Ripoti Ya Kamishna Mkuu

Embed Size (px)

Citation preview

  • 8/16/2019 Ripoti Ya Kamishna Mkuu

    1/6

      JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

      IDARA YA UHAMIAJI

    OFISI YA UHAMIAJI

    S.L.P 369

    MUSOMA

     

    TAARIFA YA UTENDAJI KAZI WILAYA YA BUNDA KWA KAMISHNA MKUU

    WA UHAMIAJI

    1.0 Utanguliz

    Afande kamishna mkuuNichukuwe fursa hii kukupongeza kuteuliwa kwako kuongoza Idara ya

    UhamiajiOsi ya uhamiaji wilaya ya Bunda ilifunguliwa rasmi mwaka 2! ikiwa

    na maasa uhamiaji wawili "2#$ %akati huo tulipata chum&a kimoja

    katika jengo la moja ya majengo ya 'almashauri ya %ilaya$ Baada ya

    maaasa hao kuanza kazi na kuelimisha jamii juu ya shughuli za

    uhamiaji( wananchi walianza kujitokeza kupata huduma za uhamiaji

    hapa hapa wilayani Bunda na kusa&a&isha osi hiyo kuwa ndogo na

    am&ayo haikuwa na hadhi$ Baada ya hapo osi imekuwa inahamia

    katika majengo tofauti tofauti hadi mwezi fe&ruari 2)) tulipopanga

    katika jengo hili$ Osi ya uhamiaji %ilaya ya Bunda inahudumia jumla

    ya *arafa nne "!#( +ata thelathini na moja",)# na -ijijimia moja na nne

    +ati ya hi-yo &aadhi ya -ijiji ni -isiwa ndani ya ziwa -ictria am&a-yo

    inatuwia -igumu kuka kutokana na kutokuwa na &oti$ Osi hii pia

    inahudumia mahoteli yaliyoko katika eneo la maghari&i la hifadhi ya

     *aifa ya m&uga ya .erengeti ".erengeti National /ark %estern zone#$

    /amoja na hayo kuna shule za &inafsi "0nglish 1edium /rimary

    .chools#$ iwanda -ya mafuta( masham&a ya kilimo na wahamiaji

    haramu am&ao huingia kinyemela na kuishi -ijijini kwa ucho$ 3otehayo yanahitaji huduma ya osi ya %ilaya tu kwani hatuna kituo cha

    kuingilia na kutoka nchini kutokana na jiograa ya %ilaya ya Bunda

    kutokuwa kwenye mpaka na nchi yoyote$

    )

    Anuani ya Simu: “UHAMIAJI”

    NUKUSHI:

    SIMU: +255 282622426

    KUMB .NA.BND/INV/VO!!!/2!/""

    O#ISI $A UHAMIAJI %IA$A

    S..& 4!'

    BUNDAM(n)ay* !6 #,-ua-y 2!5

  • 8/16/2019 Ripoti Ya Kamishna Mkuu

    2/6

    !.0 Watu"i#$i+wa sasa osi ya uhamiaji %ilaya ya Bunda ina jumla ya watumishi

    tisa "4# kati ya hao nane "5# ni maaskari wa uhamiaji na mmoja ni

    askari wa magereza am&aye tulimuom&a atusaidie kuendesha gari la

    osi$ 1iongoni mwetu wako maaskari wawili "2# am&ao wako shule

    katika -yuo -ya .AU* 1wanza na chuo cha uhamiaji Arusha$ +wa

    kulinganisha na uku&wa wa %ilaya na kazi zilizomo &ado tunamahiaji

    wa askari wa uhamiaji na zaidi sana askari wa kike kwani hapa tuko

    askari wa kiume tu$Inatuwia -igumu kumsindikiza mtuhumiwa wa kike$ 1asa waliopo na

    -yeo -yao ni kama ifuata-yo67

    )$ 89I.$ 0lizeus 1ushongi Asa uhamiaji %ilaya2$ ..1 Oswald Nswima 1saidizi wa AU%,$ .:*$ ;uma .uleiman ;uma!$ .:*$ Nuru /$ 1wasulama$ 1wajasho 7 yuko shule .AU*?$ 9ON.*$Benedict N$ .anga5$ 9ON.*$%alter @ema 7 yuko shule Arusha4$ A

  • 8/16/2019 Ripoti Ya Kamishna Mkuu

    3/6

    kutokana na watu wa mkoa kuwa na asili ya ufugaji wanaanza kuleta

    raia wa >wanda na Burundi ili waweze kuwafanyia kazi kwa &ei nafuu$

    "cheap @a&our#$

    ).0 Ma*#a "+ali"+ali &a *iu$a"ia'i na $atua ziliz,*i-a1ajukumu ya kusimamia mashauri yote mahakamani yanafanywa na

    wanasheria toka mkoani kwani hapa %ilayani hakuna mwanasheria$

    +wa ujumla osi ya uhamiaji %ilaya kuanzia mwezi ;an7 8esem&a 2),

    imepeleka mahakamani mashauri 2 mashauri hayo yote yako katika

    hatua ya kusikilizwa kwa hatua za awali "/reliminary hearing#

    wahusika ni raia wa 0thiopia na +enya waliofukuzwa nchini ni ? wote

    wakiwa raia wa 0thiopia hawa walirudishwa kwao kwa kutokuwa na

    hati za kusaria pia ilishindikana kuwakisha mahakamani kwa kukosa

    mkalimani kwani wao wanaongea kiha&eshi$ +atika kipindi hicho jumla

    ya waethiopia )) walikamatwa na kukishwa katika osi ya uhamiaji

    mkoa kwa hatua zaidi -ile-ile katika kipindi hicho hicho raia 4 wa Afrikamashariki waliondoshwa nchini na kurejeshwa kwao hao ni pamoja na

    +enya =( Burundi )( >wanda )( na Uganda )$+utokana na kutokuwa na

    kituo cha kuingia na kutoka nchini hakuna watu waliozuiliwa kuingia

    nchini$ /ia hakuna mtanzania aliyeshtakiwa katika kipindi tajwa$

    .0 Ma'/ng &a ,#i.1 Afande(jengo linalotumiwa na osi ni la kukodi mali ya mtu

    &inafsi am&alo limekuwa linachukua gharama ku&wa mpaka

     januari 2)! gharama ya kukodi ilikuwa shilingi 2(( kwa

    mwaka( lakini tuliletewa taarifa ya kupanda kwa gharama yakukodi jengo hilo kukia shs 2(?($ ;engo hili halina maji

    ina&idi yachotwe nje ya osi$ +wa idadi yetu jengo halitoshi

    kwani lina -yum&a -ichache ukilinganisha na idadi yetu na

    shughuli zetu$ 'akuna sehemu ya faragha kwa ajili ya mahojiano

    na watuhumiwa$

    .! Ki-an'a $a ,#iAfande Osi ya Uhamiaji %ilaya iliom&a na kupewa kiwanja

    nam&a 2=4 Block C toka 'almashauri ya %ilaya kilichoko kari&u

    na osi ya mkuu wa %ilaya ya Bunda$ +iwanja hicho tayari

    kimesashwa na trip 2 za mawe zimewekwa na wahisani

    wanaopenda maendeleo$ /ia msaada mku&wa umetoka kwa

    Asa Uhamiaji mkoa am&aye tayari amelipia huduma ya maji ili

    ujenzi utakapoanza wajenzi wasipate taa&u$ +wa namna ya

    pekee nimshukuru mkuu wa %ilaya ya Bunda am&aye ameku&ali

    ku&e&a mzigo wa kutafuta wafadhili na kusimamia ujenzi huo

    ,

  • 8/16/2019 Ripoti Ya Kamishna Mkuu

    4/6

    kwa kushirikiana na osi yetu$ Naom&a kwako Afande kamishna

    mkuu wa Uhamiaji msaada wa hali na mali katika azma yetu ya

    kujenga osi$

    .% Ki-an'a $a U'/nzi -a n&u"+a za Watu"i#$i/ia tulipeleka maom&i yetu ya kupatiwa kiwanja cha ujenzi wa

    nyum&a za watumishi kwa maelekezo yako kwenye &arua na

     ;B$2)?2

  • 8/16/2019 Ripoti Ya Kamishna Mkuu

    5/6

    Afande kamishna mkuu wa Uhamiaji changamoto ni nyingi lakini kwa

    kifupi tuna changamoto zifuatazo67

    4.1 %ananchi hawako tayari kutoa taarifa za wahamiaji haramu kwa

    kuwa wengine ndio wanaowatunza lakini wanataka fedha ili

    watoe taarifa$4.! 0limu zaidi inatakiwa kwa wananchi kuhusu athari za Uhamiaji

    haramu kwani wananchi wengi hawaelewi$4.% %ilaya haina &ajeti ya kufanya kazi tunapokuwa na watu wa

    kusindikiza ni lazima kufanya mawasiliano mkoani na kama hela

    haipo tunawaji&ika kukaa na mtuhumiwa na wakati tunatoa hela

    zetu mfukoni ingawaje &aadae tunarudishiwa ila kuna maelekezo

    ya kutofanya hi-yo$4.) Upungufu wa mafuta ya kufanyia kazi$4. Uchaka-u wa gari la osi am&alo linatakiwa kureke&ishwa mara

    mkwa mara$4.4 Osi haina samani za kutosha hata zilizopo ni chaka-u$ /ia kuna

    kelele nyingi za kupakia na kupakua soda$4.7 %atumishi hawana nyuma za kuishi wanapanga kitu am&acho

    hata utendaji wetu wa kazi unakuwa wa mashaka kwa -ile

    wageni wengine tunaishi nao akikamatwa anadai wewe jirani

    ndiye uliyemtaja$4.8 Osi haina photocopy machine tunapotaka kutoa kopi lazima

    twende mitaani kitu am&acho hatuna imani kama kopi hazi&aki

    kwenye mashini zao$4.9 Uha&a wa watumishi nao ni tatizo hasa wa kike tunalazimika

    ku-unja sheria wakati wa kusindikiza watumiwa wa kike$ 'ii

    inasa&a&isha kutoanzishwa kwa uhamiaji kata am&ayo ndiyoingetusaidia zaidi kuwatam&ua wahamiaji walio katani$

    4.10 +atika eneo hilio hakuna radio za jamii "comunify radio# kwa ajili

    ya kusaidia kurusha -ipindi -ya uhamiaji$4.11 %atumishi wengi wamekaa hapa %ilayani na 1koa wa 1ara kwa

    muda mrefu$4.1!  *unaom&a ufanyike mpango Asa Uhamiaji awe na silaha ya kazi

    hasa kwenye maeneo nyeti kama mkoa wa mara$

    7.0 Mi:ang &/tu &a "+/l/ ;Wa& 5(-a(2<

    7.1 +uimarisha utendaji kazi kwa kiwango cha hali ya juu kwawatumishi wa huduma zetu$7.! +uongeza ngu-u katika kufanya doria ili kuka&iliana na wahamiaji

    haramu katika mahoteli nyum&a za kulala wageni( stand za

    magari( mto >u&ana( -iwandani( mashuleni n$k nap engine pote

    am&apo ni macho ya wahamiaji haramu7.% +uendelea kutoa 0limu kwa wananchi juu ya athari za Uhamiaji

    haramu( sheria za uhamiaji na uraia kupitia uhamiaji shirikishi$

  • 8/16/2019 Ripoti Ya Kamishna Mkuu

    6/6

    7.) 0ndapo tutapata uwezeshwaji na maosa wa kutosha tunatarajia

    kuanzisha uhamiaji kata ili kuwa kari&u na wananchi waweze

    kutoa taarifa za wahamiaji$7. +uendelea kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya

    katika kutkeleza majukumu yake$7.4 +umfanya mwana Bunda kuwa askari nam&a moja wa uhamiaji

    kwa kuwa tayari kushiriki katika kuwachua wahamiaji haramu

    na wale wote wanao-unja sheria za uhamiaji$7.7 +umjenga mwana Bunda kuona uhamiaji ni mali yake$7.8 +uwezesha mawasiliano kati ya jamii na uhamiaji$

    8.0 HITIMISHOsi ya uhamiaji wilaya inaahidi kwa dhati m&ele yako kuwa licha ya

    changamoto tulizotaja tutaendelea kuchapa kazi kwa ari na kasi

    ku&wa$ *unatarajia kuwa katika uongozi wako utafanya ma&adiliko

    mengi ya maendeleo tuachane na kufanya kwa mazoea &ali kwa

    u&unifu wa hali ya juu$ Afande( tuna imani sana na wewe na uongozi

    wa idara kwa ujumla tunaom&a kuwepo na ma&adiliko maku&wa ya

    utendaji kati ya watumishi walioko 8ar es salaam na 1ikoani$ +wa wale

    walioko 1ikoani hasa wa chini na kati wanapata maneno ya kukatisha

    tamaa toka kwa wale walioko 1akao 1akuu$ /ia &arua zinazotumiwa

    huko huwa haziji&iwi kwa haraka$ Nichukue fursa hii kwa mara nyingine

    katika wilaya ya Bunda na mkoa wa mara kuwakari&isha$

     *unatarajia ujio wako utaongeza ngu-u katika utendaji kazi wetu namaelekezo utakayotoa tuko tayari kuyapokea( kutekeleza maelekezo

    utakayotoa kwenye ziara yako am&ayo tumeifurahia$ *unakutakia

    wewe &inafsi( -iongozi uliofuatana nao kiongozi wa mkoa afya njema$

    Asanteni kwa kunisikiliza na naom&a kuwasilisha$

    Imeandaliwa na

    89I.( 0lizeus 1ushongi(  Asa Uhamiaji %ilaya(

      BUNDA$

    =