34
MAFUNDISHO YA UMISHENI UINJILISTI NA UANAFUNZI Muhtasari: Elekeza kwa mada ilioko hapa chini nayo itakuelekeza kwa mada hiyo. I. Lengo la Sehemu Hii II. Uhusiano kati ya Uinjilisti na Uanafunzi III. Kwa nini Tufanya Uinjilisti na Kuwafanya Wanafunzi? IV. Ni Nani Anafaa Kufanya Uinjilisti? V. Tuzo la Kufanya Uinjilisti VI. Ni Nani Anayelengwa? VII. Tunafaa Kufanya Uinjilisti Wapi? VIII. Jinsi ya kufanya Uinjilisti A. Mpango Mkuu B. Uinjilisti wa Kibinafsi C. Uinjilisti wa Uhusiano D. Mahubiri ya Uinjilisti E. Uinjilisti Uliojaa F. Uinjilisti Uliolowa G. Uinjilisti wa Kusudi H. Kushinda Vizuizi IX. Uanafunzi A. Hatua za Uanafunzi B. Kuongezeka kwa Kiroho C. Uanafunzi wa Viongozi na Wafuasi D. Mtalaa na Shauri Zinazohusika X. Mahitaji ya Mwanafunzi Haki ya Kunakili © 2008 Shirika la Mafunzo ya Umisheni. Haki Imehifadhiwa. 1

MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

  • Upload
    others

  • View
    92

  • Download
    34

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

MAFUNDISHO YA UMISHENI

UINJILISTI NA UANAFUNZI

Muhtasari: Elekeza kwa mada ilioko hapa chini nayo itakuelekeza kwa mada hiyo.

I. Lengo la Sehemu HiiII. Uhusiano kati ya Uinjilisti na UanafunziIII. Kwa nini Tufanya Uinjilisti na Kuwafanya Wanafunzi?IV. Ni Nani Anafaa Kufanya Uinjilisti?V. Tuzo la Kufanya UinjilistiVI. Ni Nani Anayelengwa?VII. Tunafaa Kufanya Uinjilisti Wapi?VIII. Jinsi ya kufanya Uinjilisti

A. Mpango MkuuB. Uinjilisti wa KibinafsiC. Uinjilisti wa UhusianoD. Mahubiri ya UinjilistiE. Uinjilisti UliojaaF. Uinjilisti UliolowaG. Uinjilisti wa KusudiH. Kushinda Vizuizi

IX. UanafunziA. Hatua za UanafunziB. Kuongezeka kwa KirohoC. Uanafunzi wa Viongozi na WafuasiD. Mtalaa na Shauri Zinazohusika

X. Mahitaji ya Mwanafunzi

Haki ya Kunakili © 2008 Shirika la Mafunzo ya Umisheni. Haki Imehifadhiwa.

1

Page 2: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

2

UINJILISTI NA UANAFUNZI

I. Lengo la Sehemu Hii

Unapomaliza sehemu hii unatakiwa kuwa:

• Unaweza kufafanua maneno haya mkristo mpya, mwanafunzi na uanafunzi. • Unajua uhusiano kati ya uinjilisti na uanafunzi. • Umeelewa msingi wa kibiblia wa kuwafanya wanafunzi • Umejua tuzo na mateso yanayohusika na kuwafanya wanafunzi • Kujua wale mnaotarajia kuitikia ushahidi wetu vyema. • Anza kuomba ya kwamba Mungu atakuonyeshe ni wapi anataka uwe na wanafunzi • Elewa mpango mkuu wa uinjilisti • Unajua utaratibu wa uinjilisti wa kibinafsi • Unaelewa ni nini akronimi FIRE inawakilisha • Eleza maswali mawili ya elimu ya mlipuko wa uinjilisti • Andika ushuhuda wako mwenyewe • Eleza sheria nne za kiroho • Kariri maandiko kutoka kwa barabara ya Warumi • Unaweza kumuongoza mtu kwa Mungu ukitumia Yohana 3 • Eleza njia tano za kukua kiroho kama zilivyo katika kifaa cha uinjilisti cha evangecube • Kujua Kifungu kinachoeleza juu ya “Kuongea ukweli kwa upendo.” • Itikia kipingamizi ambacho mtu anahitaji kupitia ili kupata wokovu • Eleza kwa nini ukristo ni uhusiano • Jua ni kwa nini wingi hauwezi kuwa kweli • Jua umuhimu wa uhusiano kwa uinjilisti • Jua maana ya uinjilisti wa jumla na uinjilisti wa kuloa • Jua utaratibu wa uanafunzi • Unaweza kueleza kuzidisha kwa kiroho • Taja kanuni tatu ambazo Paulo alionyesha kwa mfano katika kuwafanya wanafunzi. • Jua mawazo matano ya utendaji kutoka kwa Waylon B. Moore ya kuwafundisha

wanafunzi. • Kuza muhtasari mfupi wa mtalaa wa urefu wa miezi sita wa kufunza wanafunzi.

RUDI KWA MUHTASARI

Page 3: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

3

UINJILISTI NA UANAFUNZI

II. Uhusiano kati ya uinjilisti na uanafunzi

Uinjilisti ni kutangaza Habari njema za Yesu Kristo kwa waliopotea. “Waliopotea” ni wale watu wasiomwamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi. Wako kama kondoo waliopotea, ambao mchungaji mwema huwatafuta na kuwaleta kwa usalama. (Mathayo 18:12). Lengo la uinjilisti ni kupata waumini wapya. Muumini mpya ni yule anayemwamini Kristo; amebadilishwa kutoka kwa kutoamini na kuwa muumini. Mwanafunzi ni muumini anayefuata maagizo ya msingi ya imani ya kikristo. Neno “mwanafunzi” lina maana ya “mwanafunzi, mtu anayejifunza kwa kufuata.” Elimu hiyo ni zaidi ya elimu ya kichwa—pia ni “elimu-ya moyo.” Mwanafunzi wa kweli hajui tu kuhusu Kristo, bali hufuata mafunzo ya Kristo. Katika Theologia ya kikristo, uanafunzi ni njia ya kufundisha watu kuwa wanafunzi waliokomaa. Uanafunzi ni zaidi ya kugawana ujumbe—inahusika na kuendeleza watu kumpenda na kumtii Mungu. Uinjilisti na uanafunzi umeunganishwa pamoja. Uinjilisti huleta waumini wapya, nao waumini wapya hufunzwa kuwa wanafunzi. Wanafunzi hueneza injili ili kupata waumini wapya ambao wanafunzwa kuwa wanafunzi. Kwa hivyo uinjilisti huleta wanafunzi nao wanafunzi hueneza injili mpaka injili ienee duniani kote. Ikiwezekana, uanafunzi unafaa kufuata uinjilisti. Uinjilisti huleta watu kuzaliwa kiroho mara ya pili (tazama Yohana 3:3), kwa hivyo waumini wapya ni “watoto wa kiroho.” Waumini wapya wanahitaji uanafunzi ili wakomae. Sio vyema kupata mtoto wa kimwili alafu umuache. Vile vile, sio vyema kupata mtoto wa kiroho alafu umuache. Waumini wapya ni lazima wafunzwe na wakristo wengine. Tazama uhusiano ulioko kati ya uinjilisti na uanafunzi na umisheni. Misheni za kikristo zinahusika na kueneza injili kwa tamaduni. Kwa hivyo mmisheni anaeneza injili kwa kundi la watu au tamaduni mbali na lile lake. Uinjilisti na uanafunzi ni njia ambazo hutumika kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni ya mtu mwenyewe, kwa hivyo sio uinjilisti wote na uanafunzi wote uko katika kiwango cha umisheni.

RUDI KWA MUHTASARI

Page 4: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

4

UINJILISTI NA UANAFUNZI III. Kwa nini Tufanye uinjilisti na Kuwafanya kuwa Wanafunzi? Fikiria msingi wa kibibilia wa uinjilisti na uanafunzi.

A. Kristo aliiamrisha

Katika kila moja ya zile Injili nne na Matendo ya Mitume, Yesu aliwaamuru wafuasi wake kuwafanya watu kuwa wanafunzi. Tume kuu inapatikana kwa maandiko yafuatayo:

18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. 19 Basi, enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; 20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi sikuzote, hata ukamilifu wa dahari. (Mathayo 28:18-20).

15 Akawaambia, Enedeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa. (Marko 16:15, 16).

46 Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; 47 na kwamba mataifa yote yatahubiriwa kwa jina lake kwa habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. (Luka 24:46-48).

21 Basi Yesu akawaambia tena, “Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.” 22 naye akiisha kusema hayo, akawavuvia, akawaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu. 23 Wo wote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wo wote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa.” (Yohana 20:21-23).

8 “Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.” 9 Akiisha kusema hayo, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao. (Matendo 1:8, 9).

Umuhimu wa Tume Kuu unasisitizwa kwa kujitokeza kama sehemu ya maagizo ya Kristo kwa wanafunzi wake katika Injili zote nne. Na katika Matendo ya Mitume, Tume Kuu ndio maneno ya mwisho ya Kristo kabla ya kupaa.

B. Kuokoa wenye dhambi.

Kristo ametuamuru tufanye uinjilisti and uanafunzi ili wenye dhambi waweze kuokolewa kutoka jehanamu. Jehanamu ni mahali pa mateso (Tazama Luka 16:19-31). Kristo alisema mwogope Mungu, mwenye uwezo wa kumtupa mwenye dhambi jehanamu.

4 “Nami nawaambia ninyi rafiki zangu, msiwaogope hao wauao mwili, kisha baada ya hayo hawana wawezalo kutenda zaidi. 5 Lakini nitawaonya mtakayemwogopa; mwogopeni yule ambaye akiisha kumuua mtu ana uwezo wa kumtupa katika Jehanamu; naam, nawaambia. Mwogopeni huyo. (Luka 12:4, 5).

Page 5: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

5

Mbali na Kristo, watu wamelaaniwa kwa kufa na kwenda jehanamu (Tazama Yahana 3:16-18; Ufunuo 20:15). Wale ambao hawajaokoka maishani mwao hapa duniani watatenganishwa na Mungu milele. Maandiko yanasema kila mtu anaishi mara moja duniani, kisha anahukumiwa.

27 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu; 28 kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. (Waebrania 9:27, 28).

Yesu alikufa msalabani, kulipa deni la dhambi, ndipo wenye dhambi waokolewe kutoka jehanamu. Alisema alikuja kutafuta na kuokoa waliopotea (Tazama Luka 19:10). Anataka watu wawe na furaha ya kuishi na Mungu milele. Furaha hiyo imeelezwa katika maandiko yafuatayo.

3 Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, “Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao. 4 Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwepo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwepo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.” (Ufunuo 21:3, 4).

Kristo alikufa kuokoa wenye dhambi kutoka jehanamu, na anatarajia wafuasi wake watangaze hizi habari njema na kuwaonya kuhusu hatari za jehanamu. Kama hatutatii Tume Kuu, tutawajibika kwa roho zilizopotea na kuelekea jehanamu. Mungu alimpa Ezekieli wajibu wa kuhubiri toba.

8 Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika [a] uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. 9 Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako. (Ezekieli 33:8, 9).

[a] Ezekieli 33:8 au hapo ndani

Kama Ezekieli alivyo wajibika kwa kuhubiri toba, Mungu anataka wafuasi wake kuwafanya watu kuwa wanfunzi. Mtume Paulo alitambua haya, na akasema kwamba nyeye yumaasumu kwa damu ya watu wote kwa sababu alitangaza neno la Mungu (tazama Matendo 20:26, 27).

Wenye dhambi wanapookoka, Mungu hutukuzwa. Mungu ni mshindi katika dhambi na mauti. Wale waliompinga Mungu hutubu na kumuabudu Mungu.

C. Kupanua ufalme

Kristo aliamuru kwamba wafuasi wake wafanye uinjilisti na kuwafanya watu kuwa wanafunzi ili kupanua ufalme wa Mungu.Katika sabato yake ya kwanza duniani, alikaribisha ufalme. Kristo atakaporudi, ataanzisha amri yake juu ya ufalme. Tazama “Ufalme wa Mungu” katika sehemu ya mafunzo ya, “Theologia.”

Page 6: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

6

Kanisa linafaa kupanua Ufalme wa Mungu kwa nguvu za Roho Mtakatifu. Kanisa litakapomaliza tume hii, Kristo atarudi.

“Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.” (Mathayo 24:14).

Ufalme wa Mungu unapopanuka, Mungu anaabudiwa na watu wa mataifa yote. Kwa hivyo upanuzi wa Ufalme unampa Mungu utukufu (tazama Ufunuo 5:9, 10, 13).

Kupanua Ufalme kunatoa maisha matimilifu kwa wale wanao mkubali Kristo (tazama Yohana 10:10). Kristo anatoa usalama wa milele, upendo, mwongozo na tumaini. Watu wanapompokea Kristo, maisha yao hubadilishwa. Walevi wanapojikabidhi kwa Kristo huachana na pombe. Wenye mazoea ya kujamiiana wanaojikabidhi kwa Kristo huaachana na uovu wa kujamiiana. Watu walafi wanaojikabidhi kwa Kristo hugawana mali yao na wengine. Wale ambao ni maskini wa kiroho hujikabidhi kwa Kristo na wanajipata matajiri wa kiroho.

RUDI KWA MUHTASARI

Page 7: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

7

UINJILISTI NA UANAFUNZI

IV. Nani Anafaa kufanya Uinjilisti?

Ni nani ana jukumu la kufaya uinjilisti? Wamisheni? Wachungaji? Waalimu? Kulingana na maandiko, wakristo wote wanafaa kufanya uinjilisti. Yesu alitoa Tume Kuu kwa mitume wake kumi na mmoja na wanafunzi wengine wachache. Ni dhahiri kuwa kundi hili dogo la wafuasi halingeweza kutangaza Injili hadi mwisho wa dunia na kuwafanya wanafunzi wa mataifa yote. Sasa Tume Kuu ni yako na mimi na waaminio wote. Mtu anaweza kusema, “Lakini si ni kazi ya wainjilisti kueneza Injilil?” Ndio, ni jukumu la Wainjilisti kueneza Injili. Wako na kipawa cha uinjilisti. Sasa wanafaa kushawishi mioyo kwa Kristo. Lakini sio wainjilisti peke yao wanafaa kuwafanya watu kuwa wanafunzi. Kila mkristo ambaye anaweza kushahidi ameamrishwa kumshahidi Kristo. Ni sehemu ndogo tu ya kanisa iliyo na kipawa cha uinjilisti, lakini kila mkristo mwenye uwezo wa kufikiria na kuongea anaweza kushuhudia Kristo ni Bwana. Ni kupitia kwa mashahidi walioongezeka kwa mamilioni ya wakristo ambao wataeneza injili kwa kila kundi la watu wa duniani kwa haraka. Wakristo wanatumika kila siku kama mashahidi katika jimii zao, kwa marafiki, na kwa wafanyikazi wenzao. Kila muumini ni kasisi, na kasisi huongoza watu kumuabudu Mungu. 9 Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wamiliki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu. (1 Petro 2:9). Tunafanya kazi kama mabalozi wa Kristo kwa wasio amini (tazama 2 Wakorintho 5:20).

RUDI KWA MUHTASARI

Page 8: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

8

UINJILISTI NA UANAFUNZI

V. Tuzo la Kufanya Uinjilisti

Ni mazoea ya mwanadamu kuuliza, “Ni tuzo gain nitapata nikifanya uinjilisti?” Mtume Petro aliuliza atapata tuzo gani kwa kumfuata Kristo. Yesu akajibu: “ . . . Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, [a] au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele. (Mathayo 19:29).

a. Mathayo 19:29 Muswada zaidi mama au mke

Kuna ridhaa kuu kwa kuwaongoza watu kwa Kristo. Tuzo kuu zaidi ambayo mtu anaweza kutoa ni kuongoza mtu apokee uzima wa milele. Kwa hivyo kazi ya uinjilisti ni kuridhisha. Pia, wakristo wanaposafiri nchi mbalimbali na kuwaongoza watu kwa Kristo, watu hao huwakaribisha wainjilisti nyumbani kwao. Kwa hivyo wale wametoka manyumbani hukaribishwa nyumba mia zaidi. Walio wacha jamii hubarikiwa na upendo wa jamii mia zaidi. Na wanaoacha nyumba zao kwa ajili la Kristo wana nyumba ya milele mbinguni. Mara kunapokuwa na tuzo kuu kwa kuwaongoza watu kwa Kristo, muinjilisti anaweza kupatwa na mateso na taabu (tazama Yohana 15:18-21). Lakini walioitwa kwa ajili ya Mungu, Bwana huleta uzuri kutokana na mabaya unayopitia (tazama Warumi 8:28). Mitume walifanya uinjilisti na kuwafanya watu kuwa wanafunzi, kwa hivyo viongozi wa Kiyahudi waliamrisha kuchapwa kwa mitume. Alafu Wayahudi wakaamrisha mitume wasiongee kwa jina la Yesu. Angalia itiko la mitume. 41 Nao wakatoka katika ile baraza, wakifurahi kwa sababu wamehesabiwa kuwa wamestahili kuaibishwa kwa ajili ya jina hilo. 42 Na kila siku, ndani ya hekalu na nyumbani mwao, hawakuacha kufundisha na kuhubiri habari njema za Yesu kwamba ni Kristo. [a] (Matendo 5:41,42)

[a] Matendo 5:42 Au Masiha

Mitume walifurahia mateso yao kwa ajili ya Kristo! Kutangaza Injili sio rahisi, lakini kunafuraha kwa kazi kama hiyo.

RUDI KWA MUHTASARI

Page 9: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

9

UINJILISTI NA UANAFUNZI

VI. Ni Nani Anayelengwa

Je, tushiriki injili na watu gain? Lazima tuwe tayari kuwafanya watu wote kuwa wanafunzi. Yesu aliwafunza wanafunzi wake kuwa mashahidi vijijini mwao,nchini mwao, na mwisho wa dunia (Matendo 1:8). Alisema wafanyeni wanafunzi wa mataifa yote (Mathayo 28:19). Lakini sio wote wataitikia ushahidi wetu kwa usawa. Kwa hivyo tunafaa kutazamia kushiriki injili na wale wanao uwezo wa kumkubali Kristo. Kupitia kwa maombi, tunakubali Roho Mtakatifu kutuongoza kwa matumaini mema ya kufanya uinjilisti.Ndani ya tamaduni zetu, tunaweza kuongozwa kushuhudia jamii, marafiki, majirani, wafanyikazi wenzetu, ama watu wengine tulio na uhusiano. Tunapata watu hawa wanakubaliana nasi vyema. Mtu mzee anafaa kwa kuongea na wazee wengine. Binti anafaa kwa kuongea na mabinti wengine. Mara nyingi, watu wa ukoo wetu waweza hutuitikia vyema zaidi kuliko watu wa koo zingine.Tunawapenda watu wa kila umri, jinsia, na ukoo, na tunataka kushirikiana na watu wote. Lakini pia tunataka kuliona kanisa likikua haraka iwezekanavyo. Kwa hivyo tunawatafuta wale walio tayari kukubaliana na Habari Njema. Kama wamisheni katika makundi ya watu wengine, tunafuata Roho na kuona ni watu gani wanaitikia Injili. Tunaweza kuongozwa kulenga kufanya uinjilisti kati ya kundi la watu ambao wanaitikia sana. Yesu aliwatuma wanafunzi kufanya uinjilisti na akawaambia kama watu wa mjini hawataitika vizuri enendeni mahali pengine (tazama Luka 10:10, 11). Katika njia hiyo hiyo, mkifanya uinjilisti kwa njia nzuri, watu wa mahali fulani wasimkubali Kristo kama Bwana, enendeni mahali pengine. Mtume Paulo alifanya uinjilisti kwanza kwa watu ambao hawakuwa wameisikia injili ya Yesu Kristo (tazama Warumi 15:20-21). Tunajitahidi kufanya vivyo hivyo.

RUDI KWA MUHTASARI

Page 10: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

10

UINJILISTI NA UANAFUNZI

VII. Tunafaa kuinjili wapi?

Kama mmishonari, Bwana nakuongoza wapi ili uweze kufanya uinjilisti na kuwafanya wanafunzi? Unapojiandaa kwenda kwa uwanja wa umisheni, omba tene na tena kwamba Mungu akuongoze mahali unapofaa kwenda. Kwa mwoozo wa maombi, angalia kwa mtandao hapo chini. Kituo cha wamisheni huko America hutoa mtandao huu ambao hutambua makundi ya watu ambao waweza kufanyia uinjilisti.

http://www.joshuaproject.net/index.php

Dunia ya utendaji katika mtandao ufuatao unaomba maombi kwa mataifa mbalimbali ya dunia.

http://www.24-7prayer.com/ow/?skin=247

Kwa mawazo zaidi kuhusu mahali pa kufanya uinjilisti, ongea na watu wa sehemu ya kutuma wamisheni.

A. Anapoongoza Roho Mtakatifu.

Roho alimuongoza mtume Paulo na wenzake kuepuka mahali Fulani na kuelekea Makedonia kwa kazi ya umisheni(tazama Matendo 16:6-10). Roho Mtakatifu alimuonya Paulo juu ya hatari, lakini akamshurutisha kwenda kama shaidiYerusalemi (tazama Matendo 20:22-24). Pia Roho anaweza kukuongoza kumisheni mahali sawa.

B. Palipo na watu.

Kwa jumla ni vyema zaidi - lakini sio sawa wakati wote – kufanya uinjilisti katika miji na mijini badala ya mashambani. Watu wa miji na mijini hueneza injili nchini. Na watu mjini huwa kama mashahidi kwa wale waliotoka mashambani wanapokuja mjini kufanya biashara. Tambua kwamba Yesu aliwatuma wanafunzi kufanya uinjilisti mijini (tazama Luka 10:1). Paulo alienda mahali panapo watu wengi kufanya uinjilistii. Tazama “Hila ya wamisheni—Enenda mahali Mungu anataka uende” katika sehemu ya “Missiology.”

RUDI KWA MUHTASARI

Page 11: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

11

UINJILISTI NA UANAFUNZI

VIII. Jinsi ya Kufanya Uinjilisti

A. Mpango mkuu.

Mpango wote wa uinjilisti ni kufanya mafunzo ya uinjilisti, mtegemee Roho Mtakatifu, enenda ukashuhudie, na mwachie Mungu matokeo.

1. Lazima viongozi wafunze watu kufanya Uinjilisti.

Wamisheni na wachungaji wanafaa kuwashawishi mkutano wao kufanya uinjilisti . Viongozi huto mfano kwa kwa kufanya uinjilisti. Mtu aliandika, “Uinjilisti hushikwa sana kuliko kufunzwa.” Kwa maneno mengine, wanafunzi hushikilia uinjilisti kwa kwenda kuinjili na mashahidi wenye uzoefu. Ni vizuri kusoma msingi wa uinjilisti darasani, lakini ujuzi mwingi wa uinjilisti unasomwa kutokana na mazoezi. Shahidi wenye mazoea akiinjili pamoja na mwanafunzi mwenye mazoea kidogo, mwanafunzi hujiusisha kwa kushaidi anapojisikia yuko tayari. Mwanafunzi huyo atasoma zaidi katika kila nyumba atakayotembelea.

Mahali pengi uinjilisti wa nyumba kwa nyumba huleta waumini wengi. Mahali pengine aina zengine za uinjilisti hafaa zaidi.

Makanisa yenye huduma za nguvu na vipindi vya uanafunzi ndio hukua. Kama kanisa halina watu wa kutosha kusaidia katika kazi ya kanisa na mtumishi, kanisa hilo laweza kuwa dhaifu kwa uinjilisti. Kwa hivyo mchungaji anafaa kuwatembelea washiriki sana.

2. Omba.

Kama huduma zingine zote, kazi inaanzwa kwa maombi. Omba kabla ya kwenda, unapofanya uinjilisti, na baada ya kuinjili. Mtume Paulo alisema tujivike silaha zote za Mungu kukumbana na maadui wa kiroho. Sehemu kuu ya hiyo silaha ni maombi.

12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama, bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

18 Kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote. 19 pia na kwa ajili yangu mimi, nipewe usemi kwa kufumbua kinywa changu, ili niihubiri kwa ujasiri ile siri ya injili, 20 ambayo kwa ajili yake mimi ni mjumbe katika minyororo, hata nipate ujasiri katika hiyo kunena jinsi inipasavyo kunena. (Waefeso 6:12,18-20).

Moja wapo ya mahitaji ya uinjilisti ni wafanyikazi walio tayari. Mavuno ni mengi lakini wavunaji ni wachache. Kabla Yesu kuwatuma wanafunzi sabini na mbili wakafanye uinjilisti, aliwaambia wamuulize Bwana wa mavuno awatume wafanyikazi (tazama Luka 10:2).

Page 12: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

12

3. Tegemea Nguvu za Roho Mtakatifu.

Kama tunamwamini Yesu Kristo kuwa Bwana na Mkombozi, tumempokea Roho Mtakatifu. Kwa hivyo tunamtegemea Roho kututangulia na kutuandalia nafasi ya kueneza injili. Tunamtegemea Roho Mtakatifu kuonyesha wenye dhambi hatia zao, na kuwaongoza kwa ukweli wa Yesu Kristo (tazama Yohana 16:7-11).

Njia moja ya Roho kuwaongoza watu kwa Kristo ni kufanya miujiza kama kuponya. Ninajua kundi la wakristo linalo muhubiri Kristo kwa waislamu. Kulingana na imani ya waislamu Kristo alikuwa nabii. Maandiko ya Waislamu--Koran—inafunza Waislamu kusoma Injili zilizo katika Bibilia. Bibilia inafunza kwamba Yesu aliwaponya watu wengi kimiujiza. Kwa hivyo kundi hili la Wakristo linaenda kwa waislamu na kuomba kwa jina la Yesu wagonjwa wao wapone. Wagonjwa wanapopona, baadhi ya Waislamu wanamwamini Kristo. Waislamu wameona nguvu za Kristo zikifanya kazi kupitia kwa Roho Mtakatifu.

Yesu alihubiri kwa nguvu.

37 Jambo lile ninyi mmelijua, lililoenea katika Uyahudi wote likianzia Galilaya, baada ya ubatizo aliouhubiri Yohana-- 38 habari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na nguvu, naye akazunguka huko na huko, akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na ibilisi, kwa maana Mungu alikuwa pamoja naye. (Matendo 10:37-38).

Mtume Paulo alieneza Injili kwa nguvu za Roho Mtakatifu.

4 Na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima yenye kushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na za nguvu, 5 ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu. (1 Wakorintho 2:4, 5).

Nimesikia watu wakiponywa kimiujiza kwa nguvu za Roho Mtakatifu. Lakini sio wote wanaponywa kimwili. Sio kusudi la Mungu watu wote wapone ili waendelee kuishi milele katika dunia hii. Kwa hivyo tunaomba uponyaji kwa jina la Yesu kulingana na mpango wa Mungu.

4. Pelekea Watu Kanisa.

Uinjilisti si kuleta watu kwa kanisa. Bali uinjilisti ni kuwapelekea watu kanisa. Uinjilisti unahusisha kupeleka Injili, kupata waumini wapya. Watu wanapoamini, hutaka kukutana na Wakristo wengine wa kanisa.

5. Mwachie Mungu Matokeo.

Tunaomba na kufanya uinjilisti kwa nguvu za Roho Mtakatifu. Tunafuatisha uinjilisti na uanafunzi. Kisha tunamwachia Mungu matokeo. Hatuwezi kuokoa waliopotea. Tunaweza kutoa Habari Njema, na kumtegemea Mungu kuwaokoa wenye dhambi.

RUDI KWA MUHTASARI

Page 13: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

13

B. Uinjilisti wa Kibinafsi

Uinjilisti wa watu wengi hufanyika kwa watu wengi, lakini uinjilisti wa kibinafsi huhusisha kusemezana kuhusu Injili na mtu mmoja ama kundi dogo la watu.

Wakristo wanapokuwa kwa kusudi la kufanya uinjilisti wanatakiwa kwenda wawili wawili (tazama Luka 10:1). Wanaume wawili wanaweza kwenda pamoja, au wanawake wawili au bwana na bibi. Kwenda wawili kufanya uinjilisti kwa watu usiowajua kuna usalama zaidi. Kwa kawaida haipendekezwi, mwanamume mmoja na mwanamke mmoja kwenda pamoja kuinjili. Wakristo wanafaa kuepuka kuonekana na utovu wa nidhamu.

Zaidi na uinjilisti uliopangwa, uinjilisti wa binafsi unaweza fanyika kila siku, kama Tume Kuu ilivyo katika Mathayo 28:19 inasema, “Enendeni mkawafanye wanafunzi.” Lakini neno la kigiriki lilifafanua “enendeni” inamaana tunafaa kutengeneza wanafunzi tunapoenda. Tumuombe Mungu atufungue akili ili tumshuhudie yeyote tutakaye kutana naye.

Ili tuweze kufanya uinjiliti tunapofanya kazi za kila siku, tunafaa kujua jinsi ya kuwasiliana mambo ya kiroho. Ifuatayo ni mifano:

Kama ni siku nzuri na unaongea na mtu unaweza kusema, “Mungu ametupa siku njema ili tufurahie, si ni kweli?”

Mtu akilalamika kwa ugonjwa wake, unaweza kusema, “pole kwa ugonjwa, utapona. Yesu amewaponya wengi.”

Kama mtu anahofu, unaweza kusema, “Wengi wetu huhofia mambo, lakini nimepata njia ya kutoa wasiwasi wangu. Namwambia Yesu atoe wasiwasi wangu, na ananisaidia. Tushiriki pamoja maandiko yanayo fafanua hayo (soma maandiko kama Luka 12:22-31).

Kama msikilizaji anaitikia vizuri endelea kumueleza zaidi. Ni vyema kuendelea pole pole unapoeneza Injili. Mwinjilisti huongea na kumruhusu msikilizaji kujibu. Alafu mwinjilisti anaongea tena, kumjibu. Mtu alilinganisha uinjilisti na kulisha vindege mbugani. Kijana mdogo alichukua mkate mzima na kuwatupia vindege, kuwaogofya walipeperuka. Alafu kuna mzee aliuokota mkate ule na kumwambia kijana yule wakae naye kwenye fomu ya mbuga. Mzee alimenyua vipande vidogo vidogo na kuvirusha chini. Kindege kiliruka chini nakuanza kula mkate ule. Mzee alirusha vipande vyengine zaidi na vindege zaidi wakaja wakala. Baada ya dakika chache vindege wengi sana walikuwa wakila. Jinsi hiyo hiyo tunaweza kupeana ukweli wa kiroho kidogo kwa mtu na kuona kama mtu huyo ana haja ya kusikia zaidi.

Akronomi FIRE ni kifaa muhimu cha kukumbuka unapoanza mazungumzo na kuendelea na kuinjili. FIRE ina maana.

Page 14: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

14

Family (Jamii). Anza kwa kuuliza, “je una jamii?” Watu wengi hupenda kuongelea juu ya jamii zao—sana sana watoto na wajukuu wao. Lakini si vizuri kulazimisha mtu kuongea kuhusu talaka ama mambo mengine ya kijamii kama hataki. Baada ya kuongea kuhusu jamii zao uanweza kuongea kuhusu yako kwa ufupi.

Interests.(Upendeleo) Uliza, “Unafanya nini wakati wa ziada?” Jua nyumba ama mazingira ya mtu huyo. Mtu huyu anaonekana kuwa na jambo alipendalo? Zungumzia kitu kinacho mfurahisha mtu huyo.

Religion.(Dini) Uliza, “Dini yako ni gani?” Ama, “Ushafikiria kuhusu mambo ya kiroho?”

Evangelism.(Uinjilisti) Kama msikilizaji si Mkristo, unaweza kupata nafasi ya jadiliana kuhusu injili. Unaweza fanya uamuzi kutokana na majibu ya msikilizaji.

1. Mlipuko wa Uinjilisti.

Kama hauna uhakika kama mtu ni mkristo, unaweza kutaka kuuliza maswali mawili. Dkt. James Kennedy anatoa maswali haya kama baadhi ya njia ya Mlipuko wa Uinjilisti. Mswali ni kama yafuatayo.

1. Unajua kwa uhakika kwamba utaenda kuwa na Mungu mbinguni? Kutategemea jinsi mtu huyo atajibu, utataka kuuliza swali la 2.

2. Kama Mungu atakuuliza, “Kwa nini nikuingize Mbinguni Kwangu?” Utasema nini?

Maswali haya na njia za uinjilisti zinazoambatana zinapatikana kwa kabila tano. Bonyeza katika “Unajua?” kwa kiunganishi kifuatacho:

http://www.eeinternational.org/

Kijitabu ya mlipuko wa uinjilisti kinapatikana kwa mtandao ufuatao:

http://www.menorah.org/eetract.html

Maswali hayo mawili yanakusaidia kujua kama msikilizaji ni Mkristo anayeelewa Thiologia ya Kikristo. Na wanakupa nafasi ya kueneza injili.

2. Ushuhuda wa kibinafsi.

Badala ya kwenda kwa maandiko msikilizaji anapojibu maswali yale ya awali, unaweza kumtolea ushuhuda wako mwenyewe. Kama msikilizaji hana uhakika wa kuwa na Mungu atakapokufa, unaweza sema, “naweza kukuelezea vile nilipata uhakika kuwa nitaenda mbinguni nitakapo kufa?” Kwa kawaida msikilizaji atakuruhusu umtolee ushuhuda wako. Ushuhuda wako unafaa kufuata mtindo huu.

a) Maisha yangu yalikuwaje kabla niwe Mkristo.

Page 15: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

15

b) Jinsi nilikuwa Mkristo.

c) Vile maisha yangu yamebadilika kutokana na kumwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi.

d) Vile unaweza kuwa Mkristo.

Ili kuwa na mpangilio ninashauri huwe umeandika ushuhuda wako. Andika ushuhuda ambao unaweza kutoa kwa kadika tatu. Pia kuza masimulizi ya ushuda wako unaoweza kutoa kwa dakika tano au sita. Kama una mengi ya kusema unaweza kuza masimulizi ya urefu ya ushuhuda wako. Simulizi la urefu unaweza kulitumia kwa makundi ya watu waliojiandaa kusikiliza. Fanya mazoezi kwa kuwatolea Wakristo wengine ushuhuda wako, na uulize maoni ili kuinua matoleo yako. Katika uinjilisti, ni muhimu kupeana ujumbe muhimu, epuka kumsinya msikilizaji kwa ujumbe usiofaa. Ushuhuda ulioandika ni wako wa kutumia, kwa sababu utatoa ushuhuda wako kwa kuongea. Wakati mwingine ni vizuri kuandika ushuhuda wako ili iweze kuwapa wale ambao wanaoongea lugha tofauti. Unaweza kutafsiri katika lugha zao mapema.

Mwisho wa ushuhuda wako, unaweza kumuuliza msikilizaji kama angependa kupata uhakika wa uzima wa milele na Mungu. Akisema, “Ndio,” unaweza kumwongoza katika maandiko ya mpango wa wokovu. Kuna maandiko mengi yanaweza kutumika. Kijitabu cha mlipuko wa uinjilisti kinapatikana hapo juu.

3. Sheria nne za Kiroho.

Kijitabu kingine ni “Sheria nne za Kiroho,” kinapatikana kwa mtandao katika kabila nyingi.

http://www.greatcom.org/laws/languages.html

Bonyeza kwa kabila unayoielewa ili uone kijitabu cha Sheria Nne za Kiroho. Pia bonyeza kwa “zaidi” ili utazame filamu ya Yesu. Filamu hii inatoa hadithi ya Yesu kwa kabila zaidi ya 800. Unaweza taka kupata nakala ya filamu ya Yesu kabla ya kwena katika umisheni.

Muhtasari wa amri nne za kiroho ni ufuatao.

1. Mungu anakupenda na anampango mzuri kwa maisha yako. (tazama Yohana 3:16; Yohana 10:10).

2. Binadamu ni mwenye dhambi na ametenganishwa na Mungu. Kwa hivyo hawezi kujua na kuutambua upendo na mpango wa Mungu kwa maisha yake. (tazama Warumi 3:23; 6:23 ).

3. Yesu Kristo ndiye toleo la pekee la Mungu kwa dhambi ya mwanadamu. Kupitia kwake unaweza kujua na kutambua upendo na mpango wa Mungu kwa maisha yako. (tazama Warumi 5:8; 1 Wakorintho 15:3-6; Yohana 14:6 ).

Page 16: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

16

4. Lazima tumkubali Yesu Kristo kama Mwokozi na Bwana; alafu tutajua na kutambua upendo na mpango wa Mungu maishani mwetu. (tazama Yohana 1:12; Waefeso 2:8,9; Yohana 3:1-8; Ufunuo 3:20 ).

Kijitabu cha Sheria Nne za Kiroho kinafafanua kuwa kumkubali Yesu inamaanisha kumkubali ayakabidhi maisha yako—kumkubali Yesu aketi kwenye “kiti cha enzi” na kuyachunga maisha yako, mbali na mtu kijikabidhi maisha yake.

Kama msikilizaji yuko tayari, mwinjilisti atamuongoza kwa maombi ya kumpokea Kristo. Maombi yaliyopendekezwa kutoka kwa kijitabu cha Sheria Nne za Kiroho ni:

"Bwana Yesu, Nakuhitaji. Asante kwa kukufa msalabani kwa ajili ya dhamdi zangu. Ninafungua mlango wa maisha yangu na kukupokea wewe kama Mwokozi na Bwana. Asante kwa kunisameha dhambi na kunipa uzima wa milele. Chukua madaraka ya kiti cha enzi cha maisha yangu. Nifanye mtu mwenye unataka niwe."

Amri nne za kiroho zinaonyesha misingi ilivyoonyeshwa katika vijitabu tofauti vikionyesha mpango wa wokovu.

4. Barabara ya Warumi kwa Wokovu.

Njia nyengine ya kuonyesha mpango wa wokovu ni barabara ya Warumi. Kijitabu hiki kina kabila nyingi tofauti katika mtandao ufuatao.

http://www.gotquestions.org/Romans-road-salvation.html

Muhtasari wa Barabara ya Warumi kwa wokovu ukitumia maandiko kutoka kwa Biblia Takatifu.

Warumi 3:23. Kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.

Warumi 6:23. Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.

Warumi 5:8. Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.

Warumi 10:9,10,13. 9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. 10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. . . . 13kwa kuwa, “Kila atakayeliita Jina la Bwana ataokoka."

Njia rahisi ya kukumbuka mistari ya Barabara ya Warumi iliopo ni kukariri kumbukumbu ya kwanza: Warumi 3:23. Fanya mlango wa 3 maradufu na unapata Warumi 6:23. Kariri kumbukumbu: Warumi 5:8. Fanya maradufu malango huo na unapata Warumi 10. Hii inakukumbusha kukumbuka Warumi 10:9,10,13. Jua

Page 17: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

17

kumbukumbu za maandiko haya manne na unaweza kutumia kumuongoza mtu kwa wokovu.

Baada ya kuzungumzia Warumi 10:13 na msikilizaji, muulize kama angependa kuomba nawe ili aupate uzima wa milele na Kristo. Akikubali, Unaweza kuamua arudie maombi yako mstari baada ya mwengine. Sema maombi kwa kufanya sentensi fupi na rahisi.

Barabara ya Warumi inahusisha maandiko fulani yanayoonyesha matokeo ya wokovu—Ukiwa na amani na Mungu na usalama wa muamini (tazama Warumi 5:1; 8:1, 38, 39).

5. Kuzaliwa Kupya—Yohana 3.

Njia ninayopenda kutumia kuwaongoza watu kwa Kristo ni kutumia maandiko ya Yohana 3. Mlango huu unatueleza, kuwa ili mtu aweze kuingia mbinguni ni lazima azaliwe tena.

Jambo la kwanza ni kupata kumjua mtu, na kwa kutumia njia ya akronimi FIRE. Naweza kutolea ushuhuda wangu. Nieleze kwamba nimepata uhakika kuwa nikifa nitaenda kuwa na Mungu. Ndipo naweza kuuliza, “Ungependa kupata uhakika wa maisha ya milele leo?” Mtu akikubali nitafungua Bibilia yangu katika kitabu cha Yohana 3.

Ninaeleza, “Yohana 3 inasema, kiongozi wa dini aitwae Nicodemus alimwendea Yesu na kusema kwamba kwa sababu ya miujiza Yesu aliyotenda, lazima iwe Mungu yuko naye. Yesu akamjibu,

“Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu” (Yohana 3:3).

Baadaye nifafanue mazungumzo kati ya Yesu na Nicodemus.

“Inawezekanaje?” Nicodemus aliuliza. “mtu hawezi kuzaliwa mara ya pili kimwili.”

Yesu akajibu, “Ili kupokea uzima wa milele, lazima uzaliwe kiroho. Angazia haya: unajua upepo ni wa kweli, kwa sababu unauhisi. Unaona majani ya mti yakipepea kunapokuwa na upepo. Lakini haujui unatoka na unaenda wapi. Kwa njia hiyo hiyo, unapopoke Roho Mtakatifu wa Mungu, unajua ni wa kweli. (Utatambua mwongozo wake. Roho atakufunza ukweli wa kiroho, akifungua akili yako kwa ukweli unaofunzwa katika Bibilia.)

Alafu nisome vifungu vifuatavyo.

16 "Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa mwanawe pekee, [a] ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. 17Maana Mungu hakumtuma mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye. 18Amwaminiye yeye hahukumiwi, asiyeamini

Page 18: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

18

amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu hakuliamini jina la mwana pekee wa Mungu. [b]

a. John 3:16 Au mwanawe pekee

b. John 3:18 Au mwana pekee wa Mungu

“Maandiko yanafunza kwamba hapo mwanzo, mwanamume na mwanamke wa kwanza walikuwa na ushirika na Mungu. Bwana akaeleza kuwa wasipomtii, watapoteza ushirika ule na kufa. Mwanamume na mwanamke wa kwanza hawakutii—wakafanya dhambi—basi wakafa. Tangu wakati huo, kila mwandamu ameridhi tabia ya kutomtii Mungu. zote tunafanya dhambi na tunakufa kimwili.”

“Hatuna chochote cha kumtolea Mungu kwa ajili ya dhambi zetu, ila maisha yetu. Lakini Mungu anatupenda sana hata akamtoa mwanawe wa pekee afe kwa ajili yetu. Yesu hakuwa na dhambi, alitoa maisha yake yasio na dhambi kwa ajili ya dhambi zetu. Yesu alisulubiwa msalabani miaka 2,000 iliyopita. Siku ya tatu, alifufuka. Yuko na Mungu sasa, Babake. Ukimuamini Yesu, utaupata uzima wa milele leo, ili utakapokufa roho yako itaenda kuwa na Mungu. Ungependa kupata uzima wa milele sasa hivi?”

Msikilizaji akikubali, nitasema, Ninaenda kuomba, na ninakuuliza urudie kila sentesi nyuma yangu.”

“Mungu Baba, nimetenda dhambi. Nisamehe dhambi zangu. Ninaamini Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zangu. Ninaamini alifufuliwa kutoka kaburini. Nipe uzima wa milele leo. Nimemkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wangu. Kwa jina la Yesu nimeomba. Amina.”

Biblia inafundisha kuwa ili tuokoke, tunafaa kuwa tayari kumkiri Kristo mbele ya watu (tazama Mathayo 10:32, 33). Ningependa Muumini mpya kudhibitisha kuwa anamuamini Kristo. Niniweza kumuuliza hili, “Kama unaamini maneno uliyoyasema, nisalimie.” Alafu muumini huyo ananisalimia, kuonyesha anamuamini Kristo. Hii ni ishara— kukiri kwa imani—kwa kila mtu kati yetu kuwa anamaanisha aliyochosema. Na hii itakuwa kumbusho kubwa kwa muumini huu mpya.

Baadaye nitamwelezea muumini huu mambo kadhaa. “Tunapookoka, tunakuwa watoto kwa kiroho. Mungu anataka tukue kwa imani. Tunapoendelea kukua, tunajifunza ukweli wa kiroho na kutambua furaha ya kumjua Mungu. Kuna mambo matano tunafaa kufanya ili tuweze kukua katika imani.”

a. Mpende Mungu na jirani yako kama unavyojipenda. Hizi ni amri mbili kuu za Mungu.

b. Soma Biblia. Anza kwa kusoma Injili ya Yohana. (Nimuonyeshe muumini huyu mpya mpya mahali Injili ya Yohana inapatikana katika Biblia. Kama muumini huyu mpyahana Biblia, nitafute namna ya yeye kusoma—kwa kumpa maandiko fulani kama vile kumwalika kanisani. Kama muumini huyu mpya hasomi, nilielezee kanisa ili lifunze maandiko hayo.)

Page 19: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

19

c. Omba kila siku kwa jina la Yesu.

d. Kutaneni kila wiki pamoja na Wakristo wengine wanao funza Biblia.

e. Ambia wengine kuhusu wokovu ndani ya Yesu.

(Hizi ni njia tano za kukua katika imani kama ilivyo kwenye sinema ya evangecube hapo chini.)

Nitajaribu kufuatilia Mkristo huyo ama nihakikishe mtu kutoka kwa kanisa anamfuatilia. Ni vizuri kama mtu atamtembelea baada ya siku, ama baada ya wiki. Kama ilivyo elezwa awali, hatuwaachi watoto wa kiroho peke yao, na hatutaki kuwaacha peke yao. Mkristo mpya ana mengi ya kufikiria. Anaweza kuwa na maswali kutokana na maandiko aliyosomewa. Pengine maandiko muhimu yaliachwa nje wakati wa mazungumzo. Anahitaji kukumbushwa maandiko yanayomhakikishia wokovu . Anapokendelea kukua atatambua Roho Mtakatifu akimuongoza na kumpa uhakika. Pia anahitaji msaada kutoka kwa wakristo wengine. Pia anahitaji kutiwa moyo wa kukutana na wakristo wengine kwa ibada na masomo ya Biblia. Kama hawezi kuja kanisani, mtu kutoka kanisani anafaa awe akukutana naye mara kwa mara kwa ajili ya uanafunzi.

6. Kifaa cha Unjilisti (Evangecube).

Njia ya uinjilisti ukitumia kifaa kiitwacho evangecube imeoneshwa katika mtandao ufuatao. Ninasisitiza utazame sinema hii kwa kwenda kwa mstari uliopo na kubonyeza “anza hapa”.

http://www.letusteachkids.com/magic/evangecube.htm

Evangecube ni kifaa muhimu cha kushiriki Injili katika tamaduni na kabila zengine. Inaonyesha njia ya wokovu kwa kutumia picha. Inashikilia mawazo ya watu—sana sana ya watoto. Ni kifaa muhimu cha kumwongozo Mwinjiliti katika kazi yake.

7. Ujumbe zaidi wa Uinjilisti wa Kibinafsi.

Mtandao ufuatao unatoa vifaa vya kufundishia uinjilisti wa kibinafsi, na video za ushahidi Amerika.

http://www.mercystreet.com/university/index.html

8. Kipingamizi kwa Injili.

Unapokuwa ukitoa mpango wa wokovu, wasikilisazi waweza kutoa pingamizi kadhaa. Wakati mwingine msikilizaji huwa anataka kupata ukweli, na atataka jibu. Wakati mwingine anataka kuchepua mazungumzo kwa sababu hana haja na kumjua Yesu. Wasikilizaji mara nyingine, hutaka kutuchepua kutoka kwa mpango wa wokovu kwa sababu hawataki kukubali ni wenye dhambi na kubadili maisha yao. Tunafaa kuwa na uwezo wa kukabiliana na vipingamizi, na kurudi kueneza Injili. Kuwa na elimu nzuri ya

Page 20: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

20

Maandiko na sehemu za kupata Maandiko hayo katika Biblia ndiyo njia ya kujibu vipingamizi. Ni muhimu kukariri Maandiko muhimu.

Alafu omba ili Roho Mtakatifu akuongoze kujibu maswali ya watu.

Ongea ukweli kwa upendo (tazama Waefeso 4:15).

Alex Strauch anatufunza kuwapenda wale tunaowashahidia. Tazama dondoo kutoka mtandao ufuatao.

http://www.bible.org/page.php?page_id=2765

Mwinjilisti Bob Smith anasema, “Asili mia tisaini ya uinjilisti hufanyika kupitia kwa upendo.” Uinjilisti unahusisha kuwapenda watu, kutaka kuwafikia, kuwa rafiki na wazi nao, na kuwatumikia. Hatufai kushindana tunaposhuhudia—kutoa ishara ya kwamba tuna majibu yote. Tusiwe wa kuchukiza na wenye maringo, tukiwawala kila mazungumzo. Tujifunze kutulia—kuwapa watu Injili na kumwachia Roho Mtakatifu afungulie nguvu zake. Kama Roho Mtakatifu hatafanya kazi kwa roho ya mtu, kubishana kwetu hakutasaidia. Jibu maswali vyema kulingana na uwezo wako, na kama hauna jibu mwambie unayezungumza naye utatafuta jibu hilo. 1

Paulo anasema, “Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolea munyu ” (Wakolosai. 4:6). Unapojua unafaa kuwa na neema na kukolea munyu, basi hauhofii na kufikiria, “Nafaa kuwahimiza mbinguni, niwaonyeshe niko sawa. Nafaa kuwaonyesha mimi ni mwenye imani kamili na sio mmoja wa madhehebu.” Ni jambo la kushangaza kutaka kuwa wa neema na mshindi. Haufai kutilia maanani wakati asiyeamini anajibizana na kukuita majina. Unaweza kujibu kwa upole,“Ninakuelewa, lakini nataka ujue dhambi zangu zimesamehewa. Nina tumaini jipya kwa sababu ninajua maisha ya Mungu mapya yamo ndani yangu. 2

Na msimamo huo wa upendo, wacha tutazame jinsi ya kujibu vipingamizi.

a. Kazi Nzuri.

Watu wengi hutaka kufanya kazi nzuri ili wampendeze Mungu. Kila dini ya duniani isipokuwa ya Kikristo huhimiza kazi nzuri ili uweze kuingia mbinguni ama kufikia kiwango cha juu cha kiroho. Ukristo ni ya kipekee. Ukristo unasema ya kwamba Kristo ameshafanya kazi hiyo nzuri. Kristo alikufa kutuokoa kwa mauti ya dhambi. Ili tuweze tuokolewe, tunafaa kumwamini Yesu. Tukiwa na imani hii ya Kibibilia, tunatubu dhambi zetu (kuachana na dhambi zetu) na kufuata mafunzo ya Yesu. Tumeokolewa kwa neema ya Mungu kupitia kwa imani ili tufanye kazi nzuri.

8 Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; 9wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. 10Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika

Page 21: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

21

Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo. (Waefeso 2:8-10 )

Mtu akifikiria kwamba kazi zake nzuri zitampeleka mbinguni, Ninasema, “Mungu ni mkamilifu na anatarajia kila atakaye ingia Ufalme wake asiwe na dhambi. Lakini sote tu wenye dhambi. Hakuna aliye mkamilifu. Kujaribu kuwa mkamilifu ni kama kujaribu kuogelea ili kuvuka bahari. Wakati mmoja sote hukosea. Ni Kristo peke yake aliyeishi maisha kamilifu yasiyo na dhambi. Kwa kumuamini Kristo, tumeokoka. Na tunapompenda Kristo, tunataka kufanya kazi nzuri.

Ukriso ni zaidi ya uhusiano kuliko dini. Dini hutoa sheria za kufuata ili uwe mtakatifu. Ukristo ni kuhusu uhusiano wa imani na Mungu kupitia kwa Mwanawe. Kristo ndiye Mwana wa pekee wa Mungu. Yeye huwa bora zaidi kwetu. Lakini waaminifu ni panga watoto wa Mungu (tazama Yohana 1:12; Warumi 8:14-16). Kristo ni ndugu yetu mkubwa, na sisi tu wana wa kuunganishwa wa uzima wa milele na Kristo (tazama Warumi 8:17). Tu wana wa Mungu kupitia kwa imani, kwa hivyo kazi nzuri hazitufanyi tuwe zaidi ya watoto ama kidogo ya mtoto. Ninaieleza hivi, “Mtoto amezaliwa na baba. Kama huyo mtoto hafanyi matendo mema, mtoto huyo hukoma kuwa wake? Mtoto huyo bado ni wake. Mtoto akifanya matendo mema, mtoto huyo huwa wake kwa njia zaidi? Hapana, mtoto ni wake bila kutazama matendo mema.” Lakini kama mtoto anapenda babaye, mtoto hutaka kufanya matendo ya kumfurahisha babaye. Ukristo uhusiano kati ya Mungu na wanawe. Mtu anapomuamini Kristo, mtu huyo hupangwa katika jamii ya Mungu. Kupangwa huku ni zaidi ya kupangwa kwa kisheria. Kupanga kwa mtoto kwa jamii ya Mungu, mtoto huzaliwa upya—amezaliwa upya kiroho.

Hata kama hatuwezi kulipia wokovu, lazima tuungame dhambi zetu. Tunaungama kwa kuacha maisha yetu ya dhambi. Tunapokuwa katika mwili, tutafanya dhambi, lakini tutakomaa ili tufanye dhambi kwa nadra. Maneno matatu yanayofanya muhtasari wa kurudi kwa Yesu ni kuungama, kuamini, na kukiri. Tunatubu dhambi, kuamini kwa kujitolea kwa Yesu, na kukiri Yesu ni Bwana.

b. Njia Zingine za Wokovu.

Mtu anaweza kuamini kwa wingi—akisema kuna dini nyingi na njia nyingini za wokovu. Ninaeleza kuwa Yesu alisema yeye ndiye njia ya pekee ya wokovu.

Yesu akamwambia, Mimimndimi njia, na kweli, na uzima: mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi” (Yohana 14:6).

Nieleze kwamba Yesu alikuwa Mungu kwa mwili (tazama Yohana 5:18; 10:30; Wakolosai. 1:15-20; 2:9). Hakuna dini nyingine inayosema inamwanzilishi anayesema ni Mungu. Kama Mungu ni ambaye anasema kuwa, ni Bwana na ukristo ni njia moja ya wokovu. Kama Kristo sio yeye anayesema kuwa, ni muongo ama mwenda wazimu na ukristo sio njia ya wokovu. Lakini hakuna kiwanja cha katikati; Ukristo na dini zengine za dunia hazikubaliani kwa hivyo haziwezi kuelekeza kwa wokovu. Mwandishi wa Kikristo, C. S. Lewis, alitoa malalamishi kwa Yesu ni Bwana, muongo ama wazimu.

Page 22: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

22

RUDI KWA MUHTASARI

C. Uinjilisti wa uhusiano

Uinjilisti wa uhusiano ni kushiriki Injili na watu munaohusiana nao. Mara nyingi watu huja kwa Kristo kupitia kwa marafiki au jamii. Huko Amerika, habari ya historia inapendekeza kwamba zaidi ya asili mia sabini na tano ya watu wanaokuja kwa Kristo hushawishwa na marafiki na jamii. 3

Bibilia inapeana mifano ya uinjilisti wa uhusiano. Yohana mbatizaji aliwatambulisha wanafunzi wake wawili kwa Yesu, na kila mmoja wao akamjulisha ndunguye ama rafikiye kwa Yesu (tazama Yohana 1:35-51).

Kiongozi wa ukristo Uturuki, nchi iliyojawa na Waislamu, anaelezea umuhimu wa uinjilisti wa uhusiano katika tamaduni ile. Tazama mtandao ufuatao.

http://www.foursquarechurch.org/articles/141,1.html

Kwa sababu ya shinikizo ya ushirikiano iliyoko ya waislamu kuwakataa wakristo, Mwislamu atahitaji kuwa na uhusiano wa kuaminika na Mkristo kabla ya kuikubali Injili.

Tazama mtandao ufuatao kwa mafunzo ya uinjilisti wa uhusiano.

http://ourworld.compuserve.com/homepages/DCarlton121/index.htm

Mtandao ufuatao unatoa ushauri wa kutengeneza orodha ya wale wasio wakristo unaowajua, kwa kuwa na uhusiano na watu kama hao na kuwakaribisha kuja kwa wokovu kwa Kristo.

http://www.kristenonline.com/download/book/relationship%20evangelism.pdf

Tunaweza kutumia akili yetu ya uinjilisti wa uhusiano kuwashuhudia marafiki na jamii. Tunafaa kuombea zamu za kushuhudia. Kwa sababu tuna uhusiano na marafiki na jamii tayari, tunaweza kushiriki ushuhuda na mipango ya wokovu wakati unaofaa. Ama tunaweza kwenda kwa maombi pamoja na rafiki. Kazi ya utangulizi ya kuwa na uhusiano imeshafanyika.

RUDI KWA MUHTASARI

D. Mahubiri ya Uinjilisti.

Kuhubiri ni njia bora ya kupata waumini wapya. Siku ile kanisa la kwanza lilianza, Petro alihubiri na watu 3,000 wakawa wakristo (Matendo 2:41). Karne zilizo pita, wahubiri wamewaleta watu wengi kwa ukristo. Katika karne ya ishirini, Mwinjilisti Billy Graham aliwaongoza wengi kumpokea Yesu ulimwengu wote. Katika

Page 23: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

23

makanisani yaliyoko duniani kote, siku hizi wachungaji huhubiri na kuwabatiza mamilioni.

Ili kupata waumini wapya kupitia kwa mahubiri, mahubiri yanafaa kuwa ya kiinjilisti. Wachungaji hawahubiri mahubiri ya kiinjilisti saa zote. Uinjilisti ni kwa wale wasio na imani kwa Kristo. Wachungaji wanaweza kuchagua wakati wa kuhubiri mahubiri ya uinjilisti ama ya uanafunzi.

Mahubiri ya uinjilisti yamekusudiwa kuwaleta watu kwa uamuzi wa kumpokea Kristo kama Bwana na Mwokozi. Kwa hivyo kifungu cha Biblia kinachochaguliwa chatakiwa kuwa kinafaa kwa uinjilisti. Vifungu vingi kutoka vitabu vya Injili na Matendo, kwa mfano vyaweza kuhimiza watu kuja kwa Kristo.

Mahubiri ya kiinjilisti yanafaa kushugulikia mahitaji ya washiriki. Mara nyingi, Mwinjilisti Billy Graham, alidhihirisha matatizo ya dunia yaliyoripotiwa kwa vichwa vya magazeti, na akatoa habari njema ya kwamba Yesu anaweza kutatua shida hizo. Yesu anaweza kushinda upweke, uhalifu, uhusiano uliovunjika, pasipo tumaini, na shida zingine.

Mahubiri ya uinjilisti hufungwa kwa maombi ya kuwakaribisha watu kumpokea Yesu kama Bwana na Mwokozi. Uamuzi unafaa ufanywe papo hapo. Maandiko yanafunza kuwa leo ndio siku ya wokovu (tazama 2 Wakorintho 6:2). Udanganyifu mmoja wa Shetani ni kuwafanya watu wafikirie kwamba hakuna haraka ya kuwa Mkristo. Watu wengi wanaweza kupuuza maamzi ya kumpokea Kristo na mioyo yao iwe baridi wanapoendelea kuzeeka. Leo yaweza kuwa siku ya mwisho ambayo watu wengine wanayo ya kumpokea Kristo. Wanapokataa mwaliko, wanaweza wasiwe na nafasi kama hiyo tena. Wanaweza kufa. Wanaweza wasikubali uinjilisti kwa siku zijazo. Mhubiri anafaa kuwaonya watu kufikiria ufupi wa wakati.

RUDI KWA MUHTASARI

E. Uinjilisti wa Watu Wengi.

Mbali na uinjilisti wa kibinafsi, uinjilisti wa watu wengi hutegea watu wengi kwa mikutano ya pahali wazi. Uinjilisti wa namna hii hufana kama matayarisho yamefanywa vizuri. Kunaweza hitajika pesa za kupata mahali pa mikutano na kutangaza. Mtandao ufuatao una sehemu za uinjilisti za watu wengi. Bonyeza kwenye “Kituo cha kupokea mafundisho“ chagua “mafundisho ya Uinjilisti.”

http://www.amesbible.org/virtualcampus.html

Kuhubiri Barabarani —Kuhubiri mahali wazi hapahitaji malipo wala matayarisho. Mbinu hii ya kuhubiri hufana sana mahali pengine.

RUDI KWA MUHTASARI

Page 24: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

24

F. Uinjilisti Uliojaa Watu.

Uinjilisti uliojaa watu unatafuta kueneza Injili kwa kila mtu katika sehemu hiyo au nchini. Mtandao ufuatao unapendekeza vifaa tofauti vya uinjilisti uliojaa watu.

http://www.ad2000.org/gcowe95/satevang.html

Vifaa vilivyopendekezwa kwa uinjilisti ulojaa kabisa katika mtandao wa hapo juu ni:

• Kueneza kwa Redio and Televisheni.

• Kusambaza fasihi ya Kibibilia na Kikristo.

• Wainjilisti wa kuzungukazunguka, Wanenaji maalum, na uinjilisti wa kundi.

• Kampeni za pamoja za uinjilisti wa kibinafsi

• Uinjilisti wa filamu ukitumia filamu ya “Yesu”

• Kuwepo kwa Mafunzo ya Viongozi. Uinjilisti wa watu wengi unafuata amri ya kuhubiria viumbe vyote (tazama Marko 16:15). Na inafuata kanuni ya kupanda kwa wingi ili uvune kwa wingi (tazama 2 Wakorintho 9:6).

RUDI KWA MUHTASARI

G. Uinjilisti wa Kusudi.

Njia zozote za uinjilisti zinazo tumika, lazima ziwe za kusudi—hivyo ni, lazima tukuze mipango ya kufanya uinjilisti. Kama uinjilisti wa kibinafsi unafanyiwa mazoezi, basi inaweza kuhusisha mtindo wa kila siku wa kutafuta nafasi ya kushiriki habari za Yesu. Hivyo basi kanisa linapaswa kutenga wakati wa kuenenda na kushiriki kuhusu Yesu. Uinjilisti wa undugu unahusisha kuwafikiria watu wasiomjua Kristo, na kupanga njia za kushiriki nao kuhusu Kristo. Uinjilisti wa watu wengi unahitaji mipango malum.

RUDI KWA MUHTASARI

H. Kushinda Vizuizi

1. Uoga.

Moja wapo ya vizuizi vya uinjilisti ni uoga. Watu wanaogopa kufanya uinjilisti kwa sababu hawataki kukataliwa. Hawataki kuonekana wajinga. Ama katika nchi zengine, wanaogopa kushutumiwa na wenye mamlaka ama tamaduni zilizo karibu nao.

Page 25: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

25

Maandiko yanawafunza Wakristo watarajie kukataliwa (tazama Yohana 15:20; Mathayo 24:9). Linalo onekana kama ujinga kwa mwanadamu wa kawaida ni hekima kwa Mungu (tazama 1 Wakorintho. 2:14). Kwa hivyo tunafaa kutii tume kuu. Tunapotii, tunapata uhuru wa kufanya uinjilisti.

Akiwa jela, Mtume Paulo aliuliza kanisa la Efeso limuombee ili aweze kutangaza Injili bila uoga (tazama Waefeso 6:19, 20). Tunafaa tuombe, ili kila mmoja wetu awe na uhuru wa kushiriki ujumbe wa yesu Kristo bila woga.

2. Vipaumbele Vingine.

Usipoupa uinjilisti kipaumbele, mambo mengine yatachukua wakati wetu. Makanisa yana mwelekeo wa kutazamia mahitaji yao wenyewe na kukuwa mahala pa mazungumzo. Washiriki wa kanisa wana mahitaji mengi, na wanaweza kusahau kwa haraka kwamba kuna ulimwengu unakufa karibu nao. Kanisa la pale likisahau ulimwengu unaokufa, kanisa la pale litakufaa.

1Alex Strauch: http://www.bible.org/page.php?page_id=2765

2Alex Strauch: http://www.bible.org/page.php?page_id=2765

3ChurchGrowth: http://www.cmfhq.org/Training/Relational%20Evangelism/ relational_evangelism.htm

RUDI KWA MUHTASARI

Page 26: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

UINJ

IX. Ua

Mwanwatu kinaaitkwamWana

11 Nawainjiwataksisi sokuwa

14 Ili tupepoLakinaliye kkwa mhuuku

Ni kazuinjiliswanalmakan A. Jin

26

ILISTI NA UANAFUNZI

nafunzi

afunzi ni “msomi” ama “mwanafunzi”4 Tume Kuu inatufunza jinsi ya kuwafanya uwa wanafunzi. Katika Theologia ya Kikristo, hatua ya kuwafanya wanafunzi

wa “uanafunzi.” Maandiko yanafunza wanafunzi kukomaa. Mtume Paulo aliaandika ba watu kanisani wanafaa kufanya kazi pamoja kuleta wanafunzi kwa ukomavu. funzi wanakomaa kwa kuwa kama Kristo.

ye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa wanabii, na wengine kuwa listi, na wengine kuwa wachungaji na waalimu, 12 kwa kusudi la kuwakamilisha atifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe, 13 hata na te tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata

mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo.

usiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu. 15

i tuishike kweli na katika upendo na kukua hata tumfikie yeye katika yote, yeye ichwa, Kristo. 16 Katika yeye mwili wote ukiungamanishwa na kushikanishwa saada wa kila kiungo, kwa kadiri ya utendaji wa kila sehemu moja moja, za mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo. (Waefeso 4:11-16)

i ya kanisa lote kuwafanya watu kuwa wanafunzi. Wengine kanisani hutilia mkazo ti, wengine kufunza, wengine kazi zingine. Kwa kufanya kazi pamoja, washiriki eta wanafunzi kwa ukomavu. Na makanisa na vyama vya umisheni vinaanzisha isa mapya, wakiwafanya watu zaidi kuwa wanafunzi.

si ya Uanafunzi.

Page 27: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

27

Kanisa linafaa kuwa na mpango wa kukuza wanafunzi. Mpango huo unafaa kuwa na mambo yafuatayo.

1. Uinjilisti na Ufuatiliaji wa karibu

Kanisa hupanga na kuongoza uinjilisti, na baadaye kutembelea watu walioomba ombi la toba. Inapendekezwa baada ya siku au ikizidi sana wiki moja watu wawatembelee Wakristo wapya. Mtu aliyemuongoza mtu huyu kwa Kristo anafaa kuwa mmoja wa wale wanaomtembelea. Wageni kutoka kanisani wanafaa kumuhakikishia mtu huyu wokovu wake kwa kumsomea maandiko (tazama 1 Yohana 5:13). Wageni hawa wanafaa kumtia moyo huyu Mkristo mpya ashiri mikutano ya kanisa na kumsaidia afike pale.

2. Kukiri na kubatizwa.

Mtu anapo kiri imani yake kwa Kristo, anafaa kuungama imani yake adharani kwa kubatizwa. Ubatizo na karamu ya Bwana ni mipango miwili ya Kristo kwa kanisa. Mkristo mpya anafaa kukiri kwa kinywa chake imani yake. Kukiri ni kitu muhimu katika wokovu (tazama Warumi 10:9 ).

3. Kukuza maisha ya Kujitoa.

Mkristo mpya anafaa kufunzwa kutumia “wakati kwa maombi” na Mungu kila siku. Wakristo hawafai tu kuomba bali kumsikiliza Mungu anapoyaongoza mawazo yao. Kama Mkristo mpya anaweza kusoma Biblia na anayo, anafaa kufunzwa kufanya masomo ya Biblia kila siku. Wakristo wanaweza kuanza kwa kusoma kitabu cha Yohana, alafu vitabu vyengine vya Injili, alafu Agano Jipya lote, na Agano la Kale lote. Wakristo wanafaa kukariri mistari yote ya msingi ilio na athari kwao wanaposoma na kutafakari Maandiko.

4. Kuwafanya Wakristo wapya kuwa Washiriki wa Kanisa

Kila Mkristo anafaa kuunganishwa na maisha na kazi ya kanisa (tazama Waebrania 10:25). Wanafunzi wanafaa kutiwa moyo kugundua vipawa vyao vya kiroho. Wanafunzi hawafai kupewa madaraka zaidi ya kukomaa kwao kwa kiroho, lakini wanafaa kupewa kazi fulani kanisani. Kanisa lisipowatumia wanafunzi, litawapoteza. Kila Mkristo mpya anafaa kuwa katika kundi dogo linalokutana kwa masomo ya Biblia na ushirika.

5. Wanafunzi Wanafaa Kufunzwa Kuzaa Matunda.

Yesu alisema, “Hivyo hutukuzwa Baba yangu, kwa vile mzaavyo sana, nanyi mtakuwa wanafunzi wangu” (Yohana 15:8). Kuna aina tatu ya matunda ya roho: Wakristo wapya, tabia, na mwenendo. Mkristo mpya anafaa kwenda pamoja na mwanafunzi aliyekomaa kujifunza kufanya uinjilisti na kupata waumini wapya (tazama Warumi 1:13). Mkristo mpya anafaa kutiwa moyo ili akuze tabia- tunda la roho (tazama Wagalatia 5:22,23). Na Mkristo mpya anapaswa kujiendesha kwa mwenendo mwema (tazama Warumi 6:21,22). 5

Page 28: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

28

6. Kupitisha Maono ya Kuanzisha Makanisa

Kila Mkristo mpya anafaa kupewa maono ya kuanza makanisa (tazama sehemu ya “Umisheni”). Wakristo wapya wanafaa kujua lengo la kanisa ni kujizalisha.

RUDI KWA MUHTASARI

B. Kujizidisha kwa Kiroho.

Kujizidisha kwa Kiroho ni njia ya Kibiblia ya kuwafanya watu wote kuwa wanafunzi. Kujizidisha kwa Kiriho kunahusisha kuwafanya watu kuwa wanafunzi, na kuwatuma kuwafanya wengine kuwa wanafunzi. Kujiongeza kwa Kiroho ni kuwafanya watu kuwa wanafunzi bila ya kuwatuma kuleta wanafunzi wengine. Kiungo kifuatacho kina linganisha kukua kwa kanisa kwa kuzidisha na kukua kwa kanisa kwa kuongeza.

http://biblestudycd.com/spiritualmult.html

Mtandao ulio hapo juu unaonyesha kama kanisa lina badili watu na wanafunzi 100 kwa siku lakini halipati wanafunzi wapya, itawachukua miaka 164,000 kutengeneza wanafunzi biliono 6 ya watu wa dunia. Tume Kuu haiwezi kutimizwa kupitia kwa kuongeza kwa kiroho.

Lakini kama mtu anawabadili na kupata mwanafunzi kila miezi sita, na kama wanafunzi hao wanabadili na kufunza mtu mmoja kila miezi 6, ulimwengu wote utabadiliwa kwa miaka 16.5! Kuzidisha kwa Kiroho ndio njia ambayo wanafunza wanajizalisha. Kama seli kwa mwili wa binadamu, moja inakuwa mbili, mbili inakuwa nne, nne inakuwa nane, nakadhalika. Mwili mdogo unakua kuwa mwili mkubwa.

Kutimiza Tume Kuu, hatuitaji kuzalisha wanafunzi wa ubinafsi tu; tunahitaji kuzalisha kanisa pia. Sehemu ya “Umisheni” unatupa mkakati wa kuzalisha makanisa.

RUDI KWA MUHTASARI

C. Uinjilisti wa viongozi na wafuasi.

Viwango tofauti vya kufunza vinatolewa kwa wanafunzi, kulingana na vipawa na kujitolea kwao kusoma. Kila mtu ni muhimu kwa kanisa na ana jukumu muhimu la kufanya kazi za kanisa. Lakini watu wachache wa kanisa ni viongozi, waanzilishi wa makanisa na wainjilisti. Mafunzo zaidi yanahitajika kwa hawa wanafunzi ambao wataazisha na kuongoza makanisa.

Paulo alishiriki injili na maelfu ya watu, lakini aliwachukua watu wachache kufanya umisheni naye. Aliwafunza wachache kwa urefu ili waazishe na kuongoza makanisa.

Page 29: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

29

Timotheo alikuwa mwanafunzi kama huyo. Paulo aliandika Waraka wa 1 Timotheo na 2 Timotheo ili kuwafunza na kuwatia moyo wanafunzi wake.

Yesu alifunza umati wa watu, lakini aliwafunza wanafunzi kumi na wawili kwa urefu. Kumi na moja kati ya wanafunzi kumi na wawili walionyesha uaminifu na waliweza kujitoa tena kwa kupata wanafunzi wengine wengi.

Tunaweza je kuwapata viongozi wa kanisa kufunza? Kwanza tunaomba sana, Yesu aliomba usiku kucha kabla ya kuteua wanafunzi kumi na wawili wa kufunza.

12 Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba akakesha usiku kucha katika kumuomba Mungu. 13Hata kulipokuwa mchana aliwaita wanafunzi wake akachagua kumi na wawili miongoni mwao ambao aliwaita mitume. (Luka 6:12,13)

Dr. Hudson Taylor, mwanzilishi wa China Inland Mission, aliulizwa jinsi aliweza kuteua wamisheni elfu katika mwisho wa karne ya kumi na tisa kuenda Uchina. Taylor alijibu, “Kwanza, ‘Muombe yeye Mungu wa mavuno, ya kwamba atawatuma wafanyikazi kwa mavuno yake.’”6 “Pili, kupata wafanyikazi, ‘inadidimiza maisha ya mtu wa kawaida kwa maandiko, wasije wakamkana Mungu.’”7

Tunawezaje “kukuza maisha ya mtu ya kawaida katika maandiko?” Wayland B. Moore, aliyetumia miaka mingi akiwafanya wanafunzi, aliandika kwamba Mtume Paulo alionyesha jinsi ya kuwafanya watu kuwa wanafunzi. Soma Matendo 20:17-38, ambapo Paulo anaongea na viongozi wa kanisa la Waefeso. Kazi ya Paulo kwa Waefeso inaonyesha kanuni tatu za kufundishia wanafunzi. Kwanza, lazima kuwe na kupenyeza kwetu - ushirika wetu. Lazima tutumie wakati katika ulimwengu wa wanafunzi. Tujibadili kwa mazingira na tamaduni zao. Paulo alitumia miaka mitatu kuwafunza wanafunzi wa Efeso. Pili,lazima tuwe na moyo wa mzazi- kujenga uhusiano wa mapenzi na jamii ya kanisa. Paulo alikuwa kama baba wa kanisa-alitoa chakula cha kiroho na kuwafunza washiriki wake. Matendo 20:17-38 inaonyesha upendo kati ya Paulo na kanisa. Tatu, lazima tuwe mwongozaji— kufanya mfano wa imani. Matendo 20:17-38 inaonyesha kuwa Paulo alikuwa mfano mzuri wa kanisa [tazama Wafilipi 4:9]. Wanafunzi wanatazama maisha ya mwalimu. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, “Nifuateni” (Mathayo 4:19), mbali na “Nisikizeni mimi tu.”8

1. Kuendelea. Moore anapendekeza mwanzo wa mafunzo ya urefu wa miezi sita ambapo utakutana na mara moja kwa wiki na mwanafunzi [wanafunzi wengine wanaweza kuwa nawe zaidi ya mara moja kwa wiki.] Unaangalia maendeleo ya wanafunzi, na kuhakikisha kuwa wamefanya kazi yao vyema. Mwisho wa miezi sita, mwanafunza anafaa kuwa tayari kumfunza mwanafunzi mwengine.kila baada ya kipindi Fulani, unaangalia maendeleo ya wanafunzi hao wawili.

2. Kanuni. Unalinganisha kanuni za Maandiko na maisha, na kujadiliana masomo ya bibilia mliopewa awali na kukariri maandiko.

3. Shida. Unawasikiliza wanafunzi, na kutumia maandiko kutatua shida. 4. Maombi. Unaomba pamoja na wanafunzi, mkiongeza urefu wa maombi mnapojuana

vizuri. 5. Mazoezi. Unawachukua wanafunzi pamoja kila siku kwa uinjilisti na uchungaji

mwingine.9

Page 30: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

30

Tunapowaombea viongozi wajifunze, pia tunatazama ni nani yuko tayari na anauwezo wa kuongoza. Tukianzisha kundi ndogo au makanisa ya nyumbani, na kuwauliza watu kusaidia kanisani, watu wengine wataonekana kuwa na vipawa vya kuongoza na kufunza. Tunaweza kuwauliza kutusaidia kwa mambo fulani, na tuone wanavyo fanya.

Tunahitaji kuona uwezo ulioka ndani ya watu wa kawaida. Mara nyingi Mungu hutumia watu wa kiwango cha chini kutimiza kazi yake ( tazama 1 Wakorintho 1:26-29) Yesu alichagua watu wa kawaida kuwa watume wake.

Kumbuka wale tunaowafunza mmoja kwa mmoja watakuwa wa jinsia sawa na sisi. Tunaweza kufunza watu wa jinsia tofauti kwa makundi madogo. Kwa kawaida, watu wa umri wetu au wachanga wataitikia vizuri.

Zaidi ya kufunza viongozi, tunahitaji kufanya wanafunzi wa kanisa lote. Uanafunzi kama huo unafanyika kupitia kwa mahubiri na kupitia makundi madogo ya masomo ya Biblia. Walimu walioko ndani ya kanisa wanaweza kuongoza makundi hayo. Pia tuwatie washiki moyo kujihusisha na kazi ya kanisa. Tuwatie moyo washiriki wafuate Roho Mtakatifu kwa kuchagua ni wapi wanapoweza kutumia vipawa vyao ili kukamilisha lengo la kanisa. Pia, tunawauliza watu kuchukua jukumu fulani kanisani.

RUDI KWA MUHTASARI

D. Mtalaa na Vifaa Vinavyohusiana

Ni mtalaa upi unafaa kwa kuwafanya watu kuwa wanafunzii? Mafunzo tofauti yanatumiwa kwa wanafunzi na wajibu tofauti kanisani. Mafunzo ya msingi ndani ya kanuni muhimu yanatolewa kwa washiriki wote hatimaye, mafunzo kama haya lazima yatolewe kwa mujibu wa kiwango cha umri na uwezo wa kusoma kwa wanafunzi. Yafuatayo ni moja wapo ya chanzo vifaa vya uanafunzi.

1. Kiunzi cha Mafunzo katika Wavuti wa Mafunzo ya Umisheni.

Kanisa lote linaweza kufaidika kutokana na vifaa vinavyopatikana katika sehemu zifuatazo za mafundisho. .

• Mwito kwa wamisheni (jinsi ya kuongozwa na Roho Mtakatifu) • Uinjilisti na Uanafunzi • Umisheni (kuelewa lengo la kanisa na hila za kukuza kanisa) • Theologia • Uongozi na Utawala wa kanisa (kujua mpangilio wa kanisa) • Kufunza na Kuhubiri (sehemu ya kutafsiri Maandiko) • Kazi ya Uchungaji (Sheria za Ubatizo na Meza ya bwana) • Unabii wa Kimasiha (Kujua unabii unaomthibitisha Yesu kama Masiha na

kuonyesha tegemeo la Maandiko) • Utetesi wa Injili (kuwa tayari kutetea Injili wakati wote)

2. Uanafunzi Unaopatikana katika Mtandao

Page 31: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

31

Kenson Kuba, aliyefanya kazi kwa miaka kumi na mbili na Campus Crusade for Christ (Kundi la Kimataifa la Uinjilisti), inatoa vitabu vitano bure vya masomo ya Bibilia ya uanafunzi katika mtandao.

a. Jinsi ya Kuwa na Uhakika Wewe ni Mkristo, Kukua kwa Imani Yako, Shirikiana Kuhusu Kristo na Wengine na Kufikia hii Dunia kwa Kristo!

b. Jinsi ya Kuishi Maisha ya Kiroho na Kushinda Maadui Wako wa Kiroho.

c. Jinsi ya Kusoma Biblia na Kufunza Wengine!

d. Jinsi ya Kukabidhi Roho Yako Kabisa kwa Kristo!

e. Mashauri ya Uanafunzi

Hivi vitabu vitano vinaweza kupatikana kwenye mtandao ufuatao.

http://biblestudycd.com/

Tumia sehemu ya kufanya maandiko yawe rahisi kusoma juu ya komputa yako, ili uweze kusoma vitabu hivi kwa mtandao.

3. Uanafunzi katika makundi madogo ya masomo ya bibilia.

Kiunganisho kifuatacho kwa mtandao wa Campus Crusade for Christ unatoa ujumbe wa jinsi ya kuandaa makundi madogo ya masomo ya Biblia. Ina ujumbe chini ya kichwa “Kuanza na Kuongoza Kundi ndogo” inaweza tumiwa kwa utamaduni unao fanya kazi yako. Pia ina ujumbe mzuri kuhusu utangulizi wa uanafunzi kwa wakristo wapya iliyo chini ya kichwa “Kuanza Maisha Mapya ya Kikristo: Wazo kuu za Ufuatiliaji.”

http://godsquad.com/discipleship/index.htm

4. Mafunzo ya muda mrefu— Chuo cha Biblia cha Ames.

Chuo cha Biblia cha Ames kinatoa ukaguzi wa Agano la Kale na Agano Jipya, taratibu ya masomo ya Biblia ya kubuni, pia masomo mengine ya theologia katika mtandao ulio hapo chini. Kupata masomo haya, bonyeza katika Mfululizo wa Kupata Mafundisho. (Course Download Center.)

http://www.amesbible.org/virtualcampus.html

Kama Thiologia yetu haifanani na ile ilio katika mtandao uliopo hapo juu na kwa mitandao mingine, tunauhuru wa kutumia vifaa vinavyo tufaa, na kutojali vyingine. Lakini Thiologia yetu inafaa kuangazia maandiko, sio kwa utamaduni ama amri zingine.

5. Mafunzo ya muda mrefu

Page 32: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

32

ChristianCourses.Com, moja wapo ya huduma za RBC , inatoa masomo yaliounganishwa bure ya Agano la Kale na Agano Jipya, pia masomo ya Kuishi kwa Mkristo. Tazama mtandao ulio hapo chini. Ili uweze kutumia mtandao huo utahitaji kujiandikisha na kupeana anwani yako ya imeli na namba ya siri.

http://cc.christiancourses.com/

Chuo Kikuu cha Cathedral kinatoa msingi wa mafunzo ya Biblia kwa wanafunzi, pia mafunzo ya wahubiri katika mtandao ufuatao:

http://www.cathedraluniversity.com/index.asp

6. Kwa Muhtasari—Vitabu vya Biblia

Mtandao ufuatao unatoa sentensi moja ya juujuu ya kila kitabu cha Biblia.

http://www.bibleplace.com/biblebks.htm

7. Mafundisho, Sura - kwa - Sura.

Njia moja ya kuwafanya Wakristo wote kuwa wanafunzi ni kuchagua kitabu cha Biblia na kuwafunza kupitia hicho kitabu,ukianzia mlango wa kwanza hadi wa mwisho. Unaweza kuwasaidia wanafunzi kuelewa maana ya maandiko kwa mdhihirisho yalivyoandikwa. Roho Mtakatifu anaweza kukuongoza kwa hayo, pia unaweza kutumia vifaa vingi vinavyo husika na Biblia kama maelezo na kamusi zilizo katika mtandao ulio hapo chini.

Utataka kuwasaidia wanafunzi kutumia maandiko maishani mwao. Uliza maswali yanayorahisisha mazungumzo ukitafakari maandiko na vyenye wanafunzi wanavyo yachukulia. Uliza, kwa mfano, “Ukitii maandiko haya, maisha yako yatabadiliswa je?” Au, “Tunawezaje kutumia mafunzo haya leo?” Unaweza tamani kufunza ukutumia kitabu cha Yohana, kinacho onyesha Yesu Kristo ni Mungu. Au unaweza tamani kufunza ukutumia kitabu cha Yakobo, kinachotoa mwongozo wa maisha ya mkristo. Wacha Roho akuongoze kuchagua vifaa hasa vya wanafunzi wako.

8. Kijitabu cha Maelekezo cha Biblia na Maada Zinazohusiana.

Mtandao ufuatao kutoka chuo kikuu cha Atlantic Baptist unatoa maelezo ya maandishi kuhusu Biblia, Maarifa ya mambo ya Kale, tabia na desturi n.k.

http://www.abu.nb.ca/ecm/topics/books1.htm

9. Rasilimali za kibibilia.

Mtandao ufuatao unakupa matangazo, kamusi za Biblia, na rasilimali zenginezo.

http://www.preceptaustin.org/tool_commentary.htm

Vifaa hivi vya kibiblia vitawafaa waalimu na wanafunzi wanaposoma maandiko.

Page 33: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

33

Bwana na awe pamoja na roho yako. Neema na iwe pamoja nanyi 2 Timotheo 4:22).

4Strongs, Gr. 3101.

5C. I. Scofield, ed., Scofield Study Bible, (New York: Oxford University Press, 1967) , note to John 15:8.

6Hudson Taylor (quoting Matthew 9:38) in Waylon B. Moore, Building Disciples, (Tampa, Florida: Missions Unlimited Publishers, 1991) 35.

7Taylor, in Waylon B. Moore, Building Disciples, 35.

8Moore, Building Disciples, 35,36.

9Moore, Building Disciples, 36.

RUDI KWA MUHTASARI

Page 34: MAFUNDISHO YA UMISHENI - Missions Trainingmissionstraining.org/Kiswahili/Courses/UINJILISTI_NA...kukamilisha kazi ya umisheni. Uinjilisti na uanafunzi pia hufanyika katika tamaduni

34

UINJILISTI NA UANAFUNZI

X. Mahitaji ya Wanafunzi.

Wanafunzi wanaojifunza mafundisho haya ni lazima wafanye mambo yafuatayo ili wapite kozi hii:

1. Ukitumia muhtasari wa hapo awali kuza ushuhuda wako mwenyewe, andika ushuhuda wako mwenyewe ambao unaweza kuwasilisha kwa kuongea kwa dakika tatu. Peana ushuhuda ulio andika kwa mlezi wa wanafunzi, pamoja na kijikaratasi kinacho eleza kwamba umesha wasilisha ushuhuda wako angalao kwa mtu mmoja.

2. Ukitumia moja wapo au zaidi ya njia zilizotolewa katika mafundisho juu ya uinjilisti wako mwenyewe, shirikiana angalao na watu watatu katika mpango wa wokovu. Mpatie mlezi wa wanafunzi kijikaratasi kinacho eleza ya kwamba umemaliza uteuzi huo.

3. Kuza muhtasari mfupi (usio zaidi ya kurasa tatu) kwa mtalaa wa urefu wa miezi sita wa kuwafunza wanafunzi. Mpe mlezi wa wanafunzi muhtasari huu.

RUDI KWA MUHTASARI