49
CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM JANUARY, 2016

SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

  • Upload
    others

  • View
    17

  • Download
    1

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU

CHA DAR ES SALAAM

JANUARY, 2016

Page 2: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

i

YALIYOMO

UTANGULZI .............................................................................................................................................. II

VIFUPISHO ................................................................................................................................................ V

SURA YA KWANZA ..................................................................................................................................1

1.0 HISTORIA FUPI YA SERA YA MFUKO WA MAZISHI .....................................................1

1.1 MAELEZO YA AWALI .................................................................................................................1

1.2 MFUKO WA MAZISHI ................................................................................................................2

1.2.1 AWAMU YA KWANZA: KABLA YA 1993 ...........................................................................2

1.2.2 AWAMU YA PILI: BAADA YA 1993 ....................................................................................3

1.3 SIHA YA MFUKO ..........................................................................................................................8

1.4 HALI ILIVYO HIVI SASA .........................................................................................................8

SURA YA PILI........................................................................................................................................... 11

2.0 UMUHIMU WA SERA, DIRA, DHIMA NA MALENGO YA SERA ................................. 11

2.1 UMUHIMU WA SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES

SALAAM ..................................................................................................................................................... 11

2.2 DIRA YA SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES

SALAAM ..................................................................................................................................................... 11

SURA YA TATU ........................................................................................................................................ 13

3.0 MALENGO NA MATAMKO YA KISERA ............................................................................... 13

3.1 LENGO NAMBA 1 ........................................................................................................................ 13

3.2 LENGO NAMBA 2 ....................................................................................................................... 14

3.3 LENGO NAMBA 3 ....................................................................................................................... 15

3.4 LENGO NAMBA 4 ....................................................................................................................... 15

3.5 LENGO NAMBA 5 ....................................................................................................................... 16

SURA YA NNE .......................................................................................................................................... 18

4.0 MUUNDO WA KISHERIA NA KIUONGOZI WA SERA YA MFUKO WA MAZISHI

YA WAFANYAKAZI WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM ............................................... 18

4.1 MUUNDO WA KISHERIA ........................................................................................................ 18

Page 3: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

ii

4.2 MUUNDO WA KIUONGOZI .................................................................................................... 18

SURA YA TANO ....................................................................................................................................... 20

5.0 HITIMISHO NA MAPENDEKEZO ......................................................................................... 20

5.2 MAPENDEKEZO ......................................................................................................................... 20

KANUNI ZA MFUKO WA MAZISHI WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM ................. 25

KIAMBATISHO A .................................................................................................................................... 38

KIAMBATISHO B .................................................................................................................................... 41

Page 4: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

ii

Majedwali

Jedwali Namba 1: Mafano yaliyokuwa yakitolewa ............................................................ 5

Jedwali Namba 2: Viwango vipya vya Mafao ..................................................................... 7

Jedwali namba 3.1: Mchanganuo wa Mafao ya Mazishi kama Mchango wa

Mwanachama utakuwa Tshs. 3,000/= .............................................................................. 21

Jedwali Namba 3.2: Mchanganuo wa Mafao ya Mazishi kama Mchango wa

Mwanachama utakuwa Tshs. 4,000/= .............................................................................. 22

Jedwali Namba 3.3: Mchanganuo wa Mfao ya Mazishi kama mchango wa

Mwanachama utakuwa Tshs. 5,000/= .............................................................................. 23

Jedwali Namba 3.4: Ongezeko/pungufu kwa mwaka ikizingatia mchango wa

Mwanachama na kiasi cha malipo kwa Mfiwa .................................................................. 24

Page 5: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

iii

UTANGULZI

Kwa barua ya tarehe 10 Machi, 2015 Naibu Makamu Mkuu wa Chuo

Kikuu cha Dar es Salaam, Utawala, aliteua Kamati ya Kuandaa Sera ya

Mfuko wa Mazishi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kamati ilipewa

hadidu za rejea zifuatazo:

1. Kupitia upya Rasimu ya Sera ya Mazishi ya 2014 iliyowasilishwa

kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo (Utawala) pamoja na kanuni

zake ili kupendekeza malipo ya ziada ambayo mfiwa atapewa kutoka

katika Mfuko wa Chuo wa Sera ya Mzishi.

2. Kupendekeza jambo jingine lolote ambalo kamati itaona linafaa

kuhusishwa, kuingizwa au kufanyiwa kazi, ili kuboresha Sera ya

Mazishi, kwa maslahi ya wafanyakazi na Chuo kwa ujumla.

Kamati ilitakiwa kuwasilisha rasimu ya Sera ya Kanuni zake ifikapo

tarehe 31 Machi, 2015.

Katika kikao chake cha kwanza Kamati ilichambua hadidu za rejea ili

kujiridhisha na upana na upeo wa kazi. Kamati ilizielewa hadidu za rejea

kama ifuatavyo:

1. Kwamba Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitatekeleza majukumu

yake ya kisheria kuhusiana na mazishi ya mfanyakazi wake.

Utekelezaji huo kumhusu mfanyakazi una nguvu ya kisheria tokana

na Agizo la Serikali 2009 (Public Service Standing Orders, 2009),

Kanuni namba Q.7. Agizo hilo ni sehemu ya sheria za Chuo Kikuu

cha Dar es Salaam kwa kunukuliwa katika “UDSM Staff Regulations,

2013” kanuni namba 70.

2. Kwa kuwa sera ya Mazishi iliyopo inahusisha Chuo Kikuu kama

mwajiri na wafanyakazi, uelewa wa Kamati hapo juu (1) una maana

kwamba sera ya Mfuko wa Mazishi ambayo Kamati inabidi iiandae

ni sera ya Mfuko wa Mazishi ya Wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha

Dar es Salaam.

Page 6: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

iiii

3. Kwa kuwa majukumu ya kisheria yatatekelezwa na majiri, yaani

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, sera ya Mfuko wa Mazishi ya

Wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam itajazilisha pale

ambapo yanaishia majukumu ya kisheria ya Chuo Kikuu cha Dar es

Salaam.

Kutokana na maelezo ya hapo juu Kamati imeelewa inatakiwa

kufanya yafuatayo:

(a) Kupitia upya Rasimu ya Sera ya Mazishi ya mwaka 2014 kwa

mtizamo ulioainishwa hapo juu.

(b) Kuangalia maeneo ambayo hayataguswa na majukumu ya

kisheria ya Chuo Kikuu.

(c) Kuangalia mambo mengineyo ambayo itaona yanafaa kwa

maslahi ya wafanyakazi na Chuo kwa ujumla.

Kamati ilifarijika pale Naibu Makamu Mkuu wa Chuo alipouafiki

uelewa huo kwa barua yake ya tarehe 26 Machi, 2015.

Kamati ilifanya kazi yake kwa bidii; ilikutana mara tano na kuweza

kuandaa Sera ya Mfuko wa Mazishi ya Wafanyakazi wa Chuo Kikuu

cha Dar es Salaam na pia Kanuni zake baada ya kupitia rasimu ya

Sera ya Mazishi ya mwaka 2014, kuyatambua maeneo ambayo Chuo

Kikuu hakihusiki katika kumzika mfanyakazi wake au mtu yule

anayetambulika kisheria. Mwishoni Kamati imetoa mapendekezo

yake.

Kamati inasikitika kwamba kwa uzito wa kazi iliyopewa haikuweza

kuiwasilisha hiyo rasimu na kanuni zake ilipofika tarehe 31 Machi,

2015.

Page 7: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

iiv

Rasimu ya Sera ya Mazishi na Kanuni za Mfuko wa Mazishi

ziliwasilishwa na kujadiliwa katika Kamati ya Ajira ya CKD tarehe

22 Desemba 2015. Kamati iliridhishwa na Rasimu ila ilitoa

mapendekezo, ambayo tayari yamefnyiwa kazi katika Rasimu hii

inayowasilishwa kwenye Baraza la CKD.

Mapendekezo hayo yalikuwa:

1. Kwamba wastaafu waliokuwa wanachama wachangiaji nao

wajumuishwe kama wanachama ili waweze kupata mafao. Kwa

sababu ya pendekezo hilo jina la Sera na Mfuko ilibidi liangaliwe

upwa na pendekezo la sasa ni kwamba jina la Sera liwe Sera ya

Mfuko wa Mazishi ya CKD na jina la mfuko liwe Mfuko wa Mazishi

wa CKD.

2. Kiwango cha mafao kiwe walau TShs. 1,000,000/= (Milioni Moja)

Tu.

3. Ulazima wa kuwa na Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wanachama

wote uangaliwe upya

Page 8: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

iv

VIFUPISHO

Vifupisho vifuatavyo vimetumika katika rasimu hii na kanuni zake na

vinanyumbulishwa kama inavyoonekana hapa chini –

CKD - Chuo Kikuu Dar es Salaam

CoICT - College of Information and Communication Technology

RAAWU - Researchers, Academicians and Allied workers Union

SJMC - School of Journalism and Mass Communications

UDSAS - University of Dar es Salaam Acadmic Staff Assembly

Page 9: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

1

SURA YA KWANZA

1.0 HISTORIA FUPI YA SERA YA MFUKO WA MAZISHI

1.1 Maelezo ya awali

Mnamo mwezi Novemba 1993 Baraza la Chuo Kikuu Dar es

Salaam (CKD) liliamua kuwe na Sera ya Mfuko wa Mazishi ya

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Sera ya Mfuko ilianzishwa na

kuanza kutumika mwaka 1994. Kila mfanyakazi wa CKD

(wakiwemo wastaafu wenye mikataba ya ajira) ilibidi ajiunge

na kuchangia kupitia makato ya mishahara ya kila mwezi.

Aidha mwajiri (CKD) alichangia kiasi sawa na cha mfanyakazi

anachochangia.

Sera ya Mfuko wa Mazishi ya CKD ulikuwa ni mwongozo wa

mfumo wa CKD wa kulipia gharama za mazishi kwa

wafanyakazi na familia zao, wazazi au walezi na wanafunzi.

Gharama hizi za mazishi zilikuwa ni pamoja na matayarisho ya

mwili, matanga, rambirambi na usafiri.

Kabla ya kuanzishwa kwa mfuko huu, CKD kilikuwa kinafuata

mwongozo wa “Amri za Serikali na Kanuni za Mashirika ya

Umma” (Public Service Standing Orders). Mwongozo huo

uliainisha wajibu wa mwajiri, taratibu na vitu vya kugharimia

wakati mfanyakazi wake au mtegemezi wa mfanyakazi

anapofariki. Waraka huu pia ulifafanua juu ya wategemezi

wanaopaswa kuhudumiwa na mwajiri wanapofariki.

Mwongozo uliagiza kuwa pale:

Mfanyakazi anapofariki, Mwajiri alitakiwa kugharimia

matayarisho ya mwili, sanduku, sanda, kaburi, shada na

mapambo pamoja na kuusafirisha mwili wa marehemu

Page 10: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

2

kutoka sehemu alipofia kwenda mahali yeye alichagua (au

wawikilishi wake walichagua) kuzikiwa.

Huduma za mazishi pia ziliwahusisha familia ya mfanyakazi

hususan Mke au Mume na Watoto na gharama zote zililipwa

kwa kutumia fedha za umma.

Kila Taasisi au Shirika ilitakiwa kuwa na mfumo wake wa

kusaidia gharama wakati wa msiba (kwa maana ya gharama

za matanga na rambirambi).

Katika utekelezaji wa mwongozo huu wa Serikali matatizo

yalijitokeza. Malalamiko mengi yalihusu upendeleo katika

kuhudumia misiba ambapo viwango vya gharama za mazishi

vilivyotolewa kwa wafiwa vilitofautiana. Kutatua matatizo hayo

CKD kilipendekeza kuundwa kwa Sera ya Mazishi ambayo

ilianzishwa mwaka 1993 na kuanza kutumika mwaka 1994. Sera

hii ilipoanza kutumika haikuwa na kanuni.

1.2 Mfuko wa mazishi

Historia ya Mfuko wa Mazishi inaweza kugawanywa katika

sehemu kuu mbili ambazo ni kabla na baada ya kuazishwa kwa

Sera ya Mazishi; yaani kabla na baada ya 1993.

1.2.1 Awamu ya kwanza: kabla ya 1993

Katika awamu hii ya kwanza CKD hakikuwa na Sera ya Mazishi

na pia hakikuwa na Mfuko wa Mazishi. Malipo yote ya gharama

za mazishi ya mfanyakazi na familia yake yalikuwa yakitolewa na

CKD kwa kufuata mwongozo wa Amri za Serikali na Kanuni za

Mashirika ya Umma (Public Service Standing Orders)

ulioainisha aina ya mafao na viwango vya mafao kwa

Page 11: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

3

wafanyakazi wa Serikali na Mashirika ya Umma pamoja na

familia zao.

Mwongozo uliainisha yafuatayo kuhusu aina ya mafao au

gharama ambazo mfanyakazi na familia yake walistahili

palipotokea kifo cha mfanyakazi au mwana-familia yake. Malipo

yalitolewa kulipia gharama za kaburi, sanduku au mbao na

mkeka, sanda, chumba cha kuhifadhi maiti, shada la maua

pamoja na usafiri kwa mwili wa marehemu kutoka mahali mauti

yalipomkuta hadi kwenye kituo chake cha kuzikiwa.

Mwongozo haukutaja gharama za usafiri wa mwili wa marehemu

kutoka kituo cha kazi hadi nyumbani kwake wala aina au

kiwango cha msaada uliokuwa ukitolewa kwa familia ya

marehemu.

Kwa kuzingatia mahitaji halisi na uwezo, Mashirika ya Umma na

Taasisi za Serikali zilikuwa zikitoa huduma ya usafiri wa mwili

wa marehemu hadi nyumbani kwake kwa kutumia fedha za

umma.

Mwongozo haukuwahusisha wazazi (au walezi) wala wanafunzi.

Kwa kutoweka wazi viwango vya mafao stahili kwa mfanyakazi

na familia yake, ilipelekea kutolewa kwa malipo tofauti ya

kulipia gharama za mazishi, usafiri na rambirambi.

Kutofautiana kwa malipo kulizaa malalamiko halali kutoka kwa

wafanyakazi na vyama vya wafanyakazi. CKD hakikuwa na budi

kutafuta ufumbuzi wa kudumu.

1.2.2 Awamu ya pili: Baada ya 1993

Baada ya malalamiko ya wafanyakazi na vyama vya wafanyakazi

kuwa mengi, Uongozi wa CKD uliainisha changamoto zote

zilizoukabili, malalamiko ya wafanyakazi na mapendekezo na

Page 12: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

4

kuliomba Baraza la CKD ushauri. Changamoto zilizoainishwa

zilionyesha kuongezeka maradufu kwa malipo ya gharama za

mazishi yaliyokuwa yakilipwa kutokana na vifo vingi vya

wafanyakazi na wanafamilia zao, ufinyu wa bajeti na kukosekana

kwa viwango halisi.

Baada ya kuzingatia changamoto hizo Baraza la CKD, katika

kikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa

mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

yanayohusu ulipaji wa gharama za mazishi kwa wafanyakazi na

familia zao. CKD kikapendekeza aina mbili za utekelezaji wa

malipo kama ifuatavyo:

(i) Kwenye kifo cha Mfanyakazi Chuo kitoe sanda, jeneza

au ubao na mkeka, gharama za kuhifadhi maiti, kaburi,

shada, usafiri hapa Dar es Salaam, chakula wakati wa

matanga hapa Dar es Salaam na usafiri hadi alikozaliwa

marehemu.

Chuo pia kilipendekeza usafiri na fedha za kujikimu kwa

wafanyakazi wawili - mmoja kutoka Utawala na mwingine

kutoka Chama cha Wafanyakazi kusindikiza mwili wa

marehemu na kuwakilisha CKD kwenye mazishi.

(ii) Kwenye kifo cha mke/mume, mtoto au mzazi wa

mfanyakazi Chuo kitoe usafiri wa hapa Dar es Salaam na

gari kwa mfanyakazi aliyefiwa isipokuwa alipie gharama za

mafuta ya gari na posho ya dereva.

Ili kutatua matatizo mengi yaliyokuwa bado yanalalamikiwa,

CKD kilipendekeza kuanzishwa kwa Sera ya Mazishi ambayo

Baraza la CKD iliipitisha mwezi Novemba 1993 na ilianza

kutumika rasmi mwezi Novemba 1994. Sera hii ilielekeza

kwamba kila mfanyakazi wa CKD alipaswa kuchangia Shs.

Page 13: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

5

2,400/= kama kiingilio na baada ya hapo Shs. 200/= kila mwezi

kwa muda wote wa uanachama wa mfanyakazi. CKD kilichangia

Shs. 14,000,000/= kila mwaka. Wanafunzi hawakuhusishwa

moja kwa moja na Sera hii hapo awali. Jukumu la huduma za

wanafunzi waliachiwa waajiri au wafadhili wao.

Pale ambapo mfanyakazi au mtegemezi wa mfanyakazi alifariki

mafao yaliyotolewa yalikuwa kama yalivyoonyeshwa kwenye

jedwali hapo chini:

Jedwali Namba 1: Mafano yaliyokuwa yakitolewa

Tabaka la

Uanachama

Kundi la Mafao Kiwango Jumla

Mfanyakazi * Gharama za Mazishi 150,000

235,000 Rambirambi 35,000

Gharama za Matanga 50,000

Mke au

Mume

* Gharama za Mazishi 150,000

180,000

Rambirambi 30,000

Gharama za Matanga --

Mtoto * Gharama za Mazishi 150,000

170,000 Rambirambi 20,000

Gharama za Matanga --

Mzazi * Gharama za Mazishi 150,000 150,000

*Gharama za mazishi zilijumuisha gharama za Kuhifadhi

maiti, Sanda, Jeneza au Ubao na Mkeka, Kaburi na Shada.

Utekelezaji wa Sera ya Mazishi na uendeshaji wa Mfuko wake

ulipata changamoto nyingi kwa vipindi tofauti. Uongozi wa CKD

haukuwa na budi isipokuwa kutafuta ufumbuzi wa changamoto

Page 14: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

6

zilizojitokeza hivyo ililazimika kuunda Kamati ya Sera ya

Mazishi ili kusimamia masuala ya mfuko. Kamati hii ilikuwa ya

watu sita (6) na Wajumbe wake walikuwa:-

i) Katibu wa Baraza la Chuo - Mwenyekiti

ii) Mwakilishi wa UDASA - Mjumbe

iii) Mwakilishi wa RAAWU - Mjumbe

iv) Afisa Bima Mkuu - Mjumbe

v) Msarifu - Mjumbe

vi) Afisa Tawala Mwandamizi - Mjumbe

Kamati hii ilipewa mamlaka ya kushughulikia masuala yote

yakiwemo yale yaliyokuwa na utata katika utekelezaji wa sera

nzima ya mazishi. Kamati hii pia ilipendekeza kwamba viwango

vya gharama viainishwe ili kila mfanyakazi apate huduma sawa

na mwingine. Ndipo kamati ndogo ya Sera ya Mfuko wa Mazishi

iliundwa ambayo ilishughulikia mambo yafuatayo:

i) Kuangalia gharama halisi ya sanduku, sanda, maua,

kaburi, huduma za matanga, usafiri n.k.

ii) Kulinganisha matukio ya vifo kati ya wakati wa kuanzisha

mfuko na sasa (2002).

iii) Kushauri juu ya viwango vya sasa vya michango ya

wanachama kulingana na gharama halisi.

iv) Kushauri juu ya uanachama wa wanafunzi ambao

hawachangii mfuko huo.

v) Kushauri jinsi ya kuboresha uendeshaji wa mfuko

wenyewe.

vi) Kushauri juu ya swala lolote linaloweza kuboresha mfuko

huo.

Page 15: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

7

Kamati tajwa hapo juu ilitoa ripoti yake ambayo ilijadiliwa na

vyombo husika vya jumuiya ya CKD. Mapendekezo yote ya

Kamati hiyo yalikubalika na viwango vipya vya mafao na ada

vilipitishwa na vilianza kutumika mwaka 2005/06. Kutokana na

mapendekezo hayo akaunti ya mfuko ilifunguliwa na fedha

zilizokuwa zimechangwa kabla zilihamishiwa kwenye hii

akaunti.

Mfuko huu uliendelea kufanyiwa maboresho ambayo yalitokana

na tathmini zilizokuwa zikifanyika. Kwa mfano viwango vipya

vifuatavyo vya mafao vilipendekezwa na kupitishwa:

Jedwali Namba 2: Viwango vipya vya Mafao Viwango Vipya vya

mafao: Tabaka

Kundi la

Mafao

Kiwango Jumla

Mfanyakazi Gharama za

Mazishi

200,000/- 500,000/- +

Gharama halisi za

usafiri Rambirambi kwa familia 100,000/-

Gharama za Matanga 200,000/-

* Gharama za Usafiri * 400,000/-

Mke au

Mume

Gharama za

Mazishi

200,000/- 500,000/- +

Gharama halisi za

usafiri Rambirambi kwa familia 100,000/-

Gharama za Matanga 200,000/-

* Gharama za Usafiri * 400,000/-

Mtoto Gharama za

Mazishi

200,000/- 500,000/- +

Gharama halisi za

usafiri Rambirambi kwa familia 100,000/-

Gharama za Matanga 200,000/-

* Gharama za Usafiri * 400,000/-

Mzazi Gharama za

Mazishi

200,000/- 500,000/-

HAKUNA

huduma ya Rambirambi kwa familia 100,000/-

Page 16: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

8

Gharama za Matanga 200,000/- usafiri

* Gharama za Usafiri HAKUNA

Mwanafunzi Gharama za

Mazishi

200,000/- 300,000/- +

Gharama halisi za

usafiri Rambirambi kwa familia 100,000/-

Gharama za Matanga HAZILIPIWI

* Gharama za Usafiri * 400,000/-

Mfuko huu ulisaidia sana kuondoa malalamiko mengi

yaliyokuwepo hapo awali. Mfuko ulikuwa ni chombo ambacho

kiliweza kutoa mafao ya haraka kwa wafiwa na kuhakikisha

kwamba kila mfiwa alipata haki stahili bila ya ubaguzi wowote

na kwa haraka. Pia gharama za uendeshaji wa Mfuko huu

zinaonekana kuwa ni ndogo sana ukilinganisha na faida

iliyopatikana kwa kuwa na utaratibu huu wa mfuko.

1.3 Siha ya mfuko

Tangu Kamati ya Sera ya Mazishi ya CKD ikabidhiwe

majukumu ya kuongoza, Mfuko uliweza kukua kutoka limbikizo

la takriban shilingi milioni 79.0 mwaka 2004/05 hadi kufikia

shilingi milioni 584.7 mwaka 2011/12. Hii ilikuwa ni hatua

kubwa.

1.4 Hali ilivyo hivi sasa

Viwango vipya vilivyopitishwa na Baraza la CKD vya mwaka

2004 vilianza kutumika 2005/06 kama inavyoonekana hapo

juu. Viwango hivyo vinaendelea kulipwa hadi hivi sasa

2014/2015. (Rejea jedwali Namba 2, hapo juu).

Page 17: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

9

Sasa hivi kuna changamoto kadhaa zinazougusa mfuko wa

mazishi, zikiwemo:

Vifo vingi kutokea;

Gharama za mazishi kuendelea kupanda; na

Gharama zinazolipwa kuonekana kuwa ndogo.

Kwa sababu ya changamoto hizi Uongozi wa CKD uliteua

Kamati nyingine iliyopewa jukumu la kufanya tathmini ya

mfuko na kupendekeza viwango ambavyo vingetumika na

kuachana na hivi vinavyotumika sasa.

Hadidu za rejea za Kamati zilikuwa ni pamoja na kuangalia:

a) Gharama halisi za mazishi anayopewa mwanachama

akipatwa na msiba na kushauri juu ya viwango vya malipo

vya sasa kama vinakidhi;

b) Huduma ya usafiri kwa mazishi yanayofanyika Dar es

Salaam;

c) Kupitia viwango vya michango ya sasa ya

wanachama (wafanyakazi na wanafunzi); na

d) Namna ya kuboresha uendeshwaji wa kazi za Kamati.

Kamati iliyoteuliwa ilifanya kazi yake na kuwasilisha ripoti kwa

Uongozi wa Chuo kwa ajili ya kupitishwa kwa viwango vipya

vilivyopendekezwa vianze kutumika 2014. Wakati huo huo

kulizuka hoja kuhusu wajibu wa CKD kumzika mfanyakazi wake

kama ilivyoainishwa katika sheria.

Baraza la CKD, katika kikao chake cha Januari, 2015, baada ya

kupitia sheria husika, yaani “Public Service Standing Orders” ya

2009, kifungu Q. 7 na “University of Dar es salaam Staff

Regulations” kifungu namba 70, liliona ni wajibu wa kisheria

kwa CKD kubeba majukumu yake ya mazishi ya wafanyakazi,

Page 18: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

10

wenzi wao na watoto hivyo kukiagiza Chuo kutekeleza

majukumu hayo ya kisheria.

Baada ya maagizo hayo ya Baraza la CKD, uongozi wa Chuo kwa

barua ya tarehe 10/3/2015 uliteuwa kamati mpya kuangalia kwa

upya mfuko wa sera ya mazishi. Kamati hiyo ilipewa hadidu za

rejea zifuatazo:

Kupitia upya Rasimu ya sera ya Mazishi ya 2014

iliyowasilishwa kwa Naibu Mkuu wa Chuo Utawala pamoja

na Kanuni zake ili kupendekeza malipo ya ziada ambayo

mfiwa atapewa kutoka katika mfuko wa Chuo wa sera ya

Mazishi.

Kupendekeza jambo jingine lolote ambalo kamati ingeona

linafaa kuhusishwa, kuingizwa au kufanyiwa kazi ili

kuboresha Sera ya Mazishi kwa maslahi ya Wafanyakazi wa

Chuo kwa ujumla.

Kamati ilizifanyia kazi hadidu za rejea baada ya kujiridhisha

kwamba ilitakiwa kufanya yafuatayo:

a) Kupitia upya Rasimu ya Sera ya Mazishi ya Mwaka 2014

kwa mtizamo kwamba ingewahusu wafanyakazi tu wa

CKD;

b) Kuangalia maeneo ambayo hayataguswa na majukumu

ya kisheria ya Chuo Kikuu;

c) Kuangalia mambo mengineyo ambayo itaona yanafaa

kwa maslahi ya wafanyakazi na Chuo kwa ujumla.

Page 19: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

11

SURA YA PILI

2.0 UMUHIMU WA SERA, DIRA, DHIMA NA MALENGO YA

SERA

2.1 Umuhimu wa Sera ya Mfuko wa Mazishi ya Chuo Kikuu cha Dar es

Salaam

Umuhimu wa sera yoyote ile iwe ya Elimu au Afya ni kwamba

inaonyesha mfumo/mhimili au njia (framework) inayoeleweka

kwa walengwa wa sera hiyo ya nini kifanyike linapotokea jambo

fulani.

Sera ya Mfuko wa Mazishi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni

muhimu kwa sababu zifuatazo:

(a) kumhudumia mwanachama, pale ambapo majukumu ya

CKD kisheria yanaishia.

(b) kumhudumia mwanachama pale ambapo CKD hakihusiki

2.2 Dira ya Sera ya Mfuko wa Mazishi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

2.2.1 Dira (vision) ni maono au uwezo wa kuona mbali/mbele. Dira ya

Sera ya mfuko wa Mazishi ya CKD ni kuwa “Mfuko unaotoa

rambirambi bora kuliko mfuko wowote wa mazishi ulio kwenye

Tasisi na Mashirika ya Umma Tanzania”.

2.2.2 Dhima (mission) ni jukumu au wajibu au daiwo. Dhima ya Sera ya

Mfuko wa Mazishi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni kuweza

kutoa rambirambi inayokidhi gharama halisi za mazishi kwa

wakati husika pindi mfanyakazi anapofariki au mwenza wake au

mtoto/watoto wake (biological child/children) au mzazi wake

(biological parents) au mlezi aliyemlea akiwa chini ya umri wa

Page 20: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

12

miaka 18 au mstaafu ambaye alikuwa mwanachama kabla ya

kustaafu.

2.3 Malengo ya Sera ya Mfuko wa Mazishi ya Chuo Kikuu cha Dar es

Salaam

2.3.1 Malengo (objectives) ni madhumuni, au makusudio. Malengo ya

Sera ya Mfuko wa Mazishi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni:-

a) Kuunda Mfuko wa Mazishi wa CKD ili kujazia pale ambapo

majukumu ya kisheria ya Mwajiri, CKD, yanapoishia katika

mazishi ya mwanachama wa Mfuko na wale wamhusuo chini

ya Kanuni za Mfuko.

b) Kuwafanya wafanyakazi wote wachangiaji katika Mfuko

kuwa wanachama.

c) Kumhudumia mwanachama pale ambapo majukumu ya CKD

kisheria yanapoishia, kwa mfano kugharimia matanga na

rambirambi.

d) Kumhudumia mwanachama pale ambapo CKD hakihusiki

kabisa kisheria, kwa mfano kugharimia mazishi ya mzazi au

mlezi wa mfanyakazi mwanachama, kama ilivyoainishwa

katika Kanuni za Mfuko.

e) Kuhakikisha wanachama wote wanatimiza wajibu wao,

isipokuwa kwa mstaafu aliyekuwa mwanachama kabla ya

kustaafu, na kupata stahiki zao.

Page 21: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

13

SURA YA TATU

3.0 MALENGO NA MATAMKO YA KISERA

3.1 Lengo namba 1

Kuunda Mfuko wa Mazishi wa CKD ili kujazia pale ambapo

majukumu ya kisheria ya Mwajiri, CKD, yanapoishia katika

mazishi ya mfanyakazi wake au wale wanaohusika na mfanyakazi

wake kisheria.

Maelezo

CKD kinayo majukumu ya kisheria ya kumzika mfanyakazi wake,

mume au mke wa mfanyakazi na watoto wa mfanyakazi. Jukumu

hili limeainishwa katika “Public Service Standing Orders, 2009”,

kanuni Q.7 na kunukuliwa katika kifungu 70 cha “University of

Dar es Salaam Staff Regulations, 2013”. Katika hayo majukumu

ya kisheria CKD hakihusiki na maeneo kadhaa ambayo Mfuko wa

Mazishi utahusika nayo kulingana na Kiambata B.

Tamko namba 1

Wafanyakazi wa CKD, kwa baraka za uongozi wa CKD, wanaunda

Sera hii ya Mfuko wa Mazishi na kuanzisha Mfuko wa Mazishi ili:

a) kujazia pale ambapo majukumu ya kisheria ya CKD

yanaishia; maeneo ya kujazia ni kama rambirambi na

gharama za matanga (chakula, viti, mahema na mapambo)

b) kugharimia pale ambapo CKD hakiwajibiki; kwa mfano

mazishi ya mzazi au mlezi wa mfanyakazi/mwanachama au

mstaafu ambaye alikuwa mwanachama mchangiaji kabla ya

kustaafu.

Page 22: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

14

3.2 Lengo namba 2

Kuwafanya wafanyakazi wote wachangiaji katika Mfuko wa

Mazishi wa CKD [Kampasi ya Mlimani ya Mwalimu J.K. Nyerere,

Shule Kuu ya Habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) na

Kampasi ya Infomatiki na Teknolojia ya Mawasiliano (CoICT)]

kuwa wanachama wa Mfuko.

Maelezo

Mfuko wa Mazishi wa Wafanyakazi wa CKD utakuwa ni wa

wafanyakazi wote wachangiaji wa CKD, Kampasi ya Mlimani ya

Mwalimu J.K. Nyerere, Shule Kuu ya Habari na Mawasiliano ya

Umma (SJMC) na Kampasi ya Infomatiki na Teknolojia ya

Mawasiliano (CoICT). Nia ya Mfuko ni kuwanufaisha

wafanyakazi kwa kutoa mafao stahiki kwa mfanyakazi au

wategemezi wake kama Kiambata B kinavyooshesha. Mfuko pia

utawahudumia wastaafu ilimradi walikuwa wanachama

wachangiaji kabla ya kustaafu.

Tamko namba 2

Wafanyakazi wote wachangiaji wa CKD, Kampasi ya Mlimani ya

Mwalimu J.K. Nyerere, Shule Kuu ya Habari na Mawasiliano ya

Umma (SJMC) na Kampasi ya Infomatiki na Teknolojia ya

Mawasiliano (CoICT) watakuwa wanachama wa Mfuko wa

Mazishi.

Mfanyakazi mwanachama asiyelipwa kupitia “payroll” ya

“Lawson” ya CKD (kwa mfano yule ambaye yuko katika likizo bila

malipo, n.k.) atalazimika kuhakikisha kuwa anachangia kila

mwezi ili kuendelea kuwa mwanachama wa mfuko.

Page 23: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

15

Mstaafu aliyekuwa mchangiaji kabla ya kustaafu hataendelea

kuchangia baada ya kustaafu, lakini atastahili kupewa mafao;

hata hivyo mafao hayo hayatahusu mke au mume au watoto au

mlezi wa mstaafu huyo.

3.3 Lengo namba 3

Kumhudumia mwanachama pale ambapo wajibu wa CKD,

kumzika mfanyakazi wake, mume au mke au watoto, unapoishia

kisheria.

Maelezo

Sheria imeainisha wazi majukumu ya CKD katika kumzika

mfanyakazi wake au mke au mume wa mfanyakazi wake au

watoto wa mfanyakazi wake. CKD hakiwajibiki kutoa rambirambi

wala kugharimia matanga (chakula, viti, mahema au mapambo).

Mfuko huu utagharimia matanga na kutoa rambirambi.

Tamko Namba 3

Mfuko utamhudumia mwanachama pale ambapo wajibu wa CKD,

kumzika mfanyakazi wake, mume au mke au watoto, unapoishia

kisheria.

3.4 Lengo Namba 4

Kumhudumia mwanachama pale ambapo CKD hakihusiki

kisheria.

Maelezo

Sheria inatamka wazi kwamba wajibu wa CKD ni kumzika

mfanyakazi wake au mke au mume wa mfanyakazi na watoto wa

mfanyakazi. Wazazi au walezi hawatambuliwi na sheria husika.

Page 24: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

16

Ukweli ni kwamba mwanachama akifiwa na mzazi au mlezi,

kwake hilo ni pigo kubwa na huwa anahitaji sana msaada na

faraja. Mfuko utamhudumia mwanachama anayefiwa na mzazi

au mlezi kulingana na gharama halisi za mazishi kwa wakati

husika mradi mfuko utakuwa na uwezo wa kufanya hivyo.

Tamko namba 4

Mfuko utamhudumia mwanachama aliyefiwa na mzazi au mlezi

kama ilivyoainishwa katika Kanuni za Mfuko. Hata hivyo

mwanachama ambaye ni mstaafu aliyekuwa akichangia kabla ya

kustaafu hatapata mafao kwa kufiwa na mke au mume, mtoto au

mlezi.

3.5 Lengo namba 5

Kuhakikisha wafanyakazi wote wanatimizi wajibu wao na kupewa

stahiki zao

Maelezo

Wafanyakazi wote wa CKD, Kampasi ya Mlimani ya Mwalimu

J.K. Nyerere, Shule Kuu ya Habari na Mawasiliano ya Umma

(SJMC) na Kampasi ya Infomatiki na Teknolojia ya Mawasiliano

(CoICT) wakiwa wanachama wa Mfuko wa Mazishi, watakuwa na

wajibu na stahiki zao.

Wajibu wa wanachama utakuwa ni pamoja na:

a) Kujaza fomu za uanachama (Kiambata A)

b) Isipokuwa kwa mwanachama mstaafu aliyechangia kabla

ya kustaafu, kulipa kiingilio kilichokubaliwa na michango

ya kila mwezi kama ilivyoainishwa kwa kukatwa mshahara.

c) Kutoa taarifa sahihi katika ujazaji wa fomu ya usajili.

Page 25: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

17

d) Kutoa taarifa na vielelezo sahihi kuhusu kifo.

Stahiki za mwanachama zitakuwa ni pamoja na:

a) Kupewa kijazilisho stahiki pale ambapo majukumu ya

kisheria ya CKD yanapoishia

b) Kumhudumia mwanachama pale ambapo CKD hakihusiki

c) Kupewa nakala ya ripoti ya utekelezaji wa Mfuko wa

Mazishi.

d) Kuhudhuria na kushiriki katika Mikutano ya Wanachama

wote.

Tamko namba 5

5.1 Kila mwanachama wa Mfuko wa Mazishi atatekeleza wajibu

wake na kupewa stahiki zake kama ilivyoainishwa katika Sera

hii na Kanuni zake.

5.2 Stahiki za mwanachama ambaye amefariki dunia au amefiwa

na mume/mke au mtoto zitakuwa ni kama zinavyoainishwa

katika Kanuni za Mfuko wa Mazishi na Kiambata B.

5.3 Stahiki za mwanachama ambaye amefiwa na mzazi au mlezi

zitakuwa ni kama zinavyoainishwa katika Kanuni za Mfuko wa

Mazishi na Kiambata B.

5.4 Stahiki za mwanachama mstaafu aliyechangia kabla ya

kustaafu zitakuwa kama zilivyoainishwa katika Sera hii na

Kanuni zake.

Page 26: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

18

SURA YA NNE

4.0 MUUNDO WA KISHERIA NA KIUONGOZI WA SERA YA MFUKO

WA MAZISHI YA WAFANYAKAZI WA CHUO KIKUU CHA DAR ES

SALAAM

4.1 Muundo wa kisheria

Sera ya Mfuko wa Mazishi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

(CKD) imeanzishwa kwa mujibu wa Mwongozo wa Serikali ya

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Public Service Standing

Orders, 2009), Kanuni Q. 7 (3), inayotoa uhuru kwa Taasisi na

Mashirika ya umma kuanzisha mfumo wake wa ndani kusaidia

gharama za msiba za mfanyakazi wake au mtegemezi

anapofariki. Mfuko huu pia umeanzishwa kwa mujibu wa Sheria

ya Ajira ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ya mwaka 2013

(University of Dar es Salaam Staff Regulations, 2013) kifungu

cha 70 (3).

Baada ya CKD kuamua kuchukua majukumu yake ya kisheria

pale ambapo mfanyakazi wake au mtu ambaye ameainishwa

katika sheria kufariki dunia, Sera ya Mfuko wa Mazishi ya CKD

ilibidi irekebishwe na kuwa Sera ya Mfuko wa Mazishi ya

Wafanyakazi wa CKD na wategemezi wao tu.

4.2 Muundo wa kiuongozi

Mfuko wa Mazishi ya Wafanyakazi wa CKD

Utakuwa ni mfuko unaojitegemea (self-accounting unit)

katika CKD.

Utaongozwa na Kamati ambayo itakuwa na wajumbe

wafuatao ambao watateuliwa na Naibu Makamu Mkuu wa

Page 27: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

19

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Utawala. Baadhi ya

Wajumbe watateuliwa kwa nyadhifa zao.

(i) Mwenyekiti atakayeteuliwa na Naibu Makamu

Mkuu wa CKD, Utawala

(ii) Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala

(iii) Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya, CKD

(iv) Mawakilishi wawili kutoka chama cha Wafanyakazi,

CKD

(v) Mkurugenzi Huduma za Jamii

(vi) Naibu Msarifu

Wajumbe watamchagua Katibu wa Mfuko kutoka miongoni

mwao.

Wajumbe wa Kamati hii (isipokuwa wale walioteuliwa kwa

nyadhifa zao, ambao ni Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala,

Mganga Mkuu na Naibu Msarifu) wataongoza mfuko kwa muda

wa miaka mitatu na wanaweza kurudia kwa awamu nyingine

mara moja tu.

Ofisi ya Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala ndiyo

itakayohusika na shughuli za siku hadi siku zihusuzo Mfuko wa

Mazishi.

Kutakuwa na Mkutano Mkuu moja wa mwaka wa Wanachama

wote wa Mfuko ambao utagharamiwa na Mfuko.

Mfuko utakuwa unatoa taarifa zake za utendaji zikiwemo za fedha

katika vikao vya Baraza la Wafanyakazi na Kamati ya Mipango na

Fedha ya CKD kila baada ya miezi mitatu.

Page 28: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

20

SURA YA TANO

5.0 HITIMISHO NA MAPENDEKEZO

5.1 Hitimisho

Kamati inawasilisha rasimu ya Sera ya Mazishi na Kanuni za

Mfuko wa Mazishi kwa hatua zinazostahili.

Kamati imependekeza jina la sera liwe ni Sera ya Mfuko wa

Mazishi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa sababu zifuatazo:

Wanufaika na Mfuko wa Mazishi si tu wafanyakazi

wanachama, bali pia wastaafu ambao walikuwa

wachangiaji wa Mfuko kabla ya kustaafu.

CKD, kama mtu kisheria, kina wajibu wa kuwazika

wafanyakazi wake, wake au waume wa wafanyakazi au

watoto wa wafanyakazi.

CKD kinahusika na Sera na Mfuko huu kwa sababu wadau

wa Sera na Mfuko ni wafanyakazi wake wote. Na kwa

mantiki hiyo CKD kinaombwa kikubali kuchukua

majukumu yanayoainishwa katika Sera hii ya Mazishi na

Kanuni za Mfuko.

5.2 Mapendekezo

Katika kuandaa Sera ya Mazishi na kuunda Mfuko wa Mazishi

Kamati inatoa mapendekezo yafuatayo:

Mafao ya wanachama yawe TSh. 1,000,000/= (Milioni Moja) tu;

ikiwa anafariki mfanyakazi, mke au mume wa mfanyakazi, mtoto

wa mfanyakazi au mzazi au mlezi wa mfanyakazi, au mstaafu

aliyekuwa mwanachama mchangiaji kabla ya kustaafu, kama

Jedwali la mchanganuo wa mafao hapo chini linavyojieleza

(Jedwali namba 3).

Page 29: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

21

Mchanganuo wa mafao kama unavyooneshwa kwenye jedwali

namba 3 umefanywa kwa kuzingatia kwamba sera hii inawahusu

wafanyakazi tu. Kwa mantiki hiyo wanafunzi hawakuhusishwa.

Vilevile mchangunuo huu umetumia takwimu za miaka mitatu.

Kwa mfano wastani wa idadi ya wafanyakazi na vifo kwa mwaka

ni 2,249 na 110, kwa mtiririko huo.

Jedwali namba 3.1: Mchanganuo wa Mafao ya Mazishi kama Mchango

wa Mwanachama utakuwa Tshs. 3,000/=

Maelezo

Wastani

wa vifo

kwa

mwaka scenario 1 scenario 2 scenario 3 scenario 4

Kiasi cha kulipwa

mfiwa

500,000 800,000 1,000,000 1,500,000

Mapato kwa mwaka kwa

wafanyakazi

2, 249

80,964,000

80,964,000 80,964,000 80,964,000

Gharama za

nyongeza za msiba kwa

mwaka 110

55,000,000

88,000,000 110,000,000 165,000,000

Gharama za Benki 531,500 531,500 531,500 531,500

Gharama za

mikutano ya Kamati n.k

2,600,000 2,600,000 2,600,000 2,600,000

Jumla ndogo

matumizi

58,131,500 91,131,500 113,131,500 168,131,500

Ongezeko/ pungufu

kwa mwaka

22,832,500 - 10,167,500 -32,167,500 -87,167,500

Page 30: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

22

Jedwali Namba 3.2: Mchanganuo wa Mafao ya Mazishi kama Mchango

wa Mwanachama utakuwa Tshs. 4,000/=

Maelezo

Wastani

wa Vifo

kwa

mwaka scenario 1 scenario 2 scenario 3 scenario 4

Kiasi cha kulipwa mfiwa

500,000

800,000 1,000,000 1,500,000

Mapato kwa mwaka kwa

wafanyakazi

2, 249

107,952,000

107,952,000

107,952,000

107,952,000

Gharama za

nyongeza za msiba kwa

mwaka 110

55,000,000

88,000,000 110,000,000 165,000,000

Gharama za Benki 531,500 531,500 531,500 531,500

Gharama za

ikutano ya Kamati n.k

2,600,000 2,600,000 2,600,000 2,600,000

Jumla ndogo

matumizi

58,131,500

91,131,500 113,131,500 168,131,500

Ongezeko/ pungufu

kwa mwaka

49,820,500 16,820,500 -5,179,500 -60,179,500

Page 31: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

23

Jedwali Namba 3.3: Mchanganuo wa Mfao ya Mazishi kama mchango wa

Mwanachama utakuwa Tshs. 5,000/=

Maelezo

Wastani

wa Vifo

kwa

mwaka scenario 1 scenario 2 scenario 3 scenario 4

Kiasi cha kulipwa mfiwa

500,000

800,000 1,000,000 1,500,000

Mapato kwa mwaka kwa

wafanyakazi

2, 249

134,940,000 134,940,000 134,940,000 134,940,000

Gharama za

nyongeza za msiba kwa

mwaka 110

55,000,000

88,000,000 110,000,000 165,000,000

Gharama za Benki 531,500 531,500 531,500 531,500

Gharama za

mikutano ya Kamati n.k

2,600,000 2,600,000 2,600,000 2,600,000

Jumla ndogo

matumizi

58,131,500

91,131,500 113,131,500 168,131,500

Ongezeko/ pungufu

kwa mwaka 76,808,500 43,808,500 21,808,500 -33,191,500

Page 32: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

24

Jedwali Namba 3.4: Ongezeko/pungufu kwa mwaka ikizingatia mchango

wa Mwanachama na kiasi cha malipo kwa Mfiwa

Jedwali namba 3.4 linaonesha kwa ujumla ongezeko au pungufu kwa

mwaka kwa viwango mbalimbali vya mchango wa mwanachama na kiasi

cha malipo kwa mfiwa. Mchanganuo huo unaonesha kuwa kiwango cha

sasa cha uchangiaji wa Tsh. 3,000 hakitatosheleza kama tutaamua

kuongeza kiasi cha kulipwa mfiwa. Aidha, mchango wa mwanachama

ukiongezeka hadi Tsh. 4,000 mfiwa ataweza kulipwa hadi Tsh. 800,000

bila mfuko kuyumba. Hata hivyo maboresho zaidi ya malipo ya mfiwa

yanawezekena kuongezeka kufikia Tsh. 1,000,000 ikiwa mchango wa

mwanachama utakuwa Tsh. 5,000.

Mchango wa mwanachama (Tsh)

Kiasi cha malipo

kwa mfiwa (Tsh) 3000 4000 5000

500,000 22,832,500 49,820,500 76,808,500

800,000 -10,167,500 16,820,500 43,808,500

1,000,000 -32,167,500 -5,179,500 21,808,500

1,500,000 -87,167,500 -60,179,500 -33,191,500

Page 33: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

25

KANUNI ZA MFUKO WA MAZISHI WA CHUO KIKUU CHA

DAR ES SALAAM

1.0 UTANGULIZI

1.1 Kanuni hizi zitajulikana kama Kanuni Kuu za

kuendesha/kufafanua shughuli za Mfuko wa Mazishi wa Chuo

Kikuu cha Dar es Salaam za mwaka 2015 na zitatumika kutekeleza

yale yote yanayotamkwa na Sera ya Mfuko kuhusu uendeshaji wa

shughuli na majukumu pamoja na mahitaji ya Wanachama.

1.2 Kanuni hizi zinatoa tafsiri mahsusi ya Sera ya Mfuko wa Mazishi ya

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kutekeleza matakwa ya

Mwongozo wa Utumishi kwa Mashirika ya Umma ya mwaka 2009

sehemu ya Q.7 (3) na Sheria ya Ajira ya Chuo Kikuu cha Dar es

Salaam sehemu 70 (3) ya mwaka 2013.

1.3 Kanuni hizi ni sehemu ya Sera ya Mfuko wa Mazishi na zitasomwa

sambamba na Sera hiyo.

1.4 Kanuni hizi zitaanza kutumika baada ya kuidhinishwa na vyombo

husika vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

1.5 Mwenye mamlaka ya kuzitunga na kuzirekebisha kanuni hizi ni

Wanachama wenyewe kupitia Baraza la Wafanyakazi na kuridhiwa

na mkutano wao Mkuu wa Mwaka.

2. UFAFANUZI

Katika Kanuni hizi isipokuwa pale ambapo imefafanuliwa

vinginevyo “maneno”au “misemo” ifuatayo itakuwa na maana

iliyotolewa ndani ya Sera:

CKD – ni kifupisho cha neno “Chuo Kikuu cha Dar es Salaam”

Mfanyakazi – ina maana ya Mwajiriwa au mtu yeyote aliyeingia

katika Mkataba/Makubaliano na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

(mwajiri) kwa kulipwa mshahara.

Page 34: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

26

Mwanachama – ina maana ya

(i) Mwanachama wa Mfuko wa Mazishi ambaye ni Mfanyakazi

yeyote aliye katika ajira ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na

ambaye ametoa kiingilio na kutoa michango ya kila mwezi

kwa kukatwa mshahara,

(ii) Mstaafu aliyekuwa mwanachama kabla ya kustaafu.

Baraza la Wafanyakazi – ina maana ya chombo

kinachowashirikisha Wafanyakazi katika uongozi wa pamoja

mahali pa kazi.

Mfuko – ina maana ya “Mfuko wa Mazishi wa Chuo Kikuu cha

Dar es Salaam.”

Serikali – ina maana ya "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania" au Chombo chenye madaraka ya utawala kwa eneo

husika

Mwenyekiti – ina maana Mwenyekiti wa Kamati ya Mfuko wa

Mazishi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye ndiye pia

msemaji mkuu wa Mfuko na ambaye pia atakuwa mwenyekiti

wa Mkutano Mkuu wa wanachama wote.

Mwanachama mfanyakazi asiyelipwa mshahara kupitia

“payroll” ya “Lawson” ya Chuo - ni yule ambaye yuko katika

likizo bila malipo, au ameazimwa Serikalini, n.k.

3. JINA LA MFUKO

Mfuko huu utaitwa Mfuko wa Mazishi wa Chuo Kikuu

cha Dar es Salaam

Page 35: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

27

4. MADHUMUNI MAKUU YA MFUKO

Madhumuni Makuu ya Mfuko yatakuwa yafuatayo:

4.1 Kujazia pale ambapo majukumu ya kisheria ya CKD kumzika

mfanyakazi wake, mke au mume wa mfanyakazi au watoto wa

mfanyakazi, yanaishia au kugharimia pale ambapo CKD

hakiwajibiki.

4.2 Kuwafanya wafanyakazi wote wachangiaji katika Mfuko wa

CKD (Kampasi ya Mlimani ya Mwalimu J.K. Nyerere, Shule

Kuu ya Habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) na Kampasi

ya Infomatiki na Teknolojia ya Mawasiliano (CoICT) kuwa

wanachama wa Mfuko.

4.3 Kumhudumia mwanachama pale ambapo wajibu wa CKD,

kumzika mfanyakazi wake, mume au mke au watoto, kisheria

unapoishia.

4.4 Kumhudumia mwanachama pale ambapo CKD hakihusiki

kisheria.

4.5 Kumhudumia mstaafu aliyekuwa mwanachama mchangiaji

kabla ya kustaafu kama inavyoainishwa katika Sera ya Mfuko

wa Mazishi ya CKD.

4.6 Kuhakikisha wafanyakazi wote wanatimizi wajibu wao na

kupewa stahiki zao

5.0 UANACHAMA

5.1 Uanachama ni wa lazima kwa kila Mfanyakazi wa Chuo Kikuu

cha Dar es Salaam Kampasi ya Mlimani ya Mwalimu J.K.

Nyerere, Shule Kuu ya Habari na Mawasiliano ya Umma

(SJMC) na Kampasi ya Infomatiki na Teknolojia ya

Mawasiliano (CoICT). Kila mwanachama mfanyakazi

Page 36: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

28

atalazimika kujaza fomu maalum (“Kiambatisho A”). Taarifa

zote ziwe za kweli na ziambatane na nakala za vithibitisho

halali ambavyo ni cheti cha ndoa, vyeti vya kuzaliwa vya

watoto, hati ya kutohoa/kuasili (adoption certificate), n.k.

5.2 Taarifa zote za wanachama zitawekwa kwenye “data base”

ambayo itakuwa inafanyiwa marekebisho ya mara kwa mara

anapoajiriwa mfanyakazi mpya, kunapotokea msiba au

anapozaliwa mtegemezi mpya. Taarifa hizi ndizo

zitakazotumika kuhakiki taarifa za mfanyakazi na wategemezi

wake.

5.3 Mstaafu ambaye alikuwa mwanachama mchangiaji

atalazimika kujaza fomu maalum kama ilivyoainishwa katika

kifungu 5.1.

6.0 FEDHA ZA MFUKO

Fedha za Mfuko zitakusanywa kwa madhumuni ya

kuuwezesha Mfuko kufanikisha kugharimia maeneo

yafuatayo:-

(a) Kulipia gharama pale ambapo wajibu wa kisheria wa

CKD katika kumzika mfanyakazi wake, mume au mke

wa mfanyakazi au mtoto wa mfanyakazi unapoishia;

(b) Kulipia gharama pale ambapo CKD hakihusiki kisheria.

Page 37: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

29

7.0 MICHANGO, VIWANGO, MAFAO NA NAMNA

MWANACHAMA ANAVYO NUFAIKA NA MFUKO

7.1 Kiingilio

7.1.1 Kiingilio cha uanachama, ambacho kinafafanuliwa katika

Sera ya Mfuko kitatolewa na Mwanachama kwa madhumuni

ya kupatiwa usajili katika mfuko na kwamba malipo haya

yatafanywa mara moja tu.

7.1.2 Kwa kuwa kuna wazo la kutumia Akiba iliyopo kama sehemu

ya Sera hii, na kwa kuwa hapatakuwa na ubaguzi (Preferential

treatment) ya waanzilishi wa mfuko na wanachama wapya,

ingefaa wanachama wapya kulipa kiingilio chenye kutambua

uwepo wa Akiba (Reserve).

7.2 Ada ya kila Mwezi

7.2.1 Kila mwanachama mfanyakazi atalazimika kulipa mchango wa

kila mwezi ambao utakuwa unakatwa kutoka kwenye mshahara

wa mfanyakazi wa kila mwezi kulingana na makubaliano ya

wanachama. Aidha, Mwanachama ataendelea kutoa mchango

huu ilimradi yupo kwenye ajira ya Chuo Kikuu cha Dar es

Salaam na kulipwa mshahara/ujira.

7.2.2 Kiwango cha mchango kitakuwa kile kinachotumika kwa

wakati huo. Kwa hivi sasa, kiwango cha mchango pendekezwa

ni TSh. 5,000/=tu kwa mwezi.

7.2.3 Mwanachama mfanyakazi asiyelipwa kupitia “payroll” ya

“Lawson” ya Chuo (k.m. yule ambaye yuko katika likizo bila

Page 38: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

30

malipo, n.k.) atalazimika kuhakikisha kuwa mchango wake wa

kila mwezi unapelekwa kwenye Mfuko; la sivyo uanachama

wake katika Mfuko utakoma.

7.3 Mafao ya Mfuko

Mafao ya mfuko ni yale ambaye yameainishwa katika sera ya

mazishi na yatatolewa pale anapofariki dunia:

7.3.1 Mwanachama yaani mfanyakazi

7.3.2 Mke au Mume wa mwanachama

7.3.3 Mtoto wa mwanachama. Kwa mtoto aliyezaliwa "bahati -

mbaya" (kazaliwa hai na kufariki punde baada ya kuzaliwa au

kafia tumboni wakati wa kujifungua) itabidi uthibitisho utolewe

kupitia Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha CKD.

7.3.4 Mzazi au Mlezi wa mwanachama mfanyakazi.

7.3.5 Mstaafu aliyekuwa mwanachama kabla ya kustaafu.

7.4 Viwango vya Mafao

Viwango vya mafao vitakuwa kama vilivyopendekezwa katika

“Kiambata B”.

7.5 Unufaikaji wa Mwanachama

Kutokana na utoaji michango hiyo, Mwanachama atanufaika

kwa kupata haki zifuatazo:-

7.5.1 Kupewa mafao stahiki na kwa wakati muafaka mara taarifa ya

tukio la kifo inapofika kwenye ofisi husika. Kijazilisho hiki

kitatolewa kwa mafao ambayo yameainishwa kwenye mfuko

pale ambapo majukumu ya kisheria ya CKD yanapoishia.

7.5.2 Kupewa nakala ya Sera ya Mfuko wa Mazishi.

7.5.3 Kutoa mapendekezo ya sehemu za kuwekeza pesa za mfuko ili

uweze kupanuka na kuwa endelevu.

Page 39: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

31

7.5.4 Kupewa ripoti ya fedha ya mwaka.

Page 40: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

32

8.0 UTUNZAJI WA FEDHA ZA MFUKO

8.1 Uwekezaji na Udhibiti wa Fedha za Mfuko

8.1.1 Uwekezaji

(a) Naibu Makamu Mkuu wa Chuo, Utawala baada ya kushauriana

na Kamati ya Mfuko wa Mazishi pamoja na Msarifu atakuwa

ndiye mwenye mamlaka ya kuingia mikataba inayohusu

masuala ya uwekezaji wa fedha za Mfuko.

(b) Bila kuathiri utekelezaji wa Sera ya Mfuko, shughuli za

kusimamia na kudhibiti fedha ya Mfuko zitafanywa na Kamati

ya Mfuko wa Mazishi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa

kuzingatia miiko ya taratibu za fedha ya CKD.

8.1.2 Udhibiti wa fedha za Mfuko

Fedha ya Mfuko zitatolewa tu kulipia shughuli zilizoidhinishwa

katika Sera na Kanuni za Mfuko.

Taratibu za fedha za Mfuko zitakuwa kama ifuatavyo:

(a) Fedha yote ya kiingilio na michango itakayokatwa kutoka

kwa wanachama itapelekwa benki.

(b) Waweka saini kuhusiana na fedha iliyo katika akaunti za

benki watakuwa ni Viongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es

Salaam.

(c) Hati za Malipo zitaandaliwa na Ofisi ya Rasilimali Watu na

kuidhinishwa na Wanakamati wa Mfuko.

8.2 Uthibitisho wa Madai

Mwanachama atalipwa mafao husika mapema iwezekanavyo

baada ya kuwasilisha taarifa rasmi ya msiba kwenye ofisi husika

Page 41: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

33

na atatakiwa kuwasilisha mojawapo ya taarifa zifuatazo kwa

maandishi kama uthibitisho ndani ya miezi mitatu (3):

(a) Uthibitisho wa kifo husika kutoka kwa daktari au

hospitali;

(b) Cheti cha kifo kutoka kwa Msajili wa Vizazi na Vifo;

(c) Barua kutoka kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji au

Mtaa yenye anuani, simu na muhuri wa ofisi kwa ajili ya

kuthibitisha;

(d) Kadi ya kliniki kwa mtoto aliyezaliwa "bahati-mbaya" kwa

ajili ya uthibitisho

Page 42: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

34

9.0 MKUTANO MKUU

9.1 Kutakuwa na Mkutano Mkuu wa mwaka ambao

(a) kila mwanachama atawajibika kuhudhuria;

(b) utafanyika kabla ya kumalizika kwa mwaka wa fedha wa

CKD;

(c) utagharamiwa na fedha za mfuko.

9.2 Majukumu ya Mkutano Mkuu yatakuwa ni pamoja na:

(a) kupokea, kujadili na kutolea uamuzi au mwongozo

mambo yatakayoletwa na Kamati ya Mfuko wa Mazishi.

(b) Kuridhia maamuzi ya Kamati ya Mfuko wa Mazishi hasa

kuhusiana na:

(i) mabadiliko katika Kanuni za Mfuko;

(ii) mabadiliko katika uongozi wa Mfuko wa Mazishi;

(iii) uwekezaji wa fedha za ziada za Mfuko;

(iv) taarifa za fedha za mfuko pamoja na ukaguzi wa

mahesabu yake

(v) mambo mengine ambayo yatahitaji kupelekwa kwenye

Mkutano Mkuu

(c) Mwenyekiti wa Mkutano huo atakuwa mwenyekiti wa

Kamati ya Mfuko wa Mazishi.

(d) Katibu wa Kamati ya Mfuko wa Mazishi atakuwa Katibu

wa Mkutano Mkuu.

Page 43: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

35

10. UONGOZI WA MFUKO

10.1 Viongozi wa Mfuko

Viongozi wa Mfuko watakuwa wale ambao wameainishwa

katika Sera ya Mfuko wa Mazishi (Sura ya nne, kifungu namba

4.2) ambao ni:

(a) Mwenyekiti ambaye atateuliwa na Naibu Makamu Mkuu

wa Chuo, Utawala;

(b) Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala

(c) Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya, CKD

(d) Mwakilishi mmoja kutoka chama cha Wafanyakazi, CKD

(e) Mwakilishi, UDASA

(f) Naibu Msarifu

(g) Mwakilishi mmoja, Ofisi ya Rasilimali Watu

(h) Mwakilishi wa Waanzilishi wa Mfuko.

10.2 Wajumbe watamchagua Katibu kutoka miongoni mwao

Page 44: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

36

11.0 UKOMO WA UANACHAMA

11.1 Uanachama utakoma kwa:

(a) mwanachama kuacha kazi CKD kwa hiari yake

mwenyewe,

(b) Bila kuathiri vipengele vingine vya Kanuni hizi, kustaafu,

(c) Kufukuzwa, au

(d) kufariki dunia.

11.2 Aidha, Mwanachama mfanyakazi ambaye mshahara wake

haupitii kwenye “payroll” ya “Lawson” ya CKD na ambaye

atashindwa katika kipindi cha siku 90 kuufikisha mchango

wake wa kila mwezi katika Mfuko atakoma kuwa mwanachama

na hatastahili kurudishiwa michango yake ya nyuma.

12. KINGA

Iwapo mwanachama atabainika na kuthibitika kutoa taarifa za

uongo, vithibitisho visivyo halali au kuchelewesha kuwasilisha

vithibitisho husika, miezi mitatu tangu malipo yafanyike hatua

zifuatazo zitachukuliwa dhidi yake:

(a) Atapewa onyo la kimaandishi kutoka kwa Naibu

Makamu Mkuu wa Chuo - Utawala

(b) Atachukuliwa hatua za kinidhamu, ikiwa ni:

(i) makato ya mshahara kufidia malipo yaliyotolewa; na

(ii) makato ya ziada ya asilimia 50% ya malipo

yaliyotolewa.

13. TATHMINI YA MFUKO

Kamati ya Mfuko wa Mazishi utafanya tathmini ya Mfuko kila

baada ya miaka 3 na kupendekeza viwango vipya vya malipo ya

Page 45: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

37

mafao pamoja na ada ya mwezi. Mapendekezo hayo

yatawasilishwa kwenye Mkutano Mkuu kwa ajili ya kuridhiwa.

14. MAMBO MENGINE YA KUZINGATIA

(a) Mavazi ya msiba yawe ya rangi nyeusi.

(b) Fedha za ziada za mfuko ziwekezwe katika maeneo

yasiyo hatarishi ili kuutunisha mfuko.

Page 46: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

38

KIAMBATISHO A

Fomu ya Usajili / Registration Form

Taarifa Binafsi / Personal Particulars

Jina la Ukoo / Surname or Family-name:

JIna la mwanzo / First-name:

Majina mengine / Other names:

Tarehe ya kuzaliwa / Date of Birth:

Jinsi / Sex:

Taarifa za Ajira / Employment Particulars

Chuo / College

Shule Kuu / School

Idara / Department

Tarehe ya kuajiriwa / Date of

Employment

Namba ya Muajiriwa / Employee Number

Anuani za Mawasiliano

Contact Address

Posta / Postal:

Simu / Tel.:

Faks / Fax:

Barua Pepe / Email:

Anuani ya Nyumbani - Makazi ya

kudumu

Permanent Home Address/Place of

Domicile

Posta / Postal:

Mkoa / Region:

Wilaya / District:

Mji / Town:

Kijiji / Village:

Taarifa za Ndugu (wakati wa dharura)

Next of Kin (for notification in case of emergency)

Jina kamili / Full Name:

Page 47: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

39

Uhusiano (Kaka, Dada, n.k.)

Relationship (Brother, Sister, etc.)

Anuani za Mawasiliano

Contact Address

Posta / Postal:

Simu / Tel.:

Faks / Fax:

Barua Pepe / Email:

Taarifa za Ndoa / Marital Status

Hujaoa - Hujaolewa / Single Mtalakwa / Divorced

Umeoa - Umeolewa / Married Mjane / Widowed - Widow

Jina kamili la Mke - Mume / Spouses Full Name:

*Namba ya Cheti cha Ndoa / Marriage Certificate No : * Ambatanisha nakala halali ya cheti cha ndoa / Attach CERTIFIED

copy of original marriage certificate

Taarifa za Watoto / Particulars of children

Jina kamili

Full name:

Namba ya Cheti cha

kuzaliwa

Birth Certificate

Number

Jinsi

Sex

* Ambatanisha nakala halali za vyeti vya kuzaliwa

* Attach CERTIFIED copies of birth certificates

Taarifa za Baba Mzazi / Father’s Particulars

Jina Kamili / Full Name:

Yuko hai / Alive

Amefariki / Deceased Tarehe / Date: ________________________

Page 48: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

40

Taarifa za Mama Mzazi / Mother’s Particulars

Jina Kamili / Full Name:

Yuko hai / Alive

Amefariki / Deceased Tarehe / Date: ________________________

Taarifa za Mlezi / Guardian’s Particulars

Jina Kamili / Full Name:

Yuko hai / Alive

Amefariki / Deceased Tarehe / Date: ________________________

Je, ulishawahi kulipwa mafao kutoka Mfuko wa Mazishi?

Ndiyo Hapana (chagua mojawapo)

Have you ever received financial support from the UDSM Funeral

Support Fund?

Yes No (tick one)

Kama NDIYO - tafadhali ainisha lini na kwa ajili ya nani.

If YES - please state when and for whom.

1.__ ___________________________________________

2.______________________________________________

3.______________________________________________

*** *** *** *** *** *** *** *** *** *** *** ***

Nathibitisha kuwa taarifa zote nilizotoa hapo juu ni sahihi na kweli

I hereby declare that all information provided is true to the best of my

knowledge.

Tarehe / Date:___________Saini / Signature: _____________

Page 49: SERA YA MFUKO WA MAZISHI YA CHUO KIKUU … ya Mazishi - Final[1].pdfkikao chake cha 50 kilichofanyika tarehe 2 Desemba 1982, liliipa mamlaka ya Uongozi wa CKD kutekeleza masuala yote

41

KIAMBATISHO B

Mafao kutoka Mfuko wa Mazishi ya Wafanyakazi wa Chuo

Kikuu cha Dar es Salaam

Mfuko utatoa mafao yafuatayo iwapo mwanachama, mke au mume wa

mwanachama, mtoto au mzazi au mlezi wa mwanachama anafariki

dunia. Gharama ya kila fao imeonyeshwa.

Fao: Gharama

1. Rambirambi TSh. 400,000.00

2. Turubai TSh. 100,000.00

3. Chakula TSh. 300,000.00

4. Viti TSh. 100,000.00

5. Mapambo TSh. 100,000.00

Jumla TSh. 1,000,000.00

Jumla ya gharama ya mafao yote itakayotolewa itakuwa ni TSh.

1,000,000.00 (Shilingi za Kitanzania milioni moja) tu na itatolewa

mapema iwezekanavyo baada ya taarifa kupelekwa kwenye ofisi husika.