Upload
others
View
28
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
Huduma za Tohara yaMwanaume zinatolewa navituo vifuatavyo kuanzia tarehe8 Julai - 3 Agosti 2013
ni huduma
BILA
MALIPOni huduma
BILA
MALIPO
TOHARAYA MWANAUME IRINGA
HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI
Zahanati ya Mapanda
Zahanati ya Vikula
Zahanati ya Mdabulo
Zahanati ya Sawala
Zahanati ya Idunda
Zahanati ya Igombavanu
Kituo cha Afya Ihongole
HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA VIJIJINI
Zahanati ya Lupembelwasenga
Zahanati ya Kihanga
Zahanati ya Ilambilole
Zahanati ya Nyang’oro
Zahanati ya Usolanga
Tohara ya mwanaume ina faida nyingi kijamii, kiafya na kwa usafi. Inaweza kupunguza uwezekano wa mwanaume kuambukizwa VVU kwa hadi asilimia 60.
Ili kujua zaidi kuhusu Tohara na faida zake tuma neno TOHARA kwenda 15014Ili kujua vituo vitoavyo huduma tuma neno IRINGA kwenda 15014
Kwa walio chini ya umri wa miaka 18 ni lazima waambatane na wazazi au walezi wao.Wanaume wenye umri wa miaka 20 na kuendelea watapewa kipaumbele.
Maisha ni Sasa! Wahi Tohara!Kuwa Msafi. Pata Kinga.