6
ah, baba charlie, mahindi za hii season imemea mzuri! ...nikupe za ngapi? ala! ni nini sasa? nisaidieni! 24 Mchango!

19.d - Charlie Pele

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Chapta 19- Charlie Pele: Mchango (Blood donation)

Citation preview

Page 1: 19.d - Charlie Pele

ah, baba charlie,

mahindi za hii season imemea mzuri!

...nikupe za

ngapi?

ala! ni nini

sasa?

nisaidieni!

24

Mchango!

Page 2: 19.d - Charlie Pele

Kuna nini?

msichana wangu

amelazwa hospitali...

...aligongwa na gari!

...sasa anahitaji kuongezwa

damu, na hakuna damu kwa hiyo

hospitali.

Nimeomba watu wafanye

blood donation...

...lakini wapi!

pole sana,

mathe...

Tuzunguke hapa

sokoni tubonge na wasee

wa-donate.

...asante sana,

kijana...

wawawa! sasa

tuanzie wapi?

25

Page 3: 19.d - Charlie Pele

Ati niliskia niki-donate blood

nita-test-iwa H.I.V na sitaki kupimwa saa

hizi.

wah, sindano

zinanitisha...

lakini si damu yangu itatumiwa kwa uchawi?!!?!?

lakini Sitaki

ku-lose weight!

unajua, damu yangu

hu-coagulate iki-demonstrate

hizo ma-substrates, so yenyewe siwezi

kukusaidia, pole,

msee...

siwezi changanya damu yangu

na kabila tofauti!

aii! hizo ni vaco!

26

Page 4: 19.d - Charlie Pele

unasemaje??? ati mimi ni mwoga?!?!

jirani! unajua kabila yangu ni kabila ya

mandume?!!?

ala! ni nini leo, baba charlie? kila siku stori

ingin...

mwenye anaogopa

sindano akule maembe!

aki, mbuyu, hiyo si kweli...

lakini sawa, tu,

nitauliza uncle wa rosie,

haogopangi!

27

Page 5: 19.d - Charlie Pele

ah, mniwache!

baba charlie! ngoja! sindano

haiumizi!

...eh?...

haiya! haiumizi!

jirani, nyamazia

hiyo maneno!

hata sikuwa naogopa!

aki, mbuyu!

28

Page 6: 19.d - Charlie Pele

charlie, tulitaka

kuwashukuru sana,

mliokoa mtoto wangu!

hakuna shida!

kujeni msalimie babangu, alisaidia

sana!

ni wewe ulini-save?

ehm... uhm...

nilisaidia, tu...

29

Msee akiwa m-sick ama kukiwa na accident, mara mob, anahitaji damuAdult yeyote anaweza donate blood hata mara 5 kwa mwaka.

ku-donate blood ni ku-save life ya msee!!

Hawa wasee pia wana info mob juu ya ku-donate damu:Bloodlink FoundationTel: (020) 2738418/26

Name:

Age:Blood

Group: RH

RH

Msee akiwa m-sick ama

kukiwa na accident, mara mob,

anahitaji damu

Adult yeyote anaweza donate

blood hata mara 5 kwa

mwaka.

Ina-take karibu 1 hour

ku-donate, na hauta-feel weak.

Mwili ina-replace hiyo damu

within 24 hours!

ku-donate blood ni

ku-save life ya msee!!

donate

3008To:

Text:

Walinipima kucheki kama niko na damu enough, wakapata niko poa

ku-donate. Pia kulikuwa na counselor mwenye

alini-encourage. October 2010 ilikuwa

my first time ku-donate.

Nimeamua ku-donate blood

kila 4 months. Sasa I am a proud donor,

nime-overcome fears zangu za ku-donate

blood!

bonga na mapero wako juu ya

ku-donate damu.

Skia risto ya fan wa

Shujaaz.FM, Linda Wayua

Wacha ni-show DJ B hii risto!

Sikudhani naweza donate damu, huwa

naogopa hata kuicheki! Lakini kuna beshte

yangu aliniambia twende nayeye siku moja.