310460485 Nchi Yetu Online

Embed Size (px)

Citation preview

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    1/37

    NCHI YETUNCHI YETU

     Jarida la 

    Toleo Maalum la Mtandaoni, Machi - April, 2016Toleo la 228 Machi - Aprili, 2016TANZANIA

    Toleo Maalum la Mtandaoni  Aprili 2016Toleo Na. 001

    Kaulimbiu ya Serikali ya Awamu ya Tano ya

     Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 

    ‘‘HAPA KAZI TU’’ 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    2/37

    Government Standing Order Press and Public Relations  2016

    i

    GOVERNMENT STANDING

    ORDER NO. C. 16

    PRESS AND PUBLIC RELATIONS

    (a) The Director of Informaon Services is the recognized channel for all Government

    Informaon to the Press and Broadcasng Services.

    (b) To enable Regional Administraons, Ministries and Departments to keep the Director of

    Informaon informed, as a maer of roune, of their acvies, all Administrave

    Secretaries in the regional Administraons, all Permanent Secretaries and Heads of

    Departments should appoint an ocer at headquarters and/or at such other

    oces as may be appropriate to act as liaison ocer with the Informaon Services Division.

     

    Informaon of a factual nature not connected with major quesons of policy and

    development, to be given publicity in the local press and the broadcast news service

    should be channelled through this ocer to the Press Secon of the Informaon

    Services Division. Conversely it is to this ocer that the ocers of the Informaon

    Services Division would rst go for any informaon that they might require.

    (c) Where the informaon to be given out related to a maer of major importance, the

    channel of communicaon will normally be between the Permanent Secretary Services

    concerned and either the Permanent Secretary of the Ministry responsible for

    Informaon and Broadcasng or the Director of Informaon Services.

    (d) In up-country staons, all material which it is desired to be communicated to the

    Press and Broadcasng Services should be submied to the Regional Informaon

    Ocer to pass such a material to the Director of Informaon Services.

    (e) When an ocer is approached by the Press for an eye witness account of any incident,

    he will always refer the Press to the Senior Ocer present.

    This ocer will connue himself strictly to a statement of facts and will in nocirmcustances embark on a discussion of Government policy. Any ocer making such

      a statement to the press will inform his head of Division immediately of the substance

      of his statement and it will be responsibility of the head of Division to pass this

    informaon to the Permanent Secretary of his Ministry and the Director of any

    incident likely to by the quickest possible means. This procedure is also to be adopted

    for any incident likely to arouse wide public interest or controversy, irrespecve of

    whether or not Press representaves are present, and/or a statement has been

    sought or made.

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    3/37

    Nchi Yetu; Tuonavyo Sisi / Yaliyomo 2016

    NCHI YETU TUONAVYO SISI

     YALIYOMO

    TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO

    • Tunasajili Magazeti na Majarida,

    • Tunauza picha za viongozi wa Kitaifa,

    • Tunatoa nafasi ya kufanya mikutano,

    • Tunatoa nafasi ya watu kuzungumza

    na wanahabari,

    • Tunatoa vitambulisho vya Waandishi

    wa habari (Press Cards),

    • Rejea ya magazeti na picha za zamani.

    JARIDA HILI HUTOLEWA NA

    Idara ya Habari (MAELEZO)

    S.L.P 8031

    Dar es Salaam

    Faksi: 2122771/3

    Barua pepe: [email protected]

    Tovuti: www.habari.go.tz

    ii

    NI miaka 52 ya Muungano wa Tanganyika na

    Zanzibar ulioizaa Tanzania. Katika kipindi hiki

    tumeshuhudia mengi mazuri na chnagamoto

    kadha wa kadha. Mafanikio ya Muungano huu

    ni pamoja na Amani na Mshikamano baina ya

    Watanzania. Kwa kipindi chote hiki tumeishi

    kwa kupendana na kuheshimiana kindungu. Licha ya mafanikio haya

    miaka 52 inatukuta bado na changamoto kadha ikiwemo rushwa,

    madawa ya kulevya na Watumishi hewa. Serikali ya Awamu ya Tano

    chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli limetangaziwa vita kali.

    Suala la mishahara inayolipwa kwa Watumishi hewa limekuwepo kwa miaka

    mingi hapa nchini. Hata hivyo, pamoja na kwamba wizi huu wa fedha za

    Serikali ulikuwa unafahamika katika Wizara na Taasisi zake, swali likuwani “nani wa kumfunga paka kengele?” Tunamshukuru Rais wetu Dkt.

    John Pombe Magufuli kwa kulivalia njuga suala hili na sasa limechukua

    sura mpya ambapo wahusika wameanza kuchukuliwa hatua za kisheria.

    Vita hii imekolezwa na Mheshimiwa Rais ambaye ameonyesha dhahiri

    kukerwa na suala la Watumishi hewa na sasa ameamua kufuatilia

    kwa karibu zaidi baada ya kuwaagiza Wakuu wa Mikoa kuhakikisha

    kwamba hakuna mtumishi hewa katika malipo ya mishahara ya

    Watumishi wake. Aliwataka Wakuu hao wa Mikoa kufuata nyayo zake

    katika vita hivyo. Katika kutekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hadi sasa

    wamegundulika Watumishi hewa 2,700 katika Halmashauri 180 hapa nchini.

    Matokeo ya mapambano dhidi ya Watumishi hewa yamedhihirika pale ambapo

    Mkuu wa Mkoa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga wameachishwa

    kazi mara moja kutokana na kutokuwa wakweli juu ya kuwepo kwa Watumishihewa katika mkoa huo. Tukio hili hakika linaonyesha jinsi Mheshimiwa

    Rais alivyodhamiria kupigana hadi kutokomeza suala la Watumishi hewa.

    Hata hivyo, wapo wajanja wachache wenye tamaa na uroho wa fedha

    ambao wamekuwa wakitumia majina hayo kufanya malipo ya fedha

    za mishahara au kuchukulia mikopo na fedha na kuingiza mifukoni

    mwao. Utati uliofanyika katika mikoa miwili ya Dodoma na Singida kwa

    maelekezo ya Mheshimiwa Rais, unaonyesha kuwa, katika Halmashauri

    14 yaligundulika majina ya Watumishi hewa 202. Kati yao sita walikuwa

    wameacha kazi, 27 ama wamekufa au wamefungwa, 8 wamefukuzwa

    kazi, 158 ni Wastaafu na watatu wako likizo isiyokuwa na malipo.

    Mheshimiwa Rais alitolea mfano kwa kusema, “tuchukulie hawa watumishi

    hewa 2,700 kila mmoja analipwa mshahara wa wastani wa milioni moja kwa

    mwezi, ina maana kwa mwezi huo Serikali inapoteza karibu bilioni mbili.

    Kwa bilioni mbili ni madawati mangapi yangeweza kununuliwa? Kwa mwakamishahara hewa inakia takribani bilioni 24. Je, vitanda kwenye hospitali

    zetu si vingeongezwa na kupunguza adha ya wagonjwa kulala chini?.

    Kutokana na ushindi wa vita hii Watanzania lazima tuseme “heko Rais

    Magufuli”. Kwa kweli amemfunga paka kengele na hivyo hatunabudi kuungana

    naye kwa kuwachua watumishi hewa. Na kwa waliokuwa wakihusika

    na upotevu huu wa fedha sheria haina budi kuchukua mkondo wake.

    Heko Rais Magufuli, Hapa Kazi Tu!, unaidhihirisha kwa vitendo. Vita

    hii iwe chachu ya mapambano mengine dhidi ya Rushwa na Madawa

    ya Kulevya. “Tudumishe Muungano kwa kupambana na Watumishi hewa.

    Tanzania bila Watumishi hewa inawezekana, tutimize wajibu wetu”.

    Heko Rais Magufuli kwa kuchuaWatumishi hewa.

    Government Standing Order Uk. (i)

    Tuonavyo Sisi Uk. (ii)

    Uhuru wa Vyombo vya Habari Uk. 1

    Kuapishwa Rais wa Zanzibar Uk. 4

    Mwenge wa Uhuru Uk. 5

    Miaka 50 ya Uhusiano Tanzania na Vietnam Uk. 7

    Mikakati ya Serikali katika kilimo Uk.10

    Usa siku ya Uhuru Uk.12

    Serikali kutoa Hati ya Umiliki Ardhi Uk. 15

    Elimu ya Msingi/Sekondari kutolewa bure Uk. 16

    Wachimbaji Wadogo wa Madini Uk. 17

    Habari picha Uzinduzi wa Daraja la Nyerere Uk. 18

    Habari picha Muungano Uk. 20

    Umeme wa REA maeneo ya Vijijini Uk. 22

    Juhudi za Serikali kuboresha Afya nchini Uk. 24

    Maadili na Misingi ya Uwajibikaji Uk. 26

    Umeme wa Jotoardhi Uk. 27

    Mchango wa barabara katika pato la Taifa Uk. 29

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    4/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    Wanadamu wameumbwa kwahulka na silika ya kuwa nauwezo wa kuwasiliana miongonimwao, jamii wanamoishi, taia na hataulimwenguni ili waweze kutimizania na azma yao ya kuwasiliana.

    Ili mawasiliano hayo yakamilikeni lazima yabebe ujumbe

    unaokusudiwa kufikishwa katika jamii.

    Ujumbe huo ili uweze kumfikia mlengwa,ni lazima iwepo njia ya kuufikisha ujumbehuo kwa mlengwa ambao huwasilishwakwa maandishi (magazeti), sauti (redio)na picha (V) pamoja na mitandaoya kijamii kupitia huduma ya inteneti.

    Vyombo hivyo vya habari vinahusishawataalamu ambao kazi yao nikuhakikisha jamii inapata ujumbe kwawakati ili kuweza kujenga, kuboreshana kuimarisha maisha yao kiuchumi,kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

    Vyombo vya habari hakika vimekuwa ndiomacho na masikio ya wananchi ili kufikishaujumbe unaohusu mambo mbalimbaliyanayoanyika ndani na nje ya nchi.

    unapoelekea siku ya maadhimisho yauhuru wa vyombo vya habari dunianiambayo huadhimishwa kila mwaka Mei2 na 3, maadhimisho hayo mwaka huu

    yataadhimishwa nchini Finland, ambapowanahabari wote duniani wataunganakuwakumbuka wenzao walioarikidunia walipokuwa wakitekelezamajukumu yao na kupanga mipangomipya ya namna watakavyoboreshakazi zao ziwe za uanisi zaidi.

    anzania ikiwa miongoni mwa mataiaya dunia hii, nayo haipo nyuma katikasuala la uwepo wa vyombo vya habari.

    Ni dhahiri vyombo vya habari nchini vimekuwa kiungo muhimu katika

    Uhuru wa vyombo vya habari nchiniNa Eleuteri Mangi.

    kisaidia Serikali kutoa taaria mbalimbalina ajira hatua ambayo imesaidiakupunguza tatizo la ajira nchini.

    Ukilinganisha na nchi nyingine zaArika Mashariki, anzania inayoongozakwa kuwa na vyombo vingi vya habari,hali ambayo ni msingi wa kuajiriwatu wengi zaidi katika tasnia hiyo.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa naMichezo Nape Nnauye ambaye ndiyemwenye dhamana ya habari nchinianasema Serikali inaunga mkono juhudizinazoanywa na vyombo vya habari nchini. “ulipofika ni pazuri ukilinganisha natulipotoka, mengi yameanyika hasa

    ukiangalia idadi ya vyombo vya habarinchini na uhuru wa waandishi wa habariwanavyoanadika na wanavyofikishaujumbe kwa wasomaji, wasikilizajina watazamaji” alisema Waziri Nape.

    Aidha, Waziri Nape amesema kuwabado Serikali inakusudia kuboreshamazingira ya waandishi wa habariili waweze kuanya kazi zao kwahali ya uhuru hasa wanapotimizamajukumu yao ya kiundishi wa habari.

    Kwa mujibu wa takwimu za Mamlakaya Mawasiliano anzania (CRA)

    ambacho ni chombo kilichoanzishwakisheria kusimamia sekta zamawasiliano na utangazaji nchini hadisasa kuna jumla ya vituo kadhaa vyaradio na televisheni vilivyosajiliwa.

    Idadi ya vituo vya redio vilivyosajiliwanchini hadi sasa ni 123 ambavyo ni sawana asilimia 43.4 katika ukanda wa ArikaMashariki huku miongoni mwa vituohivyo vinamilikiwa na makampuni binasi,taasisi na mashirirka ya dini, jamii naSerikali ambayo inayomiliki kituo kimojacha BC aia inayoendeshwa chini yaShirika la aia la Utangazaji (BC), nchiniKenya vipo vituo vya redio 118 sawa naasilimia 41.7, Uganda 37 sawa na asilimia13.1, Rwanda vituo vitatu sawa na asilimia

    1.1 wakati Burundi ina vituo vya redio viwili ambavyo ni sawa na asilimia 0.7.

    Kwa upande wa vituo vya televisheni,Uganda inaongoza kwa kuwa na vituo vingi ambavyo idadi yake ni 44 sawa naasilimia 53.6, ikiuatiwa na anzania yenye vituo 24 sawa na asilimia 29.3, Kenya vituo 10 sawa na asilimia 12.2, Rwanda vituo vitatu ambavyo ni sawa na asilimia3.7 na Burundi ikiwa na kituo kimoja chatelevisheni ambacho ni sawa na asilimia 1.2Kwa kuzingatia maslahi ya wananchina wamiliki wa vyombo vya habari na

    Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa kazini kutekeleza majukumu yao.

    Inaendelea Uk. 2 1

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    5/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    wanahabari wenyewe, CRA imekuwaikihimiza juu ya uanisi wa ushindani nauchumi, kulinda maslahi ya walaji, kulindauwezo wa edha na uanisi wa wagavi.

    Pia inahimiza upatikanaji wa hudumazinazosimamiwa kisheria kwa walajiwakiwemo wenye kipato cha chini nawalaji wa vijijini na wa pembezoni,kukuza mwamko, maaria na uelewawa jamii kuhusu sekta zinazosimamiwaikiwemo kuzingatia haja ya kulinda na

    kuhiadhi mazingira, haki na wajibuwa walaji na wagavi wanaosimamiwa. Katika kuonesha anzania inavyosimamiauhuru wa vyombo vya habari, CRA ina jukumu lingine la kusimamia malalamikona migogoro inayoweza kujitokezamiongoni mwa wateja wake wakiwemowamiliki wa vyombo vya habari, wananchina kupatia uumbuzi changamoto hizo. Aidha, hadi Aprili 22, 2016, anzaniaimekuwa ndio nchi inayoongoza ArikaMashariki kwa kuwa na idadi kubwa yamagazeti yaliyosajiliwa ambapo idadi yakeni 881 licha ya magazeti na majarida mengikusajiliwa, mengi huchapishwa marachache na mengine kutokuchapishwana kusambazwa baada ya kusajiliwa.

    Kwa idadi ya magazeti nchi za Uganda,Rwanda na Burundi yapo magazetimatano yanayotumika katika nchihizo wakati Kenya ina magazeti sabaambayo husomwa na kufikisha ujumbe

    kwa walengwa katika mataia hayo.

    Wingi huo wa vyombo vya habari nchiniimekuwa ishara njema ya kujali uhuru wakuanzishwa kwa vyombo vya habari kwamakampuni binasi, taasisi na mashirika yadini pamoja na jamii mbalimbali ili kuwezakuwa ndio namna yao ya kupata taaria.

    Katika ulimwengu wa leo, uhuru wahabari ni suala la msingi na lina umuhimumkubwa katika kutekeleza haki za

    binadamu katika kutauta, kupata, kupokeana kutoa habari ambazo ni muhimu kwanchi katika kujiletea maendeleo endelevu.

    Kauli mbiu ya maadhimisho hayo

    mwaka huu inawahimiza wanahabari nawatu wote kutambua “Kupata Habari niUhuru wa Kimsingi: Hii ni haki yako!”ikilinganishwa na kauli mbiu ya mwakauliyopita ambayo ilisema “Achia uwandishihabari ustawi! Kuelekea upashaji habaribora, usawa wa jinsia na usalama wa vyombo vya habari katika enzi ya dijitali”.

    Kwa mujibu wa taaria kwa vyombo vyahabari iliyotolewa na Shirika la Kimataia laElimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO)Aprili 8, 2016 imebainisha kuwa katika

    maadhimisho ya Siku ya vyombo vyahabari duniani mwaka huu, mwandishiwa habari za uchunguzi kutoka AzerbaijanKhadija Ismayilova amechaguliwakupokea tuzo ya uandishi wa habariza uchunguzi ijulikanayo “GuillermoCano” inayotolewa na Shirika hilo.

    uzo hiyo ina thamani ya Dola zaKimarekani 25,000, na imepoewa jinahilo kwa heshima ya Guillermo CanoIsaza, mwandishi wa habari wa Colombia

    aliyeariki Desemba 17, 1986 akiwa kazini.

    Jukumu la kuenzi na kutoa tuzo yaheshima kwa waandishi wa habariduniani linaadhiliwa na taasisi yaCano Foundation kutoka nchiniColombia na Helsingin SanomatFoundation kutoka nchini Finland.

    Msaidizi wa Mkurugenzi Mkuu waMawasiliano na Habari UNESCO Frank

    La Rue anasema “Uhuru wa vyombo

     vya habari ni muhimu kwa taariamuhimu na uwazi ni ambao ni mahitajiya jamii ya kidemokrasia. Lakini leotunaona ongezeko la ghasia na vitishodhidi ya waandishi ambayo miminapendekeza nchi zote duniani kuanzishautaratibu wa habari na ulinzi kwa ajiliya usalama wa waandishi wa habari”. Moja ya changamoto za kuwekautaratibu wa usalama wa waandishiwa habari ni idadi ndogo ya mianoya taratibu zilizopo ambayo inaweza

    kuwa somo ili wengine wawezekujiunza kutokana na taratibu zilizopo.Masuala muhimu ya kuzingatiwawakati wa kuanzisha utaratibu huoni pamoja na kuwepo kwa makundimatatu ambayo ni wigo wa utaratibu,ushirikishwaji wa wadau muhimupamoja na taasisi kubuni na kutathminihatua ambayo itasaidia kufikia malengoya kumlinda mwandishi wa habari.

    Akizungumzia maandalizi ya

    maadhimisho kitaia ya siku ya Uhuru

    wa Vyombo vya habari nchini ambayoyanaanikia jijini Mwanza Mei 2 na 3,mwaka huu, Mwenyekiti wa Kamati yaMaandalizi ya maadhimisho hayo AndrewMarawiti amesema kuwa yanaendelea vizuri kulingana na ratiba ilivyopangwa.

    Katika maadhimisho hayo, Marawitiamesema kuwa Mgeni Rasmi anatarajiwa

    Inaendelea Uk. 3 2

    Inatoka Uk.1

    Moja ya mitambo (satellite dish) ya kurushia matangazo yaelevisheni na redio.

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    6/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    kuwa Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muunganowa anzania Othman Chande ambapowakati wa uunguzi wa maadhimishohayo mada mbalimbali zitawasilishwana watoaKuhusu ratiba ya siku mbili zamaadhimisho hayo, Marawiti amesemakuwa zitawasilishwa zikiandamanana majadiliano kwa washiriki wote.

    Miongoni mwa washiriki wanaotarajiwakuwepo katika maadhimisho hayoni wadau mbalimbali wa habariwakiwemo viongozi wa Serikali,Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zaohapa nchini, wawakilishi wa Mashirikaya Kimataia, wamiliki wa vyombo vyahabari, waandishi wa habari na wananchi.

    Kulingana na takwimu zilizopo, mwandishiwa habari mkongwe nchini, Mzee WillieMbunga amesema kuwa anzania ina vyombo vingi vya habari ikilinganishwana hali ilivyokuwa miaka ya nyumaambapo kulikuwa vyombo vichache vya

    habari ambavyo ni redio anzania Dares salaam, anganyika Standard, MamboLeo, Uhuru, Mzalendo na Ngurumo.

    Aidha, amesema kuwa changamoto yabaadhi ya watu kujisahau na kuwekapembeni maadili ya uandishi wa habarini suala ambalo si la kuumbiwa macho,ni vema litiliwe maanani ili kukiokoakizazi cha sasa na kijacho katikakujenga jamii inayojali na kusimamiamaadili ya taaluma na ya jamii.

    Katika upashanaji habari, duniasasa imekuwa sawa na kijiji hasakatika kipindi hiki cha sayansi nateknolojia ambapo mawasilianondio imekuwa nguzo ya kila kitu.

    Awali makala haya yameonesha kuwaujumbe katika jamiiulifikishwa kwanjia ya redio, magazeti na V, zaidi ya vyombo hivyo, mitandao ya kijamiikwa sasa imekuwa nguzo mahirina vyanzo vikuu vya habari kwa

    waandishi wa habari na wananchi.

    Miongoni mwa mitandao hiyo ya kijamiini pamoja na blog ya Serikali, Michuzi,ullshangwe, bayana, milardayo, mwambawa habari, businessmagnetblogs, mpekuzi,moh Dewji na mitandao mingine.

    Mwandishi wa habari Majid Mjengwaambaye pia ni mwanzilishi nammiliki wa blog ya mjengwa anasema“Mitandao ya kijamii imekuwa ni eneola upashanaji habari linaloanya kazikama vyombo vingine vya habari”.

    Ili kufikisha ujumbe kwa jamii, Mjengwaamesema kuwa watu wote wanaoanya kazikatika mitandao ya kijamii wanapaswakuuata maadili ya taaluma ya habari

    pamoja na sheria na taratibu za nchihusika ili kuondoa mgongano wa maslahikatika kufikisha ujumbe kwa jamii.

    Ni dhahiri haki na wajibu ni vituambavyo haviachani, hivyo ni jukumu lakila mdau wa habari nchini wakiwemoSerikali, waandishi wa habari,wamiliki wa vyombo vya habari nawananchi kuzingatia sheria, kanuni,taratibu pamoja na maadili ya jamii.

    Hatua hiyo itasaidia kuimarisha nakuhakikisha wadau hao wanakuwa sehemuya kujenga uhuru wa vyombo vya habariambavyo vitakuwa chachu ya kujenga taiaimara lenye uchumi bora kwa manuaaya Watanzania ifikapo mwaka 2025.

    Moja ya studio ya kurusha matangazo ya televisheni 

    Moja ya studio ya kurusha matangazo ya redio.

    Inatoka Uk. 2 

    3

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    7/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    Hivi karibuni Rais wa Serikali yaZanzibar, Mhe. Dkt. Ali MohamedShein aliaapishwa na Jaji Mkuu waZanzibar, Mhe. Jaji, Omary Othman

    Makungu kuwa Rais wa Serikali hiyona Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzikwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

    Hatua hiyo ilitokana na ushindi alioupatakwenye Uchaguzi Mkuu wa marudio,ulioanyika Machi 20, mwaka 2016 ambaoulijumuisha vyama vyote vilivyoshirikikwenye uchaguzi huo Oktoba 25,mwaka 2015 ambapo matokeo yakeyaliutwa na ume ya Uchaguzi yaZanzibar (ZEC) kutokana na ukiukwaji

    wa Sheria na taratibu za uchaguzi.

    Sherehe hizo za kuapishwa kwa Raishuyo, zilianyika Machi, 24, mwaka2016 katika uwanja wa Amani mjiniUnguja, na kuhudhuriwa na viongozimbalimbali, akiwemo Rais waJamhuri ya Muungano wa anzania,Mhe. Dkt. John Pombe Maguuli.

    Viongozi wengine wa kitaiawaliohudhuria sherehe hizo ni pamojana Makamu wa Rais wa Jamhuri

    ya Muungano wa anzania, Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan, WaziriMkuu wa Jamhuri ya Muungano waanzania, Mhe. Kassim Majaliwana viongozi mbalimbali wastaau.

    Baada ya zoezi hilo la kuapishwa RaisShein, viongozi wa dini waliomba duawakiongozwa na Kadhi Mkuu wa ZanzibarSheikh Khamis Haji Khamis na kuuatiwana Askou Mkuu wa Kanisa KatolikiJimbo la Zanzibar Mhashamu Augustino

    Shayo na Askou wa Anglikana Dayosisiya Zanzibar Padre Michael Henry Hafidh.

    Dkt. Shein aapishwa kuwa Rais wa

    Awamu ya Saba wa Serikali ya MapinduziZanzibar.

    Na Mwandishi wetu.

    Akiwahutubia wananchi mara baada yakuapishwa, Rais Shein aliahidi kuundaSerikali makini yenye viongozi wachapakazi ambao watatenda haki kwa wananchiwa Zanzibar bila kujali dini, rangi walatoauti za kisiasa na kuwahakikishiawananchi kuwa ataimarisha ulinziwananchi na hatakubali mtu aukikundi cha watu kuleta vurugu nakuhatarisha amani ya Zanzibar.

    Alisema kuwa uchaguzi umemalizikakilichopo mbele yao ni kuanyakazi kwa juhudi na maaria kama ilivyo kauli ya Raiswa Jamhuri ya Muungano wa anzania,Mhe. Dkt.Maguuli ya HAPA KAZI Uili kuleta maendeleo ya kweli Zanzibar.

    Aprili 9, mwaka 2016 baada ya kuingiaIkulu Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt.Shein alitangaza Baraza la Mawazirilenye Wizara 13, Baraza lilikuwa nasura mpya nane, zikijumuisha wajumbe

    kutoka katika vyama vya siasa vyaupinzani, wanasiasa mashuhuri visiwanihumo, huku naibu mawaziri saba wotewakiwa wageni katika naasi hiyo.

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. AliMohamed Shein (kushoto) akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu, Mhe. Omar Othman

    Makungu hivi karibuni mjini Zanzibar.

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa

    Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. AliMohamed Shein akisaini baada ya

    kuapishwa.

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti waBaraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Ali

    Mohamed Shein akikagua gwaride marabaada ya kuapishwa.

    4

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    8/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    5

    Makamu wa Rais wa Jamhuri yaMuungano wa anzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan, alisema alsaaya Mwenge wa Uhuru inahitajikazaidi kwa sasa kuliko wakati wowote,ili kukabiliana na changamotozinazojitokeza za kitaia na kimataia.

    Alisema tangu kuanzishwa kwa mbioza Mwenge wa Uhuru mwaka 1964na kukimbizwa nchini kote, mwengehuo umekuwa kichocheo kikubwakatika kuhamasisha maendeleo, umoja,mshikamano na kudumisha amani,ambayo ni tunu pekee ndani ya taia.

    Akihutubia taia kwenye uzinduzi

    wa mbio za Mwenge wa Uhurukatika Uwanja wa Jamhuri mkoaniMorogoro, Mhe, Samia alitaja baadhi

    Samia: Mwenge wa Uhuru unahitajikazaidi sasa

    Na Benjamin Sawe

    ya changamoto hizo kuwa ni kuanzakujengeka hali ya kudharauliana katika jamii, kuchukiana na kukatishana tamaa.Samia alisema kuna haja ya kuzikabilichangamoto hizo kwa ujasiri wahali ya juu kwa malengo yale yale yakudumisha amani, upendo, umoja namshikamano kupitia mbio za mwenge.

    “Hilo ndilo tunalolianya viongoziwenu wa Serikali kitaia. Hatua zotetunazozichukua za kutumbua majipuni kurudisha heshima na matumainikwa wale waliokata tamaa. Serikaliinaendeleza alsaa hii, naomba nanyimtuunge mkono,” alisema Samia.

    Pamoja na kusisitiza vijana wapeweelimu na ujuzi wa stadi za kazi, pia alitoawito kwa wakuu wa mikoa na wilaya

    kutenga maeneo rasmi kwa vijana kwaajili ya kuendesha shughuli za kiuchumi.Alisema wakati taratibu za kutautamaeneo rasmi zinaanywa, viongozihao watenge maeneo maalum kwa sikuza Jumapili na kuwataka vijana walipeushuru, waimarishe usafi na wawekeulinzi wakati wakiendesha shughuli zao.

    Samia alitumia ursa hiyo pia kuelezeaazma ya Serikali ya kuendelea kupambanana rushwa na ufisadi kwa lengo la kudhibitimianya ya upotevu wa Mapato ya Serikalina kuboresha uwajibikaji katika usimamiziwa rasilimali na utoaji wa huduma.

    Aliwaasa watumishi wa umma na wa sekta

    binasi kujiepusha na rushwa na kutekelezamajukumu yao kwa kuzingatia Katiba,sheria, kanuni, miongozo na taratibu

    Inaendelea Uk. 6 

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa anzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akiwasha Mwenge waUhuru mkoani Morogoro.

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    9/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    6

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya

    Muungano wa anzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan, alisema alsaaya Mwenge wa Uhuru inahitajikazaidi kwa sasa kuliko wakati wowote,ili kukabiliana na changamotozinazojitokeza za kitaia na kimataia.

    Alisema tangu kuanzishwa kwa mbioza Mwenge wa Uhuru mwaka 1964na kukimbizwa nchini kote, mwengehuo umekuwa kichocheo kikubwakatika kuhamasisha maendeleo, umoja,

    mshikamano na kudumisha amani,ambayo ni tunu pekee ndani ya taia.

    Akihutubia taia kwenye uzinduziwa mbio za Mwenge wa Uhurukatika Uwanja wa Jamhuri mkoaniMorogoro, Mhe, Samia alitaja baadhiya changamoto hizo kuwa ni kuanzakujengeka hali ya kudharauliana katika jamii, kuchukiana na kukatishana tamaa.Samia alisema kuna haja ya kuzikabilichangamoto hizo kwa ujasiri wahali ya juu kwa malengo yale yale yakudumisha amani, upendo, umoja namshikamano kupitia mbio za mwenge.

    “Hilo ndilo tunalolianya viongoziwenu wa Serikali kitaia. Hatua zotetunazozichukua za kutumbua majipuni kurudisha heshima na matumainikwa wale waliokata tamaa. Serikaliinaendeleza alsaa hii, naomba nanyimtuunge mkono,” alisema Samia.

    Pamoja na kusisitiza vijana wapewe

    elimu na ujuzi wa stadi za kazi, pia alitoawito kwa wakuu wa mikoa na wilayakutenga maeneo rasmi kwa vijana kwaajili ya kuendesha shughuli za kiuchumi.Alisema wakati taratibu za kutautamaeneo rasmi zinaanywa, viongozihao watenge maeneo maalum kwa sikuza Jumapili na kuwataka vijana walipeushuru, waimarishe usafi na wawekeulinzi wakati wakiendesha shughuli zao.

    Samia alitumia ursa hiyo pia kuelezea

    azma ya Serikali ya kuendelea kupambanana rushwa na ufisadi kwa lengo la kudhibitimianya ya upotevu wa Mapato ya Serikalina kuboresha uwajibikaji katika usimamizi

    Inatoka Uk. 5 

    wa rasilimali na utoaji wa huduma.

    Aliwaasa watumishi wa umma na wa sektabinasi kujiepusha na rushwa na kutekelezamajukumu yao kwa kuzingatia Katiba,sheria, kanuni, miongozo na taratibuzilizowekwa. Alisema mkono wa Serikalihautamwacha mtu bila kujali hadhi yake.Anasema Serikali inaendelea kupambanana malaria, Ukimwi na matumiziya dawa za kulevya, hatua ambayoitawaanya wananchi kuwa wenye ayabora, nguvu na ari ya kuanya kazi, hivyokuongeza tija kwa taia na kutokomezaumasikini, ujinga na maradhi.

    Naye Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri MkuuSera, Bunge, Vijana, Ajira na Walemavu,Mhe. Jenister Mhagama, alisema

    mwenge huo utakimbizwa kwa siku179 katika mikoa na wilaya zote nchini.

    Anasema mbio hizo zimeendelea kuenezaujumbe wa amani, umoja, mshikamano,utu, moyo wa uzalendo na kujitoleamiongoni mwa Watanzania. Mambo hayoyamekuwa tunu zinazoitambulisha nchiya anzania na watu wake, na ni mamboyasiyokuwa na chama wala itikadi.

    Uzinduzi huo ulihudhuriwa na viongozi

    mbalimbali, wakiwamo mawaziri,makatibu wakuu, wakuu wa mikoa nawilaya kutoka anzania Bara na Visiwani.

    Ni mara ya pili kwa Mwenge kuwashwamkoani humo. Kwa mara ya kwanzauliwashwa mwaka 1985 eneo laWami Sokoine, kabla ya wilaya yaMorogoro kugawanywa na kuzaliwawilaya ya Mvomero. Uliwashwa hapokumuenzi Waziri Mkuu hayati EdwardSokoine aliyekua kwa ajali ya garieneo hilo mwaka Aprili 12, 1984.

    Uzinduzi mwingine wa Mwenge wa Uhurukitaia ulianyika mwaka 2006, uliwashwauwanja wa Jamhuri uliopo Manispaaya Morogoro. Mkoa huo pia ulipataheshima nyingine ya kuzima Mwenge waUhuru kitaia mwaka 1994 katika eneola Mazimbu, Manispaa ya Morogoro. Eneo hilo la Mazimbu, lilitumiwa na

    Chama cha Arican National Congress(ANC), na yalikuwa ni Makao Makuuya ANC katika kuendesha mapambanodhidi ya makaburu wa Arika Kusini.

    Nae Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe.Dkt. Steven Kebwe alisema Mwengewa Uhuru ni urithi aliotuachia Babawa aia na wananchi wanatambuakuwa anzania imekuwa na utaratibu

    Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe.Stephen Kebwe (kulia) akipokea Mwenge

    wa Uhuru toka kwa Kiongozi wa Mbioza Mwenge Bw. George Mbijima mkoani

    Morogoro.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa anzania, Mhe. SamiaSuluhu Hassan (kushoto) akipokea Mwenge wa Uhuru toka kwa

    Kiongozi wa Mbio za Mwenge Bw. George Mbijima mkoani Morogoro.

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    10/37

    7

    Miaka Hamsini ya uhusiano kati ya

    Tanzania na VietnamRais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Mhe. Dkt. John Pombe

    Magufuli (kushoto) akisalimiana na Raiswa Jamhuri ya Kisoshalisti ya

    Vietnam, Mhe. Truong TanSang Ikulu Jijini Dar es Salaam.

    Na Benedict Liwenga.

    Inaendelea Uk. 8

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    Tanzania na Vietnam zimeanzakuendeleza ushirikianona mahusiano katika maeneombalimbali ya kiuchumikwa zaidi ya miaka hamsini.

    Mahusiano haya yamejengwa na

    Baba wa aia Mwalimu JuliusKambarage Nyerere pamoja naaliyekuwa Mwenyekiti wa KamatiKuu ya Chama cha Kikomunisticha Vietnam Hon Chi Minhmnamo mwaka 1960 na kupelekeakuanzishwa rasmi kwa mahusianoya kidiplomasia mwaka 1965.

    Aidha, katika kipindi cha miaka

    50 ya mahusiano ya kidiplomasiabaina ya nchi hizi mbili Viongoziwa kitaia wa nchi hizo wameanya

    ziara za kudumisha mahusianoya pamoja ambapo tarehe 25Septemba 1973, aliyekuwa Rais waVietnam Mhe. Nguyen Huu Toalianya ziara nchini anzania.

    Kwa upande wa anzania, viongozi

    walioanya ziara nchini Vietnamni pamoja na Rais wa Awamu yaatu wa Jamhuri ya Muunganowa anzania, Mhe. BenjaminWilliam Mkapa (2004); Rais waAwamu ya Nne wa Jamhuri yaMuungano wa anzania, Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete (2014),Rais wa Zanzibar na Mwenyekitiwa Baraza la Mapinduzi Mhe.

    Dkt. Ali Mohamed Shein (2012);Mawaziri Wakuu wa Serikali yaAwamu ya Nne ya Jamhuri ya

    Muungano wa anzania, Mhe.

    Edward Lowassa (2006); na Mhe.Mizengo Kayanza Pinda (2010).

    Maanikio ya Uchumi ya VietnamVietnam imeanikiwakupunguza umasikini wawananchi wake kwa asilimia 50.

    Vietnam inaongoza ulimwengunikwa kuuza korosho napilipili manga. Vilevile,Vietnam ni miongoni mwanchi zinazoongoza kwenyekilimo cha muhogo na mpira.

    Biashara kati ya anzania naVietnam kwa sasa ni zaidiya dola milioni 300 ambapondani ya miaka mitano ijayoinakadiliwa kufikia dola bilionimoja ifikapo mwaka 2020.

    Baadhi ya maeneo ambayoanzania na Vietnam wameonyeshaushirikiano ni pamoja na uwekezajikatika kilimo cha mpunga, uvuviwa samaki wa ziwani na baharinipamoja na uanzishwaji wa viwanda

     vya kusindika mazao ya biashara.

    Kutokana na uhusiano huu baina ya

    nchi hizi mbili utasaidia kuunguamahusiano ya mawasiliano katikaelimu, ambapo kutakua na ursa

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    11/37

    kwa wanaunzi wa Kitanzaniakwenda kusoma nchini Vietnam,na wataalamu wa Vietnam kujakuanya kazi pamoja na watanzania.

    Mkakati huo unaendana nautekelezaji wa mpango wamaendeleo wa nchi hiyo ambao kwasasa umelenga kuanya mageuzimakubwa katika taasisi za kibenki

    ili kuwezesha wananchi kupatamitaji ya kuanya shughuli zauchumi na maendeleo; namageuzi ya makampuniya biashara yaSerikali ili yawezek u s h i n d a n akatika uchumiwa soko ndanina nje yanchi pasipo

    k u t e g e m e aruzuku kutokaS e r i k a l i n i . Katika ziara yasiku nne nchini,Rais wa Jamhuriya Kisoshalisti yaVietnam, Mhe. ruongan Sang nchini, aliongozana

    na mke wake, Bi. Mai Ti Hanh,Mawaziri 4 wanaoshughulikana sekta za Kilimo, Habarina Mawasiliano, Uwekezaji,Aya,Viwanda na Biashara pamojana ujumbe wa waanyabiashara30 kutoka Vietnam.Madhumuni ya ziara hiyo ilikuwani kukuza uhusiano baina yaVietnam na anzania mbao

    umedumu kwa zaidi ya miakahamsini tangu kuanzishwa kwake

    pamoja kuungua maeneo mapyaya Ushirikiano wa kiuchumi

    baina ya anzania na Vietnam.

    Hii ilikuwa ni ziara ya kwanza yakiongozi huyo Barani Arika tanguaingie madarakani mwaka 2011,ambapo nchi nyingine ambayoalitembelea ni Mozambique.

    Katika ziara hiyo, Rais Sang alipataursa ya k u a n y a

    mazungumzoIkulu Jijini Dar es Salaam naRais wa Jamhuri ya Muunganowa anzania, Mhe. John PombeJoseph Maguuli ambapo viongozihao walisaini mkataba wakibiashara baina ya pande mbili.

    Rais Maguuli alieleza kuwa ugeniwa Rais Sang nchini anzaniaumekuwa wa maana kubwakwa anzania na kuongeza

    kuwa nchi hizo zimekuwa nauhusiano imara wa muda mreu.

    ‘’Nakumbuka mwaka 2004 RaisMstaau wa Awamu ya atu,Mhe. Benjamini William Mkapaalitembelea Vietnam, pia RaisMstaau wa Awamu ya Nne, Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete alitembeleaVietnam mwaka 2014, hivyohuu ni uhusiano mzuri, na hivyokuja kwako hapa ni uthibitishotosha namna gani tulivyo namahusiano mazuri baina yetu’’,

    alisema Rais Maguuli.

    Aliongeza kuwa,biashara kati ya

    anzania naVietnam ambayokwa sasa nidola zipatazomilioni 300 kwa

    mwaka ni kidogokulingana na

    uwepo wa ursazilizopo katika

    nchi hizo mbili,hivyo kuna haja ya

    kuendeleza mahusianoya kibiashara ya

    pande zote mbili.

    ‘’Nina uraha kuwa, katika ziara hiiumeuatana na Waanyabiasharawakubwa hivyo, mwisho wa ziarahii ni matumani yangu kuwawaanyabishara wetu wa anzaniawatanuaika kuwa na mahusianomazuri ya kibiashara ambayoyatakuza mahusiano yetu yakiuchumi’’, aliongeza Rais Maguuli.

    Kwa upande wake Rais wa Jamhuriya Kisoshalisti ya Vietnam, Mhe.ruong an Sang anaeleza kuwa, ili

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    8

    Inatoka Uk. 7 

    Inaendelea Uk. 9 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    12/37

    mahusiano hayo na makubalianoyazidi kuendelea, hakunabudikuwa na mawasiliano ya karibuna kukutana mara kwa marabaina ya watendaji wa Serikalihizi mbili ikiwemo kutembeleanamara kwa mara kwa lengo lakukuza maeneo waliyokubaliana. Waziri wa Mambo ya Nje na

    Ushirikiano wa Arika Mashariki,Kikanda na Kimataia, Mhe.Augustine Mahiga anaeleza kuwa,Serikali iliupa uzito wa pekee ugenihuo kwa sababu ni ziara ya kwanzaya kitaia katika Awamu ya anokuanywa na Mkuu wa Nchi hiyo.

    Mhe. Augustine Mahigaanabainisha kuwa mbali na nchihiyo kuongoza katika kilimobarani Asia, pia inasifikanaduniani kwa kuuza samaki ainaya Sato ambao walichukuliwakutoka Ziwa Victoria.

    Aliongeza kuwa, ili anzania nayoifike ilipo Vietnam hainabudikuuata mambo matatu ambayoVietnam inayazingatia ikiwemokuanya kazi kwa bidii katika

    mazingira ya aina zote, utekelezajiwa maamuzi wanayoanya nakuwekeza katika maunzo yauundi, miundombinu kama vileya umeme, barabara, reli, bandarina mabenki kwa ajili ya mitajina huduma nyingine za kiedha.

    Naye Waziri wa Habari naMawasiliano wa Vietnam Mhe.

    Nguyen Bal Son anaeleza kuwanchi yake ina historia nzuriya ushirikiano na mahusiano

    na Serikali ya anzania yakidiplomasia ya muda mreu na

    hivyo wataendeleza uhusianohuo pamoja na kushirikiana ilikukuza uchumi wa nchi hizo.

    Katika ziara hiyo, Rais waVietnam mbali na kuanyamazungumzo na Rais wa Jamhuriya Muungano wa anzania, Mhe.John Pombe Maguuli, alianyapia mazungumzo rasmi na Rais

    Mstaau wa Awamu ya Nne, Mhe.Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Spika wa Bunge la Jamhuri yaMuungano wa anzania, Mhe. JobNdugai; Waanyabiashara kutokasekta binasi na kutembelea eneola uwekezaji la EPZA, lililopoUbungo Jijini Dar es Salaam.

    Mikataba ya Mahusiano bainaya anzania na Vietnam.

    Katika jitihada za kuimarishamahusiano, mwaka 2001 anzaniana Vietnam zilisaini Mkataba waUshirikiano wa Kuichumi na uundi.

    Mkataba huo uliainisha maeneoya ushirikiano ikiwemo;Kubadilishana uzoeu katikasekta ya kilimo na maendeleo

     vijijini; Kubadilishana uzoeu

    katika matumizi ya sayansi nateknolojia katika kuendelezakilimo cha umwagiliaji, uvuvina misitu; Kupeana taaria zaursa za masoko ya bidhaaza kilimo; Vietnam kuipataanzania utaalam na teknolojiaya uvunaji na utunzaji wa maji.

    Pia mwaka 2014 anzania na

    Vietnam zilisaini Mkataba waushirikiano katika sekta yamawasiliano ambapo kupitia

    mkataba huo kampuni yaVietel maaruu kama Halotel

    inayomilikiwa na Jeshi la Vietnamimeanya uwekezaji mkubwakatika sekta ya mawasilianonchini na kuzalisha ajira zamoja kwa moja kwa Watanzania1600 na ursa za kujiajiri kwawatanzania 20,000. Vilevile,kampuni hiyo kupitia mkatabauliosainiwa, itatoa huduma zainternet bure kwenye mashule na

    mahospitali ya Serikali vijijini.

    Ni matumaini makubwa kuwa,uhusiano huu kati ya anzaniana Vietnam uliodumu kwamiaka zaidi ya hamsini sasautaleta mabadiliko katikamasuala mbalimbali ili kukuzamahusiano ya kiuchumi na kuletamaendeleo baina ya anzania.

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    9

    Inatoka Uk. 8 

    Mke wa Rais wa Vietnam mama Mai TiHanh (kulia) akimsalimia mcheza ngoma.

    Mama Janeth Magufuli pamoja na Mkewa Rais wa Vietnam mama Mai Ti Hanh

    wakifurahia ngoma.

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    13/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    10

    Katika kukabiliana na uhaba wa chakulanchini, Serikali imeainisha sekta yakilimo kuwa miongoni mwa maeneo sita yakitaia ya kimkakati yaliyo katika mpangowa matokeo Makubwa Sasa (BRN).

    Chini ya Mpango huo zipo Sekta sitaambazo zimeainishwa kuwa maeneoya Kipaumbele Kitaia (NKRA)ili kuhakikisha kwamba anzania

    inaanikisha malengo yake katikakuleta maendeleo kwa wananchi naaia kwa ujumla. Sekta hizo ni pamojana Kilimo, Elimu, Maji, Uchukuzi,Nishati na Ukusanyaji wa mapato.

    Kuibuliwa kwa Sekta ya kilimo kuwamiongoni mwa vipaumbele Kitaiakunatokana na ukweli kuwa kilimokinachangia asilimia 24 katikapato la aia na kutoa ajira kwatakribani asilimia 75 ya nguvukazi.

    Maeneo matatu ya kipaumbeleyaliyoainishwa kwa upande wa Sekta

    ya kilimo ni pamoja na kutenga ardhikwa ajili ya mashamba makubwa25 ya uwekezaji, kuwa na skimu zaumwagiliaji 78 za kilimo cha mpungana maghala 275 ya kuhiadhia mahindi.Kiashiria cha Maanikio ya mpango huokinatokana na kuongezeka kwa uzalishajiwa mpunga kwa zaidi ya mara mbilikutoka tani 4 hadi 8 kwa hekta ifikapomwaka 2016 katika skimu za umwagiliaji.

    Kiashiria kingine ni ongezeko la wakulimawadogo wanaolima mpunga katika skimuza umwagiliaji zinazoendeshwa kitaalamu.

    Lengo ni kuwa na wakulima 29,000 katikaskimu 39 ifikapo mwaka 2016 ambapo kwasasa skimu 26 zipo katika marekebishoili ziweze kuendeshwa kitaalamu.

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo chaUwekezaji anzania (IC), Juliet Kairuki

    alisema Serikali imeanza zoezi la kuwapatawawekezaji katika mashamba hayolimeanza na Hati Miliki za Mashamba

    kwa ajili ya wakulima 1,052 zimeandaliwa.

    Kati ya hizo hati 185 zimekamilikakwa ajili ya kuwakabidhi wahusika.athmini ya uzalishaji iliyoanyikamwezi Agosti 2014 nchini ilibainikuwa uzalishaji wa mazao ya chakulakatika msimu wa kilimo wa 2013/2014ulikuwa tani 16,015,238 zikiwemotani 9,828,540 za naaka na tani

    6,186,698 za mazao yasiyo ya naaka.

    Kiasi hicho cha chakula kikilinganishwana mahitaji ya chakula ya tani 12,767,879katika mwaka 2014/2015 kilioneshakuwepo kwa ziada ya tani 3,247,359 zachakula, na kulianya taia kujitoshelezakwa chakula kwa asilimia 125.

    Aidha, akiba ya naaka katika Wakalawa aia wa Hiadhi ya Chakula (NFRA)hadi kufikia mwezi Mei 2015 ilikuwa ni

     jumla ya tani 422,285.705 zikiwemo tani413,165.804 za mahindi, tani 5,180.271za mtama na tani 3,939.630 za mpunga.

    Mikakati ya Serikali katika kukabiliana

    na uhaba wa chakula nchiniNa Ismail Ngayonga

    Inaendelea Uk. 11

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    14/37

    11

    Inatoka Uk.10 

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    Vile vile, hadi kufikia Mwezi Mei 2015Serikali kupitia NFRA ilikuwa imewalipawakulima jumla ya Shilingi bilioni 77zilizotokana na madeni mbalimbali.

    Fedha zimegawanywa kwenye vituo, vikundi na mawakala mbalimbali.Serikali imeanza uhakiki wa maghala275 ambapo maghala 113 yapo katikahali nzuri yakihitaji matengenezomadogo; maghala 74 yapo katika hali yakati yakihitaji marekebisho makubwakidogo na maghala 87 yameharibika

    na hivyo yanahitaji kujengwa upya.

    Aidha Muko wa Bill and MelindaGates Foundation umeahidi kutoadola 750,000 kwa ajili ya matengenezona kuyaanya ukarabati wa maghala30 ili yaanze kazi. Maghala yaliyobakiyatatengenezwa kwa kutumia edhaza msaada kutoka Benki ya Dunia.

    Kongamano la kilimo na usalama wachakula lililoanyika Jijini Washington,

    Marekani mwaka 2012 linaitajaanzania kuwa ni kati ya nchi tatu zakwanza Barani Arika zitakazonuaikana mpango wa pamoja wa kilimo kwania ya kuongeza na kulinda usalamawa chakula na lishe kwa watu wake.Nchi nyingine ni Ethiopia na Ghana.

    Akihutubia Kongamano hilo lililoanyika jijini Washington, Marekani, Rais wa

    nchi hiyo Barrack Obama alisema nchihizo tatu za kwanza zimechaguliwakunuaika na ushirikiano huu kwa vile zimeonyesha kufikia katikaKilimo na usalama wa chakula.

    anzania ilialikwa kuhudhuria kikaohicho kutokana na mpango wake waKilimo Kwanza, ambapo nchi tajiriduniani zimeuchukua kama manoambapo juhudi na mikakati iliyomokatika mpango huo itatumika nakuendeleza nchi zingine barani Arika.

    Usalama wa chakula, ni suala linalopewakipaumbele na Serikali ya anzania.Serikali iliandaa mikakati na programuambazo zilizaa mkakati wa KuendelezaSekta ya Kilimo (ASDS). ASDS inasisitizasera muaaka na mikakati inayolenga

    kuchochea wadau kutokasekta ya umma na binasikuwekeza kwenye kilimo.

    Mkurugenzi wa Idara ya

    Usalama wa Chakula,Wizara ya Kilimo, Miugona Uvuvi Bw. KarimMtambo alibainisha kuwakwa sasa mikoa yotenchini ina kiwango chachakula kwa asilimia 93.

    Mtambo alisema mavunoya mahindi katika nchi za Kusini mwaArika yanatarajiwa kushuka kwa takribanasilimia 26 ukilinganisha na mwaka 2014,

    hali ambayo itasababisha kupanda kwabei ya chakula na kutia dosari katikahali ya sasa ya usalama wa chakula.

    aaria ya mwaka 2015 ya Umoja waMataia iliyotolewa na Muko wa Kimataia

    wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) naShirika la Mpango wa Chakula Duniani(WFP) inaonyesha takribani watu Milioni796 wanakabiliwa na njaa duniani.

    aaria hiyo inaeleza kuwa, kati yao watumilioni 214 wapo katika Bara Arikahususani katika eneo la kusini mwa jangwala Sahara, na kueleza kuwa katika kilawatu tisa mmoja wao anakabiliwa na njaa.

    Sekta ya kilimo ina dhamana ya kuzalishachakula kwa watu zaidi ya billionimbili ifikapo mwaka 2050. Jitihada zakukuza Sekta ya Kilimo ni njia pekeeya kukabiliana na ongezeko kubwala idadi ya watu linalotarajiwa baraniArika kwenye kipindi cha miaka ijayo.

    Mkulima akipalilia shamba kwakutumia trekta.

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    15/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    Ikapo Desemba 9 kila mwaka, Watanzaniakote nchini husheherekea siku ya Uhuru.

    Siku hii ni muhimu kwani ndipo Tanganyika

    ilipata uhuru wake kutoka kwa wakoloni

    kabla ya kuungana na Zanzibar. Hayati Baba

    wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere ndiye

    alikuwa muhasisi wa kwanza wa Taifa huru

    la Tanganyika baada ya kupata uhuru huo.

    Kutokana na tukio hilo la kihistoria,

    Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere

    aliamua kuwa ikapo Desemba 9, kila

    mwaka Watanzania waikumbuke siku

    hiyo kwa kufanya sherehe nchi nzima.Kitaifa, katika maadhimisho hayo

    Watanzania walikuwa wakishuhudia

    maandamano na michezo ya halaiki na

    gwaride la majeshi ya ulinzi na usalama.

    Katika Awamu Nne za Uongozi wa Serikali

    zilizopita, Marais wake waliendeleza

    utamaduni wa kusheherekea siku ya Uhuru

    hapa nchini ikapo Desemba 9, kila mwaka.

    Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,

    Mhe. Ali Hassan Mwinyi, aliyeongoza

    Serikali ya Awamu ya Pili, Mhe. Benjamin

    Mkapa aliyeongoza Serikali ya Awamu ya

    Tatu na Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

    aliyeongoza Serikali ya Awamu ya Nne, wote

    walikuwa wakishiriki katika maadhimisho

    Watanzania waadhimisha siku ya

    Uhuru Kwa kufanya usafiNa Raymond Mushumbusi

    ya siku ya kupata Uhuru wa nchi yetu.

    Ilikuwa ni kama ndoto kwa Watanzania

    walio wengi na pengine hata nchi jirani

     pale ambapo Rais wa Awamu ya Tano Mhe.

    Dkt. John Pombe Magufuli alipoagiza

    kuwa, katika kusheherekea miaka 54 ya

    uhuru ikapo Desemba 9, 2015, Watanzania

    kote nchini wafanye usa kila mtu

    katika eneo lake badala ya kusheherekea

    siku ya Uhuru kama ilivyozoeleka.

    Akielezea uamuzi wake huo, Dkt. Magufuli

    alisema “Hatuwezi kufanya sherehe huku

    watu wetu bado wanakufa kwa ugonjwa wakipindupindu ambao unatokana na uchafu,

     badala yake nchi nzima tufanye usa siku hiyo”.

    Akitangaza rasmi uamuzi huo wa Dkt.

    Magufuli, aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi,

    Balozi Ombeni Sefue alisema “siku ya tarehe

    9, Desemba mwaka huu (2015), itakuwa ni siku

    ya Uhuru na Kazi. Hivyo basi, maadhimisho

    ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika

    yatafanyika kwa watu kufanya usa katika

    maeneo yao ikiwa ni jitihada za Serikali za

    kuimarisha usa na kupambana na magonjwa

    ya milipuko kama vile Kipindupindu.”

    Balozi Ombeni aliendelea kufafanua kwa

    kusema “Kero ya uchafu imemfanya Mhe. Rais

    kufanya tendo la kihistoria ambalo halijawahi

    kufanyika kwa takribani zaidi ya nusu karneya uhai wa Tanzania. Tukio hili lina lenga

    kuhamisha maadhimisho tuliyozoea ya

    kuona gwaride la vikosi vya ulinzi na usalama

     pamoja na halaiki na kushuhudia machepe,

    toroli, ndoo, fyekeo na zana nyinginezo za

    usa zikitumika siku hiyo. Ama kweli Dkt.

    Magufuli ni kiongozi mwenye uthubutu.”

    Kwa mujibu wa iliyokuwa,Wizara ya

    Afya na Ustawi wa Jamii,mlipuko wa

    ugonjwa wa kipindupindu umekuwa

    ukitokea mara kwa mara hapa nchini na

    kusababisha vifo vya Watanzania wengi.

    Jitihada nyingi zimefanyika katika kuzuiana kupambana ugonjwa wa kipindipindu

    kupitia vyombo vya habari, lakini

     bado tatizo hili limekuwa likiendelea.

    Katika kipindi cha miezi nane (8) ambayo

    ugonjwa wa kipindupindu umedumu

    katika maeneo tofauti nchini na kwa

    takwimu zilizopo kuanzia mwezi Augosti

    2015 mpaka Aprili 17, 2016 jumla ya

    watu 20,882 wameugua ugonjwa huo na

    kati yao watu 329 wamepoteza maisha.

    Katika kutekeleza agizo hilo, Rais Dkt.

    John Magufuli aliongoza kwa vitendozoezi la kufanya usa kama alivyoelekeza.

    Dkt. Magufuli na mkewe Mama Janeth

    Magufuli walifanya usa katika maeneo ya

    Feri, eneo ambalo liko mita kadhaa kutoka

    Ikulu Jijini Dar es Salaam. Naye Makamu

    wa Rais, Samia Suluhu alionekana akifanya

    usa katika eneo la ufukwe wa Bahari wa

    ‘Coco Beach’ na baadae kuelekea maeneo

    ya Kinondoni Morocco Jijini Dar es Salaam.

    Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa

    aliungana na Wananchi kufanya usa

    katika maeneo ya Kariakoo Jijini Dar es

    Salaam. Wizara, Taasisi, Idara, Wakala wa

    Serikali, mashirika binafsi Asasi zisizo

    za kiserikali, mabalozi wanaoziwakilisha

    nchi zao walishiriki kufanya usa

    katika maeneo mbalimbali katika

    kutimiza agizo la Dkt. John Magufuli.

     

    Kwa kuwa suala la usa sio kwa Tanzania

    Bara pekee, Rais wa Zanzibar na

    Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.

    Ali Mohamed Shein, naye aliungana na

    wananchi pamoja na viongozi wengine

    wa kitaifa kote nchini kufanya usa

    ikiwa ni sehemu ya maadhimisho yamiaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika.

    Dkt. Shein alishirikiana na viongozi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa anzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuliakizoa takataka katika eneo ambalo alishiriki kufanya usafi siku ya Desemba

    9, mwaka 2015 katika maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa anganyikakatika maeneo ya kivukoni jijini Dar es salaam.

    12Inaendelea Uk. 13 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    16/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni    2016

    mbalimbali wa Serikali,watumishi wa Idaramaalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

    (SMZ) na vikosi vya JWTZ kufanya usa

    katika soko la samaki Malindi mjini Unguja.

    Akizungumza mara baada ya kufanya

    usa, Dkt. Shein aliwakumbusha wananchi

    haja ya kuimarisha usa ambao umekuwa

    ni utamaduni wa watu wa Zanzibar.

    Aliwataka wananchi kufanya usa

    katika maeneo yote ya kazi,

    makazi pamoja na maeneo

    mengine ili kuimarisha usa

    wa mazingira pamojana wananchi wenyewe

    kwa kuwa hatua

    hiyo ni kuimarisha

    afya zao pia.

    Alifafanua kuwa

    uamuzi huo ni wa

     busara na kitendo

    cha wengine

    kufanya usa na

    wengine kuendelea

    na majukumu

    mengine maosini,

    siku ya leo inadhihirisha

    umakini na utekelezaji wa

    kauli mbiu ya ‘HAPA KAZI TU’.

    Kwa mujibu wa Kamishna Mkuu wa

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw.

    Alphayo Kidata ambaye pia amewahi

    kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi,

     Nyumba na Maendeleo ya Makazi

    alisema suala la usa ni muhimu na sio

    la kulazimishwa bali ni lazima kwa kila

    Mtanzania katika kuzingatia usa ili

    kuondokana na magonjwa hasa ya mlipuko

    yanayosababishwa na hali ya uchafu.

    Diwani wa Kawe Mheshimiwa Muta Robert

    Rwakatare alimpongeza Mhe. Rais kwa

    kukiria na kutoa uamuzi wa kuwataka

    Watanzania kufanya usa. Alieleza

    kwamba tatizo la uchafu limekithiri sana

    na kuahidi kushirikiana na Serikali kupitia

    Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni

    kutafuta njia za kutatua changamoto.

    Aliitaja changamoto kubwa iliyopo

    ni katika kutekeleza kazi ya kufanya

    mazingira kuwa sa ikiwemo

    upatikanaji wa magari ya kubebea taka.

    Kwa upande wake mkazi wa kataya Kawe Bw. Hussein Bana alisema

    wamelipokea suala la kufanya usa katika

    maeneo yao sio kila ikapo Desemba

    9 pekee, bali wataliendeleza suala hilo

    na kuhamasishana hasa vijana kushiriki

    katika kufanya usa kwenye maeneo yaoili kuondokana na magonjwa hasa ya

    mlipuko na kujilinda wao na vijazi vijavyo.

     Naibu Waziri wananchi Osi ya Makamu wa

    Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luaga

    Mpina alitangaza kuwa kila Jumamosi ya

    mwisho wa mwezi itakuwa siku rasmi ya

    kufanya usa

    w a

    mazingira ili

    kupambana na magonjwa yanayosababishwa

    na uchafu kama vile kipindupindu.

    Katika kulilipa nguvu swala kuimarisha

    mazingira kwa kuzingatia usa katika maeneo

    mbalimbali,Halmashauri za Majiji ,Wilaya na

    Miji Tanzania Bara na Visiwani zilianzisha

    faini kupitia sheria ndogo ndogo zilizopo

    ili kupambana na uchafuzi wa mazingiraunaofanywa kwa makusudi na baadhi ya watu,

    na kwa kuanza Halmashauri ya Manispaa ya

    wilaya ya Ilala ilitangaza rasmi kwa yoyote

    atakayekamatwa anatupa taka sehemu

    isiyostahili atatozwa faini ya shilingi elfu 50

    taslimu na kutangaza kutoa nusu ya fedha

    ya faini kama zawadi kwa kuwahamasisha

    wananchi kutoa taarifa au kufanikisha

    kukamatwa kwa mtu atakayevunja Sheria hiyo.

    Kamapeni za usa zilifanyika katika

    Mikoa,Wilaya ,Miji na Vijiji nchi kote kwa

    wananchi kushirika katika kufanya usa na

    kufanya usa kuwa ni utamaduni wao nasio mpaka litolewe tamko juu ya kusasha

    mazingira yanayowazunguka, katika kampeni

    hii ya usa siku ya Desemba 9 ilikubwa

    na baadhi ya changamoto ikiwa baadhi ya

    wananchi kutoshiriki kampeni hizo katikamaeneo yao na kuwepo kwa uhaba wa

    magari ya kuzolea taka katika Halmashauri

    za Majiji, Wilaya na Miji iliyosababisha

    taka kukaa kwa muda mrefu katika baadhi

    ya maeneo lakini juhudi toka Halmashauri

    hizo zilifanyika na kuwezesha kuzolewa

    na kutupwa katika madampo husika.

    Katika kutekeleza suala la kuimarisha usa

    wa mazingira Serikali kupitia Wizara ya

    Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee

    na watoto kupitia Waziri wake Mhe.

    Ummy Mwalimu ilitoa tamko la kupiga

    marufuku uuzwaji wa vyakula ovyokatika maeneo yasiyo rasmi na ya wazi

    na uzwaji wa matunda yaliyokatwa

    ikiwa ni jitihada za Serikali

    kupambana na wafanyabiashara

    wasiozingatia kanuni za usa

    na Afya ambazo zinaweza

    kuhatarisha afya za walaji wa

    vyakula hivyo ikiwemo mlipuko

    wa magonjwa kama kipindupindu.

    Kampeni hizo za usa siku

    hiyo zilileta mafanikio makubwa

    katika jamii ya Watanzania hususani

    kuhamasisha tabia ya kufanya usa katika

    maeneo yao ili kuweka mazingira sa na pia

    kupambana na magonjwa ya mlipuko. Katika

    kuweka mazingira sa kampuni mbalimbali

    ziliunga mkono agizo la Rais la kufanya usa

    na kushiriki katika maeneo tofauti nchini.

    Baadhi ya kampuni zilizoshiriki katika

    kufanya usa siku hiyo ya Uhuru wa

    Tanganyika ni pamoja na Clouds Media

    Group, Msalaba Mwekundu, Max Malipo,

     NSSF, Benki ya Biashara ya Akiba (ACB),

    Shirika la Afya Duniani (WHO) na Kliniki

    ya Tiba Mbadala ya Ifakara HerbalistClinic waliofanya usa katika soko la

    Tandale, wengine ni Mohamed Enterprises

    Group MeTL Benki ya FNB waliofanya

    usa ufukwe wa Coco,GEPF na kampuni

    ya Saruji ya DANGOTE walifanya usa

    soko la Mbae Mkoani Mtwara, Airtel

    Tanzania ilifanya usa Hospitali ya Wilaya

    ya Nzega Tabora, kampuni ya PUMA

    ilishiriki na kutoa vifaa vya usa katika

    Manispaa ya Temeke na Azania Bank

    nayo ilitoa vifaa vya usa na kushiriki

    usa katika Halmashauri ya Mji wa Moshi.

     Naye Diwani wa Kawe Mhe. Muta RobertRwakatare alimpongeza Mhe. Rais kwa

    kukiria na kuleta jambo ambalo ni jema

    13

    Inatoka Uk. 7 

    Inaendelea Uk. 14 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    17/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni    2016

    14

    kwa Watanzania kwani tatizo la maeneo kuwa

    machafu limekithiri kuahidi kushirikiana na

    Serikali kupitia halmashauri ya wilaya yaKinondoni kutafuta njia za kutatua changamoto

    zinazoikabili Manispaa katika kutekeleza kazi

    ya kufanya mazingira kuwa sa ikiwemo

    upatikanaji wa magari ya kubebea taka.

    Kwa upande wake mkazi wa kata ya Kawe

    Bw. Hussein Bana alisema wamelipokea sula

    la kufanya usa katika maeneo yao sio kwa

    siku ya Desemba 9 ,pekee bali wataliendeleza

    suala hilo na kuhamasishana hasa vijana

    kushiriki katika kufanya usa kwenye maeneo

    yao ili kuondokana na magonjwa hasa ya

    mlipuko na kujilinda wao na vijazi vijavyo.

    Juhudi zimefanya Wizara inayohusika na

    Mazingira kwa kushirikiana na Wizara ya

    Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee

    na Watoto katika kutoa elimu juu ya

    umuhimu wa kufanya usa katika mazingira

    ili kujenga tabia ya kuweka mazingira

    sa na kujiweka mbali na magonjwa ya

    mlipuko yanayosababishwa na uchafu.

    Haya shime Watanzania tumuunge mkono Rais

    wetu kwa kuufanya usa kuwa ni tabia katika

    maisha ya kila siku ingawa kuna changamoto

    mbalimbali zinazokakabili maeneo yetu

    zikiwemo Halmasahuri za Majiji,Wilaya na

    Miji katika kutatua changamoto hizo, hivyo

     basi hatuna budi kushirikiana na Serikali ya

    Rais Magufuli kuboresha mazingira yetu kwa

    kufanya usa kwa faidi yetu na vizazi vyetu

    na tudumishe muungano wetu kwa kuzingatia

    suala la usa katika maeneo yetu ili kudumisha

    afya na usalama wa familia na vizazi vijavyo.

    Inatoka Uk. 13 

    Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akishiriki zoezi la kufanya usafi sikuya kuadhimisha miaka 54 yaUhuru.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia SuluhuHassan (aliyevaa raba) akishiriki zoezi la kufanya usafi siku ya kuadhimisha

    Miaka 54 ya Uhuru.

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia, Mhe. Kassim Majaliwaakishiriki zoezi la usafi siku ya kuadhimisha Miaka 54 ya Uhuru.

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti waBaraza la Mapinduzi,Mhe. Dkt. Ali

    Mohamed Shein akizoa taka katika zoezi

    usafi wa mazingira katika kuadhimishamiaka 54 ya Uhuru 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    18/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    15

    Tanzania ni miongoni mwa nchi tajiriwa ardhi katika Ukanda wa ArikaMashariki ambayo inaweza kutumikakatika shughuli mbalimbali za maendeleoya kijamii na kichumi kama vile makazi,uhiadhi wa misitu, madini na kilimoambazo zinaaminika kuwa ni uti wa mgongo. Kwa mujibu wa taria ya Idara ya akwimu yaaia,anzania inakadiriwa kuwa na ukubwawa kilomita za mraba 945,087 sawa na mailiza mraba 364,087, kati ya hizo Kilometa885,800 ni ardhi na Kilometa 61,500 nibahari, maziwa na mito. Idadi ya Watanzaniainakadiriwa kufikia zaidi ya milioni 51.82,kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012.

    Pamoja na kuwepo na eneo kubwala ardhi, wananchi katika maeneombalimbali nchini wanakabiliwa namigogoro inayotokana na umiliki wa ardhi.

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleoya Makazi, Mhe. William Lukuvi alisemakwamba, migogoro mingi imekuwaikisababishwa na baadhi ya watendaji wasiowaaminiu ambao kwa makusudi wamekuwawakitoa Hati za Kumiliki Ardhi bila kuuatautaratibu au kuwashirikisha wananchi. Kutokana na tabia hiyo, wamekuwawakisababisha kuwepo kwa migogoro mingibaina ya wananchi wenyewe, wananchina wawekezaji au wakulima na waugajipale inapogundulika kuwa wameingiliana

    katika umiliki au matumizi ya ardhi husika.

    Waziri Lukuvi alieeleza kuwa, ili kudhibitimigogoro inayotokea na pia kuwaondoleawananchi kero na usumbuu wa kupatahati Serikali sasa imeandaa utaratibuwa kupima viwanja sehemu mbalimbalinchini na kuweka muda maalumu ambapondani ya mwezi mmoja mwananchiambaye tayari amelipia Hati yake yakumiliki ardhi lazima awe ameipata.

    Aidha, katika kuhakikisha kwamba dhanaya uongozi na utawala bora inazingatiwa,

    Serikali imejipanga kuhakikisha kuwawananchi wanashirikishwa ipasavyo katikasuala zima la usimamizi wa rasilimaliardhi kuanzia ngazi ya kijiji hadi aia.

    Na Eleuteri Mangi

    Kwa mujibu wa Waziri Lukuvi, alisemachangamoto iliyopo hivi sasa ni namna ya

    kuhakikisha kwamba ardhi yote inapimwana kumilikishwa kisheria. Aliongeza kwambaili kukabiliana na changamoto hiyo, Serikaliimeongeza kasi ya kupanga, kupima nakumilikisha ardhi kwa wananchi kwa ajiliya shughuli mbalimbali za kiuchumi nakijamii na hivyo, kuongeza ursa za ajira,kupunguza umaskini na kukuza pato la aia.Aliaanua kwamba, baada ya Serikali yaAwamu ya ano kuingia madarakani wizarayake imeanikiwa kutoa hati 6,038 na kuzisajiliikilinganishwa na miezi mitatu kabla yaUchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka 2015ambapo zilitolewa hati 2,000. Hatua hiyo

    ya utoaji hati umeongezeka mara tatu zaidi.

    Aliongeza kuwa, ongezeko hilo ni sawa naasilimia 75.1 ikilinganishwa na asilimia 24.9miezi mitatu kabla ya Uchaguzi Mkuu wamwaka jana. Sababu ya kuongezeka kwa utoajihati linatokana na kupunguza muda ambaomwananchi alipaswa kusubiri ili kupatahati. Muda huo umepunguzwa kutoka miezisita na miezi mitatu ya awali, ambapo sasamwananchi anatakiwa kusubiri kwa kipindicha mwezi moja tangu alipie ada zote zaardhi katika ofisi yeyote ya ardhi nchi nzima.

    “Mtu yeyote ambaye atashindwa kupata hatichini ya mwezi mmoja na amelipa ada yakekwa Serikali, mkoa na kwa halmashaurianapaswa kumwandikia barua Waziri

    atajua kilichotokea kwa sababu urasimuumepunguzwa na utaratibu umerahisishwazaidi.” Alisema Waziri Lukuvi. Aidha, alieleza kuwa Sera ya aia yaArdhi ya mwaka 1995, Sheria ya ArdhiNa. 4 ya mwaka 1999 na Sheria ya Ardhiya Vijiji Na. 5 ya mwaka 1999 zinatoahaki sawa kwa raia wote kumiliki ardhisehemu yoyote ya nchi bila kujali jinsiawala sehemu mwananchi alikozaliwa.

    Akizungumzia utaratibu wa utoaji wahati hizo, Waziri Lukuvi alisema “tayarimaandalizi na maekelezo yametolewa kwaMakamishina wa Kanda wanaozitoa naMsajili anayezisajili ili mwananchi yeyoteambaye ameilipia awe ameipata ndani yakipindi hicho. Viaa vyote vya kutayarishiaikiwa ni pamoja na karatasi zipo za kutoshakuweza kutumika mwaka mzima kwa kilaHalmashauri” alisisitiza Waziri Lukuvi.

     Alizitaja kanda zitakazohusika na utoaji wahati ni pamoja na Kanda ya Dar es salaam

    inayojumuisha Manispaa za Ilala, emekena Kinondoni, Kanda ya Mashariki ambapomakao makuu yake yapo Morogoro, Kanda yaMagharibi makao yake makuu yapo abora,Kanda ya Ziwa makao yake makuu yake yapoMwanza na Kanda ya Kaskazini makao yakemakuu yapo Moshi mkoani Kilimanjaro.

    Kanda zingine ni Kusini ambayo makaoyake makuu yapo Mtwara, KusiniMagharibi makao yake makuu yapoMbeya na Kanda ya Kati ambayo makaoyake makuu yapo mkoani Dodoma.

    Akiaanua juu ya utaratibu wa utoaji ardhiya kijiji, Waziri Lukuvi alisema, mauzo yaeneo linalofikia hadi kiwango cha heka50 ni lazima yaidhinishwe na MkutanoMkuu wa Kijiji ambapo mauzo ya ardhiya kijiji yenye heka 50 hadi 150 ni lazimayaidhinishwe na Mkutano Mkuu wa Kijijina kupewa kibali cha Mkurugenzi waWilaya. Mauzo ya ardhi ya kijiji yanayozidiheka 150 ni lazima pia yaidhinishwe naMkutano Mkuu wa Kijiji, Mkurugenziwa Wilaya na kisha Kamishna wa Ardhi.

    Aidha, pale ambapo kijiji kinataka

    kuhamisha ardhi yeyote inayozidi heka 50kwenda kwa mtu binasi ni lazima maamuziyake yatokane na Mkutano Mkuu wa Kijijiutakaosimamiwa na Mkuu wa Wilaya.

    Serikali kutoa Hati ya Kumiliki Ardhi

    ndani ya mwezi mmoja

    Muonekano wa Jengo la Nyumba za Shirikala Nyumba la Taifa (NHC) zilizopo eneo la

    Mindu Upanga.

    Inaendelea Uk. 27 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    19/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni  2016

    16

    Katika Kampeni zake za kugombea Uraisnchini anzania, Mgombea kupitiaChama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Dkt.John Pombe Maguuli aliwaahidi Watanzaniakwamba akichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuriya Muungano wa anzania atahakikisha

    kuwa Elimu ya Msingi na Sekondarihadi Kidato cha Nne inatolewa bure.

    Ahadi hii imetekelezwa na Dkt. Maguulibaada ya kushinda naasi hiyo ya Urais,katika hotuba yake alipokuwa akiunguaBunge la 11 la Jamhuri ya Muungano waanzania mjini Dodoma ambapo alitangazarasmi kuwa elimu hizo sasa zitatolewa bure.

    Akiaamua juu ya azma ya Serikali yakekuamua kutoa elimu hizo, Rais Maguulialisema kuwa kumekuwepo na changamotonyingi za kushuka kwa kiwango cha elimu

    na uaulu wa wanaunzi nchini. Moja yachangamoto hizo ni wazazi kushindwakulipa ada na michango mbalimbali isiyoya lazima wanayotakiwa kutoa shuleni.

    Aidha, uchache wa vyumba vya madarasa namadawati umekuwa ukichangia kutoanya

     vizuri wanaunzi wanapoanya mitihaniyao ya mwisho kutokana na kutokuwa nauelewa wa kutosha kitaaluma kutokanana mazingira mabaya wanayoundishiwa,na hivyo kuwaanya washindwe kusikiliza

     vema wanapoundishwa na walimu wao.

    Rais aliwataka wakuu wa shule kuutamichango isiyo ya lazima kwa wazazi shulenina vile vile kutolipisha mchango wowote kwawazazi wanaoandikisha watoto wao shule zaawali, darasa la kwanza na kidato cha kwanza.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais awala zaMikoa na Serikali za Mitaa (AMISEMI)Mhe. George Simbachawene alieleza kuwakatika kutekeleza Sera ya Elimu Bila Malipo,Serikali imeainisha majukumu yake ikiwemokutasiri Sera kwa kutoa nyaraka, miongozona kusimamia utekelezaji wake katika ngazimbalimbali za kiutawala. Aidha, Serikali

    imechukua jukumu la kulipa ada na michangoyote iliyopaswa kulipwa na wazazi shuleni.Aliongeza kwamba, AMISEMI kwakushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi,

    Na Lilian Lundo.

    Elimu ya Msingi na Sekondari kutolewa

    bure Nchinieknolojia na Uundi zimeshatoa miongozo nanyaraka mbalimbali juu ya utekelezaji wa Seraya Elimu Bila Malipo. Miongoni mwa nyarakazilizotolewa ni pamoja na Mwongozo wa UtoajiElimu ya Msingi Bila Malipo, Mwongozo waUandikishaji Darasa la Kwanza 2016, Maelezokwa Wanaunzi Wanaojiunga Kidato chaKwanza Mwaka 2016, na Miongozo kuhusuMatumizi ya Fedha zitakazopelekwa Shuleni.

    Kwa mujibu wa Mkurugenzi Msaidizi waIdara ya Usimamizi wa Elimu wa AMISEMIPaulina Nkwama, moja ya malengo ya dhanaya elimu bila malipo ni kuongeza uaulu

    kupitia maunzo ya kuwajengea uwezo walimuna wanaunzi katika mchakato wa uundishajina ujiunzaji. Alisema, maunzo kwa walimuyanaanyika kwa awamu mbalimbali nahadi sasa awamu mbili zimeshaanyika.

    Awamu ya kwanza jumla ya walimu 4,544mmoja kwa kila somo katika masomo yaKiswahili, Hesabu, Kiingereza, Hisabatina Baolojia kutoka kwenye kila shulewalitarajiwa kushiriki maunzo hayo. Katikaawamu ya pili walimu 3,815 waliwezeshwakimaunzo, wakiwemo 1,053 wa Kiswahili,1,041 wa Kiingereza, 829 wa Hisabati na 892

    wa Baolojia. Walimu hawa walitoka mikoaya Iringa, Pwani, Lindi, Mtwara, Katavi,Singida, Kagera, Morogoro na Manyara.

    Maunzo hayo yanalenga kuwawezesha Walimukuwatambua wanaunzi wenye uwezo mdogokimasomo na kuwapatia maunzo rekebishiili waweze kuanya vizuri katika mtihaniwa aia wa kuhitimu elimu ya Sekondari.

    Naye Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi,eknolojia na Uundi, Stela Manyanyaaliaanua dhana ya elimu bure isichukuliwekama sababu ya wazazi na walezi kukwepa

    majukumu yao ya msingi ya kuwasimamiawatoto wao kimalezi na kielimu. Aidhaalisema Sera ya elimu bila malipo inalengakuwapunguzia mzigo walimu hasa wagharama kama ada ambazo awali walikuwawakilipa Serikalini. Kauli hii inatoa mwangakuhusu mtazamo potou wa baadhi yawazazi waliojitoa kusimamia elimu kwawatoto wao kwa hoja kuwa huo ni mzigounaopaswa kubebwa na Serikali pekee.

    Mkurugenzi Msaidizi uuatiliaji na tathminiwa Wizara ya Elimu, Sayansi, eknolojia naMaunzo ya Uundi Makuru Petro alisema,ili kuhakikisha Elimu bure inaanikiwanchini Serikali imetenga kiasi cha shilingi131,430,280,000 ambacho kitatumika kuanziamwezi Januari hadi June, 2016 edha ambazo

    zimetautwa nje ya bajeti ya mwaka 2015/16.

    Akitoa mgawanyo wa edha hizo na namnazitakavyokuwa zikitumwa Makuru alisemakuwa, kila mwezi Hazina itakuwa ikitumakiasi cha shilingi 18,775,754,285 kwendashule zote za Serikali anzania kuanziadarasa la kwanza mpaka kidato cha nne.

    Makuru alisema kuwa katika edhahizo shilingi 18,775,754,285, shilingi15,712,318,571 zitatumwa moja kwamoja kwenye akaunti za shule na3,063,435,744 zitatumwa kwa ajili ya

    malipo ya mitihani ya kidato aiainayoanyika shule za msingi na sekondari.

    Akitolea uaanuzi wa edha za mitihani,Makuru alisema kuwa Serikali imeamuakuwa inatuma kiasi cha shilingi 3,063,435,744kila mwezi badala ya kuituma edha hiyo kwamara moja ili kuipunguzia Serikali mzigo wakutuma edha nyingi kwa wakati mmoja.

    Elimu bure imepelekea ongezeko kubwala uandikishaji wa wanaunzi wa darasa lakwanza katika shule nyingi za msingi hapanchini ambapo shule hizo zimeandikisha

    wanaunzi zaidi ya malengo ambayo shuleilijiwekea kuwapokea kwa mwaka 2016.

    Makuru alisema ongezeko la wanaunzilimetokana na sera mbili ambazo ni serayenyewe ya elimu bure ambayo imepelekeawanaunzi wengi kuandikishwa kutokanana kutokuwepo na gharama zozote zauandikishaji kwa wanaunzi wa darasala kwanza. Sababu ya pili ya ongezeko lawanaunzi shule za msingi ni utekelezaji wasera ya kuanza darasa la kwanza kuanzia miaka6 ambayo imeanza kutekelezwa mwaka huu.

    “Sera hii imepelekea ongezeko kubwa lawanaunzi kutokana na wanaunzi waliokuwamiaka sita kwa mwaka 2015 ambao mwakahuu wametimiza miaka saba kuandikishwapamoja na wanaunzi ambao wana miaka sitamwaka huu 2016 hivyo kupelekea ongezekokubwa la wanaunzi wa darasa la kwanzamwaka huu 2016.” Makuru alisema hadisasa Wizara ya Elimu, Sayansi, eknolojiaimeandikisha wanaunzi 1,341,589.

    Kutokana na ongezeko hilo la wanaunzi,Serikali ya Awamu ya tano imejizatitikukabiliana na tatizo hilo ikiwa ni

    pamoja na Mhe. Rais Maguuli kuwatakamawaziri na manaibu waziri, makatibuwakuu na manaibu wao kuchangia

    Inaendelea Uk.17 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    20/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni  2016

    17

    kiasi cha shilingi milioni moja kutoka

    katika mishahara yao ya mwezi Februari.

    Huku yeye mwenyewe Mhe. Rais, Makamuwa Rais na Waziri Mkuu wakichangia shilingimilioni sita kila mmoja ambayo jumlainaleta shilingi milioni100 zilizopangwakujenga shule mpya jijini Dar es Salaamkwa ajili ya wanaunzi waliongezeka.

    Mhe. Rais pia aliwataka Wakuu wa Mikoa,Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashaurikuhakikisha tatizo la madarasa na madawatilinatatuliwa kwenye maeneo yao. Mhe. Raisalisema kuwa upunguu wa madarasa namadawati ni kipimo cha kuendelea amakutoendelea na wadhia wa kuwa Mkuu waMkoa, Wilaya au Mkurugenzi wa Halmashauri.

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, awala zaMikoa na Serikali za Mitaa (AMISEMI)Mhe. George Simbachawene alisema agizoliilotolewa na Mhe. Rais kuwa halinamjadala na aliwataka wakurugenzi wahalmashauri kuhakikisha mpaka Juni, 2016pasiwepo na mwanaunzi anaketi sakaunina wakurugenzi watakaoshindwa, watakuwawameshindwa kazi na watawajibishwa.

    Aidha, Waziri Simbachawene aliwatakaWakuu wa Mikoa na Wilaya ambao niwasimamizi wa rasilimali zilizopo katikamaeneo ya misitu, wasisite kutoa vibali

     vya uvunaji wa miti ya kutengenezamadawati kwenye wilaya zao ili wanaunziwote nchini wakae kwenye madawati.

    amko la Rais kuhusu elimu bure limeletamwamko kwa wazazi wengi kuandikishawatoto wao darasa la kwanza, jamboambalo linaonyesha wazazi wengi walikuwawanashindwa kuandikisha watoto wao kutokana

    na gharama ya uandikishaji na michangomingine iliyokuwa ikichangishwa shuleni.

    Bwana Mussa Hassan ni mkazi wa jiji laDar es Salaam, ambaye amepokea kwamikono miwili suala la elimu bure hukuakimsifia Rais kwa kuuta ada na michangokwa shule za msingi na Sekondari.Bwana Mussa aliaanua kuwa wazazi wengiwalikuwa wanashindwa kuandikisha watotowao kutokana na gharama ya uandikishajina michango ambayo mzazi anachangishwakama michango ya madawati na ulinzi.

    Inatoka Uk. 16 

    Katika jitihada za kuwajengea uwezo wakiuchumi wachimbaji wadogo wadogo, Serikaliimetenga jumla ya Shilingi 2.5b/= kwa ajili yamikopo ya masharti nauu na Shilingi 5.74b/=kama ruzuku kupitia mradi wa Benki ya dunia.

    Aidha, Serikali imetenga kiasi cha Shilingibilioni 1.80 kwa ajili ya kununua mitambomiwili ya uchorongaji miamba ambayoingepelekwa katika ofisi za madini za kandaya Ziwa (Mwanza) na kanda ya KusiniMagharibi (Mbeya), ili itumike kwenyeutambuzi wa kiasi cha mashapo yaliyopokatika maeneo ya wachimbaji wadogo.

    Hatua ya Serikali ya kuwawezesha wachimbajiwadogo wadogo na pia kuwapatia nyenzoau vitendea kazi inatokana na kilio chamiaka mingi ambapo wamekuwa wakidaikuwa Serikali haiwajali na hivyo amilianyingi kuendelea kuwa masikini zaidi.

    Aidha, ilionekana kuwa wachimbaji haowadogo wadogo hawakuwa na mchangowowote katika kuinua uchumi wa aia.

    Kwa mujibu wa taaria iliyotolewa na Wizaraya Nishati na Madini, katika kipindi chamwaka 2010 mpaka 2015 Serikali imejitahidikuwakwamua wachimbaji wadogo wadogo kwakuanzisha mchakato wa kuwawezesha kupatamaeneo ya uchimbaji, elimu ya uchimbaji, viaana upatikanaji wa soko la madini wanayopata.

    Katika mwaka wa edha 2010/2011 Wizarahiyo ilianza kutoa maunzo kwa wachimbaji

    wadogo wadogo kuhusu usalama, utunzajiwa mazingira na biashara ya madini. Aidha,Wizara iliwapeleka wazalishaji watano wachumvi nchini India kwenye maunzo yamuda mupi ya teknolojia bora ya uzalishajiwa chumvi na kugharamia maunzo yaujasiriamali yaliyoanyika anga kwa watu 34.

    Katika mwaka wa edha 2013/2014Wizara pia kupitia Shirika la Madini laaia (SAMICO) ambalo lina jukumu lakuratibu shughuli za kuendeleza wachimbajiwadogo wadogo wa madini lilitenga jumlaya shilingi bilioni 2.3 kwa ajili ya muko

    wa mikopo ya kuwaendeleza wachimbajiwadogo. Pia jumla ya shilingi milioni 880.68zilitengwa kwa ajili ya muko wa ruzuku.

    Serikali yawakopesha

    wachimbaji wadogo Sh. 2.5bnNa Jacquiline Mrisho. Katika kipindi cha mwaka 2010 hadi

    2015 Serikali imejitahidi kuwakwamuawachimbaji hao kwa kuanzisha mchakatowa kuwawezesha kupata sehemu zauchimbaji, elimu ya uchimbaji, viaana upatikanaji wa soko la madini hayo.

    Katika mwaka wa edha 2010/2011 Wizarailianza kutoa maunzo kwa wachimbajiwadogo wadogo kuhusu usalama, utunzaji wamazingira na biashara ya madini na mwakahuohuo Wizara iliwapeleka wazalishaji watanowa chumvi nchini India kwenye maunzo yamuda mupi ya teknolojia bora ya uzalishajiwa chumvi na kugharamia maunzo yaujasiriamali yaliyoanyika anga kwa watu 34.

    Akiwasilisha makadirio ya mapato namatumizi ya bajeti ya Wizara na aasisi zilizochini yake kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015,aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madinikatika Serikali ya Awamu ya Nne na ambayepia ni Waziri katika Serikali ya Awamu yaano katika Wizara hiyo hiyo, Mhe. Proesa

    Sospeter Muhongo alisema kuwa, Serikaliitaendelea kuwawezesha wachimbaji wadogowadogo kupata mitaji na tayari Wizara imetoamikopo ya masharti nauu ya Shilingi milioni88 kwa vikundi vya wachimbaji wadogowadogo 11 kupitia Benki ya Rasilimali. Kwa miaka mingi sasa wachimbaji wadogowadogo nchini wamekuwa wakikabiliwa nachangamoto mbalimbali katika shughuli zauchimbaji wa madini. Baadhi ya changamotohizo ni pamoja na matumizi ya nyenzona viaa duni ambavyo haviwezi kuhimilikuanya kazi katika maeneo makubwa

    ya migodi na hawana mitaji ya kutosha.

    Changamoto nyingine ni elimu ndogo yauchimbaji, bajeti ndogo inayotolewa naSerikali kwa ajili yao, kukosekana kwa

     viaa vya kisasa vya uchimbaji na uhaba wamaeneo ya uchimbaji kwa vile maeneo mengiyamechukuliwa na wachimbaji wakubwa.

    Serikali ya anzania imejitahidi kuwasaidiakwa hali na mali wachimbaji wadogowadogo kwa kuweka sera zinazowawezeshawachimbaji hao kuwa na mazingira rafikikatika kutekeleza kazi zao za kila siku.

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    21/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni  2016

    18

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli  (mwenye tai nyekundu) akikata utepe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa daraja la Nyerere

    lililopo eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.

    Muonekano wa daraja la Nyerere lililopo katika wilaya mpya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam.

    UZINDUZI WA DARAJA LA KIGAMBONI KATIKA PICHA

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    22/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni  2016

    19

    UZINDUZI WA DARAJA LA KIGAMBONI KATIKA PICHA

    Baadhi ya wananchi wakipita katika daraja la Mwalimu Nyerere mara baada ya kuzinduliwarasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

    Baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa daraja la Mwalimu Nyerere wak- ishuhudia tukio hilo katika eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    23/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni    2016

    20

    Mwl. Julius K. Nyerere (katikati) akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar huku akishuhudiwa

    na Rais Sheikh Abed Amani Karume tarehe 26 Aprili, 1964 Zanzibar.

    Mwl. Julius K. Nyerere (aliyekaa kushoto) na Sheikh Abed Amani Karume (aliyekaa kulia) wakisainiHati za Makubaliano ya Muungano tarehe 22 Aprili, 1964 Zanzibar.

    PICHA ZA MATUKIO YA MUUNGANO

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    24/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni  2016

    21

    Sheikh Abed Amani Karume (katikati) akiwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Jamhuri ya

    Muungano, Mhe. Rashidi Mfaume Kawawa (kulia) pamoja na Kanali Seif Bakari wakiwakatika moja ya matukio ya Muungano.

    Mwl. Julius K. Nyerere (kushoto) na Sheikh Abed AmaniKarume (kulia) wakibadilishana Hati za Muungano, 1964

    Dar es Salaam.

    PICHA ZA MATUKIO YA MUUNGANO

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    25/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    22

    Usambazaji wa nishati ya umeme

    unaoanywa na Wakala wa NishatiVijijini (REA) umewezesha wananchiwengi walioko vijijini kuanzisha miradimbalimbali ya kiuchumi na kijamii.

    Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu waREA nchini Dkt. Lutengano Mwakahesya,nishati bora inachangia ukuaji wa uchumiwa aia jambo ambalo linasaidia kuboreshahali ya maisha ya Wananchi wengi walio

     vijijini. Kwa kutambua umuhimu huo REAkwa kushirikiana na Wadau mbalimbaliimeweza kuibua miradi mbalimbali ya nishati

     vijijini ili Wananchi waweze kuaidika nayo.

    Wadau hao ni pamoja na Shirika la UmemeNchini (ANESCO), Mamlaka ya Udhibiti waBei za Bidhaa (EWURA), Wizara ya Nishatina Madini, Asasi zisizo za Kiserikali (AZISE),Asasi za Kijamii (AZAKI) na Sekta binasi.

    Dkt. Mwakahesya ameainisha miradi ya nishatiza umeme kuwa ni pamoja na ile inazoyumianguvu ya upepo, jua, maji na bayogasi.

    Dkt. Lutengano ameeleza kwamba, lengokubwa la ushirikiano baina ya REA na Wadauhao ni kuibua miradi mbalimbali ya nishati,

    kutoa ruzuku na kuwezesha upatikanaji waushauri wa kitaaluma kwa waendelezaji wenyesia katika masuala ya kiuundi, usimamiaji,

    Na Jovina Bujulu

    REA yawezesha Wananchi kuanzisha

    Miradi ya kiuchumi Vijijini

    uchanganuzi wa kiedha, ugharamiaji wa

    miradi na mienendo mizuri ya miradi hiyo. Alisema, REA inahakikisha kwambauendelezaji wa miradi ya nishati vijijiniunazingatia utumiaji wa mazingira ilikutunza vyanzo vingine vya nishati. Aliongeza kusema kuwa REA inaongozwa naBodi ya Nishati vijijini ambayo husimamiauendeshaji wa Muko wa Nishati vijijini(REF). Muko huu unasaidia kuongezakasi ya upatikanaji wa miradi ya nishati.

    Serikali kupitia muko wa huo, iliadhili

    miradi kabambe ya usambazaji waumeme vijijini awamu ya kwanza na yapili ambayo inatekelezwa na wakandarasibinasi katika mikoa yote ya anzania Bara.

    Utekelezaji wa mradi huu umekamilikakwa asilimia 90 na ambapo kilometa1600 za msongo wa kati na kilometa97 za msongo mdogo zimejengwa na

     vipoza umeme viliungwa na wateja waawali 18,253 wameunganishiwa umeme.

    Katika awamu ya pili mradi ulilenga kujenga vituo 6 vya kuongeza msongo wa (umeme

    11/33 KV) katika miji ya Kigoma, Kasulu,Kibondo, Ngara, Mbinga na unduru, ujenziwa njia za umeme msongo mdogo na wa kati

    na kuunga mashine umba (transomer)

    3100. Mradi ulilenga kuunganisha wateja225,000 na vijiji 2,500 pindi ukikamlika nakupeleka umeme makao makuu ya wilaya 13.Mradi huu uliweza kujenga vituo 6 vyakuongeza nguvu Kigoma Vijijini, Kasulu,Kibondo, Ngara, Mbinga na unduru.

    Aidha mradi ulikamilisha ujenzi wa njiaza msongo mdogo na wa kati,na wateja61,023 walipatiwa umeme. Jumla ya

     vijiji 1,162 viliunganishwa kwenye gridi.

    Akielezea juu ya shughuli za kiuchumina kijamii zilizoanzishwa vijijini Dkt.

    Mwakakahesya alisema, kutokana naupatikanaji wa nishati ya umeme vijijinimaisha ya wananchi yamekuwa mazurikutokana na kuwepo kwa shughuli zakibiashara kama vile, mashine za kusaga nakukoboa naaka, viwanda vya uselemala,utengenezaji wa milango na madirishaya chuma, uuzaji wa vinywaji baridi n.k. Kwa upaande wa shuhguli za kijamii,upatikanaji wa nishati wa umemeumeboresha huduma za hospitali, vituo vyaaya na kumeongezeka kwa ari ya wanaunzikujisomea wakati wote na pia matumizi ya

    kompyuta mashuleni, Kwa sasa wanawakewajawazito wanakwenda hospitalini

    Inaendelea Uk. 23 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    26/37

    23

    kujiungua bila kulazimika kuchukua koroboi.

    Kwa mujibu wa taaria iliyotolewa na Wizara yaNishati na Madini, hadi mwaka 2014 kiwangocha uunganishaji umeme katika MakaoMakuu ya Wilaya na vijijini ulifikia asilimia24 na kuanya wananchi wanaopata hudumaza umeme kufikia asilimia 36 ya Watanzaniawaishio bara ukilinganisha na mwaka2005 ambapo kiwango cha uunganishajiumeme kilikuwa chini ya asilimia 10.

    Raaria hiyo inaonesha kwamba ongezeko hilolinatokana na juhudi mbalimbali za Serikaliikiwa ni pamoja na kuanzishwa kwa Wakalawa Nishati vijijini (REA) na kupunguza

    gharama za kuunganisha umeme wa njia mojana kuhamasisha wananchi kutumia umeme. Jumla ya shule za sekondari 1845, zahanati na

     vituo vya aya 898 na hospitali 96 zimepatiwahuduma ya umeme katika maeneo mbalimbalinchini. Aidha, wakala kwa kushirikiana naAZAMA pipeline na Muko wa Maendeleowa Mafia umewezesha utekelezaji wamiradi miwili ya kupeleka umeme katikapampu za kusukuma maji na mauta zaAZAMA zilizoko Kisanga (Morogoro).

    Akizungumzia maunzo yanayoadhiliwa nawakala kwa wananchi, Meneja wa athmini naUuatiliaji wa REA , Bw. Vestina Rwelengeraalisema kwamba ni pamoja na kuwapatiamaunzo yote ya nishati, mano utunzaji wa

     vyakula kwa kutumia nishati ya jua, miradi yaumwagiliaji, kukausha samaki na mboga mboga.

    Alitaja maeneo yaliyonuaika na na maunzohayo kuwa ni Bagamoyo, Mafia na SomangaFungu ambapo wananchi walipata maunzoya kutengeneza mkaa kwa kutumia majanimakavu. Pia wakala kupitia muko waNishati Vijijini, ulitoa ruzuku kwa vikundi

     vinavyotayarisha maandiko ya miradi ilikuwawezesha wanavijiji kupata mikopo kutokakwenye benki zilizokubaliana na Muko huo.

    Akizungumzia miradi mingine iliyotekelezwana inayoendelea kutekelezwa ya usambazaji waumeme vijijini ndugu Vestina aliema kwambani pamoja na mradi wa SAGCO Cluster ambaoutasambaza umeme kilometa 100 , kujengakituo cha kupozea umeme katika mji wa Iakarana mradi huu utaunganisha wateja 3,000.

    Miradi mingine ni ya Andoya (Mbinga),ulila (Songea), Yovi (Kilosa), ambayo

    imeanza uzalishaji. Miradi ya Maguta (Kilolo),Lupali (Njombe), na Isigula (Ludewa)

    Inatoka Uk. 22 

    Hadi kufikia Desemba 2015 vijiji 5,009

    ambavyo ni sawa na asilimia 33 vilikuwa vimeunganishwa na huduma za umeme namiradi inayoendelea itaunganisha vijiji vingine

     vipya 1,340 na kuanya jumla ya vijiji 6,349kupata huduma ya umeme miradi ikikamilika.

    Akizungumzia changamoto zinazoikabiliwakala, Rwelengera alisema kuwa nipamoja na wananchi wa vijijini kushindwa

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    kumudu gharama za kuunganishiwa

    umeme, upatikanaji wa rasilimali edhaza kutosha na usalama wa miundombinukutokana na uharibiu na vitendo vyauharibiu vinavyoanywa na wananchi.

    Baadhi ya Mafundi wa Shirika la Ugavi Umeme Tanzania (Tanesco)

    wakisimika nguzo ya umeme.

    Moja ya njia kuu kubwa za kusambaza umeme 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    27/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    24

    Kama ilivyo kwa nchi nyingi zinazoendelea,huduma ya aya nchini anzaniainakabiliwa na changamoto mbalimbali jamboambalo wananchi wamekuwa wakiilalamikiaSerikali kwa kushindwa kuboreshamiundombinu na utendaji kazi katika Sektaya aya ili iweze kutoa huduma bora zaidi. 

    Baadhi ya changamoto hizo ni pamoja nauchache wa majengo yaliyo bora, madaktarina wauguzi, madawa, vitendea kazi nautendaji usioridhisha. Aidha, hali mbayaya mazingira ya maeneo ya hospitali,zahanati na vituo vya aya yameelezwakuwa ni sehemu ya changamoto hizo.

    Inaahamika kwamba, huduma nzuri ya ayainaanzia na ubora wa hospitali, zahanati au kituocha aya, namna mgonjwa anavyopokelewana kuhudumiwa na wauguzi pamoja nawaganga na hatimaye kupatiwa dawa. Aidha,

    mgonjwa anapotakiwa kulazwa anahitajikulala kwenye kitanda chenye shuka nzurina huduma ya vyoo na maji safi zinakuwepo.Kutokana na hospitali, zahanati na vituo

     vingi vya aya nchini kushindwa kutoahuduma bora kwa wagonjwa, kumekuwepona malalamiko kutoka kwa wananchi wakidaikwamba wagonjwa wengi wamekuwawakipoteza maisha kutokana na uzembewakiwa katika harakati za kupatiwa matibabu.

    Rais wa Awamu ya ano ya Serikali ya Jamhuriya Muungano wa anzania Dkt. John PombeMaguuli ameonyesha kukerwa na tatizo la

    huduma mbaya ya aya inayotolewa katikahospitali, zahanati na vituo vya aya hapa nchini.Katika jitihada za kulitautia uumbuzitatizo hili Dkt. Maguuli alianya ziara yakushitukiza katika hospitali ya Ruaa yaMuhimbili ili kujionea hali halisi ya hudumaya aya inavyotolewa hospitalini hapo.Kuuatia ziara hiyo Dkt. Maguuli alionyeshahali ya kutoridhishwa na utendaji kaziwa hospitali na hivyo aliamua kuivunjaBodi iliyokuwa ikisimamia hospitali hiyo.Baadhi ya wagonjwa walimwambia Dkt.Maguuli kwamba wamekuwepo hospitalinihapo kwa muda mreu wakisubri vipimo

     vinavyotumia mashine za MRI na C-Scan ambazo zilikuwa hazianyi kazi hukuwengi wao wakichangia kulala zaidi yawagonjwa wawili katika kitanda kimoja.

    Na Benedict Liwenga

    Kwa kutambua umuhimu wa huduma yaaya kwa wananchi ambao ndio wanaotakiwakuanya kazi ili kujiletea maendeleo yaona ya nchi kwa ujumla, Dkt. Maguuli

    akiwa mjini Dodoma aliagiza zichukuliweedha kiasi cha Shilingi Milioni 210 kati yaShilingi Milioni 225 zilizokuwa zimetengwakuanikisha hafla iliyokuwa imeandaliwakwa ajili ya Wabunge wapya zipelekweHospitali ya Muhimbili kwa ajili ya kununulia

     vitanda na magodoro ya kulalia wagonjwa.Dkt. Maguuli alisisitiza kuwa “kwakuanya hivyo tutakua tumejinyima sisiwenyewe lakini tutakua tumewanuaisha

    wenzetu ambao wana matatizo makubwayanayoweza kutatuliwa kwa edha hizo”.Ili kuhakikisha kuwa agizo hilo linatekelezwaipasavyo, edha hizo ziliweza kutumika

    kununulia vitanda 300 pamoja na magodoroyake, shuka 600, baiskeli za kubebea wagonjwapamoja na viaa vingine ambavyo vilipelekwakatika Hospitali ya aia ya Muhimbili.

    Sambamba na uboreshaji wa huduma yaaya katika hospitali, zahanati na vituo

     vya aya nchini, Dkt. Maguuli aliiagizaBohari Kuu ya Dawa (MSD) kuhakikishainaungua maduka ya madawa katikahospitali ili wagonjwa waweze kununuapale watakapoekezwa kuanya hivyo.

    “Nilipoambiwa

    kwamba ShilingiMilioni 225

    zimetengwa kwa ajili ya sherehe, nikasemafedha hizo zipelekwe

    katika hospitali yaTaifa Muhimbili

    zikasaidie kununua vitanda”

    Juhudi za Serikali katika kuboresha

    huduma ya Afya Nchini

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu(katikati) akipokea vitanda vya vya wagonjwa pamoja na shuka ambavyo vilitolewa naRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kamaalivyoahidi siku alipozungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam Februari 13, 2016.

    Mashine ya CT-Scan iliyonunuliwa naSerikali ambayo kwa sasa inatumika

    katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

    Inaendelea Uk. 25 

  • 8/18/2019 310460485 Nchi Yetu Online

    28/37

    Makala za Habari Maelezo Toleo maalum la Mtandaoni 2016

    25

    Mafundi wakiendelea kufunga vitandavilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya

    Muungano wa Tanzania MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli.

    Kutokana na kasi ya utendaji wa Serikaliya Awamu ya ano, inayoongozwa na Dkt.Maguuli, Mawaziri na Naibu Mawaziriwamelazimika kuuata nyanyo zake. Januari

    4, 2016 Naibu Waziri wa Aya, Maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe.Dkt. Hamisi Kingwangalla naye alianyaziara katika Hospitali ya aia ya Muhimbili.

    Baadhi ya idara ambazo, Dkt. Kingwangallaalitembelea ni pamoja na Kitengo cha dharura,Chumba cha wagonjwa Mahututi (ICU), Wodiya Mwaisela, Duka la dawa la MSD na kukaguauanyaji wa kazi wa mashine ya C-Scan na MRI.

    Katika ziara hiyo, Dkt. Kingwangallaaliurahishwa na mabadiliko ya utoaji wahuduma katika upimaji kwa kutumia mashine

    ya Computerized omography Scan (C-Scan) na Magnetic Resonance Imaging(MRI) ambazo awali zilikuwa hazianyikazi. Aliwataka watumishi wa hospitali hiyo

    kuanya kazi kwa bidii na kuianya ionekaneyenye hadhi ya kuwa hospitali ya aia.“Kama tunaweza kuwa na huduma nzurikatika daraja la kwanza (first class) tunawezakuwavuta wananchi wengi waje hapa nawaache kwenda hospitali binasi. Wanatakiwakutengewa madaraja ya juu ambayohuduma zake zinakuwa zimeboreshwa sio

    mtu anakuwa daraja la kwanza alau badoanachangia choo na wengine au anaye lalanae hapewi kitanda,” alisema Kingwangalla.

    Mkuu wa Idara ya Mionzi katika hospitalihiyo, Dkt. Flora Rwakatare ameeleza kuwa,tangu kuanza kutumika kwa mashine yaMRI jumla ya wagonjwa 560 walianyiwa

     vipimo ambapo ndani ya siku tatu baadaya mashine mpya ya C-Scan kuungwa

     jumla ya wagonjwa 26 walipimwa.Kuungwa kwa mashine ya C-Scankunaonekana kuwepo kwa matumaini mapya

    kwa Watanzania kutokana na kasi ya uanyajikazi kwa mashine hiyo kwani ina uwezo wa

    kupima kiua na tumbo kwa muda mupi.

    “Mashine ya C-Scan ambayo imeungwaina ubora mkubwa na ni ya pili kwa ukubwaArika Mashariki. Kw