46
i CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI MAHAFALI YA KUMI NA TATU Kwa Minajili ya Kutunukisha Diploma na Digrii TAREHE: JUMAMOSI, 7 DESEMBA, 2019 MUDA: SAA NNE ASUBUHI MAHALI: MUHAS GRADUATION SQUARE Imetolewa na Ofisi ya: Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Utafiti na Ushauri, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili S.L.P 65001, United Nations Road, Upanga West, Dar es Salaam, TANZANIA Simu: +255 22 2150473 Nukushi: +255 22 2150465 Anuani pepe: [email protected] Tovuti: www.muhas.ac.tz

CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

  • Upload
    others

  • View
    129

  • Download
    4

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

i

CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI

MAHAFALI YA KUMI NA TATU

Kwa Minajili ya Kutunukisha Diploma na Digrii

TAREHE: JUMAMOSI, 7 DESEMBA, 2019

MUDA: SAA NNE ASUBUHI

MAHALI: MUHAS GRADUATION SQUARE

Imetolewa na Ofisi ya:

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri,

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili

S.L.P 65001, United Nations Road, Upanga West,

Dar es Salaam, TANZANIA

Simu: +255 22 2150473

Nukushi: +255 22 2150465

Anuani pepe: [email protected] Tovuti: www.muhas.ac.tz

Page 2: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

i

CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI

MAHAFALI

YA

KUMI NA TATU

Kwa

Minajili ya Kutunukisha Diploma na Digrii

Saa Nne Asubuhi

JUMAMOSI TAREHE 7 DESEMBA, 2019

Ofisi ya Naibu

Makamu Mkuu wa Chuo

Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma,

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili,

S.L.P. 65001,

DAR ES SALAAM.

Page 3: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

ii

RATIBA YA MAHAFALI YA KUMI NA TATU YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI

SHIRIKISHI MUHIMBILI (The 13th

MUHAS graduation ceremony programme)

1:00 – 2:00 Wahitimu kukusanyika uwanja wa mahafali

7:00 – 8:00 Graduands assemble at the Graduation Venue

2:00 – 3:00 Washiriki wa maandamano ya wanataaluma kukusanyika ukumbi wa MPL

8:00 - 9:00 Participants to the Academic Procession Assemble at the MPL Building Foyer

3:00 – 4:00 Viongozi Wakuu wa Chuo Kuwasili

9:00 - 10:00 Arrival of Key Officials and Dignitaries

4:00 – 4:20 Mkuu wa Chuo Kuwasili

10:00 - 10:20 Arrival of the Chancellor

4:20 – 4:35 Maandamano ya wanataaluma kuelekea uwanja wa mahafali

10:20 – 10:35 Academic Procession

4:35—4:40 Wimbo wa Taifa

10:35 – 10:40 National Anthem

4:40– 4:45 Nasaha za Mlau

10:40 – 10:45 Proctor’s Remarks

4:45 - 4:50 Mkuu wa Chuo Kutangaza Mahafali ya kumi na tatu ya MUHAS

10:45 – 10:50 Chancellor’s Declaration of the 13th MUHAS Graduation Ceremony

4:50 – 5:05 Hotuba ya Mwenyekiti wa Baraza la Chuo

10:50 – 11:05 Speech by the Chairperson of Council

5:05 – 5:20 Hotuba ya Makamu Mkuu wa Chuo

11:05 – 11:20 Speech by the Vice Chancellor

5:20 – 5:30 Hotuba za Wahitimu

11:20 – 11:30 Valedictorian Speeches

5:30 – 5:50 Kutunuku Digrii za Uzamili

11:30 – 11:50 Conferring Postgraduate Degrees

5:50 – 6:20 Kutunuku Diploma na Diploma za Juu

11:50 – 12:20 Conferring Diplomas and Advanced Diplomas

6:20 – 6:50 Kutunuku Digrii za kwanza

12:20 – 12:50 Conferring Undergraduate Degrees

6:50 – 6:55 Kufunga Mahafali ya kumi na tatu

12:50 – 12:55 Closing the 13th Graduation Ceremony

6:55 – 7:00 Wimbo wa Taifa

12:55 – 13:00 National Anthem

7: 00—7:20 Maandamano ya Wanataaluma kuondoka uwanja wa mahafali

13: 00 - 13:20 Academic Procession Leaves the Graduation Ceremony Grounds

7:20 – 7:30 Wageni waalikwa, wahitimu na watu wote kuondoka uwanja wa mahafali

13:20 – 13:30 Invited Guests, Graduands and General Public leave the Graduation Ceremony Grounds

Page 4: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

iii

YALIYOMO (Table of Contents)

UTARATIBU WA MAHAFALI (MUHAS graduation ceremony programme) ..................................... 1

9. HOTUBA ZA WAWAKILISHI WA WAHITIMU ....................................................................... 2

10.1 DIGRII YA UZAMIVU YA UDAKTARI WA FALSAFA ........................................................ 4

(Doctor of Philosophy - PhD) .................................................................................................................. 4

11.1 DIGRII YA UZAMILI WA SAYANSI MAALUM ................................................................... 8

(Master of Science Super Specialities) .................................................................................................... 8

11.2 DIGRII YA UZAMILI YA UDAKTARI WA BINADAMU ..................................................... 8

(Master of Medicine – MMed) ................................................................................................................. 8

11.2 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI (SKULI YA TIBA) ..................................................... 12

(Master of Science – MSc) ..................................................................................................................... 12

11.3 DIGRII YA UZAMILI YA UDAKTARI WA KINYWA NA MENO ..................................... 13

(Master of Dentistry – MDent)............................................................................................................... 13

11.4 DIGRII YA UZAMILI YA UFAMASIA .................................................................................. 13

(Master of Pharmacy – MPharm) .......................................................................................................... 13

11.5 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI YA AFYA YA JAMII................................................. 14

(Master of Public Health – MPH).......................................................................................................... 14

11.6 DIGRII YA UZAMILI YA MAADILI (Master of Bioethics – MBE) ...................................... 15

11.7 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI (SKULI YA SAYANSI YA AFYA YA JAMII) ........ 16

(Master of Science – MSc) ..................................................................................................................... 16

10.8 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI - SKULI YA UUGUZI ............................................... 17

11.9 DIGRII YA UZAMILI YA KUENDELEZA TIBA ZA ASILI ................................................ 17

(Master of Science – MSc. Traditional Medicine Development ............................................................ 17

11.10 DIGRII YA SAYANSI YA UZAMILI KWA NJIA YA UTAFITI NA MACHAPISHO .... 18

(Master of Science by Research and Publications)................................................................................ 18

12.1.1 DIPLOMA YA SAYANSI ZA UFUNDI MAABARA YA TIBA........................................ 19

Diploma in Medical Laboratory Sciences (DMLS) ............................................................................... 19

12.1.2 DIPLOMA YA SAYANSI ZA AFYA YA MAZINGIRA .................................................... 20

Diploma in Environmental Health Sciences (DEHS) ............................................................................ 20

12.1.3 DIPLOMA YA RADIOGRAFIA YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA ........................... 22

Diploma in Diagnostic Radiography (DDR) ......................................................................................... 22

12.1.4 DIPLOMA YA TEKNOLOJIA YA VIUNGO ...................................................................... 23

Diploma in Orthopaedic Technology (DOT) ......................................................................................... 23

12.1.5 DIPLOMA YA SAYANSI ZA UFAMASIA ........................................................................ 23

Diploma in Pharmaceutical Sciences (DPS) ......................................................................................... 23

12.1.6 DIPLOMA YA UUGUZI ...................................................................................................... 24

Diploma in Nursing (DN) ...................................................................................................................... 24

12.1.7 DIPLOMA YA JUU YA DERMATOVENEREOLOJIA ..................................................... 25

Advanced Diploma in Dermatovenereology (ADDV) ............................................................................ 25

13.1.1 DIGRII YA SAYANSI ZA AFYA YA MAZINGIRA ......................................................... 26

Page 5: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

iv

Bachelor of Science in Environmental Health Sciences (BSc. EHS) ..................................................... 26

13.2.1 DIGRII YA UUGUZI ............................................................................................................ 27

Bachelor of Science in Nursing (BSc. Nursing) ..................................................................................... 27

13.2.2 DIGRII YA UKUNGA .......................................................................................................... 28

Bachelor of Science, Midwifery (BSc. Midwifery) ................................................................................. 28

13.3.1 DIGRII YA UDAKTARI WA AFYA YA KINYWA NA MENO ....................................... 29

Doctor of Dental Surgery (DDS) ........................................................................................................... 29

(Bachelor of Pharmacy (B. Pharm) ....................................................................................................... 31

13.5.1 DIGRII YA SAYANSI ZA MAABARA YA TIBA ............................................................. 33

Bachelor of Medical Laboratory Sciences (BMLS) ............................................................................... 33

13.5.2 DIGRII YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA MATIBABU YA MIONZI ....................... 34

Bachelor of Science in Radiation Therapy Technology (BSc. RTT) ...................................................... 34

13.5.3 DIGRII YA UDAKTARI WA BINADAMU ........................................................................ 35

Doctor of Medicine (MD) ...................................................................................................................... 35

14. MWISHO WA SHUGHULI .................................................................................................. 40

15. MKUU WA CHUO KUVUNJA MAHAFALI.......................................................................... 40

16. WIMBO WA TAIFA ................................................................................................................. 40

17. KUONDOKA KWA MKUU WA CHUO ................................................................................. 40

18. KUPIGA PICHA NA MKUU WA CHUO ................................................................................ 40

Page 6: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

1

CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI

MAHAFALI YA KUMI NA TATU - 7 DESEMBA 2019

UTARATIBU WA MAHAFALI (MUHAS Graduation Ceremony Programme)

1. Wageni waalikwa, wahitimu na wazazi wataingia uwanja wa mahafali na kukaa kwenye

nafasi zao saa saba tatu (3:00) asubuhi.

2. BENDI ITATUMBUIZA

Maandamano ya wanataaluma yataingia saa nne na dakika ishirini (4:20) asubuhi. Wote

watakapofika kwenye nafasi zao, watasubiri katika hali ya kusimama mpaka Wimbo wa Taifa

utakapoimbwa, na Mkuu wa Chuo atakapokaa.

3. MLAU (Proctor)

Akiwa amesimama na baada ya kuimbwa kwa Wimbo wa Taifa na Mkuu wa Chuo kukaa,

Mlau (Proctor) akiwa ameshikilia kitabu atatoa hotuba fupi ya utangulizi.

4. MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU (Vice Chancellor)

Baada ya wote kukaa, Makamu wa Mkuu wa Chuo atasimama na kusema:

‘’Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, ninakukaribisha kuunda rasmi mkusanyiko huu kuwa ni

Mahafali ya kumi na tatu ya Chuo Kikuu kwa minajili ya kutunukisha Diploma na Digrii za

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.”

5. MKUU WA CHUO (Chancellor)

Mkuu wa Chuo, hali amekaa atatamka maneno yafuatayo:

‘’KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA, NATANGAZA MKUSANYIKO HUU KUWA

NI MAHAFALI YA KUMI NA TATU YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI

SHIRIKISHI MUHIMBILI’’

6. MAKAMU MKUU WA CHUO (Vice Chancellor)

Makamu Mkuu wa Chuo atasimama nakusema:

‘’Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, Mawaziri, Wanachuo na

wageni wetu wote mliohudhuria, sasa namkaribisha Mwenyekiti wa Baraza la Chuo atoe

hotuba fupi’’

7. MWENYEKITI WA BARAZA Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, atasimama na kutoa hotuba fupi ya kuanzisha sherehe ya

mahafali.

8. MAKAMU MKUU WA CHUO (Vice Chancellor)

Makamu Mkuu wa Chuo atatoa hotuba yake.

Atamalizia hotuba yake kwa kusema maneno haya:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, sasa ninamkaribisha Naibu Makamu Mkuu wa Chuo -

Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma ili awakaribishe wanafunzi wawili watakaotoa

hotuba fupi kwa niaba ya wahitimu wenzao na pia awahudhurishe mbele ya mahafali

wanafunzi waliofuzu ili upate kuwatunukia Digrii ya Uzamivu na kisha awaite Wakuu wa

Skuli na Wakurugenzi wa Taasisi mbalimbali kwa ajili ya kuwahudhurisha wanafunzi wao

waliofuzu na kustahili kutunukiwa diploma na digrii mbalimbali za Chuo Kikuu cha Afya na

Sayansi Shirikishi Muhimbili.”

Page 7: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

2

9. HOTUBA ZA WAWAKILISHI WA WAHITIMU

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu

cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo,

kisha atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi wawili (2) walikidhi vigezo

vya kuwawakilisha wahitimu wenzao wa digrii za uzamili na za kwanza, kutoa hotuba fupi

katika mahafali haya. Mheshimiwa Mkuu wa Chuo nina heshima kuwahudhurisha wanafunzi

hao mbele yako ili watoe hotuba hizo”

Na. Na. ya Udahili Jina Ulilopewa Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. HD/MUH/K.198/2016 Roselyne Okello KE

2. 2015-04-08879 Goodluck G. Nyondo ME

9.1 Hotuba fupi ya Mwakilishi wa Wahitimu wa Shahada za Uzamili na Uzamivu –

Roselyne Okello

Mkuu wa Chuo na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Alhaj Ali

Hassan Mwinyi, Makamu Mkuu wa Chuo, Manaibu wa Makamu Mkuu wa Chuo, Viongozi wa

Skuli, Kurugenzi na Idara mbalimbali, Waadhiri,Wafanyakazi waendeshaji, Wazazi na Walezi,

Wageni waalikwa, wanafunzi na wahitimu wa mwaka 2019.

Napenda kuchukua nafasi hii kushukuru familia ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi

Muhimbili, Viongozi wa Chuo, Wahadhiri, Wahitimu wa Shahada za Uzamili na Uzamivu mwaka

2019, kwa kunipa fursa ya kuwahutubia katika maafali haya siku ya leo.

Ninasimama hapa nikiamini kuwa ninazungumza kwa niaba ya wahitimu wote wa Shahada za

Uzamili na Uzamivu walioanza masomo yao tangu 2016 hadi 2019. Sisi kama mtu mmoja mmoja

tulikuja hapa tukafanya kazi pamoja ili kufanikisha lengo moja. Na kufanikiwa kwetu hakukuwa

rahisi, tulifanya kazi kwa juhudi kubwa na tukawezeshwa na Nguvu za Mwenyezi Mungu. Kwahiyo

ninamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupatia neema iliyotuwezesha kukabiliana na changamoto

mbalimbali hadi tumefikia mafanikio haya ambayo tunayasherehekea leo.

Napenda pia kushukuru familia zetu, Wazazi wetu, Wenzi na Wapenzi wetu, Kaka, Dada, Watoto,

na jamii tunakotoka kwa kutuunga mkono na kututia moyo katika kipindi chote cha safari ngumu ili

tuweze kufikia mafanikio haya makubwa sana ya kitaaluma.

Mwaka 2016 nilianza safari kutoka Nairobi, Kenya kuja Dar es Salaam, nilikuwa na hofu kutokana

na ugeni wa kuwa katika jiji hili la nchi ya ugenini, ukizingatia kwamba nilikuwa nimewaacha

ndugu zangu na marafiki wa karibu kule kwetu. Hata hivyo, kwa upande mwingine nilikuwa na

furaha kwa kupata fursa kujiendeleza kielimu. Awali nilikuwa na wasiwasi kama ningefanikiwa

kufikia malengo, lakini utakubaliana na mimi kwamba nimefanikiwa, ndio maana kama

mnavyoniona leo nimesimama hapa ninawahutubia.

Nchi hii ya Tanzania na hasa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbilikilitukaribisha

kwa upendo na ukarimu mimi na wengine wengi ambao tulilazimika kuwaacha wapendwa wetu

katika nchi zetu na tukaja tukaishi hapa ugenini kwa muda wa miaka 3 au zaidi. Upendo wa

Watanzania ulitufanya tuzoee mazingira katika muda mfupi, tukapata utulivu wa akili na tukaweza

kufanikisha malengo yetu. Kujifunza ukiwa katika umri wa mtu mzima siyo jambo rahisi. Wengi

wetu wamepitia changamoto mbalimbali katika vipindi tofauti – kama vile msongo wa mawazo,

mitikisiko katika mahusiano, na upungufu wa fedha. Lakini changamoto hizo hazikutukwamisha,

tulisonga mbele hadi tumetimiza malengo yetu. Hongera wahitimu wa mwaka 2019!!.

Page 8: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

3

Tunapoanza safari nyingine ya kuelekea katika kufanya vitu vizuri and vikubwa zaidi, tunapaswa

kuzingatia kwamba upendo ndio njia kuu ya mawasiliano. Tunaweza kuwa na tofauti mbalimbali

kama vile rangi ya ngozi zetu, lugha tunazoongea, tamaduni tulimolelewa; lakini ndani ya miili yetu

wote tuna damu nyekundu inayozunguka na wengi wetu tuna damu aina moja. Tunafanana ingawa

wakati huo huo tunatofautiana kwa namna nyingi, na ndio maana maisha yanafurahisha na

kusisimua.

Sisi ambao ni viongozi wa sasa na baadaye katika fani zetu mbalimbali, tunapaswa kuwa tayari

kujifunza kutoka kwa wenzetu. Tujitahidi kuleta mabadiliko chanya, mara zote tujaribu kufanya

dunia hii kuwa mahali pazuri zaidi. Tutumie uwezo wa elimu tuliyopata kuleta hayo mabadiliko

chanya kwa manufaa ya maendeleo ya binadamu. Tupendane, tujenge amani. Tusisahau urafiki

tulioujenga katika kipindi cha masomo na tuondoe vikwazo vinavyoweza kutuzuia kufika katika

vilele vya mafanikio.

Nitamalizia kwa nukuu kutoka kwa mwanariandha wa Kenya, Eliud Kipchoge, ambaye hivi karibuni

aliukataa ukweli wa Fiziolojia ya bindamu kwa kusema: “No human is limited”, yaani “hakuna

binadamu mwenye ukomo”, pia Mtakatifu Francis wa Asisi alisema “Start by doing what is

necessary, then do what is possible; and suddenly you are doing the impossible” yaani “Anza kwa

kufanya kile kilicho cha lazima, alafu fanya kinachowezekana, na ghafla unafanya kile

kisichowezekana”. Na hatimaye nukuu kutoka kwangu: “It is never that serious so live, laugh and

love and most importantly: Smile”. Yaani “Hali siyo ngumu kiasi cha kukatisha tamaa, kwa hiyo

ishi, cheka, penda, na muhimu zaidi: Tabasamu!

9.2 Hotuba ya Mwakilishi wa Wahitimu wa Shahada za Awali – Goodluck G. Nyondo

Mkuu wa Chuo na Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Alhaj Ali

Hassan Mwinyi, Makamu Mkuu wa Chuo, Manaibu wa Makamu Mkuu wa Chuo, Viongozi wa

Skuli, Kurugenzi na Idara mbalimbali, Waadhiri,Wafanyakazi waendeshaji, Wazazi na Walezi,

Wageni waalikwa, wanafunzi wote na muhimu zaidi wahitimu wa mwaka 2019,

Salaam!

Kwa unyenyekevu mkubwa ninashukuru kupewa fursa hii ya kusimama hapa kuwawakilisha

wahitimu wenzangu. Kwa niaba ya darasa la 2019, kwanza ninamshukuru Mungu aliyetuwezesha

kufikia hatua hii. Vilevile ninawashukuru wazazi na walezi ambao kwa msaada wao wa karibu sisi

tumefikia hapa tulipo na bado tukiwa na nguvu ya kuendelea mbele kutimiza malengo yetu.

Wahitimu wa leo tulijiunga na chuo hiki kwa nyakati tofautitofauti tukiwa tumetokea mazingira

tofauti, yenye malezi tofauti na hivyo tukiwa na mitazamo tofauti ya maisha na zaidi katika hali

tofauti za kiuchumi. Shukrani kwa jamii ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili

ambayo ilizichukua tofauti zote hizo, ikaziweka pamoja kwa kipindi kirefu na baadaye kututoa sote

hapa kwa jina moja kama wataalamu wa tiba.Msisitizo wa chuo katika nidhamu kuanzia mavazi na

mawasiliano umekuwa nguzo imara ya kufanya bendera ya MUHAS iendelee kupepea kwa

ushindi.Vikundi mbalimbali vinavyolelewa na chuo kuanzia vya kidini mpaka vya kitaaluma

vimekuwa sehemu muhimu sana ya sisi kugundua na kudhihirisha uwezo wetu katika masuala

mengine nje ya taaluma.Kwa pamoja tunatambua kuwa jinsi tulivyo leo ni matokeo ya juhudi kubwa

zinazoonekana na zisizoonekana zilizowekezwa ndani yetu na watu tunaowafahamu na

tusiowafahamu.

Kwa namna ya pekee naomba kumpongeza kila mhitimu aliyepo hapa siku ya leo. Sote tunafahamu

na dunia inajua kwamba haikuwa kazi rahisi. Tulijiunga na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

Shirikishi Muhimbili tukiwa tunasikia meneno kuwa Muhimbili si lelemama. Hofu na woga vilitujaa

lakini kiume tukapambana na leo tupo hapa. Tuna kila sababu ya kurusha kofia zetu juu na kusema

sisi ni washindi!. Tumepitia mambo mengi na kuna kipindi tulikata tamaa kabisa. Mshindi si yule

Page 9: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

4

asiyeshindwa, bali ni yeye asiyekata tamaa. Asante kwa wote waliotushika mkono.

Nikikumbuka kwangu mimi binafsi, mwanzoni mwa mwaka wa kwanza kilikuwa ni kipindi kigumu

sana kwangu. Nilikuwa sipati matokeo mazuri licha ya juhudi kubwa nilizoweka. Nilitafuta muda wa

kuonana na mshauri wangu wa kitaaluma, baadhi ya wakufunzi na watu walionitangulia mbele

kimadarasa ambao wote kwa pamoja walinielekeza mbinu mbalimbali zilizobadilisha upepo wangu

kabisa kitaaluma. Siku zilizofuata zilikuwa ni za mafanikio makubwa.” I call these my pacemakers.

We all need pacesetters to run the race successfully”.

Ninawashukuru wale wote walionipa fursa ya mimi kuwafahamu na wakawa tayari kuweka

mchango wao kwenye maisha yangu kitaaluma na kijamii pia. Kwa upekee zaidi, darasa langu la

famasia; ninyi ni udhihirisho wa neno umoja, nimejua maana ya kuishi kupitia ninyi. Kundi langu la

“discussion” la “Ten Times Better (TTB)” hakika hamjawahi kuniangusha. Sijatoka Chuo Kikuu cha

Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili na ujuzi wa masuala ya afya tu, bali nimetoka na familia.

Kama wahitimu wote, kwa ujumla wetu tumeweza kuziishi changamoto nyingi na kusimama juu

yake kufikia kilele cha mafanikio. Kwa uzoefu huu ninaamini tutaweza kusimama juu ya

changamoto zote tunazozisikia uraiani na tutaweza kuleta matokeo makubwa kwenye jamii.

Vitu viwili ambavyo yatupasa tuende navyo kuitumikia jamii ni utu na unyenyekevu. Hivi ni daraja

la kuunganisha ujuzi wetu na wananchi. Tutazame wote tunaowahudumia kwa jicho la kibinadamu

na huruma, nao watapokea kile tunachowapa. Vilevile unyenyekevu ukatusaidie kufanya kazi vizuri

na watu wengine na kujifunza kutoka kwao pia. Jamii imekuwa inalalamika kuwa vijana wa sasa

hatuna nidhamu kazini. Tukiwa wanyenyekevu katika maneno na matendo tutabadilisha picha hii.

Mwisho wa yote, tukashirikiane vema na jamii zetu. Tuchukue muda kuyaelewa maisha ya watu

tunaokutana nao na kujifunza kuwa pamoja nao katika nyakati za furaha na huzuni.

Hongereni sana wahitimu wa darasa la 2019.

Asanteni.

10.1 DIGRII YA UZAMIVU YA UDAKTARI WA FALSAFA

(Doctor of Philosophy - PhD)

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu

cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo,

kisha atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi wanne (4) wamefuzu na

wanastahili kutunukiwa DIGRII ya uzamivu ya Udaktari wa Falsafa yaani “Doctor of

Philosophy”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Kabla

sijawahudhurisha, naomba nitoe muhtasari wa tafiti zao.”

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu

cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atatoa muhtasari wa utafiti wa Digrii ya uzamivu:

Page 10: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

5

a) Ritah Mutagonda

Mada: Utafiti juu ya Mambo Yanayoathiri Matokeo ya Matibabu ya Malaria kwa Wanawake

Wajawazito wanaotibiwa na Dawa Mseto ‘ALu’

Utangulizi: Mabadiliko ya mwili na upungufu wa kinga wakati wa ujauzito sio tu huongeza hatari ya

kupata malaria lakini pia huingilia mfumo wa ufanyaji kazi wa dawa mwilini zinazotumika kutibu

malaria ikiwa ni pamoja na dawa mseto (artemether-lumefantrine (ALu)). Katika kipindi cha ujauzito

kunakuwa na ongezeko la umeng’enywaji na utolewaji wa dawa mwilini. Hivyo ni muhimu kujua

kama dozi ya dawa mseto inayotolewa inakuwa na kiwango cha kudhibiti vimelea vya malaria ili

kupunguza madhara ya ugonjwa huu kwa mama na mtoto.

Madhumuni ya tafiti: Utafiti huu uliojumuisha mama wajawazito 205 na wasio wajawazito 72

ulifanyika kati ya mwaka 2013 hadi 2019 katika Wilaya za Rufiji, Kibiti, Mkuranga na Kisarawe.

Utafiti huu ulijikita katika kuchunguza kiasi cha dawa mseto kilichopo mwilini baada ya kumaliza

dozi ya siku tatu kwa wajawazito ukilinganisha na wasio wajawazito. Vilevile utafiti uliangalia ni kwa

namna gani mabadiliko ya umeng’enywaji na usafirishaji wa dawa mseto mwilini unachangia utendaji

kazi wa dawa mseto katika kutibu malaria kwa wajawazito.

Matokeo: Kiasi cha dawa mseto mwilini kilikuwa pungufu kwa wajawazito kulinganisha na wasio

wajawazito. Karibia nusu ya wajawazito hawakufikia kiasi cha dawa mseto kinachohitajika mwilini

kuua vijidudu vya malaria. Iligundulika mojawapo ya sababu kuu inayopunguza kiwango cha dawa

mwilini kwa wajawazito ni ongezeko la umeng’enywaji wa dawa mseto kwa wajawazito

ikilinganishwa na wasio wajawazito. Hivyo wanawake ambao hawakupona malaria walikuwa wana

upungufu wa dawa mseto mwilini.

Hitimisho: Kuendelea kutumia dozi ya sasa ya dawa mseto kwa wajawazito kunaweza kusababisha

usugu wa vidudu vya malaria ambavo ni hatari si kwa wajawazito tu bali kwa jamii yote. Ili

kuboresha matibabu ya malaria utafiti huu unapendekeza kuangalia upya dozi ya dawa mseto

inayotolewa kutibu malaria kwa mama wajawazito. Inapendekezwa zifanyike tafiti zaidi kuangalia

uwezekano wa kuongezwa muda wa kutumia dawa mseto ya malaria kutoka siku tatu mpaka tano ili

kuhakikisha viwango vya tiba ya malaria kwa wajawazito vinaboreshwa, na vina usalama wa kutosha

kwa mama na mtoto aliyeko tumboni.

b) Hellen Siril

Mada: Utafiti wa Kubadili Hali ya Kutokuwa na Matumaini hadi Kuwa na Matumaini na

Kuchunguza Athari za Mbinu ya NAMWEZA ya Kuimarisha Afya ya Akili na Tabia ya Kupunguza

Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI miongoni mwa Watu Wanaoishi na VVU

Utangulizi: Hali ya kukosa matumaini ikijumuisha sonona na msongo wa mawazo duniani iko juu

kwa mara tatu hadi sita zaidi miongoni mwa wanaoishi na VVU kuliko jamii isiyo na maambukizi.

Hali hii, hupunguza ari ya kutafuta tiba mapema, na huchochea tatizo la sonona ambalo hupunguza

ufuatiliaji binafsi wa matumizi ya dawa zinazoshauriwa, huchangia kuongezeka kwa vifo vya

wanaoishi na VVU kila mwaka na huongeza tabia hatarishi za maambukizi ya VVU.

Madhumuni ya utafiti: Utafiti ulifanyika Dar es Salaam toka mwaka 2012 hadi 2015. Ulijumuisha

watu 1,220 wanaoishi na maambulizi ya VVU (WAVIU) na watoa huduma 8. Ulilenga kuelewa

maana na uzoefu wa kutokuwa au kuwa na matumaini, ikiwemo sonona na msongo wa mawazo, na

kutathmini mwingiliano wa NAMWEZA miongoni mwa WAVIU.

Matokeo ya utafiti: WAVIU walielezea kukosa matumaini kama hali ya kuwa na mtizamo hasi na

kukata tamaa, sonona na msongo wa mawazo kuwa ni hatua tofauti za ugonjwa wa mawazo na huzuni

kubwa lakini dalili za msongo na sonona hawakuzielewa ipasavyo. Watoa huduma ya afya ya msingi

wenye uzoefu ndio walioweza kuelezea maana ya ugonjwa wa sonona. Vilevile utafiti umeunda

Page 11: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

6

madodoso matatu mapya yalizozingatia utamaduni wa Kitazania yenye viwango vinavyokubalika vya

ubora; ikiwemo la kupimia matumaini, la kupimia msongo, la kupimia sonona na ambalo

limajumuisha sonona na msongo kwa pamoja. Kuwa na matumaini kulielezewa kama hali ya kuwa na

uelewa wa uhalisia kuhusu ugonjwa wa UKIMWI na tiba yake, na hivyo kupelekea WAVIU kuwa na

hisia chanya ambazo hujenga mwamko wa kuishi na kutimiza mipango ya maisha. Mwingiliano wa

NAMWEZA uliongeza matumaini, tabia ya mazungumzo yanaolenga kuzuia maambukizo ya VVU

na kupima VVU, ulipunguza sonona, ufuasi-duni wa dawa na utoro wa huduma.

Hitimisho: Matokeo ya utafiti huu yameonesha kuwa uko umuhimu wa kuielimisha jamii, na watoa

huduma ya afya kuchunguza kwa makini uwepo wa ugonjwa wa sonona iwapo mgonjwa atalalamika

kuwa na dalili za msongo au sonona ili kutoa tiba sahihi. NAMWEZA na matumizi ya dodoso la

kupima matumaini vinaweza kuongeza matumaini na kupunguza sonona kwa WAVIU.

c) Deus Charles Buma

Mada: Athari ya Dozi Ndogo ya Stavudine Katika Matibabu ya VVU na Matokeo ya Kuweka

Bayana Hali ya Maambukizi ya VVU

Utangulizi: Tangu mwaka 2009 stavudine iliondolewa na Shirika la Afya Duniani kwenye orodha ya

dawa za tiba ya virusi vya ukimwi (VVU) kwa sababu ya madhara yake kwa kuwa ilikuwa chanzo

cha wagonjwa kutofuatilia tiba vizuri. Dozi ya miligramu arobaini au thelathini ya stavudine

ikinywewa mara mbili kwa siku ilikuwa inaleta madhara zaidi. Kwa kuwa stavudine ni rahisi kuliko

dawa zingine za kufubaza VVU (ARV), na kwa kuwa inaweza kutumika mahali ambapo dawa

zingine pendekezwa haziwezi kutumika, kuna umuhimu wa kuchunguza matumizi ya dozi ndogo ya

dawa hii kwa tiba ya VVU. Na pia haifahamiki nchini Tanzania ni yapi matokeo kwa mgonjwa

anapotoa siri ya maambizi yake ya VVU kabla ama baada ya kuanza kutumia ARV.

Madhumuni ya tafiti: Utafiti huu ulitathimini matokeo ya kuwepo kwa magonjwa, kinga ya mwili

na kiwango cha upunguzaji wa VVU mwilini baada ya kutumia stavudine katika dozi ya miligramu

thelathini kwa siku. Pia utafiti uliangalia madhara yatokanayo na mgonjwa kuweka bayana hali yake

ya maambukizi ya VVU kabla na baada ya utumia ARV.

Mbinu: Utafiti ulifanyika kwa kufuatilia wagonjwa ambao waligawika katika makundi mawili yaani

kundi la stavudine na kundi la zidovudine. Dawa zote hizi ziliambatana na dawa zingine ili

kukamilisha tiba, ambapo dawa ya stavudine ilinywewa mara moja kwa dozi ya miligramu thelathini

kwa siku wakati zidovudine ilitolewa katika dozi ya kawaida mara mbili kwa siku. Pia utafiti huu

ulitaka kujua athari zinazojitokeza kwenye kinga ya mwili, idadi ya VVU mwilini na ufuatiliaji wa

tiba baada ya mgonjwa kutoa siri ya hali ya maambukizi ya VVU kwa jamaa zake, kabla ama baada

ya kuanza kutumia ARV.

Matokeo: Wangonjwa walioshiriki ni 520 wenye umri zaidi ya miaka kumi na nane, waligawanywa

kwa usawa katika makundi mawili. Utafiti ulionyesha ongezeko la kinga mwilini na pia kupungua

kwa magonjwa nyemelezi ukilinganisha na siku walipoanza matibabu bila kuonyesha tofauti kati ya

makundi shiriki. Baada ya miezi sita na bila kuonyesha tofauti kati ya makundi mawili, utafiti

ulionyesha kwamba asilimia sabini na tatu ya wagonjwa walioshiriki walikuwa na idadi ndogo ya

VVU chini ya vimelea mia nne kwa kila mililita. Pia utafiti huu ulibaini kuwa, asilimia kumi na tatu

ya wagonjwa walioshiriki utafiti walitoa siri ya hali yao ya maambuzi kabla ya kuanza kutumia

ARV, asilimia sitini na saba walitoa taarifa hiyo baada ya kuanza kutumia ARV wakati asilimia

ishirini ya wagonjwa hawakutoa siri ya hali yao ya maambukizi ya VVU kwa mtu yeyote. Utafiti

huu unaonyesha kuwa wagonjwa waliotoa siri zao kabla ya kuanza kutumia ARV walikuwa na

kiwango cha asilimia tisini na saba kubaki kwenye tiba. Wakati huo huo wale ambao walitoa taarifa

baada ya kuanza kutumia ARV walikuwa na kiwango cha asilimia themanini na tano cha kubaki

kwenye tiba. Wale waliotoa taarifa kabla ya kuanza ARV walionyesha mafanikio zaidi ya ongezeko

la kinga ya mwaili tofauti na wenzao ambao walitoa taarifa baadaye.

Page 12: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

7

Hitimisho na Mapendekezo: Stavudine ikitumika kwa dozi isiyozidi miligramu thelathini kwa siku

ina manufaa sawa na dawa zingine za ARV katika kupunguza idadi ya VVU, kusababisha ongezeko

la kinga mwilini na hatimaye kuondoa magonjwa nyemelezi. Ni muhimu pia kutoa taarifa ya hali ya

maambukizi ya VVU kabla ya kuanza kutumia ARV. Umuhimu wa stavudine katika matibabu ya

VVU unabaki palepale, hususani nyakati ambazo mgonjwa hawezi kutumia dawa pendekezwa yaani

tenofovir, zidovudine na abacavir.

d) Ruth Anyango Omole

Mada: Tathmini ya Usalama na Ufanisi wa Kutibu Ugonjwa wa Malaria wa Mimea ya Dawa Asili

Kutoka Jamii ya Ogiek nchini Kenya

Utangulizi: Udhibiti wa ugonjwa wa malaria unaendelea kuwa mgumu kwa sababu taarifa za vidudu

ambavyo ni sugu kwa dawa za mseto, ambazo ndizo mhimili mkuu wa tiba ya malaria duniani,

umeanza kujitokeza huko Asia ya kusini mashariki na hapa Afrika. Hivyo basi inabidi kuongeza kasi

ya ugunduzi wa dawa mpya za kukabiliana na tatizo hili. Utafiti huu ni moja ya juhudi hizo na

ulilenga kuchunguza mimea inayotumiwa na jamii ya Ogiek nchini Kenya.

Madhumuni ya tafiti: Utafiti huu ulilenga kuchunguza mimea mitano inayotumiwa na jamii ya

Ogiek huko Kenya kama ni tiba salama na zenye ufanisi wa kutibu ugonjwa wa malaria.

Mbinu za utafiti: Mimea yote mitano; Bersama abyssinica, Garcinia buchananii, Hypoestes

verticillaris, Rhamnus prinoides na Rubus keniensis ilitambuliwa na mtaalamu wa utambuzi wa

mimea na kukusanywa kutoka jamii ya Ogiek katika Kaunti ya Nakuru, Kenya. Baada ya kukaushwa

mimea ilichujuliwa na kupimwa uwezo wa kuua vimelea vya malaria, yaani “Plasmodium

falciparum” vyenyewe au kuwatibu panya walioambukiza vimelea vya malaria (Plasmodium

berghei). Kifaa cha column chromatography kilitumika kutenganisha kemikali kutoka kwa mimea na

kemikali kutambuliwa kupitia kifaa cha nuclear magnetic resonance (NMR).

Matokeo: Mimea yote mitano; Bersama abyssinica, Garcinia buchananii, Hypoestes verticillaris,

Rhamnus prinoides na Rubus keniensis ilionesha uwezo tofauti wa kuuwa vijidudu vya malaria

vyenyewe na vikiwa vimeambukizwa kwa panya (in vitro na in vivo). Kemikali sita zilitabuliwa

katika utafiti huu. Kemikali iitwayo “3(11)-epoxyhypoestenone” ilipatikana kutoka mti wa

“Hypoestes verticillaris” ambayo ilionesha uwezo wa kuua vimelea sugu dhidi ya dawa ya

chloroquine. Pia matokeo ya awali yameonesha kuwa mimea hii ina madhara kidogo kwa

chembechembe za uhai.

Hitimisho: Matokeo ya utafiti huu yanathibitisha kuwa miti dawa inayotumiwa na jamii ya Ogiek

kutibu malaria ina uwezo wa kutibu na pia haikuwa na sumu kali. Hivyo utafiti huu uendelezwe ili

kuhakiki zaidi ubora wake kitiba na usalama.

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha

Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie DIGRII ya

uzamivu ya Udaktari wa Falsafa.”

Na. Na. ya Udahili Jina Ulilopewa Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. HD/MUH/T.246/2013 Ritah Mutagonda KE

2. HD/MUH/T.231/2011 Hellen Siril KE

3. HD/MUH/T.02/2011 Deus Charles Buma ME

4. HD/MUH/K.155/2015 Ruth Anyango Omole KE

Page 13: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

8

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NINAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMIVU YA

UDAKTARI WA FALSAFA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI

MUHIMBILI.”

NAIBU MAKAMU MKUU WA CHUO TAALUMA, UTAFITI NA USHAURI WA

KITAALUMA (Deputy Vice Chancellor – Academic, Research and Consultancy)

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha

Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha

atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, sasa ninamkaribisha Mkurugenzi wa Kurugenzi ya programu za

Uzamili na Uzamivu, awahudhurishe mbele ya mahafali wanafunzi waliofuzu ili upate kuwatunukia

Digrii za Uzamili wanazostahili kwa utaratibu kama ulivyopangwa”.

11.0 MKURUGENZI WA KURUGENZI YA PROGRAMU ZA UZAMILI NA UZAMIVU

(Director of Postgraduate Studies)

Atasimama na kutoa heshima kwa Mgeni wa Chuo, kisha atasema:

11.1 DIGRII YA UZAMILI WA SAYANSI MAALUM

(Master of Science Super Specialities)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo katika mwaka wa 2019, wanafunzi saba (7) wamefuzu na

wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili wa Sayansi Maalum yaani “Master of Science

Super Specialities)” ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili katika fani

mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali. Nina heshima

kuwahudhurisha mbele yako -------ili uwatunukie Digrii ya Uzamili Maalum.” Vilevile kuna

wengine ------- ambao hawapo na majina yao yameorodheshwa katika kitabu cha mahafali

ambao pia wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili wa Sayansi Maalum.”

Na Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

MSc. Cardiology

1. HD/MUH/T.254/2017 Godian Cletus Mtwangambate ME

MSc. Neurosurgery

2. HD/MUH/T.224/2016 John Stephen Mbwambo ME

MSc. Nephrology

3. HD/MUH/T.255/2017 Frida Joseph Mowo KE

4. HD/MUH/T.256/2017 Ladius Rudovick ME

5. HD/MUH/T.257/2017 Egina Francis Makwabe ME

Msc Urology

6. HD/MUH/U.262/2017 John Peter Awio ME

7. HD/MUH/T.253/2017 Hamis Juma Idd Isaka ME

MKUU WA CHUO:

KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI WA

SAYANSI MAALUM, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI

KATIKA FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI”

11.2 DIGRII YA UZAMILI YA UDAKTARI WA BINADAMU

(Master of Medicine – MMed)

Page 14: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

9

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi mia moja ishirini (120)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya uzamili ya Udaktari wa Binadamu yaani

“Master of Medicine”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina

heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Udaktari wa

Binadamu katika fani mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mafahali.

Na Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

MMed Anaesthesiology

1. HD/MUH/T.22/2016 Annastazia Emmanuel Komba KE

2. HD/MUH/T.23/2016 Nsia Richard Mushi KE

3. HD/MUH/T.24/2016 Anna Fulgence Lemnge KE

4. HD/MUH/T.27/2016 Ostabela Godrine Mutashaga ME

5. HD/MUH/T.28/2016 Raymond Oyugi Samuel ME

6. HD/MUH/T.29/2016 Fatma Juma Sitta KE

7. HD/MUH/T.30/2016 Advesta P Kilawe KE

MMed Anatomical Pathology

8. HD/MUH/T.32/2016 Asteria Herman Kimambo KE

9. HD/MUH/T.36/2916 Tupokigwe Edina Brown KE

10. HD/MUH/T.37/2016 Atuganile Edward Malango KE

11. HD/MUH/T.38/2016 Leonard Mlemwa ME

12. HD/MUH/T.35/2016 Salvatory Makweta Mlaga ME

MMed Clinical Oncology

13. HD/MUH/E.40/2016 Sintayehu Abebe Temesgen ME

14. HD/MUH/T.44/2016 Emanuel Livin Nundu ME

15. HD/MUH/T.47/2016 Irene Jeremiah Nguma KE

16. HD/MUH/R.46/2016 Theoneste Maniragaba ME

17. HD/MUH/K.49/2016 Lilac Tinia Achieng Wattanga KE

18. HD/MUH/T.32/2014 Faraja Kiwanga KE

MMed Emergency Medicine

19. HD/MUH/T.51/2016 Noel James Makundi ME

20. HD/MUH/T.52/2016 Shaffin Shiraz Rajan ME

21. HD/MUH/T.55/2016 Asha Juma Iyullu KE

22. HD/MUH/T.56/2016 Dereck Alex Kaale ME

23. HD/MUH/T.57/2016 Uwezo Edward ME

MMed Haematology and Blood Transfusion

24. HD/MUH/T.61/2016 Ahlam Mohamed Nasser KE

25. HD/MUH/T.63/2016 Adamu Kilungu ME

26. HD/MUH/T.64/2016 Hamisa Iddy KE

MMed Internal Medicine

27. HD/MUH/T.66/2016 Sarah Shali Matuja KE

28. HD/MUH/M.68/2016 Yamikani Celebu Mastala ME

29. HD/MUH/T.70/2016 Godfrey B Chuwa ME

30. HD/MUH/T.74/2016 Jude Nicholaus Tarimo ME

31. HD/MUH/T.79/2016 Adam Miraj Gembe ME

32. HD/MUH/T.82/2016 Irene Raymond Makundi KE

Page 15: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

10

33. HD/MUH/T.83/2016 Stanley Zakaria Binagi ME

34. HD/MUH/S.86/2016 Nontobeko Nokulunga Simelane KE

35. HD/MUH/T.88/2016 Lazaro Njumbo Jassely ME

36. HD/MUH/T.67/2016 Rimal Kishore Bramania ME

37. HD/MUH/T.168/2016 Nakigunda Jumanne Kiroga KE

38. HD/MUH/T.82/2015 Amina Muhomi Omary KE

39. HD/MUH/T.90/2015 Alice Karungi Kaijage KE

40. HD/MUH/T.511/2015 Garvin Nathanael Kweka ME

MMed Obstetrics and Gynaecology

41. HD/MUH/T.91/2016 Amani Idris Kikula ME

42. HD/MUH/K.92/2016 Anthoy Magondu Gitari ME

43. HD/MUH/T.93/2016 Kamilya Aly Omar KE

44. HD/MUH/T.95/2016 Murete Sanare Lukumay KE

45. HD/MUH/T.97/2016 Sabra Salum Masoud KE

46. HD/MUH/K.99/2016 Zahara Mohdhar Omar KE

47. HD/MUH/T.102/2016 Denis Muganyizi Mugyabuso ME

48. HD/MUH/T.103/2016 Bosco Mapunda ME

49. HD/MUH/T.104/2016 Shabnam Salim Muccadam KE

50. HD/MUH/T.107/2016 Baya Hasan Kissiwa KE

51. HD/MUH/T.108/2016 Albert Katana Magohe ME

52. HD/MUH/T.109/2016 Goodluck John Ulomi ME

53. HD/MUH/T.112/2016 Jane Kokushubila Muzo KE

54. HD/MUH/T.113/2016 Stephen Salim Temanyika ME

55. HD/MUH/T.115/2016 Barakaeli Maliaki Kipuyo ME

56. HD/MUH/T.117/2016 Faraja Eliya Mwasambunga ME

57. HD/MUH/T.118/2016 Hudson August Manyanga ME

58. HD/MUH/K.119/2016 Hassan Adan Kala ME

59. HD/MUH/G.120/2016 Jose T.K. Green Harris ME

60. HD/MUH/K.48/2016 Saara Yunus Mubarak KE

61. HD/MUH/T.112/2015 Isaya Erasto Mhando ME

62. HD/MUH/T.119/2015 Nazarius John Geckie ME

63. HD/MUH/T.124/2015 Mfaume Salum ME

64. HD/MUH/T.128/2015 Prot Massawe ME

65. HD/MUH/T.126/2015 Raymond Thomas Kiponza ME

MMed Ophthamology

66. HD/MUH/T.124/2016 Juma Katwale ME

67. HD/MUH/T.125/2016 Jualako Nassoro ME

68. HD/MUH/T.133/2015 Phillip Deogratias Nyaga ME

MMed Orthopaedics and Traumatology

69. HD/MUH/T.132/2016 Mohamed Shabir Muhamedhussein ME

70. HD/MUH/T.136/2016 Baraka Mwandesu Mponda ME

71. HD/MUH/T.137/2016 Elias Godfrey ME

72. HD/MUH/T.138/2016 Hellen Matiko Machagge KE

73. HD/MUH/T.144/2016 Justice Michael Mwambashi ME

Page 16: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

11

74. HD/MUH/T.145/2016 Peter Gabriel Mandu ME

75. HD/MUH/T.211/2016 Emmanuel Evarist Mlay ME

76. HD/MUH/T.141/2015 Musa Omar Kawambwa ME

77. HD/MUH/T.139/2015 Aaron Ndipo Aaron ME

78. HD/MUH/T.135/2016 Shabani Joseph ME

MMed Otorhinolaryngology

79. HD/MUH/T.172/2016 Fatuma Twalib Kibao KE

MMed Paediatrics and Child Health

80. HD/MUH/T.150/2016 Evance Kisheo Godfrey ME

81. HD/MUH/T.152/2016 Jamila Jasmin Shemweta KE

82. HD/MUH/T.153/2016 Fatima Mehdi Mussa KE

83. HD/MUH/T.154/2016 Mwanamkuu Fadhili Kambi KE

84. HD/MUH/T.155/2016 Anna Francis Magembe KE

85. HD/MUH/T.157/2016 Samafilan Abdillahi Ainan KE

86. HD/MUH/T.158/2016 Aika Abia Shoo KE

87. HD/MUH/T.159/2016 Regina Octavian Hyera KE

88. HD/MUH/T.161/2016 Neema Nalitolela KE

89. HD/MUH/T.164/2016 Parvina Titus Kazahura KE

90. HD/MUH/T.166/2016 Graca Meshack Chotamawe KE

91. HD/MUH/T.187/2015 Editruda Reginald Ngailo KE

92. HD/MUH/T.193/2015 Grace Cephas Ng'waida KE

93. HD/MUH/T.52/2015 Emmanuel Kaji Luchagula ME

MMed Psychiatry and Mental Health

94. HD/MUH/T.178/2016 Beatrice Thadei KE

95. HD/MUH/T.196/2015 Iddi Haruna Nkya ME

MMed Radiology

96. HD/MUH/T.181/2016 Mwanjia Kisinzah KE

97. HD/MUH/R.183/2016 Ivan Rukundo ME

98. HD/MUH/T.185/2016 Seleman Fadhili ME

99. HD/MUH/T.186/2016 Fredy Felician Rutachunzibwa ME

100. HD/MUH/T.187/2016 Hasna Nuhu Toroha KE

101. HD/MUH/T.188/2016 Azza Awadh Naif KE

102. HD/MUH/T.190/2016 Hassan Muhidini Barnabas ME

103. HD/MUH/T.194/2016 Erick Michael ME

104. HD/MUH/T.195/2016 Rachel Kokwiitika Kataraia KE

105. HD/MUH/T.197/2016 Masanja Dotto ME

106. HD/MUH/K.198/2016 Roselyne Atieno Okello KE

107. HD/MUH/T.208/2015 Alex Moses Mpeku ME

108. HD/MUH/T.209/2015 James John Makorere ME

MMed Surgery

109. HD/MUH/T.200/2016 Maxigama Yessaya Ndosi ME

110. HD/MUH/T.201/2016 Amonius Kabundama Rutashobya ME

111. HD/MUH/T.203/2016 Hussein Mohsin Khanbahi ME

112. HD/MUH/T.204/2016 Frank Martin Sudai ME

Page 17: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

12

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA

UDAKTARI WA BINADAMU, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI

MUHIMBILI KATIKA FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI.”

11.2 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI (SKULI YA TIBA)

(Master of Science – MSc)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi kumi na tatu (13)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi yaani “Master of

Science”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima

kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Sayansi katika fani

mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

MSc. Anatomy

1. HD/MUH/T. 648/2017 Alli Khamis Hamadi ME

MSc. Biochemistry

2. HD/MUH/T.01/2016 Felix Abdallah Tarimo ME

3. HD/MUH/T.02/2016 Ismael Chatita Adolf ME

4. HD/MUH/T.07/2015 Hamida Gugu KE

MSc. Clinical Psychology

5. HD/MUH/T.06/2017 Rachel Jared Mtei KE

6. HD/MUH/M.09/2017 Thuto Salepito KE

MSc. Histotechnology

7. HD/MUH/T.12/2017 Ponsianus Tadei Thonya ME

8. HD/MUH/T.13/2017 Sumaiya AbdualRauf Haddadi KE

MSc. Microbiology and Immunology

9. HD/MUH/T.14/2017 Emmanuel George Mang'ombe ME

10. HD/MUH/T.17/2017 Colman Evarist Mchau ME

11. HD/MUH/T.20/2017 Ambele Mawazo Mwandigha ME

12. HD/MUH/T.11/2016 Akili Mwakabhana Mawazo ME

13. HD/MUH/T.13/2016 Obadia Maxon Mwakasyuka ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA

SAYANSI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KATIKA

FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI.”

113. HD/MUH/T.430/2016 John Michael Mtei ME

114. HD/MUH/T.205/2016 Franklyn Charles Bagenda ME

115. HD/MUH/T.212/2016 Elisia Phillip Mpango KE

116. HD/MUH/T.226/2015 Ahmed Abubakar Ahmed ME

117. HD/MUH/T.231/2015 James Clement Zakaria ME

MMed. Urology

118. HD/MUH/T.214/2016 Titus Ndimbo ME

119. HD/MUH/T.216/2016 Theoflo Nahum Mmbando ME

120. HD/MUH/T.428/2016 David S Mgaya ME

Page 18: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

13

11.3 DIGRII YA UZAMILI YA UDAKTARI WA KINYWA NA MENO

(Master of Dentistry – MDent)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi wane (4) wamefuzu na

wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Udaktari wa Kinywa na Meno yaani “Master of

Dentistry”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima

kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Udaktari wa Kinywa na

Meno katika fani mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

MDent Oral and Maxillofacial Surgery

1. HD/MUH/T.233/2016 Abbas Mussa Mungia ME

2. HD/MUH/T.234/2016 Kanankira Anandumi ME

MDent Restorative Dentistry

3. HD/MUH/T.237/2016 Chermine Imtiyazali Nasser KE

MDent Community Dentistry

4. HD/MUH/T.238/2016 Albert J. M Mnyanzilu ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA

UDAKTARI WA KINYWA NA MENO, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI

SHIRIKISHI MUHIMBILI KATIKA FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA

MAHAFALI.”

11.4 DIGRII YA UZAMILI YA UFAMASIA

(Master of Pharmacy – MPharm)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sita (6) wamefuzu na

wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Ufamasia yaani “Master of Pharmacy” ya

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kumhudhurisha mbele

yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Famasia katika fani mbalimbali kama

ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali.”

Na. Na. ya Udahili Jina Ulilopewa Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

MPharm Hospital and Clinical Pharmacy

1. HD/MUH/T.239/2016 Tatu Estomih Lyimo KE

2. HD/MUH/T.242/2016 Ritha Pantaleo Awe KE

MPharm Quality Control and Quality Assurance

3. HD/MUH/T.247/2016 Emiliana Nyafungo Francis KE

4. HD/MUH/T.248/2016 Damas Simon Mahenda ME

MPharm Pharmacognosy

5. HD/MUH/T.276/2017 Rajabu Mohamedi Kingo ME

MPharm Medicinal Chemistry

6. HD/MUH/T.278/2017 Paul Malaba ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NINAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA

UFAMASIA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”

Page 19: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

14

11.5 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI YA AFYA YA JAMII

(Master of Public Health – MPH)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sitini na tatu (63)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi za Afya ya Jamii yaani

“Master of Public Health”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina

heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya uzamili ya Sayansi za Afya ya

Jamii.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. HD/MUH/T.318/2016 Mariam Mohamed El-Maamry KE

2. HD/MUH/T.322/2016 Hellen Nchagwa Mwita KE

3. HD/MUH/T.419/2017 Okumu Ayaga Were ME

4. HD/MUH/T.426/2017 Hellen Kajala Sally KE

5. HD/MUH/T.429/2017 Fredy Gungavanu Kivamba ME

6. HD/MUH/T.446/2017 Amina Uttu Kingo KE

7. HD/MUH/T.303/2016 Ismail Omary Luhwavi ME

8. HD/MUH/T.334/2016 Bernard Kepha David ME

9. HD/MUH/T.336/2016 Otmar Massawa ME

10. HD/MUH/T.338/2016 Frank Jasper Lyimo ME

11. HD/MUH/T.342/2016 Deogratius Joseph ME

12. HD/MUH/T.350/2016 Kennedy Nicholaus ME

13. HD/MUH/T.364/2016 William Yotham ME

14. HD/MUH/T.365/2016 Lucas David Ngamtwa ME

15. HD/MUH/T.301/2016 Innocent Mhagama ME

16. HD/MUH/T.396/2015 Happiness Willbroad Kyamanywa KE

17. HD/MUH/T.405/2015 Pendo Said KE

18. HD/MUH/T.419/2015 Laura Charles Urasa KE

19. HD/MUH/T.421/2015 Dionis Masanja Shimbi ME

20. HD/MUH/T.422/2015 Goodluck Eliakim Mwanga ME

21. HD/MUH/T.423/2015 Cyprian Paul Magere ME

22. HD/MUH/T.426/2015 Ramadhani Hassani Nauja ME

23. HD/MUH/T.427/2015 Asheri Barankena ME

24. HD/MUH/T.429/2015 Leo Haule ME

25. HD/MUH/T.430/2015 Geofrey Tarimo ME

26. HD/MUH/T.431/2015 Samwel Ally Laizer ME

27. HD/MUH/T.434/2015 Ferdinand Francis Nachenga ME

28. HD/MUH/T.435/2015 Zuhura Mlupilo Mawona KE

29. HD/MUH/T.441/2015 Optatus Malewo ME

30. HD/MUH/T.444/2015 Karim Mohamed ME

31. HD/MUH/T.445/2015 Joseph Siminzile ME

32. HD/MUH/T.446/2015 Joel Lunyungu ME

33. HD/MUH/T.450/2015 George Chombe Msalale ME

34. HD/MUH/T.454/2015 Salome N.K. Maguzu KE

35. HD/MUH/T.455/2015 Godfrey Thomas Obonyo ME

36. HD/MUH/T.456/2015 Athuman Chota ME

Page 20: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

15

37. HD/MUH/T.492/2015 Walemba Krispin Livigha ME

38. HD/MUH/T.527/2015 Nyiro Benedict Chidzao ME

39. HD/MUH/T.452/2015 Faraja Paul Maputa KE

40. HD/MUH/T.279/2016 Kulwa Jonathan Shimiyu ME

41. HD/MUH/T.378/2017 Theresia Amandus Manace KE

42. HD/MUH/T.401/2017 Denis Kalabi Nyakilinga ME

43. HD/MUH/T.403/2017 Mwajuma Maliki Nyika KE

44. HD/MUH/T.404/2017 Jamila Juma Zaarh KE

45. HD/MUH/T.405/2017 Godwin Minga ME

46. HD/MUH/T.406/2017 Emmanuel Wilbert Ng'hambi ME

47. HD/MUH/T.407/2017 Oscar Benford Mwaibabile ME

48. HD/MUH/T.408/2017 Haji Khatib Fakih ME

49. HD/MUH/T.409/2017 Aminatha Arsen Kashangaki KE

50. HD/MUH/T.410/2017 Ally Rajabu ME

51. HD/MUH/T.412/2017 Mastai Hindi Hindi ME

52. HD/MUH/T.415/2017 Sebastian Neddy Siwale ME

53. HD/MUH/T.416/2017 Calvin Mbora Mwasha ME

54. HD/MUH/T.418/2017 Defrosa Peter Lyimo ME

55. HD/MUH/T.547/2018 Jackline Narcis KE

56. HD/MUH/T.551/2018 Luwoneko Bryceson Mbilinyi ME

57. HD/MUH/T.552/2018 Julieth Rugakila KE

58. HD/MUH/T.555/2018 Minael John Kilimba KE

59. HD/MUH/T.559/2018 Hilder Erick Mushi KE

60. HD/MUH/T.569/2018 Hadija Rajabu KE

61. HD/MUH/T.574/2018 Genchwele Makenge ME

62. HD/MUH/T.578/2018 Beatus Simon ME

63. HD/MUH/T.530/2018 Kija David Lusenga KE

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA

SAYANSI ZA AFYA YA JAMII, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI

MUHIMBILI.”

11.6 DIGRII YA UZAMILI YA MAADILI (Master of Bioethics – MBE)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi watano (5) wamefuzu na

wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Maadili ‘‘Master of Bioethics’’ ya Chuo Kikuu

cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili

uwatunukie Digrii ya uzamili ya Maadili.”

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. HD/MUH/T.311/2017 Lazaro Amon Solomon Haule ME

2. HD/MUH/T.312/2017 Osward Vedasto ME

3. HD/MUH/T.313/2017 Emmachius Emmanuel ME

4. HD/MUH/T.314/2017 Ndakibae Mabega ME

5. HD/MUH/T.319/2017 Halima Mwaisungu ME

Page 21: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

16

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA

MAADILI YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”

11.7 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI (SKULI YA SAYANSI YA AFYA YA JAMII)

(Master of Science – MSc)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi thelathini na sita (36)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi yaani “Master of

Science”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima

kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Sayansi katika fani

mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

MSc. Applied Epidemiology

1. HD/MUH/T.321/2017 Neema Joseph Nagu KE

2. HD/MUH/T.322/2017 Ally Kassim Hussein ME

3. HD/MUH/T.323/2017 Catherine Gale Gitige KE

4. HD/MUH/T.324/2017 Florence George Samizi KE

5. HD/MUH/T.325/2017 Ambakisye Kuyokwa Mhiche ME

6. HD/MUH/T.326/2017 Danstan Pascal Ngenzi ME

7. HD/MUH/T.328/2017 Jane Elirehema Mcharo KE

8. HD/MUH/T.330/2017 Boniphace Jacob ME

9. HD/MUH/T.333/2017 Charles Dismas Mwalimu ME

10. HD/MUH/T.336/2017 Henry Donart Kissinga ME

11. HD/MUH/T.337/2017 Aidat Khalid Mugula KE

MSc. Environment and Occupational Health

12. HD/MUH/T.338/2017 Peter Martin Chilipweli ME

13. HD/MUH/T.339/2017 Epaphroditus Canute Sabuni ME

14. HD/MUH/T.340/2017 Luco Patson Mwelange ME

15. HD/MUH/T.341/2017 Khadija Ramadhani Makame KE

16. HD/MUH/T.342/2017 Shuku Charles Kaishwa KE

17. HD/MUH/T.343/2017 Evamary Ludovick KE

MSc. Epidemiology and Laboratory Management

18. HD/MUH/T.348/2017 Mercy Epafra Anga ME

19. HD/MUH/T.349/2017 Goodluck Eliakim Mwanga ME

20. HD/MUH/T.351/2017 Khamis Bilal Ali ME

21. HD/MUH/T.354/2017 Sia Robert Temu KE

22. HD/MUH/T.355/2017 Onna Duuma Panga ME

MSc. Parasitology and Medical Entomology

23. HD/MUH/T.380/2017 Ummul-Khair Mustafa KE

24. HD/MUH/T.381/2017 Franco Ngonya ME

MSc. Project Management, Monitoring and Evaluation in Health

25. HD/MUH/T.566/2017 Edith Gabriel Masuki KE

26. HD/MUH/T.571/2017 Pankras Wilbard Luoga ME

27. HD/MUH/T.578/2017 Binto Mawazo Binto ME

28. HD/MUH/T.579/2017 Bakar Omar Abass ME

29. HD/MUH/T.583/2017 Asma Mohammed Said KE

Page 22: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

17

30. HD/MUH/T.589/2017 Shaaban Hassan Haji ME

31. HD/MUH/T.592/2017 Asha Khamis Mwadachi KE

32. HD/MUH/T.594/2017 Ahmed Suleiman Said ME

33. HD/MUH/T.603/2017 Ruth Raymond Ngowi KE

34. HD/MUH/T.605/2017 Joel Elia Mwanga ME

35. HD/MUH/T.611/2017 Salim Juma Mpimbi ME

36. HD/MUH/T.379/2017 Lengai Edward ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA

SAYANSI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KATIKA

FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI.”

10.8 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI - SKULI YA UUGUZI

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, jumla ya wanafunzi kumi na tatu (13)

Wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi yaani “Master of

Science” katika Skuli ya Uuguzi ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.

Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Sayansi katika

fani mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha Mahafali.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

MSc. Nursing Mental Health

1. HD/MUH/T.308/2017 Mussa Rashid Mussa ME

MSc. Nursing Critical Care and Trauma)

2. HD/MUH/T.300/2017 Dorcas Gidion Magawa KE

3. HD/MUH/T.301/2017 Esther Masonic Kindishe KE

4. HD/MUH/B.303/2017 Jeremie Minani ME

5. HD/MUH/T.306/2017 Esther John Magele KE

6. HD/MUH/T.307/2017 Happiness Damas KE

7. HD/MUH/T.302/2017 Rehema Danford Mlay KE

MSc. Midwifery and Women’s Health

8. HD/MUH/T.285/2017 Alex Jacob Nyaruchary ME

9. HD/MUH/T.286/2017 Livuka Nsemwa KE

10. HD/MUH/T.289/2017 Ernest Ruseswa Teyumwete ME

11. HD/MUH/T.292/2017 Anna Leonce Babu KE

12. HD/MUH/T.294/2017 Mwajuma Khuzaymatu Mutabazi KE

13. HD/MUH/T.295/2017 Edina Lawrence Mathayo KE

MKUU MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA

SAYANSI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KATIKA

FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI.”

11.9 DIGRII YA UZAMILI YA KUENDELEZA TIBA ZA ASILI

(Master of Science – MSc. Traditional Medicine Development

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi watatu (3) wamefuzu na

wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi ya Kuendeleza Tiba za Asili yaani

Page 23: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

18

“Master of Science in Traditional Medicine Development” ya Chuo Kikuu cha Afya na

Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie

Digrii ya Uzamili ya kuendeleza Tiba za Asili.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. HD/MUH/T.636/2017 Latifa Juma KE

2. HD/MUH/T.637/2017 Mashin Yahaya Mashin ME

3. HD/MUH/T.638/2017 Michael Clovis ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA

SAYANSI YA KUENDELEZA TIBA ZA ASILI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI

SHIRIKISHI MUHIMBILI.”

11.10 DIGRII YA SAYANSI YA UZAMILI KWA NJIA YA UTAFITI NA MACHAPISHO

(Master of Science by Research and Publications)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi watano (5) wamefuzu na

wanastahili kutunukiwa Digrii ya Sayansi ya Uzamili kwa Njia ya Utafiti na Machapisho

yaani “Master of Science by Research and Publications” ya Chuo Kikuu cha Afya na

Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie

Digrii ya Sayansi ya Uzamili kwa Njia ya Utafiti na Machapisho.”

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia

MSc in Ethnobotany and Molecular Plant Systematics (ITM)

1. HD/MUH/T.416/2016 Samson Hilonga ME

2. HD/MUH/T.21/2015 Dativa Pereus KE

MSc in Laboratory Haematology and Immunology (SoM)

3. HD/MUH/T.431/2016 Yohana S. Mtali ME

MSc in Paediatrics Nutrition – SoM

4. HD/MU/T.151/2012 Scholastica James KE

MSc in Pre-Hospital Emergency Care – SoN

5. HD/MUH/T.432/2016 Gift G. Lukumay ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA SAYANSI YA

UZAMILI KWA NJIA YA UTAFITI NA MACHAPISHO KAMA ILIVYOORODHESHWA

KWENYE KITABU CHA MAHALI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI

MUHIMBILI.”

12.0 NAIBU MAKAMU MKUU WA CHUO – TAALUMA, UTAFITI NA USHAURI WA

KITAALUMA (The Deputy Vice Chancellor – Academic, Research and Consultancy)

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma atasimama na

kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, sasa ninamkaribisha Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyuo vya

Sayansi Shirikishi za Afya wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili,

awahudhurishe mbele ya mahafali wanafunzi waliofuzu ili upate kuwatunukia Diploma

wanazostahili kwa utaratibu kama ulivyopangwa”.

Page 24: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

19

12. 1 MKURUGENZI WA TAASISI YA VYUO VYA SAYANSI SHIRIKISHI ZA AFYA

(Director Institute of Allied Health Sciences)

Atasimama ili kuwahudhurisha wahitimu mbalimbali kutoka katika Taasisi yake mbele ya

Mkuu wa Chuo. Akiishatoa heshima Kwa Mkuu wa Chuo atasema:

12.1.1 DIPLOMA YA SAYANSI ZA UFUNDI MAABARA YA TIBA

Diploma in Medical Laboratory Sciences (DMLS)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi thelathini na sita (36)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Sayansi za Ufundi Maabara ya Tiba yaani

“Diploma in Medical Laboratory Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi,

Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya Sayansi za

Ufundi Maabara ya Tiba.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia

1. 2016-02-09628 Khanifa Ally Abdallah KE

2. 2016-02-09700 Ritha M. Bonaventure KE

3. 2016-02-09595 Isaac Josephat Chengula ME

4. 2016-02-10228 Waraka Christopher ME

5. 2015-02-09376 Cecilia M. Emmanuel KE

6. 2016-02-10219 Edwin Makibonya Evarist ME

7. 2016-02-10264 Adamu Faraji ME

8. 2016-02-09624 Kassim Saidi Hassan ME

9. 2016-02-09607 Jeremiah Justine ME

10. 2016-02-10221 Witnes Alex Kabika KE

11. 2016-02-10223 Gideon T. Kahulandanga ME

12. 2016-02-09573 Gershon V. Kelebuka ME

13. 2016-02-09660 Naomi M. Kibinda KE

14. 2016-02-09601 Jackson Laizer ME

15. 2016-02-09542 Elizabeth Alam Lilaniga KE

16. 2016-02-09677 Osward N. Mally ME

17. 2016-02-09647 Michael P. Michael ME

18. 2016-02-09671 Nuru Y. Msuya ME

19. 2015-02-09371 Rose V. Munishi KE

20. 2016-02-09505 Aswile Richard Mwakajeba ME

21. 2016-02-10226 Bahati Mwakilasa ME

22. 2016-02-10224 Anneth Ngarami KE

23. 2016-02-10220 Madoshi Richard ME

24. 2016-02-10108 Teddy Samwel KE

25. 2016-02-09657 Mwanaisha Z. Sembe KE

26. 2016-02-10099 Shadrack N. Sholla ME

27. 2016-02-09625 Kelvin Ludovick Sindani ME

28. 2016-02-09567 Francisco John Sungwa ME

29. 2016-02-09676 Omary Swalehe ME

30. 2015-02-09243 Bonanga Jumanne Maneno ME

Page 25: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

20

31. 2014-02-07540 Nicodemus E. Kyamba ME

32. 2015-02-08951 Richard R. Massamu ME

33. 2015-02-08980 Safina Soter Nchimbi KE

34. 2014-02-07402 Marco K. Henerco ME

35. 2015-02-08189 Anthony Sulula ME

36. 2015-02-09337 Johnson Julius Kishada ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA SAYANSI ZA

UFUNDI MAABARA YA TIBA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI,

MUHIMBILI.”

12.1.2 DIPLOMA YA SAYANSI ZA AFYA YA MAZINGIRA

Diploma in Environmental Health Sciences (DEHS)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sitini na sita (66)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Sayansi za Afya ya Mazingira yaani

“Diploma in Environmental Health Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

Shirikishi, Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya

Sayansi za Afya ya Mazingira.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia

1. 2016-02-09495 Amandus Sospeter Simbaulanga ME

2. 2016-02-09500 Asha M Hassan KE

3. 2016-02-09510 Baraka Justine ME

4. 2016-02-09522 Christopher Isaya Ntagomegwa ME

5. 2016-02-09537 Editha A Ringo KE

6. 2016-02-09572 Gerard Jonas Jalome ME

7. 2016-02-09577 Glory Elimuu Salema KE

8. 2016-02-09591 Humphrey Brastus ME

9. 2016-02-09599 Israel Philemon ME

10. 2016-02-09609 Johannes Kenfas Mahenge ME

11. 2016-02-09633 Loiness J Mbago KE

12. 2016-02-09634 Loisulye K Ngaleson ME

13. 2016-02-09650 Monica William KE

14. 2016-02-09684 Paul Charles ME

15. 2016-02-10100 Sifa A Mwakaniemba ME

16. 2016-02-10105 Stephano S Safiel ME

17. 2016-02-10122 Wahda S Lubawa KE

18. 2015-02-08926 Rahel Ambakisye Kibona KE

19. 2015-02-09052 Stellah Peter Biseko KE

20. 2015-02-08427 Irene Leonard Chigalula KE

21. 2015-02-08709 Mhuto Daniel Sahali ME

22. 2016-02-09603 January G Msemakweli ME

23. 2016-02-10196 Yudatadei Didas Mmasi ME

24. 2016-02-09635 Lubinza Martine ME

Page 26: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

21

25. 2016-02-10127 Yasinta P Kibali KE

26. 2016-02-09575 Gisela Joseph KE

27. 2016-02-09483 Abbia Micheal KE

28. 2016-02-09610 John Aloyce ME

29. 2016-02-09583 Hamida Iddy Soko KE

30. 2016-02-09590 Herieth Apolinary Masawe KE

31. 2016-02-09638 Magreth M Livinus KE

32. 2016-02-09701 Robert J Mwiga ME

33. 2016-02-09646 Maureen Martin Magagura KE

34. 2016-02-09566 Festo William Simbagiye ME

35. 2016-02-09492 Ali Jabu ME

36. 2016-02-09576 Gittu Mandago Jidamva ME

37. 2016-02-09582 Hamida H Mnaroma KE

38. 2016-02-09517 Brighton Albert Luambano ME

39. 2016-02-10190 Angel Frank KE

40. 2016-02-09666 Nkanda C Martine ME

41. 2016-02-09600 Issa Iddi Ahmadi ME

42. 2016-02-09521 Christopher Chengula ME

43. 2015-02-08587 Lyambogo J Malembo ME

44. 2016-02-10212 Glory Y Foya KE

45. 2016-02-09704 Rojas Mwang’amba ME

46. 2016-02-10213 Kelvin Kelvin Mrope ME

47. 2016-02-09694 Rajabu Mlowe ME

48. 2016-02-09485 Abdallah Iddi Kivugo ME

49. 2016-02-09497 Aneth Kisiri Swai KE

50. 2016-02-09498 Angela Sostenes Kossey KE

51. 2016-02-09507 Aziz - Maulid ME

52. 2016-02-09511 Baraka Ramadhani Kasyupa ME

53. 2016-02-09543 Elizabeth - Nathaniel KE

54. 2016-02-09598 Ismail Rashid Ally ME

55. 2016-02-09617 Josephine Ludovick Sindani KE

56. 2016-02-09619 Julieth George Kakolaki KE

57. 2016-02-09623 Kamota - Yohana ME

58. 2016-02-09629 Leah Godfrey Leonard KE

59. 2016-02-09663 Ngasa Paulo Mashauri ME

60. 2016-02-09673 Olais Reuben Mollel ME

61. 2016-02-09675 Oliva Melkiad Mwizarubi KE

62. 2016-02-09697 Reinhard - Vicent ME

63. 2016-02-10104 Sophia Ally Songoro KE

64. 2016-02-10120 Venance Partson Edward ME

65. 2016-02-10216 Mustafa Hassan Kibwana ME

66. 2016-02-10217 Peter Rafael Masilili ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA SAYANSI ZA

AFYA YA MAZINGIRA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI,

MUHIMBILI.”

Page 27: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

22

12.1.3 DIPLOMA YA RADIOGRAFIA YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA

Diploma in Diagnostic Radiography (DDR)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi ishirini na tisa (29)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Radiografia ya Uchunguzi wa Magonjwa

yaani “Diploma in Diagnostic Radiography”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi,

Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya

Radiografia ya Uchunguzi wa magonjwa.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia

1. 2016-02-09480 Abbas Ally Mtukusye ME

2. 2016-02-09484 Abbdallah S. Kaniki ME

3. 2016-02-09489 Agnes J. Namwereni KE

4. 2016-02-09508 Azizi Mkubwa ME

5. 2016-02-09509 Bakari J. Bakari ME

6. 2016-02-09514 Boniface G. Mrema ME

7. 2016-02-09538 Eliazali S. Lukinisha ME

8. 2016-02-09544 Ellen Peter KE

9. 2016-02-10173 Eloy Alex Pongo ME

10. 2016-02-09545 Elvis S. Mwasubila ME

11. 2016-02-09557 Eva J. Mwazembe KE

12. 2016-02-10179 Fatuma N. Nassoro KE

13. 2016-02-09581 Haiba Seif Said KE

14. 2016-02-10180 Herieth Makono KE

15. 2016-02-09592 Ibrahim Hussein ME

16. 2016-02-10177 Jackline Steven Shaka KE

17. 2016-02-10171 Kasabalala Issa Ally ME

18. 2016-02-10178 Malik Absheikh Gillah ME

19. 2016-02-09668 Nshoma Dotto Nungwa KE

20. 2016-02-09669 Ntanda Masanja ME

21. 2016-02-09674 Olimpa Steven KE

22. 2016-02-09690 Petro Steven Ngo'ga ME

23. 2016-02-09695 Ramadhan A Ramadhan ME

24. 2016-02-09702 Robert John Machange ME

25. 2016-02-10167 Salim Robert Masige ME

26. 2016-02-10107 Suleiman Shuwali Mjenga ME

27. 2016-02-10102 Sylvester N. Ntakandi ME

28. 2015-02-09267 Emmanuel Gedi ME

29. 2013-04-06634 Hillary Francis Ndeng'aso ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA RADIOGRAFIA

YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI

SHIRIKISHI, MUHIMBILI.”

Page 28: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

23

12.1.4 DIPLOMA YA TEKNOLOJIA YA VIUNGO

Diploma in Orthopaedic Technology (DOT)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi kumi na nne (14)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Teknolojia ya Viungo yaani “Diploma in

Orthopaedic Technology”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili. Nina

heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya Teknolojia ya Viungo.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia

1. 2016-02-10106 Steven Julius Chambua ME

2. 2016-02-10267 Paulina Elias Mweliimbange KE

3. 2016-02-10265 Dioto Frans Tangeni ME

4. 2016-02-09643 Mary Joseph Magese KE

5. 2016-02-09493 Ally Ramadhani Jumanne ME

6. 2016-02-09651 Morine Gideon Kyando KE

7. 2016-02-09558 Evance Archibold Maimu ME

8. 2016-02-09589 Hassan Jabir Mohamed ME

9. 2016-02-10110 Tumlaki Festo Msigwa ME

10. 2016-02-09532 Devota Damas Mwezi KE

11. 2016-02-10123 William Richard Mwite ME

12. 2016-02-09530 David Zakayo Semba ME

13. 2016-02-10268 Amani Saeed Sharyan KE

14. 2016-02-10266 Nestor Ndeunyema Shoongo ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA TEKNOLOJIA YA

VIUNGO, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI, MUHIMBILI.”

12.1.5 DIPLOMA YA SAYANSI ZA UFAMASIA

Diploma in Pharmaceutical Sciences (DPS)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi ishirini na nne (24)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Sayansi za Ufamasia yaani “Diploma in

Pharmaceutical Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili. Nina

heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya Sayansi za Ufamasia.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia

1. 2016-02-09526 Daniel Raymond Wawa ME

2. 2016-02-09597 Ismail H. Juma ME

3. 2016-02-09556 Euphraim Venance Banigwa ME

4. 2016-02-09520 Christina F. Mark KE

5. 2016-02-09626 Kennedy A. Mwangamilo ME

6. 2016-02-09491 Akram H. Mzarubu ME

7. 2016-02-09649 Mnyamierick Elias Mayalla ME

8. 2016-02-09555 Erick Daniel Simba ME

9. 2016-02-10256 Frank Elibariki Kimoho ME

10. 2016-02-10252 Mark Abedi Omary ME

11. 2016-02-10247 Jackson Ally Mkubwa ME

Page 29: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

24

12. 2016-02-10260 Athanas Amos ME

13. 2016-02-10261 Hawa Maximillian Nditi KE

14. 2016-02-10249 Lawrance Charles ME

15. 2016-02-10992 Samwel A. Mwaigomole ME

16. 2016-02-10255 Mustafa Ngaja ME

17. 2016-02-10259 Irene Abraham Gettachew KE

18. 2016-02-10258 Peter Joseph Hilbajojo ME

19. 2016-02-10263 Adam S. Sarota ME

20. 2015-02-09331 Kelvin Kache Erasto ME

21. 2015-02-08321 Emmanuel Maduhu Lupiganchenga ME

22. 2015-02-09419 Rowlings M. Kilepo ME

23. 2015-02-08607 Maimuna Ahmed Simbah KE

24. 2014-02-07490 Sanjo Vermund Msemwa ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA SAYANSI ZA

UFAMASIA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI, MUHIMBILI.”

12.1.6 DIPLOMA YA UUGUZI

Diploma in Nursing (DN)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi ishrini na tisa (29)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Uuguzi yaani “Diploma in Nursing”, ya

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili. Kabla ya kuwahudhurisha hawa

mbele yako naomba uniruhusu nimwombe Mkuu wa Skuli ya Uuguzi awalishwe kiapo cha

uaminifu na Utii wa Miiko ya Uuguzi.”

Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Wauguzi

wote walioko katika mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Uuguzi atasoma kiapo akiinua

mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Wauguzi wataketi baada

ya kiapo.

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie

Diploma ya Uuguzi.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia

1. 2015-02-09341 Lucy Aloyce Pius KE

2. 2016-02-09652 Moses M Andrea ME

3. 2016-02-09661 Neema Anthorney KE

4. 2016-02-10128 Yasinta Silivery Bingwa KE

5. 2016-02-09698 Revocastus Dotto ME

6. 2016-02-09562 Faraji Ayubu Duma ME

7. 2016-02-09622 Justini Godfrey Francis ME

8. 2016-02-09564 Fatma B Issa KE

9. 2016-02-09503 Ashfat A Kalokola KE

10. 2016-02-09616 Josephina J Luhanda KE

11. 2016-02-09658 Mwanaulu Mbaraka Mbwana KE

Page 30: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

25

12. 2016-02-10101 Silvina Edward Mgaya KE

13. 2016-02-10244 Mwanafatma Mikidadi KE

14. 2016-02-09549 Emmanuel A Mollam ME

15. 2016-02-09662 Neema E Mpangala KE

16. 2016-02-10111 Tunukiwa N Mtega KE

17. 2016-02-09696 Regina Eliufoo Mwanja KE

18. 2016-02-09632 Linus M Mwelinde ME

19. 2016-02-10245 Bibiana C Njoka KE

20. 2016-02-09586 Happy Joel Nseka KE

21. 2016-02-09655 Mustapha H Shima ME

22. 2016-02-09534 Doreen Michael Sihewa KE

23. 2016-02-10095 Salma Suleiman KE

24. 2016-02-09499 Anitha C Tegamaisho KE

25. 2016-02-10133 Zainabu Thobias KE

26. 2016-02-10239 Damary Michael KE

27. 2016-02-10237 Sunday P Zawadi ME

28. 2013-02-06853 Sindai Mabula ME

29. 2011-02-03862 John M Mirisho ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA UUGUZI, YA

CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI, MUHIMBILI.”

12.1.7 DIPLOMA YA JUU YA DERMATOVENEREOLOJIA

Advanced Diploma in Dermatovenereology (ADDV)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sita (6) wamefuzu na

wanastahili kutunukiwa Diploma ya Juu ya Dermatovenereolojia, yaani “Advanced Diploma

in Dermatovenereology”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili. Nina

heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya Juu ya Elimu ya

Dermatovenereolojia.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia

1. 2017-03-10899 Dan Kwacha ME

2. 2017-03-10989 Tisho Manfred Hadebe ME

3. 2017-03-11022 Jacquiline Haron Nyaboke KE

4. 2017-03-10883 Cecilia Juma KE

5. 2017-03-10862 Evans Awich Nganyi ME

6. 2017-03-11089 Lucy Augustine Mmbando KE

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA JUU YA

DERMATOVENEREOLOJIA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI,

MUHIMBILI.”

Page 31: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

26

13.0 NAIBU MAKAMU MKUU WA CHUO – TAALUMA, UTAFITI NA USHAURI WA

KITAALUMA (The Deputy Vice Chancellor – Academic, Research and Consultancy)

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma atasimama na

kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, sasa ninawakaribisha Wakuu wa Skuli, wa Chuo Kikuu cha

Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili ili wawahudhurishe mbele ya mahafali wanafunzi

waliofuzu upate kuwatunukia digrii wanazostahili kwa utaratibu kama ulivyopangwa.”

13.1 MKUU WA SKULI YA AFYA NA SAYANSI YA JAMII

(Dean, School of Public Health and Social Sciences)

13.1.1 DIGRII YA SAYANSI ZA AFYA YA MAZINGIRA

Bachelor of Science in Environmental Health Sciences (BSc. EHS)

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi thelathini na tatu (33)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Sayansi za Afya ya Mazingira yaani

“Bachelor of Science in Environmental Health Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na

Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie

Digrii ya Sayansi za Afya ya Mazingira.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. 2016-04-10018 Emiliana Charles Oisso KE

2. 2016-04-10019 Juliana Claud Kimario KE

3. 2016-04-10017 Emanuel Clemence ME

4. 2015-04-08291 Jane E Maboto KE

5. 2016-04-09900 Sibilina Erasmi Mushi KE

6. 2016-04-09922 Veronica G Gwisu KE

7. 2016-04-10052 Bahati Hakili ME

8. 2016-04-09776 Godfrey Joseph Lyimo ME

9. 2016-04-09978 Dotto Kasanga ME

10. 2016-04-09915 Asifiwe Julius Kayinga KE

11. 2016-04-09714 Samson Anipokee Kibona ME

12. 2016-04-09976 Shafani Lameck Kimali ME

13. 2016-04-10038 Maria Alexender Kitali KE

14. 2016-04-10146 Alfred Maira ME

15. 2016-04-09901 Selina Marwa KE

16. 2016-04-09972 Samwel Yohan Mbemba ME

17. 2016-04-10162 Shukurani Meshack Mkongwa ME

18. 2016-04-10025 Theresia Peter Mrema KE

19. 2016-04-09771 Zawadi Raphael Msigala ME

20. 2016-04-09989 Eliada M Mwamlima KE

21. 2016-04-09822 Misheki N Mwamlima ME

22. 2016-04-09814 Festo Fiten Mwaniloli ME

23. 2016-04-09783 Mathew Michael Mwaulambo ME

24. 2016-04-10039 Winifrida Dominic Ngassa KE

25. 2016-04-09903 Juliana Thade Olomi KE

Page 32: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

27

26. 2016-04-10048 Safia Said KE

27. 2016-04-10147 Margareth Blasi Seleki KE

28. 2016-04-09981 Edina L Seleman KE

29. 2016-04-09831 Ramadhani Sufiani ME

30. 2016-04-09868 Anturu Christiani Tesha ME

31. 2016-04-09985 Angel Tukiko KE

32. 2016-04-09983 Furaha Jimmy Twendege ME

33. 2016-04-09982 Vaileth Valen KE

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA SAYANSI ZA

AFYA YA MAZINGIRA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI

MUHIMBILI.”

13.2 MKUU WA SKULI YA UUGUZI

(Dean, School of Nursing)

Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sitini na tano (65)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uuguzi na Digrii ya Ukunga. Kabla ya

kuwahudhurisha hawa mbele yako naomba uniruhusu niwalishe Kiapo cha Uaminifu na Utii

wa Miiko ya Uuguzi na Ukunga.”

Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Wauguzi

wote walioko katika Mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Uuguzi atasoma kiapo akiinua

mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Wauguzi wataketi baada

ya kiapo.

13.2.1 DIGRII YA UUGUZI

Bachelor of Science in Nursing (BSc. Nursing)

Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi arobaini na mbili (42)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uuguzi yaani “Bachelor of Science in

Nursing”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ------ waliopo ili

uwatunukie Digrii ya Uuguzi.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. 2014-04-07288 John Pius ME

2. 2015-04-08221 Anacletus Bernard ME

3. 2015-04-08247 Boniface N Chengula ME

4. 2015-04-08262 Leinfrida Cornely KE

5. 2015-04-08301 Mugurus Elius ME

6. 2015-04-08314 God Emmanuel ME

7. 2015-04-08342 Tionila Lucas Fissoo KE

8. 2015-04-08366 Aidan Gilles ME

Page 33: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

28

9. 2015-04-08971 Ali S Hamad ME

10. 2015-04-08421 Athuman Hango Iddi ME

11. 2015-04-08457 Judith John KE

12. 2015-04-08511 Eliud Ezekiel Kasule ME

13. 2015-04-08530 Judith Ruben Kileofasi KE

14. 2015-04-08559 Zaituni Rashidi Langi KE

15. 2015-04-08560 Hairun Tunu Lashku KE

16. 2015-04-08600 Nicholaus Magida ME

17. 2015-04-08640 Charles Marwa ME

18. 2015-04-08692 Benedicto Tenson Mgala ME

19. 2015-04-08702 John S Mhando ME

20. 2015-04-08708 Paschal Izack Mhuhi ME

21. 2015-04-08723 Isaka Haroun Mlimbo ME

22. 2015-04-08741 Paschal Masanja Mpampa ME

23. 2015-04-08743 Raban R Mpinzile ME

24. 2015-04-08786 Happy H Mwakatobe KE

25. 2015-04-09195 Siraji Issa ME

26. 2015-04-08790 Ipyana G Mwakyami ME

27. 2015-04-08821 Emitodi Aron Ndaluboneye ME

28. 2015-04-08857 Daniel Charles Nkoboke ME

29. 2015-04-08858 Emmanuel Nkuba ME

30. 2015-04-08876 Suzana Nyanzila KE

31. 2015-04-08884 Roselyne Achieng Okello KE

32. 2015-04-08895 Anyango Alice Otieno KE

33. 2015-04-08937 Samwel Meshlyeki Rariani ME

34. 2015-04-08964 Modesta Rukoijo KE

35. 2015-04-08988 Mashaka Salehe ME

36. 2015-04-09003 Amos K Samsoni ME

37. 2015-04-09009 Frank Peter Samweli ME

38. 2015-04-09033 Mashaka Shitungulu ME

39. 2015-04-09040 Maneno Sigwa ME

40. 2015-04-09066 Christina J Tarimo KE

41. 2015-04-09080 Orestha Malyatabu Thomas ME

42. 2015-04-09104 Abu B Wikechi ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UUGUZI YA CHUO

KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”

13.2.2 DIGRII YA UKUNGA

Bachelor of Science, Midwifery (BSc. Midwifery)

Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:

‘’Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi ishirini na tatu (23)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Ukunga yaani “Bachelor of Science,

Page 34: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

29

Midwifery”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.” Nina heshima

kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Ukunga.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. 2015-04-08176 Baraka Amanyisye ME

2. 2015-04-08244 Peter Charles ME

3. 2015-04-08378 Damian Gregory ME

4. 2015-04-08382 Hamisi Yusufu Habibu ME

5. 2015-04-08404 Anord Heneryco ME

6. 2015-04-08450 Wiliam Japheth ME

7. 2015-04-08565 Ntiga Leonard ME

8. 2015-04-08605 Diana Stephano Mahundi KE

9. 2015-04-08652 Epimack Raymond Massawe ME

10. 2015-04-08669 Kashindye Maziku KE

11. 2015-04-08695 Shuhudia Sebastian Mgedzi ME

12. 2015-04-09123 Shabaan Z Mohammed ME

13. 2015-04-08753 Mediana M Mswima KE

14. 2015-04-08772 Neema Mushi KE

15. 2015-04-08777 Tatizo Mussa ME

16. 2015-04-08798 Emmanuel P Mwanga ME

17. 2015-04-08797 Nusura H Mwanga KE

18. 2015-04-08828 Faizat Bashir Ndosa KE

19. 2015-04-08838 Godfrey P Ngaya ME

20. 2015-04-08861 Agatha Norbert KE

21. 2015-04-08969 Rwegasira Rwemela ME

22. 2015-04-09061 Felista W Swai KE

23. 2015-04-08522 Evance Honest Kessy ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UKUNGA YA CHUO

KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”

13.3 MKUU WA SKULI YA MENO

(Dean, School of Dentistry)

13.3.1 DIGRII YA UDAKTARI WA AFYA YA KINYWA NA MENO

Doctor of Dental Surgery (DDS)

Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi arobaini na mbili (42)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Udaktari wa Afya ya Kinywa na Meno yaani

“Doctor of Dental Surgery”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.

Kabla ya kuwahudhurisha hawa mbele yako naomba uniruhusu niwalishe Kiapo cha

Uaminifu na Utii wa Miiko ya Udaktari.”

Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Madaktari

wote wa meno walioko katika Mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Meno atasoma kiapo

Page 35: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

30

akiinua mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Madaktari wa

meno wataketi baada ya kiapo.

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie

Digrii ya Udaktari wa Afya ya Kinywa na Meno.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. 2014-04-07852 Irene Alfred KE

2. 2014-04-07217 Hapiness Alphonce KE

3. 2014-04-07689 Seph Abdilah Alute ME

4. 2014-04-07085 Dwarika Avnish Bhatt KE

5. 2014-04-07125 Epipodius Bimbona ME

6. 2014-04-07136 Fadha Adam Buliba ME

7. 2014-04-07553 Noela Hidat Daniel KE

8. 2014-04-07400 Marco Leonard David ME

9. 2014-04-07155 Fortunata C Eligi KE

10. 2014-04-07660 Sakina Shabbir Essajee KE

11. 2014-04-07361 Leonard Evarist ME

12. 2014-04-07832 Aliya Ibrahim Gothey KE

13. 2014-04-07638 Robson Imani Inocent ME

14. 2014-04-07727 Suleiman Issa ME

15. 2014-04-07708 Simon James ME

16. 2014-04-07719 Stephen Jamson ME

17. 2014-04-07127 Ernest Bulabo John ME

18. 2014-04-07600 Peter U. Josephat ME

19. 2013-04-05478 Richard Kanijo ME

20. 2014-04-07068 David George Kimingo ME

21. 2014-04-07272 James E Mamboleo ME

22. 2014-04-07794 Innocent D Matemba ME

23. 2014-04-07018 Bernad Matofali ME

24. 2014-04-07289 John S Mbaga ME

25. 2014-04-07659 Saiteru Meijo ME

26. 2014-04-07207 Hamadi Rajabu Miraro ME

27. 2014-04-07571 Odilia Pili Missungwa KE

28. 2014-04-07423 Mashaka Hassan Mrisho ME

29. 2014-04-07406 Mariam Habib Nuru KE

30. 2014-04-07473 Mohamed Omari Nyakasene ME

31. 2014-04-07100 Eliya Stephano Nyamweru ME

32. 2014-04-07151 Flaviana Joseph Nyatu KE

33. 2014-04-07686 Seleman Philimon ME

34. 2014-04-07114 Emmanuel Saganda ME

35. 2014-04-07717 Sospeter Ephraim Sewangi ME

36. 2014-04-07368 Loth Shamliga ME

37. 2014-04-07776 Yeremia Silvanus ME

38. 2014-04-07267 Jacob Leopold Silvini ME

39. 2014-04-07162 Francisca Muzuka KE

Page 36: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

31

40. 2014-04-07113 Emmanuel P Urassa ME

41. 2012-04-04222 Jonas Barugahe ME

42. 2012-04-04339 Maryam M Suleiman KE

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UDAKTARI WA

AFYA YA KINYWA NA MENO, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI

MUHIMBILI.”

13.4 MKUU WA SKULI YA FAMASIA

(Dean, School of Pharmacy)

13.4.1 DIGRII YA UFAMASIA

(Bachelor of Pharmacy (B. Pharm)

Atasimama na kutoa heshima kwa Mgeni wa Chuo, kisha atasema:

“Mhesimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sabini na tano (75)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Ufamasia yaani “Bachelor of Pharmacy”, ya

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Kabla ya kuwahudhurisha hawa mbele

yako naomba uniruhusu niwalishe Kiapo cha Uaminifu na Utii wa Miiko ya Ufamasia.”

Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Wafamasia

wote walioko katika Mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Famasia atasoma kiapo

akiinua mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Wafamasia

wataketi baada ya kiapo.

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie

Digrii ya Ufamasia.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. 2015-04-08194 Daud Aron ME

2. 2015-04-08193 Martine Aron ME

3. 2015-04-08231 Esther Boniface Bulamile KE

4. 2015-04-08233 Grace Bunzil KE

5. 2015-04-08264 John Dahil ME

6. 2015-04-09172 Edifai Edson ME

7. 2015-04-08294 Faustine Mdula Edward ME

8. 2015-04-08350 Leonard G. Fulko ME

9. 2015-04-08395 Geofrey M. Harison ME

10. 2015-04-08466 James R. Jomanga ME

11. 2015-04-08490 Abdul Juma ME

12. 2015-04-08491 Ramadhan Juma ME

13. 2015-04-08497 Peter K. Rweyemamu ME

14. 2015-04-08500 Augustino S. Kahere ME

15. 2015-04-08502 Hadija Idd Kaholla KE

16. 2015-04-08512 Abasi Uwesu Katundu ME

17. 2015-04-08536 Paulo V. Kinyaga ME

Page 37: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

32

18. 2015-04-08542 Ombeni S. Kisamo ME

19. 2015-04-09155 Martha Baliza Kulwa KE

20. 2015-04-08555 Erick Andrea Kusenha ME

21. 2015-04-08562 Sechelela Vincent Lemanya KE

22. 2015-04-08572 Evaline Lomboi KE

23. 2015-04-08603 Innocent F. Mahenge ME

24. 2015-04-08612 Adriano Majaliwa ME

25. 2015-04-08618 Jephter E. Malifa ME

26. 2015-04-08621 Muhsini Maluchila ME

27. 2015-04-08622 Ntilasanwa Manga ME

28. 2015-04-08624 Charles E. Manjira ME

29. 2015-04-08625 Fidelis Francis Manyaki ME

30. 2015-04-08634 Wilson Mariki ME

31. 2015-04-08668 Edward Mayila ME

32. 2015-04-08680 Eugine Mbwilo ME

33. 2015-04-08681 Edward Goodness Mchau ME

34. 2015-04-08700 Baraka Christopher Mhagama ME

35. 2015-04-08716 Dioniz Mussa Misalaba ME

36. 2015-04-09189 Irene Estomihi Mmari KE

37. 2015-04-09169 Samson Constantine Mmasi ME

38. 2015-04-08725 Kija Ilanga Mnada ME

39. 2015-04-09198 Baraka John Mosi ME

40. 2015-04-08745 Asha Mussa Mrindoko KE

41. 2015-04-09174 Goodluck S. Mrusha ME

42. 2015-04-09168 Johnson D. Mshangila ME

43. 2015-04-08752 Adonis G. Msigwa ME

44. 2015-04-08771 Magreth Frank Mushi KE

45. 2015-04-08776 Latifa Hamad Mussa KE

46. 2015-04-08780 David Lucas Mvukie ME

47. 2014-04-07830 George Andrea Mvuma ME

48. 2015-04-08784 Bakineppo Mwakalasya ME

49. 2015-04-08785 Yusuph Mwakatobe ME

50. 2015-04-08787 Gerald Gaspar Mwakatuma ME

51. 2015-04-08822 Baraka S. Ndambo ME

52. 2015-04-08824 Yoel E. Ndegea ME

53. 2015-04-08825 Esther J. Ndegeulaya KE

54. 2015-04-08836 Erasto Ashery Ngailo ME

55. 2015-04-08839 Mary Ngelanija KE

56. 2015-04-08840 Saad S. Ngonwe ME

57. 2015-04-08872 Ng'Wisho Nyalali ME

58. 2015-04-08879 Goodluck G. Nyondo ME

59. 2015-04-08889 Hadija A Omary KE

60. 2015-04-08919 Baraka P. Poyongo ME

61. 2015-04-09000 Erasto Bernard Samizi ME

Page 38: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

33

62. 2015-04-09153 Kulwa Samson ME

63. 2015-04-09004 Winnie Samwel KE

64. 2015-04-09012 Zawadi Ramadhan Seif ME

65. 2015-04-09190 Alfred Silvan ME

66. 2015-04-08313 Meshack Emmanuel Tango ME

67. 2015-04-09119 Yohana Yusufu ME

68. 2014-04-07106 Emanuel Philip Makoi ME

69. 2014-04-07863 Eugene Valence ME

70. 2014-04-07104 Elyuta Tossi ME

71. 2014-04-07307 Josephat Seleman ME

72. 2014-04-07753 Tusankine Zerubabel Nzowa ME

73. 2014-04-07779 Yona Elias ME

74. 2014-04-07818 Rashid Seif Shomary ME

75. 2014-04-07827 Hija A. Salehe ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UFAMASIA, YA

CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”

13.5 MKUU WA SKULI YA TIBA

(Dean, School of Medicine)

13.5.1 DIGRII YA SAYANSI ZA MAABARA YA TIBA

Bachelor of Medical Laboratory Sciences (BMLS)

Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi thelathini na nane (38)

wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Sayansi za Maabara ya Tiba, yaani

“Bachelor of Medical Laboratory Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi

Muhimbili. Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili

uwatunukie Digrii ya Sayansi ya Maabara ya Tiba.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. 2016-04-09979 Somoe S Shaibu KE

2. 2016-04-10057 Malselino Silasi ME

3. 2015-04-08242 Maria

Chappa KE

4. 2015-04-08930 Abdulhakim A Ramadhani ME

5. 2016-04-09974 Hussein

Mohamed ME

6. 2016-04-09913 Lucy Clemence Mwenda KE

7. 2016-04-10074 Caroline

Vitalis KE

8. 2016-04-09995 Michael Simon Bokobola ME

9. 2016-04-09717 Sitta George ME

10. 2016-04-09934 Asia H Joho KE

11. 2016-04-09973 Husna Yasini Kalole KE

12. 2016-04-09910 Asmara A Mfangavo KE

13. 2016-04-09999 Issa Ramadhan Mhando ME

Page 39: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

34

14. 2016-04-10058 Yohana Nzella ME

15. 2016-04-09933 Thereza Petro KE

16. 2016-04-09719 Abel C Martine ME

17. 2016-04-09912 Grace Sweetbetus Ncheye KE

18. 2016-04-09784 Bazira Fulgence ME

19. 2016-04-09866 Baraka Twaha Mfwangavo ME

20. 2016-04-09926 Betrovia Benny Kasanga KE

21. 2016-04-09968 Maduhu Kichenga Kilinga ME

22. 2016-04-09864 Ndayanze Laurence ME

23. 2016-04-10030 Brayson Mbwambo ME

24. 2016-04-10010 Frank M Sindato ME

25. 2015-04-08503 Timon Abel Kaja ME

26. 2015-04-08586 Tulalumba Lwesya KE

27. 2016-04-09833 James N Mathias ME

28. 2016-04-09967 Joseph Joseph Mitepa ME

29. 2016-04-09813 Cornel R Mlwilo ME

30. 2016-04-09826 Regan A Mmasi ME

31. 2016-04-09827 Gilbert Betramu Mtenga ME

32. 2016-04-09996 Ramadhani Hamdani Shebughe ME

33. 2016-04-10034 Goodluck Johnsone Mgaya ME

34. 2016-04-10005 Athuman Mtinda Athumani ME

35. 2015-04-09194 Jesse Juvenal Kessy ME

36. 2016-04-09965 Masumbuko Lukanya ME

37. 2016-04-09867 Michael Lemu Lulambo ME

38. 2016-04-09971 Omari R Shetembo ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA SAYANSI ZA

MAABARA YA TIBA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI

MUHIMBILI.”

13.5.2 DIGRII YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA MATIBABU YA MIONZI

Bachelor of Science in Radiation Therapy Technology (BSc. RTT)

Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi nane (8) wamefuzu na

wanastahili kutunukiwa Digrii ya Sayansina Teknolojia ya Matibabu ya Mionzi yaani

“Bachelor of Science in Radiation Therapy Technology”, ya Chuo Kikuu cha Afya na

Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie

Digrii ya Sayansi na Teknolojia ya Matibabu ya Mionzi.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi

1. 2016-04-09951 Amina M Bakari KE

2. 2016-04-09770 Peter Fabian ME

3. 2016-04-09775 Tedy Chedy Kafyulilo ME

Page 40: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

35

4. 2016-04-09844 Francis Kazoba ME

5. 2015-04-09187 Omary Haruna Msehwa ME

6. 2016-04-09949 Sauda Amani Mushi KE

7. 2016-04-09787 Donato Lucas Nyakunga ME

8. 2015-04-09183 Fredick L Mushi ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA SAYANSI NA

TEKNOLOJIA YA MATIBABU YA MIONZI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI

SHIRIKISHI MUHIMBILI.”

13.5.3 DIGRII YA UDAKTARI WA BINADAMU

Doctor of Medicine (MD)

Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:

“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi mia moja themanini na

tisa (189) wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Udaktari wa binadamu, yaani

“Doctor of Medicine”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Kabla ya

kuwahudhurisha hawa mbele yako naomba uniruhusu niwalishe Kiapo cha Uaminifu na Utii

wa Miiko ya Udaktari.”

Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Madaktari

wote wa binadamu walioko katika Mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Tiba atasoma

kiapo akiinua mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Madaktari

wa Tiba wataketi baada ya kiapo.

“Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Udaktari wa binadamu.

Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia

1. 2012-04-03941 Albert Chalinze ME

2. 2012-04-04015 Betrida Ntunaguzi KE

3. 2012-04-04112 Faraja Cameroon Mwinuka KE

4. 2012-04-04254 Kalukula Ramadhani ME

5. 2012-04-04494 Ramadhani Shaban ME

6. 2012-04-04526 Sakina Banzi KE

7. 2012-04-04627 William V Longway ME

8. 2013-04-04882 Adam Ambindwile Kamendu ME

9. 2013-04-04890 Agnes Fridomu Njau KE

10. 2013-04-04891 Ahazi Amani Mwangolombe ME

11. 2013-04-04903 Alex Gabagambi Alexander ME

12. 2013-04-04930 Aqbara I Chande KE

13. 2013-04-04948 Bakari Omary Mhando ME

14. 2013-04-04949 Bakari Juma Kibambe ME

15. 2013-04-04954 Bashiru Bengesi Khamis ME

16. 2013-04-04993 Damas Mwombeki ME

17. 2013-04-05001 David John Mwaipaya ME

18. 2013-04-05014 Deus Mboje Nassoro ME

Page 41: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

36

19. 2013-04-05018 Dickson Malima Bakilana ME

20. 2013-04-05019 Dickson Peter Kopweh ME

21. 2013-04-05036 Edwin Samwel Chellunga ME

22. 2013-04-05037 Effeso B. Kaguo ME

23. 2013-04-05042 Elizabeth Bernard KE

24. 2013-04-05046 Emanuel A. Lyeme ME

25. 2013-04-05093 Francis Simon ME

26. 2013-04-05108 Gazilo Aloycius Zacharia ME

27. 2013-04-05116 Ghatty Sebastian Marwa KE

28. 2013-04-05118 Given James ME

29. 2013-04-05132 Godson Mbeikya Edwin ME

30. 2013-04-05180 Iddi Ramadhan Kalesere ME

31. 2013-04-05182 Iddy Ally Omary ME

32. 2013-04-05189 Innocent Martin Lawi ME

33. 2013-04-05193 Ipyana Essau Sichali ME

34. 2013-04-05207 Jackson Mgusuhi Charles ME

35. 2013-04-05210 Jacqueline John Kihamba KE

36. 2013-04-05234 John Julius Nkuba ME

37. 2013-04-05238 Jonathan Mugenyi ME

38. 2013-04-05240 Joseph Costantine Assenga ME

39. 2013-04-05251 Josephath William ME

40. 2013-04-05253 Joshua Donasiano ME

41. 2013-04-05254 Joshua Dickson Mwakanyamale ME

42. 2013-04-05275 Kagoma Pius ME

43. 2013-04-05276 Kalunde Kaombwe Julius KE

44. 2013-04-05278 Karim Shabani Bembe ME

45. 2013-04-05302 Lilian Lucas Kazawadi KE

46. 2013-04-05313 Madai Mparazo ME

47. 2013-04-05320 Majagi George ME

48. 2013-04-05326 Maria Paul Ndonde KE

49. 2013-04-05332 Martha Julius Chacha KE

50. 2013-04-05350 Mauwa Huseni Omari KE

51. 2013-04-05431 Nuhu Gasper Mabula ME

52. 2013-04-05466 Raymond Raymond Malwata ME

53. 2013-04-05565 Timoth Bende ME

54. 2014-04-06933 Abdallah Maurice ME

55. 2014-04-06944 Abramu Mibaraka ME

56. 2014-04-06952 Agnes Neema Vogt KE

57. 2014-04-06959 Ali Azim Bhalloo ME

58. 2014-04-06960 Alice E Mwakabuli KE

59. 2014-04-06962 Alkadius Salipius ME

60. 2014-04-06969 Ambokile Mwakibolwa ME

Page 42: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

37

61. 2014-04-06974 Andrea Thadei Jinguu ME

62. 2014-04-06977 Aneth Charles Kaliza KE

63. 2014-04-06980 Anisa Hassan Mshale KE

64. 2014-04-06982 Anna Louis Jazza KE

65. 2014-04-06985 Anold Ernest ME

66. 2014-04-06993 Ashiraf Ruchwele Athuman ME

67. 2014-04-06999 Atupokile E Sanga KE

68. 2014-04-07002 Avent Kalumiana ME

69. 2014-04-07004 Ayubu Mahili Malele ME

70. 2014-04-07005 Ayubu Aloyce Ngimbudzi ME

71. 2014-04-07006 Azaldin A Barunguza ME

72. 2014-04-07010 Baraka Haji ME

73. 2014-04-07012 Beatha Mdendemi KE

74. 2014-04-07014 Bellansila Lebero KE

75. 2014-04-07015 Benard Mbilinyi ME

76. 2014-04-07019 Bernadetha Nguvila KE

77. 2014-04-07023 Billey J Nyigu ME

78. 2014-04-07028 Boniphace Barnabas Marwa ME

79. 2014-04-07045 Clemence Exaudi ME

80. 2014-04-07050 Consolatha Nyahuru Mahamba KE

81. 2014-04-07062 Daniel W. Maugo ME

82. 2014-04-07070 Davis V. John ME

83. 2014-04-07090 Edmund Charles Massanja ME

84. 2014-04-07099 Elistabius Thomas Kaijage ME

85. 2014-04-07103 Elizabeth Malunde KE

86. 2014-04-07109 Emiliana Alex Pascal KE

87. 2014-04-07115 Emmanuel Apolinary Tairo ME

88. 2014-04-07116 Emmanuel Moses ME

89. 2014-04-07117 Emmanuel Lucas ME

90. 2014-04-07118 Emmanuel Joseph Massawe ME

91. 2014-04-07132 Euphrasia K Rweikiza KE

92. 2014-04-07134 Evance Salvatory Rwomurushaka ME

93. 2014-04-07135 Ewald I Mkenda ME

94. 2014-04-07146 Felister Silvester KE

95. 2014-04-07147 Felister Michael Nchama KE

96. 2014-04-07148 Felix Laban ME

97. 2014-04-07149 Festo Nayingo ME

98. 2014-04-07154 Florian Emanuel ME

99. 2014-04-07165 Fredrick Aloyce Bwire ME

100. 2014-04-07171 Gasto Bernard ME

101. 2014-04-07176 Geofrey Mwombeki ME

102. 2014-04-07177 George Japhet Hemed ME

Page 43: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

38

103. 2014-04-07178 George Thomas Nsoke ME

104. 2014-04-07182 Gibons Willy ME

105. 2014-04-07190 Godbless M Philipo ME

106. 2014-04-07212 Hamphrey S Kabelinde ME

107. 2014-04-07214 Hans Michael Tesha ME

108. 2014-04-07218 Happiness Godlisten Mariki KE

109. 2014-04-07220 Hashim Titho ME

110. 2014-04-07230 Hemenic Ashery ME

111. 2014-04-07231 Henry Justo Stanley ME

112. 2014-04-07237 Hosea Boniphace Tabu ME

113. 2014-04-07238 Hoseenu Palilo ME

114. 2014-04-07247 Ibadi Julius Kaondo ME

115. 2014-04-07248 Ibrahim Abdul Hazali ME

116. 2014-04-07249 Innocent Sabbas Yusufu ME

117. 2014-04-07254 Irene Mutashobya KE

118. 2014-04-07255 Isaac John Batule ME

119. 2014-04-07264 Jackline Mathew Olesyaiti KE

120. 2014-04-07266 Jackson Henerico ME

121. 2014-04-07269 Jagadi Ntugwa ME

122. 2014-04-07273 James M Ndomba ME

123. 2014-04-07274 James Joseph ME

124. 2014-04-07275 James Salumu Jingu ME

125. 2014-04-07278 Jelemanus Kalani ME

126. 2014-04-07290 John T Quwanga ME

127. 2014-04-07294 Johnson Ezra Nkya ME

128. 2014-04-07302 Joseph M Mwalongo ME

129. 2014-04-07303 Joseph Thobias Massacre ME

130. 2014-04-07304 Joseph Paul Manda ME

131. 2014-04-07320 Justine Mpwaga ME

132. 2014-04-07322 Kabuta J. Hanga ME

133. 2014-04-07325 Kalimu Elias ME

134. 2014-04-07339 Kelvin G Mushi ME

135. 2014-04-07343 Khadija N Mbekenga KE

136. 2014-04-07352 Ladslaus Richard Malima ME

137. 2014-04-07384 Madete Masunzu Madete ME

138. 2014-04-07385 Magere M. Mguri ME

139. 2014-04-07388 Mahamudu Mitenda ME

140. 2014-04-07401 Marco Yohana ME

141. 2014-04-07403 Marere Nyeura ME

142. 2014-04-07404 Maria Augustino Shemweta KE

143. 2014-04-07407 Mariam Mkubwa Hamad KE

144. 2014-04-07429 Mathias Maheri ME

Page 44: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

39

145. 2014-04-07461 Miraji Nasibu Omary ME

146. 2014-04-07475 Mohamed A Sheikh ME

147. 2014-04-07478 Monica E Mtei KE

148. 2014-04-07481 Moses Isack ME

149. 2014-04-07502 Musa Mabwayi ME

150. 2014-04-07517 Namnyak Sinandei Makko KE

151. 2014-04-07526 Neema Allen Ng'unda KE

152. 2014-04-07528 Neema Laurian Mmassy KE

153. 2014-04-07530 Nelson Mgaya ME

154. 2014-04-07552 Noel Kennedy Saitoti ME

155. 2014-04-07555 Norbeth Kulisha Kasheshi ME

156. 2014-04-07584 Paschal John Madukwa ME

157. 2014-04-07588 Paul Makungu Mboje ME

158. 2014-04-07619 Rajab Maulid Mlawa ME

159. 2014-04-07631 Richard Paul Mzee ME

160. 2014-04-07640 Rodrick Cyriacus Lwamayanga ME

161. 2014-04-07643 Sabira Akber Versi KE

162. 2014-04-07644 Saburi Obadia ME

163. 2014-04-07668 Samson Henry ME

164. 2014-04-07669 Samson Hamisi ME

165. 2014-04-07678 Sara Maria Martensson KE

166. 2014-04-07680 Satrumin Raphael Paul ME

167. 2014-04-07683 Sebastian Edmund Nganyagwa ME

168. 2014-04-07688 Seni Alex ME

169. 2014-04-07700 Shivangi Mukesh Mandania KE

170. 2014-04-07701 Shomari James Joseph ME

171. 2014-04-07709 Simon Kayungilo Yasin ME

172. 2014-04-07715 Sonia Dossa Luhindi KE

173. 2014-04-07718 Stanslaus Ladislaus Shayo ME

174. 2014-04-07723 Steven P. Kongoche ME

175. 2014-04-07725 Subira Salehe KE

176. 2014-04-07726 Suddeys Abdulbasat ME

177. 2014-04-07741 Tevin Aganyira Kahwa ME

178. 2014-04-07749 Titus Kanani ME

179. 2014-04-07751 Tumain Adolph ME

180. 2014-04-07774 Winland Crispin Samweli ME

181. 2014-04-07778 Yohana Makeja ME

182. 2014-04-07801 Mhina Edward Mlangwa ME

183. 2014-04-07802 Barbara Idda Kaaya KE

184. 2014-04-07835 Nyabweru Bellen KE

185. 2014-04-07836 Rehema I Chogogwe KE

186. 2014-04-07841 Sylvia S Jumbe KE

Page 45: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

40

187. 2014-04-07842 Josephina Sebastian Mboye KE

188. 2014-04-07857 Emanuel Pyuza ME

189. 2014-04-07858 Bonaventula Mwakasala ME

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UDAKTARI WA

BINADAMU, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”

14. MWISHO WA SHUGHULI

Baada ya Wakuu wa Skuli na Wakurugenzi wa Taasisi kuwahudhurisha wahitimu mbele ya

Mkuu wa Chuo kwa minajili ya kutunukiwa stashahada, shahada, na shahada za juu

mbalimbali. Mkuu wa Chuo atatangaza kuvunja mahafali ya 13 ya Chuo Kikuu cha Afya na

Sayansi Shirikishi Muhimbili.

15. MKUU WA CHUO KUVUNJA MAHAFALI

MKUU WA CHUO:

“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA SASA NAVUNJA MAHAFALI HAYA YA KUMI NA

TATU YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”

16. WIMBO WA TAIFA

Mara baada ya Mkuu wa Chuo kutangaza kuvunja mahafali watu wote watasimama na wimbo

wa taifa utaimbwa. Baada ya wimbo wa Taifa, kikosi cha bendi kitapiga muziki wa kutoa

maandamano ya wanataaluma kutoka uwanja wa mahafali.

Mlau atongoza maandamano ya wanataalum, pamoja na wageni waalikwa, na wahitimu

kutoka uwanja wa mahafali.

17. KUONDOKA KWA MKUU WA CHUO

Mkuu wa Chuo na wote waliokuwa kwenye jukwaa watateremka na kuunga msafara na

kuelekea Chumba cha Semina, Jengo Herufi M wakiongozwa na Mkuu wa Chuo.

18. KUPIGA PICHA NA MKUU WA CHUO

Picha zitapigwa katika eneo la mahafali

***************************************************************************

Page 46: CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI cha Mahafali ya 13 ya... · Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

41