153
Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua Mitihani Pamoja Na Mfumo Wa Mwaka 1

joshuanations.orgjoshuanations.org/books/kiswahili/Kiswahili_second-year.docx · Web viewWatoto wanahitaji kushikwa, kuguswa, kukumbatiwa na kubuswa na baba na mama zao. Onyesha kwamba

Embed Size (px)

Citation preview

Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshuaMitihani Pamoja Na Mfumo Wa Mwaka

1

MTIHANI – HUDUMA SAIDIZI

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Saidizi ni huduma kipawa uliotengwa kanisani na MunguTF 2. Wasaidizi ni lazima wawe watu waaminifu kwa Mungu na kile walichoitwa kufanyaTF 3. Mungu hutunuki uaminifu wala sio darajaTF 4. Saidizi ni mfumo shikilizi wa mwili wa Kristu kama vile mifupa ilivyo kwa mwili wa kawaidaTF 5. Huduma wa saidizi ni wa umuhimu mdogo kuliko vile vipawa huduma tano vilivyoorodheshwa katika Waefeso 4:11TF 6. Tunuku kwa vipawa huduma tano ni sawa na kwa wale walioko katika huduma wa saidiziTF 7. Makanisa mengi huzuiliwa kwa sababu hutambua tu mbili au tatu ya vipawa huduma tanoTF 8. Huduma wa muziki ni sehemu ya huduma wa saidiziTF 9. Msaidizi aliye na uwezo ni lazima awe na tabia zilizo boraTF 10. Hukuhitaji tu uwe na talanta asili ili uhudumu katika huduma wa saidiziTF 11. Wanaojiuzulu ndio wanaopotezaTF 12. Huchukua neema isiyokuwa ya kawaida kuhudumu katika ofisi ya saidiziTF 13. Kama wasaidizi tumeitwa kumtumikia mwenye kutuchaguaTF 14. Bila huduma wa saidizi, utimilifu wa kunjo tano za vipawa huduma haungewezekanaTF 15. Wale walioko katika huduma saidizi ni lazima wamiliki bora za kiroho na za kiasili kama vile ilivyoidhinishwa katika Mdo 6:3TF 16. Kila ndoto hutimilizwa na mwotaji pamoja na wale ambao Mungu amewaita sambamba wamsaidieTF 17. Tujiepushe na ubishi pamoja na maswali tusiyoyajua kwa sababu hutuelekeza katika shinikizoTF 18. Hata ingawa wito na kutaka upo, lazima ujihitimishe kuwa msaidizi mtimilifuTF 19. Msaidizi mzuri kila mara huchukua uanzilishiTF 20. Iwapo kwa kawaida una nguvu na misuli, hii humaanisha kuwa umeitwa katika huduma sadiziTF 21. Iwapo mara kwa mara hujitakia kuwa wa kwanza, huwezi kuwa msaidizi mwemaTF 22. Mungu ametupa haki ya kuchagua kipawa huduma tunaotamania kuhudumu ndaniTF 23. Iwapo haupo sambamba na ono la kiongozi, huwezi kuwa msaidizi bora kwakeTF 24. Hali ya moyo wetu sio muhimu katika huduma saidizi bora tu tuifanye kaziTF 25. Nimeifanya kazi niliyopangiwa ya kusoma katika funzo hili

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

2

MTIHANI – MISHENI

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Misheni ni hali ya kutimiliza Utume MkuuTF 2. Mmishonari ni Yule aliyetumwa TF 3. Kila mmishonari ana ujumbe pamoja na kusudiTF 4. Utume Mkuu ni ono nzuri kutoka kwa MunguTF 5. Kila mwanachama wa kanisa la nyumbani anafaa kujiusisha katika misheni kwa njia moja au nyingineTF 6. Yesu alikuwa mfano bora wa mmishonariTF 7. Misheni inafaa iwe ono la baadhi ya makanisa yaliyo na uwezo wa kifedhaTF 8. Misheni za kigeni ni za muhimu kuliko misheni za nyumbaniTF 9. Uoga ni kizingiti kikuu katika Utume MkuuTF 10. Ni muhimu kuwa na viongozi walio na ono la misheni katika mwili wa KristuTF 11. Kanisa linaweza timiliza Utume Mkuu kwa kuwatuma wamishonari pekee. Sio muhimu kuwasaidia kifedhaTF 12. Mmishonari pamoja na Yule anayemsaidia kwa sala na fedha wote wana dhawabu sawaTF 13. Kila mmoja tayari ameshaisikiliza Injili; walau wakati mmojaTF 14. Mmishonari anafaa aangalie ubaoni mwa misheni kama chanzo chakeTF 15. Uongozi ulio bora ni ufunguo maalumu wa kazi ya misheni yenye ufanisiTF 16. Kazi yako ya umisheni haitaadhirika hata usipokuwa mtu wa bidii, bora tu umpende MunguTF 17. Misheni ya kanisa ni kuwapa Injili waliopotea na kuwafanya wafuasiTF 18. Kusudi la misheni ni kuongeza watu zaidi kwa dhehebu letuTF 19. Mmishonari hafai kuomba mradi tu wale waliosalia nyumbani wanamwombeaTF 20. Kila mmishonari ni lazima aihubiri Injili pamoja na itikadi yakeTF 21. Kanisa ni lazima liwe na lengo la misheniTF 22. Mchungaji mwema ni lazima awahimize washiriki wake kuwa wa mishonariTF 23. Mmishonari hawezi faulu bila maombi yaliyo na nguvuTF 24. Nitaisaidia kazi ya umishonari katika nchi yangu na kote ulimwenguni

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

3

MTIHANI – UONGOZI

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Kiongozi ni Yule anayeonyesha njia na kuweka mfano mwemaTF 2. Kiongozi hutamani kufanikiwa katika cho chote afanyachoTF 3. Kiongozi mwema hajiuzulu kwa shinikizoTF 4. Kiongozi hutaka kufunza lakini, hafunzwiTF 5. Kiongozi huchukua wasia wa kila mtu na kutekeleza yale wanayomwambia afanyeTF 6. Kiongozi Mkristu anapaswa kuwa na vipawa vya kirohoTF 7. Kiongozi mwema huwasaidia wengine kutekeleza mipango ya Mungu katika maisha yaoTF 8. Mengi zaidi yanahitajika kwa kiongozi kuliko wafuasi wakeTF 9. Kiongozi ni lazima awe mjukumu na mwenye kuwajibikaTF 10. Ubora wa mwanadamu kwa kiongozi mwema ni tofauti na ubora wa MunguTF 11. Machoni pa Mungu, kiongozi ni yule aliyeitwa kuhudumuTF 12. Viungo vya kiroho kwa uongozi hujumulisha habari iliyoaminifu na kuwa na utele wa hekima pamoja na Roho MtakatifuTF 13. Mkubwa ba kiongozi wote wana ubora sawaTF 14. Kiongozi mwema ni lazima awe mwenye subira kwa watu na kukutana nao katika kiwango chaoTF 15. Kiongozi bora ni lazima ajifunze kujiongoza mwenyewe kabla ya kuongoza wengineTF 16. Uongozi wa kilimwengu huegemea nguvu, pesa na fahariTF 17. Kiongozi bora huifanya kazi yake kwa ujasiriTF 18. Kuwa kiongozi mwenye ufanisi ni lazima mtu asarishe kati ya kiroho na kiasiliTF 19. Mwito wa uongozi ni wito kutoka kwa MunguTF 20. Kutokuwa na mapenzi inamaanisha kutokuwa na uwezo wa uongoziTF 21. Kiongozi mwenye uwezo ni lazima awe mwenye nidhamu katika kila jamboTF 22. Hamna nafasi ya udhaifu katika uongozi wenye ufanisiTF 23. Kufunga na kuomba ni vya muhimu kwa uongozi fanisiTF 24. Kiongozi ni lazima afikirie kwa uwazi na ahisi kwa undaniTF 25. Kiongozi hutafuta uwajibikaji wala sio mamlaka

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

4

MTIHANI – HUDUMA, MHUDUMU NA JAMII

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Jamii ilianzishwa na MunguTF 2. Mungu ni Mungu wa mipangoTF 3. Ndoa hutoka kwa Mungu na inafaa kufanywa kulingana na uelekezo wa MunguTF 4. Ushirika na Mungu unafaa kupewa kipaumbele katika maisha ya MkristuTF 5. Jamaa ya mhudumu hushughulikiwa kwanza kabla ya huduma wakeTF 6. Kila mwanamke anafaa kunyenyekea kwa kila mwanamume kulingana na Neno la MunguTF 7. Ndoa itafaulu tu iwapo mpango wa Mungu kuihusu utafatwaTF 8. Ndoa yako ni nzuri kama vile huduma wakoTF 9. Kwa mujibu wa Neno la Mungu, yule asiyefanya kazi na asileTF 10. Mume ndiye kiongozi wa uhusiano wa ndoaTF 11. Mume anafaa kumpenda mkewe wakati anaponyenyekea kwake pekeeTF 12. Watoto wanapaswa kuwaheshimu na kuwatii wazazi wao, hata ikiwa sio wacha MunguTF 13. Waweza kuwa mhudumu bora na kiongozi mbaya katika jamii yakoTF 14. Kumpenda mkewe kwa dhati, mume anapaswa kuyaelewa mahitaji yake kama mtuTF 15. Waume na wake wanapaswa kunyenyekea mmoja kwa mwingine katika mapenzi katika uhusiano wa kiutuTF 16. Mume yuko juu ya mkeweTF 17. Mke Mkristu anapaswa kuwa mpole, msafi na anayerithishaTF 18. Kuwa katika unyenyekevu ina maana kuwa mtumishiTF 19. Umbo la jamii la Mungu hujumulisha mume, mke, watoto na mashemejiTF 20. Mume na mkewe hufanyika mwili mmoja kupitia tendo la ndoaTF 21. Mpango inamaanisha “kuweka mahala panapostahili”TF 22. Kuwa na watoto ndio sababu ya kwanza ya kuwa na ndoaTF 23. Mpango wa Mungu ulibadilishwa na laanaTF 24. Wake wanastahili kushindana na waume wao kwa mujibu wa Neno la MunguTF 25. Nitajaribu kuyatia zoezi yale yote niliyojifunza katika darasa hili

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

5

MTIHANI – UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Agano Jipya na Agano la Kale zinafanana kwa sababu Agano la Kale ni kivuli cha Agano JipyaTF 2. Ufunuo ina maana kwamba “Mungu alipumua na ndivyo vile Neno linafunuliwa kwetuTF 3. Hapo Betheli Mungu alithihirisha agano lake na patriaki wa pili (Mwa. 28:10-19) punde tu kabla ya kuzaliwa Yakobo na EsauTF 4. Mwanzoni Agano la Kale liliandikwa kwa lugha ya Kigiriki kukiwa na vifungu vichache tu vilivyokuwa katika KiarameiTF 5. Amri kumi zilijumulisha sheria zote zilizotolewa na Mungu kwa watu wa IsraeliTF 6. Pentatiuki ina maana kuwa vitabu vitano vya kwanza vya Agano la Kale viliorodheshwa kwa mpangilio namna vinavyofuatana TF 7. Mungu aliwachagua watu wa Israeli ili tu wapigane na kuwaua watu wengine asiyowapendaTF 8. Zoezi la Agano la Kale la kutoa wanyama dhabihu kwa dhambi za watu linafaa kuendelezwaTF 9. Unabii katika Biblia unaohusu Yesu “mbegu yake” unapatikana katika Mwanzo 5:13TF 10. Neno linaonyesha kwamba Mungu ni mwenye nguvu zote, kwa hivyo wasiomcha Mungu hawawezi kuathiri dunia kwa vyo vyote vileTF 11. Nabii Samweli alikwa muamuzi wa mwisho katika IsraeliTF 12. Bila Agano la Kale, Agano Jipya limefichwa TF 13. Wakati wa Muungano wa Ufalme ambao ulikuweko kwa muda wa miaka mia moja na ishirini, wafalme watatu walitawala: Samweli, Daudi na SulemaniTF 14. Wayahudi walikuwa Babeli kwa miaka 40 tu katika kipindi cha utumwaTF 15. Sababu moja iliyomfanya Mungu kuwachagua watu wake ilikuwa ni kuupa ulimwengu mkomboziTF 16. Wana wa Israeli walitoka Misri wakiwa wakwasi, lakini wengi walikuwa wagonjwa na wanyongeTF 17. Katika Samweli 15:22 Mungu anaonyesha kuwa katika Agano la Kale, dhabihu ni mihimu kuliko utiiTF 18. Utii kiasi ni dhambiTF 19. Majina ya Mungu hayana cho chote kuhusiana na asili yakeTF 20. Tukiwa na Agano Jipya na Yesu, hatuhitaji Agano la KaleTF 21. Nyuma ya karatasi la majibu orodhesha vitabu vya Agano la Kale kama vilivyo katika mpangilio wa Biblia

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

6

MTIHANI – KUHUBIRI NA KUFUNZA

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Inahitaji kuwachochea watu na mwanzo wa mahubiriTF 2. Unaweza dhania kuwa watu wanajua yale unaenda kuyazungumziaTF 3. Mahubiri yako ni lazima yawe tatanishi na yasiyoelewekaTF 4. Mahubiri yako ni lazima yafanywe kwa njia ya mjadalaTF 5. Ni lazima uhubiri kwa kushawishiTF 6. Vidokezo vyako vya ujumbe wako ni lazima vitajweTF 7. Kutamatisha kwako ni lazima kuwe kurefu kwenye mambo mengiTF 8. Walimu sio wa kipawa hudumaTF 9. Yesu alikuwa asili mia moja ya yale aliyoyafunzaTF 10. Hakuwa mwenye upako, alihubiri kwa nguvu zake mwenyeweTF 11. Mwalimu haachi tu mambo yatendeke yenyewe, huyafanya yatendekeTF 12. Sio hitaji kutumia michoro wakati unapofunzaTF 13. Ni lazima utoe vifungu vitakatifu wakati uanapofunzaTF 14. Tunafunza masomo hatuwafunzi watuTF 15. Sio muhimu kujua kile Mungu ananuia kutende tunapofunza kuhusu funzo FulaniTF 16. Ni lazima kufunza funzo ambalo walijua vyemaTF 17. Somo unalonuia kufunza ni lazima liwe wazi na lenye kueleweka kwako kwanzaTF 18. Ni kazi bure kusali kabla ya kuhubiriTF 19. Sio vema kujitumia kama mfano wakati unapohubiriTF 20. Mahubiri yako yamechochewa na Roho Mtakatifu, kwa hivyo ni bure kuyaweka kwenye mpangilio unaoelewekaTF 21. Nimehudhuria kila darasa kwa funzo hili

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

7

MTIHANI – ROHO MTAKATIFU II

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Kuyaelewa matendo ya Roho Mtakatifu hutuwezesha kujaribu roho zoteTF 2. Ni Roho Mtakatifu tu ndiye anayeweza funua talanta zisizokuwa za kawaida kupitia wanadamuTF 3. Efe. 6:12 inasema kwamba hatupigani dhidi ya mwili na damuTF 4. Roho Mtakatifu pamoja na werevu wetu hutufunulia vitu vya ndani vya MunguTF 5. Uwepo wa Roho Mtakatifu huendelea kukaa ndani ya muuminiTF 6. Roho Mtakatifu hujishuhudia kwa kuwa yeye ni MunguTF 7. Kazi ya Roho Mtakatifu ni kutuelekeza na kutufunza TF 8. Roho Mtakatifu hutupa nguvu za kuhudumuTF 9. Neno la hekima na Neno la maarifa sio dhihirisho la Roho MtakatifuTF 10. Roho Mtakatifu hajidhihirishi ndani ya vipawa kama saidizi, utawala, huruma na kuinua ambavyo ni vya asiliTF 11. Ufasiri ni utafsiri wa neno kwa neno wa ndimiTF 12. Ni Roho Mtakatifu ndiye anayeshawishi wanadamu kwamba wanamhitaji YesuTF 13. Upambanuzi wa roho ni tendo la kusoma mawazo ya watuTF 14. Wale wote wanaotoa unabii ni manabiiTF 15. Manabii kila mara huwa na maneno yaliyotiwa nguvu na Mungu; wanaweza toa unabii vile wanavyotakaTF 16. Baba huwatafuta watu wanaomwabudu kwa kweli wala sio katika RohoTF 17. Sifa ni dhabihu inayonukia vyema kwa MunguTF 18. Hatustahili kupelekwa na yale yasiyokuwa ya kawaida hata ikiwa ni Roho MtakatifuTF 19. Sio muhimu kuandaa ibada kwa maombi na kujifunza Neno la Mungu, kwa kuwa Roho Mtakatifu mwenyewe hutuongozaTF 20. Roho Mtakatifu ni kiongozi nasi wafuasi wake, hatupaswi kusahau hiiTF 21. Nimelisoma somo nililotengewa katika darasa hili

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

8

MTIHANI – SALA II

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Maisha ya sala ni muhimu sana kwa kila mwaminiTF 2. Maisha yako ya sala ni dhihirisho la jinsi uhusiano wako na Yesu ulivyo karibuTF 3. Ni kosa kusema kwamba Mungu ni mwenye wivu kwa sababu wivu ni dhambiTF 4. Shauku ya Mungu kwetu ni kubwa kuliko yetu ilivyo kwakeTF 5. Mungu hahitaji penzi wala ibada ya mwanadamu kwa sababu yeye ni MunguTF 6. Sababu kuu ya kuwa na muda na Mungu ni ili akutane na mahitaji yetuTF 7. Maisha yetu ya kipekee ya sala inapaswa kutumika kwa kumhudumia MunguTF 8. Mtu ni lazima akeshe na kuomba kila wakatiTF 9. Maombezi ni vita vya KirohoTF 10. Maisha ya sala yanahitaji nidhamuTF 11. Shujaa wa sala asiyejua zana zake hatimaye atashindwaTF 12. Neno la Mungu ni mojawapo ya zana zetu katika vita vya KikristuTF 13. Makabiliano na Shetani adui wetu ni ya kikweliTF 14. Dhiki zote za kikweli hutiwa nguvu na ulimwengu usioonekanaTF 15. Mkristu anayetii Neno la Mungu ni shujaa mwenye ushindiTF 16. Vita vya Kiroho vinahitaji fujo ya Kiroho kwa wingi ili kuhakikisha ushindiTF 17. Maombi ya dhati yaliyo na nguvu ya mdini hulete utele TF 18. Sifa ni zana iliyo na nguvu ya vita vya KirohoTF 19. Mtu ni lazima awe na nguvu na misuli ili awe na ufanisi katika vita vya KirohoTF 20. Malaika ni roho zetu zinazotuhudumia katika vita vya KirohoTF 21. Wakati mwingine ni vyema kutozingatia ngome katika vita vya KirohoTF 22. Ni Roho Mtakatifu ndiye anayetusaidia kuomba kama tunavyostahiliTF 23. Kumsikiza Mungu ni kiungo muhimu cha salaTF 24. Kama waumini tunastahili kuomba bila kuchokaTF 25. Ninaahidi kuwa shujaa wa sala

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

9

MTIHANI – KANUNI ZA HUDUMA II

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Mwito kwa huduma ni wito kutoka kwa MunguTF 2. Iwapo akili yako imegawanyika baina ya kazi ya ulimwengu na huduma, moja kwa moja humaanisha kwamba haujaitwa kwa hudumaTF 3. Humgharimu kujitolea ili mtu atimize mwito wakeTF 4. Kazi ya huduma huhusisha tu viungo vya kiroho na sio vya kiasiliTF 5. Mungu na Neno lake lazima liwe kipaumbele katika maisha ya mhudumuTF 6. Huduma wetu huja mbele kwanza ya jamii zetuTF 7. Mhudumu mwema lazima awe meneja bora wa watu na rasli maliTF 8. Ushindani sio jambo njema la mhudumu kuwa naloTF 9. Mhudumu hahitaji kujenga uhusiano na wahudumu wenziwe kwa sababu tayari anao uhusiano na Mungu kupitia Yesu KristuTF 10. Namna mhudumu anavyoonekana haijalishi mradi tu amakinike kirohoTF 11. Wito kwa ubora ni wa wafanyi biashara wanaojaribu kuwavutia wateja wengi; haihitajiki katika hudumaTF 12. Wahudumu wanaowezwa na majaribu ya kingono watauharibu huduma wao wala sio wao wenyeweTF 13. Muhudumu anayejaribiwa hayumo katika mapenzi ya mungu.TF 14. Muhudumu anapoanguka katika dhambi ndiye pekee anayeathirika.TF 15. Kila muhudumu ni lazima anyenyekee kwa aina fulani ya mamlaka ya huduma.TF 16. Iwapo muhudumu anayo akaunti ya benki ina maana kwamba hana imani kamili kwa

Mungu.TF 17. Kila muhudumu anapaswa kutoa maoni yake kuhusu shughuli za wahudumu wenzake.TF 18. Muhudumu asiyelipa ushuru wake ni mfano mbaya.TF 19. Wakati wahudumu anapokua katika shinikizo hujaribia kuacha huduma.TF 20. Mradi tu tunaye Roho mtakatifu, upande wa kutia zoezi huduma hujidhihirisha tu

wenyewe katika maisha yetu.TF 21. Maisha yako ya kipekee hayawezi kuathiri huduma yako.TF 22. Namna unavyovaa hausemi chochote kukuhusu wewe kama muhudumu.TF 23.Muhudumu hufaidika kutokana na bugudha kwa kuitumia kama tukio kwa Mungu

kudhihirisha uaminifu wake.TF 24.Kila muhudumu mwema anapaswa kuwa mtu anayemaanisha kile anachosema.TF 25. Kila muhudumu anahitajika kutoa penzi kibali na hali ya karibu, lakini sio kuvipokea.

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

10

MTIHANI – KUKUA KIROHO NA UKOMAVU

(Tia Mviringo Kwa Jibu Lililo Sahihi)TF 1. Ukuzi wa kiroho ni hatua. TF 2. Mtu asiyekuwa na ukomavu wa kiroho ni mtu asiyekuwa na ujuzi katika neno la haki.TF 3. Muumini aliyemkomavu ndiye ambaye tanda la roho huonekana katika maisha yake.TF 4. Mwanadamu ni kiumbe cha sehemu tatu: roho, nafsi na mwili. TF 5. Neno, imani na maombi ndiyo viungu vitatu vinavyohitajika kwa ukuzi wa kiroho.

TF 6. Shauku a moyo wetu mara kwa mara ni kuwa makini kwa uongozi wa Roho mtakatifu.TF 7 . Unyenyekevu humwezesha muumini kutokua na haraka ya kuudhi na kuudhiwa.TF 8. Muumini aliyekoma kiroho kila mara hufuata uongozi wa hisia zake za kiasili.TF 9. Roho na mwili wa muumini kila mara huwa katika mapatano.TF 10. Shauku kuu ya kumjua Mungu ni ni ishara ya ukuzi wa kiroho. TF 11. Mtu hupokea tu amani iliyo ya kweli kwa kumkubali Yesu.TF 12. Mtu aliyekomaa huliachilia Neno la Mungu mara tu mambo yanapokuwa magumu.TF 13. Waumini wanapaswa kuwapenda wale walio rahisi kupendwa. TF 14. Ubora ni matendo ya utu wema kwa wengine. TF 15. Ili tunda la roho lijengeke ni lazima litilie zoezi.TF 16. Upole ni ishara ya udhaifu.TF 17. Kujidhibiti ni kuwa na uwezo wa kuwasaidia wengine wadhibiti matarajio na tama zao.TF 18. Njia mojo ya kujenga upole kiasi ni kupitia kutafakari neno la mungu. TF 19. Hatua za ukuzi wa kiroho ni kama zifuatavyo: Mtenda dhambi, Mkristu, Mkristu

anayeongoza na roho.Tf 20. Upako humujia muumini anapouita.TF 21. Neno lingine la “kuwa mukomavu” ni “kuwa mkamilifu” TF 22. Mungu anaweza kufanya mambo makuu kupitia mtu wa roho kuu kupitia motto wa

roho.TF 23. Mtu anayekasirika kwa urahisi ni mtu asiyekomaa kiroho.TF 24. Mtu huingia katika utu wa kiroho baada ya miaka mingi kuwa muumini.

Jina ___________________________ Nambari ya Kitambulisho _________ Tarehe __________

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

11

MFUMO WA MWAKA WA PILI UTANNGULIZI

UTANGULIZIVidokezo vya kosi 18 zifuatazo zimetumika katika vituo vya mafunzo ya Bibilia Afrika magharibi tangu mwaka 1987. Huu ni mfumo wa mwaka wa pili ambao umefunza maelfu ya wanafunzi.

Vidokezo hivi vya kosi viliundwa viwe vyombo ambavyo vitawezesha wanafunzi kufunzwa vyema katika sehemu fulani ya somo, iwe ni katika shule ya jumapili, kanisani, katika warsha au chuo cha Bibilia. Zitumie upendavyo. Waweza kunakili au kutumia sehemu yoyote inayopatikana humu ndani kuwabariki wengine.

Ombi letu ni kwamba vidokezo hivi vitatumika kuwatia nguvu walio wanyonge, kuwahimiza waliovunja moyo na kuyafunga macho ya kuelewa kwa ukweli wa Neno la Mungu.

KATIKA HUDUMA WAKE

Russ Tatro

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

12

MFUMO WA MWAKA WA PILI DIBAJI

DIBAJI

JAMAA YA MUHUDUMU – SEHEMU YA 1 ____________________________________ 20

MUNGU WA MPANGO _______________________________________________ 20I. MUNGU ALIANZISHA JAMII__________________________________________ 20

II. MPANGO________________________________________________________ 20III. MPANGO(VIPA UMBELE) KATIKA MAISHA YA MKRISTU____________________ 20IV. MPANGO WA MUNGU KWA JAMII ____________________________________ 20V. MAMBO MUHIMU_________________________________________________ 20

MPANGO WA MUNGU KWA WAPENZI- MAPENZI NA UNYENYEKEVU ____ 22I. MABWANA WAPENDENI WAKE ZENU__________________________________ 22

II. WAKE NYENYEKEENI KWA MABWANA ZENU_____________________________ 22III. UPINDUZI WA MPANGO WA MUNGU___________________________________ 22IV. AGANO LA NDOA ___________________________________________________ 22V. MUUNGANO WA KINGONO___________________________________________ 23

JUKUMU LA MUME ____________________________________________________ 24I. KICHWA __________________________________________________________ 24

II. KUMPA MKE HESHIMA_______________________________________________ 24

JUKUMU LA MKE _____________________________________________________ 26I. MSAIDIZI WA MUME _______________________________________________ 26

II. MAHITAJI YAKE ____________________________________________________ 26III. MTUNZI WA NYUMBA ______________________________________________ 26IV. TABIA ZA KIUNGU___________________________________________________ 26V. NGUVU ZA UNYENYEKEVU ___________________________________________ 26

VI. KUSUDI LA MUNGU KWA WATOTO WAKO_______________________________ 27VII. NENO LA MUNGU KWA UZAZI_________________________________________ 27

VIII. HIMIZO, SIFA NA UVUTIO ____________________________________________ 29IX. UMBO LA NIDHAMU ________________________________________________ 29X. MAMA MWENYE MAADILI ___________________________________________

XI. MABABA ZA WAKUU________________________________________________XII. MAOMBI KWA WATOTO WAKO_______________________________________VIFUNGU KUTOKA BIBILIA ILIYOPANA KUHUSU JAMII __________________________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

13

MFUMO WA MWAKA WA PILI DIBAJI

UWANAFUNZI _________________________________________________________I. KWA HIVYO UNATAKA KUWA MWANAFUNZI?_____________________________

II. UPOLE/ UVUNJIVU- KIHUSISHI KIKUU CHA MWANAFUNZI___________________III. UAMINIFU (MITHALI 20:6 ; 1 WARKUR. 4:2)______________________________IV. UJASIRI NA HAKIKISHO_______________________________________________V. BARABARA KUELEKEA KWA WANAFUNZI_________________________________

IMANI _________________________________________________________________I. IMANI IMEELEZWA __________________________________________________

II. JINSI IMANI INAVYO PATIKANA ________________________________________III. IMANI HUONA, HUONGEA NA HUTENDA_________________________________IV. MIFANNO YA IMANI KATIKA INJILI ______________________________________V. IMANI YA ABRAHAMU (WARU. 4:17-21)__________________________________

KATIKA HUDUMA WAKE

Russ Tatro

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

14

MFUMO WA MWAKA WA PILI DIBAJI ROHO MTAKATIFU _____________________________________________________I. SABABU YA LAZIMA TUWE NA YASIYOKUWA YA KAWAIDA______________________II. KUELEWA UTENDAJI KAZI KUWILI KWA ROHO________________________________III. KUELEWA HUDUMA MBALI MBALI KANISANI _________________________________IV. KUJIFUNZA KUTIRIRIKA KATIKA YASIYOKUWA YA KAWAIDA______________________

UONGOZI _____________________________________________________________ 44I. KIONGOZI NI NINI _____________________________________________________ 44II. MATAMANIO_________________________________________________________ 44III. CHUKUA USUKANI MTU_________________________________________________ 44IV. MTENDA KAZI MWENYE BIDII ____________________________________________ 44V. MNENYEKEVYU NA MWENYE KUFUNZWA __________________________________ 44VI. NGUVU ZINAZOONEKANA _______________________________________________ 44VII. UVUMILIVU WA KIAKILI_________________________________________________ 44VIII. HUHIMIZA UMOJA NA UTENDAJI KAZI PAMOJA _____________________________ 44IX. HISIA YA KIROHO _____________________________________________________ 44X. KIONGOZI AMEELEZWA- KAZI NA MAJUKUMU ______________________________ 45XI. MKUBWA AU KIONGOZI________________________________________________ 45XII. KANUNI ZA UONGOZI __________________________________________________ 47XIII. KUWA KIONGOZI MWENYE UFANISI_______________________________________47XIV. KUJENGA VIONGOZI TEKELEZI__________________________________________XV. UBORA WA KIHUDUMA_________________________________________________

MAISHA KATIKA ROHO _________________________________________________I. TEMBEA KATIKA ROHO(WAGAL. 5:16)_______________________________________II. UONGOZWE NA ROHO__________________________________________________III. TUNDA LA ROHO_______________________________________________________

WANAUME WA IMANI WA AGANO LA KALE ___________________________ 55I. IMANI YA ABELI(WAEBRA. 11:4)_________________________________________ 55II. DHABIHU YA KAINI ILIKATALIA NA MUNGU(MWA. 4:10)______________________ 55III. ABELI AGILINGANIOSHWA NA BAADHI YA WANAUME WA IMANI WA AGANO JIPYA_ 55IV. ENOKO ALITEMBEA NA MUNGU(MWA 5:10-24)_____________________________ 55V. WANAUME WENGINE WALIOTEMBEA NA MUNGU__________________________ 55VI. NUHU(WAEB. 11:7)___________________________________________________ 56VII. ABRAHAMU- IMANI NI HIJI(WAEB 11:8-10)________________________________ 56VIII. SARA(WAEB 11:11-12)________________________________________________ 56IX. MUSA_____________________________________________________________ 56______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

15

MFUMO WA MWAKA WA PILI DIBAJIX. WANA WENGINE WEMA_______________________________________________ 56XI. IMANI NI CHAGUO (WAEB 11:24-29)______________________________________ 56XII. KUTA ZA YERIKO(WAEB 11:30)___________________________________________ 56XIII. RAHABU IMANI KWA KAMBA (WAEB 11:31)________________________________ 56

UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE ______________________________________ 58I. UTANGULIZI _________________________________________________________ 58II. MAPAMPAZUKO YA HISTORIA ___________________________________________ 58III. WAKATI WA MAPATRIAKI_______________________________________________ 59IV. KUZALIWA KWA TAIFA _________________________________________________ 61V. ISRAELI AMILIKI NCHI YA AHADI __________________________________________ 63VI. KIPINDI CHA WAAMUZI ________________________________________________ 63VII. KIPINDI CHA MUUNGANO WA FALME_____________________________________ 64VIII. MUGAWANYIKO WA MILKI______________________________________________ 65X. UTUMWA NA UREJESHO_______________________________________________ 67

MUDA WA WAFALME WA AGANO LA KALE _____________________________ 68

KUSIFU NA KUABUDU _________________________________________________ 69I. TUNAHITAJI KUWA NA KUSUDI KATIKA SIFA NA MAABUDU(WAEF 1:17-19)_______ 69II. SIFA NI SHERIA INAYO TAWALA AMBAYO ITALETA NGUVU ZA MUNGU KWETU SISI_ 69III. SIFA INAHITAJIKA KWA MAVUNO ________________________________________ 69IV. MAHALI TUNAPOSIFU NA KUABUDU (YOHANA 4:21)_________________________ 69V. SIFA NI______________________________________________________________ 70VI. MANENO SABA YA KIHIBRANIA KWA “SIFA”________________________________ 70VII. SIFA IMEELEZWA _____________________________________________________ 70VIII. JE, NENO LA MUNGU LINATUELEZA AJE KUHUSU SIFA _______________________ 70IX. MAABUDU NI……_____________________________________________________ 71X. KUABUDU KATIKA UKWELI _____________________________________________ 72XI. KUABUDU KATIKA ROHO(YOHANA 4:23)__________________________________ 72

SALA _________________________________________________________________ 73I. MAISHA YAKO BINAFSI YA MAOMBI (LUKA 10:38-42)__________________________ 73II. YESU NA PAULO KATIKA MAOMBI : WATU WAWILI WAKUU WA MAOMBI_________ 73III. MAOMBEZI NA MALILIO ________________________________________________ 73IV. KANISA LA KWANZA KATIKA SALA_________________________________________ 74

MAABARA YA KUHUBIRI_______________________________________ 75I. VIDOKEZO VYENYE USAIDAZI KWA MAFUNZO/MAHUBIRI YENYE NGUVU__________ 75

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

16

MFUMO WA MWAKA WA PILI DIBAJI

WAALIMU ____________________________________________________________ 76I. AMRI YA KUFUNZA ___________________________________________________ 76II. MWITO WA KUFUNZA _________________________________________________ 77III. KUUTEKELEZA WITO __________________________________________________ 79IV. CHA KUFUNZA _______________________________________________________ 81V. YESU, MWALIMU MKUU________________________________________________ 81VI. KUFUNZA KATIKA KITABU CHA MATENDO _________________________________ 82VII. JUA UDOGO WAKO(MARKO 4:1-20)_______________________________________ 82VIII. KUFUNZA NI NINI?_____________________________________________________ 82IX. NJIA YA KUFUNZA _____________________________________________________ 82X. VIELEZO_____________________________________________________________ 83XI. BAADHI YA NJIA ZA KUFUNZA NI:_______________________________________ 83XII. JUKUMU LA ROHO MTAKATIFU KATIKA KUFUNZA ___________________________ 83

MBINU ZA KUFUNZA ___________________________________________________ 83I. YESU NI MWALIMU MKUU ______________________________________________ 83II. LINGANISHO KATI YA KUHUBIRI NA KUFUNZWA _____________________________ 84III. MTU WA PANDE TATU__________________________________________________ 84IV. MWALIMU HAACHI VITU VITENDEKEE, HUVIFANYA VITENDEKE _________________ 84V. MBINNU ZA YESSU ZA KUFUNZA (MATHAYO 13:1-9)___________________________ 84VI. NJIA ZA KUFUNZA ______________________________________________________ 85VII. YAJUE YALE AMBAYO MUNGU ANATAKA KUYATENDA _________________________ 85VIII. MTIHANI WA MWISHO__________________________________________________ 85

MISHENI _______________________________________________________________ 85I. MISHENI NI NINI ______________________________________________________ 85II. KWA NINI MISHENI?____________________________________________________ 86III. UMUHIMU WA MISHENI_________________________________________________ 87IV. JUKUMU LA KANISA KWA NYUMBANI KWA MISHENI__________________________ 87V. MMISHONARI NI NANI?_________________________________________________ 87VI. TABIA ZA MMISHONARI ______________________________________________ 88VII. VIFAULU MUHIMU VYA MMISHONARI ____________________________________ 88VIII. LENGO LA MMISHONARI KATIKA UWANJA _________________________________ 89IX. AINA MBILI ZA MISHENI _______________________________________________ 89X. VIZUIZI KWA MISHENI_________________________________________________ 90XI. VIZUIZI KATIKA UWANJA _______________________________________________ 90XII. SHUGHULI YAKO BINAFSI YA MISHENI_____________________________________ 90

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

17

MFUMO WA MWAKA WA PILI DIBAJI

MAELEZO ZAIDI ______________________________________________________ 92I. SAFARI ZA KIMISHONI ZA PAULO_________________________________________ 92II. WAMISHONARI WENGINE______________________________________________ 92III. MAONI KUTOKA KWA WATU WA MUNGU KUHUSU MISHENI__________________ 93IV. MANENO YA MISHENI_________________________________________________ 93

MUINJILISI ___________________________________________________________ 94I. MUINJILISI NI NANI?___________________________________________________ 94II. MPANGO WA MUNGU WA KUWAFIKIA WASIOFIKIWA (MATENDO 8:5-8)_________ 94III. HUDUMA YA KUHUBIRI (LUKA 4:18)_______________________________________ 94IV. KUHUDUMU KANISANI_________________________________________________ 95V. HUDUMA WA UPONYAJI________________________________________________ 95VI. MIKUTANO YA UINJILISTI YA HADHARA____________________________________ 95

HUDUMA WA SAIDIZI _________________________________________________ 98I. HUDUMA WA SAIDIZI NI NINI?___________________________________________ 98II. HUDUMA SAIDIZI NI WITO______________________________________________ 98III. NEEMA IMETOLEWA KWA KIPAWA CHAKO________________________________ 98IV. KUSUDI LA KIPAWA____________________________________________________ 98V. FANYA MWITO NA KUCHAGULIWA KWAKO HAKIKISHO_______________________ 99VI. NAMNA YA KUTENDA KAZI NA KIONGOZI WAKO____________________________ 99VII. WAWEZA TU KUPANDA NGAZI KUTOKA CHINI, WALA SIO KUTOKA JUU__________ 99VIII. UNACHOPASWA KUTENDA KAMA MTENDAJI KAZI KATIKA HUDUMA SAIDIZI______ 99IX. KILE HAUSTAHILI KUTENDA KAMA MTENDAJI KAZI KATIKA HUDUMA SAIDIZI_____ 99X. HUDUMA SAIDIZI NI NJIA YA MAISHA_____________________________________ 99XI. SAIDIZI – UTUMISHI ___________________________________________________ 99XII. WANAFUNZI WA YESU WALITUMIKA______________________________________ 100XIII. NI NANI ALIYEHUDUMU KWA MAHITAJI YA YESU____________________________ 100XIV. WAHUDUMU WA SAIDIZI KATIKA AGANO JIPYA_____________________________ 100XV. HUDUMA WA SAIDIZI KATIKA AGANO LA KALE______________________________ 100XVI. MAENEO HASWA YA SAIDIZI KATIKA HUDUMA AU KANISA____________________ 100XVII. MAENEO HASWA YA SAIDIZI KATIKA HUDUMA WA SHULE____________________ 100

MCHUNGAJI _________________________________________________________ 101I. UTANGULIZI___________________________________________________________ 101II. YESU, MFANO BORA KATIKA UCHUNGAJI WEMA_____________________________ 101III. MWITO WA WACHUNGAJI______________________________________________ 101IV. MAHITAJI YA HUDUMA, YA KIROHO NA KIKWELI____________________________ 101______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

18

MFUMO WA MWAKA WA PILI DIBAJI

V. KAZI YA HUDUMA____________________________________________________ 101VI. KUJIANDAA KWA HUDUMA____________________________________________ 101VII. HISIA YA MCHUNGAJI_________________________________________________ 101VIII. MOYO WA MCHUNGAJI_______________________________________________ 102IX. MPANGILIO WA KANISA – KUWEKA VIFAA________________________________ 102X. MAADILI NA TABIA___________________________________________________ 102XI. MAANDALIZI YA MAHUBIRI (AINA YA MAHUBIRI)___________________________ 102

WATOTO _____________________________________________________________ 103I. UTANGULIZI – UFUNZAJI WA WATOTO____________________________________ 103II. LAZIMA UWE NA USHAWISHI KUHUSU____________________________________ 103III. UWE MWENYE HURUMA_______________________________________________ 103IV. MAANA_____________________________________________________________ 103V. WAFUNZE NA KUWAELEKEZA WATOTO KWA BWANA________________________ 103VI. KANUNI KWA TABIA BORA______________________________________________ 104VII. KATIKA KUTAMATISHA_________________________________________________ 104

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

19

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

J A M I I YA M H U D U M U – S E H E M U YA IM U N G U WA M P A N G O

I. MUNGU ALIANZISHA TAASISI YA JAMII A. (Mwanzo 2:18-24) 1. Taasisi ya jamii ilianzishwa kabla ya kuanguka kwa mwanadamu na kabla ya mpango wa kutekelezwa ukombozi.

2. Muda wa Mungu katika haya inadhihirisha kwamba taasisi ya ndoa inahusu kizazi chote cha mwanadamu.3. Mungu alinuia kwamba waamini na wasioamini wote watafurahia ndoa.

B. Mhubiri 9:9) 1. Mungu alinuia ndoa iwe onjo la mbinguni katika nchi (hata kwa wasioamini). 2. Ndoa yenye ufanisi inahitaji kazi.II. MPANGO A. Maelezo – Kuweka mahali pake; kupanga B. Mungu ni Mungu wa mpango (Rum. 1:10) 1. Kwa kuwa….. yeye sio Mungu wa kuchanganyikiwa na kutokuwa na mpango bali ni wa amani na mpango (1 Kor. 14:33). C. Mifano ya Mungu akianzisha mpango 1. Uumbaji (Mwa. 1 and 2). 2. Maagizo kwa Nuhu kujenga safina (Mwa. 6:13-21). 3. Wakati wa mbegu na mavuno. 4. Kuwaamurisha Waisraeli. 5. Upeanaji wa amri (Kut. 20-23). 6. Maagizo ya kisanduku (Kut. 25-28). D. Uanzilishi wa mpango katika taasisi zilizotawazwa na Mungu. 1. Serikali (Rum. 13:1-4). 2. Jamaa (Efe. 5:22-23, 6:1). 3. Kanisa (1 Pet. 5:1-5; 1 Kor. 14:26). 4. Kazi (2 The. 3:10)III. MPANGO(VIPA UMBELE) KATIKA MAISHA YA MKRISTU A. Ushirika na Mungu (Kut. 20:3; Mat. 22:37-38). B. Jamii (Mat. 22:37-39; 1 Tim. 5:7-8). 1. Mke na mume. 2. Watoto. C. Kusanyiko la kanisa la nyumbani (Ebr. 10:25). D. Kazi ya Mkristu (1 The. 4:11-12; 2 The. 3:10).IV. MPANGO WA MUNGU KWA JAMII. A. Mume, kichwa (Mwelekeo wa mapenzi) (Efe. 5:23, 25-30).______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

20

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU B. Mke, mtawaliwa na mumewe (Unyenyekevu wa mapenzi) (Efe. 5:22-24). C. Watoto, tii na kuheshimu wazazi (Efe. 6:1-3). D. Roho Mtakatifu hutia nguvu husiano hizi kama wanavyoendelea kunyenyekea kwa kila mmoja katika mapenzi (Efe. 5:21).V. MAMBO MUHIMU A. Mungu ni Mungu wa mpango; ni sehemu ya asili yake. B. Mungua aliumba taasisi lya ndoa. Alinuia iwe ‘ya furaha. C. Wa.,kati Mungu alipolzianzisha taasisi, alianzisha mpango kwake. D. Iwapo mpango wake utafatwa, hizi taasisi zitafaulu.

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

21

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

J A M I I YA M H U D U M U – S E H E M U YA IIMPANGO WA MUNGU KWA WAPENZI- MAPENZI NA UNYENYEKEVU

I. MABWANA WAPENDENI WAKE ZENU A. Mume ndiye kichwa cha mke kama vile Yesu alivyo kichwa cha kanisa (Efe. 5:25). B. Tunampenda Bwana na tuko tayari kunyenyekea kwake kwa sababu alitupenda mwanzo na kuyaweka chini maisha yake kwa ajili yetu (Rum. 5:8; 1 Yoh. 4:19). C. Kwa hivyo mume inampasa awe mwanzilishi, akimpenda mkewe kwa dhati na kwa dhabihu na upendo wa “agape”. Neno pendo kama vile lilivyotumiwa katika Efe. 5:25 ni “agape”. Hii ina maana kwamba “upendo wa Mungu usiokuwa na masharti”. D. Mke ambaye amependwa na upendo wa Mungu usiokuwa na masharti ataitikia kwa pendo la “phileo” ambalo limezungumziwa katika Tit. 2:4. Phileo ni “pendo la kuitikia”. Mume anapaswa kuwa chanzo na mke wa kuitikia. E. Akiwa naYesu kama mfano wake mume anapaswa kupenda, linda na kupeana kwa mkewe (na watoto), akiwa anawatumikia wale alio na mamlaka juu yao (Mat. 20:25-28).II. WAKE NYENYEKEENI KWA MABWANA ZENU A. Wote mume na mke wanapaswa kunyenyekea kwa Ubwana wa Kristu na kwa Neno la Mungu lililoandikwa (Flp. 2:9-11). B. Kiroho mume na mke wote sawa kila mmoja akiwa mrithi pamoja na Kristu (Rum. 8:17; Gal. 3:28; Efe. 2:6). C. Mume yuko na mamlaka dhidi ya mkewe katika mambo ya kiasili. Katika mambo ya Kiroho mke anawajibika moja kwa moja kwa Bwana Yesu Kristu (Mat. 7:7-8; 1 Kor. 11:3). D. Mke hahitaji kunyenyekea kwa kuvunja Neno la Mungu; kwa mfano Mat. 5:17-29. E. Kunyenyekea Kibiblia inamaanisha kwamba “kuja katika ulinzi wa”. F. Mamlaka Kibiblia ina maana kwamba “ruhusa iliyotolewa kutia zoezi nguvu”.III. UPINDUZI WA MPANGO WA MUNGU A. Eva alipuuza mamlaka ya Mungu na mumewe (Mwa. 3:6) B. Dhambi ya asili ilipitishwa kwa wanawake wote na Mungu akatangaza matokeo:

“Kwa mwanamke, akasema, ….. tamaa yako itakuwa kwa mumeo, na atatawala juu yako” (Mwa3:16)

C. “Tamaa” kwa Kihibrania ina maana kwamba, “kunyosha, kimbilia au miminika”. Wanawake watatafuta kudanganya na kutawala waume zao. Hata hivyo Mungu alimkumbusha Eva kwamba alikuwa amempa mume mamlaka ya kumtawala mke. D. Akiwa ametengwa kutoka kwa Mungu, mke angechukia unyenyekevu na mume angetawala kiimla.IV. AGANO LA NDOA A. Uhusiano wa ndoa ni uhusiano a agano (Mwa. 2:21-24) B. Agano la ndoa limetiwa umbo baada ya ahadi yetu na Mungu. Alitupa yake yote. Tunapokea yote aliyo nayo kwetu tunapompa yote tuliyo nayo kwake.______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

22

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMUC. Mungu ameanzisha agano la ndoa, na hulichukulia kwa uzito (Mal. 2:13; Mat. 19:16)V. MUUNGANO WA KINGONO A. Mungu aliamuru kuwa mume anapaswa kujibandika (ning’inia, shikilia, aunganishwe) na mkewe na wawe mwili mmoja. (Mwa. 2:24) B. Mungu alitawaza mke mmoja kwa mume mmoja. (Mwa. 2:24; Law. 18:18; Kum. 17:17; 1 Tim. 3:2, 12; Tit. 1:6) C. Muungano wa kingono na mtu asiyekuwa mchumba wake ni usinzi. Usinzi ni dhambi na huvunja agano la ndoa (Kum. 20:14; Mat. 5:31-32; 1 Kor. 6:16-18) D. Mungu alitaaza muungano wa kingono katika ndoa kama kitendo cha kiungu cha kujiachilia mmoja kwa mwingine katika mapenzi na uaminifu. E. Shetani amegeuza muungano wa kingono. Mungu aliumba muungano huu kufurahisha mume na mke (Ebr. 13:4). F. Katika muungano wa kingono; mchumba anapaswa kumfurahisha mwenziwe sio mwenyewe. Pendo na heshima inapaswa kutawala tabia zetu, usilazimishe wala kubughuthi (1 Kor. 7:2-5) G. Vifungu vya wake na waume kutafakari kuhusu kipawa cha Mungu kukaribiana kingono ni (Mwa. 2:21-25; Mit. 5:15-19; Wim.)

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

23

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

J A M I I YA M H U D U M U – S E H E M U YA IIIJ U K U M U L A M U M E

I. KICHWA A. Mungu alimweka Adamu katika shamba la Edeni kulinda na kulitunza. Leo hii shamba la mume ni ndoa na nyumba yake. Anafaa kulinda na kutunza kutokana na mashambulizi ya adui (Mwa. 2:15) B. Yeye kulingana na umbo la Mungu ndiye mkuu. Kwa bidii anafaa kumpenda, linda na kujitoa kwa jamii yake (Efe. 5:25-28; 1 Tim. 5:8; 1 Pet. 3:7). C. Anapaswa kutoa uongozi wa kiroho (Efe. 5:26) 1. Anapaswa kuipeleka jamii yake kanisani na kuanzisha somo la Biblia, maombi na muda wa kuabudu nyumbani. 2. Anastahili kuhudumu Neno la Mungu kwa mkewe, watoto akiendelea kuomba na kunena Neno la Mungu juu yao. 3. Anapaswa kuutafuta mpango wa Mungu kwa jamii yake na kuweka ono kila wakati kwao.II. KUMPA MKE HESHIMA A. Waume wanaamrishwa kuishi na wake zao kwa mujibu wa ufahamu. Kwa maneno mengine, mume anastahili kutafuta kuyaelewa mahitaji ya mkewe na tofauti (1 Pet. 3:7) B. Mungu alimuumba mwanamke tofauti na mwanamume. 1. Mwili wa mwanamke ulikuwa “asah”. Neno hili la Kihibrania linamaanisha kuwa mwili wake uliumbwa na kitu ambacho tayari kilikuweko (Mwa. 1:26). 2. Mungu “jatsar” (Kihibrania) au aliumba mwanamume kutoka kwa vumbi la ardhi (Mwa. 2:7). 3. Mungu “bana” (Kihibrania) au alijenga mwanamke kutoka kwa ubavu wa Adamu (Mwa. 2:22). C. Mume kwa bidii anastahili kutafuta kukutana na mahitaji ya kipekee ya mkewe. 1. Mke anahitaji utu wema na maongezi. Katika Kum. 24:5 wanaume wapya waliamrishwa kuutumia mwaka wa kwanza wa ndoa kuyatekeleza mahitaji haya! 2. Mke anahitaji kuelewa na huruma. Wakati furaha yake iko chini, anatamani mumewe amshike na kumwombea. Ukweli na kumzomea hakuhitajiki wakati mke anahitaji mumewe kumwelewa. 3. Mke anahitaji uvutio na mapenzi. Kumbatio, kumshika mkono au kumpapasa papasa humhakikishia mke penzi na ukaribu wa mumewe. Uvutio humpa mke hisia ya utunzi, ulinzi na ridhisho. Viungo vya uchumba vilivyokufanya umpate huyu mke vinastahili kuendelezwa kote maishani mwa ndoa. Hili ni penzi (Kol. 3:19) 4. Mke anahitaji hisia ya ulinzi wa kifedha. Mume anapaswa kutafutia jamii yake kadiri ya uwezo wake. Anastahili kufanya kazi kwa uaminifu na bidii akiliamini Neno la Mungu kwa upaji wa jamii yake. ______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

24

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU 5. Mke anahitaji mumewe ajitolee kwa jamii yake. Nguvu zake amepewa kwa ajili ya utendaji kazi na utunzi. Yeye ni chombo dhaifu na hakuumbwa kuubeba mzigo wa maslahi ya jamii peke yake. D. Mume mwenye hekima huudumia mahitaji ya mkewe kwa sababu ya mkewe ni pendo la kuitikia tu (phileo)

“Kwa hivyo wanaume wanastahili kuwapenda wake zao kama miili yao. Yule ampendaye mkewe ajipenda mwenyewe” (Efe. 5:28)

E. Nguvu katika sala hupatikana kwa wapenzi walio katika umoja(Kum. 32:30; 1 Pet. 3:7)

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

25

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

J A M I I YA M H U D U M U – S E H E M U YA IVJ U K U M U L A M K E

I. MSAIDIZI WA MUME A. Mungu alitangaza ya kuwa haikuwa vema kwa mume kuishi peke yake. Akatangaza kwamba mke atakayempa mume atakuwa msaidizi wake, sio kizuizi (Mwa. 2:18) B. Ilikuwa awe kikamilisho kwake. Kwa maneno mengine alikuwa amkamilishe yeye. C. Ili amkamilishe mumewe, mke ni lazima ajiweke kwake, na sio kutarajia kinyume. Maandiko yanasema kwamba hii inatosheleza na kazi nzuri ya mke katika Bwana (Kol. 3:18) D. Mke ni lazima aelewe kwamba aliumbwa kwa madhumuni ya faida kwa mumewe (Kor. 11:7-9) E. Eva aliumbwa kutoka kwa ubavu wa Adamu. Mbavu hushikilia mwili na kulinda moyo. Inampasa mke kuwa shikilio la hisia ya mumewe nguvu zilizofichwa za maisha yake.II. MAHITAJI YAKE A. Hitaji kuu la hisia ya mume ni heshima ya mkewe na matamanio.

“… Na wacha mke aone kwamba anamheshimu mumewe…” (Efe. 5:33). B. Mume anahitaji kutoshelezwa kingono. Mke anayemheshimu na kumthamini mumewe. atatafuta kuyatosheleza mahitaji yake ya kingono (1 Kor. 7:3).III. MTUNZI WA NYUMBA A. Huduma msingi wa mke ni kupenda na kutunza mumewe na watoto. Mungu amempa jukumu la kuwa mtengenezaji wa nyumba (Mit. 31; Tit. 2:3-5). B. Mke mwenye hekima haangalii tu mambo ya kiasili ya nyumba yake lakini ya kiroho pia. Nyumbani kwake ni mahala pa amani na kimbilio kwa jamii yake (Mit. 24:34).IV. TABIA ZA KIUNGU A. Kuonekana kwa nje kwa mke Mkristu kunafaa kuwe kwa kufurahisha, akimuakilisha vizuri mumewe na Bwana wake Yesu Kristu. Nguo zinazoonyesha uchi huwatangazia wote. kutotoshelezwa kwa mke na mumewe (1 Tim 2:9). B. Kitambo kirefu baada ya kuonekana kwa nje kwa mke Mkristu kunapofika, urembo wa roho nyamavu nay a kufunzwa huendelea mbele (1 Pet. 3:3-4). C. Ushirika wa karibu na Mungu ni muhimu kwa kujenga ua la roho nyamavu nay a kufunzwa (Mit. 31:15, 17).V. NGUVU ZA UNYENYEKEVU A. Mungu humpa mume mamlaka. Humpa mke nguvu. Mke anastahili kujitolea kwa Mungu, akiamini katika ulinzi wake, kama anavyojitolea kwa mumewe (1 Pet. 3:1-2). B. Neno la Mungu linaahidi kwamba hata waume wasiookoka watavutiwa na heshima ya unyenyekevu ya wake wa kiungu (1 Pet. 3:1-2) C. Hata hivyo, mke hataitwa kuvumilia mateso ya kawaida kama tendo la unyenyekevu (Mal. 2:16).______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

26

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU D. Mke mnyenyekevu anaweza kuwa na hakikisho katika kujua kwamba Mungu atamheshimu kwa utiivu kwa Neno lake (1 Sam. 2:30) E. Mke muasi asiyenyenyekea hukata nguvu za Roho Mtakatifu za kutembea na kufanya kazi kwa niaba yake.

J A M I I YA M H U D U M U – S E H E M U YA IVU Z A Z I W A K I K R I S T U

UTANGULIZI: Umeelekezwa kuwakuza watoto wako kama vile ulivyokuzwa usipofanya upya nia yako kwa mbinu za Mungu za uzazi na utende kulingana na Neno lake. Usiruhusu jamii yako kudanganywa kutoka kwa bora za Mungu na tamaduni za wanadamu (Kol. 2:8)!VI. KUSUDI LA MUNGU KWA WATOTO WAKO A. Watoto wetu ni mishale tunayotupa katika mustakabala ili kuweka bima ya ufalme wa Mungu. Mshale ni lazima ulenge kitu cha kuingia ndani kilichonuiwa (Zab. 127:3-4). B. Mungu anatafuta vizazi vya kiungu ili viendeleze Neno lake (Mapenzi yake) kwa kizazi kifuatacho, na kwa kingine na kuendelea (Yoe. 1:3; Mal. 2:15)VII. NENO LA MUNGU KWA UZAZI A. Amebarikiwa mtu ambaye……. (Zab. 112:1-3) 1. Mungu anatamani mbegu yetu iwe “kuu duniani!” 2. Kizazi cha watoto wetu kitabarikiwa. 3. Mali na utajiri vitakuwa vyetu. 4. Kipengele cha kwanza hadi tatu hapo juu ni matokeo ya kuendeleza maisha yetu kulingana na Neno la Mungu! B. Mbegu zetu zinapaswa kurithi nchi (Zab. 25:12-13) C. Roho wa Bwaba yu juu yangu (Isa. 61:4-9) 1. Mungu ataelekeza kazi zetu katika ukweli. Kwa hivyo Mungu ataelekeza kazi yetu kama wazazi katika ukweli. 2. Mungu hufanya mahitaji yetu na huhakikisha faida tunapotii mahitaji hayo (k.m wokovu) 3. Ulimwengu unafaa kutambua kwamba watoto wetu ni wabarikiwa. Mungu ana nia ya kuinua kizazi cha watu wakuu kwa heshima yake. Tusiridhike na vilivyo vya chini! D. Watoto watiini wazazi wenu (Efe. 6:1-3) 1. Mungu anataka watoto wako wawe vema (k.m. katika usalama, afya, ufanisi, kufaulu shuleni na maishani) 2. Hii ni ahadi ya Mungu iwapo tutawafunza watoto wetu kututii na kutuheshimu. 3. Mungu huhakikisha wingi, vile vile ubora wa maisha tunapozitii amri zake.

a. Watii wazazi kwa vitendo.b. Mheshimu baba na mama kwa nia.c. Unahakikisha kufaulu kwa watoto wako unapowafunza kuzitii amri za Mungu.

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

27

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU 4. Ukihakikisha utiifu wao; atahakikisha kufaulu kwao. E. Mwana muasi (Kum. 21:18-21). 1. Mwana msumbufu na muasi ni Yule atakayekataa kutii sauti ya babaye au mamaye. 2. Kutotii mamlaka ya wazazi imetangazwa kuwa uovu. 3. Ona matokeo yanayo tatanisha. Utiifu huhakikisha uzima; uasi huzaa kifo. Huu ni upande mwingine wa Efe. 6:1-3. Wakati watoto hawatatii, haitakuwa vyema kwao, na hawataishi kwa urefu duniani. F. “Ni lazima awe na jamii iliyo na tabia njema, na watoto ambao wanatii kwa haraka na kwa upole” (1 Tim 3:4). 1. Hili ndilo lengo letu katika kuwafunza watoto wetu. 2. Watoto wanapaswa kutia.

a. Kutii kwa haraka – kitendo. b. Kuheshimu kwa haraka – nia.

G. Wafunze watoto wako kutii sauti yako mara ya kwanza unapoongea nao katika sauti ya mazungumzo, sio katika sauti ya hasira na vitisho. H. “Mwanangu yasikilize maagizo…..” (Mit. 1:18; 4:1). 1. Kuwafunza watoto kuitii sauti yako huwafunza kuitii sauti ya Mungu. 2. Watoto ni lazima wafunzwe kusikiza na kwa haraka kuitikia mamlaka ya wazazi. I. Wafunze watoto wako kwa njia inayofaa (Mit. 22:6). 1. Miaka inayovutia zaidi ni kutokea uchanga hadi wanapoanza kuvunja ungo. Thuluthi 3 ya maisha ya kuvutia huanzishwa katika mwaka wa 5. Thuluthi 3 ya ufahamu katika maisha hupatikana katika mwaka wa 7. 2. Anza kuwafunza watoto katika uchanga na usikome! Iwapo haujawafunza watoto wako katika “njia wanayostahili kwenda”, anza sasa! 3. “Funza” kuumba shauku katika watoto wako. Shauku hii itahakikisha kwamba yale umeyafunza yatatekelezwa. 4. “Funza” – kuagiza. Nenda mbele zaidi ya kuwafunza tu watoto wako; waelekeze. Kufunza ni kutoa maagizo kisha utazame ili uhakikishe kwamba maagizo yamefatwa kikamilifu.

Biblia ya Dake, katika Mit. 22:6 inasema: mfunze au tia ndani ya mtoto njia atakayoenda, na wakati atakapohitaji kukaa ndani yake atafanya hivyo. Habari hii inaonekana kuwa kwamba: wakati atakapokuja katika ufunguzi wa njia, mpe mafungu yote ya maagizo kuhusu kila hatua atakayoichukua. Mtayarishe kabisa katika jinsi anavyohitajika kufanya majukumu yake, namna ya kuhepa hatari, na namna ya kuitumia Baraka zinazokuja katika njia hii. Tia muhuri masomo haya katika moyo wake na umwongoze kuyatia zoezi hadi yawe sehemu ya maisha na asili yake. Muoshe katika sala na uweke kumwogopa Mungu ndani mwake (ambayo ni kupenda haki na kuchukia uovu) na hataiacha njia hii. Ni sheria isiyoangusha!

5. Tunapaswa kutia muhuri Neno la Mungu ndani ya watoto wetu hadi liwe sehemu ya maisha na asili yao…. hadi wasiijue njia nyingine!!

a. “Tia muhuri masomo haya” – kuelimisha.______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

28

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMUb. “Waongoze watoto wako kutia zoezi masomo haya” – kufunza

6. Wafunze watoto kupenda haki na kuchukia uovu. Wafunze mapema tofauti baina ya “uungu” na “kutokuwa na uungu”! 7. Watoto ni roho katika miili midogo. Kwa sababu ni roho, wanaweza kuelewa vitu vya kiroho hata kabla hawajaweza kuviwasilisha kwa maneno (Yoe. 2:28; Mdo 2:38-39) J. Wafunze watoto wako kwa bidii (Kum. 6:5-7) 1. Ni lazima umpende Bwana Mungu wako na uwe na Neno lake ndani ya moyo wako, kabla hujalimimina kwa watoto wako! 2. Kwa bidii lifunze Neno la Mungu kwa watoto wako kwa kila fursa unayopata! Uendelezi ni ufunguo katika uzazi wa Kikristu! K. “Mwanangu iweke amri ya babako (iliyotolewa na Mungu) na usiachilie sheria ya (Mungu) mamako (aliyokufunza). Ziweke kila wakati na uzifunge shingoni mwako. Utakapoenda zitakuongoza (maneno ya wazazi wako, Mungu); ulalapo, yatakutunza na uamkapo, yatanena nawe. Kwa kuwa amri ni taa, na mafunzo yote (ya sheria) ni mwanga na hakikisho la nidhamu ni njia ya maisha” (Mit. 6:20-23). 1. Weka muhuri Neno la Mungu katika mioyo ya watoto wako na Neno hili litawaongoza, litawatunza na kuwanenea! 2. Neno la Mungu litawaelekeza wanao wakati hautakuweko kuwaelekeza.VIII. HIMIZO, SIFA NA UVUTIO Himizo: Kutia hisia ya kufanya kitu ndani ya mtoto wako; kushiriki na mtoto wako matarajio

yako ndani yake katika hali fulani; kumsukuma kutia; roho au nia ambayo kupitia kwake unamuagiza mwanao.

Sifa: Kuitikia kwa idhini unayompa mwanao anapochagua kufanya vyema au kutia. Uvutio: Kupenda kwa neno na kitendo. Imo ndani ya moyo wa kila mtoto kutia wazazi wake. Himizo na sifa itakoroga ile shauku ya kupenda. A. “Watoto watiini wazazi wenu katika kila jambo, kwa kuwa inapendeza kwa Bwana. Mababa msiwachochee au kuwakasirisha au kuwatia wasi wasi watoto wenu (msiwe wagumu kwao au kuwabughudhi)….” (Kol. 3:20-21) 1. Tunaonywa dhidi ya kuwashusha moyo watoto wetu bali tunastahili kuwahimiza kututii. 2. Lengo letu katika uzazi ni kufinyanga mapenzi ya watoto wetu bila kuwavunja roho. Nidhamu huumba mapenzi. Himizo, sifa na uvutio hulinda roho. B. “Na wacha tuzingatie na tupe utunzi unaoendelea kwa kumwangalia mmoja kwa mingine….” (Ebr. 10:24)

1. Kumbuka maelezo ya “kufunza” ni “kuumba shauku (tama)”. Tunapaswa kukoroga watoto wetu au kuumba shauku ndani mwao, kupenda (kupenda mungu, kukupenda wewe, kupenda wengine) na kutenda wema. (kumfurahisha mungu na kukufurahisha wewe)

2. Himizo na sifa hufanya shauku ya kutenda wema na kuti ndani mwa watoto wetu.3. Watoto wetu wanahitaji kusikia idhini yetu na sifa yetu kwao.4. Himizo ni zaidi ya elekezo/agizo ni ya kuvutia na kutia tama ya kutenda itasukuma na

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

29

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

kujenga.C. Hofu moyoni mwa mwanadamu huushusha chini, lakini neno linalohimiza hufanya kufurahia (meth 12:25)Meth 15:4 inasema kwamba “ulimi ungwana (ukiwa na nguvu zake za uponaji) ni mti wa uzima, lakini utofauti wa kutaka ndani yake huvunja roho.” Tazama pia Meth. 12:36-37, Meth. 18:21, Meth. 31:26.

1. Maneno ya sifa ni himizo huongeza nguvu na uwezo kwa watoto wetu.2. Ni maneno yapi tunayoongea kwa watoto wetu? Tunawajibika kwa maneno yetu . je ni

maneno ya uzima, kujenga, kuleta hisia ya thamana na himizo au ni maneno ya kushusha na kifo.

3. Je, tunawachukua watoto wetu kama wenye thamani na maana? Tunawaongelesha kama tunavyo nena na rafiki wetu wa karibu.

D. Yohana 4:19 inaelezza kuwa tunampenda kwa sababu alitupenda mwanzo (tafsiri zingine huacha “tunampenda” kwa sababu alitupenda kwanza)

1. Kuwapanda watoto wetu huwawezesha kupenda. Hatungempenda yesu kama aingetupenda kwanza.

2. Uvutio ni kupenda kwa neno na kitendo.3. Penzi= Uvutio + Nithamu.

E. Penzi lako lisiloyumba ni la thamani jinsi gani, oh Mungu! Wana wa wanadamu hukimbilia na kuweka imani yao chini ya uvuli wa mabawa yako (zab 36:7)

1. Pendo hulete ulinzi na hakikihsho. Wakati watoto wanapohisi ulinzi wannakuwa na uwezo wa kuwapenda wenzio.

2. Masomo yamethibitisha kuwa watot wachanga hawawezi endelea vyama bila uvutio. Watoto wetu wanahitaji uvutio wetu.

F. “Na enda katika mapenzi (mkihehi na kufurahia mmoja kwa mwingine) kama vile Kristu alivyotupenda na akajitoa yeye mwenyewe kwa ajili yetu” (waet. 5:2)

1. Watoto wanahitaji kushikwa, kuguswa, kukumbatiwa na kubuswa na baba na mama zao. Onyesha kwamba unawaheshimu watoto wako na kufurahiswa nao! Wacha wajue kwamba unafikiri wao ni wa ajabu.

2. Kila mtoto anapaswa kujua kwamba yeye ni spesheli, aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu, na wa kipekee

3. Vijana chipukizi hukubali kwa sababu ya shinikizo za marafiki kwa sababu wanatafuta kukubalika, kupendwa na kuvutiwa

4. Mfdano mkuu wa mapenzi ambayo unaweza kumpa mwanao ni kule nyumbani.

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

30

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMUA. “Anayeachilia kiboko “(cha/ya nidhamu) humchukia mwana, lakini yule ampendaye humtia nidhamu kwa bidii na humuadhibu mapema (Meth 13:24)1. Mapenzi lazima yawe kivutio cha kuadhibu. 2. Kila mtoto anastahili mambo manne: kukubalika, kibali, uvutio (pendo) na mamlaka.3. Jukumu la mzazi ni kuelekeza, linda, tawala, ongoza, tunza na rekebisha.4. Ni lazima watoto wafahamu kwamba kunayo adhabu kwa kila tendo la utovu wa nidhamu na tunuku kwa kila tendo kutii.

a. Adhabu = ugomvi, nidhamu, fimbo.b. Tunuku = Sifa, faida, zawadi, nafasi

5. Meth 13:24 inasema kwamba “Yule ampendaye ni mwangalifu kumwadhibu” Iwapo adhabu imechochewa na pendo kwa hivyo tunakuwa waangalifu, namna, wakati, wapi, kwa nini, na nini, karibu na nani, na katika nia gani tunapowaadhibu. B. (Meth 13:24, 22:15, 29:15, 23:13-14) 1. Fimbo cha kurekebisha ndicho chombo cha kipekee kinachotolewa katika maandiko kutumika katika adhabu 2. Kuelewa ni nini kimetekelezwa katika adhabu ni muhimu kama kitendo chenyewe. C. “Ni vyema kwa mwanadamu kubeba nira katika ujana wake (maombo 3:27) Utumiaji wa fimbo ni wa kiungu. Namna nyingine za rekebiasho zinasaidia tu kwa muda kwa kutoa matendo ya mtoto wako, lakini ni shughuli za nidhamu za kiungu tu ndizo zitakazo mbadili milele.D. “Ujinga umo ndani ya moyo wa mtoto lakini ni fimbo ya rekevisho ndiyo itakayoundwa.” (Meth 22:15)E. “ Kama ujinga unavyoondolewa nje, hekima inatiwa mahala pake” (meth 29:15)F. Fimbo ni ya rekebisho hulete hekima na kwa hivyo urefu wa siku, utajiri na hehima, furahisho na amani inatiwa ndani ya mtoto anapoadhibiwa kwa fimbo” (meth 3:16-17)G. “ Makonde yanayoumiza husafisha uovu (uazi) kutoka kwa moyo wa mtoto.H. Je ni wakati gani adhabu hutolewa? 1. wakati mtoto hatii kwa haraka na kimya.(1 timo 3:4)

a. Utiifu = tendo 2. wakati mtoto hatii moyo wake (uongozi wa Roho Mtakatifu) 3. Wakati mtoto anapoonyesha nia mbaya

(kutoheshimu, kutofurahisha, kutopenda)I. Vielekezo kwa nidhamu. 1. “Mtie nidhamu mwanao wakati kungali tumaini, lakini usimuadhibu kwa haira zakona kujiweka mwenye kumuharibu” (meth 19:18)Kila wakati ujithibiti katika maneno na vitendo; usiadhibu wakati una hasira au kuaibishwa.

2. Mtiririko wa marejeleo ni funguo muhimu za nidhamu. Kila mara shughulikia kuto tii haraka iwezekanavyo. (meth 13:24)

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

31

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

3. Mzazi anayeshuhudia utovu wa nidhamu anapaswa kuishughulikia. Hakustahili kuwa na “majama wabaya” katika uzazi. 4. Usimzarau mtoto kwa tabia zake (Wako 3:21). Rekebisha chaguo mbaya, shughulikia kitendo lakini usivunje sifa ya mtoto. “ wewe ni mtoto mzuri anayechagua kufanya jambo mbaya” 5. Nidhamu ni ya muhimu zaidi kuliko ushirika na wenziwe. Ni lazima kila mara uwe tayari kuomba ruhusa kutoka kwa mazungumzo inapohitajika kumtia nidhamu mwnao. J. Ni nini kinachomskuma mtoto kuwa na ghadabu? (Waet 6:4) 1. Kutokuwa na msimamo (hali mbaya, kubadilika kwa watu spesheli, upendeleo) 2. Kuadhibu kwa kitu ambacho wewe mwenyewe hufanya. 3. Kumuadhibu mbelwe ya wenziwe. 4. Kumuadhibu kwa kitu ambacho mtoto hakujua kwa hakjika ni mbaya. 5. Kumuadhibu katika hasira, kumpiga kwa nguvu, kupiga mahali popote kuliko kwa makalio. 6. Kujadili utovu wa nidhamu wao au makosa yao na wengine. 7. Kutomsifu mtoto anapofanya vyema. Ataanza kufikiri kuwa hawezi kukufurahisha wewe. Tafuta nafasi ya kumsifu mwanao anapotii.Furahika zaidi anapofanya vyema kuliko anapokoasa.K.Hatua za kufanya katika utovu wa nidhamu. 1.Kuwa na hakikisho kwamba mtoto amependelea kutokutii. Usiadhibu kwa makosa ya kitoto kama kumwasa kitu kimakosa. 2. Mpeleke mtoto faraghani. Tunza/weka heshima yake. 3. Onyesha kutofurahia uchabguzi wake. Eleza kosa alilofanya na kile angefanya badala yake. Ongeza nguvu. (waef. 6:1-3) 4. Mhakikishe penzi lako kwake (meth 13-24) 5. Kwa midomo ya Yule aliye n a upambanuzi hekima ya, ujuzina na ya Kiungu hupatikana lakini nidhamu ya fimbo ni vya mgongo wa Yule aliyekuwa na hisia na kkuelewa” (meth 10:13) chapa kwa lkiboko kwa makalio (vichapo visivyozidi tatu ni mwelekezo mwema) Uchape tu kwa mtoto kuhisi uchungu. Usimdharau mtoto. Iwapo watoto wakubwa hawakisikii kiboko, ongeza nguvu lakini usizidi idadi yqa vichapo tatu. Mweke mtoto akisimama tulivu akiwa ameshikilia kitu kisichosonga, ili umchape mahali papya (miguu au mgongo) 6. Omba naye ukimfanya aulize msamaha wa Mungu. Mfanye akuombe msamaha au wengine iwapo inahitajika. 7. Mhakikishie msamaha wa Mungu na wako kwa mjibu wa 1 Yohana 1:9 8. Usirejelee hilo tukio tena (Isa 43:25) 9. Weka imani kila wakati unalazimika kuitumia fimbo ya rekebisho, ukijua kwamba hii ndiyo njia ambayo Mungu ameruhusu kutoa ujinga na uasi ndani mwa mtoto wako nay a kutia hekima na amani mahala pake (meth 2:30, 3:16-17, 22:15, 29:16, maomb 3:27, waru 14:23) ______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo

32

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU10. Ni lazima uongeze himizo, sifa na uvutio kwa fimbo ya marekebihosho kwa adhabu kufanya kazi.11.Uwe na hakika kwamba umeekeza mapenzi na kukubalika kubwa kuliko uzito au ukali wa adhabu itakayotolewa.

I. MAMA MWENYE MAADILI ___________________________________________A. Kuwa mama ni kazi uliyojitolea na mungu! Nguvu zako ni lazima zitoke kwa Mungu (meth 31:17) B. Mama mwenye maadili anaweza furahia mustakabali kwa sababu amaandaa jamii yake kiroho (meth 31:25) C. Mama mwenye maadili huweka hewa ya mapenzi na amani nyumbani mwake. Watoto Huitika kwa utu wema. Wacha utu wema uwe shairi nyumbani kwako.(meth 31:26)D. “Hutazama vyema namna mambo yanavyoenda nyumbani kwake na mkate waubure hataula” (meth 31:27) 1. Katika hali gani jaribu kuinuka dhidi ya watoto wako, waelekeze kwa haraka kwa neno la Mungu kwa jawabu. 2.Uwe na wakati wa ibada ndogo na watoto wako kila siku. Kuwa na muda wa neno (funza Kanuni ya bibilia, soma hadithiya bibilia, toa shujaa wa bibilia) na uwe na wakati wa sala. Wafunze watoto wako kuwa na muda na Mungu kila siku na wakati watakapokuwa wakubwa hawataondoka ndani yake. Dakika tano hadi kumi ni tosha kwa watoto wadogo na ongeza watoto wanapokuwa. Fanya wakati wa ibada uwe wa kuvutia na kufurahia. 3. Nyakati mbilli muhimnu za siku ni asubuhi waamkapo na jioni wakati wa kulala. Zifanye nyakati hizi mbili za siku spesheli kwa watoto wako. Uwe mwenye kuvutia na uwahakikishie watoto wako penzi la Mungu na lako pia. Hizi ni nyakati n zuri za ibada. 4. Fanya watoto wako waonyeshe nyumbani tabia ambazo ungependa waonyeshe wakiwa mbali na nyumbani. Usipuuze au kutoa udhuru kwa utovu wa nidhamu wa mtoto wako. (meth 29:15) 5. Anza kuwafunza watoto wako wajibu katika umri mdogo kwa kuwapa majukumu ya kuwasaidia nyumbani. Hii huwapa hisia ya kuhitajika. 6. Wafunze watoto katika heshima, wema kwa wengine na tabia zilizo sawa. 7. Hata ikiwezekana waelekeze watoto wako mbele ya wakati kama vile ungetarajia kwao Katika hali fulani (k.m kabla ya kwenda kanisani, kabla ya kutembelea nyumba ya rafiki n.k) 8. Waweke watoto wako sawa wote. Usimpendelee mtoto moja dhidi ya mwingine.

I. MABABA ZA WAKUU________________________________________________A. Maandiko kwa tafakari ya baba;

“Kizazi cha walio wanyovu kitabarikiwa” (zab 112:1-2)“Mbegu yake itarithi ardhi” (zab 25:12-14)“Yaweza kwenda vywma naye pamoja na wanawe” (kumb 4:40)

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

33

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

“Vyema naye ………..na watoto wake” kumb 5:29“Mwanawe na mwana wa mwanawe” (kumb 6:1-3) “Tazama na uikie …..kwa yaweza kwenda vyema…..” (kumb 12:28)

B. Njia za Mungu ni kuchagua mbegu ya mababa ambao wanampenda! Tazama Kumbu 4:37 na Zab 132:12. Baadhi ya mifano ya mababa Abrahamu, Daudi, Aroni.C. Dhambi katika maisha yako haikuadhiri tu wewe lakini yaweza thibiti watoto wako na vizazi vinavyofuatia (kumb 5:8-10; waru 6:23; 1 petro 1:18)

1. Dhambi ambayo kwa urahisi hujia wanadamu (waeb. 12:1) ni ile ambayo haikushindwa na mababu zao.2. Mungu hachagui kutembelea dhambi za mababa juu ya vizazi vinavyofuata, lakini Wanadamu wachache humtazamia yeye kushinda dhambi hiyo.3. Huonyesha huruma kwa vizazi elfu moja vya wale wanaompenda! Tunadhibitishaje mapenzi yetu kwa Mungu? Kwa kutii amri zake. (yoh 14:15)

D. Iwapo wewe hautekelezi wajibu wako kwa jamii yako kayika hali ya kawaida, hauna msingi wa kusimama katika mamlaka yaliyo tolewa na Mungu katika hali ya kiroho (1 wakor 15:46)E. Adili huhambulia jamii yako katika njia tatu za kimsingi:

1. Ufukara- wababa wanahitajika kuwapa jamii zao mahitaji ya kawaida. Shambulia ukosefu. Tumia imani yako na neno la Mungu. Mwone Mungu kama chanzo chako. Kazi yako ni namna moja tu ya upeanaji wa Mungu. Fanya kazi yako kama kwa bwana, zitii sheria za Mungu za kutoa, nyenyekea kwa mamlaka na Mungu atakuheshimu. 2. Magonjwa- wekea mikono, paka kwa mafuta, ombea na uamini kwa uponaji. Usimruhusu adui aibe afya ya jamii yako.3. usiruhusu thamani za ulimwengu ziingie ndani ya jamii yako- kama baba unawjibika Ko\uona kwamba thamani za dunia hazitii umbo. Watoto wako sio tofauti na watoto wa ulimwengu haujafanya kazi yako bado.

F. (Mwa 18:19 na kumbu 32:44-47)1. Hauwezi kutarajia nyumba yako kutii moja wapo ya amri za Mungu ambazo hauzingatii. 2.Nguvu za amri yako hulingana na utii wa maisha yako! Hauwezi amri zaidi kipimo cha utii wako.3. Funza, tia nguvu funzo lako kwa kutoa mfano wako mwenyewe, kasha amrisha utii katika pendo. Huu ni ufunzaji mzuri kwa watoto wako.

G. Soma maisha ya Abrahamu, baba mwenye ufanisi katika maandiko.1. Tajiri na kikazi kinachojulikana: Isaka, Yakobu na Yusufu.2. Kwa nini Abrahamu akawa baba wa ufanisi? (Mwa 18:19; 26:4-5)

H. Soma maiha ya wale walioanguka kama mababa katika maandiko. 1. ELI

a. Aliheabiwa wanawe juu ya mungu (1 samw 2:29-30)

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

34

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

b. Alikataa kuwatia nidhamu wanawe (1 samw 3:13) c. Tokeo la dhambi yake kama baba (1 samw 2:31-36) 2. Samweli-Hakuwakataza watoto wake katika njia za Mungu, hataingawa yeye mwenyewe Alimfuata Mungu (1 samw 8:1-5) 3. Daudi-Hataingawa alikuwa mtu aliyeutafuta moyo wa Mungu, alikosa kuiamuri utii kutoka kwa wanawe baada ya mfano wake:

a. Amnoni (2 samw 13)b. Absolomu (2 samw 15:18)c. Adonija (wafalme 1na 2)

MAOMBI KWA WATOTO WAKOA. Mwite Mungu kwa hekima kwa ajili ya uzazi. Anataka watoto wako wawe waku. Atakusaidia.B. Fanya maombi kwa watoto wake kama sehemu ya maisha yako ya kila siku. Ikiwezekana waombee watoto wako katika uwepo wao. Wacha wakusikie weweukiomba neno la Mungu juu yao. Hapa kunazo baadhi ya maandiko yaliotolewa ambayo unaweza kufanya kuwa yako na kuitumia kama kielekezo cha kila siku katika kuwaombea watoto wako.Kumbu. 6:5. Zab. 16:11; 40:8; 91:7; 112:2; 127:3; Meth. 3:16-17; 6:22; 31:25; Isa. 54:13; Yere 33:3; Maombo 2:19; Yoh 14:21; 16:13; Warum 12:10; 2; Wakor 6:14; Waef 4:32; 5:1-2; 6:1-3; Fili 4:7; Wakol. 3:15; 1 Petro 2:2; 3 Yoh 2.Kila mtoto anayo talanta aliyopewa na bwana. Je tutaifanyia nini taltnta tuliyoaminiwa. Tutaificha au kuiongeza?. Tusiwe kama yule mtu ambaye Yesu alisema “aliupata ulimwengu mzima lakini akaipoteza nafsi yake mwenyewe (marko 8:36)”

VIFUNGU KUTOKA BIBILIA ILIYOPANA KUHUSU JAMIIMwa

35

36

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

PENZI LA MUNGU NDANI YANGUHuvumilia kwa urefuLina subira Lina utu wema Halina wivu

Halichemki kwa kinyongo Halijivuni Halina kiburiHalijivunii

Sio lenye kiburi Sio la kujivuna Halijatiwa pumsi ya kiburiSio suguSio lisilokuwa na tabia

Halitendi yasiotarajiwaHalisisitizi laki yake Halisisitizi nia yake

HalijitafutiiHalishikiki Sio sumbufuSio lenye kisasi

Halihesabu uovu lilotendewa Halisikizi kosa lililotendewa Halishangili isiyohakiHalifurahi kutokuwa na hakiHufurahia wakati haki na ukweli umedumu

Huvumilia chochote kinachalijia Liko tayari kuamini kilichobora cha kila mtuLina matumaini yasiyozimia katika hali zote Huvumilia kila kitu bila kudhahifika

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

37

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMUHalikosi kutenda kaziHalififiiHalikui bila kaziHalifiki kikomo1 wakor 13:4-8a

UWANAFUNZI

KWA HIVYO UNATAKA KUWA MWANAFUNZI?A. Je mwanafunzi ni nani? (luka 6:40)B. Kwa nini tunahitaji wanafunzi (mate 17:6)?C. Masharti katika kuwa mwanafunzi.

1. Utakaji wa mtu wa mwili na ubebaji wa msalaba (Math. 16:24, Marko 8:34-35, Luka 9:23)2. Uachaji (Math 10:37-39, luka 9:57-62, 14:26)3. Kutoingizika (Yoh 8:31)

D. Thibitisho la uwanafunzi1. Tunda (Yoh 15:8)2. Pendo (Yoh 13:34-35, Waef 5:2)

UPOLE/ UVUNJIVU- KIHUSISHI KIKUU CHA MWANAFUNZIA. Kuelewa urembo wa bure

1. Hisia ya ubure tupu (Math 5:3)2. Kazi ya kwanza, maadili ya juu ya mtu na mzizi wa maadili mengine yote ni uvumilivu.3. Hatari, laana na udanganyifu wa kiburi (Luka 18:10-14)

B. Kuelewa uvunjikaji katika uhusiano na upole1. Sharti la ushirika wa kweli na Mungu (Isa 57:15, 66:2)2. Maisha ya uvunjikaji (Warum 12:1-2, Waef 5:2)3. Uvunjikaji kwa urahisi ni kazi ya msalaba ndani ya nafsi na mwili wako (Luk 9:23-24)

C. Uvumilivu katika maisha ya Yesu (Math 11:29, Luk 22:27, Wafili 2:5-8)1. Katika mfano wake kwa mwanadamu na katika uhusiano kwa Baba (Yoh 5:19, 5:30, 8:50, 14:10, 14:24) a. Katika mafunzo yake kwa mwanafunzi b. Katika kunena na wana wa zebedi ambao walikuwa wameuliza Yesu akae kwa mkono wake wa kulia na kushoto mahali pa juu katika ufalme, alifunza kwamba upole ni utumishi (Math 20:26)

_____________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

38

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

c. Katika kuongea na umati wa wanafunzi wake kuhusu mapenzi ya wafaranisayo ya vitu vikuu (Math 23:1-12) d. Baada ya kuosha miguu ya wanafunzi (Yoh 13:14) e. Katika chakula cha jioni cha mwisho (Luka 22:26-27)

D. Alitumia mtoto kuonyesha upole (math 18:3-4)

UAMINIFU (MITHALI 20:6 ; 1 WARKUR. 4:2)A. Mahitaji ya uaminifu (waamuzi 6:7)

1.Walisikia mwito pamoja na wengine wengi (Waam 6: 34-35)2. Walijitolea na wengine wengi (waam 7:3)3. Walikataa kujiuzulu kwa shetani a. Kwa sababu ya uoga (2 Timothy 1:7)4. Walifaulu mtihanmi wa Mungu (Waam 7:5-6) a. Walikuwa wamefunzwa kiroho na makini. b. Abrahamu alijaribiwa (Mwa 22) c. Elisha alijaribiwa (2 Wafalme 2)5. Walikumbana na mambno makuu ya kiasili mabaya (waam 7:12)6. Walipokea maagizo ya ajabuj (waam 7:16)7. Waliyatii maagizo ya Mungu kwa njia yoyote.8. Malishiriki ushindi na wengine 9. Kazi ya Mungu itafanywa iwapo watu 300 tu watabaki na kushikilia.

B. Baraka/ Tunuku za uaminifu (Meth 28:20)1. Mungu anakupanisha ngazi kutoka kwa wajibu hadi kwa mamlaka (math 25:21, luk 16:10-12, 2 timoth 2:2)2. Ufanisi katika kila sehemu ya maisha.

C. Mifano miwili ya uaminifu wa kibinafsi.1. Abrahamu (Mwa 18:16-19) 2. Yohana Marko (Maten 15:37-38, Wakol 4:10, 2 Timot 4:11) Hii pia inatuonyesha Kwamba Mbugua hutoa nafasi ya pili.

UJASIRI NA HAKIKISHOA. Ujasiri

1. Ujasiri mkuu ni uwezo wa kutoa kwa manufaa ya wengine wakati wewe mwenyewe uko katika shinikizo kuu (2 wakor 11:23-28)

a. Hali ya moyo ya Paulo (Matem 20:24, 21:13, wafili. 3:8)b. Hisia ya kila muhudumu (1 wakor 9:19, 10:24, 10:33, 2 Wakor 12:15, 2 Tim 2:10)

2. Mifano ya ujasiri

_____________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

39

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

a. Mtume Paulo (Mate 27:20, 2 Wakor 1:8 )b. Daudi (1 Samw 30:6)c. Yesu (Math 26:36-46)d. Wanafunzi wa kwanza (Mate 15:26)

3. Ufunguo kwa ujasiri ni kumwona Mungu katika kila jaribu (Waam 6:12, Mate 15:26)a. Mfalme Hezekia (Isa 38:1-3)b. Nuhu na Safina (Mwa 6)c. Mua na mwana waasi wa Israeli (Kuto 32:32)

B. Hakikisho1. Mwanafunzi ni Yule anayehawishika kwamba bibilia ni neno la Mungu (Waru 1:16) a. Hisia kuelekea Neno la Mungu lazima iwe ni ile ya ushawishi usiyoyumba na ni lazima

tulihubiri na kuliacha vivyo hivyo.1. Hauwezi ruhusu shaka la ulimwengu huu ikuathiri.2. Hauwezi ruhusu hisia ya Yule anayedhaniwa kuwa mkristu ikuathiri.

2. Mwanafunzi ni Yule anayeelewa siotu uzuri wa Bwana lakini ukali wake (Waru 11:22)a. Anayeelewa mhahara wa dhambib. Anaelewa toba

3.Mwanafunzi anajua na anaelewa kwamba ulimwengu, mwili wa ibilisi ni maadili zake (Yakobo 4:4, 1 Yoh 2:15-17)

BARABARA KUELEKEA KWA WANAFUNZIA. Kukubaliana kwa Kristu 1. Huanzia katika eneo linaloonekana- uchanga 2. Ni mungu hakunuia mwanafunzi kuishi katika eneo la vinavyoonekanaB. Imani yenyewe hukaa undani ya vilivyo onekana (2 Wakor 4:17-18, 5:7)1. Mtu hukaa katika uwanafunzi unapoanza kutazama mambo katika njia ya kiroho akiondoka kutoka kwa njia ya yalio ya kawaida hadi kwa yaiyokuwa ya kawaida ya kufanya mambo 2. Barabara ya kuelekea kwa uwanafunzi kisha hukupeleka mahali pa utegemeaji tupu kwa Bwana. Hali hii ina weza onekana katika maisha ya mtume petro. C. Bora la Mungu ni kwa mwanafunzi kutembea katika imani isiojadiliwa. Huenda asihisi wala kuona chochote lakini kuam,ini bila kujali hali za kawaida. 1.wakati imani yako haijaathiriwa na hali za nje 2. Imani isiyojadiliwa haiegemei kuona (Waeb 11:1)

_____________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

40

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

IMANI

IMANI IMEELEZWAA. Imani ni kitu, thibitisho la lisaichoonekana (Waebr 11:1)B. Imani ni cheti kinachoonyesha umiliki (k.m cheti cha nyumba au mali)C. Imani baina ya kibali cha kiakili

1.Wakati mmoja John Wesley alisema kwamba ibilisi amelipata kanisa badiliko kwa imani lile ambalo linaaonekana na kusikika kabisa kama imani hadi watu wachache wanaweza kutofautisha. Alikiita kibali cha kiakili.2.Je, waweza juaje kama unafanya kazi katika imani au kibali cha kiakili?

a. Ni kibali cha kiakili, “ninajua neno ni ukeli lakini, …….”b. Imani, “iwapo neno linasema ni hivyo, kwa hivyo, ni hivyo. Niko nalo sasa.”

3. Kila wakati imani iko katika wakati uliopita. Tumaini ni wakati ujaoa. Waweza tumainia kuwa na pesa za kukutana na hitaji fulani, lakini imani hukupa hakikisho kwamba utakuwa nazo wakati utakapohitaji. b. Sio kutumainia kutaka au kutamani ambako huleta matokeo, lakini kuamini. c. Mradi tu unaendelea kujibidisha kupokea, na kila wakati unatazamia kuona jawabu katika ukawaida, haitafanya kazi.

D. Imani ni mwendo na Mungu kiwango kidogo cha ushirika ni sawa na kiwango kidogo cha imani.E. Imani ni thibitisho. Iwapo una hakikissho la kitu kwa hivyo kipo hata kama unaweza Kukiona au hukioniF. Imani ni nguvu za kuumba hutokazo moyoni.

1. Kichwa hujadili2. Moyo hutenda.

JINSI IMANI INAVYO PATIKANAA. Imani ni kipawa kutoka kwa mungu.

1. Imani hupewa (Waef 2:8)2. Imani hushughulikiwa (Waru 12:3)3. Imani huja (Waru 10:17)

B. Imani hulishwa na wema1. Mtu wa kawaida hula chakula cha, na hutoa msukumo huitwao nguvu.2. Mtu wa kiakili hula chakula cha kiakili na hutoa muskumo huitwao nguvu ya kataka

(mapenzi)3. Mtu wa kiroho hula chakula cha kiroho hutoa muskumo huitwao imani.

_____________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

41

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

IMANI HUONA, HUONGEA NA HUTENDAA. Imani huona jibu (Meth 4:20,22)

1. Watu wengi huanguka kwa sababu hujiona wakianguka, huruhusu neno litoke machoni pao (math 14:25-31)

2. Kuwa na hitaji la “kuona na kuhisi” thibitisho kabla ya kuamini ni mwa hakika kutokuwa na imani (Yohana 20:24-29)

3. Watu wengi huomba lakini hawajioni wakiwa na jibu (Marko 11:24)B. Imani hunena jawabu.

1. Imani husema tu kila neno linasema2. Imani hunena kile inachoamini (Math 12:34, 2 Wakor 4:13)3. Unaweza kuwa na kile unachosema (Marko 11:23)4. Tambua taarifa zao za imani (Marko 5:21-41)

C.Imani hutenda (Yakobo 1:22)1. Siri kubwa ya imani ni kutenda kama neno ni kweli2. Yesu anatazama imani yako (Marko 2:5)3. Imani bila jibu la kitendo ni umasikini wa nguvu (Jas 2:17-22). Tambua kwamba imani

ya mtu huyu haikuleta nguvu za Mungu hadi alipotenda. (Mate 14:7-10)MIFANNO YA IMANI KATIKA INJILIA. Imani kuu.

1. Askari wa kirumi (Math 8:5-10)2. Mwanamke wa sirofinike (Math 15:21-28)

B. Kwa mujibu wa imani yako1. Wanaume wawili vipofu (Math 9:27-30)2. Mwana wa baba aliye na roho ya ububu (Marko 9:14-29)

C. Imani yako imekufanya mzima 1. Bartimo kipofu (Marko 10:46-52)2. Mwanamke aliyotokwa na damu (Marko 5:25-34)

IMANI YA ABRAHAMU (WARU. 4:17-21)A. Ushahidi wa imani yenye nguvu ya Abrahamu.

1. Aliviita vile vitu visivyokuwepo ni kama kwamba vilikuwepo (A.17)2. Aliamini kulingana na lile lilonenwa (A.18)3. Haikuzingatia mwili wake mwenyewe (A19)4. Hakujikwa kwa ahadi ya mungu (A.21)

B. Abrahamu alishawashika kabisa.

_____________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

42

MFUMO WA MWAKA WA PILI JAMII YA MHUDUMU

ROHO MTAKATIFUI. SABABU YA LAZIMA TUWE NA YASIYOKUWA YA KAWAIDAII. KUELEWA UTENDAJI KAZI KUWILI KWA ROHO

A. Roho aliyendani (Yoh 14:16-17) B. Roho juu yake (Mate 1:8)

III. KUELEWA HUDUMA MBALI MBALI KANISANIA. Vipawa vya huduma (1 Wakor 12:28, Waet 4:11)B. Vipawa vya waaumini (1 Wakor 12:8-10)C. Vipawa tendezi/tia moyo (Waru 12:6-8)

IV. KUJIFUNZA KUTIRIRIKA KATIKA YASIYOKUWA YA KAWAIDAA. Namna ya kutia umbo na kufanya ibada ya roho mtakatifu.B. Kuzitia zoezi vipawa vya sauti (Wakor 14)C. Umuhimu wa mapenzi (1 Wakor 13) D. Umuhimu wa kusifu na kuabudu (Mate 16:25)

_____________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

43

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI KIONGOZI

UONGOZII. KIONGOZI NI NINI

A. Huonyesha njia na huonyesha mfano mwema B. Huheshimika katika jumuia C. Huchanganyika vyema………. Haongei kila mara kuhusu mambo ya maandiko: huongea

na kila mtu. D. Wengine hufuata mfano wake na kuchukua wasia wake.E. Huvalia vyema. Kila wakati tu balozi wa Yesu. Wakati wote uwe tayari kuhudumu.

II. MATAMANIOA. Shauku ya kufaulu. Unaono ufanisi.B. Yuajua kwamba ni mshindi C. Huchukia kushindwa. Hawezi stahimili kushindwa.D. Ana malango makubwa na uwezo utokao kwa mungu kukutana nayo.

III. CHUKUA USUKANI MTUA. Atachukua ushukani wakati mambo yataenda mrama. B. Hupata jibu la shidaC. Ana uwezo wa kuchukua mamlaka. Hafanyi kwa shinikizo

IV MTENDA KAZI MWENYE BIDII A. Hufanya kazi ya ziada na halalamiki; hufuata maagizo vyema. B. Hakosi kwa mikutano, warsha n.k. C. Hujitangaza mwenyeweV. MNENYEKEVYU NA MWENYE KUFUNZWA A. Huchukua ushauri na huupokea kwa urahisi. B. Hutaka kujifunza. Hupokea kutoka maseminaa, warsha n.k. C. Rahisi kumfikia. Yuko na roho ya ungwana (mwenye kupendwa) D. Hufuata sheria na mielekezo. Hufanya kazi vyema chini ya mamlaka.VI. NGUVU ZINAZOONEKANA A. Hujenga misuli kwa kufanya kazi kwa bidii. B. Katika hali kuu. C. Huonekana kama kiongozi.VII. UVUMILIVU WA KIAKILI A. Hufanya kazi hadi mwisho. Huomba na kuona matokeo. B. Huchukua mamlaka dhidi ya pinzani zote kama mwamini. C. Uvumilivu wa hali ya juu mwaka mzima. Hachoki kwa urahisi. D. Mwenye kutegemewa.VIII. HUHIMIZA UMOJA NA UTENDAJI KAZI PAMOJA A. Umoja kama vile katika Zaburi 133:1 B. Nenda uchukue! Wewe ni mshindi! Mungu anakupenda!_____________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo

44

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI KIONGOZIIX. HISIA YA KIROHO A. Mtu wa imani aliyekita mizizi ndani ya Neno la Mungu. B. Huhisi kutembea kwa Roho Mtakatifu. C. Tunda la Roho (pendo, furaha, amani) linaonekana ndani ya maisha yake. D. Balozi wa Kristu aliyejiandaa na vipawa vya Roho.X. KIONGOZI AMEELEZWA- KAZI NA MAJUKUMU. A. Kiongozi (kamusi ya Webster) 1. Kuelekeza njiani 2. Kukimbia kuelekea mahali maalumu 3. Kuegemea kuelekea tokeo haswa. 4. Kutekeleza safari yako (2 Tim. 4:7) B. Ndugu zangu msiwe Mabwana wengi mkijua kwamba tutapokea lawama kuu (hukumu) (Yak. 3:1). C. Kwake ambaye wingi umetolewa, wingi unahitajika (Luk 12:48) D. Kiongozi ni yule anayeona jukumu, sio mamlaka (1 Pet. 5:2-3). Mamlaka huja tunapotekeleza majukumu yetu kwa moyo wa mtumishi na hisia ya unyenyekevu (Mat. 20:26-27) E. Kipimo cha Mungu kwa kiongozi sio kila wakati kama cha mwanadamu. 1. (1 Kor. 1:18-21, 26-31) a. Hekima ya Mungu hushinda na kuharibi hekima ya ulimwengu (A. 18-21) b. Hauwezi kuwa kiongozi mwenye ufanisi katika mwili wa Kristu kwa kujenga juu ya wezo zako mwenyewe za kiasili (A. 26-29). c. Ni lazima tutambue kwamba talanta na wezo zetu zote tumepatiwa na Bwana kwa kuzirudishe kwa Mungu na kumruhusu Bwana Yesu kuzijenga utakuwa na ufanisi (A. 30-31). 2. Watu ambao Yesu aliwachagua kuwa wanafunzi wake walikuwa watu wa kawaida wa kila siku (wavuvi, watoza ushuru n.k.). Mungu anaweza tumia wasomi pia. Anaweza tumia ye yote atakayenyenyekea kwake (Mdo 4:13). F. Viungo vitatu vya kiroho kwa uongozi, vyote ambavyo vilitumiwa na mitume kuwachagua viongozi (Mdo 6:1-4). 1. Habari aminifu. Tunapaswa kuwa na ripoti ya kuaminika na ushuhuda wa Kiungu kati ya Wakristu na watenda dhambi (2 Kor. 1:12). a. Wakristu. 1. Kanisa linahimizwa kuwafuata viongozi wema. Ni lazima tuhakikishe ya kuwa tu mifano mizuri ya kufatwa(Ebr. 6:12). 2. “… Jinsi ulio nasi kwa mfano” (Flp 3:17). Je, tunautoa mfano mwema mbele ya mwili wa Kristu? 3. Kanisa ni kivuli cha viongozi wake. Waumini wanaweza inuka juu kama jukwa/madhabahu. _____________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo

45

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI KIONGOZI b. Watenda dhambi. 1. Kuwa na habari nzuri ya wale wasiokuwa nayo; la sivyo aanguke katika shitaka na mtego wa ibilisi (1 Tim 3:7). Kuwa na “ripoti njema bila” inamaanisha kwamba unaheshimiwa na ulimwengu. 2. Kazi nzuri, usemi mwema (Tit. 2:7-8). 3. Usinywe mvinyo, bia n.k. kamwe. 4. Shughulika na watu kwa uaminifu. 5. Lipa madeni yako kwa wakati unaofaa. 6. Uwe kama Kristu wakati wo wote. “Kwa kuwa ghadhabu ya mwanadamu haifanyishi kazi haki ya Mungu. 7. Sisi ni mabalozi wa Kristu wakati wote (2 Kor. 5:20). 8. Usimpe Shetani nafasi. Usiwe shitaka kwa huduma au kikwazo kwa wokovu wa mtu mwingine. Yule mtu utakayemtendea ubaya kwa wakati ujao anaweza kukuona ukiwa katika huduma. Hii inaweza zuia uwezo wa yeye kupokea Neno la Mungu na kulitumia katika maisha yake (Efe. 4:27) 2. Ujazo wa Roho Mtakatifu. a. Roho Mtakatifu hutuhami kuongoza (Mat. 1:18) b. Ni lazima tuishi katika Roho. Kiongozi ni lazima ajenge mwendo wa kiroho wa ndani na Mungu, haijalishi kiwango cha mamlaka yake (Gal. 5:24-25) c. Ni lazima tujifunze sisi wenyewe katika mambo ya kiroho na kujenga maisha yaliyo na nguvu ya maombi ndani ya Roho (Efe. 5:17-19). 3. Wingi wa hekima. a. Mtu mwenye hekima ataongezeka katika hekima (Mit. 9:9-10) b. Mtu mwenye hekima atapokea ushauri wa hekima (Mit. 1:5) c. Hekima hutufunza namna ya kuongea kwa mazao. Hekima ni uwezo wa kuitumia maarifa uliyoyapata (Mit. 29:11). d. Maarifa huchipuka (1 Kor. 8:1)XI MKUBWA AU KIONGOZI Ulimwengu unahitaji uongozi – hakuna ye yote anayetaka mkubwa!Mkubwa Kiongozi. Humwendesha mtu . Hufunza mtu. Hutegemea mamlaka . Hutegemea nia njema. Hutia uoga . Hutia furaha. Hupeana kazi . Huanzisha kazi. Hupeana amri . Hutoa maoni. Hufanya lawama kwa uharibifu . Hutengeneza uharibifu. Husukuma watu . Hushawishi. Hupata malalamishi . Hupata ushirikiano. Husema “nenda” . Husema “twende”. Hujenga mitambo . Hujenga watu_____________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo

46

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI KIONGOZIXII. KANUNI ZA UONGOZI

Kuhani nyumbani mwake Baba au mama mwema; mume au mke anayependeza Mtu mwenye hekima na maarifa Huheshimika katika jumuia, wa kuvutia Mtu mwenye mamlakana uwezo Hujitangaza mwenyewe Uwezo wa kuhusiana na wengine Maisha ya biashara huendelea Hutoa mfano mwema Huchanganyika vyema; ana charisma ya kiasili Huvalia vyema Mwenye kufunzwa; tayari kujifunza na hufuata sheria Hufunza wengine Hutamani kutumika; hutamani kuwasaidia wengine Maisha ya maombina kusoma yalio na uzito Huusianana wengine; watu humfuata Mtu wa imani Humsikiza roho Balozi wa kristu Huzingatia saa Mtamanio, hutamani kufaulu,kiongozi aliye thibitiswa Huonyesha uamuzi mwema Mwenye kutegemewa; huona mambo ndani Uvumilivu mkubwa Ana malengo makubwa na ni mshindi Yule anayeona wajibu wala sio mamlaka tu

XIII. KUWA KIONGOZI MWENYE UFANISI Ni lazima uweke sara bania yakiroho nay a kufanywa Uwe na uwezo wa kuhusisha maarifa yako kwa wengine Wewe mwalimu hadi mtu afunzwe

A. Maneno halisi ya uongozi1. Ni lazima tuwe na moyo wa mtumishi. Uongozi kanisani haijengwi kwakanuni sawa na za

uongozi duniani (pesa, nguvu, majivuno). Hakuna ye yote anayependa mtu aliye na haki katika kila kitu. Heshima ya kweli ni lazima ifanyiwe kazi. Huwezi amurishakila mtu kukuheshimu na kukufuata wewe (Math 22:25-28)

2. Ni lazima tuwe na hisia njema _____________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

47

MFUMO WA MWAKA WA PILI KIONGOZIa. (1 Petro 5:1-3)

1. Ni lazima tujenge hisia ya kiungu, takatifuna enye haki (A.2)2. Hakikisha kwamba nia yako ni safi (A.3)3. Hakuna anayetaka mkubwa au mjua yote

3. Kila wakati fanya kazi kumfurahisha Mungu, sio tu wanadamu.a. (Wakor. 3:17, 22-25)

1. Usifanye mambo kwa ajili ya kushangiliwa na wanadamu (A.22)2. Kila mara weka moyo wako ndani (A.23)

a) Ifanye kwa moyo, kama kwa Bwanab) Fanya kila jambo kwa ujasiric) Uwe umejianda vyema, usininginie.d) Usiombe uthuru kwa kufanya kazi yakoe) Nena, tenda na ufanye kazi yako na ujasiri

4. Ni lazima tuwe watunzi waaminifu (1 Wakor 4:2)a) Uwe na kutegemewa b) Uwe kwa mudac) Maliza kazi

5. Bora ni mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake; na wenye subira kiroho ni bora kuliko kiburi katika roho (Muhubiri 7:8)B. kimbio na usajili wa kiroho Hakuwezi kuwepo kuwili kwa mcungaji, mashemasi na sehemu nyingine za uongozi kanisani (1 Timo. 3:1-12) aya ya 2 na ya 3 inaweka wazi kwamba wote ni lazima wajenge tabia za Kiungu. Kumbuka: uongozi huanzia kwa nyumba. (Aya 4)XIV. KUJENGA VIONGOZI TEKELEZI A. Sehemu ambazo ni lazima tujenge ili tuwe viongozi tekelezi

1. Nidhamu kwa muda wa kusomabna kuandaa (2 Timo 2:15)2. Viongozi wote wanapaswa kuwa na huduma wa maombi3. Kiongozi kanisani anapaswa kuwa na hisia ya ndani ya maana ya kuongolewa kwake.4. Kiongozi ni lazima awe na ubatizo wa roho mtakatifu5. Kiongozi ni lazima awe na mapenzi yasiochoka kwa watu na kujitolea kwa mahitaji yao 6. Kiongozi ni lazima awe na huruma 7. Kiongozi ni lazima awe na subira na watu na akutane nao katika kiwango chao 8. Kiongozi ni lazima kila wakati:

a) Aonekane amengaa na mkakamavub) Awe mwenye nguvu na mjasiric) Mwenye huruma kwa walio na shidad) Awe na uwezo wa kuzifikia nyoyo za watotoe) Awe na uwezo wa mpangilio mwema

_____________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

48

MFUMO WA MWAKA WA PILI KIONGOZIf) Awe na usawa baina ya kiroho na kivitendo

9. Kiongozi ni lazima aelewe nyakati anazoishi ndani10. Kiongozi ni lazima asifikirie wazi peke, lakini ni lazima ahisi kiundani 11. Kiongozi ni lazima awre nafsi ya maadili na ni lazimaajenge tabia zake kulinbana na hayo

B. Kunao upande wa vitendo wa huduma 1. Kuna wakati ambao ni lazima tujitoe kufanya jambo ukiwa ni mwito wetu au sio2. Mara nyingine kiongozi anaweza hitajika ku:

a. Panga vitub. Osha mabafu/vyooc. Salimu watud. Egesha magarie. Husikia katika siku za kazi f. Funza darasag. Shauri mtuh. Kuwa tu pale

3. Mifano ya huduma za vitendoa. (Warum 16: 1-15)b. (Wafilipi 2:25, 29-30)

XV. UBORA WA KIHUDUMAA. Maelezo

1. Tabia: Kushughulikia kwa nidhamu kile kilicho sawa na kisicho sawa, kikundi cha maadili au thamani, maadili ya mienendo ambayo humtawala mtu au kikundi.

2. Maadili kushika kwenye nguvu kwa mienendo nzuri ya hali ya juu isiyoharibifu, afi katika mienendo

B. MaandikoSulemani aliagizakutembea katika maadili ya moyo (1 Wafalm 9:1-5)Wacha maadilina unyovu unihifadhi mimi (Zab 25) Maadili ya wanyovu itawaongoza (Meth 11:3). Hisia ya uzuri na ubaya wenye uwazi mbele ya wanadamu na mungu (Mat 24:16)Tia zoezi yale unayohubiri (Waru 2:17-24)Usivunje sifa ya huduma (2 Wakor 4:1-2, 6:3-4, 7:1-2). Takatifu enye haki na sio na lawama (1 Thes 2:10).Kushikilia imani na hisia ya uzuri na ubaya (1 Timo 1:19)

C. Sehemu haswa za tabia na maadili1. Hali ya moyo ya muhudumu (roho iliyosawa kuhusu mambo; roho tamu) (Waef 4:1-3)

a. Kunyenyekea kwa mamlaka ni muhimu kwa ufanisi sio uasi wa kindanib. Waheshimu watu wote; usijingize katika kukosoa au uwe na roho ya kukosoa.

_____________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

49

MFUMO WA MWAKA WA PILI KIONGOZIc. Umoja ni ufunguo, sio mashindano ya kung’ang’ania nguvu.d. Usijione wewe tu, sio mchoyoe. Mwenye hisia, sio kutokua na hisia

2. Muhudumu na maisha yake binafsi (1 Timo 4:12)a. Vipaumbele vyema b. Tabiac. Thibitid. Epuka kuonekana kwa uovu

3. Muhudumu na fedhaa. Ushuru b. Kukopesha pesa c. Kushiriki sahihid. Uekezajie. Kuendeleza zaidi ya kiwangof. Kukutana na mahitaji kiwajibu g. Kazih. Kulinda kondooi. Fedha na sheria j. Matumizi mazuri ya fedha k. Fedha na matumizi

4. Muhudumu na huduma (2 Wakor 4:1-2)a. Ulimib. Kuwa wewe mwenyewe c. Kufanya kubwa kwa wakubwad. Wajanja e. Watamaduni f. Kuanza na kujiuzulu kazig. Kujiunga na halmashauri za ushaurih. Siasa na viama i. Vikundi vya maombezij. Upendeleok. Kuishi kwa kibali cha mwanadamul. Uchaji wa majina m. Utumiaji mbaya wa watun. Kujali mambo yako tu

_____________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

50

MFUMO WA MWAKA WA PILI MAISHA KATIKA ROHO

MAISHA KATIKA ROHO

I. TEMBEA KATIKA ROHO(WAGAL. 5:16)A. Tofauti kati ya mwili na Roho (A 17)B. Mtu ni kiumbe cha sehemu tatu ( Waru 12:1-2, 1 Wathe. 5:23)

1. Roho yako- inahitaji kuzaliwa tena 2. Nafsi yako- inahitaji kufanywa upya3. Mwili wako- unahitaji kuwekwa chini

C. Kuushinda mwili (1 wakor 9:27)D. Roho mtakatifu ni msaidizi wetu (Yoh 14: 16)E. Wewe ni dhabihu inayoishi (Warum 12:1)F. Ni lazima ujiamshe mwenyewe (2 Timoth 1:6)II. UONGOZWE NA ROHO (WARUM 8:14)A. Shahidi aliyendani (Warum 8:16)B. Sauti iliyo ndani (Maten 23:1)C. Sauti ya roho mtakatifu (Maten 10:19)III. TUNDA LA ROHOA. Upendo

1. Upendo ni asili ya Mungu2. Upendo ni tunda la msingi la roho3. Upendo huonekana kupitia muumini4. Upendo ni amri5. Upendo ni mwendo,hali ya maisha

B. Furaha1. Mungu hucheka kwa furaha

a. Hukaa mbinguni na kucheka (Zab 2:4)b. Kwa mwili wako wa kawaida

2. Furaha huleta nguvu….. (Neh 8:10)a. kwa moyo wakob. Kwa mwili wako wa kawaida

3. Furaha hufanya ushindi (Waebr 12:1-12)4. Furaha hutoka kwa:5. a. Ukiwa katika uwepo wa Mungu (Zab 16:11)

b. Ukikaramika kwa neno la Mungu (Yer 15:16) 6. Unaweza poteza furaha yako

C. Amani1. Ni haki yetu inayonunuliwa kwa damu.

a. Yeu aliadhibiwa ili tuwe na amani (Isa 53:5)b. Amani (Shalom katika kihibrania) inamaanisha kuokoa, kuwa salama, kuwa na ulinzi, kuwa na furaha. Inazungumzia pia afya, ufanisi, na kwa salama.

___________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

51

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MAISHA KATIKA ROHO

2. Huzuia moyo kusumbuka 3. Maneno ya yesu ni amani (Yoh 16:3)4. Huamua njia (Wakol 3:15)

a. Mshauri wa ndanib. Fuata uongozi wa amani

5. Jinsi ya kupaliliaamania. Sala (Wafili 4: 6-7)b. Penda neno 1. (Zab 119:165) 2. (Yoh 14: 21-22)c. Weka akili zako kwake (Isa 26:3)

D. UVUMILIVU1. Hutoa kuendelea katika ugumu

a. Uvumilivu hutoa hali ya kuendelea katika hali ngumu (2 Wakor 11:23-28)b. Kimbia mbio kwa subira (Waebr 12:1)c. Paulo aliona mbele ya ugumu wa mbio. Alilenga zawadi (1 Timoth 4:7-8)

2. Huendeleza umojaa. Mapenzi ya Mungu (Waef 4:11-13)b. Humletea utukufu (Warum 15:5-6)

3. Uvumilivu huzuia kutosamehe (Wakol 3:12-13)4. Subira itakuruhusu kupata ahadi ulimwenguni

a. Imani na subira itakuwezesha kuaridhi hizi ahadib. Waumini wengi watakosa “kusimama” (Waef 6:10-14)

5. Jinsi ya kujenga subiraa. Kusikia na kuliweka nenob. Kupitia majaribu na dhiki

1. Dhiki hutoa subira (Warum 5:3)2. Majaribu ya imani yako hufanya subira (Jas 1:2-4) 3. Hakuna imani wakati wa majaribu ni sawa na hakuna subira ya kutoa

6. Subira sio kukaa tu7. Subira ni:

a. Kuvumilia katika imani b. Kutoanguka kwa shinikizoc. Kutoliachilia neno la Mungu

D. UTU WEMA 1. Utu wema ni kuwa mwema, mpole wa kuongea, na kutokasirika kwa haraka

(2 Timoth 2:24-26)1. Muungwana kwa watu wote

a. Waliookoka b. Wasiookoka2. Muungwana kusaidia kuwapata wale wasioshikwa kwa mtego

_______________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

52

MFUMO WA MWAKA WA PILI MAISHA KATIKA ROHO a. Usiwe mwenye kurobokwa bali uwe na upole wa kuongea b. Usiwe mkosanishaji au mpiganaji (Tito 3: 1-2) 3. Tabia za hekima (Jas 3:17)F. FADHILI1.Fadhili ni kitendo chema kwa wengine na kazi nzuri ambayo watu huona ndani yako.2.Dhihirisho za wema ni kazi za ubora.

a.Wema hufungua mlango kwa kazi bora.(1 wathe 2:7-9)b.Kunungunika huzuia mwaqnga kutoangaza ukifanya kazi njema kukoma(Wafil 2:12-16)c.Wema ulionekana na uvuvio ukaja.(Tito 3:3-5)

3.Tunapaswa kuwa onyesho la wema wa Mungu na uboraG. UAMINIFU1.Kushawishiwa kwa (Warumi 4:21)2.Kuweka uhakika ndani(Waef.3:12)3.Kitu au shawishiko la vitu vinavyotumainiwa,hakikisho la vitu visivyoonekana(Waef 11:1)4.Kutegemea kabisa kwa(Tegemeo ndani)ya neno la Mungu na Kristu5.Kuweka yote chini,kuachilia na utiifu kwa ukweli wote (Warum1:5)6.Amini kabisa na usiweke chochote ndani katika uaminifu wa Mungu(Math. 6:25-34,1Tim 6:7)7.Jipeane mwenyewe kwa njia mpya ya maisha(Warum 1:27;Wakol 3:10)H.UPOLE, SIO UDHAIFU1.Huwawezesha waumini kuwa wapole kwa kuudhi au kuudhiwa a. Tabia ya Musa imeharibiwa(Hes.12:1-3)

1. Hakunena kinyume cha wahitaki wake.2. Aliongea kwa niaba ya washtaki wake3. Ilimwezesha kubaki kimya na sio kulipiza kisasi

b.(1 Petero 3:8-9)2.Huwezesha waumini kuwa wapole kiroho na wadogo katika akili

a. Kamusi ya “”hueleza upole kama kuwa kinyume cha uchoyob. (Wafil 2:3-4)

1.Tunapaswa kuinuana juu moja kwa mwingine2.Kutazamia kuwasaidia wengine

3.Huwawezesha waumini kuwa wakufunzwa a.Hupokea neno kwa upole(Jas 1:21) b.Apollos,mfano(mate.18:24-28)

1.Alikuwa wa kuongea vizuri na mkuu wa maandiko(A.24)2.Mpole wa kujifunza zaidi(A.26)

I. KUJIDHIBITI1.Kujidhibiti ni kuweka kiasi katika husisho la hamu na raha.2.(1.Wakor.9:25-27) a.Mafunzo kali b.Kuwekwa kuwa dereva mpakazi______________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

53

MFUMO WA MWAKA WA PILI MAISHA KATIKA ROHOc.”Kiasi katika mambo yote”3.Mtu wa ndani anapotiwa nguvu tu,ndivyo mtu wa nje atakavyothibitiwa.4.Njia za kujenga upole kiasi a.Soma neno(1 Petro 1:5-6) b.Kuzungumza na kusali katika ndimi(1 Wakor 14:4) c.Kumsifu Mungu(Zab 8:4)

______________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

54

MFUMO WA MWAKA WA PILI WANAUME WA IMANI WA AGANO LA KALE

WANAUME WA IMANI WA AGANO LA KALE

I. IMANI YA ABELI(WAEBRA. 11:4)A. Abeli alitoa dhabihu ya imani

1.Imani ni kupeana/kutoa2.Dhabiu bora zaidi

B. Dhabiu yake ilidhibitisha uhusiano wake mwema na Mungu 1.Ilimfanya mwenye haki 2.Yupo katika jamii ya Mungu

C. Mungu alimtolea ushuhuda1.Kupitia kwa neno lake2.Kupitia damu ya Yesu a.Damu yake ilikuwa ingali hai(Walawi 17:11) b.Damu yake ilimlikia Mungu (mwa 4:10)

II. DHABIHU YA KAINI ILIKATALIA NA MUNGU(MWA. 4:10)A. Kaini alionywa na Mungu (mwa 4:7)

1.Angetubu2.Alichagua kufanya mambo yake(yuda 11)

B. Pikcha ya tabia za Kaini1.Kaini alikuwa mtoto wa Ibilisi (1 yoh 3:12)2.Kazi zake zilkikuwa ovu a.Alimuua nduguye b.Alitoa dhabihu ya uchaguzi wake mwenyewe.

III. ABELI AGILINGANIOSHWA NA BAADHI YA WANAUME WA IMANI WA AGANO JIPYAA. Stefano aliuawa kwa sababu ya imani yake(Mate.7:59-60)B.Yakobo(nduguye Yohana) aliuawa kwa sababu ya imani yake(Mate.12:1-2)IV. ENOKO ALITEMBEA NA MUNGU(MWA 5:10-24)A. Imani ni mwendo(2 Wakor 5:7)B. Lazima uwe katika makubaliano na kutembea pamoja (Amosi 3:3)C. Enoko alikuwa na ushuhuda kwa alimfurahisha Mungu (Waeb 11:5)D.Enoko alikuwa ,mhubiri(yuda 14,15)

1.Alitabiri kuja kwa pili kwa Yesu Kristo2.Aliwahubiria wenye dhambi(watu wasoikuwa na uungu)

V. WANAUME WENGINE WALIOTEMBEA NA MUNGU A. Abrahamu(Mwa 17:1) B. Nuhu(Mwa. 6:9) C. Eliya(2 Fal. 2:11)

______________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

55

MFUMO WA MWAKA WA PILI WANAUME WA IMANI WA AGANO LA KALEVI. NUHU(Ebr. 11:7) A. Alionywa na Mugnu (Mwa. 6:13) B. Alitembezwa na uoga (Mwa. 6:22) C. Alifanya maandalizi (1 Pet. 3:20) D. Alifanyika mrithi wa haki (Mwa. 7:1; Ebr. 11:7)VII. ABRAHAMU- IMANI NI HIJI(Ebr. 11:8-10) A. Aliitwa nje (Mwa. 12:1-5) B. Alitii C. Bila kujuaVIII. SARA(Ebr. 11:11-12) A. Alipata nguvu ya kushika mimba B. Alipata mtoto wakati amepita umri C. Alimfikiria Mungu mwaminifu 1. Mungu sio mpuuzi kuhusu ahadi yake (1 Pet. 3:9) 2. Alianza kwa mwili, lakini akaishia kwa imani.IX. MUSA A. Kwa imani Musa alifichwa akiwa mtoto B. Jazwa na imani, sio uoga.X. WANA WENGINE WEMA A. Isaka 1. Mwana wa ahadi 2. Pewa jina kabla kuzaliwa B. Yohana mbatizaji (Luk. 1:15) C. Yesu 1. Mwana wa ahadi 2. Pewa jina kabla kuzaliwa 3. MkomboziXI. IMANI NI CHAGUO (Ebr. 11:24-29) A. Vipengee vitatu vya kufanya uamuzi 1. Kukataa 2. Kuchagua 3. Kutazamia B. Chukua vitendo vine 1. Kuacha 2. Kuvumilia 3. Kuhifadhi 4. KupitishaXII. KUTA ZA YERIKO(WAEB 11:30) A. Israeli ilichunguza nchi (Yos. 2:1) B. Mielekeo ilitolewa na amiri jeshi la Bwana (Yos. 5:13, 6:5) C. Hivi vilikuwa vita vya kiroho; kuta zilianguka kwa imaniXIII. RAHABU IMANI KWA KAMBA (WAEB 11:31) A. Alikuwa kahaba B. Ananena kukiri kwa imani C. Je, imani yake ilitoka wapi? Alisikia kile Mungu alikuwa ametenda (Yos. 2:10) ______________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

56

MFUMO WA MWAKA WA PILI WANAUME WA IMANI WA AGANO LA KALE D. Rahabu anajiingiza katika uhusiano wa agano na Israeli (Yos. 2:13-14) 1. Kwa wokovu wa binafsi 2. Kwa jamii nzima E. “Uzi mwekundu” – kamba nyekundu 1. Hii ilikuwa sawa na siku wana wa Israeli walipitwa na mauti (Yos. 2:18-19) 2. Hii ilikuwa kazi yake ya majibu (Yos. 2:21; Yas. 2:17) F. Kwa imani hakuangamia 1. Kila ukuta ulianguka chini isipokuwa ule wa nyumba yake ambao ulikuwa sehemu ya ukuta (Yos. 6:21) 2. Kila mmoja alikufa jijini isipokuwa yeye na nyumba yake (Yos. 6:22) G. Rahabu akawa mwanamke aliyebadilika. 1. Sio kahaba tena 2. Ameoorodheshwa katika laini ya Yesu Kristu (Mat. 1:5)

______________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

57

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE

U C H U N G U Z I W A A G A N O L A K A L E

I. UTANGULIZI A. Biblia ni kitabu kisichokuwa cha kawaida. 1. Hutoa uzima (Ebr. 4:12). 2. Neno ni Roho na uzima (Yoh. 6:63). 3. Huja kwa ufunuo (Gal. 1:11-12; Efe. 3:2-3) a. Ufunuo unaelezwa: ”Kitu kilichofichwa kinafanywa kujulikana”. b. Ufunuo ni “kile kinachofunuliwa kwetu. 4. Ulikuja kwa kusisimuliwa (1 Tim. 3:16; 1 Pet. 1:20-21). a. Kusisimuliwa kunaelezwa: “Mungu alipumua” (Theopneustos.) b. Kusisimuliwa ni “vile” inafunuliwa (Kwa Roho Mtakatifu). B. Sababu za hitaji kujua Agano la Kale. 1. Kale ni msingi wa Agano Jipya. 2. Kale ni Jipya iliyofichwa; Jipya ni Kale inayofunuliwa. 3. Kristu na mitume walizungumzia Kale. 4. Kale iliandikwa kumhusu Yesu (Luk. 24:44) 5. Kale ni mfano wetu (1 Kor. 10:6-11)II. MAPAMPAZUKO YA HISTORIA A. Uumbaji 1. “Hapo mwanzo Mungu…” (Mwa. 1:1). Aya ya kwanza ya Biblia inatangaza muumbaji mwerevu. Hakuna hakikisho (ushahidi) umetolewa kwa uwepo wake. Mungu hana mwanzo. (Zab. 90:1-2) 2. “Mungu” (Elohimu): “Mungu mkuu wa nguvu sisimulizi”. Ushahidi wa watu wa Kiungu tayari umeanzisha kwa kutumia kwa wingi “elohimu” pamoja na wingi majina mengine ya kibinafsi (Mwa. 1:26, 3:22, 11:7). 3. Biblia hausemi kipindi cha muda kati ya mwanzo (Mwa. 1) na zoezi la uumbaji (Mwa. 2). 4. Siku sita za Mwanzo ni kujenga upya kutokana na hali mbaya. a. “Na ardhi ilikuwa bila umbo na utupu…” (Mwa. 1:2) 1. “Ilikuwa” (Hayah): “Ikawa” (sawa na Mwa. 2:7) 2. “ Bila umbo” (Tohu): “Kuchanganyikiwa, tupu, bila kazi, bila thamani”. 3. “Tupu” (Bohu): “ Haribifu, utupu”. Hali mbaya sana. 4. Hakuiumba bure (Tohu) (Isa. 45:18). 5. Haikuumbwa bila umbo na tupu, lakini “ikawa” hivyo. b. Giza na fujo inaonyesha hukumu ya Mungu kwa kitu ovu kilichotokea kati ya aya 1 na 2. Tazama Eze. 28:12-19 na Isa. 14:12-17. 5. Uumbaji wa mwanadamu kwa mfano wa Mungu (Mwa. 1:26) a. Mungu ni roho (Yoh 4:24) b. Mtu ni roho, ana roho, na huishi katika mwili (1 The. 5:23) ______________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

58

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE B. Kuanguka kwa mwanadamu. 1. Mungu sasa alijionyesha kwenyewe kama Yehova (Bwana Mungu) (Mwa. 2:4). Yeye ni zaidi ya Mungu mwenye nguvu; anaye aliyemjali mwanadamu na atatoa ukombozi wake. 2. Mungu alimuweka mwanadamu katika shamba (Mwa. 2:8) 3. Mungu alimuamuru mwanadamu “kuzaa, ongezeka, na kujaza” (Mwa. 1:28) 4. Mwanadamu alipaswa ku: a. Thibiti (Kabash = “tawala”) ulimwengu (Mwa. 1:28). b. Vaa (Abad = “kuweka katika utumwa”) (Mwa. 2:15). c. Tunza (Shamar = “kulinda na kutunza”) (Mwa. 2:15) 5. Mwanadamu aliwekwa katika jaribu rahisi la utiifu (Mwa. 2:17). 6. Shetani alitumiwa nyoka kumdanganya Eva (1 Tim 2:14), akimjaribu kuona. (Mwa. 3:1-6) a. Alimpa bwanake pamoja naye (Mwa. 3:6). Adamu hakudanganywa; kwa kujua alikosa kutii. b. Mungu alitaka utii. Shetani alisongesha jaribu kwa moja wapo ya sababu. Shaka na kiburi kiliingia ndani. Papo hapo mtu akatenda dhambi, alikufa kiroho – alitengwa kiroho kutoka kwa Mungu (Mwa. 2:17; Rum. 5:12-21). Kifo cha kawaida kikafuata baadaye. 7. Hukumu ya Mungu kwa dhambi (Mwa. 3:4-24) 8. “Mbegu ya mwanamke” (Mwa. 3:15) ni ahadi za Mungu za ukombozi kupitia Yesu (Gal. 4:4; Ebr. 2:14; Yoh 3:8) C. Kuanguka. 1. Kaini anamuua Abeli (Mwa. 4:1-15) 2. Dhambi ilioenea vizazi kumi baadaye (Mwa. 5:1-32) D. Mafuriko. 1. Tokeo la dhambi ambayo Mungu alikuwa ameangalia (Mwa. 6:5, 11-12) 2. Mtu mmoja, Nuhu, alitembea na Mungu (Mwa. 6:8-9) 3. Nuhu anaandaa safina kama alivyoamuriwa (Mwa. 6:14-22; Ebr. 11:7) 4. Hukumu (Mwa. 7:10-24) 5. Agano lililofanywa na Nuhu (Mwa. 8:21-9:17) E. Mnara wa Babeli (Mwa. 11:7-9). 1. Zaidi ya miaka 100 baada ya mafuriko. 2. Ngome ya uchawi, dini za kidunia na uasi. 3. Hukumu (Mwa. 11:7-9)III. WAKATI WA MAPATRIAKI A. Sura za kwanza mbili za Mwanzo zinajumulisha zaidi ya miaka elfu mbili na historia ya mwanadamu; sura zinazosalia zinajumulisha maisha ya watu wanne zaidi ya miaka 250. B. Abrahamu, mpatriaki wa kwanza. 1. Mwito wa Kiungu (Mwa. 12:1; Mdo. 7:2-8; Ebr. 11:8) 2. Agano la Kiabrahamu latolewa (Mwa. 12:2-4) na kudhibitishwa (Mwa. 15:1-6, 17:1-27). 3. Abrahamu na Lutu (Mwa. 13 na 14).______________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

59

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE 4. Ishmaelia alikuwa zao la Abrahamu akijaribu kumsaidia Mungu kutekeleza Neno lake (Mwa. 16:1-16) 5. Sodoma na Gomora (Mwa. 18 na 19) 6. Kuzaliwa kwa Isaka, mwana wa ahadi (Mwa. 21:1-8) 7. Mtihani mkuu (Mwa. 22:1-19) a. Abrahamu aliambiwa kumtoa Isaka dhabihu (Mwa. 22:1-2). b. Abrahamu alitii kabisa (Mwa. 23:3-10; Ebr. 11:17-19) c. Kwa sababu Abrahamu hakumkatalia mwanawe wa pekee, Mungu alimwacha Isaka kwa kutoa kwake mwana kondoo (Mwa. 22:8, 13). Vivyo ndivyo haswa vile Bwana Mungu alivyofanya. Alijitolea, Mungu alijidhihirisha katika mwili wa Yesu, kuwa dhabihu milele (Yoh. 1:14, 29, 36; 1 Pet. 1:18-21; Ufu. 5:5-13). Abrahamu alitabiri haya yote (Yoh. 8:56) 8. Kifo cha Abrahamu (Mwa. 25:1-11) C. Isaka, mpatriaki wa pili. 1. Agano la Kiabrahamu likaendelea (Mwa. 17:19, 26:2-4) 2. Wanawe: Yakobo na Esau (Mwa. 25:20-34) D. Yakobo, mpatriaki wa tatu. 1. Alilinda haki ya kuzaliwa kutoka kwa mzaliwa wa kwanza Esau (Mwa. 25:24, 27:1-28-28:4) 2. Anatorokea Harani kuishi utumwani (Mwa. 28:5-30:43). 3. Anarudi Kanaani (Mwa. 31:11-33:20) 4. Agano la Kiabrahamu likaendelea (Mwa. 28:10-19). 5. Jina likabadilishwa kwa Israeli (Mwa. 32:28) 6. Wana kumi na wawili wa Israeli (Mwa. 29:31-30:25, 35:22-26) E. Yusufu, mpatriaki wan ne. 1. Maisha ya mapema (Mwanzo) a. Mwan mpendwa wa Yakobo (Mwa. 37:1-3) b. Alichukiwa na nduguze (Mwa. 37:4) c. Alikuwa na ndoto mbili za kinabii (Mwa 37:5-11) d. Aliuzwa Misri na nduguze (Mwa. 37:18-28) 2. Utumishi Misri. a. Chini ya Potifa (Mwa. 37:1-3) b. Akashtakiwa kwa kudanganyiwa (Mwa. 39:7-18) c. Gerezani (Mwa. 39:19-40:23) d. Anatafsiri ndoto ya Farao (Mwa. 41:1-36) 3. Akafanywa mtawala wa pili Misri (Mwa. 41:37-44) 4. Kuungana tena na nduguze (Mwa. 42-45) 5. Yakobo na jamii wanaenda Misri (Mwa. 46-47) 6. Yakobo anabariki makabila kumi na mbili (Mwa. 49). Akatoa unabii “Shiloh” (Masihi) atakuja kupitia kabila la Yuda (Mwa. 49:10; Ebr. 7:14; Ufu. 5:5). 7. Kifo cha Yakobo na Yusufu (Mwa. 50).

______________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

60

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALEIV. KUZALIWA KWA TAIFA A. Neno “Kutoka” linamaanisha kuondoka au njia nje na kunakili ukombozi wa wana wa Israeli kutoka Misri. B. Utumwa wa Misri 1. Karibu miaka 300 baada ya kifo cha Yusufu wana wa Israeli waliongezeka kwa idadi hadi nchi ikajazwa nao (Kut. 1:7). 2. Mfalme mpya wa Misri akaogopa kikundi kikubwa na akawanyanyasa (Kut. 1:8-22). 3. Mungu alisikia kilio cha watu wake na alikuwa tayari ameandaa mkombozi, Musa (Kut. 2:1-4:31). C. Musa – Mkombozi wa Israeli. 1. Maisha ya Musa yamegawanywa katika vipindi vitatu vya miaka 40 (Mdo. 7:23-36). 2. Kuzaliwa na maandalizi ya Musa (Kut. 2:15) 3. Utumwa katika Midiani (Kut. 2:15-4:18) 4. Mwito wa Musa (Kut. 4:19-23) 5. Musa anarudi Misri (Kut. 4:27-31) 6. Musa mbele ya Farao (Kut. 5:1-12:36) 7. Majanga ya kwanza tisa (Kut. 7:19-10:29) 8. Janga la kumi, kifo cha mzaliwa wa kwanza (kut. 11:1-12:30) D. Kutoka 1. Kupitwa kwa kwanza (Kut. 12:1-28) kulikuwa ni aina ya kifo cha Kristu (1 Kor. 5:7) 2. Waisraeli waondoka wakiwa wenye afya na utajiri (Kut. 12:36-38; Zab. 105:37) 3. Bahari ya Shamu (Kut. 14; Ebr. 11:29) 4. Bahari ya Shamu kwa jangwa (Kut. 15:22-19:2) E. Aina zinazopatikana katika Kutoka 1. Musa ni aina ya Kristu 2. Farao ni aina ya Shetani 3. Misri ni aina ya ulimwengu 4. Israeli ni aina ya kanisa 5. Bahari ya Shamu ni aina ya kuzaliwa upya. F. Sheria ya Mungu kwa Israeli Israeli ilihepa utumwa wa kawaida katika Misri lakini walikuwa na tabia zaidi za kiroho kujifunza. Siku tatu baada ya kufika Sinai, Mungu alimwita Musa kwa kilele cha mlima ambapo kwa mara nyingine alianzisha agano lake na watu wake. Aliweka msingi wake kwa maadili, kijamii na kirasmi na hizi sheria akazitoa kwa taifa. a. Sheria ya kimaadili, amri kumi, ilitoa majukumu ya mwanadamu kwa Mungu na kwa jirani yake (Kut. 20:1-17). b. Sheria ya kijamii, kitabu cha agano (Kut. 24:7), sheria zilizoorodheshwa na adhabu kwa kuvunja sheria hizi (Kut. 20:22-23:13) c. Sheria rasmi, zilijumulisha karamu tatu za lazima za mwaka (Kut. 23:14-19) d. Agano lilitoa kibali (Kut. 24:1-8) G. Kijisanduku cha sheria. 1. Kama ishara inayoonekana kwamba ni watu wake, Mungu anamwambia Musa kujenga _____________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

61

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE kijisanduku ili aishi ndani (Kut. 29:45). Musa aliishi siku 40 akipokea mpango huu. 2. Sheria inavunjwa kwa kuabudu ndama wa dhahabu, lakini kuingilia kwa Musa kunafanya upya agano (Kut. 32:19-34:35). 3. Wingu, ishara inayoonekana ya uwepo wa Mungu, inakaa kwa kijisanduku na inajazwa na utukufu wake (Kut. 40:34-38) 4. Kwa miaka 300, haki ilipobadilishwa na hekalu la Sulemani, kijisanduku kilibaki mahali pa kati mwa taifa kuabudu.H. Kuabudu katika kijisanduku. 1. Sasa watu wanapewa maagizo jinsi ya kuabudu Mungu katika kijisanduku. Kitabu cha Mambo ya Walawi, kuandika sheria na ibada kwa makuhani wa Kilawi, ilitolewa kwa madhumuni haya. a. Utakatifu ni funguo kwa Walawi (Mam. 19:2) b. Njia ya kumfikia Mungu kupitia dhabihu (Mam. 1-18) c. Njia ya kudumisha ushirika kwa Mungu (Mam. 17-27) d. Mambo ya Walawi inatufunulia kwamba mwanadamu ni lazima aondoe uchafu wote kabla ya kumfikia na kuwa na ushirika na Mungu mtakatifu.I. Kutoka Mlima Sinai hadi Mto Yordani. 1. Kitabu cha Hesabu kinazo hesabu mbili za Israeli kabla ya kuingia Kanaani. Kitabu cha Hesabu kinanakili kutoamini kwa Israeli ahadi za Mungu, kuingia Kanaani na kuzungukazunguka jangwani. 2. Baada ya mwaka mmoja Sinai, waliendelea na safari yao kwa nchi ya ahadi. 3. Safari ya kutoka Sinai kwenda Kadeshi Hes. 10:11-12:16). 4. Uasi kule Kadeshi. a. Israeli anataka majasusi 12 watumwe (Kum. 1:22). Kisah Mungu akawatuma (Kum. 13:2) b. Majasusi 10 kisha wanarudi na ripoti ya uovu (Hes. 14:6-9) c. Yoshua na Kalebu wanalete ripoti njema (Hes. 14:6-9) d. Watu waliamini ripoti ya uovu, na wakaasi (Hes. 14:10) e. Mungu aliadhibu kutoamini kwao. Israeli ingezunguka miaka 40. 5. Maisha ya jangwa (habari chache imetolewa) a. Wenye kuivunja sabato walihukumiwa (Hes. 15:32-36) b. Uasi wa Kora (Hes. 16:1-40) c. Fimbo ya Aruni iliyokua (Hes. 17) d. Dhambi za Musa zilimzuia kuingia katika nchi ya ahadi (Hes. 20:7-13) e. Kukaribia Kanaani (Hes. 20:14-21:35) f. Nyoka wa Brazeni – Aina ya Kristu (Hes. 21:5-9; Yoh. 3:14) g. Balaka na Balamu (Hes. 22:15-25:18) h. Kizazi kipya kikahesabiwa (Hes. 26:1-65) i. Musa anajiandaa kwa kifo chake. Yoshua kuchukua usukani (Hes. 27:12-23) j. Maandalizi ya kuingia katika nchi (Hes. 27:1-36:13)

______________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

62

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE J. Jumbe za mwisho za Musa. “Kumbukumbu la Torati” (Sheria ya pili) inanakili hotuba 3 ambazo Musa alihutubia kizazi kipya ambacho kilikuwa kikijiandaa kuingia nchi ya ahadi. 1. Ujumbe wa kwanza (Kum. 1-4) 2. Ujumbe wa pili (Kum. 5-26) 3. Ujumbe wa tatu (Kum. 27-30) 4. Kutamatisha (Kum. 31-34) 5. Mungu alimpa Musa nafasi ya kutazama tu nchi ya ahadi (Kum. 34:1-4) 6. Musa alifariki na akazikwa na Mungu akiwa na umri wa miaka 120 (Kum. 34:5-6) 7. Yoshua anachukua usukani kutoka kwa Musa. K. Kwa nini watu waliochaguliwa? (Kut. 19:5-6; Kum. 7:6) 1. Kuwa ghala la ukweli 2. Kuhifadhi ukweli huu (Kum. 4:2) 3. Kuwa mfano mtakatifu wa ukweli 4. Kuwa wainjilisti wa ukweli huu (Kum. 4:6-7) 5. Kuupa ulimwengu mkombozi. Mungu hakuwapenda zaidi, lakini alihitaji watu ambao angewapa jukumu la kumlete Yesu ulimwenguni.L. Kwa nini nchi iliyochaguliwa? Israeli imewekwa kando ya barabara kuu za usafiri na mawasiliano kati ya Afrika, Hindi na Uropa. Mungu alijua kwamba kutoka kwa sehemu hii kila taifa chini ya mbingu litasikia injili (Mdo. 2:5)V. ISRAELI AMILIKI NCHI YA AHADI A. Yoshua ina maana kwamba “Bwana huokoa”. Ni kitabu cha ushindi B. Yoshua, mtu. 1. Alizaliwa Misri. Akawa mtumishi wa Musa na mtu wake wa mkono. 2. Alikuwa amiri jeshi mkuu (Kut. 17:9-13) 3. Alikuwa na Musa pale Sinai wakati sheria zilipotolewa (Kut. 24:13-14 4. Alikuwa moja wapo ya majasusi 12. Yeye pamoja na Kalebu walikuwa na ripoti njema. 5. Alifanyika kiongozi wa Israeli wakati Musa alipokufa (Yos. 1:1-2) 6. Ufunguo kwa ufanisi wake (Yos. 1:8-9) 7. Alikuwa mwaminifu hadi mwisho (Yos. 24:15) C. Kuvamiwa kwa Kanaani (Kut. 6:4; Kum. 32:49). 1. Majasusi wawili walitumwa. Rahabu anasaidia (Yos. 2:1-24) 2. Kuvuka Yordani (Yos. 3:1-17) 3. Kuanguka kwa Yeriko (Yos. 6:1-27) 4. Kukosa katika Ai kwa sababu ya dhambi ya Achani (Yos. 7:1-26) 5. Kanaani ya kati inachukuliwa (Yos. 8:1-35)VI. KIPINDI CHA WAAMUZI A. Israeli ilikuwa imejianzisha Kanaani kwa uchache tu chini ya Yoshua (Yos. 13:1). Maadui ambao hawakuwa wameshindwa walikuwa wangali wanzingira mipaka na pia walikuwa wamewaweka makabila ya kaskazini, kati na kusini yakiwa yametengana. Bila serikali ya kati au kiongozi, makabila ambayo yalikuwa yametenganishwa yalienda njia zao na wakarudi nyuma kwa kuzichukua mila, lugha na dini za kipagani za Wakanaani Amu. 2:11- 13) B. Kitabu cha Waamuzi kinashughulika na kipindi cha historia ya Israeli ambapo ndani yake ______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

63

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE kulikuwa tu na muungano usiokuwa na nguvu kati ya makabila. 1. Mizunguko hii ilikuja wakati wa miaka 400 ya waamuzi. a. Maapostasi sita b. Vipindi sita vya utumwa c. Sala sita za ukombozi d. Kombozi sita za Mungu 2. Katika kila mzunguko Bwana aliinua muamuzi au mkombozi kuyaongoza baadhi au makabila yote katika pinzani ya kijeshi dhidi ya wanyanyasaji. Wale walioimarika zaidi kati ya waamuzi 12 walikuwa: a. Othinieli (Amu. 3:9) b. Ehudi (Amu. 3:15) c. Debora na Baraka (Amu. 4:4-5) d. Gideoni (Amu. 6:11) e. Yeftha (Amu. 11:1) f. Samsoni (Amu. 13:24) C. Kitabu cha Ruthu kinaonyesha maisha wakati wa kipindi cha kila siku, maisha ya amani. D. Sura za kwanza nane za 1 Samweli zinafunga kipindi cha waamuzi na kutayarisha kuja kwa umoja wa falme.VII. KIPINDI CHA MUUNGANO WA FALME A. Samweli alikuwa muamuzi wa mwisho. Chini ya uongozi wake, mwanzo wa mambo mazuri unaonekana kwa muungano mkuu wa kitaifa alioufanya. B. Muungano wa lfalme ulikuwa ni kipindi cha miaka 120 ambapo Israeli ilikuwa taifa moja chini ya wafalme watatu: Sauli, Daudi na Sulemani, kila mmoja akitawala kwa miaka 40. C. Sababu zilizofanya Israeli kutaka . 1. Wana waovu wa Samweli walishindwa kama waamuzi (1 Sam. 8:1-3) 2. Samweli aliyekuwa kiongozi wao alikuwa anaendelea kuzeeka (1 Sam. 8:5) 3. Kuwa “kama mataifa mengine” (1 Sam. 8:5-8) D. Sauli, mfalme wa kwanza wa Israeli. 1. Alichaguliwa na akapakwa mafuta (1 Sam. 9-10) 2. Shindi za kwanza (1 Sam. 11) 3. Kushindwa mkuu kwa kwanza a. Kutoamini na kutotii (1 Sam. 13:1-10) b. Kataliwa na Bwana (1 Sam. 13:11-15) 4. Kushindwa mkuu kwa pili (1 Sam. 15:1-31) E. Daudi, mfalme wa pili wa Israeli 1. Alipakwa mafuta kama mfalme na Samweli Sauli akiwa angali mfalme (1 Sam. 16:1-13) 2. Daudi na Goliati (1 Sam. 17:1-58) 3. Masumbufu na mizunguko (1 Sam. 18-30) 4. Kifo cha Sauli (1 Sam. 31) 5. Mfalme wa Yuda miaka saba na nusu (2 sam. 1-2, 4:12) 6. Mfalme wa Israeli kote miaka 33 (2 sam. 5:1-5) 7. Dhambi kubwa ya Daudi a. Usinzi na mauaji (2 Sam. 11:1-27 b. Nabii Nathani anakemea dhambi yake (2 Sam. 12:1-14) 8. Malipo ya dhambi zake inatabiriwa (2 Sam. 12:10-14) a. Mtoto aliyezaliwa afa (2 Sam. 12:15-19)______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

64

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE b. Mwanawe Daudi Amnoni ambaka dadake wa kambo Tamara (2 Sam. 13:1-21) c. Absalomu (kakake Tamara) amuua Amnoni (2 sam. 13:22-29) d. Daudi amfurusha mwanawe Absalomu (2 Sam. 13:37-14:28) e. Absalomu ampindua mfalme Daudi (2 Sam 15:1-17:28) f. Absalomu auawa (2 Sam. 18:1-18) g. Daudi arejeshwa mamlakani (2 Sam 19:9-21:22) h. Mwanawe mwingine Adonija, ana njama ya kuchukua ufalme wakati Daudi alizeeka na kwa hivyo anauawa (1 Fal. 1:5-2:25) 9. Mahali pa kujenga hekalu pananunuliwa na kuandaliwa (1 Nya. 21:18-22:5). Daudi anamjukumisha Sulemani kujenga hekalu (1 Nya. 22:5-19) 10. Daudi amfanya Sulemani kuwa mfalme (1 Fal. 1:28-53) 11. Kifo cha Daudi akiwa na umri wa miaka 70 12. Daudi aliandika 73 ya Zaburi. Alikuwa mtu aliyetafuta moyo wa Mungu mwenyewe (1 Sam. 13:14). Hakugeuka kamwe kutoka kwa Mungu kwenda kwa mifano. F. Sulemani, mfalme wa tatu wa Israeli. 1. Sulemani “alimpenda Mungu” mwanzoni (1 Fal. 3:3) 2. Hekima kwa kuwaongoza watu wa Mungu ilikuwa ni tama yake (1 Fal. 3:5-8) 3. Anajenga hekalu kwa muda wa miaka saba (6:1-38). Hekalu linatiwa wakfu (1 Fal. 8:1-9:9) 4. Alielewa ni kwa nini Mungu aliunua Israeli (1 Fal. 8:56-61) 5. Alijijengea ikulu iliyokuwa rembo zaidi kuliko hekalu, ikichukua miaka 13 kumalizika (1 Fal. 7:1-51) 6. Miaka mia moja mbeleni, Mungu alikuwa ameanzisha sheria kuhusu ufalme utakaoanzishwa katika nchi ya ahadi (Kum. 17:14-20). Katika kutawala ufalme huu, Sulemani alianguka kwa kushindwa kulitii Neno la Mungu katika njia sita. a. Aliongeza fedha na dhahabu (1 Fal. 10:24-27), akivunja Kum. 17:17 b. Alijiongeza farasi (1 Fal. 10:28), akivunja Kum. 17:16 c. Alijiongeza mabibi (1 Fal. 11:1-3, akivunja Kum. 17:17 d. Sulemani alikuwa na wake 700 na wanawake wasiokuwa halali 300 e. Wakeze Sulemani waligeuza moyo wake kutoka kwa Bwana (1 Fal. 11:4) f. Aliugeuza moyo wake kuelekea miungu wengine (1 Fal. 11:5-8) g. Alikosa kusoma Neno kila siku (Kum. 17:18-19) 7. Unabii wa hukumu (1 Fal. 11:9-13, 29-39) 8. Sulemani aliandika Mithali 3, 000 na zaidi ya nyimbo 1, 000 (1 Fal. 4:32), “Mithali” (isipokuwa Mithali 31), “Mhubiri” (wakati alipokuwa ameanguka), na “Wimbo ulio Bora” 9. Kifo cha Sulemani (1 Fal. 11:41-45)VIII. MUGAWANYIKO WA MILKI A. Punde tu baada ya kifo cha Sulemani, Israeli iligawanyika kwa falme mbili: Israeli ikiwa kaskazini na Yuda kusini. B. Ufalme wa kaskazini wa Israeli. 1. Yeroboam, mtumishi wa Sulemani akawa mfalme wa kwanza haya makabila kumi.______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

65

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALE 2. Yerusalemu, mji mkuu wa Yuda ilikuwa mbele ni mahali pa kati pa dini pa muungano wa falme. Kuwazuia watu kusafiri kwenda Yerusalemu kuabudu, kwa haraka Yeroboam alijenga mahali pawili pa kuabudia katika Israeli ambapo aliweka ndama wa dhahabu kama mifano ya Yehova, akivunja 1 Fal. 12:25-33. Matendo yake yasiyokuwa ya Kiungu yaliendeleza kuabudu miungu na akaweka mtindo wa kila mfalme wa Israeli baada yake (2 Fal. 3:3, 10:29, 17:27). Wengi wa Walawi na jamii zinazomwogopa Mungu kutoka kaskazini walienda Yuda kuabudu hekaluni (2 Nya. 11:13-16). 3. Katika kipindi hiki, wafalme 18 walitawala. Wote walikuwa waovu na wasiomcha Mungu. 4. Mfalme Omri kumwabudu Baal na akajenga mji mkuu wa kaskazini Samaria (1 Fal. 16:24) 5. Ahabu alikuwa mfalme aliyekuwa muovu zaidi. Yeye pamoja na mkewe Jezebeli walitiwa changamoto na Eliya (1 Fal. 18:1-22:40) 6. Israeli iliishi miaka 254 hadi ilipoondolewa kutoka nchi yao na kuchukuliwa mateka na Ashuri (2 Fal. 17:23). Nineve ulikuwa mji mkuu wa Ashuru (Yona. 1:2) 7. Dhambi ambazo Israeli ilihukumiwa (2 Fal. 17:7-18) 8. Chanzo cha Wasamaria (2 Fal. 17:24; Yoh. 4:4) 9. Takribani miaka 115 baadaye, Wababiloni chini ya Nebukadineza waliwashinda Waashuri na ikawa milki mpya ya ulimwengu. Wababiloni waliitwa pia Wakaldayo (2 Fal. 25:4) C. Ufalme wa kusini wa Yuda. 1. Uliishi kwa kipindi kipatacho miaka 388 hadi ulipotekwa nyara na Nebukadineza. Yuda ilikuweko miaka 134 zaidi ya Israeli. 2. Katika muda huu wote wafalme 20 walitawala. Nane walikuwa wacha Mungu na kumi na wawili walikuwa waovu. 3. Historia ya Yuda ilikuwa mzunguko wa kwenda chini kiroho ikifuatiwa na vuvio. Miaka ya uvuvio iliokoa Yuda kutokana kuanguka mapema ka Israeli. 4. Miaka sita kabla Israeli kuangukia Ashuri, Hezekia alifanyika mfalme wa Yuda. Alikuwa mwaminifu zaidi ya wafalme wote, kwanzia mfalme Daudi (2 Fal. 18:5-7) 5. Bwana akawazuia Israeli kutokana na mfalme wa Waashuri Senakeribu (2 Fal. 18:13- 19:37) 6. Katika mwaka wa tatu wa Yehoyakimu, Nebukadineza akaupata uaminifu wa Yuda na akamchukua Danieli na mateka wengine Babeli (2 Fal. 24:1) 7. Miaka mitatu baadaye Yehoyakimu akaasi dhidi ya Babeli. Alikufa punde tu baada yah ii akiuacha ufalme kwa mwanawe mdogo. Yerusalemu ilitekwa nyara katika miezi mitatu na wananchi wa juu elfu 10 wakapelekwa Babeli (2 Fal. 24:1-6). Ezekieli alikuwa kati ya hawa (Eze. 1:1-2). Huu ni “utekaji nyara” wa pili. 8. Miaka 11 baadaye mfalme Sedekia aliasi dhidi ya Babeli, kwa hivyo Nebukadineza akaliharibu hekalu, nyumba na kuta za Yerusalemu. Wapatao watu 25,000 walichukuliwa mateka, jiji likiachwa katika vifusi kwa kipindi cha nusu karne. 9. Nabii Yeremia alichagua kusalia Yuda kuliko kuwa uhamishoni Babeli. 10. Dhambi za Yuda ziliwaelekeza uhamishoni (2 Nya. 36:14-16) 11. Vitabu vya Nya. hurudia katika mtindo tofauti kile tayari kimepatikana katika 2 Sam na 1 na 2 Fal. ______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo

66

MFUMO WA MWAKA WA PILI UCHUNGUZI WA AGANO LA KALEIX. UTUMWA NA UREJESHO A. Uhamishoni wa Babeli 1. Kipindi cha ukimbizi huu kiliishi miaka 70 kama ilivyotabiriwa (2 Nya. 36:21; Yer. 25:11) 2. Tukio la tanuri ya mot la Danieli na nduguze (Dan. 3:1-30) 3. Milki ya Babeli ilianguka kwa milki ya Washami chini ya mfalme Sira mwishoni mwa kipindi hiki cha miaka 70. B. Matokeo matatu ya utumwa. 1. Lugha walioinena ilibadilika kwa kiarami au kikalkdayo. 2. Kipindi kikuu cha uzazi kilikuja kwa yawahudi uhamishoni. Ezekieli, Danieli, 1 na 2 Wafalme na Zaburi nyingi ziliandandikwa. Katika kipindi hiki kulianza shughuli za kukusanya maandishi haya. 3. kwa umuhimu zaidi, mabadiliko yalikuja katika maisha ya kiyahudi; ikijumulishwa na kujiondoa kwa mwisho kutoka kwa kuabudu miungu. Katika muda huu masinagogi mengi yalianzishwa. C. Kukusanyika tena kwa wayahudi kurudi kwa nchi yao. 1. Kurejea kutoka utumwani ulitabiriwa na bwana (Yer 30:1-3). Katika mwaka wa kwanza wa utawala wake mfalme sira wa washami aliamuriwa na Mungu kulijenga tena hekalu Yerusalemu (2 Nya. 36:21-23). Sira alikuwa amepewa jina la Mungu miaka 100 kabla ya kuzaliwa kwake. Miaka 200 kabla Sira kufanya tangazo kwamba wayahudi wangerudi kwa nchi yao kujenga tena hekalu ya jiji, ilikua imeandikwa na nabii Isaya. (Isaya 44:28-45:13) 2. Ezra na Nehemia wananukuu hatua tatu za kurejea kwa wayahudi waliokuwa utumwani Babeli kwenda Yerusalemu. Ezra ananukuu kujengwa tena kwa hekalu. a. Hatua ya kwanza chini ya Zerubabeli na kujengwa tena kwa hekalu b. Hatua ya pili ya kurudi imenukuliwa katika Ezra. 7-10 na Nehemia. c. Hatua ya tatu ya kurejea chini ya Nehemia na kujengwa tena kwa kuta za jiji ni shughuli ya mwisho iliyonakiliwa na Agano la Kale. 3. Manabii wa kipindi cha urejesho chini ya Nehemia walikuwa: a. Hagai, Zekaria, Malachi, Yoeli (iwezekanavyo)

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

67

MFUMO WA MWAKA WA PILI MUDA WA WAFALME WA AGANO LA KALE

MUDA WA WAFALME WA AGANO LA KALE

WAFALME WA ISRAELI UREFU WAFALME WA YUDA UREFU1. Yoroboamu (1 Fal. 12:25) Miaka 22 1. Rohoboamu (1 Fal. 14:21) Miaka 172. Nadaabu (1 Fal. 14:20) Miaka 2 2. Abijamu (1 Fal. 15:1) Maiak 33. Baasha (1 Fal. 15:28) Miaka 24 3. *Asha (1 Fal. 15:9) Miaka 414. Ela (1 Fal. 16:8) Miaka 25. Zimri (1 Fal. 16:10) Siku 7 (Tibni) (1 Fal. 16:21)6. Omri (1 Fal. 16:23) Miaka 127. Ahabu (1 Fal. 16:29) Miaka 22 4. *Yehoshafati (1 Fal. 22:41) Miaka 258. Ahazia (1 Fal. 22:51) Miaka 2 5. Yehoramu (2 Fal. 8:16) Miaka 89. Yoramu (2 fal. 3:1) Miaka 12 6. Ahazia (2 Fal.8:25) Mwaka 110. Yehu (2 Fal. 9:1-3) Miaka 28 7. Athalia (2 Fal. 11:3) Miaka 611. Yehoahazi (2 Fal. 13:1) Miaka 17 8. *Yoashi (2 Fal. 12:1) Miaka 4012. Yehoashi (2 Fal. 13:10) Miaka 16 9. *Amazia (2 Fal. 14:1) Miaka 2513. Yeroboamu (2 Fal. 14:23) Miaka 41 10. *Uzzia (2 Fal. 15:1) Miaka 5214. Zakaria (2 Fal. 15:8) Miezi 6 11. *Yothamu (2 Fal. 15:32) Miaka 1615. Shallumu (2 Fal. 15:13) Miezi 616. Menahamu (2 Fal. 15:18) Miaka 1017. Pekahia (2 Fal. 15:23) Miaka 218. Pekah (2 Fal. 15:27) Miaka 20 12. Ahazi (2 Fal. 16:1) Miaka 1619. Hoshea (2 Fal. 17:1) Miaka 9KUANGUKA KWA ISRAELI KWA ASHURI

13. *Hezekia (2 Fal. 18:1) Miaka 2914. Manassa (2 Fal. 21:1) Miaka 5515. Amoni (2 Fal. 21:19) Miaka 216. *Yosia (2 Fal. 22:1) Miaka 3117. Yohoahazi (2 Fal. 23:31) Miezi 3

KUANGUKA KWA ASHURI KWA BABELI18. Yohoiakimu (2 Fal. 23:36) Miaka 1119. Yehoiachimu (2 Fal. 24:6) Miezi 320. Sedekia (2 Fal. 24:18) Miaka 11

KUANGUKA KWA YUDA KWA BABELIKUANGUKA KWA BABELI KWA SHAMU

* Inaonyesha mfalme anayemcha Mungu

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

68

MFUMO WA MWAKA WA PILI KUSIFU NA KUABUDU

K U S I F U N A K U A B U D U

“Lakini saa yaja…. Kumwabudu yeye” (Yoh. 4:23)I. TUNAHITAJI KUWA NA KUSUDI KATIKA SIFA NA MAABUDU(Efe 1:17-19) A. Kusudi moja ni nguvu za Mungu zilizojidhihirisha (Efe. 1:19) 1. Nguvu hii ilimfufua Kristu kutoka wafu (Efe. 1:20) 2. Nguvu hii pia ilikufufua kutoka wafu (Rum. 6:4) B. Makubwa na nguvu ni za muhimu katika hatua hii ya muda tulio ndani (Efe. 1:17-19) 1. “Kumjua yeye” kutaenda kuleta upendo, huru na kutamani yeye. a. Kutokuwa na upendo kutasababisha ukosefu wa ufunuo wa kumjua yeye. b. Ukosefu wa heshima kwa Mungu na ni nani aliye kutakusababisha uwe mwenye kupuuza nguvu zake. 2. Roho Mtakatifu anataka ujue nguvu hii. a. Sala iliyotiwa nguvu za Roho Mtakatifu (Efe. 1:17-19) b. Mapenzi ya Mungu (Efe. 1:19) 3. Mungu anataka tuelewe nguvu zake. 4. Mungu anataka kuonuesha nguvu yake kuelekeza kwetu tunaoamini. Kwa nini? a. Kuujenga ufalme wa Mungu duniani. b. Kupata mavuno makubwaII. SIFA NI SHERIA INAYO TAWALA AMBAYO ITALETA NGUVU ZA MUNGU KWETU SISI A. Sheria inayotawala ni nini? 1. Kiasili ni: a. Pumzi kwa uzima b. Chakula kwa kukua c. Tukiweka mkono wetu katika soketi ya stima, tunapigwa na stima. 2. Mfano wa karibu tulio nao kwa nguvu ya Mungu iliyojidhihirisha dunia hii ni stima a. Mfano: Nguvu kutia nuru jiji nzima. b. Tunazo nguvu zote tunazohitaji kuongoa jiji lote kwake Yesu.III. SIFA INAHITAJIKA KWA MAVUNO A. Mungu anangojea kwa subira mavuno (Yas. 5:7) B. ”Amewaonyesha watu wake nguvu za kazi zake, ili aweze kuwapa urithi wa mataifa” (Zab. 111:6) 1. Mataifa ni urithi wetu – urithi – kitu kinachopitishwa kutoka kwa kizazi kilichopita kupitia haki ya kuzaliwa. 2. “Uniombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako” (Zab. 2:9”IV. MAHALI TUNAPOSIFU NA KUABUDU (YOHANA 4:21) A. Sisitizo la mwanamke Msamaria lilikuwa ni mahali panapoonekana kwa kuabudu. B. Yesu alisema kwamba baba anataka kuabudu kufanywe katika roho (moyo) na kweli (Neno). Kwa nini? 1. Mwanadamu aliumbwa kwa ajili ya Mungu kushiriki naye. ______________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo

69

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI KUSIFU NA KUABUDU 2. Amri ya kwanza ilikuwa “kumpendeza Bwana Mungu wako…” a. Kumpenda ni kumwabudu b. Kumwabudu ni kumpenda c. Ili kumwabudu katika roho na kweli ni lazima umjue d. Kuabudu ni onyesho la pendo lako kwakeV. SIFA NI A. Mwendo unaoendelea 1. Kitendo cha kiroho 2. Roho anaguswa 3. Kisha kutakuwa na kujionyesha kunakooneka. B. Kukiri kwa maneno penzi na shukrani kwa Mungu kuwa kilen ametenda na kile anaenda kufanya C. Ikifanywa nje ya uwepo wa Mungu, kwa sufa hulete uwepo wa Mungu (Zab. 22:3) D. Kumtukuza Mungu (Zab. 50:23) E. Onyesho la roho (nafsi, penzi, na hisia) F. Hufanywa wakati wa: 1. Kumjaribu Paulo na Sira gerezani (Mat. 16:25) 2. Mateso na majaribu (Mat. 4:24-31) 3. Vita (2 Nya. 20:1-27) G. Kifudifudi. Kumwimbia moja kwa mwingine kuhusu Mungu, kwako mwenyewe, na wakati mwingine kwa Mungu. H. Itikio kutoka ndani ya moyo; sio tu maneno I. Vazi 1. Sifa ni kuwa na kuonekana vizuri kwa mwamini (Zab. 33:1, 147:1) 2. (Isaya 61:1-3) 3. Hujivika “mtu mpya” (Kol. 3:8-14) J. Ufunguo kwa uwepo wa Mungu. Hufungua mlango kwa ulimwengu wa Mungu. K. Mawasiliano ya njia mojaVI. MANENO SABA YA KIHIBRANIA KWA “SIFA” 1. Yadah ….Kunyosha mikono ili kuabudu, kusifu, kukiri, kutoa shukrani. 2. Todah ….Kutota shukrani kwa Mungu kwa ajili ya vitu ulivyopokea na usivyopokea 3. Barach ….Kumbariki Mungu (Kama kitendo cha mapenzi) kwa kupiga magoti. 4. Zamar ….Kugusa nyuzi; kuimba nyimbo; kuimba sifa na tenzi; kucheza ala; kusherehekea katika nyimbo. 5. Shabach ….Kupaza sauti 6. Halal ….Kunena sifa; kung’aa; kuringa; kusherehekea; kunena vyema kuhusu; kufanya onyesho kuhusu hadi kwa kiwango cha kuonekana mjinga 7. Tehilah ….Kuimba “sifa za juu”; kusherehekea katika wimbo kwa kiwango cha ujingaVII. SIFA IMEELEZWA Kamusi ya American Heritage: “Onyeshoi la kibali kilicho na joto au tumanio, kuzungumzia vizuri, kupongeza.”______________________________________________________________________________

70

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

MFUMO WA MWAKA WA PILI KUSIFU NA KUABUDU A. Yesu ni sifa yetu(Kumbu 10:21) B. Mungu huishi katika sifa za watu wake. (Zab 22:3) C. Msifuni katika kweli

1. Msifuni kwa ufunuo wa ujuzi uliopokea 2. Yesu alisema maneno yake ni kweli(Yoh.17:17)

VIII. JE, NENO LA MUNGU LINATUELEZA AJE KUHUSU SIFA A.Sifa ni kusikika (Zab. 66:8) B.Wacha wapaze sauti (Zab. 35:27) 1. “Creek” –neno la kihibrania unalomaanisha kufanya sauti kali ya juu ukizunguga zunguga katika dwara kwa wakati mmoja. C. Imba ifa (Zab.47:6-7) D. Ni kitu kizuri(Zab 147:1) E. Fanya kelele za shangwe (Zab. 66:1-2) F. Tunaifanya kwake (Zab 95:1-2) G. Amejaza vinyua vyetu kwa kicheko(Zab 126:1-4) H. Mlilie Bwana (Isa. 12:6)IX. MAABUDU NI…… A.Manukato matamu yanayonukia vizuri. B. Sala ya hali ya juu sana. C. Kufanywa katika roho na kweli. D. Moyo wako ukionyesha mapenzi na uvutio kwa baba yako. E. Umwagaji nje moyo wako kwa Mungu(k.m Mfalma Daudi) F. Kupenya mbingu. G. Ushirika. H. Kalala kifudifudi katika heshima (kuheshimu, kuheshimu hadharani, ikionyeshwa mtuau wazo); kubusu kama vile mbwa anavyolambalamba mkono wa bwana wake. I. Uhusiano. J. Onyesho la nje ya kile kilichoko moyoni. K. Huwezi ukahisi hadi uwe ndani ya uwepo wake. L. Onyesho la kujitolea. M. Kuhisi kuhusu Mungu ni nani. N. Fursa isiyopatikana kwa urahisi. O. Utiifu.X. KUABUDU KUNAHITAJI UTAKATIFU A. Iweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu (Wal.11:44)

(Takatifu- kuwa safi kirasmi au kiakili)

1. Unaweza mwendea kwa msamaha. 2. Unaweza kutoroka mbali kwa na yeye kwa uoga. B. Mwili wako ni hakalu la Roho Mtakatifu ( 1Wakor.6:19)

71

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI KUSIFU NA KUABUDU C. Israeli aligeuka kutoka kwa utakatifu (Mungu) hadi kwa miungu (Yer. 2:27) 1. Wakawa kahaba (Yer.5:7) 2. Waliabudu miungu wengine 3. Miungu wenye tama (Wagal. 3:5)

a. Kuabudu kwa vitu.b. Kuabudu watu.

D. Kuabudu kwa kweli kutaleta mabadiliko katika wenye kuabudu. E. Utukufu wa Mungu utajidhirisha kwako. 1. Musa (kutoka. 34:29-30)X. KUABUDU KATIKA UKWELIA. Wacha neno la Mungu likae ndani yake (Wakol. 3:16) B. Elewa mapenzi ya Bwana (Waef. 5:17) 1. Utakuwa na hekima. 2. Jaza kwa roho (Waef. 5:18)

a. Zaburib. Tenzic. Nyimbo za roho (Zilizotolewa na roho mtakatifu kwa pumzi)

C. Abudu katika ukweli kwa imani. 1. Imani imo moyoni. 2. Ivute nje

a. Visima vya wokovu (Isa 12:3)b. Kwa furaha.

XI. KUABUDU KATIKA ROHO(YOHANA 4:23) A. Roho wa mwanadamu. 1. Roho wako ni musuma wa Bwana(Meth.20:27) 2. Ni nini kilifanywa kipya? Ilikuwa roho yako (2 wakor.5:17) 3. Mungu huongoza wanawe kwa roho (War.8:24) 4. Mambo yua ndani ya Mungu yanatolewa na roho mtakatifu (1 Wakor.2:9) B. Ukombozi ulitwezesha sisi kuabudu katika roho. 1. Watu wa imani na agano la kale wanaweza tu kumwabudu Mungu katika ukweli. a. Kuabudu kwao kulikua kwa aina na kivuli(1 Wakor. 10:1-6) b. Walikuwa tu na mfano wa Mungu (K.v Mwamba, ngome na kadhalika) c. Sisi kama wakristu tunacho kitu cha ukweli ndani mwetu (Kristu ndani yako,tumaini la utukufu.) 2. Tunaweza abudu kwa roho kwa sababu tumeunganiishwa kwa Kristu. Mungu anaweza tembea ndani mwako kumwadudu mara moja. a. Mtu anaponywa katika lango la urembo. b. Mfano: Kusifu Mungu kutoka kwa kumiminika kwa shukrani

72

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

MFUMO WA MWAKA WA PILI SALA SALA

I. MAISHA YAKO BINAFSI YA MAOMBI (LUKA 10:38-42) A. Urafiki na ushirika na Mungu. B. Siri ya kujua na kufanya mapenzi ya Mungu. C. Shauku la Mungu kuwasiliana nawe(Isa 43:25-26: Ufunuo.4:11) 1. Mungu wetu ni Mungu wa wivu (kut. 20:4-5; 34:12-14) 2. Mungu anachukia uabudu wa miungu (1 Yoh. 5:21) 3. Linda moyo wako (Meth. 4:25) D. Njaa na kiu ya kumjua Mungu ni kiungu muhimu katika maisha yako ya maombi. (Zab. 42:1- 4; 63; Math.5:6) 1. Kumjua Mungu (Meth 9:10; Yoh 17:3; Wafil. 3:10) 2. Kujikata kwa Mungu(Kumb. 11:22-23; 30:19-20; Yosh. 22:5; 23:8) E. Kumhudumia Bwana(Mat. 13:2) 1. Sifa na kutoa shukrani(Mat.2:47; 6:25; Wafil 4:6; Wakol 4:2) 2.Kuimba na kuabudu (Yoh. 4:23-24; Waef 5:18-20; Wakol 3:16-17) F. Vipenge vitano muhimu nya salsa lakini husahulika mara kwa mara. 1. Kumgojea Mungu (Isa 4:31) 2. Kukesha (Math. 26:21; Wakol 4:2) 3. Kusikiza (Muhu. 5:2; 1 Wath. 4:11) 4. Kutafakari (Zab 104:34; Isa 26:3) 5. Kufunga (Math 6:16)II. YESU NA PAULO KATIKA MAOMBI : WATU WAWILI WAKUU WA MAOMBI A. Yesu katika maombi (Marko. 135; luka. 5:16; 6:12; Yoh 17) B. Paulo katika maombi (2 Wakor 6:5; 11:27; Wagal 4:19; Waef 3:14)III. MAOMBEZI NA MALILIO A. Vipenge vya sala bori. 1. Kulingana na neno la Mungu (Yoh 15:7) 2. Kwa Mungu baba katika jina la Yesu (Yoh 16:23) 3. Katika roho (Waru u8:26-27; Waef. 6:18; Yuda 20) a. Kwa vilio na machozi (Waeb 5:7) b. Kwa kuvumilia kwote. c. Kwa kutoa sauti. d. Kwa shukurani (Wafil 4:6) e. Kwa kufunga.(Dan 9:3; Luka 2:37) f. Kwa makubaliano wakati unapoomba na wengine (Mat 1:14) B. Roho mtakatifu katika maombi (Yoh 14:16-17; 26; 15:26) 1. Atakunenea (Yoh 16:7-15) ______________________________________________________________________________

73

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

MFUMO WA MWAKA WA PILI SALA 2. Atakufunulia mambo (A. 13-15) 3. Atakuonyesha mambo yatakayo kuja (A. 13) 4. Yeye pekee atafanya maisha yako ya sala ya kuvutiaIV. KANISA LA KWANZA KATIKA SALAMatendo 1:14; 3:1; 4:23-31; 6:4; 9:11; 40; 10:1-4; 9; 11:15; 12:5; 13:1-3; 14:23; 16:16; 20:36; 21:5; 28:8.

______________________________________________________________________________

74

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

MFUMO WA MWAKA WA PILI MAABARA YA KUHUBIRI MAABARA YA KUHUBIRI

I. VIDOKEZO VYENYE USAIDAZI KWA MAFUNZO/MAHUBIRI YENYE NGUVU A.Wanatia hamu yao unyevu katika utangulizi. 1.Utangulizi wako unapaswa: a.Kuuza watu katika ujumbe wako.

1.Waambie kwa nini ujumbe huu ni: a.Muhimu kwao. b. Wa hali inayofaa kwao.

B. Usidhanie kwamba watu wanajua kile unachojua. 1. Chukua muda kuwapa maana muhimu iliyo chini ya ujumbe huu. C. Unaposoma maandiko, soma na maana na kiini muhimu, usisome maandiko katika njia ya bunduki inayotoa risasi nyingi kwa wakati mmoja. Soma maandiko katika njia ile ungefirahia chakula kitamu-ukichukua muda na kufurahia kila kuuma!D. Fanya ujumbe wako katika hali ya kawaida na unaokaribiana na hali za wakati huu.Ujumbe huu utahusianaje na watu? Tumia michoro.E. Usi… 1. …mgumu kueleweka. 2. …ogope kushiriki kutoka moyoni mwako. 3. …fanye kanisa lako kama darasa la seminari.F. Jaribu kuitumia mtindo wa mazungumzo katika kuhubiri.G. Kushawishika kwao kuhusu kile unachohubiri kuhusu ni dhihirisho. Watu watakuwa na hamu ya kusikiza iwapo wanaweza kuona kile unachoamini na wanafurahia kile unachoshiriki.H. Jua ni pointi gani katika ujumbe wako zitaachwa nje. I. Usivute kurtamatisha kwako- vifanye fupi. J. Sio lazima wafungue kila andiko unalosoma. K. Waambie… 1.kile unachopanga kuwaambia. Usiingie kando. 2.waambie. 3.waambie kile umewaambia.Kurudiarudia maelezo,na matumizi.L. Sheria za uuzaji. 1. Pata kumakinika kwao. 2. Umba kufurahia. 3. Pata tama. 4. Nena na utende kwa ushawishiko. 5. Kufunga- wafungie. 6. Usiwe tu mwenye kupeana maagizo- uwe na haja ya binafsi pia.

75

______________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI TATHMINI YA MUHUBIRI

TATHMINI YA MUHUBIRIJINA LA MNENAJI____________ KITAMBULISHI____________ TAREHE________KITAMBULISHO CHA MTATHMINI_____________

MNENAJIMAUMBILE Kufurahisha Ridhisha Mwenye furaha Mdhaifu Mkavu ANAVYOONEKANA Umbo nzuri Tabia nzuri Sawa Umbo mbaya Tabia mbaya MwogaSAUTI Kufurahisha Shawishi MojaMATENDO Kawaida Ana kwa Onyesho la

Sumbufu Ana kuzuri Uso nzuriAsiyetulia Kuangalia kubaya

MUHUBIRIUTAMBULIZI Ulinivutia Husiana na muhubiri Unaochosha

MAANDIKO Husiana na muhubiri Rahisi Yenye nguvuMWILI Hai Michoro mizuri Wenye maana

Unaochanganisha Michoro dhaifuTAMATISHO Ilinifanya nifikirie Ilifunga kidhaifu Haikurudia

mambo muhimu

WAALIMUHuduma wa ualimu unawekwa kanisani na Mungu kutia nguvu mwilini mwa Kristo. Huduma huu hufunua ukweli wa neno la Mungu na unaeleza kanuni zake kwa urahisi na uwazi. Katika kuelewa neno la Mungu huja kukua, kujitolea na nguvu. Matokeo yake ni kanisa kuwa na msukumo mkuu I. AMRI YA KUFUNZA A. Utume mkuu ni jukumu la mkunjo miwili la kanisa lililotolewa na kichwa cha kanisa, Yesu Kristu (Marko 16:15-20; Math 28;18-20) 1. Kuhubiri ni kwa kuwafikia wale ambao hawajaokoka. 2. Kufunza ni kwa ukuzi. 3. Baada ya kuwafikia hawajaokoka na injili ni lazima tuanze kuwafunza.B. Maana. 1. Kutoka kamusi ya Webster.

76

a. Funza- kueleza, kujuza. b. Eleza- kutia ufahamu.____________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI WAALIMU c. Kujaza- kutia umbo; kupeana uhai kwa; kuwasilisha ufahamu kwa. 2. Kutoka “concordance ya strong” a. Katika Math. 28:19, neno la kiyunani limetumika ambalo lina maana “kufunza”. Hapa ndipo mahala pa pekee hili neno limetumika katika agano jipya. b. Neno ambalo linamaanisha “Maelezo” linatumika mara kwa mara.C. Bila mafunzo kanisa litatekwa nyara na litaangamia. 1. “Kwa hiyo……….la kiu (Isa 5:13)” 2. “Watu ………ufahamu(Hosea 4:6)D. Mafunzo ni hitaji kwa Ukuzi. 1. Neno la Mungu ni chakula cha roho. a. Chakula ni hitaji la maisha ya kawaida. b. Neno la Mungu ni hitaji la maisha ya kiroho. c. Neno linalinganiswa na chakula (Math 4:4) d. Neno ni chakula. (1 Timo 4:6) e. Neno linalinganiswa na maziwa (1 Petro 2:2) 2 . Waamini wapya wanahitaji chakula (1 Petro 2:2) a. Mwamini mpya asiyefunzwa ni kama mtoto mchanga asiyelishwa. b. Ni jukumu la kanisa kulisha waumini wapya kama vile ilivyo jukumu la wazazi kumtunza na kumlisha mtoto wake. 3. Waamini wote wanahitaji chakula (Yoh. 8:13-32) A. Sio watoto wachanga tu wanahitaji kula watu wazima pia wanahitaji wale pia.II. MWITO WA KUFUNZA A. Mwalimu ni nani? 1. Kanisa limeitwa kufunzwa (Math 28:19) 2. Sio watu wote ni waalimu (1 wakor 12:29) a. “Na akawapw wengine……waalimu (Waef 4:11)” b. Sio kila mwana chama wa mwili wa Kristu ameitwa kufunza. 3. Mwalimu ni mwana chama wa mwili wa Kristu ambaye ameitwa na kupewa kipawa na Mungu haswa kufunza neno la Mungu.B. Mungu huita. 1. Mungu hukuita wewe (Hez. 49:1) a. Wewe mwenyewe huwezi kuchagua kuwa na mwito . b. Hata mwanadamu hawezi kukuita (Wagal.1:1) 2. Wakristu hawachagui watu wao. a. Mungu hukuita wewe “kulingana na kusudi lake” sio kulingana na lako (2 Timo 1:9) b. Mungu huwaweka wana chama kama inavyompendeza (1 Wokor 12:28) c. Mungu alijua kile alichomwita na kumfanya Abrahamu kuwa. Huu ulikuwa mpango wa kusudi wa Mungu la Abrahamu.

77

d. Mungu anajua kkile alichomfanya kila muumini kuwa (Mwa 17:4-5; EWarum 4:17)____________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshua

MFUMO WA MWAKA WA PILI WAALIMU C. Mungu hupeana 1. Karama (Upeanaji) huja na mwito. a. Mungu hupeana kipawa (Waef 4:7-8) b. Kipawa chochote unachopewa, kutoa na nguvu zozote. c. Mungu hupeana nguvu na uwezo kutelekeza huo mwito. d. Kipua ni kipomo cha upako war oho mtakatifu. e. Ni kipimo cha uwezo wake. 2. Kipawa na kisichokuwa cha kawaida. a. “Sio ka kazi yetu” (2 Timo 1:9) 1. Mtu haitwi kulingana na uwezo wake au kazi. 2. Uezo wa kawaida unaweza kuwa na baadhi ya usaidizi, laakini kipawa ni kisichokuwa la kawaida. b. Ni uwezo wa Mungu unaofanya kazi ndani na kupitia ndai kwako (2 Wakor 3:5-6) Kipawa ni zaidi wa uwezo wako wa kawaida (2 Wakor 4:7) 1. Watu hawa walilenga uwezo wao wa kawaidalakini Mungu akawaambia kila mmoja “Kwa haki nitakuwa nawe” na hii ilikuwa iwe hakikisho nao.

a. Musa alihisi kupungukiwa (Kut 3:11-12; 4:10-12)b. Gidioni alihisi kupungukia (Waam 6:15-16)c. Yeremia alihisi kupungukiwa (Yer 1:5-8)

2. Mungu ametupa hakikisho hilo hilo kwamba hatutaacha.(Math 28:20; Waeb 13:5-6) c. Kwa sababu ya zaidi ya uwezo wako wa kawaida, itakubidi usongee karibu na Mungu a kumwamini kabisa (2 Wakor 3:4-5; 1 Petro 5:6-7)D. Ni muhimu kwa kkila mkristu kujua kile Mungu amemwita kufanya. 1. Linganisho la mwili wa mwanadamu na mwili a Kristu (1 Wakor . 12:12-28) a. Kila sehemu inahitajika. b. Bila sehemu fulani mwili unakosa. c. Iwapo mkristu hatashughulika na mwito ake, mwili wa Kristu unakosa kitu na hautatekelezwa ipasavyo. 2. Julisho kwako mwenyewe. a. Witu wa Mungu ni wewe mwenyewekujua, kupitia uhusiano wako binafsi na kutano na Bwana, kwamba amekupa kitu cha kufanya. 1. Paulo alijua. Paulo aliendelea kusisitiza kwamba alikuwa akifanya kile alikua akifanya kulingana na “mapenzi ya Mungu” Kila mkristu ni lazima awe na ujasiri kwa mwito wake (Warum 1:1; Wagal 1:1; 11:16; Waef 1:1) 2. Yesu alijua. (Luka 19:10; Yoh 3:14-18; Yoh 4:25-26) b. Mwito wa Munguni kati yako na Mungu. 1. Kuweka wito wako kwa kitu kingine matokeo yake itakuwa ni shetani kuweza kukutingiza na kukusababisha kuondoka.

78

2. Hali nyingi zitatokea kukutingiza na kukuweka kando. Ni lazima ujue kuwa Mungu amekuita. ____________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI WAALIMU E. Wakatiwa Mungu. 1. Kunao wakati wa kusudi lako (Muhu 3:1) 2. Kama Kama vile mtu……..aibu majira (Zab 1:3) 3. Usijaribu kulazimisha. a. Kipawa chako hutenga nafasi kwako. Hupaswi kufanya nafasi kwa kipawa chako (Meth 8:16)

1 . Musa alienda mbele ya muda wa Mungu (Kut. 2:11-14)2. Alijaribu kufanya nafasi kwa kipawa chake (Mate. 7:L23-29)

4. Yesu alisalia katika muda wa Mungu. a. Yesu aliongezeka na kuendelea (Luka 5:52) b. Alikuwa mwenye subira na kuongozwa kwa roho (Yoh 7:8) 5. Usikose subira. Salia mwaminifu kwa yale huenda yaonekane yasiokuwa muhimu ukijua kuwa Mungu anakuandaa kutekeleza jukumu lake katika maisha yako. F. Matayarisho 1. Ni lazima upatikane mwaminifu(1 Wakor 4:2) 2. Unapokuwa mwaminifu na majukumu madogo (Luka 16:10-12), Mungiu ataongezea kwa ile ulionayo (Math 25:21). 3. Kunao wakati wa matayarisho kati ya kuitwa na kutumwa nje. a. Bashaba na shauli (Paulo) walijua wito kabla ya kutengwa na kutumwa (Mate 13:14) b. Walikkuwa waaminifu na mwito na kwasababu ya uaam,inifu huo, walichaguliwa.III. KUUTEKELEZA WITO A. Jukumu. 1. Wewe mwenyewe unawajibika kuteleza huduma ya mafunzo uliyoyapokea katika Bwana.(Wakor. 4:17) a. “Zingatia……” 1. …….kusikiliza. 2. …….kutunza. 3. …… tazama na kutunza b. “…..kwamba utekeleze……”

1. ….kukamilisha2. ….kutimiza3. …..kutekeleza4. …..kupata

2. Walimau wanapaswa kusikiliza na kuweka bidii katika kutrekeleza mwato wa kufunza (Waru. 12:7) 3. Unawajibika kwa Mungu kwa kile amekuamini nacho “….. kama wale ambao ni lazima wawajibike…..” (Waeb 13:17)B. Tazamio.

79

1. Kujua wajibu wako binafsi wa kutekeleza kazi uliyopewakutalete ndani yako shauku na tazimio la kukamilisha. ____________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI WAALIMU 2. Kwa kuwa Bwana Mungu akanisaidia; kwa ….. (Isa 50:7) a. Kujitolea. b. Jitihadi. c. Kusundi. d. Kuwa na mwelekeo mwenye nguvu kwa mwisho fulani. 3. Yesu alijitihadi katika uso wa msalaba; “bila kuyumba aliwka uso wake kwenda Yerusalemu.” 4. Paulo hakuenda kando (Mate 26:19) a. Kunavyo vizuizi vya kawaida na kiroho ambavyo vitajaribu kukusimamisha kutokana na kutekeleza mtoto wa Mungu. b. Ni lazima ubaki kulenga yale Mungu amekuita kufanya; la sio yale ambalo wengine wanataka akukuambia ufanye. 5. Usishughulike na kile ambacho wengine wanafanya (1 Wathe 4:11) a. Weka uso wako kama panzi kua ya Mungu amekuita kufanya. b. Tazamio ni hitaji kwa kutekeleza mwito wako. Weka maisha yako yote katika kile Mungu amekuuita.C. Soma. 1. “Kusoma” ina maana gani? a. Kamusi ya Webster: Kuweka akili kwa; chunguza; kuwa na hali ya kukubali. b. Concordance ya strong: kufanya juhudi kuwa na bidii. 2. Kusoma ni kipa umpele cha juu kwa waalimu (2 Timo. 2:15) a. Mwalimu ni kufunua neno la Mungu kwa uwazi. b. Mwalimu ni kueleza neno la Mungu na kulifanya kueleweka. Kupitia tu kwa mpako waroho mtakatifu na kusoma neno la Mungu kwa makini ndipo hii itatekelezwa. 3. Kufunza ni sehemu moja la kusudi kwa mikanyo miwili ya mitume mikuu. a. Kuhubiri ni kutangaza(Marko 16:15) b. Kufunza ni kuelezea(Math. 28:18-20)

1. Eleza- Kufanya tambawari; kupanuwa.2. Maelezo- utafsiri.3. Kupanua- kueleza, kutafsiri, kuvumbua.

4. Ili uelezee ukweli ni lazima ujue ukweli. Kusoma katakuwezesha “kugawanya kwa haki neno la ukweli” (2 Timo 2:15) 5. Kipofu anaweza ongoza kipofu (Luka 6:39)? a. Wengi wametiwa upofu na Mungu wa ulimwengu huu, shetani (2 Wakor 4:4)

1. Hawana mwanga2. Hawana kuona

b. Unahitaji mwanga ili usaidie wengine kuona. 1. Neno ni mwanga (Yoh 1:1-9)

80

2. Neno hupeana mwanga (Zab 119:130) ____________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI WAALIMU c. “……kama vile nimewapa” (Mate 3:6) Hawezi toa kile hauna. Ni lazima upokee mwanga kutoka kwa neno kabla hujapeana mwanga kwa wengine. Kusoma kwako binafsi na muhusiano wako binafsi na roho wa Mungu kutaleta mwanga kwa moyo wako. 6. Muhusisha Roho mtakatifu katika kyusoma kwako (Yoh 14:26) a. Yeye ni mwalimu (Yoh 16:13) b. Mruhusu akuongezee na akufumulie ukweli. 7. Kipawa cha kufunza hakitakuja chenyewe. Mtu aliyeitwaa na Mungu ni lazima ashirikiane kufanya kazi na mtoto. Sisi ni wafanyi kazi pamoja na Mungu. Unapoweka juhudi katika kusoma na kushiriki kile umesoma, kipawa kitajengwa na mtu atakuwa na kukoma kayika mwito. a. “Cha kawaida na kisicho cha kawaida vinapokuja pamoja vinafanya nguvu mlipuko wa nguvu kwa Mungu”.(Kenneth hagiri, Jr)IV. CHA KUFUNZA A. Funza Yesu Kristu (Mate. 5:42) 1. Mweke Kristu kati ya mafunzo yako (Wakor. 1:28) a. Weka umuhimu juu ya yale muhimu sio madogo. b. Epuka kutofautiana ikiwezekana. c. Usiwe wa kugawanya.

1. Mwalimu mzuri huleta umoja kanisani sio mgawanyiko.2. Usitumie jukwa au madhawabu kuendeleza jina lako aiu huduma au kanuni.

2. Usilifisadi neno la Mungu. (2 Wakor 2:17) 3. Usishugulikie neno la Mungu kiuongo (2Wakor 4:l2) B. Funga mambo ya msingi (Waeb 6:1-2) 1. Uwe mwangalifu kwa kutaka kufunza “kipya”. 2 . Uwe na nidhamu kurudia na kurejelea muktaba wa mafunzo yako. C. Kufunza kuna husu msisimko, kuamurisha na kuhimiza (1 Timo 1:3-4, 4:11, 6:2) D. Kufunza kunahusu utu wema, upole kiasi na subira (2 Timo. 2:24-26) E. Huduma ya ufunzaji haustahili kuwa moja ya hukumu (Yako. 3:1) 1. Uwe mwangalifu wa sauti ya hukumu katika mafunzo yako. 2. Funza kile unatia zoezi na kile umepata kupitia katika kutekeleza. 3. Kila wakati funza ukweli katika upendo.V. YESU, MWALIMU MKUU A. Yesu alifunza kila siku (Math. 26:55 B. Yesu alifunza mamlaka (Marko. 1:22) 1. Mafunzo yake yaliwazuzua watu. 2. Watu walitambua tofauti baina ya mafunzo yake na waandishi. C. Nguvu za kuponya na kufanya miujiza iliandamana na huduma wa mafunzo wa Yesu (Luka 5:15-17; Yoh 3:1-2)

81

D. Haikuwa tu Roho wa Mungu ambaye aliyapa maneno ya Yesu mamlaka lakini mfano wake na maonyesho ya yale aliyoyafanya. ___________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI WAALIMU 1. Wanafunzi walitaka Yesu awafunze kusali kwa sababu alionysha sala na uhusiano na Mungu (Luka 11:1) 2. Wanafunzi walitaka kujua jinsi ya kukomboa mtu kutoka kwa athari ya kipepo kwa sababu Yesu alikuwa na huduma wa ukombozi wenye matunda (Marko 9:17-29) 3. Fanya/ onyesha, na watu watatambua mamlaka yako kufunza (Math. 1:1) E. Yesu alikuwa mfunzi wa Baba, sio wa wanadamu (Yoh 7:14-15, 8:28) 1.Pata fikra na maneno yako kutoka kwa Mungu na uyafunze. F. Wakati mwingine mafunzo ya Yesu yalikuwa magumu na yaliudhi watu (Yoh 6:58-66) VI. KUFUNZA KATIKA KITABU CHA MATENDO(Mate 11:26, 14:21, 15:35, 18:11, 18:25, 20:20, 28:31)VII. JUA UDONGO WAKO (Marko 4:1-20) A. Mwalimu mwenye hekima anajua kwamba anaweza funza tu umbali ambao wasikilizaji watamruhusu (Marko 6:1-6) 1. Neno halimfaidi yule ambaye hatalichanganya na imani. a. Israeli yote ilisikia neno sawa, lakini Yoshua na Kaleb pekee ndio waliofaidika mwishoe (Hes. 13:8-14) 2. Mwalimu mzuri hupigana na kutoamini katika Nyanja fulani (K.v uponyaji) kwa kuendelea kuwafunza watu katika Nyanja ileile (Marko 6:6 “…. Na akazunguka vijijini akifunza”). B. Wengine hawawezi kupokea ukweli fulani (Yoh. 16:12) 1. Nyama ya meno ni ya wakomavu na maziwa ni ya watoto wachanga (Waeb. 5:11-14; 1 Wakor 3:1-4) a. Watu wengine sio wakakamavu kwa kusikiza (Waeb 5:11) b. Wengine ni wa mwili (1 Wakor 3:3-4) 2. Pia kunao wale ambao ni wasikilizaji wa hisia, walio na masikio ya kujikunakuna (2 Timo 4:3-4) a. Wape watu kile wanahitaji sio kile unataka. b. Daktari hutoa matibabu kwa mgonjwa wala sio kinyume. c. Wengine ni wapokezi na wanalinganishwa na udongo mzuri.

1. Wanalipokea neno la Mungu kama kutoka kwa Mungu sio wanadamu (1 Wath. 2:13)2. Wao ni wenye tabia za kiheshima na bidii kuangalia maandiko wenyewe (Mat.

17:11- 12) VIII. KUFUNZA NI NINI? A. MBONA kufunza; kusudi: mbinu: malengo. B. NI NINI unapaswa kufunza C. Utafunza VIPI? D. Malengo na madhumuni ya mwalimu. E. Tofauti ya kufunza na kuhubiri.IX. NJIA YA KUFUNZWA

82

A. Kusoma kwa mbinu za kufunza za Yesu “Mwalimu mkuu”(Math. 13:1-9) B. Uongozi katika ukweli wote.___________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI WAALIMU C. Kulinganisha mambo ya kiroho na kiroho. D. Ahadi ya vitu vitakavyo kuja.X. VIELEZO A. Ngano. 1. Maandiko. 2. Maghala. 3. Ufahamu wa binafsi. 4. Matokeo na matendo. B. Yote yalioko hapa juu hutasaidia ku: 1. Kumbuka kweli. 2. Weka daraja mambo magumu. 3. Elewa. 4. Tekeleza kwa maisha yetu.XI. BAADHI YA NJIA ZA KUFUNZA NI: A. Toa maelezo B. Swali na jibu. C. Mjadala (Majadiliano) D. Toa hadithi E. Toa kazi na ripoti F. Mradi G. Hufanya kazi H. Mchezo wa kuigiza I. Vitu vya kuona.XII. KAZI YA ROHO MTAKATIFU KATIKA KUFUNZA A. Uwepo wako mkazi: andaa na kuishi ndani hekalu la kiroho. B. Msukumo wa ndani (Oni la kazi isiyolinganishwa ya mwalimu aliyejazwa na Roho Mtakatifu) C. Hupeana nia ya kufunza: toa kipawa. D. Hupeana ufahamu na hutoa ufunuo wa ukweli. E. Hulete Yesu, kiini, katika ujazo wake. F. Hungangana kutengeneza Kristu katika moyo muumini.

MBINU ZA KUFUNZAI. YESU NI MWALIMU MKUU(Math 9:35, 21:23, 26:35; Marko 6:6, 14:49; Luka 5:17, 13:10, 13:22, 21:37; Yoh 3:2) 1. Yesu kama mwalimu wetu mkuu ni mwelekezi. Anatuelekeza katika njia ya mambo ya maisha kama mwalimu tunapaswa kusaidia kuelekeza wengine katika njia na mambo ya maisha Yakobo 3:1 inasema, “wengi wenu msiwe waalimu ndugu zangu mkijia kwa kama hivyo tutapokea hukumu kali”.

83

A. Waalimu ni kipawa cha huduma (Mate. 3:1; 1 Wakor 12:28; Waef 4:11; Waeb 5:12; 1 Petro 2:1) B. Roho mtakatifu atufunza (Yoh 16:23-15) ___________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MBINU ZA KUFUNZWA C. Bora za Yesu mwalimu mkuu: 1. Yesu aliwajua watu. 2. Alitamani kuwasaidia watu. 3. Alikuwa asili mia moja kile anachofunza. 4. Alikuwa na mapenzi na huruma. 5. Alijua namna ya kuwasilisha ukweli. 6. Aliyajua maandiko. 7. Alikuwa mwenye upako. 8. Aliongea na mamlaka.II. LINGANISHO KATI YA KUHUBIRI NA KUFUNZA A. KUtangaza na kuelezea. B. Usawa C. Tofauti. D. Ukuzi kanisani.III. MTU WA PANDE TATU A. Roho – Pneuma. B. Moyo – psuche. (Hisia, ufahamu na nia) C. Mwili – soma.IV. MWALIMU HAACHI VITU VITENDEKEE, HUVIFANYA VITENDEKE A. Mwalimu B. Mwanafunzi. C. Mazingara D. Mfumo E. Mkono F. NjiaV. MBINU ZA YESU ZA KUFUNZA (MATHAYO 13:1-9) Mbegu – neno. Mpanzi – mwalimu Udongo – moyo Kupanda - njia A. Tumia michoro, paka rangi picha na maneno yako (Ngano)

1. Hadithi 2. Ufahamu wa binafsi 3. Mafanikio4. Maandiko

B. Muchoro hutusaidia sisi 1. Huutusaidia kukumbuka ukweli.

84

2. Hutusaidia kuweka daraja kwa mafunzo magumu. 3. Hutusaidia kutuliza wasikilizaji. 4. Hutusaidia kufanya uamulizi na mafumizi yake.___________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MISHENI VI. NJIA ZA KUFUNZA Njia zinapaswa kuwa na maisha. Hatufunzi vipindi tunafunza watu. A. Toa maelezo B. Swali na jibu. C. Mjadala (Majadiliano) D. Toa hadithi E. Toa kazi na ripoti F. Mradi G. Hufanya kazi H. Mchezo wa kuigizaVII. JUA KILE MUNGU ANATAKA KUFANYA A. Mpango – jibu swali “kwa nini?” B. Kusudi – jibu swali “Kwa nini?” C. Unacho kimbila “vipi?” D. Jisome mwenye kwa ukamilifu, ufikirie wazi, uombe kwa moto. E. Kufunza na maonyesho ya ki roho na nguvu (1 Wakor 2-4)VIII. MTIHANI WA MWISHO

MISHENII. MISHENI NI NINI (Math 28;19-20; Marko 16:15-20; Luka 9:1-6, 24:46-49; Yoh 1:29; Mate 1:8; Waru 1:16-17) A. Maelezo ya neno. 1. Kuwa chini ya amri kutekeleza kazi fulani. 2. Operesheni au kazi ya kivita. 3. Kikundi cha watu waliotumwa katika nchi ya nje kujadiliana, kufanya kazi maalum au huduma na kuanza uhusiano. 4. kuutekeleza utume mkuu. B. Utume mkuu 1. Math 28:18-20 “Na Yesu……..”

a. “Nenda”b. “Funza” 1. Kuelezea 2. Kuwasilisha elimu au maarifa, kutoa maagizo.

c. “Mataifa yote” 1.Taifa linatoka kwa neno la kiyunani “ethnics” ambalo linamaanisha kabila. Haswa

linamaanisha kabila lisilokuwa la kiyaudi (asiyemjua Mungu) maneno mengine yanayomaana sawa ni: watu na mataifa, wasiokuwa na imani sawa, watu.

2. Injili ya Yesu ni kwa wote - kabila, ulimi n.k.

85

d. “Batiza”e. Baba, Mwana na Roho Mtakatifu – utatu mtakatifu.

___________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua MFU MO WA MWAKA WA PILI MISHENI f. “Angalia”

1. kuweka tazamo maalum kwake. 2. Marko 16:15 – “Na akanena……. Kwa kila kiumbe” a. “Nenda” b. “Hubiri”

1. Kutngaza.2. Kuhimiza au kulutea kwa uaminifu.3. Utume mkuu ina maana kwamba kwa muda uliendelezwa wa jambo,

endelezwa ya umuhimu wa kwanza.4. Utume mkuu – neno utume imegawanywa mara mbili sehemu ya kwanza

ikiwa na maana “na, pamoja au wakishikana.” Sehemu ya pili ina maana kwamba kuwa chini ya amri hukamilisha jukumu. Kwa hivyo jumla ina maana kuwa kitendo cha kumpa mtu mamlaka kutkeleza kazi fulani.

5. Kibali kilichotolewa na afisa anayetoa amri wa waamini wote. C. Mtazamio wa Bibilia au wamisheni 1. Uinjilisti na uhubira Kristu. 2. Hali ya moyo iliyowekwa kwa kitendo kwa kuwapenda majirani wetu kama sisi wenyewa kuwatumia wale waliotengwa na kupakwa na kupakwa na Roho Mtakatifu kwenda nje kwa mataifa ya ulimwengu (Yoh 20:21; Yak. 1:22) 3. Panda mbegu ya Kristu nyoyoni ya mwanadamu ambayo hutoa maisha ya Kristu ndani yao. 4. Kuendeleza ufalme wa Mungu kwa fujo kwa kuhubirki injili na kufanya wafuasi wakristu walio na nidhamu. 5. Makabiliano yenye nguvu ni Mungu wa ulimwengu, shetani. D. Kusudi la Yesu la kuja duniani. 1. Wenye dhambi (1 Timo 1:15) 2. Mwana wa Petero (Luka 19:10) E. Kipaumbile cha kwanza cha Mungu 1. Mapenzi ya Mungu ni katika watu wote ambao Yesu aliwafia (Yoh 3:16,17; 1 Petro 3:9) 2. Ufanisi ni kufanya yale Mungu aliamrisha (Yak. 1:22; Yoh. 15:16)II. MBONA MISHENI? A. Maneno ya mwisho ya Yesu. Lakini mtapokea nguvu…..machoni pao (Mate 1:8-9) a. “Nguvu” – inazungumzia nguvu katika tendo (k.v miujiza, uwezo, kazi za nguvu) b. “Shahidi” – Yule anayeonyesha ushuhuda kwake na kuonyesha kitu. B. “…. Kushinda kwa kuwa mwana kondoo aliyechinjwa tunda la kwanza la matendo yake” (Samweli Zwemer)

86

C. Kuleta kuja kwake kwa pili (Math 24:14)

___________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

MFU MO WA MWAKA WA PILI MISHENI III. UMUHIMU WA MISHENI A. Idadi ya watu ulimwenguni inasemekana kuwa zaidi ya watu bilioni 5.7 kwa wakati huu asili mia 30 tu wanasemekana kuwa na uhusiano na kanisala kikristu. (Opereshoni, 1993) B. Takribani watu 80,000 hufa kila siku. 1. Zaidi ya 3,200 hufa kila saa. 2. Wengi hawajawai kumjua Kristu. C. Watu wengi duniani wanamjua koka kola kuliko Yesu. D. Takriban waprotestanti 88,000 wako katika uwanja wa misheni. Hii ina maana kwamba kunao wamishonari wapatao 24 kwa kila milioni moja ya wasio wakristu ulimwenguni (operation world, 1993) E. KIongozi mkristu Oswala Smith alisema, “hakuna aliye na haki ya kuisikiliza injili mara mbili,tatu au kumi ilahali mabishoni hajaisikia mara moja.”IV. JUKUMU LA KANISA LA NYUMBANI KWA MISHENI A. Kazi kuu ya kanisa ya uwinjilisti wa ulimwengu (Utume mkuu) 1. Tazama.

a. Kuwa na mtazamo wa uwanja (Yoh 4:35) 2. Omba.

a. Omba wafanyikazi (Math 9:37-38) 3. Nenda (Marko 5:19-20)

a. Nenda wewe mwenyewe.b. Mtume mtu baadala yako.

4. Saidiya.a. Tumeficha kusaidia kumfunza mmishonari katika uwanja (Luka 8:3; Wafil 4:15-19)

B. Mmishonari. 1. Aliyeinuliwa kutoka kwa kanisa la nyumbani. 2. Aliyetumwa kutoka kwa kanisa la nyumbani kwenda kwqa uwanja ya misheni.V. MMISHONARI NI NANI? A. Amani isiyokuwa ya kibibilia. 1. Yule anayetoka katika nchi tajiri, aliyeendelea katika elimu na teknologia. 2. Amekuja kuwasaidia wale wasiosaidika kwa kuanzisha mashule, mahospitali na miradhi ya kilimo na pia inahubniri injili kwa sababu ya msingi wake. 3. Utume mkuu ni kwa vikundii spesheli vya wakristu walioitwa kwenda kwa hudma wa misheni. B. Maana ya kibibilia. 1. Mmishonari anatoka kwa neno la kilatini “miito” lililo na maana kuwa “kutumwa”. Neno la kiyunani ni “apostelo”. Mmishonari halipatikani katika Bibilia. Waef 4:11 inatumia neno mtume(kiyunani, “aliyetumwa”)

87

2. Mmishonari ni mtu aliyetumwa na utume kutoka kwa mamlaka ya juu (Yoh.20:21) tazama nguvu kwa utume mkuu. __________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MISHENI 3. Kwa muujibu wa maandiko, kila mkristu anayosehemu katika misheni, kila mkristu ni aidha aende au atumwe (Mat 28:18-20; Mrk 16:15-16; Yoh 15:16,20-21; Rum 10:14-17) 4. Wamishonari ni watu waliotumwa na Mungu kuleta Neno lake na nguvu ya wokovu katika ulimwengu. Kutumwa inazungumzia kwenda (Rum. 10:15) 5. Mwenye kutoa anayebaki nyumbani na yule mwenye kutumwa wanatekeleza kazi pamoja. Zawadi ni sawa (1 Sam. 30:24)VI. TABIA ZA MMISHONARI A. Yule ambaye anazidisha Yesu, sio mwenyewe. B. Mtu anayelete maisha ya kiroho kwa mwingine.VII. VIFAULU MUHIMU VYA MMISHONARI Iwapo mmishonari ana udhaifu katika au anakosa moja wapo ya yafuatayo, kazi yake inaelekea kuathirika. A. Kujitolea Kujitolea kwa Kristu na injili yake kwa moyo wote ni hitaji (1 Kor. 1:1-2) B. Kiroho 1. Huduma wa Kristu ni lazima kujali kiroho. 2. Thamani ya milele ya nyoyo na vitu vya Roho ni lazima vichukue nafasi ya kwanza akilini mwa mtumwa wa Kristu kwa wapotevu (Rum. 8:5-14) C. Imani 1. Ni lazima aishi kwa imani katika wanja za misheni 2. Ni lazima amwamini Mungu kwa mahitaji yake yote, mali na kiroho (Gal. 3:11; Ebr. 11:1-2) D. Upendo 1. Upendo wa Mungu ulimsababisha kumtuma mwanawe ulimwenguni kuwafia wenyey dhambi ni upendo ule ule unaomtuma mmishonari kufanya wokovu ujulikane 2. Mmishonari anatarajiwa kuwa mfano wa upendo wa Mungu kwa mwanadamu 3. Hapaswa kuchagua kuwapenda wale ambao wanapendeza tu (Mat. 9:36; Mrk. 14:14; 1 Kor. 13) E. Ujasiri ulio haki 1. Ni lazima awe na ujasiri kusimamia yale anayoyaamini 2. Msimamo thabiti wa zuri na mbaya ni muhimu kwa mmishonari 3. Ni lazima awe na ujasiri kufanya yale anayoamini yajulikane (Gal. 2:11-17) F. Kusudi (Rum. 1:16, 15:18-20) 1. Mmishonari na lazima awe mtu wa maono 2. Ono lake ni lazima liwe la juu na linalostahili kuelekea kwa kile anachojitolea kwa Kristu maishani mwake 3. Anahitaji kuwa na ono litokalo kwa Mungu

88

a. Ni lazima aulize moja iwapo hana lo lote kutoka kwa Bwana (Hes. 13:30, 14:6-10; Rum. 1:16, 15:18-20) G. Upambanuzi __________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MISHENI 1. Hii ni kuwa laini na Roho Mtakatifu 2. Pia ni “hali ya akili” 3. Uendelezi wa huduma wake mara kwa mara hutegemea na upambanuzi wake 4. Ni lazima awe na uwezo wa kupambana na upambanuzi usiopendeza na kupambanua mambo yaliyoko 5. Ni lazima awe tayari kukubali shida na ugumu wake na ajue kwamba majibu ya usomi hayatafanya kazi (Mdo 5:1-11, 6:1-7) 6. Usiwaruhusu wagibioni wakudanganye (Yos. 9:3; Mdo 5:1-4) H. Shauku kuu 1. Furaha 2. Mmishonari halisi ni mwamini kabisa 3. Shauku hii inaweza kuwa nzito na inayoongoza pole pole lakini imani ya kutekeleza ambayo huendelea licha ya upinzani I. Kutokoma 1. Ni yule aliyejifunza somo la kutokoma ndiye ambaye hushikilia kwanza 2. Amejifunza kuendelea licha ya kushushwa moyo 3. Bwana pamoja na wafanya kazi wengine wanaweza kutegemea 4. Hakuna mmishonari anayeweza kufurahia ufanisi halisi bila uvumilivu (k.v Musa, Eliya, Yesu na Paulo) J. Uongozi 1. Kazi ya umishonari inahitaji uongozi 2. Watake wasitake, wale wanaoenda nje kama wamishonari lazima wachukue nafasi ya uongozi a. Mmishonari ni lazima aongoze katika njia tano 1. Aongoze kwa mfano – akilete watu kwa Yesu 2. Aongoze waliobadilishwa katika ukuzi wao wa kiroho 3. Aongoze katika kuunda kanisa linalofanya kazi 4. Aongoze katika kuwafunza wafanyi kazi wa kitaifa ambao watamrithi 5. Lazima awe msitari wa kwanza na kuwajibika K. Sala 1. Ono huzaliwa kupitia sala 2. Waombee watu na taifa ambalo umeitwa 3. Tarajia Mungu kutendaVIII. LENGO LA MMISHONARI KATIKA UWANJA A. Kuwafikia watu wa taifa fulani na kisha kuwaimarisha katika Neno la Mungu. Lengo lile lile kama la kanisa la nyumbani lenyewe (Efe. 4:12-16) B. Kuanzisha kazi ambayo itaendeshwa na wananchi wenyewe 1. Kujiendeleza wenyewe 2. Kujikuza wenyewe 3. Kujitawala wenyeweIX. AINA MBILI ZA MISHENI

89

A. Kimataifa (misheni za nje) 1. Kazi inayoendeshwa nje ya taifa lako (Mrk 5:19, 20; Luk. 8:38-39; Yoh. 1:36-50, 4:28-30) B. Huduma za nyumbani__________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MISHENI 1. Kazi inayoendeshwa ndani ya nchi yako (Mrk. 1:35-39; Luk. 8:22-25; Mdo. 1:8, 8:5-8, 16:1; Gal. 4:4, 34-37)X. VIZUIZI KWA MISHENI A. Kizuizi ni nini? 1. Ni kiambaza, kikwazo au kizibo (Kamusi ya Webster) 2. Kitu au mtu anayezuia. 3. Kitu kinachosimama njiani mwako au kinachokusimamisha kutekeleza utume mkuu.B. Vizuizi kabla kwenda uwanjani. 1. Ukosefu wa fedha au deni. 2. Matayarisho yasiyokuwa kamilifu. a. Matayarisho ya kawaida 1. Panga nyumba yako. 2. Eka kila kitu chako sawa b. Matayarisho ya kiroho. 1. Ni lazima uwe na uhusiano muhimu na Kristu. 2. Shoka liliyo na makali hukata kuni nyingi. 3. Uoga a. Uoga wa kusononeka, ugonjwa na kifo. b. Uoga wa kutokuwa na starehe, njaa, na kutokuwa na ya kutosha. c. Uoga wa kutokuwa nyumbani, wazazi na marafiki, kwenda kwa nchi usiyoijua. d. Uoga wa kutokujua kile utakachopatana nacho huko. e. Uoga wa kutofaulu.C. Kanisa. 1. Ukosefu wa ono kwa nyoyo zilizopotea kwa uwanja wa misheni. 2. Ukosefu wa viongozi walio na ono la misheni. 3. Kutotaka kusaidia misheni kifedha. 4. Ukosefu wa maombi.D. Shaka na kutoamini. 1. Ukosefu wa imani ndani ya Mungu utazuia ye yote. 2.”Lakini bila imani…”(Ebr. 11:6)E. Kuwa na mambo mengi kukuhusu wewe (uchoyo).F. Kupuuza. 1. (Hos. 4:6) a. Hali za kiasili katika sehemu nyingine za ulimwengu. b. Kiroho – uwe tayari.G. Somo la dini (theolojia) 1. Hisia kali – Mungu atawaokoa wale anaotaka. 2. Aliyefunguka – ukristu sio ukweli na ni wa kipekee.

90

H. Kutotii Utume Mkuu.XI. VIZUIZI UWANJANI Ukiwa katika uwanja wa misheni, unaweza kumbana na viambaza ambavyo vitakufanya __________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MISHENI usiwe na matunda kama inavyokupasa.A. Kiambaza cha rangi au kabila B. Kiambaza cha lugha.C. Tofauti ya mavazi.D. Tofauti ya tabia.E. Tofauti ya utamaduni na itikadi.F. Ukosefu wa huruma na mapenzi kwa watu.G. Ukosefu wa kujitolea kwa kazi.H. Kuwa mwenye asiyeinjgizana na watu au asiyekuwa na urafiki.I. Ukosefu wa wafanyikazi wasiokuwa na ujuzi.J. Ukosefu wa nidhamu.K. Hisia mbaya.XII. SHUGHULI YAKO BINAFSI YA MISHENI.Utanulizi kwa misheni = Utume Mkuu (Mat. 28:19)1. Aya hii ni kibali cha kati cha ujumbe wa Kristu. Nikazi ya kimishonari ambayo tumeitwa kufanya.2. Katika kiyunani aya inasema “unapoenda, hubiri”. a. Hii ina maana kwamba kazi ya umishonari ni ya moja kwa moja kwa wakristu wote. b. Kila mkristu anapaswa kushuhudia ko kote aendako ulimwenguni. B. Kila mkristu ni mmishonari. 1. Kama kawaida kitu huzaa kinachofanana. a. Kilichojengwa ndani ya kiumbe cho chote kilicho na afya ni uwezo na shauku ya kuzaana. b. Vitu tasa vinaweza kuonekana vizuri nje lakini havina uwezo wa kuzaana. 1. Makanisa yasiyokuwa na uinjilisti hufanyika tasa. C. Kristu anakuita uwe mwanga kwa ulimwengu (Mat. 5:14; Yoh. 3:19) 1. Mwanga hupenya giza, ukifunua dhambi. 2. Taa yako ni aidha inamaka auj imezima. Hamna taa inayokuwa nusu imewaka. D. Upendo wa Kristu unakuthibiti na kukushurutisha (2 Kor 5:14) 1. Sio penzi lako kwa Kristu bali penzi lake kwako ndilo linalo kuthibiti wewe. Tunatiwa motisha kwa mfano wake wa kidhabihu. Inakushurutisha kupenda kwa njia hiyo hiyo. E. Kristu anakuita umfuate yeye (Mat. 4:9) 1. Kumfuata Kristu inamaana kuwa wavuvi wa watu. 2. Tunapokuwa na ushirika na Kristu, ni lazima ihusishe “ushirika”. Tunaitwa kutembea katika nyaya zake na kufuata mfano wake. F. Wito wako (Yoh. 15:16)

91

1. Uliumbwa kwa furaha ya Mungu, ukichaguliwa kwa kumfurahisha kwa kuzaa matunda.__________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MAELEZO ZAIDI 2. Ulikombolewa kwa sababu ya hiyo (Yoh. 15:16) 3. Umetayarishwa kwa sababu ya hiyo (Efe. 6:11) 4. Umetiwa nguvu kwa hiyo (Yoh 20:22; Mdo. 1:8) G. Lifanye lengo la Kristu kuwa lako (Marko 8:34) 1. Lengo la Kristu = Kuwavuta watu wote kwake (Yoh 12:32) 2. Lengo la Kristu = Kuuokoa ulimwengu ( Yoh 3:17) 3. Kama wakristu ni lazima tuelekeze malengo yetu kwa Kristu kama saidizi na kuyafanya yawe moja. 4. Sio kwa fahari, riziki, familia na marafiki ambao tunaishia. Tunaishi “kumjua Kristu na kumfanya ajulikane”. 5. Misheni ni hali ya maisha. Kila siku utakuwa na fursa ya kuwavuta watu kwa Kristu.

MAELEZO ZAIDI.

I. SAFARI ZA KIMISHENI ZA PAULOA. Safari ya kwanza (46 – 48 A.D) – Paulo, Barnaba na Yohana Marko. 1. Seleukia, Kipro, Perge. 2. Pisidia – Antiokia, Ikonio, Listra na Derbe. 3. Antiokia na Barasa la Kitume. (Mdo. 15:1 – 35)B. Safari ya Pili (49 – 53 A.D) Paulo na Sila. 1. Siria, Silisia, Pisidia – Derbe, Listra (Timotheo) Ikonio, Antiokia. 2. Frigia, Galatia, Troa. 3. Makedonia – Neapoli, Filipi, Amfipoli, Pollonia, Thesalonike na Therea. 4. Ugiriki – Atheni na Korintho (Aqua na Priscilla) wakiishi Korintho kwa mwaka mmoja na nusu. C. Safari ya Tatu (54 – 58 A.D) – Paulo. 1. Galatia na Selukia. 2. Efeso (Aliishi zaidi ya miaka 3) 3. Makedonia – Ugiriki – Makedonia. 4. Troa – Miletu – Safari ya Sisaria – (Agaba) – Yerusalemu.II. WAMISHONARI WENGINE. 1. Petro alikuwa mmishonari kwa wayahudi. 2. Yakobo alikuwa mmishonari wa nyumbani. 3. Yohana alikuwa mmishonari aliyeishi Efeso. 4. Thomaso alikuwa mmishonari India. 5. Mathayo alikuwa mmishonari Uhabeshi.

92

6. Barnaba alikuwa pia mmishonari. a. Alikuwa rafiki wa Paulo. b. Anaitwa mtume (Mdo 14:14)__________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MAELEZO ZAIDI

7. Wamishonari wasiotajwa. a. Walieneza imanoi yao ko kote walikoenda. b. Waliokoka siku ya Pentekote. c. Walienda nje na habari njema. d. Matendo 13 na 14.III. MAONI KUTOKA KWA WATU WA MUNGU KUHUSU MISHENI. A. Oswald Smith. 1. “Kazi kuu ya kanisa ni kuinjilisti ulimwengu. 2.” Tutakuwa na umilele wote kusherehekea ushindi lakini masaa machache tu hadi jua litue kushinda vita” B. Jerry Zirkle “misheni ya kanisa ni misheni”. C. Elliote W. Carrie “Hiki ni kizazi ambacho pekee kinaweza fikia kizazi hiki” D. Asiyejulikana “unaweza mpa mtu samaki na anaweza kuila kwa siku au unaweza kumfunza kuvua na anaweza kula maisha yake yote”. a. Chakula cha kawaida. b. Chakula cha kiroho = Neno la Mungu.IV. MANENO YA MISHENI. A. Misheni. 1. Hisia inayowekwa katika tendo kwa kupenda majirani zetu kama sisi wenyewe; kutuma wale waliotengwa na kupakwa na Roho Mtakatifu kwenda nje katika mataifa ya ulimwengu. 2. Kuedeleza ufalme wa Mungu kwa kuhubiri injili na kuwafanya wafuasoi wenye nidhamu wa Yesu Kristu B. Mmishonari – Aliyetumwa. 1. Inatoka kwa neno la Kilatini “mitto” ambalo linamaanisha “kutuma”. 2. Neno la Kigiriki ni “apostello”. 3. Kwa Kiingereza ni mtume. C. Mtume: Aliyetumwa ( Efe. 4:11),aliyetiwa nguvu kufanya kazi ya Yesu. D. Idadi ya watu ulimwenguni – bilioni 5.7 katika mwaka 1993. E. Kikundi cha watu – Umati wa watu ambao wanajiona kuwa na uhusiano wa karibu kwa sababu ya lugha, dini, kabila, makazi, kazi, kiwango,hali n.k. wanazoshiriki. F. Watu wasiofikiwa – Kikiundi cha watu wasiokuwa wakristu ambao wanaweza kuwainjilisti bila usaidizi wa nje.

93

G. Dirisha – “Hii ni sehemu ya ulimwengu inayojumlisha Afrika Kaskazini, Mashariki ya kati na Asia. Sehemu hizi ni hitaji zaidi zilizo na watu waliofikiwa kwa uchache sana na serikali zake hupinga ukristu. H. Tamaduni – Hali ya maisha ya kikundi ya watu inayohusu mila, lugha na sanaa.

__________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MUINJILISTI

MWINJILISTI

I.MUINJILISTI NI NANI . A. Huduma wa muinjilisti ni mkunjowa pande mbili: nusu yake ni nyoyo na nusu nyingine ni uponyaji. 1. Ujumbe mkuu wa muinjilisti ni Kristu; sio kanuni au dini. 2. Huduma wake unaandamana na uponyaji na miujiza. 3. Yeye ni mhubiri na sio mwalimu. B. Sisitizo la muinjilisti pia ni kunjo mbil: kuwaongoa wenye dhambi na kuvuvia watakatifu. 1. Eneo la muinjilisti ni ulimwengu. 2. Ndoto yake ni kila goti lipigwe na kila ulimi ukiri kuwa ni Bwana (Flp. 2:10 – 11) 3. Huduma wake pia ni wa kuchochea watakatifu. C. Muinjilisti ni yule aliyepakwa na Roho Mtakatifu na nguvu.II. MPANGO WA MUNGU WA KUWAFIKIA WASIOFIKIWA (Mdo 8:5 – 8) A. Neno (injili) limehubiriwa. 1. Imani huja kwa wokovu kwa kusikiza mahiubiri ya wokovu. 2. Imani huja kwa kusikiza/miujiza/ukombozi kwa kusikiza injili ya hayo. 3. Ni sheria ya kiroho kwamba upate yale unayohubiri. 4. Mungu anachagua njia ya kuhubiri, kuponya na kuokoa waliopotea. a. Upokezaji wa neon la Mungu kupitia mahubiri ni tofauti na yale yaliyoandikwa. Biblia inasema kwamba imani huja kwa kusikiza mahubiri ya Neno la Mungu (Rum 10:17) b. Watu wanashawishika zaidi na kiwango cha ushawishi wako kuliko urefu wa uamuzi wako. B. Neno injili linathibitishwa na ishara na miujiza. 1. Ni nguvu za Mungu zilizoonyeshwa ambazo hushika fikira za watu. 2. Watu wanashangazwa na miujiza, lakini huamini kupitia kuhubiri kwa Neno. 3. Ishara na miujiza ni njia ya Mungu ya kubadilisha mataifa (Rum 15:18 – 19)III. HUDUMA WA KUHUBIRI (Luk 4:18) A. Upako wa kuhubiri.

94

1. Mungu hupaka (huwapa nguvu, husaidia) wahubiri kutoa injili. 2. Msaidizi wa mhubiri ni Roho Mtakatifu. a. Yeye ni muumbaji wa uhai wote. b. Yeye huhukumu na kumshawishi mwenye dhambi kuhusu nafasi yake iliyopotea. 3. Maumbile ya mhubiri: uwe wewe mwenyewe.__________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MUINJILISTI B. E5 za kuhubiri. 1. Enye maombi. 2. Enye hakika. 3. Enye vitendo. 4 . Enyewe. 5. Shawishi. C. Maandalizi: Kujiandaa mwenyewe. 1. Andaa akili zako kwa kusoma. 2. Andaa vifaa vyako, jua somo lako kwa undani. 3. Andaa moyo wako kupitia sala na tafakari la Neno la Mungu. D. Upenyo wa neon (Kum. 6:6 – 7) 1. Neno ni kama moto (Yer. 23:29) 2. Neno ni kama nyundo (Yer 23:29) 3. Neno ni kama upanga (Ebr. 4:12) E. Viungo muhimu vya kuhubiri kwenye ufanisi. 1. Mtindo na upokezi – mara tofauti kati ya kuhubiri kwa kawaida au kukuu. a. Vitendo vya mikono, uso na macho. b. Unda picha kwa maneno yako. c. Sauti na vitendo: jua wakati wa kuopasa sauti au sauti kuwa chini. d. Kuwa thabiti katika shawishi zako. e. Kuwa mwenye furaha, aliyefurahishwa na Mungu. f. Jua kanuni yako. 2. Tiririka na Mungu, usihubirintu kile unachotaka. 3. Matarajio, usiwape kila kitu kwa pupa (Mdo. 14:7 – 10) F. Kuhubiri kwa ujasiri (Efe. 6:19 – 20) 1. Kuwa mjasiri kutalete ukosoaji, usumbufu na taabu, lakini kutalete ishara na miujiza na kuzaa matokeo (Mdo 4:13, 29, 19:8) 2. Neno “kwa ujasiri” na ujasiri limetumika mara nyingi kuhusiana kuhubiri kwa mitume (Mdo 4:13, 29-31, 14:3, 19:8) 3. Tayari tunayo imani, nguvu na Roho Mtakatifu na kile tunachohitaji sasa ni ujasiri kuitangaza. a. Tunavyo vifaa kuifanya kazi hii sababu ya wengine kutofanya kazi ni ukosefu wa ujasiri.

95

b. Kuongeza tu ujasiri kwa baadhi ya wahudumu kutalete tofauti kati ya kushinda na kushindwa. c. Biblia inasema tunaweza uliza Mungu ujasiri. G. Tunahitaji ujasiri kwa njia tatu. 1. Kuelekea mbinguni – Mungu – eneo (Ebr. 4:16, 10:19, 13:6) 2. Kuelekea duniani – mtu – eneo (Flp. 1:12-14; 2 Kor. 10:1)__________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MUINJILISTI 3. Kuelekea jehanamu – Shetani – eneo (Efe. 3:8-12) H. Ni nini husababisha ujasiri. 1. Sala – kuwa na Yesu (Mdo 4:13) 2. Kujua Mungu yu pamoja nawe (Ebr. 13:6) 3. Damu ya Yesu (Ebr. 10:9) I. Kuhubiri kwa nguvu na ufanisi 1. Mtu anaweza sambaza kufikiria kwake kwa mtu mwingine kwa ufahamu, lakini ufahamu pekee hakuwezi lete hisia 2. Maafisa walisema kumhusu Yesu “hakuna mtu anayeongea kama mtu huyu” (Yoh. 7:46) 3. Katika shamba Yesu alisema “mimi ….. (Mdo 6:10) a. Kuhubiri kwa Petro katika Pentekote kulichoma mioyo za wasikilizaji (Mdo 2:37) b. Yohana Mbatizaji aliuuvutia umati mkuu ili hali hakuwa na miujiza 4. Taarifa ni kunena na mamlaka ya Roho juu ya mjumbe J. Wahubiri aina sita wasiokuwa na ufanisi katika mawasiliano. 1. Mnena kizee – mahubiri yake ni kuonyesha talanta yake kuliko kukamilisha lengo la mawasiliano 2. Mtia zoezi maneno – anapenda kutumia maneno magumu marefu ili aonyeshe ujuzi wake wa lugha sio kuwasiliana. 3. Mnena na hekima – yuko na hisia ya “mjua yote” 4. Mnena kama wimbo – hujiongelesha, huwezwa na uoga na hajali kama mtu anamsikia au la. 5. Mkosaji – huonekana kuaibika nay ale anayosema 6. Mrusha maneno – hawezi wasiliana kwa sababu hana wazo la kati la kuwasiliana K. Makosa ya kawaida ambayo wahubiri wachanga hufanya. 1. Kuhubiri jumbe ambazo hazina moto moyoni mwako: Usiende madhabahuni bila moto moyoni mwako. 2. Umati – fikiria a. Kizingatia waliyo na njaa b. Kutumia mifano na watu akiwauliza waje mbele 3. Ukosefu wa uhakika a. Ujue umeitwa kupanga ,na kukomboa b. kunayo zaidi kwa akili za watu kuliko wewe 4. Mahubiri marefu

96

a. Ni vyema kuwa na watu wanaopaza sauti wakitamani ukome b. Usiwachoshe watu c. Weka mahubiri yako fupi ili yapendeze L. Vielekezo vya usaidizi 1. Zungumza kile unachojua 2. watazame watu vyema 3 Weka akili yako kwa somo sio watu 4. Ruhusu uongozi wa Roho Mtakatifu__________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MUINJILISTI IV. KUHUDUMU KANISANI A. Vitu kadhaa ambavy hufanya ibada muhimu 1. Fanya orodha ya mambo muhimu 2. Tambua mwelekeo ambao Mungu anataka ibada iendelee 3. Usiwaruhusu watu wathibiti hali ya anga au hewa ya siku 4. Anza ibada kwa wakati n.k. B. Tabia nzuri zinazostahili kwa ibada 1. Heshimu mamlaka, mchungaji 2. Usikosoe 3. Usimshauri ye yote bila ruhusa VI. HUDUMA WA UPONYAJI A. Katika moyo na akili za kila mhudumu uponyaji ni lazima uwepo kama mapenzi ya Mungu kwa wote. 1. Uponyaji uko katika agano, msamaha, huduma wa Kristu, utume wa Kristu na kanisa la kwanza. 2. Iwapo ni mapenzi ya Mungu kwa mtu kuwa mgonjwa kwa hivyo ni mapenzi yake pia wengine kuwa wenye dhambi. B. Makundi matatu ya uponyaji – Yesu aliwaponya watu kwa njia tatu 1. Kupitia imani (Mdo 9:27-29; Mar 10:46-52) 2. Kupiti kwa vipawa/thihirisho za Roho Mtakatifu 3. Yesu alikuwa amepakwa kwa Roho Mtakatifu (Mdo 10:38; Yoh. 5:1-9) 4. Kupitia kwa upako au nguvu a. Yesu alikuwa na upako wa nguvu (Mdo 10:38) b. Paulo alikuwa na upako wa nguvu (Mdo 19:11-12) C. Njia za kuachilia nguvu za Mungu 1. Kuwekea mikono (Mrk 1:41, 16:18; Mdo 28:8) 2. Nena Neno (Mdo 8:16) au wafunze kunena 3. Waambie watende (hii inajumulisha kuungama)(Luk. 17:11-19; Mdo 14:7-10) 4. Fanya jambo mwenyewe (Mdo 3:7) 5. Wapake kwa mafuta (Yak 5:14-15) 6. Kuwekelea vitambaa (Mdo 19:11-12) 7. Imani na upako ndiyo hufanya mambo haya yote kutendeka. 8. Kuachilia nguvu kwa wingi a. Waambie watu wajiwekelee mikono b. Waambie wamwambie Mungu kile wanachotaka (Mrk 10:51) c. Mshukuru Mungu kwa kukusikiza wewe (Yoh 11:41-42)

97

d. Muulize Mungu adhihirishe Neno lake (Mrk 16:20)

__________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI HUDUMA WA SAIDIZI

HUDUMA WA SAIDIZI

I. HUDUMA WA SAIDIZI NI NINI

A. Kutoa usaidizi kwa wengine, kuwasiadia wengine B. Huduma wa saidizi una chanzo chake katika shamba la Edeni 1. “Na Bwana Mungu….. Kuitunza” (Mwa. 2:15) 2. “…… Nitafanya msaidizi (mwanamke wa kwanza) anayefaa kwake (Mwa 2:18)II. HUDUMA SAIDIZI NI WITO A. Mungu ameita na kuweka katika mwili (1 Kor. 12:27-28) 1. “Na Mungu …….ndimi (A. 28) a. Saidizi ni kipawa kisichokuwa cha kawaida kilichowekwa kanisani kushikilia mambo. b. Ni kushughulikia mambo ya kiroho katika hali ya kawaida. B. Huduma wa saidizi ni sehemu ya mwili a. “Kwa kuwa mwili ni mmoja……. Kristu alivyo (1 Kor. 12:12) b. Vyote vina umuhimu lakin kazi tofauti (1 Kor. 12:14-17)III. NEEMA IMETOLEWA KWA KIPAWA CHAKO A. Neema ni pendeleo usilostahili; ni ile inayotoa furaha. 1. Neema kati kati ya mateso (Mdo 11:19-21) a. Na mkono wa Bwana ulikuwa nao (A. 21) walipoenea nchi zingine wakifunza wanapoenda b. “….kikundi kikuu kikaamini” (A. 21) 1. Wema wa Bwana ulisababisha uongeze. 2. Barnaba alikiwa Antiokika. a. “Alienda ….. (Mdo 11:23) B. Maeneneo yanatohitaji neema 1. Unahitaji neema unapofanya kazi katika eneo ngumu 2. Unahitaji neema wakati viongozi wako hawatambui kazi yako au juhudi zako a. Kazi yako ni kwa Bwana sio wanadamu b. Angalia/hisia zako. Wacha kuthania (2 Kor. 10:5). Tembea katika upendo (1 Kor. 13) na usiudhike! c. Angalia mdomo wako (Yak. 3:3). Mauti na uzima vimo katika nguvu za ulimi (Mit. 18:21)

98

C. Kristu ndiye hutupa neema (Efe. 4:7-8) 1. Kila mmoja amepewa neema kulingana na kipimo cha kipawa cha Kristu (A.7) 2. Alitupa neema alipopaa (A.8)IV. KUSUDI LA KIPAWA (Efe. 4:11-12) A. Unafanya sehemu muhimu – kawaida __________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI HUDUMA WA SAIDIZI

1. Kuandaa watu wa Mungu kwa kazi B. Neema na vipawa vya Mungu vinapaswa kutumika kusaidia mwili wa Kristu- kiroho 1. Kwa kuboresha watakatifu 2. Kwa kazi ya huduma 3. Kulisha mwili wa Kristu C. Athari ya hayo mawili kuja pamoja ni mlipuko 1. Itasababisha ukuzi a. “…kwa kipimo cha kimo cha ujazo wa Kristu” (A.12) 2. Italinda waamini (A.13) a. Hawatarushwa huku na kule na kila wimbi la kanuni b. Hawatarushwa huku na kule na udanganyifu na janja za watuV. FANYA MWITO NA KUCHAGULIWA KWAKO HAKIKISHO “Kwa hivyo … ufalme wa Bwana na mwokozi wetu Yesu Kristu” (2 Pet. 1:10)VI. NAMNA YA KUTENDA KAZI NA KIONGOZI WAKO A. Kiongozi ni lazima awe na bora za kitabia zifuatazo 1. Awe mwaminifu, mwenye ukweli, mtiifu, mnyenyekevu, mwanzilishi, atembee katika upendo kila wakati. B. Kila kiongozi ni tofauti; jifunze kile kila mmoja anatarajia na kuhitajiVII. WAWEZA TU KUPANDA NGAZI KUTOKA CHINI, WALA SIO KUTOKA JUU A. Kiongozi anaweza kupeleka watu mahali mwenyewe ameshakuwa. B. Kwa kawaida ni lazima upande ngazi mwenyewe, ukiongoza watu C. Ni lazima pia uwe na uwezo wa kuongoza watu kiroho 1. Ono (lililotolewa na Mungu) ni hitaji 2. Kiongozi anaweza peleka watu mahali hajafika kikawaida, lakini sio kirohoVIII. UNACHOPASWA KUTENDA KAMA MTENDAJI KAZI KATIKA HUDUMA SAIDIZI A. Fanya hali ya Neno kwenda mbele B. Jibidiishe kwa ubora C. Shiriki ufahamu/kazi yako kama kikundi D. Kila mara tafuta kusaidia wengine E. Uwe na amani na wote F. Uwe kwa mpango na uepuke kuchanganyikiwa G. Uwe mpole na mwenye heshima H. Uwe mwenye kupatikana I. Uwe msafi J. ujue mahali mamlaka yako inafika K. Fanya kazi yako kwa Mungu.IX. KILE HAUSTAHILI KUTENDA KAMA MTENDAJI KAZI KATIKA HUDUMA SAIDIZI A. Usitafute kuheshimiwa B. Usitafute kutambuliwa C. Usionyeshe upendeleoX. HUDUMA SAIDIZI NI NJIA YA MAISHA

99

A. Huduma saidizi husimama katikati ya mhudumu au kiongozi na kikundi au watu 1. Humtumikia mhudumu; hushika mikono yake (Musa) 2. Hutumikia kundi au watu (kama vile uelekezi, sifa na abudu, kazi ya watoto) n.k.XI. SAIDIZI – UTUMISHI A. Kristu alikuja kama mtumishi (Mat. 20:28) __________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI HUDUMA WA SAIDIZI B. Iwapo Kristu alikuja kama mtumishi; kwa hivyo nasi pia tunapaswa kuwa watumishi (Mat. 20:26, 27) C. Chunga kujiunua D. Upole kiasi ni sehemu muhimu ya kutumikia 1. Upole kiasi ni mahali pa kumtegemea Mungu kabisa, bila kuamini katika fahari, cheo, au uwezo. Ni mahali unaponyenyekea kwa kile Mungu akekuandalia.XII. WANAFUNZI WA YESU WALITUMIKA A. Walipatiwa kazi ya kulisha watu elfu tano (Mrk 8:6) B. Walisafisha baada ya watu kula (Mrk. 8:8)XIII. NI NANI ALIYEHUDUMU KWA MAHITAJI YA YESU A. Mwanamke msinzi mwenye dhambi (Luk. 7:37) 1. Jinsi gani – alitumia nywele yake 2. Na nini – akitumia machozi na marhamu yake B. Wanawake wengine wengi walimhudumia Yesu 1. Wanawake wengi walikuweko, walitazama kwa mbali. Walikuwa wamemfuata Yesu kutoka Galilaya kushughulikia mahitaji yake (Mat. 27:55) 2. Mwanamke aliyekuja na chupa ya marashi ya bei ghali akamwagilia kwa kichwa (Mrk. 14:3)XIV. WAHUDUMU WA SAIDIZI KATIKA AGANO JIPYA A. Wanafunzi walifikiri kuhusu wajane na mgawo wa chakula cha kila siku (Mdo 6) B. Nyumba ya Stefanos (1 Kor. 16:15) C Akwila na Prisila (1 Kor. 16:19)XV. HUDUMA WA SAIDIZI KATIKA AGANO LA KALE A. Neno lililotumika: mbebaji silaha – yule anayesimama kando ya kiongozi wake; kumsaidia. 1. Yonathani na mbebaji silaha wake (1 sam. 14:12-17) B. Daudi alitumikia Sauli katika huduma wa saidizi (1 Sam. 16:14) 1. Alitumikia Sauli na akamhudumia katika mziki (1 Sam. 16:16-18) 2. Alimtumikia Sauli kama mbebaji silaha wake (1 sam. 16:14) C. Nehemia (Mbeba kikombe mwenyewe) Anayekunywa mvinyo kabla ya mfalme iwapo imetiwa sumu. 1. Utiifu wake kwa mfalme ulimletea upendeleo kuliendeleza ono la Mungu D. Naamani, mtumishi wa mfalme (2 Fal. 5:1) 1. Amri jeshi kwa mfalme 2. Mtu mkuu machoni pa Bwana wake 3. Kupitia kwake ushindi ulipatikana

100

XVI. MAENEO HASWA YA SAIDIZI KATIKA HUDUMA AU KANISA A. Mkaribisho – kujumlisha kuandaa, mziki, kwenda nje – barabarani, nahospitali, magereza B. Kiufundi C. Chekechea au watoto/vijanaXVII. MAENEO HASWA YA SAIDIZI KATIKA HUDUMA WA SHULEA. Kupanga vyombo, ufundi, kurekodi B. Kuweka vitabu, kugawa vitabu__________________________________________________________________________

Huduma Za Neno LiishiloMFUMO WA MWAKA WA PILI MCHUNGAJI

M C H U N G A J I

I. UTANGULIZI Kusudi la darasa hili ni kutia ujasiri ili ufanye kazi vyema katika nafsi na ofisi ya mchungaji A. Maelezo. Huduma wa uchungaji ni moja wapo ya vipawa vilivyotolewa kwa mwili wa Kristu (Efe. 4:11-15) 1. Kuandaa watu wa Mungu kwa kazi za huduma 2. Kulisha mwili wa Kristu 3. Kuongoza watakatifu kwa ubora (ukomavu)II. YESU, MFANO BORA KATIKA UCHUNGAJI WEMA MCHUNGAJI (Yoh. 10:14-16) A. Misheni yake ilikuwa ni kutafuta na kuokoa wapotevu (Luk. 19:10) B. Alikutana na mahitaji kwa kuhubiri, kufunza, kuponya na kufanya wanafunzi C. Mchungaji anatarajiwa kuufuata mfano wa Kristu anapowaongoza watu wake (1 Kor. 11:1)III. MWITO WA MCHUNGAJI A. Kutambua wito (uwe na hakikisho kwamba unafanya kile ulichoitwa kufanya) B. Ni mwito mtakatifu kutoka kwan Mungu Mtakatifu. Ni lazima uwekewe sifa bila uchafu (2 Tim. 1:9)IV. MAHITAJI YA HUDUMA, YA KIROHO NA KIKWELI A. Mahitaji ya Kibiblia – tabia (1 Tim. 3) 1. Mke wa mchungaji B. Hali sawa ya mwili na akili (linda moyo wako)V. KAZI YA HUDUMA A. Mchungaji ni kuchunga, lisha na funza watu wake, akitunza wale waliowekwa chini ya ulinzi wake (1 Pet. 5:1-4) B. Kumjua Mungu kibinafsi kutamwezesha kuhudumu vyema C. Uwe mfano wa yale unayoyahubiri na kufunza. Tia zoezi kile unachohubiri na uhubiri kile unachotia zoezi.VI. KUJIANDAA KWA HUDUMA A. KIROHO. Dumisha maisha ya wakati wako na Mungu. Biblia ni kitabu chako kikuu lakini pia unahitaji Biblia ya maelezo na kamusi ya Biblia, tafsiri za Biblia, kitabu vya mafunzo ya Neno na kitabu cha ramani. B. KIUJUZI. Usiache uwanja wo wote wa ufahamu au nafasi ya masomo katika hudumaVII. HISIA YA MCHUNGAJI

101

A. Usijifikirie kujua yale unayotakiwa kujua, uwe mwenye kufunza. B. Endelea kukua C. Uwe mpole – jua namna ya kuitikia ukosoaji D. Uwe msikilizaji mzuri E. Fanya nafasi kwa ukuzi wa watu wako__________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI MCHUNGAJI F. Hauwezi kufanya kila kitu, wafunze wengine kufanya kazi ya hudumaVIII. MOYO WA MCHUNGAJI A. Moyo kama Mungu kulisha watu ufahamu na uelewaji (Yer. 3:15) B. Moyo wa mapenzi na huruma (Yoh. 10:11-16)IX. MPANGILIO WA KANISA – KUWEKA VIFAA A. Serikali ya kanisa la nyumba B. Usimamizi wa kanisa na operesheni ya vifaa hivi C. Jengo nzuri la kanisa linahitajika uwana chamaX. MAADILI NA TABIA A. Kazi ya mchungaji kuhusu fedha za kanisa. B. Uhusiano wa mchungaji na wachungaji wengine C. Uhusiano baina ya mchungaji na wafanyi kazi D. Mashauri (Mit. 15:22) E. Kuajiri na kufutwa kazi kwa wafanyi kazi F. Matembezi ya washirika, kutembelea manyumbani na mahospitali G. Kujiuzulu na kuacha kazi, sheria za kujiuzulu kufatwa. H. Wahudumu wengine 1. Namna ya kuwa mwenyeji wa mhudumu ngeni 2. Namna ya kuwa kama mhudumu mgeni, tabia za jukwaa I. UwajibikajiXI. MAANDALIZI YA MAHUBIRI (AINA YA MAHUBIRI) A. Funzo, maandishi, uwazi

102

__________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI WATOTO

W A T O T O

I. UTANGULIZI Utangulizi wa Neno la Mungu kwa watoto ni moja wapo ya huduma wa ajabu na unaozawadia ulimwenguni. Ni nafsi kubwa kuwasaidia watoto kuelewa ukweli ambao Mungu amefunua katika Neno lake. Kweli hizi ni muhimu kwao na kwetu. Kuwafunza watoto Neno la Mungu halihusu tu muktada wa ujumbe na njia anayotumia lakini pia maisha ya mwalimu. Ni vigumu kutenganisha mwalimu kutoka kwa ujumbe. Maisha yake ni lazima yaongee kwa sauti kubwa kuliko kinywa chake. Watoto wanahitaji mfano na wanaathirika na maisha yako, haswa iwapo wanakupenda na kukuheshimu (Flp. 1:27, Tit. 2:12) Hakuna aliyemkamilifu na kwa hivyo baadhi ya vifaulu vya mwalimu ni bora ambazo zitajengwa na kukomaa kupitia sala, utiifu na ujuzi (1 Tim. 4:12-16) Hauwezi kuwaambia watoto kumhusu Yesu iwapo haumjui wewe mwenyeweII. LAZIMA UWE NA USHAWISHI KUHUSU A. Neno la Mungu B. Kazi ya Mungu C. Mapenzi ya MunguIII. UWE MWENYE HURUMA A. Hautakuwa mfanyi kazi haswa iwapo hauna penzi kwa nyoyo zilizopotea ambao kwao umepeleka injili B. Mapenzi ni lugha ambayo watoto wanaelewa vyema. Wanajua ikiwa unawapenda au la, mapenzi yatakufanya msikilizaji mzuri, anayefikiwa, mwenye subira na utu wema. C. Huruma itakufanya uombee watoto unaowafunza kwa kulete mahitaji na shida zao kwa Bwana. Wanaweza kuwa watoto darasani ambao hakuna awaombeao na kuwapenda kuliko unavyofanya.IV. MAANA A. Watoto ni uriithi wa Bwana na tunda la uzao wake ni Neno (Zab. 127:3) B. Watoto wanapaswa kufunzwa, kupenda, heshimu na tii amri za Mungu (Efe. 6:1-3) C. Tumia njia za Mungu kuwafunza watoto (Mit. 22:6; Efe. 6:4; 2 Tim. 3:15)V. waongozi na uwelekezi watoto kwa bwana. A. Watoto wanapaswa kumkubali Yesu Kristu kama Bwana na Mwokozi wao mapema mashani. 1. Namna ya kuwaongoza watoto kwa Kristu. 2. Hitaji la Mwongozi (Rum 3:23) (Isa 53:6) 3. Njia ya Mungu kwa uokovu (Yoh. 14:6; 1 Kov. 15:3-4; Ibr. 9:22) B. Uliza maswali kuhakikisha umeelewa kila umekua ukifunzwa.

103

1. Yesu ni nani. 2. Yesu aliltumwa kukufannya nini. 3. Mbona ni Yesu pekee angefia dhambi zetu. 4. Ni nini kilitendeka kwa Yesu baada ya kufa. __________________________________________________________________________

Huduma Za Neno Liishilo MataifaYoshuaMFUMO WA MWAKA WA PILI WATOTO C. Penda, tunza, sifu na bariki mtoto wako kuliko kumkemea. 1. Njia bora ya kumfunza mtoto wako ni kwa mapenzi na nidhamum. Nidhamu bila mapenzi humdhuru mtoto. D. Unyenyekevu kwa mamake lazima ifunzwe. 1. Ni muhimu kwa watoto wetu kujifunza mapema maishani kwamba kuna adhabu kwa kutotii na zawadi kwa kutia kwao. E. Warekebishe watoto kwa hekima. 1. Dhumisha ushiriki muzuri na watoto iwapo wataenda kuheshimiwa na kupokea adhabu yako, Ufunuo 2:3-4 inaonyesga jinsi Yesu aliadhibu makanisa kwa kupongeza, rekebisha na kuhimiza. VI. KANUNI KWA TABIA BORA Bibilia inatupatia maagizo ya kufuata (Rum. 13:1-7). Kunyenyekea kwa sherehe za nchi ndio sio la. A. Wakati adhabbu itahitajika. 1. Fuata kanuni za kibibilia(Mit. 19:18) 2. Kila mara ujithibitie kimaneno na kimwili, usixadhibu katika hasira.

a. (Mit. 3:1-12; 12:1, 29:15-17) 3. Watoto watilifu bibiliani.

a. Yesu, Musa, Samweli, Daudi, Yusufu, Mjakazi wa Naomi.b. Mvulana mwenye mikate 5 na samaki 2.

VII. KATIKA KUTAMATISHA A. Yesu alitumia sehemu ya huduma yake, akisaidia, elekeza na kufunza watoto. B. Yesu aliwafunza wafuasi wake kupenda na kuheshimu watoto na sio kuwaudhi (Mate. 18:1- 14) C. Walikuwa wamesahau somo lao lakini Yesu aliwaonyesha umuhimu wa watoto. Aliwaita mkononi mwake na akawabariki akisema “Wacha watoto wachanga waje na msiwazeie” D. Ili uwe mffanyi kazi mzuri na mwaminifu wa watoto ni lazima uige Bwana na Mwokozi wetu na utembee katika pengo (Ife. 5:1)

104

__________________________________________________________________________Huduma Za Neno Liishilo

MataifaYoshua

105