ISSN 0856 - 3861 Na. 1102 SAFAR 1435, IJUMAA , DESEMBA 6-12, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz
Uk. 5
Polisi wamkamata wakili wa Sheikh Chambuso
Ahojiwa zaidi ya saa sita, aachiwaKisa nyaraka feki za mteja wakeHofu ya ‘kuzitosa’ kesi za Waislamu yatanda
Ujinga mzigoAjabu! Prof. Lipumba Si mwana-SunnahVipi Mkapa, Augustino Lyatonga Mrema!Somo kutoka Hudaibiyah, Fat’h Makkah
MTU unajiuliza, k a m a I b r a h i m u Haruna Lipumba sio mwana-Sunnah, Mkapa Mkatoliki ( a u Au g u s t i n o Lyatonga Mrema),
Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha I - 2014
Mkuzo, Ubungo, Nyasaka, Kirinjiko
ndio walikuwa wana-Sunnah? Au swali la msingi ni: kwani uchaguzi ule ulikuwa wa kumchagua Rais wa kutawala nchi ya Kiislamu?
K A M A i l i v y o k u w a kwa Kamanda George Kizuguto (RPC) , leo Mussa Ali Mussa, sio tena Kamshna wa Polisi Zanzibar.
C h e o n i d h a m a n a , kabadilishwa wadhifa na kupewa kazi mpya.
Hivi sasa ni Kamishna wa Polisi Jamii huku nafasi yake ikichukuliwa na Hamdan Omar Makame.
K a m i s h n a M u s s a
Kwa heri Kamishna Mussausisahau wafungwa wako
Uamsho bado wapo KorokoroniNa Mwandihi Wetu anafananishwa na George
Kizuguto enzi za utumishi wake ka t ika j e sh i l a Polisi Zanzibar kwa jinsi ‘walivyowashughulikia’ w a n a n c h i n a h a s a Waislamu.
Zama za RPC Kizuguto, wananchi walishuhudia v i p i g o v i k a l i , w a t u wakifuatwa hadi ndani ya Misikiti, kilele cha zahama hiyo kikiwa kuuliwa Imam mara baada ya swala ya Ijumaa na asubuhi yake
Inaendelea Uk. 6KAMANDA Mussa Ali Mussa
2 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013
AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Matangazo
Polisi wamkamata wakili wa Sheikh ChambusoJESHI la Polisi mkoani Tanga , l imemkamata w a k i l i w a S h e i k h Chambuso Rajab, pamoja n a Wa i s l a m u wa n a o kabiliwa na kadhia ya Kilindi na kumshikilia zaidi ya saa sita kabla ya kumuachia.
Wakili huyo aliyetajwa kwa jina la Hassan Kilule, n d i ye a n a ye s i m a m i a kesi za Waislamu hao wanaoshtakiwa katika kesi zipatazo tano katika Mahakama ya Wilaya ya Handeni.
Baada ya tukio hilo la kukamatwa, imedaiwa k u wa wa k i l i K i l u l e , ameonyesha dal i l i za kutaka kujitoa kusimamia kesi hizo, akidai kuwa hajalipwa ujira wake wa kusimamia baadhi ya kesi zinazowahusu Waislamu takriban 76.
Akiongea na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu juu ya tukio hilo, Sheikh Rajab Chambuso, a l i s e m a w a k i l i w a o alikamatwa siku ya Ijumaa ya Novemba 29, 2013, akiwa mahakamani,kwa ajili ya kuwatetea wateja wake, ambao ni Waislamu wanaokabiliwa na kesi ya kadhia ya Kilindi.
“Wakili wetu alikamatwa Novemba 29, Ijumaa ya wiki iliyopita akifuatilia kes i ya wate ja wake, ambapo siku hiyo ilikuwa kesi ikisikilizwa”. Alisema Sheikh Chambuso.
A l i s e m a P o l i s i waliomkamata, walidai kuwa walipokea amri kutoka kwa RCO, kwamba wakili Hassan akamatwe
Na Bakari Mwakangwale kisha apelekwe kituo cha Polisi cha Wilayani Handeni, hadi Polisi mkoa watakapofika kumchukua na kumsafirisha kwenda jijini Tanga.
“Walimchukua pale pale mahakamani. Mara baada ya kumal iz ika kwa kesi Polisi walifika na kumueleza anahitajika katika kituo cha Polisi Handeni,kwa mahojiano, h u k u wa k i d a i k u wa wamepokea amri hiyo kutoka kwa RCO, kuwa kuna maswala anatakiwa akajibu”. Alisema.
Aliongeza kuwa baada ya kufikishwa kituo cha Polisi Handeni, hapakuwa na mahojiano yoyote kama alivyoelezwa, badala yake wa l i m we k a r u m a n d e n a k u m u e l e z a k u wa atakuwa hapo mpaka atakapopelekwa mkoani.
S h e i k h C h a m b u s o , a l i s e m a W a i s l a m u walifatilia kukamatwa kwake na kufanikiwa kumtoa siku hiyo hiyo (Ijumaa) majira ya saa 2 :00 usiku, baada ya kufanya mawasiliano na RCO ambapo wakili huyo alitakiwa kuripoti kituoni hapo siku ya Jumatatu (wiki hii).
A l i p o u l i z w a k o s a lilosababisha kukamatwa kwake, Sheikh Chambuso, alisema baada ya kufuatilia na kufanikiwa kumtoa, walibaini kuwa alihusishwa na madai ya mmoja wa mteja wake kufoji nyaraka katika kesi inayomkabili Sheikh Chambuso, akiwa wakili wake.
“ Wa l i m k a m a t a n a kumuhoji kuhusu nyaraka b a n d i a z i n a z o m h u s u mmoja wa wateja wake
anayekabiliwa na kesi ya jinai jijini Tanga, baada ya kudaiwa kuwa ni za kughushi”. Alibainisha Sheikh Chambuso.
A l i s e m a k w a m b a nyaraka hizo kiuhalisia hazihusiani kabisa na wakili wao, na isitoshe kesi hiyo imekuwepo na kusikilizwa tangu mwaka 2000, lakini akaonyesha kushanga kuwa anakuja kutiwa misukosuko hivi sasa , za id i akasema, mikataba ya nyaraka hizo feki sio yeye aliyeandika.
Alipoulizwa kilichojiri baada ya kurejea Polisi siku ya Jumatatu, (wiki hii) kama alivyotakiwa na Jeshi la Polisi, Sheikh Chambuso, alisema hakuna kilichoendelea zaidi ya kuhojiwa tu, ili kupata ukweli kuhusu nyaraka hizo.
“Mpaka sasa (Jumatano wiki hii) sina taarifa za shitaka lolote, ila alielezwa sababu za kukamatwa kwake ni kupuuza wito wa Polisi, hata hivyo wakili alikuwa ni mgonjwa siku ambayo a l ipotumiwa ujumbe wa kuhitajika Polisi”. Alisema Sheikh Chambuso.
Akifafanua zaidi Sheikh Chambuso, alisema siku ya Alhamisi iliyopita wa k i l i wa o a l i k u wa ametoka J i j ini Dar es Salaam katika matibabu, kisha Ijumaa yake aliamkia mahakamani kwa ajili ya shauri la watuhumiwa wa kesi ya Kilindi na ndipo walipomkamata.
Sheikh huyo alidai kuwa tukio hilo linatoa picha ya kumtia misukosuko wakili wao, ili aweze kujitoa katika kusimamia kesi hizo zinazowakabili Waislamu.
T A N Z A N I A b a r a husherekea maadhimisho ya siku ya Uhuru tarehe 9 Desemba kila mwaka. Desemba 9 mwaka 1961, Tanzania wakati huo ikiitwa Tanganyika, ilipata uhuru wake kutoka kwa Uingereza.
Mwaka huu, sherehe hizi zitakuwa ni za 52 k u a d h i m i s h wa t a n g u Tanzania ilipopata uhuru wake.
Kimsingi, Watanzania wanaadhimisha siku ya uhuru kukumbuka namna walivyojikomboa kutoka katika makucha ya mkoloni, ambaye aliwatawala na kuwadhulumu kwa kila hali.
L a k i n i z a i d i , kuwakumbuka majemadari waliojitoa kwa nafsi na mali zao, kwa ajili ya kupigania haki, mamlaka na uhuru wa Watanzania wote.
Tunaona kwamba kwa kuwakumbuka waasisi halisi wa uhuru, ndio heshima ya matukio haya ya kihistoria.
Kwa bahati mbaya au kwa makusudi, historia ya uhuru wetu imefinyangwa sana kiasi cha kufukia kufahamika watu wengi walioasisi juhudi na jitihada za kupigania uhuru wa Tanzania tangu enzi za TAA na TANU, ambavyo kimsingi ndizo taasisi zilizoasisi harakati za uhuru wetu, achilia mbali zama za akina Chifu Mkwawa, Mtemi Mirambo, Bushiri, C h a b r u m a , K i b a s i l a , Mareale na wengineo.
Hali halisi inaonyesha k wa m b a , h u j u m a ya historia halisi ya uhuru wetu ilianza kupotezwa katika uandishi wa Historia yenyewe.
Matokeo yake vizazi vingi vya Watanzania, vimeaminishwa kwamba mwasisi wa uhuru wa nchi hii ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na kuonekana kama historia ya Taifa imeanzia kwake na kuishia kwake.
T u k u m b u s h e t u kwamba tarehe 27 Aprili, 1 ,985 Mwalimu Julius K a m b a r a g e N ye r e r e , ambaye anajulikana kama Baba wa Taifa, katika s h e r e h e i l i y o f a n y i k a
Historia isipotoshwe viwanja vya Ikulu, alitoa jumla ya medali 3,979 kwa Watanzania waliochangia katika maendeleo ya taifa. Kati ya wale ambao walipewa medali hizo alikuwa Sheikh Abdallah Chaurembo.
Wazalendo waliotajwa ndani ya kitabu hiki a m b a o wa l i p i g a n i a uhuru wa Tanganyika, hakuna hata mmoja wao aliyekuwa katika orodha ile ya heshima. Baada ya siku chache kupita, N y e r e r e k a m a m t u aliyegutuka alimualika Dossa Aziz Ikulu.
Dossa Aziz, wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika a l ikuwa mtu maarufu, mwenye nafasi na aliyejiweza kiuchumi. Dossa baada ya miaka kupita, hakuwa akifahamika tena kama muasisi wa harakati za uhuru.
Al i i sh i maisha ya kawaida kijijini Mlandege, maili chache nje ya Dar es Salaam.
Tukumbushe kwamba m k u t a n o wa TA N U iliofanyika Tabora, uliacha kovu katika historia ya uhuru wa Tanganyika. Huenda kama si yale masharti ya uchaguzi wa kura tatu, historia ya TANU na kwa hakika ile ya ukoloni Tanganyika, isingekuwa hivi ilivyo sasa.
Y a w e z e k a n a k u s i n g e k u w e p o n a m g a wa n y i k o k a t i k a TA N U wa l a Z u b e r i Mtemvu asingeunda ANC, na Mashado Plantan - AMNUT; wala suala la udini katika siasa za Tanganyika lisingewekwa katika agenda, jambo ambalo kwa miongo mitatu baada ya uhuru, ngurumo zake bado zinasikika na zinatishia utengemano na uthabiti wa nchi.
T u k u m b u s h a n e kuhusu mwanaharakati mashuhuri wa uhuru A b d u l w a h i d K l e i s t Sykes . Al ikuwa mtu mashuhuri katika jamii katika harakati za kudai uhuru kabla hata ya kuja Mwalimu Nyerere.
Huyu alikuwa Katibu
na baadae Rais wa TAA. Ingawa historia ya Tanzania b a d o h a i j a m t a m b u a m c h a n g o w a k e . N i wazi kuwa Abdulwahid ndiye aliyekuwa bongo katika kuasisi TANU, chama ambacho kilikuja kuwaunganisha wananchi wa Tanganyika katika kudai uhuru wao kwa Waingereza.
Tukiacha ndugu wa marehemu Abdulwahid, marafiki wa karibu na wanachama wa zamani wa TANU, hakuna hata mtu mmoja katika Chama cha Mapinduzi (chama ki l ichori thi nafasi ya TANU) anayemkumbuka.
J ina la Abdulwahid halitajwi kabisa katika historia ya kudai uhuru wa Tanganyika au katika historia ya kuasisi TANU.
J u u y a h a y a y o t e A b d u l w a h i d , n d i y e al iyewasha cheche za kuanzisha harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.
Dhana inayojaribiwa kuenezwa katika vitabu vingi ni kuwa kabla ya k u t o k e a k w a J u l i u s Nyerere mwezi Aprili, 1953 alipochaguliwa kuwa Rais wa TAA, chama hicho hakikuwa na mwelekeo wowote wa siasa. Lakini k a t i k a v i t a b u h i v y o haielezwi kiufasaha juu ya waasisi, watendaji wala viongozi wa TAA. Wala haielezwi urais wa TAA, Nyerere aliupataje au aliuchukua kutoka kwa kiongozi gani wa wakati ule.
Kwa hakika ipo haja k wa u p o t o s h a j i h u u kuondolewa. Upotoshaji
ambao umetumbukizwa katika historia ya nchi hii na watu wenye chuki za kidini.
Wa t u a m b a o k w a chuki zao wanaona kuwa akitajwa Dosa Aziz, Sheikh Ramia, Abdulwaheed na wengine, itakuwa ni kuutukuza Uislamu.
W a n a l o t a k i w a kufahamu ni kuwa historia ni historia, lazima iachwe kama ilivyo. La muhimu ni watu kujifunza kutokana na historia hiyo.
Kama kul ikuwa na watu wakati wa kupigania uhuru wao walikuwa wakiwatumikia wakoloni kwa pipi walizokuwa waki lambishwa, bas i wajifunze kutokana na historia wajenge uzalendo kama wenzao.
Inaendelea Uk. 4
3 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013Habari
Ujinga mzigoMwaka 1995 wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza katika mfumo wa vyama v y i n g i , k u l i k u w a n a propaganda nyingi kila u p a n d e wa wa g o m b e a wakijitahidi kupata wapiga kura wengi. Nakumbuka wapo watu, katika makundi ya wanaojiita wanaharakati wa Kiislamu, walikuwa wakisambaza ujumbe kuwa Profesa Lipumba sio mwana-suna, hivyo akipata serikali hatatawala kwa Kitabu na Sunnah!
Mtu unaj iul iza, kama Ibrahimu Haruna Lipumba sio mwana-Sunnah, Mkapa Mkatoliki (au Augustino Lyatonga Mrema), ndio walikuwa wana-Sunnah? Au swali la msingi ni: kwani uchaguzi ule ulikuwa wa kumchagua Rais wa kutawala nchi ya Kiislamu?
Uchaguzi ulikuwa wa kuchagua Rais na wabunge katika nchi ya kisekula, nchi inayojiita kuwa haina dini. Sasa, hii kuwa Ibrahim Lipumba sio mwana-Sunnah kwa hiyo asipewe kura na Waislamu, inatoka wapi!
Hata hivyo wapo watu waliyameza maneno hayo na wakawa wanathubutu hata kusimama Misikitini a u k u f a n ya m i n a k a s h a kuwahimiza watu wasimpigie Lipumba kwa sababu sio mwana-Sunnah!
Ili kumpindua aliyekuwa kiongozi wa Libya, makundi kadhaa ya Kiislamu ndani na nje ya Libya yalitumika. Haya yalikusanywa na kupigwa propaganda iliyowaaminisha kuwa wanapigana Jihad ili kusimamisha serikali ya Kiislamu Libya. Japo Kanali Muammar Gadhafi alikuwa Muislamu, lakini a l i s h u t u m i wa k wa m b a hakuwa ak i tawala kwa Kitabu na Sunna na zaidi a k i s h u t u m i w a k u w a alikuwa akitesa na kuuwa wanaharakati wa Kiislamu wa n a o t a k a S e r i k a l i ya Kiislamu.
M a k u n d i h a y a y a Mujahidina walioaminishwa kuwa wanapigana Jihad, ndio waliopewa silaha na kusaidiwa na Marekani na NATO (na hata Mayahudi). Ushirikiane na Marekani na NATO, kusimamisha Serikali ya Kiislamu! Ushirika wa ajabu kabisa huu!
Lakini pamoja na ajabu hiyo, walipatikana vijana wa Kiislamu wakapigana kwa ari kubwa wakipata msaada wa kifedha, silaha, propaganda, diplomasia na mbinu za kivita kutoka Marekani na NATO. Vita ni vita. Wakauwa wananchi wasio na hatia, wakaharibu miji na vijiji na wakauwa mamia kwa maelfu ya askari wa Gadhafi. Na wote hawa walikuwa Waislamu. Kwa hiyo unachoweza kusema ni kuwa waliuwa maelfu ya ndugu zao Waislamu na
Na Omar Msangi
kuharibu miji na makazi ya ndugu zao Waislamu ili kumng’oa Gadhafi wakitaraji kusimamisha Serikali ya Kiislamu.
Haikuchukua muda mrefu. Gadhafi akang’oka. Akauliwa. Lakini leo hakuna Serikali ya Kiislamu Libya! Kuna Serikali ya watu waliotakiwa na Marekani na NATO. Watu watakaotoa fursa na kufumba macho mataifa hayo yakivuna m a f u t a . Wa t u a m b a o watahakikisha kuwa Libya haisimami tena na kuwa jasiri wa kukataa kuburuzwa na mataifa ya Magharibi. Wale Waislamu waliokusanywa wakapumbazwa wakaamini kuwa wanapigana Jihad, leo wanaonekana kuwa ni magaidi. Wanapigwa vita mpaka wengine wamefikia kutekwa wakiwa katika mitaa ya Libya na kupelekwa kutiwa adabu na majasusi wa Marekani.
Lakini jingine kubwa zaidi ni kuwa makundi yaliyokuwa na silaha yameachwa mitaani yakiranda. Hayakufanywa kuwa ndio jeshi jipya la Libya . Hii imefanyika kama namna moja wapo ya kuhakikisha kuwa nchi hiyo haiwi na amani kabisa kwa miaka mingi ijayo. Kunapokosekana amani kama Congo (DRC) na kuwa na makundi yenye silaha yanayoweza kuteka sehemu ya nchi na kujimilikisha mali za eneo hilo, hapo hakuna tena nchi wala taifa. Mataifa makubwa yatamiliki makundi hayo kwa kuwapa silaha ili muendelee kupigana huku wao wakipora mali. Unapewa silaha kwa makubaliano ya kumwacha mwenye kukupa silaha kupora mali. Libya, sasa ni hadithi ya kusikitisha.
Kwa zaidi ya miaka miwili sasa, kumekuwa na umwagaji d a m u m k u b w a S y r i a . Wananchi wasio na hatia wanauliwa na makazi yao kuharibiwa. Kumejaa wajane, yatima, vilema na wakimbizi. Yote haya kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe. Wa n a u wa n a wa - S y r i a . Wanauwana Waislamu kwa Waislamu.
Wanaopigana upande w a j e s h i l a S e r i k a l i wanaamini kuwa ni wajibu wao kupambana na waasi wanaotaka kupindua Serikali, kama ambavyo nchi na serikali yoyote duniani ingefanya dhidi ya waasi walioshika silaha kutaka kupindua nchi nchi. Sahihi kabisa. Kwa upande wa waasi, hawa wanasema kuwa ni wajibu wao kupambana kumng’oa Rais Bashar Al Assad kwa sababu ni dikiteta. Huo ndio mwito na kauli mbiu ya awali. Hivi sasa walio katikati ya ngoma hii ni wanaharakati wa Kiislamu. Wao agenda
yao ni kutaka kusimamisha serikali ya Kiislamu Syria. Wal ioanza kwa j ina l a kupigania demokrasia, kadiri vita inavyochukua muda mrefu, wanachoka na kukata tamaa. Hivi sasa wamebaki wale walioaminishwa kuwa wanapigana Jihad na hawa ndio hivi sasa wanafanya mauwaji ya kutisha kwa jina la Jihad. Na hawa, kama ilivyokuwa kwa wale wa Libya, ndio wanaopewa msaada na Marekani pamoja na mataifa ya Ulaya.
Hawa hawaelekei kukata tamaa japo wakati mwingine wanatwangwa sana. Imani ya kuwa wanapigana Jihad, inawapa mori kuzidi kusonga mbele na kuwa madhubuti zaidi. Lakini zaidi ni kuwa hivi sasa kuna kampeni kubwa kutafuta wapiganaji Wa i s l a m u k u t o k a n c h i mbalimbali. Hawa wakipigwa propaganda na kuaminishwa kuwa wanakwenda kupigana Jihad. Lile somo la Libya au hata lile la Afghanistan, hawalitizami.
Taarifa moja ya Umoja wa Mataifa inaeleza kuwa makundi haya ya Kiislamu y a m e k u w a y a k i f a n y a uhalifu mkubwa wa kivita ikiwa ni pamoja na kuuwa watu wasio na hatia katika vijiji wanavyoamini kuwa wanamuunga mkono Rais Bashar Assad. Taarifa moja inasema kuwa walipoingia katika kijiji cha Khan al-Assal manamo Julai 21, walikuwakusanya askari wa serikali 150 wakawalaza chini na kuwapiga risasi j a p o k u w a w a l i k u w a wameshajisalimisha. Taarifa hiyo hiyo inasema kuwa katika kijiji hicho hicho, wal iuwa wanaki j i j i 123 kwa kuwatuhumu tu kuwa wanaunga mkono serikali. Wote hawa, wauwaji na wanaouliwa ni Waislamu!.
Kwa mujibu wa taarifa i l i y o t o l e wa G e n e va n a timu ya Umoja wa Mataifa inaelezwa kuwa wananchi na askari wa serikali walikuwa wakiamriwa kulala chini halafu wanapigwa risasi. Aidha inasema kuwa katika vijiji vingi, miili ya watu waliouliwa na ‘mujahidina’ hao, ilikuwa ikionekana i m e z a g a a k i l a m a h a l i . Taarifa nyingine ikadai kuwa ‘mujahidina’ hao wamefikia mahali pa kuchukua maiti za askari wa serikali na kuzikatakata na kuwalisha mbwa!!!
Wanaodaiwa kufanya haya si wengine bali ni wanaojiita Al-Nusra Front au Jabhat al-Nusra (Kiarabu: Jabhat an-Nuṣrah li-Ahl ash-Shām). Kundi hili limeundwa tarehe 23 Januari, 2012 mara tu baada ya kuanza mgogoro
wa Syria, lengo likielezwa kuwa ni kung’oa serikali ya kitwaghuti ya Bashar Al Assad na kusimamisha serikali ya Kiislamu.
Kutokana na vitendo vyake vya mauwaji, kulipua vituo vya polisi, majengo ya serikali na kuuwa watu wanaodaiwa kuwa wa serikali, mnamo Desemba 2012, Umoja wa Mataifa ulilitangaza kundi hil i kuwa ni la kigaidi. Marekani nayo ikafanya hivyo mwezi huo huo ikifuatiwa na Australia (Juni 2013) na Uingereza Julai 2013.
Abu Ahmed, anayejiita kamanda wa jeshi wa al-Nusra Front akiongea na baadhi ya vyombo vya habari anasema kuwa wao lengo lao ni kumng’oa Bashar al-Assad na kurejesha Khilafah ambapo Syria itakuwa nchi inayotawaliwa kwa Shariah kukiwa hakuna ulevi, sigara/tumbaku, muziki wala jambo lolote lisilotakiwa na Uislamu.
Hawa al-Nusra Front, p a m o j a n a w o t e wa l i o pamoja nao katika kumpiga vita Rais Bashar al-Assad, ndio wanaopewa misaada na kuungwa mkono na Marekani pamoja na mataifa mengine ya N AT O . K wa m a a n a nyingine, hawa wanaotaka kus imamisha Khi la fah , wa n a u n g wa m k o n o n a Marekani na NATO! Pengine kil ichotarajiwa ni kuwa ‘Salafi’ na ‘wanaharakati’ hawa wangejifunza kutokana na somo la Libya. Lakini wapi , k i la uchao watu kutoka mataifa mbalimbali wanakusanywa na kuingizwa Syria wakiaminishwa kuwa wanakwenda kupigana Jihad ili Khilafah irudi ikianzia na Syria na kusambaa dunia nzima!
Kiongozi mkuu wa Jabhat anaitwa Abu Mohammad al-Jawlani. Watu wengine maarufu ni Abu al-Mundhir al-Shinqiti, Abu Muhammad al-Tahawi, na Abu al-Zahra al-Zubaydi.
Kwa mujibu wa taarifa za waliokuwa wakifuatilia suala la Kilindi, hasa majeruhi wal iokuwa wamelazwa katika hospitali ya Bombo, Tanga, ilikuwa tabu sana k u wa t a m b u a m a j e r u h i hao kutokana na majina waliyokuwa wakitumia. Wote walitambuliwa na kujitaja kama Abu Hamza, Abu Majid, Abu Fulani n.k Majina haya ukiyaunganisha na taarifa za awali kuwa ndani ya kijiji cha Madina kulikuwa na kundi la watu waliokuwa wamezuiya watoto wao kusoma kwa madai kuwa elimu hiyo ni ya kikafiri na kutokana na madai kuwa kulikuwa na falsafa iliyotawala hapo kuwa watu wanajiandaa kwa kusimamisha Khilafah, ikiwezekana kwa kuanzia h a p o w a f a n y e J i h a d k u s i m a m i s h a D o l a ya Kiislamu Tanzania au kutoka hapo wajiandae kwenda kufanya Jihad mahali pengine kama ambavyo hivi sasa
baadhi ya watu wanatoka Tunisia, Algeria na nchi kadhaa za Kiislamu kwenda kupigana Syria; unapoona majina haya Abu…, Abu…; hapana shaka unajenga dhana na wasiwasi fulani.
Hoja hapa sio majina Abu Hafsa wala dhana na nia ya kusimamisha Khilafah, bali mtizamo na lengo katika kujipa jina hilo na kubwa zaidi kama ni hiyo Khilafah unaipata kupitia njia gani, mbinu gani, kwa gharama gani, mazingira uliyopo na kwa kushirikiana na nani.
T u n a a m b i w a k u w a mpaka sasa zaidi ya watu l a k i m b i l i wa s h a u l i wa toka hawa ‘Mujahidina wa Kisalafi’ waanze kupambana na jeshi la serikali Syria. Mali na makazi ya watu yal iyoangamizwa ni ya mabilioni ya dola. Lakini kwa vyovyote itakavyokuwa, hata kama hatimaye ataangushwa Bashar Al-Assad, hakuna serikali ya Kiislamu wala Khilafah itakayosimama Syria kwa kupitia mlango huu au njia hii. Itakuwa yale yale ya Libya na Afghanistan baada ya Mujahidina kutumiwa kumng’oa Mrusi. Hatujifunzi?
Kama nil ivyotangulia kusema awali, hoja hapa sio kuwa Waislamu wana wajibu wa kuwafanya watu wote wawe Waislamu na watawaliwe Kiislamu kama ambavyo Wakristo na watu wa dini nyingine wangetaka. Wala hoja sio Jihad na nafasi yake katika ulimwengu wa leo katika kusimamisha Uislamu.
Hoja ni kama ni Da’wah ya kuwafanya watu wawe Wais lamu au wakubal i k u t a wa l i wa K i i s l a m u , unafanyaje. Unatumia njia zipi, fursa gani na mbinu gani katika mazingira gani. Nani unafanya nao Jihad hiyo na nini malengo yao (ya ndani). Watu na jamii inayokuzunguka na ile ya kimataifa unaiandaa vipi na utakabiliana nayo vipi.
Zipo taarifa kuwa watu wa mrengo huu wa ‘Mujahidina wa Salafi ’ wanaopigana kumng’oa Rais Bashar Al-Assad, waliunga mkono jeshi la Misri kumpindua Rais Mohammad Morsi kwa madai kuwa chama chake Muslim Brotherhood k inafanya mambo ya kitwaghuti kama kufuata mfumo huu wa elimu wa kisasa, kuingia katika siasa za kidemokrasia na mambo kama hayo. Katika harakati za mapinduzi hadi hivi sasa jeshi limeuwa maelfu ya raia wa Misri wasio na hatia na linaendelea kuuwa. Wala hutasikia kauli ya ‘Salafi’ hawa wakilani jeshi la Misri!
Sasa hapa ndio unaingia wasiwasi kuwa huenda hizi Abu fulani, popote zilipo, ni katika ule mtandao wa ‘entrapment’. Kupumbazwa, kughilibiwa (brain washing au kuwa-programmed). Kijana anadhani yupo katika Jihad, lakini kumbe anatumiwa
Inaendelea Uk. 4
4 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013Makala/Tangazo
Ujinga mzigoInatoka Uk. 3
katika namna ambayo itakuja kuangamiza nchi yake na umma mzima wa Kiislamu.
Hivi sasa Syria, Iraq, Pakistan, Nigeria, Somalia, matukio ya kulipuka bomu na kuuwa watu wasio na hatia imekuwa ndio maisha. Kil ichoanza Syria (na hata Libya na Nigeria), ni watu wa mtizamo wa ki- Jabhat al-Nusra, kudai wanapigania kusimamisha Shariah. Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa ama waanzilishi wa harakati h i z i n i m a w a k a l a wanaotumiwa na maadui wa Uislamu au watu wanaanzisha jambo kwa ujinga wao tu, lakini kwa nia njema, halafu ‘wajanja’ laghai wenye agenda zao wanaliparamia na kuwaelekeza namna ya kwenda wakiwapa misaada kuelekea kule wanakotaka.
Hebu fikiria leo katika mazingira ya Tanzania, watokee watu wadai kuwa hawaoni lolote la kufanya la Kiislamu au namna yoyote ya kufanya Uislamu ukubalike kama mfumo kamili wa maisha na serikali, ila kuhama miji na kuanzisha vijiji vyao (Madina zao) porini, iwe ni Turiani, Bagamoyo au
kokote kule. Wakilenga kuwa huko wata ish i Kiislamu halafu kutokea hapo wataanza harakati za kuteka vijiji vingine kuviingiza katika himaya ya Khilafah.
Kwa mtu mwenye akili yake timamu, hapana shaka ataona kuwa watu hawa ni wehu, wajinga wasiojua wanalolifanya na hatari kwa Waislamu na nchi. Atawaepuka. Hawa kwa vyovyote watakuwa wanatumiwa bila wao kujijua kama wal ivyotumiwa wale wal iompiga Gadhafi . Lakusikitisha ni kuwa hawakusoma. Hivi sasa wanatumiwa tena kuuwa Waarabu wenzao na Waislamu wenzao Syria.
Labda jambo moja niliseme hapa. Wakati m w i n g i n e n i j a m b o la kushangaza kuwa katika baadhi ya nchi, ambazo haziko katika vita kama Syria, watu h a w a w a m e k u w a wakiachwa wakijiunda na kujiimarisha mpaka
wanafikia kuleta vurugu. Katika nchi yeyote yenye serikali na vyombo vyake vya dola, haiwezekani itokee watu wajikusanye iwe ni msikitini, kanisani au porini na kuunda vikundi kama Jabhat al-Nusra; serikali isiwe na habari.
Kwa hiyo inapotokea vikundi hivyo vikaachwa mpaka vikawa na nguvu na kuanza kuleta vurugu, uwezekano mkubwa ni kuwa vyombo vya dola vya nchi hiyo vimeshiriki. Swali ni je, vyombo vya dola vinashiriki vipi jambo ambalo namna yake ni kama nchi kujitia kitanzi yenyewe?
Jibu hapa ni jepesi. Ufisadi. Kama ilivyokuwa Pakistan na Yemen kuwa Rais wa nchi na Usalama wa Taifa wa nchi wametumika kuzitia nchi hizo katika balaa kubwa. Au kama ilivyokuwa katika nchi za Latin Amerika kwamba viongozi wa serikali, jeshi na makachero wa nchi hizo, walitumika katika miaka ya 1960s/70s, kuanzisha vikundi vya mauwaji na mateso kwa wananchi
wazalendo waliokuwa wakipinga sera na miradi ya kibeberu katika nchi hizo.
Kwa hiyo sio ajabu k u o n a k a t i k a n c h i m a k a c h e r o wa n c h i kutumia (wakiwatumikia mabeberu) kupandikiza vikundi vya vurugu, ugaidi na mauwaji. Katika hali kama hii, wananchi wanatakiwa kuwa makini sana.
K w a v i l e s u r a inayojitokeza walengwa wakubwa hivi sasa katika kutumiwa ni Waislamu, kuna haja ya viongozi wa Kiislamu hapa kwetu kuwa makini. Kuhakikisha kuwa kwanza kat ika mawaidha na Da’wah ya o k wa Wa i s l a m u , wanawaelimisha juu ya hali halisi ya ulimwengu hivi sasa. Na katika kufanya hivyo kuwatahadharisha na sumu ya watu wenye mwelekeo wa kuwatia katika sera za Jabhat a l - N u s r a z a k u t a k a kusimamisha Uislamu kupitia njia za kujitia k i t a n z i we n ye we n a Waislamu wote.
U i s l a m u h a u w e z i kusimamishwa kupitia harakati au J ihad ya k u a n z i s h a v i j i j i v ya Kiislamu porini kwa lengo la kujiandaa kuleta vurugu na vita.
K a t i k a F a t ’ h i Makkah, Mtume (s.a.w)
hakushirikiana na makafiri wa Makkah kung’oa masanamu katika ka’bah, bali akina Abu Sufyani baada ya kuona ile nguvu ya Uislamu na Waislamu, ilibidi wasalimu amri. Alichofanya Mtume katika Mkataba wa Hudaibiya, ni kujenga mazingira ya kupata fursa ya kufikisha Uislamu kwa watu mpaka wakaukubali kama mfumo wao wa maisha. Na hata wasio Waislamu wakaona kuwa salama yao ipo katika kusimama Uislamu. Ni kama hivi leo nchi nyingi za Ulaya hivi sasa zimefikia mahali kuona kuwa mfumo unaofaa wa uchumi na fedha ni wa Kiislamu. Ndio maana hivi leo yanafumuka mabenki ya Kiislamu London, Paris na Ulaya nzima.
Wewe leo wakati katika shule yenye wanafunzi Waislamu 500, ni 11 tu wanaovaa hijabu, unataka ‘Jihad’ ya silaha kwenda kukomboa Somalia na Syria au kusimamisha Serikali ya Kiislamu katika kijiji ndani ya serikali na nchi ya kisekula!
Leo wewe utegemee madege ya ki jeshi ya M a r e k a n i y a t u m i k e kumwangamiza Gadhafi/B a s h a r a l - A s s a d , i l i wewe upate fursa ya kusimamisha Uislamu! Ajabu kabisa!
Inatoka Uk. 2
Inawatangazia nafasi za masomo katika shule zake za 1. Luqman Islamic Seminary ( Kidato cha I-IV)2. Luqman Pre & Primary school (darasa la I- VII)MASOMO YANAYOFUNDISHWA NI:Sayansi, Biashara, Sanaa Lugha ya Kiarabu, Qur-aan na Dini ya Kiislamu.
Fomu Zinapatikana:1. Shuleni Luqman2. Mapambano Tution Centre,
Muone Mr. Mussa au Mr. Charles.
Shule ipo Sinza jirani na Hospitali ya Palestina.
Usaili utafanyika kila siku za kazi saa 2:00 asubuhi - 8:00 mchana.Jumamosi utafanyika saa 3:00- 6:00 mchana.
Wahi kuchukua form.Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kwa awamu Mlete mwanao kwa elimu na malezi bora Kwa mawasiliano zaidi piga simu.
0713 819 391 (Sekondari)07657 757 075 (Primary)
0712 044 830
JUMUIYA YA WAISLAMU WA SINZA
Polisi wamkamata wakili wa Sheikh ChambusoAlisema mpaka kufikia J u m a t a n o a l i k u w a hajakutana na wakil i wake zaidi ya kuongea naye katika simu, hivyo a k a s e m a h a f a h a m u kiundani mahojiano yake na Jeshi la Polisi siku ya Jumatatu yalihusu nini zaidi.
Alisema ipo hofu kwa wakili wao kuachana na kesi hizo kwani baada ya kutoka katika mahojiano na Polisi, wakili huyo ameonyesha dalili kwamba huenda akajitoa katika kusimamia kesi hizo.
S h e i k h C h a m b u s o , alisema wakili Hassan, anasimamia kesi takriban t a n o , i k i we m o ya k e (Chambuso) sambamba na zile za Waislamu wa Kilindi, ambazo ndio kuna wasiwasi akaziacha huku akitoa sababu ya malipo.
“Hii kesi yangu kwa kuwa tushamlipa amesema ataendelea nayo, sasa zile nyingine ambazo alikuwa apewe pesa, mpaka sasa bado hajapewa hivyo hai julikani anaziacha kwa sababu hiyo au kuna sababu nyingine”. Alieleza Sheikh huyo.
Katika hatua nyingine, k e s i h i y o i l i y o k u wa i s i k i l i z we s i k u h i y o ya I j u m a a i l i y o p i t a , h a i k u s i k i l i z w a k w a k i l e k i l i c h o e l e z w a
kuwa Jeshi la Pol i s i kutowafikisha Mahabusu wanaowashikil ia, na k w a m b a w a l i o f i k a mahakamani hapo ni wale watuhumiwa waliopata dhamana tu.
Kesi ya Waislamu hao iliahirishwa kwa maelezo ya Polisi kuwa upelelezi bado haujakamilika. Hivyo imepangwa kusikilizwa tena Desemba 13, 2013.
Kwa upande wake, Sheikh Chambuso, alisema tangu apate dhamana, amekuwa akifuatwa na watu wengi miongoni m w a o h a w a f a h a m u na kumueleza mambo mbalimbali.
Alisema, miongoni mwa mambo hayo ni kumtaka kuwawezesha v i j ana kwenda nchini Somalia, lakini alidai amekuwa akiwajibu kuwa yeye si baozi wa Somali wala si afisa Uhamiaji.
A l i s e m a , w e n g i n e w a m e k u w a wakimshawishi kumpatia misaada, ambapo anadai amekuwa akiwajibu kuwa misaada hiyo waipeleke
kwa wanaohitaj i kwa kuwa yeye anachopata katika shughuli zake
kinamtosheleza kimaisha.Juhudi za kumpata wakili
Hussein kupata ufafanuzi
juu ya kukamatwa kwake hazikufanikiwa mpaka tunakwenda mitamboni.
5 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013TANGAZO
ISLAMIC PROPAGATION CENTREI: Waliochaguliwa kujiuinga na Kidato cha I - 2014 A: Mkuzo Islamic High School
B: Ubungo Islamic High School
C: Kirinjiko Islamic High School
D: Nyasaka Islamic Secondary School
B: Ubungo Islamic Teachers' College
A: Mkuzo Islamic High School WASICHANA
NA JINA2 ADILA OMARY SHOMARY3 AISHA HAMZA RAMADHANI4 AISHA HIJA KANDEGE5 AISHA KHALID KHALFAN6 AISHA OMARI AMIRI7 AISHA OMARI NSENGAKAMBA8 AISHA RAHIIM MNGWALE9 AISHA RAHIIM NDARO
10 AISHA RASULI HAMAD11 AISHA SAIDI MMWINDI12 AISHA SUFIAN MSHANA13 AJUAYE BABU MPUNGA14 ALYA MABROUK ABDALLAH15 AMII MARO FARIJALA16 AMINA ABDALLAH MUHAMED17 AMINA ABDI FOTA18 AMINA ALLY ABDALLAH19 AMINA ALLY RAMADHANI20 AMINA HAMIS MCHAKU21 AMINA MASHAKA KASANGA22 AMINA MASOUD MSANGI23 AMINA SAID KIJAZI24 AMNE SWALEH ADOLF25 ANISAH SAIDI DING’OHI26 ASHA RAMADHANI JUMA27 ASHA RASHIDI28 ASHURA AJAL MLENGA29 ASHURA JUMA MTIMBI30 ASHURA OMARY MALOMBOI31 ASIA ABUBAKARI BAGAYA32 ASMA SULEIMAN SENKONDO33 AZIZA HAJI MILANZI34 AZIZA JALALA MOHAMED35 BAHATI ATHUMAN MOHAMED36 BUTHAINA HAMISI DUMWALA
37 F A I D H I A R A M A D H A N KUMBWAYA
38 FAILUNA HAMIS ISSA39 FARIDA ATHMANI MBAGA40 FARIHIA ISSA JUMA41 FATINA MOHAMED HASSAN42 FATUMA HASSSAN MGAYA43 FATUMA MBWANA HASSAN44 FAUDHIA A. HAJI45 HADIJA YAHAYA HASSAN46 HAFSA BASHIRU KAHAMBA47 HAFSA KIOTA MAKUBURI
48 HAFSAH SAID SEKAMBA49 HALIMA ABDALLA MBECHA50 HALIMA ALLY SALUM51 HALIMA ISMAILLY MBWAMBO52 HALIMA JUMA KWENGU53 HALIMA RIZIKI MOHAMED 54 HALIMA YUSUF BAKARI55 HAWA ATHMANI NGOWI56 HAWA HAMISI MALETA57 HAWA HUSSEIN KHALIFA58 HUSNA HUSSEIN TUVEE59 HUSNA SELEMANI SOKA60 JASMINA WAZIRI SAIDI61 KAMARIYA SULEIMAN ALLY62 KHADIJA ABAS AMRAN63 KHADIJA HASSAN BAKARI64 KHADIJA KINYORI MANGARE65 KHADIJA NYEMELA RASHID66 KHADIJA YAHYA HASSAN67 KHAIRAT HASSANI SAIDI68 KULTHUM SAID RAMADHAN69 KULTHUMU HASSAN DADI70 LATIFA MOHAMED KAONEKA71 LATIPH KHALIDY ZALALI72 LEYLA ATHUMANI ADAMU73 LIVU ABDULY KABANDIKA74 LUCKY MUHAMMED OMARI
75 M A G U N O T U P E N D A N E KULENU\WA
76 M A J A L I WA A B U B A K A R MAGAYA
77 MAMESHO SALIM KHALFAN78 MARIAM AMRI JUMA79 MARIAM HASSAN YUSUPH
80 M A R U D H I YA H S H A I B U NANDOPE
81 MARYAM MHINA KAJIA82 MISK A NGONYANI
83 M O N T M O R G E N N U H U SALEHE
84 MUNIRA MAULID SHEKOLOA85 MUNIRA YAHYA SEMKA86 MWAHAMISI MUSSA ALLY87 MWAJUMA ALLY ISSA88 MWAJUMA MUSA MWASUNGA
89 MWAJUMA RAMADHANI HUSSEINI
90 MWAJUMA SAID KHALIDY
91 M W A N A H A W A A N D A N I MAKANGA
92 MWANAHAWA YAHYA AYUMA93 MWANAIDI KHAMIS HUSSEIN
94 M WA N S H A M B A B O B E A MBWANA
95 NASMA SAIDI HARIDI96 NASMA SHAIBU AHMADI97 NASMA ZARI KHAMIS98 NASRA HOSSEIN MSUMARI99 NASRA JUMA SAIDI
100 NASRA KASSIM SHEHOZA101 NASRA OCTAVIAN MCHAU102 NEEMA HAMISI MBONDE103 NUIYA HAMISI SEMPEHO
1 RAHMA ALLY MWILAWA104 RABIA MLEKWA NOTI105 RAHMA NUHU MZIRAY106 RAHMA STANLEY NTANDU107 RAHMA ZUBERI BAKARI
108 R E H E M A A T H U M A N MPWEMBWE
109 REHEMA MANDIA ZUAKUU110 ROZI HASSANI NGAEGERA111 RUKIA JUMA LEMA112 RUKIA MAMLUGU MDOE113 RUKIA MOHAMEDI MMANGA114 SABRINA HAMISI KAMBI115 SADA MOHAMED ALLY116 SAFIA NGWALI SHARIFU
117 S A F I N A R A M A D H A N I SANGODA
118 SAFINA SELEMANI JUMA119 SAFIRUNA SALUM NANIYA120 SAKHA HUSSEIN KATANGA121 SALMA ABDALLAH
122 S A L M A A B D A L L A H DIGOGOGO
123 SALMA ALLY MFAUME124 SALMA HAMISI JUMA125 SALMA MAJID KHAMIS126 SALMA MSHAMU OMARY127 SALMA SAID MFINANGA128 SARA HATIBU KAWAWA129 SAUMU HASSAN MDOE130 SAUMU MOHAMEDI MUSSA131 SHAILA SHARIFU KIKOTI132 SHAMILA HAMIS FUSSI133 SHAMSA PETER SHEMZIGWA134 SHANI MOHAMMED SADI135 SHEILA HABIBU UMBILA136 SIFA SELEMANI MASHAKA137 SOPHIA MUSA KIUNGULIA138 SWAIBA TAMIM MTELEKE139 SWAUMU HAMZA RASHID140 TABU ALLY ABDALLAH141 TAUSI A MKANDAWILE142 THAMARI SAID MSHAMU143 TUNUKIWA SADIKI LINJENJE144 UMULKHERI ALLY ATHMANI145 USAIFA NULLA ALLY146 VANILA SAID MOHAMED147 WARDA MUSTAPHA SEIF148 WARDA ROSHAN MMBAGA149 ZAINA MIRAJ RAMADHANI150 ZAINAB OMARY MOHAMMED151 ZAINABU HARUNA SEBARUA
152 ZAINABU RASHIDY KIMARO153 ZAINABU SAIDI ATHUMANI154 ZAINURY RAMADHANI HIZZA155 ZAITUNI MIRAJI SHEHOZA156 ZAITUNI SALUM MACHELA157 ZAUJIA HAMISI MNDEME158 ZUBEDA KHALIFA NJENGWA159 ZUHURA MOHAMEDI NAMONDE160 ZULEKHA MOHAMED KHAMISI161 ZULEKHA SAHFII SHAYO162 ZULEKHA SIRAJI MSAMI163 ZULFA HASSAN SANGOLE
WAVULANA
NA JINA1 ABDALLA MUSA LALI
2 ABDALLAH JAWADU NYUNDO
3 ABDALLAH MOHAMED MWINYI
4 ABDALLAH SALEH MKOMWA
5 ABDALLAH YUSUPH MFANGA
6 ABDILLAH JUMA MAKWINYA7 ABDISALAM ISSA JUMA
8A B D U L R A H M A N I YA S I N I RAMADHANI
9 ABDULAZIZI ALI JUMA
10 ABDULAZIZI MOHAMMED
11 ABDULI HAMZA SHOMALI
12 ABDULKARIM SALEH AL-JABRY
13 ABDULMAJID ABDILLAH FUNGO
14 ABDUL-MAJID H. HOZZA
15 ABDULRAFIU ABDUL SADICK
16 ABDULRAHIM FUAD ABDALLAH
17 ABDULRAZAKI JUMA MKUMBA18 ABDULRAZAKI TWALIB MACHEMBA
19 ABEID FADHILY MMILANDI
20 ABRAHAMANI HASSAN KIHIYO
21 ABUBAKARI BAKARI SONGORO
22 ADAM ABEID SWALEH
23 ADAM JUMA MUHAMED
24 AHMAD SALIM BURA
25 AHMED ZIDIMSELEM
26 ALBANO DISMAS MWANANZILA
27 ALLY ANANDUMI MASONU
28 ALLY JUMA SHEDAFA
29 ALLY SAID TOTOBAYA
30 ALLY SIMAI ALLY
31 AMANI HASSANI NYONI
32 AMBANI ABUBAKAR NYANGASA
33 AMIRI ALBUNI MFINANGA
34 ANUARY ABDURAHMAN MUSSA
35 ARAPHATI HASSAN YUSUPH
36 ATHUMANI HAMIS RAFAELI
37 ATHUMANI MAJALIWA ATHUMANI
38 ATWAA HAMZA SILAYO
39 AWADH AMANZI NYONGE
40 AZIZ MOHAMED NKYA
41 BARAKA FAKI MWAJEKA42 BIZAMZAM ATHUMANI MWETA
43 CHANZI SHAHA MKIMA
44 DAUDI HAMISI SHEMDOE
45 EMANUEL MICHAEL MKINGA
46 FIKIRI SANDARI MSUSAInaendelea Uk. 8
6 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013Makala/Tangazo
UINGEREZA imekuwa nchi ya kwanza isiyo ya Kiislamu duniani kuuza dhamana ambazo zinaweza kununuliwa na wawekezaji wa Kiislamu, lengo likiwa kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi nchini humo.
Waziri Mkuu wa nchi hiyo, David Cameron, amesema kupitia hotuba yake hivi karibuni kwenye mkutano wa dunia wa Kiislamu kuhusu uchumi (World Islamic Economic Forum), uliofanyika jijini London kwamba, hazina ya nchi hiyo ina mpango wa k u t o a d h a m a n a (sukuk) zenye thamani ya paundi milioni 200, katika mfumo wa deni unaokubaliana na sheria ya fedha ya Kiislamu.
Dhamana hizo mpya za Serikali zinazokubaliana na Sharia, zitaiwezesha Uingereza kuwa nchi ya k wa n z a i s i y o ya Kiislamu duniani, kuvuna uwekezaji mkubwa wa Kiislamu unaotabiriwa kufikia paundi trilioni 1.3 ifikapo mwakani.
Wa z i r i M k u u w a U i n g e r e z a a m e s e m a
Kwa heri Kamishna MussaInatoka Uk. 1
wa t u k u p i g wa s a n a wakitolewa ndani ya baadhi ya Misikiti mara baada ya swala ya Subhi.
Akimzidi kwa cheo Kizuguto, ambapo kama angekuwa kazini hadi sasa angekuwa bosi wake, Kamishna Mussa Juma anaondoka katika wadhifa wa M k u u wa P o l i s i Zanzibar akiacha rekodi ya vipigo kwa Waislamu waliokuwa wakishiriki mikutano na mihadhara ya Uamsho.
Anaondoka akiacha M a s h e i k h w a k i w a ndani. Masheikh ambao walikamatwa na Polisi na kufunguliwa mashitaka zaidi ya mwaka sasa wakisota rumande kesi zao zikikwama kusikilizwa.
K w a n a m n a ambavyo walikamatwa k wa m b w e m b w e n a k u p a c h i k w a m a j i n a mabaya yakiwemo ya ugaidi, ilidhaniwa kuwa pengine Kamishna Mussa a l ikuwa na ushahidi wa kutosha kiasi kuwa isingekuwa tabu kwa m a h a k a m a k u t i m i z a wajibu wake na hivyo
i s i n g e t a r a j i w a k e s i kuchukua muda mrefu kiasi hiki.
L a k i n i K a m i s h n a Mussa anaondoka akiacha majalada ya Masheikh hao yakiwa bado hayajafungwa si kwa kesi kumalizika na kutolewa hukumu, lakini hata karatasi moja ya Hakimu juu ya mashitaka na ushahidi haijaingia katika majalada hayo.
H a i j a i n g i a k w a sababu kesi ya msingi h a i j a z u n g u m z w a , k w a n i m u d a w o t e huo kinachofanyika ni malumbano na sarakasi za kisheria za kesi ndani ya kesi, hasa juu ya haki ya dhamana.
Pe n g i n e wa n a n c h i wa t a r a j i e k u m w o n a K a m i s h n a M u s s a akisimama kizimbani kesi za Masheikh wa Uamsho zitakapoanza kusikilizwa a k i t o a u s h a h i d i wa tuhuma zinazowakabili Masheikh hao ambapo yeye binafsi na baadhi ya viongozi wa Serikali waliwarushia pia tuhuma nzito za kuwahusisha na Al-Shabaab, Boko Haram na Al-Qaidah.
Uingereza inavyowauma Waislamu na kupuliziaNa Said Rajab. i takuwa ni "makosa"
kupoteza fursa hiyo ya kuvutia uwekezaji zaidi wa Kiislamu nchini humo, ambapo amesema jiji la London l i tashindana na Dubai kama kituo cha mfumo wa fedha unaokubaliana na Sharia.
B w a n a C a m e r o n amesema wakati mfumo wa fedha wa Kiislamu u k i k u a k wa k a s i ya asilimia 50 kuliko mifumo ya kawaida ya kibenki, na wakati uwekezaji wa Kiislamu duniani ukikua na kukaribia paundi trilioni 1.3 mwaka 2014, anataka kuhakik i sha sehemu kubwa ya uwekezaji huo mpya unafanyika nchini mwake.
B a a d h i y a n d u g u z e t u W a i s l a m u wamefurahishwa sana na hatua hii ya serikali ya Uingereza. Wanaona inathibi t isha ukwel i , uadilifu na usahihi wa mfumo wa fedha wa Kiislamu. Ni kweli, lakini pia kuna masuala muhimu ya kuzingatiwa hapa, kabla ya kushabikia hatua hii kichwakichwa.
Iwapo kimsingi, serikali ya Uingereza inapinga S h e r i a ya K i i s l a m u (Shariah), basi Sukuk nayo
isikubalike kama ilivyo niqab nchini humo.
U p a n d e m m o j a , serikali hiyo inakubali Sheria ya Kiislamu, hata imezindua 'Sukuk ya Uingereza' (dhamana za serikali zinazokubaliana na Shariah), na upande mwingine mawaziri wa serikali hiyo wanapinga n iqab , waki toa wi to ipigwe marufuku vyuoni na mashuleni.
Lakini 'Sukuk' na 'Niqab' zote zinatoka ndani ya sheria ya Kiislamu! Sasa kama Serikali inaona sheria za Kiislamu hazifai nchini Uingereza, hata niqab ikapigwa marufuku, mbona ina ikumbat ia sukuk ambayo pia ni zao la sheria ya Kiislamu?
Ukweli ni kwamba k u z i n d u a ' S u k u k ' kunawezesha serikali iliyofilisika ya Uingereza, kupata moja kwa moja mabilioni ya dola kutoka Mashariki ya Kati. Kwa hiyo tamaa ya fedha inafuta misingi ya taifa hilo, kama ilivyo siasa za nchi hiyo.
Kwa Waislamu wenye pupa, na wasioangalia m a m b o k a t i k a k i n a chake halisi, wanaweza kudhani kwamba Serikali
ya Uingereza inatoa sera rafiki zaidi kwa Waislamu. Lakini ukweli ni kwamba serikali hiyo inaangalia zaidi maslahi yake katika h a t u a h i i k u l i k o ya Waislamu.
Kwa Waislamu wengi, hususan wa Uingereza, ambao mara kwa mara wamekuwa na wasiwasi kuhusu hatua za kuwabana z i n a z o c h u k u l i wa n a serikali hiyo, wanaweza kuziona sera hizo kama zinavyoonekana kwa nje - dhamira yake ni njema.
Wakati kuchangamkia 'Sukuk' na kupinga 'Niqab' zinaonekana ni sera mbili za Serikali zinazopingana, lakini kiukweli sera hizo zinalenga kufikia malengo yale yale. Wanachofanya ni kuuma na kupulizia, na hatimaye Waislamu ndiyo watakaokula hasara.
Kwa kupulizia, Serikali ya Uingereza inabuni sera ambazo, machoni
zinaonekana ni rafiki kwa Waislamu, lengo likiwa kuungwa mkono na Wais lamu, l ak in i k wa k u u m a S e r i k a l i hiyo inabuni sera za kuwaadhibu Waislamu, i w a p o w a t a k i u k a marufuku iliyowekwa dhidi ya 'Niqab' kwa mfano.
Lengo kuu la mbinu hiyo ni kuufanya ummah wa Waislamu ulegeze misimamo ya Kiislamu katika baadhi ya mambo, ambayo hayatakiwi Ulaya, wakati huo huo ikiwatisha Waislamu kwa adhabu kali iwapo watakwenda kinyume.
Badala ya kuhadaika na mipango kama hiyo yenye malengo ya kisiasa, Waislamu wanapaswa kuyaona mambo hayo kama yalivyo - ni jaribio la kuwavunga tu Waislamu, kwa lengo la kupora mali na rasilimali zao.
NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA KWANZA 2014 KATIKA SHULE ZAKE ZA KIPEKEE
KUNDUCHIGIRLSISLAMICHIGHSCHOOLREG.S.358 UNUNIOISLAMICHIGHSCHOOLREG.G397
SHULE ZINAPOKEA WALE WOTE WANAOTAKA NAFASI I. KIDATO CHA KWANZA 2014II. WANAORUDIA MITIHANI KAIDATO CHA NNE NA KITUO NI HAPOHAPOIII. WANAO HAMIA WENYE MAADILI SAFISIFA ZA KIPEKEE KWA SHULE HIZI TEULE• WALIMUWENYEUZOEFUNAWALIOBOBEA• SHULEZINAZINGATIAMAADILIYAKIISLAMU• MATOKEOKITAALUMAMAZURISANA• NIDHAMUBORANAMALEZISAHIHI• KUNAFENSI(UZIO)IMARANAUSALAMA• KUNAZAHANATISAFINAVIFAAVYAKISASA.• MASOMOYOTEYANAFUNDISHWAPAMOJANAMAARIFAYAUISLAMU NA LUGHA YA KIARABU• ADANINAFUUNAINALIPWAKWAAWAMU• KUNDUCHIGIRLSNIBWENITUNAKUNAFORM5NAFORM6• UNUNIONISHULEYABWENINADAYPIAWASICHANAWANAPOKELEWA• PANACHUOCHAKIPEKEECHAUALIMUUNUNIOUSAHILI NI KILA JUMAMOSI SHULENI FOMU ZINAPATIKANA SHULENI AU TUPIGIE KUPATA NAFASI
KUNDUCHI GIRLS UNUNIO HIGH SCHOOLMKUU WA SHULE 0713 346537MAKAMU 0713 515054 MKUU WA SHULE O717 008860MAKAMU 0718 551784 AU 0718551784 WABILLAH TAWFIQ
7 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013Makala
Na Juma Kilaghai
C H I P S z a v i a z i z i k o katika kundi la vyakula v y a w a n g a . V y a k u l a vya wanga vinapoingia mwilini huchakatuliwa na kutengeneza Glucose. Glucose huingia kwenye mzunguko wa damu tayari kwa kusafirishwa kupelekwa kwenye seli za mwili kwa ajili ya kuzalishia nishati ya kuendeshea shughuli mbalimbali za mwili.
Sasa tatizo liko kwenye k i wa n g o c h a g l u c o s e kinachozalishwa. Kutoka kwenye vyakula vya wanga glucose inayozalishwa na kuingia kwenye mzunguko wa damu ni nyingi mno. Wingi huu unasababisha kongosho kuzalisha kiasi kikubwa cha homoni ya Insulin inayohitajika kuindoa glucose hii na kuipeleka kwenye seli.
K a m a k i l a w a k a t i kongosho l i ta laz imika kuzalisha kiwango kikubwa c h a I n s u l i n , i t a f i k i a mahala kongosho kuchoka
Madhara ya chipsna kufanya kazi chini ya kiwango, na kwa maana hiyo kuzalisha Insulin kidogo isiyokidhi mahitaji, au wingi wa Insul in muda wote kwenye damu utazoeleka n a k u i f a n ya i s h i n d we kufanya kazi (utapata insulin resistance). Matokeo ya Insulin kuzalishwa kidogo au kushindwa kufanya kazi ipasavyo, ni sukari (glucose) kuongezeka kwenye damu k u l i k o i n a v y o p a s w a . O n g e z e k o l a k i wa n g o kikubwa cha sukari kwenye damu hupelekea mhusika:
1. Kupatwa na ugonjwa wa KISUKARI CHA UKUBWANI (Type II Diabetes). Kisukari ni ugonjwa wenye madhara mengi sana. Miongoni mwa madhara hayo ni pamoja na:
Kuharibika kwa mishipa ya fahamu kunakoambatana na maumivu ya mwil i kuwaka moto na wakati mwingine pamoja na kupata ganzi . Kuharibika kwa mishipa midogo midogo ya damu. Kuharibika macho. Kuharibika mafigo. Kupata maambukizi ya mara kwa mara kwenye mfumo wa haja ndogo. Kupoteza viungo vya mwili kutokana na majeraha kukataa kupona mapema. Kupoteza kumbukumbu. Kupoteza uwezo wa kufanya tendo la ndoa. Nakadhalika.
K u o n g e z e k a k a s i ya kuzeeka kupitia mchakato unaoitwa GLYCATION. Huu ni mchakato ambapo
sukari hung'ang'ania kwenye protein i l iyoko kwenye seli za mwili, hususan zile z i l izoko kwenye damu na ngozi. Seli nyekundu z a d a m u z i n a p o k u wa zimeng'ang'aniwa na sukari hupungukiwa na uwezo wake wa kusafirisha oxygen kuipe leka kwenye se l i mbalimbali za mwili na pia hupungukiwa na uwezo wa kubeba uchafu uliozalishwa na seli kwa ajili ya kuupeleka kwenye viongo vya kuutolea nje ya mwili.
Aidha sukari iking'ang'ania kwenye protein za kwenye ngozi husababisha ngozi kuzaa mikunjo. Mikunjo hii hutokana na kuzalishwa kwa kemikali zinazoitwa AGES (Advanced Glycation End Products) katika mwingiliano huo. Hii ndiyo sababu ya msingi inayopelekea wagonjwa wengi wa kisukari kuonekana ni wazee kuliko umri wao halisi.
S e l i z a m w i l i z inaposhindwa kupata oxygen ya kutosha, zinaweza kuamua kujibadili kutoka mfumo wa kujiendesha unaohitaji oxygen (aerobic) na kuwa na mfumo wa kujiendesha usiohitaji oxygen (anaerobic).
S e l i z a k a w a i d a zinapobadilika na kuwa anaerobic huhita j i n j ia mbadala ya kujitengenezea nishati. Kwa kawaida njia hii ni uchachuzi (fermentation)
wa glucose.K w a b a h a t i m b a y a
mchakato huu huzalisha tindikali aina ya lactic (lactic acid) kwa wingi sana na kusababisha mazingira ya seli hizo kuwa yenye tindikali nyingi. Hali hii hupelekea seli hizo kuanza kubadilika na kuwa za saratani. Seli za saratani ni seli zinazozaliana haraka na hivyo zinahitaji nishati nyingi. Ili kupata malighafi ya kutosha ya kuzalishia nishati hiyo (glucose), eneo lenye seli za saratani hujitengenezea mishipa ya ziada ya damu katika mchakato unaoitwa ' A N G I O G E N E S I S ' i l i kuongeza kasi ya kufyonza g lucose kutoka ka t ika mzunguko wa kawaida wa damu.
Hivyo basi wingi wa g lucose kwenye damu waweza kuwa ni kianzishi cha saratani na wakati huo huo kuwa ni kichocheo kikubwa sana cha kuenea kwa kasi kwa ugonjwa huo pale ambapo tayari unapokuwa umeupata.
Naamini kwamba kina mama wako katika hatari zaidi kwa sababu zifuatazo:
K wa n z a n i wa p e n z i wakubwa mno wa chips na vyakula vingine vya sukari nyingi kama soda, keki nakadhalika. Wakina mama wana homoni nyingi ya ESTROGEN ambayo inatuhumiwa kuchochea saratani za matiti na viungo vya uzazi pale ambako
inakuwa haina uwiano mzuri na homoni nyingine ya PROGESTERONE.
Kwa bahati mbaya uwiano huu mara nyingi siyo mzuri k u t o k a n a n a k u w e p o kwa kemikali nyingi sana zinazoigiza ESTROGEN (Xenoestrogens) kat ika vipodozi vingi, madawa y a u s a f i m a j u m b a n i , na hata katika baadhi ya vyakula. Kemikal i hizi z i k i c h a n g a n y i k a n a ESTROGEN ya asili mwilini husababisha uwiano kati yake na PROGESTERONE kutokuwa mzuri.
Kwa hapa kwetu Tanzania biashara ya chips imeshamiri na inafanyika kiholela huko mitaani. Kuna madai kuwa wizi wa mafuta ya transforma ulikuwa unachangiwa sana na biashara hii pamoja na ile ya kukaanga samaki.
We n ye n a d h a r i a h i i wanakuja na madai kuwa m a f u t a ya t r a n s f o r m a yakichanganywa na mafuta ya kawaida, basi mafuta hayo mchanganyiko hutumika kwa muda mrefu sana bila kumalizika.
Sina ushahidi kuwa madai haya ni ya kweli. Lakini iwapo ni ya kweli basi mla chips hizi anakabiliwa na hatari ya ziada. Mafuta ya Transforma kwa kawaida y a n a c h a n g a n y w a n a kemikali fulani zinazoitwa PCBs (Po lychlor inated Byphenyls). Kemikali hizi pia hutuhumiwa kuwa ni miongoni mwa vichocheo vikubwa vya saratani.
C h u k u a t a h a d h a r i tafadhali.
Kwa hisani ya Ukurasa wa Herbal Impact katika Facebook
Bismillahir Rahmanir RahiimAFRICA MUSLIMS AGENCY
P.O.BOX 9211 Tell: 0712 656855NAFASI ZA AJIRA “ UALIMU”
Uongozi wa Africa Muslim Agency unatangaza nafasi za kazi ya Ualimu katika shule zake kama ifuatavyo:-
A: Al- Farouq Islamic Seminary- Dar es salaam.• English & Kiswahili – (Nafasi Mbili ) ( 2)• Physics & Mathematics – ( Nafasi Moja) (1)• Computer - ( N a f a s i m o j a ) ( 1 ) • Civics & General studies – ( Nafasi Moja) (1) Degree in Education• Economics & Mathematics – ( Nafasi Moja) (1)• Islamic & Arabic - ( Nafasi moja) ( 1)B: AT-TAUN GIRLS ISLAMIC SEMINARY- MOROGORO.• Chemistry & Biology – ( Nafasi moja) ( 1)• Arabic & Islamic - ( Nafasi moja) ( 1)• History & Geography - ( Nafasi moja) ( 1)• Physics & Maths - ( Nafasi mbili) ( 2) Diploma in Education• B/Keeping & Commerce - ( Nafasi moja) ( 1) • Civics & Kiswahili - ( Nafasi moja) ( 1)• English Literature - ( Nafasi moja) ( 1)• Computer - ( Nafasi moja) ( 1)
C: AL-SAFA SECONDARY SCHOOL – MTWARA• Maths & Physics - ( Nafasi moja) ( 1)• English & History - ( Nafasi moja) ( 1)• Geography & Kiswahili- ( Nafasi moja) ( 1) Diploma in Education• B/keeping & Commerce - ( Nafasi moja) ( 1) • Islamic & Arabic - ( Nafasi moja) ( 1)• Civics & Computer - ( Nafasi moja) ( 1)
NB: Waombaji wote wawe na Shahada ya Chuo kikuu ninachotambulika na Serikali.Maombi yaletwe kwa mkono ofisini kwa Mkurugenzi Africa Muslim Agency Tabata- Bima- Dar es salaam.• Waombaji wawe na Uzoefu usiopungua miaka mitatu.• Maombi yaletwe kwa “ Soft Copy na hard copy”• Soft copy itumwe kwa E-mail: [email protected]• Maombi yaambatanishwe na vivuli vya CV, Academic transcripts na vielelzo vingine kama vipo.• Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 13/12/2013 saa sita mchana.
Wabillahi Tawfiq
8 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013Tangazo
47 GULLAM OMARY NAMAJII
48 HAFIDH SALUM MAHANJU
49 HAFIDH SEIF KUZIWA
50 HAJI ALLY SHESHE
51 HAJI MOHAMED KINJUMBI
52 HALID OMAR HASSAN
53 HALIFA RAMADHANI MNDEME
54 HARUBU KAIM NYONI
55 HASSAN KHAMIS KHAMIS
56 HASSANI ALLY MUHAMMED
57 HASSANI MOHAMEDI HAMISI
58 HEMED HASHIM MWAMBASHI
59 HEMEDI SAIDI NGAINA
60 HIMID ISMAIL MRISHO
61 HIMID RAMADHANI MBWANA
62 HUDHAIFA ABDUL SAID
63 IBRAHIM JAWADU ATHUMANI
64 IBRAHIM MUHAMED HANGO
65 IBRAHIM SHABAN UHECHE
66 IBRAHIMU SEIF CHIKWEPE
67 IDD RAMADHANI HASSAN
68 IDDI HASSANI SHABANI
69 IDDY MZEE MAULID
70 IMRANI HASSAN SAID
71 ISIHAKA HASSAN ATHUMANI
72 ISIHAKA SADIQ KIUNGULIA
73 ISMAIL IBRAHIM SHEMMELAR
74 ISMAIL IS-HAQA LOYA
75 ISSA ABDALLAH IROVE
76 ISSA AHMAD ISSA
77 ISSA HASSANI MAKUNJALILA
78 ISSA MOHAMED SELEMANI
79 ISSA SHABANI MBARUKU
80 JABIRI RAJABU MUHAMED
81 JAFAR NURIDNI SAID
82 JAZIRI LEMZUKA MWANGOMILE
83 JUMA SAIDI ALLY
84 JUMA HUSSEIN ISMAIL
85 JUMA IDDY JUMA
86 JUMA YUSUFU MKINDI
87 KARIM KHALFAN MDEE
88 KASSIM HASSAN NDEME
89 KASSIM RAJABU MTIMA
90 KASSIMU SHEHE ZAYUMBA
91 KHALFAN SALMU NYENJE
92 KHALFANI SELEMANI ASSENGA
93 KHALID MOHAMED YUNUS
94 KHALIDI SHAURI SELEMANI
95 LUKUS HASSAN LUKUS
96 MAHMOUD MOHAMED SALIMU
97 MASHA MUHAMED MSANGI
98 MBARAKA ABDALLAH ATHUMANI
99 MIKIDADI BAKARI MRUTU
100 MOHAMED HAMISI MBUJI
101 MOHAMED JUMA MPONI
102 MOHAMED MWIDADI BAULE
103 MOHAMED RASHID MUHAMED
104 MOHAMED SAID ATHMAN
105 MOHAMED YUSUPH ABUBAKAR
106 MOHAMMED RAMADHAN KALELA
107 MUNADHIRI TWALIBU ALLY
108 MURSHAAD MPINGA AWADHI
109 MUSA SHABANI AMIR
110 MUSSA IDDY MOHAMEDI
111 MUSTAFA KHALID MUSHI
112 MWALIMU RAJABU MCHOMVU
113 MZEE RAMADHANI OMARY
114 NADHIRI SAIDI MUSHI
115 NASEEM BAKARI MAHMOUD
116 NASSAR CHAKE MKEYENGE
117 NURU HAMADI SHABANI
118 NURUDINI SLFANI SHENTEMBO
119 OMARI ABDALLAHINOCENT
120 OMARY HUSSEIN MAHITA
121 OMARY SWALEHE NCHASI
122 OSAMA HUSSEIN MAMUYA
123 RAJABU YUSUFU HUSSEN
124 RAMADHANI ABDALLAH NYOMINZA
125 RAMADHANI ATHUMANI OMARI
126 RAMADHANI HAROUN AYOUB
127 RAMADHANI MIRAJI MUHAMMED
128 RAMADHANI MMBAGA BURHANI
129 SAID ABBAS SHEKIAO
130 SAIDI KARIMU MSAHANA
131 SAIDI OMARY NGOLINGO
132 SALAHUDIN SIRAJI BASHIRU
133 SALIM HASHIM SALIM
134 SALIM SHABAN SAID
135 SALUM KHALID MUWINGE
136 SAMEER MALICK SEIF
137 SEFU JUMA SHEIZA
138 SELEMANI ABDALLAH ALLY
139 SELEMANI SAID IDASI
140 SHABAN KISIGAYE MPEPO
141 SHABANI IDD AKIDA
142 SHADRACK NICODEMO MUSSA
143 SHAFII ISMAIL CHANDE
144 SHAKIRI HAMIDU KIMARO
145 SHAURI MARISA SALIMU
146 SUDI FADHILI MWIMBA
147 SULEIMAN ABDALLAH KOMBA
148 SWAIBU HUSSEIN KINGAZI
149 TARIQ A. RAJABU
150 TWAHA HAMISI HOZA
151 TWALIB JUMA KWENGU
152 TWALIQ ANAS KANTAMWA
153 UMARU ALHAMI MOHAMEDI
154 YASINI SHAHARUSADU MSUYA
155 YATILU OMARI MCHARO
156 YUSUFU Z. LUAMBANO
157 YUSUPH HASSAN MRISHO
158 YUSUPH MKUBWA YOSUPH
159 YUSUPH NASSORO KUYAWA
160 YUSUPH SAIDI HAFLAN
B: UBUNGO Islamic High School
Inatoka Uk. 5
NA. JINA KAMILI1 AISHA FAUZI SHAPUMBA2 AISHA NYAMONDE NYAMONDE3 AISHA SHABANI HASSAN4 AISHA SHAIBU JUMA5 AMINA RAJABU SHAMARY6 ANISA HEMEDI AMANZI7 ASHURA ALLY NAMKUNGU8 ASIA MUSSA SULEIMANI9 ASIA RASHIDI JUMA
10 ASIA-AMNE AMRI BIHOGA11 ASMA KHAMIS HASSAN12 ASMA RAJABU MAHMMUD13 BALQUS HASSANALI MWASHA14 FATMA ABDALLA NASSORO15 FATMA ALEX NDIKURIYO16 FATUMA ZUBERI AMRI17 HABIBA ABUSHIRI HABIBU18 HAFSA KOMBO RIDHWANI
WASICHANA
19 HAFSWA HASHIMU POLI20 HALIMA SAID JUMA21 HALIMA SAID KIMAZI22 HALISATH OMARY ZUBAIL23 HANIFA MAJID MSANGI24 ILHAM KHAMISI KHATIBU25 JAINA SAID ADAM26 JAMILA JAMAL BATTE27 KAUTHAR BENHAJJ MASOUD28 KHADIJA M. SUBA29 KHADIJA MFUNGENI30 KHADIJA SULEIMAN MOHAMMED31 KHAILATH HARUNA MDEMU32 KUDRAT OMARY MAKAME33 LAFHAT YUSSUF RASHID34 LATIFA JUMA HAMISI35 LATWIFAT MOSHI KAKOZI36 LEYLA WILLIAM MARUSU37 LEYLAT HASSAN UBWA38 MAIMUNA YUNUS SULU39 MARIAM A. MAMBO40 MARIAM ADAM MOHAMED41 MARIAM MAULID MOHAMED42 MARIZIA ABDALLAH43 MWAJABU SAIDI MAKONO44 MWAJUMA NASSORO 45 MWAJUMA SELEMANI46 MWANAASIA JUMA MUHAMED47 MWANAHARUSI FADHIL KOMBO48 NABILA ARAFAT MOHAMED49 NASIBA KHAMIS NASSOR50 NASRA AZIZ AMIR51 NASRA NURDIN NGOMA52 NASRA RAMADHANI53 NEEMA HAMISI KASHUSHU54 NEEMA MUHARAMI MKENGE55 RAHMA EVANCE MASHAMBO56 RAHMA PONDA ISSA57 RAHMA SUDI AMOUR58 RASHMA ALLY59 REHEMA HARUNA KOMBO60 REHEMA NURDIN MDOE61 REHEMA RAMADHAN SAID62 REHEMA SALIM NALINGA63 REHEMA SWALEHE HUSSEIN64 REHEMA ZAHARANI65 RUKAIYA ABDALLAH MSUYA66 RUKIA ABDISHEHE YAHYA67 RUKIA MWALIMU HAMZA68 SADA SALIMU LUKINDO69 SALHA HASHIMU WAZIRI70 SALHA HASSAN KARABAKI71 SALHA OMARY BAKARI72 SALHA RAMADHAN KINYOGOLI73 SALHA SALUMU MOHAMEDI74 SALHA SUDI MUSA75 SALHA YAHAYA MKONEO76 SALMA RAJAB MBAWALA77 SALMA YAHAYA MKONGO78 SAUDA RAMADHAN KAYUNGILO79 SHAMIM SEIF ABDALLAH80 SHAMSA ALLY NDILA81 SHAMSIA SHABANI MDAMBWE82 SHEYLA MAHAMOUD HAMZA83 SIDRAH HARUNI MOHAMEDY84 SOPHIA YASSIN85 SUHAILA HAMADI BAKARI86 SWAUM SHAFII SARUMBO87 TAHIYA MBARAKA BYARUSHENGO88 WAHIDA ALLY HASSAN89 WARDA AFUAJA SAIDI90 WARDA ALLY HASSAN91 ZAHRA SALEHE MALIKULA92 ZAINABU BILLAL HAMISI93 ZAINABU HAMZA MOHAMED94 ZAITUNI MOHAMED95 ZUBEDA MASOUD 96 ZULFA HABIBU SAID97 ZULFA MFAUME MPANGACHUMA98 ZULFA YAHABU99 ZUWENA HEMEDI MANDAI
100 AISHA AYOUB KHAMIS101 FAT-HIYA ABDALLAH BAKAR102 ZULEIKHA DAMIR ALLY104 YUSRA SULEIMAN ABDULLAH105 MUKRIM HAFIDH ALLY
WAVULANAJINA KAMILI
1 ABDALLAH HAMOUD ALLY2 ABDILLAH YAKUBU SHAAME3 ABDUL SHAMIM KOLOPO4 ABDULIRAH MUSSA RASHID5 ABDULKADIR MOHAMMED
MASOUD6 ABDULKARIM MOHAMED
NGULANGWA7 ABDULMALIK MAHMOUD 8 ABDULRAHIM HAMISI
KASAMBALA9 ABDULRAHIM SAIDI ALLY10 ABUBAKARI ABDUL LIVIGA11 ABUBAKARI OMARI HAMADI12 ABUBAKARY SAID
MNOGAMOYO13 ADBUL AZIZ ABDULSWAMADU
SEIF14 ADBULRAZAK SAID ALAWI15 AHMED ABUBAKAR AHMED16 ALLY JUMA ALLY17 ALLY MUSTAFA LUKINDO18 ALLY NASSORO MWINYI19 ALLY SULEYMAN BWENZI20 ALLY WASTARA RAJABU21 AMANI SULEYMAN ZIWIYANI22 AMIRI NUHU AMIRI23 ANWAR AHMED MOHAMMED24 ANWARI MOHAMED MHEDU25 ARAFAT SHABANI ALLY26 ASHRAPH YUSSUPH MLAWA27 ATHMAN MOHAMMED IDDI28 ATHUMANI HAMIS RAFAELI29 AWADHI SHABANI CHIKI30 FADHIL IDDY MSUYA31 FAKI ALLY MWINYI32 FEISALMOHAMED ALLY33 HAJI OMARY FERUZI34 HAJI SALIM PARATA35 HAMID HAMAD MHANDO36 HAMIS GREYSON MKUMBO37 HAMISI HUSSEIN38 HASSAN YUNUS MSHANA39 HASSAN YUSUF ABUBAKAR40 HEMED MOHAMED41 HEMED RASHIDI SELEMANI42 HUSSEIN ISMAIL MZERERE43 IBRAHIM SHABAN
RAMADHAN44 ISMAIL OMARY SEMNDI45 ISMAIL TWAIRAN SAID46 ISSA HEMEDY IDDY47 JUMA FADHIL KOMBO48 JUMA HASHIM HIZZA49 KAFUNGO RAJABU IDDY50 KASIBU ABDUL MAHINA51 LUQMAN AHMED ABDALLAH52 LUQMAN R. AMBAKISYE53 MAHMUDU M. MAHMUDU54 MOHAMMED AKIDA MRASHI55 MOHAMMED HAMAD
SHABANI56 MOHAMMED SAID ABDALLAH57 MOLA MOHAMMEDY
MAPUNDA58 MSAFIRI MRADI MCHOMVU59 MUSSA SAID MSANGI60 MWINYI ABDISHEIKH61 NADIL NASSOR SAID62 NUSRUDINI YASSIN MRUTU63 OMAR IBRAHIM JAMA64 OMARY AMIR KOMBOZA65 OMARY OTHMAN66 RAJABU ISSA RAJABU67 RAJABU SELEMANI
SEMKUZAInaendelea Uk.9
9 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013Tangazo
68 RAMADHAN RATIBU RAMADHANI
69 RAMADHANI BAKARI NAPINDA
70 RAMADHANI HABIBU KINYASI71 RAMADHANI PIUS MLUNZA72 RASHIDI SALIMU HEMEDI73 RAZAQ OMARY MAVURA74 SAID ISSA MOHAMED75 SAIDI ABDI DIMBWA76 SAIDI ALLY77 SALIM SELEMAN
KAMBANGWA78 SALMIN JUMA KUMPITA79 SALUMU SEIF MOHAMED80 SAMEER MASOUD KHAMIS81 SHABANI FADHILI MUSSA82 SHABANI MRISHO SHABANI83 SHABIR SALUM HASSAN84 SLEYUM SOUD SAID85 SULEYMAN MOHAMMED
SHAAME86 SWEDI SHABANI MRISHO87 WAARITH KAIFA88 YASIR SHABANI JUMA89 YASSIN ISSA90 YUNUS HASSAN MBUPU
Inatoka Uk. 8
WASICHANANA JINA1 AISHA BASHIRI JUMA
2 ALMAH JUMA KILAGHAI
3 AMINA ABDULAZIZ MUSTAFA
4 AMINA ALLY MWENDA
5 AMINA MFAUME ZUMO
6 AMINA RASHID ALLY
7 ANIFA MASHAKA KIGUMI8 ARAFA ABDUL MWENDO9 ASHA ATHUMAN ALFANI
10 ASHA ATHUMANI HATIBU
11 ASHA JUMA RAMADHANI
12 ASHA SHABAN MSHELE
13ASHURA MOHAMMEDY SHEKIMWERI
14 ASHURA N MSANGI
15 ASIA KHALID OMARI
16 ASIA NASSOR ALLY
17 ASIA OMARI KANIKI
18 ASIA RASHID HASSAN
19 ASMAHA HARUNA YUSUPH
20 ASNATH IDD SIMBA
21 ASSAJIDAH ALLY LEMA
22 ASYA HAMAD KHAMISI
23 AZIZA JUMA YAHAYA24 AZIZA RAMADHANI HOTI
25 AZIZA RAMADHANI MSUYA
26 BAHATI SAIDY MBWETO
27 CHIKU HASSAN MTEMBA
28 FADHILA SEIF MTANDA
29 FAIDHA ISSA KIM
30 FATHIA ISSA FADHILI
31 FATMA HUSSEIN KAMBA
32 FATMA MBAROUK SALIM
33 FATMA OMARY MIRAJI
34 FATNA ATHUMAN KIMARO
35 FATNA JOVIN MAGALI
36FATUMA ATHUMAN MWAMBALA
37 FATUMA BAYA SAKARA
38 FATUMA HASSAN HONI
39 FATUMA JAPHARI ATHUMANI
40 FATUMA NASIBU BAGOMWA
41FATUMA NASSORO MKAMBALLAH
C: Kirinjiko Islamic High
42 FATUMA RASHID LIHUNDU
43 FATUMA SALEHE FARU
44 FAUZIA HASSAN AZIZ
45 FAUZIA YAHYA MUHAMED
46 FIRDAUSI ALLY SULEIMAN
47 HABIBA BUSSORO HASSAN
48 HADAITHA SAIDI WAKATI49 HADIJA ABIBU KANYA
50 HAFSA ABDALLAH SULEIMAN
51 HAFSA NURU MSABAH
52 HAJRA ADINANI TARIMO
53 HAJRA AHMADI KIUNGULIA
54 HAJRA HAMAD KOMBO
55HALIMA ABDULRAHMAN MBWANA
56 HALIMA ISMAIL MMBAGA
57 HALIMA WAZIRI KOMBO
58 HAMISA ALLY RAJABU
59 HAULA MOHAMED SAID
60 HAWA YUSUPH NDURU
61 HELLEN MUHENA SAIDI
62 HIDAYA HAJJI AHUNGU
63 HIDAYA JUMA SAIDI
64 HUSNA ADBAM BENTA
65 HUSNA ALLY HASSANI
66 HUSNA ALLY ZUBERY67 HUSNA MOHAMED SALUM
68 ILHAM ABDUL MDAUDA
69 ISHA KATIVO MSUYA
70 JAMILA RAMADHANI MAINGU
71JULIETH VICTOR MVUANDIKE
72 KAIMA BAKARI ZUBERI
73 KAUTHARI MWINYIKAI MZEE
74 KHADIJA ABDUL NASSOR
75 KHADIJA HAMDAN ALLY
76 KHADIJA KASSIM KALOKOLA
77 KHADIJA RAJABU KASSIM
78 KHAIRATI ANNUAR SAADAT
79KHAIROUN SULEIMAN MPINGA
80 LAILATU SILA MSOKOTO
81 LATIFA SAAD WADAA82 LATIFA SHAWEJI MNYOGOPA
83 LATOYA SAIDI MYAGA
84 LEYLUU HUSSEIN MSHANA
85 MARIAM FADHILI BAKARI
86 MARIAM IDRISA MAKAME
87 MARIAM KHATIBU ABDALLAH88 MARIAMU ALLY MUSSA
89 MARIAMU HUSSEIN MSANGI
90 MARIAMU MWINYIHIJA LUGENDO91 MARYAM KASSIM HAMIS92 MARYAM RASHID SHAN’GA
93 MASHA MATOLA SALUM
94 MONGO A MISSANGA
95 MUTHANA OTHMAN
96 MWAJUMA AMINI AMIRY
97MWAJUMA HARUN SULEIMAN
98 MWAMVUA MBWANA SUDI
99MWANAARAFA HUSSEIN MADENDE
100MWANAHAMISI ABASI MWISAKA
101MWANAHAMISI KASSIM MTUMWA
102 MWANAIDI HAMIDU HAMISI
103 MWANAIDI SHAIBU MADA104 MWANAISHA SUFIANI ALLY
105MWANAWETU ANTHONY MANDAI
106 MWASITI ALLY DEFFU
107 MWASITI MSUAKOLO IDDI
108 NADYA SAID SALUMU
109 NAIMA HAMIS LUPAMBA
110 NAIMA JUMAA MUHAMED
111 NAIMA MOHAMED PONGWA
112 NAJMA YUSUPH MUSA
113 NASMA ABUBAKAR LUMAMBI
114 NASRA ABDALLAH MVUNGI115 NASRA ALLY MSANGI
116 NASRA AMUNI ALFANI
117 NASRA FAKIHI MUSSA118 NASRA MUSSA ALLY
119 NASRA OMARY MAJE
120 NASRAT MAUGA MAKUTUBU
121 NEEMA IDD MCHANJA
122 NUSRA MIRAJI MWANYOKA
123 RABIA SALIM IKUNGA
124RAHMA ABDALLAH MNTAMBO
125 RAHMA ABUU MUHAMED
126 RAHMA AMANI MIKONGO
127 RAHMA HAMISI SALUM
128 RAHMA HEMED HAZAL
129 RAHMA RIDHWAN ALMAS
130 RAHMA SEIF ABDUL
131 RAHMAT KHAMIS KHATIB
132 RAINA FRANCO KIBONA
133 RAMLA HAJI OMARI
134 RAUHIYA KHAMIS NAJIM
135 RAUHIYA MASOUD SHARIFF
136 RAYA HAMISI SHAIBU
137 RAYA MZEE AMOUR
138 RAYA SALIM MNDEME
139 REHEMA GABLIEL KITUNDU
140 REHEMA KARIM MCHANA
141 REHEMA KARIMU MPONDA
142 REHEME OMARI SEBO
143 RIFKAT OMAR MBWANA
144 RUFAIDAT OMARI MBWANA
145 RUKIAS MUSTAFA HAJI
146 SABRA AHMED MSHANA
147 SABRINA JAFARI MGONJA
148 SABRINA MOHAMMED SEIF149 SABRINA MUSSA MSHAMA
150 SADA IMAMU KADEGHE151 SAFINA DAUDI MZIRAY
152 SAFINA ZUBEIR MUHUNGO
153 SAIDA AWADHI AHMEDI
154 SAJIDA SWALEH IBRAHIM
155 SALAMA ISSA ALLY
156 SALHA HASSAN MUNGAH
157 SALHA MUHUDHARI AMIRI
158 SALMA HASSAN SHEKIAO
159SALMA MUHUDHARI LOSSINDILO
160 SALMA SELEMAN SARUMBO
161 SALMA YUSUPH NGUZO
162 SAMYA SALUM HAMIDU
163 SARAH FILBERT SHAYO
164 SAUDA ALLY SAID
165 SAUMU HARUNA NDALO166 SAUMU MUSSA HASSAN
167 SAUMU OMARI KIPINGU
168 SAUMU RAMADHANI OMARI
169 SAUMU SALEH SABO170 SHAKILA ALLY KOMBO
171 SHAMIMU OMARI HASSAN
172 SHARIFA ABDI ALLY
173 SHARIFA ERASTO MVELLA
174 SHARIFA HASSAN KAPAYA
175SHARLEEN CHESHINIWE JIMROGER
176 SHEKHA JUMA HASSANI
177 SUMAIYA RASHID HUSSEIN
178 SUMMAIYA FERUZI MTIKA
179 SWABRA ALLY ADAM
180 SWAUMU SELEMANI HAMISI
181 TATU ABEID SHAURI
182 TATU JUMA CHATTA
183 TATU MUSSA NTIMIZI
184 TAUSI SAIDI OMARI
185THUWAIBA HASSANALI MWASHA
186 UMMUAYMAN KHAMIS ALLY
187 UMMY BUHETI HATIBU
188 UMMY IBRAHIM ALLY
189 VIOLETH A. KABUSHENYE190 WARDA KHALFANI MDUMA
191 ZAHRA KAKOZI MRISHO192 ZAINAB JUMA MBONDA
193 ZAINAB JUMA MJEMA
194 ZAWADI JUMA SHEMDOE
195 ZENA HASSAN ABDALLAH
196 ZUBEDA HANAPHY MWETA
197 ZUHURA ALLY KIDANGA198 ZUHURA ALLY MTEITA
199 ZUHURA HUSSEIN JAMBIA
200 ZUHURA IS-HAKA MSUYA
201 ZULEKHA ABASI FADHILI
202 ZULFA AMANI KIMARO
203 ZULFA JUMA RAMADHANI
204 ZULFA OMARY MCHOLO205 AME IDD AME206 HAMISA ABDILLAH207 ZAJ RAMADHAN ALLY208 ASSIF MOHAMMED208 TAUHIDA ALLY RAMADHAN
209 ZAKIA KAMA HILALI KHAMA
WAVULANANA JINA1 ABBAS AMIRI WAZIRI2 ABDALLAH ALLY ABDALLAH3 ABDALLAH AWADH YUNUS4 ABDALLAH HAJI ALLY5 ABDALLAH HAMISI GOME6 ABDALLAH KASSIM MTILI7 ABDUL ABDALLAH MPALLO8 ABDUL KASULE FERUZI9 ABDUL RAMADHANI RAJABU
10 ABDULAZIZI MUHAMMEDI MAGOGO11 ABDULKARIM FREDRICK SAWE12 ABDULMAJID NASSOR ZUBERI13 ABDULMALIK AMIRI WABU14 ABDULRAHMAN AHMAD MASINDANO15 ABDULWAHID MUHSIN NYAMGUNDA16 ABRAHAMANI HAMIS KASSI17 ABUBAKARI AMINI KAZOA18 ABUBAKARI MWIGAMBWA MFAKI19 ABUBAKARI SALUMU MSALA20 ABUBAKARY MAHMOUD MNYOGOPA21 ADAM FARID ADAM22 AHMED ALLY HIBA23 AHMED RAMADHANI KIHIYO24 AKRAM HABIBU FADHIL25 ALBASHIR HASSAN MUYA26 ALHAJI ISSA ATHUMANI27 ALLY AZIZ ALLY28 ALLY BAKARI MPONDA29 ALLY HABIBU YUSUPH30 ALLY KASSIM CHOGA31 ALLY ZUBER KUBO
Inaendelea Uk 10
10 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013Tangazo
Inaendelea Uk 10
32 ALQAIMU MUHSIN KAIMU33 ANWARY SWAHIB CHAMBO34 ARAFAT MOHAMED MUSSA35 ARQAM NUHU MTANDA36 ASHRAF WIHALE IBRAHIM37 ATHMAN MUHAMMAD SULEIMAN38 ATHMANI FARISALLAH MSHANA39 ATHUMANI ABDUL MGAZA40 BADI ZUBERI MSANGI41 BAKARI RAMADHANI SINGANO42 BURHAN KHALFAN MTURI43 CHAFWEHA YASIN SENKONDO44 DULLAH ABDALLAH JUMA45 EDWARD MASHINA HAJI46 FAIDHA ALLY KEA47 FARAJI MUSSA MGONJA48 FARID KHAMIS MWISHEHE49 FUAD IBRAHIM BADDY50 HAFIDH RASHIDI BUSSO51 HAJI KOMBO HABIBU52 HAJI MZIRAY PAULO53 HAMADI ZUBERI MSANGI54 HAMISI HEMEDI MWENDA55 HAMZA NUHA HAMZA56 HAMZA RAJABU MWIRU57 HARTHI JUMANNE MAPANDE58 HASSAN ABDULSALAAM KHAIFY59 HASSAN RAMADHANI HASSAN60 HATIBU IS-HAKA NJAU61 HENRY PINIELI KITUNDA62 IBRAHIM AHMAD MTOTO63 IBRAHIM HAMISI MBOZU64 IBRAHIM ISSA ANZIGIZATI65 IBRAHIM SALIM MNANJE66 IDRISA HAMAD HASSAN67 ISHAKA SELEMENI ASENGA68 ISMAIL ATHUMANI CHIDAKO69 JUMA ABDUL-MAJID JUMA70 JUMA HITAMI HUSSENI71 JUMA MWINYIHIJA LUGENDO72 JUMAA NASSORO KARIA73 JUMANNE OMARY JUMANNE74 KAPUNGU DOTTO KIWANGA75 KARIM JUMAA KAPERA76 KASSIM IDDI FRAJI77 KASSIM KONDO MPONDA78 KHALID IDRIS RAMADHAN79 KHALIPHA ISSA MSUYA80 KHAMIS SWALEH SWAI81 KHAMISI ALLY KINDOROKO82 KISAKA OMARI AMIRI83 KISE MAKENGO RAMADHANI84 LUQMAN BAKARI MSEMO85 MAHADI RAMADHANI SENKONDO86 MAHMOUD ABDALLAH MSHANA87 MANYIKE S JUMA88 MASOUD IBRAHIM IDDI89 MASUDI SAID RAMADHAN90 MIRAJI SADICK RAMADHANI91 MOHAMED ALLY MWICHANDE92 MOHAMED ALLY SHABANI93 MOHAMED AMIN MSHANA94 MOHAMED MOHAMED NGAINA95 MOHAMMAD RAMADHANI KUMEWAYA96 MOHAMMED JAFARI CHAMBEGA97 MOHAMMED NUHU ALLY98 MSAFIRI JUMA MWERA99 MUDRICK SEIF MOHAMED
100 MAHARAMI YASINI MAGOTO101 MUHAMED ABOUD MOHAMED102 MUHAMED SALMIN SAID103 MUHAMED ZUBEIR JUMAA104 MUHIDINI HASSAN MBIKU105 MUSSA JUMA MUSSA106 MUSSA MARIJALI OTHMAN107 MUSSA TWAHA MSANGI108 MUSTAPHA MUJIBU SADICK109 NASSIR NASSOR SAIDI110 NASSORO THANI SULTAN111 OKKASHA MBWANA URARI
112 OMAM HENRY KAIJAGE113 OMARI ABDALLAH MUSSA114 OTHUMANI HAMISI YOBA115 RAHIM IDD MJEMA116 RAMADHANI HAJI RAMADHANI117 RAMADHANI HAMISI SHEKULAVU118 RAMADHANI HUSSEIN SAID119 RAMADHANI JUMANNE RAMADHANI120 RAMADHANI MAHAMOUD HUSSEIN121 RAMADHANI RASHIDI FUNDIKIRA122 RAMADHANI SALUM MSUVA123 RAMADHANI TWALIB MTUNGUJA124 RAMADHANI ZUBERI125 RASHID BAKARI MONJI126 RASHID KHALIFA UMBARA127 SAIDI ISSA OTOLINI128 SALIM ATHUMANI ALI129 SALIMU FADHILI SAID 130 SALMIN OMARI ABUBAKAR131 SALMIN YASINI BUMBO132 SALUM SEIF MOHAMMED133 SEIF MUSTAFA SEIF159 SEIF KASSIM MWAGONGO134 SELEMANI DAUD ZAYUMBA135 SELEMANI KOMBO SHEHE136 SHABAN MSAFIRI SHABANI137 SHABAN RAMADHANI JUMA138 SHABANI SASA SABAJUMAA139 SHAKUR MRISHO HASHIM140 SHARIFU HAMISI NGONYANI141 SHAMSI IS-HAQ KAKIZIBA142 SULEIMAN TWAHA HASSAN143 SUNDAY OMARY KARIM144 SUPHIAN ALLY MZOLE145 SWALEHE HASSAN SWALEHE146 SWEDI ABDU MSUYA147 TUVAMO HAMISI CHIKAULA148 TWAHA JAFARI USSI149 WAZIRI JUMA RASHIDI150 YAHYA JUMA LEMA151 YAKUBU IS=HAQ LOYA152 YASINI RASHIDI KASSIDI153 YUSUPH MRISHO MILIMO154 YUSUPH SAID HASSAN155 YUSUPHU RAJABU KIBINDO156 ZUBERI SHABANI MHINA157 ZULKIFRI HAROUN MWINYI158 OMARY KHATIN MBARAK
D: Nyasaka Islamic High School1 TAWAJUDI MUDRIKAT SUED2 TATU JUMA BAKARI3 IMMA OMARY MWISHEHE4 TIMA FOCUS MBEYU5 SAADA TAIPHA MUSTAPHA6 MUNIRA JUMANNE LIGOPORA7 FATMA HUSSEIN KAMBA8 SAFIYUNA MASOUD MVANDIKO9 MARYAMU BAKRI HAMISI
10 NAJMA IBRAHIM AHMEDI11 NAZDA NADHIR MAGEZI12 FATUMA RAMADHANI KABASHA13 MARIAM ABDALLAH DAUDA14 SAMIRA IZADINI JUMA BADRU15 ROSE TAIFA SAVERY16 SIMTOVU SHABANI MUBANGA17 ZUBEDA SHABAN KAYANDA18 SAIDATH RAMADHANI MASOUD
19 K U L T H U M R A S H I D ABDULRAHMAN
20 SAYYIHA YUSUF MAHMOUD21 MAUA SABASABA SARUNGI
22 LEILA HAMISI KAMALA23 SUBIRA MAISHA RAJABU24 MWANAIDI RAJABU FADHILI
25 M A R I A M U A B D U L R A Z A K I KAGIMBO
26 SHAMSA ANWARY ISSA MUSSA27 SUMAIYYA ISSA NDUMA28 LEILA AHMAD HASHIMU29 MWAMVUA SUDI MIKIDADI30 SADA HAMISI MIHAMBO31 SIE MWIRU MWANGI32 TATU RAMADHANI MADUSI33 SOPHIA SAID MEYA34 SALMA MUSTAFA RUGUSHA35 HAMIDA KURA HUSSEIN36 SITI IDRISA RAMADHANI37 MWAJUMA FABIAN HAUBA38 HAMIDA MOHAMED ALLY39 SHAMSI NASSORO KILUMBI40 REHEMA ZAIMU NASSORO41 ASIA YAHYA FUNDU42 MARYAM HEMEDI KHALFAN43 FATMA HASSAN ALAWI44 HADIJA HALIFA HIZZA45 NURU AHMED MANSOOR46 MWAJABU IBRAHIM RASHID47 MAISARA SIRAJI MTANDA48 SAFIRINA ISSA KILIMA49 FARIHIYA DAUDA HASSAN50 NURU SIRAJI ABDALLAH51 AZIZA HARUBU NOTI52 MWANJAA HASSAN MAREGELI53 ALIAH MASUMBUKO ATHUMANI54 FATMA SALUM IBRAHIM55 REHEMA RASHID SALUMU56 ASHA SHABANI MAULIDI57 TUNU HAMISI ATHUMANI58 PILI ALLY KISANZO59 SALIMA SHABANI JUMA 60 HALIMA AZIZ RAMADHANI61 ANIFA MAMBO THABIT62 KHANIFA JUMA KIPANDE63 HALIMA SALIM MSUYA64 ASIA MASHAKA HUSSEIN65 RAHMA RASHID ABDALLAH66 ZENA YAHYA ADDY67 SALIMA ABDALLAH KANYANGA68 HAFSA HAMADI MASEBO69 NAIMA JUMANNE MASANIRO70 ASHA ATHUMANI SWALEHE71 AZIZA SAID HILAL72 YUSRA MOHAMED SAID73 WARDA SALISALI ADDY74 AMINA PETER AUGOSTINO75 ASHA HUSSEIN RASHID76 FATUMA FARAHANI JAFARI77 AISHA RIZIKI JUMANNE78 YASMINI ABEDI MWIRU79 LAYLA HEMED SHABANI80 REHEMA BOKO JUMBE
81 ASMA IDDIY TAMIMU82 SWABIRA YAHYA HABIBU83 HASNATI ZULU SADICK84 HUSNA JUMA MWIBIDI85 HAWA SAIDI MPEMBEE86 MWAJUMA SHABAN JUMA87 SAADA SAID MAPONDERA88 KHADIJA AMANI RAPHAEL89 SAFINA RIZIKI JUMANNE90 HUSNA BOKO JUMBE91 FATUMA HASSAN KUYELA
1R A M A D H A N I H A S H I M DWATAMBILE
2 ABDUL SALEHE HALILI3 OMARY ULUMWENGU OMARY4 SALUM SEIF HASSAN5 FAISAL HAKIIM NDAGILE6 SAMIRU IZADINI KALOKOLA7 ZAHORO ALAWI KALITAMALA8 ISAMAIL ALLY ISMAIL9 IS-HAQ KHAMIS IS-HAQ
10 NASSORO KHALFANI MUGARA11 JUMA MAZIMBWEJUMA12 NG’ENI HAMISI NG’ENI13 LUQMAN SAIDI HILARY14 HOSSAM SELEMANI MTIPA15 SAIDI HUSSEIN SAID16 MRISHO ATHUMANI KATANGA17 OMARY RAMADHANI KAHIGI18 ABUFATAH OMARY MSANGI19 ZAHIR ALAWI KALITAMALA20 JUMA RIDHWAN MSANGI21 SHAIDU HASSAN WARID
22O M A R Y M A L I YA M W I S O IBRAHIM
23 ATIQE KARUME HASSAN24 YUSUPH HASSANI IDIRO25 DANIEL SAIMONI MKILIMA
26A B D U L L A H M A S O U D KWANDIKO
27 RAHIM RAMADHANI MASOUD28 OMARY ABDALLAH OMARY
29A B D U L K A R I M O T H M A N KALULU
30 MRISHO LUKA SALIMINI31 IMRANI ISSACK BASIGA32 ZAHORO MALICK NGALINDA33 SALEHE JUMA SULEIMAN
34ISMAIL HAMDAN ABDUL-WAHAB
35 AWADHI JUMA MLILE36 NASIR OMARI PEPO37 ABUBAKARI PONDA HASSAN38 SULEIMAN RAMIA SALIM39 ABBAS MRISHO MKWAMBA40 MAULIDI RAJABU MAULIDI41 RASHID ALLY RASHID42 ABDALLAH SAID MUKHANDI43 AMANI IDDY CHALLU44 SELEMANI HASHIM YUSUPH45 RAJABU MOHAMED HAMISI46 MOHAMED IBRAHIM HABIB47 SAMIR NASSORO SULEIMANI 48 JUMA RAMADHANI RUBISHA49 JAMALI JUMANNE BYARO
WASICHANA
WAVULANA
Inatendelea Uk. 11
11 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013Tangazo/Habari
U M O J A w a Wazanzibari wanaoishi nchi za nje (MUWAZA) w a n a a n d a a K O N G A M A N O k u b w a l a a i n a yake kwa lengo la kuifanya HISTORIA ya Zanzibar iweze kufuata mkondo wake.
M a d a m u h i m u katika Kongamano hilo pamoja na mambo mengine ni kueleza Historia ya kweli ya Visiwa vya Unguja na Pemba, na ufafanuzi wa UHURU wa Zanzibar wa Desemba 10, 1963.
Kongamano h i lo ambalo limepangwa kufanyika s iku ya Jumamosi Desemba 14, mwaka huu mjini London, limepewa jina ‘KONGAMANO LA KUMBUKUMBU ZA MIAKA 50 YA UHURU WA ZANZIBAR’ pia l i t a c h a m b u a h a l i halisi ya Mapinduzi ya Januari 12, 1964 na Muungano wa Zanzibar na Tanganyika wa Aprili 26, 1964.
M w e n y e k i t i w a CHADEMA Tawi la U i n g e r e z a , S a l i m A m a r , a m b a ye n i
50 HAMIDU JAARUFF KABEZA51 SWEDI ISMAILI SWEDI
52 ABDULRAHMANI MUSSA HAMISI
53 MOHAMEDI MAIMANI KINDAMBA
54 SAID MAGOYE IBRAHIM
55 ISMAIL IBRAHIM RASHID
56 FAROUK MAHMOUD LIKUNGUNI
57 ABDULRAHIIM KHALID SWALEHE
58 MUHAJIRI SHAFII RAJABU
59 JUMA HARUNA IKANDILLO
60 YASSIN MOSHI HAMISI
61 ALLY HABIBU MKWACHU
62 ABDULATIFU ABDALLAH NDABONA
MAELEKEZO MUHIMU
1. Baruazamaelekezoyakujiunga(Joininginstructions)zinapatikana katika kituo muombaji alipofanyia mtihani.
2. Waliofaulu na kukosa nafasi Kirinjiko IslamicHighSchoolwamepangwaMkuzoIslamicHighSchool-SONGEA.
3. Fomu zamaombi zinaendelea kutolewa kwaajili yashulezaUbungoIslamicHighSchoolnaMkuzoIslamicHighSchool.
4. Mtihani wa pili utafanyika 21/12/2013 saa 2:00asubuhiulipofanyiamtihaniwakwanza.
5. Mzazi/Mleziunatafadhalishwakukubalinafasikabla
yatareheyamwisho.
6. Baadayatareheyamwishonafasiyaasiyethibitishaatapatiwamuhitajimwingine.
7. KwamaelezozaidiwasiliananaMkuuhusika:
UBUNGO: - 0712 974428/0684 306650.
MKUZO: 0716 791113/0683155902.
NYASAKA: 0713 749020/0764 749020
KIRINJIKO: 0989 296424/0762 296424
WabillaahTawfiiq
Inatoka Uk. 10
KongamanoKumbukumbu:
Uhuru wa Zanzibarkufanyika London
Na Mwandishi Wetu mmoja wa watayarishaji wa Kongamano hilo, amesema wanalenga katika Kongamano hilo kuweka ufafanuzi wa wazi katika Historia ya Zanzibar, kwa faida ya vijana wa sasa na vizazi vijavyo.
A m e s e m a l e n g o hilo litaweza kusaidia kuvunja nguvu za baadhi ya watu hasa viongozi wa serikali wanaodai kuwa Zanzibar si nchi, huku inajuilikana wazi kuwa Zanzibar ilipata uhuru kutoka kwa Uingereza siku mbili kabla ya Kenya.
Salim Amar anasema kutokea kwa Mapinduzi ya Zanzibar ya Januari 12, 1964 isiwe sababu ya kuficha Historia ya kweli ya Zanzibar na kufanya hivyo ni kupotosha kwa makusudi.
“ M a p i n d u z i yametokea yameshapita sote tunayakubali, lakini hatukubali kupoteza ukweli wa nchi yetu na bila Uhuru yasingeweza kutokea Mapinduzi,” anasema Salim Amar na kuongeza:
“ T u n a y a j u a Mapinduzi kwa sababu yamekuwa yakitokea k a t i k a m a t a i f a ya
Afr ika na mengine Ulimwenguni…lakini hakuna nchi hata moja iliyofanya Mapinduzi ikadharau siku yake halisi ya Uhuru kwa s a b a b u n i s i k u ya Historia”.
“ L a k u s h a n g a z a h a d i l e o h i i b a d o t u n a k u m b u s h w a u t u m w a p e n g i n e ulitokea zaidi ya miaka mia tano (500) nyuma…Uhuru wa ra ia wa miaka 50 unafichwa n a k u p o t o s h w a , ” anasema Salim Amar na kufafanua:
“ S e r i k a l i y a Ta n g a n y i k a n d i y o i l i y o w a c h u k u w a viongozi…Mawaziri na viongozi wengine wa serikali ‘Huru ya Zanzibar’ na kuwafunga katika magereza yake…H i v y o M o h a m e d Shamte Hamad alikuwa Muarabu au Mzungu?,” anauliza Salim Amar.
Mohamed Shamte Hamad, alikuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar k a t i k a S e r i k a l i ya MSETO ya Uhuru ya Muungano wa Vyama vya ZNP na ZPPP, chini ya maridhiano yal iyosimamiwa na Serikali ya Uingereza.
K u h u s u wazungumzaji katika Kongamano hilo ambalo M w e n y e k i t i w a k e atakuwa Dk Mohamed Zahran, watoaji mada ni kutoka Canada, Sweden, Denmark, Germany, France na nchi za UAE.
H a o n i w a t u w a n a o t a j w a k u w a w a n a i j u w a v i z u r i Historia ya kisiasa ya Zanzibar.
K u h u s u f a i d a ya Kongamano hilo kwa s a s a , S a l i m A m a r anasema: “Faida moja k u b wa n i k u j e n g a m u s t a k a b a l i w a Zanzibar, Kihistoria, Utamaduni wake, Mila na Silka za watu wa Zanzibar, ili hayo yabaki kuwa urithi wa vizazi vijavyo”.
Mwenyekiti huyo wa CHADEMA Uingereza, a n a s e m a k a t i k a Kongamano hilo ambalo litakuwa wazi kwa watu wote, wataangalia kwa kiasi gani wataweza kutoa michango yao ya fikra katika kuboresha serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyo katika muundo wa Kitaifa ili kuwa na ufanisi kwa wananchi wake wote.
Anasema kwamba wanakusudia sherehe kubwa za kumbukumbu ya Uhuru wa Zanzibar zitafanyika rasmi hapo Desemba 10, mwaka u j a o wa 2 0 1 4 k wa sherehe itayoshirikisha watu wengi:
“Kwa sasa ni mapema kusema sherehe hizo zitafanyika wapi…nia ya kufanya sherehe kubwa za Uhuru wa Zanzibar…tunayo ili kuiweka Historia ya nchi
yetu sawa,” anasema Salim Amar.
A n a s e m a b i l a ya kufanya kitu kama hicho kila mwaka, kutaweza kutoa mwanya kwa watu waliyo na dhamira mbaya ya kupotosha ukweli kuhusu ‘Historia na Uhuru wa Zanziabr’ kwa maslahi yao binafsi.
A l i y e w a h i k u w a Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Elimu wa Zanzibar, Omar Ramadhan Mapuri , alitunga kitabu kuhusu ‘Historia ya Zanzibar’ kilichoonekana kujaa upotoshaji na uongo.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha W a n a n c h i ( C U F ) ambaye sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, Machano Khamis Ali, kwa kushirikiana na baadhi ya Vijana wa CUF, walikichoma moto k i tabu h icho katika mkutano mmoja wa hadhara uliofanyika Kiwanja cha Malindi mwaka 1994.
Katika hotuba yake, Machano alisema kuwa kitabu hicho kimejaa uzushi na upotoshaji kuhusu ‘Historia ya Zanzibar’, na hatua ya kukichoma moto hadhari ni kutokana na kukerwa na upotoshaji wa ‘Historia ya Zanzibar’ ndani ya kitabu cha Mapuri.
M a p u r i , t a y a r i alikuwa amependekeza kwa taasisi zinazohusika na e l imu (Mitaala) kwamba kitabu hicho kifundishwe katika Skuli zote za msingi za Pemba na Unguja.
12 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 201312 MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.
AN-NUUR12 SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013
Soma Gazeti la AN-NUUR
kila Ijumaa
WAISLAMU wametakiwa kuelekeza nguvu zao katika vituo vya elimu huku wakiwa na malengo maalumu ya kuviendeleza vituo hivyo kuanzia ngazi ya awali mpaka elimu ya juu.
Wito huo umetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, akiongea katika Mahafali ya 11 ya wanafunzi wa Shule za Daarul-Arqam, yaliyofanyika Jumamosi ya wiki iliyopita, katika viwanja vya Shule hiyo, iliyopo Amani Gomvu, Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
Maalim Seif, aliyekuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo, ya l iyoshir ik isha wahitimu wa Shule hiyo kwa ngazi ya Shule ya Awali, Darasa la Saba na Kidato cha Nne, alisema kwa Waislamu kuwa na kituo kama Daarul- Arqam, ni miongoni mwa malengo mazuri na yenye manufaa kwa Waislamu na Taifa lao.
“Kuwa na vituo vya elimu kama hivi kuanzia ngazi ya Chekechea, Msingi pamoja na Sekondari kwa pamoja ni malengo mazuri, lakini pia ni vyema kuwe na mikakati ya muda mrefu kwamba ikifikia muda fulani pawe na Chuo Kikuu hapahapa.” Alisema Maalim Seif.
Alisema, miradi ya elimu zikiwemo Shule za watu binafsi zinatoa mchango mkubwa katika kukuza maendeleo ya wananchi na Taifa kwa jumla hivyo akasema, hapana budi kuungwa mkono kwa hali na mali.
M a k a m u h u y o w a Kwanza wa Rais, Zanzibar, alisema kazi kubwa ya vi tuo vya e l imu kama hivyo ni kuwatengeneza vijana waweze kuishi katika Ulimwengu wa kisasa, ambao unamuingiliano mkubwa wa watu wenye maadili tofautitofauti.
Maalim Seif, akawataka Waislamu kuhakikisha k w a m b a s i k u z o t e w a n a k u w a m s a t a r i
Maalim Seif awataka Waislamu kuwekeza katika vituo vya ElimuNa Bakari Mwakangwale wa mbele kuhakikisha
wanaziunga mkono Shule hizo na kuziendeleza ili watoto wa Kiislamu waweze kupata elimu kuanzia ngazi ya awali, Msingi Sekondari hadi Vyuo Vikuu.
“Hili ni jukumu letu sote kubaini umuhimu wa kuchangia , pamoja na umasikini wetu lakini tufahamu kuwa haba na haba hujaza kibaba, ukiwa na Tsh. Elfu Kumi, laki moja, milioni, au zaidi ya hapo toa tu mimi nadhani hapa ndipo mahali pakuwekeza zaidi”. Alisema Maalim Seif.
Akifafanua, al isema kuwekeza katika vituo vya elimu unakuwa umewekeza hapa duniani na unawekeza vile vile utakaporudi kwa mola wako baada ya maisha ya hapa duniani.
Maalim Seif , alisema Ta n z a n i a wa t u we n ye uwezo na matajiri wakubwa n i Wa i s l a m u , a m b a o wamejaaliwa uwezo mkubwa wa kifedha, akawataka miongoni mwao kujiulize mpaka sasa wametoa nini katika kuendeleza elimu katika nchi yao haswa katika Shule za wenzao Waislamu.
“ N i t u m i e f u l s a h i i kuwasihi wenzetu, kwamba kuwekeza kwenye elimu kunatija kubwa na watambue kuwa kwa kufanya hivyo m we n ye z i M u n g u p i a atawalipa,
toeni kusaidia timu zenu za mpira na mambo mengine sawa, lakini msasahau pia kuisaidia dini yenu.
“Wenzetu wa upande wa pili wanazo Seminari zao wanaziendesha vizuri, ukiangali msaada mkubwa wanatoa kwa jamaa zao wal io jaal iwa mapesa” . Alisema.
Akawataka Waislamu kubadili fikra na kuelekeza nguvu zao katika kuwekeze katika elimu, akasema, pamoja na kujenga Misikiti, l a k i n i p i a w a t a m b u e kuwa vijana wa Kiislamu wanahitaji wafunzwe kupitia katika Shule maalum ili waweze kuusaidia Uislamu na jamii kwa ujumla.
“Shule kama hizi kwanza zinawaandaa watoto wetu
katika kuifahamu vizuri dini yao lakini pia waweze kutoa mchango wao katika maendeleo ya Taifa lao na jamii kwa ujumla.” Alisema maalim Seif.
Maalim Seif , alisema watoto wanaopita katika Shule za Kiislamu wanafaida ya kupata e l imu zote , kutonana na kuwa huu ni ulimwengu wa dijitali, kwani (Ulimwengu) umebadilika na kincho badilisha haya yote ni elimu.
Al i sema, pamoja na kuwapo kwa fulsa za vituo vingi vya el imu lakini bado wazazi inaonekana hawajaweza kuwasimamia ipasavyo vijana wao katika elimu kwa lengo la kufaulu hapa duniani na kesho akhera.
Maalim Seif , alisema wazazi wengi wanasingizia umasikini na kuwabebesha majukum mazito watoto wao zikiwemo biashara ndogondogo wakati wa masomo, kwa kufanya hivyo akasema, ni kuwakosesha
hak izao za ms ing i na kuzorotesha maendeleo.
Alisema, mzazi anadhima ya kuhakikisha mwanae anapata el imu ambayo i t a m u a n d a a ( m t o t o ) kukabiliana na changamoto zilizopo na kuhakikisha baadae haendelei kuwa tegemezi kwa wazazi wake.
Maalim Seif , ambaye pia ni Katibu Mkuu Taifa wa Chama Cha wananchi CUF, alizitaka Shule hizo kuwa na mitaala itakayo wawezsha wanafunzi pindi wamalizapo elimu waweze kujiajiri.
“Kwa maana hiyo nguvu nyingi pia zielekezwe katika elimu ya ufundi (vocational training) lakini kamwe tusisahau masomo ya Sayansi na yale yanayo husisha habari na mawasiliano (IT) ambayo katika Ulimwengu wa leo hatuwezi kuyaepuka katika kuwafundisha vijana wetu”. Alisema Maalim Seif.
Pia Maalim Seif, alisema ili vituo kama hivyo viweze k u a n d a a v i j a n a wa l i o bora akazita Shule hizo kuhakikisha kuwa zinakuwa n a M a a b a l a , M a k t a b a
pamoja na Kompyuta ili kuwawezesha vijana kupata eilimu yenye manufaa katika kila ngazi ya elimu.
Kwa upande mwingine, Maalim Seif, aliwanasihi V i j a n a w a n a o m a l i z a k u e n d e l e z e m a a d i l i mema na kujiepushe na vitendo ambavyo vinaweza kuwaingiza katika mabalaa, kama vile matumizi ya madawa ya kulevya.
“Mara nyingi vijana huwa mnaingia katika mtego huu wa madawa ya kulevya kutokana na kuwa na marafiki wasiokuwa wema. Kwa kuzingatia misingi ya Uislamu na mfundisho mliyoyapata hapa Shuleni naimani hamuwezi kuingia katika balaa hilo na mengine nje ya maadili ya Uislamu”. Alisema.
Maalima Seif, akawataka wahitimu hao kuongeza mkazo katika kusoma kwani kiwango walichofikia cha elimu ya kidato cha nne hakitoshi, ambapo akasema kusoma ni amri ya kwanza iliyoshushwa kwa Mtume (s a w) na kwa Waislamu wote hivyo si jambo la hiyari.
Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi waliohitim Elimu ya Awali, mbele kushoto ni baadhi ya wanafunzi hao wakiwa na Mwl. wao Ukht. Zuena, wakisubiri kupokea vyeti vyao .
Recommended