Upload
zitto-kabwe
View
239
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
7/27/2019 Ratiba Pac Agosti 2013 _rasimu
1/2
1
KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC)
RASIMU YA RATIBA YA KUJADILI HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA SERIKALI KUU NA
MASHIRIKA YA UMMA KUANZIA TAREHE 19/08/2013 HADI TAREHE 24/08/2013
UKUMBI NAMBA 126 OFISI NDOGO YA BUNGE, DAR ES SALAAM
____________________________________
SIKU/TAREHE SHUGHULI MHUSIKA
KUNDI LA KWANZA - UKUMBI WA JUMA JAMALDIN AKUKWETI (126)
Jumatatu
19 Agosti 2013
Fungu 46 - Wizara ya Elimu na Mafunzo
ya Ufundi
Fungu 21 Hazina
Wajumbe wa Kamati Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu za
Serikali (CAG)
Mhasibu Mkuu waSerikali (AcGen)
Maafisa Masuuli waWizara, Idara, Wakala
na Tawala za Mikoa
Mkurugenzi wa Idaraya Usimamizi wa Mali
za Serikali (DGAM)
Jumanne
20 Agosti 2013
Fungu 48 - Wizara ya Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi
Fungu 34 - Wizara ya Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa
Jumatano
21 Agosti 2013
Fungu 69 - Wizara ya Maliasili na Utalii
Fungu 41 Wizara ya Katiba na Sheria
Alhamisi
22 Agosti 2013
Fungu 98 - Wizara ya Ujenzi
Ijumaa
23 Agosti 2013
Fungu 22 Deni la Taifa na huduma za
ujumla
Jumamosi na
Jumapili
24-25 Agosti 2013
Wajumbe kuelekea Dodoma Katibu wa Bunge
7/27/2019 Ratiba Pac Agosti 2013 _rasimu
2/2
2
KUNDI LA PILI - UKUMBI KUTANGAZWA BAADAYE
Jumatatu
19 Agosti 2013
Benki ya Twiga
Shirika Hodhi la Rasilimali za Mashirika
ya Umma (CHC)
Wajumbe wa Kamati Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu za
Serikali (CAG)
Msajili wa Hazina (TR) Wenyeviti wa Bodi na
Menejimenti za
Mashirika ya Umma
Jumanne
20 Agosti 2013
Shirika la Hifadhi ya Bahari Tanzania
Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Madawa
(TPRI)
Jumatano
21 Agosti 2013
Mfuko wa Mafao ya Watumishi wa
Umma (PSPF)
Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima
Alhamisi
22 Agosti 2013
Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM)
Tume ya Sayansi na Teknolojia
(COSTECH)
Ijumaa
23 Agosti 2013
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA)
Chuo cha Taifa cha Usafirishaji
Jumamosi na
Jumapili
24-25 Agosti 2013
Wajumbe kuelekea Dodoma
TANBIHI:
Vifupisho: PAC = Public Accounts Committee; CAG = Controller and Auditor General;AcGen = Accountant General; DGAM = Director of Government Asset Management.