53
UTANGULIZI: Wapendwa, nawasalimu katika Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Kutokana na taarifa ya kazi ya Januari hadi Septemba 2017 tumeona jinsi tulivyoweza kutekeleza mipango tuliyopanga kwa mwaka huu. Aidha tumeona kazi mbalimbali ambazo hazikuweza kutekelezwa kutokana na changamoto ambazo zimeelezwa. Kwa kuzingatia mpango mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika kwa mwaka 2018 ikiwemo kazi ya kutathmini mpango mkakati wetu wa miaka mitano; ili kuona ni kwa kiasi gani tunautekeleza na kupata nafasi ya kuufanyia marekebisho ikiwa ni lazima, pia kuandaa mpango mkakati wa miaka mitano (2019 – 2023). Kazi hii ya tathmini ya mpango mkakati ilipangwa kufanyika mwaka 2017 lakini haikuwezekana kufanyika. Ni vizuri tukakumbuka kwamba Dayosisi yetu bado iko katika dharura kubwa ya hatari ya kupoteza shamba la Malya lenye ekari 1,000 na pia mwaka 2018 tutakuwa na Mkutano Mkuu; kwa hiyo itatubidi kuongeza jitihada zaidi katika mwaka 2018 ili tufanikishe mambo hayo ambayo yote ni muhimu. Mpango kazi wa mwaka 2018 umegawanywa katika Idara na vitengo vya Dayosisi kama ifuatavyo: Idara ya Uinjilisti, Misioni na Uwakili Misioni ETE Sinema Leo Elimu ya Kikristo Maandiko Ofisi ya Katibu Mkuu Utawala Utumishi Katiba na Sheria Habari, Mawasiliano na Ukaribishaji Idara ya Fedha Fedha Manunuzi na ugavi Kitengo cha Ukaguzi wa ndani 1

UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

  • Upload
    others

  • View
    31

  • Download
    1

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

UTANGULIZI:Wapendwa, nawasalimu katika Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Kutokana na

taarifa ya kazi ya Januari hadi Septemba 2017 tumeona jinsi tulivyoweza kutekeleza

mipango tuliyopanga kwa mwaka huu. Aidha tumeona kazi mbalimbali ambazo hazikuweza

kutekelezwa kutokana na changamoto ambazo zimeelezwa. Kwa kuzingatia mpango

mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi

wa mwaka 2018.

Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika kwa mwaka 2018 ikiwemo

kazi ya kutathmini mpango mkakati wetu wa miaka mitano; ili kuona ni kwa kiasi gani

tunautekeleza na kupata nafasi ya kuufanyia marekebisho ikiwa ni lazima, pia kuandaa

mpango mkakati wa miaka mitano (2019 – 2023). Kazi hii ya tathmini ya mpango mkakati

ilipangwa kufanyika mwaka 2017 lakini haikuwezekana kufanyika.

Ni vizuri tukakumbuka kwamba Dayosisi yetu bado iko katika dharura kubwa ya hatari ya

kupoteza shamba la Malya lenye ekari 1,000 na pia mwaka 2018 tutakuwa na Mkutano

Mkuu; kwa hiyo itatubidi kuongeza jitihada zaidi katika mwaka 2018 ili tufanikishe mambo

hayo ambayo yote ni muhimu.

Mpango kazi wa mwaka 2018 umegawanywa katika Idara na vitengo vya Dayosisi kama

ifuatavyo:

• Idara ya Uinjilisti, Misioni na Uwakili

• Misioni

• ETE

• Sinema Leo

• Elimu ya Kikristo

• Maandiko

• Ofisi ya Katibu Mkuu

• Utawala

• Utumishi

• Katiba na Sheria

• Habari, Mawasiliano na Ukaribishaji

• Idara ya Fedha

• Fedha

• Manunuzi na ugavi

• Kitengo cha Ukaguzi wa ndani

1

Page 2: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Idara ya Jinsia na Maendeleo

• Wanawake

• Watoto

• Vijana

• Utetezi

• Idara ya Huduma za Jamii

• Afya

• Elimu

• Udiakonia

• Ushauri

• Idara ya Mipango na Uwekezaji

• Mipango na programu

• Miradi

• Ardhi

• Vituo

• Chuo cha Biashara na Biblia Mwanza

• Kituo cha Afya Nyakato

Tunategemea kwamba wote tutasoma kwa makini mpango kazi huu ili tuwe na mipango

thabiti na inayotekelezeka na kufikia malengo ya mpango mkakati wetu. Tunategemea

kwamba Wenyeviti wa Halmashauri na kamati watakuwa tayari kuwasilisha, kujibu na kutoa

maelezo wakishirikiana na watendaji husika wa Idara kuhusu kazi tulizopanga kwa mwaka

2018.

Nawatakia Baraka za Bwana katika wajibu wenu wa kumtumikia Mungu kupitia vipawa

vyenu mbalimbali.

Askofu – KKKT Dayosisi Mashariki ya Ziwa Victoria

OFISI YA KATIBU MKUU

KITENGO CHA UTAWALA

NA Mkakati/Lengo Shughuli 2017 Bajeti Chanzo cha

Mapato

2

Page 3: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

1 Kuwa na

watumishi wa

kutosha na

wenye ari ya

kazi

• Kuongeza mishahara kwa asilimia

20%

Mfuko wa utumishi

2. Kuwa na

watumishi

wenye ujuzi

unaohitajika

katika kila idara.

-Kozi ndefu kwa watumishi

-Mch. Peweni Kikoti shahada ya

Maendeleleo ya Jamii – Iringa University

Grace Alfred – Diploma in Clinicalmedicine

-Rev, Mimi Mziray – Masters in Missiology

-Wilson Ekwabi, Emmanuel Sitta, Domician

Alloys, Lucas Shija, Amin Malisa, Godfrey

Francis – Bachelor of Divity.

-Rogath Mollel – MBA (Cooperate Mgt.)

Mzumbe.

-Kozi fupi kwa watumishi

- Semina kwa watumishi, semina kwa

watunza hazina wa sharika, majimbo na

sharika.

2,000,000.00

25,000,000.00

10,000,000.00

ELCA, LCMS,LMC

DANMISSION,

Majimbo, Sharika

DANMISSION,

Majimbo,

Sharika

3 Kuwezesha

vyombo vya

maamuzi na vya

kiutekelezaji

kutimiza wajibu

wake

• Kufanya vikao vya Halmashauri kuu,

Menejimenti, Halmashauri/kamati

• Kuhudhuria Vikao vya nje

(Halmashauri kuu KKKT, CCT ,LMC

11,000,000.00 ADMIN

4 Kuwa na Sera

stahili kwa kila

idara

Kutunga sera mpya kutokana na mahitaji

• Sera ya elimu, Udiakonia, ardhi,

habari, utetezi, afya. Kupitia,

kujadili, kurekebisha, kuboresha

sera mbalimbali

• Sera ya magari, mfumo wa utumishi,

mawasiliano.n.k

2,000,000,00 ADMIN

3

Page 4: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

5 Kukuza mtandao

na ufanisi wa

ziara za viongozi

• Ziara za Askofu

• Kuweka mawe ya msingi,

kuweka wakfu majengo ya

Kanisa, kutambulisha wakuu wa

majimbo na kuingiza kazini

wakuu wa vituo

• Kutembelea vituo – kazi za

maendeleo

• Kutembelea miradi ya Dayosisi

km. ETE, Diakonia, Oasis, Pamoja

tuwalee etc.

• Ziara za Msaidizi wa Askofu

• Katibu Mkuu

• Kutunza Safari za nje ya nchi kwa

viongozi

4,000,000.00

3,000,000.00

1,000,000.00

720,000.00

ADMIN

KITENGO CHA UTUMISHI LENGO KUU: KUONGEZA NA KUENDELEZA UTENDAJI KAZI WA WATUMISHI

4

Page 5: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

KULINGANA NA WAJIBU WAO KATIKA DAYOSISI, NA KUWA NA MFUMO HAI NA

ENDELEVU WA HABARI, MAWASILIANO VIELELEZO & UKARIBISHAJI

NA Mkakati/Lengo Shughuli 2018 Bajeti Chanzo cha

Mapato

1 Kuwa na

watumishi wa

kutosha na

wenye ari ya

kazi

• Likizo kwa watumishi

• Mishahara kwa wakati

• Tathmini ya utendajikazi kwa

watumishi

351,217,576.00

2,000,000.00

Mfuko wa

Utumishi

Mfuko wa

Utumishi

Mfuko wa

Utumishi

2 Kuwa na

watumishi

wenye ujuzi

unaohitajika

katika kila idara

• Kuratibisha shughuli zote za

mafunzo kwa watumishi kwa kozi

ndefu na fupi

• Kufuatilia maendeleo na maslahi

kwa wanafunzi pamoja na

watumishi walioko vyuoni

• Semina kwa watumishi.

25,000,000.00

10,000,000.00

ELCA, LCMS, LMC

ZMO

DANMISSION,

Majimbo, Sharika.

DANMISSION,

Majimbo, Sharika

5

Page 6: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

3 Kuwa na taratibu

na sera stahili

katika kitengo

rasilimali watu

Kutunga sera mpya kutokana na uhitaji.

• Sera ya utumishi, usalama mahali

pa kazi, utendaji kazi (employment

practices) , habari, sera ya maadili

kwa watumishi (employees

conduct), mafao ya watumishi (

empolyees benefits program and

policies)

Kupitia,kujadili , kurekebisha, kuboresha

sera mbalimbali

• mfumo wa utumishi, mawsiliano,

n.k

• Kupitia na kufanya marekebisho

mfumo wa utumishi na kuandaa

mpango mkakati wa miaka mitano

2,000,000.00 JSI/PACT ADMIN

4 Kuwa na mfumo

hai na endelevu

wa habari,

mawasiliano na

vielelezo

• Kuendelea kutunza na kuboresha

vyanzo vyote vya habari na

mawasiliano vilivyopo katika

Dayosisi (Email, website na jarida

la Dayosisi)

• Kuanzisha njia mpya za kupeana

habari na mawasiliano katika

Dayosisi.

• Kuwa na simu za mezani ofisi za

dayosisi na ofisi ya usharika kanisa

kuu

1,500,000.00

2,000,000.00

2,500,000.00

ADMIN

6

Page 7: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

5 Kuwa na

mazingira bora

ya utendaji kazi.

JUMLA

• Kuimarisha mahusiano mazuri nay

a kirafiki kwa watumishi na

menejimenti kwa ujumla

• AC ofisi ya Msaidizi wa Askofu.

• Kununua printer ofisi ya Askofu

• Kununua Computer ofisi ya Katibu

Muhtasi wa Katibu Mkuu

• Kabati la mafail ofisi ya Askofu

• Kununua Kabati dogo la mafail

ofisi ya Katibu Mkuu

• Wageni ofisi ya Askofu (ukarimu)

• Komputa ofisi ya Afisa utumishi

• Kabati la mafaili pamoja na kiti

ofisi ya Afisa utumishi

• Usafi mavazi ya Uaskofu

1,500,000.00

1,500,000.00

650,000.00

500,000.00

1000,000.00

1,000,000.00

1,000,000.00

1,700,000.00

500,000.00

404,467, 576.00

ADMIN

IDARA YA UINJILISTI, MISSION NA UWAKILI

LENGO KUU: KUWA NA WAKRISTO WALIO IMARIKA KIIMANI

KITENGO CHA UINJILISTI, MISIONI NA UWAKILI

No. LENGO SHUGHULI BAJETI CHANZO

CHA

MAPATO

1. KUIMARISHA OFISI

ZA MAJIMBO.

KUANZISHA SHARIKA

4, MITAA 3 NA

KUJENGA MAKANISA

3.

• Timu ya Askofu na wahubiri kufanya

Uinjilisti katika mtaa wa Hungumalwa

na kujenga Kanisa.

10,000,000.00 Toleo la

fellowship,

sharika, na

toleo la

ufunuo

7

Page 8: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Kutoa mafunzo kwa watendaji wa

Sinema leo.

• Kuonyesha sinema katika misioni ya

Ukerewe, Hungumalwa na mitaa ya

misioni.

28,000,000.00 FELM

• Kusaidia kuezeka makanisa 3 katika

maeneo ya misioni.

• Kuwa na viwanja vya jimbo la

Ukerewe. Kusini magharibi, Mwanza

Kusini na Kaskazini.

10,000,000.00 LMC, Toleo la

Uinjilisti

jimbo

• Kuanzisha Sharika za Nyakagwe,

Usagara na Nyahingi.

1,000,000.00 Toleo la

Uinjilisti

• Kununua boti kwa ajili ya uinjilisti

maeneo ya visiwani

45,000,000.00 FELM

• Kununua pikipiki tatu kwa ajili ya

watumishi

7,500,000.00 Mfuko wa

pikpiki &

toleo la

Pentekoste

2. KUWAJENGEA

UWEZO VIONGOZI

WA SHARIKA NA

MITAA.

• Kusomesha mkristo mmoja katika

shahada ya Theologia

4,500,000.00 LMC

2.

UWEZO VIONGOZI

WA SHARIKA NA

MITAA.

• Kuendeleza Mchungaji mmoja katika

shahada ya Theologia.

9,000,000.00 DAYOSISI

• Kuwaelimisha watheologia 9 katika

ngazi ya cheti na 3 katika Stashahada.

60,000,000.00 DANMISION.

DAYOSISI

8

Page 9: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Kuwasomesha Wainjilisti na Wasaidizi

wa Sharika 40 katika Chuo cha Biblia

Nyakato.

48,000,000.00

DANMISION.

FELM,

DAYOSISI

• Kuendeleza Mchungaji mmoja katika

kozi ya CPE-KCMC.

3,500,000.00 LWF,

DAYOSISI

• Kuendesha semina ya wainjilisti katika

kila Jimbo

6,000,000.00 Jimbo,

sharika

3. KUWA NA TIMU YA

KUFUNDISHA

UWAKILI WAKRISTO

• Kuwafundisha wakristo utoaji wa

mavuno na kutoa mavuno

Jimbo,

sharika

UWAKILI WAKRISTO• Kuwa na timu ya Jimbo ya

kuhamasisha toleo la kutunza

watumishi

9,000,000.00 Toleo la

kutunza

watumishi

• Kuwafundisha wakristo juu ya Sadaka Sharika

4. KUIMARISHA

WAKRISTO KATIKA

MAFUNDISHO YA

NENO LA MUNGU

KWA MSINGI YA

KILUTHERI

• Kuwa na semina 2 za Neno la Mungu

na moja ya ndoa.

sharika

MAFUNDISHO YA

NENO LA MUNGU

KWA MSINGI YA

KILUTHERI

• Kuendeleza na kuimarisha jumuiya

kwa kila usharika.

sharika

9

Page 10: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Kuwa na Semina na kuimarisha

wakristo wachanga katika mitaa ya

Kharumwa, Mabuki, Malya, Misasi,

Nyamagana, Nyakaenze,

Nyampalahala, Hung’umalwa,

Sumve na Buhumbi.

15,000,000.00 DANMISSIO

N

5. VITUO VYA ETE

KUENDELEZA CHUO

CHA NYAKATO NA

VITUO 5 VYA ETE.

Kugawa vitabu kwa wanafunzi vituoni. 3,570,000.00 SEM

CHA NYAKATO NA

VITUO 5 VYA ETE.

• Kutembelea vituo vya Kiloleli, Magu,

Nyegezi, Misungwi, Sengerema,

Iyogela, Sima, Geita, Nyarugusu na

Masumbwe

3,000,000.00 SEM

• Semina ya pamoja kwa wanafunzi,

wachungaji na wawezeshaji

9,500,000.00 SEM

• Kuendeleza lengo la kituo Misungwi

• Kutambua maeneo yenye uhitaji

(Maeneo ya Kome n a Nyehunge kuwa

na kipaumbele) na kuhamasisha

wanafunzi wapya

• Kukutana na viongozi wa sharika

zenye vituo

Kutoa posho kwa mratibu 1,800,000.00 SEM

Kuiwezesha ofisi ya mratibu 760,000.00 SEM

6. KUWEZESHA

GHARAMA ZA

UENDESHAJI WA

OFISI

• Kuwezesha mawasiliano ya simu ya

Internet.

1,000,000.00 Toleo la

uinjilisti

10

Page 11: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Ununuzi wa Stationary.

• Kuwezesha vikao vya Kamati 1,300,000.00 Toleo la

Uinjilisti

• Uhamisho wa watumishi 10,000,000.00 Dayosisi

7. KITENGO CHA

ELIMU YA

KIKRISTO

KUBORESHA UTOAJI

WA ELIMU YA

KIKRISTO SHULE ZA

MSINGI SEKONDARI

NA VYUO.

• Kuhakiki uwepo wa kamati za Elimu

ya Kikristo ngazi ya Sharika na Jimbo

100,000.00 Toleo la

Elimu ya

kikristoKIKRISTO

KUBORESHA UTOAJI

WA ELIMU YA

KIKRISTO SHULE ZA

MSINGI SEKONDARI

NA VYUO.

• Kutambua shule na vyuo

vitakavyohusika

100,000.00 Toleo la

Elimu ya

kikristo

• Kutoa mafunzo kwa wawezeshaji wa

Elimu ya Kikristo, kozi 2 katika Chuo

cha Biblia Nyakato.

1,000,000.00 LMC

• Kuandaa na kusambaza vitendea kazi

mfano vitabu na mihtasari

100,000.00 Toleo la

Elimu ya

kikristo

• Kufuatilia ufundishaji wa Elimu ya

Kikristo mashuleni na vyuo (katika

majimbo manne: Mwanza Kati,

Mwanza Kusini, Mwanza Mashariki

na Magharibi)

100,000.00 Toleo la

Elimu ya

kikristo

8. KUBORESHA

HUDUMA ZA SHULE

YA JUMAPILI.

• Kutoa mafunzo kwa Waalimu wa

Shule za Jumapili.

• Kutoa nakala na kusambaza

“tufundishe watoto” (2018)

1,000,000.00 LMC

9. KUBORESHA UTOAJI

WA ELIMU YA

KIPAIMARA.

• Kuwa na kikao cha kuandaa mtihani

• Kufuatilia uendeshaji wa madarasa ya

kipaimara katika majimbo ya Mwanza

Mash, Mwanza Kus, na Magharibi

150,000.00 LMC

11

Page 12: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Kusambaza mtihani na kusimamia

mtihani wa kipaimara majimboni

50,000.00 jimbo

• - sharika

• Kununua vitabu vya nyumba kwa

nyumba na kuviuza majimboni.

shrika

• Kununua picha za kufundishia watoto. sharika

10. UTOAJI WA VIFAA

VYA UFUNDISHAJI

KWA WAALIMU NA

WASHARIKA.

• Kufanya manunuzi ya vifaa

vinavyohitajika

Sharika,

jimbo

KWA WAALIMU NA

WASHARIKA. • Kuandaa na kusambaza vitendea kazi Sharika,

jimbo

11. KUTENGENEZA SERA

YA ELIMU YA

KIKRISTO

• Kuwezesha na kukaa vikao vya

halmashauri ya Elimu ya Kikristo na

wataalamu

100,000.00 Toleo la

Elimu ya

Kikristo

12 KUBORESHA

UTENDAJI WA KAZI

OFISINI

• Ununuzi wa vifaa vya ofisi na

makabrasha

200,000.00 Toleo la

Elimu ya

Kikristo

13 DAWATI LA

MUZIKI

KUIMARISHA

UIMBAJI WA NYIMBO

ZA VITABUNI KWAYA

NA LITURJIA

• Kusimamia uimbaji kupitia kamati

za muziki katika majimbo yote

• Kutembelea sharika kuone jinsi

uimbaji wa kwaya, Nyimbo za

vitabuni na Liturjia unavyoendelea

• Kuwa na vikao vitatu vya dawati la

muziki

450,000.00

240,000.00

250,000.00

Toleo la

uinjilisti na

jimbo

14 KUAMSHA NA

KUCHOCHEA

KARAMA

• Kuandaa wimbo wa kongamano na

tamasha kitaalamu kila mara

• Kuhakikisha mashindano

yamefanyika ngazi ya sharika ,

jimbo na dayosisi

200,000.00

100,000.00

Kurugenzi na

jimbo

Kurugenzi na

jimbo

12

Page 13: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

15

DAWATI LA MUZIKI

KUBORESHA

DAWATI LA MUZIKI

• Kununua vifaa vya dawati la

muziki (Santuri (CD) ya sauti za

Liturjia na redio[ CD) player])

• Kununua kitabu cha nyimbo na

sauti zake

120,000.00

20,000.00

Toleo la

uinjilisti

Toleo la

uinjilisti

JUMLA 298,210,000/=

Vyanzo vya Mapato:-

1.0 Local collection - 115,530,000.00

• SEM - 18,630,000.00

• FELM - 79,000,000.00

• DANMISSION - 53,400,000.00

5.0 LMC - 29,000,000.00

6.0 LWF - 2,500,000.00

IDARA YA FEDHA

KITENGO CHA FEDHA Na.

LENGO

KAZI.

KISIO LA

GHARAMA

CHANZO CHA

MAPATO

MUDA WA

UTEKELEZAJI

1.

Kuongeza kipato cha

dayosisi

-Kutafuta maafisa

masoko/Sales

representatives kwa ajili

ya kuuza bidhaa za bima

zitolewazo na maendeleo

bank. Watalipwa 10% ya

faida ya dayosisi

kulingana na idadi ya

wateja watakao waleta

-Kuendelea kuitangaza

huduma ya bima

-Kuweka fedha kwenye

FDR kwa riba ya 10%

- Kuendelea kutoa mikopo

kwa watumishi

2,000,000/=

60,000,000/=

Mapato

yatokanayo na

Bima ya

Maendeleo Bank.

Mfuko wa

wastaafu

Toleo la wastaafu

JAN-JUNE,2018

JAN-DEC,2018

JAN-DEC,2018

13

Page 14: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

2 Kufanya kazi kwa kufuata

standards za kihasibu.

-Kuanza kuambatanisha

fomu ya makisio kwa kila

maommbi ya fedha

yatakayowasilishwa ofisi

ya hazina

- - JAN-DEC,2018

3 Kuwa na taarifa ya fedha

ya pamoja kwa dayosisi

nzima

-Kutengeneza mfumo wa

taarifa unaofanana katika

sharika na majimbo yote

-Kuannza mchakato wa

kuunganisha taarifa za

fedha kuanzia ngazi ya

mtaa, Sharika na Majimbo,

vituo hadi ofisi kuu.

1,000,000/= Mapato ya

utawala

JAN-DES, 2018

4. Kuwa na mfumo wa

kiutendaji unaofanana

katika ofisi zote za fedha

za Dayosisi

-Kutengeneza mwongozo

wa fedha wa kihasibu

(financial regulation and

accounting manual)

- Kuendelea kusisitiza

matumiza ya sera ya fedha

ya dayosisi

1,000,000/= Mapato ya

utawala

JAN-DES,2018

5.

Kuwa na taarifa ya

viwanja inayoendana na

wakati

Kulipia kodi ya viwanja

kwa wakati

-Kupunguza madeni ya

nyuma

-Kuendelea kukumbusha

sharika kulipia kodi ya

viwanja

20,000,000/= Toleo la mavuno JAN-DEC,2018

6.

Kuendelea kukaguliwa na

wakaguzi wa nje

Kuandaa taarifa kwa

wakati na kufuata sharia

na taratibu zote za

kihasibu.

Kuendelea kutoa mafunzo

kwa wahasibu ili kuweza

kurahisisha utendaji kazi.

5,000,000/= -Toleo la

kuendesha ofisi

JAN-JUNE, 2018

14

Page 15: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

7 Kuongeza ufanisi katika

idara ya fedha kwa ngazi

zote

• Kufanya vikao vya

idara

• Kufanya vikao vya

halmashauri ya

fedha

• Kutembelea ofisi

za fedha za

sharika,

majimboni na

bvituo

• Kupunguza siku

za malipo na

kuwa mara 2 kwa

mwezi

2,000,000/= Toleo la utawala JAN- DEC,2018

JUMLA 191,000,000/=

KITENGO CHA

MANUNUZI NA UGAVINa.

LENGO

KAZI.

KISIO LA

GHARAMA

CHANZO CHA

MAPATO

MUDA WA

UTEKELEZAJI

1.

Kukusanya takwimu za

kusaidia kutayarisha

makisio ya vifaa

vinavyohitajika kwa kazi

mbalimbali za Dayosisi

-Kuandaa mpango wa ununuzi wa

mwaka mzima ( Annual Procurement

plan)

- -

JAN 2018

2 Kupata thamani halisi ya

malighafi

-Kukagua na kuhesabu vifaa ghalani

na kutoa taarifa ya thamani ya vifaa

vilivyomo ghalani.

500,000/= Mapato ya

Utawala

JAN

15

Page 16: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

3 Kuhakikisha sheria za

manunuzi zinafuatwa kwa

kwa Dayosisi nzima yaani

vituo, majimbo, sharika na

mitaa

-Kutembelea vituo, majimbo 3, na

sharika zake kueleza taratibu na

sheria za manunuzi kama sera ya

manunuzi zinavyoelekeza

-Kufundisha taratibu za manunuzi

kwa wachungaji kwenye kikao chao

kitakachofadhiliwa na DANMISSION

- Kushauri, kusimamia, manunuzi bora

ya vifaa vya kazi.

2,000,000/= Mapato ya

utawala

JAN

JUMLA 2,500,000/=

IDARA YA HUDUMA ZA

JAMII

KITENGO CHA ELIMU

No LENGO KAZI MUDA MAKISIO

1. Kuwa na sera ya Elimu Dayosisi

-Kukusanya maoni toka kwa wataalamu wa elimu tukishirikiana na CSSC juu ya uundwaji wa Sera ya Elimu.

-Kitengo kuandaa andiko la sera ya Elimu na kuiwasilisha kwa wajumbe wa Halmashauri ya Huduma za jamii kwa ajili ya kuisoma na kutoa maoni kwa ajili ya marekebisho.

-Kukamilisha sera ya Elimu na kuiwasilisha kwenye vikao vya menejimenti

January

March

June

700,000/=

550,000

16

Page 17: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

2 Kukamilisha usajili na taratibu za kuanzisha Shule 2 za secondary Mabatini na Malya ili kutoa huduma ya Elimu katika jamii.

Kazi zitakazofanyika katika Shule ya Sekondari Mwanza Lutheran Mabatini na Malya ni kama zifuatazo:-

• Kuteua wajumbe wa Bodi ya Shule na kuisajili, na majina ya wajumbe na rasimu/mwongozo kupelekwa wizarani.

ii. Kukaa vikao 2 na Bodi ya Shule kuchagua sare ya Shule, kuandaa Nembo, Wimbo, Motto na Kanuni ndogondogo za wanafunzi.

iii. Kuajiri wafanyakazi watakaohudumu katika Shule ya Mabatini kama ifuatavyo:- Mkuu wa Shule 1, Waalimu 8, Wahudumu 2, Mlinzi 1, na Mtunza Maktaba 1.

iv. Kuandaa makisio ya kuendesha shule, ili kuwa na bajeti itakayowezesha shule kuanza.

v. Kufanya matangazo mapema ya Shule yetu, 8 kwenye radio, 1 gazetini, vipeperushi na 2 Televisheni ili kupata wanafunzi watakaoanza Shule Octoba 2017, Matarajio ni wanafunzi 100.

vi. Kuandaa na kusimamia mitihani ya kuingia Sekondari Mwanza Lutheran na Malya.

vii. Kununua vitabu vya kiada na ziada, Compyuta 2 na vifaa vya Maabara kadiri ya mahitaji.

viii. Wajumbe wa Bodi za Shule (Mabatini na Malya) kutembelea Shule zao mara 2 na kufanya vikao 2 katika maeneo hayo kwa maandalizi ya Shule kuanza.

ix. Kuanzisha darasa la Pre form one watakaoingia kidato cha kwanza Januari 2019, Kuwa na Ibada ya ufunguzi wa Shule na kuendesha Harambee.

April

May na July

September

Agosti

Agosti na Septemba

Novemba

Agosti na Septemba

July na Septemba

Octoba

300,000/=

400,000/=

350,000/=

450,000/=

1,270,000/=

500,000/=

40,000,000/=

600,000/=

5,000,000/=

17

Page 18: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

3 Kuhamasisha Sharika na Majimbo kumiliki shule.

-Kutembelea Majimbo la Mwanza Kati –Ebeneza, Cathedral -Imani na Jimbo la Magharibi -Geita kuhamasisha kumiliki shule za Chekechea na Msingi.

-Kutembelea Sharika 3, ambazo ni Imani, Geita na Magu yenye shule na kuwashauri kuzisajili katika Wizara ya Elimu ili zitambulike rasmi.

-Kutembelea Shule za chekechea 3, kuzikagua na kutoa ushauri pale panapo bidi.

Februari

Machi, July na Septemba.

May na Julai

450,000/=

150,000/=

5. JUMLA 50,120,000/=

KITENGO CHA UDIAKONIA

LENGO KUU: KUWA NA WAKRISTO WALIO NA UTOSHELEVU WA

HUDUMA ZA KIROHO, KIMWILI NA KIAKILI DMZV.

NO MKAKATI/LENGO SHUGHULI/KAZI MAKISIO CHANZO CHA MAPATO

MUDA

18

Page 19: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

1. Kuwezesha Huduma ya udiakonia katika Sharika

-Kutembelea wadiakonia, kamati za udiakonia na viongozi wa sharika

-Kufanya vikao na kutoa elimu ju ya huduma ya udiakonia DMZV

3,980,000/= SEM JAN DEC

2. Kuwasaidia watoto walemavu na wenye mahitaji mbalimbali wanaoishi Mazingira magumu

-Kutoa misaada

- Kuwaelimisha na ushauri kwa familia zenye watoto walemavu (OASIS).

3,000,000/= SEM JAN-DEC

3 Kuhudumia wahitaji wanaofika ofisini wakiwa na shida mbalimbali

• Kutoa huduma kulingana na shida zao.

2,000,000/= Mapato ya ndani

Jan -

4 Kuwa na ofisi inayotosheleza kutoa huduma za udiakonia

• Kununua mafaili, na

• Karatasi pamoja na kalamu.

• Kupata vifaa vingine muhimu kwa ofisi.

600,000/= Mapato ya ndani

Jan -

5. Kufanya tathmini ya kazi ya udiakonia na kuhudhuria vikao vya nje ya Dayosisi ya DMZV

• Kupokea taarifa toka majimbo kila baada ya miezi mitatu

• Kutembelea Dayosisi zingine na kujifunza juu ya udiakonia

1,500,000 LMC -SEM Feb –

JUMLA 11,100,000/=

19

Page 20: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

KITENGO CHA USHAURI

LENGO KUU: KUTOA USHAURI KWA WATU WENYE MATATIZO YA

KISAIKOLOJIA NA KIJAMII NDANI NA NJE YA KANISA

S/N LENGO KAZI/SHUGHULI BAJETI VYANZO VYA

MAPATO

01 Have place for

people to come

and receive

counsel.

Establish kituo cha ushauri.

Tafuta kiwanja

Build office

Buy furniture

102,000,000

Tshs.

Still unknown

ZMO, ELVD

And other donors

02 To have colleges

for psychological

counseling

To search for another counselor and start to

work together

03 Help people with

psychological dis

orders, especially

those traumatized

with violence

Offer counseling/ psychotherapy Nill Not applicable

20

Page 21: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

04 Build up networks

to improve quality

of counseling and

reach people in

need of counseling

Regular visits to relevant institution and

organization

Start intervision group of counsellors

Build networks with parishes to identify and

refer patients

60,000 Tsh

Nill

1,000,000

Idara ya afya

Not applicable

Idara ya afya

05 Improve

counselling skills

and psychological

knowledge of

evangelists and

pastors

Teach at Nyakato Bible college nill Not applicable

06 Advance

counseling skills

amongst pastors

of the diocese, for

their work and

possibly as

multipliers

3 advance level seminars for pastors /

evangelists who have skills in counselling.

E.g have attended the course in pastoral

counselling at KCMC

2,700,000 Idara ya afya

07 Reduce the

number of

possible

perpetrators of

violence

Help work of institutions like FKT, Cheka

sana

Offer marriage counseling

Offer parents counseling

Nill

Nill

Nill

Not applicable

Npot applicable

Not applicable

08 Office material 100,000 Ya ndani

KITENGO CHA AFYA

LENGO KUU: KUWA NA JAMII YA KIKRISTO YENYE AFYA BORA NA UELEWA WA

KUTUNZA AFYA ZA JAMII WANAPOISHI

LENGO KAZI KISIO LA

GHARAMA

CHANZO CHA

MAPATO

21

Page 22: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

1.0. Jumuiya ya

sharika za DMZV

inapata masomo ya

elimu ya Afya

mfululizo

1.1.1. kuandaa dodoso la kutambua hazina

ya wataalamu wa afya ktk dayosisi

150,000 Sharika zote

1.1.2. Kulithibitisha dodoso na kilisambaza

sharika zote.

Ofisi ya katibu mkuu

1.1. 3. Kuhifadhi muhtasari/ kumbukumbu ya

wataaluma wa afya ktk Dayosisi

1.2.1. Kuanadaa kikao cha wataalam wa afya

ktk Dayosisi

350,000 Ofisi ya katibu mkuu

1.2.1.1 Kutuma mwaliko wa kikao

1.2.1.2.Kuaandaa Agenda za kikao

1.2.1. 3 Kuendesha kikao cha wataalam wa

afya Dayosisi

1.2.1.4 Kuanisha masomo yatakayofundishwa

na walimu wake

1.2.1.5 Kuandika muhtasari na kushirikisha

wadau wote kwa utekelezaji

1.2.1.6 Ufuatiliaji wa utekelezaji wa

mafundisho

2.0. Kubuni na

kuandaa angalau

andiko la mradi

mmoja wa upanuzi wa

kituo cha Nyakato

(name the project)

2.1. Kufanya kikao na memejimenti ya kituo

cha afya nyakato ili kuibua mradi na

wadau/wafadhili mbalimbali

300,000 Kituo cha Afya

Nyakato

2.2.Kuandaa andiko na kulisambaza kwa

wadau mbalimbali

3.0. Kuimarisha utoaji

wa huduma katika

kituo cha Afya

Nyakato

3.1. Kufanya mikutano ya ushauri na

mwenyekiti pamoja na Menejimenti kila

mwezi juu ya uhakiki wa utendaji na uongozi

wa kituo na

22

Page 23: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

3.2. Kujadili na kushauri juu ya utatuaji wa

changamoto mbalimbali za kituo kwa

kushirikiana ha menejimenti ya kituo

3.3. Kufwatilia juu ya ubora wa huduma

zinzotolewa ili ziwe za viwango

vinavyokubalika kitaifa

Tume ya Kikristo

huduma za jamii

(CSSC)/

Halimashauri ya Jiji.

4.0. Kuandaa mradi

mmoja wa kijamii na

kuomba ufadhili (aina

ya mradi itajwe)

4.1. Kukaa pamoja na idara ya miradi ili

kuibua mradi mmoja wa kijamii na kutambua

mdau/ wadau

100,000 Ofisi ya k/mkuu

4.2. Kusanifu andiko na kulituma/ kusambaza

kwa wadau mbalimbali

4.3. Ufwatiliaji wa matokeo

IDARA YA JINSIA NA

MAENDELEO

KITENGO CHA WANAWAKE

LENGO KUU LA KITENGO: KUWALETA WANAWAKE PAMOJA KATIKA

KUUJENGA MWILI WA KRISTO NDANI NA NJE YA KANISA

S/N LENGO KAZI/SHUGHULI BAJETI VYANZO VYA

MAPATO

23

Page 24: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

01 Kuimarisha umoja

na mshikamano

wa wanawake

katika Dayosisi

yetu.

• Kuwa na ibada za pamoja

zitakazoimarisha umoja na

mshikamano.

• Majimbo 8 yatafanya maandalizi na

maadhimisho ya ibada ya

maombi ya Dunia.

ii. Kila jimbo litatunza watoto waishio

mazingira magumu, albino na yatima

wasiopungua 10.

B) i. Dayosisi itaandaa maadhimisho ya

Ibada ya Wanawake mwezi Agosti na

majimbo yote 8 yatashiriki. Sharika 50

zitahitimisha katika hatua za mwisho.

ii. Ibada hiyo itatunza wazee 20 kwa

kuwapatia sabuni, chakula na mafuta.

• Sharika nazo zitatunza wazee

wasiopungua 5 kwa kuwapatia

mahitaji muhimu.

2,000,000/=

3,000,000/=

Mapato ya ndani

-Sadaka za ibada

ya machi na

Agosti.

-Michango ya

Wanawake

02 Kuwa na kitengo

imara kinacho

waunganisha

wanawake wote

wa kanisa.

• i. Kufanya vikao viwili vya kikatiba

vya halmashauri kuu ya Wanawake,

• Kufanya mkutano mkuu mmoja (1)

wa wanawake Dayosisi .

• Kuandaa Mpango mkakati wa

Kitengo cha Wanawake wa miaka

5 kuanzia 2019-2023

• Wanawake kushiriki shughuli za

kanisa ndani na nje ya Dayosisi.

• Kuanzisha vipindi vya malezi kwenye

sharika ambazo hazija anzisha na

kuendeleza maeneo

walikoanzisha.

• Wajumbe 5 kuhudhuria mkutano

mkuu wa wanawawake KKKT

huko shinyanga,

3,000,000/=

2,000,000/=

2,000,000/=

Mapato ya ndani

-Michango na

sadaka za Machi

na Agosti

24

Page 25: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

03 Kuwawezesha

Wanawake kukua

kiroho na kiimani

ndani ya Yesu.

-Kuandaa semina mbili (2) ya wanawake

katika majimbo 2, Mashariki na Kati ili

kutambua wajibu wao ndani ya Kanisa.

-Kuandaa semina moja (1) kwa wenzi wa

wainjilisti kutambua nafasi na wajibu

walionao ndani na nje ya kanisa.

3,000,000/=

1,000,000/=

Michango ya wan

awake toka

sharika zao na

-LMC

04 Kuendelea

kuwatambua na

kuwasaidia

wahanga wa

mauaji ya

vikongwe wenye

macho mekundu

na watu wenye

ulemavu wa ngozi

(Albino).

-Kuendelea kuwatambua wahanga wa

mauaji ya vikongwe wenye macho mekundu

katika maeneo ya Magu, Kwimba, Geita

vijijini na Ushirombo (Bukombe).

-Kuandaa na kutoa semina 3 za Afya, haki za

binadamu na huduma ya neno la Mungu

kwa kila kijiji kilichoathirika na janga hilo.

- Kuwapatia tiba ya kisaikolojia kwa kuwapa

ushauri nasaha.

12,000,000/

=

ELCA Donation

05 Kuongeza ufanisi

wa kitengo cha

wanawake ili

kuongeza tija na

ubora.

• Mratibu wa idara kwenda masomo ya

muda mfupi KORATI Afrika kuongeza

ufanisi katika utendaji

• Mhudumu wa kitengo cha mikate

kupata mafunzo ya mwezi mmoja ya

ushonaji ili kufufua mradi

• Kuwa na vitendea kazi vya kutosha

katika kitengo kama vile wino, kiti, note

books, kalamu, ream za karatasi na vifaa

vingine vya kazi.

4,000,000/=

2,000,000/=

1,000,000/=

-Mapato ya ndani.

Eg. Michango na

sadaka za ibada.

25

Page 26: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

06 Kubuni na

kuboresha miradi

ya kitengo cha

wanawake ili

kutunisha mfuko.

-Kujitangaza zaidi kwa wateja wetu wa

mikate wa zamani na wapya kuongeza

mapato.

-Kununua kiwanja kwa ajili ya uwekezaji

-Kuendesha harambee kubwa mwezi wa

Agosti katika ibada ya wanawake.

-400,000/=

-5,000,000/

=

Wanawake

-Sadaka za Ibada

Machi na Agosti.

Mapato ya ndani tarajiwa ni tsh.

27,400,000/=

Mapato ya nje eg. ELCA na LMC +

13,000,000/=

Jumla ya mapato tarajiwa kwa bajeti ya mwaka 2018 ni tsh.

40,000,000/=

KITENGO CHA WATOTO

LENGO KUU: KUWA NA WATOTO WENYE UJASIRI, WALIOLELEWA KWENYE

MISINGI YA KRISTO YESU

S/N LENGO KAZI/SHUGHULI BAJETI VYANZO

VYA

MAPATO

01 Kuwa na watoto wa

kikristo wenye

malezi bora katika

jamii wanayoishi

-Kufuatilia kwa karibu vipindi vya

watoto vinavyotolewa mashuleni.

Wanawake wahusike katika kujitolea

kufundisha

-Kuleta watoto kwenye mafundisho ya

kikristo ili wamjue Kristo.

500,000/=

Mapato ya

ndani

Eg. Mapato

ya Ibada

Machi na

Agosti

26

Page 27: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

02 Kuendelea kutambua

na kuwasaidia

watoto yatima, na

wanaoishi katika

mazingira magumu

na hatarishi.

-Kila Usharika kusomesha watoto

wasiopungua 2 yatima na walioko

katika mazingira magumu na hatarishi.

-Kuwapatia misaada mbalimbali kama

vile nguo, madaftari na vifaa vingine

vya shule kama sare za shule, nk.

- Wanawake

katika

sharika

03 Kuwa na jamii

inayokataa vitendo

vya ukatili.

-Kupambana na kuzuia ukatili wa aina

zote kwa watoto kwa:-

i. Kufanya semina 3 Ukerewe, Igombe

na Kazilamuyaye kukomesha vitendo

vya ukatili kwa watoto.

ii. Kuandaa Sera na mkakati wa dayosisi

dhidi ya vitendo vya kikatili kwa

watoto.

-Kwa kushirikiana na idara ya ustawi

wa jamii kuwatambua watoto na

kuwapa msaada wa kisheria dhidi ya

vitendo vya udhalilishaji.

-Kutoa elimu ya malezi ya watoto kwa

jamii katika maeneo ya Igombe,

Ukerewe na Geita vijijini mara 2.

3,000,000/=

-2,000,000/

=

Kitengo cha

watoto

kitashirikian

a na Kitengo

cha Utetezi

-

04 Kuwa na ibada za

watoto na wazazi.

-Kufanikisha sikukuu ya Mikaeli na

watoto katika sharika zetu zote.

-Kuandaa sikukuu moja ya watoto na

wazazi mara moja kwa mwaka na

watoto watapata fursa ya kuonyesha

vipaji vyao.

3,000,000/= Mapato ya

ndani

-Michango ya

Sharika zetu

Jumla ya mapato tarajiwa kwa bajeti ya mwaka 2018 ni Tsh

8,500,000/=

KITENGO CHA

VIJANA

27

Page 28: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

LENGO KUU: KUWA NA VIJANA WENYE UJASIRI,

WALIOLELEWA KWENYE MISINGI YA KRISTO YESU

: LENGO SHUGHULI KISIO CHANZO CHA

MAPATO

KIPINDI CHA

UTEKELEZAJI

1 Kuimarisha

vijana baada ya

kipaimara hadi

miaka 35 ili

kukua katika

ufuasi wa Yesu

Kristo

• Kufuatilia kazi za sharika

za mifano. Usharika

mmoja kutoka kila jimbo.

• Semina mbili kwenye kila

usharika wa mfano kwa

vijana

• Kuwa na kambi ya vijana

KKKT litafanyika Mwanza

• Kongamano la Askofu na

Vijana, DMZV.

• SikuKuu yaVijana,

D.M.Z.V.

26,850,000/=

FELM

-Michango ya

sharika

KKKT

-JAN -DES

-Machi-

-FEB-DES

-JUN/JUL

-JUN

2 Kuwawezesha

youth workers

na viongozi wa

idara ya vijana

majimboni na

sharikani

• Kutoa semina mara mbili

kuhusu mada muhimu

kwa ajili ya malezi ya

vijana (youth workers)

• Kuendeleza vitendea kazi

na vifaa vya kufundishia

na kuvinunua

8,200,000/= -FELM

-Michango ya

sharika

-FEB & AUG

-JAN-MEI

3 Kuimarisha

mawasiliano na

umoja wa vijana

baina ya sharika,

jimbo na

dayosisi

• Kununua vifaa vya

mawasiliano sharika za

mfano

• Kuzitembelea sharika za

mfano mara tatu

1,850,000/=

(Gharama

nyingine za

ziara

zinakwenda

pamoja na

semina na

kambi)

-FELM -FEB

-JAN-DES

28

Page 29: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

4 Kuwaelimisha

viongozi wa

kanisa pamoja

na wazazi juu ya

umuhimu wa

malezi ya vijana

katika kanisa

• Kuwa na semina hasa

kwenye sharika za mfano

na kuwaeleza wazazi

maana ya malezi ya vijana

kanisani

Gharama

zinakwenda

pamoja na

semina za

vijana katika

sharika za

mfano

-FELM

-Michango ya

Sharika

-JAN-DES

5 Kuimarisha

miradi ya

kitengo cha

vijana na kubuni

mingine

• Kuendeleza shamba la

miti Kahunda

• Kuwa na bidhaa za kuuza

• Kuanzisha miradi pamoja

na vijana kutoka sharika

za mfano kulingana na

eneo husika

3,400,000/=

-Michango ya

sharika

-Mapato ya

miradi

-JAN-DES

-JAN

-JAN-DES

6 Kuimarisha ofisi

ya idara ya

vijana sharika,

jimbo na

dayosisi

• Kutunza ofisi

• Vikao vya menejimenti

(4)

• Vikao viwili vya

halmashauri ya vijana

• Kuelimisha viongozi wa

idara kwa kozi

mbalimbali6,819,000/=

-FELM

-Michango ya

Sharika

-Shirika lisilo la

kiserekali

-JAN-MAC

-FEB, JUN, AUG

-JAN & AUG

- JAN

- JAN-DES

JUMLA 55,237,000/=

Mch. Jonah E.Mkumbwa,

Mch. Hanna Oja – Nisula

Mratibu wa Idara ya vijana

Msaidizi wa Mratibu wa Idara ya Vijana

29

Page 30: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

KITENGO CHA UTETEZI

LENGO KUU: KUWA NA JAMII INAYOISHI KWA FURAHA NA AMANI

IKISHIRIKI SHUGHULI ZA MAENDELEO

LENGO SHUGHULI KISIO CHANZO CHA

MAPATO

MUDA WA

UTEKELEZAJI

1 Kuendelea kutoa

Elimu ya Utetezi

na Kufungua

madawati katika

maeneo ya DMZV

-Kutambua kamati 3 za utetezi

zilizokuwepo na kuwapatia

semina moja kwa kila dawati.

-Kufungua madawati mapya 3

ya utetezi katika Wilaya za

Magu, Geita vijijini na Kwimba.

7,220,000/= DMZV na

DANIDA

Machi

2 Kutimiza malengo

ya Andiko la

utetezi 2014 –

2017

-Kusimamia madawati ya

utetezi ukerewe, Igombe, na

Ushirombo.

-Kusimamia vikundi vya

kuweka na kukopa vilivyopo

Igombe, ushirombo na

Ukerewe.

-Ufuatiliaji wa kesi na

kusindikiza wanaohitaji

msaada wa kisheria.

5,800,000/=

DMZV NA

DANIDA

-APRIL

-JAN, FEB, JUNE,

AUGOST

JAN-DEC

30

Page 31: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

3

Kuwa na kitengo

imara na bora cha

utetezi na

Kushiriki vikao

mbalimbali vya

Utetezi

vinavyoandaliwa

na

KKKT/wafadhili

-Kuudhuria vikao

vyakuwajengea uwezo

viongozi wetu vilivyoandaliwa

na DANIDA

-Kufanya semina moja kwa kila

dawati. Kuwapa semina za

kuwawezesha kufanya kazi za

utetezi.

-4,500,000/- DANIDA JAN- DEC

4 Jukwaa la Mkoa

wa Mwanza

kuendeleza kazi

za Uwajibikaji wa

Umma (Social

Accountability)

-Kamati ya Mkoa wa Mwanza

kuandaa vikao 3 na wadau

toka Serikalini, viongozi wa

siasa, dini, makundi maalum

na jamii ili kukumbushana

wajibu walionao.

-Kuelimisha Jamii kutambua

mahitaji yao na kuyasimamia.

-Kuendeleza semina kwa jamii

kuwaongezea uwezo waweze

kutambua wajibu walio nao

katika jamii wanayoishi na

kutatua matatizo yaliyopo

katika hali ya Amani.

Jumla ya bajeti 2018 ni Tshs.

6,375,000/-

23,895,000/-

DANIDA

Jan – Dec

IDARA YA MIPANGO NA UWEKEZAJI

31

Page 32: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

LENGO KUU: KUWA NA MIPANGO YA MIRADI, ARDHI, UWEKEZAJI NA HUDUMA NA KUFUATILIA UTEKELEZAJI WAKE.

KITENGO CHA MIPANGO, PROGRAMU NA MIRADI

LENGO KAZI KISIO GHARAMA

(TSHS)

• Kuwa na uwekezaji wa

elimu katika shamba la

Malya

• 1 Kukamilisha kuunga

umeme nyumba 31

za Malya

1,500,000

• Ujenzi wa shule ya

Kilutheri-Malya ,

Maabara 3, Bwalo

1Mabweni na 2, ,

200,000,000

3.0 Kuwa na shamba la

Malya linalozalisha na

kuongeza thamani ya

mazao

• Mradi wa kilimo

katika shamba la

Malya

a. Kilimo cha Msimu ekari

70 (mahindi, 50 alizeti

30, mpunga 20 ),

kupaliliwa na kuvunwa

12,000,000

32

Page 33: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

b. Kupanda na kukuza miti

6200 ya mbao, matunda

na kuzuia upepo

(mipakani).

2,900,000

4.0 Kuongeza ufahamu wa

wakuu wa idara katika

kuandaa maandiko ya

miradi

Kuandaa semina kwa

watumishi wa idara

kuhusu kuandaa

maandiko ya miradi ya

sehemu zao na

kuitathmini.

3,000,000

5.0 Kuwa na maandiko

yenye manufaa kwa kanisa

na jamii; yahusuyo elimu,

ufazili watoto, uinjilisti

,malaria, kupunguza

umasikini n.k.

Maandiko kuandaliwa

katika idara husika kama

uinjilisti na misioni,

huduma za jamii, Jinsia na

maendeleo, mipango na

uwekezaji na fedha

Kama;- DMZV- FELM,

DANMISSION, LMSA na

LMC, na Miradi mingine

itakayoibuliwa

1,000,000

33

Page 34: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

6.0 Kuwa na Dayosisi

(DMZV) yenye uwezo wa

kiuchumi na huduma na

kuongezeka kwa maeneo ya

uwekezaji.

i. Kuendeleza ujenzi wa

Shule ya sekondari ya

Kilutheri Mwanza -

Mabatini.

ii. Kupata eneo mbadala

na kuweka mipaka baada

ya kukabidhi kituo cha

polisi Igombe

40,000,000

2,000,000

iii. Kuendeleza miradi ya

ngo’mbe ya DMZV ya

sengerema na wachungaji

2,000,000

iv. Mradi wa kufuga nyuki

Malya kuongeza mizinga

10 na uzalishaji

700,000

v. Kuandaa sera za

uwekezaji DMZV,

tahadhari (Risk),

uzalishaji mali, kujenga

majengo ya DMZV.

3,000,000

7.0 Kuwa na Mpango

Mkakati wa Dayosisi 2014

– 2018 na uliotathminiwa

na mpango mkakati mpya

2019- 2023

• Kuangalia

utekelezaji wa

vipaumbele katika

Mpango Mkakati

• Kutathmini Mkakati

• Kutengeneza

mpango mkakati

2019- 2023

10,000,000

34

Page 35: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

8.0 Kuwa na Idara yenye

uzoefu na ushirikishaji kwa

sharika

a. Kutembelea na kutoa

mafunzo sharikani -

b. Kufuatilia matokeo

baada ya semina ya

waalimu wa shule za

jumapili na wainjilisti

Nyakato.

2,000,000

9.0 Kuwa na watumishi

wa idara wenye ufahamu

wa ardhi, majengo na

rasilimali zingine.

1.0 Kupata ushauri wa

afisa wa usanifu majengo

na rasilimali zingine

(estate officer)

2.0 Kumalizia (finishing)

servant quarter kwa

Askofu DMZV

3. Uboreshaji wa fence

kwa Askofu DMZV

4. Ukarabati mdogo wa

nyumba ya Askofu DMZV

1,000,000

5,000,000

5,000,000

5,000,000

10.0 Kuongeza ushiriki na

ufanisi katika usafiri wa

watumishi wa idara

1. Gharama za usafiri

katika ujenzi wa

Sekondari Malya na

kwingineko

4.500,000

11.0 Kuwa na waendeshaji

wa miradi wenye ari na

mahusiano mazuri.

1.Kununua vifaa, vivywaji

na vyakula, na

kukodisha kumbi wakati

wa vikao vya robo mwaka

2. kutayarisha minuti na

machapisho mengine k.m

miradi

1,000,000

35

Page 36: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

JUMLA 301,900,000

MIRADI

LENGO KUU: KUKUZA MIRADI ILIYOPO NA KUIBUA MIRADI MIPYA KATIKA DAYOSISI

• UTALII HAI

a.Kuboresha

muundo wa

utendaji kazi na

kutekeleza

shughuli za

Charming Safaris

b.Kupanua soko na

mtaji wa Charming

Safaris

2.0 Kuwa na

Hostel bora katika

huduma za

wageni, Charming

Bangalaw.

Kuongeza mafunzo kwa watumishi wa charming

Safaris ili waweze;

i.Kukusanya malipo toka wateja

ii. Kuwasiliana na wateja kuhusu mahali pa kutalii,

usafiri, malazi n.k

iii. Kupima gharama za safari

i. Kutengeneza mabango, webpages, katika

mtandao na kuwasiliana na mashirika mbalimbali

kuelezea umuhimu wa utalii hai.

ii. Kuandikisha Charming Safaris Kisheria

iii. Kufanya safari ya mfano ya watumishi na

kuitangaza.

i.Kuongeza vyumba viwili Charming Bangalaw

ii. Kuboresha miundombinu ya Charming Banglaw

3,000,000

8,000,000

10,000,000

Charming A/C

Charming A/C na

wadau wake

Mapato ya

UTAWALA (Kodi

za nyumba na

mapato ya

Charming

Bangalaw )

36

Page 37: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

3.MRADI WA KILIMO

HAI

Kuendeleza

shamba la

permaculture na

kueneza elimu ya

kilimo endelevu

(hai)

i)Kuendelea kufundisha watumishi kilimo hai

ii)Kuweka shamba la mfano liendane na mahitaji

ya sekondari yetu Malya

iii.Kutayarisha shamba la mfano ekari 5 za mtama,

mahindi, kunde na maboga mboga

iv. Kuendeleza kilimo cha kubadilisha mazao,

mimea rafiki, miti na kuondoa wadudu

v. Kutafuta mfadhili na kuendesha semina ya watu

300 wa Malya ihusuyo kilimo hai. Kupima

matokeo yake

16,000,000

50,000,000

ZMO KED

Bread for the

world4.UPATIKANAJI WA

MAJI YA KUDUMU

MALYA

Kuwa na maji

yanayokidhi mhitaji ya

makazi, shule na

shamba la Malya

i.Kuweka nishati ya nguvu ya upepo katika kisima

shambani

- Kusambaza maji katika mifereji ya maji hadi

shambani na shuleni.

-Kuunganisha mifereji ya matone shambani.

-Kulima ekari 20 mazao ya mpunga, maboga na

mboga mboga

100,000,000 Mfuko wa ZMO,

marafiki, shule ya

Malya.

5.MAJI KWIMBA 3

Kuwezesha jamii

ya DMZV iishiyo

katika uhaba

mkubwa wa maji,

kupata maji.

Kutafuta wafadhili na kuwezesha kuchimba visima

vitatu vya maji katika maeneo ya DMZV

LCMS

6. MRADI WA MIFUGO

MALYA.

Kuongeza kipato

kwa kutumia

rasilimali ya

majani na mabaki

ya mazao katika

shamba la Malya.

Kuweka Mbuzi wa kisasa 20 na kuku 1000 Mfuko wa kanisa

rafiki la ujerumani

na mfuko wa

shamba Malya

37

Page 38: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

7.TAFSIRI YA

KIKEREWE

Kuwezesha visiwa

vya Ukererewe

kupata neno la

Mungu katika

lugha ya Kikerewe.

i.Kuongeza ufahamu wa waendeshaji wa mradi

katika mipango na kutoa taarifa

ii. Kukarabati nyumba ya ofisi na ya mratibu na

kuweka thamani

iii. Kutafsi biblia ya Kiswahili kuwa Kikerewe

Mfuko wa mradi

wa tafsri Ukerewe

8.ADVOCACY &

INTERFAITH-

(SHAUKU)

Kuwa na jamii

inayothamini na

kulinda makundi

ya walemavu na

wanawake.

Kuelimisha jamii kwa kuanza kuwahamasisha juu

ya umuhimu wa haki za binadamu hasa kwa

walemavu wa ngozi na migogoro ya kidini

70,000,000 DANIDA

9.LVRA

Kuwa na jamii ya

kanda ya ziwa

iliyo huru

kutokana na

magonjwa na

ukandamizwaji wa

aina mbalimbali.

Kuendeleza juhudi za kukomboa wahanga wa

mazingira ya ziwa kama wagonjwa wa Ukimwi na

wajane

Mfuko wa LVRA

10. MACHO

MEKUNDU

Kukuzaji ufahamu

kupunguza ukatili

kwa wanawake

vikongwe

i. Kuendelea na shughuli za kupunguza imani

potofu juu ya akina mama wazee wenye macho

mekundu kuwa ni wachawi

Wafadhili wa

Amerika

11. USHAURI WA

KISAIKOLOGIA NA

KIROHO

Kuanzisha kituo

cha ushauri

nasaha DMZV

i.Kuandaa andiko la mradi wa ushauri nasaha

ii. Kuendeleza shughuli za ushauri katika eneo

kubwa zaidi (vyumba vitatu)

iii. Kupata eneo la ujenzi wa kituo

IV. Kujenga nyumba ya ushauri nasaha

50,000,000 mfuko wa ZMO,

DMZV na wadau

wa changamoto

za kisaikolojia na

ulemavu

12. SOCIAL

ACCOUNTABILITYJamii kupata huduma ya utetezi na kupunguza

migogoro

DMCDD/OAIC

13. KIZAZI KIPYA kufikia jamii ya wilaya ya kwimba, Buchosa na

Sengerema kwa

- Kutambua mahitaji ya watoto waishio katika

mazingira magumu zaidi --Kutoa elimu

USAID/ PACT

UFADHILI WA WATOTO.

LENGO KUU/MKAKATI KAZI/SHUGHLI ZILIZO

FANYIKA

KISIO/ GHARAMA CHANZO CHA

MAPATO

38

Page 39: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

1.0 Kusaidia watoto

waishio katika

mazingira magumu

zaidi, kupata maisha

bora na fursa ya elimu;

ili kuboresha maisha

yao sasa na baadae.

Kuwapatia chakula watoto

40.

Kuwapatia watoto 11 ada

ya shule

Kuwapatia watoto 45 sare

na vifaa vidogovidogo vya

shule

Kuwapatia watoto 8 nauli

ya kwenda shule

Kuangalia afya ya watoto

45 na kuwapatia matibabu

3,360,000

7,820,000

1,350,00

2,500,000

2,250,000

FELM

FELM

FELM

FELM

FELM

2.0 Kusaidia familia

zenye watoto

wenye matatizo

kuelewa matatizo

ya watoto wao.

Kuwapa elimu wazazi 100

na waalimu 80

4,045,000 FELM

3. Kusaidia jamii

kuangalia watoto waishio

mazingira magumu

kuwa na vikao 04 vya kamati,

kata na majumbani

Watumishi 20 wa kujitolea

toka jamii na kanisa

2,500,000

1,320,000

FELM

FELM

Kufwatilia na kupima

matokeo ya mradi kwa

kipindi cha mwaka 2017

Watu 32 kuhusika Tathmini

ya siku mbili

2,000,000 FELM

Kuwezesha ofisi kutoa

huduma bora kwa

wadau

Vifaa vya ofisi kunuliwa kama

stationeries n.k

600,000 FELM

4.0 Kuongeza uelewa wa

washarika kuhusu

watoto waishio katika

mazingira magumu

- Kutembelea sharika 8

kueleza kuhusu watoto

waishio mazingira magumu

107,000 FELM

39

Page 40: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

5.0 Kuwapa fursa watu

binafsi, familia, vikundi

na jamii kwa ujumla

kiuchumi na huduma ya

ofisi.

Kuwafundisha walengwa

ujasiriamali

wazazi na walezi 70

kutembelea ofisi yetu, ili

kupata ushauri wa kibiashara

JUMLA 27, 745,000

FELM

KITENGO CHA ARDHI

LENGO KUU SHUGHULI GHARAMA

(TSHS)

VYANZO VYA

MAPATO

MUDA

1.0 Kuongeza

upatikanaji wa

taarifa sahihi za

viwanja DMZV

Kufuatilia taarifa za

viwanja toka sharikani

kwa kushirikiana na

majimbo.

-Kuwekwa kumbukumbu

katika database

2,000,000 Mfuko wa

utawala na miradi

(M &E)

Jan. – Julai

2018

2.0 Kuongeza

utambulisho na

uzalishaji wa ardhi

ya DMZV

Kuweka alama za

utambulisho kama bikoni

na miti katika maeneo ya

sharika na ofisi kuu.

2,000,000 Mfuko wa

utawala na

marafiki wadau

wa mazingira

bora, na sharika

Jan – Des

2018

3.0 Kuwezesha

usajili wa ardhi

kuwa endelevu

1. Kuaininisha viwanja

vyenye sifa ya Kupelekwa

RITA

2. Kutambua Viwanja

vinavyohitaji usajili

3.Usajili wa ardhi ya ofisi

kuu na sharika RITA

4. Kufuatilia viwanja

sharikani

3,800,000/= Mfuko wa

utawala na

sharika

Machi – Des

2018

40

Page 41: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

4.0 Kuwezesha

umiliki wa ardhi

kuwa endelevu

Kulipia kodi ya Ardhi ya

DMZV na sharika

Viwanja 11 vya ofisi kuu

na 20 vya sharika vyenye

usajili kulipiwa kodi ya

ardhi hadi mwaka

2017/2018

Ofisi kuu

Plot no 13 Block EE , Plot

no 292, Block F, Plot no

349 Block BB, Plot no

245 Block EE, Plot no

1112 Block HH, Plot no

10 Block BB, plot no 248

EE Plot no 58 & 60 Block

M , Plot 112 Block Malya

na Plot no 77 Block KK.

Idara itaendelea

kushirikiana na sharika

katika kutambuliwa

madeni yao ya kodi ya

ardhi

23,000,000/= Mfuko wa

utawala, Shamba

la Malya na

sharika

Jan - Des.

2018

5.0 Kuzuia upotevu

wa umiliki wa ardhi

DMZV

1.0 Ufuatiliaji wa

migogoro ya viwanja vya

Dayosisi

i. Viwanja viwili vya

Lumala 58 & 60 Block M

Lumala.

ii. Nyakato industrial.

Plot no Na Plot no 77

Block KK l.

• Plot. 82 block W

Kapripoint

5,000,000 Mfuko wa

utawala na

sharika

Mei - Des

2018

41

Page 42: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

6.0 Kuongeza

ukubwa wa ardhi ya

DMZV

Kununua maeneo ya

ardhi ndani ya dayosisi

hususani ya uwekezaji

hasa wa hostel

25,000,000 Mfuko wa

utawala

Jan – Des

2018

JUMLA 60,800,000

KITENGO CHA UKAGUZI

1.LENGO SHUGHULI KISIO

GHARAMA

CHANZO

CHA

MAPATO

MUDA WA

UTEKELEZAJI

Kufanya ukaguzi wa

ndani Dayosisi

pamoja na vituo

vyake kwa hesabu za

mwaka unaoishia

31/12/2017

• Kukusanya taarifa za fedha

kutoka sharika, majimbo na

vituo vya dayosisi kwa ajili ya

kupanga (planning) ukaguzi

ii) Kufanya ukaguzi wa hesabu za

vituo hivyo ili kuona kuwa.

-Taratibu zote za kanisa na za nchi

zimefuatwa (compliance)

-Ripoti za miradi ya kanisa

zimeandaliwa na kuwasilishwa

kwa wafadhili kwa wakati

-Kumbukumbu za sharika na vituo

zinatunzwa sawasawa

-Kufuatilia utekelezaji wa hoja za

ukaguzi uliopita

3,314,000

Admin Jan - Oct

42

Page 43: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Kuwezesha

ufanyikaji wa

ukaguzi

i.Kushirikiana na wakaguzi wan je

katika kuona madhaifu mbalimbali

katika mfumo mzima wa Dayosisi

ii. Kupata maoni ya wakaguzi wan je

kuhusiana na masuala mbalimbali

katika mfumo mzima wa dayosisi.

ii. Kupata maoni ya wakaguzi wa nje

kuhusiana na masuala mbalimbali ya

Dayosisi

150,000 Admin April

3. Kuwawezesha

watunza hazina wa

majimbo ili wawe na

uwezo mzuri wa

kutekeleza

majukumu yao.

Ukizingatia kuwa

wao ndio

wasimamizi wa

sharika kwa niaba ya

mtunza haina wa

Dayosisi

Kuwa na semina ya watunza hazina

wa majimbo ili kuwajengea uwezo

katika kutekeleza majukumu yao ya

kila siku

1,000,000 Admin Nov - Dec

JUMLA 4,464,000

VITUO

CHUO CHA BIASHARA NA BIBLIA MWANZA

LENGO KUU SHUGHULI KISIO

GHARAMA

VYANZO VYA

MAPATO

1.0 Kudahili wanafunzi

mwaka mpya wa

masomo

• Kudahili wanafunzi 70 chuo

cha Biblia

• Kudahili wanafunzi 50 chuo

cha Biashara

3,000,000/- Mapato ya ndani

2.0 Kuongeza madarasa

na samani• Kumaliza ujenzi wa

madarasa mawili

• Kununua madawati na viti 5027,000,000/-

Mapato ya ndani

na ufadhili wa

nje

43

Page 44: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

3.0 Kukarabati majengo

ya chuo• Mabweni ya zamani

• Jiko la wanafunzi

• Jengo la utawala

• Vibanda vya kusomea

• Ofisi ya hazina

8,000,000/- Mapato ya ndani

4. Kuboresha mazingira

ya chuo• Kufufua bustani na kupanda

miti

• Kukarabati majengo na

kununua samani za chuo

1,000,000/-

8,000,000/- Mapato ya ndani

5. Ajira mpya • Kuajiri kataibu mhitasi

• Waalimu wapya wa Biashara

• Waalimu wapya wa QT na

Reseaters

3000,000/-

14,500,000/-

13,000,000/-

Mapato ya ndani

6. Program mpya • Kuanza mchakato wa

Accreditation ya chuo

• QT na Reseaters

• NACTE kuongeza usajili wa

Programmes (Bila Hesabu);

-Community Development

-Human resources Mgt

-Procurement & Logistic

Supplies mgt

1,000,000/-

545,000/-

3,000,00/-

Mapato ya ndani

7. Kuwa na watumishi

wenye ari ya kufanya

kazi

• Kulipa mishahara na posho

kwa wakati

• Likizo za watumishi kwa

wakati

• Kuongeza mishahara na posho

kwa watumishi

78,000,000/-

6,000,000/-

12,000,000/-

Mapato ya ndani

44

Page 45: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

8. Kuwa na watumishi

wenye ujuzi• Kusoma kozi fupi

-Petro Magesa kusoma kozi

fupi ya upishi muda wa jioni

500,000/- Mapato ya ndani

9. Utawala bora

• Chuo kuendeshwa kulingana

na maazimio ya vikao

-Vikao vya bodi

-Vikao vya menejimenti

- Vikao vya taaluma

-Vikao vya wafanyakazi wote

-College Baraza

1,000,000/- Mapato ya ndani

10.Kuboresha maktaba • Kuchonga shelfu, meza, na viti

• Kununua feni

• Wi – Fi internet access point

5,100,000/-

450,000/-

1,500,000/- Mapato ya ndani

11.Mahusiano mazuri ya

chuo na taasisi zingine• Ziara ya Askofu na wahubiri

• Kuhudhuria makongamano,

semina, vikao.nk

• Ziara ya waalimu na

wanachuo

150,000/-

4,000,000/-

1,000,000/- Mapato ya ndani

12.Gharama za

uendeshaji wa chuo• Chakula cha wanafunzi

• Kuni

• Umeme

• Maji

• Shajara

• Printer ya kuprint vyeti

(NACTE)

• Bima ya Afya

• Gari

34,000,000/-

5,000,000/-

3,000,000/-

4,800,000/-

3,000,000/-

1,000,000/-

5,000,000/-

3,500,000/-

Mapato ya ndani

45

Page 46: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

13. Kuongeza mapato ya

ziada chuoni

Kuratibu shughuli zenye

kuongeza kipato cha chuo hasa

kipindi cha likizo ndefu

• Semina

• Kozi fupi

6,000,000/-

3,500,000/-

Mapato ya ndani

JUMLA 252,045,000/-

NB:

Mapato ya Ndani = Sehemu ya mapato ya ndani tunapata ruzuku kutoka kwa wahisani

wetu wa maendeleo (FELM) kwa ajili ya Uendeshaji wa chuo kwa kiwango cha takribani

30,000,000/-

Edward Range

Stephano J. Ling’hwa

Mkuu Chuo cha Biashara na Biblia

Mkurugenzi Chuo cha Biashara na Biblia

KKKT-DMZV

KKKT-DMZV

KITUO CHA AFYA NYAKATO

LENGO KUU: KUTOA HUDUMA BORA ZA AFYA KWA WAGONJWA NA

WATEJA WA KITUO KWA KIWANGO KILICHOWEKWA NA WIZARA YA

AFYA.

LENGO MAHUSUSI KAZI KISIO/GHARA

MA

CHANZO CHA

MAPATO

1.Kuhakikisha huduma bora ya

maslahi kwa watumishi

inatolewa.

• Kulipa mishahara ya

watumishi 39 na posho

mbalimbali.

238,340,800/ Makusanyo ya

kituoni.

46

Page 47: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

Kuajiri watumishi wawili

• Mtaalamu wa macho

• Lab. Technogist

9,600,000/ Makusanyo ya

kituo

• Kulipa nauli watumishi

ili kwenda sehemu

mbalimbali kupata

huduma kwa ajli ya

kituo km Bima ya afya,

Buzuruga H/C,Wilayani

nk.

240,000/ Mapato ya

kituo

• Kuwakarimu wageni

watakaofika kituoni

kikazi

150,000/ Mapato ya

kituo

* • Kununua kifurushi cha

mtandao cha kituo na

utumaji wa barua

mbalimbali.

420,000/ Mapato ya

Kituo

47

Page 48: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Kufanya malipo kwa

wataalamu

tunaowaazima kutoka

sehemu mbalimbali

kama vile mtaalamu

wa ultrasound, meno,

daktari bingwa, wuguzi

na waganga.

2,420,000/ Mapato ya

kituo

• Kufanya mikutano ya

uongozi na ya

wafanyakazi kila

mwezi kwa viongozi na

mara nne kwa

wafanyakazi kwa lengo

la kutatua matatizo na

kuboresha huduma.

780,000/ Mapato ya

kituo

• Kuwatembelea

wagonjwa waliopo

majumbani wasioweza

kuja hospitali.( Bed

ridden patients)

Mapato ya

kituo

48

Page 49: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

2.Kutoa huduma bora katika

Kituo kwa kuhakikisha manunuzi

ya bidhaa mbalimbali, malipo ya

Ankara, malipo ya kisheria,

matengenezo ya gari na jenereta

yamefanyika.

• Ununuzi wa dawa,

vitendanishi , vifaa tiba

vya hospitali na vifaa

vya macho

62,600,000/ Makusanyo ya

Kituo

49

Page 50: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Kununua rim za

karatasi na vifaa

vingine vya ofisi,

mafaili ya wagonjwa,

kulipia Ankara za maji

na umeme,unyonyaji

wa maji machafu,

kufanya matengenezo

ya gari la wagonjwa na

jenereta, kulipia bima

ya gari. Kununua vifaa

vya usafi vya kituo.

Ununuzi wa mafuta na

matengenezo ya

generator.

11,574,000/ Makusanyo ya

kituo

• Ununuzi wa vifaa vya

hospital , magodoro 5,

mashuka 100, fosepsi

aina mbalimbali 50 na

mikasi 5 ya kufanyia

upasuaji.

2,800,000/ Mapato ya

kituo

50

Page 51: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

• Ukaguzi wa mapato na

matumizi ya kituo kwa

mwaka 2017

2,480,000/ Mapato

Ya kituo

• Lipia huduma ya zima

moto, Afyapro, chai ya

watumishi, maafa na

zawadi, malipo

mengine ya kisheria

yanayohusu kituo na

dharura.

( LAPF,NSSF,PPF PAYEE NK)

4,570,000/ Mapato ya

kituo

• Malipo yatafanyika

kwa ajili ya huduma

tunazopata za kibenki

3,000,000/ Mapato ya

kituo

51

Page 52: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

3.Kuboresha eneo la kutolea

huduma kwa kufanya ukarabati

na malipo mbalimbali.

• Kupaka rangi jengo

linalotumika kama

wodi ya akina mama

na watoto, kuweka

vitasa vipya vya

milango na kuondoa

vibovu,kuondoa fremu

za milango na silingi

bodi zilizoharibika na

kuweka zilizo mpya

kwenye wodi zote.

1,500,000/ Mapato ya

kituo

• Fanya ukarabati wa

meza za maabara kwa

kuweka formaica,

ukarabati wa samani za

kituo, computer na

printer.

1,350,000/ Mapato ya

kituo

4.Kuendeleza umiliki wa kituo. • Kulipia ardhi ya eneo

• Usajili wa kituo.

2,150,000/

100,000/

• Kufuatilia madeni

tunayodai sehemu

mbalimbali ili kukipa

nguvu kituo ya kuweza

kutoa huduma bora.

_

52

Page 53: UTANGULIZI - ELCT-ELVD · mkakati wa Dayosisi wa miaka mitano 2014-2018, Menejimenti inaleta kwenu mpango kazi wa mwaka 2018. Mpango kazi huu umeainisha kazi mbalimbali zitakazofanyika

JUMLA KUU 344,074,800/

53