View
4.225
Download
71
Category
Preview:
Citation preview
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 1
VITA VYA KIROHOMapambano na Nguvu za gizaKuteka Baraka zetu kwa Vita
Mwl. Mgisa Mtebe+255 713 497 654, +255 783 497 654
mgisamtebe@yahoo.com
www.mgisamtebe.org30 March 2012
VITA VYA KIROHOILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI
KWA USHINDI DUNIANI
Mathayo 16:18‐19Waefeso 6:10‐13
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1918 Nami Nitalijenga Kanisa langu,
wala milango ya kuzimuwala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa
mbinguni … 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1919 … jambo lolote t k l lif d i iutakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni (rohoni) …
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1919 … na jambo lolote t k l lif d i iutakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni (rohoni).
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za
mwovu shetani.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 2
Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18“Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita) kati ya milango ya(kuna vita), kati ya milango ya
kuzimu (nguvu za giza) na kanisala Bwana Yesu Kristo duniani.”
Ufunuo 12:1730 March 2012
VITA VYA ROHONI
Chanzo cha vita
Vita hii ilitokea Wapi?Vita hii ilitokea Wapi?Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17
Ezekieli 28:11‐19Isaya 14:10‐15
30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 173 “Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni; niliona Joka mkubwambinguni; niliona, Joka mkubwa
mwekundu, na alikuwa na vichwa saba na pembe kumi …
30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 174 “… na huyu joka, katika mkia
wake alikuwa anakokotawake, alikuwa anakokota theluhthi ya nyota za mbinguni
(malaika wa Mungu) na kuziangusha katika nchi.
30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 177 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi yaMalaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka na
malaika zake …”30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 3
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 178 “Nao hawakushinda, wala
mahali pao hapakuonekana tenamahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 1710 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema sas kumekuwa wokovuikisema, sas kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu wetu na mamlaka ya Kristo wake,
kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu”.30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 1711 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake kwa damu yana malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la
ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata
kufa”.30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 1712 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini olewote mkaao mbinguni; lakini ole wa ninyi mkaao duniani! Kwa
maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua
ana wakati mchache!30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 1717 “Joka akamkasirikia yule
mwanamke (kanisa) akaendamwanamke (kanisa), akaenda afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na kuwa na ushuhuda wa Yesu …”
30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18“Nitalijenga kanisa langu, litapambana na milango yalitapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na
milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 4
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpigabinadamu na mazingira yake ilibinadamu na mazingira yake, ili
kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa
binadamu, duniani. 30 March 2012
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Kwanini Ibada?Zaburi 22:3
30 March 2012
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3IDABA ndio kitu cha kwanza
k bi k ikkabisa katika moyo waMungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.
30 March 2012
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu, nawe “UNAKETI” j if I lUNAKETI juu ya sifa za Israel
“Inhabit” “Unaishi”
30 March 2012
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3IDABA ndio kitu cha kwanza
k bi k ikkabisa katika moyo waMungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.
30 March 2012
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Kumnyima Mungu ibadaNi kama kumnyima
S ki ji• Samaki maji• Mimea udongo• Binadamu hewa
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 5
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
“Kwa maana, Baba anawatafuta watu wa aina hiyo ili
wamwabudu.”(Yohana 4: 23)
30 March 2012
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu
Ibada NchiZab 22:3
Ibada Nchi
Adam
Zab 150:6
Kumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo vizuri vya kumwabudu Mungu.30 March 2012
SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu anatamani sana kukaa nasisi watoto wake hapa duniani, ndio maana anataka dunia yoteij h li ib d ( t h )ijazwe hali ya ibada (atmosphere) kama ilivyo mbinguni (masaa 24), ili duniani pia, kuwe na mazingiraya maisha au ya makazi ya Mungu
kama ilivyo mbinguni.30 March 2012
SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka watoto wake, tuwe na maisha mazuri, ili tunapopeleka ibada kwa
Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (fresh), yaani ibada isiyo na kelele za moyoni
(masumbufu).30 March 2012
SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutokana na umuhimu na unyeti wa ibada, Mungu
hakutaka na hataki watoto wake, tuwe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na
maisha ya shida; ili ibada yake isiingiliwe na vurugu zozote.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 6
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mungu apate ibada nzurikutoka kwetu, inamlazimu
kutubariki na kututengenezeakutubariki na kututengenezea mazingira mazuri, ili tuweze kuwa na maisha mazuri ya
kumtumikia yeye kama vyombo vizuri vya ibada.
30 March 2012
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Ndio maana Mungu alitumiamuda mrefu zaidi kuumba Dunia
kuliko muda aliotumiakumuumba binadamu
mwenyewe.Dunia = siku 5Adam = siku 1
30 March 2012
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Hii inaonyesha wazi kwamba, Mungu anajali sana mazingira ya maisha yako; kwasababu, ibada nzuri inategemea aina ya maisha
ya mtu, na aina ya maisha yanategemea aina ya mazingira
anayoishi mtu huyo.30 March 2012
NGUVU YA SADAKA NA IBADA
Wakolosai 1:1616 … vitu vinavyoonekana na vile visivyoonekana, vitu vyote y , yviliumbwa na Yeye na kwa ajili
Yake. (rasilimali zote zilimewekwa na Mungu na kwa
ajili yake)30 March 2012
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu
Ibada NchiZab 22:3
Ibada Nchi
Adam
Zab 150:6
Kumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24
30 March 2012
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri;uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazuri.
Kumbukumbu 8:6‐18 30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 7
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mazingira yakitibuka, maishayanatibuka na maishayanatibuka, na maisha
yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka.
Kumbukumbu 8:6‐1830 March 2012
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpigabinadamu na mazingira yake ilibinadamu na mazingira yake, ili
kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa
binadamu, duniani. 30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18“Nitalijenga kanisa langu, litapambana na milango yalitapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na
milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za
mwovu shetani.30 March 2012
Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
30 March 2012
‘Ingawa tunaenenda kimwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, silaha zetu zina nguvu katika
2Wakorintho 10:3‐5
gMungu (roho), tukiteka nyara mawazo na fikra na kila kitu
kinachojiinua kinyume na elimu ya Bwana wetu Yesu Kristo.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 8
KANUNI ZA KIROHO
Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo vizuri vya kumwabudu Mungu.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Ni mapenzi ya Mungu tuishi maisha ya ushindi na
mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha
mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu
Mungu.30 March 2012
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mungu apate ibada nzurikutoka kwetu, inamlazimu
kutubariki na kututengenezeakutubariki na kututengenezea mazingira mazuri, ili tuweze kuwa na maisha mazuri ya
kumtumikia yeye kama vyombo vizuri vya ibada.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo vizuri vya kumwabudu Mungu.30 March 2012
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu
Ibada NchiZab 22:3
Ibada Nchi
Adam
Zab 150:6
Kumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24
30 March 2012
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu alimpa Mwanadamu Mamlaka yaalimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kiroho ili Kutawala mazingira
yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 9
KANUNI ZA KIROHOEbrn 11:3, Efes 6:12
Mamlaka ya KirohoMamlaka ya Kiroho.
30 March 2012
MAMLAKA YA KIROHOMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili,
utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
30 March 2012
MAMLAKA YA KIROHO
Mamlaka ya KirohoMwanzo 1:26‐28
30 March 2012
MAMLAKA YA KIROHOMwanzo 1:26‐28
26 ‘Mungu akasema, tufanye Mtu kwa Sura yetu na Mfano wetu, wakatawale samaki wa
baharini na ndege wa angani, na kila kitu kipitacho juu ya nchi’.
30 March 2012
MAMLAKA YA KIROHOMwanzo 1:26‐28
27 ‘Bwana Mungu akaumba Mwanamke na Mwanaume;
kwa Mfano wa Mungu aliwaumba’
30 March 2012
MAMLAKA YA KIROHOMwanzo 1:26‐28
28 ‘Bwana Mungu akawaweka katika bustani, akawaambia,
zaeni mkaongezeke na kuitiisha (kuitawala) nchi.’
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 10
MAMLAKA YA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19
Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.30 March 2012
MAMLAK YA KIROHO
KABLA YA DHAMBIKABLA YA DHAMBIUTARATIBU ULIKUWA HIVI
30 March 2012
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) Utukufu (Msaada) Mungu
Mwili Roho
Dunia Nafsi
Shetani30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”
Mkuu
Mfalme
MUNGU
Zab 8:4‐8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mtawala
Mwakilishi
mungu
30 March 2012
MAMLAKA YA KIROHO
Zaburi 8:4‐8Zaburi 8:4‐8
30 March 2012
MAMLAKA YA KIROHOZaburi 8:4‐8
Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki? Umemfanya ‘punde kidogo’Umemfanya punde kidogokuliko Mungu, ukamvika taji ya
‘Utukufu’na Heshima; ukamtawaza‘Juu ya’kazi zote za
mikono yako …30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 11
MAMLAKA YA KIROHOZaburi 8:4‐8
… na ukaviweka vitu vyote ulivyoviumba wewe, ‘chini ya’miguu yake; wanyama wote,
ndege wote, samaki na kila kitu kipitacho katika njia za maji.
30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”
Mkuu
Mfalme
MUNGU
Zab 8:4‐8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mtawala
Mwakilishi
mungu
30 March 2012
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) Utukufu (Msaada) Mungu
Mwili Roho
Dunia Nafsi
Shetani30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
BAADA YA DHAMBIBAADA YA DHAMBIMAMBO YAKAWA HIVI
30 March 2012
BAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungu
Mwili Roho
DuniaNafsi
Shetani30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
MUNGU
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 12
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Yohana 16:11Mkuu
Mfalme Waefeso 2:1‐2
MUNGU
Shetani akakaa katika nafasi ya Adam na
akavaa vyeo vyote vya Adam
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mtawala
Mwakilishi
mungu
1Yohana 5:19
Luka 4:5‐8
2Korintho 4:3‐4
30 March 2012
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1‐2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler)1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Yohana 16:11Mkuu
Mfalme Waefeso 2:1‐2
MUNGU
Warumi 5:12, 14Waebrania 2:14, 15
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mtawala
Mwakilishi
mungu
1Yohana 5:19
Luka 4:5‐8
2Korintho 4:3‐4
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
BAADA YAWOKOVUBAADA YAWOKOVUMAMBO YAKAWA HIVI
30 March 2012
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Uhusiano Mungu
Mwili RohoMwili Roho
DuniaNafsi
Shetani30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA WOKOVU
Mkuu
Mfalme
MUNGU + ADAM ‐ 2
Waefeso 2:1‐6Waefeso 1:18‐23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM ‐ 1
Mtawala
Mwakilishi
mungu
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 13
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu
Mwili RohoMwili Roho
DuniaNafsi
Shetani (Rum 8:9‐11) 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili,
utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19
Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10
Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka
makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva katika bustani ya Eden.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1918 Nami Nitalijenga Kanisa langu,
wala milango ya kuzimuwala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa
mbinguni … 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1919 … jambo lolote t k l lif d i iutakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni (rohoni) …
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 14
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1919 … na jambo lolote t k l lif d i iutakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni (rohoni).
30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9‐109 Wewe unastahili kukitwaakitabu na kuzivunja lakiri zake,kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa
damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na
kila taifa (kanisa). 30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9‐1010 Nawe umewafanya hawa
f l k h iwawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18‐23/2:1‐6Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya
Uli h iliUlimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia
ya Wokovu wa Yesu Kristo.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Baada ya Wokovu, mtu wa Mungu huyo, anajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake iliMtakatifu na Nguvu zake, ili
kumrudishia mamlaka na uwezatuliyopoteza katika bustani ya Eden, kwa njia ya dhambi.
30 March 2012
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu
Mwili RohoMwili Roho
DuniaNafsi
Shetani (Rum 8:9‐11) 30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 15
KANUNI ZA KIROHO
Bwana Yesu aliomba hivi:Yohana 17:22
‘Baba Utukufu ule ulionipaBaba, Utukufu ule ulionipa, nami nimewapa wao (Kanisa)’;‘yaani watu walioniamini, walinipokea maishani mwao na wanaishi kwa kanuni
zangu za kiroho’30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Yohana 17:22‘Utukufu’ huo, ni Roho
Mtakatifu yule yule aliyepewaMtakatifu yule yule aliyepewa Adam wa kwanza, ili aweze
kuutawala ulimwengu wa dunia hii kwa Nguvu za Mungu.
Zaburi 8:4‐830 March 2012
2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za
Mungu, mtu wa Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo vizuri vya kumwabudu Mungu.30 March 2012
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu alimpa Mwanadamu Mamlaka yaalimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kiroho ili Kutawala mazingira
yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
KwaniniUli hUlimwengu wa roho.Zab 8:4‐8, Waefeso 6:12
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 16
KANUNI ZA KIROHONi kwasababu;
Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka
ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.(Zab 4:4‐8, Ebr 11:3)
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni muhimu uje kwamba, Dunia yetu inatawaliwa kwaDunia yetu inatawaliwa kwa
Kanuni kuu Mbili (2)2. Kanuni za Kimwili1. Kanuni za Kiroho
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu NguvuZa za
Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
Uumbaji wa vitu vya DuniaUumbaji wa vitu vya DuniaWaebrania 11:3
30 March 2012
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Nasi twajua ya kwamba, ulimwengu uliumbwa kwa Neno
la Mungu, hata vituvinavyoonekana, havikufanywa
kwa vitu vilivyo dhahiri.
30 March 2012
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana… vitu vinavyoonekana(vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo dhahiri ”.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 17
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana… vitu vinavyoonekana(vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo waziwazi ”.
30 March 2012
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana… vitu vinavyoonekana(vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo onekana(vya kiroho).”
30 March 2012
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Ulimwengu wa roho ndioulioumbwa kwanza; na kishali k ilik di Mulipokamilika, ndipo Mungu
akauzaa Ulimwengu wa mwilikutokea katika
Ulimwengu wa Roho.30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHO
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa
kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai‐
photocopy au akai‐print) katika ulimwengu wa mwili.30 March 2012
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 100033 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3‐4 Mfalme
InjiliKalvari Kanisa
Milele
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 100033 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3‐4 Mfalme
Injili600 Kalvari Kanisa
700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
Ulimwengu wa Mwili30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 18
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana(vya kimwili) vilifanywa kwa(vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo onekana(vya kiroho).
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
li l hlimeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya j y
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa Kiroho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu
vinavyoonekana (vya kimwili) ni y ( y )vya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho)
kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).
30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika
ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha, ndipo akaizaa(akai‐photocopy au akai‐print) katika ulimwengu wa mwili.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 19
ULIMWENGU WA ROHO
Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake.
kil ki h ki d i iAu kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy yake (yaani kina upande wa rohoni
na wa upande wa mwilini).30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHO
KwahiyoKila cha Kimwili,
kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHO
1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHO
Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”‐ Photocopy ‐
30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHO
Zaburi 39:6a“Binadamu huko na hukoBinadamu huko na huko
kama kivuli”‐ Photocopy ‐
30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vit isi oonekana• Vitu visivyoonekana• Vitu vinavyoonekana
Na vyote viko kwa pamoja
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 20
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni Kwasababu, Ulimwengu wa Mwili
ulizaliwa kupitia Ulimwengu wa Kiroho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni Kwasababu,
Mambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa kwa mambo ya
ulimwengu wa roho; 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni muhimu uje kwamba, Kanuni za KimwiliKanuni za Kimwilizinatawaliwa na Kanuni za Kiroho
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo, kwa utaratibu huu;Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa Kiroho.
30 March 2012
MAANA YA KUOMBA
Tafsiri Mpya yaTafsiri Mpya ya Maombi
30 March 2012
MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu,
kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu
k k thi i liwake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 21
KANUNI ZAKIROHOUlimwengu wa roho
Kwa Mfano Maombi ya Nabii Eliya
Yakobo 5:17‐18;1Wafalme 17‐18;
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17‐18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga
mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki‐mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa muda wa miaka 3 na nusu.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17‐18;Japo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini
Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni
zinazotawala mvua mwili, na ndio maana mvua haikunyesha.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17‐18;Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu
yote imepukutika; kwahiyo hakukuwa na kanuni za kutosha
kuruhusu mvua kunyesha.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17‐18;Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katikauliwengu wa roho, na Mungu
alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki‐mwilini) ikanyesha na
nchi ikazaa matunda yake.30 March 2012
MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu,
kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu
k k thi i liwake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 22
Mabadiliko gani hayo?Kwa Mfano;
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;
Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwana
k k d k ’ bupya, akaweka sadaka ya ng ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yake,
kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;
Baada ya kufanya Kanuni hizi za Kiroho, ndipo Eliya akafanya
Maombi ya Vita, ili kuvunja ngvu ya upinzani, iliyokuwa inazuia baraka za Mungu, kuwafikia
watoto wake duniani.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Yakobo 5:18;MATOKEO = USHINDIM ik h k ikMvua ikanyesha katika
ulimwengu wa mwili, na Nchiikazaa matunda yake, na watu
wakafaidi mema ya nchi.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu,Nabii Eliya akawaambia watu,
‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), watu
walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI;
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1‐14)/ / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / // / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 23
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐45;Na watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani kuomba; naalikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi
(mstari 44‐45).30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / // / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / // / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / // / / (Mstari 44‐45) / / /
/ / / / / / / / // / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐45;Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,katika ulimwengu wa mwili,
mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho
kwanza.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45;
Kwahiyo, kumbuka kwamba, Kanuni za kiroho, ndizo ,
zilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohoni
kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐45;Kwahiyo,
Ile mvua haikunyesha katikaIle mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho kwanza.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya j y
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 24
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
li l hlimeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐45;Kwahiyo, ile mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,katika ulimwengu wa mwili,
mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho
kwanza.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30
‘Mungu ameshatubariki kwa b k h i k ikbaraka zote za rohoni, katikaulimwengu wa roho; kama
alivyotuchagua katika yeye, kablaya kuwekwa misingi ya ulimwengu,
tuwe watakatifu’.30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1‐14)/ / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / // / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45, Yakobo 5:17‐18
Wana wa Israeli, walikuwa wanateseka kwa maisha
magumu, katika ulimwengu wa mwili, wakati wao ni wabarikiwa wenye baraka nyingi sana katika
ulimwengu wa roho.30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / // / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / // / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / // / / (Mstari 44‐45) / / /
/ / / / / / / / // / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 25
NGUVU YA MAOMBI
Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana katika U’rohoni.
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi
li k ik lizote tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni,wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa
shida na taabu nyingi.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Mungu wetu ni Mungu wa Imani, anayefanya mambo , y y
yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika
ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa rohog
kwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo
katika ulimwengu wa mwili.
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI NA SADAKA
Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta
mabadiliko katika mambo ya ki ili b i i l i t f hkimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHO
Kwanini tunaishi maisha ya kushindwa?
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 26
ULIMWENGU WA ROHOHebu jiulize mwenye…
Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso huku mwili, yaliyojaa hid t b i i k bshida na taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tumebarikiwa na Mungu kwa baraka zote, tena
nyingi sana, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko tunayotaka kuyaona huku duniani.
~ kutokujua ~30 March 2012
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 100033 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3‐4 Mfalme
InjiliKalvari Kanisa
Milele
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 100033 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3‐4 Mfalme
Injili600 Kalvari Kanisa
700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
Ulimwengu wa Mwili30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1‐14)/ / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / // / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / // / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / // / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / // / / (Mstari 44‐45) / / /
/ / / / / / / / // / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 27
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi UyunaniUyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na
kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(3) Hatuna maarifa na bidii ya(3) Hatuna maarifa na bidii yakutumia kanuni za kiroho, kwa
namna sahihi, katikamadhabahu ya Bwana
(ulimwengu wa kiroho).30 March 2012
SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na kanuni ambazo Mungu aliziweka duniani, ili
k h k lkutuwezesha kutawala ulimwengu wa mwili, kwa
kanuni za kiroho zinazoathiri kwanza ulimwengu wa kiroho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya Ulimwengu wa kirohokatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza
kanuni za kiroho …
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 28
KANUNI ZA KIROHO… ili waweze kuathiri vizuri Ulimwengu wa roho, hata kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili
yatakayowawezesha kutawalamaisha yao, kwa ushindi na
mafanikio makubwa. 30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHO
Kanuni za kiroho zikiathiri Ulimwengu wa roho
inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni
za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, kama
ilivyotazamiwa.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Hii ni kwasababu;
Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa Kiroho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
Ushindi wa Yesu wa PasakaUshindi wa Yesu wa Pasaka1Petro 3:18‐20
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20
Hata hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana , yYesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea
katika mwili.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 29
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20
Siku ile Bwana Yesu alipoangikwa msalabani, watu waliuona mwili wake ukining’inia msalabani, lakini hawakuoiona roho yake
ikiondoka kwenda katika ulimwengu wa wafu (kuzimuni).30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20
18 “Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa
Mungu; mwili wake ukauwawa, bali roho yake ikahuishwa”.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20
19 “Kwa hiyo (roho yake)aliwaendea roho waliokuwa
kifungoni, akawahubiri (injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu) yaani akawakomboa wale wote waliofungwa au waliozuiliwa)
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45
45 “Basi tangu saa 6 mpaka saa 9, palikuwa na giza juu ya nchi yote 46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza
sauti yake … 50 (akasema imekwisha) aliposema hivyo,
akaitoa roho yake.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45
51 “na tazama pazia la hekalu likapasuka kutoka juu hata chini;
nchi ikatetemeka, miamba ikapasuka, 52 na makaburi
yakafunguka na ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 4:88 “alipopaa juu aliteka mateka8 alipopaa juu, aliteka mateka, akawapa wanadamu vipawa”
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 30
KANUNI ZA KIROHOWakolosai 2:13‐15
‘… (Bwana Yesu) akiisha kutusamehe makosa yetu (pale msalabani) … aliifuta ile hati ya mashtaka juu yetu, iliyokuwa na uadui na Mungu, akaigongelea
pale msalabani …’30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWakolosai 2:13‐15
‘… (kisha Bwana Yesu) kwa ujasiri wote, akazivua enzi na mamlaka, akazifanya kuwa mkogo (yaani, fedhaha, aibu na dharau) kisha akazishangilia katika msalaba …’
(Mafafanuzi yameongezewa)30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO1Pet 3:18‐20, Kol 2:14‐15
Kumbe hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya , yBwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika
ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO1Pet 3:18‐20, Kol 2:14‐15
Kumbe mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa
wakati mmoja (ktk dunia moja);Mengine katika ulimwengu wa
mwili na mengine katikaulimwengu wa roho.30 March 2012
1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54 Wakolosai 2:14‐15Mathayo alitumiwa Paulo alitumiwa na
Mungu kuelezea Mungu kuelezea
Mambo yaliyotokea mambo yaliyotokea
Katika ulimwengu katika ulimwengu
wa kimwili wa kiroho
30 March 2012
1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54 Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
1. 1.
Alikuwa Alikuwa Analia. Anashangilia.“Eloi Eloi “akizishangilia ktk
lama sabaktan” msalaba”30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 31
1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54 Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
2. 2.
Alikuwa Alikuwa Anateseka Anazitesa.“Naona Kiu” “falme na mamlaka
Wakamnywesha siki. za giza (shetani)”30 March 2012
1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54 Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
3. 3.
Alivuliwa Nguo Alizivua mamlaka
kwa aibu (uchi), za giza (mashetani)
akaondolewa enzi yao na
heshima yake heshima zao.30 March 2012
1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54 Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
4. 4.
Aliaibishwa Aliziaibisha ‘Akafa kifo cha laana ‘akaziharibu na
mateso na aibu sana’ kuzifedhehesha
juu ya msalaba’30 March 2012
1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54 Wakolosai 2:14‐15Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
5. 5.
Anashindwa. Anashinda.Akafa kifo cha mateso ‘akaenda kuzimuni
na aibu sana’ kukomboa
watakatifu’.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20
Hii ina maana kwamba;Yesu alishinda kwa kushindwa.Yesu alishinda kwa kushindwa.Kile kilichokuwa kinaonekana ni
“kushindwa” ndio ilikuwa “kushinda” kwa Bwana Yesu.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Ndio maana tunaambiwa kwamba;
‘Tusiviangalie vinavyoonekanag y(vya kimwili) ni vya muda tu;
bali tuviangalie visivyoonekana, (vya kiroho) ndivyo vya kudumu.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 32
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20
Kwahiyo, mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa
wakati mmoja (ktk dunia moja);Mengine katika ulimwengu wa
mwili na mengine katikaulimwengu wa roho.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20
Kwahiyo, hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, ,alioufanya Bwana Yesu pale
msalabani, ulikuwa ni ukombozikatika roho kwanza kabla ya
kutokea katika mwili.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Hivyo basi;
Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa Kiroho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Huu ndio Utaratibu wa Mungukatika kuitawala dunia;;
kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katikaHakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa Kiroho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 33
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual
Principles).30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu NguvuZa za
Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
30 March 2012
Somo;
Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawamaishani mwetu, yatasababishaathari fulani katika ulimwenguwa roho, na kufanya mabadilikofulani kutokea, katika ulimwengu
wetu wa mwili.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Mungu wetu ni Mungu anayefanya mambo katika y y
ulimwengu wa yasiyoonekanakwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17
Mungu wetu ni Mungu anayevitaja, visivyokuwepo, y j , y p ,kana kwamba vimekuwepo; (yaani anataja visivyoonekanakana kwamba vinaonekana).
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;Waebrania 11:1, 3
Vitu vinavyoonekana, viliumbwaVitu vinavyoonekana, viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (au vitu
visivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 34
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu
vinavyoonekana (vya kimwili) ni y ( y )vya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho)
kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 8:37, 1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka
kutembea duniani na Mungu wa gImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;
kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na
Mungu huushinda ulimwengu;Mungu, huushinda ulimwengu; Na huku ndiko kushinda
kuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:1‘Imani ni kuwa na uhakika( ) ( b(wa sasa), wa (mambo ya
rohoni) mambo yasiyoonekana;
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
1Yohana 5:4‘Kwakuwa Imani ndiyo siri ya ushindi wetu na Imani niushindi wetu, na Imani ni
uhakika wa mambo yasiyoonekana (mambo ya ulimwengu wa roho)’
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu
akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika
maisha yake duniani, lazima awe na ufahamu wa mambo
yasiyoonekana (mambo ya rohoni) yaani Imani.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 35
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Mungu wetu ni Mungu wa Imani, anayefanya mambo , y y
yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika
ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.30 March 2012
2Wakorintho 10:3‐5‘Ingawa tunaenenda kimwili,
hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili
VITA VYA KIROHO
hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, silaha zetu zina nguvu katika
Mungu (roho)’
30 March 2012
Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
30 March 2012
Waebrania 11:3, 2Korintho 10:3Ulimwengu wa roho ndio unaotawala Ulimwengu wa
mwili; hivyo basi, Hakuna kitu ki f ik k ik likinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili, mpaka kwanza
kimefanyika katika Ulimwengu wa Kiroho.
30 March 2012
Somo;
Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawamaishani mwetu, yatasababishaathari fulani katika ulimwenguwa roho, na kufanya mabadilikofulani kutokea, katika ulimwengu
wetu wa mwili.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 36
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
Uumbaji wa vitu vya DuniaUumbaji wa vitu vya DuniaMwanzo 1:1‐5, 14‐19
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
1 Hapo mwanzo, Mungu aliumbambingu na nchi; 2 na Dunia
ilik h i b ilikilikuwa haina umbo tena ilikuwatupu, giza lilikuwa juu ya uso wavilindi vya maji, naye Roho waMungu alitanda juu ya maji.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
3 Mungu akasema, “Iwepo ’’ ik 4nuru’’ nayo nuru ikawepo. 4
Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu
akatenganisha nuru na giza. 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
5 Mungu akaiita nuru “mchana’’i k lii “ ik ’’ Ikna giza akaliita “usiku.’’ Ikawa
jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
14 Mungu akasema, “Iwepo i k f i ilimianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe mchana na usiku,
nayo iwe alama ya kutambulisha majira mbali mbali, siku na miaka,
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
15 nayo iwe ndiyo mianga kwenye nafasi ya anga itoe nurukwenye nafasi ya anga itoe nuru juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16Mungu akafanya mianga miwili
mikubwa … 30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 37
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
16 … Mwanga mkubwa utawale mchana (Jua) na mwanga mdogomchana (Jua) na mwanga mdogo
utawale usiku (Mwezi). Pia Mungu akafanya na nyota za
mbinguni.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
17 Mungu akaiweka hiyo mianga mikubwa miwili (yaani Jua na Mwezi) katika anga ili iangazeMwezi) katika anga ili iangaze
dunia. 18 … Mungu akaona kuwa hili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi,
kwasababu Nuru ilikuwepo tangukwasababu Nuru ilikuwepo tangusiku ya kwanza wakati jua na
mwezi viliumbwa baadaye kabisakatika siku ya nne!
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza
ulimwenguni bali jua niulimwenguni, bali jua ni “kibebeo” tu cha kuleta mwanga duniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno)Yoh 1:7‐930 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Kwa lugha rahisi;
Mwanga au Nuru inayoangazaduniani ina vyanzo viwili; kimojaduniani, ina vyanzo viwili; kimojani kipo katika ulimwengu wamwili na kingine kipo katika
ulimwengu wa roho.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 38
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha
Nuru cha mwilini kuwepoNuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo
cha Nuru cha kiroho. 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;
Kanuni za Kiroho zilikuwepo kablaya Kanuni za Kimwilini kuwepoya Kanuni za Kimwilini kuwepo.Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizozinazotawala Kanuni za Kimwili za
Ulimwengu huu.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;
Hakuna kitu kinachofanyika katikaUlimwengu wa mwili mpakaUlimwengu wa mwili, mpakakimefanyika kwanza katika
Ulimwengu wa roho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19
Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha
Nuru cha mwilini kuwepoNuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo
cha Nuru cha kiroho. 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno)Yoh 1:7‐930 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:1‐4“Mtu hataishi kwa mkate tu, ,bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Bwana”.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 39
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Mkate Afya
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4
Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkatey ytunaokula tu, bali kwa katika
Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4
Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Daway yanazotumia tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa cha
Bwana Mungu.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Dawa Afya
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Nyumba Ulinzi
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Kitanda Usingizi
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 40
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Kitabu Akili
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Pete Upendo
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Cheti Kazi
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Ajira Mafanikio
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4
Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko
kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa
kimwili na kanuni zake.30 March 2012
Waebrania 11:3, 2Korintho 10:3Ulimwengu wa roho ndio unaotawala Ulimwengu wa
mwili; hivyo basi, Hakuna kitu ki f ik k ik likinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili, mpaka kwanza
kimefanyika katika Ulimwengu wa Kiroho.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 41
Somo;
Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawamaishani mwetu, yatasababishaathari fulani katika ulimwenguwa roho, na kufanya mabadilikofulani kutokea, katika ulimwengu
wetu wa mwili.30 March 2012
2Petro 1:3‐4Tunaishi kwenye ulimwengu
ulioharibika sana kwasababu yadhambi na uovu Mtu wa Mungu
KUTEMBEA KWA IMANI
dhambi na uovu. Mtu wa Munguakitaka kuishi kwa ushindi namafanikio katikati ya uharibifuhuu, bila kuingia katika uovu(kujichafua), ni lazima iwe nikwa nguvu za Mungu tu.30 March 2012
2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za
Mungu, mtu wa Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.
30 March 2012
Somo;Kanuni za kiroho, ni mambo
ambayo, tukiyatumia maishani, mwetu, yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu,
zinazohitajika kutupa maisha ya ushindi na mafanikio, katika
ulimwengu wa mwili.30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho
katika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza
kanuni za kiroho.
30 March 2012
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Ulimwengu wa roho ndioulioumbwa kwanza; na kishaulipokamilika, ndipo Munguakauzaa Ulimwengu wa mwili
kutokea katikaUlimwengu wa Roho.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 42
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 8:37, 1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka
kutembea duniani na Mungu wa gImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;
kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.
30 March 2012
MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu,
kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu
k k thi i liwake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
30 March 2012
ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, kwa njia ya maombi, mtu wa Mungu anaweza
kwenda rohoni, akaitawala kesho (future) yake, kabla kesho haijafika (au kuzaliwa katika
ulimwengu wa mwili.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
SummaryM b i i i idiMambo yanayosisitizwa zaidi
Mathayo 16:18‐19
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1918 Nami Nitalijenga Kanisa langu,
wala milango ya kuzimuwala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa
mbinguni … 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1919 … jambo lolote t k l lif d i iutakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni (rohoni) …
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 43
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1919 … na jambo lolote t k l lif d i iutakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni (rohoni).
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐19Mambo muhimu katika mistarihii, yatakayotusaidia kuelewa,hii, yatakayotusaidia kuelewa, Kusudi la Mungu juu ya Kanisa
(mimi na wewe);
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐191. Kanisa ni la Yesu Mwenyewe2 Kusudi la Kanisa ni Kupiga Vita2. Kusudi la Kanisa ni Kupiga Vita3. Adui yetu mkuu ni shetani4. Kuzimu ni wazuiaji (mageti)
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐19
5. Kanisa ni washambuliaji6. Ushindi tayari kabla ya Vita7. Kanisa lina mamlaka ya dunia
30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18“Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita) kati ya milango ya(kuna vita), kati ya milango ya
kuzimu (nguvu za giza) na kanisala Bwana Yesu Kristo.”
Ufunuo 12:1730 March 2012
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18“Nitalijenga kanisa langu, litapambana na milango yalitapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na
milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 44
KANUNI ZA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19
Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10
Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka
makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva katika bustani ya Eden.30 March 2012
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu
Mwili RohoMwili Roho
DuniaNafsi
Shetani (Rum 8:9‐11) 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18‐23/2:1‐6Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya
Uli h iliUlimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia
ya Wokovu wa Yesu Kristo.30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA WOKOVU
Mkuu
Mfalme
MUNGU + ADAM ‐ 2
Waefeso 2:1‐6Waefeso 1:18‐23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM ‐ 1
Mtawala
Mwakilishi
mungu
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Ni Baada ya Wokovu, ndipo mtu wa Mungu, anaunganishwa tena na Mungu na kuajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake, ili
kumrudishia mamlaka na uwezatuliyopoteza katika bustani ya Eden, kwa njia ya dhambi.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 45
KANUNI ZA KIROHO
Bwana Yesu aliomba hivi:Yohana 17:22
‘Baba Utukufu ule ulionipaBaba, Utukufu ule ulionipa, nami nimewapa wao (Kanisa)’;‘yaani watu walioniamini, walinipokea maishani mwao na wanaishi kwa kanuni
zangu za kiroho’30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
‘Utukufu’ huo, ni Roho Mtakatifu yule yule aliyepewa Adam wa kwanza ili awezeAdam wa kwanza, ili aweze
kuutawala ulimwengu wa dunia hii kwa Nguvu za Mungu.
Zaburi 8:4‐830 March 2012
VITA VYA KIROHOMapambano na Nguvu za gizaKuteka Baraka zetu kwa Vita
Mwl. Mgisa Mtebe+255 713 497 654, +255 783 497 654
mgisamtebe@yahoo.com
www.mgisamtebe.org30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Chanzo cha vita
Vita hii ilitokea Wapi?Vita hii ilitokea Wapi?Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17
Ezekieli 28:11‐19Isaya 14:10‐15
30 March 2012
VITA VYA KIROHOILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI
KWA USHINDI DUNIANI
Mathayo 16:18‐19Waefeso 6:10‐13
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1918 Nami Nitalijenga Kanisa langu,
wala milango ya kuzimuwala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa
mbinguni … 30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 46
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1919 … jambo lolote t k l lif d i iutakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni (rohoni) …
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18‐1919 … na jambo lolote t k l lif d i iutakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni (rohoni).
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za
mwovu shetani.30 March 2012
Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
30 March 2012
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18“Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita) kati ya milango ya(kuna vita), kati ya milango ya
kuzimu (nguvu za giza) na kanisala Bwana Yesu Kristo duniani.”
Ufunuo 12:1730 March 2012
Kumjua Adui Yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
jDaniel 10:11‐13, 20
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 47
Luka 11:21‐22Japo shetani alinyang’anywa
nguvu zote alizopewa na Mungu, lakini hapa duniani, aliweza k ik N K Ad
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
kupiku Nguvu Kuu za Adam, ambazo zilikuwa ndizo Nguvu Kuu zitawalazo dunia, Nguvu kubwa sana kuliko za Malaika
wote. (Zaburi 8:4‐8)30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”
Mkuu
Mfalme
MUNGU
Zab 8:4‐8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mtawala
Mwakilishi
mungu
30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
2Wakorintho 6:14‐18Warumi 3:23
MUNGU
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Yohana 16:11Mkuu
Mfalme Waefeso 2:1‐2
MUNGU
Shetani anatusumbua duniani kwa kutumia nguvu zetu wenyewe!
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mtawala
Mwakilishi
mungu
1Yohana 5:19
Luka 4:5‐8
2Korintho 4:3‐4
30 March 2012
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1‐2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler)1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Yohana 16:11Mkuu
Mfalme Waefeso 2:1‐2
MUNGU
Warumi 5:12, 14Zekaria 3:2
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mtawala
Mwakilishi
mungu
1Yohana 5:19
Luka 4:5‐8
2Korintho 4:3‐4
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 48
Luka 11:21‐22‘Mtu “mwenye nguvu”,
alindapo nyumba yake, vitu vyake viko salama. Lakini, k k j M “M
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
atakapokuja Mtu “Mwenye Nguvu kuliko” yeye, ataweza kumnyang’anya silaha zake, na kuyagawanya mateka yake.’
30 March 2012
Neno Lililotumika Tafsiri Yake
“mwenye nguvu” shetani
Luka 11:21‐22
“nyumba yake” Jamii au eneo
“vitu vyake” Watu na mali30 March 2012
Neno Lililotumika Tafsiri Yake
“Mwenye nguvu KanisaK lik ”
Luka 11:21‐22
Kuliko”
“Mateka Yake” Watu na mali
30 March 2012
Luka 11:21‐22shetani si kiumbe dhaifu; japo shetani alinyang’anywa nguvu zote alizopewa na Mungu, lakini h d i i li k ik
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
hapa duniani, aliweza kupiku Nguvu Kuu za Adam, ambazo zilikuwa Nguvu Kuu zitawalazo dunia, Nguvu kubwa sana kuliko
za Malaika wote.30 March 2012
2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za
Mungu, mtu wa Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniN f i/M l k k h iNafasi/Mamlaka yako rohoni
4. Namna ya Kupiga Vita rohoni
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 49
NAMNA YA KUOMBA
4. VITA VYA ROHONI
Rejea habari ya
Maombi ya DanielDaniel 10:1‐14, 20
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Vita ya Siku 3
Uyahudi Uajemi UyunaniUyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
mfalmemfalme mfalme
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi UyunaniUyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za
mwovu shetani.30 March 2012
Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 50
IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI
Waefeso 6:121. Falme za Giza.
Ni mapepo maalum yaliyowekwaNi mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake
juu ya ‘Maeneo Maalum’. (Taifa, Mikoa, Wilaya, Kata,
Ubalozi/Mtaa, Nyumba/Kaya, n.k)30 March 2012
IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI
Waefeso 6:122. Mamlaka za Giza.
Ni mapepo maalum yaliyowekwaNi mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake
juu ya ‘Makundi ya Watu’. (Viongozi, Wanafunzi, Wizara,
Wafanyabiashara, Makabila, n.k)30 March 2012
IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI
Waefeso 6:123. Wakuu wa Giza.
Ni mapepo maalum yaliyowekwaNi mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake
juu ya ‘uovu na ubaya’. (Ulevi, Wizi, Ajali, Zinaa, Kiburi,
Uchawi, Mgonjwa, n.k)30 March 2012
IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI
4. Majeshi ya Pepo Wabaya.Ni vikosi maalum vilivyowekwa na shetani, kutekeleza kazi zake ,za ‘Uovu au Ubaya fulani’ katika ‘Maeneo fulani na Makundi fulani (Ulevi, Wizi, Ajali, Zinaa, Kiburi, Uchawi, Mgonjwa, n.k)
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 6:12Falme – Pepo juu ya EneoMamlaka – Pepo juu ya KundiMamlaka Pepo juu ya KundiW/Giza – Pepo juu ya UbayaMajeshi – Mapepo watekelezaji
30 March 2012
VITA VYA KIROHO
Idara za Serikali ya ShetaniWaefeso 6:10‐13
Moja ya mbinu muhimu sana yaMoja ya mbinu muhimu sana ya kijeshi au ya mashindano yoyote, ni kumjua adui yako; kujua adui ni nani, yuko wapi, ana uwezo
gani na ana mbinu gani juu yako.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 51
VITA VYA KIROHO
Idara za Serikali ya ShetaniWaefeso 6:10‐13
Mtu wa Mungu anapofanya vitaMtu wa Mungu, anapofanya vita vya kiroho, ni lazima ajue
anapigana na adui (pepo) wa aina gani, wa kabila lipi, wa tabia
gani na wa ngazi ipi.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Daniel 10:10‐13Ukombozi wa Israeli, ulifanyika kwanza katika ulimwengu wa g
roho, kwa kumshinda Mfalme wa Anga la Uajemi, ndipo ukombozi wao, ukaweza kutokea katika
Ulimwengu wa mwili.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Efes 6:10‐18, 2Kor 10:3‐5Ukombozi wa maisha yako, unatakiwa kufanyika kwanza y
katika ulimwengu wa roho, kwa kumshinda Mfalme wa Anga la eneo lako, ndipo ukombozi huo, utaweza kutokea katika U’mwili.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katika
Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa roho.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
li l hlimeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu
ili) h lif i j b hilwa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika
ulimwengu wa roho.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 52
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu
d i iduniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya j y
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu
wa giza na majeshi ya mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katika
Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa roho.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20‐21, Waefeso 2:6Ndio maana na sisi pia, Mungu
ametuketisha mahali alipomketishaametuketisha mahali alipomketisha Yesu, katika ulimwengu wa roho,juu sana kuliko falme na mamlaka
za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 100033 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3‐4 Mfalme
Injili600 Kalvari Kanisa
700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
Ulimwengu wa Mwili30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 53
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20‐21, Waefeso 2:6Mungu ametuketisha mahali alipomketisha Yesu, katika
li h j k likulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ili
tuweze kutawala mambo yetu kwa katika ulimwengu wa mwili, kwa
ushindi na mafanikio.30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA WOKOVU
Mkuu
Mfalme
MUNGU + ADAM ‐ 2
Waefeso 2:1‐6Waefeso 1:18‐23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM ‐ 1
Mtawala
Mwakilishi
mungu
30 March 2012
VITA VYA KIROHO
Matendo 19:18‐20Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho kamakupigana vita vya kiroho, kama huna mamlaka ya juu zaidi katika
ulimwengu wa kiroho.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Umuhimu na Ulazima wa
Nguvu za MunguNguvu za Mungu
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupambana na
ibilisi shetani katika ulimwengu wa roho, ili kuleta
mabadiliko tunayohitaji, katika ulimwengu wa mwili.30 March 2012
2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za
Mungu, mtu wa Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 54
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na ndio maana, Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme
M d i i k jwa Mungu duniani na kuuvunjaufalme wa shetani, pasipo
kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa,
li haliongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani katika maombi ya siku 40.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na
j ib li di lilmajaribu yote, alirudi Galilaya katika nguvu za Roho
Mtakatifu.
30 March 2012
TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU
Luka 4:1 Luka 4:14
Alitembea kwa Alitembea kwaUjazo wa Roho Nguvu za RohoMtakatifu. Mtakatifu.“Aliongozwa” “Alifanikiwa”
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 10:3838 Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifumafuta, kwa Roho Mtakatifuna Nguvu; naye akazunguka kote kote akitenda mema na kuwaponya wote walioteswa
na ibilisi shetani.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 10:38
Roho + Nguvu = Ushindi
‘Ndipo akaanza kuzunguka, akiwaponya wote walioteswa na kuonewa na ibilisi shetani’.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 55
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Bwana Yesu Kristo mwenyewe,hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu
d i i k j f lduniani na kuuvunja ufalme wa shetani, mpaka kwanza
“alipojazwa na Roho Mtakatifu na “Nguvu za” huyo Roho.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ikiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu na alizitafuta kwa maombializitafuta, kwa maombi mazito na makali sana
maishani mwake, si zaidi sana sisi binadamu wa kawaida?
30 March 2012
KWANINI ROHO MTAKATIFUNdio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wake
kuanza kazi ya kuujenga Ufalme M d i i k jwa Mungu duniani na kuuvunjaufalme wa shetani, pasipo
kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama Baba alivyonituma mimi namialivyonituma mimi, nami
nawapeleka ninyi; akiisha kusemahayo, akawavuvia (akawapulizia)
akawaambia, pokeeniRoho Mtakatifu;
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 24:49(Pamoja na kwamba
ameshawapa Roho Mtakatifu)ameshawapa Roho Mtakatifu)“… Lakini, msiondoke humu mjini,
mpaka mtakapovikwa uwezautokao juu (Nguvu za Mungu).
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 1:8“… Nanyi mtapokea Nguvu,
akiisha kuwajilia juu yenu Rohoakiisha kuwajilia juu yenu, Roho Mtakatifu; ndipo mtakuwa mashahidi wangu katika
Yerusalem, Samaria na hata mwisho wa nchi (Duniani kote).
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 56
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 1:1‐4“Hata ilipotimia siku ya
Pentecoste wote walikuwapoPentecoste, wote walikuwapo mahali pamoja, upepo wa nguvu ukavamia chumba chao … wote wakajazwa Roho Mtakatifu, na kuanza kunena kwa lugha mpya”
30 March 2012
TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU
Yohana 20:21‐22 Luka 24:49
Walipokea WalipokeaRoho wa Mungu Nguvu za Roho
Walijaa Roho Walivikwa Roho(Kwa ndani) (Kwa Nje)30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangaliza kwamba Nguvu za Mungu nikwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu, duniani.
(‘It’s a necessity’)30 March 2012
KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupambana na
ibilisi shetani katika ulimwengu wa roho, ili kuleta
mabadiliko tunayohitaji, katika ulimwengu wa mwili.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOShetani alipomwangusha Adam katika nafasi yake
(kiroho), yeye ndiye akashika mamlaka na nguvu za kiroho juu
ya dunia yote.Warumi 5:12‐14
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHONafasi hiyo ya kiroho juu ya
dunia, ilimwezesha kutawala ulimwengu wa kiroho, hata kuwa na uwezo wa kuleta
mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
Yoh 12:31/14:30/16:1130 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 57
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
2Wakorintho 6:14‐18Warumi 3:23
MUNGU
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
30 March 2012
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Yohana 16:11Mkuu
Mfalme Waefeso 2:1‐2
MUNGU
Warumi 5:12, 14Zekaria 3:2
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mtawala
Mwakilishi
mungu
1Yohana 5:19
Luka 4:5‐8
2Korintho 4:3‐4
30 March 2012
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 100033 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3‐4 Mfalme
Injili600 Kalvari Kanisa
700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
Ulimwengu wa Mwili30 March 2012
KANUNI ZA KIROHONdio maana;
• Wachawi,• Waganga wa Kienyeji naaga ga a e yej a• Wazee wa Mila (ukoo)
Wana uwezo wa kishetani (kiroho)wa kusababisha mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili.30 March 2012
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Hivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishanimabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo
kwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHONi Ukweli wa kanuni ya Mungukwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili,
kama huna mamlaka na nguvuza kiroho (ulimwengu wa roho).
Zab 8:4‐8, Mwa 1:26‐2830 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 58
KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, hata kwa sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho wake Mtakatifu, ili tuweze k b bi h b dilikkusababisha mabadiliko ya
ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho
(Nguvu za ajabu).30 March 2012
2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za
Mungu, mtu wa Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 22:2929 Yesu alisema, ‘Mwapotoka
k k b bna kupotea kwa sababu hamjui maandiko, wala uweza wa Mungu (Nguvu za Mungu).
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
• Biashara Zaburi 8:4‐8• Shamba• Mifugo Haiwezekani• Masomo • Familia • Kazi • Afya• Mipango
kuitawala Duniapasipo nguvu(utukufu) wa
Mungu30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Kwamba …Nguvu za Mungu zinaweza k k h k k f iki hkukuvusha na kukufanikisha
pale ambapo kanuni za kawaida za kimwili (za kiasili)
zinapogoma kufanya kazi.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNi kwa Nguvu za Mungu,
Mashujaa wa imani waliweza kufanya mambo makubwa na
i ji j b h tmiujiza ya ajabu sana, hata wakaweza kuyatawala
mazingira yao, bila kuzuiliwa na chochote. (Mwa 1:26‐28)
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 59
KANUNI ZA KIROHO
Umuhimu na Ulazima N Ki hwa Nguvu za Kiroho
Katika Maisha ya duniani.
30 March 2012
2Petro 1:3‐4Tunaishi kwenye ulimwengu
ulioharibika sana kwasababu yadhambi na uovu Mtu wa Mungu
KUTEMBEA KWA IMANI
dhambi na uovu. Mtu wa Munguakitaka kuishi kwa ushindi namafanikio katikati ya uharibifuhuu, bila kuingia katika uovu(kujichafua), ni lazima iwe nikwa nguvu za Mungu tu.30 March 2012
2Petro 1:3‐43 Kwa kuwa Uweza wake wauungu umetupatia (au nguvuzake za uungu zimetupatia)
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
mambo yote tunayohitaji kwaajili ya uzima na uchaji waMungu, kwa kumjua Yeye
aliyetuita kwa utukufu Wake nawemaWake mwenyewe.
30 March 2012
2Petro 1:3‐44 Kwa sababu hiyo, Mungu
ametukirimia ahadi zake kuu naza thamani ili kwa kupitia hizo
KUTEMBEA KWA IMANI
za thamani, ili kwa kupitia hizotupate kuwa washiriki wa tabia
za uungu, tukiokolewa nauharibifu (au upotovu) uliokoduniani kwa sababu ya tamaa.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Nguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani, p ,
(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko
yafuatayo;30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
1. Zinaweza kuzisababishakanuni za kimwili, zilizokataakufanya kazi, ziweze kufanyakazi kama ilivyotegemewa.
(kama kawaida yake)30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 60
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
2.Zinaweza kuzisababishakanuni za kimwili, zisizowezakufanya kazi, zipindishwe hataziweze kufanya kazi katika hali
isivyotegemewa.(si kawaida yake)
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
3. Zinaweza kuzisababishakanuni za kimwili, zisizowezakufanya kazi, zirukwe, hatajambo lifanyike bila kupitiakatika njia yake ya asili.
(si kawaida yake)30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Mathayo 16:19, 18Maombi yana nguvu ya ajabusana ya kuuagiza Mkono wasana ya kuuagiza Mkono waMungu na kuuingiza kazini
Mkono wa MunguIsaya 45:11
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Isaya 45:11Kwa habari ya Kazi za MikonoKwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya
niamuruni
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:18‐19
Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwaduniani, ndipo yatakuwa yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua
ninyi duniani, ndipo yatafunguliwa mbinguni
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA
Daniel 4:17Vijana 4 waliojua namna yaVijana 4 waliojua namna ya
kuuathiri ulimwengu wa roho,walisabababisha Mfalme wa nchi
kuwa kichaa kwa muda.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 61
NAMNA YA KUOMBADaniel 4:17
Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda)kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi
(Waombaji)Isaya 62:7‐11
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17‐18
Nabii Eliya alipoathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi,kiroho kwa njia ya maombi,
mvua haikunyesha juu ya nchi, japo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha.
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17‐18
Baada ya miaka 3 na nusu ya ukame mkali, Nabii Eliyaukame mkali, Nabii Eliya aliziathiri tena kanuni za
kiroho kwa njia ya maombi, na mvua ikanyesha juu ya nchi, na nchi ikazaa matunda yake.
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1‐43
Baada ya Musa kuziathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi,za kiroho kwa njia ya maombi, maji ya bahari yaligawanyika na kusimama kama ukuta, kushoto na kulia, na Israeli wakapita juu ya nchi kavu.
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1‐43
Baada ya Yesu kuziathiri kanuni za kiroho sawa sawa, kwa njia yakiroho sawa sawa, kwa njia ya maombi, maji ya kawaida
yalibadilika na kuwa divai safi bila kutumia maabara.
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBAMatendo 8:26‐40
Baada ya kanuni za kiroho kuathiriwa ipasavyo, Filipokuathiriwa ipasavyo, Filipo alinyakuliwa na Roho wa
Mungu na kutoweka mbele ya watu, na akatokea nchi
nyingine bila kutumia usafiri.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 62
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
li h i t kiulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
30 March 2012
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na k i k id ki ilikanuni za kawaida za kimwili.
Mathayo 14:22‐33Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
30 March 2012
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisa
k i k id ki ilina kanuni za kawaida za kimwili.Yohana 2:1‐11
Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
30 March 2012
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitu
ambacho ni kinyume kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Marko 8:23‐25Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.30 March 2012
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwilikanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 11:17‐53Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
30 March 2012
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila kupita mlangoni wala dirishani, kitu
ambacho ni kinyume kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.Yohana 20:19‐25/Luka 24:36‐43Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 63
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni, (bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni zakinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.Matendo 1:6‐11
Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
li h i t kiulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze gkuutawala ulimwengu, pale
kanuni za kimwili zinapotuzuia au zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).
30 March 2012
Ulimwengu wa Roho
‘Amini Amini nawaambia, kila mtuaniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam, hata kubwa kuliko hizi atafanya;hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba
kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
Yohana 14:12/16:7‐830 March 2012
Ulimwengu wa Roho
Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida, waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani kinyume na taratibu zaduniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio
duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7‐8
30 March 2012
Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2 wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho nighorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida
za kimwili.Kutoka 14:1‐31
Kanuni za kimwili hazikumzuia.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 64
Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kutoa maji kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote wakanywa na kutosheka kituwakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Kutoka 17:1‐7Kanuni za kimwili hazikumzuia.
30 March 2012
Ulimwengu wa RohoNdio maana Joshua aliweza
kusimamisha mzunguko wa dunia hata jua likasimama mpaka
walipomaliza shughuli yao kituwalipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Joshua 10:12‐15Kanuni za kimwili hazikumzuia.
30 March 2012
Ulimwengu wa RohoNdio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo
kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha kitukuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
30 March 2012
Ulimwengu wa RohoNa ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na
kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha kitu(kusababisha) mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
30 March 2012
Ulimwengu wa RohoNdio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu
ambacho ni kinyume kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Matendo 3:1‐16Kanuni za kimwili hazikumzuia.
30 March 2012
Ulimwengu wa RohoNdio maana Filipo aliweza kusafiri
kwa kupaa na kunyakuliwa (kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho
ni kinyume kabisa na kanuni zani kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.Matendo 8:26‐40
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 65
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
li h i t kiulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezokatika maneno yake, uwezo y ,ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa mwili kwa nguvu za kiroho,
kama alivyotaka yeye!30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa
alichofanya, kwasababu hata y ,na sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wa kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na
Mfano wa Mungugzilizowekezwa ndani yetu,
tuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala
mazingira na mambo yetu.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi ni namna mojawapo ya kufungulia
Nguvu za Mungu zilizo ndani g gyetu, ili kuzipambanisha na mambo ya mwili, yaliyogoma kufanya kazi vile ilivyotakiwa.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezokatika maneno yake, uwezo y ,ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa mwili kwa nguvu za kiroho,
kama alivyotaka yeye!30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 66
NGUVU YA MAOMBI
Mathayo 16:19, 18Maombi yana nguvu ya ajabusana ya kuuagiza Mkono wasana ya kuuagiza Mkono waMungu na kuuingiza kazini
Mkono wa MunguIsaya 45:11
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Isaya 45:11Kwa habari ya Kazi za MikonoKwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya
niamuruni
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba,
‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo, tusali na kuomba na kushukuru...’
(Wafilipi 4:6‐7)
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNi kwa Nguvu za Mungu,
Mashujaa wa imani waliweza kufanya mambo makubwa na
i ji j b h tmiujiza ya ajabu sana, hata wakaweza kuyatawala
mazingira yao, bila kuzuiliwa na chochote. (Mwa 1:26‐28)
30 March 2012
Yohana 14:12
‘Amini Amini nawaambeni, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi (za ushindi) ninazozifanya, na yeye ) y , y yatazifanya, naam hata kubwa
kuliko hizo, atafanya, kwasababu mimi nakwenda
kwa Baba’.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Yohana 14:12‘… Kila aniaminiaye mimi,
ataushinda ulimwengu kamaataushinda ulimwengu kama mimi nilivyoshinda, kwasababu mimi nakwenda kwa Baba, kuwaletea Roho Mtakatifu,
aliyeniwezesa mimi kushinda’.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 67
Kanuni za Maisha ya UshindiYohana 16:33, Yohana 14:12‘Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo, kwakuwa j p y ,
Mimi nimeushinda ulimwengu.’‘Kwahiyo kila aniaminiye Mimi, naye ataushinda ulimwengukama Mimi nilivyoushinda’.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Huu ndio Utaratibu wa Mungukatika kuitawala dunia;;
kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu
vinavyoonekana (vya kimwili) ni y ( y )vya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho)
kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).
30 March 2012
Kanuni za kiroho za UshindiUlimwengu wa roho ndio unaotawala Ulimwengu wa mwili. Kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katika
Ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Roho.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Kwasababu hiyo,
Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual
Principles).30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 68
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Mtu yeyote, hataweza kufanikiwa duniani kwa asilimia 100%, bila ya kufuata kanuni hii
kuu ya uumbaji wa Mungu duniani.
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA
Silaha za Vita Vyetu
Waefeso 6:10‐182Wakorintho 10:3‐5
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10‐13‐18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zakekatika Uweza wa Nguvu zake.Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze pupambana na hila za
mwovu shetani.30 March 2012
Waefeso 6:10‐13‐18‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
30 March 2012
‘Ingawa tunaenenda kimwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, silaha zetu zina nguvu katika
2Wakorintho 10:3‐5
gMungu (roho), tukiteka nyara mawazo na fikra na kila kitu
kinachojiinua kinyume na elimu ya Bwana wetu Yesu Kristo.
30 March 2012
Waefeso 6:10‐13‐18‘Simameni hali mmevaa,
Chapeo ya Wokovu, Dirii ya Haki, Mkanda wa Kweli, Viatu vya Utayari wa kupeleka Injili ya
Yesu Kristo; Simameni mkiwa na Ngao ya Imani na Upanga wa
Roho ambao ni Neno la Mungu.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 69
NAMNA YA KUOMBA
Silaha za Vita Vyetu
Waefeso 6:10‐182Wakorintho 10:3‐5
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda g prohoni, ni lazima ajue kwamba,
atakutana na adui shetani anayetawala eneo lake (eneo
linaloombewa) 30 March 2012
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue namna ya kupigana na adui shetani juu ya maeneo anayoyaombea.
Waefeso 6:12, 10‐11,13
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Aina kuu 2 za silaha1 Sil h Uli i ( 11)1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)
Waefeso 6:12, 10‐11,13
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA
1. Silaha za Ulinzi( l d )(Kujilinda) (Waefeso 6:13)
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani
(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakati hujaokoka, ni kama kwenda vitani
bila kofia ya chuma (Warumi 10:9‐10, Mdo 19:8‐20)
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 70
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)b) Gamba la chuma kifuani
(UTAKATIFU)Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni
kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1Pet 1:15‐16, Kumb 23:14)
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni
(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna
maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. (Yohana 17:17, Kolosai 3:16)
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)d) Mabuti ya Utayari Miguuni
(UTAYARI + UJASIRI)Kwenda rohoni / vitani wakati huna
ujasiri, ni kama kwenda vitani bila mabuti ya jeshi/kazi.
(2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7) 30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi
(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna
uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi.
(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20‐24) 30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA
2. Silaha za Kupiga( h b l )(Kushambulia) (Waefeso 6:13)
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9‐10, Marko 16:16‐20p ,Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo
Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 71
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17,Neno la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Neno
ni Bwana Yesu mwenyewe.Yoh 1:1‐4
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7,
Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu
ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1,Roho wa Yesu ana nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Roho
wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11‐12
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)e) JESHI LA MALAIKA WA YESU Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52‐53, yMalaika wa Yesu wana nguvu na
mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizo
Ufunuo 12:7‐10, Zab 34:7, Zab 9130 March 2012
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Mathayo 16:18‐19‘Milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa nililojenga; nakulishinda kanisa nililojenga; na
mambo yoyote mtakayoyafunga au mtakayofungua duniani, yatakuwa
yamefungwa na kufunguliwa mbinguni (ulimwengu wa roho).
30 March 2012
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Luka 10:19Tazama, nimewapa mamlaka yote
ya kukanyaga nge (nguvu yaya kukanyaga nge (nguvu ya maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi)
na nguvu zote za yule adui(waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 72
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Yeremia 1:9‐10Tazama, nimekuweka leo juu ya falme na juu ya mamlaka, ilifalme na juu ya mamlaka, ili
kuvunja, kubomoa, kuharibu, na kung’oa, kisha nimekuweka ili
kujenga na kupanda.
30 March 2012
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Yeremia 51:20Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja‐vunjakukutumia wewe, nitavunja vunja falme na nitavunja‐vunja mamlaka.
(kwakuwa nimekuweka juu ya falme na juu ya mataifa)
(Yeremia 1:9‐10)30 March 2012
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Ufunuo 5:8‐10Watu walionunuliwa kwa damu ya
Mwana‐kondoo Yesu Kristo,Mwana kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na
Makuhani; nao wamepewa kumilikina kutawala juu ya nchi (katika
ulimwengu wa mwili).30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Kwahiyo; Wewe usipokuwa na nidhamu ya
kwenda rohoni kwa njia ya maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.30 March 2012
NAMNA YA KUOMBA
5. NGUVU YA MAOMBINamna unavyowezaNamna unavyoweza
Kuuathiri Ulimwengu wa Roho hata kubadilisha Ulimwengu wa mwili.
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa
Maombi ya Eliya,Maombi ya Eliya, Kufunga na Kufungulia Mvua
Yakobo 5:16‐18
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 73
NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa
Maombi ya Daniel,Maombi ya Daniel, Kufungulia Ukombozi wa Taifa
Daniel 10:11‐14, 20
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa
Yesu na Mti MtiniYesu na Mti MtiniMarko 11:12‐14, 20‐24
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12‐14, 20‐24
12 Kesho yake walipokuwa wakitokaBethania, Yesu alikuwa na njaa.
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12‐14, 20‐2413 Alipouona mtini kwa mbali, k d l k l kakaenda ili aone kama ulikuwa na
matunda. Alipoufikia, akakuta unamajani tu, kwa kuwa hayakuwa
majira ya tini.30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12‐14, 20‐2414 Yesu akauambia ule mti, ‘‘Tangu l t t il t dleo mtu ye yote na asile matunda kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi Wake walimsikia akisema hayo.
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12‐14, 20‐2420 Asubuhi yake, walipokuwa
ki it k l ti iwakipita, wakauona ule mtiniumenyauka kutoka juu hadi kwenye
mizizi yake.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 74
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12‐14, 20‐2421 Petro akakumbuka na
k bi Y “M likumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani
umenyauka!
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12‐14, 20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia,
“M i i i M 23 A i i“Mwaminini Mungu. 23 Amin, amin nawaambia, mtu ye yote
atakayeuambia mlima huu ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’…
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIMarko 11:12‐14, 20‐24
23 …wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo
asemayo yametukia yatakuwa yakeasemayo yametukia, yatakuwa yake. 24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yo yote myaombayo mkisali, aminini ya
kwamba mnayapokea nayo yatakuwa yenu.
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24
23 … asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo
yametukia yatakuwa yakeyametukia, yatakuwa yake.
Sasa Baadaye
30 March 2012
NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24
24 yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwambak kmnayapokea nayo yatakuwa yenu.
Sasa Baadaye
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi ni namna mojawapo ya kufungulia
Nguvu za Mungu zilizo ndani g gyetu, ili kuzipambanisha na mambo ya mwili, yaliyogoma kufanya kazi vile ilivyotakiwa.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 75
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezokatika maneno yake, uwezo y ,ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa mwili kwa nguvu za kiroho,
kama alivyotaka yeye!30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa
alichofanya, kwasababu hata y ,na sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wa kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na
Mfano wa Mungugzilizowekezwa ndani yetu,
tuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala
mazingira na mambo yetu.30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Umuhimu na Ulazima N Ki hwa Nguvu za Kiroho
Katika Maisha ya duniani.
30 March 2012
2Petro 1:3‐4Tunapambana na adui mwenyenguvu sana. Pasipo Nguvu za
Mungu, mtu wa Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu, mtu wa Munguhataweza kuleta mabadilikomazuri katika maisha yake nakumwezesha kuishi maishamazuri na ya ushindi, ili kuwachombo kizuri cha ibada.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHONi Ukweli wa kanuni ya Mungukwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili,
kama huna mamlaka na nguvuza kiroho (ulimwengu wa roho).
Zab 8:4‐8, Mwa 1:26‐2830 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 76
KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, hata kwa sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho wake Mtakatifu, ili tuweze k b bi h b dilikkusababisha mabadiliko ya
ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho
(Nguvu za ajabu).30 March 2012
NGUVU YA MAOMBI
NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri
Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani,
(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko
makubwa, hata kama hilo jambo haliwezekani kanuni za ulimwengu wa kimwili.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu NguvuZa za
Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike
Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke
Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 77
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa
Marko 11:12‐14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’
(Kuanzia leo Ufe kabisa)
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufukeYohana 11:11‐15
‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’Ezekieli 37:1‐14
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14‐19
‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1‐11, Isaya 38:1‐5
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)) y p ( / )
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)) y p ( / )b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)
30 March 2012
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)) y p ( / )b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14,17)
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 78
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja1Wakorintho 5:3‐41Wakorintho 5:3 4
Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kiroho
Wafalme 5:14‐2730 March 2012
NGUVU YA MAOMBI Tukijua siri hii ya maombi, jinsi
yanavyoweza kubadilisha ulimwengu wa roho, tutajibidiishaulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta mabadiliko tunayotamani kuyaona katika
maisha yetu, duniani. 30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo;Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, kama Bwana na Mwokozi wake, ana ,Roho Mtakatifu wa Mungu ndani yake; kwahiyo, ana chanzo cha Nguvu za Mungu ndani yake.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na y y yMungu kuachilia nguvu zake,
kutakufanya uwe mtu mwoga nadhaifu maisha;
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya
upinzani na vita dhidi ya mtu wa Mungu.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa ngvu za M i h i kMungu maishani mwako; nawe
utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 79
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu
wengi wamezuia utendaji kazi wawengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika).
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanaishi
maisha ua kuhangaika namaisha ua kuhangaika na wanatumia muda mwingi na gharama kubwa, kukimbia‐
kimbia kushoto na kulia kutafuta msaada wa mbali …
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
wakati ndani yao wameachamsaada ulio karibu; kwani Nguvunyingi sana au Nguvu kubwasana za Mungu zimebaki ndaniyao, zimelala bila kutumika.(Hosea 4:6, Warumi 10:2)
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Mungu anasema ‘ t i kwatu wangu wanaangamia kwa
kukosa maarifa’.(Hosea 4:6)
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Biblia inasema; ‘ t M bidiiwatu wa Mungu, wana bidii sana katika Bwana, lakini si
katika maarifa’.(Warumi 10:2)
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana, inasema kwamba, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika, ili ,tupate maarifa na tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha
Bwana wetu Kristo Yesu. (Waefeso 4:11‐15)
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 80
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11‐15Kwa huduma mbalimbali ambazo Bwana Yesu ameziweka katikaBwana Yesu ameziweka katika kanisa, sisi waumini, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika …
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11‐15… ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha Bwana Yesu nakatika cheo cha Bwana Yesu na kutembea na Nguvu za Mungu duniani, bila kuzuiliwa na kitu
chochote.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11‐14
11 Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume na wengine kuwakuwa mitume, na wengine kuwa
manabii, wengine kuwa wainjilisti, na wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa
waalimu, 30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11‐14
12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi zawatakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa na
kuimarika.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11‐1414 Ili tusiwe tena watoto
wachanga, tukitupwatupwa hukuna huku na kuchukuliwa na kilaupepo wa mafundisho kwa hilaza watu, kwa ujanja, kwa kufuata
njia zao za udanganyifu. 30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11‐14
13 … bali tufundishike na kukua kiroho mpaka sisi sotekiroho, mpaka sisi sote
tutakapoufikia kipimo cha ukamilifu wa Kristo.
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 81
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11‐14Kwahiyo, Nguvu za Mungu
zilizowekwa ndani yako, zinatosha y ,kabisa kukuwezesha kuishi duniani,
katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana Yesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa,katika kiwango kinachotakiwa,
zitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu unazozihitaji kwa ajili ya
maisha ya ushindi duniani.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika)
kuliko yote tunayo‐yawaza au tunayoyaomba …
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda
kazi ndani yetu.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu, Bidii, Stamina na Nidhamu ya kimaombi
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu ya Maombi, Bidii ya Maombi, Stamina ya Maombi Nidhamu ya kimaombi
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 82
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa MusaKut 24:1‐18Kut 34:29‐35
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1‐18/32:9‐19
Kut 33:7‐11 30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamuya hali ya juu ya kukaa katika
uwepo wa Munguuwepo wa MunguKutoka 24:1‐18/32:9‐19
Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini Joshua aliweza kukaa siku zote 40.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo
wa MunguKutoka 33:7‐11
Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa
Mungu hata kwa muda wa ziada . 30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika
uwepo wa Munguuwepo wa Mungu
Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa.
(Inakupa kibali mbele za Mungu) 30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambia Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuzaYoshua, Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto
Jordan mbele yako)30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 83
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1‐3Zab 27:4
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa
katika uwepo wa MunguNa ndio maana, bidii yake na
nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa.
(Inampa kibali mbele za Mungu) 30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22‐23Luka 6:12,17‐19
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia‐ki bi d i i t kit f tkimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu
ajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Wengi wana Kiu, lakini hawana;Nguvu za kuomba muda mrefuNguvu za kuomba muda mrefu. Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba
kwa muda mrefu. Luka 22:40‐46
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi
kuomba mpaka kuvuka jaribukuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi
tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda
mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40‐46
30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 84
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu
i h i kmaishani mwako, unategemea sana kiwango
cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani,
(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko
makubwa, hata kama hilo jambo haliwezekani kanuni za ulimwengu wa kimwili.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu NguvuZa za
Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11‐14Kwahiyo, Nguvu za Mungu
zilizowekwa ndani yako, zinatosha y ,kabisa kukuwezesha kuishi duniani,
katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana Yesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUBasi …
Tengeneza au ZalishaKIWANGO
cha kutosha cha Nguvu za Mungu
Ndani yako30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
5. Kumwagika
Kiwango, Kipimo, Ujazo30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 85
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)
Joto Hewa(Heat) (Oxygen)
MOTO
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwasababu …Utendaji kazi wa mkono wa
i h i kMungu maishani mwako, unategemea sana kiwango
cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.
30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa,katika kiwango kinachotakiwa,
zitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu unazozihitaji kwa ajili ya
maisha ya ushindi duniani.30 March 2012
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyaweka
kwa pamoja ndani yetukwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.
30 March 2012
KANUNI ZA KIROHO
Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho
katika maisha yao watawekakatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza
kanuni za kiroho. 30 March 2012
KANUNI ZA KIROHOKanuni hizi tulizojifunza, zilete mabadiliko katika mfumo wa maisha yako na kukuwezesha kuzalisha Nguvu za Mungukuzalisha Nguvu za Mungu
zinazohitajika kukupa maisha ya Ushindi na kukuwezesha kuwa chombo kizuri cha kumsifu na
kumwabudu yeye.30 March 2012
30 March 2012
Vita Vya Kiroho 86
NGUVU YA MAOMBI
Asanteni!Asanteni!
30 March 2012
Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)
Dar es Salaam, Tanzania.+255 713 497 654+255 713 497 654+255 783 497 654
mgisamtebe@yahoo.comwww.mgisamtebe.org
30 March 2012
Recommended