Upload
mzalendonet
View
321
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 1/13
SIMULIZI ZA MKASA WA AJALI YA KILIMANJARO; MPAKA LINI WAHUSIKA
WATAENDELEA KUKINGIWA KIFUA? MPAKA LINI ‘MCHEZO’ HUU
WAKUENDELEA KUUWANA UTAKOMA !!!
Ajali hii ya Kilimanjaro II ya tarehe 5/1/2014 ni ya tatu kubwa katika kipindi kisichozidi
miaka miwili iliopita ajali ambazo kwa ujumla wake zimesababisha !i"o !ya watu na
kubakisha mayatima wajane na upweke usiomithilika katika nyoyo za wananchi wa
#n$uja na %emba& Ilikuwa majira ya saa 5' 42 nilipopata taari"a ya Ajali ya Kilimanjaro ii
kutoka Kwa m"anyakazi mwenzan$u wa (hirika la )ima la *anzibar kwamba meli hiyo
imezama ikitokea %emba&
+ilipewa taari"a hii kwa sababu miaka miwili iliyopita Aon ,anzania -imited kwa
kushirikiana na (hirika la )ima la *anzibar na mashirika men$ine tulikuwa tukizikatia
baadhi ya )ima za .eli za Kampuni ya Azam .arine&
Kama kawaida nilii"anyia kazi taari"a hii kwa kumuuliza mdo$o wan$u amabae naye ni
mmoja wa nahodha mzoe"u wa meli& +ilikuwa na uhakika atakuwa ameshapata taari"a
hizo& +aam alinijibu kuwa amepata taari"a hizo ila meli haikuwa imezama ilipata hitila"u
katika moja ya injin zake na ime"ika salama katika bandari ya #n$uja& ,aari"a hizi yeye
alizipata baada ya kuon$ea na +ahodha mwenzake )wana +assor Aboubakar ambaendie aliekuwa +ahodha wa sa"ari hiyo& (ikuridhika moja kwa moja na jibu hili kwa hi!yo
nilimpi$ia mtu mwen$ine ili anipe taari"a zaidi& +ilimpi$ia )wana Abdallah
amad.a$arawa mkaazi wa mjini *anzibar&
Abdallah wakati huo alikuwa tayari bandarini kwani ndu$u zake wanne walikuwa
wanatarajiwa kurudi kutoka %emba na meli hiyo na alishapata habari za meli hiyo tan$u
saa nne ya asubuhi& .ajibu ya Abdallah ni kuwa meli ilipata msukosoko na ilimwa$a
baadhi ya abiria ambao walikuwa wamekaa sehemu ya mbele& .toto mmoja kati ya
wanne alishapatikana akiwa hai ila alieleza kwamba wenzake aliwaona wakichukuliwa
na maji& )aba wa watoto hao )w Khamis Issa kwa wakati huo alikuwa ndani ya meli
akijaribu kuwasaka ili kupata uhakika wa kilichotokea&
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 2/13
akika tatu baadae nilipi$iwa simu nyen$ine kutoka %emba na )wana (ei" Alawi
akinipa taari"a ya mkasa huo& 3eye bila ya ki$u$umizi aliniambia kuwa watoto watatu
kati ya wanne waliokuwa sehemu ya mbele ya abiria wamezama na hakuna dalili za
kuokolewa& +adhani alikuwa anaelewa "ika udhai"u wa taasisi zetu katika kupambana
na maa"a& uwa tuko reacti!e badala ya kuwa proacti!e& Kwa aina hii ya
kupambana na majan$a tute$emea !ilio na maa"a makubwa zaidi ya haya siku chache
zijazo&
)aada ya baba ya watoto hao ku"anya uka$uzi wa abiria hakuweza kuwaona watoto
wake watatu kati ya wanne na hakukuwa na maelezo wako wapi kutoka kwa
wa"anyakazi wa kwenye meli wala o"isi ya mmiliki wa meli&
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 3/13
BANDARINI ZANZIBAR:
ABIRIA:
.ara baada ya meli kutia nan$a abiria waliruhusiwa kushuka kama !ile hakuna kitu
chochote kilichotokea& Abiria walio"ika salama waliruhusiwa kwenda makwao kama
utaratibu wa kawaida& Kuna baadhi ya abiria wachache ambao walipata majeraha
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 4/13
waliachwa waki$ara$ara kwenye ukumbi wa kupumzikia abiria bila ya huduma ya
kwanza&
6ananchi ambao wen$i wao walipata taari"a hizi kupitia simu zao za mikononi
walikusanyika bandarin bila ya kujua wapi watapata taari"a za jamaa zao walio"ika
salama na wale waliopotea& Ilikuwa ni hamkani& Kulikuwa na zaidi ya "amilia 17 ndani ya
bandari na wen$i zaidi walikuwa nje wakisubiri kupata taari"a za ajali na jamaa zao&
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 5/13
KIKAO KIDOGO BANDARINI
)ahati nzuri )wana Abdallah .a$arawa .r .asoud wa .ellenium )eka .a$arawa na
Khamis Issa baba wa watoto wanne waliokuwa wakisa"iri na baadhi ya watu kwa idadi
kama watano ambao nao walikuwa mion$oni mwa waliopotelewa walibahatika kuwa
baadhi ya wananchi walioin$ia ndani ya bandari na kutoa taari"a ya kupotelewa na
ndu$u zao& Kikao hicho hakuruhusiwa mwandishi wa habari wala mpi$a picha yoyote
kuin$ia& izi zilikuwa ni dalili tosha kuwa hakukuwa na uwazi katika kutoa taari"a na
mambo yalikuwa yaki"unikwa "unikwa tu hatujui kwa niaba ya nini serikali mmiliki wa
meli au wananchi&
+i "edheha kubwa kuelezea kilichotokea ndani ya kikao hicho& 6atu wen$ine
waliokuwa ndani ya Kikao ukiachlilia mbali tuliowataja hapo juu ni pamoja na
.heshimiwa Aboubakar Khamis 6aziri wa Katiba na (heria wa (erikali ya .apinduzi
ya *anzibar akiwa na )wana mmoja mwenye asili ya ,anzania bara ambae jina lake
hatukulitambuwa ndio waliokitawala kikao hicho& Alikuwepo +ahodha 8hie" 9n$ineer
.wakilishi wa mwenye meli )wana Abdulrazak .kuru$enzi wa )andari bwana Abdi
.wakilishi wa:eshi la %olisi :eshi la 6ananchi na watendaji wen$ine washirika la
bandari&
Kikao kili$ubikwa na dharau kebehi bezo na inda kwa wamiliki wa chombo +ahodhana .heshimiwa Aboubakar wote wakiwa na msimamo mmoja tu kuwa meli
haikumwa$a abiria hata mmoja ni mizi$o tu ndio iliyoan$uka baharini& :awabu lao
wakati watu wakilalamika lilikuwa moja tu bado hamjaturidhisha hamjatushawishi na
hatujaawamini huku +ahodha akizidi kushikilia msimamo wake kuwa mizi$o tu ndio
iliomwa$ika& :azba ilitawala kwa upande wa waliopotelewa na ndu$u zao wakitaka
wapewe maelezo ya ziada ya walipo wapendwa wao ikiwa meli haikumwa$a abiria&
6aliwaona wenzao wakilichukulia hili jambo kama mzaha& +i kweli halikupewa na"asi
yake iliyostahili
+i dhahir +ahodha alikuwa ametoa taari"a ya uon$o uku akiwa chini ya mwe!uli wa
.heshimiwa Aboubabakar& +dipo baadae tulipo$unduwa kuwa +ahodha ni mtoto wa
Aboubakar na alikuwa pale mahsusi kuja kumuhami mwanawe na sio kuwa"anyia
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 6/13
uadili"u wananchi& Kulikuwa na m$on$ano wa kimaslahi na mezani ilian$ukia upande
wa pili& amu nzito kuliko maji& ii ilikuwa chan$amoto kubwa kwani kulikuwa na
maelezo ya abiria kuwa watu wamezama ila abiria walio"ika salama waliharakishwa
waondoke sehemu ya bandari& kuna clip ya abiria aliepona shuhuda ya dakika 4'27
)aada ya mabishano ya takriban saa moja waathiriwa waliomba wenye meli basi
an$alau wawasaidie majeruhi kuwapeleka hospital na kama bado msimamo wao ni
kuwa abiria hawakuzama waelekee .kokotoni kujiridhisha& +asema kwa shin$o
upande .heshimiwa Aboubakar +ahodha Kampuni ya Azam marine na serekali
walikubali wazo hili na kila mmoja aliyekuwepo na kwa na"asi yake walielekea
.kokotoni&
TAFSIRI YA WAATHIRIKA NA JAMII ZAO
(erikali kwa upande wake haiku"anya juhudi zozote za uokozi au kuzi"anyia kazi taari"a
hizi hata punje& 6aziri wa .awasiliano kwa kauli yake mwenyewe alipokuja kuwahani
wa"iwa siku ya :umanne tarehe 7/1/2014 alikiri kuwa walipata taari"a juu ya ajali hii
kabla ya saa nne ;';0 < 4'00 jee tumuulize baina ya saa nne hadi saa = jioni
walipookolewa abiria watatu na maiti mbili zilipookolewa '
Serikali ilikuwa wapi na ilifanya nini katika juhudi za uokozi na uopoaje wamaiti?
Mmiliki wa meli wajibu wake ni nini baada ya ajali?
SAFARI YA KUELEKEA MKOKOTONI
.ara baada ya mkutano ambao haukuzaa jambo lolote la maana baada ya kuto"autiana
kimsimamo baina ya 6amiliki wa chombo na (erikali kwa upande mmoja na waathirika
kwa upande mwen$ine wamiliki kwa upande wao walishikilia kuwa hakuna abiria
waliozama na waathirika kwa upande wao msimamo wao ulikuwa meli ilimwa$a abiria
sa"ari ya kuelekea .kokotoni ilianza&
Kwenye majira ya saa 10 jioni tulipata taari"a kuwa kuna abiria watatu wameokolewa na
maiti mbili za watoto zimepatikana& Abiria watatu waliokololewa wanaitwa )wana +ahir
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 7/13
Ali Issa Ali .aulid aji na Ally (alum Alli & awa wote watatu walikuwa na ujuzi
mkubwa wa kuo$elewa na Allah aliamua kuwahi"adhi waje wawe mashahidi kwa
kilichotokea kwa wale tu waliopenda kusikia ukweli wa kisa hichi na wale waliokuwa
wakiikadhibisha kweli kwa maslahi bina"si& 6anasimulia jinsi wali!yojiokoa na
wali!yojitahidi kuwasaidia abiria wen$ine& (imulizi za kusikitisha baharini na !isa ndani
ya meli nita!iacha kwa sasa&
KUTAMBUA MAITI HOSPITALI YA KIVUNGE
,ulipata taari"a moja ya maiti iliyoopolewa ilikuwa ni ile ya mtoto mkubwa wa kiume wa
)wana Khamis Issa wa umri wa miaka 11 Akram Khamis Issa& 3eye alitambuliwa na
kaka yake& ,ukiwa tunaelekea Ki!un$e tulipata taari"a ya kuwa kuna maiti nyen$ine ya
mtoto wa )wana Khamis Issa imepatikana hii ilikuwa ni ile ya mtoto wa kike mwenye
umri wa miaka 10 +ashirah Khamis Issa&
ospitali ya ki!un$e kulikuwa na maiti tano nne kati ya hizo zilitambuliwa na moja
haikuweza kutambuliwa& ,ulichukua maiti zetu mbili ila wenzetu wen$ine walipatwa na
"adhaa nyen$ine hawakuwa na usa"iri wala uwezo wakuchukua maiti zao kwa wakati
huo& 8hakusikitisha zaidi hakukuwa na mtu wa serikali au mmiliki wa chombo wa
kuweza kuokoa jahazi& Kazi ikaachwa kwa uon$ozi wa ospital ku"anya maari"a yakuwasaidia wa"iwa& -azima niupon$eze uon$ozi wa ospital ya Ki!un$e kwa umahiri
wao mkubwa katika kuwahudumia maiti na wale waliokuja kuchukua maiti zao& %amoja
na kuwa hawakuwa na rasilimali resources ila juhudi zao zili"icha udhai"u wao& 6akati
serikali ikishindwa kuwasaidia wananchi an$alau kuchukua maiti zao kulikuwa na watu
wakipita wakikataza taari"a za maa"a zisitoke / zisisambae kwanini juhudi hizi za
kuchuja taari"a zisitumike kwa mambo mazuri resources should ha!e been used in
$ood course instead kama za uokozi na kusaidia wa"iwa an$alau kuchukua maiti zao
kwenda kuzihi"adhi>
MAZISHI BILA YA MWAKILISHI WA SERIKALI AU MMILIKI WA CHOMBO
Kwa bahati mbaya sana nilihamia ,anzania )ara zaidi ya miaka 25 iliyopita ila niliamini
kwenye misiba ya namna hii serikali na mmiliki wa chombo siku zote huwa wako mbele
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 8/13
katika kuwa"ariji wa"iwa alau kwa kuja kutoa pole kama si kushiriki mazishi kabisa& uu
ndio ustaarabu wa *anzibar niliouzoea& akukuwa na hata mmoja wapo kwa siku hiyo
na siku iliyo"uata& .aiti zile mbili zilizikwa siku hiyo yatukio usiku saa nne na nusu& (iku
ya pili tulihamia tena +un$wi kwa ajili ya kutambua maiti iliyobaki endapo zitapatikana&
,ulikutana karibu "amilia tano hospital ya Ki!un$e lakini hakuna maiti iliyopatikana siku
hiyo na hakukuwa na mtu yeyote wa serikalini aliyekuja kutoa maelekezo nini
kinacho"uata kwa wale waliokuwa hawakuona jamaa zao& .ambo yaliishia hi!yo hi!yo
kimya kimya&
atuku"anikiwa kupata maiti ya mtoto mmoja wa kiume wa miaka 5&
KUTEMBELEWA NA WAZIRI WA MAWASILIANO NA MAKAMO WA PILI WA RAIS
,unashukuru siku ya tatu tulipata na"asi ya kutembelewa na 6aziri wa .awasiliano
ambae alitoa udhuru kuwa alikuwa m$onjwa ila nayeye alitamani ashiriki kwenye
mazishi& #dhuru wake ulikubaliwa& .akamo wa ?ais .h (ei" (hari" amad yeye
alikuja kuwapa pole wa"iwa siku ya :umamosi&
AJALI IMEACHA MASWALI MENGI KULIKO MAJIBU
1& ,ulite$emea serikali ichukue hatua mua"aka na za haraka response time marabaada ya kupata taari"a za ajali& ,aari"a zilipatikana mapema kabla ya saa nne
hatua zilianza kuchukuliwa baada ya saa saba na baada ya waathirika
kuan$usha zo$o bandarini hiyo dharura iko wapi hapo> ,unakubali +ahodha
alitoa taari"a za uon$o ila serikali iliwajibika !ipi> Kwa maoni yan$u bina"si na
mtu yeyote mwenye busara za kawaida tu hi!i si!yo serikali iliyo makini
ina!yoshu$hulikia majan$a&
2& +adhani moja ya kazi ya orodha ya abiria wanaopanda meli ni kulin$anisha na
abiria wanaoshuka hasa meli inapokuwa imekumbwa na mikasa ya namna hii&
Kwa sababu kulikuwa na muda wa kutosha kati ya +un$wi na bandari ya #n$uja
tulite$emea mara meli baada ku"un$a nan$a mao"isa wa meli bandari na idara
zinazohusika wachukue orodha ya abiria wote walioshuka& ii kwa kulin$anisha
na orodha ya abiria waliopanda tun$ejua mambo ya"uatayo'
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 9/13
Abiria walio"ika salama
Abiria waliopanda meli ambao hawamo kwenye orodha ikiwa "ursa nzuri ya
kuwauliza walipandaje kwenye meli ama walitumia majina ya watu wen$ine
au walipandishwa na mabaharia kinyemela/ kienyeji
Abiria ambao hawaku"ika salama
Abiria ambao wasin$ehesabika ni wale tu ambao hawamo kwenye orodha na
hawakupanda meli kisheria& +adhani hawa idadi yao itakuwa ni ndo$o&
ili naamini lin$e"anyika lin$etoa mwan$a wa kutosha jinsi ya kuweka takwimu za
abiria& ili haliku"anyika& S"# "#$%&' ()(*+ , -.#)# %/# ,%0 $# $#$#?
;& ,ulite$emea kuona an$alau watu wa huduma ya kwanza pale bandarini
kuwasaidia waliopata mshituko na walioumia& Kilichotokea hakukuwa na hata
mtu mmoja wa huduma ya kwanza& .heshimiwa Aboubakar na wanzake
waliekwa ukumbi wa watu mashuhuri @I% -oun$e wakinywa kahawa na tende
wakati waathirika wakihan$aika jinsi ya kupata maiti zao na taari"a za ndu$u zao&
4& .imi nilite$emea serikali in$eratibu utaratibu wa wale wasiojiweza kuchukua au
kushu$hulikia kuta"uta maiti zao an$alau kwa kuwapatia usa"iri badala ya
kuwatelekeza kila mtu atoke ki!yake !yake& 6aathirika walisononeka sana& .tu
hukuwa na haja ya kuwa na % kujua walisoneneka kwa kiasi $ani ukian$alia
tu nyuso zao zilitosha kuona wana"adhaa ya kiwan$o $ani5& .imi siamini kama ule ustaarabu wa chini ya miaka ya mpaka 1=0Bs wa
ku"arijiana umekwisha na #n$uja imekuwa kubwa kiasi ambacho kwamba
mwenye meli hadi leo hajapata taari"a kuwa meli yake imeua& +ilite$emea
kumona siku ya pili ya msiba sio lazima yeye najua anawawakilishi wake&
+imeshan$aa kupewa jibu eti hana taari"a anate$emea taari"a zitoke
mbin$uni>
C& Kwa muundo wa meli zote sehemu ya dere!a brid$e huwa juu ili kuona mbele&
(uala linakuja ikiwa abiria waliomwa$ika walikuwa mbele je nahodha alikuwa
anaan$alia wapi>& +a je Kilimanjaro 2 haina ukubwa wa ,I,A+I8 wala DA(I( ni
meli ndo$o :e inain$ia akilini kuwa +ahodha asione mbele ya boti
Kinachotokea> i!i inawezekana dere!a wa $ari asione kinacho mwa$ika :uu ya
kioo au )onet ya $ari yake>& Kwa waliowahi kusa"iri kwa boti hizi naomba
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 10/13
tuaan$alie muundo kisha ,uyajibu masuala hayo& +aambiwa kwenye chumba
cha +ahodha kwa kawaida hukaa watu wanne kwa kupokezana ama +ahodha
8hie" 9n$inee A) Able (eaman 9n$ine ?oom Dutlook A"isa wa zamu
nakadhalika& ebu tuambiwe wakati meli inachota maji hadi inamwa$a abiria
nani na nani walikuwa kwenye hicho chumba> apo naweza nikakubali kuwa
hawakuona watu wakimwa$a kwa sababu hakukuwa na mtuE
7& (uala kubwa linakuja hapa& :e .h Abuubakar kwanini ali"ika mapema sana mara
baada ya tukio> Alipata wapi taari"a za tukio> :e alikuja pale kwa maslahi ya nani>
Au ndio ule msemo wa "unika kombe mwanaharamu apite>&
MWISHO:
+in$ependa kumalizia kwa mambo mawili ya"uatayo'
,umeshaona ajali tatu kubwa katika kipindi cha miaka miwili na tutaendelea
kuona nyen$ine nyin$i katika kipindi ki"upi kijacho jee tumeji"unza nini kutokana
na ajali hizi> Au tutaishia kuunda tume tu na kuziweka taari"a kwenye
makabrasha zikiota mwani na shi$iwashi>
)ado nashindwa kuamini hizi aina za meli zinazotoa huduma za kwenda %emba
kama zina uwezo wa kuhimili pilikapilika za mkondo wa +un$wi& Kumbukumbu
zan$u za .@ A"rika na :amhuri baadae .@ .apindizi na .aendeleo sikupatakusikia au kuona dhahma za namna hii pamoja na meli hizo kuwa zimechakaa
sana& +aamini hizi meli za kisasa ziko kwa ajili ya kipato zaidi au maslahi kwa
wamiliki na serikali kuliko usalama na huduma kwa wananchi& %ia nina wasiwasi
na +ahodha mabaharia na masarahan$e kama huwa wana ujuzi na uzoe"u wa
kutosha wa bahari& aiyumkiniki mara baada ya ajali mabaharia wawe wa
kwanza ku!aa !i"aa !ya uokozi wakiwaacha abiria wakihan$aika& +a hata meli
ilipo"ika lile tishio la +ahodha la kuwa eti hata tia nan$a hadi abiria wa!ue !i"aa
!ya uokozi ni tukio la kuhudhunisha zaidi& (awa hii ilikuwa ni kwa ajili ya
kujihami& i!i lipo kwenye muhtasari somo la maadili ya kazi za ubaharia>
(idhaniE ili sina utaalamu nalo hata kido$o& ,uwaachie wataalamu
walichambue&
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 11/13
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 12/13
Kwa kumalizia nisin$ependa kuwa mwizi wa "adhila kwa serikali yan$u ya .apinduzi
naipon$eza kwa kutimiza .iaka amsini sawa na #mri wan$u& +aamini baada ya
sherehe serikali sasa itakuwa imeshika na"asi yake na kuanza kushu$hulikia matatizo
na kero za wananchi nikiamini na hili lipo katika dondoo zake
MAPINDUZI DAIMA
8/13/2019 Mkasa Wa Kilimanjaro 2 (1)
http://slidepdf.com/reader/full/mkasa-wa-kilimanjaro-2-1 13/13
Khamis (uleiman
.saidizi wa Kion$ozi wa wa"iwa Khamis Issa F (hari"a Abdallah
Mwandishi ni mzaliwa wa Zanzibar na alipata elimu yake ya msingi na upili Zanzibar
kabla ya kuhamia Tanzania bara baada ya kumaliza elimu yake ya juu. Ana uzoefu wa
Bima za mali za ajali wa takriban miaka 30 na amejikita zaidi kwenye Bima za Meli na
Mizigo