3
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA KURUGENZI YA HABARI NA MAHUSIANO Taaarifa kwa Vyombo vya Habari Ndugu Waandishi wa Habari, tumeitana leo hapo kuweza kufafanua na kufahamisha, taarifa zilizotolewa kwenye vyombo vya habari na mitandao kwa kumnukuu Ndugu yetu John Mnyika Naibu Katibu wa Chama cha Siasa kiitwacho CHADEMA. Ndugu Mnyika amesema kuwa Majeshi yamewanyang’anya kadi za kupigia kura Maafisa na Askari na wanaorodhesha vitambulisho hivyo. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania halijafanya hivyo na wala haliwezi kufanya hivyo. JWTZ lenyewe linayo majukumu yaliyoko wazi, wanajeshi wana haki zao za kikatiba na kiraia kama raia wa Tanzania, hivyo kupiga kura ni haki yao kuchagua wanayemtaka. Wanajeshi hawaruhusiwi kuwa wanachama wa chama chochote cha kisiasa (ideological pouty). Mwanajeshi haruhusiwi kuwa mshabiki wa chama chochote cha kisiasa, (funatista).

Vyombo Vya Habari(1)

Embed Size (px)

DESCRIPTION

VYOMBO VYA HABARI(1)

Citation preview

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA MAHUSIANO Taaarifa kwa Vyomo !ya HaariNdugu Waandishi wa Habari, tumeitana leo hapokuweza kufafanua na kufahamisha, taarifa zilizotolewakwenye vyombo vya habarina mitandao kwa kumnukuuNdugu yetu John Mnyika Naibu Katibu wa Chama ha !iasakiitwaho CH"#$M"% Ndugu Mnyika amesema kuwaMa&eshi yamewanyang'anyakadi zakupigiakuraMaa(sana"skari nawanaorodheshavitambulishohivyo% Jeshi la)linzila Wananhiwa *anzania hali&afanya hivyo na walahaliwezi kufanya hivyo%JW*+ lenyewe linayo ma&ukumu yaliyoko wazi,wana&eshi wana haki zao za kikatiba na kiraia kama raia wa*anzania, hivyo kupiga kura ni haki yao kuhaguawanayemtaka% Wana&eshi hawaruhusiwi kuwa wanahama wa hamahohote ha kisiasa ,ideologial pouty-% Mwana&eshiharuhusiwi kuwa mshabiki wa hama hohote ha kisiasa,,funatista-%Jeshi letuambaloni Jeshi laWananhi wa*anzanialinafanya kazi zake kama professional state organ dunianzima ina&ua%./0101Mwana&eshi anayekiuka haya huhukuliwa hatua zakinidhamu za ki&eshi, nasema hatua za kinidhamu za ki&eshiwala si za kiraia%Hivyo Jeshi la )linzi la Wananhi wa *anzanialimesikitishwasana tena sana na kauli hiyo iliyotolewa naNdugu John Mnyika% Wananhi na viongozi wa kisiasainaombwamfanyekazi zenuzakisiasazisianzishweho&an&e ya maeneo hayo ya kisiasa% 2ugha hizo za upotosha&izinaleta hofu, ukakasi na wasiwasi kwa wananhi% Jeshi linaendelea na shughuli zake kama kawaidahalipendi litolewe kauli za upotosha&i, kusikoelewekaufuatweutarartibuwakuulizakupatama&ibuyauhakikainaombwa hiyo ifutwe%Wananhi wana 3mani na Jeshi lao%Ndugu waandishi tuna&enga nyumba mo&atusigombanie (to%Nduguwaandishi ninarudiatenanatenatusihokonoanetupendane tutende na kufanya yaliyoko mbele yetu%3mani huzaa 3mani, 3mani hiyo ni mwendelezo wa"mani iliyoko nhi hii na watanzania walivyopenda watotowao JW*+% Co" NE L#i$%aMk#r#%&$'i Haari $aMa(#)ia$o kwa Umma