiki mpendwa wangu? Bwana Yesu peke yake.

Anastahili kupata sifa Huku chini na mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 554: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

220. YESU, WEWE U MCHUNGA WETU

1 YESU, Wewe U mchunga wangu, Twakuomba: Utulinde!

Utulishe sisi kundi lako, Tukashibe Neno lako!

Yesu mwema, Yesu mwema, Tushibishe kwa

neema! Yesu mwema, Yesu mwema, Tushibishe

kwa neema!

2 Tuongoze kwa mapito yako Hata maji matulivu! Tuhuishe

roho zetu huko Tukajazwe uhodari!

Yesu mwema, Yesu mwema, Ututie nguvu yako!

Yesu mwema, Yesu mwema, Ututie nguvu yako!

3 Yesu, uwe nasi hata mwisho, Tutakapokata roho! Tupeleke

katika makao Uliyotuandalia!

Yesu mwema, Yesu mwema, Tufikishe hata kwako!

Yesu mwema, Yesu mwema, Tufikishe hata kwako!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 555: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

221. E’ MTOTO, YAINUE MACHO YAKO

1 E’ MTOTO, yainue Macho yako mbinguni! Bwana Yesu huko

juu, Kwa upendo akuone.

2 Ukiomba asikia, Akulinda mashakani; Na anakuandalia Kao

zuri huko kwake.

3 Penda Yesu, mfuate, Tii Neno lake pia! Tena malaika wake

Watakuchukua kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 556: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

222. BWANA YESU ANASEMA, DHAIFU WEWE

1 BWANA Yesu amesema: “Dhaifu wewe sana. Mimi ni

mchunga mwema.” Na kwa hiyo namwandama.

Yesu alikufa kwa ajili yangu, Aliziondoa dhambi,

Furaha kubwa kwangu!

2 Pendo la Mwokozi wangu Limeyeyusha moyo. Ametoa

dhambi zangu Na kiburi na uchoyo.

3 Sina kitu mkononi Cha kunifaidia; Udhaifu u moyoni, Yesu

ninamlilia.

4 Mungu akisaidia Nitamaliza mwendo. ‘‘Yesu alinifilia’’,

Nitaimba huko ng’ambo.

5 Siku moja nitafika Mbinguni huko juu, Nitaimba kadhalika

Katika shukrani kuu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 557: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

223. NI UHERI BORA KUMWAMINI BWANA

1 NI uheri bora kumwamini Bwana Yesu Kwa wakati wa

ujana wetu, Kabla hatujazionja Dhambi na mashaka

Zinazoharibu roho zetu.

Ni uheri bora kumwamini Bwana Yesu, Na

kumfuata kila siku. Na ujana wetu

ukitukimbia tena, Shangwe ya wokovu

itabaki.

2 Ni uheri bora kumtii Bwana Yesu Kwa wakati wa ujana

wetu. Hivyo tutakuwa na dhamiri safi, njema Kwa maisha

yetu yote pia.

3 Ni uheri bora kumtumikia Yesu Kwa wakati wa ujana wetu.

Bwana Yesu akumbuka kila tendo dogo, Atalipa kwa neema

yake.

4 Ni uheri bora kumngoja Bwana Yesu Kwa wakati wa ujana

wetu. Atatuchukua kwake kwa furaha kubwa, Tutakuwa

naye siku zote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 558: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

224. YESU, MWENYE PENDO KUBWA

1 YESU, mwenye pendo kubwa, Usinipitie! Katika maombi

yangu Unibarikie!

Yesu, Yesu, unisikilie! Ukiwabariki wote,

Usinipitie!

2 Ninakiendea sasa Kiti cha neema; Kutokuamini kwangu

U’ondoe vema!

3 Nakutegemea, Bwana, Njia unionye! Roho yangu

imevunjwa, Yesu, uniponye!

4 Wewe, Yesu, ni kisima Cha furaha yetu. Nani ni Mchunga

mwema, Ila Bwana wetu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 559: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

225. LO! BENDERA MBELE YAKO

1 LO! Bendera mbele yako, usihofu sasa! Usimame kwa imara

kama Danieli!

Uwe mhodari kama Danieli! Weka makusudi

mema bila kuogopa!

2 Wenye hofu hawawezi kuingia mbingu. Tweka tu bendera

yetu, endelea mbele!

3 Mashujaa wa Shetani wangeshindwa sana Wakikuta jeshi la

askari wa imani.

4 Endelea kwa kushinda, Yesu ni Mfalme! Taji ya uzima

utapata huko juu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 560: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

226. MACHO YANGU KUMTAZAMA

1 MACHO yangu ya kumtazama, Masikio ya kumsikia, Na

miguu ya kumfuata Yesu, Rafiki yangu!

2 Roho yangu yampenda Yesu, Na ulimi unamshukuru, Kwa

mikono namtumikia Yesu, Rafiki yangu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 561: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

227. MUNGU ALIYE MBINGUNI

1 MUNGU aliye mbinguni Alitupa kiongozi, Naye ni rafiki wa

watoto wote. Ukijua jina lake, Ulitaje sasa hivi! Anapenda

wote, hata wewe, nami.

Mbingu na ufalme wake Wa wototo wote sasa!

Mbio tuishike njia Iendayo kwake Yesu Ili tuione

raha ya mbinguni!

2 Yesu mwenye pendo kubwa Awakumbatia wote,

Anawabariki kwa huruma yake. Hatuoni huku chini Mtu

mwema kama Yeye, Hasahau mtu, hata mnyang’anyi.

3 Yesu ni Mchunga mwema, Anawakusanya sasa Mkononi

mwake wana wa kondoo. Kifuani mwake tena

Anawachukua wote Hata kwa ufalme wake huko juu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 562: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

228. WAKATI WA UTOTO WAKO

1 WAKATI wa utoto wako, Hujapoona shida bado, Sauti

ilikuambia: “Unipe sasa moyo wako!”

Wajua ni nani huyu Anayekuita sasa? Ni Yesu,

Rafiki yako; Anakuita: ‘‘Njoo kwangu!’’

2 Na katika ujana wako Wausikia mwito wake, Na jinsi

utakavyoshinda Shetani akikujaribu.

3 Wakati wa uzee wako Dhambini ukiendelea Hata kukaribia

kufa, Mwokozi akuita tena.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 563: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

229. MWOKOZI, MFALME, ULISULIBIWA

1 MWOKOZU Mfalme, ulisulibiwa, E’ Pasaka wetu,

ulidhihakiwa. Ukatoka damu, ’kaona uchungu Ulipotimiza

mapenzi ya Mungu. Huku Gethsemane ulihuzunika, Kwa

neno la mbingu ukafarijika. Katika kuomba ukatiwa nguvu,

Na mwisho ukafa tupate wokovu.

2 Kwa ’jili ya mimi ulijeruhiwa, Ukaonja kufa, nipate uzima.

Ulijisahau, ukanikumbuka, Uliwaombea waliokutesa. Na

ulijitoa dhabihu ya kweli, Na kuusikia uchungu mkali. Kwa

pendo kamili ulikusudia Kuonja mauti kwa ’jili ya wote.

3 Je, kupatanishwa na Mungu ni nini? Ni kwamba laana la

dhambi lakoma. Kufika karibu na Mungu ni nini? Ni kuwa

rafiki wa Mungu wa mbingu. Na sasa ufike kutoka

dhambini, Utie hatia na dhambi nuruni! Mwokozi mpendwa

akuhurumia, Atakufungua na ’kusaidia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 564: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

230. GOLGOTHA MWOKOZI ALITUNDIKWA

1 GOLGOTHA Mwokozi alitundikwa Mtini kwa ’jili ya wote.

Na damu akaitoa Mwokozi Ili kutangua dhambi.

Penye msalaba niliokolewa Kwa damu ya Yesu

iliyotolewa. Mwamuzi mwenyewe alinikomboa,

Akanilipia deni.

2 Golgotha nami nimesulibiwa Pamoja na Yesu Mwokozi; Na

njia kwa Mungu Baba ni wazi, Pazia limepasuka.

Nimesulibiwa pamoja na Kristo, Na mtu wa kale

alikufa hapo. Na mambo ya kale yamekwisha ’pita,

Lo! yote ni mapya sasa!

3 Niliunganishwa naye Mwokozi, Na sasa ni hai kwa Mungu.

Kuishi ni Kristo, siri ajabu, Na kufa faida kwangu!

Kwa damu ya Yesu nimetakasika, Hatia na dhambi

zimeondolewa. Shetani hawezi kunidhuru tena,

Nimewekwa huru kweli.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 565: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

231. MWOKOZI ALITOA DAMU KWA'JILI YA WAOVU

1 MWOKOZI alitoa damu kwa ’jili ya waovu, Msalabani

alikufa Kuniokoa mimi.

E’ Yesu, niokoe sana, Nifunze kuamini! Na

unilinde tena, Bwana, Nisipotee kamwe!

2 Alijitwika dhambi zetu, Huzuni na maradhi; Neema kubwa,

wema wingi, Upendo wa ajabu!

3 Na hapo jua likafichwa, Ikawa giza kuu; Muumba alitufilia

Kutulipia deni.

4 Magoti yangu nayapiga Msalabani pake, Na kwa machozi

natazama Mateso yake huko.

5 Nitakurudishia nini, Mwokozi wangu mwema? E’ Bwana,

nikutumikie Maisha yangu yote!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 566: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

232. NILIPOFIKA KWA BWANA YESU

1 NILIPOFIKA kwa Bwana Yesu, Nikapaaza sauti yangu:

“Yesu Mwokozi, unirehemu!” Akaniokoa. :/: Yesu asifiwe! :/:

Alisikia kilio changu, Yesu asifiwe!

2 Nilipofika kwa Bwana Yesu, Nikamsihi Mwokozi wangu:

“Unitakase, nifanye safi!” Akanisikia. :/: Yesu asifiwe! :/:

Alisikia maombi yangu, Yesu asifiwe!

3 Ona kisima cha msalaba, Leo kingali chabubujika Kuniokoa

na kusafisha! Yesu asifiwe! :/: Yesu asifiwe! :/: Aniokoa,

anisafisha, Yesu asifiwe!

4 Njoo kwa Yesu, kisima hicho, Unywe, uoshwe katika maji!

Kiu yapoa, na watakaswa, Yesu asifiwe! :/: Yesu asifiwe! :/:

Kiu yapoa, na watakaswa, Yesu asifiwe!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 567: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

233. TAZAMA MWOKOZI ALIYEKUFILIA

1 TAZAMA Mwokozi aliyekufilia Ili wewe upate uzima!

Tazama, kwa pendo atakusaidia, Usidumu dhambini daima!

Yainue macho! Tazama Mwokozi aliyekufilia, Ili

upate uzima!

2 Mwokozi alisulibiwa ju’ ya mti Ili sisi tupate wokovu.

Alitukomboa kwa damu yake safi, Kwake Yeye twapata

wongofu.

3 Hakuna majuto yaweza’ kutuponya, Ila damu ya Yesu

Masiya. Ufike kwa Yesu apate kukuonya Jinsi yaondokavyo

hatia!

4 Rafiki, waitwa na Mungu kwa wokovu, Anataka ufike upesi.

Kwa nini kukawa, Ufike bila hofu, Uondoke katika hatari!

5 Ufike, pokea uzima wa milele, Bwana Yesu ali’tuletea!

Karama ya mbingu ni tumaini letu, Ipokee na hutapotea!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 568: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

234. UTUKUFU WA MBINGUNI NI WA HERI

1 UTUKUFU wa mbinguni Ni wa heri na amani, Dhambi

hazitakuwamo. Vitu vyote vilivyomo Ni vya tunu na

thamani, Dhambi hazitakuwamo.

Dhambi hazitaingia Mbingu ya utakatifu.

Ukidumu mwenye dhambi Bila kutakaswa huku,

Hutaingia mbinguni.

2 Kama unatumaini Kufikia nchi ile Na kuona Bwana Yesu,

Utafute utakaso Na kupata moyo safi! Dhambi

hazitakuwamo.

3 Unaweza ’tenda dhambi Na kukana Bwana Yesu, Walakini

ukumbuke: Dhambi zako zitafunga Lango la mbinguni,

kwani Dhambi hazitakuwamo.

4 Na ukiwa mkaidi hata sa’ ya kufa kwako, Utaitwa

hukumuni, Na utaambiwa huko: “Ondokeni, siwajui!"

Dhambi hazitakuwamo.

Ukitaka kufikako Mbingu ya utakatifu, Tubu sasa,

acha dhambi, Utafute moyo safi, Na utaingia

mbingu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 569: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

235. TUMEKOMBOZWA KATIKA NCHI

1 TUMEKOMBOZWA katika nchi, Usikilize vema, rafiki! :/:

Tumeokoka tufike juu, Taji kutiwa, furaha kuu! :/:

2 Tumekombozwa katika watu, Hata tu’chekwe kitambo

huku. :/: Twavumilia katika shida, Twatazamia ’heri wa

mbingu. :/:

3 Tumekombozwa, tuwe wa huru, Tukichokozwa haitudhuru.

:/: Tutaondoka, ’hamia mbingu, Tutasimama mbele ya

Mungu. :/:

4 Tumekombozwa, furaha kuu, Twaandaliwa karamu kuu! :/:

Salamu hiyo uitangaze, Wafike mbio na waokoke! :/:

5 E’ mama, baba, mbona kungoja? Ndugu na dada, fika

pamoja! :/: Mwenye kukawa hataingia, Leo waitwa na Yesu

pia. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 570: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

236. DHAIFU, MWENYE DHAMBI

1 DHAIFU, mwenye dhambi, Nilipotea njia, Lakini Bwana

Yesu alinihurumia. Nategemea Yeye, Najua pendo lake,

Ajaza roho yangu, ninavyo vyote mwake.

Ajaza roho yangu, Apita vitu vyote. Amani na

upendo Ni zangu siku zote. Ajaza roho yangu,

Neema kubwa kwangu! Namhimidi Yesu: Yu yote

ndani yangu.

2 Sitaki dhambi tena, haiku’faidia; Rafiki yangu, Yesu,

ananisaidia. Alitangua dhambi kwa msalaba wake, Kwa

Yeye ukombozi, na vyote vimo mwake.

3 Napenda kufuata daima nyayo zake, Nibadilishwe sana,

nifananishwe naye! Na tena siku moja atanikaribisha

Nyumbani mwake Baba, na atanijaliza!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 571: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

237. MWOKOZI WANGU NI MWAMBA BORA

1 MWOKOZI wangu ni mwamba bora, Ahadi kama milima;

Zaniletea amani tele, Na mibaraka daima. Katika mwamba

ni raha kuu, Baraka tele kutoka juu. Nakaa humo,

ninastarehe, Ni heri sana milele.

2 Makimbilio ni mwamba huo Katika teso lo lote; Nisikimbie

adui ’kuu, Nishinde katika vyote! Dunia yote ikitingika,

Ahadi zake hazipunguki. Nakaa humo, ninastarehe, Ni heri

sana milele.

3 Nakaa mbali ya udhalimu, Hatia, dhambi, hukumu. Na kwa

imani nikisimama, Adui atakimbia. Nayo mawazo ya giza

tupu Hayatapata nafasi huko. Nakaa humo, ninastarehe, Ni

heri sana milele.

4 Nafurahia baraka zote Za ulimwengu wa roho. Karama hizo

nalizipewa Katika kufa kwa Yesu. Hakuna woga na shaka

huko, Hayatakuwa manung’uniko. Nakaa humo,

ninastarehe, Ni heri sana milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 572: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

238. NIFANANISHWE NAWE MWOKOZI

1 NIFANANISHWE nawe Mwokozi, Ni haja yangu iliyo kuu.

Ninakuomba, na kwa machozi, Nikufuate, Bwana wa juu!

Nifananishwe nawe Mwokozi, Mwenye upendo,

safi halisi! Unitakase, Unijalize! Nifananishwe

nawe zaidi!

2 Nifananishwe nawe Mwokozi, Mwenye rehema, pendo ajabu!

Niwapeleke kwa Mkombozi Walioshindwa na majaribu!

3 Nifananishwe nawe Bwanangu, Mtakatifu, mwenye saburi!

Niwe mnyofu kazini mwangu, Mtu thabiti bila jeuri!

4 Nifananishwe nawe Mwokozi! Ninakuomba: Unijalize! Vyote

ninavyo nakutolea, Uniongoze, uniagize!

5 Nifananishwe nawe Mwokozi! Nimiminie pendo moyoni!

Nibadilishe, E’ Mkombozi, Niwe tayari kwenda mbinguni!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 573: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

239. NENO BAYA LISITOKE KAMWE

1 NENO baya lisitoke Kamwe kwa ulimi wako! Pendo

likuchunge pote, Hata na maneno yako!

Amri ya Yesu ni ‘‘Mpendane’’! Kama watoto wema

tumtii! Amri ya Yesu ni ‘‘Mpendane’’! Kama

watoto tumtii!

2 Pendo ni la mbingu, safi, Urafiki ’takatifu. Tusiyaharibu

tena Kwa maneno yetu ’gumu!

3 Neno moja la hasira Au tendo la uovu Kwa upesi linavunja

Fungu la upendo safi.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 574: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

240. NAVUTWA KWAKE YESU

1 NAVUTWA kwake Yesu na ninamfurahia, Uzuri wake

unapita vyote vya dunia. Siwezi kuupima kweli kwa fikara

zangu. Uzuri wake unazidi kuwa bora kwangu!

Siwezi kueleza Uzuri wake huku, Lakini

niaufahamu Huko ju’ mbinguni.

2 Upendo wa ajabu mno nausifu sana, Ukanivuta kwa upole,

nije kwake Bwana! Ukaondoa mimi katika unyonge wangu,

Upendo wake unazidi kuwa bora kwangu!

Siwezi kueleza Upendo wake huku, Lakini

nitaufahamu Huko ju’ mbinguni.

3 Wokovu wake wakupendwa mno nausifu, Uliondoa woga,

ukanipa utulivu. Napenda Yesu aliyechukuwa dhambi

zangu, Wokovu wake unazidi kuwa bora kwangu.

Siwezi kueleza Wokovu wake huku, Lakini

nitaufahamu Huko ju’ mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 575: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

241. SITASHAWISHIWA TENA NA DUNIA HUKU

1 SITASHAWISHIWA tena na dunia huku, Mema yote ni kwa

Yesu, nampenda Yeye. Katika safari yangu, Bwana Yesu

wimbo wangu. Mbali, kwetu, kila saa namsifu Yesu.

2 Mimi mtu heri sasa, nampenda Yesu. Vyote nimempa Yeye,

namtumikia. Tumaini langu kuu nimeweka huko juu. Mbali,

kwetu, kila saa Namtumikia.

3 Njia yote kwenda mbingu Nifuate Yesu! Nifanane naye

Bwana, Niwe nuru huku! Nimkiri Yesu pote na katika hali

zote! Mbali, kwetu, kila saa nifanane naye!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 576: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

242. MAISHA YANGU YOTE NI MALI YA MWOKOZI

1 MAISHA yangu yote Ni mali ya Mwokozi. Maungo, roho na

akili, Yeye ameyabadili. Siku zangu zote Ni mali ya

Mwokozi.

Wakati wangu wote Ni mali ya Mwokozi. Machoni

pake ni amani, Natumika kwa shukrani. Namsifu

Yesu, Amenihurumia!

2 Maisha yangu yote Ni mali ya Mwokozi. Naomba niwe

mpendevu, Nitafute wapotevu! Aliwanunua Kwa damu

takatifu.

3 Maisha yangu yote Ni mali ya Mwokozi. Unijalie kati’

mwendo Kuongoza kwa upendo Wana wapotevu, Wapate

kuokoka.

4 Maisha yangu yote Ni mali ya Mwokozi. Nakaa miguuni

pake, Siku moja huko kwake Inapita elfu Pengine bila Yesu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 577: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

243. UKICHOKA KWA SAFARI NGUMU

1 UKICHOKA kwa safari ngumu, Sema na Yesu, sema na

Yesu! Waogopa kwamba hutadumu, Sema na Yesu daima!

Sema na Yesu, sema na Yesu, Yeye Rafiki amini!

Akupenda kwa upendo bora. Sema na Yesu kwa

yakini!

2 Ukilia ’chozi ya majuto, Sema na Yesu, sema na Yesu!

Ukiteswa ju’ ya dhambi nzito, Sema na Yesu daima!

3 Je, wahofu jua likifichwa? Sema na Yesu, sema na Yesu!

Kwa taabu ukihuzunishwa, Sema na Yesu daima!

4 Ukisumbukia kufa kwako, Sema na Yesu, sema na Yesu!

Ukiteswa kwa maisha yako, Sema na Yesu daima!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 578: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

244. SAFARI YANGU HUKU

1 SAFARI yangu huku ikiwa hatarini, Na ikipita katika giza

na jaribu, Najua kwa hakika: Mwokozi Yu karibu,

Ninamfuata mahali po pote.

Nikiwa pamoja na Yesu sina hofu. Anipa furaha na

heri rohoni mahali pote. Ikiwa nitayashiriki

mateso yake, Nitamfuata Mwokozi hata mwisho.

2 Nikitangaza Neno la Mungu duniani Katika mataifa walio

wakaidi, Nina furaha kubwa moyoni mwangu, kwani

Mwokozi Yu nami mahali po pote.

3 Na Bwana akitaka nibaki hapa kwangu, Wengine

wakitumwa mahali pa ugeni, Kusudi langu moja: nidumu

mwaminifu, Na nimfuate mahali po pote!

4 Si lazima nijue makusudio yote, Ni kazi yangu huku

kumfuate Yeye. Ikiwa nitabaki, ikiwa nitakwenda,

Nitamfuata Mwokozi po pote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 579: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

245. MIKWAJU ITIAPO GIZA NA KIVULI

1 MIKWAJU itiapo giza na kivuli Katika nchi ya Bersheba ya

zamani, Alitembea Ibrahimu asubuhi, Na maumivu na

huzuni ni rohoni, Kwa kuwa aliitwa na Mwenyezi Mungu

Kutii amri yake bila nung’uniko. Na hapo akaomboleza: “E’

Bwanangu, Wataka nitakutolea mwana wangu?”

2 Sauti ya Bwanake aliifahamu: “Mtwae sasa mwana wako wa

pekee, Ukamtoe mwana juu ya madh’bahu; Kafara ya

thamani ukanitolee!” Na moyo wake ukamtulia sana,

Akitukuza Mungu na kutumaini Ya kuwa Yeye atamfufua

mwana; Alimjuwa Yeye aliye mwamini.

3 Akaamka Ibrahimu alfajiri, Akatandika punda, akatwaa

kuni. Pamoja na mwanawe tena ’kasafiri, Na roho yake

ikalia kwa huzuni. Mwanawe Isak’ aliyemfurahia: Kipeo cha

furaha ya uzee wake, Matumaini yake yote ya dunia, Kafara

atakayotoa kwa Bwanake.

4 Katika njia ya mlima wa Moriya Mtoto akamsaili baba yake:

“Tazama moto uko, kuni ziko pia, Kondoo mume kwa

kafara yuko wapi?” Na Ibrahimu akajibu kwa imani

Isiyoona shaka wala kudhania: “Kondoo mume kwa kafara

ya shukrani, Ninasadiki Mungu atajipatia.”

(voir la suite sur la page suivante)

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 580: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

5 Je, awezaje Ibrahimu kusahau Wakati huo wa uchungu na

huzuni, Na jinsi akajenga huko madhabahu, Na tena

akamweka mwana ju’ ya kuni? Akakitwaa kisu amchinje

mwana, Halafu aliposikia neno tamu: ‘‘Usifanyie neno sasa

kwa kijana, Najua wanipenda sana Ibrahimu!’’

6 Akainua macho yake kwa haraka, Tazama dume la kondoo,

nyuma yake, Aliyenaswa pembe zake kwa kichaka!

Akamtoa akomboe mwana wake. Na malaika akamwita,

akasema: ‘‘Umenitii nami nitakubariki. Na kwa uzao wako

mataifa tena wa’barikiwa kwani umenisadiki.’’

7 Machozi yamekuwa mengi tangu hapo; Wakristo

wamekamilika kwa jaribu. Na mlimani mwa Moriya

wazikapo Matumaini yao, pendo na nasibu. Lakini juu ya

mlima wa kafara Mwenyezi Mungu abariki watu wake.

Awajulisha nguvu zake na ishara, Awajaliza Roho ya ahadi

yake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 581: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

246. HESHIMA NA SIFA ZINA BABA MBINGUNI

1 HESHIMA na sifa Zina Baba mbinguni, Aliyetupenda

Zamani na sasa!

Haleluya, usifiwe! Haleluya! Amina. Haleluya,

usifiwe! Haleluya! Amina.

2 Heshima na sifa Zina Yesu Mwokozi, Alitufilia Kwa ’jili ya

dhambi!

3 Heshima na sifa Zina Roho wa kweli, Anashuhudia

Mwokozi na damu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 582: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

247. NAPENDA SANA KUMSHUKURU MWOKOZI

1 NAPENDA sana kumshukuru Mwokozi wangu kwa nia

huru; Kwa wimbo wangu nashuhudia Upendo wake na damu

pia.

2 Nikidhukuru mateso yake Msalabani na kufa kwake, Nataka

katika wimbo wangu Kumtolea shukrani yangu.

3 Naimba sasa, nina faraja, Katika Yesu nina taraja. Ni

mambo tunayofunuliwa, Kwa wenye dhambi yamefichiwa.

4 Kwa Neno lake aniambia Ya kwamba ananihurumia, Na

ukombozi ninao sasa Kwa damu iliyonitakasa.

5 Na msione ajabu sana Ya kuwa namshukuru Bwana!

Ninamwimbia kidogo sasa, ’taendelea mbinguni hasa.

6 Anipa vyote kwa pendo lake, Urithi wangu wachungwa

kwake Hata wakati wa kuhamia Mbinguni, na nitashangilia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 583: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

248. YESU AKINIONGOZA SITAANGUKA

1 YESU akiniongoza Sitaanguka, sitaanguka. Ni Mfalme

mtukufu, Mwokozi wangu, Mwokozi wangu.

Wakati huu, hata milele Apita vyote vya dunia.

Yesu amenichagua, Mwokozi wangu, Mwokozi

wangu.

2 Yesu amenipa raha, Ni kiongozi, ni kiongozi. Anaka’ moyoni

mwangu, Yesu Mwokozi, Yesu Mwokozi.

3 Nilikuwa kama chungu Kilichovunjwa, kilichovunjwa. Sasa

nimeokolewa Na Bwana Yesu, Na Bwana Yesu.

4 Nitakapofika mbingu Nitamsifu, nitamsifu Yesu kwa upendo

wake, Mwokozi wangu, Mwokozi wangu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 584: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

249. ZAMANI MJINI MWA YERUSALEMU

1 ZAMANI mjini mwa Yerusalemu Waisrael’ waliabudu.

Wakristo wa sasa wanakusanyika Kuomba, kusifu Mwokozi.

Msifuni, msifuni Mungu wetu, Kwani ametutendea

mema! Tutamsifu tu Aliyetoka ju’, Shangilieni

Mwokozi mwema!

2 Mwokozi Yu nasi, ame’fumbulia Uweza wa kutuokoa. Na Yu

mwaminifu, atusikiliza, Apenda kutupa baraka.

3 Twaomba baraka na mvua ya mbingu Kuithibitisha Injili!

Wagonjwa wapone, vipofu waone, Tupate ’batizo wa Roho!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 585: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

250. IKAWA SIKU KUBWA KWANGU

1 IKAWA siku kubwa kwangu Aliponiokoa Yesu. E’ roho

yangu, umsifu Mwokozi wako, Yesu Kristo!

Siku kuu, siku kuu Aliponiokoa Yesu! Na kwa

neema na upendo Akaondoa dhambi zangu! Siku

kuu, siku kuu Aliponiokoa Yesu!

2 Nimeokoka, nafurahi! Ananitaja mwana wake! Alinivuta

kwa upendo, Nikafuata mwito wake.

3 Ni shangwe ku’ moyoni mwangu Nikifuata Bwana Yesu.

Anipimia ne’ma sawa Wakati wote ma maisha.

4 Kwa pendo kubwa na rehema Ananitunza siku zote.

Sitasahau siku ile Aliyoniokoa Yesu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 586: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

251. HERI MIMI KWANI MKOMBOZI WANGU

1 HERI mimi kwani Mkombozi wangu Alitoa dhambi zote!

Shangwe na furaha zanijaza mno, Kila siku nafurahi!

Kila siku nafurahi! Kila siku nafurahi! Heri mimi

kwani Mkombozi wangu Alitoa dhambi zote!

2 Heri mimi, Yesu alinifilia; ni furaha ku’; Yu hai! Ni Rafiki

kweli anayetuweka Huru toka minyororo.

Kila siku nafurahi! Kila siku nafurahi! Heri mimi,

Yesu alinifilia; Ni furaha ku’: Yu hai!

3 Heri mimi kwani ananiongoza; Nafuata nyayo zake.

Nikiyasikia tu maneno yake, Sitaweza kupotea.

Kila siku nafurahi! Kila siku nafurahi! Heri mimi

kwani ananiongoza, Sitaweza kupotea!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 587: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

252. NINAKUSHUKURU MUNGU KWA FADHILI ZAKO

1 NINAKUSHUKURU Mungu Kwa fadhili zako zote, Kwa

furaha na uchungu, Kwa neema njia yote! Kwa kipupwe na

masika, Kwa wakati wa machozi Na kwa raha kadhalika

Na’shukuru Mkombozi!

2 Ninakushukuru Bwana Kwa kunifunua siri, Kwa kusikiliza

sana Ombi, na kulifikiri! Na kwa msaada wako, Kwa wakati

wa jaribu. Kwa agano la Mwanako Nashukuru! U karibu.

3 Nashukuru Wewe pia Kwa uzuri wa mbinguni, Nuru

uliyoitia, Na kwa jambo la huzuni! Kwa jaribu na kwa giza

Na kwa siri ya imani, Tena kwa kunijaliza Ninakuwa na

shukrani!

4 Kwa waridi za njiani Na miiba yao pia, Kwa mahali pa

amani Uliopotuandalia, Kwa agano la upendo, Kwa kutupa

tumaini, Kwa kifiko cha mwenendo: Nashukuru! U amini!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 588: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

253. SIKU YA FURAHA INATUFIKIA

1 SIKU ya furaha inatufikia, Siku nzuri katika nchi. Mungu

asifiwe Mbali na karibu! Malaika wanamshukuru Bwana.

2 Huko Bethlehemu alipozaliwa Yesu Kristo Mwokozi wetu,

Pendo la Mwenyezi Likadhihirika; Raha ya mbinguni

imefika kwetu!

3 Ni karama kubwa tuliyoipewa Kwa mkono wa Baba Mungu.

Roho Mfariji anatuongoza, Atuonya njia iendayo kwake.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 589: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

254. E’ ROHO YANGU, SIKILIZA VEMA

1 E’ ROHO yangu, sikiliza vema, Wimbo wa juu unatufikia!

Shangwe na raha unatuletea, Amezaliwa Mkombozi wetu.

Ahimidiwe Mungu wa mbingu! Na duniani iwe

raha na amani!

2 Ninafurahi kwani wimbo huo Tungali tunausikia huku. Na

kwa upendo Mungu anaita: ‘‘Mfike kwangu, nitawapa

raha!’’

3 Katika nchi, mbali na karibu, Sauti ya Mwokozi inavuma.

Watu wa dhambi wanakuja kwake, Awapokea na awaokoa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 590: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

255. ZIMETIMIZWA AHADI NJEMA

1 ZIMETIMIZWA ahadi njema: Amezaliwa Mwokozi wetu!

Na yote Mungu aliyosema Kwa manabii kwa ’jili yetu,

Tumeyapata na kuyaona Katika Yesu, mwanawe Mungu.

Alitujia na tumepona, Twaweza wote kufika mbingu.

2 Alijidhili kuwa maskini, Na alifika ulimwenguni, Mwokozi

wetu, twaiamini. Walimlaza katika hori. Na utukufu kwa

Baba yake Aliuacha, rehema kuu! Na twende sote horini

kwake, Tumsujudu Aliye juu!

3 Mtoto huyo - mfano wetu, Si mtu tu, bali Mungu pia. Akawa

mwenye kutukomboa, Na Golgotha alitufilia. Tumepotea

vibaya sana Katika dhambi na ukaidi, Kwa umaskini wa

Yesu Bwana Twapata kuwa wote tajiri.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 591: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

256. ASUBUHI NA MAPEMA SIKU YA HABARI

1 ASUBUHI na mapema Siku ya habari njema Twende sote

Bethlehemu! Mungu ameturehemu!

2 Nyota kubwa inang’aa Ju’ ya nyumba ana’kaa Mwana wake

wa pekee. Mbele yake tujiweke!

3 Wachungaji wasikia Nyimbo zao malaika: ‘‘Asifiwe Mungu

juu, Duniani raha kuu!’’

4 Mariamu anachoka, Safarini wana’toka, Analaza mwana

ndani Ya sanduku la majani.

5 Wachungaji wanafika, Na magoti wana’piga; Waliacha

kundi lote Kushukuru Yesu wote.

6 Mwana yule ni Mwokozi, Msaada, Mkombozi. Neno la

kuaminiwa, Mungu ametushukia!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 592: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

257. SIKU YA KUISIKIA PARAPANDA

1 SIKU ya kuisikia parapanda yake Mungu, Ikiita wateule

wake wote, Kwa neema tutakaribishwa na Mwokozi wetu

Katika kutano kubwa huko juu.

Tutakaribishwa kwake, tutakaribishwa kwake,

Tutakaribishwa kwake Katika kutano kubwa huko

juu.

2 Mungu atawafufua wafu wake siku ile, Na wakristo hai

watabadilika, Wote watanyakuliwa kumkuta Bwana Yesu,

Tutakusanyika wote huko juu!

3 Wimbo wa mbinguni kama maji utakapovuma, Utukufu

wake Yesu tuta’ona. Nami pia kwa neema nitafika siku ile

Kusikia neno lake la ‘‘Karibu!’’

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 593: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

258. MKUTANO ’KUBWA GANI MLIMANI

1 MKUTANO ’kubwa gani Mlimani mwa Sayuni Asubuhi ya

milele? Hawa walinunuliwa, Tena walitakasiwa, Wawe

malimbuko kwa Mwokozi.

2 Hata kufa huku chini Walikuwa waamini, Walimfuata

Yesu. Sasa wanaka’ mbinguni, Wametoka jaribuni,

Wamerithi raha ya kipeo.

3 Ukamili wa uzuri Wa muziki na zaburi Unatoka huko juu!

Ni sauti tamu mno Ya kinubi na ya wimbo Kandokando ya

Mwokozi wetu!

4 Wimbo huo ni wa nani, Wa sauti ya tufani, Wa kutia raha

kuu? Ndio wimbo mpya ule Uimbwao sasa kule Ili kuhimidi

Mkombozi.

5 Bwana, unilinganishe, Na ulimi u’safishe, Nami nikaimbe

huko! Nipe vazi la rohoni, Safi sana, la kitani Lifaalo asubuhi

hiyo!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 594: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

259. NAFIKIRI SIKU TUTAKAYOFIKA MBINGUNI

1 NAFIKIRI siku tutakayofika Mbinguni huko kwetu, Na

malaika kwa furaha Watatukaribisha.

Wataimba wimbo wa kutupokea: ‘‘Karibuni!

Karibuni wote kwetu!’’ Malaika wa Mungu

watatulaki kwa nyimbo za furaha: ‘‘Twawasalimu!

Karibu kwetu!’’

2 Mkutano ’kubwa umekwenda mbele Na sasa uko kule.

Huimba kwa sauti kuu Ukimsifu Mungu.

3 Sisi nasi tutakusanyika huko Yerusalemu mpya, Na

mkutano wa wakristo Utatuamkia.

4 Bwana Yesu naye atatupokea, Atatukumbatia Katika

nyumba ya mbinguni Iliyo ya milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 595: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

260. MWENYEZI AMEJENGA MJI

1 MWENYEZI amejenga mji, Mfalme wa huko ni Yesu,

Yohana aliouona Kushuka kutoka mbinguni. Ukuta ukawa

wa jaspi, Na njia ya dhahabu safi. Wakati nitakapohama,

Nitachukuliwa Sayuni.

Mjini mle mtakatifu Yesu atuandalia makao. Sasa

nangoja, nautamani Mji mzuri kutoka mbinguni.

2 Na dhambi hazitafikapo, Uchafu hautaingia, Mateso,

ugonjwa na kufa Hazitakuwapo mjini. Na mle tutayasahau

Mashaka, ’jaribu na vita; Hatutaachana milele. Hakuna

uchungu rohoni!

3 Mjini hatutayaona Kilio na maombolezo. Na huko

hatutadanganywa, Haitakuwapo husuda. Na wana wa

Mungu waona Uzuri na utakatifu; Nitakapofika mjini

Nitashangilia daima.

4 Wapenzi, rafiki na wale Waliomaliza safari, Watashangilia

kabisa Kwa ’jili ya damu ya Yesu. Na tutawaona mjini

Katika makao ya raha. Tumaini letu ni hili: Tutakusanyika

mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 596: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

261. MSAFIRI ULIE NJIANI

1 MSAFIRI uliye njiani, Watamani nyumba ya Babako.

Sikiliza nyimbo za mbinguni! U karibu sana kufikako.

Utakuwako huko, Katika mkutano wa wakristo

Huko mbinguni kwa raha ipitayo fahamu?

Utakuako huko Wakati wa kuimba wimbo mpya

Wa kumsifu Mwokozi siku zote?

2 Sikiliza sasa makengele Yapigwayo huko juu kwetu, Ili

kutuita sisi mbele Ya jioni ya maisha yetu!

3 Labda siku ile ni karibu Nitakapokwenda, nitahama! Sitaona

tena majaribu, Nitajazwa kwa kumtazama.

4 Lango la mbinguni wazi sasa, Yesu amelifungua kwako.

Utaweza kuokoka hasa, Usiahirishe heri yako!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 597: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

262. KITAMBO BADO- VITA ITAISHA

1 KITAMBO bado — vita itaisha, Kitambo, na dhoruba

zitapoa. Na tena nitalaza kichwa changu Mbavuni mwake

anayenipenda. :/: Nitaziona raha na amani, Mbinguni

hazitakuwapo dhambi. :/:

2 Kitambo bado — roho yaumizwa, Kitambo katika usiku

huku. Machozi nina’toka mara nyingi Sababu sijaona bado

Yesu. :/: Lakini asubuhi ya milele Huko mbinguni sitalia

tena. :/:

3 Kitambo bado — ya kuchoka huku, Kitambo — tena

nitaona Yesu. Na huru mbali na hatari zote Nitastarehe

mikononi mwake. :/: Uvuli wote utaondolewa Kwa nuru

huko kamilifu kweli. :/:

4 Mateso yangu hayadhuru tena, Nitasahau yote kwake Yesu.

Nikisumbuka muda duniani, Mbinguni sitaona shida, kufa.

:/: Na Mungu atafuta kila chozi, Ataondoa maumivu yote. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 598: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

263. ENYI KUNDI LAKE MUNGU

1 ENYI kundi lake Mungu, Muda haba mhimili! Kati’ nchi ya

milele Mtaona raha tele. :/: Muda haba, muda haba, Tena

vita itakwisha. :/:

2 Usilogwe na dunia, Usiache Mungu wako! Katika mabaya,

mema Ufuate Bwana Yesu. :/: Siku zote, siku zote! Hivyo

utashinda vyote. :/:

3 Ukichoka safarini, Ukiona njia ndefu Na hatari za jangwani,

Mungu akuburudisha. :/: Raha huko, raha huko Yatuliza

msafiri. :/:

4 Kwa imani tunaona Nchi yetu ya ahadi. Ni habari nzuri

sana: Majaribu yatakoma. :/: Mbio sana, mbio sana Huko ju’

tutaonana. :/:

5 Tukiitwa na mauti Kwa furaha tutahama. Tulivyovitumaini,

Ng’ambo huko tutaona. :/: Heri tele, heri tele: ’ona raha ya

milele! :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 599: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

264. E' MSAFIRI JANGWANI, TAZAMA JUU

1 E’ MSAFIRI jangwani, Tazama juu mbinguni! Hapo utaona

nyota Za faraja na tumaini.

Huko hutayaona Machozi wala shida. Mungu

atatuliza Msafiri mbinguni kwake.

2 Ukisumbuka gizani Katika pepo, dhoruba, Bado wakati

mfupi, Nuru itatokea tena.

3 Ukililia wapendwa Waliokutangulia, Utakutana na wote,

Hutalia machozi tena.

4 Na penye moyo wa Yesu Utastarehe daima, Hutakumbuka

mbinguni Shida, kufa na sikitiko.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 600: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

265. TU WASAFIRI, TWAKARIBIA NCHI

1 TU wasafiri, twakaribia Nchi ya mbingu kwa Mungu Baba.

Tusiogope bonde la kufa, Yesu atuongoza kwake!

:/: Tu wasafiri :/: Tutakutana nyumbani mwa Baba.

E’ Bwana Yesu, utuongoze, Tufike sote mbinguni!

2 Wengi katika wapendwa wetu Wamevuka mto wa kufa.

Walifuata mwito wa Mungu. Wakahamia nchi nzuri.

3 Katika mwendo wa duniani Walitazama Mwokozi wao, Na

waliacha mambo ya huku, Walipendeza Bwana Yesu.

4 Ndugu wapendwa, tuendelee, Hata ikiwa shida njiani! Yesu

ni njia, kweli, uzima; Tumfuate siku zote!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 601: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

266. AYALA NAYE ANAYO SHAUKU YA MAJI

1 AYALA naye anayo shauku Ya maji ya kisima; Na vivyo

hivyo ninaona kiu Kwa Mungu wa uzima.

Kama ayala aonavyo Shauku mito ya maji safi, Na

vivyo hivyo rohoni mwangu Naona kiu kwa Mungu

wangu.

2 E’ Mungu wangu, Mungu wa fadhili, Nakutafuta Wewe! Je,

nikuone lini kwa ’kamili, Niburudishwe nawe!

3 Nazifikiri siku za zamani Niliposhangilia. Nijaze tena raha

na amani, Nakutumainia!

4 Na usifadhaike moyo wangu, Amini Mungu wako! Fadhili

zake hata huko mbingu Zatosha sana kwako!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 602: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

267. BABA NAKUOMBA LEO NA MAPEMA

1 BABA, nakuomba leo na mapema: Niongoze pote kwa

mapito mema!

Baba yangu, sikiliza Ombi langu leo! Baba,

nakusifu! Unanisikia.

2 Nistahimilipo kazi za mchana, Unitie nguvu, nakuomba,

Bwana!

3 Hata jua kuchwa liagapo njia, Baba, nakuomba: Unilinde

pia!

4 Maadui wengi watuwindawinda, Kwa maisha yetu Mungu ni

mlinda.

5 Katika utoto na ujana tena, Na uzee pia: Omba, kesha,

shinda!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 603: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

268. E’ YESU, INGIA ROHONI KABISA

1 E’ YESU, ingia rohoni kabisa, Uniweke huru na kunitakasa,

Nipate kushirikiana na Wewe Katika mateso na raha daima!

:/: E’ Bwana, nijaze Upendo wa mbingu Nao

uthabiti, Niwe mshindaji! :/:

2 Siombi ufalme, siombi heshima, Naomba kupewa neema

daima, Nijue yakini ya Neno la Mungu: Mtoe miili na iwe

dhabihu!

3 Nishike rohoni, unichungulie, Na katika yote unisaidie,

Nipate kabisa kusudi na nia Kujitoa kwako, kukutumikia!

4 Hakuna la huku litanizuia Nisilingamane na Yesu Masiya.

Nitumainije kufika mbinguni Nisiposhiriki Mwokozi

mpendwa!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 604: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

269. KATIKA BONDE NA MILIMA

1 KATIKA bonde na milima, Kwa mataifa mahali pote,

Peleka Neno la wokovu! Msifu Yesu sana!

Msifuni Bwana, Msifuni Bwana! Na tangazeni

Neno lake, ’sifuni Yesu sana!

2 Mapema na jioni pia Hubiri Neno la Bwana Yesu! Tangaza

njia ya wokovu, Msifu Yesu sana!

3 Lo! Paradiso malaika Wanahimidi Mwokozi wetu. Tuimbe

nasi sifa yake, Tu’sifu Yesu sana!

4 Usiyeona kufa bado, Uipokee neema leo! Ujisafishe kati’

damu, Msifu Yesu Kristo!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 605: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

270. SIMAMA FANYA VITA PAMOJA NA MFALME

1 SIMAMA, fanya vita Pamoja na Mfalme! Bendera tuishike

Iliyo ya Mwokozi! Mwenyezi huongoza Majeshi yake huku.

Adui wote pia Washindwa mbele yake.

2 Sikia baragumu, Linatuita sasa! Tuendelee mbele, Kusudi ni

kushinda! Tusiogope kamwe Hatari ya shindano, Pigana na

adui kwa nguvu yake Mungu!

3 Simama, fanya vita Kwa jina lake Yesu! Hatuna nguvu sisi,

Tunamtegemea. Na kwanza tuzivae Silaha zake Mungu!

Tukeshe siku zote, Tuombe kwa bidii!

4 Shindano letu hapa ’takwisha siku moja; Twapiga vita leo,

Baada pumziko. Na kila mshindaji Atapokea taji, Na

utukufu tele Karibu na Mfalme.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 606: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

271. UWATAFUTE WENZAKO WAPOTEAO

1 UWATAFUTE wenzako Wapoteao mbali! Yesu mwenyewe

apenda Kuwaokoa wote.

Uwatafute wenzako Wapoteao mbali! Pasha

habari ya Yesu Na ya wokovu wake!

2 Uwatafute wenzako Kwa neno la upendo! Mungu atalibariki

na kulithibitisha.

3 Uwatafute wenzako Kwa ’jili ya Mwokozi! Aliwakomboa

wote, Ni mali yake kweli.

4 Uwatafute wenzako Kabla ajapo Yesu! Wasipotee kabisa,

Uwaokoe mbio!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 607: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

272. NANI NI WA YESU? AMTUMIKIE

1 NANI ni wa Yesu? Amtumikie! Atafute watu na kuwahubiri!

Nani anataka kujitoa leo, Kufuata Yesu katika mateso?

Nani ni wa Yesu? Amtumikie! Nani atakaye, na

amwitikie! Mimi ni wa Yesu, nimtumikie, Nitafute

watu, kwake warudie!

2 Kwa upendo wake tunalazimishwa Kutafuta wenye dhambi

na makosa. Tunaendelea kuwavuta kwake, Hata wanaomba:

Mungu tuokoe!

3 Yesu alitununua sisi sote Ju’ ya msalaba na kwa damu yake.

Kwake tumepata raha na uhuru; Tunataka sasa kuwa

waminifu!

4 Hata vita ikiongezeka huku Tunayo bendera ya kushinda

kwetu. Siku ya hatima inakaribia, Itaibadili vita iwe

shangwe.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 608: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

273. NI UHERI KUMWAMINI MUNGU

1 NI uheri kumwamini Mungu Kama Ibrahimu wa zamani.

Hakutiwa shaka kwa uchungu, Ila alitii kwa imani. Ni uheri

kuendea sawa Katika mapito ya sheria. Ukijaribiwa na

kukawa, Mwisho Mungu atakujalia.

2 Mashujaa wote wa Biblia Hawakufurahi kwa anasa.

Wakafunzwa kutumainia Mungu na uweza wake hasa. Tena

wakaenda kwa imani ya kutetemesha ulimwengu,

Wakashinda giza na Shetani. Sifa na heshima zina Mungu!

3 Yesu atakayekuzwa naye Kwanza adhiliwe kuwa vumbi;

Mwana wake mwema na ambaye Baba humpenda, humrudi.

Hivyo Mungu awakamilisha Watu wake kwa mateso huku,

Na zaidi kuwafahamisha Kulijua pendo lake kuu.

4 Na ikiwa raha ya dunia Yatoweka katika jaribu, Mwaminifu

atafurahia Mungu wake, kwani Yu karibu. Na mavuno ya

taabu yake Yakichomwa na kuharibika, Atategemea Bwana

wake, Na kwa hiyo hatanung’unika.

5 Jipe moyo, enyi kundi dogo, Na msiogope hatarini! Shika

Neno la Mwenyezi Mungu, Litawaongoza safarini! Haleluya,

kwani majaribu Yahimiza msafiri mwendo, Hata ataona

kwa karibu Mji wa amani na upendo!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 609: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

274. NINAFURAHIA KISIMA DAIMA

1 NINAFURAHIA kisima daima, Kisima cha damu ya Yesu.

Katika upendo nalindwa salama, Nasifu Mwokozi mpendwa.

Kisima cha maji kinabubujika, Kinaniletea uzima.

Na kando ya maji ninaburudika, Ninashangilia

daima.

2 Nakaa karibu ya kisima hiki, Naishi kwa maji ya ’hai.

Yananilietea kupita kipimo Uzima na shangwe rohoni.

3 Nakaa karibu na kisima hiki, Naishi katika uheri. Ufike

upesi uliye na kiu, Kisima kinabubujika!

4 Nakaa karibu ya kisima hiki, Naona furaha na raha. Na

kando ya maji nafasi kwa wote, Waweza kupona kabisa.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 610: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

275. E’ MUNGU MWENYE HAKI UNIONGOZE

1 E’ MUNGU mwenye haki, Uniongoze huku Katika mambo

yote Yanayokupendeza! Nikiwa huku bila Wewe, Vitisho,

hofu na mashaka Yananitia tetemeko mpaka kufa.

2 Ni heri siku zote Kutegemea Yesu Na kuenenda sawa Katika

nyayo zake, Kwa kuwa Yeye ni Mchunga Anayeniongoza

vema, Nipate kuingia katika raha yake.

3 Safari yangu sasa Yaelekea mbingu, Mwokozi yuko huko,

Lazima nifikeko Na siku nitakapofika ’tashangilia kwa

furaha Kuona Yeye aliyeninunua kwake.

4 Ulimwenguni humu, Matata na kuchoka. Nikihitaji kitu

Nafadhahika bure, Lakini siku ile kuu Nita’pomwona

Mkombozi, Natumaini sitakosa thawabu yangu!

5 Mbinguni sitaona Adui zangu tena. Hayatakuwa mambo Ya

kupokonya pale. Sauti nitamtolea, Kusema: Mungu,

Haleluya! Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 611: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

276. MATENDO YA MUNGU YAPITA FAHAMU

1 MATENDO ya Mungu yapita ’fahamu, Ni nani ayaona wazi?

Lakini najua mapito ya Mungu Kwa mimi yafaa halisi.

2 Njiani sijui maana ya yote, Lakini nitayafahamu. Kwa nini

kuzisumbukia kwa bure Taabu na shida za muda?

3 E’ Bwana, unayo magari maelfu, Na lenye linalonifaa,

U’lichagulie mwenyewe, Bwanangu, Nifike salama

mbinguni!

4 Na kama Elia upesi kabisa Nitakavyoacha dunia, Uchungu

na shida za huku ’takwisha, Milele nitashangilia.

5 Tutamsujudu Mwokozi daima, Kuimba maelfu pamoja: E’

Mungu, U haki na mwenye neema Katika shauri na tendo.

6 Halafu nangoja kwa uvumilivu Kujua maana kwa wazi. Na

matumaini ni yenye uzima: Urithi ninao mbinguni.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 612: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

277. NITAOGOPA NINI GIZANI DUNIANI?

1 NITAOGOPA nini gizani duniani? Sikuachiwa peke’ mbali ya

tumaini! Mwokozi Yu karibu, asiyebadilika. :/: Hutunza

ndege ndogo na mimi kadhalika :/:

Namshukuru Mungu asiyebadilika. Hutunza ndege

ndogo na mimi kadhalika.

2 “E’ usifadhaike moyoni mwako, mwana”, Anong’oneza

Yesu, “Nitegemee sana!” Na hapo woga wangu waruka kwa

hakika. :/: Hutunza ndege ndogo na mimi kadhalika:/:

3 Na nikijaribiwa na jua lifichwapo, Hata sioni raha, wala

faraja hapo, Nakimbilia Yesu, na yote yapinduka. :/:

Hutunza ndege ndogo na mimi kadhalika :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 613: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

278. NINAINUA MACHO YANGU KWA MUNGU

1 Ninainua macho yangu Kwa Mungu aketiye juu, Aliye

msaada wangu, Njiani pangu nuru kuu. Aliyefanya vyote,

Maombi huyasikia. Katika njia zangu zote Atanilinda pote

pia.

2 Bwanangu asiache tena Mguu wangu usogezwe, Kwa kuwa

ni Mlinzi mwema, Naye hatasinzia kamwe. Alinda roho

yangu Nisije nikapotea. Hitaji za maisha yangu Baraka yake

ya’enea.

3 Aniokoa na uovu, Na roho yangu imepona. Kwa Yeye nguvu

na wokovu, Nilizionja naku’ona. Ananilinda pote: Kutoka

na kuingia; Anijaliza mema yote Nikiwa kutumainia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 614: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

279. UPENDO WAKE MUNGU UNATUUNGANISHA

1 UPENDO wake Mungu Unatuunganisha. ’shirika wa

watakatifu — Uheri wa mbinguni.

2 Katika sala zetu Twakaribia Baba Kwa tumaini, ujasiri Na

kwa imani moja.

3 Upendo wa kikristo Ha’vunji urafiki. Twalia naye wa

uchungu, Furaha twa’shiriki.

4 Tunaachana huku Kwa sikitiko sana. Kwa shangwe tena

kwake Mungu Twaweza kuonana.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 615: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

280. JINA LAKE YESU KRISTO LINADUMU

1 JINA lake Yesu Kristo Linadumu siku zote; Jina hili la

milele Haliwezi kunyauka; Linafaa watu wote, Na wazee na

vijana; Linaweza kuongoza Kila mtu kwake Mungu.

Jina hili nalipenda, Limewasha moyo wangu; Na

kwa jina hili jema Nimepata kuokoka.

2 Jina hili linavuma Pande zote za dunia, Na kwa wote linaleta

Tumaini na faraja. Jina hili laondoa Machukio na ubaya,

Hata milki ya Mwokozi itaanza kutawala.

3 Na katika giza huku Jina hili linang’aa, Laonyesha msafiri

Njia wazi ya uzima. Jua likitiwa giza, Jina hili litadumu; Na

milele lisifiwe Hapa na mbinguni juu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 616: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

281. YOTE NINAYO NILIYAPOKEA KWA WEMA

1 YOTE ninayo niliyapokea Kwa wema wake unaonea. Nasifu

Yesu, namtegemea, Aliniokoa kwa neema.

Niliyekuwa nimetoroka, Kwa pendo lake

nimeokoka. Yesu Yu mwema Na mwenye rehema,

Nimeokolewa kwa neema!

2 Nilitembea zamani dhambini Katika njia ya kufa, lakini

Yesu alinitafuta porini, Akaniokoa kwa neema.

3 Natakasiwa na Yesu Mwokozi, Si kwa majuto na si kwa

machozi, Bali kwa damu, ninao ’kombozi; Nimeokolewa kwa

neema.

4 Raha ya mbingu imeniingia, Kwa shangwe kubwa

ninafurahia Yesu, kwa kuwa anirehemia; Nimeokolewa kwa

neema.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 617: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

282. UKIONA KIU SANA UJALIVU WA MWOKOZI

1 UKIONA kiu sana ujalivu wa Mwokozi, Roho yake safi pia,

Liamini Neno la Babako na atakujazi, Nawe utashangilia.

Atakujaliza hata utashiba. Bwana Yesu akuita:

‘‘Njoo bila ’sitasita!’’ Atakujaliza hata utashiba

Roho na uwezo wake.

2 Vichukue vyombo vyako, uvioshe safi sana Kisimani pa

Golgotha! Afadhali kujitoa lote kwa Mungu Bwana, Na

imani itaota.

3 Na mafuta ya neema hayakomi. Asifiwe! Tunakuwa na

shukrani! Anataka kumimina Roho ya ahadi yake. Mpokee

kwa imani!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 618: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

283. NIMEYASIKIA MENGI ALIYOYAFANYA

1 NIMEYASIKIA mengi aliyoyafanya Yesu Katika maisha

yake huku chini: Pote alitenda mema, alisaidia wote. Kwa

furaha ninaimba: ‘‘Yesu Yeye yule leo!’’

Yesu Kristo Yeye yule Jana, leo, siku zote.

Hutafuta wapotevu, Huokoa na waovu. Mwokozi

wetu Yeye yule!

2 Na kipofu yule, jina lake ndilo Bartimayo, Aliposikia Yesu

Yu karibu, Kwa imani akaomba, akapona kwa neema.

Nafurahi kwa kuimba: ‘‘Yesu Yeye yule leo!’’

3 Watu wote wenye dhambi na wagonjwa na maskini

Wanaitwa kwake Yesu kwa rehema. Uiguse nguo yake, sawa

mwanamke yule, Utapewa nguvu yake, Kwani Yesu Yeye

yule!

4 Nimeyasikia tena jinsi alivyoombea Maadui wake ju’ ya

msalaba. Aliteswa kwa miiba, aliona maumivu. Ninaimba

kwa furaha: ‘‘Yesu Yeye yule leo!’’

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 619: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

284. USIMTAFUTE YESU KATI' WAFU

1 USIMTAFUTE Yesu Kati’ wafu kaburini! Yu mzima,

tumsifu, Hakushindwa na kuzimu! :/: Yesu hai, Yesu hai,

Mshindaji wa mauti! :/:

2 Maadui walifunga Bwana Yesu kaburini, Mungu alimfufua

Mwana wake. Furahini! :/: Yesu hai, Yesu hai, Imba hivyo

duniani! :/:

3 Yesu hai, ni habari Ya kupasha pande zote. Yu Mwokozi

wetu kweli, Alitufilia sote. :/: Yesu hai, Yesu hai, Mkombozi

asifiwe! :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 620: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

285. NENO LA MUNGU NDANI YA BIBLIA

1 NENO la Mungu ndani ya Biblia Limetolewa na Mwenyezi

Mungu. Biblia yetu inatuambia: Njoo kwa Yesu, Mkombozi

wetu!

Neno la Mungu tulilolipewa, Njia ya mbingu

limetuonyesha; Nuru gizani ya kutuongoza Katika

mwendo wetu kwenda mbingu.

2 Siku za giza zinakaribia, Kama walivyosema manabii. Biblia

yetu itatuangaza Na kutuonya njia hata mwisho.

3 Katika Neno la Biblia yetu Tunaupata utajiri wote. Mbingu

na nchi zitaangamia, Neno la Mungu litashinda yote.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 621: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

286. YESU, ULIKARIBISHWA ARUSINI

1 YESU, ulikaribishwa Arusini huko Kana; Hapo

ikadhihirishwa Nguvu yako kwa ishara.

2 Leo tunakuhitaji, Wabariki ndugu hawa: Bwana na bibi-

arusi! Ndoa yao iwe sawa!

3 Katika taabu, raha Wafungane kwa upendo! Watumike kwa

furaha, W’andamane kati’ mwendo!

4 Yesu, U mlinzi wao, Uwalinde na mabaya! Uhifadhi nyumba

yao! Tunaomba mema haya!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 622: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

287. TUNAMTIA MIKONONI MWAKO MTOTO

1 TUNAMTIA mikononi mwako Mtoto huyu, umtunze sana,

Na kila siku kwa neema yako Umbariki, Bwana Yesu Kristo!

2 Ulimwenguni kuna majaribu Mahali pote, shida na mitego.

Lakini uwe mchungaji wake, Na umwongoze, E’ Rafiki

mwema!

3 Mwokozi kwa upendo ’mchukue, Asije akashindwa safarini!

Na umlinde kwa rehema yako, Apate kuwa wako siku zote!

4 Utume nuru ya neema kwake Na maji ya uzima toka kwako

E’ Bwana Yesu. Twakuomba Leo ulinde mwana wetu kwa

salama.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 623: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

288. MUNGU WETU, UTULINDE

1 MUNGU wetu, utulinde Na utubariki sote! Bwana,

uturehemie, Tutolee nuru pote! Utuangazie uso, Tupe na

amani yako! Mungu Baba, Roho, Mwana, Tunakushukuru

sana!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 624: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

289. NINATAMANI KWENDA MBINGU

1 NINATAMANI kwenda mbingu nchi yangu Niliyopewa na

Mungu kwa imani. Ni shangwe bora kuona mji ule; Kwa

kwenda kule sitaogopa kitu.

E’ Baba yangu, niongoze, Unisafishe kwa damu ya

Mwokozi! Nifananishwe na theluji, Unibatize kwa

Roho ’takatifu!

2 E’ Mungu, tumepata Mwana Yesu Kristo, Kipawa kweli

kinachoshinda yote. Anahubiri amani kwao wote Walio

huku karibu, nao mbali.

3 Kwa Yesu tumepata mwisho wa upendo Na njia ya

kumwendea Baba Mungu. Si wapitaji na tena si wageni,

Tunatumika kwa roho ya upendo.

4 Amani kwetu na matumaini tele, Salamu toka kwa Mungu

wa milele Ni posho ya watumishi wa upendo; Tunaurithi

uzima wa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 625: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

290. BARAGUMU LITALIA SANA

1 BARAGUMU litalia sana, Watu wote watalisikia. Waliokufa

watafufuka Na wazima watabadilika. :/: Nani anayeweza?

Yesu, Mweza yote. :/:

2 Na wenye uwezo wa dunia Watatetemeka siku ile, Na

hawataweza kuinuka Kutazama uso kama jua. :/: Nani

anayeweza? Yesu, Mweza yote. :/:

3 Najua Mchunga wangu mwema, Anichunga kwa maisha

yangu. Na siku ya mwisho nikishinda, Sitaona uchungu wa

kufa. :/:Nani Mchunga mwema? Yesu, Mweza yote. :/:

4 Mbinguni hakitafika kitu Cha uchafu, dhambi na kuasi.

Wasiomwamini Bwana Yesu, Gadhabu ya Mungu

yawangoja. :/: Nani atahukumu? Yesu, Mweza yote. :/:

5 Mimi Yesu mzabibu kweli, Baba Mungu ndiye mkulima, Na

ninyi matawi ndani yangu, Na hamwezi neno bila mimi. :/:

Nani ni mzabibu? Yesu, Mweza yote. :/:

6 Unayempenda Baba Mungu, Lazima upende ndugu yako;

Ukiwa hupendi ndugu yako, Huwezi kupenda Baba Mungu.

:/:Nani aliyesema? Yesu, Mweza yote. :/:

(voir la suite sur la page suivante)

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 626: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

7 Nawapenda, mwisho wa upendo, Na ninyi mpate kupendana;

Hivyo mataifa wataona Ya kwamba m watu wangu kweli. :/:

Nani mwenye upendo? Yesu, Mweza yote. :/:

8 Sisi watumishi wake Mungu Tu watu maskini kati’ yote.

Tutakapowekwa pa kuume Kelele la sifa litashinda. :/:

Tutamsifu nani? Yesu, Mweza yote. :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 627: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

291. MIMI MWENYE HATIA NILIKOMBOLEWA

1 MIMI mwenye hatia nilikombolewa, Mwokozi alipojitoa.

Dhambi zangu na zako alizichukua, Kwa damu aliniokoa.

Dhambi zimetundikwa msalabani Alipojitoa,

Mwokozi. Alidharauliwa na kukataliwa

Atupatanishe na Mungu.

2 Yesu mwenye upole na mwenye upendo Ananitakasa rohoni.

Nimepata uhuru kwa Yesu Mwokozi, Alikufa msalabani.

3 Namwambata Mwokozi, sitaki kumwacha, Kwa kuwa

alinifilia. Nakusifu, E’ Yesu, unayenipenda, Daima

nakushangilia.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 628: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

292. KATIKA DAMU TAKATIFU YA MWOKOZI

1 KATIKA damu takatifu ya Mwokozi wangu Nimesafishwa.

Na nguvu ya Mwokozi wangu tu Yaweza kunilinda safi.

Mungu ahimidiwe, Mungu ashukuriwe Kwa ajili

ya wokovu na nguvu ya kushinda! Mungu

ahimidiwe, Mungu ashukuriwe Kwa ajili ya

wokovu wake!

2 Kwa wingi wa neema yake tu Nimeokoka, nimeokoka.

Wokovu ni kwa ’jili yako na Kwa kila ’aminiye kweli.

3 Kwa nguvu yangu sitashinda na Siwezi neno, Siwezi neno.

Ninajuliwa na Mwokozi na Atanisaidia pote.

4 Babangu mwema anipenda na Ananilinda, Ananilinda.

Sitaogopa giza huku kwa Maana Yu pamoja nami.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 629: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

293. NCHI NZURI YA RAHA AJABU

1 NCHI nzuri ya raha ajabu, Kwa imani twaona si mbali. Baba

atungojea sababu Ametuandalia mahali.

:/: Tukutane sisi sote Huko juu nyumbani mwa

Baba! :/:

2 Huko juu kwa raha, amani Tutaimba na kushangilia,

Kutolea Mwokozi shukrani Kwa sababu alitufilia.

3 Baba wetu mpendwa na mwema Kwake kuna furaha ya tele.

Twamsifu kwa kuwa neema Yatutosha kabisa milele.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 630: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

294. UTUME ROHO YAKO JUU YETU

1 UTUME Roho yako juu yetu Kama ulivyofanya hapo kale!

:/: Uwashe moto wako ndani yetu, Tusiwe watu wa

uvuguvugu! :/:

2 Utume Roho yako juu yetu Kama ulivyofanya siku ile. :/:

Mtume Petro alipohubiri Katika nyumba yake Kornelio! :/:

3 Utume Roho yako juu yetu, Utupe nasi Pentekoste yetu! :/:

Maelfu wenye dhambi waokoke, Na Neno lako lienee pote!:/:

4 Utume Roho yako juu yetu! Mikono yako uinyoshe sasa,:/:

Ishara za ajabu zifanyike, Wagonjwa uwaponye kati yetu! :/:

5 Uwaamshe waliosinzia, Waliochoka huku safarini! :/: E’

Bwana utujie kama kale Ulivyowabariki watu wako! :/:

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 631: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

295. E’, FURAHINI WATU WAKE MUNGU

1 E', furahini watu wake Mungu! Mwokozi wetu alituokoa.

Neema kubwa, pendo la ajabu! Tusifu Mungu sana siku zote!

E’ Mungu ana mamlaka yote, Ni ngao na

makimbilio yangu; Ni Baba yangu, na anasikia

Maombi yangu. Asifiwe!

2 E’, furahini watu wake Mungu! Tuimbe nyimbo za furaha

nyingi! Tusiogope ila tumwamini Na twende mbele kwa

uweza wake!

3 E’, furahini watu wake Mungu! Tukimshangilia Mungu

wetu, Jirani zetu wasioamini Watatamani kumjua Yesu.

4 E’, furahini watu wake Mungu! Mfalme wetu Yu pamoja

nasi. Kitambo bado — na tutahamia Mbinguni kwake

Mkombozi wetu.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 632: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

296. DHAMBI, HATIA ZIMEONDOLEWA

1 DHAMBI, hatia zimeondolewa, Yote ya kale yamepita sasa.

Damu ya Yesu imenisafisha; Ninamfurahia Mkombozi

wangu.

Mavazi safi na kao nzuri Ninayo huko ju’

mbinguni. Thawabu nita’pewa huko, Ni taji ya

uzima. Na Yesu ni Mwokozi wangu. Alinikomboa,

Alilipa deni langu. Pendo lake kubwa Nina’sifu

siku zote, Ninamfurahia Mkombozi.

2 Siku za nung’uniko zimekwisha, Nimeokoka katika utumwa.

Sasa naona raha na furaha Sababu Bwana Yesu

alinikomboa.

3 Shaka na hofu zimeondolewa, Na siogopi kufa kwangu tena.

Katika Yesu nina tumaini, Na ninalindwa vema naye

sikuzote.

4 Roho ya Mungu amenijaliza, Anifariji katika mwenendo.

Yesu Mwokozi Yu karibu nami, Aliye ngao yangu na

makimbilio.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 633: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

297. NIPE SAA MOJA NAWE YESU

1 NIPE saa moja nawe Yesu Nikichoka huku duniani! Hata

nikiona vita kali, Wanistarehesha sikuzote.

Nipe saa moja nawe Yesu, Kwani giza iko duniani!

Natamani kukukaribia, Kusikia Neno lako zuri.

2 Nipe saa moja nawe Yesu Katika jaribu na taabu! U

makimbilio yangu mema Katika hatari na ghasia.

3 Nipe saa moja nawe Yesu Uliyechukua dhambi zangu.

Ninataka kueleza yote, Kwani unanifahamu sana.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 634: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

298. NINAO WIMBO WAKUNIFURAHISHA

1 NINAO wimbo wa kunifurahia Wa Mwokozi, wa Mwokozi.

Namshukuru kwa roho yote pia, Mwokozi mzuri ninaye!

Mwokozi — wimbo wangu, Mwokozi, Mwokozi!

Mahali pote na siku zote Nitamsifu Yesu kati’ yote.

Mwokozi ni wimbo wangu Wa huku na Mbinguni.

2 Na jina moja ni lenye pendo tele: Yesu, Yesu, ndilo jina!

Anipa yote niliyokosa mbele, Mwokozi mzuri ninaye.

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 635: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

299. JE, UMELISIKIA JINA ZURI

1 Je, umelisikia jina zuri, Jina la Mwokozi wetu? Linaimbiwa

duniani pote Na katika watu wote.

Yesu, jina hilo linapita Majina yote kwa uzuri! Ni

lenye nguvu ya kutuokoa Na hatia na makosa.

2 Linafariji moyo wa huzuni, Latutia raha kuu. Katika shida

na hatari huku Jina hili latulinda.

3 Katika giza huku jina hili Linang’aa kama nyota, Lanipa

utulivu na ’hodari Siku zote hata kufa.

4 Majina yote yasahauliwa, Ila jina lake Yesu Milele litang’aa

huko juu. Yesu, jina nzuri mno!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 636: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

300. MUNGU AWABARIKIE NYOTE

1 MUNGU awabarikie nyote Na awe pamoja nanyi! Awalinde

kwa amani! Mungu n’ awe nanyi siku zote!

Mungu n’ awe nanyi dahari Hata mwisho wenu wa

safari! Mungu n’ awe nanyi dahari Hata tuonane

huko juu!

2 Mungu wetu awalinde pote Na kuwahifadhi vema Kwa

mikono ya rehema! Mungu n’ awe nanyi siku zote!

3 Mungu awaangazie nuru, Na awashibishe sana Kwa fadhili

zake Bwana! Mungu n’ awe nanyi siku zote!

4 Mungu awainulie uso! Na wakati wa kuhama Mpelekwe kwa

salama! Mungu n’ awe nanyi siku zote!

5 Mungu awabarikie nyote, Awalinde mwe huru, Awaangazie

nuru! Awainulie uso wake!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 637: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

ORDRE NUMERIQUE

1 à 140

141 à 280

281 à 327

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 638: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

1 à 140

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10

11 12 13 14 15 16 17 18 19 20

21 22 23 24 25 26 27 28 29 30

31 32 33 34 35 36 37 38 39 40

41 42 43 44 45 46 47 48 49 50

51 52 53 54 55 56 57 58 59 60

61 62 63 64 65 66 67 68 69 70

71 72 73 74 75 76 77 78 79 80

81 82 83 84 85 86 87 88 89 90

91 92 93 94 95 96 97 98 99 100

101 102 103 104 105 106 107 108 109 110

111 112 113 114 115 116 117 118 119 120

121 122 123 124 125 126 127 128 129 130

131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 639: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

141 à 280

141 142 143 144 145 146 147 148 149 150

151 152 153 154 155 156 157 158 159 160

161 162 163 164 165 166 167 168 169 170

171 172 173 174 175 176 177 178 179 180

181 182 183 184 185 186 187 188 189 190

191 192 193 194 195 196 197 198 199 200

201 202 203 204 205 206 207 208 209 210

211 212 213 214 215 216 217 218 219 220

221 222 223 224 225 226 227 228 229 230

231 232 233 234 235 236 237 238 239 240

241 242 243 244 245 246 247 248 249 250

251 252 253 254 255 256 257 258 259 260

261 262 263 264 265 266 267 268 269 270

271 272 273 274 275 276 277 278 279 280 NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 640: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

281 à 327

281 282 283 284 285 286 287 288 289 290

291 292 293 294 295 296 297 298 299 300

301 302 303 304 305 306 307 308 309 310

311 312 313 314 315 316 317 318 319 320

321 322 323 324 325 326 327

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 641: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

ORDRE ALPHABETIQUE

A B C D E F H I J K M

N O P R S T U V W Y Z

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 642: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

TITRES DES CANTIQUES

A

ABUDU MUFALME

ASANTE, EE MUNGU

ASKARI WA MWOKOZI

ASKARI WAHODARI

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 643: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

B

BABA WANGU MUFALME

BIBLIA INASIMAMA SANA

BONDE LA MAUTI

BWANA, FUNGUA MACHO YANGU

BWANA, KWA USIKU HUU

BWANA, MUFALME WA UZIMA

BWANA, NINAKUNGOJEA

BWANA, SASA URUHUSU

BWANA, UPOKEE MAISHA YANGU

BWANA YESU ALIKUJA

BWANA YESU AMESEMA

BWANA YESU ANAITA WATU

BWANA YESU ATAKUJA

BWANA YESU UNIONGOZE

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 644: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

C

CHINI YA BENDERA YAKE YESU

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 645: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

D

DAMU YA KRISTO IMENIOKOA

DAMU YAKO YENYE BARAKA

DUNIA ’NALALA

DUNIA YA ZAMBI HAILETI FURAHA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 646: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

E

EE ASKARI, TWENDE

EE BENDERA INATWEKA

EE BABA, NITAKUWA KAMA YESU

EE BWANA, NIWE MUFUATA WA KWELI

EE BWANA, TUNASIFU MAPENDO YAKO

EE BWANA, ULIVUMILIA

EE BWANA YESU, MWUMBA WA DUNIA

EE FURAHA KUONANA

EE KRISTO, KWAKO ROHO YANGU

EE KUJA, MUTU WA MAKOSA

EE KUNDI LA MUNGU, MUSIYAOGOPE

EE MARA NGAPI TUNASUMBUKA

EE MUJI WA BETELEHEMU

EE MUNGU BABA, NINAKUTUKUZA

EE MUNGU NDIYE NGUVU YETU

EE MWOKOZI, UNILINDE

EE NINAKUPENDA

EE NINATAKA KUSIKIA

EE NINI, MUNGU WETU

EE NITAKIMBIA KWA MWAMBA

EE SALAMA YA MILELE

EE SIKU YA KUOKOLEWA

EE SIKU YA PUMZIKO

EE, TARAJA YAKO NI WAPI

EE YEHOVA, MUNGU WANGU

EE, YESU ATAKUJA TENA

EE YESU, NATAKA USAFI KWA ROHO NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 647: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

F

FANYA MAPENZI

FANYIA MUNGU KAZI

FURAHA KUBWA KUTANGAZA SIFA

FURAHA KUBWA KWA DUNIA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 648: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

H

HAKIKA YESU MWAMBA NGUVU

“HAKOSE KESHO NITA-AMINI

HAKOSE LEO TU

HAKUNA RAFIKI KAMA YESU

HATA JUMA HILI, BWANA

HATA NINALIA

HATA TANGU ZAMANI

HATUA MOJA INAKUTENGA NA MWOKOZI

HERI KABISA

HESHIMA NA SIFA

HUZUNI YANGU NI KITU KWELI

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 649: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

I

IMBA NENO LA MUNGU

IMBA PENDO LA MWOKOZI

INATUSHINDA KUFAHAMU

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 650: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

J

JESHI KUU LA MALAIKA

JINA LA PENDO KUBWA

JINA LAKE YESU KRISTO

JUA LA ROHO

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 651: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

K

KAMA UKITAKA

KAMA ULIVYOAGIZA, BWANA

KAMA UNA MAHITAJI

KATI’ MIKONO YAKE YESU

KIONGOZI, MWANA WA MUNGU

KISIMA CHENYA DAMU SAFI

KITU KISI-INGIE

KRISTO ALIACHA UTUKUFU

KUJA KWA YESU

KUJA, MUFALME WETU

KUJENI KUSIFU NA FURAHA

KUKUFIKILI WEWE, YESU

KULE MUJI WA DAUDI

KUNA MUJI KULE MBINGU

KUNA MUJI MUZURI MBINGUNI

KUNA MUJI WA FURAHA

KUNA WIMBO MUZURI

KUTOKA TAABU YA DUNIA

KUTUMIKA KAZI KWA MWOKOZI

KWA KILIMA CHA KALVARI

KWA KONDO-O TUNAPUMZIKA

KWA MUKATE NA KWA MVINYO

KWA MUNGU MUJU-U

KWA PENDO LAKE KUBWA

KWA USIKU WA ZAMANI

KWAKO HESHIMA

KWAKO PEKEE, BWANA, NI SALAMA TAMU

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 652: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

KWAMI MUCHUNGAJI NI BWANA YESU

KWELI MAJI HAYAWEZI

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 653: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

M

MAISHA NA MAPENDO YANGU

MALAIKA ZA MBINGUNI

MANENO YA MUNGU NI TA-A

MAPENDEZI YA DUNIA

MAPENDO YAKE MUNGU

MATESO MENGI DUNIANI

MATESO YANAKUSUMBUSHA

MIMI MWENYE MAKOSA

MIMI WAKO, BWANA

MOYO ULIGEUZWA NA VILE MAISHA

MOYO WANGU UNA WIMBO LEO

MUCHUNGAJI YESU

MUFALME WA MAPENDO

MUFALME WA UTUKUFU

MUGANGA AMEKUJA

MUKATE WA UZIMA, BWANA

MUMUFANYIE BWANA SHANGWE

MUMUKARIBIE MUNGU

MUNGU ALIPOSIFIWA MBINGUNI

MUNGU AWE NANYI SIKUZOTE

MUNGU MUTAKATIFU

MUNGU NI PAHALI POTE

MUNGU, UMETUMA KWETU ROHO

MUNGU WETU MWAMINIFU

MUSIFU MUNGU KWA BARAKA

MUSINGI WA KANISA

MUSINGI WA NGUVU NI YESU

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 654: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

MUTAZAME UTUKUFU WA MWOKOZI

“MUTU WA MASIKITIKO”

MVUA YA MBINGU INYESHE

MWAMBA ULIOPASUKA

MWENYE KUSIKIA

MWOKOZI ALIAHIDIA

MWOKOZI ALINIAMBIA

MWOKOZI ALITUKUFIA

MWOKOZI ANAISHI

MWOKOZI ANANIONGOZA

MWOKOZI WANGU ALINIMWANGIA DAMU

MWOKOZI WETU NA MUPENZI

MWOKOZI YESU ALIKWENDA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 655: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

N

NA HALI YANGU NINAKUJA

NAFSI YANGU, ANGALIA YESU

NAJUA JINA MOJA ZURI

NAJUA YESU ANAISHI

NAKUHITAJI, YESU

NANI ANAYENINYANYUA?

NANI NI WA YESU?

NAONA SASA DAMU YA KONDO-O

NAPENDA KUIMBIA BWANA SIFA

NAPENDA KUSIKIA JINA LA BWANA

NAPENDA KUSIKIA

NAPENDA KUTANGAZA

NASIKIA BWANA YESU

NASIKIA, BWANA YESU

NATAKA SANA KUSIKIA

NAVUTWA KWAKE YESU

NE-EMA, NENO TAMU

NEEMA YA BWANA NI KUBWA SANA

NENO TAKATIFU SANA NI BIBLIA

NI AHADI YA MUNGU

NIKUTAMU SANA KWANGU

NI NEEMA YA KUNISHANGAZA

NI TAMU SANA JINA LA MWOKOZI

NIKIONA UZAIFU NA IMANI NDOGO

NIKIPATA ULIMWENGU WOTE

NILIKUBALI KUTOA UZIMA WANGU

NILIPOFIKA KWA MUSALABA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 656: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

NILIPOSIKIA YESU AKI-ITA

NILIZAMA KWA MAKOSA

NIMEAHIDI, YESU

NIMEKOMBOLEWA KABISA

NIMEPATA SALAMA

NINA MWOKOZI ANAYENIOMBEA

NINA NENO TOKA BWANA

NINA RAFIKI MWEMA

NINA USHIRIKI NA FURAHA KUBWA

NINAFIKILI, MUNGU BABA WANGU

NINAFURAHI SABABU MWOKOZI

NINAHESHIMU YESU KRISTO

NINAJUA RAFIKI MWEMA

NINAKARIBIA SASA

NINAKUOMBA, MUNGU BABA

NINAKUOMBA, YESU MUPENZI

NINAKUOMBA, YESU

NINAKUSHUKURU, BWANA

NINAKUSIKIA, BWANA

NINAKUTA BWANA YESU

NINAKUTOLEA, BWANA

NINANGOJA ASUBUI

NINAPENDA KUMUSIFU BWANA YESU

NINAPO-ONA MWOKOZI WA WATU

NINASHANGA-A KABISA

NINASIKIA MUCHUNGAJI

NINASIMAMA KWAKE KRISTO

NINATAKA BWANA YESU

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 657: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

NINATAKA KUMUFUATA YESU

NINATAZAMA MBINGU MBALI

NINATIMIA NDANI YAKO

NINI ITANISAFISHA?

NISADIKI YESU KRISTO SIKUZOTE

NITAFIKA KWAKE BWANA

NITAIMBA NA KUSIFU

NITASIFU MUKOMBOZI

NIWE KARIBU NAWE

NJIA YOTE NAONGOZWA

NYUMBANI MWA NGOMBE

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 658: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

O

OMBA, OMBA KWA MUNGU PEKEE

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 659: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

P

PAHALI PA SALAMA TAMU

PAHALI POTE NINAPOKWENDA

PANDA MBENGU NJEMA

PASHA HABARI ZA YESU

PENDO LA BABA WA MBINGU

PENDO LA MUNGU NI KUBWA

PENDO LA MUSHANGAO

PENDO LAKO, BWANA YESU

PENDO LILIKUSUKUMA

PIGA MAKENGELE

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 660: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

R

RAFIKI, MUYASIKILIZE

RAFIKI WA WATOTO

REHEMA YA KUHANI WETU

ROHO YANGU INAJA-A NA FURAHA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 661: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

S

SAA YA MAOMBI

SAFARI YANGU HUKO

SASA MANGARIBI

SEMA NA ROHO YANGU

SHAMBA LA MUNGU NI TAYARI

SIFA KWA BWANA, MWENYEZI

SIFU! SIFU!

SIFURAHI KWA MALI YA DUNIA

SIKU BARAGUMU YAKE MUNGU

SIKU MATESO YATAKAPOKWISHA

SIKU MWANA WAKE MUNGU ATAKAPORUDIA

SIKU NYINGI NILIFANYA ZAMBI

SIKU NYINGINE TAABU ’TAKWISHA

SIKU ZANGU ZITAKAPOTIMIA

SIMAMA KWA MUFALME

SINA AKILI NYINGI KUFAHAMU

SINA WOGA KWENDA NA MWOKOZI

SISI NI HURU

SIWEZI MIMI KUFAHAMU SANA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 662: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

T

TAMU SANA NI MANENO YA HABARI NJEMA

TANGAZA NENO HILI

TAZAMA YESU NI KONDO-O

TOKA GIZA

TUKIKWENDA PAMOJA

TUMEPATA NENO ZURI

TUNAFURAHI LEO

TUNAIMBA SASA NYIMBO KWAKE YESU

TUNAKUSHUKURU, MUNGU

TUNAPENDA SAA HII TAMU

TUNASIFU BWANA YESU

TUNATAKA KUPA KWAKO SIFA

TUNAZIKWA KWA KABURI LA MWOKOZI

TUNAZUNGUKA MEZA

TUSIFU JINA LAKE YESU

TUSIFU MUNGU WA MBINGUNI

TUTAFUFUKA KUSIMAMA

TUWAZE MUNGINI WA MBINGU

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 663: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

U

UCHUNGE WAKATI

UKAE NAMI

UKAE SIKUZOTE KWAKE YESU

UKICHUKULIWA NA MASHAKA YAKO

ULIACHA MBINGUNI NA UTUKUFU

ULIAGIZA, YESU BWANA

UMEKUJA KWAKE YESU

UMESOMA HABARI ZA MUSALABA

UNACHOKA KWA MATATA

UNACHOKA, UNA ROHO NZITO,

UNAKUBALI KUACHA MAKOSA?

UNATAKA SALAMA

UNIPE USAFI ZAIDI ROHONI

UNITEMBEZE, BWANA WANGU

USIACHE ZAMBI

USIKIE BWANA YESU

USIKIE YESU KRISTO

USIMAME KWA AHADI ZAKE

USIMAME NA PIGA BARAGUMU

USIOGOPE MATESO YAKO

UTAFURAHI KUWA NA UHURU?

UTAZAME BWANA YESU

UTAZAME MWOKOZI

UWATAFUTE WANAOPOTEA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 664: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

V

VIKA MWOKOZI TAJI

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 665: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

W

WACHUNGA WALILINDA KUNDI

WACHUNGA WALILINDA KUNDI

WAISRAELI KULE KWA MISRI

WAKATI SALAMA INAPOJAZA ROHO

WANANIAMBIA HABARI ZA MBINGUNI

WATU WA KRISTO, ANGALIENI

WATU WA MAKOSA

WATU WA MUNGU, MUMALIZE KAZI

WATU WANAKUZARAU

WEKA MAKUSUDI MEMA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 666: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

Y

YESU ALINIOKOA TOKA ZAMBI

YESU ALIPOLALA

YESU AMEFUFULIWA

YESU ANA PENDO KUBWA

YESU ANAPENDA KWELI

YESU ANATAKA TUNGAE

YESU ATAKAPOKUJA TENA

YESU ATATAWALA HAPA

YESU KWA MUJI WA BETELEHEMU

YESU, MUCHUNGAJI WETU MWEMA

YESU, MWANZO WA UZIMA

YESU, MWENYE PENDO KUBWA

YESU MWOKOZI ALINIKUFIA

YESU MWOKOZI ANAITA WATU

YESU MWOKOZI, MWANA WAKE MUNGU

YESU MWOKOZI NATAKA

YESU MWOKOZI WETU MWEMA

YESU NI RAFIKI YANGU

YESU NI RAFIKI YETU

YESU, NINAKUTOLEA

YESU, NINAUCHUKUA MUSALABA

YESU, NIVUTE KARIBU NAWE

YESU, UNAPITA NDUGU

YESU UNAYENIPENDA

YESU UNITAZAMISHE

YESU, YESU, YESU, JINA TAMU SANA

YOTE KWA MWOKOZI WANGU

YOTE NINAYO NILIYAPOKEA NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 667: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

Z

ZAHABU NA FEZA

ZAMANI MUKE MWENYE UGONJWA

ZAMANI MWOKOZI ALIWAKARIBISHA

ZAMANI NILI-ISHI KWA ZAMBI

ZAMANI, PENTEKOTE

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 668: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

ORDRE NUMERIQUE

1 à 140

141 à 280

281 à 300

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 669: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

1 à 140

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10

11 12 13 14 15 16 17 18 19 20

21 22 23 24 25 26 27 28 29 30

31 32 33 34 35 36 37 38 39 40

41 42 43 44 45 46 47 48 49 50

51 52 53 54 55 56 57 58 59 60

61 62 63 64 65 66 67 68 69 70

71 72 73 74 75 76 77 78 79 80

81 82 83 84 85 86 87 88 89 90

91 92 93 94 95 96 97 98 99 100

101 102 103 104 105 106 107 108 109 110

111 112 113 114 115 116 117 118 119 120

121 122 123 124 125 126 127 128 129 130

131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 670: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

141 à 280

141 142 143 144 145 146 147 148 149 150

151 152 153 154 155 156 157 158 159 160

161 162 163 164 165 166 167 168 169 170

171 172 173 174 175 176 177 178 179 180

181 182 183 184 185 186 187 188 189 190

191 192 193 194 195 196 197 198 199 200

201 202 203 204 205 206 207 208 209 210

211 212 213 214 215 216 217 218 219 220

221 222 223 224 225 226 227 228 229 230

231 232 233 234 235 236 237 238 239 240

241 242 243 244 245 246 247 248 249 250

251 252 253 254 255 256 257 258 259 260

261 262 263 264 265 266 267 268 269 270

271 272 273 274 275 276 277 278 279 280 NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 671: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

281 à 300

281 282 283 284 285 286 287 288 289 290

291 292 293 294 295 296 297 298 299 300

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 672: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

ORDRE ALPHABETIQUE

A B D E G H J K L

M N P R S T

U W Y Z

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 673: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

A

AHADI ZOTE ZA MUNGU WETU

AHADI ZOTE ZA MUNGU ZINASIMAMA

ALIPOKUFA YESU JU’ YA MSALABA

ALIPOTESWA YESU PEKE’

AMENIWEKA HURU KWELI

ASKARI WA IMANI SISI

ASUBUHI NA MAPEMA SIKU YA HABARI

AYALA NAYE ANAYO SHAUKU YA MAJI

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 674: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

B

BABA NAKUOMBA LEO NA MAPEMA

BADO KIDOGO JUA LITAPANDA

BARAGUMU LITALIA SANA

BWANA YESU ALINIOKOA KWELI

BWANA YESU ANASEMA, DHAIFU WEWE

BWANA YESU AMEVUNJA

BWANA YESU ANATUULIZA

BWANA YESU ATAKUJA KUTOKA MBINGUNI

BWANA YESU, UNIONGOZE

BWANA YESU UWE NAMI

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 675: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

D

DAMU YAKO YENYE BARAKA

DHAHABU NA FEDHA HAZINIOKOI

DHAIFU, MWENYE DHAMBI

DHAMBI, HATIA ZIMEONDOLEWA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 676: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

E

E’, FURAHINI WATU WAKE MUNGU

E’ MLINZI, TWAULIZA

E' MSAFIRI JANGWANI, TAZAMA JUU

E’ MTAKATIFU, MUNGU WA MAJESHI

E’ MTOTO, YAINUE MACHO YAKO

E’ MTU MWENYE KIU, UFIKE KWAKE

E’ MUNGU MWENYE HAKI UNIONGOZE

E’ MUNGU MWENYE KWELI

E’ RAFIKI, SHAKA ZAKO ZIPELEKE KWAKE

E’ ROHO YANGU, SIKILIZA VEMA

E’ YESU, INGIA ROHONI KABISA

E’ YESU MSHINDAJI WA GOLGOTHA

E’ YESU, SITAUSAHAU

ENYI KUNDI LAKE MUNGU

ENYI WATU WA SAYUNI

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 677: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

F

FANYIA MUNGU KAZI, MBIO USIKU

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 678: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

G

GOLGOTHA MWOKOZI ALITUNDIKWA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 679: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

H

HAIDHURU KWANGU HUKU CHINI

HAIFAI KUYASUMBUKIYA

HALELUYA! NAFURAHI

HAPO NILIKUWA CHINI

HAPO NILIPOKUWA DHAMBINI

HATUA MOJA KATI YA WEWE NA MWOKOZI

HATUMJUI RAFIKI MWEMA

HERI HALISI, YESU NI WANGU

HERI MIMI KWANI MKOMBOZI WANGU

HERI MTU ANAYE AMINI MUNGU BABA

HESHIMA NA SIFA ZINA BABA MBINGUNI

HUKO JU’ YA NYOTA ZOTE

HURU KAMA NDEGE BUSTANINI

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 680: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

I

IKAWA SIKU KUBWA KWANGU

IKIWA WANANIULIZA MSINGI WA UZIMA

IMBA HABARI NJEMA

IMBA INJILI YA YESU KWA MOYO

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 681: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

J

MWOKOZI MZURI NINAYE

JE, UMELISIKIA JINA ZURI

JINA LAKE YESU KRISTO LINADUMU

JUU YA MBINGU ZOTE

JUU YA MWAMBA UMEJENGA KANISA LAKO

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 682: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

K

KAMA UNATAKA KUWA MTU WAKE YESU

KARIBU NA WENZANGU NILIPOTEA

KATI’ MIKONO YAKE YESU

KATIKA BONDE NA MILIMA

KATIKA DAMU TAKATIFU YA MWOKOZI

KATIKA MATUMAINI KWA MUNGU

KATIKA SAFARI YETU

KIJITO KIKO CHENYE DAMU

KIMYA, E’ MOYO WANGU

KISA CHA KALE NIPE HABARI

KISIMA CHA LEHI KINGALI

KISIMA SAFI SANA CHATOKA MSALABA

KITAMBO BADO- VITA ITAISHA

KUNA MJI HUKO JUU

KWA BADALA YANGU KWELI

KWA NAMNA NYINGI NILITAFUTA

KWA PENDO LAKE KUBWA

KWA SALAMA BABA MUNGU AWALINDA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 683: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

L

LO! BENDERA INATWEKWA

LO! BENDERA MBELE YAKO

LO! HORINI BETHLEHEMU

LO! NURU INAPAMBAZUKA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 684: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

M

MACHO YANGU KUMTAZAMA

MAISHA KATIKA DUNIA

MAISHA MAFUPI YA HUKU DUNIA

MAISHA YANGU YOTE NI MALI YA MWOKOZI

MATENDO YA MUNGU YAPITA FAHAMU

MBINGUNI KWA MWOKOZI WANGU MWEMA

MGENI MIMI HAPA MAHALI PA UGENI

MGENI MIMI, NINASAFIRI

MIKWAJU ITIAPO GIZA NA KIVULI

MIMI MGENI KATIKA DUNIA

MIMI MKRISTO, NITA’VYOKUWA

MIMI MWENYE HATIA NILIKOMBOLEWA

MKUTANO ’KUBWA GANI MLIMANI

MPONYI APITAYE WOTE

MSAFIRI ULIE NJIANI

MSALABANI MWOKOZI WANGU

MSALABANI NILIMWONA YESU

MTOTO MIMI NI MASKINI

MUNGU AKUTAKA KATI’ SHAMBA LAKE

MUNGU ALIYE MBINGUNI

MUNGU AWABARIKIE NYOTE

MUNGU, MOTO WAKO UNIUTUMIE

MUNGU, NIVUTE KWAKO

MUNGU, TUNANGOJA WOTE

MUNGU WANGU MKUU WANIJAZA

MUNGU WETU, UTULINDE

MUNGU WETU YU KARIBU

MVUA YA MBINGU UNYESHE NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 685: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

MWAMBA ULIOPASUKA

MWANA-KONDO’ WA MUNGU

MWENYEZI AMEJENGA MJI

MWENYEZI MUNGU ANAFANYA ISHARA

MWENYEZI MUNGU NGOME KUU

MWENYEZI MUNGU WA ZAMANI ZOTE

MWISHO WA NJIA YA MUNGU NI MBINGU

MWOKOZI ALITOA DAMU KWA'JILI YA WAOVU

MWOKOZI AMEUTIMIZA WOKOVU

MWOKOZI KAMILI NI YESU PEKEE

MWOKOZI, MFALME, ULISULIBIWA

MWOKOZI, MOTO SAFI, WAZI, TUNATAKA MOTO

MWOKOZI MZURI NINAYE

MWOKOZI WANGU NI MWAMBA BORA

MWOKOZI WANGU ULIKWENDA JUU

MWOKOZI WETU ALIAHIDI

MWOKOZI WETU ANATUPA FURAHA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 686: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

N

NAFASI INGALIKO ARUSINI

NAFIKIRI SIKU TUTAKAYOFIKA MBINGUNI

NAFURAHI KWA SABABU KATI' DAMU

NILIYE MSAFIRI, MGENI DUNIANI

NIMEFIKA KWAKE YESU

NIMEKWISHA KUINGIA NCHI NZURI

NIMEUONA MTO SAFI

NIMEYASIKIA MENGI ALIYOYAFANYA

NINA FURAHA KUBWA, NAPUMZIKA

NINA RAFIKI MWEMA, NAYE ALINIFILIA

NINA USHIRIKA NA FURAHA KUBWA

NINA UZIMA WA MILELE

NINAFURAHIA KISIMA DAIMA

NINAINUA MACHO YANGU KWA MUNGU

NINAJUA NCHI HUKO JUU

NINAJUA NCHI NZURI

NINAJUA RAFIKI MWEMA, ANITUNZA

NINAKUMBUKA SAYUNI

NINAKUSHUKURU MUNGU KWA FADHILI ZAKO

NINAO WIMBO WAKUNIFURAHISHA

NINATAKA KUFUATA YESU

NINATAKA KUMSIFU YESU BWANA

NINATAKA KUMSIFU YESU KRISTO

NINATAMANI KWENDA MBINGU

NIPE HABARI YA YESU, UIANDIKE ROHONI !

NIPE SAA MOJA NAWE YESU

NITAKWENDA MAHALI PA GIZA

NITAOGOPA NINI GIZANI DUNIANI?

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 687: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

NITAZAMAPO KWA IMANI MWOKOZI

NJIA YOTE NAONGOZWA

NJOO KWA YESU MWOKOZI

NJOO KWA YESU USISHANGAE

NJOO, MWENYE HUZUNI NYINGI

NJONI WOTE, MLE, MNYWE

NJONI WOTE MTESWAO!

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 688: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

P

PANDA MBEGU NJEMA ANZA ASUBUHI

PENDO KUBWA LA BABANGU LINANG'AA

PENDO LA MUNGU NI KUBWA

PENDO LA MWOKOZI KUBWA MNO!

PIGA MAKENGELE YA FURAHA LEO

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 689: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

R

RAFIKI YANGU TAZAMA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 690: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

S

SAFARI YANGU HUKU

SASA TAYARI KWETU SIKU YA KUOKOKA

SAUTI MOJA ILINIULIZA

SAUTI YA YESU NILIISIKIA, KWA PENDO

SAWA NA KISIMA SAFI

SAYUNI, ULAKI BWANAKO

SHAMBA LA MUNGU LIMEIVA

SIFU BWANA, NINYI WATU WAKE

SIKU CHACHE

SIKU KUBWA YA MASHANGILIO

SIKU MOJA MAVUNO YATAISHA KABISA

SIKU MOJA NITAMWONA BWANA YESU

SIKU MOJA TUTAONA UTUKUFU

SIKU NYINGI NILIFANYA DHAMBI

SIKU YA FURAHA INATUFIKIA

SIKU YA KUISIKIA PARAPANDA

SIMAMA FANYA VITA PAMOJA NA MFALME

SISI TU VIUNGO VYA MWILI 'MOJA

SITASHAWISHIWA TENA NA DUNIA HUKU

SITASUMBUKA

SIWEZI MIMI KUFAHAMU SANA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 691: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

T

TARUMBETA LAKE KRISTO LITALIA

TAZAMA MWOKOZI ALIYEKUFILIA

TU WATU HURU, HURU KWELI

TU WASAFIRI, TWAKARIBIA NCHI

TU WAVUNAJI WAKE MUNGU

TUIMBE ASUBUHI HII

TUIMBIE MSALABA WA MWOKOZI

TUIMBIE, TUMSIFU YESU JU’ YA MSALABA

TUINUE MOYO TUKISIFU YEYE

TUKIENDA PAMOJA, KUSHIKANA

TUMEKOMBOZWA KATIKA NCHI

TUNAKARIBIA KAO LA MBINGUNI

TUNAMTIA MIKONONI MWAKO MTOTO

TUNASIKIA LEO HABARI, INAWAITA WATU

TUPATE KWA NANI FARAJA YA ROHO?

TUTAONA FURAHA MBINGUNI

TUTAZAME KULE MBELE

TWAPASHA HABARI YA MBINGU

TWA’SIFU MUNGU KWA AJILI YA DAMU

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 692: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

U

UFURAHI, MOYO WANGUUKAE NAMI, GIZA INAFIKA!

UKICHOKA KWA SAFARI NGUMU

UKICHUKULIWA NA MASHAKA YAKO

UKIONA KIU SANA UJALIVU WA MWOKOZI

ULINDE ROHO NA NAFSI YANGU

UMESHIRIKIANA NAYE YESU

UMGEUKIE MWOKOZI, JITENGE NA OVU

UNA UHODARI LEO WA KUMFUATA YESU

UNIHUBIRI HABARI NJEMA

UNIPE RAHA TELE KAMA MTO

UNIVUTE, YESU, NIFUATE NYAYO ZAKO

UPENDO WAKE MUNGU UNATUUNGANISHA

USIKIE BWAN YESU ANAYEKUITA LEO

USIKU KABLA YA KUTESWA

USIMTAFUTE YESU KATI' WAFU

USIOGOPE MATESO YAKO

USIYEFANYA BIDII KABISA

UTUKUFU WA MBINGUNI NI WA HERI

UTUME ROHO YAKO JUU YETU

UWATAFUTE WANAOPOTEA

UWATAFUTE WENZAKO WAPOTEAO

UZIMA NINAO MOYONI DAIMA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 693: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

W

WAISRAELI WALIKA’BABELI UTUMWANI

WAKATI WA NOELI

WAKATI WA UTOTO WAKO

WAKRISTO WA NCHI ZOTE

WALIAMINIO NENO LAKE MUNGU

WATU WA MUNGU, MSHANGILIENI

WENGI WAKASEMA: “BADO”

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 694: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

Y

YAPIGWA HODI KWANGU, MGENI

YESU AKINIONGOZA SITAANGUKA

YESU ALIPOLALA KATI’ KABURI

YESU AMEINGIA KATIKA ROHO YANGU

YESU AMENIOKOA

YESU, JINA HILI JEMA

YESU! JINA HILI LINAPITA

YESU KRISTO ALIFUFUKA

YESU KRISTO ASIFIWE

YESU KRISTO, BWANA WANGU

YESU KUTOKA MBINGUNI ALIINGIA

YESU MWOKOZI AITA KWA PENDO

YESU MWOKOZI, UNANIPENDA

YESU, MWENYE PENDO KUBWA

YESU NI FURAHA YANGU

YESU, NINAKUTOLEA MOYO NA MAISHA YANGU

YESU, NINAKUTOLEA VYOTE NINAKUWA NAVYO

YESU, NIVUTE KARIBU NAWE

YESU, ULIKARIBISHWA ARUSINI

YESU, ULIYEKUFA KWA AJILI YANGU

YESU, UNIONYE TENA MSALABA WAKO!

YESU, WEWE U MCHUNGA WETU

YESU, YESU, JINA KUBWA

YO YOTE UONAYO HUKU

YOTE NINAYO NILIYAPOKEA KWA WEMA

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU

Page 695: NYIMBO ZA MUNGUNi dawa kwa wenye makosa kuponyesha roho. 4 Watumwa wa makosa Yesu anawafungua; Na damu yake inafaa kwa kuniosha mimi. 5 Wanaokombolewa wote, muheshimu Bwana, Na mutangaze

Z

ZAMANI MJINI MWA YERUSALEMU

ZIMETIMIZWA AHADI NJEMA

ZITAKAPOTIMIA SIKU ZA HUDUMA YANGU

NYIMBO ZA MUNGU PAGE D'ACCUEIL NYIMBO ZA WOKOVU