110
1 SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR WIZARA YA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO KWA MWAKA WA FEDHA 2014/2015 JUNI 2014

HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

  • Upload
    others

  • View
    8

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

1

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

WIZARA YA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO

HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA

MATUMIZI YA WIZARA YA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO KWA MWAKA WA FEDHA

2014/2015

JUNI 2014

Page 2: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

2

YALIYOMO UKURASA

I UTANGULIZI ............................................................. 4

II. UTEKELEZAJI WA KAZI ZA KAWAIDA NA MAENDELEO

KWA MWAKA 2013/2014 NA MALENGO YA MWAKA

2014/201………………………………………………………………………….6

IIa) OFISI KUU PEMBA ..................................................... 8

IIb) UTAWALA NA SERA ................................................... 9

(i) IDARA YA MIPANGO, SERA NA UTAFITI ....................... 10

(i-1) MIRADI YA MAENDELEO ............................................. 11

(i-1.1) MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ………………………11

(i-1.1.1) Mradi wa Barabara Tatu za Kaskazini Pemba ........... 12

(i-1.1.2) Mradi wa Barabara ya Wete-Chake ......................... 13

(i-1.1.3) Mradi wa Barabara ya Ole-Kengeja ......................... 14

(i-1.1.4) Mradi wa Barabara za Vijijini Kaskazini Pemba: ........ 14

(i-1.1.5) Mradi wa Barabara Zinazoingia Mjini Unguja ........... 15

(i-1.1.6) Mradi wa Barabara 3 za Vijijini Unguja .................... 16

(i-1.1.7) Mradi wa Barabara 6 za Vijijini Unguja .................... 16

(i-1.2) MIRADI YA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA .................. 17

(ii) IDARA YA UTUMISHI NA UENDESHAJI ........................ 26

IIc. SEKTA YA USAFIRI WA NCHI KAVU. .......................... 28

Page 3: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

3

(i) IDARA YA UJENZI NA UTUNZAJI WA BARABARA ........... 29

(ii) IDARA YA USAFIRI NA LESENI ................................... 34

IId) SEKTA YA MAWASILIANO ......................................... 37

(i) IDARA YA MAWASILIANO ........................................... 38

IIe) SEKTA YA USAFIRI WA ANGA ................................... 41

(i) MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE ZANZIBAR ............ 41

IIf) SEKTA YA USAFIRI WA BAHARINI ............................. 48

(i) MAMLAKA YA USAFIRI BAHARINI .............................. 48

(ii) SHIRIKA LA BANDARI ................................................ 52

(iii) SHIRIKA LA MELI NA UWAKALA. .............................. 57

III HITIMISHO. .............................................................. 60

IV. MAOMBI YA FEDHA KWA MWAKA 2014/2015 .............. 62

KIAMBATANISHO NAMBA 1: ............................................ 63

KIAMBATANISHO NAMBA 2: ............................................ 67

KIAMBATANISHO NAMBA 3: ........................................... 70

KIMBATANISHO NAMBA 4: ............................................ 725

KIAMBATANISHO NAMBA 5: .......................................... 933

KIAMBATANISHO NAMBA 6: .......................................... 988

KIAMBATANISHO NAMBA 7: ........................................ 1033

KIAMBATANISHO NAMBA 8: ....................................... 10909

Page 4: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

4

I: UTANGULIZI

1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba

Baraza lako likae kama Kamati, ili liweze kupokea,

kujadili na hatimae kupitisha Mpango na Makadirio

ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya

Miundombinu na Mawasiliano, kwa kazi za kawaida

na maendeleo kwa mwaka wa fedha 2014/2015.

2. Mheshimiwa Spika, naomba nianze kwa

kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uhai na kutuwezesha kukutana tena leo kujadili maendeleo ya Sekta ya Usafiri na Mawasiliano na ya Taifa kwa

ujumla.

3. Mheshimiwa Spika, napenda vile vile nimpongeze na kumshukuru kwa namna ya pekee Rais wa Zanzibar

na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein kwa ushauri na miongozo anayoitoa kwa Wizara katika kuendeleza Sekta ya Usafiri na

Mawasiliano na kuendelea kuiongoza vyema nchi yetu.

4. Mheshimiwa Spika, niruhusu pia nitumie fursa hii kuwashukuru Makamo wa Kwanza wa Rais, Mhe.

Maalim Seif Sharif Hamad, pamoja na Makamo wa Pili wa Rais, Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, kwa uongozi wao

imara na wa mfano ambao umesaidia sana Wizara hii katika utekelezaji wa majukumu yake.

5. Mheshimiwa Spika, naomba nimalizie kwa pongezi

zifuatazo: kwanza kwako wewe binafsi Mhe. Spika,

Page 5: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

5

Naibu wako, na Wenyeviti wa Baraza kwa kuendelea kuliongoza Baraza letu kwa staha, uvumilivu mkubwa

na bila kuyumba katika kusimamia kanuni tulizojiwekea. Pili, Mawaziri wenzangu na Wawakilishi

wote kwa kazi nzuri wanayofanya na kwa ushirikiano mzuri wanaonipa katika kutekeleza majukumu yangu kama Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano. Tatu,

na mwisho familia yangu na wapiga kura wa Jimbo la Uchaguzi la Ziwani ambao wameendelea kunionyesha

upendo na ushirikiano mkubwa hata pale ninapokuwa nimebanwa na majukumu ya kitaifa nje ya Jimbo langu

la uchaguzi.

6. Mheshimiwa Spika, hotuba hii imezingatia kikamilifu maudhui yaliyomo kwenye Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora, anayesimamia

Tume ya Mipango Mhe. Dkt. Mwinyihaji Makame Mwadini; na Waziri wa Fedha Mhe. Omar Yussuf Mzee,

zilizowasilishwa katika Baraza lako Tukufu tarehe 14 Mei, 2014. Naomba kuwashukuru na kuwapongeza kwa hotuba zao zilizotoa ufafanuzi wa kina kuhusu

utekelezaji wa mipango ya maendeleo kwa mwaka 2013/2014 na mwelekeo wa shughuli za Serikali na

dira ya Bajeti ya Serikali katika mwaka 2014/2015.

7. Mheshimiwa Spika, naomba kuishukuru Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi ya Mawasiliano na

Ujenzi chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Mahmoud Mohamed Mussa, Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni kwa kazi nzuri na kubwa ya uchambuzi wa kina wa

Page 6: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

6

Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Sekta katika mwaka 2013/2014 na Mapendekezo ya Mpango na

Bajeti ya Wizara kwa mwaka 2014/2015. Pamoja na kuipongeza Kamati kwa kazi nzuri, Wizara pia

itazingatia maoni na ushauri wa Kamati katika kuimarisha utendaji wa Sekta ya Usafiri na Mawasiliano nchini.

II: UTEKELEZAJI WA KAZI ZA KAWAIDA

NA MAENDELEO KWA MWAKA 2013/2014

NA MALENGO YA MWAKA 2014/2015

8. Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayo ya awali, niruhusu sasa nifanye mapitio ya utekelezaji wa kazi za kawaida na maendeleo za Wizara ya

Miundombinu na Mawasiliano kwa mwaka 2013/2014 na kutoa maelezo kuhusu Malengo na Makadirio ya

bajeti ya Wizara kwa mwaka 2014/2015. Utekelezaji wa kazi za kawaida na maendeleo kwa mwaka 2013/2014 ulizingatia: Dira ya Taifa ya Maendeleo ya

mwaka 2020, Malengo ya Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (MKUZA II), ahadi na maagizo

ya Serikali, pamoja na Sera na Mipango ya Kisekta, Kitaifa na Kimataifa.

9. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014 Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano

ilikadiriwa kutumia jumla ya TZS bilioni 5.192 kwa kazi za kawaida. Kati ya fedha hizo TZS bilioni 3.26 ikiwa ni

Page 7: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

7

mshahara na TZS bilioni 1.93 ni kwa ajili ya matumizi mengineyo. Kwa upande wa kazi za maendeleo Wizara

ilipanga kutumia jumla ya TZS bilioni 14.90. Aidha, Wizara ilipangiwa kukusanya jumla ya TZS milioni

406.2. Hadi kufikia mwezi Machi 2014, fedha halisi

zilizopatikana ni TZS bilioni 3.362 kwa matumizi ya kazi za kawaida, sawa na asilimia 64.75. Kati ya hizo TZS

bilioni 2.709 ni mshahara sawa na asilimia 83 na TZS milioni 652.368 ni matumizi mengineyo sawa na

asilimia 33. Aidha, jumla ya TZS bilioni 4.376 zilipatikana kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 35.70 ya makadirio ya mwaka 2013/2014. Wizara pia,

ilikusanya jumla ya TZS milioni 314.248, sawa na asilimia 77. (Kiambatanisho Namba 1).

10. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Miundombinu na

Mawasiliano inatekeleza majukumu yake ya kisekta

kupitia Idara, Mamlaka na Mashirika yaliomo ndani ya Wizara, taasisi binafsi na baadhi ya taasisi za

Muungano kama ifuatavyo:-

i) Ofisi Kuu Pemba

ii) Utawala na Sera

Idara ya Mipango, Sera, na Utafiti,

Idara ya Uendeshaji na Utumishi.

iii) Sekta ya Usafiri wa Barabara

Page 8: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

8

Idara ya Ujenzi na Utunzaji wa

Barabara,

Idara ya Usafiri na Leseni.

iv) Sekta ya Mawasiliano

Idara ya Mawasiliano.

v) Sekta ya Usafiri wa Anga:

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (ZAA),

vi) Sekta ya Usafiri wa Baharini

a. Mamlaka ya Usafiri Baharini (ZMA).

b. Shirika la Meli na Uwakala (SHIPCO).

c. Shirika la Bandari (ZPC).

IIa) OFISI KUU PEMBA

11. Mheshimiwa Spika, Ofisi Kuu Pemba inaratibu na kusimamia shughuli za Wizara ya Miundombinu na

Mawasiliano kwa upande wa Pemba. Katika kipindi cha 2013/2014 Ofisi Kuu Pemba

imeendelea kutekeleza kazi mbali mbali za uratibu wa shughuli za Wizara kwa upande wa Pemba.

12. Mheshimiwa Spika, katika kipindi hicho Ofisi Kuu

Pemba ilikadiriwa kutumia jumla ya TZS bilioni 1.277

kwa kazi za kawaida na kukusanya jumla ya TZS milioni 50.2 kutoka kwenye vianzio vyake vya mapato.

Page 9: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

9

Kati ya fedha hizo TZS milioni 877 ni mshahara na TZS milioni 400 ni kwa ajili ya matumizi mengineyo.

Hadi Machi 2014 fedha zilizoingizwa ni TZS milioni

858.724 sawa na asilimia 67. Kati ya hizo TZS 733.06 sawa na asilimia 83.5 ni mshahara na TZS milioni 125.664 sawa na asilimia 31 ni kwa ajili ya matumizi

mengineyo. Ofisi Kuu Pemba imekusanya jumla ya TZS milioni 44.550 sawa na asilimia 89.

MALENGO YA MWAKA 2014/2015

13. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2014/2015 Ofisi

Kuu Pemba itaendelea kuratibu na kusimamia kazi za

Wizara za kawaida na maendeleo kwa upande wa Pemba. Malengo yote yanasimamiwa na Idara husika

na Ofisi Kuu Pemba inaratibu malengo hayo kwa kila Idara. Katika kipindi hicho, Ofisi Kuu Pemba inakadiriwa kukusanya jumla ya TZS milioni 62 na

inaombewa jumla ya TZS bilioni 1.362 kwa matumizi ya kazi za kawaida. Kati ya hizo TZS bilioni 1.081 ni

mshahara na TZS milioni 280.78 ni matumizi mengineyo.

IIb) UTAWALA NA SERA

14. Mheshimiwa Spika, Kazi za uratibu wa Sera,

Mipango na Miradi ya Maendeleo ya Wizara ya

Miundombinu na Mawasiliano zinasimamiwa na Idara

Page 10: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

10

ya Mipango, Sera na Utafiti. Aidha, masuala ya uendeshaji, utumishi na utawala hutekelezwa kupitia

Idara ya Uendeshaji na Utumishi.

(i) IDARA YA MIPANGO, SERA NA UTAFITI

15. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha 2013/2014 Idara ya Mipango, Sera na Utafiti iliendelea na kazi za uratibu na kusimamia utekelezaji wa Sera na Mipango

ya sekta ya Usafiri na Mawasiliano ikiwemo kubuni, kutayarisha na kufuatilia utekelezaji wa miradi ya

maendeleo na kufanya maandalizi ya utafiti wa kisekta. HATUA ZA UTEKELEZAJI (2013/2014)

16. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha 2013/2014,

Idara iliendelea kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Usafiri Zanzibar, Sera ya Mawasiliano pamoja na Mpango Mkuu wa Taifa wa Usafiri wa Zanzibar

(Zanzibar Transport Master Plan).

Idara kupitia programu ya mageuzi ya mfumo wa taasisi inayoendelea inakamilisha Mpango wa

utekelezaji wa mageuzi ya taasisi za Wizara ikihusisha maandalizi ya Mpango wa Uendeshaji Kibiashara (Business Plans) kwa kila Taasisi itakayohusika na

mageuzi hayo pamoja na Sheria zinazohusiana na taasisi hizo.

Page 11: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

11

Idara pia, imeratibu na kufuatilia taratibu za uanzishwaji wa vyuo vya ubaharia na urubani. Kwa

upande wa uanzishwaji wa chuo cha ubaharia, Wizara imefanya mazungumzo na kampuni ya Rom Solution

ambayo imewasilisha mapendekezo ya mradi wa uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria,

kuandaa malengo ya muda mfupi na muda mrefu, kuandaa mpango wa mafunzo na mitaala pamoja na

kuandaa mahitaji ya majengo ya Chuo hicho.

(i-1) MIRADI YA MAENDELEO

17. Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa uratibu na

usimamizi wa miradi ya maendeleo, jumla ya Miradi ya Maendeleo 14 ya ujenzi wa miundombinu ya barabara,

viwanja vya ndege na bandari pamoja na mradi wa Mageuzi ya mfumo wa taasisi (Kiambatanisho Namba 2) imetekelezwa kama ifuatavyo:-

(i-1.1) MIRADI YA UJENZI WA BARABARA

18. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitia programu ya ujenzi wa barabara, iliendelea kutekeleza jumla ya miradi saba (7) ya ujenzi wa barabara katika kipindi

cha 2013/2014. Taarifa za utekelezaji wa miradi hiyo kwa kipindi kilichopita na fedha inazoombewa kwa

mwaka 2014/15 ni kama ifuatavyo:

Page 12: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

12

(i-1.1.1) Mradi wa Barabara Tatu za Kaskazini Pemba

19. Mheshimiwa Spika, Mradi huu unaogharamiwa kwa mkopo kutoka Benki ya Kiarabu kwa Maendeleo ya Afrika (BADEA) na Mfuko wa Maendeleo wa Saudi

Arabia (Saudi Fund) pamoja na fedha za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar unazihusisha barabara za Wete

– Konde (kilomita 15) na Wete – Gando (kilomita 15) kwa awamu ya kwanza umefikia hatua mbali mbali za

kifusi.

Mheshimiwa Spika, Mradi huu ulisita kwa muda

kutokana na Mkandarasi kusimamisha ujenzi kwa sababu ya kuchelewa kulipwa na Wafadhili na Serikali.

Hata hivyo, baada ya Wizara kufuatilia kwa kina Mkandarasi alilipwa jumla ya Dola za Kimarekani milioni 2.74 ikiwa ni malipo kutoka kwa Wafadhili.

Kwa upande wa Serikali, Mkandarasi huyo amelipwa

deni lake lote la TZS bilioni 2.855 alilokuwa akidai kwa barabara hizi kwa kipindi cha Julai hadi Septemba 2013. Kwa ujumla Mkandarasi amelipwa jumla ya TZS

bilioni 6.079 hadi kufikia mwezi Septemba 2013. Aidha, Mkandarasi amelipwa USD milioni 3 alizokuwa akidai

Serikali kwa mradi wa ujenzi wa barabara ya Amani - Dunga, Mfenesini - Bumbwini na Madaraja ya barabara ya Mahonda - Donge - Mkokotoni.

Page 13: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

13

Baada ya kufanyika malipo hayo, Mkandarasi alikubali kuendelea na kazi za ujenzi na kuanza kazi rasmi

mwezi wa Aprili 2014. Kwa sasa kazi za ujenzi wa barabara hizo zinaendelea vizuri na kutarajiwa

kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.

20. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha

2014/2015 mradi unaombewa jumla ya TZS bilioni 2.425 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu.

(i-1.1.2) Mradi wa Barabara ya Wete-Chake

21. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa barabara hii yenye

urefu wa kilometa 22 umepangwa kufanyika katika

awamu ya pili ya Mradi wa Barabara Tatu za Kaskazini Pemba ambapo jumla ya USD milioni 23 zinatarajiwa

kutumika. Tayari Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshatiliana saini ya mkopo wa USD milioni 10 na benki ya BADEA kwa ajili ya ujenzi wa barabara

hii. Juhudi za kukamilisha taratibu za kusaini mkopo wa USD milioni 10 na Mfadhili wa pili (SAUDI Fund)

zinaendelea.

22. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2014/2015 Wizara inakusudia kuanza taratibu za kumpata Mshauri wa kufanya mapitio ya usanifu wa

barabara na usimamizi wa ujenzi baada ya kukamilika kwa taratibu za mkopo kutoka Saudi Fund. Jumla ya TZS milioni 100 zinaombwa kwa ajili ya malipo ya fidia.

Page 14: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

14

(i-1.1.3) Mradi wa Barabara ya Ole-Kengeja

23. Mheshimiwa Spika, Mradi wa Barabara ya Ole-Kengeja unagharamiwa kwa mkopo kutoka Jumuiya ya

Nchi zinazosafirisha Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar una lengo la kuijenga kwa kiwango cha lami barabara inayoanzia

Ole hadi Kengeja yenye urefu wa kilomita 35. Hatua za kumpata Msimamizi wa Mradi zimekamilika na kazi ya

upimaji wa barabara hiyo zimeanza ambapo jumla ya kilomita saba (7km) zimeshapimwa na taratibu za

manunuzi ya zana za ujenzi zinaendelea kupitia fedha za Mfadhili. Jumla ya TZS milioni 20 zimepatikana kutoka Serikalini kwa mwaka wa fedha 2013/2014.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Serikali inakusudia

kuendelea na matayarisho ya ujenzi wa barabara hii na jumla ya TZS milioni 500 zinaombwa kwa ajili ya malipo ya fidia.

(i-1.1.4) Mradi wa Barabara za Vijijini Kaskazini Pemba:

24. Mheshimiwa Spika, Mradi huu uliogharamiwa kwa

kutumia ruzuku kutoka Serikali ya Marekani kupitia Mfuko wa Changamoto ya Milenia (MCC) na fedha za

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ulikuwa na lengo la kujenga kwa kiwango cha lami barabara 5 za Kaskazini Pemba zenye jumla ya kilometa 35. Mradi huo ambao

ulihusisha barabara za: Mzambarauni-Pandani-Finya

Page 15: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

15

(kilometa 7.9), Bahanasa-Daya-Mtwambwe (kilometa 13.6), Chwale-Kojani (kilometa 1.9), Kipangani-

Kangagani (kilometa 8.9) na Mzambarauni-Mapofu (kilometa 8.9) umekamilika na kuzinduliwa rasmi

mwezi Machi mwaka huu. Hadi kufikia mwezi Machi 2014, jumla ya TZS milioni 40 zimepatikana sawa na asilimia 27 ya makadirio.

(i-1.1.5) Mradi wa Barabara Zinazoingia Mjini Unguja

25. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ambao bado haujapata mfadhili ni kuzitanua na kuzifanyia matengenezo makubwa barabara 7 zenye urefu wa

kilometa 83 zinazoingia katika mji wa Zanzibar. Barabara zenyewe ni Bububu-Mtoni-Kinazini-Malindi

Port (kilometa 19), Creek road-Mkunazini-Mnazi Mmoja (kilometa 1.28), Tunguu-Fuoni-Magomeni-Kariakoo-Mkunazini (kilometa 13.3), Welezo-Amani-Ngambo-

Kariakoo (kilometa 3.5), Mtoni-Amani-Kiembesamaki (kilometa 8.5), Uwanja wa Ndege-Kiembe Samaki-

Kilimani-Mnazi Mmoja (kilometa 7) na Bububu-Mahonda-Mkokotoni (kilometa 31). Juhudi za kutafuta fedha za ujenzi wa barabara hizi zinaendelea na hadi

kufikia mwezi Machi 2014 hakuna fedha iliyopatikana kutoka kwa Wafadhili kwa ajili ya mradi huo.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015, Wizara itaendelea na juhudi za kutafuta fedha kwa njia ya msaada au

mkopo kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa ajili

Page 16: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

16

ya utekelezaji wa mradi na unaombewa jumla ya TZS 50 milioni.

(i-1.1.6) Mradi wa Barabara 3 za Vijijini Unguja

26. Mheshimiwa Spika, mradi huu unaoendelea

unagharamiwa kwa mkopo kutoka Benki ya Kiarabu ya

Maendeleo ya Afrika (BADEA) na fedha za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar unazijumuisha barabara za

Kizimbani-Kiboje (kilometa 7.2); Koani-Jumbi (kilometa 6.3); na Jendele-Cheju-Kaebona (kilometa 11.7). Hadi

kufikia mwezi wa Machi 2014, jumla ya TZS milioni 405 zimepatikana ambapo jumla kilometa 11.7 zimeshawekwa kifusi cha tabaka la chini kwa barabara

ya Jendele-Cheju-Kaebona na kilometa 4.2 za barabara ya Koani – Jumbi zimesafishwa. Pamoja na

changamoto za ulipaji fidia mradi unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu kwa mujibu wa mkataba.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015, Wizara inakusudia

kuendelea na utekelezaji wa mradi huu na unaombewa jumla ya TZS 1.6 bilioni kwa ajili ya malipo ya fidia na mchango wa Serikali.

(i-1.1.7) Mradi wa Barabara 6 za Vijijini Unguja

27. Mheshimiwa Spika, mradi huu una lengo la

kufanya upembuzi yakinifu, usanifu na utayarishaji wa

zabuni wa barabara 6 za vijijini Unguja zenye urefu wa

Page 17: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

17

kilometa 62.6 unagharimiwa kwa mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB). Barabara hizo ni:

Matemwe-Muyuni (kilometa 7), Kichwele-Pangeni (kilometa 4.8), Njianne-Umbuji-Uroa (kilometa 11),

Jozani-Charawe-Ukongoroni-Bwejuu (kilometa 22.2), Fuoni-Kombeni (kilometa 8.5), na Mkwajuni-Kijini (kilometa 9.1). Hatua za utekelezaji wa mradi huu ni

kukamilika kwa uchambuzi yakinifu wa awali wa mradi huu.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015, Wizara itakamilisha

upembuzi yakinifu na matayarisho ya zabuni za mradi huo kwa kutumia fedha za Mfadhili.

28. Mheshimiwa Spika, kwa jumla, kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Wizara itaendelea na utekelezaji wa

miradi niliyokwishakuieleza kwenye sekta ya usafiri wa barabara ambapo jumla ya TZS bilioni 4.975 zinaombwa kutoka Serikalini. (Kiambatanisho

Namba 2)

(i-1.2) MIRADI YA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA

29. Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa sekta ya

usafiri wa anga Wizara ilipanga kutekeleza jumla ya

miradi 4 ya ujenzi wa miundombinu ya viwanja vya ndege vya Unguja na Pemba katika mwaka 2013/2014.

Utekelezaji wa miradi hiyo kwa kipindi kilichopita na

Page 18: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

18

fedha zinazoombwa kwa mwaka ujao wa fedha ziko kama ifuatavyo:-

(i-1.2.1) Uendelezaji Ujenzi wa Uzio.

30. Mheshimiwa Spika, Mradi huu unalengo la kujenga uzio wenye urefu wa kilometa 11.9 katika kiwanja cha

ndege cha kimataifa cha Abeid Amani Karume. Hadi kufikia mwezi Machi, 2014 jumla ya kilometa 8.59 za

uzio zimeshajengwa sawa na asilimia 73.5 ya lengo. Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Wizara inakusudia

kuendelea na mradi huu kwa kutumia fedha za maendeleo.

(i-1.2.2) Ujenzi wa Jengo Jipya la Abiria Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume

31. Mheshimiwa Spika, Baada ya mradi huu kusita

kwa muda, mnamo mwezi wa Juni 2013 Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano ilitoa ruhusa kwa

mkandarasi kuendelea na ujenzi kwa kuzingatia marekebisho yalioyopendekezwa na Mshauri Mwelekezi

kampuni ya ADPi ya Ufaransa. Marekebisho hayo yatabadilisha mfumo wa uegeshaji wa ndege kubwa kutoka mbele ya jengo (airside) na badala yake

kuegesha upande wa kusini ya jengo, kuongeza ukubwa wa jengo kutoka mita za mraba 17,800 hadi

23,000, kuongeza eneo la kuegeshea ndege kutoka

Page 19: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

19

mita za mraba 23,000 hadi mita za mraba 37,300, kuongeza urefu wa jengo kwa upande wa kusini kwa

mita 36 na upana mita 75 na kuongeza sehemu ya mbele (lobby) ya jengo kwa mita 18.

32. Mheshimiwa Spika, napenda kuliarifu Baraza lako

tukufu kuwa kazi za ujenzi wa jengo jipya zinaendelea

kwa kukamilisha uwekaji wa vyuma (steel structure) eneo liloongezeka upande wa kusini na sehemu ya

mbele (canopy/lobby). Kwa eneo liloongezeka kwa upande wa kusini tayari limefikia asilimia 75. Ujenzi

wa sehemu ya mbele (canopy/lobby) tayari imefikia asilimia 80. Pia ujenzi wa ngazi za jengo unaendelea kwa kuchimba misingi kulingana na marekebisho ya

michoro.

33. Mheshimiwa Spika, Mkandarasi pia anaendelea kukamilisha ujenzi wa makazi na ofisi mpya ambayo iko katika hatua za mwisho ambapo baadhi ya maeneo

tayari yanatumika. Aidha vifaa vya ujenzi kama kokoto, saruji na nondo kwa ajili ya kuweka zege ya ghorofa

ya kwanza ya jengo zimefika kwenye eneo la ujenzi. Pia kazi ya kufunga nondo kwenye ghorofa ya pili zimeanza kwa mataarisho ya kuweka zege.

34. Mheshimiwa Spika, kuhusu kazi za ukamilishaji na

uthibitishaji wa michoro (Usanifu na Uhandisi), Mshauri Mwelekezi anaendelea kupitia michoro iliyowasilishwa na inayosubiri kuthibitishwa na Wizara kwa mfano,

Page 20: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

20

mfumo wa uingiaji na utokaji wa abiria, mizigo, wafanyakazi pamoja na utoaji wa takataka ndani ya

jengo. Pia, ADPi wamekamilisha kupitia michoro mbali mbali ikiwemo ya Usanifu (“architectural drawings”),

Uhandisi (Engineering Drawings) “Plumbing drawings” and michoro ya mfumo wa vipoza joto (Heat, ventilation and Air Condition). Mkandarasi pia

amewasilisha marekebisho ya mpangilio wa matumizi ya vyumba vya jengo na ripoti ya usalama wa moto

(fire safety report). Taarifa zote hizi kwa sasa zinapitiwa na Mshauri Mwelekezi kabla ya kuishauri

Wizara ili kuthibitishwa.

35. Mheshimiwa Spika, Naomba pia ifahamike

kwamba awamu hii ya uthibitishaji michoro, haimzui Mkandarasi kuendelea na kazi za Ujenzi, kwa maana

hatua hii ya kuendelea na marekebisho ya michoro ni suala la kawaida katika taratibu za Ujenzi. Ni matarajio ya Serikali kwamba Mradi huo utakamilika kabla ya

mwisho wa mwaka 2015.

36. Mheshimiwa Spika, Hadi kufikia mwezi Machi 2014

jumla ya TZS milioni 807.798 zimepatikana sawa na asilimia 59 ya makadirio.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Mradi unaombewa

jumla ya TZS bilioni 1.950 kwa ajili ya huduma ya Ushauri na Usimamizi wa Mradi.

Page 21: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

21

(i-1.2.3) Ujenzi wa Maegesho na Njia ya Kupitia Ndege uwanja wa ndege wa Kimataifa.

37. Mheshimiwa Spika, Mradi huu una lengo la

kujenga sehemu ya maegesho ya ndege (apron) na kuimarisha njia za kupitia ndege (taxiways) katika Kiwanja cha Ndege cha kimataifa cha Abeid Amani

Karume. Mradi huu unagharamiwa kwa mkopo kutoka Benki ya Dunia na fedha za Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar. Hadi kufikia mwezi Machi 2014, ujenzi wa njia tatu za kupitia ndege

umekamilika na ujenzi wa njia mbili mpya unaendelea na uimarishaji wa njia moja. Aidha, kazi za uwekaji wa kifusi na lami kwenye eneo jipya la

maegesho ya ndege zinaendelea na jumla ya TZS milioni 75 zilipatikana kutoka Serikalini sawa na

asilimia 3 ya makadirio.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 jumla ya TZS milioni 975 zinaombwa kwa ajili ya kugharamia ujenzi

wa uzio.

(i-1.2.4) Uimarishaji wa huduma za Uwanja wa Ndege Pemba

38. Mheshimiwa Spika, Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Mapinduzi pekee na

una lengo la kuweka taa katika barabara ya kurukia na kutulia ndege na kufanya upembuzi

yakinifu na usanifu wa huduma mbali mbali katika

Page 22: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

22

kiwanja hicho. Hadi kufikia mwezi Machi 2014, hakuna kazi iliyofanyika kutokana na ukosefu wa

fedha. Katika kulipatia ufumbuzi wa kudumu suala la uimarishaji wa Kiwanja hicho, Serikali imefanya

maamuzi rasmi ya kutekeleza Mradi huo kwa njia ya mkopo kutoka Benki ya Exim ya Uturuki kupitia Kampuni ya Renaisance ya nchi hiyo.

Makubaliano ya awali ya kazi yalifanyika mwishoni mwa mwaka 2013 baina ya Serikali kupitia Wizara

ya Fedha na Kampuni ya Renaisance ya Uturuki. Baada ya makubaliano hayo kampuni hiyo ilipeleka

wataalamu wake Pemba kwa ajili ya kupata taarifa zaidi ya uwanja huo. Rasimu ya Upembuzi Yakinifu wa Kifedha na Kimazingira imekamilishwa na

kuwasilishwa Wizarani kwa ajili ya kupata maoni ya kitaalamu. Aidha, gharama za awali kwa ajili ya

kazi za ujenzi zimewasilishwa na zinaendelea kufanyiwa mapitio ya kina.

39. Mheshimiwa Spika, Uimarishaji wa uwanja

huo utajumuisha jengo jipya la abiria, kuongeza urefu wa njia ya kutulia na kurukia ndege kutoka

mita 1,500 hadi mita 2,300, ujenzi wa uzio kuzunguka uwanja mzima, uwekaji wa taa za kuongozea ndege wakati wa kuruka na kutua,

kulikarabati jengo la abiria liliopo pamoja na huduma nyengine za kiwanja hicho. Lengo la

ongezeko hilo ni kukiwezesha Kiwanja hicho kuweza kutua ndege kubwa zaidi ya sasa ikiwemo Boeing 737 – 200.

Page 23: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

23

40. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Wizara inakusudia kuendelea na

utekelezaji wa mradi huu kwa mkopo kupitia Benki ya Exim ya Uturuki.

41. Mheshimiwa Spika, kwa ujumla kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Wizara inakusudia kuendelea na utekelezaji wa miradi ya usafiri wa Anga na

jumla ya TZS bilioni 2.925 zinaombwa kutoka Serikalini (Kiambatanisho Namba 2)

MRADI WA UJENZI WA BANDARI YA MPIGADURI

42. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa uimarishaji miundombinu ya bandari, Wizara tayari

imekamilisha kazi ya Upembuzi Yakinifu ya Ujenzi wa Bandari mpya ya Mpigaduri. Aidha Wizara

imetiliana saini makubaliano ya ujenzi wa Bandari hiyo kati yake na Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) baada ya kukamilika

kwa kazi za Upembuzi Yakinifu. Aidha, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Serikali ya Jamhuri

ya Muungano wa Tanzania tayari imewasilisha rasmi maombi ya mkopo wa ujenzi wa Bandari hiyo kutoka Benki ya Exim ya China kupitia Serikali

ya nchi hiyo.

Page 24: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

24

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Jumla ya TZS milioni 500 zinaombwa kwa ajili ya utekelezaji wa

mradi huo.

MRADI WA UJENZI WA MELI MPYA YA ABIRIA NA MIZIGO YA SERIKALI.

43. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji wa ahadi ya Serikali ya kujenga meli mpya ya abiria na mizigo

kupitia bajeti yake wenyewe unaendelea. Katika utekelezaji wa ahadi hiyo, mnamo tarehe 10

Julai, 2013 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilitiliana saini na Kampuni ya DAEWOO

International ya Korea Kusini ya ujenzi wa meli hiyo. Napenda kuchukua fursa hii kuliarifu Baraza lako Tukufu kwamba ujenzi wa meli hiyo

unaendelea kwa kukamilisha kazi za usanifu na uandaaji wa michoro ya meli hiyo. Aidha, zoezi la

ukataji wa vyuma vya meli hiyo (steel cutting) zimezinduliwa rasmi mwezi Machi 2014 na kazi za ulazaji wa mkuku (keel laying) zinatarajiwa

kufanyika ifikapo mwezi Julai 2014 baada ya kukamilika kwa kazi za usanifu. Ni matumaini yetu

kuwa ujenzi wa meli hiyo utakamilika mapema mwaka 2015 kwa mujibu wa ratiba ya ujenzi wa meli hiyo.

44. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014 Idara ya Mipango, Sera na Utafiti ilipangiwa

kutumia jumla ya TZS milioni 288 kwa matumizi

Page 25: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

25

ya kazi za kawaida. Hadi Machi 2014, fedha zilizopatikana kwa kazi za kawaida ni TZS 83.137

sawa na asilimia 29 ya makadirio.

MALENGO YA MWAKA 2014/2015

45. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/2015, Idara ya Mipango, Sera na Utafiti itaratibu na

kutekeleza mambo yafuatayo:-

Maandalizi ya Sheria, Kanuni na Mpango

Mkakati wa utekelezaji wa Sera ya TEHAMA; Kufanya tafiti mbali mbali zinazohusiana

na sekta ya usafiri na mawasiliano kwa lengo la kuongeza ufanisi na tija katika

kazi za ujenzi wa miundombinu; Kuratibu na kusimamia mpango wa

Serikali wa kuanzisha Chuo cha Ubaharia na Urubani;

Kukusanya na kuchambua takwimu za maendeleo ya Sekta na kuweka mpango

bora wa utunzaji wa kumbukumbu; Kuratibu mashirikiano ya kisekta baina ya

taasisi za ndani, kikanda na nje ya nchi.

46. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka 2014/2015 Idara ya Mipango, Sera na Utafiti inaombewa jumla ya TZS milioni 200 kwa matumizi ya kazi za

kawaida.

Page 26: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

26

(ii) IDARA YA UTUMISHI NA UENDESHAJI

47. Mheshimiwa Spika, Idara ya Uendeshaji na Utumishi inajukumu la kutekeleza kazi zifuatazo:-

Kusimamia na kuratibu majukumu ya

kiutumishi ikiwemo ajira, na upandishaji wa vyeo kwa watumishi wa Wizara.

Kuwaendeleza wafanyakazi wa Wizara kwa

kuwajengea uwezo kielimu na kusimamia

maslahi yao. Kusimamia na kuhakikisha kuwa sheria ya

utumishi wa Umma na sheria ya manunuzi na uondoshaji wa mali chakavu za Serikali

zinasimamiwa vizuri na zinafuatwa. Kusimamia shughuli za uendeshaji wa kazi

za ofisi za kila siku kwa kuimarisha mazingira mazuri ya utendaji wa kazi kwa kuhakikisha vitendea kazi vinapatikana kwa wakati.

Kusimamia na kuimarisha mawasiliano ya

habari na ofisi nyingine.

48. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha

2013/2014 Idara imetekeleza na kusimamia masuala ya kiutumishi na uendeshaji ya Wizara

kwa ujumla. Idara imewapatia mafunzo mbali mbali jumla ya wafanyakazi 94. Kati ya hao, wafanyakazi 48 walipatiwa mafunzo ya muda

Page 27: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

27

mrefu na wafanyakazi 46 walipatiwa mafunzo ndani ya muda mfupi. (Kiambatanisho Namba

3). Aidha, Wizara iliajiri wafanyakazi wapya 42 pamoja na kustaafisha wafanyakazi 34 na

kuwapatia mafao yao. Idara pia, kwa kushirikiana na Wizara ya Kazi na

Utumishi wa Umma imewapandisha vyeo wafanyakazi wote wanaostahili ikihusisha

wafanyakazi wenye uzoefu wa muda mrefu na kuhakikisha kuwa wanalipwa mishahara yao kwa

mujibu wa mabadiliko ya mishahara ya watumishi kama yalivyotolewa na Serikali mwezi Februari 2014.

Vile vile, Wizara kupitia Idara hii imeratibu na

kusimamia ujenzi wa Jengo Jipya moja na ukarabati wa majengo mengine manne (4) katika eneo la Kisauni ambayo hivi sasa yanatumika

kama Makao Makuu ya Wizara.

49. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha 2013/2014 Idara ya Uendeshaji na Utumishi ilipangiwa kutumia jumla ya TZS milioni 501.4 kwa

matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya TZS bilioni 2.082 kwa mishahara ya watumishi wote wa

Wizara. Fedha halisi zilizotolewa katika kipindi cha Julai 2013 hadi Machi 2014 ni TZS milioni 217.946 sawa na asilimia 43.47 kwa matumizi ya kawaida

Page 28: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

28

na TZS bilioni 1.798 sawa na asilimia 86 kwa matumizi ya mishahara.

MALENGO KWA MWAKA 2014/2015

50. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/2015

Idara itaendelea kutekeleza majukumu yake ya

uendeshaji wa ofisi na utumishi kama ilivyopangiwa. Aidha, Wizara kupitia Idara hii

itaendelea kushirikiana na Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma kuratibu maelekezo na

miongozo yote kuhusiana na masuala ya kiutumishi kama yatakavyotolewa.

51. Mheshimiwa Spika, ili kuongeza ujuzi, ufanisi na tija kwa wafanyakazi wa Wizara, katika

mwaka 2014/2015 Idara imepanga kuwapatia mafunzo jumla ya wafanyakazi 12 kwa Unguja na wafanyakazi 9 kwa Pemba kwa mujibu wa

mpango wa mafunzo wa Wizara.

Katika mwaka 2014/2015, Idara ya Uendeshaji na Utumishi inaombewa jumla ya TZS milioni 376.936 kwa matumizi ya kazi za kawaida na TZS milioni

2.892 kwa mishahara ya wafanyakazi wa Wizara.

IIc. SEKTA YA USAFIRI WA NCHI KAVU.

52. Mheshimiwa Spika, Sekta ya Usafiri wa Nchi Kavu ni muhimu katika kuchangia ukuaji wa

Page 29: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

29

uchumi wa nchi yetu na ustawi wa jamii kwa kusafirisha wananchi mijini na vijijini na bidhaa za

wakulima.

Katika kipindi cha mwaka 2013/2014, Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano kupitia Idara ya Ujenzi na Utunzaji Barabara na Idara ya Usafiri na

Leseni imeendelea kuimarisha miundombinu ya barabara na huduma za usafiri wa barabara kwa

kuendeleza kazi za ujenzi na utunzaji wa barabara, madaraja na kusimamia masuala ya usalama

barabarani.

(i) IDARA YA UJENZI NA UTUNZAJI WA BARABARA

53. Mheshimiwa Spika, kazi za ujenzi na utunzaji wa barabara zinafanywa kupitia Idara ya Ujenzi na Utunzaji Barabara. Hadi kufikia mwezi Machi 2014

Wizara kupitia Idara hii imezifanyia matengenezo barabara mbali mbali mijini na vijijini (Unguja na

Pemba) na kufanya usafi wa barabara za lami kadhaa zenye urefu wa kilometa 249

(Kiambatanisho Namba 4) kwa kutumia fedha zinazotolewa na Mfuko wa Barabara chini ya Makubaliano Maalum ya Utekelezaji (Performance

Agreement) kati ya Wizara na Mfuko huo.

54. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2013/2014, Idara ya Ujenzi na Utunzaji wa

Page 30: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

30

Barabara ilipangiwa kukusanya jumla ya TZS milioni 10 kutokana na mapato mengineyo na

ilitengewa jumla ya TZS milioni 250 kwa ajili ya matumizi ya kazi za kawaida. Hadi Machi 2014

jumla ya TZS milioni 3.48 zimekusanywa ambazo ni sawa na asilimia 35 na fedha zilizotolewa kwa kazi za kawaida ni TZS milioni 81.28 sawa na

asilimia 33 ya makadirio.

MATENGENEZO YA BARABARA

55. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha 2013/2014, Wizara kupitia programu ya

matengenezo ya barabara, iliendelea kutekeleza jumla ya miradi 5 ya ujenzi wa barabara kwa kutumia bajeti ya Serikali pekee. Kwa mwaka

2014/2015 Wizara inakusudia kuendeleza miradi hiyo kama ifuatavyo:-

(i) Barabara ya Mgagadu - Kiwani

56. Mheshimiwa Spika, Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar na una lengo la kuijenga barabara ya Mgagadu-Kiwani yenye jumla ya kilometa 7.6.

Hadi kufikia mwezi Machi 2014 jumla ya kilometa 7.6 zimekamilika kwa hatua ya kifusi tabaka mbali mbali. Kutokana na kutopatikana kwa fedha za

Page 31: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

31

Mradi kutoka Serikalini, Wizara ilifanya juhudi ya kupata fedha kupitia Mfuko wa Barabara kwa ajili

ya ujenzi wa daraja katika kijiji cha Mbaoni.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015, Mradi unaombewa jumla ya TZS milioni 300 kwa ajili ya kuendelea na kazi za ujenzi wa barabara hii.

(ii) Barabara ya Mkanyageni-Kangani

57. Mheshimiwa Spika, Mradi huu una lengo

la kuijenga barabara inayoanzia Mkanyageni hadi Kangani yenye urefu wa kilomita 6.5 kwa kiwango cha lami. Mradi huu mwanzoni

ulipangwa kutekelezwa baada ya kukamilika kwa barabara ya Mgagadu-Kiwani na

unagharamiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Hata hivyo, kwa mwaka huu wa fedha Wizara imepanga kujenga daraja moja la

tasini ambapo jumla ya TZS milioni 180 zimetengwa kupitia Mfuko wa Barabara. Aidha

ujenzi wa barabara hiyo kwa kiwango cha kifusi utafanywa kupitia mradi wa MIVARF

unaofadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) kupitia Wizara ya Kilimo unaotarajiwa kuanza robo ya kwanza ya mwaka 2014/2015.

Page 32: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

32

(iii) Barabara ya Amani-Mtoni (Benjamin Mkapa)

58. Mheshimiwa Spika, huu ni mradi unaoendelea ambapo Wizara ilipanga

kukamilisha ujenzi wa sehemu ya pili ya barabara hiyo yenye jumla ya urefu wa

kilometa 2.4 kwa kiwango cha lami, ujenzi wa mtaro wa maji ya mvua mita 200, kalvati ndogo ndogo 6 na kulipia fidia za nyumba kwa ajili ya

kuruhusu ujenzi wa barabara hiyo.

Hadi kufikia mwezi Machi 2014 ujenzi wa kilometa 1.6 kwa kiwango cha lami umekamilika. Aidha,

kazi za ujenzi wa mtaro kwa mawe na saruji wenye urefu wa mita 120, ujenzi wa kalvati ndogo

mbili (2) pamoja na ujenzi wa kingo za zege (curbstones) zenye urefu wa kilometa 1.4 zimefanyika.

Kutokana na uhaba wa fedha za kulipia fidia,

ujenzi wa barabara hii ulisita kwa sababu ya kutolipwa fidia ya nyumba eneo lenye urefu wa

kilometa 0.8 ili kukamilisha ujenzi wa barabara yote. Hata hivyo, Wizara inaendelea na taratibu za malipo ya fidia ya eneo hilo baada ya kupata

fedha kupitia Mfuko wa Barabara ili kuruhusu kazi za ujenzi kuendelea. Kazi za ujenzi wa barabara hii

Page 33: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

33

unatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Oktoba 2014.

59. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2014/2015 Wizara inakusudia kukamilisha ujenzi wa sehemu ya barabara iliyobakia kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara.

(iv) Barabara ya Ole-Konde.

60. Mheshimiwa Spika, Mradi huu mpya una lengo la kuifanyia matengenezo ya muda maalum

(Periodic maintenance) barabara inayoanzia Melitano hadi Madenjani kwa urefu wa kilometa 12.3.

Hadi kufikia mwezi Machi 2014 taratibu za

kumpata Mkandarasi atakaefanya kazi hiyo zinaendelea kufanyika.

61. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Wizara inakusudia kutekeleza mradi

huu kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara.

(v) Barabara ya Njianne-Umbuji

62. Mheshimiwa Spika, Mradi huu una lengo la kuifanyia matengenezo ya muda maalum (Periodic maintenance) kwa kiwango cha lami barabara

inayoanzia Njianne hadi Umbuji yenye urefu wa

Page 34: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

34

kilometa 5. Hadi kufikia mwezi wa Machi 2014 jumla ya kilometa 3 za barabara hiyo zimejengwa

kwa kifusi.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Wizara itaendelea kutekeleza mradi huu kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara.

MALENGO YA IDARA (2014/2015)

63. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2014/2015 Idara itaendelea kuzifanyia matengenezo barabara mbali mbali zenye jumla ya urefu wa kilometa 697 Unguja na Pemba ili

ziendelee kutumika kwa wakati wote kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara. (Kiambatanisho

Namba 4). Idara inatarajia kukusanya jumla ya TZS

10,000,000 na inaombewa jumla ya TZS milioni 165.488 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

(ii) IDARA YA USAFIRI NA LESENI

64. Mheshimiwa Spika, Idara hii inasimamia usalama wa watumiaji wote wa barabara, kuendesha shughuli za ukaguzi wa vyombo vya

moto, kusimamia mafunzo ya udereva, upasishaji madereva wanafunzi na walimu wa skuli za

Page 35: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

35

udereva, utoaji huduma za usafirishaji abiria na mizigo kwa njia ya barabara pamoja na kutoa

vitambulisho vya utingo na madereva. Aidha, Idara inasimamia na kuendesha Karakana Kuu ya

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyoko Chumbuni na sehemu ya mitambo iliyoko Pemba.

HATUA ZA UTEKELEZAJI (2013/2014)

65. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitia Idara hii imeendelea kusimamia utekelezaji wa Kanuni

mbali mbali za Sheria ya Usafiri Barabarani ya mwaka 2003 ili kusaidia kuimarisha usalama wa usafiri barabarani kwa kufanya ukaguzi wa

vyombo vya moto na kutoa leseni za usafirishaji.

66. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia mwezi wa Machi 2014 jumla ya vyombo 27,731 vimekaguliwa ukilinganisha na vyombo 28,067 vilivyokaguliwa katika kipindi cha mwaka 2012/2013. Aidha, ruhusa za usafirishaji kwa njia

ya barabara ziliendelea kutolewa ambapo katika kipindi hicho Idara imetoa ruhusa za njia na

usafirishaji 1,896 kwa magari ya biashara mbali mbali Unguja na Pemba ukilinganisha na ruhusa 2,015 zilizotolewa katika kipindi cha Julai 2012

hadi Machi 2013 ikiwa ni pungufu ya aslimia 5.9.

Page 36: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

36

67. Mheshimiwa Spika, katika kipindi hicho Idara imewafanyia jumla ya madereva wanafunzi 5,721

mitihani ya nadharia na vitendo na kutoa leseni za madereva wanafunzi 7,218. (Kiambatanisho

Namba 5) Idara pia, imeendesha vipindi mbali mbali kuhusiana na usalama barabarani (elimu kwa umma) kwa kutumia vyombo vya habari.

68. Mheshimiwa Spika, Idadi ya magari

yaliofanyiwa matengenezo katika Karakana Kuu na Sehemu ya Mitambo Pemba iliongezeka kwa

asilimia 40. Jumla ya magari 628 yalifanyiwa matengenezo katika kipindi cha Julai 2013 hadi Machi 2014 ukilinganisha na magari 447

yaliofanyiwa matengenezo katika kipindi kilichopita.

69. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha

2013/2014 Idara ilipangiwa kukusanya jumla ya

TZS milioni 346 na kutumia jumla ya TZS milioni 300 kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia Machi 2014,

Idara ilikusanya jumla ya TZS milioni 266.218 sawa na asilimia 77 na iliingiziwa jumla ya TZS milioni 64.298 kwa kazi za kawaida sawa na

asilimia 21 ya makadirio.

MALENGO YA IDARA (2014/2015)

Page 37: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

37

70. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2014/2015, Idara itaendelea kusimamia

matumizi bora ya barabara kwa ajili ya kuimarisha usalama wa watumiaji wa barabara kwa

kuendelea kutoa elimu ya usalama barabarani na kuimarisha ukaguzi wa vyombo vya moto.

Juhudi zitaendelea kuchukuliwa ili kuhakikisha kuwa Karakana Kuu ya Unguja na Sehemu ya

Mitambo Pemba zinaimarishwa kwa kupatiwa vifaa vya kisasa na wafanyakazi wenye ujuzi ili ziweze

kufanya kazi zake ipasavyo. 71. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/2015

Idara ya Usafiri na Leseni inatarajia kukusanya jumla ya TZS milioni 364 na inaombewa jumla ya

TZS milioni 200.585 kwa matumizi ya kazi za kawaida.

IId) SEKTA YA MAWASILIANO

72. Mheshimiwa Spika, Sekta ya Mawasiliano imeendelea kutoa mchango mkubwa katika ukuaji

uchumi na huduma za kijamii katika nchi yetu na inajumuisha utoaji wa huduma za mawasiliano kwa njia ya posta, simu na huduma za teknolojia

ya habari na mawasiliano. Lengo na Sekta hii ni kuharakisha matumizi ya Teknolojia ya Habari na

Mawasiliano katika sekta ya umma na binafsi, ili

Page 38: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

38

wananchi wa Zanzibar wanufaike na teknolojia mpya za TEHAMA zinazovumbuliwa ulimwenguni.

(i) IDARA YA MAWASILIANO

73. Mheshimiwa Spika, Idara hii ina jukumu la

kusimamia huduma za mawasiliano na masuala ya

Taasisi za Mawasiliano za Serikali ya Jamhuri ya Muungano zilizopo Zanzibar. Idara pia, ina jukumu

la kuratibu na kusimamia uwekaji wa miundombinu ya mawasiliano na kuhakikisha

kuwepo kwa nyenzo za mawasiliano zilizo bora zitakazorahisisha ukuwaji wa uchumi na biashara kitaifa na kimataifa.

HATUA ZA UTEKELEZAJI (2013/2014)

74. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka 2013/2014

Idara ilikamilisha Sera ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Zanzibar na kutoa mchango wa kiufundi katika masuala ya teknolojia ya habari na

mawasiliano, ushauri na muongozo katika uwekaji wa miundombinu ya mawasiliano kama vile

mkonga wa taifa na ujenzi wa minara ya simu. Aidha, Idara ilifanya ukaguzi na usimamizi wa utumiaji wa minara ikiwemo ya simu na mtandao.

Jumla ya minara 229 kutoka makampuni mbalimbali. Idara pia, iliratibu na kusimamia

Page 39: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

39

mabadiliko ya teknolojia na uwekaji wa Anuani za Makaazi (post code).

MATUMIZI YA MKONGA WA MAWASILIANO

75. Mheshimiwa Spika, Mkonga wa mawasiliano

ni miundombinu ya mawasiliano iliyotandikwa

chini ya ardhi, yenye uwezo mkubwa wa kusafirisha habari data, habari picha, habari video

kwa kasi kubwa zaidi. Miundombinu ya mkonga wa mawasiliano imegawanyika katika sehemu kuu

tatu:-

1- Backabone Network

2- Distribution Network

3- Last mile Network

Hivyo basi, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

imeweka miundombinu hiyo kwa hatua ya

"Backbone Network" tu ambayo ina uwezo

mkubwa sana wa kusafirisha mawasiliano. Pia,

Serikali kwa kushirikiana na Kampuni ya Zantel

inaendelea kuweka miundombinu ya "last mile"

katika taasisi mbali mbali za Serikali. Jumla ya

taasisi 84 tayari zimeshafikiwa na "fiber optic"

na ili kuziwezesha ofisi hizo kupata huduma za

mtandao wa nje duniani kote (internet) na

mtandao wa ndani ya nchi (intranet).

Page 40: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

40

MALENGO YA IDARA (2014/2015)

76. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Idara itaendelea kuratibu na kufuatilia

utekelezaji wa Sera ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano hapa Zanzibar, kwa kuandaa Sheria

na Kanuni za TEHAMA na Mpango Mkakati wa TEHAMA kwa mashirikiano na Idara ya Mipango, Sera na Utafiti.

Idara itaandaa kanuni za miundombinu ya

mawasiliano ili tuweze kusimamia, kudhibiti na kukusanya mapato kupitia minara na mikonga ya mawasiliano kwa wanaomiliki.

Idara pia, itasimamia mkonga wa taifa wa

mawasiliano kwa kushirikiana na Kampuni ya Zantel kwa upande wa matumizi ya Serikali na Taasisi binafsi.

77. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka 2013/2014,

Idara ya Mawasiliano ilipangiwa kutumia jumla ya TZS milioni 255.6 na hadi kufikia Machi, 2014 fedha iliyopatikana ni TZS milioni 80.039 sawa na

asilimia 31.31 ya makadirio.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Idara inaombewa jumla ya TZS milioni 179.527 kwa ajili

ya kazi za kawaida.

Page 41: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

41

MASHIRIKIANO YA IDARA NA TCRA

78. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Miundombinu

na Mawasiliano kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaendelea na

mchakato wa mradi wa uwekaji wa simbo za posta na anuwani za makaazi (postcode). Hivi sasa, tayari mzabuni ameshapatikana ambapo kampuni

ya Mwananchi Supply Ltd ya Zanzibar ndio iliyoshinda kwa hatua ya majaribio kwenye shehia

nne zifuatazo: Mombasa na Chukwani Unguja, na Limbani na Selemu kwa upande wa Pemba.

IIe) SEKTA YA USAFIRI WA ANGA

79. Mheshimiwa Spika, sekta ya usafiri wa anga inajumuisha huduma za viwanja vya ndege na

udhibiti wa usalama wa usafiri wa anga. Huduma hizi zinatolewa kupitia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar kwa mashirikiano na taasisi mbali

mbali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sekta binafsi.

(i) MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE ZANZIBAR

80. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha

2013/2014 Mamlaka ya Viwanja vya Ndege imesimamia, kuendesha na kuendeleza viwanja

vya ndege vya Unguja na Pemba kwa kuzingatia

Page 42: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

42

miongozo na kanuni za Kitaifa na Kimataifa. Aidha, Mamlaka imetekeleza miradi mbali mbali ya

uimarishaji huduma za ndege, abiria na mizigo katika viwanja vya ndege vya Zanzibar ili kukidhi

haja na matakwa ya watumiaji kwa kiwango kinachokubalika.

HATUA ZA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2013/2014.

81. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka

wa fedha 2013/14 Mamlaka ya Viwanja vya Ndege imehudumia jumla ya safari za ndege 45,801 ikilinganishwa na safari 43,339 zilizohudumiwa

katika kipindi kama hicho cha mwaka 2012/2013, sawa na ongezeko la asilimia 5.7. Kati ya safari

hizo safari za ndege 38,453 zilihudumiwa katika kiwanja cha Kimataifa cha Abedi Amani Karume na safari za ndege 7,348 zilihudumiwa katika

kiwanja cha Pemba.

82. Mheshimiwa Spika, Idadi ya abiria waliohudumiwa iliongezeka kutoka abiria 649,724

mwaka 2012/2013 na kufikia abiria 727,151 Julai 2013 hadi Machi 2014 sawa na asilimia 11. Kati ya abiria hao, abiria 668,804 walihudumiwa katika

kiwanja cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume na abiria 58,347 walihudumiwa katika kiwanja cha

Pemba. Aidha, abiria waliopita (Transit) wamefikia

Page 43: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

43

76,680. Ongezeko hili la abiria limetokana na kuongezeka kwa shughuli za utalii, biashara na

kijamii. Idadi ya abiria wa nje ni 302,479 na abiria wa ndani ni 424,672. (Kiambatanisho Namba

6). Kwa upande wa mizigo (freight) jumla ya tani

1,396 zilihudumiwa katika viwanja vya Unguja na Pemba ikilinganishwa na tani 850 zilizohudumiwa

katika kipindi kilichopita ikiwa ni ongezeko la asilimia 64. Ongezeko hili limetokana na

kuongezeka kwa idadi ya ndege maalum za mizigo.

MAPATO NA MATUMIZI KWA MAMLAKA.

83. Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar kwa mwaka wa fedha wa 2013/14

ilipanga kukusanya jumla ya TZS bilioni 4.7 kutoka vyanzo vyake vya mapato ya ndani.

Hadi kufikia mwezi Machi 2014 Mamlaka imekusanya mapato halisi ya TZS bilioni 3.1

kutoka ada ya utuaji wa ndege, kodi za ofisi, faida ya biashara (concession fees), huduma za kumbi

za watu mashuhuri, ada za kuegesha magari na mapato mengineyo, sawa na asilimia 65.2 ya makadirio. Aidha, jumla ya TZS bilioni 3.4 sawa na

asilimia 67 ya makadirio ya matumizi zilitumika katika kipindi hicho.

Page 44: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

44

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO 2013/2014.

84. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha

2013/2014, Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar iliendelea kuimarisha usalama katika

viwanja vya ndege kwa kuongeza mitambo na mfumo wa kufuatilia mienendo ya shughuli za

usalama na uendeshaji wa kiwanja (CCTV) na mashine za upekuzi kwa kiwanja cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume kupitia miradi ifuatayo:

Ujenzi wa ukumbi (business arrival lounge)

85. Mheshimiwa Spika, Mradi huu ulikusudia

kujenga ukumbi mpya wa kufikia abiria (business arrival lounge) tayari umemalizika kwa asilimia 100 na uko tayari kwa matumizi. Jumla ya TZS

milioni.225.69 zimetumika.

Ujenzi wa kituo cha biashara (business centre)

86. Mheshimiwa Spika, Mradi wa ujenzi wa kituo

cha biashara uliokuwa na lengo la kujenga ofisi za wadau, sambamba na kutoa fursa za ajira kwa vijana pamoja na kuongeza mapato kwa

Mamlaka, ujenzi wa mkahawa pamoja na ujenzi wa ofisi kwa awamu ya mwanzo umekamilika na

jumla ya ofisi saba (7) zimeshajengwa. Hatua inayoendelea sasa ni ukamilishaji wa awamu ya

Page 45: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

45

pili ya ujenzi wa ofisi saba (7) zilizobakia. Mradi huu umegharimu TZS milioni 249.44.

Ununuzi wa mashine za ukaguzi (x-rays

machines)

87. Mheshimiwa Spika, Mradi huu ulikusudia kununua mashine nne (4) za ukaguzi kwa ajili ya

kuimarisha hali ya usalama katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Abeid Amani Karume (AAKIA). Mzabuni wa kampuni ya (HISCO

SECURITY DETECTION PRODUCTS) tayari ameshapatikana na hatua iliyobakia ni kutiliana

saini mkataba wa utekelezaji mradi huo. Mradi huu umegharimu TZS milioni 960.

Uwekaji kipaza sauti (public address system)

88. Mheshimiwa Spika, Mradi huu ambao

uliokuwa na lengo la kufunga kipaza sauti kwa ajili ya kuwaondolea usumbufu abiria tayari

umekamilika tayari kipaza sauti hicho kinatumika. Mradi huu umegharimu jumla ya TZS milioni 24.4.

89. Mheshimiwa Spika, kwa ujumla miradi yote imegharimu TZS bilioni 1.49.

Page 46: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

46

MALENGO YA MAMLAKA KWA MWAKA 2014/2015.

90. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2014/2015

Mamlaka ya Viwanja vya ndege kupitia viwanja vya ndege vya Unguja na Pemba inatarajia

kuhudumia jumla ya ndege 48,091 na abiria 763,508.

Mamlaka pia, itaendelea kuvifanyia matengenezo viwanja vyake vya ndege na kuimarisha utoaji wa

huduma mbali mbali za abiria, ndege na mizigo ili kukuza mahitaji ya Usafiri wa Anga kupitia miradi

ifuatayo ambayo kwa ujumla wake inatarajiwa kugharimu TZS milioni 400:-

i. Ufungaji wa mkanda wa mizigo (conveyor belt) kwa ajili ya kuhudumia mizigo katika

kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume katika eneo la kuwasili abiria.

ii. Ujenzi wa kipaa (canopy) eneo la kuwasili

abiria hadi eneo la maegesho ya magari kwa ajili ya kujenga mazingira mazuri kwa wananchi wanaosubiri wageni wao katika

eneo la maegesho.

iii. Kufanya matengenezo ya sehemu ya kuondokea abiria wa ndani katika jengo la

huduma (service building).

Page 47: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

47

iv. Kufanya Upembuzi yakinifu wa uwekaji wa kifaa cha kuongozea ndege (ILS) kwa ajili ya

kumuwezesha rubani kuweza kuona vizuri uwanja katika kipindi cha mvua na hali ya

mawingu na hivyo kuhakikisha usalama wa ndege na abiria.

91. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha

2014/2015 Mamlaka inakadiria kukusanya jumla ya TZS bilioni 4.9 na kutumia jumla ya TZS bilioni 4.9 kwa kazi za kawaida na maendeleo. Kati ya

hizo TZS 4.5 ni makusanyo yatokanayo na vianzio vya mapato vya Mamlaka na TZS milioni 400

zitatokana na "safety fee". MASHIRIKIANO NA TAASISI ZA MUUNGANO

92. Mheshimiwa Spika, katika mwaka

2013/2014, Wizara iliendelea kushirikiana na taasisi za Muungano zilizopo hapa Zanzibar (Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) na

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) katika utoaji wa huduma na usimamizi wa Sekta ya

Usafiri wa Anga. Mashirikiano na taasisi hizi yamechangia kwa kiasi kikubwa katika upatikanaji

wa huduma na usimamizi mzuri wa sekta hii.

Page 48: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

48

IIf) SEKTA YA USAFIRI WA BAHARINI

93. Mheshimiwa Spika, Sekta ya Usafiri Baharini inajumuisha huduma za bandari, huduma za

usafiri wa baharini na udhibiti wa usalama wa usafiri baharini. Huduma za bandari na usafiri wa baharini zinatolewa kupitia Shirika la Bandari,

Shirika la Meli na Uwakala pamoja na sekta binafsi. Aidha, udhibiti wa usalama wa usafiri

baharini unasimamiwa na Mamlaka ya Usafiri Baharini.

(i) MAMLAKA YA USAFIRI BAHARINI

94. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitia Mamlaka ya Usafiri Baharini iliendelea kusimamia udhibiti

wa usalama wa usafiri wa baharini kwa kuzingatia Sheria ya Usafiri Baharini ya mwaka 2006 na Kanuni zake pamoja na itifaki na mikataba mbali

mbali ya kimataifa iliyoridhiwa na nchi yetu.

HATUA ZA UTEKELEZAJI (2013/2014) Usimamiaji wa usalama wa usafiri baharini

95. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014

Mamlaka ya Usafiri wa Baharini iliendelea kusimamia usalama wa vyombo vya baharini vya

Page 49: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

49

abiria na mizigo. Katika kipindi hichi Mamlaka iliandaa Kanuni moja ya „‟Training and Certification

„‟ na kufanya mapitio ya kanuni za Sheria ya Usafiri Baharini na kuzifanyia marekebisho. Aidha,

Mamlaka kwa kutumia kanuni za kusimamia makampuni na taasisi zinazotoa huduma katika bandari na meli, iliendelea na hatua za kuwapatia

leseni waendeshaji wa huduma hizo na kudhibiti shughuli zao.

96. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha

2013/2014 Mamlaka ilisajili jumla ya meli 15 zenye uzito wa ujazo (GRT) 9,127 kwa usajili wa ndani (Tanzania Zanzibar Registry ) na meli 62 zenye

uzito wa ujazo (GRT) 343,653 kwa usajili wa nje (Tanzania Zanzibar International Registry).

(Kiambatanisho Namba 7). Aidha, vyombo vidogo vidogo 112 vilisajiliwa pamoja na kutolewa vitabu vya mabaharia (Discharge Books) 676 na

vitambulisho vya kimataifa vya mabaharia 19. Mamlaka pia imetoa leseni za manahodha (Boat

Master Licences ) 92 na Boat Engineer 12. Vile vile, Mamlaka ilikagua jumla ya meli 52 zenye

uzito wa ujazo (GRT) 41,626 na kuthibitisha mikataba 262 ya mabaharia wanaosafiri na meli za

nje kupitia kampuni ya DANAOS.

Page 50: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

50

97. Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Usafiri Baharini imefanya vikao mbali mbali vya wadau

wa sekta ya usafiri baharini ikiwemo vikao vya ushirikiano na SUMATRA, Kamati za Ulinzi na

Usalama za Mikoa na Wilaya zote na Wakuu wa Madiko Unguja na Pemba kuhusiana na masuala ya usalama wa vyombo vidogo vidogo

kuzitumia bandari zisizo rasmi. Jumla ya vikao 14 na wadau hao wa sekta ya usafiri baharini

vimefanyika. Aidha, Mamlaka imefanya zoezi maalum la kuhakiki utaratibu wa udhibiti wa

uuzaji wa tiketi za magendo na utumiaji wa vitambulisho wakati wa ununuzi wa tiketi na uingiaji bandarini.

Vile vile, Mamlaka ya Usafiri Baharini na SUMATRA zimeendelea kushirikiana katika

masuala yanayohusu ukaguzi na uhakiki wa ubora wa vyombo vya usafiri wa baharini, taratibu za utafutaji na uokozi na kubadilishana

taarifa muhimu.

98. Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Usafiri Baharini kwa mwaka 2013/2014 ilikadiria kukusanya jumla ya TZS bilioni 1.738 na kutumia

jumla ya TZS bilioni 1.625 kwa matumizi ya kawaida.

Hadi kufikia mwezi Machi 2014, jumla ya TZS milioni 872.66 zimekusanywa sawa na asilimia

Page 51: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

51

51 ya makadirio na kutumia jumla ya TZS milioni 792.27 sawa na asilimia 49 ya makadirio.

MALENGO YA MAMLAKA KWA MWAKA

(2014/2015). 99. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha

2014/2015, Mamlaka itaendelea kusimamia masuala ya usafiri baharini kwa kufanya ukaguzi

na kutoa leseni za vyombo vya baharini, utoaji wa leseni za manahodha na kukuza vyanzo vyake vya

mapato pamoja na kukamilisha kanuni tano za Sheria ya Usafiri Baharini ili ziendelee kutumika. Aidha, Mamlaka itaendelea kudhibiti shughuli za

makampuni na taasisi zinazotoa huduma katika bandari na meli na kuwapatia leseni. Vile vile,

usajili wa meli za kimataifa utafanywa na Mamlaka ya Usafiri Baharini yenyewe na kuondokana na uwakala.

100. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha

2014/2015 Mamlaka imepanga kukusanya jumla ya TZS bilioni 1.380 na kutumia jumla ya TZS bilioni 1.359 kwa matumizi ya kazi za kawaida

ikiwemo ruzuku ya TZS milioni 300 ya mishahara ya Mamlaka.

Page 52: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

52

Huduma za Bandari

(ii) SHIRIKA LA BANDARI

101. Mheshimwa Spika, Shirika la Bandari lina jukumu la kutoa huduma za uingizaji na utoaji

meli katika bandari za Unguja na Pemba, ufungaji na ufunguaji wa meli kwenye gati, uangalizi wa alama za kuongozea usafiri wa meli (minara na

maboya), uteremshaji na upakiaji wa bidhaa kwenye meli pamoja na vyombo vyengine vya

usafiri wa baharini. Vile vile, Shirika lina wajibu wa kuhifadhi mizigo na utunzaji wake katika Bandari pamoja na kuvifanyia matengenezo madogo

madogo vyombo mbali mbali vya usafiri wa Baharini kwa kutumia Karakana yake ya Malindi.

HATUA ZA UTEKELEZAJI (2013/2014)

102. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka

2013/2014 Shirika lililenga kuhudumia meli za kigeni 180 zenye uzito wa ujazo (GRT) 2.6

milioni. Hadi kufikia mwezi Machi 2014 jumla ya meli za Kigeni 152 zenye uzito wa ujazo (GRT)

2.27 milioni zimehudumiwa sawa na asilimia 84 ya lengo. Aidha, meli za ndani zipatazo 2,913 zimehudumiwa pamoja na vyombo vya kienyeji

4,617 kati ya vyombo 4,100 vilivyokadiriwa. Shirika pia, limehudumia jumla ya tani 49,363

ukilinganisha na tani 53,245 za mizigo

Page 53: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

53

mchanganyiko zilizohudumiwa katika kipindi kilichopita. Vile vile, Shirika limehudumia jumla

ya makontena 44,276 ikilinganishwa na makontena 38,341 yaliohudumiwa katika kipindi

kama hicho kilichopita.

Kwa upande wa abiria jumla ya abiria 1,776,101 wa ndani na abiria wa nje 2,654

wamehudumiwa kupitia bandari za Unguja na Pemba.

Kazi za Kiufundi:

103. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai 2013 hadi Machi 2014 Karakana kuu ya

Shirika ilifanya kazi ya ubadilishaji wa Maboya matatu (3) yanayotumia taa za nguvu ya jua

(Solar Power) katika Bandari ya Mkoani na Boya moja (1) katika Bandari ya Wete.

104. Mheshimiwa Spika, Shirika kupitia

karakana yake hiyo pia, imeyafanyia matangenezo maboya manne (4) ya Solar

pamoja na kuunda maboya saba (7) bubu ambapo maboya mawili (2) ni kwa ajili ya Meli za mafuta katika Bandari ya Wesha na matano (5)

kwa ajili ya kuongozea vyombo vya baharini katika Bandari hiyo.

Page 54: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

54

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

105. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai 2013 hadi Machi, 2014 Shirika limetekeleza

miradi ifuatayo:-

i. Matengenezo ya sakafu ya eneo la

kuhifadhia makontena bandarini Malindi. Kazi za kuchimbua, kujaza kifusi na kushindilia eneo hilo zimefanyika. Jumla

ya TZS milioni 164.01 zimetumika kugharamia mradi huu.

ii. Ujenzi wa jengo la Afisi bandarini. Mradi

huu umeshakamilika na kukabidhiwa

Shirika katika mwezi wa Aprili 2014 ambapo jumla ya TZS milioni 958.74

zimetumika.

iii. Ununuzi na Ufungaji wa Taa za Solar

katika minara yote mikubwa ya kuongozea Meli iliopo Unguja na Pemba. Taa hizo tayari zimenunuliwa na

zimeshafungwa katika minara yote mikubwa minane (8) ya Unguja na Pemba

na zinafanya kazi kama ilivyokusudiwa. Jumla ya USD 221,700 zimetumika.

iv. Ununuzi wa tagi kubwa kwa ajili ya

ufungaji na ufunguaji wa meli katika

Page 55: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

55

bandari ya Malindi. Taratibu za manunuzi zimekamilika na Shirika limetiliana saini

Mkataba wa matengenezo ya Tagi hiyo katika mwezi wa Machi, 2014 na

Mkandarasi aliyeshinda Zabuni. Ujenzi wa chombo hicho utaanza mara tu Shirika litakapofanya malipo ya awali (Down

Payment) na unatarajiwa kuchukua miezi sita (6). Mradi huu utagharimu jumla ya

Euro milioni 4.4 ambapo kwa sasa jumla ya Euro milioni 1.32 zimeshalipwa sawa

na TZS bilioni 3.05.

v. Uchimbaji wa Mchanga (Dredging) katika

Gati ya Malindi. Mradi huu haujaanza kutokana na hali ya kifedha kwa hivi

sasa. Hata hivyo Shirika limekusudia kuutekeleza mradi huo mara tu hali itakaporuhusu.

MAPATO NA MATUMIZI YA SHIRIKA

106. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai 2013 hadi Machi, 2014 Shirika lilikadiria

kukusanya jumla ya TZS bilioni 12.81. Hadi kufikia mwezi wa Machi, 2014 jumla ya TZS bilioni 14.60 zilikusanywa ikiwa ni sawa na

asilimia 114 makadirio ya kipindi hicho cha miezi tisa. Aidha, Shirika lilipanga kutumia

jumla ya TZS bilioni 10.63 na hadi kufikia

Page 56: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

56

Machi 2014 jumla ya TZS bilioni 10.47 pia zimetumika kwa kazi za kawaida sawa na

asilimia 98.51.

MALENGO YA SHIRIKA KWA MWAKA

2014/2015

107. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka

2014/2015 Shirika la Bandari linatarajia kuhudumia jumla ya meli 185 za kigeni zenye uzito (GRT) wa Tani 2.7 milioni, Meli za ndani

zipatazo 3,500 na Majahazi 5,000 pamoja na kuhudumia tani 86,140 za mzigo mchanganyiko

na makontena 59,116.

108. Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa miradi ya maendeleo Shirika linatarajia kuendelea na uimarishaji wa huduma na

rasilimali zake kwa kuikamilisha miradi iliyoanzishwa mwaka wa Fedha unaomalizika

kama ilivyoelezwa hapo juu pamoja na kuendelea na awamu ya tatu ya mradi wa ununuzi wa vifaa vya kunyanyulia mizigo

bandarini.

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Shirika la Bandari limekadiria kukusanya jumla ya TZS bilioni 19.81. Aidha katika kutekeleza malengo

yake Shirika limepanga kutumia jumla ya TZS bilioni 16.22 kwa kazi za kawaida.

Page 57: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

57

(iii) SHIRIKA LA MELI NA UWAKALA.

109. Mheshimiwa Spika, Shirika la Meli na Uwakala limeendelea kutoa huduma za usafiri

wa baharini baina ya visiwa vya Unguja na Pemba kwa kutumia meli ya MV Maendeleo. Aidha, Shirika limekodisha meli ya MT

Ukombozi kwa kampuni ya GAPCO. Changamoto kubwa inayoikabili Shirika ni

uchakavu wa meli zake. Ili kukabiliana na changamoto hii Shirika liliendelea na utaratibu

maalum wa “preventive maintenance” kwa ajili ya kupunguza matumizi makubwa yatokanayo na matengenezo ya meli. Utaratibu huu

ulianzishwa mwaka jana kupitia ajira za mkataba za Wahandisi bingwa wa

matengenezo ya meli kutoka Kenya. Wataalamu hao kwa kushirikiana na Wahandisi wetu wameweza kuzifanya meli za Shirika

ziendelee kufanyakazi vizuri.

HATUA ZA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2013/2014)

110. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai

2013 hadi Machi 2014 meli ya MV. Maendeleo

imefanya safari 100 kwa kusafirisha abiria na mizigo katika visiwa vyetu. Kwa upande wa

abiria na mizigo, jumla ya abiria 82,980

Page 58: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

58

walisafirishwa kwa kutumia meli hiyo na shehena ya mizigo tani 17,218.986. Aidha,

Shirika limehudumia meli za kigeni zipatazo 128 zilizoingia nchini kwa kutumia bandari zetu.

MAPATO NA MATUMIZI YA SHIRIKA.

111. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha

Julai 2013 hadi Machi 2014 Shirika lilikusanya

jumla ya TZS bilioni 4.315 sawa na asilimia 79 ya makisio ya mwaka 2013/2014. Kati ya hizo

TZS bilioni 1.26 zilitokana na meli ya MV Maendeleo na TZS bilioni 1.24 kutoka meli ya MT. Ukombozi na TZS bilioni 1.28 kwa Uwakala

wa meli za kigeni.

Kwa upande wa matumizi, jumla ya TZS 4.314 bilioni sawa na asilimia 85 ya makisio ya

mwaka 2013/2014 zilitumika. MALENGO YA SHIRIKA KWA MWAKA

2014/2015

112. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2014/2015 Shirika linategemea

kukusanya jumla ya TZS bilioni 6.63 kutokana na vianzio vyake vya mapato na kutumia jumla ya TZS bilioni 5.761 kwa matumizi ya kazi za

kawaida.

Page 59: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

59

113. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2014/2015 Shirika litaendelea kutekeleza

majukumu yake ya uendeshaji wa meli za Serikali kwa kusafirisha abiria na mizigo kwa

kutumia meli ya MV Maendeleo. Aidha, Shirika litaendelea na utaratibu maalum wa “preventive maintenance” ulioanzishwa mwaka jana kwa

ajili ya kupunguza matumizi makubwa yatokanayo na matengenezo ya mara kwa

mara ya meli na kuzifanya meli zetu ziendelee kufanya kazi vizuri hadi pale taratibu za

upatikanaji wa meli mpya zitakapokamilika.

Vile vile, Shirika litaendelea na taratibu za kuajiri kwa mkataba wahandisi kwa kazi za

melini (Sign-on/Sign- off) na kuendelea kutoa huduma za uwakala wa meli za kigeni

zinazoingia nchini kwa kutumia bandari zetu.

Page 60: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

60

III: HITIMISHO.

114. Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Wizara

ya Miundombinu na Mawasiliano, napenda kuwashukuru kwa dhati wale wote

walioshirikiana nasi katika kipindi cha mwaka wa fedha 2013/2014 katika utekelezaji wa majukumu yetu. Shukurani za pekee ziwaendee

Washirika wa Maendeleo walioendelea kushirikiana nasi katika kutekeleza programu na

mipango yetu ya uimarishaji miundombinu ya usafiri na mawasiliano. Washirika hao ni

pamoja na Jamhuri ya Watu wa China, Norway, Japan, Saudi Arabia, India, Marekani, Ujerumani, Oman na UAE. Mashirika ya

Kimataifa ni pamoja na Benki ya Dunia (World Bank), China Exim Bank, Jumuiya ya Nchi za

Ulaya (EU), Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB), Benki ya Kiarabu kwa Maendeleo ya Afrika (BADEA), Mfuko wa Umoja wa

Maendeleo ya Kimataifa wa Nchi Zinazosafirisha Mafuta kwa Wingi ulimwenguni (OPEC Fund),

SAUDI Fund, NORAD, Mashirika ya Umoja wa Mataifa ya UNDP, IMO na ICAO.

115. Mheshimiwa Spika, nitakuwa mchoyo wa

fadhila nisipowashukuru viongozi wenzangu na nikianza na Mhe. Issa Haji Ussi Gavu, Naibu

Waziri, Dkt. Juma Malik Akil, Katibu Mkuu, Nd. Tahir M.K. Abdullah na Wakurugenzi wote.

Page 61: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

61

Aidha, nawashukuru Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya

Wizara, Wakuu wa Vitengo pamoja na wafanyakazi wote wa Wizara ya Miundombinu

na taasisi zake kwa kuendelea kujituma kwa juhudi na maarifa katika kutekeleza malengo na majukumu ya Wizara yetu.

116. Mheshimiwa Spika, tunawashukuru wadau wote wa sekta ya usafiri na mawasiliano

na hasa sekta binafsi ambao wametupatia ushirikiano wa kutosha katika kuendeleza sekta

hii. Shukurani zangu za pekee nazitoa kwa Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali na wafanyakazi wote wa Ofisi ya Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali

kwa kuchapa vizuri hotuba hii.

Page 62: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

62

IV: MAOMBI YA FEDHA KWA MWAKA 2014/2015

117. Mheshimiwa Spika, kwa madhumuni ya

kuiwezesha Wizara ya Miundombinu na

Mawasiliano kutekeleza majukumu yake na malengo yaliyoelezwa katika hotuba hii, naomba kutoa hoja kwamba, Baraza lako

Tukufu liidhinishe jumla ya TZS bilioni 14.077 kwa ajili ya matumizi ya Wizara kwa mwaka wa

fedha 2014/2015. Kati ya fedha hizo, TZS bilioni 5.677 ni kwa ajili ya kazi za kawaida na

TZS bilioni 8.40 ni kwa ajili ya kazi za maendeleo.

Aidha, naliomba Baraza lako Tukufu kuruhusu

Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano kukusanya mapato ya jumla ya TZS

436,000,000 kutokana na vianzio mbalimbali vilivyomo ndani ya Wizara hii.

118. Mheshimiwa Spika

Naomba kutoa hoja.

Page 63: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

63

KIAMBATANISHO NAMBA 1:

SEHEMU A: MUHTASARI WA MAKADIRIO YA FEDHA KWA KAZI ZA KAWAIDA, MAENDELEO NA MAPATO KWA KIPINDI CHA

JULAI 2013 HADI MACHI 2014 NA MAKISIO YA MWAKA 2014/2015

KASMA

MATUMIZI

HALISI

2012/2013

MAKADIRIO

2013/2014

FEDHA HALISI Julai 2013-Machi 2014 Asilimia Makisikio

Mishahara/

Maposho

Matumizi

Mengineyo

Jumla

%

2014/2015

0301 PEMBA 1,074,213,708 1,277,000,000 733,060,300 125,664,000 858,724,300 67% 1,362,501,000

0401 MIPANGO 108,007,210 288,000,000 0 83,137,770 83,137,770 29% 200,585,000

0501 MAMLAKA YA USAFIRI BAHARINI. 0 238,000,000 178,560,000 0 178,560,000 75% 300,000,000

0701 UUB 1,271,433,402 250,000,000 0 81,282,842 81,282,842 33% 165,488,000

0801 LESENI 447,121,180 300,000,000 0 64,298,000 64,298,000 21% 200,585,000

Page 64: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

64

KASMA

MATUMIZI

HALISI

2012/2013

MAKADIRIO

2013/2014

FEDHA HALISI Julai 2013-Machi 2014 Asilimia Makisikio

Mishahara/

Maposho

Matumizi

Mengineyo

Jumla

%

2014/2015

0901 UENDESHAJI 1,135,464,070 2,583,400,000 1,798,064,362 217,946,860 2,016,011,222 86% 3,269,114,000

0110 MAWASILIANO 104,294,460 255,600,000 0 80,039,000 80,039,000 31% 179,527,000

JUMLA 4,140,534,030 5,192,000,000 2,709,684,662 652,368,472 3,362,053,134 5,677,800,000

Page 65: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

65

Kiambatanisho 1: Inaendelea……………….

SEHEMU B: MAPATO

KASMA

MAPATO

HALISI

2012/2013

MAKADIRIO

2013/2014

FEDHA

ZILIKUSANYWA

JULY-MACHI

2013/2014

ASILIMIA %

MAKISIO

2014/2015

0301 PEMBA 47,882,500 50,200,000 44,550,559 89% 62,000,000

0701 UUB 6,650,000 10,000,000 3,480,000 35% 10,000,000

0801 LESENI 339,833,650 346,000,000 266,218,300 77% 364,000,000

JUMLA 394,366,150 406,200,000 314,248,859 77% 436,000,000

Page 66: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

66

Kiambatisho 1: Inaendelea……………….

SEHEMU C: KAZI ZA MAENDELEO

KASMA

MATUMIZI

HALISI

2012/2013

MAKADIRIO

2013/2014

FEDHA

ZILIZOPATIKANA

JULY-MACHI

2013/2014

ASILIMIA % MAKISIO

2014/2015

0301 PEMBA 2,501,829,904 4,723,356,000 3,120,000,000 66 3,325,000,000

0401 MIPANGO 897,270,096 7,976,644,000 822,798,204 10 3,325,000,000

0701 UUB 1,609,544,000 2,200,000,000 433,532,436 20 1,750,000,000

JUMLA 5,008,644,000 14,900,000,000 4,376,330,640 96 8,400,000,000

Page 67: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

67

KIAMBATANISHO NAMBA 2:

MIRADI YA MAENDELEO ILIYOPANGWA/KUTEKELEZWA 2014/2015

NA. UJENZI UREFU (km) MFADHILI BAJETI YA SMZ

(Tsh)

RUZUKU/

MKOPO (Tsh)

1. Ujenzi wa barabara 3 za Pemba

Wete – Gando (13.6)

Wete – Konde (15.1)

Wete – Chake (24)

52.7 SMZ/BADEA

/SAUD FUND 2,425,000,000 11,999,998,000

2 Ujenzi wa barabara 3 za Pemba

Wete – Chake (mradi mpya) 24 SMZ/BADEA

/SAUD FUND 100,000,000 0

3. Ujenzi wa barabara ya Mgagadu- Kiwani 7.6

SMZ

300,000,000

0

4. Ujenzi wa barabara ya Mkanyageni - Kangani

6.5 SMZ 0 0

5. Ujenzi wa barabara ya Ole – Kengeja

35 SMZ /OPEC 500,000,000 4,392,000,000

Page 68: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

68

NA. UJENZI UREFU (km) MFADHILI BAJETI YA SMZ

(Tsh)

RUZUKU/

MKOPO (Tsh)

6

Upembuzi yakinifu wa barabara za vijijini-Unguja

(Matemwe –Muyuni, Kichwele-Pangeni, Njia nne-

Umbuji-Uroa, Jozani-Charawe-Ukongoroni-Bwejuu

naMkwajuni-Kijini) (mradi mpya)

65.2 AfDB 0 1,754,456,000

7. Ujenzi wa Barabara ya Amani – Mtoni (Benjamin

Mkapa) 4 ROAD FUND 0 0

8 Barabara zinazoingia mjini

77.9 50,000,000 0

9

Ujenzi wa barabara 3 Vijijini -Unguja

Barabara ya Koani – Jumbi (6.3)

Barabara ya Kizimbani – Kiboje (7.2)

Barabara ya Jendele – Cheju – Kaebona (11.7)

25.2

SMZ/BADEA

1,600,000,000

7,500,000,000

JUMLA NDOGO 4,975,000,000 25,646,454,000

- -

10

Ujenzi na utanuzi wa maegesho na njia za kupitia

ndege.

SMZ/WB 975,000,000 14,600,000,000

11 Ujenzi wa jengo jipya la abiria A.AKIA SMZ /EXIM 1,950,000,000 110,840,000,000

Page 69: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

69

NA. UJENZI UREFU (km) MFADHILI BAJETI YA SMZ

(Tsh)

RUZUKU/

MKOPO (Tsh)

CHINA

12 Uimarishaji huduma uwanja wa ndege wa Pemba

SMZ 0 0

13 Ujenzi wa bandari mpya Hubport - Maruhubi SMZ 500,000,000 0

14 Mfumo wa mageuzi ya taasisi (Institutional reform) ADB 0 654,456,000

JUMLA NDOGO 3,425,000,000 126,094,456,000

JUMLA KUU 8,400,000,000 151,740,910,000

Page 70: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

70

KIAMBATANISHO NAMBA 3:

WAFANYAKAZI WALIOPATA MAFUNZO KWA KIPINDI CHA MWAKA 2013/2014.

IDARA MASTERS PG/DIPLOMA DEGREE

ADV.

DIPLOMA DIPLOMA CHETI JUMLA

MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME

UENDESHAJI NA UTUMISHI

1

11 1 1 1 15

MIPANGO,SERA NA UTAFITI 1 3

1

5

IDARA YA MAWASILIANO

1 1

IDARA YA USAFIRI NA LESENI

1

1

3 1

6

IDARA YA UTUNZAJI BARABARA

1 1

3 1

2 8

AFISI KUU PEMBA

1

1 1 1

1 2 1 2 3 13

JUMLA 1 5

1 4 3

1 19 4 3 7 48

Page 71: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

71

MASOMO YA MUDA MFUPI

IDARA W/WAKE W/ME JUMLA

UENDESHAJI NA UTUMISHI 2 7 9

MIPANGO,SERA NA UTAFITI 3 5 8

IDARA YA MAWASILIANO 1 8 9

IDARA YA USAFIRI NA LESENI

3 3

IDARA YA UTUNZAJI BARABARA 2 7 9

AFISI KUU PEMBA 1 7 8

JUMLA 9 37 46

Page 72: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

72

KIMBATANISHO NAMBA 4:

BARABARA ZILIZOFANYIWA MATENGENEZO KUPITIA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA

WA FEDHA 2013/2014

Matengenezo ya kawaida ya barabara za lami (Routine maintenance for paved roads)

Kazi zilizofanywa na wafanyakazi wa idara ya barabara (Force account contract)

(Ukataji wa majani, kusafisha misingi na kuziba mashimo)

SNO JINA LA BARABARA

UREFU (KM)

UNGUJA

1 Tunguu- Makunduchi 34.00

2 Kaebona-Kaepwani 6.00

3 Kibuteni-Kizimkazi Mkunguni 6.00

4 Mkwajuni-Matemwe 7.00

5 Mshelishelini-Pwanimchangani 7.50

6 Mwanakwerekwe-Tunguu 30.00

7 Mchinamwazo-Nyumbambili 1.20

8 Soko la mboga –Buyu 1.20

Page 73: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

73

SNO JINA LA BARABARA

UREFU (KM)

9 Paje-Michamvi 17.82

10 Mtegani-Mtende 5.50

11 Dunga-Chwaka 14.40

12 Paje-Makunduchi 18.40

Jumla ndogo 149.02

PEMBA

1 Chake-Wete 30.00

2 Kilindini-micheweni 6.00

3 Konde-Kiuyu kwa Manda 3.50

4 Mkoani-Makombeni 5.00

5 Bogoa-Michenzani 3.00

6 Chanjaani-M/manne 4.00

7 Mbuguani-Mkoani Port 2.00

8 Mkoani-Shindi 2.20

Page 74: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

74

SNO JINA LA BARABARA

UREFU (KM)

9 Mkoani-Ng'ombeni school 0.50

Jumla ndogo 56.20

Page 75: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

75

KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA……………..

Matengenezo ya sehemu korofi - uwekaji wa lami

SNO JINA LA BARABARA UREFU KM MAELEZO

UNGUJA

Kazi zimeanza

1 Upenja-Kiwengwa 1.30

2 Mkwajuni-Matemwe (sehemu ya Kilimani) 0.17

3

Uwekaji wa taa za nguvu za jua (Sola) za kuongozea magari na CCTV sehemu ya

makutano ya barabara Malindi, Mkunazini na Kwamchina mwanzo

4 Mwanakwerekwe-Tunguu ( Sehemu

yaTunguumwisho ) 6.00

JUMLA 7.47

Page 76: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

76

Matengenezo ya muda maalum (Periodic maintenance)

SNO JINA LA BARABARA UREFU KM MAELEZO

UNGUJA

1 Kikwajuni-Kisiwandui via Wireless (kiwango cha

lami) 0.50

Mkandarasi anafanya

matayarisho 2 Buyu-Chukwani (Kiwango cha lami) 0.70

3 Fuoni-Kibondemzungu (Kiwango cha kifusi) 2.00

4 Amani-Mtoni (uwekaji wa kingo za zege awamu

ya kwanza katikati ya barabara)- 1.6km Kazi zimekamilika

5 Njia nne-Umbuji (Kiwango cha lami) 5.00 Kazi zinaendelea

6 Kivunge-Mkokotoni (Uwekaji wa lami) 3.30 Kazi zimekamilika

7 Mkwajuni-Mshelishelini (Uwekaji wa lami) 2.00 Kazi zimekamilika

8 Kwaabasi Hussein-Kilimahewa (Kiwango cha lami) 0.30 Kazi zimekamilika

JUMLA NDOGO 13.80

PEMBA

1 Barabara ya Mtaa wa Kilo road (Kiwango cha

kifusi) 0.40

Kazi zinaendelea

2 Barabara ya Mtaa wa Selemu (Kiwango cha 0.80

Page 77: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

77

SNO JINA LA BARABARA UREFU KM MAELEZO

kifusi)

3 Barabara ya Msitu wa Ngezi (kwa kiwango cha

Saruji na udongo) 1.20 Kazi zimekamilika

4 Melitano-Madenjani (Kiwango cha lami) 12.30 Taratibu za manunuzi

zinaendelea

5 Chake-Wesha (Kiwango cha lami) 1.00 Kazi zimekamilika

6 Melitano-Machomanne(Kiwango cha lami) 2.20 Kazi zinaendelea

JUMLA NDOGO 17.90

JUMLA KUU UNGUJA NA PEMBA 31.70

Page 78: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

78

KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA……………..

Matengenezo ya dharura

SNO AINA YA KAZI/JINA LA BARABARA UREFU KM MAELEZO

UNGUJA

1 Uchimbaji wa mtaro wa maji-Kwamchina mwanzo

(barabara ya Jang'ombe) kwa awamu ya kwanza 0.23 Kazi zimekamilika

2 Matengenezo ya sehemu korofi sehemu ya Sogea 0.60 Kazi zinaendelea

PEMBA

1 Ujenzi wa mtaro sehemu ya Kwachangawe

barabara ya Mkoani-Chake 0.12 Kazi zimekamilika

Page 79: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

79

Matengenezo/ Ujenzi wa kalvati na mitaro

SNO JINA LA BARABARA IDADI/KM MAELEZO

PEMBA

Kazi zinaendelea

Ujenzi wa kalvati (No)

1 Mgagadu-Kiwani 2

2 Konde –Kiuyu 2

JUMLA 4

Ujenzi wa mitaro (Km)

Ole-Konde 0.20

Chake-Mkoani 0.40

JUMLA 0.60

Page 80: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

80

KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA……………..

MALENGO KWA MWAKA WA FEDHA 2014/2015 KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA

BARABARA - ZANZIBAR.

Matengenezo ya kawaida barabara za lami (Routine maintenance for paved roads) zilizopangwa

kufanywa na Idara ya barabara (Force account contract)

(Ukataji wa majani, kusafisha misingi na kuziba mashimo)

UNGUJA

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

T3 Tunguu-Makunduchi 34.00

R107 Kaebona-Unguja Ukuu 6.00

T8 Paje - Makunduchi 18.00

R109 Mtegani-Mtende 5.50

T002 Dunga - Chwaka 14.42

R108 Kibuteni-Kizimkazi 5.50

R115 M/shelini - P/Mchangani 7.50

R113 Mkwajuni - Matemwe 7.43

Page 81: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

81

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

T7 Pongwe - Matemwe 20.40

R Mfenesini- Bumbwini-Mangapwani 13.82

T8 Paje - Michamvi 17.00

T3 M/kwereke - Tunguu 30.00

F448 Kwamchina mwanzo -Mbuyu mnene/nyumbambili 2.80

U220 Mazizini-Chukwani/U/ndege 9.00

Jumla 191.37

Matengenezo ya kawaida barabara za lami (Routine maintenance for paved roads) zilizopangwa

kufanywa na Idara ya barabara (Force account contract)

(Ukataji wa majani, kusafisha misingi na kuziba mashimo)

Page 82: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

82

PEMBA

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

T31

Chake Chake - Wete 30

R199 Konde - Kiuyu cha Manda 3.5

T31 Chanjaani - M/Manne 4

T31 Mbuguani - Mkoani Port 2

T32 Kilindini - Micheweni 6

U301 Mkoani Port- Ngo'mbeni school 0.5

R161 Mkoani - Makombeni 5

F503 Bogoa - Michenzani 3

F502 Mkanyageni - Shidi 2.2

Jumla 56.20

Page 83: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

83

KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA……………..

Matengenezo ya kawaida barabara za lami (Routine maintenance for paved roads) zilizopangwa

kufanywa na wakandarasi/vikundi vya jamii (Contract account contract) (Ukataji wa majani, kusafisha

misingi na kuziba mashimo)

UNGUJA

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

1 Lot. 1

R119 Bububu - Mndo 3.94

F401 Kwanyanya-Mkanyageni 3.08

R102 Regezamwendo-Mfenesini 14.27

2 Lot.2

F402 Kitundu-Ndagaa 5.50

T2 Amani -Dunga 12.74

F403 Koani - Machui - Kitumba 5.50

R103 Kidimni- Kitope 19.00

3 Lot.3

Page 84: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

84

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

T6 Kinyasini - Tunguu 26.76

T1 Mkwajuni - Nungwi 19.00

4 Lot.4

R114 Upenja - Kiwengwa 8.31

T7 Kipilipilini - Pongwe 14.00

T1 Mahonda - D/Mkokotoni 13.52

R104 Njianne - Bambi 6.50

5 Lot.5

T1 Kwanyanya - Mahonda 19.00

T1 Mahonda-K/Mkokotoni 15.00

6 Lot. 6

T4 Mazizini - Fumba-Kwabakharesa 19.82

R110 Kitogani - Paje 11.60

Lot.7

T1 Malindi jctn-Kwanyanya 10.00

T5 Mnazimmoja - U/ndege 3.00

Page 85: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

85

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

U201 Mtoni- Amani - K/samaki 9.00

Jumla 239.54

Page 86: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

86

KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA……………..

Matengenezo ya kawaida barabara za lami (Routine maintenance for paved roads) zilizopangwa

kufanywa na wakandarasi/vikundi vya jamii (Contract account contract) (Ukataji wa majani, kusafisha

misingi na kuziba mashimo)

PEMBA

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

1 Lot.1

T32 Ole - Konde 25.50

T32 Madenjani - M/Takao 5.50

2 Lot.2

T31 Chajaani - Mbuguani(Mkoani) 27.50

R163 Mtuhaliwa - Chokocho 8.80

3 Lot.3

R178 Machomane - Vitongoji 7.00

R177 Chanjaani - U/Ndege 5.50

R179 Chake Chake - Wesha 8.00

Page 87: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

87

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

4 Lot.4

R164 Mtambile - Kangani 6.4

R174 Chanjamjawiri - Tundauwa 11.0

R175 Chanjaani - Pujini 5.0

R169 Kenya - Chambani 3.2

R165 Mtambile - Mwambe 9.4

R202 Mizingani - Wambaa 9.4

5 Lot.5

R187 Bahanasa-Uondwe (Mtambwe) 10.36

R188 M/takao-Pandani-M/karim 13.44

R190 Kipangani-Kangagani 2.7

R195 Chwale-Likoni 1.9

R198 Mapofu-Finya Bahraini 5.5

R200 Daya-Makongeni 3.65

Jumla 169.75

Page 88: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

88

Matengenezo ya kawaida barabara za kifusi (Routine maintenance for unpaved roads)

zilizopangwa kufanywa na Idara ya barabara (Force account contract)

UNGUJA

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

F413 Kwakisasi via Mwanyanyanya-Bububu school 3.8

F440 Donge- Mwanda 2

F412 Kama-KMKM 2.5

F421 Kijitoupele-Nyarugusu 2.5

F416 Fuoni-Kwarara 0.6

Jumla 11.4

Page 89: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

89

KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA……………..

Matengenezo ya sehemu Korofi (Spot improvement)

PEMBA

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

Mkoani- Chake sehemu ya Kwachangawe 1.20

Matengenezo ya muda maalum (Periodic Maintenance)

Ref JINA LA BARABARA UREFU (KM)

UNGUJA

R101 Bumbwini-Kiongwe School (kwa kiwango cha kifusi) 4.3

T2 M/kwerekwe Makaburini-Fuoni (kwa kiwango cha lami) 1.7

Tomondo Magereza - Mchina mwisho (kiwango cha lami) 1.5

Michenzani- Mtendeni (Kiwango cha lami) 0.7

T1 Kikobweni-Mshelishelini (Kiwango cha lami) 5.28

Jumla 13.48

PEMBA

Page 90: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

90

R199 Melitano-Madenjani (kiwango cha lami) 12.3

Pandani - Mlindo (Kiwango cha kifusi) 2.5

Jumla 14.8

Jumla yote (Unguja na Pemba) 28.28

Matengenezo ya Madaraja/Kalvati Kasha na Mitaro

Ref JINA LA BARABARA IDADI

Ujenzi wa kalvati kasha Unguja na Pemba

T1 Bububu-Mahonda- Ujenzi wa daraja kasha la Kitope 1No

R164 Kangani-Mkanyageni - Ujenzi wa kalvati kasha 1No

Jumla 2No

Ujenzi wa Mitaro barabara za Pemba

T32 ChakeChake-Mkoani road 0.4km

T32 Chake chake -Wete road 0.4km

Jumla 0.8km

Page 91: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

91

KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA……………..

Uwekaji wa alama za barabarani na mipaka ya miliki ya barabara

Ref JINA LA BARABARA IDADI

UNGUJA

Uwekaji wa alama za miliki ya barabara (Road reserve posts)

U204 Amani-Dunga road (10km) 100No

T1 Bububu - Mahonda (21km) 210No

Jumla 310No

Page 92: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

92

Uwekaji wa alama za usalama barabarani (Road signs)

U204 Amani-Dunga road (10km) 60No

T1 Bububu - Mahonda (21km) 10No

Jumla 70No

Uchoraji wa mistari kwenye barabara (Road marking)

U201 Barabara ya Amani-Mtoni road (4km-4lines) 12,000m2

Jumla 12,000m2

Page 93: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

93

KIAMBATANISHO NAMBA 5:

UKAGUZI WA VYOMBO VYA MOTO JULAI 2013 HADI MACHI 2014:

AINA YA

VYOMBO

IDADI YA VYYOMBO VYA MOTO VILIVYOKAGULIWA

JUMLA

UKAGUZI WA

KAWAIDA

UKAGUZI WA

SHAKA

UKAGUZI WA

AJALI

UNGUJA PEMBA UNGUJA PEMBA UNGUJA PEMBA

GARI 12,573 1,050 75 13 548 33 14,292

MOTORCYCLE 11,274 1,912 22 3 221 7 13,439

JUMLA 23,847 2,962 97 16 769 40 27,731

Page 94: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

94

Kiambatanisho 5: Inaendelea……………….

RUHUSA ZA NJIA NA USAFIRISHAJI

MAHALI

ZILIPOTOEWA

AINA YA HUDUMA ILIOTOLEWA

Daladala Shamba P/Hire Taxi Mizigo School Staff H/Drive Jumla

UNGUJA 369 301 342 205 280 22 27 00 1,546

PEMBA 29 201 12 18 90 00 00 00 350

JUMLA 398 502 354 223 370 22 27 0 1,896

Page 95: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

95

Kiambatanisho 5: Inaendelea……………….

TAKWIMU ZA MADEREVA WALIOJARIBIWA KUENDESHA VYOMBO VYA MOTO:

AINA YA

MADEREVA

WALIOJARIBIWA

KUENDESHA

WALIOFAULU

KUENDESHA

WALIOFELI

KUENDESHA

Gari M/c Jumla Gari M/c Jumla Gari M/c Jumla

UNGUJA 2,443 1,473 3,916 1,775 1,301 3076 633 207 840

PEMBA 918 887 1,805 868 381 1,249 346 210 556

JUMLA 3,361 2,360 5,721 2,643 1,682 4,325 979 417 1,396

Page 96: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

96

Kiambatanisho 5: Inaendelea……………….

UTOAJI WA LESENI KWA MADEREVA WANAFUNZI

DARAJA M A B1 B C1 C D1 D E G JUMLA

UNGUJA 34 2,511 2,646 6 453 290 968 308 2 0 7,218

PEMBA 0 478 251 75 43 13 51 74 0 0 985

JUMLA 34 2,989 2,897 81 496 303 1,019 382 2 0 8,203

Page 97: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

97

Kiambatanisho 5: Inaendelea……………….

UKUSANYAJI WA MAPATO

S/No Aina ya mapato Unguja Pemba jumla

1 Majaribio ya madereva 41,288,500 7,478,500 48,767,000

2 Ukaguzi wa vyombo 156,270,000 16,569,500 172,839,500

3 Fomu za maombi 32,971,400 8,370,000 41,341,400

4 Kadi za njia 26,298,900 1,840,000 28,138,900

5 Mapato mengineyo 9,390,000 10,292,559 19,682,559

Jumla 266,218,800 44,550,559 310,769,359

Page 98: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

98

KIAMBATANISHO NAMBA 6:

IDADI YA NDEGE ZILIZOHUDUMIWA KATIKA KIPINDI CHA JULAI 2013 HADI MACHI 2014

AINA YA

NDEGE

IDADI YA NDEGE

2012/2013

JUMLA

IDADI YA NDEGE

2013/2014

JUMLA

UNGUJA PEMBA UNGUJA PEMBA

SCHEDULE 22,369 6,096 28,465 21,977 7,014 28,991

CHARTER 13,568 236 13,804 15,257 268 15,525

CARGO 4 - 4 124 - 124

PRIVATE 663 - 663 421 - 421

MILITARY 54 - 54 38 - 38

OTHERS 281 68 349 636 66 702

JUMLA 36,939 6,400 43,339 38,453 7,348 45,801

Page 99: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

99

Kiambatanisho 6: Inaendelea……………….

IDADI YA ABIRIA WALIOHUDUMIWA KATIKA KIPINDI CHA JULAI 2013 HADI MACHI 2014

KIWANJA IDADI YA ABIRIA

2012/2013

JUMLA IDADI YA ABIRIA

2013/2014

JUMLA

International Domestic International Domestic

UNGUJA 256,637 343,468 600,105 302,460 366,344 668,804

PEMBA 37 49,582 49,619 19 58,328 58,347

JUMLA 256,674 393,050 649,724 302,479 424,672 727,151

Page 100: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

100

Kiambatanisho 6: Inaendelea……………….

KAMPUNI ZA NDEGE ZILIZOTUMIA KIWANJA CHA NDEGE CHA ABEID AMANI KARUME KWA

MWAKA 2013/2014

S/N JINA LA KAMPUNI VITUO NCHI INAYOTOKA

1 Precision Dar, Kilimanjaro, Mombasa,

Nairobi

Tanzania

2 Coastal Travel Zanzibar, Dar, Arusha,Tanga Tanzania

3 Zan Air Zanzibar, Pemba, Dar, Arusha Tanzania

4 Auric Air Dar, Zanzibar, Pemba Tanzania

5 Flight Link Dar, Zanzibar, Pemba Tanzania

6 Air Advanture Zanzibar, Dar, Arusha Tanzania

7 As Salam Air Dar, Zanzibar, Pemba,Tanga Tanzania

Page 101: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

101

S/N JINA LA KAMPUNI VITUO NCHI INAYOTOKA

8 Pelican Air Dar, Zanzibar Tanzania

9 Regional Air Dar, Zanzibar Tanzania

10 Safari Air Link Dar, Zanzibar Tanzania

11 Shine Aviation Dar, Zanzibar Tanzania

12 Tanzan Air Dar, Zanzibar Tanzania

13 Tropical Air Dar, Zanzibar, Pemba ,Arusha Tanzania

14 Zenith Aviation Dar, Zanzibar, Pemba Tanzania

15 Twin Wing Dar, Zanzibar Tanzania

16 Air Excel Zanzibar, Dar, Arusha Tanzania

17 Fast Jet Kilimanjaro, Zanzibar Tanzania

18 Ethiopian Airline Addis- Ababa Ethiopia

19 540 Aviation Mombasa, Nairobi Kenya

20 Kenya Airways Mombasa, Nairobi Kenya

Page 102: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

102

S/N JINA LA KAMPUNI VITUO NCHI INAYOTOKA

21 Meridian Fly Milan, Malpensa Italy

22 Condor Frankfut, Mombasa Germany

23 Tui Airline Brussels Belgium

24 Travel Service Budapest Hungary

25 Neos Air Milan Italy

26 Oman Air Muscat Oman

27 Livingstone Milan, Mombasa Italy

28 Arkefly Amsterdam, Huhgada, Mombasa Netherlands

29 Alitalia Milan, Mombasa Italy

30 Mango Johannesburg South Africa

31 Xl Airways France France France

Page 103: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

103

KIAMBATANISHO NAMBA 7:

ORODHA YA MELI ZILIZOSAJILIWA CHINI YA USAJILI WA NDANI ( LOCAL REGISTRY )

KIPINDI CHA

JULY 2013 – MACHI 2014

S/N JINA LA MELI UZITO (GRT)

1. FATMAH-ZEHRA 341.38

2. COMARCO 185 629

3. CORMACO 186 629

4. CORMACO 184 629

5. NGATI HAKA 258

6. BERKAT MENJALA N0. 23 587

7. SEMUDERA PACIFIC NO. 3 498

8. ALRABEE1 1515

9. FATIMA (EX TORGELOW) 299.48

10. MUNEERA ( EX SEMLOW) 299

11. TANYA 1295

12. MEISA 949

Page 104: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

104

S/N JINA LA MELI UZITO (GRT)

13. SVS GUARDSMAN 168

14. SVS AVERY 168

15 MARTIAL 863

JUMLA 9,127.86

Page 105: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

105

Kiambatanisho 7: Inaendelea……………….

MELI ZILIZOSAJILIWA CHINI YA USAJILI KUPITIA ‘ TANZANIA ZANZIBAR

INTERNATIONAL REGISTER OF SHIPPING’’ KIPINDI CHA JULY 2013 – MACHI 2014

S/N Name of Vessel UZITO (GRT)

1 RANYRAN 479

2. CANTE 13,322

3. ARABIAN SUN 2 412

4. SEA BIRD 1 215

5. SEA BIRD 3 248

6. AURIGA 55,962

7. TABUN 26639

8. SAN JOSE 168

9. MED STAR 3,909

10. MEGAH CEMENT 6,774

11 PENTA 387.24

12. SYMPHONY 44190

13. BARAWATI 55042

Page 106: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

106

S/N Name of Vessel UZITO (GRT)

14. PERGIWO 23496

15. RODE 20818

16. SEA BREEZE 5306

17. AL KHALEEJ 1 359

18. Vare 17183

19. Danhaibianmao 171 125

20. Danhaibianmao 187 125

21. Danhaibianmao 189 125

22. Shuang Yang 199

23. SSE Angelina 158

24. Hai Jie 198

25. Harmony Liverstock 2062

26. SSE Rhonica 30

27. Pendora 49.6

28. Roula 11506

29. Kathy 203

30. Hamza 5 224

31. Sulaiman 161

Page 107: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

107

S/N Name of Vessel UZITO (GRT)

32. Capricorn 2187

33. Quality 712

34. Falcon 1 861

35. Onassis 671

36. Friendship I 683

37. Al Khaleej 4 205

38. Santa Cruz 179

39. Revana 1288

40. Crystal Sun 4722

41. Zheng Ying 168

42. Grann. St. Anne 1048

43. Lampunchai 1381

44. Mandalay 420

45. Hao Xiang 66 1967

46. Malak 1040

47. New Falcon 4066

48. Rahma 1473

49. Ang Quan 11042

Page 108: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

108

S/N Name of Vessel UZITO (GRT)

50. Heng Yang 77 375

51. Delta 1 2867

52. Revana I 1332

53. Al Wakra 3423

54. Hong Yuan 643

55. Gulf Trader 1197

56. Chang Da 124

57. Chun Hing N0. 1 177

58. Sea Sul I 2472

59. SL-D10 958

60. Hamal 422

61. Munsu 675

62. Victoria Star 1485

JUMLA 343,653.84

Page 109: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

109

KIAMBATANISHO NAMBA 8:

HUDUMA ZA MELI

S/NO

AINA YA MELI

KIPINDI

ONGEZEKO/

PUNGUZO (%) JULAI, 2012 –

MACHI, 2013

JULAI 2013 –

MACHI, 2014

1. Meli za Nje 133 152 14.29

2. Uzito wa Meli (GRT) 1,929,141 2,227,955 15.49

3. Meli za Ndani 4,050 2,913 (28.07)

4. Mjahazi 4,456 4,617 3.61

Page 110: HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA … · uanzishwaji wa Chuo cha Ubaharia kwa kuanzia na Upembuzi yakinifu ikiwemo uhakiki wa kisheria, kuandaa malengo ya muda mfupi na

110

Kiambatanisho 8: Inaendelea……………….

HUDUMA ZA MIZIGO

S/NO AINA YA MIZIGO

KIPINDI ONGEZEKO/ PUNGUZO

(%) JULAI, 2012 –

MACHI, 2013

JULAI, 2013 –

MACHI, 2014

1. Mzigo Mchanganyiko 53,245 49,363 (7.29)

2. Makontena 38,341 44,276 15.48

3. Mafuta 26,711 40,133 50.25

4. Mzigo wa Majahazi 83,785 116,802 39.41

5. Abiria wa Ndani 1,641,849 1,776,101 8.18

6. Abiria wa Kigeni 2,053 2,654 29.27