13
HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2019/20 KWA KUTUMIA MAPATO YA NDANI KWA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA JULAISEPTEMBA 2019 Imeandaliwa na; Mkurugenzi wa Jiji S. L. P. 3013, 20 Barabara ya Boma, 23101 ARUSHA, Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.arushacc.go.tz Oktoba, 2019.

HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

  • Upload
    others

  • View
    18

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA.

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA

FEDHA 2019/20 KWA KUTUMIA MAPATO YA NDANI KWA KIPINDI CHA ROBO

YA KWANZA JULAI– SEPTEMBA 2019

Imeandaliwa na;

Mkurugenzi wa Jiji

S. L. P. 3013,

20 Barabara ya Boma,

23101 ARUSHA,

Barua Pepe: [email protected]

Tovuti: www.arushacc.go.tz

Oktoba, 2019.

Page 2: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

i

YALIYOMO.

YALIYOMO....................................................................................................................i

ORODHA YA MAJEDWALI.........................................................................................i

UTANGULIZI …………………………..……………………………..........................1

1.1 Idara ya Fedha na Biashara…………………………………………………………1

1.2 Idara ya Uchumi, takwimu na ufuatiliaji…………………………………………..2

1.3 Idara ya Elimu………………………………………………………………………3

i) Elimu Msingi…………………………………………………………………....3

ii) Elimu Sekondari…………………………………………………………….…..3

1.4 Idara ya Afya……………………………………………………………………….4

1.5 Idara ya Mipango miji……………………………………………………………...4

1.6 Idara ya Ujenzi……………………………………………………………………..5

1.7 Idara ya maji………………………………………………………………………...5

1.8 Idara ya usafi na mazingira……………………………………………………….…5

1.9 Idara ya Maendeleo na Ustawi wa Jamii……………………………………………6

1.10 Idara ya Mifugo na uvuvi………………………………………………………...6

1.11 Idara ya Utumishi na Utawala……………………………………………………6

1.12 Idara ya Kilimo na Ushirika……………………………………………………...6

ORODHA YA PICHA.

1.1 Jengo la Ofisi ya kata lililopo kata ya Sinoni…………………………………………………2

1.2: Picha ya ujenzi wa OPD katika Hospitali ya Wilaya uliopo Njiro, Kata ya

Engutoto……………………………………………………………………………….……3

1. 3 Kikundi cha walemavu kilichopo kata ya Sombetini kilichopewa mikopo na Halmashauri

ya Jiji la Arusha………………………………………………………………………………………4

ORODHA YA JEDWALI.

1.1Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo kwa kutumia mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha

2018/19………………….....................................................................................................7-

Page 3: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

1

UTANGULIZI.

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020, Halmashauri imekadiria kukusanya na

kupokea jumla ya Tshs.77,989,077,436 Kati ya makisio hayo, kiasi cha Tshs.

20,700,000,000.00 zinatokana na mapato ya ndani na Tshs.57,289,077,436.00

zinatokana na ruzuku kutoka serikali kuu

Aidha Katika Mpango wa bajeti ya Maendeleo ya mwaka 2019/2020 Jiji la Arusha

lilikisia kutumia Tshs.28,433,887,653.33 /= kwa mchanganuo ufuatao, Tshs.

10,553,521,804.00 mapato ya ndani na Tshs. 264,076,000.00 Ruzuku ya Serikali Kuu,

Wafadhili mbalimbali Tshs.17,616,289,849.33 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya

maendeleo. Hadi kufikia mwezi Septemba, 2019 jumla ya Tshs.9,950,815,366.31

zimetolewa na Tshs. 5,137,927,549.45 kutumika kwa miradi ya maendeleo ya mwaka

2019/2020 kutoka vyanzo mbalimbali. Halmashauri imepokea fedha kutoka serikali

kuu Tshs. 64,076,000 kwa ajili utekelezaji wa miradi kupitia Mfuko wa Jimbo.

Makisio ya mapato ya ndani

27%

Maakisio ya mapato toka serikali kuu

73%

MAKISIO YA MAPATO YA NDANI DHIDI YA MAPATO TOKA SERIKALI KUU

Makisio ya mapato ya ndani Maakisio ya mapato toka serikali kuu

37%, 37%

1%, 1%

62%, 62%

MAKISIO YA MAPATO KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

2019/2020

Makisio ya Mapato ya ndani kwaajili ya utekelezaji wa Miradi yaMaendeleo 2019/2020

Makisio ya Mapato ya Ruzuku tokaSerikali kuu kwa ajili ya utekelezajiwa Miradi ya Maendeleo2019/2020

Makisio ya Mapato toka kwawafadhili mbalimbali kwaajili yautekelezaji wa Miradi yaMaendeleo 2019/2020

Page 4: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

2

1.1 Idara ya Fedha na Biashara.

Katika sekta ya Fedha na Biashara, Hamashauri imetemga jumla ya

Tshs.257,367,116.00 kwa ajili ya shughuli zifuatazo;

Kuwezesha ukusanyaji mapatao kwa kununua 120 POS ili kuongeza mapato

mradi bado haujaanza.

Kuwezesha ujenzi wa maduka 17 Soko Kuu ambapo jumla ya Tshs.

93965400.79 imeshatolewa na kazi inaendelea.

Kuwezesha ujenzi wa soko la samaki Sakina (Olmatejoo) na kutengeneza

miundo mbinu mingine mradi bado haujaanza.

Kuwezesha ujenzi wa Soko Mapunda Kata ya Daraja II mradi bado haujaanza.

1.2 Idara ya Uchumi, takwimu na ufuatiliaji.

Katika sekta ya Uchumi, takwimu na ufuatiliaji.Hamashauri ilitenga

Tshs.1,980,000,000/= kwa ajili ya;

Kuwezesha ujenzi wa jengo la utawala la Halmashauri ya jiji la Arusha awamu

ya kwanza mradi bado haujaanza.

Ujenzi wa Ofisi ya kata ya kati awamu ya tatu mradi bado haujaanza.

Kujenga nyumba ya Mkurugenzi wa Jiji mradi bado haujaanza.

Kukarabati miundombinu ya jengo la Halmashauri ya jiji mradi bado haujaanza.

Kukarabati ofisi ya Kata Moivaro mradi bado haujaanza.

Kuwezesha utoaji wa mchango wa dharura katika miradi mbalimbali ya kijamii

katika kata 25 mradi umeanza

Kuwezesha utoaji wa mchango katika miradi 6 ya uwekezaji na kijamii.

Kuwezesha shughuli za Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Kata 25 mradi bado

haujaanza.

Kuwezesha usimamizi na ufuatiliaji wa Miradi ya maendeleo katika Kata 25

mradi umeanza usimamizi unaendelea

Kununua gari moja ya Mkurugenzi wa Jiji na gari moja kwa Idara ya Uchumi

Kuwezesha wakuu wa idara 18 na madiwani 32 kukagua miradi ya maendeleo

kwa katika Kata 25 mradi umefanyika kwa robo ya kwanza.

1.1 Jengo la Ofisi ya kata lililopo kata ya Sinoni

Page 5: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

3

1.3 Idara ya Elimu.

Katika sekta ya Elimu, Hamashauri ilitenga Tshs. 3,000,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa

miundombinu ya madarasa, matundu ya vyoo, ujenzi wa maabara za masomo ya

sayansi, ujenzi wa nyumba za Walimu, ujenzi wa majengo ya Utawala pamoja na

ununuzi wa madawati na viti na meza kwa ajili ya Walimu.

i) Elimu Msingi

Katika mwaka wa fedha 2019/2020 Halmashauri ya Jiji la Arusha bado haijaanza

utekelezaji wa miradi ya elimu msingi kutokana na kuwa na makusanyo madogo ya

mapato ya ndani kwa robo ya kwanza.

ii) Elimu Sekondari

Katika mwaka wa fedha 2019/2020 Halmashauri ya Jiji la Arusha imeweza kutumia

jumla ya fedha Tshs.345,518,700.00 kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali

kwa upande wa elimu Sekondari ambazo ni Ujenzi wa madarasa 8, Ujenzi wa matundu

ya vyoo 14,Maabara 3 na Majengo 7 ya Utawala.

1.4 Idara ya Afya.

Katika sekta ya Afya Hamashauri ilitenga Tshs. 1,800,000,000/= kwa ajili ya ujenzi

wa Hospitali ya Wilaya, Ujenzi wa Miundombinu ya Vituo vya Afya, Zahanati, Ujenzi

wa Nyumba ya Mtumishi, Ununuzi wa Jenereta, Kununua Mashine 3 za kutoa dawa ya

usingizi kwa ajili ya Vituo vya afya na ujenzi wa uzio katika Vituo vya afya. Hadi sasa

kazi zilizofanyika ni ujenzi wa OPD katika Hospitali ya Wilaya,Umaliziaji wa Kituo

cha afya Muriet.

1.2 Picha ya Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Murriet

Page 6: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

4

1.5 Idara ya Mipango miji.

Katika sekta ya mipango miji Hamashauri ilitenga Tshs.101,975,000/= kwa ajili

ya;

Kurekebisha miundombinu kwa ajili ya upimaji na urasimishaji wa makazi

Kufanya hesabu za fidia ya ardhi kwa watu 50.

1.6 Idara ya Ujenzi.

Katika sekta ya ujenzi, Hamashauri imetoa na kutumia jumla ya Tshs 1,215,983,994 kwa

ajili ya; Kujenga 1km ya barabara ya Kisongo - Arusha girls kwa kiwango cha Lami

1.7 Idara ya maji.

Katika sekta ya maji, Hamashauri imetoa na kutumia jumla ya Tshs.48,000,000/= kwa ajili ya;

Kufanya utafiti wa Maji na kuchimba kisima 1 katika Shule ya Msingi

Sinon

Kukarabati na kuboresha chemchemi ya Maji katika eneo la Sorenyi.

1.8 Idara ya usafi na mazingira.

Katika sekta ya usafi na mazingira, Hamashauri ilitenga Tshs. 200,000,000.00 kwa

ajili ya kuwezesha Kununua Gari jipya moja la maji taka lenye ujazo wa lita 6,500.

1.9 Idara ya Maendeleo na Ustawi wa jamii. Katika sekta ya Maendeleo ya Jamii, Hamashauri ilitenga Tshs.1,762,170,694,.00 kwa

ajili ya utoaji wa mikopo ya vikundi vya wanawake vijana na Watu wenye Ulemavu.

Kwa kipindi cha julai hadi Septemba 2019 jumla ya vikundi 83 ambapo Wanawake

vilikuwa 66, Vijana 14 na Watu wenye walemavu 3 vilikopeshwa fedha kiasi cha Tshs.

415,000,000/= hii ni pamoja na fedha za marejesho.

1.3 Kikundi cha watu wenye ulemavu kilichopo kata ya Sombetini kilichopewa mikopo

na Halmashauri ya Jiji la Arusha

Page 7: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

5

1.12 Idara ya kilimo na ushirika. Katika idara ya kilimo na ushirika Hamashauri ilitenga Tshs. 60,000,000 kwa ajili ya

ujenzi wa mifereji ya umwagiliaji katika Mto Olevarakwi katika kata ya Sinoni. Aidha

kazi ya ujenzi wa mifereji inaendelea baada ya Mkandarasi kukabidhiwa kazi.

MIKAKATI 2019/2020

Halmashauri imeweka mikakati mbalimbali ya kutatua changamoto ili kufikia

malengo kama ifuatavyo;

Kuongeza viwango vya ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa kiwango cha juu ili

kuweza kutekeleza miradi mingi.

Kuandaa maoteo ya wanafunzi wanao andikishwa darasa la kwanza, wanafunzi

wanaohitimu darasa la saba ili kuwa na mpango wa uhakika katika madarasa ya

kutosha na miundombinu yake.

Kushirikisha wadau mbalimbali wa maendeleo ili kuweza kuchangia miradi

mbalimbali ya maendeleo kuandika maandiko mbalimbali.

Kushirikisha jamii katika kuchangia miradi ya maendeleo na kuijengea jamii

dhana ya umiliki wa miradi (sense of ownership).

(Aidha jedwali ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa sekta zote

yameambatanishwa pamoja na taarifa hii.)

Page 8: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

6

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAPATO YA NDANI KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020 JULAI HADI SEPTEMBA 2019

NA

SEKTA

JINA LA MRADI/ MAHALI ITAKAPOTEKELEZWA

BAJETI

KATA/ENEO MRADI

ULIPO

FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZOTEKELEZWA

FEDHA ILIYOTUMIKA

HALI YA UTEKELEZAJI

MAONI

HALMASHAURI

WANANCHI

JUMLA

1

FE

DH

A N

A B

IAS

HA

RA

Kuwezesha ujenzi wa maduka 15 katika Soko la Krokon ifikapo Juni 2020

100,000,000 KATA YA LEVOLOSI

100,000,000 0 100,000,000 Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji

100,000,000 Ujenzi wa vibanda 25 na matundu ya vyoo 6 upo hatua ya ukamilishaji

Kazi inaendelea

Kuwezesha utoaji wa mchango wa dharura katika miradi mbalimbali ya kijamii katika kata 25 ifikapo Juni, 2020

257,500,000 JIJI LA ARUSHA

47,818,667.34 47,818,667.34 Kuchangia miradi ya TASAF III; Ujenzi wa nyumba ya Mtumishi Zahanati ya Olmot, Uzio Kituo cha Afya Daraja II na Jengo la Utawala Shule ya Sekondari Oloirien umefanyika.

47,818,667.34 Kuchangia miradi ya TASAF III; Ujenzi wa nyumba ya Mtumishi Zahanati ya Olmot, Uzio Kituo cha Afya Daraja II na Jengo la Utawala Shule ya Sekondari Oloirien umefanyika.

Kazi inaendelea

Ujenzi wa Ofisi ya kata ya kati awamu ya tatu.

100,000,000.00

KATA YA KATI

25,101,163.51

25,101,163.51

Kazi imekamilika.

25,101,163.51

Mradi umekamilika na unatumika.

Kazi imekamilika.

Page 9: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

7

JUMLA NDOGO. 457,500,000 172,919,830.85

172,919,830.85

172,919,830.85

2 UCHUMI Kuwezesha utoaji wa mchango katika miradi 6 ya uwekezaji na kijamii ifikapo Juni, 2020

300,000,000 JIJI LA ARUSHA

283,333,333.4 0 283,333,333.4 Michango imetolewa

235,991,984 Michango imetolewa

Kazi imekamilika

Kuwezesha usimamizi na ufuatiliaji wa Miradi ya maendeleo katika Kata 25 ifikapo Juni,2020

77,500,000 JIJI LA ARUSHA

64,582,820 0 64,582,820 Michango imetolewa

340,957,037.32 Ununuzi wa mashine kubwa ya photocopy pamoja na usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo umefanyika.

Kazi imekamilika

Kununua gari moja ya Mkurugenzi wa Jiji na gari moja kwa Idara ya Uchumi ifikapo Juni 2020

400,000,000 JIJI LA ARUSHA

245,047,200.42

0 245,047,200.42

Ununuzi wa gari ya Mkurugenzi wa Jiji umefanyika

245,047,200.42 Ununuzi wa gari ya Mkurugenzi wa Jiji umefanyika

Ununuzi wa gari ya Mkurugenzi wa Jiji umefanyika

Kuwezesha wakuu wa idara 18 na madiwani 32 kukagua miradi ya maendeleo kwa katika Kata 25 ifikapo Juni, 2020

60,000,000 JIJI LA ARUSHA

8,000,000 0 8,000,000 Usimamizi na ufuatiliaji wa miradi

100,000,000.00 Ufuatiliaji umefanyika kwa robo ya nne na unaendelea

Ufuatiliaji unaendelea

JUMLA NDOGO. 1,752,500,000 946,803,015.52

946,803,015.52

1,267,835,883.44

Page 10: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

8

3

EL

IMU

SE

KO

ND

AR

I Ujenzi wa Jengo la utawala katika Shule ya Sekondari Burka ifikapo Juni,2020

100,000,000 KATA YA OLASITI

50,000,000 0 50,000,000 Mradi upo katika hatua ya manunuzi.

50,000,000 Mradi upo katika hatua ya manunuzi.

Mradi upo katika hatua ya manunuzi.

Kukamilisha ujenzi wa Jengo la utawala katika Shule ya Sekondari Olasiti ifikapo Juni,2020

15,000,000 KATA YA OLASITI

15,000,000 - 15,000,000 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.

15,000,000 Mradi umekamilika kwa awamu ya kwanza na mradi upo hatua ya umaliziaji kwa awamu ya pili.

Mradi upo katika hatua ya manunuzi

Kukamilisha ujenzi wa Jengo la utawala katika Shule ya Sekondari Ngarenaro ifikapo Juni,2020

20,000,000 KATA YA NGARENARO

20,000,000 - 20,000,000 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.

20,000,000 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.

Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.

Kukamilisha ujenzi wa Jengo la utawala katika Shule ya Sekondari Naura ifikapo Juni,2020

20,000,000 KATA YA LEMARA

20,000,000 - 20,000,000 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.

40,000,000 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji..

Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.

Kukamilisha ujenzi wa madarasa 4 katika shule ya sekondari Olmot ifikapo Juni,2020

70,000,000 KATA YA OLMOT

70,000,000 - 70,000,000 Kujenga jengo la utawala

70,000,000 Ujenzi wa jengo la utawala upo katika hatua ya umaliziaji

Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.

Page 11: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

9

Ujenzi wa jengo la utawala katika shule ya sekondari Muriet ifikapo Juni,2020

100,000,000 KATA YA MURIET

50,000,000 - 50,000,000 Kujenga maabara 3

50,000,000 Ujenzi wa jengo la Utawala upo hatua ya Manunuzi

Ujenzi wa jengo la Utawala upo hatua ya Manunuzi

Kumalizia ujenzi wa jengo la utawala katika shule ya sekondari Themi ifikapo Juni,2020

20,000,000.00

KATA YA THEMI

20,000,000 - 20,000,000 Fedha zimetumwa shuleni kwa utekelezaji.

20,000,000 Fedha zimetumwa shuleni kwa utekelezaji.

Fedha zimetumwa shuleni kwa utekelezaji.

Ujenzi wa madarasa 4 ya ghorofa katika Shule ya Sekondari Arusha Terrat ifikapo Juni,2020

100,000,000.00

KATA YA MURIET

49,518,700.00

- 49,518,700.00

Utekelezaji unaendelea

76,000,000 Madarasa 4 yapo hatua ya umaliziaji.

Utekelezaji unaendelea

Kumalizia ujenzi wa jengo la utawala katika shule ya sekondari Sinon ifikapo Juni,2020

20,000,000 KATA YA SINONI

20,000,000 - 20,000,000 Kuendeleza ujenzi wa jengo la utawala

20,000,000.00 Ujenzi wa jengo la utawala upo katika hatua yaukamilishaji.

Utekelezaji unaendelea

JUMLA NDOGO. 3,970,000,000 2,208,124,731.04

2,208,124,731.04

2,896,671,766.88

4

AF

YA

Kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ifikapo Juni,2020

502,246,140 KATA YA ENGUTOTO

207,282,576 0 207,282,576 Utekelezajiunaendelea

207,282,576 Utekelezajiunaendelea

Utekelezajiunaendelea

Page 12: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

10

Kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya Moshono ifikapo Juni,2020

200,000,000 KATA YA MOSHONO

200,000,000 0 200,000,000 Utekelezaji unaendelea

200,000,000 Utekelezaji unaendelea

Utekelezaji unaendelea

JUMLA NDOGO. 8,642,246,140 4,823,532,038.08

4,823,532,038.08

6,200,626,109.76

5 MIPANGO MIJI

Kurekebisha miundombinu kwa ajili ya upimaji na urasimishaji wa makazi 1000 ifikapo Juni 2020

31975000 JIJI LA ARUSHA

23,600,000 23,600,000 Kufanya upimaji wa mipaka kwa Shule 20 na Vituo vya afya 4

23,600,000 Utekelezaji unaendelea

Kufanya hesabu za fidia ya ardhi kwa watu 50 ifikapo Juni, 2020

70,000,000 JIJI LA ARUSHA

6,565,6442.7 6,565,6442.7 Eneo limeshafidiwa.

6,565,6442.7 Fidia ya ardhi awamu ya tatu na ya nne kwa ajili ya shule ya msingi ya muriet B na papa king umefanyika

Eneo limeshafidiwa.

JUMLA NDOGO. 17,386,467,280 9,736,320,518.86

9,736,320,518.86

12,490,508,662.22

6

MA

EN

DE

LE

O Y

A J

AM

II

Kutoa mikopo nafuu kutoka mapato ya ndani kwa vikundi vya wanawake 100 ifikapo Juni 2020

484,237,789 JIJI LA ARUSHA

330,000,000 330,000,000 Fedha zimehamishiwa katika akaunti ya deposit kwa ajili ya kutolewa kwenye vikundi 66 vya wanawake

330,000,000 Fedha zimehamishiwa katika akaunti ya deposit kwa ajili ya kutolewa kwenye vikundi 66 vya wanawake

Mradi unaendelea

JUMLA NDOGO. 35,257,172,349 19,802,641,037.72

19,802,641,037.72

25,311,017,324.44

Page 13: HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA … YA … · O MRADI ULIPO FEDHA ILIYOTOLEWA. SHUGHULI ZITAKAZO TEKELEZ WA FEDHA ILIYOTUMIKA HALI YA UTEKELEZAJI MAONI HALMASHAU

11

JUMLA KUU. 67,465,885,769 19,802,641,037.72

37,690,341,172.07

48,339,579,577.59