Transcript
Page 1: They go to school, but do they learn?
Page 2: They go to school, but do they learn?

Kijitabu hiki kimetayarishwa na watendaji wa Twaweza Tanzania.

Waandishi: Abella Bateyunga na Evarist KamwagaMchoraji: Marco TibasimaMhariri: Rakesh Rajani

©Hivos/Twaweza 2011

SLP 38342, Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 266 4301Faksi: +255 22 266 4308Barua pepe: [email protected]: www.twaweza.org

Unaruhusiwa kunakili sehemu yeyote ya kijitabu hiki kwa sababu zisizo za kibiashara tu. Unachotakiwa kufanya ni kunakili chanzo cha sehemu uliyonakilia na kutuma nakala mbili kwa Twaweza.

Page 3: They go to school, but do they learn?

Utangulizi

Ndugu msomaji:

Wengi wetu tunaamini ‘elimu ni ufunguo wa maisha’. Serikali yetu vilevile

inatambua hivyo na ndio maana imeweka juhudi kubwa ka�ka elimu.

Madarasa mengi yamejengwa, uandikishwaji wa watoto umepanda, na walimu

lukuki wameajiriwa. Zaidi ya haya Tanzania iko mstari wa mbele ka�ka

kuyafikia malengo ya maendeleo ya milenia (MDGs), ka�ka hili tumepata tuzo

za kimataifa kwa kuvuka malengo ka�ka uandikishaji watoto mashuleni

(asilimia 95).

Mafanikio haya ni makubwa na Serikali inastahili kupewa pongezi.

Lakini, hebu tujiulize, ji�hada hizi zimezaa matunda gani? Tutumie kipimo kipi

kujua kama watoto wetu wameelimika?

Lengo la elimu ni kuleta mabadiliko ya maisha. Mwalimu Julius Nyerere ka�ka

Elimu ya Kujitegemea alituhimiza kwamba “Elimu inayotolewa ni lazima ijenge

mambo matatu kwa kila mwananchi; akili ya kuuliza, uwezo wa kujifunza na

uwezo wa kujiamini”. Ka�ka haya yote mkazo upo ka�ka ‘ubora’ na si

vinginevyo, yaani kumjengea mtoto maarifa ka�ka kusoma, kufanya

mahesabu, uwezo wa kudadisi, kufikiri, kusikiliza, kuuliza maswali,

kupambanua na kuwasiliana kwa kujiamini.

Ndiyo maana matokeo ya utafi� uliofanywa hivi karibuni na Uwezo yana�sha.

Utafi� umeibua matokeo tofau� na wengi wanavyotazamia elimu ya nchi yetu.

Imegundulika kuwa watoto wengi wapo madarasani lakini hawajifunzi. Kwa

mfano, watoto 9 ka� ya 10 wa darasa la tatu hawawezi kusoma Kiingereza cha

darasa la pili, 8 ka� ya 10 hawawezi kufanya Hisaba�, na 7 ka� ya 10

wanashindwa kusoma Kiswahili ipasavyo.

i

Page 4: They go to school, but do they learn?

Tafakari kwa hali kama hii, miaka kumi ijayo tutakuwa na taifa la namna gani?

Kizazi hiki kipya cha waka� huo kitafanya nini? Hali hii inafanana na nyumba

iliyopambwa lakini yenye msingi mbovu, matokeo yake ni nyufa

zitakazopelekea anguko lake.

Lakini tusikate tamaa. Kuna mengi ya kufanya. Kila mmoja ana uwezo wa

kuleta mabadiliko. Unaposoma kijitabu hiki usikae kimya, shirikisha wenzio,

jadili na chukua hatua ka�ka eneo lako. Ongea na watoto na vijana, wasaidie

na kuwafariji. Wasiliana na viongozi kujadili jinsi ya kuboresha elimu. Andika

barua kwa mamlaka au kwenye vyombo vya habari kuwasilisha maoni yako.

Pamoja Twaweza! Ni sisi!

Rakesh RajaniMkuu, Twaweza

ii

Page 5: They go to school, but do they learn?

1

Page 6: They go to school, but do they learn?

2

Page 7: They go to school, but do they learn?

3

Page 8: They go to school, but do they learn?

4

Page 9: They go to school, but do they learn?

5

Page 10: They go to school, but do they learn?

6

Page 11: They go to school, but do they learn?

7

Page 12: They go to school, but do they learn?

8

Page 13: They go to school, but do they learn?

9

Page 14: They go to school, but do they learn?

10

Page 15: They go to school, but do they learn?

11

Page 16: They go to school, but do they learn?

12

Page 17: They go to school, but do they learn?

13

Page 18: They go to school, but do they learn?

14

Page 19: They go to school, but do they learn?

15

Page 20: They go to school, but do they learn?

16

Page 21: They go to school, but do they learn?

17

Page 22: They go to school, but do they learn?

18

Page 23: They go to school, but do they learn?

19

Page 24: They go to school, but do they learn?

20

Page 25: They go to school, but do they learn?

21

Page 26: They go to school, but do they learn?

22

Page 27: They go to school, but do they learn?

23

Page 28: They go to school, but do they learn?

24

Page 29: They go to school, but do they learn?

25

Page 30: They go to school, but do they learn?

26

Page 31: They go to school, but do they learn?

27

Page 32: They go to school, but do they learn?

Recommended