32
Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva kinachohusika na mapatano juu ya haki ya watoto. Kisehemu kinachohusika na Ajira ya Watoto. aina mbaya zaidi za Ajira ya Watoto (SKW / ILO) juu ya Je wajua... ILO/IPEC Kenya ILO/IPEC Kenya ILO/IPEC Kenya

ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Mapatano mapya(1999) ya shirika ya

kimataifa la wafanyikazi

Kimeandikwa na:

kikundi cha mashirika yasiokuwa yakiserikari cha Geneva kinachohusika namapatano juu ya haki ya watoto.

Kisehemu kinachohusikana Ajira ya Watoto.

aina mbaya zaidi za

Ajira ya Watoto

(SKW / ILO) juu ya

Je wajua...ILO/IPEC Kenya

ILO/IPEC Kenya

ILO/IPEC Kenya

Page 2: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

...kuhusu mapatanomapya ya shirika la

kimataifa lawafanyikazi juu ya

aina mbaya zaidi zaajira ya watoto?

...kuhusu mapatanomapya ya shirika la

kimataifa lawafanyikazi juu ya

aina mbaya zaidi zaajira ya watoto?

Mwandishi na Mhariri: Pins BrownUsanifu na Mpangilio: Becky SmagaTafsiri (Kifaransa): Marguerite HarrisonTafsiri (Kihispania): Jorge CastillaTafsiri (Kiswahili): Bobby MkangiTifsiri ya Kiswahili imewezeshwa na:African Network for the Prevention and ProtectionAgainst Child Abuse and Neglect (ANPPCAN)Regional Office, Nairobi, Kenya

Page 3: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Kikundi kidogo cha Ajira ya

Watoto cha Kundi la Mashirika

Yasiyo Ya Kiserikali la Mkataba wa

Haki Za Watoto

Kijitabu cha Kikundi kidogo cha Ajira

ya watoto Kuhusu Mkataba wa 182.

“Kutekeleza Sera za

Ajira ya Watoto, Serikali

ni lazima zitegemee

sana uhamasishaji na

ujihusishaji wa dhati wa

Mashirika Yasiyo ya

Kiserikali…changamoto Kwa

Serikali ni kuunda na kuendeleza

miungano dhidi ya Ajira za watoto

zinazohusisha vikundi visivyo vya

kiserikali na mara nyingine vya

kujitolea vilivyo vya

mashinani, sekta

binafsi na watu binafsi.

Kutekeleza Mkataba wa Haki za Watoto:Uhamasishaji wa rasilmali katika mataifayenye mapato madogo.Ed. James R. Himes, 1995.

YALIYOMO UKURASA

1. Utangulizi 4

2. Mapatano ya 182: sehemu kuuNa maana yake 5

3. Pendekezo la 190: vipengeleMuhimu na maana yavyo 7

4. Mipango ya utendaji yaNgazi za Kitaifa 10

Ni nani anayeweza kufaidikaNa mikataba hii 11

Mapatano ya 182 yanahusianaVipi na Mapatano ya HakiZa watoto ya UmojaWa Mataifa? 12

Jukumu la SKW (ILO)Katika utekelezaji waMkataba wa 182 naPendekezo la 190 13

Jinsi Mashirika YasiyoYa kiserikali yanavyowezaKutumia Mapatano ya 182 naPendekezo la 190 – Kujihusishana mipango ya utendaji 14

5. Togo: Uchunguzi kifani 15

6. Shirika la Undugu la Kenya 16

7. Shirika la ustawi wa watoto la kenya 21

8. Kituo cha Sinaga cha wanawakena ajira ya watoto 22

9. Jukumu la muungano mkuu wawafanyikazi (Cotu-K) 23

10. Halmashauri Ya Tanzania YaMaendeleo Ya Kijamii (Tacosode) 24

11. Juhudi Za Shirika La AmwikKuinua Ufahamu 27

12. Machapisho yanayohusika NaMapatano ya 182 Orodha yamachapisho na mahali pa kuyapata 28

13 Mashirika yanayohusikana Anwani 29

3

Page 4: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

1. Utangulizi

Kijitabu hiki kimechapishwa na Kikundikidogo kinachohusika na Ajira ya Watotocha Kundi la Mashirika yasiyo yaKiserikali la mapatano ya Haki za watoto.Kundi hili ni muungano wa zaidi yaMashirika hamsini (50) ya Kimataifayasiyo ya Kiserikali yaliyoko Geneva,ambayo azma yao ni kurahisishauimarishaji, utekelezaji na ufuatiliaji wautekelezaji wa mapatano ya Haki zawatoto. Kundi hili limegawanyika kwabaadhi ya makundi madogo yanayogusiamasuala ya viini mbali mbali. Moja yahivyo ni hili la Ajira ya Watoto. Linamashirika zaidi ya ishirini (20) yakimataifa na ya kitaalamu.

Mapatano ya Haki za watoto ya Umoja waMataifa yaliopitishwa mwaka wa 1989,yalivutia usikivu na uangalifu wa Jumuiyaya kimataifa, maeneo na katika mataifa,kwamba masuala ya watoto ni haki zakibinadamu. Uzinduzi wa msingi wamtazamo wa Haki za kibinadamu kwawatoto kupitia mapatano haya, ulikuwa nikiini cha Mkataba wa 182 wa Shirika LaKimataifa La Ajira (ILO) wa 1999 kuhusuMifumo mibaya zaidi ya Ajira ya Watotounaozifuata nyayo za Mkataba wa Haki zaWatoto ambao unapendekeza ulinzi wawatoto dhidi ya kazi zinazowadhuru nakuwanyonya.

Kwa vikundi vya haki za watoto, dhamiraya kijitabu hiki ni kuonyesha uwezouliopo katika kujihusisha na utekelezajiwa Mkataba wa Haki za Watoto.Uchunguzi kifani unaonyesha jinsiuhamasishaji wa mashirika yasiyo yaKiserikali unaweza kuondoa Mifumomibaya zaidi ya ajira ya watoto.

Kwa mashirika yanayohusika na masualaya Haki za Kibinadamu kwa upana zaidina yale ambayo kazi yao inashughulikia

ajira ya watoto, tunadhamiria kutoautangulizi kwa Mkataba wa 182 naumuhimu wake kwa makundi na mashirikambali mbali ya kitaalamu na ya mashinani.

Shukrani...Kikundi kidogo kuhusu ajira ya watoto chaKundi la Mashirika yasiyo ya kiSerikali (NGO)kingependa kuwashukuru ILO/IPEC na Azinaya Mradi wa Haki za Binadamu ya Afisi yaMasuala ya Kigeni na Jumuiya ya Madolaya Uingereza kwa kugharamia mradi huu.

Shukrani kwa wafuatao waliotoa maoni yao:

World Vision International

Sehemu ya mawasiliano ya Fungamano laMashirika yasiyo ya Kiserikali. “NGO GroupLiasion Unit”.

Muungano wa ulimwengu wa Mashirika yaWanawake wa Kikatoliki-(World Union ofCatholic Women’s Organisations)Shirika la Kimataifa la Kutoa Utetezi waKisheria kwa watoto (Defence for ChildrenInternational)

Save the Children Sweden;

Defence for Children International; CostaRica,

International Federation – Terres desHommes;

ILO/IPEC;

-The NGO Group Focal Point on SexualExploitation of Children

-WAO – Afrique

- Shirika la Kimataifa linalopinga Utumwa(Anti-Slavery International)

4

Page 5: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

5

ILO inakadiria kwamba idadiya watoto kama milioni250 walio na umri kati yamiaka 5 hadi 14 wanaofanyakazi ulimwenguni, milioni120 miongoni mwa wakokatika ajira wakati wote.Milioni 80 wanakadiriwakufanya kazi za aina mbayazaidi. Idadi kubwa ya hawawatoto wanafanya kazi katikasekta ya kilimo na mwajirimkubwa zaidi wa watoto wakike ni sekta ya ajira yanyumbani (kindani). 70% yawatoto walioajiriwa hufanyakazi zisizo na malipo za fa-milia zao, ziwe nyumbani amakatika biashara ndogo ndogo,

mahambani ama mijini.

ILO inakadiria kwamba idadiya watoto kama milioni250 walio na umri kati yamiaka 5 hadi 14 wanaofanyakazi ulimwenguni, milioni120 miongoni mwa wakokatika ajira wakati wote.Milioni 80 wanakadiriwakufanya kazi za aina mbayazaidi. Idadi kubwa ya hawawatoto wanafanya kazi katikasekta ya kilimo na mwajirimkubwa zaidi wa watoto wakike ni sekta ya ajira yanyumbani (kindani). 70% yawatoto walioajiriwa hufanyakazi zisizo na malipo za fa-milia zao, ziwe nyumbani amakatika biashara ndogo ndogo,

mahambani ama mijini.

Page 6: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

2.Mapatano ya 182(M182)

Mapatano ya 182 na Pendekezola 190 ni nyaraka zinazohusikana uharamishaji wa mifumomibaya zaidi ya ajira yawatoto.kwa kutumia hatua zadharura za ubatilishaji.

Shirika la Kimataifa la Wafanyikazi (ILO) niwakala wa kitaalamu wa Umoja wa Mataifa(UN) uliowajibishwa kutunga nakutekeleza kanuni za kimataifa za ajira.ILO ndiyo wakala ya UN inayoshirikishasio serikali peke zao, bali na washirikishiwa mashirika ya waajiri na ya waajiriwakutoka kila nchi. Makao makuu yakoGeneva, Switzerland (Uswizi); Juni 1999,kikao kikuu cha Kila mwaka cha ILO, nawajumbe waliowakilisha sekta tatuzilizotajwa mbeleni, walikubalianakupitisha Mapatano ya 182 na Pendekezola 190. Toleo la Kirefu la yaliyomo katikanyaraka hizi, yamo katika kijitabu hiki.Mikataba hii pia inaweza kupatikanakupitia afisi za ILO ama katika afisi zamaeneo – tazama ukurasa wa 23 kwamaelezo zaidi ama tazama katika mtandaowa ILO ambao anwani yake niwww.ilo.org. Maelezo zaidi kuhusu ILOyamo katika sehemu ya 4 ya kijitabu hiki.

Dhamira kuu ya Mapatano ya 182 naPendekezo la 190 ni upigaji marufuku waaina mbaya zaidi za ajira ya watoto. Hatihizi mbili zinasisitiza hatua za dharurazifaazo za kuondoa unyonyaji mbayazaidi wa watoto na hatua zote ziwezinazingatia muda – zinapaswakuanzishwa punde serikaliinapoidhinisha rasmi Mikataba hii.(Uidhinishaji rasmi wa mkatabauhusisha serikali kukubali kirasmikufuata na kujalidiwa na kanuni za

kimataifa na kuwajibika palipo nashutuma za ukiukaji). AmbapoMapatano ya 182 na Pendekezo la 190,zinatambua kwamba, kinachosababishawatoto kuajiriwa hakiwezi kuondolewamara moja, inapendekeza kuwa nilazima hatua za dharura zichukuliwe.Pamoja, Mapatano ya 182 na Pendekezola 190 pia zinatambua kuwa utatuzi wajanga hili la ajira ya watoto utakuwa wautaratibu na punde mifumo yote mibayazaidi imeondolewa , mingineitachomozwa na kushughulikiwa.Mambo tofauti yanahusikayakijumuisha umaskini, ubaguzi nanafasi finyu za elimu.

Uungaji mkono wa kimataifa wa Mapatanoya 182 umekuwa mzuri zaidi na kwa sasandio mkataba uloidhinishwa rasmi namataifa kwa upesi zaidi katika historia yaILO. Mataifa 41 yalikuwa yamekwishaidhinisha rasmi mkataba huu kufikiamwisho wa Oktoba 2000 – orodha ya hivisasa ya mataifa yaliyoidhinisha rasmimkataba huu, inaweza kupatikana katikamtandao wa ILO. Mkataba wa 182 ulipatauwezo wa kisheria na kuanza kutumikaNovemba 19, 2000. Ibara zote zamapatano haya zinayalazimisha mataifayote yanayouidhinisha, baada ya mwakammoja tangu uidhinishaji. Pendekezo la190 haliyalazimishi mataifa. Umuhimuwake ni kupendekeza na kurahisishautekelezaji wa Mkataba wa 182.

Elementi Kuu ZaMapatanoMasharti makuu ya Mapatano ya 182 ni yakufafanua kiwazi ni hali zipi zinawezakuchukuliwa kuwa mifumo mibaya zaidi yaajira ya watoto, na kutaja mambo yoteambayo serikali zinapaswa kufanya kuonakwamba ajira za aina hii zimepigwamarufuku na kuondolewa. Mambo yakutiliwa maanani katika Mapatano ya 182 ni:

6

Page 7: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Fasiri

! Mtoto ni yeyote aliye na umrichini ya miaka 18, pasi navikwazo (ibara 2).

Fasiri ya mifumo mibaya zaidi ya ajira yawatoto inajumuisha:

(a) Aina zote za utumwa amavitendo vinavyofuanana nautumwa, kama vile utumwa kwamadhumuni ya malipo ya deni,uuzaji na uandikishaji wa watotona kuwatumia katika mapiganokwa lazima.

(b) kuwatumia watoto katikaukahaba na ponografia.

(c) kuwatumia watoto katikamambo haramu kama vileutengenezaji, usafirishaji, nauuzaji wa madawa ya kulevya.

(d) Kazi zozote zinazoweza kudhuruafya, usalama na maadili yawatoto. (ibara ya 3).

! Lazima Serikali zipate ushauri wamashirika ya waajiriwa kwamwenendo rasmi ndipo kuafikianakuhusu ajira zipi zinawezakuchukuliwa kama kazi za hatarizaidi kulingana na Ibara ya 3(d),katika nchi zao. Ni lazima zitiliemaanani kanuni za kimataifa kamaPendekezo la 190, na kwautaratibu kuangalia na kupitia tenaaina zote za ajira zinazojitokezakatika ufasiri wa kitaifa nakushauriana na mashirika yawaajiri na ya waajiriwa (ibara ya 4).

Utekelezaji

Serikali zijifunge zenyewe katika:

! Uteuzi wa bodi mwafaka yakutekeleza miradi ya kitaifa yakupigana dhidi ya uajiri wawatoto katika mifumo mibayazaidi ya ajira. (Ibara 7)

! Kuyahusisha mashirika ya waajirina ya waajiriwa katika usanifu nautekelezaji wa mipango hiyo(Ibara ya 6).

! Kuyapokea na kuyazingatiamaoni ya vikundi vinavyohusika,(mashirika yasiyo ya kiserikaliambayo katika kazi zao,hupambana na mifumo mibayazaidi ya ajira ya watoto, watotona vijana pamoja na familia zao,walioathiriwa na mifumo hiimibaya zaidi ya ajira) katikausanifu na utekelezaji wa miradihii.

! Pokea ushauri wa mashirika yawaajiri na ya waajiriwa,yanapozindua ama kuteuaharakati (mpango ama asasi) zakusimama utekelezaji wamapatano ya 182 (Ibara 5).

! Tekeleza masharti ya mkatabayanayohakikisha adhabumwafaka – kushtakiwamahakamani ama adhabu zauhalifu (Ibara 7).

7

Page 8: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Kushughulikia kuhusikakwa watoto katika ajira ambapowananyonywa

Serikali zinapaswa kujifunga katika Harakatizinazozingatia muda:

!!!!! Kuzuia uhusishaji wa watoto katikaajira zinazowadhuru.

!!!!! Kutambua umuhimu wa elimu katikaharakati za kuondoa ajira ya watoto.

!!!!! Kutoa usaidizi ili kuwaondoa watotokutoka hali za majanga.

!!!!! Kuchukua hatua za kuwakarabati nakuwaunganisha watoto upya na jamiibaada ya kutolewa ajirani

!!!!! Kuwapa watato nafasi ya kupataelimu ya kimsingi ya bure na palipohaja na uwezo, mafunzo ya kazibaada ya kuokolewa kutoka ajira hizi.

3. Pendekezo La 190-(P 190)

Pendekezo la 190 ni kama mwongozo waMipango Ya Kitaifa.Inaupa upanuzi Mkataba wa 182 nakutambulisha vipengele ambavyo Serikalizinapaswa kuzingatia katika utekelezajiwa Mkataba huu. Mambo ya kutiliwamaanani ni:

Mipango ya Kitaifa ya Utendaji.

Mipango ya Kitaifa ya utendajindiyo mifumo ya utekelezaji waMapatano ya 182. Pendekezo la 190-linazitambua taratibu mwafaka zautekelezaji, miongoni mwazo,uwezo uliopo katika uhusishaji wajamii kwa jumla.

Unapendekeza serikali zizingatiemaoni ya waajir i , waajir iwa, nataasisi za kiserikali zinazohusikana wengine wanaojihusisha namifumo mibaya ya aj ira ya watoto.Hawa ni kama: watoto na vi janawenyewe, famil ia zao na makundimengine ambayo kazi zaozinadhihirisha kujifunga kwao nadhamira za Mkataba wa 182 naPendekezo la 190 kamail ivyoamuliwa na Serikali .

Mipango hii ina wajibu wa:

!!!!! Kudhihirisha kiwazi ni vitendo vipivinachukuliwa kama mifumomibaya zaidi ya ajira ya watoto

!!!!! Kuhakikisha kwamba vitendo hivivinalaaniwa kiwazi kama vitendovibaya zaidi vya unyonyaji

8

Glen Films, USA

Page 9: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

! Kuwazuia watoto kuingia katikaajira hizi

! Kuwatoa watoto kutoka ajira hizi

! Kuwalinda watoto dhidi ya adhabuama ukatili wowote unaowezakutokana na kuwacha kazi

! Kuwapa watoto ukarabati nauunganishaji upya na jamii,unaozingatia mahitaji yake yaelimu,kimwili na kihisia

! Kuwa na uangalifu kuhusiana nawatoto walio katika udhaifu zaidi:watoto wachanga: wasichana; nawatoto wanaofanya kazi katika haliza kufichwa

! Utaratibu muafaka wa kupata,kufikia na kufanya kazi na jamiizilizo katika hatari zaidi.

! Kusambaza habari na uhamasishajina kuongezea motisha ya utendajikatika jamii yote.

Kazi Ya Hatari.

Mifano dhahir i ya kinachomaanishwakatika ibara ya 3 (d) ya Mkataba,ambapo kazi zi le watotowanazozifanya, zinawatumbukizakatika hatari ambazo hawawezikuziepuka:

!!!!! Kazi ambazo zinawafanyawatoto kunyanyaswa kimwili,

kisaikolojia na kimaadili

! Kufanya kazi katika mazingirayanayodhuru afya na kwa kutumiavitu vinavyodhuru

! Kufanya kazi katika hali za ugumukwa masaa marefu, usiku amakufungiwa katika mahali pa kazi(kwa mfano watoto wanaofanya kazimanyumbani na kuishi mle mle).

! Kazi iliyo na hatari inawezakufanywa kihalali na watoto waliona umri zaidi ya miaka kumi na sita(16) lakini wawe wamelindwa dhidiya janga lolote linaloweza kutokeakutokana na ile kazi, na kupatamafunzo ya kazi ile. Idhini yakuruhusu kazi hizi ni lazimaiafikiwe kupitia makubaliano namashauriano baina ya mashirika/makundi ya waajiriwa na ya waajiri.

9

Glen Films, USA

Page 10: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Utekelezaji.

! Serikali ni lazima zitambueumuhimu wa habari na tarakimu zaajira ya watoto

! Habari na maelezo yakusanywekuhusu wale wanaozikiukaharakati za kitaifa za kuangamizamifumo mibaya zaidi ya ajira,ambapo serikali zina wajibikakufahamisha ILO mara kwa mara

! Ijapokuwa jukumu la kutekelezaMkataba wa 182 limegawanywabaina ya mamlaka tofauti;mamlaka haya yanasurutishwakutia bidii ili yafanye kazi pamojana kwa mwelekeo mmoja.

! Pendekezo la taratibu muafaka zakusaidia utekelezaji wa 182 naPendekezo la 190 (kwa maelezozaidi, tazama sehemu kuhusuwajibu wa mashirika yasiyo yakiserikali (NGOs) na makundimengine).

Adhabu.

! Inapendekezwa kuwa aina zote zaajira ya watoto katika ibara za 3(a)(b) na (c) za Mkataba wa 182zifanywe ziwe makosa ya jinai

! Adhabu, zikijumuisha adhabu zakijinai inapohitajika, zitumiwewakati mipango ya kitaifa yakuondoa na kupiga marufuku ajirazinazodhuru, (zilizofafanuliwakatika ibara ya 3 (d) ya Mkataba)zinapokiukwa.

! Nchi tofauti zinapaswakushirikiana katika ngazi yakimataifa nyakati ajira hizizinahusisha makosa ya kijinai ya

kimataifa na kuona kwamba watuwanaotenda makosa hayawanasajiliwa

! Serikali ni lazima ziamue ni nanianayewajibika wakati sheria zakuzuia ajira mbaya zaidi yawatoto, zinapokiukwa.

! Serikali zinapaswa kutungamasuluhisho ya kisheria na ya njianyingine ya kutekeleza miradi yakitaifa, kama inavyofaa.

Ushirikiano na Usaidizi.

! Wanachama au wahusikawanapaswa kushirikiana nakusaidiana ili kutekeleza Mkataba,wakijumuisha msaadaulioimarishwa katika ustawi wajamii na uchumi, uondoaji waumaskini na elimu kwa wote.

10

Page 11: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

4. Mipango ya Kitaifa yaUtendaji Ya Ngazi Za Juu- Wajibu wa mashirika yaJamii.

Katika sehemu hii, tutatazama fursaambazo Mapatano ya 182 naPendekezo la 190 inazindua kwaMashirika Ya Jamii, za kujihusishakatika mipango ya kitaifa ya utendajiiliyochapishwa kwa urefu katika kurasaza 12-21. (Kwa muktadha huu,mashirika haya ni yale yasiyohusishwaau kuwakilishwa rasmi na Serikali amamashirika ya waajiriwa na waajiri yasiyorasmi, na kwa hivyo kukosakuwakilishwa katika ILO-tazama “Ninani anayeweza kunufaishwa na hatihizi”, chini).

Mashirika yamehusishwa katikauendelezaji wa Mapatano ya 182 naPendekezo la 190 kuanzia mbeleni.Uhamasishaji mkubwa zaidi ulikuwaunafanywa kuhusu ajira ya watoto naushirikiano baina ya mabarakuanzishwa, kufikia kuwasili kwa –“Matembezi ya Dunia ya Ajira yaWatoto” katika Jiji la Geneva mwezi waJuni, 1998.

Mchango wa NGOs katika uandishi waMkataba wa 182 na Pendekezo la 190na athari yao nyakati za mwisho zauandishi katika Mkutano wa Kimataifawa Ajira wa ILO wa 1999 ulikuwa nafaida kubwa kwa toleo la mwisho,kudhihirisha umuhimu wa mchangokutoka sekta hii.

Ushurikiano kwa sasa unatoa msingi wakisheria wa kupambana na ongezeko lauajiri wa watoto na kuyafunga mataifakuchukua hatua muafaka. Jukumu la

mashirika haya katika mapambano dhidiya ajira ya watoto limeelezwa katikaibara ya 6 ya Mapatano ya 182 nakufafanuliwa kwa urefu katika aya 2 yaPendekezo la 190, inayonakili kwambamashirika yaliyojitokeza na kujifunga nautekelezaji wa maazimio ya mikatabahii, ni lazima, panapohitajika, kuonamaoni yao yanazingatiwa katika usanifuna utekelezaji wa Mipango ya kitaifa. Hiini nafasi kubwa kwa mashirika. Nidhahiri kwamba wakati wa makabiliano,ni mashirika na makundi haya yaliyomotu, katika nyakati fulani za ajira zawatoto, kwa mfano; wakati kuna ajira yawatoto ya utumwa ama ukahaba na kwahivyo ni mwafaka kwa miradi ya kuzuia,utendaji na mageuzi.

Ni nani anaweza kunufaishwana hati hizi?

Mashirika na makundi ya kitaalamu,yatapata kwamba Mapatano ya 182 naPendekezo la 190 yanafaa kwa shughulizao. Hati hizi zinaweza kutumiwa na:

! Mashirika ya kimataifa na yamashinani yasiyo ya kiserikaliya ajira ya watoto

! Makundi na miungano ya hakiza watoto

! Mashirika yanayoshughulikana haki za kibinadamu namaendeleo

! Mashirika mengine ya kijamiiyakijumuisha yale ya makundiya jamii, ya wanawake na yakidini

! Mashir ika ya waaj ir iwaambayo hayajawaki l ishwakirasmi na ILO

11

Page 12: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

! Makundi ya vijana, mashirikaambayo yanawakilisha watoto amayanawahusisha watoto

! Makundi ya kitaalamu ya afya,elimu na sheria.

Mapatano ya 182 yanahusianavipi na Mapatano ya Umoja waMataifa ya Haki za Watoto(UNCRC)?

Mapatano ya 182 na Pendekezo la 190yanaupa nguvu ujumbe ambao UNCRCilisisit iza wazi, kwamba watoto wanahaki kama watu wazima na wanahitajitaratibu za kipekee il i haki hizoziheshimiwe. Ibara ya 32 ya CRCinasema kwa kusisit iza “ kila mtotoana haki ya kulindwa dhidi yaunyonyaji wa kiuchumi na kufanya kaziyoyote ambayo inaweza kutatizaelimu, ama kuwa na madhara kwa afyana ustawi wake, ama kuwa namadhara kwa afya au maendeleo yakimwili, kiakil i, kiroho, kimaadili nakijamii. Ujumbe huo huoumedhihirishwa wazi katika Mkatabawa ILO wa 138 wa 1973 kuhusu UmriMdogo Zaidi Wa Kuingia katika Ajira.(Mkataba wa 182 haupiti i tena amakubatil isha Mkataba wa 138, ambao niMkataba mwingine wa kimsingi naumuhimu wa ILO wa kupiga marufukuajira ya watoto kwa jumla).

Maarifa yanaweza kupatikana hapakutokana na utekelezaji wa CRC. CRCni mkataba uliofaulu zaidi katikaupande wa uidhinashaji rasmi nakuungwa mkono kwa wingi na umma.Utaratibu wa utekelezaji wa CRCumeleta mtazamo wa kitaifa, kimaeneona kimataifa wa masuala ya watoto naumezindua miungano mipana yamakundi ambayo kimsingi huwa naazma za haki na masilahi ya watotoyanayohusiana.

Matokeo yake ni kwamba, mashirikakatika nchi nyingi yamefaulu katikaushawishi wa marekebisho ya sheriana sera zinazolinda haki za watoto namasuala yanayohusika.

Kwa kumalizia, mashirika hayayamechangia pakubwa katika uinuajiwa ufahamu wa umma kuhusu haki zawatoto, kwa mfano afya, elimu naushirikishwaji. (Kwa maelezo zaidi,wasil iana na Miungano ya Kitaifa yaHaki za Watoto, tazama sehemu ya 8).Katika nchi nyingi, Mipango ya kitaifaya kutekeleza CRC iko karibu, wazi nahuchukua mwelekeo wa kushirikishaunaoleta pamoja sekta nyingi tofauti.Mipango hii inaonyesha kuchangiapakubwa katika kuzitia Serikali moyo,il i zi j i funge kwa Muda mrefu. Mafanikioya miungano ya Haki za watoto(miungano ya mashirika yaliyojitoleakupigania haki za watoto)yanaonyesha kwamba taratibuzinazohusisha sekta nyingi ndizozinazofaa; kwamba makundi yaliyo namaazimio yanayogongana yanawezakuletwa pamoja na kuzinduamasuluhisho yanayoweza kufaulu nakuwa shinikizo kwa Serikali nawengine, jambo ambalo linapaswakudumishwa hata baada ya serikalikuidhinisha rasmi mkataba. Mashirikahaya pia yamo katika nafasi nzuri yakuhamasisha umma na kuzalishamabadiliko katika mitazamoinayohitajika katika mageuzi.Miungano il iyomo ya mashirika ya hakiza watoto iko katika nafasi nzuri yakuzitia serikali na wengine moyokatika utekelezaji wa Mkataba wa 182.

12

Page 13: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Jukumu la ILO katika utekelezajiwa Mkataba wa 182 na Pendekezola 190.

ILO ni shirika muhimu katika utekelezaji wamikataba hii. Ambapo muundo wa ILOunatambua rasmi mashirika ya waajiri, yawaajiriwa na Serikali. Mashirika Yasiyo YaKiserikali yamedhihirisha wazi kuwa kunafursa ya mashirika ya jamii kushirikianapamoja na kushawishi pamoja na wanachamawa ILO. ILO ina miradi ya masuala yakimatendo ya kupambana na ajira ya watoto-Mpango wa Kimataifa wa Kuondoa Ajira yaWatoto (IPEC), uliomo katika baadhi yaMataifa.

Ushirikiano huanza na makubaliano bainaya Serikali na IPEC kuhusu jinsiwatakavyofanya kazi pamoja. Hatimaye, IPEChufanya kazi na Serikali, ikizisaidia kuanzishaMipango ya Kitaifa ya Utendaji muafaka, yakupambana na ajira ya watoto. Huendelezamiradi ya ngazi za mashinani na za Kitaifalikishirikiana na wahusika- Serikali namashirika ya waajiri na ya waajiriwa – lakinipia kwa njia nyingi, mashirika ya kiraia.

13

Glen Films, USA

Page 14: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Jinsi Mashirika ya Jamiiyanaweza kutumia Mkataba wa182 na Pendekezo la 190-Kujihusisha katika mipango yaKitaifa ya Utendaji.

Utambuliaji wa ni ipi mifumomibya zaidi ya ajira ya watoto

Ibara ya 3, aya 3 ya Mkataba wa 182 nasehamu ya pili (II) ya Pendekezo la 190kuhusu ajira zilizo na hatari, zinatoa fasiri namifano ya mifumo mibaya zaidi ya ajira yawatoto.Kazi ya afisi ya ILO/IPEC na ya Mashirika ya

!!!!! Utambulishaji wa ni ipimifumo mibaya zaidi yaajira ya watoto.

!!!!! Maelezo ya Kitakwimu

!!!!! Kupiga kampeni nakuhamasisha

!!!!! Kushswishi

!!!!! Kanuni za kisheria/utekelezaji wa 182

!!!!! Uondoaji/ulinzi nauunganishaji upya wawatoto na jamii

!!!!! Ufuatiliaji wa harakati zaILO

Jamii ulimwenguni, imetambulisha, mifumomibaya zaidi ya ajira ya watoto katika halinyingi tofauti katika nchi mbali mbali nakatika maeneo.

Makundi ya mashirika ya Jamii ni lazimayachukue utaratibu wa kuhakikishayanajihusisha katika harakati za mashaurianona Serikali. Mashauriano haya yanapaswakuwa na utaratibu wa kudumu na siyo tu yautaratibu wa kusudi maalum.

Matukio ya utekelezaji wa CRC,yanadhihirisha kwamba Mashirika Ya Jamiiyanapaswa kusisitiza utaratibu huu uruhusu:

! Wakati muafaka wamashauriano na wa kutoa maonikuhusu nyaraka zinazostahili

! Mbinu ama njia za mawasilianozilizokubaliwa na uangavupanapowezekana

! Uzingativu wa vikwazo vyarasilmali na hatimaye kutungamipango inayozingatiavipaumbele

! Mabadilishano ya maelezo kwautaratibu.

14

ANPPCAN Regional Office

Page 15: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

5. TOGO: Uchunguzi kifani.

Serikali ya Togo iliidhinisha rasmi Mkataba wa 182 Septemba 2000. Kutekeleza Mkataba wa 182kumeleta matatizo fulani ambayo yanahitaji jitihada za pamoja na harakati za aina nyingikutoka wote wanaopigania kumaliza mifumo mibaya zaidi ya ajira. Miungano baina ya wenzikatika ngazi za mashinani, maeneo na za kitaifa, ni ya umuhimu. Kwa bahati nzuri, Mkataba huuni kama mwanzo na turufu ya mwisho iliyo mkononi, kwa wanaojihusisha na mapambano.

Mashirika ya raia yanaendeleakufanya kazi kwa bidii kuhakikishakwamba Serikali ya Togoinahakikisha Mkataba huuunatekelezwa. Cha kipaumbele niuhamasishaji wa wanaohusikakatika jamii (Bunge; vyama vyawafanyakazi; mashirika; mamlakaza kitawala na watoto walioajiriwa)ili kuendeleza utekelezaji unaofaa.

Uhamasishaji umefanywa kwakutumia Mkakati WaUhamasishaji Wa Kijamiiuliozinduliwa Na “PLAN-International”, Togo na “WAO-Afrique” (Shirika la Togolinaloshughulikia tatizo la ajira yamanyumbani na ulanguzi wawatoto). Wameanzisha mfumo wakuinua ufahamu na wa maelezokutumia njia za kuwasiliana za

kitamaduni na runinga (televisheni) na pia njia za kujiwasilisha kwa kusema na kwakuigiza (kama vile michezo ya kuigiza).

Uhamasishaji unaendelea. Katika mwaka wa 1998 IPEC, kwa maombi ya Serikali, ilifanyautafiti wa hali ya kuishi na kufanya kazi, katika ajira ya watoto, viwandani na katika sehemufulani nchini Togo. Matokeo yalitumiwa katika mkutano wa Mazungumuzo ya Kitaifa yaPande Tatu kuhusu uidhinishaji wa Mpango wa Taifa wa Utendaji uliofanyika Machi2000.

Aprili 2000, kuliandaliwa semina nchini Togo ya kuendeleza Uhusishaji wa Mashirika ya raianchini Togo na Ghana katika utekelezaji wa Mkataba wa 182, iliyopangwa na WAO-Afrique na PLAN International, Togo, wakishirikiana na shirika la Kimataifa linalopingaUtumwa (“Anti-Slavery International”).

15

ILO/IPEC Kenya

Page 16: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Semina hiyo ilihudhuriwa na waakilishiwa Wizara, vyama vya wafanyakazi,baadhi ya mashirika yasiyo ya Kiserikaliya ngazi tofauti na waandishi wa habari.

Watoto waajiriwa walichangia kwakurekodiwa. Semina hii ilidhamiriakupitisha Mkakati Wa utendaji wa Pamojawa Kuhakikisha uratibu wa Shughulikatika ngazi zote za uwezo wa utendaji,zikijumuisha za kitaifa na za pande mbili;kufanya kazi pamoja katika utekelezaji waMkataba wa 182 wa kuongeza uwezo wakufanya hivi; na kuiongezea nguvumiungano baina ya mashirika ya Jamiiyenyewe kwa yenyewe na baina yamashirika hayo na Serikali.

Warsha za Semina hiyo zilizaa makubalianotofauti ya mapendekezo ya utendaji.Yanahusisha:

! Kuzindua kikao cha pande mbilicha ubadilishanaji wa maelezo nakuishawishi serikali;

! Kuzianzisha kamati za mashinaniza uinuaji wa ufahamu wa watotowenyewe kwa wenyewe, ndugu nafamilia zao na kuwafunza mikakatiya mashauriano na watu wazima;

! Kufahamisha umma dhana ya hakiza watoo;

! Kutia moyo nia ya kisiasa katikangazi ya kiserikali na ushirikianobaina ya serikali na Mamlaka zaHuduma za Uhamiaji.

Mwishowe, wazo la Bunge la watoto lakupendekeza na kuzungumzia masualahaya limezingatiwa nchini Togo. Bungela Togo kwa sasa linawachagua watotokutoka kiwango cha maeneo ambaowatashiriki katika Bunge za watoto zasiku za usoni!

6. Shirika la undugu la kenya

Mojawapo ya malengo ya mpango wa IPECnchini Kenya, ilikuwa ni kuwaondoa watotokutoka kazini, hasa wale waliokuwa katika ainambaya zaidi za ajira ya watoto. Kishakuwawezesha kuishi maisha ya kawaida nakuwaunganisha tena na familia zao. Huu ulikuwampango wa muda mfupi. Lengo kuu la mpangowa nchi katika kipindi cha 2000– 2001 lilikuwa ni kupambana na aina mbayazaidi za ajira ya watoto, hasa huduma zanyumbani, kazi za barabarani na ukahaba wawatoto.

Mwezi wa Julai mwaka wa 2000 shirika la undugula Kenya, chini ya mpango wa IPEC lilidhamiriakuwaondoa watoto 800 waliokuwa wakifanyakazi barabarani na kuwasaidia kujikimu. Kati yahao, watoto 400 (wavulana 240 na wasichana160) wa miaka 15 – 18 wangejiunga na mipango

ya kutoa mafunzo ya kazi za kiufundi. Wengine200 wa umri wa miaka 8–– 12 wangeunganishwatena na familia zao na kusaidiwa kuingia shuleni.Wale ambao tayari walikuwa wamepata mafunzoya kiufundi (wavulana 30 na wasichana 20 waumri wa miaka 16 – 18) wangesaidiwa kupataajira. Undugu pia ilidhamiria kutoa mikopo yakuanzisha biashara ndogo kwa wazazi 100.Mwisho, watoto 100 walipangiwa kupata hudumaza afya za kimsingi.

Kufikia Oktoba mwaka wa 2001 shirika la Undugulilikuwa limewaondoa watoto 100 kutokabarabarani na kuwapeleka kwenye mafunzo yakiufundi (wavulana 66 na wasichana 34). Watoto887 badala ya 800 walikuwa wamepokeahuduma za afya. Mpango wa utendaji waUndugu unadhihirisha jinsi mipango ya utendajiya IPEC nchini Kenya ilivyomakinika. Pia,inadhihirisha ufanisi, kwa kuwa katika kipindikifupi watoto wengi wamehudumiwa.

16

Page 17: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

PROTOKALI HAIRI ZA MAPATANO YA HAKI ZAWATOTO

Aina mbaya zaidi za ajira ya watoto kwa sasa ni mamboyaliyopigwa marufuku kisheria kimataifa. Mwanzo wa 2000,nyaraka mbili zaidi zilitungwa ili kuongezea mapatano baina yaSerikali kuhusu haki za watoto. Serikali zinaweza kutia saini nakuidhinisha rasmi protokali hizi kama zinavyoufanya MkatabaMkuu. Mashirika mengi yanashawishi serikali zao kufanya hivi.

Mapatano haya ni Protokali za Hiari za Mkataba wa Haki zaWatoto. Protokali moja ni ya Uhusishaji wa watoto katikaMapigano na ile nyingine ni ya Uuzaji, Ukahaba na ponografia.Harakati za kumaliza hali mbaya zaidi za watoto wanajeshi,zinafanywa ulimwenguni wote na zinafaidika kutokana na sheriahii mpya.

SEKTA ISIYO RASMI.

Lililosahaulika kwa urahisi ni idadi kubwa ya watoto wanaofanyakazi katika sekta isiyo rasmi. Hii ni ajira iliyovuka mipaka yaudhibiti wa kawaida wa kanuni za ajira: haswa kazizisizoonekana zilizo manyumbani, katika familia na mashambani,katika vyumba vya kinyuma-nyuma ama mitaani. Pia, niunyonyaji ambao kwa kawaida hauhusishwi na ajira rasmi; kamaukahaba, uombaji na ulanguzi wa madawa ya kulevya.

Njia maalum za kuwafikia hawa watoto zinahitajika kwa haraka naharakati za kuanzisha njia hizi ni lazima ziwe katika Mipango yaUtendaji ya Kitaifa. Kwa kawaida, watoto wengi kama hawawamechukuliwa kuwa wagumu kufikiwa, ama suala lililoachiwafamilia kuamua. Hata hivyo, mifano ya maendeleo ya mabadilikoya mitazamo ya ajira ya watoto kama wafanyakazi wa nyumbanini dhihirisho kuwa kupambana na matatizo haya si jambolisiloweza kufaulu.

17

Page 18: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Maelezo ya Kitawakwimu.

Mkusanyiko wa maelezo ya kitawakimuyaliyo sahihi ni wa umuhimu kwa mipangoya utendaji ya Kitaifa iliyo muafaka nailiyojitosheleza. Makundi yanayo wezakufikia maelezo haya yanapaswa palipo nauwezekano:

! Kufanya kazi kwa kushirikiana nabodi rasmi iliyo na wajibu wakutaja wazi na kukusanya dataama kupitia njia nyingine nakuwasilisha maelezo yao

! Kuhakikisha kuwa ukaguziunafanyiwa tawakimu za serikalina kutaja wazi malalamiko yaoinapojitokeza kuwa tawakimuhizo haziafikiani na ukweli wamambo

Kutia Serikali moyo wakutekeleza taratibu za usajiliunaofaa wa kuzaliwa kwa watoto,kuambatana na Pendekezo la190.

! Kuahakikisha kuwa datailiyokusanywa inagawanywakulingana na umri na jinsia.

Kupiga Kampeni na KuinuaUfahamu.

Jambo la umuhimu zaidi la kuchangiakufaulu kwa utekelezaji wa Mikataba hii nikuungwa mkono na Jamii kwa dhamira yahiyo mikataba. Shughuli zilizopangwa zakuifahamisha umma ni muhimu. Kupitiawanachama, makundi ya kidini, yawanawake, ya walaji na Mashirika Ya Jamiiya mashinani, yaliyo na uwezo wa kufikia nakuathiri mitazamo ya watu binafsi na jamiikwa jumla:

! Yainue ufahamu kuhusu halizisizokubalika za wale watoto

ambao Mikataba hii inadhamiriakuwalinda, kwa mfano kupitiawarsha na michezo ya kuigiza

! Kunamasisha uungaji mkonouliopendwa na wengi kwamabidiliko katika maisha ya haowatoto

! Kutumia uungaji mkono kusisitizauidhinishaji wa mikataba na njiamuafaka za utekelezaji

! Kutia moyo umuhimu wa kuelewahaki za kisheria za watoto nawatu wazima na kutafsiri nyarakazinazostahili kwa lugha tofauti nazinazoeleweka

! Kuimarisha mapatano ya pamojayaliyozinduliwa na Mikataba hiiya kupambana na mifumoisiyokubalika ya ajira ya watoto.

Ushawishi

Ushawishi ni jambo la muhimu linalotumiakampeni za kuathiri watu fulani walio katikanafasi za mamlaka na uwezo. Mashirika katikangazi za chini na kitaifa yanaweza kuelekezakampeni zao za kuinua ufahamu kwa watuwalio na uwezo wa kuathiri mawazo na maoniya jamii na sio tu wanasiasa na maafisa waumma peke yao. Yanapaswa pia kulenga:

! Mamlaka zilizowajibika katikautekelezaji wa mipango ya kitaifaya utendaji na pia mamlaka zakisheria

! Wanasiasa wa mashinani na wa Kitaifa na pia wizara zinazostahili

! Viongozi katika jamii

! Wanahabari

! Polisi na Ofisi zingine zautekelezaji wa Sheria

18

Page 19: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

! Mashirika mengine ambayo kaziyao inastahili kama vile ya elimuna afya

! Mashirika ya kimataifa nakimaeneo

! Serikali za kigeni na Biashara ilikutia shinikizo kwa serikali nabaina ya biashara zenyewe kwazenyewe.

Kanuni za Kisheria / Utekelezajiwa Mkataba wa 182.

Tume za Kitaifa za Haki za kibinadamu,wanaharakati wa mashinani wa kutetea hakiza kibinadamu na mashirika ya mawakilikwa umahususi, makundi ya haki zakibinadamu na tume zinaweza kuwa naumahiri wa:

! Kushawishi serikali kuhakikishakwamba miwachano kati yasheria zilizopo na Mkataba wa182 inatatuliwa

! Kushawishi ili mifumo mibayazaidi ya ajira kufanywa kuwamakosa ya jinai

! Kutangaza kesi kuhusu ukiukajiwa sheria hizi

! Kusisitiza juu ya taratibu zasheria zinazoleta kesi hizi kwaharaka

! Kufuatilia maendeleo ya kesi ilikuhakikisha adhabu zinazofaazinatolewa dhidi ya watuwanapopatikana na hatia

! Kushawishi ili kuwe na rejesta yakitaifa ya wanaotenda makosakama haya

! Kuhakikisha kuwa maelezo

yanayohusikana na kesi za ajiraya watoto ambazo ni hatiayanapelekwa kwa mashirika yajamii na pia yale ya kimataifapanapostahili.

Uondoaji / ulinzi na ukarabati nauunganishaji upya na jamii.

Mipango ya kitaifa ya utendaji ni lazimaidhihirishe njia za uondoaji, ulinzi,ukarabati na uunganishaji upya wa watotowalio katika mifumo mibaya zaidi yaajira.(Ibara ya 7, aya ya 2 ya M182).Mahitaji ya mtoto ya umuhimu zaidiyanapaswa kuzingatiwa katika mipango hii,kuambatana na ibara ya 3 ya CRC.Mashirika yanayojihusisha na masualahaya kwa sasa yako na miradiinayoendelea vizuri na kutoa uzoefuambao unaweza kuzionyesha serikaliharakati zilizo faulu ambazo zinaheshimukikamilifu haki za watoto na kuzingatiamaoni yao.

Mara nyingi, miradi hii hujaribu kuzuia hajaya watoto ya kufanya kazi kupitia upunguzajiwa umaskini. Hata hivyo, hali ya watotowalio katika ajira mbaya zaidi za unyonyaji,mipango ya kuwaondoa, kuwakarabati nakuwaunganisha upya na jamii baadaye,inahitajika. Mipango inayopitishwa kwamadhumuni kama haya inajumuisha:

! Kuanzisha nambari za simu zadharua za kuripotia kesi za ajira zawatoto;

! Uinuaji wa ufahamu wa haki zawafanyakazi walio katika hali zahatari, kwa mfano kwa kutumiaredio na runinga;

! Mikakati ya pamoja baina yawatoto, familia, mashirika namamlaka zinazostahili kamainawezekana, ya kuwaondoawatoto palipo haja na ambapo

19

Page 20: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

! mapato mengine yanawezakupatikana.

! Kuwapa watoto ulinzi. Kamavile maskani za usalama wadharura, lishe na mavazi,utunzaji wa kimatibabu naushauri.

! Nafasi za kupata elimu namasomo ya ufundi, iwe yakirasmi amaisiwe ya kirasmi,na umahiri wa maisha.

! Kuwapatia nafasi za burudanina kujifunza maadili ya kijamii.

Njia za ILO za Ufuatiliaji.

ILO iko na njia kadhaa za kufuatilia hatuaza Serikali za uidhinishaji rasmi nautekelezaji wa Mikataba. Njia hizi ni kama:

! Ripoti za Vipindi:Serikali zinashurutishwa kutoaripoti za vipindi kwa ILO kuhusujinsi walivyotumia mikataba ya ILOzilizoidhinisha. Ripoti hizihuchunguzwa na kamati yawataalamu ya ILO ambayohutayarisha ripoti iliyo nauamuzi wa kamati yenyewe.

! Kamati ya Mkutano:Kulingana na ripoti ya Kamati yaWataalamu, wakati wa MkutanoWa Kimataifa Wa Ajira wa kilamwaka, ukiukaji wa kanuni zaMikataba unaojitokeza katikahiyo ripoti, huzungumziwakatika kikao kikuu.Wawakilishi wa vyama vyawafanyakazi hupendekeza kesizinazopaswa kuchunguzwa.

! Mikataba ya Msingi:Kuna mikataba minane (8) yaILO ambayo huzingatia maadili

manne (4) ya msingi zaidi nahaki ajirani. Serikali zote zilizowanachama wa ILO hujifungazenyewe, hata kamahazijaidhinisha mkataba ,kuheshimu,kuendeleza nakutekeleza kanuni ya uondoshajiwa ajira ya watoto ( na kanuninyiginezo).

! Kuhusu ajira ya watoto:Mikataba inayostahili niNambari 138 kuhusu UmriMdogo Zaidi na nambari182. Kama Serikalihaijaidhinisha mikataba hiimiwili, ILO itaiomba itoeripoti inayoeleza mabadilikoyoyote katika Sheria naUtendajji katika sekta hii.Mashirika ya waajiri nawaajiriwa yanaweza kutoamaoni yao kuhusu ripotihizo.

! Ripoti ya Ulimwengu:Kila mwaka masuala ya ILOhutoa ripoti kuhusu mojawapo yamaadili manne. Kuanzia 2002,kila miaka minne, Ripoti yaUlimwengu ya Ajira ya Watotoitagusia hatua zilizopigwaulimwenguni kote; katika nchizilizoidhinisha na zile ambazohazijaidhinisha Mikataba Ya182na 138.Ripoti hii pia itatathmini kaziiliyofanywa na ILO ulimwengunikuhusiana na mikataba hii.

Njia inayofaa kwa mashirika nikuchangia maoni yao kwa njiahizi na kupitia kushirikiana namashirika ya waajiriwa na yawaajiri, katika ngazi zote.

20

Page 21: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

22

7 Shirika la ustawi wa watoto lakenya

Shirika la Ustawi wa Watoto la Kenya ni shirikalisilokuwa la kiserikali ambalo lina uwakilishi wamashinani. Shirika hili lilifaidika kutokana nampango wa IPEC nchini Kenya. Tangulianzishwe mwaka wa 1992, shirika la Ustawiwa watoto la Kenya lilianza kutekeleza mipangoya IPEC katika sehemu za Bungoma, Mombasa

na Nairobi. Sehemu hizo ndizo zilizotambuliwakuwa na watoto waliokabiliana na shida. Baadhiya watoto hao walirudishwa shuleni, wenginewakapewa mafunzo ya kazi na wenginewakaunganishwa tena na familia zao baada yakushauriwa. Shirika hili limefanya ukaguzi wawatoto wa barabarani mjini Nairobi mwaka wa1994. Pia limewasaidia wavulana na wasichana544 kuingia shuleni katika sehemu zote tatuambapo shirika hili limekuwa likifanya kazi.

Lengo la Shirika la Ustawi wa Watoto la Kenyani kuwasaidia watoto wa barabarani, hasawasichama walioingia katika ukahaba nawalioolewa mapema. Iligunduliwa kwambawakati huo hakukuwa na mipango yoyoteiliyolenga wasichana wa barabarani na kwambakulikuwa na haja ya kuwaondoa kutokamazingira mabaya ya barabarani. Mpango huu

ulijulikana kama Nyumba ya Uokoaji ya Amani(Rescue Peace House). Watoto wengi wabarabarani walidhulumiwa. Kulingana na taarifajuu ya watoto waliookolewa, asilimia 70 walikuwana magonjwa yanayoambukizwa kupitia ngono(STD’s) na mmoja alikuwa na ukimwi. Hiiinadhihirisha umuhimu wa mpango huu.

Kituo cha kuokolea watoto kilikuwa mahali pamuda pa usalama kwa wasichana waliotolewabarabarani. Wasichana hao walipangiwakupewa malazi, chakula, nguo, huduma za afyana ushauri. Ilitarajiwa kwamba wangekaa katikakituo kwa muda wa wiki 3 – 6 na baada ya hapowangepelekwa kwa wazazi wao na kishawajiunge na shule au mafunzo ya kazi.

Malengo ya mradi:

! Kuzidisha elimu na huduma za afya kwawasichana wa barabarani.

! Kuwaunganisha wasichana wabarabarani au waliokuwa wakifanya kazina wazazi/walezi wao.

! Kukadirika athari za uokoaji wawasichana wa barabarani na familia zao.

! Kuanzisha mfumo wa ushirikianomiongoni mwa mashirika yasiyokuwa yakiserikali yanayoshughulikia wasichanawa barabarani.

Shirika la Ustawi wa Watoto la Kenya lililengakuwaokoa watoto 50 katika kipindi cha kwanzacha mradi. Kituo kiliendeshwa na muuguzialiyehitimu akiwa mwangalizi, msimamizi wanyumba, wafanyikazi wa huduma za jamii nawasaidizi. Mratibu wa mradi aliwatembeleawafanyikazi na kushauriana nao mara kwa mara.Taarifa juu ya kila msichana zilihifadhiwa.Wazazi waliarifiwa mara tu watoto walipokuwatayari kurudi nyumbani. Hali ya nyumbaniilikadiriwa ili kubainisha mahitaji yao na baadhiya wazazi walisaidiwa na mradi kuanzishashughuli za kuleta mapato. Wenginewalielekezwa kwa mashirika mengine ya kutoamsaada. Wakiwa katika kituo, wasichanawalifunza kusoma na kuandika. Baada yakurekebishwa tabia, wasichana walifunzwa

ILO/IPEC Kenya

Page 22: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

22

kusoma na kuandika. Baada ya kurekebishwatabia, wasichana walifunzwa kazi wakawawanaweza kujiajiri wenyewe au kubuni kazi nakuwa waajiri.

Changamoto zilizohusika ni kama vilekuboresha afya ya wasichana. Hii ingerhisishakazi ya kuwarekebisha. Pia kulikuwa na tuhumaza majirani. Jambo lingine ni kwambawasichana walichukua muda mrefu kutokakatika kituo, hivyo kuufanya mpango wa mudamfupi wa kuwaokoa kuwa wa muda mrefu. Hayayaliufanya mradi kuwa ghali. Mara nyingineutaratibu wa kupata pesa ulikuwa mrefu. Jambohili lilifanya shughuli ya kuendesha kituo kuwangumu.

Nyumba ya Amani (Peace House) ni wazo zurikwa vile ilizingatiwa kwamba watoto wanahitajimahali ambapo wanaweza kukaa kwa amani,kuwaza, kushauriwa, kupata huduma za afya,kupata mahitaji yao ya kimsingi na kupitiamchakato wa kuponywa.

8. Kituo cha sinaga cha wanawakena ajira ya watoto

Kituo cha SINAGA kilianzishwa kama shirikalisilokuwa la kiserikali mwaka wa 1993kuwasaidia wanawake waliopondwa na piawahalifu. Vilevile shirika hili lilifaa kushughulikiasuala la watoto walio katika huduma zakinyumbani mwaka wa 1995.

Hatua mojawapo iliyochukuliwa na Sinaga nikujaribu kuwazuia watoto walio katika hudumaza kinyumbani wasiingie katika ukahaba. Hilililifanywa kwa kuwafunza wasichana kazi fulaniza kiufundi na pia kuwasaidia wale wenye umrimdogo kurudi shuleni.

Malengo ya mradi yalikuwa:

! Kutoa mafunzo ya kazi ya awali pamojana misingi ya kusoma na kuandika kwawasichana waliokuwa katika huduma zakinyumbani kama wafanyikazi.

! Kuelimisha jumuiya juu ya ubaguzi wakijinsia unaopelekea wasichana kuajiriwakatika huduma za kinyumbani.

! Kutoa ushauri na mafunzo ya kazi kwawasichana wafanyao kazi za kinyumbanina kutafuta njia za kushirikiana najumuiya katika harakati za kupambanana ajira ya watoto.

Mpango huu unaendelea katika mtaa waKariobangi North na unalenga wasichana waumri wa kati ya miaka 8 na 16 ambaowameajiriwa kufanya kazi za kinyumbani auwale ambao wamekosa kuhudhuria shule kwasababu ya kushiriki katika shughuli za kiuchumiili kusaidia familia zao.

Kazi za kiufundi ambazo zinafunzwa ni kama vilemapishi, ufundi cherahani na upigaji chapa.Wasichana pia wanashauriwa na kupewausaidizi wa kisheria kulingana na mahitaji yao.Kituo cha Sinaga kilikuwa kimesajilisha watoto200 ambao wanakwenda hapo kwa zamu, yaaniasubuhi na alasiri. Hivi ni kwa sababu wengiwa watoto hao walikuwa bado wameajiriwa.Kituo cha Sinaga kimefaulu kuondoa asilimia 5ya watoto hawa kutoka kazini.

Idadi kubwa ya wasichana hutumiwa vibaya nawaajiri wanaofanya mapenzi nao. Kwa sababuhii, wengi wao wameambukizwa kila aina yamagonjwa yanayosambazwa kupitia ngono.Kwa hivyo kituo cha Sinaga kinafikiria kuanzishakituo cha uokoaji ili kuwasaida wasichana hawana wengine ambao wameachwa mayatimakutokana na janga la ukimwi.

Mafunzo ambayo wasichana hawa wanapatandiyo njia ya kuwaepusha na maisha yakiutumwa. Ufundi ambao wasichana hawawanapata unawasaidia kuondokana naudhalimu wa kuishi maisha ya kikawaida kamawatu wengine. Mradi huu umefaulukuwarekebisha kitabia zaidi ya watoto 1000tangu uanzishwe. Zaidi ya watoto 200 wamepitiamafunzo ya kusoma na kuandika na wengine778 wamepitia katika mafunzo ya kiufundi.

Page 23: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Idadi ya watoto waliookolewa kutokana nadhuluma mbalimbali ni dalili ya ufanisi wampango huu. Hata hivyo, inaweza pia kuwadalili ya ukubwa wa tatizo lililopo. Lakiniukwel i n i kwamba idad i kubwa yawasichana hawa wamezuiwa kuingia katikaukahaba. Wal io fuzu ku toka S inagawameingia katika kujiajiri, huduma borazaidi za kinyumbani, asasi za uandazichakula na wengine kurudi shuleni.

Sinaga ndio mradi wa pekee kufikia sasaambao unashughulika na ajira ya watotoambayo n i ngumu za id i ku tambul ikaambapo watoto wanadhulimiwa na watuwasioadhibiwa.

9. Jukumu la muungano mkuu wawafanyikazi (Cotu-k) katikakuondosha ajira ya watoto

Serikali ya Kenya ilitia sahihi mkataba waUelewano na Shirika la Kimataifa laWafanyikazi (ILO). Lengo lake ni kuondoshaajira ya watoto nchini Kenya kupitia mpangowa Kimataifa wa ILO wa Kuondosha Ajira yaWatoto (IPEC). Serikali imeidhinisha maaganonambari 105 juu ya Ajira ya kulazimishwa,Maagano nambari 138 juu ya Umri wa ChiniZaidi, na karibuni, Maagano nambari 182yanayolenga kuondosha aina mbaya zaidi zaajira ya watoto.

Vyama vya wafanyikazi vina jukumu muhimuhapa. Hivi ni kwa sababu:

(i) Ajira ya watoto inadhoofisha mapato yawafanyikazi ambao ni watu wazima.

Waajiri hupendelea kuwaajiri watotoambao ni rahisi kunyonya na ambao nirahisi kuajiri na kufuta kazi. Watoto piawanachukuliwa kuwa watiifu na dhaifu hivikwamba hawana uwezo wa kukataakufanya kazi zenye hatari, dhuluma namalipo duni.

(ii) Matendo dhidi ya ajira ya watotoyanahusiana na uwezo wa vyama vyawafanyikazi kutoa mafunzo na elimu.

Kuondoa ajira ya watoto na kuhakikishaelimu kwa wote ndiyo malengo ya vyamavya wafanyikazi. Nguvu ya vyama vyawafanyikazi inatokana na wafanyikaziwanaofahamu haki zao na jinsiwanavyoathiriwa na sekta nyingine zajamii.

(iii) Vita dhidi ya ajira ya watoto vinawezakutumiwa kuvipa nguvu zaidi vyamavya wafanyikazi.

Mipango ya uondoaji ajira ya watotoiliyofikiriwa vizuri inajumlisha ujenzi wauwezo wa mashirika ili yaweze kuendeshamipango yao. Uondoaji wa ajira ya watotona uboreshaji wa ajira ya watu wazimaunawapa nguvu zaidi wanachama wavyama vya wafanyikazi. Pia vyama hivivinapata wanachama zaidi.

(iv) Masuala ya ajira ya watoto ndiyo kiinicha harakati za vyama vya wafanyikazi.

Kupitia kwa uwezo wao, vyama vyawafanyikazi hupigana na dhuluma,hupinga unyonyaji, hutetea mazingira boraya kufanyia kazi na uondoshaji wa ajira yawatoto.

Kwa matendo yake na kwa kushirikiana namash i r i ka meng ine yas iyokuwa yak iser ika l i , COTU imefau lu ka t ika :Kuwaelimisha wafanyikazi juu ya athari zaajira ya watoto, kubuni kamati za Jumuiyaza Ajira ya Watoto zinazofuatilia matukio yaa ina mbaya za id i za a j i ra ya watoto ,kuandikisha wanachama zaidi i l i kuvipanguvu zaidi vyama vyetu, kuleta pamojawazazi (wafanyikazi) katika makundi i l ikuanzisha shughuli za kiuchumi, kuondoawato to ku toka kaz in i na kuwape lekashuleni.

23

Page 24: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Changamoto

(a) Uwezekano wa kuendeleza mipango yauondoaji wa ajira ya watoto katika hali yaumaskini.

(b) Umilikaji wa mradi pale ambapo jumuiyazinahitaji kuelimishwa ili ziweze kufahamukwamba ndizo zinazomiliki mradi wa ajira yawatoto na sio wafadhili au wasaidizi.

(c) Mipando ya Marekebisho ya Kimuundo(SAPS) ambayo inazifanya huduma zakijamii kuwa ghali na zisizowezakugharamiwa na maskini.

(d) Ukimwi unaoacha mayatima na wenginewanaoathiriwa kushindwa kujikimu na hivyokuingia katika ajira ya watoto.

(e) Ukosefu wa ajira na ustaafishwajiunaopelekea baadhi ya familia kuwategemeawatoto kujikimu.

(f) Umaskini unaopelekea kuzuka kwa watotowanaohitaji utunzaji maalumu wakiwemowatoto walioajiriwa.

Hitimisho

1. Tatizo la ajira ya watoto linajitokeza zaidikatika kilimo cha biashara. COTUkikishirikiana na mashirika mengine yasiyoya kiserikali pamoja Chama cha Kitaifa chaWalimu cha Kenya, kilianzisha mpango wakitaifa wa ajira ya watoto. Tatizo hili linahitajiushirikiano wa wahusika wengi ili kuwezakutatuliwa. Ni jambo zuri kwamba Kenyaimeweka sheria za waziwazi zinazokatazaajira ya watoto. Uangalifu na usambazajihabari kuhusu tatizo hili unahitajikuendelezwa katika jumuiya zetu.

10. Halmashauri Ya Tanzania YaMaendeleo Ya Kijamii (Tacosode): TajiribaKatika Kushughulikia Matatizo Ya Ajira YaWatoto

Tangu ijiunge na Mpango wa Kimataifa waUondoshaji wa Ajira ya Watoto wa ILO (Shirikala Kimataifa la Wafanyikazi). Tanzania imepigahatua kubwa katika kupambana na ajira yawatoto hasa aina mbaya zaidi za ajira. Imefanyahivi kwa kutumia mbinu mbalimbali na pia

kuwahusisha watu wengi ambao sasawanachangia pakubwa katika vita dhidi ya ajiraya watoto.

Serikali ya Tanzania imeidhinisha Maaganonambari 138 mwaka wa 1998 na Maaganonambari 182 mwaka wa 2001. Serikali piaimekuwa ikirekebisha sheria na serazinazohusiana na ajira ya watoto kwa lengo lakubuni sera ya kitaifa ya ajira ya watoto.

TACOSODE ni mojawapo ya wahusika muhimukatika ajira ya watoto nchini Tanzania naimeshiriki katika mpango wa ILO/IPEC.Imefanikiwa kuvutia wanachama wa mashirikayasiyo ya kiserikali katika utekelezaji wamipango ya matendo kwa kutoa mafunzo juuya ajira ya watoto katika kazi zenye hatari. Tangu1998 TACOSODE imefanya kazi pamoja namashirika yasiyo ya kiserikali ya mashinanikatika maeneo saba ya nchi, kwa lengo lakuimarisha iutendaji wa mashirika yasiyo yakiserikali na jumuiya kuhusiana na ajira yawatoto katika huduma za kinyumbani, kilimo chabiashara na ukahaba.

Nchini Tanzania, watoto walioajiriwa hupatikanakatika kilimo cha biashara hasa kuhusiana namazao kama vile majani chai, kahawa, tumbakukazi za kinyumbani na ukahaba.

Umaskini, ukimwi, kuvunjika kwa maadili,matatizo ya ndoa, uzazi usiowajibika, mila nadesturi fulani ni baadhi ya visababishi vya ajiraya watoto nchini Tanzania.

Baadhi ya shughuli ambazo TACOSODEimeshiriki ni kama vile:

! Matembezi ya dunia nzima dhidi ya ajiraya watoto nchini Tanzania mwaka wa1997 na pia mafunzo na maelekezo juuya ajira ya watoto katika kazi zenye hatarikwa mashirika 15 yasiyo ya kiserikali kwalengo la kuyaelimisha na kuyaelekeza juuya ajira ya watoto. Haya ni kwa lengo lakuyawezesha mashirika yanayohusikakuwa na mipango juu ya ajira ya watoto

24

Page 25: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

ambayo inaingiliana vizuri na shughuli zaoza kila siku.

! Uteuzi wa mbia miongoni kwa mashirikayasiyokuwa ya kiserikali. Ilibidi mashirikahaya yazingatie haki za watoto, yawe natajiriba ya kufanya kazi katika kiwangocha jumuiya na yawe tayari kushirikikatika masuala ya ajira ya watoto.Mwisho, yawe na uwezo wa kuendelezashughuli za mradi.

Kuendeleza Utendaji wa Jumuiya Dhidi yaAjira ya Watoto

Kazi iliyofanywa ilihusu utambulishaji wa watotowaliofaa kushauriwa na kuelimishwa, baadhiyao wakiwa wafanyikazi, mazungumzo nawatoto wafanyikazi na familia zao, kuwarudishashuleni watoto au kuwaelekeza katika shughuliza kiuchumi kama walikuwa wamepita umri wakurudi shuleni.

TACOSODE pia ilizisaidia familia za watotohawa kufungua akaunti ya mikopo ambayoingesaidia katika utekelezaji wa shughuli zakiuchumi. Waliofaidika zaidi walikuwawanawake.

Mikakati muhimu iliyotumiwa ilikuwa ni kama vilekuwashirikisha wanachama wa mashirika yasiyoya kiserikali wilayani kama wabia. Piakudumisha ubia na ushirikiano na watu kutokasekta mbalimbali. Jambo muhimu katikampango huu ni kuanzisha njia za ushirikianobaina ya mashirika yasiyokuwa ya kiserikali naserikali za mitaa na serikali kuu. Mwelekeo huuulileta ungaji mkono kisiasa katika kiwango chawilaya na pia mazingira muafaka kwa kukua kwaushirikiano pamoja na sekta mbalimbali.Uingizwaji wa mpango katika mipango ya wilayauliwezekana kwa sababu ya kushiriki kwa ofisiza wakuu wa wilaya katika mpango. Viongozikutoka halmashauri mbalimbali pia walishirikikatika warsha zote za upangaji.

Mafanikio ya Mpango wa Sasa.

Kulingana na mpango, idadi ya familia maskinizilizolengwa ilikuwa 250 kabla ya mwisho wamwezi Machi 2002. Kufikia mwezi Agosti 2001mpango huu ulikuwa umezipa familia 191msaada wa kifedha. Idadi hii iliwakilisha asilimia76.4 ya familia zilizolengwa. Watoto 239wafanyao kazi pia walipata msaada wakimasomo katika awamu ya kwanza ya mpango.Hii ni asilimia 23.9 ya watoto wafanyao kazi.Msaada waliopata unajumlisha kurudishwashuleni, mafunzo ya kiufundi katika nyanja kamavile ufundi cherahani, urembeshaji nguo,uunganishaji vyuma, uendeshaji gari, uandaajichakula, utiaji nakshi, n.k.

kuhimiza kushiriki kwa wote katikamapambano dhidi ya aina mbaya zaidi za ajira

ya watoto

Mwaka wa 1992 Shirika la ANPPCAN liliunganana serikali kupitia Wizara ya Leba na Ustawi waWafanyikazi kushiriki katika mpango wa ILO/IPEC uliokuwa umeanzishwa nchini Kenya.Baadaye ANPPCAN ilianzisha jitihada zakeambazo zilijulikana kama “kuhimiza kushiriki kwawote katika kupambana na aina mbaya zaidi zaajira ya watoto”. Nia ya ANPPCAN ilikuwa nikupambana na ajira ya watoto nchini Kenyakupitia harakati za kupinga. Malengo yakeyalikuwa:

! Kuendeleza mahusiano ya sektambalimbali miongoni mwa idara zaserikali na washika dau wengine nakuimarisha Kamati za Wilaya za KutoaUshauri Juu ya Watoto.

! Kuendeleza kushiriki kwa watoto katikamasuala yanayowaathiri shuleni na katikakiwango cha jumuiya na pia kupunguzaidadi ya watoto ambao wanaingia katikaajira.

! Kupunguza idadi ya watoto walio katikaaina mbaya zaidi za ajira ya watoto.

25

Page 26: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Kuendeleza Ushirikiano wa SektaMbalimbali katika kukabiliana naAjira ya Watoto.

ANPPCAN ilibainisha kwamba ukosefu waushirikiano uliathiri ufanisi wa vita vyakukomesha ajira ya watoto nchini Kenya. Kwasababu hii mpango wa ANPPCAN wa ajira yawatoto ulianza kufanya kazi pamoja na wahusikawengine ili kuimarisha mkakati wa ushirikianokatika kupambana na ajira ya watoto. Kwa njiahii, uendeshaji wa shughuli za pamoja ulitiliwanguvu. Kwa mfano kufungua na kuendeshaakaunti za benki za pamoja, uendeshaji wapamoja wa mipango ya mafunzo, n.k.

Katika kuimarisha mkakati wa ushirikiano,ANPPCAN ilitambua Kamati za Wilaya za KutoaUshauri Juu ya Watoto kama chombo muhimukatika kiwango cha wilaya ambacho kilihitajikuimarishwa. Hata hivyo, kutokana na ukubwawa kamati hizi, suala la kutokutana mara kwamara na pia wakuu wa wilaya ambao ndiowenyekiti wa kamati kuwa na shughuli nyingisana, ANPPCAN iliamua kuunda kamatinyingine za wilayani. Kamati hizi (DCLC)zilikuwa kamati ndogo za kufanya kazi na Kamatiza Wilaya za Kutoa Ushauri Juu ya Ajira yaWatoto (DCAC). Kamati hizi mpya zilikuwa nawawakilishi kutoka idara za serikali, mashirikaya kidini, mashirika yasiyokuwa ya kiserikali nawahusika wengine katika masuala ya watotowilayani.

Majukumu ya Kamati ni:

! Kutekeleza shughuli za ajira ya watoto! Kusaidia shule kuanzisha miradi ya kuleta

mapato.! Kutoa mafunzo na kuendesha semina,

warsha na mikutano! Kubuni mipango ya kazi kwa wilaya na

kukagua maendeleo yake! Kubuni kamati za ajira ya watoto katika

viwango vya tarafa na lokesheni.! Kutafuta na kutumia raslimali.

! Kuhakikisha kwamba kuna ushirikianowa sekta na miongoni mwa washikadau na pia kusambazahabari juu ya shughuli zakiuchumi zinazohusiana na ajira ya

watoto, n.k! Kuitisha mikutano juu ya ukaguzi wa

shughuli za kuleta mapato.! Kutayarisha ripoti za maendeleo ya

shughuli za kuleta mapato na shughulinyingine kuhusiana na ajira ya watoto.

! Kueneza ufahamu juu ya ajira ya watoto.! Kufuatilia na kutathmini shughuli za

kuleta mapato.

Kupunguza Idadi ya Watoto Wanaojiunga naSoko la Ajira

Lengo hili lilitekelezwa kupitia kuimarishaufahamu na pia usaidizi kwa watoto ambaowalikabiliwa na hatari ya kutolewa shuleni.Mwanzoni, jumuiya ilishirikishwa katikakuimarisha ufahamu, kutambua aina za ajira yawatoto ziliaohusika na kukubaliana juu yamkakati wa kukabiliana nazo.

Semina katika kiwango cha wilaya ziliendeshwa.Zilihusisha idara za serikali, mashirikayasiyokuwa ya kiserikali, makanisa, mashirikaya jumuiya na viongozi wa elimu ya uraia. Katikakiwango cha jumuiya, wazazi, walimu na watotowa shule. Lengo lilikuwa ni kuwaelimisha juuya ajira ya watoto na pia kutafuta maoni yao juuya njia za kukabiliana na tatizo hili.

Maandalizi ya Kufikia Makubaliano

ANPPCAN ilihusika katika shughuli zaMatembezi ya Dunia Nzima dhidi ya ajira yawatoto pamoja na nchi nyingine za Kiafrikazitumiazo lugha ya Kiingereza. Kwa kutumianjia ya ushirikiano wa sekta mbalimbali katikaviwango vya kitaifa na wilaya shughulizilipangwa. Mikakati mbalimbali ilitumiwa ikiwani pamoja na matembezi yaliyohusisha umma,vyombo vya habari na mabango. Chochotekilichotokana na shughuli hizi kiligawanywamiongoni mwa washika dau wote.

26

Page 27: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Shughuli za kuleta mapato zilitambuliwa kamanjia moja ya kuanzisha msingi wa raslimali katikakiwango cha shuleni ili kuwasaidia watotomaskini na kupunguza ada za shule. Hii ilitokanana kutambua kwamba shule zina raslimali nyingikama vile ardhi na watu wenye ujuzi. Badala yakutumia raslimali hizi, shule ziliwategemeawazazi maskini ili kupata pesa. Ikiwa shughuliza kuleta mapato zingeweza kuendelezwashuleni, basi idadi ya watoto ambao walitokaingepungua. Shule pia ziliangaliwa kama vituoambapo ujuzi juu ya shughuli za kuleta mapatoungesambazwa katika jumuiya zilizo jirani ilihatimaye ziweze kuanzisha shughuli kama hizonyumbani na kuwasaidia watoto wao.Kuanzisha na kusimamia shughuli za kuletamapato kungekuwa kwenye kushirikishawahusika wengi iwezekanavyoili kuhakikishakwamba zitafaulu. Washika dau wote katikakiwango cha jumuiya, hasa wakuu wa shule,walimu, wazazi, kamati za kusimamia shule nawanafunzi wangeshirikishwa katika awamu zote.

Kuwaondoa Watoto Kutoka Kwenye AinaMbaya Zaidi za ajira ya Watoto

Mpango huu ulijaribu kutambua aina mbayazaidi za ajira ya watoto katika kiwango chawilaya. Kwa kushirikiana na washika dau,mahitaji mbalimbali ya watoto wafanyikaziyalitambuliwa na njia za kuwaondoa kutokakazini zilibuniwa. Utoaji wa elimu rasmi na isiyorasmi na mafunzo ya kazi imetambuliwa kuwamikakati muhimu ya kuwasaidia watotowalioondolewa kutoka kazini. Kwa hali hii kamatiza ajira ya watoto zimevitambua vyuo vya ufundianuawai kama asasi muhimu ambapo watotowalioondolewa kutoka kazini wangepatamafunzo ya kazi. Kupitia shughuli za kuletamapato watoto walioondolewa kutoka kaziniwakiwa na umri wa kuhudhuria shule,walirudishwa shuleni na kusaidiwa.

Kupitia jitihada hizi, ANPPCAN imeimarishakamati za Wilaya za Ajira ya Watoto na Kamatiza Kutoa Ushauri za Tarafa. Watoto 1,583wamefaidika moja kwa moja kutokana namapato ya shughuli za kuleta mapato.

Wamepata sare za shule, ada za mitihani,vitabu, kalamu, n.k. Watoto wengine 3,850wamefaidika kutokana na miradi ya shule kamavile ujenzi.

Mpango huu pia umesaidia vyuo vya ufundianuwai 9 katika wilaya 9 ili viweze kuanzishashughuli za kuleta mapato. Lengo ni kuwasaidiawatoto walioondolewa kutoka kazini ili wapatemafunzo ya kazi. Kufikia sasa, watoto 154waliokuwa wametolewa kazini wamesaidiwakuingia shuleni na wengine 10 wameingia katikamafunzo ya kazi mahsusi.

Kufanya vyema masomoni kwa watotokunahusishwa na idadi kubwa zaidi ya watotokuingia shuleni na kubakia huko hadi mwisho.Hali hii imetokana na jitihada za pamoja zajumuiya, kamati za Wilaya za Ajira ya Watotona ANPPCAN.

11. Juhudi Za Shirika La AmwikKuinua Ufahamu

Shirika la Utangazaji la Kenya (KBC) na Shirikala Wanawake katika vyombo vya Habari NchiniKenya (AMWIK) yalianzisha juhudi za kampeniza kuinua ufahamu na kuimarisha uelewa waumma na waunda sera juu ya ajira ya watotokwa ujumla na hasa aina mbaya zaidi za ajiraya watoto.

Jitihada zimefanywa na kikundi hiki kuishawishiserikali na watoaji huduma wengine na piakuimarisha uwezo wa waandishi wa habarikushughulikia ajira ya watoto. Hayayamefanywa kupitia vyombo vya habari.Kulingana na taarifa zilizopo, mahojianoyamefanywa yakilenga mipango ya IPEC nchiniKenya na pia sekta za kazi. Jitihada hizizimekuwa muhimu katika kufahamisha kwambamalipo ya papo hapo ndicho chanzo cha kushirikikwa watoto katika uvunaji wa kahawa, miraa,ukahaba wa watoto na uchongaji.

Ukaguzi wa gafla ulikuwa muhimu sana katikakubainisha aina mbaya zaidi za ajira nchiniKenya, k.m. kutembelea mashamba ya kahawa.

27

Page 28: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

12. Machapishoyanayofaa kuhusuMapatano ya 182.

Machapisho ya Kiserikali.

! Wasiliana na idara za serikali zilizona wajibu wa utekelezaji (haswawizara ya Afya) na uliziamachapisho kuhusu suala hili.

Machapisho yasiyo ya Kiserikali.

! Global March Against ChildLabour-

“ ILO Convention 182 Ending the WorstForms Of Child Labour: A Guide to Action”,Mai 2000

Huu ni mwongozo wa Mkataba wa 182 uliona utaratibu wa kisheria na wajibu waMetambezi ya Dunia.Kipepesi: 00 91 11 6236818Barua pepe: [email protected]

! Save The Children UK“Small Hands, Big Business”, Juni2000

Kipepesi: 00 44 20 7708 2508Barua pepe: [email protected]

! Defence For Children International, Costa Rica-

“Prevencion y Eliminacion de lasformas de trabajo infantile: un retopara la democracia y el desarollohumano”, Agosti 2000

Kipepesi: 00506 283 1219Barua pepe: [email protected]

! Anti- Slavery International/Minority Rights GroupInternational/

“ Guide ILO Monitoring Mechanisms ForProtecion Of Minorities, forthcoming 2001”

Huu ni mwongozo wa taratibu za ILO zakulinda haki za wachche, uliotarajiwakuchapishwa 2001.kipepesi: 00 44 20 77 38 4110Barua pepe: [email protected]

Machapisho ya ILO na yaleya IPEC, ya waajiri na yawaajiriwa.

! IPEC

Iko na machapisho kadhaa kuhusu ajira yawatoto. Yanapatikana kupitia:kipepesi: 00 41 22 799 8771

28

Ilibainika kwamba watoto walikuwa wakivunakahawa katika mazingira ya hatari. Ilibainishapia kwamba watoto wengi walikuwa wakifaidikakutokama na mipango ya IPEC kwa sababuwengi wao ambao walikuwa wametoka shuleniwalisharudi.

Kuingilia kati kwa KBC na AMWIK kunawezakufichua na kuchapisha visa vya ajira ya watotonchini. Hatua hii inaweza kuathiri sera juu yaajira ya watoto.

Wanachama wa Kamati Elekezi na wawakilishiwa mashirika wanaofanya kazi kuhusiana namasuala ya ajira ya watoto wamealikwa marakwa mara kuzungumzia suala hili. Masualayanayohusika ni kama vile utungaji sheria, hasakwa kutilia maanani kwamba Kenyailishaidhinisha Maagano ya 182. Nyingi kati yashughuli hizi zimeelekezwa kwenye mashirikayanayomiliki vyombo vya habari.

Mchakato wa kuinua kiwango cha ufahamu piautatoa fursa ya watelelezaji kujifunza. Ili shughuliza kuinua kiwango chao ufahamu zifanikiwe,zafaa ziwe za muda mrefu na thabiti.

Page 29: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

Barua pepe: [email protected]

!!!!! ILO Bureau for Workers’ Activities-ACTRAV”

ACTRAV ni idara ya ILO ya shughuli zawafanyakazina huratibu shughuli za afisizinazohusisha mashirika ya waajiriwa katikamakao makuu na katika kazi za nje.Itachapisha mwongozo wa Mkataba wa ILOwa 182 unaotarajiwa kutoka mwaka wa 2001.

kipepesi: 00 41 2 799 6570Barua pepe: [email protected]

! World Confederation of Labour(WCL)-

“Internationalcampaign for theratification and Application of ILOConvention 182 Educational Handbook”, Mei 2000.kipepesi: 00 32 2 230 8722www.cmt-wcl.org/pubs/

12. Anuani za MashirikaYanayohusika.

Vyama vya wafanyakazi vyakimataifa.

ICFTU- International Confederation of FreeTrde Unions, Bruxelleskipepesi: 0032 2 201 5815Barua pepe: [email protected]

ICTFU African Regional Organisation (AFRO),Kenyakipepesi: 00 65 222 380Barua pepe: icftuafro@formnet

ICTFU-International Confederation of FreeTrade Unions, Bruxelleskipepesi: 00 32 2 201 5815Barua pepe: [email protected]

ICTFU African Regional Organisation (AFRO),Kenyakipepesi: oo 254 221 5072Barua pepe: [email protected]

ICTFU Inter-American Regional Organisatoin ofWorkers (ORIT),Venezuela,kipepesi: 00 58 258 3349Barua pepe: [email protected]

World Confederatoin of Labour,Bruxelleskipepesi: 00 32 2 230 8722Barua pepe: [email protected]

Mashirika ya Kimataifa YaKiserikali

International Labour Organisation-International Programme for the Elimination ofChild Labour (IPEC), GenevaSimu: 0041.22.799.6486kipepesi: 0041.22.799..8771Barua pepe: [email protected]/child labour

IPEC Regional Office for Asia, Bangkokkipepesi: 00 66 2 288 1069Barua pepe: [email protected]/[email protected]

IPEC Sub rergional Office fo Central America,San Josekipepesi: 00 506 280 6991Barua pepe: [email protected]

IPEC Sub- Regional Office for South America,Limakipepesi: 00 51 1 421 5292Barua pepe: [email protected]

IPEC Regional Office for Francophone Africa,Abidjankipepesi: 00 255 212880,

Barua pepe : d’[email protected] [email protected]

IPEC Area Office for Anglophone Africa,Dar es Salaam,kipepesi: 00255 52 666004Barua pepe: [email protected]

Ofisi kuu Ya UNICEF, New York,

29

Page 30: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

kipepesi: oo 1 212 887 7465www.unicef.org

Mashirika ya Kimataifa yasiyo yaKiserikali

International Save the Children Alliancekipepesi: 00 44 20 8237 8000Barua pepe; [email protected]

International Federation Terre des Hommeskipepesi: 00 41 22 736 15 10Barua pepe: [email protected]

Defence For Children Internationalkipepesi: 00 41 22 740 1145Barua pepe: [email protected]

World Vision Internationalkipepesi: 00 41 22 798 6547Barua pepe: [email protected]

Anti- Slavery Internationalkipepesi: 00 44 20 7738 4110Barua pepe: [email protected]

Coalition to stop the Use of Child SoldiersS.LP. 22696, London, N4 3ZJ, UK.Barua pepe: [email protected]

International Service for Human Rightskipepesi: 00 41 22 733 0826www.ishr.ch

Child Workers in Asia,kipepesi: 00 662 215 8272Barua pepe: [email protected]

ECPAT International (End ChildProstitution, Pornography and theTrafficking of Children for SexualPurposes)kipepesi: 00 662 215 8572Barua pepe: [email protected]

ANPPCAN (African Network for the Preventionand Protectoin Against Child Abuse andNeglect)

kipepesi: 00254 2 57 65 02Barua pepe: [email protected]/anppcan/

Consortium For Street Childrenkipepesi: 00 44 20 7738 4110Barua pepe: [email protected]

Mashirika ya Kimataifa Ya Waajiri.

ILO Bureau For Employers’ Activities(ACT/EMP)Simu: 00 41 22 799 7748kipepesi: 00 41 22 799 8948Barua pepe: [email protected](Orodha ya anwani na anwani za mitandao yaMashirika rasmi ya Waajiri ulimwenguni koteyanaweza kupatikana katika: http://www.ilo.org/public/english/dialogue/actemp/contact/emp-org.htm)International Organisation forEmployers (IOE),

Simu : 00 41 22 798 16 16kipepesi: 00 41 22 798 88 62Barua Pepe: [email protected]

Miungano ya Kitaifa ya Haki zaWatoto

Miungano hii inaweza kufikiwa kupitiaMtandao Wa Maelezo Kuhusu Haki Za Watoto(Child Rights Information Network) kupitiaanwani ya mtandao www. Crin.org.

Kwa vingine, maelezo mengine yanawezakupatikana kupita Kundi la Mashirika yasiyoya Serikali la Geneva, sehemu yaMawasiliano kupitia kwa :

Defence For Children International,kipepesi: 0041 22 1145Barua pepe: [email protected].

Mashirika ya Kimataifa ya Watotowanaofanya kazi.

ENDA Jeunesse ActionAfrican Movement of Child and Youth Work-erskipepesi: 00 221 823 51 57Barua pepe: [email protected]/eja

30

Page 31: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva

NATs Ninos/as y Adolescentes TrabajadoresLatin American Working children’scoordinationg organisatonkipepesi: 00 511 466 4789,Barua pepe: [email protected]

Concern for Working Children/Bhima SanghaSouth Asian working children’s Organisationkipepesi: 00 91 80 523 4258Barua pepe: [email protected]

Kundi la Mashirika Yasiyo YaKiserikali la CRClina ofisi iliyomo –Geneva:kupita kwa :“Defence For Children International”,S.L.P. 88,1211 GENEVA 20,Switzerland.

Kipepesi: 00 41 22 740 1145Barua pepe: [email protected].

Kikundi kidogo cha Ajira yaWatoto:Kina makao katika ‘Anti-slaveryInterantional”:

Thomas Clarkson Hse.The Stableyard,Broomgrove Road,London SW9 9TL,U.K.

kipepesi: 00 44 20 7738 4110Barua pepe: [email protected]

31

Page 32: ILO/IPEC Kenya - Anti-Slavery International · Mapatano mapya (1999) ya shirika ya kimataifa la wafanyikazi Kimeandikwa na: kikundi cha mashirika yasiokuwa ya kiserikari cha Geneva