4
ORODHA YA MAJINA YA KATA NA VIJIJI VILIVYOPO KATIKA TARAFA YA MGORI KATA VIJIJI MGORI 1. Mgori 2. Munkhola 3. Sughana MUGHUNGA 1. Mughunga 2. Unyampanda 3. Nduamughanga 4. Mkulu* 5. Kazamoyo* NGIMU 1. Ngimu 2. Pohama 3. Mwighanji 4. Lamba ITAJA 1. Itaja 2. Sagara 3. Kinyamwenda 4. Gairu *Inawakilisha kijiji kivuli.

WIRWANA YETU

Embed Size (px)

DESCRIPTION

KWETU

Citation preview

Page 1: WIRWANA YETU

ORODHA YA MAJINA YA KATA NA VIJIJI VILIVYOPO KATIKA TARAFA YA MGORI

KATA VIJIJIMGORI 1. Mgori

2. Munkhola3. Sughana

MUGHUNGA 1. Mughunga2. Unyampanda3. Nduamughanga4. Mkulu*5. Kazamoyo*

NGIMU 1. Ngimu2. Pohama3. Mwighanji4. Lamba

ITAJA 1. Itaja2. Sagara3. Kinyamwenda4. Gairu

*Inawakilisha kijiji kivuli.

Page 2: WIRWANA YETU

TAARIFA YA ZIARA YA TAREHE 12/08/2015 KATIKA KATA ZA TARAFA YA MGORI

Mnamo tarehe 12/08/2015 mimi Rajab A. Mumbee nikiwa kama mratibu wa tarafa ya Mgori upande wa ‘Team Wirwana’/ Wirwana yetu nilitembelea kata za tarafa ya mgori kwa ajili ya kujionea maendeleo na kujua mahitaji mbalimbali ya vikundi vya uoteshaji miti katika tarafa ya Mgori pamoja na kuhakiki majina ya washiriki wa semina ya miti na nyuki itakayofanyika tarehe 19 hadi 21 Agosti 2015.

Mda wa tarehe tajwa vikundi vyote vilikuwa katika hatua ya kuandaa viriba vya kuotesha miti pamoja na kusafisha maeneo ya kuoteshea miti.

Kuna jumla ya vikundi vitatu vya uoteshaji miti vinavyotambulika ambavyo vimeainishwa katika jedwali hapo chini ikiwa pamoja na majina ya viongozi(M/kiti na makatibu).

ORODHA YA VIKUNDI VYA UOTESHAJI MITI TARAFA YA MGORI

JINA LA KIKUNDI

KATA KILIPO KIKUNDI

KIJIJI KILIPO KIKUNDI

MAJINA YA VIONGOZI (M/KITI-KATIBU)

MAWASILIANO

NYOTA NJEMA

NGIMU POHAMA 1. ZAKAYO MBURO(M/KITI)2. PHILIMON BUKO(KATIBU)

0785876960 (M/KITI)0684400249 (KATIBU)

MAZINGIRA MGORI SUGHANA 1. BENJAMIN ZAKAYO(M/KITI)2. IDD MRISHO(KATIBU)

0758268174(M/KITI)0753868060(KATIBU)

JUMA MTINDA

NGIMU NGIMU JUMA MTINDA(M/KITI)

0786034709

Pia katika kuhakikisha kuwa makundi ya kuotesha miti yanafikia malengo yao kwa ufanisi, makundi hayo yamebainisha mahitaji ya vifaa vinavyohitajika katika uwezeshwaji kama ifuatavyo katika jedwali.

MAHITAJI YA VIFAA YA VIKUNDI VYA KUOTESHA MITI TARAFA YA MGORI

JINA LA KIKUNDI VIFAA/MAHITAJINYOTA NJEMA 1. Reki

2. Mbegu3. Water can4. Sepetu/mbeleshi5. kayamba la kuchekechea mchanga6. mita YA MAJI7. Mabomba ya kumwagilia

Page 3: WIRWANA YETU

8. mabomba ya kuunganisha maji9. Viriba vya kuotehea miche10. Toroli

MAZINGIRA 1. Mbegu2. viriba viongezwe3. Toroli4. sepetu/mbeleshi5. pump ya maji6. tanki la maji7. mipira ya kumwagilia8. viriba viongezwe

JUMA MTINDA 1. Mbegu2. Toroli3. water can4. pump ya maji5. tanki la kuhifadhia maji kwa mda .6. viriba

Imeandaliwa na:

RAJAB A. MUMBEE

Mratibu Wirwana yetu-Tarafa ya Mgori.