151
HUKuMU ZA ‘IBÂDA KATIKA MSIMU WA MASIKA Kulingana na Sunnah iliyotwahirika Muandishi SheIKh ‘ALî hASAN ABDULhAMeeD AL- Halabî al-athary Mfasiri Muhammad Awadh Salim Basawad

MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

  • Upload
    others

  • View
    6

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

HUKuMU ZA ‘IBÂDA KATIKA

MSIMU WA MASIKA

Kulingana na Sunnah iliyotwahirika

Muandishi

SheIKh ‘ALî hASAN ABDULhAMeeD AL-Halabî al-athary

Mfasiri

Muhammad Awadh Salim Basawad

Page 2: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Haki Ya Uchapishaji

©HAKI YA UCHAPISHAJI

Uchapishaji wa kitabu hiki ni milki ya kiufundi ya “THE QURAN AND SUNNAH SOCIETY OF EAST AFRICA”. Kila kilichomo ndani, kwa ujumla, ni hifadhi ya qssea. Hairuhusiwi kuiga kwa njia yoyote iwayo kutoka kwa wachapishaji asili; hivyobasi uchapishaji wa kitabu hiki utahitaji ridhaa kutoka kwa muandishi. Iwapo chochote kutoka kwenye kitabu hiki kitatumiwa kama sehemu ya shirika jengine la kiufundi ama isokuwa hivyo, basi ruhusa kutoka QSSEA itahitajika. Ruhusa inaweza kuombwa kutoka kwa: The Qur‟an and Sunnah Society of East Africa, P. O. Box 85477, Mombasa, Kenya. Nambari ya Simu ni +1.647.632.3863 Ama kwa Barua Pepe (e-mail)- [email protected] web-site – www.qssea.net

ISBN 978-9966-1824-1-8 Chapa ya Kwanza: Nakala 1000 [2015 CE / 1436 H]

JUMUIYA YA QUR’AN NA SUNNAh YA AFRIKA YA MAShARIKi

Page 3: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Yaliyomo

i

Yaliyomo

MALENGO YETU ................................................................. I

UTANGULIZI ................................................................... VI

MLANGO 1 ...................................................................... 1

Suala La Mvua Kwa Ujumla................................................... 1

Mas‟ala Yenye Umuhimu ................................................... 1

Neno Ash-Shitâ‟ ............................................................. 1

Athari Za Sayari Juu Ya Hali Ya Hewa ................................... 2

Utabiri Wa Hali Ya Hewa .................................................. 4

Ukame ........................................................................ 6

Ulinganishi Baina Ya Mvua Na Hadd ...................................... 7

Ibara Tafauti Za Mvua ...................................................... 8

MLANGO 2 ..................................................................... 11

TWAHARA ...................................................................... 11

Maji Ya Mvua ............................................................... 11

Kutawadha Kwenye Baridi ................................................ 12

Kutojali ................................................................... 13

Maji Ya Moto ............................................................. 13

Kujikausha ............................................................... 14

Page 4: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Yaliyomo

ii

Tope Na Maji Machafu .................................................... 16

At-Tayammum ............................................................. 17

TANBIH ................................................................... 18

Al-Mas-h: Kupangusa Juu Ya Khuff Na Soksi (Al-Jawrabayn) ........ 18

Maana Ya Jawrab ....................................................... 20

Yafaa Kufanya Mas-H Juu Ya Makubadhi ............................ 21

Soksi Au Khuff Zenye Tundu ........................................... 22

Muda Unaopasa Kwa Mas-H ............................................ 24

Ufafanuzi: ................................................................ 26

Sharuti Za Kuvaa Soksi Ukiwa Katika Twahara ...................... 28

Jee, Kuvua Soksi Baada Ya Kufanya Mas-H Kunavunja Wudhû‟ .. 31

Tanbih .................................................................... 33

Kuvaa Soksi Juu Ya Soksi Nyengine ................................... 34

Jee, Wakati Wa Mas-H Ukimalizika Wudhû‟ Hutanguka Wenyewe?

............................................................................ 34

Ni Lazima Kutia Niya Ya Mas-H, Au Ya Wakati Wa Muda Wa Mas-

H? .......................................................................... 36

MLANGO 3 ..................................................................... 37

ADHĀN ......................................................................... 37

Muadhini Katika Wakati Wa Mvua Au Baridi ........................... 37

Page 5: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Yaliyomo

iii

MLANGO 4 ..................................................................... 41

SWALA .......................................................................... 41

Kuchanganya Swala Mbili (Al-Jam‟u) ................................... 41

Uwajibu Wa Kuchanganya Kwa Dalili ................................. 41

Kuzichambua dalili...................................................... 43

Ikhtilafu Katika rai za ma-fuqahâ..................................... 45

Kuchanganya Dhuhr na „Asr ........................................... 46

Jinsi Ya Kuchanganya ................................................... 47

Niya ya kuchanganya ................................................... 49

Kuishi karibu au mbali ya msikiti ..................................... 50

Shuruti Za Mwenye Kuchelewa Kwenye Swala Ya Kuchanganya .. 51

Kuchanganya Katika Mahali Pasipokuwa Msikitini .................. 52

Hapa Kuna Sampuli Mbili ................................................. 52

Nyumba Na Muswalla ................................................... 52

Mtu Binafsi Na Jamâ‟ah ................................................ 53

Kuchanganya Baada Ya Kumalizika Kwa Jamâ‟ah Ya Kwanza ... 53

Swala Za Sunnah Tunapochanganya .................................. 54

NUKTA MUHIMU ......................................................... 56

Adhân Na Iqâmah Hutekelezwa Vipi Swala Zinapochanganywa?! 57

Page 6: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Yaliyomo

iv

Mas‟ala Mengine Ya Swala ................................................ 59

Swala Ya Mvua – Swalāt Ul-Istisqâ‟ ................................... 59

Swala Ya Ijumaa – [Swalât ul-Jumu‟ah) ............................. 64

Mas‟ala Kuhusiana Na Kuinua Mikono ................................... 66

Nukta Ya Kwanza .......................................................... 66

Nukta Ya Pili ................................................................ 67

Swala Ya Hofu (Swalât Al-Khawf) .................................... 68

Hukmu Za Ujumla Za Swala .............................................. 68

Kuufinika Mdomo ........................................................ 68

As-Sadl .................................................................... 69

Kuvaa Jiguo Zito ........................................................ 70

Tanabahi ............................................................... 71

Glavu ..................................................................... 71

Swala Haliyakuwa Umeelekea Moto .................................. 71

Sababu Mbili Za Umakuruhu ........................................... 72

Kuswali Juu Ya Mnyama Wa Kipando Au Ndani Ya Gari Kwa

Kuchelea Aina Fulani Ya Madhara .................................... 77

Kuswali Mapema Kwenye Siku Za Kiwingu ........................... 77

[At-Tabkîr Bis-Swalâh] ................................................. 77

Page 7: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Yaliyomo

v

MLANGO 5 ..................................................................... 79

AL-MASÂJID .................................................................... 79

Kukatiza Mistari Kutokana Na Vipasha-Moto ........................... 79

Kusimamisha Swala Katika Wakati Wake Kwenye Masjid Baada Ya

Kuwa Imeshaswaliwa Kwa Njia Ya Kuchanganywa (Jam‟u) .......... 81

MLANGO 6 ..................................................................... 83

SWIYÂM ........................................................................ 83

Kufunga Katika Siku Ya Kiwingu ......................................... 83

Munapofungua Swaum Zenu Wakati Wa Ramadhân Kisha Jua

Likajitokeza ................................................................ 84

Hukmu Ya Aliyefunga, Anapokula Theluji .............................. 86

Swaum Ya Fursa ............................................................ 87

MLANGO 7 ..................................................................... 88

ZAKÂH .......................................................................... 88

ZAKÂH .......................................................................... 88

MLANGO 8 ..................................................................... 90

JIHÂD ........................................................................... 90

MLANGO 9 ..................................................................... 92

ADHKÂR ........................................................................ 92

Du‟â‟ Ya Al-Istisqâ‟ [Maombi Ya Mvua).................................... 92

Page 8: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Yaliyomo

vi

Du‟â‟ Utokeapo Upepo Mkali ............................................. 92

Du‟â‟ Unapo-Ona Mawingu Ya Mvua .................................... 93

Du‟â‟ Unaposikia Ngurumo Za Radi ..................................... 94

MLANGO 10 .................................................................... 96

ALAMA ZA QIYAMA ............................................................ 96

MLANGO 11 .................................................................... 97

Faida na mas‟ala ............................................................. 97

Kutoka Kwa Mola Wake ................................................... 97

Faida Muhimu ............................................................ 97

Kuzama ...................................................................... 98

Nyumba Kushika Moto ..................................................... 99

Hali Ya Joto Au Baridi Za Kupita Kiyasi ............................... 100

MLANGO 12 .................................................................. 101

HADÎTH DHA‟ÎF .............................................................. 101

Hadîth Ya Kwanza ....................................................... 101

Hadîth Ya Pili ............................................................. 101

Hadîth Ya Tatu ........................................................... 102

Hadîth Ya Nne ............................................................ 102

Hadîth Ya Tano........................................................... 103

Page 9: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Yaliyomo

vii

Hadîth Ya Sita ............................................................ 103

Hadîth Ya Saba ........................................................... 104

Hadîth Ya Nane .......................................................... 104

Hadîth Ya Tisa ............................................................ 105

Hadîth Ya Kumi .......................................................... 105

Hadîth Ya Kumi Na Moja ................................................ 106

Hadîth Ya Kumi Na Mbili ................................................ 107

Hadîth Ya Kumi Na Tatu ................................................ 107

Hadîth Ya Kumi Na Tatu ................................................ 108

Hadîth Ya Kumi Na Nne ................................................. 108

MLANGO 13 .................................................................. 109

KIAMBATISHO CHA ZIYADA ................................................ 109

Uchunguzi Wa Rai........................................................ 109

Baada Ya Hayo ........................................................... 129

MLANGO 14 .................................................................. 130

MWISHO ...................................................................... 130

Page 10: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

I

2

MALENGO YETU

1) Kurudi katika Qur‟ân Tukufu na katika Sunnah za Mtume ( عليه الله صلى

-na kuzitafakari zote hizo mbili kulingana na ufahamu wa as (وسلم

Salaf us-Swâlih (watu wema waliotutangulia), twamuomba Allâh awe radhi nao hao wote, katika kuyatendea kazi matamshi ya

Mola wetu (عز وجل): ل لرسل ٱيشاكق و ا حبي بػد دى ٱ ويتتع غي سبيو لي ٱ ؤ ل ل ل وطي ۦ ا ح وساءت مطيا ۦ ١١٥ج

“Na anayemwasi Mtume baada ya kumdhihirikia uwongofu na akafuata njia isiyokuwa ya Waislamu, tutamgeuza

alikogeukia mwenyewe na tutamwingiza katika Jahannam; napo ni pahali pabaya kabisa pa mtu kurudia.”1

Na katika matamshi yake, aliye epukana na kila sifa ya upungufu, aliposema:

خ ة فإن ا ءا رو ا ة ٱػلد ۦءا خدوا ١٣٧ “Basi wakiamini hao (Manaswara na Mayahudi) kama mnavyoamini (nyinyi)2, itakuwa kweli wameongoka.”3

1 An-Nisā‟ 4:115 2 Maneno haya hapa wanaambiwa Maswahaba wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ). 3 Al-Baqarah 2:137

Page 11: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

II

2) Kutakasa kila kitu chenye kuyahusu maisha ya Muislamu

kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo vya „Ibâdah, na mifumo ya upotofu iliyozuliwa kutoka nje ya dini na kuitakasa Sunnah kutokana na riwaya za kuzuliwa zilizobadilisha hali halisi takatifu ya Uislamu mpaka ikawa ndiyo sababu ya kuwazuiya Waislamu wasiendelee mbele, katika kuzinduka juu ya majukumu yanayotokamana na „ilmu na kutokamana na maneno ya Mtume

wetu mtukufu ( وسلم عليه الله صلى ) pindi aliposema:

ك خيف غدول ، حفن خ تريف اىغاىين ، » ذا اىػي و ييين ويو الجا

تعيين ، وحأ «واخدال ال

“Itabebwa „Ilmu hii na watu walio waaminifu wa kila zama (vizazi) - wataondoa kutoka ndani yake mabadiliko yaliyoletwa na wale wenye kupindukia mipaka, madai ya batili ya warongo,

na tafsiri potofu za wajinga.”1

Na katika kuwa chini ya twa‟a ya Allâh ( وتعالى سبحانه ):

ا عل ٱوتػاو ٱو ىب ى ٱول تػاوا عل لتل ذ ٢ ىػدو ن ٱو ل“Na saidianeni katika wema na taqwa, wala msisaidiane

katika dhambi na uadui.”2 3) Kuwaelimisha na kuwavuna Waislamu wakiwa kwenye dini yao ya

Hakki na kuwalingania watekeleze kulingana na sheriya zake na wavune katika nafsi zao uadilifu wake na adabu zake, mambo ambayo yatakayo kuwahakikishia radhi za Allâh na kupata matokeo ya kustawi katika hali zao na kuheshimika, itakapokubaliana na maelezo katika Qur‟ân kulihusu kundi litakalo okolewa katika maangamivu:

1 Swaheeh - Imepokewa na Ibn „Adiyy, Ibn „Asâkir, Abû Nu‟aim na al-Khatîb.. 2 Al-Mā‟idah 5:2

Page 12: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

III

ا ة اض لق ٱوح ا ة اض ب ٱوح ٣ لط“Na wakausiana (kufuata) haki na wakausiana (kushikamana) na

subira (kustahamiliana).”1

Bali (yeye atawaambia), “Kuweni wenye kumuabudu Allâh. Kwa sababu mnafundisha Kitabu na kwa sababu mnakisoma.” 4) Kuhuisha fikra za kihakika za Uislamu juu ya miangaza ya Kitabu

na Sunnah na kwa ufahamu wa Salaf us-Swâlih wa Ummah huu na kuondoa kufuata madh-hab ki-upofu kulikotuama na kuwa mshupavu katika kushikamana na vyama tena kwa njia ya upofu, jambo ambalo lililoshinda fahamu za Waislamu wengi na kukawazuiya wao kutoka kwenye undugu ulio safi wa Uislamu,

kama ulivyoamrishwa kwa amri ya Allâh ( وتعالى سبحانه ):

ٱو ا ٱبتو عخط لل ا ك ١٠٣جيػا ول تفر“Na shikamaneni kwa kamba (dini) ya Allāh nyote, wala

msiachane.”2

Vilevile na Mtume wake ( وسلم عليه الله صلى ):

اا » إخ «وكا غتاد الله“Na kuweni ni wenye kumuabudu Allāh, ndugu moja”3.

5) Kutoa suluhisho la utendakazi kwa misingi ya ki-Islamu katika

kukabiliana na matatizo ya kileo na kuongeza juhudi katika kurudi kwenye njia ya kweli ya maisha ya ki-Islamu juu ya njia ya Mtume

( وسلم عليه الله صلى ) na kuzalisha jamii inayo ongozwa na

yaliyoteremshwa (wahyi), kwa kutumia sheriya za Allâh kwenye ardhi, shughuli yenyewe ianzishwe kwa urekebishaji (tasfiyah) na

1 Al-Āsr 103:3 2 Āli „Imrān 3:103 3 Al-Bukhārī na Muslim.

Page 13: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

IV

kuimarisha „ilmu na kuvuna (tarbiyah), kama alivyosema Allâh

( وتعالى سبحانه ):

ث ٱو ىهت ب ٱويػي له ١٢٩ويزكي“... na kuwafundisha Kitabu (chako) na hikma (nyingine) na

awafundishe kujitakasa (na kila mabaya)...”1

Huku tukikumbuka maneno ya Mola wetu ( وتعالى سبحانه ) kwa Mtume wake

( وسلم عليه الله صلى ):

م بػظ ا ري يٱفإ ا يرجػن ل م فإلح ي ػ و نخ أ ٧٧ػد

“Na kama tukikuonyesha baadhi ya yale tuliyowaahidi au tukikufisha (kabla hajayaona, hapana shaka kuwa yatakuja,

kwani wote) watarudishwa kwetu.”2 Na ukizingatia msingi wa kisheriya: “Yule mwenye kuharakisha jambo litokee kabla ya wakati wake uliokadiriwa huadhibiwa kwa kukoseshwa mafanikio yake..” 6) Kuwakaribisha kwa furaha wale ambao hawajawahi kubarikiwa na

„ilmu ya haki na uongofu wa Uislamu ambao ndio uliokuwa ujumbe wa Allâh ulioteremshwa wa mwisho uliokamilika kwa viumbe vyake, ili nao wapate mazingatio ya amani na kuridhika kwenye maisha haya ya ulimwenguni na furaha ya milele ya akhera.

Huu ndio ulinganizi wetu na sisi twawalingania Waislamu wote watusaidie katika kujitweka jukumu hilo ambalo ndilo litakalowaamsha na kuwainua daraja zao na kuusambaza ujumbe wa kudumu wa Uislamu kwenye pembe zote za ulimwengu, kwa moyo wa undugu na mapenzi, tukiwa na matumaini mkubwa ya usaidizi kutoka kwa Allâh na hapana shaka yakwamba atawathibitishia na kuwapa uwezo watumwa wake wema:

1 Al-Baqarah 2:129 2 Al-Ghâfir (40):77

Page 14: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

V

ي ۦولرسل ىػزة ٱولل ؤ ٨ولي“Na utukufu haswa ni wa Allâh na Mtume wake na wa

Waislamu.”1

ي ٱ رسو رسل ل ۥأ دى ٱة ل ره لق ٱودي ٱعل ۥلحظ ۦك لي ول

شكن ٱنره ٩ ل“Yeye ndiye aliyemtuma (aliyemleta) Mtume wake (Nabî

Muhammad) kwa uongofu na kwa dini ya hakki ili kuifanya ishinde dini zote, ijapokuwa washirikina watachukiwa.”2

1 Al-Munâfiqûn (63:8) 2 Swâff (61):9

Page 15: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

VI

2

UTANGULIZI WA MTUNZI

Hapana shaka kila sifa njema ni yenye kumstahiki Allâh,

tunamsifu yeye, tunamuomba yeye, na tunamtaka msamaha. Twajilinda kwa Allâh kutokamana na uovu wa nafsi zetu na madhara ya amali zetu. Yoyote aliyeongozwa na Allâh, hapana awezae kumpotoa, na yoyote aliyeachwa kupotea na Allâh, hapana awezae kumuongoza. Nashuhudia yakwamba hapana anayestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allâh peke yake, pasi na mshirika yoyote. Nashuhudia yakwamba Muhammad ni mtumwa wake na Mtume.

Maandishi haya ya ki-ilimu, yaliyokusanya mas‟ala yenye umuhimu mkubwa, yamedondolewa na kukusanywa kutoka kwenye vitabu vyingi mashuhuri kwa min-ajil ya kuleta madda hii kwa Ummah wa ki-Islamu, na kuwarahisishia wanafunzi na wenye kufanya utafiti. Kimepangwa kulingana na milango ya fiqhi, kwahivyo labda, (kwa kupatikana) kitabu hiki, huwenda misimamo ya sawasawa ikapatikana.1

1 Katika “al-Muntakhab min Makhtûtwât al-Hadîth fi adh-Dhâhiriyyah” Uk. 72, kilichoandikwa na Sheikh wetu, mwanachuoni mkubwa, Muhaqqiq, Muhammad Nâsir ud-Dîn al-Albânî, ametaja kutoka kwenye kitabu cha Sheikh Yusuf Bin „Abdul-Hâdi aliyekufa mnamo 909 H, kiitwacho “Irshâd al-Fatâ ilâ Ahâdîth ash-Shitâ‟”, na Allâh ni mjuzi zaidi. Imâm Ibn Abi ad-Dunyâ (281 H) ana kitabu kiitwacho “al-Matwar war-Ra‟d wal-Barq war-Rîh”, ambacho

Page 16: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

VII

Kadiri ya nilivyoweza, nimekiandika kulingana na mfumo wa dalili na ushahidi, bila ya kutia rai wala kumnukuu mtu, isipokuwa tu pale ambapo panapohitaji ufafanuzi na muongozo – ijtihâd za wanavyuoni wakubwa zilikuwa na umuhimu katika baadhi ya hukmu . kwa hakika, Allâh peke yake, ndiye anayestahiki kusifiwa, hii; “Ndiyo desturi yetu kuhusiana na mas‟ala yote ya Dini yawapo ni makubwa au madogo; sisi tunasema yenye kuhitajika kutoka kwetu, hatuwatekelezei baadhi kwa kuwatumia wengine, sisi hatuchukuwi msimamo na kundi moja dhidi ya ukweli ulioshikiliwa na kundi jengine, sisi hutafautiana nalo pale linapokhalifiana na ukweli peke yake, na hatubagui hapa kwa kundi lolote au mifumo yao.”1 “Sisi tunawaunga mkono wanavyuoni wa ki-Islamu, tunaidhinisha rai zao zinazokubaliana na Kitabu na Sunnah, sio kulingana na maneno ya mtu yoyote awae – hata awe nani. Sisi hatuchukui kutoka kwa

asiyekuwa Allâh au Mtume wake ( وسلم عليه الله صلى ) ambapo watu wa

kawaida huangukia kote kuwili, kupatia ama kukosea. Huu ndio msimamo wetu juu ya yote tuyasemayo, na wala haturuhusu, bali, tunakataza kinyume chake katika suala lolote lenye kumukhalifu Allâh

na Mtume wake ( وسلم عليه الله صلى ). Ni jambo hili tulilokabidhiwa na ma-

Imâm wa Uislamu, huu ndio mkataba wao na sisi, kwahivyo tunafuata manhaj yao, njia yao na uongofu wao, bila ya kuwajali wale wenye kutupinga, na kwa hakika umaizi hupatikana kutoka kwa Allâh peke yake.”2

Kwahiyo namuomba Allâh ( وتعالى سبحانه ) yakwamba anisaidie katika

niliyoyataja, na namuomba anihifadhie manufaa yangu ninapostahiki, na Allâh ndiye tunayemuomba, na juu yake ni amana. Abû al-Hârith al-Halabi al-Atharî Az-Zurqâ: Rajab 5, 1415 H

khati zake za asili kinapatikana mjini Kubrili, Turkey (no.388) kama ilivyotajwa kwenye “Dhaylu Târîkh Bruwklamâni” 1:248. 1 Ibn al-Qayyim, “al-Furuwsiyah” Uk. 342. 2 Ibn al-Qayyim, “Tarîq al-Hijratayn” Uk. 393.

Page 17: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

VIII

(December 8, 1994)1

1 Nukta ya Abû Khaliyl: Huwenda msomaji akafaidika akijua yakwamba nakala ya kitabu kilichotumiwa kwa shughuli yetu ya kukifasiri kilipokewa kutoka kwa Sheikh „Ali wakati alipokuja kutuzuru nchini Marekani mnamo mwishoni mwa December 1996. Alitueleza furaha yake baada ya kujua yakwamba shughuli hiyo imeshaanza, akitufahamisha yakwamba hicho ni kitabu kizuri mno kwa Waislamu wanaozungumza lugha ya ki-Ingereza (kiswahili). Zaidi ni kwamba, akasema kuwa hakuna anachotaka kuongeza au kubadilisha kwenye chapa ya kwanza ya kitabu chake. Hatahivyo, napendelea kumzindua msomi wa kiarabu afahamu yakwamba ingawa kwenye ukurasa wa ndani katika nakala tuliyopewa na Sheikh „Ali, imeeleza kuwa hiyo ni chapa ya kwanza, iliyochapishwa nchini Jordan mnamo 1995, imetafautiana na chapa za chapa hiyohiyo, tulizokuwa nazo hapo awali, isipokuwa tu kwenye mas‟ala ya majadiliano kwa urefu kuhusiana na kuunganisha swala, tuliyoyaweka kwenye Mlango wa kiambatisho. Kwa hali hiyo, aliuandika tena mlango wote huo, twamuomba Allâh amlipe kheri nyingi na amzidishie faida kwenye shughuli zake.

Page 18: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

IX

2

UTANGULIZI WA KITABU

Shukrani na Sifa zote njema nazitoa kwa Allâh, Mwingi wa Rehema, na swala na salam Zake Allâh zimshukie Mtume wake wa mwisho, Muhammad [Swallallâhu „alayhi wasalam], pamoja na ahli zake na Maswahaba kwa ujumla.

Pia natoa shukrani nyingi kwa ndugu yangu, kipenzi changu, Abû Farida kwa juhudi kubwa aliyoifanya katika kukifasiri kitabu hiki cha mwanachuoni mkubwa katika zama zetu - Sheikh „Ali Hasan al-

Halabi (حفظه الله), Allâh awalipe kila la kheri na aja‟aliye katika mizani

ya mema yao. Napenda kuwasihi Waislamu kwa ujumla wakisome kitabu hiki na wafaidike na yale yaliomo ndani yake, na wala wasighurike na maneno ya wavundifu ambao hushindwa kulitazama Jua kwa ubovu wa macho yao na kukosa ladha ya maji kwa ugonjwa wa vinywa vyao.

Nawahimiza waone kheri ya mafundisho haya na wahisi ladha

ya tamu iliyomo ndani ya kitabu hiki ili tunufaike sote kwa ujumla – Âmîn.

حب إلمج أشخغفرك وأ

ن ل إل إله أ

دك أطد أ ه وب شتدام اليه

Page 19: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

X

Abû „Abdulrazzâq Haruna Rasi Hamisi. Kichalikani, Tanga. Tanzania.

27th April, 2015 / ٨ / رجب / ٦٣٤١ م

Page 20: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

XI

2

UTANGULIZI WA MFASIRI

Kila Sifa njema zinamstahiki Allâh, nashuhudia yakwamba hapana mola anayepaswa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allâh, twamuomba

Allâh amfikilizie Swala na Salamu, Mtume wetu Muhammad ( عليه الله صلى

.na „Aali zake na Maswahaba zake hadi siku ya Malipo ,(وسلم

Ammâ ba‟d:

Baada ya Himdi na kumswalia Mtume wetu Muhammad ( الله صلى

وسلم عليه ), sina budi kumshukuru Allâh ( عز وجل ) kwa kunipa kutoka katika

fadhla zake – wasaa, uwezo na moyo – wa kutekeleza jambo hili la kheri la kufasiri kitabu cha Sheikh wetu, al-„Allâmah, al-Muhaddith,

Sheikh „Ali bin Hasan bin „Abdulhamid al-Halabi, al-Athary ( الله حفظه ).

Katika mfumo wa tafsiri ya kitabu hiki, nimetumia chapa ya pili ya kitabu chenyewe cha “Ahkâm ash-Shitâ‟” pamoja na tafsiri ya kiingereza iliyopewa anwani “Fiqh Regulations...”. Hii tafsiri ya kiingereza ilitegemea chapa ya kwanza ya kitabu hiki ndio utakuta katika tafsiri hii yetu muna faida ya ziyada kwa msomaji.

Ama kuhusu utenda kazi katika tafsiri hii, namshukuru ndugu yangu, rafiki yangu na pia mwalimu wangu wa lugha ya kiarabu, ustadh Abû Luqman Shariff Nasîb kwa ushirikiano wake mkubwa katika kufanya tahqîq bila ya kuonyesha machofu. Nimeifurahikia kazi yake hiyo na namuombea Allâh amjazi kheri nyingi na amzidishie ucha Mungu na amlinde kutokamana na shari za maadui wasiopenda kheri

Page 21: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Utangulizi

XII

ifanyike miongoni mwa watu na majini. Na kama kawaida yangu kwenye vitabu ninavyovifasiri, siwachi kuzidi kumuombea Allâh azidi kumuhifadhi Ustadh wangu, Abu Bilâl Athman bin Na‟mân, ambaye hawachi kunihimiza kuendeleza hizi shughuli za kufasiri vitabu katika lugha yetu ya Kiswahili. Kwa hakika namshukuru kwa kunipangia majukumu hayo, kwani katika mujtama‟ mas‟ala yanayohusiana na „ilmu ya kisheriya hayana budi kutekelezwa.

Hatimae nachukuwa fursa hii kuwahimiza ndugu zangu Waislamu wajihimize wao wenyewe na kuwahimiza wenzao wawe na desturi ya kupenda kusoma. Tukijibidiisha kusoma, ndio tutafunguwa mlango wa kuilimika, hususan, vitabu vya dini. Kwa kufanya juhudi hiyo, kwanza tutakuwa tumejikomboa kutoka kwenye ujinga (wa dini), na pili tutakuwa ni wenye kuitetea dini yetu, kwa sababu huwezi kutetea jambo ukiwa wewe ni mjinga nalo. Kwa haya machache nawashukuru kila aliyechangia kuona yakwamba tafsiri hii imefaulu,kuanzia kwa watu wa nyumba yangu, majirani zangu na ndugu zangu Waislamu popote walipo.

« ، ن يجػيا داة خدي، إه ولي ذلم واىلادر غيين يخخ لنا بير، وأ

وأ

تتاغ صداة وأ

د وعلى آل وأ ه وصلى الله وشي على غتده ورشل بيا م

« إلى يم الدي ةإخصان Abû Farida Muhammad Awadh Sâlim Basawad Mombasa, Kenya. 1st May, 2015 CE

٦٣٤/ / رجب ٦١ م

Page 22: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

1

MLANGO 1

Suala La Mvua Kwa Ujumla

Mas‟ala Yenye Umuhimu

Kabla ya kuanza maelezo kuhusu hukmu za fiqhi zinazofungamana na ash-Shitâ‟ (au majira ya baridi), na mas‟ala yenye kuhusika, napendelea kuwaletea baadhi ya nukta zaidi za ujumla kwa wasomaji zinazohusiana na madda hii.

Neno Ash-Shitâ‟

Neno hili ash-Shitâ‟, limetajwa mara moja peke yake kwenye Qur‟ân

Takatifu, pindi aliposema Allâh ( وتعالى سبحانه ):

يل ف ۦإ ١كريش ل خاء ٱرحيث ل ف يف ٱو لش ٢ لط“Kuzoweya kwa Makuraish. Kuzoweya kwao na safari za kusi

( ash-Shitâ‟ - kuelekea Yemen) na za kaskazi ( as-Swayf - kuelekea Sham safari za kibiashara n.k).”1

Imâm Mâlik amesherehesha, “Ash-Shitâ‟ ni nusu ya mwaka na as-Swayf ni nusu ya mwaka.2

1 Quraish (106): 1-2 2 Tafsîr al-Qurtubî 20:207.

Page 23: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

2

Kuna wengine wamesema, “Misimu ni Minne: Majira ya baridi, Majira ya kuchipua, Majira ya joto na Majira ya kupukutika.” Haya yalipokewa na Qâdhi Abû Bakr bin al-„Arabi, kisha akasema, “Lakini aliyoyasema Mâlik ni ya sawa, hususan ukizingatia ukweli yakwamba Allâh amezigawanya hali za anga kwenye sehemu mbili, sio tatu (au zaidi ya hizo).”1

Athari Za Sayari Juu Ya Hali Ya Hewa

Amesema Swahaba Zayd bin Khâlid ( عنه الله رضي ):

“Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali swalât as-Subh (alfajiri)

alipokuwa al-Hudaybiyyah baada ya usiku ulionyesha mvua. Alipomaliza, aliwageukia watu na akawaambia, „Jee nyinyi mnajua

aliyoyasema Mola wenu?‟ Wakamjibu, „Allâh na Mtume wake ( عليه الله صلى

ndio wajuzi zaidi.‟ Akasema, „Kwa mapambazuko haya baadhi ya (وسلم

waja wangu wamekuwa ni waumini wenye kuniamini mimi, haliyakuwa wengine wamekuwa ni wenye kunikufuru. Yoyote asemaye, “Tumepata mvua kutokana na rehma na huruma za Allâh” huyo ndiye mwenye kuniamini mimi na ndiye asiyeziamini nyota. Lakini yule asemaye, “Tumepata mvua kutokana na (jinsi) sayari hii (ilivyoangatika)”, huyu ndiye mwenye kunikufuru mimi na ndiye mwenye kuziamini nyota.””2

Muandishi wa Fat-hul Majîd amesema,3 “Maana yake ni kuyanasibisha manyunyu na kunyesha kwa mvua na al-anwâ‟i. Al-anwâ‟i limetokamana na naw‟i ambalo ni mahali ulipo mwezi.” “...Na Waarabu walikuwa wakidai yakwamba kupanda na kushuka mahali

1 Ahkâm al-Qur‟ân 4:1982. 2 Imepokewa na al-Bukhâri 846 na Muslim 71. Imam „Abdul-Wahhâb ( الله رحمه )

ameiweka hadîth hii chini ya Anwani iitwayo: “Yaliyotajwa kuhusiana na kuomba mvua kwa mpangilio wa nyota” (Kitâb at-Tawhîd). Katika swahîh Muslim, iko chini ya Anwani, “Ubainifu wa ukafiri wa yoyote mwenye kusema, “Tumepata mvua kwa sababu ya mahali zilipoangatika nyota.‟” 3 „Abdur-Rahmân bin Hasan Aal ash-Sheikh, Uk. 321

Page 24: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

3

pake (mawinguni) ndiko kunakotengeneza mvua. Walikuwa wakisema, „Tumepata mvua kwa sababu ulikuwa mahali hapa, au pale.‟ Wao walikuwa wakitumia hilo neno naw‟i kwa sababu pindi linapozama, huzama chini kwenye upeo wa magharibi.”1

Kisha akasema, “Wanaposema, „Sisi tumepata mvua kutoka kwenye nyota hii au kuwepo kwake (kwenye mahali fulani) mawnguni,‟ kuwa na imani yakwamba ndiyo sababu ya kupata mvua, basi huo ni ushirikina na ukafiri. Hii ni sampuli ya imani ya watu wa Jâhiliyyah. Kama ilivyo imani yao yakwamba kuwalingania watu waliokufa na wasiokuwa hapo kumewaletea faida, au kuwakinga wasipate madhara, au kuamini kupata Shifaa‟ kwa kuwalingania wao. Hii ndiyo

Shirk ambayo Allâh (سبحانه وتعالى) aliyomtumiliza Mtume wake ( عليه الله صلى

aje kuikataza, na kuwapiga vita wenye kuyafanya hayo kama(وسلم

alivyosema Allâh,

ث ويكن وق خي ٱحت ل حكن فخ فإن لي ٱلل ا فل خي ٱغدو ن إل عل ١٩٣ ىظ ي

“Na wauweni mpaka kusiweko ukafiri (ushirikina) katika ardhi, na iwe dini ni ya Allâh peke yake (Uislamu). Na wakikomeka basi hapana uadui ila kwa waliodhulumu

(waliowapiga vita).”2

Fitna hii ni shirk. Ikiwa watasema, „Tumepata mvua kwa sababu ya (kuwepo nyota) mahali hapa,‟ wakiamini yakwamba kihakika imetoka kwa Allâh peke yake, lakini kiurahisi ni ajabu ya asilia kwa mvua kufungamana na nyota ile inayozama, basi msemo wa sawa ni kwamba imekatazwa kufungamanisha mambo hayo na nyota, hata kama msemo huo umekusudiwa kuwa ni wa kitamathali.

1 Maana ya asili ya neno (naa‟), “kuweka uzito juu ya kitu.” 2 Al-Baqarah (2):193

Page 25: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

4

Ibn Muflih ameashiria yakwamba ni harâm kusema, „Tumepata mvua kutokana na (kuwepo kwa nyota) mahali hapa‟ na vilevile imehukumiwa harâm katika al-inswâf (na al-Mardâwi), hata kama yamesemwa kwa kitamathali, na wala hakuna ikhtilafu iliyoelezwa kuhusiana na haya. Hii ni kwa sababu matamshi kama hayo yanasifu

aliyoyafanya Allâh ( وتعالى سبحانه ) (kwenye mrundiko wa nyota), jambo

ambalo hapana kiumbe chochote kilicho na uwezo wa kutekeleza, wala kufaidisha kwalo, wala kulisababishia madhara kutokana nalo, na hii ni sampuli ya shirk ndogo, na Allâh ndiye mjuzi zaidi.”

Utabiri Wa Hali Ya Hewa

Mjadala uliotangulia umetuleta kwenye hukmu juu ya jambo maarufu lijulikanalo kama metorologia („ilmu inayohusika na upimaji wa hali ya hewa) au utabiri wa hali ya hewa. Ni nini hukmu ya Sharî‟ah kuhusu suala hilo?

Mimi nasema1, na Allâh ndiye mjuzi zaidi, Metorologia ni „ilmu ya kisayansi yenye kukuuzwa inayoelekeza kwenye mukhtasari wa utafiti wa taswira ulivyo katika anga na uzito wake, pamoja na kuwa na uzoefu wa msongamano wake, muelekeo na kasi ya upepo, kisha, juu ya kuangazia hayo, kuwa na matarajio ya hali ya hewa kuwasili katika muda wa siku moja au zaidi, zikiathiri viwango vya joto au uwezekano wa mvua n.k. „Ilmu ya sayansi kama hiyo ina takriban uwezekano wa 90% katika utabiri wa sawa wa hali ya hewa ndani ya siku moja au mbili, na takriban uwezekano wa 60% kwa siku tano hadi saba.

Kwahivyo, mimi naonelea yakwamba yote haya yanachangia peke yake katika kuyatabiri matukio yenye uwezekano mkubwa wa kutokea kutokana na matukio yaliyotangulia kuwepo hapo awali. Na yote haya

1 Siku ya Alkhamisi, asubuhi mnamo 8/12/1994, baada ya kuandika Mlango huu, nilimpigia simu Dkt. „Ali „Abandah, mmojawapo wa viongozi wa wasomi wa „ilmu hii ya Metorologia. Nikamsomea niliyomuandikia, naye akayathibitisha. Kisha akaongezea hizo asilimia zilizotajwa mwishoni mwa ibara.

Page 26: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

5

yanaruhusiwa na sharî‟ah, wakati ambapo kunapatikana kuungwa kwake mkono kwa ujumla kwenye maneno ya Allâh;

يٱ و ا بي يدي رحخ لري ح ٱيرسو ل كيج ۦ بش إذا أ حت

زلجا ة يج فأ لل اء ٱسحابا ذلال سلن ا ة ل خرج

ۦفأ

كر ت ٱ ٱنذ لم نرج لث رون ىػيك ت ل ٥٧حذن

“Na ni yeye Allâh anayezipeleka pepo zenye bishara ya mvua mpaka zitakapochukuwa pepo mawingu mazito (kwa sababu ya wingi wa maji) tukayapeleka mawingu katika ardhi iliyo

kavu na tukateremsha mvua, tukatoa kwa hiyo mvua kila aina ya mimea. Hukmu ni kama hii tunawatoa wafu (kwenye

makaburi yao) hapana shaka mutazingatia.”1

Lakini kuna nukta mbili muhimu za wazi kabisa ambazo hapana budi zitajwe hapa:

1. Ni lazima mtu aamini yakuwa hali ya hewa hutokea kwa qadar ya Allâh. Kwenye sehemu nyingi za nchi, mara nyingi hutokea jambo ambalo halikutarajiwa, likaleta matokeo ya hali ya hewa inayokhalifiana na utabiri wa wataalamu wa metorologia. Nukta muhimu ni kwamba utabiri wao hauwezi kusifiwa!

2. Utabiri kama huo hauna uhusiano wowote na ujuzi wa mambo yaliyofichikana. Bali, wao ni watabiri tu kama ilivyotangulia kuelezwa hapo awali, wanaotegemea hali zinazotarajiwa kutokea kutokana na yaliyowahi kutokea. Kwahivyo hairuhusiwi kuzieneza habari kama hizo kwa hisiya ya kukatikiwa, bali, faida yake ya pekee ni kwa kuwatahadharisha watu na kuwaonya.

1 Al-A‟râf (7:57)

Page 27: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

6

Ukame

Amepokea Abû Hurairah ( عنه الله رضي ) yakwamba amesema Mtume ( الله صلى

وسلم عليه ):

ث » الصه عروا، وىس ن ل تث ةأ عروا، ول ىيصج الصه عروا وت ن ت

أ

رض طيئا «حنتج ال

“Ukame (sanah) si kwamba pale ambapo nyinyi hamupati mvua. Ukame ni pale munapopata mvua lakini ardhi ikawa haitoi

mazao yoyote.”1

Imâm Ibn Hibbân vilevile ameipokea hadîth hii, akaupa kichwa mlango wake cha matamshi yasemayo, “Kuzitaja riwaya zinazowalazimu Waislamu kuwajibika kumuomba Mola wao yakwamba awabariki kwenye mazao yao, pasi na wao kuitegemea mvua kwa hilo.”2

Imâm an Nawawi amesema, “Maana ya sanah (kwenye hadîth hapo

juu) ni ukame, kama alivyosema Allâh ( وتعالى سبحانه ):

وىلد ن ة خذا ءال فرغني ٱأ لس ر ت ٱونلص لث ىػي

رون ن ١٣٠يذ“Na Wallâhi hakika tulimpatiliza Fir‟auni na watu wake kwa njaa na upungufu wa matunda hapana shaka wawaidhike.”3 4

1 Muslim No. 2904 2 Swahîh no. 995 3 Al-„A‟râf (7):130 4 Sharh Muslim 6:353

Page 28: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

7

Ulinganishi Baina Ya Mvua Na Hadd 1

Amesema Abû Hurairah (رضي الله عنه):

ربػين ليث »عر أ ا ي

رض خير لث خد ةأ «إكا

“Kusimamisha Hadd kwenye ardhi ni bora kwa watu wake kuliko nyusiku arubaini (40) za mvua.”2

As-Suyuti amesema, “Maana yake ni kwamba inaleta baraka nyingi kwenye riziki na kwenye njia nyengine kuliko matunda na mito (inayotokamana na mivua).”3 Silsila ya riwaya hii ni swahîh, na kwangu mimi imeshikilia nafasi ya hukm ul-Marfu‟4 kwa sababu mbili:

a) Anazungumzia kuhusiana na malipo yenye kuandamana na matukio kama hayo, na haya ni mas‟ala ya mambo yaliyofichikana.

b) Yakwamba kwenye riwaya hiyo kuna shahidi aliye Marfu‟ kutoka kwa Ibn „Abbâs.5

1 Adhabu za kisheriya zinazotekelezwa na mamlaka ya ki-Islamu katika nchi inayohukumiwa na sharî‟ah ya Uislamu. 2 An-Nasâ‟I na al-Bukhâri 1:2:213 katika at-Târîkh al-Kabîr 3 Zahir ar-Ruby 876. 4 “Hukmu iliyoinuliwa”; inasema iwapo hukmu inatoka kwa Mtume ( عليه الله صلى

.mwenyewe (وسلم

5 Imepokewa na at-Twabarâni katika al-Awsat na al-Kabîr (Majma‟ul-Bahrayn no.2436), na al-Bayhaqi katika Sunan yake 86:162. Katika takhrîj Ahâdîth al-Ihyâ‟ yake 1:155, Hâfidh al-„Irâqi amesema yakwamba silsila yake ni hasan. Vilevile angalia katika Silsilat al-Ahâdîth adh-Dha‟îfah no. 989 cha al-Albânî, na Nasb ar-Râyah 467 cha az-Zayla‟i na Takhrîj ahâdîth al-Aadilîn no.9

Page 29: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

8

Ibara Tafauti Za Mvua

Amesema Ibn „Uyaynah, “Allâh hakutumia neno “matar” katika Qur‟ân isipokuwa kwenye kuashiriya adhabu, na Waarabu hutumia neno “ghayth”, kama Allâh alivyosema:

يٱ و ل ل ىغيد ٱين طا وينش رحخ ا ؼ بػد ۥ لي ٱو ليد ٱ ٢٨ ل

“Na ni yeye (Allâh) anayeiteremsha mvua (ghayth) baada ya kukata tamaa na kuzieneza kheri zake. Na yeye ni mlinzi,

mwenye kuhimidiwa.”1

Amesema Hâfidh Ibn Hajar, “Lakini madai ya Ibn „Uyaynah yameshutumiwa kwa kutajwa mvua kwa maana ya ghayth katika

Qur‟ân katika maneno ya Allâh ( وتعالى سبحانه ):

عر » ذى أ « إن كن ةس

“...ikiwa mnaona udhia sababu ya mvua (matar) ...”2

Maana hapa ni ghayth peke yake na maana ya „ikiwa mnaona udhia sababu ya mvua‟ ni kutota kwa nguo, na miguu, na mambo mengine yenye kuchangiwa na hayo.

Amesema Abû „Ubaydah: „Ikiwa hayo ni kutokamana na adhabu (ya Allâh), basi itakuwa ni amtwarat3, na lau kama imetoka kwenye rehma (za Allâh), basi inakuwa ni matwarat.‟

Hata katika hili pia kuna matatizo...”4

1 Ash-Shûra (42):28 2 An-Nisâ‟ (4):102; Angalia Mlango wa Nane: Jihâd 3 Al-Furqân 25:40 4 Fat-hul Bârî 8:308

Page 30: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

9

Amesema „Â‟ishah ( عنها الله رضي ),

“Pindi Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aonapo mawingu yametanda au upepo

mkali ukivuma uso wake hubadilika. Nikamwambia, „Ewe Mjumbe wa Allâh! Watu wanapoliona wingu linalopelekwa na upepo mkali, huwa na matumaini yakwamba ndani yake watapata mvua. Lakini mimi nimeona yakwamba wewe ukiona hali hiyo uso wako hubadilika na kuashiriya kulichukia jambo hilo?! Akamjibu, „Ewe „Â‟ishah! Ni lipi litakalokunihakikishia mimi yakwamba hali hiyo haitoleta adhabu, yenye kuwaadhibu watu kwa upepo mkali, haliyakuwa watu wamewahi kuiona adhabu lakini wakasema;

طرا ا ه ذا عرض مي ٢٤كال“... walisema, wingu hili ni lenye kututeremshia mvua ...”1 2

Katika riwaya ya Muslim, amesema „Â‟ishah ( عنها الله رضي );

“Katika siku yoyote inayokuwa na upepo mkali au inayotanda wingu la

mvua, basi uso wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) hubadilika, na huwa hadiriki –

huenda huku, akirudi huku. Mvua inaponyesha, hali hii humuondokea na hubadilika na kuwa ni mwenye furaha ... na anapoiona mvua ikinyesha, husema, „Rehma‟.”3

Imâm an-Nawawi ( الله رحمه ) amesema, “Alikuwa Mtume ( عليه الله صلى

akiwakhofia (watu wake) wasiadhibiwe kwa kufanya ma‟asiya, na(وسلم

akifurahi pindi sababu ya hofu hiyo ikimuondokea.”4

1 Al-Ahqâf 46:24 2 Imepokewa na al-Bukhâri 4829 na Muslim 899. 3 Angalia maelezo ya Ayah hii katika Mlango kuhusu Jihâd utakaokuwepo huko mbele. 4 Sharh Muslim 2:500

Page 31: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 1 Suala La Mvua Kwa Ujumla

10

Maana ya matamshi ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ),kusema, „Rehma‟ ni “Hii

ni Rehma.”

Page 32: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

11

MLANGO 2

twahara

1. Maji Ya Mvua

Amesema Allâh ( وتعالى سبحانه ):

ي ٱ و رسو لا بي يدي رحخ لري ح ٱأ ۦ بش زلجا

اء ٱوأ لس

را اء ط ٤٨ “Na ni yeye (Allâh) anayezipeleka pepo zenye kutangaza

habari nzuri za kuteremka rehema yake (mvua). Na tumeyateremsha kutoka mbinguni maji twahara.”1

Amesema Imâm al-Baghawî, “Yenyewe maji hayo ni twahara, na hutwahirisha vyengine, kwahivyo linatumika kama nomino (au jina) pindi mtu akiyatumia kujitwahirisha nayo. Kwa mfano, as-Sahuwr ni jina litumikalo kwa chakula cha Daku, na jina hilo pia hutumika kwa chakula chenyewe (cha daku).”2

Amesema Al-Jassâs, “Twahara, kiasi cha kutilia mkazo katika sifa za kutwahirika, na kwamba hutwahirisha vitu vyengine. Kwahivyo ni twahara, (na) hutwahirisha.”3

1 Al-Furqân 25:48 2 Ma‟âlimu at-Tanzîl 687 3 Ahkâm al-Qur‟ân 5:201

Page 33: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

12

2. Kutawadha Kwenye Baridi

Amesema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

ارات ذلث » بات …، نفه ء ف الصه « …، وإشتاغ الض

“Mambo matatu ni kafara ya madhambi… na kukamilisha wudhû‟ wakati wa baridi.”

Katika Al-Faidh ul-Qadîr, amesema al-Munâwi, “Ni baridi kali.”1

Mtu mmoja wa kabila la Thaqîq amesema,

“Tulimuomba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) (mambo) matatu, lakini hakutupa

rukhsah (hakuturidhia). Tukasema, „Kwetu tutokako kuna baridi‟ kwahivyo tukamuomba atupe ruhusa ya kujitwahirisha lakini hakutupa...”2

Kutekeleza wudhû‟ kisawasawa ni amri ya ujumla katika sharî‟ah

kama ilivyo katika maneno yake ( وسلم عليه الله صلى ) “Tekelezeni wudhû‟

kisawasawa”3 na malipo yake huzidishwa wakati wa baridi na uzito. Na kutekeleza wudhû‟ kisawasawa ni, “Kuukamilisha, na kupakiza maji kwenye viungo kikamilifu, na kuzidisha juu ya sehemu zilizo wâjib. Na “nguo ya sâbigh” ni nguo iliyo pana.”4

1 3:307 2 Imepokewa na Ahmad 4:168, 310, „Abdullâh bin Ahmad katika Zawâîd al-Musnad 4:168, Sa‟îd bin Mansûr katika sunan yake 2808, at-Twahâwi katika Sharh Ma‟âni al-Âthâr 3:379, na Ibn Sa‟d katika at-Twabaqât 7:1516, kwa njia ya al-Mughîrah, kutoka kwa Shibâk, kutoka kwa „Amer ash-Sha‟bi, kutoka kwa mtu wa kabila la Thaqîf. Silsila yake ina nguvu. Al-Mughîrah ni Ibn Miqsam adh-Dhabbi, Mimi namuona yakwamba yeye ni muaminifu kwa kila mmoja isipokuwa anapopokea kutoka kwa Ibrâhim an-Nakha‟I, hapo ndio huwa dhaifu, kama alivyosema Ahmad katika al-„Ilal (1:39). Angalia pia katika al-Jarh wat-Ta‟deel (8; no.1030). Angalia katika Atrâf al-Musnad 8:288 cha Ibn Hajar. 3 (Isbâghul wudhû‟ kwa majadiliano yafuatayo) Imepokewa na Muslim kutoka kwa „Abdullâh bin „Amr bin al-„Âs 4 Jâmi‟ al-Usûl 7:169 cha Ibn al-Athîr.

Page 34: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

13

Hapa pana mas‟ala matatu:

A. Kutojali

Baadhi ya watu huwa hawajali kabisa kuhusu kuuhifadhi wudhû wao kwenye majira ya baridi. Wala sio kwamba ati hawatawadhi vizuri peke yake, bali huwa hawafikishi maji kwenye zile sehemu zinazopaswa kufikishwa maji, kiasi cha kwamba baadhi yao huwa wanafanya mas-h! Na jambo hili halifai, lakini ni sampuli mojawapo ya mambo yenye kubatilisha wudhû‟. Vilevile, baadhi ya watu, “Huwa hawakunji kiasi cha kutosha cha mikono ya nguo zao pindi wanapo osha mikono yao, jambo lenye kuwasababisha kuwacha sehemu iliyo chini ya nguo isiosheke. Hili ni jambo lisilofaa, wudhû kama huo haufai. Ni wâjib kuuwacha wazi mkono mzima pakiwemo ndani yake kisukusuku upate kuosha kisukusuku pamoja na mkono kwa sababu ni miongoni mwa mambo yaliyo ya wâjib katika wudhû‟.1‟

Lakini hata hivyo, imeswihi kupokewa kutoka kwa Ibn „Abbâs ( الله رضي

) yakwamba Mtume (عنه وسلم عليه الله صلى ) alikuwa akitawadha kwa kuosha

kila kiungo mara moja peke yake2, kwahivyo huku ni kukubalika (rukhsah) kulingana na Sharî‟ah.

B. Maji Ya Moto

Baadhi ya watu huleta mahojiano dhidi ya kuyapasha maji moto kwa ajili ya kutawadhia. Lakini hakuna dalili ya ki-Sharî‟ah kwa mahojiano kama hayo. Amesema Imâm Ibn al-Mundhir, “Maji ya kupashwa moto yameorodheshwa chini ya kifungu cha yale maji ambayo watu waliyoamrishwa wajitwahirishe nayo.”3

1 Majmu‟ Fatâwa cha Sheikh Ibn „Uthaymîn, at-Twahârah, 7:153 2 Al-Bukhâri. Aliupa Mlango huo jina, “…Wudhû‟ mara moja.” 3 Al-Awsat 1:250

Page 35: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

14

Na yaliyopokewa kutoka kwa Mujâhid, yakwamba yeye anachukia jambo hilo, si sawa, kwa sababu imepokewa kutoka kwa Layth bin Abî Sulaym, naye ni mpokezi aliye dha‟îf.1

Amepokea Abû Hurairah ( عنه الله رضي ) yakwamba amesema Mtume ( الله صلى

وسلم عليه ):

“Jee, niwapashe habari ya yale ambayo kwayo, Allâh hufuta madhambi kwayo na hunyanyua daraja?” Wakasema, “Na‟am,

tupashe Ewe Mjumbe wa Allâh!” Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akawaambia,

“Ni kukamilisha (isbâgh) wudhû‟ wakati wa dhiki.”2

Amesema al-Qurtubi, “Maana yake ni kuukamilisha, na kuutekeleza kama ipasavyo katika wakati wa baridi kali na unapoumwa na mwili n.k.”3

Amesema Al-„Ubayy, “Kukanza maji moto kwa ajili ya mtu kujikinga na baridi yake hakudhuru kutimiziwa malipo yaliyotajwa.”4

Mimi nasema, kwa haya sisi tumeondoa shaka walizonazo watu wengine kuhusu maana ya “dhiki” iliyotajwa kwenye hadîth hii. Lakini hatahivyo, hakuna sababu yoyote iwezayo kumzuiya mtu asitekeleze wudhû‟ kwa maji ya baridi iwapo atakuwa na uwezo wa kuyahimili yasimletee madhara.

C. Kujikausha

Baadhi ya watu huzua mjadala dhidi ya kujikausha viungo vya kutawadha vya mwili kwenye baridi, lakini mambo haya hayana

1 Imepokewa na Ibn Abî Shaybah 1:23 2 Muslim 251 3 Al-Mufhim 2:593 4 Ikmâlu Ikmâl al-Mu‟lim 2:54. „Kuna riwaya nyingi zilizo swahîh kutoka kwa Salaf kuhusu kukanza maji moto kwa ajili ya kutawadha‟. Angalia katika Musannaf „Abdul-Razzak 1:175, Musannaf Ibn Abî Shaybah 1:25, al-Awsat 1:251, Sunan al-Baihaqi 1:6, at-Twahûr Uk.192 cha Abî „Ubayd na Irwâ‟ ul-Ghalîl 1:48 cha Al-Albâni.

Page 36: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

15

msingi wowote, bali imethubutu kutoka kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) yakwamba;

“Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alikuwa na tauli ya kujikausha baada ya

kutawadha.”1

Hali hii ni kwa ujumla katika misimu yote, haikomi kwenye majira ya baridi au majira ya joto, na haikukhalifiana na yaliyopokewa kutoka

kwa Maimunah ( عنها الله رضي ) yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alioga

josho la janabah.

“... Kisha nikamletea tauli, lakini akanirudishia.”2 Katika riwaya moja, “kisha nikamletea tauli lakini hakujipangusia nayo.” Al-Bukhâri akafafanua: “Maana yake ni kwamba hakujipangusia nayo.”3 Katika nyongeza ya Muslim, “Na alifanya hivi kwa maji – maana yake – akaashiriya kujipangusa kwa mikono yake.”

Hâfidh Ibn Hajar amesema, “Na hii imetumiwa (na baadhi) kuthibitisha yakwamba ni makuruhu kujipangusa maji baada ya ghusl, lakini hiyo si dalili ya jambo hilo, kwa sababu imetokea kwa njia moja tu inayo-onyesha uwezekano (wa kufanya hivyo). Kwahivyo inawezekana yakwamba kutoichukuwa (ile tauli) ni kwa sababu moja au nyengine, kusiwe na jambo lolote la kuonyesha kuwa kujipangusa ni makuruhu, lakini ikawa ni kwa sababu inayohusiana na hiyo tauli yenyewe, au labda alikuwa kwenye haraka,n.k. Amesema al-Muhallab, “Inawezekana yakwamba aliikataa tauli ili baraka za maji zibaki mwilini mwake, au ni kutokana na unyenyekevu wake, au kwa sababu tauli yenyewe ilikuwa na mushkili fulani, pengine ilikuwa chafu, au ilikuwa imetengezwa kwa kitambara cha hariri.‟

Kuna riwaya kutoka kwa Abî „Awânah – pamoja na Ahmad (6:336) na Ismâ‟îli – kutoka kwa „A‟mash, akisema, „Niliitaja kwa Ibrâhim an-Nakha‟î! Akasema, “Hapana makosa kutumia tauli, aliirudisha tauli hiyo akikhofia wasije watu wakazoeleka na kitendo hicho.” Katika

1 Njia zake za mapokezi ni nyingi, na Sheikh wetu, al-Albâni ameiorodhesha kwenye daraja ya hasan katika Silsilat al-Ahâdîth as-Swahihah No. 2099 2 Al-Bukhâri 259 na Muslim 370, 37. 3 Imenukuliwa na Ibn Hajar katika Fat-hul Bârî 1:372

Page 37: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

16

Sharh yake, at-Taymi amesema, “Katika hadîth hii ni dalili yakwamba alikuwa akijipangusia. Kwani, lau kama hangelikuwa akijipangusia, basi hangelikuwa akimpa tauli.‟”1

Baada ya kuzitaja rai tafauti kuhusiana na suala hili, an-Nawawi akasema, “Na (msimamo) wa tatu ni kwamba inaruhusiwa ukifanya au usifanye, na huu ndio msimamo tulouchagua, kwani kwa hakika (msimamo wa) makatazo au mapendekezo yamekosa dalili.”2

Kisha akataja suala la kukukuta maji kwa mikono kutoka kwenye viungo baada ya kutawadha na ghusl na rai tafauti kuhusiana na hayo, akasema, “Na la tatu, yakwamba inaruhusiwa ema kufanya au kutofanya. Na hili ni chaguo la wazi kabisa, kwa sababu hadîth hii iliyo swahîh inathibitisha kuruhusiwa kwake na hapana chochote kilichothubutu katika kukatazwa kwake.”3

Mwanachuoni mkubwa, Hâfidh Ibn Daqîq al-„Id amesema, “Na wale

wenye kujuzisha kujikausha hutumia kule kujikukuta maji Mtume ( صلى

وسلم عليه الله ) kama dalili yao, kwa sababu ikiwa hakupendelea kujikausha

basi asingejikukuta pia, na hili liko wazi.” Kisha akasema, “Na chini ya mlango wa sifa za wudhû‟, baadhi ya ma-fuqahâ‟ wamesema yakwamba mtu asijikukute maji kutoka kwenye viungo vyake4. Lakini hadîth hii ni dalili ya kuruhusiwa kukukuta maji kutoka kwenye viungo katika ghusl na wudhû‟ ni sawa ...”5

3. Tope Na Maji Machafu

Wakati wa majira ya baridi, matope na maji machafu huzidi na huwenda mtu akachafua nguo zake. Baadhi ya watu hutatizika kuhusu hukmu ya suala hili.

1 Fat-hul Bârî 1:363 2 Sharh Muslim 1/556 3 ibid 4 Kwa hili, hakuna hadith iliyothubutu, angalia kwenye Silsilat al-Ahâdîth adh-Dha‟îfah no. 903, na Fat-hul Bârî 1:362-3 na Tadhkirat al-Mawdhû‟ât no.49 5 Ihkâm al-Ahkâm 1:135. Vilevile angalia kwenye Majmu‟ Fatâwa cha Sheikh Ibn „Uthaymîn 7:154

Page 38: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

17

Hatahivyo, si wâjib kuosha nguo zinapotota kutokana na sampuli hii ya matope kwa sababu asili yake si chafu. „Abdur-Razzâk amepokea kutoka kwa idadi kubwa ya tâbi‟în yakwamba walikuwa wakiyavuka matope na maji ya mvua kwa shida, kisha wakiingia misikitini wakiswali.1 Hukmu kama hiyo; Jee kama mtu akiingiwa (akimwagikiwa) na maji akawa hajui iwapo maji hayo ni twahara au ni machafu? Haimpasi mtu kama huyo kuuliza kwa ajili ya kuondoa shaka zote, isipokuwa iwapo atakuwa na hakika yakwamba ni machafu, hapo itambidi ajitwahirishe na uchafu huo.2

4. At-Tayammum

Mtu yoyote asiyekuwa na maji, au akawa hawezi kuyatumia kutokana na umbali wake, au maradhi au baridi kali3, akawa hawezi kuyapasha moto maji baridi aliyonayo, basi ataruhusiwa kutekeleza tayammum na hana haja ya kubabaika.

Tayammum ni kupiga pigo moja kwa viganja viwili vya mikono kwenye ardhi (ardhi kavu), kisha upanguse uso na mikono4. Na asili ya tayammum ni mahali popote katika ardhi, hata kama ni majabali au

changarawe, kwa sababu hivi5 ni kulingana na maneno ya Mtume ( صلى

وسلم عليه الله );

1 Kuna sehemu kubwa kuhusiana na madda hii katika al-Masâ‟il al-Mârdîniyyah cha Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah. Vilevile angalia kwenye Ighâthat ul-Lahfân cha Ibn al-Qayyim. 2 Nukta ya mfasiri, Abu-Khaliyl (wa ki-Ingereza): Mtunzi wa Fiqh us-Sunnah

ameitaja riwaya kutoka kwa „Umar ( عنه الله رضي ) katika athari hii, Sheikh al-

Albâni hakukataa uswahîh wake kwenye sherhe yake. 3 Tizama al-Fiqhul Islâmi wa Adillatih 1:420, na Mir‟âh al-Mifâtîh 2:230, na

Majmu‟ al-Fatâwa cha Ibnul „Uthaymîn 7:241. Sheikh Ibnul „Uthaymîn ( رحمه

ameweka vipambanuzi baina ya udhia wa kutokana na baridi ya maji na (الله

madhara ya kikweli, akisema yakwamba tayammum hairuhusiwi kwenye hali ya kwanza, na ikaruhusiwa kwenye hali ya pili. 4 Kwa hayo, kuna dalili nyingi, angalia kwenye Jâmi‟ al-Usûl 7:247, na al-Mughni 1:244 5 Al-Qawânîn al-Fiqqhiyah 38 cha Ibn Juzayyi‟.

Page 39: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

18

« ا اشخعػخ حا مر فأ

ةأ مرحس

«إذا أ

“Ninapowaamrisha kufanya jambo lolote, lifanyeni kiasi cha uwezo wenu.”1

Al-Manqûr amesema, “Na lau kama hali hii haitopatikana kabisa, basi mtu na asawali katika hali yake aliyo.”2

TANBIH: Katika miaka iliyopita kwenye miji yetu kumewahi kutokea mvua kubwa ya barafu kiasi cha kwamba maji yakaganda na kuwa barafu kwenye mabomba yenye kuelekea majumbani kwenye mifereji, ikawa haiwezekani kuyafikia maji kwa njia hiyo. Sasa jee, inaruhusiwa kutekeleza tayammum katika hali hiyo au hairuhusiwi?

Rai yangu, kwa njia ya Ijtihâd ni kwamba, katika hali kama hiyo kwa vile kuna theluji nyingi nje ya nyumba, baadhi yake inaweza kuletwa ndani ya nyumba ipate kuyeyushwa. Iwapo itawezekana kufanywa hivyo, basi mtu anaweza kutawadhia maji hayo. Na lau kama hatoweza kufanya hivyo, basi Allâh hamkalifishi mja juu ya jambo asiloliweza.

5. Al-Mas-h: Kupangusa Juu Ya Khuff Na Soksi (Al-Jawrabayn)

Imâm Ibn Daqîq al-„Id amesema3, “Wanavyuoni wa Sharî‟ah wameunga mkono kupangusa juu ya Khuff mpaka ikafikia kiwango cha alama ya kuwatambua ahlus-Sunnah, na kulipinga jambo hilo imekuwa ni alama ya miongoni mwa ahlul-Bid‟ah.”4

1 Al-Bukhâri 7288 na Muslim 1338 kutoka kwa Abû Hurairah. 2 Al-Fawâkih al-Mufîdah fiyl Masâ‟il al-„Adîdah 1:37 3 Al-Ahkâm 1:113 4 Hakuna sharuti yoyote kuhusu mas-h ati ifanywe itokeapo haja peke yake, kulingana na Ijmâ‟ kama alivyosema an-Nawawi katika al-Majmû‟. Angalia pia katika Fatâwa wa Tanbîhât Uk.260 cha Sheikh Ibn Bâz.

Page 40: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

19

Hakuna ikhtilafu, kulingana na inavyoeleza hukmu, baina ya soksi (al-Jawrabayn) au Khuff1. Amesema Is-hâq bin Râhawayh, “Ilikuwa ni

Sunnah ya maswahaba wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) na kila aliyewafuata

wao miongoni mwa ma-tâbi‟în kupangusa juu ya soksi. Hapakuwa na ikhtilafu miongoni mwao kuhusiana na hilo.”2

Amesema Ibn al-Mundhir, “Ruhusa ya kutekeleza mas-h imepokewa

kutoka kwa maswahaba tisa wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ), „Ali bin Abî

Twâlib, „Ammâr bin Yâsir, Abî Mas‟ûd, Anas bin Mâlik, Ibn „Umar, al-Barâ‟ bin „Âzib, Bilâl, Abî Umâmah na Sahl bin Sa‟d.”3

Ibn al-Qayyim alimnukuu na akamuongezea maswahaba wanne zaidi. Kisha akasema, “Hawa ni maswahaba kumi na tatu, uhalali wake

umethibitishwa juu ya watu hawa ( عنهم الله رضي ).”4

Zaidi ni kwamba, kuna ahâdîth kutoka kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) zenye kuthibitisha mas-h (kupangusa) juu ya soksi; mwanachuoni mkubwa wa ash-Shâm, Sheikh Muhammad Jamâl ud-Dîn al-Qâsimî

( الله رحمه ) amezikusanya na kuzibainisha. Zikafafanuliwa kwa kina, na

hadîth zake zikafanyiwa utafiti na mwanachuoni wa hadîth wa Misri (Egypt) Sheikh Ahmad Shâkir, na kisha shughuli yote hiyo ikakaguliwa rasmi na Sheikh wetu, mwanachuoni wa hadîth katika zama zetu,

Muhammad Nâsir ud-Dîn al-Albâni ( الله رحمه ). Kazi hiyo ikachapishwa

kwenye kitabu “al-Mas-h „alal Jawrabayn” cha al-Qâsimi pamoja na

1 Amesema Ibn al-Qayyim, “Hakuna tafauti baina ya soksi na Khuff inayoweza kusababisha hukmu yake iathirike kisawasawa.” (Tahdhîb as-Sunan 1:122) 2 Al-Muhalla 2:118 3 Al-Awsat 1:462. Tizama kwenye Musannâf ya „Abdur-Razzâq 1:200; Musannâf ibn Abî Shaybah 1:188; na kuzisoma riwaya zilizopokewa kutoka

kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kuhusiana na mas‟ala haya. Tizama katika Jâmi‟

ul-Usûl 7:228 4 Tahdhîb as-Sunan 1:122

Page 41: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

20

nukta zake na maelezo. Yafuatayo ni mas‟ala yanayohusiana na tunayojadiliana.1

I. Maana Ya Jawrab

Amesema al-Khattwâb al-Mâliki, “Al-Jawrab (soksi) ndizo zinazovaliwa kwenye miguu; hata zikitengenezwa kutokana na sampuli yoyote ya kitambaa, kama vile pamba au aina nyengine.”2

Al-Qâsimi ameyanukuu haya, kisha akaongezea, “Si lazima kuunga mkono kila jambo la kunukuliwa kutoka kwa wanavyuoni kuhusu jawrab kwa maana yenye mazoweya ya ki-lugha kutoka katika shari‟ah, kwa kufanya hivyo itakuwa ni kama kulibainisha jambo lisilo na shaka yoyote.”3

Kisha akasema, “Kwahivyo kulingana na lugha, na desturi, jawrab ni kitu chochote kiwacho kinachovaliwa kwenye miguu, vikiwa na wayo (mgumu) au havina.”

Kisha akasema, “Maana ya jawrab iko wazi katika mambo yote mawili, lugha na matumizi yaliyozoeleka, kama tulivyoyapokea maelezo yake kutoka kwa ma-Imâm wa lugha na fiqh, na hapakuwa na yoyote miongoni mwao aliyeingiza nyayo zake au upana wake kama sharuti la kukifanya kitu kiitwe hivyo. Kwa vile hapakuwekwa shuruti zozote kulingana na fiqh na lugha, kwahivyo itahusisha kilicho chembamba, kinene, chenye wayo na hata jawrab isiyo na wayo.”

An-Nawawi ameeleza yakwamba kuruhusiwa kufanya mas-h juu ya soksi, hata kama ni nyembamba kiasi gani, kumepokewa kutoka kwa

1 Yote ambayo ni mazungumzo yanayohusiana na soksi, na yanayozungumziwa hapa yanahusu, bila ya kutaja, khuff. Ibn Abî Shaybah amepokea kutoka kwa Ibn „Umar akisema, “Al-mas-h juu ya soksi ni kama mas-h juu ya Khuff”. (1:190) kisha akapokea kama hayo kutoka kwa wengine miongoni mwa ma-tâbi‟în. 2 At-Tawdhîh 3 Al-Mas-h „alal Jawrabayn Uk.51

Page 42: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

21

„Umar ( عنه الله رضي ) na „Ali ( عنه الله رضي ), kisha akasema, “Na imetajwa

kutoka kwa Abû Yusuf, Muhammad, Is-hâq na Dâwûd.”1

Sheikh Ibn „Uthaymîn ( الله رحمه ) aliulizwa kuhusu rai ya baadhi ya

wanavyuoni yakwamba inaruhusiwa kufanya mas-h juu ya kila kinachovaliwa kwenye mguu. Jawabu lake lilikuwa: “Rai hii – ambayo muulizaji aliyoiulizia – kwamba inaruhusiwa kufanya mas-h juu ya kila kinachovaliwa kwenye miguu, ni rai ya sawa. Hii ni kwa sababu maandishi yenye kutaja mas-h juu ya khuff hayakuwekewa mipaka, hayakuweka masharuti, na lolote ambalo linalotajwa na Shâri‟ pasi na vikwazo, hairuhusiwi kuiwekea masharuti. Kwa sababu kuiwekea

masharuti kutalizuiya jambo ambalo Allâh na Mtume wake ( عليه الله صلى

waliyoyaruhusu kwa upana, na katika usûl ni kuyawacha yasiyo (وسلم

na vikwazo kwenye hali ya kutokuwa na vikwazo, na la kuenea kwenye hali yake ya ujumla mpaka kupatikane dalili ya kuliwekea vikwazo au kulihusisha mahali maalum. Baadhi ya wanavyuoni wa ki-Shâfi‟i wametaja kuruhusiwa mas-h juu ya jawrab iliyo nyembamba

kutoka kwa „Umar ( عنه الله رضي ) na „Ali ( عنه الله رضي ) na hili linaunga

mkono rai yakwamba inaruhusiwa kufanya mas-h juu ya viatu vyembamba.”2

II. Yafaa Kufanya Mas-H Juu Ya Makubadhi

Amesema Ibn Hazm, “Ikiwa viatu vitafika hadi kwenye vifundo vya miguu, basi mas-h haina budi ifanywe juu yake. Huu ndio msimamo wa Awzâ‟i, kama ilivyopokewa kutoka kwake yakwamba alisema, “Aliyevaa Ihrâm anaweza kufanya mas-h juu ya viatu vyake vinavyofika kwenye vifundo vya miguu.‟”3

1 Al-Majmû‟ 1:500 2 Majmu‟ al-Fatâwa ash-Sheikh Ibn „Uthaymin 7:158. Vilevile sheikh ( الله رحمه )

aliulizwa kuhusu hukmu ya mtu kuvua Khuff kila anapotawadha kutokana na tahadhari juu ya twahara. Akasema, “Jambo hili linakhalifu Sunnah, na linafanana na Rawâfidh ambao wasoruhusu mas-h juu ya khuff.” 3 Al-Muhalla 2:203

Page 43: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

22

Ibn Turkmâni amesema, “At-Tirmidhî ameiorodhesha hadîth kuhusu mas-h juu ya jawrab na makubadhi kuwa ni swahîh. Ameiorodhesha hadîth ya Huzayl kutoka kwa al-Mughîrah kuwa ni hasan, na vilevile ameiorodhesha kuwa ni hasan hadîth ya adh-Dhahâk kutoka kwa Abû Musa. Ibn Hibbân amesema kuwa ni sawa kufanya mas-h juu ya makubadhi kulingana na hadîth ya Auws, na Ibn Khuzaymah akaiorodhesha hadîth ya „Umar kuhusu mas-h juu ya makubadhi ya wasabato (viatu vya kanda) kuwa ni swahîh, na aliyoyasema al-Baihaqi kutoka katika hadîth ya Zayd bin al-Hubâb kutoka kwa ath-Thawri kutoka kwa Ibn „Abbâs kuhusu mas-h juu ya makubadhi kuwa ni hadîth nzuri, na Ibn Qattân akaiswahihisha kutoka kwa Ibn „Umar.”1

Sheikh wetu, al-Albâni amesema, “Iwapo hili linajulikana, basi hairuhusiwi kuikataa rukhsah hii baada ya kuthibitishwa na hadîth.”2

III. Soksi Au Khuff Zenye Tundu

Sheikh ul Islâm Ibn Taymiyyah ameiashiriya rai iliyo tafauti kuhusu suala hili: “Mafuqahâ wengi wameruhusu kufanya mas-h juu yake.” Kisha akaiidhinisha rai isemayo, “Rukhsah ni kwa ujumla na hili neno khuff linahusisha zile zenye tundu – na zisizo na tundu – hususan kulikuwa na wengi miongoni mwa maswahaba waliokuwa masikini na walikuwa ni wasafiri. Hali inapokuwa namna hii, basi baadhi ya khuff zao hazikosi kuwa na tundu, na lau khuff za msafiri zitatoboka, hatokuwa na uwezo wa kuzishona. Sasa iwapo hatoruhusiwa kufanya mas-h juu yake katika hali hii, basi hakuna sababu ya kumpa rukhsah.”3

Kisha akasema, “Madda ya mas-h juu ya khuffayn – kulingana na yaliyokuja pamoja na Sunnah – ni madda ya rukhsah, kwa kiasi kikubwa mpaka ikataja mas-h juu ya soksi na „imâ‟mah (vilemba) na

1 Al-Jawhir an-Naqiyy 1:288 2 Tamâm an-Nus-hi Uk. 83 3 Al-Masâ‟il al-Mârdîniyyah Uk.78

Page 44: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

23

vyengine visivyokuwa hivyo. Kwahivyo hairuhusiwi kulishinda lengo pana la Shâri‟ kwa kujikalifisha na kujiekea vikwazo.1

Na akasema, “Ruhusa ya kufanya mas-h juu ya khuff zenye tundu itaendelea kubakia hivyo maadamu zitaendelea kuwa katika hali yake

1 Uchache “imâmah” (kilemba). “Ni maarufu kama kijulikanavyo kwamba kinazunguka kichwa kizima” (Ibn Durîd katika al-Ishtiqâq Uk.377).

mwanachuoni mkubwa, Ibn al-Qayyim amesema, Mtume ( وسلم عليه الله صلى )

alijipangusa juu ya sehemu ya „Imâmah (kama jinsi inavyofanywa katika wudhû‟, kinyume cha kupangusa juu ya kilemba kizima) kuanzia kwenye bapa la uso, na kufanya kwake hivyo na kuamrisha kwake kumethibitishwa na ahâdîth nyingi. Hata hivyo, kuna mas‟ala mawili hapa; Jee, utekelezaji wake ni kutokana na haja na dharura peke yake, au ni jambo la ujumla kama hali ya Khuff, na hili (la pili) ndilo lililo wazi.” Zâd al-Maâd 1:199. Ibn Hazm (al-Muhalla 2:58) amesema, “Kitu chochote kinachovaliwa juu ya kichwa, emma ikiwa ni Imâmah, khimâr, qunlunsuwah (tarbushi), baydhah, mighfar (maneno mawili yenye maana ya helmeti), nk; mas-h inaruhusiwa juu yake. Mwanamke ni sawa na mwanamume kuhusiana na suala hili, iwapo watakuwa ni wagonjwa au laa.” Vilevile tizama katika „Ilâm al-Muwaqi‟în 1:275. Kisha, Ibn Hazm amepanga orodha ya hadîth nyingi zinazohusu mas-h juu ya „imâmah na khimâr, na baadae, akataja idadi kubwa za âthâr kuhusu mas-h juu ya qunlunsuwah, miongoni mwao kutoka kwa Sufyan ath-Thawrî‟, “Qunlunsuwah ni sawa na hali ya „imâmah.” Tizama pia Majmu‟ Fatâwa ash-Sheikh Ibn „Uthaymîn 7:170, na Musannaf Ibn Abî Shaybah 1:22, na Musannaf „Abdur-Razzâq 1:190. Kisha akasema Ibn Hazm, “Na hii ni rai ya al-Awzâ‟i, Ahmad bin Hanbal, Is-hâq bin Râhaway, Abû Thawr, Dâwud bin „Ali na

wengineo. Ash-Shâfi‟i akasema, “Ikiwa riwaya kutoka kwa Mtume ( عليه الله صلى

,ni swahîh, basi huo ndio msimamo wangu.‟ Na riwaya, walillâhil-hamd (وسلم

ni swahîh, kwahivyo huo ndio msimamo wake.” Kisha yeye ( الله رحمه ), kutokana

na dalili alizozinukuu, akachukulia kuwa inafaa kufanya mas-h juu ya „imâmah, emma iwapo kilivaliwa wakati wa hali ya twahara kamili au ukosefu wa twahara (Tizama katika maelezo ya twahara kamili katika kitabu hiki) na kwamba jambo hilo halina kipimo cha wakati maalum na masharuti yake. Ibn al-Mundhir (AL-Awsat 1:472) amesema, “Katika fikra za ki-akili ni kwamba, mtu anapovuwa Khuff zake huwa anabaki kwenye hali ya utwahara, kwahivyo ni kama ilivyo mtu anapovuwa kilemba anabaki katika hali yake ya utwahara.” Hili ndilo chaguo la Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah, kama ilivyotangulia kutajwa kwenye kitabu hiki.

Page 45: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

24

ya kutambulika kama khuff na kwamba pana uwezekano wa kuzitembelea. Maneno kama haya yametangulizwa na ash-Shâfi‟i1 na ndilo chaguo la Abî al-Barakât na wanavyuoni wengineo.”2

Kuna riwaya iliyopokewa na „Abdur-Razzâq, ambayo pia iliyonukuliwa na al-Baihaqi, kutoka kwa Sufyân ath-Thawrî‟ isemayo, “Pangusa juu yake maadamu zitaendelea kuwepo kwenye miguu yako. Hazikuwa Khuff za muhâjirun wala Answâr isipokuwa zilikuwa zimechanika na kutoboka.”3 Na Abû ath-Thawr amesema, “Ikiwa tundu zitamzuiya

mtu asifanye mas-h, basi Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) angelibainisha hilo.”4

Imâm Ibn al-Mundhir alijichagulia msimamo huu, akasema, “Kwa vile

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alipojipangusa juu ya khuff na akaruhusu

kufanya mas-h juu yake, kuruhusu kwake kulikuwa ni kwa ujumla na wala hakukuwa na vikwazo, ikahusu kila sampuli ya khuff. Kwahivyo kila kitu kinachoitwa kwa jina la khuff, basi mas-h juu yake inaruhusiwa kutokana na ubainifu wa riwaya.”5

Imâm ar-Râfi‟î amesema yakwamba hii ni rai ya wengi, na akahoji yakwamba rai yenye kupinga mas-h kama hiyo italiwekea mkazo duara la rukhsah, kwahivyo ni wâjib kufanya mas-h.6

IV. Muda Unaopasa Kwa Mas-H

Ifuatayo ni riwaya mutawâtir kutoka kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kuhusu

mas-h juu ya khuff,

، وللهقيم يوم وللة » يام ولالهوي ثلثة أ

ف

«يهسح الهسافر عل ال

1 Na hiyo ndiyo kauli yake ya awali. 2 Al-Ikhtiyârât al-Fiqhiyyah Uk. 13 3 Musannaf „Abdur-Razzâq no.753, Sunan al-Kubra 1:283 cha al-Baihaqi 4 Al-Awsat 1:450 5 Ibid. 6 Sharh al-Wajîz 2:370. Sheikh wetu amemnukuu (Tamâm an-Nus-hi Uk.86),

kisha akaongezea, amepata ( الله رحمه ).” Tizama pia al-Muhalla 2:100 cha Ibn

Hazm.

Page 46: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

25

“Anajipangusa msafiri juu ya khuff mbili kwa siku tatu na nyusiku zake, na kwa mkaazi wa mji siku moja na usiku wake.”1

Isitoshe, ni kutokea wapi unapoanza wakati wa kufanya mas-h? Inaanza unapovaa viatu; itokeapo hadath2 ya kwanza; au kuanzia ufanyapo mas-h juu yake mara ya kwanza?

Imâm Abû Bakr bin al-Mundhir amesema, “Wanavyuoni wamekhitilafiana juu ya wakati haswa ambao mwenye kufanya mas-h juu ya khuff anapoanza kuhesabu. Kundi miongoni mwao wamesema yakwamba kwa aliye mkaazi wa mji, atahesabu siku moja kamili na usiku wake kutokea wakati alipofanya mas-h juu yake, na kwa msafiri mpaka amalizapo michana na nyusiku kuanzia wakati alipofanya mas-h juu yake, na huu ndio msimamo wa Ahmad bin Hanbal.”3

Miongoni mwa dalili za wenye kusema hivi, ni ubainifu wa hadîth ya

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

م وليث » ي لي ، ولي ه يهام ولالين ذلذث أ صافر على الفه صح ال «ح

“Msafiri atajipangusa (yamsahû) juu ya khuff zake kwa siku tatu na nyusiku zake, na kwa mkaazi wa mji ni siku moja na

usiku wake.”

Hadîth hii inaonyesha waziwazi yakwamba wakati hapa ni wakati wa mas-h, sio wakati wa hadath. La zaidi ni kwamba, hakuna kilichotajwa kwenye riwaya yoyote kuhusu hadath kuhusiana na hayo. Kwahivyo hairuhusiwi kuachilia mbali maneno yaliyo wazi ya Mtume

( وسلم عليه الله صلى ) na kusema kitu kinyume chake bila ya riwaya kutoka

kwake ( وسلم عليه الله صلى ), au ijmâ‟ yenye kuiunga mkono.

1 Imepokewa kutoka kwa zaidi ya maswahaba ishirini kama ipatikanavyo katika Nadhm al-Mutanâtir no. 33 cha al-Kattâni. 2 Jambo lenye kubatilisha wudhû‟. 3 Al-Awsat: 1:442-443. Tizama Masâ‟il Abû Dâwud no.10

Page 47: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

26

Ubainifu wa ziyada na ufumbuzi wa haya ni maneno ya „Umar bin al-

Khattwâb ( عنه الله رضي ) kuhusu mas-h juu ya khuff;

„Pangusa juu yake mpaka saa kama hiyo ya siku yake na usiku wake.‟1

Na hapana shaka yakwamba „Umar alikuwa na „ilmu zaidi kuliko

yoyote baada yake kuhusu maana ya maneno ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ). Kwa hakika yeye alikuwa ni mmojawapo wa wapokezi wa riwaya ya

kutoka kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kuhusu mas-h juu ya khuff, naye

ameshikilia nafasi ya kuheshimika katika dini, na Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akasema;

هث ال » بصنهت وش ديين عػدي غييس ال اطدي «يفاء الره

“Juu yenu ni Sunnah zangu na Sunnah za makhalifa waongofu baada yangu mimi.2

Na vilevile imepokewa yakwamba yeye ( وسلم عليه الله صلى ) alisema;

ر » ب ةسر، وخ عػدي أ ي «ارخدوا ةالله

“waigeni (watu) wawili baada yangu; Abû Bakr na „Umar.”

An-Nawawi amesema, “Ni chaguo lililoidhinishwa na dalili.”3

Ufafanuzi:

Jee, idadi ya swala za faradhi zilizoswaliwa inaathiri wakati kwa mas-h?

1 Imepokewa na Ibn al-Mundhir, „Abdur-Razzâq (1:209) na matamshi haya kwenye kitabu chake, na cha al-Baihaqi 1:276 2 Ahmad na Abû Dâwud. Ni swahîh kulingana na kundi kubwa la wanavyuoni, miongoni mwao Hâfidh Ibn Hajar katika Muwâfaqatil al-Khubr al-Khabar 1:135 3 Al-Majmu‟ 1:487

Page 48: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

27

Mwanachuoni mkubwa, Sheikh Muhammad bin Saalih al-„Uthaymîn amesema, “Idadi ya swala halina umuhimu hapa, bali la umuhimu ni

wakati wenyewe. Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliweka siku moja na usiku

mmoja kuwa ni wakati wa mkaazi wa mji, na siku tatu na nyusiku tatu kwa msafiri. Siku moja na usiku wake ni masaa ishirini na nne, na siku tatu na nyusiku tatu ni masaa sabiini na mbili..

Sasa wakati huu unaanza lini? Unaanza kutokea wakati wa mas-h ya kwanza, sio kuanzia unapovaa khuff, wala sio kuanzia unapopata hadath ya kwanza baada ya kuzivaa khuff. Kwa sababu Shâri‟ imelieleza neno mas-h, na mas-h haiwezi kuwa mpaka yenyewe itekelezwe:

„Mkaazi wa mji hupangusa (yamsahu) kwa siku moja na usiku mmoja, na msafiri anapangusa (yamsahu) kwa siku tatu na nyusiku tatu.‟

Hakuna kutatizika kuhusu upangusaji, upangusaji hauwezi kuanza isipokuwa baada ya kupangusa mara ya kwanza. Kwahivyo baada ya kupita masaa ishirini na nne tangu mwanzo wa kupangusa, basi wakati uliowekwa wa kupangusa utakuwa umekwisha kwa mkaazi wa mji, na baada yakipita masaa sabiini na mbili tangu mwanzo wa kupangusa, basi wakati uliowekwa wa kupangusa utakuwa umekwisha kwa msafiri.

Hapa chini ni mfano wa kuyabainisha haya waziwazi:

Mtu amejitwahirisha (alitawadha) kwa swalât ul-fajr, kisha akavaa khuff zake. Kisha hali yake ya twahara ikaendelea mpaka aliposwali swalât adh-Dhuhr, akawa bado angali kwenye hali yake ya twahara aliposwali swalât al-„asr, na akabaki kwenye hali ya twahara. Baada ya swalât al-„asr, ilipofika wakati wa saa kumi na moja, akajitwahirisha kwa ajili ya maghrib na akafanya mas-h. Sasa mtu huyu anaweza kufanya mas-h mpaka ifikapo kiasi cha saa kumi na moja, na akabakia kwenye hali ya twahara mpaka akaswali maghrib na „ishâ‟. Kwahivyo hapa, atakuwa ameswali, katika muda huu, swalât adh-Dhuhr katika siku ya kwanza, na „asr, maghrib na „ishâ‟. Na swalât ul-fajr katika siku ya pili, kisha swalât adh-Dhuhr, „asr, maghrib na „ishâ‟. Kwahivyo hizo zitakuwa ameswali swala tisa, kutokana na hayo ni dhahiri yakwamba idadi ya swala sio

Page 49: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

28

inayozingatiwa kama wanavyofahamu watu wengi wenye kusema yakwamba mas-h ni kwa swala tano za faradhi peke yake!

Msemo huu hauna msingi wowote, bali shâri‟ imeweka wakati wa siku moja na usiku mmoja; kuanzia mara ya kwanza ya mas-h. Na katika mfano huu tulioutaja imedhihirika ni swala ngapi zilizoswaliwa.

Na mfano huu tulioutaja unapambanua wakati mas-h inapomalizika, na hawezi kufanya tena mas-h baada ya muda huu kumalizika, na lau kama atafanya mas-h baada ya muda huo kumalizika basi mas-h yake itakuwa haifai. Haikudhibitiwa na hadath, kwa sababu ikiwa amefanya mas-h (moja kwa moja) kabla ya kukamilika wakati, basi atabaki kuwa na twahara baada ya wakati umalizikapo, kisha wudhû wake hautovunjika, lakini atabaki kwenye hali ya twahara mpaka itanguke kwa mojawapo ya miongoni mwa mambo yenye kutangua wudhû.”1

V. Sharuti Za Kuvaa Soksi Ukiwa Katika Twahara

Wanavyuoni wamekubaliana juu ya sharuti yakwamba atakaefanya mas-h juu ya soksi ni lazima azivae baada ya kujitwahirisha.2

Ash-Shîrâzi amesema3, “Hairuhusiwi kufanya mas-h isipokuwa ziwe zimevaliwa baada ya kumaliza kujitwahirisha kikamilifu. Kwahivyo, iwapo mguu mmoja utaoshwa na ukavikwa ndani ya soksi moja, kisha ukaoshwa mwengine (baadae) nao pia ukavikwa ndani ya soksi, mas-h haitoruhusiwa mpaka kilichovaliwa kabla ya kukamilika kwa twahara kiondolewe mwanzo, na kisha irudiwe tena kwa mguu huo. Dalili ni

maneno ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

« دغا، فإني أدخيخا ظارتين »

1 Majmu‟ al-Fatâwa ash-Sheikh Ibn „Uthaymîn 7:161-2 2 Tizama Fat-hul Bâri 1:309, al-Mughni 1:284, na al-Majmu‟ 1:512 3 Al-Muhadh-dhab (na sherhe yake) 1:513

Page 50: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

29

„Viwache kwani nilivivaa wakati kila kimojawapo kilipokuwa twahara.‟1

Baada ya kuitaja hadîth hii, Imâm Hâfidh Ibn Daqîq al-„Id amesema, “Kuna baadhi wanaojaribu kuitumia kuthibitisha yakwamba twahara kamili ni mojawapo ya masharuti; kwahivyo ikiwa mojawapo limeoshwa likatiwa ndani ya khuff, kisha na jengine likaoshwa likatiwa ndani ya khuff, basi mas-h haitoruhusiwa! Kulingana na misimamo yetu, hoja hii ina udhaifu ndani yake – hususan katika ushahidi unaotumika kwa hukumu juu ya suala hili.

Si jambo lisilowezekana kwamba maneno haya yanamaanisha kuwa kila mmoja wapo uliingizwa wakati twahara ilipomalizika, lakini labda, inaweza kubainika zaidi ya hivyo. Kwani kwa hakika ibara iliyotumika katika maneno yake, „nilivivaa‟ imehusisha hali ya kila moja wapo. Hatahivyo, kutoka katika riwaya, “...kwani nilivivaa wakati kila kimojawapo kilipokuwa twahara”2, basi rai hii imeshikilia kujuzu kwa riwaya. Kwa kusema, “nilivivaa” inaeleza vimefanyika nini, kisha;” wakati kila kimojawapo kilipokuwa twahara” inaeleza hali halisi iliyokuwa ya kila kimojawapo. Kisha maana inabainika: Nimeuingiza kila mmojawapo wakati wa hali ya kutwahirika. Hilo linawezekana peke yake ikiwa twahara imemalizika kikamilifu.

Hoja za aina hiyo, wakati ambapo zinaposaidiwa na taarifa hii, haziwezi kuthibitishwa kwa kutumia riwaya isemayo, „nilivivaa wakati kila kimojawapo kilipokuwa twahara.‟

Kila riwaya ikiwa kando peke yake haitoweza kuwasilisha hoja kwa nguvu za kutosha, riwaya zote hizo mbili hazihusiani. Yâ Allâh! Ni kwa kuchanganya dalili hizi mbili peke yake ndipo inapoweza kuthibitishwa yakwamba neno „at-twahara‟ halihusiki kwenye riwaya zote mbili mpaka viungo vyote vipatikane kwenye hali kamili ya twahara.

1 Al-Bukhâri na Muslim, kutoka kwa al-Mughîrah, aliyekuwa akitaka kumsaidia azivue khuff zake wakati wa kutawadha. 2 Ni riwaya ipatikanayo katika Musnad Ahmad 4:245, na Musnad al-Humaidy! Kulingana na njia riwaya zake zilivyokuja katika Swahihayn, kwa sababu tukio ni hilohilo!

Page 51: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

30

Kwahivyo hapa tumepata dalili, kwa hadîth hii, ikiunga mkono rai ya wale wenye kusema yakwamba hairuhusiwi, isipokuwa kwa kuzileta riwaya zote mbili pamoja ndipo inapoungwa mkono. Kwahivyo hadîth moja ni dalili ya sharuti la twahara kwa kila mojawapo, haliyakuwa nyengine ni dalili yenye kuthibitisha yakwamba haijapatikana twahara mpaka twahara ikamilishwe.”1

Mimi nasema: Lakini si hivyo!

Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah amesema, “Yoyote mwenye kuosha mguu wake mmoja, kisha akauingiza ndani ya khuff kabla ya kuuosha mguu mwengine, ataruhusiwa afanye mas-h juu yake bila ya sharuti la kuivua. Kuivaa kabla ya kukamilisha twahara nzima ni kama kuivaa baada ya hapo, kama ambavyo kuvaa „imâmah‟ kabla ya kukamilisha twahara, na hii ni mojawapo ya riwaya mbili (kutoka kwa Ahmad), na ni madh-hab ya Abû Hanifah.”2

Ibn al-Mundhir ametaja yakwamba haya ni maneno ya Yahya bin Âdam, “...na ni maneno ya Abû Thawr na as-hâb ur-ra‟y, na al-Muzani na baadhi ya wenzetu.” Kisha akasema, “Na baadhi ya wenzetu wenye kuhoji kwa maneno haya, wanasema yakwamba pindi mtu anapouosha uso wake na mikono, na akapangusa kichwa chake, na akaosha mguu wake mmoja, kisha mguu ule aliouosha ukawa umetwahirika, kwahivyo akiuvika khuff, atakuwa ameivaa haliyakuwa ukiwa twahara. Atakapouosha mguu mwengine kisha akauvika khuff, atakuwa ameuvika ukiwa twahara, kwahivyo katika hali hii atakuwa ameivika miguu yake ndani ya khuff haliyakuwa ni twahara, kwahiyo anaweza kufanya mas-h juu yake kulingana na kudhihirika kwa riwaya, kwa sababu ameitia ndani miguu yake ikiwa katika hali ya twahara... Na anayesema kinyume cha haya atakuwa amesema kinyume cha hadîth, na hakuna chochote kinachoashiria kuzivua khuff hizi (katika hali hii).”3

Amesema Sheikh Ibn „Uthaymîn, “Suala hili ni miongoni mwa ikhtilafu baina ya wanavyuoni. Baadhi yao wanasema kuwa si muhimu kwa

1 Al-Ihkâm 1:114-115 2 Al-Ikhtiyârât Uk.14. Tizama pia maelezo ya mwanafunzi wake Ibn al-Qayyim katika „Ilâm al-Muwaqqi‟în. 3:370 3 Al-Awsat 1:442

Page 52: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

31

twahara kukamilika kabla ya kuzivaa khuff au soksi, na wengine wanasema yakwamba hairuhusiwi kuuosha mguu wa kulia kisha ukauvika khuff au soksi, kisha baadae ukauosha mguu wa kushoto na ukauvika khuff au soksi. Kwa sababu hafai kuuvika mguu wa kulia mpaka awe ameitwahirisha miguu yote miwili, wa kulia na wa kushoto, kisha atakuwa ameivika kisawasawa haliyakuwa ni twahara. Lakini kuna ile hadîth iliyopokewa na ad-Dâraqutni‟, ikaswahihishwa

na al-Hâkim1 yakwamba amesema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

« ي وىبس خفه خدز أ

أ « ...إذا حضه

„Awapo mmoja wenu ametawadha na akavaa khuff zake...”

Hapa katika neno lake, „ametawadha‟ inamaanisha yakwamba ndilo lililofanywa mwanzo, kwa sababu iwapo mguu wa kushoto ungelikuwa haujaoshwa basi haingelikuwa sawa kusema yakwamba ametawadha.”2

Mimi nasema: Yoyote asiyeidhinisha baina ya maneno haya mawili, kwa usahali wa kujihadhari3, basi hilo litakuwa ni juu yake.

VI. Jee, Kuvua Soksi Baada Ya Kufanya Mas-H Kunavunja Wudhû’

Kwa suala hili, ikhtilafu baina ya wanavyuoni ni maarufu sana. Miongoni mwao ni wale wenye misimamo yakwamba wudhû‟ hauvunjiki wala hauathiriki kivyovyote, wengine yakwamba unavunjika, na wengine wangali katika kulazimisha aoshe miguu yake.

1 Sunan ad-Dâraqutni‟ 1:204, Mustadrak al-Hâkim 1:178, na Tanqîh at-Tahqîq 1:526 cha Ibn „Abdul-Hâdi, na Tanqîh at-Tahqîq no. 256 cha adh-Dhahabi – chenye nukta zangu. 2 Majmû‟ al-Fatâwa 7:175 3 Na huu ndio msimamo wa mwanachuoni mkubwa, „Abdul-„Azîz bin Bâz kama ilivyo kwenye Fatâwa wa Tanbîhât. Uk. 263

Page 53: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

32

Ameyasema haya Ibn al-Mundhir, pamoja na wenye kuitumia rai hiyo, kisha akasema, “Baadhi wanahoji yakwamba si lazima kuurudia wudhû‟ wala kuosha miguu, kwa sababu (hiyo miguu) na khuff zilizo juu yake zilikuwa ni twahara, bado zingali kwenye hali ya twahara kamili kulingana na sunnah iliyothubutu, na hairuhusiwi kuikhalifu hiyo kwa kuzivua khuff bila ya dalili kutoka kwenye sunnah au ijmâ‟. Na hakuna ushahidi kutoka kwa wale wenye kuwajibisha kurudia wudhû‟ au kuosha miguu.”1

Sheikh wetu ameipendelea rai hiyo, kisha akaogezea, “Hii inakubalika kwa sababu mas-h ni rukhsah na msaada kutoka kwa Allâh na kusema kinyume chake italikanusha hilo. Limechaguliwa hilo badala ya rai mbili nyengine kutokana na sababu mbili nyengine:

1. Yakwamba inalingana na kitendo cha khalifa muongofu „Ali bin

Abi Twâlib (رضي الله عنه). Imepokewa kwa isnadi iliyo swahîh kutoka

kwake yakwamba aliharibikiwa na wudhû‟ kisha akatawadha na kufanya mas-h juu ya makubadhi yake, akayavua, kisha akaswali.2

2. Imekubalika kinyume chake na yaliyo sawa, kwa sababu iwapo mtu atajipangusa juu ya kichwa chake, kisha akanyoa nywele zake, hatolazimika kujipangusa tena juu ya kichwa chake ili auendeleze wudhû‟ wake.”3

Huu pia ndio msimamo wa Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah, “Kuzivua khuff au imâmah hakutangui wudhû‟ wa mwenye kufanya mas-h juu yake unapomalizika muda wake, na hawajibiki kujipangusa kichwa chake wala kuosha miguu yake. Haya ndiyo madh-hab ya Hassan al-Basrî‟, ni kama kuzinyoa nywele zilizopanguswa juu yake, kulingana na yaliyo sawa katika madh-hab ya Ahmad, na ndiyo rai ya wanavyuoni wengi.”4

1 Al-Awsat 1:457-460. Kwa riwaya alizozinukuu, mtu anaweza kurudia kwenye Musannaf „Abdur-Razâq 1:210, Musannaf Ibn Abî Shaybah 1:187, na Sunan al-Baihaqi 1:289 2 At-Twahâwi katika Sharh al-Ma‟âni al-Âthâr 1:97, „Abdur-Razzâq no.873, Ibn Abi Shaybah 1:190 na al-Baihaqi 1:288 3 Tamâm an-Nus-hi Uk.87 4 Ikhtiyârâtih al-„Ilmiyyah Uk.15

Page 54: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

33

Katika kuunga mkono zile sababu yakwamba wudhû‟hautanguki kwa kuondolewa kilichopanguswa, amesema Sheikh Ibn al-„Uthaymin, “Hiyo ni kwa sababu inasema yakwamba wudhû‟ hutanguka kwa kumalizika wakati. Na hilo halina dalili. Kwani kumalizika kwa wakati wa muda kunamaanisha yakwamba hapawezekani kufanyika mas-h baada ya muda wake kumalizika, haimaanishi yakwamba yeye hako tena kwenye hali ya twahara baada ya kumalizika (huo muda). Kwa vile wakati ni wa mas-h wala sio wa twahara, basi hakuna dalili ya kusema yakwamba kumalizika kwa muda kutautangua wudhû‟. Hapa tunasema katika kuuthibitisha msimamo wetu: Mtu huyu ameutekeleza wudhû‟wake kisawasawa kulingana na misingi ya shâri‟, kwahivyo iwapo hali ni namna hiyo, basi ni jambo lisilowezekana kwetu sisi kusema yakwamba wudhû‟ huu umetenguka bila ya dalili iliyo swahîh kutoka kwenye shâri‟. Na hakuna dalili kuonyesha yakwamba umetenguka kutokana na kukamilika kwa wakati. Kwahivyo katika hali hii, twahara itaendelea kudumu mpaka patokee lenye kuutangua wudhû‟ litakalothibitishwa na Kitâb, Sunnah na ijmâ‟.”1

Tanbih: Iwapo mtu atavua soksi zake ambazo alizozipangusa, kisha akazivaa tena, jee, ataruhusiwa kuendelea kuzivaa na kupangusa juu yake?!

Jawabu ni kwamba hairuhusiwi, na hapa pana sababu kwanini:

1. Kuliruhusu hili kutaongezea kuendeleza mas-h bila ya kumalizika; kwa kuzivua kabla ya muda wake wa kumalizika, na kisha, lau kama rai hii ni ya sawa, kuzivaa tena haliyakuwa ni twahara!

2. Jambo hili, kama lilivyodhihiri, lingeliondoa wakati uliotajwa

kwenye sunnah, na lau kama lingeruhusiwa, basi Mtume ( عليه الله صلى

.angeliwaambia maswahaba zake au angeliwafahamisha (وسلم

Kwanini awaamrishe wazivue umalizikapo wakati haliyakuwa hilo ndilo jambo zito zaidi la kufanya?

1 Majmû‟ Fatâwa 7:162

Page 55: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

34

3. Maneno ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ),

« دغا، فإني أدخيخا ظارتين »

“Viwache kwani nilivivaa wakati kila kimojawapo kilipokuwa twahara”

Inahusu twahara ya kimsingi, nayo ni twahara iliyotekelezwa kwa maji, sio mas-h peke yake, kulingana na ushahidi wa sehemu iliyobaki ya hadîth pamoja na ushahidi uliotangulia.

VII.Kuvaa Soksi Juu Ya Soksi Nyengine

Jambo hili haliathiri kuruhusiwa maadamu zilivaliwa juu ya kilichofanywa twahara, kama ulivyo msingi wa hukmu kama hiyo. Lakini kama ya pili ilivaliwa baada ya hadath basi haitoruhusiwa kufanya mas-h juu yake.1 Ikiwa jozi nyengine ya soksi – zilizovaliwa juu ya ambazo zilikuwa twahara – zitavuliwa basi itaruhusiwa kuendelea kufanya mas-h juu ya jozi ya kwanza.2

Katika asili hukmu ni ileile ya kuvaa makubadhi juu ya soksi, maadamu zinavaliwa hali zikiwa (soksi) zimetwahirishwa.

VIII.Jee, Wakati Wa Mas-H Ukimalizika Wudhû’ Hutanguka Wenyewe?

Baadhi husema yakwamba hutanguka, wengine yakwamba ni lazima aoshe viatu vyake, na wengine husema haiathiriki na twahara yake itaendelea kuwa sawa.

An-Nawawi ameiunga mkono rai hii ya mwisho, akisema “Haya ndiyo madh-hab ambayo aliyoyapokea Ibn al-Mundhir kutoka kwa al-Hasan al-Basri‟, Qatâdah na Sulaymân bin Harb3. Na ndilo chaguo la Ibn al-

1 Baadhi ya wanavyuoni wameliruhusu hili kama ilivyobainishwa na an-Nawawi katika al-Majmû‟ 1:506, lakini halina dalili yoyote. 2 Angalia Majmu‟ Fatâwa ash-Shaykh Ibn „Uthaymin 7:193 3 Al-Awsat 1:447.

Page 56: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

35

Mundhir, na ni chaguo lenye nguvu zaidi1 na imepokewa kutoka kwa wenzake Dâwud.”2

Dâwud ni adh-Dhâhiri. Ibn Hazm, akieleza kuhusu madh-hab yake, amesema, “Na haya ni maneno mbali na ambayo yasiyoruhusiwa, kwa sababu hakuna lolote kwenye riwaya yakwamba twahara ya wudhû‟ wa viungo hutanguka, au hata baadhi yake, kwa kumalizika kwa

wakati wa muda wa mas-h. Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alikataza kufanya

mas-h kwa sababu hiyo tu ikizidi hapo; siku tatu kwa msafiri, na siku moja na usiku wake kwa mkaazi wa mji.

Kwahivyo yoyote mwenye kusema kinyume cha haya, atakuwa ameizulia riwaya lisilokuwa nalo, na amenukuu kutoka kwenye

maneno ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) ambayo hakuyasema. Yoyote

atakaefanya hivyo kutokana na kuchanganyikiwa hapatokuwa na madhara kwake, na yoyote mwenye kufanya hivyo kwa makusudi baada ya kuthibitishiwa ushahidi kuhusiana nayo, basi atakuja na dhambi kutoka kwenye madhambi makubwa.

Twahara haitanguki isipokuwa kwa hadath, sasa iwapo twahara itakuwa sawa, na akawa mtu hana hadath basi ataendelea kuwa twahara. Aliye twahara huswali maadamu hana hadath. Kwahivyo mtu ambaye wakati wa muda wake wa mas-h umemalizika, isitoshe, na akawa hako kwenye hali ya hadath, kwa vile hakuna maandiko yakwamba twahara yake imetanguka – sio kwa baadhi ya viungo vyake wala kwa viungo vyote – basi ataendelea kuwa twahara na ataweza kuswali mpaka itokeapo hadath. Kisha akavua khuff zake na chochote kilicho kwenye miguu yake, na akatawadha, basi wakati wa muda mwengine utakuwa umeanza upya...”3

1 Kwa matamshi kama hayo amekhalifu madh-hab yake, na hii yaonyesha uadilifu wake! 2 Al-Majmu‟ 1:527 3 Al-Muhalla 2:94, Tizama katika al-Mabswut 1:103 cha as-Sarakhsi

Page 57: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 2 Twahara

36

IX.Ni Lazima Kutia Niya Ya Mas-H, Au Ya Wakati Wa Muda Wa Mas-H?

Amesema Sheikh Ibn „Uthaymin, “Hapa niya si muhimu, kwa sababu hiki ni kitendo ambacho shuruti zake huleta athari baada ya kuwepo kwake, kwahivyo hakuna haja ya niya kama hiyo. Kama ambavyo mtu anapovaa nguo, hapaswi kuwa na niya ya kujisitiri „awrah yake kwenye swala. Kwahivyo hakuna sharuti la kuvaa khuff ambazo mtu atakazokusudia kuzipangusa juu yake, wala kwa wakati, bali msafiri ana siku tatu na nyusiku tatu, emma atanuilia au hatonuilia, na mkaazi wa mji atakuwa na siku moja na usiku wake, emma atanuilia au hatonuilia.”1

1 Majmu‟ al-Fatâwa 7:165

Page 58: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 3 Adhân

37

MLANGO 3

ADHĀN

Muadhini Katika Wakati Wa Mvua Au Baridi

Katika siku ya mvua, Ibn „Abbâs ( عنه الله رضي ) alimwambia mu‟adh-dhin,

“Unaposema, „Ash-hadu anna Muhammadan rasûlullâh‟, usiseme, „Hayya „alas-Swalâh‟, lakini sema, „Swallûw fî buyûtikum‟.” Watu wakalipinga hilo1. Akawaambia, “Aliyekuwa mbora kuliko mimi alifanya hivi. Siku ya Ijumaa ni siku ya fadhla kubwa, na mimi lanichukiza kuwatoa majumbani mwenu mukatembea kwenye matope na uchafu.”2

Amesema Nâfi‟, “Ibn „Umar aliadhini wakati wa usiku alipokuwa mahali panapoitwa - Dhajnân3 - kisha akasema, „Swalini katika rihâl

zenu‟4. Alituambia yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alikuwa

akimuamrisha mu‟adh-dhin aadhini, kisha aseme mwishoni mwa adhani hiyo, „Swalini katika rihâl zenu‟, katika usiku wa baridi kali au mvua, alipokuwa safarini.”5

Usâmah bin „Umayr ( عنه الله رضي ) amesema, “Tulikuwa pamoja na

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) katika kijiji cha al-Hudaybiyah, wakati wa sulhu

1 Na Jee, ingekuwa vipi kwenye hizi zama zetu? Ikiwa hao walikuwa ni tâbi‟ûn, jee hawa watu wa sasa wangelifanyaje? 2 Al-Bukhâri na Muslim. 3 Mlima ulioko karibu na Makkah. Tizama katika Mu‟jam masta‟jam cha al-Bakriyyu. 4 Nukta ya mfasiri: Mahali unapomuweka mnyama wako wa kipando. Maana yake ni kuswali mahali popote ulikoweka virago vyako. 5 Hadith zote mbili zimepokewa na Al-Bukhâri 623 na Muslim 697.

Page 59: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 3 Adhân

38

ya Hudaybiyah, mara ikatunyeshea mvua ambayo haikutotesha hata

nyayo za viatu vyetu, basi mlinganizi wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akalingania, „Swalini katika rihâl zenu.‟”1

Usiku mmoja uliokuwa na baridi kali, Ibn „Umar ( عنه الله رضي )

aliwalingania watu aliokuwa nao, “Swalini katika rihâl zenu”, na

akasema, “Hali ilipokuwa namna hii, nilimuona Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akiwaamrisha watu, „Swalini katika rihâl zenu.‟”2

Amesema Jâbir ( عنه الله رضي ), “Tulisafiri pamoja na Mtume ( عليه الله صلى

Mara kukanyesha, basi akasema, „Yoyote miongoni mwenu .(وسلم

atakae anaweza kuswali katika rihâl yake.‟”3 Hii vilevile imepokewa na Ibn Hibbân katika swahîh yake, na akaupa jina Mlango, “Kubainisha yakwamba amri ya swala kwenye rihâl tulioitaja ni amri ya ruhusa, sio amri ya mkazo.”

Hadîth hizi zina faida zifuatazo:

1. “Jambo lenye kuturuhusu kutokwenda katika msikiti kutokana na dharura.” Kama alivyosema al-„Irâqi. Aliifuatiliza kwa kusema, “Ibn Battwâl amesema, „Wanavyuoni wamekubaliana yakwamba kuacha kuhudhuria msikitini kwenye mvua kali4, upepo mkali na mfano wake inaruhusiwa‟5.

Baada ya kuzitaja baadhi ya hadîth zilizotangulia, akasema al-Qurtubi, “Inaonyesha ruhusa ya kuwacha kuhudhuria kutokana na

1 Ahmad, 5:74-75, Abû Dâwud no.1057, Ibn Khuzaymah no.1758 na Ibn Hibbân no. 2083 2 Swahîh Ibn Hibbân no.2076. 3 Muslim 698. 4 Hadith ya Usâmah bin „Umayr inakataza kuiwekea ruhusa hivyo vikwazo iwe ni kutokana na mvua kali. Katika swahîh yake, Ibn Hibbân ameipa kichwa Mlango wake, “Kutaja ubainifu yakwamba hukmu tulizozieleza zinahusu mvua nyingi inayosababisha dhiki, ni sawa pia kwa mvua nyepesi, hata kama haisababishi madhara yoyote.” 5 Tarh at-Tarîb 2:318

Page 60: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 3 Adhân

39

dhiki iliyotokana na mvua, upepo na baridi. Ikiwemo kwenye maana hiyo ni dhiki zenye kumuathiri aliye mkaazi wa mji na msafiri.”1

2. Katika matukio kama hayo, muadh-dhin atabadilisha maneno yake, “Hayya „alas-Swalaah”, na “Swallûw fi rihâlikum” au “Swalluw fi buyûtikum”. Kuna riwaya nyengine swahîh2 zinazoruhusu kusema hivyo baada ya kumaliza zote mbili, “Hayya „alas-Swalaah”, na “Hayya „alal falâh”, na vilevile kuisema baada ya muadhini wote umalizikapo, na hili ni suala pana, inshâ‟allâh.

3. Hakuna ikhtilafu katika kuruhusu kuacha kwenda kuhudhuria msikitini, inapopatikana sababu, emma muadh-dhin akisema “Swalini katika rihâl zenu” au asiseme hivyo.

4. Kuswali nyumbani, ikiwa kutapatikana udhuru, ni chaguo wala sio faradhi. Katika suala hili al-Bukhâri ana Mlango katika swahîh yake, “Tahfifu kwa ajili ya mvua, na ruhusa ya mtu kuswali kwenye rihâl yake.” Hâfidh amesema, “Alitaja „illah (kuruhusu) kudokeza kwa ujumla kuliko kuifanya kuwa ni makhsusi. Kwa sababu ni jambo pana katika kufahamika kwake mpaka likahusu mvua au kitu chengine kisichokuwa hicho. Swala kwenye rihâl ni kunjufu, emma kutokana na mvua au kinyume cha hivyo, na swala kwenye rihâl ni kunjufu emma ikiwa ni kwenye jamâ‟ah au kwa mtu peke yake. Ni juu ya busara ya mtu, kwani msikiti ni mahali ambapo (lengo) la jamâ‟ah hutekelezwa.”3 Mimi nasema hukmu vilevile imefahamika ki-ujumla

kwa maneno yake ( وسلم عليه الله صلى );

ع » ش غذر ب، فل صلة ل إله يج «النداء، في

“Yoyote mwenye kuusikia mwito na asiuitikie, basi hana swala, isipokuwa kwa mwenye dharura.”4

1 Al-Mufhim 3:1218. Tizama katika at-Tamhîd cha Ibn „Abdul-Barr 13:271 2 Mtu anaweza kuziona kwenye kitabu cha “al-Ādhân” cha ndugu yetu mzuri Usâmah al-Quwsi 3 Fat-hul Bâri 4 Tizama katika Irwâ ul-Ghalîl no.551 cha mwanachuoni mkubwa, Sheikh

wetu Muhammad Nâsir ud-Dîn al-Albâni (رحمه الله)

Page 61: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 3 Adhân

40

Na hapana shaka yakwamba mvua na kinachofanana nacho, ni udhuru, na Allâh ndiye Mjuzi zaidi.1

Mas‟ala ya pili ni jinsi ya adhân na Iqâmah wakati wa kuzichanganya swala. Yatakuja maelezo yake na hukmu zake katika Mlango unaofuata insha-Allâh.

1 Swahîh Ibn Hibbân (5/417 na 432-438). Na ndugu yetu Sheikh „Abdullâh al-„Ubaylân (Hafidhahullâh) ana kitabu kizuri kiitwacho “As-Swalâtu fir Rihâl „inda Taghayyuri al-Ahwâl”.

Page 62: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

41

MLANGO 4

SWALA

Na ya umuhimu yenye kuchambuliwa hapa ni:

Kuchanganya Swala Mbili (Al-Jam’u)1

1. Uwajibu Wa Kuchanganya Kwa Dalili

Ibn „Abbâs ( عنه الله رضي ) amesema,

غرب » يػا، وال ر واىػص ج اىظ وشيه غيي صلىه الله صلىه رشل اللهيػا، ف دير خف ول شفر «واىػظاء ج

“Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali adh-Dhuhr na al-„Asr kwa

pamoja, na maghrib na „‟ishâ‟ kwa pamoja, haliyakuwa hako katika hofu, wala safari.”2

Imâm Mâlik ameipokea riwaya hii katika al-Muwatta (1:144) kisha akasema, “Nadhani hii imetokana na mvua.” Ash-Shâfi‟ na wengine wamekubaliana na haya.3

1 Ndugu yetu mzuri Mash-hûr Hassan ana kitabu makhsusi kinachoshughulikia mas‟ala ya hukmu ya kuunganisha swala ambacho nilichokiona kuwa na faida nyingi hapa, twamuomba Allâh amjazi kheri nyingi kwa hilo. 2 Muslim no.705/49 kwa njia ya Abi az-Zubayr kutoka kwa Sa‟îd bin Jubayr. Mwishoni mwake imembainisha Abi az-Zubayr akiisikiya kutoka kwa Sa‟îd. Amesema Ibn „Abdul-Barr, “Hadîth hii ni swahîh, hakuna ikhtilafu ya maoni kuhusu uswahîh wake.” (al-istidhkâr 6:24) 3 Tizama katika al-Majmu‟ (4:378) cha Imâm an-Nawawi, na al-Istidhkâr (6:23)

Page 63: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

42

Imâm al-Bukhâri amepokea riwaya hiyohiyo kutoka kwa Ibn „Abbâs

( عنه الله رضي ) na kuongezea yafuatayo; “Ayyub as-Sakhtiyâni aliuliza,

„Pengine ilikuwa ni usiku wa mvua.‟ Akamjibu („Amr bin Dînâr), “Labda”.

Shaka kuhusu mvua kwenye – hususan - riwaya hizi mbili inakhalifu uhakika wa kilicho kinyume chake kutoka kwa Habîb bin Abî Thâbit,

kutoka kwa Sa‟îd, kutoka kwa Ibn „Abbâs ( عنه الله رضي );

عر » « ف دير خف ول

“...haliyakuwa hako katika hofu, wala mvua.”1

Kuhusiana na ambayo Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah alikuwa na haya ya kueleza, “Habîb ni mpokezi mtegemewa sana kuliko Abû az-Zubayr, na hadîth nyengine zilizo swahîh kutoka kwa Ibn „Abbâs zinaunga mkono yaliyopokewa kutoka kwa Habîb.2

Amesema „Abdullâh bin Shaqîq, “Ibn Abbâs alikuwa akitutolea khutbah tulipokuwa al-Basrah siku moja baada ya al-„Asr mpaka Jua likatwa na nyota zikaanza kujitokeza. Watu wakaanza kusema, “Swalaah! Swalaah!” Akasema, “Kisha akaja mtu kutoka katika kabila la Banî Tamîm akabaki hapo, na hakuacha kuendelea kusema, „Swalaah! Swalaah!‟ Ibn „Abbâs akamjibu, „Mwana kumkosa mamako weeh! Wewe unanifundisha mimi Sunnah?! Kisha akasema, “Mimi

nilimuona Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akiswali Dhuhr na asr na Maghrib na

„Ishâ‟”. „Abdullâh bin Shaqîq akasema, “Jambo hilo halikunikaa mimi! Basi nikamuuliza Abû Hurairah naye akayaswadikisha aliyoyasema Ibn „Abbâs.”3

1 Muslim 705/54, Abi „Awânah 2:353, at-Tirmidhi, Abû Dâwud, an-Nasâ‟I, al-Baihaqi katika Sunan yake na Ahmad 2 Majmu‟atu ar-Risâ‟il wal-Masâ‟il 2:34 3 Kwa zaidi kuhusu hali hii, angalia kwenye maelezo katika kiambatisho kuhusu kuziunganisha swala.

Page 64: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

43

2. Kuzichambua dalili

Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah amesema, “Maneno ya Ibn „Abbâs, „kuchanganya kwake hakukutokana na hili wala lile, hakuwa akipinga kitendo cha kuchanganya kwa sababu hizo, lakini alikuwa akithibitisha tu yakwamba vilevile kuchanganya inaruhusiwa kwa sababu nyengine, kwahivyo kuchanganya pia kunaruhusiwa kwa sababu hizi. Kwa sababu lau kama hayangepokewa yakwamba jambo la kuchanganya liliwahi kufanywa katika hali hizi (hofu au mvua n.k), basi kuchanganya kwa sababu nyengine mbali na hizo ni dalili kwa hizo kiurahisi kwa kuwa hizo sababu (nyengine) zina umuhimu zaidi. Kwahivyo jambo hili lenyewe litathibitisha kuchanganya kutokana na hofu au mvua. Jumla ya hayo, kuchanganya katika „Arafah na Muzdalifah haifanywi kutokana na hofu wala mvua.”1

Pia alisema,

“Kutokana na haya, Ahmad anaunga mkono kuchanganya katika hali hizi kwa vile hizo ni sababu muhimu zaidi. Kwani kwa hakika matamshi haya (kutoka kwa Ibn „Abbâs) yanathibitisha yakwamba kuchanganya katika hali hizi (nyengine) ni muhimu zaidi, kwa vile matamshi haya yake yamebainishwa kwa kitendo chake. Kwa vile kuchanganya kumeruhusiwa ili kupunguza dhiki ambazo sio hofu, mvua wala safari, basi dhiki kwenye hali hii (nyengine) ni lazima iwe ni muhimu zaidi kuziondoa kuliko kuchanganya katika hali nyengine, kwahivyo kuchanganya huko ni bora, katika hali hii, kuwe ni muhimu zaidi kuliko katika hali nyengine (hofu, mvua n.k).”2

Katika kusherehesha juu ya hadîth ya Ibn „Abbâs ( عنه الله رضي ), al-

Khattwâbi amesema, “Haya ndiyo maneno ya Ibn al-Mundhir, na ni rai ya zaidi ya mmoja miongoni mwa as-hâb ul-Hadîth. Nilimsikiya Abû Bakr al-Qaffâl akitaja kutoka kwa Abû Is-hâq al-Marwazi: Amesema Ibn al-Mundhir3, “Haikuleta kuhusisha kwake kwa udhuru makhsusi, kwa sababu Ibn „Abbâs ameeleza kuhusu msingi wake kwa kusema,

1 Majmû‟ al-Fatâwa 24:84 2 Ibid 24/67 3 Tizama katika kitabu chake Al-Awsat 2:432

Page 65: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

44

„Kuukusudia Ummah huu usilemewe.‟ Na imesemwa yakwamba Ibn Sîrîn hakuona madhara yoyote katika kuchanganya swala mbili iwapo itapatikana dharura yake, au kutokana na baadhi ya mas‟ala muhimu, maadamu hayatokuwa yamefanywa kuwa ni mazoweya.”1

Ametanabahisha Sheikh Ahmad Shâkir, “Huu ndio msimamo wa sawa wa kuchukuliwa kutoka katika hadîth. Ama kuhusu tafsiri ya kwamba ilikuwa ni kutokana na ugonjwa au sababu kama hiyo, hilo ni dai lisilokuwa na ushahidi. Au upande mwengine, hili linaondosha mzigo mzito kutoka kwa watu ambao, pindi wanapozongwa na harakati zao, au kutokana na kuhafifishiwa hali ya mambo wanaruhusiwa kuchanganya swala, wakawa kwa hali hiyo wanajiepusha na madhambi na madhara. Kwahivyo, jambo hili linawapa nafasi na kusaidia kupatikane utwi‟ifu, mradi halifanywi kuwa ni mazoweya kama alivyosema Ibn Sîrîn.”2

Amesema an-Nawawi, “Kundi la ma-Imâm limechukuwa mkondo wa kuruhusiwa kuchanganya, haliyakuwa mkaazi wa mji, kwa ajili ya haja, maadamu halitofanywa kuwa ni mazoweya. Hivi ndivyo alivyosema Ibn Sîrîn na Ash-haba, miongoni mwa wanavyuoni wa ki-Mâlik. Al-Khattwâbi ameipokea kutoka kwa al-Quffâl ash-Shâshi al-Kabîr aliye miongoni mwa wanavyuoni wa ki-Shâfî‟, na kutoka kwa Abû Is-hâq al-Marwazi na kundi la as-hâbul Hadîth. Vilevile ndilo lililokuwa chaguo la Ibn al-Mundhir.”3

Akizungumzia kuhusu hadîth ya „Abdullâh bin Shaqîq kutoka kwa Ibn

„Abbâs ( عنه الله رضي ), Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah amesema, “Hapa

Ibn „Abbâs hakuwa ni msafiri wala hakukuwa kukinyesha, na riwaya yake imebainishwa kwa alivyofanya. Hii yaonyesha yakwamba kuchanganya alikokueleza hakukufanywa kutokana na mvua.

Ibn „Abbâs alikuwa akifahamu vizuri sana hali ya mambo ya Waislamu, kwahivyo katika kuwapa mawaidha ambayo waliyokuwa na haja nayo sana ya kuyasikiya, aliamua yakwamba lau kama angeliyakatiza mawaidha hayo, basi manufaa yake yangelipotea. Kwake yeye, hii

1 Ma‟âlim as-Sunan 1:265 a Sharh at-Tirmidhi 1:358 3 Sharh Muslim 5:219. Hâfidh Ibn Hajar vilevile amesema hivyo katika Fat-h al-Bâri (2:24) kama alivyofanya az-Zurqâni katika Sharh al-Muwatta (1:294)

Page 66: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

45

ilikuwa ni miongoni mwa haja ambayo kwayo, kuchanganya swala

kunaruhusiwa, kwani kwa hakika Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alikuwa

akiunganisha swala akiwa al-Madînah, akiwa hako kwenye hali ya hofu wala hapakuwa na sababu ya mvua, lakini ni kutokana na haja iliyojitokeza yenyewe mbele yake; kama ambavyo yeye (Ibn „Abbâs) alivyoieleza, „Kuukusudia Ummah huu usilemewe.‟

Vilevile ni jambo lijulikanalo wazi yakwamba, Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kuchanganya kwake swala katika „Arafah na Muzdalifah haikuwa ni kutokana na hofu, mvua wala usafiri. Kwani lau ingelikuwa ni kutokana na usafiri, basi angeliziunganisha akiwa Mina kabla (kujumuika katika „Arafah) sio baadae katika siku ya Mina. Badala yake aliswali rak‟ât mbili kwa kila swala isipokuwa kwa swala ya maghrib ambayo aliyoiswali katika wakati wake. Na kuchanganya kwake pia haikuwa kwenye shuruti za hajj, au angeliunganisha wakati alipoanza Ihrâm kwa sababu ni kuanzia hapo ambapo shuruti za hajj huanza. Kwahivyo inajulikana yakwamba kuchanganya kwake ambako kulikopokewa kwa njia ya mutawâtir wakiwa „Arafah na Muzdalifah haikuwa ni kwa sababu ya mvua, wala hofu, wala haikuwa ni katika shuruti za hajj, wala sio kwa ajili ya usafiri. Kwahivyo kuchanganya huku wakiwa al-Madînah ndiko kule ambako Ibn „Abbâs alikopokea.”1

Akieleza misingi ya kuchanganya kwa Ibn „Abbâs, Imâm ash-Shawkâni akasema, “Alifanya hivyo tu kwa ajili ya kuwaondolea uzito na madhara, kwahivyo niya ilikuwa ni kusaidia2, na wala si kwa ajili ya ugonjwa n.k.3 Lakini, “kuchanganya kumeasisiwa ili kuzuiya dhiki isiwafike Waislamu.”4

3. Ikhtilafu Katika rai za ma-fuqahâ

Amesema al-Khattwâbi, “Watu wamekhitilafiana juu ya kuruhusiwa kuziunganisha swala mbili kwa mwenye kunyeshewa au haliyakuwa ni mkaazi wa mji. Kundi la Salaf wameliruhusu; Imepokewa kutoka kwa

1 Majmû‟ al-Fatâwa 24:88 2 Nayl ul-Awtâr 3:245 3 Al-Ikhtiyârât al-Fiqhiyyah Uk.74, Ibn Taymiyyah 4 Majmu‟ al-Fatâwa 25:231

Page 67: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

46

Ibn „Umar (inakuja mbele), na ikafanywa na „Urwah, Ibn al-Musayyib, „Umar bin „Abdul-„Azîz, Abu Bakr bin „Abdur-Rahmân, Abû Salamah, na ma-fuqahâ wengi wa al-Madînah, na ndiyo rai ya Mâlik, ash-Shâfi‟, na Ahmad.”1

Katika kufafanua zaidi, amesema Ibn Kathîr, “Amesema ash-Shâfi‟ yakwamba inaruhusiwa kuchanganya dhuhr na „asr, na maghrib na „ishâ‟ kutokana na dharura ya mvua – kwa jamâ‟ah – kwa muangaza wa hadîth ya Ibn „Abbâs. Ahmad na Mâlik wamesema yakwamba inaruhusiwa kufanya hivyo kwa maghrib na „ishâ‟ lakini sio kwa dhuhr na „asr. Abû Hanîfah ndiye aliyekuwa na msimamo mgumu zaidi kwa kuzikataa kwa hali yoyote.”2

4. Kuchanganya Dhuhr na „Asr

Baadhi ya wanavyuoni wameruhusu kuchanganya maghrib na „ishâ‟ lakini hawaliruhusu kwa dhuhr na „asr! Hatahivyo, hadîth ya Ibn

„Abbâs ( عنه الله رضي ) ambayo ndiyo jiwe la msingi la hoja yao ya

kuruhusu kuchanganya maghrib na „ishâ‟, ambayo yenyewe inathibitisha ruhusa ya kuchanganya dhuhr na „asr juu ya muongozo huohuo!!

Imepokewa na Imâm „Abdur-Razzâq as-San‟âni yakwamba „Umar Ibn

al-Khattwâb ( عنه الله رضي ) aliunganisha dhuhr na „asr katika siku ya

mvua.3

Katika kuithibitisha hukmu ya kuchanganya baina ya dhuhr na „asr, al-Mardâwi amesema, “Inaruhusiwa kuchanganya, kama ilivyo katika swala mbili za usiku, ndilo chaguo la al-Qâdhi, Abû Khattâb, Ibn Taymiyyah na Ibn Hubayrah ambao hawakupokea kinyume chake kutoka kwa Ahmad. Hiyo ndiyo hukmu iliyotolewa katika Nihâyah Ibn Razîn wa Nadhmihi, na at-Tas-hîl, ambapo aliithibitisha kuwa imetoka kwenye madh-hab, na vilevile al-khulâsah, Idrâku al-Ghâyah, Masbûk

1 Ma‟âlimu as-Sunan 1:264 2 Al-Masâ‟il al-Fiqhiyyah Uk. 92-3 3 Al-Musannaf 2:556

Page 68: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

47

adh-Dhahabi, al-Mustaw‟ib, at-Talkhîs, al-Bulghah, khiswâl Ibn al-Banna na at-Tuwfî katika Sharh al-khiraqi na al-Hâwiyîn.”1

Kinyume cha maneno ya Mâlik yakwamba hadîth ya Ibn „Abbâs ( الله رضي

ilikuwa ni kwa ajili ya mvua, amesema Ibn at-Turkmâni, “Mâlik (عنه

hakuruhusu kuchanganya baina ya dhuhr na „asr kutokana na sababu ya mvua, kwahivyo hakutilia maanani tafsiri ya Ibn „Abbâs katika hadîth yake.!”2

Mahmûd Khattâb as-Subki amesema, “Kulingana na tafsiri ya Mâlik, inahusu kuruhusiwa kuchanganya dhuhr na „asr na maghrib na „ishâ‟ katika hali ya mvua.”3

Kwa vile ruhusa ya halali ya kuchanganya ni kunjufu kuliko ya mvua peke yake4 – kama ilivyotangulia, basi hukmu inakuwa ni kwa ujumla kuhusiana nayo.5

5. Jinsi Ya Kuchanganya

Wanavyuoni wamekhitilafiana juu ya jinsi ya kuchanganya. Baadhi yao wameshikilia al-Jam‟i al-haqîqi (ukusanyaji wa ki-uhakika), kwa kutanguliza kuiswali swala mojawapo katika mbili mapema au kwa kuchelewa ufikapo wakati wa swala nyengine. Wengine wameshikilia

1 Al-Inswâf cha al-Mardâwi 2:337. Tizama katika Fawâkih al-Mufîdah 1:116 cha al-Manquwr, na at-Tawshîkh „ala at-Tas-hîh (32/A) cha Tâj ud-Dîn as-Subki aliyesema, “Madh-hab yetu katika kuchanganya kwa sababu ya mvua ndiyo madh-hab pana zaidi kwa sababu sisi twairuhusu kwa dhuhr na „asr na pia maghrib na „ishâ‟.” 2 Al-Jawharin-Naqi 3:168 3 Al-Manhalu al-„Adhbu al-Mawrûd 7:66 4 Baadhi wanajaribu kuweka sharuti yakwamba sababu ya pekee ya kuchanganya swala ni pale wakati wa swala mvua inapokuwa ikiendelea kunyesha na ardhi ikiwa na matope! 5 Katika kuibainisha hukmu ya kuichanganya swala ya Ijumaa na swala ya „asr ni kuzidi kugawanya katika kuchanganya baina ya dhuhr na „asr. Rai ya kudhihirika zaidi ni kwamba hilo linaruhusiwa kwa vile madda yenyewe inahusiana na nyakati mbili zenye kuunganishwa katika wakati mmoja, swala makhsusi haina uhusiano wowote. Na Allâh ndiye mjuzi bora.

Page 69: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

48

al-Jam‟i as-suwari (ukusanyaji kwa kupokezana), yaani, kuichelewesha swala ya kwanza mpaka ufikapo mwisho wa wakati wake, na kisha kuifuatiliza kwa haraka, swala ya pili uingiapo mwanzo wa wakati wake.

Na ni wajibu - kabla ya kusimama katika usawa kwenye jambo hilo - kuhakikisha mas‟ala haya juu ya nukta mbili, nazo ni:

A. Kuchanganya swala ni rukhsa, na tamko la rukhsah kulingana na wanavyuoni wa Usûl, ni hukmu iliyothubutu kinyume cha dalili kwa udhuru.

B. Ruhusa hii imewezeshwa kuondoa uzito na dhiki.

Katika kuyaunga mkono haya, Hâfidh al-„Irâqi amesema, “Kwa hakika kuchanganya ni rukhsa, sasa ikiwa ni kama wanavyodai (wenye kushikilia al-Jam‟i as-suwari), basi hilo ndio litakuwa na vikwazo zaidi na uzito mkubwa kuliko kuiswali kila swala katika wakati wake. Hii ni kwa sababu kuna masaa mengi ya kuiswali kila swala katika wakati wake, kuliko kuziswali kwenye kingo za nyakati zake, hususan kwa vile hapatokuwa na wakati wa kutosha uliobaki kwenye wakati wa swala ya kwanza isipokuwa kuiswali tu.”1

An-Nawawi ameuita msimamo wa „al-Jam‟i as-suwari‟ kuwa;

“Dhaifu, au msimamo wa kirongo, kwa sababu umekhalifu ubainifu kwa njia ya wazi isiyowezekana.”2

Akieleza juu ya madai yakwamba kuchanganya kulikotajwa katika hadîth ni al-Jam‟i as-suwari, mwalimu wetu, Sheikh aliyebarikiwa „Abdul-„Azîz bin „Abdullâh bin Bâz3 amesema: “kuchanganya huko ni dhaifu: Kilichoungwa mkono na hadîth kwa njia ya sawa ni kwamba

yeye ( وسلم عليه الله صلى ) alichanganya swala mbili zilizotajwa kutokana na

dhiki iliyomkumba siku hiyo, ema kutokana na kuuguwa kutokana na maradhi, au baridi kali, au matope, au mfano wa haya. Lenye kuunga mkono hapa ni jawabu la Ibn „Abbâs pindi alipoulizwa ni kwanini hili

1 Twarh at-Tathrîb 3:127 2 Sharh Muslim 2:334 3 Katika nukta zake juu ya Fat-hul Bâri 1:24

Page 70: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

49

jambo la kuchanganya limefanywa, akasema, „Kuondoa uzito kwenye Ummah huu‟, na jawabu hili ni kubwa, lifaalo, lenye kutosheleza.”

Nyongeza katika mas‟ala ya madda hii yanapatikana kwenye mlango ujao kuhusiana na haya, inshâ-Allâh.1

6. Niya ya kuchanganya

Niya haiathiriki hata chembe kwa swala ya kwanza kwa sababu inaswaliwa katika wakati wake, huathirika tu pindi inaposwaliwa swala ya pili mapema, katika wakati wa swala ya kwanza. Na hali hii inakuwa katika Jam‟u at-taqdîm, amma katika Jam‟u at-ta‟khîr inakuwa ni kinyume chake.

Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah amesema:

“Hakuna chochote kilichopokewa na yoyote kutoka kwa Mtume

( وسلم عليه الله صلى ) – sio kwamba aliwaamrisha maswahaba zake

wanuiye kufupisha (swala zao), wala kuchanganya. Si maswahaba zake wala makhalifa walioamrisha hivyo kwa wale walioswali nyuma yao, kwahivyo wafuasi hawakutambua waliyokuwa wakiyafanya ma-Imâm.”2

Kuhusiana na niya kutokamana na hadîth mashuhuri,

ال ةالنيهات » خا ال «إجه

“Hakika „amali yoyote huhukumiwa kwa niya yake”3

Katika kuichambua kwake hadithi hii, amesema hâfidh Ibn Hajar, “...ikatolewa dalili kwa ufahamu wake yakwamba kila kisichokuwa

1 Tizama katika kiambatisho, “Uchunguzi Wa Rai Zenye Kukhitilafiana Juu Ya Kuchanganya Swala.” 2 Maj‟mû‟ al-Fatâwa 50:24 3 Al-Bukhâri na Muslim kutoka kwa „Umar Ibn al-Khattwâb ( عنه الله رضي ). Tizama

nukta zangu katika al-Hittah fi Dhikr as-Swihâh as-Sittah uk. 141 na 289, cha Siddîq Khân.

Page 71: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

50

kitendo basi hakishurutishi niya ndani yake. Na mfano wa hilo ni jam‟u taqdîm. Hakika kauli yenye nguvu kwa upande wa ki-mtazamo ni kwamba kitendo hakishurutishi niya”1

7. Kuishi karibu au mbali ya msikiti

Imekwisha tajwa2 yakwamba baadhi ya ma-fuqahâ‟ hawakumruhusu mtu mwenye kuishi karibu na msikiti achanganye swala, bali, inaruhusiwa kwa yule anayeishi mbali!!

Amesema Ibn Rushd, “Imâm Mâlik aliulizwa kuhusu kundi la watu ambao baadhi yao wana nyumba karibu na msikiti, wanaoweza kutoka majumbani mwao na kuingia misikitini mara moja, na kisha watoke misikitini waingie majumbani mwao, yote hayo wayafanye ndani ya takriban muda wa saa moja. Baadhi ya majumba yao yako mbali na msikiti. Jee, waonaje wote wachanganye swala mbili wakati wa mvua?

Akajibu; „Mimi sioni watu wakijumuika kwa swala isipokuwa yakwamba wao ndio watu wa karibu na wa mbali. Kwahivyo wote ni sawa kuhusiana na kuchanganya. Wakauliza, „Ni vipi hivyo?‟ Akajibu, „Wanapochanganya wote, huchanganya walio karibu na walio mbali.‟”

Faqîh Muhammad bin Rushd akasema, “Na ndio kama alivyosema, kwa sababu kuchanganya, inaporuhusiwa kwa sababu ya uzito unaowaathiri wale wenye kuishi mbali, basi vilevile unawahusu wale wenye kuishi karibu, kwani si sawa kwao kuswali peke yao bila ya wenzao, wakaswali kila swala kwa wakati wake kwa jamâ‟ah, wakawa hawaswali kwa jamâ‟ah nyengine, wala kuwacha swala ya jamâ‟ah.”3

Hii ndiyo hukmu ya ash-Shâfi‟ vilevile.4

1 Fat-hul Bâri 1:18, baada ya hayo akataja baadhi ya dalili 2 Al-Fiqhu „alâ al-Madhâhib al-Arba‟ah 1:484 cha al-Jazîri. 3 Al-Bayân wat-Tahsîl 1:403-4 4 Al-Umm 1:95

Page 72: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

51

8. Shuruti Za Mwenye Kuchelewa Kwenye Swala Ya Kuchanganya

Mwenye kuchelewa akiwasili baada ya kuswaliwa swala ya kwanza, atakuwa amewahi sehemu ya swala, kwahivyo anaweza kujumuika pamoja na Imâm na kisha akamilishe kuchanganya. Haya yanaungwa

mkono na maneno ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

ا » حدركخ فصيا، وا فاحس فأ

«ا أ

“Unachopata, kiswali, na unachokikosa, kamilisha.”1

Lakini kama hakupata kitu katika swala ya jamâ‟ah, basi haruhusiwi kuchanganya, kutokana na hadîth hiyohiyo. Na hapa pana namna nne kutokamana na yale yaliyotangulia.

A. Atakaekuja katikati ya swala ya dhuhr, wakati ambapo dhuhr na „asr zinapochanganywa, atakamilisha swala yake, kisha atajiunga kwa swalât ul-„asr. Vilevile atakaekuja katikati ya swala ya maghrib, wakati ambapo maghrib na „ishâ‟ zinapochanganywa.

B. Mwenye kuja baada ya kumalizika swala ya dhuhr, akajiunga kwenye swala ya „asr, lakini akanuilia kuswali dhuhr2, kwa vile hakupata chochote katika swala ya kwanza, basi atakuwa amekosa kuchanganya .

C. Mwenye kuwasili kuanzia mwanzo wa swala wakati wa kuchanganya – na ni wakati wa „ishâ‟ – lakini hakuswali maghrib. Atafanyaje huyu?

Sheikh wetu, al-Albâni amesema, “Mtu huyu atafuata pamoja na Imâm anayeswali „ishâ‟, haliyakuwa niya yake itakuwa ni ya swala ya maghrib. Imâm atakaposimama kwa rak‟ah ya nne, kufikia hapa ndipo

1 Al-Bukhâri (636) na Muslim (602) kutoka kwa Abû Hurairah ( عنه الله رضي ). 2 Kuna ikhtilafu juu ya mfuasi akiwa na niya inayokhalifiana na niya ya Imâm. Msimamo wa sawa, kulingana na rai yangu, ni kwamba ni sawa, na hii inaafiki msimamo wa wanavyuoni wengi. Tizama kitabu an-Niyât fil „Ibâdât Uk.250-255, kilichoandikwa na ndugu mwema Dr.‟Umar Suleiman al-„Ashqar.

Page 73: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

52

atakapotambua yakwamba niya yake ni tafauti na niya ya imâm. Kwahivyo atakaa kwa tashah-hud na aikamilishe swala yake peke yake. Kisha – katika hali hii – atasimama baada ya kumaliza swala ya kwanza, na ajiunge na imâm kwa sehemu ya swala ya „ishâ‟ inayochanganywa, na akamilishe alichokosa kwenye swala hiyo kama kawaida anavyofanya mfuasi.”1

D. Mwenye kuwasili baada ya rak‟ah ya kwanza kumalizika – isizidi hapo, ya swalât ul-„ishâ‟ ilipokuwa ikichanganywa. Haruhusiwi kuchanganya kwa sababu hakupata chochote katika swala isipokuwa ambayo ingelikuwa ndiyo swala yake ya kwanza, na kuhusu huko kuchanganya, basi hakuipata chochote.

9. Kuchanganya Katika Mahali Pasipokuwa Msikitini

Hapa Kuna Sampuli Mbili:

A. Nyumba Na Muswalla

Imâm ash-Shâf‟i amesema, “Na hakuna kuchanganya kwa mtu aliye

nyumbani kwake; kwa sababu Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alichanganya

akiwa msikitini, na mwenye kuswali nyumbani kwake si sawa na mwenye kuswali msikitini.”2

Sababu yake ya kusema hivyo ni kwamba njia ya kuelekea msikitini ndipo mahali pa dhiki, haliyakuwa iwapo mtu atakuwa nyumbani kwake, au atakuwa kwenye muswalla iliyoshikana na shule au ta‟sisi, basi ni wazi yakwamba yeye hatoathirika na dhiki hiyo, na haja kama hiyo haitomuhusu yeye.

Amesema al-Kharâshi, “...vilevile, ikiwa jamâ‟ah inabakia shuleni au kwenye kambi maalum, hairuhusiwi kwao kuchanganya kwa vile hakuna haja wala dhiki kwao wao.”

Yote haya yanahusiana kwa ujumla na mahali kote kuwili, nyumbani na vilevile muswalla, shuruti zake ni hizohizo.

1 Jarida la al-Aswâla, Vol.1, Issue 49. Vilevile tizama katika kumbukumbu iliyotangulia. 2 Al-Umm 1:95

Page 74: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

53

B. Mtu Binafsi Na Jamâ‟ah

Mjadala huu umegawanyika kwenye sampuli mbili zifuatazo za kuchanganya:

i. Kwa dharura ya mvua au baridi n.k

ii. Sababu za kibinafsi, kama ugonjwa, majaraha ya mwili, na haja maalum n.k1

Katika hali ya kwanza, hairuhusiwi lakini kwa jamâ‟ah – kama ilivyotajwa hapo awali – pindi sababu au dharura ya kuchanganya itawahusu Ummah kwa ujumla. Ama kuhusu hali ya pili, kuruhusiwa kwake kutategemea juu ya kiwango cha dhiki kitakachomuathiri mwenye kuswali peke yake. Sharuti la aina hii ya dharura ni bora

lipimwe na anayehusika, kama alivyosema Allâh ( ه وتعالىسبحان ):

ٱةو نس ١٤ةطية ۦعل نفس ل ػاذيره ول ىق ١٥ ۥأ

“Bali mtu ni shahidi juu ya nafsi yake.”2

10. Kuchanganya Baada Ya Kumalizika Kwa Jamâ‟ah Ya Kwanza

Amesema ad-Dasuwqi:

“Jua yakwamba mtu anapotambua kuwa wameshamaliza swalât ul-„ishâ‟, basi kama ambavyo hairuhusiwi kwa mtu kuchanganya peke yake, vilevile haruhusiwi kuswali jamâ‟ah nyengine pamoja na watu wakiongozwa na imam kwenye msikiti huohuo, iwapo jamâ‟ah kama hiyo itaongezea kujumuika baada ya mjumuiko wa

1 Dharura inawahusu wanawake na vilevile wanaume kutokana na maneno ya

ujumla ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ), “Litokeapo janga likamsababisha yoyote

miongoni mwenu akakhofia kuikosa (swala), basi swalini swala hii, akimaanisha kuchanganya swala mbili.” Imepokewa na an-Nasâ‟i na at-Twabarâni katika al-kabîr kwa sanad iliyoswahihishwa na Sheikh wetu, al-Albâni katika Silsilat al-Ahâdîth as-Swahîhah 3:358 2 AL-Qiyâmah 75:14-15

Page 75: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

54

kawaida. Kwahivyo ikiwa baadhi ya watu watakusanyika, usijiunge nao.”1

Amesema al-„Adawi:

“Na lau kama (mtu) atakuta yakwamba kumekwisha kuswaliwa, basi haifai kwake kuchanganya yeye peke yake; wala kwa jamâ‟ah inayo ongozwa na imâm.”2

Suala hili lilichambuliwa kwa kina katika mjadala kuhusu hukmu ya kurudiwa tena kwa swala ya jamâ‟ah kwenye msikiti mmoja! Na juu ya haya hapana shaka au ikhtilafu, lakini wengi wameshikilia yakwamba hairuhusiwi, na ni kwa msimamo huu nilipokhiyari mimi.3

11. Swala Za Sunnah Tunapochanganya

Amesema an-Nawawi:

“Yale waliyoyasema muhaqqiqûn4 ni ya sawa: Anaswali Sunnah ya dhuhr ambayo ni kabla yake, kisha anaswali dhuhr, kisha „asr. Kisha ni Sunnah inayokuja baada ya dhuhr, kisha Sunnah ya „asr.”

Kisha akasema:

“Na itakuwaje sawa kuiswali Sunnah ya baada ya dhuhr kabla ya (dhuhr yenyewe)?! Haswa ikiwa wakati wake ni wenye kutegemea kuiswali dhuhr, na vilevile sunnah ya „asr, wakati wake hauingii mpaka ufikapo wakati wa „asr, na wakati wa „asr – inapochanganywa na dhuhr – hauingii mpaka iswaliwe dhuhr mwanzo.”5

1 Ash-Sharh al-Kabîr 1:371 2 Katika sherhe yake ya Mukhtasir al-Khalîl 1:425 3 Tizama „Āridhatil-Ahwadhi 2:21 na al-Mabsuwt 1:135, na al-Umm 1:180, na Tamâm al-Minnah Uk.275, na kitabu husika cha ndugu Mash-hûr Hassan Salmân. Haya hayakhalifu maelezo ya suala nambari tatu kwenye Mlango kuhusu msikiti katika kitabu hiki, kama wanavyoweza kudhania kimakosa baadhi ya watu. 4 Nukta ya Mfasiri: Ni neno linalotumiwa kuwahusu wanavyuoni wenye kujitahidi kulinganisha na kurekebisha rai tafauti. 5 Rawdhatu t-Twâlibîn 1:402

Page 76: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

55

Baadhi ya wanavyuoni wamekhitilafiana juu ya haya, kutokana na hadîth zenye kukataza kuswali baada ya swalâtul „asr1, wao hawadhani yakwamba inaruhusiwa kuswali baada ya „asr inapochanganywa.

Maneno haya si sawa, na yanaweza kufafanuliwa kwa nukta mbili zifuatazo:

A. Yakwamba wakati haswa wa „asr haujaingia, lakini „asr imeswaliwa mapema tu katika wakati wa dhuhr, kwahivyo wakati huu, kwa hakika, ni wakati wa dhuhr, na haikukatazwa kuswali katika wakati huu.

B. Imepokewa kutoka kwa „Ali ( عنه الله رضي ) yakwamba Mtume ( عليه الله صلى

:amesema (وسلم

س مرحفػث » ن حصيا والظه «ل حصيا عػد اىػص إله أ

“Musiswali baada ya „asr, isipokuwa iwapo mutaswali haliyakuwa jua litakapokuwa juu.”2

Imepokewa kutoka kwa Anas ( عنه الله رضي ) yakwamba Mtume ( عليه الله صلى

:amesema (وسلم

ا تعيع وتغرب » ا؛ فإجه س، ول غد غروب ل حصيا غد ظيع الظه ا طئخ ا عين ذلم « على كرن طيعان، وصيه

“Musiswali wakati jua linapochomoza, wala linapokutwa, kwani kwa hakika linachomoza na kutwa baina ya pembe za

1 Imepokewa na al-Bukhâri (588) na Muslim (825). 2 Ahmad 1:129, Abû Dâwud no.274, at-Twayâlisi no.108, al-Baihaqi 2:459, imeswahihishwa na Ibn Khuzaymah no.1285, na Ibn Hibbân no.1547, Ibn Hazm katika al-Muhalla 3:31 na 2:271, na al-Irâqi katika Tarh at-Tathrîb 2:187, na Ibn Hajar katika Fat-hul Bâri 2:50 na 4:73

Page 77: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

56

Shaytwân. Swalini mupendavyo katika nyakati nyengine zisizokuwa hizo.”1

Sheikh wetu amesema:

“(Hili linathibitisha) yakwamba hukmu kwenye vitabu vya fiqh yakwamba makatazo ya swala baada ya swalâtul „asr halina upinzani – hata kama jua waziwazi liko juu – ni kinyume cha msimamo wa haki wa hadîth hizi mbili. Hoja yao ni kwamba hadîth mashuhuri zenye kukataza kuswaliwa baada ya „asr ni za kukatikiwa, (lakini hawazijadili) hadîth hizi mbili zenye kuzishurutisha hadîth hizo, kwahiyo tambua haya.”2

La zaidi ni kwamba, hapana pingamizi iwapo wakati wa kuchanganya , mtu atataka kuswali sunan baada ya swala za mchana dhuhr na „asr – na vilevile hapana dhiki kwa mwenye kuswali sunan na witr baada ya kuswali swala za nyakati za usiku –maghrib na „ishâ‟ – hata kama, kihakika, wakati wa swala ya pili iliyochanganywa ikiwa bado haijaingia.

NUKTA MUHIMU: Baadhi ya wanavyuoni wameongeza nukta nyengine ambayo bado haijaletwa, nayo ni kwamba wanasema unapochanganya swala hakuna swala ya sunnah kabisa! Wanahoji yakwamba kama ambavyo kuna riwaya kuhusu kuchanganya swala, hakuna riwaya kabisa zinazotaja kuswali swala yoyote ya sunnah kwenye hali kama hizo, na haiwezekani kuruhusu jambo hilo bila ya maandiko.

Hii ni hoja kavu, lakini pana uwezekano yakwamba ukweli ni kinyume cha wasemavyo; hukmu ya swala kama ijulikanavyo kuihusu, ikiegemezwa juu ya uwajibikaji wake wa asili, mpangilio wake, na idadi, na hakuna kinachoathirika katika hayo isipokuwa kuiswali fardh mapema au kuichelewesha – na hili ndilo lililopokewa. Ama kuhusu sunan, basi zinabaki kwenye hali yake ileile, hakuna haja ya kuhadithia chochote kipya kuhusiana nacho, kijulikanacho kuhusu msingi wake kinatosheleza, na kwa vile fardh inaweza kuswaliwa

1 Abû Ya‟lâ no.4216 kwa silsila iliyo hasan ya wapokezi. 2 Silsilat al-Ahâdîth as-Swahihah 1:561. Ibn Khuzaymah (2:265) na Ibn Hibbân (4:414) wana Milango yenye vichwa vyenye kuunga mkono aliyoyasema, twamuomba Allâh amlinde na asababishe manufaa yenye kuendelea kwa kupitia kwake.

Page 78: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

57

mapema kwa dharura, hapo itazidi tu kueleweka zaidi kwa sunan kuruhusiwa. Kwahivyo kwangu mimi, mas‟ala ni mapana zaidi, na kila rai ina misingi yake, hakuna yoyote yenye dalili za kutosheleza kuishinda nyengine. Na Allâh ni mjuzi aliye bora.

12. Adhân Na Iqâmah Hutekelezwa Vipi Swala Zinapochanganywa?!

Wanavyuoni wamekhitilafiana kuhusu suala hili, wengi wamesema yakwamba huadhiniwa muadhini mmoja, lakini kila mojawapo katika swala mbili kuna iqâmah yake.1

Watu wa madh-hab ya Mâlikî wanakhitilafiana na hilo, wao husema kuna âdhân kwa kila swala na vilevile kuna iqâmah kwa kila mojawapo.2

Na hujja ya Jamhûr ni hadîth ya Jâbir ( عنه الله رضي ) inayoelezea jinsi

ilivyokuwa Hajj ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kama ilivyopokewa na Imâm

Muslim katika swahîh yake. Imeeleza yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali swala mbili akiwa „Arafah kwa adhân moja na iqâmah mbili, kisha akenda Muzdalifah na akaswali maghrib na „ishâ‟ akiwa hapo kwa adhân moja na iqâmah mbili:

Vilevile an-Nasâ‟i akaipokea, na kuupa jina Mlango, “Muadhini wa mwenye kuchanganya swala mbili katika wakati wa swala ya kwanza.”

Baada ya hadîth hii, amesema ash-Shâfi‟i, “Ndani yake kuna dalili yakwamba yoyote mwenye kuchanganya swala mbili, katika wakati wa swala ya kwanza, kuna iqâmah kwa kila mojawapo, na adhân kwa swala ya kwanza, na kwa ya pili yake kuna iqâmah bila ya adhân.”

Hoja ya madh-hab ya Mâliki imeegemezwa juu ya riwaya kutoka kwa

Ibn Mas‟ûd ( عنه الله رضي ) yakwamba yeye;

1 Tizama al-Mughnî 1:430; al-Insâf 1:422, al-Majmû‟ 3:68, Fat-hul Bâri 3:525 na al-Jâmu‟ bayna as-Swalâtayn Uk.153-5 cha ndugu Mash-hûr Hasan Salmân. 2 As-halul Madârik 8:236 cha al-Kashnâwi.

Page 79: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

58

مر ذ ... صلىه المغرب، وصلىه ةػدا ركػخين فأمر رجل فأذهن وأكام، ذ »أ

– « فأذهن، وأكام -رجل رىأ

“Alimuamrisha mtu alinganie adhân na iqâmah kisha akaswali maghrib, akaswali baada yake rak‟ât mbili... kisha akaamrisha

mtu - akaadhini na akaqimu...”

Hâfidh Ibn Hajar amesema, “Kwenye hadîth hii ni ruhusa ya âdhân na iqâmah kwa kila mojawapo ya swala zinapochanganywa.”1

Yafuatayo ni majibu ya haya: Amri ya âdhân na iqâmah kwa kila swala ni, “mawqûf kwa kitendo cha Ibn Mas‟ûd”2 hakuna

kilichopokewa kinachohusiana nacho kutoka kwa Mtume ( عليه الله صلى

-yaliyopokewa kutoka kwake ni kinyume chake tu kama ilivyo ,(وسلم

onekana kwenye hadîth ya Jâbir iliyotangulia3.

Baada ya kuzitaja dalili tafauti zinazohusiana na suala hili, mwanachuoni mkubwa, Ibn al-Qayyim amesema, “Kutokana na yote haya, msimamo wa sawa ni kuchukuwa kutoka katika hadîth ya Jâbir, nayo ni kuchanganya kwa âdhân moja na iqâmah mbili, hii imetokana na sababu mbili. Hadîth nyengine zisizokuwa hiyo ni mudhtwariba4 na zenye kujitatiza...” Baada ya kufafanua hayo, akasema, “Ile iliyo

katika hadîth ya Jâbir kuhusu kuchanganya kwake ( وسلم عليه الله صلى ), imeswihi kupokewa yakwamba alizichanganya kwa âdhân moja na iqâmah mbili, na hakukuthubutu hadîth yoyote iliyo kinyume chake...”

1 Fat-hul Bâri 3:525 2 Kama ilivyonukuliwa kutoka kwa Hâfidh Ibn al-Qayyim katika Tahdhîb as-Sunan 5:405-410 – „Awn al-Ma‟bûd. Tizama katika al-Ādhân Uk. 219 cha al-Qûswiy. 3 Tizama vilevile kitabu, “Shadhal-Janân fi Ahkâmil-Ādhân” Uk.39-40 cha ndugu mwema, Muhammad Khayr al-„Abûd (amu‟afu Mola Mwenye kuabudiwa) 4 Maana ya neno hili ni “Mgongano.”

Page 80: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

59

Huu ndio mwisho wa yaliyonitokea mimi katika kuyataja mas‟ala muhimu kuhusiana na kuchanganya swala, na yaliyokuwa ni muhimu khususan kwenye mas‟ala mazima ya majira ya baridi.

Mas‟ala Mengine Ya Swala

1) Swala Ya Mvua – Swalāt Ul-Istisqâ‟

“Kilugha, maana ya al-istisqâ‟ ni kutafuta mvua. Katika Sharî‟ah, ni

kutafuta mvua kutoka kwa Allâh ( وتعالى سبحانه ) katika msimu wa ukame

(wakati ambapo, hata kama inanyesha, hakuna kinachomea) kwa kumsifu yeye na kumkimbilia yeye kwa istighfâr na swala. Kufanya vitendo viovu ndiyo sababu ya ukame na njaa, kama ambavyo utwi‟ifu ndiyo sababu ya baraka, kama alivyosema Allâh;

و ول ن أا و ىلرى ٱأ ٱءا ا ل ت ةرك ج ي

ا غي اء ٱىفخح لسرض ٱو

ا يكستن ل ا ك ة خذن

ةا فأ ٩٦ول ك نذ

“Na lau kama watu wa miji wangaliamini na kuogopa, kwa yakini tungaliwafungulia baraka za mbingu na ardhi. Lakini

walikadhibisha; tukawapatiliza kwa sababu ya yale waliyokuwa wakiyachuma.”1

Na maneno yake;

ى ٱ وأ ا ريلث ٱعل سخق اء غدكا ىط سلين

١٦ل

“Na kama wangalishika kwa imara njia (iliyonyoka) tungaliwanywesha maji kwa wingi, (tungeliwastarehesha)”2

Kwahivyo kutokana na yaliyotangulia, inajulikana yakwamba ukame na uchache wa mvua3 na kutoteremka mvua ambayo yenye kuhuisha

1 Al-A‟râf (7:96) 2 Al-Jinn (72:16) 3 Tizama kitabu kilichochapishwa, al-Ikhbâr bi asbâb nuzûlil amtwâr, cha

Sheikh „Abdullâh al-Jârullâh ( الله رحمه )

Page 81: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

60

kila kitu ni janga miongoni mwa majanga, na ni miongoni mwa misiba

mikubwa. Na sababu yake ni kumu‟asi Allâh ( وتعالى سبحانه ) kwa kufanya

aliyotukataza. Hali hiyo haito-ondolewa juu yenu mpaka Mwenye Rehma atakapo-ona mabadiliko katika tabia za wenye kumuabudu. Kwahivyo ni muhimu kurudi kwake Yeye, na kunyenyekea kwake, na kutafuta huduma na msaada kutoka Kwake apate kuwaondolea wao yaliyowasibu”1. Istighfâr kwa wingi na vitendo vya kuomba toba ndizo sababu za upelekaji wa mvua, na kuzidi kwa nguvu, amesema Allâh:

ٱػليج سخغفروا إ ارا ۥربك اء ٱ يرسو ٪كن غف غييك لسدرارا ٫

“Nikawaambia: Ombeni msamaha kwa Mola wenu. Hakika yeye ni mwingi wa msamaha. Atakuleteeni mawingu

yanyeshayo mvua nyingi.”2

Maana yake: Mutakapotubia kwa Allâh na mukamtaka msamaha, na mukamtwi‟i Yeye, atawapa riziki nyingi, atawaongezea riziki zenu na baraka za mvua juu yenu kutoka mbinguni, awachipulie baraka za ardhi, awaoteshee mimea yenu, awasababishie maziwa ya wanyama wenu yafurike, awape utajiri wa mali na vizazi, awajengee mabustani ya kila sampuli ya matunda, awapasulie mito yenye kupita.”3

„Abdullâh bin Zayd amesema;

صلىه فاشتصق فاشخلتو » خرج إلى ال وشيه نه النهبه صلىه الله غييأ

ل( رداءه وصلىه ركػخين ب وكيه اىلتيث ه « )وخ

1 Min Hikam ash-Sharî‟ah wa Asrâruha Uk.71 cha Sheikh Hâmid bin Muhammad al-„Abbâdi. 2 Nuh (71:10-11) 3 Al-Khutwab al-Minbariyyah 2:291 cha Sheikh Sâlih al-Fawzân.

Page 82: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

61

“Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alikwenda kwenye kiwanja cha kuswaliwa

swala ya istisqâ‟, kisha akaelekea qiblah na akaigeuza kinyume ridâ‟ yake na akaswali rak‟ât mbili.”1

Amesema an-Nawawi: “Wanavyuoni wamekubaliana yakwamba al-Istisqâ‟ ni Sunnah2.”Ibn „Abdul-Barr akaunga mkono3. Hâfidh Ibn Hajar akasema, “Mafuqahâ‟ wa miji wamekubaliana juu ya kuwepo kwa swalât ul-istisqâ‟ na kwamba ni rak‟ât mbili...”4

Amesema an-Nawawi:

“(Inaonyesha) yakwamba imependekezwa kwenda kwenye sehemu ya jangwa kwa sababu inasisitiza uzito wa haja na unyenyekevu na kwa sababu ni sehemu yenye upana wa kuwahimili watu.”5

“Na sampuli ya kufahamika zaidi ya swala ya istisqâ‟ ni kuswali rak‟ât mbili6, na kutoa khutba mbili7, na kutoa swadaka kabla ya kuiswali, kufunga, kutubia, kuamrisha mema na kukataza maovu

n.k, katika kumtwi‟i Allâh ( وتعالى سبحانه ).”8

1 Al-Bukhâri (1005, 1012 na 1023) na Muslim (984). 2 Sharh Muslim 6:187-188 3 At-Tamhîd 17:172 4 Fat-hul Bâri 2:492 5 Sharh Muslim 6:188. 6 Hapa, ( الله رحمه ), alikusudia kwa sampuli tafauti aliyoisema. Miongoni mwao

ni:ile inayotokea wakati wa khutba katika swala ya Ijumaa, na ile ya maombi peke yake.n.k 7 Bali ni khutba moja tu. Soma yanayofuata hayo. 8 Al-majmû‟ 5:68

Page 83: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

62

Kutoka kwa „Ā‟ishah (رضي الله عنها);

كدط ال وشيه صلىه الله غيي ب طك النهاس إلى رشل الله مر ة

عر، فأ

، كاىج عئظث/ ض ف ا يخرجن ذي ، ووغد النهاس ي صلىه فخرج ع ل ف الس، ذلػد على خين ةدا خاجب الظه وشيه صلىه الله غيي رشل الله

، فهبه ب ال وشيه صلىه الله غيي د الله غزه وجوه وح ه كال/ " إهس ، ث ، جدب ديارك ت ، وكد طه خس ا إةهان ز عر خ واشتئخار ال

الله مرك، غزه وجوه أ ن يصخجيب ىس

أ ه، ووغدز ن حدغ

ه أ كال/ ث

ين رب اىػال د لله }ال الرهخي { ، ل الرهح ي م الد الم ي إل إله اللهه ا يريد، اليه زل أج الله حفػو

اىفلراء، أ ج اىغن ون

ل إل إله أ

ه رذع يدي ة وبلغ إلى خين " ث ه زىج لنا كا أ غييا اىغيد، واجػو

ي فع خته ةا زل في ل داف الره ه ره وخ ل إلى النهاس ظ ه ه خ ، ث عياض إععي انظأ

، فأ رتو على النهاس، وزل فصلىه ركػخين

ه أ ، ث رافع يدي رداءه و لله

ب فرغدت و ث شداة ه أ ت عرت ةإ ركج، ث

يأ ، في خته ه د ج مص ذن الله

ضدم إلى اىس خخ ى سا رأ ه يل، في شاىج الص صلىه الله غيي

اجذه، وشيه ني »لال/ ذ خته ةدت ء كدير، وأ على ك ش نه الله

د أ ط

أ

ورشل «ختد الله

“Watu walimlalamikia Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kuhusu ukosefu wa

mvua, basi akaamrisha aletewe minbar1 kwenye muswalla. Akawapangia watu siku maalum wajitokeze. Akasema „Ā‟ishah,

1 Inaonekana kana kwamba Ibn al-Qayyim alikuwa na shaka kwa sababu aijuayo kuhusu minbar. Tizama katika Zâd al-Ma‟âd (kuhusu istisqâ‟).

Page 84: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

63

“Akatoka Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) pindi ulipojitokeza mviringo wa Jua,

akakaa juu ya minbar, na baada ya kumtukuza Allâh na kumsifu, akasema:„Mumelalamika kuhusu ukame kwenye majumba yenu, na kuhusu kuchelewa kupata mvua katika mwanzoni mwa msimu wake. Allâh „azza wa jall amewaamrisha mumlinganie yeye na akaahidi yakwamba atawajibu.‟

Kisha akasema:„Kila sifa njema zimthubutukie Allâh, Bwana wa viumbe vyote, mwenye kuwarehemu wema na waovu hapa ulimwenguni, mwenye kuwarehemu wema peke yao akhera, mfalme wa siku ya malipo. Hapana mola anayestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allâh anayefanya atakavyo. Yâ Allâh, wewe ndiye Allâh, hapana anayestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa wewe, Wewe ni mkwasi haliyakuwa sisi ni mafakiri. Tuletee mvua (ghayth) juu yetu, na ukifanye kile ututeremshiyacho kiwe ni chenye kutupa nguvu na kututosheleza kwa muda.‟

Kisha akainua mikono yake, na akawa anaendelea kuyainua mpaka weupe wa makwapa yake ukawa unaonekana. Kisha akageuza mgongo wake kwa watu na akageuza au akapindua kishali chake (ridâ‟ yake) haliyakuwa mikono yake ikiwa juu. Kisha akawageukia watu, akashuka chini na akaswali rak‟ât mbili.

Mara Allâh akaleta kiwingu, kukawa na ngurumo na radi, kisha mvua ikanyesha kwa idhini itokayo kwa Allâh, na kabla ya kufika kwenye msikiti wake, mikondo ya maji ikawa inatiririka. Alipowaona watu wanakimbilia kutafuta kinga za kujihifadhi,

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alicheka mpaka magego yake yakaonekana.

Kisha akasema;„Mimi nashuhudia yakwamba Allâh ana uwezo wa kila kitu, na kwamba mimi ni mja wake na mtume wake.”‟1

Swalât ul-istisqâ‟ huswaliwa kwa sauti ya kusikika kama alivyopokea

al-Bukhâri kutoka kwa „Abdullâh bin Zayd ( عنه الله رضي ) na khutba yake

ni moja, kama ilivyotangulia katika hadîth ya „Ā‟ishah. Ni rak‟ât mbili

1 Imepokewa na Abû Dâwud no.1173, na pia at-Twahâwî, al-Baihaqi na Ibn Hibbân walioizingatia kuwa ni swahîh (2860), na al-Hâkim. Amesema Abû Dâwud, “Hadîth hii, hata kama ni adimu (gharîb) ina silsila nzuri (jayyid) ya wapokezi.”

Page 85: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

64

kama swalât ul-„Id1, na kuipangia sura yake maalum si sawa2. Rai ya wengi ni kwamba watu hugeuza vishali vyao pamoja na imâm, na hufanywa katikati ya khutbah tunapoelekea qiblah kwa duâ‟. Ibn Hajar aliyasema haya na akasema, “Na katika kuyashuhudilia hayo ni yale aliyoyapokea Ahmad (16444) kwa njia nyengine kutoka kwa „Abbâd (kutoka kwa mjombake „Abdullâh bin Zayd) kwenye hadîth hii kwa maneno yasemayo, „Na watu nao wakazigeuza zao pamoja naye‟.”3

Sunnah ya at-Tahwîl (kugeuza nguo) ni, “kuweka kilicho upande wa kulia kwenye upande wa kushoto, na kinyume chake”4. Na hakuna nyakati makhsusi kutoka nje kwa ajili yake, maadamu haifanywi kwenye nyakati zilizoharamishwa, kutokana na ujumla wa dalili zilizopo.5

2) Swala Ya Ijumaa – [Swalât ul-Jumu’ah)

a) Katika swahîh yake, Imâm al-Bukhâri ana mlango uitwao, “Rukhsah (ruhusa) kwa mtu asihudhurie swala ya ijumaa kwa ajili ya mvua.” Na hii ni rai ya wengi.”6

1 Kama ilivyopokewa na Ahmad 1:230, an-Nasâ‟I 3:163 na at-Tirmidhi 559. At-Tirmidhi akaiswahihisha kama alivyofanya Ibn Khuzaymah 1405, Ibn Hibbân 2862 na al-Hâkim 1:326. 2 Kama ilivyofafanuliwa na mwanachuoni mkubwa, Sheikh wetu, al-Albâni

( الله رحمه ) katika Tamâm ul-Minnah Uk.264 3 Fat-hul Bâri. Tafadhali utambue yakwamba Sheikh wetu, al-Albâni aliihukumu nyongeza hii kuwa ni shadh;Tamâm ul-Minnah Uk.264 4 Kama alivyosema mwanachuoni mkubwa, Sheikh „Abdul-„Azîz bin Bâz katika nukta zake kwenye Fat-hul Bâri 1:498. Na haya ndiyo ambayo aliyoyataja Ibn „Abdul-Barr katika “al Istidhkâr 7:138, na akaashiriya yakwamba ni msemo maarufu wa ma-fuqahâ‟. Na akasema, “Mimi sijui kuhusu ikhtilafu yoyote juu ya ukweli yakwamba watu waligeuza nguo zao haliyakuwa wamekaa.” Maelezo ya Mfasiri: Tahadhari kuhusu kufasiriwa kwa Tahwîl kuwa ni “kugeuza nguo zao nje-ndani”. 5 Tizama al-Mughnî 2:432, Mughnî al-Muhtâj 1:324, na Kashâf al-Qinâ‟ 2:75 6 Tizama kwenye Vol.2, kitabu cha swala ya Ijumaa, mlango wa 12 wa tafsiri ya Muhsin Khan; lakini hata hivyo, mfasiri aliipokea kutoka kwa Muhammad bin Sirîn hapa, haliyakuwa ilipokewa na „Abdullâh bin al-Hârith ambaye ni, kama inavyobainisha isnâd, “binamu yake Muhammad bin Sirîn”. Katika mlango husika ufuatao (angalia kwenye nukta inayofuata ya chini) isnâd

Page 86: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

65

b) Vilevile ana mlango1 uitwao “Jee, kuna khutbah siku ya ijumaa kukinyesha?” Hapa pia ameitaja hadîth aliyoitaja kwenye mlango uliopita.

c) Ana mlango kwa jina la “Al-istisqâ‟ katika wakati wa khutbah ya Ijumaa akiwa katika hali ya kutoelekea qiblah2.” Kisha akapokea

silsila ya hadîth ya Anas ( عنه الله رضي );

القضاء، دار أن رجلا دخل المسجد ي وم المعة من بب كان نو بب عليه وسلم -ورسول الل ب يطب، فاست قبل -صلى الل قائم على المن

عليه وسلم -رسول الل ! هلكت -صلى الل ا، ث قال: ي رسول الل قائما أن يغيث نا. قال: ف رفع رسول الل الموال، وان قطعت ال بل، فادع الل -س

عليه وسلم ...يديه ث قال: "اللهم أغث نا، اللهم أغث نا -صلى الل

“Katika siku moja ya Ijumaa, alipokuwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) amesimama akitoa khutba, mtu mmoja akaingia msikitini

kupitia kwenye mlango ulioelekea Dâr al-Qadhâ‟. Alisimama na

kumuelekea Mtume ( وسلم عليه الله صلى ), kisha akamwambia, „Ewe

Mjumbe wa Allâh! Mali zetu zinaangamia, na njia zimekatika.

Hebu muombe Allâh atupe nasi mvua.‟ Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akainua mikono yake, kisha akasema, „Yâ Allâh tupe nasi mvua!

„Yâ Allâh tupe nasi mvua...‟”

Hâfidh Ibn Hajar amesema, “Jambo hili limeanzisha maombi ya istisqâ‟ wakati wa khutbah ya Ijumaa, kuiombea haliyakuwa yuko juu ya minbar, haikuwa na tahwîl, hakuelekea qiblah, na kwamba katika

haina jina la Ibn Sirîn kwahiyo mpokezi amehusishwa kisawasawa. Maandiko ya hadîth (kutoka kwa Ibn „Abbâs) yametokeza kwenye Mlango wa tatu, (Ādhân) wa kitabu hiki. Nukta ya hapo juu kuhusu rai ya wengi ni kutoka kwa Ibn Hajar, Fat-hul Bâri 2:384. Tizama pia katika al-Majmû‟ 4:358, na al-Mughnî 2:282. 1 Muhsin Khân; vol.1, Kitabu cha Ādhân, Mlango wa 41 2 Ibid; vol.2, Kitabu cha Istisqâ‟; Mlango wa 6

Page 87: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

66

hali kama hiyo, swala ya ijumaa itatosheleza kwa swalât ul-istisqâ.‟‟”1

Mas‟ala Kuhusiana Na Kuinua Mikono

Hususan kwa maombi ya istisqâ‟, ni sawa kwa wote wawili, imâm na ma‟muma wake wainue mikono yao2 kwa vile al-Bukhâri ameupa jina Mlango3; “Watu huinua mikono yao na imâm wakati wa istisqâ‟” Na, “Kuinua kwa imâm mikono yake kwa istisqâ‟”

Mazindusho mawili:

Nukta Ya Kwanza:

„Imârah bin Ru‟aybah amesema yakwamba alimuona Bishr bin Marwân juu ya minbar (siku ya Ijumaa) akiinua mikono yake, basi akasema,

“Allâh na aiangamize mikono hii miwili. Mimi sikumuona Mtume ( الله صلى

وسلم عليه ) akiinua mikono yake zaidi ya kuashiriya kwa kidole chake kwa

tasbîh.”4

An-Nawawi akasema:

“Hii inaashiriya yakwamba Sunnah ni kutoinua mikono katika wakati wa khutbah. Haya ndiyo maneno ya Mâlik, wenzetu (wanavyuoni wa ki-shâfi‟i), na wengine wasiokuwa wao. Amepokea al-Qâdhi yakwamba baadhi ya Salaf na baadhi ya Mâliki

wameliruhusu hilo kwa sababu Mtume ( سلمو عليه الله صلى ) aliinua

mikono yake wakati wa swala ya Ijumaa katika istisqâ‟! Na msimamo wa kwanza ndiwo wenye uzito zaidi juu ya kwamba kuinua huku kulikuwa ni kwa ajili ya tukio hili (peke yake).”5

1 Fat-hul Bâri 2:506-7 2 Tizama katika Tamâm al-Minnah Uk.265, na Sheikh wetu al-Albâni 3 Muhsin Khan, Vol.2; kitabu cha istisqâ‟; Mlango wa 20 & 21 4 Swahîh Muslim no.874 5 Sharh Muslim 2:471

Page 88: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

67

Haya ni ya sawa, hususan kutokana na hadîth ya Anas ( عنه الله رضي )

aliyesema;

إ » دعئ ء ف ش ل يرذع يدي وشيه له ف كن النهب صلىه الله غيي أالشتصلاء، و يرذع خته يرى عياض إععي « ه

“Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) hakuinua mikono yake kwa kuomba

chochote isipokuwa kwa istisqâ‟, ambayo kwayo alikuwa akiinua mpaka weupe wa makwapa yake ukawa unaonekana.”1

“Hadîth hizi mbili zilizotajwa zinathibitisha ukaraha wa kuinua mikono juu ya minbar kwa ajili ya Du‟â‟, na kwamba ni jambo la uzushi.”2

Kwahivyo, kuhusu kuruhusiwa kuinua mikono wakati wa khutbah inaruhusiwa tu pindi litokeapo suala la istisqâ‟.

Nukta Ya Pili:

Anas bin Mâlik ( عنه الله رضي ) alipokea;

اشتصق، » وشيه نه رشل الله صلىه الله غيي إلى أ ي ر نفه طار ةظ

فأ

اء « الصه

Yakwamba: Mtume (صلى الله عليه وسلم) aliinua migongo ya mikono

yake ikiwa imeelekea mbinguni kwa istisqâ‟.3

An-Nawawi amepokea kutoka kwa kundi la ma-Shâfi‟i na wengine yakwamba, “Sunnah ya kila du‟â‟ za kuondoa mikasa – kama vile

1 Al-Bukhâri (1031) na Muslim (895) 2 Nayl al-Awtwâr 3:208, na tizama katika „Awn al-Ma‟bûd 3:453; na Âthâr zilizopokewa kutoka kwa Salaf zenye kukataza kuinua mikono wakati wa Du‟â ni nyingi, khatibu anapokuwa juu ya minbar siku ya Ijumaa – isiyokuwa istisqâ‟. Tizama Muswannaf ya Ibn Abî Shaybah (2:147) na (14:78) 3 Swahîh Muslim no.896

Page 89: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

68

ukame n.k – ni kuinua mikono yake na migongo yake (ya vitanga vya mikono) ikiwa imeelekea mbinguni. Ikiwa du‟â‟ ni ya kuomba upewe kitu chochote (kwa ujumla), anainua na matumbo ya mikono yake yakiwa yameelekea mbinguni.”!1

Hoja hii ni dhaifu kwa sababu mbili:

A. Kuna dalili nyingi zenye kueleza du‟â‟ za Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) wakati wa mikasa; hazina jambo lolote kuhusu huku kugeuza mikono. Zimetajwa hususan kwa istisqâ‟ peke yake, kwahivyo kupendekeza huku kugeuza mikono kwa mas‟ala mengine ni makosa ya wazi.

B. Juu ya hayo, kugeuza mikono wakati wa istisqâ‟ ni kitendo kinachofuatana na “kugeuza ridâ‟” kwahivyo ikiwa hakuna masharti katika kugeuza mikono, basi jee si kugeuza ridâ‟ nako vilevile hakukushurutishwa?!

Jambo la muhimu zaidi hapa, baadhi ya wanavyuoni wamesema,

“Hikma iliyoko ya kuweka juu migongo ya mikono kwa istisqâ‟ – na sio kinyume chake – ni kwamba ni ishara ya kudhihirika inayomaanisha mabadiliko ya undani wa hali ya mtu, kama ambavyo wanavyosema kuhusu kugeuza ridâ‟.2

3) Swala Ya Hofu (Swalât Al-Khawf)

Na maelezo yake yatakuja katika mlango wa Jihâd insha-Allâh.

4) Hukmu Za Ujumla Za Swala

a) Kuufinika Mdomo3

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alikataza (nahi) as-sadl wakati wa swala, na kwa

mwanamume kuufinika mdomo wake.”1

1 Sharh Muslim 2:494 2 Ibn Hajar, Fat-hul Bâri 2:518 3 Hili vilevile linahusu niqâb

Page 90: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

69

Asili ya an-nahi ni kwamba maana yake ni harâm isipokuwa kupatikane matamshi yenye ushirikiano au kitendo chenye kubainisha kinyume chake; na hakuna kitu kama hicho! Lakini, kufanya hivyo hakuzuii kuswihi kwa swala.2

b) As-Sadl

Kama ilivyo kwenye hadîth iliyotangulia, wanavyuoni wamekhitilafiana juu ya maana yake. Inayo-onekana kuwa ni ya sawa zaidi kulingana na maoni yangu – Allâh ndiye mjuzi bora – ni kwamba Imâm Ibn al-Athîr amesema, “Ni mtu ajitatie ndani ya nguo yake, mikono ikiwa ndani yake (isidhihirike kabisa) na ku-rukû‟ na kusujudu namna hiyo, hii inahusisha kanzu au nguo yoyote n.k.3

Maana yake iko wazi – ni kuvaa nguo – kama vile koti refu kwa mfano – na kuliangatisha juu ya mabega bila ya kupenyeza mikono ndani ya

mikono ya koti. Lakini hatahivyo, amesema Wa‟il Ibn Hujr ( عنه الله رضي )

yakwamba alimuona Mtume ( وسلم عليه الله صلى );

“Akisema „Allâhu Akbar‟ alipoanza swala yake, kisha akajitatia ye -mzima ndani ya nguo yake, kisha akaweka mkono wake wa kulia juu ya mkono wa kushoto. Aliporukû‟, aliichomoa mikono yake kutoka kwenye nguo, kisha akaiinua.4

Upatanishi bora wa maana za hadîth hizi mbili unapatikana kwa Imâm Abû „Ubayd al-Qâsim bin Salâm, aliyesema, “As-Sadl ni kwa

1 Tizama katika Mishkât al-Maswâbih no.764, imepokewa na Abû Dâwud (643), at-Tirmidhi (478) – kwa njia ya kukatika – na Ahmad (295, 341). Ameiswahihisha Ibn Khuzaymah (572), na akafanya hivyo al-Hâkim (1:253), kutoka kwa Abû Hurairah. Huku kuziba mdomo inahusisha sehemu ya nguo ivaliwayo kichwani (kama ghutrah) au yenye kuzungushwa shingoni (kitambara maarufu cha wazungu katika msimu wa baridi) kinachotatiwa kwenye sehemu za mdomo. 2 Tizama katika al-Majmû‟ cha an-Nawawi (1:585). Maana yake ni kwamba swala haibatiliki iwapo mtu atafanya hivyo. 3 An-Nihaya (3:74). Siddîq Hassan Khan pia alichagua maelezo haya katika ar-Rawdhatun Nadiyyah 1:82 4 Swahîh Muslim no.401

Page 91: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

70

mwanamume ajitatie nguo yake pasi na kuileta pande zake pamoja mbele yake, kama atazileta pamoja, basi haitokuwa as-Sadl.”1

Kwahivyo hadîth hiyo imebeba makatazo ya kutofunga mbele ya nguo, na kuna hadîth zenye kuzungumzia kuhusu sehemu za nguo zilizounganishwa na kupigwa fundo (al-iltihâf), hususan “Multahif ni sampuli ya mshipi; pembe zake zimepigwa mafundo kwenye mabega na kufinika sehemu za mabega.”2

Ama kuhusu ruhusa kwa ujumla iliyotolewa kwa „abâ‟h, qabâ‟ na mfano wake3, mimi sijui kuhusu dalili yoyote inayoliruhusu hilo. Na Allâh ni mjuzi bora.

c) Kuvaa Jiguo Zito

Abû Sa‟îd al-Khudhrî‟ ( عنه الله رضي ) amesema, “Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) amekataza kuvaa as-swammâ‟.”4

Akafafanua Ibn Qutaybah, “Inaitwa sammâ‟ (ngumu) kwa sababu inafunga nafasi zote ikawa kama jiwe lisilokuwa na tundu.”5

Ina maana yakwamba hapana mikono au mifunuko ndani yake, kama vile burnus inayovaliwa kwenye mwili mzima, at-Twaylasân inayovaliwa juu ya mabega6 n.k, mavazi yote hayo yakiwa hayana mikono.

1 Gharîb al-Hadîth 3:482 2 Nukta ya Mfasiri: Huu ni ufafanuzi wa az-Zuhri kama ulivyopatikaniwa kutoka katika Swahîh al-Bukhâri (Muhsin Khan), Kitabu Cha Swala, Mlango wa 4, kuswali kwa nguo moja iliyozungushwa mwilini. Ni baada ya kichwa cha mlango na kabla ya hadîth ya Umm Hâni. Haikufasiriwa na Muhsin Khan katika tafsiri yake ya Swahîh al-Bukhâri. Katika mlango huo kumenukuliwa idadi ya hadîth zisemazo yakwamba ikiwa mtu ana nguo moja peke yake ya kuvaa, hapaswi kujizungushia mwilini mwake tu, bali ni lazima atumie pembe zake ajizungushie kupitia kwenye mabega yake. Hii ndiyo maana ya al-iltihâf – na nguo, inapovaliwa kwa sampuli hiyo inaitwa al-multahif. 3 Tizama Ghadhâ‟ al-Albâb 2:156 cha as-Saffârîniyyu, na Qawlul-Mubîn fiy akhtâ‟il-Muswallîn cha Mash-hur Hasan Uk.43 4 Swahîh al-Bukhâri (Muhsin Khan) Vol 1, Mlango 10 5 Tizama katika Fat-hul Bâri 1:477 na Sharh Muslim 4:76 6 Tizama Nayl al-Awtwâr 2:85

Page 92: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

71

Baadhi ya wanavyuoni hawadhani yakwamba ni sawa kutafautisha baina ya as-sadl na kuvaa tandiko gumu! Na Allâh ni mjuzi bora.

Tanabahi: Makatazo yanayotokana na as-sadl na kuvaa tandiko gumu, yanahusu kwa ujumla nyakati zote, iwapo ni siku za joto au baridi, na ni wazi yakwamba zinavaliwa sana wakati wa majira ya baridi. Hii hairuhusiwi. Lakini hatahivyo, katika riwaya iliyo swahîh1

ya hadîth ya wa‟il bin Hujr ( عنه الله رضي ) akielezea kuhusu Swala ya

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ), alisema mwishoe;

“...Kisha nikaja baadae katika wakati kulipokuwa na baridi nyingi. Niliwaona watu waliokuwa na nguo (maguo) nzito, ambazo chini yake walikuwa wakichezesha mikono yao.”

Hii ni makhsusi kutokea pindi kunapokuwa na baridi kali kutokana na umuhimu wake, kuwa na hadhari hapo.

d) Glavu

Katika majira ya baridi baadhi ya watu huvaa glavu kuilinda mikono yao kutokana na ukali wa baridi. Baadhi yao hubishana nao wakiwakataza kuzivaa, kwa kutumia hadîth iliyopokewa na Muslim, “Mimi nimeamrishwa kusujudu juu ya viungo saba...” wanasema yakwamba ni wâjib kuiwacha wazi mikono na uso kwa ajili hii. Huu ni mojawapo wa misemo miwili ya ash-Shâfi‟i kama ilivyopokewa na an-Nawawi katika Sharh Muslim, kisha akasema (2:155) “Na la sawa katika hayo ni kwamba si wâjib.” Na hii ndiyo rai ya sawa.

e) Swala Haliyakuwa Umeelekea Moto

Katika majira ya baridi, mara nyingi utakuta kuna vikanza moto (heaters) misikitini, wakati mwengine vikanza moto hivyo utavikuta vimewekwa mbele ya watu ili mvuke wa moto uwakanze moto mbele ya macho yao wakiwa wanaswali. Jee, kufanya hivyo inafaa au haifai? Amejibu Sheikh „Abdullâh bin Ibrâhim al-Qar‟âwi kwa kusema: “Kuweka vikanza moto au majiko ya moto mbele ya mwenye kuswali

1 Abû Dâwud no.727

Page 93: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

72

au watu yakawa yanawaelekea ni jambo la makruh1, kwa sababu mbili:

Sababu Mbili Za Umakuruhu:

I. Jambo hilo linafanana na ibada ya moto ya majusi. Imethibitishwa yakwamba majusi wanaabudu moto, kama ilivyo kwenye hadîth ya

Salmân ( عنه الله رضي ) pindi aliposema, „Na mimi nilikuwa na juhudi

kubwa na hawa majusi mpaka nikawa ni mwenye kukaa kando ya moto nikiupalilia, ili usije ukanizimikia.‟ Na maana ya „ili usije ukanizimikia‟ ni kuulinda ili usizime, emma miyale yake au makaa yake yabaki. Ni maarufu yakwamba vikanza moto ndivyo vilivyo, na kuelekea moto ukiwa unaswali ni lenye kuashiriya kufanana na

majusi, na Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alituonya dhidi ya kujifananisha na

wao aliposema,

« م ذ ةل تظته » “Mwenye kujifananisha na watu, basi naye ni katika wao.”2

Hivyohivyo wanavyuoni wengi, rehma za Allâh ziwe juu yao – wameutaja umakuruhu wa kuelekea mishumaa au moto wakati wa swala hata kama mwenye kuswali hakukusudia kuuabudu moto huo.

Kama ambavyo Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alivyokataza kuswali baada ya

swalât ul-fajr na asr kwa sababu ni wakati ambao washirikina ndipo wanapolisujudia Jua. Vilevile ni jambo linalojulikana mno yakwamba hairuhusiwi kwa Muislamu kusema yakwamba panaweza kutolewa udhuru kwa nyakati hizi pasi na sababu yoyote3. Ama kuhusu nyakati tatu za swala zilizokatazwa, hayo ni makatazo yaliyokokotezwa, na wala hapana hata mwanachuoni mmoja aliyesema yakwamba inaruhusiwa kuswali kisha maadamu mtu hana niya ya washirikina ya kulisujudia Jua n.k, wala hawasemi yakwamba kwa kawaida huwa

1 Kimsingi, ni haraam, na Allâh ni mjuzi aliye bora 2 Ahmad na Abû Dâwud kwa silsila iliyo hasan 3 Huu ni mjadala wa ki-fiqhi ambao mahala pake si hapa. Tizama huko mbele kwenye kiambatisho juu ya kuchanganya swala.

Page 94: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

73

hana niya hiyo, kwahivyo maana ya kutokuwa na niya kama hiyo katika nyakati hizo haikukatazwa! Hairuhusiwi kusema maneno kama hayo, kwa sababu makatazo yanabaki hadi siku ya kufufuliwa.

Imeswihi kupokewa yakwamba „Umar bin al-Khattwâb amesema, „Yanini kufanya ramal na kulidhihirisha bega wazi siku hizi, haliyakuwa Allâh ameshatuenzi sisi na Uislamu na kuukataa ukafiri na watu wake. Licha ya hayo, sisi hatuachi jambo lolote tulilolifanya

wakati wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى )1.‟ Hapa „Umar ( عنه الله رضي )

anazungumzia kuhusu ramal wakati wa Twawâf, na kwamba haitoachwa tu hivihivi kiurahisi kufanywa kwa sababu ilikuwa

imezoeleka kuwa ni njia ya shirk kwa Allâh ( وتعالى سبحانه ). Ama kuhusu

kuukabili au kuuelekea moto wakati wa swala, hiyo ni njia ya kuwaiga maadui wa Allâh, na ni mojawapo ya mambo yaliyofungamana na

shirk na miongoni mwa njia zake, na Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliihami

mipaka ya tawhîd na kuzifunga njia zote zinazoelekeza kwenye Shirk. Ni jambo lenye kufahamika yakwamba kufunga milango ya madhara ni katika mambo yenye umuhimu sana, ni wajibu kwa mufti aliweke

mbele yake. Ibn al-Qayyim ( الله رحمه ) ametaja haya kwenye kitabu

chake I‟lâm al-Muwaqqi‟în katika nukta ya 31; “Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alichukia kukielekea kitu chochote ambacho kilichowahi kuabudiwa

kinyume na Allâh ( وتعالى سبحانه ), kukata njia zenye kuashiriya kumsujudia

asiyekuwa Allâh ( وتعالى سبحانه )‟”.

II. Hili linaingia kwenye makatazo ya ujumla kutoka kwa Mtume ( صلى

وسلم عليه الله ) ya kukielekea kitu chenye kukushawishi wakati wa swala.

Kuna hadîth zote mbili na âthâr kuhusu jambo hili: Anas ( عنه الله رضي )

amesema, „Â‟ishah ( عنها الله رضي ) alikuwa na pazia aliyokuwa akiiangika

kwenye ukuta wa nyumba yake, Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akamwambia,

1 Maana kama hiyo kutoka kwake ( عنه الله رضي ) imepokewa katika Swahîh al-

Bukhâri.

Page 95: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

74

يعي خن » ل حزال حصاويره تػرض ل ف صلت كرامم ذا أ « ، فإه

“Hebu niondolee hii pazia yako, kwa sababu urembo wake hauwachi kunishawishi pindi ninaposwali.”1

„Uthmân bin Twalha ( عنه الله رضي ) amesimulia yakwamba Mtume ( عليه الله صلى

,alimwita baada ya kuingia ndani ya Ka‟bah. Akasema (وسلم

يج كرن اىهبض خين دخيج اليج، فنصيج »ن إني نج رأ

ن آمرك أ

أ

ر ات ر ن يسن ف ا، فخ ل ينتغ أ كتيث فإه ء ي و ظغ اليج ش

صل « ال

„Nimeziona pembe za kondoo nilipoingia ndani ya Nyumba, lakini nikasahau kukwambia uzifinike. Kwahiyo zifinike, kwa sababu hapafai kuwepo na kitu kwenye qiblah cha Nyumba

chenye kumshawishi mwenye kuswali.‟2

Na kutoka katika athâr:

Imepokewa kutoka kwa Mujâhid yakwamba alisema, „Ibn „Umar ( الله رضي

hakuwa akipenda kuwa na upanga au mus-hâf mbele yake (عنه

anapokuwa kwenye swala.‟

Khusayf amepokewa kuwa alisema:

“Pindi „Ibn „Umar ( عنه الله رضي ) alipoingia, alikuwa haoni kitu

chochote kwenye qiblah cha msikiti – ukawa ni mswahafu au kitu chochote chengine – isipokuwa alikuwa akikiondoa. Ikiwa kilikuwa kuliani mwake au kushotoni mwake, alijiepusha nacho tu.‟

11 Ahmad na al-Bukhâri. 2 Ahmad na Abû Dâwud, ni swahîh kulingana na al-Albâni aliyeirejesha kwenye Swifât as-Swalât

Page 96: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

75

Kutoka kwa Mansûr, kutoka kwa Ibrâhîm yakwamba alichukia kwa mswahafu au kitu kinachofanana nacho kiwepo juu ya kiti cha farasi anaposwali nacho mbele yake.1

Vilevile alisema, „Hawakupenda kuswali haliyakuwa kitu chochote kiwepo mbele yao.‟ Na Allâh ni mjuzi bora.”2

Baadhi wanajaribu kuthibitisha kuruhusiwa kwake kwa mlango wa al-Bukhâri katika swahîh yake, “Mwenye kuswali haliyakuwa mbele yake kuna tanuu la joto au moto au kitu chochote chenye kuabudiwa lakini akawa amemkusudia Allâh kwa kufanya hivyo”! kisha akasimulia

hadîth ya Anas ( عنه الله رضي ) yakwamba amesema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ),

صل ار غرضج عليه النه » « وأا أ

“Nilionyeshwa moto mbele yangu wakati nilipokuwa nikiswali.”

Yafuatayo ni majibu ya haya:

a) Dalili yenyewe inakwenda kinyume waziwazi na madai kama hayo,

amesema al-Ismâ‟îlî, “Allâh alichomuonyesha Mtume wake ( عليه الله صلى

kuhusiana na moto si cha kulinganishwa na ibada ya moto (وسلم

unaoelekewa na watu wenye kuuabudu.”

Amesema Ibn at-Tîn:

“Hakuna dalili ndani yake kwa tafsiri hii kwa sababu yeye Mtume

( وسلم عليه الله صلى ) hakufanya hivyo kutokana na chaguo lake, Allâh

alimletea mbele yake kwa ajili ya kubainisha tu aliyoyakusudia kwa waja wake.”

Ibn Hajar amezinukuu dondoo hizi mbili, kisha akasema, “Kuna matatizo katika suala hili, kwa sababu chaguo la kulifanya au

kutolifanya, kwa upande wake ( وسلم عليه الله صلى ), ni sawa kwenye mas‟ala

1 Chini ya madda hii kunaingia mapambo ya âyât za Qur‟ân na mfano wake. 2 Majmû‟ al-Ajwibatil-Mufîdah Uk.47-49

Page 97: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

76

ya sampuli hii – kunyamazia kwake katika kukosea ni dalili yakuwa hali zinazofanana na hiyo zinaruhusiwa.”1

Haya yameshikamana na yafuatayo:

i. Yakwamba hali kama hiyo inaruhusiwa iwapo kihakika imefanana, sio kwamba haikuwekewa masharuti. Hapa, moto aliwo-

uona Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) ulikuwa ni “ishara iliyo miongoni mwa

„ilmu iliyofichikana, imepindukia makisio2.” Haukuonekana na yoyote

aliyekuwa nyuma yake, bali Allâh (سبحانه وتعالى) alimuonyesha yeye peke

yake ( وسلم عليه الله صلى ).

ii. Hakuambiwa mtu yoyote aliyeswali nyuma yake ( وسلم عليه الله صلى ) yakwamba “aliswali kwa kuuelekea moto.” Kwa maana yakwamba lau kama moto ungelijitokeza kwao wote, basi hili huwenda lingesemwa kuwahusu wao. Kwahivyo kuna kuondoka kutoka kwenye hikma hapa.

iii. Al-„Ainî amesema, “Sisi hatukubali yakwamba zimefanana. Umakuruhu wake umethubutu inapokuwa ni jambo la khiyari, katika hali ambayo khiyari inapokosekana basi umakuruhu unaondoka..”3

b) Amesema Ibn Hajar, “Katika (mlango) huu, mtunzi hakuona karaha ndani yake, wala kitu kibaya kuliko hicho4, lakini alitaka kutafautisha baina ya hali ambayo moto ulivyobaki mbele yake na kwenye qiblah chake, na alikuwa na uwezo wa kukiondoa au kujiepusha nao, na katika hali ambayo hakuweza kufanya hivyo, kwahivyo haizingatiwi kuwa ni makuruhu katika hali ya pili.”5

c) Imebainishwa yakwamba baadhi ya Salaf wamelipinga jambo la kuswali haliyakuwa moto ukiwa mbele yao. Imepokewa na Ibn Abî

1 Fat-hul Bâri 1:528 2Fay-dhul Bâri 2:45, cha al-Kashmîri 3 „Umdat il-Qâri 3:444 4 Al-„Ainî, katika „Umdat il-Qâri 3:444, alifahamu kutokana na alivyoupangilia mlango wake yakwamba hakuona makuruhu yoyote ndani yake. Tanabahi na nukta hii. 5 Fat-hul Bâri 1:528

Page 98: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

77

Shaybah yakwamba Ibn Sirîn alichukia kuswali akiwa amelielekea jiko la moto au mekoni (mahali pa mapishi).1

Kuswali Juu Ya Mnyama Wa Kipando Au Ndani Ya Gari Kwa Kuchelea Aina Fulani Ya Madhara

Amesema Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah:

“Swala ya faradhi inayoswaliwa juu ya mnyama wa kipando kwa kuchelea kukimbiwa na msafara, au kudhuriwa na jambo lolote, ni sawa.”2

Amesema Ibn Qudâmah:

“Akilazimika mtu kusujudu, na akahofia yakwamba mikono yake au nguo yake itatapakaa matope au unyevunyevu, basi anaweza kuswali juu ya mnyama wake, akiashiriya kwenye kusujudu.” Kisha akasema, “Imepokewa kutoka kwa Anas yakwamba aliswali akiwa juu ya mnyama wake, kwenye maji na matope, na kwamba Jâbir na Zayd pia walifanya kama hivyo, na Twâwûs akaamrisha jambo hilo, kama alivyoamrisha „Ummârah bin Ghaziyah.”3

Amesema Imâm at-Tirmidhi, “Jambo hili linafanywa na wanavyuoni na ndiyo misimamo ya Ahmad na Is-hâq.4

Kuswali Mapema Kwenye Siku Za Kiwingu

[At-Tabkîr Bis-Swalâh]

Amesema Abû Malîh, “Tulikuwa pamoja na Buraydah kwenye vita katika siku iliyokuwa na kiwingu. Akasema, „Tuharakisheni (bakkîruw)

kunako swala ya „asr, kwani mimi nilimsikiya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akisema; “Yoyote mwenye kuiwacha swalât ul-„asr, basi „amali zake hupotea.”‟”

1 Fat-hul Bâri 1:528 2 Al-Ikhtiyârât il-„Ilmiyyah Uk.74 3 Al-Mughnî 2:323 4 Sunan at-Tirmidhi 2:268

Page 99: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 4 Swala

78

Hâfidh Ibn Hajar amesema:

“Maana ya tabkîr ni kuitekeleza swala katika wakati wake wa mapema. Tabkîr imetokamana na kufanya kitu bukratan na al-bukrah (asubuhi) ni mwanzo wa siku. Kwahivyo ina maana ya kulifanya jambo katika wakati wake wa mapema.”1

1 Fat-hul Bâri 2:66

Page 100: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 5 Al-Masâjid

79

MLANGO 5

AL-MASÂJID

Katika Mlango huu kuna mas‟ala matatu.

1. Kukatiza Mistari Kutokana Na Vipasha-Moto Mwanachuoni mkubwa, sheikh wetu al-Albâni aliandika kuhusu suala la kuswali baina ya nguzo na kukatiza kwake mistari1: Mfano wa hayo ni vipasha-moto vinavyokatiza mistari kutokana na mahali vinavyowekwa na kuvisababisha vifanye hivyo kwenye masjid, pasi na imâm wa masjid au mtu yoyote anayeswali hapo kukemea kuhusu hatari yake. Kwa njia hii, watu huwa; a) Wametengwa kutoka kwenye ufahamu wa kisawasawa wa ki-Dini. b) Wanaongezeka kwenye kutojihusisha kwao katika kutahadharisha

dhidi ya yaliyokirihishwa au kuharamishwa na sharî‟ah.”2

2. Mtu Kuinuka Mwenyewe Aombe Swala Zichanganywe Au Zisichanganywe

Jambo hili hutokea mara nyingi kwenye misikiti, mpaka mwishoe huleta vurugu kubwa, likadhihirisha ujinga wa hali ya juu na uchache wa „ilmu!! Mmoja atasema, “Changanya!.” Na mwengine nae aseme, “Usichanganye!!” mtu wa tatu atarukia kumsaidia wa kwanza!!, na mwengine ataingilia kumsaidia mpinzani wake... na hali kama hivyo... Kwa hakika jambo hili halifai kufanyika, hususan kwenye msikiti ambao sheriya za adabu za Uislamu na tabia njema zisipofaa

1 Mimi nnacho kitabu kidogo juu ya madda hii kiitwacho, Tawfîq al-Bâri ... kimeshachapishwa. 2 Silsilat al-Ahâdîth as-Swahîhah 1:592

Page 101: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 5 Al-Masâjid

80

kupuuzwa. Katika kuzidi kubainisha hukmu kuhusu mas‟ala haya, ningelipenda kutaja nukta mbili: A. Imâm ndiye kiongozi wa wafuasi, yeye ndiye anayepaswa kujibu katika mambo anayoyafanya baina yake na Mola wake. Kama

alivyosema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ),

« في خص، فإن أ ام ضا شاء، حػن، ذػ ال

، وإن أ ول ، ول « يي

“Imâm ndiye mwenye jukumu, iwapo atafanya uzuri, basi yeye atalipwa wema na wao watalipwa wema, na iwapo atafanya

makosa, yaani, itakuwa ni dhidi yake na wao watalipwa wema wao.”1

Basi yoyote atakae kuchanganya muacheni afanye hivyo, na yoyote asiyetaka, na asiweze kujileta katika kukubaliana nalo, basi anaweza emma kuswali akiwa amekusudia kuswali swala ya sunnah, au anaweza kuondoka kwa makini na amani. Jambo hili halimzuii yeye kulijadili kwa njia ya amani juu ya msingi wa ki-„ilmu baada ya swala, yaani, mjadala wenye lengo la kuibainisha haki na kusaidia katika kulirahisisha suala hilo. B. Masjid ni mahali patakatifu penye daraja ya kuheshimika, ambayo hairuhusiwi kukiukwa na kupuuzwa: As-Sâ‟ib bin Yazîd amesema:

“Nilikuwa nimesimama ndani ya masjid, mara mtu mmoja akaanza kunirushia mimi vijiwe, nikamwangalia na kumbe alikuwa ni „Umar bin al-Khattâb. Akaniambia, „Hebu nenda ukanishikie na uniletee wale watu wawili.‟ Basi nikamletea, akawauliza, „Nyinyi mwatoka wapi?‟ Wakamjibu, „Sisi twatoka at-Twâif‟, akawaambia, „Lau kama nyinyi mungelikuwa ni watu wa mji huu, ningeliwatia

1 Imepokewa na Ibn Mâjah, no.981. al-Busayri (Misbâh az-Zujâjah 1:192) ameizingatia kuwa na ila kutokana na „Abdul-Hamîd bin Suleimân. Lakini hata hivyo, inayo mashahidi, tizama katika Silsilat al-Ahâdîth as-Swahîhah no.1767 cha sheikh wetu.

Page 102: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 5 Al-Masâjid

81

adabu! Kwa kupaaza sauti zenu kwenye Msikiti wa Mtume ( الله صلى

وسلم عليه )!‟”1

Amesema Hâfidh Ibn Hajar:

“Hukmu ya hadîth hii ni marfu‟ kwa sababu „Umar hangeliwatishia kuwachapa kwa viboko2 isipokuwa ilikuwa ni katika kufuata amri.”3

Mâlik amepokea yakwamba „Umar bin al-Khattâb ( عنه الله رضي ) alijenga

uga (kiwanja cha michezo) kando ya masjid akaupa jina la ukumbi wa Ummah. Alikuwa akisema, “Yoyote atakae kufanya fujo, kusoma mashairi, au kupaaza sauti yake basi na atoke ende kwenye ukumbi wa ummah.”4

Kusimamisha Swala Katika Wakati Wake Kwenye Masjid Baada Ya Kuwa Imeshaswaliwa Kwa Njia Ya Kuchanganywa (Jam’u) Mpangilio huu haugongani na kuchanganywa mapema kwa swala5 kwa sababu kuna baadhi ya watu ambao hawakuwasili kwa wakati wa kuchanganya swala pamoja na wenzao, haliyakuwa wengine hawakuhudhuria kabisa kutokana na kazi zao au mambo mengine yaliyokuwa yamewashughulisha. Kwahivyo kujumuika kwenye masjid katika wakati wa swala kwa adhân na kuitekeleza swala kama kawaida yake itabaki vilevile. Hakuna maandiko yoyote yenye

1 Al-Bukhâri ameupa jina mlango huo, “Kuinua sauti ndani ya masjid” (vol. 1; kitabu cha Swala, mlango wa 83) akiashiria yakwamba hukmu kama hiyo inahusiana na masjid kwa ujumla. 2 Kama ilivyo-onekana kwenye matamshi na al-ismâ‟îli. 3 Fat-hul Bâri 1:561 4 Muwatta‟ no. 581. Tafsiri iliyopokewa na Abî Mus‟ab az-Zuhri. Imesajiliwa kwenye tafsiri iliyopokewa na Yahya 1:175 bila ya isnâd! Lakini imenasibishwa na silsila zilizo swahîh za al-Qa‟nabi, Mutarrif, na Abî Mus‟ab; kutoka kwa Mâlik, na kupokewa na an-Nadhr kutoka kwa Sâlim, kutoka kwa Ibn „Umar, kutoka kwa „Umar kama ilivyo-onekana katika al-istidhkâr 6:355. Tambua yakwamba tafsiri iliyo maarufu ya Muwatta ya Abî Mus‟ab iliyochapishwa na nukta za Dr. Bashâr „Awâd imekuja bila ya riwaya kutoka kwa Ibn „Umar 5 Tizama mjadala uliotangulia

Page 103: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 5 Al-Masâjid

82

kukhalifiana na niliyoyasema hapa wala sijaona shaka yoyote iliyoletwa kuhusiana na suala hilo. Na Allâh ndiye mjuzi bora.1

1 Marejeo I‟lâm al-Âbid, Uk. 136 cha Mash-hûr Hasan Salmân.

Page 104: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 6 Swiyâm

83

MLANGO 6

SWIYÂM

Katika mlango huu kuna mas‟ala manne:

1. Kufunga Katika Siku Ya Kiwingu

“Kwa vile mwezi huwenda ukawa ni emma siku ishirini na tisa au siku thalathini, ni lazima kwa Ummah wa ki-Islamu kuhisabu masiku ya mwezi wa sha‟bân katika kujiandaa kwa Ramadhân, kufunga kwa kuuona hilâl (mwezi kongo). Lakini iwapo mawingu yatatatiza jambo hilo, basi siku thalathini zitakamilishwa za sha‟bân, kwa sababu Allâh ameuja‟aliya hilâl kuwa ni kitu chenye kuashiriya wakati kwa Mbingu na Ardhi, ili wana-adamu waweze kujua na kuandamiza miaka, na mwezi hautozidi siku thalathini.”1

Amepokea Abû Hurairah ( عنه الله رضي ) yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) amesema,

ف »، وأ ، فإن د صما لرؤيخ ة طػتان ه عروا لرؤيخ يا غده ك

، فأ غييس

« ذلثين

1 Swifat Swaum an-Nabî fiy Ramadhân kwa kalamu yangu nikishirikiana na al-akh Salîm al-Hilâlî.

Page 105: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 6 Swiyâm

84

“Fungeni mutakapouona na mufungue mutakapouona. Na lau utafichikana kwenu basi kamilisheni siku thalathini (katika

mwezi wa) Sha‟bân.”1

Amesema Ibn „Umar, “Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) amesema:

« ه غييس لل، ول تفعروا خته حروه، فإن د ل حصما خت حروا ال « فاكدروا ل

„Musifunge mpaka muuone mwezi kongo (hilâl), na wala musile mpaka muuone. Na lau utafichikana kwenu basi ukisiyeni kwa

hisabu.‟”2

2. Munapofungua Swaum Zenu Wakati Wa Ramadhân Kisha Jua Likajitokeza3

Asmâ‟ bint Abu Bakr amesema:

ذع » رمضان ايا ر أ ف -صلى الله غيي وشي -النب على غد

س ه ظيػج الظه ، ث « غي

“Siku moja, katika mwezi wa ramadhan –wakati wa zama za

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ), tulifungua swaum mara mawingu

yakatanda kisha baadae jua likajitokeza.”4

Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah amesema, “Hili linathibitisha mambo mawili:

1 Al-Bukhâri (1909) na Muslim (1081) 2 Ibid. Tizama vilevile Majmû‟ al-Fatâwa cha Ibn Taymiyyah, 25:98-103 3 Fat-hul Bâri 4:199 4 Al-Bukhâri kwenye swahîh yake, vol. 3, Kitabu cha Swaum; Mlango wa 46.

Page 106: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 6 Swiyâm

85

A. Yakwamba katika hali ya kutanda kwa mawingu, haikupendekezwa kuchelewesha (kufungua) mpaka iondoke shaka ya kutwa kwa jua – kwa sababu wao hawakufanya hivyo,

wala hawakuamrishwa na Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kufanya hivyo.

Kwa hakika, Maswahaba pamoja na Mtume wao ( وسلم عليه الله صلى ) ni

wajuzi zaidi na watwi‟ifu kwa Allâh na Mtume wake ( عليه الله صلى

.kuliko mtu yoyote atakaekuja baada yao (وسلم

B. Al-Qadhâ‟ (kulipa siku iliyoachwa) si muhimu, kwani lau kama

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) angeliwaamrisha wailipe, basi

ingelielezwa kwa watu kama ambavyo ilivyopokewa kufungua swaum zao. Ndio kwa vile jambo hilo halikupokewa basi linathibitisha yakwamba hakuwaamrisha kufanya hivyo. Sasa, lau ikisemwa, „Lakini Hishâm bin „Urwah aliulizwa, “Jee waliamrishwa wailipe?” akawajibu, “Bila ya shaka.”?!‟ Basi jawabu ni kwamba Hishâm alisema iliyokuwa rai yake, sio kilichopokewa kwenye hadîth. Kuthibitisha yakwamba alikuwa hajui kuhusu mas‟ala haya ni kwamba amepokewa Ma‟mar akisema, „Nimemsikiya Hishâm akisema, “Mimi sijui iwapo wao waliilipa au laa.” Riwaya zote mbili, hii na ya kutoka kwa mamake - Fâtimah bint al-Mundhir - kutoka kwa Asmâ‟ zimepokewa na al-Bukhâri.

Sasa Hishâm amepokea kutoka kwa babake, „Urwah, yakwamba hawakuamrishwa kulipa, na „Urwah ni mjuzi zaidi kuliko mwanae, na haya ndiyo maneno ya Is-hâq bin Râhaway, na yeye ni mwenzake Ahmad, na madh-hab zao zinaafikiyana kwenye ncha zote mbili, kwenye misingi na vitagaa vyake.”1

Mimi nasema:

Na kutolipa ndiyo maneno yaliyopokewa kutoka kwa Ahmad, kama yalivyo-onekana katika Fat-hul Bâri 4:200. Vilevile Ibn Hajar ameashiriya yakwamba kuna ikhtilafu kwenye mas‟ala haya.

1 Majmû‟ al-Fatâwa cha Ibn Taymiyyah, 25:231-232

Page 107: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 6 Swiyâm

86

Amesema Ibn Khuzaymah:

“Hakuna chochote kwenye riwaya hii kinacho-onyesha yakwamba waliamrishwa kuilipa, bali ni kutoka katika maneno ya Hishâm (peke yake) “Ni lazima ilipwe!” Sio kutoka kwenye riwaya yenyewe. Kwahivyo haijathibitishwa kwangu yakwamba walilazimika kuilipa, kwani walipofungua swaum, kulingana na wao wenyewe ilikuwa jua limeshazama, kisha mara ikadhihirika yakwamba kumbe halijazama, kama alivyosema „Umar bin al-

Khattâb ( عنه الله رضي )1, „Wallâhi, hatutoilipa siku hii; hatukufanya

madhambi.‟”2

Amesema Ibn al-Munnyr:

“Ni wazi kutokana na hadith hii yakwamba mwenye jukumu amejulishwa. Kwahivyo, na kama watajaribu kulitizama na wakakosea, basi hapatokuwa na madhara juu yao katika suala hilo.”3

3. Hukmu Ya Aliyefunga, Anapokula Theluji

Amesema Anas ( عنه الله رضي );

“Tulinyeshewa na mvua ya theluji na Abû Twalhah alikuwa amefunga. Akaanza kuibwakia mdomoni mwake na kuimumunya, tukamwambia, „Wewe unakula haliyakuwa umefunga?‟ Akatujibu, „Hii si chochote bali ni barakah!‟”4

Ibn Hazm amesema, “Miongoni mwa mambo ya ajabu ni kwamba Abû Twalhah alikuwa akimumunya theluji haliyakuwa amefunga na huku akisema, „Huku si kula wala kunywa‟!”5

1 Imepokewa na Ibn Abî Shaybah katika Musannaf yake, 3:24 2 Swahîh Ibn Khuzaymah 3:239-240 3 Tizama Fat-hul Bâri 4:200 4 Silsila yake ni swahîh kama alivyosema Ibn Hazm katika Ihkâm ul-Ahkâm 6:83, na Sheikh wetu akaikubali kwenye chapa mpya ya Silsilat ul-Ahâdîth udh-Dhwa‟ifah 1:154, na al-Bazzâr akasema, “Kitendo hiki hakijulikani isipokuwa kutoka kwa Abû Twalhah.” 5 Al-Muhalla 6:255

Page 108: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 6 Swiyâm

87

Sheikh wetu amesema, “Na hadîth hii iliyo mawqûf (kitendo au maneno yaliyokomea kwa Swahaba tu) ndio miongoni mwa dalili za urongo wa hadîth hiyo, „Maswahaba zangu ni kama nyota, yoyote miongoni mwao utakaemfuata, utaongoka.‟1 Pindi iwapo hayo yatakuwa sawa basi mwenye kumumunya theluji mdomoni mwake wakati wa Ramadhân atakuwa swaum yake haibatiliki kwa kumfuata

Abû Twalhah ( هعن الله رضي ) – na hili ni jambo ambalo hapana Muislamu

yoyote leo awezae kufikiria kulisema.”2

Katika Sherh „iIal at-Tirmidhi 1:12, ametaja Hâfidh Ibn Rajab kitendo hiki kuwa ni miongoni mwa mambo wanayokubaliana wanavyuoni kujiepusha nayo na kutoyatekeleza.

4. Swaum Ya Fursa

Imeswihi kupokewa kutoka kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) yakwamba

amesema,

ث الاردة » ي خاء اىغ م ف الظ «الصه

“Swaum katika msimu wa baridi ni ngawira (ghanimah) baridi.”

Ni hadîth iliyothubutu na yenye njia nyingi zilizochunguzwa na sheikh wetu, mwanachuoni mkubwa al-Albâni katika silsilat al-Ahâdîth as-Swahîhah no. 1922, ambacho msomaji atafaidika atakapo kipitia.

1 Angalia katika Kashf al-Khafâ‟i 1:147, at-Talkhîs al-habîr 4:190, Lisân al-Mîzân 2:488, na vilevile angalia hadîth no. 7, katika Mlango wa Kumi Na Mbili wa Kitabu hiki. Nukta ya mfasiri: Msomaji huwenda akafaidika na tafsiri yetu ya kitabu “Namna ya Swala ya Mtume Ikielezwa...”, katika Kiambatisho 1. Kitabu chenyewe vilevile kimechapishwa na QSSEA. 2 Tizama katika marejeo yaliyotangulia kwenye maandishi.

Page 109: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 7 Zakâh

88

MLANGO 7

ZAKÂH

Na kutaja mlango huu hapa, ni katika kuhimiza kuhusiana na suala hilo, na kuwahofisha wale ambao walioacha na kuipuuza, kwani hayo ni miongoni mwa sababu za ukame na dhulma na sampuli nyengine za maafa1, kando na uhakika yakwamba ni miongoni mwa aina kubwa zaidi za madhambi na ma‟asiya. Imethubutu kupokewa kutoka kwa

Ibn „Umar ( عنهاللهرضي ) kutoka kwa Mtume ( وسلم صلى الله عليه );

ػا زكة » ح ول ل ائ ل ال اء ول الصه ػا اىلعر إله ال مأ

عروا « ح

“Na wala hawazuii zakâh juu ya mali zao isipokuwa matone ya mvua kutoka Mbinguni huzuiwa. Na lau kama si kwa ajili ya

wanyama hawangelipata mvua kabisa.”

Na kutoka kwa Buraydah ( عنه الله رضي ) yakwamba amesema ( وسلم عليه الله صلى );

اىلعر ... » خ كة إله خبس الله م رط الزه ع ك « ول

“...na watu hawazuii zakâh, isipokuwa Allâh huzuiya matone ya mvua kwao.”2

Imepokewa kuhusu aya ifuatayo;

ولئم ييػ ٱأ لل ن ٱوييػ ١٥٩ ىل ػ

1 Tizama vol.1 no. 167 ya kitabu kilichotangulia kutajwa kwenye maandiko. 2 Ibid no. 106 na 107.

Page 110: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 7 Zakâh

89

“Hao anawalaani Allâh, na wanawalaani (kila) wenye kulaani.”1

Amesema Mujâhid, “Ni wanyama wa hapa ulimwenguni, husema, „Sisi tumekoseshwa mvua kwa madhambi yenu.‟”2

1 Al-Baqarah 2:159 2 Tafsîr at-Twabari 2:33, na at-Twabarâni katika ad-Du‟â‟ no.955

Page 111: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 8 Jihâd

90

MLANGO 8

JIHÂD

Kwa maana ya Jihâd iliyofaradhishwa, iliyopuzwa na wapendekezaji wake, ikapingwa na maadui zake, ambayo wadai wake walizembea katika kuitolea hukmu. Ni wangapi walioipunguzia cheo chake na kuitweza! Na ni wangapi walioghurika bila ya kujali na kujipa vyeo! Na ni wangapi walioitolea madai ya kiufidhuli, na ni wangapi maadui zake! Misingi ya sawa ya Jihâd imedhihiri kuongozwa na Kitâb na Sunnah, na ufahamu wake wa sawa umeangaziwa juu ya njia ya Salaf wa Ummah... kisha baada ya kupata ufahamu wa „ilmu na vitendo na kupambana na kuwa na tabia njema... Sisi tutawatajia suala moja tu katika mlango huu wa kitabu chetu, nalo ni kuyasherehesha maneno ya Allâh yasemayo;

رض ...» و نخ طر أ ذى

أ إن كن ةك اح غييك ول ج

ا ن حضػ أ سيحخك

١٠٢« ...أ

“... na hapana madhambi juu yenu ikiwa mnaona udhia sababu ya mvua au ikiwa ni wagonjwa, kutochukuwa silaha

zenu ...”1 Al-Baghawi amesema: “Makubaliano yamepitishwa ya kubwaga silaha itokeapo mvua na maradhi kwa sababu silaha humchosha mwenye kuibeba wakati wa hali hizi mbili.”1

1 An-Nisâ‟ 4:102

Page 112: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 8 Jihâd

91

Amesema al-Qurtubi, “Katika kuwajibisha kubeba silaha katika swala, wanavyuoni wana maneno waliyoyaashiriya kuhusiana na hayo, na lau kama si wâjib, basi itakuwa imependekezwa ki-urahisi kutokamana na maoni ya tahadhari. Kisha kuna mapatano ya kutozibeba katika wakati wa mvua kwa sababu huwenda zikamchafulia mtu nguo zake, zikawa ni mzigo na kukifanya chuma kishike kutu.”2

1 Ma‟âlim at-Tanzîl 2:280. Vilevile tizama katika Zâd al-Masîr 2:187 na al-Awswat 5:42 cha Ibn al-Mundhir 2 Al-Jâmi‟ li-Ahkâm al-Qur‟ân 5:372. Vilevile tizama sababu za kuteremshwa kwa ayah kwenye Swahîh Musnad min Asbâb un-Nuzûl cha ndugu yetu mkubwa Sheikh Muqbil bin Hâdi al-Wâdi‟.

Page 113: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 9 Adhkâr

92

MLANGO 9

ADHKÂR

1. Du‟â‟ Ya Al-Istisqâ’ [Maombi Ya Mvua) Hizi ni nyingi sana. An-Nawawi amezitaja baadhi yake katika al-Adhkâr (1:462-466) kisha akapokea yakwamba amesema Imâm ash-Shâf‟i, “(Ndani yake) mwenye kuomba huleta istighfâr kwa wingi, huanza nayo kwa du‟â‟ yake, na kuileta baina ya maombi mengine, na humalizia kwayo. Huletwa kwa wingi kiasi cha kwamba inakuwa ni kama kibwagizo chenye kutenganisha baina ya mamobi yake. Huhimiza watu watubie, wawe ni watwi‟ifu na kujikurubisha zaidi

kwa Allâh ( وتعالى سبحانه ).

Mimi nasema: “Naye ( الله رحمه ), alikuwa akikusudia kwa hilo maneno ya

Allâh aliposema;

ٱػليج سخغفروا إ ارا ۥربك اء ٱ يرسو ٪كن غف غييك لسدرارا ٫

“Nikawaambia: Ombeni msamaha kwa Mola wenu. Hakika yeye ni mwingi wa msamaha. Atakuleteeni mawingu

yanyeshayo mvua nyingi.”1

2. Du‟â‟ Utokeapo Upepo Mkali

„Â‟ishah ( عنها الله رضي ) amesema, “Pindi upepo unapovuma kwa nguvu,

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alikuwa akisema,

1 Nuh (71):10-11

Page 114: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 9 Adhkâr

93

ها وشى اللهم » عوذ بك نو شىرسلت به وأ

لك خيها وخي نا أ

سأ

إنى أ

رسلت به «نا أ

“Ewe mola wangu, hakika yangu mimi nakuomba yaliyo mazuri yake, na mazuri uliyoyatumiliza pamoja nayo, na najilinda kwako na mabaya yake na mabaya uliyoyatumiliza pamoja

nayo.”1 Na chini ya madda hii kuna du‟â‟ nyingi nyengine kama hizo.

3. Du‟â‟ Unapo-Ona Mawingu Ya Mvua

„Â‟ishah ( عنها الله رضي ) amesema yakwamba pindi Mtume ( وسلم عليه الله صلى )

alipokuwa akiona mawingu yakitandazika kwenye upeo alikuwa akiwacha kila alilokuwa akifanya hata kama alikuwa akiswali. Kisha alikuwa akisema,

ه إن » ا اليه ش ذ ةم غ « أ

“Ewe Mola, hakika yangu mimi najilinda kwako na shari yake.” Na ikiwa (wingu hilo) limeleta mvua, alikuwa akisema,

يئا» ه صيتا «الي

“Yâ Allâh ifanye iwe ni mvua sahali.”

Katika riwaya nyengine;

ه صيتا افػا » «اليه“Yâ Allâh ifanye iwe ni mvua yenye manufaa.”2

1 Swahîh Muslim no.899. katika sunan ya Ibn Mâjah (3727), Sunan Abû Dâwud (5097) kwa isnâd amabyo ni hasan kulingana na an-Nawawi (al-Adhkâr 521) kuna makatazo ya kuulaani upepo, na maamrisho ya kumuomba Allâh yaliyo mazuri yake na kujilinda kwa Allâh na uovu wake. Kwa maombi zaidi chini ya madda hii, tizama katika Silâhul-Mu‟min Uk. 462-3 cha Ibn al-Imâm. 2 Ya kwanza imepokewa na Abû Dâwud, Ibn Mâjah na Ahmad kwa isnâd iliyokuwa na nguvu. Ya pili ilipokewa na al-Bukhâri.

Page 115: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 9 Adhkâr

94

Maana yake ni, “Mimi nakuomba swayyib au ifanye iwe swayyib. Na as-Swayyib ni mvua ambayo maji yake hutiririka kwenye mito, kama alivyosema an-Nawawi katika al-Adhkâr. Du‟â‟ kwa ujumla ni jambo lililopendekezwa wakati mvua inaponyesha, kulingana na aliyoyapokea ash-Shâf‟i katika al-Umm, na al-Bayhaqi kwa njia iliyopitia kwake katika al-Ma‟rifah, kwa njia ya

mursal kutoka kwa maqhûl, yakwamba amesema Mtume ( عليه الله صلى

,(وسلملة، وزول » ث الصه عء غد اللاء الجيش، وإكا اظيتا اشخجاةث الد

« اىغيد

“Tafuteni ili mupate kutakabaliwa du‟â‟ zenu wakati maadui wanapopambana, wakati munapoanza swala na wakati mvua

inapoteremshwa.”1

4. Du‟â‟ Unaposikia Ngurumo Za Radi „Ammâr bin „Abdullâh bin az-Zubayr amepokea kutoka kwa „Abdullâh

bin az-Zubayr ( عنه الله رضي ) yakwamba pindi alipokuwa akisikiya radi,

alikuwa akinyamaza mazungumzo yake na akisema,

« خيفخ لئسث ده وال ي يصتح الرهغد ب «شتدان اله “Ametakasika yule ambaye radi inamsabihi kwa kumuhimidi na (pia)

Malaika (humsabihi) kwa kumuogopa.” Kisha alikuwa akisema; “Kwa hakika hili ni onyo, na onyo hili kwa watu wa ardhini ni kali.”2

1 Kuna maficho na udhaifu uliopokewa kumuhusu mmojawapo wa wapokezi wake lakini akapewa nguvu na kilichosimama kama shahidi wake, kama ilivyoelezwa na al-Mundhiri katika at-Targhîb (1:116) na Ibn al-Qayyim katika Zâd al-Ma‟âd (1:416), na Sheikh wetu al-Albâni akayakubali hayo yakwamba ni hasan katika Silsilat al-Ahâdîth as-Swahîhah no. 1469 2 Riwaya hii imepokewa katika chapa ya Mus‟ab ya Muwatta‟ no. 2094. Vilevile imetokea katika riwaya ya Yahya ya Muwatta‟ “kutoka kwa Mâlik kutoka kwa „Âmir bin „Abdullâh bin az-Zubayr, yakwamba yeye ...”

Page 116: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 9 Adhkâr

95

Amesema Ibn „Abdul-Barr (al-istidhkâr 7:380): “Na haya, aliyoyapokea Yahya, hayawezekani kumuhusu „Âmir, yakiwa yamepokewa kinyume chake katika al-Muwatta‟ kisha wakasema, „Mâlik, kutoka kwa „Âmir bin „Abdullâh bin az-Zubayr, kutoka kwa babake‟.” Mimi nasema; kuhusisha kwake, hata kama hakuna nguvu hivyo, ni kwamba istilahi iliyotumika “yakwamba yeye” katika riwaya ya Yahya, (kwa njia ya kimakosa) imemuhusu, „Abdullâh bin az-Zubayr, kwa vile katika silsila hii imesema, “kutoka kwa „Âmir bin „Abdullâh bin az-Zubayr, yakwamba yeye ...” Na Allâh ndiye mjuzi zaidi. Imepokewa na al-Bukhâri katika al-Âdâb al-Mufrad 723, na al-Baihaqî 3: 362, na Ibn Abî Shaybah 10:215, na isnâd yake ni swahîh mpaka kwa „Abdullâh bin az-Zubayr, kama alivyosema an-Nawawi katika al-Adhkâr 531. Du‟â‟ kama

hiyo imepokewa kutoka kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kutoka kwa Abu Hurairah

( عنه الله رضي ) na at-Twabari katika tafsiri yake, kwa silsila iliyo dhaifu na silsila

nyengine iliyokuwa na utata ndani yake kutokana na Layth bin Abi Sulaym – ambaye jina lake liliwahi kubadilishwa katika chapa iliyotolewa ya tafsiri ya at-Twabari, kama inavyoweza kuonekana kisawasawa katika al-Is‟âf bi Takhrîj Ahâdîth al-Kashâf (ar-Ra‟d :6) cha az-Zayla‟î, na tahqiq yangu, na al-Bidâyah wan-Nihâyah (1:39). Vilevile tizama Sharh al-Ihyâ‟ (5:104) cha az-Zabiydi. Kwa ziada, angalia hadîth za istisqâ‟ katika kitabu changu, ad-Dalâ‟il il-Mansûsah fi Fiqhis-Swalawâtil Makhsûsah, Twaomba Allâh arahisishe kukamilika kwake.

Page 117: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 10 Alama za Qiyâma

96

MLANGO 10

ALAMA ZA QIYAMA

Katika mlango huu kuna hadîth mbili;

1. Amepokea Abu Hurairah ( عنه الله رضي ) yakwamba amesema Mtume

( وسلم عليه الله صلى ),

اغث » در، ول ل تلم الصه عيت ال عرا ل حس عر النهاس خته حػر إله عيت الظه « حس

“Qiyâmah hakitosimama mpaka mvua iwanyeshee watu, kiasi cha kwamba nyumba zao za udongo au za nyasi zishindwe

kuwalinda wao dhidi ya mvua hiyo, hapana kitakachowakinga wao isipokuwa nyumba za ngozi.”1

Hâfidh al-Haithamy amesema: “Wapokezi wake ni wapokezi wa swahîh2 na mwanachuoni mkubwa, Sheikh Ahmad Shâkir, amesema isnâd yake ni swahîh.”3

2. Anas ( عنه الله رضي ) amempokea yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) amesema,

اغث خته » رض ل ل تلم الصهاء، ول حنتج ال عر الصه « ت

“Qiyâmah hakitosimama mpaka Mbingu zisite kutoa mvua na ardhi zisiote mazao...”4

1 Musnad Ahmad 2:162 2 Majmau‟ az-Zawâ‟id 7:331 [swahîh al-Bukhârî] 3 Sharh al-Musnad no. 7554 4 Musnad Ahmad 3: 286 kwa silsila swahîh ya wapokezi.

Page 118: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 11 Faida Na Mas’ala

97

MLANGO 11

FAIDA NA MAS’ALA

1. Kutoka Kwa Mola Wake

Anas ( عنه الله رضي ) amesema,

“Mvua ilitunyeshea, na sisi tulikuwa pamoja na Mtume ( وسلم عليه الله صلى ).

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akainua (pindo la) nguo yake ili mvua ipate

kuinyeshea juu yake. Tukamuuliza, „Mbona wafanya hivyo?‟ Akatujibu, „Ni kwa sababu imeteremka hivi punde tu kutoka kwa Mola wake.‟”1

Faida Muhimu: Ma-Imâm wenye „ilmu wa Ahlus-Sunnah hawaachi kuitaja hadîth hii

chini ya madda ya sifa za Muumbaji ( وتعالى سبحانه ), wakithibitisha Utukufu

wake juu ya viumbe vyake ( وتعالى تبارك ), na kustawi kwake juu ya Kiti

chake cha enzi („Arshi). Imâm „Uthmân bin Sa‟îd ad-Dârimi ameipokea, baadae akasema; “Na lau kama yeye (Allâh) angelikuwa kila mahali kama hawa watu wapotofu wanavyosema,2, basi mvua isingelikuwa ni ngeni kutoka Kwake kama maji ya mito.”1

1 Muslim. Tizama kitabu changu, Dirâsât „Ilmiyyah fiy Swahîh Muslim, Uk.151 na 261, na kitabu, „Ilal al-Ahâdîth fiy Swahîh Muslim no.15 cha Ibn Ammâr Shahîd, nilichokifanyia tahqiq. 2 Baadhi ya wapotofu wengine husema yakwamba mola wao “Hayuko juu wala chini, haingii ndani ya ulimwengu wala hatoki nje yake, hana

Page 119: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 11 Faida Na Mas’ala

98

2. Kuzama

Amepokea Abu Hurairah ( عنه الله رضي ) yakwamba amesema Mtume ( الله صلى

وسلم عليه ),

« …ث ص اء خ د الظ »

“Mashahidi ni watano...”

Na akamtaja, الغرق “Mwenye kuzama”. Ingawa alilitaja tamko la “al-

ghariq” (kuzama au mifuriko) maana yake ni al-gharîq; “Mwenye kufa kwa kuzama baharini” kama ilivyofafanuliwa na an-Nawawi.2 Ibn al-Athîr amesema kama hayo na kisha akaongezea, “Na wakasema: „Ni yule aliyezama kwenye maji lakini asife, lau atakufa basi atakuwa ni gharîq.”3 Mimi nasema ufafanuzi wa kwanza ndio ulio na muelekeo. Na tunafaidika kutokana na hadîth hii katika kitabu chetu, yakwamba hadîth inamuhusu yule aliyezama, kutokana na mafuriko katika majira ya baridi au isiyokuwa hivyo, haliyakuwa yeye alikuwa ni mfuasi wa

mafungamano nao (huu ulimwengu), wala hakujitenga nao!! Na huku ni kutokuwepo! Hawa ni watu ambao, kama inavyosemekana, waliompoteza Mola wao! 1 Ar-Radd „alâ al-Jahmiyyah no.76. Alikufa katika mwaka wa 280H. Kama hayo yamesemwa na Ibn Abi „Âsim kwenye kitabu chake as-Sunnah no. 622 na Imâm adh-Dhahabi katika kitabu chake, al-„Ulûw lil-Alyy-„Adhîm no.25, katika chapa ya mukhtasar ambapo alipokusanya idadi kubwa sana ya dalili zenye kuyathibitisha haya ya nguzo za kimsingi za Tawhîd, pamoja na ujumla wake na takhsis zilizokosa kueleweka. Tizama kitabu Ithbât swifat al-„Uluw cha Imâm Ibn Qudâmah al-Maqdisi, na kitabu Ithbât al-„Uluw ar-Rahmân min Qawla Fir‟awn lihâmân cha Ndugu Shahîd – na hapana aliyetakasika

isipokuwa Allâh – ndugu Usâmah al-Qassâs. Twamuomba Allâh (تعالى) amkunduliye Rehma zake, kwani ni kitabu chenye faida zisizo kifani. 2 Sharh Muslim 5:55 3 An-Nihâyah 3:361

Page 120: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 11 Faida Na Mas’ala

99

dini, anaweza kutarajia kuipata shahada kama ilivyo nass ya hadîth ya

Mtume ( وسلم ليهع الله صلى ).

3. Nyumba Kushika Moto

Amesema Abu Musa al-Ash‟arî ( عنه الله رضي ),

“Moto uliiangamiza nyumba na wakaazi wake katika mji wa al-

Madînah. Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akapashwa habari zao, naye akasema;

ف إنه » خ ا ه غدو ىس، فإذا ذه النهار إه ظف أ ئ ا خس »

„Kwa hakika huu moto si lolote isipokuwa ni adui kwenu nyote, kwahivyo munapolala uzimeni.‟”1

Amepokea Ibn „Umar ( عنه الله رضي ) yakwamba amesema Mtume ( عليه الله صلى

;(وسلم خين تامن » نا النهار ف عيحس « ل تت

“Musiuache moto (ukiwaka) kwenye majumba yenu wakati munapolala.”2

Hikma ya kulikataza hilo ni kuhofia kuchomeka na moto, kama ilivyosemwa na hâfidh Ibn Hajr. Vilevile alisema, “Amelitaja la kulala kwa sababu ya kughafilika dhidi ya kupambana nao (huo moto), kutokana na kuwepo kutojali, ndiko kulikosababisha kuleta makatazo.”3 Amesema al-Qurtubi, “Kutokana na hadîth hizi, awapo mtu anakwenda kulala kwenye nyumba yake isiyokuwa na mtu mwengine na kukawa kuna moto unawaka, basi ni lazima auzime kabla ya kulala, au aufanye kitu ili ajilinde dhidi ya nyumba kushika moto. Vilevile, hata kama kuna kundi la watu kwenye nyumba, na akawa mmoja wao anaushughulikia haliyakuwa wengine wamelala, iwapo

1 Al-Bukhâri (6294) na Muslim (2017) 2 Al-Bukhâri (6293), aliyeupa kichwa mlango huo kwa hadith hizi mbili kama, “Kutouwacha moto uwake kwenye nyumba wakati wa kulala.” 3 Fat-hul Bâri 11:75 na 76

Page 121: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 11 Faida Na Mas’ala

100

atazembea katika kuwajibika nao, basi atakuwa amekhalifu Sunnah na yuko dhidi yake...”1 Mimi nasema: Katika yote haya panahusishwa makemeo makali dhidi ya kuziwacha sampuli za vipasha-moto vyote kuwaka wakati wa kulala, na lau kwa ajili hiyo kukazuka moto, na taarifa za habari zikawa zinakariri kuangazia matukio kama hayo kutokana na kutojali, basi chukua hadhari kwa hilo.

4. Hali Ya Joto Au Baridi Za Kupita Kiyasi

Amepokea Abu Hurairah ( عنه الله رضي ) yakwamba amesema Mtume ( الله صلى

وسلم عليه );

ار إلى ر هج النه خ اط » ك / يا ر لاىج ا، ف ب! أ ذن ل ػ ع ػض و ع ب

فصين، ا ة ضا، فأ

طد ا تدون فخاء، وفس ف الصيف، الظ فس ف ، وأطد ا تدون الر أ الزه « رير م

“Moto ulimshtakia Mola wake ukisema, „Ewe Mola! kuna sehemu zangu zinateketeza sehemu zangu nyengine,‟ Kwahivyo akauruhusu uchukuwe mapumziko mara mbili: Mapumziko katika wakati wa baridi na mapumziko katika wakati wa joto. Joto huwa kali sana katika wakati wake, na baridi ni kali sana katika wakati wake.”2

1 ibid 2 Al-Bukhâri (3260) na Muslim (617)

Page 122: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 12 Hadîth Dha’îf

101

MLANGO 12

hADîTh DhA’îF ZINAZOhUSIANA NA hALI ZA

HEWA

1. Hadîth Ya Kwanza

« ؤ خاء ربيع ال « الظ

“Majira ya baridi ndiyo wakati wa kuchipua kwa mu‟min.” Ibn al-Jawzi amesema, “Amesema ad-Dâraqutniy, „„Amru bin Darrâj yu peke yake na hiyo; Amesema Ahmad, „Hadîth za Darrâj ni munkar.‟”1

2. Hadîth Ya Pili

« د اىب اء د ك و أص »

“Mzizi wa kila maradhi ni baridi.” Imepokewa na Ibn „Âdiyy katika al-Kâmil 3:981 pamoja na silsila yake ambapo baadae akasema, “Bâtil.” Na njia zake zote na mipangilio tafauti ya matamshi yakiwa na maana moja zenye kufanana zina silsila zenye giza.2

1 Kwahivyo makosa ya wawili wowote wenye kusema kuwa ni hasan yanajulikana, kama alivyofanya al-Haythami katika al-Majma‟ 3:200, na al-Munâwi katika Faydh il-Qadîr 4:172! 2 Tizama katika Lisân al-Mîzân 3:1670 na Majruhîn 1:202

Page 123: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 12 Hadîth Dha’îf

102

3. Hadîth Ya Tatu

Yakwamba Abu Hurairah ( عنه الله رضي ) amesema:

صل الله عليه » صاب الناس نطر ف يوم عيد عل عهد رسول اللأ

« وسلم فصل بهم ف الهسجد

„Siku moja mvua ilinyesha wakati wa „Idd, basi Mtume ( عليه الله صلى

‟.akawaongoza katika swala, ndani ya masjid (وسلم

Imepokewa na al-Hâkim (1:295), Abu Dâwud (1160), Ibn Mâjah (1313) na al-Baihaqi (3:210). Al-Hâkim akaiorodhesha miongoni mwa swahîh, na adh-Dhahabi akaiafiki.1 Sheikh wetu al-Albâni akasema, “Katika kuiswahihisha hii kuna makosa ya wazi: kwani ilikuwa ikimtegemea „Isa bin „Abdul-A‟lâ kutoka kwa Abu Yahya „Ubaydullâh at-Taymi... isnâd hii ni dha‟îf (kutokana na) mtu asiyejulikana, ...na adh-Dhahabi akasema, „Ubaydullâh ni dha‟îf. Na Hâfidh Ibn Hajr akamtangaza kuwa dha‟îf, kama alivyofanya as-San‟âni.”2

4. Hadîth Ya Nne

رتهع لصبه » ائ ع، وب ظفال رضهع، وأ ع، وطيخ رنه ل طتاب خظه ل

اىػذاب صتا « غييس

“Lau kama vijana si wanyenyekevu wala watu wazima kuwa ni wenye ku-rukû‟, wala watoto wachanga si wenye kunyonya, na wanyama kuwa malishoni, basi mungelinyeshewa na mvua ya

adhabu.”3

1 An-Nawawi ameiorodhesha kwenye swahîh katika al-Majmû‟ 5:5 vilevile! 2 Katika kitabu chake chenye faida nyingi, Swalât ul-„Idayn fiyl Muswallâ hiya Sunnah Uk.29 3 Imepokewa na Abu Ya‟lâ (6402), al-Baihaqi (3:345), al-Bazzâr (664), al-Khatwîb katika kitabu chake cha Târîkh (6:64), na at-Twabarâni katika al-Awswat (5084) kutoka kwa Abu Hurairah.

Page 124: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 12 Hadîth Dha’îf

103

Haya yametajwa na zaidi ya mmoja chini ya madda ya istisqâ‟! katika isnâd yake kuna Ibrâhim bin Khuthaym bin „Irâk ambaye aliyetajwa na Ibn Ma‟în, “Si chochote (huyo) – hana cha uaminifu, wala kuhusu wafuasi (wa riwaya zake).” Amesema as-Sâji, “Huyu ni mtu dhaifu, mtoto wa dhaifu.” Na an-Nasâ‟i aliwachana naye.1

5. Hadîth Ya Tano

ه شليا رحث، ل شليا غذاب » «اليه

“Yâ Allâh, ifanye iwe ni mvua yenye rehma, isiwe ni mvua ya adhabu.”

Imepokewa na ash-Shâf‟i katika al-Umm 1:251 na kwa njia hiyohiyo na al-Baihaqi katika Sunan yake 3:356 na katika Ma‟rifatis-Sunan wal-Âthâr no.7209, kutoka kwa al-Muttwalib bin Hantwab na ni mursal. Na al-Baihaqi alinyamaza kuihusu katika al-Ma‟rifah! Lakini katika sunan yake aliipa daraja na akasema “Hii ni mursal.” Sheikh wetu al-Albâni akasema, “Maelezo hayo yana kasoro, kwa sababu ndani yake yuko Ibrâhim bin Muhammad, naye ni Ibn Abi Yahya al-Aslami al-Madani, aliyetupiliwa mbali na wengi kwa ajili ya kusema urongo.”2

6. Hadîth Ya Sita

نه رشل »ا أ ا دري خاء، و يهام الظ

كن يصل ف أ وشيه الله صلىه الله غيي

ا ةق و ، أ كث

ار أ النه « مض

“Yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alikuwa akiswali katika masiku ya

baridi, tukawa tunashindwa kujua ni kiwango gani cha siku kilichopita au kilichobaki.”

1 Ametiwa ila na adh-Dhahabi katika al-Mîzân 1:30, Hâfidh Ibn Hajr katika al-Lisân 1:53, na at-Talkhîs al-habîr 2:97, as-Sakhâwi katika al-Maqâsid 341, al-Haythami katika al-Majma‟ 10:227, Ibn Turkimâni katika al-Jawhar an-Naqi 3:345, al-„Ajlûni katika Kashaf al-Khifâ‟ 2:173, na wengineo 2 Tamâm al-Minnah Uk.266

Page 125: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 12 Hadîth Dha’îf

104

Imepokewa na Ahmad 3:135 na160 kutoka kwa Anas ( عنه الله رضي ).

Amesema al-Haithamy, “Imepokewa na Ahmad kutoka kwenye njia ya Mûsa Abil-A‟lâ‟ na hakuna wasifu wake.”! Mimi nasema; kuna wasifu wake katika al-Jarh wat-Ta‟dîl 8:169, lakini hakuna lolote lililosemwa kumuhusu yeye, si la kutumainisha wala la kukatisha tamaa! Kwahivyo amehisabiwa kuwa ni miongoni mwa wasiojulikanwa.

7. Hadîth Ya Saba

رداء » ةا الده أ خاز

رخو أ لا اىبد، فإه « اته

“Tahadharini na baridi, kwa hakika ilimuuwa ndugu yenu Abu ad-Dardâ‟.”

As-Sakhâwi ameitaja na akasema, “Mimi sina uzoefu nayo. Lakini iwapo ni kama ilivyopokewa basi tafsiri italeta mjadala kwa sababu

Abu ad-Dardâ‟ aliishi zaidi baada ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ).”1

Mimi nasema; Haikuwahi kupokewa kabisa! Na tafsiri yake ni ya sawa!

Uhakika yakwamba Abu ad-Dardâ‟ alikufa baada ya Mtume ( عليه الله صلى

ni miongoni mwa dalili zenye kubainisha urongo wake. Kwahivyo (وسلم

tafsiri iliyotegemea juu yake haina msingi wowote.2

8. Hadîth Ya Nane

ذ خ » « م خ ا

“Chukuwa haya kutoka kwa Mjombako.”

1 Al-Maqâsid al-Hasanah 19 2 Tizama katika Kashf ul-Khifâ‟ no.73

Page 126: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 12 Hadîth Dha’îf

105

Imetajwa yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alimwambia Anas ( عنه الله رضي )

maneno haya pindi alipomwambia ( وسلم عليه الله صلى ) kwamba Abu Twalhah

( عنه الله رضي ) alikuwa akila (akimumunya) theluji.1

Akazidisha sheikh wetu, mwanachuoni mkubwa al-Albâni kwa kuesema, “Na silsila hii ni dhaifu. „Ali bin Zayd bin Jud‟ân ni mtu dhaifu.”2

9. Hadîth Ya Tisa

كلا/ كس الله غزه » ل تللا/ كس كزح فإنه كزح طيعان وىسرض

و ال

ان ل أ « وجوه ذ

“Usiseme „qaws quzah‟ (upinde wa mvua) kwa sababu quzah inatokana na shaytwân. Bali sema, „Upinde wa Allâh azza wa jall‟ kwa sababu ni amani kwa watu wa ulimwenguni dhidi ya

kuzama (kutoka kwenye mafuriko mengine).”3 Kuna mjadala mrefu kuhusiana nayo unaopatikana katika as-Silsilat adh-Dha‟îfah no. 876 cha sheikh wetu, mwanachuoni wa hadîth wa zama hizi, al-Albâni, kwahiyo kaiangalie hapo.

10. Hadîth Ya Kumi Alipokuwa akisikia sauti ya ngurumo au radi alikuwa akisema;

ه ل » يها ةػذاةم، وعفا رتو ذلم اليه « تلخيا ةغضتم، ول ت

1 Ndicho kiwango cha mwisho cha ukweli hapa. Tizama kabla yake. Hili ni la

sawa kutoka kwa Maswahaba (peke yake) na wala sio kutoka kwa Mtume ( صلى

وسلم عليه الله ). Hatahivyo, nukuu hii iliyo dhaifu imepokewa na at-Twahâwi 1864,

Abu Ya‟lâ 1424, 3999 na al-Bazzâr 1021 kutoka kwa Anas. 2 Silsilat adh-Dha‟îfah no.63 3 Imepokewa na Abu Nu‟aym katika al-Hilyah 2:309, al-Khatîb katika Târîkh yake 8:452. Na kwa njia hiyo Ibn Jawzi katika al-Mawdhû‟ât 1:144 ambapo alipoihukumu kuwa ni hadith ya kuzuliwa.

Page 127: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 12 Hadîth Dha’îf

106

„Yâ Allâh! Usituuwe kwa hasira zako, usituangamize kwa adhabu zako, lakini tuswamehe kabla ya hayo.‟”1

Amesema at-Tirmidhi, “Hadîth gharîb. Hatujui chochote kuhusiana na hadith hii isipokuwa kwa njia hii.” Kwa maana yakwamba ni dha‟îf. Vilevile an-Nawawi ameiorodhesha miongoni mwa dha‟îf katika al-Adhkâr (4:284 pamoja na ufafanuzi). Kasoro yake imetokana na Abu Matar; kwa sababu hajulikani yeye ni nani” amesema adh-Dhahabi katika al-Mîzân (4:574)

11. Hadîth Ya Kumi Na Moja

كال ربس غز وجو/ ل أن غتادي أظاغن لشليخ المعر ةالييو، أشػخ صت الرغد وأظيػج غيي الظس ةالنار، ولما

“Amesema Mola wenu: „Iwapo watumwa wangu watanitwi‟i mimi basi watanyeshewa mvua usiku (peke yake) na mchana utakuwa na muangaza mwingi wa Jua, na wala hawatosikia

sauti ya ngurumo.”2 Imekuja kwa kupitia kwa Swadaqah bin Musa ad-Daqîqi, kutoka kwa Muhammad bin Wâsi‟, kutoka kwa Shutayr bin Nahâr, kutoka kwa Abi

Hurairah ( عنه الله رضي ) kutoka kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ). Na al-Hâkim

akaitangaza kuwa ni swahîh! Adh-Dhahabi akamukhalifu katika Talkhîs yake kwa kusema, “Swadaqah ni dha‟îf.” Na akataja hili miongoni mwa hadîth zilizo munkar za Swadaqah katika al-Mîzân 2:312-313.

1 At-Tirmidhi 3446, an-Nasâ‟I katika „Amal al-Yawm wal-Laylah no.927 na 928, Ibn as-Sunni 298, Ahmad 2:100-1, al-Bukhâri katika al-Adab al-Mufrad 271 na al-Hâkim akaiorodhesha kwenye swahîh! (4:286) Na adh-Dhahabi akaiafiki! Vilevile ikapokewa na al-Baihaqi 3:362, ad-Duwlâbi katika al-Kunya 2:117, na at-Twabarâni katika al-Kabîr 13230, wote kwa kupitia kwa Abi Matwar, kutoka kwa Sâlim, kutoka kwa babake (Ibn „Umar) kutoka kwa

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ). Vilevile tizama katika Silsilat al-Ahâdîth adh-Dha‟îfah

no.1042 2 At-Twayâlisi 2586, Ahmad 2:359, al-Hâkim 2:349 na 4:256, na al-Bazzâr 664 – Zawâ‟id, al-Baihaqi katika az-Zuhd al-Kabîr 713.

Page 128: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 12 Hadîth Dha’îf

107

Al-Haithamy akaipa daraja ya dha‟îf katika Majmaû‟ az-Zawâ‟id 2:211, ambapo alipomfuatiliza swadaqah kwenye riwaya hiyo kwa Abdul-Mu‟min al-Absiy, kutoka kwenye musnad ya Abi Sa‟îd al-Khudhrî‟! Al-Baihaqi akaipokea kama hivyo katika az-Zuhd al-Kabîr 712. Abdul-Mu‟min hajulikani kama alivyosema Abi Hâtim katika al-Jarh wat-Ta‟dîl 6:78, adh-Dhahabi katika al-Mîzân 2:670, na Ibn Hajr katika al-Lisân 4:76, al-„Uqayli amesema (adh-Dhu‟afâ 1067); Hadîth yake haikuhifadhiwa.”

12. Hadîth Ya Kumi Na Mbili

إذ » ظ ا ن ط ج اى د خ اش ه ث بريهث ت أ ذ ث يه ا

ر ع أ « ا ل

“(Wingu) linapoanza kwenye bahari, na kumalizikia kwenye upande wa kuelekea ash-Shâm, basi hapo patakuwa na mvua.”

Hii ni hadîth dha‟îf mno. Nimeijadili mas‟ala yake yote mawili, silsila yake na wapokezi wake kwenye nukta zangu juu ya Miftâh Dâr as-Sa‟âdah 1:498 cha Imâm Ibn al-Qayyim. Tizama vilevile at-Tamhîd 24:377 cha Ibn „Abdil-Barr.

13. Hadîth Ya Kumi Na Tatu

ظين، » نه الله خيق آدم خاء، وذلم ل كيب ةن آدم حيين ف الظ

خاء ين ييين ف الظ « واىع

Nyoyo za wana-adamu zinalainika katika msimu wa baridi, na hiyo ni kwa sababu Allâh alimuumba Âdam kutokamana na

udongo, na udongo hulainika katika msimu wa baridi.” Amesema Abû Nu‟aym: “Hadîth hii imepokewa na „Umar bin Yahya kutoka kwa Shu‟bah, naye hadîth zake hazichukuliwi. Na uswahîh ni maneno ya Khâlid, ameyapokea Ibn Abî Dâwud kutoka kwa Ibn Zakariyyah. Na Imâm adh-Dhahabi amesema kuwa ni mawdhû‟, yaani; hadîth ya urongo1

1 Abû Nu‟aym – Hilyat al-Auliyâ‟ (5/216); Ibn Jawziy – al-Mawdhû‟ât (1/152); na adh-Dhahabiyy - al-Mîzân (3/230).

Page 129: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 12 Hadîth Dha’îf

108

14. Hadîth Ya Kumi Na Nne

خديد أ صلى الله غيي وشي جع ةين المغرب واىػظاء ف ليث » « عيرة

“Hadîth yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alichanganya baina ya

Maghrib na „Ishâ‟ katika usiku wa mvua.”

Ameitaja Hadîth hii Sayyid Sâbiq katika fiqhs-Sunnah1. Akaitegemeza kwa Bukhâri kama alivyofanya Sheikh Abu Bakr al-Jazâiry katika Minhâjul-Muslim2. Akasema Sheikh wetu al-Albâni katika Tamâm al-Minnah3, “Kuitegemeza kwake kwa Bukhâri ni kosa, hapana shaka. Bali nashuku huwenda ikawa ina asli ndani ya vitabu vya Sunnah vinavyopatikana leo.” Na ni Hadîth dhaifu sana kama alivyoibainisha, Sheikh wetu al-Albâni kwa uzuri sana katika Irwâ‟ ul-Ghalîl4, na itazamwe.

1 1:290 2 Uk. 263 3 Uk. 320 4 Uk. 581

Page 130: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

109

MLANGO 13

KIAMBATISHO CHA ZIYADA1

Uchunguzi Wa Rai Zenye Kukhitilafiana Juu Ya Kuchanganya Swala

Hapo awali nilieleza yakwamba mas‟ala ya kuchanganya swala ni mojawapo ya yale mas‟ala ambayo wanavyuoni waliyokhitilafiana kwayo. Mimi nimeyadokeza maneno hayo yenye kuhusiana nayo, na nukta maarufu zilizojadiliwa zaidi miongoni mwayo. Mimi nadhani yakwamba mjadala uliokuwa bora zaidi kuhusiana na madda hii ni ule wa Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah, twamuombea Allâh amrehemu, yeye alikuwa ni Imâm ambaye „ilmu yake peke yake ni kiyasi cha kwamba – kwa mara nyingi – mijadala yake yanayohusiana na mas‟ala ya ki-ilimu huyafafanua kwa njia ya mahojiano yanayostahiki chini ya muangaza wa uteremsho wa Allâh, na kulingana na Sheriya yake. Twamuombea Allâh amrehemu kwa ufahamu wake na „ilmu yake! Kwa kunukuu mahojiano yake, dhamira si kumpa umaarufu wa kujitwaza, bali ni kwa faida ya ndugu zangu wenye kuyasoma.

Katika kitabu chake muhimu Majmû‟ al-Fatâwa (24:22-30) yeye, Allâh amrehemu, amesema: “Wao (ma-Imâm) wameyagawanya kwa misemo aina tatu juu ya kuruhusu kuchanganya swala.”

1 Maandiko ya ziyada ya hapa chini yenye kumbukumbu zilizohusishwa hapo awali na al-Bukhâri na Muslim yamewachwa katika mlango huu. La zaidi ni kwamba mlango huu kwa hakika unaonekana kwenye kitabu mwishoni mwa mlango unaohusu swala, lakini yaonekana ni bora kuuambatisha katika chapa iliyofasiriwa.

Page 131: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

110

Madh-hab ya Abu Hanîfah; yakwamba hakuna ruhusa ya kuchanganya [swala] isipokuwa katika „Arafah na Muzdalifah.

Madh-hab ya Mâlik na Ahmad katika mojawapo ya riwaya mbili, yakwamba msafiri haruhusiwi kuchanganya swala pindi anapopumzika mahali, anaruhusiwa kuchanganya tu anapokuwa kwenye hali ya kusonga, bali kwa Mâlik ni iwapo katika safari yako una haraka peke yake.

Na Madh-hab ya ash-Shâfi‟i na Ahmad, kulingana na riwaya nyengine, yakwamba msafiri anachanganya, hata kama amepumzika mahali.

Sababu ya migawanyiko hii imetokana na yaliyowafikia wao katika hadîth zinazohusiana na kuchanganya. Hadîth za kuchanganya ni kiasi kidogo; kuchanganya katika „Arafah na Muzdalifah imeafikiwa na wengi, imepokewa kwa mfumo wa mutawâtir, kwahivyo hawakutafautiana juu yake, na Abu Hanîfah hakusema yasiyokuwa hayo kwa sababu ya hadîth ya Ibn Mas‟ûd katika swahîh pindi

aliposema; “Sikuwahi kumuona Mtume wa Allâh ( وسلم عليه الله صلى ) akiswali

swala nje ya wakati wake isipokuwa kwa swalât ul-fajr akiwa Muzdalifah na swalât ul-Maghrib katika usiku wa kukutana (Muzdalifah).”1

Amma kuhusu maneno yake kuhusiana na fajr, “nje ya wakati

wake” ni katika wakati ambapo yeye ( وسلم عليه الله صلى ) alipokuwa akiswali

kwa kawaida yake, kwani imekuja katika swahîh kutoka kwa Jâbir,

1 Al-Bukhârî, Tizama katika Fat-hul Bâri (3:526). Hâfidh al-Irâqi amesema (Tarh at-Tathrîb 3:128): “Katika kujibu kuihusu hadîth ya Ibn Mas‟ûd ni kwamba alisahau lililodhihiri na kuafikiwa na wanavyuoni, nalo ni

kutokamana na nukta mbili: Yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alichanganya

dhuhr na Asr pasi na shaka yoyote, akiwa „Arafah. Hii ilipokewa kwa njia ya sawa kwenye baadhi ya njia zake na Ibn Mas‟ûd, kwahivyo huku kuweka viwango hakuwezi kuwa sawa. Pili, hakuna mwengine asiyekuwa yeye aliyetaja yakwamba kuliswaliwa Subh kabla ya wakati wa fajr, bali maana yake ni kwamba aliiswali mapema sana, ilikuwa karibu na wakati wa kabla ya

fajr. Kisha, kwa hakika Ibn Mas‟ûd alisahau yakwamba Mtume (صلى الله عليه وسلم)

alichanganya swala alipokuwa akisafiri, sio „Arafah au Muzdalifah, na mwenye kukumbuka ana ushahidi dhidi ya asiyekumbuka.”

Page 132: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

111

“Yakwamba aliswali fajr akiwa Muzdalifah baada ya kupambazuka fajr” na imeafikiwa na Waislamu yakwamba haifai kuswali fajr mpaka wakati wake (fajr) uingie, isiwe katika sehemu ya Muzdalifah wala vyenginevyo, lakini alipokuwa Muzdalifah aliiswali mapema sana.

Ama kwa wanavyuoni wengi, hadîth zilizo swahîh zenye kutaja mas‟ala ya kuchanganya ziliwafikia, kama vile hadîth ya Anas, Ibn „Abbâs, Ibn „Umar, Mu‟âdh, zote ambazo zinazopatikana katika

swahîh. Na katika swahîhayn imepokewa kutoka kwa Anas ( عنه الله رضي ):

“Yakwamba pindi Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alipojiandaa kusafiri kabla ya

jua kupinduka katika wakati wa mchana, alikuwa akiichelewesha swala ya dhuhr mpaka uingie wakati wa swala ya „Asr, hapo husimama na akaziswali swala zote mbili kwa kuzichanganya. Alipokuwa akijiandaa kusafiri baada ya jua kupinduka katika wakati wa mchana, alikuwa akiswali swala ya adh-Dhuhr na al-„Asr (kwanza) kisha ndio akianza safari.”

Na katika matamshi ya kwenye Swahîh;

“Pindi Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alipokuwa akitaka kuchanganya swala

mbili wakati anaposafiri alikuwa akichelewesha swala ya adh-Dhuhr mpaka uingie wakati wa al-„Asr kisha alikuwa akizichanganya.

Na katika Swahîhayn kutoka kwa Ibn „Umar ( عنه الله رضي ):

“Yakwamba pindi Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alipokuwa na haraka awe

safarini alikuwa akichanganya maghrib na „Ishâ‟.”

Na katika matamshi ya kwenye Swahîh;

“Yakwmba pindi Ibn „Umar alipokuwa akijiharakisha aanze safari yake alikuwa akichanganya baina ya maghrib na „Ishâ‟ baada ya giza hafifu kupita, na alikuwa akisema;

„Alipokuwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) na haraka za kusafiri alikuwa

akichanganya baina ya maghrib na „Ishâ‟.”

Page 133: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

112

Na katika Swahîh Muslim kutoka kwa Ibn „Abbâs ( عنه الله رضي ):

“Yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alichanganya swala alipokuwa

kwenye safari katika misafara ya vita vya Tabûk. Alizichanganya swala zote mbili, adh-Dhuhr na al-„Asr, na mbili nyengine maghrib na „Ishâ‟.

Amesema Sa‟îd bin Jubayr, “Nilimuuliza Ibn „Abbâs, Sababu ya kufanya hivyo ilikuwa ni nini?” Akanijibu, “Alikusudia kuwaepushia uzito Ummah wake.”

Kama hayo yanapatikana katika swahîh Muslim kutoka kwa Abî at-

Tufayl, kutoka kwa Mu‟âdh bin Jabal ( عنه الله رضي ) yakwamba alisema,

“Katika vita vya Tabûk Mtume wa Allâh ( وسلم عليه الله صلى ) alichanganya

baina ya adh-Dhuhr na al-„Asr, na baina ya maghrib na „Ishâ‟”. Akasema, “Nilimuuliza, „sababu yake ya kufanya hivyo ilikuwa ni nini?‟” Akanijibu, “Alikusudia kuwaepushia uzito Ummah wake.”1

Juu ya yote hayo, imethubutu yakwamba alichanganya swala alipokuwa yuko al-Madinah kama inavyopatikana katika swahîhayn

kutoka kwa Ibn „Abbâs ( عنه الله رضي ) aliyesema,

“Mtume wa Allâh ( وسلم عليه الله صلى ) alichanganya swala ya adh-Dhuhr na

al-„Asr pamoja nasi, tena haikutokana na hali ya hofu, wala safari.”

Kwa mfumo na neno moja katika swahîhayn kutoka kwa Ibn „Abbâs;

1 Vilevile imepokewa na Ahmad 5:241, Abû Dâwud no. 1220, at-Tirmidhî no. 553 kutoka kwa Mu‟âdh, yakwamba kuchanganya huku ni pale inaposwaliwa swala ya pili katika wakati wa swala ya mwanzo. Tizama katika Tarh at-

Tathrîb cha al-Hâfidh al-Irâqi. Lengo la Ibn Taymiyyah ( الله رحمه ) kuinukuu hii

mahali hapa ni kupambanua baina ya hadith zenye kutaja kuhusu kuchanganya wakati wa kusafiri, na kuchanganya wakati mtu ni mkaazi, na sababu ya kufanywa hivyo – kuuepushia Ummah wake uzito wowote.

Page 134: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

113

“Yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali akiwa al-Madinah saba na

nane (rak‟ât); kwa kuzichanganya baina ya adh-Dhuhr na al-„Asr, na maghrib na „Ishâ‟”.

Akasema Ayyûb, “Labda ulikuwa ni usiku wa mvua.”1

Na watu wa al-Madinah walizichanganya maghrib na „ishâ‟ katika

usiku wa mvua na „Abdullâh bin „Umar ( عنه الله رضي ) alichanganya

pamoja nao.2

Maneno yao yasemayo, “Alikusudia kuwaepushia uzito Ummah wake” yanabainisha yakwamba haimaanishi kuichelewesha swala ya kwanza hadi kwenye wakati wa swala ya pili, na kuisongeza swala ya pili hadi kwenye wakati wa swala ya kwanza, kwani maadhimisho kama hayo yatakuwa ni mzigo mkubwa zaidi. Kisha, inabainisha yakwamba hili linaruhusiwa kwa kila mtu wakati wowote, na kumuepushia mtu uzito hujulikana tu na aliyelemewa na uzito wenyewe, kwahivyo hapana shaka yakwamba makubaliano ni kwa watu walioruhusiwa waitumie ruhusa yenyewe ili wajiondolee uzito uliowalemea, haiwakusudii wasiokuwa wenye kuruhusiwa.

Na madh-hab iliyo pana zaidi kuhusiana na kuchanganya swala ni madh-hab ya Imâm Ahmad, kwani kuna maandiko yaliyomruhusu kuchanganya kutokana na hali ya uzito na kazi kutokana na hadîth iliyopokewa kuhusiana na hayo.3

Sasa, kuhusu mas‟ala yote mawili ya kuchanganya na kufupisha swala, wanavyuoni wamezidi kukhitilafiana katika yafuatayo; Jee, kunapelekwa na kutia niya au laa. Wengi wao wanasema yakwamba hakuna niya maalum kwenye jambo hilo na haya ni madh-hab ya Mâlik na Abû Hanifah na mojawapo ya misemo miwili katika madh-hab ya Imâm Ahmad, nayo ni yale maandiko yake yenye kuungwa mkono

1 Hii ilikanushwa kisawasawa kwenye riwaya kutoka kwa Muslim isemayo, “...tena haikutokana na hali ya hofu, wala safari.” 2 Kama ilivyopokewa na „Abdur-Razzâq katika al-Musannaf 2:556 kwa isnâd swahîh ya wapokezi, na inayo nyongeza, “... hilo halikuwa ni jambo geni kwao.” 3 Pengine ameikusudia hadith ya Ibn „Abbâs iliyotajwa hapo awali. Rejea katika al-Mughnî 3:137 cha Ibn Qudâmah.

Page 135: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

114

pamoja na hukmu zake. Ash-Shâfi‟i na kundi la watu wa Ahmad wamesema yakwamba itategemea niya yake. Lakini msimamo wa

wengi ni ule uliothibitishwa na Sunnah za Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kama

ilivyojadiliwa katika mas‟ala haya, na Allâh Ndiye Mjuzi zaidi.”

Aliulizwa ( الله رحمه ) kumuhusu mtu ambaye ni Imâm wa watu wake,

mara kukanyesha mvua au theluji, akenda kuswali Maghrib pamoja nao. Kisha wakamwambia, “Tuchanganyeni swala”, yeye akasema tusifanye hivyo. Sasa jee, wafuasi wataswali majumbani mwao au laa? Akajibu kwa kusema:

“Alhamdulillâh, Ndio, inaruhusiwa kuchanganya kutokana na matope mengi, upepo mkali, baridi au giza tororo la usiku n.k hata kama kwa hakika mvua hainyeshi kulingana na msimamo ulio wa sawa zaidi wa wanavyuoni, na hili ni bora kuliko kuswali majumbani mwao. Bali kuwacha kuswali swala ya kuchanganya na badala yake kuswali nyumbani ni jambo la uzushi linalokwenda kinyume na Sunnah, kwani sunnah ni kuswali swala tano msikitini kwa jamâ‟ah, na hilo ni bora kuliko kuswali majumbani kulingana na muafaka wa Waislamu. Na swala ya kuchanganya msikitini ni bora kuliko kuswali peke yako ukiwa nyumbani kulingana na makubaliano ya wanavyuoni wenye kujuzisha kuchanganya, kama vile Ash-Shâfi‟i na Ahmad, na Allâh Ndiye Mjuzi zaidi.”

Kisha akasema tena ( الله رحمه )1,

Wakati Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alipowaongoza maswahaba zake katika

kuchanganya au kufupisha swala hakumuamuru yoyote miongoni mwao kutia niya ya kuchanganya wala kufupisha, bali walipokuwa wakiondoka kutoka Makkah na kuelekea al-Madinah aliswali rak‟ât mbili – hakuzichanganya, kisha akawaongoza akiwa „Arafah katika swalât adh-Dhuhr na wala hakuwaambia yakwamba yeye alikusudia kuswali „Asr baada ya swala hiyo. Kisha akaswali akiwaongoza katika swala ya „asr, wao bado wakiwa hawakukusudia kuchanganya . Hii ilikuwa ni hali ya kuchanganya kwa kuileta swala ya wakati wa mbele kwenye wakati wa swala ya nyuma. Vilevile, alipo ondoka kutoka al-

1 Majmu‟ Fatâwa 24:50-58

Page 136: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

115

Madinah aliwaongoza kwenye swala ya rak‟ât mbili akiwa Dhul-Hulaifah, lakini hakuwaamrisha watie niya ya kufupisha. Katika

swahîh imepokewa yakwamba siku moja Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali

swalât ul-„Ashiyy‟(swala za jioni) akatoa taslîm baada ya rak‟ât mbili. Dhul-Yadayn akamwambia, “Jee, imefupishwa swala au umesahau?” Akamjibu, “Sikusahau wala haikufupishwa.” Akasema, “Basi kwa hakika umesahau.” Akauliza, “Jee, ni kama anavyosema Dhul-Yadayn?” Wakajibu, “Na‟am, ndio”. Basi akaikamilisha hiyo swala. Lau kama kufupisha kusingewezekana bila ya kutia niya, basi suala hilo lingelikuwa wazi, na wao wangelikuwa tayari kuhusiana na suala lenyewe.

Kulingana na nnavyoelewa mimi, Imâm Ahmad hakuwahi kunukuliwa kuifanya niya kuwa ni sharuti katika kuchanganya au kufupisha swala, ingawa imetajwa na kundi la wanafunzi wake kama vile al-Khiraqi na al-Qâdhi, na ama kumuhusu Abû Bakr „Abdul-„Azîz na wengineo, wao wamesema tu yakwamba hii ni kulingana na riwaya kutoka kwake, na wanasema kuchanganya na kufupisha haikushurutishwa na niya. Huu ndiwo msimamo wa wanavyuoni wengi, kama vile Mâlik, Abû Hanifah na wengineo. Kuna riwaya kutoka kwa Ahmad yakwamba msafiri huswali „Ishâ‟ kabla ya kupotea kwa giza hafifu. Na hii inaunga mkono rai yakwamba aliruhusu kuchanganya kama ilivyopokewa kutoka kwake na Abû Twâlib na al-Marwadhî na kutajwa na al-Qâdhi katika al-Jam‟i al-Kabîr. Kwahivyo ujue yakwamba hakuifanya niya kuwa ni sharuti la kuchanganya.

Kwa hakika ukweli ni kwamba hakuweka masharuti yoyote yakwamba ema iwe ni kwenye wakati wa (swala ya) mwanzo, au kwenye wakati wa (swala ya) pili, kwani haikuwekewa viwango hivyo na shâri‟, na pia kwa sababu kutekeleza hayo ni kinyume cha malengo ya rukhsah. Suala hili ni kama msemo wa mwenye kusema yakwamba kuchanganya ni lazima kuwe ni kama ifuatavyo: Salâm inatolewa kwenye swala ya kwanza mwishoni mwa wakati wake haliyakuwa swala ya pili huanzishwa mwanzoni mwa wakati wake, kama ilivyofafanuliwa na kundi la wanavyuoni ambao ni wanafunzi wa Abû Hanifah na wengineo!1 Kulitekeleza hili kutakuwa ni mojawapo ya

1 Hii ni Jami‟ as-suwri iliyotajwa hapo awali katika kitabu. Tizama katika sherhe ya Ibn al-Qayyim katika „Ilâm al-Muwaqi‟în (2:423), Tarh at-Tathrîb

Page 137: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

116

majukumu mazito, kwani iwapo mtu atataka kuanza kuswali na ikawa kumebaki wakati utoshao kuswali rak‟ât nne au tatu za maghrib, na akawa hakutaka kuswali kwa muda mrefu kuliko huo, hata kama alikusudia kuswali kwa muda wote wa wakati uliobaki, anapoanza kuswali na akatambua yakwamba amekamilisha wakati, au, alipokuwa akiswali alijaribu kukisiya amebakisha muda gani katika swala yake, atakuwa amefanya jambo lisiloruhusiwa, na ni lazima afanye hivi ikiwa anataka kutoa salâm kabla ya kumalizika wakati.

Na inajulikana sana yakwamba hili litakuwa ni mojawapo ya mambo mazito kabisa kujua au kufanya na litamtatiza mwenye kuswali katika lengo lake la swala. Kuchanganya kumeasisiwa kama maridhiano, kuepusha (au kuondoa) uzito kutoka katika Ummah, sasa kutaasisiwa vipi ikiwa kunaleta uzito zaidi na kuharibu malengo ya swala yenyewe?

Sasa ujue yakwamba pindi Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alipoichelewesha

swala ya dhuhr au aliswali „asr mapema, au alipoichelewesha mghrib au akaiswali „Ishâ‟ mapema, alifanya hivyo kwa kutegemea ni mfumo gani utakaomuepushia yeye uzito au Ummah wake, na sio kwa min-ajil ya kutoa salâm kwa swala ya kwanza mpaka ifikapo kabla ya wakati wake kumalizika! Na huyu mwenye kuswali atajua vipi jambo hilo akiwa kwenye swala? Na atajuaje mwisho wa wakati wa dhuhr na mwanzo wa wakati wa „asr bila ya ukweli wa kuangalia kutambaa kwa vivuli, na aliye kwenye swala hafai kujishughulisha na vivuli, na

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) hakuwa na muda wa kuhesabu vipande vya

nyakati, na mwisho wa maghrib hujulikana tu kwa kutoweka giza hafifu. Kwahivyo ni lazima atumie wakati wake kupeleleza mbingu zikitanda giza; jee, wekundu au weupe wa giza hafifu umemalizika?! Yote haya yamekatazwa kwa mwenye kuswali.

Ikiwa alikuwa akiswali kwenye jengo au hema au kitu kinachofanana na hivyo, basi hatojua kuhusu giza hafifu kwani hatokuwa na uwezo wa kulichunguza giza hafifu pindi anapokuwa anaswali. Katika hali hii ni jambo lisilowezekana kutoa salâm mwishoni kabisa mwa wakati wa

(3:127), Fat-hul Bâri (2:24), ar-Rawdhatu an-Nadiyyah (1:74) na Sharh Muslim (2:334).

Page 138: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

117

maghrib, vilevile ni jambo lisilowezekana kwake kutoa salâm kabla ya wakati iwapo alikuwa kwa hakika akijua ni muda gani uliobaki.

Kisha kutowezekana kwa pili, kuhusiana na maneno yao ni kwamba ni jambo lisilowezekana kwake kuanza mpaka ajue ni wakati gani kamili inapoanza, ambayo itakayohitaji kuasisi na kutekeleza jambo ambalo

halikuwahi kupokewa kutoka kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) au maswahaba

zake!

Kwahivyo kwa watu wengi katika hali sampuli nyingi, ni jambo lisilowezekana kufikia vigezo vya kuchanganya vilivyowekwa na hawa watu, bila ya (swala mbili) kuzitenganisha. Pindi kulingana na madai yao, hakuwezi kuwa na kuchanganya isipokuwa vitendo vyote viwili viunganishwe pamoja katika ushirikiano wa nyakati mbili, kwani wanasema kwa jam‟ swala mbili hazina budi kukutana katika ushirikiano wa nyakati zao, isitoshe, wao ndiwo waliosema yakwamba hakuwezekani kuchanganya isipokuwa iwe ni kwenye nyakati mbili, na hili linahitaji zote mbili ziswaliwe katika nyakati zao mbili mbali-mbali – na kila mojawapo ya kauli hizo ni dhaifu!

Na sunnah inakuja kwa mfumo huria zaidi kuliko njia hii au ile, na watu hawakuwachwa kushikamana na njia hii wala ile, kwani kuchanganya kunaruhusiwa kwenye wakati wowote mmojawapo

katika nyakati mbili zilizopo. Mara nyengine alikuwa Mtume ( عليه الله صلى

akichanganya katika wakati wa mwanzo wa swala kama ilivyo (وسلم

katika siku ya „Arafah, na mara nyengine alikuwa akichanganya katika wakati wa swala ya pili kama ilivyo katika uwanja wa Muzdalifah na katika baadhi ya misafara yake, na mara nyengine alikuwa akichanganya kati-kati ya nyakati zake, na kumalizia mwishoni mwa wakati wa kwanza na kumalizia katika mwanzoni mwa wakati wa pili.

Haya yote yanaruhusiwa kwa sababu misingi ya mas‟ala haya ni kwamba uzito hutokea kwenye mojawapo wa nyakati mbili, na kuchelewesha au kuharakisha hufanywa baada ya kuzingatia uzito na mas-laha, na ukiwa „Arafah na pasipokuwa hapo ni Sunnah kuiswali mapema.

Page 139: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

118

Hii ndiyo hali kuhusiana na kuchanganya kutokana na mvua. Sunnah ni kuchanganya kwa ajili ya mvua katika wakati wa maghrib, kiyasi cha kwamba mpaka madh-hab ya Imâm Ahmad walikuwa wamechanganyikiwa, Jee inaruhusiwa kuchanganya kutokana na mvua kwenye wakati wa swala ya pili? Wakagawanyikana kwenye makundi mawili. Na wakasema yakwamba ni wazi kutokana na maneno yake yakwamba hapo hapana kuchanganya .

Hapa pana mtazamo wa tatu ambao ni kwamba ni bora kuichelewesha, na hayo ni makosa, yanakhalifu sunnah na ijmâ‟ iliyotangulia. Walioshikilia madai haya wanaonelea yakwamba kuchelewesha jamâ‟ah ni bora kabisa kwa sababu inaruhusiwa kuswali baada ya kupita wakati wake kwa aliyesahau au aliyekuwa amelala, lakini hairuhusiwi kabisa kuswali swala yoyote kabla ya kuingia wakati wake, kwani iwapo itaswaliwa kabla ya kupinduka kwa jua, au kabla ya fajr haijaingia, haihesabiwi!

Haya ni makosa kwa sababu kuchanganya katika Muzdalifah ndio wakati wa pekee ambapo kucheleweshwa maghrib ndipo ilipoasisiwa mpaka wakati wa „Ishâ‟ kulingana na sunnah mutawâtir na muafaka wa Waislamu. Na mimi simjui hata mwanachuoni mmoja mwenye kusema hapa yakwamba, „ishâ‟ inaweza kuswaliwa barabarani. Wao wamekhitilafiana kuhusu maghrib peke yake, anaweza kuiswali barabarani?! Kwa jawabu lake kuna maneno sampuli mbili.

Ama kuhusu kuichelewesha, ni kama kuiswali mapema, isipokuwa tu wafuasi wa rai hii wamepatia zaidi kuliko wengineo – yoyote mwenye kupitikiwa na usingizi, mwenye kuikosa swala, au mwenye kuisahau, basi wakati wake unamuingilia atakapoamka au atakapoikumbuka1 katika hali hii atakuwa hana chaguo kwenye mas‟ala hayo, hakuwa na wakati wa kuiswali mpaka hapo. Kwahivyo atakuwa hajaiswali nje ya wakati wake.

Nukta ni kwamba Allâh hakumruhusu mtu yoyote aicheleweshe swala kwa kukusudia kupita wakati wake, kama ambavyo haruhusiwi kuitekeleza kabla ya wakati wake kuingia. Kwahivyo swala ya kuchanganya kwa kucheleweshwa si bora kuliko kuchanganywa kulikofanywa mapema, lakini jambo hili limezingatiwa kulingana na

1 Imesimuliwa na Anas, na kupokewa na al-Bukhâri 597 na Muslim 314.

Page 140: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

119

maslaha na uzito, mara nyengine njia hii ni bora na mara nyengine njia nyengine ni bora.1

Haya ndiyo madh-hab ya wanavyuoni wakubwa, na ni madh-hab yenye kubainisha zaidi ya Ahmad kulingana na riwaya za kutoka kwake na wengineo. Wale ambao waliokuwa ni miongoni mwa wanafunzi wake waliojiondoa kutoka kwenye msimamo wake, na kusema yakwamba mojawapo ni bora kuliko jengine, basi atakuwa amepotoka kutoka katika madh-hab hayo.

Hadîth zenye kuthibitisha kuchanganya kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) zimepokewa kutoka kwa Ibn „Umar, Ibn „Abbâs, Anas, Mu‟âdh, Abû Hurairah na Jâbir. Ahâdîth hizi zimechambuliwa kwa njia ambayo ni yenye kufiza moyo misimamo yote miwili, kuzichanganya na kuzichelewesha za mwanzo hadi kwenye nyakati za pili, na vilevile kuswali za pili katika nyakati za mwanzo za swala! Haliyakuwa, imepokewa katika swahîh yakwamba kuchanganya kunakuwa katika nyakati za pili na vilevile katika nyakati za mwanzo! Kuchanganya pia kumepokewa kwa njia isiyokuwa na vikwazo, na iliyochambuliwa hubainisha isiyokuwa na vikwazo: Katika Swahîhayn, kutoka katika hadîth ya Sufyân, kutoka kwa az-Zuhrî, kutoka kwa Sâlim, kutoka kwa babake (Ibn „Umar), yakwamba alipokuwa kwenye haraka katika

safari, Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alichanganya baina ya maghrib na „ishâ.

Mâlik amepokea kutoka kwa Nâfi‟, kutoka kwa Ibn „Umar akisema:

Pindi Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alipokuwa na haraka kwenye safari,

alikuwa akichanganya baina ya maghrib na „Ishâ‟. Na hii imepokewa na Muslim.

1 Amesema as-Saffârîni (Sharh Thulâthiyyât al-Musnad 2:198); “Kuchanganya

„kuliko bora‟ ni kuzihusisha zote mbili kama alivyofanya Mtume ( عليه الله صلى

Alipokuwa akianza safari zake katika wakati wa swala ya pili alikuwa .(وسلم

akichanganya mapema, na pindi wakati wa swala ya kwanza unapoingia akiwa yuko barabarani alikuwa akiichelewesha mpaka ufike wakati wa swala ya pili. Kwahivyo iliyo bora baina ya hizo mbili inajulikana kutokana na faida zake na madhara yake. Kwa vile njia yoyote ni sawa, basi kuichelewesha ni bora iwapo itazuiya kuzozana na wale wenye kukataza kuifanya mapema.”

Page 141: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

120

Vilevile Muslim amepokea hadîth kutoka kwa Yahyâ‟ bin Sa‟îd: “„Ubaydullâh alitupasha habari, „Nâfi‟ alinijuza mimi kutoka kwa Ibn „Umar yakwamba alipokuwa na haraka kwenye safari, alikuwa akichanganya maghrib na „ishâ‟ baada ya giza hafifu kupotea na akasema;

“Alipokuwa na haraka kwenye safari, Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alizichanganya maghrib na „Ishâ‟.”

Akaendelea Ibn Taymiyyah1:

Ama kuhusu kuchanganya katika mji wa al-Madinah kutokana na mvua au isiyokuwa hivyo: Imepokewa na Muslim na wengineo kutoka kwenye hadîth ya Abû az-Zubayr, kutoka kwa Sa‟îd bin

Jubayr, kutoka kwa Ibn „Abbâs, yakwamba alisema: „Mtume ( الله صلى

وسلم عليه ) aliswali dhuhr na „asr kwa kuzichanganya, na maghrib na

„Ishâ‟ kwa kuzichanganya akiwa kwenye hali isiyokuwa ya hofu wala safari.‟ Katika riwaya kutoka kwa Abû az-Zubayr iliyopokewa na Mâlik katika al-muwatta‟2 ... na alisema, “Labda hayo yalikuwa katika wakati wa mvua!”‟

Akasema al-Baihaqi:

“Na kama hivyo, imepokewa kutoka kwa Zuhayr bin Mu‟âwiyah na Hammâd bin Salamah, kutoka kwa Abû Zubayr, “Haikutokana na hali ya uwoga wala safari.” Isipokuwa tu hakuzitaja maghrib na „Ishâ‟, na kwa hakika alitamka, “Katika Mji wa al-Madinah.”

Na vilevile imepokewa kutoka kwa Ibn „Uyaynah na Hishâm bin Sa‟d, kutoka kwa Abû az-Zubayr kwa maana kama hayo ya riwaya ya Mâlik.

Lakini al-Baihaqi hakuitolea sanad yake.

Na hadîth ya Zuhayr iliyopokewa na Muslim katika swahîh yake, „Abû az-Zubayr ametuhadithia kutoka kwa Sa‟îd bin Jubayr, kutoka kwa Ibn „Abbâs yakwamba alisema:

1 24:72-84 2 1:114 katika riwaya ya Yahya al-Layth.

Page 142: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

121

“Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali kwa kuchanganya dhuhr na „asr

alipokuwa al-Madinah katika hali isiyokuwa na uwoga wala safari.” Akasema Abû Zubayr, “Basi mimi nikamuuliza Sa‟îd: „Ni kwanini alifanya hivyo?‟ Akanijibu, “Mimi nilimuuliza Ibn „Abbâs kama hivi ulivyoniuliza wewe. Akanijibu, “Alitaka kuwaondolea Ummah wake uzito wa aina yoyote.”‟

Akasema al-Baihaqi, „Na Qurrah naye, akatafautiana nao katika upokezi wake wa hadîth. Akasema, “Alipokuwa katika misafara ya Tabûk.” Na Muslim amepokea hadîth ya Qurrah kutoka kwa az-Zubayr kutoka kwa Sa‟îd bin Jubayr, kutoka kwa Ibn „Abbâs aliyesema,

“Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali kwa kuchanganya wakati wa misafara

ya vita vya Tabûk. Alichanganya baina ya swala ya dhuhr na „asr, na maghrib na „ishâ‟.” Basi nikamuuliza Ibn „Abbâs: “Ni kwa sababu gani akafanya hivyo?” Akasema, “Alitaka kuwaondolea Ummah wake uzito wa aina yoyote.”‟

Amesema al-Baihaqi1:

„Kwa vile Qurrah alikuwa akiikusudia hadîth ya Abû az-Zubayr, kutoka kwa Abû at-Tufayl kutoka kwa Mu‟âdh, kwahiyo haya ni matamshi ya hadîth yake, na riwaya itokayo kwa Sa‟îd bin Jubayr ni hadîth mbili kwa pamoja, kwahivyo aliyoyasikiya Qurrah ni mojawapo ya hadîth hizo mbili, na yoyote aliyekuwa kabla yake aliisema hiyo nyengine.‟ Vilevile alisema, „Na haya ni mamoja kwa sababu Qurrah vilevile amepokea hadîth ya Abû Tufayl.‟

Mimi nasema, “Haya pia yamepokewa na Muslim; kwahivyo riwaya hii imetokana na nass (maandiko) ya hadîth ya Mu‟âdh na kutokamana na hadîth ya Ibn „Abbâs, kwani kumbukumbu za Qurrah zilikuwa ni za kutegemeka. At-Twahâwi ameipokea hadîth ya Qurrah2 kutoka kwa Abû az-Zubayr, na imeeleza sawa na hadîth ya Mâlik; kutoka kwa Abû az-Zubayr – Hadîth ya Abî Tufayl – na hadîth hii yake imetoka kwa Sa‟îd. Kwahivyo hii inathibitisha yakwamba Abû az-Zubayr ndiye aliyeyasema hayo yote mawili, haya na yale.”

1 Katika as-Sunan al-Kubra 3:167 2 Sharh ma‟âni al-Âthâr 1:160

Page 143: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

122

Amesema al-Baihaqi, „Imepokewa na Habîb bin Abî Thâbit kutoka kwa Sa‟îd bin Jubayr, lakini Abû az-Zubayr anayo maandiko mengine, na imetajwa kwenye hadîth ya al-A‟mash kutoka kwa Habîb bin Abî Thâbit, kutoka kwa Sa‟îd bin Jubayr, kutoka kwa Ibn „Abbâs yakwamba alisema,

“Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali kwa kuchanganya baina ya dhuhr na

„asr, na maghrib na „Ishâ‟, na hakuwa katika hali ya uwoga wala hapakuwa na mvua.” Wakamuuliza, “Sababu ya kufanya hivyo ilikuwa ni nini?” Akawajibu, “Alitaka kuwaondolea Ummah wake uzito wa aina yoyote.”

Na katika riwaya ya Waki‟, amesema Sa‟îd, “Nilimuuliza Ibn „Abbâs,

„Kwanini Mjumbe wa Allâh ( وسلم عليه الله صلى ) akafanya hivyo?‟ Akanijibu,

„Alitaka kuwaondolea Ummah wake uzito wa aina yoyote.‟” Hii imepokewa na Muslim kwenye swahîh yake.

Akasema al-Baihaqi, „Na al-Bukhârî hakuileta hii hata ingawaje Habîb bin Abî Thâbit alikubalika katika vigezo vyake, labda aliiwacha tu kwa sababu ya ikhtilafu kumuhusu Sa‟îd bin Jubayr.‟

Vilevile alisema, „(Kwa upande mwengine) inaelekea kana kwamba riwaya za kundi la Abî az-Zubayr zilikuwa zimehifadhiwa. Kuna riwaya kutoka kwa „Amr bin Dînâr, kutoka kwa Abî ash-Sha‟thâ‟, kutoka kwa Ibn „Abbâs yenye maana inayokurubiana na riwaya ya Mâlik, kutoka kwa Abî az-Zubayr.‟

Mimi (Ibn Taymiyyah) nasema: “Haina haja ya kuifadhilisha riwaya ya Abî az-Zubayr kuliko riwaya ya Habîb bin Abî Thâbit. Habîb bin Abî Thâbit ni mmojawapo miongoni mwa watu wa swahîhayn1, kwahivyo yeye anastahili zaidi upendeleo kuliko Abî az-Zubayr kwani Abî az-Zubayr ni chaguo la Muslim peke yake.

Vilevile, riwaya ya Abî az-Zubayr inatafautiana na maneno ya Sa‟îd bin Jubayr; mara nyengine ina kusafiri kama alivyoipokea Qurrah; kama hadîth ya Abî az-Zubayr kutoka kwa Abî at-Tufayl, na mara nyengine ilikuwa katika mji wa al-Madinah; kama wengi wao

1 Tizama katika “Al-Jam‟u bayna Rijâli s-Swahîhayn.” Uk. 377 cha Ibn al-Qaysrâni.

Page 144: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

123

walivyokuwa wameipokea kutoka kwa Sa‟îd. Kwahivyo, Abî az-Zubayr amepokea hadîth tatu kuhusiana na mas‟ala haya: Hadîth ya Abî at-Tufayl kutoka kwa Mu‟âdh kuhusu kuchanganya swala haliyakuwa kwenye safari, hadîth ya Sa‟îd bin Jubayr kutoka kwa Ibn „Abbâs inayofanana na hiyo, na hadîth ya Sa‟îd bin Jubayr kutoka kwa Ibn „Abbâs inayotaja kuchanganya wakiwa katika mji wa al-Madinah.

Ya ziyada ni kwamba hadîth zote ni swahîh kwa sababu Abî az-Zubayr amepewa daraja ya hâfidh, sasa ni vipi hadîth ya Habîb bin Abî Thâbit kutoka kwa Sa‟îd bin Jubayr nayo isithibitishwe ikiwa Habîb ni muaminifu zaidi kuliko Abî az-Zubayr?

Bali hadîth zote swahîh zilizobaki za Ibn „Abbâs zimeyaunga mkono aliyoyapokea Habîb. Kwahivyo kuchanganya alikokutaja Ibn „Abbâs hakukutokana na mvua, na kwa vile alitaja, „al-Madinah‟, kwahivyo hii inathibitisha yakwamba hakuwa kwenye safari.

Kwahivyo matamshi yake, „... alichanganya akiwa al-Madinah sio kutokana na uwoga wala mvua‟ ni bora kuliko kama angelisema, „si kutokana na uwoga wala safari‟ na yoyote aliyesema, „Mimi sina hakika kama hiyo ilitokana na mvua!‟ basi shaka yake si shaka iliyoelezwa kwenye hadîth, bali ilikuwa ni kwenye kuihifadhi riwaya hiyo. Basi kwahivyo kuzijumuisha pamoja ndilo jambo la sawa, yaani; alisema, haliyakuwa haikutokana na uwoga, wala mvua‟ na akasema, „na wala hakuwa kwenye safari.‟ Kuchanganya alikokutaja Ibn „Abbâs hakukuwa tu ni sababu moja au nyengine.

Kutokana na haya Ahmad ameshikilia yakwamba sampuli hizi za kuchanganya zilikuwa ni muhimu zaidi, kwani majadiliano haya yanathibitisha yakwamba kuchanganya huku kutokana na mas‟ala haya ni muhimu sana.

Suala hili linahusu kubainika kwa kitendo cha mtu. Kwani iwapo atachanganya ili ajiondolee uzito uliojitokeza mbali na uwoga, mvua au usafiri, basi kuondoa sababu hizi kunapewa kipa-umbele kuliko sababu hizo, kwahivyo kuchanganya katika mas‟ala haya kulikuwa ni muhimu zaidi kuliko kuchanganya katika sababu nyengine.

Jambo lenye kubainisha zaidi kwamba Ibn „Abbâs hakukataa kuchanganya kutokana na mvua, na kwamba kuchanganya kutokana na mvua kulikuwa ni muhimu zaidi katika kuruhusiwa kwake, ni

Page 145: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

124

kutokana na yaliyopokewa na Muslim kutoka katika hadîth ya Hammâd bin Zayd, kutoka kwa az-Zubayr bin al-Khurayt, kutoka kwa „Abdullâh bin Shaqîq aliyesema:

„Siku moja Ibn „Abbâs alikuwa akitutolea khutbah baada ya swalât al-„Asr mpaka jua likatwa (likazama) na nyota zikaanza kutokeza. Watu wakaanza kusema, “Swalâh! Swalâh!”. Akasema, „Kisha akaja mtu mmoja kutoka katika kabila la Banî Tamîm ambaye aliyeshikilia kusema na kukariri, “Swalâh! Swalâh!” Basi Ibn „Abbâs akamjibu, “Mwana kumkosa mamako Weeh! Wewe unanifundisha mimi

Sunnah?!” Kisha akasema, “Mimi nilimuona Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akiswali dhuhr na „asr na maghrib na „Ishâ‟.”‟ „Abdullâh bin Shaqîq akasema, „Hilo halikunikaa mimi! Basi nikamuuliza Abû Hurairah aliyethibitisha aliyoyasema.‟

Vilevile, Muslim akapokea hadîth ya „Imrân bin Hudhayr, kutoka kwa Ibn Shaqîq akisema,

„Mtu mmoja alimwambi Ibn „Abbâs, “Swalâh” kisha kukanyamazwa. Kisha akasema (tena) “Swalâh” kisha kukanyamazwa. Kisha akajibu, “Mwana kumkosa mamako Weeh, unataka kunifundisha mimi kuhusu

swala, haliyakuwa katika zama za Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) sisi tulikuwa

tukichanganya swala mbili?!”‟

Hapa, Ibn „Abbâs hakuwa safarini wala...1

Akasema al-Baihaqi, „Hakuna katika riwaya ya Ibn Shaqîq kutoka kwa Ibn „Abbâs kutokamana na njia hizi mbili zilizothibitishwa zenye kuunga mkono katika kukanusha yakwamba hayo yalitokana na mvua, wala kukanusha kuwa yalitokana na usafiri. Kwahivyo jambo hili linapaswa kuchukuliwa kuliko la kwanza lake, au kuliko ufafanuzi wa „Amr bin Dînâr, kwani hakuna katika riwaya hizi mbili lenye kupinga tafsiri hiyo.‟!

1 Hapa muandishi amezirudia nukuu kuhusu mas‟ala haya yanayopatikana awali kwenye kitabu hiki katika mlango wa „Swala‟, katika nukta ya pili, “Kuzichambua dalili”: “Hapa Ibn „Abbâs ...”

Page 146: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

125

Kwa hili tunasema: Subhânallâh! Ibn „Abbâs alikuwa akiwatolea mawaidha katika mji wa al-Basrah, kwahivyo hakuwa kwenye safari, na hapa hapakutajwa mvua. Alitaja kuchanganya kama dalili kwa aliyoyafanya, sasa ikiwa alikuwa kwenye safari au palikuwa pakinyesha, basi ingelikuwa ni bora lau kama angelileta hoja kutokana na kuchanganya kwake na kuchanganya kutokana na mvua au safari. Zaidi ya hayo, imethubutu kutoka kwake katika swahîhayn yakwamba kuchanganya huku (alikokusimulia) kulikuwa ni katika mji wa al-Madinah, sasa utasemaje ati hapana ndani yake jambo lolote lenye kukanusha yakwamba alikuwa safarini?! Na Habîb bin Abî Thâbit alikuwa ni miongoni mwa watu wenye kuaminika zaidi, na katika riwaya yake kutoka kwa Sa‟îd alisema, „haliyakuwa hapakuwa na uwoga wala si kutokana na mvua.‟

Ama kuhusu madai yakwamba al-Bukhârî hakuileta! Basi, kwa hili tunasema, huu ni uwezekano mmojawapo wa hoja iliyo dhaifu sana, kwani wao (wawili, al-Bukhârî na Muslim) hawakuzileta hadîth za Abî az-Zubayr, na yeye (al-Bukhârî) hakumleta kila aliyekubalika katika vigezo vyake.

Ama kuhusu kusemwa: „Riwaya ya „Amr bin Dînâr kutoka kwa Abû ash-Sha‟thâ‟ ina ukuruba na riwaya ya Abû az-Zubayr‟, vilevile amesema yaliyopokewa kwenye Swahîhayn kutoka katika hadîth ya Hammâd bin Zayd, kutoka kwa „Amr bin Dînâr, kutoka kwa Jâbir bin Zayd, kutoka kwa Ibn „Abbâs yakwamba,

„Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali katika mji wa al-Madinah rak‟âh saba

na nane; dhuhr na „asr na maghrib na „Ishâ‟.‟

Na katika riwaya ya al-Bukhârî kutoka kwa Hammâd bin Zayd: „Basi akamwambia Ayyûb, “Labda huwenda ikawa hayo yalitokea kwenye usiku uliokuwa ukinyesha?” Akamjibu, „Yawezekana.‟

Kwahivyo tunasema yakwamba shaka hii imetoka kwa Ayyûb na „Amr, shaka haikutoka kwa Mâlik. Sababu ikiwa ni kwamba maneno aliyoyapokea hayakukanusha mvua, kwahivyo wakadhani yakwamba hii ndiyo maana iwezekanayo, na lau kama wangeliisikiya riwaya iliyothubutu ya Habîb bin Thâbit, aliye muaminifu, hapo hawangeliipata shaka hii.

Page 147: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

126

Riwaya hizi za kutoka kwa Ibn „Abbâs zimechangia kwenye mapokezi bila ya kuyawekea masharuti, hapakutajwa ndani yake kuhusu kukanusha uwoga wala mvua, kwahivyo hili laonyesha yakwamba dhamira ya Ibn „Abbâs ilikuwa ni kuonyesha kuruhusiwa kuchanganya katika mji wa al-Madinah hususan, pasi na kulifunga jambo hilo kwa sababu moja peke yake. Kwahivyo yoyote asemaye, „Alimaanisha kuchanganya katika wakati wa mvua peke yake!‟ Basi anakosolewa kwa hilo.

Zaidi ya hayo, mara nyengine „Amr bin Dînâr alikuwa akidhani yakwamba pana uwezekano imetokana na mvua, akikubaliana na Ayyûb, na mara nyengine yeye na Abû ash-Sha‟thâ‟ walikuwa wakisema yakwamba ilikuwa ni kuchanganya baina ya nyakati mbili, kama ilivyopokewa katika swahîhayn kutoka kwa Ibn „Uyaynah, kutoka kwa „Amr bin Dînâr:

„Nilimsikiya Jâbir bin Zayd akisema, “Nilimsikiya Ibn „Abbâs akisema,

„Niliswali pamoja na Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) (rak‟ât) nane na (rak‟ât)

saba kwa kuchanganya.” Akasema, “Mimi nikamwambia, „Ewe Abû ash-Sha‟thâ‟‟, wewe unadhania aliichelewesha dhuhr au aliiswali „asr mapema, akaichelewesha maghrib au akaiswali „ishâ‟ mapema?‟ akanijibu, “Na mimi nadhania hivyo.”‟

Kwahivyo tunasema: Mas‟ala siyo namna hiyo; kwa sababu Ibn „Abbâs alikuwa na ufahamu na „ilmu zaidi kuhusu aliyokuwa akijaribu kuwathibitishia, alipoiswali swala katika wakati wake – jambo linalojulikana kwa ujumla na hususan likubaliwe, kitendo hiki kimetajwa kama dalili yake isiyokuwa na vikwazo vyovyote, na akasema, “Alikusudia kuwaondolea Ummah wake uzito wa aina yoyote”! Na inajulikana yakwamba swala katika mojawapo wa nyakati mbili inaruhusiwa kutokana na ahâdîth kuhusiana na nyakati, na Ibn „Abbâs ni mmojawapo wa wapokezi wa ahâdîth hizo za nyakati za

swala1 pindi Jibrîl alipokuwa ni Imâm wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) ndani

ya Nyumba, na akaswali dhuhr katika siku ya pili wakati urefu wa kivuli cha kitu ulipokuwa sawa na kitu chenyewe, na akaswali „asr wakati urefu wa kivuli cha kitu ulipokuwa sawa kama kitu chenyewe.

1 Hadîth hasan iliyopokewa na at-Tirmidhi na Abû Dâwud. Tizama katika Nasb ar-Râyah 1:221 cha az-Zayla‟i.

Page 148: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

127

Kwahivyo ikiwa kuchanganya kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kulikuwa ni

kwa sampuli hii peke yake, basi ni lipi lenye kushangaza mno kuhusu maana hii? Ilipokuwa ni maarufu yakwamba aliswali katika siku ya pili kila swala peke yake katika swala mbili mwishoni mwa nyakati, na

akasema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ), „Wakati ni baina ya nyakati hizi

mbili.‟ Kwahivyo kuiswali swala ya kwanza mwishoni mwa wakati wake kunafaa zaidi kukubaliwa.

Sasa utaijadili vipi hoja yakwamba ni jambo la kuchukiza

kuichelewesha swala (unapochanganya) ikiwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliswali katika nyakati maalum peke yake kwa kufanya hivyo, na kwa kuichelewesha maghrib mpaka giza hafifu lipotee mara moja, na kuichelewesha „ishâ‟ mpaka thuluthi au nusu ya usiku kisha dhamira ya Ibn „Abbâs ya kubainisha ruhusa ya kuichelewesha maghrib hadi wakati wa „ishâ‟ ilikuwa ni kubainisha tu katika hali hii ya kuchanganya, suala lenyewe ni pana zaidi, yakwamba ni kuuondolea Ummah uzito.

Kisha imethubutu kutoka kwa Ibn „Abbâs katika swahîh yakwamba

alitaja suala la kuchanganya kwenye safari, na kwamba Mtume ( الله صلى

وسلم عليه ) alichanganya dhuhr na „asr aliposafiri kuanzia dhuhr. Na

mjadala huu umetangulia huko nyuma.

Kwahivyo ufahamu yakwamba ibara hii ya Jam‟i inatumika tu kwa kawaida na kwa mazoweya wakati wa kuchanganya swala katika mojawapo wa nyakati mbili, na ama kuhusu kuswali baina ya nyakati hizo mbili, basi si kawaida kutumika katika uhusiano huo. Sasa utaitumiaje kupita kawaida yake kusema yaliyo kinyume chake?

Katika nyongeza, amesema Ibn Shaqîq, “Hilo halikunikaa mimi, kwahivyo nilipokwenda kwa Abû Hurairah kumuulizia kuhusiana na suala hilo ambalo yeye akaliafiki.‟ Jee, kwani swala ya dhuhr haikuwezekana kuswaliwa mwishoni mwa wakati wake ambao kwake yeye halikumuafiki hilo? Na kwamba „asr haikuwezekana kuswaliwa mapema katika mwanzoni wa wakati wake? Ilikuwa ni rai hii – yenye kusababisha shaka kwa baadhi ya watu wenye „ilmu chache – hilo halikumuafiki yeye? Jee, hili ndilo lililokuwa lenye kumsababisha yeye

Page 149: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

128

kuona kuwa ni muhimu kwake akamuulize Abû Hurairah au mtu mwengine yoyote? Hii ni ruhusa maarufu sana miongoni mwa Waislamu, shaka ya pekee kuhusu jambo hili huwatokea baadhi ya watu katika hali ya wakati wa maghrib, na watu hawa huruhusu kuichelewesha mpaka mwishoni mwa wakati wake. Kwahivyo hadith hii ni ushahidi dhidi yao.

Ruhusa ya kuchelewesha (swala) haihusiani kabisa na suala la kuchanganya (swala), bali inaruhusiwa kuichelewesha mpaka mwishoni mwa wakati wake, hata katika hali ya „ishâ‟. Na hivi ndivyo

alivyofanya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kama ilivyobainishwa kwenye

ahâdîth kuhusu nyakati (za swala). Vilevile kwenye hadîth swahîh.

„Na wakati wa maghrib ni katika hali ya kabla ya kupotea kwa giza jepesi, na wakati wa „ishâ‟ ni mpaka ifikapo nusu ya usiku.‟1 Kama

alivyosema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ), „Wakati wa adhuhuri utaendelea

kuwepo maadamu urefu wa kivuli cha kitu haujafikia urefu wake, na wakati wa „asr utaendelea kuwepo maadamu Jua halijageuka na kuwa manjano.‟

Kwahivyo hizi ndizo nyakati maalum alizozibainisha kwa maneno yake na vitendo vyake, na akasema, „Nyakati (za swala) ni baina ya mida hii miwili‟ na wala hauhusiani kivyovyote na kuchanganya kabisa. Iwapo watasema yakwamba maneno yake, „alichanganya baina yake akiwa al-Madinah na haikutokana na uwoga wala usafiri‟ ina maana kuchanganya kwenye makutano ya nyakati mbili, kama isemwavyo kunukuliwa kutoka kwa wale watu wa Koofah, basi itakuwa hakuna tafauti baina ya maneno yake na yao. Sasa basi, kwanini mtu kufanya uchoyo, katika mahali pasipokuwa na hoja iliyo bora dhidi yake kuliko yake, na kwanini yeye mwenyewe asikubali anayowatarajia nayo wengine kuyakubali.

Vilevile, haya yamethibitishwa na isiyokuwa hadîth ya Ibn „Abbâs na ikapokewa na at-Twahâwî2

1 Imepokewa na Muslim 612, 172. 2 Sharh Ma‟âni al-Âthâr 1:161

Page 150: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 13 Kiambatisho Cha Ziyada

129

„Ibn Khuzaymah na Ibrâhîm bin Abî Dâwud, na „Imrân bin Mûsa, wametupasha sisi habari, wakisema, “Ar-Rabî‟ bin Yahyâ al-Ushnâni ametusimulia sisi; Sufyân ath-Thawri ametusimulia sisi, kutoka kwa Muhammad bin al-Munkadir, kutoka kwa Jâbir bin „Abdullâh akisema,

„Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alichanganya (swala ya) dhuhr na „asr, na

maghrib na „ishâ‟ akiwa al-Madinah kutokana na rukhsah isiyokuwa ya (hali ya) uwoga wala ugonjwa.‟

Lakini kuna upelelezi kuhusiana na hali ya huyu al-Ushnâni.”

Yote haya1 yametoka kwenye mahojiano ya Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah, na ni mahojiano yenye maarifa makubwa ya ki- „ilmu, na usomaji wenye umaizi tele, basi twamuomba Allâh amkunjulie Rehma Zake kwa sababu ya kheri aliyotuletea na „ilmu yake kundufu.

Baada Ya Hayo;

Mas‟ala haya hayakuwacha kukhitilafiana juu yake, kwahivyo yanatakiwa yabainishwe kulingana na „ilmu, au upana wake wa ikhtilafu uwe ni kulingana na adabu za Sharî‟ah.

Twamuomba Allâh amrehemu Imâm Ibn al-Qayyim al-Jawziyyah kwa jawabu lake la maneno yanayostahiki kuandikwa kwa wino wa dhahabu, alipomjibu Abû Ismâ‟îl al-Answâri, “Sisi twampenda sana Sheikh ul-Islâm Ibn Taymiyyah, lakini haki ndiyo inayotupendeza zaidi sisi kuliko yeye.2”

Na huu ndio msingi tunaouchukuwa kutoka kwake.

Mas‟ala haya - na kila sifa njema inamstahiki Allâh - ni miongoni mwa sifa zenye kupambanua baina ya as-hâbul hadîth na ahlus-Sunnah, kwahivyo Allâh anastahiki Sifa kutokana na fadhla Zake, na shukrani zote ni zake Yeye.3

1 Pamoja na baadhi zenye ufupisho kutokana na uchache wa nafasi 2 Madârijus Sâlakîn 3:394 3 Tafsiri imeziwacha nukta za chini mwishoni mwa mlango huu. Kwa nukta hizo, muandishi amekusudia kubainisha adabu za kisawasawa zinazoelezwa na wanavyuoni wakati wanapokabiliwa na kutafakari yakwamba wamekosea. Tizama Ahkâm al-Qur‟ân (1:182-3) cha al-Qâdhi Ibn al-„Arabi al-Mâliki.

Page 151: MSIMU WA MASIKA · kutokamana na ushirikina (shirk) katika nyanja zake za kila sampuli na kuwaonya dhidi ya mambo maovu ya uzushi (Bid‟ah) katika mas‟ala ya „Aqîdah na vitendo

Mlango 14 Mwisho

130

MLANGO 14

MWISHO

“Twamuomba Allâh aturuzuku wema wake” Huu ndio mwisho wa niliyoyakusanya katika maneno yanayohusika na hukmu mbali mbali zilizotokamana na mas‟ala haya, yakiandikwa kwa kuzingatia mahitaji ya watu.

Namuomba Allâh ( وتعالى سبحانه ) aifanye kazi hii ilingane na yaliyo ya

sawa, na kuepushwa na yaliyo ya makosa, Yeye ni Mwenye kusikiya, na Mwenye Kukubali. Hatima ya ulinganizi wetu ni:

أجػينالد لله رب اىػالمين وصلى الله على بيا مد وعلى آل وصدت

al-Hamdu lillâhi rabbil-„âlamîn, wa swallallâhu wasallam wa bârik „alâ nabiyyinâ Muhammadin wa „alâ âlihi wasahbihi ajma‟în.

الحارث الحلبي الأثري أبى

اا ومسلما لله مصلحامد٦٣٦١|رجب|٦١مع أذان ظهر يىم الثلاثاء

م ٦٩٩٣|٦١|١٢ – ه Abu al-Hârith al-Halabi al-Athary, Jumanne, Rajab 17, 1415 H. (December 12, 1994)