16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1161 RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA , JANUARI 23-29, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Jihad yaja Tanzania Mujahidina Bagamoyo wameanza Bukoba, ni hofu, kilio katika Parish Waliolinunia An nuur sasa kucheka! 'Allahu L-Adhiim', kufru hii Unguja imevuka mpaka Msema Kweli lachochea fitna mbaya nchini-ladai Wakristo wanatokomezwa Bukoba Mujahidina wadhibiti miji Pwani! Yadaiwa Maaskofu, Hakimu wasalimu Uk. 9 Uk. 8 Mngeapa kuondoa shida za watu, sio… Kukamia kuwafanyia mambo machafu Licha ya haya Mapinduzi daima bila maji… Qur’an inasema, ngojeni, ‘Fatarabbasuu’ MAALIM Seif Sharif Hamad Mapinduzi Matukufu: Yaliyomkuta Sheikh Muhsin BALOZI Seif Idd. Uk. 16

ANNUUR 1161.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ANNUUR 1161.pdf

ISSN 0856 - 3861 Na. 1161 RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA , JANUARI 23-29, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

Jihad yaja TanzaniaMujahidina Bagamoyo wameanzaBukoba, ni hofu, kilio katika Parish Waliolinunia An nuur sasa kucheka!

'Allahu L-Adhiim', kufruhii Unguja imevuka mpaka

Msema Kweli lachochea fitna mbaya nchini-ladai

Wakristo wanatokomezwa BukobaMujahidina wadhibiti miji Pwani!Yadaiwa Maaskofu, Hakimu wasalimu

Uk. 9Uk. 8

Mngeapa kuondoa shida za watu, sio…Kukamia kuwafanyia mambo machafuLicha ya haya Mapinduzi daima bila maji…Qur’an inasema, ngojeni, ‘Fatarabbasuu’

MAALIM Seif Sharif Hamad

Mapinduzi Matukufu: Yaliyomkuta Sheikh Muhsin

BALOZI Seif Idd.

Uk. 16

Page 2: ANNUUR 1161.pdf

2 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri

KATIKA lile shambulio la kigaidi la London Jula 7, 2005 (7 July attacks or 7/7 attacks), tunaambiwa kuwa makachero wa Israel walijua na mapema na wakatoa tahadhari. Na siku ya tukio Waziri wa Fedha wa Israel, ambaye sasa ni Waziri Mkuu, Benjamin "Bibi" Netanyahu, akiwa London alikwepa kwenda katika mkutano akabaki hotelini kwake. Kwa nini? (Tazama: Former Mossad Agent Accidentally Admits They Did The 7/7 London Bombings)

Ni hivyo hivyo katika Septemba 11, tunaambiwa wafanyakazi wa asili ya Israel waliokuwa wakifanya kazi katika yale majengo yaliyoporomoshwa, siku ya tukio walisalia majumbani. Hawakuja kazini. ‘ma-g o y i m ’ w a k a e n d a , wakafa. Almuhimu ni kuwa uzoefu unaonyesha k u w a y a n a p o t o k e a mashambulizi, iwe kabla au baada ya tukio, hufuatiwa na taarifa kuwa zilitolewa tahadhari.

Sasa, katika tahariri yake Mhariri wa gazeti la Msema Kweli toleo la 906 Jumapili 18-24, 2015, a m e i c h a g i z a s e r i k a l i akiitaka isipuuzie habari za taasisi ya Kikristo-Release International, i l iyodai kuwa Tanzania itakuwa s h a b a h a ya m a g a i d i kwa mwaka 2015. Kama tulivyotangulia kusema, uzoefu unaonyesha kuwa t a h a d h a r i ya v i t i s h o kama hivi, mara kadhaa hufuatiwa na matukio halisi, lakini yenye utata. Ya n a y o g u b i k w a n a wasiwasi wa kufanyika usanii (false flag terror attacks).

Sasa, sisi tunasema, Tanzania yetu iwe salama. Vinginevyo, itabidi Msema Kweli na Bwana Paulo

Kuwepo “Christian lobby”ya akina Robinson, balaa

Tanzania iwe salama, vinginevyo…Msema Kweli watasema walijua nini…

Robinson wao watuambie, walikuwa wakijua nini?

Tumewahi kuandika m a r a k a d h a a k a t i k a gazeti hili kuwa Msema Kweli, waliwahi kuandika habari kubwa ukurasa wa mbele wakidai kuwa Wa i s l a m u wa l i k u wa wameingiza nchini silaha na kuzificha Misikitini, tayari kwa kushambulia Wakristo. Taarifa kama hizi ni za kuchochea chuki na uhasama baina ya Waislamu na Wakristo.

H a t u d h a n i k u w a kulikuwa na tukio kama hilo halafu vyombo vyetu vya usalama visijue na hata baada ya kuarifiwa na Msema Kweli, visichukue hatua. Kusema kuwa Waislamu au kundi lolote nchini, linaweza kuingiza s i laha kutoka n je na kuzihifadhi Misikitini, nyumbani au msituni halafu vyombo vya dola visijue, ni tusi kubwa kwa vyombo hivyo. Ni sawa na kusema, havina sababu ya kuwepo.

Swali linakuja, kwa nini chombo cha kidini, chombo cha habari cha Kikristo kiseme uwongo mbaya kama ule wa kuchochea chuki na uhasama baina ya Watanzania? Yakitokea machafuko, Msema Kweli wao watanufaika nini?

Hivi karibuni aliyekuwa kachero wa CIA, aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Shirika hilo la Kijasusi la Marekani cha kupambana na Osama Bin Laden, Michael Scheuer amesema kuwa, anayeitwa ‘Adui wa Marekani’ ikiwa ni kwa jina la Al-Qaida au ‘Islamic Militants’, ni adui wa kubuni.

A k i f a f a n u a z a i d i akasema kuwa adui huyo amebuniwa kwa masilahi ya kibeberu na zaidi kwa manufaa ya Israel.

A n a s e m a , M a r e k a n i imekuwa ikikokotwa vitani kupigana kwa niaba ya Israel katika jambo ambalo linainufaisha zaidi Israel. Na katika kufafanua zaidi akasema kuwa, tatizo sio Israel kama nchi, lakini viongozi wa Jamii ya Mayahudi wanaoish i Marekani.

“Israel itself as country is not a problem, the real problem is the leaders of the Jewish Communities in the USA influencing (our leaders) and corrupting the congress to support Israel, where we have no interest..”

A n a s e m a , S c h e u e r akieleza kuwa makundi kama American Israel Public Affairs Committee (AIPAC), maarufu kama Zionist lobby au Jewish lobby, ndiyo huwatia wazimu Wabunge na viongozi wa serikali ya M a r e k a n i k u t u m i k i a maslahi ya Israel, hata pale ambapo Marekani kama nchi, haina cha kupata. Akatoa mfano wa vita ya Iraq kuwa ililazimishwa kwa shinikizo na manufaa ya Israel.

Akiongeza akasema kuwa mkakati huu wa kubuni maadui bandia, Al-Qaidah na misamiati kama hiyo, huinufaisha Israel kwa sababu lengo hapa ni kuwa ionekane, wanapouliwa Waislamu, isemwe kuwa sio Waislamu wanauliwa, bali magaidi. Wakivamiwa na kuuliwa katika makazi yao na nchi zao, isemwe kuwa sio vita dhidi ya Uislamu na Waislamu, bali vita dhidi ya magaidi. Wakiuwa Wapales t ina , hawaui b i n a d a m u , wa n a u wa magaidi!

K w a m u d a s a s a , ukitizama na kusikiliza taarifa za vyombo vya habari, kauli za wanasiasa n a h a t a b a a d h i y a makamanda wa vyombo vya dola hapa nchini, inavyoonekana kunataka k u j e n g wa k i t u k a m a ile ‘Zionist lobby’ kule Marekani. Wawakokote polisi, Usalama wa Taifa, Wabunge, na wanasiasa ser ikal ini , watumikie masilahi ya mabeberu w e n y e a g e n d a y a kuzisambaratisha nchi zetu kama walivyofanya Libya na wanavyofanya sasa Syria (na pengine kwa masilahi ya Ukristo).

K i n a c h o a n z a n i

propaganda kama hizi za Msema Kweli kuwa kuna Waislamu wamepania kuuwa Wakristo. Kutokea h a p o w a n a p a t i k a n a wanasiasa wa kuropoka kuunga mkono habari hizo. Hali inakwenda mpaka washenga hawa wa mabeberu wanakuwa na sauti na nguvu ya k u i s h a w i s h i s e r i k a l i kufanya lolote dhidi ya Waislamu huku ikidaiwa kuwa ni magaidi s io Waislamu wanaopigwa!

L a b d a t u w a a m b i e Msema Kweli na wanasiasa ambao waliwahi kutoa kauli za kushadidia kuwepo kwa kitisho cha ugaidi wa Kiislamu, uliopania kuchoma makanisa na kuuwa Wakristo. Kama alivyosema Kachero wa CIA Michael Scheuer, maadhali huyu ni adui wa kubuni, hata matukio ya ugaidi yanakuwa ya kubuni na kupangwa pia ili kusimika kitisho.

K a m a l e n g o n i kuonyesha kuwa kitisho c h a u g a i d i wa A l -Shabaab ni kweli kama alivyosema Robinson w a M s e m a K w e l i , itabidi watafutwe watu wa kufanya tukio la kupanga wasingiziwe Waislamu. Watauliwa Wakristo Kanisani au mahali popote. Kwa hiyo, wa kuumia mwanzo ni Wakristo ili watokote kwa hasira kuwachukia ndugu zao wa damu, jirani zao mitani na wafanyakazi wenzao maofisini, Waislamu.

Sasa hilo likifanyika, l i k i f u a t i w a n a propaganda kama zile za Fox News na CNN, pamoja na kuwa serikali itachukua hatua kivyake kuwabamiza Waislamu, yumkini wanaweza kupatikana Wakristo wa k a t a k a k u l i p i z a k i sas i kwa mikono yao mitaani. Sasa hilo hasa ndio wanalotaka mabeberu. Iwe ni piga n i k u p i g e b a i n a ya Seleka na Anti-Balaka mitaani. Ikiwa ni kama hii ya Kenya kwa sasa ambapo kila likifanyika tukio, inadaiwa kuwa ni magaidi wanauwa Wakristo, halafu polisi ndio wanabaki kuuwa Masheikh na vijana wa Kiislamu, wananchi k i m ya a ! H i y o s i y o wanayotaka mabeberu.

Kwa jinsi tunavyoona chuki inavyojengwa nchini hapa, na kwa jinsi tunavyoona kauli za baadhi ya Wachungaji kufuatia ile kadhia ya kuchinja na madai ya kuchomwa makanisa, wala tusifanye mchezo. Yakipatikana matukio kama yale ya Kenya, tumekwisha.

Taarifa za mwanzoni m w a w i k i h i i zinafahamisha kuwa mtu mmoja Muislamu alichomwa visu hadi kufa na j i rani yake Mkristo. Mkristo huyo anaelezwa kuwa alikuwa na hasira kutokana na kuuliwa watu 12 kule Charlie Hebdo, Paris.

Hebu jaaliya litokee tukio kama la Charlie hapa Tanzania halafu kutokana na propaganda ya akina Msema Kweli na wenzao, idaiwe kuwa ni Waislamu walifanya. Chuki na hasira za kisasi ziwapande baadhi ya Wakristo, halafu mmoja afanye tukio kama hilo la kumuuwa jirani yake Muislamu kwa kisu! Kutakalika?

N a h a p a l a b d a tuwaulize tena wenzetu w a M s e m a K w e l i , ikitokea hali kama hii, wao watanufaika vipi?

Lakini muhimu kwetu Wa t a n z a n i a w o t e , tuzingatie yafutayo: raia wa kawaida wa Marekani, hanufaiki na chochote katika vita ya Libya, Iraq wala Syria. Sana sana vijana wao ndio wanakwenda kufa wa k i p e l e k wa k a m a wanajeshi (baadhi ya taarifa zinasema kuwa katika Iraq wamekufa zaidi ya 5,000)

Yakitokea matukio tata kama lile la Septemba 11 au Boston Marathon Bombings, wanaokufa ni wananchi wasio na hatia, wasio fahamu kitu katika yale wanayosema akina. Juval Aviv kuhusiana na 7/7 attacks.

Kwa hiyo, kwa hakika n i wa j i b u we t u s o t e Watanzania, kuhakikisha kuwa hatulei makundi ya watu, iwe ni katika vyombo vya habari, siasa na vyombo vya usalama, ambao watatuundia ‘lobby’ mithili ya zile ‘Jewish Lobby’ anazozungumzia kachero Michael Scheuer ambazo sasa zinaitafuna Marekani.

Page 3: ANNUUR 1161.pdf

3 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Habari

KWA mujibu wa imani ya wana wa Israeli, na maandiko ya Biblia, na imani ya wafuasi wa Biblia, ni kuwa, wana wa Israeli, (Mayahudi) ni taifa teule, (takatifu) kwa maana ya kuwa, ni waongofu. Wameokoka-hawana dhambi-ni watiifu wa sheria za Mwenyezi Mungu. Wao wanaamini hivyo na wafuasi wao katika imani wanaamini hivyo. Ndiyo maana kila wana wa Israeli wanapofanya mauaji na ufisadi, wafuasi wao na viongozi na wafuasi wa dini ya Biblia huwasikii wakiwalaumu, kwa kuwa wamerithishwa imani hiyo katika maandiko ndani ya Biblia.

Ili tuone namna utukufu, wa wana wa Israeli ulivyopatikana, nimeonelea kuwa nilazima tujue jinsi jina hilo lilivyopatikana kwa mujibu wa Biblia. Biblia inatufundisha kuwa Jina hilo linatokana na mashindano ya miereka kati ya Mungu na Yakobo mwana wa Is-haqa (Isaki); matokeo yakawa Yakobo (Ya’quub) akamshinda Mungu, na Mungu akamzawadia jina hilo la Israeli. Bibli inasema hivi:

Kwa faida ya wasomaji wangu niruhusuni nitumie Biblia za aina mbili, ya mwaka wa 1937 ya kiswahili cha Mvita, yaani Ukanda wa Pwani ya Afrika Mashariki; na ya mwaka wa1985, toleo la Union Version.

“Naye Yakobo mwenyewe akasalia peke yake ng’ambo ya huko. Mara mtu akakamatana naye, mpaka Jua lilipopambazuka. Alipoona, ya kuwa hamshindi Yakobo, akamgusa nyonga ya kiuno chake; ndipo, Nyonga ya kiuno cha Yakobo ilipoteuka kwa kukamatana naye. Akamwambia Yakobo: Niache niende Zangu! Kwani jua limepambazuka. Lakini akasema: Sitakuacha, usiponibariki. Naye akamwuliza: Jina Lako nani? Akamwambia: Yakobo. Ndipo, aliposema: Hutaitwa tena j ina lakoYakobo, ila Israeli (Mshinda Mungu), kwani umeshindana na Mungu, hata na watu, ukawashinda. Naye Yakobo akamwuliza kwamba:

WAISLAMU wamewasilisha Muswada mpya wa Mahakama ya Kadhi inayohitajika na Waislamu kwa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, baada ya kuukataa Muswada wa marekebisho ya Sheria ya hiyo wa awali.

Muswada huo umekabidhiwa Januari 20, 2015, katika kikao k i l i chofanyika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Jijini Dar es Salaam, kupitia kwa Masheikh wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu 11, na kuungwa mkono na wadau mbalimbali walioshiriki kutoa maoni yao kuhusu Muswada wa marekebisho ya Sheria.

Akiongea na An nuur, kufuatia msimamo huo, Amiri wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T) , Alhaj i Mussa Kundecha, alisema kimsingi walichokikataa si Muswada wa Mahakama ya Kadhi, bali ni marekebisho ya Sheria ya Kiislamu jambo ambalo hawajui limetoka wapi.

Alisema, baada ya kupitia na

Muswada Mpya Mahakama ya KadhiNa Bakari Mwakangwale kuona kuwa huo si Muswada

wa Mahakama ya Kadhi, bali ni Muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali No. 2, huku ukiwa na mapungufu, walieleza kinachohitajika kwa Waislamu, na kulazimika kutoa mapendekezo ya Muswada wa Kadhi mbadala unaotakiwa na Waislamu.

Alha j Kundecha a l i sema kwamba waliieleza Kamati hiyo zaidi kuwa ikiwa wanahitaji maoni ya Waislamu katika hilo, basi watayarishe muswada wa Kadhi upya ndipo ujadiliwe na Waislamu lakini siyo kujadili marekebisho ya Sheria waliyoitayarisha wao.

“Ule tulioukataa haukuwa m u s wa d a wa K a d h i , b a l i kilikuwa ni kitu kinachozugumzia marekebisho ya maafikio ya tamko la Sheria ya Kiislamu na ndani yake hautaji Mahakama ya Kadhi, haionyeshi muundo wa Mahakama ya Kadhi wala haielezi mchakato wa Kadhi unapatikana vipi”. Alisema Alhaj Kundecha.

Alhaj Kundecha, ambaye pia ni Amir wa Shura ya Maimam (T), alisema, katika muswada mbadala walioupendekeza, wameeleza

Ofisi ya Kadhi inatakiwa iwe vipi, Kadhi atapatikanaje na ni kwa namna gani Jumuiya na Taasisi za Kiislamu kwa ujumla, ziwasilishwe vizuri katika kupatikana Kadhi.

Lakini pia akasema kuwa wameanisha muundo wa ufanyaji kazi wa Kadhi.

Badala yake alisema, Alhaj Kundecha, kwamba Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala imeshukuru kwa msaada waliowapa na wameuchukua Muswada huo kama maoni muhimu ya wadau na kwamba, kwa namna ambayo wanafikiri ikiwa watayafanyia kazi kwa dhati inawezekana akapatika mahakama ya Kadhi inayotakiwa na Waislamu.

Akij ibu zaidi maswali ya mwandishi, Alhaj Kundecha, alisema wanaichukulia hatua hiyo katika mitazamo miwili, kwanza wakifahamu kuwa Katiba inayopendekezwa imekataa maoni ya Waislamu kuhusu Mahakama ya Kadhi.

Lakini akasema, katika hatua ya pili suala hilo limeletwa kataka sura ya kuchota fikra za Waislamu

kuwa hitajio lao la Mahakama ya Kadhi linaweza kupenyezwa katika marekebisho ya Sheria.

Akasema, kwa n j ia h iyo waliyokuja nayo, Waislamu wanaelewa kwamba hakuna nia ya dhati ya kuwarejeshea Mahakama ya Kadhi bali ni katika hali ya kuendelea kuwahadaa Waislamu nchini.

“Ndio maana hata Muswada huo wa Sheria ya Kiislamu ulioletwa na kuombwa kutoa maoni yetu nao watambue Waislamu tumeukataa vile vile kwa maana hiyo tunaunganisha kuvikataa vitu vyote kwa pamoja, Katiba na Muswada.

K w a u j u m l a Wa i s l a m u h a wa j a p a t a u f u m b u z i j u u ya Mahakama ya Kadhi, kwa hiyo mpaka sasa msimamo wa Waislamu upo pale pale kwa kupiga kura ya ‘HAPANA’ juu ya Katiba inayopendekezwa na hatuutambui Muswada wa Sheria ya Kiislamu”. Alisema Alhaj Kundecha, ambaye pia alikuwa Mbunge wa Bunge Maalum la Katiba Mpya.

Mjue Mungu wa Israel na washirika waoNa Khatib Juma Mziray

Niambie jina lako! Akamwambia: Jina langu unaliulizia nini? Kisha akambariki hapo.”

(Biblia ya mwaka wa 1937 Kiswalili cha Mvita, 1. Mose 32:24-29)

“Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri. Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye. Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki. Akamwuliza, Jina lako n’nani? Akasema, Yakobo, Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda. Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, Jina lako? Akasema Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko.” (Mwanzo 32:24-29- toleo la Union Versio.)

Huo ndio mwanzo wa jina Israeli’ na Baba wa wana wa Israeli’. Na ndicho kinachodaiwa ni kizazi kilicho barikiwa na Mungu. Aya tulizonukuu hapo juu, zinaonyesha kuwa Yakobo alikuwa mahali peke yake, akaja mtu wakashikana mwereka mtu yule akashindwa kumwangusha Yakobo, alipoona kunapambazuka, a k a m w a m b i a Ya k o b o k u w a amwachilie, huenda ni kuwa hataki jua lichomoze liwakute wanaendelea na miereka; ina maana mtu yule hataki kuonekana na watu mchana. Hata hivyo Yakobo anamwambia mtu asiyemjua kuwa ambariki; ambariki kwa Baraka zinazotoka kwa nani wakati hamjui kua anatoka kwa Mungu au kwa shetani. Pia mtu huyo naye alikuwa anashikana mwereka na mtu asiyemjua; ni pale alipomwuliza kuwa: “Akamwuliza,

Jina lako n’nani,” Yakobo naye baada ya kupewa jina la‘Israeli’ naye amamwuliza : “Niambie , tafadhali, jina lako?” Hata hivyo ina maana kuwa Yakobo hakuelewa pale mtu yule alipomwambia kuwa: “..umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.” Kwa Biblia ya 1937 imeandikwa: “ (Mshinda Mungu). Kwani umeshindana na Mungu, hata na watu, ukawashinda.” Lakini pamoja na kuwa Yakobo alipomwuliza kwa kumtafadhalisha, kuwa amwambie jina lake, yule mtu hakumwambia, bali alimwambia: “Kwa nini unaniuliza jina langu?” Hata hivyo, aya iliyofuata inasema hivi:

“Yakobo akapita mahali pale, Penueli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.” (Mwanzo 32:30).

Katika Biblia ya mwaka wa 1937, kabla ya kuandika aya ya 22, ya kifungu hiki cha 32, kuna kichwa cha habari:- “Yakobo anashindana na mala ika .” Lak in i maneno tuliyoyasoma katika aya hizo hapo juu zinasema kuwa, ni mtu, na sehemu ingine zinasema kuwa ni Mungu, na Yakobo mwenyewe alisema kuwa hamjui; hata alipomtafadhalisha kuwa amwambie ina lake, alimjibu kuwa unalitakia nini jina langu; waandishi wa Biblia ya mwaka wa 1937 wanatwambia kuwa,Yakobo alishindana na malaika, na wamechora n a p i c h a j i n s i wa l i v y o k u wa wakishikana miereka. Wakati Yakobo anasema, kuwa, amemwona Mungu uso kwa uso; waandishi walimwona vipi malaika akishindana mieleka na Yakobo? ‘Hizo ndizo zinazoitwa ‘ISRAILIYATI.’ Na hivyo ndivyo alivyo, na afanyavyo kazi mungu wa

Israili.Nabii Musa (A.S.) Ndiye aliyepewa

sheria (Torati) na Mungu; kuhusu kuonana na Mungu uso kwa uso Biblia inatuambia kuwa , Nbii Musa alitaka kumwona Mungu uso wake, Mungu akamwambia hivi: “Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.” (Kut 33:20).

Ni vipi Yakobo alivyomwona Mungu uso kwa uso na akaendelea k u i s h i ? H a t a h i v y o B i b l i a inatufahamisha kuwa Yesu (A.S) alipofikia karibu ya kukabidhiwa majukumu ya Uongozi, Mungu alimpa mtihani, alipofaulu ndipo akaanza kuhubiri; mtihani wenyewe moja ya swali ni hili:-

“Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake, akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia. N d i p o Ye s u a l i p o m wa m b i a , Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake. Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.” (Mathayo 4:8-11.)

I n a o n e k a n a k u w a Ya k o b o alishindwa mtihani (alifeli) kwa kuwa alishindwa kumjua mtu al iyekuwa akimgaragaza kwa miereka. Ukiona Wana wa Israeli wanakuwa wajeuri, wakatili. wauaji na wasiokuwa na huruma; ni kuwa, wahenga wao waliwatengenezea ‘manhaji’ (mtaala) uliobeba dhana hiyo, kuwa walishamshinda hata mungu, na watu wote duniani. Hivyo chochote watakachokifanya, hakuna wa kuwauliza. Na hiyo ndiyo imani iliyoingizwa kwa kila aliyerithishwa imani ya dini i l iyotokana na ‘manhaji’(mtaala) unaowatukuza wana wa Israeli kuwa ni taifa teule la Mungu, na kuaminishwa kuwa kuna mungu wa Israeli, kumbe mungu mwenyewe ni huyo aliye shindwa na Yakobo. ‘Astahfirullah.’

Page 4: ANNUUR 1161.pdf

4 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala ya Mtangazaji

( I M E M C ) - T h e Israeli Military Court in ‘Ofer prison sentenced, Wednesday, a young Palestinian child identified as Malak al-Khatib, 14 years of age, to two months imprisonment, and 6000 New Israeli Shekels fine.

The soldiers alleged she “hurled stones at them," and “carried a knife."

Al-Khatib, from Beiteen village near Ramallah, was taken prisoner on D e c e m b e r 3 1 2 0 1 4 , and was subjected to interrogation and harsh treatment without legal representation.

Her family was never allowed to see her, and was prevented from talking to her during the court

Israeli Court Sentences a Child to Two Months

Malak al-Khatibsession.

The court sentenced the child to two months i m p r i s o n m e n t , a n d ordered a 6000 NIS fine, the Ahrar Center for Detainees’ Studies has reported.

Head of the Legal Unit of the Palestinian Prisoners Society (PPS) Jawad Boulos said Israel’s policies of detaining, interrogating and sentencing children are direct violations of international treaties and laws regarding the protection of civilians, especially the children.

“The violations start from the moment of their arrest; such kidnappings are carried out in very violent, and extreme, manner,” he said, “The children are interrogated and tortured, physically and emotionally during interrogation; the abuse they face significantly affects their lives, and future.”

The child’s father said the Israeli claims are baseless, and that the soldiers just falsify their reports and testimonies, similar to what they did to hundreds of children, who ended up sentenced, and imprisoned.

Her mother stated she could not approach her daughter to hug her, or just to talk to her and see how she is doing, as the soldiers and the military judge denied them this basic right.

The child is currently held at the HaSharon Israeli prison, facing very difficult conditions and ongoing harassment.

Undercover Forces Assault Child, Kidnap Him( I M E M C ) - T h e Wa d i Hilweh Information Center in Silwan (Silwanic), in occupied Jerusalem, has reported that undercover soldiers of the Israeli army assaulted, on Monday, a Palestinian child, causing various head and facial injuries, and then kidnapped him.

The assault took place in the central neighborhood of Silwan; the child has been identified as Mohammad Gheith, 16 years of age.

His family said that he was standing in front of his home when the soldiers attacked

Mohammad Gheithhim, beat him with their batons on the head and face, and kidnapped him. .

O n e o f h i s f r i e n d s said that they were in the neighborhood when three undercover soldiers approached him, before one of them shouted his name (Mohammad Gheith).

The soldiers then pushed him against a wall, removed his clothes and searched him.

His f r iend a lso sa id the soldiers then ordered Mohammad to put on his clothes, and started beating him with their batons and rifle-butts, punching him repeatedly.

The soldiers took the wounded child to illegal outpost of Bet Yonatan, while he was shouting from the pain in his head and limbs.

The soldiers then took the wounded child to the police station on Salah Ed-Deen Street while still bleeding, and later moved him to the Hadassah Hospital in Jerusalem.

The father said he will be filing a complaint to the police investigation unit (Mahash), as the officers attacked his son without any cause or provocation.

JERUSALEM (Ma'an) -- Israeli authorities on Wednesday destroyed a Palestinian building in

Israel carries out 3rd East Jerusalem home demolition in 2 daysMa'an that the building belonged to the Bishara, Mukheimar and al-Mashni families and that it was

the Shufat neighborhood of East Jerusalem, the third such home demolition in the occupied city in the last two days.

Locals told Ma'an that Israel i special forces accompanied by bulldozers raided the neighborhood and surrounded a building before almost immediately beginning to demolish it.

At the same time, local residents and journalists on the scene were prevented from approaching the area.

Sources told Ma'an that the Israeli authorities claimed the demolition was related to "security purposes" and was carried out because the structure was constructed without a license.

Local Walid Bishara told

built a year and a half ago.Bishara added that

a f t e r t h e b u i l d i n g was completed, Israel prevented the families from moving into it and then issued the demolition order.

Around 150 demolitions orders are pending in the Jabal a l -Mukabir neighborhood, a local official told Ma'an.

I s r a e l i b u l l d o z e r s demolished at least 359 Palestinian structures in the West Bank in 2014, according to the Israeli Committee Against House Demolitions.

Although Palestinians in East Jerusalem live within territory Israel has unilaterally annexed, they

lack citizenship rights and are instead classified only as "residents" whose permits can be revoked if they move away from the city for more than a few years.

Jerusalem Palestinians

face discrimination in all aspects of life including housing, employment, and services, and are unable to access services in the West Bank due to the construction of Israel's separation wall.

GAZA (WAFA) – At least one Palestinian fisherman was injured w i t h l i v e b u l l e t s when an Israeli naval boat opened fire at fishermen sailing off Gaza, according to local sources.

The fisherman, Atef Bakr, 19, was shot and moderately in jured while he was sailing offshore the coast of Gaza for fishing.

Nizar Yaish, head of the Gaza Fishermen's Syndicate , told the Anadolu Agency, the Israeli navy claimed t he f i shermen had surpassed the s ix -naut i ca l -mi le zone allowed for Palestinian fishing practice.

The Israeli navy targets Palestinian fishermen off Gaza almost on a daily basis, causing civilian c a s u a l t i e s a m o n g fishermen or damaging

Israeli Navy Targets Fishermen off Gaza, Injures One

their boats.According to Amjad

Shrafi, deputy head of the Gaza Fishermen's Syndicate, hundreds of Palestinian fishermen have been arrested, injured and even killed off Gaza, whereas the Israeli navy has also confiscated 54 fishing boats.

Under the Egypt-b r o k e r e d c e a s e f i r e negotiations last August, I s rae l agreed wi th Palestinian factions to extend the fishing zone allowed for Palestinians to six nautical miles. N e v e r t h e l e s s , f i r e attacks on Palestinian fishermen by the Israeli navy continued.

Contact us: P.O Box 20307, 612 UN Road – Upanga West, Dar es Salaam Tel: 2152813, 2150643 Fax: 2153257 E m a i l : p i c t @ p a l - t z .orgWebsite: www.pal-tz.org

Page 5: ANNUUR 1161.pdf

5 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Kimataifa

KILA mtu kasikia tukio la kuvamiwa ofisi za jarida la Charlie Hebdo la nchini Ufaransa na kuuliwa watu 12. Tukio hilo limekuzwa katika kiwango cha juu nchini Ufaransa kwa kupazwa juu na wanasiasa ndani ya nchi hiyo na ulimwenguni kote. Jarida hilo ni miongoni mwa majarida yanayojihusisha kuchapisha vibonzo v ya k u m k a s h i f u n a k u m t u k a n a M t u m e SAAW na Uislamu. Aidha, haraka kama kawaida ya viongozi wa magharibi wakalinasibisha tukio hilo na Waislamu. Japo kwamba Jarida hilo lina maadui wengi wakiwemo wafuasi wa dini nyengine ukiwemo Ukiristo.

Kama inavyotarajiwa, badala ya wanasiasa kuwa waadilifu na kuliangalia suala hili kwa jicho pana la uadilifu, kuhoji sera zao hususan fikra za uwongo za ‘uhuru’ katika nidhamu yao ya Kidemokrasia. Haraka wamekurupuka na kujikita kulidandia kufikia malengo yao makubwa dhidi ya Uislamu na Waislamu.

A wa l i , q a d h i a h i i inadandiwa ili kukuza na kumakinisha zaidi ‘rai amma’/mtazamo jumla dhidi ya Uislamu ndani ya nchi za magharibi ili Uislamu uonekane tishio katika nyoyo za raia wao wasiwe tayari kusikiliza, kushiriki katika mjadala na kufanya maongezi juu ya Uislamu. Na pia kuzidisha uadui wa raia hao dhidi ya Waislamu ndani ya nchi hizo. Wimbi hilo limekuwa likishamiri n d a n i y a U l a y a n a Marekani kama tulivyoona karibuni Wajerumani waliandamana kupinga Waislamu, kitendo cha k u t u p i w a m a b o m u misikiti nchini Sweden. Pia mara baada ya tukio hili tayari kumeripotiwa kutupwa bomu la mkono katika msikiti mmoja nchini Ufaransa nk.

P i l i , k u i m a k i n i s h a ‘rai amma’/ mtazamo jumla wa kilimwengu k wa m b a U i s l a m u n i dini ya kishenzi, uovu, ukatili na ya mauwaji ili madola ya magharibi yapate uhalali zaidi wa kuendelea kumakinisha sera zao za kiuadui na kiuvamizi dhidi ya nchi za Waislamu na Uislamu

Tukio la ‘Charlie Hebdo’ linapodandiwa dhidi ya ummah wetuNa Masoud Msellem na kuzuiya mageuzi ya

kisiasa za Kiislamu katika biladi za Kiislamu.

Tatu, kulitumia tukio hili kuficha uchafu wa dhulma katika siasa zao za nje kwa nchi za Waislamu na kutaka kuungwa mkono zaidi katika dhulma zao hizo.

Nne, kulifanya tukio hili ni guo la kuficha unafiki wa fikra yao ya kimgongano ya ‘uhuru’ . F ikra ya kipumbavu ! inayoruhusu kutembea na kichupi ati ni ‘uhuru binafsi’. Lakini kuvaa Hijabu ni uhalifu na marufuku. Inayoruhusu kumkashifu Mtume SAAW ati ni ‘uhuru wa habari’ na ‘uhuru wa maoni’ lakini kukashifu dola ya Ufaransa na viongozi wake ni uhalifu ambao kwa sheria za nchi hiyo hukmu yake ni kufungwa jela miaka mitatu au kulipa faini ya €75,000. Kama alivyoshtakiwa mwanamuziki wa nchi hiyo Richard Makela mwezi mei mwaka 2006 kufuatia ukanda wake wa kuikashifu nchi hiyo pamoja na waasisi wake ak ina Napoleon and Charles de Gaulle.

Kwa tukio hi l i lau Ufaransa na madola ya kimagharibi wangekuwa waadi l i fu , badala ya kukurupuka kunyoosha

mkono kwa Uislamu na Wais lamu wal ipaswa waje na majibu, wapi watendaji wa tendo hilo walipata silaha (wawe watakaokuwa), vyombo vya usalama vilikuwa wapi hadi tendo hili kufikiwa

hatua ya utekelezaji. Na pia wakiri udhaifu wa fikra yao ya uwongo na ya kinafiki ya ‘uhuru’. Fikra wanayoitukuza na kuipigia debe kupita mipaka katika nidhamu yao ya kidemokrasia.

Aidha, ni juu ya kila raia mwadilifu na mwanafikra makini katika wasiokuwa Wa i s l a m u k u u t a f i t i Uislamu kwa uadilifu na kuhoji kwa kina fikra za mfumo wao wa kibepari.

BARAZA la Habari la Kenya lilionya gazeti hilo kwa kuchapisha katuni hiyo na kuwaita wamiliki wake katika m k u t a n o , k a b l a y a kuamua hatua muafaka ya kuwachukulia, liliripoti shirika la utangazaji la BBC.

"Ilichapishwa katika muktadha wa kuripoti matukio ya kimataifa kufuatia mashambulizi, w a s o m a j i w e n g i Waislamu walilalamika, The Star linajutia sana kosa na matatizo yoyote yanayosababishwa na picha hii na tutazingatia hisia za Waislamu siku zijazo."lilisema ombi la msamaha la gazeti hilo.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari ya Alhamisi iliyopita, Baraza hilo lilieleza kuwa limekerwa na uchapishwaji wa habari za kuudhi na picha katika gazeti la The

Gazeti Kenya laomba radhi kwa kuchapisha katuni Charlie HebdoStar na kutishia kulifungia.

Baraza hilo linafikiria "kuwafutia vibali vya kufanyia kazi waandishi wake na kuliondoa gazeti hilo kwenye mashirika ya habari yanayoendeshwa chini ya Baraza la Habari la Kenya," ilisema taarifa hiyo kwa vyombo vya habari, kutokana na machapisho hayo ya The Star.

Ni vyombo vya habari na waandishi wa habari wenye leseni tu ndio wanaoruhusiwa kufanya kazi nchini Kenya chini ya Sheria ya Vyombo vya Habari ya Desemba 2013. Kufutiwa leseni ni sawa na kufungiwa.

Taarifa hiyo iliyosainiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili na Taarifa kwa Umma, Grace Munjuri, haikueleza habari au picha zipi zilizoonekana kuwa za maudhi.

Hata hivyo The Star lilisema kuwa Mkurugenzi

wake Mtendaji, William Pike, ameliandikia Baraza

hilo kufanya mawasiliano rasmi tarehe 22 Januari.

RAIS Abdul Fattah al Sisi wa Misri, amekiri k w a m b a j e s h i l a polisi nchini humo limehusika na ukiukaji wa haki za binadamu, lakini ametetea uhalifu huo kwa kile alichokiita kuwa ni kutokana na mazingira ya aina yake na hatari za kiusalama zinazoikabili Misri kwa sasa.

K i o n g o z i h u y o aliyeongoza mapinduzi ya kijeshi dhidi ya serikali iliyokuwa imechaguliwa na wananchi ya Dkt. Muhammad Murs i , amedai kuwa hakuna mtu anayelinda haki za

Al Sisi akiri kukiukwa haki za binadamu Misribinadamu kuliko yeye.

Hata hivyo katika hotuba yake aliyoitoa katika maadhimisho ya sikukuu ya Polisi, kiongozi hakuashiria k a m a s h e r i a z i n a z o l a a n i w a n a jumuiya za kutetea haki za binadamu za ndani na nje ya Misri kama ile ya kupiga marufuku maandamano ya amani zitaondolewa.

Sheria hiyo iliwekwa na watawala wa kijeshi wa Misri miezi michache baada ya kuondolewa madarakani serikali iliyokuwa imechaguliwa na wananchi.(irib)

Page 6: ANNUUR 1161.pdf

6 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala

HIVI Sasa baadhi ya maeneo katika mji wa Zanzibar yanakabiliwa na tatizo kubwa la uhaba wa maji. Watu wamekuwa wakihangaika huko na huku kutafuta maji salama kwa matumizi ya nyumbani.

Katika maeneno mengi walikuwa wakipata maji labda mara moja au mara mbili kwa wiki. Hii ilionekana kama kawaida. Ndio neema. Ila tu hapo mtu unalazimika kuwa na vyombo vya kutosha kujaza maji ya kutumia kwa siku hizo tatu ambapo mifereji itakuwa haina kitu ikiwa ni zamu kwa wengine.

Tatizo hili limedumu kwa muda sasa, na katika baadhi ya maeneo, linataka kuzoelekea ionekane ndio majaaliwa.

“Njia shida, Maji shida, Afya shida. Tumekosa nini?”, yalisomeka baadhi ya mabango ya vijana wa CCM wakimpokea Katibu Mkuu wa Chama chao, Mh. Abdurahman Kinana hivi karibuni kule Miwani, Jimbo la Uzini, Zanzibar.

“Tumechoka na ahadi. Tunataka vitendo. Tupe nafasi tutoe ya moyoni. Mbunge, Mwakilishi, hawaelewani-wanakikundi taabani.” Lilisema bango jingine.

Miaka 51 ya ‘Mapinduzi Daima’, kunywa maji, kuoga, kufua, kwa zamu! Naam! Yadumu Mapinduzi!

K a t i k a h a l i k a m a h i y o , ingetegemewa labda viongozi wa chama hicho na serikali yake, wangekariri ahadi zao na kuzitilia nguvu kwa viapo vya kuchukua ahadi kwa Mwenyezi Mungu, kwamba haraka haraka watafanya hili na lile, lakini wapi. Kilichopo ni baadhi ya vigogo kula viapo vya kukamia kuwafanyia uovu watu wanaodaiwa kuchoka na ahadi hewa za chama na kufikiria kushusha bendera zake katika maeneo yao.

K u n a k i p a n d e c h a v i d e o kinasambazwa kuhusu hotuba ya Bwana Mkubwa mmoja wa CCM na Waziri katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), siku hizi Serikali ya Umoja wa kitaifa (SUK). Bwana huyu, akivalia magwanda ya CCM na ‘kapelo’ yake, anahutubia mkutano wa hadhara naambiwa Kaskazinu Unguja. Katika kipande hicho anasikika akiapia kwa jila tukufu la Mwenyezi Mungu, anasema: “Wallahi l-Adhiim”.

“Namuapia Mungu, Wallahi laadhim kama hodari … mana mumehamasishwa nyinyi vijana…..hao Masheikh mnaowalilia huko wanavyofanywa, wanavyofanywa ……mtakwenda kuwa wasaidizi wao.”

Anasikika kada huyo wa Chama Cha Mapinduzi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika tarehe 21/12/2014.

‘Wallahi L-Adhiim”, anaapia nini? Anaapa kuwa watu wanaotuhumiwa kuwa wanataka kuihama CCM na kushusha bendera za chama hicho, watafanyiwa mambo ya kikhabithi ya Kumu Lut na zaidi ya hapo-kuteswa kwa kusokomezwa majiti sehemu zao za siri.

Japo hatamki, lakini anasema kuwa kama watu wanaotaka kushusha au kuchoma moto bendera za CCM, wamehamasishwa na

'Allahu L-Adhiim', kufru hii Unguja imevuka mpakaNa Abu Haitham Ibn Juma Masheikh wa Uamsho, basi wajue

kuwa nao watakwenda kufanyiwa hayo waliyofanyiwa Masheikh hao kule Dar es Salaama. Watakuwa wasaidizi wao katika kufanyiwa hayo. Yapi walifanyiwa? Maelezo yalishatolewa mahakamani kuwa masheikh hao walifanyiwa mambo mabaya mpaka sasa baadhi yao hawapo sawa kiafya na kisaikolojia.

“Wallahi”, Jina Tukufu kabisa la Mwenyezi Mungu-Allah. Kiongozi wa Chama Tawala, Waziri katika serikali, unaliapia tena kwa kuongeza ‘L-Adhiim’, unaliapia Jina Tukufu la ‘Allah’ kukamia kuwafanyia watu uovu!!!

N a j a r i b u k u f i k i r i a k a m a anaweza kupatikana CCM Bara au CHADEMA, NCCR, TLP, ambaye anaweza kusimama katika jukwaa la siasa akapayuka:

“Kwa Jina Yesu…mtafanyiwa…”, akasema jambo ovu na chafu kama alivyosema huu Bwana Mkubwa wa CCM, Zanzibar.

Simuoni Mkristo ndani ya CCM wala ndani ya vyama vya upinzani wa kuwa na uso na ujasiri wa kusema hayo.

Simuoni pia CCM Bara Muislamu au wa upinzani wa kutoa kauli kama hizo. Mzee wetu, ‘Ustaz Makamba’, alikuwa na kauli zake za kejeli zilizokuwa zikiwakera sana Waislamu, lakini akichunga muruwa wake na jamii anayoiongoza. Hakuthubutu kusema haya ya majukwaa ya siasa Zanzibar.

Innal i l lahi wa inna i layhir rajiuun! ‘Innalillahi…’, hii yafaa kupigiwa msitari na kupewa uzito zaidi kutokana na kilichojiri kwa wasikilizaji: Walikuwa wakipiga kofi, kushangilia, kucheka na kupiga vigelegele. Wanashangilia nini? Wanashangilia kiapo cha Mheshimiwa sana Bwana Mkubwa wa CCM na SMZ kuwa wafuasi wa Masheikh wa UAMSHO wanaodhaniwa k u w a w a n a t a k a k u c h o m a bendera za CCM watafanyiziwa vitendo vilivyoangamiza Sodoma na Gomora!!! Wanashangilia na kufurahiya yale waliyofanyiwa na wanayoendelea kufanyiwa akina Sheikh Msellem! Katika hali kama hii, nini kinasubiriwa zaidi ya kushukiwa na ghadhabu za Allah! Hakuna ila idhilali, hofu, shida na ugumu wa kila namna katika maisha, ndio yatakuwa majaaliwa yetu.

Katika hali ya kawaida, ilitarajiwa watu hawa wapige kimya, wapigwe na butwaa na kustaghfiru, lakini wanashangilia! Hivi jamii ikifikia mahali pa kufanyiana mambo ya Kumu Lut, tena yakifanywa rasmi na wenye mamlaka, ni jambo la kushangiliwa hilo?

Katika Kumu Lut, waovu walikuwa watu binafsi , lakini mamlaka ikijitahidi kuwaonya waovu. Leo mamlaka imefikia mahali pa kuapa kwa jina la Allah kuwa ‘watawatesa’ binadamu wenzi wao kwa kuwafanyia uovu uliowahi kuangamiza Kaumu, jamii na nchi, watu wanapiga kofi na kushangilia! Na si ajabu baadhi yao wakitoka hapo wanaingia Msikitini kuswali Magharibi na pengine hata kuhudhuria darsa la baada ya Magharibi mpaka Isha!

Katika hali kama hii, hivi tutakuwa na uso gani wa kuwalaumu wale Mawaziri kule Bara ambao badala ya kuwachukulia hatua polisi wanaotuhumiwa kuwadhalilisha ‘Masheikh’ na ‘Uamsho’ kutoka Z a n z i b a r , w a n a s e m a k u w a watakalofanya ni kuchunguza iwapo waliofanyiwa ufedhuli huo haikuwa ‘kamchezo’ kao walikozoeya!

Imenichukua kiasi wiki tatu kutafakari, vipi nitafikisha ujumbe huu ninaokusudia kuuleta leo katika makala hii. Awali nilifikiria labda kwanza nikamhoji aliyetoa kiapo hiki, hata hivyo nikaona haitasaidia sana kwa sababu nitakuwa nimelifanya ni tatizo la mtu mmoja binafsi wakati laonekana kuwa tatizo la jamii nzima. Ile kuwa wasikilizaji walikuwa wakishangilia, maana yake ni kuwa kama ni kuoza ni jamii nzima ipo katika msiba. Sio suala la Waziri, au kada wa Chama. Katika hali kama hii, Qur’an inasema: “Subirini”. Subiri hii ni kututanabahisha tuchukue hatua za kujinusuru. Tufanye Da’wah kuwatoa watu gizani kuwapeleka katika Nuru. Hakuna namna nchi hii itasalimika kama hakutakuwa na juhudi za makusudi za kuwarejesha watu katika ubinadamu. Hivi sasa nchi imejinamia, inakoelekea ni katika maangamizi na haitaokolewa na “CCM-Mapinduzi Daima” wala “Hakiii, Sawa sawa!” Maana wakati haya yakitendeka, ndio wote hao wapo madarakani, kila mmoja kwa nafasi yake.

Wakati mmoja alikuwa akisimulia mama mmoja akieleza yaliyowakuta watu wa Piki, katika harakati za uchaguzi zilizopita. Akibubujikwa na machozi akaeleza walivyotoka majumbani mwao usiku wa manane, akina mama vitoto migongoni, wengine wakishikiliwa mikononi w a n a b u r u t w a w e n d e m b i o . Wanakimbia nini? Vipigo kutoka vikosi/Janjaweed. “Watu walianguka kama embe por in i” , a l i sema akimaanisha kuwa katika baadhi ya maeneo walikuwa wanakuta maiti, watu wameuliwa.

Inaweza ikatuhumiwa kuwa walioingia madarakani kupitia siasa hizi za “Mapinduzi Daima”, ‘serikali haitolewi kwa kipande cha karatasi’, wakidumu katika uongozi, ndio wanazidisha majanga. Lakini hebu

tutizame yaliyojiri katika patashika ya mwaka mpya (new year) juzi. Hivi sasa Zanzibar imekuwa inatafutwa sababu ndogo tu watu wafanye zogo la magoma, miziki, uzinzi, ulevi na kila balaa, pasi na mipaka. Hivi hawa wanaofanya haya, ghafla tu wanaweza kubadilika na kuwa watu wema ikiondoka CCM na kuja CUF?

Pita katika viwanja vya michezo, hasa mpira wa miguu wanakocheza vijana barobaro na hata watoto wadogo. Yanaporomoshwa matusi, utashangaa na kubaki mdomo wazi.

Yawezekana hawa ni zao la serikali iliyopo madarakani kwa kuweka sera na kanuni ambazo zilipuuzia malezi bora ya watoto. Lakini wazazi na jamii ya Waislamu, nayo ilichukua hatua gani? Je, hawa ghafla tu wanaweza kubadilika zikiondoka sera za ‘ki-CCM Kisonge?’

Nimalizie kwa kusema mambo mawili. Moja, ni kuwa hivi sasa kumesambaa hofu na uvumi mwingi kuwa kuna vijana (Janjaweed/vikosi) wanaandaliwa kurejesha yale ya ‘melody’ katika uchaguzi mkuu ujao. Na watu wanahofu kuwa huenda ‘melody’ ya safari hii ikawa mbaya zaidi kutokana na hali ya kisiasa ilivyo baada ya harakati za upatikanaji wa katiba mpya. Yaweza hizi zikawa hofu na uvumi tu usio wasilisha hali halisi. Lakini ambalo ni la msingi ni kuwa wananchi wana sababu za kuwa na hofu kutokana na historia ya huko nyuma.

Sasa, kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia, utakuwa ni wajibu wa wanasiasa kuwatoa wananchi hofu hii na ionekane kwa kauli na vitendo kuwa hakuna sababu ya kuwa na hofu.

La pili ni kuwa nimeyasema haya kwa kuzingatia zaidi nafasi ya Zanzibar kidini katika Kanda hii ya Afrika Mashariki na Kati. Na hivyo kwa kuzingatia pia wajibu wa kidini kwamba kila mmoja ataulizwa na kwamba kila Muislamu ana wajibu anapoona jambo baya linafanyika, achukue hatua japo kwa kusema.

Katika miaka ya 1950s na kurudi nyuma, hata 1960s, wapo watu walifika Zanzibar kutoka Bara kufanya kazi katika makampuni mbalimbali ya kiserikali na binafsi. Walifika hawajui kitu katika Uislamu, lakini wakarejea makwao wakiwa ni Masheikh wa kutegemewa katika Mitaa na Mikoa yao.

Hizo zilikuwa ndio zama za Unguja yetu njema atakaye naaje. Leo ukija Zanzibar kufanya kazi, yawezekana yakawepo mema ya kujifunza nje ya kazi yako, lakini pia utaokota na haya ya vigogo wa CCM na SMZ ya “Wallahi L-Adhiim”-kukamia kufanya uovu kwa kuapia jina la Allah.

Zipo simulizi nyingi sana juu ya kimbunga cha Tsunami iliyopiga Bali, Indonesia. Kwa hali tunayokwenda nayo Zanzibar, zaidi ya maisha ya dhiki yatakayotuandama, ikiwemo umasikini na kukosa huduma muhimu za kimaisha. Tusubiri!

KADHI Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Khamis Haji Khamis.

Page 7: ANNUUR 1161.pdf

7 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala

KILA mtu anasema kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi na bila ya shaka ni uchaguzi mkuu ambao huwa unakuja kila baada ya miaka mitano. Zuri ni kuwa hadi sasa utaratibu huo wa muda haujakiukwa hata mara moja.

I n a w e z e k a n a kuna ukiukwaji au tuseme upo ukiukwaji mkubwa wa maeneo m e n g i n e k a m a vile uendeshaji wa kampeni , haki ya k u t u m i a v y o m b o vya habari, uhesabuji wa k u ra n a h a t a ujumuishaji wa kura na utangazaji wake.

Tunasema kuwa kwa sasa nchi imeingia katika mfumo wa uchaguzi na kwetu mfumo wa uchaguzi huanza kabla ule mwaka ha l i s i wa uchaguzi ambapo tumekuwa tukiona m i f a n o y a w a t u kujipanga kuchukua nafasi za Ubunge na Uwakilishi lakini huko kwenye Urais ndiko ambako hakusemeki na kila njia hufanywa kuhakik isha nchi inaelekea kukubali matakwa ya wananchi w e n z e t u h a o wanaotaka vyeo.

Tumekuwa tukipita katika kipindi cha miaka minne sasa ambacho kumekuwa na utekelezaj i wa i l a n i y a c h a m a k i l i c h o s h i n d a Zanzibar na Tanzania Bara ambacho n i

Vikosi, waandishi wajitizame:Wasiwe ‘matawi ya vyama’Watachafua uchaguzi Z’bar

C C M , n a h i v y o tunapita katika kipindi ambacho inatubidi s i o t u k u t i z a m a kama imetekelezwa, bali kuchunguzwa na kupimwa kama imetekelezwa kama ilivyopangwa.

Upande mwengine ni kutizama ukuruba wa S e r i k a l i k wa wa n a n c h i m a a n a inawezekana pamoja na kuwepo Serikali, l ak in i imefanya je k a t i k a s u a l a l a kuwafikia, kujua na kuwatekelezea vilio n a h a j a z a o ? J e e Serikali imerudisha uhusiano gani kwa watu iliyowachagua na jee kuna njia za mawasiliano baina ya pande hizi mbili?

Pia tuna suala la Tume ya Uchaguzi, ambayo ndio uti wa mgongo wa usimamiaji na uendeshaji mzima wa uchaguzi. Nchi zilizoendelea hata hazina tume kama hizi na chaguzi zao zimeenda vizuri, jee tumejiuliza sisi wenye tume miaka na miaka z i n a f a n ya wa j i b u unaotarajiwa kwao wa kumpata mshindi kwa mujibu wa sauti ya wananchi?

Hil i la Tume ya Uchaguzi haliwezi kupuuzwa kabisa. Inafaa tuanze kujiuliza jee Tume yetu iko tayari? Inalo taftari ambalo linakubalika? Jee ina uhusiano na wadau wake wakuu

yaani vyama vya siasa? Jee tunaenda katika muda unaofanana na kipindi kiliopo kwa Tume kuwa wazi na kutuambia kila hatua m u h i m u a m b a y o wanaifikia ili umma ujue na utambue vipi watawahukumu huko mbele.

Upande wa vyombo vya ulinzi na usalama navyo pia ni muhimu. Hatuogopi kusema kuwa vyombo hivi vimekuwa ni sehemu kubwa ya lawama k u w a v i n a s a i d i a uchafuzi wa uchaguzi hapa kwetu Zanzibar. Hili liwe la umuhimu mkubwa.

T u n g e p e n d a vyombo hivi viwe wazi, viwe karibu na wananchi na visikatae k a b i s a k u k a a n a wadau wao wakubwa a m b a o n i v ya m a vya siasa. Vijitenge kabisa kuonekana kuwa ni tawi la chama kimoja na lijipange kuhakikisha kuwa utumiaji wa nguvu unakuwa suala la mwisho kabisa katika eneo ambalo l ina mzozo.

W a j i b u w a waandishi wa habari n a o n i m u h i m u . Wakati umefika kwa vyombo vya habari kuanza kujiweka sawa juu ya namna bora ya kuripoti, kufuatilia n a k u c h u n g u z a mambo ya uchaguzi na wajue namna gani watakavyolazimika

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein

kutochukua upande wowote wa kisiasa k a t i k a m c h a k a t o mzima wa uchaguzi.

Mabaya makubwa yanaweza kuonekana na kutokea iwapo vyombo vya habari vitapoteza njia, basi taifa pia litapoteza njia na kuingia vitani au migogoro. Mifano ya ubaya huo ipo mingi na hapa kwetu ni bahati tu hatukufikia kupigana lakini tayari vyombo vya habari vimetugombanisha na kutia sumu baina yetu.

M w i s h o k a b i s a ni suala la kujiuliza iwapo umma, nje ya f ikra na makundi y a o y a k i s i a s a , y a m e j i t a y a r i s h a kwa uchaguzi? Jee wamearifiwa wajibu wao, wanajua juu ya haki zao? Jee umma huo unajua juu ya sheria za uchaguzi na unajua juu ya mchakato

mzima wa uchaguzi unaendeshwaje na hatua zake zote?

Kwa fikra zangu hili kwa ujumla wake, yaani hili la makundi yote kuwekwa tayari kwa uchaguzi, siamini kuwa limefanyika. Kila mtu amezuia taarifa, au taaluma au amejizuia kufanya kile ambacho ana wajibu nacho kufanya.

Sasa ingefaa kwa pamoja tukajiuliza k u wa k a m a n c h i t u k o t a y a r i k w a u c h a g u z i m k u u ? Waandishi ni wakati wa kufuatil ia kila eneo lilotajwa katika makala hii maana wajibu wa mwisho wa kuunganisha maeneo yote hayo n i s i s i waandishi wa habari.

(Imeandikwa na Ally Saleh +255 777 4300 22)

Page 8: ANNUUR 1161.pdf

8 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala

Inaendelea Uk. 10

Jihad yaja TanzaniaKICHWA cha habari na ‘buleti’ zake, kwamba Jihad inakuja Tanzania, wala kisikushtue.

Kama Jihad, imetangazwa Marekani , yaweza p ia kutangazwa Tanzania.

Iwapo yaweza kudaiwa kuwa makachero wa FBI, United States Department o f Homeland Secur i ty (DHS), U.S. Immigration and Customs Enforcement ( I C E ) , M a h a k a m a n a serikali nzima ya Marekani, wamezidiwa maarifa na Mujahidina, yawezekana pia hayo yakadaiwa kuwezekana Tanzania.

K a t i k a k i p i n d i kilichorushwa na Fox News hivi karibuni kikipewa jina “Jihad in America”, imedaiwa kuwa Marekani hivi sasa inakabi l iwa na ki t i sho kikubwa cha Mujahidina na kwamba inaweza kupigwa wakati wowote, bendera ya ‘Laaila ha ila llah’ ikapepea juu ya White House.

K a t i k a m a h o j i a n o yal iyomuhusisha Steve Emerson kama mtaalamu wa ugaidi na J ihad wa k u t e g e m e w a k a t i k a Marekani, yakiongozwa na mtangazaj i , Monica Crowley, ilidaiwa kuwa japo kwa sasa haijajulikana mujahidina wataishambulia lini Marekani, na japokuwa inaonekana kuwa hali ni shwari, lakini kitisho kipo na si cha kupuuzwa.

Kabla ya kuanza mahojiano, u l i c h e z e s h wa m k a n d a uliodaiwa kurekodiwa na mujahidina wakitoa salamu kwa Barack Obama kwamba aj iandae muda wowote bendera ya Kiislamu itapepea White House.

“There are many, many j i h a d i s t s w h o c a n b e mobilized on a moment’s notice.”

Alisema Emerson akipeleka ujumbe kwa wananchi wa Marekani kwamba wasipuuze kitisho cha Jihad kwa sababu wapo mujahidina wa kutosha ambao, wanaweza kupigiwa Adhana isiyo na ‘Haiya ala Swalaa’, wakajikusanya kwa muda mfupi kabisa na kuleta kizaazaa Marekani.

“Kuna Mujahidina ambao wamejipenyeza mpaka Ikulu

Na Mwandishi Wetu wakijifanya kuwa wao ni siasa poa na watetezi wa haki za binadamu, hawa wamewazidi maarifa na uwezo FBI na vyombo vingine vya dola katika kukabiliana na Mujahidina. FBI, DHS, ICE agents, wote wamekuwa butu kabisa, tazama walivyoshindwa kuzuiya shambulio la Boston (Boston Marathon Bombing)”

Yanayoelezwa hapa katika Marekani, ndiyo yale yale yaliyoelezwa na gazeti la Msema Kweli kuwa mwaka huu wa 2015 ni mwaka wa Mujahidina kuvamia Tanzania kuendesha Jihad “wahanga wakuu wakiwa waumini wa Dini ya Kikristo.”

Lik i tahadhar isha juu ya kitisho cha ‘ugaidi wa mujahidina’ Tanzania, Msema Kweli, likinukuu taarifa ya Release International limesema kuwa, mujahidina kutoka Somalia, wameingia Tanzani na wamo “katika mikakati ya kujenga muundo wa utawala wa Shariah katika mataifa ya Tanzania na Kenya.”

Kama ilivyosema Fox News kwamba japo kwa sasa hakuna Jihad iliyokwishajitokeza Marekani, lakini si jambo la kupuuza kwa vile mujahidina wakati wowote wanaweza kuibuka kutoka mafichoni, ndivyo anavyosema pia Mhariri wa Msema Kweli

Page 9: ANNUUR 1161.pdf

9 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala

Msema Kweli lachochea fitna mbaya nchini-ladai

Wakristo wanatokomezwa BukobaMujahidina wadhibiti Bagamoyo!Yadaiwa Maaskofu, Hakimu wasalimu

Na Omar Msangi

GAZETI la Msema Kweli la Jumapili Januari 18-24, 2015 katika habari yake inayoongoza, limetahadharisha kuwa Tanzania inakabiliwa na kitisho cha magaidi wa ‘Islamic State’ (IS) na Al-Shabaab.

“ S h i r i k a l a K i m a t a i f a latahadharisha kuibuka ugaidi Tanzania, Kenya”, ni kicwa cha habari kilichobeba habari hiyo.

Katika maelezo yake MK likasema kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la Misaada liitwalo Release International, Paul Robinson, ametoa taarifa i n a y o t a h a d h a r i s h a k u wa Tanzania na Kenya zitakabiliwa na mashambulizi ya kigaidi kutoka makundi ya IS na Al-Shabaab.

MK likifafanua likaongeza kuwa Release International imesema kuwa Tanzania ni nchi iliyokwishawekwa katika orodha ya nchi zitakazoshughulikiwa mwaka huu na magadi hatari waliopania “kuimarisha utawala katili wa Shariah, kwa gharama ya uhai wa binadamu.”

Katika kushadidia habari hiyo, Msema Kweli limeandika tahariri likiitaka serikali na vyombo vyake vya dola visipuuzie suala hilo kwa sababu zinatoka kwa ‘Msema Kweli’ Release International.

Mhariri anasema kuwa Release International, wamefanya utafiti wa kutosha na kugundua kuwa makundi ya kigaidi yamejipanga kukita harakati zao Tanzania chini ya mwavuli wa Uislamu.

“Hakuna sababu ya kupuuza taarifa hiyo kwa vile tunaamini kwamba Shirika la Release International limemaanisha linachokisema kwa faida ya Tanzania, ikizingatiwa kwamba lina uzoefu wa kutosha katika kuendesha shughuli zake kwenye mataifa yenye rekodi kubwa ya mauwaji ya kigaidi na mateso kwa Wakristo.” Anasema Mhariri wa Msema Kweli katika Kauli ya Mhariri.

Oktoba 22, 2014, katika mtandao wake, Release International, liliandika habari iliyobeba kichwa cha habari: “Tanzania-Teacher Killed in Church machete attack”.

Chini ya kichwa hicho cha habari ikaelezwa kuwa Waislamu wenye msimamo mkali (Islamist extremists) waliwashambulia Wakristo waliokuwa wakitoka kanisani Bukoba kwa mapanga na kuuwa mmoja.

Aliyeuwawa alitajwa kwa jina la Dioniz Ng’wandu, ambaye alikuwa mwalimu wa sekondari.

Taar i fa h iyo ya Re lease International ambayo Msema Kwel i wanasema kuwa s i wa kupuuzwa kwa sababu wamefanya utafiti wa kutosha, inadai kuwa Wakristo hao baada ya misa ya asubuhi walikuwa na kikao na mchungajji wao Faustine Joseph wa Kanisa la Pentecostal Assemblies of God, Parishi ya Busimbe, Oktoba 9, 2014.

na mpango kama huo na ikafikia hao wanaodaiwa kuwa ‘Islamist extremists) wakafikia hatua ya kuvamia Wakristo kwa mapanga kanisani, serikali na vyombo vyake isijue mpaka ipewe taarifa na Shirika la Release International la Uingereza na baada ya hapo iwe shwari tu kwa Waislamu!

Je, Wakristo katika Bukoba na Mkoa mzima wa Kagera, au tuseme katika Tanzania nzima, Wakristo ni “vulnerable communities ?” Wakitishiwa kuangamizwa na Waislamu?

Shirika hilo hilo katika taarifa yake ya Agosti 23, 2012 lilidai kuwa kuna binti aliyeritadi Bagamoyo akafungwa jela kwa kusingiziwa kuwa katukana Qur’an.

Taarifa ya RI inadai kuwa msichana Eva Abdullah aliritadi na juhudi za wazazi wake kumtaka arejee katika Uislamu zikafeli.

RI inadai kuwa baada ya jitihada za wazazi kufeli, ‘Mujahidina’ wa Bagamoyo waliingilia kati ambapo walimhonga hakimu akamhukumu Eva Abdullah kwenda je la miaka miwil i akisingiziwa kutukana Qur’an.

“She was sentenced on July 26 to two years in prison by a judge who, it’s claimed, was bribed by the militants. Christian leaders have been reluctant to defend Eva because of the Muslim dominance in the district.”

Inasema taarifa ya Release International ambao Msema Kweli wanatuambia kuwa tusipuuze taari fa zao kwa sababu ni mabingwa wa kufanya utafiti!

Katika taarifa hiyo wakisema kuwa hata viongozi wa Makanisa (pengine akiwakusudia hata Askofu Mkuu Plycarp Kadinali Pengo, Askofu Alex Malasusa, n a w e n g i n e o ) k w a m b a hawakuthubutu kumtetea Eva kwa kuogopa Waislamu ambao ni wengi kule Bagamoyo kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete!

Kama ilivyokuwa kwa zile habari za mauwaji Bukoba, hoja hapa sio kuwa kulikuwa kuna kisa cha Eva Abdullah kufungwa jela (na baadae kuachiwa na Mahakama Kuu) au la. Swali ni je, ni kweli alifungwa ikiwa moja ya vielelezo vya mateso ya Wakristo Tanzania? Ni kweli alifungwa kwa sababu Hakimu alihongwa na Mujahidina? Ni kweli alifungwa kwa sababu hata mawakili na viongozi wa makanisa waliogopa kumsaidia, wakiogopa Waislamu Mujahidina walio wengi Bagamoyo?

Ni taarifa kama hizi za Msema Kweli na Release International a m b a z o w i k i i l i y o p i t a zilimuumbua Steve Emerson na Fox News.

Kufuatia shambulio la Charile Hebdo, ‘Msema Kweli’ wa Fox News, Steve Emerson, akitajwa kuwa ni mtaalamu bingwa na mchambuzi wa mtandao wa magaidi wa Kiislamu, akihojiwa na Jeanine Pirro, alitamba katika televisheni hiyo akidai kuwa punde tu magaidi wataizinga na kuimaliza Ulaya.

“Masked attackers struck after Pastor Faustine Joseph had left the church. Temistores required hospital treatment for injuries to his left foot.”

“Pastor Faustine said church members had been receiving threats from extremists who have vowed to decrease the number of Christians in the mainly Muslim area.”

Inasema taar i fa h iyo ya RI ik ida i kuwa Wais lamu siasa kali waliofunika nyuso zao walishambulia mara tu alipoondika Pasta Faustine.

"Attacks against Christians are increasing in Tanzania despite the efforts of the government to control them. Some religious leaders and lay Christians have been killed, while others have been attacked by extremist Muslims wielding acid." Inaongeza taarifa hiyo.

Taarifa zaidi ya RI inadai kuwa Waislamu wa Bukoba wameapa kuwaangamiza Wakristo i l i kupunguza idadi yao katika eneo la Busimbe lenye Waislamu wengi.

“Pray that the church in Tanzania will stand firm in their faith, in the face of mounting persecution. Pray that officials will do more to protect vulnerable Christian communities.”

Inamalizia RI katika taarifa yake hiyo juu ya Bukoba ikihimiza kuombewa Wakristo wa Bukoba ili wasalimike kutokana na kitisho na mateso yanayowakuta kutoka kwa Waislamu.

Hoja hapa sio kuwa ni kweli kulitokea mauwaji ya Mwalimu Dioniz Ng’wandu au la. Bali je, waliohusika ni nani?

Baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ikifahamisha juu ya tukio hilo ilisema kuwa

katika kipindi kisichozidi miezi miwili, kuanzia Oktoba 9 hadi Desemba 4, 2014, wameuliwa watu sita Bukoba katika mazingira ya kutatanisha.

Watatu wamechinjwa katika kata ya Kitendaguro, mmoja katika kata ya Rwamishenye, huku wawili wakichinjwa katika kata ya Kibeta ndani ya manispaa.

Kat ika mauwaj i hayo ya kutatanisha yamo hayo ya Mwalimu Dioniz na yule kijana ambaye mwili wake ulikutwa umeharibiwa kwa kunyofolewa macho, ukitupwa kandoni mwa shamba la mmoja wa wakazi wa Kitendaguro.

Swali, ni je, nani wanahusika na mauwaji hayo? Hizi kauli za kwamba wahusika ni “masked Muslim militants’, RI wamezipata wapi na kwa ushahidi gani?

Labda tuwaulize watu wa Bukoba, tuulize vyombo vya dola na tujiulize sote Watanzania, Wakristo kwa Waislamu, mnamo Oktoba 9, 2014 kuna Waislamu waliofunika nyuso zao waliovamia Wakristo wakiwa kanisani na kuuwa Wakristo kwa mapanga kule Busimbe, Bukoba?

Tuwaulize Wakristo wa Bukoba, je, washapokea kitisho kutoka kwa Waislamu kuwa wanataka kuwauwa ili kupunguza idadi yao?

Lakini labda tujiulize tena, kwa Tanzania yetu hii tunayoijua na rekodi yake ‘ya Kadhia ya Mwembechai’, ambapo Waislamu walipigwa risasi kwa kulengwa shabaha, zogo likianzia na madai ya Paroko kuwa Yesu anatukanwa msikitini; hivi kunaweza kuwa Inaendelea Uk. 15

Page 10: ANNUUR 1161.pdf

10 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala

Jihad yaja TanzaniaInatoka Uk. 8

kat ika wito wake kwa serikali.

Katika wito huo mhariri anaitaka serikali isipuuze kitisho cha mujahidina wa Al-Shabaab kwa kile alichodai kuwa “kuna makundi ya kigaidi yanayojificha chini ya mwavuli wa Uislamu, ambao wamepania kuingia nchini Tanzania na kuendesha vitendo vya kigaidi dhidi ya waumini wa dini ya Kikristo.”

Katika moja ya taarifa ya RI ambao ndio Msema Kweli, wanategea katika habari yao, imeelezwa kuwa pamoja na kuwepo serikali, polisi na vyombo vya dola, lakini imeshindikana kabisa kuzuiya mateso na mauwaji dhidi ya Wakristo Zanzibar na Tanzania Bara.

Na kama al ivyosema Steven Emerson juu ya mji wa Birmingham, kuwa unatawali Kiislamu na hata polisi hawathubutu kuingia, taarifa moja katika mtandao wa RI ya akina Msema Kweli inasema kwamba Bagamoyo ni mji uliodhibitiwa na mujahidina na kwamba maaskofu na vyombo vya kusimamia haki na sheria havifurukuti.

Ndio yale yale waliyosema Fox News kuwa mujahidina katika Marekani wamewazidi nguvu na maarifa FBI, DHS, ICE na hata Pentagon.

B a a d h i ya wa t u wa Uingereza na Marekani waliosikia habari za Fox News kuwa Wais lamu wanatawala baadhi ya miji ya Uingereza na kwamba hivi sasa wanajiandaa kwa jihad ndani ya Marekani na kusimika bendera ya Kiislamu juu ya White House, walisema kuwa ukipokea taarifa za kuchekesha kama hizi, vyema ni kuzipokea kwa kicheko pia.

“One of the best ways to react to something so laughable is to laugh.” Alisema mwandishi wa Guardian Simon Ricketts.

H a t a h i v y o , wa k a t i m w a n d i s h i S i m o n akimaanisha kuwa taarifa za Jihad na Shariah Uingereza (na Marekani) kwa sasa,

tusisi t ize kwa sasa, ni kiroja cha kuchekesha, bora kipokewe kwa kicheko kwa maana kuwa kipuuzwe, yawezekana wapo watu hapa kwetu ambao wakisikia Jihad Marekani na kutizama kanda za propaganda ‘mujahidina’ wakiapa kuipiga Marekani, w a o w a t a f u r a h i k w a kusherehekea na kuamini kuwa punde tu Jihad na Shariah itasimama Marekani!

Yawezekana pia watu hao wakisikia taarifa hizi za RI na Msema Kweli, kuwa mwaka huu ni wa Jihad ya Al-Shabaab, Tanzania, wasijue kuwa hii ni propaganda ya mabeberu kuhujumu Uislamu na kuitia Tanzania njema katika machafuko, wao wakapiga Takbir, wakifurahi

kuwa sasa Khilafah, inakuja Bongo! Au japo kuonja ‘ tamu ya J ihad’ kama wanavyoitakidi kwamba inafanyika Mogadishu, Allepo na Ar-Raqqah, Syria!

Kwa hawa itakuwa vigumu sana kuwatenganisha na wale David Cameron aliowaita kuwa ni mazuzu (idiot).

Lakini hawataepuka pia sifa hii ya kuwa ‘idiot’ waandishi wa habari katika magazeti, redio na televisheni zetu, ambao baada ya zile taarifa za kachero Michael Scheuer, wataendelea kuwachefua wasikilizaji wao na porojo za ‘Al-Shabaab wenye uhusiano na Al-Qaidah”.

Page 11: ANNUUR 1161.pdf

11 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala

TOKA yafanyike mashambulizi ya Charlie Hebdo, nchi za Ulaya zimekuwa zikihangaika kuonyesha kuwa kinachoitwa kitisho cha ugaidi wa Al-qaida na IS, ni kweli. Ni kitu halisi. Hii ndio maana habari zilizotawala vyombo vyao vya habari mpaka katika mitandao, n i k u k a m a t wa wa t u a m a wakipanga kushambulia au wakidaiwa kufanya shambulio la kigaidi hili na lile. Na wote hao hudaiwa kuwa ni ama Al-Qaida au IS.

Ubeligiji, Uingereza, Marekani, Ujerumani na Ufaransa kwenyewe, hakuna habari muhimu ila za kukamatwa magaidi au polisi kupata habari za ki-intelijensia kuwa kuna mashambul iz i yanakuja.

Ukisoma vichwa hivi vya habari hizo, picha unayopata ni kwamba Ulaya yote imevamiwa na Al-Qaida na ‘Radical Islamists’. Hakuna mahali salama pa kukaa

Ukisoma kwa makini zaidi taarifa hizi, jambo moja ni wazi. Serikali ya Ufaransa (na nyingine za Ulaya) inajitahidi kuonyesha kuwa mashambulizi ya Charlie Hebdo ni kweli yamefanyika na magaidi wapo. Wanafanya hivyo kwa sababu bomu linataka kuwalipukia. Watu, vikiwemo baadhi ya vyombo vya habari vimekuwa vikichunguza picha zilizosambazwa na serikali juu ya tukio hilo, kila wakizichunguza zinaibua maswali yasiyo na majibu.

Ukiacha ile habari ya uchunguzi ya France24 ikionyesha watu walio juu ya paa la nyumba wakingoja kufanya tukio na kuchukua picha, halikadhalika ile ya askari kupigwa risasi ya kichwa lakini kichwa kizima na hakuna damu, yameibuka mambo mengine mazito zaidi. Na watu wamekuwa wanasambaziana katika mitandao na katika simu za mkononi.

Lakini kabla ya kutaja matukio mengine, labda turejee lile la kukosekana damu ambalo limemuumbua mpasha habari wa Sky News.

Iko hivi: Pale alipodaiwa kuuliwa polisi, pamefungwa na kuzuiya watu kupita. Na wakija watu wakubwa kutoa rambirambi na kuonyesha mshikamano kwa Ufaransa, hupelekwa hapo kuweka mashada ya mauwa kama ishara ya kumuenzi askari aliyeuliwa. Lakini watu wamekuwa wakihoji, mbona hakuna damu wala alama kuwa labda risasi ilimkosa polisi ikapiga chini na athari ikaonekana katika lami?

Katika taarifa moja ya Sky News, mwandishi anaonekana akizungumza na kuonyesha picha

Waandishi wetu sasa waachane na Al-QaidaWanazungumza jambo wasilo na elimu naloLabda waseme kama nao ni katika vibaraka

Na Omar Msangi ya video rasmi iliyotolewa kwa vyombo vya habari na mamlaka za kiserikali kutoa taarifa za awali juu ya shambulio hilo, zimekuwa zikiondolewa katika mitandao au kufanyiwa-editing. Hata hivyo, tayari watu wanazao wanarushiana katika mitandao yao ya kijamii.

Utata zaidi umeongezeka baada ya kupatikana habari kuwa Mkuu wa Polisi aliyekuwa akiongoza kikosi cha uchunguzi wa tukio la Charlie Hebdo, alikufa ghafla muda mfupi kabla ya kuwasilisha taarifa yake ya awali juu ya uchunguzi. Taarifa fupi ya serikali ikadai kuwa polisi huyo alijiuwa.

Hata hivyo, kilichowashangaza w e n g i n a k i n a c h o e n d e l a kuwashangaza wengi, ni ukweli kuwa taarifa za kifo cha Helric Fredou, hazikupewa nafasi kabisa katika vyombo vya habari vya Ufaransa. Na huyu hakuwa polisi wa cheo kidogo. Alikuwa wa pili kwa cheo (number two Police Officer) katika Regional Service of France’s Judicial Police (JP).

Vipi Afisa Mkubwa kama huyu wa Polisi, na ambaye alikuwa Mkuu wa Kikosi cha kuchunguza tukio kubwa kama hili, idaiwe kajiuwa na habari zake zisionekane kuwa ni muhimu kwa vyombo vya habari vya Ufaransa na Ulaya? Wanauliza wadadisi wa mambo. (Tazama: Police Commissioner Involved in Charlie Hebdo Investigation “Commits Suicide”. Total News Blackout-By Prof Michel Chossudovsky)

Hali kama hii imewafikisha baadhi ya wachunguzi wa mambo

ya eneo hilo likiwa limewekwa uzio wa polisi, kukiwa na mauwa yaliyowekwa eneo la tukio alipouliwa askari.

“You can see the blood on the ground, which has been put there to…”.

“ U n a we z a k u o n a d a m u iliyowekwa pale aridhini”, ni tafsiri nyepesi ya maneno hayo. Kwamba damu inayoonekana imefaywa kuwekwa. Imefanywa kuwekwa kwa sababu katika picha za awali zilizosambazwa na serikali yenyewe/vyombo vya dola kuelelezea tukio hilo, hazionyeshi damu. Sasa hapana shaka watu wanapokuja kuweka mashada ya mauwa halafu hawaoni alama ya kuwa kulikuwa na mauwaji, watajiuliza. Kwa

hiyo inawezekana kuna damu bandia iliwekwa baadae ndio hiyo mpasha habari wa Sky News anasema: “You can see the blood on the ground, which has been put there to...".

Lakini ghafla, mwandishi huyo wa Sky News akitoa habari hiyo akiwa Paris, eneo la tukio, mara anaonekana akitanabahi kuwa amesema jambo lisilotakiwa, anastuka, anapiga kimya, kisha anajikusanya, anajikaza, anasema:

“Ooh…because of the blood that was shed on this spot yesterday." (Tazama: Sky News Reporter Makes Freudian Slip Covering Up False Flag in France.”

Katika makala hii iliyoandaliwa na mwandish i Er i c B la i r , inaelezwa kuwa picha na mikanda Inaendelea Uk. 13

Page 12: ANNUUR 1161.pdf

12 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 201512 MAKALA

Imenilazimu kutubu,kalamu i mkononiImejitokeza tabu,watu wamo mashakaniHaya mapya masahibu,yasitufike shingoniTusiwafumbie macho,panya wa barabarani

Kumezuka panya wapya,watisha barabaraniWanazorotesha afya,za wakazi wa mjiniSasa wanaogopeya,kutembea majianiTusiwafumbie macho,panya wa barabarani

Wang'ata pasi puliza,popote pale mwiliniKokote wanachagiza,hata ikiwa sokoniMaovu wanafanyiza,kweupe pasipo soniTusiwafumbie macho,panya wa barabarani

Nakupa lao isimu,panya wa barabaraniHawana nayo nidhamu,ghuli ni utamaduniWanazikwapua simu,ni zile za mkononiTusiwafumbie macho,panya wa barabarani

Mikoba ya kinamama,salama si saliminiPanya wameunda chama,kuikwapua beganiWanaifanya hujuma,pasi muhofu DayaniTusiwafumbie macho,panya wa barabarani

Ukimdhuru mmoja,wanakuja alfeniWanao nguvu umoja,sijapatapo kifaniHawanayo ngoja ngoja,wavamia maskaniTusiwafumbie macho,panya wa barabarani

Tusiwafumbie macho,watatutia shimoniTusikifanye kificho,wengi wamo mtaaniTukumbuke kikulacho,kingali kimo nguoniTusiwafumbie macho,panya wa barabarani

Tamati natamatisha,simo tena lawamaniPolisi kuwajulisha,mzigo wenu jamaniHata kwa siri vujisha,yao panya maskaniTusiwafumbie macho,panya wa barabarani

Isihaka Hemed Mzuzuri(Sauti ya Mkutubi)[email protected]

PANYA

Naanza kuwasalimu, Bara na Zanjibariya,SALAMU ALAYKUMU, wa biladi na kariya, Walaykumu salamu, mjibu natarajiya, Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

Kwa jaha na taadhimu, baada yayo tahiya, Namhimidi QAYYUMU, KHALIQUL-BASHARIYA,Thuma swala na salamu, kwake khairu bariya, Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

Fitna tangu kadimu, si jambo zuri ni baya, Lahilikisha kaumu, japo kadiri ya woya, Kwa wa kwake uhujumu, afadhali ya manaya, Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

BAQARA yatulazimu, sura ya pili kuuya, Yuatujuza ALIMU, ndani kwa thineni aya, Kuzidhukuru muhimu, kwa huba na si kwa maya, Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

Moja tisa moja dumu, bukurata wa ashiya, Mbili moja saba kumu, kuidurusu sawiya, Swadaqallahul-adhimu, kwazo fitna i mbaya, Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

Kitatangewe rajimu, shetani mwanahizaya, Yu jini na binadamu, ALLAH ashatuambiya, Soma upate 'fahamu, SURATUN-NASI Makiyya, Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

Mafatani mlizamu, wa fitna kutapaya, Kwa ndimizo masmumu, hueneza zao puya, Lengolo kutukasimu, tubaki kuwayawaya, Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

Kawimu tusitakimu, kupembua zao chuya,Kwalo tusipojihimu, kweli tutawayawaya, Na mwisho kujilaumu, kwa kutofikia ghaya, Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

Akitujia dhalimu, nayo yoyote hekaya, Kuichungua muhimu, kwa ya HUJURATI aya, Si kuja kujilaumu, mwisho kwa ujahiliya, Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

Kaditamati nudhumu, ya indhari si ghinaya, Fitnani kwa kudumu, duniani ni udhiya, Kadhalika jahanamu, khatma yake hawiya, Naweka chini kalamu, yenye wino wa hidaya.

ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

KHATMA YA MAFATANI

Imekuwa ni propaganda iliyoota mizizi ndani ya vichwa vingi baada y a k u i m b w a k w a mda mrefu kiasi cha kupelekea kusikika na hatimaye kukubalika n a u m m a m k u b w a kuwa jamii ya Kiislamu ni jamii is iyopenda kujishughulisha na suala la elimu, jambo ambalo limepelekea hata baadhi ya Waislamu kuamini propaganda hii.

Mbegu nyingine mbaya inayopandwa na baadhi ya Salafi wanaotazama elimu kwa jicho moja katika sura ya kubagua elimu ya mazingira na muongozo kwa kuitazama elimu ya muongozo pekee huku wakiipiga vita elimu ya mazingira kuwa haina maana yoyote katika maisha ya mwanadamu. Hii ni dhana ambayo kama hakutafanyika juhudi za kimakusudi kuelimisha umma, basi itaweka jamii ya Kiislamu katika kile kinachooitwa janga la jamii iliyobaki nyuma katika kipindi hiki cha digitali.

Baada ya utangulizi huu naweza kusema kwamba nimepata msukumo wa kuandika makala hi i baada ya kuguswa sana na makala za waandishi wa gazeti la An nuur ambazo mara nyingi zimekuwa zikinisisimua mbali na kunipa fikra katika mambo mengi yanayotokea kila nikizipitia makala hizo.

K i k u b w a k i l i c h o n i s u k u m a n a k i l i chonipa moyo ni wachangiaji mbalimbali k u w a a s a A n n u u r k u t o k u k a t a t a m a a kutokana na changamoto wanazozipata. Hamasa kubwa ni l iyopata n i m c h a n g o m z u r i wa w a c h a n g i a j i k a m a Mwalimu J. Mangi na a-lkhy Khalid S Mtwangi.

M w a l i m u M a n g i w a M b e y a k a t i k a kuwasilisha mada yake juu ya mtazamo potofu wa Salafi kupinga suala la elimu ya mazingira, amenikumbusha jambo moja. Nilipata kufanya majadiliano na ndugu yangu mmoja (Salafi) katika masuala ya elimu, alikuwa anasisitiza kuwa haoni haja kumsomesha mtoto biology, chemistry, h i s t o r y , c i v i c s a u g e o g r a p h y . N i b o r a

Mtazamo hasi juu ya elimuNa Guled Issa Omary amfundishe mtoto Quran

na fiq-hi peke yake. Cha ajabu ananisisitizia hayo na kukazia msimamo wake na wakati huo a n a t u m i a C o m p u t e r kufanyia shughuli zake akisahau kwamba kupitia fizikia, hesabu, uhandisi wa umeme na IT, ndio chanzo na maarifa ya kupatikana kifaa hicho anachotumia.

Katika mazungumzo yetu nikaeleza umuhimu wa elimu kwa kupigia m f a n o k u h u s u kumuelimisha mtoto wa kike, baada ya kumuuliza swali kuwa utajisikiaje pindi upo hospitali na mkeo ni mgonjwa na mhudumu ni daktari wa kiume na mkeo ana maradhi yanayombidi kuonesha maungo yake ili atibiwe, kwa unyonge alisema si uungwana na jambo jema mwanamke k u h u d u m i w a n a mhudumu wa kiume. Kutokana na adha ya udhalilishwaji wa akina mama katika huduma za afya hospitalini pindi wa n a p o k u m b a n a n a kero za kuhudumiwa na mhudumu wa kiume hasa maradhi yanayombidi kuonesha maungo yake, jambo ambalo liliwapa msukumo kina mama wa Kiislamu wa Zambia k u j e n g a H o s p i t a l i maalum itakayohusika na matatizo ya akina mama pekee na itakayokuwa i n a s i m a m i w a n a wahudumu wa kike. Swali la kujiuliza hapa, kama unapata uchungu kwa mkeo ama nduguyo wa kike kuhudumiwa na daktari wa kiume huku ukiwa una lengo l a k u e p u k a n a n a udhalilishwaji wa akina mama hospitalini, sasa n i k wa n a m n a g a n i utapata wataalamu wa kike watakaohudumia kina mama wenzao huku ukizuia watoto wako wasisome ?

J a p o W a i s l a m u walibanwa sana katika elimu tangu kipindi cha utawala wa mkoloni, lakini wakati Mjerumani anatawala wasomi na makarani wengi katika serikali yake asilimia k u b w a w a l i k u w a Waislamu. Walikuwa wana jua kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiarabu na ndio jambo lililopelekea Wajerumani kuwaajiri Waislamu wengi kama makarani wao.

M b a l i n a d h u l m a walizofanyiwa Waislamu

kwa kutopewa ruzuku na misaada kama waliyokuwa wakifadhiliwa Wakristo tangu wakati na baada ya utawala wa mkoloni, lakini Waislamu hawakukata tama, bal i wali fanya mambo makubwa katika elimu ikiwa ni pamoja na kujenga shule nyingi kwa khali na mali. Mwaka 1968 Waislamu chini ya taasisi ya East Africa Muslims Welfare Society (EAMWS) katika hatua za kuboresha suala elimu kulikuwa na mpango mkakati wa kujenga Chuo Kikuu cha Kwanza Tanzania pale Chang’ombe, Dar es Salaam, lakini ‘mfumo’ ukahujumu juhudi hizo.

Namkumbuka mzee wa n g u , M z e e M u s a Hassan Kwikima, ilikuwa ni katika kongamano la Mfumo Kristo mkoani Tabora tarehe 30.01. 2011 akionesha huzuni kwa dhulma aliyofanyiwa na Mwalimu Nyerere. Anasema Mzee Mussa K w i k i m a b a a d a y a mkoloni Muingereza kukabidhi madaraka kwa Watanganyika, katika nafasi ya Jaji Muingereza a l i t a k i wa m z a l e n d o ashike nafasi hiyo. Mzee Kwikima alikuwa tayari ni msomi wa sheria na alistahiki kushika nafasi ya J a j i M u i n g e r e z a , lakini Mwalimu Nyerere alimtosa mzee Kwikima kumpa hadhi na heshima hiyo badala yake Nyerere a l imchukua Mkr is to ambaye hana taaluma ya sheria na kwenda kumsomesha sheria ili aje ashike nafasi ya Jaji.

U k i z u n g u m z i a ustaarabu wa ulimwengu huu, umejaa mchango wa wasomi wa Kiislamu, kutoka taaluma ya tiba, uhandisi, kilimo, sayansi na tekinolojia mbalimbali pamoja na sayansi za kijamii. Haikuwa jambo la bahati nasibu tu kuwa ustaarabu ukaanzia katika ulimwengu wa Waislamu wa k a t i U l a ya i k i wa kizani, ila ni kwa sababu chimbuko la kusoma na kufanya utafiti, linatoka katika Qur’an ukianza aya inayofahamisha kuwa Adam alipewa elimu ya mazingira ya kumsaidia namna ya kuishi katika dunia hii, kabla hata hajaletwa hapa aridhini. Ndio ile ‘tukamfundisha Adam majina ya vitu vyote’.

(Mwandishi wa makala hii anapatikana Kahama, Shinyanga kwa namba, 0765 27 21 35, 0786 18 00 82.)

Page 13: ANNUUR 1161.pdf

13 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala

Waandishi wetu sasa waachane na Al-QaidaInatoka Uk. 11kuibua mambo yaliyopita wakisema, isije ikawa Wafaransa wamefanyiziwa kama walivyofanyiziwa katika lile tukio ambapo watu katika kijiji kizima w a l i g e u k a w e h u . Wamekuwa na wasiwasi isije kuwa Kamanda Helric Fredou, yamemkuta yale ya Dr. Frank Olson.

N i a s u b u h i m o j a , ghafla watu wote katika kijiji wanajikuta wehu. Wendawazimu. Hawa wanaimba na kucheza barabarani, ofisini ni zogo. Mara huyu kampiga huyu kofi , watu wanaingia dukani kila mmoja kivyake kununua bidhaa, ghafla wanatizamana na kuanza kupigana miereka, yule naye anapindua viti na kuvunja meza. Ndani ya nyumba hakuna salama. Mama, baba na watoto wanasakata rumba, mara wanakunjiana ngumi, wengine wanatembea barabarani kama walevi. Watu saba wal ikufa , watatu kwa ku j iuwa wenyewe.

Hiyo ilikuwa mwezi wa Agosti 1951 katika kijiji cha Pont St. Esprit, Ufaransa,. Nini kiliwakuta wana kijiji hao? Hank Albarelli, mwandishi wa kitabu “A TERRIBLE MISTAKE: The Murder of Frank Olson and the CIA’s Secret Cold War Experiments”, anasema kuwa si wanakijiji hao au hata mamlaka za kiserikali zilizojua kilichotokea. Anasema, “inhabitants and authorities were kept completely in the dark.”

Hank P. Albarelli Jr. katika makala yake “CIA: What Really Happened in the quiet French village of Pont-Saint-Esprit” na katika kitabu chake cha kurasa 900 “A TERRIBLE MISTAKE: The Murder of Frank Olson and the CIA’s Secret Cold War Experiments” anasema k u w a k i l i c h o t o k e a katika Pont-Saint-Esprit ni kuwa watu wa kijiji hicho waligeuzwa panya wa majaribio kufanyia m a j a r i b i o s i l a h a ya kibaolojia/kemikali, LSD-(the aerosol spraying of LSD).

Kwa mujibu wa maelezo

yake, lengo la kutumia silaha hiyo katika vita ni kuwatia uchizi kwa m u d a a s k a r i a d u i . B a d a l a ya k u p i g a n a wanakuwa vichaa kwa muda ambapo askari wa Marekani wanakuja na kuwakamata. Au kama ni mahali kuna wahalifu (wananchi) wanafanya fujo, unawapulizia dawa hiyo mfano wa maj i ya kuwasha ya polisi, wanakuwa vichaa kwa m u d a , w a n a s a h a u habari ya maandamano, unawadhibiti.

M w a n a s a y a n s i aliyeshiriki kufanya utafiti wa silaha hiyo katika maabara ya kijeshi Fort Detrick, Maryland, Dr. Frank Rudolph Olson (bacteriologist), alidaiwa kujiuwa mwaka 1953 kwa kujirusha kutoka katika ghorofa ya hoteli, The Hotel Pennsylvania, NYC (called the Hotel Statler in 1953) iliyopo 401 7th Avenue (15 Penn Plaza), Manhattan, New York City alikokuwa kwa mapumziko.

Kabla ya kufa inadaiwa kuwa neno lake la mwisho alimwambia mkewe, “I have made a terrible mistake”, nimefanya kosa kubwa (lisilo sameheka).

H a n k A l b a r e l l i , alichukua neno hili na

kuanza uchunguzi na kuibuka na kitabu cha kurasa 1000 ambapo anasema kuwa kosa alilofanya Dr. Frank Olson ni kutoa siri. Ubinadamu ulimshika a k a o n a h a w e z i kuendelea tena kufanya kazi kama zile. Kwa mujibu wa utafiti na maelezo ya Albarelli, mtaalamu huyo wa s i laha za sumu na b a o l o j i a , a l i u l i w a kwa silaha hiyo hiyo aliyoifanyia utafiti kwa Wafaransa wa kijiji cha Pont St. Esprit (dosed with LSD). –Tazama pia: What Did the C.I.A. Do to Eric Olson's Father?-By Michael Ignatieff The New York Times Magazine, (April 1, 2001 Retrieved 17 January 2013.)

Mwaka 1975 Rais Gerald Rudolph "Jerry" Ford, Jr. alikutana na familia ya Olson, White House na kuomba radhi baada ya kudhihiri kuwa kachero huyo aliuwawa. A i d h a , s e r i k a l i ililazimika kulipa fidia. (Tazama: Suit Planned Over Death of Man C. I. A Drugged-The New York Times, November 26, 2012)

Akizungumzia vitisho hivi vinavyosambazwa Ulaya na Marekani

k u wa A l - Q a i d a / I S wanapanga kupiga hapa, kule, kila mahali na ahadi za serikali kuwa itashinda vita ya magaidi, aliyekuwa afisa wa CIA na kiongozi wa kikosi cha kupambana na Al-Qaida wa Usama Bin Laden (Chief of The CIA Bin Laden Unit) wakati ule, Michael Scheuer, anasema kuwa, Al-Qaida sio kitu halisi. Ni adui wa kubuni na kusingizia watu (Tazama documentary/mahojiano: CIA Agent Exposes how Al-Qaida does not exist.)

“United State enemy is not an enemy that exists. We are fighting an Islamic enemy that Washington believes is out to kill us because we have democracy, we have elections, we are free…is an enemy that does not exist. It did not exist when Bin Laden was alive, it does not exist now.”

Katika mkanda wa video wa mahojiano hayo unaopat ikana katika mtandao, Michael S c h e u e r a n a s e m a kuwa kinachofanyika n i kutengeneza na kupigana na maadui hewa kwa malengo ya siasa za kibeberu na kwa ajili ya kuilinda Israel.

Scheuer alitoa maelezo hayo akijibu la swali la mwendesha kipindi Gayane Chichakyan aliyetaka kujua kwamba baada ya Usama Bin Laden kuuliwa, nani sasa hivi ni adui namba moja wa Marekani.

Michael F. Scheuer akiwa Afisa wa CIA kwa miaka 22, aliwahi kuwa Mkuu wa kitengo cha Osama Bin Laden (Bin Laden Issue Station aka "Alec Station"). Hiki ilikuwa ni kitengo maalum cha kufuatilia nyendo na harakati za Osama bin Laden ndani ya Counterterrorist Center. Kisha akawa M s h a u r i M a a l u m (Special Advisor ) wa M k u u wa K i t e n g o kilichopewa jina la Bin Laden Unit (September 2001 hadi November 2004.). Hivi sasa Michael Scheuer ni Profesa wa

Peace and Securi ty Studies katika Chuo Kikuu cha Georgetown.

K a t i k a m a e l e z o mengine inaelezwa k u w a k a t i k a v i t a hii dhidi ya adui wa kubuni na kusingizia, anayenufaika ni Israel i l i y o b u n i v i t a n a mkakati huu. Falsafa inayotawala vita hii ni kuwa Israel inadhani kuwa usalama wake upo katika kuonekana kuwa kuna maadui na magaidi wanailenga kila wakati. Kwa hiyo, inapouwa Waarabu, Waislamu na Wapalestina, haisemwi imeuwa binadamu, Muislamu, Muarabu au Mpalestina, bali imeuwa gaidi. Inapigana na gaidi.

Na kama alivyosema G l e n n G r e e n wa l d , Washington (na Israel?) imesambaza mapesa mengi dunia nzima kwa waandishi, wasomi na hata wanasiasa ili kupepea vita hii hewa. K a z i ya o n i k u t o a taarifa za uwongo juu ya kuwepo kitisho cha Al-qaida, Al-Shabaab na watu kama hao.

Te lev isheni ze tu , redio na magazet i , hawaishi kutuambia, A l - S h a b a a b we n ye uhusianoi na Al-Qaida, wamefanya hili na lile. Sasa labda watuambie, wao na Michael Scheuer aliyekuwa mkuu wa kikosi cha kupambana na Usama Bin Laden, nani anaijua zaidi Al-Qaidah?

Kwa hakika kwetu sisi kuendelea kuimba propaganda hizi za magaidi wa Al-Qaida, ni kutangaza tu ujinga wetu juu ya siasa za dunia zinavyokwenda hivi sasa. La s ivyo itakuwa ni ukibaraka wetu, tena wa bure. Afadhali hata akina Fox News na akina Steve Emerson wanalipwa mapesa ya kutosha. Sisi tunabaki vipasa sauti wao bila kupewa hata pesa za beteri.

Dr. Frank Olson.

Page 14: ANNUUR 1161.pdf

14 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala

TANGU kuingia sokoni kwa chai ya Timamu, baadhi ya watu wamekuwa wakiuliza iwapo wanaweza kuitumia hata kama hawana tatizo lolote la kiafya. Ili kupunguza wingi wa wanaouliza swali hili ni vema tukafikisha kwa wasomaji makala kadhaa fupi zinazolenga kujibu swali hili. Kila makala itajikita katika kuzungumzia manufaa na faida za kiafya za kila moja, kati ya makundi mbalimbali ya viini lishe yaliyomo kwenye hii chai ya Haiiba Timamu. Makala ya leo itazungumzia kundi la vitamini. Hata hivyo, kama utangulizi, kwa minajili ya kueleweka zaidi, ni vema wasomaji wetu wakatambua kuwa magonjwa yamegawanyika katika makundi mawili makuu.

MARADHI YA KUAMBUKIZA

Kundi la kwanza ni lile la maradhi ya kuambukiza. Haya ni yale maradhi yanayozaliwa mwilini kutokana na mwili kuvamiwa na vimelea hai vyenye uwezo wa kusababisha maradhi pale ambapo zitakuta kinga za mwili za mhusika zinafanya kazi chini ya kiwango. Vimelea hivi ni bacteria, virusi, fangasi, protozoa, minyoo na aina ya chembechembe za protini zinazoitwa prions. Mfano wa magonjwa yanayosababishwa na vimelea hivi ni kama malaria, kipindupindu, kifua kikuu, nakadhalika. Aghalabu tiba ya maradhi haya huwa ni kutumia dawa kwa njia ya kunywa, sindano au dripu, na wakati mwingine kwa kupaka; ikiwa katika dozi maalum. Yaani, mgonjwa mwenye uzito fulani anatakiwa atumie dawa fulani, kwa mpangilio fulani kwa kutwa, na kwa idadi ya siku fulani.

MARADHI YA KIMFUMO

Kundi la pili ni lile la maradhi ya kimfumo (metabolic diseases). H a y a n i y a l e m a g o n j w a yanayozaliwa mwilini kutokana na mifumo ya mwili kushindwa kufanya kazi kwa utaratibu uliokusudiwa. Kwa mfano kiasi cha sukari kwenye damu ya mtu wa kawaida (siyo mgonjwa wa kisukari), kinatakiwa kiwe chini ya 7.7 mmol/l (140 mg/dl), kiasi cha masaa mawili hivi baada ya kula. Kiasi hiki kikiwa juu ya hapa maana yake ni kwamba mfumo wa mhusika wa kuhamisha sukari kutoka kwenye damu na kuipeleka huko kwenye seli inakotakiwa iwepo, haufanyi kazi inavyotakiwa. Mfano mwingine. Mtu ambaye siyo mgonjwa anatakiwa kuwa na kiwango cha juu cha shinikizo la damu cha kati ya mmHg 110 – 120; na

TIMAMU TEA INAWAFAA WATU WOTE! -1Na Juma Killaghai kiwango cha chini cha mmHg

80. Nje ya viwango hivi maana yake ni kwamba kuna shida katika eneo fulani la mfumo wa mzunguko wake wa damu. Shida inaweza kuwa mishipa ya damu imekakamaa na hainyumbuliki kupanuka pale inapohitajika, na kwa maana hiyo shinikizo la damu linakuwa kubwa kwenye kuta za mishipa hiyo pale damu inaposukumwa kusambazwa mwilini. Shida pia inaweza kuwa kasi ndogo ya utaratibu wa uvunjifu na uundaji wa kemikali mwilini (slow metabolism), hali inayopelekea kasi ndogo ya usukumaji wa damu wakati wa kuisambaza mwilini na hivyo kuweka shinikizo dogo katika kuta za mishipa ya damu.

A g h a l a b u m a r a d h i ya kimfumo yanasababishwa na mambo manne makuu ambayo ni: Upungufu wa viini lishe na virutubisho fulani fulani ndani ya mwili. Kwa mfano maji; madini lishe, vitamini, tindikali mafuta zisizozalishwa mwilini (essential fatty acids), vizuia vioksidishaji (anti-oxidants), na vijenzi vya protini visivyozalishwa mwilini (essential amino acids). Pili, ulaji wa vyakula visivyokubaliwa na mwili, kwa mfano sukari ya viwandani na baadhi ya vyakula vingine, haswa vile vilivyochakatuliwa (processed). Ta t u , S u m u m b a l i m b a l i zinazolundikana mwilini kupitia taka zinazobaki mwilini baada ya mchakato wa kutoa nishati na viini lishe kutoka katika chakula tunachokula, na sumu mbalimbali zilizoingia mwilini kwa njia ya chakula, vinywaji, dawa, vipodozi na hewa chafu. Mifano ya sumu hizi ni: Jivu la tindikali linalobaki baada ya vyakula vya protini na wanga kuchakatuliwa ndani ya mwili; Kemikali mbalimbali zinazoingizwa mwilini kutokana na vinogesho (sweeteners) mbalimbali bandia vinavyotumika kwenye vinywaji mbalimbali hasa vile vinavyotangazwa kuwa havitiwi sukari; Kemikali mbalimbali zinazoingizwa mwilini kutokana na kemikali mbalimbali zinazotumiwa kwenye vyakula na vinywaji kama vihifadhi (chemical preservatives) na viongeza ladha (flavor enhancers); Kemikali mbal imbal i z inazoingizwa mwilini kutokana na kutumia maji ‘yaliyotakaswa’ na kemikali kama chlorine na Aluminum sulfate; Mvuke wa zebaki (mercury) unaoingia mwilini kutokana na mchanganyiko wa kuzibia matundu ya meno unaohusisha madini ya fedha na zebaki (mercury amalgam); Nakadhalika.

Aina nyingine ya maradhi ni ile inayotokana na Msongo endelevu (chronic stress).

Msongo endelevu ni tishio kubwa sana kiafya. Sababu kubwa

ni kwamba mwili huzalisha tindikali nyingi sana pale mtu anapokabil iwa na msongo. Msongo endelevu hutumia nishati nyingi sana ya mwili, na matumizi yoyote ya nishati huzaa tindikali kama zao la ziada (by product). Aidha homoni mbalimbali zinazozalishwa na mwili ili kukusaidia kukabiliana na msongo zina kawaida ya kuharibu vinasaba vya seli (DNA) iwapo zitaachwa mwilini kwa muda mrefu bila kuondolewa. Uharibifu wa vinasaba huzaa maradhi mengi sana ndani ya mwili, na haswa saratani.

Mfano wa maradhi ya kundi hili la maradhi ya kimfumo ni kama kisukari, ugonjwa wa ini bonge (fatty liver disease), shinikizo la damu (hypertension), ugonjwa wa moyo, ugonjwa wa jongo, saratani, magonjwa ya mifupa, magonjwa ya misuli, nakadhalika. Ili kujihakikishia uhuru wa kuishi bila kukumbwa na maradhi haya, ni muhimu kuishi maisha ambayo kwa kiasi kikubwa yatakuwa yamejiweka mbali na visababishi hivi.

Baada ya utangulizi huu, sasa ni wakati muafaka wa kuingia katika mada yetu ya leo, ambayo kama tulivyotangulia kuitambulisha hapo awali, inahusu kundi la viini lishe vilivyomo katika Haiiba Timamu Tea, vinavyojulikana kama vitamini. Huu utakuwa ni mwanzo wa majibu ya swali tuliloulizwa kuhusiana na ni nani anapaswa kutumia Timamu Tea.

VITAMINI NI NINI?

Vitamini n i kemikal i ya kiorganiki (moja ya viasili vyake carbon) ambayo mwili unaihitaji kwa ajili ya kuendeleza uhai, lakini mwili hauna uwezo wa kuizalisha kwa kiwango cha kutosha, au hauna uwezo wa kuizalisha kabisa. Upungufu wa vitamini hupelekea kuathirika kwa ile michakato ya kibailojia inayosukumwa na vitamini hiyo na hivyo kuzaa ugonjwa au magonjwa yanayohusiana na upungufu huo.

Kwa kawaida huwa tunatakiwa tupate vitamini zote tunazohitaji kupi t ia kat ika l i she . Hata hivyo kutokana na mapungufu mbalimbali yaliyoko katika lishe zetu inatokea tukawa na upungufu wa baadhi ya vitamini na hivyo kukumbwa na magonjwa yanayohusiana na huo upungufu.

VITAMINI MUHIMU ZILIZOMO KATIKA HAIIBA TIMAMU TEA

Baadhi ya vitamini muhimu zilizomo kwa wingi katika chai hii ni B1, B2, B3 na C.

Vitamini B1: Faida za Vitamini B1 ni nyingi. Faida tano muhimu ni pamoja na: Uzalishaji wa nishati mwilini. Vitamini hii ina jukumu la kusaidia kubadilisha sukari

kuwa nishati. Katika kutimiza jukumu hili inafanya kazi kama kimeng’eny a kinachooksidisha sukari (kuiongezea gesi ya oksigeni) ili kuibadili kuwa nishati kwa ajili ya kuendesha vyema shughuli mbali mbali za viungo nyeti vya mwili kama ubongo, moyo, mapafu na figo. Utendaji kazi wa mfumo wa mzunguko wa damu (cardio vascular system). Vitamini hii inajukumu la kuzalisha kemikali tarishi (neurotransmitter ) inayoitwa acetylcholine. Kazi ya kemikali tarishi hii ni kupeleka taarifa mbalimbali baina ya misuli na mishipa ya fahamu. Upungufu wa kemikali hi i hupelekea mapigo ya moyo kutokuwa katika mpangilio unaoeleweka (irregular heart-beat). Upungufu mkubwa unaweza kupelekea kwenye moyo kushindwa kufanya kazi. Vitamini B1 kwa pamoja na tindikali za muhimu za mafuta za omega 3 na omega 6 huzuia ugonjwa wa macho unaouhusiana na lensi ya macho kutanda ukungu. Kusaidia ubongo kufanya kazi vizuri. Vitamini hii husaidia kuboresha utunzaji wa kumbukumbu na umakini, huimarisha mishipa ya fahamu na kukinga dhidi ya m a g o n j wa m b a l i m b a l i yanayohusisha kudhoofika kwa ubongo ; na Kusa id ia kuimarika na kuboreka kwa utando unaozunguka mishipa ya fahamu na hivyo kukinga dhidi ya uchakavu wa mishipa hiyo.

Vitamini B2: Faida za Vitamini B 2 n i n y i n g i . F a i d a t a n o muhimu ni pamoja na: Huzuia maumivu makali ya kichwa yanayoambatana na dalili nyingine kama kichefuchefu, kutapika, kushindwa kuhimili mwanga mkalai na kelele, na wakati mwingine kuona vimulimuli na kuhisi kama kuna kuna kuchomwa chomwa na sindano kwenye mikono na miguu. Kufanya kazi kama kizuia kioksidishaji kinachosaidia kukinga dhidi ya magonjwa ya moyo na saratani. Kusaidia katika kutibu maradhi ya upungufu wa damu na seli mundu (sickle cell). Inapambana na vitu vinavyochochea saratani mwilini (carcinogens); na inasaidia katika uchakatuaji wa protini, mafuta na wanga na hivyo katika uzalishaji wa nishati mwilini.

Vitamini B3: Faida za Vitamini B2 ni nyingi. Faida tano muhimu ni pamoja na: Husaidia sana katika kuulinda mwili wako dhidi ya ugonjwa wa moyo. Husaidia kupunguza kiwango cha lehemu mbaya (bad cholesterol) mwilini. Husaidia kuongeza kiwango cha lehemu nzuri (good cholesterol) mwilini. Tafiti pia zinaonyesha kuwa vitamini hii husaidia sana kupambana na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu; na ugonjwa wa lenzi za macho

Inaendelea Uk. 15

Page 15: ANNUUR 1161.pdf

15 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015Makala

Msema Kweli lachochea fitna mbaya nchini-ladai

Inatoka Uk. 9Kwa wanaojua Kiingereza hebu

msikilizeni kwa maneno yake mwenyewe, anasema:

“There are areas government like France, Britain, Sweden and Germany, do not exercise any sovereignty. Basically you have zones where Shariah court have been set up where police do not go in and where basically you have a separate country, a country within a country.”

Anachosema ‘Msema Kweli’ huyu wa ‘Msema Uwongo’ wa Fox News ni kuwa, eti katika nchi kama Ufaransa, Uingereza, Sweden na Ujerumani, kuna maeneo ambayo yanatawaliwa Kiislamu (Shariah) na kwamba Polisi na mamlaka za kiserikali hazithubutu kutia mguu maeneo hayo. Ni nchi ndani ya nchi.

Kisha muendesha kipindi wa ‘Msema Uwongo Fox News’, Jeanine Pirro, anamuuliza:

“You mean Caliphate within a certain (European) country?”

Jamaa anayeonekana kuwa na umri usiopungua miaka 60 , ana j ibu kwa kuj iamini kabisa akisema ndio, mji kama Birmingham kuna Khilafah na Wakristo hawathubutu kuingia, ni nchi ndani ya nchi na serikali ndani ya serikali. Kisha anaongeza kwa kusema kuwa hata London kuna Polisi Waislamu ambao huwapiga na kuwajeruhi watu wasiovaa Hijabu.

Hawa akina Steve Emerson, n d i o wa t u a m b a o M s e m a Kweli wanasema kuwa taarifa zao sizipuuzwe, kwa sababu ni watafiti na “terrorism experts”.

Kama ilivyo kwa Mhariri wetu wa ‘Msema Uwongo’ anavyosisitiza kuwa taarifa za Robinson sio za kupuuzwa na

kuitaka serikali ichukue hatua, ndivyo muendesha kipindi wa Fox News, Jeanine Pirro alivyopamba kipindi kwa kusema:

"We need to kill them. We need to kill them. The radical Muslim terrorists hell bent on killing us."

Akimaanisha kuwa lazima wauliwe Waislamu magaidi waliokamia kuuwa Wakristo, wauliwe.

Kwa namna nyingine Mhariri wetu wa ‘Fox News Tanzania’ (Msema Kweli) anachohimiza serikali ya Tanzania ni kuwa:

"We need to kill them. We need to kill them. The radical Muslim terrorists hell bent on killing us (Tanzania Christians)."

Hata hivyo, kufuatia taarifa hiyo ya ‘Msema Uwongo’ wa Fox News, Mkristo sana Bwana Steve, Waziri Mkuu wa Uingereza ametoa taarifa akisema kuwa Steve ni mpubavu. Kwa neno la Kiigereza amemuita Idiot.

"When I heard this, frankly, I choked on my porridge and I thought it must be April Fool's Day. This guy is clearly a complete idiot."

Ndivyo alivyosema Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron akihojiwa na Televisheni ya ITV News (Uingereza).

Kwamba alichosema Steve ni uzushi na uwongo unaoweza kumtapisha mtu, labda kama utauchukulia kuwa ni kauli ya

siku ya wajinga, Aprili Mosi (April Fool's Day.).

Kufuatia kauli hiyo ya Waziri Mkuu Cameron, ‘Msema Uwongo’ wa Fox News alirudi katika televisheni, BBC, na kuomba radhi. Katika kauli yake alitumia neno la Kiingereza “irresponsible” kwake kufanya “irresponsible journalistic practice” na kusema kuwa alipotoshwa na taarifa zilizoitwa za kitafiti kama hizo za Release International.

A k i w a z u n g u m z i a w a t u k a m a R o b i n s o n n a S t e ve , mwandishi Glenn Greenwald akiongea kutokea Rio de Janeiro, Brazil, anasema kuwa hawa ni watu wanaopewa mapesa ili kupepea agenda ya mabeberu ambao kwa sasa wamelenga kuchafua Waislamu na kuchochea machafuko kupitia migogoro ya kidini baina ya Waislamu na Wakristo. (Tazama: How to be Terror Expert Ignore Facts)

Watu hawa ni hatari kwa sababu ni mfano wa wale waliotumika katika ule uwongo wa “Yellowcake forgery”, ambapo ulizambazwa uwongo kuwa Iraq imenunua tani 500 za “yellow cake” kwa maana ya uranium kutoka Niger ili kutengeneza silaha za maangamizi. Kumbe ulikuwa uwongo mtupu ambao umekuja kuhilikisha mamilioni ya watu. (Seymour M. Hersh, The New

Yorker Magazine, March 24, 2003)David Cameron na wananchi wa

Uingereza kwa ujumla, wanasema Steve ni ‘Idiot’ kwa sababu, wao ndio wanaijua Uingereza yao. Wanaijua Birmingham na London. Kama kuna ‘Khilafah Birmingham’, nchi ndani ya Uingereza na Polisi Waislamu wanaocharaza bakora wasichana wasio vaa Hijabu katika mitaa ya London, wana London wenyewe na serikali ya London, itakuwa ya kwanza kujua. Hawahitajii akina Robinson wala ‘Wasema Uwongo’ wa ‘Msema Uwongo’, kuwaambia.

Ni vinvyo hivyo, kwa Waislamu na Wakristo wa Bukoba, Bagamoyo n a Ta n z a n i a k wa u j u m l a . Tunajuana tunavyoishi katika mitaa na vijiji vyetu tukiombana chumvi na kusaidiana kwa kila hali.

Kama atatokea mamluki wa kutumwa na akina Robinson kutuchafua, akamshikia panga Mkristo au Mkristo akamshikia bunduki Muislamu, tutajua na vyombo vyetu vya dola vitajua. Wala havitasubiri mpaka vipewe taarifa kupitia vipaza sauti vya akina Paulo Robinson.

Mwalimu wangu wa ‘News wr i t ing ’ , Wal lace Mauggo alikuwa na msemo wake kuwa anapozungumza mtaalamu wa jambo fulani, wengine ambao ni mbumbumbu wa fani hiyo, inabidi mkae kimya msikilize.

Kwa bahati mbaya kabisa, kama al ivyoj isemea David Cameron, wataalamu na watafiti juu ya ugaidi ambao Fox News na akina ‘Msema Kweli’ wetu huwategemea, ni ‘idiots’.

TIMAMU TEA INAWAFAA WATU WOTE! -1Inatoka Uk. 14kufunikwa na ukungu (cataracts; ugonjwa wa mifupa dhaifu; ugonjwa wa kisukari cha udogoni (Type I diabetes); na aidha vitamini hii imehusishwa na kusaidia kuboresha uzalishaji wa nishati katika ngazi ya seli; kuboresha na kuimarisha mishipa ya fahamu; na kuimarisha na kuboresha mfumo wa usagaji wa chakula.

Vitamini C : Hii ni vitamini yenye faida nyingi sana muhimu kiafya. Baadhi ya faida hizi ni pamoja na: Husaidia kupunguza ukali wa ugonjwa wa mafua na muda wa kuugua ugonjwa huo. Huzuia mizio (allergies) kwa kusaidia kudhibiti uwepo wa homoni ya Histamine mwilini. Ni tiba ya asili ya magonjwa ya ngozi ikiwa ni pamoja na kupunguza kasi ya kuzeeka kwa ngozi na kutengeneza makunyanzi. Inasaidia sana katika kutibu majeraha. Inazuia athari za msongo katika mwili. Inawezesha

ujenzi wa protini muhimu ya collagen ambayo ni muhimili unaoshikil ia t ishu moja na nyingine ndani ya mwili. Kiwango kidogo cha uundwaji wa collagen kunaweza kusababisha ugonjwa hatari wa scurvy. Inasaidia kupunguza kiwango cha lehemu (cholesterol) katika mzunguko wa damu. Inasaidia kudumisha unyumbufu wa mishipa ya damu (elasticity) na hivyo kupunguza uwezekano wa kupata shinikizo la damu na maradhi ya moyo. Ni kizuia kiokisidishaji chenye nguvu. Husaidia sana kuzimua chembechembe zenye umeme chanya mwilini (free radicals) na hivyo kuzuia chembe hizo kufanya uharibifu katika mfumo wa mzunguko wa damu mwilini na kusababisha magonjwa ya moyo na kiharusi. Inasaidia katika uratibu wa sukari kwenye damu na kupunguza madhara yanayosababishwa na kiwango kingi cha sukari kwenye damu. Inasaidia katika matibabu ya

saratani. Tafiti zinaonyesha k w a m b a d o z i k u b w a z a vitamini C ni mujarabu sana katika maangamizi ya seli za saratani. Ongezeko la vitamini C mwilini husaidia sana kudhibiti mwendelezo wa ugonjwa wa k u p o t e z a k u m b u k u m b u pamoja na magonjwa mengine yanayoathiri mishipa ya fahamu. Husaidia sana kuzuia kupungua kwa upana wa njia ya hewa na hivyo huzuia kupumua kwa tabu. Huboresha utendaji kazi wa mapafu na hivyo ni msaada mkubwa kwa wagonjwa wa pumu. Husaidia sana kupunguza uwezekano wa kupata ugonjwa wa cataracts (ukungu kwenye lenzi za macho) na hivyo huzuia macho kupoteza uwezo wa kuona. Inaweza kusaidia katika matibabu ya kifua kikuu. Baadhi ya tafiti zimeonyesha kuwa vitamini C ina uwezo wa kuua bacteria wanaosababisha maradhi ya kifua kikuu.

Siku zote kinga ni bora kuliko

tiba. Kutokana na mazingira tunayoishi kuwa ni yenye kufanana sana, kila mmoja wetu ni mgonjwa mtarajiwa. Hata hivyo tukumbuke kuwa kinga ni bora kuliko tiba, hivyo pale ambapo kuna uwezekano wa kujikinga ni bora tukafanya hivyo. Kutokana na faida nyingi zinazoletwa na vitamini zilizoko katika Haiiba Timamu Tea kama tulivyozielezea hapo juu, ni wazi kabisa kuwa kila mtumiaji wa Haiiba Timamu Tea, bila kujali hali yake ya kiafya anaweza kunufaika sana.

K W A M A E L E Z O Z A I D I WA S I L I A N A N A WATENGENEZAJI WA CHAI HII, YAAINI HERBAL IMPACT, KWA SIMU NAMBA: 0754281131; 0655281131; 0686281131; NA 0779281131 AU WATEMBELEE OFISINI KWAO:

M O S Q U E S T R E E T , NO.1574/144, KITUMBINI, DAR ES SALAAM (MKABALA NA LANGO KUU LA KUINGILIA MSIKITI WA SUNNI)

Page 16: ANNUUR 1161.pdf

16 AN-NUURRABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 201516 MAKALA

AN-NUUR16

RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 23-29, 2015

Soma gazeti la AN-NUUR

kila Ijumaa

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

ILE kesi inayowakabili W a i s l a m u 2 3 wanaotuhumiwa kwa ugaidi na baadhi ya viongozi wa Kiislamu w a k i w e m o S h e i k h Mselem Ali Mselem k a t i k a M a h a k a m a y a H a k i m u M k a z i Kisutu j i j ini Dar es Salaam, imeahirishwa tena kufuatia upande wa mashitaka kukata rufaa katika Mahakama y a R u f a a , k u p i n g a maamuzi yaliyotolewa na Mahakama Kuu.

Hakimu anayesikiliza kesi hiyo kwa sasa Mhe. Janet Kaluyenda, jana alilazimika kuahirisha kesi hiyo hadi Februari

KESI YA UGAIDI:

Serikali yabisha hodiMahakama ya Rufaa

Inapinga uamuzi wa Mahakama KuuNa Seif Msengakamba 3 mwaka huu kufuatia

upande wa mashitaka kudai kukata rufaa katika Mahakama ya Rufaa kupinga maamuzi ya Mahakama Kuu, lakini hati ya kukata rufaa hiyo ikiwa bado haijawasilishwa mahakamani hapo.

Upande wa mashitaka u n a p i n g a m a a m u z i ya M a h a k a m a K u u , iliyoamuru Mahakama ya Kisutu kuendelea k u s i k i l i z a k e s i y a watuhumiwa hao wa ugaidi.

A w a l i H a k i m u aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo Bi. Hellen Liwa, alidai kuwa mahakama hiyo (Kisutu) imefungwa mikono katika kusikiliza kesi hiyo ya watuhumiwa

wa ugaidi, jambo ambalo liliulazimu upande wa ute tez i kukata rufaa Mahakama Kuu.

Baada ya Mahakama K u u k u a m u r u k e s i kuendelea kusikilizwa kat ika Mahakama ya K i s u t u , a l i y e k u w a akisikiliza kesi hiyo Bi. Hellen Liwa alitakiwa na mawakili wa upande wa utetezi ajitoe kusikiliza kesi hiyo, naye alikubali na ndipo kesi ilipopangiwa hakimu Kaluyenda.

Wakati huo huo, kesi nyingine inayowakabili Wa i s l a m u w a n a n e , wakiwemo Sheikh Hassan Hamisi, imeahirishwa hadi Januari 27 mwaka huu kufuatia anayesikiliza kesi hiyo, Hakimu I. Arufani kuwa likizo. SHEIKH Mselem Ali Mselem.

SHEIKH Ali Muhsin Barwani , wakati wa kupigania uhuru wa Z a n z i b a r , a l i k u w a kiongozi wa Zanzibar Nationalist Party (ZNP), v i levi le chama hiki kikijulikana kama Hizbu.

Kwa mapenzi makubwa wanachama wa Zanzibar walikuwa wanamwita, “Zaim” yaani Kiongozi.

Ilikuwa ni nia ya Sheikh Ali Muhsin, Zanzibar ipiganie uhuru wake chini ya chama kimoja cha kizalendo chenye nguvu, chama cha kitaifa badala

Mapinduzi Matukufu: Yaliyomkuta Sheikh MuhsinNa Mohamed Said ya vyama vilivyojijenga

katika misingi ya rangi. Ilikuwa pigo kubwa

sana kwake Abeid Amani Karume, alipoasisi Afro Shirazi Party, chama k i l i c h o s i m a m a k wa maslahi ya Waafrika na Washirazi.

Sheikh Ali Muhsin a l i p i g a n i a u h u r u wa Zanz ibar mpaka ukapatikana tarehe 10 Desemba 1963. Sheikh Ali Muhsin alishiriki katika mkutano wa katiba Lancaster House.

Baada ya mapinduzi yaliyotokea Zanzibar t a r e h e 1 2 J a n u a r i

1 9 6 4 , S h e i k h A l i Muhsin alikamatwa na kusafirishwa Tanganyika, ambako alifungwa Ukonga na jela nyingine kwa kipindi cha miaka 10 na miezi michache.

K a t i k a k i p i n d i alichokuwa kifungoni, S h e i k h A l i M u h s i n aliandika miswada kadhaa ambayo alikuja kuichapa kama vitabu baada ya kutoka kifungoni.

Kabla hajafa mwaka 2006, Sheikh Ali Muhsin a l iandika ki tabu cha maisha yake, “Conflict a n d H a r m o n y i n Zanz ibar , ’ ’ ambacho

kilikuja kufasiriwa kama “Kujenga na Kubomolewa Zanzibar.”

Katika kitabu hiki cha maisha yake, Sheikh Ali Muhsin anaeleza yaliyopitika Zanzibar k a b l a n a b a a d a y a mapinduzi.

Baada ya kushindwa kupata pasi ya kusafiria, S h e i k h A l i M u h s i n alitoroka nchini mwaka 1974.

Hadi anafariki, siku zote Sheikh Ali Muhsin akionyesha mtizamo tofauti juu ya ‘Mapinduzi Matukufu.”.SHEIKH Ali Muhsin

Barwani.