Upload
lythuan
View
431
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
MAAZIMIO YA KAZIKISWAHILI KIDATO CHA NNE
MUHULA WA I
1 1 Kusoma (ufahamu)
Kinyamkela cha chamchela ya mkala
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma kwa matamshi bora
(b) Kueleza maana ya msamiati na kutunga sentensi
(c) Kutaja maadilikatika ufahamu
(d) Kujibu maswali kwa usahihi
Kusoma kwa sauti
Kujadiliana Kuandika Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 1-3Mwongozo wa mwalimu uk 1-2
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahua (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Sifa bainifu za fasihi simulizi na andishi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza maana ya fasihi simulizi
(b) Kutaja sifa bainifu za tanzu hizi mbili
(c) Kutaja mifano za fasihi simulizi na andishi
Kudodoso Kueleza Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 4-5Mwongozo wa mwalimu uk 2-3
Kamusi ya fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kamusi ya fasihi Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31Mwongozo wa mwalimu uk 22
3 Sarufi na nomino Kufikia mwisho wa funzo, Kueleza Chemchemi za
matumizi ya lugha
mwanafunzi aweze(a) Kueleza maana
ya nomino(b) Kuainisha
makundi ya nomino na kutaja mifano
(c) Kutumia nomino katika sentensi sahihi
Kujadili Kujibu maswali
kwa sauti na madaftarini kwa kuandika
Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 5-7Mwongozo wa mwalimu uk 4-5
Kamusi ya Kiswahili
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 6Mwongozo wa mwalimu uk 23
4/5 Kusoma (Fasihi) Riwaya: usuli na maktadha katika riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza usuli na muktadha wa riwaya teule
(b) kutaja vigezo vinavyotumika katika uchamburi wa usuli (jumuiya na muktadha wa riwa)
kueleza kusoma ghibu kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 8-9Mwongozo wa mwalimu uk 5-7
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya fasihi Darubini ya
Kiswahili 4 kitabu cha mwanafunzi uk 222Mwongozo wa mwalimu uk 148
6 kuandika Insha ya masimulizi Kufikia mwisho wa funzo, Kuelezsa Chemchemi za
mwanafunzi aweze(a) Kuandika kwa
hati nadhifu na tahajiz sahihi
(b) Kusimulia kisa kwa mtiririko wenye uakifisho ufaao
Kusimuliz kisa kwa sauti darasani
Kuandika
Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 9-11Mwongozo wa mwalimu uk 7-8
Kamusi ya Kiswahili
Insha kabambe (smon mutali)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 6Mwongozo wa mwalimu uk 23
2 1 Kusoma (ufahamu)
Fasihi simulizi uainishaji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana za fasihi simulizi
(b) Kutaja vipera vya fasihi simulizi
(c) Kutoa mifano ya vipera vya fasihi simulizi katika jamii (yake)
Kueleza Kusoma Kukhadithia na
kuigiza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 15Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39
Kamusi ya Fasihi Fasihi kwa shule
za sekondari (Alex ngure)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31Mwongozo wa
mwalimu uk 35
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi uainishaji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza maana za fasihi simulizi
(b) kutaja vipera vya fasihi simulizi
(c) kutoa mifano ya vipera vya fasihi simulizi katika jamii (yake)
kueleza kusoma kuhadithia na
kuigiza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 15Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39
Kamusi ya Fasihi Fasihi kwa shule
za sekondari (Alex ngure)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31Mwongozo wa mwalimu uk 35
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Viwakilishi vionyeshi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana ya viwakilishi
(b) Kutaja aina tofauti za viwakilishi
(c) Kubainisha na kutumia viwakilishi vionyeshi katika sentensi
Maswali ya dodoso
Kujadili Kuandika Kusoma Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 17-22Mwongozo wa mwalimu uk 13-14
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga) 15-20
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 282-283Mwongozo wa mwalimu uk 145
4/5 Kusoma (fasihi) Riwaya Dhamira na maudhui
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana ya dhamira na maudhui
(b) Kueleza dhamira ya riwaya teule
Kusoma Kujadili Kuandika Kudodosa
nakujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 22-23Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk
Kamusi ya Fasihi Kamusi ya methali Kamus ya
Kiswahili Mwongozo wa
riwaya teule Darubini ya
Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 222
6 Kuandika Uandishi wa barua Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza muundo wa barua ya kirafiki na rasmi
(b) Kuandika barua ya kirafiki,
Kudodosa Kujadili Kukeleza Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 23-24Mwongozo wa mwalimu uk 15-
utaratibu mwafaka
16 Kamusi ya
Kiswahili Kamusi ya methali Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya
Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 10-13Mwongozo wa mwalimu uk 25-26
3 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: shairi-utuni nini?
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kubainisha muundo wa shairi wa funzo nyinginezo za ushair
(b) Kuandika kwa lugha nathari
(c) Kueleza maadili na ujumbe wa shairi
Kusoma Kuandika Kujibu maswali
kwa sauti na madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 15Mwongozo wa mwalimu uk 11
Kamusi ya Kiswahili
Nuru ya ushairi Miale ya ushairi
2 Kusikiliza na kuzungumza
Hadithi/simulizi Kufikia mwihso wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kutaja vipera vya utanzu wa hadithi
(b) kutamba hadithi darasani
(c) kueleza maadili ya hadithi zinazotambwa
kueleza kusoma kusikiliza redio kujadili kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 16-17Mwongozo wa mwalimu uk 11-12
Kichocheo cha fasihi simulizi na
andishi uk 39 Kamusi ya Fasihi Kamusi ya
kiswahili Fasihi kwa shule
za sekondari (Alex ngure)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 89-90Mwongozo wa mwalimu uk 64
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mzizi wa kitenzi na viambishi awali na tamati
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja vitenzi mbali mbali
(b) Kutambua mizizi ya vitenzi
(c) Kutumia viambishi awali kwa usahihi
(d) Kunyambua vitenzi ili kuvipa viambishi tamati
Kujadili Kueleza Kuandika Kujibu maswali
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 28-31Mwongozo wa mwalimu uk 20-25
Kamusi ya Kiswahili
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 33-35Mwongozo wa mwalimu uk 35
4/5 Kusoma (fasihi) Dhamira na maudhui katika riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja maudhi zaidi ya riwaya teule
(b) Kufafanua maudhui kwa kutoa mifano ya riwayani
Kusoma Kujadili Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 22-23Mwongozo wa mwalimu uk 14-15
Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
6 kuandika Barua rasmi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza hatua kwa hatua muundo (sehemu muhimu) za rasmi
(b) Kuandika kwa hati nadhifu
(c) Kuandika barua rasmi kwa mtiririko ufaao
Kueleza Kuajdili Kuandika Kusahihisha na
kufanya marudio
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 32-39Mwongozo wa mwalimu uk 23-25
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya methali Insh kabambe
(simon mutali) Darubini ya
Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 25-27Mwongozo wa mwalimu uk 33
4 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: Jogoo na cheche
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kusoma kumoyomoyo na kuelewa
(b) kubnaini msamiati na fani za lugha na kuzitungia sentensi
(c) kueleza maadili na ujumbe
(d) kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
kusoma ghibu kujadili kusikiliza kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 34-36Mwongozo wa mwalimu uk 23-25
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Uchambuzi wa ngano za fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja aina za ngano
(b) Kubainisha aina za ngano na kutaja mifano katika jamii yake
Kueleza Kujadili Kuhadithia kusikiliza
Chemchemi za Kiswahili 4Kitabu cha wanafunzi uk 34-36Mwongozo wa mwalimu uk 23-25
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 33-35Mwongozo wa
mwalimu uk 35
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Vitenzi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja aina za vitenzi
(b) Kutumia aina mbali mbali za vitenzi katika sentensi
(c) Kubainisha kauli za vitenzi
Kueleza Kusoma Kutunga sentensi Kuandika Kujadili na kujibu
maswali
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 39-41Mwongozo wa mwalimu uk 28-29
Kamusi ya Kiswahili
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 35Mwongozo wa mwalimu uk 21-24
4/5 Kusoma (fasihi) Fasihi andishi- muundo na mtindo katika riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanusa muundo wa riwaya teule
(b) Kueleza mtindo na vipengele vyake katika riwaya
(c) Kutofautisha baina ya muundo
Kusoma Kujadili Kueleza mbele ya
darasa Kuandika Kutafiti
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 31-32Mwongozo wa mwalimu uk 22-23
Kamusi ya Kiswahili
na mtindo katika riwaya
Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
6 kuandika Barua rasmi (marudio)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kuipitia barua rasmi aliyoandika na kubaini makosa
(b) Kuandika upya kwa kuaondoa makosa
Kusoma Kujadili Kuandika kueleza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 32-33Mwongozo wa mwalimu uk 24
Kamusi ya Kiswahili
Insha kabambe (simon mutali)
Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
5 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: kutanda kwa viwanda ni kuwanda kwa uchumi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma kwa kina na kung’amua ujumbe
(b) Kudondoa ilstilahi za kibiashara na kuzitungia sentensi
Kusoma kwa sauti na kwa zama
Kueleza msamiati Kujadili Kusikilza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 45-47Mwongozo wa mwalimu uk 34-35
Kamusi ya misemo na nahau
(K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi semi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kutaja na kueleza vipera vya utanzu wa semi
(b) kueleza na kutoa mifano kwa kila kipera
(c) kufanya zoezi kwa ukamilifu na usahihi
kueleza kusikiza kusoma kuandika kujibu maswali kutafiti zaidi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 37-39Mwongozo wa mwalimu uk 27-28
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Fasihi Darubini ya
Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 35Mwongozo wa mwalimu uk 21-24
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi umoja-wingi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kumudu matumizi ya viambishi ngeli
(b) Kutumia vimilikishi na vivumishi katika umoja na wing
Kusoma Kueleza Kuandika Kujibu maswali Kudodosa
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 50-53Mwongozo wa mwalimu uk 36-38
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Fafanuzi ya kiswahii uk 37-40
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 45-46Mwongozo wa mwalimu uk 41-42
4/5 Kusoma (Fasihi) Fasihi andishi wahusika wa riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:
(a) Kubainisha aina za wahusika
(b) Kueleza sifa bainifu za aina mbali mbali za wahusika
(c) Kueleza umuhimu wa wahusika mbali mbali
Kusoma Kujadili Kuandika Kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya misemo na nahua
Mwongozo wa riwaya teule
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Fasihi
6 Kuandika Barua kwa mhariri/za magazetini
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja magazeti mbali mbali ya Kiswahili na sehemu zake
(b) Kueleza muundo
Kueleza Kusoma Kujadili Kusoma magazeti kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 44Mwongozo wa mwalimu uk 31-32
wa barua kwa mhariri
(c) Kuandika barua kwa mhariri kwa muundo ufaao
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya Kiswahili
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 223Mwongozo wa mwalimu uk 21-24
6 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: zingwi zingwi kungwi wa vibarua
Kufikia mwisho waw funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma kwa ufasaha
(b) Kuonea fahari lugha ya kiswahil
(c) Kukeleza matatizo ya maskini katika jamii
Kusoma ghibu Maswali ya
dodosa Kujadili Kuandika Kutunga sentensi
kwa sauti darasani
Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 58-60Mwongozo wa mwalimu uk 48-50
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Misemo na nahau/misimu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua maana ya misemo nahau na misemo
(b) Kutaja na kueleza maana ya baadhi ya misemo,
Kueleza Kusikiliza Kujadili Kuigiza Kutafiti Kafanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 48-50Mwongozo wa mwalimu uk 35-
nahau na misimu(c) Kueleza umuhimy
wa semi katika jamii
36 Kamusi ya
misemo na nahua Kichocheo cha
Fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alez ngure)
Kamusi ya Fasihi Darubini ya
Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 43Mwongozo wa mwalimu uk 40
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Misemo halisi na taarifa
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kupambana muktadha unawakisi matumizi ya usemi halisi na taarifa
(b) Kubadilisha usemi halisi hadi usemi wa taarifa
(c) Kutaja mabadiliko ya maneno katika usemi tofauti tofauti
Kueleza Kudodosa Kujibu maswali Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 53-54Mwongozo wa mwalimu uk 38
Kamusi ya Fasihi Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili Darubini ya
Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 249Mwongozo wa mwalimu uk 57
4/5 Kusoma (Fasihi) Fasihi andishi matumizi ya lugha katika Riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza umuhimu wa lugha katika riwaya
(b) Kuchambua lamathali na matumizi ya lugha katika riwaya
(c) Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbali mbali
Kusoma Kuadili Kudodoslo fani za
lugha Kuandika Kuwasilisha
mbele ya darasa
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 55-56Mwongozo wa mwalimu uk 40-41
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
6 kuandika Ufupisho au muhtasari
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza umuhimu wa kufupisha habari
(b) kudondoa hoja muhimu katika maelezo marefu
(c) kufupisha habari ndefu ifaavyo
kusoma kujadili (hoja
muhimu) kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 56-57Mwongozo wa mwalimu uk 41-42
Kamusi ya kiswahili
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 97-100Mwongozo wa mwalimu uk 91
7 1-6 MTIHANI WA MAPUMZIKO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu mradi wa zoeni
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma kwa sauti na matamshi bora
(b) Kueleza maudhui na maadili katika kifungu
(c) Kuelewa msamiati nakujibu maswali kwa usahihi
Kusoma kwa sauti
Kueleza msamiati Kutunga sentensi Kujadili Kuandika Kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 37-39Mwongozo wa mwalimu uk 27-28
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi lakabu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana ya lakabu
(b) Kutaja lakabu wanazojua na kueleza sababu zao
(c) Kufafanua asilia na aina za lakabu
Kusoma kwa sauti
Kueleza msamiati Kusoma Kujadili Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 60Mwongozo wa mwalimu uk 44-45
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Fasihi Darubini ya
Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 279Mwongozo wa mwalimu uk 145
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa Kiswahili umoja na wingi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutumia viambishi ngeli
Kudodosa Kueleza Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 73
kwa umoja na wingi kwa usahihi
(b) Kumundu matumizi ya ‘a’ unganifu katika umoja na wingi ifaavyo
Mwongozo wa mwalimu uk 56
Kamusi ya Kiswahili
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 45Mwongozo wa mwalimu uk 41
4/5 Kusoma (fasihi) Mafunzo ya maadili katika Riwaya
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya riwaya
(b) kueleza maana ya anwani na umuhimu wake
(c) kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili
(d) kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa riwaya
(e) kutaja maadili katika riwaya
kusoma kujadili kuwasilisha
mbele ya darasa kaundika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 65-66Mwongozo wa mwalimu uk 49
Kamusi ya misemo na nahua
Mwongozo wa riwaya teule
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
6 kuandika Insha ya methali Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza kanuni za kuandika insha ya
Kueleza Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
methali(b) Kuandika insha ya
methali kwa kufuata kanuni
(c) Kutumia alama za uakifishaji kwa usahihi
wanafunzi uk 66-67Mwongozo wa mwalimu uk 50-51
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Kamusi ya Fasihi Darubini ya
Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 145-148Mwongozo wa mwalimu uk 91
9 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: mikakati ya kupunguza umaskini
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kukuza msamiati wake
(b) Kusoma na kufahamu ujumbe
(c) Kujibu maswali kwa usahihi
Kusoma Kujadili Kutunga sentensi Kutafuta maana
kamusini kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 80-82Mwongozo wa mwalimu uk 60-61
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
Kamusi ya kiswahili
2 Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii: mazungumzo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana ya isimu jamii
(b) Kufafanua maana ya sajili katika
Kusoma Kuigiza Kujadili Kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 60-63Mwongozo wa
lugha(c) Kuigiza
mazungumzo na kutoa uthibati kuwa ni lugha ya bungani
mwalimu uk 46-47
Kamusi ya Kiswahili
Isimu Jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 117-118Mwongozo wa mwalimu uk 78
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi vivumishi vya pekee
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja vivumishi vya pekee vyote (sita)
(b) Kutumia vivumishi vya pekee kwa upatanisho wa kisarufi ulio sahihi
(c) Kuribainisha katika sentensi
Kueleza Kutunga sentensi
darasani Kuandika Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 83-85Mwongozo wa mwalimu uk 63-64
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 119Mwongozo wa mwalimu uk 153
4/5 Kusoma (fasihi) Fasihi andishi muktadha na usuli wa tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana ya tamthilia
Kusoma Kujadili Kuwasilisha
darasani
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 77-
(b) Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
(c) Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kuuliza maswali kuandika
78Mwongozo wa mwalimu uk 57-58
Mwongozo wa tamthilia teule
Kamusi ya fasihi Kamusi ya methali
(K.W wamitila) Kichocheo cha
Fasihi simulizi na andishi
6 kuandika memo Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
(a) Kutaja vipengele muhimu vya ujumbe wa memo
(b) Kueleza muundo wa memo
(c) Kuandika memo kwa muundo sahihi
Kueleza Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 38-39Mwongozo wa mwalimu uk 59
Kamusi ya Kiswahili
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 127-129Mwongozo wa mwalimu uk 82
10 1 Kusoma Ufahamu: kujuma na njama magazeti
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kusoma kwa
kujadili kueleza kusoma
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
ufasaha na kueleza ujumbe
(b) kueleza maana ya msamiati na kuitungia sentensi sahihi
(c) kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
kutunga sentensi kwa sauti
kuandika
wanafunzi uk 92-95Mwongozo wa mwalimu uk 69-70
Kamusi ya misemo na nahua
Kamusi ya kiswahili
Kamusi ya methali (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi mafumbo (vitendawili
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza muundo wa aina za vitendawili
(b) Kutega na kutegua vitendawili kwa usahihi
(c) Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika jamii
Kufumba na kufumbua mafumbo
Kujadili Kusikiliza Kuandika Kutega na
kutegua (mashindano)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 71-72Mwongozo wa mwalimu uk 54-55
Kamusi ya tashbihi, vitendawili, mlio na mshangao (K.W Wamitila)
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 175Mwongozo wa mwalimu uk 103
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi vionyesho
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kubainisha aina tatu za mizizi ya vionyeshi
(b) Kutumia vionyeshi kwa usahihi kisarufi
Kueleza Kusimama na
kuashiria Kusoma Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 83-86Mwongozo wa mwalimu uk 69
Sarufi fafanuzi ya kiswahili
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 381Mwongozo wa mwalimu uk 191
4/5 kusoma Fasihi Andishi wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi, aweze
(a) Kutofautisha uhusiano wa tamthilia na riwaya
(b) Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule
Kusoma Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 100-101Mwongozo wa mwalimu uk 74
Mwongozo wa tamthilia teule
Kamusi fasihi Kichochoe cha
fasihi simulizi andishi
Karunzi ya Kiswahili
Insha kabambe (simon mutali)
6 Kuandika Hotuba Kufikia mwisho wa funzo, Kueleza Chemchemi za
mwanafunzi aweze(a) Kuelezea
muundo wa hotuba
(b) Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti
(c) Kuandika hotuba kwa hati nadhifu
Kuajdili Kuhutubu mbele
ya darasa
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 90-91Mwongozo wa mwalimu uk 68
Mwongozo wa tamthilia teule
Kamusi ya kiwahili Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342Mwongozo uk 38
Karunzi ya Kiswahili
Insha kabambe (simon mutali)
11 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: mfumo wa kiuchumi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kusoma na kudodoa hoja muhimu
(b) kueleza maana yua msamiati wa uchumi na kuutungia sentensi
(c) kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi
kusoma kujadili kueleza ujumbe
na msamiati kutunga sentensi
kwa sauti kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 104-106Mwongozo wa mwalimu uk 77-78
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
Kamusi ya methali Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha
mwanafunzi uk 36, 342Mwongozo uk 38
Karunzi ya Kiswahili
Insha kabambe (simon mutali)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi utumbi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii
(b) kusoma mifano kitabuni na kuchambua
(c) kutofautisha ulumbi na tanzun yinginezo
kusikiliza kuuliza maswali kuandika kusoma utafiti (kazi ya
ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 82-83Mwongozo wa mwalimu uk 61-62
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342Mwongozo uk 38
Karunzi ya Kiswahili
Isimu ya jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Matumizi ya viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja na kubainisha matumizi ya viambishi ‘ndi’
Kueleza Kuandika Kutunga sentensi Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 86-89Mwongozo wa
‘ku’ na ‘ji’(b) Kutumia
viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ‘ji’ kwa usahihi katika sentensi
mwalimu uk 65 Kamusi ya kiwahili Sarufu fafanuzi ya
kiswahili Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 182Mwongozo uk 103
4/5 Kusoma (fasihsi)
Wahusika na uhusika katika tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule
(b) kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia
kusoma kutazama kujadili kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 101-106Mwongozo wa mwalimu uk 74
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na fasihi andishi
6 Kuandika Maagizo na maelekezo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kubainisha umuhimu wa maagizo
(b) Kufuata maelekezo na maagizo kwa kusoma au kusikiliza
(c) Kuandika maagizo ifaayo
Kuigiza Kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 101-102Mwongozo wa mwalimu uk 75
Karunzi ya
kiswahili 11-12 Insha kabambe
(simon mutali Sarufu fafanuzi ya
kiswahili Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 30Mwongozo uk
12-13 MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA SHULEMAAZIMIO YA KAZI
KISWAHILI KIDATO CHA NNEMUHULA WA II
1 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu sir aha na karaha
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kubaini kwa kifungu hiki ni ngonjera na aeleze sababu
(b) Kusoma kwa ufasaha na kutaja dhamira na kudondoa mawazo makuu
(c) Kujibu maswali ya ngonjera kwa usahihi
Kuigiza Kusoma Kutunga sentensi Kuanika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 113Mwongozo wa mwalimu uk 84-85
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahua
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi malumbano ya utano (isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza maana ya utani
(b) kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni
kutamka kueleza kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 95Mwongozo wa mwalimu uk 70-71
(c) kutaja aina za utani
(d) kutunga utani mbali mbali
Kamusi ya kiwahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Sarufu fafanuzi ya kiswahili
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk Mwongozo uk
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Viunganishi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja na kutumia viunganishi ifaavyo
(b) Kubainisha viunganishi kwenye tungo
Kueleza Kutunga sentensi Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 97Mwongozo wa mwalimu uk 72-75
Sarufu fafanuzi ya kiswahili
kitabu cha mwanafunzi uk Mwongozo uk 113
4/5 Kusoma (fasihi) Fasihi andishi muundo namtindo katika tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweaze
(a) kufafanua muundo wa
kusoma kueleza kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 77
tamthilia kwa kutoa mifano
(b) kueleza mtindo katika tamthilia
(c) kutaja kaida za utunzi wa tamthilia
kutafiti 9ziada) Mwongozo wa mwalimu uk 58
Kamusi ya kiwahili Mwongozo wa
tamthilia teule Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
6 kuandika Matangazo na tahadhari
Kufikia mwisho wa funzo, nwanafunzi aweze
(a) Kueleza dhamira ya matangazo na tahadhari
(b) Kutambua vigezo muhimu vya uandishi wa tengazo/tahadhari
(c) Kuandika tangazo na tahadhari kwa usahihi
Kuigiza (matangazo)
Kusoma Kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 102-103Mwongozo wa mwalimu uk 76
Kamusi ya kiwahili Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 110 Mwongozo uk 75
2 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: maruji na mauji ya maji
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kusoma kwa sauti matamshi bora
(b) kufafanua maana ya msamiati
(c) kutumia msamiati na semi
kueleza kusoma ghibu maswali dodosa kuandika kutunga sentensi
kwa sauti kufanya zoeze
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 124Mwongozo wa mwalimu uk 71-
mpya katika sentensi
(d) kujibu maswali kwa usahihi
72 Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 110 Mwongozo uk 75
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mahojiano: mwajiri na mwariwa (isimu jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kubainisha mtindo wa mahojiano
(b) Kufafanua muktadha na wahusika kwa mahojiano
(c) Kuchambua matumizi ya lugha ya wahusika
(d) Kuigiza mahojiano darasani
Kueleza (maana) Kusoma Kusikiliza Kujadilia kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi uk 96Mwongozo wa mwalimu uk 71-72
Kamusi ya kiwahili Isimu Jamii kwa
shule za sekondari
3 Sarufi na matumizi ya lugha
vihusishi Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutambua maana ya vihusishi
(b) Kutaja aina za vihusishi
Kueleza Kuigiza
(mishangao) Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 108Mwongozo wa
(c) Kubainisha vihusishi katika tungo
mwalimu uk 80 Kamusi ya kiwahili Sarufi ya
kiswawhili Karunzi ya
kusoma uk 88
4/5 Kusoma (Fasihi) Fasihi andishi: matumizi ya lugha katika tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kutaja matumizi ya lugha mbali mbali
(b) kutumia tamthilia teule kutoa mifano
(c) kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe
kusoma kujadili kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 89Mwongozo wa mwalimu uk 66-67
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
Mwongozo wa teule wa tamthilia
6 Kuandika wasifu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
kueleza kujadili (sifa za
kiongozi Fulani) kusoma kueleza mbele ya
darasa kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 111Mwongozo wa mwalimu uk 82
Kamusi ya kiwahili Karunzi ya
kusoma uk 88 Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya
Kiswahili ya
kitabu cha mwanafunzi uk 327Mwongozo uk 166
3 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu : enzi ya teknohama
Kufikia mwisho wa funzo wanafunzi aweze
(a) Kusoma ufahamu na kueleza ujumbe uliomo
(b) Kudondoa istilahi za kiufundi na mawasaliano
(c) Kueleza matumizi ya baadhi ya vyombo bya teknolojia
Kueleza Kusoma kwa
sauti Kuandika Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya kiwahili
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi miviga Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua maana ya miriga katika jamii
(b) Kubainisha umuhimu wa mirigi katika jamii
(c) Kubainisha miviga mizuri na kuendelza na mibaya kupingwa vita
Kueleza Kusikiliza Kujadili Kusoma makala
kitabuni kwa sauti
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 107Mwongozo wa mwalimu uk 78-79
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alex Ngure)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha
mwanafunzi uk 214 Mwongozo uk 145
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Nyakati na hali Kufikia mwihso wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja nyakati kuu za kutuikia vitendo
(b) Kutumia nyakati kwa usahihi katika maandishi
(c) Kubaini nyakati katika sentensi
Kutunga sentensi Kudodosa Kueleza matukio Kusoma makala
ktabuni Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 119Mwongozo wa mwalimu uk 87
Sarufi fafanuzi ya kiswawhili
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91Mwongozo uk 65
4/5 Kusoma (Fasihi) Fasihi andishi: maadili na mafunzo katika tamthilia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule
(b) Kueleza jinsi tamthiliainaafikiana na matukio ya sasa katika jamii
Kusoma Kujadili Kuzama Maswali na
majibu kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 134Mwongozo wa mwalimu uk 98
Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
Mwongozo wa teule wa tamthilia
6 Kuandika Tawasifu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza maana ya tawasifu
(b) kutambua aina mbali mbali za tawasifu na umuhimu wake
(c) kuandika tawasifu yake kwa muundo sahihi
kueleza kusimama mbele
na kutoa historia kutazama na
kujadili nakala halisi za tawasifu
kusoma kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 122Mwongozo wa mwalimu uk 89
Kamusi ya kiwahili Karunzi ya
Kiswahili uk 88 Kamusi ya methali Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 254Mwongozo uk 62
4 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu: haki za binandamu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza haki za binadamu na taasisi zinazozishughulikia
(b) kutambua hali mbali mbali zinazosababisha uvunjaji wa haki za binadamu
(c) kufafanua msamiati na kujibu maswali kwa usahihi
kusoma kujadili kueleza kuandika kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 150Mwongozo wa mwalimu uk 110-111
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na Fasihi simulizi: Kufikia mwisho wa funzo, Kusikiliza Chemchemi za
kuzungumza Nyimbo mwanafunzi aweze(a) Kueleza malengo
na dhima ya nyimbo katika jamii
(b) Kubainisha aina tofauti za nyimbo
(c) Kuimba nyimbo mbali mbali
Kujadili Kuandika kuigiza
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139Mwongozo wa mwalimu uk 102-103
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Ukanushaji: nyakati (li na ta me hu)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kukanusha sentensi zenya nyakati tofauti tofauti
(b) Kubainisha maabadiliko ya viambishi vya wakati katika kukanusha
(c) Kufanya zoezi kwa usahihi
Kueleza Kusoma Kuandika Kujibu maswali
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 128Mwongozo wa mwalimu uk 93-94
Sarufi fafanuzi ya kiswawhili
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91Mwongozo uk 65
4/5 Kusoma(Fasihi) Fasojo Amdosjo: Muktadha na usuli katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kubainisha
kusoma kueleza kujadili
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
chanzo cha hadithi fupi
(b) kutumia diwani teule ya hadithi fupi na kueleza mandarin na miktadha
(c) kufafanua tofauti ya riwaya na hadithi fupi
kuandika wanafunzi 4 uk 196Mwongozo wa mwalimu uk 106
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
Mwongozo wa diwani teule
Kamusi ya methali
6 kuandika Insha ya maelezo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi awezeKujieleza kwa mtiririko ufaaoKutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezoKuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbali mbali za lugha
Kueleza Kusoma makala
kitabuni Kujadili kuhusu
vidokezo kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 135Mwongozo wa mwalimu uk 99-100
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 130Mwongozo uk 82
5 1 kusoma Ufahamu : utandawazi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kusoma kwa kina na kung’amua ujumbe
kusoma kwa sauti kueleza na
kujadili kuhusu ujumbe na msamiati
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk
(b) kueleza umuhimu wa utandawazi katika jamii
(c) kukuza msamiati wake wa mawasiliano
kuandika kufanya zoezi
Mwongozo wa mwalimu uk 118-119
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi: Vipera vingine vya maigizo (ngoma na michezo ya watoto
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kufafanua maana ya ngoma
(b) kubainisha ngoma mbali mbali na umuhimu wake
(c) kutaja michezo mbali mbali ya watoto na umuhimu wake
KujadiliKuelezaKugizaKusomakuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 126-127Mwongozo wa mwalimu uk 92-93
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Ukanushaji wa h ali Nge, Ngali na ki ya masharti
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua matumizi ya Nge, Ngali, na Ki
(b) Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
(c) Kukanusha
Maswali ya dodoso
Kueleza Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157Mwongozo wa mwalimu uk 116
Kichocheo cha fasihi simulizi na
sentensi hali hizo tatu
andishi Mwongozo wa
teule wa tamthilia
4/5 Kusoma (faishi) Dhamira na maudhui katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua dhamira ya hadithi fupi katika diwani teule
(b) Kubainisha na kufafanua maudhui katika diwani teule ya hadithi fupi
Kusoma Kuwasilisha
mbele ya darasa Kujadili Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157Mwongozo wa mwalimu uk 116
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Mwongozo wa teule wa tamthilia
6 Kuandika Insha ya kitaaluma Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kusoma mifano kitabuni na kujibu maswali kwa usahihi
(b) kuandika insha yakitaalamu kwa ufasaha
kudodosa kueleza kujadili kusoma kujibu maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139Mwongozo wa mwalimu uk 102-103
Kamusi ya kiwahili Karunzi ya
Kiswahili Golden Tips
Kiswahili
Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
Insha kabambe (simon mutali)
6 1 kusoma Ufahamu: nyanyeso la jinsia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma na kung’mua maaudhui ya ushairi
(b) Kusoma mfano kitabuni na kujibu maswali kwa usahihi
(c) Kujibu maswali ya ufahamu
(d) Kuchambua msamiati mpya
Kusoma Kujadili Kukariri Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 173Mwongozo wa mwalimu uk 126-127
Kamusi ya kiwahili uk 88 Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi ushairi-nyimbo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza sifa za utanzu wa nyimbo
(b) kuimba wimbo kitabuni
(c) kuchambua wimbo huo na kujibu maswali kwa usahihi
kujadili kusikiliza kuimba kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139Mwongozo wa mwalimu uk 102-103
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na
andishi Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Matumizi ya “kwa” Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja matumizi ya “kwa”
(b) Kubainisha matumizi ya kwa katika sentensi
(c) Kutunga sentensi sahihi ya matumizi ya kwa
Maswali ya dodoso
Kusoma Kuandika kueleza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 132-133Mwongozo wa mwalimu uk 97-98
Kamusi ya kiwahili Sarufi fafanuzi ya
kiswawhili Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91Mwongozo uk 125
4/5 Kusoma Maudhui katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua maudhui ya hadithi fupi
(b) Kutoa mifano katika diwani ili
Kusoma Kujadili Kaundika Utafiti (ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157Mwongozo wa mwalimu uk 115-
kuyakanisha maudhui
116 Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
Mwongozo wa teule wa tamthilia
6 Kuandika Insha ya mazungumzo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kubainisha muundo wa insha ya mazungumzo
(b) Kueleza sifa za mazungumzo mbali mbali
(c) Kuandika insha ya mazungumzo ifaavyo
Kueleza Kusoma Kuigiza Kuandika kusikiliza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 155Mwongozo wa mwalimu uk 116-117
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91Mwongozo uk
7 1-6 MTIHANI NA LIKIZO YA KATIKATI YA MUHULA
8 1 Kusoma (ufahamu)
Ufupisho kitabu cha hadithi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma hadithi
Kusoma Kuajdili kuandka
riwaya K.V utengano kipimo cha mizani au
na kuelewa ujumbe
(b) Kudondoa hoja muhimu
(c) Kufupisha hadithi kwa urefu ulioulizwa
shamba la wanyama
kamusi ya Kiswahili
kamusi ya methali kamusi ya fasihi
2 Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo: viwandani Isimu jamii
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutambua msamiati (sajili) ya viwandani
(b) Kuigiza mazungumzo viwandani
(c) Kusoma kifungu kujibu maswali kwa usahihi
Kueleza Kusoma Kuigiza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 140Mwongozo wa mwalimu uk 104
Kamusi ya kiwahili Isimu ya jamii kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko wa vitenzi vya asili ya kibantu
Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze
(a) Kutaja vitenzi vya asili ya kibantu
(b) Kunyambua vitenzi vya aisli ya kibantu
(c) Kutambua viambishi tamati
Kudodosa Kujaidli Kusoma Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 141Mwongozo wa mwalimu uk 106
Sarufi fafanuzi ya kiswawhili
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91
Mwongozo uk
4/5 Kusoma (fasihi) Muundo namtindo Kufikia mwisho wa funzo, Kusoma
wa hadithi fupi mwanafunzi aweze(a) Kueleza muundo
wa hadithi fupi kwa kuzingatia diwani teule
(b) Kutofautisha hadithi na kzi nyinginezo na hathari
Kujadili Kueleza Kuandika Kujibu maswali
kwa sauti na madaftari
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 142Mwongozo wa mwalimu uk 107
Kamusi ya Fasihi Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
6 Kuandika Kumbu kumbu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza muundo wa kuandika kumbukumbu
(b) Kutaja umuhimu wa kuandika kumbukumbu kikamilifu na kwa usahihi
Kueleza Maswali ya
dodoso Kusoma mifano
kitabuni Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 169Mwongozo wa mwalimu uk 124
Karunzi ya Kiswahili
Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
9 1 Kusoma Magazeti (Isimu Jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma makala mbali mbali magazetini na kueleza ujumbe
(b) Kueleza sajili katika makala mbal mbali
(c) Kutaja Nyanja
Kusoma Kujadili Kuandika Kuzuru maktaba
Magazeti (K.V Taifa leo, faifa jumapili,nipashe)
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya methali Isimu jamii kwa
shule za sekondri (ipara Isaac Odero)
mbali mbali zinazoshughulikiwa magazetini
Kamusi ya misemo na nahau (K.W Wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihii simulizi:ngano
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusimulia ngano na kueleza maadili yaliyomo
(b) Kusoma ngano kitabuni na kujibu maswali kwa ufahihi
(c) Kuzungumza kwa matamshi bora na mtiriko ufaao
Kueleza Kuhadithia ngano Kusoma kwa
sauti Kujibu maswali
kwa sauti na madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 152Mwongozo wa mwalimu uk 112
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko wa vitenzi vya kigeni
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja minyambuliko tofauti ya vitenzi
(b) Kueleza sifa na njia za kunyambua vitenzi vya kigeni
(c) Kujibu maswali kwa usahihi
Kueleza Kujadili Kutunga sentensi kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 155Mwongozo wa mwalimu uk 114
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 176-181Mwongozo uk 103
4/5 Kusoma (fasihi) Fasihi andishi Wahusika na uhusika katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
(a) Kutaja wahusika katika hadithi fupi
(b) Kutambua sifa za wahusika wa hadithi fupi
Kusoma Kuwasilisha
kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179Mwongozo wa mwalimu uk 133-134
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Mwongozo wa teule wa tamthilia
6 kuandika Kumbukumbu Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha
(b) Kuandika ilnsha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote
Kusoma Kujadili Kueleza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 169Mwongozo wa mwalimu uk 124
Kamusi ya kiwahili Karunzi ya
Kiswahili Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya
Kiswahili
10 1 Kusoma Ufahamu: sudi ya sundiata
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma kwa sauti na matamshi bora
Kusoma kwa sauti darasani
Maswali ya dodoso
Kujadili
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 183
(b) Kupanua kiwango cha msamiati na semi
(c) Kueleza hoja muhimu baada ya kusoma makala
kuandika Mwongozo wa mwalimu uk 137-138
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Maadiliana: mabalozi (Isimu Jamii)
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kusoma kwa sauti na matamshi bora
(b) Kupanua kiwango cha msamiati na semi
(c) Kueleza hoja muhimu baada ya kusoma makala
Kusoma kwa sauti darasani
Maswal ya dodoso
Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 154Mwongozo wa mwalimu uk 101-113
Kamusi ya kiwahili Isimu jamii kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uakifishaji wa mazungumzo Dayolojia
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja na kueleza matumizi ya alama za uakifisho
(b) Kutumia alama za uakifishaji kwa usahihi katika dayolojia
(c) Kuakifisha dayolojia kwa usahihi
Kueleza Kutunga mifano Kusoma mfano
kitabuni Kufanya zoezi
madaftarini kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 156Mwongozo wa mwalimu uk 115
Kamusi ya kiwahili Sarufi fafanuzi ya
kiswawhili Karunzi ya
kusoma uk 88
Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 121,218,319,373Mwongozo uk 78,118,161,182
4/5 Kusoma Wahusika katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja wahusika katika hadithi fupi za diwani teule
(b) Kueleza sifa na umuhimu wa wahusika hao
Kutafiti na kuwasihisha
Kusoma Kujadili kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179Mwongozo wa mwalimu uk 133-134
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
6 kuandika Utunzi wa mashairi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kutaja na kueleza vigezo muhimu vya kutunga mashairi (arudhi, beti na mishororo)
(b) kutunga shairi kuhusu mada
kueleza kujadili kusoma mfano
(kitabuni na diwani)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 180Mwongozo wa mwalimu uk 134-135
Kamusi ya kiwahili
yoyote(c) kubainisha aina
ya shairi aliyotunga
Diwani ya mashairi mepesi
Miale ya ushairi (NES)
Nuru ya ushairi Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)
11 1 kusoma Ufahamu: udamisi wa mzee mtari
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi awezeKufafanua mawazo makuuu katika kifunguKueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihiKujibu maswali ya ufahamu kikamilifu
Kusoma kwa kupokezana
Kudodosa Kujadili Kuandika Kujibu maswali
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 195Mwongozo wa mwalimu uk 119
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya Fasihi Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi mighani
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua maana ya mighani
(b) Kubainisha sifa za mighani
(c) Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake
Kueleza Kusikiliza Kuuliza maswali Kusoma Kuandika Kutafiti (ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 162Mwongozo wa mwalimu uk 102-103
Darubini ya Kiswahili ya
kitabu cha mwanafunzi uk 38-Mwongozo uk 190
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Matumizi “na”kirai
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja na kueleza matumizi ya ‘na’
(b) Kutumia ‘na’ katika tungo kwa usahihi
(c) Kubainisha matumizi ya ‘na’ katika tungo
(d) Kutaja maana ya kirai na kueleza aina zake
Kueleza Kusoma Kutunga sentensi
kwa sauti Kuandika Kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157,176Mwongozo wa mwalimu uk 129-131
Kamusi ya kiwahili Sarufi fafanuzi ya
kiswawhili Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 315Mwongozo uk 161
4/5 kusoma Wahusika katika hadithi fupi
Kufkika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja wahusika katika hadithi fupi
(b) Kueleza hulka za wahusika hao
(c) Kufafanua umuhimu wa wahusika hao
Kueleza Kujadili Kusoma Kuandika Kutafiti (ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179Mwongozo wa mwalimu uk 133
Mwongozo wa diwani teule (hadithi fupi)
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
6 kuandika Insha ya mawazo Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza muundo wa insha ya mawazo
(b) Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo
(c) Kuandika insha ya mawazo ifaavyo
Kueleza Kujadili Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 181Mwongozo wa mwalimu uk 136
Karunzi ya kusoma uk 88
Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
Insha kabambe (simon mutali)
Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 241Mwongozo uk 127
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KUFUNGA SHULEMAAZIMIO YA KAZI
KISWAHILI KIDATO CHA NNEMUHULA WA III
1 1 Kusoma Ufahamu-saula la lishe na vv ukimwi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua maana ya VVU na
Maswali ya dodoso
Kujadili Kusoma kwa
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
Michoro kitabuni
Picha nyinginezo Wanafunzi
ukimwi(b) Kueleza na kuwa
na mtazamo chanya kuhusu mapambano dhidi ya ukimwi
(c) Kujibu maswali kwa usahihi
sauti Kueleza Kuandika
madaftarini
wanafunzi 4 uk 207-209Mwongozo wa mwalimu uk 154-155
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
wenyewe ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi maigizo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kutambua muundo wa ngonjera na vichekesho
(b) kueleza sifa bainisu za vichekesho
(c) kuigiza vichekesho na ngonjera
kueleza kusoma kuigza kusikiliza kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 176Mwongozo wa mwalimu uk 127-128
Kamusi ya kiwahili Kichocheo cha
fasihi simulizi na andishi
Karunzi ya kiswahili
Kamusi ya methali
Nakala (ngonjera) na vichekesho
Wanafunzi wenyewe
3 Sarufi na matumizi ya lugha
vishanzi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana ya kishanzi
(b) Kubainisha ailna ya kishanzi
(c) Kutunga sentensi yenye kitanzi
(d) Kutambua
Kueleza Kusoma Kujibu maswali
kwa sauti Kuandika Kufanya zoezi
madaftarilni
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 177-178Mwongozo wa mwalimu uk 131-132
Sarufi fafanuzi ya
Chati (vishanzi) Ubao Magazeti (taifa
leo)
vishanzi katika tungo
kiswawhili Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 365Mwongozo uk 182
4/5 kusoma Fasihi andishi:matumizi ya lugha katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi
(b) Kufafanua mbinu za sanaa na thima yake katika hadithi
(c) Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha
Kusoma Kueleza Kujadili Kuwasilisha
utafiti kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 191Mwongozo wa mwalimu uk 142
Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi
Mwongozo wa diwani teule
Diwani teule Wanafunzi
wenyewe Ubao
6 kuandika Uandishi wa simu au telegramu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza kanuni za uandishi wa telegram
(b) Kuandaa mfano wa telegram halisi
Maswali ya dodoso
Tumia telegram halisi
Kuleza Kuandika
telegramu
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 193-194Mwongozo wa mwalimu uk 143
Kamusi ya kiwahili Insha kabambe
(simon mutali) Darubini ya
Kiswahili ya kitabu cha
Kielezo halilsi cha telegram
Kielezo kwenye bango
ubao
mwanafunzi uk 208Mwongozo uk 113
2 1 Kusoma (ufahamu)
Maghani na aina zake Kufikia mwisho wa funzo,
mwanafunzi aweze(a) kusoma
umuhimu na asili ya lugha
Kusoma Kujadili Kudodosa na
kujibu maswali kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 219-221Mwongozo wa mwalimu uk 165-166
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila)
Mchoro kitabuni Ubao Chati (msamiati)
2 Kusikiliza Maghani na aina zake
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maghani ni nini?
(b) Kutaja na kufafanua aina za maghani
(c) Kueleza vipinngamizi dhidi ya ukuaji wa KiswahiliKueleza maneno mapya na kujibu maswali yote
Kueleza Kusikiliza Kujadili na kuuliza
maswali Kuandika kutafakari
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 185-187Mwongozo wa mwalimu uk 138-139
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Kamusi ya methali Kamusi ya fasihi
Mgeni mwalikwa
Wanafunzi wenyewe
ubao
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Kundi nomino: kundi tenzi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kutambua kundi nomino na kundi tenzi
(b) kuandika sentensi zenye KN na KT kwa usahihi
(c) kujibu maswali kwa usahihi
kueleza kusoma kukandika
madaftarini kufanya zoezi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189Mwongozo wa mwalimu uk 139-140
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Golden Tips Kiswahili
Chati Ubao Magazeti (Taifa
leo)
4-5 Kusoma Matumizi ya lugha katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza matumizi ya lugha katika hadithi fupi za diwani teule
(b) Kubainisha umuhimu wa lugha katika kuendeleza dhamira na maudhui
Kusoma Kueleza Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi (kazi
ya ziada)
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 191-192Mwongozo wa mwalimu uk 142
Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Kamusi ya methali Kamusi ya fasihi Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila
Diwani teule Ubao Wanafunzi
wenyewe Chati (lugha)
6 Kuandika Barua meme Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutaja vijia mbali mbali za
Maswali ya dodoso
Kujadili Kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
Kelezo halisi cha barua meme
Ubao Chati
mawasiliano(b) Kueleza matumizi
na muundo wa kuandika barua meme
madaftarini wanafunzi 4 uk 188-189Mwongozo wa mwalimu uk 139-140
Karunzi ya kiwahili
Insha kabambe (simon mutali)
Magazeti (picha za mawasiliano)
Picha (vyombo vya mawasiliano)
3 1 Kusoma (ufahamu)
Mazoezi (marudio)1. Kifungu 32. Kifungu 3
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma vifungu vya ufahamu (mazoezi ya marudio na kujibu kwa usahihi)
(b) Kupanua uwezo wake kukabili mtihani wa ufahamu
Kusoma ghibu Kuandika
madaftarini Kujadili majibu
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240Mwongozo wa mwalimu uk
Kamusi ya methali Kamusi ya
kiswahili Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila
Mwanafunzi mwenyewe
Ubao Chati
(misamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Soga Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza na kutambua mtindo wa soga
(b) Kutongoa soga darasani
(c) Kufafanua umuhimu wa soga
Kueleza na kujadili
Kushiriki katika soga
kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 197Mwongozo wa mwalimu uk 146-147
Darubini ya Kiswahili 4. Kitabu cha mwanafunzi
Wanafunzi wenyewe
Ubao Chati (mtindo
wake)
uk 314Mwongozo wa mwalimu uk 158
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uchanganuuzi wa sarufi
Kufikia mwisho wa funzi mwanafunzi aweze
(a) Kutaja aina na miundo mitatu mikuu ya sentensi
(b) Kutaja na kueleza aina kuu tatu za kuchanganua sentensi (mistari, jedwali na matawi)
Kueleza Kusoma Kujadili vielezo Kuchanganua
sentensi Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 198-200Mwongozo wa mwalimu uk 147-148
Karunzi ya kiwahili
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Golden Tips Kiswahili
Bango (vielezo vya uchanuzi)
Chati (aina)
4-5 Kusoma (fasihi) Usulu, dhamira na maudhi katika mashairi
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kubainisha dhamira na maudhi ya shairi
(b) Kueleza sifa na kanuni (arudhi) za sahiri la arudhi
(c) Kubainisha hisia/falsafa tofauti tofauti za mashairi
Kueleza Kuakariri shairi Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 202-203Mwongozo wa mwalimu uk 151
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila
Diwani ya mashairi (arudhi)
Wanafunzi wenyewe
ubao
6 kuandika Ratiba Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) kueleza muundo na dhima ya
kueleza kujadili kielelezo kutoa ratiba kwa
sauti darasani
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha
Nakala halisi za ratiba
Wanafunzi wneyewe
ratiba(b) kueleza ratiba
yoyote kwa sauti darasani
(c) kuandika ratiba ya shughuli yoyote
kuandika wanafunzi 4 uk 216-218Mwongozo wa mwalimu uk 164
Karunzi ya kiwahili
Insha kabambe (simon mutali chesebe)
Golden Tips Kiswahili
Ubao
4 1 Kusoma (ufahamu)
Ufahamu wa jaribio la 3 na la 4
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma kimoyomoyo na kuelewa ujumbe
(b) Kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi
(c) Kukuza imani yake kufaulu katika funzo la ufahamu
Kusoma ghibu Kujibu maswali Kusahisha na
kujadili majibu
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 247-255Mwongozo wa mwalimu uk 186-198
Kamusi ya kiwahili Kamusi ya methali Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila
Wanafunzi wenyewe
Uboa Chati (msamiati)
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi mawaidha
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua maana ya mawaidha
(b) Kutambua umuhimu wa mawaidha katika jamii
(c) Kuigiza utoaji wa mawaidha
Kueleza Kujadili Kuchanganua
ubaoni Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189Mwongozo wa mwalimu uk 139-140
Fasihi simulizi kwa shule za
Chati (umuhimu wake)
Michoro ubaoni Wanafunzi
wenyewe Magazeti Hojaji ya utafiti Picha ya
wanaotoa mawaidha
(d) Kujibu maswali kikamilifu
sekondari Kichechocheo cha
Fasihi simulizi na Andishi
Darubini ya Kiswahili 4 uk 104
3 Sarufi na matamuzi
Uchanganuzi wa sentensi ambatano
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutambua viambajengo vya sentensi ambatano
(b) Kueleza muundo wa kuchanganua sentensi ambatano (mistari, matawi, jedwali)
(c) Kuchanganua sentensi ambatano
Kueleza Kujadili Kuchanganua
ubaoni
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 210-213Mwongozo wa mwalimu uk 160-161
Kamusi ya kiwahili Sarufi fafanuzi ya
Kiswahili
Chati (uchananuzi
Michoro ubaoni Wnanafunzi
wenyewe Magazi
(sentensi) mbali mbali
4/5 Kusoma (Fasihii)
Fasihi andishi: muundo namtindo katika mashairi
Kufiikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza na kufafanua muundo na mtindo wa mashairi huru naya arudhi
(b) Kutofautisha mundo na mtindo kishairi
(c) Kujibu maswali ya mashairi kwa usahihi
Kueleza Kujadili Kughani Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 214-215Mwongozo wa mwalimu uk 162-163
Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila
Miale ya ushairi (NES)
Mashairi kitabuni
Diwani ya mashairi
Ubao Magazeti (tailfa
leo) Chati (mtindo,
muundo)
Nuru ya ushairi
6 Kuandika Resipe (Ndizi za kuchemsha
Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 232Mwongozo wa mwalimu uk 174
Karunzi ya kiwahili
Golden Tips Kiswahili
Insha kabmbe (simon mutali)
Vyakula halisi Vielelezo vya
resipe Wanafunzi
wenyewe Ubao chati
5 1 Kusoma (muhtasari
Vifungu vya ufupisho. Jaribio la I na II
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua hatua za kukabuli maswali ya ufupisho
(b) Kusoma vifungu na kudondoa hoja muhimu
(c) Kufupisha kwa usahihi
Kueleza Kusoma na
kujadili hoja Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240Mwongozo wa mwalimu uk 175-181
Kamusi ya kiwahili
Wanafunzi wenyewe
Ubao
2 Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi au Fasihi ya Ngoma
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana ya ngomezi
(b) Kuorodhesha na kufafanua sifa za ngomezi
(c) Kutaja ngoma mbali mbali na
Kueleza Kujadili Kusoma kwa
sauti na kusikiliza kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240Mwongozo wa mwalimu uk 175-181
Wanafunzi wenyewe
Ubao Chati (sifa zake) Vitu halisi
(kengele, ngoma, simu)
Picha ya magari ya
kuigiza za jamii zao
(d) Kueleza dhima ya ngomezi katika jamii
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Darubini ya Kiswahili 4. Uk 294
Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Kamusi ya fasihi
polisi/ambulansi
3 Sarufi na matumizi ya lugha
vihusishi Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kueleza maana ya vihusishi na kutaja mifano
(b) Kutambua vihusishi tofauti tofauti na utendakazi wavyo
Kueleza Kuigiza hisia
mbalil mbali Kusoma kuandika
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 213Mwongozo wa mwalimu uk 160
Kamusi ya Tashbihi, vitendawili, milio na mshangao (K.W wamitila)
Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 138Mwongozo wa mwalimu uk 87
Sarufi fafanuzi ya Kiswahili
Chati (vihusishi) Wanafunzi
wenyewe Kanda ya sauti Ubao Vitu halisi
4/5 Kusoma Matumizi ya lugha na mbinu
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
Kueleza Kusoma makala
Chemchemi za Maashairi kitabuni
nyiinginezo katika ushairi (Fasihi andishi)
(a) Kutaja na kueleza maana ya msamiati wa mashairi
(b) Kufafanua mbinu ambazo ghalabu hutumika katika mashiri
(c) Kusoma shairi na kujibu maswali
kitabuni Kujadili kuandika
Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 226-231Mwongozo wa mwalimu uk 171-173
ahili Fasihi simulizi kwa
shule za sekondari
Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Kamusi ya methali Kamusi ya fasihi Kamusi ya
misemo na nahau (K.W wamitila
Taaluma ya ushairi
Miale ya ushairi (NES)
Nuru ya ushairi
Diwani ya mashairi
Ubao Magazeti (taifa
leo) Chati (ushairi)
6 Kuandika Insha bora Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kutofautisha baina ya uandishi wa isha na uandishi wa kikamilifu
(b) Kutambua hatua muhimu za kuandika kila aina ya insha
(c) Kuandika insha ya kusisimuliza
Kuandika Kujadili Majibu na
kusahihisha makosa
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk (sehemu ya kuandika)Mwongozo wa mwalimu uk 186
Karunzi ya kiwahili (sehemu za insha)
Isnha kabambe
Vyakula kitabuni Diwani ya
mashairi Ubao Magazeti (taifa
leo) Chati (mtindo
muundo)
(mutali Chesebe) Golden Tips
Kiswahili
6 1 Kusoma (mazoezi ya marudio)
Ufupisho (jaribio III, IV
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma kifungu na kutoa hoja m uhimu
(b) Kufupisha kifungu kwa kuunganisha hoja muhimu
Kusoma Kuandika Kujadilii majibu
na kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 247-255Mwongozo wa mwalimu uk 186-198
Karunzi ya kiwahili(sehemu ya ufupisho)
Kamusi ya Kiswahili
Wanafunzi wenyewe
Ubao Magazeti
2 Kusikiliza na kuzungumza
Vifungu vya Isimu-jamii majaribio I-IV
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma vifungu kwa makini
(b) Kueleza muktadha na sajili za vifungu husika
(c) Kujibu maswali ya Isimu-jamii kwa usahihi
Kusoma ghibu Kuandika majibu Kusahihisha Kujadili majibu na
masahihisho Kuandika majibu
sahihi ubaoni kuigiza
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-255Mwongozo wa mwalimu uk 175-198
Kamusi ya Kiswahili
Isimu-jamii kwa shule za sekondari
Mwanafunzi wenyewe
Ubao Chati (muktadha
mbali mbali)
3 Sarufi na matumizi ya lugha
Uchanganuzi wa sentensi changamano
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kuchanganua sentensi changamano
(b) Kuunda nomino kutokana na nomino au vitenzi
(c) Kujibu maswali ya vipengele vya ‘a’ na ‘b’ kwa usahihi
Kueleza Maswali ya
dodoso Kujadili Kuandika
madaftarini
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 225-227Mwongozo wa mwalimu uk 168-170
Karunzi ya kiwahili
Kamusi ya Kiswahili
Golden Tips Kiswahili
Michoro ya uchanganuzi
Chati (nomino na vitenzi
Ubao
4/5 Kusoma Maswali ya Fasihi majaribio I-IV
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kusoma maswali na kueleza yanayohitaji
(b) Kujibu maswali kwa usanifu
(c) Kujirekebisha alikokosea
Kusoma ghibu Kueleza Kujadili Kuandika
madaftarini Kusahihisha
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-260Mwongozo wa mwalimu uk 178-195
Fasihi simulizi kwa shule za sekondari
Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi
Wanafunzi wenyewe
Magazeti Hadithi vitabu
teule vya fasihi Magazeti Chati (tanzu za
fasihi)
6 kuandika Maswali ya insha Jaribio I-IV
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze
(a) Kufafanua uandishi bora wa insha
Kujadili vidokezo Kuandika Kujadili makosa
na kujirekebisha
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-260
Maswali kitabuni
Ubao Chati (aina za
insha
(b) Kuandika insha kikamilifu
(c) Kubainisha makosa yake na kujirekebisha
Mwongozo wa mwalimu uk 178-198
Karunzi ya kiwahili
Insha kabambe (simon mutali)
Golden Tips Kiswahili
Fasihi simulizi kwa shule
Nakala za insha bora
7 1-6 majaribio Jaribio IJaribio IIJaribio IIISarufi na matumizi ya lugha
Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze
(a) Kufanya masahihisho sahihi kwa maswali ya juma la 6
(b) Kubainisha upungufu wake na kujiimarisha
Kusoma Kuandika majibu Kusahihisha Kujadili majibu
sahihi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk 236,243,250Mwongozo wa mwalimu uk 175-193
Karunzi ya kiwahili
Wanafunzi wenyewe
Ubao Chati (vipengele
muhimu)
8 1-6 Marudio Jaribio IV (sarufi)Karatasi za awali za K.C.S.E (hasa ya 2010) na za mwiyo
Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze(a) kutambua muundo
wa mtihani wa K.C.S.E na jinsi ya kukabili maswali
(b) Kujamini kwa uwezo wa kupasi
Kusoma Kutoa majibu Kusahihisha Kujadili matokeo
ya majibu sahihi
Chemchemi za Kiswahili Kitabu cha wanafunzi 4 uk Mwongozo wa mwalimu uk
Karunzi ya kiwahili
Golden Tips Kiswahili
Ijaribu na
Wanafunzi wenyewe
Nakala za karatasi za awali (k.c.s.e)
Ubao
uikarabati
9-12 MTIHANI WA K.C.S.E NA KUFUNGA SHULE