Upload
others
View
16
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
JUM
A 1
, KidatoSHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Muhula wa KwanzaKIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
1
2
3
4-5
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi
Ufahamu
Sarufi
Vinyume vya vitenzi
Dhima ya fasihi
Usalama barabarani
Vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutofautisha baina ya kinyume na
kukanusha.· kueleza maana ya vinyume vya vitenzi.· kutumia vinyume katika sentensi sahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza dhima ya fasihi.· kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa sauti na kimya.· kubainisha umuhimu wa usalama
barabarani.· kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupambanua tofauti baina ya vitenzi
asili na vile vya kigeni.· kufafanua mzizi wa vitenzi.· kuainisha viambishi awali na tamati.· kutumia vitenzi sahihi katika sentensi.
· Marudio· Maelezo· Maswali na majibu· Mifano· Mazoezi· Kutofautisha
· Maelezo· Kuandika· Mifano· Tajriba
· Tajriba· Maelezo· Usomaji· Maswali na majibu· Utafiti
· Marudio· Mazoezi· Maelezo· Mifano ya vitenzi· Kazi mradi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 1-2
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 1-2
· Wanafunzi· Ubao· Vielelezo· Majedwali
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 2-3
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 2
· Wanafunzi· Mchoro· Mikusanyo ya kazi za
fasihi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 3-6
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 2-3
· Takwimu au tarakimu· Picha au michoro
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 6-9
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 3-4
· Jedwali· Vielelezo· Maandishi
mbalimbali
HAKIUZWI
JUM
A 1
JUM
A 2
JUM
A 3
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1-2
3-4
Kuandika
Fasihi teule
Fasihiandishi
Insha ya hadithi(masimulizi)
· Usuli katika riwaya· Utangulizi wa Mwisho
wa kosa (sura 1)
Hadithi fupi:Utenzi wa moyoni
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza vipengele vya insha ya
masimulizi.· kuandika insha ya masimulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya usuli.· kueleza umuhimu wa usuli wa riwaya.· kumwelewa mwandishi na jumuia yake.· kueleza dhamira ya mwandishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutaja maudhui ya hadithi hii.· kujadili mbinu za lugha zilizotumiwa.· kujadili wahusika.
· Mazoezi· Tajriba· Maelezo· Kuandika
· Mifano· Uchunguzi· Usomaji· Majadiliano· Kuandika
· Kusoma kwa sauti· Majadiliano· Uchambuzi· Kuandika
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 12
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 6-7
· Visa vya wanafunzi· Makala ya magazeti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 11
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 5
· Wanafunzi· Riwaya ya Mwisho wa
kosa, uk. 1-9
· Kitabu cha MayaiWaziri wa Maradhi,uk. 13-19
5-6 Sarufi Uakifishaji Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuzitambua, kutaja na kueleza alama za
uakifishaji na matumizi yake.· kuakifisha makala mbalimbali.
· Mifano ya alama za · Kiswahili Fasaha,uakifishaji KcM 3, uk. 9-10
· Matumizi ya alama za · Kiswahili Fasaha,uakifishaji MwM 3, uk. 4-5
· Majadiliano · Maumbo ya alama za· Mazoezi uakifishaji
· Maandishimbalimbali
1-2 Kuandika (Utunzi) Insha ya hadithi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza vipengele vya insha ya hadithi.· kueleza namna ya kuandika insha ya
hadithi.· kuandika insha ya hadithi kulingana na
mada iliyotolewa.
· Tajriba· Visa tofauti· Kuandika
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 12
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 6-7
· Vielelezo
HAKIUZWI
JUM
A 3
JUM
A 4
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3
4-5
6
1
2-3
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Ufasaha wa lugha
Sarufi
Hali ya kuamrisha
Fasihi simulizi: Vipera vyafasihi simulizi.
Haki za wanyama
Kuandika barua
Nyakati na hali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutaja njia mbalimbali za kuamrisha.· kutunga sentensi za kuamrisha.· kubainisha viambishi vya kuamrisha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya fasihi simulizi.· kufafanua umuhimu wake.· kutaja mifano ya vipera tofauti vya
fasihi simulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.· kujadili kwa ufasaha matendo mazuri
na mabaya kwa wanyama.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufahamu sifa za barua rasmi.· kubainisha mitindo ya barua tofauti.· kueleza sifa za lugha
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha viambishi vya nyakati na
hali.· kutunga sentensi sahihi akitumia
viambishi tofauti vya nyakati na hali.
· Maigizo· Maelezo· Tajriba· Tofauti kati ya
kuamrisha, kurai nakuhimiza
· Mifano ya maneno nasentensi
· Uchunguzi· Majadiliano· Maswali na majibu· Maelezo· Kunukuu hoja
muhimu· Kazi mradi
· Usomaji· Maswali na majibu· Kujadili· Mifano· Maelezo
· Usomaji wa makalatofauti ya barua
· Maelezo· Kujadili· Maswali na majibu· Kuandika
· Maswali na majibu· Ufaraguzi· Kuandika· Mazoezi· Kunakili
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 13
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 7-9
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 14-15
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 10
· Mikusanyo ya viperatofauti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 16-18
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 10-11
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 20-21
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 11-12
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 18-20
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 11
· Jedwali la kubainishaviambishi
HAKIUZWI
JUM
A 4
JUM
A 5
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4-5
6
1
2
Hadithi fupi
Fasihi teule
Kusikiliza nakuzungumza
Utunzi
Siku ya Mganga
Maudhui katika riwaya
Lugha ya dini
Umbo la barua rasmi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kujadili dhamira ya mwandishi.· kuchambua maudhui na tamathali za
lugha zilizotumiwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya riwaya na maudhui.· kufafanua mambo ya kuzingatia katika
kuchambua maudhui.· kueleza hatua katika uchambuzi wa
maudhui.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za lugha ya kidini.· kutumia sifa hizi katika utekelezaji
maishani mwao.· kubainisha madhumuni na maudhui ya
lugha ya kidini.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua umbo la barua rasmi.· kutofautisha kati ya barua rasmi na
barua ya kirafiki.· kubuni maudhui ya barua rasmi.· kuandika barua rasmi.
· Kusoma kwa sauti· Majadiliano· Muhtasari wa hadithi· Maswali na majibu
· Kusoma kwa sauti· Majadiliano· Kujadili sifa za
maudhui· Kuandika· Uchunguzi· Tajriba· Uhakiki
· Kusoma· Kuigiza· Maswali na majibu· Kujadili· Mifano
· Maelezo ya baruarasmi
· Mifano· Kufafanua hoja
muhimu kuhusumtindo
· Kuandika barua rasmi
· Mayai Waziri waMaradhi, uk. 20-37
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 22-23
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 12-13
· Makala mafupi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 25
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 14-16
· Makala tofauti· Kanda za kunasia
sauti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 23-24
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 13-14
· Vielelezo
3-4 Hadithi fupi Pwaguzi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi · Majadilianoaweze: · Kuchambua hoja kuu· kusoma kwa sauti na kimya. za maudhui, lugha na· kueleza visa vya ulaghai. wahusika· kufafanua maudhui na sifa za wahusika. · Uchambuzi
· Maswali na majibu
· Mayai Waziri waMaradhi, uk. 50-56
HAKIUZWI
JUM
A 5
JUM
A 6
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
5
6
1
2-3
Fasihi yetu
Sarufi
Ufahamu
Fasihi teule
Ulumbi(Hotuba)
Ukanushaji
Matumizi ya simu tambamaabadini
Wahusika katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na kanuni za ulumbi.· kutaja mifano ya ulumbi.· kueleza umuhimu wa ulumbi.· kueleza baadhi ya walumbi na sifa zao.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuelewa na kubainisha viambishi vya
kukanusha.· kutofautisha kinyume na kukanusha.· kukanusha sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma ufahamu.· kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kujadili na kueleza aina za wahusika
katika riwaya.· kufafanua sifa na umuhimu wa
wahusika.
· Uigizaji· Majadiliano· Hotuba· Maswali na majibu· Kazi ya makundi
· Ufafanuzi· Mifano· Tofauti kati
ya kinyume nakukanusha
· Maumbo ya viambishivya kukanusha
· Mazoezi· Kuandika
· Kusoma kifungu· Kujadili msamiati
mpya· Mazungumuzo· Uigizaji· Kazi ya makundi· Maswali na majibu
· Maelezo· Majadiliano· Maswali na majibu· Tajriba· Makundi· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 25-26
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 16-17
· Fanani· Kanda za video zenye
hotuba za walumbi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 29-33
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 18-20
· Jedwali la maumboya viambishi vyakukanusha
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 26-29
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 17-18
· Mifano· Vinyago· Picha au michoro
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 36-38
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 22
· Vitabu vya ziada· Riwaya teule
HAKIUZWI
JUM
A 6
JUM
A 7
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4
5-6
1
2-3
Ufasaha wa lugha
Hadithi fupi
Kusikiliza nakuzungumza
Kuandika
Historia na chimbuko laKiswahili
Tuzo
Hotuba
Utunzi: Insha yamazungumzo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza historia na chimbuko la
Kiswahili.· kujadili lahaja za
Kiswahili.· kubainisha ukweli kuhusu asili ya
Kiswahili.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma hadithi.· kujadili wahusika, maudhui na lugha
kwa ufasaha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha hoja za kuzingatia mtu
anapotoa hotuba.· kueleza hoja muhimu katika hotuba.· kutoa hotuba mbele ya darasa.· kuandika muhtasari wa mambo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za insha za mazungumzo.· kufafanua mbinu za utunzi wa insha ya
mazungumzo.· kuandika insha ya mazungumzo.
· Kusoma· Majadiliano· Tajriba· Mifano· Makundi· Ufafanuzi wa asili ya
ya lugha ya Kiswahili
· Majadiliano· Kusoma· Kuchambua hadithi· Kujibu maswali
· Maelezo ya hotuba· Maswali na majibu· Maigizo· Uigizaji wa kutoa
hotuba· Kuandika
· Maelezo· Maigizo· Maswali na majibu· Kuandika· Majadiliano· Makundi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 33-36
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 20-21
· Ramani ya Afrika yaMashariki
· Historia ya Kiswahili(OUP)
· Mayai Waziri waMaradhi, uk. 57-62
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 39-40
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 24-25
· Kanda za sauti· Picha za magazeti· Chati za grafu na pai
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 38
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 22-24
· Wanafunzi
HAKIUZWI
JUM
A 7
JUM
A 8
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4 Sarufi Kauli ya vitenzi:kutendesheana,kutendeshewa,kutendesheka
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha maumbo ya vitenzi katika
kauli tofauti.· kugeuza vitenzi kutoka kauli moja hadi
nyingine.· kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
katika kauli maalumu.· kueleza maana ya sentensi zenye vitenzi
katika kauli maalumu.
· Maelezo· Mazoezi ya kutunga
sentensi· Mifano· Tajriba
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 43-45
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 28
· Jedwali· Vitu halisi· Mazingira ya shule
5-6 Hadithi fupi Mayai Waziri wa Maradhi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua dhamira, maudhui na
wahusika.· kuchunguza lugha iliyotumiwa.
· Kusoma· Uchambuzi wa
dhamira, lugha,maudhui na wahusika
· Kujadili· Maswali na majibu
· Mayai Waziri waMaradhi, uk. 63-77
1
2
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Hotuba
Mawaidha
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua mambo ya kuzingatia mtu
atoapo hotuba.· kuandaa muswada wa hotuba.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutoa maana ya mawaidha.· kueleza sifa, muundo na manufaa ya
mawaidha.· kutoa mawaidha kutegemea hali fulani
maalumu.
· Ufafanuzi kuhusumaana ya hotuba
· Maelezo· Maigizo· Uvumbuzi· Uchunguzi kifani
· Ufaraguzi· Ufafanuzi· Utafiti· Mifano· Uigizaji
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 39-40
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 24-25
· Kanda za sauti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 40-41
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 25-27
· Mkusanyo wamawaidha
· Mwalikwa au fanani· Vielelezo
JUM
A 8
JUM
A 9
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3 Ufahamu Umaskini Afrika Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha.· kujibu maswali kwa usahihi.· kueleza maana ya maneno na misemo.· kuzingatia mafunzo
· Utafiti· Utatuzi wa mambo· Uchunguzi kifani· Maswali na majibu· Usomaji
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 42-43
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 27-28
· Tarakilishi· Ramani· Picha
4-5 Ufasaha wa lugha Muhtasari: Ratiba yamkutano
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza umuhimu wa ratiba.· kubainisha saa za ratiba.· kuandaa ratiba ya mikutano ya hadhara.
· Maagizo · Kiswahili Fasaha,· Tajriba KcM 3, uk. 45-46· Ufafanuzi wa muundo · Kiswahili Fasaha,· Kuandika mfano wa MwM 3, uk. 29
ratiba · Mikusanyo ya ratiba· Vielelezo
6
1
2
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Muundo na mtindo katikariwaya
Hotuba
Hojaji na kujaza fomu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutoa maelezo ya muundo na mtindo
katika sura tofauti za riwaya teule.· kufafanua sura za muundo na mtindo
wa kazi ya riwaya.· kueleza kwa kutumia mifano sura za
muundo na mtindo wa riwaya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuandika hotuba kama ipasavyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza hojaji na kujaza fomu.· kueleza namna ya kutayarisha na kujaza
hojaji na fomu.· kufafanua madhumuni ya kutumia
hojaji au fomu.
· Uchunguzi· Kusoma· Udadisi· Maelezo ya muundo
na mtindo· Uchambuzi
· Utatuzi wa mambo· Uvumbuzi· Maigizo· Uchunguzi kifani· Kuandika· Maelezo
· Utafiti· Maswali na majibu· Kutayarisha hojaji na
fomu· Kujaza· Maelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 47
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 30-31
· Riwaya teule
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 48
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 31-33
· Kanda za sauti· Vielelezo ubaoni
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 49
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 34-35
· Vielelezo vya hojaji aufomu
JUM
A 9
JUM
A 10
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3 Fasihi yetu Malumbano ya utani katika Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzifasihi simulizi aweze:
· kueleza utani na umuhimu wake.· kutoa mifano ya utani.· kueleza mabadiliko katika utanzu wa
utani.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Uhakiki KcM 3, uk. 50-51· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Kazi ya vikundi MwM 3, uk. 35-36· Mifano · Wanafunzi wenyewe
· Vielelezo
4
5-6
1
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Ugaidi
Kauli za vitenzi
Uhusiano wa Kiswahili nalugha za Kibantu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa ufasaha.· kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kugeuza vitenzi katika kauli
zinazoshughulikiwa.· kutunga sentensi sahihi kwa kutumia
kauli ya vitenzi hivyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza uhusiano wa Kiswahili na lugha
za Kibantu.· kueleza muundo wa maneno katika
lugha za Kibantu kwa kutumiaKiswahili.
· Tajriba· Masimulizi· Mjadala· Majadiliano· Uchunguzi wa
msamiati· Usomaji
· Maelezo ya dhana yamnyambuliko
· Ufafanuzi waviambishi vyamnyambuliko
· Kuigiza· Ufaraguzi· Mazoezi
· Maelezo· Ufafanuzi· Majadiliano· Tajriba· Mifano· Makundi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 51-53
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 37-39
· Kanda za video· Magazeti· Picha
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 54-55
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 39-40
· Jedwali ya mageuzo· Vitu halisi· Matini tofauti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 56
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 40
· Vielelezo vyamsamiati wa lugha zaKibantu na manenoya Kiswahili
· Wanafunzi
HAKIUZWI
JUM
A 11
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
2-3
4
Fasihi teule
Utunzi
Matumizi ya lugha katikariwaya
Insha ya mawazo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza umuhimu wa lugha katika
riwaya.· kufafanua mambo muhimu ya
kuzingatia wakati wa kuhakiki lughakatika riwaya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya insha ya mawazo.· kuandika insha ya mawazo kulingana na
kichwa walichopewa.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Uhakiki KcM 3, uk. 56-58· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu MwM 3, uk. 41· Makundi · Mwisho wa kosa
· Kanda za sauti· Wanafunzi· Vielelezo vya
tamathali za semi
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu. KcM 3, uk. 58· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Kuandika MwM 3, uk. 41-42
· Magazeti na majarida· Vielelezo vya insha ya
mawazo
5
6
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Vitendawili na mafumbo
Soga katika fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na kupambanua
umuhimu wa vitendawili na mafumbo.· kutoa mifano ya vitendawili na
mafumbo.· kutega vitendawili na kufumbua
mafumbo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya soga.· kufafanua umuhimu na mafunzo ya
soga.· kufanya mazoezi ya kutoa soga.
· Michezo· Maelezo ya mafumbo
na vitendawili· Utafiti· Ufafanuzi· Mifano
· Maigizo· Ufaraguzi· Maswali na majibu· Maelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 59-61
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 42-43
· Picha au michoro· Mkusanyo wa
vitendawili namafumbo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 61-62
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 43
· Kanda za sauti· Mkusanyo wa soga
JUM
A 11
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1 Ufahamu Chanzo cha matatizo barani Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziAfrika aweze:
· kusoma taarifa na kujibu maswali kwausahihi.
· kueleza aina na sababu za matatizobarani Afrika.
· kufafanua maana za maneno.
· Mjadala· Tajriba· Ufaraguzi· Uchuguzi· Maswali na majibu· Usomaji
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 62-64
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 43-45
· Chati na grafu· Magazeti· Picha· Tarakilishi
2-3 Sarufi Mnyambuliko wa vitenzivya silabi moja
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutambua vitenzi vya silabi moja.· kubainisha maana na vitenzi hivi.· kutunga sentensi sahihi akitumia
vitenzi vya silabi moja.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Mifano KcM 3, uk. 64-65· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Masimulizi MwM 3, uk. 45-46· Vikundi · Chati vya vitenzi vya· Mazoezi silabi moja
· Kadi za maneno· Mkusanyo wa vitenzi
vya silabi moja
4
5-6
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Uundaji wa maneno
Mafunzo katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya uundaji wa maneno.· kufafanua jinsi maneno yanavyoundwa.· kubainisha umuhimu wa kuunda
maneno.· kuunda maneno kwa viambishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua maana ya mafunzo katika
riwaya.· kueleza namna na hatua za kupata
mafunzo.· kubainisha mafunzo katika riwaya.
· Majaribio ya uundaji· Uvumbuzi· Mifano· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu
· Tajriba· Utatuzi wa mambo· Kuigiza· Maelezo na ufafanuzi· Uhakiki· Usomaji· Majadiliano· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 66-67
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 46-47
· Kadi za maumbo yamaneno
· Majedwali ya maneno
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 67-68
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 47-48
· Mwisho wa kosa(Riwaya teule)
· Picha· Michoro· Magazeti
HAKIUZWI
JUM
A 12
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1
2
3-4
5
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Dayolojia
Mahojiano baina yawataalamu wawili
Ngano katika fasihisimulizi
Saratani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya dayolojia.· kufafanua sifa bora za dayolojia.· kuandika dayolojia kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza umuhimu wa mahojiano kati
ya wataalamu wawili.· kufafanua sifa hizo za mahojiano.· kuendesha mahojiano.· kufafanua maenezi ya ugonjwa wa
kansa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza dhima ya ngano, masimulizi
na hadhira.· kueleza muundo wa ngano.· kufafanua mafunzo katika tanzu hizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.· kueleza chanzo cha saratani, dalili na
matibabu yake.· kushauri jinsi ya kugundua kansa
mapema na kuizuia.
· Ufaraguzi· Kuandika dayolojia· Maswali na majibu· Maigizo
· Maelezo· Ufafanuzi· Mifano· Mahojiano· Maigizo· Usomaji· Maswali na majibu
· Ufafanuzi· Masimulizi ya visa
tofauti· Maigizo· Maswali na majibu· Ufahamu wa
kusikiliza
· Usomaji· Maelezo na
ufafanuzi· Mifano· Majadiliano· Mjadala· Utatuzi wa mambo· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 68
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 48-49
· Kanda za sauti· Kanda za video· Matini ya dayolojia
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 69-70
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 49-50
· Picha, michoro· Makala ya magazeti
au majarida· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 70-72
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 50-51
· Kanda za kunasiasauti
· Ngano tofauti· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 72-74
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 51-52
· Mabango kutokaWizara ya Afya
· Picha au michoro· Majarida na makala· Mwalikwa
HAKIUZWI
JUM
A 12
JUM
A 13
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6 Sarufi
Mtihani na kusahihisha
Mnyambuliko wa vitenzivya asili ya kigeni
Marudio na mazoezi yastadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza tofauti kati ya vitenzi vya asili
na kigeni.· kugeuza vitenzi katika hali tofauti.· kutumia vitenzi vya asili ya kigeni
katika sentensi na kueleza maana zake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
· Maelezo· Ufafanuzi· Mifano
· Tajriba ya wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 74-75
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 53-54
· Jedwali· Mifano halisi· Vielelezo
· Karatasi za mitihani· Kalamu
HAKIUZWI
JUM
A 1
, KidatoSHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Muhula wa PiliKIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
1 Ufasaha wa lugha Muhtasari Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kudondoa hoja kuu kutoka makala
tofauti.· kueleza mambo kwa muhtasari bila
kupoteza maana.· kuandika muhtasari.
· Maelezo· Mifano· Ufafanuzi· Maswali na majibu· Kazi mradi· Kuandika
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 76-77
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 54
· Makala· Vielelezo
2 Fasihi teule Tathmini katika riwaya Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza jinsi ya kujitayarisha kwa
tathmini katika riwaya.· kubainisha aina za maswali ya riwaya
katika mtihani.
· Usomi wa riwaya · Kiswahili Fasaha,teule KcM 3, uk. 77-78
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu MwM 3, uk. 55· Majadiliano · Riwaya teule
· Vielelezo
3-4 Utunzi Mahojiano Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza na kufafanua mtindo na
madhumuni ya mahojiano.· kuandika insha ya mahojiano.
· Mahojiano· Mifano· Maigizo· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 78
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 55
· Mikusanyo yamahojiano
5 Kusikiliza nakuzungumza
Maenezi ya Kiswahili kabla Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziya uhuru aweze:
· kueleza sababu za kuenea kwa Kiswahili.· kutetea sababu za kukithamini na
kuhodhi Kiswahili kama lugha ya taifa.· kuyafahamu maeneo ya maenezi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Masimulizi KcM 3, uk. 79-81· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Tajriba MwM 3, uk. 56· Makundi · Ramani ya maeneo ya· Maelezo na ufafanuzi Afrika Mashariki
· Picha na michoro· Historia ya Kiswahili
(OUP)
6 Fasihi yetu Visasili katika fasihisimulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza na kufafanua maana na sifa za
visasili.· kutoa mfano wa kisasili.
· Maelezo ya sifa zavisasili
· Mifano· Masimulizi· Uhakiki· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 81
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 56-58
· Vielelezo· Wanafunzi
HAKIUZWI
JUM
A 2
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1 Ufahamu Urafiki baina ya Binadamuna Mbwa
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa ufasaha.· kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.· kuhakiki matumizi ya lugha na ujumbe
wa hadithi.
· Kusoma· Uhakiki· Tajriba· Maswali na majibu· Ufafanuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 82-84
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 58-60
· Kamusi· Vielelezo· Picha
2-3 Sarufi Vielezi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza dhana ya vielezi.· kutaja na kueleza aina za vielezi.· kutunga sentesi kwa kutumia vielezi
tofauti.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 3, uk. 84-87· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 60· Picha· Michoro· Vibonzo
4
5
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Uhusiano wa Kiswahili nalugha za kigeni
Maana na usuli wa hadithifupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza uhusiano baina ya Kiswahili na
lugha za kigeni.· kutaja msamiati wa kukopwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya usuli na hadithi fupi.· kueleza umuhimu wake katika kuhakiki
wa hadithi fupi.· kufafanua usuli wa hadithi katika kitabu
kiteule cha hadithi fupi.
· Maelezo yamwingiliano waKiswahili na lugha zakigeni
· Maswali na majibu· Majadiliano· Makundi· Tajriba
· Maelezo· Mifano· Tajriba· Majadiliano· Makundi· Kusoma· Maswali na majibu· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 87-88
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 60-61
· Ramani· Michoro na picha· Vielelezo· Historia ya Kiswahili
(OUP)
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 89-90
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 61-62
· Kitabu kiteule chahadithi fupi
HAKIUZWI
JUM
A 2
JUM
A 3
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1-2
3
4-5
Utunzi
Fasihi teule
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Insha ya masimulizi
Hadithi fupi
Wasifu wa kitu au mtu
Mighani katika fasihisimulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za insha ya masimulizi.· kusimulia na kuandika kisa juu ya mada
waliyopewa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma hadithi fupi.· kuichambua kwa usahihi.· kujadili maudhui na lugha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutoa fasili ya neno wasifu.· kutoa mifano ya wasifu.· kueleza mafunzo kutoka kwa wasifu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na sifa ya mighani.· kutoa mifano ya mighani.· kupambanua umuhimu wa mighani.
· Maelezo· Maswali na majibu· Masimulizi· Kuandika
· Kusoma· Maelezo· Majadiliano· Kuandika· Maswali na majibu· Uchambuzi
· Maelezo· Mifano· Maigizo· Ziara nyanjani
· Ziara nyanjani· Utafiti· Mifano· Maelezo· Ufahamu wa
kusikiliza
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 90
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 62-63
· Kanda za sauti zenyemasimulizi
· Magazeti
· Kitabu kiteule chahadithi fupi
· Miongozo yauchambuzi wa hadithifupi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 91-92
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 63-64
· Kanda za sauti auvideo
· Mikusanyo ya wasifu
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 92-93
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 64-65
· Mikusanyo yamighani
· Mazingira halisi
HAKIUZWI
JUM
A 3
JUM
A 4
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1-2
3
4-5
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Wasifu wa Shaaban Robert
Viwakilishi
Tawasifu
Muundo na mtindo wahadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa ufasaha.· kueleza maana za maneno na vifungu.· kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na kazi ya baadhi ya
viwakilishi.· kutoa mifano ya viwakilishi.· kutunga sentensi kwa kutumia baadhi
ya viwakilishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua maana na sifa za tawasifu.· kupambanua vipengele vya tawasifu.· kueleza matumizi na umuhimu wa
tawasifu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua muundo na mtindo wa
hadithi fupi.· kufafanua matumizi ya lugha katika
hadithi fupi.
· Kusoma· Ufafanuzi· Maswali na majibu· Tajriba
· Maelezo· Kuigiza· Ufafanuzi· Mifano· Kazi mradi· Uchunguzi· Maswali na majibu
· Maelezo· Uchunguzi· Tajriba· Maswali na majibu
· Usomaji· Uchunguzi· Ufafanuzi· Mifano· Maelezo· Uchambuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 94-95
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 65-66
· Picha za ShaabanRobert
· Mikusanyo yamaandishi yaShaaban Robert
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 96-100
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 66-67
· Mandhari ya shule· Chati· Vitu halisi· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 100-101
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 67-68
· Mikusanyo yatawasifu
· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk101-102
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 69
· Kitabu kiteule chahadithi fupi
· Jedwali
HAKIUZWI
JUM
A 4
JUM
A 5
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1-2
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Insha ya wasifu na tawasifu
Kupasha ujumbe siku hizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza muundo na hatua za kuandika
wasifu na tawasifu.· kuandika insha ya tawasifu na wasifu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kukariri shairi.· kujibu maswali kwa usahihi.· kueleza sifa za ujumbe wa rununu
ulioandikwa.
· Majaribio· Uchunguzi· Vikundi· Mifano· Kuandika
· Kukariri· Mjadala· Tajriba· Maelezo· Ufahamu wa
kusikiliza· Maswali na majibu· Usomaji
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 102-104
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 69-70
· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 105-106
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 70-72
· Simu tamba· Michoro na picha· Shairi kutoka MwM
3-4 Fasihi yetu Miviga katika fasihi simulizi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua maana na faida ya miviga.· kutoa mifano ya miviga kutoka jamii
mbalimbali.
· Maigizo· Tajriba· Majadiliano· Utazamaji· Ufafanuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 106-107
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 72-73
· Kanda za sauti· Wanafunzi· Picha za sherehe· Mafanani toka jamii
tofauti
5 Ufahamu Satalaiti Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha.· kujibu maswali kwa usahihi.
· Usomaji· Utafiti· Uvumbuzi· Maelezo na ufafanuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 107-109
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 73-74
· Picha· Wavuti· Kamusi
HAKIUZWI
JUM
A 5
JUM
A 6
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Viwakilishi
Lugha ya kompyuta
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na matumizi ya
viwakilishi.· kutoa mifano ya baadhi ya viwakilishi
na kuvitumia katika sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza matatizo ya lugha ya kompyuta
na ufumbuzi wake.· kufafanua istilahi za kompyuta.
· Maelezo· Mifano· Tajriba
· Maelezo· Mahojiano· Utafiti· Mifano· Tafsiri
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 109-112
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 74-75
· Jedwali la viwakilishi· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 112-113
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 75
· Kamusi· Kadi za maneno
2-3 Fasihi teule Maudhui katika hadithi fupi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maudhui ya hadithi fupi.· kufafanua jinsi ya kufichua maudhui ya
hadithi fupi.
· Usomaji· Uvumbuzi· Maswali na majibu· Maelezo· Uhakiki· Uchunguzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 113
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 75-76
· Kitabu kiteule chahadithi fupi
4
5
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Baruapepe
Methali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha sura za baruapepe.· kueleza maana ya baruapepe.· kuandika baruapepe.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza umuhimu, maana na matumizi
ya methali.· kupambanua uhusiano kati ya methali
na mazingira zinamotumika.
· Majaribio· Mifano· Utafiti· Maelezo na ufafanuzi· Kuandika
· Maelezo· Ufafanuzi· Utafiti· Uchambuzi· Tajriba
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 114
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 76
· Tarakilishi· Mikusanyo ya
baruapepe
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 115-116
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 77-78
· Kamusi za methali· Vielelezo
HAKIUZWI
JUM
A 6
JUM
A 7
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1
2
3-4
5-6
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Sifa za methali katika fasihisimulizi
Tapeli hatari
Viwakilishi
Tamathali za semi
Ushairi mapokeo (wa jadi)
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua na kutathmini lugha ya
methali.· kubainisha muundo wa methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa ufasaha.· kueleza ujumbe wa kifungu.· kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupambanua baadhi ya viwakilishi vya
ngeli na a- unganifu.· kubainisha maumbo ya viwakilishi.· kutunga sentensi sahihi kudhihirisha
matumizi ya viwakilishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza na kufafanua baadhi ya
tamathali za semi.· kutumia tamathali za semi katika
sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya ushairi wa mapokeo
na sifa zake.· kuhakiki mashairi ya arudhi.
· Uchunguzi· Maelezo· Mifano· Tajriba· Ufahamu wa
kusikiliza
· Uvumbuzi· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu· Majadiliano· Usomaji
· Maelezo· Uchunguzi· Mifano· Ufafanuzi na
maelezo
· Ufafanuzi· Mifano ya tamathali· Maelezo· Kuchambua
· Mijadala· Mifano· Uhakiki· Maelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 116-118
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 78-80
· Kamusi za methali· Shairi toka MwM· Mandhari tofauti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 118-120
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 80-81
· Kamusi za methali
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 120-122
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 81-82
· Chati za maumbo yaviwakilishi
· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 122-124
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 82-83
· Picha, mashairi,hadithi au riwayazilizo na tamathali
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 124-125
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 83-85
· Vielelezo· Magazeti
JUM
A 8
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1
2
3
4
Utunzi
Kusikiliza nakuzunguma
Fasihi yetu
Ufahamu
Insha ya methali
Misemo
Ushairi: Nyimbo
Situmiki kinafiki
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua methali.· kuandika insha inayothibitisha ukweli
na matumizi ya methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya misemo na nahau
mbalimbali.· kutoa mifano na kuitumia misemo na
nahau katika sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana, sifa na aina za nyimbo.· kupambanua miundo tofauti ya nyimbo
na umuhimu wake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kariri kwa ufasaha.· kuhifadhi kiini cha habari katika shairi.· kujibu maswali ya shairi kwa usahihi.
· Ufafanuzi· Masimulizi· Mifano· Kuandika
· Utafiti· Mifano· Maelezo· Mashindano
· Utazamaji· Mahojiano· Maelezo· Mifano· Uimbaji· Ufahamu wa
kusikiliza· Imla
· Kuigiza· Kusoma na kukariri· Tajriba· Uchunguzi· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 126
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 85
· Vielelezo· Michoro· Kamusi· Mikusanyo ya methali
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 127-128
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 86-87
· Jedwali· Mikusanyo ya misemo
na nahau· Michoro ya
kubainisha dhanambalimbali
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 128-130
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 87-89
· Kanda za muziki· Malenga mwalikwa· Zana za muziki
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 130-132
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 89-90
· Kanda za sauti· Picha magazetini· Ramani ya Afrika
Mashariki
HAKIUZWI
JUM
A 8
JUM
A 9
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
5-6
1
2
3-4
Fasihi teule
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Riwaya teule
Upatanisho wa kisarufikatika umoja na wingi
Mlinganisho wa mashairiya arudhi na mashairi huru
Ushairi wa jadi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kutathmini kazi ya fasihi.· kueleza sifa na tabia za wahusika.· kujadili maudhui na matumizi ya lugha
katika riwaya teule.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha nyanja mbalimbali za umoja
na wingi.· kubadilisha sentensi kutoka umoja hadi
wingi na kinyume chake.· kutunga sentensi katika umoja na wingi
akizingatia upatanisho wa kisarufi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuonyesha kufanana kwa mashairi ya
mapokeo na huru.· kupambanua tofauti zilizomo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua dhana ya ushairi wa jadi
kimuundo, lugha na wahusika, n.k.
· Usomaji· Uhakiki· Majadiliano· Uchambuzi wa
maudhui, lugha nawahusika
· Uchunguzi· Mifano· Ufafanuzi na maelezo· Maswali na majibu
· Utatuzi wa mambo· Uchunguzi kifani· Kuigiza· Maswali na majibu
· Maelezo· Maigizo· Ufafanuzi· Uchunguzi· Ugunduzi· Maswali na majibu
· Wanafunzi wenyewe· Kitabu kiteule chenye
riwaya
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 132-133
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 90-93
· Jedwali la viambishivya ngeli
· Kadi za maneno
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 134-135
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 93-95
· Mkusanyo wamashairi
· Michoro ya vina namizani
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 135-137
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 95-96
· Kanda za sauti· Chati za vina na
mizani· Vielelezo vya
mashairi
HAKIUZWI
JUM
A 9
JUM
A 10
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
5
6
1
Utunzi
Hadithi fupi
Kusikiliza nakuzungumza
Shairi la arudhi
Hadithi teule
Mjadala
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua hatua za utunzi wa mashairi.· kutunga shairi la arudhi au huru kama
njia ya kisanii.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kutathmini kazi ya fasihi,
kimuundo na lugha.· kuchambua maudhui na wahusika
katika hadithi hiyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuzua hoja na kuzitetea.· kuziwasilisha katika mjadala kwa
ufasaha.
· Majaribio· Utatuzi wa mambo· Tajriba· Utafiti· Kuandika
· Usomaji· Majadiliano· Uchambuzi
· Mjadala· Utendaji· Ufafanuzi· Tajriba
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 137-138
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 96-97
· Kamusi tofauti· Makala tofauti
· Kitabu cha hadithifupi kilichoteuliwa
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 139
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 97-98
· Kanda za sauti· Makala tofauti· Wanafunzi
2-3 Fasihi yetu Maghani katika fasihisimulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza na kufafanua aina tofauti za
maghani.· kueleza sifa za utanzu mbalimbali wa
maghani.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Masimulizi KcM 3, uk. 13-141· Maigizo · Kiswahili Fasaha,· Ufaraguzi MwM 3, uk. 98-100· Majadiliano · Malenga wa Vumba· Vikundi (OUP)
· Malenga wa Mvita(OUP)
· Wanafunzi
4 Ufahamu Sakata za ufisadi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha.· kueleza chanzo na madhara ya ufisadi.· kujibu maswali kwa usahihi.
· Usomaji· Ufafanuzi na maelezo· Tajriba· Makundi· Mjadala
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 141-144
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 101-103
· Makala ya magazetini· Fanani· Wanafunzi
HAKIUZWI
JUM
A 10
JUM
A 11
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
5-6
1
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Upatanisho wa kisarufikatika umoja na wingi
Muhtasari
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha nyanja mbalimbali za umoja
na wingi.· kutunga na kugeuza sentensi katika hali
moja hadi nyingine.· kubainisha viambishi visisitizi na vya
vivumishi vya pekee.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mambo muhimu ya kuzingatia
katika muhtasari.· kuandika muhtasari wa kifungu teule.
· Maelezo· Ufafanuzi· Tajriba· Majadiliano· Makundi· Mazoezi
· Maswali na majibu· Kazi mradi· Uchunguzi· Kuandika· Kufupisha
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 144-148
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 103
· Majedwali ya ngeli naviambishi
· Wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 148-149
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 103-105
· Vielelezo· Wanafunzi
2
3
Fasihi teule
Utunzi
Mashairi huru
Mjadala
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya shairi huru.· kufafanua na kuhakiki mashairi huru.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza muundo wa insha ya mjadala.· kufafanua sifa na kuandika insha ya
mjadala kwa usahihi.· kujadii hoja ya kuwaadhibu mafisadi
kwa ufasaha.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu. KcM 3, uk. 149-150· Makundi · Kiswahili Fasaha,· Uchambuzi MwM 3, uk. 105-107· Kukariri · Vielelezo vya
mashairi huru· Kanda za sauti
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Mjadala KcM 3, uk. 150· Utafiti na uchunguzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu MwM 3, uk. 107-108· Tajriba · Vielelezo vya insha za
mjadala· Mikusanyo ya maoni
ya watu· Jedwali la hoja
HAKIUZWI
JUM
A 11
JUM
A 12
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4-5
6
1
2
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Afisa mtawala na raia
Ngomezi katika fasihisimulizi
Historia ya katiba
Upatanisho wa kisarufi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sababu za migogoro baina ya
watu na wanyama mwitu.· kupendekeza suluhisho.· kueleza maana ya maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na kuainisha ngomezi.· kufafanua matumizi na manufaa ya
ngomezi.· kukusanya mifano ya ngomezi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha.· kusoma taarifa kwa kuzingatia kanuni
za usomaji bora.· kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua dhana ya upatanisho wa
kisarufi akizingatia ‘amba’ rejeshi, ‘o’rejeshi na ‘a’ unganifu.
· kutunga sentesi sahihi akidhihirishaupatanisho wa kisarufi.
· Utatuzi wa mambo· Tajriba· Uchunguzi· Kusoma· Maswali na majibu
· Maigizo· Maelezo na· ufafanuzi· Utafiti· Mahojiano· Ukusanyaji na
uhifadhi
· Usomaji· Maswali na majibu· Majadiliano· Utafiti· Maelezo· Tajriba
· Maelezo· Tajriba· Mifano· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 151-153
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 108-109
· Picha· Vibonzo· Makala ya magazeti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 153-154
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 110
· Kanda za sauti· Zana halisi· Mkusanyo wa
ngomezi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 154-156
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 110-111
· Mikusanyomagazetini
· Katiba (kielelezo)· Fanani· Machapisho na
miswada
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 156-157
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 112-114
· Vielelezo· Chati za maumbo ya
viambishi· Majedwali
HAKIUZWI
JUM
A 12
JUM
A 13
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3
4
5-6
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Mtihani na kusahihisha
Magazeti
Usuli wa tamthilia
Tahariri
Mazoezi na marudio yastadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutoa mifano ya aina za magazeti na
sifa zake.· kupambanua muundo na lugha ya
gazeti.· kuandika makala ya kuchapishwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana, hatua na mbinu za
kuchambua usuli wa tamthilia.· kufafanua usuli wa tamthilia teule
kulingana na masharti mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na sifa za tahariri.· kufuata hatua za kuandika tahariri ya
gazeti.· kuandika tahariri.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
· Maelezo na ufafanuzi· Uchunguzi kifani· Mifano· Utafiti· Maswali na majibu
· Uchunguzi· Maigizo· Michezo· Tajriba· Maelezo na ufafanuzi
· Maana ma maelezo· Utafiti wa mambo· Uchunguzi· Dayolojia· Kuandika
· Tajriba ya wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk158-159
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 115-116
· Michoro· Picha· Tarasha· Magazeti tofauti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 159-160
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 116-117
· Maleba· Video· Kanda za sauti· Tamthlia teule
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 160
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 117-118
· Machapisho· Tarasha· Vielelezo
· Karatasi za mitihani· Kalamu
JUM
A 1
, KidatoSHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Maazimio ya Kazi: Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1 Kusikiliza nakuzungumza
Misimu na lakabu Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya misimu na lakabu.· kujadili umuhimu wao.· kutoa mifano ya misimu na lakabu.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 3, uk. 161-162· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Ufahamu wa MwM 3, uk. 119-120
kusikiliza · Vielelezo· Wanafunzi· Kadi za maneno
2
3
4-5
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Lugha ya nathari naufupisho katika ushairi
Kujali wenye ukimwi
Aina za virai
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya ufupisho na lugha ya
nathari katika shairi.· kuandika shairi katika lugha ya nathari.· kufafanua umuhimu wa lugha ya
ufupisho katika shairi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha.· kujadili yaliyomo.· kueleza maana ya istilahi ngeni na
msamiati.· kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza virai.· kutaja na kueleza aina za virai.· kubainisha virai mbalimbali katika
sentensi.
· Maelezo na ufafanuzi· Majadiliano· Maswali na majibu· Mifano· Makundi· Uhakiki· Tajriba
· Tajriba ya wanafunzi· Mazungumzo· Mjadala· Maelezo· Maswali na majibu· Usomaji
· Maelezo· Ufafanuzi· Maswali na majibu· Makundi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 162-163
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 120-121
· Vielelezo· Sauti ya Dhiki (OUP)· Kanda za sauti· Wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 163-165
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 121-122
· Picha au michoro· Waalikwa· Kanda za video· Magazeti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 166-167
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 123
· Vielelezo vya virai· Wanafunzi
HAKIUZWI
JUM
A 1
JUM
A 2
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1-2
3-4
5-6
Utunzi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Hadithi fupi
Insha ya maelezo
Muhtasari: Usanifishaji walugha ya Kiswahili
Maudhui katika tamthilia
Wahusika katika hadithifupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mambo ya kuzingatiwa wakati
wa kuandika insha ya maelezo.· kuandika insha ya maelezo kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya usanifishaji.· kufafanua sababu za kusanifisha lugha.· kujadili udhaifu katika usanifishaji wa
Kiswahili.· kufupisha makala kama alivyoagizwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maudhui na dhamira katika
tamthilia.· kueleza namna ya kuhakiki maudhui.· kufafanua mambo muhimu ya
kuzingatia katika uchambuzi wamaudhui.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kuchambua hadithi teule
kama alivyoagizwa.· kueleza wahusika wanavyojipambanua
katika hadithi fupi.
· Maelezo· Maigizo· Tajriba· Maswali na majibu· Kuandika
· Maelezo· Ufafanuzi· Maswali na majibu· Makundi· Kufupisha· Utafiti
· Maelezo· Ufafanuzi· Mifano· Majadiliano· Tajriba· Makundi· Uhakiki
· Maelezo· Majadiliano· Maswali na majibu· Tajriba· Makundi· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 170
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 125
· Vielelezo· Majarida· Makala ya magazeti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 167-169
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 123-124
· Historia ya Kiswahili(OUP)
· Ramani· Orodha ya lahaja za
Kiswahili
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 169-170
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 124-125
· Tamthilia teule· Vielelezo· Wanafunzi· Kanda za sauti na
video
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 171-172
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 127-128
· Hadithi fupi teule· Jedwali
HAKIUZWI
JUM
A 3
JUM
A 4
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1
2
3-4
5-6
1-2
Kusikiliza nakuzungumza
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Maagizo na maelekezo
Povu la sabuni
Aina za vishazi
Mwingiliano wa maneno
Wahusika katika tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya maagizo na
maelekezo.· kufafanua umuhimu wa maagizo na
maelekezo.· kuandika ripoti.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali
kwa usahihi.· kuzingatia mafunzo yaliyomo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuanisha vishazi.· kutunga sentensi kwa kutumia vishazi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuanisha na kubainisha aina za maneno
kutegemea matumizi.· kutunga sentensi kubainisha
mabadiliko ya aina ya maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua nafasi ya mhusika.· kueleza uumbaji na uchoraji wa
wahusika.· kupambanua aina za wahusika.· kueleza jinsi ya kuchambua wahusika.
· Maelezo na ufafanuzi· Mifano· Kazi mradi· Tajriba· Kuandika· Ufahamu wa
kusikiliza
· Tajriba· Mjadala· Mifano· Maigizo· Usomaji
· Maelezo· Mifano· Tajriba
· Uchunguzi· Mifano· Michezo ya lugha· Maelezo na ufafanuzi
· Maigizo· Uchunguzi· Mjadala· Utazamaji· Ufahamu wa
kusikiliza· Ufafanuzi· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 171
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 125-127
· Vielelezo· Chati za vielelezo· Mifano ya ripoti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 172-174
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 128-129
· Picha au michoro
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 175-176
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 129-130
· Vielelezo· Mazingira halisi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 177-179
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 130
· Kadi za maneno· Chati za sentensi· Vielelezo ubaoni
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 179-181
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 131-132
· Picha au michoro· Mazingira halisi· Kanda za sauti
JUM
A 4
JUM
A 5
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3
4
5-6
1
2-3
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Hadithi fupi
Habari na ripoti za runingana redio
Matumizi ya lugha katikahadithi fupi
Ripoti za michezo
Sentensi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua hatua za kuandika hadithi
fupi.· kuandika hadithi fupi kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana, umuhimu na jinsi ya
kutoa ripoti za redio na runinga.· kuanisha ripoti hizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza fani ya lugha katika hadithi
fupi.· kufafanua umuhimu wa fani hizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha.· kueleza aina ya michezo.· kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuanisha sentensi.· kueleza sifa na aina za sentensi.· kutoa mifano ya kila aina ya sentensi.
· Mifano· Majaribio· Uchunguzi· Majadiliano· Maelezo na ufafanuzi· Vidokezo
· Maelezo· Masimulizi· Mifano· Ufahamu na
kusikiliza· Mjadala
· Kusoma· Uchunguzi· Ufafanuzi· Mjadala· Masimulizi· Uchambuzi
· Utafiti· Tajriba· Maswali na majibu· Maelezo na ufafanuzi· Usomaji
· Majadiliano· Makundi· Mifano· Ufafanuzi· Mazoezi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk.181-182
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk.132-133
· Vielelezo· Vitu halisi· Visa vya magazetini
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk.183
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 133-135
· Runinga· Redio· Nakala za ripoti· Kanda za sauti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 183-184
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 135-136
· Sadiki ukipenda(JKF)
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 184-186
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 136-137
· Picha na vifaa vyamichezo na wachezaji
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 186-188
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 137
· Vielelezo vyasentensi
· Majedwali yasentensi
I
JUM
A 5
JUM
A 6
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4
5-6
1-2
3
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Lugha za ripoti na uandishiwake
Muundo na mtindo watamthilia
Insha ya ripoti
Mahakama
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza jinsi ya kuwasilisha ripoti.· kueleza lugha ya ripoti.· kuandika ripoti maalumu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha na kueleza muundo na
mtindo wa tamthilia.· kuhakiki muundo na mtindo wa
tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza hatua za kuandika ripoti.· kuandika ripoti kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua aina za mahakama na
shughuli zao.· kutumia msamiati unaofaa wa
mahakama kutungia sentensi.· kuendesha mazungumzo ya
mahakama.
· Maelezo· Mifano· Utafiti
· Maelezo· Ufafanuzi· Utazamaji· Masimulizi· Uhakiki· Kuigiza
· Ufaraguzi· Utafiti· Kazi mradi· Kuandika
· Ziara· Masimulizi· Utafiti· Maelezo· Ufaraguzi· Ufahamu wa
kusikiliza
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 188-189
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 137-138
· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 189-190
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 138
· Kitabu kiteule chatamthilia
· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 190
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 138-139
· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 191
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 139-142
· Picha michoro· Maleba· Mandhari halisi· Kamusi
4-5 Fasihi yetu Aina za maigizo Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya maigizo na sifa zake.· kubainisha sura za sanaa za maonyesho
ya kawaida.
· Kuigiza · Kiswahili Fasaha,· Ziara KcM 3, uk. 192-193· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Masimulizi MwM 3, uk. 142
· Vitu halisi· Maleba· Mandhari· Vielelezo· Picha
JUM
A 6
JUM
A 7
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6 Ufahamu Haki za binadamu Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi · Kusoma kwa sauti auaweze: kimya· kusoma na kujibu maswali kwa usahihi. · Kukariri· kueleza ujumbe wa shairi. · Maswali na majibu
· Maelezo· Makundi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 194-195
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 142-143
· Vibonzo· Magazeti· Kadi za maneno
1
2
3
4-5
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Uchanganuzi wa sentensikwa njia ya mishale
Muhtasari –Haki za watoto
Matumizi ya lugha katikatamthilia
Mchezo wa kuigiza
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuchanganua sentensi kwa njia ya
mishale au mistari.· kueleza muundo wa kikundi nomino
(KN) na kikundi tenzi (KT).
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kudondoa hoja muhimu.· kuandika muhtasari wa kifungu.· kubainisha haki za watoto.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za lugha katika tamthilia.· kutoa mifano ya aina mbalimbali za
matumizi ya lugha katika tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupambanua aina ya michezo ya
kuigiza.· kuandika mchezo wa kuigiza kwa
usahihi kama njia ya kisanii.
· Maelezo na ufafanuzi· Mifano· Mazoezi
· Utatuzi wa mambo· Masimulizi· Maelezo na ufafanuzi· Makundi
· Kuigiza· Uchunguzi kifani· Mifano· Ufafanuzi· Uhakiki
· Kuigiza· Majadiliano· Majaribio· Kuandika
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 195-196
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 143-144
· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 196-198
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 144
· Mabango· Tarasha· Kielelezo cha katiba
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 198-199
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 144-145
· Vibonzo· Tamthilia teule
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 199-200
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 145
· Vielelezo vyamichezo ya kuigiza
· Kanda za sauti naredio
JUM
A 7
JUM
A 8
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1-2
3
4-5
6
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Mialiko
Aina za maigizo
Kumbukumbu za mkutano
Uchanganuzi wa sentensi
Kumbukumbu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na umuhimu wa
mialiko.· kupambanua sifa za mialiko.· kuanisha mialiko.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutoa mifano ya aina
mbalimbali za maigizo.· kupambanua umuhimu wa maigizo.· kueleza jinsi ya kuchanganua maigizo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kumbukumbu kwa ufasaha.· kueleza maana za maneno na vifungu.· kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha dhana ya uchanganuzi.· kuchanganua sentensi kwa njia ya
jedwali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza umuhimu wa kumbukumbu.· kupambanua sifa za kumbukumbu.· kujibu maswali kwa usahihi.
· Mifano· Utafiti· Vikundi· Maelezo na
ufafanuzi· Ufahamu wa
kusikiliza
· Ziara· Utafiti· Uchunguzi· Maswali na majibu· Maelezo na
ufafanuzi· Maigizo· Uhakiki
· Maswali na majibu· Majadiliano· Maelezo· Kuigiza
· Mazoezi· Maelezo na
ufafanuzi
· Ufafanuzi· Dayolojia· Mahojiano
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 201-202
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 145-149
· Kadi za mialiko· Vielelezo ya mialiko· Tarasha
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 202-203
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 149
· Mazingira halisi· Vifaa na maleba· Kanda za sauti· Picha au michoro
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 204-206
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 149-150
· Kadi za hoja· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 206-208
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 150-151
· Majedwali· Vielelezo· Kadi za sentensi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 208-209
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 151-152
· Tarasha· Vielelezo
JUM
A 9
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1-2
3-4
5
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Mafunzo katika tamthlia
Insha ya kumbukumbu
Matangazo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya mafunzo.· kufafanua mbinu wanazozitumia
wasanii kutoa mafunzo katikatamthilia.
· kueleza mafunzo kwenye tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua mambo ya kuzingatia wakati
wa kuandika kumbukumbu.· kuandika kumbukumbu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za matangazo katika redio
na runinga.· kufafanua jinsi ya kuandaa matangazo
ya redio na runinga.· kuhakiki na kuandaa matangazo.
· Tajriba· Mifano· Mjadala· Maelezo na ufafanuzi
· Maelezo· Ugunduzi· Majaribio· Uchunguzi kifani· Kuandika· Ufahamu wa
kusikiliza
· Maelezo· Tajriba· Majadiliano· Maswali na majibu· Ufaraguzi· Ufahamu wa
kusikiliza· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 209-210
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 152-153
· Picha za mambotofauti
· Mikusanyo yatahakiki mbalimbali
· Kanda za sauti
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 210
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 153-155
· Mazingira halisi· Tarasha· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 211
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 155-158
· Kanda za sauti· Vielelezo vya
matangazo· Wanafunzi wenyewe
6 Fasihi yetu Mikusanyo ya kazi za fasihi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzisimulizi aweze:
· kufafanua umuhimu wa kukusanya nakuhifadhi fasihi simulizi.
· kueleza njia za kuhifadhi kazi za fasihisimulizi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 3, uk. 211-213· Makundi · Kiswahili Fasaha,· Uhakiki MwM 3, uk. 158-159
· Vielelezo vya kazi zafasihi simulizi
· Kanda za sauti· Wanafunzi
JUM
A 10
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1
2-3
4
5
6
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Maji na uhai
Uchanganuzi wa sentensi
Matangazo
Tathmini katika tamthilia
Insha ya makala yakitaaluma
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha.· kufafanua hali ya maji na umuhimu
wake.· kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya uchanganuzi.· kuchanganua sentensi sahili, ambatano
na changamano kwa njia ya michoro yamatawi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuandika tangazo la kuvutia kulingana
na kichwa walichopewa.· kueleza sifa za matangazo ya
maandishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za tathmini katika
tamthilia.· kueleza namna ya kujibu maswali
katika tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua maana ya makala ya
kitaaluma.· kuandika insha ya kitaaluma kuhusu
mada waliyopewa kwa usahihi.
· Usomaji· Tajriba· Maswali na majibu· Uvumbuzi· Uchunguzi
· Maelezo na ufafanuzi· Tajriba· Mifano· Majadiliano· Makundi· Mazoezi
· Maelezo· Maswali na majibu· Makundi· Tajriba
· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu· Uhakiki· Uchunguzi· Tajriba
· Ufaraguzi· Makundi· Mahojiano· Maelezo na ufafanuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 213-215
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 159-217
· Picha na michoro zamambo ya maji
· Chati za hali za maji
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 216-217
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 161-166
· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 218
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 166-167
· Magazeti· Wanafunzi· Mabango
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 219-220
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 167-168
· Vielelezo· Tamthilia teule
· Kiswahili Fasaha,KcM 3, uk. 220
· Kiswahili Fasaha,MwM 3, uk. 168
· Vielelezo vya makalaya kitaaluma
· Magazeti au majarida
HAKIUZWI
JUM
A 11
-12
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
stadi zote Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
Kiswahili, Kidato cha 3Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
Mtihani na kusahihisha Mazoezi na marudio yaaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
283
· Tajriba ya wanafunzi · Karatasi za mitihani· Kalamu
HAKIUZWI