6
sasa bryo? habari ya ma-days? poa sana. eh, maze unasikia hiyo harufu? nadhani kuna msee ana-make mishikaki. twende tucheki. cheki... ni chuxx na roba na dan wana-roast na kuuza. i hope uko na coins kadhaa unibuy-ie. twende tupange line. aaaah! hehe! tutakuwa masonko! dan, fanya chap chap ma-customer wasichoke kungoja. chuxx niliku-show hii story huwezi harakisha. lazima hizi vitu zichomwe ziive poa! golden brown! j.k. i hope una dooh enough. hizo vitu zina-smell poaa! Najua mimi ni orphan, na nime-grow-ia ghetto, lakini siwezi stand story za corruption. Niko ready kwa any challenge! » Nyama nyama nyama?! 19

15.c – Maria Kim

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Chapta 15- Maria Kim: Nyama nyama nyama (Rabbit meat)

Citation preview

Page 1: 15.c – Maria Kim

sasa bryo? habari ya ma-days?

poa sana. eh, maze

unasikia hiyo harufu?

nadhani kuna msee ana-make

mishikaki. twende tucheki.

cheki... ni chuxx na roba na dan wana-roast na

kuuza.

i hope uko na coins kadhaa

unibuy-ie. twende tupange line.

aaaah! hehe! tutakuwa masonko!

dan, fanya chap chap ma-customer wasichoke kungoja.

chuxx niliku-show hii story huwezi harakisha. lazima hizi vitu

zichomwe ziive poa! golden brown!

j.k. i hope una dooh enough. hizo vitu zina-smell

poaa!

Najua mimi ni orphan, na nime-grow-ia ghetto, lakini siwezi stand story za corruption. Niko ready kwa any challenge!

» Nyama nyama nyama?!

19

Page 2: 15.c – Maria Kim

baadaye...

haiya! roba, nyama inaisha!

saa hizi tutatoa nyama ingine wapi?

after masaa kadhaa...

eh! bryo! nini mbaya?

ni m-sick.

kwani alikula nini?

tuli-buy nyama kina chuxx

wanauza huko.

taraaaaaa!! nimeleta NYAMA!

eeeeh... tegeeni kidogo... narudi.

20

Page 3: 15.c – Maria Kim

wewe mbona ulimpeleka huko?

mpeleke home alale.chuxx, hii

nyama mnauza ni poa kweli?

msuper, hii nyama ni first class! five

star!

maria kim acha hizo maswali. utatupotezea

ma-customer

hebu nione hii damu inaenda mpaka wapi.

inaenda nyuma ya hizo

boxes

wanauzia watu nyama ya mbwa!

what!!

mnauziwa nyama ya mbwa!

hiyo ni damu?

21

Page 4: 15.c – Maria Kim

aki maria kim unaezaje sema hivo? hii si nyama ya mbwa, ni ya ngombe. roba, chuxx,

si mumwambie?

kwani...kwani...?

eh!

dan...

aki siamini! naezaje kaa na watu wanalisha wasee mbwa?!

iza dan. haukujua.

sasa nita-do? hiyo ilikuwa job poa. mi

sitaki kushinda niki-idle mtaani.

you know what? najua mtu

anaeza kupa ma-ideas. twende!

22

Page 5: 15.c – Maria Kim

Nilianza kufuga sungura last year na tayari

zimefika 50! Hizi ndio zinanipatia pesa ya kusomesha

watoto wangu.

Sungura mmoja anazaa watoto kama 32 kwa mwaka, na sungura ya miezi 2 utamwuza kwa

Kshs 1,500.

Na bado! Mbolea ya sungura inatumika sana kwa

shamba, hautanunua fertilizer tena.

Niwaambie! Nyama ya sungura

ni tamu kwelikweli, kilo 1

ni Kshs 300, na huyu sungura ana

kilo 3. Hebu imagine!

Unakimbia wapi?

Haiya! Najipanga nianze hii bizna mara

hiyo hiyo.

ala!

Maria Kim wewe ni hero

wa mine! Baadaye…

23

Page 6: 15.c – Maria Kim

Kutokana na hiyo risto ya Maria Kim, pia nime-get text kutoka kwa fan wangu Levi ambae anafuga sungura na imemuinua sana.

Skieni experience yake!

kwenda huko! utaona! wee!

NA UTAACHA HIZI GAME

ZAKO CHUXX!

AT LEAST UNAPONA BRYO. AKI NILIKUWA

WORRIED!

24

Unaweza kuuza sungura moja kwa Kshs 600 na ukiuza sungura

karibu 4 kwa mwezi, utapata Kshs 2400

[ 4 x 600 = 2,400 ]

Unaweza kuuza sungura moja kwa Kshs 600 na ukiuza sungura

Unaweza kuuza sungura

DJB, sungura ni source poa sana ya food na dooh, ambia

mafans waanzishe hii mradi.

LEVY MIDAMBO FLORENCE AYUMA 30 years - Kakurosi village - Sabatia

na mother yake

“Hizi dooh zinanisaidia kujitegemea na kulisha familia!”

“Nilinunua sungura mbili kwa Kshs 400 miaka

3 iliyopita. Sasa nina sungura 14 na wana watoto wengi sana.”