37

KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

  • Upload
    others

  • View
    10

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo
Page 2: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

248

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Tatu, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi

Ufahamu

Sarufi

Vinyume vya vitenzi

Dhima ya fasihi

Usalama barabarani

Vitenzi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutofautisha baina ya kinyume na

kukanusha.• kueleza maana ya vinyume vya vitenzi.• kutumia vinyume katika sentensi sahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza dhima ya fasihi. • kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa sauti na kimya.• kubainisha umuhimu wa usalama

barabarani.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambanua tofauti baina ya vitenzi

asili na vile vya kigeni. • kufafanua mzizi wa vitenzi.• kuainisha viambishi awali na tamati.• kutumia vitenzi sahihi katika sentensi.

1

2

3

4-5

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 1-2

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 1-2

• Wanafunzi• Ubao• Vielelezo• Majedwali

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 2-3

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 2

• Wanafunzi• Mchoro• Mikusanyo ya kazi za

fasihi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 3-6

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 2-3

• Takwimu au tarakimu• Picha au michoro

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 6-9

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 3-4

• Jedwali • Vielelezo• Maandishi

mbalimbali

• Marudio • Maelezo• Maswali na majibu• Mifano • Mazoezi• Kutofautisha

• Maelezo• Kuandika • Mifano • Tajriba

• Tajriba• Maelezo• Usomaji• Maswali na majibu• Utafiti

• Marudio • Mazoezi• Maelezo • Mifano ya vitenzi• Kazi mradi

JUM

A 1

Page 3: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

249

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

6

1-2

3-4

5-6

1-2

Kuandika

Fasihi teule

Fasihi andishi

Sarufi

Kuandika (Utunzi)

Insha ya hadithi (masimulizi)

• Usuli katika riwaya• Utangulizi wa Mwisho

wa kosa (sura 1)

Hadithi fupi:Utenzi wa moyoni

Uakifishaji

Insha ya hadithi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza vipengele vya insha ya

masimulizi.• kuandika insha ya masimulizi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya usuli.• kueleza umuhimu wa usuli wa riwaya.• kumwelewa mwandishi na jumuia yake.• kueleza dhamira ya mwandishi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja maudhui ya hadithi hii.• kujadili mbinu za lugha zilizotumiwa.• kujadili wahusika.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuzitambua, kutaja na kueleza alama za

uakifishaji na matumizi yake.• kuakifisha makala mbalimbali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza vipengele vya insha ya hadithi.• kueleza namna ya kuandika insha ya

hadithi.• kuandika insha ya hadithi kulingana na

mada iliyotolewa.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 12

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 6-7

• Visa vya wanafunzi• Makala ya magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 11

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 5

• Wanafunzi• Riwaya ya Mwisho wa

kosa, uk. 1-9

• Kitabu cha Mayai Waziri wa Maradhi,

uk. 13-19

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 9-10

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 4-5

• Maumbo ya alama za uakifishaji

• Maandishi mbalimbali

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 12

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 6-7

• Vielelezo

• Mazoezi • Tajriba • Maelezo• Kuandika

• Mifano• Uchunguzi• Usomaji• Majadiliano• Kuandika

• Kusoma kwa sauti• Majadiliano• Uchambuzi• Kuandika

• Mifano ya alama za uakifishaji

• Matumizi ya alama za uakifishaji

• Majadiliano • Mazoezi

• Tajriba • Visa tofauti• Kuandika

JUM

A 1

JUM

A 3

JUM

A 2

Page 4: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

250

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

3

4-5

6

1

2-3

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Ufasaha wa lugha

Sarufi

Hali ya kuamrisha

Fasihi simulizi: Vipera vya fasihi simulizi.

Haki za wanyama

Kuandika barua

Nyakati na hali

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja njia mbalimbali za kuamrisha. • kutunga sentensi za kuamrisha.• kubainisha viambishi vya kuamrisha.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya fasihi simulizi.• kufafanua umuhimu wake.• kutaja mifano ya vipera tofauti vya

fasihi simulizi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.• kujadili kwa ufasaha matendo mazuri

na mabaya kwa wanyama.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufahamu sifa za barua rasmi.• kubainisha mitindo ya barua tofauti.• kueleza sifa za lugha

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha viambishi vya nyakati na

hali.• kutunga sentensi sahihi akitumia

viambishi tofauti vya nyakati na hali.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 13

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 7-9

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 14-15

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 10

• Mikusanyo ya vipera tofauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 16-18

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 10-11

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 20-21

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 11-12

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 18-20

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 11

• Jedwali la kubainisha viambishi

• Maigizo• Maelezo• Tajriba• Tofauti kati ya

kuamrisha, kurai na kuhimiza

• Mifano ya maneno na sentensi

• Uchunguzi • Majadiliano• Maswali na majibu• Maelezo• Kunukuu hoja

muhimu• Kazi mradi

• Usomaji• Maswali na majibu• Kujadili• Mifano• Maelezo

• Usomaji wa makala tofauti ya barua

• Maelezo• Kujadili• Maswali na majibu• Kuandika

• Maswali na majibu• Ufaraguzi• Kuandika• Mazoezi • Kunakili

JUM

A 3

JUM

A 4

Page 5: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

251

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

4-5

6

1

2

3-4

Hadithi fupi

Fasihi teule

Kusikiliza na kuzungumza

Utunzi

Hadithi fupi

Siku ya Mganga

Maudhui katika riwaya

Lugha ya dini

Umbo la barua rasmi

Pwaguzi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kujadili dhamira ya mwandishi.• kuchambua maudhui na tamathali za

lugha zilizotumiwa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya riwaya na maudhui.• kufafanua mambo ya kuzingatia katika

kuchambua maudhui.• kueleza hatua katika uchambuzi wa

maudhui.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za lugha ya kidini.• kutumia sifa hizi katika utekelezaji

maishani mwao.• kubainisha madhumuni na maudhui ya

lugha ya kidini.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua umbo la barua rasmi.• kutofautisha kati ya barua rasmi na

barua ya kirafiki.• kubuni maudhui ya barua rasmi.• kuandika barua rasmi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kueleza visa vya ulaghai.• kufafanua maudhui na sifa za wahusika.

• Mayai Waziri wa Maradhi, uk. 20-37

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 22-23

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 12-13

• Makala mafupi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 25

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 14-16

• Makala tofauti• Kanda za kunasia

sauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 23-24

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 13-14

• Vielelezo

• Mayai Waziri wa Maradhi, uk. 50-56

• Kusoma kwa sauti• Majadiliano• Muhtasari wa hadithi• Maswali na majibu

• Kusoma kwa sauti• Majadiliano• Kujadili sifa za

maudhui• Kuandika• Uchunguzi• Tajriba• Uhakiki

• Kusoma • Kuigiza• Maswali na majibu• Kujadili • Mifano

• Maelezo ya barua rasmi

• Mifano• Kufafanua hoja

muhimu kuhusu mtindo

• Kuandika barua rasmi

• Majadiliano• Kuchambua hoja kuu

za maudhui, lugha na wahusika

• Uchambuzi • Maswali na majibu

JUM

A 4

JUM

A 5

Page 6: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

252

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

5

6

1

2-3

Fasihi yetu

Sarufi

Ufahamu

Fasihi teule

Ulumbi(Hotuba)

Ukanushaji

Matumizi ya simu tambamaabadini

Wahusika katika riwaya

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kanuni za ulumbi.• kutaja mifano ya ulumbi.• kueleza umuhimu wa ulumbi.• kueleza baadhi ya walumbi na sifa zao.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuelewa na kubainisha viambishi vya

kukanusha.• kutofautisha kinyume na kukanusha.• kukanusha sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma ufahamu.• kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kujadili na kueleza aina za wahusika

katika riwaya.• kufafanua sifa na umuhimu wa

wahusika.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 25-26

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 16-17

• Fanani • Kanda za video zenye

hotuba za walumbi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 29-33

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 18-20

• Jedwali la maumbo ya viambishi vya kukanusha

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 26-29

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 17-18

• Mifano• Vinyago• Picha au michoro

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 36-38

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 22

• Vitabu vya ziada• Riwaya teule

• Uigizaji• Majadiliano• Hotuba• Maswali na majibu• Kazi ya makundi

• Ufafanuzi• Mifano• Tofauti kati

ya kinyume na kukanusha

• Maumbo ya viambishi vya kukanusha

• Mazoezi • Kuandika

• Kusoma kifungu• Kujadili msamiati

mpya• Mazungumuzo• Uigizaji• Kazi ya makundi• Maswali na majibu

• Maelezo• Majadiliano• Maswali na majibu• Tajriba• Makundi• Uhakiki

JUM

A 5

JUM

A 6

Page 7: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

253

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

4

5-6

1

2-3

Ufasaha wa lugha

Hadithi fupi

Kusikiliza na kuzungumza

Kuandika

Historia na chimbuko la Kiswahili

Tuzo

Hotuba

Utunzi: Insha ya mazungumzo

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza historia na chimbuko la

Kiswahili.• kujadili lahaja za Kiswahili.• kubainisha ukweli kuhusu asili ya

Kiswahili.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma hadithi.• kujadili wahusika, maudhui na lugha

kwa ufasaha.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha hoja za kuzingatia mtu

anapotoa hotuba.• kueleza hoja muhimu katika hotuba.• kutoa hotuba mbele ya darasa.• kuandika muhtasari wa mambo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za insha za mazungumzo.• kufafanua mbinu za utunzi wa insha ya

mazungumzo.• kuandika insha ya mazungumzo.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 33-36

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 20-21

• Ramani ya Afrika ya Mashariki

• Historia ya Kiswahili (OUP)

• Mayai Waziri wa Maradhi, uk. 57-62

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 39-40

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 24-25

• Kanda za sauti• Picha za magazeti• Chati za grafu na pai

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 38

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 22-24

• Wanafunzi

• Kusoma • Majadiliano• Tajriba• Mifano• Makundi • Ufafanuzi wa asili ya

ya lugha ya Kiswahili

• Majadiliano• Kusoma• Kuchambua hadithi• Kujibu maswali

• Maelezo ya hotuba• Maswali na majibu• Maigizo• Uigizaji wa kutoa

hotuba • Kuandika

• Maelezo• Maigizo• Maswali na majibu• Kuandika• Majadiliano• Makundi

JUM

A 6

JUM

A 7

Page 8: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

254

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

4

5-6

1

2

Sarufi

Hadithi fupi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Kauli ya vitenzi:kutendesheana,kutendeshewa,kutendesheka

Mayai Waziri wa Maradhi

Hotuba

Mawaidha

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha maumbo ya vitenzi katika

kauli tofauti.• kugeuza vitenzi kutoka kauli moja hadi

nyingine.• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi

katika kauli maalumu.• kueleza maana ya sentensi zenye vitenzi

katika kauli maalumu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua dhamira, maudhui na

wahusika.• kuchunguza lugha iliyotumiwa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua mambo ya kuzingatia mtu

atoapo hotuba.• kuandaa muswada wa hotuba.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa maana ya mawaidha.• kueleza sifa, muundo na manufaa ya

mawaidha.• kutoa mawaidha kutegemea hali fulani

maalumu.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 43-45

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 28

• Jedwali• Vitu halisi• Mazingira ya shule

• Mayai Waziri wa Maradhi, uk. 63-77

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 39-40

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 24-25

• Kanda za sauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 40-41

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 25-27

• Mkusanyo wa mawaidha

• Mwalikwa au fanani• Vielelezo

• Maelezo• Mazoezi ya kutunga

sentensi• Mifano• Tajriba

• Kusoma• Uchambuzi wa

dhamira, lugha, maudhui na wahusika

• Kujadili• Maswali na majibu

• Ufafanuzi kuhusu maana ya hotuba

• Maelezo• Maigizo • Uvumbuzi• Uchunguzi kifani

• Ufaraguzi• Ufafanuzi• Utafiti• Mifano• Uigizaji

JUM

A 7

JUM

A 8

Page 9: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

255

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

3

4-5

6

1

2

Ufahamu

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Umaskini Afrika

Muhtasari: Ratiba ya mkutano

Muundo na mtindo katika riwaya

Hotuba

Hojaji na kujaza fomu

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno na misemo.• kuzingatia mafunzo

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa ratiba.• kubainisha saa za ratiba.• kuandaa ratiba ya mikutano ya hadhara.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa maelezo ya muundo na mtindo

katika sura tofauti za riwaya teule.• kufafanua sura za muundo na mtindo

wa kazi ya riwaya.• kueleza kwa kutumia mifano sura za

muundo na mtindo wa riwaya.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika hotuba kama ipasavyo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza hojaji na kujaza fomu.• kueleza namna ya kutayarisha na kujaza

hojaji na fomu.• kufafanua madhumuni ya kutumia

hojaji au fomu.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 42-43

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 27-28

• Tarakilishi• Ramani• Picha

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 45-46

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 29

• Mikusanyo ya ratiba• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 47

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 30-31

• Riwaya teule

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 48

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 31-33

• Kanda za sauti• Vielelezo ubaoni

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 49

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 34-35

• Vielelezo vya hojaji au fomu

• Utafiti• Utatuzi wa mambo• Uchunguzi kifani• Maswali na majibu• Usomaji

• Maagizo• Tajriba • Ufafanuzi wa muundo• Kuandika mfano wa

ratiba

• Uchunguzi• Kusoma• Udadisi• Maelezo ya muundo

na mtindo• Uchambuzi

• Utatuzi wa mambo• Uvumbuzi• Maigizo• Uchunguzi kifani• Kuandika • Maelezo

• Utafiti• Maswali na majibu• Kutayarisha hojaji na

fomu• Kujaza • Maelezo

JUM

A 8

JUM

A 9

Page 10: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

256

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

3

4

5-6

1

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Malumbano ya utani katika fasihi simulizi

Ugaidi

Kauli za vitenzi

Uhusiano wa Kiswahili na lugha za Kibantu

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza utani na umuhimu wake.• kutoa mifano ya utani.• kueleza mabadiliko katika utanzu wa

utani.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kugeuza vitenzi katika kauli

zinazoshughulikiwa.• kutunga sentensi sahihi kwa kutumia

kauli ya vitenzi hivyo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza uhusiano wa Kiswahili na lugha

za Kibantu.• kueleza muundo wa maneno katika

lugha za Kibantu kwa kutumia Kiswahili.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 50-51

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 35-36

• Wanafunzi wenyewe• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 51-53

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 37-39

• Kanda za video• Magazeti • Picha

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 54-55

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 39-40

• Jedwali ya mageuzo• Vitu halisi• Matini tofauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 56

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 40

• Vielelezo vya msamiati wa lugha za Kibantu na maneno ya Kiswahili

• Wanafunzi

• Maelezo na ufafanuzi• Uhakiki• Majadiliano• Kazi ya vikundi• Mifano

• Tajriba• Masimulizi• Mjadala • Majadiliano• Uchunguzi wa

msamiati• Usomaji

• Maelezo ya dhana ya mnyambuliko

• Ufafanuzi wa viambishi vya mnyambuliko

• Kuigiza• Ufaraguzi• Mazoezi

• Maelezo • Ufafanuzi• Majadiliano• Tajriba • Mifano• Makundi

JUM

A 1

0JU

MA

9

Page 11: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

257

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

2-3

4

5

6

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Matumizi ya lugha katika riwaya

Insha ya mawazo

Vitendawili na mafumbo

Soga katika fasihi simulizi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa lugha katika

riwaya.• kufafanua mambo muhimu ya

kuzingatia wakati wa kuhakiki lugha katika riwaya.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya insha ya mawazo.• kuandika insha ya mawazo kulingana na

kichwa walichopewa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kupambanua

umuhimu wa vitendawili na mafumbo.• kutoa mifano ya vitendawili na

mafumbo.• kutega vitendawili na kufumbua

mafumbo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya soga.• kufafanua umuhimu na mafunzo ya

soga.• kufanya mazoezi ya kutoa soga.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 56-58

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 41

• Mwisho wa kosa• Kanda za sauti• Wanafunzi• Vielelezo vya

tamathali za semi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 58

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 41-42

• Magazeti na majarida• Vielelezo vya insha ya

mawazo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 59-61

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 42-43

• Picha au michoro• Mkusanyo wa

vitendawili na mafumbo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 61-62

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 43

• Kanda za sauti• Mkusanyo wa soga

• Maelezo na ufafanuzi• Uhakiki• Majadiliano• Maswali na majibu• Makundi

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu.• Tajriba• Kuandika

• Michezo• Maelezo ya mafumbo

na vitendawili• Utafiti• Ufafanuzi • Mifano

• Maigizo• Ufaraguzi• Maswali na majibu• Maelezo

JUM

A 1

1

Page 12: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

258

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

1

2-3

4

5-6

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Chanzo cha matatizo barani Afrika

Mnyambuliko wa vitenzi vya silabi moja

Uundaji wa maneno

Mafunzo katika riwaya

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa na kujibu maswali kwa

usahihi.• kueleza aina na sababu za matatizo

barani Afrika.• kufafanua maana za maneno.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutambua vitenzi vya silabi moja.• kubainisha maana na vitenzi hivi.• kutunga sentensi sahihi akitumia

vitenzi vya silabi moja.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya uundaji wa maneno.• kufafanua jinsi maneno yanavyoundwa.• kubainisha umuhimu wa kuunda

maneno.• kuunda maneno kwa viambishi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana ya mafunzo katika

riwaya.• kueleza namna na hatua za kupata

mafunzo.• kubainisha mafunzo katika riwaya.

• Mjadala• Tajriba• Ufaraguzi• Uchuguzi• Maswali na majibu• Usomaji

• Maelezo na ufafanuzi• Mifano • Tajriba• Masimulizi• Vikundi• Mazoezi

• Majaribio ya uundaji• Uvumbuzi• Mifano• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu

• Tajriba • Utatuzi wa mambo• Kuigiza• Maelezo na ufafanuzi• Uhakiki• Usomaji• Majadiliano• Maswali na majibu

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 62-64

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 43-45

• Chati na grafu• Magazeti • Picha • Tarakilishi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 64-65

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 45-46

• Chati vya vitenzi vya silabi moja

• Kadi za maneno• Mkusanyo wa vitenzi

vya silabi moja

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 66-67

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 46-47

• Kadi za maumbo ya maneno

• Majedwali ya maneno

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 67-68

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 47-48

• Mwisho wa kosa (Riwaya teule)

• Picha• Michoro• Magazeti

JUM

A 1

1

Page 13: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

259

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

1

2

3-4

5

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Dayolojia

Mahojiano baina ya wataalamu wawili

Ngano katika fasihi simulizi

Saratani

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya dayolojia.• kufafanua sifa bora za dayolojia.• kuandika dayolojia kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa mahojiano kati

ya wataalamu wawili.• kufafanua sifa hizo za mahojiano.• kuendesha mahojiano.• kufafanua maenezi ya ugonjwa wa

kansa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza dhima ya ngano, masimulizi

na hadhira.• kueleza muundo wa ngano.• kufafanua mafunzo katika tanzu hizi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza chanzo cha saratani, dalili na

matibabu yake.• kushauri jinsi ya kugundua kansa

mapema na kuizuia.

• Ufaraguzi• Kuandika dayolojia• Maswali na majibu• Maigizo

• Maelezo • Ufafanuzi• Mifano • Mahojiano• Maigizo • Usomaji • Maswali na majibu

• Ufafanuzi• Masimulizi ya visa

tofauti• Maigizo • Maswali na majibu• Ufahamu wa

kusikiliza

• Usomaji• Maelezo na

ufafanuzi• Mifano• Majadiliano• Mjadala• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 68

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 48-49

• Kanda za sauti• Kanda za video• Matini ya dayolojia

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 69-70

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 49-50

• Picha, michoro• Makala ya magazeti

au majarida• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 70-72

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 50-51

• Kanda za kunasia sauti

• Ngano tofauti• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 72-74

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 51-52

• Mabango kutoka Wizara ya Afya

• Picha au michoro • Majarida na makala• Mwalikwa

JUM

A 1

2

Page 14: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

260

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza

6 Sarufi

Mtihani na kusahihisha

Mnyambuliko wa vitenzi vya asili ya kigeni

Marudio na mazoezi ya stadi zote

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza tofauti kati ya vitenzi vya asili

na kigeni.• kugeuza vitenzi katika hali tofauti.• kutumia vitenzi vya asili ya kigeni

katika sentensi na kueleza maana zake.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Maelezo• Ufafanuzi• Mifano

• Tajriba ya wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 74-75

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 53-54

• Jedwali• Mifano halisi• Vielelezo

• Karatasi za mitihani• Kalamu

JUM

A 1

2JU

MA

13

Page 15: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

261

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

1

2

3-4

5

6

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Muhtasari

Tathmini katika riwaya

Mahojiano

Maenezi ya Kiswahili kabla ya uhuru

Visasili katika fasihi simulizi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kudondoa hoja kuu kutoka makala

tofauti.• kueleza mambo kwa muhtasari bila

kupoteza maana.• kuandika muhtasari.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza jinsi ya kujitayarisha kwa

tathmini katika riwaya.• kubainisha aina za maswali ya riwaya

katika mtihani.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza na kufafanua mtindo na

madhumuni ya mahojiano.• kuandika insha ya mahojiano.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sababu za kuenea kwa Kiswahili.• kutetea sababu za kukithamini na

kuhodhi Kiswahili kama lugha ya taifa.• kuyafahamu maeneo ya maenezi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza na kufafanua maana na sifa za

visasili.• kutoa mfano wa kisasili.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 76-77

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 54

• Makala• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 77-78

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 55

• Riwaya teule• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 78• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 55• Mikusanyo ya

mahojiano • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 79-81• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 56• Ramani ya maeneo ya

Afrika Mashariki• Picha na michoro• Historia ya Kiswahili

(OUP) • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 81• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 56-58• Vielelezo• Wanafunzi

• Maelezo• Mifano • Ufafanuzi• Maswali na majibu• Kazi mradi• Kuandika

• Usomi wa riwaya teule

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano

• Mahojiano• Mifano• Maigizo• Maswali na majibu

• Maelezo na ufafanuzi• Masimulizi• Majadiliano• Tajriba• Makundi• Maelezo na ufafanuzi

• Maelezo ya sifa za visasili

• Mifano• Masimulizi• Uhakiki• Maswali na majibu

Kiswahili, Kidato cha Tatu, Maazimio ya Kazi: Muhula wa PiliJU

MA

1

Page 16: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

262

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

1

2-3

4

5

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Urafiki baina ya Binadamu na Mbwa

Vielezi

Uhusiano wa Kiswahili na lugha za kigeni

Maana na usuli wa hadithi fupi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.• kuhakiki matumizi ya lugha na ujumbe

wa hadithi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza dhana ya vielezi.• kutaja na kueleza aina za vielezi.• kutunga sentesi kwa kutumia vielezi

tofauti.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza uhusiano baina ya Kiswahili na

lugha za kigeni.• kutaja msamiati wa kukopwa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya usuli na hadithi fupi.• kueleza umuhimu wake katika kuhakiki

wa hadithi fupi.• kufafanua usuli wa hadithi katika kitabu

kiteule cha hadithi fupi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 82-84

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 58-60

• Kamusi• Vielelezo • Picha • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 84-87• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 60• Picha• Michoro • Vibonzo • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 87-88• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 60-61• Ramani• Michoro na picha • Vielelezo• Historia ya Kiswahili

(OUP) • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 89-90• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 61-62• Kitabu kiteule cha

hadithi fupi

• Kusoma• Uhakiki• Tajriba • Maswali na majibu• Ufafanuzi

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano

• Maelezo ya mwingiliano wa Kiswahili na lugha za kigeni

• Maswali na majibu• Majadiliano• Makundi• Tajriba

• Maelezo• Mifano• Tajriba • Majadiliano• Makundi• Kusoma• Maswali na majibu• Uhakiki

JUM

A 2

Page 17: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

263

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

6

1-2

3

4-5

Utunzi

Fasihi teule

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Insha ya masimulizi

Hadithi fupi

Wasifu wa kitu au mtu

Mighani katika fasihi simulizi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za insha ya masimulizi.• kusimulia na kuandika kisa juu ya mada

waliyopewa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma hadithi fupi.• kuichambua kwa usahihi.• kujadili maudhui na lugha.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa fasili ya neno wasifu.• kutoa mifano ya wasifu.• kueleza mafunzo kutoka kwa wasifu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na sifa ya mighani.• kutoa mifano ya mighani.• kupambanua umuhimu wa mighani.

• Maelezo• Maswali na majibu• Masimulizi• Kuandika

• Kusoma• Maelezo• Majadiliano• Kuandika• Maswali na majibu• Uchambuzi

• Maelezo • Mifano• Maigizo• Ziara nyanjani

• Ziara nyanjani• Utafiti• Mifano• Maelezo • Ufahamu wa

kusikiliza

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 90

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 62-63

• Kanda za sauti zenye masimulizi

• Magazeti

• Kitabu kiteule cha hadithi fupi

• Miongozo ya uchambuzi wa hadithi fupi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 91-92

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 63-64

• Kanda za sauti au video

• Mikusanyo ya wasifu

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 92-93

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 64-65

• Mikusanyo ya mighani

• Mazingira halisi

JUM

A 3

JUM

A 2

Page 18: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

264

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

6

1-2

3

4-5

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Wasifu wa Shaaban Robert

Viwakilishi

Tawasifu

Muundo na mtindo wa hadithi fupi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kueleza maana za maneno na vifungu.• kujibu maswali kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kazi ya baadhi ya

viwakilishi.• kutoa mifano ya viwakilishi.• kutunga sentensi kwa kutumia baadhi

ya viwakilishi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana na sifa za tawasifu.• kupambanua vipengele vya tawasifu.• kueleza matumizi na umuhimu wa

tawasifu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua muundo na mtindo wa

hadithi fupi.• kufafanua matumizi ya lugha katika

hadithi fupi.

• Kusoma • Ufafanuzi • Maswali na majibu• Tajriba

• Maelezo• Kuigiza • Ufafanuzi• Mifano• Kazi mradi• Uchunguzi • Maswali na majibu

• Maelezo• Uchunguzi• Tajriba • Maswali na majibu

• Usomaji• Uchunguzi• Ufafanuzi • Mifano• Maelezo• Uchambuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 94-95

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 65-66

• Picha za Shaaban Robert

• Mikusanyo ya maandishi ya Shaaban Robert

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 96-100

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 66-67

• Mandhari ya shule• Chati • Vitu halisi• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 100-101• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 67-68• Mikusanyo ya

tawasifu• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk101-102• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 69• Kitabu kiteule cha

hadithi fupi• Jedwali

JUM

A 3

JUM

A 4

Page 19: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

265

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

6

1-2

3-4

5

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Insha ya wasifu na tawasifu

Kupasha ujumbe siku hizi

Miviga katika fasihi simulizi

Satalaiti

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo na hatua za kuandika

wasifu na tawasifu.• kuandika insha ya tawasifu na wasifu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kukariri shairi.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza sifa za ujumbe wa rununu

ulioandikwa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana na faida ya miviga.• kutoa mifano ya miviga kutoka jamii

mbalimbali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kujibu maswali kwa usahihi.

• Majaribio• Uchunguzi• Vikundi• Mifano• Kuandika

• Kukariri • Mjadala• Tajriba• Maelezo• Ufahamu wa

kusikiliza• Maswali na majibu• Usomaji

• Maigizo• Tajriba• Majadiliano• Utazamaji• Ufafanuzi

• Usomaji • Utafiti• Uvumbuzi• Maelezo na ufafanuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 102-104

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 69-70

• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 105-106

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 70-72

• Simu tamba• Michoro na picha• Shairi kutoka MwM

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 106-107

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 72-73

• Kanda za sauti• Wanafunzi• Picha za sherehe• Mafanani toka jamii

tofauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 107-109

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 73-74

• Picha• Wavuti• Kamusi

JUM

A 4

JUM

A 5

Page 20: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

266

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Viwakilishi

Lugha ya kompyuta

Maudhui katika hadithi fupi

Baruapepe

Methali

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na matumizi ya

viwakilishi.• kutoa mifano ya baadhi ya viwakilishi

na kuvitumia katika sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza matatizo ya lugha ya kompyuta

na ufumbuzi wake.• kufafanua istilahi za kompyuta.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maudhui ya hadithi fupi.• kufafanua jinsi ya kufichua maudhui ya

hadithi fupi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha sura za baruapepe.• kueleza maana ya baruapepe.• kuandika baruapepe.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu, maana na matumizi

ya methali.• kupambanua uhusiano kati ya methali

na mazingira zinamotumika.

• Maelezo• Mifano• Tajriba

• Maelezo • Mahojiano• Utafiti• Mifano• Tafsiri

• Usomaji• Uvumbuzi• Maswali na majibu• Maelezo • Uhakiki • Uchunguzi

• Majaribio• Mifano• Utafiti• Maelezo na ufafanuzi• Kuandika

• Maelezo• Ufafanuzi• Utafiti• Uchambuzi• Tajriba

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 109-112

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 74-75

• Jedwali la viwakilishi• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 112-113• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 75• Kamusi• Kadi za maneno

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 113

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 75-76

• Kitabu kiteule cha hadithi fupi

• Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 114• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 76• Tarakilishi• Mikusanyo ya

baruapepe • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 115-116• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 77-78• Kamusi za methali• Vielelezo

6

1

2-3

4

5

JUM

A 5

JUM

A 6

Page 21: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

267

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

6

1

2

3-4

5-6

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Sifa za methali katika fasihi simulizi

Tapeli hatari

Viwakilishi

Tamathali za semi

Ushairi mapokeo (wa jadi)

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua na kutathmini lugha ya

methali.• kubainisha muundo wa methali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha.• kueleza ujumbe wa kifungu.• kujibu maswali ya ufahamu kwa

usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambanua baadhi ya viwakilishi vya

ngeli na a- unganifu.• kubainisha maumbo ya viwakilishi.• kutunga sentensi sahihi kudhihirisha

matumizi ya viwakilishi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza na kufafanua baadhi ya

tamathali za semi.• kutumia tamathali za semi katika

sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya ushairi wa mapokeo

na sifa zake.• kuhakiki mashairi ya arudhi.

• Uchunguzi• Maelezo • Mifano• Tajriba• Ufahamu wa

kusikiliza

• Uvumbuzi• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Usomaji

• Maelezo • Uchunguzi• Mifano• Ufafanuzi na

maelezo

• Ufafanuzi• Mifano ya tamathali• Maelezo• Kuchambua

• Mijadala• Mifano• Uhakiki • Maelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 116-118

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 78-80

• Kamusi za methali• Shairi toka MwM• Mandhari tofauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 118-120

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 80-81

• Kamusi za methali

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 120-122

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 81-82

• Chati za maumbo ya viwakilishi

• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 122-124• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 82-83• Picha, mashairi,

hadithi au riwaya zilizo na tamathali

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 124-125

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 83-85

• Vielelezo • Magazeti

JUM

A 6

JUM

A 7

Page 22: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

268

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

1

2

3

4

Utunzi

Kusikiliza na kuzunguma

Fasihi yetu

Ufahamu

Insha ya methali

Misemo

Ushairi: Nyimbo

Situmiki kinafiki

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua methali. • kuandika insha inayothibitisha ukweli

na matumizi ya methali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya misemo na nahau

mbalimbali.• kutoa mifano na kuitumia misemo na

nahau katika sentensi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana, sifa na aina za nyimbo.• kupambanua miundo tofauti ya nyimbo

na umuhimu wake.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kariri kwa ufasaha.• kuhifadhi kiini cha habari katika shairi.• kujibu maswali ya shairi kwa usahihi.

• Ufafanuzi• Masimulizi• Mifano • Kuandika

• Utafiti• Mifano• Maelezo• Mashindano

• Utazamaji• Mahojiano• Maelezo• Mifano• Uimbaji• Ufahamu wa

kusikiliza• Imla

• Kuigiza• Kusoma na kukariri• Tajriba• Uchunguzi• Maswali na majibu

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 126

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 85

• Vielelezo • Michoro• Kamusi • Mikusanyo ya methali • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 127-128• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 86-87• Jedwali• Mikusanyo ya misemo

na nahau• Michoro ya

kubainisha dhana mbalimbali

• Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 128-130• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 87-89• Kanda za muziki• Malenga mwalikwa• Zana za muziki

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 130-132

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 89-90

• Kanda za sauti• Picha magazetini• Ramani ya Afrika

Mashariki

JUM

A 8

Page 23: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

269

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

5-6

1

2

3-4

Fasihi teule

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Riwaya teule

Upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi

Mlinganisho wa mashairi ya arudhi na mashairi huru

Ushairi wa jadi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kutathmini kazi ya fasihi.• kueleza sifa na tabia za wahusika.• kujadili maudhui na matumizi ya lugha

katika riwaya teule.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha nyanja mbalimbali za umoja

na wingi.• kubadilisha sentensi kutoka umoja hadi

wingi na kinyume chake.• kutunga sentensi katika umoja na wingi

akizingatia upatanisho wa kisarufi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuonyesha kufanana kwa mashairi ya

mapokeo na huru.• kupambanua tofauti zilizomo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua dhana ya ushairi wa jadi

kimuundo, lugha na wahusika, n.k.

• Usomaji• Uhakiki• Majadiliano• Uchambuzi wa

maudhui, lugha na wahusika

• Uchunguzi• Mifano• Ufafanuzi na maelezo• Maswali na majibu

• Utatuzi wa mambo• Uchunguzi kifani• Kuigiza• Maswali na majibu

• Maelezo • Maigizo• Ufafanuzi • Uchunguzi• Ugunduzi• Maswali na majibu

• Wanafunzi wenyewe• Kitabu kiteule chenye

riwaya

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 132-133

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 90-93

• Jedwali la viambishi vya ngeli

• Kadi za maneno

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 134-135

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 93-95

• Mkusanyo wa mashairi

• Michoro ya vina na mizani

• Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 135-137• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 95-96• Kanda za sauti• Chati za vina na

mizani• Vielelezo vya

mashairi

JUM

A 8

JUM

A 9

Page 24: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

270

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua hatua za utunzi wa mashairi.• kutunga shairi la arudhi au huru kama

njia ya kisanii.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kutathmini kazi ya fasihi,

kimuundo na lugha.• kuchambua maudhui na wahusika

katika hadithi hiyo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuzua hoja na kuzitetea.• kuziwasilisha katika mjadala kwa

ufasaha.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza na kufafanua aina tofauti za

maghani.• kueleza sifa za utanzu mbalimbali wa

maghani.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kueleza chanzo na madhara ya ufisadi.• kujibu maswali kwa usahihi.

• Majaribio• Utatuzi wa mambo• Tajriba• Utafiti• Kuandika

• Usomaji• Majadiliano• Uchambuzi

• Mjadala • Utendaji• Ufafanuzi• Tajriba

• Maelezo na ufafanuzi• Masimulizi• Maigizo • Ufaraguzi• Majadiliano• Vikundi

• Usomaji • Ufafanuzi na maelezo• Tajriba• Makundi• Mjadala

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 137-138

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 96-97

• Kamusi tofauti• Makala tofauti

• Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 139

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 97-98

• Kanda za sauti• Makala tofauti• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 13-141

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 98-100

• Malenga wa Vumba (OUP)

• Malenga wa Mvita (OUP)

• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 141-144

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 101-103

• Makala ya magazetini• Fanani• Wanafunzi

5

6

1

2-3

4

Utunzi

Hadithi fupi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Shairi la arudhi

Hadithi teule

Mjadala

Maghani katika fasihi simulizi

Sakata za ufisadi

JUM

A 9

JUM

A 1

0

Page 25: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

271

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

5-6

1

2

3

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Utunzi

Upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi

Muhtasari

Mashairi huru

Mjadala

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha nyanja mbalimbali za umoja

na wingi.• kutunga na kugeuza sentensi katika hali

moja hadi nyingine.• kubainisha viambishi visisitizi na vya

vivumishi vya pekee.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mambo muhimu ya kuzingatia

katika muhtasari.• kuandika muhtasari wa kifungu teule.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya shairi huru.• kufafanua na kuhakiki mashairi huru.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza muundo wa insha ya mjadala.• kufafanua sifa na kuandika insha ya

mjadala kwa usahihi.• kujadii hoja ya kuwaadhibu mafisadi

kwa ufasaha.

• Maelezo• Ufafanuzi• Tajriba• Majadiliano• Makundi• Mazoezi

• Maswali na majibu• Kazi mradi• Uchunguzi • Kuandika• Kufupisha

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu.• Makundi• Uchambuzi• Kukariri

• Maelezo na ufafanuzi• Mjadala• Utafiti na uchunguzi• Maswali na majibu• Tajriba

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 144-148

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 103

• Majedwali ya ngeli na viambishi

• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 148-149

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 103-105

• Vielelezo • Wanafunzi • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 149-150• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 105-107• Vielelezo vya

mashairi huru• Kanda za sauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 150

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 107-108

• Vielelezo vya insha za mjadala

• Mikusanyo ya maoni ya watu

• Jedwali la hoja

JUM

A 1

0JU

MA

11

Page 26: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

272

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

4-5

6

1

2

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Afisa mtawala na raia

Ngomezi katika fasihi simulizi

Historia ya katiba

Upatanisho wa kisarufi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sababu za migogoro baina ya

watu na wanyama mwitu.• kupendekeza suluhisho.• kueleza maana ya maneno.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kuainisha ngomezi.• kufafanua matumizi na manufaa ya

ngomezi.• kukusanya mifano ya ngomezi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa kwa ufasaha.• kusoma taarifa kwa kuzingatia kanuni

za usomaji bora.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua dhana ya upatanisho wa

kisarufi akizingatia ‘amba’ rejeshi, ‘o’ rejeshi na ‘a’ unganifu.

• kutunga sentesi sahihi akidhihirisha upatanisho wa kisarufi.

• Utatuzi wa mambo• Tajriba• Uchunguzi• Kusoma• Maswali na majibu

• Maigizo• Maelezo na• ufafanuzi• Utafiti• Mahojiano• Ukusanyaji na

uhifadhi

• Usomaji • Maswali na majibu• Majadiliano • Utafiti• Maelezo• Tajriba

• Maelezo• Tajriba• Mifano• Maswali na majibu

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 151-153

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 108-109

• Picha• Vibonzo• Makala ya magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 153-154

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 110

• Kanda za sauti• Zana halisi• Mkusanyo wa

ngomezi • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 154-156• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 110-111• Mikusanyo

magazetini • Katiba (kielelezo)• Fanani • Machapisho na

miswada • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 156-157• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 112-114• Vielelezo• Chati za maumbo ya

viambishi• Majedwali

JUM

A 1

1JU

MA

12

Page 27: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

273

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Pili

3

4

5-6

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Utunzi

Mtihani na kusahihisha

Magazeti

Usuli wa tamthilia

Tahariri

Mazoezi na marudio ya stadi zote

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa mifano ya aina za magazeti na

sifa zake.• kupambanua muundo na lugha ya

gazeti.• kuandika makala ya kuchapishwa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana, hatua na mbinu za

kuchambua usuli wa tamthilia.• kufafanua usuli wa tamthilia teule

kulingana na masharti mbalimbali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na sifa za tahariri.• kufuata hatua za kuandika tahariri ya

gazeti.• kuandika tahariri.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Maelezo na ufafanuzi• Uchunguzi kifani• Mifano• Utafiti• Maswali na majibu

• Uchunguzi• Maigizo• Michezo• Tajriba• Maelezo na ufafanuzi

• Maana ma maelezo• Utafiti wa mambo• Uchunguzi• Dayolojia• Kuandika

• Tajriba ya wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk158-159

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 115-116

• Michoro• Picha• Tarasha• Magazeti tofauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 159-160

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 116-117

• Maleba• Video• Kanda za sauti • Tamthlia teule

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 160

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 117-118

• Machapisho• Tarasha• Vielelezo • Karatasi za mitihani• Kalamu

JUM

A 1

3JU

MA

12

Page 28: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

274

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

1

2

3

4-5

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Misimu na lakabu

Lugha ya nathari na ufupisho katika ushairi

Kujali wenye ukimwi

Aina za virai

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya misimu na lakabu.• kujadili umuhimu wao.• kutoa mifano ya misimu na lakabu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya ufupisho na lugha ya

nathari katika shairi.• kuandika shairi katika lugha ya nathari.• kufafanua umuhimu wa lugha ya

ufupisho katika shairi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kujadili yaliyomo.• kueleza maana ya istilahi ngeni na

msamiati.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza virai.• kutaja na kueleza aina za virai.• kubainisha virai mbalimbali katika

sentensi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 161-162

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 119-120

• Vielelezo• Wanafunzi• Kadi za maneno

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 162-163

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 120-121

• Vielelezo • Sauti ya Dhiki (OUP)• Kanda za sauti• Wanafunzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 163-165

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 121-122

• Picha au michoro• Waalikwa• Kanda za video• Magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 166-167

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 123

• Vielelezo vya virai• Wanafunzi

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Tajriba • Ufahamu wa

kusikiliza

• Maelezo na ufafanuzi• Majadiliano• Maswali na majibu• Mifano• Makundi• Uhakiki• Tajriba

• Tajriba ya wanafunzi• Mazungumzo• Mjadala• Maelezo• Maswali na majibu• Usomaji

• Maelezo • Ufafanuzi• Maswali na majibu• Makundi

Kiswahili, Kidato cha Tatu, Maazimio ya Kazi: Muhula wa TatuJU

MA

1

Page 29: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

275

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

6

1-2

3-4

5-6

Utunzi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Hadithi fupi

Insha ya maelezo

Muhtasari: Usanifishaji wa lugha ya Kiswahili

Maudhui katika tamthilia

Wahusika katika hadithi fupi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza mambo ya kuzingatiwa wakati

wa kuandika insha ya maelezo.• kuandika insha ya maelezo kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya usanifishaji.• kufafanua sababu za kusanifisha lugha.• kujadili udhaifu katika usanifishaji wa

Kiswahili.• kufupisha makala kama alivyoagizwa.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maudhui na dhamira katika

tamthilia.• kueleza namna ya kuhakiki maudhui.• kufafanua mambo muhimu ya

kuzingatia katika uchambuzi wa maudhui.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kuchambua hadithi teule

kama alivyoagizwa.• kueleza wahusika wanavyojipambanua

katika hadithi fupi.

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 170

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 125

• Vielelezo• Majarida• Makala ya magazeti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 167-169

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 123-124

• Historia ya Kiswahili (OUP)

• Ramani• Orodha ya lahaja za

Kiswahili

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 169-170

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 124-125

• Tamthilia teule• Vielelezo• Wanafunzi• Kanda za sauti na

video

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 171-172

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 127-128

• Hadithi fupi teule• Jedwali

• Maelezo• Maigizo• Tajriba• Maswali na majibu• Kuandika

• Maelezo• Ufafanuzi• Maswali na majibu• Makundi• Kufupisha• Utafiti

• Maelezo• Ufafanuzi• Mifano• Majadiliano• Tajriba• Makundi• Uhakiki

• Maelezo• Majadiliano• Maswali na majibu• Tajriba• Makundi• Uhakiki

JUM

A 1

JUM

A 2

Page 30: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

276

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

1

2

3-4

5-6

1-2

Kusikiliza na kuzungumza

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Maagizo na maelekezo

Povu la sabuni

Aina za vishazi

Mwingiliano wa maneno

Wahusika katika tamthilia

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya maagizo na

maelekezo.• kufafanua umuhimu wa maagizo na

maelekezo.• kuandika ripoti.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali

kwa usahihi.• kuzingatia mafunzo yaliyomo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuanisha vishazi.• kutunga sentensi kwa kutumia vishazi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuanisha na kubainisha aina za maneno

kutegemea matumizi.• kutunga sentensi kubainisha

mabadiliko ya aina ya maneno.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua nafasi ya mhusika.• kueleza uumbaji na uchoraji wa

wahusika.• kupambanua aina za wahusika.• kueleza jinsi ya kuchambua wahusika.

• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Kazi mradi• Tajriba • Kuandika • Ufahamu wa

kusikiliza

• Tajriba• Mjadala• Mifano• Maigizo• Usomaji

• Maelezo• Mifano• Tajriba

• Uchunguzi• Mifano• Michezo ya lugha• Maelezo na ufafanuzi

• Maigizo• Uchunguzi• Mjadala• Utazamaji• Ufahamu wa

kusikiliza• Ufafanuzi• Uhakiki

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 171

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 125-127

• Vielelezo• Chati za vielelezo• Mifano ya ripoti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 172-174

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 128-129

• Picha au michoro

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 175-176

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 129-130

• Vielelezo• Mazingira halisi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 177-179

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 130

• Kadi za maneno• Chati za sentensi• Vielelezo ubaoni

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 179-181

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 131-132

• Picha au michoro• Mazingira halisi• Kanda za sauti

JUM

A 3

JUM

A 4

Page 31: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

277

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

3

4

5-6

1

2-3

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Hadithi fupi

Habari na ripoti za runinga na redio

Matumizi ya lugha katika hadithi fupi

Ripoti za michezo

Sentensi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua hatua za kuandika hadithi

fupi.• kuandika hadithi fupi kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana, umuhimu na jinsi ya

kutoa ripoti za redio na runinga.• kuanisha ripoti hizi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza fani ya lugha katika hadithi

fupi.• kufafanua umuhimu wa fani hizi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kueleza aina ya michezo.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuanisha sentensi.• kueleza sifa na aina za sentensi.• kutoa mifano ya kila aina ya sentensi.

• Mifano• Majaribio• Uchunguzi• Majadiliano• Maelezo na ufafanuzi• Vidokezo

• Maelezo• Masimulizi• Mifano• Ufahamu na

kusikiliza• Mjadala

• Kusoma• Uchunguzi• Ufafanuzi• Mjadala• Masimulizi• Uchambuzi

• Utafiti• Tajriba• Maswali na majibu• Maelezo na ufafanuzi• Usomaji

• Majadiliano• Makundi • Mifano • Ufafanuzi• Mazoezi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk.181-182

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk.132-133

• Vielelezo • Vitu halisi• Visa vya magazetini

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk.183

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 133-135

• Runinga• Redio• Nakala za ripoti• Kanda za sauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 183-184

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 135-136

• Sadiki ukipenda (JKF)

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 184-186

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 136-137

• Picha na vifaa vya michezo na wachezaji

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 186-188

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 137

• Vielelezo vya sentensi

• Majedwali ya sentensi

JUM

A 5

JUM

A 4

Page 32: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

278

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

4

5-6

1-2

3

4-5

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Lugha za ripoti na uandishi wake

Muundo na mtindo wa tamthilia

Insha ya ripoti

Mahakama

Aina za maigizo

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza jinsi ya kuwasilisha ripoti.• kueleza lugha ya ripoti.• kuandika ripoti maalumu.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha na kueleza muundo na

mtindo wa tamthilia.• kuhakiki muundo na mtindo wa

tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza hatua za kuandika ripoti.• kuandika ripoti kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua aina za mahakama na

shughuli zao.• kutumia msamiati unaofaa wa

mahakama kutungia sentensi.• kuendesha mazungumzo ya

mahakama.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya maigizo na sifa zake.• kubainisha sura za sanaa za maonyesho

ya kawaida.

• Maelezo• Mifano• Utafiti

• Maelezo• Ufafanuzi• Utazamaji• Masimulizi• Uhakiki • Kuigiza

• Ufaraguzi • Utafiti • Kazi mradi • Kuandika

• Ziara• Masimulizi• Utafiti• Maelezo• Ufaraguzi• Ufahamu wa

kusikiliza

• Kuigiza• Ziara• Maelezo na ufafanuzi• Masimulizi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 188-189

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 137-138

• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 189-190

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 138

• Kitabu kiteule cha tamthilia

• Vielelezo • Kiswahili Fasaha,

KcM 3, uk. 190• Kiswahili Fasaha,

MwM 3, uk. 138-139• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 191

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 139-142

• Picha michoro• Maleba• Mandhari halisi• Kamusi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 192-193

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 142

• Vitu halisi• Maleba• Mandhari• Vielelezo• Picha

JUM

A 5

JUM

A 6

Page 33: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

279

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

6

1

2

3

4-5

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Utunzi

Haki za binadamu

Uchanganuzi wa sentensi kwa njia ya mishale

Muhtasari –Haki za watoto

Matumizi ya lugha katika tamthilia

Mchezo wa kuigiza

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza ujumbe wa shairi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuchanganua sentensi kwa njia ya

mishale au mistari. • kueleza muundo wa kikundi nomino

(KN) na kikundi tenzi (KT).

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kudondoa hoja muhimu.• kuandika muhtasari wa kifungu.• kubainisha haki za watoto.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za lugha katika tamthilia.• kutoa mifano ya aina mbalimbali za

matumizi ya lugha katika tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambanua aina ya michezo ya

kuigiza.• kuandika mchezo wa kuigiza kwa

usahihi kama njia ya kisanii.

• Kusoma kwa sauti au kimya

• Kukariri• Maswali na majibu• Maelezo• Makundi

• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Mazoezi

• Utatuzi wa mambo• Masimulizi• Maelezo na ufafanuzi• Makundi

• Kuigiza • Uchunguzi kifani• Mifano• Ufafanuzi • Uhakiki

• Kuigiza • Majadiliano• Majaribio• Kuandika

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 194-195

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 142-143

• Vibonzo• Magazeti• Kadi za maneno

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 195-196

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 143-144

• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 196-198

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 144

• Mabango• Tarasha• Kielelezo cha katiba

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 198-199

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 144-145

• Vibonzo• Tamthilia teule

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 199-200

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 145

• Vielelezo vya michezo ya kuigiza

• Kanda za sauti na redio

JUM

A 6

JUM

A 7

Page 34: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

280

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

• Mifano • Utafiti• Vikundi• Maelezo na

ufafanuzi• Ufahamu wa

kusikiliza

• Ziara • Utafiti• Uchunguzi• Maswali na majibu• Maelezo na

ufafanuzi• Maigizo • Uhakiki

• Maswali na majibu• Majadiliano• Maelezo• Kuigiza

• Mazoezi • Maelezo na

ufafanuzi

• Ufafanuzi• Dayolojia• Mahojiano

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 201-202

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 145-149

• Kadi za mialiko• Vielelezo ya mialiko• Tarasha

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 202-203

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 149

• Mazingira halisi• Vifaa na maleba• Kanda za sauti• Picha au michoro

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 204-206

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 149-150

• Kadi za hoja• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 206-208

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 150-151

• Majedwali• Vielelezo• Kadi za sentensi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 208-209

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 151-152

• Tarasha• Vielelezo

Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi

Muhula wa Tatu

6

1-2

3

4-5

6

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Mialiko

Aina za maigizo

Kumbukumbu za mkutano

Uchanganuzi wa sentensi

Kumbukumbu

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa

mialiko.• kupambanua sifa za mialiko.• kuanisha mialiko.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutoa mifano ya aina mbalimbali za maigizo.• kupambanua umuhimu wa maigizo.• kueleza jinsi ya kuchanganua maigizo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kumbukumbu kwa ufasaha.• kueleza maana za maneno na vifungu.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubainisha dhana ya uchanganuzi.• kuchanganua sentensi kwa njia ya

jedwali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa kumbukumbu.• kupambanua sifa za kumbukumbu.• kujibu maswali kwa usahihi.

JUM

A 8

JUM

A 7

Page 35: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

281

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili Fasaha

• Tajriba• Mifano• Mjadala• Maelezo na ufafanuzi

• Maelezo • Ugunduzi• Majaribio• Uchunguzi kifani• Kuandika • Ufahamu wa

kusikiliza

• Maelezo• Tajriba• Majadiliano• Maswali na majibu• Ufaraguzi• Ufahamu wa

kusikiliza• Uhakiki

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Makundi• Uhakiki

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 209-210

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 152-153

• Picha za mambo tofauti

• Mikusanyo ya tahakiki mbalimbali

• Kanda za sauti

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 210

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 153-155

• Mazingira halisi• Tarasha• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 211

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 155-158

• Kanda za sauti• Vielelezo vya

matangazo• Wanafunzi wenyewe

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 211-213

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 158-159

• Vielelezo vya kazi za fasihi simulizi

• Kanda za sauti• Wanafunzi

Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi

Muhula wa Tatu

1-2

3-4

5

6

Fasihi teule

Utunzi

Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi yetu

Mafunzo katika tamthlia

Insha ya kumbukumbu

Matangazo

Mikusanyo ya kazi za fasihi simulizi

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya mafunzo.• kufafanua mbinu wanazozitumia

wasanii kutoa mafunzo katika tamthilia.

• kueleza mafunzo kwenye tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua mambo ya kuzingatia wakati

wa kuandika kumbukumbu.• kuandika kumbukumbu kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za matangazo katika redio

na runinga.• kufafanua jinsi ya kuandaa matangazo

ya redio na runinga.• kuhakiki na kuandaa matangazo.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua umuhimu wa kukusanya na

kuhifadhi fasihi simulizi.• kueleza njia za kuhifadhi kazi za fasihi

simulizi.

JUM

A 9

Page 36: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

282

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

1

2-3

4

5

6

Ufahamu

Sarufi

Ufasaha wa lugha

Fasihi teule

Utunzi

Maji na uhai

Uchanganuzi wa sentensi

Matangazo

Tathmini katika tamthilia

Insha ya makala ya kitaaluma

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kufafanua hali ya maji na umuhimu

wake.• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya uchanganuzi.• kuchanganua sentensi sahili, ambatano

na changamano kwa njia ya michoro ya matawi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika tangazo la kuvutia kulingana

na kichwa walichopewa.• kueleza sifa za matangazo ya

maandishi.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za tathmini katika

tamthilia.• kueleza namna ya kujibu maswali

katika tamthilia.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana ya makala ya

kitaaluma.• kuandika insha ya kitaaluma kuhusu

mada waliyopewa kwa usahihi.

• Usomaji • Tajriba• Maswali na majibu• Uvumbuzi• Uchunguzi

• Maelezo na ufafanuzi• Tajriba • Mifano• Majadiliano• Makundi• Mazoezi

• Maelezo• Maswali na majibu• Makundi• Tajriba

• Maelezo na ufafanuzi• Maswali na majibu• Uhakiki• Uchunguzi• Tajriba

• Ufaraguzi • Makundi• Mahojiano• Maelezo na ufafanuzi

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 213-215

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 159-217

• Picha na michoro za mambo ya maji

• Chati za hali za maji

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 216-217

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 161-166

• Vielelezo

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 218

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 166-167

• Magazeti• Wanafunzi• Mabango

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 219-220

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 167-168

• Vielelezo • Tamthilia teule

• Kiswahili Fasaha, KcM 3, uk. 220

• Kiswahili Fasaha, MwM 3, uk. 168

• Vielelezo vya makala ya kitaaluma

• Magazeti au majarida

JUM

A 1

0

Page 37: KIswahili Schemes F3 Final - YATMACK INCyatmackinc.weebly.com/uploads/1/0/2/2/10224235/kiswahili_scheme… · Historia na chimbuko la Kiswahili Tuzo Hotuba Utunzi: Insha ya mazungumzo

283

KIPINDI SHABAHANJIA ZA

KUFUNDISHIANYENZO ZA

KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO

HAKIUZWI

Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 3

Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu

Mtihani na kusahihisha Mazoezi na marudio ya stadi zote

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.

• Tajriba ya wanafunzi • Karatasi za mitihani• Kalamu

JUM

A 1

1-12